Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
1689_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Hii ni kwa sababu, tunpoishi katika mazingira machafu, tutaweza kupatwa na magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu na malaria.Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali ya nyumba ambazo tunaishi. Tunafaa pia kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Tunafaa pia kula vyakula safi kila wakati, tuvae nguo safi ili tusipatwe na ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji masafi ili tuepuke magonjwa. Tunapaswa kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani kwa kuwajengea vizuri mahali wanakaa. Kwanza kabisa, tunafaa kuchoma taka taka ili isitapakae katika mazingira yetu. Pia, tunafaa kutumia vyoo kwa njia mzuri il tusipate mgonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuosha vyoo kila siku. Pia tunafaa kuwa mapipa ya taka taka katika nyumba zenu ili tunapofangia tusitupe taka taka katika mazingira yetu. Wanyama pia wanyumbani kama vile umbwa yafaa kujengea mahali ndipoza umbwa pia apate mahali yake ili asichafulie mazingira. Yafaa kuwa mazingira tunapoishi sisi binadamu yanga'aa. Napia hapa shuleni, tunafaa kusafisha mazingira yetu kwa kuokota karatasi na kuzichoma. Tusafishe pia madarasa ambayo tunasomea kwa sababu tunahitaji usafi tunapoendelea na masomo yetu. Tunapaswa pia kuwa na vyandarua kitandani ili kuzuia kuumwa na mbu tunapolala. Tukifanya hivi tutajiepusha na ugonjwa wa malaria.
Ni yupi mnyama wa nyumbani
{ "text": [ "Mbwa" ] }
1689_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Hii ni kwa sababu, tunpoishi katika mazingira machafu, tutaweza kupatwa na magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu na malaria.Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali ya nyumba ambazo tunaishi. Tunafaa pia kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Tunafaa pia kula vyakula safi kila wakati, tuvae nguo safi ili tusipatwe na ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji masafi ili tuepuke magonjwa. Tunapaswa kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani kwa kuwajengea vizuri mahali wanakaa. Kwanza kabisa, tunafaa kuchoma taka taka ili isitapakae katika mazingira yetu. Pia, tunafaa kutumia vyoo kwa njia mzuri il tusipate mgonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuosha vyoo kila siku. Pia tunafaa kuwa mapipa ya taka taka katika nyumba zenu ili tunapofangia tusitupe taka taka katika mazingira yetu. Wanyama pia wanyumbani kama vile umbwa yafaa kujengea mahali ndipoza umbwa pia apate mahali yake ili asichafulie mazingira. Yafaa kuwa mazingira tunapoishi sisi binadamu yanga'aa. Napia hapa shuleni, tunafaa kusafisha mazingira yetu kwa kuokota karatasi na kuzichoma. Tusafishe pia madarasa ambayo tunasomea kwa sababu tunahitaji usafi tunapoendelea na masomo yetu. Tunapaswa pia kuwa na vyandarua kitandani ili kuzuia kuumwa na mbu tunapolala. Tukifanya hivi tutajiepusha na ugonjwa wa malaria.
Vyandarua huzuia nini
{ "text": [ "Wadudu vitandani" ] }
1691_swa
MADHARA YA MAZINGIRA CHAFU Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapaswa kutumia mazingira yetu vizuri nakuitunza vyema iwe safi, kwa sababu hapo ndipo tunaishi. Mazingira chafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuishi mazingira safi ili ndio tuwe na afya nzuri. Siku moja kulikua na msichana aliyekua akiitwa Jane. Jane alikua anaishi na nyanya yake, alikua msichana mchafu sana hadi haungetamani kumkaribia. Jane alikua anapenda sana kuchafua mazingira. Jane hakuwa anapenda kukaa pahali pasafi, hakuna siku utampata akifagia wala kusafisha kwao nyumbani. Siku moja, Jane alitoka shuleni akila ndizi. Alipomaliza, alitupa ganda la ndizi hapo chini alafu akaingia kwa nyumba. Nyanya yake alipokua anatoka nje, aliona hilo ganda la ndizi na akamuita Jane aje aliokote. Jane alipotoka nje, alimwangalia nyanya yake na madharau alafu akamwuliza ikiwa alimwandika awe anafanya kazi hapo. Nyanya yake alishanga aliposikia Jane amemjibu vibaya hivyo. lipofika asubuh,i Jane alienda kwenye biwi la taka taka, akabeba taka taka na kwenda kumwaga kwenye uwanja wa nyumba yao. Alipomaliza, aliingia ndani akajitayarisha alafu akaenda shuleni. Nyanya yake alipoamka, alipigwa na butwa kuona mazingira yao yamejaa uchafu. Ilibidi aende aziokote uchafu huo. Nyanga yake aliingia kwa nyumba akachukua barakoa na karatasi ya kuweka kwa mkono alafu akaokota uchafu wote. Ilikua siku ya Jumamosi Jane alipokuwa analalamika anaumwa, alipopelekwa hospitalini, daktari alisema kua anaugua ugonjwa wa kipindupindu. Jane alipewa madawa na akazinywa. Kutoka hiyo siku, Jane aliona umuhimu wa kuzingatia usafi. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Tunapaswa kueka mazingira yetu safi ili tuwe na afya njema. Kila mtu anahitaji mazingira safi na hewa safi. Tunapaswa kuungana pamoja tujikaze kuweka mazingira safi. Tunahimizwa kuzoea kuwa wasafi na kuzingatia usafi. Hewa tunayopumua inafaa kuwa safi ili tuusiambukizwe magonjwa. Tukieka mazingira yetu safi, tutaishi kwa usalama bila kuwa wagonjwa, si vizuri kuchafua mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa kama kipindupindu na malaria. Ni muhimu kuzingatia usafi.
Hali ambayo inamzunguka mtu huitwaje
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1691_swa
MADHARA YA MAZINGIRA CHAFU Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapaswa kutumia mazingira yetu vizuri nakuitunza vyema iwe safi, kwa sababu hapo ndipo tunaishi. Mazingira chafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuishi mazingira safi ili ndio tuwe na afya nzuri. Siku moja kulikua na msichana aliyekua akiitwa Jane. Jane alikua anaishi na nyanya yake, alikua msichana mchafu sana hadi haungetamani kumkaribia. Jane alikua anapenda sana kuchafua mazingira. Jane hakuwa anapenda kukaa pahali pasafi, hakuna siku utampata akifagia wala kusafisha kwao nyumbani. Siku moja, Jane alitoka shuleni akila ndizi. Alipomaliza, alitupa ganda la ndizi hapo chini alafu akaingia kwa nyumba. Nyanya yake alipokua anatoka nje, aliona hilo ganda la ndizi na akamuita Jane aje aliokote. Jane alipotoka nje, alimwangalia nyanya yake na madharau alafu akamwuliza ikiwa alimwandika awe anafanya kazi hapo. Nyanya yake alishanga aliposikia Jane amemjibu vibaya hivyo. lipofika asubuh,i Jane alienda kwenye biwi la taka taka, akabeba taka taka na kwenda kumwaga kwenye uwanja wa nyumba yao. Alipomaliza, aliingia ndani akajitayarisha alafu akaenda shuleni. Nyanya yake alipoamka, alipigwa na butwa kuona mazingira yao yamejaa uchafu. Ilibidi aende aziokote uchafu huo. Nyanga yake aliingia kwa nyumba akachukua barakoa na karatasi ya kuweka kwa mkono alafu akaokota uchafu wote. Ilikua siku ya Jumamosi Jane alipokuwa analalamika anaumwa, alipopelekwa hospitalini, daktari alisema kua anaugua ugonjwa wa kipindupindu. Jane alipewa madawa na akazinywa. Kutoka hiyo siku, Jane aliona umuhimu wa kuzingatia usafi. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Tunapaswa kueka mazingira yetu safi ili tuwe na afya njema. Kila mtu anahitaji mazingira safi na hewa safi. Tunapaswa kuungana pamoja tujikaze kuweka mazingira safi. Tunahimizwa kuzoea kuwa wasafi na kuzingatia usafi. Hewa tunayopumua inafaa kuwa safi ili tuusiambukizwe magonjwa. Tukieka mazingira yetu safi, tutaishi kwa usalama bila kuwa wagonjwa, si vizuri kuchafua mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa kama kipindupindu na malaria. Ni muhimu kuzingatia usafi.
Nani alikuwa anaishi na nyanyake
{ "text": [ "Jane" ] }
1691_swa
MADHARA YA MAZINGIRA CHAFU Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapaswa kutumia mazingira yetu vizuri nakuitunza vyema iwe safi, kwa sababu hapo ndipo tunaishi. Mazingira chafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuishi mazingira safi ili ndio tuwe na afya nzuri. Siku moja kulikua na msichana aliyekua akiitwa Jane. Jane alikua anaishi na nyanya yake, alikua msichana mchafu sana hadi haungetamani kumkaribia. Jane alikua anapenda sana kuchafua mazingira. Jane hakuwa anapenda kukaa pahali pasafi, hakuna siku utampata akifagia wala kusafisha kwao nyumbani. Siku moja, Jane alitoka shuleni akila ndizi. Alipomaliza, alitupa ganda la ndizi hapo chini alafu akaingia kwa nyumba. Nyanya yake alipokua anatoka nje, aliona hilo ganda la ndizi na akamuita Jane aje aliokote. Jane alipotoka nje, alimwangalia nyanya yake na madharau alafu akamwuliza ikiwa alimwandika awe anafanya kazi hapo. Nyanya yake alishanga aliposikia Jane amemjibu vibaya hivyo. lipofika asubuh,i Jane alienda kwenye biwi la taka taka, akabeba taka taka na kwenda kumwaga kwenye uwanja wa nyumba yao. Alipomaliza, aliingia ndani akajitayarisha alafu akaenda shuleni. Nyanya yake alipoamka, alipigwa na butwa kuona mazingira yao yamejaa uchafu. Ilibidi aende aziokote uchafu huo. Nyanga yake aliingia kwa nyumba akachukua barakoa na karatasi ya kuweka kwa mkono alafu akaokota uchafu wote. Ilikua siku ya Jumamosi Jane alipokuwa analalamika anaumwa, alipopelekwa hospitalini, daktari alisema kua anaugua ugonjwa wa kipindupindu. Jane alipewa madawa na akazinywa. Kutoka hiyo siku, Jane aliona umuhimu wa kuzingatia usafi. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Tunapaswa kueka mazingira yetu safi ili tuwe na afya njema. Kila mtu anahitaji mazingira safi na hewa safi. Tunapaswa kuungana pamoja tujikaze kuweka mazingira safi. Tunahimizwa kuzoea kuwa wasafi na kuzingatia usafi. Hewa tunayopumua inafaa kuwa safi ili tuusiambukizwe magonjwa. Tukieka mazingira yetu safi, tutaishi kwa usalama bila kuwa wagonjwa, si vizuri kuchafua mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa kama kipindupindu na malaria. Ni muhimu kuzingatia usafi.
Jane alitupa nini la ndizi
{ "text": [ "Ganda" ] }
1691_swa
MADHARA YA MAZINGIRA CHAFU Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapaswa kutumia mazingira yetu vizuri nakuitunza vyema iwe safi, kwa sababu hapo ndipo tunaishi. Mazingira chafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuishi mazingira safi ili ndio tuwe na afya nzuri. Siku moja kulikua na msichana aliyekua akiitwa Jane. Jane alikua anaishi na nyanya yake, alikua msichana mchafu sana hadi haungetamani kumkaribia. Jane alikua anapenda sana kuchafua mazingira. Jane hakuwa anapenda kukaa pahali pasafi, hakuna siku utampata akifagia wala kusafisha kwao nyumbani. Siku moja, Jane alitoka shuleni akila ndizi. Alipomaliza, alitupa ganda la ndizi hapo chini alafu akaingia kwa nyumba. Nyanya yake alipokua anatoka nje, aliona hilo ganda la ndizi na akamuita Jane aje aliokote. Jane alipotoka nje, alimwangalia nyanya yake na madharau alafu akamwuliza ikiwa alimwandika awe anafanya kazi hapo. Nyanya yake alishanga aliposikia Jane amemjibu vibaya hivyo. lipofika asubuh,i Jane alienda kwenye biwi la taka taka, akabeba taka taka na kwenda kumwaga kwenye uwanja wa nyumba yao. Alipomaliza, aliingia ndani akajitayarisha alafu akaenda shuleni. Nyanya yake alipoamka, alipigwa na butwa kuona mazingira yao yamejaa uchafu. Ilibidi aende aziokote uchafu huo. Nyanga yake aliingia kwa nyumba akachukua barakoa na karatasi ya kuweka kwa mkono alafu akaokota uchafu wote. Ilikua siku ya Jumamosi Jane alipokuwa analalamika anaumwa, alipopelekwa hospitalini, daktari alisema kua anaugua ugonjwa wa kipindupindu. Jane alipewa madawa na akazinywa. Kutoka hiyo siku, Jane aliona umuhimu wa kuzingatia usafi. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Tunapaswa kueka mazingira yetu safi ili tuwe na afya njema. Kila mtu anahitaji mazingira safi na hewa safi. Tunapaswa kuungana pamoja tujikaze kuweka mazingira safi. Tunahimizwa kuzoea kuwa wasafi na kuzingatia usafi. Hewa tunayopumua inafaa kuwa safi ili tuusiambukizwe magonjwa. Tukieka mazingira yetu safi, tutaishi kwa usalama bila kuwa wagonjwa, si vizuri kuchafua mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa kama kipindupindu na malaria. Ni muhimu kuzingatia usafi.
Jane alienda kwa pipa lini
{ "text": [ "Asubuhi" ] }
1691_swa
MADHARA YA MAZINGIRA CHAFU Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapaswa kutumia mazingira yetu vizuri nakuitunza vyema iwe safi, kwa sababu hapo ndipo tunaishi. Mazingira chafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuishi mazingira safi ili ndio tuwe na afya nzuri. Siku moja kulikua na msichana aliyekua akiitwa Jane. Jane alikua anaishi na nyanya yake, alikua msichana mchafu sana hadi haungetamani kumkaribia. Jane alikua anapenda sana kuchafua mazingira. Jane hakuwa anapenda kukaa pahali pasafi, hakuna siku utampata akifagia wala kusafisha kwao nyumbani. Siku moja, Jane alitoka shuleni akila ndizi. Alipomaliza, alitupa ganda la ndizi hapo chini alafu akaingia kwa nyumba. Nyanya yake alipokua anatoka nje, aliona hilo ganda la ndizi na akamuita Jane aje aliokote. Jane alipotoka nje, alimwangalia nyanya yake na madharau alafu akamwuliza ikiwa alimwandika awe anafanya kazi hapo. Nyanya yake alishanga aliposikia Jane amemjibu vibaya hivyo. lipofika asubuh,i Jane alienda kwenye biwi la taka taka, akabeba taka taka na kwenda kumwaga kwenye uwanja wa nyumba yao. Alipomaliza, aliingia ndani akajitayarisha alafu akaenda shuleni. Nyanya yake alipoamka, alipigwa na butwa kuona mazingira yao yamejaa uchafu. Ilibidi aende aziokote uchafu huo. Nyanga yake aliingia kwa nyumba akachukua barakoa na karatasi ya kuweka kwa mkono alafu akaokota uchafu wote. Ilikua siku ya Jumamosi Jane alipokuwa analalamika anaumwa, alipopelekwa hospitalini, daktari alisema kua anaugua ugonjwa wa kipindupindu. Jane alipewa madawa na akazinywa. Kutoka hiyo siku, Jane aliona umuhimu wa kuzingatia usafi. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Tunapaswa kueka mazingira yetu safi ili tuwe na afya njema. Kila mtu anahitaji mazingira safi na hewa safi. Tunapaswa kuungana pamoja tujikaze kuweka mazingira safi. Tunahimizwa kuzoea kuwa wasafi na kuzingatia usafi. Hewa tunayopumua inafaa kuwa safi ili tuusiambukizwe magonjwa. Tukieka mazingira yetu safi, tutaishi kwa usalama bila kuwa wagonjwa, si vizuri kuchafua mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa kama kipindupindu na malaria. Ni muhimu kuzingatia usafi.
Kwa nini Jane alilalamika anaumwa na kupelekwa hospitalini
{ "text": [ "Alikuwa na kipindupindu" ] }
1692_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira mahali au mambo yanyomwunguka kumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kwa hivyo tunafaa tutunze mazingira. Kuna njia nyingi za kutunza mazingira, kupanda miti, kufyeka nyasi na kutokaka miti ovyo ovyo. Watu wengi wanapenda tu kukata miti ovyo ovyo lakini hawapendi kupanda miti. Wachomaji makaa hupenda faida ambayo wanayopata kutokana na ukataji wa miti. Ni dhahiri shairi kuwa mtu hafai kukata mti hata mmoja. Pia tunafaa kufyeka majani ambayo yako karibu nasi. Tusipofyeka majani ambayo yako karibu na nyumba zetu, tutapatwa na madhara. Madhara kama kipindupindu, malaria inayosamazwa na mbu. Ugonjwa wa malaria ni hatari sana, kwa sababu usipotibiwa haraka utapiga dunia teke. Mazingira pia huharibiwa kwa kukata miti ovyo ovyo. Tusipokata miti, tutaishi maisha marefu na kuishi kwingi ni kuona mengi. Pia tusikate miti yetu kiholela. Miti ina manufaa mengi kama vile kutupa dawa, kutengeza karatasi. Pia Mazingira yetu ni nyumbani kwa wanyama wengi. Pia tusitupe vitu ovyo ovyo kama mabati, maplastiki, yanayoweza kutukata na kutujeruhi vibaya sana. Mtu akikatwa na mabati iliyo na kutu hupata ugonjwa wa pepopunda. Mazingira yakizingatiwa, tutaweza kufurahia, hata Mungu hapendi watu wachafu.
Unafaa kukata mti moja upande mingapi
{ "text": [ "Miwili" ] }
1692_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira mahali au mambo yanyomwunguka kumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kwa hivyo tunafaa tutunze mazingira. Kuna njia nyingi za kutunza mazingira, kupanda miti, kufyeka nyasi na kutokaka miti ovyo ovyo. Watu wengi wanapenda tu kukata miti ovyo ovyo lakini hawapendi kupanda miti. Wachomaji makaa hupenda faida ambayo wanayopata kutokana na ukataji wa miti. Ni dhahiri shairi kuwa mtu hafai kukata mti hata mmoja. Pia tunafaa kufyeka majani ambayo yako karibu nasi. Tusipofyeka majani ambayo yako karibu na nyumba zetu, tutapatwa na madhara. Madhara kama kipindupindu, malaria inayosamazwa na mbu. Ugonjwa wa malaria ni hatari sana, kwa sababu usipotibiwa haraka utapiga dunia teke. Mazingira pia huharibiwa kwa kukata miti ovyo ovyo. Tusipokata miti, tutaishi maisha marefu na kuishi kwingi ni kuona mengi. Pia tusikate miti yetu kiholela. Miti ina manufaa mengi kama vile kutupa dawa, kutengeza karatasi. Pia Mazingira yetu ni nyumbani kwa wanyama wengi. Pia tusitupe vitu ovyo ovyo kama mabati, maplastiki, yanayoweza kutukata na kutujeruhi vibaya sana. Mtu akikatwa na mabati iliyo na kutu hupata ugonjwa wa pepopunda. Mazingira yakizingatiwa, tutaweza kufurahia, hata Mungu hapendi watu wachafu.
Tunafaa kufanyia nini majani
{ "text": [ "Kufyeka" ] }
1692_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira mahali au mambo yanyomwunguka kumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kwa hivyo tunafaa tutunze mazingira. Kuna njia nyingi za kutunza mazingira, kupanda miti, kufyeka nyasi na kutokaka miti ovyo ovyo. Watu wengi wanapenda tu kukata miti ovyo ovyo lakini hawapendi kupanda miti. Wachomaji makaa hupenda faida ambayo wanayopata kutokana na ukataji wa miti. Ni dhahiri shairi kuwa mtu hafai kukata mti hata mmoja. Pia tunafaa kufyeka majani ambayo yako karibu nasi. Tusipofyeka majani ambayo yako karibu na nyumba zetu, tutapatwa na madhara. Madhara kama kipindupindu, malaria inayosamazwa na mbu. Ugonjwa wa malaria ni hatari sana, kwa sababu usipotibiwa haraka utapiga dunia teke. Mazingira pia huharibiwa kwa kukata miti ovyo ovyo. Tusipokata miti, tutaishi maisha marefu na kuishi kwingi ni kuona mengi. Pia tusikate miti yetu kiholela. Miti ina manufaa mengi kama vile kutupa dawa, kutengeza karatasi. Pia Mazingira yetu ni nyumbani kwa wanyama wengi. Pia tusitupe vitu ovyo ovyo kama mabati, maplastiki, yanayoweza kutukata na kutujeruhi vibaya sana. Mtu akikatwa na mabati iliyo na kutu hupata ugonjwa wa pepopunda. Mazingira yakizingatiwa, tutaweza kufurahia, hata Mungu hapendi watu wachafu.
Wachomaji makaa hupendelea nini
{ "text": [ "Faida" ] }
1692_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira mahali au mambo yanyomwunguka kumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kwa hivyo tunafaa tutunze mazingira. Kuna njia nyingi za kutunza mazingira, kupanda miti, kufyeka nyasi na kutokaka miti ovyo ovyo. Watu wengi wanapenda tu kukata miti ovyo ovyo lakini hawapendi kupanda miti. Wachomaji makaa hupenda faida ambayo wanayopata kutokana na ukataji wa miti. Ni dhahiri shairi kuwa mtu hafai kukata mti hata mmoja. Pia tunafaa kufyeka majani ambayo yako karibu nasi. Tusipofyeka majani ambayo yako karibu na nyumba zetu, tutapatwa na madhara. Madhara kama kipindupindu, malaria inayosamazwa na mbu. Ugonjwa wa malaria ni hatari sana, kwa sababu usipotibiwa haraka utapiga dunia teke. Mazingira pia huharibiwa kwa kukata miti ovyo ovyo. Tusipokata miti, tutaishi maisha marefu na kuishi kwingi ni kuona mengi. Pia tusikate miti yetu kiholela. Miti ina manufaa mengi kama vile kutupa dawa, kutengeza karatasi. Pia Mazingira yetu ni nyumbani kwa wanyama wengi. Pia tusitupe vitu ovyo ovyo kama mabati, maplastiki, yanayoweza kutukata na kutujeruhi vibaya sana. Mtu akikatwa na mabati iliyo na kutu hupata ugonjwa wa pepopunda. Mazingira yakizingatiwa, tutaweza kufurahia, hata Mungu hapendi watu wachafu.
Kama hakuna miti hatuwezi kupata dawa na nini
{ "text": [ "Vitabu" ] }
1692_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira mahali au mambo yanyomwunguka kumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kwa hivyo tunafaa tutunze mazingira. Kuna njia nyingi za kutunza mazingira, kupanda miti, kufyeka nyasi na kutokaka miti ovyo ovyo. Watu wengi wanapenda tu kukata miti ovyo ovyo lakini hawapendi kupanda miti. Wachomaji makaa hupenda faida ambayo wanayopata kutokana na ukataji wa miti. Ni dhahiri shairi kuwa mtu hafai kukata mti hata mmoja. Pia tunafaa kufyeka majani ambayo yako karibu nasi. Tusipofyeka majani ambayo yako karibu na nyumba zetu, tutapatwa na madhara. Madhara kama kipindupindu, malaria inayosamazwa na mbu. Ugonjwa wa malaria ni hatari sana, kwa sababu usipotibiwa haraka utapiga dunia teke. Mazingira pia huharibiwa kwa kukata miti ovyo ovyo. Tusipokata miti, tutaishi maisha marefu na kuishi kwingi ni kuona mengi. Pia tusikate miti yetu kiholela. Miti ina manufaa mengi kama vile kutupa dawa, kutengeza karatasi. Pia Mazingira yetu ni nyumbani kwa wanyama wengi. Pia tusitupe vitu ovyo ovyo kama mabati, maplastiki, yanayoweza kutukata na kutujeruhi vibaya sana. Mtu akikatwa na mabati iliyo na kutu hupata ugonjwa wa pepopunda. Mazingira yakizingatiwa, tutaweza kufurahia, hata Mungu hapendi watu wachafu.
Pepopunda huletwa na nini
{ "text": [ "Kukatwa na mabaati iliyooza" ] }
1694_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Uvuvi wa nyavu za kukota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asili. Kwa mfano, viwanda huchanganya kemikali au uchafu kutoka kwa viwanda, wanaelekeza uchafu huo katika mito. Kemikali hizo huwa na sumu kali kiasi cha kwamba wanyama na mimea ya majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au maziwani. Kando na uchafu wa viwanda, pia kuna kemikali kutoka shambani. Wakati mkulima anapopulizia dawa kwenye mimea, dawa hizo zinabebwa na upepo na zingine huingia kwenye ardhi ambapo muva ikinyesha husomba yote na kupeleka kwa mito. Licha ya hayo, uchafuzi mwingine wa mazingira ni kuharibu misitu. Tunapoharibu misitu yetu kwa kukata miti, kuna baadhi ya mambo ambayo sisi wenyewe tunazuia kama vile mvua na hewa safi. Kuna vitu ambavyo hutengezwa kutoka kwa miti kama vile mbao, karatasi, kuni na kadhalika. Pia tutawezachafua mazingira kwa kutupa takataka kila mahali. Katika miji kubwa kubwa, kwa mfano, mtu akimaliza kutumia karatasi badala ya kupeleka kuchoma, anatupa chini na kuchafua mazingira. Basi tunachafua mazingira yetu kuna baadhi ya wanyama ambao tunaharibia mazingira, kama vile wanyama waishio kwenye ardhi. Tunapotupa taka taka tunawanyima wanyama hao pumzi ya kupumua na wanyama hao wanaweza kufa kwa urahisi.
Mambo yapi humzunguka binadamu?
{ "text": [ "Ardhi na bahari" ] }
1694_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Uvuvi wa nyavu za kukota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asili. Kwa mfano, viwanda huchanganya kemikali au uchafu kutoka kwa viwanda, wanaelekeza uchafu huo katika mito. Kemikali hizo huwa na sumu kali kiasi cha kwamba wanyama na mimea ya majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au maziwani. Kando na uchafu wa viwanda, pia kuna kemikali kutoka shambani. Wakati mkulima anapopulizia dawa kwenye mimea, dawa hizo zinabebwa na upepo na zingine huingia kwenye ardhi ambapo muva ikinyesha husomba yote na kupeleka kwa mito. Licha ya hayo, uchafuzi mwingine wa mazingira ni kuharibu misitu. Tunapoharibu misitu yetu kwa kukata miti, kuna baadhi ya mambo ambayo sisi wenyewe tunazuia kama vile mvua na hewa safi. Kuna vitu ambavyo hutengezwa kutoka kwa miti kama vile mbao, karatasi, kuni na kadhalika. Pia tutawezachafua mazingira kwa kutupa takataka kila mahali. Katika miji kubwa kubwa, kwa mfano, mtu akimaliza kutumia karatasi badala ya kupeleka kuchoma, anatupa chini na kuchafua mazingira. Basi tunachafua mazingira yetu kuna baadhi ya wanyama ambao tunaharibia mazingira, kama vile wanyama waishio kwenye ardhi. Tunapotupa taka taka tunawanyima wanyama hao pumzi ya kupumua na wanyama hao wanaweza kufa kwa urahisi.
Mbinu zipi duni husababisha mmomonyoko wa udongo?
{ "text": [ "Kilimo" ] }
1694_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Uvuvi wa nyavu za kukota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asili. Kwa mfano, viwanda huchanganya kemikali au uchafu kutoka kwa viwanda, wanaelekeza uchafu huo katika mito. Kemikali hizo huwa na sumu kali kiasi cha kwamba wanyama na mimea ya majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au maziwani. Kando na uchafu wa viwanda, pia kuna kemikali kutoka shambani. Wakati mkulima anapopulizia dawa kwenye mimea, dawa hizo zinabebwa na upepo na zingine huingia kwenye ardhi ambapo muva ikinyesha husomba yote na kupeleka kwa mito. Licha ya hayo, uchafuzi mwingine wa mazingira ni kuharibu misitu. Tunapoharibu misitu yetu kwa kukata miti, kuna baadhi ya mambo ambayo sisi wenyewe tunazuia kama vile mvua na hewa safi. Kuna vitu ambavyo hutengezwa kutoka kwa miti kama vile mbao, karatasi, kuni na kadhalika. Pia tutawezachafua mazingira kwa kutupa takataka kila mahali. Katika miji kubwa kubwa, kwa mfano, mtu akimaliza kutumia karatasi badala ya kupeleka kuchoma, anatupa chini na kuchafua mazingira. Basi tunachafua mazingira yetu kuna baadhi ya wanyama ambao tunaharibia mazingira, kama vile wanyama waishio kwenye ardhi. Tunapotupa taka taka tunawanyima wanyama hao pumzi ya kupumua na wanyama hao wanaweza kufa kwa urahisi.
Uvuvi unaotumia nini husababisha kupunguka kwa samaki?
{ "text": [ "Nyavu za kukota" ] }
1694_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Uvuvi wa nyavu za kukota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asili. Kwa mfano, viwanda huchanganya kemikali au uchafu kutoka kwa viwanda, wanaelekeza uchafu huo katika mito. Kemikali hizo huwa na sumu kali kiasi cha kwamba wanyama na mimea ya majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au maziwani. Kando na uchafu wa viwanda, pia kuna kemikali kutoka shambani. Wakati mkulima anapopulizia dawa kwenye mimea, dawa hizo zinabebwa na upepo na zingine huingia kwenye ardhi ambapo muva ikinyesha husomba yote na kupeleka kwa mito. Licha ya hayo, uchafuzi mwingine wa mazingira ni kuharibu misitu. Tunapoharibu misitu yetu kwa kukata miti, kuna baadhi ya mambo ambayo sisi wenyewe tunazuia kama vile mvua na hewa safi. Kuna vitu ambavyo hutengezwa kutoka kwa miti kama vile mbao, karatasi, kuni na kadhalika. Pia tutawezachafua mazingira kwa kutupa takataka kila mahali. Katika miji kubwa kubwa, kwa mfano, mtu akimaliza kutumia karatasi badala ya kupeleka kuchoma, anatupa chini na kuchafua mazingira. Basi tunachafua mazingira yetu kuna baadhi ya wanyama ambao tunaharibia mazingira, kama vile wanyama waishio kwenye ardhi. Tunapotupa taka taka tunawanyima wanyama hao pumzi ya kupumua na wanyama hao wanaweza kufa kwa urahisi.
Viwanda hutupa uchafu gani kwenye mito?
{ "text": [ "Kemikali" ] }
1694_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Uvuvi wa nyavu za kukota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asili. Kwa mfano, viwanda huchanganya kemikali au uchafu kutoka kwa viwanda, wanaelekeza uchafu huo katika mito. Kemikali hizo huwa na sumu kali kiasi cha kwamba wanyama na mimea ya majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au maziwani. Kando na uchafu wa viwanda, pia kuna kemikali kutoka shambani. Wakati mkulima anapopulizia dawa kwenye mimea, dawa hizo zinabebwa na upepo na zingine huingia kwenye ardhi ambapo muva ikinyesha husomba yote na kupeleka kwa mito. Licha ya hayo, uchafuzi mwingine wa mazingira ni kuharibu misitu. Tunapoharibu misitu yetu kwa kukata miti, kuna baadhi ya mambo ambayo sisi wenyewe tunazuia kama vile mvua na hewa safi. Kuna vitu ambavyo hutengezwa kutoka kwa miti kama vile mbao, karatasi, kuni na kadhalika. Pia tutawezachafua mazingira kwa kutupa takataka kila mahali. Katika miji kubwa kubwa, kwa mfano, mtu akimaliza kutumia karatasi badala ya kupeleka kuchoma, anatupa chini na kuchafua mazingira. Basi tunachafua mazingira yetu kuna baadhi ya wanyama ambao tunaharibia mazingira, kama vile wanyama waishio kwenye ardhi. Tunapotupa taka taka tunawanyima wanyama hao pumzi ya kupumua na wanyama hao wanaweza kufa kwa urahisi.
Kukata miti kiholela husababisha nini?
{ "text": [ "Ukosefu wa mvua" ] }
1695_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira na mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira machafu huweza sababisha magonjwa hatari sana tunapaswa kujiepusha na madhara hayo. Licha ya hayo, mathara hayo ni kipindupindu na pepopunda. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka na ni hatari sana, huweza kusambaa kwa sababu ya mazingira machafu na maji machafu. Tunapokunywa maji bila kuchemsha tunaweza kupata ugonjwa huu hatari. Tunapolala tunapaswa kulala ndani ya chandarua ili tujikige na ugonjwa wa malaria. Malaria huenezwa na mbu, ambao hukaa katika nyasi ndefu zinazomea karibu na nyumba. Mazingira machafu huweza kusababishwa na kutookota taka taka. Tunapaswa kunawa mikono wakati wowote tunapotoka chooni kwa sababu nayanaweza husababishwa na ugonjwa huo hatari ya kipindupindu yanayosababisha kutapika na kuhara wakati wote. Taka taka hutupwa kwenye pipa na kuchomwa kabla ibebwe na upepo na kutapakaa kila mahali.
Mazingira husababisha nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1695_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira na mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira machafu huweza sababisha magonjwa hatari sana tunapaswa kujiepusha na madhara hayo. Licha ya hayo, mathara hayo ni kipindupindu na pepopunda. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka na ni hatari sana, huweza kusambaa kwa sababu ya mazingira machafu na maji machafu. Tunapokunywa maji bila kuchemsha tunaweza kupata ugonjwa huu hatari. Tunapolala tunapaswa kulala ndani ya chandarua ili tujikige na ugonjwa wa malaria. Malaria huenezwa na mbu, ambao hukaa katika nyasi ndefu zinazomea karibu na nyumba. Mazingira machafu huweza kusababishwa na kutookota taka taka. Tunapaswa kunawa mikono wakati wowote tunapotoka chooni kwa sababu nayanaweza husababishwa na ugonjwa huo hatari ya kipindupindu yanayosababisha kutapika na kuhara wakati wote. Taka taka hutupwa kwenye pipa na kuchomwa kabla ibebwe na upepo na kutapakaa kila mahali.
Maji machafu huleta ugonjwa gani
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1695_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira na mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira machafu huweza sababisha magonjwa hatari sana tunapaswa kujiepusha na madhara hayo. Licha ya hayo, mathara hayo ni kipindupindu na pepopunda. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka na ni hatari sana, huweza kusambaa kwa sababu ya mazingira machafu na maji machafu. Tunapokunywa maji bila kuchemsha tunaweza kupata ugonjwa huu hatari. Tunapolala tunapaswa kulala ndani ya chandarua ili tujikige na ugonjwa wa malaria. Malaria huenezwa na mbu, ambao hukaa katika nyasi ndefu zinazomea karibu na nyumba. Mazingira machafu huweza kusababishwa na kutookota taka taka. Tunapaswa kunawa mikono wakati wowote tunapotoka chooni kwa sababu nayanaweza husababishwa na ugonjwa huo hatari ya kipindupindu yanayosababisha kutapika na kuhara wakati wote. Taka taka hutupwa kwenye pipa na kuchomwa kabla ibebwe na upepo na kutapakaa kila mahali.
Tunapaswa kulala na nini
{ "text": [ "Chandarua" ] }
1695_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira na mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira machafu huweza sababisha magonjwa hatari sana tunapaswa kujiepusha na madhara hayo. Licha ya hayo, mathara hayo ni kipindupindu na pepopunda. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka na ni hatari sana, huweza kusambaa kwa sababu ya mazingira machafu na maji machafu. Tunapokunywa maji bila kuchemsha tunaweza kupata ugonjwa huu hatari. Tunapolala tunapaswa kulala ndani ya chandarua ili tujikige na ugonjwa wa malaria. Malaria huenezwa na mbu, ambao hukaa katika nyasi ndefu zinazomea karibu na nyumba. Mazingira machafu huweza kusababishwa na kutookota taka taka. Tunapaswa kunawa mikono wakati wowote tunapotoka chooni kwa sababu nayanaweza husababishwa na ugonjwa huo hatari ya kipindupindu yanayosababisha kutapika na kuhara wakati wote. Taka taka hutupwa kwenye pipa na kuchomwa kabla ibebwe na upepo na kutapakaa kila mahali.
Mikono inafaa kuwa vipi
{ "text": [ "Safi" ] }
1695_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira na mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira machafu huweza sababisha magonjwa hatari sana tunapaswa kujiepusha na madhara hayo. Licha ya hayo, mathara hayo ni kipindupindu na pepopunda. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka na ni hatari sana, huweza kusambaa kwa sababu ya mazingira machafu na maji machafu. Tunapokunywa maji bila kuchemsha tunaweza kupata ugonjwa huu hatari. Tunapolala tunapaswa kulala ndani ya chandarua ili tujikige na ugonjwa wa malaria. Malaria huenezwa na mbu, ambao hukaa katika nyasi ndefu zinazomea karibu na nyumba. Mazingira machafu huweza kusababishwa na kutookota taka taka. Tunapaswa kunawa mikono wakati wowote tunapotoka chooni kwa sababu nayanaweza husababishwa na ugonjwa huo hatari ya kipindupindu yanayosababisha kutapika na kuhara wakati wote. Taka taka hutupwa kwenye pipa na kuchomwa kabla ibebwe na upepo na kutapakaa kila mahali.
Kwa nini mtu anafaa kunawa mikono akitoka chooni
{ "text": [ "Ili kuzuia ugonjwa wa kipindupindu" ] }
1696_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Naam. Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Ni vyema tukidumisha afya bora katika maisha yetu. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu ili pia tuweze kudumisha afya zetu. Mazingira yetu yatakuwa safi tuking’arisha pahali tunapoishi. Kwanza tunafaa kutunza misitu yetu. Mimi huwa nahisi vibaya nikiona watu wakikata miti.Miti hutusaidia kwa njia nyingi kwa mfano kutengeza karatasi. Mazingira yetu yanataka kuwekwa vizuri na kuingarisha vizuri. Mazingira yetu yatatusaidia kupata watalii ambao watakuja kutuletea pesa za kigeni na kukuza uchumi wetu. Tukichafua mazingira vibaya pia nasi tutajiumiza kwa sababu mazingira yakiwa machafu, pia hewa yetu huwa chafu. Miti ni uhai wetu, kwani miti hhutupa hewa safi tunayopumua. Bila miti, hatuwezi kuwa na hewa safi ya kupumua. Pia miti husaidia kuvuta mvua ambayo hutupa maji ya kutumia nyumbani. Miti pia huwa ndio chanzo cha mito. Kwa hivyo, bila mti tunakosa vitu vingi sana. Tunahimmizwa kutunza mazingira yetu kwani mazingira ambayo ni chafu hayapendezi hata kidogo. Tukitunza mazingira yetu, tutajiepusha na magonjwa mengi yanayoambatana na uchafu kama vile malaria na kipindupindu. Tuyatunze mazingira yetu ili tudumishe afya zetu.
Watalii huleta nani ilitupande?
{ "text": [ "Miti" ] }
1696_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Naam. Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Ni vyema tukidumisha afya bora katika maisha yetu. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu ili pia tuweze kudumisha afya zetu. Mazingira yetu yatakuwa safi tuking’arisha pahali tunapoishi. Kwanza tunafaa kutunza misitu yetu. Mimi huwa nahisi vibaya nikiona watu wakikata miti.Miti hutusaidia kwa njia nyingi kwa mfano kutengeza karatasi. Mazingira yetu yanataka kuwekwa vizuri na kuingarisha vizuri. Mazingira yetu yatatusaidia kupata watalii ambao watakuja kutuletea pesa za kigeni na kukuza uchumi wetu. Tukichafua mazingira vibaya pia nasi tutajiumiza kwa sababu mazingira yakiwa machafu, pia hewa yetu huwa chafu. Miti ni uhai wetu, kwani miti hhutupa hewa safi tunayopumua. Bila miti, hatuwezi kuwa na hewa safi ya kupumua. Pia miti husaidia kuvuta mvua ambayo hutupa maji ya kutumia nyumbani. Miti pia huwa ndio chanzo cha mito. Kwa hivyo, bila mti tunakosa vitu vingi sana. Tunahimmizwa kutunza mazingira yetu kwani mazingira ambayo ni chafu hayapendezi hata kidogo. Tukitunza mazingira yetu, tutajiepusha na magonjwa mengi yanayoambatana na uchafu kama vile malaria na kipindupindu. Tuyatunze mazingira yetu ili tudumishe afya zetu.
Mazingira safi hudumisha hali gani ya binadamu?
{ "text": [ "Afya njema" ] }
1696_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Naam. Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Ni vyema tukidumisha afya bora katika maisha yetu. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu ili pia tuweze kudumisha afya zetu. Mazingira yetu yatakuwa safi tuking’arisha pahali tunapoishi. Kwanza tunafaa kutunza misitu yetu. Mimi huwa nahisi vibaya nikiona watu wakikata miti.Miti hutusaidia kwa njia nyingi kwa mfano kutengeza karatasi. Mazingira yetu yanataka kuwekwa vizuri na kuingarisha vizuri. Mazingira yetu yatatusaidia kupata watalii ambao watakuja kutuletea pesa za kigeni na kukuza uchumi wetu. Tukichafua mazingira vibaya pia nasi tutajiumiza kwa sababu mazingira yakiwa machafu, pia hewa yetu huwa chafu. Miti ni uhai wetu, kwani miti hhutupa hewa safi tunayopumua. Bila miti, hatuwezi kuwa na hewa safi ya kupumua. Pia miti husaidia kuvuta mvua ambayo hutupa maji ya kutumia nyumbani. Miti pia huwa ndio chanzo cha mito. Kwa hivyo, bila mti tunakosa vitu vingi sana. Tunahimmizwa kutunza mazingira yetu kwani mazingira ambayo ni chafu hayapendezi hata kidogo. Tukitunza mazingira yetu, tutajiepusha na magonjwa mengi yanayoambatana na uchafu kama vile malaria na kipindupindu. Tuyatunze mazingira yetu ili tudumishe afya zetu.
Ugonjwa upi husababishwa na mazingira chafu?
{ "text": [ "Malaria" ] }
1696_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Naam. Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Ni vyema tukidumisha afya bora katika maisha yetu. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu ili pia tuweze kudumisha afya zetu. Mazingira yetu yatakuwa safi tuking’arisha pahali tunapoishi. Kwanza tunafaa kutunza misitu yetu. Mimi huwa nahisi vibaya nikiona watu wakikata miti.Miti hutusaidia kwa njia nyingi kwa mfano kutengeza karatasi. Mazingira yetu yanataka kuwekwa vizuri na kuingarisha vizuri. Mazingira yetu yatatusaidia kupata watalii ambao watakuja kutuletea pesa za kigeni na kukuza uchumi wetu. Tukichafua mazingira vibaya pia nasi tutajiumiza kwa sababu mazingira yakiwa machafu, pia hewa yetu huwa chafu. Miti ni uhai wetu, kwani miti hhutupa hewa safi tunayopumua. Bila miti, hatuwezi kuwa na hewa safi ya kupumua. Pia miti husaidia kuvuta mvua ambayo hutupa maji ya kutumia nyumbani. Miti pia huwa ndio chanzo cha mito. Kwa hivyo, bila mti tunakosa vitu vingi sana. Tunahimmizwa kutunza mazingira yetu kwani mazingira ambayo ni chafu hayapendezi hata kidogo. Tukitunza mazingira yetu, tutajiepusha na magonjwa mengi yanayoambatana na uchafu kama vile malaria na kipindupindu. Tuyatunze mazingira yetu ili tudumishe afya zetu.
Kuwepo kwa mimea husaidia nini?
{ "text": [ "Hewa safi" ] }
1696_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Naam. Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Ni vyema tukidumisha afya bora katika maisha yetu. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu ili pia tuweze kudumisha afya zetu. Mazingira yetu yatakuwa safi tuking’arisha pahali tunapoishi. Kwanza tunafaa kutunza misitu yetu. Mimi huwa nahisi vibaya nikiona watu wakikata miti.Miti hutusaidia kwa njia nyingi kwa mfano kutengeza karatasi. Mazingira yetu yanataka kuwekwa vizuri na kuingarisha vizuri. Mazingira yetu yatatusaidia kupata watalii ambao watakuja kutuletea pesa za kigeni na kukuza uchumi wetu. Tukichafua mazingira vibaya pia nasi tutajiumiza kwa sababu mazingira yakiwa machafu, pia hewa yetu huwa chafu. Miti ni uhai wetu, kwani miti hhutupa hewa safi tunayopumua. Bila miti, hatuwezi kuwa na hewa safi ya kupumua. Pia miti husaidia kuvuta mvua ambayo hutupa maji ya kutumia nyumbani. Miti pia huwa ndio chanzo cha mito. Kwa hivyo, bila mti tunakosa vitu vingi sana. Tunahimmizwa kutunza mazingira yetu kwani mazingira ambayo ni chafu hayapendezi hata kidogo. Tukitunza mazingira yetu, tutajiepusha na magonjwa mengi yanayoambatana na uchafu kama vile malaria na kipindupindu. Tuyatunze mazingira yetu ili tudumishe afya zetu.
Nchi gani ilikuwa na gwiji wa kulinda mazingira?
{ "text": [ "Kenya" ] }
1699_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapotuzunguka na tunapoishi. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati. Tunazo madhara ya kuchafua maziingira yetu. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kumwaga maji chafu kila mahali. Maji hayo huletea watu magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na magonjwa mengineo. Uchafuzi wa mazingira hufanya mahospitali yetu kujaa furifuri kwa sababu ya magonjwa. Lingine ni kuwa hatu hutupa taka taka kila malali na kufanya mazingira yasiwe ya kupendeza hata kidogo. Kama vile mjini Nairobi, watu hutupa taka taka kila mahali.Wale vijani wanaoshi barabarani hutafuta chakula kwenye mapipa ya taka taka, mara nyingi watoto hawa huugua magonjwa ya tumbo kwa sababu ya kula chakula kichafu. Watu hutumia vyoo vibaya na pia kunao wale ambao huenda haja misituni ama nyuma ya nyumba zao na hapo panaponyesha,maji ya mvua hubeba kila aina ya uchafu na kuelekeza mitoni. Tukitumia maji hayo kunywa au kupikia, mara nyingi tunakua wagonjwa. Sisi binafsi tunapaswa kuwa wasafi ili tusiwe na magonjwa yasiyo kua tiba. Pia tunahimizwa tusikate miti ili kusikue na ukame. Kunao wanyama ambao hutengemea mazingira safi ili kuishi. Mambo tunayopaswa kufanya ili kuboresha mazingira yetu ni kupanda miti. Pia, tuchome taka taka ili isitapakae kila mahali. Tukiwa nyumbani tunapaswa kusafisha mazingira ili kuboresha afya zetu. Maringira yanapokua safi, tunaboresha afya zetu na pia hospitali zetu huwa na watu wachache wanaotaka huduma. Tunapotunza maisha yetu, tutakua na maisha marefu duniani. Pia tukiwa wasafi, tutakua karibu na Mungu, kwani Mungu huwapenda walio wasafi. Mazingira yawe safi kila wakati.
Kipi huchangia hospitali kujaa
{ "text": [ "Mazingira machafu" ] }
1699_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapotuzunguka na tunapoishi. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati. Tunazo madhara ya kuchafua maziingira yetu. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kumwaga maji chafu kila mahali. Maji hayo huletea watu magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na magonjwa mengineo. Uchafuzi wa mazingira hufanya mahospitali yetu kujaa furifuri kwa sababu ya magonjwa. Lingine ni kuwa hatu hutupa taka taka kila malali na kufanya mazingira yasiwe ya kupendeza hata kidogo. Kama vile mjini Nairobi, watu hutupa taka taka kila mahali.Wale vijani wanaoshi barabarani hutafuta chakula kwenye mapipa ya taka taka, mara nyingi watoto hawa huugua magonjwa ya tumbo kwa sababu ya kula chakula kichafu. Watu hutumia vyoo vibaya na pia kunao wale ambao huenda haja misituni ama nyuma ya nyumba zao na hapo panaponyesha,maji ya mvua hubeba kila aina ya uchafu na kuelekeza mitoni. Tukitumia maji hayo kunywa au kupikia, mara nyingi tunakua wagonjwa. Sisi binafsi tunapaswa kuwa wasafi ili tusiwe na magonjwa yasiyo kua tiba. Pia tunahimizwa tusikate miti ili kusikue na ukame. Kunao wanyama ambao hutengemea mazingira safi ili kuishi. Mambo tunayopaswa kufanya ili kuboresha mazingira yetu ni kupanda miti. Pia, tuchome taka taka ili isitapakae kila mahali. Tukiwa nyumbani tunapaswa kusafisha mazingira ili kuboresha afya zetu. Maringira yanapokua safi, tunaboresha afya zetu na pia hospitali zetu huwa na watu wachache wanaotaka huduma. Tunapotunza maisha yetu, tutakua na maisha marefu duniani. Pia tukiwa wasafi, tutakua karibu na Mungu, kwani Mungu huwapenda walio wasafi. Mazingira yawe safi kila wakati.
Kutupa chakula ovyo ovyo huchafua nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1699_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapotuzunguka na tunapoishi. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati. Tunazo madhara ya kuchafua maziingira yetu. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kumwaga maji chafu kila mahali. Maji hayo huletea watu magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na magonjwa mengineo. Uchafuzi wa mazingira hufanya mahospitali yetu kujaa furifuri kwa sababu ya magonjwa. Lingine ni kuwa hatu hutupa taka taka kila malali na kufanya mazingira yasiwe ya kupendeza hata kidogo. Kama vile mjini Nairobi, watu hutupa taka taka kila mahali.Wale vijani wanaoshi barabarani hutafuta chakula kwenye mapipa ya taka taka, mara nyingi watoto hawa huugua magonjwa ya tumbo kwa sababu ya kula chakula kichafu. Watu hutumia vyoo vibaya na pia kunao wale ambao huenda haja misituni ama nyuma ya nyumba zao na hapo panaponyesha,maji ya mvua hubeba kila aina ya uchafu na kuelekeza mitoni. Tukitumia maji hayo kunywa au kupikia, mara nyingi tunakua wagonjwa. Sisi binafsi tunapaswa kuwa wasafi ili tusiwe na magonjwa yasiyo kua tiba. Pia tunahimizwa tusikate miti ili kusikue na ukame. Kunao wanyama ambao hutengemea mazingira safi ili kuishi. Mambo tunayopaswa kufanya ili kuboresha mazingira yetu ni kupanda miti. Pia, tuchome taka taka ili isitapakae kila mahali. Tukiwa nyumbani tunapaswa kusafisha mazingira ili kuboresha afya zetu. Maringira yanapokua safi, tunaboresha afya zetu na pia hospitali zetu huwa na watu wachache wanaotaka huduma. Tunapotunza maisha yetu, tutakua na maisha marefu duniani. Pia tukiwa wasafi, tutakua karibu na Mungu, kwani Mungu huwapenda walio wasafi. Mazingira yawe safi kila wakati.
Kwenda haja msituni husababisha kuchafuka kwa nini
{ "text": [ "Kwa maji mvua ikinyesha" ] }
1699_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapotuzunguka na tunapoishi. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati. Tunazo madhara ya kuchafua maziingira yetu. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kumwaga maji chafu kila mahali. Maji hayo huletea watu magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na magonjwa mengineo. Uchafuzi wa mazingira hufanya mahospitali yetu kujaa furifuri kwa sababu ya magonjwa. Lingine ni kuwa hatu hutupa taka taka kila malali na kufanya mazingira yasiwe ya kupendeza hata kidogo. Kama vile mjini Nairobi, watu hutupa taka taka kila mahali.Wale vijani wanaoshi barabarani hutafuta chakula kwenye mapipa ya taka taka, mara nyingi watoto hawa huugua magonjwa ya tumbo kwa sababu ya kula chakula kichafu. Watu hutumia vyoo vibaya na pia kunao wale ambao huenda haja misituni ama nyuma ya nyumba zao na hapo panaponyesha,maji ya mvua hubeba kila aina ya uchafu na kuelekeza mitoni. Tukitumia maji hayo kunywa au kupikia, mara nyingi tunakua wagonjwa. Sisi binafsi tunapaswa kuwa wasafi ili tusiwe na magonjwa yasiyo kua tiba. Pia tunahimizwa tusikate miti ili kusikue na ukame. Kunao wanyama ambao hutengemea mazingira safi ili kuishi. Mambo tunayopaswa kufanya ili kuboresha mazingira yetu ni kupanda miti. Pia, tuchome taka taka ili isitapakae kila mahali. Tukiwa nyumbani tunapaswa kusafisha mazingira ili kuboresha afya zetu. Maringira yanapokua safi, tunaboresha afya zetu na pia hospitali zetu huwa na watu wachache wanaotaka huduma. Tunapotunza maisha yetu, tutakua na maisha marefu duniani. Pia tukiwa wasafi, tutakua karibu na Mungu, kwani Mungu huwapenda walio wasafi. Mazingira yawe safi kila wakati.
Ukame huletwa na ukataji wa nini
{ "text": [ "Miti" ] }
1699_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapotuzunguka na tunapoishi. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati. Tunazo madhara ya kuchafua maziingira yetu. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kumwaga maji chafu kila mahali. Maji hayo huletea watu magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na magonjwa mengineo. Uchafuzi wa mazingira hufanya mahospitali yetu kujaa furifuri kwa sababu ya magonjwa. Lingine ni kuwa hatu hutupa taka taka kila malali na kufanya mazingira yasiwe ya kupendeza hata kidogo. Kama vile mjini Nairobi, watu hutupa taka taka kila mahali.Wale vijani wanaoshi barabarani hutafuta chakula kwenye mapipa ya taka taka, mara nyingi watoto hawa huugua magonjwa ya tumbo kwa sababu ya kula chakula kichafu. Watu hutumia vyoo vibaya na pia kunao wale ambao huenda haja misituni ama nyuma ya nyumba zao na hapo panaponyesha,maji ya mvua hubeba kila aina ya uchafu na kuelekeza mitoni. Tukitumia maji hayo kunywa au kupikia, mara nyingi tunakua wagonjwa. Sisi binafsi tunapaswa kuwa wasafi ili tusiwe na magonjwa yasiyo kua tiba. Pia tunahimizwa tusikate miti ili kusikue na ukame. Kunao wanyama ambao hutengemea mazingira safi ili kuishi. Mambo tunayopaswa kufanya ili kuboresha mazingira yetu ni kupanda miti. Pia, tuchome taka taka ili isitapakae kila mahali. Tukiwa nyumbani tunapaswa kusafisha mazingira ili kuboresha afya zetu. Maringira yanapokua safi, tunaboresha afya zetu na pia hospitali zetu huwa na watu wachache wanaotaka huduma. Tunapotunza maisha yetu, tutakua na maisha marefu duniani. Pia tukiwa wasafi, tutakua karibu na Mungu, kwani Mungu huwapenda walio wasafi. Mazingira yawe safi kila wakati.
Ipi njia bora ya kuboresha mazingira
{ "text": [ "Kwa kupanda miti" ] }
1700_swa
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Sisi kama binadamu tunapaswa kuzingatia usafi. Kila wakati, binadamu anapaswa kuishi kwenye mazingira safi. Binadamu anapoishi kwenye mazingira chafu, hana budi ila kushikwa na magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na mengine mengi. Ugonjwa wa kichocho ni ugonjwa ambao husababishwa na wadudu kama konokono ambao wanaishi kwenye maji machafu. Ni ugonjwa wakukojoa damu. Ugonjwa wa kipindupindu hutokana na vyakula chafu, hata pia usipoosha mikono yako kabla ya kukula chakula. Usipofyeka nyasi,kuna wadudu wanoishi kwenye nyasi hizi.Wadudu hawa ni kama mbu ambao husambaza ugonjwa wa malaria.Malaria ni ugonjwa hatari sana ambao una uwezo wa kuua.Mbu huishi pia katika maji machafu yaliyosimama. Tunapaswa pia kuzingatia usafi wa miili yetu. Tunafaa kuoga kila siku ili tusipatwe na wadudu hatari kama vile chawa, funza na wengineo. Funza hupatikana kwenye vidole vya miguu na mikono.Tunapaswa kuzingatia usafi wa mifugo wetu wa pale nyumbani. Mara nyingi, sisi hutumia kemikali kuua wadudu ambao huwatembelea mifugo. Kemikali hizi hudhuru afya ya mifugo na pia ya binadamu. Hata shuleni, tunpaswa kuzingatia usafi kwa kufyeka nyasi ndefu, kung’oa magugu, kufagia na kupiga deki darasa zetu.
Mazingira ni mambo yanayomzunguka nani
{ "text": [ "Kiumbe" ] }
1700_swa
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Sisi kama binadamu tunapaswa kuzingatia usafi. Kila wakati, binadamu anapaswa kuishi kwenye mazingira safi. Binadamu anapoishi kwenye mazingira chafu, hana budi ila kushikwa na magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na mengine mengi. Ugonjwa wa kichocho ni ugonjwa ambao husababishwa na wadudu kama konokono ambao wanaishi kwenye maji machafu. Ni ugonjwa wakukojoa damu. Ugonjwa wa kipindupindu hutokana na vyakula chafu, hata pia usipoosha mikono yako kabla ya kukula chakula. Usipofyeka nyasi,kuna wadudu wanoishi kwenye nyasi hizi.Wadudu hawa ni kama mbu ambao husambaza ugonjwa wa malaria.Malaria ni ugonjwa hatari sana ambao una uwezo wa kuua.Mbu huishi pia katika maji machafu yaliyosimama. Tunapaswa pia kuzingatia usafi wa miili yetu. Tunafaa kuoga kila siku ili tusipatwe na wadudu hatari kama vile chawa, funza na wengineo. Funza hupatikana kwenye vidole vya miguu na mikono.Tunapaswa kuzingatia usafi wa mifugo wetu wa pale nyumbani. Mara nyingi, sisi hutumia kemikali kuua wadudu ambao huwatembelea mifugo. Kemikali hizi hudhuru afya ya mifugo na pia ya binadamu. Hata shuleni, tunpaswa kuzingatia usafi kwa kufyeka nyasi ndefu, kung’oa magugu, kufagia na kupiga deki darasa zetu.
Ugonjwa wa kichocho unasabaishwa na nini
{ "text": [ "Wadudu" ] }
1700_swa
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Sisi kama binadamu tunapaswa kuzingatia usafi. Kila wakati, binadamu anapaswa kuishi kwenye mazingira safi. Binadamu anapoishi kwenye mazingira chafu, hana budi ila kushikwa na magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na mengine mengi. Ugonjwa wa kichocho ni ugonjwa ambao husababishwa na wadudu kama konokono ambao wanaishi kwenye maji machafu. Ni ugonjwa wakukojoa damu. Ugonjwa wa kipindupindu hutokana na vyakula chafu, hata pia usipoosha mikono yako kabla ya kukula chakula. Usipofyeka nyasi,kuna wadudu wanoishi kwenye nyasi hizi.Wadudu hawa ni kama mbu ambao husambaza ugonjwa wa malaria.Malaria ni ugonjwa hatari sana ambao una uwezo wa kuua.Mbu huishi pia katika maji machafu yaliyosimama. Tunapaswa pia kuzingatia usafi wa miili yetu. Tunafaa kuoga kila siku ili tusipatwe na wadudu hatari kama vile chawa, funza na wengineo. Funza hupatikana kwenye vidole vya miguu na mikono.Tunapaswa kuzingatia usafi wa mifugo wetu wa pale nyumbani. Mara nyingi, sisi hutumia kemikali kuua wadudu ambao huwatembelea mifugo. Kemikali hizi hudhuru afya ya mifugo na pia ya binadamu. Hata shuleni, tunpaswa kuzingatia usafi kwa kufyeka nyasi ndefu, kung’oa magugu, kufagia na kupiga deki darasa zetu.
Ukipata Malaria unaenda wapi
{ "text": [ "Hospitali" ] }
1700_swa
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Sisi kama binadamu tunapaswa kuzingatia usafi. Kila wakati, binadamu anapaswa kuishi kwenye mazingira safi. Binadamu anapoishi kwenye mazingira chafu, hana budi ila kushikwa na magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na mengine mengi. Ugonjwa wa kichocho ni ugonjwa ambao husababishwa na wadudu kama konokono ambao wanaishi kwenye maji machafu. Ni ugonjwa wakukojoa damu. Ugonjwa wa kipindupindu hutokana na vyakula chafu, hata pia usipoosha mikono yako kabla ya kukula chakula. Usipofyeka nyasi,kuna wadudu wanoishi kwenye nyasi hizi.Wadudu hawa ni kama mbu ambao husambaza ugonjwa wa malaria.Malaria ni ugonjwa hatari sana ambao una uwezo wa kuua.Mbu huishi pia katika maji machafu yaliyosimama. Tunapaswa pia kuzingatia usafi wa miili yetu. Tunafaa kuoga kila siku ili tusipatwe na wadudu hatari kama vile chawa, funza na wengineo. Funza hupatikana kwenye vidole vya miguu na mikono.Tunapaswa kuzingatia usafi wa mifugo wetu wa pale nyumbani. Mara nyingi, sisi hutumia kemikali kuua wadudu ambao huwatembelea mifugo. Kemikali hizi hudhuru afya ya mifugo na pia ya binadamu. Hata shuleni, tunpaswa kuzingatia usafi kwa kufyeka nyasi ndefu, kung’oa magugu, kufagia na kupiga deki darasa zetu.
Mbu huishi kwenye maji yapi
{ "text": [ "machafu" ] }
1700_swa
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Sisi kama binadamu tunapaswa kuzingatia usafi. Kila wakati, binadamu anapaswa kuishi kwenye mazingira safi. Binadamu anapoishi kwenye mazingira chafu, hana budi ila kushikwa na magonjwa kama vile kichocho, kipindupindu na mengine mengi. Ugonjwa wa kichocho ni ugonjwa ambao husababishwa na wadudu kama konokono ambao wanaishi kwenye maji machafu. Ni ugonjwa wakukojoa damu. Ugonjwa wa kipindupindu hutokana na vyakula chafu, hata pia usipoosha mikono yako kabla ya kukula chakula. Usipofyeka nyasi,kuna wadudu wanoishi kwenye nyasi hizi.Wadudu hawa ni kama mbu ambao husambaza ugonjwa wa malaria.Malaria ni ugonjwa hatari sana ambao una uwezo wa kuua.Mbu huishi pia katika maji machafu yaliyosimama. Tunapaswa pia kuzingatia usafi wa miili yetu. Tunafaa kuoga kila siku ili tusipatwe na wadudu hatari kama vile chawa, funza na wengineo. Funza hupatikana kwenye vidole vya miguu na mikono.Tunapaswa kuzingatia usafi wa mifugo wetu wa pale nyumbani. Mara nyingi, sisi hutumia kemikali kuua wadudu ambao huwatembelea mifugo. Kemikali hizi hudhuru afya ya mifugo na pia ya binadamu. Hata shuleni, tunpaswa kuzingatia usafi kwa kufyeka nyasi ndefu, kung’oa magugu, kufagia na kupiga deki darasa zetu.
Kwa nini mifugo hunyunyiziwa kemikali
{ "text": [ "Kuzuia magonjwa kama tekenya" ] }
1701_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Sisi binadamu tunafaa tuweze kuyalinda na kuyasafisha mazingira yetu kila wakati. Mazingira chafu huleta madhara yaani uharibifu au athari mbaya. Kila mmoja wetu anafaa kuhakikisha kwamba mahali anapoishi ama mahali anapokaa aweze kuzingatia usafi wa hali ya juu kila wakati. Watu wengine huchafua mazingira kwa kutupa uchafu kwenye mito. Wengine nao hutupa karatasi na taka taka zingine ovyo ovyo, wao huwa hawana shuguli yoyote na mazingira yao. Watu wa aina hii huwa ni wachafu tu. Hapo zamani, wazazi wangu waliweza kunihadithia ya kwamba waliweza kupelekwa shule moja wakiwa wachanga. Mwalimu wao mkuu alikua mwenye bidii, mchangamfu, na pia aliweza alikua mama mwenye roho safi na msafi pia. Madarasa yote yalikua safi. Choo zote ziliweza kung’ara kwa sababu alikua ameandika wafanyikazi. Shule yote ilikua safi. Siku moja, waziri mkuu wa afya aliweza kuwatembelea. Siku hiyo, watoto waliweza kufurahi kwa sababu waliweza kumuona waziri wa afya macho kwa macho. Siku hiyo, shule zingine ziliweza kukuja mahali ambapo walialikwa. Siku hiyo, mwalimu mkuu alikua mgonjwa na akapelekwa hospitalini. Kwa hivyo aliweza kusaidiwa na naibu mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu akiwa amelazwa hospitalini, aliweza kusema kuwa "Ninataka kumwona Mkuu wa wizara ya afya, tafadhalini daktari nawaomba." "Kuna sherehe inayoendelea katika shule yangu na sijaweza kuhudhuria. Nawaomba niweze. kwenda tafadhalini." Lakini hakuna daktari aliyeweza kumsaidia. Alilia kwa uchungu lakini aliambulia patupu. Wakati wazazi wangu waliweza kurudi shuleni, walipata kama wazini wa afya anaongea akisema, "Walimu, wazazi na watoto hamjambo?" Hatujambo waziri mkuu. Shikamoo? "Mimi kilichonileta shule hili ni kuwa nimeskia kuwa shule hii inaongoza kwa usafi na hata mimi nimeona kuwa ina mazingira safi. Tafadhalini, nawaomba mwendelee tu kuwa wasafi na yote yatakua sawa." Alipomaliza kuongea, watu waliweza kuenda kukula na walimu wengine waliweza kuenda humwangalia mwalimu mkuu hospitalini na kupata kuwa alishatoka hospitalini. Mwalimu wao mkuu aliweza kubadilika na kuwafuta wafanyi kazi wale wa shule.Shule hiyo ilianza kuwa chafu.Wazazi wengi waliweza kuwatoa watoto wao shule hiyo kwa sababu wengine walianza kuwa wagonjwa kwa sababu chakula shule hiyo ilikuwa inapikwa vibaya. Watoto walianza kupatwa na magonjwa kama kipindupindu na wengine hata waliaga dunia. Wanakijiji walimua kufunga shule ile mpaka wa leo.
Ni vipi tunafaa kuyatunza mazingira
{ "text": [ "Kwa kuyasafisha na kuyalinda" ] }
1701_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Sisi binadamu tunafaa tuweze kuyalinda na kuyasafisha mazingira yetu kila wakati. Mazingira chafu huleta madhara yaani uharibifu au athari mbaya. Kila mmoja wetu anafaa kuhakikisha kwamba mahali anapoishi ama mahali anapokaa aweze kuzingatia usafi wa hali ya juu kila wakati. Watu wengine huchafua mazingira kwa kutupa uchafu kwenye mito. Wengine nao hutupa karatasi na taka taka zingine ovyo ovyo, wao huwa hawana shuguli yoyote na mazingira yao. Watu wa aina hii huwa ni wachafu tu. Hapo zamani, wazazi wangu waliweza kunihadithia ya kwamba waliweza kupelekwa shule moja wakiwa wachanga. Mwalimu wao mkuu alikua mwenye bidii, mchangamfu, na pia aliweza alikua mama mwenye roho safi na msafi pia. Madarasa yote yalikua safi. Choo zote ziliweza kung’ara kwa sababu alikua ameandika wafanyikazi. Shule yote ilikua safi. Siku moja, waziri mkuu wa afya aliweza kuwatembelea. Siku hiyo, watoto waliweza kufurahi kwa sababu waliweza kumuona waziri wa afya macho kwa macho. Siku hiyo, shule zingine ziliweza kukuja mahali ambapo walialikwa. Siku hiyo, mwalimu mkuu alikua mgonjwa na akapelekwa hospitalini. Kwa hivyo aliweza kusaidiwa na naibu mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu akiwa amelazwa hospitalini, aliweza kusema kuwa "Ninataka kumwona Mkuu wa wizara ya afya, tafadhalini daktari nawaomba." "Kuna sherehe inayoendelea katika shule yangu na sijaweza kuhudhuria. Nawaomba niweze. kwenda tafadhalini." Lakini hakuna daktari aliyeweza kumsaidia. Alilia kwa uchungu lakini aliambulia patupu. Wakati wazazi wangu waliweza kurudi shuleni, walipata kama wazini wa afya anaongea akisema, "Walimu, wazazi na watoto hamjambo?" Hatujambo waziri mkuu. Shikamoo? "Mimi kilichonileta shule hili ni kuwa nimeskia kuwa shule hii inaongoza kwa usafi na hata mimi nimeona kuwa ina mazingira safi. Tafadhalini, nawaomba mwendelee tu kuwa wasafi na yote yatakua sawa." Alipomaliza kuongea, watu waliweza kuenda kukula na walimu wengine waliweza kuenda humwangalia mwalimu mkuu hospitalini na kupata kuwa alishatoka hospitalini. Mwalimu wao mkuu aliweza kubadilika na kuwafuta wafanyi kazi wale wa shule.Shule hiyo ilianza kuwa chafu.Wazazi wengi waliweza kuwatoa watoto wao shule hiyo kwa sababu wengine walianza kuwa wagonjwa kwa sababu chakula shule hiyo ilikuwa inapikwa vibaya. Watoto walianza kupatwa na magonjwa kama kipindupindu na wengine hata waliaga dunia. Wanakijiji walimua kufunga shule ile mpaka wa leo.
Mwalimu wa mzazi wa msimulizi alikuwa na nini
{ "text": [ "Bidii" ] }
1701_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Sisi binadamu tunafaa tuweze kuyalinda na kuyasafisha mazingira yetu kila wakati. Mazingira chafu huleta madhara yaani uharibifu au athari mbaya. Kila mmoja wetu anafaa kuhakikisha kwamba mahali anapoishi ama mahali anapokaa aweze kuzingatia usafi wa hali ya juu kila wakati. Watu wengine huchafua mazingira kwa kutupa uchafu kwenye mito. Wengine nao hutupa karatasi na taka taka zingine ovyo ovyo, wao huwa hawana shuguli yoyote na mazingira yao. Watu wa aina hii huwa ni wachafu tu. Hapo zamani, wazazi wangu waliweza kunihadithia ya kwamba waliweza kupelekwa shule moja wakiwa wachanga. Mwalimu wao mkuu alikua mwenye bidii, mchangamfu, na pia aliweza alikua mama mwenye roho safi na msafi pia. Madarasa yote yalikua safi. Choo zote ziliweza kung’ara kwa sababu alikua ameandika wafanyikazi. Shule yote ilikua safi. Siku moja, waziri mkuu wa afya aliweza kuwatembelea. Siku hiyo, watoto waliweza kufurahi kwa sababu waliweza kumuona waziri wa afya macho kwa macho. Siku hiyo, shule zingine ziliweza kukuja mahali ambapo walialikwa. Siku hiyo, mwalimu mkuu alikua mgonjwa na akapelekwa hospitalini. Kwa hivyo aliweza kusaidiwa na naibu mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu akiwa amelazwa hospitalini, aliweza kusema kuwa "Ninataka kumwona Mkuu wa wizara ya afya, tafadhalini daktari nawaomba." "Kuna sherehe inayoendelea katika shule yangu na sijaweza kuhudhuria. Nawaomba niweze. kwenda tafadhalini." Lakini hakuna daktari aliyeweza kumsaidia. Alilia kwa uchungu lakini aliambulia patupu. Wakati wazazi wangu waliweza kurudi shuleni, walipata kama wazini wa afya anaongea akisema, "Walimu, wazazi na watoto hamjambo?" Hatujambo waziri mkuu. Shikamoo? "Mimi kilichonileta shule hili ni kuwa nimeskia kuwa shule hii inaongoza kwa usafi na hata mimi nimeona kuwa ina mazingira safi. Tafadhalini, nawaomba mwendelee tu kuwa wasafi na yote yatakua sawa." Alipomaliza kuongea, watu waliweza kuenda kukula na walimu wengine waliweza kuenda humwangalia mwalimu mkuu hospitalini na kupata kuwa alishatoka hospitalini. Mwalimu wao mkuu aliweza kubadilika na kuwafuta wafanyi kazi wale wa shule.Shule hiyo ilianza kuwa chafu.Wazazi wengi waliweza kuwatoa watoto wao shule hiyo kwa sababu wengine walianza kuwa wagonjwa kwa sababu chakula shule hiyo ilikuwa inapikwa vibaya. Watoto walianza kupatwa na magonjwa kama kipindupindu na wengine hata waliaga dunia. Wanakijiji walimua kufunga shule ile mpaka wa leo.
Nani aliyeitembelea shule ya mzazi wa msimulizi
{ "text": [ "Waziri wa afya" ] }
1701_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Sisi binadamu tunafaa tuweze kuyalinda na kuyasafisha mazingira yetu kila wakati. Mazingira chafu huleta madhara yaani uharibifu au athari mbaya. Kila mmoja wetu anafaa kuhakikisha kwamba mahali anapoishi ama mahali anapokaa aweze kuzingatia usafi wa hali ya juu kila wakati. Watu wengine huchafua mazingira kwa kutupa uchafu kwenye mito. Wengine nao hutupa karatasi na taka taka zingine ovyo ovyo, wao huwa hawana shuguli yoyote na mazingira yao. Watu wa aina hii huwa ni wachafu tu. Hapo zamani, wazazi wangu waliweza kunihadithia ya kwamba waliweza kupelekwa shule moja wakiwa wachanga. Mwalimu wao mkuu alikua mwenye bidii, mchangamfu, na pia aliweza alikua mama mwenye roho safi na msafi pia. Madarasa yote yalikua safi. Choo zote ziliweza kung’ara kwa sababu alikua ameandika wafanyikazi. Shule yote ilikua safi. Siku moja, waziri mkuu wa afya aliweza kuwatembelea. Siku hiyo, watoto waliweza kufurahi kwa sababu waliweza kumuona waziri wa afya macho kwa macho. Siku hiyo, shule zingine ziliweza kukuja mahali ambapo walialikwa. Siku hiyo, mwalimu mkuu alikua mgonjwa na akapelekwa hospitalini. Kwa hivyo aliweza kusaidiwa na naibu mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu akiwa amelazwa hospitalini, aliweza kusema kuwa "Ninataka kumwona Mkuu wa wizara ya afya, tafadhalini daktari nawaomba." "Kuna sherehe inayoendelea katika shule yangu na sijaweza kuhudhuria. Nawaomba niweze. kwenda tafadhalini." Lakini hakuna daktari aliyeweza kumsaidia. Alilia kwa uchungu lakini aliambulia patupu. Wakati wazazi wangu waliweza kurudi shuleni, walipata kama wazini wa afya anaongea akisema, "Walimu, wazazi na watoto hamjambo?" Hatujambo waziri mkuu. Shikamoo? "Mimi kilichonileta shule hili ni kuwa nimeskia kuwa shule hii inaongoza kwa usafi na hata mimi nimeona kuwa ina mazingira safi. Tafadhalini, nawaomba mwendelee tu kuwa wasafi na yote yatakua sawa." Alipomaliza kuongea, watu waliweza kuenda kukula na walimu wengine waliweza kuenda humwangalia mwalimu mkuu hospitalini na kupata kuwa alishatoka hospitalini. Mwalimu wao mkuu aliweza kubadilika na kuwafuta wafanyi kazi wale wa shule.Shule hiyo ilianza kuwa chafu.Wazazi wengi waliweza kuwatoa watoto wao shule hiyo kwa sababu wengine walianza kuwa wagonjwa kwa sababu chakula shule hiyo ilikuwa inapikwa vibaya. Watoto walianza kupatwa na magonjwa kama kipindupindu na wengine hata waliaga dunia. Wanakijiji walimua kufunga shule ile mpaka wa leo.
Nani aliyekuwa anamhudumia mwalimu mkuu hospitalini
{ "text": [ "Daktari" ] }
1701_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Sisi binadamu tunafaa tuweze kuyalinda na kuyasafisha mazingira yetu kila wakati. Mazingira chafu huleta madhara yaani uharibifu au athari mbaya. Kila mmoja wetu anafaa kuhakikisha kwamba mahali anapoishi ama mahali anapokaa aweze kuzingatia usafi wa hali ya juu kila wakati. Watu wengine huchafua mazingira kwa kutupa uchafu kwenye mito. Wengine nao hutupa karatasi na taka taka zingine ovyo ovyo, wao huwa hawana shuguli yoyote na mazingira yao. Watu wa aina hii huwa ni wachafu tu. Hapo zamani, wazazi wangu waliweza kunihadithia ya kwamba waliweza kupelekwa shule moja wakiwa wachanga. Mwalimu wao mkuu alikua mwenye bidii, mchangamfu, na pia aliweza alikua mama mwenye roho safi na msafi pia. Madarasa yote yalikua safi. Choo zote ziliweza kung’ara kwa sababu alikua ameandika wafanyikazi. Shule yote ilikua safi. Siku moja, waziri mkuu wa afya aliweza kuwatembelea. Siku hiyo, watoto waliweza kufurahi kwa sababu waliweza kumuona waziri wa afya macho kwa macho. Siku hiyo, shule zingine ziliweza kukuja mahali ambapo walialikwa. Siku hiyo, mwalimu mkuu alikua mgonjwa na akapelekwa hospitalini. Kwa hivyo aliweza kusaidiwa na naibu mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu akiwa amelazwa hospitalini, aliweza kusema kuwa "Ninataka kumwona Mkuu wa wizara ya afya, tafadhalini daktari nawaomba." "Kuna sherehe inayoendelea katika shule yangu na sijaweza kuhudhuria. Nawaomba niweze. kwenda tafadhalini." Lakini hakuna daktari aliyeweza kumsaidia. Alilia kwa uchungu lakini aliambulia patupu. Wakati wazazi wangu waliweza kurudi shuleni, walipata kama wazini wa afya anaongea akisema, "Walimu, wazazi na watoto hamjambo?" Hatujambo waziri mkuu. Shikamoo? "Mimi kilichonileta shule hili ni kuwa nimeskia kuwa shule hii inaongoza kwa usafi na hata mimi nimeona kuwa ina mazingira safi. Tafadhalini, nawaomba mwendelee tu kuwa wasafi na yote yatakua sawa." Alipomaliza kuongea, watu waliweza kuenda kukula na walimu wengine waliweza kuenda humwangalia mwalimu mkuu hospitalini na kupata kuwa alishatoka hospitalini. Mwalimu wao mkuu aliweza kubadilika na kuwafuta wafanyi kazi wale wa shule.Shule hiyo ilianza kuwa chafu.Wazazi wengi waliweza kuwatoa watoto wao shule hiyo kwa sababu wengine walianza kuwa wagonjwa kwa sababu chakula shule hiyo ilikuwa inapikwa vibaya. Watoto walianza kupatwa na magonjwa kama kipindupindu na wengine hata waliaga dunia. Wanakijiji walimua kufunga shule ile mpaka wa leo.
Ni kipi kilichomleta waziri wa afya shuleni
{ "text": [ "Hali ya juu ya usafi" ] }
1702_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ama sehemu ambapo mtu anapoishi au sehemu inayomzunguka. Katika mazingira yetu, tunafaa kuing’arisha kila mara au kila siku. Bila usafi ama tukikosa kufanya usafi nyumbani ama shuleni, mazingira yetu yatakua chafu, na uchafu huleta magonjwa mengi kama kipindupindu,malaria na magonjwa mengine mingi. Mathara hayo yanaletewa na uchafu kama kukuwa mchafu na kutoosha vyombo ya kukula chakula na kufyeka nyasi ndefu iliyo karibu na nyumba zetu. Nyasi ndefu na maji machafu yaliyo karibu na nyumba ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana. Katika mazingira yetu, tunafaa kuzingatia usafi ili tuepuke magonjwa haya. Katika jikoni, tunafaa kudumisha usafi wa vyombo vyote vya maakuli na vya kupikia. Hii ni kwa sababu, vyombo vikiwa vichafu tutapata magonjwa ya aina tofauti tofauti. Katika nchi yetu ya Kenya tunahimizwa kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuzingatia usafi, kwanza wa miili yetu halafu pia usafi wa kila mahali panapotuzunguka. Usafi ni adui mkubwa wa magonjwa mbali mbali. Tunafaa kuwa na vyoo ili tusichafue mazingira yetu sana. Watoto wadogo ndio sana sana wanapenda kuchafua mazingira yetu. Tunafaa kuwaelimisha umuhimu wa kutunza mazingira yetu wakiwa bado wachanga.
Tunafaa kungarisha mazingira lini
{ "text": [ "kila mara" ] }
1702_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ama sehemu ambapo mtu anapoishi au sehemu inayomzunguka. Katika mazingira yetu, tunafaa kuing’arisha kila mara au kila siku. Bila usafi ama tukikosa kufanya usafi nyumbani ama shuleni, mazingira yetu yatakua chafu, na uchafu huleta magonjwa mengi kama kipindupindu,malaria na magonjwa mengine mingi. Mathara hayo yanaletewa na uchafu kama kukuwa mchafu na kutoosha vyombo ya kukula chakula na kufyeka nyasi ndefu iliyo karibu na nyumba zetu. Nyasi ndefu na maji machafu yaliyo karibu na nyumba ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana. Katika mazingira yetu, tunafaa kuzingatia usafi ili tuepuke magonjwa haya. Katika jikoni, tunafaa kudumisha usafi wa vyombo vyote vya maakuli na vya kupikia. Hii ni kwa sababu, vyombo vikiwa vichafu tutapata magonjwa ya aina tofauti tofauti. Katika nchi yetu ya Kenya tunahimizwa kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuzingatia usafi, kwanza wa miili yetu halafu pia usafi wa kila mahali panapotuzunguka. Usafi ni adui mkubwa wa magonjwa mbali mbali. Tunafaa kuwa na vyoo ili tusichafue mazingira yetu sana. Watoto wadogo ndio sana sana wanapenda kuchafua mazingira yetu. Tunafaa kuwaelimisha umuhimu wa kutunza mazingira yetu wakiwa bado wachanga.
Nini huleta magonjwa mengi
{ "text": [ "uchafu" ] }
1702_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ama sehemu ambapo mtu anapoishi au sehemu inayomzunguka. Katika mazingira yetu, tunafaa kuing’arisha kila mara au kila siku. Bila usafi ama tukikosa kufanya usafi nyumbani ama shuleni, mazingira yetu yatakua chafu, na uchafu huleta magonjwa mengi kama kipindupindu,malaria na magonjwa mengine mingi. Mathara hayo yanaletewa na uchafu kama kukuwa mchafu na kutoosha vyombo ya kukula chakula na kufyeka nyasi ndefu iliyo karibu na nyumba zetu. Nyasi ndefu na maji machafu yaliyo karibu na nyumba ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana. Katika mazingira yetu, tunafaa kuzingatia usafi ili tuepuke magonjwa haya. Katika jikoni, tunafaa kudumisha usafi wa vyombo vyote vya maakuli na vya kupikia. Hii ni kwa sababu, vyombo vikiwa vichafu tutapata magonjwa ya aina tofauti tofauti. Katika nchi yetu ya Kenya tunahimizwa kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuzingatia usafi, kwanza wa miili yetu halafu pia usafi wa kila mahali panapotuzunguka. Usafi ni adui mkubwa wa magonjwa mbali mbali. Tunafaa kuwa na vyoo ili tusichafue mazingira yetu sana. Watoto wadogo ndio sana sana wanapenda kuchafua mazingira yetu. Tunafaa kuwaelimisha umuhimu wa kutunza mazingira yetu wakiwa bado wachanga.
Nani anapenda kujificha katika nyasi
{ "text": [ "mdudu" ] }
1702_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ama sehemu ambapo mtu anapoishi au sehemu inayomzunguka. Katika mazingira yetu, tunafaa kuing’arisha kila mara au kila siku. Bila usafi ama tukikosa kufanya usafi nyumbani ama shuleni, mazingira yetu yatakua chafu, na uchafu huleta magonjwa mengi kama kipindupindu,malaria na magonjwa mengine mingi. Mathara hayo yanaletewa na uchafu kama kukuwa mchafu na kutoosha vyombo ya kukula chakula na kufyeka nyasi ndefu iliyo karibu na nyumba zetu. Nyasi ndefu na maji machafu yaliyo karibu na nyumba ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana. Katika mazingira yetu, tunafaa kuzingatia usafi ili tuepuke magonjwa haya. Katika jikoni, tunafaa kudumisha usafi wa vyombo vyote vya maakuli na vya kupikia. Hii ni kwa sababu, vyombo vikiwa vichafu tutapata magonjwa ya aina tofauti tofauti. Katika nchi yetu ya Kenya tunahimizwa kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuzingatia usafi, kwanza wa miili yetu halafu pia usafi wa kila mahali panapotuzunguka. Usafi ni adui mkubwa wa magonjwa mbali mbali. Tunafaa kuwa na vyoo ili tusichafue mazingira yetu sana. Watoto wadogo ndio sana sana wanapenda kuchafua mazingira yetu. Tunafaa kuwaelimisha umuhimu wa kutunza mazingira yetu wakiwa bado wachanga.
Jikoni tunafaa kung'arisha vyombo gani
{ "text": [ "vya kupikia" ] }
1702_swa
MATHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ama sehemu ambapo mtu anapoishi au sehemu inayomzunguka. Katika mazingira yetu, tunafaa kuing’arisha kila mara au kila siku. Bila usafi ama tukikosa kufanya usafi nyumbani ama shuleni, mazingira yetu yatakua chafu, na uchafu huleta magonjwa mengi kama kipindupindu,malaria na magonjwa mengine mingi. Mathara hayo yanaletewa na uchafu kama kukuwa mchafu na kutoosha vyombo ya kukula chakula na kufyeka nyasi ndefu iliyo karibu na nyumba zetu. Nyasi ndefu na maji machafu yaliyo karibu na nyumba ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana. Katika mazingira yetu, tunafaa kuzingatia usafi ili tuepuke magonjwa haya. Katika jikoni, tunafaa kudumisha usafi wa vyombo vyote vya maakuli na vya kupikia. Hii ni kwa sababu, vyombo vikiwa vichafu tutapata magonjwa ya aina tofauti tofauti. Katika nchi yetu ya Kenya tunahimizwa kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuzingatia usafi, kwanza wa miili yetu halafu pia usafi wa kila mahali panapotuzunguka. Usafi ni adui mkubwa wa magonjwa mbali mbali. Tunafaa kuwa na vyoo ili tusichafue mazingira yetu sana. Watoto wadogo ndio sana sana wanapenda kuchafua mazingira yetu. Tunafaa kuwaelimisha umuhimu wa kutunza mazingira yetu wakiwa bado wachanga.
Mbona tunafaa kuwa safi katika mazingira yetu
{ "text": [ "ili tuepukane na magonjwa" ] }
1703_swa
Mazingira ni vitu vinavyowazunguka kila kiumbe duniani. Naam, twafaa kuyatunza mazingira yetu kwa umoja na nguvu tukizingatia methalí isemayo umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuketi kitako na kuunda methali hiyo. Najua hakuna mwanadamu anayependa kuishi katika mazingira machafu na yasiyo kuwa na mwelekeo. Tunajua kwamba madhara na uharibifu au adhari mbaya. Sasa kwa hivyo tuyatunze na kuyasafisha mazingira. Kwa kweli, mazingira machafu yana madhara mabaya ambayo yanaweza kuletea magonjwa tofauti tofauti kama vile malaria, kipindupindu na mengineyo. Nyasi ndefu inayomea karibu na nyumba zetu ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu ndio wadudu ambao hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana.Tunafaa kukata nyasi hii ili tuzuie uenezaji wa malaria. Wengi wetu tunapenda kukata miti ovyo ovyo. Miti ina faida nyingi katika mazingira yetu. Miti huvuta mvua, ambayo hutupa maji ya kutumia katika shuguli mbali mbali. Tukikata miti, hakutakua na mvua na hivyo basi kutakua na ukame. Miti pia ni makaazi ya wanyama wengi wa porini, tukikata miti, wanyama hawa hukosa makaazi na hata chakula. Kunao pia wanaopenda kufulia nguo zao kwenye mito. Kitendo hiki husababisha uchafuzi wa maji kwani sabuni inayotumiwa kufua huwa na kemikali kali ambazo huwa sumu. Kemikali hizi huchangia kufa kwa wanyama wanaoishi majini na hata mimea iliyo kando kando ya mito. Watu pia hutumia maji haya kupika na kukunywa na hatimaye hupata magonjwa mbali mbali. Shida nyingi zinazotukumba kama binadamu ni za kujitafutia. Mtaka cha mvunguni sharti ainame kwani ukitaka maisha yako yaende vizuri, lazima utilie maanani kile ambacho kinafaa kwani ukitaka maisha mazuri, jifunze na upende kutunza mazingira yako. Kila mtu anaelewa umuhimu wa kuzingatia usafi wa mazingira. Tukitaka kuishi maisha yenye afya bora, hatuna budi ila kutunza mazingira yetu.
Vitu vinavyotuzunguka huiwaje
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1703_swa
Mazingira ni vitu vinavyowazunguka kila kiumbe duniani. Naam, twafaa kuyatunza mazingira yetu kwa umoja na nguvu tukizingatia methalí isemayo umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuketi kitako na kuunda methali hiyo. Najua hakuna mwanadamu anayependa kuishi katika mazingira machafu na yasiyo kuwa na mwelekeo. Tunajua kwamba madhara na uharibifu au adhari mbaya. Sasa kwa hivyo tuyatunze na kuyasafisha mazingira. Kwa kweli, mazingira machafu yana madhara mabaya ambayo yanaweza kuletea magonjwa tofauti tofauti kama vile malaria, kipindupindu na mengineyo. Nyasi ndefu inayomea karibu na nyumba zetu ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu ndio wadudu ambao hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana.Tunafaa kukata nyasi hii ili tuzuie uenezaji wa malaria. Wengi wetu tunapenda kukata miti ovyo ovyo. Miti ina faida nyingi katika mazingira yetu. Miti huvuta mvua, ambayo hutupa maji ya kutumia katika shuguli mbali mbali. Tukikata miti, hakutakua na mvua na hivyo basi kutakua na ukame. Miti pia ni makaazi ya wanyama wengi wa porini, tukikata miti, wanyama hawa hukosa makaazi na hata chakula. Kunao pia wanaopenda kufulia nguo zao kwenye mito. Kitendo hiki husababisha uchafuzi wa maji kwani sabuni inayotumiwa kufua huwa na kemikali kali ambazo huwa sumu. Kemikali hizi huchangia kufa kwa wanyama wanaoishi majini na hata mimea iliyo kando kando ya mito. Watu pia hutumia maji haya kupika na kukunywa na hatimaye hupata magonjwa mbali mbali. Shida nyingi zinazotukumba kama binadamu ni za kujitafutia. Mtaka cha mvunguni sharti ainame kwani ukitaka maisha yako yaende vizuri, lazima utilie maanani kile ambacho kinafaa kwani ukitaka maisha mazuri, jifunze na upende kutunza mazingira yako. Kila mtu anaelewa umuhimu wa kuzingatia usafi wa mazingira. Tukitaka kuishi maisha yenye afya bora, hatuna budi ila kutunza mazingira yetu.
Mazingira machafu yana nini
{ "text": [ "Madhara" ] }
1703_swa
Mazingira ni vitu vinavyowazunguka kila kiumbe duniani. Naam, twafaa kuyatunza mazingira yetu kwa umoja na nguvu tukizingatia methalí isemayo umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuketi kitako na kuunda methali hiyo. Najua hakuna mwanadamu anayependa kuishi katika mazingira machafu na yasiyo kuwa na mwelekeo. Tunajua kwamba madhara na uharibifu au adhari mbaya. Sasa kwa hivyo tuyatunze na kuyasafisha mazingira. Kwa kweli, mazingira machafu yana madhara mabaya ambayo yanaweza kuletea magonjwa tofauti tofauti kama vile malaria, kipindupindu na mengineyo. Nyasi ndefu inayomea karibu na nyumba zetu ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu ndio wadudu ambao hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana.Tunafaa kukata nyasi hii ili tuzuie uenezaji wa malaria. Wengi wetu tunapenda kukata miti ovyo ovyo. Miti ina faida nyingi katika mazingira yetu. Miti huvuta mvua, ambayo hutupa maji ya kutumia katika shuguli mbali mbali. Tukikata miti, hakutakua na mvua na hivyo basi kutakua na ukame. Miti pia ni makaazi ya wanyama wengi wa porini, tukikata miti, wanyama hawa hukosa makaazi na hata chakula. Kunao pia wanaopenda kufulia nguo zao kwenye mito. Kitendo hiki husababisha uchafuzi wa maji kwani sabuni inayotumiwa kufua huwa na kemikali kali ambazo huwa sumu. Kemikali hizi huchangia kufa kwa wanyama wanaoishi majini na hata mimea iliyo kando kando ya mito. Watu pia hutumia maji haya kupika na kukunywa na hatimaye hupata magonjwa mbali mbali. Shida nyingi zinazotukumba kama binadamu ni za kujitafutia. Mtaka cha mvunguni sharti ainame kwani ukitaka maisha yako yaende vizuri, lazima utilie maanani kile ambacho kinafaa kwani ukitaka maisha mazuri, jifunze na upende kutunza mazingira yako. Kila mtu anaelewa umuhimu wa kuzingatia usafi wa mazingira. Tukitaka kuishi maisha yenye afya bora, hatuna budi ila kutunza mazingira yetu.
Watu hupenda kukata nini
{ "text": [ "Miti" ] }
1703_swa
Mazingira ni vitu vinavyowazunguka kila kiumbe duniani. Naam, twafaa kuyatunza mazingira yetu kwa umoja na nguvu tukizingatia methalí isemayo umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuketi kitako na kuunda methali hiyo. Najua hakuna mwanadamu anayependa kuishi katika mazingira machafu na yasiyo kuwa na mwelekeo. Tunajua kwamba madhara na uharibifu au adhari mbaya. Sasa kwa hivyo tuyatunze na kuyasafisha mazingira. Kwa kweli, mazingira machafu yana madhara mabaya ambayo yanaweza kuletea magonjwa tofauti tofauti kama vile malaria, kipindupindu na mengineyo. Nyasi ndefu inayomea karibu na nyumba zetu ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu ndio wadudu ambao hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana.Tunafaa kukata nyasi hii ili tuzuie uenezaji wa malaria. Wengi wetu tunapenda kukata miti ovyo ovyo. Miti ina faida nyingi katika mazingira yetu. Miti huvuta mvua, ambayo hutupa maji ya kutumia katika shuguli mbali mbali. Tukikata miti, hakutakua na mvua na hivyo basi kutakua na ukame. Miti pia ni makaazi ya wanyama wengi wa porini, tukikata miti, wanyama hawa hukosa makaazi na hata chakula. Kunao pia wanaopenda kufulia nguo zao kwenye mito. Kitendo hiki husababisha uchafuzi wa maji kwani sabuni inayotumiwa kufua huwa na kemikali kali ambazo huwa sumu. Kemikali hizi huchangia kufa kwa wanyama wanaoishi majini na hata mimea iliyo kando kando ya mito. Watu pia hutumia maji haya kupika na kukunywa na hatimaye hupata magonjwa mbali mbali. Shida nyingi zinazotukumba kama binadamu ni za kujitafutia. Mtaka cha mvunguni sharti ainame kwani ukitaka maisha yako yaende vizuri, lazima utilie maanani kile ambacho kinafaa kwani ukitaka maisha mazuri, jifunze na upende kutunza mazingira yako. Kila mtu anaelewa umuhimu wa kuzingatia usafi wa mazingira. Tukitaka kuishi maisha yenye afya bora, hatuna budi ila kutunza mazingira yetu.
Watu wanafua na kuacha nini
{ "text": [ "Pofu" ] }
1703_swa
Mazingira ni vitu vinavyowazunguka kila kiumbe duniani. Naam, twafaa kuyatunza mazingira yetu kwa umoja na nguvu tukizingatia methalí isemayo umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuketi kitako na kuunda methali hiyo. Najua hakuna mwanadamu anayependa kuishi katika mazingira machafu na yasiyo kuwa na mwelekeo. Tunajua kwamba madhara na uharibifu au adhari mbaya. Sasa kwa hivyo tuyatunze na kuyasafisha mazingira. Kwa kweli, mazingira machafu yana madhara mabaya ambayo yanaweza kuletea magonjwa tofauti tofauti kama vile malaria, kipindupindu na mengineyo. Nyasi ndefu inayomea karibu na nyumba zetu ndio mahali ambapo mbu huzaana. Mbu ndio wadudu ambao hueneza ugonjwa wa malaria ambao ni hatari sana.Tunafaa kukata nyasi hii ili tuzuie uenezaji wa malaria. Wengi wetu tunapenda kukata miti ovyo ovyo. Miti ina faida nyingi katika mazingira yetu. Miti huvuta mvua, ambayo hutupa maji ya kutumia katika shuguli mbali mbali. Tukikata miti, hakutakua na mvua na hivyo basi kutakua na ukame. Miti pia ni makaazi ya wanyama wengi wa porini, tukikata miti, wanyama hawa hukosa makaazi na hata chakula. Kunao pia wanaopenda kufulia nguo zao kwenye mito. Kitendo hiki husababisha uchafuzi wa maji kwani sabuni inayotumiwa kufua huwa na kemikali kali ambazo huwa sumu. Kemikali hizi huchangia kufa kwa wanyama wanaoishi majini na hata mimea iliyo kando kando ya mito. Watu pia hutumia maji haya kupika na kukunywa na hatimaye hupata magonjwa mbali mbali. Shida nyingi zinazotukumba kama binadamu ni za kujitafutia. Mtaka cha mvunguni sharti ainame kwani ukitaka maisha yako yaende vizuri, lazima utilie maanani kile ambacho kinafaa kwani ukitaka maisha mazuri, jifunze na upende kutunza mazingira yako. Kila mtu anaelewa umuhimu wa kuzingatia usafi wa mazingira. Tukitaka kuishi maisha yenye afya bora, hatuna budi ila kutunza mazingira yetu.
Kwa nini tutunze mazingira
{ "text": [ "Iliisilete madhara ambayo italeta shida" ] }
1704_swa
MADHARA YA MAZINGIRA MACHAFU Naam, ni ukweli kuwa mazingira ni mahali ambapo watu huishi. Mazingira pia ni yale yanayomzuka kiumbe katika sehemu anapoishi. Mazingira machafu yanamadhara mengi sana kama vile magonjwa kama kolera. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu. Pia kuna magonjwa megine kama malaria ambayo husababishwa na mdudu ambaye anajulikana kama mbu. Mbu ni mdudu hatari sana ambaye hufyonza damu ya watu. Tunafaa tuzingatie usafi wa mazingira kwa sababu ni muhimu sana. Katika Jiji letu la Nakuru, watu hupanda miti kwa hamu na gamu. Mazingira chafu huleta kipindupindu. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu ikiwa kwenye mazingira. Kipindupindu huwa ni hatari sana kwa maisha ya wanadamu. Mazingira yakiwa chafu pia inaleta hewa chafu. Hiyo inaweza kuhatarisha maisha ya mwadamu. Hewa chafu ni hatari kwa sababu inawezadhuru, maisha ya mwanadamu. Mazingira ni muhimu sana kwa sababu yanafanya watu wavutie hewa safi. Uchafu wa mazingira pia huleta ugonjwa uitwao malaria. Ugonjwa huu husababishwa na mbu. Mbu hupenda kujificha ndani ya nyasi ndefu ambayo haijafyekwa. Mdudu huyo hupenda mahali pachafu na pia wadudu wengiria ni kama nzi. Nzi ni mdudu ambaye anakaa kwenye choo. Mdudu huyo husababisha kipindupindu. Tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati. Ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Mdudu mwingine ambaye huletwa na mazingira chafu ni mende. Huyo hupenda kukaa pahali pachafu. Mazingira machafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuitunze mazingira yetu na iwe safi. Mazingira chafu inatuadhiri kiafya. Mazingira chafu inaweza kuleta shida nyingi sana ikiwemo magonjwa ambao husababishwa na uchafu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaweza kufanya mtu kuvimba tumboni. Tujihadhari sana na mazingira chafu. Tuwe makini sana tunapofanya usafi wa mazingira, usafi wa mazingira ni muhimu sana.
Mahali watu huishi huitwaje
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1704_swa
MADHARA YA MAZINGIRA MACHAFU Naam, ni ukweli kuwa mazingira ni mahali ambapo watu huishi. Mazingira pia ni yale yanayomzuka kiumbe katika sehemu anapoishi. Mazingira machafu yanamadhara mengi sana kama vile magonjwa kama kolera. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu. Pia kuna magonjwa megine kama malaria ambayo husababishwa na mdudu ambaye anajulikana kama mbu. Mbu ni mdudu hatari sana ambaye hufyonza damu ya watu. Tunafaa tuzingatie usafi wa mazingira kwa sababu ni muhimu sana. Katika Jiji letu la Nakuru, watu hupanda miti kwa hamu na gamu. Mazingira chafu huleta kipindupindu. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu ikiwa kwenye mazingira. Kipindupindu huwa ni hatari sana kwa maisha ya wanadamu. Mazingira yakiwa chafu pia inaleta hewa chafu. Hiyo inaweza kuhatarisha maisha ya mwadamu. Hewa chafu ni hatari kwa sababu inawezadhuru, maisha ya mwanadamu. Mazingira ni muhimu sana kwa sababu yanafanya watu wavutie hewa safi. Uchafu wa mazingira pia huleta ugonjwa uitwao malaria. Ugonjwa huu husababishwa na mbu. Mbu hupenda kujificha ndani ya nyasi ndefu ambayo haijafyekwa. Mdudu huyo hupenda mahali pachafu na pia wadudu wengiria ni kama nzi. Nzi ni mdudu ambaye anakaa kwenye choo. Mdudu huyo husababisha kipindupindu. Tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati. Ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Mdudu mwingine ambaye huletwa na mazingira chafu ni mende. Huyo hupenda kukaa pahali pachafu. Mazingira machafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuitunze mazingira yetu na iwe safi. Mazingira chafu inatuadhiri kiafya. Mazingira chafu inaweza kuleta shida nyingi sana ikiwemo magonjwa ambao husababishwa na uchafu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaweza kufanya mtu kuvimba tumboni. Tujihadhari sana na mazingira chafu. Tuwe makini sana tunapofanya usafi wa mazingira, usafi wa mazingira ni muhimu sana.
Ni gani mdudu hatari sana
{ "text": [ "Mbu" ] }
1704_swa
MADHARA YA MAZINGIRA MACHAFU Naam, ni ukweli kuwa mazingira ni mahali ambapo watu huishi. Mazingira pia ni yale yanayomzuka kiumbe katika sehemu anapoishi. Mazingira machafu yanamadhara mengi sana kama vile magonjwa kama kolera. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu. Pia kuna magonjwa megine kama malaria ambayo husababishwa na mdudu ambaye anajulikana kama mbu. Mbu ni mdudu hatari sana ambaye hufyonza damu ya watu. Tunafaa tuzingatie usafi wa mazingira kwa sababu ni muhimu sana. Katika Jiji letu la Nakuru, watu hupanda miti kwa hamu na gamu. Mazingira chafu huleta kipindupindu. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu ikiwa kwenye mazingira. Kipindupindu huwa ni hatari sana kwa maisha ya wanadamu. Mazingira yakiwa chafu pia inaleta hewa chafu. Hiyo inaweza kuhatarisha maisha ya mwadamu. Hewa chafu ni hatari kwa sababu inawezadhuru, maisha ya mwanadamu. Mazingira ni muhimu sana kwa sababu yanafanya watu wavutie hewa safi. Uchafu wa mazingira pia huleta ugonjwa uitwao malaria. Ugonjwa huu husababishwa na mbu. Mbu hupenda kujificha ndani ya nyasi ndefu ambayo haijafyekwa. Mdudu huyo hupenda mahali pachafu na pia wadudu wengiria ni kama nzi. Nzi ni mdudu ambaye anakaa kwenye choo. Mdudu huyo husababisha kipindupindu. Tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati. Ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Mdudu mwingine ambaye huletwa na mazingira chafu ni mende. Huyo hupenda kukaa pahali pachafu. Mazingira machafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuitunze mazingira yetu na iwe safi. Mazingira chafu inatuadhiri kiafya. Mazingira chafu inaweza kuleta shida nyingi sana ikiwemo magonjwa ambao husababishwa na uchafu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaweza kufanya mtu kuvimba tumboni. Tujihadhari sana na mazingira chafu. Tuwe makini sana tunapofanya usafi wa mazingira, usafi wa mazingira ni muhimu sana.
Nzi anakaa wapi
{ "text": [ "Choo" ] }
1704_swa
MADHARA YA MAZINGIRA MACHAFU Naam, ni ukweli kuwa mazingira ni mahali ambapo watu huishi. Mazingira pia ni yale yanayomzuka kiumbe katika sehemu anapoishi. Mazingira machafu yanamadhara mengi sana kama vile magonjwa kama kolera. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu. Pia kuna magonjwa megine kama malaria ambayo husababishwa na mdudu ambaye anajulikana kama mbu. Mbu ni mdudu hatari sana ambaye hufyonza damu ya watu. Tunafaa tuzingatie usafi wa mazingira kwa sababu ni muhimu sana. Katika Jiji letu la Nakuru, watu hupanda miti kwa hamu na gamu. Mazingira chafu huleta kipindupindu. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu ikiwa kwenye mazingira. Kipindupindu huwa ni hatari sana kwa maisha ya wanadamu. Mazingira yakiwa chafu pia inaleta hewa chafu. Hiyo inaweza kuhatarisha maisha ya mwadamu. Hewa chafu ni hatari kwa sababu inawezadhuru, maisha ya mwanadamu. Mazingira ni muhimu sana kwa sababu yanafanya watu wavutie hewa safi. Uchafu wa mazingira pia huleta ugonjwa uitwao malaria. Ugonjwa huu husababishwa na mbu. Mbu hupenda kujificha ndani ya nyasi ndefu ambayo haijafyekwa. Mdudu huyo hupenda mahali pachafu na pia wadudu wengiria ni kama nzi. Nzi ni mdudu ambaye anakaa kwenye choo. Mdudu huyo husababisha kipindupindu. Tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati. Ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Mdudu mwingine ambaye huletwa na mazingira chafu ni mende. Huyo hupenda kukaa pahali pachafu. Mazingira machafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuitunze mazingira yetu na iwe safi. Mazingira chafu inatuadhiri kiafya. Mazingira chafu inaweza kuleta shida nyingi sana ikiwemo magonjwa ambao husababishwa na uchafu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaweza kufanya mtu kuvimba tumboni. Tujihadhari sana na mazingira chafu. Tuwe makini sana tunapofanya usafi wa mazingira, usafi wa mazingira ni muhimu sana.
Magonjwa huletwa na nini
{ "text": [ "Uchafu" ] }
1704_swa
MADHARA YA MAZINGIRA MACHAFU Naam, ni ukweli kuwa mazingira ni mahali ambapo watu huishi. Mazingira pia ni yale yanayomzuka kiumbe katika sehemu anapoishi. Mazingira machafu yanamadhara mengi sana kama vile magonjwa kama kolera. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu. Pia kuna magonjwa megine kama malaria ambayo husababishwa na mdudu ambaye anajulikana kama mbu. Mbu ni mdudu hatari sana ambaye hufyonza damu ya watu. Tunafaa tuzingatie usafi wa mazingira kwa sababu ni muhimu sana. Katika Jiji letu la Nakuru, watu hupanda miti kwa hamu na gamu. Mazingira chafu huleta kipindupindu. Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na uchafu ikiwa kwenye mazingira. Kipindupindu huwa ni hatari sana kwa maisha ya wanadamu. Mazingira yakiwa chafu pia inaleta hewa chafu. Hiyo inaweza kuhatarisha maisha ya mwadamu. Hewa chafu ni hatari kwa sababu inawezadhuru, maisha ya mwanadamu. Mazingira ni muhimu sana kwa sababu yanafanya watu wavutie hewa safi. Uchafu wa mazingira pia huleta ugonjwa uitwao malaria. Ugonjwa huu husababishwa na mbu. Mbu hupenda kujificha ndani ya nyasi ndefu ambayo haijafyekwa. Mdudu huyo hupenda mahali pachafu na pia wadudu wengiria ni kama nzi. Nzi ni mdudu ambaye anakaa kwenye choo. Mdudu huyo husababisha kipindupindu. Tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati. Ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Mdudu mwingine ambaye huletwa na mazingira chafu ni mende. Huyo hupenda kukaa pahali pachafu. Mazingira machafu yana madhara mengi sana. Tunafaa tuitunze mazingira yetu na iwe safi. Mazingira chafu inatuadhiri kiafya. Mazingira chafu inaweza kuleta shida nyingi sana ikiwemo magonjwa ambao husababishwa na uchafu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaweza kufanya mtu kuvimba tumboni. Tujihadhari sana na mazingira chafu. Tuwe makini sana tunapofanya usafi wa mazingira, usafi wa mazingira ni muhimu sana.
Tutazuia magonjwa vipi
{ "text": [ "Kwa kuzingatia usafi wa mazingira" ] }
1706_swa
Mathara ni kitu kinacho dhuru watu au wanyama. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni mahali ambapo tunapoishi sisi kama wanadamu na wanyama. lunapaswa kuyachunga mazingira yetu ipasavyo. Katika mazingira yetu, kuna vitu mbali mbali, kama vile miti, mimea, maua , nyumba, mito, mabwawa, viwanda na vinginevyo. Miti ina manufaa yake katika maisha ya binadamu na wanyama. Miti na mimea inatupa hewa safi na kueka mazingira yakipendeza. Mití pia itupatia mbao za kujenga nyuma. Pia miti hutupatia mvua na kusaidia mchanga kutobebwa na maji kunaponyesha Bila miti hatuna manufa mengi maishani.Tunapaswa tuchunge mazingira yetu. Hatupaswi kukata miti ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Viwanda vingi huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Viwanda hivi huelekeza maji machafu na taka taka katika mito.Pia kunavyo vile ambavyo hutoa moshi kali ambayo huchafua hewa. Wananchi pia huchafua sana mazingira wanapotupa uchafu kila mahali. Pia wanachafua mito kwa kufulia nguo hapo, kuosha vyombo na kuogea hapo. Kemikali ziliizo kwenye sabuni huwa na adhari kubwa kwa wanyama wanaoishi majini kama vile sanmaki. Mazingira yakiwa machafu, yanatufanya tugonjeke magonjwa mbalimbali kama vile malaria, kichocho, kipindupindu, saratani, homa, korona na zinginezo. Tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira na kupanda miti kwa wingi.
Madhara huduru nini
{ "text": [ "Watu na mazingira" ] }
1706_swa
Mathara ni kitu kinacho dhuru watu au wanyama. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni mahali ambapo tunapoishi sisi kama wanadamu na wanyama. lunapaswa kuyachunga mazingira yetu ipasavyo. Katika mazingira yetu, kuna vitu mbali mbali, kama vile miti, mimea, maua , nyumba, mito, mabwawa, viwanda na vinginevyo. Miti ina manufaa yake katika maisha ya binadamu na wanyama. Miti na mimea inatupa hewa safi na kueka mazingira yakipendeza. Mití pia itupatia mbao za kujenga nyuma. Pia miti hutupatia mvua na kusaidia mchanga kutobebwa na maji kunaponyesha Bila miti hatuna manufa mengi maishani.Tunapaswa tuchunge mazingira yetu. Hatupaswi kukata miti ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Viwanda vingi huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Viwanda hivi huelekeza maji machafu na taka taka katika mito.Pia kunavyo vile ambavyo hutoa moshi kali ambayo huchafua hewa. Wananchi pia huchafua sana mazingira wanapotupa uchafu kila mahali. Pia wanachafua mito kwa kufulia nguo hapo, kuosha vyombo na kuogea hapo. Kemikali ziliizo kwenye sabuni huwa na adhari kubwa kwa wanyama wanaoishi majini kama vile sanmaki. Mazingira yakiwa machafu, yanatufanya tugonjeke magonjwa mbalimbali kama vile malaria, kichocho, kipindupindu, saratani, homa, korona na zinginezo. Tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira na kupanda miti kwa wingi.
Wanyama na binadamu huishi wapi
{ "text": [ "Kwenye mazingira" ] }
1706_swa
Mathara ni kitu kinacho dhuru watu au wanyama. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni mahali ambapo tunapoishi sisi kama wanadamu na wanyama. lunapaswa kuyachunga mazingira yetu ipasavyo. Katika mazingira yetu, kuna vitu mbali mbali, kama vile miti, mimea, maua , nyumba, mito, mabwawa, viwanda na vinginevyo. Miti ina manufaa yake katika maisha ya binadamu na wanyama. Miti na mimea inatupa hewa safi na kueka mazingira yakipendeza. Mití pia itupatia mbao za kujenga nyuma. Pia miti hutupatia mvua na kusaidia mchanga kutobebwa na maji kunaponyesha Bila miti hatuna manufa mengi maishani.Tunapaswa tuchunge mazingira yetu. Hatupaswi kukata miti ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Viwanda vingi huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Viwanda hivi huelekeza maji machafu na taka taka katika mito.Pia kunavyo vile ambavyo hutoa moshi kali ambayo huchafua hewa. Wananchi pia huchafua sana mazingira wanapotupa uchafu kila mahali. Pia wanachafua mito kwa kufulia nguo hapo, kuosha vyombo na kuogea hapo. Kemikali ziliizo kwenye sabuni huwa na adhari kubwa kwa wanyama wanaoishi majini kama vile sanmaki. Mazingira yakiwa machafu, yanatufanya tugonjeke magonjwa mbalimbali kama vile malaria, kichocho, kipindupindu, saratani, homa, korona na zinginezo. Tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira na kupanda miti kwa wingi.
Hewa safi huletwa na nini
{ "text": [ "Miti na mimea" ] }
1706_swa
Mathara ni kitu kinacho dhuru watu au wanyama. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni mahali ambapo tunapoishi sisi kama wanadamu na wanyama. lunapaswa kuyachunga mazingira yetu ipasavyo. Katika mazingira yetu, kuna vitu mbali mbali, kama vile miti, mimea, maua , nyumba, mito, mabwawa, viwanda na vinginevyo. Miti ina manufaa yake katika maisha ya binadamu na wanyama. Miti na mimea inatupa hewa safi na kueka mazingira yakipendeza. Mití pia itupatia mbao za kujenga nyuma. Pia miti hutupatia mvua na kusaidia mchanga kutobebwa na maji kunaponyesha Bila miti hatuna manufa mengi maishani.Tunapaswa tuchunge mazingira yetu. Hatupaswi kukata miti ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Viwanda vingi huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Viwanda hivi huelekeza maji machafu na taka taka katika mito.Pia kunavyo vile ambavyo hutoa moshi kali ambayo huchafua hewa. Wananchi pia huchafua sana mazingira wanapotupa uchafu kila mahali. Pia wanachafua mito kwa kufulia nguo hapo, kuosha vyombo na kuogea hapo. Kemikali ziliizo kwenye sabuni huwa na adhari kubwa kwa wanyama wanaoishi majini kama vile sanmaki. Mazingira yakiwa machafu, yanatufanya tugonjeke magonjwa mbalimbali kama vile malaria, kichocho, kipindupindu, saratani, homa, korona na zinginezo. Tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira na kupanda miti kwa wingi.
Miti huleta nini
{ "text": [ "Mbao na mvua" ] }
1706_swa
Mathara ni kitu kinacho dhuru watu au wanyama. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni mahali ambapo tunapoishi sisi kama wanadamu na wanyama. lunapaswa kuyachunga mazingira yetu ipasavyo. Katika mazingira yetu, kuna vitu mbali mbali, kama vile miti, mimea, maua , nyumba, mito, mabwawa, viwanda na vinginevyo. Miti ina manufaa yake katika maisha ya binadamu na wanyama. Miti na mimea inatupa hewa safi na kueka mazingira yakipendeza. Mití pia itupatia mbao za kujenga nyuma. Pia miti hutupatia mvua na kusaidia mchanga kutobebwa na maji kunaponyesha Bila miti hatuna manufa mengi maishani.Tunapaswa tuchunge mazingira yetu. Hatupaswi kukata miti ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Viwanda vingi huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Viwanda hivi huelekeza maji machafu na taka taka katika mito.Pia kunavyo vile ambavyo hutoa moshi kali ambayo huchafua hewa. Wananchi pia huchafua sana mazingira wanapotupa uchafu kila mahali. Pia wanachafua mito kwa kufulia nguo hapo, kuosha vyombo na kuogea hapo. Kemikali ziliizo kwenye sabuni huwa na adhari kubwa kwa wanyama wanaoishi majini kama vile sanmaki. Mazingira yakiwa machafu, yanatufanya tugonjeke magonjwa mbalimbali kama vile malaria, kichocho, kipindupindu, saratani, homa, korona na zinginezo. Tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira na kupanda miti kwa wingi.
Bidhaa hutengenezewa wapi
{ "text": [ "Kwenye kampuni" ] }
1707_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ambapo panamzunguka kuimbe. Fauka ya hayo, mahali ambapo mwandamu anakaa panafaa pawe pasafi. Usafi huanzia katika mazingira yaliyo nyumbani kwenu. Tunafaa kuboresha afya zetu. Tusiposafish mazingira, tunaweza sambaza magonjwa. Tunafaa tujichunge na magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na ebola. Uchafuzi huu hufanywa na watu ambao hawajelimishwa kuhusu umuhimu wa usafi. Mfano wa uchafuzi huu wa mazingira ni kutupa taka taka ovyo ovyo. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya wanaotupa taka taka ovyo oovyo. Tunafaa kuchunga mazingira yetu ili kuepukana magonjwa kadha wa kadha.Tukiweka mazingira yetu yakiwa chafu, wanyama hula uchafu huu na mwishowe kugonjeka. Wanyama hawa pia huliwa na wanadamu na wao hupata magonjwa yasiweza kutambulika. Tunafaa tuyatunze mazingira yetu. Kila wakati,tuhakikishe kwamba mazingira yenu ni safi. Hata shuleni, tunafaa kuhakikisha kuwa mazingira yetu ni safi kila wakati. Vyoo vyetu tunafaa kuviosha kila siku ili kuzuia harufu mbaya kuenea kila mahali na pia kuzuia wadudu kama nzi kuzaana kule. Tuyazingatie sana mazingira yetu.
Kutupa taka ovyoovyo huchangia nini?
{ "text": [ "Kuchafuka kwa mazingira" ] }
1707_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ambapo panamzunguka kuimbe. Fauka ya hayo, mahali ambapo mwandamu anakaa panafaa pawe pasafi. Usafi huanzia katika mazingira yaliyo nyumbani kwenu. Tunafaa kuboresha afya zetu. Tusiposafish mazingira, tunaweza sambaza magonjwa. Tunafaa tujichunge na magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na ebola. Uchafuzi huu hufanywa na watu ambao hawajelimishwa kuhusu umuhimu wa usafi. Mfano wa uchafuzi huu wa mazingira ni kutupa taka taka ovyo ovyo. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya wanaotupa taka taka ovyo oovyo. Tunafaa kuchunga mazingira yetu ili kuepukana magonjwa kadha wa kadha.Tukiweka mazingira yetu yakiwa chafu, wanyama hula uchafu huu na mwishowe kugonjeka. Wanyama hawa pia huliwa na wanadamu na wao hupata magonjwa yasiweza kutambulika. Tunafaa tuyatunze mazingira yetu. Kila wakati,tuhakikishe kwamba mazingira yenu ni safi. Hata shuleni, tunafaa kuhakikisha kuwa mazingira yetu ni safi kila wakati. Vyoo vyetu tunafaa kuviosha kila siku ili kuzuia harufu mbaya kuenea kila mahali na pia kuzuia wadudu kama nzi kuzaana kule. Tuyazingatie sana mazingira yetu.
Mahali anapoishi kiumbe inaitwaje?
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1707_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ambapo panamzunguka kuimbe. Fauka ya hayo, mahali ambapo mwandamu anakaa panafaa pawe pasafi. Usafi huanzia katika mazingira yaliyo nyumbani kwenu. Tunafaa kuboresha afya zetu. Tusiposafish mazingira, tunaweza sambaza magonjwa. Tunafaa tujichunge na magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na ebola. Uchafuzi huu hufanywa na watu ambao hawajelimishwa kuhusu umuhimu wa usafi. Mfano wa uchafuzi huu wa mazingira ni kutupa taka taka ovyo ovyo. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya wanaotupa taka taka ovyo oovyo. Tunafaa kuchunga mazingira yetu ili kuepukana magonjwa kadha wa kadha.Tukiweka mazingira yetu yakiwa chafu, wanyama hula uchafu huu na mwishowe kugonjeka. Wanyama hawa pia huliwa na wanadamu na wao hupata magonjwa yasiweza kutambulika. Tunafaa tuyatunze mazingira yetu. Kila wakati,tuhakikishe kwamba mazingira yenu ni safi. Hata shuleni, tunafaa kuhakikisha kuwa mazingira yetu ni safi kila wakati. Vyoo vyetu tunafaa kuviosha kila siku ili kuzuia harufu mbaya kuenea kila mahali na pia kuzuia wadudu kama nzi kuzaana kule. Tuyazingatie sana mazingira yetu.
Wanyama hula nini kutoka kwa mazingira?
{ "text": [ "Nyasi" ] }
1707_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ambapo panamzunguka kuimbe. Fauka ya hayo, mahali ambapo mwandamu anakaa panafaa pawe pasafi. Usafi huanzia katika mazingira yaliyo nyumbani kwenu. Tunafaa kuboresha afya zetu. Tusiposafish mazingira, tunaweza sambaza magonjwa. Tunafaa tujichunge na magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na ebola. Uchafuzi huu hufanywa na watu ambao hawajelimishwa kuhusu umuhimu wa usafi. Mfano wa uchafuzi huu wa mazingira ni kutupa taka taka ovyo ovyo. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya wanaotupa taka taka ovyo oovyo. Tunafaa kuchunga mazingira yetu ili kuepukana magonjwa kadha wa kadha.Tukiweka mazingira yetu yakiwa chafu, wanyama hula uchafu huu na mwishowe kugonjeka. Wanyama hawa pia huliwa na wanadamu na wao hupata magonjwa yasiweza kutambulika. Tunafaa tuyatunze mazingira yetu. Kila wakati,tuhakikishe kwamba mazingira yenu ni safi. Hata shuleni, tunafaa kuhakikisha kuwa mazingira yetu ni safi kila wakati. Vyoo vyetu tunafaa kuviosha kila siku ili kuzuia harufu mbaya kuenea kila mahali na pia kuzuia wadudu kama nzi kuzaana kule. Tuyazingatie sana mazingira yetu.
Mnyama yupi anajulikana kwa kuwa mchafu sana?
{ "text": [ "Nguruwe" ] }
1707_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali ambapo panamzunguka kuimbe. Fauka ya hayo, mahali ambapo mwandamu anakaa panafaa pawe pasafi. Usafi huanzia katika mazingira yaliyo nyumbani kwenu. Tunafaa kuboresha afya zetu. Tusiposafish mazingira, tunaweza sambaza magonjwa. Tunafaa tujichunge na magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na ebola. Uchafuzi huu hufanywa na watu ambao hawajelimishwa kuhusu umuhimu wa usafi. Mfano wa uchafuzi huu wa mazingira ni kutupa taka taka ovyo ovyo. Serikali inafaa kuweka sheria kali dhidi ya wanaotupa taka taka ovyo oovyo. Tunafaa kuchunga mazingira yetu ili kuepukana magonjwa kadha wa kadha.Tukiweka mazingira yetu yakiwa chafu, wanyama hula uchafu huu na mwishowe kugonjeka. Wanyama hawa pia huliwa na wanadamu na wao hupata magonjwa yasiweza kutambulika. Tunafaa tuyatunze mazingira yetu. Kila wakati,tuhakikishe kwamba mazingira yenu ni safi. Hata shuleni, tunafaa kuhakikisha kuwa mazingira yetu ni safi kila wakati. Vyoo vyetu tunafaa kuviosha kila siku ili kuzuia harufu mbaya kuenea kila mahali na pia kuzuia wadudu kama nzi kuzaana kule. Tuyazingatie sana mazingira yetu.
Mwandishi anahimiza nani kuhakikisha nyumba imefagiliwa vyema?
{ "text": [ "Wasichana" ] }
1709_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni sehemu ambayo inamzunguka binadamu, wanyama na viumbe wengine. Mazingira yanafaa kudumishwa yakiwa safi wakati wote. Lakini kunao watu wanaopenda kupuuza wanapoambiwa wazingatie mazingira yao. Mazingira yanaweza kuchafuliwa kwa kumwaga maji taka pahali popole, kutupa taka taka ovyo ovyo, kukosa kuosha nyumba zetu na hata hewa chafu kutoka kwenye viwanda haswa mijini. Tunapotupa taka taka kila mahali, mazingira yetu hayapendezi. Tunaweza kurekebisha tendo hili kwa kuchimba biwi za taka ambapo taka taka itatupwa na kuchomwa. Aidha, tunaweza kuwa na mapipa ya kutupa taka taka ili ikikusanywa pamoja ichomwe. Kumwaga maji taka pahali popole inachangia sehemu kubwa ya kuchafua mazingira. Maji haya hukusanyika na kutoa harufu mbaya na kuwa sehemu ya wadudu hatari kuzaana. Wadudu hawa husababisha magonjwa kama vile malaria, kipindupindu na mengineo. Tunaweza kuepuka magonjwa kwa kutupa maji machfu mahali panapostahili. Kukosa kufyeka nyasi ndefu husababisha mazingira kuwa na mbu wengi na pia ni makaazi ya nyoka. Tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili kuepeka na adhari hizi. Mazingira inapaswa kuwa safi kila wakati na kila sehemu. Nyumba zetu pia zinapaswa kuwa safi ndiposa hata wageni watakapokuja, hauwezi kuona aibu, pia watoto wadogo wanapaswa kuishi kwenye mazingira safi kila wakati. Taifa hili letu la Kenya linapaswa kudumisha usafi.
Majitaka huchafua nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1709_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni sehemu ambayo inamzunguka binadamu, wanyama na viumbe wengine. Mazingira yanafaa kudumishwa yakiwa safi wakati wote. Lakini kunao watu wanaopenda kupuuza wanapoambiwa wazingatie mazingira yao. Mazingira yanaweza kuchafuliwa kwa kumwaga maji taka pahali popole, kutupa taka taka ovyo ovyo, kukosa kuosha nyumba zetu na hata hewa chafu kutoka kwenye viwanda haswa mijini. Tunapotupa taka taka kila mahali, mazingira yetu hayapendezi. Tunaweza kurekebisha tendo hili kwa kuchimba biwi za taka ambapo taka taka itatupwa na kuchomwa. Aidha, tunaweza kuwa na mapipa ya kutupa taka taka ili ikikusanywa pamoja ichomwe. Kumwaga maji taka pahali popole inachangia sehemu kubwa ya kuchafua mazingira. Maji haya hukusanyika na kutoa harufu mbaya na kuwa sehemu ya wadudu hatari kuzaana. Wadudu hawa husababisha magonjwa kama vile malaria, kipindupindu na mengineo. Tunaweza kuepuka magonjwa kwa kutupa maji machfu mahali panapostahili. Kukosa kufyeka nyasi ndefu husababisha mazingira kuwa na mbu wengi na pia ni makaazi ya nyoka. Tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili kuepeka na adhari hizi. Mazingira inapaswa kuwa safi kila wakati na kila sehemu. Nyumba zetu pia zinapaswa kuwa safi ndiposa hata wageni watakapokuja, hauwezi kuona aibu, pia watoto wadogo wanapaswa kuishi kwenye mazingira safi kila wakati. Taifa hili letu la Kenya linapaswa kudumisha usafi.
Kampuni mbalimbali hupatikana wapi
{ "text": [ "Jiji kuu la Nairobi" ] }
1709_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni sehemu ambayo inamzunguka binadamu, wanyama na viumbe wengine. Mazingira yanafaa kudumishwa yakiwa safi wakati wote. Lakini kunao watu wanaopenda kupuuza wanapoambiwa wazingatie mazingira yao. Mazingira yanaweza kuchafuliwa kwa kumwaga maji taka pahali popole, kutupa taka taka ovyo ovyo, kukosa kuosha nyumba zetu na hata hewa chafu kutoka kwenye viwanda haswa mijini. Tunapotupa taka taka kila mahali, mazingira yetu hayapendezi. Tunaweza kurekebisha tendo hili kwa kuchimba biwi za taka ambapo taka taka itatupwa na kuchomwa. Aidha, tunaweza kuwa na mapipa ya kutupa taka taka ili ikikusanywa pamoja ichomwe. Kumwaga maji taka pahali popole inachangia sehemu kubwa ya kuchafua mazingira. Maji haya hukusanyika na kutoa harufu mbaya na kuwa sehemu ya wadudu hatari kuzaana. Wadudu hawa husababisha magonjwa kama vile malaria, kipindupindu na mengineo. Tunaweza kuepuka magonjwa kwa kutupa maji machfu mahali panapostahili. Kukosa kufyeka nyasi ndefu husababisha mazingira kuwa na mbu wengi na pia ni makaazi ya nyoka. Tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili kuepeka na adhari hizi. Mazingira inapaswa kuwa safi kila wakati na kila sehemu. Nyumba zetu pia zinapaswa kuwa safi ndiposa hata wageni watakapokuja, hauwezi kuona aibu, pia watoto wadogo wanapaswa kuishi kwenye mazingira safi kila wakati. Taifa hili letu la Kenya linapaswa kudumisha usafi.
Takataka zaweza kuchomwa zikiwa wapi
{ "text": [ "Kwenye shimo" ] }
1709_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni sehemu ambayo inamzunguka binadamu, wanyama na viumbe wengine. Mazingira yanafaa kudumishwa yakiwa safi wakati wote. Lakini kunao watu wanaopenda kupuuza wanapoambiwa wazingatie mazingira yao. Mazingira yanaweza kuchafuliwa kwa kumwaga maji taka pahali popole, kutupa taka taka ovyo ovyo, kukosa kuosha nyumba zetu na hata hewa chafu kutoka kwenye viwanda haswa mijini. Tunapotupa taka taka kila mahali, mazingira yetu hayapendezi. Tunaweza kurekebisha tendo hili kwa kuchimba biwi za taka ambapo taka taka itatupwa na kuchomwa. Aidha, tunaweza kuwa na mapipa ya kutupa taka taka ili ikikusanywa pamoja ichomwe. Kumwaga maji taka pahali popole inachangia sehemu kubwa ya kuchafua mazingira. Maji haya hukusanyika na kutoa harufu mbaya na kuwa sehemu ya wadudu hatari kuzaana. Wadudu hawa husababisha magonjwa kama vile malaria, kipindupindu na mengineo. Tunaweza kuepuka magonjwa kwa kutupa maji machfu mahali panapostahili. Kukosa kufyeka nyasi ndefu husababisha mazingira kuwa na mbu wengi na pia ni makaazi ya nyoka. Tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili kuepeka na adhari hizi. Mazingira inapaswa kuwa safi kila wakati na kila sehemu. Nyumba zetu pia zinapaswa kuwa safi ndiposa hata wageni watakapokuja, hauwezi kuona aibu, pia watoto wadogo wanapaswa kuishi kwenye mazingira safi kila wakati. Taifa hili letu la Kenya linapaswa kudumisha usafi.
Uchafuzi wa mazingira husababisha magonjwa yapi
{ "text": [ "Malaria na kipindupindu" ] }
1709_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni sehemu ambayo inamzunguka binadamu, wanyama na viumbe wengine. Mazingira yanafaa kudumishwa yakiwa safi wakati wote. Lakini kunao watu wanaopenda kupuuza wanapoambiwa wazingatie mazingira yao. Mazingira yanaweza kuchafuliwa kwa kumwaga maji taka pahali popole, kutupa taka taka ovyo ovyo, kukosa kuosha nyumba zetu na hata hewa chafu kutoka kwenye viwanda haswa mijini. Tunapotupa taka taka kila mahali, mazingira yetu hayapendezi. Tunaweza kurekebisha tendo hili kwa kuchimba biwi za taka ambapo taka taka itatupwa na kuchomwa. Aidha, tunaweza kuwa na mapipa ya kutupa taka taka ili ikikusanywa pamoja ichomwe. Kumwaga maji taka pahali popole inachangia sehemu kubwa ya kuchafua mazingira. Maji haya hukusanyika na kutoa harufu mbaya na kuwa sehemu ya wadudu hatari kuzaana. Wadudu hawa husababisha magonjwa kama vile malaria, kipindupindu na mengineo. Tunaweza kuepuka magonjwa kwa kutupa maji machfu mahali panapostahili. Kukosa kufyeka nyasi ndefu husababisha mazingira kuwa na mbu wengi na pia ni makaazi ya nyoka. Tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili kuepeka na adhari hizi. Mazingira inapaswa kuwa safi kila wakati na kila sehemu. Nyumba zetu pia zinapaswa kuwa safi ndiposa hata wageni watakapokuja, hauwezi kuona aibu, pia watoto wadogo wanapaswa kuishi kwenye mazingira safi kila wakati. Taifa hili letu la Kenya linapaswa kudumisha usafi.
Nyasi ndefu husababisha mazingira kuwa na mdudu yupi
{ "text": [ "Mbu" ] }
1711_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Sote kama wananchi tunazifahamu sifa zote za mazingira yetu, pia tunafahamu madhara yake tunapochafua mazingira. Madhara haya ni uharibifu na athari mbaya. Je, ni mambo yapi yaweza kuyachafua mazingira yetu? La kwanza ni kukata miti ovyo ovyo. Katika enzi za kitambo, watu walipokata mti walipanda miti mingine, kwani walijua madhara yake. Siku hizi, mtu kuupanda mti hata mmoja ni kazi nyingi kwake. Teknologia ya kisasa imeharibu watu kwani miti tusipoitunza, hatutapata manufaa kama vile kupata hewa safi ya kupumua, matawi ya kutengeneza kartasi, mvua kushyesha na mbao za kutengeneza vitu kama vile viti, meza na kabati. Miti ikikatwa, kutakua na mmomonyoko wa udongo, kutakuwa na kiangazi kwani mvua haitanyesha. La pili ni kufyeka nyasi ndefu. Madhara yake ni kuwa wanyama kama vile nyoka hijificha nyasi na kuwauma watu. Pia mbu huzaana katikanyasi ndefu. Mbu husababisha magonjwa kama vile malaria, matende na homa ya manjano. Pia tunahimizwa tuwache kutupa taka taka kila mahali ili tusichafue maazingira yetu. La nne ni kuchoma taka taka ambazo haziai kuchomwa kama vile chupa za plastiki na mahazi. Vitu hivi vikichomwa hutoa moshi ambayo ina harufu mbaya na ni sumu. Ili madhara haya yasitupate, tunafaa kuchunga mazingira yetu.
Teknolojia imewaharibu kina nani
{ "text": [ "Watu" ] }
1711_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Sote kama wananchi tunazifahamu sifa zote za mazingira yetu, pia tunafahamu madhara yake tunapochafua mazingira. Madhara haya ni uharibifu na athari mbaya. Je, ni mambo yapi yaweza kuyachafua mazingira yetu? La kwanza ni kukata miti ovyo ovyo. Katika enzi za kitambo, watu walipokata mti walipanda miti mingine, kwani walijua madhara yake. Siku hizi, mtu kuupanda mti hata mmoja ni kazi nyingi kwake. Teknologia ya kisasa imeharibu watu kwani miti tusipoitunza, hatutapata manufaa kama vile kupata hewa safi ya kupumua, matawi ya kutengeneza kartasi, mvua kushyesha na mbao za kutengeneza vitu kama vile viti, meza na kabati. Miti ikikatwa, kutakua na mmomonyoko wa udongo, kutakuwa na kiangazi kwani mvua haitanyesha. La pili ni kufyeka nyasi ndefu. Madhara yake ni kuwa wanyama kama vile nyoka hijificha nyasi na kuwauma watu. Pia mbu huzaana katikanyasi ndefu. Mbu husababisha magonjwa kama vile malaria, matende na homa ya manjano. Pia tunahimizwa tuwache kutupa taka taka kila mahali ili tusichafue maazingira yetu. La nne ni kuchoma taka taka ambazo haziai kuchomwa kama vile chupa za plastiki na mahazi. Vitu hivi vikichomwa hutoa moshi ambayo ina harufu mbaya na ni sumu. Ili madhara haya yasitupate, tunafaa kuchunga mazingira yetu.
Matawi hutengeneza nini
{ "text": [ "Karatasi za vitabu" ] }
1711_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Sote kama wananchi tunazifahamu sifa zote za mazingira yetu, pia tunafahamu madhara yake tunapochafua mazingira. Madhara haya ni uharibifu na athari mbaya. Je, ni mambo yapi yaweza kuyachafua mazingira yetu? La kwanza ni kukata miti ovyo ovyo. Katika enzi za kitambo, watu walipokata mti walipanda miti mingine, kwani walijua madhara yake. Siku hizi, mtu kuupanda mti hata mmoja ni kazi nyingi kwake. Teknologia ya kisasa imeharibu watu kwani miti tusipoitunza, hatutapata manufaa kama vile kupata hewa safi ya kupumua, matawi ya kutengeneza kartasi, mvua kushyesha na mbao za kutengeneza vitu kama vile viti, meza na kabati. Miti ikikatwa, kutakua na mmomonyoko wa udongo, kutakuwa na kiangazi kwani mvua haitanyesha. La pili ni kufyeka nyasi ndefu. Madhara yake ni kuwa wanyama kama vile nyoka hijificha nyasi na kuwauma watu. Pia mbu huzaana katikanyasi ndefu. Mbu husababisha magonjwa kama vile malaria, matende na homa ya manjano. Pia tunahimizwa tuwache kutupa taka taka kila mahali ili tusichafue maazingira yetu. La nne ni kuchoma taka taka ambazo haziai kuchomwa kama vile chupa za plastiki na mahazi. Vitu hivi vikichomwa hutoa moshi ambayo ina harufu mbaya na ni sumu. Ili madhara haya yasitupate, tunafaa kuchunga mazingira yetu.
Viti, meza na kabati hutengenezwa na nini
{ "text": [ "Mbao" ] }
1711_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Sote kama wananchi tunazifahamu sifa zote za mazingira yetu, pia tunafahamu madhara yake tunapochafua mazingira. Madhara haya ni uharibifu na athari mbaya. Je, ni mambo yapi yaweza kuyachafua mazingira yetu? La kwanza ni kukata miti ovyo ovyo. Katika enzi za kitambo, watu walipokata mti walipanda miti mingine, kwani walijua madhara yake. Siku hizi, mtu kuupanda mti hata mmoja ni kazi nyingi kwake. Teknologia ya kisasa imeharibu watu kwani miti tusipoitunza, hatutapata manufaa kama vile kupata hewa safi ya kupumua, matawi ya kutengeneza kartasi, mvua kushyesha na mbao za kutengeneza vitu kama vile viti, meza na kabati. Miti ikikatwa, kutakua na mmomonyoko wa udongo, kutakuwa na kiangazi kwani mvua haitanyesha. La pili ni kufyeka nyasi ndefu. Madhara yake ni kuwa wanyama kama vile nyoka hijificha nyasi na kuwauma watu. Pia mbu huzaana katikanyasi ndefu. Mbu husababisha magonjwa kama vile malaria, matende na homa ya manjano. Pia tunahimizwa tuwache kutupa taka taka kila mahali ili tusichafue maazingira yetu. La nne ni kuchoma taka taka ambazo haziai kuchomwa kama vile chupa za plastiki na mahazi. Vitu hivi vikichomwa hutoa moshi ambayo ina harufu mbaya na ni sumu. Ili madhara haya yasitupate, tunafaa kuchunga mazingira yetu.
Nyoka hujificha wapi
{ "text": [ "Kwenye nyasi" ] }
1711_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Sote kama wananchi tunazifahamu sifa zote za mazingira yetu, pia tunafahamu madhara yake tunapochafua mazingira. Madhara haya ni uharibifu na athari mbaya. Je, ni mambo yapi yaweza kuyachafua mazingira yetu? La kwanza ni kukata miti ovyo ovyo. Katika enzi za kitambo, watu walipokata mti walipanda miti mingine, kwani walijua madhara yake. Siku hizi, mtu kuupanda mti hata mmoja ni kazi nyingi kwake. Teknologia ya kisasa imeharibu watu kwani miti tusipoitunza, hatutapata manufaa kama vile kupata hewa safi ya kupumua, matawi ya kutengeneza kartasi, mvua kushyesha na mbao za kutengeneza vitu kama vile viti, meza na kabati. Miti ikikatwa, kutakua na mmomonyoko wa udongo, kutakuwa na kiangazi kwani mvua haitanyesha. La pili ni kufyeka nyasi ndefu. Madhara yake ni kuwa wanyama kama vile nyoka hijificha nyasi na kuwauma watu. Pia mbu huzaana katikanyasi ndefu. Mbu husababisha magonjwa kama vile malaria, matende na homa ya manjano. Pia tunahimizwa tuwache kutupa taka taka kila mahali ili tusichafue maazingira yetu. La nne ni kuchoma taka taka ambazo haziai kuchomwa kama vile chupa za plastiki na mahazi. Vitu hivi vikichomwa hutoa moshi ambayo ina harufu mbaya na ni sumu. Ili madhara haya yasitupate, tunafaa kuchunga mazingira yetu.
Mbu huambukizana maradhi yapi
{ "text": [ "Malaria, matende na homa ya manjano" ] }
1712_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yanayozunguka mwanadamu katika sehemu anayoishi. Uchafuzi wa mazingira una hufanyika sana sana mitaani. Watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo ni wale ambao wanajiweza na wanadharau wale ambao wanatoa uchafu. Madhara ya mazingira chafu ni kuenea kwa magonjwa kama vile, malaria ambayo huletwa na mbu.Mbu hutoka kwenye mapipa za taka taka. Magonjwa mengine yanayoletwa na uchafu ni ebola, kolera na mengineo. Ugonjwa wa ebola huletwa na uchafu wa maji na kutumia choo vibaya. Ebola ni ugonjwa ambao ulitokea zamani na ni ugonjwa ambao uliuwa watu kama mende. Mtu akiugua ugonjwa wa kolera, huanza kwa kuumwa na tumbo kuhara na kutapisha. Kolera huletwa na kukula vitu vichafu, kula chakula bila kuosha mikono,na kukula vyakula ambavyo vimeharibika. Hata pia watu ambao huwa wanachokora mapipa, pia wao ni ndugu na dada zetu. Tunafaa tuache kuwadharau.Tunastahili kuwasaidia kadiri ya uwezo wetu. Pia kukata miti ni jambo lingine ambalo linafaa kusitishwa hapa nchini. Watu hukata miti ili watengeneze makaa. Badala wakate miti kwa kiwango kinachofaa na kupanda ingine, huwa wanahakikisha kuwa wamekata miti yote. Hawajui kuwa miti ndio huvuta mvua. Tunafaa tukomeshe jambo hili y\la kukata miti na kuharibu mazingira yetu
Uchafuzi wa mazingira unafanyika wapi sana sana?
{ "text": [ "Mitaani" ] }
1712_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yanayozunguka mwanadamu katika sehemu anayoishi. Uchafuzi wa mazingira una hufanyika sana sana mitaani. Watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo ni wale ambao wanajiweza na wanadharau wale ambao wanatoa uchafu. Madhara ya mazingira chafu ni kuenea kwa magonjwa kama vile, malaria ambayo huletwa na mbu.Mbu hutoka kwenye mapipa za taka taka. Magonjwa mengine yanayoletwa na uchafu ni ebola, kolera na mengineo. Ugonjwa wa ebola huletwa na uchafu wa maji na kutumia choo vibaya. Ebola ni ugonjwa ambao ulitokea zamani na ni ugonjwa ambao uliuwa watu kama mende. Mtu akiugua ugonjwa wa kolera, huanza kwa kuumwa na tumbo kuhara na kutapisha. Kolera huletwa na kukula vitu vichafu, kula chakula bila kuosha mikono,na kukula vyakula ambavyo vimeharibika. Hata pia watu ambao huwa wanachokora mapipa, pia wao ni ndugu na dada zetu. Tunafaa tuache kuwadharau.Tunastahili kuwasaidia kadiri ya uwezo wetu. Pia kukata miti ni jambo lingine ambalo linafaa kusitishwa hapa nchini. Watu hukata miti ili watengeneze makaa. Badala wakate miti kwa kiwango kinachofaa na kupanda ingine, huwa wanahakikisha kuwa wamekata miti yote. Hawajui kuwa miti ndio huvuta mvua. Tunafaa tukomeshe jambo hili y\la kukata miti na kuharibu mazingira yetu
Malaria husababishwa na nini?
{ "text": [ "Mbu" ] }
1712_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yanayozunguka mwanadamu katika sehemu anayoishi. Uchafuzi wa mazingira una hufanyika sana sana mitaani. Watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo ni wale ambao wanajiweza na wanadharau wale ambao wanatoa uchafu. Madhara ya mazingira chafu ni kuenea kwa magonjwa kama vile, malaria ambayo huletwa na mbu.Mbu hutoka kwenye mapipa za taka taka. Magonjwa mengine yanayoletwa na uchafu ni ebola, kolera na mengineo. Ugonjwa wa ebola huletwa na uchafu wa maji na kutumia choo vibaya. Ebola ni ugonjwa ambao ulitokea zamani na ni ugonjwa ambao uliuwa watu kama mende. Mtu akiugua ugonjwa wa kolera, huanza kwa kuumwa na tumbo kuhara na kutapisha. Kolera huletwa na kukula vitu vichafu, kula chakula bila kuosha mikono,na kukula vyakula ambavyo vimeharibika. Hata pia watu ambao huwa wanachokora mapipa, pia wao ni ndugu na dada zetu. Tunafaa tuache kuwadharau.Tunastahili kuwasaidia kadiri ya uwezo wetu. Pia kukata miti ni jambo lingine ambalo linafaa kusitishwa hapa nchini. Watu hukata miti ili watengeneze makaa. Badala wakate miti kwa kiwango kinachofaa na kupanda ingine, huwa wanahakikisha kuwa wamekata miti yote. Hawajui kuwa miti ndio huvuta mvua. Tunafaa tukomeshe jambo hili y\la kukata miti na kuharibu mazingira yetu
Ugonjwa upi uliuwa watu kwa wingi?
{ "text": [ "Ebola" ] }
1712_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yanayozunguka mwanadamu katika sehemu anayoishi. Uchafuzi wa mazingira una hufanyika sana sana mitaani. Watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo ni wale ambao wanajiweza na wanadharau wale ambao wanatoa uchafu. Madhara ya mazingira chafu ni kuenea kwa magonjwa kama vile, malaria ambayo huletwa na mbu.Mbu hutoka kwenye mapipa za taka taka. Magonjwa mengine yanayoletwa na uchafu ni ebola, kolera na mengineo. Ugonjwa wa ebola huletwa na uchafu wa maji na kutumia choo vibaya. Ebola ni ugonjwa ambao ulitokea zamani na ni ugonjwa ambao uliuwa watu kama mende. Mtu akiugua ugonjwa wa kolera, huanza kwa kuumwa na tumbo kuhara na kutapisha. Kolera huletwa na kukula vitu vichafu, kula chakula bila kuosha mikono,na kukula vyakula ambavyo vimeharibika. Hata pia watu ambao huwa wanachokora mapipa, pia wao ni ndugu na dada zetu. Tunafaa tuache kuwadharau.Tunastahili kuwasaidia kadiri ya uwezo wetu. Pia kukata miti ni jambo lingine ambalo linafaa kusitishwa hapa nchini. Watu hukata miti ili watengeneze makaa. Badala wakate miti kwa kiwango kinachofaa na kupanda ingine, huwa wanahakikisha kuwa wamekata miti yote. Hawajui kuwa miti ndio huvuta mvua. Tunafaa tukomeshe jambo hili y\la kukata miti na kuharibu mazingira yetu
Mwili wa binadamu huhisi vipi wakati anakula chakula kichafu?
{ "text": [ "Huumwa na tumbo" ] }
1712_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yanayozunguka mwanadamu katika sehemu anayoishi. Uchafuzi wa mazingira una hufanyika sana sana mitaani. Watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo ni wale ambao wanajiweza na wanadharau wale ambao wanatoa uchafu. Madhara ya mazingira chafu ni kuenea kwa magonjwa kama vile, malaria ambayo huletwa na mbu.Mbu hutoka kwenye mapipa za taka taka. Magonjwa mengine yanayoletwa na uchafu ni ebola, kolera na mengineo. Ugonjwa wa ebola huletwa na uchafu wa maji na kutumia choo vibaya. Ebola ni ugonjwa ambao ulitokea zamani na ni ugonjwa ambao uliuwa watu kama mende. Mtu akiugua ugonjwa wa kolera, huanza kwa kuumwa na tumbo kuhara na kutapisha. Kolera huletwa na kukula vitu vichafu, kula chakula bila kuosha mikono,na kukula vyakula ambavyo vimeharibika. Hata pia watu ambao huwa wanachokora mapipa, pia wao ni ndugu na dada zetu. Tunafaa tuache kuwadharau.Tunastahili kuwasaidia kadiri ya uwezo wetu. Pia kukata miti ni jambo lingine ambalo linafaa kusitishwa hapa nchini. Watu hukata miti ili watengeneze makaa. Badala wakate miti kwa kiwango kinachofaa na kupanda ingine, huwa wanahakikisha kuwa wamekata miti yote. Hawajui kuwa miti ndio huvuta mvua. Tunafaa tukomeshe jambo hili y\la kukata miti na kuharibu mazingira yetu
Ukataji wa miti kiholelaholela husababisha ukosefu wa nini?
{ "text": [ "Mvua" ] }
1715_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni kila kitu ambacho kinachomzunguka binadamu, kwa mfano miti, wanyama ana kila kitu ambacho kiko karibu. Kila kitu ambacho kiko karibu na mazingira ni muhimu na lazima kila mtu aweke mazingira yake safi. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni magonjwa. Ili mtu azuie maradhi ni lazima mahali ambapo anaishi pawe pasafi. Ukiwa unakaa na mtu ambaye pahali ambapo anakaa ni pachafu, chukua hatua sababu pia wewe unaishi na yeye na nyingi wote mtakuwa wachafu. Pahali ambapo unaishi ni lazima pawe pasafi. Mtu anafaa kuoga, kuosha choo, na vingine ili kujizuiya na kipindupindu,na malaria. Malaria huletwa na ukiosha vyombo alafu umwage hayo. maji hapo, yakikaa siku mbili au zaidi utapata mbu zimejaa. Usiku, nbu hawa huingia nyumbani na kufyonza damu ya binadamu na hivyo kutuambukiz augonjwa wa malaria. Kipindupindu huletwa na uchafu. Unapoenda choo, unafaa kunawa mikono yako sababu mtu hawezi kujua ni nani ambaye ameingia na choo ni pahali pachafu sana unapoenda kula ni lazima mikono yako iwe safi. Unafaa kuweka mazingira yako safi kila wakati. Ukiona nje kuna karatasi, unafaa uokote na uchome.Utakuwa umefanya jambo la maana kwako na kwa wengine. Usafi ndio kila kitu kwetu, hata wewe mwenyewe unafaa kuwa msafi kila mara. Hufai kumwaga maji chafu kila mahali, ukiona maji yamekwama pahali unafaa uende uyatoe, ukiona choo ni chafu uoshe. Mkifanya hivyo vyote, tutakuwa wasafi na tutapunguza kesi za magonjwa.
Ukikaa na mtu pahali pachafu unafaa kufanya nini
{ "text": [ "kuchukua hatua" ] }
1715_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni kila kitu ambacho kinachomzunguka binadamu, kwa mfano miti, wanyama ana kila kitu ambacho kiko karibu. Kila kitu ambacho kiko karibu na mazingira ni muhimu na lazima kila mtu aweke mazingira yake safi. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni magonjwa. Ili mtu azuie maradhi ni lazima mahali ambapo anaishi pawe pasafi. Ukiwa unakaa na mtu ambaye pahali ambapo anakaa ni pachafu, chukua hatua sababu pia wewe unaishi na yeye na nyingi wote mtakuwa wachafu. Pahali ambapo unaishi ni lazima pawe pasafi. Mtu anafaa kuoga, kuosha choo, na vingine ili kujizuiya na kipindupindu,na malaria. Malaria huletwa na ukiosha vyombo alafu umwage hayo. maji hapo, yakikaa siku mbili au zaidi utapata mbu zimejaa. Usiku, nbu hawa huingia nyumbani na kufyonza damu ya binadamu na hivyo kutuambukiz augonjwa wa malaria. Kipindupindu huletwa na uchafu. Unapoenda choo, unafaa kunawa mikono yako sababu mtu hawezi kujua ni nani ambaye ameingia na choo ni pahali pachafu sana unapoenda kula ni lazima mikono yako iwe safi. Unafaa kuweka mazingira yako safi kila wakati. Ukiona nje kuna karatasi, unafaa uokote na uchome.Utakuwa umefanya jambo la maana kwako na kwa wengine. Usafi ndio kila kitu kwetu, hata wewe mwenyewe unafaa kuwa msafi kila mara. Hufai kumwaga maji chafu kila mahali, ukiona maji yamekwama pahali unafaa uende uyatoe, ukiona choo ni chafu uoshe. Mkifanya hivyo vyote, tutakuwa wasafi na tutapunguza kesi za magonjwa.
Ukiosha vyombo uwache maji siku mbili utapata nini
{ "text": [ "mbu wamejaa" ] }
1715_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni kila kitu ambacho kinachomzunguka binadamu, kwa mfano miti, wanyama ana kila kitu ambacho kiko karibu. Kila kitu ambacho kiko karibu na mazingira ni muhimu na lazima kila mtu aweke mazingira yake safi. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni magonjwa. Ili mtu azuie maradhi ni lazima mahali ambapo anaishi pawe pasafi. Ukiwa unakaa na mtu ambaye pahali ambapo anakaa ni pachafu, chukua hatua sababu pia wewe unaishi na yeye na nyingi wote mtakuwa wachafu. Pahali ambapo unaishi ni lazima pawe pasafi. Mtu anafaa kuoga, kuosha choo, na vingine ili kujizuiya na kipindupindu,na malaria. Malaria huletwa na ukiosha vyombo alafu umwage hayo. maji hapo, yakikaa siku mbili au zaidi utapata mbu zimejaa. Usiku, nbu hawa huingia nyumbani na kufyonza damu ya binadamu na hivyo kutuambukiz augonjwa wa malaria. Kipindupindu huletwa na uchafu. Unapoenda choo, unafaa kunawa mikono yako sababu mtu hawezi kujua ni nani ambaye ameingia na choo ni pahali pachafu sana unapoenda kula ni lazima mikono yako iwe safi. Unafaa kuweka mazingira yako safi kila wakati. Ukiona nje kuna karatasi, unafaa uokote na uchome.Utakuwa umefanya jambo la maana kwako na kwa wengine. Usafi ndio kila kitu kwetu, hata wewe mwenyewe unafaa kuwa msafi kila mara. Hufai kumwaga maji chafu kila mahali, ukiona maji yamekwama pahali unafaa uende uyatoe, ukiona choo ni chafu uoshe. Mkifanya hivyo vyote, tutakuwa wasafi na tutapunguza kesi za magonjwa.
Chakula cha mbu ni gani
{ "text": [ "damu ya binadamu" ] }
1715_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni kila kitu ambacho kinachomzunguka binadamu, kwa mfano miti, wanyama ana kila kitu ambacho kiko karibu. Kila kitu ambacho kiko karibu na mazingira ni muhimu na lazima kila mtu aweke mazingira yake safi. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni magonjwa. Ili mtu azuie maradhi ni lazima mahali ambapo anaishi pawe pasafi. Ukiwa unakaa na mtu ambaye pahali ambapo anakaa ni pachafu, chukua hatua sababu pia wewe unaishi na yeye na nyingi wote mtakuwa wachafu. Pahali ambapo unaishi ni lazima pawe pasafi. Mtu anafaa kuoga, kuosha choo, na vingine ili kujizuiya na kipindupindu,na malaria. Malaria huletwa na ukiosha vyombo alafu umwage hayo. maji hapo, yakikaa siku mbili au zaidi utapata mbu zimejaa. Usiku, nbu hawa huingia nyumbani na kufyonza damu ya binadamu na hivyo kutuambukiz augonjwa wa malaria. Kipindupindu huletwa na uchafu. Unapoenda choo, unafaa kunawa mikono yako sababu mtu hawezi kujua ni nani ambaye ameingia na choo ni pahali pachafu sana unapoenda kula ni lazima mikono yako iwe safi. Unafaa kuweka mazingira yako safi kila wakati. Ukiona nje kuna karatasi, unafaa uokote na uchome.Utakuwa umefanya jambo la maana kwako na kwa wengine. Usafi ndio kila kitu kwetu, hata wewe mwenyewe unafaa kuwa msafi kila mara. Hufai kumwaga maji chafu kila mahali, ukiona maji yamekwama pahali unafaa uende uyatoe, ukiona choo ni chafu uoshe. Mkifanya hivyo vyote, tutakuwa wasafi na tutapunguza kesi za magonjwa.
Mbu huanza kuingia nyumbani lini
{ "text": [ "usiku unapolala" ] }
1715_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu, yale yote yanayomzunguka binadamu. Mazingira ni kila kitu ambacho kinachomzunguka binadamu, kwa mfano miti, wanyama ana kila kitu ambacho kiko karibu. Kila kitu ambacho kiko karibu na mazingira ni muhimu na lazima kila mtu aweke mazingira yake safi. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni magonjwa. Ili mtu azuie maradhi ni lazima mahali ambapo anaishi pawe pasafi. Ukiwa unakaa na mtu ambaye pahali ambapo anakaa ni pachafu, chukua hatua sababu pia wewe unaishi na yeye na nyingi wote mtakuwa wachafu. Pahali ambapo unaishi ni lazima pawe pasafi. Mtu anafaa kuoga, kuosha choo, na vingine ili kujizuiya na kipindupindu,na malaria. Malaria huletwa na ukiosha vyombo alafu umwage hayo. maji hapo, yakikaa siku mbili au zaidi utapata mbu zimejaa. Usiku, nbu hawa huingia nyumbani na kufyonza damu ya binadamu na hivyo kutuambukiz augonjwa wa malaria. Kipindupindu huletwa na uchafu. Unapoenda choo, unafaa kunawa mikono yako sababu mtu hawezi kujua ni nani ambaye ameingia na choo ni pahali pachafu sana unapoenda kula ni lazima mikono yako iwe safi. Unafaa kuweka mazingira yako safi kila wakati. Ukiona nje kuna karatasi, unafaa uokote na uchome.Utakuwa umefanya jambo la maana kwako na kwa wengine. Usafi ndio kila kitu kwetu, hata wewe mwenyewe unafaa kuwa msafi kila mara. Hufai kumwaga maji chafu kila mahali, ukiona maji yamekwama pahali unafaa uende uyatoe, ukiona choo ni chafu uoshe. Mkifanya hivyo vyote, tutakuwa wasafi na tutapunguza kesi za magonjwa.
Mbona unapaswa kuosha mikono yako unapotoka chooni
{ "text": [ "choo ni mahali pachafu na unapokula mikono lazima iwe safi" ] }
1716_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Katika nchi yetu, tunapaswa kudumisha usafi ili kijiepusha na magonjwa ya uchafu au magonjwa yoyote. Unapoishi katika mazingira safi, hapo basi afya yako itakuwa njema, lakini usipo hudumia hayo yote utapata afya yako ikiwa mbaya ama unagonjeka kila mara. Hapo awali, palikuwa na familia iliyokaa jirani yetu. Walikuwa wakipenda kuishi katika mazingira machafu. Walipoelezwa umuhimu wa usafi hawakutaka kuskia lolote. Walipuuza wanakijiji kwa kusema kuwa wengine hawajakufa mbona wao wafe. Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema, asiyeskia la mkuu, huvunjika guu. Basi siku yao iliwadia, watoto wa mama moja walishikwa na ugonjwa wa kipindupindu na hakua na hela zozote za kuwapeleka hospitali, basi alianza kuomba wanakijiji wampe hela ili akawatibu wanawe. Alianza kujiombea msamaha kwa kusema asamehewe kwani angelijua hangepuuza maneno yao. Lakini hakuwa na lake, kila mwanakijiji alimtoroka na kumwambia ajipange na maisha yake kwani alielezwa umuhimu wa usafi na hakujali. Tuyatunze mazingira yetu ili maisha yetu yawe mazuri na tusipatikane na magonjwa yoyote. Mazingira ni muhimu na tunastahili kuyazingatia.
Ni nini kilicho muhimu katika maisha ya binadamu
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1716_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Katika nchi yetu, tunapaswa kudumisha usafi ili kijiepusha na magonjwa ya uchafu au magonjwa yoyote. Unapoishi katika mazingira safi, hapo basi afya yako itakuwa njema, lakini usipo hudumia hayo yote utapata afya yako ikiwa mbaya ama unagonjeka kila mara. Hapo awali, palikuwa na familia iliyokaa jirani yetu. Walikuwa wakipenda kuishi katika mazingira machafu. Walipoelezwa umuhimu wa usafi hawakutaka kuskia lolote. Walipuuza wanakijiji kwa kusema kuwa wengine hawajakufa mbona wao wafe. Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema, asiyeskia la mkuu, huvunjika guu. Basi siku yao iliwadia, watoto wa mama moja walishikwa na ugonjwa wa kipindupindu na hakua na hela zozote za kuwapeleka hospitali, basi alianza kuomba wanakijiji wampe hela ili akawatibu wanawe. Alianza kujiombea msamaha kwa kusema asamehewe kwani angelijua hangepuuza maneno yao. Lakini hakuwa na lake, kila mwanakijiji alimtoroka na kumwambia ajipange na maisha yake kwani alielezwa umuhimu wa usafi na hakujali. Tuyatunze mazingira yetu ili maisha yetu yawe mazuri na tusipatikane na magonjwa yoyote. Mazingira ni muhimu na tunastahili kuyazingatia.
Nchi yetuinapaswa kutunza nini
{ "text": [ "Usafi" ] }
1716_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Katika nchi yetu, tunapaswa kudumisha usafi ili kijiepusha na magonjwa ya uchafu au magonjwa yoyote. Unapoishi katika mazingira safi, hapo basi afya yako itakuwa njema, lakini usipo hudumia hayo yote utapata afya yako ikiwa mbaya ama unagonjeka kila mara. Hapo awali, palikuwa na familia iliyokaa jirani yetu. Walikuwa wakipenda kuishi katika mazingira machafu. Walipoelezwa umuhimu wa usafi hawakutaka kuskia lolote. Walipuuza wanakijiji kwa kusema kuwa wengine hawajakufa mbona wao wafe. Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema, asiyeskia la mkuu, huvunjika guu. Basi siku yao iliwadia, watoto wa mama moja walishikwa na ugonjwa wa kipindupindu na hakua na hela zozote za kuwapeleka hospitali, basi alianza kuomba wanakijiji wampe hela ili akawatibu wanawe. Alianza kujiombea msamaha kwa kusema asamehewe kwani angelijua hangepuuza maneno yao. Lakini hakuwa na lake, kila mwanakijiji alimtoroka na kumwambia ajipange na maisha yake kwani alielezwa umuhimu wa usafi na hakujali. Tuyatunze mazingira yetu ili maisha yetu yawe mazuri na tusipatikane na magonjwa yoyote. Mazingira ni muhimu na tunastahili kuyazingatia.
Mtu anapoishi katika mazingira safi afya yake inakuwa vipi
{ "text": [ "Njema" ] }
1716_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Katika nchi yetu, tunapaswa kudumisha usafi ili kijiepusha na magonjwa ya uchafu au magonjwa yoyote. Unapoishi katika mazingira safi, hapo basi afya yako itakuwa njema, lakini usipo hudumia hayo yote utapata afya yako ikiwa mbaya ama unagonjeka kila mara. Hapo awali, palikuwa na familia iliyokaa jirani yetu. Walikuwa wakipenda kuishi katika mazingira machafu. Walipoelezwa umuhimu wa usafi hawakutaka kuskia lolote. Walipuuza wanakijiji kwa kusema kuwa wengine hawajakufa mbona wao wafe. Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema, asiyeskia la mkuu, huvunjika guu. Basi siku yao iliwadia, watoto wa mama moja walishikwa na ugonjwa wa kipindupindu na hakua na hela zozote za kuwapeleka hospitali, basi alianza kuomba wanakijiji wampe hela ili akawatibu wanawe. Alianza kujiombea msamaha kwa kusema asamehewe kwani angelijua hangepuuza maneno yao. Lakini hakuwa na lake, kila mwanakijiji alimtoroka na kumwambia ajipange na maisha yake kwani alielezwa umuhimu wa usafi na hakujali. Tuyatunze mazingira yetu ili maisha yetu yawe mazuri na tusipatikane na magonjwa yoyote. Mazingira ni muhimu na tunastahili kuyazingatia.
Asiyesikia la mkuu huvunjika nini
{ "text": [ "Guu" ] }
1716_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Katika nchi yetu, tunapaswa kudumisha usafi ili kijiepusha na magonjwa ya uchafu au magonjwa yoyote. Unapoishi katika mazingira safi, hapo basi afya yako itakuwa njema, lakini usipo hudumia hayo yote utapata afya yako ikiwa mbaya ama unagonjeka kila mara. Hapo awali, palikuwa na familia iliyokaa jirani yetu. Walikuwa wakipenda kuishi katika mazingira machafu. Walipoelezwa umuhimu wa usafi hawakutaka kuskia lolote. Walipuuza wanakijiji kwa kusema kuwa wengine hawajakufa mbona wao wafe. Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema, asiyeskia la mkuu, huvunjika guu. Basi siku yao iliwadia, watoto wa mama moja walishikwa na ugonjwa wa kipindupindu na hakua na hela zozote za kuwapeleka hospitali, basi alianza kuomba wanakijiji wampe hela ili akawatibu wanawe. Alianza kujiombea msamaha kwa kusema asamehewe kwani angelijua hangepuuza maneno yao. Lakini hakuwa na lake, kila mwanakijiji alimtoroka na kumwambia ajipange na maisha yake kwani alielezwa umuhimu wa usafi na hakujali. Tuyatunze mazingira yetu ili maisha yetu yawe mazuri na tusipatikane na magonjwa yoyote. Mazingira ni muhimu na tunastahili kuyazingatia.
Watoto wa mama mmoja walishikwa na nini
{ "text": [ "Ugonjwa wa kipindupindu" ] }
1720_swa
Mazingira ni mahali inayozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Tunapoishi katika mazingira machafu, tutaweza kuambukizwa magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, malaria. Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali na nyumba. Tunafaa piaa kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Pia tunafaa kula vyakula safi kila wakati. Tuvae nguo safi ili tusipate ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji safi. Tunapasua kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani, tuwajengee makaazi yao ili wasichafue mazingira yetu. Binadamu kwanza kabisa anfaa kuchoma taka taka ili isitapakae kwa mazingira yetu. Pia tunafaa kutumia vyoo kwa njia nzuri ili tusipate magonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuwa kila siku tunaosha vyoo vyetu. na Mazingira tunayoishi sisi binadamu yanafaa kung'aa. Shuleni pia tunafaa kudumisha usafi kwa kuokota karatasi na kuzichoma na kusafisha madarasa yetu. Tunafaa kulala ndani ya vyandarua ili kujizuia kuumwa na mbu. Bila kuzingatia haya, tutaweza kupata magonjwa. Haya basi tuzingatie mazingira yetu.
Tunafaa kuzingatia nini
{ "text": [ "usafi mahali tunapoishi" ] }
1720_swa
Mazingira ni mahali inayozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Tunapoishi katika mazingira machafu, tutaweza kuambukizwa magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, malaria. Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali na nyumba. Tunafaa piaa kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Pia tunafaa kula vyakula safi kila wakati. Tuvae nguo safi ili tusipate ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji safi. Tunapasua kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani, tuwajengee makaazi yao ili wasichafue mazingira yetu. Binadamu kwanza kabisa anfaa kuchoma taka taka ili isitapakae kwa mazingira yetu. Pia tunafaa kutumia vyoo kwa njia nzuri ili tusipate magonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuwa kila siku tunaosha vyoo vyetu. na Mazingira tunayoishi sisi binadamu yanafaa kung'aa. Shuleni pia tunafaa kudumisha usafi kwa kuokota karatasi na kuzichoma na kusafisha madarasa yetu. Tunafaa kulala ndani ya vyandarua ili kujizuia kuumwa na mbu. Bila kuzingatia haya, tutaweza kupata magonjwa. Haya basi tuzingatie mazingira yetu.
Tunafaa kula vyakula vya aina gani
{ "text": [ "vyakula safi" ] }
1720_swa
Mazingira ni mahali inayozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Tunapoishi katika mazingira machafu, tutaweza kuambukizwa magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, malaria. Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali na nyumba. Tunafaa piaa kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Pia tunafaa kula vyakula safi kila wakati. Tuvae nguo safi ili tusipate ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji safi. Tunapasua kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani, tuwajengee makaazi yao ili wasichafue mazingira yetu. Binadamu kwanza kabisa anfaa kuchoma taka taka ili isitapakae kwa mazingira yetu. Pia tunafaa kutumia vyoo kwa njia nzuri ili tusipate magonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuwa kila siku tunaosha vyoo vyetu. na Mazingira tunayoishi sisi binadamu yanafaa kung'aa. Shuleni pia tunafaa kudumisha usafi kwa kuokota karatasi na kuzichoma na kusafisha madarasa yetu. Tunafaa kulala ndani ya vyandarua ili kujizuia kuumwa na mbu. Bila kuzingatia haya, tutaweza kupata magonjwa. Haya basi tuzingatie mazingira yetu.
Ukivaa nguo chafu utapata nini
{ "text": [ "ugonjwa wa ngozi" ] }
1720_swa
Mazingira ni mahali inayozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Tunapoishi katika mazingira machafu, tutaweza kuambukizwa magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, malaria. Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali na nyumba. Tunafaa piaa kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Pia tunafaa kula vyakula safi kila wakati. Tuvae nguo safi ili tusipate ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji safi. Tunapasua kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani, tuwajengee makaazi yao ili wasichafue mazingira yetu. Binadamu kwanza kabisa anfaa kuchoma taka taka ili isitapakae kwa mazingira yetu. Pia tunafaa kutumia vyoo kwa njia nzuri ili tusipate magonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuwa kila siku tunaosha vyoo vyetu. na Mazingira tunayoishi sisi binadamu yanafaa kung'aa. Shuleni pia tunafaa kudumisha usafi kwa kuokota karatasi na kuzichoma na kusafisha madarasa yetu. Tunafaa kulala ndani ya vyandarua ili kujizuia kuumwa na mbu. Bila kuzingatia haya, tutaweza kupata magonjwa. Haya basi tuzingatie mazingira yetu.
Tunafaa kuosha vyoo vyetu lini
{ "text": [ "kila siku" ] }
1720_swa
Mazingira ni mahali inayozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Tunapoishi katika mazingira machafu, tutaweza kuambukizwa magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, malaria. Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali na nyumba. Tunafaa piaa kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Pia tunafaa kula vyakula safi kila wakati. Tuvae nguo safi ili tusipate ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji safi. Tunapasua kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani, tuwajengee makaazi yao ili wasichafue mazingira yetu. Binadamu kwanza kabisa anfaa kuchoma taka taka ili isitapakae kwa mazingira yetu. Pia tunafaa kutumia vyoo kwa njia nzuri ili tusipate magonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuwa kila siku tunaosha vyoo vyetu. na Mazingira tunayoishi sisi binadamu yanafaa kung'aa. Shuleni pia tunafaa kudumisha usafi kwa kuokota karatasi na kuzichoma na kusafisha madarasa yetu. Tunafaa kulala ndani ya vyandarua ili kujizuia kuumwa na mbu. Bila kuzingatia haya, tutaweza kupata magonjwa. Haya basi tuzingatie mazingira yetu.
Mbona tunapaswa kutunza wanyama wetu kwa kuwajengea mahali wataishi
{ "text": [ "hii itasaidia kupunguza uchafuaji wa mazingira" ] }
1723_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tukiyachafua mazingira huleta madhara tofauti tofauti. Moja wapo ni kuharibika kwa hewa, mazingira chafu hufanya hewa kuwa chafu. Mazingira machafu pia hutupa maradhi mbalimbali, kama vile:homa ya matumbo na kipindupindu. Waja wengi wameadhirika pakubwa na uchafuzi wa mazingira. Sehemu za Kenya, Uganda, Nigeria, na Sudan wameadhirika na machafuzi ya mazingira. Mazingira safi hupendeza macho. Watalii wengi hutembea nchi mbali mbali ambazo zina mazingira safi. Mazingira yanapokuwo chafu, basi tutapoteza watalii. Ushuru wanaolipa watalii husaidia kuboresha uchumi wetu. Wanyama wetu pia huadhirika pakubwa na uchafuzi wa mazingira. Wao hutegemea mazingira kwa makao, chakula, na maji. Tunapoyachafua, basi watakosa makao na wengine wao wataaga dunia. Maji ni uhai. Tunapochafua mazingira, maji pia huchafuka. Maji yanapochafuka basi itakuwa magonjwa kwetu. Uchafuzi wa mazingira umeharibu mito, visiwa na visima vya maji. Uchafu wa mazingira hukosesha watu amani. Hewa chafu, maji machafu na mazingira machafu hukosesha watu amani. Unapotembea mahali upatane au ukanyage choo cha mtu bila shaka ukosa amani. Kuharibika kwa maliasili kama vile madini, misitu au maji vinatokana na maumbile ambayo hupatikana katika mazingira. Mawaziri wa mazingira katika nchi hizo nne wanajaribu kila wawezalo ili kupunguza athari ya uchafuzi wa mazingira.
Watali hulipa nini ili kutazama mazingira?
{ "text": [ "Ushuru" ] }
1723_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tukiyachafua mazingira huleta madhara tofauti tofauti. Moja wapo ni kuharibika kwa hewa, mazingira chafu hufanya hewa kuwa chafu. Mazingira machafu pia hutupa maradhi mbalimbali, kama vile:homa ya matumbo na kipindupindu. Waja wengi wameadhirika pakubwa na uchafuzi wa mazingira. Sehemu za Kenya, Uganda, Nigeria, na Sudan wameadhirika na machafuzi ya mazingira. Mazingira safi hupendeza macho. Watalii wengi hutembea nchi mbali mbali ambazo zina mazingira safi. Mazingira yanapokuwo chafu, basi tutapoteza watalii. Ushuru wanaolipa watalii husaidia kuboresha uchumi wetu. Wanyama wetu pia huadhirika pakubwa na uchafuzi wa mazingira. Wao hutegemea mazingira kwa makao, chakula, na maji. Tunapoyachafua, basi watakosa makao na wengine wao wataaga dunia. Maji ni uhai. Tunapochafua mazingira, maji pia huchafuka. Maji yanapochafuka basi itakuwa magonjwa kwetu. Uchafuzi wa mazingira umeharibu mito, visiwa na visima vya maji. Uchafu wa mazingira hukosesha watu amani. Hewa chafu, maji machafu na mazingira machafu hukosesha watu amani. Unapotembea mahali upatane au ukanyage choo cha mtu bila shaka ukosa amani. Kuharibika kwa maliasili kama vile madini, misitu au maji vinatokana na maumbile ambayo hupatikana katika mazingira. Mawaziri wa mazingira katika nchi hizo nne wanajaribu kila wawezalo ili kupunguza athari ya uchafuzi wa mazingira.
Wanyama hutegemea mazingira ili kupata nini?
{ "text": [ "Makao na vyakula" ] }
1723_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tukiyachafua mazingira huleta madhara tofauti tofauti. Moja wapo ni kuharibika kwa hewa, mazingira chafu hufanya hewa kuwa chafu. Mazingira machafu pia hutupa maradhi mbalimbali, kama vile:homa ya matumbo na kipindupindu. Waja wengi wameadhirika pakubwa na uchafuzi wa mazingira. Sehemu za Kenya, Uganda, Nigeria, na Sudan wameadhirika na machafuzi ya mazingira. Mazingira safi hupendeza macho. Watalii wengi hutembea nchi mbali mbali ambazo zina mazingira safi. Mazingira yanapokuwo chafu, basi tutapoteza watalii. Ushuru wanaolipa watalii husaidia kuboresha uchumi wetu. Wanyama wetu pia huadhirika pakubwa na uchafuzi wa mazingira. Wao hutegemea mazingira kwa makao, chakula, na maji. Tunapoyachafua, basi watakosa makao na wengine wao wataaga dunia. Maji ni uhai. Tunapochafua mazingira, maji pia huchafuka. Maji yanapochafuka basi itakuwa magonjwa kwetu. Uchafuzi wa mazingira umeharibu mito, visiwa na visima vya maji. Uchafu wa mazingira hukosesha watu amani. Hewa chafu, maji machafu na mazingira machafu hukosesha watu amani. Unapotembea mahali upatane au ukanyage choo cha mtu bila shaka ukosa amani. Kuharibika kwa maliasili kama vile madini, misitu au maji vinatokana na maumbile ambayo hupatikana katika mazingira. Mawaziri wa mazingira katika nchi hizo nne wanajaribu kila wawezalo ili kupunguza athari ya uchafuzi wa mazingira.
Mambo yanayomzunguka binadamu yanajulikana kama nini?
{ "text": [ "Mazingira" ] }