Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
1638_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurÃ. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo.
Viwanda husababisha uchafuzi wa mazingira kwa kutupa mabaki ya kemikali kwenye miili ya maji na kuchafua hewa kwa moshi. Moshi hutoka kwenye viwanda ambapo wanachoma mabaki ya kemikali na madawa yanapochomwa hospitalini. Pia Kuna Viwanda ambavyo hutupa kemikali mtoni ambapo binadamu huteka maji. Binadamu wanapokunywa maji yale wanaadhirika magonjwa kama kipindupindu ambayo husababishwa kwa kukula au kunywa maji taka.
Magoniwa ya homa ya tumbo na kuhara damu. Kwa kweli si rahisi kudumisha siha njema na usafi katika maeneo hayo yaliyojaa watu na kutapika wengine: Hali ni mbaya zaidi katika vitongoji duni vilivyoshamiri sana Katika maeneo ya mijini na majijini si ajabu kuskia mlipuko wa kipindupindu katika maeneo hayo.
Hotelini kadhaa pia huchafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula, watoto wadogo huokota na kukula na baada ya kukula wanaweza kuugua. Pia tunafaa kufyeka nyasi na kuondoa maji taka ambayo yamezolea kando mwa nyumba zetu ili kuzuia malaria na magonjwa menginevyo.
| Moshi huathiri mazingira kivipi? | {
"text": [
"Huchafua hewa"
]
} |
1638_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurÃ. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo.
Viwanda husababisha uchafuzi wa mazingira kwa kutupa mabaki ya kemikali kwenye miili ya maji na kuchafua hewa kwa moshi. Moshi hutoka kwenye viwanda ambapo wanachoma mabaki ya kemikali na madawa yanapochomwa hospitalini. Pia Kuna Viwanda ambavyo hutupa kemikali mtoni ambapo binadamu huteka maji. Binadamu wanapokunywa maji yale wanaadhirika magonjwa kama kipindupindu ambayo husababishwa kwa kukula au kunywa maji taka.
Magoniwa ya homa ya tumbo na kuhara damu. Kwa kweli si rahisi kudumisha siha njema na usafi katika maeneo hayo yaliyojaa watu na kutapika wengine: Hali ni mbaya zaidi katika vitongoji duni vilivyoshamiri sana Katika maeneo ya mijini na majijini si ajabu kuskia mlipuko wa kipindupindu katika maeneo hayo.
Hotelini kadhaa pia huchafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula, watoto wadogo huokota na kukula na baada ya kukula wanaweza kuugua. Pia tunafaa kufyeka nyasi na kuondoa maji taka ambayo yamezolea kando mwa nyumba zetu ili kuzuia malaria na magonjwa menginevyo.
| Kina nani hupenda kuokota na kula vyakula vilivyotupwa? | {
"text": [
"Watoto wadogo"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia alikuwa akijisaidia nje hakuwa na msahala ya kujisaidia.Mzee huyo alikuwa akiugua sana kwa minajili ya uchafu iliyojaa mazingira yake.
Mazingira chafu pia hunyima watu starehe.Tunapaswa kudumisha usafi pahali tuanapoishi mazingira machafu hamna yeyote anayatamani. Wanakijiji walimhimiza Mzee huyo kuwa msafi, lakini hakutaka kuyasikiliza maneno yao. Kila alipohimizwa Mzee huyu aliwajibu hayo maneno yenu nendeni mkayalishe nguruwe siyataki mimi. Beberu Kando lakini alisahau kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tusipozingatia usafi tutapatwa na magonjwa mengi. Siku moja mzee huyo mwenye alitia maskio yake ndo aligonjeka ugonjwa usikuwa na kifani. Mzee huyo alikuwa na maumivu mwili yake yote kapata lisensi ya kuendesha hakuwa maiti wala mamati. kwa sababu wa uchafu uliokubuo umejaa mazingira yake.
Mzee huyo alipopelekwa hospitalini akaeleza daktari vile alivyokuwa na maumivu alielezwa kuwa ugonjwa huu umeletwa na uchafu hivyo basi unapokuwa kwa mazingira safi na pia usile chakula chafu hivyo basi mzee huyo alipewa dawa na kutuliza maumivu mwilini. Mzee huyo aliporejea nyumbani alianza kuhuzingatia usafi katika mazingira yake.yake. lakini mbeleni hakuwa akisikia la mkuu wala la mteka maji mskitini, mzee huyo alisafisha mazingira yake vizuri tena zaidi sana na kutoka siku hiyo mzee huyo hajawai kuwa mgonjwa tena.
Mazingira yake yalikuwa sasa ya kutisha kijiji nzima waama kuwa usafi unakaribia Mungu. Wanakijiji wote waliamini maana mazingira chafu huleta magonjwa kama vile malaria. Wote tunapaswa kuchimbo biwi la takataka kwa maana si vizuri kutupa taka taka kila mahali. Na hata tunapaswa kuchimba Misala ili tupate mahali pa kujisaidia. | Hapo zamani paliishi nani | {
"text": [
"Mzee Njoroge"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia alikuwa akijisaidia nje hakuwa na msahala ya kujisaidia.Mzee huyo alikuwa akiugua sana kwa minajili ya uchafu iliyojaa mazingira yake.
Mazingira chafu pia hunyima watu starehe.Tunapaswa kudumisha usafi pahali tuanapoishi mazingira machafu hamna yeyote anayatamani. Wanakijiji walimhimiza Mzee huyo kuwa msafi, lakini hakutaka kuyasikiliza maneno yao. Kila alipohimizwa Mzee huyu aliwajibu hayo maneno yenu nendeni mkayalishe nguruwe siyataki mimi. Beberu Kando lakini alisahau kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tusipozingatia usafi tutapatwa na magonjwa mengi. Siku moja mzee huyo mwenye alitia maskio yake ndo aligonjeka ugonjwa usikuwa na kifani. Mzee huyo alikuwa na maumivu mwili yake yote kapata lisensi ya kuendesha hakuwa maiti wala mamati. kwa sababu wa uchafu uliokubuo umejaa mazingira yake.
Mzee huyo alipopelekwa hospitalini akaeleza daktari vile alivyokuwa na maumivu alielezwa kuwa ugonjwa huu umeletwa na uchafu hivyo basi unapokuwa kwa mazingira safi na pia usile chakula chafu hivyo basi mzee huyo alipewa dawa na kutuliza maumivu mwilini. Mzee huyo aliporejea nyumbani alianza kuhuzingatia usafi katika mazingira yake.yake. lakini mbeleni hakuwa akisikia la mkuu wala la mteka maji mskitini, mzee huyo alisafisha mazingira yake vizuri tena zaidi sana na kutoka siku hiyo mzee huyo hajawai kuwa mgonjwa tena.
Mazingira yake yalikuwa sasa ya kutisha kijiji nzima waama kuwa usafi unakaribia Mungu. Wanakijiji wote waliamini maana mazingira chafu huleta magonjwa kama vile malaria. Wote tunapaswa kuchimbo biwi la takataka kwa maana si vizuri kutupa taka taka kila mahali. Na hata tunapaswa kuchimba Misala ili tupate mahali pa kujisaidia. | Mzee Njoroge alikuwsa anajisaidia wapi | {
"text": [
"Nje"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia alikuwa akijisaidia nje hakuwa na msahala ya kujisaidia.Mzee huyo alikuwa akiugua sana kwa minajili ya uchafu iliyojaa mazingira yake.
Mazingira chafu pia hunyima watu starehe.Tunapaswa kudumisha usafi pahali tuanapoishi mazingira machafu hamna yeyote anayatamani. Wanakijiji walimhimiza Mzee huyo kuwa msafi, lakini hakutaka kuyasikiliza maneno yao. Kila alipohimizwa Mzee huyu aliwajibu hayo maneno yenu nendeni mkayalishe nguruwe siyataki mimi. Beberu Kando lakini alisahau kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tusipozingatia usafi tutapatwa na magonjwa mengi. Siku moja mzee huyo mwenye alitia maskio yake ndo aligonjeka ugonjwa usikuwa na kifani. Mzee huyo alikuwa na maumivu mwili yake yote kapata lisensi ya kuendesha hakuwa maiti wala mamati. kwa sababu wa uchafu uliokubuo umejaa mazingira yake.
Mzee huyo alipopelekwa hospitalini akaeleza daktari vile alivyokuwa na maumivu alielezwa kuwa ugonjwa huu umeletwa na uchafu hivyo basi unapokuwa kwa mazingira safi na pia usile chakula chafu hivyo basi mzee huyo alipewa dawa na kutuliza maumivu mwilini. Mzee huyo aliporejea nyumbani alianza kuhuzingatia usafi katika mazingira yake.yake. lakini mbeleni hakuwa akisikia la mkuu wala la mteka maji mskitini, mzee huyo alisafisha mazingira yake vizuri tena zaidi sana na kutoka siku hiyo mzee huyo hajawai kuwa mgonjwa tena.
Mazingira yake yalikuwa sasa ya kutisha kijiji nzima waama kuwa usafi unakaribia Mungu. Wanakijiji wote waliamini maana mazingira chafu huleta magonjwa kama vile malaria. Wote tunapaswa kuchimbo biwi la takataka kwa maana si vizuri kutupa taka taka kila mahali. Na hata tunapaswa kuchimba Misala ili tupate mahali pa kujisaidia. | Mzee Njoroge alipewa nini kutuliza maumivu mwilini | {
"text": [
"Dawa"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia alikuwa akijisaidia nje hakuwa na msahala ya kujisaidia.Mzee huyo alikuwa akiugua sana kwa minajili ya uchafu iliyojaa mazingira yake.
Mazingira chafu pia hunyima watu starehe.Tunapaswa kudumisha usafi pahali tuanapoishi mazingira machafu hamna yeyote anayatamani. Wanakijiji walimhimiza Mzee huyo kuwa msafi, lakini hakutaka kuyasikiliza maneno yao. Kila alipohimizwa Mzee huyu aliwajibu hayo maneno yenu nendeni mkayalishe nguruwe siyataki mimi. Beberu Kando lakini alisahau kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tusipozingatia usafi tutapatwa na magonjwa mengi. Siku moja mzee huyo mwenye alitia maskio yake ndo aligonjeka ugonjwa usikuwa na kifani. Mzee huyo alikuwa na maumivu mwili yake yote kapata lisensi ya kuendesha hakuwa maiti wala mamati. kwa sababu wa uchafu uliokubuo umejaa mazingira yake.
Mzee huyo alipopelekwa hospitalini akaeleza daktari vile alivyokuwa na maumivu alielezwa kuwa ugonjwa huu umeletwa na uchafu hivyo basi unapokuwa kwa mazingira safi na pia usile chakula chafu hivyo basi mzee huyo alipewa dawa na kutuliza maumivu mwilini. Mzee huyo aliporejea nyumbani alianza kuhuzingatia usafi katika mazingira yake.yake. lakini mbeleni hakuwa akisikia la mkuu wala la mteka maji mskitini, mzee huyo alisafisha mazingira yake vizuri tena zaidi sana na kutoka siku hiyo mzee huyo hajawai kuwa mgonjwa tena.
Mazingira yake yalikuwa sasa ya kutisha kijiji nzima waama kuwa usafi unakaribia Mungu. Wanakijiji wote waliamini maana mazingira chafu huleta magonjwa kama vile malaria. Wote tunapaswa kuchimbo biwi la takataka kwa maana si vizuri kutupa taka taka kila mahali. Na hata tunapaswa kuchimba Misala ili tupate mahali pa kujisaidia. | Mahali pa kujisaidia huitwaje | {
"text": [
"Choo"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia alikuwa akijisaidia nje hakuwa na msahala ya kujisaidia.Mzee huyo alikuwa akiugua sana kwa minajili ya uchafu iliyojaa mazingira yake.
Mazingira chafu pia hunyima watu starehe.Tunapaswa kudumisha usafi pahali tuanapoishi mazingira machafu hamna yeyote anayatamani. Wanakijiji walimhimiza Mzee huyo kuwa msafi, lakini hakutaka kuyasikiliza maneno yao. Kila alipohimizwa Mzee huyu aliwajibu hayo maneno yenu nendeni mkayalishe nguruwe siyataki mimi. Beberu Kando lakini alisahau kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tusipozingatia usafi tutapatwa na magonjwa mengi. Siku moja mzee huyo mwenye alitia maskio yake ndo aligonjeka ugonjwa usikuwa na kifani. Mzee huyo alikuwa na maumivu mwili yake yote kapata lisensi ya kuendesha hakuwa maiti wala mamati. kwa sababu wa uchafu uliokubuo umejaa mazingira yake.
Mzee huyo alipopelekwa hospitalini akaeleza daktari vile alivyokuwa na maumivu alielezwa kuwa ugonjwa huu umeletwa na uchafu hivyo basi unapokuwa kwa mazingira safi na pia usile chakula chafu hivyo basi mzee huyo alipewa dawa na kutuliza maumivu mwilini. Mzee huyo aliporejea nyumbani alianza kuhuzingatia usafi katika mazingira yake.yake. lakini mbeleni hakuwa akisikia la mkuu wala la mteka maji mskitini, mzee huyo alisafisha mazingira yake vizuri tena zaidi sana na kutoka siku hiyo mzee huyo hajawai kuwa mgonjwa tena.
Mazingira yake yalikuwa sasa ya kutisha kijiji nzima waama kuwa usafi unakaribia Mungu. Wanakijiji wote waliamini maana mazingira chafu huleta magonjwa kama vile malaria. Wote tunapaswa kuchimbo biwi la takataka kwa maana si vizuri kutupa taka taka kila mahali. Na hata tunapaswa kuchimba Misala ili tupate mahali pa kujisaidia. | Kwa nini mzee Njoroge aliugua | {
"text": [
"Aliishi katika mazingira machafu"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kila siku ikiwezekana hata mara mbili kwa siku. Mwanadamu akikosa kuosha mwili baada ya masiku kadhaa, yeye anauwezo mkubwa sana wa kunuka vibaya na isitoshe kupata marathi mbalimbali kama vile Kipindupindu ama kichocho. Magonjwa haya kwa kawaida humfanya binadamu kutapika mara nyingi na kuhara, hata wakati mwingine kupiga dunia teke. Insi akipata magonjwa haya, atapunguza kiwango cha maji mwilini kwa minajili ya kutapika na kuhara sana bila kurejeshea maji mwilini.
Hii humfanya insi kuwa mawindo ya magonjwa mengine makali zaidi ambayo yanayoweza kumfya kukata damu kirahisi.
lla, sio uchafu wa kimwili peke ndio inaleta magonjwa hatari, bali uchafu unaopatikana nyumbani, shuleni na kijijini kwa ujumla.Katika vijijini vyetu kuna takataka zinazotapakaa ovyo ovyo kila mahali. Hii hudhuru afya ya wadudu wadogo wanaoishi kwenye udongo ambao wanaleta manufaa ya kipekee kwa udongo. Hatupaswi kamwe kutupa takataka ovyo ovyo na pia hatupaswi kuzika takataka za plastiki.
Tunapozika takataka za plastiki ndani ya udongo, zinaathiri wanyama wadogo wanaoishi ndani ya udongo. Wanyama hawa kama siafu hukosa hewa safi ya oksijeni kwa hivyo wanaaga dunia.
Vile vile, pia tukizichoma takataka hizi kwa namna isiofaa, tunaathiri maisha ya wanadamu. Moshi hiyo ya takataka huenda na huenda na kusababisha hewa ile ya oksijeni kuchafuka na pia huathiri sehemu muhimu ya Ozoni inayosaidia wanadamu kujikinga na mionzi ya U.V.
Moshi ya taka hungana na kusababisha mvua ya asidi. Mvua ya asidi hutokea wakati dioksidi ya sulfuri (SO2) na oksidi za nitrojeni (NOX) zinapotolewa kwenye angahewa kutoka kwa viwanda na magari, na kusafirishwa na upepo na mikondo ya hewa.
Maji hii ya mvua ya asidi inadhuru binadamu, mimea pamoja na wanyama hata husababisha mabati kuoza haraka mwishowe kuharibika. Maji hii ya asidi hudhuru insi na hapaswi kamwe kuyanywa.
Kando na hayo, Mito yetu huharibiwa na Kuchafuliwa na matakataka hizi. Pia adinas wengi wana zitegemea mto hizo kwa maji ya kunywa, kuoshea, kupika na kupiga dekhi, lakini maji hayo yakichafuliwa, Tuna waitesai wanaotegemea . Maji ya mita hizi.
Haya yote yanatokana tu na kutopenda mazingira yetu, iLa Kama tungekuwa tunayajali. Labda hizi zote hazinge waitendeko Mito zetu zinge bakia safi sana, vijiji vyetu kuvutia na kupendeza sana. Hangekuwa na magonjwa mbalimbali. Lakini pia hizo zote zinaeza tendeka tuki kua wanadamu di waincoajali maringargi 24 hakuzi tunza. ' Lakini Kaitika upande mwingine, tukiendelea na kutojali yetu, watu na wanyama wataendelea kuadhirika zaidi na magonjwa mingi zitakuwa kwahayo.
| Kuendesha sana ina hatari gani kwa mwanadamu? | {
"text": [
"Kupoteza maji mwilini"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kila siku ikiwezekana hata mara mbili kwa siku. Mwanadamu akikosa kuosha mwili baada ya masiku kadhaa, yeye anauwezo mkubwa sana wa kunuka vibaya na isitoshe kupata marathi mbalimbali kama vile Kipindupindu ama kichocho. Magonjwa haya kwa kawaida humfanya binadamu kutapika mara nyingi na kuhara, hata wakati mwingine kupiga dunia teke. Insi akipata magonjwa haya, atapunguza kiwango cha maji mwilini kwa minajili ya kutapika na kuhara sana bila kurejeshea maji mwilini.
Hii humfanya insi kuwa mawindo ya magonjwa mengine makali zaidi ambayo yanayoweza kumfya kukata damu kirahisi.
lla, sio uchafu wa kimwili peke ndio inaleta magonjwa hatari, bali uchafu unaopatikana nyumbani, shuleni na kijijini kwa ujumla.Katika vijijini vyetu kuna takataka zinazotapakaa ovyo ovyo kila mahali. Hii hudhuru afya ya wadudu wadogo wanaoishi kwenye udongo ambao wanaleta manufaa ya kipekee kwa udongo. Hatupaswi kamwe kutupa takataka ovyo ovyo na pia hatupaswi kuzika takataka za plastiki.
Tunapozika takataka za plastiki ndani ya udongo, zinaathiri wanyama wadogo wanaoishi ndani ya udongo. Wanyama hawa kama siafu hukosa hewa safi ya oksijeni kwa hivyo wanaaga dunia.
Vile vile, pia tukizichoma takataka hizi kwa namna isiofaa, tunaathiri maisha ya wanadamu. Moshi hiyo ya takataka huenda na huenda na kusababisha hewa ile ya oksijeni kuchafuka na pia huathiri sehemu muhimu ya Ozoni inayosaidia wanadamu kujikinga na mionzi ya U.V.
Moshi ya taka hungana na kusababisha mvua ya asidi. Mvua ya asidi hutokea wakati dioksidi ya sulfuri (SO2) na oksidi za nitrojeni (NOX) zinapotolewa kwenye angahewa kutoka kwa viwanda na magari, na kusafirishwa na upepo na mikondo ya hewa.
Maji hii ya mvua ya asidi inadhuru binadamu, mimea pamoja na wanyama hata husababisha mabati kuoza haraka mwishowe kuharibika. Maji hii ya asidi hudhuru insi na hapaswi kamwe kuyanywa.
Kando na hayo, Mito yetu huharibiwa na Kuchafuliwa na matakataka hizi. Pia adinas wengi wana zitegemea mto hizo kwa maji ya kunywa, kuoshea, kupika na kupiga dekhi, lakini maji hayo yakichafuliwa, Tuna waitesai wanaotegemea . Maji ya mita hizi.
Haya yote yanatokana tu na kutopenda mazingira yetu, iLa Kama tungekuwa tunayajali. Labda hizi zote hazinge waitendeko Mito zetu zinge bakia safi sana, vijiji vyetu kuvutia na kupendeza sana. Hangekuwa na magonjwa mbalimbali. Lakini pia hizo zote zinaeza tendeka tuki kua wanadamu di waincoajali maringargi 24 hakuzi tunza. ' Lakini Kaitika upande mwingine, tukiendelea na kutojali yetu, watu na wanyama wataendelea kuadhirika zaidi na magonjwa mingi zitakuwa kwahayo.
| Mwandishi anahimiza watu kufanya nini kila siku? | {
"text": [
"Kuoga mwili"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kila siku ikiwezekana hata mara mbili kwa siku. Mwanadamu akikosa kuosha mwili baada ya masiku kadhaa, yeye anauwezo mkubwa sana wa kunuka vibaya na isitoshe kupata marathi mbalimbali kama vile Kipindupindu ama kichocho. Magonjwa haya kwa kawaida humfanya binadamu kutapika mara nyingi na kuhara, hata wakati mwingine kupiga dunia teke. Insi akipata magonjwa haya, atapunguza kiwango cha maji mwilini kwa minajili ya kutapika na kuhara sana bila kurejeshea maji mwilini.
Hii humfanya insi kuwa mawindo ya magonjwa mengine makali zaidi ambayo yanayoweza kumfya kukata damu kirahisi.
lla, sio uchafu wa kimwili peke ndio inaleta magonjwa hatari, bali uchafu unaopatikana nyumbani, shuleni na kijijini kwa ujumla.Katika vijijini vyetu kuna takataka zinazotapakaa ovyo ovyo kila mahali. Hii hudhuru afya ya wadudu wadogo wanaoishi kwenye udongo ambao wanaleta manufaa ya kipekee kwa udongo. Hatupaswi kamwe kutupa takataka ovyo ovyo na pia hatupaswi kuzika takataka za plastiki.
Tunapozika takataka za plastiki ndani ya udongo, zinaathiri wanyama wadogo wanaoishi ndani ya udongo. Wanyama hawa kama siafu hukosa hewa safi ya oksijeni kwa hivyo wanaaga dunia.
Vile vile, pia tukizichoma takataka hizi kwa namna isiofaa, tunaathiri maisha ya wanadamu. Moshi hiyo ya takataka huenda na huenda na kusababisha hewa ile ya oksijeni kuchafuka na pia huathiri sehemu muhimu ya Ozoni inayosaidia wanadamu kujikinga na mionzi ya U.V.
Moshi ya taka hungana na kusababisha mvua ya asidi. Mvua ya asidi hutokea wakati dioksidi ya sulfuri (SO2) na oksidi za nitrojeni (NOX) zinapotolewa kwenye angahewa kutoka kwa viwanda na magari, na kusafirishwa na upepo na mikondo ya hewa.
Maji hii ya mvua ya asidi inadhuru binadamu, mimea pamoja na wanyama hata husababisha mabati kuoza haraka mwishowe kuharibika. Maji hii ya asidi hudhuru insi na hapaswi kamwe kuyanywa.
Kando na hayo, Mito yetu huharibiwa na Kuchafuliwa na matakataka hizi. Pia adinas wengi wana zitegemea mto hizo kwa maji ya kunywa, kuoshea, kupika na kupiga dekhi, lakini maji hayo yakichafuliwa, Tuna waitesai wanaotegemea . Maji ya mita hizi.
Haya yote yanatokana tu na kutopenda mazingira yetu, iLa Kama tungekuwa tunayajali. Labda hizi zote hazinge waitendeko Mito zetu zinge bakia safi sana, vijiji vyetu kuvutia na kupendeza sana. Hangekuwa na magonjwa mbalimbali. Lakini pia hizo zote zinaeza tendeka tuki kua wanadamu di waincoajali maringargi 24 hakuzi tunza. ' Lakini Kaitika upande mwingine, tukiendelea na kutojali yetu, watu na wanyama wataendelea kuadhirika zaidi na magonjwa mingi zitakuwa kwahayo.
| Kuchoma taka huharibu nini? | {
"text": [
"Hewa"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kila siku ikiwezekana hata mara mbili kwa siku. Mwanadamu akikosa kuosha mwili baada ya masiku kadhaa, yeye anauwezo mkubwa sana wa kunuka vibaya na isitoshe kupata marathi mbalimbali kama vile Kipindupindu ama kichocho. Magonjwa haya kwa kawaida humfanya binadamu kutapika mara nyingi na kuhara, hata wakati mwingine kupiga dunia teke. Insi akipata magonjwa haya, atapunguza kiwango cha maji mwilini kwa minajili ya kutapika na kuhara sana bila kurejeshea maji mwilini.
Hii humfanya insi kuwa mawindo ya magonjwa mengine makali zaidi ambayo yanayoweza kumfya kukata damu kirahisi.
lla, sio uchafu wa kimwili peke ndio inaleta magonjwa hatari, bali uchafu unaopatikana nyumbani, shuleni na kijijini kwa ujumla.Katika vijijini vyetu kuna takataka zinazotapakaa ovyo ovyo kila mahali. Hii hudhuru afya ya wadudu wadogo wanaoishi kwenye udongo ambao wanaleta manufaa ya kipekee kwa udongo. Hatupaswi kamwe kutupa takataka ovyo ovyo na pia hatupaswi kuzika takataka za plastiki.
Tunapozika takataka za plastiki ndani ya udongo, zinaathiri wanyama wadogo wanaoishi ndani ya udongo. Wanyama hawa kama siafu hukosa hewa safi ya oksijeni kwa hivyo wanaaga dunia.
Vile vile, pia tukizichoma takataka hizi kwa namna isiofaa, tunaathiri maisha ya wanadamu. Moshi hiyo ya takataka huenda na huenda na kusababisha hewa ile ya oksijeni kuchafuka na pia huathiri sehemu muhimu ya Ozoni inayosaidia wanadamu kujikinga na mionzi ya U.V.
Moshi ya taka hungana na kusababisha mvua ya asidi. Mvua ya asidi hutokea wakati dioksidi ya sulfuri (SO2) na oksidi za nitrojeni (NOX) zinapotolewa kwenye angahewa kutoka kwa viwanda na magari, na kusafirishwa na upepo na mikondo ya hewa.
Maji hii ya mvua ya asidi inadhuru binadamu, mimea pamoja na wanyama hata husababisha mabati kuoza haraka mwishowe kuharibika. Maji hii ya asidi hudhuru insi na hapaswi kamwe kuyanywa.
Kando na hayo, Mito yetu huharibiwa na Kuchafuliwa na matakataka hizi. Pia adinas wengi wana zitegemea mto hizo kwa maji ya kunywa, kuoshea, kupika na kupiga dekhi, lakini maji hayo yakichafuliwa, Tuna waitesai wanaotegemea . Maji ya mita hizi.
Haya yote yanatokana tu na kutopenda mazingira yetu, iLa Kama tungekuwa tunayajali. Labda hizi zote hazinge waitendeko Mito zetu zinge bakia safi sana, vijiji vyetu kuvutia na kupendeza sana. Hangekuwa na magonjwa mbalimbali. Lakini pia hizo zote zinaeza tendeka tuki kua wanadamu di waincoajali maringargi 24 hakuzi tunza. ' Lakini Kaitika upande mwingine, tukiendelea na kutojali yetu, watu na wanyama wataendelea kuadhirika zaidi na magonjwa mingi zitakuwa kwahayo.
| Kutapakaa kwa takataka huuwa kina nani? | {
"text": [
"Wadudu muhimu wanaoishi kwenye ardhi"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kila siku ikiwezekana hata mara mbili kwa siku. Mwanadamu akikosa kuosha mwili baada ya masiku kadhaa, yeye anauwezo mkubwa sana wa kunuka vibaya na isitoshe kupata marathi mbalimbali kama vile Kipindupindu ama kichocho. Magonjwa haya kwa kawaida humfanya binadamu kutapika mara nyingi na kuhara, hata wakati mwingine kupiga dunia teke. Insi akipata magonjwa haya, atapunguza kiwango cha maji mwilini kwa minajili ya kutapika na kuhara sana bila kurejeshea maji mwilini.
Hii humfanya insi kuwa mawindo ya magonjwa mengine makali zaidi ambayo yanayoweza kumfya kukata damu kirahisi.
lla, sio uchafu wa kimwili peke ndio inaleta magonjwa hatari, bali uchafu unaopatikana nyumbani, shuleni na kijijini kwa ujumla.Katika vijijini vyetu kuna takataka zinazotapakaa ovyo ovyo kila mahali. Hii hudhuru afya ya wadudu wadogo wanaoishi kwenye udongo ambao wanaleta manufaa ya kipekee kwa udongo. Hatupaswi kamwe kutupa takataka ovyo ovyo na pia hatupaswi kuzika takataka za plastiki.
Tunapozika takataka za plastiki ndani ya udongo, zinaathiri wanyama wadogo wanaoishi ndani ya udongo. Wanyama hawa kama siafu hukosa hewa safi ya oksijeni kwa hivyo wanaaga dunia.
Vile vile, pia tukizichoma takataka hizi kwa namna isiofaa, tunaathiri maisha ya wanadamu. Moshi hiyo ya takataka huenda na huenda na kusababisha hewa ile ya oksijeni kuchafuka na pia huathiri sehemu muhimu ya Ozoni inayosaidia wanadamu kujikinga na mionzi ya U.V.
Moshi ya taka hungana na kusababisha mvua ya asidi. Mvua ya asidi hutokea wakati dioksidi ya sulfuri (SO2) na oksidi za nitrojeni (NOX) zinapotolewa kwenye angahewa kutoka kwa viwanda na magari, na kusafirishwa na upepo na mikondo ya hewa.
Maji hii ya mvua ya asidi inadhuru binadamu, mimea pamoja na wanyama hata husababisha mabati kuoza haraka mwishowe kuharibika. Maji hii ya asidi hudhuru insi na hapaswi kamwe kuyanywa.
Kando na hayo, Mito yetu huharibiwa na Kuchafuliwa na matakataka hizi. Pia adinas wengi wana zitegemea mto hizo kwa maji ya kunywa, kuoshea, kupika na kupiga dekhi, lakini maji hayo yakichafuliwa, Tuna waitesai wanaotegemea . Maji ya mita hizi.
Haya yote yanatokana tu na kutopenda mazingira yetu, iLa Kama tungekuwa tunayajali. Labda hizi zote hazinge waitendeko Mito zetu zinge bakia safi sana, vijiji vyetu kuvutia na kupendeza sana. Hangekuwa na magonjwa mbalimbali. Lakini pia hizo zote zinaeza tendeka tuki kua wanadamu di waincoajali maringargi 24 hakuzi tunza. ' Lakini Kaitika upande mwingine, tukiendelea na kutojali yetu, watu na wanyama wataendelea kuadhirika zaidi na magonjwa mingi zitakuwa kwahayo.
| Mito hutumiwa kupata nini? | {
"text": [
"Maji ya kupika"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi yetu taka zitasambaratika kila mahali. Viwanda vyetu vinapotoa uchafu vyao huenda na kuyamwaga kwenye mito na mabwawa. Uchafu huo huwauwa wanyama baharini kama vile samaki. Na kwa watu pia inatudhuru kwani tunapotaka kuyatumia maji yale hatuwezi kwani ni chafu kupita kiasi. Nayo maji yale kukinyesha mito zijae maji inayapeleka uchafu huo kwa mabwawa mengine.
Pia uchafu huo hutuletea magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, kichacho na mengineo. Magonjwa haya huyadhuru mili yetu. Tunalemewa kufanya kazi inayofaa na pale tunashindwa kuzisaidia familia zetu inavyofaa. Magonjwa haya yanaweza kumfanya mtu kupelekwa na kulazwa hospitali. Maji hujaa sanasana kwenye mashimo za kuchimbwa.
Makaratasi yale tukiyatupa kila mahali mvua na upepo huyasambaratisha na yanajaa kila mahali. Mvua inaponyesha inayabeba yale taka na kuyapeleka kwenye mito mingine. Maji hayo yanakuwa maji machafu kamwe. Maji haya huenda yakaingia na kuchanganyika na yale tunayokuwa tukiyatumia. Maji yale ambayo yanaenda mtoni yanachanganyika na yale machafu. Asubuhi wanyama na watu wanaenda kuyatumia au kuyakunywa maji yale wanashindwa Na wanyama pia wanaharibikiwa na maji yote.
Na pia tunapokuwa tukiyatupa makaratasi ovyo ovyo wanyama wetu kama vile ng’ombe na punda wakikula nyasi pia huyatafuna makaratasi yale ambayo linawafanya wanyama wetu waanze kudhofia. Hali yao ikififia huanza kuaga dunia. Ndio maana inatubidi tujifunge mkanda na tukabiliane na madhara haya ili tuishi mazingira mazuri yenye furaha na afya. Na pia ili maishani tuishi kwa mazingira yanayopendeza. Ili magonjwa yatutoroke na wanyama wetu waweze kuzaana kwa wingi. | Ni nini ni mahali ambapo binadamu au wanyama huishi | {
"text": [
"mazingira"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi yetu taka zitasambaratika kila mahali. Viwanda vyetu vinapotoa uchafu vyao huenda na kuyamwaga kwenye mito na mabwawa. Uchafu huo huwauwa wanyama baharini kama vile samaki. Na kwa watu pia inatudhuru kwani tunapotaka kuyatumia maji yale hatuwezi kwani ni chafu kupita kiasi. Nayo maji yale kukinyesha mito zijae maji inayapeleka uchafu huo kwa mabwawa mengine.
Pia uchafu huo hutuletea magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, kichacho na mengineo. Magonjwa haya huyadhuru mili yetu. Tunalemewa kufanya kazi inayofaa na pale tunashindwa kuzisaidia familia zetu inavyofaa. Magonjwa haya yanaweza kumfanya mtu kupelekwa na kulazwa hospitali. Maji hujaa sanasana kwenye mashimo za kuchimbwa.
Makaratasi yale tukiyatupa kila mahali mvua na upepo huyasambaratisha na yanajaa kila mahali. Mvua inaponyesha inayabeba yale taka na kuyapeleka kwenye mito mingine. Maji hayo yanakuwa maji machafu kamwe. Maji haya huenda yakaingia na kuchanganyika na yale tunayokuwa tukiyatumia. Maji yale ambayo yanaenda mtoni yanachanganyika na yale machafu. Asubuhi wanyama na watu wanaenda kuyatumia au kuyakunywa maji yale wanashindwa Na wanyama pia wanaharibikiwa na maji yote.
Na pia tunapokuwa tukiyatupa makaratasi ovyo ovyo wanyama wetu kama vile ng’ombe na punda wakikula nyasi pia huyatafuna makaratasi yale ambayo linawafanya wanyama wetu waanze kudhofia. Hali yao ikififia huanza kuaga dunia. Ndio maana inatubidi tujifunge mkanda na tukabiliane na madhara haya ili tuishi mazingira mazuri yenye furaha na afya. Na pia ili maishani tuishi kwa mazingira yanayopendeza. Ili magonjwa yatutoroke na wanyama wetu waweze kuzaana kwa wingi. | Nani huyadhuru mazingira | {
"text": [
"wanadamu"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi yetu taka zitasambaratika kila mahali. Viwanda vyetu vinapotoa uchafu vyao huenda na kuyamwaga kwenye mito na mabwawa. Uchafu huo huwauwa wanyama baharini kama vile samaki. Na kwa watu pia inatudhuru kwani tunapotaka kuyatumia maji yale hatuwezi kwani ni chafu kupita kiasi. Nayo maji yale kukinyesha mito zijae maji inayapeleka uchafu huo kwa mabwawa mengine.
Pia uchafu huo hutuletea magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, kichacho na mengineo. Magonjwa haya huyadhuru mili yetu. Tunalemewa kufanya kazi inayofaa na pale tunashindwa kuzisaidia familia zetu inavyofaa. Magonjwa haya yanaweza kumfanya mtu kupelekwa na kulazwa hospitali. Maji hujaa sanasana kwenye mashimo za kuchimbwa.
Makaratasi yale tukiyatupa kila mahali mvua na upepo huyasambaratisha na yanajaa kila mahali. Mvua inaponyesha inayabeba yale taka na kuyapeleka kwenye mito mingine. Maji hayo yanakuwa maji machafu kamwe. Maji haya huenda yakaingia na kuchanganyika na yale tunayokuwa tukiyatumia. Maji yale ambayo yanaenda mtoni yanachanganyika na yale machafu. Asubuhi wanyama na watu wanaenda kuyatumia au kuyakunywa maji yale wanashindwa Na wanyama pia wanaharibikiwa na maji yote.
Na pia tunapokuwa tukiyatupa makaratasi ovyo ovyo wanyama wetu kama vile ng’ombe na punda wakikula nyasi pia huyatafuna makaratasi yale ambayo linawafanya wanyama wetu waanze kudhofia. Hali yao ikififia huanza kuaga dunia. Ndio maana inatubidi tujifunge mkanda na tukabiliane na madhara haya ili tuishi mazingira mazuri yenye furaha na afya. Na pia ili maishani tuishi kwa mazingira yanayopendeza. Ili magonjwa yatutoroke na wanyama wetu waweze kuzaana kwa wingi. | Viwanda vyetu hutoa nini | {
"text": [
"uchafu"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi yetu taka zitasambaratika kila mahali. Viwanda vyetu vinapotoa uchafu vyao huenda na kuyamwaga kwenye mito na mabwawa. Uchafu huo huwauwa wanyama baharini kama vile samaki. Na kwa watu pia inatudhuru kwani tunapotaka kuyatumia maji yale hatuwezi kwani ni chafu kupita kiasi. Nayo maji yale kukinyesha mito zijae maji inayapeleka uchafu huo kwa mabwawa mengine.
Pia uchafu huo hutuletea magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, kichacho na mengineo. Magonjwa haya huyadhuru mili yetu. Tunalemewa kufanya kazi inayofaa na pale tunashindwa kuzisaidia familia zetu inavyofaa. Magonjwa haya yanaweza kumfanya mtu kupelekwa na kulazwa hospitali. Maji hujaa sanasana kwenye mashimo za kuchimbwa.
Makaratasi yale tukiyatupa kila mahali mvua na upepo huyasambaratisha na yanajaa kila mahali. Mvua inaponyesha inayabeba yale taka na kuyapeleka kwenye mito mingine. Maji hayo yanakuwa maji machafu kamwe. Maji haya huenda yakaingia na kuchanganyika na yale tunayokuwa tukiyatumia. Maji yale ambayo yanaenda mtoni yanachanganyika na yale machafu. Asubuhi wanyama na watu wanaenda kuyatumia au kuyakunywa maji yale wanashindwa Na wanyama pia wanaharibikiwa na maji yote.
Na pia tunapokuwa tukiyatupa makaratasi ovyo ovyo wanyama wetu kama vile ng’ombe na punda wakikula nyasi pia huyatafuna makaratasi yale ambayo linawafanya wanyama wetu waanze kudhofia. Hali yao ikififia huanza kuaga dunia. Ndio maana inatubidi tujifunge mkanda na tukabiliane na madhara haya ili tuishi mazingira mazuri yenye furaha na afya. Na pia ili maishani tuishi kwa mazingira yanayopendeza. Ili magonjwa yatutoroke na wanyama wetu waweze kuzaana kwa wingi. | Wanyama na watu wanaenda kuyatumia maji yale saa ngapi | {
"text": [
"asubuhi"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi yetu taka zitasambaratika kila mahali. Viwanda vyetu vinapotoa uchafu vyao huenda na kuyamwaga kwenye mito na mabwawa. Uchafu huo huwauwa wanyama baharini kama vile samaki. Na kwa watu pia inatudhuru kwani tunapotaka kuyatumia maji yale hatuwezi kwani ni chafu kupita kiasi. Nayo maji yale kukinyesha mito zijae maji inayapeleka uchafu huo kwa mabwawa mengine.
Pia uchafu huo hutuletea magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu, kichacho na mengineo. Magonjwa haya huyadhuru mili yetu. Tunalemewa kufanya kazi inayofaa na pale tunashindwa kuzisaidia familia zetu inavyofaa. Magonjwa haya yanaweza kumfanya mtu kupelekwa na kulazwa hospitali. Maji hujaa sanasana kwenye mashimo za kuchimbwa.
Makaratasi yale tukiyatupa kila mahali mvua na upepo huyasambaratisha na yanajaa kila mahali. Mvua inaponyesha inayabeba yale taka na kuyapeleka kwenye mito mingine. Maji hayo yanakuwa maji machafu kamwe. Maji haya huenda yakaingia na kuchanganyika na yale tunayokuwa tukiyatumia. Maji yale ambayo yanaenda mtoni yanachanganyika na yale machafu. Asubuhi wanyama na watu wanaenda kuyatumia au kuyakunywa maji yale wanashindwa Na wanyama pia wanaharibikiwa na maji yote.
Na pia tunapokuwa tukiyatupa makaratasi ovyo ovyo wanyama wetu kama vile ng’ombe na punda wakikula nyasi pia huyatafuna makaratasi yale ambayo linawafanya wanyama wetu waanze kudhofia. Hali yao ikififia huanza kuaga dunia. Ndio maana inatubidi tujifunge mkanda na tukabiliane na madhara haya ili tuishi mazingira mazuri yenye furaha na afya. Na pia ili maishani tuishi kwa mazingira yanayopendeza. Ili magonjwa yatutoroke na wanyama wetu waweze kuzaana kwa wingi. | Mbona inatubidi tukakabiliane na madhara haya | {
"text": [
"ili tuishi katika mazingira mazuri "
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo basi mazingira kuwa ovyo yasiyoboresha. Miti hii hutusaidia sana na pia una umuhimu wake. Miti hutusaidia katika kutuletea hewa safi na kuvuta mvua.
Mazingira ya mito pia yanafaa kuangaliwa zaidi na kutunzwa. Utakuta kuwa watu wengi huenda kuoshea nguo kando yake, kutupa taka huko, na kujisaidia huko. Haya yote yatachafua maji hayo na tena kuletea wanyama wetu maradhi wanapokunywa maji hayo.
Taka zote zinapaswa kutupwa pipani na kisha kuchomwa. Hii ni kwasababu makaratasi husambaa sana kila mahali. Tukiachilia mazingira haya ya taka kutakuwa na uchafu mwingi ambao utafanya mazingira yetu kutuboresha.
Maji machafu hayafai kumwagwa mahali pamoja. Watu hupenda sana umwagaji wa maji machafu mahali popote. Maji haya ni hatari katika maisha yetu sisi.
Mazingira haya ya maji machafu hutoa harufu mbaya na pia huleta mbu ambao ni wengi wanao sambaza ugonjwa wa malaria.
Magonjwa mengi pia hutokana na uchafu. Magonjwa vile kipindupindu na kichocho hutokana na maji chafu ambayo ni hatari sana katika maisha ya binadamu. Kuna pia magonjwa mengine ambayo hutokana na uchafu kama vile Typhoidi. Ugonjwa wa kipindupindu husababisha binadamu kuendesha vibaya ambapo binadamu hupoteza sana maji mengi katika mwili wake. Kichocho ni ugonjwa hatari ambao husababisha binadamu kukojoa damu. Homa ya matumbo ni ugonjwa ambao huletwa na unywaji wa maji chafu na hivyo basi husababisha mtu kuhisi machungu ndani ya tumbo.
Katika chooni huwa kunapatikana uchafu mwingi na harufu mbaya hutokea huko na nzi wengi wakubwa wakubwa wenye rangi za samawati. Kinyesi cha watu ni uchafu. Haya yote huleta madhara ya kuchafua mazingira ovyo na hutufunza jinsi ya kuweka usafi chooni kila siku.
Uchafu ni hatari na tunafaa kujihathari nayo.
| Mazingira yana umuhimu katika maisha ya nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo basi mazingira kuwa ovyo yasiyoboresha. Miti hii hutusaidia sana na pia una umuhimu wake. Miti hutusaidia katika kutuletea hewa safi na kuvuta mvua.
Mazingira ya mito pia yanafaa kuangaliwa zaidi na kutunzwa. Utakuta kuwa watu wengi huenda kuoshea nguo kando yake, kutupa taka huko, na kujisaidia huko. Haya yote yatachafua maji hayo na tena kuletea wanyama wetu maradhi wanapokunywa maji hayo.
Taka zote zinapaswa kutupwa pipani na kisha kuchomwa. Hii ni kwasababu makaratasi husambaa sana kila mahali. Tukiachilia mazingira haya ya taka kutakuwa na uchafu mwingi ambao utafanya mazingira yetu kutuboresha.
Maji machafu hayafai kumwagwa mahali pamoja. Watu hupenda sana umwagaji wa maji machafu mahali popote. Maji haya ni hatari katika maisha yetu sisi.
Mazingira haya ya maji machafu hutoa harufu mbaya na pia huleta mbu ambao ni wengi wanao sambaza ugonjwa wa malaria.
Magonjwa mengi pia hutokana na uchafu. Magonjwa vile kipindupindu na kichocho hutokana na maji chafu ambayo ni hatari sana katika maisha ya binadamu. Kuna pia magonjwa mengine ambayo hutokana na uchafu kama vile Typhoidi. Ugonjwa wa kipindupindu husababisha binadamu kuendesha vibaya ambapo binadamu hupoteza sana maji mengi katika mwili wake. Kichocho ni ugonjwa hatari ambao husababisha binadamu kukojoa damu. Homa ya matumbo ni ugonjwa ambao huletwa na unywaji wa maji chafu na hivyo basi husababisha mtu kuhisi machungu ndani ya tumbo.
Katika chooni huwa kunapatikana uchafu mwingi na harufu mbaya hutokea huko na nzi wengi wakubwa wakubwa wenye rangi za samawati. Kinyesi cha watu ni uchafu. Haya yote huleta madhara ya kuchafua mazingira ovyo na hutufunza jinsi ya kuweka usafi chooni kila siku.
Uchafu ni hatari na tunafaa kujihathari nayo.
| Nini huleta mvua na hewa safi | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo basi mazingira kuwa ovyo yasiyoboresha. Miti hii hutusaidia sana na pia una umuhimu wake. Miti hutusaidia katika kutuletea hewa safi na kuvuta mvua.
Mazingira ya mito pia yanafaa kuangaliwa zaidi na kutunzwa. Utakuta kuwa watu wengi huenda kuoshea nguo kando yake, kutupa taka huko, na kujisaidia huko. Haya yote yatachafua maji hayo na tena kuletea wanyama wetu maradhi wanapokunywa maji hayo.
Taka zote zinapaswa kutupwa pipani na kisha kuchomwa. Hii ni kwasababu makaratasi husambaa sana kila mahali. Tukiachilia mazingira haya ya taka kutakuwa na uchafu mwingi ambao utafanya mazingira yetu kutuboresha.
Maji machafu hayafai kumwagwa mahali pamoja. Watu hupenda sana umwagaji wa maji machafu mahali popote. Maji haya ni hatari katika maisha yetu sisi.
Mazingira haya ya maji machafu hutoa harufu mbaya na pia huleta mbu ambao ni wengi wanao sambaza ugonjwa wa malaria.
Magonjwa mengi pia hutokana na uchafu. Magonjwa vile kipindupindu na kichocho hutokana na maji chafu ambayo ni hatari sana katika maisha ya binadamu. Kuna pia magonjwa mengine ambayo hutokana na uchafu kama vile Typhoidi. Ugonjwa wa kipindupindu husababisha binadamu kuendesha vibaya ambapo binadamu hupoteza sana maji mengi katika mwili wake. Kichocho ni ugonjwa hatari ambao husababisha binadamu kukojoa damu. Homa ya matumbo ni ugonjwa ambao huletwa na unywaji wa maji chafu na hivyo basi husababisha mtu kuhisi machungu ndani ya tumbo.
Katika chooni huwa kunapatikana uchafu mwingi na harufu mbaya hutokea huko na nzi wengi wakubwa wakubwa wenye rangi za samawati. Kinyesi cha watu ni uchafu. Haya yote huleta madhara ya kuchafua mazingira ovyo na hutufunza jinsi ya kuweka usafi chooni kila siku.
Uchafu ni hatari na tunafaa kujihathari nayo.
| Pipa ni mahali pa kutupa nini | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo basi mazingira kuwa ovyo yasiyoboresha. Miti hii hutusaidia sana na pia una umuhimu wake. Miti hutusaidia katika kutuletea hewa safi na kuvuta mvua.
Mazingira ya mito pia yanafaa kuangaliwa zaidi na kutunzwa. Utakuta kuwa watu wengi huenda kuoshea nguo kando yake, kutupa taka huko, na kujisaidia huko. Haya yote yatachafua maji hayo na tena kuletea wanyama wetu maradhi wanapokunywa maji hayo.
Taka zote zinapaswa kutupwa pipani na kisha kuchomwa. Hii ni kwasababu makaratasi husambaa sana kila mahali. Tukiachilia mazingira haya ya taka kutakuwa na uchafu mwingi ambao utafanya mazingira yetu kutuboresha.
Maji machafu hayafai kumwagwa mahali pamoja. Watu hupenda sana umwagaji wa maji machafu mahali popote. Maji haya ni hatari katika maisha yetu sisi.
Mazingira haya ya maji machafu hutoa harufu mbaya na pia huleta mbu ambao ni wengi wanao sambaza ugonjwa wa malaria.
Magonjwa mengi pia hutokana na uchafu. Magonjwa vile kipindupindu na kichocho hutokana na maji chafu ambayo ni hatari sana katika maisha ya binadamu. Kuna pia magonjwa mengine ambayo hutokana na uchafu kama vile Typhoidi. Ugonjwa wa kipindupindu husababisha binadamu kuendesha vibaya ambapo binadamu hupoteza sana maji mengi katika mwili wake. Kichocho ni ugonjwa hatari ambao husababisha binadamu kukojoa damu. Homa ya matumbo ni ugonjwa ambao huletwa na unywaji wa maji chafu na hivyo basi husababisha mtu kuhisi machungu ndani ya tumbo.
Katika chooni huwa kunapatikana uchafu mwingi na harufu mbaya hutokea huko na nzi wengi wakubwa wakubwa wenye rangi za samawati. Kinyesi cha watu ni uchafu. Haya yote huleta madhara ya kuchafua mazingira ovyo na hutufunza jinsi ya kuweka usafi chooni kila siku.
Uchafu ni hatari na tunafaa kujihathari nayo.
| Mbu husambaza ugonjwa upi | {
"text": [
"Malaria"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo basi mazingira kuwa ovyo yasiyoboresha. Miti hii hutusaidia sana na pia una umuhimu wake. Miti hutusaidia katika kutuletea hewa safi na kuvuta mvua.
Mazingira ya mito pia yanafaa kuangaliwa zaidi na kutunzwa. Utakuta kuwa watu wengi huenda kuoshea nguo kando yake, kutupa taka huko, na kujisaidia huko. Haya yote yatachafua maji hayo na tena kuletea wanyama wetu maradhi wanapokunywa maji hayo.
Taka zote zinapaswa kutupwa pipani na kisha kuchomwa. Hii ni kwasababu makaratasi husambaa sana kila mahali. Tukiachilia mazingira haya ya taka kutakuwa na uchafu mwingi ambao utafanya mazingira yetu kutuboresha.
Maji machafu hayafai kumwagwa mahali pamoja. Watu hupenda sana umwagaji wa maji machafu mahali popote. Maji haya ni hatari katika maisha yetu sisi.
Mazingira haya ya maji machafu hutoa harufu mbaya na pia huleta mbu ambao ni wengi wanao sambaza ugonjwa wa malaria.
Magonjwa mengi pia hutokana na uchafu. Magonjwa vile kipindupindu na kichocho hutokana na maji chafu ambayo ni hatari sana katika maisha ya binadamu. Kuna pia magonjwa mengine ambayo hutokana na uchafu kama vile Typhoidi. Ugonjwa wa kipindupindu husababisha binadamu kuendesha vibaya ambapo binadamu hupoteza sana maji mengi katika mwili wake. Kichocho ni ugonjwa hatari ambao husababisha binadamu kukojoa damu. Homa ya matumbo ni ugonjwa ambao huletwa na unywaji wa maji chafu na hivyo basi husababisha mtu kuhisi machungu ndani ya tumbo.
Katika chooni huwa kunapatikana uchafu mwingi na harufu mbaya hutokea huko na nzi wengi wakubwa wakubwa wenye rangi za samawati. Kinyesi cha watu ni uchafu. Haya yote huleta madhara ya kuchafua mazingira ovyo na hutufunza jinsi ya kuweka usafi chooni kila siku.
Uchafu ni hatari na tunafaa kujihathari nayo.
| Magonjwa yapi hatari katika maisha ya binadamu | {
"text": [
"Kipindupindu na kichocho"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu viwandani. Ni wazi kuwa uchafu huo ni mkubwa katika nchi nyingine lakini inawezekana pia kuepukana na madhara ya uchafu kwa kuzingatia usafi katika nchi yetu. Tunaweza kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu kwa kuwa wasafina pia kwa kusafisha mazingira yetu. Magonjwa hayo ni kama kipindupindu ambayo ni ugonjwa wa kuambukiza wa kuhara na kutapika sana.
Pia, kuna uchafuzi wa maji katika mazingira yetu. Maji huweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi kutoka kwa viwanda. Maji pia huweza kuchafuliwa na binadamu na pia wanyama. Tunapofulia nguo katibu na mto, tunachafua maji hayo. Watu wengine huenda kujisaidia karibu na mto na wakati wa mvua, maji inapeleka uchafu huo mtoni au ziwani na kuchafua maji hayo. Watu wanastahili kuwa na vyoo ili waweze kudumisha usafi katika mazingira yao.
katika viwanda na pia binadamu huchoma takataka na pia hiyo moshi inaharibu hewa.
Inapaswa tuzingatie usafi ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira katika nchi yetu.
| Nini ni mahali panapozunguka makazi ya watu | {
"text": [
"mazingira"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu viwandani. Ni wazi kuwa uchafu huo ni mkubwa katika nchi nyingine lakini inawezekana pia kuepukana na madhara ya uchafu kwa kuzingatia usafi katika nchi yetu. Tunaweza kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu kwa kuwa wasafina pia kwa kusafisha mazingira yetu. Magonjwa hayo ni kama kipindupindu ambayo ni ugonjwa wa kuambukiza wa kuhara na kutapika sana.
Pia, kuna uchafuzi wa maji katika mazingira yetu. Maji huweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi kutoka kwa viwanda. Maji pia huweza kuchafuliwa na binadamu na pia wanyama. Tunapofulia nguo katibu na mto, tunachafua maji hayo. Watu wengine huenda kujisaidia karibu na mto na wakati wa mvua, maji inapeleka uchafu huo mtoni au ziwani na kuchafua maji hayo. Watu wanastahili kuwa na vyoo ili waweze kudumisha usafi katika mazingira yao.
katika viwanda na pia binadamu huchoma takataka na pia hiyo moshi inaharibu hewa.
Inapaswa tuzingatie usafi ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira katika nchi yetu.
| Ni ugonjwa gani wa kuambukiza, kuhara na kutapika | {
"text": [
"kipindupindu"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu viwandani. Ni wazi kuwa uchafu huo ni mkubwa katika nchi nyingine lakini inawezekana pia kuepukana na madhara ya uchafu kwa kuzingatia usafi katika nchi yetu. Tunaweza kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu kwa kuwa wasafina pia kwa kusafisha mazingira yetu. Magonjwa hayo ni kama kipindupindu ambayo ni ugonjwa wa kuambukiza wa kuhara na kutapika sana.
Pia, kuna uchafuzi wa maji katika mazingira yetu. Maji huweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi kutoka kwa viwanda. Maji pia huweza kuchafuliwa na binadamu na pia wanyama. Tunapofulia nguo katibu na mto, tunachafua maji hayo. Watu wengine huenda kujisaidia karibu na mto na wakati wa mvua, maji inapeleka uchafu huo mtoni au ziwani na kuchafua maji hayo. Watu wanastahili kuwa na vyoo ili waweze kudumisha usafi katika mazingira yao.
katika viwanda na pia binadamu huchoma takataka na pia hiyo moshi inaharibu hewa.
Inapaswa tuzingatie usafi ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira katika nchi yetu.
| Nani huchafua maji kwa kufua karibu na mito | {
"text": [
"wanadamu"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu viwandani. Ni wazi kuwa uchafu huo ni mkubwa katika nchi nyingine lakini inawezekana pia kuepukana na madhara ya uchafu kwa kuzingatia usafi katika nchi yetu. Tunaweza kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu kwa kuwa wasafina pia kwa kusafisha mazingira yetu. Magonjwa hayo ni kama kipindupindu ambayo ni ugonjwa wa kuambukiza wa kuhara na kutapika sana.
Pia, kuna uchafuzi wa maji katika mazingira yetu. Maji huweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi kutoka kwa viwanda. Maji pia huweza kuchafuliwa na binadamu na pia wanyama. Tunapofulia nguo katibu na mto, tunachafua maji hayo. Watu wengine huenda kujisaidia karibu na mto na wakati wa mvua, maji inapeleka uchafu huo mtoni au ziwani na kuchafua maji hayo. Watu wanastahili kuwa na vyoo ili waweze kudumisha usafi katika mazingira yao.
katika viwanda na pia binadamu huchoma takataka na pia hiyo moshi inaharibu hewa.
Inapaswa tuzingatie usafi ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira katika nchi yetu.
| Wanyama huweka kinyezi chao majini lini | {
"text": [
"wanapoenda kuyanywa maji"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu viwandani. Ni wazi kuwa uchafu huo ni mkubwa katika nchi nyingine lakini inawezekana pia kuepukana na madhara ya uchafu kwa kuzingatia usafi katika nchi yetu. Tunaweza kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu kwa kuwa wasafina pia kwa kusafisha mazingira yetu. Magonjwa hayo ni kama kipindupindu ambayo ni ugonjwa wa kuambukiza wa kuhara na kutapika sana.
Pia, kuna uchafuzi wa maji katika mazingira yetu. Maji huweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi kutoka kwa viwanda. Maji pia huweza kuchafuliwa na binadamu na pia wanyama. Tunapofulia nguo katibu na mto, tunachafua maji hayo. Watu wengine huenda kujisaidia karibu na mto na wakati wa mvua, maji inapeleka uchafu huo mtoni au ziwani na kuchafua maji hayo. Watu wanastahili kuwa na vyoo ili waweze kudumisha usafi katika mazingira yao.
katika viwanda na pia binadamu huchoma takataka na pia hiyo moshi inaharibu hewa.
Inapaswa tuzingatie usafi ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira katika nchi yetu.
| Kwa nini tunapaswa tuzingatie usafi | {
"text": [
"ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutufanya wagonjwa. Moshi kutoka viwandani huharibu maji masafi kwenye mito.
Tunapoharibu mazingira hatuwezi kupumua vizuri na tunaweza kuikata roho. Tunapotumia mazingira yetu vizuri tunapata hewa safi, maji safi na mazingira safi.
Tunapoboresha mazingira yetu tutaishi kwa amani na upendo. Mara nyingine taka zitokazo majumbani ya viwandani hurundikana. Maji yanapochafuliwa husababisha athari kubwa kwa viumbe wanaoishi majini. Wanyama ambao hutumia maji ya mtoni huathirika mno.
Kwenye majaa hayo ndiko wadudu na wanyama wadogo kama vile panya, huishi na hueneza magonjwa. Jambo hili linaweza kusababisha magonjwa kama vile kipindupindu au homa ya matumbo miongoni mwa magonjwa mengine.
Watu wanapokata miti kiholela huaribu mazingira. Nchi yetu hukuwa rembo kwasababu ya miti. Miti ndio hutupatia hewa. Unapokata miti hakuna mvua na tutakaa jangwani. Miti inapokatwa huacha nchi kuwa wazi. Nchi nyingi ni kama majangwa kwa sababu ya kukata miti. Serikali na nchi nzima tunastahili tushikane mikono tusafishe mazingira yetu. | Ni muhimu tuishi mahala ambapo pana nini | {
"text": [
"usafi"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutufanya wagonjwa. Moshi kutoka viwandani huharibu maji masafi kwenye mito.
Tunapoharibu mazingira hatuwezi kupumua vizuri na tunaweza kuikata roho. Tunapotumia mazingira yetu vizuri tunapata hewa safi, maji safi na mazingira safi.
Tunapoboresha mazingira yetu tutaishi kwa amani na upendo. Mara nyingine taka zitokazo majumbani ya viwandani hurundikana. Maji yanapochafuliwa husababisha athari kubwa kwa viumbe wanaoishi majini. Wanyama ambao hutumia maji ya mtoni huathirika mno.
Kwenye majaa hayo ndiko wadudu na wanyama wadogo kama vile panya, huishi na hueneza magonjwa. Jambo hili linaweza kusababisha magonjwa kama vile kipindupindu au homa ya matumbo miongoni mwa magonjwa mengine.
Watu wanapokata miti kiholela huaribu mazingira. Nchi yetu hukuwa rembo kwasababu ya miti. Miti ndio hutupatia hewa. Unapokata miti hakuna mvua na tutakaa jangwani. Miti inapokatwa huacha nchi kuwa wazi. Nchi nyingi ni kama majangwa kwa sababu ya kukata miti. Serikali na nchi nzima tunastahili tushikane mikono tusafishe mazingira yetu. | Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa kwa nani | {
"text": [
"binadamu"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutufanya wagonjwa. Moshi kutoka viwandani huharibu maji masafi kwenye mito.
Tunapoharibu mazingira hatuwezi kupumua vizuri na tunaweza kuikata roho. Tunapotumia mazingira yetu vizuri tunapata hewa safi, maji safi na mazingira safi.
Tunapoboresha mazingira yetu tutaishi kwa amani na upendo. Mara nyingine taka zitokazo majumbani ya viwandani hurundikana. Maji yanapochafuliwa husababisha athari kubwa kwa viumbe wanaoishi majini. Wanyama ambao hutumia maji ya mtoni huathirika mno.
Kwenye majaa hayo ndiko wadudu na wanyama wadogo kama vile panya, huishi na hueneza magonjwa. Jambo hili linaweza kusababisha magonjwa kama vile kipindupindu au homa ya matumbo miongoni mwa magonjwa mengine.
Watu wanapokata miti kiholela huaribu mazingira. Nchi yetu hukuwa rembo kwasababu ya miti. Miti ndio hutupatia hewa. Unapokata miti hakuna mvua na tutakaa jangwani. Miti inapokatwa huacha nchi kuwa wazi. Nchi nyingi ni kama majangwa kwa sababu ya kukata miti. Serikali na nchi nzima tunastahili tushikane mikono tusafishe mazingira yetu. | Magonjwa huletwa na mazingira gani | {
"text": [
"chafu"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutufanya wagonjwa. Moshi kutoka viwandani huharibu maji masafi kwenye mito.
Tunapoharibu mazingira hatuwezi kupumua vizuri na tunaweza kuikata roho. Tunapotumia mazingira yetu vizuri tunapata hewa safi, maji safi na mazingira safi.
Tunapoboresha mazingira yetu tutaishi kwa amani na upendo. Mara nyingine taka zitokazo majumbani ya viwandani hurundikana. Maji yanapochafuliwa husababisha athari kubwa kwa viumbe wanaoishi majini. Wanyama ambao hutumia maji ya mtoni huathirika mno.
Kwenye majaa hayo ndiko wadudu na wanyama wadogo kama vile panya, huishi na hueneza magonjwa. Jambo hili linaweza kusababisha magonjwa kama vile kipindupindu au homa ya matumbo miongoni mwa magonjwa mengine.
Watu wanapokata miti kiholela huaribu mazingira. Nchi yetu hukuwa rembo kwasababu ya miti. Miti ndio hutupatia hewa. Unapokata miti hakuna mvua na tutakaa jangwani. Miti inapokatwa huacha nchi kuwa wazi. Nchi nyingi ni kama majangwa kwa sababu ya kukata miti. Serikali na nchi nzima tunastahili tushikane mikono tusafishe mazingira yetu. | Nini huletwa na uchafu | {
"text": [
"magonjwa"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutufanya wagonjwa. Moshi kutoka viwandani huharibu maji masafi kwenye mito.
Tunapoharibu mazingira hatuwezi kupumua vizuri na tunaweza kuikata roho. Tunapotumia mazingira yetu vizuri tunapata hewa safi, maji safi na mazingira safi.
Tunapoboresha mazingira yetu tutaishi kwa amani na upendo. Mara nyingine taka zitokazo majumbani ya viwandani hurundikana. Maji yanapochafuliwa husababisha athari kubwa kwa viumbe wanaoishi majini. Wanyama ambao hutumia maji ya mtoni huathirika mno.
Kwenye majaa hayo ndiko wadudu na wanyama wadogo kama vile panya, huishi na hueneza magonjwa. Jambo hili linaweza kusababisha magonjwa kama vile kipindupindu au homa ya matumbo miongoni mwa magonjwa mengine.
Watu wanapokata miti kiholela huaribu mazingira. Nchi yetu hukuwa rembo kwasababu ya miti. Miti ndio hutupatia hewa. Unapokata miti hakuna mvua na tutakaa jangwani. Miti inapokatwa huacha nchi kuwa wazi. Nchi nyingi ni kama majangwa kwa sababu ya kukata miti. Serikali na nchi nzima tunastahili tushikane mikono tusafishe mazingira yetu. | Mbu husababishaje magonjwa haya | {
"text": [
"kwa kunyonya mtu damu"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni walimu wetu wanapenda mazingira yakiwa safi. Hayawezi kutuletea madhara tofauti tofauti na magonjwa. Pia kuna binadamu wengi wanapenda kuyachafua mazingira, kutupa takataka mahali ambapo hapastahili na yanaweza kutuletea magonjwa na hata mazingira yakawa machafua. Mazingira yetu yakiwa safi, yanapendeza na kuvutia kwa hali ya juu, kila moja anapenda mazingira yakiwa safi na pia mazingira yakiwa safi tunaweza kupata hela safi na hata pia si rahisi kupatana na magonjwa. Pia kwenye mazingira, unaweza pata wanyama wadogo wadogo na wanapata hewa yao kwenye mazingira na tukiweka mazingira yakiwa chafu, hawa wadudu wanaweza kuaga dunia na hata pia kuna vitu ambazo ziko kwenye mazingira yetu kama maua, miti yenye matunda na hata vitu vingine.
Masaa mengine mazingira yanatumiwa kama choo. Mtu anafanya mazingira yakawa mali ya kutolea hali yake chafu na hivyo si vizuri kwa sababu pia yanaweza kuleta magonjwa mengi na hata kusababisha wadudu na samaki baharini kukosa hewa safi na kufa na hayo haiwafurahishi hata kidogo. Kwa sababu viungo vyote viliumbwa na Mungu lakini tukishirikiana tunaweza fanya kazi kwa pamoja na kuyaweka mazingira yetu vyema na tutapata hewa nzuri. Mimi napenda mazingira yetu. | Nani hupenda mazingira yawe safi shuleni | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni walimu wetu wanapenda mazingira yakiwa safi. Hayawezi kutuletea madhara tofauti tofauti na magonjwa. Pia kuna binadamu wengi wanapenda kuyachafua mazingira, kutupa takataka mahali ambapo hapastahili na yanaweza kutuletea magonjwa na hata mazingira yakawa machafua. Mazingira yetu yakiwa safi, yanapendeza na kuvutia kwa hali ya juu, kila moja anapenda mazingira yakiwa safi na pia mazingira yakiwa safi tunaweza kupata hela safi na hata pia si rahisi kupatana na magonjwa. Pia kwenye mazingira, unaweza pata wanyama wadogo wadogo na wanapata hewa yao kwenye mazingira na tukiweka mazingira yakiwa chafu, hawa wadudu wanaweza kuaga dunia na hata pia kuna vitu ambazo ziko kwenye mazingira yetu kama maua, miti yenye matunda na hata vitu vingine.
Masaa mengine mazingira yanatumiwa kama choo. Mtu anafanya mazingira yakawa mali ya kutolea hali yake chafu na hivyo si vizuri kwa sababu pia yanaweza kuleta magonjwa mengi na hata kusababisha wadudu na samaki baharini kukosa hewa safi na kufa na hayo haiwafurahishi hata kidogo. Kwa sababu viungo vyote viliumbwa na Mungu lakini tukishirikiana tunaweza fanya kazi kwa pamoja na kuyaweka mazingira yetu vyema na tutapata hewa nzuri. Mimi napenda mazingira yetu. | Binadamu wanapenda kuchafua mazingira kwa kutupa nini | {
"text": [
"Takataka"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni walimu wetu wanapenda mazingira yakiwa safi. Hayawezi kutuletea madhara tofauti tofauti na magonjwa. Pia kuna binadamu wengi wanapenda kuyachafua mazingira, kutupa takataka mahali ambapo hapastahili na yanaweza kutuletea magonjwa na hata mazingira yakawa machafua. Mazingira yetu yakiwa safi, yanapendeza na kuvutia kwa hali ya juu, kila moja anapenda mazingira yakiwa safi na pia mazingira yakiwa safi tunaweza kupata hela safi na hata pia si rahisi kupatana na magonjwa. Pia kwenye mazingira, unaweza pata wanyama wadogo wadogo na wanapata hewa yao kwenye mazingira na tukiweka mazingira yakiwa chafu, hawa wadudu wanaweza kuaga dunia na hata pia kuna vitu ambazo ziko kwenye mazingira yetu kama maua, miti yenye matunda na hata vitu vingine.
Masaa mengine mazingira yanatumiwa kama choo. Mtu anafanya mazingira yakawa mali ya kutolea hali yake chafu na hivyo si vizuri kwa sababu pia yanaweza kuleta magonjwa mengi na hata kusababisha wadudu na samaki baharini kukosa hewa safi na kufa na hayo haiwafurahishi hata kidogo. Kwa sababu viungo vyote viliumbwa na Mungu lakini tukishirikiana tunaweza fanya kazi kwa pamoja na kuyaweka mazingira yetu vyema na tutapata hewa nzuri. Mimi napenda mazingira yetu. | Mazingira yetu yakiwa safi yanapendeza na kufanya nini | {
"text": [
"Kuvutia"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni walimu wetu wanapenda mazingira yakiwa safi. Hayawezi kutuletea madhara tofauti tofauti na magonjwa. Pia kuna binadamu wengi wanapenda kuyachafua mazingira, kutupa takataka mahali ambapo hapastahili na yanaweza kutuletea magonjwa na hata mazingira yakawa machafua. Mazingira yetu yakiwa safi, yanapendeza na kuvutia kwa hali ya juu, kila moja anapenda mazingira yakiwa safi na pia mazingira yakiwa safi tunaweza kupata hela safi na hata pia si rahisi kupatana na magonjwa. Pia kwenye mazingira, unaweza pata wanyama wadogo wadogo na wanapata hewa yao kwenye mazingira na tukiweka mazingira yakiwa chafu, hawa wadudu wanaweza kuaga dunia na hata pia kuna vitu ambazo ziko kwenye mazingira yetu kama maua, miti yenye matunda na hata vitu vingine.
Masaa mengine mazingira yanatumiwa kama choo. Mtu anafanya mazingira yakawa mali ya kutolea hali yake chafu na hivyo si vizuri kwa sababu pia yanaweza kuleta magonjwa mengi na hata kusababisha wadudu na samaki baharini kukosa hewa safi na kufa na hayo haiwafurahishi hata kidogo. Kwa sababu viungo vyote viliumbwa na Mungu lakini tukishirikiana tunaweza fanya kazi kwa pamoja na kuyaweka mazingira yetu vyema na tutapata hewa nzuri. Mimi napenda mazingira yetu. | Mazingira yakiwa safi tunaweza kupata nini | {
"text": [
"Hewa safi"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni walimu wetu wanapenda mazingira yakiwa safi. Hayawezi kutuletea madhara tofauti tofauti na magonjwa. Pia kuna binadamu wengi wanapenda kuyachafua mazingira, kutupa takataka mahali ambapo hapastahili na yanaweza kutuletea magonjwa na hata mazingira yakawa machafua. Mazingira yetu yakiwa safi, yanapendeza na kuvutia kwa hali ya juu, kila moja anapenda mazingira yakiwa safi na pia mazingira yakiwa safi tunaweza kupata hela safi na hata pia si rahisi kupatana na magonjwa. Pia kwenye mazingira, unaweza pata wanyama wadogo wadogo na wanapata hewa yao kwenye mazingira na tukiweka mazingira yakiwa chafu, hawa wadudu wanaweza kuaga dunia na hata pia kuna vitu ambazo ziko kwenye mazingira yetu kama maua, miti yenye matunda na hata vitu vingine.
Masaa mengine mazingira yanatumiwa kama choo. Mtu anafanya mazingira yakawa mali ya kutolea hali yake chafu na hivyo si vizuri kwa sababu pia yanaweza kuleta magonjwa mengi na hata kusababisha wadudu na samaki baharini kukosa hewa safi na kufa na hayo haiwafurahishi hata kidogo. Kwa sababu viungo vyote viliumbwa na Mungu lakini tukishirikiana tunaweza fanya kazi kwa pamoja na kuyaweka mazingira yetu vyema na tutapata hewa nzuri. Mimi napenda mazingira yetu. | Mbona tunapaswa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi | {
"text": [
"Ili yasiweze kutuletea magonjwa"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda miti,
kutupa taka panapostahili, kumwaga maji katika sehemu sahihi na kuchoma taka iwapo zimekuwa mingi. Hayo yote ni majukumu ambayo mungu ametupa ila sisi tumeamua kufanya tutakavyo wenyewe.
Tumeharibu mazingira yetu kwa njia mingi tofauti tofauti. Moja kati ya njia hizo ni makampuni ambayo yamejengwa katika kila mji. Mengi kati ya makampuni hayo huchoma vyuma ambavyo husababisha moshi mbaya inayofanya watu wafungane vifua na kupatwa na magonjwa mbali mbali ya mapafu. Njia ya pili ni utupaji mbaya wa taka na umwagaji mbaya wa maji machafu. Hiyo ndiyo tabia ambayo watu wamekuwa nayo sikuizi ya kumwaga maji machafu na kutupa taka ovyo ovyo. Wanasababisha uchepuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, kichocho na malaria.
Magonjwa haya yote yatakoma iwapo tutasimama wenyewe na tukatae uchafuzi mbaya wa mazingira. Serikali imejaribu kukomesha hali hii lakini binadamu wanao onywa nikama wametia pamba masikioni. lla ya Mungu ni mengi kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Bila kujifikiria wenyewe, vizazi vijavyo havitaweza kukuja iwapo tutaendelea kuhatarisha maisha yetu. Mtu mmoja akifa kwa ajili ya magonjwa yanayosababishwa na uchafu atakuwa
amezuilia kizazi ambacho kilikuwa kije na vizazi vingine. Kutunza mazingira si kazi ya sulubu kwani ni jukumu yetu sote kujilinda na kulinda vizazi vijavyo. Kwa leo sina mengi kwa maana kalamu yangu yalilia wino na kitabu changu chahitaji kipumuo. Langu kubwa nimeshalitekeleza no natumai tungekuwa binadamu wa kutii amri kama vile yesu anavyotii. Utunzaji wa mazingira ni jukumu ambalo linaanza na mimi na linafwata kwako.
| Mazingira ni nini | {
"text": [
"Maeneo yanayotuzunguka"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda miti,
kutupa taka panapostahili, kumwaga maji katika sehemu sahihi na kuchoma taka iwapo zimekuwa mingi. Hayo yote ni majukumu ambayo mungu ametupa ila sisi tumeamua kufanya tutakavyo wenyewe.
Tumeharibu mazingira yetu kwa njia mingi tofauti tofauti. Moja kati ya njia hizo ni makampuni ambayo yamejengwa katika kila mji. Mengi kati ya makampuni hayo huchoma vyuma ambavyo husababisha moshi mbaya inayofanya watu wafungane vifua na kupatwa na magonjwa mbali mbali ya mapafu. Njia ya pili ni utupaji mbaya wa taka na umwagaji mbaya wa maji machafu. Hiyo ndiyo tabia ambayo watu wamekuwa nayo sikuizi ya kumwaga maji machafu na kutupa taka ovyo ovyo. Wanasababisha uchepuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, kichocho na malaria.
Magonjwa haya yote yatakoma iwapo tutasimama wenyewe na tukatae uchafuzi mbaya wa mazingira. Serikali imejaribu kukomesha hali hii lakini binadamu wanao onywa nikama wametia pamba masikioni. lla ya Mungu ni mengi kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Bila kujifikiria wenyewe, vizazi vijavyo havitaweza kukuja iwapo tutaendelea kuhatarisha maisha yetu. Mtu mmoja akifa kwa ajili ya magonjwa yanayosababishwa na uchafu atakuwa
amezuilia kizazi ambacho kilikuwa kije na vizazi vingine. Kutunza mazingira si kazi ya sulubu kwani ni jukumu yetu sote kujilinda na kulinda vizazi vijavyo. Kwa leo sina mengi kwa maana kalamu yangu yalilia wino na kitabu changu chahitaji kipumuo. Langu kubwa nimeshalitekeleza no natumai tungekuwa binadamu wa kutii amri kama vile yesu anavyotii. Utunzaji wa mazingira ni jukumu ambalo linaanza na mimi na linafwata kwako.
| Ni jukumu la nani kutunza mazingira | {
"text": [
"Letu sote"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda miti,
kutupa taka panapostahili, kumwaga maji katika sehemu sahihi na kuchoma taka iwapo zimekuwa mingi. Hayo yote ni majukumu ambayo mungu ametupa ila sisi tumeamua kufanya tutakavyo wenyewe.
Tumeharibu mazingira yetu kwa njia mingi tofauti tofauti. Moja kati ya njia hizo ni makampuni ambayo yamejengwa katika kila mji. Mengi kati ya makampuni hayo huchoma vyuma ambavyo husababisha moshi mbaya inayofanya watu wafungane vifua na kupatwa na magonjwa mbali mbali ya mapafu. Njia ya pili ni utupaji mbaya wa taka na umwagaji mbaya wa maji machafu. Hiyo ndiyo tabia ambayo watu wamekuwa nayo sikuizi ya kumwaga maji machafu na kutupa taka ovyo ovyo. Wanasababisha uchepuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, kichocho na malaria.
Magonjwa haya yote yatakoma iwapo tutasimama wenyewe na tukatae uchafuzi mbaya wa mazingira. Serikali imejaribu kukomesha hali hii lakini binadamu wanao onywa nikama wametia pamba masikioni. lla ya Mungu ni mengi kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Bila kujifikiria wenyewe, vizazi vijavyo havitaweza kukuja iwapo tutaendelea kuhatarisha maisha yetu. Mtu mmoja akifa kwa ajili ya magonjwa yanayosababishwa na uchafu atakuwa
amezuilia kizazi ambacho kilikuwa kije na vizazi vingine. Kutunza mazingira si kazi ya sulubu kwani ni jukumu yetu sote kujilinda na kulinda vizazi vijavyo. Kwa leo sina mengi kwa maana kalamu yangu yalilia wino na kitabu changu chahitaji kipumuo. Langu kubwa nimeshalitekeleza no natumai tungekuwa binadamu wa kutii amri kama vile yesu anavyotii. Utunzaji wa mazingira ni jukumu ambalo linaanza na mimi na linafwata kwako.
| Kuna njia ngapi ambazo tunaweza kutumia kutunza mazingira yetu | {
"text": [
"Nyingi"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda miti,
kutupa taka panapostahili, kumwaga maji katika sehemu sahihi na kuchoma taka iwapo zimekuwa mingi. Hayo yote ni majukumu ambayo mungu ametupa ila sisi tumeamua kufanya tutakavyo wenyewe.
Tumeharibu mazingira yetu kwa njia mingi tofauti tofauti. Moja kati ya njia hizo ni makampuni ambayo yamejengwa katika kila mji. Mengi kati ya makampuni hayo huchoma vyuma ambavyo husababisha moshi mbaya inayofanya watu wafungane vifua na kupatwa na magonjwa mbali mbali ya mapafu. Njia ya pili ni utupaji mbaya wa taka na umwagaji mbaya wa maji machafu. Hiyo ndiyo tabia ambayo watu wamekuwa nayo sikuizi ya kumwaga maji machafu na kutupa taka ovyo ovyo. Wanasababisha uchepuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, kichocho na malaria.
Magonjwa haya yote yatakoma iwapo tutasimama wenyewe na tukatae uchafuzi mbaya wa mazingira. Serikali imejaribu kukomesha hali hii lakini binadamu wanao onywa nikama wametia pamba masikioni. lla ya Mungu ni mengi kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Bila kujifikiria wenyewe, vizazi vijavyo havitaweza kukuja iwapo tutaendelea kuhatarisha maisha yetu. Mtu mmoja akifa kwa ajili ya magonjwa yanayosababishwa na uchafu atakuwa
amezuilia kizazi ambacho kilikuwa kije na vizazi vingine. Kutunza mazingira si kazi ya sulubu kwani ni jukumu yetu sote kujilinda na kulinda vizazi vijavyo. Kwa leo sina mengi kwa maana kalamu yangu yalilia wino na kitabu changu chahitaji kipumuo. Langu kubwa nimeshalitekeleza no natumai tungekuwa binadamu wa kutii amri kama vile yesu anavyotii. Utunzaji wa mazingira ni jukumu ambalo linaanza na mimi na linafwata kwako.
| Njia ambazo tunaweza kutumia kutunza mazingira yetu ni kama gani | {
"text": [
"Kupanda miti"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda miti,
kutupa taka panapostahili, kumwaga maji katika sehemu sahihi na kuchoma taka iwapo zimekuwa mingi. Hayo yote ni majukumu ambayo mungu ametupa ila sisi tumeamua kufanya tutakavyo wenyewe.
Tumeharibu mazingira yetu kwa njia mingi tofauti tofauti. Moja kati ya njia hizo ni makampuni ambayo yamejengwa katika kila mji. Mengi kati ya makampuni hayo huchoma vyuma ambavyo husababisha moshi mbaya inayofanya watu wafungane vifua na kupatwa na magonjwa mbali mbali ya mapafu. Njia ya pili ni utupaji mbaya wa taka na umwagaji mbaya wa maji machafu. Hiyo ndiyo tabia ambayo watu wamekuwa nayo sikuizi ya kumwaga maji machafu na kutupa taka ovyo ovyo. Wanasababisha uchepuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, kichocho na malaria.
Magonjwa haya yote yatakoma iwapo tutasimama wenyewe na tukatae uchafuzi mbaya wa mazingira. Serikali imejaribu kukomesha hali hii lakini binadamu wanao onywa nikama wametia pamba masikioni. lla ya Mungu ni mengi kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Bila kujifikiria wenyewe, vizazi vijavyo havitaweza kukuja iwapo tutaendelea kuhatarisha maisha yetu. Mtu mmoja akifa kwa ajili ya magonjwa yanayosababishwa na uchafu atakuwa
amezuilia kizazi ambacho kilikuwa kije na vizazi vingine. Kutunza mazingira si kazi ya sulubu kwani ni jukumu yetu sote kujilinda na kulinda vizazi vijavyo. Kwa leo sina mengi kwa maana kalamu yangu yalilia wino na kitabu changu chahitaji kipumuo. Langu kubwa nimeshalitekeleza no natumai tungekuwa binadamu wa kutii amri kama vile yesu anavyotii. Utunzaji wa mazingira ni jukumu ambalo linaanza na mimi na linafwata kwako.
| Tumefanyaje mazingira yetu | {
"text": [
"Tumeharibu"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu kama msalani. Hiyo ni sababu kubwa sana ambayo huleta madhara ya afya mwilini.
Kuna magonjwa mengi kama kipindupindu, madhara ya kuharisha au kutapika ambayo husababishwa na uchafu, na kathalika. Naam! inafafanuliwa kwamba inastahili tuishi katika mazingira safi kila moja wetu.
Mazingira yetu tuboroshe vizuri. Takataka tuokote zote tuzipeleke katika pipani ziwache kuzagaa kote kama cheche za moto jagwani. Pia tuyatunze maua ziwache kunyauka. Hiyo ni jinsi tunaweza kutunza mazingira.
Ilhali mazingira yana umuhimu mwingi katika afya yetu. Kama vile miti husaidia kuvuta mvua, ni nyumba ya wanyama wa pori pia tunapata hewa safi kupitia miti. Wizara wa mazingira huzajaribu kufunza watu jinsi wanapotunza mazingira katika nchi yetu.
Tunapozingatia nasaha hakika tutatunza mazingira yetu vizuri. Kila moja atege maskio ndi! ili tushirikiane pamoja kama vile wahenguzi wamenena kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tushirikiane ili tuimarishe mazingira yetu. Kila moja afuate maagizo chapuchapu ili mazingira yetu iimarike kila mara. | Mwandishi anaishi katika taifa lipi? | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu kama msalani. Hiyo ni sababu kubwa sana ambayo huleta madhara ya afya mwilini.
Kuna magonjwa mengi kama kipindupindu, madhara ya kuharisha au kutapika ambayo husababishwa na uchafu, na kathalika. Naam! inafafanuliwa kwamba inastahili tuishi katika mazingira safi kila moja wetu.
Mazingira yetu tuboroshe vizuri. Takataka tuokote zote tuzipeleke katika pipani ziwache kuzagaa kote kama cheche za moto jagwani. Pia tuyatunze maua ziwache kunyauka. Hiyo ni jinsi tunaweza kutunza mazingira.
Ilhali mazingira yana umuhimu mwingi katika afya yetu. Kama vile miti husaidia kuvuta mvua, ni nyumba ya wanyama wa pori pia tunapata hewa safi kupitia miti. Wizara wa mazingira huzajaribu kufunza watu jinsi wanapotunza mazingira katika nchi yetu.
Tunapozingatia nasaha hakika tutatunza mazingira yetu vizuri. Kila moja atege maskio ndi! ili tushirikiane pamoja kama vile wahenguzi wamenena kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tushirikiane ili tuimarishe mazingira yetu. Kila moja afuate maagizo chapuchapu ili mazingira yetu iimarike kila mara. | Misitu hutumika na watu wengi kama nini? | {
"text": [
"Msalani"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu kama msalani. Hiyo ni sababu kubwa sana ambayo huleta madhara ya afya mwilini.
Kuna magonjwa mengi kama kipindupindu, madhara ya kuharisha au kutapika ambayo husababishwa na uchafu, na kathalika. Naam! inafafanuliwa kwamba inastahili tuishi katika mazingira safi kila moja wetu.
Mazingira yetu tuboroshe vizuri. Takataka tuokote zote tuzipeleke katika pipani ziwache kuzagaa kote kama cheche za moto jagwani. Pia tuyatunze maua ziwache kunyauka. Hiyo ni jinsi tunaweza kutunza mazingira.
Ilhali mazingira yana umuhimu mwingi katika afya yetu. Kama vile miti husaidia kuvuta mvua, ni nyumba ya wanyama wa pori pia tunapata hewa safi kupitia miti. Wizara wa mazingira huzajaribu kufunza watu jinsi wanapotunza mazingira katika nchi yetu.
Tunapozingatia nasaha hakika tutatunza mazingira yetu vizuri. Kila moja atege maskio ndi! ili tushirikiane pamoja kama vile wahenguzi wamenena kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tushirikiane ili tuimarishe mazingira yetu. Kila moja afuate maagizo chapuchapu ili mazingira yetu iimarike kila mara. | Miti husaidia kuvuta nini? | {
"text": [
"Mvua"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu kama msalani. Hiyo ni sababu kubwa sana ambayo huleta madhara ya afya mwilini.
Kuna magonjwa mengi kama kipindupindu, madhara ya kuharisha au kutapika ambayo husababishwa na uchafu, na kathalika. Naam! inafafanuliwa kwamba inastahili tuishi katika mazingira safi kila moja wetu.
Mazingira yetu tuboroshe vizuri. Takataka tuokote zote tuzipeleke katika pipani ziwache kuzagaa kote kama cheche za moto jagwani. Pia tuyatunze maua ziwache kunyauka. Hiyo ni jinsi tunaweza kutunza mazingira.
Ilhali mazingira yana umuhimu mwingi katika afya yetu. Kama vile miti husaidia kuvuta mvua, ni nyumba ya wanyama wa pori pia tunapata hewa safi kupitia miti. Wizara wa mazingira huzajaribu kufunza watu jinsi wanapotunza mazingira katika nchi yetu.
Tunapozingatia nasaha hakika tutatunza mazingira yetu vizuri. Kila moja atege maskio ndi! ili tushirikiane pamoja kama vile wahenguzi wamenena kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tushirikiane ili tuimarishe mazingira yetu. Kila moja afuate maagizo chapuchapu ili mazingira yetu iimarike kila mara. | Umoja ni nguvu ilhali utengano ni nini? | {
"text": [
"Udhaifu"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu kama msalani. Hiyo ni sababu kubwa sana ambayo huleta madhara ya afya mwilini.
Kuna magonjwa mengi kama kipindupindu, madhara ya kuharisha au kutapika ambayo husababishwa na uchafu, na kathalika. Naam! inafafanuliwa kwamba inastahili tuishi katika mazingira safi kila moja wetu.
Mazingira yetu tuboroshe vizuri. Takataka tuokote zote tuzipeleke katika pipani ziwache kuzagaa kote kama cheche za moto jagwani. Pia tuyatunze maua ziwache kunyauka. Hiyo ni jinsi tunaweza kutunza mazingira.
Ilhali mazingira yana umuhimu mwingi katika afya yetu. Kama vile miti husaidia kuvuta mvua, ni nyumba ya wanyama wa pori pia tunapata hewa safi kupitia miti. Wizara wa mazingira huzajaribu kufunza watu jinsi wanapotunza mazingira katika nchi yetu.
Tunapozingatia nasaha hakika tutatunza mazingira yetu vizuri. Kila moja atege maskio ndi! ili tushirikiane pamoja kama vile wahenguzi wamenena kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tushirikiane ili tuimarishe mazingira yetu. Kila moja afuate maagizo chapuchapu ili mazingira yetu iimarike kila mara. | Watu huharibu mazingira kwa njia gani? | {
"text": [
"Kukata miti kiholela"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndipo paliishi wanaume wawili kwenye kijiji cha mali bora. Moja wao alikuwa tajiri sana na mwenzake ni maskini hohehahe. Mtajiri aliitwa Tumbo na alikuwa tajiri kushinda lao la matibora. Alikuwa na magari mingi, ng’ombe, mbuzi na watoto kumi. Shamba lake ni kubwa sana lenye hupandwa aina zote za matunda na kila aina ya vyakula.
Mtajiri huyu alikuwa mlevi hatari, mali hazihesabiki lakini ni za kuonyesha tu na kulewa nayo. Njaa kwake ni hadithi. Usafi nayo haizingatiwi kabisa. Matakataka hutapakaa kila mahali. Naye yule maskini alikuwa na watoto wengi na ng'ombe moja. Alikuwa mwenye bidii sana. Alikuwa aking’ang'ana kufanya kazi ili watoto wake wapate karo za shule.
Alikuwa akizingatia usafi kila mara kwa boma lake. Mazingira yake yalikuwa safi kila siku. Tofauti ya wale watu wawili ilionekana. Huyu maskini alipata faida ya usafi ambayo alizingatia. Watoto wake walikuwa na maisha bora bila magari yoyote. Alipata ng'ombe zaidi kumi. Naye mtajiri alilalamika sana akijilaumu.
Alizoea raha lakini mwishowe aliona matunda aliopanda. Mwishowe alivuna mathara tupu. Ng’ombe zake zote ziliisha na watoto kupata magonjwa mbaya mbaya. Mali zake ziliisha hadi akauza magari nayo. | Hali inayozunguka kiumbe mahali anapoishi huitwaje? | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndipo paliishi wanaume wawili kwenye kijiji cha mali bora. Moja wao alikuwa tajiri sana na mwenzake ni maskini hohehahe. Mtajiri aliitwa Tumbo na alikuwa tajiri kushinda lao la matibora. Alikuwa na magari mingi, ng’ombe, mbuzi na watoto kumi. Shamba lake ni kubwa sana lenye hupandwa aina zote za matunda na kila aina ya vyakula.
Mtajiri huyu alikuwa mlevi hatari, mali hazihesabiki lakini ni za kuonyesha tu na kulewa nayo. Njaa kwake ni hadithi. Usafi nayo haizingatiwi kabisa. Matakataka hutapakaa kila mahali. Naye yule maskini alikuwa na watoto wengi na ng'ombe moja. Alikuwa mwenye bidii sana. Alikuwa aking’ang'ana kufanya kazi ili watoto wake wapate karo za shule.
Alikuwa akizingatia usafi kila mara kwa boma lake. Mazingira yake yalikuwa safi kila siku. Tofauti ya wale watu wawili ilionekana. Huyu maskini alipata faida ya usafi ambayo alizingatia. Watoto wake walikuwa na maisha bora bila magari yoyote. Alipata ng'ombe zaidi kumi. Naye mtajiri alilalamika sana akijilaumu.
Alizoea raha lakini mwishowe aliona matunda aliopanda. Mwishowe alivuna mathara tupu. Ng’ombe zake zote ziliisha na watoto kupata magonjwa mbaya mbaya. Mali zake ziliisha hadi akauza magari nayo. | Wanaume wanaozungumziwa waliishi katika kijiji kipi? | {
"text": [
"Mali Bora"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndipo paliishi wanaume wawili kwenye kijiji cha mali bora. Moja wao alikuwa tajiri sana na mwenzake ni maskini hohehahe. Mtajiri aliitwa Tumbo na alikuwa tajiri kushinda lao la matibora. Alikuwa na magari mingi, ng’ombe, mbuzi na watoto kumi. Shamba lake ni kubwa sana lenye hupandwa aina zote za matunda na kila aina ya vyakula.
Mtajiri huyu alikuwa mlevi hatari, mali hazihesabiki lakini ni za kuonyesha tu na kulewa nayo. Njaa kwake ni hadithi. Usafi nayo haizingatiwi kabisa. Matakataka hutapakaa kila mahali. Naye yule maskini alikuwa na watoto wengi na ng'ombe moja. Alikuwa mwenye bidii sana. Alikuwa aking’ang'ana kufanya kazi ili watoto wake wapate karo za shule.
Alikuwa akizingatia usafi kila mara kwa boma lake. Mazingira yake yalikuwa safi kila siku. Tofauti ya wale watu wawili ilionekana. Huyu maskini alipata faida ya usafi ambayo alizingatia. Watoto wake walikuwa na maisha bora bila magari yoyote. Alipata ng'ombe zaidi kumi. Naye mtajiri alilalamika sana akijilaumu.
Alizoea raha lakini mwishowe aliona matunda aliopanda. Mwishowe alivuna mathara tupu. Ng’ombe zake zote ziliisha na watoto kupata magonjwa mbaya mbaya. Mali zake ziliisha hadi akauza magari nayo. | Bwana Tumbo alikuwa na watoto wangapi? | {
"text": [
"Kumi"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndipo paliishi wanaume wawili kwenye kijiji cha mali bora. Moja wao alikuwa tajiri sana na mwenzake ni maskini hohehahe. Mtajiri aliitwa Tumbo na alikuwa tajiri kushinda lao la matibora. Alikuwa na magari mingi, ng’ombe, mbuzi na watoto kumi. Shamba lake ni kubwa sana lenye hupandwa aina zote za matunda na kila aina ya vyakula.
Mtajiri huyu alikuwa mlevi hatari, mali hazihesabiki lakini ni za kuonyesha tu na kulewa nayo. Njaa kwake ni hadithi. Usafi nayo haizingatiwi kabisa. Matakataka hutapakaa kila mahali. Naye yule maskini alikuwa na watoto wengi na ng'ombe moja. Alikuwa mwenye bidii sana. Alikuwa aking’ang'ana kufanya kazi ili watoto wake wapate karo za shule.
Alikuwa akizingatia usafi kila mara kwa boma lake. Mazingira yake yalikuwa safi kila siku. Tofauti ya wale watu wawili ilionekana. Huyu maskini alipata faida ya usafi ambayo alizingatia. Watoto wake walikuwa na maisha bora bila magari yoyote. Alipata ng'ombe zaidi kumi. Naye mtajiri alilalamika sana akijilaumu.
Alizoea raha lakini mwishowe aliona matunda aliopanda. Mwishowe alivuna mathara tupu. Ng’ombe zake zote ziliisha na watoto kupata magonjwa mbaya mbaya. Mali zake ziliisha hadi akauza magari nayo. | Tajiri Tumbo alijulikana kwa kutumia mali yake kufanya nini? | {
"text": [
"Kulewa"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndipo paliishi wanaume wawili kwenye kijiji cha mali bora. Moja wao alikuwa tajiri sana na mwenzake ni maskini hohehahe. Mtajiri aliitwa Tumbo na alikuwa tajiri kushinda lao la matibora. Alikuwa na magari mingi, ng’ombe, mbuzi na watoto kumi. Shamba lake ni kubwa sana lenye hupandwa aina zote za matunda na kila aina ya vyakula.
Mtajiri huyu alikuwa mlevi hatari, mali hazihesabiki lakini ni za kuonyesha tu na kulewa nayo. Njaa kwake ni hadithi. Usafi nayo haizingatiwi kabisa. Matakataka hutapakaa kila mahali. Naye yule maskini alikuwa na watoto wengi na ng'ombe moja. Alikuwa mwenye bidii sana. Alikuwa aking’ang'ana kufanya kazi ili watoto wake wapate karo za shule.
Alikuwa akizingatia usafi kila mara kwa boma lake. Mazingira yake yalikuwa safi kila siku. Tofauti ya wale watu wawili ilionekana. Huyu maskini alipata faida ya usafi ambayo alizingatia. Watoto wake walikuwa na maisha bora bila magari yoyote. Alipata ng'ombe zaidi kumi. Naye mtajiri alilalamika sana akijilaumu.
Alizoea raha lakini mwishowe aliona matunda aliopanda. Mwishowe alivuna mathara tupu. Ng’ombe zake zote ziliisha na watoto kupata magonjwa mbaya mbaya. Mali zake ziliisha hadi akauza magari nayo. | Mzee masikini alipendwa kwa sababu gani? | {
"text": [
"Bidii na usafi wake"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa muweze kutaga sikio ndi. Pia ningependa muweze kunyamaza kama maji ya mtungi.
Kitongojini mwetu mna nina moja anatambulika kama disha hupenda kutoa matusi mabaya kutoka kinywani mwake na pia uchafua mazingira.
Unapoenda katika chumba chake utapata uchafu kama vile karatasi, kinyesi cha binadamu na pia vyakula vya mtondogoo bila shaka sio pekee yake tu mbali hasa nyinyi mliomo humu ndani.
Usiposafisha mazingira hakuna mtu yeyote ataweza kuyatoa na pia usipo kata nyasi unaweza kupata wanyama wadogo wadogo kama vile kiroboto, konokono na pia nyoka. Usafi ni kitu cha maana sana duniani. Tunapaswa kuwa safi kila wakati. Ningepanda tuweze kuamka kabla jongoo wa kwanza kuwika. Wakina mama pia munapaswa kuwalinda wavyele wenu na pia wanyama wanapaswa kulindwa kama beberu, ng'ombe, sungura na kathalika msije mkapoteza wanyama hao. Tunapaswa kuwa safi kama theluji, ni hayo tu na mola awazidishie maisha yenu.” | Yeye ni mwanafunzi wa kidato kipi | {
"text": [
"kwanza"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa muweze kutaga sikio ndi. Pia ningependa muweze kunyamaza kama maji ya mtungi.
Kitongojini mwetu mna nina moja anatambulika kama disha hupenda kutoa matusi mabaya kutoka kinywani mwake na pia uchafua mazingira.
Unapoenda katika chumba chake utapata uchafu kama vile karatasi, kinyesi cha binadamu na pia vyakula vya mtondogoo bila shaka sio pekee yake tu mbali hasa nyinyi mliomo humu ndani.
Usiposafisha mazingira hakuna mtu yeyote ataweza kuyatoa na pia usipo kata nyasi unaweza kupata wanyama wadogo wadogo kama vile kiroboto, konokono na pia nyoka. Usafi ni kitu cha maana sana duniani. Tunapaswa kuwa safi kila wakati. Ningepanda tuweze kuamka kabla jongoo wa kwanza kuwika. Wakina mama pia munapaswa kuwalinda wavyele wenu na pia wanyama wanapaswa kulindwa kama beberu, ng'ombe, sungura na kathalika msije mkapoteza wanyama hao. Tunapaswa kuwa safi kama theluji, ni hayo tu na mola awazidishie maisha yenu.” | Anaongea kuhusu madhara ya kuchafua nini | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa muweze kutaga sikio ndi. Pia ningependa muweze kunyamaza kama maji ya mtungi.
Kitongojini mwetu mna nina moja anatambulika kama disha hupenda kutoa matusi mabaya kutoka kinywani mwake na pia uchafua mazingira.
Unapoenda katika chumba chake utapata uchafu kama vile karatasi, kinyesi cha binadamu na pia vyakula vya mtondogoo bila shaka sio pekee yake tu mbali hasa nyinyi mliomo humu ndani.
Usiposafisha mazingira hakuna mtu yeyote ataweza kuyatoa na pia usipo kata nyasi unaweza kupata wanyama wadogo wadogo kama vile kiroboto, konokono na pia nyoka. Usafi ni kitu cha maana sana duniani. Tunapaswa kuwa safi kila wakati. Ningepanda tuweze kuamka kabla jongoo wa kwanza kuwika. Wakina mama pia munapaswa kuwalinda wavyele wenu na pia wanyama wanapaswa kulindwa kama beberu, ng'ombe, sungura na kathalika msije mkapoteza wanyama hao. Tunapaswa kuwa safi kama theluji, ni hayo tu na mola awazidishie maisha yenu.” | Usipokata nyasi utapata wanyama wepi | {
"text": [
"Wadogo"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa muweze kutaga sikio ndi. Pia ningependa muweze kunyamaza kama maji ya mtungi.
Kitongojini mwetu mna nina moja anatambulika kama disha hupenda kutoa matusi mabaya kutoka kinywani mwake na pia uchafua mazingira.
Unapoenda katika chumba chake utapata uchafu kama vile karatasi, kinyesi cha binadamu na pia vyakula vya mtondogoo bila shaka sio pekee yake tu mbali hasa nyinyi mliomo humu ndani.
Usiposafisha mazingira hakuna mtu yeyote ataweza kuyatoa na pia usipo kata nyasi unaweza kupata wanyama wadogo wadogo kama vile kiroboto, konokono na pia nyoka. Usafi ni kitu cha maana sana duniani. Tunapaswa kuwa safi kila wakati. Ningepanda tuweze kuamka kabla jongoo wa kwanza kuwika. Wakina mama pia munapaswa kuwalinda wavyele wenu na pia wanyama wanapaswa kulindwa kama beberu, ng'ombe, sungura na kathalika msije mkapoteza wanyama hao. Tunapaswa kuwa safi kama theluji, ni hayo tu na mola awazidishie maisha yenu.” | Nini kitu cha maana sana duniani | {
"text": [
"usafi"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa muweze kutaga sikio ndi. Pia ningependa muweze kunyamaza kama maji ya mtungi.
Kitongojini mwetu mna nina moja anatambulika kama disha hupenda kutoa matusi mabaya kutoka kinywani mwake na pia uchafua mazingira.
Unapoenda katika chumba chake utapata uchafu kama vile karatasi, kinyesi cha binadamu na pia vyakula vya mtondogoo bila shaka sio pekee yake tu mbali hasa nyinyi mliomo humu ndani.
Usiposafisha mazingira hakuna mtu yeyote ataweza kuyatoa na pia usipo kata nyasi unaweza kupata wanyama wadogo wadogo kama vile kiroboto, konokono na pia nyoka. Usafi ni kitu cha maana sana duniani. Tunapaswa kuwa safi kila wakati. Ningepanda tuweze kuamka kabla jongoo wa kwanza kuwika. Wakina mama pia munapaswa kuwalinda wavyele wenu na pia wanyama wanapaswa kulindwa kama beberu, ng'ombe, sungura na kathalika msije mkapoteza wanyama hao. Tunapaswa kuwa safi kama theluji, ni hayo tu na mola awazidishie maisha yenu.” | Kwa nini watu waamke kabla jogoo wa kwanza | {
"text": [
"Kufanya usafi"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vile kipindupindu ambayo hujulikana kuwa ni ugonjwa isiyo rahisi.
Hapo ndipo watu wengi waweza kupoteza uhai wao na hawatakuwa na ubora mwema tena. Na pia maisha yatakuwa mafupi kabisa maadamu hawa hupenda kuyachezea maisha yao. Uchafu ni hatari sana kwenye mazingira yetu, sasa hivi tunapaswa kuboresha usafi kwa hali ya juu.
Tena katika mazingira tunamoishi hapatakuwa na amani tena, kuna sababu watu huzunika sana pengine wengine hupoteza maisha yao maadamu ya madhara ya kuchafua mazingira.
Pia kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha usafi ili maisha yetu yaendelee vyema. Tukifanya hivyo basi hata pia mola ataturehemu kwa rehema zake kemkem. Umuhimu wa usafi hutambuliwa popote pale na yeyote yule.
Punde si punde usafi uliboreshwa kwenye mazingira na kila kitu kilendelea barabara. Na pia maisha yao yalirudi kuendelea kwa njia inavyostahili na amani ukatawala kwenye mazingira yao.
Hapo ndipo inanikumbusha maana ya methali isemayo mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Na mwenye macho haambiwi tazama. Waliona hayo madhara ni mabaya na wakayatupia kisogoni. | Madhara ya kuchafua mazingira yamefafanuliwa kuwa nini | {
"text": [
"Uharibifu wa mazingira"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vile kipindupindu ambayo hujulikana kuwa ni ugonjwa isiyo rahisi.
Hapo ndipo watu wengi waweza kupoteza uhai wao na hawatakuwa na ubora mwema tena. Na pia maisha yatakuwa mafupi kabisa maadamu hawa hupenda kuyachezea maisha yao. Uchafu ni hatari sana kwenye mazingira yetu, sasa hivi tunapaswa kuboresha usafi kwa hali ya juu.
Tena katika mazingira tunamoishi hapatakuwa na amani tena, kuna sababu watu huzunika sana pengine wengine hupoteza maisha yao maadamu ya madhara ya kuchafua mazingira.
Pia kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha usafi ili maisha yetu yaendelee vyema. Tukifanya hivyo basi hata pia mola ataturehemu kwa rehema zake kemkem. Umuhimu wa usafi hutambuliwa popote pale na yeyote yule.
Punde si punde usafi uliboreshwa kwenye mazingira na kila kitu kilendelea barabara. Na pia maisha yao yalirudi kuendelea kwa njia inavyostahili na amani ukatawala kwenye mazingira yao.
Hapo ndipo inanikumbusha maana ya methali isemayo mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Na mwenye macho haambiwi tazama. Waliona hayo madhara ni mabaya na wakayatupia kisogoni. | Nini kinaweza kutapakaa kama moto kichakani | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vile kipindupindu ambayo hujulikana kuwa ni ugonjwa isiyo rahisi.
Hapo ndipo watu wengi waweza kupoteza uhai wao na hawatakuwa na ubora mwema tena. Na pia maisha yatakuwa mafupi kabisa maadamu hawa hupenda kuyachezea maisha yao. Uchafu ni hatari sana kwenye mazingira yetu, sasa hivi tunapaswa kuboresha usafi kwa hali ya juu.
Tena katika mazingira tunamoishi hapatakuwa na amani tena, kuna sababu watu huzunika sana pengine wengine hupoteza maisha yao maadamu ya madhara ya kuchafua mazingira.
Pia kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha usafi ili maisha yetu yaendelee vyema. Tukifanya hivyo basi hata pia mola ataturehemu kwa rehema zake kemkem. Umuhimu wa usafi hutambuliwa popote pale na yeyote yule.
Punde si punde usafi uliboreshwa kwenye mazingira na kila kitu kilendelea barabara. Na pia maisha yao yalirudi kuendelea kwa njia inavyostahili na amani ukatawala kwenye mazingira yao.
Hapo ndipo inanikumbusha maana ya methali isemayo mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Na mwenye macho haambiwi tazama. Waliona hayo madhara ni mabaya na wakayatupia kisogoni. | Magonjwa yanayoweza kutapakaa ni kama yapi | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vile kipindupindu ambayo hujulikana kuwa ni ugonjwa isiyo rahisi.
Hapo ndipo watu wengi waweza kupoteza uhai wao na hawatakuwa na ubora mwema tena. Na pia maisha yatakuwa mafupi kabisa maadamu hawa hupenda kuyachezea maisha yao. Uchafu ni hatari sana kwenye mazingira yetu, sasa hivi tunapaswa kuboresha usafi kwa hali ya juu.
Tena katika mazingira tunamoishi hapatakuwa na amani tena, kuna sababu watu huzunika sana pengine wengine hupoteza maisha yao maadamu ya madhara ya kuchafua mazingira.
Pia kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha usafi ili maisha yetu yaendelee vyema. Tukifanya hivyo basi hata pia mola ataturehemu kwa rehema zake kemkem. Umuhimu wa usafi hutambuliwa popote pale na yeyote yule.
Punde si punde usafi uliboreshwa kwenye mazingira na kila kitu kilendelea barabara. Na pia maisha yao yalirudi kuendelea kwa njia inavyostahili na amani ukatawala kwenye mazingira yao.
Hapo ndipo inanikumbusha maana ya methali isemayo mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Na mwenye macho haambiwi tazama. Waliona hayo madhara ni mabaya na wakayatupia kisogoni. | Ni nini kilicho hatari sana katika mazingira yetu | {
"text": [
"Uchafu"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vile kipindupindu ambayo hujulikana kuwa ni ugonjwa isiyo rahisi.
Hapo ndipo watu wengi waweza kupoteza uhai wao na hawatakuwa na ubora mwema tena. Na pia maisha yatakuwa mafupi kabisa maadamu hawa hupenda kuyachezea maisha yao. Uchafu ni hatari sana kwenye mazingira yetu, sasa hivi tunapaswa kuboresha usafi kwa hali ya juu.
Tena katika mazingira tunamoishi hapatakuwa na amani tena, kuna sababu watu huzunika sana pengine wengine hupoteza maisha yao maadamu ya madhara ya kuchafua mazingira.
Pia kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha usafi ili maisha yetu yaendelee vyema. Tukifanya hivyo basi hata pia mola ataturehemu kwa rehema zake kemkem. Umuhimu wa usafi hutambuliwa popote pale na yeyote yule.
Punde si punde usafi uliboreshwa kwenye mazingira na kila kitu kilendelea barabara. Na pia maisha yao yalirudi kuendelea kwa njia inavyostahili na amani ukatawala kwenye mazingira yao.
Hapo ndipo inanikumbusha maana ya methali isemayo mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Na mwenye macho haambiwi tazama. Waliona hayo madhara ni mabaya na wakayatupia kisogoni. | Kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha nini | {
"text": [
"Usafi"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa matakataka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kuyatupa
matakataka kwenye boa au shimo la takataka na pia zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu yote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambalo huletwa na mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapokuwa na haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa wakitoa huo uchafu wa mwili. Hivi ni kwamba wengi wao hawana vyoo katika kiamboni mw?o. Sasa wanapotaka kujisaidia wanajisaidia popote na kutupa vinyesi vyao popote.
La tatu ni kwamba waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la takataka kwa kila boma. Hili ni kwamba takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya shimo na kuchomwa hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambao huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika kiamboni mwao. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko kando na manyumba yetu na kuyafagia uchafu mwingi kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakisho.
Ambazo hutupwa chini yote yanapaswa kufagiliwa na manyumba yawe masafi sana na pia kila insi atunze mazingira ipasavyo.
| Nani alitupa mazingira haya | {
"text": [
"Rabana"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa matakataka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kuyatupa
matakataka kwenye boa au shimo la takataka na pia zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu yote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambalo huletwa na mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapokuwa na haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa wakitoa huo uchafu wa mwili. Hivi ni kwamba wengi wao hawana vyoo katika kiamboni mw?o. Sasa wanapotaka kujisaidia wanajisaidia popote na kutupa vinyesi vyao popote.
La tatu ni kwamba waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la takataka kwa kila boma. Hili ni kwamba takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya shimo na kuchomwa hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambao huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika kiamboni mwao. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko kando na manyumba yetu na kuyafagia uchafu mwingi kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakisho.
Ambazo hutupwa chini yote yanapaswa kufagiliwa na manyumba yawe masafi sana na pia kila insi atunze mazingira ipasavyo.
| Rabana alitupa mazingira haya ili tuyafanyie nini | {
"text": [
"Tuyatunze na kuyaangalia"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa matakataka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kuyatupa
matakataka kwenye boa au shimo la takataka na pia zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu yote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambalo huletwa na mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapokuwa na haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa wakitoa huo uchafu wa mwili. Hivi ni kwamba wengi wao hawana vyoo katika kiamboni mw?o. Sasa wanapotaka kujisaidia wanajisaidia popote na kutupa vinyesi vyao popote.
La tatu ni kwamba waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la takataka kwa kila boma. Hili ni kwamba takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya shimo na kuchomwa hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambao huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika kiamboni mwao. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko kando na manyumba yetu na kuyafagia uchafu mwingi kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakisho.
Ambazo hutupwa chini yote yanapaswa kufagiliwa na manyumba yawe masafi sana na pia kila insi atunze mazingira ipasavyo.
| Madhara ni nini | {
"text": [
"Uharibifu wa mazingira"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa matakataka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kuyatupa
matakataka kwenye boa au shimo la takataka na pia zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu yote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambalo huletwa na mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapokuwa na haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa wakitoa huo uchafu wa mwili. Hivi ni kwamba wengi wao hawana vyoo katika kiamboni mw?o. Sasa wanapotaka kujisaidia wanajisaidia popote na kutupa vinyesi vyao popote.
La tatu ni kwamba waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la takataka kwa kila boma. Hili ni kwamba takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya shimo na kuchomwa hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambao huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika kiamboni mwao. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko kando na manyumba yetu na kuyafagia uchafu mwingi kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakisho.
Ambazo hutupwa chini yote yanapaswa kufagiliwa na manyumba yawe masafi sana na pia kila insi atunze mazingira ipasavyo.
| Waja wote wanapaswa kuwa na biwi au nini | {
"text": [
"Shimo la takataka"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa matakataka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kuyatupa
matakataka kwenye boa au shimo la takataka na pia zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu yote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambalo huletwa na mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapokuwa na haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa wakitoa huo uchafu wa mwili. Hivi ni kwamba wengi wao hawana vyoo katika kiamboni mw?o. Sasa wanapotaka kujisaidia wanajisaidia popote na kutupa vinyesi vyao popote.
La tatu ni kwamba waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la takataka kwa kila boma. Hili ni kwamba takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya shimo na kuchomwa hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambao huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika kiamboni mwao. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko kando na manyumba yetu na kuyafagia uchafu mwingi kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakisho.
Ambazo hutupwa chini yote yanapaswa kufagiliwa na manyumba yawe masafi sana na pia kila insi atunze mazingira ipasavyo.
| Takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya nini | {
"text": [
"Shimo"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipindupindu, kolera na mengineyo. Uchafu ni kitu kibaya kwa kiumbe sababu ni hali ya kutokuwa safi. Mazingira chafu ni kama kutupa takataka ovyo ovyo kutomwaga maji na kutofagia baraza hapa shuleni. Tuzingatie usafi in tusipatwe na adhara ya ugonjwa. mazingira inahitaji kukatwa nyasi na kufagia baraza kwa maana usipokata nyasi utakutwa na ugonjwa wa malaria na kolera.
Madhara ya kumwaga maji chafu karibu na nyumba hiyo ni adhari ya ugonjwa hatari. Shuleni tunadumisha usafi, kuosha vyoo, kuosha darasa na kupanga mawe na kubungilia maji na kuchoma takataka ili tusipatwe na athari ya ugonjwa. Nyasi inapaswa kukatwa wakati wa masika. Pia kutupa nguo iliyo haribika hiyo ni uchafu. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kuwa hewa tunaopumua inatoka kwenye mazingira.
Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hayakuwepo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi na viwanda. Tatizo kubwa ya nchi na hiyo ndiyo uharibifu kubwa sana. Madhara ingine ya uchafuzi ni unapochoma taka sababu moshi inayotoka kwenye shimo una harufu mbaya, watu wanaponusa harufu hiyo inaharibu Mwili. Mazingira tena yanastahili kupanda miti ili ing’arike. Hapa nchi yetu tunaelezwa tupande miti na tusikate.
| Mazingira ni hali inayomzunguka nani | {
"text": [
"kiumbe"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipindupindu, kolera na mengineyo. Uchafu ni kitu kibaya kwa kiumbe sababu ni hali ya kutokuwa safi. Mazingira chafu ni kama kutupa takataka ovyo ovyo kutomwaga maji na kutofagia baraza hapa shuleni. Tuzingatie usafi in tusipatwe na adhara ya ugonjwa. mazingira inahitaji kukatwa nyasi na kufagia baraza kwa maana usipokata nyasi utakutwa na ugonjwa wa malaria na kolera.
Madhara ya kumwaga maji chafu karibu na nyumba hiyo ni adhari ya ugonjwa hatari. Shuleni tunadumisha usafi, kuosha vyoo, kuosha darasa na kupanga mawe na kubungilia maji na kuchoma takataka ili tusipatwe na athari ya ugonjwa. Nyasi inapaswa kukatwa wakati wa masika. Pia kutupa nguo iliyo haribika hiyo ni uchafu. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kuwa hewa tunaopumua inatoka kwenye mazingira.
Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hayakuwepo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi na viwanda. Tatizo kubwa ya nchi na hiyo ndiyo uharibifu kubwa sana. Madhara ingine ya uchafuzi ni unapochoma taka sababu moshi inayotoka kwenye shimo una harufu mbaya, watu wanaponusa harufu hiyo inaharibu Mwili. Mazingira tena yanastahili kupanda miti ili ing’arike. Hapa nchi yetu tunaelezwa tupande miti na tusikate.
| Nyasi inapaswa kukatwa lini | {
"text": [
"wakati wa masika"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipindupindu, kolera na mengineyo. Uchafu ni kitu kibaya kwa kiumbe sababu ni hali ya kutokuwa safi. Mazingira chafu ni kama kutupa takataka ovyo ovyo kutomwaga maji na kutofagia baraza hapa shuleni. Tuzingatie usafi in tusipatwe na adhara ya ugonjwa. mazingira inahitaji kukatwa nyasi na kufagia baraza kwa maana usipokata nyasi utakutwa na ugonjwa wa malaria na kolera.
Madhara ya kumwaga maji chafu karibu na nyumba hiyo ni adhari ya ugonjwa hatari. Shuleni tunadumisha usafi, kuosha vyoo, kuosha darasa na kupanga mawe na kubungilia maji na kuchoma takataka ili tusipatwe na athari ya ugonjwa. Nyasi inapaswa kukatwa wakati wa masika. Pia kutupa nguo iliyo haribika hiyo ni uchafu. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kuwa hewa tunaopumua inatoka kwenye mazingira.
Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hayakuwepo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi na viwanda. Tatizo kubwa ya nchi na hiyo ndiyo uharibifu kubwa sana. Madhara ingine ya uchafuzi ni unapochoma taka sababu moshi inayotoka kwenye shimo una harufu mbaya, watu wanaponusa harufu hiyo inaharibu Mwili. Mazingira tena yanastahili kupanda miti ili ing’arike. Hapa nchi yetu tunaelezwa tupande miti na tusikate.
| Kutupa nguo gani ni uchafu | {
"text": [
"iliyoharibika"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipindupindu, kolera na mengineyo. Uchafu ni kitu kibaya kwa kiumbe sababu ni hali ya kutokuwa safi. Mazingira chafu ni kama kutupa takataka ovyo ovyo kutomwaga maji na kutofagia baraza hapa shuleni. Tuzingatie usafi in tusipatwe na adhara ya ugonjwa. mazingira inahitaji kukatwa nyasi na kufagia baraza kwa maana usipokata nyasi utakutwa na ugonjwa wa malaria na kolera.
Madhara ya kumwaga maji chafu karibu na nyumba hiyo ni adhari ya ugonjwa hatari. Shuleni tunadumisha usafi, kuosha vyoo, kuosha darasa na kupanga mawe na kubungilia maji na kuchoma takataka ili tusipatwe na athari ya ugonjwa. Nyasi inapaswa kukatwa wakati wa masika. Pia kutupa nguo iliyo haribika hiyo ni uchafu. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kuwa hewa tunaopumua inatoka kwenye mazingira.
Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hayakuwepo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi na viwanda. Tatizo kubwa ya nchi na hiyo ndiyo uharibifu kubwa sana. Madhara ingine ya uchafuzi ni unapochoma taka sababu moshi inayotoka kwenye shimo una harufu mbaya, watu wanaponusa harufu hiyo inaharibu Mwili. Mazingira tena yanastahili kupanda miti ili ing’arike. Hapa nchi yetu tunaelezwa tupande miti na tusikate.
| Hapa nchi yetu tupande nini | {
"text": [
"miti"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipindupindu, kolera na mengineyo. Uchafu ni kitu kibaya kwa kiumbe sababu ni hali ya kutokuwa safi. Mazingira chafu ni kama kutupa takataka ovyo ovyo kutomwaga maji na kutofagia baraza hapa shuleni. Tuzingatie usafi in tusipatwe na adhara ya ugonjwa. mazingira inahitaji kukatwa nyasi na kufagia baraza kwa maana usipokata nyasi utakutwa na ugonjwa wa malaria na kolera.
Madhara ya kumwaga maji chafu karibu na nyumba hiyo ni adhari ya ugonjwa hatari. Shuleni tunadumisha usafi, kuosha vyoo, kuosha darasa na kupanga mawe na kubungilia maji na kuchoma takataka ili tusipatwe na athari ya ugonjwa. Nyasi inapaswa kukatwa wakati wa masika. Pia kutupa nguo iliyo haribika hiyo ni uchafu. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kuwa hewa tunaopumua inatoka kwenye mazingira.
Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hayakuwepo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi na viwanda. Tatizo kubwa ya nchi na hiyo ndiyo uharibifu kubwa sana. Madhara ingine ya uchafuzi ni unapochoma taka sababu moshi inayotoka kwenye shimo una harufu mbaya, watu wanaponusa harufu hiyo inaharibu Mwili. Mazingira tena yanastahili kupanda miti ili ing’arike. Hapa nchi yetu tunaelezwa tupande miti na tusikate.
| Mbona ni muhimu kuchoma takataka | {
"text": [
"Ili tusipatwe na athari za ugonjwa"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa kipindupindu husababiswa na unywaji wa maji machafu ambayo hayajatibiwa. Malaria pia huletwa na maji yaliyosimama kwa mikebe yaliyotupwa ovyo ovyo ambayo husababisha mbu kuja sehemu yale na kuanza kuwadhuru binadamu kwa kufyonza damu yao na kuwaambukiza ugonjwa wa mabuga. Kuna ugonjwa uitwao homa, yaani kukohowa kutokana na vumbi unaoletwa na kutomwaga maji kwenye mazingira yetu. Ugonjwa huu ni hatari sana kwasababu mtu hukohoa vibaya sana. Kutupa taka ovyo ovyo pia ni hatari sana. Tunapaswa kuchimba biwi la tatataka haswa pale nyumbani kwetu. Kutupa taka ovyo ovyo husababisha madhara mengi kila mahali. Tunapaswa kukusanya taka zote pamoja na kuzipeleka kwenye shimo la takataka na kuzichoma kwa pamoja. Sote tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.
mbali mbali. Tunapaswa pia kusafisha nyumba yetu haswa tunapopikia mle jikoni. Vyombo vyetu viwe safi kila mara.
Pia tunatakiwa kufagia hadi mle mvunguni mwa kitanda yetu ili kuepukana na wanyama kama vile panya, kunguni, nyoka na kathalika. Tuna budi kuoga kila mara kama ibada. Mili yetu ni hekalu la Mwenyezi Mungu. Pia tutakapo oga kila siku sote tutaepuka magonjwa mbalimbali kama kupatwa na viroboto na chawa.
Maji pia ni muhimu uweke pahali safi mle nyumbani na pia iwe imetibiwa. Ni lazima pia mle
darasani pawe safi na hata mahali tupumzikapo wakati wowote. Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na sote tuzingatie usafi ili kuepuka magonjwa ya aina mbali mbali.
| Mahali ambapo kummezungukwa na kiumbe chochote huitwaje | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa kipindupindu husababiswa na unywaji wa maji machafu ambayo hayajatibiwa. Malaria pia huletwa na maji yaliyosimama kwa mikebe yaliyotupwa ovyo ovyo ambayo husababisha mbu kuja sehemu yale na kuanza kuwadhuru binadamu kwa kufyonza damu yao na kuwaambukiza ugonjwa wa mabuga. Kuna ugonjwa uitwao homa, yaani kukohowa kutokana na vumbi unaoletwa na kutomwaga maji kwenye mazingira yetu. Ugonjwa huu ni hatari sana kwasababu mtu hukohoa vibaya sana. Kutupa taka ovyo ovyo pia ni hatari sana. Tunapaswa kuchimba biwi la tatataka haswa pale nyumbani kwetu. Kutupa taka ovyo ovyo husababisha madhara mengi kila mahali. Tunapaswa kukusanya taka zote pamoja na kuzipeleka kwenye shimo la takataka na kuzichoma kwa pamoja. Sote tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.
mbali mbali. Tunapaswa pia kusafisha nyumba yetu haswa tunapopikia mle jikoni. Vyombo vyetu viwe safi kila mara.
Pia tunatakiwa kufagia hadi mle mvunguni mwa kitanda yetu ili kuepukana na wanyama kama vile panya, kunguni, nyoka na kathalika. Tuna budi kuoga kila mara kama ibada. Mili yetu ni hekalu la Mwenyezi Mungu. Pia tutakapo oga kila siku sote tutaepuka magonjwa mbalimbali kama kupatwa na viroboto na chawa.
Maji pia ni muhimu uweke pahali safi mle nyumbani na pia iwe imetibiwa. Ni lazima pia mle
darasani pawe safi na hata mahali tupumzikapo wakati wowote. Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na sote tuzingatie usafi ili kuepuka magonjwa ya aina mbali mbali.
| Ugonjwa upi unaletwa na kunywa maji machafu | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa kipindupindu husababiswa na unywaji wa maji machafu ambayo hayajatibiwa. Malaria pia huletwa na maji yaliyosimama kwa mikebe yaliyotupwa ovyo ovyo ambayo husababisha mbu kuja sehemu yale na kuanza kuwadhuru binadamu kwa kufyonza damu yao na kuwaambukiza ugonjwa wa mabuga. Kuna ugonjwa uitwao homa, yaani kukohowa kutokana na vumbi unaoletwa na kutomwaga maji kwenye mazingira yetu. Ugonjwa huu ni hatari sana kwasababu mtu hukohoa vibaya sana. Kutupa taka ovyo ovyo pia ni hatari sana. Tunapaswa kuchimba biwi la tatataka haswa pale nyumbani kwetu. Kutupa taka ovyo ovyo husababisha madhara mengi kila mahali. Tunapaswa kukusanya taka zote pamoja na kuzipeleka kwenye shimo la takataka na kuzichoma kwa pamoja. Sote tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.
mbali mbali. Tunapaswa pia kusafisha nyumba yetu haswa tunapopikia mle jikoni. Vyombo vyetu viwe safi kila mara.
Pia tunatakiwa kufagia hadi mle mvunguni mwa kitanda yetu ili kuepukana na wanyama kama vile panya, kunguni, nyoka na kathalika. Tuna budi kuoga kila mara kama ibada. Mili yetu ni hekalu la Mwenyezi Mungu. Pia tutakapo oga kila siku sote tutaepuka magonjwa mbalimbali kama kupatwa na viroboto na chawa.
Maji pia ni muhimu uweke pahali safi mle nyumbani na pia iwe imetibiwa. Ni lazima pia mle
darasani pawe safi na hata mahali tupumzikapo wakati wowote. Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na sote tuzingatie usafi ili kuepuka magonjwa ya aina mbali mbali.
| Kukohoa hutokana na nini | {
"text": [
"Vumbi"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa kipindupindu husababiswa na unywaji wa maji machafu ambayo hayajatibiwa. Malaria pia huletwa na maji yaliyosimama kwa mikebe yaliyotupwa ovyo ovyo ambayo husababisha mbu kuja sehemu yale na kuanza kuwadhuru binadamu kwa kufyonza damu yao na kuwaambukiza ugonjwa wa mabuga. Kuna ugonjwa uitwao homa, yaani kukohowa kutokana na vumbi unaoletwa na kutomwaga maji kwenye mazingira yetu. Ugonjwa huu ni hatari sana kwasababu mtu hukohoa vibaya sana. Kutupa taka ovyo ovyo pia ni hatari sana. Tunapaswa kuchimba biwi la tatataka haswa pale nyumbani kwetu. Kutupa taka ovyo ovyo husababisha madhara mengi kila mahali. Tunapaswa kukusanya taka zote pamoja na kuzipeleka kwenye shimo la takataka na kuzichoma kwa pamoja. Sote tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.
mbali mbali. Tunapaswa pia kusafisha nyumba yetu haswa tunapopikia mle jikoni. Vyombo vyetu viwe safi kila mara.
Pia tunatakiwa kufagia hadi mle mvunguni mwa kitanda yetu ili kuepukana na wanyama kama vile panya, kunguni, nyoka na kathalika. Tuna budi kuoga kila mara kama ibada. Mili yetu ni hekalu la Mwenyezi Mungu. Pia tutakapo oga kila siku sote tutaepuka magonjwa mbalimbali kama kupatwa na viroboto na chawa.
Maji pia ni muhimu uweke pahali safi mle nyumbani na pia iwe imetibiwa. Ni lazima pia mle
darasani pawe safi na hata mahali tupumzikapo wakati wowote. Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na sote tuzingatie usafi ili kuepuka magonjwa ya aina mbali mbali.
| Tunapaswa kukusanya nini | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa kipindupindu husababiswa na unywaji wa maji machafu ambayo hayajatibiwa. Malaria pia huletwa na maji yaliyosimama kwa mikebe yaliyotupwa ovyo ovyo ambayo husababisha mbu kuja sehemu yale na kuanza kuwadhuru binadamu kwa kufyonza damu yao na kuwaambukiza ugonjwa wa mabuga. Kuna ugonjwa uitwao homa, yaani kukohowa kutokana na vumbi unaoletwa na kutomwaga maji kwenye mazingira yetu. Ugonjwa huu ni hatari sana kwasababu mtu hukohoa vibaya sana. Kutupa taka ovyo ovyo pia ni hatari sana. Tunapaswa kuchimba biwi la tatataka haswa pale nyumbani kwetu. Kutupa taka ovyo ovyo husababisha madhara mengi kila mahali. Tunapaswa kukusanya taka zote pamoja na kuzipeleka kwenye shimo la takataka na kuzichoma kwa pamoja. Sote tunapaswa kuzingatia usafi wa mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.
mbali mbali. Tunapaswa pia kusafisha nyumba yetu haswa tunapopikia mle jikoni. Vyombo vyetu viwe safi kila mara.
Pia tunatakiwa kufagia hadi mle mvunguni mwa kitanda yetu ili kuepukana na wanyama kama vile panya, kunguni, nyoka na kathalika. Tuna budi kuoga kila mara kama ibada. Mili yetu ni hekalu la Mwenyezi Mungu. Pia tutakapo oga kila siku sote tutaepuka magonjwa mbalimbali kama kupatwa na viroboto na chawa.
Maji pia ni muhimu uweke pahali safi mle nyumbani na pia iwe imetibiwa. Ni lazima pia mle
darasani pawe safi na hata mahali tupumzikapo wakati wowote. Usafi ni muhimu kwa kila binadamu na sote tuzingatie usafi ili kuepuka magonjwa ya aina mbali mbali.
| Kwa nini hatuna budi kuoga kila siku | {
"text": [
"Ili kuepukana na magonjwa mbalimbali"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. Nyumbani sote hufanya usafi kila siku mara kwa mara, maandalizi yafaayo nyumbani ni kama vile, usafi wa nyumba, nguo, choo, bafuni, chakula ukilacho, mahali pa kulala na mengineo. Endapo barabarani unawapata wasafisi wakijitolea nchi yetu Kenya kupendeza kama ua.
Hapa shuleni usafi hufanywa kila siku, asubuhi na macheo kabla ya masomo yaanze. Ni kitu cha azizi kuwa kila mmoja ana kazi yake hapa shule ya upili kweli iliwapendeza wengi. Hospitalini pia huwa na ubaya wa uchafuzi.
Uchafu pia huleta madhara ya magonjwa kama vile, hewa mbaya, kipindupindu, uvundo kama wakati mtu hajapiga mswaki, hata kuoga. Maji na hewa ni kitu cha thamana hapa nchini. Wengi wetu hatujui maana ya usafi kwa hivyo huharibu mazingira.
Wanadamu wanafaa kuwapa wanyama kama paka, mbwa mabaki yetu. Hapa Kenya ni makosa kubwa. Waweza hata kutiwa korokoroni mwezi mitano ama kutozwa faini.
Usafi ni uhai kwa mfano, mama anayetarajia kujifungua anahitaji usafi kamwe. Uchafu wa sababisa ugonjwa wa Kansa. Wakati vijana wa tumia dawa za kulevya ama uvutaji wa bangi na sigara, husababisha ugonjwa wa maini. Pia humfanya mtu kunuka fe, hata kumfanya mtu kuwa kifefe, yaani kukonda. Kwa hivyo sote tuheshimu mazingira wakati wowote, saa zozote, wakati ufaao.
| Madhara ni nini | {
"text": [
"uharibifu"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. Nyumbani sote hufanya usafi kila siku mara kwa mara, maandalizi yafaayo nyumbani ni kama vile, usafi wa nyumba, nguo, choo, bafuni, chakula ukilacho, mahali pa kulala na mengineo. Endapo barabarani unawapata wasafisi wakijitolea nchi yetu Kenya kupendeza kama ua.
Hapa shuleni usafi hufanywa kila siku, asubuhi na macheo kabla ya masomo yaanze. Ni kitu cha azizi kuwa kila mmoja ana kazi yake hapa shule ya upili kweli iliwapendeza wengi. Hospitalini pia huwa na ubaya wa uchafuzi.
Uchafu pia huleta madhara ya magonjwa kama vile, hewa mbaya, kipindupindu, uvundo kama wakati mtu hajapiga mswaki, hata kuoga. Maji na hewa ni kitu cha thamana hapa nchini. Wengi wetu hatujui maana ya usafi kwa hivyo huharibu mazingira.
Wanadamu wanafaa kuwapa wanyama kama paka, mbwa mabaki yetu. Hapa Kenya ni makosa kubwa. Waweza hata kutiwa korokoroni mwezi mitano ama kutozwa faini.
Usafi ni uhai kwa mfano, mama anayetarajia kujifungua anahitaji usafi kamwe. Uchafu wa sababisa ugonjwa wa Kansa. Wakati vijana wa tumia dawa za kulevya ama uvutaji wa bangi na sigara, husababisha ugonjwa wa maini. Pia humfanya mtu kunuka fe, hata kumfanya mtu kuwa kifefe, yaani kukonda. Kwa hivyo sote tuheshimu mazingira wakati wowote, saa zozote, wakati ufaao.
| Pachafu hapakosi nini | {
"text": [
"nzi"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. Nyumbani sote hufanya usafi kila siku mara kwa mara, maandalizi yafaayo nyumbani ni kama vile, usafi wa nyumba, nguo, choo, bafuni, chakula ukilacho, mahali pa kulala na mengineo. Endapo barabarani unawapata wasafisi wakijitolea nchi yetu Kenya kupendeza kama ua.
Hapa shuleni usafi hufanywa kila siku, asubuhi na macheo kabla ya masomo yaanze. Ni kitu cha azizi kuwa kila mmoja ana kazi yake hapa shule ya upili kweli iliwapendeza wengi. Hospitalini pia huwa na ubaya wa uchafuzi.
Uchafu pia huleta madhara ya magonjwa kama vile, hewa mbaya, kipindupindu, uvundo kama wakati mtu hajapiga mswaki, hata kuoga. Maji na hewa ni kitu cha thamana hapa nchini. Wengi wetu hatujui maana ya usafi kwa hivyo huharibu mazingira.
Wanadamu wanafaa kuwapa wanyama kama paka, mbwa mabaki yetu. Hapa Kenya ni makosa kubwa. Waweza hata kutiwa korokoroni mwezi mitano ama kutozwa faini.
Usafi ni uhai kwa mfano, mama anayetarajia kujifungua anahitaji usafi kamwe. Uchafu wa sababisa ugonjwa wa Kansa. Wakati vijana wa tumia dawa za kulevya ama uvutaji wa bangi na sigara, husababisha ugonjwa wa maini. Pia humfanya mtu kunuka fe, hata kumfanya mtu kuwa kifefe, yaani kukonda. Kwa hivyo sote tuheshimu mazingira wakati wowote, saa zozote, wakati ufaao.
| Nini kitu cha thamana hapa nchini | {
"text": [
"hewa"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. Nyumbani sote hufanya usafi kila siku mara kwa mara, maandalizi yafaayo nyumbani ni kama vile, usafi wa nyumba, nguo, choo, bafuni, chakula ukilacho, mahali pa kulala na mengineo. Endapo barabarani unawapata wasafisi wakijitolea nchi yetu Kenya kupendeza kama ua.
Hapa shuleni usafi hufanywa kila siku, asubuhi na macheo kabla ya masomo yaanze. Ni kitu cha azizi kuwa kila mmoja ana kazi yake hapa shule ya upili kweli iliwapendeza wengi. Hospitalini pia huwa na ubaya wa uchafuzi.
Uchafu pia huleta madhara ya magonjwa kama vile, hewa mbaya, kipindupindu, uvundo kama wakati mtu hajapiga mswaki, hata kuoga. Maji na hewa ni kitu cha thamana hapa nchini. Wengi wetu hatujui maana ya usafi kwa hivyo huharibu mazingira.
Wanadamu wanafaa kuwapa wanyama kama paka, mbwa mabaki yetu. Hapa Kenya ni makosa kubwa. Waweza hata kutiwa korokoroni mwezi mitano ama kutozwa faini.
Usafi ni uhai kwa mfano, mama anayetarajia kujifungua anahitaji usafi kamwe. Uchafu wa sababisa ugonjwa wa Kansa. Wakati vijana wa tumia dawa za kulevya ama uvutaji wa bangi na sigara, husababisha ugonjwa wa maini. Pia humfanya mtu kunuka fe, hata kumfanya mtu kuwa kifefe, yaani kukonda. Kwa hivyo sote tuheshimu mazingira wakati wowote, saa zozote, wakati ufaao.
| Wao hufanya usafi nyumbani lini | {
"text": [
"kila siku"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. Nyumbani sote hufanya usafi kila siku mara kwa mara, maandalizi yafaayo nyumbani ni kama vile, usafi wa nyumba, nguo, choo, bafuni, chakula ukilacho, mahali pa kulala na mengineo. Endapo barabarani unawapata wasafisi wakijitolea nchi yetu Kenya kupendeza kama ua.
Hapa shuleni usafi hufanywa kila siku, asubuhi na macheo kabla ya masomo yaanze. Ni kitu cha azizi kuwa kila mmoja ana kazi yake hapa shule ya upili kweli iliwapendeza wengi. Hospitalini pia huwa na ubaya wa uchafuzi.
Uchafu pia huleta madhara ya magonjwa kama vile, hewa mbaya, kipindupindu, uvundo kama wakati mtu hajapiga mswaki, hata kuoga. Maji na hewa ni kitu cha thamana hapa nchini. Wengi wetu hatujui maana ya usafi kwa hivyo huharibu mazingira.
Wanadamu wanafaa kuwapa wanyama kama paka, mbwa mabaki yetu. Hapa Kenya ni makosa kubwa. Waweza hata kutiwa korokoroni mwezi mitano ama kutozwa faini.
Usafi ni uhai kwa mfano, mama anayetarajia kujifungua anahitaji usafi kamwe. Uchafu wa sababisa ugonjwa wa Kansa. Wakati vijana wa tumia dawa za kulevya ama uvutaji wa bangi na sigara, husababisha ugonjwa wa maini. Pia humfanya mtu kunuka fe, hata kumfanya mtu kuwa kifefe, yaani kukonda. Kwa hivyo sote tuheshimu mazingira wakati wowote, saa zozote, wakati ufaao.
| Usafi wa shule ya upili uliwapendeza wengi mbona | {
"text": [
"kila mmoja alikua na kazi yake"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hali ya hatari kubwa sana kwa njia nyingi zaidi.
Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufukaji wa mifugo wengi katika vipande vimoja vya ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa.
Mti inafaa kutunzwa vizuri. Tuzuie ukataji wa miti ama ukikata moja panda mbili kwa sababu miti ina faida nyingi katika maisha ya mwanadamu yeyote yule, kwa mfano miti hutupa hewa nzuri, miti pia hutupa kivuli wakati wa jua kali, miti pia huvutia mvua. Ama kwa ukweli pahali palipopandwa miti nyingi kwa wingi hakukosi mvua. Ni jukumu la kila insi kuhifadhi na kuitunza mti kama mazingira yetu. Miti ni chakula pia kwa wanadamu kwa sababu kuna miti zinazalia matunda yao. Mito pia ni mojawapo wa mazingira. Tuitunze na kuifadhi mito vizuri sana. Tusitupe takataka ovyo ovyo kwa mito, tusiwape ng’ombe wanywe maji kwa mito kwa sababu huzichafua. Mito pia inafaa tuitunze na kuilinda mito kama mazingira yetu.
Mchanga pia ni maslahi yetu. Ni jukumu letu kuitunza mchanga kama mazingira inayotuzunguka. Tuzuie mmomonyoko wa udongo, kwa kuzuia ufugaji wa mifugo wengi kama ng’ombe kwa pahali moja. Mchanga ukitunzwa tutapanda kwa wingi. Mazingira ni muhimu sana tuitunze
na kuilinda vizuri. Ili tuzuie magonjwa mengi kama vile kipindupindu, homa ya matumbo, malaria na mengine. Kuzuia magonjwa kama haya huna budi kuitunza mazingira vizuri sana.
| Mbinu duni za kilimo husababisha nini | {
"text": [
"mmomonyoko wa udongo"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hali ya hatari kubwa sana kwa njia nyingi zaidi.
Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufukaji wa mifugo wengi katika vipande vimoja vya ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa.
Mti inafaa kutunzwa vizuri. Tuzuie ukataji wa miti ama ukikata moja panda mbili kwa sababu miti ina faida nyingi katika maisha ya mwanadamu yeyote yule, kwa mfano miti hutupa hewa nzuri, miti pia hutupa kivuli wakati wa jua kali, miti pia huvutia mvua. Ama kwa ukweli pahali palipopandwa miti nyingi kwa wingi hakukosi mvua. Ni jukumu la kila insi kuhifadhi na kuitunza mti kama mazingira yetu. Miti ni chakula pia kwa wanadamu kwa sababu kuna miti zinazalia matunda yao. Mito pia ni mojawapo wa mazingira. Tuitunze na kuifadhi mito vizuri sana. Tusitupe takataka ovyo ovyo kwa mito, tusiwape ng’ombe wanywe maji kwa mito kwa sababu huzichafua. Mito pia inafaa tuitunze na kuilinda mito kama mazingira yetu.
Mchanga pia ni maslahi yetu. Ni jukumu letu kuitunza mchanga kama mazingira inayotuzunguka. Tuzuie mmomonyoko wa udongo, kwa kuzuia ufugaji wa mifugo wengi kama ng’ombe kwa pahali moja. Mchanga ukitunzwa tutapanda kwa wingi. Mazingira ni muhimu sana tuitunze
na kuilinda vizuri. Ili tuzuie magonjwa mengi kama vile kipindupindu, homa ya matumbo, malaria na mengine. Kuzuia magonjwa kama haya huna budi kuitunza mazingira vizuri sana.
| Miti inafaa kufanyiwa nini | {
"text": [
"kutunzwa vizuri"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hali ya hatari kubwa sana kwa njia nyingi zaidi.
Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufukaji wa mifugo wengi katika vipande vimoja vya ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa.
Mti inafaa kutunzwa vizuri. Tuzuie ukataji wa miti ama ukikata moja panda mbili kwa sababu miti ina faida nyingi katika maisha ya mwanadamu yeyote yule, kwa mfano miti hutupa hewa nzuri, miti pia hutupa kivuli wakati wa jua kali, miti pia huvutia mvua. Ama kwa ukweli pahali palipopandwa miti nyingi kwa wingi hakukosi mvua. Ni jukumu la kila insi kuhifadhi na kuitunza mti kama mazingira yetu. Miti ni chakula pia kwa wanadamu kwa sababu kuna miti zinazalia matunda yao. Mito pia ni mojawapo wa mazingira. Tuitunze na kuifadhi mito vizuri sana. Tusitupe takataka ovyo ovyo kwa mito, tusiwape ng’ombe wanywe maji kwa mito kwa sababu huzichafua. Mito pia inafaa tuitunze na kuilinda mito kama mazingira yetu.
Mchanga pia ni maslahi yetu. Ni jukumu letu kuitunza mchanga kama mazingira inayotuzunguka. Tuzuie mmomonyoko wa udongo, kwa kuzuia ufugaji wa mifugo wengi kama ng’ombe kwa pahali moja. Mchanga ukitunzwa tutapanda kwa wingi. Mazingira ni muhimu sana tuitunze
na kuilinda vizuri. Ili tuzuie magonjwa mengi kama vile kipindupindu, homa ya matumbo, malaria na mengine. Kuzuia magonjwa kama haya huna budi kuitunza mazingira vizuri sana.
| Ukikata mti mmoja ufanye nini | {
"text": [
"upande miwili"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hali ya hatari kubwa sana kwa njia nyingi zaidi.
Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufukaji wa mifugo wengi katika vipande vimoja vya ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa.
Mti inafaa kutunzwa vizuri. Tuzuie ukataji wa miti ama ukikata moja panda mbili kwa sababu miti ina faida nyingi katika maisha ya mwanadamu yeyote yule, kwa mfano miti hutupa hewa nzuri, miti pia hutupa kivuli wakati wa jua kali, miti pia huvutia mvua. Ama kwa ukweli pahali palipopandwa miti nyingi kwa wingi hakukosi mvua. Ni jukumu la kila insi kuhifadhi na kuitunza mti kama mazingira yetu. Miti ni chakula pia kwa wanadamu kwa sababu kuna miti zinazalia matunda yao. Mito pia ni mojawapo wa mazingira. Tuitunze na kuifadhi mito vizuri sana. Tusitupe takataka ovyo ovyo kwa mito, tusiwape ng’ombe wanywe maji kwa mito kwa sababu huzichafua. Mito pia inafaa tuitunze na kuilinda mito kama mazingira yetu.
Mchanga pia ni maslahi yetu. Ni jukumu letu kuitunza mchanga kama mazingira inayotuzunguka. Tuzuie mmomonyoko wa udongo, kwa kuzuia ufugaji wa mifugo wengi kama ng’ombe kwa pahali moja. Mchanga ukitunzwa tutapanda kwa wingi. Mazingira ni muhimu sana tuitunze
na kuilinda vizuri. Ili tuzuie magonjwa mengi kama vile kipindupindu, homa ya matumbo, malaria na mengine. Kuzuia magonjwa kama haya huna budi kuitunza mazingira vizuri sana.
| Ni lini mtu anapaswa kupanda miti miwili | {
"text": [
"anapokata mti mmoja"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda, mazingira yamekuwa katika hali ya hatari kubwa sana kwa njia nyingi zaidi.
Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufukaji wa mifugo wengi katika vipande vimoja vya ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa.
Mti inafaa kutunzwa vizuri. Tuzuie ukataji wa miti ama ukikata moja panda mbili kwa sababu miti ina faida nyingi katika maisha ya mwanadamu yeyote yule, kwa mfano miti hutupa hewa nzuri, miti pia hutupa kivuli wakati wa jua kali, miti pia huvutia mvua. Ama kwa ukweli pahali palipopandwa miti nyingi kwa wingi hakukosi mvua. Ni jukumu la kila insi kuhifadhi na kuitunza mti kama mazingira yetu. Miti ni chakula pia kwa wanadamu kwa sababu kuna miti zinazalia matunda yao. Mito pia ni mojawapo wa mazingira. Tuitunze na kuifadhi mito vizuri sana. Tusitupe takataka ovyo ovyo kwa mito, tusiwape ng’ombe wanywe maji kwa mito kwa sababu huzichafua. Mito pia inafaa tuitunze na kuilinda mito kama mazingira yetu.
Mchanga pia ni maslahi yetu. Ni jukumu letu kuitunza mchanga kama mazingira inayotuzunguka. Tuzuie mmomonyoko wa udongo, kwa kuzuia ufugaji wa mifugo wengi kama ng’ombe kwa pahali moja. Mchanga ukitunzwa tutapanda kwa wingi. Mazingira ni muhimu sana tuitunze
na kuilinda vizuri. Ili tuzuie magonjwa mengi kama vile kipindupindu, homa ya matumbo, malaria na mengine. Kuzuia magonjwa kama haya huna budi kuitunza mazingira vizuri sana.
| Mbona tunapaswa kulinda mazingira yetu vizuri | {
"text": [
"ili tuweze kuzuia magonjwa mengi"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi zilizo ndefu. Usipo yazingatia hayo tutaweza kuchafua mazingira na tutakuwa wagonjwa kwa kugonjeka magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu, cholera, malaria na mengineo.
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji machafu na dalili zake ni kuendesha, kutapika, joto jingi mwilini na mengine. Pili ni ugonjwa wa malaria ambayo husababishwa na mbu ambaye huishi katika mazingira machafu na yasiyo katwa nyasi. Tatu ni ugonjwa wa kipindupindu ambayo pia husababishwa na maji machafu na kusababisha hali ya kuharisha na kutapika sana.
Watu wengi huaribu mazingira kwa kufanya mambo mbalimbali kama vile kutupa takataka kila mahali na kuyafanya mazingira kuwa machafu sana. Takataka hupaswa kutupwa katika pipa na kuchomoa.
Pia tunapaswa kukata nyasi zilizo ndefu ili kuzuia wanyama ambao wanaweza kututhuru. Wanyama hao ni kama vile nyoka na wadudu wengineo. Tukikata nyasi tutazuia mambo mingi.
sana na tutaweza kulea na mazingira masafi. Kwa hivyo tunapaswa kujihadhari kutokana na uchafuzi wa mazingira kwa jumla.
| Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka nani | {
"text": [
"Kiumbe"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi zilizo ndefu. Usipo yazingatia hayo tutaweza kuchafua mazingira na tutakuwa wagonjwa kwa kugonjeka magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu, cholera, malaria na mengineo.
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji machafu na dalili zake ni kuendesha, kutapika, joto jingi mwilini na mengine. Pili ni ugonjwa wa malaria ambayo husababishwa na mbu ambaye huishi katika mazingira machafu na yasiyo katwa nyasi. Tatu ni ugonjwa wa kipindupindu ambayo pia husababishwa na maji machafu na kusababisha hali ya kuharisha na kutapika sana.
Watu wengi huaribu mazingira kwa kufanya mambo mbalimbali kama vile kutupa takataka kila mahali na kuyafanya mazingira kuwa machafu sana. Takataka hupaswa kutupwa katika pipa na kuchomoa.
Pia tunapaswa kukata nyasi zilizo ndefu ili kuzuia wanyama ambao wanaweza kututhuru. Wanyama hao ni kama vile nyoka na wadudu wengineo. Tukikata nyasi tutazuia mambo mingi.
sana na tutaweza kulea na mazingira masafi. Kwa hivyo tunapaswa kujihadhari kutokana na uchafuzi wa mazingira kwa jumla.
| Madhara ni uharibifu au nini | {
"text": [
"Athari mbaya"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi zilizo ndefu. Usipo yazingatia hayo tutaweza kuchafua mazingira na tutakuwa wagonjwa kwa kugonjeka magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu, cholera, malaria na mengineo.
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji machafu na dalili zake ni kuendesha, kutapika, joto jingi mwilini na mengine. Pili ni ugonjwa wa malaria ambayo husababishwa na mbu ambaye huishi katika mazingira machafu na yasiyo katwa nyasi. Tatu ni ugonjwa wa kipindupindu ambayo pia husababishwa na maji machafu na kusababisha hali ya kuharisha na kutapika sana.
Watu wengi huaribu mazingira kwa kufanya mambo mbalimbali kama vile kutupa takataka kila mahali na kuyafanya mazingira kuwa machafu sana. Takataka hupaswa kutupwa katika pipa na kuchomoa.
Pia tunapaswa kukata nyasi zilizo ndefu ili kuzuia wanyama ambao wanaweza kututhuru. Wanyama hao ni kama vile nyoka na wadudu wengineo. Tukikata nyasi tutazuia mambo mingi.
sana na tutaweza kulea na mazingira masafi. Kwa hivyo tunapaswa kujihadhari kutokana na uchafuzi wa mazingira kwa jumla.
| Mazingira yanaweza kuwa machafu kwa kukosa kukata nini | {
"text": [
"Nyasi zilizo ndefu"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi zilizo ndefu. Usipo yazingatia hayo tutaweza kuchafua mazingira na tutakuwa wagonjwa kwa kugonjeka magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu, cholera, malaria na mengineo.
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji machafu na dalili zake ni kuendesha, kutapika, joto jingi mwilini na mengine. Pili ni ugonjwa wa malaria ambayo husababishwa na mbu ambaye huishi katika mazingira machafu na yasiyo katwa nyasi. Tatu ni ugonjwa wa kipindupindu ambayo pia husababishwa na maji machafu na kusababisha hali ya kuharisha na kutapika sana.
Watu wengi huaribu mazingira kwa kufanya mambo mbalimbali kama vile kutupa takataka kila mahali na kuyafanya mazingira kuwa machafu sana. Takataka hupaswa kutupwa katika pipa na kuchomoa.
Pia tunapaswa kukata nyasi zilizo ndefu ili kuzuia wanyama ambao wanaweza kututhuru. Wanyama hao ni kama vile nyoka na wadudu wengineo. Tukikata nyasi tutazuia mambo mingi.
sana na tutaweza kulea na mazingira masafi. Kwa hivyo tunapaswa kujihadhari kutokana na uchafuzi wa mazingira kwa jumla.
| Ugonjwa wa cholera husababishwa na nini | {
"text": [
"Maji chafu"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi zilizo ndefu. Usipo yazingatia hayo tutaweza kuchafua mazingira na tutakuwa wagonjwa kwa kugonjeka magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu, cholera, malaria na mengineo.
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji machafu na dalili zake ni kuendesha, kutapika, joto jingi mwilini na mengine. Pili ni ugonjwa wa malaria ambayo husababishwa na mbu ambaye huishi katika mazingira machafu na yasiyo katwa nyasi. Tatu ni ugonjwa wa kipindupindu ambayo pia husababishwa na maji machafu na kusababisha hali ya kuharisha na kutapika sana.
Watu wengi huaribu mazingira kwa kufanya mambo mbalimbali kama vile kutupa takataka kila mahali na kuyafanya mazingira kuwa machafu sana. Takataka hupaswa kutupwa katika pipa na kuchomoa.
Pia tunapaswa kukata nyasi zilizo ndefu ili kuzuia wanyama ambao wanaweza kututhuru. Wanyama hao ni kama vile nyoka na wadudu wengineo. Tukikata nyasi tutazuia mambo mingi.
sana na tutaweza kulea na mazingira masafi. Kwa hivyo tunapaswa kujihadhari kutokana na uchafuzi wa mazingira kwa jumla.
| Takataka hupaswa kutupwa wapi | {
"text": [
"Katika pipa"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata marafiki wengi kulingana na usafi wao. Watu hupenda mahali safi, watu wasafi huwaa wanachangamka sana na akili zao zitafikiria vizuri.
Mtu msafi huwa anafanya kila kitu akitumia dakika chache sababu kichwa chake iko safi. Pia mtu msafi hana marafiki wowote wabaya akili yake iko poa. Ni ngumu sana mtu msafi ashikwe na magonjwa. Mwili wake hupendeza pia.
Unafaa kuwa msafi kwa njia hii, unafaa kupiga mswaki kila asubuhi, kuoga mwili wako kila siku, kunawa mikono kila unaposhika vitu tofauti tofauti ili ukule maamkuli. Watu wengi wako na uzembe hivyo ndivyo watu hufanya mazingira iwe chafu. Mtu huchafua mazingira kwa vitu nyingi. Kuna watu hawana vyoo sasa hukimbilia msitu na huchafua. Wakati wa mvua maji hubeba uchafu yote ndani ya mto, watu hupokea kwa kuchota.
Tena watu hutupa makaratasi kwa mazingira badala ya kuzichoma, tunafaa kuwa na biwi la taka ili tuzuie uchafu katika mazingira yetu na tuwe na vyoo ili tusipatwe na ugonjwa.
Mazingira yetu tunafaa tusafishe kila wakati yaani kufagia na kuokota matakataka kila siku. Watu hupenda kuchafua mazingira kwa Kutupatupa vitu chafu ovyo ovyo, tunafaa kuwacha kama makaratasi tunazichoma ili tuzingatie uchafu katika mazingira yetu. Pia kuna vitu nyingi huchafua. Usipopanda maua katika mazingira itakuwa mbaya, tunafaa kuzipanda miti na kuzipanga mistari vizuri ili mazingira yetu ing’are. Mazingira machafu huwa na hewa chafu.
| Mazingira safi huchangia nini | {
"text": [
"Afya"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata marafiki wengi kulingana na usafi wao. Watu hupenda mahali safi, watu wasafi huwaa wanachangamka sana na akili zao zitafikiria vizuri.
Mtu msafi huwa anafanya kila kitu akitumia dakika chache sababu kichwa chake iko safi. Pia mtu msafi hana marafiki wowote wabaya akili yake iko poa. Ni ngumu sana mtu msafi ashikwe na magonjwa. Mwili wake hupendeza pia.
Unafaa kuwa msafi kwa njia hii, unafaa kupiga mswaki kila asubuhi, kuoga mwili wako kila siku, kunawa mikono kila unaposhika vitu tofauti tofauti ili ukule maamkuli. Watu wengi wako na uzembe hivyo ndivyo watu hufanya mazingira iwe chafu. Mtu huchafua mazingira kwa vitu nyingi. Kuna watu hawana vyoo sasa hukimbilia msitu na huchafua. Wakati wa mvua maji hubeba uchafu yote ndani ya mto, watu hupokea kwa kuchota.
Tena watu hutupa makaratasi kwa mazingira badala ya kuzichoma, tunafaa kuwa na biwi la taka ili tuzuie uchafu katika mazingira yetu na tuwe na vyoo ili tusipatwe na ugonjwa.
Mazingira yetu tunafaa tusafishe kila wakati yaani kufagia na kuokota matakataka kila siku. Watu hupenda kuchafua mazingira kwa Kutupatupa vitu chafu ovyo ovyo, tunafaa kuwacha kama makaratasi tunazichoma ili tuzingatie uchafu katika mazingira yetu. Pia kuna vitu nyingi huchafua. Usipopanda maua katika mazingira itakuwa mbaya, tunafaa kuzipanda miti na kuzipanga mistari vizuri ili mazingira yetu ing’are. Mazingira machafu huwa na hewa chafu.
| Ni nadra mtu safi kushikwa na nini | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata marafiki wengi kulingana na usafi wao. Watu hupenda mahali safi, watu wasafi huwaa wanachangamka sana na akili zao zitafikiria vizuri.
Mtu msafi huwa anafanya kila kitu akitumia dakika chache sababu kichwa chake iko safi. Pia mtu msafi hana marafiki wowote wabaya akili yake iko poa. Ni ngumu sana mtu msafi ashikwe na magonjwa. Mwili wake hupendeza pia.
Unafaa kuwa msafi kwa njia hii, unafaa kupiga mswaki kila asubuhi, kuoga mwili wako kila siku, kunawa mikono kila unaposhika vitu tofauti tofauti ili ukule maamkuli. Watu wengi wako na uzembe hivyo ndivyo watu hufanya mazingira iwe chafu. Mtu huchafua mazingira kwa vitu nyingi. Kuna watu hawana vyoo sasa hukimbilia msitu na huchafua. Wakati wa mvua maji hubeba uchafu yote ndani ya mto, watu hupokea kwa kuchota.
Tena watu hutupa makaratasi kwa mazingira badala ya kuzichoma, tunafaa kuwa na biwi la taka ili tuzuie uchafu katika mazingira yetu na tuwe na vyoo ili tusipatwe na ugonjwa.
Mazingira yetu tunafaa tusafishe kila wakati yaani kufagia na kuokota matakataka kila siku. Watu hupenda kuchafua mazingira kwa Kutupatupa vitu chafu ovyo ovyo, tunafaa kuwacha kama makaratasi tunazichoma ili tuzingatie uchafu katika mazingira yetu. Pia kuna vitu nyingi huchafua. Usipopanda maua katika mazingira itakuwa mbaya, tunafaa kuzipanda miti na kuzipanga mistari vizuri ili mazingira yetu ing’are. Mazingira machafu huwa na hewa chafu.
| Mswaki hupigwa wakati gani | {
"text": [
"Asubuhi"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata marafiki wengi kulingana na usafi wao. Watu hupenda mahali safi, watu wasafi huwaa wanachangamka sana na akili zao zitafikiria vizuri.
Mtu msafi huwa anafanya kila kitu akitumia dakika chache sababu kichwa chake iko safi. Pia mtu msafi hana marafiki wowote wabaya akili yake iko poa. Ni ngumu sana mtu msafi ashikwe na magonjwa. Mwili wake hupendeza pia.
Unafaa kuwa msafi kwa njia hii, unafaa kupiga mswaki kila asubuhi, kuoga mwili wako kila siku, kunawa mikono kila unaposhika vitu tofauti tofauti ili ukule maamkuli. Watu wengi wako na uzembe hivyo ndivyo watu hufanya mazingira iwe chafu. Mtu huchafua mazingira kwa vitu nyingi. Kuna watu hawana vyoo sasa hukimbilia msitu na huchafua. Wakati wa mvua maji hubeba uchafu yote ndani ya mto, watu hupokea kwa kuchota.
Tena watu hutupa makaratasi kwa mazingira badala ya kuzichoma, tunafaa kuwa na biwi la taka ili tuzuie uchafu katika mazingira yetu na tuwe na vyoo ili tusipatwe na ugonjwa.
Mazingira yetu tunafaa tusafishe kila wakati yaani kufagia na kuokota matakataka kila siku. Watu hupenda kuchafua mazingira kwa Kutupatupa vitu chafu ovyo ovyo, tunafaa kuwacha kama makaratasi tunazichoma ili tuzingatie uchafu katika mazingira yetu. Pia kuna vitu nyingi huchafua. Usipopanda maua katika mazingira itakuwa mbaya, tunafaa kuzipanda miti na kuzipanga mistari vizuri ili mazingira yetu ing’are. Mazingira machafu huwa na hewa chafu.
| Mazingira machafu huwa na nini | {
"text": [
"Hewa chafu"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata marafiki wengi kulingana na usafi wao. Watu hupenda mahali safi, watu wasafi huwaa wanachangamka sana na akili zao zitafikiria vizuri.
Mtu msafi huwa anafanya kila kitu akitumia dakika chache sababu kichwa chake iko safi. Pia mtu msafi hana marafiki wowote wabaya akili yake iko poa. Ni ngumu sana mtu msafi ashikwe na magonjwa. Mwili wake hupendeza pia.
Unafaa kuwa msafi kwa njia hii, unafaa kupiga mswaki kila asubuhi, kuoga mwili wako kila siku, kunawa mikono kila unaposhika vitu tofauti tofauti ili ukule maamkuli. Watu wengi wako na uzembe hivyo ndivyo watu hufanya mazingira iwe chafu. Mtu huchafua mazingira kwa vitu nyingi. Kuna watu hawana vyoo sasa hukimbilia msitu na huchafua. Wakati wa mvua maji hubeba uchafu yote ndani ya mto, watu hupokea kwa kuchota.
Tena watu hutupa makaratasi kwa mazingira badala ya kuzichoma, tunafaa kuwa na biwi la taka ili tuzuie uchafu katika mazingira yetu na tuwe na vyoo ili tusipatwe na ugonjwa.
Mazingira yetu tunafaa tusafishe kila wakati yaani kufagia na kuokota matakataka kila siku. Watu hupenda kuchafua mazingira kwa Kutupatupa vitu chafu ovyo ovyo, tunafaa kuwacha kama makaratasi tunazichoma ili tuzingatie uchafu katika mazingira yetu. Pia kuna vitu nyingi huchafua. Usipopanda maua katika mazingira itakuwa mbaya, tunafaa kuzipanda miti na kuzipanga mistari vizuri ili mazingira yetu ing’are. Mazingira machafu huwa na hewa chafu.
| Kipi kinaweza ng'arisha mazingira | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1665_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini mwetu.
Tunapokuwa tukitupa taka kila mahali na kuweza kujisaidia kila mahali tunapata pia hiyo ni ukosefu wa nidhamu na hiyo ni kuharibu mazingira yetu. Tunapaswa kutumia vyoo vyetu vizuri, kutupa taka mahali kunapofaa kunaweza kupunguza hatari ya magonjwa.
Tunapotupa taka kwenye maziwa na mabahari yetu tunasababisha viumbe ambavyo viko majini kuaga. Katika hiyo harakati ya viumbe hivyo kukufa, wavuvi wengi hukosa kazi kwa maana hao wanyama ndio waliokuwa wamewategemea katika kupata riziki yao ya kila siku.
Wakati ambapo mazingira yetu ni machafu, harufu mbaya huweza kuwa katika hewa na wakati unapo pumua hewa hiyo, tunaweza kupumua hewa hiyo mbaya na kwa hayo, tukaweza kupata magonjwa mbali mbali na kusababisha watu kukufa kutokana na hewa hiyo. Vyakula vyetu pia vinavyo kuwa vikiuzwa huko barabarani inaweza kuwa imepata uchafu kisha utakapoikula unaweza kuendesha. Katika hali hiyo ya wagonjwa wengi kwenda hospitalini ili waweze kupata matibabu, wanakuwa wengi katika mahospitalini mpaka wagonjwa wengine wanakosa vitanda huko hospitalini.
Pia upungufu wa madawa katika hospitalini zetu hupungua kwa maana wagonjwa wa kipindupindu huendelea kuongezeka na wakati wanapoongezeka, nazo madawa zinapungua.
| Taka inapotupwa kwenya bahari nini hufanyika | {
"text": [
"viumbe huaga"
]
} |
1665_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini mwetu.
Tunapokuwa tukitupa taka kila mahali na kuweza kujisaidia kila mahali tunapata pia hiyo ni ukosefu wa nidhamu na hiyo ni kuharibu mazingira yetu. Tunapaswa kutumia vyoo vyetu vizuri, kutupa taka mahali kunapofaa kunaweza kupunguza hatari ya magonjwa.
Tunapotupa taka kwenye maziwa na mabahari yetu tunasababisha viumbe ambavyo viko majini kuaga. Katika hiyo harakati ya viumbe hivyo kukufa, wavuvi wengi hukosa kazi kwa maana hao wanyama ndio waliokuwa wamewategemea katika kupata riziki yao ya kila siku.
Wakati ambapo mazingira yetu ni machafu, harufu mbaya huweza kuwa katika hewa na wakati unapo pumua hewa hiyo, tunaweza kupumua hewa hiyo mbaya na kwa hayo, tukaweza kupata magonjwa mbali mbali na kusababisha watu kukufa kutokana na hewa hiyo. Vyakula vyetu pia vinavyo kuwa vikiuzwa huko barabarani inaweza kuwa imepata uchafu kisha utakapoikula unaweza kuendesha. Katika hali hiyo ya wagonjwa wengi kwenda hospitalini ili waweze kupata matibabu, wanakuwa wengi katika mahospitalini mpaka wagonjwa wengine wanakosa vitanda huko hospitalini.
Pia upungufu wa madawa katika hospitalini zetu hupungua kwa maana wagonjwa wa kipindupindu huendelea kuongezeka na wakati wanapoongezeka, nazo madawa zinapungua.
| Nini huwa kwa hewa mazingira yakiwa machafu | {
"text": [
"harufu mbaya"
]
} |
1665_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini mwetu.
Tunapokuwa tukitupa taka kila mahali na kuweza kujisaidia kila mahali tunapata pia hiyo ni ukosefu wa nidhamu na hiyo ni kuharibu mazingira yetu. Tunapaswa kutumia vyoo vyetu vizuri, kutupa taka mahali kunapofaa kunaweza kupunguza hatari ya magonjwa.
Tunapotupa taka kwenye maziwa na mabahari yetu tunasababisha viumbe ambavyo viko majini kuaga. Katika hiyo harakati ya viumbe hivyo kukufa, wavuvi wengi hukosa kazi kwa maana hao wanyama ndio waliokuwa wamewategemea katika kupata riziki yao ya kila siku.
Wakati ambapo mazingira yetu ni machafu, harufu mbaya huweza kuwa katika hewa na wakati unapo pumua hewa hiyo, tunaweza kupumua hewa hiyo mbaya na kwa hayo, tukaweza kupata magonjwa mbali mbali na kusababisha watu kukufa kutokana na hewa hiyo. Vyakula vyetu pia vinavyo kuwa vikiuzwa huko barabarani inaweza kuwa imepata uchafu kisha utakapoikula unaweza kuendesha. Katika hali hiyo ya wagonjwa wengi kwenda hospitalini ili waweze kupata matibabu, wanakuwa wengi katika mahospitalini mpaka wagonjwa wengine wanakosa vitanda huko hospitalini.
Pia upungufu wa madawa katika hospitalini zetu hupungua kwa maana wagonjwa wa kipindupindu huendelea kuongezeka na wakati wanapoongezeka, nazo madawa zinapungua.
| Mazingira yakichafuliwa tunaweza kupata nini | {
"text": [
"magonjwa mbali mbali"
]
} |
Subsets and Splits