Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
1565_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni muhimu mwilini na hata katika maisha yetu.Tunapoyachafua mazingira yetu tuyaamsha magonjwa aina mingi. Mazingira ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mazingira ni muhimu lakini tusipoyazingatia hayatakuwa mazuri.Magonjwa yanayosababishwa na uchafuazi wa mazingira ni kama vile kipindupindu. Njia za kuzingatia mazingira yetu kama vile kuosha choo zetu, kufagia mazingira yetu na pia kuchoma taka taka. Tukifanya hivi tutajiepusha na magonjwa hayo.
Pia kuna uchafuzi unaosababishwa na viwanda.Viwanda hivi huelekeza maji taka yao mitoni.Ng’ombe au binadamu wakiyanywa maji hayo wanaweza kuwa wagonjwa na kudhuru afya yao.Ng’ombe waliokunya maji ambayo yamejaa kemikali hugonjeka na hivyo basi wanapokamuliwa maziwa, hutoa maziwa ambayo yanaweza kudhuru maisha ya binadamu. Mazingira ni muhimu kwa sababu yanatupa vitu vingi na tukiendelea kuyachafua sote tutagonjeka
Kutupa taka taka kila mahali kunasababisha uchafuzi wa mazingira na hivyo basi kuathiri maisha yetu kwa njia moja au nyingine. Kutupa taka taka kila mahali pia huwadhuru wanyama wetu.
Mazingira yana umuhimu mwingi. Tunafaa kutunza mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.Tukilinda mazingira yetu, tutaboresha maisha yetu na pia ya kizazi kijacho. | Kutupa mapipa kunaweza kuweka nani hatarini | {
"text": [
"wanyama"
]
} |
1565_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni muhimu mwilini na hata katika maisha yetu.Tunapoyachafua mazingira yetu tuyaamsha magonjwa aina mingi. Mazingira ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mazingira ni muhimu lakini tusipoyazingatia hayatakuwa mazuri.Magonjwa yanayosababishwa na uchafuazi wa mazingira ni kama vile kipindupindu. Njia za kuzingatia mazingira yetu kama vile kuosha choo zetu, kufagia mazingira yetu na pia kuchoma taka taka. Tukifanya hivi tutajiepusha na magonjwa hayo.
Pia kuna uchafuzi unaosababishwa na viwanda.Viwanda hivi huelekeza maji taka yao mitoni.Ng’ombe au binadamu wakiyanywa maji hayo wanaweza kuwa wagonjwa na kudhuru afya yao.Ng’ombe waliokunya maji ambayo yamejaa kemikali hugonjeka na hivyo basi wanapokamuliwa maziwa, hutoa maziwa ambayo yanaweza kudhuru maisha ya binadamu. Mazingira ni muhimu kwa sababu yanatupa vitu vingi na tukiendelea kuyachafua sote tutagonjeka
Kutupa taka taka kila mahali kunasababisha uchafuzi wa mazingira na hivyo basi kuathiri maisha yetu kwa njia moja au nyingine. Kutupa taka taka kila mahali pia huwadhuru wanyama wetu.
Mazingira yana umuhimu mwingi. Tunafaa kutunza mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.Tukilinda mazingira yetu, tutaboresha maisha yetu na pia ya kizazi kijacho. | Mbona mazingira ni muhimu | {
"text": [
"yanatupa vitu vingi"
]
} |
1566_swa | MADHARA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu ambacho kinatuzunguka.Mazingira pia ni kitu muhimu sana hasa kwa kila binadamu. Mazingira pia ni kitu ambacho tunastahili kutunza sana ili kuepuka na maradhi. Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Ugonjwa mmoja ni kipindupindu. Idadi ya watu inavyozidi kuongezeka hapa duniani ndivyo tunazidi kukabiliwa na athari za ugonjwa wa kipindupindu.
Viwanda pia vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu. Viwanda hivi huelekeza uchafu wao mitoni na hatimaye maji haya huelekezwa baharini na kusababisha mathara mengi kwa mazingira.Shida hii ni kubwa zaidi katika nchi zilizo na viwanda vingi. Watu pia huchangia uchafuzi wa mito kwa kutupa taka taka, kama kemikali, chupa , karatasi, nguo na kathalika, katika mito hii
Wakulima hutumia kemikali nyingi katika harakati zao za kilimo. Kunaponyesha, kemikali hizi husombwa na maji na kusafirishwa hadi mitoni. Maji ya mito yakiwa na kemikali mingi halafu yanywiwe na mifugo husababisha magonjwa na vifo, na pia huzuia mimea iliyo kado kando ya mto kukua.
| Mazingira ni nini | {
"text": [
"Kitu ambacho kinatuzunguka"
]
} |
1566_swa | MADHARA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu ambacho kinatuzunguka.Mazingira pia ni kitu muhimu sana hasa kwa kila binadamu. Mazingira pia ni kitu ambacho tunastahili kutunza sana ili kuepuka na maradhi. Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Ugonjwa mmoja ni kipindupindu. Idadi ya watu inavyozidi kuongezeka hapa duniani ndivyo tunazidi kukabiliwa na athari za ugonjwa wa kipindupindu.
Viwanda pia vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu. Viwanda hivi huelekeza uchafu wao mitoni na hatimaye maji haya huelekezwa baharini na kusababisha mathara mengi kwa mazingira.Shida hii ni kubwa zaidi katika nchi zilizo na viwanda vingi. Watu pia huchangia uchafuzi wa mito kwa kutupa taka taka, kama kemikali, chupa , karatasi, nguo na kathalika, katika mito hii
Wakulima hutumia kemikali nyingi katika harakati zao za kilimo. Kunaponyesha, kemikali hizi husombwa na maji na kusafirishwa hadi mitoni. Maji ya mito yakiwa na kemikali mingi halafu yanywiwe na mifugo husababisha magonjwa na vifo, na pia huzuia mimea iliyo kado kando ya mto kukua.
| Mazingira ni muhimu sana hasa kwa nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
1566_swa | MADHARA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu ambacho kinatuzunguka.Mazingira pia ni kitu muhimu sana hasa kwa kila binadamu. Mazingira pia ni kitu ambacho tunastahili kutunza sana ili kuepuka na maradhi. Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Ugonjwa mmoja ni kipindupindu. Idadi ya watu inavyozidi kuongezeka hapa duniani ndivyo tunazidi kukabiliwa na athari za ugonjwa wa kipindupindu.
Viwanda pia vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu. Viwanda hivi huelekeza uchafu wao mitoni na hatimaye maji haya huelekezwa baharini na kusababisha mathara mengi kwa mazingira.Shida hii ni kubwa zaidi katika nchi zilizo na viwanda vingi. Watu pia huchangia uchafuzi wa mito kwa kutupa taka taka, kama kemikali, chupa , karatasi, nguo na kathalika, katika mito hii
Wakulima hutumia kemikali nyingi katika harakati zao za kilimo. Kunaponyesha, kemikali hizi husombwa na maji na kusafirishwa hadi mitoni. Maji ya mito yakiwa na kemikali mingi halafu yanywiwe na mifugo husababisha magonjwa na vifo, na pia huzuia mimea iliyo kado kando ya mto kukua.
| Mazingira yamekuwa katika nini | {
"text": [
"Hatari"
]
} |
1566_swa | MADHARA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu ambacho kinatuzunguka.Mazingira pia ni kitu muhimu sana hasa kwa kila binadamu. Mazingira pia ni kitu ambacho tunastahili kutunza sana ili kuepuka na maradhi. Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Ugonjwa mmoja ni kipindupindu. Idadi ya watu inavyozidi kuongezeka hapa duniani ndivyo tunazidi kukabiliwa na athari za ugonjwa wa kipindupindu.
Viwanda pia vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu. Viwanda hivi huelekeza uchafu wao mitoni na hatimaye maji haya huelekezwa baharini na kusababisha mathara mengi kwa mazingira.Shida hii ni kubwa zaidi katika nchi zilizo na viwanda vingi. Watu pia huchangia uchafuzi wa mito kwa kutupa taka taka, kama kemikali, chupa , karatasi, nguo na kathalika, katika mito hii
Wakulima hutumia kemikali nyingi katika harakati zao za kilimo. Kunaponyesha, kemikali hizi husombwa na maji na kusafirishwa hadi mitoni. Maji ya mito yakiwa na kemikali mingi halafu yanywiwe na mifugo husababisha magonjwa na vifo, na pia huzuia mimea iliyo kado kando ya mto kukua.
| Watu hutupa aina yote ya takataka kama nini | {
"text": [
"Kemikali"
]
} |
1566_swa | MADHARA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu ambacho kinatuzunguka.Mazingira pia ni kitu muhimu sana hasa kwa kila binadamu. Mazingira pia ni kitu ambacho tunastahili kutunza sana ili kuepuka na maradhi. Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Ugonjwa mmoja ni kipindupindu. Idadi ya watu inavyozidi kuongezeka hapa duniani ndivyo tunazidi kukabiliwa na athari za ugonjwa wa kipindupindu.
Viwanda pia vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu. Viwanda hivi huelekeza uchafu wao mitoni na hatimaye maji haya huelekezwa baharini na kusababisha mathara mengi kwa mazingira.Shida hii ni kubwa zaidi katika nchi zilizo na viwanda vingi. Watu pia huchangia uchafuzi wa mito kwa kutupa taka taka, kama kemikali, chupa , karatasi, nguo na kathalika, katika mito hii
Wakulima hutumia kemikali nyingi katika harakati zao za kilimo. Kunaponyesha, kemikali hizi husombwa na maji na kusafirishwa hadi mitoni. Maji ya mito yakiwa na kemikali mingi halafu yanywiwe na mifugo husababisha magonjwa na vifo, na pia huzuia mimea iliyo kado kando ya mto kukua.
| Maji ya mto huwa na nini | {
"text": [
"Sumu nyingi"
]
} |
1567_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni viumbe ambavyo vimezunguka maskani yetu. Mazingira yana umuhimu mkubwa huku duniani. Mazingira husaidia mmomonyoko wa ardhi na pia huleta mvua ambayo husaidia miti kukua.
Katika shule yetu ya upili ya kimuka, mwalimu mkuu na mwalimu wa idara ya usafi hutuambia tuwe tukipanda miti.Kila Ijumaa, mwalimu wa idara ya usafi hutuletea miti mia moja tupande huku shuleni ili kuwe na hali safi ya hewa.Sisi wanafunzi wa kidato cha pili hupenda kupanda miti sana.Hata waziri wa mazingira akija shuleni kwetu huvutiwa na hewa safi. Wakati wa kuangalia usati katika shule za upili, waziri wa mazingira, Bw.Chege, hupenda kuja shuleni kwetu.
Tunapong'ang'ana kupanda miti, kuna wale ambao hupinga kupanda miti katika mashamba yao. Hawa ndio huchangia kuharibu mazingira. Kunao wale pia ambao hukatakata miti ovyo ovyo na kuharibu mazingira.
Mazingira kama misitu ni maskani ya wanyama wengi wa porini. Tunapokata miti, tunaharibu maskani ya wanyama hawa. Moto ambazo huwashwa katika misitu pia huharibu mazingira kwani husababisha ukosefu wa hewa safi na pia kuharibu hali ya anga.
Sisi kama wakenya tunajivunia nchi yetu ya Kenya. Ingawa tu, kuna watu ambao hawawezi kuona kitu kizuri kikifaulu. Katika nchi yetu ya Kenya, kuna mahali kwingi tofauti tofauti ambako kunavutia watalii kutoka nchi za nje.
Watalii hupenda kuja kuona wanyama porini. Wanyama hawa wa porini hukaa katika misitu.Watalii pia huvutiwa na mito, maziwa na milima ya huku Kenya.Watalii hawa huchangia kukuza uchumi wetu kwani wanalipa pesa ili kuzuru maeneo tofauti tofauti.
Mazingira ni muhimu katika maisha ya binadamu na hata kwa wanyama wa msituni. Ndio maana tunahimizwa tupande na tukuze miche midogo midogo ili itakaponyauka tuweze kupanda miti mingi na pia tunyunyizie maji ili iweze kustawi bila kukauka. Tukuze mazingira yetu na tuwache kukata miti ovyo ovyo.
| Mazingira huleta nini | {
"text": [
"Mvua"
]
} |
1567_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni viumbe ambavyo vimezunguka maskani yetu. Mazingira yana umuhimu mkubwa huku duniani. Mazingira husaidia mmomonyoko wa ardhi na pia huleta mvua ambayo husaidia miti kukua.
Katika shule yetu ya upili ya kimuka, mwalimu mkuu na mwalimu wa idara ya usafi hutuambia tuwe tukipanda miti.Kila Ijumaa, mwalimu wa idara ya usafi hutuletea miti mia moja tupande huku shuleni ili kuwe na hali safi ya hewa.Sisi wanafunzi wa kidato cha pili hupenda kupanda miti sana.Hata waziri wa mazingira akija shuleni kwetu huvutiwa na hewa safi. Wakati wa kuangalia usati katika shule za upili, waziri wa mazingira, Bw.Chege, hupenda kuja shuleni kwetu.
Tunapong'ang'ana kupanda miti, kuna wale ambao hupinga kupanda miti katika mashamba yao. Hawa ndio huchangia kuharibu mazingira. Kunao wale pia ambao hukatakata miti ovyo ovyo na kuharibu mazingira.
Mazingira kama misitu ni maskani ya wanyama wengi wa porini. Tunapokata miti, tunaharibu maskani ya wanyama hawa. Moto ambazo huwashwa katika misitu pia huharibu mazingira kwani husababisha ukosefu wa hewa safi na pia kuharibu hali ya anga.
Sisi kama wakenya tunajivunia nchi yetu ya Kenya. Ingawa tu, kuna watu ambao hawawezi kuona kitu kizuri kikifaulu. Katika nchi yetu ya Kenya, kuna mahali kwingi tofauti tofauti ambako kunavutia watalii kutoka nchi za nje.
Watalii hupenda kuja kuona wanyama porini. Wanyama hawa wa porini hukaa katika misitu.Watalii pia huvutiwa na mito, maziwa na milima ya huku Kenya.Watalii hawa huchangia kukuza uchumi wetu kwani wanalipa pesa ili kuzuru maeneo tofauti tofauti.
Mazingira ni muhimu katika maisha ya binadamu na hata kwa wanyama wa msituni. Ndio maana tunahimizwa tupande na tukuze miche midogo midogo ili itakaponyauka tuweze kupanda miti mingi na pia tunyunyizie maji ili iweze kustawi bila kukauka. Tukuze mazingira yetu na tuwache kukata miti ovyo ovyo.
| Mwalimu katika shule ya Kimuka huhimiza kupandwa kwa nini | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1567_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni viumbe ambavyo vimezunguka maskani yetu. Mazingira yana umuhimu mkubwa huku duniani. Mazingira husaidia mmomonyoko wa ardhi na pia huleta mvua ambayo husaidia miti kukua.
Katika shule yetu ya upili ya kimuka, mwalimu mkuu na mwalimu wa idara ya usafi hutuambia tuwe tukipanda miti.Kila Ijumaa, mwalimu wa idara ya usafi hutuletea miti mia moja tupande huku shuleni ili kuwe na hali safi ya hewa.Sisi wanafunzi wa kidato cha pili hupenda kupanda miti sana.Hata waziri wa mazingira akija shuleni kwetu huvutiwa na hewa safi. Wakati wa kuangalia usati katika shule za upili, waziri wa mazingira, Bw.Chege, hupenda kuja shuleni kwetu.
Tunapong'ang'ana kupanda miti, kuna wale ambao hupinga kupanda miti katika mashamba yao. Hawa ndio huchangia kuharibu mazingira. Kunao wale pia ambao hukatakata miti ovyo ovyo na kuharibu mazingira.
Mazingira kama misitu ni maskani ya wanyama wengi wa porini. Tunapokata miti, tunaharibu maskani ya wanyama hawa. Moto ambazo huwashwa katika misitu pia huharibu mazingira kwani husababisha ukosefu wa hewa safi na pia kuharibu hali ya anga.
Sisi kama wakenya tunajivunia nchi yetu ya Kenya. Ingawa tu, kuna watu ambao hawawezi kuona kitu kizuri kikifaulu. Katika nchi yetu ya Kenya, kuna mahali kwingi tofauti tofauti ambako kunavutia watalii kutoka nchi za nje.
Watalii hupenda kuja kuona wanyama porini. Wanyama hawa wa porini hukaa katika misitu.Watalii pia huvutiwa na mito, maziwa na milima ya huku Kenya.Watalii hawa huchangia kukuza uchumi wetu kwani wanalipa pesa ili kuzuru maeneo tofauti tofauti.
Mazingira ni muhimu katika maisha ya binadamu na hata kwa wanyama wa msituni. Ndio maana tunahimizwa tupande na tukuze miche midogo midogo ili itakaponyauka tuweze kupanda miti mingi na pia tunyunyizie maji ili iweze kustawi bila kukauka. Tukuze mazingira yetu na tuwache kukata miti ovyo ovyo.
| Wanafunzi wa kidato kipi hupenda kupanda miti | {
"text": [
"Kidato cha pili"
]
} |
1567_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni viumbe ambavyo vimezunguka maskani yetu. Mazingira yana umuhimu mkubwa huku duniani. Mazingira husaidia mmomonyoko wa ardhi na pia huleta mvua ambayo husaidia miti kukua.
Katika shule yetu ya upili ya kimuka, mwalimu mkuu na mwalimu wa idara ya usafi hutuambia tuwe tukipanda miti.Kila Ijumaa, mwalimu wa idara ya usafi hutuletea miti mia moja tupande huku shuleni ili kuwe na hali safi ya hewa.Sisi wanafunzi wa kidato cha pili hupenda kupanda miti sana.Hata waziri wa mazingira akija shuleni kwetu huvutiwa na hewa safi. Wakati wa kuangalia usati katika shule za upili, waziri wa mazingira, Bw.Chege, hupenda kuja shuleni kwetu.
Tunapong'ang'ana kupanda miti, kuna wale ambao hupinga kupanda miti katika mashamba yao. Hawa ndio huchangia kuharibu mazingira. Kunao wale pia ambao hukatakata miti ovyo ovyo na kuharibu mazingira.
Mazingira kama misitu ni maskani ya wanyama wengi wa porini. Tunapokata miti, tunaharibu maskani ya wanyama hawa. Moto ambazo huwashwa katika misitu pia huharibu mazingira kwani husababisha ukosefu wa hewa safi na pia kuharibu hali ya anga.
Sisi kama wakenya tunajivunia nchi yetu ya Kenya. Ingawa tu, kuna watu ambao hawawezi kuona kitu kizuri kikifaulu. Katika nchi yetu ya Kenya, kuna mahali kwingi tofauti tofauti ambako kunavutia watalii kutoka nchi za nje.
Watalii hupenda kuja kuona wanyama porini. Wanyama hawa wa porini hukaa katika misitu.Watalii pia huvutiwa na mito, maziwa na milima ya huku Kenya.Watalii hawa huchangia kukuza uchumi wetu kwani wanalipa pesa ili kuzuru maeneo tofauti tofauti.
Mazingira ni muhimu katika maisha ya binadamu na hata kwa wanyama wa msituni. Ndio maana tunahimizwa tupande na tukuze miche midogo midogo ili itakaponyauka tuweze kupanda miti mingi na pia tunyunyizie maji ili iweze kustawi bila kukauka. Tukuze mazingira yetu na tuwache kukata miti ovyo ovyo.
| Wapi ni maskani pa wanyama | {
"text": [
"Mazingira - msitu"
]
} |
1567_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni viumbe ambavyo vimezunguka maskani yetu. Mazingira yana umuhimu mkubwa huku duniani. Mazingira husaidia mmomonyoko wa ardhi na pia huleta mvua ambayo husaidia miti kukua.
Katika shule yetu ya upili ya kimuka, mwalimu mkuu na mwalimu wa idara ya usafi hutuambia tuwe tukipanda miti.Kila Ijumaa, mwalimu wa idara ya usafi hutuletea miti mia moja tupande huku shuleni ili kuwe na hali safi ya hewa.Sisi wanafunzi wa kidato cha pili hupenda kupanda miti sana.Hata waziri wa mazingira akija shuleni kwetu huvutiwa na hewa safi. Wakati wa kuangalia usati katika shule za upili, waziri wa mazingira, Bw.Chege, hupenda kuja shuleni kwetu.
Tunapong'ang'ana kupanda miti, kuna wale ambao hupinga kupanda miti katika mashamba yao. Hawa ndio huchangia kuharibu mazingira. Kunao wale pia ambao hukatakata miti ovyo ovyo na kuharibu mazingira.
Mazingira kama misitu ni maskani ya wanyama wengi wa porini. Tunapokata miti, tunaharibu maskani ya wanyama hawa. Moto ambazo huwashwa katika misitu pia huharibu mazingira kwani husababisha ukosefu wa hewa safi na pia kuharibu hali ya anga.
Sisi kama wakenya tunajivunia nchi yetu ya Kenya. Ingawa tu, kuna watu ambao hawawezi kuona kitu kizuri kikifaulu. Katika nchi yetu ya Kenya, kuna mahali kwingi tofauti tofauti ambako kunavutia watalii kutoka nchi za nje.
Watalii hupenda kuja kuona wanyama porini. Wanyama hawa wa porini hukaa katika misitu.Watalii pia huvutiwa na mito, maziwa na milima ya huku Kenya.Watalii hawa huchangia kukuza uchumi wetu kwani wanalipa pesa ili kuzuru maeneo tofauti tofauti.
Mazingira ni muhimu katika maisha ya binadamu na hata kwa wanyama wa msituni. Ndio maana tunahimizwa tupande na tukuze miche midogo midogo ili itakaponyauka tuweze kupanda miti mingi na pia tunyunyizie maji ili iweze kustawi bila kukauka. Tukuze mazingira yetu na tuwache kukata miti ovyo ovyo.
| Watalii kutoka nchi za nje huja kuona nini | {
"text": [
"Wanyamapori"
]
} |
1568_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Tunafaa kuwa wasafi ili kuzuia maradhi kama vile kipindupindu na korona. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu. Pia tunafaa kuwa wasafi kimwili. Usafi unafaa kufanyika pahali.
Kuna madhara mangi ambayo yanatokana na uchafuzi wa mazingira. Wengi wetu hatuzingatii mazingira inavyostahili. Uchofu ni kitu kibaya sana. Unapokuwa na uchafu, roho yako huwa chofu pia. Tunapokuwa wasafi, nchi yetu hutembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigeni.
Shuleni, huwa tuna viranja wa mazingira ambao huzingatia mazingira ya shule kuwa safi.Watu wanaopatikana wakichafua mazingira wanafaa kuchukuliwa hatua. Tunapokosa kuzingatia mazingira, nchi yetu huonekana yenye uchafu ikilinganishwa na nchi zingine.
Uchafuzi wa mazingira umewafanya watu wengi kupoteza maisha yao na kuwafanya watoto kubaki mayatima, na kukosa wa kuwavisha na kuwalisha. Wananchi wameweza kuelimishwa kuhusu madhara ya uchafu wa mazingira.
Tunafaa kuilinda nchi yetu kwa vyovyote vile na pia kuirembesha. Tukizingatia hayo, nchi yetu itaweza kupata pesa nyingi kutokana na utalii.
Tunafaa kuchoma taka taka ambazo ziko katika mazingira yetu. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo tu, tunafaa kutupa katika pipa za taka taka ili ziweze kuchomwa.
Tunafaa kumwaga maji machafu mahali ambapo panafaa ili kuzuia ugonjwa wa malaria na magonjwa mengine yanayohusiana na mazingira machafu.
Tuwaelimishe watoto wetu ili watilie maanani umuhumu wa kutunza mazingira. Tunafaa kuwa safi kila wakati na tutunze mazingira yetu. | Ugonjwa upi huzuka kutokana na mazingira kuwa machafu | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1568_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Tunafaa kuwa wasafi ili kuzuia maradhi kama vile kipindupindu na korona. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu. Pia tunafaa kuwa wasafi kimwili. Usafi unafaa kufanyika pahali.
Kuna madhara mangi ambayo yanatokana na uchafuzi wa mazingira. Wengi wetu hatuzingatii mazingira inavyostahili. Uchofu ni kitu kibaya sana. Unapokuwa na uchafu, roho yako huwa chofu pia. Tunapokuwa wasafi, nchi yetu hutembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigeni.
Shuleni, huwa tuna viranja wa mazingira ambao huzingatia mazingira ya shule kuwa safi.Watu wanaopatikana wakichafua mazingira wanafaa kuchukuliwa hatua. Tunapokosa kuzingatia mazingira, nchi yetu huonekana yenye uchafu ikilinganishwa na nchi zingine.
Uchafuzi wa mazingira umewafanya watu wengi kupoteza maisha yao na kuwafanya watoto kubaki mayatima, na kukosa wa kuwavisha na kuwalisha. Wananchi wameweza kuelimishwa kuhusu madhara ya uchafu wa mazingira.
Tunafaa kuilinda nchi yetu kwa vyovyote vile na pia kuirembesha. Tukizingatia hayo, nchi yetu itaweza kupata pesa nyingi kutokana na utalii.
Tunafaa kuchoma taka taka ambazo ziko katika mazingira yetu. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo tu, tunafaa kutupa katika pipa za taka taka ili ziweze kuchomwa.
Tunafaa kumwaga maji machafu mahali ambapo panafaa ili kuzuia ugonjwa wa malaria na magonjwa mengine yanayohusiana na mazingira machafu.
Tuwaelimishe watoto wetu ili watilie maanani umuhumu wa kutunza mazingira. Tunafaa kuwa safi kila wakati na tutunze mazingira yetu. | Shuleni Kina nani huzingatia usafi wa mazingara | {
"text": [
"Viranja wa mazingira"
]
} |
1568_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Tunafaa kuwa wasafi ili kuzuia maradhi kama vile kipindupindu na korona. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu. Pia tunafaa kuwa wasafi kimwili. Usafi unafaa kufanyika pahali.
Kuna madhara mangi ambayo yanatokana na uchafuzi wa mazingira. Wengi wetu hatuzingatii mazingira inavyostahili. Uchofu ni kitu kibaya sana. Unapokuwa na uchafu, roho yako huwa chofu pia. Tunapokuwa wasafi, nchi yetu hutembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigeni.
Shuleni, huwa tuna viranja wa mazingira ambao huzingatia mazingira ya shule kuwa safi.Watu wanaopatikana wakichafua mazingira wanafaa kuchukuliwa hatua. Tunapokosa kuzingatia mazingira, nchi yetu huonekana yenye uchafu ikilinganishwa na nchi zingine.
Uchafuzi wa mazingira umewafanya watu wengi kupoteza maisha yao na kuwafanya watoto kubaki mayatima, na kukosa wa kuwavisha na kuwalisha. Wananchi wameweza kuelimishwa kuhusu madhara ya uchafu wa mazingira.
Tunafaa kuilinda nchi yetu kwa vyovyote vile na pia kuirembesha. Tukizingatia hayo, nchi yetu itaweza kupata pesa nyingi kutokana na utalii.
Tunafaa kuchoma taka taka ambazo ziko katika mazingira yetu. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo tu, tunafaa kutupa katika pipa za taka taka ili ziweze kuchomwa.
Tunafaa kumwaga maji machafu mahali ambapo panafaa ili kuzuia ugonjwa wa malaria na magonjwa mengine yanayohusiana na mazingira machafu.
Tuwaelimishe watoto wetu ili watilie maanani umuhumu wa kutunza mazingira. Tunafaa kuwa safi kila wakati na tutunze mazingira yetu. | Uyatima kwa watoto husababishwa na nini | {
"text": [
"Uchafuzi wa mazingira"
]
} |
1568_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Tunafaa kuwa wasafi ili kuzuia maradhi kama vile kipindupindu na korona. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu. Pia tunafaa kuwa wasafi kimwili. Usafi unafaa kufanyika pahali.
Kuna madhara mangi ambayo yanatokana na uchafuzi wa mazingira. Wengi wetu hatuzingatii mazingira inavyostahili. Uchofu ni kitu kibaya sana. Unapokuwa na uchafu, roho yako huwa chofu pia. Tunapokuwa wasafi, nchi yetu hutembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigeni.
Shuleni, huwa tuna viranja wa mazingira ambao huzingatia mazingira ya shule kuwa safi.Watu wanaopatikana wakichafua mazingira wanafaa kuchukuliwa hatua. Tunapokosa kuzingatia mazingira, nchi yetu huonekana yenye uchafu ikilinganishwa na nchi zingine.
Uchafuzi wa mazingira umewafanya watu wengi kupoteza maisha yao na kuwafanya watoto kubaki mayatima, na kukosa wa kuwavisha na kuwalisha. Wananchi wameweza kuelimishwa kuhusu madhara ya uchafu wa mazingira.
Tunafaa kuilinda nchi yetu kwa vyovyote vile na pia kuirembesha. Tukizingatia hayo, nchi yetu itaweza kupata pesa nyingi kutokana na utalii.
Tunafaa kuchoma taka taka ambazo ziko katika mazingira yetu. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo tu, tunafaa kutupa katika pipa za taka taka ili ziweze kuchomwa.
Tunafaa kumwaga maji machafu mahali ambapo panafaa ili kuzuia ugonjwa wa malaria na magonjwa mengine yanayohusiana na mazingira machafu.
Tuwaelimishe watoto wetu ili watilie maanani umuhumu wa kutunza mazingira. Tunafaa kuwa safi kila wakati na tutunze mazingira yetu. | Usafi wa mazingira huvutia kina nani | {
"text": [
"Watalii"
]
} |
1568_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Tunafaa kuwa wasafi ili kuzuia maradhi kama vile kipindupindu na korona. Tunafaa kuzingatia mazingira yetu. Pia tunafaa kuwa wasafi kimwili. Usafi unafaa kufanyika pahali.
Kuna madhara mangi ambayo yanatokana na uchafuzi wa mazingira. Wengi wetu hatuzingatii mazingira inavyostahili. Uchofu ni kitu kibaya sana. Unapokuwa na uchafu, roho yako huwa chofu pia. Tunapokuwa wasafi, nchi yetu hutembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigeni.
Shuleni, huwa tuna viranja wa mazingira ambao huzingatia mazingira ya shule kuwa safi.Watu wanaopatikana wakichafua mazingira wanafaa kuchukuliwa hatua. Tunapokosa kuzingatia mazingira, nchi yetu huonekana yenye uchafu ikilinganishwa na nchi zingine.
Uchafuzi wa mazingira umewafanya watu wengi kupoteza maisha yao na kuwafanya watoto kubaki mayatima, na kukosa wa kuwavisha na kuwalisha. Wananchi wameweza kuelimishwa kuhusu madhara ya uchafu wa mazingira.
Tunafaa kuilinda nchi yetu kwa vyovyote vile na pia kuirembesha. Tukizingatia hayo, nchi yetu itaweza kupata pesa nyingi kutokana na utalii.
Tunafaa kuchoma taka taka ambazo ziko katika mazingira yetu. Hatufai kutupa taka taka ovyo ovyo tu, tunafaa kutupa katika pipa za taka taka ili ziweze kuchomwa.
Tunafaa kumwaga maji machafu mahali ambapo panafaa ili kuzuia ugonjwa wa malaria na magonjwa mengine yanayohusiana na mazingira machafu.
Tuwaelimishe watoto wetu ili watilie maanani umuhumu wa kutunza mazingira. Tunafaa kuwa safi kila wakati na tutunze mazingira yetu. | Ugonjwa upi utazuiwa iwapo maji machafu yatamwagwa panapofaa | {
"text": [
"Malaria"
]
} |
1570_swa | MADHARA YA KUCHAFWA MAZINGIRA
Mazingira ni sehemu inanayozunguka viumbe vyote. Kwa kweli mazingira ni pahali ambapo tunafaa kutunza vizuri kwani hata Mwenyezi Mungu hupenda mazingira safi.Ikiwa Mwenyezi Mungu anapenda pahali pasafi na je sisi wanadamu?
Ningependa kuelezea ni nini huharibu mazingira yetu tusipoitunza.Kuna vifaa vingi tunavyotumia ambavyo tukitupa ovyo ovyo huharibu mazingira yetu. Karatasi ni mojawapo ya vitu tunazotumia aambavyo huharibu mazingira yetu.Tunafaa kupunguza matumizi ya karatasi au iwapo ni lazima tuzitumie, tutafute njia mwafaka ya kutupa.
Jambo la tatu ni ukosefu wa vyoo vya kutosha. Watu wachache tu ndio walio na vyoo katika maboma yao. Hao wengine ambao hawana vyoo hulazimika kwenda choo misituni na hivyo kuchangia uharibifu wa mazingira. Tunahimizwa kuboresha mazingira yetu kwa kuchimba vyoo vingi.
Tunahimizwa kutumia dawa za kusafisha maji haya kabla ya kuyatumia. | Karatasi zinafaa kutupwa wapi? | {
"text": [
"Biwi la takataka"
]
} |
1570_swa | MADHARA YA KUCHAFWA MAZINGIRA
Mazingira ni sehemu inanayozunguka viumbe vyote. Kwa kweli mazingira ni pahali ambapo tunafaa kutunza vizuri kwani hata Mwenyezi Mungu hupenda mazingira safi.Ikiwa Mwenyezi Mungu anapenda pahali pasafi na je sisi wanadamu?
Ningependa kuelezea ni nini huharibu mazingira yetu tusipoitunza.Kuna vifaa vingi tunavyotumia ambavyo tukitupa ovyo ovyo huharibu mazingira yetu. Karatasi ni mojawapo ya vitu tunazotumia aambavyo huharibu mazingira yetu.Tunafaa kupunguza matumizi ya karatasi au iwapo ni lazima tuzitumie, tutafute njia mwafaka ya kutupa.
Jambo la tatu ni ukosefu wa vyoo vya kutosha. Watu wachache tu ndio walio na vyoo katika maboma yao. Hao wengine ambao hawana vyoo hulazimika kwenda choo misituni na hivyo kuchangia uharibifu wa mazingira. Tunahimizwa kuboresha mazingira yetu kwa kuchimba vyoo vingi.
Tunahimizwa kutumia dawa za kusafisha maji haya kabla ya kuyatumia. | Eneo linalomzunguka mtu mahali anapoishi huitwaje? | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1570_swa | MADHARA YA KUCHAFWA MAZINGIRA
Mazingira ni sehemu inanayozunguka viumbe vyote. Kwa kweli mazingira ni pahali ambapo tunafaa kutunza vizuri kwani hata Mwenyezi Mungu hupenda mazingira safi.Ikiwa Mwenyezi Mungu anapenda pahali pasafi na je sisi wanadamu?
Ningependa kuelezea ni nini huharibu mazingira yetu tusipoitunza.Kuna vifaa vingi tunavyotumia ambavyo tukitupa ovyo ovyo huharibu mazingira yetu. Karatasi ni mojawapo ya vitu tunazotumia aambavyo huharibu mazingira yetu.Tunafaa kupunguza matumizi ya karatasi au iwapo ni lazima tuzitumie, tutafute njia mwafaka ya kutupa.
Jambo la tatu ni ukosefu wa vyoo vya kutosha. Watu wachache tu ndio walio na vyoo katika maboma yao. Hao wengine ambao hawana vyoo hulazimika kwenda choo misituni na hivyo kuchangia uharibifu wa mazingira. Tunahimizwa kuboresha mazingira yetu kwa kuchimba vyoo vingi.
Tunahimizwa kutumia dawa za kusafisha maji haya kabla ya kuyatumia. | Watu wengi wanaishi katika vyumba ambavyo havina nini? | {
"text": [
"Vyoo"
]
} |
1570_swa | MADHARA YA KUCHAFWA MAZINGIRA
Mazingira ni sehemu inanayozunguka viumbe vyote. Kwa kweli mazingira ni pahali ambapo tunafaa kutunza vizuri kwani hata Mwenyezi Mungu hupenda mazingira safi.Ikiwa Mwenyezi Mungu anapenda pahali pasafi na je sisi wanadamu?
Ningependa kuelezea ni nini huharibu mazingira yetu tusipoitunza.Kuna vifaa vingi tunavyotumia ambavyo tukitupa ovyo ovyo huharibu mazingira yetu. Karatasi ni mojawapo ya vitu tunazotumia aambavyo huharibu mazingira yetu.Tunafaa kupunguza matumizi ya karatasi au iwapo ni lazima tuzitumie, tutafute njia mwafaka ya kutupa.
Jambo la tatu ni ukosefu wa vyoo vya kutosha. Watu wachache tu ndio walio na vyoo katika maboma yao. Hao wengine ambao hawana vyoo hulazimika kwenda choo misituni na hivyo kuchangia uharibifu wa mazingira. Tunahimizwa kuboresha mazingira yetu kwa kuchimba vyoo vingi.
Tunahimizwa kutumia dawa za kusafisha maji haya kabla ya kuyatumia. | Watu kwenda msalani kiholelaholea huleta harufu mbaya ambayo huharibu nini? | {
"text": [
"Hewa"
]
} |
1570_swa | MADHARA YA KUCHAFWA MAZINGIRA
Mazingira ni sehemu inanayozunguka viumbe vyote. Kwa kweli mazingira ni pahali ambapo tunafaa kutunza vizuri kwani hata Mwenyezi Mungu hupenda mazingira safi.Ikiwa Mwenyezi Mungu anapenda pahali pasafi na je sisi wanadamu?
Ningependa kuelezea ni nini huharibu mazingira yetu tusipoitunza.Kuna vifaa vingi tunavyotumia ambavyo tukitupa ovyo ovyo huharibu mazingira yetu. Karatasi ni mojawapo ya vitu tunazotumia aambavyo huharibu mazingira yetu.Tunafaa kupunguza matumizi ya karatasi au iwapo ni lazima tuzitumie, tutafute njia mwafaka ya kutupa.
Jambo la tatu ni ukosefu wa vyoo vya kutosha. Watu wachache tu ndio walio na vyoo katika maboma yao. Hao wengine ambao hawana vyoo hulazimika kwenda choo misituni na hivyo kuchangia uharibifu wa mazingira. Tunahimizwa kuboresha mazingira yetu kwa kuchimba vyoo vingi.
Tunahimizwa kutumia dawa za kusafisha maji haya kabla ya kuyatumia. | Mwandishi anahimiza watu kunywa maji yapi? | {
"text": [
"Masafi"
]
} |
1571_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Usafi ni kitu cha muhimu katika maisha yetu ya sasa. Kila jambo tulifanyalo ni lazima liwe safi, waam tukipuuza kidogo, mengi na makubwa yatatukumba. Mazingira yetu ni kitu tunayofaa kutunza na kuyaweka safi kila sekunde. Kudumisha usafi ni jambo muhimu kwa sababu hufanya maisha ya binadamu kuwa bora zaidi na yakupendeza kabisa.
Ila kwa bahati mbaya au nzuri, wananchi wengi wameweza kupuuza ushauri uliotolewa na wizara ya afya na hata wizara ya mazingira kuhusu umuhimu wa kua mazingira safi na ya kupendeza.
Uchafuzi wa mazingira umeleta madhara mengi kama vile maafa chungu nzima katika maisha tunayoishi sasa. Magonjwa mengi yameweza kutokea kila muda na kuwasababisha watu kutumia pesa nyingi hospitalini wakati hali ya uchumiikizidi kuzorota. Kuchafuka kwa mazingira kumekuwa pigo kubwa kwa wanyama wetu mwituni na wa nyumbani.
Njia nyingine ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu au takataka kila mahali bila kuzingatia kanuni zinazofaa. Kwa kutupa uchafu kila mahali mazingira yetu yanaanza kuwa chafu na tunakosa hewa safi. Jambo muhimu tunalofaa kufanya ni kuweka mapipa ya kuwekea uchafu na kuchimba shimo za kuchomea takataka. Tukifanya hivo tutaweza kukaa mahali pasafi kila wakati.
Ni Jambo muhimu sana kuwacha kumwaga maji chafu kila mahali kwani maji haya hunuka. Tunaweza kukosa mahali pa kupumzika wakati jua liko utosini kwani kila mahali pamechafuka na kusababisha magonjwa mengi sana.
Maafa tumeweza kupata ni kwa sababu ya magonjwa wa kila aina,tumeweza kupoteza wapendwa wetu na watoto kubaki mayatima,bila mtu wa kuwalisha au kuwavisha. Uchafuzi wa mazingira umetufanya kukumbwa na janga hili la korona lisilo sikia dawa yoyote na kutetemesha dunia nzima huku wengine wakiachwa bure bilashi.
Balaa bin beleua imetokea kutokana na utovu wa usafi. Ukosefu pia wa vyoo vya kutosha pia husababisha magonjwa kama vile kuendesha mara kwa mara na ugonjwa wa kipindupindu.
Mambo tunayofaa kufanya ili kupunguza uchafu wa mazingira ni kunawa mikono mara kwa mara ili tweze kuondoa huu ugonjwa wa Korona. Jambo lingine ni kusafisha mazingira kwa kupanda miti na kuondoa takataka kila sehemu itayokuwepo. Vyoo na nyumbani kwetu kuwe safi Tujihadhari kabla ya adhari ili tuweze kupata tabasamu nyusoni mwetu kwa maisha ya usoni.
| Usafi ni muhimu katika maisha yetu ya lini | {
"text": [
"ya sasa"
]
} |
1571_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Usafi ni kitu cha muhimu katika maisha yetu ya sasa. Kila jambo tulifanyalo ni lazima liwe safi, waam tukipuuza kidogo, mengi na makubwa yatatukumba. Mazingira yetu ni kitu tunayofaa kutunza na kuyaweka safi kila sekunde. Kudumisha usafi ni jambo muhimu kwa sababu hufanya maisha ya binadamu kuwa bora zaidi na yakupendeza kabisa.
Ila kwa bahati mbaya au nzuri, wananchi wengi wameweza kupuuza ushauri uliotolewa na wizara ya afya na hata wizara ya mazingira kuhusu umuhimu wa kua mazingira safi na ya kupendeza.
Uchafuzi wa mazingira umeleta madhara mengi kama vile maafa chungu nzima katika maisha tunayoishi sasa. Magonjwa mengi yameweza kutokea kila muda na kuwasababisha watu kutumia pesa nyingi hospitalini wakati hali ya uchumiikizidi kuzorota. Kuchafuka kwa mazingira kumekuwa pigo kubwa kwa wanyama wetu mwituni na wa nyumbani.
Njia nyingine ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu au takataka kila mahali bila kuzingatia kanuni zinazofaa. Kwa kutupa uchafu kila mahali mazingira yetu yanaanza kuwa chafu na tunakosa hewa safi. Jambo muhimu tunalofaa kufanya ni kuweka mapipa ya kuwekea uchafu na kuchimba shimo za kuchomea takataka. Tukifanya hivo tutaweza kukaa mahali pasafi kila wakati.
Ni Jambo muhimu sana kuwacha kumwaga maji chafu kila mahali kwani maji haya hunuka. Tunaweza kukosa mahali pa kupumzika wakati jua liko utosini kwani kila mahali pamechafuka na kusababisha magonjwa mengi sana.
Maafa tumeweza kupata ni kwa sababu ya magonjwa wa kila aina,tumeweza kupoteza wapendwa wetu na watoto kubaki mayatima,bila mtu wa kuwalisha au kuwavisha. Uchafuzi wa mazingira umetufanya kukumbwa na janga hili la korona lisilo sikia dawa yoyote na kutetemesha dunia nzima huku wengine wakiachwa bure bilashi.
Balaa bin beleua imetokea kutokana na utovu wa usafi. Ukosefu pia wa vyoo vya kutosha pia husababisha magonjwa kama vile kuendesha mara kwa mara na ugonjwa wa kipindupindu.
Mambo tunayofaa kufanya ili kupunguza uchafu wa mazingira ni kunawa mikono mara kwa mara ili tweze kuondoa huu ugonjwa wa Korona. Jambo lingine ni kusafisha mazingira kwa kupanda miti na kuondoa takataka kila sehemu itayokuwepo. Vyoo na nyumbani kwetu kuwe safi Tujihadhari kabla ya adhari ili tuweze kupata tabasamu nyusoni mwetu kwa maisha ya usoni.
| Wananchi wengi hupuuza nini | {
"text": [
"ushauri"
]
} |
1571_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Usafi ni kitu cha muhimu katika maisha yetu ya sasa. Kila jambo tulifanyalo ni lazima liwe safi, waam tukipuuza kidogo, mengi na makubwa yatatukumba. Mazingira yetu ni kitu tunayofaa kutunza na kuyaweka safi kila sekunde. Kudumisha usafi ni jambo muhimu kwa sababu hufanya maisha ya binadamu kuwa bora zaidi na yakupendeza kabisa.
Ila kwa bahati mbaya au nzuri, wananchi wengi wameweza kupuuza ushauri uliotolewa na wizara ya afya na hata wizara ya mazingira kuhusu umuhimu wa kua mazingira safi na ya kupendeza.
Uchafuzi wa mazingira umeleta madhara mengi kama vile maafa chungu nzima katika maisha tunayoishi sasa. Magonjwa mengi yameweza kutokea kila muda na kuwasababisha watu kutumia pesa nyingi hospitalini wakati hali ya uchumiikizidi kuzorota. Kuchafuka kwa mazingira kumekuwa pigo kubwa kwa wanyama wetu mwituni na wa nyumbani.
Njia nyingine ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu au takataka kila mahali bila kuzingatia kanuni zinazofaa. Kwa kutupa uchafu kila mahali mazingira yetu yanaanza kuwa chafu na tunakosa hewa safi. Jambo muhimu tunalofaa kufanya ni kuweka mapipa ya kuwekea uchafu na kuchimba shimo za kuchomea takataka. Tukifanya hivo tutaweza kukaa mahali pasafi kila wakati.
Ni Jambo muhimu sana kuwacha kumwaga maji chafu kila mahali kwani maji haya hunuka. Tunaweza kukosa mahali pa kupumzika wakati jua liko utosini kwani kila mahali pamechafuka na kusababisha magonjwa mengi sana.
Maafa tumeweza kupata ni kwa sababu ya magonjwa wa kila aina,tumeweza kupoteza wapendwa wetu na watoto kubaki mayatima,bila mtu wa kuwalisha au kuwavisha. Uchafuzi wa mazingira umetufanya kukumbwa na janga hili la korona lisilo sikia dawa yoyote na kutetemesha dunia nzima huku wengine wakiachwa bure bilashi.
Balaa bin beleua imetokea kutokana na utovu wa usafi. Ukosefu pia wa vyoo vya kutosha pia husababisha magonjwa kama vile kuendesha mara kwa mara na ugonjwa wa kipindupindu.
Mambo tunayofaa kufanya ili kupunguza uchafu wa mazingira ni kunawa mikono mara kwa mara ili tweze kuondoa huu ugonjwa wa Korona. Jambo lingine ni kusafisha mazingira kwa kupanda miti na kuondoa takataka kila sehemu itayokuwepo. Vyoo na nyumbani kwetu kuwe safi Tujihadhari kabla ya adhari ili tuweze kupata tabasamu nyusoni mwetu kwa maisha ya usoni.
| Tuwache kumwaga maji gani kila mahali | {
"text": [
"machafu"
]
} |
1571_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Usafi ni kitu cha muhimu katika maisha yetu ya sasa. Kila jambo tulifanyalo ni lazima liwe safi, waam tukipuuza kidogo, mengi na makubwa yatatukumba. Mazingira yetu ni kitu tunayofaa kutunza na kuyaweka safi kila sekunde. Kudumisha usafi ni jambo muhimu kwa sababu hufanya maisha ya binadamu kuwa bora zaidi na yakupendeza kabisa.
Ila kwa bahati mbaya au nzuri, wananchi wengi wameweza kupuuza ushauri uliotolewa na wizara ya afya na hata wizara ya mazingira kuhusu umuhimu wa kua mazingira safi na ya kupendeza.
Uchafuzi wa mazingira umeleta madhara mengi kama vile maafa chungu nzima katika maisha tunayoishi sasa. Magonjwa mengi yameweza kutokea kila muda na kuwasababisha watu kutumia pesa nyingi hospitalini wakati hali ya uchumiikizidi kuzorota. Kuchafuka kwa mazingira kumekuwa pigo kubwa kwa wanyama wetu mwituni na wa nyumbani.
Njia nyingine ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu au takataka kila mahali bila kuzingatia kanuni zinazofaa. Kwa kutupa uchafu kila mahali mazingira yetu yanaanza kuwa chafu na tunakosa hewa safi. Jambo muhimu tunalofaa kufanya ni kuweka mapipa ya kuwekea uchafu na kuchimba shimo za kuchomea takataka. Tukifanya hivo tutaweza kukaa mahali pasafi kila wakati.
Ni Jambo muhimu sana kuwacha kumwaga maji chafu kila mahali kwani maji haya hunuka. Tunaweza kukosa mahali pa kupumzika wakati jua liko utosini kwani kila mahali pamechafuka na kusababisha magonjwa mengi sana.
Maafa tumeweza kupata ni kwa sababu ya magonjwa wa kila aina,tumeweza kupoteza wapendwa wetu na watoto kubaki mayatima,bila mtu wa kuwalisha au kuwavisha. Uchafuzi wa mazingira umetufanya kukumbwa na janga hili la korona lisilo sikia dawa yoyote na kutetemesha dunia nzima huku wengine wakiachwa bure bilashi.
Balaa bin beleua imetokea kutokana na utovu wa usafi. Ukosefu pia wa vyoo vya kutosha pia husababisha magonjwa kama vile kuendesha mara kwa mara na ugonjwa wa kipindupindu.
Mambo tunayofaa kufanya ili kupunguza uchafu wa mazingira ni kunawa mikono mara kwa mara ili tweze kuondoa huu ugonjwa wa Korona. Jambo lingine ni kusafisha mazingira kwa kupanda miti na kuondoa takataka kila sehemu itayokuwepo. Vyoo na nyumbani kwetu kuwe safi Tujihadhari kabla ya adhari ili tuweze kupata tabasamu nyusoni mwetu kwa maisha ya usoni.
| Magonjwa yametufanya kupoteza nani | {
"text": [
"wapendwa wetu"
]
} |
1571_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Usafi ni kitu cha muhimu katika maisha yetu ya sasa. Kila jambo tulifanyalo ni lazima liwe safi, waam tukipuuza kidogo, mengi na makubwa yatatukumba. Mazingira yetu ni kitu tunayofaa kutunza na kuyaweka safi kila sekunde. Kudumisha usafi ni jambo muhimu kwa sababu hufanya maisha ya binadamu kuwa bora zaidi na yakupendeza kabisa.
Ila kwa bahati mbaya au nzuri, wananchi wengi wameweza kupuuza ushauri uliotolewa na wizara ya afya na hata wizara ya mazingira kuhusu umuhimu wa kua mazingira safi na ya kupendeza.
Uchafuzi wa mazingira umeleta madhara mengi kama vile maafa chungu nzima katika maisha tunayoishi sasa. Magonjwa mengi yameweza kutokea kila muda na kuwasababisha watu kutumia pesa nyingi hospitalini wakati hali ya uchumiikizidi kuzorota. Kuchafuka kwa mazingira kumekuwa pigo kubwa kwa wanyama wetu mwituni na wa nyumbani.
Njia nyingine ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu au takataka kila mahali bila kuzingatia kanuni zinazofaa. Kwa kutupa uchafu kila mahali mazingira yetu yanaanza kuwa chafu na tunakosa hewa safi. Jambo muhimu tunalofaa kufanya ni kuweka mapipa ya kuwekea uchafu na kuchimba shimo za kuchomea takataka. Tukifanya hivo tutaweza kukaa mahali pasafi kila wakati.
Ni Jambo muhimu sana kuwacha kumwaga maji chafu kila mahali kwani maji haya hunuka. Tunaweza kukosa mahali pa kupumzika wakati jua liko utosini kwani kila mahali pamechafuka na kusababisha magonjwa mengi sana.
Maafa tumeweza kupata ni kwa sababu ya magonjwa wa kila aina,tumeweza kupoteza wapendwa wetu na watoto kubaki mayatima,bila mtu wa kuwalisha au kuwavisha. Uchafuzi wa mazingira umetufanya kukumbwa na janga hili la korona lisilo sikia dawa yoyote na kutetemesha dunia nzima huku wengine wakiachwa bure bilashi.
Balaa bin beleua imetokea kutokana na utovu wa usafi. Ukosefu pia wa vyoo vya kutosha pia husababisha magonjwa kama vile kuendesha mara kwa mara na ugonjwa wa kipindupindu.
Mambo tunayofaa kufanya ili kupunguza uchafu wa mazingira ni kunawa mikono mara kwa mara ili tweze kuondoa huu ugonjwa wa Korona. Jambo lingine ni kusafisha mazingira kwa kupanda miti na kuondoa takataka kila sehemu itayokuwepo. Vyoo na nyumbani kwetu kuwe safi Tujihadhari kabla ya adhari ili tuweze kupata tabasamu nyusoni mwetu kwa maisha ya usoni.
| Mbona tunawe mikono mara kwa mara | {
"text": [
"ili kuondoa huu ugonjwa wa korona"
]
} |
1572_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Mazingira ni vitu ambavyo vinatuzunguka mahala ambapo tunaishi; manyumbani na hata shuleni kwetu. Mazingira ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Pia afya yetu huboreshwa kama mazingira yetu ni safi kila mara. Mazingira yetu ni ya dhamana sana maishani mwetu. Tunapozungumza kuhusu mazingira, tunamkumbuka bingwa mkuu sana Bi. Wangari Maathai.
Mazingira yanafaa kutunzwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali kama kipindupindu, na hata kichocho na malaria. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuendesha na kutapika ambao unasababishwa na kula vyakula chafu kama mboga ambazo hazijaoshwa, matunda machafu, na kunywa maji chafu.
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu waitwao mbu. Wadudu hawa hutaga na kuangua mayai kwenye maji yaliyo simama mahali moja kwa muda mrefu. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu wanaopatikana kwenye maji chafu.
Mwanadamu ndio chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira. Tunapotumia vitu kama karatasi, vyupa vya plastiki, kisha kuvitupa njee tunayachafua mazingira yetu.Pia, maganda ya vyakula na hata chupa za glassi ambazo hazichomeki kwa vyovyote vile.
Tunapokata miti pia tunasababisha madhara kubwa sana kwa sababu tunaweza kosa mvua ya kutosha na ukosefu wa vyakula vya kutosha nchini mwetu na hata maji ya kunywa.Hata wanyamapori nchini mwetu wanaweza fariki kwa ukosefu wa chakula na maji.
Jinsi ya kutunza mazingira kwanza ni kupanda miti mara kwa mara ili tupate hewa safi na maji safi na hata vyakula. Tunapotumia karatasi na chupa tunafaa kuzichoma.
Tunapotumia karatasi na chupa za plastizi tunafa kuzichoma. Tunafaa kuchoma taka taka kila mara ili tutunze mazingira yetu.
| Kipi huboreshwa mazingira yakiwa safi | {
"text": [
"Afya"
]
} |
1572_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Mazingira ni vitu ambavyo vinatuzunguka mahala ambapo tunaishi; manyumbani na hata shuleni kwetu. Mazingira ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Pia afya yetu huboreshwa kama mazingira yetu ni safi kila mara. Mazingira yetu ni ya dhamana sana maishani mwetu. Tunapozungumza kuhusu mazingira, tunamkumbuka bingwa mkuu sana Bi. Wangari Maathai.
Mazingira yanafaa kutunzwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali kama kipindupindu, na hata kichocho na malaria. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuendesha na kutapika ambao unasababishwa na kula vyakula chafu kama mboga ambazo hazijaoshwa, matunda machafu, na kunywa maji chafu.
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu waitwao mbu. Wadudu hawa hutaga na kuangua mayai kwenye maji yaliyo simama mahali moja kwa muda mrefu. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu wanaopatikana kwenye maji chafu.
Mwanadamu ndio chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira. Tunapotumia vitu kama karatasi, vyupa vya plastiki, kisha kuvitupa njee tunayachafua mazingira yetu.Pia, maganda ya vyakula na hata chupa za glassi ambazo hazichomeki kwa vyovyote vile.
Tunapokata miti pia tunasababisha madhara kubwa sana kwa sababu tunaweza kosa mvua ya kutosha na ukosefu wa vyakula vya kutosha nchini mwetu na hata maji ya kunywa.Hata wanyamapori nchini mwetu wanaweza fariki kwa ukosefu wa chakula na maji.
Jinsi ya kutunza mazingira kwanza ni kupanda miti mara kwa mara ili tupate hewa safi na maji safi na hata vyakula. Tunapotumia karatasi na chupa tunafaa kuzichoma.
Tunapotumia karatasi na chupa za plastizi tunafa kuzichoma. Tunafaa kuchoma taka taka kila mara ili tutunze mazingira yetu.
| Nani alikuwa mtetezi wa mazingira | {
"text": [
"Bi Wangari Mathai"
]
} |
1572_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Mazingira ni vitu ambavyo vinatuzunguka mahala ambapo tunaishi; manyumbani na hata shuleni kwetu. Mazingira ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Pia afya yetu huboreshwa kama mazingira yetu ni safi kila mara. Mazingira yetu ni ya dhamana sana maishani mwetu. Tunapozungumza kuhusu mazingira, tunamkumbuka bingwa mkuu sana Bi. Wangari Maathai.
Mazingira yanafaa kutunzwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali kama kipindupindu, na hata kichocho na malaria. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuendesha na kutapika ambao unasababishwa na kula vyakula chafu kama mboga ambazo hazijaoshwa, matunda machafu, na kunywa maji chafu.
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu waitwao mbu. Wadudu hawa hutaga na kuangua mayai kwenye maji yaliyo simama mahali moja kwa muda mrefu. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu wanaopatikana kwenye maji chafu.
Mwanadamu ndio chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira. Tunapotumia vitu kama karatasi, vyupa vya plastiki, kisha kuvitupa njee tunayachafua mazingira yetu.Pia, maganda ya vyakula na hata chupa za glassi ambazo hazichomeki kwa vyovyote vile.
Tunapokata miti pia tunasababisha madhara kubwa sana kwa sababu tunaweza kosa mvua ya kutosha na ukosefu wa vyakula vya kutosha nchini mwetu na hata maji ya kunywa.Hata wanyamapori nchini mwetu wanaweza fariki kwa ukosefu wa chakula na maji.
Jinsi ya kutunza mazingira kwanza ni kupanda miti mara kwa mara ili tupate hewa safi na maji safi na hata vyakula. Tunapotumia karatasi na chupa tunafaa kuzichoma.
Tunapotumia karatasi na chupa za plastizi tunafa kuzichoma. Tunafaa kuchoma taka taka kila mara ili tutunze mazingira yetu.
| Ni magonjwa yapi huepukika mazingira yakitunzwa | {
"text": [
"Kipindupindu na kichocho"
]
} |
1572_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Mazingira ni vitu ambavyo vinatuzunguka mahala ambapo tunaishi; manyumbani na hata shuleni kwetu. Mazingira ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Pia afya yetu huboreshwa kama mazingira yetu ni safi kila mara. Mazingira yetu ni ya dhamana sana maishani mwetu. Tunapozungumza kuhusu mazingira, tunamkumbuka bingwa mkuu sana Bi. Wangari Maathai.
Mazingira yanafaa kutunzwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali kama kipindupindu, na hata kichocho na malaria. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuendesha na kutapika ambao unasababishwa na kula vyakula chafu kama mboga ambazo hazijaoshwa, matunda machafu, na kunywa maji chafu.
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu waitwao mbu. Wadudu hawa hutaga na kuangua mayai kwenye maji yaliyo simama mahali moja kwa muda mrefu. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu wanaopatikana kwenye maji chafu.
Mwanadamu ndio chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira. Tunapotumia vitu kama karatasi, vyupa vya plastiki, kisha kuvitupa njee tunayachafua mazingira yetu.Pia, maganda ya vyakula na hata chupa za glassi ambazo hazichomeki kwa vyovyote vile.
Tunapokata miti pia tunasababisha madhara kubwa sana kwa sababu tunaweza kosa mvua ya kutosha na ukosefu wa vyakula vya kutosha nchini mwetu na hata maji ya kunywa.Hata wanyamapori nchini mwetu wanaweza fariki kwa ukosefu wa chakula na maji.
Jinsi ya kutunza mazingira kwanza ni kupanda miti mara kwa mara ili tupate hewa safi na maji safi na hata vyakula. Tunapotumia karatasi na chupa tunafaa kuzichoma.
Tunapotumia karatasi na chupa za plastizi tunafa kuzichoma. Tunafaa kuchoma taka taka kila mara ili tutunze mazingira yetu.
| Ni ugonjwa upi husababishwa na kula vitu vichafu | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1572_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Mazingira ni vitu ambavyo vinatuzunguka mahala ambapo tunaishi; manyumbani na hata shuleni kwetu. Mazingira ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Pia afya yetu huboreshwa kama mazingira yetu ni safi kila mara. Mazingira yetu ni ya dhamana sana maishani mwetu. Tunapozungumza kuhusu mazingira, tunamkumbuka bingwa mkuu sana Bi. Wangari Maathai.
Mazingira yanafaa kutunzwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali kama kipindupindu, na hata kichocho na malaria. Kipindupindu ni ugonjwa wa kuendesha na kutapika ambao unasababishwa na kula vyakula chafu kama mboga ambazo hazijaoshwa, matunda machafu, na kunywa maji chafu.
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu waitwao mbu. Wadudu hawa hutaga na kuangua mayai kwenye maji yaliyo simama mahali moja kwa muda mrefu. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na wadudu wanaopatikana kwenye maji chafu.
Mwanadamu ndio chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira. Tunapotumia vitu kama karatasi, vyupa vya plastiki, kisha kuvitupa njee tunayachafua mazingira yetu.Pia, maganda ya vyakula na hata chupa za glassi ambazo hazichomeki kwa vyovyote vile.
Tunapokata miti pia tunasababisha madhara kubwa sana kwa sababu tunaweza kosa mvua ya kutosha na ukosefu wa vyakula vya kutosha nchini mwetu na hata maji ya kunywa.Hata wanyamapori nchini mwetu wanaweza fariki kwa ukosefu wa chakula na maji.
Jinsi ya kutunza mazingira kwanza ni kupanda miti mara kwa mara ili tupate hewa safi na maji safi na hata vyakula. Tunapotumia karatasi na chupa tunafaa kuzichoma.
Tunapotumia karatasi na chupa za plastizi tunafa kuzichoma. Tunafaa kuchoma taka taka kila mara ili tutunze mazingira yetu.
| Mbu husababisha ugonjwa upi | {
"text": [
"Malaria"
]
} |
1573_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! uchafu wa mazingira ni mbaya sana kwa maisha ya binadamu. Uchafuzi wa mazingira husababishwa na binadamu kwa kuwa hawawezi kuzingatia usafi hata wa mwili. Tukitunza mazingira yetu, tutaweza kujiepusha na marathi mengi.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama kichoch na malaria ambayo yanaweza kuyadhuru maisha yetu.
Ningependa kuwaeleza kuwa tuyatunze mazingira yetu na kuepuka madhara mengi. Tunahimizwa kunawa mikono tunapotoka msalani na kabla ya kukula chakula na matunda kama vile machungwa,ndimu,parachichi,mananasi,mapera,membe na tikitiki maji.
Tukifanya hayo yote hutapatwa na magonjwa yoyote wala na madhara ya uchafu katika mazingira yetu. Vile vile, tunaweza kupanda miti ili tujikinge jua na tupate hewa safi. Watu wengi hufikiri kua uchafuzi wa mazingira hua mkubwa katika nchi yetu kuliko nchi zingine za kigeni.
Hebu tuzingatie usafi tafadhali kwa sababu tupumua hewa safi, kunywa maji safi na kuboresha lishe tutaishi maisha mazuri.Maisha mazuri yenye afya na bila matatizo yoyote ya mazingira chafu. Viwanda aidha huelekeza maji taka yao mitoni na kuchafua maji.
Kwa hivyo,uchafuzi wa mazingira una mathadhara chungu nzima. | Uchafuzi wa mazingira ni mbaya sana kwa kitu gani | {
"text": [
"Maisha ya binadamu"
]
} |
1573_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! uchafu wa mazingira ni mbaya sana kwa maisha ya binadamu. Uchafuzi wa mazingira husababishwa na binadamu kwa kuwa hawawezi kuzingatia usafi hata wa mwili. Tukitunza mazingira yetu, tutaweza kujiepusha na marathi mengi.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama kichoch na malaria ambayo yanaweza kuyadhuru maisha yetu.
Ningependa kuwaeleza kuwa tuyatunze mazingira yetu na kuepuka madhara mengi. Tunahimizwa kunawa mikono tunapotoka msalani na kabla ya kukula chakula na matunda kama vile machungwa,ndimu,parachichi,mananasi,mapera,membe na tikitiki maji.
Tukifanya hayo yote hutapatwa na magonjwa yoyote wala na madhara ya uchafu katika mazingira yetu. Vile vile, tunaweza kupanda miti ili tujikinge jua na tupate hewa safi. Watu wengi hufikiri kua uchafuzi wa mazingira hua mkubwa katika nchi yetu kuliko nchi zingine za kigeni.
Hebu tuzingatie usafi tafadhali kwa sababu tupumua hewa safi, kunywa maji safi na kuboresha lishe tutaishi maisha mazuri.Maisha mazuri yenye afya na bila matatizo yoyote ya mazingira chafu. Viwanda aidha huelekeza maji taka yao mitoni na kuchafua maji.
Kwa hivyo,uchafuzi wa mazingira una mathadhara chungu nzima. | Madhara ya mazingira husababishwa na nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
1573_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! uchafu wa mazingira ni mbaya sana kwa maisha ya binadamu. Uchafuzi wa mazingira husababishwa na binadamu kwa kuwa hawawezi kuzingatia usafi hata wa mwili. Tukitunza mazingira yetu, tutaweza kujiepusha na marathi mengi.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama kichoch na malaria ambayo yanaweza kuyadhuru maisha yetu.
Ningependa kuwaeleza kuwa tuyatunze mazingira yetu na kuepuka madhara mengi. Tunahimizwa kunawa mikono tunapotoka msalani na kabla ya kukula chakula na matunda kama vile machungwa,ndimu,parachichi,mananasi,mapera,membe na tikitiki maji.
Tukifanya hayo yote hutapatwa na magonjwa yoyote wala na madhara ya uchafu katika mazingira yetu. Vile vile, tunaweza kupanda miti ili tujikinge jua na tupate hewa safi. Watu wengi hufikiri kua uchafuzi wa mazingira hua mkubwa katika nchi yetu kuliko nchi zingine za kigeni.
Hebu tuzingatie usafi tafadhali kwa sababu tupumua hewa safi, kunywa maji safi na kuboresha lishe tutaishi maisha mazuri.Maisha mazuri yenye afya na bila matatizo yoyote ya mazingira chafu. Viwanda aidha huelekeza maji taka yao mitoni na kuchafua maji.
Kwa hivyo,uchafuzi wa mazingira una mathadhara chungu nzima. | Ni vyema vilevile tuoshe nini kwa sabuni | {
"text": [
"Mikono yetu"
]
} |
1573_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! uchafu wa mazingira ni mbaya sana kwa maisha ya binadamu. Uchafuzi wa mazingira husababishwa na binadamu kwa kuwa hawawezi kuzingatia usafi hata wa mwili. Tukitunza mazingira yetu, tutaweza kujiepusha na marathi mengi.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama kichoch na malaria ambayo yanaweza kuyadhuru maisha yetu.
Ningependa kuwaeleza kuwa tuyatunze mazingira yetu na kuepuka madhara mengi. Tunahimizwa kunawa mikono tunapotoka msalani na kabla ya kukula chakula na matunda kama vile machungwa,ndimu,parachichi,mananasi,mapera,membe na tikitiki maji.
Tukifanya hayo yote hutapatwa na magonjwa yoyote wala na madhara ya uchafu katika mazingira yetu. Vile vile, tunaweza kupanda miti ili tujikinge jua na tupate hewa safi. Watu wengi hufikiri kua uchafuzi wa mazingira hua mkubwa katika nchi yetu kuliko nchi zingine za kigeni.
Hebu tuzingatie usafi tafadhali kwa sababu tupumua hewa safi, kunywa maji safi na kuboresha lishe tutaishi maisha mazuri.Maisha mazuri yenye afya na bila matatizo yoyote ya mazingira chafu. Viwanda aidha huelekeza maji taka yao mitoni na kuchafua maji.
Kwa hivyo,uchafuzi wa mazingira una mathadhara chungu nzima. | Tunaweza kupanda nini ili tupate hewa safi | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1573_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! uchafu wa mazingira ni mbaya sana kwa maisha ya binadamu. Uchafuzi wa mazingira husababishwa na binadamu kwa kuwa hawawezi kuzingatia usafi hata wa mwili. Tukitunza mazingira yetu, tutaweza kujiepusha na marathi mengi.
Magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama kichoch na malaria ambayo yanaweza kuyadhuru maisha yetu.
Ningependa kuwaeleza kuwa tuyatunze mazingira yetu na kuepuka madhara mengi. Tunahimizwa kunawa mikono tunapotoka msalani na kabla ya kukula chakula na matunda kama vile machungwa,ndimu,parachichi,mananasi,mapera,membe na tikitiki maji.
Tukifanya hayo yote hutapatwa na magonjwa yoyote wala na madhara ya uchafu katika mazingira yetu. Vile vile, tunaweza kupanda miti ili tujikinge jua na tupate hewa safi. Watu wengi hufikiri kua uchafuzi wa mazingira hua mkubwa katika nchi yetu kuliko nchi zingine za kigeni.
Hebu tuzingatie usafi tafadhali kwa sababu tupumua hewa safi, kunywa maji safi na kuboresha lishe tutaishi maisha mazuri.Maisha mazuri yenye afya na bila matatizo yoyote ya mazingira chafu. Viwanda aidha huelekeza maji taka yao mitoni na kuchafua maji.
Kwa hivyo,uchafuzi wa mazingira una mathadhara chungu nzima. | Tukivuta hewa safi na kunywa maji safi tutaishi maisha yaliyoje | {
"text": [
"Yenye afya"
]
} |
1574_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe . Athari ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu katika maisha ya viumbe vyote. Tusipoyatunza mazingira yetu kwa kupaweka pawe pasapi tutapata athari kubwa sana.
Maji ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote hasa viumbe wanaoishi majini kama vile samaki.Taka taka kutoka viwandani hutupwa katika mito na huyachafua maji. Binadamu wakifulia nguo katika mito huyachafua maji. Wengine hata hujisaidia haja zao katika mito.
Kutupatupa taka ovyo ovyo zitokazo kwa nyumbani kwetu husababisha taka taka kurundikana kila mahali. Unapotembea na kupata mirundiko ya taka taka kila mahali, wakati mwingine utakosa ata mahali pa kutembelea.Mandhari haya pia hayapendezi hata kidogo.Hapo ndipo wanyama au wadudu wadogo wadogo kama vile panya huishi na hueneza magonjwa. Jambo hilo linaweza kusababisha magonjwa.
Mathara mengine ni moshi kutoka viwanda,moshi hii huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa inapokuwa chafu, husababisha magonjwa.Magari ambayo tunayaendesha pia yanachangia kwa uchafuzi wa mazingira. Magari hayo hutoa moshi chafa au mbaya na yenye harufu mbovu na inachafua mazingira. Tunapokata miti kwa manufaa ya kuchoma makaa,moshi ya makaa huchafua hewa na kuathiri hali ya anga. No hapo ndipo tunapata ukame.
Serekali imehusika na harakati za uhifadhi wa mazingira pamoja na mashirika mengine, na tunafaa kuwaunga mkono kama wananchi.Tusisahau kua msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma.
| Mazingira ni mambo yanayomzunguka nani | {
"text": [
"kiumbe"
]
} |
1574_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe . Athari ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu katika maisha ya viumbe vyote. Tusipoyatunza mazingira yetu kwa kupaweka pawe pasapi tutapata athari kubwa sana.
Maji ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote hasa viumbe wanaoishi majini kama vile samaki.Taka taka kutoka viwandani hutupwa katika mito na huyachafua maji. Binadamu wakifulia nguo katika mito huyachafua maji. Wengine hata hujisaidia haja zao katika mito.
Kutupatupa taka ovyo ovyo zitokazo kwa nyumbani kwetu husababisha taka taka kurundikana kila mahali. Unapotembea na kupata mirundiko ya taka taka kila mahali, wakati mwingine utakosa ata mahali pa kutembelea.Mandhari haya pia hayapendezi hata kidogo.Hapo ndipo wanyama au wadudu wadogo wadogo kama vile panya huishi na hueneza magonjwa. Jambo hilo linaweza kusababisha magonjwa.
Mathara mengine ni moshi kutoka viwanda,moshi hii huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa inapokuwa chafu, husababisha magonjwa.Magari ambayo tunayaendesha pia yanachangia kwa uchafuzi wa mazingira. Magari hayo hutoa moshi chafa au mbaya na yenye harufu mbovu na inachafua mazingira. Tunapokata miti kwa manufaa ya kuchoma makaa,moshi ya makaa huchafua hewa na kuathiri hali ya anga. No hapo ndipo tunapata ukame.
Serekali imehusika na harakati za uhifadhi wa mazingira pamoja na mashirika mengine, na tunafaa kuwaunga mkono kama wananchi.Tusisahau kua msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma.
| Binadamu huoshea nini katika mito na kuchafua maji | {
"text": [
"nguo"
]
} |
1574_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe . Athari ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu katika maisha ya viumbe vyote. Tusipoyatunza mazingira yetu kwa kupaweka pawe pasapi tutapata athari kubwa sana.
Maji ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote hasa viumbe wanaoishi majini kama vile samaki.Taka taka kutoka viwandani hutupwa katika mito na huyachafua maji. Binadamu wakifulia nguo katika mito huyachafua maji. Wengine hata hujisaidia haja zao katika mito.
Kutupatupa taka ovyo ovyo zitokazo kwa nyumbani kwetu husababisha taka taka kurundikana kila mahali. Unapotembea na kupata mirundiko ya taka taka kila mahali, wakati mwingine utakosa ata mahali pa kutembelea.Mandhari haya pia hayapendezi hata kidogo.Hapo ndipo wanyama au wadudu wadogo wadogo kama vile panya huishi na hueneza magonjwa. Jambo hilo linaweza kusababisha magonjwa.
Mathara mengine ni moshi kutoka viwanda,moshi hii huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa inapokuwa chafu, husababisha magonjwa.Magari ambayo tunayaendesha pia yanachangia kwa uchafuzi wa mazingira. Magari hayo hutoa moshi chafa au mbaya na yenye harufu mbovu na inachafua mazingira. Tunapokata miti kwa manufaa ya kuchoma makaa,moshi ya makaa huchafua hewa na kuathiri hali ya anga. No hapo ndipo tunapata ukame.
Serekali imehusika na harakati za uhifadhi wa mazingira pamoja na mashirika mengine, na tunafaa kuwaunga mkono kama wananchi.Tusisahau kua msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma.
| Panya hueneza nini | {
"text": [
"magonjwa"
]
} |
1574_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe . Athari ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu katika maisha ya viumbe vyote. Tusipoyatunza mazingira yetu kwa kupaweka pawe pasapi tutapata athari kubwa sana.
Maji ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote hasa viumbe wanaoishi majini kama vile samaki.Taka taka kutoka viwandani hutupwa katika mito na huyachafua maji. Binadamu wakifulia nguo katika mito huyachafua maji. Wengine hata hujisaidia haja zao katika mito.
Kutupatupa taka ovyo ovyo zitokazo kwa nyumbani kwetu husababisha taka taka kurundikana kila mahali. Unapotembea na kupata mirundiko ya taka taka kila mahali, wakati mwingine utakosa ata mahali pa kutembelea.Mandhari haya pia hayapendezi hata kidogo.Hapo ndipo wanyama au wadudu wadogo wadogo kama vile panya huishi na hueneza magonjwa. Jambo hilo linaweza kusababisha magonjwa.
Mathara mengine ni moshi kutoka viwanda,moshi hii huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa inapokuwa chafu, husababisha magonjwa.Magari ambayo tunayaendesha pia yanachangia kwa uchafuzi wa mazingira. Magari hayo hutoa moshi chafa au mbaya na yenye harufu mbovu na inachafua mazingira. Tunapokata miti kwa manufaa ya kuchoma makaa,moshi ya makaa huchafua hewa na kuathiri hali ya anga. No hapo ndipo tunapata ukame.
Serekali imehusika na harakati za uhifadhi wa mazingira pamoja na mashirika mengine, na tunafaa kuwaunga mkono kama wananchi.Tusisahau kua msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma.
| Moshi huchafua nini | {
"text": [
"hewa safi"
]
} |
1574_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe . Athari ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu katika maisha ya viumbe vyote. Tusipoyatunza mazingira yetu kwa kupaweka pawe pasapi tutapata athari kubwa sana.
Maji ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote hasa viumbe wanaoishi majini kama vile samaki.Taka taka kutoka viwandani hutupwa katika mito na huyachafua maji. Binadamu wakifulia nguo katika mito huyachafua maji. Wengine hata hujisaidia haja zao katika mito.
Kutupatupa taka ovyo ovyo zitokazo kwa nyumbani kwetu husababisha taka taka kurundikana kila mahali. Unapotembea na kupata mirundiko ya taka taka kila mahali, wakati mwingine utakosa ata mahali pa kutembelea.Mandhari haya pia hayapendezi hata kidogo.Hapo ndipo wanyama au wadudu wadogo wadogo kama vile panya huishi na hueneza magonjwa. Jambo hilo linaweza kusababisha magonjwa.
Mathara mengine ni moshi kutoka viwanda,moshi hii huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa inapokuwa chafu, husababisha magonjwa.Magari ambayo tunayaendesha pia yanachangia kwa uchafuzi wa mazingira. Magari hayo hutoa moshi chafa au mbaya na yenye harufu mbovu na inachafua mazingira. Tunapokata miti kwa manufaa ya kuchoma makaa,moshi ya makaa huchafua hewa na kuathiri hali ya anga. No hapo ndipo tunapata ukame.
Serekali imehusika na harakati za uhifadhi wa mazingira pamoja na mashirika mengine, na tunafaa kuwaunga mkono kama wananchi.Tusisahau kua msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma.
| Hewa husabibishaje magonjwa | {
"text": [
"inapokuwa chafu"
]
} |
1575_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Uchafuzi wa mazingira huweza kusababisha vifo hasa kwa wanadamu wakila ama wakinywa vyakula ambavyo sio safi. Kuchafua kwa mazingira ni jambo mbaya sana hasa kwa wanadamu na pia wanyama wengine kama sisi.
Tunafaa kueka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati na kila mara. Uchafu ni aina ya madhara inayosababisha mangonjwa toufati tofauti.Kuweka maji machafu karibu na nyumba, kutofyeka nyasi ndefu, kutookota takataka karibu na nyumba, na kutoosha mahali panapostahili kuoshwa ndiyo huleta mbu na husababisha magonjwa kama ya kipindupindu.
Mazingira yanafaa kutunzwa na kuwekwa vizuri. Usafini kitu muhimu sana iwapo tunataka kuepukana na magonjwa. Tunafaa tuwe mahali pasafi, tule vyakula safi, tuokote taka taka zote na kuweka mahali panapofaa, nyasi ndefu ikatwe na pia tuzingatie usafi ndani ya nyumba.
Kuwa na mazingira safi ni kitu kizuri kwa sababu huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo. Tunafaa tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa wasafi kila mahali. Pahali tunakoishi,mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tukiweka mazingira iwe safi maisha pia itakuwa rahisi.
Uchafu ni mbaya sana kwani unaleta magongwa mabaya kama malaria na mengineo.Uchafu pia huharibu afya ya wanadamu. Kusafisha mazingira kuna faida kubwa sana,kwani tutaepuka magonjwa mengi. | Uchafu husababisha nini | {
"text": [
"Kifo"
]
} |
1575_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Uchafuzi wa mazingira huweza kusababisha vifo hasa kwa wanadamu wakila ama wakinywa vyakula ambavyo sio safi. Kuchafua kwa mazingira ni jambo mbaya sana hasa kwa wanadamu na pia wanyama wengine kama sisi.
Tunafaa kueka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati na kila mara. Uchafu ni aina ya madhara inayosababisha mangonjwa toufati tofauti.Kuweka maji machafu karibu na nyumba, kutofyeka nyasi ndefu, kutookota takataka karibu na nyumba, na kutoosha mahali panapostahili kuoshwa ndiyo huleta mbu na husababisha magonjwa kama ya kipindupindu.
Mazingira yanafaa kutunzwa na kuwekwa vizuri. Usafini kitu muhimu sana iwapo tunataka kuepukana na magonjwa. Tunafaa tuwe mahali pasafi, tule vyakula safi, tuokote taka taka zote na kuweka mahali panapofaa, nyasi ndefu ikatwe na pia tuzingatie usafi ndani ya nyumba.
Kuwa na mazingira safi ni kitu kizuri kwa sababu huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo. Tunafaa tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa wasafi kila mahali. Pahali tunakoishi,mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tukiweka mazingira iwe safi maisha pia itakuwa rahisi.
Uchafu ni mbaya sana kwani unaleta magongwa mabaya kama malaria na mengineo.Uchafu pia huharibu afya ya wanadamu. Kusafisha mazingira kuna faida kubwa sana,kwani tutaepuka magonjwa mengi. | Nyasi ndefu huhifadhi mdudu yupi | {
"text": [
"Mbu"
]
} |
1575_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Uchafuzi wa mazingira huweza kusababisha vifo hasa kwa wanadamu wakila ama wakinywa vyakula ambavyo sio safi. Kuchafua kwa mazingira ni jambo mbaya sana hasa kwa wanadamu na pia wanyama wengine kama sisi.
Tunafaa kueka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati na kila mara. Uchafu ni aina ya madhara inayosababisha mangonjwa toufati tofauti.Kuweka maji machafu karibu na nyumba, kutofyeka nyasi ndefu, kutookota takataka karibu na nyumba, na kutoosha mahali panapostahili kuoshwa ndiyo huleta mbu na husababisha magonjwa kama ya kipindupindu.
Mazingira yanafaa kutunzwa na kuwekwa vizuri. Usafini kitu muhimu sana iwapo tunataka kuepukana na magonjwa. Tunafaa tuwe mahali pasafi, tule vyakula safi, tuokote taka taka zote na kuweka mahali panapofaa, nyasi ndefu ikatwe na pia tuzingatie usafi ndani ya nyumba.
Kuwa na mazingira safi ni kitu kizuri kwa sababu huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo. Tunafaa tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa wasafi kila mahali. Pahali tunakoishi,mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tukiweka mazingira iwe safi maisha pia itakuwa rahisi.
Uchafu ni mbaya sana kwani unaleta magongwa mabaya kama malaria na mengineo.Uchafu pia huharibu afya ya wanadamu. Kusafisha mazingira kuna faida kubwa sana,kwani tutaepuka magonjwa mengi. | Mazingira safi huchangia kuwa na nini | {
"text": [
"Afya nzuri"
]
} |
1575_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Uchafuzi wa mazingira huweza kusababisha vifo hasa kwa wanadamu wakila ama wakinywa vyakula ambavyo sio safi. Kuchafua kwa mazingira ni jambo mbaya sana hasa kwa wanadamu na pia wanyama wengine kama sisi.
Tunafaa kueka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati na kila mara. Uchafu ni aina ya madhara inayosababisha mangonjwa toufati tofauti.Kuweka maji machafu karibu na nyumba, kutofyeka nyasi ndefu, kutookota takataka karibu na nyumba, na kutoosha mahali panapostahili kuoshwa ndiyo huleta mbu na husababisha magonjwa kama ya kipindupindu.
Mazingira yanafaa kutunzwa na kuwekwa vizuri. Usafini kitu muhimu sana iwapo tunataka kuepukana na magonjwa. Tunafaa tuwe mahali pasafi, tule vyakula safi, tuokote taka taka zote na kuweka mahali panapofaa, nyasi ndefu ikatwe na pia tuzingatie usafi ndani ya nyumba.
Kuwa na mazingira safi ni kitu kizuri kwa sababu huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo. Tunafaa tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa wasafi kila mahali. Pahali tunakoishi,mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tukiweka mazingira iwe safi maisha pia itakuwa rahisi.
Uchafu ni mbaya sana kwani unaleta magongwa mabaya kama malaria na mengineo.Uchafu pia huharibu afya ya wanadamu. Kusafisha mazingira kuna faida kubwa sana,kwani tutaepuka magonjwa mengi. | Malaria husababishwa na nini | {
"text": [
"Mazingira machafu"
]
} |
1575_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA.
Uchafuzi wa mazingira huweza kusababisha vifo hasa kwa wanadamu wakila ama wakinywa vyakula ambavyo sio safi. Kuchafua kwa mazingira ni jambo mbaya sana hasa kwa wanadamu na pia wanyama wengine kama sisi.
Tunafaa kueka mazingira yetu yakiwa safi kila wakati na kila mara. Uchafu ni aina ya madhara inayosababisha mangonjwa toufati tofauti.Kuweka maji machafu karibu na nyumba, kutofyeka nyasi ndefu, kutookota takataka karibu na nyumba, na kutoosha mahali panapostahili kuoshwa ndiyo huleta mbu na husababisha magonjwa kama ya kipindupindu.
Mazingira yanafaa kutunzwa na kuwekwa vizuri. Usafini kitu muhimu sana iwapo tunataka kuepukana na magonjwa. Tunafaa tuwe mahali pasafi, tule vyakula safi, tuokote taka taka zote na kuweka mahali panapofaa, nyasi ndefu ikatwe na pia tuzingatie usafi ndani ya nyumba.
Kuwa na mazingira safi ni kitu kizuri kwa sababu huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo. Tunafaa tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa wasafi kila mahali. Pahali tunakoishi,mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tukiweka mazingira iwe safi maisha pia itakuwa rahisi.
Uchafu ni mbaya sana kwani unaleta magongwa mabaya kama malaria na mengineo.Uchafu pia huharibu afya ya wanadamu. Kusafisha mazingira kuna faida kubwa sana,kwani tutaepuka magonjwa mengi. | Kipi kichwa mwafaka cha habari hii | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1577_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema chungu kuu huvunjika mlangoni. Wakubwa kwa wadogo watueleza maana ya madhara ya kuchaifua mazingira. Mazingira safi ni muhimu sana katika maisha ya ubinadamu. Mazingira inapokuwa safi natumai ya kwamba sote tutapata afya bora.
Kwa kweli, mazingira safi ni bora kwa kuwa hewa safi hupatikana. Tunafaa kudumisha usafi kila mara kwa mara. Walimu wetu hutufunza mengi kuhusu umuhimu wa mazingira safi. Mazingira ina umuhimu nyingi kwa kuwa hewa safi hupatikana. Miti hutupa vitabu, mimea tunayoipanda hutupa aina vingi vya vyakula. Tunaweza pia kupata pato nyingi kwa mazingira safi. Miti pia huvuta mvua. Tunafaa kupanda tena mti kwa wingi.
Tunafaa kudumu usafi kwa kila mara. Wafaa kuwatia wakubwa kwa wadogo. Shuleni mwetu, tunadumisha usafi ya hali ya juu kwa kufyeka nyasi, kuokota taka zote na kuving’arisha vyoo vyetu. Na pia tunaipanda miti ya aina nyingi. Tunapozingatia sheria hizo, natumai itakuwa bora. Kwa kuwa heshima si utumwa, tunafaa tufwate sheria inapotakiwa. Jungu kuu halikosi ukoku. Mazingira machafu ina madhara mengi. Tunapoishi kwa mazingira machafu, natumai ya kwamba haitakuwa na afya bora kweli. Madhara ya kuchafua mazingira hutuelekeza kwa magonjwa ya aina nyingi.
Magonjwa hizi ni kama homa, malaria, | Mazingira safi ni muhimu katika maisha ya nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
1577_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema chungu kuu huvunjika mlangoni. Wakubwa kwa wadogo watueleza maana ya madhara ya kuchaifua mazingira. Mazingira safi ni muhimu sana katika maisha ya ubinadamu. Mazingira inapokuwa safi natumai ya kwamba sote tutapata afya bora.
Kwa kweli, mazingira safi ni bora kwa kuwa hewa safi hupatikana. Tunafaa kudumisha usafi kila mara kwa mara. Walimu wetu hutufunza mengi kuhusu umuhimu wa mazingira safi. Mazingira ina umuhimu nyingi kwa kuwa hewa safi hupatikana. Miti hutupa vitabu, mimea tunayoipanda hutupa aina vingi vya vyakula. Tunaweza pia kupata pato nyingi kwa mazingira safi. Miti pia huvuta mvua. Tunafaa kupanda tena mti kwa wingi.
Tunafaa kudumu usafi kwa kila mara. Wafaa kuwatia wakubwa kwa wadogo. Shuleni mwetu, tunadumisha usafi ya hali ya juu kwa kufyeka nyasi, kuokota taka zote na kuving’arisha vyoo vyetu. Na pia tunaipanda miti ya aina nyingi. Tunapozingatia sheria hizo, natumai itakuwa bora. Kwa kuwa heshima si utumwa, tunafaa tufwate sheria inapotakiwa. Jungu kuu halikosi ukoku. Mazingira machafu ina madhara mengi. Tunapoishi kwa mazingira machafu, natumai ya kwamba haitakuwa na afya bora kweli. Madhara ya kuchafua mazingira hutuelekeza kwa magonjwa ya aina nyingi.
Magonjwa hizi ni kama homa, malaria, | Nani hutufunza kuhusu umuhimu wa mazingira | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
1577_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema chungu kuu huvunjika mlangoni. Wakubwa kwa wadogo watueleza maana ya madhara ya kuchaifua mazingira. Mazingira safi ni muhimu sana katika maisha ya ubinadamu. Mazingira inapokuwa safi natumai ya kwamba sote tutapata afya bora.
Kwa kweli, mazingira safi ni bora kwa kuwa hewa safi hupatikana. Tunafaa kudumisha usafi kila mara kwa mara. Walimu wetu hutufunza mengi kuhusu umuhimu wa mazingira safi. Mazingira ina umuhimu nyingi kwa kuwa hewa safi hupatikana. Miti hutupa vitabu, mimea tunayoipanda hutupa aina vingi vya vyakula. Tunaweza pia kupata pato nyingi kwa mazingira safi. Miti pia huvuta mvua. Tunafaa kupanda tena mti kwa wingi.
Tunafaa kudumu usafi kwa kila mara. Wafaa kuwatia wakubwa kwa wadogo. Shuleni mwetu, tunadumisha usafi ya hali ya juu kwa kufyeka nyasi, kuokota taka zote na kuving’arisha vyoo vyetu. Na pia tunaipanda miti ya aina nyingi. Tunapozingatia sheria hizo, natumai itakuwa bora. Kwa kuwa heshima si utumwa, tunafaa tufwate sheria inapotakiwa. Jungu kuu halikosi ukoku. Mazingira machafu ina madhara mengi. Tunapoishi kwa mazingira machafu, natumai ya kwamba haitakuwa na afya bora kweli. Madhara ya kuchafua mazingira hutuelekeza kwa magonjwa ya aina nyingi.
Magonjwa hizi ni kama homa, malaria, | Tanafaa tupande nini | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1577_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema chungu kuu huvunjika mlangoni. Wakubwa kwa wadogo watueleza maana ya madhara ya kuchaifua mazingira. Mazingira safi ni muhimu sana katika maisha ya ubinadamu. Mazingira inapokuwa safi natumai ya kwamba sote tutapata afya bora.
Kwa kweli, mazingira safi ni bora kwa kuwa hewa safi hupatikana. Tunafaa kudumisha usafi kila mara kwa mara. Walimu wetu hutufunza mengi kuhusu umuhimu wa mazingira safi. Mazingira ina umuhimu nyingi kwa kuwa hewa safi hupatikana. Miti hutupa vitabu, mimea tunayoipanda hutupa aina vingi vya vyakula. Tunaweza pia kupata pato nyingi kwa mazingira safi. Miti pia huvuta mvua. Tunafaa kupanda tena mti kwa wingi.
Tunafaa kudumu usafi kwa kila mara. Wafaa kuwatia wakubwa kwa wadogo. Shuleni mwetu, tunadumisha usafi ya hali ya juu kwa kufyeka nyasi, kuokota taka zote na kuving’arisha vyoo vyetu. Na pia tunaipanda miti ya aina nyingi. Tunapozingatia sheria hizo, natumai itakuwa bora. Kwa kuwa heshima si utumwa, tunafaa tufwate sheria inapotakiwa. Jungu kuu halikosi ukoku. Mazingira machafu ina madhara mengi. Tunapoishi kwa mazingira machafu, natumai ya kwamba haitakuwa na afya bora kweli. Madhara ya kuchafua mazingira hutuelekeza kwa magonjwa ya aina nyingi.
Magonjwa hizi ni kama homa, malaria, | Heshima sio nini | {
"text": [
"Utumwa"
]
} |
1577_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam, wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema chungu kuu huvunjika mlangoni. Wakubwa kwa wadogo watueleza maana ya madhara ya kuchaifua mazingira. Mazingira safi ni muhimu sana katika maisha ya ubinadamu. Mazingira inapokuwa safi natumai ya kwamba sote tutapata afya bora.
Kwa kweli, mazingira safi ni bora kwa kuwa hewa safi hupatikana. Tunafaa kudumisha usafi kila mara kwa mara. Walimu wetu hutufunza mengi kuhusu umuhimu wa mazingira safi. Mazingira ina umuhimu nyingi kwa kuwa hewa safi hupatikana. Miti hutupa vitabu, mimea tunayoipanda hutupa aina vingi vya vyakula. Tunaweza pia kupata pato nyingi kwa mazingira safi. Miti pia huvuta mvua. Tunafaa kupanda tena mti kwa wingi.
Tunafaa kudumu usafi kwa kila mara. Wafaa kuwatia wakubwa kwa wadogo. Shuleni mwetu, tunadumisha usafi ya hali ya juu kwa kufyeka nyasi, kuokota taka zote na kuving’arisha vyoo vyetu. Na pia tunaipanda miti ya aina nyingi. Tunapozingatia sheria hizo, natumai itakuwa bora. Kwa kuwa heshima si utumwa, tunafaa tufwate sheria inapotakiwa. Jungu kuu halikosi ukoku. Mazingira machafu ina madhara mengi. Tunapoishi kwa mazingira machafu, natumai ya kwamba haitakuwa na afya bora kweli. Madhara ya kuchafua mazingira hutuelekeza kwa magonjwa ya aina nyingi.
Magonjwa hizi ni kama homa, malaria, | Kwa nini tudumishe mazingira safi | {
"text": [
"Mazingira machafu yana madhara mengi"
]
} |
1578_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Huenda ukaleta ugonjwa kama vile ugonjwa wa tumbo kama kipindupindu, ugonjwa wa tumbo wa kuhara sana. Ugonjwa wa tumbo unaweza kukupeleka vibaya ukufe.
Kipindupindu ni ugonjwa wa tumbo ugonjwa huo ni hatari sana kwanza kwa mtoto kwa vile inakuingia tumboni na ni uchungu sana na husababisha kuhara. Ugonjwa huu unatiba lakini kupona kwake ni kwa ugumu sana kwa vile uchungu mwilini huwa wa kifani.
Kula chakula bila kunawa mikono ni mbaya sana kwa sababu utaeza kula uchafu yote ya kucha hasa kama umeenda msalani kujisaidia. Hii huleta ugonjwa wa tumbo na haubagui mtu mzima au mtoto.
Kunywa maji chafu utagonjeka sana kwasababu utapata ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika maji yote uliyokunywa. Kuzorotwa kwa tumbo huathiri sana mtu kwa vile huenda akose kula chakula na kulala. Uchafuzi wa mazingira huathiri sana wanadamu. | Kipindupindu husababishwa na nini? | {
"text": [
"Maji na vyakula vichafu"
]
} |
1578_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Huenda ukaleta ugonjwa kama vile ugonjwa wa tumbo kama kipindupindu, ugonjwa wa tumbo wa kuhara sana. Ugonjwa wa tumbo unaweza kukupeleka vibaya ukufe.
Kipindupindu ni ugonjwa wa tumbo ugonjwa huo ni hatari sana kwanza kwa mtoto kwa vile inakuingia tumboni na ni uchungu sana na husababisha kuhara. Ugonjwa huu unatiba lakini kupona kwake ni kwa ugumu sana kwa vile uchungu mwilini huwa wa kifani.
Kula chakula bila kunawa mikono ni mbaya sana kwa sababu utaeza kula uchafu yote ya kucha hasa kama umeenda msalani kujisaidia. Hii huleta ugonjwa wa tumbo na haubagui mtu mzima au mtoto.
Kunywa maji chafu utagonjeka sana kwasababu utapata ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika maji yote uliyokunywa. Kuzorotwa kwa tumbo huathiri sana mtu kwa vile huenda akose kula chakula na kulala. Uchafuzi wa mazingira huathiri sana wanadamu. | Njia moja ya kuzuia magonjwa yanayotokana na uchafu ni ipi? | {
"text": [
"Kunawa mikono"
]
} |
1578_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Huenda ukaleta ugonjwa kama vile ugonjwa wa tumbo kama kipindupindu, ugonjwa wa tumbo wa kuhara sana. Ugonjwa wa tumbo unaweza kukupeleka vibaya ukufe.
Kipindupindu ni ugonjwa wa tumbo ugonjwa huo ni hatari sana kwanza kwa mtoto kwa vile inakuingia tumboni na ni uchungu sana na husababisha kuhara. Ugonjwa huu unatiba lakini kupona kwake ni kwa ugumu sana kwa vile uchungu mwilini huwa wa kifani.
Kula chakula bila kunawa mikono ni mbaya sana kwa sababu utaeza kula uchafu yote ya kucha hasa kama umeenda msalani kujisaidia. Hii huleta ugonjwa wa tumbo na haubagui mtu mzima au mtoto.
Kunywa maji chafu utagonjeka sana kwasababu utapata ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika maji yote uliyokunywa. Kuzorotwa kwa tumbo huathiri sana mtu kwa vile huenda akose kula chakula na kulala. Uchafuzi wa mazingira huathiri sana wanadamu. | Mwili wa binadamu huhisi vipi wakati unaugua kipindupindu? | {
"text": [
"Uchungu mwingi sana"
]
} |
1578_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Huenda ukaleta ugonjwa kama vile ugonjwa wa tumbo kama kipindupindu, ugonjwa wa tumbo wa kuhara sana. Ugonjwa wa tumbo unaweza kukupeleka vibaya ukufe.
Kipindupindu ni ugonjwa wa tumbo ugonjwa huo ni hatari sana kwanza kwa mtoto kwa vile inakuingia tumboni na ni uchungu sana na husababisha kuhara. Ugonjwa huu unatiba lakini kupona kwake ni kwa ugumu sana kwa vile uchungu mwilini huwa wa kifani.
Kula chakula bila kunawa mikono ni mbaya sana kwa sababu utaeza kula uchafu yote ya kucha hasa kama umeenda msalani kujisaidia. Hii huleta ugonjwa wa tumbo na haubagui mtu mzima au mtoto.
Kunywa maji chafu utagonjeka sana kwasababu utapata ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika maji yote uliyokunywa. Kuzorotwa kwa tumbo huathiri sana mtu kwa vile huenda akose kula chakula na kulala. Uchafuzi wa mazingira huathiri sana wanadamu. | Mwandishi anahimiza watu kufanya nini wakati wanatoka msalani? | {
"text": [
"Kuosha mikono"
]
} |
1578_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mbaya sana. Huenda ukaleta ugonjwa kama vile ugonjwa wa tumbo kama kipindupindu, ugonjwa wa tumbo wa kuhara sana. Ugonjwa wa tumbo unaweza kukupeleka vibaya ukufe.
Kipindupindu ni ugonjwa wa tumbo ugonjwa huo ni hatari sana kwanza kwa mtoto kwa vile inakuingia tumboni na ni uchungu sana na husababisha kuhara. Ugonjwa huu unatiba lakini kupona kwake ni kwa ugumu sana kwa vile uchungu mwilini huwa wa kifani.
Kula chakula bila kunawa mikono ni mbaya sana kwa sababu utaeza kula uchafu yote ya kucha hasa kama umeenda msalani kujisaidia. Hii huleta ugonjwa wa tumbo na haubagui mtu mzima au mtoto.
Kunywa maji chafu utagonjeka sana kwasababu utapata ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika maji yote uliyokunywa. Kuzorotwa kwa tumbo huathiri sana mtu kwa vile huenda akose kula chakula na kulala. Uchafuzi wa mazingira huathiri sana wanadamu. | Ugonjwa wa matumbo husababishwa na nini? | {
"text": [
"Kunywa maji machafu"
]
} |
1579_swa |
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! Ilikuwa ni siku yenye tulikuwa shuleni tukaitwa na mwalimu wetu kwa gwaride uliokuwa safi kama nyota. Tulikimbia mbio hadi kwa gwaride na mwalimu wetu alianza kuchukuwa fursa hiyo na kusema kwa heshima kwa wadogo na wakubwa na chukuwa nafasi kuwasalimu katika jina la bwana na la roho mtakatifu.
Mimi ndiye mwalimu mkuu wa shule ya upili hapa P.C.E.A Kimuka. Ningependa kuwahimiza maneno ya usafi katika shule yetu tukapinduka kwa upesi kuangalia pahali ambapo tunachoma takataka. Moyo wangu ulianza kudunda kama gita. Nilishtuka nikatetemeka kama kuku aliyenyeshewa.
Moyo wangu ulikuwa karibu kutoka kwa mwili wangu kwa sababu nilikuwa kati ya wale kufanya kazi kwa mazingira kama kuchoma takataka na kuokota taka kwenye mazingira ya shule yetu. Mkubwa wa shule yetu alipewa nafasi kuongea na wanafunzi na auchukuwe fursa hilo na kusema ya kwamba kama unajua ulipewa kazi ya kusafisha mazingira ningependa ukuje hapa mbele ndio tujuwe wale watu hawataki kufanya kazi yenye tuliwapatia.
Kuna wale walikataa kutokea hadi mwalimu akaendea kiboko ndipo wakajitokeza na wengine wakapiga nduru. Alitueleza manufaa za usafi kama vile kuchoma takataka kuokota karatasi lakini sisi hatukutaka kujuwa hayo, tuliendelea kuwa kama jinsi tulikuwa. Siku iliyofuata, mzazi alikuja alitembea shuleni yetu kutujulisha mambo ya usafi na hata kusema kuwa mungu hapendi watu wachafu na wale wasafi ndio wataenda kwa mwenyezi Mungu.
Tuliposikia jambo hilo, tulianza kufagia na kumwaga maji kwa mazingira. Shule yetu ilikuwa chafu hadi sikuwa nataka kuhusishwa nayo na wakati mwingine niliikana. Hii insha inafunza kuwa usafi unatoka kwa mola. | Msimulizi na wenzake waliitwa wapi | {
"text": [
"Parede"
]
} |
1579_swa |
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! Ilikuwa ni siku yenye tulikuwa shuleni tukaitwa na mwalimu wetu kwa gwaride uliokuwa safi kama nyota. Tulikimbia mbio hadi kwa gwaride na mwalimu wetu alianza kuchukuwa fursa hiyo na kusema kwa heshima kwa wadogo na wakubwa na chukuwa nafasi kuwasalimu katika jina la bwana na la roho mtakatifu.
Mimi ndiye mwalimu mkuu wa shule ya upili hapa P.C.E.A Kimuka. Ningependa kuwahimiza maneno ya usafi katika shule yetu tukapinduka kwa upesi kuangalia pahali ambapo tunachoma takataka. Moyo wangu ulianza kudunda kama gita. Nilishtuka nikatetemeka kama kuku aliyenyeshewa.
Moyo wangu ulikuwa karibu kutoka kwa mwili wangu kwa sababu nilikuwa kati ya wale kufanya kazi kwa mazingira kama kuchoma takataka na kuokota taka kwenye mazingira ya shule yetu. Mkubwa wa shule yetu alipewa nafasi kuongea na wanafunzi na auchukuwe fursa hilo na kusema ya kwamba kama unajua ulipewa kazi ya kusafisha mazingira ningependa ukuje hapa mbele ndio tujuwe wale watu hawataki kufanya kazi yenye tuliwapatia.
Kuna wale walikataa kutokea hadi mwalimu akaendea kiboko ndipo wakajitokeza na wengine wakapiga nduru. Alitueleza manufaa za usafi kama vile kuchoma takataka kuokota karatasi lakini sisi hatukutaka kujuwa hayo, tuliendelea kuwa kama jinsi tulikuwa. Siku iliyofuata, mzazi alikuja alitembea shuleni yetu kutujulisha mambo ya usafi na hata kusema kuwa mungu hapendi watu wachafu na wale wasafi ndio wataenda kwa mwenyezi Mungu.
Tuliposikia jambo hilo, tulianza kufagia na kumwaga maji kwa mazingira. Shule yetu ilikuwa chafu hadi sikuwa nataka kuhusishwa nayo na wakati mwingine niliikana. Hii insha inafunza kuwa usafi unatoka kwa mola. | Msimulizi alikuwa anasoma katika shule ipi | {
"text": [
"P. C. E. A"
]
} |
1579_swa |
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! Ilikuwa ni siku yenye tulikuwa shuleni tukaitwa na mwalimu wetu kwa gwaride uliokuwa safi kama nyota. Tulikimbia mbio hadi kwa gwaride na mwalimu wetu alianza kuchukuwa fursa hiyo na kusema kwa heshima kwa wadogo na wakubwa na chukuwa nafasi kuwasalimu katika jina la bwana na la roho mtakatifu.
Mimi ndiye mwalimu mkuu wa shule ya upili hapa P.C.E.A Kimuka. Ningependa kuwahimiza maneno ya usafi katika shule yetu tukapinduka kwa upesi kuangalia pahali ambapo tunachoma takataka. Moyo wangu ulianza kudunda kama gita. Nilishtuka nikatetemeka kama kuku aliyenyeshewa.
Moyo wangu ulikuwa karibu kutoka kwa mwili wangu kwa sababu nilikuwa kati ya wale kufanya kazi kwa mazingira kama kuchoma takataka na kuokota taka kwenye mazingira ya shule yetu. Mkubwa wa shule yetu alipewa nafasi kuongea na wanafunzi na auchukuwe fursa hilo na kusema ya kwamba kama unajua ulipewa kazi ya kusafisha mazingira ningependa ukuje hapa mbele ndio tujuwe wale watu hawataki kufanya kazi yenye tuliwapatia.
Kuna wale walikataa kutokea hadi mwalimu akaendea kiboko ndipo wakajitokeza na wengine wakapiga nduru. Alitueleza manufaa za usafi kama vile kuchoma takataka kuokota karatasi lakini sisi hatukutaka kujuwa hayo, tuliendelea kuwa kama jinsi tulikuwa. Siku iliyofuata, mzazi alikuja alitembea shuleni yetu kutujulisha mambo ya usafi na hata kusema kuwa mungu hapendi watu wachafu na wale wasafi ndio wataenda kwa mwenyezi Mungu.
Tuliposikia jambo hilo, tulianza kufagia na kumwaga maji kwa mazingira. Shule yetu ilikuwa chafu hadi sikuwa nataka kuhusishwa nayo na wakati mwingine niliikana. Hii insha inafunza kuwa usafi unatoka kwa mola. | Kuchoma takataka na kuokota karatasi ni mbinu mojawapo ya kunadhifisha nini | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1579_swa |
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! Ilikuwa ni siku yenye tulikuwa shuleni tukaitwa na mwalimu wetu kwa gwaride uliokuwa safi kama nyota. Tulikimbia mbio hadi kwa gwaride na mwalimu wetu alianza kuchukuwa fursa hiyo na kusema kwa heshima kwa wadogo na wakubwa na chukuwa nafasi kuwasalimu katika jina la bwana na la roho mtakatifu.
Mimi ndiye mwalimu mkuu wa shule ya upili hapa P.C.E.A Kimuka. Ningependa kuwahimiza maneno ya usafi katika shule yetu tukapinduka kwa upesi kuangalia pahali ambapo tunachoma takataka. Moyo wangu ulianza kudunda kama gita. Nilishtuka nikatetemeka kama kuku aliyenyeshewa.
Moyo wangu ulikuwa karibu kutoka kwa mwili wangu kwa sababu nilikuwa kati ya wale kufanya kazi kwa mazingira kama kuchoma takataka na kuokota taka kwenye mazingira ya shule yetu. Mkubwa wa shule yetu alipewa nafasi kuongea na wanafunzi na auchukuwe fursa hilo na kusema ya kwamba kama unajua ulipewa kazi ya kusafisha mazingira ningependa ukuje hapa mbele ndio tujuwe wale watu hawataki kufanya kazi yenye tuliwapatia.
Kuna wale walikataa kutokea hadi mwalimu akaendea kiboko ndipo wakajitokeza na wengine wakapiga nduru. Alitueleza manufaa za usafi kama vile kuchoma takataka kuokota karatasi lakini sisi hatukutaka kujuwa hayo, tuliendelea kuwa kama jinsi tulikuwa. Siku iliyofuata, mzazi alikuja alitembea shuleni yetu kutujulisha mambo ya usafi na hata kusema kuwa mungu hapendi watu wachafu na wale wasafi ndio wataenda kwa mwenyezi Mungu.
Tuliposikia jambo hilo, tulianza kufagia na kumwaga maji kwa mazingira. Shule yetu ilikuwa chafu hadi sikuwa nataka kuhusishwa nayo na wakati mwingine niliikana. Hii insha inafunza kuwa usafi unatoka kwa mola. | Mzazi aliyefika shuleni alikuwa na lengo gani | {
"text": [
"Kuhimiza usafi"
]
} |
1579_swa |
INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Naam! Ilikuwa ni siku yenye tulikuwa shuleni tukaitwa na mwalimu wetu kwa gwaride uliokuwa safi kama nyota. Tulikimbia mbio hadi kwa gwaride na mwalimu wetu alianza kuchukuwa fursa hiyo na kusema kwa heshima kwa wadogo na wakubwa na chukuwa nafasi kuwasalimu katika jina la bwana na la roho mtakatifu.
Mimi ndiye mwalimu mkuu wa shule ya upili hapa P.C.E.A Kimuka. Ningependa kuwahimiza maneno ya usafi katika shule yetu tukapinduka kwa upesi kuangalia pahali ambapo tunachoma takataka. Moyo wangu ulianza kudunda kama gita. Nilishtuka nikatetemeka kama kuku aliyenyeshewa.
Moyo wangu ulikuwa karibu kutoka kwa mwili wangu kwa sababu nilikuwa kati ya wale kufanya kazi kwa mazingira kama kuchoma takataka na kuokota taka kwenye mazingira ya shule yetu. Mkubwa wa shule yetu alipewa nafasi kuongea na wanafunzi na auchukuwe fursa hilo na kusema ya kwamba kama unajua ulipewa kazi ya kusafisha mazingira ningependa ukuje hapa mbele ndio tujuwe wale watu hawataki kufanya kazi yenye tuliwapatia.
Kuna wale walikataa kutokea hadi mwalimu akaendea kiboko ndipo wakajitokeza na wengine wakapiga nduru. Alitueleza manufaa za usafi kama vile kuchoma takataka kuokota karatasi lakini sisi hatukutaka kujuwa hayo, tuliendelea kuwa kama jinsi tulikuwa. Siku iliyofuata, mzazi alikuja alitembea shuleni yetu kutujulisha mambo ya usafi na hata kusema kuwa mungu hapendi watu wachafu na wale wasafi ndio wataenda kwa mwenyezi Mungu.
Tuliposikia jambo hilo, tulianza kufagia na kumwaga maji kwa mazingira. Shule yetu ilikuwa chafu hadi sikuwa nataka kuhusishwa nayo na wakati mwingine niliikana. Hii insha inafunza kuwa usafi unatoka kwa mola. | Kulingana na msimulizi usafi unatoka wapi | {
"text": [
"Kwa mola"
]
} |
1580_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya mazingira ni kitu mbaya sana, kuchafua mazingira yetu yanaweza kutuletea mgonjwa mbalimbali. Sisi shule tulipoamka asubuhi na mapema sisi wote huelekea kuokota takataka na kuchoma. Pia Walimu wetu shuleni hutueleza mambo mbalimbali kuhusu kuzingatia mazingira yetu vizuri pale.
Pia wanakiranja wetu hutueleza tunapozingatia mazingira yetu pale shuleni hatufai kutupa takataka ovyo ovyo shuleni. Tunafaa kupeleka na kuzichoma pale kuna shimo. Shule yetu ni nzuri sana na pia hupendeza kwa sababu kila mtu kama mwanafunzi anapaswa kulinda mazingira na pia mazingira yakiwa chafu walimu hulalamika sababu mazingira chafu huleta magonjwa kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Bila shaka sasa sisi kama kidato cha kwanza tunajuwa kuliboresha usafi pale shuleni.
Madhara ya kuchafua mazingira ni hatuoni kama ni kuzuri kwa sababu boma kuwa chafu haileti hewa safi. Watu pia wataumia sana kwa sababu ya mazingira chafu. Kama sisi wanafunzi wa shule ya wasichana tunapaswa sana kutilia maanani na kuzingatia mazingira yetu shuleni. Wanakiranja wetu hulalamika kwa sababu ya kutupa takataka ovyo ovyo na kuharibu mazingira. Ugonjwa wa tumbo ni ugonjwa mbaya sana na pia kuna madhara unapo chafu mazingira kwa sababu kukata miti pia ni madhara ya kuchafua boma. Si vyema watu wanapoharibu mazingira kila wakati. Ni kitu inawaharibu sana wananchi wa kenya.
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo halipendezi katika nchi ya Kenya na hivyo tunafaa
kuzingatia usafi. | Uchafuzi wa mazingira unaweza sababisha nini? | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1580_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya mazingira ni kitu mbaya sana, kuchafua mazingira yetu yanaweza kutuletea mgonjwa mbalimbali. Sisi shule tulipoamka asubuhi na mapema sisi wote huelekea kuokota takataka na kuchoma. Pia Walimu wetu shuleni hutueleza mambo mbalimbali kuhusu kuzingatia mazingira yetu vizuri pale.
Pia wanakiranja wetu hutueleza tunapozingatia mazingira yetu pale shuleni hatufai kutupa takataka ovyo ovyo shuleni. Tunafaa kupeleka na kuzichoma pale kuna shimo. Shule yetu ni nzuri sana na pia hupendeza kwa sababu kila mtu kama mwanafunzi anapaswa kulinda mazingira na pia mazingira yakiwa chafu walimu hulalamika sababu mazingira chafu huleta magonjwa kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Bila shaka sasa sisi kama kidato cha kwanza tunajuwa kuliboresha usafi pale shuleni.
Madhara ya kuchafua mazingira ni hatuoni kama ni kuzuri kwa sababu boma kuwa chafu haileti hewa safi. Watu pia wataumia sana kwa sababu ya mazingira chafu. Kama sisi wanafunzi wa shule ya wasichana tunapaswa sana kutilia maanani na kuzingatia mazingira yetu shuleni. Wanakiranja wetu hulalamika kwa sababu ya kutupa takataka ovyo ovyo na kuharibu mazingira. Ugonjwa wa tumbo ni ugonjwa mbaya sana na pia kuna madhara unapo chafu mazingira kwa sababu kukata miti pia ni madhara ya kuchafua boma. Si vyema watu wanapoharibu mazingira kila wakati. Ni kitu inawaharibu sana wananchi wa kenya.
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo halipendezi katika nchi ya Kenya na hivyo tunafaa
kuzingatia usafi. | Wanafunzi hufanya usafi wakati gani? | {
"text": [
"Asubuhi"
]
} |
1580_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya mazingira ni kitu mbaya sana, kuchafua mazingira yetu yanaweza kutuletea mgonjwa mbalimbali. Sisi shule tulipoamka asubuhi na mapema sisi wote huelekea kuokota takataka na kuchoma. Pia Walimu wetu shuleni hutueleza mambo mbalimbali kuhusu kuzingatia mazingira yetu vizuri pale.
Pia wanakiranja wetu hutueleza tunapozingatia mazingira yetu pale shuleni hatufai kutupa takataka ovyo ovyo shuleni. Tunafaa kupeleka na kuzichoma pale kuna shimo. Shule yetu ni nzuri sana na pia hupendeza kwa sababu kila mtu kama mwanafunzi anapaswa kulinda mazingira na pia mazingira yakiwa chafu walimu hulalamika sababu mazingira chafu huleta magonjwa kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Bila shaka sasa sisi kama kidato cha kwanza tunajuwa kuliboresha usafi pale shuleni.
Madhara ya kuchafua mazingira ni hatuoni kama ni kuzuri kwa sababu boma kuwa chafu haileti hewa safi. Watu pia wataumia sana kwa sababu ya mazingira chafu. Kama sisi wanafunzi wa shule ya wasichana tunapaswa sana kutilia maanani na kuzingatia mazingira yetu shuleni. Wanakiranja wetu hulalamika kwa sababu ya kutupa takataka ovyo ovyo na kuharibu mazingira. Ugonjwa wa tumbo ni ugonjwa mbaya sana na pia kuna madhara unapo chafu mazingira kwa sababu kukata miti pia ni madhara ya kuchafua boma. Si vyema watu wanapoharibu mazingira kila wakati. Ni kitu inawaharibu sana wananchi wa kenya.
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo halipendezi katika nchi ya Kenya na hivyo tunafaa
kuzingatia usafi. | Nani huhumiza wanfunzi kuzingatia usafi shuleni? | {
"text": [
"Walimu na viranja"
]
} |
1580_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya mazingira ni kitu mbaya sana, kuchafua mazingira yetu yanaweza kutuletea mgonjwa mbalimbali. Sisi shule tulipoamka asubuhi na mapema sisi wote huelekea kuokota takataka na kuchoma. Pia Walimu wetu shuleni hutueleza mambo mbalimbali kuhusu kuzingatia mazingira yetu vizuri pale.
Pia wanakiranja wetu hutueleza tunapozingatia mazingira yetu pale shuleni hatufai kutupa takataka ovyo ovyo shuleni. Tunafaa kupeleka na kuzichoma pale kuna shimo. Shule yetu ni nzuri sana na pia hupendeza kwa sababu kila mtu kama mwanafunzi anapaswa kulinda mazingira na pia mazingira yakiwa chafu walimu hulalamika sababu mazingira chafu huleta magonjwa kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Bila shaka sasa sisi kama kidato cha kwanza tunajuwa kuliboresha usafi pale shuleni.
Madhara ya kuchafua mazingira ni hatuoni kama ni kuzuri kwa sababu boma kuwa chafu haileti hewa safi. Watu pia wataumia sana kwa sababu ya mazingira chafu. Kama sisi wanafunzi wa shule ya wasichana tunapaswa sana kutilia maanani na kuzingatia mazingira yetu shuleni. Wanakiranja wetu hulalamika kwa sababu ya kutupa takataka ovyo ovyo na kuharibu mazingira. Ugonjwa wa tumbo ni ugonjwa mbaya sana na pia kuna madhara unapo chafu mazingira kwa sababu kukata miti pia ni madhara ya kuchafua boma. Si vyema watu wanapoharibu mazingira kila wakati. Ni kitu inawaharibu sana wananchi wa kenya.
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo halipendezi katika nchi ya Kenya na hivyo tunafaa
kuzingatia usafi. | Ugonjwa moja sugu inayosababishwa na uchafu ni kama ipi? | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1580_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya mazingira ni kitu mbaya sana, kuchafua mazingira yetu yanaweza kutuletea mgonjwa mbalimbali. Sisi shule tulipoamka asubuhi na mapema sisi wote huelekea kuokota takataka na kuchoma. Pia Walimu wetu shuleni hutueleza mambo mbalimbali kuhusu kuzingatia mazingira yetu vizuri pale.
Pia wanakiranja wetu hutueleza tunapozingatia mazingira yetu pale shuleni hatufai kutupa takataka ovyo ovyo shuleni. Tunafaa kupeleka na kuzichoma pale kuna shimo. Shule yetu ni nzuri sana na pia hupendeza kwa sababu kila mtu kama mwanafunzi anapaswa kulinda mazingira na pia mazingira yakiwa chafu walimu hulalamika sababu mazingira chafu huleta magonjwa kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Bila shaka sasa sisi kama kidato cha kwanza tunajuwa kuliboresha usafi pale shuleni.
Madhara ya kuchafua mazingira ni hatuoni kama ni kuzuri kwa sababu boma kuwa chafu haileti hewa safi. Watu pia wataumia sana kwa sababu ya mazingira chafu. Kama sisi wanafunzi wa shule ya wasichana tunapaswa sana kutilia maanani na kuzingatia mazingira yetu shuleni. Wanakiranja wetu hulalamika kwa sababu ya kutupa takataka ovyo ovyo na kuharibu mazingira. Ugonjwa wa tumbo ni ugonjwa mbaya sana na pia kuna madhara unapo chafu mazingira kwa sababu kukata miti pia ni madhara ya kuchafua boma. Si vyema watu wanapoharibu mazingira kila wakati. Ni kitu inawaharibu sana wananchi wa kenya.
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo halipendezi katika nchi ya Kenya na hivyo tunafaa
kuzingatia usafi. | Mwandishi anawaeleza wananchi wa taifa gani? | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
1581_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu na sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi katika mazingira ili tusipatwe na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira.
| Tunapaswa kudumisha usafi wa nini | {
"text": [
"mazingira"
]
} |
1581_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu na sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi katika mazingira ili tusipatwe na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira.
| Mazingira ya nyumba zetu yawa safi lini | {
"text": [
"kila siku"
]
} |
1581_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu na sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi katika mazingira ili tusipatwe na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira.
| Tunapaswa kudumisha nini barabarani | {
"text": [
"usafi"
]
} |
1581_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu na sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi katika mazingira ili tusipatwe na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira.
| Nani huambiwa wanafunzi wadumishe usafi darasani | {
"text": [
"kiranja"
]
} |
1581_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu na sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi katika mazingira ili tusipatwe na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira.
| Mbona tusitupe takataka ovyoovyo | {
"text": [
"kwa sababu husababisha magonjwa"
]
} |
1582_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye chupa waliponena siku njema huonekana asubuhi. Nilirauka nikiwa na furaha ribo ribe kabla kikwara wa kwanza kumeza pumzi.
Nilitembea aste aste mwendo wa kinyonga hadi, katika bweni. Nilivaa sare yangu ya shule. Kuna mwalimu alikuwa kwenye zamu. Mazingira ya shule yetu ilikuwa chafu, makaratasi yalikuwa kila mahali.
Tulianza kufanya kazi asubuhi na mapema. Tuliokota makaratasi yote katika boma na kuchoma. Bado hakujakuwa safi vile mwalimu alikuwa anataka. Tulijaribu kufanya juu chini. Tuliosha madarasa yetu na pia ofisi ya walimu. Tulipomaliza tulirudi kwa madarasa yetu kusoma somo tena mwalimu akatutoa kwa darasa.
Tulirudia kuokota makaratasi na kuchoma. Moshi ulichomoa juu hadi majirani walikuwa wanashtuka kunachomwa nini shuleni? Kumbe ni takataka tu tulikuwa tukichoma. Waswahili hawakukosea waliponena mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Waliolelewa kwenye mazingira machafu, mwalimu alisema chomeni makaratasi lakini wanafunzi wengine walizitupa kwenye madirisha.
Tulizunguka shule mzima na kuokota makaratasi tena kukata nyasi refu zilizokuwa katika mazingira ya shule na kuchoma. Tulisafisha mazingira yetu kisha tukarudi kwa bweni na kusafisha pia huko kukakuwa safi. Mwalimu alitupongeza kwa kazi mzuri tuliyofanya katika mazingira.
Tulimwaga maji katika boma ili mazingira ziimarike tena zimetamete kama nyota angani. Kila kitu kilionekana shule sasa imekuwa safi.
Madhara ya kusafisha ilitupa hewa nzuri kwa sababu mazingira chafu pia hutupatia ugonjwa. Tuliishi katika mazingira safi pia masomo ikaingia vizuri. Mazingira ni jukumu la wasafi. | Siku njema huonekana saa ngapi | {
"text": [
"asubuhi"
]
} |
1582_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye chupa waliponena siku njema huonekana asubuhi. Nilirauka nikiwa na furaha ribo ribe kabla kikwara wa kwanza kumeza pumzi.
Nilitembea aste aste mwendo wa kinyonga hadi, katika bweni. Nilivaa sare yangu ya shule. Kuna mwalimu alikuwa kwenye zamu. Mazingira ya shule yetu ilikuwa chafu, makaratasi yalikuwa kila mahali.
Tulianza kufanya kazi asubuhi na mapema. Tuliokota makaratasi yote katika boma na kuchoma. Bado hakujakuwa safi vile mwalimu alikuwa anataka. Tulijaribu kufanya juu chini. Tuliosha madarasa yetu na pia ofisi ya walimu. Tulipomaliza tulirudi kwa madarasa yetu kusoma somo tena mwalimu akatutoa kwa darasa.
Tulirudia kuokota makaratasi na kuchoma. Moshi ulichomoa juu hadi majirani walikuwa wanashtuka kunachomwa nini shuleni? Kumbe ni takataka tu tulikuwa tukichoma. Waswahili hawakukosea waliponena mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Waliolelewa kwenye mazingira machafu, mwalimu alisema chomeni makaratasi lakini wanafunzi wengine walizitupa kwenye madirisha.
Tulizunguka shule mzima na kuokota makaratasi tena kukata nyasi refu zilizokuwa katika mazingira ya shule na kuchoma. Tulisafisha mazingira yetu kisha tukarudi kwa bweni na kusafisha pia huko kukakuwa safi. Mwalimu alitupongeza kwa kazi mzuri tuliyofanya katika mazingira.
Tulimwaga maji katika boma ili mazingira ziimarike tena zimetamete kama nyota angani. Kila kitu kilionekana shule sasa imekuwa safi.
Madhara ya kusafisha ilitupa hewa nzuri kwa sababu mazingira chafu pia hutupatia ugonjwa. Tuliishi katika mazingira safi pia masomo ikaingia vizuri. Mazingira ni jukumu la wasafi. | Nilirauka kabla ya kikwara wa kwanza kumeza nini | {
"text": [
"pumzi"
]
} |
1582_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye chupa waliponena siku njema huonekana asubuhi. Nilirauka nikiwa na furaha ribo ribe kabla kikwara wa kwanza kumeza pumzi.
Nilitembea aste aste mwendo wa kinyonga hadi, katika bweni. Nilivaa sare yangu ya shule. Kuna mwalimu alikuwa kwenye zamu. Mazingira ya shule yetu ilikuwa chafu, makaratasi yalikuwa kila mahali.
Tulianza kufanya kazi asubuhi na mapema. Tuliokota makaratasi yote katika boma na kuchoma. Bado hakujakuwa safi vile mwalimu alikuwa anataka. Tulijaribu kufanya juu chini. Tuliosha madarasa yetu na pia ofisi ya walimu. Tulipomaliza tulirudi kwa madarasa yetu kusoma somo tena mwalimu akatutoa kwa darasa.
Tulirudia kuokota makaratasi na kuchoma. Moshi ulichomoa juu hadi majirani walikuwa wanashtuka kunachomwa nini shuleni? Kumbe ni takataka tu tulikuwa tukichoma. Waswahili hawakukosea waliponena mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Waliolelewa kwenye mazingira machafu, mwalimu alisema chomeni makaratasi lakini wanafunzi wengine walizitupa kwenye madirisha.
Tulizunguka shule mzima na kuokota makaratasi tena kukata nyasi refu zilizokuwa katika mazingira ya shule na kuchoma. Tulisafisha mazingira yetu kisha tukarudi kwa bweni na kusafisha pia huko kukakuwa safi. Mwalimu alitupongeza kwa kazi mzuri tuliyofanya katika mazingira.
Tulimwaga maji katika boma ili mazingira ziimarike tena zimetamete kama nyota angani. Kila kitu kilionekana shule sasa imekuwa safi.
Madhara ya kusafisha ilitupa hewa nzuri kwa sababu mazingira chafu pia hutupatia ugonjwa. Tuliishi katika mazingira safi pia masomo ikaingia vizuri. Mazingira ni jukumu la wasafi. | Nani alikwa kwenye zamu | {
"text": [
"mwalimu"
]
} |
1582_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye chupa waliponena siku njema huonekana asubuhi. Nilirauka nikiwa na furaha ribo ribe kabla kikwara wa kwanza kumeza pumzi.
Nilitembea aste aste mwendo wa kinyonga hadi, katika bweni. Nilivaa sare yangu ya shule. Kuna mwalimu alikuwa kwenye zamu. Mazingira ya shule yetu ilikuwa chafu, makaratasi yalikuwa kila mahali.
Tulianza kufanya kazi asubuhi na mapema. Tuliokota makaratasi yote katika boma na kuchoma. Bado hakujakuwa safi vile mwalimu alikuwa anataka. Tulijaribu kufanya juu chini. Tuliosha madarasa yetu na pia ofisi ya walimu. Tulipomaliza tulirudi kwa madarasa yetu kusoma somo tena mwalimu akatutoa kwa darasa.
Tulirudia kuokota makaratasi na kuchoma. Moshi ulichomoa juu hadi majirani walikuwa wanashtuka kunachomwa nini shuleni? Kumbe ni takataka tu tulikuwa tukichoma. Waswahili hawakukosea waliponena mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Waliolelewa kwenye mazingira machafu, mwalimu alisema chomeni makaratasi lakini wanafunzi wengine walizitupa kwenye madirisha.
Tulizunguka shule mzima na kuokota makaratasi tena kukata nyasi refu zilizokuwa katika mazingira ya shule na kuchoma. Tulisafisha mazingira yetu kisha tukarudi kwa bweni na kusafisha pia huko kukakuwa safi. Mwalimu alitupongeza kwa kazi mzuri tuliyofanya katika mazingira.
Tulimwaga maji katika boma ili mazingira ziimarike tena zimetamete kama nyota angani. Kila kitu kilionekana shule sasa imekuwa safi.
Madhara ya kusafisha ilitupa hewa nzuri kwa sababu mazingira chafu pia hutupatia ugonjwa. Tuliishi katika mazingira safi pia masomo ikaingia vizuri. Mazingira ni jukumu la wasafi. | Walichoma nyasi gani | {
"text": [
"ndefu"
]
} |
1582_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye chupa waliponena siku njema huonekana asubuhi. Nilirauka nikiwa na furaha ribo ribe kabla kikwara wa kwanza kumeza pumzi.
Nilitembea aste aste mwendo wa kinyonga hadi, katika bweni. Nilivaa sare yangu ya shule. Kuna mwalimu alikuwa kwenye zamu. Mazingira ya shule yetu ilikuwa chafu, makaratasi yalikuwa kila mahali.
Tulianza kufanya kazi asubuhi na mapema. Tuliokota makaratasi yote katika boma na kuchoma. Bado hakujakuwa safi vile mwalimu alikuwa anataka. Tulijaribu kufanya juu chini. Tuliosha madarasa yetu na pia ofisi ya walimu. Tulipomaliza tulirudi kwa madarasa yetu kusoma somo tena mwalimu akatutoa kwa darasa.
Tulirudia kuokota makaratasi na kuchoma. Moshi ulichomoa juu hadi majirani walikuwa wanashtuka kunachomwa nini shuleni? Kumbe ni takataka tu tulikuwa tukichoma. Waswahili hawakukosea waliponena mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Waliolelewa kwenye mazingira machafu, mwalimu alisema chomeni makaratasi lakini wanafunzi wengine walizitupa kwenye madirisha.
Tulizunguka shule mzima na kuokota makaratasi tena kukata nyasi refu zilizokuwa katika mazingira ya shule na kuchoma. Tulisafisha mazingira yetu kisha tukarudi kwa bweni na kusafisha pia huko kukakuwa safi. Mwalimu alitupongeza kwa kazi mzuri tuliyofanya katika mazingira.
Tulimwaga maji katika boma ili mazingira ziimarike tena zimetamete kama nyota angani. Kila kitu kilionekana shule sasa imekuwa safi.
Madhara ya kusafisha ilitupa hewa nzuri kwa sababu mazingira chafu pia hutupatia ugonjwa. Tuliishi katika mazingira safi pia masomo ikaingia vizuri. Mazingira ni jukumu la wasafi. | Kwa nini mwalimu alitupongeza | {
"text": [
"kwa kazi nzuri tuliyofanya"
]
} |
1583_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu wa kufanya. Sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu kwa sababu tusipo, kutakuwa na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu tukiwa shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira. | Mahali ambapo tunaishi panaitwaje | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1583_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu wa kufanya. Sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu kwa sababu tusipo, kutakuwa na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu tukiwa shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira. | Ni nani wanapaswa kudumisha usafi wa mazingira | {
"text": [
"Sisi binadamu"
]
} |
1583_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu wa kufanya. Sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu kwa sababu tusipo, kutakuwa na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu tukiwa shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira. | Pia tunapaswa kukata nyazi ambazo ziko karibu na nini | {
"text": [
"Nyumba zetu"
]
} |
1583_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu wa kufanya. Sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu kwa sababu tusipo, kutakuwa na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu tukiwa shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira. | Tunapaswa kudumisha usafi wapi | {
"text": [
"Barabarani"
]
} |
1583_swa |
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na vitu zote lazima ziwe safi. Usafi wa mazingira ni jambo muhimu wa kufanya. Sisi binadamu tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu kwa sababu tusipo, kutakuwa na magonjwa yanayoletwa na uchafu kama vile ugonjwa wa kipindupindu. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu tukiwa shuleni na nyumbani.
Tunapaswa kufyeka nyasi zilizo karibu na nyumba zetu ili kuzuia malaria. Mazingira yakiwa safi hatutagonjeka. Shuleni lazima tudumishe usafi katika chumba cha kulala, msalani na kuokota karatasi na kuchoma.
Tunapaswa kudumisha usafi barabarani kwa kutotupa taka ovyo ovyo kwa sababu husababisha ugonjwa unayoletwa na uchafu. Mazingira yetu lazima yawe safi tukianzia nyumbani , mavazi na hata chakula. Mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu.
Mazingira yetu ikiwa chafu tutagonjeka mara kwa mara. Wakiaribu miti yetu pia mazingira yetu huharibika zaidi na madhara inakuwa kali zaidi maishani yetu.
Katika kijiji chetu sisi sana hupenda kuzingatia usafi wa mazingira. Katika darasa letu, kiranja wetu huambia wanafunzi ni lazima kudumisha usafi wa mazingira. | Katika kijiji chetu sisi hupenda kuzingatia nini | {
"text": [
"Usafi wa mazingira"
]
} |
1584_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam, madhara ya uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mbalimbali kwa kweli tunapaswa kudumisha usafi ili tuyaepuke. Uchafu huleta magonjwa kama kolera na watu hukosa amani wakiwa na ugonjwa huo. Tunapswa kuwa wasafi kila mara kwasababu uchafu huleta wadudu kama vile insi.
Mtu hawezi kuishi vizuri kukiwa na uchafu kwasababu uchafu ukidumu nyumbani insi hutapakaa kila mahali na watu hupata madhara mengi. lnafaa tuwe wasafi kila mara katika nchini yote ili tupate hewa safi kwa sababu uchafu huleta hewa mbaya ambayo huleta shida mengi ya magonjwa.
Sisi kama wanafunzi wa shule hasa tunapswa kuwa wasafi kwasababu shuleni walimu hawa wanatufunza jinsi ya kuwa wasafi lakini kila mtu hujichagulia kuwa msafi au mchafu.
Uchafuzi wa mazingira haileti furaha kwani mazingira yetu yatakuwa machafu na hewa itakuwa mbaya na wanadamu watapata shida mbalimbali. Pia wanyama watapata madhara mengi kutokana na uchafuzi wa mazingira kama vile wadudu kwasababu watasumbuliwa na insi na viroboto.
Uchafuzi wa mazingira huleta mbu. Wakati wa mvua mbu huwa wengi na binadamu watapata malaria. Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wakati wanadamu wasipojali masilahi yao.
Sasa hivi kuna ugonjwa mbaya wa Corona na inafaa wanadamu wawe wasafi lakini wasipo jali mazingira yao kudumisha usafi ugonjwa huo utaongezeka. | Madhara ya uchafuzi wa mazingira huleta nini | {
"text": [
"magonjwa"
]
} |
1584_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam, madhara ya uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mbalimbali kwa kweli tunapaswa kudumisha usafi ili tuyaepuke. Uchafu huleta magonjwa kama kolera na watu hukosa amani wakiwa na ugonjwa huo. Tunapswa kuwa wasafi kila mara kwasababu uchafu huleta wadudu kama vile insi.
Mtu hawezi kuishi vizuri kukiwa na uchafu kwasababu uchafu ukidumu nyumbani insi hutapakaa kila mahali na watu hupata madhara mengi. lnafaa tuwe wasafi kila mara katika nchini yote ili tupate hewa safi kwa sababu uchafu huleta hewa mbaya ambayo huleta shida mengi ya magonjwa.
Sisi kama wanafunzi wa shule hasa tunapswa kuwa wasafi kwasababu shuleni walimu hawa wanatufunza jinsi ya kuwa wasafi lakini kila mtu hujichagulia kuwa msafi au mchafu.
Uchafuzi wa mazingira haileti furaha kwani mazingira yetu yatakuwa machafu na hewa itakuwa mbaya na wanadamu watapata shida mbalimbali. Pia wanyama watapata madhara mengi kutokana na uchafuzi wa mazingira kama vile wadudu kwasababu watasumbuliwa na insi na viroboto.
Uchafuzi wa mazingira huleta mbu. Wakati wa mvua mbu huwa wengi na binadamu watapata malaria. Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wakati wanadamu wasipojali masilahi yao.
Sasa hivi kuna ugonjwa mbaya wa Corona na inafaa wanadamu wawe wasafi lakini wasipo jali mazingira yao kudumisha usafi ugonjwa huo utaongezeka. | Uchafu huleta wadudu wagani | {
"text": [
"inzi"
]
} |
1584_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam, madhara ya uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mbalimbali kwa kweli tunapaswa kudumisha usafi ili tuyaepuke. Uchafu huleta magonjwa kama kolera na watu hukosa amani wakiwa na ugonjwa huo. Tunapswa kuwa wasafi kila mara kwasababu uchafu huleta wadudu kama vile insi.
Mtu hawezi kuishi vizuri kukiwa na uchafu kwasababu uchafu ukidumu nyumbani insi hutapakaa kila mahali na watu hupata madhara mengi. lnafaa tuwe wasafi kila mara katika nchini yote ili tupate hewa safi kwa sababu uchafu huleta hewa mbaya ambayo huleta shida mengi ya magonjwa.
Sisi kama wanafunzi wa shule hasa tunapswa kuwa wasafi kwasababu shuleni walimu hawa wanatufunza jinsi ya kuwa wasafi lakini kila mtu hujichagulia kuwa msafi au mchafu.
Uchafuzi wa mazingira haileti furaha kwani mazingira yetu yatakuwa machafu na hewa itakuwa mbaya na wanadamu watapata shida mbalimbali. Pia wanyama watapata madhara mengi kutokana na uchafuzi wa mazingira kama vile wadudu kwasababu watasumbuliwa na insi na viroboto.
Uchafuzi wa mazingira huleta mbu. Wakati wa mvua mbu huwa wengi na binadamu watapata malaria. Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wakati wanadamu wasipojali masilahi yao.
Sasa hivi kuna ugonjwa mbaya wa Corona na inafaa wanadamu wawe wasafi lakini wasipo jali mazingira yao kudumisha usafi ugonjwa huo utaongezeka. | ugonjwa gani husababishwa na mbu | {
"text": [
"malaria"
]
} |
1584_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam, madhara ya uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mbalimbali kwa kweli tunapaswa kudumisha usafi ili tuyaepuke. Uchafu huleta magonjwa kama kolera na watu hukosa amani wakiwa na ugonjwa huo. Tunapswa kuwa wasafi kila mara kwasababu uchafu huleta wadudu kama vile insi.
Mtu hawezi kuishi vizuri kukiwa na uchafu kwasababu uchafu ukidumu nyumbani insi hutapakaa kila mahali na watu hupata madhara mengi. lnafaa tuwe wasafi kila mara katika nchini yote ili tupate hewa safi kwa sababu uchafu huleta hewa mbaya ambayo huleta shida mengi ya magonjwa.
Sisi kama wanafunzi wa shule hasa tunapswa kuwa wasafi kwasababu shuleni walimu hawa wanatufunza jinsi ya kuwa wasafi lakini kila mtu hujichagulia kuwa msafi au mchafu.
Uchafuzi wa mazingira haileti furaha kwani mazingira yetu yatakuwa machafu na hewa itakuwa mbaya na wanadamu watapata shida mbalimbali. Pia wanyama watapata madhara mengi kutokana na uchafuzi wa mazingira kama vile wadudu kwasababu watasumbuliwa na insi na viroboto.
Uchafuzi wa mazingira huleta mbu. Wakati wa mvua mbu huwa wengi na binadamu watapata malaria. Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wakati wanadamu wasipojali masilahi yao.
Sasa hivi kuna ugonjwa mbaya wa Corona na inafaa wanadamu wawe wasafi lakini wasipo jali mazingira yao kudumisha usafi ugonjwa huo utaongezeka. | Mbu huwa wengi lini | {
"text": [
"wakati wa mvua"
]
} |
1584_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam, madhara ya uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mbalimbali kwa kweli tunapaswa kudumisha usafi ili tuyaepuke. Uchafu huleta magonjwa kama kolera na watu hukosa amani wakiwa na ugonjwa huo. Tunapswa kuwa wasafi kila mara kwasababu uchafu huleta wadudu kama vile insi.
Mtu hawezi kuishi vizuri kukiwa na uchafu kwasababu uchafu ukidumu nyumbani insi hutapakaa kila mahali na watu hupata madhara mengi. lnafaa tuwe wasafi kila mara katika nchini yote ili tupate hewa safi kwa sababu uchafu huleta hewa mbaya ambayo huleta shida mengi ya magonjwa.
Sisi kama wanafunzi wa shule hasa tunapswa kuwa wasafi kwasababu shuleni walimu hawa wanatufunza jinsi ya kuwa wasafi lakini kila mtu hujichagulia kuwa msafi au mchafu.
Uchafuzi wa mazingira haileti furaha kwani mazingira yetu yatakuwa machafu na hewa itakuwa mbaya na wanadamu watapata shida mbalimbali. Pia wanyama watapata madhara mengi kutokana na uchafuzi wa mazingira kama vile wadudu kwasababu watasumbuliwa na insi na viroboto.
Uchafuzi wa mazingira huleta mbu. Wakati wa mvua mbu huwa wengi na binadamu watapata malaria. Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na wakati wanadamu wasipojali masilahi yao.
Sasa hivi kuna ugonjwa mbaya wa Corona na inafaa wanadamu wawe wasafi lakini wasipo jali mazingira yao kudumisha usafi ugonjwa huo utaongezeka. | Mbona wanafunzi wa shule wanapaswa kuwa wasafi | {
"text": [
"kwa kuwa waalimu wao huwafunza jinsi ya kuwa wasafi"
]
} |
1585_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya. Uchafuzi ni tendo la kuchafuwa. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni muhimu kwa sababu tusipokuwa wasafi au kusafisha mazingira hakuna vile tutazuia magonjwa yasije, pia tusipofanya usafi kuna magonjwa ambayo itakuja kama vile pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa mbaya inayokuja kama mazingira yetu hayajasafishwa. Usafi tusipojisafisha katika mazingira, tutapata athari mbaya inayoharibu mazingira yetu.
Mazingira safi ni kitu muhimu kwetu kwa sababu tukisafisha hatutapata magonjwa tofauti ambao uchafu unaeza leta katika mazingira yetu. Madhara huleta uharibifu sana katika mahali ambapo wanadamu huishi. Tunapokuwa kwenye mazingira, ni vizuri tuzuie magonjwa kama hayo kwa kufanya usafi katika maisha ambapo tunaishi.
Uchafu unaoleta magonjwa haya ni kama kutupa takataka ovyo ovyo na kumwaga maji
chafu kwa kila mahali na kutofagia ama kuosha nyumba ambayo unaishi. Hivyo ndivyo tukiweza fanya usafi katika sehemu ambao unatuzunguka hatutapata haya yote kwa kusafisha.
Ni kitu muhimu sana kila mmoja wetu apende kusafisha pahali pale ambapo pana ishi na pia awe na pupa la kuchomea takataka ili azuie uchafu ambayo italeta magonjwa. | Magonjwa hukithiri katika mazingira yapi? | {
"text": [
"Chafu"
]
} |
1585_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya. Uchafuzi ni tendo la kuchafuwa. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni muhimu kwa sababu tusipokuwa wasafi au kusafisha mazingira hakuna vile tutazuia magonjwa yasije, pia tusipofanya usafi kuna magonjwa ambayo itakuja kama vile pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa mbaya inayokuja kama mazingira yetu hayajasafishwa. Usafi tusipojisafisha katika mazingira, tutapata athari mbaya inayoharibu mazingira yetu.
Mazingira safi ni kitu muhimu kwetu kwa sababu tukisafisha hatutapata magonjwa tofauti ambao uchafu unaeza leta katika mazingira yetu. Madhara huleta uharibifu sana katika mahali ambapo wanadamu huishi. Tunapokuwa kwenye mazingira, ni vizuri tuzuie magonjwa kama hayo kwa kufanya usafi katika maisha ambapo tunaishi.
Uchafu unaoleta magonjwa haya ni kama kutupa takataka ovyo ovyo na kumwaga maji
chafu kwa kila mahali na kutofagia ama kuosha nyumba ambayo unaishi. Hivyo ndivyo tukiweza fanya usafi katika sehemu ambao unatuzunguka hatutapata haya yote kwa kusafisha.
Ni kitu muhimu sana kila mmoja wetu apende kusafisha pahali pale ambapo pana ishi na pia awe na pupa la kuchomea takataka ili azuie uchafu ambayo italeta magonjwa. | Mazingira chafu huleta ugonjwa kama gani? | {
"text": [
"Pepopunda"
]
} |
1585_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya. Uchafuzi ni tendo la kuchafuwa. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni muhimu kwa sababu tusipokuwa wasafi au kusafisha mazingira hakuna vile tutazuia magonjwa yasije, pia tusipofanya usafi kuna magonjwa ambayo itakuja kama vile pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa mbaya inayokuja kama mazingira yetu hayajasafishwa. Usafi tusipojisafisha katika mazingira, tutapata athari mbaya inayoharibu mazingira yetu.
Mazingira safi ni kitu muhimu kwetu kwa sababu tukisafisha hatutapata magonjwa tofauti ambao uchafu unaeza leta katika mazingira yetu. Madhara huleta uharibifu sana katika mahali ambapo wanadamu huishi. Tunapokuwa kwenye mazingira, ni vizuri tuzuie magonjwa kama hayo kwa kufanya usafi katika maisha ambapo tunaishi.
Uchafu unaoleta magonjwa haya ni kama kutupa takataka ovyo ovyo na kumwaga maji
chafu kwa kila mahali na kutofagia ama kuosha nyumba ambayo unaishi. Hivyo ndivyo tukiweza fanya usafi katika sehemu ambao unatuzunguka hatutapata haya yote kwa kusafisha.
Ni kitu muhimu sana kila mmoja wetu apende kusafisha pahali pale ambapo pana ishi na pia awe na pupa la kuchomea takataka ili azuie uchafu ambayo italeta magonjwa. | Mambo yanayomzunguka mtu mahali anapoisha huitwaje? | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1585_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya. Uchafuzi ni tendo la kuchafuwa. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni muhimu kwa sababu tusipokuwa wasafi au kusafisha mazingira hakuna vile tutazuia magonjwa yasije, pia tusipofanya usafi kuna magonjwa ambayo itakuja kama vile pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa mbaya inayokuja kama mazingira yetu hayajasafishwa. Usafi tusipojisafisha katika mazingira, tutapata athari mbaya inayoharibu mazingira yetu.
Mazingira safi ni kitu muhimu kwetu kwa sababu tukisafisha hatutapata magonjwa tofauti ambao uchafu unaeza leta katika mazingira yetu. Madhara huleta uharibifu sana katika mahali ambapo wanadamu huishi. Tunapokuwa kwenye mazingira, ni vizuri tuzuie magonjwa kama hayo kwa kufanya usafi katika maisha ambapo tunaishi.
Uchafu unaoleta magonjwa haya ni kama kutupa takataka ovyo ovyo na kumwaga maji
chafu kwa kila mahali na kutofagia ama kuosha nyumba ambayo unaishi. Hivyo ndivyo tukiweza fanya usafi katika sehemu ambao unatuzunguka hatutapata haya yote kwa kusafisha.
Ni kitu muhimu sana kila mmoja wetu apende kusafisha pahali pale ambapo pana ishi na pia awe na pupa la kuchomea takataka ili azuie uchafu ambayo italeta magonjwa. | Magonjwa hutokana na hali gani? | {
"text": [
"Kutupa taka kiholela"
]
} |
1585_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya. Uchafuzi ni tendo la kuchafuwa. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni muhimu kwa sababu tusipokuwa wasafi au kusafisha mazingira hakuna vile tutazuia magonjwa yasije, pia tusipofanya usafi kuna magonjwa ambayo itakuja kama vile pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa mbaya inayokuja kama mazingira yetu hayajasafishwa. Usafi tusipojisafisha katika mazingira, tutapata athari mbaya inayoharibu mazingira yetu.
Mazingira safi ni kitu muhimu kwetu kwa sababu tukisafisha hatutapata magonjwa tofauti ambao uchafu unaeza leta katika mazingira yetu. Madhara huleta uharibifu sana katika mahali ambapo wanadamu huishi. Tunapokuwa kwenye mazingira, ni vizuri tuzuie magonjwa kama hayo kwa kufanya usafi katika maisha ambapo tunaishi.
Uchafu unaoleta magonjwa haya ni kama kutupa takataka ovyo ovyo na kumwaga maji
chafu kwa kila mahali na kutofagia ama kuosha nyumba ambayo unaishi. Hivyo ndivyo tukiweza fanya usafi katika sehemu ambao unatuzunguka hatutapata haya yote kwa kusafisha.
Ni kitu muhimu sana kila mmoja wetu apende kusafisha pahali pale ambapo pana ishi na pia awe na pupa la kuchomea takataka ili azuie uchafu ambayo italeta magonjwa. | Mwandishi anahimiza watu wafanye nini nyumbani kwao? | {
"text": [
"Wasafishe kila mahali"
]
} |
1586_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Ni ukweli kusema hatuwezi kuishi mahali pana uchafu kwasababu tukiishi mahali pachafu tutakuwa na magonjwa mbalimbali.
Kwa hivyo hatutaki kupata magonjwa au watu wengine waumie, ni heri tuwe wasafi na tukae na amani. Walimu wetu shuleni hutufunza jinsi tunavyo kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota takataka tunazieka katika mabini ya takataka.
Sisi hufagia varanda ya shule yetu. Kabla wanafunzi kuanza masomo yao walikuwa wanafanya usafi kwani ndio waanze kufanya au kuanza masomo yao. Walimu wote walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani, ingawa kulikuwa na wasichana ambao waliokuwa hawataki kufanya kazi wakati ufaao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na jioni madarasa kufagiliwa. Maua ya shule yetu tulikuwa tunazinyunyuzia na kufagia karibu na maua. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa amevaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’aa. Walimu pia walikuwa wavae vizuri ili waweze kuwa sawasawa.
Walimu hutufunza pia kuwa wasafi nyumbani nakuzingatia usafi. Nyumbani mtu huosha vyombo na vile vile mtu hufagia. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu, kwa sababu kama hatuko wasafi magonjwa tutakuwa navyo. Lakini mwenyezi mungu atatusaidia tusipatwe na magonjwa.
Kwasababu hivi tunajua ya kwamba watu waliye wasafi nao wako karibu na mungu. Walimu, wanafunzi, wote tuzingatie usafi. Hivi kwamba tukizingatia usafi wote tutakuwa sawa. | Tukiishi pahali pana uchafu tutapata nini | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1586_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Ni ukweli kusema hatuwezi kuishi mahali pana uchafu kwasababu tukiishi mahali pachafu tutakuwa na magonjwa mbalimbali.
Kwa hivyo hatutaki kupata magonjwa au watu wengine waumie, ni heri tuwe wasafi na tukae na amani. Walimu wetu shuleni hutufunza jinsi tunavyo kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota takataka tunazieka katika mabini ya takataka.
Sisi hufagia varanda ya shule yetu. Kabla wanafunzi kuanza masomo yao walikuwa wanafanya usafi kwani ndio waanze kufanya au kuanza masomo yao. Walimu wote walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani, ingawa kulikuwa na wasichana ambao waliokuwa hawataki kufanya kazi wakati ufaao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na jioni madarasa kufagiliwa. Maua ya shule yetu tulikuwa tunazinyunyuzia na kufagia karibu na maua. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa amevaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’aa. Walimu pia walikuwa wavae vizuri ili waweze kuwa sawasawa.
Walimu hutufunza pia kuwa wasafi nyumbani nakuzingatia usafi. Nyumbani mtu huosha vyombo na vile vile mtu hufagia. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu, kwa sababu kama hatuko wasafi magonjwa tutakuwa navyo. Lakini mwenyezi mungu atatusaidia tusipatwe na magonjwa.
Kwasababu hivi tunajua ya kwamba watu waliye wasafi nao wako karibu na mungu. Walimu, wanafunzi, wote tuzingatie usafi. Hivi kwamba tukizingatia usafi wote tutakuwa sawa. | Nani hufunza kuhusu usafi | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
1586_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Ni ukweli kusema hatuwezi kuishi mahali pana uchafu kwasababu tukiishi mahali pachafu tutakuwa na magonjwa mbalimbali.
Kwa hivyo hatutaki kupata magonjwa au watu wengine waumie, ni heri tuwe wasafi na tukae na amani. Walimu wetu shuleni hutufunza jinsi tunavyo kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota takataka tunazieka katika mabini ya takataka.
Sisi hufagia varanda ya shule yetu. Kabla wanafunzi kuanza masomo yao walikuwa wanafanya usafi kwani ndio waanze kufanya au kuanza masomo yao. Walimu wote walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani, ingawa kulikuwa na wasichana ambao waliokuwa hawataki kufanya kazi wakati ufaao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na jioni madarasa kufagiliwa. Maua ya shule yetu tulikuwa tunazinyunyuzia na kufagia karibu na maua. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa amevaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’aa. Walimu pia walikuwa wavae vizuri ili waweze kuwa sawasawa.
Walimu hutufunza pia kuwa wasafi nyumbani nakuzingatia usafi. Nyumbani mtu huosha vyombo na vile vile mtu hufagia. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu, kwa sababu kama hatuko wasafi magonjwa tutakuwa navyo. Lakini mwenyezi mungu atatusaidia tusipatwe na magonjwa.
Kwasababu hivi tunajua ya kwamba watu waliye wasafi nao wako karibu na mungu. Walimu, wanafunzi, wote tuzingatie usafi. Hivi kwamba tukizingatia usafi wote tutakuwa sawa. | Wanafunzi wanafanya usafi kabla ya kwenda wapi | {
"text": [
"Darasani"
]
} |
1586_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Ni ukweli kusema hatuwezi kuishi mahali pana uchafu kwasababu tukiishi mahali pachafu tutakuwa na magonjwa mbalimbali.
Kwa hivyo hatutaki kupata magonjwa au watu wengine waumie, ni heri tuwe wasafi na tukae na amani. Walimu wetu shuleni hutufunza jinsi tunavyo kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota takataka tunazieka katika mabini ya takataka.
Sisi hufagia varanda ya shule yetu. Kabla wanafunzi kuanza masomo yao walikuwa wanafanya usafi kwani ndio waanze kufanya au kuanza masomo yao. Walimu wote walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani, ingawa kulikuwa na wasichana ambao waliokuwa hawataki kufanya kazi wakati ufaao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na jioni madarasa kufagiliwa. Maua ya shule yetu tulikuwa tunazinyunyuzia na kufagia karibu na maua. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa amevaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’aa. Walimu pia walikuwa wavae vizuri ili waweze kuwa sawasawa.
Walimu hutufunza pia kuwa wasafi nyumbani nakuzingatia usafi. Nyumbani mtu huosha vyombo na vile vile mtu hufagia. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu, kwa sababu kama hatuko wasafi magonjwa tutakuwa navyo. Lakini mwenyezi mungu atatusaidia tusipatwe na magonjwa.
Kwasababu hivi tunajua ya kwamba watu waliye wasafi nao wako karibu na mungu. Walimu, wanafunzi, wote tuzingatie usafi. Hivi kwamba tukizingatia usafi wote tutakuwa sawa. | Darasani hupigwa nini | {
"text": [
"Deki"
]
} |
1586_swa |
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Naam! Ni ukweli kusema hatuwezi kuishi mahali pana uchafu kwasababu tukiishi mahali pachafu tutakuwa na magonjwa mbalimbali.
Kwa hivyo hatutaki kupata magonjwa au watu wengine waumie, ni heri tuwe wasafi na tukae na amani. Walimu wetu shuleni hutufunza jinsi tunavyo kuwa wasafi. Tulikuwa tunaokota takataka tunazieka katika mabini ya takataka.
Sisi hufagia varanda ya shule yetu. Kabla wanafunzi kuanza masomo yao walikuwa wanafanya usafi kwani ndio waanze kufanya au kuanza masomo yao. Walimu wote walikuwa wanahakikisha kuwa wanafunzi wamefanya kazi ya usafi kwanza kabla ya kwenda darasani, ingawa kulikuwa na wasichana ambao waliokuwa hawataki kufanya kazi wakati ufaao.
Madarasa yalikuwa yanapigwa deki asubuhi na jioni madarasa kufagiliwa. Maua ya shule yetu tulikuwa tunazinyunyuzia na kufagia karibu na maua. Wakati tulikuwa na wageni shuleni, kila mwanafunzi alikuwa amevaa sare zote za shule. Viatu vyetu vilikuwa vinang’aa. Walimu pia walikuwa wavae vizuri ili waweze kuwa sawasawa.
Walimu hutufunza pia kuwa wasafi nyumbani nakuzingatia usafi. Nyumbani mtu huosha vyombo na vile vile mtu hufagia. Usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu, kwa sababu kama hatuko wasafi magonjwa tutakuwa navyo. Lakini mwenyezi mungu atatusaidia tusipatwe na magonjwa.
Kwasababu hivi tunajua ya kwamba watu waliye wasafi nao wako karibu na mungu. Walimu, wanafunzi, wote tuzingatie usafi. Hivi kwamba tukizingatia usafi wote tutakuwa sawa. | Kwa nini tuwe safi | {
"text": [
"Ili tusipatwwe na magonjwa"
]
} |
1587_swa | Naam! Madhara ya kuchafua mazingira inatokana na uchafu. Sababu hii kuwa unapotunza mazingira yako chafu hapo ndipo madhara haya hutokea. Madhara ya mbele zaidi ni kutokuwa msafi, uchafu wa mazingira unaweza ukasababisha magonjwa kama vile malaria, homa, umbu na kadhalika na pia hukosesha watu wengi waishi kwa amani kwa sababu uchafu ina madhara mengi zaidi na pia majirani wanaeza kuchukiana kupitia uchafu wa mazingira.
Uchafu wa mazingira inaweza pitia kila mahali. Sasa je, kama uchafu unatokea popote sembuse vitu husambaratika katika ukosefu wa maji kwa maana maji ni maisha, na pia husaidia kwa popote penye shida. Sasa inastahili uwemsafi kila mara na kila mahali na pia mahali penye hamna maji mtu hawezi kuishi bila maji na pia watu wengi haswa watoto wadogo wanalazwa mahospitalini kwa maana ya uchafu wa mazingira.
Mazingira masafi huwezesha mtu aishi maisha bora zaidi na bila shida yoyote ila kuendelea na pia mtu huwa na afya bora lakini asipojitunza kwa maisha mazuri, huwezi faulu kwa sababu ya kwanza, mtu huweza kupitia mashida mengi haswa magonjwa na pia mateso na kuishi maisha mbaya na kweli mtu hatakula kwa sababu ya kutokuwa na afya.
Uchafu wa mazingira hauna tiba kwa sababu mateso ndio utakipitia na huwa familia mengi huwa na mashida sana. Watoto hukonda na kukosa afya na kugonjeka pia na afya ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu na huweza kuwafanya watu wengi kuaga dunia. | Madhara ya kuchafua mazingira inatokana na nini | {
"text": [
"uchafu"
]
} |
1587_swa | Naam! Madhara ya kuchafua mazingira inatokana na uchafu. Sababu hii kuwa unapotunza mazingira yako chafu hapo ndipo madhara haya hutokea. Madhara ya mbele zaidi ni kutokuwa msafi, uchafu wa mazingira unaweza ukasababisha magonjwa kama vile malaria, homa, umbu na kadhalika na pia hukosesha watu wengi waishi kwa amani kwa sababu uchafu ina madhara mengi zaidi na pia majirani wanaeza kuchukiana kupitia uchafu wa mazingira.
Uchafu wa mazingira inaweza pitia kila mahali. Sasa je, kama uchafu unatokea popote sembuse vitu husambaratika katika ukosefu wa maji kwa maana maji ni maisha, na pia husaidia kwa popote penye shida. Sasa inastahili uwemsafi kila mara na kila mahali na pia mahali penye hamna maji mtu hawezi kuishi bila maji na pia watu wengi haswa watoto wadogo wanalazwa mahospitalini kwa maana ya uchafu wa mazingira.
Mazingira masafi huwezesha mtu aishi maisha bora zaidi na bila shida yoyote ila kuendelea na pia mtu huwa na afya bora lakini asipojitunza kwa maisha mazuri, huwezi faulu kwa sababu ya kwanza, mtu huweza kupitia mashida mengi haswa magonjwa na pia mateso na kuishi maisha mbaya na kweli mtu hatakula kwa sababu ya kutokuwa na afya.
Uchafu wa mazingira hauna tiba kwa sababu mateso ndio utakipitia na huwa familia mengi huwa na mashida sana. Watoto hukonda na kukosa afya na kugonjeka pia na afya ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu na huweza kuwafanya watu wengi kuaga dunia. | Kupitia uchafu, majirani wanaweza kufanya nini | {
"text": [
"kuchukiana"
]
} |
1587_swa | Naam! Madhara ya kuchafua mazingira inatokana na uchafu. Sababu hii kuwa unapotunza mazingira yako chafu hapo ndipo madhara haya hutokea. Madhara ya mbele zaidi ni kutokuwa msafi, uchafu wa mazingira unaweza ukasababisha magonjwa kama vile malaria, homa, umbu na kadhalika na pia hukosesha watu wengi waishi kwa amani kwa sababu uchafu ina madhara mengi zaidi na pia majirani wanaeza kuchukiana kupitia uchafu wa mazingira.
Uchafu wa mazingira inaweza pitia kila mahali. Sasa je, kama uchafu unatokea popote sembuse vitu husambaratika katika ukosefu wa maji kwa maana maji ni maisha, na pia husaidia kwa popote penye shida. Sasa inastahili uwemsafi kila mara na kila mahali na pia mahali penye hamna maji mtu hawezi kuishi bila maji na pia watu wengi haswa watoto wadogo wanalazwa mahospitalini kwa maana ya uchafu wa mazingira.
Mazingira masafi huwezesha mtu aishi maisha bora zaidi na bila shida yoyote ila kuendelea na pia mtu huwa na afya bora lakini asipojitunza kwa maisha mazuri, huwezi faulu kwa sababu ya kwanza, mtu huweza kupitia mashida mengi haswa magonjwa na pia mateso na kuishi maisha mbaya na kweli mtu hatakula kwa sababu ya kutokuwa na afya.
Uchafu wa mazingira hauna tiba kwa sababu mateso ndio utakipitia na huwa familia mengi huwa na mashida sana. Watoto hukonda na kukosa afya na kugonjeka pia na afya ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu na huweza kuwafanya watu wengi kuaga dunia. | Maji ni nini | {
"text": [
"maji ni maisha"
]
} |
Subsets and Splits