Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
1587_swa | Naam! Madhara ya kuchafua mazingira inatokana na uchafu. Sababu hii kuwa unapotunza mazingira yako chafu hapo ndipo madhara haya hutokea. Madhara ya mbele zaidi ni kutokuwa msafi, uchafu wa mazingira unaweza ukasababisha magonjwa kama vile malaria, homa, umbu na kadhalika na pia hukosesha watu wengi waishi kwa amani kwa sababu uchafu ina madhara mengi zaidi na pia majirani wanaeza kuchukiana kupitia uchafu wa mazingira.
Uchafu wa mazingira inaweza pitia kila mahali. Sasa je, kama uchafu unatokea popote sembuse vitu husambaratika katika ukosefu wa maji kwa maana maji ni maisha, na pia husaidia kwa popote penye shida. Sasa inastahili uwemsafi kila mara na kila mahali na pia mahali penye hamna maji mtu hawezi kuishi bila maji na pia watu wengi haswa watoto wadogo wanalazwa mahospitalini kwa maana ya uchafu wa mazingira.
Mazingira masafi huwezesha mtu aishi maisha bora zaidi na bila shida yoyote ila kuendelea na pia mtu huwa na afya bora lakini asipojitunza kwa maisha mazuri, huwezi faulu kwa sababu ya kwanza, mtu huweza kupitia mashida mengi haswa magonjwa na pia mateso na kuishi maisha mbaya na kweli mtu hatakula kwa sababu ya kutokuwa na afya.
Uchafu wa mazingira hauna tiba kwa sababu mateso ndio utakipitia na huwa familia mengi huwa na mashida sana. Watoto hukonda na kukosa afya na kugonjeka pia na afya ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu na huweza kuwafanya watu wengi kuaga dunia. | Ni lini unastahili kuwa msafi | {
"text": [
"kila mara"
]
} |
1587_swa | Naam! Madhara ya kuchafua mazingira inatokana na uchafu. Sababu hii kuwa unapotunza mazingira yako chafu hapo ndipo madhara haya hutokea. Madhara ya mbele zaidi ni kutokuwa msafi, uchafu wa mazingira unaweza ukasababisha magonjwa kama vile malaria, homa, umbu na kadhalika na pia hukosesha watu wengi waishi kwa amani kwa sababu uchafu ina madhara mengi zaidi na pia majirani wanaeza kuchukiana kupitia uchafu wa mazingira.
Uchafu wa mazingira inaweza pitia kila mahali. Sasa je, kama uchafu unatokea popote sembuse vitu husambaratika katika ukosefu wa maji kwa maana maji ni maisha, na pia husaidia kwa popote penye shida. Sasa inastahili uwemsafi kila mara na kila mahali na pia mahali penye hamna maji mtu hawezi kuishi bila maji na pia watu wengi haswa watoto wadogo wanalazwa mahospitalini kwa maana ya uchafu wa mazingira.
Mazingira masafi huwezesha mtu aishi maisha bora zaidi na bila shida yoyote ila kuendelea na pia mtu huwa na afya bora lakini asipojitunza kwa maisha mazuri, huwezi faulu kwa sababu ya kwanza, mtu huweza kupitia mashida mengi haswa magonjwa na pia mateso na kuishi maisha mbaya na kweli mtu hatakula kwa sababu ya kutokuwa na afya.
Uchafu wa mazingira hauna tiba kwa sababu mateso ndio utakipitia na huwa familia mengi huwa na mashida sana. Watoto hukonda na kukosa afya na kugonjeka pia na afya ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu na huweza kuwafanya watu wengi kuaga dunia. | Uchafu wa mazingira unasababisha aje magonjwa | {
"text": [
"mkusanyiko wa uchafu huleta wadudu kama mbu ambao huleta malaria "
]
} |
1588_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapo chafua mazingira yetu, tunaweza kusababisha ardhi kuchafuka kupitia takataka. Hatupaswi kutupa takataka mahali popote, tunapaswa kutupa taka zote kwenye pipa au shimo. Tunapoishi katika mazingira machafu tunaweza kupata magonjwa mbalimbali kama kipindupindu na mengine mengi. Watu wengi nchini hutupa karatasi zao kwenye mabini ya maji na hata baharini, hata hivyo hayo maji tunayotupa taka binadamu hutumia kwa kazi mbalimbali kama kunywa na kufanya kazi za nyumbani.
Jijini, watu hutupa taka ovyo ovyo pasipotakikana. Hizo taka wanazotupa zinaweza kupeperushwa na upepo na kuelekea kwenye madimbwi ya maji.
Ukataji wa miti pia bila kupanda miti. Tunajua kuwa miti huleta mvua na pia hufanya nchi kuwa ya maridadi na yenye kupendeza. Watu wengi hukata miti ili kujenga nyumba na kutengeneza vifaa vya matumizi kama vitabu, viti, meza na kadhalika. Tunapochoma makaa huwa tunaharibu hewa safi ambayo sisi binadamu tunapumua na hatamiti zinaweza kukauka kwa ukosefu wa hewa safi.
Bila shaka ningependa kuwasihi ya kwamba tuyaweke mazingira yetu safi ili tusipatwe na magonjwa. Pia katika milango yetu tusiyamwage maji machafu au takataka zozote zile tunapaswa kuyaweka mazingira yetu safi kila wakati. Tuyachome takataka zote zile tunazoziweka milangoni milangoni, pipani na hata shuleni ili kuzuia kusambaratika kwa makaratasi ovyo ovyo. | Takataka huchafua nini | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1588_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapo chafua mazingira yetu, tunaweza kusababisha ardhi kuchafuka kupitia takataka. Hatupaswi kutupa takataka mahali popote, tunapaswa kutupa taka zote kwenye pipa au shimo. Tunapoishi katika mazingira machafu tunaweza kupata magonjwa mbalimbali kama kipindupindu na mengine mengi. Watu wengi nchini hutupa karatasi zao kwenye mabini ya maji na hata baharini, hata hivyo hayo maji tunayotupa taka binadamu hutumia kwa kazi mbalimbali kama kunywa na kufanya kazi za nyumbani.
Jijini, watu hutupa taka ovyo ovyo pasipotakikana. Hizo taka wanazotupa zinaweza kupeperushwa na upepo na kuelekea kwenye madimbwi ya maji.
Ukataji wa miti pia bila kupanda miti. Tunajua kuwa miti huleta mvua na pia hufanya nchi kuwa ya maridadi na yenye kupendeza. Watu wengi hukata miti ili kujenga nyumba na kutengeneza vifaa vya matumizi kama vitabu, viti, meza na kadhalika. Tunapochoma makaa huwa tunaharibu hewa safi ambayo sisi binadamu tunapumua na hatamiti zinaweza kukauka kwa ukosefu wa hewa safi.
Bila shaka ningependa kuwasihi ya kwamba tuyaweke mazingira yetu safi ili tusipatwe na magonjwa. Pia katika milango yetu tusiyamwage maji machafu au takataka zozote zile tunapaswa kuyaweka mazingira yetu safi kila wakati. Tuyachome takataka zote zile tunazoziweka milangoni milangoni, pipani na hata shuleni ili kuzuia kusambaratika kwa makaratasi ovyo ovyo. | Mazingira machafu husababisha nini | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1588_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapo chafua mazingira yetu, tunaweza kusababisha ardhi kuchafuka kupitia takataka. Hatupaswi kutupa takataka mahali popote, tunapaswa kutupa taka zote kwenye pipa au shimo. Tunapoishi katika mazingira machafu tunaweza kupata magonjwa mbalimbali kama kipindupindu na mengine mengi. Watu wengi nchini hutupa karatasi zao kwenye mabini ya maji na hata baharini, hata hivyo hayo maji tunayotupa taka binadamu hutumia kwa kazi mbalimbali kama kunywa na kufanya kazi za nyumbani.
Jijini, watu hutupa taka ovyo ovyo pasipotakikana. Hizo taka wanazotupa zinaweza kupeperushwa na upepo na kuelekea kwenye madimbwi ya maji.
Ukataji wa miti pia bila kupanda miti. Tunajua kuwa miti huleta mvua na pia hufanya nchi kuwa ya maridadi na yenye kupendeza. Watu wengi hukata miti ili kujenga nyumba na kutengeneza vifaa vya matumizi kama vitabu, viti, meza na kadhalika. Tunapochoma makaa huwa tunaharibu hewa safi ambayo sisi binadamu tunapumua na hatamiti zinaweza kukauka kwa ukosefu wa hewa safi.
Bila shaka ningependa kuwasihi ya kwamba tuyaweke mazingira yetu safi ili tusipatwe na magonjwa. Pia katika milango yetu tusiyamwage maji machafu au takataka zozote zile tunapaswa kuyaweka mazingira yetu safi kila wakati. Tuyachome takataka zote zile tunazoziweka milangoni milangoni, pipani na hata shuleni ili kuzuia kusambaratika kwa makaratasi ovyo ovyo. | Nini hutupwa baharini | {
"text": [
"Karatasi"
]
} |
1588_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapo chafua mazingira yetu, tunaweza kusababisha ardhi kuchafuka kupitia takataka. Hatupaswi kutupa takataka mahali popote, tunapaswa kutupa taka zote kwenye pipa au shimo. Tunapoishi katika mazingira machafu tunaweza kupata magonjwa mbalimbali kama kipindupindu na mengine mengi. Watu wengi nchini hutupa karatasi zao kwenye mabini ya maji na hata baharini, hata hivyo hayo maji tunayotupa taka binadamu hutumia kwa kazi mbalimbali kama kunywa na kufanya kazi za nyumbani.
Jijini, watu hutupa taka ovyo ovyo pasipotakikana. Hizo taka wanazotupa zinaweza kupeperushwa na upepo na kuelekea kwenye madimbwi ya maji.
Ukataji wa miti pia bila kupanda miti. Tunajua kuwa miti huleta mvua na pia hufanya nchi kuwa ya maridadi na yenye kupendeza. Watu wengi hukata miti ili kujenga nyumba na kutengeneza vifaa vya matumizi kama vitabu, viti, meza na kadhalika. Tunapochoma makaa huwa tunaharibu hewa safi ambayo sisi binadamu tunapumua na hatamiti zinaweza kukauka kwa ukosefu wa hewa safi.
Bila shaka ningependa kuwasihi ya kwamba tuyaweke mazingira yetu safi ili tusipatwe na magonjwa. Pia katika milango yetu tusiyamwage maji machafu au takataka zozote zile tunapaswa kuyaweka mazingira yetu safi kila wakati. Tuyachome takataka zote zile tunazoziweka milangoni milangoni, pipani na hata shuleni ili kuzuia kusambaratika kwa makaratasi ovyo ovyo. | Kipi kinawezapeperushwa hadi kwenye madimbwi ya maji | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1588_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Tunapo chafua mazingira yetu, tunaweza kusababisha ardhi kuchafuka kupitia takataka. Hatupaswi kutupa takataka mahali popote, tunapaswa kutupa taka zote kwenye pipa au shimo. Tunapoishi katika mazingira machafu tunaweza kupata magonjwa mbalimbali kama kipindupindu na mengine mengi. Watu wengi nchini hutupa karatasi zao kwenye mabini ya maji na hata baharini, hata hivyo hayo maji tunayotupa taka binadamu hutumia kwa kazi mbalimbali kama kunywa na kufanya kazi za nyumbani.
Jijini, watu hutupa taka ovyo ovyo pasipotakikana. Hizo taka wanazotupa zinaweza kupeperushwa na upepo na kuelekea kwenye madimbwi ya maji.
Ukataji wa miti pia bila kupanda miti. Tunajua kuwa miti huleta mvua na pia hufanya nchi kuwa ya maridadi na yenye kupendeza. Watu wengi hukata miti ili kujenga nyumba na kutengeneza vifaa vya matumizi kama vitabu, viti, meza na kadhalika. Tunapochoma makaa huwa tunaharibu hewa safi ambayo sisi binadamu tunapumua na hatamiti zinaweza kukauka kwa ukosefu wa hewa safi.
Bila shaka ningependa kuwasihi ya kwamba tuyaweke mazingira yetu safi ili tusipatwe na magonjwa. Pia katika milango yetu tusiyamwage maji machafu au takataka zozote zile tunapaswa kuyaweka mazingira yetu safi kila wakati. Tuyachome takataka zote zile tunazoziweka milangoni milangoni, pipani na hata shuleni ili kuzuia kusambaratika kwa makaratasi ovyo ovyo. | Nini huleta mvua | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1589_swa | MWIBA WA KUJICHOMA HAUAMBIWI POLE
Katika kitongonji kimoja cha Sagamoyo, paliondokea familia moja ya mzee Shida. Inaliishi karibu na Ziwa Victoria. Shida alikuwa mvuvi. Bibi yake aliyekuwa akiitwa Amani alikuwa akiwafulia watu nguo ndiposa wapate angalau kitu cha kupeleka mdomoni kwa sababu mumewe wakati mwingine angepata samaki au akose. Walibarikiwa na mwana mmoja wa kiume kwa jina Taabu. Familia hii iliishi kwa taabu na dhiki nyingi.
Licha ya familia ya mzee Shida kuwa ya kimaskini, walijitahidi wawezavyo kumpeleka mwananwe shuleni angalau pia yeye apate elimu kama watoto wenzake hapo kijijini. Taabu alikuwa mtukutu sana. Mwana ambaye hakuwa anasikia maneno ya mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Kila neno aliyoambiwa na wavyele wake yaliingia katika sikio la kulia na kutokaea katika sikio la kushoto. Taabu alitia nta maskioni mwake.
Shida na Amani waliendelea kumhoji mwana wao maana walielewa kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu lakini Taabu naye alikataa abadaan kutaan kuwasikia wazazi wake. Wazazi wake walichoka maana walijaribu kadri ya uwezo wao lakini wakashindwa. Sasa waliamua kumwacha kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Taabu alianza kujihusisha na vikundi vibaya na hata akaanza kutumia dawa za kulevya. Hatimaye akageuka kuwa jambazi sugu na kuanza kuiba kwa mabenki makubwa. Wazazi wake walimkanya lakini alikataa kutilia maanani mawaidha yao.
Taabu na wenzake waliendelea na tabia yao mbovu ya wizi huku wakisahau kuwa siku ya mwizi ni arubaini. Siku moja wakiwa kwenye harakati yao ya kawaida ya kuiba katika benki kuu, huku wakiwa wamejiaminia kuwa hao ni wezi hodari na hawawezi wakakamatwa.
Kwa kuwa siku ya mwizi ni arubaini na siku yao ya arubaini ilikuwa ishawadia. Walienda kama kawaida na kwa bahati mbaya polisi waliwaona, kabla ya kutoweka. Marafiki zake walifyatuliwa marisasi kama mvua na wakaipa dunia kisogo. Japo yeye aliponea katika tundu la sindano, alipata majeraha mabaya mguuni ambapo hakuwahi tembea maishani mwake.
Taabu alishikwa na kutiwa gerezani na ukemavu wake huku akijuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadae. Alianza kujilaumu, lakini sasa angemlilia nani? Kwa kweli taabu alisadiki maneno ya wahenga kuwa mwiba wa kujidunga mwenyewe hauna kilio. | Jina la mke wa Shida ni lipi? | {
"text": [
"Amani"
]
} |
1589_swa | MWIBA WA KUJICHOMA HAUAMBIWI POLE
Katika kitongonji kimoja cha Sagamoyo, paliondokea familia moja ya mzee Shida. Inaliishi karibu na Ziwa Victoria. Shida alikuwa mvuvi. Bibi yake aliyekuwa akiitwa Amani alikuwa akiwafulia watu nguo ndiposa wapate angalau kitu cha kupeleka mdomoni kwa sababu mumewe wakati mwingine angepata samaki au akose. Walibarikiwa na mwana mmoja wa kiume kwa jina Taabu. Familia hii iliishi kwa taabu na dhiki nyingi.
Licha ya familia ya mzee Shida kuwa ya kimaskini, walijitahidi wawezavyo kumpeleka mwananwe shuleni angalau pia yeye apate elimu kama watoto wenzake hapo kijijini. Taabu alikuwa mtukutu sana. Mwana ambaye hakuwa anasikia maneno ya mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Kila neno aliyoambiwa na wavyele wake yaliingia katika sikio la kulia na kutokaea katika sikio la kushoto. Taabu alitia nta maskioni mwake.
Shida na Amani waliendelea kumhoji mwana wao maana walielewa kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu lakini Taabu naye alikataa abadaan kutaan kuwasikia wazazi wake. Wazazi wake walichoka maana walijaribu kadri ya uwezo wao lakini wakashindwa. Sasa waliamua kumwacha kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Taabu alianza kujihusisha na vikundi vibaya na hata akaanza kutumia dawa za kulevya. Hatimaye akageuka kuwa jambazi sugu na kuanza kuiba kwa mabenki makubwa. Wazazi wake walimkanya lakini alikataa kutilia maanani mawaidha yao.
Taabu na wenzake waliendelea na tabia yao mbovu ya wizi huku wakisahau kuwa siku ya mwizi ni arubaini. Siku moja wakiwa kwenye harakati yao ya kawaida ya kuiba katika benki kuu, huku wakiwa wamejiaminia kuwa hao ni wezi hodari na hawawezi wakakamatwa.
Kwa kuwa siku ya mwizi ni arubaini na siku yao ya arubaini ilikuwa ishawadia. Walienda kama kawaida na kwa bahati mbaya polisi waliwaona, kabla ya kutoweka. Marafiki zake walifyatuliwa marisasi kama mvua na wakaipa dunia kisogo. Japo yeye aliponea katika tundu la sindano, alipata majeraha mabaya mguuni ambapo hakuwahi tembea maishani mwake.
Taabu alishikwa na kutiwa gerezani na ukemavu wake huku akijuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadae. Alianza kujilaumu, lakini sasa angemlilia nani? Kwa kweli taabu alisadiki maneno ya wahenga kuwa mwiba wa kujidunga mwenyewe hauna kilio. | Shida alifanya kazi ipi? | {
"text": [
"Uvuvi"
]
} |
1589_swa | MWIBA WA KUJICHOMA HAUAMBIWI POLE
Katika kitongonji kimoja cha Sagamoyo, paliondokea familia moja ya mzee Shida. Inaliishi karibu na Ziwa Victoria. Shida alikuwa mvuvi. Bibi yake aliyekuwa akiitwa Amani alikuwa akiwafulia watu nguo ndiposa wapate angalau kitu cha kupeleka mdomoni kwa sababu mumewe wakati mwingine angepata samaki au akose. Walibarikiwa na mwana mmoja wa kiume kwa jina Taabu. Familia hii iliishi kwa taabu na dhiki nyingi.
Licha ya familia ya mzee Shida kuwa ya kimaskini, walijitahidi wawezavyo kumpeleka mwananwe shuleni angalau pia yeye apate elimu kama watoto wenzake hapo kijijini. Taabu alikuwa mtukutu sana. Mwana ambaye hakuwa anasikia maneno ya mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Kila neno aliyoambiwa na wavyele wake yaliingia katika sikio la kulia na kutokaea katika sikio la kushoto. Taabu alitia nta maskioni mwake.
Shida na Amani waliendelea kumhoji mwana wao maana walielewa kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu lakini Taabu naye alikataa abadaan kutaan kuwasikia wazazi wake. Wazazi wake walichoka maana walijaribu kadri ya uwezo wao lakini wakashindwa. Sasa waliamua kumwacha kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Taabu alianza kujihusisha na vikundi vibaya na hata akaanza kutumia dawa za kulevya. Hatimaye akageuka kuwa jambazi sugu na kuanza kuiba kwa mabenki makubwa. Wazazi wake walimkanya lakini alikataa kutilia maanani mawaidha yao.
Taabu na wenzake waliendelea na tabia yao mbovu ya wizi huku wakisahau kuwa siku ya mwizi ni arubaini. Siku moja wakiwa kwenye harakati yao ya kawaida ya kuiba katika benki kuu, huku wakiwa wamejiaminia kuwa hao ni wezi hodari na hawawezi wakakamatwa.
Kwa kuwa siku ya mwizi ni arubaini na siku yao ya arubaini ilikuwa ishawadia. Walienda kama kawaida na kwa bahati mbaya polisi waliwaona, kabla ya kutoweka. Marafiki zake walifyatuliwa marisasi kama mvua na wakaipa dunia kisogo. Japo yeye aliponea katika tundu la sindano, alipata majeraha mabaya mguuni ambapo hakuwahi tembea maishani mwake.
Taabu alishikwa na kutiwa gerezani na ukemavu wake huku akijuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadae. Alianza kujilaumu, lakini sasa angemlilia nani? Kwa kweli taabu alisadiki maneno ya wahenga kuwa mwiba wa kujidunga mwenyewe hauna kilio. | Familia ya Shida waliishi karibu na ziwa lipi? | {
"text": [
"Viktoria"
]
} |
1589_swa | MWIBA WA KUJICHOMA HAUAMBIWI POLE
Katika kitongonji kimoja cha Sagamoyo, paliondokea familia moja ya mzee Shida. Inaliishi karibu na Ziwa Victoria. Shida alikuwa mvuvi. Bibi yake aliyekuwa akiitwa Amani alikuwa akiwafulia watu nguo ndiposa wapate angalau kitu cha kupeleka mdomoni kwa sababu mumewe wakati mwingine angepata samaki au akose. Walibarikiwa na mwana mmoja wa kiume kwa jina Taabu. Familia hii iliishi kwa taabu na dhiki nyingi.
Licha ya familia ya mzee Shida kuwa ya kimaskini, walijitahidi wawezavyo kumpeleka mwananwe shuleni angalau pia yeye apate elimu kama watoto wenzake hapo kijijini. Taabu alikuwa mtukutu sana. Mwana ambaye hakuwa anasikia maneno ya mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Kila neno aliyoambiwa na wavyele wake yaliingia katika sikio la kulia na kutokaea katika sikio la kushoto. Taabu alitia nta maskioni mwake.
Shida na Amani waliendelea kumhoji mwana wao maana walielewa kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu lakini Taabu naye alikataa abadaan kutaan kuwasikia wazazi wake. Wazazi wake walichoka maana walijaribu kadri ya uwezo wao lakini wakashindwa. Sasa waliamua kumwacha kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Taabu alianza kujihusisha na vikundi vibaya na hata akaanza kutumia dawa za kulevya. Hatimaye akageuka kuwa jambazi sugu na kuanza kuiba kwa mabenki makubwa. Wazazi wake walimkanya lakini alikataa kutilia maanani mawaidha yao.
Taabu na wenzake waliendelea na tabia yao mbovu ya wizi huku wakisahau kuwa siku ya mwizi ni arubaini. Siku moja wakiwa kwenye harakati yao ya kawaida ya kuiba katika benki kuu, huku wakiwa wamejiaminia kuwa hao ni wezi hodari na hawawezi wakakamatwa.
Kwa kuwa siku ya mwizi ni arubaini na siku yao ya arubaini ilikuwa ishawadia. Walienda kama kawaida na kwa bahati mbaya polisi waliwaona, kabla ya kutoweka. Marafiki zake walifyatuliwa marisasi kama mvua na wakaipa dunia kisogo. Japo yeye aliponea katika tundu la sindano, alipata majeraha mabaya mguuni ambapo hakuwahi tembea maishani mwake.
Taabu alishikwa na kutiwa gerezani na ukemavu wake huku akijuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadae. Alianza kujilaumu, lakini sasa angemlilia nani? Kwa kweli taabu alisadiki maneno ya wahenga kuwa mwiba wa kujidunga mwenyewe hauna kilio. | Mwanawe Shida na Amani aliitwa aje? | {
"text": [
"Taabu"
]
} |
1589_swa | MWIBA WA KUJICHOMA HAUAMBIWI POLE
Katika kitongonji kimoja cha Sagamoyo, paliondokea familia moja ya mzee Shida. Inaliishi karibu na Ziwa Victoria. Shida alikuwa mvuvi. Bibi yake aliyekuwa akiitwa Amani alikuwa akiwafulia watu nguo ndiposa wapate angalau kitu cha kupeleka mdomoni kwa sababu mumewe wakati mwingine angepata samaki au akose. Walibarikiwa na mwana mmoja wa kiume kwa jina Taabu. Familia hii iliishi kwa taabu na dhiki nyingi.
Licha ya familia ya mzee Shida kuwa ya kimaskini, walijitahidi wawezavyo kumpeleka mwananwe shuleni angalau pia yeye apate elimu kama watoto wenzake hapo kijijini. Taabu alikuwa mtukutu sana. Mwana ambaye hakuwa anasikia maneno ya mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Kila neno aliyoambiwa na wavyele wake yaliingia katika sikio la kulia na kutokaea katika sikio la kushoto. Taabu alitia nta maskioni mwake.
Shida na Amani waliendelea kumhoji mwana wao maana walielewa kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu lakini Taabu naye alikataa abadaan kutaan kuwasikia wazazi wake. Wazazi wake walichoka maana walijaribu kadri ya uwezo wao lakini wakashindwa. Sasa waliamua kumwacha kwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Taabu alianza kujihusisha na vikundi vibaya na hata akaanza kutumia dawa za kulevya. Hatimaye akageuka kuwa jambazi sugu na kuanza kuiba kwa mabenki makubwa. Wazazi wake walimkanya lakini alikataa kutilia maanani mawaidha yao.
Taabu na wenzake waliendelea na tabia yao mbovu ya wizi huku wakisahau kuwa siku ya mwizi ni arubaini. Siku moja wakiwa kwenye harakati yao ya kawaida ya kuiba katika benki kuu, huku wakiwa wamejiaminia kuwa hao ni wezi hodari na hawawezi wakakamatwa.
Kwa kuwa siku ya mwizi ni arubaini na siku yao ya arubaini ilikuwa ishawadia. Walienda kama kawaida na kwa bahati mbaya polisi waliwaona, kabla ya kutoweka. Marafiki zake walifyatuliwa marisasi kama mvua na wakaipa dunia kisogo. Japo yeye aliponea katika tundu la sindano, alipata majeraha mabaya mguuni ambapo hakuwahi tembea maishani mwake.
Taabu alishikwa na kutiwa gerezani na ukemavu wake huku akijuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadae. Alianza kujilaumu, lakini sasa angemlilia nani? Kwa kweli taabu alisadiki maneno ya wahenga kuwa mwiba wa kujidunga mwenyewe hauna kilio. | Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani? | {
"text": [
"Ulimwengu"
]
} |
1592_swa | MKAMIA MAJI HAYANYWI
Usiku wa kuamkia Siku hiyo niliyokuwa nimeisubiri kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Sikulala usingizi wa pono Kama ilivyokuwa Kawaida yangu. Nilikuwa na hamu na ghamu kuu. Mwalimu mkuu alikuwa amefuta ngazia majina ya wanafunzi ambao wangepokea tuzo Kwa ustadi wao masomoni. Mimi nilikuwa mmoja wao.Tuzo zenyewe zingetolewa katika ofisi ya mkuu wa elimu jijini.
Jogoo wa kwanza alipowika, nilitupa blanketi langu na kukimbilia hamamuni kuoga. Kabla ya kuenda sebuleni Kustaftahi niliila kiraka mbiombio nikawania kuliwahi basi la asubuhi kabla ya magari kuzidi barabarani na kusababisha msongamano. Wakati huo, aliyekuwa ameamka ni babu tu. Naye alikuwa na shughuli yake ya kujitayarisha kwenda viwandani alikofanyia vibarua. Kwa furaha kuu alinipa nauli ya kunifikisha jijini na kunitakia kila laheri.
Nilichukuwa mkoba wangu na nauli na kisha kumuaga baba. Nilifuliza hadi kwenye kituo cha magari na kuabiri gari la kunifikisha katikati ya jiji kutoka mtaa wa Kayole.Basi halikuchukua muda mrefu katika jiji. Kila mtu alishuka na kuelekea alikojua vyema.
Mimi niliposhuka nilichanganyikiwa Ingawa nilizaliwa Nairobi. Sikulifahamu jiji vizuri, Nilishindwa kutambua nilikofaa kuenda na kusalia katika eneo tuliloshukia kwa nusu saa. Baada ya kutazama wenyeji wakipita na kurudi kwa muda wote huo, niliamua kushika njia ya upande wa kushoto. Azma yangu ilikuwa moja tu, kutafuta ofisi ya mkuu wa elimu ambapo tuzo zingetolewa. Barabara zote ziliungana na kufanana.
Saa kadha zilipita nikiwa na zurura mjini. Uchovu ukaniingia nikawa siwezi kudhilati njaa niliyokuwa nayo. Niliamua kuingia hotelini kuomba usaidizi. Lakini asiyekujua hakuthamini. Sikupata msaada niliyotafuta. Wahudumu walidhani ni tapeli ambaye alijifanya kupotea huku akiwa na nia ya kuwalaghai wateja wao. Walinifukia, wakanizomea na kunifukuza.
Nililia kwa shaka. Ajabu ni kuwa hakuna aliyenijali. Kila mtu alitazama kilio changu na huzuni wangu kwa dharau na kwenda zake. Hatimaye niliamua kwenda kuabiri gari ili nirudi mtaani kwani ilikuwa imefika saa tisa alasiri. Katika kutafuta njia ya kurudi, nilipatana na rafiki yangu niliyekuwa nikisoma naye na ambaye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakituzwa. Alikuwa amebeba tuzo lake. Alinirukia na kunikumbatia kwa furaha. Kwa hasira na uchovu niliyokuwa nao, sikumchangamkia. Alishangaa kwa nini sikuhudhuria sherehe. Nilimweleza yote yaliyonikuta.
“Wewe ndiwe haukufuata maagizo ya mwalimu muu. Basi la shule lilikuwa linafaa kuwabeba wanafunzi wote waliofaa kupokea tuzokutoka shuleni hadi makao makuu ya wizara ya elimu ambapo tuzo zilikuwa zitolewe.” Wapicho alinieleza. Nilikumbuka tulivyoonywa kuwa mkamia maji hayanywi humsakama. Kwa kweli nilikuwa nimeikamia siku hiyo.
| Wanafunzi wangepokea tuzo kwa ustadi wapi | {
"text": [
"Masomoni"
]
} |
1592_swa | MKAMIA MAJI HAYANYWI
Usiku wa kuamkia Siku hiyo niliyokuwa nimeisubiri kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Sikulala usingizi wa pono Kama ilivyokuwa Kawaida yangu. Nilikuwa na hamu na ghamu kuu. Mwalimu mkuu alikuwa amefuta ngazia majina ya wanafunzi ambao wangepokea tuzo Kwa ustadi wao masomoni. Mimi nilikuwa mmoja wao.Tuzo zenyewe zingetolewa katika ofisi ya mkuu wa elimu jijini.
Jogoo wa kwanza alipowika, nilitupa blanketi langu na kukimbilia hamamuni kuoga. Kabla ya kuenda sebuleni Kustaftahi niliila kiraka mbiombio nikawania kuliwahi basi la asubuhi kabla ya magari kuzidi barabarani na kusababisha msongamano. Wakati huo, aliyekuwa ameamka ni babu tu. Naye alikuwa na shughuli yake ya kujitayarisha kwenda viwandani alikofanyia vibarua. Kwa furaha kuu alinipa nauli ya kunifikisha jijini na kunitakia kila laheri.
Nilichukuwa mkoba wangu na nauli na kisha kumuaga baba. Nilifuliza hadi kwenye kituo cha magari na kuabiri gari la kunifikisha katikati ya jiji kutoka mtaa wa Kayole.Basi halikuchukua muda mrefu katika jiji. Kila mtu alishuka na kuelekea alikojua vyema.
Mimi niliposhuka nilichanganyikiwa Ingawa nilizaliwa Nairobi. Sikulifahamu jiji vizuri, Nilishindwa kutambua nilikofaa kuenda na kusalia katika eneo tuliloshukia kwa nusu saa. Baada ya kutazama wenyeji wakipita na kurudi kwa muda wote huo, niliamua kushika njia ya upande wa kushoto. Azma yangu ilikuwa moja tu, kutafuta ofisi ya mkuu wa elimu ambapo tuzo zingetolewa. Barabara zote ziliungana na kufanana.
Saa kadha zilipita nikiwa na zurura mjini. Uchovu ukaniingia nikawa siwezi kudhilati njaa niliyokuwa nayo. Niliamua kuingia hotelini kuomba usaidizi. Lakini asiyekujua hakuthamini. Sikupata msaada niliyotafuta. Wahudumu walidhani ni tapeli ambaye alijifanya kupotea huku akiwa na nia ya kuwalaghai wateja wao. Walinifukia, wakanizomea na kunifukuza.
Nililia kwa shaka. Ajabu ni kuwa hakuna aliyenijali. Kila mtu alitazama kilio changu na huzuni wangu kwa dharau na kwenda zake. Hatimaye niliamua kwenda kuabiri gari ili nirudi mtaani kwani ilikuwa imefika saa tisa alasiri. Katika kutafuta njia ya kurudi, nilipatana na rafiki yangu niliyekuwa nikisoma naye na ambaye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakituzwa. Alikuwa amebeba tuzo lake. Alinirukia na kunikumbatia kwa furaha. Kwa hasira na uchovu niliyokuwa nao, sikumchangamkia. Alishangaa kwa nini sikuhudhuria sherehe. Nilimweleza yote yaliyonikuta.
“Wewe ndiwe haukufuata maagizo ya mwalimu muu. Basi la shule lilikuwa linafaa kuwabeba wanafunzi wote waliofaa kupokea tuzokutoka shuleni hadi makao makuu ya wizara ya elimu ambapo tuzo zilikuwa zitolewe.” Wapicho alinieleza. Nilikumbuka tulivyoonywa kuwa mkamia maji hayanywi humsakama. Kwa kweli nilikuwa nimeikamia siku hiyo.
| Jogoo wa ngapi aliwika alipotupa blanketi | {
"text": [
"Kwanza"
]
} |
1592_swa | MKAMIA MAJI HAYANYWI
Usiku wa kuamkia Siku hiyo niliyokuwa nimeisubiri kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Sikulala usingizi wa pono Kama ilivyokuwa Kawaida yangu. Nilikuwa na hamu na ghamu kuu. Mwalimu mkuu alikuwa amefuta ngazia majina ya wanafunzi ambao wangepokea tuzo Kwa ustadi wao masomoni. Mimi nilikuwa mmoja wao.Tuzo zenyewe zingetolewa katika ofisi ya mkuu wa elimu jijini.
Jogoo wa kwanza alipowika, nilitupa blanketi langu na kukimbilia hamamuni kuoga. Kabla ya kuenda sebuleni Kustaftahi niliila kiraka mbiombio nikawania kuliwahi basi la asubuhi kabla ya magari kuzidi barabarani na kusababisha msongamano. Wakati huo, aliyekuwa ameamka ni babu tu. Naye alikuwa na shughuli yake ya kujitayarisha kwenda viwandani alikofanyia vibarua. Kwa furaha kuu alinipa nauli ya kunifikisha jijini na kunitakia kila laheri.
Nilichukuwa mkoba wangu na nauli na kisha kumuaga baba. Nilifuliza hadi kwenye kituo cha magari na kuabiri gari la kunifikisha katikati ya jiji kutoka mtaa wa Kayole.Basi halikuchukua muda mrefu katika jiji. Kila mtu alishuka na kuelekea alikojua vyema.
Mimi niliposhuka nilichanganyikiwa Ingawa nilizaliwa Nairobi. Sikulifahamu jiji vizuri, Nilishindwa kutambua nilikofaa kuenda na kusalia katika eneo tuliloshukia kwa nusu saa. Baada ya kutazama wenyeji wakipita na kurudi kwa muda wote huo, niliamua kushika njia ya upande wa kushoto. Azma yangu ilikuwa moja tu, kutafuta ofisi ya mkuu wa elimu ambapo tuzo zingetolewa. Barabara zote ziliungana na kufanana.
Saa kadha zilipita nikiwa na zurura mjini. Uchovu ukaniingia nikawa siwezi kudhilati njaa niliyokuwa nayo. Niliamua kuingia hotelini kuomba usaidizi. Lakini asiyekujua hakuthamini. Sikupata msaada niliyotafuta. Wahudumu walidhani ni tapeli ambaye alijifanya kupotea huku akiwa na nia ya kuwalaghai wateja wao. Walinifukia, wakanizomea na kunifukuza.
Nililia kwa shaka. Ajabu ni kuwa hakuna aliyenijali. Kila mtu alitazama kilio changu na huzuni wangu kwa dharau na kwenda zake. Hatimaye niliamua kwenda kuabiri gari ili nirudi mtaani kwani ilikuwa imefika saa tisa alasiri. Katika kutafuta njia ya kurudi, nilipatana na rafiki yangu niliyekuwa nikisoma naye na ambaye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakituzwa. Alikuwa amebeba tuzo lake. Alinirukia na kunikumbatia kwa furaha. Kwa hasira na uchovu niliyokuwa nao, sikumchangamkia. Alishangaa kwa nini sikuhudhuria sherehe. Nilimweleza yote yaliyonikuta.
“Wewe ndiwe haukufuata maagizo ya mwalimu muu. Basi la shule lilikuwa linafaa kuwabeba wanafunzi wote waliofaa kupokea tuzokutoka shuleni hadi makao makuu ya wizara ya elimu ambapo tuzo zilikuwa zitolewe.” Wapicho alinieleza. Nilikumbuka tulivyoonywa kuwa mkamia maji hayanywi humsakama. Kwa kweli nilikuwa nimeikamia siku hiyo.
| Alichukua mkoba na nauli kisha kumuaga nani | {
"text": [
"Babu"
]
} |
1592_swa | MKAMIA MAJI HAYANYWI
Usiku wa kuamkia Siku hiyo niliyokuwa nimeisubiri kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Sikulala usingizi wa pono Kama ilivyokuwa Kawaida yangu. Nilikuwa na hamu na ghamu kuu. Mwalimu mkuu alikuwa amefuta ngazia majina ya wanafunzi ambao wangepokea tuzo Kwa ustadi wao masomoni. Mimi nilikuwa mmoja wao.Tuzo zenyewe zingetolewa katika ofisi ya mkuu wa elimu jijini.
Jogoo wa kwanza alipowika, nilitupa blanketi langu na kukimbilia hamamuni kuoga. Kabla ya kuenda sebuleni Kustaftahi niliila kiraka mbiombio nikawania kuliwahi basi la asubuhi kabla ya magari kuzidi barabarani na kusababisha msongamano. Wakati huo, aliyekuwa ameamka ni babu tu. Naye alikuwa na shughuli yake ya kujitayarisha kwenda viwandani alikofanyia vibarua. Kwa furaha kuu alinipa nauli ya kunifikisha jijini na kunitakia kila laheri.
Nilichukuwa mkoba wangu na nauli na kisha kumuaga baba. Nilifuliza hadi kwenye kituo cha magari na kuabiri gari la kunifikisha katikati ya jiji kutoka mtaa wa Kayole.Basi halikuchukua muda mrefu katika jiji. Kila mtu alishuka na kuelekea alikojua vyema.
Mimi niliposhuka nilichanganyikiwa Ingawa nilizaliwa Nairobi. Sikulifahamu jiji vizuri, Nilishindwa kutambua nilikofaa kuenda na kusalia katika eneo tuliloshukia kwa nusu saa. Baada ya kutazama wenyeji wakipita na kurudi kwa muda wote huo, niliamua kushika njia ya upande wa kushoto. Azma yangu ilikuwa moja tu, kutafuta ofisi ya mkuu wa elimu ambapo tuzo zingetolewa. Barabara zote ziliungana na kufanana.
Saa kadha zilipita nikiwa na zurura mjini. Uchovu ukaniingia nikawa siwezi kudhilati njaa niliyokuwa nayo. Niliamua kuingia hotelini kuomba usaidizi. Lakini asiyekujua hakuthamini. Sikupata msaada niliyotafuta. Wahudumu walidhani ni tapeli ambaye alijifanya kupotea huku akiwa na nia ya kuwalaghai wateja wao. Walinifukia, wakanizomea na kunifukuza.
Nililia kwa shaka. Ajabu ni kuwa hakuna aliyenijali. Kila mtu alitazama kilio changu na huzuni wangu kwa dharau na kwenda zake. Hatimaye niliamua kwenda kuabiri gari ili nirudi mtaani kwani ilikuwa imefika saa tisa alasiri. Katika kutafuta njia ya kurudi, nilipatana na rafiki yangu niliyekuwa nikisoma naye na ambaye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakituzwa. Alikuwa amebeba tuzo lake. Alinirukia na kunikumbatia kwa furaha. Kwa hasira na uchovu niliyokuwa nao, sikumchangamkia. Alishangaa kwa nini sikuhudhuria sherehe. Nilimweleza yote yaliyonikuta.
“Wewe ndiwe haukufuata maagizo ya mwalimu muu. Basi la shule lilikuwa linafaa kuwabeba wanafunzi wote waliofaa kupokea tuzokutoka shuleni hadi makao makuu ya wizara ya elimu ambapo tuzo zilikuwa zitolewe.” Wapicho alinieleza. Nilikumbuka tulivyoonywa kuwa mkamia maji hayanywi humsakama. Kwa kweli nilikuwa nimeikamia siku hiyo.
| Aliposhuka alichanganyikiwa ingawa alizaliwa wapi | {
"text": [
"Nairobi"
]
} |
1592_swa | MKAMIA MAJI HAYANYWI
Usiku wa kuamkia Siku hiyo niliyokuwa nimeisubiri kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Sikulala usingizi wa pono Kama ilivyokuwa Kawaida yangu. Nilikuwa na hamu na ghamu kuu. Mwalimu mkuu alikuwa amefuta ngazia majina ya wanafunzi ambao wangepokea tuzo Kwa ustadi wao masomoni. Mimi nilikuwa mmoja wao.Tuzo zenyewe zingetolewa katika ofisi ya mkuu wa elimu jijini.
Jogoo wa kwanza alipowika, nilitupa blanketi langu na kukimbilia hamamuni kuoga. Kabla ya kuenda sebuleni Kustaftahi niliila kiraka mbiombio nikawania kuliwahi basi la asubuhi kabla ya magari kuzidi barabarani na kusababisha msongamano. Wakati huo, aliyekuwa ameamka ni babu tu. Naye alikuwa na shughuli yake ya kujitayarisha kwenda viwandani alikofanyia vibarua. Kwa furaha kuu alinipa nauli ya kunifikisha jijini na kunitakia kila laheri.
Nilichukuwa mkoba wangu na nauli na kisha kumuaga baba. Nilifuliza hadi kwenye kituo cha magari na kuabiri gari la kunifikisha katikati ya jiji kutoka mtaa wa Kayole.Basi halikuchukua muda mrefu katika jiji. Kila mtu alishuka na kuelekea alikojua vyema.
Mimi niliposhuka nilichanganyikiwa Ingawa nilizaliwa Nairobi. Sikulifahamu jiji vizuri, Nilishindwa kutambua nilikofaa kuenda na kusalia katika eneo tuliloshukia kwa nusu saa. Baada ya kutazama wenyeji wakipita na kurudi kwa muda wote huo, niliamua kushika njia ya upande wa kushoto. Azma yangu ilikuwa moja tu, kutafuta ofisi ya mkuu wa elimu ambapo tuzo zingetolewa. Barabara zote ziliungana na kufanana.
Saa kadha zilipita nikiwa na zurura mjini. Uchovu ukaniingia nikawa siwezi kudhilati njaa niliyokuwa nayo. Niliamua kuingia hotelini kuomba usaidizi. Lakini asiyekujua hakuthamini. Sikupata msaada niliyotafuta. Wahudumu walidhani ni tapeli ambaye alijifanya kupotea huku akiwa na nia ya kuwalaghai wateja wao. Walinifukia, wakanizomea na kunifukuza.
Nililia kwa shaka. Ajabu ni kuwa hakuna aliyenijali. Kila mtu alitazama kilio changu na huzuni wangu kwa dharau na kwenda zake. Hatimaye niliamua kwenda kuabiri gari ili nirudi mtaani kwani ilikuwa imefika saa tisa alasiri. Katika kutafuta njia ya kurudi, nilipatana na rafiki yangu niliyekuwa nikisoma naye na ambaye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakituzwa. Alikuwa amebeba tuzo lake. Alinirukia na kunikumbatia kwa furaha. Kwa hasira na uchovu niliyokuwa nao, sikumchangamkia. Alishangaa kwa nini sikuhudhuria sherehe. Nilimweleza yote yaliyonikuta.
“Wewe ndiwe haukufuata maagizo ya mwalimu muu. Basi la shule lilikuwa linafaa kuwabeba wanafunzi wote waliofaa kupokea tuzokutoka shuleni hadi makao makuu ya wizara ya elimu ambapo tuzo zilikuwa zitolewe.” Wapicho alinieleza. Nilikumbuka tulivyoonywa kuwa mkamia maji hayanywi humsakama. Kwa kweli nilikuwa nimeikamia siku hiyo.
| Kwa nini hangeweza kufika ofisi wa mkuu wa elimu | {
"text": [
"Hakufuata maagizo ya mwalimu mkuu"
]
} |
1594_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII/ NCHI
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawajakuwa wakitangamana na kuleta maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janag hili, wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika pamoja. Pia, hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi isiyo na amani, upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa mtu anapochaguliwa kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zimesambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mli Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
Janga hili limewakumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
Hivyo basi, siasa za migawanyiko yafaa kufutiliwa mbaki ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja. Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni nguvu ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwahudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
Serikali pia yafaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa donda sugu katika nchi hii. Wananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi ikaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili.
Siasa za migawanyiko
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawaja kuwa wakitangamana na kuleta
maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia
yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janga hilig wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika
pamoja. Pia hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi iviyo na amania upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa, mtu anapochaguliwa Kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena Kuwa mla hawe hapi nawe ila mzaliwa nawe Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zime sambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii
mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mlima Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
- Janga hili limedia kumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
- Hivyo basi, siasa za migawanyiko yaqqa Kufutiliwa mbali ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja . Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni ngum ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwa hudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
MASENO UNIVERSITY/UNIVERSITY OF NAIROBI/AFRICA NAZARENE UNIVERSITY
KenCorpus Project: Reviving Kenyan Languages
Serikali pia yadaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii anh imekuwa londa sugu katika nchi hii, lalananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi i Kaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili, | Siasa za mgawanyiko zimekuwa nini | {
"text": [
"Janga"
]
} |
1594_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII/ NCHI
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawajakuwa wakitangamana na kuleta maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janag hili, wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika pamoja. Pia, hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi isiyo na amani, upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa mtu anapochaguliwa kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zimesambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mli Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
Janga hili limewakumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
Hivyo basi, siasa za migawanyiko yafaa kufutiliwa mbaki ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja. Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni nguvu ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwahudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
Serikali pia yafaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa donda sugu katika nchi hii. Wananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi ikaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili.
Siasa za migawanyiko
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawaja kuwa wakitangamana na kuleta
maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia
yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janga hilig wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika
pamoja. Pia hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi iviyo na amania upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa, mtu anapochaguliwa Kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena Kuwa mla hawe hapi nawe ila mzaliwa nawe Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zime sambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii
mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mlima Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
- Janga hili limedia kumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
- Hivyo basi, siasa za migawanyiko yaqqa Kufutiliwa mbali ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja . Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni ngum ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwa hudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
MASENO UNIVERSITY/UNIVERSITY OF NAIROBI/AFRICA NAZARENE UNIVERSITY
KenCorpus Project: Reviving Kenyan Languages
Serikali pia yadaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii anh imekuwa londa sugu katika nchi hii, lalananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi i Kaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili, | Nani ameweka mikakati ya kudhibiti janga | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
1594_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII/ NCHI
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawajakuwa wakitangamana na kuleta maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janag hili, wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika pamoja. Pia, hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi isiyo na amani, upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa mtu anapochaguliwa kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zimesambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mli Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
Janga hili limewakumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
Hivyo basi, siasa za migawanyiko yafaa kufutiliwa mbaki ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja. Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni nguvu ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwahudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
Serikali pia yafaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa donda sugu katika nchi hii. Wananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi ikaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili.
Siasa za migawanyiko
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawaja kuwa wakitangamana na kuleta
maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia
yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janga hilig wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika
pamoja. Pia hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi iviyo na amania upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa, mtu anapochaguliwa Kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena Kuwa mla hawe hapi nawe ila mzaliwa nawe Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zime sambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii
mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mlima Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
- Janga hili limedia kumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
- Hivyo basi, siasa za migawanyiko yaqqa Kufutiliwa mbali ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja . Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni ngum ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwa hudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
MASENO UNIVERSITY/UNIVERSITY OF NAIROBI/AFRICA NAZARENE UNIVERSITY
KenCorpus Project: Reviving Kenyan Languages
Serikali pia yadaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii anh imekuwa londa sugu katika nchi hii, lalananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi i Kaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili, | Jamii nyingi nchini hufanya nini | {
"text": [
"Husambaratika"
]
} |
1594_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII/ NCHI
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawajakuwa wakitangamana na kuleta maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janag hili, wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika pamoja. Pia, hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi isiyo na amani, upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa mtu anapochaguliwa kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zimesambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mli Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
Janga hili limewakumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
Hivyo basi, siasa za migawanyiko yafaa kufutiliwa mbaki ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja. Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni nguvu ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwahudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
Serikali pia yafaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa donda sugu katika nchi hii. Wananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi ikaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili.
Siasa za migawanyiko
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawaja kuwa wakitangamana na kuleta
maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia
yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janga hilig wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika
pamoja. Pia hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi iviyo na amania upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa, mtu anapochaguliwa Kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena Kuwa mla hawe hapi nawe ila mzaliwa nawe Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zime sambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii
mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mlima Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
- Janga hili limedia kumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
- Hivyo basi, siasa za migawanyiko yaqqa Kufutiliwa mbali ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja . Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni ngum ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwa hudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
MASENO UNIVERSITY/UNIVERSITY OF NAIROBI/AFRICA NAZARENE UNIVERSITY
KenCorpus Project: Reviving Kenyan Languages
Serikali pia yadaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii anh imekuwa londa sugu katika nchi hii, lalananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi i Kaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili, | wanasiasa wanaunda nini tofautitofauti | {
"text": [
"Vyama"
]
} |
1594_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII/ NCHI
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawajakuwa wakitangamana na kuleta maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janag hili, wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika pamoja. Pia, hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi isiyo na amani, upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa mtu anapochaguliwa kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zimesambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mli Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
Janga hili limewakumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
Hivyo basi, siasa za migawanyiko yafaa kufutiliwa mbaki ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja. Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni nguvu ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwahudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
Serikali pia yafaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa donda sugu katika nchi hii. Wananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi ikaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili.
Siasa za migawanyiko
Siasa za migawanyiko imekuwa mojawapo ya janga linalowakumba wanasiasa wengi sana. Hivyo basi hawaja kuwa wakitangamana na kuleta
maendeleo katika nchi hii. Badala yake wamekuwa wakisambaratisha umoja wa wananchi kulingana na matakwa yao. Pia utapata kuwa wanasiasa wengi wamekuwa wakitumia ufisadi na kuwajali tu wanao wajua na familia
yao pekee.
Licha ya serikali kuweka mikakati ya kudhibiti janga hilig wanasiasa bado wamekuwa wakikiuka mikakati iliyowekwa na kuzidi kuwagawanya wananchi. Hili limefanya nchi hii kutokuwa na uwezo wa kujumuika
pamoja. Pia hili limekuwa likifanya nchi yetu kuwa nchi iviyo na amania upendo na umoja.
Pia mara nyingi unaweza kupata kuwa, mtu anapochaguliwa Kusimamia cheo fulani, yeye huwajali wa kwao na kuwadhulumu wengine. Hivyo basi wahenga hawakukosea waliponena Kuwa mla hawe hapi nawe ila mzaliwa nawe Pia utapata kuwa jamii nyingi nchini zime sambaratika na kugawanyika katika vikundi. Hapo utapata kwamba mara nyingi vita hutokea baina ya jamii
mbalimbali kwa mfano mgogoro kati ya wananchi wa mlima Kenya na wananchi wa magharibi mwa Kenya.
- Janga hili limedia kumba viongozi wote na kuwafanya kuwa na ugomvi na wanasiasa wengine. Pia wanasiasa wameweza kuunda vyama tofauti tofauti. Hivyo badala ya kujenga uchumi wa taifa, wao wamekuwa wakifanya uchumi wa taifa kudidimia.
- Hivyo basi, siasa za migawanyiko yaqqa Kufutiliwa mbali ili nchi yetu ikaweze kuwa na maendeleo ili wananchi waishi kwa amani, upendo na umoja . Viongozi wote wanafaa kutangamana kwa sababu umoja ni ngum ila utengano ni udhaifu. Pia viongozi wanafaa kuwa hudumia wananchi wote bila ya kuchagua kabila.
MASENO UNIVERSITY/UNIVERSITY OF NAIROBI/AFRICA NAZARENE UNIVERSITY
KenCorpus Project: Reviving Kenyan Languages
Serikali pia yadaa kuweka mikakati ili kudhibiti hali hii anh imekuwa londa sugu katika nchi hii, lalananchi wote wanafaa kuwa na umoja na upendo ili nchi i Kaweze kusonga mbele kiuchumi na pia wakaweze kuijenga taifa hili, | Maendeleo ,amani, upendo na umoja zitapatikana vipi | {
"text": [
"Kwa kufutilia mbali siasa za mgawanyiko"
]
} |
1595_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini, watu huvaa bidhaa zinazotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubeba mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu nzima katika nchi ya Kenya. Imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi. Kwa hivyo, tuendelee kuboresha kilimo.
| Nini huboresha afya zetu | {
"text": [
"kilimo"
]
} |
1595_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini, watu huvaa bidhaa zinazotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubeba mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu nzima katika nchi ya Kenya. Imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi. Kwa hivyo, tuendelee kuboresha kilimo.
| Bidhaa zinazotokana na kilimo hupelekwa wapi | {
"text": [
"kwenye viwanda"
]
} |
1595_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini, watu huvaa bidhaa zinazotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubeba mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu nzima katika nchi ya Kenya. Imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi. Kwa hivyo, tuendelee kuboresha kilimo.
| Kina nani huajiriwa na kilimo katika sekta mbalimbali | {
"text": [
"wakenya"
]
} |
1595_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini, watu huvaa bidhaa zinazotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubeba mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu nzima katika nchi ya Kenya. Imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi. Kwa hivyo, tuendelee kuboresha kilimo.
| Watu huuza wapi bidhaa zinazotoka kwenye kilimo | {
"text": [
"katika soko"
]
} |
1595_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini, watu huvaa bidhaa zinazotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubeba mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu nzima katika nchi ya Kenya. Imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi. Kwa hivyo, tuendelee kuboresha kilimo.
| Mbona nchi ya Kenya inahitaji kilimo kwa kiwango cha juu | {
"text": [
"ili iweze kuimarika"
]
} |
1596_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini. Watu huuza bidhaa zinzotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubebea mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu mzima katika nchi ya Kenya imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi kwa hivyo tuendelee kuboresha kilimo. | Kutokana kwa kilimo tunaweza kupata nini | {
"text": [
"vyakula"
]
} |
1596_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini. Watu huuza bidhaa zinzotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubebea mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu mzima katika nchi ya Kenya imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi kwa hivyo tuendelee kuboresha kilimo. | Kwa nini watu huuza bidhaa katika soko | {
"text": [
"Ili kupata pesa"
]
} |
1596_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini. Watu huuza bidhaa zinzotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubebea mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu mzima katika nchi ya Kenya imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi kwa hivyo tuendelee kuboresha kilimo. | Kilimo husaidia kukuza nini | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1596_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini. Watu huuza bidhaa zinzotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubebea mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu mzima katika nchi ya Kenya imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi kwa hivyo tuendelee kuboresha kilimo. | Wanyama kama vile punda husaidia kubeba nini | {
"text": [
"Mizigo"
]
} |
1596_swa | MANUFAA YA KILIMO
Uchumi wa Kenya unahitaji kilimo kwa kiwango cha juu zaidi ili iweze kuimarika. Bila kilimo uchumi wa Kenya utazidi kuzoroteka sana kwa kuwa kilimo ni muhimu sana. Baadhi ya manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi katika nchi ni kama yafuatayo;
Kutokana na kilimo tunaweza kupata vyakula ambavyo ni muhimu sana katika maisha zetu sisi binadamu. Baadhi ya vyakula kama vile mboga, mahindi,
maharagwe na hata matunda vinatokana na kilimo. Vyakula hivi huboresha afya zetu na kutusaidia kuendeleza kazi zetu za kila siku.
Bidhaa zinazotoka kwenye kilimo kama vile maziwa, ngozi na hata mayai hupelekwa kwenye viwanda ambapo vinatengenezwa na kuimarishwa zaidi, hizi bidhaa huuzwa nje ya nchi ya Kenya ili kupata pesa. Pesa hizi husaidia nchi yetu kuimarika kiuchumi na hata kuendeleza kampuni na viwanda vyao.
Kilimo pia huajiri wakenya katika sekta mbalimbali. Kwa mfano kwenye shamba, wakulima huajiriwa na kulipwa, kwenye viwanda pia watu huajiriwa. Kwa hivyo kilimo imeleta ajira kubwa sana nchini. Watu huuza bidhaa zinzotoka kwenye kilimo katika soko ili kupata pesa.
Umuhimu mwingine wa kilimo ni kwamba husaidia kukuza mazingira kwa mfano miti ikipandwa kwenye shamba huvuta mvua ambaye inasaidia mimea kukua haraka na mazingira kuvutia.
Bila kusahau, kutokana na kilimo tumeweza kupata njia ya usafirishaji ingawa si kawaida katika jamii ya sasa, wanyama kama vile punda husaidia kwa kubebea mizigo labda kutoka shambani hadi sokoni au kutoka sokoni hadi shambani au labda kusafirisha vitu vinavyohitajika shambani. Wanyama hawa wote hutokana na kilimo.
Kwa kweli kilimo imeleta manufaa chungu mzima katika nchi ya Kenya imekuwa ni nguzo bora zaidi katika kuimarisha uchumi kwa hivyo tuendelee kuboresha kilimo. | Kwa nini uchumi wa Kenya unahitaji kilimo cha kiwango cha juu | {
"text": [
"Ili uweze kuimarika"
]
} |
1597_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU UFISADI
Mkuu wa polisi, maafisa wa polisi, wanajamii wa eneo hili, hamjambo?
Asubuhi ya leo si siku yangu ya kuzungumza mengi bali kuelezea tu umuhimu ya nyinyi kuwa hapa. Nikiwa kama waziri anayohusika na usalama wa nchi ninawaomba mtege masikio yenu kwa yale nitakayo zungumza kuhusu ufisadi.
Jambo la kwanza kabisa ni kuwafahamisha kwamba jamii inatushuku na kutulaumu kwamba sisi ni kiungo kimojawapo cha kuchochea moto wa ufisadi. Ninawashauri kuwa sisi polisi ni kielelezo cha wananchi wote. Tunatakikana tuwe na maadili na kuwa mfano mwema kwa wanajamii na kukuza uzalendo.
Ufisadi ni hali yoyote ile ambayo mtu anafanya au anafanyiwa mapendeleo. Usaidizi wa hali na utendaji kwa kutoa pesa au ahadi ya kumpa kitu chochote pia ni ufisadi. Hongo ni mojawapo ya ufisadi na mara nyingi ufisadi hauna mkataba rasmi kati ya wahusika. Lengo la hotuba hili si kuwatia katika orodha ya mafisadi, La hasha! Tumokimya hapa kupata mafunzo ya kutuwezesha sisi binafsi kujua aina mbalimbali za ufisadi katika jamii na kutafuta nia za kuzimaliza.
Njia hii peke yake ndiyo itaweza kuimaliza kabisa ufisadi miongoni mwetu. Mfano mwingine wa ufisadi ni pale ambapo mtu mlati anaiba mali ya umma au kuitumia kwa uhalifu. Mtu kama huyo ni adui wa nchi na mkono wa sheria ni sharti umkamate mtu kama huyo na kumtia mbaroni maishani wake wote. Nchi haiwezi kupiga hatua zozote za maendeleo ikiwa watu wenye ufisadi wako miongoni mwetu na kuiba mali ya umma bila huruma wowote kwa serikali.
Isitoshe, sisi sote tunajua kwamba sheria ni msumeno inayoweza kukata mbele na nyuma. Sisi sote hapa tunapaswa tujipime iwapo tumeambukizwa na ugonjwa huu wa uradi na tuiepushe mara moja. Tunapotiwa mbaroni, tutahukumiwa kama raia mwingine yeyote bila kujali kuwa siri ni maafisa wa polisi.
Jambo lingine ni kuwahimiza mutilie maanani yote mmefunzwa na kuepukana na ufisadi. Ufisadi lazima utafagiliwa katika vipembe vyote vya nchi yetu. Tunapomaliza jambo hilo la ufisadi uwe ni mwanzo wa kusafisha nafsi zetu zisiwe na takataka na uchafu wa ufisadi wowote kabla ya kwenda kutafuta kazi za raia.
Nikimaliza, ninawatakia siku njema wakati wote. Tutangazie umma nia yetu ambayo ni TUANGAMIZE UFISADI, Asanteni. | Nani alikuwa anatoa hotuba? | {
"text": [
"Waziri wa usalama nchini"
]
} |
1597_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU UFISADI
Mkuu wa polisi, maafisa wa polisi, wanajamii wa eneo hili, hamjambo?
Asubuhi ya leo si siku yangu ya kuzungumza mengi bali kuelezea tu umuhimu ya nyinyi kuwa hapa. Nikiwa kama waziri anayohusika na usalama wa nchi ninawaomba mtege masikio yenu kwa yale nitakayo zungumza kuhusu ufisadi.
Jambo la kwanza kabisa ni kuwafahamisha kwamba jamii inatushuku na kutulaumu kwamba sisi ni kiungo kimojawapo cha kuchochea moto wa ufisadi. Ninawashauri kuwa sisi polisi ni kielelezo cha wananchi wote. Tunatakikana tuwe na maadili na kuwa mfano mwema kwa wanajamii na kukuza uzalendo.
Ufisadi ni hali yoyote ile ambayo mtu anafanya au anafanyiwa mapendeleo. Usaidizi wa hali na utendaji kwa kutoa pesa au ahadi ya kumpa kitu chochote pia ni ufisadi. Hongo ni mojawapo ya ufisadi na mara nyingi ufisadi hauna mkataba rasmi kati ya wahusika. Lengo la hotuba hili si kuwatia katika orodha ya mafisadi, La hasha! Tumokimya hapa kupata mafunzo ya kutuwezesha sisi binafsi kujua aina mbalimbali za ufisadi katika jamii na kutafuta nia za kuzimaliza.
Njia hii peke yake ndiyo itaweza kuimaliza kabisa ufisadi miongoni mwetu. Mfano mwingine wa ufisadi ni pale ambapo mtu mlati anaiba mali ya umma au kuitumia kwa uhalifu. Mtu kama huyo ni adui wa nchi na mkono wa sheria ni sharti umkamate mtu kama huyo na kumtia mbaroni maishani wake wote. Nchi haiwezi kupiga hatua zozote za maendeleo ikiwa watu wenye ufisadi wako miongoni mwetu na kuiba mali ya umma bila huruma wowote kwa serikali.
Isitoshe, sisi sote tunajua kwamba sheria ni msumeno inayoweza kukata mbele na nyuma. Sisi sote hapa tunapaswa tujipime iwapo tumeambukizwa na ugonjwa huu wa uradi na tuiepushe mara moja. Tunapotiwa mbaroni, tutahukumiwa kama raia mwingine yeyote bila kujali kuwa siri ni maafisa wa polisi.
Jambo lingine ni kuwahimiza mutilie maanani yote mmefunzwa na kuepukana na ufisadi. Ufisadi lazima utafagiliwa katika vipembe vyote vya nchi yetu. Tunapomaliza jambo hilo la ufisadi uwe ni mwanzo wa kusafisha nafsi zetu zisiwe na takataka na uchafu wa ufisadi wowote kabla ya kwenda kutafuta kazi za raia.
Nikimaliza, ninawatakia siku njema wakati wote. Tutangazie umma nia yetu ambayo ni TUANGAMIZE UFISADI, Asanteni. | Nani wanalaumiwa kwa kuchochea ufisadi? | {
"text": [
"Polisi"
]
} |
1597_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU UFISADI
Mkuu wa polisi, maafisa wa polisi, wanajamii wa eneo hili, hamjambo?
Asubuhi ya leo si siku yangu ya kuzungumza mengi bali kuelezea tu umuhimu ya nyinyi kuwa hapa. Nikiwa kama waziri anayohusika na usalama wa nchi ninawaomba mtege masikio yenu kwa yale nitakayo zungumza kuhusu ufisadi.
Jambo la kwanza kabisa ni kuwafahamisha kwamba jamii inatushuku na kutulaumu kwamba sisi ni kiungo kimojawapo cha kuchochea moto wa ufisadi. Ninawashauri kuwa sisi polisi ni kielelezo cha wananchi wote. Tunatakikana tuwe na maadili na kuwa mfano mwema kwa wanajamii na kukuza uzalendo.
Ufisadi ni hali yoyote ile ambayo mtu anafanya au anafanyiwa mapendeleo. Usaidizi wa hali na utendaji kwa kutoa pesa au ahadi ya kumpa kitu chochote pia ni ufisadi. Hongo ni mojawapo ya ufisadi na mara nyingi ufisadi hauna mkataba rasmi kati ya wahusika. Lengo la hotuba hili si kuwatia katika orodha ya mafisadi, La hasha! Tumokimya hapa kupata mafunzo ya kutuwezesha sisi binafsi kujua aina mbalimbali za ufisadi katika jamii na kutafuta nia za kuzimaliza.
Njia hii peke yake ndiyo itaweza kuimaliza kabisa ufisadi miongoni mwetu. Mfano mwingine wa ufisadi ni pale ambapo mtu mlati anaiba mali ya umma au kuitumia kwa uhalifu. Mtu kama huyo ni adui wa nchi na mkono wa sheria ni sharti umkamate mtu kama huyo na kumtia mbaroni maishani wake wote. Nchi haiwezi kupiga hatua zozote za maendeleo ikiwa watu wenye ufisadi wako miongoni mwetu na kuiba mali ya umma bila huruma wowote kwa serikali.
Isitoshe, sisi sote tunajua kwamba sheria ni msumeno inayoweza kukata mbele na nyuma. Sisi sote hapa tunapaswa tujipime iwapo tumeambukizwa na ugonjwa huu wa uradi na tuiepushe mara moja. Tunapotiwa mbaroni, tutahukumiwa kama raia mwingine yeyote bila kujali kuwa siri ni maafisa wa polisi.
Jambo lingine ni kuwahimiza mutilie maanani yote mmefunzwa na kuepukana na ufisadi. Ufisadi lazima utafagiliwa katika vipembe vyote vya nchi yetu. Tunapomaliza jambo hilo la ufisadi uwe ni mwanzo wa kusafisha nafsi zetu zisiwe na takataka na uchafu wa ufisadi wowote kabla ya kwenda kutafuta kazi za raia.
Nikimaliza, ninawatakia siku njema wakati wote. Tutangazie umma nia yetu ambayo ni TUANGAMIZE UFISADI, Asanteni. | Ufisadi ni nini? | {
"text": [
"Hali ambayo mtu anafanyiwa mapendeleo"
]
} |
1597_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU UFISADI
Mkuu wa polisi, maafisa wa polisi, wanajamii wa eneo hili, hamjambo?
Asubuhi ya leo si siku yangu ya kuzungumza mengi bali kuelezea tu umuhimu ya nyinyi kuwa hapa. Nikiwa kama waziri anayohusika na usalama wa nchi ninawaomba mtege masikio yenu kwa yale nitakayo zungumza kuhusu ufisadi.
Jambo la kwanza kabisa ni kuwafahamisha kwamba jamii inatushuku na kutulaumu kwamba sisi ni kiungo kimojawapo cha kuchochea moto wa ufisadi. Ninawashauri kuwa sisi polisi ni kielelezo cha wananchi wote. Tunatakikana tuwe na maadili na kuwa mfano mwema kwa wanajamii na kukuza uzalendo.
Ufisadi ni hali yoyote ile ambayo mtu anafanya au anafanyiwa mapendeleo. Usaidizi wa hali na utendaji kwa kutoa pesa au ahadi ya kumpa kitu chochote pia ni ufisadi. Hongo ni mojawapo ya ufisadi na mara nyingi ufisadi hauna mkataba rasmi kati ya wahusika. Lengo la hotuba hili si kuwatia katika orodha ya mafisadi, La hasha! Tumokimya hapa kupata mafunzo ya kutuwezesha sisi binafsi kujua aina mbalimbali za ufisadi katika jamii na kutafuta nia za kuzimaliza.
Njia hii peke yake ndiyo itaweza kuimaliza kabisa ufisadi miongoni mwetu. Mfano mwingine wa ufisadi ni pale ambapo mtu mlati anaiba mali ya umma au kuitumia kwa uhalifu. Mtu kama huyo ni adui wa nchi na mkono wa sheria ni sharti umkamate mtu kama huyo na kumtia mbaroni maishani wake wote. Nchi haiwezi kupiga hatua zozote za maendeleo ikiwa watu wenye ufisadi wako miongoni mwetu na kuiba mali ya umma bila huruma wowote kwa serikali.
Isitoshe, sisi sote tunajua kwamba sheria ni msumeno inayoweza kukata mbele na nyuma. Sisi sote hapa tunapaswa tujipime iwapo tumeambukizwa na ugonjwa huu wa uradi na tuiepushe mara moja. Tunapotiwa mbaroni, tutahukumiwa kama raia mwingine yeyote bila kujali kuwa siri ni maafisa wa polisi.
Jambo lingine ni kuwahimiza mutilie maanani yote mmefunzwa na kuepukana na ufisadi. Ufisadi lazima utafagiliwa katika vipembe vyote vya nchi yetu. Tunapomaliza jambo hilo la ufisadi uwe ni mwanzo wa kusafisha nafsi zetu zisiwe na takataka na uchafu wa ufisadi wowote kabla ya kwenda kutafuta kazi za raia.
Nikimaliza, ninawatakia siku njema wakati wote. Tutangazie umma nia yetu ambayo ni TUANGAMIZE UFISADI, Asanteni. | Utumiaji wa mali ya umma kwa ubadharifu ni aina ya nini? | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
1597_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU UFISADI
Mkuu wa polisi, maafisa wa polisi, wanajamii wa eneo hili, hamjambo?
Asubuhi ya leo si siku yangu ya kuzungumza mengi bali kuelezea tu umuhimu ya nyinyi kuwa hapa. Nikiwa kama waziri anayohusika na usalama wa nchi ninawaomba mtege masikio yenu kwa yale nitakayo zungumza kuhusu ufisadi.
Jambo la kwanza kabisa ni kuwafahamisha kwamba jamii inatushuku na kutulaumu kwamba sisi ni kiungo kimojawapo cha kuchochea moto wa ufisadi. Ninawashauri kuwa sisi polisi ni kielelezo cha wananchi wote. Tunatakikana tuwe na maadili na kuwa mfano mwema kwa wanajamii na kukuza uzalendo.
Ufisadi ni hali yoyote ile ambayo mtu anafanya au anafanyiwa mapendeleo. Usaidizi wa hali na utendaji kwa kutoa pesa au ahadi ya kumpa kitu chochote pia ni ufisadi. Hongo ni mojawapo ya ufisadi na mara nyingi ufisadi hauna mkataba rasmi kati ya wahusika. Lengo la hotuba hili si kuwatia katika orodha ya mafisadi, La hasha! Tumokimya hapa kupata mafunzo ya kutuwezesha sisi binafsi kujua aina mbalimbali za ufisadi katika jamii na kutafuta nia za kuzimaliza.
Njia hii peke yake ndiyo itaweza kuimaliza kabisa ufisadi miongoni mwetu. Mfano mwingine wa ufisadi ni pale ambapo mtu mlati anaiba mali ya umma au kuitumia kwa uhalifu. Mtu kama huyo ni adui wa nchi na mkono wa sheria ni sharti umkamate mtu kama huyo na kumtia mbaroni maishani wake wote. Nchi haiwezi kupiga hatua zozote za maendeleo ikiwa watu wenye ufisadi wako miongoni mwetu na kuiba mali ya umma bila huruma wowote kwa serikali.
Isitoshe, sisi sote tunajua kwamba sheria ni msumeno inayoweza kukata mbele na nyuma. Sisi sote hapa tunapaswa tujipime iwapo tumeambukizwa na ugonjwa huu wa uradi na tuiepushe mara moja. Tunapotiwa mbaroni, tutahukumiwa kama raia mwingine yeyote bila kujali kuwa siri ni maafisa wa polisi.
Jambo lingine ni kuwahimiza mutilie maanani yote mmefunzwa na kuepukana na ufisadi. Ufisadi lazima utafagiliwa katika vipembe vyote vya nchi yetu. Tunapomaliza jambo hilo la ufisadi uwe ni mwanzo wa kusafisha nafsi zetu zisiwe na takataka na uchafu wa ufisadi wowote kabla ya kwenda kutafuta kazi za raia.
Nikimaliza, ninawatakia siku njema wakati wote. Tutangazie umma nia yetu ambayo ni TUANGAMIZE UFISADI, Asanteni. | Nini ni msumeno unaoweza kukata mbele na nyuma? | {
"text": [
"Sheria"
]
} |
1598_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU JINSI YA KUADIMISHA USALAMA
Naibu wa waziri wa usalama, maafisa wa usalama wa ngazi ya juu, machifu wa kaunti mbalimbali, maafisa wote wa usalama na wananchi ambao wamehudhuria hafla hii hamjambo? Ningependa kuwakaribisha katika
mkutano huu maalum ili kujifunza jinsi ya kudumisha usalama wa wananchi wote kwa jumla.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru maafisa wa usalama kwa kazi njema ambayo wamekuwa wakifanya. Hii ni kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi bila ubaguzi wowote. Pia wamekuwa wakilinda usalama wa wananchi wote huku wakiwasihi wananchi wasikiuke sheria kwa njia yoyote.
Pili, ningependa kusema kuwa taifa hili letu halijakuwa likiendelea vizuri kiusalama. Kila mara tumekuwa tukipata ripoti nyingi sana. Ripoti hizo bila shaka zimekuwa za kuhuzunisha na kutatanisha sana. Tumepokea ripoti za wizi kila mara. Na asilimia kubwa ya vijana ndio wamekuwa wakihusika na uhalifu huo.
Pia nikiwanyoshea kidole walinda usalama. Wengine wenyu wamekuwa wakitumia nguvu kupita kiasi wakati wanapohudumia nchi hii. Kwa hiyo tumepokea ripoti kuwa walinda usalama wamekuwa wakiwadhulumu wananchi na kuwauwa kiholela. Hivyo basi ningependa kuwahimiza maafisa wote wa usalama wasiwadhulumu wala kuwanyima wananchi haki yao ya kibinadamu.
Lingine ni kuwa kuna baadhi ya kaunti amabazo wananchi wao hasa wasichana wa umri mdogo hawawezi hata kutembea ili kukidhi mahitaji yao. Sababu kuu ni kuwa vijana wanaotumia mihadarati wamekuwa wakiwashambulia wasichana hao, kuwanajisi na kisha hatimaye kuwauwa kupitia njia ya kutatanisha sana. Hivyo nawaomba washikadau na maafisa wa usalama wakaweze kujitahidi kadri ya uwezo wao ili kukomesha na kufutilia mbali uhalifu huo.
Hatimaye nawasihi mkaweze kuyatilia maanani maneno niliyoyanena na kuyatia katika matendo. Nawahakikishia kuwa tukiyazingatia maswala hayo, tutaweza kuwa na maendeleo. Pia tukiwajibika, hakutakuweko na visa vyovyote vya uhalifu kwani vitapungua kikamilifu. Nawakumbusha kuwa mtu ni utu na mtu asiyekuwa na utu ana kutu. Muyatafakari hayo.Asanteni sana kwa kuhudhuria.”
| Ni maafisa wepi wanapewa shukrani kwa kazi njema | {
"text": [
"Usalama"
]
} |
1598_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU JINSI YA KUADIMISHA USALAMA
Naibu wa waziri wa usalama, maafisa wa usalama wa ngazi ya juu, machifu wa kaunti mbalimbali, maafisa wote wa usalama na wananchi ambao wamehudhuria hafla hii hamjambo? Ningependa kuwakaribisha katika
mkutano huu maalum ili kujifunza jinsi ya kudumisha usalama wa wananchi wote kwa jumla.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru maafisa wa usalama kwa kazi njema ambayo wamekuwa wakifanya. Hii ni kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi bila ubaguzi wowote. Pia wamekuwa wakilinda usalama wa wananchi wote huku wakiwasihi wananchi wasikiuke sheria kwa njia yoyote.
Pili, ningependa kusema kuwa taifa hili letu halijakuwa likiendelea vizuri kiusalama. Kila mara tumekuwa tukipata ripoti nyingi sana. Ripoti hizo bila shaka zimekuwa za kuhuzunisha na kutatanisha sana. Tumepokea ripoti za wizi kila mara. Na asilimia kubwa ya vijana ndio wamekuwa wakihusika na uhalifu huo.
Pia nikiwanyoshea kidole walinda usalama. Wengine wenyu wamekuwa wakitumia nguvu kupita kiasi wakati wanapohudumia nchi hii. Kwa hiyo tumepokea ripoti kuwa walinda usalama wamekuwa wakiwadhulumu wananchi na kuwauwa kiholela. Hivyo basi ningependa kuwahimiza maafisa wote wa usalama wasiwadhulumu wala kuwanyima wananchi haki yao ya kibinadamu.
Lingine ni kuwa kuna baadhi ya kaunti amabazo wananchi wao hasa wasichana wa umri mdogo hawawezi hata kutembea ili kukidhi mahitaji yao. Sababu kuu ni kuwa vijana wanaotumia mihadarati wamekuwa wakiwashambulia wasichana hao, kuwanajisi na kisha hatimaye kuwauwa kupitia njia ya kutatanisha sana. Hivyo nawaomba washikadau na maafisa wa usalama wakaweze kujitahidi kadri ya uwezo wao ili kukomesha na kufutilia mbali uhalifu huo.
Hatimaye nawasihi mkaweze kuyatilia maanani maneno niliyoyanena na kuyatia katika matendo. Nawahakikishia kuwa tukiyazingatia maswala hayo, tutaweza kuwa na maendeleo. Pia tukiwajibika, hakutakuweko na visa vyovyote vya uhalifu kwani vitapungua kikamilifu. Nawakumbusha kuwa mtu ni utu na mtu asiyekuwa na utu ana kutu. Muyatafakari hayo.Asanteni sana kwa kuhudhuria.”
| Walinda usalama wamekuwa wakitumia nini kupita kiasi | {
"text": [
"Nguvu"
]
} |
1598_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU JINSI YA KUADIMISHA USALAMA
Naibu wa waziri wa usalama, maafisa wa usalama wa ngazi ya juu, machifu wa kaunti mbalimbali, maafisa wote wa usalama na wananchi ambao wamehudhuria hafla hii hamjambo? Ningependa kuwakaribisha katika
mkutano huu maalum ili kujifunza jinsi ya kudumisha usalama wa wananchi wote kwa jumla.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru maafisa wa usalama kwa kazi njema ambayo wamekuwa wakifanya. Hii ni kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi bila ubaguzi wowote. Pia wamekuwa wakilinda usalama wa wananchi wote huku wakiwasihi wananchi wasikiuke sheria kwa njia yoyote.
Pili, ningependa kusema kuwa taifa hili letu halijakuwa likiendelea vizuri kiusalama. Kila mara tumekuwa tukipata ripoti nyingi sana. Ripoti hizo bila shaka zimekuwa za kuhuzunisha na kutatanisha sana. Tumepokea ripoti za wizi kila mara. Na asilimia kubwa ya vijana ndio wamekuwa wakihusika na uhalifu huo.
Pia nikiwanyoshea kidole walinda usalama. Wengine wenyu wamekuwa wakitumia nguvu kupita kiasi wakati wanapohudumia nchi hii. Kwa hiyo tumepokea ripoti kuwa walinda usalama wamekuwa wakiwadhulumu wananchi na kuwauwa kiholela. Hivyo basi ningependa kuwahimiza maafisa wote wa usalama wasiwadhulumu wala kuwanyima wananchi haki yao ya kibinadamu.
Lingine ni kuwa kuna baadhi ya kaunti amabazo wananchi wao hasa wasichana wa umri mdogo hawawezi hata kutembea ili kukidhi mahitaji yao. Sababu kuu ni kuwa vijana wanaotumia mihadarati wamekuwa wakiwashambulia wasichana hao, kuwanajisi na kisha hatimaye kuwauwa kupitia njia ya kutatanisha sana. Hivyo nawaomba washikadau na maafisa wa usalama wakaweze kujitahidi kadri ya uwezo wao ili kukomesha na kufutilia mbali uhalifu huo.
Hatimaye nawasihi mkaweze kuyatilia maanani maneno niliyoyanena na kuyatia katika matendo. Nawahakikishia kuwa tukiyazingatia maswala hayo, tutaweza kuwa na maendeleo. Pia tukiwajibika, hakutakuweko na visa vyovyote vya uhalifu kwani vitapungua kikamilifu. Nawakumbusha kuwa mtu ni utu na mtu asiyekuwa na utu ana kutu. Muyatafakari hayo.Asanteni sana kwa kuhudhuria.”
| Vijana wanaotumia mihandarati wamekuwa wakiwashambulia nani | {
"text": [
"Wasichana"
]
} |
1598_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU JINSI YA KUADIMISHA USALAMA
Naibu wa waziri wa usalama, maafisa wa usalama wa ngazi ya juu, machifu wa kaunti mbalimbali, maafisa wote wa usalama na wananchi ambao wamehudhuria hafla hii hamjambo? Ningependa kuwakaribisha katika
mkutano huu maalum ili kujifunza jinsi ya kudumisha usalama wa wananchi wote kwa jumla.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru maafisa wa usalama kwa kazi njema ambayo wamekuwa wakifanya. Hii ni kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi bila ubaguzi wowote. Pia wamekuwa wakilinda usalama wa wananchi wote huku wakiwasihi wananchi wasikiuke sheria kwa njia yoyote.
Pili, ningependa kusema kuwa taifa hili letu halijakuwa likiendelea vizuri kiusalama. Kila mara tumekuwa tukipata ripoti nyingi sana. Ripoti hizo bila shaka zimekuwa za kuhuzunisha na kutatanisha sana. Tumepokea ripoti za wizi kila mara. Na asilimia kubwa ya vijana ndio wamekuwa wakihusika na uhalifu huo.
Pia nikiwanyoshea kidole walinda usalama. Wengine wenyu wamekuwa wakitumia nguvu kupita kiasi wakati wanapohudumia nchi hii. Kwa hiyo tumepokea ripoti kuwa walinda usalama wamekuwa wakiwadhulumu wananchi na kuwauwa kiholela. Hivyo basi ningependa kuwahimiza maafisa wote wa usalama wasiwadhulumu wala kuwanyima wananchi haki yao ya kibinadamu.
Lingine ni kuwa kuna baadhi ya kaunti amabazo wananchi wao hasa wasichana wa umri mdogo hawawezi hata kutembea ili kukidhi mahitaji yao. Sababu kuu ni kuwa vijana wanaotumia mihadarati wamekuwa wakiwashambulia wasichana hao, kuwanajisi na kisha hatimaye kuwauwa kupitia njia ya kutatanisha sana. Hivyo nawaomba washikadau na maafisa wa usalama wakaweze kujitahidi kadri ya uwezo wao ili kukomesha na kufutilia mbali uhalifu huo.
Hatimaye nawasihi mkaweze kuyatilia maanani maneno niliyoyanena na kuyatia katika matendo. Nawahakikishia kuwa tukiyazingatia maswala hayo, tutaweza kuwa na maendeleo. Pia tukiwajibika, hakutakuweko na visa vyovyote vya uhalifu kwani vitapungua kikamilifu. Nawakumbusha kuwa mtu ni utu na mtu asiyekuwa na utu ana kutu. Muyatafakari hayo.Asanteni sana kwa kuhudhuria.”
| Wakiwajibika hawatakuwa na visa vyovyote vya nini | {
"text": [
"uhalifu"
]
} |
1598_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA KUHUSU JINSI YA KUADIMISHA USALAMA
Naibu wa waziri wa usalama, maafisa wa usalama wa ngazi ya juu, machifu wa kaunti mbalimbali, maafisa wote wa usalama na wananchi ambao wamehudhuria hafla hii hamjambo? Ningependa kuwakaribisha katika
mkutano huu maalum ili kujifunza jinsi ya kudumisha usalama wa wananchi wote kwa jumla.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru maafisa wa usalama kwa kazi njema ambayo wamekuwa wakifanya. Hii ni kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi bila ubaguzi wowote. Pia wamekuwa wakilinda usalama wa wananchi wote huku wakiwasihi wananchi wasikiuke sheria kwa njia yoyote.
Pili, ningependa kusema kuwa taifa hili letu halijakuwa likiendelea vizuri kiusalama. Kila mara tumekuwa tukipata ripoti nyingi sana. Ripoti hizo bila shaka zimekuwa za kuhuzunisha na kutatanisha sana. Tumepokea ripoti za wizi kila mara. Na asilimia kubwa ya vijana ndio wamekuwa wakihusika na uhalifu huo.
Pia nikiwanyoshea kidole walinda usalama. Wengine wenyu wamekuwa wakitumia nguvu kupita kiasi wakati wanapohudumia nchi hii. Kwa hiyo tumepokea ripoti kuwa walinda usalama wamekuwa wakiwadhulumu wananchi na kuwauwa kiholela. Hivyo basi ningependa kuwahimiza maafisa wote wa usalama wasiwadhulumu wala kuwanyima wananchi haki yao ya kibinadamu.
Lingine ni kuwa kuna baadhi ya kaunti amabazo wananchi wao hasa wasichana wa umri mdogo hawawezi hata kutembea ili kukidhi mahitaji yao. Sababu kuu ni kuwa vijana wanaotumia mihadarati wamekuwa wakiwashambulia wasichana hao, kuwanajisi na kisha hatimaye kuwauwa kupitia njia ya kutatanisha sana. Hivyo nawaomba washikadau na maafisa wa usalama wakaweze kujitahidi kadri ya uwezo wao ili kukomesha na kufutilia mbali uhalifu huo.
Hatimaye nawasihi mkaweze kuyatilia maanani maneno niliyoyanena na kuyatia katika matendo. Nawahakikishia kuwa tukiyazingatia maswala hayo, tutaweza kuwa na maendeleo. Pia tukiwajibika, hakutakuweko na visa vyovyote vya uhalifu kwani vitapungua kikamilifu. Nawakumbusha kuwa mtu ni utu na mtu asiyekuwa na utu ana kutu. Muyatafakari hayo.Asanteni sana kwa kuhudhuria.”
| Mtu asiyekuwa na utu ana nini | {
"text": [
"Kutu"
]
} |
1600_swa | HOTUBA YA KATIBU WA SERIKALI KATIKA WIZARA YA USALAMA KWA WAZAZI KATIKA UWANJA WA KASARANI KUHUSU AJIRA YA WATOTO
"Katibu wa serikali katika wizara ya afya, bwana Chemtai, mwenyekiti Bi. Jamila, naibu mwenyekiti na wazazi wapendwa kwa jumla, hamjambo?
Nachukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa siku hii na kuwashukuru kwa kuitikia wito. Nawakaribisha kwa mikono miwili na ningependa kuzungumza nanyi kuhusu ajira ya watoto. Ajira ya watoto wakiwa umri mdogo hasa katika kazi ya sulubu ni janga ambalo linakabili mataifa mengi duniani. Janga hili limekuwa kero katika jamii. Hata hivyo mashirika mbalimbali ya serikali na hata yasiyokuwa ya serikali yamevalia njuga suala hili ili kulitatua.
Ajira ya watoto imewadhalilisha na hata kushusha hadhi yao ya kibinadamu. Ubinadamu wao umetupiliwa mbali na wenye uwezo. Ajira ya watoto inatokana na uchochole wao. Umaskini unakidhiri na kuwakanyagia chini wale wanyonge. Mtoto anaweza kuwa yatima au wazazi wake hawamjali. Wengine wao hutoroka nyumbani ili kujiepusha na dhuluma za wavyele wao. Hivyo basi hujiingiza katika utendakazi wakiwa wangali wadogo mno kama njia ya pekee ya kujikimu kimaisha.
Watoto hawa huajiriwa kazi pahali pengi kama vile nyumbani, mashambani, na hata viwandani. Katika sehemu hizi watoto hao hupewa kazi kama vile kupalilia, kuvuna, na kusafisha nyumba. Watoto hawa hupewa kazi hizi kila siku na kutekeleza shughuli hizo kwa masaa megi. Wao hufanya kazi kama punda na kubebeshwa mizigo inayowaumiza mwili na kupunguza afya yao. Usishangae mshahara au malipo wanayopata kuwa kidogo na siyo ya kuridhisha. Wengine hupewa na waajiri wao chakula kidogo na kuambiwa kuwa ni sehemu ya mshahara wao wa kutosha. Kweli wanaposema kuwa mnyonge hana haki ndiposa ufukara umekithiri ulimwengu.
Katika hali hii watoto hukumbwa na shida chungu nzima. Hawashughulikiwi bali wanadharauliwa na kutengwa. Wengine wanaonekana kama hayawani. Watoto wanapokosa elimu, kutakuwa na upungufu wa watu waliohitimu latika nyanja mbalimbali za kuendeleza uchumi.
Serikali imechukua hatua mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la ajira ya watoto. Serikali imetoa elimu ya bure ili kila mtoto apate fursa ya kuenda shule. Serikali imewahimiza wazazi nchini kuwapeleka watoto wa umri mbalimbali shule, wataokiuka amri hii watachukuliwa hatua kali. Pesa zimetengwa kugharamia mafumo kwa walimu. Serikali pia imejenga shule za kutosha na vifaa vyote vimetolewa ili kuhakikisha kila mtoto anapata elimu.
Vijana wanao randaranda mitaani wameondolewa na kupelekwa shule. Hata wengine wamepelekwa katika vyuo mbalimbali vya kiufundi ili kuwapa mafunzo. Ni tumaini la serikali kuwa vijana wawe wa kujitegemea na kutegemewa . taifa lenye watoto walioelimika lina nafasi ya kuchangia maendeleo bora duniani. Mola awe nanyi na awalinde. Ahsanteni sana." | Nani katibu wa serikali katika wizara ya afya | {
"text": [
"Bwana Chemtai"
]
} |
1600_swa | HOTUBA YA KATIBU WA SERIKALI KATIKA WIZARA YA USALAMA KWA WAZAZI KATIKA UWANJA WA KASARANI KUHUSU AJIRA YA WATOTO
"Katibu wa serikali katika wizara ya afya, bwana Chemtai, mwenyekiti Bi. Jamila, naibu mwenyekiti na wazazi wapendwa kwa jumla, hamjambo?
Nachukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa siku hii na kuwashukuru kwa kuitikia wito. Nawakaribisha kwa mikono miwili na ningependa kuzungumza nanyi kuhusu ajira ya watoto. Ajira ya watoto wakiwa umri mdogo hasa katika kazi ya sulubu ni janga ambalo linakabili mataifa mengi duniani. Janga hili limekuwa kero katika jamii. Hata hivyo mashirika mbalimbali ya serikali na hata yasiyokuwa ya serikali yamevalia njuga suala hili ili kulitatua.
Ajira ya watoto imewadhalilisha na hata kushusha hadhi yao ya kibinadamu. Ubinadamu wao umetupiliwa mbali na wenye uwezo. Ajira ya watoto inatokana na uchochole wao. Umaskini unakidhiri na kuwakanyagia chini wale wanyonge. Mtoto anaweza kuwa yatima au wazazi wake hawamjali. Wengine wao hutoroka nyumbani ili kujiepusha na dhuluma za wavyele wao. Hivyo basi hujiingiza katika utendakazi wakiwa wangali wadogo mno kama njia ya pekee ya kujikimu kimaisha.
Watoto hawa huajiriwa kazi pahali pengi kama vile nyumbani, mashambani, na hata viwandani. Katika sehemu hizi watoto hao hupewa kazi kama vile kupalilia, kuvuna, na kusafisha nyumba. Watoto hawa hupewa kazi hizi kila siku na kutekeleza shughuli hizo kwa masaa megi. Wao hufanya kazi kama punda na kubebeshwa mizigo inayowaumiza mwili na kupunguza afya yao. Usishangae mshahara au malipo wanayopata kuwa kidogo na siyo ya kuridhisha. Wengine hupewa na waajiri wao chakula kidogo na kuambiwa kuwa ni sehemu ya mshahara wao wa kutosha. Kweli wanaposema kuwa mnyonge hana haki ndiposa ufukara umekithiri ulimwengu.
Katika hali hii watoto hukumbwa na shida chungu nzima. Hawashughulikiwi bali wanadharauliwa na kutengwa. Wengine wanaonekana kama hayawani. Watoto wanapokosa elimu, kutakuwa na upungufu wa watu waliohitimu latika nyanja mbalimbali za kuendeleza uchumi.
Serikali imechukua hatua mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la ajira ya watoto. Serikali imetoa elimu ya bure ili kila mtoto apate fursa ya kuenda shule. Serikali imewahimiza wazazi nchini kuwapeleka watoto wa umri mbalimbali shule, wataokiuka amri hii watachukuliwa hatua kali. Pesa zimetengwa kugharamia mafumo kwa walimu. Serikali pia imejenga shule za kutosha na vifaa vyote vimetolewa ili kuhakikisha kila mtoto anapata elimu.
Vijana wanao randaranda mitaani wameondolewa na kupelekwa shule. Hata wengine wamepelekwa katika vyuo mbalimbali vya kiufundi ili kuwapa mafunzo. Ni tumaini la serikali kuwa vijana wawe wa kujitegemea na kutegemewa . taifa lenye watoto walioelimika lina nafasi ya kuchangia maendeleo bora duniani. Mola awe nanyi na awalinde. Ahsanteni sana." | Aliwashukuru kwa kuitikia nini | {
"text": [
"wito"
]
} |
1600_swa | HOTUBA YA KATIBU WA SERIKALI KATIKA WIZARA YA USALAMA KWA WAZAZI KATIKA UWANJA WA KASARANI KUHUSU AJIRA YA WATOTO
"Katibu wa serikali katika wizara ya afya, bwana Chemtai, mwenyekiti Bi. Jamila, naibu mwenyekiti na wazazi wapendwa kwa jumla, hamjambo?
Nachukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa siku hii na kuwashukuru kwa kuitikia wito. Nawakaribisha kwa mikono miwili na ningependa kuzungumza nanyi kuhusu ajira ya watoto. Ajira ya watoto wakiwa umri mdogo hasa katika kazi ya sulubu ni janga ambalo linakabili mataifa mengi duniani. Janga hili limekuwa kero katika jamii. Hata hivyo mashirika mbalimbali ya serikali na hata yasiyokuwa ya serikali yamevalia njuga suala hili ili kulitatua.
Ajira ya watoto imewadhalilisha na hata kushusha hadhi yao ya kibinadamu. Ubinadamu wao umetupiliwa mbali na wenye uwezo. Ajira ya watoto inatokana na uchochole wao. Umaskini unakidhiri na kuwakanyagia chini wale wanyonge. Mtoto anaweza kuwa yatima au wazazi wake hawamjali. Wengine wao hutoroka nyumbani ili kujiepusha na dhuluma za wavyele wao. Hivyo basi hujiingiza katika utendakazi wakiwa wangali wadogo mno kama njia ya pekee ya kujikimu kimaisha.
Watoto hawa huajiriwa kazi pahali pengi kama vile nyumbani, mashambani, na hata viwandani. Katika sehemu hizi watoto hao hupewa kazi kama vile kupalilia, kuvuna, na kusafisha nyumba. Watoto hawa hupewa kazi hizi kila siku na kutekeleza shughuli hizo kwa masaa megi. Wao hufanya kazi kama punda na kubebeshwa mizigo inayowaumiza mwili na kupunguza afya yao. Usishangae mshahara au malipo wanayopata kuwa kidogo na siyo ya kuridhisha. Wengine hupewa na waajiri wao chakula kidogo na kuambiwa kuwa ni sehemu ya mshahara wao wa kutosha. Kweli wanaposema kuwa mnyonge hana haki ndiposa ufukara umekithiri ulimwengu.
Katika hali hii watoto hukumbwa na shida chungu nzima. Hawashughulikiwi bali wanadharauliwa na kutengwa. Wengine wanaonekana kama hayawani. Watoto wanapokosa elimu, kutakuwa na upungufu wa watu waliohitimu latika nyanja mbalimbali za kuendeleza uchumi.
Serikali imechukua hatua mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la ajira ya watoto. Serikali imetoa elimu ya bure ili kila mtoto apate fursa ya kuenda shule. Serikali imewahimiza wazazi nchini kuwapeleka watoto wa umri mbalimbali shule, wataokiuka amri hii watachukuliwa hatua kali. Pesa zimetengwa kugharamia mafumo kwa walimu. Serikali pia imejenga shule za kutosha na vifaa vyote vimetolewa ili kuhakikisha kila mtoto anapata elimu.
Vijana wanao randaranda mitaani wameondolewa na kupelekwa shule. Hata wengine wamepelekwa katika vyuo mbalimbali vya kiufundi ili kuwapa mafunzo. Ni tumaini la serikali kuwa vijana wawe wa kujitegemea na kutegemewa . taifa lenye watoto walioelimika lina nafasi ya kuchangia maendeleo bora duniani. Mola awe nanyi na awalinde. Ahsanteni sana." | Ubinadamu wa nani umetupiliwa mbali na wenye uwezo | {
"text": [
"watoto"
]
} |
1600_swa | HOTUBA YA KATIBU WA SERIKALI KATIKA WIZARA YA USALAMA KWA WAZAZI KATIKA UWANJA WA KASARANI KUHUSU AJIRA YA WATOTO
"Katibu wa serikali katika wizara ya afya, bwana Chemtai, mwenyekiti Bi. Jamila, naibu mwenyekiti na wazazi wapendwa kwa jumla, hamjambo?
Nachukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa siku hii na kuwashukuru kwa kuitikia wito. Nawakaribisha kwa mikono miwili na ningependa kuzungumza nanyi kuhusu ajira ya watoto. Ajira ya watoto wakiwa umri mdogo hasa katika kazi ya sulubu ni janga ambalo linakabili mataifa mengi duniani. Janga hili limekuwa kero katika jamii. Hata hivyo mashirika mbalimbali ya serikali na hata yasiyokuwa ya serikali yamevalia njuga suala hili ili kulitatua.
Ajira ya watoto imewadhalilisha na hata kushusha hadhi yao ya kibinadamu. Ubinadamu wao umetupiliwa mbali na wenye uwezo. Ajira ya watoto inatokana na uchochole wao. Umaskini unakidhiri na kuwakanyagia chini wale wanyonge. Mtoto anaweza kuwa yatima au wazazi wake hawamjali. Wengine wao hutoroka nyumbani ili kujiepusha na dhuluma za wavyele wao. Hivyo basi hujiingiza katika utendakazi wakiwa wangali wadogo mno kama njia ya pekee ya kujikimu kimaisha.
Watoto hawa huajiriwa kazi pahali pengi kama vile nyumbani, mashambani, na hata viwandani. Katika sehemu hizi watoto hao hupewa kazi kama vile kupalilia, kuvuna, na kusafisha nyumba. Watoto hawa hupewa kazi hizi kila siku na kutekeleza shughuli hizo kwa masaa megi. Wao hufanya kazi kama punda na kubebeshwa mizigo inayowaumiza mwili na kupunguza afya yao. Usishangae mshahara au malipo wanayopata kuwa kidogo na siyo ya kuridhisha. Wengine hupewa na waajiri wao chakula kidogo na kuambiwa kuwa ni sehemu ya mshahara wao wa kutosha. Kweli wanaposema kuwa mnyonge hana haki ndiposa ufukara umekithiri ulimwengu.
Katika hali hii watoto hukumbwa na shida chungu nzima. Hawashughulikiwi bali wanadharauliwa na kutengwa. Wengine wanaonekana kama hayawani. Watoto wanapokosa elimu, kutakuwa na upungufu wa watu waliohitimu latika nyanja mbalimbali za kuendeleza uchumi.
Serikali imechukua hatua mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la ajira ya watoto. Serikali imetoa elimu ya bure ili kila mtoto apate fursa ya kuenda shule. Serikali imewahimiza wazazi nchini kuwapeleka watoto wa umri mbalimbali shule, wataokiuka amri hii watachukuliwa hatua kali. Pesa zimetengwa kugharamia mafumo kwa walimu. Serikali pia imejenga shule za kutosha na vifaa vyote vimetolewa ili kuhakikisha kila mtoto anapata elimu.
Vijana wanao randaranda mitaani wameondolewa na kupelekwa shule. Hata wengine wamepelekwa katika vyuo mbalimbali vya kiufundi ili kuwapa mafunzo. Ni tumaini la serikali kuwa vijana wawe wa kujitegemea na kutegemewa . taifa lenye watoto walioelimika lina nafasi ya kuchangia maendeleo bora duniani. Mola awe nanyi na awalinde. Ahsanteni sana." | Watoto hupewa kazi lini | {
"text": [
"kila siku"
]
} |
1600_swa | HOTUBA YA KATIBU WA SERIKALI KATIKA WIZARA YA USALAMA KWA WAZAZI KATIKA UWANJA WA KASARANI KUHUSU AJIRA YA WATOTO
"Katibu wa serikali katika wizara ya afya, bwana Chemtai, mwenyekiti Bi. Jamila, naibu mwenyekiti na wazazi wapendwa kwa jumla, hamjambo?
Nachukua fursa hii kumshukuru Maulana kwa siku hii na kuwashukuru kwa kuitikia wito. Nawakaribisha kwa mikono miwili na ningependa kuzungumza nanyi kuhusu ajira ya watoto. Ajira ya watoto wakiwa umri mdogo hasa katika kazi ya sulubu ni janga ambalo linakabili mataifa mengi duniani. Janga hili limekuwa kero katika jamii. Hata hivyo mashirika mbalimbali ya serikali na hata yasiyokuwa ya serikali yamevalia njuga suala hili ili kulitatua.
Ajira ya watoto imewadhalilisha na hata kushusha hadhi yao ya kibinadamu. Ubinadamu wao umetupiliwa mbali na wenye uwezo. Ajira ya watoto inatokana na uchochole wao. Umaskini unakidhiri na kuwakanyagia chini wale wanyonge. Mtoto anaweza kuwa yatima au wazazi wake hawamjali. Wengine wao hutoroka nyumbani ili kujiepusha na dhuluma za wavyele wao. Hivyo basi hujiingiza katika utendakazi wakiwa wangali wadogo mno kama njia ya pekee ya kujikimu kimaisha.
Watoto hawa huajiriwa kazi pahali pengi kama vile nyumbani, mashambani, na hata viwandani. Katika sehemu hizi watoto hao hupewa kazi kama vile kupalilia, kuvuna, na kusafisha nyumba. Watoto hawa hupewa kazi hizi kila siku na kutekeleza shughuli hizo kwa masaa megi. Wao hufanya kazi kama punda na kubebeshwa mizigo inayowaumiza mwili na kupunguza afya yao. Usishangae mshahara au malipo wanayopata kuwa kidogo na siyo ya kuridhisha. Wengine hupewa na waajiri wao chakula kidogo na kuambiwa kuwa ni sehemu ya mshahara wao wa kutosha. Kweli wanaposema kuwa mnyonge hana haki ndiposa ufukara umekithiri ulimwengu.
Katika hali hii watoto hukumbwa na shida chungu nzima. Hawashughulikiwi bali wanadharauliwa na kutengwa. Wengine wanaonekana kama hayawani. Watoto wanapokosa elimu, kutakuwa na upungufu wa watu waliohitimu latika nyanja mbalimbali za kuendeleza uchumi.
Serikali imechukua hatua mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la ajira ya watoto. Serikali imetoa elimu ya bure ili kila mtoto apate fursa ya kuenda shule. Serikali imewahimiza wazazi nchini kuwapeleka watoto wa umri mbalimbali shule, wataokiuka amri hii watachukuliwa hatua kali. Pesa zimetengwa kugharamia mafumo kwa walimu. Serikali pia imejenga shule za kutosha na vifaa vyote vimetolewa ili kuhakikisha kila mtoto anapata elimu.
Vijana wanao randaranda mitaani wameondolewa na kupelekwa shule. Hata wengine wamepelekwa katika vyuo mbalimbali vya kiufundi ili kuwapa mafunzo. Ni tumaini la serikali kuwa vijana wawe wa kujitegemea na kutegemewa . taifa lenye watoto walioelimika lina nafasi ya kuchangia maendeleo bora duniani. Mola awe nanyi na awalinde. Ahsanteni sana." | Katika hali hii watoto hukumbwa na nini chungu nzima | {
"text": [
"shida"
]
} |
1601_swa | HOTUBA YA MWANAFUNZI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA YOHANA MTAKATIFU KUHUSU UIMARISHAJI WA MATOKEO MASOMONI.
"Kwa Mwalimu Mkuu, naibu wa Mwalimu Mkuu, walimu na wanafunzi hamjambo!Leo nina furaha kwa kupata fursa hii ya kuwahutubia kuhusu mambo ya kuzingatia ili kuimarisha masomo. Lengo langu kuu kama mimi kama mwanafunzi ni kuwasihi wanafunzi wenzangu kutia bidii kama mchwa ajengaye kichuguu kwa mate.
Mwanafunzi anafaa kuzingatia nidhamu ili asije akupatikana na makosa yanayoweza kutatiza masomo yake. Wanafunzi wanafata kuheshimu walimu na wanafunzi wenzao. Jambo hili litajenga ushirikiano mzuri miongoni mwa walimu na wanafunzi. Ushirikiano huu utawafanya wasaidiane katika masomo yao. Ni rahisi sana kwa mwanafunzi mwenye nidhamu kusaidiwa na mwalimu. Ukiwa huna nidhamu unaweza kufukuzwa shuleni na hili litatatiza masomo yako. Kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa huwezi kulazimisha mwanafunzi kusoma ni kama kumlazimisha ng’ombe kunywa maji.
Mwanafunzi anafaa kujiepusha na dawa za kulevya. Dawa hizi zinaathiri mwili. Wanaotumia dawa hizi huathiriwa kilikili, kusinzia darasani, kutoenda shuleni na kujihusisha na wizi. Mambo kama haya yanamnyima mwanafunzi haki yake ya kusoma na bila shaka atakuwa na matokeo duni katika mitihani yake. Dawa za kulevya zina madhara mengi katika miili yetu. Dawa hizi pia zinaweza kufanya utiwe mbaroni na hatimaye utakosa kuendelea na masomo.
Jambo la tatu ni kuwa, ninawasihi wanafunzi wenzangu tusiwe kama bendera kufuata upepo. Kuna wanafunzi wengine ambao huiga tabia na mienendo ya wenzao, wengi wao huenda kuzurura mtaani kama mbwakoko asiyejua mahali aendako.
Jambo lingine muhimu ni kuwa, mwanafunzi anafaa awe na vitabu vya kutosha na kutenga muda wake maalum wa kusoma vitabu hivyo. Mwanafunzi mwema anafaa kuweka utaratibu wa masomo ya ziada katika sehemu ambazo hakuelewa mwalimu akifunza. Iwapo utakumbana na shida flani, shirikiana na mwalimu ili uweze kusaidika. Mwanafunzi mwema vile vile anafaa kuunda makundi mbalimbali ambayo yatahusisha masomo mbalimbali. Makundi haya yatasaidia wanafunzi kuelewa sehemu ambazo hakuwa ameelewa.
Wanafunzi wa kidato cha nne ninadhani mnajitahidi kwa jino na ukucha kufua dafu ili mfaulu katika mtihani wenu wa kitaifa (KCSE). Siku ya mtihani inapofika ninataka kuona kila mtahiniwa akipinda mgongo kama upinde wa kuvamia va bin vu mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo.
Jambo muhimu sana ni kuwa mwanafunzi wa shule ni lazima ahudhurie vipindi vyote vya masomo. Hali hii inaweza endelea vyema kama wazazi watawalipia wanafunzi karo. Mwanafunzi akitumwa nyumbani kila mara, atakosa kusoma masomo mengine na atakuwa na matokeo duni. Pia, walimu wanafaa kuhudhuria vipindi vyote vya masomo ile waweze kukamilisha silabasi mapema na kwa wakati ufaao. Hali hii itawafanya wanafunzi wawe tayari kufanya mitihani yao. Wazazi pia washauriwe wasiwape wanafunzi kazi nyingi za nyumbani kwa kuwa watapoteza muda wao mwingi wa masomo. Nina uhakika kuwa haya yote yatazingatiwa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Ninawatakia kila la heri, Mola awe nanyi." | Aliwahutubia kuhusu mambo ya kuzingatia ili kuimarisha nini | {
"text": [
"masomo"
]
} |
1601_swa | HOTUBA YA MWANAFUNZI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA YOHANA MTAKATIFU KUHUSU UIMARISHAJI WA MATOKEO MASOMONI.
"Kwa Mwalimu Mkuu, naibu wa Mwalimu Mkuu, walimu na wanafunzi hamjambo!Leo nina furaha kwa kupata fursa hii ya kuwahutubia kuhusu mambo ya kuzingatia ili kuimarisha masomo. Lengo langu kuu kama mimi kama mwanafunzi ni kuwasihi wanafunzi wenzangu kutia bidii kama mchwa ajengaye kichuguu kwa mate.
Mwanafunzi anafaa kuzingatia nidhamu ili asije akupatikana na makosa yanayoweza kutatiza masomo yake. Wanafunzi wanafata kuheshimu walimu na wanafunzi wenzao. Jambo hili litajenga ushirikiano mzuri miongoni mwa walimu na wanafunzi. Ushirikiano huu utawafanya wasaidiane katika masomo yao. Ni rahisi sana kwa mwanafunzi mwenye nidhamu kusaidiwa na mwalimu. Ukiwa huna nidhamu unaweza kufukuzwa shuleni na hili litatatiza masomo yako. Kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa huwezi kulazimisha mwanafunzi kusoma ni kama kumlazimisha ng’ombe kunywa maji.
Mwanafunzi anafaa kujiepusha na dawa za kulevya. Dawa hizi zinaathiri mwili. Wanaotumia dawa hizi huathiriwa kilikili, kusinzia darasani, kutoenda shuleni na kujihusisha na wizi. Mambo kama haya yanamnyima mwanafunzi haki yake ya kusoma na bila shaka atakuwa na matokeo duni katika mitihani yake. Dawa za kulevya zina madhara mengi katika miili yetu. Dawa hizi pia zinaweza kufanya utiwe mbaroni na hatimaye utakosa kuendelea na masomo.
Jambo la tatu ni kuwa, ninawasihi wanafunzi wenzangu tusiwe kama bendera kufuata upepo. Kuna wanafunzi wengine ambao huiga tabia na mienendo ya wenzao, wengi wao huenda kuzurura mtaani kama mbwakoko asiyejua mahali aendako.
Jambo lingine muhimu ni kuwa, mwanafunzi anafaa awe na vitabu vya kutosha na kutenga muda wake maalum wa kusoma vitabu hivyo. Mwanafunzi mwema anafaa kuweka utaratibu wa masomo ya ziada katika sehemu ambazo hakuelewa mwalimu akifunza. Iwapo utakumbana na shida flani, shirikiana na mwalimu ili uweze kusaidika. Mwanafunzi mwema vile vile anafaa kuunda makundi mbalimbali ambayo yatahusisha masomo mbalimbali. Makundi haya yatasaidia wanafunzi kuelewa sehemu ambazo hakuwa ameelewa.
Wanafunzi wa kidato cha nne ninadhani mnajitahidi kwa jino na ukucha kufua dafu ili mfaulu katika mtihani wenu wa kitaifa (KCSE). Siku ya mtihani inapofika ninataka kuona kila mtahiniwa akipinda mgongo kama upinde wa kuvamia va bin vu mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo.
Jambo muhimu sana ni kuwa mwanafunzi wa shule ni lazima ahudhurie vipindi vyote vya masomo. Hali hii inaweza endelea vyema kama wazazi watawalipia wanafunzi karo. Mwanafunzi akitumwa nyumbani kila mara, atakosa kusoma masomo mengine na atakuwa na matokeo duni. Pia, walimu wanafaa kuhudhuria vipindi vyote vya masomo ile waweze kukamilisha silabasi mapema na kwa wakati ufaao. Hali hii itawafanya wanafunzi wawe tayari kufanya mitihani yao. Wazazi pia washauriwe wasiwape wanafunzi kazi nyingi za nyumbani kwa kuwa watapoteza muda wao mwingi wa masomo. Nina uhakika kuwa haya yote yatazingatiwa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Ninawatakia kila la heri, Mola awe nanyi." | Nani anafaa kuzingatia nidhamu | {
"text": [
"mwanafunzi"
]
} |
1601_swa | HOTUBA YA MWANAFUNZI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA YOHANA MTAKATIFU KUHUSU UIMARISHAJI WA MATOKEO MASOMONI.
"Kwa Mwalimu Mkuu, naibu wa Mwalimu Mkuu, walimu na wanafunzi hamjambo!Leo nina furaha kwa kupata fursa hii ya kuwahutubia kuhusu mambo ya kuzingatia ili kuimarisha masomo. Lengo langu kuu kama mimi kama mwanafunzi ni kuwasihi wanafunzi wenzangu kutia bidii kama mchwa ajengaye kichuguu kwa mate.
Mwanafunzi anafaa kuzingatia nidhamu ili asije akupatikana na makosa yanayoweza kutatiza masomo yake. Wanafunzi wanafata kuheshimu walimu na wanafunzi wenzao. Jambo hili litajenga ushirikiano mzuri miongoni mwa walimu na wanafunzi. Ushirikiano huu utawafanya wasaidiane katika masomo yao. Ni rahisi sana kwa mwanafunzi mwenye nidhamu kusaidiwa na mwalimu. Ukiwa huna nidhamu unaweza kufukuzwa shuleni na hili litatatiza masomo yako. Kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa huwezi kulazimisha mwanafunzi kusoma ni kama kumlazimisha ng’ombe kunywa maji.
Mwanafunzi anafaa kujiepusha na dawa za kulevya. Dawa hizi zinaathiri mwili. Wanaotumia dawa hizi huathiriwa kilikili, kusinzia darasani, kutoenda shuleni na kujihusisha na wizi. Mambo kama haya yanamnyima mwanafunzi haki yake ya kusoma na bila shaka atakuwa na matokeo duni katika mitihani yake. Dawa za kulevya zina madhara mengi katika miili yetu. Dawa hizi pia zinaweza kufanya utiwe mbaroni na hatimaye utakosa kuendelea na masomo.
Jambo la tatu ni kuwa, ninawasihi wanafunzi wenzangu tusiwe kama bendera kufuata upepo. Kuna wanafunzi wengine ambao huiga tabia na mienendo ya wenzao, wengi wao huenda kuzurura mtaani kama mbwakoko asiyejua mahali aendako.
Jambo lingine muhimu ni kuwa, mwanafunzi anafaa awe na vitabu vya kutosha na kutenga muda wake maalum wa kusoma vitabu hivyo. Mwanafunzi mwema anafaa kuweka utaratibu wa masomo ya ziada katika sehemu ambazo hakuelewa mwalimu akifunza. Iwapo utakumbana na shida flani, shirikiana na mwalimu ili uweze kusaidika. Mwanafunzi mwema vile vile anafaa kuunda makundi mbalimbali ambayo yatahusisha masomo mbalimbali. Makundi haya yatasaidia wanafunzi kuelewa sehemu ambazo hakuwa ameelewa.
Wanafunzi wa kidato cha nne ninadhani mnajitahidi kwa jino na ukucha kufua dafu ili mfaulu katika mtihani wenu wa kitaifa (KCSE). Siku ya mtihani inapofika ninataka kuona kila mtahiniwa akipinda mgongo kama upinde wa kuvamia va bin vu mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo.
Jambo muhimu sana ni kuwa mwanafunzi wa shule ni lazima ahudhurie vipindi vyote vya masomo. Hali hii inaweza endelea vyema kama wazazi watawalipia wanafunzi karo. Mwanafunzi akitumwa nyumbani kila mara, atakosa kusoma masomo mengine na atakuwa na matokeo duni. Pia, walimu wanafaa kuhudhuria vipindi vyote vya masomo ile waweze kukamilisha silabasi mapema na kwa wakati ufaao. Hali hii itawafanya wanafunzi wawe tayari kufanya mitihani yao. Wazazi pia washauriwe wasiwape wanafunzi kazi nyingi za nyumbani kwa kuwa watapoteza muda wao mwingi wa masomo. Nina uhakika kuwa haya yote yatazingatiwa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Ninawatakia kila la heri, Mola awe nanyi." | Mwanafunzi anafaa kujiepusha na nini | {
"text": [
"dawa za kulevya"
]
} |
1601_swa | HOTUBA YA MWANAFUNZI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA YOHANA MTAKATIFU KUHUSU UIMARISHAJI WA MATOKEO MASOMONI.
"Kwa Mwalimu Mkuu, naibu wa Mwalimu Mkuu, walimu na wanafunzi hamjambo!Leo nina furaha kwa kupata fursa hii ya kuwahutubia kuhusu mambo ya kuzingatia ili kuimarisha masomo. Lengo langu kuu kama mimi kama mwanafunzi ni kuwasihi wanafunzi wenzangu kutia bidii kama mchwa ajengaye kichuguu kwa mate.
Mwanafunzi anafaa kuzingatia nidhamu ili asije akupatikana na makosa yanayoweza kutatiza masomo yake. Wanafunzi wanafata kuheshimu walimu na wanafunzi wenzao. Jambo hili litajenga ushirikiano mzuri miongoni mwa walimu na wanafunzi. Ushirikiano huu utawafanya wasaidiane katika masomo yao. Ni rahisi sana kwa mwanafunzi mwenye nidhamu kusaidiwa na mwalimu. Ukiwa huna nidhamu unaweza kufukuzwa shuleni na hili litatatiza masomo yako. Kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa huwezi kulazimisha mwanafunzi kusoma ni kama kumlazimisha ng’ombe kunywa maji.
Mwanafunzi anafaa kujiepusha na dawa za kulevya. Dawa hizi zinaathiri mwili. Wanaotumia dawa hizi huathiriwa kilikili, kusinzia darasani, kutoenda shuleni na kujihusisha na wizi. Mambo kama haya yanamnyima mwanafunzi haki yake ya kusoma na bila shaka atakuwa na matokeo duni katika mitihani yake. Dawa za kulevya zina madhara mengi katika miili yetu. Dawa hizi pia zinaweza kufanya utiwe mbaroni na hatimaye utakosa kuendelea na masomo.
Jambo la tatu ni kuwa, ninawasihi wanafunzi wenzangu tusiwe kama bendera kufuata upepo. Kuna wanafunzi wengine ambao huiga tabia na mienendo ya wenzao, wengi wao huenda kuzurura mtaani kama mbwakoko asiyejua mahali aendako.
Jambo lingine muhimu ni kuwa, mwanafunzi anafaa awe na vitabu vya kutosha na kutenga muda wake maalum wa kusoma vitabu hivyo. Mwanafunzi mwema anafaa kuweka utaratibu wa masomo ya ziada katika sehemu ambazo hakuelewa mwalimu akifunza. Iwapo utakumbana na shida flani, shirikiana na mwalimu ili uweze kusaidika. Mwanafunzi mwema vile vile anafaa kuunda makundi mbalimbali ambayo yatahusisha masomo mbalimbali. Makundi haya yatasaidia wanafunzi kuelewa sehemu ambazo hakuwa ameelewa.
Wanafunzi wa kidato cha nne ninadhani mnajitahidi kwa jino na ukucha kufua dafu ili mfaulu katika mtihani wenu wa kitaifa (KCSE). Siku ya mtihani inapofika ninataka kuona kila mtahiniwa akipinda mgongo kama upinde wa kuvamia va bin vu mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo.
Jambo muhimu sana ni kuwa mwanafunzi wa shule ni lazima ahudhurie vipindi vyote vya masomo. Hali hii inaweza endelea vyema kama wazazi watawalipia wanafunzi karo. Mwanafunzi akitumwa nyumbani kila mara, atakosa kusoma masomo mengine na atakuwa na matokeo duni. Pia, walimu wanafaa kuhudhuria vipindi vyote vya masomo ile waweze kukamilisha silabasi mapema na kwa wakati ufaao. Hali hii itawafanya wanafunzi wawe tayari kufanya mitihani yao. Wazazi pia washauriwe wasiwape wanafunzi kazi nyingi za nyumbani kwa kuwa watapoteza muda wao mwingi wa masomo. Nina uhakika kuwa haya yote yatazingatiwa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Ninawatakia kila la heri, Mola awe nanyi." | Nini husaidia mwanafunzi kuelewa sehemu ambayo hakuwa ameelewa | {
"text": [
"makundi"
]
} |
1601_swa | HOTUBA YA MWANAFUNZI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA YOHANA MTAKATIFU KUHUSU UIMARISHAJI WA MATOKEO MASOMONI.
"Kwa Mwalimu Mkuu, naibu wa Mwalimu Mkuu, walimu na wanafunzi hamjambo!Leo nina furaha kwa kupata fursa hii ya kuwahutubia kuhusu mambo ya kuzingatia ili kuimarisha masomo. Lengo langu kuu kama mimi kama mwanafunzi ni kuwasihi wanafunzi wenzangu kutia bidii kama mchwa ajengaye kichuguu kwa mate.
Mwanafunzi anafaa kuzingatia nidhamu ili asije akupatikana na makosa yanayoweza kutatiza masomo yake. Wanafunzi wanafata kuheshimu walimu na wanafunzi wenzao. Jambo hili litajenga ushirikiano mzuri miongoni mwa walimu na wanafunzi. Ushirikiano huu utawafanya wasaidiane katika masomo yao. Ni rahisi sana kwa mwanafunzi mwenye nidhamu kusaidiwa na mwalimu. Ukiwa huna nidhamu unaweza kufukuzwa shuleni na hili litatatiza masomo yako. Kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa huwezi kulazimisha mwanafunzi kusoma ni kama kumlazimisha ng’ombe kunywa maji.
Mwanafunzi anafaa kujiepusha na dawa za kulevya. Dawa hizi zinaathiri mwili. Wanaotumia dawa hizi huathiriwa kilikili, kusinzia darasani, kutoenda shuleni na kujihusisha na wizi. Mambo kama haya yanamnyima mwanafunzi haki yake ya kusoma na bila shaka atakuwa na matokeo duni katika mitihani yake. Dawa za kulevya zina madhara mengi katika miili yetu. Dawa hizi pia zinaweza kufanya utiwe mbaroni na hatimaye utakosa kuendelea na masomo.
Jambo la tatu ni kuwa, ninawasihi wanafunzi wenzangu tusiwe kama bendera kufuata upepo. Kuna wanafunzi wengine ambao huiga tabia na mienendo ya wenzao, wengi wao huenda kuzurura mtaani kama mbwakoko asiyejua mahali aendako.
Jambo lingine muhimu ni kuwa, mwanafunzi anafaa awe na vitabu vya kutosha na kutenga muda wake maalum wa kusoma vitabu hivyo. Mwanafunzi mwema anafaa kuweka utaratibu wa masomo ya ziada katika sehemu ambazo hakuelewa mwalimu akifunza. Iwapo utakumbana na shida flani, shirikiana na mwalimu ili uweze kusaidika. Mwanafunzi mwema vile vile anafaa kuunda makundi mbalimbali ambayo yatahusisha masomo mbalimbali. Makundi haya yatasaidia wanafunzi kuelewa sehemu ambazo hakuwa ameelewa.
Wanafunzi wa kidato cha nne ninadhani mnajitahidi kwa jino na ukucha kufua dafu ili mfaulu katika mtihani wenu wa kitaifa (KCSE). Siku ya mtihani inapofika ninataka kuona kila mtahiniwa akipinda mgongo kama upinde wa kuvamia va bin vu mithili ya nzige wavamiavyo shamba la mihogo.
Jambo muhimu sana ni kuwa mwanafunzi wa shule ni lazima ahudhurie vipindi vyote vya masomo. Hali hii inaweza endelea vyema kama wazazi watawalipia wanafunzi karo. Mwanafunzi akitumwa nyumbani kila mara, atakosa kusoma masomo mengine na atakuwa na matokeo duni. Pia, walimu wanafaa kuhudhuria vipindi vyote vya masomo ile waweze kukamilisha silabasi mapema na kwa wakati ufaao. Hali hii itawafanya wanafunzi wawe tayari kufanya mitihani yao. Wazazi pia washauriwe wasiwape wanafunzi kazi nyingi za nyumbani kwa kuwa watapoteza muda wao mwingi wa masomo. Nina uhakika kuwa haya yote yatazingatiwa. Kwa kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Ninawatakia kila la heri, Mola awe nanyi." | Nani watawalipia wanafunzi karo | {
"text": [
"wazazi"
]
} |
1602_swa | HOTUBA YA NAIBU WA MWALIMU MKUU SIKU YA KUSHEHEREKEA MATOKEO BORA
"Mwalimu Mkuu, wakuu wa idara, walimu wenzangu, wazazi na wanafunzi hamjamboni? Namshukuru mungu kwa siku ya leo ambayo ametuwezesha kukutana ili tuweze kusheherekea siku hii tuliyoingia kwa hamu na gamu. Haijakuwa kazi rahisi kwetu sisi kama walimu pamoja na wanafunzi na wazazi wao, sote tulijitolea kwa hali na mali.
Kwanza ni kujitolea kwa walimu wetu hapa shuleni. Walimu wetu walijitolea sana kwa wanafunzi hao ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanakuwa na kazi rahisi. Walishinda shuleni ni kana kwamba ni nyumbani kwao. Walimu walirauka na kutoka shuleni usiku kwa kuwa walikuwa na wanafunzi hao darwani
Pili ni jinsi ambavyo wazazi wao walitelekeza jukumu lao. Kulipa karo za watoto wao kwa wakati uliofaa. Walinunulia watoto wao kitabu vilivyotakikana kudurusu tena vya kutosha. Pia walishinda wamepongeza walimu kwa matokeo mazuri ya wanao ambayo ilizidi kuwapa walimu motisha.
Tatu ni wanafunzi wetu walitia bidii sana masomoni mwao. Pia wao walikuwa wanafunzi wa kwanza shule nzima kuingia shuleni na kutulia tuli darasani. Walihakikisha wametangulia walimu wao shuleni ili wapatwe kama wameshajianda kwa somo la siku hiyo. Walionekana wakitembea haraka haraka hata kama wangeenda msalani ili wasipoteze muda wowote. Wao pia walitoka shule usiku.
Jingine ni kuwa wanafunzi hao walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Waliwaheshimu walimu shuleni, wanafunzi wenzao, wafanyakazi wa shule na pia hatujawai pata malalamishi yeyote kutoka kwa wazazi wao eti kuwa hawana nidhamu. Kila kitu ambacho walimu waliwaambia walihakikisha kuwa wamefanya tena kwa njia ifaalo. Tungependa wanafunzi wa hizo darasa zingine waige mfano huo.
Mwisho ni maelewano iliyokuwa kati ya wanafunzi na walimu. Walielewana mno hadi wanafunzi hao waliongea na walimu hao wakasema, wao wanataka waje shule hadi
Jumapili na walimu walikubaliana na wanafunzi. Tunaomba tena wanafunzi na wazazi wa mwaka huu, tafadhali fuateni nyayo ya wanafunzi hao ili tena tuweze kupata fursa hii ya kusheherekea na pia tuweze kusikia jina la shule yetu imeinuliwa kwa mara nyingine
Nawashukuru wote waliohudhuria kwa kutusaidia kuinua jina ya shule yetu juu. Asanteni kwa mara nyingine. | Wazazi walikuwa na jukumu lipi kwa watoto wao | {
"text": [
"Kulipa karo shuleni"
]
} |
1602_swa | HOTUBA YA NAIBU WA MWALIMU MKUU SIKU YA KUSHEHEREKEA MATOKEO BORA
"Mwalimu Mkuu, wakuu wa idara, walimu wenzangu, wazazi na wanafunzi hamjamboni? Namshukuru mungu kwa siku ya leo ambayo ametuwezesha kukutana ili tuweze kusheherekea siku hii tuliyoingia kwa hamu na gamu. Haijakuwa kazi rahisi kwetu sisi kama walimu pamoja na wanafunzi na wazazi wao, sote tulijitolea kwa hali na mali.
Kwanza ni kujitolea kwa walimu wetu hapa shuleni. Walimu wetu walijitolea sana kwa wanafunzi hao ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanakuwa na kazi rahisi. Walishinda shuleni ni kana kwamba ni nyumbani kwao. Walimu walirauka na kutoka shuleni usiku kwa kuwa walikuwa na wanafunzi hao darwani
Pili ni jinsi ambavyo wazazi wao walitelekeza jukumu lao. Kulipa karo za watoto wao kwa wakati uliofaa. Walinunulia watoto wao kitabu vilivyotakikana kudurusu tena vya kutosha. Pia walishinda wamepongeza walimu kwa matokeo mazuri ya wanao ambayo ilizidi kuwapa walimu motisha.
Tatu ni wanafunzi wetu walitia bidii sana masomoni mwao. Pia wao walikuwa wanafunzi wa kwanza shule nzima kuingia shuleni na kutulia tuli darasani. Walihakikisha wametangulia walimu wao shuleni ili wapatwe kama wameshajianda kwa somo la siku hiyo. Walionekana wakitembea haraka haraka hata kama wangeenda msalani ili wasipoteze muda wowote. Wao pia walitoka shule usiku.
Jingine ni kuwa wanafunzi hao walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Waliwaheshimu walimu shuleni, wanafunzi wenzao, wafanyakazi wa shule na pia hatujawai pata malalamishi yeyote kutoka kwa wazazi wao eti kuwa hawana nidhamu. Kila kitu ambacho walimu waliwaambia walihakikisha kuwa wamefanya tena kwa njia ifaalo. Tungependa wanafunzi wa hizo darasa zingine waige mfano huo.
Mwisho ni maelewano iliyokuwa kati ya wanafunzi na walimu. Walielewana mno hadi wanafunzi hao waliongea na walimu hao wakasema, wao wanataka waje shule hadi
Jumapili na walimu walikubaliana na wanafunzi. Tunaomba tena wanafunzi na wazazi wa mwaka huu, tafadhali fuateni nyayo ya wanafunzi hao ili tena tuweze kupata fursa hii ya kusheherekea na pia tuweze kusikia jina la shule yetu imeinuliwa kwa mara nyingine
Nawashukuru wote waliohudhuria kwa kutusaidia kuinua jina ya shule yetu juu. Asanteni kwa mara nyingine. | Wazazi, walimu na wanafunzi walikuwa na lengo lipi kukutana | {
"text": [
"Kusherehekea"
]
} |
1602_swa | HOTUBA YA NAIBU WA MWALIMU MKUU SIKU YA KUSHEHEREKEA MATOKEO BORA
"Mwalimu Mkuu, wakuu wa idara, walimu wenzangu, wazazi na wanafunzi hamjamboni? Namshukuru mungu kwa siku ya leo ambayo ametuwezesha kukutana ili tuweze kusheherekea siku hii tuliyoingia kwa hamu na gamu. Haijakuwa kazi rahisi kwetu sisi kama walimu pamoja na wanafunzi na wazazi wao, sote tulijitolea kwa hali na mali.
Kwanza ni kujitolea kwa walimu wetu hapa shuleni. Walimu wetu walijitolea sana kwa wanafunzi hao ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanakuwa na kazi rahisi. Walishinda shuleni ni kana kwamba ni nyumbani kwao. Walimu walirauka na kutoka shuleni usiku kwa kuwa walikuwa na wanafunzi hao darwani
Pili ni jinsi ambavyo wazazi wao walitelekeza jukumu lao. Kulipa karo za watoto wao kwa wakati uliofaa. Walinunulia watoto wao kitabu vilivyotakikana kudurusu tena vya kutosha. Pia walishinda wamepongeza walimu kwa matokeo mazuri ya wanao ambayo ilizidi kuwapa walimu motisha.
Tatu ni wanafunzi wetu walitia bidii sana masomoni mwao. Pia wao walikuwa wanafunzi wa kwanza shule nzima kuingia shuleni na kutulia tuli darasani. Walihakikisha wametangulia walimu wao shuleni ili wapatwe kama wameshajianda kwa somo la siku hiyo. Walionekana wakitembea haraka haraka hata kama wangeenda msalani ili wasipoteze muda wowote. Wao pia walitoka shule usiku.
Jingine ni kuwa wanafunzi hao walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Waliwaheshimu walimu shuleni, wanafunzi wenzao, wafanyakazi wa shule na pia hatujawai pata malalamishi yeyote kutoka kwa wazazi wao eti kuwa hawana nidhamu. Kila kitu ambacho walimu waliwaambia walihakikisha kuwa wamefanya tena kwa njia ifaalo. Tungependa wanafunzi wa hizo darasa zingine waige mfano huo.
Mwisho ni maelewano iliyokuwa kati ya wanafunzi na walimu. Walielewana mno hadi wanafunzi hao waliongea na walimu hao wakasema, wao wanataka waje shule hadi
Jumapili na walimu walikubaliana na wanafunzi. Tunaomba tena wanafunzi na wazazi wa mwaka huu, tafadhali fuateni nyayo ya wanafunzi hao ili tena tuweze kupata fursa hii ya kusheherekea na pia tuweze kusikia jina la shule yetu imeinuliwa kwa mara nyingine
Nawashukuru wote waliohudhuria kwa kutusaidia kuinua jina ya shule yetu juu. Asanteni kwa mara nyingine. | Nani walikuwa wa kwanza kufika shuleni | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
1602_swa | HOTUBA YA NAIBU WA MWALIMU MKUU SIKU YA KUSHEHEREKEA MATOKEO BORA
"Mwalimu Mkuu, wakuu wa idara, walimu wenzangu, wazazi na wanafunzi hamjamboni? Namshukuru mungu kwa siku ya leo ambayo ametuwezesha kukutana ili tuweze kusheherekea siku hii tuliyoingia kwa hamu na gamu. Haijakuwa kazi rahisi kwetu sisi kama walimu pamoja na wanafunzi na wazazi wao, sote tulijitolea kwa hali na mali.
Kwanza ni kujitolea kwa walimu wetu hapa shuleni. Walimu wetu walijitolea sana kwa wanafunzi hao ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanakuwa na kazi rahisi. Walishinda shuleni ni kana kwamba ni nyumbani kwao. Walimu walirauka na kutoka shuleni usiku kwa kuwa walikuwa na wanafunzi hao darwani
Pili ni jinsi ambavyo wazazi wao walitelekeza jukumu lao. Kulipa karo za watoto wao kwa wakati uliofaa. Walinunulia watoto wao kitabu vilivyotakikana kudurusu tena vya kutosha. Pia walishinda wamepongeza walimu kwa matokeo mazuri ya wanao ambayo ilizidi kuwapa walimu motisha.
Tatu ni wanafunzi wetu walitia bidii sana masomoni mwao. Pia wao walikuwa wanafunzi wa kwanza shule nzima kuingia shuleni na kutulia tuli darasani. Walihakikisha wametangulia walimu wao shuleni ili wapatwe kama wameshajianda kwa somo la siku hiyo. Walionekana wakitembea haraka haraka hata kama wangeenda msalani ili wasipoteze muda wowote. Wao pia walitoka shule usiku.
Jingine ni kuwa wanafunzi hao walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Waliwaheshimu walimu shuleni, wanafunzi wenzao, wafanyakazi wa shule na pia hatujawai pata malalamishi yeyote kutoka kwa wazazi wao eti kuwa hawana nidhamu. Kila kitu ambacho walimu waliwaambia walihakikisha kuwa wamefanya tena kwa njia ifaalo. Tungependa wanafunzi wa hizo darasa zingine waige mfano huo.
Mwisho ni maelewano iliyokuwa kati ya wanafunzi na walimu. Walielewana mno hadi wanafunzi hao waliongea na walimu hao wakasema, wao wanataka waje shule hadi
Jumapili na walimu walikubaliana na wanafunzi. Tunaomba tena wanafunzi na wazazi wa mwaka huu, tafadhali fuateni nyayo ya wanafunzi hao ili tena tuweze kupata fursa hii ya kusheherekea na pia tuweze kusikia jina la shule yetu imeinuliwa kwa mara nyingine
Nawashukuru wote waliohudhuria kwa kutusaidia kuinua jina ya shule yetu juu. Asanteni kwa mara nyingine. | Wanafunzi wakiwa shuleni waliwaheshimu nani | {
"text": [
"Walimu na wanafunzi wenzao"
]
} |
1602_swa | HOTUBA YA NAIBU WA MWALIMU MKUU SIKU YA KUSHEHEREKEA MATOKEO BORA
"Mwalimu Mkuu, wakuu wa idara, walimu wenzangu, wazazi na wanafunzi hamjamboni? Namshukuru mungu kwa siku ya leo ambayo ametuwezesha kukutana ili tuweze kusheherekea siku hii tuliyoingia kwa hamu na gamu. Haijakuwa kazi rahisi kwetu sisi kama walimu pamoja na wanafunzi na wazazi wao, sote tulijitolea kwa hali na mali.
Kwanza ni kujitolea kwa walimu wetu hapa shuleni. Walimu wetu walijitolea sana kwa wanafunzi hao ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanakuwa na kazi rahisi. Walishinda shuleni ni kana kwamba ni nyumbani kwao. Walimu walirauka na kutoka shuleni usiku kwa kuwa walikuwa na wanafunzi hao darwani
Pili ni jinsi ambavyo wazazi wao walitelekeza jukumu lao. Kulipa karo za watoto wao kwa wakati uliofaa. Walinunulia watoto wao kitabu vilivyotakikana kudurusu tena vya kutosha. Pia walishinda wamepongeza walimu kwa matokeo mazuri ya wanao ambayo ilizidi kuwapa walimu motisha.
Tatu ni wanafunzi wetu walitia bidii sana masomoni mwao. Pia wao walikuwa wanafunzi wa kwanza shule nzima kuingia shuleni na kutulia tuli darasani. Walihakikisha wametangulia walimu wao shuleni ili wapatwe kama wameshajianda kwa somo la siku hiyo. Walionekana wakitembea haraka haraka hata kama wangeenda msalani ili wasipoteze muda wowote. Wao pia walitoka shule usiku.
Jingine ni kuwa wanafunzi hao walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sana. Waliwaheshimu walimu shuleni, wanafunzi wenzao, wafanyakazi wa shule na pia hatujawai pata malalamishi yeyote kutoka kwa wazazi wao eti kuwa hawana nidhamu. Kila kitu ambacho walimu waliwaambia walihakikisha kuwa wamefanya tena kwa njia ifaalo. Tungependa wanafunzi wa hizo darasa zingine waige mfano huo.
Mwisho ni maelewano iliyokuwa kati ya wanafunzi na walimu. Walielewana mno hadi wanafunzi hao waliongea na walimu hao wakasema, wao wanataka waje shule hadi
Jumapili na walimu walikubaliana na wanafunzi. Tunaomba tena wanafunzi na wazazi wa mwaka huu, tafadhali fuateni nyayo ya wanafunzi hao ili tena tuweze kupata fursa hii ya kusheherekea na pia tuweze kusikia jina la shule yetu imeinuliwa kwa mara nyingine
Nawashukuru wote waliohudhuria kwa kutusaidia kuinua jina ya shule yetu juu. Asanteni kwa mara nyingine. | Walimu waliafikiana na wanafunzi kuja shuleni hadi siku ipi | {
"text": [
"Jumapili"
]
} |
1604_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au, mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira yanapaswa kuekwa yakiwa safi, tusipo tunaweza pata madhara mengi.
Kwanza unaweza kupata magonjwa mengi kwa mfano kipindupindu, malaria na kadhalika. Ukipata ugonjwa wowote kati ya hayo unaweza kupiga dunia teke. Baadhi ya magonjwa hayo huletwa na maji machafu. Kwa hivyo tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili wtu wengi wasiage dunia.
Tusiposafisha mazingira yetu, watoto wadogo ndio watakaokuwa taabani kwani wataiga mfano wetu wa kuchafua mazingira. Wazazi wanafaa kuwa mfano kwa watoto wao.
Pia kunao walio na tabia ya kwenda haja kando ya barabara. Tabia hii ni mbaya sana. Ili kuzuia tabia hii, tunapaswa kujenga vyoo vingi.
Pia tunapaswa kupanda miti ili kuwe na mvua nyingi ili tupate maji ya kuisafisha mazingira.
| Tusipoweka mazingira yawe safi tunaweza pata nini | {
"text": [
"magonjwa mengi"
]
} |
1604_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au, mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira yanapaswa kuekwa yakiwa safi, tusipo tunaweza pata madhara mengi.
Kwanza unaweza kupata magonjwa mengi kwa mfano kipindupindu, malaria na kadhalika. Ukipata ugonjwa wowote kati ya hayo unaweza kupiga dunia teke. Baadhi ya magonjwa hayo huletwa na maji machafu. Kwa hivyo tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili wtu wengi wasiage dunia.
Tusiposafisha mazingira yetu, watoto wadogo ndio watakaokuwa taabani kwani wataiga mfano wetu wa kuchafua mazingira. Wazazi wanafaa kuwa mfano kwa watoto wao.
Pia kunao walio na tabia ya kwenda haja kando ya barabara. Tabia hii ni mbaya sana. Ili kuzuia tabia hii, tunapaswa kujenga vyoo vingi.
Pia tunapaswa kupanda miti ili kuwe na mvua nyingi ili tupate maji ya kuisafisha mazingira.
| Mtu akipata kipindupindu hufanya nini | {
"text": [
"huendesha"
]
} |
1604_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au, mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira yanapaswa kuekwa yakiwa safi, tusipo tunaweza pata madhara mengi.
Kwanza unaweza kupata magonjwa mengi kwa mfano kipindupindu, malaria na kadhalika. Ukipata ugonjwa wowote kati ya hayo unaweza kupiga dunia teke. Baadhi ya magonjwa hayo huletwa na maji machafu. Kwa hivyo tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili wtu wengi wasiage dunia.
Tusiposafisha mazingira yetu, watoto wadogo ndio watakaokuwa taabani kwani wataiga mfano wetu wa kuchafua mazingira. Wazazi wanafaa kuwa mfano kwa watoto wao.
Pia kunao walio na tabia ya kwenda haja kando ya barabara. Tabia hii ni mbaya sana. Ili kuzuia tabia hii, tunapaswa kujenga vyoo vingi.
Pia tunapaswa kupanda miti ili kuwe na mvua nyingi ili tupate maji ya kuisafisha mazingira.
| Nani anapaswa kuwa mfano kwa watoto wao | {
"text": [
"mzazi"
]
} |
1604_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au, mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira yanapaswa kuekwa yakiwa safi, tusipo tunaweza pata madhara mengi.
Kwanza unaweza kupata magonjwa mengi kwa mfano kipindupindu, malaria na kadhalika. Ukipata ugonjwa wowote kati ya hayo unaweza kupiga dunia teke. Baadhi ya magonjwa hayo huletwa na maji machafu. Kwa hivyo tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili wtu wengi wasiage dunia.
Tusiposafisha mazingira yetu, watoto wadogo ndio watakaokuwa taabani kwani wataiga mfano wetu wa kuchafua mazingira. Wazazi wanafaa kuwa mfano kwa watoto wao.
Pia kunao walio na tabia ya kwenda haja kando ya barabara. Tabia hii ni mbaya sana. Ili kuzuia tabia hii, tunapaswa kujenga vyoo vingi.
Pia tunapaswa kupanda miti ili kuwe na mvua nyingi ili tupate maji ya kuisafisha mazingira.
| Watoto watakua na tabia mbaya ya kuchafua mazingira lini | {
"text": [
"tusipoyang'arisha mazingira"
]
} |
1604_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au, mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Mazingira yanapaswa kuekwa yakiwa safi, tusipo tunaweza pata madhara mengi.
Kwanza unaweza kupata magonjwa mengi kwa mfano kipindupindu, malaria na kadhalika. Ukipata ugonjwa wowote kati ya hayo unaweza kupiga dunia teke. Baadhi ya magonjwa hayo huletwa na maji machafu. Kwa hivyo tunafaa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili wtu wengi wasiage dunia.
Tusiposafisha mazingira yetu, watoto wadogo ndio watakaokuwa taabani kwani wataiga mfano wetu wa kuchafua mazingira. Wazazi wanafaa kuwa mfano kwa watoto wao.
Pia kunao walio na tabia ya kwenda haja kando ya barabara. Tabia hii ni mbaya sana. Ili kuzuia tabia hii, tunapaswa kujenga vyoo vingi.
Pia tunapaswa kupanda miti ili kuwe na mvua nyingi ili tupate maji ya kuisafisha mazingira.
| Mbona wazazi wanafaa kua mfano kwa watoto wao | {
"text": [
"kwa kuwa watoto huiga wanacho ona"
]
} |
1605_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Uchafuzi wa mazingira huleta maradhi tofauti kama vile kipindupindu , kichocho na nyinginezo. Watu wanapenda kumwaga maji taka na pia kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi na chupa.
Viwanda huaribu hewa na kupatia watu ugonjwa wa saratani na nyinginezo na hivyo basi huwafanya wanakijiji kuhamia mijini. Huku mijini, wengine hulazimika kunywa maji ambayo si safi na mwishowe kupatwa na mgonjwa kama vile kipindupindu.
Nyasi ndefu inyomea karibu na nyumba huvutia wanyama kama nyoka na pia wadudu kama mbu huzaana katika nyasi hizi. Mbu husababisha ugonjwa wa malaria na hata tende. Nyoka ni mnyama hatari sana kwa binadamu kwani huwa na sumu na huweza kusababisha kifo.
Pia, watu wengi wanamazoea ya kutupa takataka kila mahali. Mara kwa mara utapatana na mirundiko ya taka taka kando kando ya barabara iliyo na uvundo mkali. Hali hii haivutii hata kidogo na pia ni chanzo cha magonjwa mengi kwa adinasi.
Ni jukumu letu kama binadamu kuzingatia mazingira safi. Tunafaa kuwa na mapipa ya taka taka ama pahali pateule ambapo patachimbwa biwi la kutupa na kuchoma taka taka. Pia, tunafaa kufyeka nyasi iliyo karibu na nyumba zetu ili kuzuia wadudu na wanyama wadogo kuzaliana hapo. Mazingira yetu yakiwa safi huwa ya kuvutia na kupendeza sana. | Watu wanapenda kumwaga maji gani | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1605_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Uchafuzi wa mazingira huleta maradhi tofauti kama vile kipindupindu , kichocho na nyinginezo. Watu wanapenda kumwaga maji taka na pia kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi na chupa.
Viwanda huaribu hewa na kupatia watu ugonjwa wa saratani na nyinginezo na hivyo basi huwafanya wanakijiji kuhamia mijini. Huku mijini, wengine hulazimika kunywa maji ambayo si safi na mwishowe kupatwa na mgonjwa kama vile kipindupindu.
Nyasi ndefu inyomea karibu na nyumba huvutia wanyama kama nyoka na pia wadudu kama mbu huzaana katika nyasi hizi. Mbu husababisha ugonjwa wa malaria na hata tende. Nyoka ni mnyama hatari sana kwa binadamu kwani huwa na sumu na huweza kusababisha kifo.
Pia, watu wengi wanamazoea ya kutupa takataka kila mahali. Mara kwa mara utapatana na mirundiko ya taka taka kando kando ya barabara iliyo na uvundo mkali. Hali hii haivutii hata kidogo na pia ni chanzo cha magonjwa mengi kwa adinasi.
Ni jukumu letu kama binadamu kuzingatia mazingira safi. Tunafaa kuwa na mapipa ya taka taka ama pahali pateule ambapo patachimbwa biwi la kutupa na kuchoma taka taka. Pia, tunafaa kufyeka nyasi iliyo karibu na nyumba zetu ili kuzuia wadudu na wanyama wadogo kuzaliana hapo. Mazingira yetu yakiwa safi huwa ya kuvutia na kupendeza sana. | Uchafu huharibu nini | {
"text": [
"Mimea"
]
} |
1605_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Uchafuzi wa mazingira huleta maradhi tofauti kama vile kipindupindu , kichocho na nyinginezo. Watu wanapenda kumwaga maji taka na pia kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi na chupa.
Viwanda huaribu hewa na kupatia watu ugonjwa wa saratani na nyinginezo na hivyo basi huwafanya wanakijiji kuhamia mijini. Huku mijini, wengine hulazimika kunywa maji ambayo si safi na mwishowe kupatwa na mgonjwa kama vile kipindupindu.
Nyasi ndefu inyomea karibu na nyumba huvutia wanyama kama nyoka na pia wadudu kama mbu huzaana katika nyasi hizi. Mbu husababisha ugonjwa wa malaria na hata tende. Nyoka ni mnyama hatari sana kwa binadamu kwani huwa na sumu na huweza kusababisha kifo.
Pia, watu wengi wanamazoea ya kutupa takataka kila mahali. Mara kwa mara utapatana na mirundiko ya taka taka kando kando ya barabara iliyo na uvundo mkali. Hali hii haivutii hata kidogo na pia ni chanzo cha magonjwa mengi kwa adinasi.
Ni jukumu letu kama binadamu kuzingatia mazingira safi. Tunafaa kuwa na mapipa ya taka taka ama pahali pateule ambapo patachimbwa biwi la kutupa na kuchoma taka taka. Pia, tunafaa kufyeka nyasi iliyo karibu na nyumba zetu ili kuzuia wadudu na wanyama wadogo kuzaliana hapo. Mazingira yetu yakiwa safi huwa ya kuvutia na kupendeza sana. | Ni nini huwa ndefu na haikatwi | {
"text": [
"Nyasi"
]
} |
1605_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Uchafuzi wa mazingira huleta maradhi tofauti kama vile kipindupindu , kichocho na nyinginezo. Watu wanapenda kumwaga maji taka na pia kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi na chupa.
Viwanda huaribu hewa na kupatia watu ugonjwa wa saratani na nyinginezo na hivyo basi huwafanya wanakijiji kuhamia mijini. Huku mijini, wengine hulazimika kunywa maji ambayo si safi na mwishowe kupatwa na mgonjwa kama vile kipindupindu.
Nyasi ndefu inyomea karibu na nyumba huvutia wanyama kama nyoka na pia wadudu kama mbu huzaana katika nyasi hizi. Mbu husababisha ugonjwa wa malaria na hata tende. Nyoka ni mnyama hatari sana kwa binadamu kwani huwa na sumu na huweza kusababisha kifo.
Pia, watu wengi wanamazoea ya kutupa takataka kila mahali. Mara kwa mara utapatana na mirundiko ya taka taka kando kando ya barabara iliyo na uvundo mkali. Hali hii haivutii hata kidogo na pia ni chanzo cha magonjwa mengi kwa adinasi.
Ni jukumu letu kama binadamu kuzingatia mazingira safi. Tunafaa kuwa na mapipa ya taka taka ama pahali pateule ambapo patachimbwa biwi la kutupa na kuchoma taka taka. Pia, tunafaa kufyeka nyasi iliyo karibu na nyumba zetu ili kuzuia wadudu na wanyama wadogo kuzaliana hapo. Mazingira yetu yakiwa safi huwa ya kuvutia na kupendeza sana. | Mvua inaponyesha nini husambaratika | {
"text": [
"uchafu"
]
} |
1605_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Uchafuzi wa mazingira huleta maradhi tofauti kama vile kipindupindu , kichocho na nyinginezo. Watu wanapenda kumwaga maji taka na pia kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi na chupa.
Viwanda huaribu hewa na kupatia watu ugonjwa wa saratani na nyinginezo na hivyo basi huwafanya wanakijiji kuhamia mijini. Huku mijini, wengine hulazimika kunywa maji ambayo si safi na mwishowe kupatwa na mgonjwa kama vile kipindupindu.
Nyasi ndefu inyomea karibu na nyumba huvutia wanyama kama nyoka na pia wadudu kama mbu huzaana katika nyasi hizi. Mbu husababisha ugonjwa wa malaria na hata tende. Nyoka ni mnyama hatari sana kwa binadamu kwani huwa na sumu na huweza kusababisha kifo.
Pia, watu wengi wanamazoea ya kutupa takataka kila mahali. Mara kwa mara utapatana na mirundiko ya taka taka kando kando ya barabara iliyo na uvundo mkali. Hali hii haivutii hata kidogo na pia ni chanzo cha magonjwa mengi kwa adinasi.
Ni jukumu letu kama binadamu kuzingatia mazingira safi. Tunafaa kuwa na mapipa ya taka taka ama pahali pateule ambapo patachimbwa biwi la kutupa na kuchoma taka taka. Pia, tunafaa kufyeka nyasi iliyo karibu na nyumba zetu ili kuzuia wadudu na wanyama wadogo kuzaliana hapo. Mazingira yetu yakiwa safi huwa ya kuvutia na kupendeza sana. | Kwa nini watu waliungana | {
"text": [
"Ili kusafisha mazingira"
]
} |
1606_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, ni ukweli kusema hatufai kuishi mahali ambapo pana uchafu kwa sababu tutapata magonjwa tofauti tofauti.
Walimu wetu shuleni walitufunza jinsi tunavyofaa kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota taka taka kisha tunaziweka katika biwi la takataka. Sisi tulifagia varanda ya shule yetu. Kabla ya wanafunzi kuenda kuanza masomo yao, walikuwa wanafanya usafi kwanza ili waweze kuendelea na masomo yao. Walimu wetu walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani. Ingawa kulikuwa na wasichana ambao walikuwa hawataki kufanya kazi zao wakati ufao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na kufagiliwa jioni. Maua ya shule yetu tulikuwa tukuyazingatia na kuyatunza vizuri kwa kufagia karibu na maua hayo. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa anavaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’ara. Walimu pia walikuwa vanavaa vizuri ili waweze kupendeza wageni wetu.
Walimu walitufunza pia usafi wa nyumbani na jinsi ya kuzingatia usafi nyumbani. Nyumbani, mtu kuosha vyombo na vile vile kufagia uchafu wote.
Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Ukiwa msafi, utaepuka na mangonjwa mengi sana. Tukumbuke kuwa watu wasafi pia nao wako karibu na Mungu. Walimu, wazazi, na wanafunzi tuzingatie usafi. Tukiwa wasifi wote tutakua salama salimini. | Nani alimhimiza mwandishi kuwa safi shuleni? | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
1606_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, ni ukweli kusema hatufai kuishi mahali ambapo pana uchafu kwa sababu tutapata magonjwa tofauti tofauti.
Walimu wetu shuleni walitufunza jinsi tunavyofaa kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota taka taka kisha tunaziweka katika biwi la takataka. Sisi tulifagia varanda ya shule yetu. Kabla ya wanafunzi kuenda kuanza masomo yao, walikuwa wanafanya usafi kwanza ili waweze kuendelea na masomo yao. Walimu wetu walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani. Ingawa kulikuwa na wasichana ambao walikuwa hawataki kufanya kazi zao wakati ufao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na kufagiliwa jioni. Maua ya shule yetu tulikuwa tukuyazingatia na kuyatunza vizuri kwa kufagia karibu na maua hayo. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa anavaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’ara. Walimu pia walikuwa vanavaa vizuri ili waweze kupendeza wageni wetu.
Walimu walitufunza pia usafi wa nyumbani na jinsi ya kuzingatia usafi nyumbani. Nyumbani, mtu kuosha vyombo na vile vile kufagia uchafu wote.
Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Ukiwa msafi, utaepuka na mangonjwa mengi sana. Tukumbuke kuwa watu wasafi pia nao wako karibu na Mungu. Walimu, wazazi, na wanafunzi tuzingatie usafi. Tukiwa wasifi wote tutakua salama salimini. | Wanafunzi hutupa takatak wapi? | {
"text": [
"Kwenye pipa"
]
} |
1606_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, ni ukweli kusema hatufai kuishi mahali ambapo pana uchafu kwa sababu tutapata magonjwa tofauti tofauti.
Walimu wetu shuleni walitufunza jinsi tunavyofaa kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota taka taka kisha tunaziweka katika biwi la takataka. Sisi tulifagia varanda ya shule yetu. Kabla ya wanafunzi kuenda kuanza masomo yao, walikuwa wanafanya usafi kwanza ili waweze kuendelea na masomo yao. Walimu wetu walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani. Ingawa kulikuwa na wasichana ambao walikuwa hawataki kufanya kazi zao wakati ufao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na kufagiliwa jioni. Maua ya shule yetu tulikuwa tukuyazingatia na kuyatunza vizuri kwa kufagia karibu na maua hayo. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa anavaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’ara. Walimu pia walikuwa vanavaa vizuri ili waweze kupendeza wageni wetu.
Walimu walitufunza pia usafi wa nyumbani na jinsi ya kuzingatia usafi nyumbani. Nyumbani, mtu kuosha vyombo na vile vile kufagia uchafu wote.
Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Ukiwa msafi, utaepuka na mangonjwa mengi sana. Tukumbuke kuwa watu wasafi pia nao wako karibu na Mungu. Walimu, wazazi, na wanafunzi tuzingatie usafi. Tukiwa wasifi wote tutakua salama salimini. | Wanafunzi walistahili kufanya usafi shuleni wakati gani? | {
"text": [
"Asubuhi"
]
} |
1606_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, ni ukweli kusema hatufai kuishi mahali ambapo pana uchafu kwa sababu tutapata magonjwa tofauti tofauti.
Walimu wetu shuleni walitufunza jinsi tunavyofaa kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota taka taka kisha tunaziweka katika biwi la takataka. Sisi tulifagia varanda ya shule yetu. Kabla ya wanafunzi kuenda kuanza masomo yao, walikuwa wanafanya usafi kwanza ili waweze kuendelea na masomo yao. Walimu wetu walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani. Ingawa kulikuwa na wasichana ambao walikuwa hawataki kufanya kazi zao wakati ufao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na kufagiliwa jioni. Maua ya shule yetu tulikuwa tukuyazingatia na kuyatunza vizuri kwa kufagia karibu na maua hayo. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa anavaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’ara. Walimu pia walikuwa vanavaa vizuri ili waweze kupendeza wageni wetu.
Walimu walitufunza pia usafi wa nyumbani na jinsi ya kuzingatia usafi nyumbani. Nyumbani, mtu kuosha vyombo na vile vile kufagia uchafu wote.
Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Ukiwa msafi, utaepuka na mangonjwa mengi sana. Tukumbuke kuwa watu wasafi pia nao wako karibu na Mungu. Walimu, wazazi, na wanafunzi tuzingatie usafi. Tukiwa wasifi wote tutakua salama salimini. | Walimu na wanafunzi walifanya nini wakati wageni walitembelea shule? | {
"text": [
"Walivaa vizuri"
]
} |
1606_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, ni ukweli kusema hatufai kuishi mahali ambapo pana uchafu kwa sababu tutapata magonjwa tofauti tofauti.
Walimu wetu shuleni walitufunza jinsi tunavyofaa kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota taka taka kisha tunaziweka katika biwi la takataka. Sisi tulifagia varanda ya shule yetu. Kabla ya wanafunzi kuenda kuanza masomo yao, walikuwa wanafanya usafi kwanza ili waweze kuendelea na masomo yao. Walimu wetu walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani. Ingawa kulikuwa na wasichana ambao walikuwa hawataki kufanya kazi zao wakati ufao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na kufagiliwa jioni. Maua ya shule yetu tulikuwa tukuyazingatia na kuyatunza vizuri kwa kufagia karibu na maua hayo. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa anavaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’ara. Walimu pia walikuwa vanavaa vizuri ili waweze kupendeza wageni wetu.
Walimu walitufunza pia usafi wa nyumbani na jinsi ya kuzingatia usafi nyumbani. Nyumbani, mtu kuosha vyombo na vile vile kufagia uchafu wote.
Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Ukiwa msafi, utaepuka na mangonjwa mengi sana. Tukumbuke kuwa watu wasafi pia nao wako karibu na Mungu. Walimu, wazazi, na wanafunzi tuzingatie usafi. Tukiwa wasifi wote tutakua salama salimini. | Nini husaidia watu kuepuka magonjwa? | {
"text": [
"Usafi"
]
} |
1607_swa |
Mazingira ni kitu chochote ambacho kimemzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni kitu chochote ambacho huathiri binadamu, wanyama na hata mimea.
Juu ya hayo, kuna magonjwa ambayo hutokana na mazingira machafu kama vile kipindupindu, malaria na mengine mengi. Katika uharibifu wa mazingira pia wanyama huadhirika sana, haswa wanyama ambao hawana mahali pa kuishi, kama vile mbwa koko na ambao huenda kujitafutia chakula.
Kando na hayo, mazingira machafu huharibu mimea, kwa vile unapoharibu udongo, mmea huwa unakauka na kuanguka chini kwa vile udogo hukosa madini ya kukuza mimea.
Licha ya hayo, mazingira machafu huadhiri binadamu anayeishi katika mazingira haya. Chakula kinachopikiwa katika mazingira machafu kinaweza sababisha kuumwa na tumbo, kutapika, kuendesha na hata huweza kusababisha kifo.
Vile vile katika mazingira machafu, vifo vya adinasi huongezeka kwa hali ya juu na pia husababisha magonjwa ambayo yanaweza kuambukizana kutoka kwa wanyama kwenda kwa adinasi.
Licha ya hayo, tunapoyaharibu mazingira wadudu ambao huishi katika udongo pia wao huathirikaa kwa hali ya juu. Tunaweza kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kukosa kutupa taka ovyo ovyo. Vile vile choo zinafaa zioshwe ili kuzingatia usafi. | Madhara huathiri nani | {
"text": [
"Binadamu, wanyama na hata mimea"
]
} |
1607_swa |
Mazingira ni kitu chochote ambacho kimemzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni kitu chochote ambacho huathiri binadamu, wanyama na hata mimea.
Juu ya hayo, kuna magonjwa ambayo hutokana na mazingira machafu kama vile kipindupindu, malaria na mengine mengi. Katika uharibifu wa mazingira pia wanyama huadhirika sana, haswa wanyama ambao hawana mahali pa kuishi, kama vile mbwa koko na ambao huenda kujitafutia chakula.
Kando na hayo, mazingira machafu huharibu mimea, kwa vile unapoharibu udongo, mmea huwa unakauka na kuanguka chini kwa vile udogo hukosa madini ya kukuza mimea.
Licha ya hayo, mazingira machafu huadhiri binadamu anayeishi katika mazingira haya. Chakula kinachopikiwa katika mazingira machafu kinaweza sababisha kuumwa na tumbo, kutapika, kuendesha na hata huweza kusababisha kifo.
Vile vile katika mazingira machafu, vifo vya adinasi huongezeka kwa hali ya juu na pia husababisha magonjwa ambayo yanaweza kuambukizana kutoka kwa wanyama kwenda kwa adinasi.
Licha ya hayo, tunapoyaharibu mazingira wadudu ambao huishi katika udongo pia wao huathirikaa kwa hali ya juu. Tunaweza kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kukosa kutupa taka ovyo ovyo. Vile vile choo zinafaa zioshwe ili kuzingatia usafi. | Malaria na kipindupindu husababishwa na nini | {
"text": [
"Kuchafuliwa kwa mazingira"
]
} |
1607_swa |
Mazingira ni kitu chochote ambacho kimemzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni kitu chochote ambacho huathiri binadamu, wanyama na hata mimea.
Juu ya hayo, kuna magonjwa ambayo hutokana na mazingira machafu kama vile kipindupindu, malaria na mengine mengi. Katika uharibifu wa mazingira pia wanyama huadhirika sana, haswa wanyama ambao hawana mahali pa kuishi, kama vile mbwa koko na ambao huenda kujitafutia chakula.
Kando na hayo, mazingira machafu huharibu mimea, kwa vile unapoharibu udongo, mmea huwa unakauka na kuanguka chini kwa vile udogo hukosa madini ya kukuza mimea.
Licha ya hayo, mazingira machafu huadhiri binadamu anayeishi katika mazingira haya. Chakula kinachopikiwa katika mazingira machafu kinaweza sababisha kuumwa na tumbo, kutapika, kuendesha na hata huweza kusababisha kifo.
Vile vile katika mazingira machafu, vifo vya adinasi huongezeka kwa hali ya juu na pia husababisha magonjwa ambayo yanaweza kuambukizana kutoka kwa wanyama kwenda kwa adinasi.
Licha ya hayo, tunapoyaharibu mazingira wadudu ambao huishi katika udongo pia wao huathirikaa kwa hali ya juu. Tunaweza kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kukosa kutupa taka ovyo ovyo. Vile vile choo zinafaa zioshwe ili kuzingatia usafi. | Viumbe wapi huathirika kutokana na mazingira kuwa machafu | {
"text": [
"Wanyama"
]
} |
1607_swa |
Mazingira ni kitu chochote ambacho kimemzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni kitu chochote ambacho huathiri binadamu, wanyama na hata mimea.
Juu ya hayo, kuna magonjwa ambayo hutokana na mazingira machafu kama vile kipindupindu, malaria na mengine mengi. Katika uharibifu wa mazingira pia wanyama huadhirika sana, haswa wanyama ambao hawana mahali pa kuishi, kama vile mbwa koko na ambao huenda kujitafutia chakula.
Kando na hayo, mazingira machafu huharibu mimea, kwa vile unapoharibu udongo, mmea huwa unakauka na kuanguka chini kwa vile udogo hukosa madini ya kukuza mimea.
Licha ya hayo, mazingira machafu huadhiri binadamu anayeishi katika mazingira haya. Chakula kinachopikiwa katika mazingira machafu kinaweza sababisha kuumwa na tumbo, kutapika, kuendesha na hata huweza kusababisha kifo.
Vile vile katika mazingira machafu, vifo vya adinasi huongezeka kwa hali ya juu na pia husababisha magonjwa ambayo yanaweza kuambukizana kutoka kwa wanyama kwenda kwa adinasi.
Licha ya hayo, tunapoyaharibu mazingira wadudu ambao huishi katika udongo pia wao huathirikaa kwa hali ya juu. Tunaweza kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kukosa kutupa taka ovyo ovyo. Vile vile choo zinafaa zioshwe ili kuzingatia usafi. | Ni mnyama yupi hana mahali pa kuishi | {
"text": [
"Mbwakoko"
]
} |
1607_swa |
Mazingira ni kitu chochote ambacho kimemzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni kitu chochote ambacho huathiri binadamu, wanyama na hata mimea.
Juu ya hayo, kuna magonjwa ambayo hutokana na mazingira machafu kama vile kipindupindu, malaria na mengine mengi. Katika uharibifu wa mazingira pia wanyama huadhirika sana, haswa wanyama ambao hawana mahali pa kuishi, kama vile mbwa koko na ambao huenda kujitafutia chakula.
Kando na hayo, mazingira machafu huharibu mimea, kwa vile unapoharibu udongo, mmea huwa unakauka na kuanguka chini kwa vile udogo hukosa madini ya kukuza mimea.
Licha ya hayo, mazingira machafu huadhiri binadamu anayeishi katika mazingira haya. Chakula kinachopikiwa katika mazingira machafu kinaweza sababisha kuumwa na tumbo, kutapika, kuendesha na hata huweza kusababisha kifo.
Vile vile katika mazingira machafu, vifo vya adinasi huongezeka kwa hali ya juu na pia husababisha magonjwa ambayo yanaweza kuambukizana kutoka kwa wanyama kwenda kwa adinasi.
Licha ya hayo, tunapoyaharibu mazingira wadudu ambao huishi katika udongo pia wao huathirikaa kwa hali ya juu. Tunaweza kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kukosa kutupa taka ovyo ovyo. Vile vile choo zinafaa zioshwe ili kuzingatia usafi. | Kipi huongezeka kutokana na mazingira machafu | {
"text": [
"Vifo vya adinasi"
]
} |
1608_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Hivyo basi, hatufai kuyaharibu. Kuharibu au kuchafua kwa mazingira kunaweza kuleta madhara mengi kwetu na pia kwa viumbe ambavyo huishi karibu nasi. Kufanya kosa kidogo kunaweza kuleta madhara mengi. Madhara ya kuchafua mazingira ni kama vile kuongezeka kwa magonjwa ambayo huletwa na uchafu, kukufa kwa wanyama, kuongezeka kwa vifo vya watu kutokana na magonjwa na mengineyo.
Kwanza, kuchafua mazingira kunaweza kufanya magonjwa yaongezeke. Kuna magonjwa mengi ambayo huletwa na uchafu ambayo ni hatari kwa mno. Mtu akiyaacha maji bila kuyafunika kwa muda mrefu, mbu huanza kuongezeka. Hivyo basi, ugonjwa wa malaria huanza kusambaa. Mbu hao huzaana na baadaye huwa hatari kwa mazingira ya binadamu. Watu wengi huenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu hatari.
Pili, vifo vya wanyama kama vile samaki ambao huishi ndani ya maji wanaweza kufa. Hii ni kwa sababu uchafu wa mji wote unapoachwa karibu na ziwa, huhatarisha mazingira ya samaki. Uchafu huo unaweza kuwa na mafuta kutokana kwa viwanda vya mjini ambavyo huelekeza uchafu wao katika mito. Mafuta haya huzuia hewa kuingia ndani ya maji. Hii ni hatari sana kwa wanyama wa majini.
Tatu, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Sote twajua kwamba nzi ni sahibu wa uchafu. Nzi anapatikana sana karibu na uchafu wa msalani au uchafu mwingine wowote. Binadamu wanapoacha uchafu ovyo ovyo, nzi hujazana na hii husababisha kuzaana kwa nzi wengi. Nzi wanapotoka kujivinjari kwenye uchafu, wanaweza kutambaa juu ya chakula cha binadamu. Hii ni hatari kubwa sana. Mtu anapokula chakula hicho, anaweza kuugua ugonjwa wa kipindupindu. Ugonjwa huu huwashika watoto sana na mili yao haina nguvu nyingi za kupigana na ugonjwa huu.
Nne, vifo huongezeka. Watu wanapopatwa na magonjwa na kushindwa kupigana na magonjwa haya wao hufa, sana sana watoto wa umri wa chini ya miaka mitano. Binadamu yeyote anaweza kukosa nguvu za kupigana na magonjwa yanayoletwa na uchafu wanapougua ugonjwa huo kwa muda mrefu. Wengi wao hufa kwa kuwa wanyonge.
Tano, familia na nchi huanza kurudi chini kiuchumi. Watu wakiwa wagonjwa hawawezi kufanya kazi na hii huleta uongezekaji wa ufukara. Pesa zao huisha na wao hubaki bila hela za kununua dawa, chakula na matunda. Hivyo basi, mili yao hukosa nguvu. Wengine huambukizana na uchumi wa nchi yetu huanza kurudi chini. Hivyo basi, ili kuzuia ufukara katika nchi yetu, sote tunafaa kutia bidii katika kung'arisha mazingira yetu ili kuboresha nchi yetu. Ni kweli wahenga hawakukosea waliposema kwamba usafi unakaribia mungu. Tunafaa sote tujikumbuke na tuwakumbuke wanaoishi karibu nasi kwa kuzuia uchafu karibu na mazingira yetu.
| Kuharibu kwa mazingira huleta nini | {
"text": [
"madhara mengi"
]
} |
1608_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Hivyo basi, hatufai kuyaharibu. Kuharibu au kuchafua kwa mazingira kunaweza kuleta madhara mengi kwetu na pia kwa viumbe ambavyo huishi karibu nasi. Kufanya kosa kidogo kunaweza kuleta madhara mengi. Madhara ya kuchafua mazingira ni kama vile kuongezeka kwa magonjwa ambayo huletwa na uchafu, kukufa kwa wanyama, kuongezeka kwa vifo vya watu kutokana na magonjwa na mengineyo.
Kwanza, kuchafua mazingira kunaweza kufanya magonjwa yaongezeke. Kuna magonjwa mengi ambayo huletwa na uchafu ambayo ni hatari kwa mno. Mtu akiyaacha maji bila kuyafunika kwa muda mrefu, mbu huanza kuongezeka. Hivyo basi, ugonjwa wa malaria huanza kusambaa. Mbu hao huzaana na baadaye huwa hatari kwa mazingira ya binadamu. Watu wengi huenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu hatari.
Pili, vifo vya wanyama kama vile samaki ambao huishi ndani ya maji wanaweza kufa. Hii ni kwa sababu uchafu wa mji wote unapoachwa karibu na ziwa, huhatarisha mazingira ya samaki. Uchafu huo unaweza kuwa na mafuta kutokana kwa viwanda vya mjini ambavyo huelekeza uchafu wao katika mito. Mafuta haya huzuia hewa kuingia ndani ya maji. Hii ni hatari sana kwa wanyama wa majini.
Tatu, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Sote twajua kwamba nzi ni sahibu wa uchafu. Nzi anapatikana sana karibu na uchafu wa msalani au uchafu mwingine wowote. Binadamu wanapoacha uchafu ovyo ovyo, nzi hujazana na hii husababisha kuzaana kwa nzi wengi. Nzi wanapotoka kujivinjari kwenye uchafu, wanaweza kutambaa juu ya chakula cha binadamu. Hii ni hatari kubwa sana. Mtu anapokula chakula hicho, anaweza kuugua ugonjwa wa kipindupindu. Ugonjwa huu huwashika watoto sana na mili yao haina nguvu nyingi za kupigana na ugonjwa huu.
Nne, vifo huongezeka. Watu wanapopatwa na magonjwa na kushindwa kupigana na magonjwa haya wao hufa, sana sana watoto wa umri wa chini ya miaka mitano. Binadamu yeyote anaweza kukosa nguvu za kupigana na magonjwa yanayoletwa na uchafu wanapougua ugonjwa huo kwa muda mrefu. Wengi wao hufa kwa kuwa wanyonge.
Tano, familia na nchi huanza kurudi chini kiuchumi. Watu wakiwa wagonjwa hawawezi kufanya kazi na hii huleta uongezekaji wa ufukara. Pesa zao huisha na wao hubaki bila hela za kununua dawa, chakula na matunda. Hivyo basi, mili yao hukosa nguvu. Wengine huambukizana na uchumi wa nchi yetu huanza kurudi chini. Hivyo basi, ili kuzuia ufukara katika nchi yetu, sote tunafaa kutia bidii katika kung'arisha mazingira yetu ili kuboresha nchi yetu. Ni kweli wahenga hawakukosea waliposema kwamba usafi unakaribia mungu. Tunafaa sote tujikumbuke na tuwakumbuke wanaoishi karibu nasi kwa kuzuia uchafu karibu na mazingira yetu.
| Nani sahibu wa uchafu | {
"text": [
"nzi"
]
} |
1608_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Hivyo basi, hatufai kuyaharibu. Kuharibu au kuchafua kwa mazingira kunaweza kuleta madhara mengi kwetu na pia kwa viumbe ambavyo huishi karibu nasi. Kufanya kosa kidogo kunaweza kuleta madhara mengi. Madhara ya kuchafua mazingira ni kama vile kuongezeka kwa magonjwa ambayo huletwa na uchafu, kukufa kwa wanyama, kuongezeka kwa vifo vya watu kutokana na magonjwa na mengineyo.
Kwanza, kuchafua mazingira kunaweza kufanya magonjwa yaongezeke. Kuna magonjwa mengi ambayo huletwa na uchafu ambayo ni hatari kwa mno. Mtu akiyaacha maji bila kuyafunika kwa muda mrefu, mbu huanza kuongezeka. Hivyo basi, ugonjwa wa malaria huanza kusambaa. Mbu hao huzaana na baadaye huwa hatari kwa mazingira ya binadamu. Watu wengi huenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu hatari.
Pili, vifo vya wanyama kama vile samaki ambao huishi ndani ya maji wanaweza kufa. Hii ni kwa sababu uchafu wa mji wote unapoachwa karibu na ziwa, huhatarisha mazingira ya samaki. Uchafu huo unaweza kuwa na mafuta kutokana kwa viwanda vya mjini ambavyo huelekeza uchafu wao katika mito. Mafuta haya huzuia hewa kuingia ndani ya maji. Hii ni hatari sana kwa wanyama wa majini.
Tatu, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Sote twajua kwamba nzi ni sahibu wa uchafu. Nzi anapatikana sana karibu na uchafu wa msalani au uchafu mwingine wowote. Binadamu wanapoacha uchafu ovyo ovyo, nzi hujazana na hii husababisha kuzaana kwa nzi wengi. Nzi wanapotoka kujivinjari kwenye uchafu, wanaweza kutambaa juu ya chakula cha binadamu. Hii ni hatari kubwa sana. Mtu anapokula chakula hicho, anaweza kuugua ugonjwa wa kipindupindu. Ugonjwa huu huwashika watoto sana na mili yao haina nguvu nyingi za kupigana na ugonjwa huu.
Nne, vifo huongezeka. Watu wanapopatwa na magonjwa na kushindwa kupigana na magonjwa haya wao hufa, sana sana watoto wa umri wa chini ya miaka mitano. Binadamu yeyote anaweza kukosa nguvu za kupigana na magonjwa yanayoletwa na uchafu wanapougua ugonjwa huo kwa muda mrefu. Wengi wao hufa kwa kuwa wanyonge.
Tano, familia na nchi huanza kurudi chini kiuchumi. Watu wakiwa wagonjwa hawawezi kufanya kazi na hii huleta uongezekaji wa ufukara. Pesa zao huisha na wao hubaki bila hela za kununua dawa, chakula na matunda. Hivyo basi, mili yao hukosa nguvu. Wengine huambukizana na uchumi wa nchi yetu huanza kurudi chini. Hivyo basi, ili kuzuia ufukara katika nchi yetu, sote tunafaa kutia bidii katika kung'arisha mazingira yetu ili kuboresha nchi yetu. Ni kweli wahenga hawakukosea waliposema kwamba usafi unakaribia mungu. Tunafaa sote tujikumbuke na tuwakumbuke wanaoishi karibu nasi kwa kuzuia uchafu karibu na mazingira yetu.
| Mtu anapokula chakula kichafu anaweza kuugua ugonjwa gani | {
"text": [
"kipindupindu"
]
} |
1608_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Hivyo basi, hatufai kuyaharibu. Kuharibu au kuchafua kwa mazingira kunaweza kuleta madhara mengi kwetu na pia kwa viumbe ambavyo huishi karibu nasi. Kufanya kosa kidogo kunaweza kuleta madhara mengi. Madhara ya kuchafua mazingira ni kama vile kuongezeka kwa magonjwa ambayo huletwa na uchafu, kukufa kwa wanyama, kuongezeka kwa vifo vya watu kutokana na magonjwa na mengineyo.
Kwanza, kuchafua mazingira kunaweza kufanya magonjwa yaongezeke. Kuna magonjwa mengi ambayo huletwa na uchafu ambayo ni hatari kwa mno. Mtu akiyaacha maji bila kuyafunika kwa muda mrefu, mbu huanza kuongezeka. Hivyo basi, ugonjwa wa malaria huanza kusambaa. Mbu hao huzaana na baadaye huwa hatari kwa mazingira ya binadamu. Watu wengi huenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu hatari.
Pili, vifo vya wanyama kama vile samaki ambao huishi ndani ya maji wanaweza kufa. Hii ni kwa sababu uchafu wa mji wote unapoachwa karibu na ziwa, huhatarisha mazingira ya samaki. Uchafu huo unaweza kuwa na mafuta kutokana kwa viwanda vya mjini ambavyo huelekeza uchafu wao katika mito. Mafuta haya huzuia hewa kuingia ndani ya maji. Hii ni hatari sana kwa wanyama wa majini.
Tatu, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Sote twajua kwamba nzi ni sahibu wa uchafu. Nzi anapatikana sana karibu na uchafu wa msalani au uchafu mwingine wowote. Binadamu wanapoacha uchafu ovyo ovyo, nzi hujazana na hii husababisha kuzaana kwa nzi wengi. Nzi wanapotoka kujivinjari kwenye uchafu, wanaweza kutambaa juu ya chakula cha binadamu. Hii ni hatari kubwa sana. Mtu anapokula chakula hicho, anaweza kuugua ugonjwa wa kipindupindu. Ugonjwa huu huwashika watoto sana na mili yao haina nguvu nyingi za kupigana na ugonjwa huu.
Nne, vifo huongezeka. Watu wanapopatwa na magonjwa na kushindwa kupigana na magonjwa haya wao hufa, sana sana watoto wa umri wa chini ya miaka mitano. Binadamu yeyote anaweza kukosa nguvu za kupigana na magonjwa yanayoletwa na uchafu wanapougua ugonjwa huo kwa muda mrefu. Wengi wao hufa kwa kuwa wanyonge.
Tano, familia na nchi huanza kurudi chini kiuchumi. Watu wakiwa wagonjwa hawawezi kufanya kazi na hii huleta uongezekaji wa ufukara. Pesa zao huisha na wao hubaki bila hela za kununua dawa, chakula na matunda. Hivyo basi, mili yao hukosa nguvu. Wengine huambukizana na uchumi wa nchi yetu huanza kurudi chini. Hivyo basi, ili kuzuia ufukara katika nchi yetu, sote tunafaa kutia bidii katika kung'arisha mazingira yetu ili kuboresha nchi yetu. Ni kweli wahenga hawakukosea waliposema kwamba usafi unakaribia mungu. Tunafaa sote tujikumbuke na tuwakumbuke wanaoishi karibu nasi kwa kuzuia uchafu karibu na mazingira yetu.
| Vifo huongezeka lini | {
"text": [
"watu wanapopata magonjwa"
]
} |
1608_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Hivyo basi, hatufai kuyaharibu. Kuharibu au kuchafua kwa mazingira kunaweza kuleta madhara mengi kwetu na pia kwa viumbe ambavyo huishi karibu nasi. Kufanya kosa kidogo kunaweza kuleta madhara mengi. Madhara ya kuchafua mazingira ni kama vile kuongezeka kwa magonjwa ambayo huletwa na uchafu, kukufa kwa wanyama, kuongezeka kwa vifo vya watu kutokana na magonjwa na mengineyo.
Kwanza, kuchafua mazingira kunaweza kufanya magonjwa yaongezeke. Kuna magonjwa mengi ambayo huletwa na uchafu ambayo ni hatari kwa mno. Mtu akiyaacha maji bila kuyafunika kwa muda mrefu, mbu huanza kuongezeka. Hivyo basi, ugonjwa wa malaria huanza kusambaa. Mbu hao huzaana na baadaye huwa hatari kwa mazingira ya binadamu. Watu wengi huenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu hatari.
Pili, vifo vya wanyama kama vile samaki ambao huishi ndani ya maji wanaweza kufa. Hii ni kwa sababu uchafu wa mji wote unapoachwa karibu na ziwa, huhatarisha mazingira ya samaki. Uchafu huo unaweza kuwa na mafuta kutokana kwa viwanda vya mjini ambavyo huelekeza uchafu wao katika mito. Mafuta haya huzuia hewa kuingia ndani ya maji. Hii ni hatari sana kwa wanyama wa majini.
Tatu, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Sote twajua kwamba nzi ni sahibu wa uchafu. Nzi anapatikana sana karibu na uchafu wa msalani au uchafu mwingine wowote. Binadamu wanapoacha uchafu ovyo ovyo, nzi hujazana na hii husababisha kuzaana kwa nzi wengi. Nzi wanapotoka kujivinjari kwenye uchafu, wanaweza kutambaa juu ya chakula cha binadamu. Hii ni hatari kubwa sana. Mtu anapokula chakula hicho, anaweza kuugua ugonjwa wa kipindupindu. Ugonjwa huu huwashika watoto sana na mili yao haina nguvu nyingi za kupigana na ugonjwa huu.
Nne, vifo huongezeka. Watu wanapopatwa na magonjwa na kushindwa kupigana na magonjwa haya wao hufa, sana sana watoto wa umri wa chini ya miaka mitano. Binadamu yeyote anaweza kukosa nguvu za kupigana na magonjwa yanayoletwa na uchafu wanapougua ugonjwa huo kwa muda mrefu. Wengi wao hufa kwa kuwa wanyonge.
Tano, familia na nchi huanza kurudi chini kiuchumi. Watu wakiwa wagonjwa hawawezi kufanya kazi na hii huleta uongezekaji wa ufukara. Pesa zao huisha na wao hubaki bila hela za kununua dawa, chakula na matunda. Hivyo basi, mili yao hukosa nguvu. Wengine huambukizana na uchumi wa nchi yetu huanza kurudi chini. Hivyo basi, ili kuzuia ufukara katika nchi yetu, sote tunafaa kutia bidii katika kung'arisha mazingira yetu ili kuboresha nchi yetu. Ni kweli wahenga hawakukosea waliposema kwamba usafi unakaribia mungu. Tunafaa sote tujikumbuke na tuwakumbuke wanaoishi karibu nasi kwa kuzuia uchafu karibu na mazingira yetu.
| Kwa nini tunafaa kung'arisha mazingira yetu | {
"text": [
"ili kuboresha nchi yetu"
]
} |
1609_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni vitu vinavyo tuzunguka kama vile miti, maua, matunda na zinginezo. Kuna madhara mengi ya kuchafua mazingira kama vile magonjwa. Mazingira safi inasaidia kwa sababu hakutakuwa na magonjwa.
Ugonjwa unaletwa na uchafu ulioko kwenye mazingira yetu. Viwanda vingi vimejengwa katika miji tofauti tofauti. Viwanda hivi hutoa moshi kali angani ambayo huchafua hewa. Tukipumua hewa hii iliyo na moshi tunaweza kupata magonjwa mengi ya kifua. Pia, moshi hii huwa na kemikali mimgi ambazo huchanganyika na maji ya mvua. Maji haya yaliyo na kemikali huharibu mimea yetu iliyopandwa shambani.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira ni kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Magonjwa ni hatari sana na huweza kusababisha kifo cha haraka sana. Malaria ni ugonjwa unaoletwa na mbu. Mbu hutaga mayai kwenye maji iliyosimama kwa muda mrefu. Mbu pia hutaga mayai yao kwenye nyasi ndefu. Nyasi ndefu huficha uchafu na wadudu wengi kama vile mbu, mbung’o, viroboto, na chawa. Mbung’o ni mdudu anayeishi kwenye nyasi na huleta malale. Malale ni ugonjwa unao leta usingizi. Kolera au kipindupindu ni ugonjwa unaoletwa na mazingira chafu na huweza kuua baada ya saa ishirini na nne. Ugonjwa huu humfanya mtu ahare au aendeshe na kutapika.
Tukiungana pamoja, tutaweza kuwa na mazingira safi. Hatutakuwa na magonjwa na tutakuwa karibu na Mola. Tukifyeka nyasi na pia tuokote taka taka na kuchoma, tutakuwa na mazingira safi. Tutakuwa na upendo na umoja. Mazingira yetu ikiwa safi tutaweza kupunguza vifo na magonjwa.
| Vitu kama vipi vinajumlisha mazingira? | {
"text": [
"Miti na mimea"
]
} |
1609_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni vitu vinavyo tuzunguka kama vile miti, maua, matunda na zinginezo. Kuna madhara mengi ya kuchafua mazingira kama vile magonjwa. Mazingira safi inasaidia kwa sababu hakutakuwa na magonjwa.
Ugonjwa unaletwa na uchafu ulioko kwenye mazingira yetu. Viwanda vingi vimejengwa katika miji tofauti tofauti. Viwanda hivi hutoa moshi kali angani ambayo huchafua hewa. Tukipumua hewa hii iliyo na moshi tunaweza kupata magonjwa mengi ya kifua. Pia, moshi hii huwa na kemikali mimgi ambazo huchanganyika na maji ya mvua. Maji haya yaliyo na kemikali huharibu mimea yetu iliyopandwa shambani.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira ni kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Magonjwa ni hatari sana na huweza kusababisha kifo cha haraka sana. Malaria ni ugonjwa unaoletwa na mbu. Mbu hutaga mayai kwenye maji iliyosimama kwa muda mrefu. Mbu pia hutaga mayai yao kwenye nyasi ndefu. Nyasi ndefu huficha uchafu na wadudu wengi kama vile mbu, mbung’o, viroboto, na chawa. Mbung’o ni mdudu anayeishi kwenye nyasi na huleta malale. Malale ni ugonjwa unao leta usingizi. Kolera au kipindupindu ni ugonjwa unaoletwa na mazingira chafu na huweza kuua baada ya saa ishirini na nne. Ugonjwa huu humfanya mtu ahare au aendeshe na kutapika.
Tukiungana pamoja, tutaweza kuwa na mazingira safi. Hatutakuwa na magonjwa na tutakuwa karibu na Mola. Tukifyeka nyasi na pia tuokote taka taka na kuchoma, tutakuwa na mazingira safi. Tutakuwa na upendo na umoja. Mazingira yetu ikiwa safi tutaweza kupunguza vifo na magonjwa.
| Nini huchangi pakubwa kwa kuharibika kwa hewa? | {
"text": [
"Viwanda"
]
} |
1609_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni vitu vinavyo tuzunguka kama vile miti, maua, matunda na zinginezo. Kuna madhara mengi ya kuchafua mazingira kama vile magonjwa. Mazingira safi inasaidia kwa sababu hakutakuwa na magonjwa.
Ugonjwa unaletwa na uchafu ulioko kwenye mazingira yetu. Viwanda vingi vimejengwa katika miji tofauti tofauti. Viwanda hivi hutoa moshi kali angani ambayo huchafua hewa. Tukipumua hewa hii iliyo na moshi tunaweza kupata magonjwa mengi ya kifua. Pia, moshi hii huwa na kemikali mimgi ambazo huchanganyika na maji ya mvua. Maji haya yaliyo na kemikali huharibu mimea yetu iliyopandwa shambani.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira ni kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Magonjwa ni hatari sana na huweza kusababisha kifo cha haraka sana. Malaria ni ugonjwa unaoletwa na mbu. Mbu hutaga mayai kwenye maji iliyosimama kwa muda mrefu. Mbu pia hutaga mayai yao kwenye nyasi ndefu. Nyasi ndefu huficha uchafu na wadudu wengi kama vile mbu, mbung’o, viroboto, na chawa. Mbung’o ni mdudu anayeishi kwenye nyasi na huleta malale. Malale ni ugonjwa unao leta usingizi. Kolera au kipindupindu ni ugonjwa unaoletwa na mazingira chafu na huweza kuua baada ya saa ishirini na nne. Ugonjwa huu humfanya mtu ahare au aendeshe na kutapika.
Tukiungana pamoja, tutaweza kuwa na mazingira safi. Hatutakuwa na magonjwa na tutakuwa karibu na Mola. Tukifyeka nyasi na pia tuokote taka taka na kuchoma, tutakuwa na mazingira safi. Tutakuwa na upendo na umoja. Mazingira yetu ikiwa safi tutaweza kupunguza vifo na magonjwa.
| Moshi ikichanganyika na mvua huwa na athari gani? | {
"text": [
"Huuwa mimea"
]
} |
1609_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni vitu vinavyo tuzunguka kama vile miti, maua, matunda na zinginezo. Kuna madhara mengi ya kuchafua mazingira kama vile magonjwa. Mazingira safi inasaidia kwa sababu hakutakuwa na magonjwa.
Ugonjwa unaletwa na uchafu ulioko kwenye mazingira yetu. Viwanda vingi vimejengwa katika miji tofauti tofauti. Viwanda hivi hutoa moshi kali angani ambayo huchafua hewa. Tukipumua hewa hii iliyo na moshi tunaweza kupata magonjwa mengi ya kifua. Pia, moshi hii huwa na kemikali mimgi ambazo huchanganyika na maji ya mvua. Maji haya yaliyo na kemikali huharibu mimea yetu iliyopandwa shambani.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira ni kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Magonjwa ni hatari sana na huweza kusababisha kifo cha haraka sana. Malaria ni ugonjwa unaoletwa na mbu. Mbu hutaga mayai kwenye maji iliyosimama kwa muda mrefu. Mbu pia hutaga mayai yao kwenye nyasi ndefu. Nyasi ndefu huficha uchafu na wadudu wengi kama vile mbu, mbung’o, viroboto, na chawa. Mbung’o ni mdudu anayeishi kwenye nyasi na huleta malale. Malale ni ugonjwa unao leta usingizi. Kolera au kipindupindu ni ugonjwa unaoletwa na mazingira chafu na huweza kuua baada ya saa ishirini na nne. Ugonjwa huu humfanya mtu ahare au aendeshe na kutapika.
Tukiungana pamoja, tutaweza kuwa na mazingira safi. Hatutakuwa na magonjwa na tutakuwa karibu na Mola. Tukifyeka nyasi na pia tuokote taka taka na kuchoma, tutakuwa na mazingira safi. Tutakuwa na upendo na umoja. Mazingira yetu ikiwa safi tutaweza kupunguza vifo na magonjwa.
| Ugonjwa wa kichocho hutokana na nini? | {
"text": [
"Uchafu"
]
} |
1609_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni vitu vinavyo tuzunguka kama vile miti, maua, matunda na zinginezo. Kuna madhara mengi ya kuchafua mazingira kama vile magonjwa. Mazingira safi inasaidia kwa sababu hakutakuwa na magonjwa.
Ugonjwa unaletwa na uchafu ulioko kwenye mazingira yetu. Viwanda vingi vimejengwa katika miji tofauti tofauti. Viwanda hivi hutoa moshi kali angani ambayo huchafua hewa. Tukipumua hewa hii iliyo na moshi tunaweza kupata magonjwa mengi ya kifua. Pia, moshi hii huwa na kemikali mimgi ambazo huchanganyika na maji ya mvua. Maji haya yaliyo na kemikali huharibu mimea yetu iliyopandwa shambani.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira ni kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Magonjwa ni hatari sana na huweza kusababisha kifo cha haraka sana. Malaria ni ugonjwa unaoletwa na mbu. Mbu hutaga mayai kwenye maji iliyosimama kwa muda mrefu. Mbu pia hutaga mayai yao kwenye nyasi ndefu. Nyasi ndefu huficha uchafu na wadudu wengi kama vile mbu, mbung’o, viroboto, na chawa. Mbung’o ni mdudu anayeishi kwenye nyasi na huleta malale. Malale ni ugonjwa unao leta usingizi. Kolera au kipindupindu ni ugonjwa unaoletwa na mazingira chafu na huweza kuua baada ya saa ishirini na nne. Ugonjwa huu humfanya mtu ahare au aendeshe na kutapika.
Tukiungana pamoja, tutaweza kuwa na mazingira safi. Hatutakuwa na magonjwa na tutakuwa karibu na Mola. Tukifyeka nyasi na pia tuokote taka taka na kuchoma, tutakuwa na mazingira safi. Tutakuwa na upendo na umoja. Mazingira yetu ikiwa safi tutaweza kupunguza vifo na magonjwa.
| Malaria hutokana na mdudu yupi? | {
"text": [
"Mbu"
]
} |
1610_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi ni hali ya kuwa safi.
Madhara yanayosababishwa na mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu kuumwa na tumbo na mengineo.
Tunapaswa kueka mazingira yetu yakiwa safi ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na enye afya bora.
Miaka iliyopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi. Watu walikuwa wakiitupa taka zao pahali pamoja ili kuzuia kuchafua maji.
Mazingira yao yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi .Walikuwa na afya bora na maji safi ya kunywa na kutumia.
Nyakati hizi tunazoishi, mazingira yetu yamekuwa machafu sana.Kila mtu anatupa taka kila pahali, hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha pahali tunapoishi, barabarani, mitoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuhifadhi mazingira .
Tunapaswa kuyangalia mazingira yetu na kuyafanya yawe safi kila wakati ilitupate afya bora. | Uharibifu au athari mbaya kwa mazingira huitwaje | {
"text": [
"Madhara"
]
} |
1610_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi ni hali ya kuwa safi.
Madhara yanayosababishwa na mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu kuumwa na tumbo na mengineo.
Tunapaswa kueka mazingira yetu yakiwa safi ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na enye afya bora.
Miaka iliyopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi. Watu walikuwa wakiitupa taka zao pahali pamoja ili kuzuia kuchafua maji.
Mazingira yao yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi .Walikuwa na afya bora na maji safi ya kunywa na kutumia.
Nyakati hizi tunazoishi, mazingira yetu yamekuwa machafu sana.Kila mtu anatupa taka kila pahali, hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha pahali tunapoishi, barabarani, mitoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuhifadhi mazingira .
Tunapaswa kuyangalia mazingira yetu na kuyafanya yawe safi kila wakati ilitupate afya bora. | Tunapaswa kuweka mazingira yetu kuwa vipi | {
"text": [
"safi"
]
} |
1610_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi ni hali ya kuwa safi.
Madhara yanayosababishwa na mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu kuumwa na tumbo na mengineo.
Tunapaswa kueka mazingira yetu yakiwa safi ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na enye afya bora.
Miaka iliyopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi. Watu walikuwa wakiitupa taka zao pahali pamoja ili kuzuia kuchafua maji.
Mazingira yao yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi .Walikuwa na afya bora na maji safi ya kunywa na kutumia.
Nyakati hizi tunazoishi, mazingira yetu yamekuwa machafu sana.Kila mtu anatupa taka kila pahali, hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha pahali tunapoishi, barabarani, mitoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuhifadhi mazingira .
Tunapaswa kuyangalia mazingira yetu na kuyafanya yawe safi kila wakati ilitupate afya bora. | Miaka hii tunayoishi mazingira yamekuwaje | {
"text": [
"Machafu sana"
]
} |
1610_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi ni hali ya kuwa safi.
Madhara yanayosababishwa na mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu kuumwa na tumbo na mengineo.
Tunapaswa kueka mazingira yetu yakiwa safi ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na enye afya bora.
Miaka iliyopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi. Watu walikuwa wakiitupa taka zao pahali pamoja ili kuzuia kuchafua maji.
Mazingira yao yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi .Walikuwa na afya bora na maji safi ya kunywa na kutumia.
Nyakati hizi tunazoishi, mazingira yetu yamekuwa machafu sana.Kila mtu anatupa taka kila pahali, hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha pahali tunapoishi, barabarani, mitoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuhifadhi mazingira .
Tunapaswa kuyangalia mazingira yetu na kuyafanya yawe safi kila wakati ilitupate afya bora. | Kila mtu anatupa nini | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1610_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi ni hali ya kuwa safi.
Madhara yanayosababishwa na mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu kuumwa na tumbo na mengineo.
Tunapaswa kueka mazingira yetu yakiwa safi ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na enye afya bora.
Miaka iliyopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi. Watu walikuwa wakiitupa taka zao pahali pamoja ili kuzuia kuchafua maji.
Mazingira yao yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi .Walikuwa na afya bora na maji safi ya kunywa na kutumia.
Nyakati hizi tunazoishi, mazingira yetu yamekuwa machafu sana.Kila mtu anatupa taka kila pahali, hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha pahali tunapoishi, barabarani, mitoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuhifadhi mazingira .
Tunapaswa kuyangalia mazingira yetu na kuyafanya yawe safi kila wakati ilitupate afya bora. | Nani anatupa taka hata kwenye mito na kando ya barabara | {
"text": [
"Kila mtu"
]
} |
1611_swa | uhai kama vile wanyama wanadamu na mimea.
mazingira yanapo chafuliwa, vyumbe vyote vinavyoishi hukosa afya bora kutokana na mchafuko ya mazingira. Vile vile, mchafuko wa mazingira husabisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na zinginezo.
Madhara mengine yanayoletwa na mchafuka wa mazingira ni, wanyama watakosa afya nzuri kwa hivyo watakufa kama hali ya mazingira itaendelea Kudhorora. Kwa hivyo Serikali yetu ya kenya na mashirika mengine yasio ya serekali wanapswa kuhimiza wanainchi kuzingatia usafi katika mazingira yetu.
Mwanadamu ana uhuru wa mazingira yake kwa hivyo asiharibu mazingira yake. Kwasababu tukiharibu mazingira hii baadaye afya yetu hudhorora.kutokana na Ukataji wa miti ni njia moja ya kuharibu mazingira yetu.Miti inapokatwa, mvua hukosekana nasi wanadamu na wanyama huangamizwa na baa la njaa. Wanyama wa pori pia hutegemea mimea zinazo mea wakati mvua inaponyesha na mazingira yetu haikamilika bila wanyama. Wanyama huleta faida nyingi kwa serikali yetu. Watalii kutoka nchi mbali mbali nduniani huvutiwa na Wanyama tofauti na mimea tofauti.
Madhara mengine ni ukutupaji wa taka kwenye mchanga kama vile chupa na mifuko ya plastiki. Mifuko ya plastiki huzuia hewa safi kwa wanyama, kwa hivyo wanyama huaga kutokana na ukosefu wa hewa safi. Kwa hivyo Serikali hukusanya plastiki zote kwenye mazingira kwa kujali maisha ya wanyama wanaoishi ardhini.
Sisi wanadamu tunahimizwa kutunza mazingira yetu kwa mithili ya afya zetu. maisha yetu hutegemea tu tutakavyo tunza mazingira yetu hata wanafunzi tunapokua shuleni, tuzingatie' usafi ndivyo maisha yetu yaboreke.
| Mazingira yanapochafuliwa viumbe hukosa nini | {
"text": [
"afya bora"
]
} |
1611_swa | uhai kama vile wanyama wanadamu na mimea.
mazingira yanapo chafuliwa, vyumbe vyote vinavyoishi hukosa afya bora kutokana na mchafuko ya mazingira. Vile vile, mchafuko wa mazingira husabisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na zinginezo.
Madhara mengine yanayoletwa na mchafuka wa mazingira ni, wanyama watakosa afya nzuri kwa hivyo watakufa kama hali ya mazingira itaendelea Kudhorora. Kwa hivyo Serikali yetu ya kenya na mashirika mengine yasio ya serekali wanapswa kuhimiza wanainchi kuzingatia usafi katika mazingira yetu.
Mwanadamu ana uhuru wa mazingira yake kwa hivyo asiharibu mazingira yake. Kwasababu tukiharibu mazingira hii baadaye afya yetu hudhorora.kutokana na Ukataji wa miti ni njia moja ya kuharibu mazingira yetu.Miti inapokatwa, mvua hukosekana nasi wanadamu na wanyama huangamizwa na baa la njaa. Wanyama wa pori pia hutegemea mimea zinazo mea wakati mvua inaponyesha na mazingira yetu haikamilika bila wanyama. Wanyama huleta faida nyingi kwa serikali yetu. Watalii kutoka nchi mbali mbali nduniani huvutiwa na Wanyama tofauti na mimea tofauti.
Madhara mengine ni ukutupaji wa taka kwenye mchanga kama vile chupa na mifuko ya plastiki. Mifuko ya plastiki huzuia hewa safi kwa wanyama, kwa hivyo wanyama huaga kutokana na ukosefu wa hewa safi. Kwa hivyo Serikali hukusanya plastiki zote kwenye mazingira kwa kujali maisha ya wanyama wanaoishi ardhini.
Sisi wanadamu tunahimizwa kutunza mazingira yetu kwa mithili ya afya zetu. maisha yetu hutegemea tu tutakavyo tunza mazingira yetu hata wanafunzi tunapokua shuleni, tuzingatie' usafi ndivyo maisha yetu yaboreke.
| Nani wanahimizwa kuzingatia usafi | {
"text": [
"wananchi"
]
} |
1611_swa | uhai kama vile wanyama wanadamu na mimea.
mazingira yanapo chafuliwa, vyumbe vyote vinavyoishi hukosa afya bora kutokana na mchafuko ya mazingira. Vile vile, mchafuko wa mazingira husabisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na zinginezo.
Madhara mengine yanayoletwa na mchafuka wa mazingira ni, wanyama watakosa afya nzuri kwa hivyo watakufa kama hali ya mazingira itaendelea Kudhorora. Kwa hivyo Serikali yetu ya kenya na mashirika mengine yasio ya serekali wanapswa kuhimiza wanainchi kuzingatia usafi katika mazingira yetu.
Mwanadamu ana uhuru wa mazingira yake kwa hivyo asiharibu mazingira yake. Kwasababu tukiharibu mazingira hii baadaye afya yetu hudhorora.kutokana na Ukataji wa miti ni njia moja ya kuharibu mazingira yetu.Miti inapokatwa, mvua hukosekana nasi wanadamu na wanyama huangamizwa na baa la njaa. Wanyama wa pori pia hutegemea mimea zinazo mea wakati mvua inaponyesha na mazingira yetu haikamilika bila wanyama. Wanyama huleta faida nyingi kwa serikali yetu. Watalii kutoka nchi mbali mbali nduniani huvutiwa na Wanyama tofauti na mimea tofauti.
Madhara mengine ni ukutupaji wa taka kwenye mchanga kama vile chupa na mifuko ya plastiki. Mifuko ya plastiki huzuia hewa safi kwa wanyama, kwa hivyo wanyama huaga kutokana na ukosefu wa hewa safi. Kwa hivyo Serikali hukusanya plastiki zote kwenye mazingira kwa kujali maisha ya wanyama wanaoishi ardhini.
Sisi wanadamu tunahimizwa kutunza mazingira yetu kwa mithili ya afya zetu. maisha yetu hutegemea tu tutakavyo tunza mazingira yetu hata wanafunzi tunapokua shuleni, tuzingatie' usafi ndivyo maisha yetu yaboreke.
| Mvua hukosekana lini | {
"text": [
"miti inapokatwa"
]
} |
1611_swa | uhai kama vile wanyama wanadamu na mimea.
mazingira yanapo chafuliwa, vyumbe vyote vinavyoishi hukosa afya bora kutokana na mchafuko ya mazingira. Vile vile, mchafuko wa mazingira husabisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na zinginezo.
Madhara mengine yanayoletwa na mchafuka wa mazingira ni, wanyama watakosa afya nzuri kwa hivyo watakufa kama hali ya mazingira itaendelea Kudhorora. Kwa hivyo Serikali yetu ya kenya na mashirika mengine yasio ya serekali wanapswa kuhimiza wanainchi kuzingatia usafi katika mazingira yetu.
Mwanadamu ana uhuru wa mazingira yake kwa hivyo asiharibu mazingira yake. Kwasababu tukiharibu mazingira hii baadaye afya yetu hudhorora.kutokana na Ukataji wa miti ni njia moja ya kuharibu mazingira yetu.Miti inapokatwa, mvua hukosekana nasi wanadamu na wanyama huangamizwa na baa la njaa. Wanyama wa pori pia hutegemea mimea zinazo mea wakati mvua inaponyesha na mazingira yetu haikamilika bila wanyama. Wanyama huleta faida nyingi kwa serikali yetu. Watalii kutoka nchi mbali mbali nduniani huvutiwa na Wanyama tofauti na mimea tofauti.
Madhara mengine ni ukutupaji wa taka kwenye mchanga kama vile chupa na mifuko ya plastiki. Mifuko ya plastiki huzuia hewa safi kwa wanyama, kwa hivyo wanyama huaga kutokana na ukosefu wa hewa safi. Kwa hivyo Serikali hukusanya plastiki zote kwenye mazingira kwa kujali maisha ya wanyama wanaoishi ardhini.
Sisi wanadamu tunahimizwa kutunza mazingira yetu kwa mithili ya afya zetu. maisha yetu hutegemea tu tutakavyo tunza mazingira yetu hata wanafunzi tunapokua shuleni, tuzingatie' usafi ndivyo maisha yetu yaboreke.
| Mashirika mengine gani yanahimiza wananchi kudumisha usafi | {
"text": [
"yasiyo ya kiserikali"
]
} |
1611_swa | uhai kama vile wanyama wanadamu na mimea.
mazingira yanapo chafuliwa, vyumbe vyote vinavyoishi hukosa afya bora kutokana na mchafuko ya mazingira. Vile vile, mchafuko wa mazingira husabisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na zinginezo.
Madhara mengine yanayoletwa na mchafuka wa mazingira ni, wanyama watakosa afya nzuri kwa hivyo watakufa kama hali ya mazingira itaendelea Kudhorora. Kwa hivyo Serikali yetu ya kenya na mashirika mengine yasio ya serekali wanapswa kuhimiza wanainchi kuzingatia usafi katika mazingira yetu.
Mwanadamu ana uhuru wa mazingira yake kwa hivyo asiharibu mazingira yake. Kwasababu tukiharibu mazingira hii baadaye afya yetu hudhorora.kutokana na Ukataji wa miti ni njia moja ya kuharibu mazingira yetu.Miti inapokatwa, mvua hukosekana nasi wanadamu na wanyama huangamizwa na baa la njaa. Wanyama wa pori pia hutegemea mimea zinazo mea wakati mvua inaponyesha na mazingira yetu haikamilika bila wanyama. Wanyama huleta faida nyingi kwa serikali yetu. Watalii kutoka nchi mbali mbali nduniani huvutiwa na Wanyama tofauti na mimea tofauti.
Madhara mengine ni ukutupaji wa taka kwenye mchanga kama vile chupa na mifuko ya plastiki. Mifuko ya plastiki huzuia hewa safi kwa wanyama, kwa hivyo wanyama huaga kutokana na ukosefu wa hewa safi. Kwa hivyo Serikali hukusanya plastiki zote kwenye mazingira kwa kujali maisha ya wanyama wanaoishi ardhini.
Sisi wanadamu tunahimizwa kutunza mazingira yetu kwa mithili ya afya zetu. maisha yetu hutegemea tu tutakavyo tunza mazingira yetu hata wanafunzi tunapokua shuleni, tuzingatie' usafi ndivyo maisha yetu yaboreke.
| Kwa nini tuzingatie usafi tunapokuwa shuleni | {
"text": [
"ndivyo maisha yetu yaboreke"
]
} |
1612_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayozunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi bali ya kaue lausa safi.
Madhara yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu, kumua na tumbo na menginezo.
Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na mwenye afya bora.
Miaka zilizopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi . Watu walikuwa wakitupa taka zao pahali pamoja ili kuzia kuchafu maji.
Mazingira hayo yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi na afya bora. Walikuwa na maji safi ya kunywa na kutumia.
Miaka hii tunayoishi mazingira yamekuwa machafu sana. Kila mtu anatupa takaa kila pahali hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha mahali tunamoishi, barabarani, mikoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuifadhi mazingira. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu na kudumisha usafi kila wakati ili tupate afya bora. | Athari ya mazingira chafu ni kama vile usambazaji wa ugonjwa kama gani? | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1612_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayozunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi bali ya kaue lausa safi.
Madhara yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu, kumua na tumbo na menginezo.
Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na mwenye afya bora.
Miaka zilizopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi . Watu walikuwa wakitupa taka zao pahali pamoja ili kuzia kuchafu maji.
Mazingira hayo yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi na afya bora. Walikuwa na maji safi ya kunywa na kutumia.
Miaka hii tunayoishi mazingira yamekuwa machafu sana. Kila mtu anatupa takaa kila pahali hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha mahali tunamoishi, barabarani, mikoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuifadhi mazingira. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu na kudumisha usafi kila wakati ili tupate afya bora. | Uchafuzi wa mazingira ni nini? | {
"text": [
"Kubadilisha hali halisi ya mazingira"
]
} |
1612_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayozunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi bali ya kaue lausa safi.
Madhara yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu, kumua na tumbo na menginezo.
Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na mwenye afya bora.
Miaka zilizopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi . Watu walikuwa wakitupa taka zao pahali pamoja ili kuzia kuchafu maji.
Mazingira hayo yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi na afya bora. Walikuwa na maji safi ya kunywa na kutumia.
Miaka hii tunayoishi mazingira yamekuwa machafu sana. Kila mtu anatupa takaa kila pahali hata kwenye mito na kando ya barabara.
Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha mahali tunamoishi, barabarani, mikoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuifadhi mazingira. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu na kudumisha usafi kila wakati ili tupate afya bora. | Mazingira ni nini? | {
"text": [
"Mambo yanayomzunguka binadamu katika sehemu anayoishi "
]
} |
Subsets and Splits