text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
Swali la 13: Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa Bwana Yesu kusema “Imekwisha” (Yohana 19:30) msalabani ni ushahidi kwamba kazi ya Mungu ya wokovu tayari imekamilika kabisa. Na bado unashuhudia kwamba Bwana amerejea katika mwili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu ili kuwaokoa wanadamu kabisa. Kwa hiyo ni kwa njia gani hasa mtu anafaa kuelewa kazi ya Mungu ya kuwaokoa wanadamu? Hatuko dhahiri juu ya kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu. | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME
Swali la 13: Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa Bwana Yesu kusema “Imekwisha” (Yohana 19:30) msalabani ni ushahidi kwamba kazi ya Mungu ya wok…
Wakati Bwana Yesu alisema msalabani “Imekwisha” (Yohana 19:30), Alikuwa anazungumzia hasa kuhusu nini? Je, Alimaanisha kwamba kazi ya ukombozi ilikuwa imekwisha, au alikuwa Akimaanisha kwamba kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu kikamilifu ilikuwa imekwisha? Je, watu wa wakati ule hakika wangejua? Inaweza kusemwa kwamba hakuna aliyejua. Kile Bwana Yesu alichosema yalikuwa ni maneno: “Imekwisha.” Hakusema kwamba kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu ilikuwa imekwisha. Wanadamu hawawezi kwa hakika kuelewa kile Bwana Yesu alichokuwa akimaanisha Aliposema, “Imekwisha.” Je, mtu yeyote anawezaje kuthubutu kuelezea maneno ya Bwana kulingana na mawazo yake mwenyewe? Kwa nini kuthubutu kutafsiri kiholela maneno haya “Imekwisha”? Hiki sio kingine ila kuwekelea bila kufikiria mawazo ya kibinafsi juu ya maneno ya Bwana Yesu. Hebu tafakari haya, ikiwa Bwana Yesu alisema “Imekwisha” inamanisha kwamba kazi ya Mungu ya kuokoa wanadamu wote imekamilika kabisa, basi kwa nini Bwana alitoa unabii, na kusema, “Bado ningali nayo mengi ya kuwaambieni, lakini hivi sasa hamwezi kuyavumilia. Hata hivyo, wakati yeye, Roho wa ukweli, atakapokuja, atawaongoza hadi kwenye ukweli wote: kwa maana hatazungumza juu yake mwenyewe; bali chochote atakachosikia, atakinena: na atawaonyesha mambo yajayo” (Yohana 16:12-13). Tunaelewaje hili? Pia, kama ilivyorekodiwa katika Injili ya Yohana, Sura ya 12, Mstari wa 47-48, “Na iwapo mtu yeyote atayasikia maneno yangu, na asiyaamini, Mimi sitamhukumu: kwa kuwa mimi sikuja ili niihukumu dunia, bali kuiokoa dunia. Yeye ambaye ananikataa mimi, na hayakubali maneno yangu, ana yule ambaye anamhukumu: neno hilo ambalo nimelisema, ndilo hilo ambalo litamhukumu katika siku ya mwisho.” Maneno ya Bwana Yesu yanatwambia wazi kwamba Bwana atarudi kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu. Pia kuna unabii wa Biblia: “Kwa maana muda umekuja ambao lazima hukumu ianze katika nyumba ya Mungu” (1 Petro 4:17). Kulingana na kile ambacho mchungaji na mzee husema, ikiwa kusulubiwa kwa Bwana Yesu kulikamilisha kazi yote ya kumwokoa mwanadamu, basi ni vipi unabii wa Bwana Yesu, “Hata hivyo, wakati yeye, Roho wa ukweli, atakapokuja, atawaongoza hadi kwenye ukweli wote,” je, maneno haya yangekuwaje ukweli? Je, si unabii wa Bwana Yesu kwamba Angerejea kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu ungekosa kutimia? Kwa hivyo, yale mchungaji na mzee husema kweli hayalingani na maneno ya Bwana Yesu na hayalingani na uhalisi wa kazi ya Mungu. Sote tunapaswa kujua kwamba kile Bwana Yesu alichofanya ilikuwa kazi ya kumwokoa mwanadamu. Kile tu tunapaswa kufanya ni kukubali Bwana Yesu, kukiri na kutubu mbele Yake, na dhambi zetu zitasamehewa. Kisha sisi tunastahili kuomba kwa Bwana, na kufurahia neema ambayo Bwana ametawaza. Bila kujali dhambi, hatutahukumiwa na sheria tena. Haya ndiyo matokeo ya kazi ya ukombozi ya Bwana Yesu. Hii ndiyo maana ya kweli ya kauli ile “wokovu kupitia Imani” ambayo sisi husema kila mara. Kutokana na matokeo yaliyopatikana na kazi ya Bwana Yesu tunaona hata thibitisho kubwa zaidi kwamba kazi ya Bwana Yesu ilikuwa ile ya ukombozi pekee. Hakuna vile ilikuwa ya kuhukumu, kutakasa, na kuwakamilisha watu wa siku za mwisho. Ingawa imani yetu katika Bwana Yesu inasamehe dhambi zetu, na hatutendi dhambi zilizo wazi, na huwa na tabia nzuri kweli, lakini hatujajitenga kabisa kutoka kwa dhambi na kuwa safi, na kuokolewa kikamilifu, ni kweli? Je, mara kwa mara sisi husema uongo na kutenda dhambi? Je, bado sisi hutenda kwa tamaa na tuna mawazo maovu? Je, sisi bado huwaonea wivu wengine, na kuwachukia wengine? Je, mioyo yetu imejawa na majivuno na hila? Je, bado tunaiga mitindo ya kidunia, na kushikilia utajiri, na kutamani utukufu? Watu wengine wanapokamatwa na kuhukumiwa na serekali ya Kikomunisti ya China, hata humlaumu Mungu. Wao hata hutoa taarifa zilizoandikwa ambazo humkana Mungu, na kumsaliti Mungu. Hasa kuhusu kuonyesha ukweli na kazi ya hukumu ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, watu hutoa hukumu juu ya kazi ya Mungu na kuilaani kulingana na mawazo yao na matamanio. Je, si huu ni ukweli? Katika imani yetu katika Bwana, hivyo, tunapata tu msamaha wa dhambi. Lakini ndani yetu inabaki asili ya Shetani na tabia ya Shetani. Hiki ndicho chanzo chetu cha kutenda dhambi na kupinga Mungu. Ikiwa asili ya ndani yetu ya dhambi haitatatuliwa, basi tutampinga Mungu, tutamsaliti Mungu, na kumfikiria Mungu kama adui. Je, unaweza kusema kwamba mtu kama huyu anastahili kuingia katika ufalme wa mbinguni? Ni lazima liwe wazi sasa kwamba kwa kusema “Imekwisha,” Bwana Yesu alimaanisha kwamba ni kazi ya Mungu ya ukombozi pekee ilikuwa imekamilika. Kwa hakika, Yeye hakuwa akisema kwamba kazi yote ya kuokoa mwanadamu ilikuwa imekamilika. Mwenyezi Mungu mwenye mwili wa siku za mwisho alikuja kuonyesha ukweli wote, na kufanya kazi ya hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Kuja huku ni kwa kuwatakasa watu kikamilifu, na kuwaokoa kabisa, kutatua tatizo la kimsingi la dhambi ndani ya watu, kuwaruhusu watu kuwa huru kutoka kwa dhambi na kupata utakaso, kupata wokovu kamili na kuingia katika ufalme wa Mungu. Acha tusome vifungu vingine vichache vya maneno ya Mwenyezi Mungu, ili sote tuweze kuelewa kwa uwazi kabisa.
Iliyotangulia:Swali la 12: Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?
Inayofuata:Swali la 14: Bibilia inasema: “Kwani mwanadamu husadiki moyoni ili kupata haki; na kwa mdomo hukubali hadi apate wokovu” (Warumi 10:10). Tunaamini kwamba Bwana Yesu alitusamehe dhambi zetu na kutufanya kuwa wenye haki kupitia imani. Aidha, tunaamini kwamba mtu akiokolewa mara moja, basi ameokolewa milele, na Bwana atakaporudi tutanyakuliwa na tutaingia katika katika ufalme wa mbinguni. Hivyo kwa nini unashuhudia kuwa tunapaswa kukubali kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho kabla ya kuweza kuokolewa na kuletwa katika ufalme wa mbinguni?
| 2020-05-31T19:56:09 |
https://sw.kingdomsalvation.org/understand-God-s-work-to-save-mankind.html
|
[
-1
] |
Uamuzi wa viongozi wa CHADEMA kutohudhuria tena mahakamani una tafsiri gani kisheria? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Uamuzi wa viongozi wa CHADEMA kutohudhuria tena mahakamani una tafsiri gani kisheria?
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Gosbertgoodluck, Jan 13, 2011.
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.Click to expand...
tuseme kushitakiwa kwao ni majungu na fitna za kisiasa.
unadhani watatendewa haki?
na kama wanataka mabalaa watoe warrant ya kuwashika leeeeee!! hapo baba watakuwa wanachokoza nyuki
Najaribu kuangalia from another angle kwamba chombo kilichowaita wajibu mashtaka siyo jeshi la polisi bali ni mahakama ambayo ni mojawapo ya mihimili mikuu ya nchi. Sasa kutohudhuria mahakamani maana yake ni kuwa wanaigomea mahakama. Je, hiyo inakubalika?? Kwa nini wasiendelee kuhudhuria ili haki itendeke then hukumu ikitolewa ndipo wawasilishe kwenye mahakama hiyo hiyo madai ya hasara watakayoipata in whatever form? Wasiwasi wangu ni cdm wasije wakapoteza credibility yao kwa wasomi na wanazuoni.
Serikali (Membe) imeshasema polisi walikosea kwa hiyo hata kukamatwa kwa viongozi wa CDM ni makosa hakuna mashtaka hapo yafutwe.
Najaribu kuangalia from another angle kwamba chombo kilichowaita wajibu mashtaka siyo jeshi la polisi bali ni mahakama ambayo ni mojawapo ya mihimili mikuu ya nchi. Sasa kutohudhuria mahakamani maana yake ni kuwa wanaigomea mahakama. Je, hiyo inakubalika?? Kwa nini wasiendelee kuhudhuria ili haki itendeke then hukumu ikitolewa ndipo wawasilishe kwenye mahakama hiyo hiyo madai ya hasara watakayoipata in whatever form? Wasiwasi wangu ni cdm wasije wakapoteza credibility yao kwa wasomi na wanazuoni.Click to expand...
In short it is a planned move hata yale maandamano yalikuwa planned watu walikuwa wanasema kama unavyosema wewe watapoteza credibility lakini leo ni tofauti. Kwanza haki unayosema itolewe na nani mahakama ya Makamba? you must be joking.
Serikali (Membe) imeshasema polisi walikosea kwa hiyo hata kukamatwa kwa viongozi wa CDM ni makosa hakuna mashtaka hapo yafutwe.Click to expand...
akibanwa(membe) na mahakama utasikia akisema 'yalikuwa ni maoni yangu binafsi'
In short it is a planned move hata yale maandamano yalikuwa planned watu walikuwa wanasema kama unavyosema wewe watapoteza credibility lakini leo ni tofauti. Kwanza haki unayosema itolewe na nani mahakama ya Makamba? you must be joking.Click to expand...
Yes, nikifikiria credibility ya mahakama zetu, napata kizunguzungu. Ngoja tusikie maoni ya wataalam wengine. My opinion is that cdm should at no time lose its high credibility before the public. Ninafurahi ninapoona katika kila issue/game, sisiem ndiyo inakuwa guilty, kama ilivyotokea arusha.
kwa vile mashitaka yao ni ya jinai na wako nje kwa dhamana, hatari iliyopo ni dhamana kufutwa kama masharti yake yataonekana mahakamani kuwa yamekiukwa na hivyo wote kukamatwa tena na kurudishwa rumande...... na wao katika tamko lao naoma wameishalifahamu hilo na wamesema wako tayari........ so i can see that everything is properly culculated na hii ni siasa, kazi iliyopo ni washitaki wao nao ku-culculate the implication ya kuendelea na masitaka dhidi yao ama la, kama wataendelea na mshitaka dhidi yao, hakuna mwanya wa kuepuka kufutiwa dhamana kama kweli watatekeleza azma yao hiyo....................
in my opinion, chandema wanashinikiza kitu amabacho ni obvious kitatokea, yaani kufutiwa mashtaka, labda wanataka tu kuongeza shinikizo la kufutiwa haraka...............serikali kwa kufahamu hisia za jamii na jumuia ya kimataifa, haitakuwa tayari kufanya kosa kama la kuwakamata tena, arusha yaweza kulipuka upya na hata nchi nzima yaweza kulipuka kwa maandamano kuprotest hilo na hata jumuiya ya kimataifa yaweza kuiweka nchi yetu kundi moja na ivry coast............... so i believe, in the end serikali itakuja kiutu uzima na viable solution............
Kwanini Viongozi CDM Waende Mahakamani? How About Waliopigwa Risasi na Kufa Nao Tuwalete Mahakamani? How About Waliowapiga Risasi Je, Hukumu na Sheria Zao Ziko Wapi? How About JK na Wote Waliohusika Kutoa Orders za Mauaji Wanafikishwa Mahakamani Lini? Hili Swali Hapa Juu Linauliza Only Viongozi wa CDM, Sheria Ipi Walivunja na Hatari Gani Waliisababishia Mkoa wa Arusha na Taifa? "Katiba Hii ya Sasa Haina Meno na Hatutaifuata Kamwe Mpaka Katiba Mpya Ipite?" Wananchi Tusikubali Kamwe Kunyamazishwa na Sera na Taratibu Mpya za CCM.
na kama wanataka mabalaa watoe warrant ya kuwashika leeeeee!! hapo baba watakuwa wanachokoza nyukiClick to expand...
Kama wanataka kutawala nchi hii lazima waonyeshe wanavyojua utawala wa sheria, na kuufuata. Innocent until proven guilt, na hii inapatikana mahakamani, haiwezekani wakamua wenyewe kuwa innocent. Tutaamua.
Yes, nikifikiria credibility ya mahakama zetu, napata kizunguzungu. Ngoja tusikie maoni ya wataalam wengine. My opinion is that cdm should at no time lose its high credibility before the public. Ninafurahi ninapoona katika kila issue/game, sisiem ndiyo inakuwa guilty, kama ilivyotokea arusha.Click to expand...
CDM ndo waliomba kupelekwa mahakamani ili sheria ifuatwe. walitaka kuwatema kikudakuda huku weshawadharirisha.
NINADHANI KWA SUALA LA KUTOKUHUDHURIA MAHAKAMANI WAMEKOSEA. NI VIZURI WAKAHUDHURIA MAHAKAMANI ILI KULINDA HESHIMA YA MAHAKAMA. KWA KUWA CHADEMA NI CHAMA MAKINI, Watu wengi watapenda kuiga mfano wao. IT IS HIGHLY IMPORTANT THAT THEY SHOW THEIR RESPECT TO THE RULE OF LAW.Click to expand...
Naomba niwajibu nyote kwa pamoja kama ifuatavyo.........nafikiri implications mnazofikiria tayari wenyewe wanazijua angalieni kwenye bold.
"Tunasisitiza katika jambo hili kwamba viongozi, wanachama na wafuasi wetu wote waliokamatwa na kufunguliwa mashtaka haya hawatahudhuria mahakamani tena kuhusiana na kesi iliyofunguliwa dhidi yao, hata kama kwa kufanya hivyo kutafanya wakamatwe na kurudishwa tena gerezani," alisema Mbowe.Click to expand...
hili la kutoenda mahakamani ndiyo nimeliona hapa lkn binafsi sikusikia kauli hii sana sana waliwaomba wananchi kufika siku ya kesi yao ambayo itakuwa tarehe 21-01.2011
Nilikuwepo uwanjani, nilisikia kwa masikio yangu. Chadema waliagiza polisi wafute kesi mahakamani bila masharti yoyote kwa kuwa serikali na jamii ya kimataifa imeshakubali kuwa ni polisi ndio waliokosea. Lakini Mbowe aliwaomba wakazi wote wa arusha kuhudhuria mahakamani siku ya kesi iwapo polisi watakuwa hawajafuta kesi.
hivi huwa kuna adhabu kwa mtu anayeanzisha uzushi na kuna ushahidi kuwa ananzisha uzushi?
Remember,there is no strict separation of power btn the Executive and Judiciary,thats y rule of Law ni mchanga wa macho
................. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.Click to expand...
Si vizuri kukurupuka na kuweka uzushi hapa JF kama ulihudhuria mkutano wa NMC jana, Mkt Mbowe alisema kuwa tarehe 21 ndio kesi yao itatajwa na kuwauliza wadau kama watakuwepo mahakamani kuwaunga mkono, kauli ambayo ilioungwa mkono na mkutano wote. Kama hukuwepo ktk mkutano wa NMC na umesikia toka kwa source nyingine na siyo toka kwa aliyezungumza basi fanya utafiti tena.
...mahakama itumie maamuzi ya busara,,,,ikijidai kuwa sheria ni msumeno itakula kwao manake its obvious kwamba kukamatwa kwa viongozi wa chadema na mauaji yaliyofanyika yalikuwa ni utekelezaji wa "amri ya mtu fulani".
nchi ina taratibu zake na sheria, whether good or bad
CDM wanahitaji kuheshimu hayo, kwani ipo siku wanaweza kuwa madarakani na sijui wanatuonyesha nini kama wanashindwa kuheshimu msingi mmojawapo muhimu wa utawala... kwangu ni maamuzi ya kihuni
two wrongs wont make it right... never!!!
wanatufundisha nini?? kwamba kuna mahakama za watanzania na ni tofauti na za cdm??
maamuzi kama haya huwa yanatolewa na walevi wa pombe, na nikiwa serikali, nitaamuru washughulikiwe kwa mujibu wa sheria
| 2017-04-29T02:11:36 |
https://www.jamiiforums.com/threads/uamuzi-wa-viongozi-wa-chadema-kutohudhuria-tena-mahakamani-una-tafsiri-gani-kisheria.102272/
|
[
-1
] |
MAMENEJA WA TRA NCHINI WAAGIZWA KUWATEMBELEA WAFANYABIASHARA MARA KWA MARA - JIACHIE
Home HABARI MBALIMBALI MAMENEJA WA TRA NCHINI WAAGIZWA KUWATEMBELEA WAFANYABIASHARA MARA KWA MARA
michuzijr Monday, June 04, 2018 HABARI MBALIMBALI,
By michuzijr at Monday, June 04, 2018
| 2019-04-24T14:28:53 |
http://michuzijr.blogspot.com/2018/06/mameneja-wa-tra-nchini-waagizwa.html
|
[
-1
] |
Yehova Mungu Ana Huruma Nyororo kwa Watu Wake | Mkaribie
1, 2. (a) Mama hutendaje mtoto wake mchanga anapolia? (b) Ni hisia gani ambayo ni yenye nguvu zaidi kuliko huruma ya mama?
MTOTO mchanga aanza kulia usiku wa manane. Mama yake anaamka mara moja. Mama halali kwa utulivu tangu alipojifungua mtoto huyo. Amejua kutofautisha vilio mbalimbali vya mtoto wake mchanga. Kwa hiyo, kwa kawaida anaweza kujua iwapo mtoto wake anahitaji kunyonya, kubebwa, au kushughulikiwa kwa njia nyingine. Mama humshughulikia mtoto wake haidhuru sababu inayomfanya alie. Hawezi kupuuza mahitaji ya mtoto wake kwa sababu anampenda sana.
2 Huruma ya mama kwa mtoto wake ni mojawapo ya hisia zenye nguvu sana ambazo wanadamu huonyesha. Hata hivyo, kuna hisia ambayo ni yenye nguvu kupita hisia zote—huruma nyororo ya Mungu wetu Yehova. Tunaweza kumkaribia Yehova zaidi tukichunguza sifa hii yenye kuvutia. Basi na tuzungumzie maana ya huruma na jinsi ambavyo Mungu wetu huonyesha sifa hiyo.
Huruma Ni Nini?
3. Kitenzi cha Kiebrania kinachotafsiriwa “onyesha rehema” au “hurumia” kinamaanisha nini?
3 Katika Biblia, huruma na rehema zinahusiana sana. Maneno kadhaa ya Kiebrania na Kigiriki yanadokeza sifa ya huruma yenye upendo. Kwa mfano, fikiria kitenzi cha Kiebrania ra·chamʹ, ambacho mara nyingi hutafsiriwa “onyesha rehema” au “hurumia.” Kichapo kimoja cha marejeo kinaeleza kwamba kitenzi ra·chamʹ “kinaonyesha huruma nyingi na yenye upendo, kama ile tunayohisi tunapowaona wapendwa wetu au wale wanaohitaji msaada wetu wakiteseka au kuumia.” Neno hilo la Kiebrania, ambalo Yehova anatumia kujihusu, linahusiana na neno linalomaanisha “tumbo la uzazi” nalo linaweza kufasiriwa kuwa “huruma ya mama.” *—Kutoka 33:19; Yeremia 33:26.
“Je, mwanamke aweza kumsahau . . . mwana wa tumbo lake? ”
4, 5. Biblia inatumiaje hisia ambazo mama huwa nazo kwa mtoto wake mchanga kutufundisha kuhusu huruma ya Yehova?
4 Biblia inatumia hisia ambazo mama huwa nazo kwa mtoto wake mchanga kutufundisha maana ya huruma ya Yehova. Twasoma hivi kwenye Isaya 49:15: “Je! mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie [ra·chamʹ] mwana wa tumbo lake? naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.” Maelezo hayo yenye kugusa moyo yanakazia jinsi Yehova alivyo na huruma nyingi kwa watu wake. Jinsi gani?
5 Ni vigumu kuwazia kwamba mama anaweza kusahau kumnyonyesha na kumtunza mtoto wake mchanga. Kwani, mtoto mchanga ni hoi; anahitaji kupendwa na kutunzwa na mama yake usiku na mchana. Ingawa hivyo, inasikitisha kupata habari kuhusu akina mama wanaowatupa watoto wao, hasa katika ‘nyakati hizi za hatari’ kwa sababu watu hawana “shauku ya kiasili.” (2 Timotheo 3:1, 3) “Lakini mimi sitakusahau wewe,” atangaza Yehova. Yehova hakosi kamwe kuwaonyesha watumishi wake huruma nyororo. Huruma hiyo ni yenye nguvu zaidi ya hisia yenye nguvu tunayoweza kuwazia, yaani, huruma ambayo kwa kawaida mama humwonyesha mtoto wake mchanga. Haishangazi kwamba mtoa-maoni mmoja alisema hivi kuhusu Isaya 49:15: “Hili ni mojawapo, au ndilo neno linalofafanua upendo wa Mungu waziwazi zaidi katika Agano la Kale.”
6. Wanadamu wengi wasiokamilika wamekuwa na maoni gani kuhusu huruma nyororo, lakini Yehova anatuhakikishia nini?
6 Je, kuwa na huruma nyororo ni udhaifu? Wanadamu wengi wasiokamilika wamekuwa na maoni hayo. Kwa mfano, mwanafalsafa Mroma Seneca, msomi maarufu wa Roma ambaye aliishi wakati wa Yesu, alifundisha kwamba “huruma ni udhaifu wa akili.” Seneca aliunga mkono Ustoiki, falsafa inayokazia kuwa na utulivu bila hisia zozote. Mtu mwenye hekima anaweza kuwasaidia wale wanaotaabika, akasema Seneca, lakini hapaswi kuwahurumia kwa sababu atakosa utulivu akifanya hivyo. Maoni hayo ya ubinafsi kuhusu maisha yaliwazuia watu wasionyeshe huruma kutoka moyoni. Lakini sivyo alivyo Yehova! Yehova anatuhakikishia katika Neno lake kwamba yeye “ni mwenye wororo sana katika shauku na mwenye rehema [kihalisi, “mwenye huruma”].” (Yakobo 5:11) Kama tutakavyoona, kuonyesha huruma si udhaifu bali ni sifa muhimu sana yenye nguvu. Hebu tuone jinsi Yehova anavyoonyesha sifa hiyo kama mzazi mwenye upendo.
Yehova Alipolihurumia Taifa
7, 8. Waisraeli walitesekaje katika Misri ya kale, na Yehova alichukua hatua gani kwa sababu ya mateso yao?
7 Huruma ya Yehova yaonekana wazi kutokana na jinsi alivyoshughulika na taifa la Israeli. Kufikia mwishoni mwa karne ya 16 K.W.K., mamilioni ya Waisraeli waliteswa sana walipokuwa watumwa katika Misri ya kale. Wamisri ‘walifanya maisha yao kuwa uchungu kwa kazi ngumu; kazi ya chokaa na ya matofali.’ (Kutoka 1:11, 14) Waisraeli walimlilia Yehova awasaidie walipokuwa wakiteseka. Mungu mwenye huruma nyororo alichukua hatua gani?
8 Yehova aliwahurumia. Akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walioko Misri, nami nimekisikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao; maana nayajua maumivu yao.” (Kutoka 3:7) Yehova hakuweza kamwe kutazama watu wake wakiteseka au kusikia vilio vyao na asiwahurumie. Kama tulivyoona katika Sura ya 24 ya kitabu hiki, Yehova ni Mungu mwenye hisia-mwenzi. Na hisia-mwenzi, yaani, sifa ya kuguswa moyo na uchungu wa wengine inahusiana sana na huruma. Lakini Yehova hakuwahurumia tu watu wake; alichochewa kuwasaidia. Andiko la Isaya 63:9 lasema: “Kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe.” Yehova aliwaokoa Waisraeli kutoka Misri kwa “mkono hodari.” (Kumbukumbu la Torati 4:34) Baadaye, aliwalisha kimuujiza na kuwapa nchi yenye rutuba.
9, 10. (a) Kwa nini Yehova aliwakomboa Waisraeli tena na tena baada ya kuingia katika Nchi Iliyoahidiwa? (b) Katika siku za Yeftha, Yehova aliwakomboa Waisraeli kutoka katika mateso gani, ni nini kilichomchochea kufanya hivyo?
9 Huruma ya Yehova haikuishia hapo. Waisraeli walimwasi tena na tena baada ya kuingia katika Nchi Iliyoahidiwa na hivyo wakateseka. Lakini walirudiwa na fahamu na kumlilia Yehova. Aliwakomboa tena na tena. Kwa nini? “Kwa sababu aliwahurumia watu wake.”—2 Mambo ya Nyakati 36:15; Waamuzi 2:11-16.
10 Fikiria mambo yaliyotukia siku za Yeftha. Waisraeli walipoanza kuitumikia miungu ya uwongo, Yehova aliwaacha wateswe na Waamoni kwa miaka 18. Mwishowe, walitubu. Biblia inatuambia hivi: “Nao wakaiondoa hiyo miungu ya kigeni iliyokuwa kati yao, nao wakamtumikia BWANA; na roho yake ilihuzunika kwa sababu ya msiba wa Israeli.” * (Waamuzi 10:6-16) Mara tu baada ya watu wake kutubu kikweli, Yehova hakuweza kuvumilia kuwaona wakiteseka. Kwa hiyo, Mungu mwenye huruma nyororo alimpa Yeftha nguvu ili awakomboe Waisraeli kutoka mikononi mwa adui zao.—Waamuzi 11:30-33.
11. Twajifunza nini kuhusu huruma tunapozingatia jinsi Yehova alivyoshughulika na Waisraeli?
11 Twajifunza nini kuhusu huruma nyororo ya Yehova tunapozingatia jinsi alivyoshughulika na taifa la Israeli? Jambo moja ambalo tunajifunza ni kwamba hawaonei huruma watu wanaoteseka na kuwaacha tu. Kumbuka yule mama ambaye anachochewa na huruma kumsaidia mtoto wake mchanga anayelia. Vivyo hivyo, Yehova hapuuzi vilio vya watu wake. Huruma yake nyororo humchochea kukomesha mateso yao. Zaidi ya hayo, twajifunza pia kwamba huruma si udhaifu kamwe, kwa sababu sifa hii ya kutoka moyoni ilimchochea achukue hatua madhubuti ya kuwatetea watu wake. Lakini je, Yehova anawahurumia watumishi wake wakiwa kikundi tu?
Yehova Amhurumia Mtu Mmoja-Mmoja
12. Sheria ilionyeshaje huruma ya Yehova kwa mtu mmoja-mmoja?
12 Sheria ambayo Mungu alilipa taifa la Israeli ilionyesha kwamba alimhurumia mtu mmoja-mmoja. Kwa mfano, fikiria jinsi alivyowajali maskini. Yehova alijua kwamba Mwisraeli angeweza kuwa maskini kwa sababu ya hali zisizotazamiwa. Maskini walipaswa kutendewaje? Yehova aliwapa Waisraeli amri hii kali: “Usifanye moyo wako kuwa mgumu, wala usimfumbie mkono wako nduguyo maskini. Mpe kwa kweli, wala moyo wako usisikitike utakapompa; kwa kuwa atakubarikia BWANA, Mungu wako, kwa neno hili katika kazi yako yote.” (Kumbukumbu la Torati 15:7, 10) Yehova pia aliwaagiza Waisraeli wasivune kabisa pembeni mwa mashamba yao au kukusanya masazo. Masazo hayo yaliachwa kwa ajili ya maskini. (Mambo ya Walawi 23:22; Ruthu 2:2-7) Taifa la Israeli lilipotii sheria hiyo, maskini hawakuhitaji kuombaomba chakula. Hilo laonyesha huruma nyororo ya Yehova, sivyo?
13, 14. (a) Maneno ya Daudi yanatuhakikishiaje kwamba Yehova anamjali sana kila mmoja wetu? (b) Toa mfano kuonyesha kwamba Yehova yu karibu na wale “waliovunjika moyo” au “waliopondeka roho.”
13 Leo pia, Mungu wetu mwenye upendo anamjali sana kila mmoja wetu. Tunaweza kuwa na hakika kwamba anajua kabisa mateso yoyote ambayo huenda yakatupata. Mtunga-zaburi Daudi aliandika hivi: “Macho ya BWANA huwaelekea wenye haki, na masikio yake hukielekea kilio chao. BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo, na waliopondeka roho huwaokoa.” (Zaburi 34:15, 18) Mtoa-maoni mmoja wa Biblia aeleza hivi kuhusu wale wanaotajwa na andiko hilo: “Ni watu waliovunjika moyo na wenye majuto, yaani, watu walionyenyekezwa na dhambi, wasiojiheshimu; wanaojiona kuwa duni, na wasiojiamini.” Huenda wakahisi kwamba Yehova yu mbali na wao, na kwamba wao ni duni hivi kwamba hawezi kuwajali. Lakini sivyo ilivyo. Maneno ya Daudi yanatuhakikishia kwamba Yehova hawaachi wale “wanaojiona kuwa duni.” Mungu wetu mwenye huruma anajua kwamba tunahitaji msaada wake sana tunapohisi hivyo, naye yu tayari kutusaidia.
14 Fikiria kisa hiki halisi. Mama mmoja nchini Marekani alimpeleka mwanaye mwenye umri wa miaka miwili hospitalini kwa sababu alikuwa na ugonjwa mbaya wa kifaduro. Baada ya kumchunguza, madaktari walimwambia mama kwamba mwanaye angelazwa hospitalini usiku huo. Mama alikesha wapi usiku huo? Alikesha kwenye kiti humohumo hospitalini, karibu na kitanda cha mwanaye! Mwanaye alikuwa mgonjwa kwa hiyo mama alitaka sana kuwa karibu naye. Bila shaka, tunaweza kumtarajia Baba yetu wa mbinguni mwenye upendo atufanyie mengi zaidi! Kwani, tumeumbwa kwa mfano wake. (Mwanzo 1:26) Maneno yenye kugusa moyo ya Zaburi 34:18 yanatueleza kwamba ‘tunapovunjika moyo’ au ‘kupondeka roho,’ Yehova, kama baba mwenye upendo, “yu karibu”—sikuzote akiwa mwenye huruma na tayari kutusaidia.
15. Yehova anamsaidiaje kila mmoja wetu?
15 Basi, Yehova anamsaidiaje kila mmoja wetu? Haondoi kisababishi cha mateso yetu sikuzote. Lakini Yehova amewapa maandalizi tele wale wanaomwomba msaada. Neno lake, Biblia, lina mashauri yanayofaa ambayo yanaweza kuboresha hali. Katika kutaniko, Yehova ameweka waangalizi wanaostahili kiroho, ambao wanajitahidi kuwa na huruma kama yeye wanapowasaidia waabudu wenzao. (Yakobo 5:14, 15) Akiwa “Msikiaji wa sala,” yeye huwapa “roho takatifu wale wanaomwomba.” (Zaburi 65:2, NW; Luka 11:13) Roho hiyo inaweza kututia “nguvu ipitayo iliyo ya kawaida” ili tuweze kuvumilia hadi Ufalme wa Mungu utakapokomesha matatizo yote yanayofadhaisha. (2 Wakorintho 4:7) Tunamshukuru kwelikweli kwa sababu ya maandalizi hayo yote, sivyo? Tusisahau kwamba maandalizi hayo ni uthibitisho wa huruma nyororo ya Yehova.
16. Yehova alionyesha huruma yake kwa njia gani bora, na inamfaidije kila mmoja wetu?
16 Hapana shaka kwamba Yehova alionyesha huruma yake kwa njia bora zaidi alipomtoa Yule anayempenda sana awe fidia kwa ajili yetu. Yehova alionyesha upendo kwa kutoa dhabihu hiyo ambayo ilitufungulia njia ya kupata wokovu. Kumbuka kwamba fidia hiyo inamfaidi kila mmoja wetu. Ndiyo sababu Zekaria, baba ya Yohana Mbatizaji, alitabiri kwamba zawadi hiyo ilithibitisha “huruma nyororo ya Mungu wetu.”—Luka 1:78.
Huruma ya Yehova Inapofikia Kikomo
17-19. (a) Biblia inaonyeshaje kwamba huruma ya Yehova ina kikomo? (b) Kwa nini huruma ya Yehova kwa watu wake ilifikia kikomo?
17 Je, tufikiri kwamba huruma nyororo ya Yehova haina kikomo? La hasha, Biblia inaonyesha waziwazi kwamba Yehova hawahurumii watu ambao wanakataa njia zake adilifu. (Waebrania 10:28) Ili kuelewa sababu inayomfanya atende hivyo, kumbuka taifa la Israeli.
18 Ijapokuwa Yehova aliwakomboa tena na tena kutoka kwa maadui wao, mwishowe huruma yake ilifikia kikomo. Watu hao wakaidi waliabudu sanamu, hata walileta sanamu zao zenye kuchukiza ndani ya hekalu la Yehova! (Ezekieli 5:11; 8:17, 18) Zaidi ya hayo, twaambiwa hivi: “Waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.” (2 Mambo ya Nyakati 36:16) Hatimaye Waisraeli walizidi hivi kwamba hakukuwa na msingi wowote ufaao wa kuwahurumia, nao walichochea hasira adilifu ya Yehova. Matokeo yakawa nini?
19 Yehova hakuweza tena kuwahurumia watu wake. Alitangaza hivi: “Sitawahurumia, sitawaachia wala sitawarehemu, bali nitawaangamiza.” (Yeremia 13:14, BHN) Basi, Yerusalemu na hekalu lake liliharibiwa, na Waisraeli wakachukuliwa mateka hadi Babiloni. Matokeo yanakuwa mabaya kama nini wanadamu wenye dhambi wanapoasi sana hivi kwamba huruma ya Mungu inafikia kikomo!—Maombolezo 2:21.
20, 21. (a) Ni nini kitakachotukia huruma ya Mungu itakapofikia kikomo katika siku zetu? (b) Tutazungumzia zawadi gani ya huruma ya Yehova katika sura inayofuata?
20 Vipi leo? Yehova hajabadilika. Kwa sababu ya huruma yake, amewaamuru Mashahidi wake wahubiri ‘habari njema ya ufalme’ katika dunia yote inayokaliwa. (Mathayo 24:14) Watu wenye mioyo minyoofu wanapoitikia, Yehova huwasaidia kuelewa ujumbe wa Ufalme. (Matendo 16:14) Lakini kazi hii haitaendelea milele. Bila shaka ni kinyume cha huruma ya Yehova kuruhusu ulimwengu huu mwovu pamoja na mateso na taabu zake ziendelee milele. Yehova atahukumu mfumo huu wa mambo huruma yake itakapofikia kikomo. Hata wakati huo, atakuwa akionyesha huruma—huruma kwa ajili ya ‘jina lake takatifu’ na kwa ajili ya watumishi wake waaminifu. (Ezekieli 36:20-23) Yehova atakomesha kabisa uovu na kuleta ulimwengu mpya wenye uadilifu. Yehova atangaza hivi kuhusu waovu: “Jicho langu halitaachilia, wala sitaona huruma; lakini nitaleta njia yao juu ya vichwa vyao.”—Ezekieli 9:10.
21 Kabla ya wakati huo, Yehova anawahurumia watu, hata wale ambao wanakabili uharibifu. Wanadamu wenye dhambi ambao wanatubu kikweli wanaweza kufaidika na mojawapo ya zawadi bora zaidi za huruma ya Yehova, yaani, msamaha. Katika sura inayofuata, tutazungumzia baadhi ya masimulizi ya Biblia yanayoonyesha jinsi Yehova anavyosamehe kabisa.
^ fu. 3 Hata hivyo, kwenye Zaburi 103:13, kitenzi cha Kiebrania ra·chamʹ kinamaanisha rehema, au huruma, ambayo baba huwaonyesha watoto wake.
^ fu. 10 Usemi unaotafsiriwa “roho yake ilihuzunika” wamaanisha kihalisi ‘subira yake ilifikia kikomo.’ Biblia Habari Njema yasema: “Hakuweza kuvumilia zaidi kuona taabu za Waisraeli.” Kichapo Tanakh—A New Translation of the Holy Scriptures chasema hivi: “Hakuweza kustahimili kuona Israeli ikitaabika.”
Yeremia 31:20 Yehova ana hisia gani za upendo kwa watu wake, na jambo hilo lakufanya uhisije kumhusu?
Yoeli 2:12-14, 17-19 Watu wa Yehova walihitaji kufanya nini ili waweze kuhurumiwa, nasi twajifunza nini kutokana na hilo?
Yona 4:1-11 Yehova alimfundishaje Yona umuhimu wa huruma?
Waebrania 10:26-31 Kwa nini tusitumie vibaya rehema au huruma ya Yehova?
| 2017-09-21T11:24:58 |
https://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/mkaribie-yehova/upendo/huruma-nyororo-ya-yehova-mungu/
|
[
-1
] |
BIKIRA WA KISUMKUMA SASA ALA SHAVU NONO KWENYE RADIO YA EFM
Home » Unlabelled » BIKIRA WA KISUMKUMA SASA ALA SHAVU NONO KWENYE RADIO YA EFM
Kuna ule msemo usemao mlango mmoja ukifungwa mwigine unafuka, hii imemkuta jamaa mwenye mikogo mingi kwenye mitandao ya kijamii anayejulikana kama Bikira wa Kisukuma ama Seth Giovinna...Baada tu ya Waandaji wa Party za Instagram kumfukuza Kazi kwa kumwandika vibaya mtandaoni sasa Bikira huyo wa Kisukuma Anasikika kama mtangazaji katika Redio inayokuwa kwa kasi ya Ajabu hapa Dar Redio EFM , Ni week ya Pili sasa anasikika akitangaza sambamba na Gadner G Habash Kwenye Segment ya UBAONI......
Bikira wa Kisukuma Ameandika Hivi Kwenye Page yake ya Instagram:
"Kuna Mstari kwenye Biblia ninaupenda,LUKA 9:60 Inasema WAACHE WAFU WAZIKE WAFU WENZAO,LAKINI WEWE NENDA KAUTANGAZE UFALME WA MUNGU.
Mstari huu simply means,Ukiamua kufanya Jambo usikubali kuyumbishwa na CHOCHOTE KILE..
Nina mengi ya kuongea kuhusu wewe ila nitajaza gazeti,lakini Kabla Hujafa ACHA NISEME maana hakuna Faida kuisifia Maiti isiyosikia wakati leo uko hai unasikia Ngoja tuseme...Hakuna kitu kizuri kama kugusa maisha ya mtu,ni zaidi ya kumpa mtu huyo Fedha na Ukwasi..A touched life
is a changed life,forever..Najua umegusa maisha ya watu wengi sana,wengine tulijifunza kusema ASANTE...Niseme asante kwa kugusa maisha
yangu pia kwa muda ambao sikutegemea..Umeniamini na umenifanya nijiamini zaidi..Sikuwahi kutegemea Siku 1 ntakuwa Redioni japo nilijua Kipaji cha Kuongea ninacho but You have made it possible...Its 2weeks now tuko pamoja pale UBAONI on EFM RADIO Saa9 hadi 1 usiku nikijifunza na kupata Uzoefu wako lakini I feel like I have been there for years,Comfortable kama Mzoefu wa miaka mingi.Umeingia kwenye Rekodi zangu kwa kugundua Kipaji changu na umeiokota Almasi Mchangani haikuwa imeshtukiwa tu....Ur an amazing person with pure love and Honesty,Ur a blessing,A Hero,A brother,A friend,and A True Mentor...
Mungu akubariki as u keep blessing others katika dunia hii..
2015-04-16T09:05:00-07:00
Artikel Terkait BIKIRA WA KISUMKUMA SASA ALA SHAVU NONO KWENYE RADIO YA EFM :
| 2017-02-26T00:58:12 |
http://utamuutamu.blogspot.com/2015/04/bikira-wa-kisumkuma-sasa-ala-shavu-nono.html
|
[
-1
] |
Andrew ashinda tuzo ya mwezi Azam ‘B’ | The Official Website of Azam Football Club
Andrew ashinda tuzo ya mwezi Azam ‘B’
By Abducado Emmanuel on November 29, 2017
MSHAMBULIAJI hatari wa timu ya Vijana ya Azam FC ‘Azam U-20’, Andrew Simchimba, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa timu hiyo (Uhai Player Of The Month) mwezi Oktoba-Novemba.
Simchimba ametwaa tuzo hiyo baada ya kufanya vizuri akiwa na timu hiyo, hali iliyopelekea kupandishwa kwenye timu kubwa na Kocha Mkuu, Aristica Cioaba, wiki chache zilizopita wakati Azam FC ikijiandaa kucheza na Njombe Mji.
Mshambuliaji huyo anakuwa mchezaji wa tatu wa timu hiyo ya vijana kubeba tuzo hiyo tokea zilipoanzishwa msimu huu baada ya awali kiungo Twaha Rajab kuitwaa Agosti-Septemba kabla ya mshambuliaji mwingine aliyepandishwa Paul Peter kuinyakua mwezi Septemba-Oktoba.
Tuzo hiyo inadhaminiwa na wadhamini namba mbili wa Azam FC, Maji ya Uhai Drinking Water, ambayo ni tulizo kwa koo lako na safi kabisa kwa kukata vilivyo kiu yako, kikiwa ni kinywaji kutoka Bakhresa Food Products Limited.
| 2018-11-18T07:40:54 |
http://azamfc.co.tz/content/andrew-ashinda-tuzo-ya-mwezi-azam-%E2%80%98b%E2%80%99
|
[
-1
] |
Mchezo toy duka Online. Kucheza kwa huru
Mchezo toy duka
Unachezwa: 92061
Kucheza mchezo toy duka Online:
Maelezo ya mchezo toy duka
Hii kuhifadhi toy kitu kutisha kilichotokea. Hakuna mtu kutimiza mpango kwa ajili ya uzalishaji wa vinyago. Msaada msimamizi wa duka na kukusanya michache ya toys. Itakuwa si vigumu ni pamoja na sehemu ya toys mengi ya mambo ya lazima. Kupata sehemu ya haki. Udhibiti wa kuhifadhi toy mchezo na mouse yako. . Kucheza mchezo toy duka online.
Kiufundi na tabia ya mchezo toy duka
Mchezo toy duka aliongeza: 25.07.2011
mchezo unachezwa: 92061 mara
Mchezo Rating: 4.16 nje 5 (699 makadirio)
Michezo kama mchezo toy duka
Download mchezo toy duka
Embed mchezo toy duka katika tovuti yako:
Kuingiza mchezo toy duka kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo toy duka, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia!
Pamoja na mchezo toy duka, pia alicheza katika mchezo:
| 2018-02-26T01:52:44 |
http://sw.itsmygame.org/999968264/toy-shop_online-game.html
|
[
-1
] |
Waziri wa Mambo ya Uingereza: Kulindwa JCPOA ni nukta muhimu katika uhusiano wa nchi hiyo na Ujerumani - Pars Today
Waziri wa Mambo ya Uingereza: Kulindwa JCPOA ni nukta muhimu katika uhusiano wa nchi hiyo na Ujerumani
Feb 21, 2019 02:54 UTC
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JPOA ni moja ya nukta muhimu katika uhusiano kati ya London na Berlin baada ya Uingereza kuondoka ndani ya Umoja wa Ulaya.
Akizungumza mjini Berlin jana Jumatano, Jeremy Hunt Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amebainisha kuwa London na Berlin zina nukta nyingi za pamoja na kwamba pande mbili zitayalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa kushirikiana. Umoja wa Ulaya umeanza kuchunguza mipango mbadala kwa lengo la kulinda miamala ya kibiashara kati yake na Iran baada ya Marekani kujitoa katika makubaliano hayo ya kimataifa ya nyuklia mwaka uliopita.
Jeremy Hunt, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza
Hunt ametaka kuendelezwa uhusiano wa London na Berlin hata baada ya Uingereza kujitoa ndani ya Umoja wa Ulaya. Iran na upande wa Ulaya zimekuwa zikifanya mazungumzo katika miezi ya karibuni lengo lake likiwa ni kuhakikisha kuwa makubaliano ya JCPOA yanalindwa baada ya kujitoa Marekani. Hatimaye tarehe 31 mwezi Januari mwaka huu baada ya kupita miezi kadhaa; Ulaya ilitangaza rasmi kuanzisha kanali maalumu ya uendeshaji biashara na Iran kwa jina la INSTEX.
Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani
Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA
| 2019-04-21T12:21:51 |
http://parstoday.com/sw/news/world-i51688-waziri_wa_mambo_ya_uingereza_kulindwa_jcpoa_ni_nukta_muhimu_katika_uhusiano_wa_nchi_hiyo_na_ujerumani
|
[
-1
] |
XTRA COVER.: ARSENAL YATUMA OFA SEVILLA.
ARSENAL YATUMA OFA SEVILLA.
Meneja wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger yu mbioni kukamilisha ahadi aliyoitoa kwa mashabiki wa klabu hiyo ya kumsajili beki mmoja ama wawili katika pindi hiki cha usajili kilichosalia.
Wenger yu mbioni kukamilisha suala hilo baada ya kutuma ofa kwenye klabu ya Sevilla ya nchini Hispania ya kutaka kumsajili beki wa kimataifa toka nchini Ufaransa Sebastien Squillaci.
Ramon Rodriguez mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Sevilla hii leo amezungumza na vyombo vya habari akiwa uwanja wa ndege wa mjini Porto huko nchini Ureno walipokua wakicheza mchezo wa hatua ya mtoano wa ligi ya mabingwa barani ulaya dhidi ya FC Bragha na kuthibitisha ni kweli wamepokea ofa hiyo toka Arsenal.
Ramon Rodriguez amesema baada ya kupokelewa kwa ofa hiyo kinachofuata ni mazungumzo ya kuuzwa kwa beki huyo mwenye umri wa miaka 30 ambae tayari ameshaichezea Sevilla michezo 49 na kufunga bao moja.
Arsene Wenger anatarajia kumsajili Sébastien Squillaci baada ya kuondoka kwa Sol Campbell, William Gallas pamoja na Mikael Silvestre ambao wote klwa pamoja mikataba yao ilifikia kikomo mwishoni mwa msimu uliopita.
Posted by XTRA COVER. at 6:23 PM
| 2017-12-13T14:36:50 |
http://viwanja.blogspot.com/2010/08/arsenal-yatuma-ofa-sevilla.html
|
[
-1
] |
Heb 3 | `KJS | STEP | Naa Keriso-na ame balinu-ya, Gote-me nimi page yaaloma epe-rupa mapiraasa. Go pisa-le nimimi Yesu madaa kone waru salepape. Gote-me Yesu naa piri-para mea rapaasaainare nipumi Gote-na lodo kira-ae ali mudu piruma naame kone rulaminalo kogono pisa.
1 Naa Keriso-na ame balinu-ya, Gote-me nimi page yaaloma epe-rupa mapiraasa. Go pisa-le nimimi Yesu madaa kone waru salepape. Gote-me Yesu naa piri-para mea rapaasaainare nipumi Gote-na lodo kira-ae ali mudu piruma naame kone rulaminalo kogono pisa. 2 Go puma Gote-me abalade nipu go kogono mapaasa rabu nipumi Gote-na agale ora waru pagisa. Gote-na ruru enaali medalomare nipuna ada ru-para pirisimi. Go puma abalade Moses-me kogono pisa pare Yesumi go kogono wala ora misa. 3 Go pea pare Gote-me Yesu nipu adaa bi mina kone wisa. Go adaa bimiri Moses-na adaa bi rabuaina kone wisa. Gore ada pi aliri nipuna adaa bi mu aaya rabu nipumi go adana bi rabuaanaaya. Go yapare Yesuri nipuna adaa bimi ada pi ali pia. 4 Go ada raayore kogono pape alimi paaya. Go puma ele raayo warili aliri ora Gote nipu komea pia. 5 Gore Moses-me nipu kogono pumare nipumi Gote-na pora waru raluma nipuna ruru raapu piruma agale waru lakalisa. Go rabu nipumi Gote-na werepe pape elenuna agale go rurunu lakalisa. 6 Go pisa pare Keriso-re Gote-na Si piruma nipumi Gote-na ruru enaali ada waru mapiraaya. Gore nipumi Gote-na agale raluma go kogono pisa. Gore ade abuna naana lo robaa-para puri mapalaaoma Mudu Ali epaliade yapi di madaa ranaa komo waru suruba pimare naa page Gote-na ruru mada pima. Go puma nipuna ada pima.
Agale yoke enaalinuri Gote-na Pomo mu Pirape su namealimi
7 Go pea-le naame Holi Spirit-na agale pagamina. Gore Gote-na buk madaa wi agaleme go-rupa lea:
Abi Holi Spirit-na agale pagalimi-daare
Nimina pu robaa-para go agale mealimina lo robaa narogaatepape.
8 Abalade nimina kasuanumi nipuna agale yokoma
Ali-kone wisimiya-rupa napipape.
Go rabu nimimi mo enaali napiri su-para puma piruma
Gote ko lisimi rabu yola mi kone wisimi.
9 Go su-parare nimina kasuanumi maali 40-pela ru-para pisa.
Kogono pisua rabu adoba kiritasimi. Go adilisimi rabu ronome komoma ni ko lisimi.
10 Go pisimi-pulu neme go enaalinu nimu ora ronome komoma neme go-rupa lakalisua:
Ade abuna nimimi kone koe suma nana agale ade abuna raluma
Nana kone namuma pora go-rupa pameme.
11 Ni ora rono pisa rabu neme ora yaa madaa makuaa loma go-rupa lakalisua:
Nimi nana pirape su-parare ni raapu ora mada na-epa piralimi lisuade.
Israel enaalinumi Gote-na agale yokesimi naame go-rupa napamina
12 Gore amenu nimina rikirana ali meda nipuna pu robaa-para koe kone salia-daare Gote madaa kone narulaaya. Go puma nipumi ade abuna piri Gote giyalia-le nimimi nipu waru surubuma adalepape. 13 Go pea pare nimina rikirana piri enaalinumi makiraoma pu robaa-para yola mi kone sulalo palimi-daare ade abuna go ame balinu waru raba mealepape. Go puma Gote-na buk madaa wi agalemere go rabu lea yapi di naame page mada adalima. 14 Go puma abalade ririna naame kone puri paloma rulasima-rupare abi page go kone puri paloma rulaa-ma pumare komalima rabu page go-rupa palima. Go puma naare ora Keriso raapu nipuna enaali pitima.
15 Go madaare Gote-na buk madaa wi agaleme go-rupa luma su aaya:
Gore abi go rabu nipuna agale pagalimiri gore nimi lo robaa narogaatepape.
Abalade nimimi nipuna agale yokoma koe enaali pirisimide-rupa go kone namogealepape lisa.
16 Gore abalade Gote-na agalere aapimi pa pagoma koe kone suma nipuna agale ralisimi pae? Go enaali raayore Moses-me nimu Isip su giyoma lamua pisa raburi go koe kone lisimi. 17 Gore maali 40-pela patinalomare Gote-me aapi rono pagisa pae? Gore nipumi koeyae pisimide enaalinu ronome komisa. Go pisa-pulu nimu komenaloma nimuna ronu enaali napiri su-para pa wisa. 18 Gore Gote-me ora yaa madaa makuaa loma go-rupa lakalisa: Nimi epe Pomo mu Pirape su-para ni raapu napiralimi. Go lisare aapi madaa lisa ya? Gore abalade mo nipuna koau waalisimi enaalinu madaa lakalisa. 19 Gore nimumi kone narulaoma Gote-na epe Pomo mu Pirape Yapi su-parare mada napuma pirisimi-daa pagemade.
| 2018-09-19T15:08:46 |
https://www.stepbible.org/?q=version=KJS%7Creference=Heb.3
|
[
-1
] |
MAENDELEO HAYANA MIPAKA YA VYAMA-DKT MWANJELWA
MBUNGE WA MBEYA MJINI MH SUGU AITWA POLISI KUHOJIWA
| 2018-01-21T19:55:57 |
https://mbeya-yetu.blogspot.com/
|
[
-1
] |
FREEMAN MBOWE ATANGAZA BARAZA KIVULI LA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI, LINA VIHUSISHA VYMA 3 ZITTO KABWE ATUPWA NJE. | Rundugai Blog
Home » CHADEMA » FREEMAN MBOWE ATANGAZA BARAZA KIVULI LA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI, LINA VIHUSISHA VYMA 3 ZITTO KABWE ATUPWA NJE.
FREEMAN MBOWE ATANGAZA BARAZA KIVULI LA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI, LINA VIHUSISHA VYMA 3 ZITTO KABWE ATUPWA NJE.
Note; Imetangazwa na kiongozi rasmi wa upinzani bungeni hii leo.
| 2019-04-20T11:08:30 |
https://rundugai.blogspot.com/2016/02/freeman-mbowe-atangaza-baraza-kivuli-la.html
|
[
-1
] |
Afya yako: Madhara ya sumu kuvu au aflatoxin katika mwili wa binadamu ▷ Tuko.co.ke
Afya yako: Madhara ya sumu kuvu au aflatoxin katika mwili wa binadamu
17 days ago 2070 views by Francis Silva
Tangu serikali ya Kenya kupiga marufuku baadhi ya unga wa mahindi na siagi ya karanga baada ya vipimo vya maabara kuonyesha bidhaa hizo zina viwango vya juu sana vya sumu kuvu (aflatoxin) wengi wamekuwa na uoga.
Pia soma: Fahamu vyakula ambavyo ni sumu hatari, lakini unakula bila ya kujua
Sio Kenya tu bali pia, Tanzania na Uganda zimechukua hatua hiyo ambayo huenda ikawa na athari kubwa kwa wenye biashara na bila shaka afya zetu.
Kutekelezwa kwa hatua hiyo kumemaanisha watumiaji wa ugali - chakula kinacholiwa na watu wengi nchini, na Afrika Mashariki kwa jumla, kuchukua tahadhari za mapema ili kuzuia madhara zaidi.
Madhara ya sumu kuvu katika mwili wa binadamu
Pia soma: Afya yako: Jinsi ya kupiga mswaki na kuhakikisha kinywa chako ni safi
Lakini ingawa tahadhari zinachukuliwa, wengi hawana ufahamu mkubwa kuhusu athari kubwa za sumu kuvu.
Mapema TUKO.co.ke ilikufahamisha kuhusu bidhaa iliyotajwa kuwa hatari na iliyogunduliwa kuwa na sumu kuvu.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), sumu kuvu huharibu karibu asilimia 25 au zaidi ya chakula kinachozalishwa duniani kila mwaka.
Je sumu kuvu ni nini?
Pia soma: Fahamu ni kwa nini matonge ya ugali yanatishia afya na maisha ya Wakeya
Sumu kuvu ni sumu zitolewazo na aina ya ukungu kuvu (fangasi) ambao huota katika mahindi, mihogo, njugu karanga, pamba vyakula na malisho ya wanyama vikiwa shambani au kwenye ghala. Ingawa aina nyingi za kuvu zinaweza kuota na kukua katika vyakula hivi, ni chache tu ambazo huishia kuwa sumu kuvu.
Kuvu mbili zinazochangia kuzalisha sumu kuvu hufanya vizuri sehemu zenye joto na unyevu mwingi. Sumu kuvu huathiri mimea inapokuwa shambani, wakati wa kuvuna na hata wakati wa kuhifadhi mazao ya mimea baada ya kuvuna.
Vilevile, sumu kuvu huweza kukaa ndani ya mchanga kwa muda mrefu na hivyo kuingia kwenye mimea wakati wa kuvutwa rutuba.
Sumu kuvu huingiaje katika mwili wa binadamu?
Watu wanaweza kupata sumu kuvu wanapokula mimea iliyoathirika na sumu hii au hata nyama ama bidhaa zozote za maziwa kutoka kwa wanyama waliokula mimea au mazao yenye sumu hiyo.
Pia wakulima ama wafanyikazi wa shambani wanaweza kuathiriwa kwa kunusa vumbi linalotokana na mazao yalioathiriwa wakati wanaposhughulikia mazao.
Njia za kudhibiti maambukizi ya sumu kuvu
Panda aina ya mazao yenye ukinzani dhidi ya kuvu, yanayoharibu sumu kuvu
Vuna mazao yakiwa yamekauka vizuri kama inavyoshauriwa na wataalamu wa kilimo na epuka kutia majeraha kwenye mazao yako
Wakati na baada ya kuvuna tupa mbegu au mazao yaliyooza, kujeruhiwa au kuharibika
Hifadhi mazao yako mahali pakavu na pasipo na joto. Hakikisha mazao yaliyohifadhiwa hayalowi kwa unyevu nyevu
Usianike mazao yako kwenye udongo mtupu. Unashauriwa kuanika sehemu iliyoinuka kama meza na utumie hema/turubai au aina nyingine ya kifaa cha kuanikia
Tumia dawa za kibayologia kama vile AflaSafeTM (aina ya kuvu ambayo hukinzana na sumu kuvu)
Tumia dawa zinazodhibiti na kuondoa sumu kuvu wakati wa usindikaji wa vyakula vya binadamu na vya wanyama
Ruhusu ghala kuwa na mzunguko wa hewa safi, zuia wadudu waharibifu na kuvu kwa kunyunyiza dawa za kuhifadhi zilizohalalalishwa
Size 8 aruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kujifungua, lakini amuacha mtoto hospitalini
| 2019-12-09T19:39:32 |
https://kiswahili.tuko.co.ke/324379-afya-yako-madhara-ya-sumu-kuvu-au-aflatoxin-katika-mwili-wa-binadamu.html
|
[
-1
] |
PICHA : AUNTY EZEKIEL, KASSIM MGANGA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC | larrybway91
larrybway91 / September 17, 2014 Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata fursa ya kupiga picha na baadhi ya watanzania waishio huko. Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Share this:Click to share on Twitter (Opens in new window)Share on Facebook (Opens in new window)MoreClick to share on Google+ (Opens in new window) September 17, 2014 in Entertainment. Tags: ''aunty ezekiel na kassim mganga watembelea ubalozi wa Tanzania nchini Marekani'', ''aunty ezekiel na kassim mganga watembelea ubalozi wa Tanzania Washington Dc'', 'Aunty Ezekiel', 'Kassim Mganga', Marekani, Washington Dc
PICHA ZA UJIO WA MASUPA STAA WA MAREKANI, IKIWA NI AHADI YA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA WASANII
← KICHUPA KIPYA : MESEN SELEKTA – KANYABOYA [Official Video] PICHA : SERENA WILLIAMS AANIKA UMBO LAKE HADHARANI →
| 2017-04-30T18:48:40 |
https://larrybway91.wordpress.com/2014/09/17/picha-aunty-ezekiel-kassim-mganga-watembelea-ubalozi-wa-tanzania-washington-dc/
|
[
-1
] |
MHE. DKT. ELLY M. MACHA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa nafasi uliyonipa ya kuchangia Mpango ulioko mbele yetu.
Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kuanza kwa suala zima la upunguzaji wa umaskini. Katika jamii watu ambao ni maskini kuliko wote ni watu wenye ulemavu kwa sababu ulemavu unasababisha umaskini na umaskini unasababisha ulemavu. Pia niseme kwamba hapa Tanzania statistics tunazotumia katika kuelezea idadi ya watu wenye ulemavu katika nchi hii zina upungufu mkubwa. Tanzania Bureau of Standard wanasema asilimia nne, tano au milioni mbili ndiyo watu wanaoishi na ulemavu Tanzania.
Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati wa sensa hakuna ushirikishi katika kuhakikisha kwamba masuala ya watu wenye ulemavu yanajumuishwa katika sensa. Kuna ulemavu wa aina nyingi mwingine unaonekana kama mimi nilivyo sioni, naonekana kama sioni, lakini kuna ulemavu ambao hauonekani (hidden disability) kama viziwi au watu wa pyschosocial, watu wa down syndrome, dyslexia, huwezi kuona. Kwa hiyo, wanapofanya zile sensa wanasahau kujumlisha aina nyingi sana za ulemavu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba mipango yetu katika Wizara zote tufuate ile statistic iliyotolewa na WHO pamoja na World Bank kwenye Disability World Report ya 2011 inayosema kwamba katika kila nchi asilimia 15 ni watu wenye ulemavu. Sasa basi sisi Tanzania ambao tuko milioni 46 mpaka 50 tukitumia hiyo statistic ya World Report ina maana kwamba watu wenye ulemavu nchi hii ni kati ya milioni 6.2 mpaka milioni 7.0, hii si idadi ndogo. Naomba Mipango inapopangwa itumie hiyo ripoti mpaka hapo itakapofanyika sensa nyingine ya kuonyesha jinsi data ya watu wenye ulemavu itakavyokuwa captured katika sensa. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu ulemavu unasababisha umaskini na umaskini unasababisha ulemavu, unakuta watu wenye ulemavu wako katika hali mbaya. Nataka kusema kwamba hii bajeti inayokuja izingatie kuweka bajeti kwa ajili ya maendeleo ya watu wenye ulemavu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nitatoa mfano, mtu asiyeona akitaka kwenda hospitali inabidi aende na msindikizaji au kiziwi inabidi aende na mkalimani na unapokwenda na msindikizaji ina maana kwamba unalipa nauli yako na ya msindikizaji wako na kiziwi inabidi alipe nauli yake na ya mkalimani wake. Ina maana kwamba spending ya mtu mwenye ulemavu ni mara mbili kuliko ya mtu asiyekuwa na ulemavu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa ajili hiyo basi naomba familia zile zenye watu wenye ulemavu ambao ni severely disability, kuna familia ambazo zina watoto wenye ulemavu ambao hawawezi kutembea, hawawezi kuongea, hawawezi chochote na anahitaji uangalizi masaa 24 siku saba. Hizi familia ni nyingi, nimeshaanza kufanya data collection, wafikiriwe kupewa cash ya kuwawezesha kuishi. Kwa mfano, hawa akinamama ambao wanatunza watoto ambao ni severely disabled hawana nafasi kabisa ya kufanya kitu chochote kile cha kuwasaidia kuishi. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, Serikali inaposema itafikiria pension kwa wazee, ifikirie pia pension kwa wale members of family ambao hawana nafasi hata kidogo ya kutafuta kibarua ili aweze kuishi. Mtu anakuwa na mtoto mwenye ulemavu kuanzia asubuhi mpaka jioni na siku zote hana nafasi ya kutafuta chakula. Kwa hiyo, nao wapewe hiyo pension angalau hata Sh.30,000 kwa mwezi kwa maana ya Sh.1000 kwa siku ili waweze kununua chakula cha kuishi kwa sababu hawana nafasi kabisa ya kushughulika na shughuli za kujiongezea kipato. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, hiyo cash transfer wenzetu wengine wameshaanza ku-effect, nchi kama Malawi na Kenya. Nafikiri sisi siyo maskini kuliko Malawi lakini wanafikiria pamoja na wazee na wale severely disabled people wapewe hiyo cash transfer ili waweze kuishi. Utakuta wengi ambao wanaachwa na hawa watoto ambao ni severely disabled ni akinamama kwa sababu baada ya mama kupata mtoto mlemavu au mtoto aliyelemaa, waume zao huwakimbia na kuwaacha akinamama wakihangaika na hao watoto. Naomba Serikali ifikirie kuwapa jinsi kuishi hizi familia ambazo zina walemavu ambao ni severely. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mfano nilioutoa, kuna wafanyakazi ambao wana ulemavu matumizi yao yako juu, Serikali inaonaje kuanza kuwapunguzia ile tax ya Pay As You Earn (PAYE) kwa sababu hizo nilizozieleza. Mtu mwenye ulemavu anatumia zaidi kuliko mtu asiye mlemavu. Kwa hiyo, Serikali imsaidie yule anayefanya kazi kwa kumpunguzia kodi. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nitatoa mfano, wenzetu wa Kenya Serikali yao ilishaona hili miaka mitano iliyopita, sasa hivi mwenye ulemavu yeyote pale Kenya anayelipwa mshahara wa kuanzia Sh.1-150,0000 ya Kenya ina maana Sh.3,000,000 ya Tanzania, inapozidi Sh.151,000 ile Sh.1 ndiyo wanaanza kuitoza kodi lakini ile Sh.150,000 wanamuachia kwa sababu wanajua matumizi ya mtu mwenye ulemavu ni makubwa. Naomba Serikali hii ifikirie katika jambo hili. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kuchangia katika suala la elimu, kweli elimu imetolewa bure mpaka kidato cha Nne. Nategemea watoto wenye ulemavu pamoja na kwamba watasoma bure lakini vifaa vyao ambavyo vingi havipatikani hapa Tanzania vinaagizwa, vitabu vyao vinachapishwa katika maandishi ambayo wanaweza kusoma.
Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara ya Elimu ina mtambo wa kuchapisha vitabu vya wasioona lakini huu mtambo kwa miaka mingi umefanya kazi chini ya kiwango chake. Hauna vifaa, hauna fedha za kununua makaratasi, matokeo yake ni kwamba watoto wasioona ambao wanahitaji braille na wale wa uoni hafifu ambao wanahitaji large print hawana vitabu vya kiada katika shule mbalimbali hapa nchini. Serikali kupitia Wizara ya Elimu ifikirie kukiboresha kile kiwanda cha kuchapisha vitabu vya wasioona na wale wenye uoni hafifu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nakuja kwenye suala lingine la uchukuzi. Kama Waheshimiwa Wabunge wengi mnavyojua usafiri wa bodaboda unasababisha vifo na ajali nyingi na vina-create ulemavu kwa watu wengi sana hapa nchini. Baada ya miaka mingi mtakuta Watanzania wamelemaa kwa ajili ya hizi bodaboda. Nashauri Serikali iweke measures za kusimamia hawa waendesha bodaboda, aidha wawapatie training au watafute njia nyingine ili kupunguza watu wanaolemaa migongo, wamekatika miguu kutokana na hizi ajali nyingi zinazosababishwa na bodaboda.
kwamba kuna mkakati wa kufufua viwanda. Naomba Serikali ikumbuke kwamba watu wenye ulemavu pia wanahitaji ajira, hivyo viwanda viwe accessible ili waweze kuajiriwa kama wanavyoajiriwa Watanzania wengine. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, leo asubuhi nilisikitika kwa vile nilinyoosha mkono niulize swali la nyongeza sikupata nafasi. Waziri alipokuwa anazungumzia Morogoro akasema kuna asilimia tano ya fedha za TASAF kwa ajili ya wanawake, asilimia tano kwa ajili ya vijana, kwa nini hakuna asilimia tano kwa ajili ya watu wenye ulemavu? (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, napenda kusema kwamba Tanzania iliridhia ule Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Watu Wenye Ulemavu wa 2006 na pia ikaja na Sheria Na.9 ya 2010 kuhusu Watu Wenye Ulemavu. Naomba sasa implementation ya hizi sheria ifanyike kwa sababu hakuna maana ya kusaini na ku-ratify and then hakuna implementation.
MHE. DKT. ELLY M. MACHA: Mheshimiwa Mwenyekiti, namalizia kwa kuomba Serikali isaini ule Mkataba wa Kimataifa kuhusu copyright kwamba watu wenye matatizo ya kusoma maandishi ya kawaida wakiwepo wasioona, wenye uoni hafifu, wenye dyslexia, wenye down syndrome, wale publishers wa-publish kazi zao kwa maandishi ambayo ni accessible ili watu wenye ulemavu waweze kusoma vitabu. Naomba Serikali isaini na kuridhia ule Mkataba ili na sisi watu wenye ulemavu wa kutoweza kusoma maandishi ya kawaida tufaidike na treaty hiyo.
| 2020-05-25T21:43:59 |
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/220
|
[
-1
] |
HEKIMA ZA BADI: MADIWANI 6 HATARINI KUVULIWA UDIWANI CHADEMA
MADIWANI 6 HATARINI KUVULIWA UDIWANI CHADEMA
Madiwani sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameitwa na Kamati Kuu ya chama hicho mjini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa kuhusiana na uamuzi wao wa kukubali muafaka wa umeya katika Jiji Arusha bila ridhaa ya chama chao.
Bloh hii ilishuhudia madiwani hao wakiranda randa nje ya ukumbi huo hadi saa 12:00 jioni wakisubiri kuitwa kuhojiwa katika kikao hicho.
Kikao hicho kilichoketi jana chini ya Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, kiliwaita madiwani hao mjini Dodoma kwa ajili ya kuwahoji.
Hata hivyo, vyanzo vya habari vilisema kuwa lengo la chama ni kuhoji diwani mmoja mmoja, jambo ambalo lilipingwa na madiwani hao waliotaka kuingia wote kwa wakati mmoja katika kikao hicho kwa ajili ya kuhojiwa.
Madiwani waliofika ni Naibu Meya wa jiji hilo na diwani wa kata ya Kimandolu, Estomii Malla, John Bayo (Elerai), Charles Mtanda (Kaloleni), Reuben Ngowi (Themi), Rehema Mohamed (Viti Maalum).
Madiwani watano kati ya 11 walikubali kukiomba radhi chama chao wakati watano walikataa kuomba radhi chama chao kwa kitendo cha kuingia katika muafaka kati yao na madiwani wa CCM, bila ridhaa ya chama.
Posted by AMANI BILA YA HESHIMA NA KIPATO NI KAZI BURE at Sunday, August 07, 2011
| 2018-09-23T23:45:38 |
http://darusi2008.blogspot.com/2011/08/madiwani-6-hatarini-kuvuliwa-udiwani.html
|
[
-1
] |
Friends of Slaa | FOS |: Dr slaa akiwasili mjini shinyanga na helikopta yake tayari kwa kampeni
Dr slaa akiwasili mjini shinyanga na helikopta yake tayari kwa kampeni
e Mgombea Urais Kupitia Chadema Mheshimiwa Dk Willibrod Slaa leo ameingia mkoani Shinyanga kusaka kura za urais kwa kishindo.Na Helikopta yake imeanza kazi upya baada ya kufanyiwa matengenezo madogo kwa siku nne zilizopita.
Ng'wana said...
Kwanza kabisa namwombea Mungu Dr. Slaa, Rais mtarajiwa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mungu ni mwaminifu!
Wajibu wetu: Wakati tukimtakia heri sana Dr. Slaa, isiwe tu kwa nia, bali kwa kuhakikisha tunampigia kura zetu na kuzilinda, kwani wadanganyifu na mafisadi wanaishi kati yetu. Kulinda si lazima kukesha kwenye eneo la kura siku ya uchaguzi. Mipango michafu huanmza mapema zaidi kabla ya hapo. Hivyo ukisikia, kuona au kugundua mipango yoyote michafu (kama vile hifadhi ya kura batili za ndiyo) arifu umma mapema - hali ilivyo siku hizi ki-mawasiliano ni rahisi kuawaambia watu wenye mapenzi mema).
Haki ya Umma: Wapiga kura wanayo haki ya msingi kuwapima kwa kina na kuwalinganisha wagombea. Ingawa wanapata fursa kwenye mikutano, bado ni muhimu wagombea kufanya mdahalo wa pamoja, jambo ambalo wagombea viti vya ubunge majimboni limekuwa likifanyika. Tunataka wagombea Urais nao wawe kwenye mdahalo wa pamoja na wapiga kura wao, ili wapate nafasi ya kuiwahoji. Tunasikitika kujua kuwa chama-tawala kimekataa midahalo kwa hofu ya kuulizwa maswali (hususan juu ya ufisadi) mbayo hawana majibu yake; lakini waambiwe wazi kuwa mdahalo kama sehemu ya mchakato kuelekea uchaguzi ni lazima na wala si hiari.
Wakizidi kukataa, basi tunaomba Dk. Slaa apewe muda wa kutosha katika vyombo vya habari (TV na Redio) ahutubie taifa, ili watu wapate kumfahamu zaidi ikiwa ni pamoja na waliopewa rushwa na wenginewe wanaoendelea kudanganyika; kwa sababu, kwa mwelekeo wa sasa, yeye ndiye tumaini zaidi na mwenye nafasi kubwa ya kuwa Rais wetu.
2011 HATUDANGANYIKI
| 2017-10-18T03:45:28 |
http://marafikiwaslaa.blogspot.com/2010/09/dr-slaa-akiwasili-mjini-shinyanga-na.html
|
[
-1
] |
Lelo Bafwe Bakekala Monka Bōmi? | Malondololo ku Bipangujo Bimanine pa Bible
TANGA MU Angele Dingala Drehu Falanse Karen (lwa mu S'gaw) Kiafrikaans Kialameni Kialbane Kialema Kiamarike Kiaymara Kibemba Kibilgare Kibishlama Kichichewa Kichitonga Kichitumbuka Kichol Kidanwa Kiefik Kieshipanyole Kieshitoni Kiewe Kifidji Kifinwa Kiga Kigbo Kigroelande Kiguarani Kihebelu Kihiligaynone Kihongrwa Kiiban Kiikrenye Kiiloko Kiindonezi Kiitali Kijampani Kijeorji Kikachokwe Kikamba Kikaonde Kikatalana Kikazak Kikechua (kya mu Bolivi) Kikechua (kya mu Kuzko) Kikhosa Kikongo Kikore Kikreole kya Haiti Kikreole kya mu Seishele Kikroate Kikuyu Kilamba Kilituani Kiluba Kiluganda Kilumani Kilunda Kiluo Kilusi Kiluvale Kimalagashe Kimalate Kimam Kimambwe-Lungu Kimasedwane Kimaya Kimazateke kya mu Huautla Kimbundu Kimizo Kimyama Kinahuatl (kya mu Guerrero) Kinahuatl (kya mu Huasteka) Kinerlande Kingabere Kingidiki Kinorveje Kinyaneka Kinyanja Kinyarwanda Kinzema Kiosete Kipapiamento (kya Aruba) Kipapiamento (kya Kirasao) Kipidjin kya mu Kisanga kya Salomo Kipolone Kipolotige Kirgiz Kiribati Kirundi Kisamoa Kisango Kisebuano Kisepedi Kiserbi Kiserbi (kya mu Loma) Kishinwa Mandaren (Kipēla) Kishinwa Mandaren (kya Kala) Kishona Kisilozi Kisinhala Kislovake Kislovene Kisonge Kisranantongo Kisuedwa Kiswahili Kiswahili (kya mu R.D.Congo) Kitagaloge Kitatare Kitcheke Kitetela Kithai Kitigrinya Kitirk Kitlapanek Kitojolabala Kitok Pisine Kitotonake Kitsonga Kitswana Kituvalu Kitwi Kitzotzile Kiumbundu Kivietname Kiwalise Kiwaray-Waray Kiwayuunaiki Kiwolaita Kiyoruba Kizapotek (kya Isthme) Kizulu Kongo Kyalabu Pidgin (kya mu Cameroon) Sesotho (ya mu Lesotho) Tshiluba
Lelo Bafwe Bakekala Monka Bōmi?
Na bubine Umpangi wa būmi ukasangula bantu
Yehova Leza ye Nsulo ya būmi. (Ñimbo 36:9) Lelo kino i kyendele’mo enka Leza kujokejeja boba bafwile būmi? Bible witukulupija’mba Leza ukasangula bafwile mu mafuku a kumeso. (Tanga Bilongwa 24:15.) Mwanda waka ukebasangula?
Umpangi wetu wāpangile muntu ekale’ko nyeke ne nyeke pano pa ntanda. (Ngalwilo 1:31; 2:15-17) Buno bo būmi bwaādi usakila bantu. Utenekwanga ku mutyima pa kwitumona tususuka—mu būmi buyule tusuwa ne kadi usa kupwija’to panopano ponka.—Tanga Yoba 14:1, 14, 15.
Lelo boba bakasangulwa bakekala kwepi?
Lelo Leza wāpangile muntu mwanda wa kukekala mūlu? Aa. Leza wāpangile bamwikeulu mwanda wa kwikala mūlu. Ino bantu wēbapangile mwanda wa kwikala pano pa nshi. (Ngalwilo 1:28; Yoba 38:4, 7) Kino i kimweke mu bimfwa bya bantu bāsangwilwe na Yesu. Wāsangwile bantu mwanda wa kwikala pano pa nshi. Mo monka, ne bantu bavule bakasangulwa mu mafuku a kumeso bakekala pano pa ntanda.—Tanga Yoano 5:28, 29; 11:44.
Inoko, Leza i mutonge’ko bantu batyetye bakasangwilwa momwa mūlu, na imbidi ya ku mushipiditu. (Luka 12:32; 1 Kodinda 15:49, 50) Bano bakasangwilwa momwa mūlu bakaludika bu balopwe na Kidishitu pano pa ntanda.—Tanga Kusokwelwa 5:9, 10.
Bilembwa Miswelo ya mwa kutentwila mabuku malembe KITEBA KYA MULAMI Kweji 11 2015 | Lelo Leza Umwene Mavita Namani?
| 2019-05-24T17:42:25 |
https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/mapepala/wp20151101/bafwe-ke-b%C5%8Dmi-monka/
|
[
-1
] |
XTRA COVER.: UEFA KUKOMAA NA WAVUNJA SHERIA.
UEFA KUKOMAA NA WAVUNJA SHERIA.
Shirikisho la soka barani ulaya UEFA limesema litaanza kuviadhibu vilabu vitakashindwa kuheshimu kanuni za usajili kwa kufuata taratibu za kifedha kwa mujibu wa kanuni zilizopitishwa na shirikisho hilo kuhusu matumizi ya fedha za klabu.
Adhabu kali kwa klabu zitakazokwenda kinyume na sheria hiyo ni kuondolewa katika michuano ilio chini ya UEFA lakini pia uongozi wa shirikisho hilo umeshatoa taarifa kwa umoja wa vilabu vya barani Ulaya European Club Association (ECA) huenda ukatoa adhabu zaidi ya hiyo.
Naye mkurugenzi mtendaji wa klabu ya Inter Milan ya nchini Italia Ernesto Paolillo amesema klabu inayotumia fedha zaidi katika usajili na kukiuka masharti ya UEFA inatakiwa kuchukuliwa hatua za kisheria zaidi kuliko kimichezo.
Amesema klabu nguli za barani ulaya, zinatakiwa kuadhibiwa mara moja endapo zitakiuka kanuni zilizowekwa, ili iwe fundisho kwa klabu nyingine zinazotarajia kufanya usajili kinyuma na matakwa ya UEFA.
| 2017-12-12T02:56:24 |
http://viwanja.blogspot.com/2011/09/uefa-kukomaa-na-wavunja-sheria.html
|
[
-1
] |
TAIFA STARS YARUDI ‘SHAMBA LA BIBI; BAADA YA MIAKA 11 - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE TAIFA STARS YARUDI ‘SHAMBA LA BIBI; BAADA YA MIAKA 11 - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
Mwanzo > TAIFA STARS > TAIFA STARS YARUDI ‘SHAMBA LA BIBI; BAADA YA MIAKA 11
TAIFA STARS YARUDI ‘SHAMBA LA BIBI; BAADA YA MIAKA 11
TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo inateremka kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kumenyana na Botswana ‘The Zebras’ katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
Huo utakuwa ni mchezo wa 12 kwa kocha Salum Shabaaban Mayanga tangu ampokee mzalendo mwenzake, Charles Boniface Mkwasa Machi mwaka huu, akiwa ameshinda mechi tano, sare tano na kufungwa moja.
Katika mchezo wa leo, kocha Mayanga amewapata wachezaji wake wote wanaocheza nje aliowaita kasoro mmoja tu, mshambuliaji Orgenes Mollel wa FC Famalicao ya Ureno ambaye amenyimwa ruhusa na klabu yake kutokana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutofuata taratibu za kumuita.
Lakini wengine wote, beki Abdi Banda wa Baroka FC ya Afrika Kusini, winga Simon Msuva wa Difaa Hassan El –Jadida ya Morocco, Elias Maguli wa Dhofar FC ya Oman, Farid Mussa wa CD Tenerife ya Hispania na Nahodha Mbwana Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji wamekuja.
Mara ya mwisho Taifa Stars kucheza Uwanja wa Uhuru, ilikuwa ni Jumamosi ya Desemba 9, mwaka 2006 iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wafungaji Gaudence Mwaikimba na Nizar Khalfan.
Kutoka hapo, Stars ikiwa chini ya kocha Mbrazil, Marcio Maximo ikaenda kuweka kambi ya mwezi mmoja Brazil kabla ya kwenda kufungwa 4-0 na Senegal Machi 24, mwaka 2007 kwenye mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mjini Dakar.
Baada ya mchezo huo, Taifa Stars ikaenda kulazimishwa sare ya 1-1 na Uganda Mei 26, mwaka 2007 mjini Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala kabla ya kwenda kucheza mechi ya kwanza Uwanja wa mpya wa Taifa, Septemba 1, mwaka 2007, bao pekee la Abdi Kassim ‘Babi’ likiipa Taifa Stars ushindi wa 1-0.
Takriban miaka 11 baadaye, Stars inarudi Shamba la Bibi kwa mchezo na Botswana.
Item Reviewed: TAIFA STARS YARUDI ‘SHAMBA LA BIBI; BAADA YA MIAKA 11 Rating: 5 Reviewed By: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TANZANITE YAENDA KUMENYANA NA NIGERIA KUFUZU KOMBE...
TIMU YA ABDI BANDA YAMFUKUZISHA KOCHA AFRIKA KUSIN...
MAYWEATHER ANA WANAWAKE SABA, GARI 25 NA "PESA CHA...
MSUVA ALAZIMISHWA SARE MOROCCO, AUKATAA ‘UCHEZAJI ...
KANE APIGA MBILI, SPURS YAIKANDAMIZA 3-1 BORUSSIA ...
MANCHESTER CITY WASHINDA 4-0 LIGI YA MABINGWA TENA...
FIRMINO AKOSA PENALTI, LIVERPOOL YALAZIMISHWA SARE...
RONALDO AFUNGA MABAO MAWILI REAL MADRID YASHINDA 3...
MBEYA CITY YAACHANA RASMI NA PHIRI, KIJUSO APEWA M...
OMOG AENDELEA KUIANDAA SIMBA KUIKABILI MWADUI JUMA...
RUVU SHOOTING YAFUATA USHINDI WA KWANZA LIGI KUU K...
KAGERA SUGAR KUWAKOSA FAKHI, KAVILLA NA KIBAYA MEC...
BANDA ACHEZA DAKIKA 90, BAROKA YASHINDA 3-1 UGENIN...
MAN UNITED 3-0 FC BASLE
LEWANDOWSKI AFUNGA BAYERN MUNICH YASHINDA 3-0 NYUM...
CHELSEA YAANZA NA MOTO, YAIFUMUA QARABAG 6-0 DARAJ...
MESSI AFANIKIWA KUMFUNGA BUFFON KWA MARA YA KWANZA...
POGBA AUMIA MAPEMAAA, MAN UNITED YASHINDA 3-0 ULAY...
CAVANNI MAWILI, MBAPE, NEYMAR MOJA MOJA, PSG YAUA ...
ROY HODGSON AWASILI CRYSTAL PALACE KUANZA MARA MOJ...
MSUVA AKIFURAHIA NA RAFIKI ZAKE KUELEKEA MECHI YA ...
PLUIJM: MAJERUHI WALITUPUNGUZA KASI, ILA SASA TUPO...
JKT OLJORO, RUVU ZAPANIA KUPAMBANA DARAJA LA KWANZ...
TFF YAPANUA ‘KIWANDA CHA MAKOCHA’ NCHINI
MAJI UHAI YA BAKHRESA NI MDHAMINI MWINGINE SINGIDA...
KAMUKOSO AREJEA KUWAVAA MAJI MAJI...CHIRWA NAYE YU...
NE-MO ARUDI KIVINGINE, AACHIA SINGO KALI INAITWA K...
MAJONZI RWANDA, KIPA WA RAYON MUTUYIMANA EVARISTE ...
ANDRE AYEW ATOKEA BENCHI NA KUIPA USHINDI WA 2-0 W...
WAZIRI JUNIOR APONA, AANZA KUJIFUA AZAM BAADA YA K...
TIMU YA POLISI TANZANIA YAPATIWA MSAADA WA JEZI NA...
DE BOER ATUPIWA VIRAGO CRYSTAL PALACE
NEWCASTLE WANG'ARA UGENINI, WAIPIGA 1-0 SWANSEA LI...
PLATEAU MABINGWA WAPYA NIGERIA, OKPOTU MFUNGAJI BO...
SAMATTA ALIVYOIPIGANIA KRC GENK KUPATA SARE YA UGE...
LWANDAMINA: TUMESHINDA LAKINI TULICHEZA KATIKA MAZ...
| 2017-09-20T03:50:47 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/09/taifa-stars-yarudi-shamba-la-bibi-baada.html
|
[
-1
] |
MC LUVANDA APANDISHWA KIZIMBANI KUJIBU TUHUMA TATU - MWANAHARAKATI MZALENDO ™
Editor 6:04:00 PM HABARI TANZANIA
Mtuhumiwa Anthony Luvanda maarufu kama MC Luvanda akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akiwa amejifunika usoni leo jijini Dar es Salaam.
MSHEHERESHAJI maarufu nchini,Anthony Luvanda maarufu kama MC Luvanda pamoja na kampuni yake,amepandishwa katika kizimba cha mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kutumia kikoa ambacho akijasajiliwa Tanzania.
Luvanda anashtakiwa pia kwa kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Mbali na luvanda washtakiwa wengine waliofikishwa mahakamani hapo Leo Septemba 24 kwa makosa kama hayo mbele ya mahakimu watatu tofauti ni pamoja na Fadhili Kondo, Michael Mligwa na kampuni ya Luvanda ya Home of Company Limited.
Washtakiwa hao walisomewa mashtaka yanayowakabili mahakamani hapo kwa nyakati tofauti mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu,
Thomas Simba, Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi na Hakimu Mkazi Mkuu, Hamza Wanjah
Akimsomea mashtaka MC Luvanda, wakili wa Serikali Mkuu, Tumain Kweka amedai mbele ya Hakimu Shaidi kuwa mfanyabiashara MC Luvanda na kampuni anayomiliki ya Home of Company Limited walitumia kikoa ambacho akijasajiliwa Tanzania.
Amedai kati ya Februari 24 na Septemba 2018 katika jiji la Dar es Salaam, mshtakiwa alianzisha na kutumia mtandao wa www.mcluvanda.com ambao haukuwa na kikoa cha .tz.
Pia imedaiwa katika kipindi hicho mshtakiwa alianzisha na kutumia mtandao huo ambao haukuwa na kikoa cha .tz.
Aidha imedaiwa,mshtakiwa huyo alitoa Huduma ya online bila ya kuwa na kibali.
Mc Luvanda anadaiwa kuwa katika kipindi hicho alitoa huduma hiyo kupitia online TV ifahamikayo kama MC Luvanda pasipokuwa na kibali toka TCRA.
Mshtakiwa Luvanda amekana mashtaka hayo na yuko nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
Wakili Jebra Kambole anayemtetea mshtakiwa huyo aliiomba mahakama itoe dhamana kwa mteja wake kwa sababu shtaka linadhaminika.
Akisoma masharti ya dhamana, hakimu Shaidi alimtaka mshtakiwa kuwa na mdhamini mmoja Mwenye barua na kitambulisho ambaye atasaini bondi ya Sh 5 milioni.
Mshtakiwa huyo alifanikiwa kukamilisha masharti hayo ya dhamana na kuachiwa huru.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka, upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika.
Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 23, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa.
Kwa upande wa mshtakiwa, Michael Mlingwa ambaye ni mpiga picha amepandishwa katika kizimba cha mahakama ya hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba akikabiliwa na shtaka la kutumia mtandao bila kusajiliwa na TCRA.
Akimsomea mashtaka mshtakiwa huyo Wakili wa Serikali, Faraja Nguka alidai kuwa mshtakiwa huyo katika kipindi hicho cha Februari 24 mwaka huu jijini Dar es Salaam kinyume cha sheria alimiliki na kutumia mtandao wa WWW.Slidevisual. Com bila leni kutoka TCRA.
Mshtakiwa amekana mashtaka na yuko nje kwa dhamana yenye masharti ya kuwa na wadhamini wawili, waliosaini dhamana ya maandishi ya Sh milioni 10. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba nane kwa ajili ya kutajwa.
Mshtakiwa mwingine John Lusingu amefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hamza Wanjah kwa shtaka la kutumia mtandao waWWW.magazetini.com bila leseni.
Mshtakiwa amekana mashtaka hayo anayodaiwa kuyatenda Februari 24 na Septemba mwaka huu, yuko nje kwa dhamana hadi Oktoba. 5,mwaka huu
Washtakiwa wote wapo nje kwa dhamana.
By Editor muda 6:04:00 PM
| 2019-02-17T16:00:49 |
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2018/09/mc-luvanda-apandishwa-kizimbani-kujibu.html
|
[
-1
] |
Uchapishaji wa 24019
Zeynepakbas, Cns24, fedha leowo, Molo juu, Svncmrv, Walemavu na wasafiri wa 18 wanaangalia suala hilo.
| 2020-05-29T13:11:48 |
http://www.almancax.com/sw/forum/index.php?topic=24333.msg255970
|
[
-1
] |
jamani hii ni halali kweli??? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
jamani hii ni halali kweli???
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by zimwimtu, Mar 31, 2012.
Its this my machine operator, anaishi na mwanamke mitaa ya mabibo na wana motto mmoja. (hawajafunga ndoa) jamaa kajitahidi kapata kiwanja CHANIKA. Na kajenga kibanda chake sasa anataka kuhamia ili kupunguza ukali wa maisha, maana kodi za nyumba nazo zinakera.
Mke wake kakataa kwenda chanika kwamba hayuko tayari kuishi porini na kama akingangnia kwenda kuishi huko ndo utakuwa mwisho wao, kila mtu ajue maisha yake. Na wakati anajenga huyo mke wake alikuwa na taarifa na alishafika kuona maendeleo ya nyumba.
Bas jamaa kachanganyikiwa hajui afanye nini. Mke anampenda na amejaribu kuongea nae sana lakini hamuelewi.
Sasa niwaulize wadada, hivi upo tayari kumtosa mpenz wako kisa kaenda kuishi mbali na mji? Ya nni kubaguana kwa sababu ya makazi?
Huyo anatingisha kiberiti tu amrudishe kwao. Mwanaume rijali hatakiwi kuendeshwa na uke, amenioa au nimemuoa?
Huyo anatingisha kiberiti tu amrudishe kwao. Mwanaume rijali hatakiwi kuendeshwa na uke, amenioa au nimemuoa?Click to expand...
Chonde chonde mkuu, uke ndio unaendesha dunia na hao watu hawajaoana so NO legal bind. Kama mamaa alijua kuhusu huo mjengo kwanini akatae sasa, amwambie tu kuwa huo ndio uwezo wake kama anaweza kufatana nae au kama hataki ampe altimatum.
Maana hata akiwa ni mke wa ndoa atakupa shida, ili hali hatafikiria uwezo wako kwa kutaka maisha msiyoyaweza.
Mapozi mengine bwana,walipokua wakinunua uwanja mpaka kujenga alikua wapi! I wish ningekua uyo mume,natangulia kwenye makazi Mapya then ni
Nione atachukua mamuzi gani
dem anamaanisha kweli, mpaka jamaa anadhani kuna mtu anamtia kiburi maana aliwahi kuhusishwa kutoka na salesman mmoja hapa kazin!!!!!!!!
Mke wake kakataa kwenda chanika kwamba hayuko tayari kuishi porini na kama aking'ang'nia kwenda kuishi huko ndo utakuwa mwisho wao, kila mtu ajue maisha yake. Na wakati anajenga huyo mke wake alikuwa na taarifa na alishafika kuona maendeleo ya nyumba.
Maoni yenu plz…Click to expand...
Hapo red ndo umejinyima ma experience; Changamoto la mume unapeleka kwa wadada?????????
Ashakum si matusi kesi ya ................. unampelekea........................
Fungua uzi mwingine uwasikie wandago..................wachilume....wagosi.....men........wanamume.....l'home
Ikiwa alikuwa na taarifa za tangu kununuliwa kwa kiwanja hana haki ya kukataa kwenda. hataki Bandugu PIGA CHINI hana faida hasa mbele ya safari.
Hapo bdae ndo yale mambo ya ndoa ndoano, huyo hatak enda mbali kuna m2 atamkosa huku town
khe! huyo anahitaji maombi shetani kampitia
Atangulie yeye!
Amwambie2 natungulia ukitaka kuja utakuja utanikuta asilete upumbavu huyo ana mapepo nini mi nijipinde nijenge we ulete umbumbu wako aisee utaniona mbaya2!
maisha gani bila maelewano? ulimbukeni tu huo.....
Atangulie yeye!Click to expand...
akitangulia yeye atabaki kwa salesman atiiiiii.
Vibao viwili vitatu vitarudisha sense unto her mind...firigisi zake
Dah.. Huyo mwanamke nimempendea kitu moja...
Wala hang'ang'anii material stuffs... Mwanamke mwingine hapo,ye ndiyo angekuwa wa kwanza kutangulia.
As kwa mwanaume,swala ni dogo ahame na ndugu yake aishi naye. Kifupi,mwanamke huyo hamtaki. Sasa unaishije na mtu asiyekupenda..
Kuna ki2 kinanitaza hapa; alimshirikisha mkewe kweli from the beginning au ndo wale "wa2nza cri" kwa kicngizio ucmwambie vyote kwa sbb hamjafunga ndoa? Sa iv yamemcbu ndo anasema alimshirikisha!?
On the other hand kama kweli mke alishirikishwa na hakutia neno then sasa iv anagoma kuhamia then there must be smthing behind the scene hapo! C ajabu mwanamke anatafuta gear ya kuchukua hamsini zake hapo
| 2017-01-22T04:00:11 |
https://www.jamiiforums.com/threads/jamani-hii-ni-halali-kweli.242251/
|
[
-1
] |
Hadubini - My-o-scope: Tanzania Beggars Now Suffers
Last month there were rumours in Tanznia that one lady had her hand sproutted with hair following offering money in kind to a crippled beggar at one of the traffic lights. She eventually failed to drove away when she was permitted to go by a traffic officer.
Through complex explanations, the lady was said to vanish into thin air leaving the vehicle alone. So many blah blah came out, however, this story was denied by police forces. It was eventually known to be mzaha tu.
Some comedians decided to use their profession to send a message to the community that information was just a rumour, and they bear in mind that the "good samaritans" stopped to offer beggars (especially crippled) anything which made them (beggars) suffer more, in fact even beggars themselves they admitted to suffer following this rumours.
Unfortunately, during the video shooting, some of the nearby beggars were angered by the immitation and one of them reacted by beating the TV crews and comedians and through life saving race, one of the commedians was knocked off by a car and he sustained some injuries.
Still people are reluctant to offer money to the beggars, and now people are making jokes that the more you give, the more hair sprout in your body. For this photo, they make a joke that this "good samaritan" offered equivalent to 1 USD!
Lakini kwa nini Tatizo la Omba omba limekuwa sugu sana hasa Dar es Salaam?
Au tunasubiri wafadhili kuja kutusaidia?!!!
Posted by chib at 5.3.10
swali nzuri sana kaka chib!!
Ni tatizo kubwa sana. Pengine waje wafadhili.
tukiachana naswali lako, kisa hiki kinasisimua katika ulimwengu huu wa watu washikao biblia /korani kwapani, huku wakiwa na hirizi mifukoni
will take time to tackle Beggars problems....kweli hii ni Comedy wamezusha jambo na watu wameamini...mweee.
@Haki ya nani Beggars is a worldwide Problem. Nakumbuka enzi hizo naingia mitaa ya kaskazini ya Ulaya hakukua na ombaomba sikuhizi karibu kila mji Mkubwa Ulaya hii ambayo inadaiwa ni ya wajali watu utakuta kuna ombaomba.
Kumbuka bado Ulaya hii mfumo wao walasio wakipepari kama wa Marekani na Uingereza kama unaelewa kimfumo nchi kama Sweden, FINLAND, Norway zinachezaje UBEPARI.
Tukirudi BONGO. Nimesoma HIGH SCHOOL Mazengo dodoma enzi shule hiyo ipo. Hapo kulikuwa na watu kila siku mitaa ya msosi wanakuja kusaka makombo na tukifunga shule wanaishi kama kawaida ya watu maeneo mengine. Nachojaribu kusema ni kuwa OMBAOMBA ni kitu kigumu kwa kuwa huweza kugeuzwa LIFESTYLE.
| 2017-08-19T11:09:25 |
http://ebchib.blogspot.com/2010/03/tanzania-beggars-now-suffers.html
|
[
-1
] |
Faida za kuzaa ni kuteka kwa wafanyikazi wachanga - ivfbabble
Uzazi katika mahali pa kazi, Nyumbani, Kazi na IVF
Unapofikiria juu ya faida za mfanyakazi, mambo kama posho za utunzaji wa afya, wakati wa likizo, na mazoezi ya tovuti yanaweza kukumbuka. Walakini, kampuni nyingi vijana zinazovuruga wanapata kwamba faida za uzazi hutoa hata zaidi ya kuteka
Wakati matibabu fulani ya IVF yamefunikwa kwenye Bahati nasibu ya posta ya NHS mfumo nchini Uingereza, haujafunikwa Amerika na Canada. Huko, chanjo iko chini ya hakiki ya kampuni za bima na waajiri.
Hapo ndipo waajiri wengine wanachagua kuingia
Katika nia ya kuendelea kuwa na ushindani na kuvutia talanta bora huko, kampuni kama za mraba, Box, Samsara, Starbucks, Liberals Mutual, na Slack zinawapa wafanyikazi wao faida kubwa za uzazi. Huko Amerika, ambapo duru moja tu ya IVF inaweza kugharimu zaidi ya $ 20K, hii ni michoro kubwa kwa talanta inayohitimu.
Vikundi vya Facebook vya utasa na nyuzi za Reddit zimejaa watu ambao wanachukua kazi za muda huko Starbucks, wanavutiwa na faida zao za uzazi wa ukarimu
Watu waliohitimu sana na mizigo ya uzoefu wa mbio kuelekea kuchora espressos masaa machache? Starbucks imegonga jackpot na inavutia vipaji vya hali ya juu ambao watakuwa nao kwa angalau mwaka mmoja.
Habari ya Faida ya Mwajiri imeangazia faida za uzazi kama "mtu anayebadilisha mchezo kwa waajiri."
Nakala hiyo ya EBN ilitaja takwimu kuwa asilimia 64 ya wanawake ambao walikuwa wanapata chini ya $ 50,000 kwa mwaka watabadilisha waajiri ili kupata faida bora ya uzazi. Vile vile, 67% ya wale waliopata kati ya $ 75,000 hadi $ 99,999 waliripoti kwamba waliona sawa.
Kulingana na Kundi la Biashara ya Kitaifa juu ya Afya, 87% ya waajiri wa Amerika hutoa aina fulani ya faida za uzazi.
Kati ya hizi:
71% inashughulikia IVF
69% inashughulikia ujanibishaji wa bandia
34% kufunika kufungia kwa yai
Wadau wa wataalam 84%
Asilimia 81 hugharimu gharama za meds zinahitajika kutibu sababu za msingi za utasa
Wakati wafanyikazi hawana wasiwasi juu ya kupitisha muswada huo kwa matibabu ya gharama kubwa ya uzazi, wanaweza kuokoa zaidi kwa ustaafu, kukuza familia zao, na kuboresha afya ya akili.
Kutoa faida za uzazi ni hatua nzuri kwa waajiri, kwani inawafanya waweze kuvutia na kuhifadhi talanta ya juu kwenye tasnia yao. Kwa kuongezea kuwasaidia kuajiri bora zaidi, wanaweza pia kuwa wakipunguza akili za wafanyikazi, na kwa upande wao, wakiongezea mafadhaiko yao juu ya utasa. Kama mafadhaiko yasiyofaa yanaathiri tija na kuzuia watu kufanya kazi zao bora, waajiri wataona kurudi kubwa katika uwekezaji wao.
Je! Unaweza kubadilisha kazi na waajiri ili upate faida zaidi za uzazi wenye nguvu? Je! Unafikiria kwamba faida za uzazi lazima ziwe za kiwango kote Amerika, na huko Uingereza ambapo wafanyikazi hawafunikwa na baraza lao? Tungependa kusikia kutoka kwako kwa [email protected]
Tags: faida za uzazi wa mfanyikazi, faida ya uzazi, uzazi katika eneo la kazi, ivf na kazi
Wafanyikazi wachanga wanataka waajiri kutoa faida za uzazi, uchunguzi mpya unafunua
| 2020-04-06T07:10:07 |
https://sw.ivfbabble.com/2020/01/fertility-benefits-draw-young-employees/
|
[
-1
] |
Imewekwa tar.: December 5th, 2019
Akizungumza na waandishi wa leo Jijini Dodoma Mhe. Jafo ameeleza kuwa wavulana waliochaguliwa ni 335,513 sawa na asilimia 47.86 na wasichana 365,525 sawa na asilimia 52.14.
| 2020-01-24T20:30:02 |
http://www.tamisemi.go.tz/new/jafo-atangaza-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-2020
|
[
-1
] |
DC GONDWE AWATAKA WAZAZI KOROGWE KUCHANGAMKIA MPANGO WA TOTO AFYA KADI - MALUNDE 1 BLOG
Home habari DC GONDWE AWATAKA WAZAZI KOROGWE KUCHANGAMKIA MPANGO WA TOTO AFYA KADI
DC GONDWE AWATAKA WAZAZI KOROGWE KUCHANGAMKIA MPANGO WA TOTO AFYA KADI
KAIMU Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Godwin Gondwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani
Tanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango wa Toto Afya kadi uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Mazoezi wilayani humo kushoto ni Meneja wa Mfuko wa Tafa wa Bima ya Afya mkoani Tanga (NHIF)
Ally Mwakababu kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Korogwe,Rehema Kwasi
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akizungumza katika uzinduzi
huo kulia ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Godwin Gondwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni anaye fuatia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Korogwe,Rehema Kwasi
Katibu Tawala wa wilaya ya Korogwe,Rehema Kwasi akizungumza wakati wa uzinduzi huo kushoto ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Godwin Gondwe kulia ni
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe,John Nyarongo
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Mji,Jumanne Shauri akizungumza wakati wa uzinduzi huo
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe,John Nyarongo akizungumza katika uzinduzi huo
Afisa Uanachama Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga(NHIF),Sophia akizungumza katika uzinduzi huo
kulia ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga,Ally Mwakababu
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni,Godwin Gondwe kulia akiteta jambo na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu wakati wa uzinduzi huo
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni,Godwin Gondwe katikati akipata
maelekezo ya namna huduma za upimaji wa afya na uzito zilizokuwa zikitolewa mfuko huo wakati wa uzinduzi wa mpango wa Toto Afya kadi wilayani Korogwe katikati ni Meneja wa Mfuko huo mkoani Tanga (NHIF)
Ally Mwakababu
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni,Godwin Gondwe akiangalia huduma
mbalimbali zilizokuwa zikitolewa wakati wa uzinduzi wa mpango wa Toto Afya Kadi kulia ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Tanga,Ally Mwakababu
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe kushoto akipata maelezo kutoka kwa Daktari wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Lawi Kupaza wakati wa uzinduzi
wa mpango wa Toto Afya kadi wilayani humo uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Mazoezi wilayani Korogwe
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe kushoto akipata maelezo kutoka kwa Daktari wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Lawi Kupaza wakati wa uzinduzi wa mpango wa Toto Afya kadi wilayani humo uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Mazoezi wilayani Korogwe
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe
ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe akiagana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe
mji,Jumanne Shauri mara baada ya kuzinduzi mpango wa toto afya kadi kwenye viwanja vya shule ya msingi Mazoezi wilayani Korogwe kulia ni Meneja wa NHIF mkoani Tanga,Ally Mwakababu
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni,Godwin Gondwe katika kulia ni
Katibu Tawala wa wilaya ya Korogwe,Rehema Bwasi kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Mji,Jumanne Shauri na Meneja wa Mfuko wa Taifa
wa Bima ya Afya Mkoani Tanga,Ally Mwakababu
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni,Godwin Gondwe akiwa kwenye picha
ya pamoja mara baada ya kufanya uzinduzi huo
Sehemu ya wananchi wa wilaya ya Korogwe wakisubiri kupata huduma mbalimbali za upimaji wakati wa
uzinduzi huo wa mpango wa toto afya kadi
Sehemu ya wananchi wakisubiri huduma ya upimaji wakati wa uzinduzi huo
Daktari wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Lawi Kupaza kushoto akitoa huduma ya
upimaji kwa wakazi wa mji wa Korogwe wakati wa uzinduzi wa mpango wa Toto Afya kadi wilayani humo uliofanyika viwanja vya Mazoezi
Zoezi la Upimaji likiendelea kwenye uzinduzi huo
Wananchi wakisubiri kupatiwa huduma ya upimaji kwenye banda la mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
wilayani Korogwe wakati wa uzinduzi wa mpango wa Toto Afya Kadi CHabari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
DC GONDWE AWATAKA WAZAZI KOROGWE KUCHANGAMKIA MPANGO WA TOTO AFYA KADI Reviewed by Malunde on Monday, December 18, 2017 Rating: 5
| 2018-08-16T16:26:05 |
https://www.malunde.com/2017/12/dc-gondwe-awataka-wazazi-korogwe.html
|
[
-1
] |
Waziri Mkuu: Viongozi Waliokula Fedha Za Wakulima Wa Korosho Warudishe | MPEKUZI
Waziri Mkuu: Viongozi Waliokula Fedha Za Wakulima Wa Korosho Warudishe
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema viongozi wa Vyama vya Ushirika waliokula fedha za wakulima wa korosho wilayani Masasi wazirudishe na wakishindwa mali zao zikiwemo nyumba zitauzwa ili kufidia.
Pia Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bw. Gelasius Byakanwa ahakikishe anawasaka viongozi wa chama Ushirika cha Msingi cha Nanyindwa wilayani Masasi ambao wamekula fedha za wakulima na kisha kutoroka.
Amesema viongozi wa vyama vya Ushirika katika wilaya hiyo si waaminifu, ambapo mwaka wa fedha 2016/2017 jumla ya sh. bilioni 2.3 za wakulima ziliibiwa na viongozi hao, ambapo mwaka 2017/2018 sh. bilioni 1.7 zimeibiwa.
Waziri Mkuu alitoa maagizo hayo jana (Jumatatu, Februari 2018) alipozungumza kwa nyakati tofauti na wananchi pamoja na watumishi wa wilaya akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Mtwara.
Alisema viongozi wa Ushirika wa Nanyindwa ambao wametoroka ni Michael Mkali, Yusuph Mataula, ambapo alimuagiza Bw. Byakanwa kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya dola ili waweze kuchukuliwa hatua zinazostahili.
Pia Waziri Mkuu aliwaagiza Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuvichunguza vyama vya Msingi katika maeneo na wakikuta kuna kiongozi amekula fedha za wakulima wamkamate na kumchukulia hatua za kisheria.
Alisema wakati wa watu kuomba kuchaguliwa kuongoza vyama vya Ushirika kwa lengo la kujitajirisha umepita na Serikali imedhamilia inawasimamia wakulima wa mazao mbalimbali nchini wakiwemo wa korosho ili kuhakikisha nao wananufaika.
Waziri Mkuu alisema vyama vya Ushirika wilaya hiyo vinaongoza kwa ubadhilifu wa fedha za wakulima ambapo wiki iliyopita Bw. Byakanwa aliwakamata viongozi 36 wa Vyama vya Ushirika vya Msingi (AMCOS) wilayani Masasi.
Viongozi hao ambao ni wenyeviti na makatibu wanakabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za wakulima wa korosho ambazo ni zaidi ya sh bilioni 2.3, ambazo ni malipo ya zao hilo kwa msimu wa ununuzi 2016/2017 na 2017/18.
Alisema mbali na wafanyabiasharahao, pia Meneja wa benki ya NMB tawi la Masasi, Aidan Msuya anaye alikamatwa kwa tuhuma za kufanya muamala wa fedha za malipo ya wakulima sh milioni 45 kwa zaidi ya mara 11 kwa siku moja.
Waziri Mkuu alimpongeza Bw. Byakanwa kwa hatua alizozichukua dhidi ya viongozi hao na kumuagiza ahakikishe viongozi wote waliosababisha ubadhirifu huo wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
| 2018-11-20T00:20:27 |
http://www.mpekuzihuru.com/2018/02/waziri-mkuu-viongozi-waliokula-fedha-za.html
|
[
-1
] |
Mwanadamu Hawezi Kuweka Kando Mwili Wake kwa Muda Huu Mfupi? | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME
Wakati joto la majira ya kuchipua limekuja na maua kuchanua, wakati vyote chini ya mbingu ni kijani kibichi na vitu vyote duniani viko mahali pake, watu na vitu vyote vitaingia hatua kwa hatua katika kuadibu kwa Mungu, na wakati huo kazi yote ya Mungu duniani itaisha. Mungu hatafanya kazi tena au kuishi duniani, kwa maana kazi kubwa ya Mungu itakuwaimetimizwa. Je, watu hawawezi kuweka kando miili yao kwa muda huu mfupi? Mambo gani yanaweza kuunganisha upendo kati ya mwanadamu na Mungu? Ni nani anayeweza kutenganisha upendo kati ya mwanadamu na Mungu? Je, ni wazazi, waume, dada, wake, au usafishaji mchungu? Je, hisia za dhamiri zinaweza kufuta sura ya Mungu ndani ya mwanadamu? Je, kuwa na deni kwa watu na vitendo vyao baina yao kumesababishwa na wao wenyewe? Je, wanaweza kuponywa na mwanadamu? Ni nani anayeweza kujilinda? Watu wanaweza kujikimu? Ni nani wenye nguvu maishani? Ni nani anayeweza kuniacha na kuishi peke yake? Mara kwa mara, kwa nini Mungu anawataka watu wote watekeleze kazi ya kutafakari? Kwa nini Mungu anasema, “Ugumu wa nani umepangwa kwa mikono yao wenyewe?”
Umetoholewa kutoka katika “Sura ya 24” ya Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili
Iliyotangulia:Unamtendea Mungu Vipi?
Inayofuata:Kutenda Ukweli Katika Wajibu Wako ni Muhimu
| 2019-11-20T13:50:38 |
https://sw.kingdomsalvation.org/put-aside-flesh-for-short-time-lyrics.html
|
[
-1
] |
Jinsi ya Kutumia Sehemu Mpya ya IGTV kwenye Instagram
Fahamu yote ye muhimu Kuhusu sehemu mpya ya IGTV
Juni 21, 2018, 8:33 mu -1 Votes
Baada ya tetesi za muda mrefu hapo jana mida ya saa tatu instagram ilitangaza kwa haraka kuhusu ujio wa sehemu mpya ya IGTV. Kama ulikuwa unajiuliza IGTV nini basi kupitia makala hii utaweza kufahamu kuhusu yote ya muhimu kuhusu sehemu hiyo ikiwa pamoja na jinsi ya kuitumia.
IGTV ni nini.?
Tukianza kuhusu nini maana ya IGTV hii ni sehemu mpya ndani ya mtandao wa instagram sehemu hii itakusaidia wewe mtumiaji wa Instagram kuweza kutuma video za muda mrefu kuanzia sekunde 15 hadi lisaa limoja.
IGTV inapatikana wapi..?
Sehemu hii mpya ya IGTV inapatikana kupitia sehemu mbili tofauti, unaweza kuipata kupitia App ya Instagram karibia na sehemu ya Stories juu ambapo utaona kitufe kipya cha TV. pia unaweza kuipata kwa kupakua app za IGTV za Android na iOS kupitia masoko ya App Store na Play Store. Unaweza kupakua App hizo link ziko hapo chini.
IGTV – Android
IGTV – iOS
Je Unaruhusiwa kuweka Video za Muda Gani..?
Kwa mujibu wa tovuti ya maswali na majibu ya mtandao wa Instagram, Mtumiaji wa kawaida ataweza kutuma video yenye muda kuanzia sekunde 15 hadi dakika 10. Kwa wale ambao wanazo akaunti ambazo ziko Verified au Akaunti zenye watu wengi kwa mujibu wa instagram wataweza kutuma video za hadi dakika 60 ambayo ni sawa na lisaa limoja. Kama unataka kuweka video za lisaa limoja unalazimika kuweka video zako kwa kutumia kompyuta.
Je Unaruhusiwa kutuma Video za Aina Gani..?
Kuhusu aina ya video instagram wamesisitiza kuwa unatakiwa kutuma video za wima Horizontal na zenye mfumo wa MP4 pamoja na Aspect ratio ya kiwango cha chini cha 4:5 hadi 9:16. Pia watumiaji wote wataweza kuweka video zenye Quality hadi ya 4K. Pia video ambazo hazita fuata vigezo na masharti ya Instagram zitaondolewa haraka.
Je Vipi Kuhusu Ukubwa wa Video..?
Kudownload Video za TikTok Bila Kuwepo Logo ya TikTok
Instagram imesema kuwa watumiaji wa Sehemu ya IGTV ambao wataruhusiwa kuweka video za sekunde 15 hadi dakika 10 wanatakiwa kuhakikisha video zao zisizidi kiwango cha MB 650, wakati wale wanaoruhusiwa kuweka video za hadi lisaa limoja video zao zisizidi GB 5.4.
Je Unawezaje kutengeneza Channel ya IGTV..?
Kwa sasa sehemu hii bado sijaweza kuiona ndani ya app ya Instagram, lakini tayari iko kwenye app zake maalum za Android na iOS. Hapa nitakuelekeza jinsi gani ya kutengeneza Channel ya IGTV kwenye Kompyuta, Android pamoja na iOS. Ni muhimu kujua kuwa unahitaji kutengeneza Channel ili uweze kuanza kuweka video zako kupitia sehemu hiyo ya IGTV.
Kwanza pakua App ya IGTV kupitia link hapo juu kisha install
Fungua App hiyo kisha bofya sehemu ya settings liyochorwa pembeni ya picha ya profile yako
Kisha bofya Create Channel
Baada ya hapo utaweza kuanza kuweka video zako moja kwa moja.
Ingia kwenye kivinjari cha kompyuta yako kisha tembele instagram.com
Ingia kwenye akaunti yako kisha bofya Profile kisha bofya sehemu ya IGTV
Kisha bofya sehemu iliyo andikwa Create Channel fuata maelekezo na utaweza kutengeneza channel yako tayari kuanza kuweka video.
Je Unatumiaje Sehemu Hii ya IGTV..?
Baada ya kumaliza hatua zote za kutengeneza channel ya IGTV, Sasa unaweza kuendelea kuweka video zako kwa kufuata hatua hizi.
Ndani ya Instagram App au App ya IGTV
Ndani ya App ya Instagram bofya kifufe cha IGTV au kwa kutumia App ya IGTV washa app hiyo.
Baada ya hapo bofya picha ya profile yako iliyoko upande wa kulia.
Kisha bofya kitufe cha jumlisha na chagua video kisha bofya next.
Weke kichwa cha Habari cha video yako weke maelezo ambayo unaweza kuweka na link kwenda kwenye tovuti yako au mahali popote kisha pia unaweza kuruhusu kutuma video hiyo kwenye akaunti yako ya Facebook ambayo ume link nayo.
Baada ya hapo maliza kwa kubofya Post.
Kwa kutumia Kompyuta
Fungua kivinjari cha kompyuta yako kisha tembelea Instagram.com
Ingia kwenye akaunti yako kisha bofya profile kisha chagua IGTV.
Baada ya hapo bofya Upload Video
Bofya kitufe cha jumlisha kisha chagua video kwenye kompyuta yako.
Weka kichwa cha habari cha video, kisha weka maelezo ya video ambayo pia unaweza kuweka link na pia kushare kwenye mtandao wa Facebook.
Vipi Kuhusu Kupata Pesa Kutokana na Video
Instagram imesema kwa sasa bado hakuna matangazo yoyote yatakayo kuwa yanapita kwenye sehemu ya Video ya IGTV, hivyo kwa sasa hakuna mtu yoyote atakaye kuwa analipwa pesa yoyote kutokana na video zake. Lakini kupitia kwenye mkutano wa uzinduzi wa sehemu hii, msemaji wa Instagram alisema hiyo ni sehemu nzuri sana ya kufanya matangazo hivyo pengine watumiaji wategemee kuona matangazo siku za karibuni.
Kuna Tofauti Gani Kutumia IGTV kwenye Instagram na App ya IGTV
Bado instagram haijaweka wazi kuhusu tofauti iliyopo, ila kwa muonekano tu App ya IGTV ni rahisi kutumia na haraka zaidi kuliko sehemu ya IGTV kwenye App ya Instagram.
Kwa sasa hayo ndio ya muhimu ya kujua kuhusu sehemu ya IGTV iliyo zinduliwa rasmi hapo jana, kwa hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, tayari app za IGTV zipo kwenye masoko yote ya App Store na Play Store, unaweza kupakua sasa na kuanza kutumia sehemu hiyo mpya kutoka mtandao wa Instagram. Kama kuna mahali umekwama au kuna chochote unataka kujua kuhusu IGTV unaweza kuuliza kupitia sehemu ya maoni hapo chini au tembele ukurasa wa instagram hapa kuweza kujua zaidi kuhusu sehemu hiyo.
Makala iliyopita Tetesi : Instagram Kuzindua Sehemu Mpya Inayoitwa IGTV Leo
Makala inayofuata TECNO Yashika Namba 7 Bidhaa Zenye Kukubalika Afrika (2018)
| 2020-06-01T23:37:22 |
https://tanzaniatech.one/2018/06/jinsi-ya-kutumia-igtv-instagram/
|
[
-1
] |
Mfumo wa SMS watumika kuwasajili watoto | Afrika yasonga mbele | DW | 08.12.2015
IDHAA YA KISWAHILI / Afrika yasonga mbele
Mfumo wa SMS watumika kuwasajili watoto
Asilimia 60 pekee ya watoto duniani wanasajiliwa, bila vyeti vya kuzaliwa hawawezi kwenda shule kufuatia kukosa kuwa na cheti hicho. Sasa mtaalamu wa masuala ya Kompyuta amepata suluhu ya tatizo hilo kubwa.
Tazama vidio 03:07
Elimu nzuri ya shule, labda chuo kikuu baadaye kisha upate kazi nzuri. Wazazi wanachohitaji ni maisha mazuri kwa watoto wao. Lakini hili halifanikiwi katika mataifa mengi ya kiafrika kwa sababubau ya kukosa utaratibu unaopaswa kuwepo. Watoto wengi hawasajiliwi baada ya kuzaliwa na hawapati vyeti vya kuzaliwa. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia watoto UNICEF linakadiria idadi ya watoto ambao hawajasajiliwa kufikia milioni 3 nchini Ivory Coast pekee. Shirika hilo linaendelea kukadiria kwamba asilimia 60 ya watoto wachanga duniani wanasajiliwa. Mtaalamu kijana wa masuala ya Kompyuta sasa amepata jibu ya tatizo hilo.
Maneno muhimu Afrika yasonge mbele, AoM, Ivory Coast, cheti chakuzaliwa, SMS
Kiungo http://p.dw.com/p/1HJL3
Disko la kimya mjini Kampala 20.11.2017
Teknolojia katika nyanja ya burudani inazidi kushika kasi ambapo mjini Kampala sasa kuna disko la kimya (Silent Disco) kwa kutumia kisikilizio (headphone) kila mtu anapata burudani pasipo kumbugudhi mwingine. Zaidi tazama video ya mwandishi Lubega Emmanuel.
Rwanda yapunguza ajali za barabarani 20.11.2017
Rwanda ni taifa la kutolewa mfano barani Afrika kwa kupunguza vifo vitokanvyo na ajali za barabarani. Zaidi tazama vidio iliyoandaliwa na mwandishi Dex Rugenera kutoka Kigali.
Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu elimu, Sayansi na Teknolojia UNESCO inakadiria kuwa mmoja kati ya wasichana kumi Kusini mwa jangwa la Sahara hukosa kuenda shule wanapopata hedhi kwa sababu ya kukosa sodo. Msanii wa Uganda Sadat Nduhira amekuwa akiwafundisha wasichana namna ya kujitengenezea sodo kwa njia rahisi.
Vidio zote kwenye Media Center
| 2018-01-23T13:11:33 |
http://www.dw.com/sw/mfumo-wa-sms-watumika-kuwasajili-watoto/a-18902253
|
[
-1
] |
RUS2018: Je World Cup itatoa mchezaji bora wa Ballon d’Or, Kaseja amtosa Messi, | ShaffihDauda
Home World Cup RUS2018: Je World Cup itatoa mchezaji bora wa Ballon d’Or, Kaseja amtosa...
RUS2018: Je World Cup itatoa mchezaji bora wa Ballon d’Or, Kaseja amtosa Messi,
Juzi nilikuwa kijiweni na washkaji. Jamaa mmoja akasema Ronaldo mwaka huu lazima abebe kiatu. Mwingine akasema hana jipya ni mfungaji bora tu wala sio mchezaji bora. Mabishano yalikuwa makubwa mwisho wa siku hakukuwa na maelewano. Mmoja akaniambia wewe si unachambuaga mpira tupe mtazamo wako. Niliwapa jibu moja tu. Ronaldo hakufurahishi kwa uchezaji wake lakini anakupa sababu ya wewe kujipiga kifua mtaani.
Lakini msimamo wangu bado ni ule ule kwamba kiwango cha Mo Salah msimu huu kimenikosha zaidi.
Takwimu za ronaldo zinabadilika sana. Tena mara kwa Mara. Miaka 33 anawafanya watu wamtazame kwa lugha tofauti.
Nilipata bahati ya kuongea na Juma kaseja. Juma Kaseja wakati naamuuliza kuhusu kombe la dunia kama linaweza kutwaa Bingwa wa Ballon d’Or alinijibu hivi.
Ukitaka kujua alichoongea Kaseja kama kombe la dunia litatoa mchezaji bora wa dunia
click hapa/Bonyeza hapa
Miaka kadhaa ya nyuma kombe la dunia lilitoa wachezaji bora wa dunia. Kwa mfano mwaka 2006 Fabio Canavaro alibeba tuzo kwa mafanikio ya taifa lake kutwaa ubingwa wa dunia.
Mwaka 2002 Ronaldo De lima akiliongoza taifa la Brazil kule nchini korea alifanikiwa kutwaa ubingwa wa dunia kwa kumtungua Oliver khan. Mwisho wa siku De lima alibeba ubingwa wa Ballon d’Or.
Mwaka 1994 Robberto Baggio alishindwa kubeba Ballon d’Or yake ya pili mfululizo licha ya kwamba taifa lake lilifika fainali ya kombe la dunia. Brazil waliifunga Italia kwenye fainali, Kwanini hakuna mchezaji wa brazil aliyeingia tatu bora? Kwa sababu Hristo Stochkvic aliibuka kinara wa kombe la dunia kwa mabao wala hakuna mchezaji wa Brazil aliuefanya vyema zaidi yake. Hristo alifunga mabao matano kwa Bulgaria kwenyr michuano ya kufuzu, kisha akafunga mabao 6 kombe la dunia na kutwaa kiatu cha dhahabu. Kubwa zaidi ni kuiondoa Ujerumani Magharibi waliokuwa mabingwa watetezi katika hatua ya Robo fainali.
Kumbe inawezekana usibebe kombe la dunia lakini ukafanya vyema na kutwaa tuzo hiyo. Hivyo Ronaldo hata kama Ureno haitofika fainali lakini wingi wake wa mabao ni kigezo tosha.
Lothar Matthaus alibeba Ballon d’Or baada ya kuchukua kombe la dunia mwaka 1990
Kwa ufupi tu. Inawezekana kubeba Ballon d’Or kupitia kombe la dunia lakini kuna mambo kadha wa ladha nimegundua. Kwanza lazima tuangalie mfungaji bora amefanikiwa kwa kiasi gani? Je kama umemebeba kombe la dunia je umefanya vizuri kuliko yule mfungaji bora. Kwa hiyo inawezekana kabisa mfungaji bora au mchezaji bora wa kombe la dunia akatwaa tuzo hiyo bora kabisa. Ingawa kwa siku za usoni wachezaji bora wa kombe la dunia wametoswa na Messi na Ronaldo.
Previous articleIMETHIBITISHWA: Hadi muda huu Wawa bado hajasaini mkataba Simba
Next articleAC Milan wapigwa pingu kushiriki michuano ya UEFA
| 2018-09-19T16:58:26 |
http://shaffihdauda.co.tz/2018/06/27/rus2018-je-world-cup-itatoa-mchezaji-bora-wa-ballon-dor-kaseja-amtosa-messi/
|
[
-1
] |
JK AKIFURAHIA SHAMBA LAKE LA MAHINDI
'"Kuna maisha baada ya Urais hususan wasaa wa kufanya yale uliyokosa muda wa kuyafanya kama kutumia muda na familia,kuangalia mifugo na shamba"
| 2018-05-21T20:45:00 |
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2017/06/jk-akifurahia-shamba-lake-la-mahindi.html
|
[
-1
] |
TAARIFA KUHUSU JENERAL MWAMUNYANGE KUWEKEWA SUMU. | Mutalemwa Blog
Home » HABARI KITAIFA » TAARIFA KUHUSU JENERAL MWAMUNYANGE KUWEKEWA SUMU.
TAARIFA KUHUSU JENERAL MWAMUNYANGE KUWEKEWA SUMU.
Wakati kukiwa kuna taarifa zinazoenezwa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zikisema mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jeneral Davis Mwamunyange kuwa amewekewa sumu na hali yake sahivi kuwa mbaya,,
Huku,taarifa hiyo ikisema sababu ya kuwekewa sumu huko, imetokana na masuala ya kisiasa,hatimaye Serikali imeibuka na kukanusha taarifa hizo na kusema ni za uongo zenye nia ya kufakaranisha Taifa.
Akikanusha Uvumi huo, leo Jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Afisa Habari wa Serikali ambaye pia ni mkurugenzi wa Idara ya Habari –Maelezo Assah Mwambene amesema Jeneral Mwamunyange yupo salama na anaendelea na kazi zake,akidai kuwa taarifa hizo zinalengo ya kuchonginisha watanzania na jeshi na kuharibu picha ya Amani na utulivu uliopo nchini.
Mwambene amewataka Watanzania kupuuza taarifa hizo huku akiwasihi kutoingiza siasa kwenye masuala nyeti ya nchi ikiwemo jeshi,kwani jeshi ni taasisi isiyojihusiha na siasa.
Wakati huo huo pia Serikali imetolewa ufafanuzi juu ya taarifa zilizoandikwa kwenye Gazeti la Tanzania Daima ambazo zilikuwa zinaubeza uteuzi uliofanywa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kwa kuwateua wakuu wa wilaya wapya, wakidai uteuzi huo ulikuwa ni wakulipa fadhira kwa kwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM.
Akifafanua uteuzi huo,Mwambene amesema watu wanaobeza ni uteuzi huo watakuwa hawajui sheria za nchi na kufahamu mamlaka ya Rais,
Amesema kwa mujibu wa sheria.kanuni za nchi na taratibu Rais anamamlaka ya kufanya uteuzi wakati wewote inapobidi kwa malengo ya kuboresha utendaji wa kazi serikalini.
“Serikali imesikitishwa na taarifa zilizotolewa na gazeti la Tanzania daima kuhusiana na uteuzi wa Rais,taarifa hizi ni za kichochezi na zinalenga kumchonganisha Rais na wananchi wake”amesema Mwambene.
Aidha,Mwambene amevitaka vyombo vya habari nchi kufanya utafiti na kusoma kabla ya kuandika habari ,na pia akavihasa kuandika habari zenye lengo la kujenga umoja na mshikamo badala ya kuandika habari zenye lengo kuwagawa Watanzania
Filed Under: HABARI KITAIFA on Tuesday, October 6, 2015
| 2017-11-23T05:40:14 |
http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2015/10/taarifa-kuhusu-jeneral-mwamunyange.html
|
[
-1
] |
ZOEZI LA KUANDIKISHA VITAMBULISHO VYA KUPIGA KURA KUANZA NOVEMBA ~ UVCCM BLOG ","thumbnails"===n.vars.controlNav&&!0===n.vars.thumbCaptions){var c=s.attr("data-thumbcaption");""!==c&&void 0!==c&&(a+=''+c+"")}n.controlNavScaffold.append("
Home » » ZOEZI LA KUANDIKISHA VITAMBULISHO VYA KUPIGA KURA KUANZA NOVEMBA
ZOEZI LA KUANDIKISHA VITAMBULISHO VYA KUPIGA KURA KUANZA NOVEMBA
Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kuanza katikati mwa Mwezi Novemba
Na Magreth Kinabo,Maelezo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesema kwamba zoezi la majaribio ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linatarajia kuanza rasmi katikati mwa mwezi Novemba mwaka huu.
Aidha NEC imefafanu kwamba zoezi hilo, litafanyika kwa kutumia mfumo mpya wa 'Biometric Voter Registration'(BVR) katika majimbo matatu ya uchaguzi ambayo ni Kawe katika Manispaa ya Kinondoni, Kilombero, Halimashauri ya Mji wa Kilombero na Mlele, Halimashauri ya Mlele, ambapo vituo vya uandikishaji vimewekwa katika kata zilizomo katika majimbo husika.(Martha Magessa)
Hayo yalisemwa na Makamu Mwenyekiti wa NEC pia na Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahamoud Hamid,wakati akisoma taarifa kuhusu kuanza kwa shughuli za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dares Salaam.
"Tume tayari imekwishapokea baadhi ya vifaa muhimu vya uandikishaji zikiwemo fomu za unadikishaji, hivyo kinachosubiriwa ni kupokea BVR kits 250 zinazotarajiwa kupokelewa wakati wowote kuanzia leo. Zoezi la Uandikishaji litakapoanza, vituo vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni, vyama vya siasa vinaruhusiwa kuweka mawakala wao katika kituo ili kushuhudia jinsi uandikishaji utakavyokuwa unafanyika," alisema Hamid.
Makamu Mwenyekiti huyo alisema baada ya zoezi hilo kukamilika zoezi hilo litaanza katika maeneo mengine.
" Tunatarajia Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika kwa wakati mmoja katika mikoa yote nchini isipokuwa mkoa wa Dares Salaam na Zanzibar.Uandikishaji katika mikao ya Dares Salaam na Zanzibar utafanyika baada ya uandikishaji katika mikoa yote utakapokamilika.Muda wa uandikishaji utakuwa ni siku saba katika kila kituo," alisema.
Aliongeza kwamba uandikishaji katika mikoa yote umepangwa kufanyika kuanzia mwanzoni mwa mwezi Januari, mwaka huu hadi katikati ya Februari mwaka huu, wakati katika mikoa ya Dares Salaam na Zanzibar utafanyika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu.
Alisema uandikishaji katika mikoa yote utafanyika katika awamu nne kwenye kila halimashauri ili kutoa fursa ya kuhamisha vifaa vya uandikishaji kutoka eneo moja kwenda eneo lingine.
"Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utahusisha wapiga kura wote wapya na wa zamani. Wapiga kura wa zamani yaani wale ambao walikuwa wamejiandikisha katika Daftari la Zamani, watatakiwa kwenda katika vituo vya kujiandikisha vilivyoko karibu na maeneo wanayoishi ili kuchukuliwa taarifa zao hasa alama za vidole, picha na saini zao kuiongizwa katika mfumo Biometric Voter Registration na hatimaye watapewa vitambulisho vipya." Alisisitiza.
Alisema wapiga kura ambao watakuwa na kadi zao za kupiga kura za zamani watatakiwa kwenda na kadi zao katika kituo cha kujiandikisha ili kurahisisha zoezi la kuhamisha taarifa zao za awali katika mfumo mpya wa BVR.
Aidha alifafanua kwamba kwa wapiga kura waliopoteza kadi au wale ambao kadi zao zimeharibika watatakiwa kwenta kituoni ili kujiandikisha na kupewa kadi mpya.
Hamid alisema kwa wapiga kura wenye vitambulisho vya taifa Dares Salaam na Zanzibar watakuja na kadi zao ambazo ni taarifa zao zitasomwa na vifaa maalum ili kupunguza muda utakaotumika katika zoezi hilo, pia watapewa kadi mpya ya mpiga kura.
Alisema kwa wapiga kura wanaoishi na ulemavu na wale ambao hawajui kusoma na kuandika wanaruhusiwa kwenda kituoni na mtu mmoja katika familia wanayemuamini ili kusaidia katika uandikishaji.
"Uboreshaji huu unahusisha pia kuandikisha wapiga kura wote waliotimiza umri wa miaka 18 au zaidi na wale ambao ifikapo siku ya upigaji kura ya maoni na uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 watakuwa wametimiza umri wa miaka 18. Pia wale wote ambao kwa sababu mbalimbali hawakuwahi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mazoezi yote uandikishaji yaliyopita," alisisitiza.
Hivyo jumla ya watu wenye umri wa miaka 18 na zaidi wapatao milioni 23.09 wanatarajiwa kujiandikisha.
Hamid aliongeza kwamba mpiga kura atakayejiandikisha katika daftari hilo la sasa pekee na kupewa kadi ndiye atakayeruhusiwa kupiga kura.
"Wakati wa uandikishaji, kipaumbele kitatolewa kwa watu wanaoishi na ulemavu, wazee, wagonjwa wakinamama wajawazito na wenye watoto wachanga. Hivyo hawatalazimika kusimama kwenye mstari.
Naye Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka NEC, Julias Malaba alisema tayari kiasi cha fedha cha Sh. bilioni 15 zimeshatolewa kwa ajili ya zoezi hilo.Huku Makamu Mwenyekiti wa NEC akisema bajeti halisi litafafanuliwa baadae.
Kwa upande wake, Sisti Cariah ambaye ni Mkuu wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Naibu Katibu NEC, alisema daftari hilo litakamilika Aprili 14,mwaka huu na litawekwa wazi kwa muda wa siku tano katika maeneo husika ili kumwezesha kila mtu aliyejiandikisha aende kukagua na kujiridhisha kwa taarifa zake zimeandikwa kwa usahihi.
Tume hiyo inatoa wito kwa wananchi wote wenye sifa za kujiandikisha kujitokeza kwa wingi katika vituo vyote vya uandikishaji kwa ajili ya kujiandikisha katika daftari hilo.
Akizungumzia kuhusu mfumo wa BVR alisema unasaidia kupunguza ujiandikisha mara mbili na kuwa na taarifa sahihi.
| 2018-01-23T05:42:06 |
https://uvccmtz.blogspot.com/2014/10/zoezi-la-kuandikisha-vitambulisho-vya.html
|
[
-1
] |
dj sek: WADAU WAAANZA KUJENGA UELEWA KUHUSU SIKU YA MAGONJWA YANAYOTOKEA KWA KUNDI DOGO LA JAMII
Kauli mbiu ya Siku ya Magonjwa Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii Mwaka 2016 ni ‘Sauti za Wagonjwa’ na inamaanisha kutambua mchango muhimu unatolewa na wagonjwa katika kutaka mahitaji yao na kuchochea mabadiliko ambayo yataboresha maisha yao na masiha ya familia zao na maisha ya wale wanaowahudumia.Kauli mbiu ya Siku ya Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la wanajamii ambayo ni, “Ungana nasi kuzifanya sauti za waathirika zisikike” ikitaka jamii kwa jumla, wale wanaishi bila magonjwa hayo au wanaothirika nayo moja kwa moja kuungana na jamii ya waathirika katika kuelewa athari za magonjwa hayo. Watu wanaoishi na magonjwa hayo na familia zao mara kadhaa hutengwa. Jamii inaweza kuwaunganisha kutoka kwenye kutengwa huko. Lengo la jumla la Siku ya Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la jamii ni kuhamasisha uelewa miongoni wa umma kwa jumla kuhusu magonwa hayo na athari zake kwa maisha ya wagonjwa ili kuyapa kipaumbele kwenye afya ya jamii ya Tanzania na kwenye bajeti ya serikali kupitia Wizara husika.
| 2017-01-24T21:19:25 |
http://dj-sek.blogspot.com/2016/03/wadau-waaanza-kujenga-uelewa-kuhusu.html
|
[
-1
] |
Mchezo Njia ya Andromeda Online. Kucheza kwa huru
Mchezo Njia ya Andromeda
Unachezwa: 3427 Online Michezo
Nafasi Nafasi Mario Mizinga Online Risasi kwa wavulana Vita Michezo Mipira Jamii kwa ajili ya wavulana Super Mario Tanchiki PLAY MAELEZO REVIEWS Kuhusiana DOWNLOAD Kucheza mchezo Njia ya Andromeda Online:
Maelezo ya mchezo Njia ya Andromeda
Nguvu sana flash nafasi shooter na graphics kubwa na spetsefektov stunning na sauti. Kucheza na utakuwa ni majuto. . Kucheza mchezo Njia ya Andromeda online. Kiufundi na tabia ya mchezo Njia ya Andromeda
Mchezo Njia ya Andromeda aliongeza: 08.04.2011
Ukubwa wa mchezo: 3.19 MB
mchezo unachezwa: 3427 mara
Michezo kama mchezo Njia ya Andromeda
★ ★ ★ ★ ☆ Vita na wageni
★ ★ ★ ★ ☆ Gigi michezo
★ ★ ★ ☆ ☆ Bubble mizinga 2
★ ★ ★ ★ ☆ Muziki nafasi
★ ☆ ☆ ☆ ☆ Wazimu mech robowars
★ ★ ★ ★ ★ Spiderman: Nafasi Shooting
★ ★ ★ ★ ★ Ndege hasira - twende!
★ ★ ★ ★ ☆ Dora ya Purple Sayari Adventure
★ ★ ★ ★ ☆ Mgeni mashambulizi
★ ★ ★ ★ ☆ Ben 10 - robot uvamizi
★ ★ ★ ☆ ☆ Nafasi marbles
★ ★ ★ ☆ ☆ Kupatwa
★ ★ ★ ☆ ☆ Future Mbio nafasi
★ ★ ★ ★ ★ Mgeni mashambulizi timu II
★ ★ ★ ★ ★ vita ya mwisho. Remix
★ ★ ★ ★ ☆ Mechi Escape
★ ★ ★ ★ ☆ Sayari mshambuliaji
★ ★ ★ ★ ☆ Nafasi vita
★ ★ ★ ★ ☆ Nafasi wavamizi 2
★ ★ ★ ☆ ☆ Download mchezo Njia ya Andromeda
Embed mchezo Njia ya Andromeda katika tovuti yako:
Njia ya AndromedaBonyeza hapa kwa kucheza mchezo huu
Kuingiza mchezo Njia ya Andromeda kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo Njia ya Andromeda, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia! Pamoja na mchezo Njia ya Andromeda, pia alicheza katika mchezo:
| 2017-03-27T22:27:31 |
http://sw.itsmygame.org/126695008/way-to-andromeda_online-game.html
|
[
-1
] |
Bali Gr — hali ya hewa kwa mwezi, joto la maji
Dunia Resorts Nchi Ugiriki Bali Gr
Wastani kiwango cha joto kila siku — 29.7°C Agosti. Wastani kiwango cha juu usiku joto — 22.3°C Agosti. Wastani wa kima cha chini joto kila siku — 13.3°C mwezi Januari. Wastani wa kima cha chini usiku joto — 9.7°C mwezi Januari.
Upeo hapa na pale — 98.6 mm Ilikuwa kumbukumbu mwezi Januari. Kiwango cha chini hapa na pale — 13.6 mm Ilikuwa kumbukumbu Julai.
| 2019-10-17T21:29:33 |
http://meteodb.com/sw/greece/bali_gr
|
[
-1
] |
Kitaifa Mwanri aagiza walimu wa tuisheni wasakwe
Kitaifa Polisi wanaoshirikiana na wauza ‘unga’ waonywa
Kitaifa Pemba yatenga maeneo 4 wagonjwa corona
Kitaifa Simbachawene kuifumua Nida
Kitaifa Aliyekuwa Mwenyekiti ACT- Wazalendo ajivua uanachama
Kitaifa Mwanri afuta likizo maofisa afya wazuie corona
John Mhala, Arusha
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewataka viongozi wa dini kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika kupiga vita unyanyapaaji watu wenye Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwani ni kinyume cha mila na desturi za Kitanzania.
Ndugai alisema hayo jana jijini hapa wakati akifungua mkutano wa siku moja wa viongozi wa dini, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ukimwi, Dawa vya Kulevya na Kifua Kikuu na wajumbe wa Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi.
Spika Ndugai alisema nafasi ya kufanya hivyo kwa viongozi wa dini ipo kwani kumnyanyapaa mtu mwenye Virusi Vya Ukimwi ni sawa na ubaguzi wa rangi na Watanzania wana upendo na mshikamano hivyo hali hiyo haistahili kuwepo.
Naye Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), Dk Leonard Maboko alisema watu zaidi ya 24,000 hufaa kwa Ukimwi nchini na 72,000 hupata maambukizi mapya na watu 200 hupata maambukizi kila siku.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo alisema watu wote wana thamani mbele ya Mwenyezi Mungu kama vitabu vya dini vinavyoeleza hivyo kumnyanyapaa mtu ni dhambi na ni kumkosea Mwenyezi Mungu.
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (NACOPHA), Deogratius Rutatwa alisema vijana hawapendi kupima Ukimwi na wakipima na kuanza kupata dawa hukatisha dozi na kukimbia
Mwandishi: John Mhala, Arusha
Magereza waomba msaada kuzuia corona
JESHI la Magereza nchini limesema liko katika mazungumzo na serikali ...
Walipaji kodi ardhi watakiwa kuepuka corona
Akamatwa kwa kulima bangi kwenye mahindi
SERIKALI wilayani Tandahimba mkoani Mtwara inamshikilia mkazi wa kijiji cha ...
Mbeya waonywa kugeuza pombe dawa corona
WAKAZI mkoani Mbeya wametakiwa kuepuka matumizi ya vilevi vikali kwa ...
Uvinza yahamasisha uzalishaji mbegu chikichi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imehamasisha uzalishaji wa ...
Viongozi wa dini kupunguza muda wa ibada
KATIKA kuunga mkono jitihada za serikali kukabiliana na maambukizi ya ...
dakika 9 zilizopita Kennedy Kisula, Lindi
Bunge laridhishwa fedha kukuza ujuzi
masaa 2 yaliyopita Anastazia Anyimike, Dodoma
BUNGE limeridhishwa na upatikanaji wa fedha za kutekeleza mradi wa ...
masaa 15 yaliyopita Mwandishi Maalumu, Tabora
| 2020-04-02T21:09:19 |
https://habarileo.co.tz/habari/2020-02-215e4f92357d6a4.aspx
|
[
-1
] |
CHADEMA WAMPIGANIA LEMA MAHAKAMA KUU – Maisha Ya Kiimani
Home / Habari Za Kitaifa / CHADEMA WAMPIGANIA LEMA MAHAKAMA KUU
komaji November 8, 2016 Habari Za Kitaifa Leave a comment 74 Views
WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamekaa kwa muda wa saa saba wakimsubiri Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
Wafuasi hao akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa na Mbunge wa Viti Maalumu, Joyce Mukya walikuwa wamekaa kwa saa kadhaa kumsubiri Mbunge huyo.
Walisubiri bila mafanikio huku saa za mahakama zikiwa zinayoyoma.
Lema ambaye hadi jana anasota mahabusu kwa siku ya sita sasa, hata hivyo ilipofika saa saa 8:52 mchana Wakili wa Mbunge Lema, John Mallya alisema inashangaza hadi sasa ni kwa nini Mbunge huyo alikuwa hajafikishwa mahakamani.
Mallya alisema Lema alikamatwa Jumatano iliyopita mkoani Dodoma na kuletwa hadi Arusha na amekaa mahabusu kwa zaidi ya saa 175 na ni kinyume cha haki za binadamu kwani Polisi wanapaswa kukaa na mshitakiwa kwa saa 24.
Alisema wamefungua kesi ya jinai namba 56/2016, ambayo ipo kwa Jaji Salma Magimbi ambaye atasikiliza kesi hiyo kesho asubuhi.
Katika kesi hiyo waliyofungua mahakamani hapo jana ni kutaka Lema aitwe mahakamani ili kesi yake ya msingi anayoshtakiwa nayo isomwe na mshitakiwa apate dhamana.
Pili wamemshtaki Mkuu wa Kituo cha Polisi, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO), Kamanda wa Polisi (RPC), Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambao pia katika kesi hiyo waliyofungua, wakili Mallya anataka walipwe gharama za usumbufu wa kesi ikiwemo kufuatilia huku na kule ili Lema atoke.
Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa alidai utawala wa sheria unagandamizwa na sheria imekiukwa.
Tags bunge habari za kitaifa Siasa
Previous KHUTBA YA IJUMAA SHEIKH NURDIN KISHKI MADA KUTOTEKELEZA AHADI NI KATIKA SIFA MBAYA VOL 3
Next BURIANI SAMUEL SITTA
Duterte aondoa polisi kutoka vita dhidi ya madawa ya kulevya
Polisi Misri wapambana na waandamani kutokana na kifo cha kijana mmoja
JKT Ruvu, Shooting ni ‘vita’ leo
AL-QAEDA YATHIBITISHA KUUAWA KWA KIONGOZI WAO.
| 2018-06-21T19:59:29 |
http://maishayakiimani.or.tz/?p=1158
|
[
-1
] |
Hivi 'audience' ya Clouds Fm ni nani? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Hivi 'audience' ya Clouds Fm ni nani?
Discussion in 'Celebrities Forum' started by Mwita25, Nov 3, 2011.
Jana kwenye taarifa ya habari ya saa 12 jioni nilisikia mtangazaji wao akisema '' mademu wawili wamefikishwa mahakamani mkoani Shinyanga kwa kosa la shambulio.........''. Hii lugha ya kihuni huwa inamlenga msikilizaji wa aina gani hasa? Hivi hii Radio ina mkuu wa vipindi kweli au kanyaga twende tu.
Hio ni Radio ya vijana Mwita25 hio Radio mara nyingi inaendeshwa very informal for ndo their style... Watu wazima wengi wanaosiia ndo wale vijana wa miaka la late 90s na early 2000; ambao they don't mind hio lugha...
Biashara yoyote unapoanzisha ni lazima ujue target audience yako ni ipi,kwa kuangalia umri,eneo na jinsia. Sasa ukitazama Radio kama Clouds utaona kuwa audience ambayo wamelenga kwa asilimia zaidi ya 80 ni vijana. Na vijana awa ni wale ambao ni kuanzia miaka 16-35. Kwa hiyo lugha kama hiyo kutumika sio ajabu.
Na nadhani sio wao tu,vipo vituo vingi vya Radio vyenye lugha kama hizo. Nilimsikia Waziri anayehusika na mambo ya habari akisema kuwa Tz ndio nchi inayoongoza kwa kuwa na vyombo vingi vya habari. Sasa hivi Tz kuna vituo vya Redio zaidi ya 70.
iyo redio kiukweli haina hata maadili hata kidogo, japo wanasema ni redio ya vijana ila wapo vijana ambao hawapendi hiyo lugha ya kichenzi sasa unadhani itaheshimika vipi!
ni mwita 25
habari za wasi wasi na wasi wasi wasi mwabulambo hizo
iyo redio kiukweli haina hata maadili hata kidogo, japo wanasema ni redio ya vijana ila wapo vijana ambao hawapendi hiyo lugha ya kichenzi sasa unadhani itaheshimika vipi!Click to expand...
Shida iko wapi...??? Si waache kusikiliza tu...!!! Unajuwa kuna watu wanataka asichokipenda yeye basi dunia nzima isipende................aaahmxxiiii
wanasikiliza wauzaji na wateja wa ule mtandao wa nusu shilingi
Me huwa nasikiliza sports extra na kile kipindi cha njia panda kila jumapili. Programe zingine zinaboa kinoma.!
Wasilikilizaji ni wengi tu ndo maana bado ipo
Kibonde.
Kibonde.Click to expand...
Unaelewa maana ya neno 'audience' au ndiyo mambo yetu ya vyuo vya kata?
No tukubaliane na huu mshangao; ni wapotoshaji audience or not kama hiyo ilikuwa ni taarifa lazima kuwa makini
Hio ni Radio ya vijana Mwita25 hio Radio mara nyingi inaendeshwa very informal for ndo their style... Watu wazima wengi wanaosiia ndo wale vijana wa miaka la late 90s na early 2000; ambao they don't mind hio lugha...Click to expand...
sidhani! radio hii ni kwa ajili ya vijana ambao hata maishani hawajielewi, i mean hawana agenda! vijana wa kawaida huwa tunaskiza muziki wao tu, lakini sio ile mijadala ya kina asalamaleko!
kundi kubwa la watanzania ni vjana na asilimia kubwa ni wale ambao hawajaelimika hao ndiyo wasikilizaji wakubwa wa haka karedio ka mashoga. nimejaribu kufatilia nimegundua kuwa waskilizaji wake wengi ni mabeki3 na wa mama wa nyumbani. ukiangalia sana washabiki wa haka karedio ndio washabiki wa movie za kibongo hahahaaaaaa. nimefuatilia sana hasa vyuoni mara chache sana kukuta wanaskiliza hii redio au kutazama movie za kibongo, movie zao wasomi wanaita tutorial ambazo huangalia sana wawapo campus.
kwa kifupi wasikilizaji wa redio hii ni vijana kuanzia form 1-6,wafanyakazi wa saluni za kike na kiume,wapenda bongo fleva, na kuna vipindi vya asubuhi na taarabu ambavyo walengwa ni mama wa nyumbani na mahausigeli.
Lakini kuna hichi kitoto Shadee nadhani hivi karibuni itabidi nichague watu 2-3 hapa JF mkapeleke barua ya posa kwao nimetokea kumpenda sana.
Lakini kuna hichi kitoto Shadee nadhani hivi karibuni itabidi nichague watu 2-3 hapa JF mkapeleke barua ya posa kwao nimetokea kumpenda sana.Click to expand...
naomba niwe kwenye ujumbe wako wa posa mkuu.
Jana kwenye taarifa ya habari ya saa 12 jioni nilisikia mtangazaji wao akisema '' mademu wawili wamefikishwa mahakamani mkoani Shinyanga kwa kosa la shambulio.........''. Hii lugha ya kihuni huwa inamlenga msikilizaji wa aina gani hasa? Hivi hii Radio ina mkuu wa vipindi kweli au kanyaga twende tu.Click to expand...
arrrg wewe nawe thread zako zimekaa ki saluni saluni mambo ya leo tena na umbea umbea acha hizo wewe.Acha thread zako za kike kike
Vumilia Shida
arrrg wewe nawe thread zako zimekaa ki saluni saluni mambo ya leo tena na umbea umbea acha hizo wewe.Acha thread zako za kike kikeClick to expand...
thread za kike zikoje na za kiume zikoje? I hate mwanaume anaedharau wanawake. Bila uwepo wa u-kike wewe ungekuwepo vipi duniani? Watu wengine mnakera sana...tpuuu
| 2017-07-27T17:27:34 |
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-audience-ya-clouds-fm-ni-nani.188641/
|
[
-1
] |
MICHUZI BLOG: Warembo wanaotaka kushiriki shindano dogo la kumsaka mwakilishi wa Tanzania katika Miss World 2012 waendelee kuchukua fomu - LUNDENGA
Warembo wanaotaka kushiriki shindano dogo la kumsaka mwakilishi wa Tanzania katika Miss World 2012 waendelee kuchukua fomu - LUNDENGA
WAREMBO wanaotaka kushindana katika shindano dogo la kumsaka mwakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Dunia (Miss World 2012) wameombwa kuendelea kuchukua fomu za kushindana katika kinyang’anyiro hicho na kuzirudisha kabla ya Juni 4.
Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga amesema kuwa wanatarajia kufanya mchujo wa washiriki Juni 5 kwa ajili ya kubakiza warembo 10 kwa ajili ya kuwania nafasi ya kushiriki katika mashindano ya Dunia yaliyopangwa kufanyika Agosti 18 kwenye ukumbi wa Dongsheng Fitness Center Stadium, mjini Ordos, Inner Mongolia, China.
MH!!!!ATI NI KWELI HUYU NI MZEE WA KUONJA?
| 2014-11-23T23:46:18 |
http://www.issamichuzi.blogspot.com/2012/05/warembo-wanaotaka-kushiriki-shindano.html
|
[
-1
] |
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFUNGUA JENGO LA NHIF NA KUHUTUBIA MAMIA YA WANANCHI WA JIJI LA MBEYA | Blogu Rasmi ya Ofisi ya Rais
← RAIS MHE. DKT. MAGUFULI NA RAIS PROF.MUTHARIKA WAZINDUA MASIMU WA SOKO LA TUMBAKU KANENGO – LILONGWE NCHINI MALAWI. APRILI 25, 2019 RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA MBEYA-LWANJILO-CHUNYA KM 72 NA KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA CHUNYA-MAKONGOLOSI KM 39 CHUNYA MKOANI MBEYA →
| 2019-11-22T04:36:44 |
http://blog.ikulu.go.tz/?p=30474
|
[
-1
] |
MICHUZI: WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA MKOA RUVUMA KESHO
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA MKOA RUVUMA KESHO
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Thabit Mwambungu akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu kuanza kwa ziara ya Waziri Mkuu katika mkoa wa Ruvuma hapo kesho.
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu anawatangazia wananchi wa mkoani Ruvuma kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda (Mb) atafanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Ruvuma kuanzia kesho tarehe 06 Julai 2012 hadi tarehe 07 Julai 2012.
Akiwa mkoani Ruvuma Mheshimiwa Waziri Mkuu atafanya kazi ya kuzindua kampeni ya Kimkoa ya matumizi ya matrekta makubwa katika kilimo ili kuhamasisha Jamii kutumia zana bora za kuongeza uzashalishaji wa mazao na hatimaye kuinua uchumi wa wananchi.
Aidha katika ratiba ya ziara hiyo Mheshimiwa Waziri Mkuu atapokea taarifa ya mkoa ya shughuli za maendeleo , taarifa ya maendeleo ya Chama Tawala CCM ,atapokea taarifa ya shamba na kukagua maandalizi ya kilimo cha kahawa katika kijiji cha Lipokera na hatimaye atapata fursa ya kuongea na wananchi wa mkoa wa Ruvuma kupitia wananchi wa Manispaa ya Songea katika viwanja vya Zimanimoto.
Wito unatolewa kwa wananchi wa Manispaa wa Ruvuma na vitongoji vya jirani kujitokeza kwa wingi katika kumlaki na kumsikiliza Waziri Mkuu atakapowasili na akapokuwa katika maeneo ya kazi kama ratiba yake inayoonyesha.
Mwisho.Imetolewa naRevocatus A.KassimbaAfisa HabariOfisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma05 Julai 2012
| 2013-06-20T04:12:51 |
http://www.issamichuzi.blogspot.jp/2012/07/waziri-mkuu-kuanza-ziara-ya-mkoa-ruvuma.html
|
[
-1
] |
Spika Job Ndugai Awataka Viongozi Wa Dini Na Watanzania Kuhubiri Na Kudumisha Amani Na Utulivu Nchini - Mpekuzi Huru | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content
Na Benny Mwaipaja, KondoaSPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka watanzania kuwa na uvumilivu wa masuala ya kidini ili nchi iendelee kuwa na amani, utulivu na maendeleo.
Mratibu na Mwandaaji wa mashindano hayo, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kondoa, Dkt. Ashatu Kijaji, amesema kuwa lengo la mashindano hayo ya kuhifadhi Qur'an Tukufu ni kuwajengea vijana maadili mema ili waweze kushiriki kikamilifu kuleta maendeleo ya taifa. Mgeni Rasmi katika Mashindano hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustapher Shabaan amewapongeza vijana walioshiriki mashindano hayo na kuonesha umahili mkubwa wa kuhifadhi qoran na kuwataka waumini wa kiislamu kusoma na kukielewa kitabu hicho kitukufu kwa kuwa kimejaa elimu na maarifa mengi yatakayo wasaidia kuenenda vyema katika jamii na kupata thawabu kutoka kwa Mungu.
| 2018-06-20T15:25:39 |
http://presstz.net/spika-job-ndugai-awataka-viongozi-wa-dini-na-watanzania-kuhubiri-na-kudumisha-amani-na-u-38885039
|
[
-1
] |
LK. 24, Swahili Union Version (SUV) | The Bible App
1 # Mt 28:1-8; Mk 16:1-8; Yn 20:1-13 Hata siku ya kwanza ya juma, ilipoanza kupambazuka, walikwenda kaburini, wakiyaleta manukato waliyoweka tayari. 2Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi, 3Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu. 4Ikawa walipokuwa wakifadhaika kwa ajili ya neno hilo, tazama, watu wawili walisimama karibu nao, wamevaa nguo za kumeta-meta; 5nao walipoingiwa na hofu na kuinama kifudifudi hata nchi, hao waliwaambia, Kwa nini mnamtafuta aliye hai katika wafu? 6#Mt 16:21; 17:22-23; 20:18-19; Mk 8:31; 9:31; 10:33-34;Hayupo hapa, amefufuka. Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa akaliko Galilaya, Lk 9:22; 18:31-33 7akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tatu. 8Wakayakumbuka maneno yake. 9Wakaondoka kaburini, wakarudi; wakawaarifu wale kumi na mmoja na wengine wote habari za mambo hayo yote. 10#Lk 8:2,3Nao ni Mariamu Magdalene, na Yoana, na Mariamu mamaye Yakobo, na wale wanawake wengine waliokuwa pamoja nao; 11hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo. 12Maneno yao yakaonekana kuwa kama upuzi kwao, wala hawakuwasadiki. Lakini Petro aliondoka akaenda mbio hata kaburini, akainama akachungulia ndani, akaviona vile vitambaa vya sanda tu; akaenda zake akiyastaajabia yaliyotukia.
13 # Mk 16:12,13 Na tazama, siku ile ile watu wawili miongoni mwao walikuwa wakienda kijiji kimoja, jina lake Emau, kilichokuwa mbali na Yerusalemu kama mwendo wa saa mbili. 14Nao walikuwa wakizungumza wao kwa wao habari za mambo hayo yote yaliyotukia. 15#Mt 18:20Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao. 16Macho yao yakafumbwa wasimtambue. 17Akawaambia, Ni maneno gani haya mnayosemezana hivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao. 18Akajibu mmoja wao, jina lake Kleopa, akamwambia, Je! Wewe peke yako u mgeni katika Yerusalemu, hata huyajui yaliyotukia humo siku hizi? 19#Mt 21:11Akawauliza, Mambo gani? Wakamwambia, Mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii, mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za Mungu na watu wote; 20tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulibisha. 21#Lk 1:68; 2:38; 19:11; Mdo 1:6Nasi tulikuwa tukitumaini ya kuwa yeye ndiye atakayewakomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipotendeka mambo hayo; 22#Lk 24:1-11tena, wanawake kadha wa kadha wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema, 23wasiuone mwili wake; wakaja wakasema ya kwamba wametokewa na malaika waliosema kwamba yu hai. 24#Lk 24:12; Yn 20:3-10Na wengine waliokuwa pamoja nasi walikwenda kaburini wakaona vivyo hivyo kama wale wanawake walivyosema, ila yeye hawakumwona. 25Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii! 26Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake? 27#Kum 18:15; Zab 22:1-21; Isa 53:1-12Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe. 28Wakakikaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, naye alifanya kama anataka kuendelea mbele. 29Wakamshawishi wakisema, Kaa pamoja nasi, kwa kuwa kumekuchwa, na mchana unakwisha. Akaingia ndani kukaa nao. 30#Lk 22:19Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa. 31Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao. 32Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia maandiko? 33Wakaondoka saa ile ile, wakarejea Yerusalemu, wakawakuta wale kumi na mmoja wamekutanika, wao na wale waliokuwa pamoja nao, 34#1 Kor 15:4,5wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli, naye amemtokea Simoni. 35Nao waliwapa habari ya mambo yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao katika kuumega mkate.
36 # Mk 16:14-18; Yn 20:19-23; 1 Kor 15:5 Na walipokuwa katika kusema habari hiyo, yeye mwenyewe alisimama katikati yao, akawaambia, Amani iwe kwenu. 37#Mt 14:26Wakashituka, wakaogopa sana, wakidhani ya kwamba wanaona roho. 38Akawaambia, Mbona mnafadhaika? Na kwa nini mnaona shaka mioyoni mwenu? 39Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo. 40Na baada ya kusema hayo aliwaonyesha mikono yake na miguu yake. 41Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula cho chote hapa? 42#Yn 21:5,10Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa. 43Akakitwaa, akala mbele yao.
44 # Lk 9:22,45; 18:31-33 Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika Manabii na Zaburi. 45Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko. 46#1 Tim 3:16Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; 47na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. 48Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. 49#Mdo 1:4; Yn 15:26; 16:7Na tazama, nawaletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.
50 # Mdo 1:9-11 Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki. 51Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni. 52#Yn 16:22; 14:28Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wenye furaha kuu. 53Nao walikuwa daima ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu.
Explore LK. 24 by Verse
LK. 24:2
LK. 24:3
LK. 24:4
LK. 24:5
LK. 24:6
LK. 24:7
LK. 24:8
LK. 24:9
LK. 24:10
LK. 24:11
LK. 24:12
LK. 24:13
LK. 24:14
LK. 24:15
LK. 24:16
LK. 24:17
LK. 24:18
LK. 24:19
LK. 24:20
LK. 24:21
LK. 24:22
LK. 24:23
LK. 24:24
LK. 24:25
LK. 24:26
LK. 24:27
LK. 24:28
LK. 24:29
LK. 24:30
LK. 24:31
LK. 24:32
LK. 24:33
LK. 24:35
LK. 24:36
LK. 24:37
LK. 24:39
LK. 24:40
LK. 24:41
LK. 24:43
LK. 24:44
LK. 24:45
LK. 24:48
LK. 24:50
LK. 24:51
LK. 24:52
LK. 24:53
| 2018-09-23T14:09:01 |
https://www.bible.com/bible/164/LUK.24.SUV
|
[
-1
] |
Nigeria's pastors 'as rich as oil barons' | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by SirBonge, Jun 14, 2011.
Increasing numbers of Nigerians are attending independent church services, like this one in Lagos Nigeria's pastors run multi-million dollar businesses which rival that of oil tycoons, a Nigerian blogger who has researched the issue has told the BBC.
Mfonobong Nsehe, who blogs for Forbes business magazine, says pastors own businesses from hotels to fast-food chains. "Preaching is big business. It's almost as profitable as the oil business," he said.
Mr Nsehe said the richest of them, Bishop David Oyedepo of the Living Faith World Outreach Ministry, was worth about $150m. Bishop Oyedepo owned a publishing company, university, an elite private school, four jets and homes in London and the United States, according to Mr Nsehe.
'Private jets' The Nigerian blogger said Bishop Oyedepo was followed on the rich list by Pastor Chris Oyakhilome of the Believers' Loveworld Ministries. He was worth between $30 and $50m. Mfonobong Nshe said:
These pastors are flamboyant. You see them with private jets and expensive cars
"Oyakhilome's diversified interests include newspapers, magazines, a local television station, a record label, satellite TV, hotels and extensive real estate," Mr Nsehe said. He said three of the other richest pastors were: Temitope Joshua Matthew of the Synagogue Church Of All Nations (worth between $10m and $15m);
Mr Nsehe said representatives of all the clergymen, except Pastor Ashimolowo, confirmed ownership of the assets he had listed on his blog. "These pastors are flamboyant. You see them with private jets and expensive cars. This extravagance sends out the wrong message to their followers," he told the BBC's Network Africa programme. He said the pastors acquired their wealth from various sources, including their congregations. "We have Nigerians who are desperate, looking for solutions to their problems. They go to church for salvation, redemption and healing and pastors sometimes take advantage of them," Mr Nsehe said.
The joint wealth of five pastors was at least $200m (£121m), he said!!!!!
...tajiri kuingia mbinguni ni sawa na ngamia kupita ktk tundu ya sindano?
...tajiri kuingia mbinguni ni sawa na ngamia kupita ktk tundu ya sindano?Click to expand...
Weye waamini Mbiguni au ahera?
Weye waamini Mbiguni au ahera?Click to expand...
Tusiende mbali, kuna mega churches kila kona hapa Dar. Je ina maana hawa preachers wetu nao they are as rich as akina Rostam? Tuanzie pale Mikocheni kwa mama mbunge, halafu tusogee Sam Nujoma Rd, the list goes on.
Tusiende mbali, kuna mega churches kila kona hapa Dar. Je ina maana hawa preachers wetu nao they are as rich as akina Rostam? Tuanzie pale Mikocheni kwa mama mbunge, halafu tusogee Sam Nujoma Rd, the list goes on.Click to expand...
Kuna kosa gani kuwa na fedha? Au nyie mmekatazwa na allah?
Kuna kosa gani kuwa na fedha? Au nyie mmekatazwa na allah?Click to expand...
ngoja nikachome ndizi halafu nitarudi
ngoja nikachome ndizi halafu nitarudiClick to expand...
Ha ha ha ha ha ha ha ha, okay, Mkuu
Hakuna Mtu asiyejuwa kama hiyo kazi ya Pastor Uchungaji ni pesa duniani pote Wajinga ndio waliwao ni wizi wa hali ya juu na Binadamu anapenda kuongopewa palipo na ukweli uongo hujitenga Mapadri,Wachungaji , na hao wanaowafuata hao Viongozi wao ni motoni siku inakuja wamepotea na njia. Hao Wachungaji wanaongopea wanafunzi wao wa kilokole Eti wanaweza kufuta Madhambi yao wakati Bwana YESU Mwenyewe amesema hivi nanukuu ([h=2]Marko, Chapter 2)[SUP]2:7[/SUP] Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?[/h]
Just wonder what will our Lord Jesus Christ say about these extravagant pastors?
Are you all that 100% sure that your pastors (especially the ones belonging to these mega churches) are that good and holy?
I remember my grandfather telling me Jesus Christ rode on a donkey and not on an extravagant twenty horses pulled luxurious coach, Mercedes Benz or Range Rover.
Why are these mega church pastors/preachers so extravagant wearing very expensive suits, driving expensive vehicles, living large and at the same time telling the members of their congregation to bring gold, jewelry, and all their wealth to the church. As I mentioned before kabla hatujaanza kuwasema hawa preachers wa kipopo hebu tuanzie hapa Dar...Mikocheni kwa mama mbunge wetu
]Marko, Chapter 10[SUP]10:25[/SUP] Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. Ni Rahisi kuingia Ngamia katika Tundu ya sindano kuliko Wachungaji kuingia peponi.
Hakuna Mtu asiyejuwa kama hiyo kazi ya Pastor Uchungaji ni pesa duniani pote Wajinga ndio waliwao ni wizi wa hali ya juu na Binadamu anapenda kuongopewa palipo na ukweli uongo hujitenga Mapadri,Wachungaji , na hao wanaowafuata hao Viongozi wao ni motoni siku inakuja wamepotea na njia. Hao Wachungaji wanaongopea wanafunzi wao wa kilokole Eti wanaweza kufuta Madhambi yao wakati Bwana YESU Mwenyewe amesema hivi nanukuu ([h=2]Marko, Chapter 2)[SUP]2:7[/SUP] Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?[/h]Click to expand...
Lakini mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi! (Mt. 9:6)!
]Marko, Chapter 10[SUP]10:25[/SUP] Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. Ni Rahisi kuingia Ngamia katika Tundu ya sindano kuliko Wachungaji kuingia peponi.Click to expand...
Marehemu Muhammad, Allah wenu, alipata mali zake kwa wizi kwa kupora misafara ya wafanyabiashara, kwa mawazo yako huyo ndiye ataingia mbinguni?
Lakini kuna watu wa Mungu pia katika Biblia ambao tunaelezwa kwamba walikuwa matajiri sana kwa mfano Ayubu hadi shetani akamuonea wivu na kuanza kuangamiza watoto na mali zake. Pia Mfalme Selemani naye alikuwa tajiri sana bila kuwasahau Isaka na Yakobo ingawa inaweza kuja hoja kwamba wao hawakuwa wachungaji. Inawezekana wengi wao wakawa wamepata mali hizo kwa kuwanyonya washirika/wafuasi wao lakini pia siyo vizuri kufanya 'hasty generalization'.
Lakini kuna watu wa Mungu pia katika Biblia ambao tunaelezwa kwamba walikuwa matajiri sana kwa mfano Ayubu hadi shetani akamuonea wivu na kuanza kuangamiza watoto na mali zake. Pia Mfalme Selemani naye alikuwa tajiri sana bila kuwasahau Isaka na Yakobo ingawa inaweza kuja hoja kwamba wao hawakuwa wachungaji. Inawezekana wengi wao wakawa wamepata mali hizo kwa kuwanyonya washirika/wafuasi wao lakini pia siyo vizuri kufanya 'hasty generalization'.Click to expand...
Biblia haijakataza mtu kuwa tajiri, kinacho-matter ni umeupataje huo utajiri na intentions zako na unautumia vipi. Kinachonifanya nijiulize maswali mengi ni pale mchungaji/pastor etc anapotumia mali/sadaka za kanisa kwa manufaa yake binafsi.
The joint wealth of five pastors was at least $200m (£121m), he said!!!!!Click to expand...
Duu!! Hiyo hela nzuri mkuu, na mimi nitaanzisha church la nguvu
Kiuhalisi watumishi wa Mungu wanapaswa kuwa matajiri si ombaomba kila siku, kama tu ni utajiri wa halali na anautumia kwa utukufu wa Mungu.Kumbukeni wao pia ahadi za utajiri toka kwa Mungu Yesu zinawahusu. Fil4:19, zab1:3, ayub42:10,12 1wafalme3:5,13 Wachangiaji mnatakiwa kuwa ua independent side of thinking, sio mtu akitoa threads kwa sehemu kubwa mnachangia kwa mwelekeo wa aliyetoa thread. Inatakiwa kuchangia kiuhalisia kama si halisi pinga tusiwe wanafki, kumpa moyo mtoa thread kwamba yuko sahihi wakati hayuko sahihi.
Marehemu Muhammad, Allah wenu, alipata mali zake kwa wizi kwa kupora misafara ya wafanyabiashara, kwa mawazo yako huyo ndiye ataingia mbinguni?Click to expand...
........ watajirisheni tu mwayego ! kwani kuna ubaya gani kununua kikombe kwa shs 500/=, sabuni za upako kwa shs 5,000/=, kila ombi la kuondolewa shida zako shs 10,000/= sadaka za shukran, zaka, kununua vitenge vilivyoombewa, nakadhalika*2
Haya uliyo weka hapa ni madai. Sasa saidia madai yako kwa ushahidi yakinifu. Hizo streets talks wont help you guys.
Kosa lipo wapi Mchungaji akiwa na PESA? - 0 people likes
Why are these mega church pastors/preachers so extravagant wearing very expensive suits, driving expensive vehicles, living large and at the same time telling the members of their congregation to bring gold, jewelry, and all their wealth to the church. As I mentioned before kabla hatujaanza kuwasema hawa preachers wa kipopo hebu tuanzie hapa Dar...Mikocheni kwa mama mbunge wetuClick to expand...
For your information Jesus had MEGA MINISTRY. Mkutano wake mmoja tu, ulijaza zaidi ya watu ELFU TANO, ENZI HIIIIZZZO, sembuse sasa. Hakuna kosa la MEGA CHURCH kama unavyo ita wewe, hilo ni jibu tosha kuwa UKRISTO NI NAMBA WANI NA UNAZOA NA KUBATIZA WAISLAM KILA SIKU.
| 2017-01-20T12:35:50 |
https://www.jamiiforums.com/threads/nigerias-pastors-as-rich-as-oil-barons.145619/
|
[
-1
] |
Hivi kwenda bar au club ni uhuni??? - Page 3
Registered Members: 130,448
Current Users Online: 23936
Topic: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???
11th July 2012 13:55
Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???
Sio uhuni ni usela.
Define the term "concept" first, then go into my postings you will know the concepts I am trying to drive home
Likes Received2657
Umeanza kuzeeka sasa wifi angu hivi leo tunaenda club au baa?.....tukutane pale kwenye ile baa ya siku zote lol....uwahi eeh!
wifi uzee sifa........nitakupeleka kijiwe kipya tukutane kona ya kwanza utafurahia supu ya ulimi...... wifi nakuaminia kwa kuwahi eneo husika
11th July 2012 15:24
Yaani hapa nishaanza safari ujue lol!.......sasa kwa hasira utanikuta kona ya pili!
kwenda bar ni uhuni na sio uhuni na inategemea unaenda kufanya nini kama unaenda kunywa tuu na kukutana na marafiki na kupiga stori huu sio uhuni kama unaenda bar kulewa na kutafuta malaya na kufanya vitu ambavyo havina maadili huu sasa ni uhuni
kuliko kujifungia ndani na kulia, kuleta msongo wa mawazo mwishoe mi pressure humo humo ni bora kujichanganya na friends na kwenda club kama anvyofanya but awe tu makini asije akaingia kwenye balaa jingine huko club, hata hvyo kuna njia nyingi nyingine za kupotezea hzo stress ambazo ni nzur zaid mfano anaweza akaenda gym, kama anapenda kuandika, kufanya mazoez hata ya kutembea tu kwa umbali fulan, kuimba kama anapenda,,,,,. zaid pole yake kwa yaliyomkuta.
Hivu uhuni ni nini? maana kuna mambo mengine yanasemwa jumla jumla tu bila kuelewa hata maana ya maneno tunayoyatumia
11th July 2012 15:31
You want me to define it as a noun or an adjective?
11th July 2012 15:34
mambo ya kihuni yote yako bar na club..so wahuni pia hujumuika huko..
Namshangaaaa! .....au uzee umemzidia nae huyu....ujue aliniomba nimnunulie ugoro sasa mwenzie sijapata mda wa kwenda kununua ndio ishakuwa deni tena!
vibabu vingine havichelewe kuacha laana mpatie mwenye zamu ya kukaguliwa leo ampeleke usije chelewa kijiweni
11th July 2012 15:36
Yuko wapi Preta nimpeleke kuepuka hii laana?
11th July 2012 15:40
Yeh ni uhuni
11th July 2012 16:17
Mi nafikiri sio uhuni ila kama kuna machafu utakayoyafanya huko ndio uhuni.
11th July 2012 16:18
Ukianza kujiuliza kila kitu huto toka hata ndani ya chumba chako mwambie afurahie maisha kwa wakati wake.
11th July 2012 16:35
charminglady, habari yako kwanza!
Katika maisha kuna vitu vingi vya kuangalia kabla hujafanya kitu unachofikiria kukifanya, hii inahusisha pia ni namna gani jamii ya maeneo hayo inatreat jambo unalotaka kulifanya. Kwa mfano wazungu wanavaa vikaptula na malapa na wanatembea mjini and nobody cares lakini akivaa mswahili hivyo kila mtu atashangaa kwanini kavaa hivyo. Sasa tunarudi kwenye jambo lako hili,
Kwa mila za kiafrika imezoeleka kwamba kuna maeneo ambayo mwanamke kwenda bila uangalizi wa mwanaume ni kitendo kisichoeleweka sana kwa jamii. Moja ya maeneo hayo Club au katika maeneo ya unywaji pombe. Sasa kwanini labda ilipelekea hili? Kawaida wanaume huangalia wanawake kwa mtazamo wa matamanio na kitu pekee kinachowafanya wapishane na kusalimiana na kuongea bila kitu chochote kutokea ni pale mwanamke anapokuwa kwenye clear state of mind ambayo hupotea kwa kiasi kikubwa anapokuwa kwenye influence ya kilevi na ndio maana role ya mwanaume huonekana hapa kwani ndio huchukua nafasi ya kumprotect mwanamke huyo against any unusually incidences so pale anapoonekana mwanamke yuko peke yake kwa mtazamo wa harakaharaka huonekana hajatulia sana.
Pili ni tabia zinazoendelea ndani ya club ambazo huchangia sana kwa wanaume kutotaka kuwaruhusu wanawake zao kwenda club peke yao. Binadamu ameumbwa na ubinafsi kwahiyo kwa vile amezoea kuona kutoka ndani ya club kuna vitendo vinavyofanyika vinavyoweza kufanya ule ubinafsi wake kwa mpenzi wake kupungua ndio maana wanaume wengi hawapendi kuwaruhusu wapenzi wao kutoka bila wao.
Cha tatu ni influence waliyonayo wanawake kwa wanawake wakiwa peke yao, ni rahisi sana kama wametoka wanawake wawili na mmoja akawa na mpenzi wake mwingine akawa peke yake kushawishiwa kujiingiza kwenye mahusiano na mtu mwingine (mara nyingi kama kuna mtu ameambatana na huyo mpenzi wake) so wanaume wengi huwa wanalijua hili na kujitahidi kuliepuka.
Kiufupi mtazamo wa watu juu ya kitendo hicho una cons nyingi kuliko pros........lakini mwisho wa siku kama anaamua kuziba masikio na kuendelea na maisha yake kama kawa huku akikubali kuwa judged vile vile
11th July 2012 16:46
kujibu swali la thread
hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
uta react vipi?
The Boss kwa mimi bianfsi cwezi kureact kwani nina mfano hai 1 kuna mkaka alioa baamedi na sasa ni wanandoa wazuri tu lakini leo hii ukimwambia mtu kuwa unaoa baamed atakujia juu kama moto wa kifuu.... kinachoamata ni tabia ya mtu binafsi na sio mahali mlipokutania...... mnaweza kukutana kanisani lakini akawa na tabia mbaya kuliko hata machangudoa!
Hapo hata mwalimu angemfukuza mwanafunzi asisome tena, angemwambie kisha maliza university kabla hajafika, good point.
Iwapo unaenda shambani na ukifika huko unakamata jembe au panga na kushiriki yale matendo ya kondeni basi unabaki kuwa mkulima, ingawa daraja lako la kuitwa mkulima isiwe sawa na yule mwenye kumiliki shamba kubwa anaetumia trekta na mashine nyengine.
Asante kwa ushauri, ila ukisoma katika thread yangu utaona kuwa huwa anatoka na marafiki, schoolmates, workmates na co pekeyake. na hao marafiki zake humtreat kwa jinsi alivyo... co kimapenzi!
11th July 2012 17:04
sio uhuni, ila jamii inayotuzunguka inachuluklia hiyo tabia kama uhuni, hata hapa Jf kuna siku tulidiscuss mke mlevi na mpenda starehe, comment nyingi zilionesha kwamba sio tabia nzuri kupenda mambo hayo
Mchumba wa aunt ezekiel afunguka: "wanawake ni wauaji"......ni baada ya kugundua kuwa aunt kafunga n
Bahati . . . . .!!
| 2013-05-21T08:37:32 |
http://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/290735-hivi-kwenda-bar-au-club-ni-uhuni-3.html
|
[
-1
] |
USHAURI: Mkopo Wa Benki. - JamiiForums
Thread starter mjasiliaupeo
1,677 1,771 280
Mimi Ni Kijana Wa Miaka 25 Nina Eneo(kiwanja) Limepimwa Na Nipo Katika Hatua Za Mwisho Za Kufuatilia Hati,
Nahitaji Kutumia Hati Yangu Kuchukulia Mkopo Ili Niboreshe Frem Za Biashara Zilizopo Katika Eneo Hilo, Kwa Kuzingatia Maendeleo Ya Mtaa Nimegungua Miundombinu Iliyopo Haiwezi Kukidhi Mahitaji Na Pesa Nyingi Zinapotea Kutokana Na Ubovu Wa Miundo Mbinu Hiyo.
Kuhusu Thamani Ya Eneo Langu Sina Shaka Nikilinganisha Na Kiasi Ninachokihitaji. Lakini Kabla Ya Kufanya Hivyo Nimeona Vyema Niombe Ushauri Kwanza Kwa Kuwa Sikuwahi Kujihusisha Na Mikopo Hapo Kabla.
Ili Niweze Kuliendeleza Eneo Hilo Ipasavyo Ninahitaji Tsh16mil(kama Nilivyosema Hapo Awali, Thamani Ya Eneo Ni Zaidi Ya Mara Tatu Ya Hiyo Pesa)
Baada Ya Kufanya Hivyo, Nitapata Pesa(kodi) Si Chini Ya Laki Saba Kwa Mwezi, Na Uwezo Wangu Wa Kuwekeza Ukiongeza Na Vyanzo Vingine Ni Laki5 Kama Malejesho Kwa Mwezi
Nataka Nishauliwe, Kutokana Na Vielelezo Hapo Juu Juu
1)je Inawezekana?
2)nahitaji Ushauri Zaidi Wa Kibenki Na Njia Salama Zaidi
AsanteniSana
715 387 80
maelezo yako bado hayatoshelezi vizuri.. kwa kukisia tu mkopo mingi kisia kwa uhakika 30 % riba kwa mwaka, marejesho yako ya chini kabisa kwa mwaka fanya 600,000 x 12 = 7,200,000 kwa haraka haraka 16 mln unaweza hitaji mkopo wa miaka 4 ili marejesho hayo kulipa mkopo na riba yake (7.2 mln x 4 = 28.8 mln) ina maana ili kulipa mkopo huo utahitaji marejesho ya kila mwezi yasiopungua sh 600,000 kila mwezi kwa miaka minne mfululizo bila kukosa... kazi kwako uliza tena kama una swali
kiwanja kiko wapi?
nimekuelewa mkuu asante, maelezo yako yanajitosheleza, asante sana kwa laki 6 sio shida ntajipanga.
tabata segerea bus terminal.
Kwa kuwa ndo unaanza biashara, si busara kibiashara kupata mtaji kwa njia ya mkopo kwani utakuwa unafanya biashara kwa presha na itakugharimu pesa nyingi ya malipo ya huo mkopo hapo baadae. Kwa kuwa una mtaji mali (kiwanja), una upeo (ujasialiaupeo), wewe ni kijana, una elimu, na umefanya utafiti wa kutosha kwa hicho unachotaka kufanya. UZA hicho kiwanja upate hela. Tenga kiasi cha mtaji ulichokuwa unataka, kiasi kingine weka bank ktk akaunti za muda maalum ambapo utakuwa unapata ongezeko la riba. then fanya biashara kwani nina imani, kama unaweza kupata laki 6 kila mwezi za marejesho kutoka katika faida ya biashara yako, unaweza pia kununua kiwanja kiwanja kama hicho baada ya mwaka au miaka miwili kuliko kuishi na madeni miaka minne. Woga wako ndo umaskini wako, take risk in a positively and secured way.
Likes: mito and Nguyaki
4,559 914 280
Nafikiri nilivyomuelewa biashara itakuwa sehemu hicho kiwanja anachotaka kuchukulia mkopo so hawezi uza
aaaah, kumbe ana eneo la kiwanja alilojenga frem za biashara na anataka aboreshe kisha apangishe kwa wahitaji ambapo atakuwa anapata mapato kutokana na kodi za frem hizo...!! mmmh, kwa hili..
Pia kuweka bank fedha kwa kutegemea interest ya 0.2 ambayo pia wakati mwingine inamezwa na service charges ni nora kuwekeza UTT au hisa.
Mkuu umesema kuna fremu tayari lakini zinahitaji kuboreshwa hivyo we huanzi biashara cha maana Hapa ni kuweka records za mapato upatayo sasa hata Kama ni kidogo fungua account ya biashara na endelea fuatilia hiyo hati ni muhimu records zako na statement yako ziwepo ili kuonyesha historia Fulani hapo sasa unaweza kugonga mlango benki ..utakuwa umekidhi vigezo vingi ..-1-historia, 2-security unayo 3- ni mradi ambao unajua utarudisha kiasi Fulani so benki wanajua pesa Yao itarudi kumbuka benki wapo kwenye hii biashara na wao hawataki kupoteza hela so kadri records zako zilivyo vizuri na historia na security ndivyo wao wanaweza fanya kazi na wewe ...ni hayo tu kwa Leo mkuu
ndio hivyo mkuu, eneo langu liko sehemu ya biashara na kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu, nachohitaji kufanya nikubomoa frem zilizopo na kutengeneza nzuri zaidi ambazo znaendana na wakati. asante kwa ushauri.
asante mkuu, nimekuelewa.
Nyerere aliwahi kusema MIKOPO YA BENKI ZA TANZANIA LABDA UWE UNAUZA BANGI NDIO UTAWEZA LIPA RIBA ZAKE KUBWA SANA!
Likes: Nguyaki and mito
Hakuna kuuza kiwanja wala kukopa benki we tafuta watu wanaohitaji fremu bora af unaandikiana nao mkataba af wanaboresha then unawakata kwenye kodi
Likes: Nguyaki and esirside
| 2019-03-23T02:29:35 |
https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-mkopo-wa-benki.567592/
|
[
-1
] |
sawa luten jeneral Basheer
sawa sawa mtabiri mzee tambitambi
hili swala usilichukulie simple MI ya jw ni ya hovyo saana toka zamani
mfano eneo aliloteka idd amin kwa dk 25 jw walitumia wiki kama sita kulikomboa
uchumi ni muhimu nyie ni majirani
Kwa hiyo unataka kusema Rwanda ina uchumi mkubwa kuliko Tz.
Acha utani mkuu unataka kusema tulipigana golila war.
tz ilikuwa inakuwa kwa kasi kabla ya vita ya kagera vita hyo haikuwa na sababu ya maana zaidi ya ubabe wa kijamaa wa mwalimu ndiye aliyeanzisha chokochoko
vita iliwasababishia hasara ya matrilion kisa akili finyu ya majasusi wenu
kwanini msingesapoti waasi tu ?
chaguo lenu alikuwa ni kichwa maji obote ila mkauzuga mseven ndomaana baada ya kuiteka nchi kuna briged ilichapana na mseven
vita ile mlishinda coz raia wa uganda walikuwa upande wenu mlikuwa mkitegewa ambush wanawaambia that why maeneo ya porini mlikuwa mnachakazwa vibaya
pk anamaadui pande zote lkn vita yake sio simple kivile maana kapo vzr kiasi chake
Kam vita sio simple kwa nn iwe simple kwa Rwanda kuipiga Tanzania yenye misingi imara kuliko Rwanda.pia lazima ujue hii nchi haikuota kama uyoga ni nchi iyo undwa kwa makafala na damu za watu.mwambie pk aache kuota Tz sio Burundi wala Rwanda.na ikitoke ntakuwa mstari wa mbele kuja kubaka dada zenu
wap nimeandika mnazidiwa uchumi?
Golila war zote mlipoteza na labda ndio sababu kila siku ADF wanawatwanga
KKam vita sio simple kwa nn iwe simple kwa Rwanda kuipiga Tanzania yenye misingi imara kuliko Rwanda.pia lazima ujue hii nchi haikuota kama uyoga ni nchi iyo undwa kwa makafala na damu za watu.mwambie pk aache kuota Tz sio Burundi wala Rwanda.na ikitoke ntakuwa mstari wa mbele kuja kubaka dada zenu
misingi imara ni nini?
vita ni mipango,mbinu na teknolojia sio ukubwa wa eneo wala maneno
Kagame ni mama tu mbele ya tz lbda huyo jiwe ndio anaempa umaarufu na intelligence community ya tz ishamuonya jiwe
Kwa awamu hii hakuna mwanajeshi mwenye moyo wa kwenda kupigana. wengi mabishoo. jiwe hakubaliki nchini, labda wazembe wa Chato tuuu, Wakongwewa vita tokea enzi za K.A.R.-- Tarime,Mugumu, mmmm yaani wakurya woote watamuunga mkono Kagame kuiondoa CCM madarakani
hajikagoro
Endelea kuota mchana kweupe
Sijui nani alimsanua kwenye mvutano wake na JK maana tayari vifaa na mitambo mizito ya kivita ilikua imeshasogezwa Benako ikisubir amri yai Amiri jeshi mkuu. Wenyeji wa Ngara tunajua kilichokua kinaendelea. Kwa mitambo na vifaa vilivyokua Benako, tulikua tunaingia Kigali muda wa breakfast
Nchi kubwa maana yake jeshi kubwa zaidi
Vita sio ukubwa wa nchi mkuu. Vita ni mbinu sikuhizi
Faza nelly yupi?
Kumbe na wewe huwa unapiga FIX?
Make me remember that man huu uzee hadi naawasahau malegendari
mwakibolwa alifanya nini
unafki wa wacongo kivip akati camp ipo porini kbs
back ilikuta tayari wameshaondoka
na kwanini south aligoma kupeleka bac up on time?
sema tu mjipe moyo kuwa askari walionesha uwezo wa kimedani kias fran
Wewe ni mshabiki wa vita au mtaalamu wa jeshi?
Kipindi kile analeta chokochoko na Tz (wakati wa JK) nilipatwa na hasira naye huyu jamaa.
Nilienda kwenye page yake ya FB nikamwandikia ujumbe ambao sijui kama aliusoma. Na kama aliusoma basi huwenda ndiyo ulimfanya anyong'onyee.
Kwa Tanzania ni mtu mdogo sana huyu. Sasa inakuwaje awe king of east Africa. TZ ikikooa tu basi yeye kushnei
View attachment 969984View attachment 969985View attachment 969986View attachment 969987View attachment 969989View attachment 969990View attachment 969991View attachment 969992
| 2019-04-23T10:29:29 |
https://www.jamiiforums.com/threads/king-of-east-africa-bilashaka-huu-ndiye-anayeongoza.1523436/page-12
|
[
-1
] |
DK.SHEIN AWAAPISHA DK. MAUA DAFTARI NA RAHMA ALLY KHAMIS, LEO ~ CCM Blog ","thumbnails"===n.vars.controlNav&&!0===n.vars.thumbCaptions){var c=s.attr("data-thumbcaption");""!==c&&void 0!==c&&(a+=''+c+"")}n.controlNavScaffold.append("
Home » » DK.SHEIN AWAAPISHA DK. MAUA DAFTARI NA RAHMA ALLY KHAMIS, LEO
Bashir NkoromoJanuary 23, 2017
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Dk. Mauwa Abeid Daftari kuwa Msahauri wa Rais katika masuala ya Pemba katika hafla iliyofanyika leo Ikulu MjinI Unguja.
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Rahma Ali Khamis kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja.(Picha na Ikulu, Zanzibar
| 2018-07-18T18:31:35 |
http://ccmchama.blogspot.com/2017/01/dkshein-awaapisha-dk-maua-daftari-na.html
|
[
-1
] |
Shamsa: Napenda Sana ‘Chupi’ za Mtumba.... - Celebrity Swaggz I Official Website '+l+"
Home » shamsa ford » Shamsa: Napenda Sana ‘Chupi’ za Mtumba....
Shamsa: Napenda Sana ‘Chupi’ za Mtumba....
Licha ya baadhi ya mastaa kudai wanavaa nguo spesheli tu, tena zile zilizofungwa kwenye nailoni, staa wa filamu Bongo Shamsa Ford amefunguka kuwa, yeye huwa anapendelea kuvaa nguo za mitumba zikiwemo nguo za ndani ‘makufuli’.
shamsaAkizungumzia nguo anazopenda kuvaa, mdada huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwaye Terry alisema, kuna mtu huwa anampelekea nguo ‘classic’ za mitumba na anachagua zile zinazomfaa, ananunua na kuzivaa.
“Niseme tu ukweli kwamba, napenda sana nguo za mtumba, hata makufuli. Huwa nanunua, nazifua na kuziweka ‘sopusopu’ kisha navaa, sioni shida katika hilo,” alisema Shamsa.
Serikali iliwahi kupiga marufuku uuzwaji wa nguo za mitumba za ndani kama vile makufuli, brazia na soksi lakini bado nguo hizo zimekuwa ni kimbilio kwa watu wengi wakidai zina ubora na ni za kijanja zaidi.
| 2018-06-21T23:24:56 |
http://www.celebrityswaggz.com/2016/06/shamsa-napenda-sana-chupi-za-mtumba.html
|
[
-1
] |
Imewekwa: Jun, 21 2019
Kongamano la Uwezeshaji Kisarawe lazinduliwa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Raisi ,Tamisemi Mheshimiwa Suleiman Jafo amezindua Kongamano la Uwezeshaji katika Wilaya ya Kisarawe ambalo limelenga kuandaa mazingira bora kwa wajasiriamali walio kwenye vikundi vya uzalishajimali hapa nchini na jumuiya za kifedha zikiwemo SACCOSS na VICOBA.
Kongamano hilo la siku tatu limeandaliwa kwa ushirikiano wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ambapo taasisi mbalimbali za urasimishaji wa biashara, Mabenki na Mifuko ya Uwezeshaji walipata nafasi ya kutoa mafunzo ya Uwezeshaji kwa wajasiriamali.
Moja kati ya mambo yaliyojadiliwa katika Kongamano hilo ni pamoja na uanzishaji wa kituo cha Pamoja Cha Uwezeshaji katika Wilaya ya Kisarawe ambacho kitakutanisha watoa huduma za kifedha na taasisi za urasimishaji wa biashara na mafunzo ili kumuondolea mzigo mjasiriamali.
Akizungumza kuhusiana na suala hilo Katibu Mtendaji wa Baraza Bibi Beng’i Issa amesema kuwa kituo cha Uwezeshaji cha Kahama kilianzishwa kama mfano lakini lengo hasa ni kuwa na vituo kama hicho kwa nchi nzima ili kuwaondolea usumbufu wajasiriamali wanaotafuta mitaji, elimu, taarifa za masoko na kurasimisha biashara zao.
“Mwaka jana kwa maelekezo ya Waziri Mkuu tulifanikiwa kuanzisha kituo cha Uwezeshaji katika Wilaya ya Kahama hivyo ni vema sasa Wilaya nyingine zote zikaiga mfano huo kwa kujenga vituo vingi zaidi nchini”alisema Katibu Mtendaji.
Kongamano la Uwezeshaji lililofanyika Kisarawe ni moja kati ya utekelezaji wa maagizo ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye amekuwa akisisitiza umuhimu wa wa Serikali za Mikoa na Wilaya kufanya uhamasishaji wa uwezeshaji wananchi kiuchumi kupitia mikakati mbali mbali ikiwemo makongamano ya wadau wa uwezeshaji wananchi kiuchumi.
| 2020-06-04T04:06:56 |
https://www.uwezeshaji.go.tz/news/kongamano-la-uwezeshaji-kisarawe-lazinduliwa
|
[
-1
] |
LISSU ATAKA WOTE WALIOPATA FEDHA ZA ESCROW WAKAMATWE - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio
Uncategories LISSU ATAKA WOTE WALIOPATA FEDHA ZA ESCROW WAKAMATWE
| 2017-10-19T14:48:47 |
http://www.kijukuu.com/2017/07/lissu-ataka-wote-waliopata-fedha-za.html
|
[
-1
] |
WAZIRI MKUU AZINDUA MPANGO MKAKATI WA AFYA MOJA ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = '
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa azindua Mpango Mkakati wa Afya Moja na Dawati la Kuratibu Afya Moja nchini ni lenyelengo katika kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa mahala safi na salama kwa kuishi na kufanya kazi za kimaendeleo.kulia kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Bibi Jenista Mhagama.na kushoto ni Waziri wa kilimo kutoka serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hamadi Rashid Uzinduzi hou umefanyika leo Februari 13 /2018 jijini Dar es salaam
| 2019-03-19T03:42:23 |
http://khalfansaid.blogspot.com/2018/02/waziri-mkuu-azindua-mpango-mkakati-wa.html
|
[
-1
] |
Gabriel: Zipo njia nyingi za kuusuluhisha mzozo kati ya Qatar na majirani zake | Matukio ya Kisiasa | DW | 04.07.2017
Gabriel: Zipo njia nyingi za kuusuluhisha mzozo kati ya Qatar na majirani zake
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel baaya ya kuwasili mjini Abu Dhabi
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel anaendelea na ziara katika nchi za Ghuba ya Uarabu, katika juhudi za kusuluhisha mzozo mkubwa kati ya Qatar na nchi kadhaa za kiarabu zilizoiwekea vikwazo. Akizungumza muda mfupi uliopita katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Gabriel ameelezea matumaini ya kupatikana suluhisho, akisema zipo njia nyingi za kuumaliza mzozo huo.
Waziri Gabriel amewasili katika Umoja wa Falme za Kiarabu akitokea Saudi Arabia, ambako jana alizungumza na waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo, kuhusu mzozo unaotokota kati ya Qatar kwa upande mmoja, na nchi nyingine nne za Kiarabu zilizoitenga kiuchumi na kidiplomasia. Akizungumza mjini Abu Dhabi, Gabriel amesema maoni yake yanafanana na yale ya Umoja wa Falme za Kiarabu, kwamba ufadhili wote kwa makundi ya kigaidi unapaswa kukomeshwa, na kuongeza kuwa zipo njia nyingi za kuumaliza mzozo kati ya Qatar na majirani zake.
Ufadhili kwa magaidi wafanywa na watu binafsi!
Safari ya upatanishi katika mzozo wa Ghuba, Sigmar Gabriel aliianzia nchini Saudi Arabia
Baada ya mazungumzo na mwenzake wa Saudi Arabia Adel al-Jubeir hapo jana mjini Jeddah, Sigmar Gabriel nchi za eneo la Ghuba ya Uarabu zinaweza kunufaika kwa kukubaliana kuacha kuunga mkono ugaidi.
''Mtu akitafakari suluhisho bora linaloweza kupatikana kutokana na mzozo wa sasa, nadhani ni makubaliano kwamba kila upande uache kuunga mkono makundi ya kigaidi na yenye misimamo mikali'', amesema Gabriel na kuongeza kuwa ingawa inafahamika kuwa uungaji mkono huo haufanywi na serikali, bali mara nyinyi unafadhiliwa na watu binafsi, lakini eneo zima linapaswa kumaliza kabisa ufadhili kwa makundi yote hayo.
Waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu Sheikh Abdullah bin Zayed al-Nahayan amesema nchi yake na washirika wake bado wanasubiri jibu kutoka upande wa Qatar, kuhusu masharti iliyotakiwa kuyatekeleza ili iweze kuondolewa vikwazo ilivyowekewa.
Sheikh Al-Nahayan amesema bado ni mapema kuzungumzia vikwazo zaidi kwa Qatar, akisisitiza hatua zaidi zitategemea jibu kutoka kwa wale aliowaita ''Kaka zetu wa Qatar''.
Qatar yakataa kuyumbishwa
Qatar, nchi ndogo lakini tajiri sana, imetengwa na majirani zake muhimu
Nchi za kiarabu zilizoungana kuiwekea vikwazo Qatar ambazo ni Saudi Arabia, Bahrain, Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu, hapo jana zilirefushwa muda wa mwisho kwa Qatar kwa saa 48, ili kuwaruhusu maafisa wa nchi hiyo kufikisha majibu kwa njia ya barua, kwa mfalme wa Kuwait ambaye amejitwisha jukumu la upatanishi.
Miongoni mwa masharti magumu iliyotakiwa kuyatekeleza mara moja Qatar ni kukifunga kituo cha televisheni cha al-Jazeera ambacho inakifadhili kifedha, kupunguza mahusiano na Iran, na kukiondoa kituo cha kijeshi cha Uturuki kwenye ardhi yake.
Hapo jana waziri wa mambo ya nje wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani alisema masharti hayo ya washirika wao wa zamani yatakataliwa. Vile vile wakili wa Qatar aliyaita masharti hayo ukiukaji wa sheria za kimataifa, akiyalinganisha na uonevu ambao kihistoria uliishia katika uhasama na vita.
Maneno muhimu Qatar, Sigmar Gabriel, Gulf, Saudi Arabia
Kiungo http://p.dw.com/p/2fsys
| 2017-10-20T12:14:02 |
http://www.dw.com/sw/gabriel-zipo-njia-nyingi-za-kuusuluhisha-mzozo-kati-ya-qatar-na-majirani-zake/a-39535470
|
[
-1
] |
STAA JUSTINE BIEBER ASEMA HAYA BAADA YA KUJITOA INSTAGRAM | Masama Blog
» STAA JUSTINE BIEBER ASEMA HAYA BAADA YA KUJITOA INSTAGRAM
STAA JUSTINE BIEBER ASEMA HAYA BAADA YA KUJITOA INSTAGRAM
Pop staa kutoka Canada Justin Bieber amekiri rasmi mbele ya mashabiki zake kuwa hana mpango wa kurudi tena kwenye mtandao waw kijamii wa Instagram na kwamba anaimani ni jambo la kishetani kutumia mtandao huo.
Justin kasema haya kwenye show yake Uingereza mjini London kuwa hana mpango wa kurudi IG na kwamba kaupotezea kabisa mtandao huo…
| 2017-03-30T08:47:51 |
http://www.masamablog.com/2016/12/staa-justine-bieber-asema-haya-baada-ya.html
|
[
-1
] |
Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na Rayvan kwa kuwa hataki kuwapa watu sababu ya kuwashindanisha. | MISHE MISHE MEDIA
» Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na Rayvan kwa kuwa hataki kuwapa watu sababu ya kuwashindanisha.
Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na Rayvan kwa kuwa hataki kuwapa watu sababu ya kuwashindanisha.
Amesema hawezi kushirikiana na Rayvan, kwa kuwa wote wako "level" ya kimuziki na wana mashabiki sawa, kwahiyo hakutakuwa na kipya, na kwamba ni bora akafanya na msanii mkubwa kuliko yeye.
Akipiga story ndani ya eNews amesema “Colabo ni kubadilishana mashabiki kwa wakati nafanya colabo na Diamond nilikuwa nikilenga mahali ambapo muziki wa Diamond umefika na pia kwa kuwa Diamond ana'hit' nyingi kwa hiyo likuwa ni mpango wa kufikisha muziki wangu mbali”
Ameendelea kusema kuwa haogopi kufanya collabo na Raymond, isipokuwa hiyo ni mipango aliyonayo anayoamini itamuwezeshakupiga hatua
“Ningekuwa naogopa colabo basi ningeogopa kufanya colabo na Diamond kwa kuwa ni muimbaji mzuri kuliko Rayvan lakini niliamua kukaza tu ili kufika mbali, lakini pia inabidi tupate muda tutengeneze wimbo mzuri ili kitoke kitu kizuri”. Aliendelea kusema Harmonize.
Pia hakusita kuelezea maswala ya mahusiano yao na Wolper akisema “siku zinavyozidi kwenda binadamu anapata mawazo mapya pamoja na kukua lakini pia nafikiri ilikuwa ni upya ndiyo maana kila siku tulikuwa tukifanya mambo mbalimbali kwa kuwa wote tulikuwa tukitamaniana".
| 2017-04-30T05:11:00 |
http://www.africanmishe.com/2016/09/msanii-wa-kundi-la-wcb-harmonize.html
|
[
-1
] |
KAIMU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATANGAZA KIHAMA KWA WALA RUSHWA HASA WATUMISHI WA UMMA | CCM Blog
KAIMU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATANGAZA KIHAMA KWA WALA RUSHWA HASA WATUMISHI WA UMMA
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola akizungumza na wanahabari.
"Uchunguzi umekamilika na tumeshapeleka kwa mkurugenzi wa Mashtaka kuomba kibali cha kuwafikisha watuhumiwa waliobainika kujihusisha na matendo ya rushwa na ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni za ununuzi wa umma mahakamani,"alisema.
| 2017-08-22T08:58:22 |
http://ccmchama.blogspot.com/2016/01/kaimu-mkurugenzi-mkuu-wa-takukuru.html
|
[
-1
] |
Rais Pombe Magufuli amuomba msaada Dkt Donald Kaberuka .|. Makuruki.rw | Habari za Kina
Dkt Donald Kaberuka aliyekuwa mkuu wa Benki ya Afrika ya Maendeleo (BAD), jana tarehe 19 Agosti 2016 aliongea na rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Joseph Magufuli jijini Dar es Salaam kuhusu uchumi wa taifa hilo.
Rais Magufuli alimshukuru Kaberuka bidii yake na uangalifu alivyoonyesha wakati alipoongoza benki hii na kumuomba kuendelea kuishauri Tanzania kiuchumi.
Kama alivyotanga rais Magufuli alisema “Nchi yetu itaendelea kushirikiana na wewe, tunatumaini kuwa bado una moyo wa kutushauri katika mipango yetu ya kimaendeleo jinsi tutakanufaika na kuzalisha rasilimali, ardhi kubwa, mifugo kama ng’ombe, ziwa na bahari pamoja na hifadhi”.
Dkt Kaberuka alimshukuru rais Magufuli kwa mikakati aliyotekeleza ili aendeleze Tanzania ikiwemo kupiga marufuku rushwa, ukusanyaji wa ushuru, mapato na kodi na kulinda rasilimali ya nchi. Hapo ndipo aliposema kuwa bila shaka Tanzania itajiendeleza.
Kaberuka (mtaalum katika uchumi) mwenye umri wa miaka 61 aliongoza Benki ya Afrika tangu 2005 hadi 2015, kwa usasa habari zinazoenea katika masikio ya wengi ni kuwa ni mwenye bahati ya kushindia kiti cha rais wa tume ya Umoja wa Afrika (AU) ingakuwa hajasema hata kitu kimoja kuhusu maombi hayo.
Tume hii inamtamani mtu ambaye ataisaidi kupunguza mikopo ya mataifa ya kigeni hadi 75 % kwa kutafuta jinsi afrika yaweza kujiendeleza bila kutemegea fimbo ya mbali.
Kaberuka (kushoto) akiwa pamoja na Rais Magufuli (kulia)
| 2018-03-20T10:02:43 |
http://sw.makuruki.rw/spip.php?article2840
|
[
-1
] |
(showing articles 27281 to 27300 of 65640)
09/21/16--09:07: _TEASER JOTO LA ASUB...
09/21/16--09:13: _DON'T MISS - PAMOJA...
09/21/16--09:14: _DAR ES SALAAM AFYA ...
09/21/16--09:20: _NAIBU WAZIRI MAMBO ...
09/21/16--09:30: _Article 8
09/21/16--09:57: _WABUNGE WA SIMBA NA...
09/21/16--10:00: _ KAMATI YA ULINZI N...
09/21/16--10:02: _Article 5
09/21/16--13:00: _MADEREVA 10 WA TANZ...
09/21/16--13:30: _KATIBU MKUU UJENZI ...
09/21/16--13:30: _UJUE MWANDANI MWA S...
09/21/16--13:30: _Rais Magufuli aipon...
09/21/16--21:00: _ANGALIA LIVE MASAA ...
09/22/16--04:59: _ WABUNIFU MAJENGO ...
09/22/16--05:00: _Benki ya Barclays y...
09/22/16--05:05: _ DAR, PWANI KUKOSA...
09/22/16--05:51: _WASHIRIKI WA DANCE ...
09/22/16--05:52: _Bodi ya Vyombo vya ...
09/22/16--08:37: _HOSPITALI YA KISASA...
09/22/16--10:26: _Article 18
older | 1 | .... | 1363 | 1364 | (Page 1365) | 1366 | 1367 | .... | 3282 | newer
09/21/16--09:07: TEASER JOTO LA ASUBUHI SEPTEMBER 22 ALHAMISI
09/21/16--09:13: DON'T MISS - PAMOJA CARNIVAL @ LEADERS GROUNDS IN KINONDONI, DAR ES SALAAM
* CELEBRITY COOKOUT AND BBQ OUTDOORS
* GAMES & ACTIVITIES (KIDS CORNER)
* UPCOMING AND FUN TALENT COMPETITIONS
* LIVE BAND AND KARAOKE CHALLENGE
5,000 Kids/Students Ticket With download of Pamoja/Fasta Fasta Apps
10,000 Regular Ticket
15,000 Couples Ticket for 2 with pamoja/fasta fasta download
25,000 VIP Entry with Free After Party Access @ High Spirits from 9pm.
GRAB YOUR COLLEAGUES, FRIENDS AND FAMILY MEMBERS, YOU ARE ALL WELCOME!
WE HAVE FUN PAMOJA (TOGETHER) & HELP THE COMMUNITY!
09/21/16--09:14: DAR ES SALAAM AFYA CHECK
09/21/16--09:20: NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI MHE. MASAUNI AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA - NAMANGA.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akisalimiana naAskari wa Uhamiaji katika kituo cha Uhamiaji cha Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari hao kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akitoka kukagua mojawapo ya ofisi ya Uhamiaji katika mpaka wa Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akikagua mpaka wa Tanzania na Kenya (Namanga), Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.Katikati ni Mkuu wa kituo cha uhamiaji Namanga, Abdalah Katimba na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Bw. Mwakipesile.
(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani)
09/21/16--09:30: Article 8
09/21/16--09:57: WABUNGE WA SIMBA NA YANGA KUPAMBANA SEPTEMBA 25 KUCHANGIA MAAFA KAGERA
09/21/16--10:00: KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOA RUVUMA YATEMBELEA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA NEW FORCE
Kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa ruvuma ikiongozwa na mkuu wa mkoa wa ruvuma Dokta Binilith Mahenge amewatembelea majeruhi wa ajali ya basi la New Force waliolazwa katika Hospital ya rufaa ya mkoa wa Ruvuma wakipatiwa matibabu.
09/21/16--10:02: Article 5
09/21/16--13:00: MADEREVA 10 WA TANZANIA WALIOTEKWA NCHINI CONGO WAREJEA NCHINI
Madereva hao wakiwa chumba cha mkutano cha uwanja huo wakati wa mapokezi yao. Kwa habari kamilio na picha zaidi BOFYA HAPA
09/21/16--13:30: KATIBU MKUU UJENZI ALIPOPOKEA NDEGE YA KWANZA YA BOMBARDIER Q400 NEXGEN
09/21/16--13:30: UJUE MWANDANI MWA SALUTI YA MAJI KWA VYOMBO VYA USAFIRI
Kisiwa cha Malta
09/21/16--13:30: Rais Magufuli aipongeza Kilimanjaro Queens kwa Ubingwa wa CECAFA Chalenji
09/21/16--21:00: ANGALIA LIVE MASAA 24 KIKAO CHA 71 CHA KAWAIDA CHA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK KUPITIA UN WEB TV HAPA
09/22/16--04:59: WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI WAASWA KUUNGANA.
09/22/16--05:00: Benki ya Barclays yazindua program ya kuwawezesha wahitimu wa vyuo vikuu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed
(kushoto), akizungumza jijini Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa
proram ya ReadytoWork inayolenga kuwapa elimu wanafunzi wa elimu ya
juu kujiandaa na ajira au kujiajiri. Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Elimu
ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Lazaro Malili.
Mkuu wa Elimu ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
Lazaro Malili (kushoto), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa
program ya ReadytoWork ya Benki ya Barclays inayolenga kuwapa elimu
wanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri uliofanyika
09/22/16--05:05: DAR, PWANI KUKOSA MAJI KWA SAA 12
09/22/16--05:51: WASHIRIKI WA DANCE 100% 2016 WAPEWA NASAHA ZA MAISHA NA WAFANYAKAZI WA VODACOM KUELEKEA FAINALI
Meneja Msaidizi wa Chapa ya Coca-cola, Mariam Sezinga(katikati)akiwa na washiriki wa shindano la Dance 100% 2016,wakati walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania Mlimani City jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza na kujionea huduma mbalimbali za mawasiliano zinazotolewa na kampuni hiyo na kupewa nasaha na baadhi ya wafanyakazi kuelekea fainali itakayofanyika tarehe 24 mwezi huu kwenye viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam, Mshindi wa shindano hilo ataondoka na kitita cha shilingi Milioni 7. Shindano hilo linaandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Coco-Cola
09/22/16--05:52: Bodi ya Vyombo vya Habari vya Chama cha Mapinduzi ( CCM ) yajiuzulu
09/22/16--08:37: HOSPITALI YA KISASA YA MUHIMBILI-MLOGANZILA KUANZA KUTOA HUDUMA JANUARI 2017.
09/22/16--10:26: Article 18
| 2019-12-12T14:59:14 |
http://michuzi2.rssing.com/chan-7007653/all_p1365.html
|
[
-1
] |
Imewekwa tar.: June 24th, 2019 Na Mathew Kwembe, Mtwara</p> <p>Timu za soka za wasichana kutoka mikoa ya Kilimanjaro na Manyara zimeaanza kwa kishindo kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania...
Imewekwa tar.: June 24th, 2019 Na Mathew Kwembe, Mtwara</p> <p>Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo Sanaa na Michezo, Mh. Harrison George Mwakyembe ameitaka halmashauri za wilaya nchini kupeleka walimu wa michezo kwenye ch...
Imewekwa tar.: June 21st, 2019 Na Mathew Kwembe, Mtwara,</p> <p>Mashindano ya 40 ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania UMISSETA yamefungwa rasmi jana katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara na Waziri wa elimu,sayansi,na teknol...
Miradi ya TSCP yachochea uchumi Jiji la Mbeya
Dodoma lazidi kuwa Jiji la Mfano
| 2020-05-25T20:46:22 |
http://tamisemi.go.tz/news/59
|
[
-1
] |
DED Mkuranga atoa somo kwa wanafunzi watakaoshiriki UMISETA
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Eng. Mshamu Munde amewashauri vijana kuzingatia nidhamu, ushirikiano, kulinda afya zao pamoja na kujali muda ili waweze kufanya vizuri katika michezo
Akizungumza wakati kuwaaga wanafunzi wa shule za Sekondari Wilayani hapa waliochaguliwa kwenda Wilayani Kibiti kushiriki Mashindano ya siku 7 (kuanzia 31/06 hadi 06/06) ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa Shule za Tanzania (UMISSETA)
Mashindano hayo yatashirikisha Halmashauri zote za Mkoa wa Pwani na baadaye wanafunzi watakaofanya vyema kutoka Halmashauri zote wataunda timu ya pamoja ya Mkoa itakayojumuisha jumla ya wanafuzi 100 watakaoenda Mtwara kushiriki Mashindano hayo ngazi ya Taifa yatakayoanza tarehe 07/06 hadi tarehe 21/06
Munde alisisitiza wanafunzi hao kuzingatia nidhamu , ushirikiano na kujali muda ili waweze kuipeperusha vyema wilaya ya Mkuranga na vilevile kwa kufanya kwao vyema ni kujiandalia fursa nyingine ya ajira kwani sasa michezo ni ajira tosha
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga akisisitiza jambo wakati wa kuwaaga wanafunzi wa shule za sekondari watakaoshiriki mashindano ya UMISETA
Aidha, Munde aliwapongera Walimu waliojitolea kuacha kazi zao za msingi na kujikita kuwafundisha Wanafunzi hao bila malipo yoyote ya ziada, na akawataka kuendelea na moyo huo
Kwa upande wake Kaimu Afisa Elimu Sekondari Wilaya Bi. Clea Haule aliwataka vijana hao kuweka juhudi zaidi na kuipeperusha vyema wilaya katika uga wa michezo huku akisisitiza hakuna linaloshindikana kama mtu ukiweka nia katika kufanikiwa
Jumla ya wanafunzi 80 (Wasichana 44 na Wavulana 36) pamoja na walimu wa michezo waliagwa hapo jana katika shule ya sekondari Mwinyi walipokua wameweka kambi na watekwenda Kibiti kushiriki michezo mbalimbali ikiwemo Mpira wa miguu (wavulana na wasichana), Netiboli, Riadha , ‘Handball’ na Fani za ndani (Kwaya na ngoma)
| 2020-07-13T13:48:24 |
http://mkurangadc.go.tz/new/ded-mkuranga-atoa-somo-kwa-wanafunzi-watakaoshiriki-umiseta
|
[
-1
] |
Mchezo Ila mayai Online. Kucheza kwa huru
Mchezo Ila mayai
Unachezwa: 7816
Kucheza mchezo Ila mayai Online:
Maelezo ya mchezo Ila mayai
Jamii ya penguins si vile kirafiki na wanaweza kushinikiza na kubisha mayai bila sababu yoyote. Unahitaji kuwajulisha mayai na kutoa kwa kuanguka nje. . Kucheza mchezo Ila mayai online.
Kiufundi na tabia ya mchezo Ila mayai
Mchezo Ila mayai aliongeza: 26.12.2010
mchezo unachezwa: 7816 mara
Mchezo Rating: 3.9 nje 5 (40 makadirio)
Michezo kama mchezo Ila mayai
Download mchezo Ila mayai
Embed mchezo Ila mayai katika tovuti yako:
Kuingiza mchezo Ila mayai kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo Ila mayai, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia!
Pamoja na mchezo Ila mayai, pia alicheza katika mchezo:
| 2018-10-22T19:52:18 |
http://sw.itsmygame.org/507592600/spasite-jajjca_online-game.html
|
[
-1
] |
Makao ya kiongozi wa upinzani yazungukwa - BBC Swahili
Makao ya kiongozi wa upinzani yazungukwa
http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/04/150424_south_sudan
Image caption Jeshi la Sudan Kusini
Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini Lam Akol anasema kuwa nyumba yake imezingirwa na vikosi vya usalama na sasa yuko chini ya kuzuizi cha nyumbani.
Bwana Akol ambaye ni kiongozi wa Sudan People's Liberation Movement - Democratic Change, aliiambia BBC kuwa alikuwa amewasiliana na serikali ya Salva Kiir kuuliza ni kwa nini hatua hizo zimechukuliwa , lakini licha ya hilo bado hajapata jibu.
Image caption Lam Akol
Siku za hivi majuzi bwana Akol amekuwa akiilaumu vikali serikali ya Sudan Kusini kutokana na mipango ya kutaka kutumia karibu dola milioni mia mbili kwenye sherehe za kuadhimisha miaka minne ya uhuru wakati ambapo hali ya uchumi ni mbaya.
| 2017-12-17T02:47:52 |
http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/04/150424_south_sudan
|
[
-1
] |
VIDEO | Rayvanny X Nora Fatehi - Pepeta (Official Video) - Mulastar
Mulastar Video VIDEO | Rayvanny X Nora Fatehi - Pepeta (Official Video)
VIDEO | Rayvanny X Nora Fatehi - Pepeta (Official Video)
Watch/Download Pepeta Video By Rayvanny & Nora Fatehi
Mwanadada toka Canada 'Nora' ambaye ana vipaji vingi ikiwemo kucheza, kuimba na kuigiza, wameandaa kolabo yao, 'Pepeta' akiwa na Vanny Boy toka WCB.
| 2020-07-10T22:39:06 |
https://www.mulastar.com/2019/09/video-rayvanny-x-nora-fatehi-pepeta.html
|
[
-1
] |
Albuquerque, New Mexico - Wikipedia, kamusi elezo huru
Albuquerque ni mji mkubwa wa jimbo la New Mexico nchini Marekani. Kuna wakazi 484,246 (2004) na pamoja na rundiko la mji ni 712,000. Mji upo m 1,619 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Mahali pa mji wa Albuquerque katika Marekani
Majiranukta: 35°06′39″N 106°36′36″W / 35.11083°N 106.61°W / 35.11083; -106.61
Tovuti: www.cabq.gov
Mji uko katika eneo kati ya mto Rio Grande na milima ya Sandia.
Eneo la Albuquerque liliwahi kukaliwa na Maindio tangu mwaka 1100. Mnamo mwaka 1540 conquistador Mhispania wa kwanza Francisco Vásquez de Coronado alipita hapa mara ya kwanza akitafuta mji ya dhahabu.
Mji uliundwa na walowezi Wahispania 1706 na kupewa jina kwa heshima ya Francisco Fernández de la Cueva mtemi wa Albuquerque na mfalme mdogo wa Hispania Mpya. Pamoja na eneo lote la New Mexiko mji ulihamishwa chini ya Marekani katika karne ya 19.
Kitovu cha kihistoria bado kina majengo ya zamani ya Kihispania. Kuna pia wakazi wengi kidogo wenye asili ya Kihispania na wengine huendelea kutumua lugha ya Kihispania.
Je unajua kitu kuhusu Albuquerque, New Mexico kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Albuquerque,_New_Mexico&oldid=881647"
Last edited on 9 Machi 2013, at 11:28
| 2020-04-05T23:46:52 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Albuquerque,_New_Mexico
|
[
-1
] |
News about Al-Shabaab Militants Attack Government Official | Read all 18 related News on TUKO ▷ Tuko.co.ke
Made in Kenya Latest Politics Entertainment Swahili LiveScore Submit Video Fighting Al-Shabaab Al-Shabaab Militants Attack Government Official Al-Shabaab militants meet their death after brutal battle in Garissa
Al-Shabaab militants meet their death after brutal battle in Garissa Hii ndiyo sababu wanajeshi kadha wanahofiwa kuuliwa!
Al-Shabaab washambulia na kuua. Pata habari kamili
Hivi ndivyo wana-KDF ilivyokabiliana na al-Shabaab katika shambulizi hatari
Wanajeshi wa KDF wakabiliana na magaidi wa al-Shabaab katika shambulizi HATARI
Polisi wapambana na kundi la al-Shabaab mjini Mandera
Kundi la al-Shabaab latekeleza shambulizi hatari dhidi ya polisi
Idara ya polisi ilitoa onyo kuhusiana na mashambulizi ya kigaidi baada ya ripoti ya kijasusi kuibuka kuwa magaidi wa al-Shabaab walikuwa wamepanga mashambulizi.
Militant group al-Shabaab has reportedly attacked Hulugho town, Garissa county and taken several people hostage. Militant group al-Shabaab has reportedly preac
Hofu ya shambulizi la al-shabaab yawafanya wanafunzi 400 kutafuta malazi nje ya chuo
Iliwabidi wanafunzi wa chuo kimoja cha mafunzo ya ualimu katika kaunti ya Narok kuhepa shuleni baada ya madai ya shambulizi la kigaidi kiubuka chuoni humo.
Maajabu ! Mwanafunzi wa chuo kikuu anaswa akipanga kujiunga na kundi la kigaidi (picha)
Mwanafunzi wa chuo kikuu amewashangaza wengi badaa ya kugundulika kuwa alikuwa na mpango wa kujiunga na kundi la kigaidi maarufu kama ISIS.Tuko.Co.ke Maajabu ! Mwanafunzi wa chuo kikuu anaswa akipanga kujiunga na kundi la kigaidi (picha)
Shock as Moi University student is found planning to join terror group ISIS (photos)
A Moi University student was found planning to join terror group ISIS. The student was arraigned in a Mombasa court and was not allowed to respond to charges.
8 al-Shabaab militants, 4 soldiers DEAD after fierce gun fight
According to Ugaas Hassan, the information minister for the for Southwest State in Somalia, al-Shabaab militants ambushed a military base that led to a fierce g
Raila ampa Uhuru siri ya kukabiliana na al-Shabaab baada ya shambulizi la Mandera
Raila Odinga ametoa wito kwa serikali ya kitaifa na za kaunti kushirikiana ili kukakabiliana na visa vinanyozidi kushuhudiwa vya ukosefu wa usalama nchini
Mkenya auliwa na Al-shaabab mjini Jijib, Somalia
Mkenya huyo anayejulikana kwa jina la Abdullah Daleel Muse aliyekuwa na umri wa miaka ishirini na minane alishukiwa na wanakundi hilo kuwa jasusi wa nchi fulani
Flying Squad wamnasa mshukiwa wa al-shabaab raia wa Uingereza
Maafisa wa vitengo maalum walimkamata raia wa Uingereza pamoja na wanawake wawili wa Kisomali katika nyumba moja Nairobi. Vifaa vya kigaidi pia vilinaswa.
Al-Shabaab Militants In Kenya Mandera Al-Shabaab Attack Amisom Forces Kill Al-Shabaab Militants Alshabaab Kills Kdf Soldiers Captured Kdf Officers In Somalia Terror Activities In Kenya Al Shabaab Fighters Al-Shabaab Attack Amisom Base In Halgan Kdf Vs Alshabaab Amisom Soldiers Killed In Somalia Alshabaab In Kenya Alshabaab Attack In Lamu Al-Militants In Somalia Gsu Officers In Kenya Kdf Helicopter Crashes In Wajir Al-Shabaab Attack In Mandera Development In Narok County Al-Shabaab Attack Police Post In Garissa Garissa Massacre Mastermind Killed Alshabaab Attack In Somalia Advertise with us Tags Categories Social
| 2016-12-11T10:08:29 |
https://www.tuko.co.ke/tag/al-shabaab-militants-attack-government-official.html
|
[
-1
] |
Prince Harry na Meghan Markle watangaza ziara yao ya kwanza ya kifalme - Bongo5.com
Salum Kaorata June 11, 2018 - 10:28 am
| 2019-11-14T10:22:32 |
http://bongo5.com/prince-harry-na-meghan-markle-watangaza-ziara-yao-ya-kwanza-ya-kifalme-06-2018/
|
[
-1
] |
UMOJA WA MAFUNDI GEREJI WATENGENEZA MAGARI NANE YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM BURE , WATOA MSAADA WA MADAWATI 100 | TANURU LA FIKRA BlogNews
Home Uncategories UMOJA WA MAFUNDI GEREJI WATENGENEZA MAGARI NANE YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM BURE , WATOA MSAADA WA MADAWATI 100
UMOJA WA MAFUNDI GEREJI WATENGENEZA MAGARI NANE YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM BURE , WATOA MSAADA WA MADAWATI 100
Makonda amesema kuwa kutengeneza magari hayo kuna baadhi ya watu walikuwa wanaombea suala hilo lishindikane lakini mafundi wameonyesha uwezo wao kwa kutengeneza bure ikiwa ni sehemu kuunga mkono juhudi za Rais Dk.John Pombe Magufuli.
Mkuu wa Mkoa kwa awamu ya kwanza amekabidhiwa magari manne yaliyongenezwa na mafundi gereji yaliyo gharimu zaidi ya sh.milioni 17 na magari mengine yatagharimu za zaidi ya sh.milioni 25 .
Magari ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa yaliyogharimu zaidi ya Sh.Milioni 42 za matengenezo ikiwa ni sehemu kusaidia ofisi hiyo wafanyakazi kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kutoa huduma kwa wananchi.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiendesha moja ya gari ambayo imetengenezwa na umoja wa mafundi gereji bure ikiwa ni sehemu ya mchango wao ufundi katika serikali leo jijini Dar es Salaam.
| 2018-02-24T05:58:52 |
http://www.tanurulafikra24.com/2016/06/umoja-wa-mafundi-gereji-watengeneza.html
|
[
-1
] |
Mzee wa Mshitu: MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KUKUZA BIASHARA YA UTALII YA SWAHILI (SITE) JIJINI DAR.
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KUKUZA BIASHARA YA UTALII YA SWAHILI (SITE) JIJINI DAR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kufungua rasmi maonesho ya Kimataifa ya kukuza Biashara ya Utalii yaliyopewa jina la Swahili (SITE), yaliyoanza leo Okt 01, 2015 kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa Meneja waFast Jet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa ya kukuza Biashara ya Utalii yaliyopewa jina la Swahili (SITE), yaliyoanza leo Okt 01, 2015 kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa Wakala wa Shirika la Ndege la Qatar Airways, Dorah Chanafi, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa ya kukuza Biashara ya Utalii yaliyopewa jina la Swahili (SITE), yaliyoanza leo Okt 01, 2015 kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Masoko Amina Nassor.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa IT wa Bodi ya Utalii, Rossan Mduma, kuhusu Tovuti ya Bodi hiyo wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa ya kukuza Biashara ya Utalii yaliyopewa jina la Swahili (SITE), yaliyoanza leo Okt 01, 2015 kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
| 2017-12-17T04:10:58 |
http://charaz.blogspot.com/2015/10/makamu-wa-rais-dkt-bilal-afungua.html
|
[
-1
] |
Fighters Of Life: Hii Kali:Itazame Restaurant ya kisasa....Ni Mgahawa Wenye Meza ya Kulia Vyakula na Viti Vyake Vya Kukali Ndio Choo Hapo Hapo.(TOILET-RESTAURANT) Big Brother
Hii Kali:Itazame Restaurant ya kisasa....Ni Mgahawa Wenye Meza ya Kulia Vyakula na Viti Vyake Vya Kukali Ndio Choo Hapo Hapo.(TOILET-RESTAURANT) Hii ndiyo choo nchini California yenye sehemu ya
kupumzikia ukiwa unakula..choo hiki kilifunguliwa oktoba 11 na ni sehemu
inaovutia hata kwa usafi wake..Tazama picha nyingine hapa chini..
| 2017-06-25T10:37:29 |
http://folclassic.blogspot.com/2013/10/hii-kaliitazame-restaurant-ya-kisasani.html
|
[
-1
] |
‘Uingizaji vitu haramu magerezani uliishtua wizara’ | Mtanzania
Home Mikoani ‘Uingizaji vitu haramu magerezani uliishtua wizara’
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amesema kasi ya uingizaji vitu haramu na biashara ndani ya magereza nchini, uliishtua wizara hiyo na kuamua kuunda kamati ya kuchunguza mianya iliyokuwa ikitumika kutekeleza hayo.
Alisema hivi sasa jambo hilo likijitokeza katika gereza lolote, hatua zitachukuliwa kuanzia kwa mkuu wa gereza na watumishi wengine watakaokuwa wamehusika au kuzembea kwa namna yoyote ile.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa akiwa na uongozi wa Gereza la Butimba, Masauni alisema tayari kamati iliyoundwa imekamilisha kazi yake na kukabidhi taarifa na mapendekezo yake wizarani.
“Niseme mpaka sasa tatizo hilo limepungua na imani yetu litaisha kabisa, angalizo ni kwamba ikitokea gereza fulani kumetokea hali hiyo, makamanda na watumishi wengine watawajibika, wito wangu ni kuwataka kuwa wakali kweli kweli, haiwezekani sehemu kama ile kukafanyika biashara haramu, wizara tumepokea mapendekezo na tumeanza kuyafanyia kazi,” alisema.
Masauni alimtaka Mkuu wa Gereza la Butimba, Hamza Rajabu kumweleza anavyotekeleza sera ya Serikali ya viwanda ambapo alisema ndani ya gereza hilo kuna kiwanda cha ushonaji nguo na wamekuwa wakipata kazi mbalimbali kutoka mashirika ya umma na binafsi.
Licha ya kupewa majibu hayo, Masauni alisema alichogundua uongozi wa gereza hilo bado hauna mpango mkakati wa kuliwezesha kujitegemea kwa chakula licha ya uwepo na hekari 479 za kulima mazao mbalimbali ndani ya Mkoa wa Mwanza.
Awali, Rajabu alimweleza Masauni kuwa gereza hilo limezidiwa na watu kwani uwezo wake ni kuchuchua wafungwa 934, lakini waliopo sasa ni 1,888.
Alisema magereza yote ndani ya mkoa huo yana uwezo wa kuchukua watu 1,249 lakini waliopo ni 2,633.
Previous articleTCU yatoa mwongozo kujiunga vyuo vikuu
Next articleDk. Ndugulile aeleza kutoridhishwa na utayari wa Kigoma kukabili ebola
| 2019-08-18T15:01:33 |
http://mtanzania.co.tz/uingizaji-vitu-haramu-magerezani-uliishtua-wizara/
|
[
-1
] |
DK MANDAI: Namna 4 za kukabiliana na maumivu ya goti
Namna 4 za kukabiliana na maumivu ya goti
Sehemu ya goti ni muhimu sana kwa mtu yoyote kwani ni moja ya maungio ambayo humsadia mtu kuweza kutembea kwa urahisi, hivyo eneo hilo linapokuwa na tatizo huweza kuwa na madhara kwa mhusika.
Maumivu ya goti huweza kumsababishia mhusika kutembea kwa tabu, kukaa, kukimbi na hata kushindwa kufanya shughuli zake za kila siku ipasavyo.
Leo ninazo hizi njia kadhaa ambazo huweza kumsaidia mtu mwenye maumivu ya goti kupunguza maumivu ya tatizo hilo.
1. Kutumia Kitunguu swaumu
Kiungo hiki kinatambulika zaidi kama kituliza maumivu cha asili, sasa ili kikusaidie kutuliza maumivu ya goti utatakiwa kusaga na kuchanganya na karafuu iliyosagwa na baadaye kuchanganya na mafuta ya alizeti kisha mhusika atatumia mchanganyiko huo kuchua kwenye goti kutwa mara 3 na atapata ahueni.
Mtu mwenye tatizo la maumivu ya goti huhitaji vitamin B kwa wingi ili kupunguza maumivu hayo na vyakula ambavyo ni chanzo cha vitamin hiyo ni pamoja na mayai, samaki, soya pamoja na aina zote za nafaka.
Kiungo hiki kinasifika kwa kutuliza maumivu ya mifupa, hivyo mtu mwenye maumivu ya goti anaweza kuandaliwa juisi ya tangawizi na kunywa asubuhi na jioni kila siku.
4. Mchanganyiko wa mdalasini & asali
Mchanganyiko huu kazi yake kubwa ni kwenda kuchangamsha mzunguko wa damu na hivyo kusaidia kupunguza maumivu ya goti na mifupa kwa ujumla wake.
Mbali na hayo, mambo mengine ambayo huweza kupunguza maumivu yagoti ni pamoja na mazoezi mepesi ya kukunja na kukunjua mguu sambamba na massage kwenye eneo lenye tatizo.
Kamamungependa kujua vipimo vya kuchanganya wakati wa maandalizi wa njia zote kuanzia hiyo ya kitunguu swaumu na karafuu pamoja na mafuta ya alizeti tupigie kwa namba 0716 300 200/ 0784 300 300/ 0769 400 800 au barua pepe [email protected] tutakuelekeza.
| 2017-10-17T00:09:54 |
http://www.dkmandai.com/2017/06/namna-4-za-kukabiliana-na-maumivu-ya.html
|
[
-1
] |
Zijue faida za tovuti kwenye biashara yako. – icodes software
+255-716-581-629 [email protected]
Zijue faida za tovuti kwenye biashara yako.
1. Tovuti yako hupatikana mwaka mzima kwa siku 7 za wiki, saa 24.
Endapo utafungua tovuti, itakuwa wazi na itakuwa ikitoa taarifa muhimu kwa wateja wako saa 24 kwa siku, siku 7 za wiki kwa mwaka mzima. Tovuti hutoa taarifa kuhusu biashara yako hata pale unapokuwa umelala.
Ione tovuti yako kama afisa mauzo asiyelala, anayekesha saa 24 siku 7 za wiki kutoa taarifa muhimu kuhusu biashara yako; nini mnajishughulisha nacho, kazi zako za hivi karibuni, bidhaa zako pamoja na shuhuda za wateja wako. Si hayo peke yake; tovuti hukuwezesha kufanya mauzo pia.
2. Tovuti huwasaidia wateja kukupata kwa urahisi
Kadri siku zinavyokwenda ndio jinsi ambavyo imekuwa rahisi kwa watu kupata taarifa mikononi mwao. Uwepo wa simu za kisasa ambazo zinawawezesha watu kutumia chombo cha kutafutia vitu yaani search engine kutafuta vitu wanavyohitaji pale wanapohitaji.
Kwa wastani inasemekana kuwa katika sekunde moja watu elfu arobaini hufanya maulizo yao kwenye mtandao wa Google (source). Hiyo ni sawa na maulizo bilioni tatu na nusu kwa siku na trilioni 1.2 kwa mwaka!
3. Washindani wako wamekuzidi
Kama washindani wako wana tovuti basi watakuwa wana nafasi nzuri zaidi ya kujitangaza. Na wewe ingia kwenye ushindani kwa kuwa na tovuti yako.
4. Anuani za barua pepe hufanya kampuni yako iaminike zaidi
Tovuti huwa na nafasi za anuani za barua pepe ya biashara yako, kwa mfano [email protected]. Matumizi ya barua pepe za kibiashara kama hizi zitafanya kampuni yako iaminike zaidi.
5. Tovuti ni njia rahisi ya kutangaza biashara kuliko njia za kizamani
Je ushawahi kuweka tangazo kwenye magazeti au majarida? Hebu jaribu kulinganisha gharama za kutangaza na kwa haraka sana utatambua kuwa gharama za tovuti ni ndogo ukilinganisha na njia za kizamani za utangazaji. Na hata pale unapotangaza kupitia magazeti pamoja na njia zingine, anuani ya tovuti yako huwashawishi wateja kuangalia tovuti yako.
Je unafikiri unahitaji kuwa na tovuti? karibu nikuhudumie Bonyeza hapa
Tafadhali Tusaidie kushare na wengine waelimike
previous post: Umuhimu wa Brand kwenye Biashara yako?
next post: Fursa Zilizopo katika Biashara ya Mtandao(Network Marketing)
Copyright intelligence codes. 2020 - All Rights Reserved.Designed by icodes software
| 2020-01-27T12:52:45 |
https://icodes.rhevan.com/2019/10/12/zijue-faida-za-tovuti-kwenye-biashara-yako/
|
[
-1
] |
SGR yaleta vilio kwa maelfu ya Wakenya – Taifa Leo
NA ALLAN OLINGO
RELI ya kisasa ya SGR imegeuka kuwa kero kwa maelfu ya watu waliotegemea uchukuzi wa mizigo kwa matrela kujikimu kimaisha, miezi mitano pekee baada ya kuzinduliwa.
Maelfu ya watu wamefutwa kazi baada ya kampuni za malori zilizowaajiri kufungwa ama kupunguza shughuli zao.
Kampuni nyingi za mabohari ya mizigo (CFS) mjini Mombasa nazo zimefuta watu wengi kutokana na kupungua kwa kazi ama kuhamishia shughuli zao Nairobi.
Wafanyibiashara katika miji ambayo ilikuwa ikitegemea madereva wa malori pia wanaumia kutokana na athari za reli mpya. Miji hii ni pamoja na Mlolongo, Salama, Sultan Hamud na Mtito Andei.
Mambo yalianza kuwaharibikia wenye kampuni za malori, wafanyikazi wao na wafanyabiashara katika barabara ya Mombasa – Nairobi pale Shirika la Reli la Kenya (KR) mnamo Mei 30 lilipoanza uchukuzi wa mizigo kwa treni kutoka Bandari ya Mombasa hadi Kituo cha Kontena cha Nairobi (ICD).
Hatua hii ilipunguza idadi ya wateja waliosafirisha mizigo kwa matrela kwani walionelea afadhali kutumia treni kutokana na kasi yake pamoja na usalama wa mizigo yao. Hali hii iliathiri moja kwa moja kampuni za CFS. Kupungukiwa huku kwa biashara kulifanya nyingi ya kampuni za malori na CFS kupunguza idadi ya wafanyakazi.
Mapema mwezi huu, kampuni ya uchukuzi ya Bollore Logistics, ambayo ni moja ya zile kubwa za uchukuzi wa mizigo kanda ya Afrika Mashariki iliwafuta wafanyikazi wengi.
“Tutafanya mabadiliko ili tuwe na wafanyikazi wachache. Ni masikitiko kwani itatubidi tuwafute baadhi ya wafanyikazi,” Mkurugenzi Mkuu wa Bollore Kenya, Jean-Pascal Naud aliambia The East African.
Kulingana na Shirika la wenye CFS (CFSA), kufikia mwisho mwa mwezi Juni mwaka huu, watu 3,200 walikuwa wamefutwa kazi na kampuni hizo kutokana na kupungua kwa biashara.
“Ilibidi tufute nusu ya wafanyikazi. Hawa walikuwa wanafanya kazi hapa Bandari ya Mombasa kutokana na kupungua kwa kontena za kusafirishwa bara,” asema Daniel Nzeki, Afisa Mkuu wa CFSA.
Waziri wa Uchukuzi, James Macharia, naye asema kwamba zaidi ya madereva 1,300 wamepoteza kazi huku idadi hii ikitarajiwa kuongezeka kutokana na mipango ya Shirika la Reli kuongeza kiasi cha kontena zinazosafirishwa kwa treni hadi 250,000 kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
Inakisiwa kuwa kufikia mwishoni mwa Desemba mwaka huu, wenye matrela watakuwa wamepata hasara ya Sh21 bilioni huku wenye CFS wakipoteza Sh10 bilioni. Hasara hii inatarajiwa kuwa kubwa zaidi kwani pia itaathiri kampuni za kuuza malori, vipuri, mekanika, wauzaji dizeli kwenye barabara ya Mombasa – Nairobi, wauzaji vyakula na vinywaji kwenye barabara hiyo na pia wenye vyumba vya malazi.
Mji wa Mombasa pia umeathirika pakubwa kutokana na upungufu wa matumizi ya pesa baada ya watu wengi kufutwa, wengine kurejea mashambani na umaskini kuongezeka.
Masaibu ya hasara ambayo imetokana na SGR yanajitokeza kwenye mahojiano na waathiriwa. Steve Kitili aliye na miaka 34 alikuwa ameajiriwa na kampuni moja ya CFS na alikuwa amepanda ngazi hadi cheo cha meneja. Lakini alipoteza kazi Juni mwaka huu baada ya mwenye kampuni kuhamia Nairobi.
“Sasa inanibidi nitegemee mke wangu kifedha. Hili si jambo rahisi,” aeleza Bw Kitili. Naye Bw Omar Bakari aliye na miaka 56, anasimulia kuhusu biashara ilivyobadilika tangu ujio wa SGR. Tulipatana naye alipokuwa akijiandaa kusafirisha Mitumba hadi mjini Kampala, Uganda: “Hii ni safari yangu ya kwanza mwezi huu lakini nashukuru. Kabla ya SGR, nilikuwa nikifanya safari tatu kwa mwezi na kupumzika wiki moja. Lakini sasa tunatumia muda mwingi tukisubiri mizigo kuliko tunavyotumia tukiwa barabarani. Mambo ni mabaya.”
Ishara ya mabadiliko yaliyoletwa na SGR kwenye biashara ya uchukuzi wa mizigo ni malori machache unayoona unapoendesha gari kwenye barabara ya Mombasa – Nairob. Hii ni kinyume na awali ambapo kwa kawaida matrela yalisababisha misongamano kwenye barabara hiyo.
| 2020-01-27T03:34:50 |
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=12620
|
[
-1
] |
Benki ya Diamond Trust Bank Yakabidhi Msaada wa Viti kwa Kituo cha Aga Khan Madrasa - JIACHIE Benki ya Diamond Trust Bank Yakabidhi Msaada wa Viti kwa Kituo cha Aga Khan Madrasa - JIACHIE
Home > JAMII > Benki ya Diamond Trust Bank Yakabidhi Msaada wa Viti kwa Kituo cha Aga Khan Madrasa
Item Reviewed: Benki ya Diamond Trust Bank Yakabidhi Msaada wa Viti kwa Kituo cha Aga Khan Madrasa Rating: 5 Reviewed By: Ahmad Michuzi
| 2018-03-19T05:14:14 |
http://michuzijr.blogspot.com/2016/08/benki-ya-diamond-trust-bank-yakabidhi.html
|
[
-1
] |
Frank Gunderson's Nuzzel Newsletter
Frank Gunderson's Newsletter Archive
Hello and welcome to my Nuzzel newsletter! Frank Gunderson (musicology / kayaking / anthropology / guitar / documentary / kiswahili)
''Nina mioyo miwili'' - Ozil
Nyota wa klabu ya soka ya Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani Mesut Ozil ametoa ufafanuzi juu ya picha alizopiga mwezi Mei na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan, kwa kueleza kuwa hakuwa anaunga mkono mamabo yake ya kisiasa bali ilikuwa ni…
Tanzania kuendeleza mapambano dhidi ya Ujangili
itv.co.tz – Jul 22, 7:27 AM
Juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano ya rais Dkt. John Pombe Magufuli kupambana na ujangili wa Tembo na wanyamapori wengine zinalenga kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye uhifadhi mzuri duniani unaochangia katika ukuaji wa…
'Bongo Movies aliyebaki ni Gabo' Mama Kanumba
Mama Kanumba ‘Flora Mtegoa' amefunguka kuwa kwenye Bongo movies muigizaji anayevaa uhusika vizuri kwa kila Filamu ni Gabo.
Subscribe to Frank Gunderson's Newsletter You are subscribed to Frank Gunderson's newsletter
Frank Gunderson's newsletter.
@kitachangwa
by subscribing to Frank Gunderson's newsletter
| 2018-07-23T11:59:42 |
https://nuzzel.com/kitachangwa
|
[
-1
] |
Andrey Arshavin Hadithi ya Watoto Plus Ukweli wa Biography ya Untold
Nyumbani STARS YA ASIA Andrey Arshavin Hadithi ya Watoto Plus Facts Untold Biography
LB hutoa Hadithi Kamili ya kipaji cha soka inayojulikana zaidi na Jina la Utani; 'Shava'. Hadithi yetu ya Andrey Arshavin ya Watoto pamoja na ukweli wa Untold Biography huleta kwako akaunti kamili ya matukio yanayojulikana tangu wakati wa utoto mpaka tarehe. Uchambuzi unahusisha hadithi yake ya maisha kabla ya umaarufu, maisha ya familia na wengi OFF na ON-Pit ukweli kidogo juu yake. Hebu kuanza.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Maisha ya zamani
Andrey Sergeyevich Arshavin alizaliwa kwenye 29 Mei 1981 huko Saint Petersburg na Sergey Arshavin (baba) na Tatiana Arshavina (mama).
Aliokoka ajali ambayo inaweza kumwua wakati alipigwa na gari kama mtoto. Wazazi wake waliondoka wakati alikuwa 12, ilikuwa ni wakati aliohitaji wote wawili pamoja. Kushikamana na mama yake kulikuwa na matokeo yake mwenyewe kama mama yake alikuwa maskini. Andrey alilazimika kulala kwenye sakafu ya gorofa ndogo na mama yake. Alikuwa na ndoto yake ya kuwa mchezaji wa miguu tangu haki.
Kwa bahati nzuri, baba yake alimkumbuka na alikuja kuja kumsaidia kuendelea na ndoto zake. Alikuwa baba yake ambaye alimshawishi kufuata kazi katika soka baada ya kushindwa kwake kuwa mchezaji wa mpira wa miguu.
Arshavin alianza kucheza mpira wa miguu wakati wa umri mdogo na akiwa na umri wa miaka saba. Baba yake alijiandikisha katika Chuo cha soka cha Smena of Zenith, klabu yake ya mji. Ashavin ilifanywa kuzingatia wasomi kuwa kipaumbele kikubwa wakati akizingatia mpira wa miguu kwa wakati mmoja. Kwa sababu hiyo, alihudhuria shule ya karibu karibu na acaademy ya soka. Alikuwa na maana ya kusoma vitabu vyake na kucheza mpira wa miguu wakati huo huo.
Kwa muda ulivyoendelea na yeye kutawala kitendo cha mchezo, upendo wake kwa soka ulikua wakati huo kwa elimu ilipungua. Kwa wakati fulani, hakuweza kuzingatia wasomi. Kushindwa kwake kwa wasomi mara nyingi husababisha tabia mbaya.
Kulingana na Andrey "Nilifanya vibaya shuleni. Nilipokuwa katika daraja la pili, nimevunja jarida la kujiandikisha la darasa kwa sababu sikutaka kuhudhuria madarasa. Ilikuwa ni tukio hili ambalo lilinitupa. "
Alibidi kurudi kwenye shule ili kujiunga na marafiki zake wa soka. Alikuwa mtoto mdogo sana na pia nahodha kati ya jozi zake. Hivi karibuni akawa shujaa wa soka wa mji.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Kazi kwa Muhtasari
Arshavin alifanya kwanza katika soka ya kitaaluma Agosti 2, 2000. Kwa kushangaza, ilitokea kwenye udongo wa Kiingereza. Mtoto wa miaka ya 19 alichukua nafasi ya mzee Andrey Kobelev wakati wa kushinda 3-0 Zenit juu ya Bradford City katika Kombe la Intertoto.
Mtoto huyo alipaswa kusubiri mwaka mwingine kuwa mara kwa mara katika timu ya St Petersburg kuanza kumi na moja. Kwa wote, alitumia misimu nane na Zenit, akifunga mabao ya 71 na kutoa wasaidizi wa 100 katika maonyesho ya 281 katika mashindano ya Urusi na ya kimataifa. Alikuwa shujaa kwa mashabiki wa St Pete, ambaye alitaja jina lake "Shava", na ishara halisi ya klabu kutoka kwa Capital Capital.
Aliitwa Mchezaji wa Soka wa Urusi wa Mwaka katika 2006, lakini ilikuwa miaka miwili ijayo ya Arshavin na klabu - wakati kocha wa Kiholanzi Dick Advocaat alichukua malipo - ambayo ilionekana kuwa yenye mafanikio zaidi.
Yeye tangu miaka yake ya kwanza kama shabiki wa FC Barcelona na kamwe hakukanusha ukweli yeye ndoto ya kucheza kwa klabu ya Kikatalani. Alikuwa Arsenal ambaye aliiba moyo wake.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Maisha ya Familia
Alizaliwa katika familia ya kawaida ya darasa la kufanya kazi. Baba yake Sergey Arshavin alicheza kama soka wa amateur. Tatiana Arshavina ni mama wa mchezaji wa soka wa Kirusi Andrei Arshavina. Sergey Arshavin alikufa kwa kushindwa kwa moyo katika umri wa 40.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Mahusiano ya Uhusiano
Yulia Arshavina alizaliwa mnamo 3 Juni 1985 (umri wa 32), alikuwa Andrey Arshavin mke wa kwanza. Waliolewa katika 2004 na waliachana katika 2013. Arshavin ana watoto watatu pamoja naye - Arseniy Arshavin, Artem Arshavin na binti Yana Arshavina. Baada ya talaka yao, Ashavin hakuwa na tupu. Kwa kusikitisha, kwa zaidi ya miaka mitatu, wao huwasiliana na hakuwaona watoto wake. Yulia hakumzuia kufanya hivyo. Badala yake, alikuwa Ashavin ambaye hakufanya kushinikiza. Alituma tu fedha na zawadi.
Iliripotiwa kuwa miaka 3 baada ya talaka yake, Ashavin aliamua kuoa tena. Uamuzi wake ulikuja baada ya kuungana tena na watoto wake kutoka kwa mke wake wa zamani. Alifunga nguzo na mchezaji wake wa muda mrefu Alice Catimini. Wapenzi waliolewa Septemba 1, 2016 huko Saint-Petersburg.
Sherehe ilihudhuriwa na watu wa karibu tu, ikiwa ni pamoja na watoto kutoka ndoa ya kwanza ya Alice, katika sherehe wageni pia walikuwa na bibi na mkwe harusi waliamua kufanya kila kitu kimya kimya, nyumbani. Pia inajulikana kuwa Alice alibadilisha jina lake, kuwa Arshavina.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Mtengenezaji wa Mitindo
Arshavin pia amefuata vyeti na mazoezi katika Design Design.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Mwanasiasa
Katika 2007, alishiriki katika uchaguzi kama mgombea wa Bunge la Kisheria la St. Petersburg kwa chama cha Umoja wa Urusi. Mchezaji wa soka alishinda uchaguzi, lakini alitoa kazi yake baadaye.
Kijiji chake kiitwacho jina lake kijiji cha kifahari "Arshavinka" baada ya mchezaji wa zamani wa Arsenal. Hii ilikuwa matokeo ya upendo wanao nao.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Mwandishi
Andrey Arshavin ni mwandishi, ambaye ana vitabu vitatu katika resume yake: "Euro-2008. Guus na Timu Yake. Diary ya Andrey Arshavin "; "Tulifanya! Hadithi ya Ushindi Mkuu "; na "Arshavin, ikiwa ni pamoja na Maswali na Majibu ya 555 juu ya Wanawake, Fedha, Siasa na Soka.
Andrey Arshavin Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Charity
Pia anahusika katika kazi ya upendo. Arshavin alikubali kutoa kuwa Balozi wa Vijiji vya watoto wa SOS katika mji wa Pushkin karibu na St. Petersburg.
| 2019-12-08T05:14:08 |
https://lifebogger.com/sw/narey-arshavin-utoto-hadithi-plus-untold-biography-ukweli/
|
[
-1
] |
Kona ya Afya: Nani kasema Maharagwe si Mboga?
Posted by Shally's Med Corner at 7:57 PM
Mzee wa Taratbu said...
Hamna mboga nzuri kwangu na tamu kama maharagwe yani.
Nakubaliana na wewe Mzee wa taratibu!
| 2017-09-25T04:20:46 |
http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/10/nani-kasema-maharagwe-si-mboga.html
|
[
-1
] |
MKE WA RAIS ATEMBELEA WAZEE WENYE MAHITAJI MOROGORO | Lukwangule Entertainment
MKE WA RAIS ATEMBELEA WAZEE WENYE MAHITAJI MOROGORO
Mama Janeth Magufuli, mke wa Rais , Dk
John Magfuli akiwasalimia baadhi ya wazee wasiojiweza na wenye ulemavu wa
viungo wanaoishi katika Kambi ya Wazee wasiojiweza ya Fungafunga ,
iliyopo Manispaa ya Morogoro, wakati alipowatembelea
kuwasalimu pamoja na kuwakabidhi misaada ya aina mbalimbali ikiwemo viroba vya
unga wa sembe ulitokana na mchango wa wadau mbalimbali waliomuunga
mkono.
Mama Janeth Magufuli, mke wa Rais, Dk John
Magfuli akimkabidhi msaada wa vitu mbalimbali ukiwemo viroba vya unga wa sembe
kwa Mwenyekiti wa Wazee wasiojiweza wa kambi ya Fungafunga , iliyopo Manispaa
ya Morogoro, Joseph Paulo Kaniki , jana ( Okt 13) wakati alipowatembelea
kuwasalimu na kuwakabidhi misaada hiyo ambao ilitokana na mchango wa wadau
mbalimbali waliomuunga mkono.
iliyopo Manispaa ya Morogoro,
Mke wa Rais, Mama
Janeth Magufuli , akiwa pamoja na baadhi ya watoto wa kijiji cha Chazi, Kata ya
Sungaji,Tarafa ya Turiani, wilayani Mvomero , mkoa wa Morogoro ,
alipotembelea kambi ya wazee na watu wenye mahitaji maalumu ya
Chazi na kukabidhi zawadi ya vyakula kwa wazee hao.
Mke wa Rais, Mama Janeth Magufuli ,akimsabahi
kwa kumshika mkono mtoto wa wa kijiji cha Chazi, Kata ya Sungaji,Tarafa
ya Turiani, wilayani Mvomero , mkoa wa Morogoro , wakati alipotembelea kambi ya wazee na watu wenye mahitaji maalumu ya Chazi na
kukabidhi zawadi ya vyakula kwa wazee hao.
Janeth Magufuli , akipokea mkungu wa ndizi kutoka kwa Devotha Ngapata ambaye ni mfanyakazi wa Kambi ya Wazee na watu wenye mahitaji maalumu ya Chazi,
Turiani, wilayani Mvomero , mkoa wa Morogoro, alipomkabidhi kwa niaba ya
wenzake kumuunga mkono kusaidia wazee wanaishi kambini hapo.Picha zote na John Nditi wa HabariLeo
| 2017-04-26T07:59:12 |
http://lukwangule.blogspot.com/2016/10/mke-wa-rais-atembelea-wazee-wenye.html
|
[
-1
] |
PETER SCHMEICHEL ASEMA GUARDIOLA ALIIFANYA BAYERN MUNICH KUWA TIMU MBAYA | saluti5 ':"")+"";else if(null!=(o=r.match(/(youtu.be\/|youtube.com\/(watch\?(.*&)?v=|(embed|v)\/))([^\?&\"\'>]+)/gi))){var v=o[0].match(/^.*((youtu.be\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\?))\??v?=?([^#\&\?]*).*/);v&&11==v[7].length&&(s='')}else s='';i='',l=r.replace(/<(.*?)>/g,"").replace(/[\n\r]+/g," "),u.innerHTML=s+''+d+""+l.substring(0,g.summaryLength)+'…'+i+""}
» PETER SCHMEICHEL ASEMA GUARDIOLA ALIIFANYA BAYERN MUNICH KUWA TIMU MBAYA
PETER SCHMEICHEL ASEMA GUARDIOLA ALIIFANYA BAYERN MUNICH KUWA TIMU MBAYA
MLINDA mlango wa zamani Peter
Schmeichel amemvaa kocha Pep Guardiola akisema kwamba aliifanya Bayern Munich
kuwa timu mbaya kiasi cha kutoiangalia na huku akisema kwamba alikuwa na bahati
kwa mafanikio aliyoyapata akiwa Barcelona kutokana na kwamba alikuwa na wachezaji
wenye vipaji.
Katika kipindi cha miaka minne
alichokaa kwenye klabu hiyo ya Camp Nou, kocha huyo wa Manchester City,
Guardiola alifanikiwa kutwaa mataji matatu ya Ligi, ubingwa wa Cope del Rey na
mara mbili akifanikiwa kutwaa wa Ligi ya mabingwa.
Baada ya kupata mafanikio hayo
akiwa na klabu hiyo ya Catalan, kocha huyo aliendelea kufanya hivyo pia kwenye
michuano ya Ligi ya Bundesliga akiwa na Bayern ambapo waliweza kutwaa mataji
matatu ya Ligi kati ya mwaka 2014 na 2016 pamoja na lile la DFB-Pokal mara
Hata hivyo, pamoja na Guardiola
ambaye alikabidhiwa timu kutoka kwa Jupp Heynckes kupata mafanikio hayo, Schmeichel
anavyodhani Bayern ilikuwa ikitandaza kandanda safi wakati ilipokuwa chini ya
Mjerumani tofauti na mbinu alizokuwa akitumia Guardiola.
“Alikuwa vizuri wakati akiwa
Bayern Munich. Naweza kusema hivyo,” staa huyo aliuambia mtandao wa Omnisport.
“Lakini kwangu mimi binafsi
naweza kusema timu ilibadilika na kuacha kucheza soka la kuvutia na badala yake
ikawa imecheza soka ambalo huwezi kutamani kuliangalia,” aliongeza staa huyo wa
Schmeichel ambaye alicheza
mechi 398 akiwa Manchester United, vilevile alisema kuwa anavyoamini mafanikio
aliyoyapata Guardiola akiwa Barcelona yalitokana na kuwa alikuwa na wachezaji
wakali kama vile Lionel Messi, Xavi na Andres Iniesta.
Mlinda mlango huyo wa zamani wa
timu ya taifa ya Denmark alidai pia itakuwa vigumu kwa kocha huyo kupata
mafanikio kama hayo akiwa na Manchester City.
| 2016-12-06T21:48:43 |
http://www.saluti5.com/2016/09/peter-schmeichel-asema-guardiola.html
|
[
-1
] |
OFISI YA MKUU WA MKOA RUKWA: MKUU WA MKOA WA RUKWA AIOMBA SERIKALI KUSAIDIA KUHAKIKISHA BARABARA ZA LAMI ZINAZOJENGWA MKOANI HUMO ZINAKAMILIKA KWA WAKATI
Posted by Hamza Temba at 1:53 PM
| 2017-12-11T05:45:01 |
https://rukwareview.blogspot.com/2012/02/mkuu-wa-mkoa-wa-rukwa-aiomba-serikali_21.html
|
[
-1
] |
THE CHOCOLATE CREW LAIBUKA MSHINDI SERENGETI DANSI LA FIESTA DAR,LAJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI MOJA.
Home / EVENTS & PROMOTIONS / THE CHOCOLATE CREW LAIBUKA MSHINDI SERENGETI DANSI LA FIESTA DAR,LAJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI MOJA.
17 July 2012 By dewjiblog 0 comments Kundi la The Chocolate Crew likishangilia kitita cha shilingi milioni moja mara baada ya kuibuka washindi kati ya makundi saba yaliyojitokeza kushiriki shindano la Serengeti dance la Fiesta 2012,ndani ya kiota cha maraha cha Suncirro,Sinza jijini Dar.Katika shindano hilo kulikuwepo na ushindani mkubwa lakini mwisho wa siku mshindi ilikuwa ni lazima ajulikane/apatikane.Shindano hilo ambalo mdhamini wake mkuu ni kampuni ya bia ya Serengiti ndio mdhamini mkuu wa tamasha kubwa lijalo la Fiesta linalorajiwa kuanza hapo baadae mara baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuisha.Shindano la namna hii limekwishafanyika katika mkoa wa Arusha ambapo mshindi lilikuwa kundi la Contegious Crew,mkoani Tanga kundi la Questions Crew waliibuka washindi pamoja na Viswani Zanzibar ambapo kundi la B-Six lilishinda.Aidha makundi yote hayo yalijinyakulia kitita cha shilingi milioni moja.
Mmoja wa majaji na mratibu wa shindano hilo ajulikanae kwa jina la Msami akikabidhi kitita cha shilingi milioni moja kwa kundi la The Chocolate mara baada ya kuibuka kinara jioni ya leo kwenye ukumbi wa Sun Cirro,sinza jijini Dar.
Baadhi ya mwashabiki wakishangilia
Mmoja wa watangazaji wa Clouds TV,Babu wa Kitaa kupitia kipindi Bibi Bomba akiwa amepozi na wadau wengine wa Clouds Media Group wakifuatilia shindano la Serengeti dance la Fiesta 2012.
Kundi la Mazabe Ndonga likionesha umahiri wa kucheza jukwaani kwenye shindano la kumsaka mshindi wa Serengeti dance la Fiesta 2012,ndani ya kiota cha maraha cha Suncirro,Sinza jijini dar.Katika shindano hilo yamejitokeza makundi saba ambayo yameshindana vikali katika kumsaka kinara wao,zawadi katika shindano hilo ambalo mdhamini wake mkuu ni kampuni ya bia ya Serengi,ni fedha taslimu shilingi Milioni moja.Mashindano haya yamekwishafanyika katika mkoa wa Arusha ambapo mshindi lilikuwa kundi la Contegious Crew,Zanzibar likashinda kundi la B-Six na mkoani Tanga kundi la Questions Crew waliibuka washindi,aidha makundi yote hayo yalijinyakulia kitita cha shilingi milioni moja.
Mmoja wa wasanii wa kundi la The Ridder akionesha mbwembwe zake kwa mashabiki kibao (hawapo pichani) waliofika kwenye shindano hili jioni ya leo,ambalo lilikuwa na msisimko mkubwa .
Kundi la Tatanisha Dancers likisaka ushindi kwa udi na uvumba.
Baadhi ya washabiki waliojitokeza jioni ya leo kwenye shindano la kumsaka mshindi wa Serengeti dance la Fiesta 2012,ndani ya kiota cha maraha cha Suncirro,Sinza jijini dar
Mmoja wa majaji wa shindano hilo Isakwisha Thomson kutoka Clouds FM akifafanua jambo,kati ni Msami kutoka THT pamoja na B-Dozen kutoka Clouds FM,Wote ndio waratibu wa shindano hilo la Serengeti dance la Fiesta 2012.
Kundi la Manzese Crew likisaka ushindi kwa udi na uvumba jukwaani kuwania kitita sh milioni moja. Mashabiki wakifuatilia shindani hilo jioni ya leo.
Kundi la Chocolate lionesha mbwembwe zake jukwaani kuwani kitita cha shilingi milioni moja.
Mmoja wa majaji katika mashindano hayo Isakwisa Thomson akielezea jambo wakati shindano likiendelea.
Mc wa shindano zima,Nickson akiwayataja makundi yaliyotinga fainali kwenye mchakato wa kulipata kundi kinara la Serengeti dance la Fiesta 2012.
Majaji wakijadiliana jambo kumpata mshindi
Palikuwa hapatoshi jioni ya leo ndani ya ukumbi wa maraha wa Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
| 2015-08-03T23:19:32 |
http://dewjiblog.com/2012/07/17/the-chocolate-crew-laibuka-mshindi-serengeti-dansi-la-fiesta-darlajinyakulia-kitita-cha-sh-milioni-moja/
|
[
-1
] |
KAMATI ZA BUNGE DODOMA - MZUKA BLOG
TANZANIA YANG'ARA KUANDAA KONGAMANO LA WATAALAMU WA MAGONJWA YA DAMU (HAEMATOLOGY) BARA LA AFRIKA - Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Damu (Haematology), MUHAS Prof. Julie Makani (kulia) akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam kuelezea mafanikio ya kon...
Home »Unlabelled » KAMATI ZA BUNGE DODOMA
By omar fungo at 5:11 PM
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mheshimiwa Sadiq Murad akikisitiza jambo katika kikao cha Kamati hiyo ambapo leo walikuwa wakijadili ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Shirikisho la wenye Viwanda Nchini (CTI).Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.
| 2018-08-21T08:04:05 |
http://wwwmzukakamili-mzuka.blogspot.com/2018/01/blog-post_15.html
|
[
-1
] |
Kiwango cha kubadilisha CFA faranga ya BEAC - Guilder ya Antili za Kiholanzi - Viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria
CFA faranga ya BEAC (XAF) kwa Guilder ya Antili za Kiholanzi (ANG)
Jedwali lililopo chini linaonyesha viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria kati ya CFA faranga ya BEAC (XAF) na Guilder ya Antili za Kiholanzi (ANG) kati ya 26/04/2019 na 22/10/2019
Tazama grafu inayochora viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria vya CFA faranga ya BEAC dhidi ya Guilder ya Antili za Kiholanzi
Jedwali sasa linaonyesha viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria vya CFA faranga ya BEAC kwa 1 Guilder ya Antili za Kiholanzi. Geuza jedwali kuona Guilder ya Antili za Kiholanzi kwa 1 CFA faranga ya BEAC.
22/10/2019 Jumanne 335.90608 XAF ANG XAF kiwango cha 22/10/2019
21/10/2019 Jumatatu 335.29718 XAF ANG XAF kiwango cha 21/10/2019
18/10/2019 Ijumaa 334.72777 XAF ANG XAF kiwango cha 18/10/2019
17/10/2019 Alhamisi 336.15102 XAF ANG XAF kiwango cha 17/10/2019
16/10/2019 Jumatano 337.60903 XAF ANG XAF kiwango cha 16/10/2019
15/10/2019 Jumanne 338.71803 XAF ANG XAF kiwango cha 15/10/2019
14/10/2019 Jumatatu 338.93888 XAF ANG XAF kiwango cha 14/10/2019
11/10/2019 Ijumaa 338.83230 XAF ANG XAF kiwango cha 11/10/2019
10/10/2019 Alhamisi 339.52515 XAF ANG XAF kiwango cha 10/10/2019
09/10/2019 Jumatano 340.58909 XAF ANG XAF kiwango cha 09/10/2019
08/10/2019 Jumanne 341.28868 XAF ANG XAF kiwango cha 08/10/2019
07/10/2019 Jumatatu 340.82363 XAF ANG XAF kiwango cha 07/10/2019
04/10/2019 Ijumaa 340.24294 XAF ANG XAF kiwango cha 04/10/2019
03/10/2019 Alhamisi 341.04683 XAF ANG XAF kiwango cha 03/10/2019
02/10/2019 Jumatano 342.27640 XAF ANG XAF kiwango cha 02/10/2019
01/10/2019 Jumanne 342.92885 XAF ANG XAF kiwango cha 01/10/2019
30/09/2019 Jumatatu 342.18633 XAF ANG XAF kiwango cha 30/09/2019
27/09/2019 Ijumaa 341.61864 XAF ANG XAF kiwango cha 27/09/2019
26/09/2019 Alhamisi 340.50724 XAF ANG XAF kiwango cha 26/09/2019
25/09/2019 Jumatano 339.51069 XAF ANG XAF kiwango cha 25/09/2019
24/09/2019 Jumanne 337.30056 XAF ANG XAF kiwango cha 24/09/2019
23/09/2019 Jumatatu 337.82820 XAF ANG XAF kiwango cha 23/09/2019
20/09/2019 Ijumaa 337.33224 XAF ANG XAF kiwango cha 20/09/2019
19/09/2019 Alhamisi 336.47091 XAF ANG XAF kiwango cha 19/09/2019
18/09/2019 Jumatano 336.79887 XAF ANG XAF kiwango cha 18/09/2019
17/09/2019 Jumanne 337.54538 XAF ANG XAF kiwango cha 17/09/2019
16/09/2019 Jumatatu 339.88535 XAF ANG XAF kiwango cha 16/09/2019
13/09/2019 Ijumaa 333.22631 XAF ANG XAF kiwango cha 13/09/2019
12/09/2019 Alhamisi 335.90371 XAF ANG XAF kiwango cha 12/09/2019
11/09/2019 Jumatano 337.65350 XAF ANG XAF kiwango cha 11/09/2019
10/09/2019 Jumanne 336.27209 XAF ANG XAF kiwango cha 10/09/2019
09/09/2019 Jumatatu 336.98588 XAF ANG XAF kiwango cha 09/09/2019
06/09/2019 Ijumaa 333.64127 XAF ANG XAF kiwango cha 06/09/2019
05/09/2019 Alhamisi 336.75518 XAF ANG XAF kiwango cha 05/09/2019
04/09/2019 Jumatano 335.86222 XAF ANG XAF kiwango cha 04/09/2019
03/09/2019 Jumanne 334.87743 XAF ANG XAF kiwango cha 03/09/2019
02/09/2019 Jumatatu 335.11999 XAF ANG XAF kiwango cha 02/09/2019
30/08/2019 Ijumaa 333.77622 XAF ANG XAF kiwango cha 30/08/2019
29/08/2019 Alhamisi 332.22984 XAF ANG XAF kiwango cha 29/08/2019
28/08/2019 Jumatano 331.53735 XAF ANG XAF kiwango cha 28/08/2019
27/08/2019 Jumanne 331.32224 XAF ANG XAF kiwango cha 27/08/2019
26/08/2019 Jumatatu 331.01063 XAF ANG XAF kiwango cha 26/08/2019
23/08/2019 Ijumaa 326.90040 XAF ANG XAF kiwango cha 23/08/2019
22/08/2019 Alhamisi 331.52815 XAF ANG XAF kiwango cha 22/08/2019
21/08/2019 Jumatano 331.47891 XAF ANG XAF kiwango cha 21/08/2019
20/08/2019 Jumanne 331.08114 XAF ANG XAF kiwango cha 20/08/2019
19/08/2019 Jumatatu 331.73552 XAF ANG XAF kiwango cha 19/08/2019
16/08/2019 Ijumaa 331.32393 XAF ANG XAF kiwango cha 16/08/2019
15/08/2019 Alhamisi 330.95821 XAF ANG XAF kiwango cha 15/08/2019
14/08/2019 Jumatano 329.90531 XAF ANG XAF kiwango cha 14/08/2019
13/08/2019 Jumanne 328.90597 XAF ANG XAF kiwango cha 13/08/2019
12/08/2019 Jumatatu 327.54890 XAF ANG XAF kiwango cha 12/08/2019
09/08/2019 Ijumaa 324.75727 XAF ANG XAF kiwango cha 09/08/2019
08/08/2019 Alhamisi 328.26291 XAF ANG XAF kiwango cha 08/08/2019
07/08/2019 Jumatano 328.17992 XAF ANG XAF kiwango cha 07/08/2019
06/08/2019 Jumanne 327.98280 XAF ANG XAF kiwango cha 06/08/2019
05/08/2019 Jumatatu 327.77885 XAF ANG XAF kiwango cha 05/08/2019
02/08/2019 Ijumaa 330.45590 XAF ANG XAF kiwango cha 02/08/2019
01/08/2019 Alhamisi 331.51028 XAF ANG XAF kiwango cha 01/08/2019
31/07/2019 Jumatano 332.70886 XAF ANG XAF kiwango cha 31/07/2019
30/07/2019 Jumanne 330.37127 XAF ANG XAF kiwango cha 30/07/2019
29/07/2019 Jumatatu 329.54951 XAF ANG XAF kiwango cha 29/07/2019
26/07/2019 Ijumaa 329.71003 XAF ANG XAF kiwango cha 26/07/2019
25/07/2019 Alhamisi 329.66064 XAF ANG XAF kiwango cha 25/07/2019
24/07/2019 Jumatano 329.72460 XAF ANG XAF kiwango cha 24/07/2019
23/07/2019 Jumanne 329.49151 XAF ANG XAF kiwango cha 23/07/2019
22/07/2019 Jumatatu 327.83081 XAF ANG XAF kiwango cha 22/07/2019
19/07/2019 Ijumaa 327.11356 XAF ANG XAF kiwango cha 19/07/2019
18/07/2019 Alhamisi 326.79875 XAF ANG XAF kiwango cha 18/07/2019
17/07/2019 Jumatano 328.16552 XAF ANG XAF kiwango cha 17/07/2019
16/07/2019 Jumanne 328.66843 XAF ANG XAF kiwango cha 16/07/2019
15/07/2019 Jumatatu 327.21132 XAF ANG XAF kiwango cha 15/07/2019
12/07/2019 Ijumaa 326.46258 XAF ANG XAF kiwango cha 12/07/2019
11/07/2019 Alhamisi 327.57020 XAF ANG XAF kiwango cha 11/07/2019
10/07/2019 Jumatano 327.42536 XAF ANG XAF kiwango cha 10/07/2019
09/07/2019 Jumanne 320.74328 XAF ANG XAF kiwango cha 09/07/2019
08/07/2019 Jumatatu 311.93641 XAF ANG XAF kiwango cha 08/07/2019
05/07/2019 Ijumaa 311.20741 XAF ANG XAF kiwango cha 05/07/2019
04/07/2019 Alhamisi 309.93420 XAF ANG XAF kiwango cha 04/07/2019
03/07/2019 Jumatano 310.15990 XAF ANG XAF kiwango cha 03/07/2019
02/07/2019 Jumanne 309.52618 XAF ANG XAF kiwango cha 02/07/2019
01/07/2019 Jumatatu 308.67516 XAF ANG XAF kiwango cha 01/07/2019
28/06/2019 Ijumaa 306.89479 XAF ANG XAF kiwango cha 28/06/2019
27/06/2019 Alhamisi 307.61872 XAF ANG XAF kiwango cha 27/06/2019
26/06/2019 Jumatano 307.55237 XAF ANG XAF kiwango cha 26/06/2019
25/06/2019 Jumanne 307.57588 XAF ANG XAF kiwango cha 25/06/2019
24/06/2019 Jumatatu 321.80999 XAF ANG XAF kiwango cha 24/06/2019
21/06/2019 Ijumaa 324.40230 XAF ANG XAF kiwango cha 21/06/2019
20/06/2019 Alhamisi 324.40232 XAF ANG XAF kiwango cha 20/06/2019
19/06/2019 Jumatano 324.40231 XAF ANG XAF kiwango cha 19/06/2019
18/06/2019 Jumanne 324.40214 XAF ANG XAF kiwango cha 18/06/2019
17/06/2019 Jumatatu 324.40232 XAF ANG XAF kiwango cha 17/06/2019
14/06/2019 Ijumaa 324.45817 XAF ANG XAF kiwango cha 14/06/2019
13/06/2019 Alhamisi 324.60329 XAF ANG XAF kiwango cha 13/06/2019
12/06/2019 Jumatano 326.92186 XAF ANG XAF kiwango cha 12/06/2019
11/06/2019 Jumanne 326.92188 XAF ANG XAF kiwango cha 11/06/2019
10/06/2019 Jumatatu 326.92170 XAF ANG XAF kiwango cha 10/06/2019
07/06/2019 Ijumaa 326.92187 XAF ANG XAF kiwango cha 07/06/2019
06/06/2019 Alhamisi 326.92188 XAF ANG XAF kiwango cha 06/06/2019
05/06/2019 Jumatano 328.46362 XAF ANG XAF kiwango cha 05/06/2019
04/06/2019 Jumanne 328.46375 XAF ANG XAF kiwango cha 04/06/2019
03/06/2019 Jumatatu 328.46362 XAF ANG XAF kiwango cha 03/06/2019
31/05/2019 Ijumaa 328.38554 XAF ANG XAF kiwango cha 31/05/2019
30/05/2019 Alhamisi 327.45818 XAF ANG XAF kiwango cha 30/05/2019
29/05/2019 Jumatano 327.45804 XAF ANG XAF kiwango cha 29/05/2019
28/05/2019 Jumanne 327.49727 XAF ANG XAF kiwango cha 28/05/2019
27/05/2019 Jumatatu 327.71516 XAF ANG XAF kiwango cha 27/05/2019
24/05/2019 Ijumaa 328.37983 XAF ANG XAF kiwango cha 24/05/2019
23/05/2019 Alhamisi 328.58666 XAF ANG XAF kiwango cha 23/05/2019
22/05/2019 Jumatano 328.49170 XAF ANG XAF kiwango cha 22/05/2019
21/05/2019 Jumanne 328.82689 XAF ANG XAF kiwango cha 21/05/2019
20/05/2019 Jumatatu 326.60343 XAF ANG XAF kiwango cha 20/05/2019
17/05/2019 Ijumaa 326.60326 XAF ANG XAF kiwango cha 17/05/2019
16/05/2019 Alhamisi 326.60330 XAF ANG XAF kiwango cha 16/05/2019
15/05/2019 Jumatano 326.56416 XAF ANG XAF kiwango cha 15/05/2019
14/05/2019 Jumanne 326.61445 XAF ANG XAF kiwango cha 14/05/2019
13/05/2019 Jumatatu 326.95537 XAF ANG XAF kiwango cha 13/05/2019
10/05/2019 Ijumaa 327.40217 XAF ANG XAF kiwango cha 10/05/2019
09/05/2019 Alhamisi 327.49711 XAF ANG XAF kiwango cha 09/05/2019
08/05/2019 Jumatano 327.51390 XAF ANG XAF kiwango cha 08/05/2019
07/05/2019 Jumanne 327.38540 XAF ANG XAF kiwango cha 07/05/2019
06/05/2019 Jumatatu 327.55859 XAF ANG XAF kiwango cha 06/05/2019
03/05/2019 Ijumaa 327.76528 XAF ANG XAF kiwango cha 03/05/2019
02/05/2019 Alhamisi 327.76529 XAF ANG XAF kiwango cha 02/05/2019
01/05/2019 Jumatano 328.43583 XAF ANG XAF kiwango cha 01/05/2019
30/04/2019 Jumanne 328.43569 XAF ANG XAF kiwango cha 30/04/2019
29/04/2019 Jumatatu 328.31836 XAF ANG XAF kiwango cha 29/04/2019
28/04/2019 Jumapili 327.65928 XAF ANG XAF kiwango cha 28/04/2019
26/04/2019 Ijumaa 325.03901 XAF ANG XAF kiwango cha 26/04/2019
kiwango cha chini = 306.89 (28 Juni)
wastani = 329.42
kiwango cha juu = 342.93 (1 Oktoba)
Jedwali hapo juu linaonyesha viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria kati ya CFA faranga ya BEAC na Guilder ya Antili za Kiholanzi. Kama ungependa kutazama viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria kati ya Guilder ya Antili za Kiholanzi na fedha nyingine, tafadhali chagua fedha kutoka kwenye orodha iliyopo chini.
| 2019-10-23T14:37:55 |
https://sw.exchange-rates.org/history/XAF/ANG/T
|
[
-1
] |
Cannavaro: Wachezaji Tunaumia Kuliko Mashabiki Wa Soka La Bongo – Dar24
Cannavaro: Wachezaji Tunaumia Kuliko Mashabiki Wa Soka La Bongo
4 years ago Comments Off on Cannavaro: Wachezaji Tunaumia Kuliko Mashabiki Wa Soka La Bongo
Kumekuwa na taarifa mbalimbali mitandaoni zikiwahukumu wachezaji wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kutojua lugha ya kingereza kuwa ndio chanzo kilichopelekea kutofanya vizuri uwanjani, kutokana na kutoelewana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mart Nooij.
Julai 2, nahodha wa timu ya taifa, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amelitolea ufafanuzi suala hilo.
“Sisi wachezaji tunaumia zaidi kuliko mashabiki kwa sababu maisha yetu tunategemea mpira tunapopata matokeo mabaya familia zetu zinakaa na njaa, kwanza tunakosa fedha tunazoahidiwa, tunakosa pia kuthaminiwa na watu nje, unajua unapofanya vibaya watu hawawezi kukusapoti, sisi tunaumia zaidi,” alisema.
“Kwa suala la mwalimu kusema kuwa watu hawajui kingereza sio kweli, kwani suala la mpira ni vitendo mwalimu anakuambia fanya hivi hivi na mchezaji unaelewa nini cha kufanya, matokeo yanatokea kwenye mpira unaweza ukashindwa au ukafungwa, sisi tunaumia sana na tunataka matokea mazuri ili tupate kuheshimika kwenye vilabu vyetu”, aliongeza.
Cannavaro ameendelea kutanabaisha kuwa, “tutajitahidi na nitawaambia wenzangu tu ‘force’ (tulazimishe) kila game (mchezo) ambayo itakuwa mbele yetu tuweze kupata matokeo mazuri, sisi kwanza tunatarajia kuanzia mechi na Uganda tukishinda moja tukishinda mbili ilimradi turudishe imani kwa Watanzania”.
Diamond Ampa AY Shukurani Na Heshima Ya Pekee
Michezo 5 hours ago Comments Off on Yanga: Mechi na As Vital ipo palepale
| 2019-07-23T20:39:07 |
http://dar24.com/cannavaro-wachezaji-tunaumia-kuliko-mashabiki-wa-soka-la-bongo/
|
[
-1
] |
Kama utateua programu tumizi kwa Czech, maelezo katika tovuti hii yataonyeshwa bado kwa Kiingereza. Hata hivyo, ukijumuisha programu tumizi katika ILS na kuubadilisha mpangizo wa lugha wa ILS katika Czech, programu tumizi itaonyeshwa kwa Czech ndani ya ILS.
| 2020-07-11T02:42:07 |
https://www.golabz.eu/sw/apps?sort_by=totalcount&category=1195&language=28
|
[
-1
] |
DC HAI ,GELASIUS BYAKANWA AMUACHIA MKURUGENZI WA HALMASHAURI HIYO HATMA YA WATUMISHI WABADHILIFU. | H@ki Ngowi
0 0 Haki Ngowi Monday, January 16, 2017 Edit this post
Mkuu wa wilaya ya Hai ,Gelasius Byakanwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kuhusu ubadhilifu uliofanyika wakati w...
Mkuu wa wilaya ya Hai ,Gelasius Byakanwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kuhusu ubadhilifu uliofanyika wakati wa zoezi la utengenezaji wa madawati.Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Yahana Sintoo.
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akionesha sehemu ya nyaraka ambazo zinaonesha namna baadhi ya watumishi walivyoshiriki kufanya ubadhilifu wa fedha za madawati.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanawa (katikati) akiwa na katibu tawala wa wilaya hiyo,Upendo Wela (kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Halamshauri ya wilaya hiyo Yohana Sintoo (kushoto).
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yohana Sintoo akizungungunza wakati wa kikao hicho .
MKUU wa wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa ametoa jukumu kwa mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo,Yohana Sintoo la kuamua hatma ya watumishi wake watano wanaotajwa katika tuhuma za ubadhilifu wa fedha wakati wa zoezi la utengenezaji wa madawati.
Akiwa ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi wa halmashauri hiyo,Mkurugenzi Sintoo ndiye mwenye maamuzi ya kuwasimamisha kazi watumishi hao baada ya tume iliyoundwa na mkuu wa wilaya hiyo, Byakanwa kumaliza kazi yake ya uchunguzi dhidi ya watumishi hao na kubaini mapungufu kadhaa.
Akihitimisha taarifa yake wakati wa kikao na watumishi wa halmashauri hiyo,Byakanwa aliagiza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kuchunguza na kuchukua hatua dhidi ya watumishi hao akiwemo aliyekuwa kaimu Mkurugenzi ,Mhandisi Kweka.
“Mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa Halmashauri ni mkurugenzi pamoja na baraza la madiwani ,lakini mwajiri ni ofisi ya katibu tawala mkoa ,Ofisi hizi mbili ndizo zinazoweza kukaa na kuchukua hatua za kuzuia matukio au vitendo kama hivyo.”alisema Byakanwa.
“Niishauri ofisi ya Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro pamoja na ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ambayo ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi hao kupima kuhusu hatua za kuchukua dhidi ya watumishi hawa”aliongeza Byakanwa.
Mkuu huyo wa wilaya alisema tuhuma zinazowakabili watumishi hao ,majina yao tumeyahifadhi kwa sasa ni pamoja na kupitisha barua ya malipo bila kujiridhisha kama kuna mkataba wa kutengeneza madawati na kufanya malipo ya fremu za madawati badala ya madawati.
Tuhuma nyingine inaihusu timu ya ukaguzi iliyokiri kukamilika kwa kazi bila ya kuonesha kama walipokea madawati au walienda kukagua kazi ya mzabuni licha ya mzabuni kuomba malipo ya fremu za madawati badala ya Madawati kamili.
Ofisi ya elimu msingi,ofisi ya mkurugenzi,ofisi ya Mhasibu wa Halamshauri na kitengo cha manunuzi pia zinatuhumiwa kushindwa kubaini nyaraka zilizowasilishwa na mzabuni endapo zilikuwa ni kwa ajili ya fremu za Madawati badala ya Madawati kamili.
Katika kikao hicho kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo Byakanwa alisema kampuni iliyopewa zabuni ya kutengeneza madawati ni ya Ujenzi na haijawahi kufanya kazi ya kutengeneza madawati, kuwa na karakana wala vifaa vya uselemala .
Byakanwa alisema kwa malipo yaliyofanyika Halmashauri ilipoteza zaidi ya sh Mil 12 huku akishangazwa na hatua ya mmoja wa watumishi wanaotuhumiwa kuomba malipo badala ya mzabuni.
Akionyesha namna watumishi hao walivyokiuka taratibu Byakanwa alisema taarifa ya uchunguzi inaonyesha Halmashauri iliunda timu ya ukaguzi ambayo katika cheti cha ukaguzi na mapokezi ya bidhaa kinaonyesha bidhaa au madawati yalipelekwa ,Julai 16, 2016 ,siku 12 tangu siku ya mkataba na mzabuni.
“Mmoja w wajumbe wa kamati hiyo ya ukaguzi alikuwa ni mjumbe wa kamati ya kuratibu zoezi la Madawati ,alikuwa na jukumu la kusambaza mbao kwa wazabuni na alikuwa anajua kuwa hajapeleka mbao za kutosha kwa mzabuni ,katika maelezo yake mbele ya tume anakiri kuwa mzabuni hajamaliza kazi kwa sababu Halmashauri haijampa mbao.”alisema Byakanwa.
Alisema mzabuni aliieleza tume kuwa anadaiwa madawati 246 na halmashauri na kuwa amekamilisha kutegeneza madawati 154 na ueleza kua alishindwa kukamilisha kutokana na kukosa mbao kutoka halmashauri.
“June 9,2016 malipo ya Sh Mil 19.2 yakalipwa kwa ajili ya fremu za madawati siyo Madawati.Vocha ya malipo ikasainiwa na DT na kuandaliwa na mtumishi mwingine (jina tunalo) ikakamilisha mchezo.”alisema Byakanwa.
Mkuu huyo wa wilaya alisema kufanya hivyo ilikuwa ni kinyume cha taratibu za malipo kwa kuwa wahusika walipaswa kujiridhisha na nyaraka walizokuwa wakitumia ,kwa nini mzabuni aliamua kudanganya Halmashauri.
Byakanwa aliishauri ofisi ya Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro pamoja na ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ambayo ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi hao kupima kuhusu hatua za kuchukua dhidi ya watumishi hao.
Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yahana Sintoo alisema licha ya kwamba amefika wakati zoezi la uchunguzi lina kamilika bado atafanyia kazi taarifa hizo kwa umakini mkubwa ili kujiridhisha na utendajji kazi wa watumishi wa halmashauri hiyo.
KAWAIDA. Mkuu wa wilaya ya Hai ,Gelasius Byakanwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kuhusu ubadhilifu uliofanyika wakati wa zoezi la utengenezaji wa madawati.Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Yahana Sintoo. Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao hicho. Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akionesha sehemu ya nyaraka ambazo zinaonesha namna baadhi ya watumishi walivyoshiriki kufanya ubadhilifu wa fedha za madawati. Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanawa (katikati) akiwa na katibu tawala wa wilaya hiyo,Upendo Wela (kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Halamshauri ya wilaya hiyo Yohana Sintoo (kushoto). Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yohana Sintoo akizungungunza wakati wa kikao hicho . Na Dixon Busagaga,Hai. MKUU wa wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa ametoa jukumu kwa mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo,Yohana Sintoo la kuamua hatma ya watumishi wake watano wanaotajwa katika tuhuma za ubadhilifu wa fedha wakati wa zoezi la utengenezaji wa madawati. Akiwa ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi wa halmashauri hiyo,Mkurugenzi Sintoo ndiye mwenye maamuzi ya kuwasimamisha kazi watumishi hao baada ya tume iliyoundwa na mkuu wa wilaya hiyo, Byakanwa kumaliza kazi yake ya uchunguzi dhidi ya watumishi hao na kubaini mapungufu kadhaa. Akihitimisha taarifa yake wakati wa kikao na watumishi wa halmashauri hiyo,Byakanwa aliagiza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kuchunguza na kuchukua hatua dhidi ya watumishi hao akiwemo aliyekuwa kaimu Mkurugenzi ,Mhandisi Kweka. “Mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa Halmashauri ni mkurugenzi pamoja na baraza la madiwani ,lakini mwajiri ni ofisi ya katibu tawala mkoa ,Ofisi hizi mbili ndizo zinazoweza kukaa na kuchukua hatua za kuzuia matukio au vitendo kama hivyo.”alisema Byakanwa. “Niishauri ofisi ya Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro pamoja na ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ambayo ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi hao kupima kuhusu hatua za kuchukua dhidi ya watumishi hawa”aliongeza Byakanwa. Mkuu huyo wa wilaya alisema tuhuma zinazowakabili watumishi hao ,majina yao tumeyahifadhi kwa sasa ni pamoja na kupitisha barua ya malipo bila kujiridhisha kama kuna mkataba wa kutengeneza madawati na kufanya malipo ya fremu za madawati badala ya madawati. Tuhuma nyingine inaihusu timu ya ukaguzi iliyokiri kukamilika kwa kazi bila ya kuonesha kama walipokea madawati au walienda kukagua kazi ya mzabuni licha ya mzabuni kuomba malipo ya fremu za madawati badala ya Madawati kamili. Ofisi ya elimu msingi,ofisi ya mkurugenzi,ofisi ya Mhasibu wa Halamshauri na kitengo cha manunuzi pia zinatuhumiwa kushindwa kubaini nyaraka zilizowasilishwa na mzabuni endapo zilikuwa ni kwa ajili ya fremu za Madawati badala ya Madawati kamili. Katika kikao hicho kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo Byakanwa alisema kampuni iliyopewa zabuni ya kutengeneza madawati ni ya Ujenzi na haijawahi kufanya kazi ya kutengeneza madawati, kuwa na karakana wala vifaa vya uselemala . Byakanwa alisema kwa malipo yaliyofanyika Halmashauri ilipoteza zaidi ya sh Mil 12 huku akishangazwa na hatua ya mmoja wa watumishi wanaotuhumiwa kuomba malipo badala ya mzabuni. Akionyesha namna watumishi hao walivyokiuka taratibu Byakanwa alisema taarifa ya uchunguzi inaonyesha Halmashauri iliunda timu ya ukaguzi ambayo katika cheti cha ukaguzi na mapokezi ya bidhaa kinaonyesha bidhaa au madawati yalipelekwa ,Julai 16, 2016 ,siku 12 tangu siku ya mkataba na mzabuni. “Mmoja w wajumbe wa kamati hiyo ya ukaguzi alikuwa ni mjumbe wa kamati ya kuratibu zoezi la Madawati ,alikuwa na jukumu la kusambaza mbao kwa wazabuni na alikuwa anajua kuwa hajapeleka mbao za kutosha kwa mzabuni ,katika maelezo yake mbele ya tume anakiri kuwa mzabuni hajamaliza kazi kwa sababu Halmashauri haijampa mbao.”alisema Byakanwa. Alisema mzabuni aliieleza tume kuwa anadaiwa madawati 246 na halmashauri na kuwa amekamilisha kutegeneza madawati 154 na ueleza kua alishindwa kukamilisha kutokana na kukosa mbao kutoka halmashauri. “June 9,2016 malipo ya Sh Mil 19.2 yakalipwa kwa ajili ya fremu za madawati siyo Madawati.Vocha ya malipo ikasainiwa na DT na kuandaliwa na mtumishi mwingine (jina tunalo) ikakamilisha mchezo.”alisema Byakanwa. Mkuu huyo wa wilaya alisema kufanya hivyo ilikuwa ni kinyume cha taratibu za malipo kwa kuwa wahusika walipaswa kujiridhisha na nyaraka walizokuwa wakitumia ,kwa nini mzabuni aliamua kudanganya Halmashauri. Byakanwa aliishauri ofisi ya Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro pamoja na ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ambayo ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi hao kupima kuhusu hatua za kuchukua dhidi ya watumishi hao. Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yahana Sintoo alisema licha ya kwamba amefika wakati zoezi la uchunguzi lina kamilika bado atafanyia kazi taarifa hizo kwa umakini mkubwa ili kujiridhisha na utendajji kazi wa watumishi wa halmashauri hiyo. Mwisho.
H@ki Ngowi: DC HAI ,GELASIUS BYAKANWA AMUACHIA MKURUGENZI WA HALMASHAURI HIYO HATMA YA WATUMISHI WABADHILIFU.
https://2.bp.blogspot.com/-4njeXEi4cX4/WHxQOT3_pxI/AAAAAAAAiqg/G3Vka2E8YKMMp2g6NYOavkXElKAHLAQ1QCLcB/s640/_MG_0113.JPG
https://2.bp.blogspot.com/-4njeXEi4cX4/WHxQOT3_pxI/AAAAAAAAiqg/G3Vka2E8YKMMp2g6NYOavkXElKAHLAQ1QCLcB/s72-c/_MG_0113.JPG
http://www.hakingowi.com/2017/01/dc-hai-gelasius-byakanwa-amuachia.html
| 2017-12-18T12:35:39 |
http://www.hakingowi.com/2017/01/dc-hai-gelasius-byakanwa-amuachia.html
|
[
-1
] |
Lechantre asema inamlazimu kubadili mfumo wa uchezaji Simba - MSUMBA NEWS BLOG
Lechantre asema inamlazimu kubadili mfumo wa uchezaji Simba
KOCHA wa Simba, Pierre Lechantre, amesema kwa namna timu hiyo ilivyosajili, inamlazimu sasa kubadili mfumo wa uchezaji wa timu hiyo.
Simba imekamilisha usajili wa wachezaji Marcel Boniventura kutoka Majimaji, Adam Salamba kutoka Lipuli pamoja na Mohamed Rashid kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho.
Akizungumza na Nipashe jana mjini hapa kabla ya kuanza mazoezi ya asubuhi, Lechantre, alisema ujio wa wachezaji hao utamlazimu kutafuta mfumo mpya atakaokuwa akiutumia ukienda sambamba na ule wa sasa uliozoeleka.
"Ujio wa wachezaji wapya utafanya sasa tuwe na 'option' (mbadala) mwingine wa uchezaji, lazima kuwe na mabadiliko ya uchezaji," alisema Lechantre.
Katika mazoezi ya jana asubuhi, Lechantre alimpa mazoezi maalum nyota wake mpya, Marcel na huenda akamtumia kwenye mchezo wa leo.
Simba leo itatupa karata yake ya kwanza kwenye michuano ya SportPesa Super Cup itakapoumana na Kariobang Shark majira ya saa 9:00 kwenye Uwanja wa Afrah.
Akizungumzia mchezo huo, Lechantre, alisema pamoja na kuwa michuano hiyo imekuja katika kipindi ambacho wachezaji wametoka kwenye ligi, watahakikisha wanalibeba jina la Simba.
"Ni ngumu kucheza mashindano kama haya kwa sababu tunawapa presha wachezaji ambao wametoka kufanya kazi ngumu kwenye ligi, lakini tupo tayari na tutahakikisha tunaliweka juu jina la klabu yetu," alisema.
Aidha, alisema ingawa baadhi ya nyota wake walitarajiwa kuwasili jana mjini hapa kuungana na wenzao, ameweka wazi hatawatumia kwenye mchezo wa leo.
Nyota waliotegemewa kuwasili jana ni pamoja na winga, Shiza Kichuya, Mzamir Yassin pamoja na Mohamed Rashid.
Kwa upande wake, Kocha wa Kariobang Shark, William Muluya, amesema anaiheshimu Simba kwa kuwa ni mabingwa wa Tanzania na anafahamu wanacheza soka safi.
"Hata hivyo, na sisi tunawachezaji wazuri na tutahakikisha tunapambana ndani ya dakika 90, hatuwezi kusema tutacheza mchezo gani, kikubwa haya ni mashindano ya mtoano hivyo ni kuhakikisha tunapata ushindi bila kujali aina ya mchezo," alifafanua.
| 2019-10-18T07:07:34 |
http://www.msumbanews.co.tz/2018/06/lechantre-asema-inamlazimu-kubadili.html
|
[
-1
] |
WANAWAKE WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANAUME KUTATUA BAADHI YA CHANGAMOTO - MAENDELEO VIJIJINI
Home / KITAIFA / WANAWAKE WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANAUME KUTATUA BAADHI YA CHANGAMOTO
WANAWAKE WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANAUME KUTATUA BAADHI YA CHANGAMOTO
Maendeleo Vijijini 3/07/2017 09:30:00 PM KITAIFA
Na Jovina Bujulu – MAELEZO
Hayo yamesemwa na Balozi Getrude Mongella ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Bunge la Afrika alipokuwa akizungumzia ushiriki wa wanawake katika siasa nchini.
| 2018-02-19T13:56:13 |
http://maendeleovijijini.blogspot.com/2017/03/wanawake-watakiwa-kuwashirikisha.html
|
[
-1
] |
KINGWENDU AKIRI ALIPOTEA KUJITOSA KWENYE SIASA... asema ana safari ndefu kurudisha jina lake lililofifia | saluti5 ':"")+"";else if(null!=(o=r.match(/(youtu.be\/|youtube.com\/(watch\?(.*&)?v=|(embed|v)\/))([^\?&\"\'>]+)/gi))){var v=o[0].match(/^.*((youtu.be\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\?))\??v?=?([^#\&\?]*).*/);v&&11==v[7].length&&(s='')}else s='';i='',l=r.replace(/<(.*?)>/g,"").replace(/[\n\r]+/g," "),u.innerHTML=s+''+d+""+l.substring(0,g.summaryLength)+'…'+i+""}
» KINGWENDU AKIRI ALIPOTEA KUJITOSA KWENYE SIASA... asema ana safari ndefu kurudisha jina lake lililofifia
KINGWENDU AKIRI ALIPOTEA KUJITOSA KWENYE SIASA... asema ana safari ndefu kurudisha jina lake lililofifia
NYOTA wa filamu za vichekesho Rashid Mwinshehe "Kingwendu" amesema kuwa bado ana safari ndefu kurudisha jina lake kwenye chati akidai kwamba lilipotea baada ya kujitosa kwenye siasa.
Kingwendu alisema kuwa baada
ya kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge wa jimbo wa Kisarawe mkoani Pwani, mwaka jana, hakuwa na muda wa kuandaa kazi mpya akiamini kwamba angeibuka
na ushindi lakini bahati mbaya akakwama.
Alisema: “Tangu wakati huo
mambo hayajawa mazuri hasa kutokana na changamoto mbalimbali zikiwemo za kufiwa
na mama yangu mzazi lakini nina uhakika nitarudi kwenye chati tu."
“Jina langu ni kubwa sio tu kwenye filamu za vichekesho bali pia kwenye muziki hasa wa asili, kwa hiyo nitahakikisha ninaendelea kulinda hadhi yangu kwenye sanaa."
| 2017-02-26T14:49:18 |
http://www.saluti5.com/2016/11/kingwendu-akiri-alipotea-kujitosa.html
|
[
-1
] |
U Tikedza Muvhuso—U Fhaṱa Fhethu Ha Vhurabeli Na U Phalala | Muvhuso wa Mudzimu
Kha tsha Monde: Zwishumiswa zwa u phalala zwi bvaho Switzerland zwi tshi iswa kha vhahashu vha ngei Dzheremane nga 1946; kha tsha u Ḽa: U fhaṱululwa ha Holo ya Muvhuso ngei Dzhapani nga murahu ha tsunami nga 2011
KHETHEKANYO 6
U Tikedza Muvhuso—U Fhaṱa Fhethu Ha Vhurabeli Na U Phalala
NI DZHENA Holoni ya haṋu ya Muvhuso nahone zwa tou nga ni fhethu hune ni si hu ḓivhe. No vha ni tshi anzela u ḓirwa khana nga tshenetshi tshifhaṱo. Ni nga humbula nga ha zwifhinga zwi takadzaho musi ni tshi khou thusa u i fhaṱa miṅwahani yo fhiraho. Fhedzi zwa zwino ni vho tou ḓirwa khana vhukuma, nga nṱhani ha uri Holo ya Muvhuso yo no vha fhethu ha tshifhinganyana ha u thusa vho welwaho nga khombo. Nga murahu ha musi miḓalo yo tshinyadza muvhunduni wa haṋu, Komiti ya Davhi i mbo ḓi dzudzanya zwiḽiwa, zwiambaro, maḓi o kunaho na zwiṅwe zwithu zwi ṱoḓeaho u itela u thusa vhathu vhe vha sedzana na tshenetsho tshiwo. Zwithu zwa u phalala zwo dzudzanywa zwavhuḓi. Vhahashu vha tshinnani na vha tshisadzini vho rwa muduba, vha khou wana zwine vha zwi shaya nahone kanzhi vha tshi khou phumula miṱodzi ya dakalo.
Yesu o amba uri tshithu tshine tsha ḓo ṱalula vhathu vhawe ndi u funana havho. (Yoh. 13:34, 35) Kha yeneyi khethekanyo, ri ḓo haseledza nḓila ine lufuno lwa Vhukriste lwa sumbedzwa ngayo kha mishumo ya u fhaṱa na vhuḓidini vhu itwaho nga Ṱhanzi dza Yehova ha u phalala vho welwaho nga khombo. Lufuno lwo raloho ndi vhuṱanzi ho khwaṱhaho ha uri ri tshila nga fhasi ha Muvhuso wa Yesu.
NDIMA YA 18
Nḓila Ine Mishumo Ya Muvhuso Ya Tikedzwa Ngayo Nga Tshelede
Tshelede i bva ngafhi? I shumiswa hani?
Fhethu ha vhurabeli hu hulisa Mudzimu, fhedzi hu na tshithu tshine a tshi dzhia tshi tsha ndeme u fhira zwithu zwoṱhe.
Vhuḓinḓa Ha U Phalala
Ri zwi ḓivha hani uri mushumo wa u phalala ndi tshipiḓa tsha tshumelo yashu khethwa kha Yehova?
| 2019-11-18T09:00:48 |
https://www.jw.org/ve/dzikhandiso/bugu/muvhuso-wa-mudzimu/u-thusa/
|
[
-1
] |
Cities Aberdeen, WA Acme, WA Adna, WA Airway Heights, WA Alger, WA Algona, WA Allyn, WA Almira, WA Amanda Park, WA Amboy, WA Anacortes, WA Anderson Island, WA Ariel, WA Arlington, WA Ashford, WA Auburn, WA Bainbridge Island, WA Baring, WA Battle Ground, WA Bay Center, WA Beaver, WA Belfair, WA Bellevue, WA Bellingham, WA Beverly, WA Birch Bay, WA Black Diamond, WA Blaine, WA Blakely Island, WA Boistfort, WA Bonney Lake, WA Bothell, WA Bow, WA Bremerton, WA Brewster, WA Bridgeport, WA Brier, WA Brinnon, WA Brush Prairie, WA Buckley, WA Bucoda, WA Burien, WA Burlington, WA Camano Island, WA Camas, WA Carbonado, WA Carlton, WA Carnation, WA Carrolls, WA Carson, WA Cashmere, WA Castle Rock, WA Cathlamet, WA Cedonia, WA Center Island, WA Centralia, WA Chattaroy, WA Chehalis, WA Chelan Falls, WA Chelan, WA Cheney, WA Chewelah, WA Chimacum, WA Chinook, WA Cinebar, WA Clallam Bay, WA Clarkston, WA Cle Elum, WA Clear Lake, WA Clinton, WA Clyde Hill, WA Colbert, WA College Place, WA Colville, WA Conconully, WA Concrete, WA Connell, WA Conway, WA Copalis Beach, WA Cosmopolis, WA Cougar, WA Coulee City, WA Coulee Dam, WA Coupeville, WA Covington, WA Crane Island, WA Creston, WA Cunningham, WA Curlew, WA Curtis, WA Custer, WA Danville, WA Darrington, WA Davenport, WA Decatur Island, WA Deep River, WA Deer Meadows, WA Deming, WA Des Moines, WA Dixie, WA Dryden, WA Dupont, WA Duvall, WA East Olympia, WA East Wenatchee, WA Easton, WA Eatonville, WA Edgewood, WA Edmonds, WA Edwall, WA Elbe, WA Electric City, WA Elk Heights, WA Ellensburg, WA Elma, WA Elmer City, WA Entiat, WA Enumclaw, WA Ephrata, WA Ethel, WA Evans, WA Everett, WA Everson, WA Fall City, WA Federal Way, WA Ferndale, WA Fife, WA Fircrest, WA Forks, WA Fox Island, WA Freeland, WA Friday Harbor, WA Fruitland, WA Gardiner, WA Gig Harbor, WA Glacier, WA Glenhaven, WA Glenoma, WA Gold Bar, WA Goldendale, WA Gorst, WA Graham, WA Grand Coulee, WA Grand Mound, WA Grandview, WA Granite Falls, WA Grapeview, WA Grayland, WA Grays River, WA Greenbank, WA Greenwater, WA Guemes Island, WA Hamilton, WA Hansville, WA Harrah, WA Harrington, WA Hartline, WA Hat Island, WA Hatton, WA Henry Island, WA Hoodsport, WA Hoquiam, WA Humptulips, WA Hunters, WA Hunts Point, WA Ilwaco, WA Inchelium, WA Indianola, WA Ione, WA Issaquah, WA Joyce, WA Kalama, WA Kapowsin, WA Keller, WA Kelso, WA Kendall, WA Kenmore, WA Kennewick, WA Kent, WA Kettle Falls, WA Keyport, WA Kingston, WA Kirkland, WA Kittitas, WA La Center, WA La Conner, WA Lacey, WA Lake City, WA Lake Forest Park, WA Lake McMurray, WA Lake Stevens, WA Lake Tapps, WA Lakebay, WA Lakewood, WA Lamona, WA Langley, WA Latah, WA Laurier, WA Leavenworth, WA Lebam, WA Liberty Lake, WA Lilliwaup, WA Lincoln, WA Lind, WA Littlerock, WA Long Beach, WA Longbranch, WA Longview, WA Loomis, WA Loon Lake, WA Lopez Island, WA Lummi Island, WA Lyman, WA Lynden, WA Lynnwood, WA Malaga, WA Malo, WA Malott, WA Manchester, WA Mansfield, WA Manson, WA Maple Falls, WA Maple Valley, WA Marblemount, WA Marcus, WA Marlin, WA Marysville, WA Matlock, WA Mattawa, WA Mazama, WA Mccleary, WA Mckenna, WA Mead, WA Medina, WA Mercer Island, WA Methow, WA Mill Creek, WA Milton, WA Mineral, WA Moclips, WA Monitor, WA Monroe, WA Montesano, WA Morton, WA Moses Lake, WA Mossyrock, WA Mount Vernon, WA Mountlake Terrace, WA Moxee, WA Mukilteo, WA Naches, WA Nahcotta, WA Napavine, WA Naselle, WA Neah Bay, WA Neilton, WA Nespelem, WA Newcastle, WA Nooksack, WA Nordland, WA Normandy Park, WA North Bend, WA North Cove, WA Northport, WA Oak Harbor, WA Oakville, WA Obstruction Island, WA Ocean City, WA Ocean Park, WA Ocean Shores, WA Ocosta, WA Odessa, WA Okanogan, WA Olalla, WA Olympia, WA Omak, WA Onalaska, WA Orcas Island, WA Orondo, WA Oroville, WA Orting, WA Othello, WA Oyehut, WA Oysterville, WA Pacific Beach, WA Pacific, WA Packwood, WA Palisades, WA Parkland, WA Pasco, WA Pateros, WA Pe Ell, WA Peshastin, WA Point Roberts, WA Port Angeles, WA Port Gamble, WA Port Hadlock, WA Port Ludlow, WA Port Orchard, WA Port Townsend, WA Poulsbo, WA Prescott, WA Preston, WA Prosser, WA Pullman, WA Purdy, WA Puyallup, WA Quilcene, WA Quinault, WA Quincy, WA Rainier, WA Randle, WA Ravensdale, WA Raymond, WA Redmond, WA Renton, WA Republic, WA Richland, WA Ridgefield, WA Ritzville, WA Riverside, WA Rochester, WA Rock Island, WA Rockport, WA Ronald, WA Rosburg, WA Roslyn, WA Roy, WA Royal City, WA Ruston, WA Ryderwood, WA Salkum, WA Sammamish, WA San Juan Island, WA Satsop, WA Seabeck, WA SeaTac, WA Seattle, WA Seaview, WA Sedro Woolley, WA Sekiu, WA Selah, WA Sequim, WA Seven Bays, WA Shaw Island, WA Shelton, WA Shoreline, WA Silver Creek, WA Silverdale, WA Silverlake, WA Skamokawa, WA Skykomish, WA Snohomish, WA Snoqualmie Pass, WA Snoqualmie, WA Soap Lake, WA South Bend, WA South Cle Elum, WA South Prairie, WA Spanaway, WA Spokane Valley, WA Spokane, WA Springdale, WA Stanwood, WA Steilacoom, WA Stevenson, WA Stratford, WA Stuart Island, WA Sultan, WA Sumas, WA Sumner, WA Suquamish, WA Tacoma, WA Taholah, WA Tahuya, WA Tenino, WA Thorp, WA Tieton, WA Tokeland, WA Toledo, WA Tonasket, WA Toppenish, WA Toutle, WA Tracyton, WA Tukwila, WA Tulalip, WA Tumtum, WA Tumwater, WA Twisp, WA Union, WA University Place, WA Vader, WA Valley, WA Vancouver, WA Vashon, WA Vaughn, WA Waitsburg, WA Waldron Island, WA Walla Walla, WA Wapato, WA Warden, WA Washougal, WA Washtucna, WA Waterville, WA Wauconda, WA Waverly, WA Wenatchee, WA Westport, WA White Pass, WA Wilbur, WA Wilkeson, WA Wilson Creek, WA Winlock, WA Winthrop, WA Woodinville, WA Woodland, WA Woodway, WA Yacolt, WA Yakima, WA Yarrow Point, WA Yelm, WA Zillah, WA
Zip Codes 98001 98002 98003 98004 98005 98006 98007 98008 98010 98011 98012 98014 98019 98020 98021 98022 98023 98024 98026 98027 98028 98029 98030 98031 98032 98033 98034 98036 98037 98038 98039 98040 98042 98043 98045 98047 98050 98051 98052 98053 98055 98056 98057 98058 98059 98065 98068 98070 98072 98074 98075 98077 98087 98092 98101 98102 98103 98104 98105 98106 98107 98108 98109 98110 98112 98115 98116 98117 98118 98119 98121 98122 98125 98126 98133 98134 98136 98144 98146 98148 98155 98161 98164 98166 98168 98177 98178 98188 98198 98199 98201 98203 98204 98205 98206 98207 98208 98221 98222 98223 98224 98225 98226 98227 98229 98230 98232 98233 98235 98236 98237 98238 98239 98240 98241 98243 98244 98245 98247 98248 98249 98250 98251 98252 98253 98255 98257 98258 98260 98261 98262 98263 98264 98266 98267 98270 98271 98272 98273 98274 98275 98276 98277 98279 98280 98281 98282 98283 98284 98286 98288 98290 98292 98294 98295 98296 98297 98303 98304 98305 98310 98311 98312 98320 98321 98323 98325 98326 98327 98328 98329 98330 98331 98332 98333 98335 98336 98337 98338 98339 98340 98342 98343 98345 98346 98349 98351 98353 98354 98355 98356 98357 98358 98359 98360 98361 98362 98363 98364 98365 98366 98367 98368 98370 98371 98372 98373 98374 98375 98376 98377 98380 98381 98382 98383 98385 98387 98388 98390 98391 98392 98394 98396 98402 98403 98404 98405 98406 98407 98408 98409 98418 98421 98422 98424 98439 98443 98444 98445 98446 98447 98460 98465 98466 98467 98497 98498 98499 98501 98502 98503 98506 98512 98513 98516 98520 98522 98524 98526 98527 98528 98530 98531 98532 98533 98535 98537 98538 98539 98541 98542 98546 98547 98548 98550 98552 98554 98555 98556 98557 98558 98559 98560 98562 98563 98564 98565 98566 98568 98569 98570 98571 98572 98576 98577 98579 98580 98581 98582 98583 98584 98585 98586 98587 98588 98589 98590 98591 98592 98593 98595 98596 98597 98601 98603 98604 98606 98607 98610 98611 98612 98614 98616 98620 98621 98624 98625 98626 98629 98631 98632 98637 98638 98640 98641 98642 98643 98644 98645 98647 98648 98649 98660 98661 98662 98663 98664 98665 98671 98674 98675 98682 98683 98684 98685 98686 98801 98802 98812 98813 98814 98815 98816 98817 98819 98821 98822 98823 98826 98827 98828 98829 98830 98831 98832 98833 98834 98836 98837 98840 98841 98843 98844 98845 98846 98847 98848 98849 98850 98851 98853 98855 98856 98857 98858 98859 98860 98862 98901 98902 98903 98907 98908 98922 98925 98926 98929 98930 98932 98933 98934 98936 98937 98940 98941 98942 98943 98946 98947 98948 98951 98953 99001 99003 99004 99005 99008 99013 99018 99019 99021 99034 99101 99103 99109 99114 99115 99116 99117 99118 99121 99122 99123 99124 99126 99129 99133 99134 99135 99137 99138 99139 99140 99141 99144 99146 99147 99148 99150 99151 99155 99156 99157 99159 99163 99166 99169 99170 99173 99181 99185 99202 99206 99208 99212 99224 99301 99321 99324 99326 99329 99336 99337 99338 99341 99344 99348 99349 99350 99352 99354 99357 99360 99361 99362 99371 99403
833 Woodbine Wy, Bellingham
Courtesy of Donald MacDonough, MacDonough Real Estate
28 Hillside Place, Bellingham
12 Maple Ct, Bellingham
This content last updated on 3/25/2019 10:53 AM. Some properties which appear for sale on this web site may subsequently have sold or may no longer be available.
| 2019-03-25T18:01:18 |
http://ryanandjarvis.com/homes-for-sale/?Page=48
|
[
-1
] |
SIKIKA waipongeza wizara ya fedha
Shirika lisilo la kiserikali la SIKIKA laipongeza Wizara ya fedha
saveSave SIKIKA waipongeza wizara ya fedha For Later
Majina Ya Wasichana Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tani Mwaka 2013
Hotuba Ya Mhe. Waziri Mkuu Wakati Wa Kuhitimisha Shughuli Za Bunge La 20
HOTUBA YA KUAGANGA NA KUVUNJA BUNGE LA KUMI, 2015 - FINAL.doc
Majina Ya Wavulana Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tani Mwaka 2013
Rasimu Ya 2 Ya Taarifa Ya Utafititi-Ufaulu K4 2010[1]
Orodha Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Mafunzo Maalumu Rekebishi
Press Release on Budget Allocation for Medicines & Medical Supplies
Mapango Ya Uongo Na Sumu Ya Ukoloni
SIKIKA wampongeza Dr. Mwinyi
Hotuba Ya Mkiti Wa Tmk_ Bunge Katiba
Kanuni Za Kudumu Za Bunge
Kanuni za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania
Framework-12!06!2013- Wednesday Asubuhi - Crested
Nafasi za masomo Charles de Foucauld High Schoo6
Taarifa Kwa Vyombo vya Habari, Juni 12, 2013
Hongera Wizara ya Fedha Kuweka Wazi kwa Umma Vitabu vya Bajeti
Sikika inaipongeza Wizara ya Fedha na Uchumi kwa kuweka vitabu vya bajeti ya mwaka wa fedha 2013/2014 kwenye tovuti yake kwa wakati muafaka. Uamuzi huu wa kuweka wazi taarifa za bajeti unawawezesha wananchi kushiriki na kufuatilia mjadala wa bajeti na kuishauri serikali pamoja na wabunge kujadili masuala mazito yanayogusa wananchi ambao ni wapiga kura na walipa kodi. Awali, hapakuwa na utaratibu maalum wa kupata vitabu vya bajeti ya serikali na kulikuwa na ucheleweshwaji wa kuvisambaza kwa umma. Kwa miaka kadhaa sasa, Sikika na asasi nyingine za kiraia hapa nchini imekuwa ikitoa wito kwa serikali kusambaza vitabu vya bajeti kwa kupitia mtandao pamoja na njia nyingine ambazo zingewezesha wananchi kuvipata kwa urahisi. Tumefarijika kwamba hatimaye ushauri huu umetekelezwa kwa vitendo na serikali baada ya Wizara hiyo kuweka katika tovuti yake, (www.mof.go.tz) vitabu vya bajeti toleo namba 2, 3 na 4. Vitabu hivyo sasa vinapatikana vikielezea kiasi cha fedha ambacho serikali inatarajia kukusanya na kutumia katika taasisi mbalimbali za umma nchini. Kutokana na umuhimu wa taarifa hizi za bajeti, Sikika inawahimiza wananchi kutumia fursa hii kutembelea tovuti ya Wizara hiyo, kuchunguza kwa makini masuala nyeti yanayogusa ustawi wa maisha yao na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Hata hivyo, ili kuimarisha dhana ya ushirikishaji wa wananchi katika maendeleo yao, serikali inapaswa kukuza mbinu za upashanaji wa taarifa kwa:1. Kuviweka vitabu vya bajeti katika tovuti kwa kutumia mfumo rahisi. Kwa sasa, vitabu hivyo vimewekwa katika mfumo wa PDF; na hivyo kusababisha ugumu wa kuchambua taarifa hizo. 2. Kuweka katika tovuti yake toleo namba 1 la bajeti hiyo, ambalo linahusu makadirio ya mapato ili kuwawezesha wananchi kulinganisha kati ya makadirio ya mapato na matumizi yanayopendekezwa. 3. Kuchapisha mapema kabla ya Bunge kuanza mjadala ili kutoa nafasi kwa wapiga kura kuwashauri wabunge wao katika maeneo ya kipaumbele. 4. Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2012, ni asilimia 11 tu ya wa Tanzania wanaotumia mawasiliano ya mtandao wa intaneti. Hivyo ni muhimu kuhamasisha wananchi kutumia vitabu hivyo vya bajeti vilivyowekwa katika tovuti. Serikali ina wajibu wa kuimarisha miundombinu ya upatikanaji wa intaneti (mtandao) kwenye maeneo ya pembezoni, hususani vijijini. Bajeti inaweza tu kuhudumia wananchi wake endapo itakuwa imezingatia mahitaji yao. Kwa mantiki hiyo, Sikika inatoa wito kwa kila mwananchi kupaza sauti kwa kuwaelekeza wawakilishi wao bungeni kuhakikisha kuwa bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14 inapunguza matumizi ya serikali yasiyo ya lazima.
Kwa mfano, matumizi ya serikali katika bajeti inayopendekeza ya mwaka 2013/14 ni kama ifuatavyo: Tshs.360 bilioni kwa ajili ya posho, ambayo ni ongezeko la 15% ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita wa 2012/2013; Tshs.163 bilioni kwa ajili ya usafiri, ambayo ni ongezeko la 11% ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita; Tshs.79 bilioni kwa ajili ya makongamano, ikiwa ni ongezeko la 20% ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita 2012/2013; Tshs.24 bilioni kwa ajili ya ukarimu, sawa na ongezeko la 19% ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita; Tshs.71 bilioni kwa ajili ya mafuta na vilainishi, sawa na ongezeko la 6% ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita wa 2012/2013; Tshs.18 bilioni kwa ajili ya kununulia magari, ambayo ni pungufu ya 10% ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita wa 2012/2013.
Kwa ujumla, Tshs.714 bilioni zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha 2013/2014. Haya ni matumizi ambayo yamekuwa yakiongezeka kila mwaka licha ya lengo la serikali la kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima tangu mwaka 2010. Wakati Waziri wa Fedha akiwasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014 (13 Juni, 2013), wabunge wanapaswa kuichambua kwa makini bajeti hiyo na kuishauri serikali kupunguza matumizi yasiyo ya lazima. Wabunge wahimize kuongezwa fedha katika maeneo yanayonufaisha wananchi moja kwa moja kama vile kwenye kuboresha afya, elimu, maji, barabara, na mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi n.k. Kwa mara nyingine, tunaipongeza Wizara ya Fedha kwa kuweka vitabu vya bajeti kwenye tovuti kwa wakati mwafaka! Huu uwe mfano kwa Wizara zingine.
IreneiKiria MkurugenziMtendaji; Sikika, P.O. Box 12183 Dar es Salaam, Simu: +255 222 666355/57, Fax: 2668015, Email:[email protected], Tovuti: www.sikika.or.tz
More From Rama S. Msangi
Watavyonufaika Wana Mtwara Kwa Mradi Wa Gezi
Hotuba Ya Mwenyekiti Wa CCM
BOT Yaja Na Mkakati Wa Taarifa Za Wakopaji
Taarifa Kwa Vyombo - Sept. 7, 2012
Tamko La Mbeya Press Club Kwa Jeshi La Polisi
Press Release - MISA -TAN July 31 2012
annuur-114
| 2019-10-16T17:41:31 |
https://www.scribd.com/doc/147746118/SIKIKA-waipongeza-wizara-ya-fedha
|
[
-1
] |
Good news kwa mashabiki wa Rihanna, leo anayo furaha ya kukuletea video yake mpya! – Millardayo.com
Good news kwa mashabiki wa Rihanna, leo anayo furaha ya kukuletea video yake mpya!
Siku ya jumapili katika tuzo za BET msanii maarufu wa RnB Pop Rihanna aliwaonyesha watu video ya sekunde 90 ya wimbo wake B***h Better Have My Money wimbo uliotengeneza headlines kubwa nchini Marekani na kwenye charts za Billboard Music.
Thank you God for fulfilling Your plans in my life…. All the Glory belongs to You!!!!
Msanii huyu anaziandika headlines za leo kwa kuachia official video ya wimbo huwo, Isitoshe wiki hii imekuwa poa sana kwake, shirikisho la Recording Industry Association of America (RIAA) la Marekani imemtangaza Rihanna kuwa msanii aliefanikiwa kuuza zaidi ya rekodi millioni 100 (Platnum Gold Certifications) na ni msanii alipata zaidi ya dola millioni 48 ya mauzo kupitia downloads za nyimbo zake online nchini Marekani.
histoRIH!!!! First and only!!! God is great!!! #RIAA #digitalQueen #RIHmilli A photo posted by badgalriri (@badgalriri) on Jul 1, 2015 at 4:05pm PDT
Nimekusogezea video hiyo hapa chini bonyeza Play kuitazama.
← Previous Story Watanzania waliopewa tuzo na malkia wa Uingereza ndio hawa wamerudi Tanzania
Next Story → Pipi Doreen kwenye studio za Millard Ayo, kuolewa kwake kwenye umri mdogo, maisha na muziki
| 2019-10-17T15:33:55 |
http://millardayo.com/0988riri/
|
[
-1
] |
Ndugu SITA wa Waziri Mwandosya akiwemo dada yake wateketea kwa moto | HABARI ZA WALIMWENGU
Home » » Ndugu SITA wa Waziri Mwandosya akiwemo dada yake wateketea kwa moto
Ndugu SITA wa Waziri Mwandosya akiwemo dada yake wateketea kwa moto
Written By Bewith Jeddy on Monday, February 9, 2015 | 12:00 PM
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akipewa maelezo na mmoja wa ndugu wa marehemu, George Mwambona kuhusu nyumba (kulia) ilivyoteketea.
Moto ambao chanzo chake hakijafahamika, umewateketeza ndugu sita wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalum, Profesa Mark Mwandosya.
Tukio hilo la aina yake, limetokea usiku wa kuamkia jana eneo la Kipunguni A, jijini Dar es Salaam katika nyumba yenye vyumba vinne waliyokuwa wakiishi familia hiyo.
Waliofariki katika tukio hilo, dada wa Profesa Mwandosya, Celine Egela (50), mume wake Kapteni mstaafu wa Jeshi, David Mpira (60) na mdogo wake Samuel Egela (30).
Wengine ni mtoto wa dada yake waziri, Lucas Mpira (20) pamoja na wajukuu wawili, Celine
Emmanuel (9) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili na Pauline Emmanuel (5).
Mbali ya vifo hivyo, moto huo umeteketeza nyumba yote pamoja na mali zilizokuwamo.
Kwa mujibu wa majirani walioshuhudia tukio hilo, walisema moto huo uliibuka wakati familia hiyo ikiwa imelala.
Josephat Mwakasita, alisema alikuwa mtu wa kwanza kufika eneo hilo la tukio baada ya kusikia sauti ya vilio vya watoto wakiomba msaada kutoka ndani ya nyumba hiyo.
Alisema alipofika eneo hilo alikuta moto ukiwa tayari umetanda sebuleni mwa nyumba hiyo.
“Nilishindwa kuingia kuwaokoa majirani zangu, niliomba msaada kwa majirani wengine ambao walifika hapo tukaanza jitihada ya kuwanasua ndani,” alisema Mwakasita.
Alisema nyuma ya nyumba hiyo kwenye chumba cha Mpira ambaye kwa sasa ni marehemu, walimkuta amesimama dirishani akisali.
“Alikuwa akisema Yesu wangu, Yesu wangu, lakini sikuweza kumuokoa kwa sababu moto ulikuwa tayari umetanda eneo kubwa la nyumba,” aliongeza kusema.
Jirani huyo alibainisha kuwa zoezi la kuudhibiti moto huo lilichukua zaidi ya saa mbili.
MMOJA ANUSURIKA
Yusuph Lima alisema katika tukio hilo, Emmanuel Mpira ambaye ni baba wa watoto wawili waliofariki, alinusurika kutokana na wakati wa tukio alikuwa amelala nje ya nyumba hiyo.
“Emmanuel ambaye kwa sasa yupo hospitali ya Taifa ya Muhimbili akiendelea na matibabu ya maradhi yake pamoja na mshtuko wa tukio hili, alinusurika kwa sababu usiku huo alikuwa amelala nje akilalamika ndani kuna joto,” alisema.
Alisema Emmanuel alishindwa kupiga kelele kutokana na ugonjwa unaomsumbua na baada ya majirani kufika eneo la tukio usiku huo, walimkuta amelala hapo nje. Alisema baada ya tukio hilo, hali yake ilibadilika na kukimbizwa Muhimbili.
MAITI ZALALA PAMOJA
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwakasita alisema mara baada ya tukio, walikuta maiti za watu hao zikiwa zimelala pamoja kwenye vyumba vitatu tofauti.
“Chumba cha kwanza tulikuta maiti ya marehemu Celina na mume wake Mpira, chumba cha pili tulikuta miili ya Samuel na watoto Celine na Paulina na chumba cha tatu ulikuwapo mwili wa Lucas,” alisema na kuongeza:
“Maiti zote tulizikuta zikiwa zimelala pamoja nadhani walizidiwa na moshi mzito uliotanda kabla ya moto kuwafikia,” aliongeza kusema mkazi mwingine ambaye jina lake hakulitaja.
Waziri Mwandosya ni miongoni mwa viongozi waliofika eneo hilo kushuhudia tukio hilo ambaye alishinda kukamilisha zoezi la ukaguzi wa kile kilichotokea na kulazimika kupelekwa sehemu maalum kukaa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, alifika eneo hilo kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
ZIMA MOTO LAWAMANI
Wananchi wa eneo hilo wamelalamikia kikosi cha zimamoto kwa kitendo chake cha kuchelewa licha ya kupewa taarifa mapema.
“Tulitoa taarifa saa 10:15 usiku lakini zima moto liliwasili hapa saa 1:30 asubuhi wakati tumeshadhibiti moto kwa kiwango kikubwa, huu ni uzembe unaofanywa mara kwa mara na kikosi hiki,” walisema wananchi hao.
Mwananchi mwingine ambaye hakutaja jina lake liandikwe mtandaoni alisema kuwa, baada ya zima moto kuchelewa, walijaribu kupiga namba ya dharura ya polisi lakini wakati wote ilikuwa ikiita bila kupokelewa.
“Yaani simu ilikuwa inaimba wimbo wa Taifa na hakuna mtu aliyeipokea,” alisema
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki, alisema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea ili kubaini chanzo cha moto huo.
| 2018-01-21T02:46:05 |
http://www.bewithjeddy.com/2015/02/ndugu-sita-wa-waziri-mwandosya-akiwemo.html
|
[
-1
] |
Mafunzo ya Qur’ani katika mji wa Qur’ani yenye kutamka: kufunguliwa vituo vya kufundisha usomaji sahihi na maonyesho ya Qur’ani
Bado Atabatu Abbasiyya tukufu inaendelea kufundisha usomaji sahihi wa Qur’ani kwenye ziara ya Arubaini, Maahadi ya Qur’ani imefungua maonyesho ya Qur’ani na vituo vya kusomesha usomaji sahihi wa Qur’ani katika mradi wa tabligh huko Najafu.
Maonyesho hayo yanahusisha mabango yanayo onyesha mafundisho muhimu ya Qur’ani na maelekezo ya Marjaa Dini mkuu yanayo himiza kushikamana na Qur’ani tukufu na kizazi kitakasifu pamoja na kufanyia kazi hukumu za kitabu cha Mwenyezi Mungu na kukifanya kua ndio muongozo wa maisha yetu ya kila siku, zimeonyeshwa pia harakati zinazo fanywa na Maahadi ya Qur’ani katika mji wa Karbala na mikoa mingine, kama sehemu ya kuwahamasisha waweze kunufaika nayo.
Maahadi ya Qur’ani tukufu chini ya Atabatu Abbasiyya, imechukua jukumu la kufundisha Qur’ani tukufu, inashiriki katika vituo vilivyopo kwenye barabara zinazo tumiwa na wapenzi wa Imamu Hussein (a.s) -kwenda Karbala-, wanafundisha usomaji sahihi wa Qur’ani tukufu hasa kwa wageni wasio fahamu kiarabu, kuna walimu walio bobea wenye uwezo mkubwa wa kufundisha matamshi sahihi ya herufi za Qur’ani kwa njia rahisi, hakika hii ni fursa muhimu.
Fahamu vituo hivyo vinafundisha mambo mbalimbali yanayo husu Qur’ani, na vimeenea barabara zote kuu zinazo elekea Karbala kwa bwana wa mashahidi (a.s).
| 2020-01-24T11:58:28 |
https://alkafeel.net/news/index?id=9346&lang=sw
|
[
-1
] |
Ubingwa unakwenda Manchester au London?huu ndio utabiri wangu wa Epl 2017/2018 | ShaffihDauda
Home Kimataifa Ubingwa unakwenda Manchester au London?huu ndio utabiri wangu wa Epl 2017/2018
Pazia la ligi kuu nchini Uingereza linafunguliwa rasmi hii leo, mashabiki duniani kote wamekuwa wakisubiria msimu huu kwa hamu kubwa sana kwani timu nyingi zinaonesha matumaini ya kufanya vizuri msimu huu.
Mbio za ubingwa zinaweza kuwa ngumu zaidi kuliko msimu uliopita, kwani makocha wawili vigogo Jose Mourinho wa Manchester United na Pep Gurdiola hawawezi kukubali kutochukua Epl mara ya pili lakini Wenger anataka kurudisha heshima huku Conte akitaka kuendeleza utemi.
Chelsea, kwa upande wangu siamini sana kama Chelsea wanaweza kuchukua tena kombe msimu huu. Hakuna uhakika wa mabao aliyofunga Diego Costa yakapatikana tena msimu huu na hii inanipa uhakika kuamini kasi ya ufungaji ya Chelsea itapungua sana.
Ngolo Kante amechukua Epl mara mbili mfululizo huku mara zote akiwa muhimu na hii inaweza kumfanya awe ametumika sana na kumpelekea kuchoka, msimu huu tunaweza tusimuone Kante wa msimu uliopita, nawapa 50% kuchukua ubingwa.
Arsenal, ni kweli Lacazette atawasaidia Arsenal kufunga na idadi ya mabao itaongezeka, lakini je Arsenal wana tatizo la ufungaji tu? Jibu ni hapana, tangu kuondoka kwa kizazi cha Patrick Viera tatizo la kiungo haswa mkabaji limekuwa kubwa kwao.
Granit Xhaka ni mzuri na ana uwezo mkubwa lakini nidhamu yake ni mbovu na huwezi muamini anaweza kuitumikia Arsenal katika michezo mingi, na Arsenal wamekuwa na tatizo la kukosa wachezaji wakubwa kupambana ila kutokuwepo kwao katika Champions League kunanifanya niwape 45% za kubeba kombe.
Manchester City, bila kupepesa maneno hawa nawapa asilimia nyingi za kuwa mabingwa msimu huu, tayari katika makaratasi tu kikosi chao kinaonesha kinataka nini, ni ubingwa tu na naamini safari hii wapinzani watapata tabu sana kuikabili Man City.
Maingizo ya Kyle Walker, Bernado Silva,Benjamin Mendy,Danilo na golikipa Ederson ni usajili ambao unaweza kufukia makosa ya kiuchezaji ambayo yaliicost sana City msimu uliopita haswa eneo la ulinzi.
Gabriel Jesus tayari aliionesha dunia uwezo wake wa kucheka na nyavu na uwepo wa Kun Aguero unaweza kuifanya City kuzidi kutikisa nyavu za wapinzani wao katika ligi, nawapa 75% kubeba ndoo.
Manchester United, sio rahisi kwa kocha mshindani kama Jose Mourinho kukubali kukosa kombe la Epl ndani ya misimu miwili na msimu huu kombe linakwenda jiji la Manchester wakilikosa City watachukua United.
Sahau kuhusu ujio wa Lukaku ambaye nina uhakika atafunga sana msimu huu lakini ujio wa Matic unaweza kukifanya kiungo cha Manchester United kuwa imara na kucheza vizuri zaidi msimu huu kuliko uliopita, nawapa 68%.
Tottenham Hotspur, wamefanikiwa kubakiza karibia wachezaji wote wa kikosi cha kwanza kasoro Kyle Walker na kama kuna timu kutoka nje ya Manchester itayoleta changamoto baasi ni Tottenham Hotspur.
Muunganiko wao na discpline waliyonayo kiuchezaji imekuwa ikileta changamoto kubwa sana kwa misimu miwili mfululizo, wataendelea kubaki kuwa washindani lakini ubingwa bado ni mgumu kwao, nawapa 55%.
Liverpool, tetesi za Phellipe Coutinho kuondoka zinazidi kushika kasi, endapo Mbrazil huyo ataondoka litakuwa pigo kubwa sana kwao kwani amekuwa chachu na injini kubwa ya uchezaji wa Liverpool.
Ujio wa Mo Salah na fomu ya kinda Solanke vinaweza kuleta kitu kipya ndani ya Liverpool, aina yao ya uchezaji wa kasi inaweza kuongezeka na wakawa katika fomu kupita msimu uliopita nawapa 57% kuchukua ndoo.
Tishio, kama uliwaona Leicester City walivyochukua kombe hakuna mtu alieyedhania na walileta changamoto kubwa mnoo kwa vigogo wa ligi kuu nchini Uingereza na kubeba ndoo.
Sasa msimu huu watizame West Ham, waangalie na Everton kwa jinsi usajili wa vilabu hivyo viwili ulivyofanyika sitashangaa mmoja kati ya timu vigogo wa Epl akamaliza ligi chini ya Everton au Westham au chini ya wote wawili.
Kwa usajili ulivyo hadi sasa nikiulizwa kuweka orodha ya timu 4 zitakazomaliza juu naamini City watakuwa mabingwa, United namba 2, Liverpool namba 3, na Tottenham watamaliza nafasi ya 4, haya ni maoni yangu mimi kama mwandishi yanayochagizwa na uzoefu wangu katika kuangalia Epl.
Previous articleMorata akiri pesa alizonunuliwa nazo zinamtesa
Next articleArsenal waistaajabisha Leicester City huku Lacazette akiweka rekodi ya kwanza Epl
| 2017-10-19T05:39:12 |
http://shaffihdauda.co.tz/2017/08/11/ubingwa-unakwenda-manchester-au-londonhuu-ndio-utabiri-wangu-wa-epl-20172018/
|
[
-1
] |
Tuanze kumlaumu Mwigulu kwenye kifo cha Singida United ? - Tanzania Sports
27th May 2020 Last update at 1:55 pm
Kumbukumbu zangu zinanirudisha nyuma mpaka msimu juzi, msimu wa mwaka 2017/2018, msimu ambao ligi yetu ya Tanzania bara ilipokea zawadi ya kuwa na Singida United.
Timu ambayo awali ilikuwa inaonekana ni timu yenye mipango dhabiti ya kufika mbele, timu ambayo viongozi wake walionekana ni viongozi ambao wanatazama kesho na siyo Leo.
Timu ambayo ilionekana kuwa na mipango dhabiti katika uendeshaji wa timu yao, kuna sehemu ambazo vilabu vingi vilivyokuwa kwenye ligi kuu awali vilikuwa haviwezi kufika lakini Singida United ilifanikiwa kufika.
Ndiyo timu pekee ambayo ilikuwa na wadhamini wengi kwenye msimu huo wa mwaka 2017/2018. Hapa ndipo watu wengi tulianza kushtuka na kuanza kuitazama Singida United katika jicho la tofauti.
Swali kubwa ambalo lilikuwa linatembea vichwani mwetu ni namna ambavyo Singida United ilivyopanda ligi kwenye msimu huo na wakafanikiwa kupata wadhamini wengi kitu ambacho hakikuwepo awali kwenye vilabu vingine.
Mbinu gani walitumia kufanikisha hawa wadhamini wawe sehemu ya timu? ukizingatia ilikuwa timu ambayo ndiyo ilikuwa imepanda ligi kuu kwa mara ya kwanza gains ushawahi mkubwa wa mashabiki, mashabiki ambao ndiyo wateja wa kununua bidhaa za wadhamini.
Lakini wao walifanikiwa kupata majibu katikati ya msitu mkubwa wa maswali yetu. Wakapata pesa , wakasajili kikosi cha kushindania ubingwa, wakaleta kocha wa ubingwa na mwisho wa siku wakawa wanalipa mishahara ya kibingwa.
Wengi tukawa tunaitazama Singida United kama ni moja ya timu ambayo ilikuja kuingia katikati ya Simba na Yanga ili kuleta ushindani kwa hawa mafahari wawili wakubwa kwenye mpira wetu.
Swali kubwa lililokuwa limebaki vichwani mwetu ni moja tu, wataendelea kusimama hivi mpaka lini? wanaweza kuhimili mawimbi makubwa ya bahari ya ligi kuu Tanzania bara mpaka lini?
Swali ambalo halikuchukua muda mrefu likapata jibu, ndani ya msimu mmoja jibu tukaliona. Singida United ikatoka kuwa timu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindania kombe mpaka kuwa timu ambayo ilikuwa inapambana kutokushuka daraja.
Wadhamini wakapulizwa na upepo, wakapepea kuelekea sehemu ambayo palikuwa hapajulikani na Singida United ikabaki na miguu tu inayokanyaga popote baada ya kichwa kukatwa.
Akakosekana tena kiongozi ambaye angeweza kuwa na maono ya kuona mbali. Akakosekana tena mtu ambaye angeweza kuwashawishi wadhamini waje kuwekeza pesa kwenye klabu hii na kwa bahati mbaya hata viongozi wakaingiza siasa za Simba na Yanga.
Singida United ikaanza kuonekana kama tawi la Yanga. Kiongozi wa Singida United alikuwa tayari kuisajilia Yanga mchezaji mzuri na kuiacha Singida United ikiwa haina wachezaji wazuri.
Mpasuko ukawa mgeni rasmi kwenye makao makuu ya Singida United. Umoja ukaanza kuhesabu hatua za kuondoka kwenye jengo kuu la Singida United. Hakuna aliyebaki kama mhimili kwenye klabu.
Leo hii Singida United inacheza mechi bila ya daktari wa timu. Kutokuwepo kwa daktari na vifaa tiba vya michezo ndani ya timu hii inatosha kukuonesha kuwa ndani ya Singida United maisha ni magumu.
Wachezaji hawana motisha wanachosubiria ni wao ligi iishe na waanze kupiga mahesabu ya namna ya kucheza ligi daraja la kwanza. Inauma kuona timu ambayo ilikuwa inaonekana na mipango dhabiti.
Timu ambayo ilikuwa na wadhamini tisa kwenye ligi kuu , leo hii hawana hata mmoja na wanakoelekea ni kaburini. Swali kubwa linalobaki hapa ni kina Mheshimiwa Mwigulu Nchemba wanasehemu ya kulaumiwa kwenye kifo hiki cha Singida United?
Posted under: Featured, Football, Simba Sports Club, Sport, Sports, Sports News
Tags: epl. simba 8-0, Mwigulu, Singida Utd
| 2020-06-02T20:52:26 |
https://www.tanzaniasports.com/tuanze-kumlaumu-mwigulu-kwenye-kifo-cha-singida-united/
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.