Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
1498_swa | Mwendo wa saa mbili na ushei, lango la tarabe lilifunguliwa taratibu. Ni mara chache sana ambapo Gangara aliweza kuiona sehemu ya nje ya lango hili. Awali, aliliona pale tu walipopelekwa pamoja na wafungwa wenzake, chini ya ulinzi mkali, ama kuenda kunadhifisha mji au kushiriki shughuli nyinginezo kama walivyohitajika. Lango hili limemdhibiti kwa nusu mwongo sasa japo kwa Gangara, hii ni miongo mitano! Lakini leo, imesibu kuwa hauchi hauchi kunakucha. Wake umekucha che! na kumwangazia waa! Kwa nuru ya uhuru.
Kumbukumbu za Gangara zilimregesha katika siku zake za kisogoni, akakumbuka akiwa danga la mwana katika shule ya msingi ya Maarifa. Wavyele wake walalahai, walijifunga mkanja mwanao akapata hiki na kile, mradi aweze kujitegemea na kuwa taa iwapo yatakuwa majaliwa. Siku zote Gangara akiahidi kuinamia cha mvunguni na kuibuka na mzo wa maarifa.
Katika mwaka wake wa saba katika shule ya msingi, Gangara aliwapata mahabubu watundu akanolewa akapata. Kufumba na kufumbua, akajipata ameabiri dau la mihadarati. Kila siku, wavyele wake walisikika wakilaani kwamba fulusi zao zilitoweka kimiujiza. Ambalo hawakujua ni kwamba njenje zao zilitumika kugharamia starehe za mwana wao. Baadhi ya vitu vya thamani aidha vilianza kuota mbawa kiajabuajabu.
Baada ya kushauriana, wavyele walikata shauri la kutolewa fedha chumbani. Gangara alipohojiwa alikula mori na kuanza kuwakaripia wavyele wake. "Hivi mmenikosea thamani kiasi cha kuniita pwagu. Tazameni mlivyonitelekeza. Hata masrufu hamnipi tena. Mbona mlinizaa kuja kunitesa? “Alisaili kwa uchungu.
Mama mtu alipojaribu kumtuliza mwanawe alifunguliwa mfereji wa matusi akapigwa na mughma. Hakuamini masikio yake. “Huyu ni yule mwanangu niliyemzaa, nikamwamisha na kumchuchia? Leo hii anathubutu kunisagua kiasi hiki? Ama kweli, ivushayo ni mbovu. Hapo alilia hadi kifua kikalowana kabisa kwa machozi.
Jioni iyo hiyo Gangara aliwasimulia wenzake masaibu yake wakamsikitikia sana. Siku iyo hiyo walikula njama kutorokea mjini. Walipofika huko, walitumia akali ya fulusi waliyokuwa nayo kununulia mihadarati na kushiriki anasa. Walichosahau ni kuwa chovyachovya humaliza buyu la asali.
Pesa zilipotindika waliamua kuingilia uhalifu ili kukidhi mahitaji yao. Awali walivamia gereji moja na kuiba vipuri vya magari. Baadaye waliviuza kwa bei ya kutupa na kuendesha maisha yao. Ujanja wao uliishia jangwani usiku mmoja waliponaswa na polisi walioshika doria. Hawakuweza kueleza walikotoka usiku huo wala walikopata vipuri vya magari. Basi walinda usalama wakajijazia. Visa vya wizi wa vipuri vilikuwa vimeshamiri mkoani humo.
Hatimaye Gangara na wenzake walifunguliwa mashtaka na kuhukumiwa. Gangara mwenyewe hakuona haja ya kukata rufaa. Ushahidi dhidi yake haukuwa na ati-ati. Wenzake walishindwa kuvumilia mateso gerezani wakasalimu amri. Mmoja wao aliugua na kukata kamba. Mwenzake naye alishiriki mapigano akaangamizwa na mfungwa mwenzake. Kwa Gangara, ilikuwa heri nusu ya shari kuliko shari kamili.
Wakati huu, Gangara aliona jambo moja tu. Alitaka kuwaona wavyele wake awaangukie miguuni na kulia kama mtoto mdogo. Alitamani afike kama yule Mwana Mpotevu na kuomba radhi zao. Tayari , machozi ya majonzi yalikuwa yakimdondoka ndo ndo ndo! | Chovyachovya humaliza nini? | {
"text": [
"Buyu la asali"
]
} |
1498_swa | Mwendo wa saa mbili na ushei, lango la tarabe lilifunguliwa taratibu. Ni mara chache sana ambapo Gangara aliweza kuiona sehemu ya nje ya lango hili. Awali, aliliona pale tu walipopelekwa pamoja na wafungwa wenzake, chini ya ulinzi mkali, ama kuenda kunadhifisha mji au kushiriki shughuli nyinginezo kama walivyohitajika. Lango hili limemdhibiti kwa nusu mwongo sasa japo kwa Gangara, hii ni miongo mitano! Lakini leo, imesibu kuwa hauchi hauchi kunakucha. Wake umekucha che! na kumwangazia waa! Kwa nuru ya uhuru.
Kumbukumbu za Gangara zilimregesha katika siku zake za kisogoni, akakumbuka akiwa danga la mwana katika shule ya msingi ya Maarifa. Wavyele wake walalahai, walijifunga mkanja mwanao akapata hiki na kile, mradi aweze kujitegemea na kuwa taa iwapo yatakuwa majaliwa. Siku zote Gangara akiahidi kuinamia cha mvunguni na kuibuka na mzo wa maarifa.
Katika mwaka wake wa saba katika shule ya msingi, Gangara aliwapata mahabubu watundu akanolewa akapata. Kufumba na kufumbua, akajipata ameabiri dau la mihadarati. Kila siku, wavyele wake walisikika wakilaani kwamba fulusi zao zilitoweka kimiujiza. Ambalo hawakujua ni kwamba njenje zao zilitumika kugharamia starehe za mwana wao. Baadhi ya vitu vya thamani aidha vilianza kuota mbawa kiajabuajabu.
Baada ya kushauriana, wavyele walikata shauri la kutolewa fedha chumbani. Gangara alipohojiwa alikula mori na kuanza kuwakaripia wavyele wake. "Hivi mmenikosea thamani kiasi cha kuniita pwagu. Tazameni mlivyonitelekeza. Hata masrufu hamnipi tena. Mbona mlinizaa kuja kunitesa? “Alisaili kwa uchungu.
Mama mtu alipojaribu kumtuliza mwanawe alifunguliwa mfereji wa matusi akapigwa na mughma. Hakuamini masikio yake. “Huyu ni yule mwanangu niliyemzaa, nikamwamisha na kumchuchia? Leo hii anathubutu kunisagua kiasi hiki? Ama kweli, ivushayo ni mbovu. Hapo alilia hadi kifua kikalowana kabisa kwa machozi.
Jioni iyo hiyo Gangara aliwasimulia wenzake masaibu yake wakamsikitikia sana. Siku iyo hiyo walikula njama kutorokea mjini. Walipofika huko, walitumia akali ya fulusi waliyokuwa nayo kununulia mihadarati na kushiriki anasa. Walichosahau ni kuwa chovyachovya humaliza buyu la asali.
Pesa zilipotindika waliamua kuingilia uhalifu ili kukidhi mahitaji yao. Awali walivamia gereji moja na kuiba vipuri vya magari. Baadaye waliviuza kwa bei ya kutupa na kuendesha maisha yao. Ujanja wao uliishia jangwani usiku mmoja waliponaswa na polisi walioshika doria. Hawakuweza kueleza walikotoka usiku huo wala walikopata vipuri vya magari. Basi walinda usalama wakajijazia. Visa vya wizi wa vipuri vilikuwa vimeshamiri mkoani humo.
Hatimaye Gangara na wenzake walifunguliwa mashtaka na kuhukumiwa. Gangara mwenyewe hakuona haja ya kukata rufaa. Ushahidi dhidi yake haukuwa na ati-ati. Wenzake walishindwa kuvumilia mateso gerezani wakasalimu amri. Mmoja wao aliugua na kukata kamba. Mwenzake naye alishiriki mapigano akaangamizwa na mfungwa mwenzake. Kwa Gangara, ilikuwa heri nusu ya shari kuliko shari kamili.
Wakati huu, Gangara aliona jambo moja tu. Alitaka kuwaona wavyele wake awaangukie miguuni na kulia kama mtoto mdogo. Alitamani afike kama yule Mwana Mpotevu na kuomba radhi zao. Tayari , machozi ya majonzi yalikuwa yakimdondoka ndo ndo ndo! | Wakati pesa iliwaishia kina Gangara, waliamua kujiingiza katika nini? | {
"text": [
"Uhalifu"
]
} |
1499_swa | Ama kwa kweli yapo mambo mengi katika maisha ya mwanadamu ambayo husahaulika punde yanapotokea na mengine hunata akilini kama gundi kwa muda mrefu. Mojawapo ya mainbo ambayo siwezi katu kuyasahau ni likizo yangu ya Disemba. Matukio ya siku hiyo yalikuwa ya kuvutia sana na yamkini ndiyo sababu ya kutweza kuyasahau vivi hivi.
Sote wanafunzi wa darasa la saba tulikuwa tumeahidiwa kupelekwa kuzuru maeneo kadhaa ya nchi yetu tukufu. Maandalizi yalikuwa kabambe kwa kweli yaelekea hakuna mwanafunzi aliyepata hata lopo moja la usingizi. Yote yalitokana na hamu na hamumu ya safari iliyokuwa ya aina yake. Hatimaye ule usiku uliojikokota uliipa asubuhi nafasi yake. Kulikucha! Furaha ghaya ikanitinga.
Wazazi hawakuchelea wala kuchelewa kunipa nasaha zao nami nilijitia hamnazo kwani akili zangu zilikuwa kilomita kadhaa kutoka huko nyumbani. Nilfululiza moja kwa moja hadi shuleni na baada ya muda wa paka kunawia mate nilikuwa nimewahi basi la shule nilimowapata wanafunzi wenzangu wametulia mle. Basini, mazungumzo yalinoga ungedhani ni wauzaji na wanunuzi katika soko maalum la Muthurwa. Furaha iliendelea kudhihirika pale vinywaji kama shambati na udohondoho viliendelea kuburudisha nyoyo zetu. Madhari ya kote tulikopitia yalikuwa ya kuridhisha.
Tulipofika Naivasha, basi ilituelekeza katika mandhari mengine ya ajabu. Tuliona moshi. Wengine wetu tulituhumu kuwa kuna watu wamekoka moto kuchoma mahindi ama nyama.
Kinyume na matarajio yetu, mwalimu wetu wa sayansi, Bwana Somo, alitufafanulia kuwa huo ulikuwa mvuke wa kutoka ardhini. Sehemu hiyo ilinuka mfano wa mayai yaliyooza. Maajabu hayo ya Musa yalituatua nyoyo. Mwalimu alizidi kutufafanulia kuwa mwangaza tunaotumia mijini hutoka pale.
Tulifululiza hadi kwenye mbuga ya wanyama. Huko tuliwaona wanyama wengi si simba, si nyati, si twiga, si fisi, si vifaru, wanyama wote wa pori walijitokeza. Kamera zetu na simu zilifanya kazi muma. Tulionywa dhidi ya kufungua madirisha na kutupa mabaki ya chakula kivoloya kwa sababu yanaweza kuwadhuru wanyama wale kwa njia hasi.
Baadaye tulitembezwa kwenye ziwa la Bogoria. Hapa ya Firauni yalijitokeza paruwanja. Maji yalichemka yakiwa ziwani. Tulinunua mayai yaliyouzwa karibu na kwa kweli tuliyachemsha, yakaiva na tukayala. Maji hayo tuliambiwa kuwa hali joto yao ilikuwa zaidi ya moto wa kawaida.
Kilele cha safari yetu kilikuwa ni kuukwea mlima Longonoti. Mlima ambao una historia kubwa nchini na ughaibuni. Tuliukwea na tukafika kilele cha kasoko ya Menengai. Tulikuwa tumetengenewa na uchovu. Tuliporejea, kila mmoja alikuwa na la kusimulia kwa zaidi ya wiki moja. | Likizo ipi mwandishi hawezi sahau? | {
"text": [
"Disemba"
]
} |
1499_swa | Ama kwa kweli yapo mambo mengi katika maisha ya mwanadamu ambayo husahaulika punde yanapotokea na mengine hunata akilini kama gundi kwa muda mrefu. Mojawapo ya mainbo ambayo siwezi katu kuyasahau ni likizo yangu ya Disemba. Matukio ya siku hiyo yalikuwa ya kuvutia sana na yamkini ndiyo sababu ya kutweza kuyasahau vivi hivi.
Sote wanafunzi wa darasa la saba tulikuwa tumeahidiwa kupelekwa kuzuru maeneo kadhaa ya nchi yetu tukufu. Maandalizi yalikuwa kabambe kwa kweli yaelekea hakuna mwanafunzi aliyepata hata lopo moja la usingizi. Yote yalitokana na hamu na hamumu ya safari iliyokuwa ya aina yake. Hatimaye ule usiku uliojikokota uliipa asubuhi nafasi yake. Kulikucha! Furaha ghaya ikanitinga.
Wazazi hawakuchelea wala kuchelewa kunipa nasaha zao nami nilijitia hamnazo kwani akili zangu zilikuwa kilomita kadhaa kutoka huko nyumbani. Nilfululiza moja kwa moja hadi shuleni na baada ya muda wa paka kunawia mate nilikuwa nimewahi basi la shule nilimowapata wanafunzi wenzangu wametulia mle. Basini, mazungumzo yalinoga ungedhani ni wauzaji na wanunuzi katika soko maalum la Muthurwa. Furaha iliendelea kudhihirika pale vinywaji kama shambati na udohondoho viliendelea kuburudisha nyoyo zetu. Madhari ya kote tulikopitia yalikuwa ya kuridhisha.
Tulipofika Naivasha, basi ilituelekeza katika mandhari mengine ya ajabu. Tuliona moshi. Wengine wetu tulituhumu kuwa kuna watu wamekoka moto kuchoma mahindi ama nyama.
Kinyume na matarajio yetu, mwalimu wetu wa sayansi, Bwana Somo, alitufafanulia kuwa huo ulikuwa mvuke wa kutoka ardhini. Sehemu hiyo ilinuka mfano wa mayai yaliyooza. Maajabu hayo ya Musa yalituatua nyoyo. Mwalimu alizidi kutufafanulia kuwa mwangaza tunaotumia mijini hutoka pale.
Tulifululiza hadi kwenye mbuga ya wanyama. Huko tuliwaona wanyama wengi si simba, si nyati, si twiga, si fisi, si vifaru, wanyama wote wa pori walijitokeza. Kamera zetu na simu zilifanya kazi muma. Tulionywa dhidi ya kufungua madirisha na kutupa mabaki ya chakula kivoloya kwa sababu yanaweza kuwadhuru wanyama wale kwa njia hasi.
Baadaye tulitembezwa kwenye ziwa la Bogoria. Hapa ya Firauni yalijitokeza paruwanja. Maji yalichemka yakiwa ziwani. Tulinunua mayai yaliyouzwa karibu na kwa kweli tuliyachemsha, yakaiva na tukayala. Maji hayo tuliambiwa kuwa hali joto yao ilikuwa zaidi ya moto wa kawaida.
Kilele cha safari yetu kilikuwa ni kuukwea mlima Longonoti. Mlima ambao una historia kubwa nchini na ughaibuni. Tuliukwea na tukafika kilele cha kasoko ya Menengai. Tulikuwa tumetengenewa na uchovu. Tuliporejea, kila mmoja alikuwa na la kusimulia kwa zaidi ya wiki moja. | Mwandishi alikuwa katika darasa ipi? | {
"text": [
"La saba"
]
} |
1499_swa | Ama kwa kweli yapo mambo mengi katika maisha ya mwanadamu ambayo husahaulika punde yanapotokea na mengine hunata akilini kama gundi kwa muda mrefu. Mojawapo ya mainbo ambayo siwezi katu kuyasahau ni likizo yangu ya Disemba. Matukio ya siku hiyo yalikuwa ya kuvutia sana na yamkini ndiyo sababu ya kutweza kuyasahau vivi hivi.
Sote wanafunzi wa darasa la saba tulikuwa tumeahidiwa kupelekwa kuzuru maeneo kadhaa ya nchi yetu tukufu. Maandalizi yalikuwa kabambe kwa kweli yaelekea hakuna mwanafunzi aliyepata hata lopo moja la usingizi. Yote yalitokana na hamu na hamumu ya safari iliyokuwa ya aina yake. Hatimaye ule usiku uliojikokota uliipa asubuhi nafasi yake. Kulikucha! Furaha ghaya ikanitinga.
Wazazi hawakuchelea wala kuchelewa kunipa nasaha zao nami nilijitia hamnazo kwani akili zangu zilikuwa kilomita kadhaa kutoka huko nyumbani. Nilfululiza moja kwa moja hadi shuleni na baada ya muda wa paka kunawia mate nilikuwa nimewahi basi la shule nilimowapata wanafunzi wenzangu wametulia mle. Basini, mazungumzo yalinoga ungedhani ni wauzaji na wanunuzi katika soko maalum la Muthurwa. Furaha iliendelea kudhihirika pale vinywaji kama shambati na udohondoho viliendelea kuburudisha nyoyo zetu. Madhari ya kote tulikopitia yalikuwa ya kuridhisha.
Tulipofika Naivasha, basi ilituelekeza katika mandhari mengine ya ajabu. Tuliona moshi. Wengine wetu tulituhumu kuwa kuna watu wamekoka moto kuchoma mahindi ama nyama.
Kinyume na matarajio yetu, mwalimu wetu wa sayansi, Bwana Somo, alitufafanulia kuwa huo ulikuwa mvuke wa kutoka ardhini. Sehemu hiyo ilinuka mfano wa mayai yaliyooza. Maajabu hayo ya Musa yalituatua nyoyo. Mwalimu alizidi kutufafanulia kuwa mwangaza tunaotumia mijini hutoka pale.
Tulifululiza hadi kwenye mbuga ya wanyama. Huko tuliwaona wanyama wengi si simba, si nyati, si twiga, si fisi, si vifaru, wanyama wote wa pori walijitokeza. Kamera zetu na simu zilifanya kazi muma. Tulionywa dhidi ya kufungua madirisha na kutupa mabaki ya chakula kivoloya kwa sababu yanaweza kuwadhuru wanyama wale kwa njia hasi.
Baadaye tulitembezwa kwenye ziwa la Bogoria. Hapa ya Firauni yalijitokeza paruwanja. Maji yalichemka yakiwa ziwani. Tulinunua mayai yaliyouzwa karibu na kwa kweli tuliyachemsha, yakaiva na tukayala. Maji hayo tuliambiwa kuwa hali joto yao ilikuwa zaidi ya moto wa kawaida.
Kilele cha safari yetu kilikuwa ni kuukwea mlima Longonoti. Mlima ambao una historia kubwa nchini na ughaibuni. Tuliukwea na tukafika kilele cha kasoko ya Menengai. Tulikuwa tumetengenewa na uchovu. Tuliporejea, kila mmoja alikuwa na la kusimulia kwa zaidi ya wiki moja. | Wanafunzai walikuwa wanajitayarisha kufanya nini? | {
"text": [
"Kusafiri"
]
} |
1499_swa | Ama kwa kweli yapo mambo mengi katika maisha ya mwanadamu ambayo husahaulika punde yanapotokea na mengine hunata akilini kama gundi kwa muda mrefu. Mojawapo ya mainbo ambayo siwezi katu kuyasahau ni likizo yangu ya Disemba. Matukio ya siku hiyo yalikuwa ya kuvutia sana na yamkini ndiyo sababu ya kutweza kuyasahau vivi hivi.
Sote wanafunzi wa darasa la saba tulikuwa tumeahidiwa kupelekwa kuzuru maeneo kadhaa ya nchi yetu tukufu. Maandalizi yalikuwa kabambe kwa kweli yaelekea hakuna mwanafunzi aliyepata hata lopo moja la usingizi. Yote yalitokana na hamu na hamumu ya safari iliyokuwa ya aina yake. Hatimaye ule usiku uliojikokota uliipa asubuhi nafasi yake. Kulikucha! Furaha ghaya ikanitinga.
Wazazi hawakuchelea wala kuchelewa kunipa nasaha zao nami nilijitia hamnazo kwani akili zangu zilikuwa kilomita kadhaa kutoka huko nyumbani. Nilfululiza moja kwa moja hadi shuleni na baada ya muda wa paka kunawia mate nilikuwa nimewahi basi la shule nilimowapata wanafunzi wenzangu wametulia mle. Basini, mazungumzo yalinoga ungedhani ni wauzaji na wanunuzi katika soko maalum la Muthurwa. Furaha iliendelea kudhihirika pale vinywaji kama shambati na udohondoho viliendelea kuburudisha nyoyo zetu. Madhari ya kote tulikopitia yalikuwa ya kuridhisha.
Tulipofika Naivasha, basi ilituelekeza katika mandhari mengine ya ajabu. Tuliona moshi. Wengine wetu tulituhumu kuwa kuna watu wamekoka moto kuchoma mahindi ama nyama.
Kinyume na matarajio yetu, mwalimu wetu wa sayansi, Bwana Somo, alitufafanulia kuwa huo ulikuwa mvuke wa kutoka ardhini. Sehemu hiyo ilinuka mfano wa mayai yaliyooza. Maajabu hayo ya Musa yalituatua nyoyo. Mwalimu alizidi kutufafanulia kuwa mwangaza tunaotumia mijini hutoka pale.
Tulifululiza hadi kwenye mbuga ya wanyama. Huko tuliwaona wanyama wengi si simba, si nyati, si twiga, si fisi, si vifaru, wanyama wote wa pori walijitokeza. Kamera zetu na simu zilifanya kazi muma. Tulionywa dhidi ya kufungua madirisha na kutupa mabaki ya chakula kivoloya kwa sababu yanaweza kuwadhuru wanyama wale kwa njia hasi.
Baadaye tulitembezwa kwenye ziwa la Bogoria. Hapa ya Firauni yalijitokeza paruwanja. Maji yalichemka yakiwa ziwani. Tulinunua mayai yaliyouzwa karibu na kwa kweli tuliyachemsha, yakaiva na tukayala. Maji hayo tuliambiwa kuwa hali joto yao ilikuwa zaidi ya moto wa kawaida.
Kilele cha safari yetu kilikuwa ni kuukwea mlima Longonoti. Mlima ambao una historia kubwa nchini na ughaibuni. Tuliukwea na tukafika kilele cha kasoko ya Menengai. Tulikuwa tumetengenewa na uchovu. Tuliporejea, kila mmoja alikuwa na la kusimulia kwa zaidi ya wiki moja. | Mwalimu yupi aliwafunza mwandishi somo la sayansi? | {
"text": [
"Bwana Somo"
]
} |
1499_swa | Ama kwa kweli yapo mambo mengi katika maisha ya mwanadamu ambayo husahaulika punde yanapotokea na mengine hunata akilini kama gundi kwa muda mrefu. Mojawapo ya mainbo ambayo siwezi katu kuyasahau ni likizo yangu ya Disemba. Matukio ya siku hiyo yalikuwa ya kuvutia sana na yamkini ndiyo sababu ya kutweza kuyasahau vivi hivi.
Sote wanafunzi wa darasa la saba tulikuwa tumeahidiwa kupelekwa kuzuru maeneo kadhaa ya nchi yetu tukufu. Maandalizi yalikuwa kabambe kwa kweli yaelekea hakuna mwanafunzi aliyepata hata lopo moja la usingizi. Yote yalitokana na hamu na hamumu ya safari iliyokuwa ya aina yake. Hatimaye ule usiku uliojikokota uliipa asubuhi nafasi yake. Kulikucha! Furaha ghaya ikanitinga.
Wazazi hawakuchelea wala kuchelewa kunipa nasaha zao nami nilijitia hamnazo kwani akili zangu zilikuwa kilomita kadhaa kutoka huko nyumbani. Nilfululiza moja kwa moja hadi shuleni na baada ya muda wa paka kunawia mate nilikuwa nimewahi basi la shule nilimowapata wanafunzi wenzangu wametulia mle. Basini, mazungumzo yalinoga ungedhani ni wauzaji na wanunuzi katika soko maalum la Muthurwa. Furaha iliendelea kudhihirika pale vinywaji kama shambati na udohondoho viliendelea kuburudisha nyoyo zetu. Madhari ya kote tulikopitia yalikuwa ya kuridhisha.
Tulipofika Naivasha, basi ilituelekeza katika mandhari mengine ya ajabu. Tuliona moshi. Wengine wetu tulituhumu kuwa kuna watu wamekoka moto kuchoma mahindi ama nyama.
Kinyume na matarajio yetu, mwalimu wetu wa sayansi, Bwana Somo, alitufafanulia kuwa huo ulikuwa mvuke wa kutoka ardhini. Sehemu hiyo ilinuka mfano wa mayai yaliyooza. Maajabu hayo ya Musa yalituatua nyoyo. Mwalimu alizidi kutufafanulia kuwa mwangaza tunaotumia mijini hutoka pale.
Tulifululiza hadi kwenye mbuga ya wanyama. Huko tuliwaona wanyama wengi si simba, si nyati, si twiga, si fisi, si vifaru, wanyama wote wa pori walijitokeza. Kamera zetu na simu zilifanya kazi muma. Tulionywa dhidi ya kufungua madirisha na kutupa mabaki ya chakula kivoloya kwa sababu yanaweza kuwadhuru wanyama wale kwa njia hasi.
Baadaye tulitembezwa kwenye ziwa la Bogoria. Hapa ya Firauni yalijitokeza paruwanja. Maji yalichemka yakiwa ziwani. Tulinunua mayai yaliyouzwa karibu na kwa kweli tuliyachemsha, yakaiva na tukayala. Maji hayo tuliambiwa kuwa hali joto yao ilikuwa zaidi ya moto wa kawaida.
Kilele cha safari yetu kilikuwa ni kuukwea mlima Longonoti. Mlima ambao una historia kubwa nchini na ughaibuni. Tuliukwea na tukafika kilele cha kasoko ya Menengai. Tulikuwa tumetengenewa na uchovu. Tuliporejea, kila mmoja alikuwa na la kusimulia kwa zaidi ya wiki moja. | Wanafunzi walisafiri hadi mtaa gani? | {
"text": [
"Naivasha"
]
} |
1501_swa | Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi yake na yuko tayari kuifia kwa vyovyote vile. Wapo watu wengi tu ambao kwa hakika wamejitolea kuizolea nchi yetu sifa belele lakini huwa hawatambuliwi kama wazalendo na mashujaa. Mifano mizuri ni walimu wanaowatayarisha wanafunzi katika safari ndefu ya kielimu. Madaktari ambao wamekuwa wakiwaokoa wananchi wenzao, wakulima wanaolisha taifa, madereva wapelekao watu kazini na kuwarejesha jioni baada ya wao kuzumbua riziki. Ama kwa kweli ni muhali kuwataja wote.
Ni paruwanja kuwa wote niliwataja na wengine ambao sijawatia katika orodha hii wote kwa namna moja ama nyingine hushiriki katika kulijenga na kuliboresha taifa letu. Kwa kweli, ili taifa lipige hatua, ni sharti pawe na mchango wa kila mwananchi. Licha ya wote hao wenye ari na bidii za kulijenga taifa, wapo wengine wasio na mawazo kama haya ya kizalendo. Wao hutuhumu kuwa maendeleo ya nchi hayawahusu ndewe wala sikio. Kwa kweli hii ni dhana potovu ambayo tunafaa kuizika katika kaburi la sahau. Wanastahili wazinduliwe kuwa taifa ni mfano wa chombo chochote cha usafiri kama vile gari. Kila aliye ndani ya chombo hicho ana wajibu wa kutekeleza ili kuhakikisha kwamba chombo kimefikia hatima yake salama salimini.
Sote tunafaa kujifunga vibwebwe ili kuiendeleza nchi yetu tukufu. Lakini ikiwa basi nia yetu itakuwa hiyo, sharti basi pawe na utengamano. Sote tuwe wa kuchukuliana kama maumbu ili tuweze kuwa na mwingiliano mwema na ushirikiano kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Tukiwa na ushirikiano wa kiko na digali basi jambo lolote, hata liwe gumu kivipi, lazima litatekelezwa. Aidha ni vyema kila mmoja awe na juhudi za duduvule katika lolote alifanyalo kuanzia mzazi, mwalimu hadi kwa mwanafunzi. Wafanyakazi wa aina yoyote, awe ni mkulima, mhazigi, tabibu, boi hata mjakazi afanye afanyalo kwa dhati akiwa na fahamu kuwa anajiimarisha mwenyewe na katika kujiimarisha, huliimarisha taifa pia.
Wanaotia fora zaidi ni wale watakao kuvuna wasikopanda. Hawa ni wale wazembe wanaotaka vya bwerere. Mifano yao ni bayana. Hawa ni wanyang'anyi, majambazi, mafisadi na wahalifu wa aina zote. Wengine badala ya kujikaza kwa kufanya lolote litakalomfaidi kama vile biashara, huamua kuwahangaisha watu kwa kuwany'ang'anya vyao vidogo wanavyojitafutia.
Vijana wahimizwe kutumia elimu yao kuendeleza biashara ya kilimo pale mashambani na sera nyingine zinazoweza kuwaletea manufaa. Washiriki katika michezo na uhifadhi wa mazingira kule kijijini kwa kuzoa taka na kupanda miti.
| nani anayeipenda nchi yake na yuko tayari kuifia kwa vyovyote vile | {
"text": [
"Mzalendo"
]
} |
1501_swa | Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi yake na yuko tayari kuifia kwa vyovyote vile. Wapo watu wengi tu ambao kwa hakika wamejitolea kuizolea nchi yetu sifa belele lakini huwa hawatambuliwi kama wazalendo na mashujaa. Mifano mizuri ni walimu wanaowatayarisha wanafunzi katika safari ndefu ya kielimu. Madaktari ambao wamekuwa wakiwaokoa wananchi wenzao, wakulima wanaolisha taifa, madereva wapelekao watu kazini na kuwarejesha jioni baada ya wao kuzumbua riziki. Ama kwa kweli ni muhali kuwataja wote.
Ni paruwanja kuwa wote niliwataja na wengine ambao sijawatia katika orodha hii wote kwa namna moja ama nyingine hushiriki katika kulijenga na kuliboresha taifa letu. Kwa kweli, ili taifa lipige hatua, ni sharti pawe na mchango wa kila mwananchi. Licha ya wote hao wenye ari na bidii za kulijenga taifa, wapo wengine wasio na mawazo kama haya ya kizalendo. Wao hutuhumu kuwa maendeleo ya nchi hayawahusu ndewe wala sikio. Kwa kweli hii ni dhana potovu ambayo tunafaa kuizika katika kaburi la sahau. Wanastahili wazinduliwe kuwa taifa ni mfano wa chombo chochote cha usafiri kama vile gari. Kila aliye ndani ya chombo hicho ana wajibu wa kutekeleza ili kuhakikisha kwamba chombo kimefikia hatima yake salama salimini.
Sote tunafaa kujifunga vibwebwe ili kuiendeleza nchi yetu tukufu. Lakini ikiwa basi nia yetu itakuwa hiyo, sharti basi pawe na utengamano. Sote tuwe wa kuchukuliana kama maumbu ili tuweze kuwa na mwingiliano mwema na ushirikiano kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Tukiwa na ushirikiano wa kiko na digali basi jambo lolote, hata liwe gumu kivipi, lazima litatekelezwa. Aidha ni vyema kila mmoja awe na juhudi za duduvule katika lolote alifanyalo kuanzia mzazi, mwalimu hadi kwa mwanafunzi. Wafanyakazi wa aina yoyote, awe ni mkulima, mhazigi, tabibu, boi hata mjakazi afanye afanyalo kwa dhati akiwa na fahamu kuwa anajiimarisha mwenyewe na katika kujiimarisha, huliimarisha taifa pia.
Wanaotia fora zaidi ni wale watakao kuvuna wasikopanda. Hawa ni wale wazembe wanaotaka vya bwerere. Mifano yao ni bayana. Hawa ni wanyang'anyi, majambazi, mafisadi na wahalifu wa aina zote. Wengine badala ya kujikaza kwa kufanya lolote litakalomfaidi kama vile biashara, huamua kuwahangaisha watu kwa kuwany'ang'anya vyao vidogo wanavyojitafutia.
Vijana wahimizwe kutumia elimu yao kuendeleza biashara ya kilimo pale mashambani na sera nyingine zinazoweza kuwaletea manufaa. Washiriki katika michezo na uhifadhi wa mazingira kule kijijini kwa kuzoa taka na kupanda miti.
| Ni kina nani hulisha nchi | {
"text": [
"Wakulima"
]
} |
1501_swa | Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi yake na yuko tayari kuifia kwa vyovyote vile. Wapo watu wengi tu ambao kwa hakika wamejitolea kuizolea nchi yetu sifa belele lakini huwa hawatambuliwi kama wazalendo na mashujaa. Mifano mizuri ni walimu wanaowatayarisha wanafunzi katika safari ndefu ya kielimu. Madaktari ambao wamekuwa wakiwaokoa wananchi wenzao, wakulima wanaolisha taifa, madereva wapelekao watu kazini na kuwarejesha jioni baada ya wao kuzumbua riziki. Ama kwa kweli ni muhali kuwataja wote.
Ni paruwanja kuwa wote niliwataja na wengine ambao sijawatia katika orodha hii wote kwa namna moja ama nyingine hushiriki katika kulijenga na kuliboresha taifa letu. Kwa kweli, ili taifa lipige hatua, ni sharti pawe na mchango wa kila mwananchi. Licha ya wote hao wenye ari na bidii za kulijenga taifa, wapo wengine wasio na mawazo kama haya ya kizalendo. Wao hutuhumu kuwa maendeleo ya nchi hayawahusu ndewe wala sikio. Kwa kweli hii ni dhana potovu ambayo tunafaa kuizika katika kaburi la sahau. Wanastahili wazinduliwe kuwa taifa ni mfano wa chombo chochote cha usafiri kama vile gari. Kila aliye ndani ya chombo hicho ana wajibu wa kutekeleza ili kuhakikisha kwamba chombo kimefikia hatima yake salama salimini.
Sote tunafaa kujifunga vibwebwe ili kuiendeleza nchi yetu tukufu. Lakini ikiwa basi nia yetu itakuwa hiyo, sharti basi pawe na utengamano. Sote tuwe wa kuchukuliana kama maumbu ili tuweze kuwa na mwingiliano mwema na ushirikiano kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Tukiwa na ushirikiano wa kiko na digali basi jambo lolote, hata liwe gumu kivipi, lazima litatekelezwa. Aidha ni vyema kila mmoja awe na juhudi za duduvule katika lolote alifanyalo kuanzia mzazi, mwalimu hadi kwa mwanafunzi. Wafanyakazi wa aina yoyote, awe ni mkulima, mhazigi, tabibu, boi hata mjakazi afanye afanyalo kwa dhati akiwa na fahamu kuwa anajiimarisha mwenyewe na katika kujiimarisha, huliimarisha taifa pia.
Wanaotia fora zaidi ni wale watakao kuvuna wasikopanda. Hawa ni wale wazembe wanaotaka vya bwerere. Mifano yao ni bayana. Hawa ni wanyang'anyi, majambazi, mafisadi na wahalifu wa aina zote. Wengine badala ya kujikaza kwa kufanya lolote litakalomfaidi kama vile biashara, huamua kuwahangaisha watu kwa kuwany'ang'anya vyao vidogo wanavyojitafutia.
Vijana wahimizwe kutumia elimu yao kuendeleza biashara ya kilimo pale mashambani na sera nyingine zinazoweza kuwaletea manufaa. Washiriki katika michezo na uhifadhi wa mazingira kule kijijini kwa kuzoa taka na kupanda miti.
| Ili taifa lipige hatua ni sharti pawe na mchango wa nani | {
"text": [
"Kila mwananchi"
]
} |
1501_swa | Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi yake na yuko tayari kuifia kwa vyovyote vile. Wapo watu wengi tu ambao kwa hakika wamejitolea kuizolea nchi yetu sifa belele lakini huwa hawatambuliwi kama wazalendo na mashujaa. Mifano mizuri ni walimu wanaowatayarisha wanafunzi katika safari ndefu ya kielimu. Madaktari ambao wamekuwa wakiwaokoa wananchi wenzao, wakulima wanaolisha taifa, madereva wapelekao watu kazini na kuwarejesha jioni baada ya wao kuzumbua riziki. Ama kwa kweli ni muhali kuwataja wote.
Ni paruwanja kuwa wote niliwataja na wengine ambao sijawatia katika orodha hii wote kwa namna moja ama nyingine hushiriki katika kulijenga na kuliboresha taifa letu. Kwa kweli, ili taifa lipige hatua, ni sharti pawe na mchango wa kila mwananchi. Licha ya wote hao wenye ari na bidii za kulijenga taifa, wapo wengine wasio na mawazo kama haya ya kizalendo. Wao hutuhumu kuwa maendeleo ya nchi hayawahusu ndewe wala sikio. Kwa kweli hii ni dhana potovu ambayo tunafaa kuizika katika kaburi la sahau. Wanastahili wazinduliwe kuwa taifa ni mfano wa chombo chochote cha usafiri kama vile gari. Kila aliye ndani ya chombo hicho ana wajibu wa kutekeleza ili kuhakikisha kwamba chombo kimefikia hatima yake salama salimini.
Sote tunafaa kujifunga vibwebwe ili kuiendeleza nchi yetu tukufu. Lakini ikiwa basi nia yetu itakuwa hiyo, sharti basi pawe na utengamano. Sote tuwe wa kuchukuliana kama maumbu ili tuweze kuwa na mwingiliano mwema na ushirikiano kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Tukiwa na ushirikiano wa kiko na digali basi jambo lolote, hata liwe gumu kivipi, lazima litatekelezwa. Aidha ni vyema kila mmoja awe na juhudi za duduvule katika lolote alifanyalo kuanzia mzazi, mwalimu hadi kwa mwanafunzi. Wafanyakazi wa aina yoyote, awe ni mkulima, mhazigi, tabibu, boi hata mjakazi afanye afanyalo kwa dhati akiwa na fahamu kuwa anajiimarisha mwenyewe na katika kujiimarisha, huliimarisha taifa pia.
Wanaotia fora zaidi ni wale watakao kuvuna wasikopanda. Hawa ni wale wazembe wanaotaka vya bwerere. Mifano yao ni bayana. Hawa ni wanyang'anyi, majambazi, mafisadi na wahalifu wa aina zote. Wengine badala ya kujikaza kwa kufanya lolote litakalomfaidi kama vile biashara, huamua kuwahangaisha watu kwa kuwany'ang'anya vyao vidogo wanavyojitafutia.
Vijana wahimizwe kutumia elimu yao kuendeleza biashara ya kilimo pale mashambani na sera nyingine zinazoweza kuwaletea manufaa. Washiriki katika michezo na uhifadhi wa mazingira kule kijijini kwa kuzoa taka na kupanda miti.
| Sote tunafaa kujifunga vibwebwe ili kufanya nini | {
"text": [
"Kuiendeleza nchi yetu "
]
} |
1501_swa | Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi yake na yuko tayari kuifia kwa vyovyote vile. Wapo watu wengi tu ambao kwa hakika wamejitolea kuizolea nchi yetu sifa belele lakini huwa hawatambuliwi kama wazalendo na mashujaa. Mifano mizuri ni walimu wanaowatayarisha wanafunzi katika safari ndefu ya kielimu. Madaktari ambao wamekuwa wakiwaokoa wananchi wenzao, wakulima wanaolisha taifa, madereva wapelekao watu kazini na kuwarejesha jioni baada ya wao kuzumbua riziki. Ama kwa kweli ni muhali kuwataja wote.
Ni paruwanja kuwa wote niliwataja na wengine ambao sijawatia katika orodha hii wote kwa namna moja ama nyingine hushiriki katika kulijenga na kuliboresha taifa letu. Kwa kweli, ili taifa lipige hatua, ni sharti pawe na mchango wa kila mwananchi. Licha ya wote hao wenye ari na bidii za kulijenga taifa, wapo wengine wasio na mawazo kama haya ya kizalendo. Wao hutuhumu kuwa maendeleo ya nchi hayawahusu ndewe wala sikio. Kwa kweli hii ni dhana potovu ambayo tunafaa kuizika katika kaburi la sahau. Wanastahili wazinduliwe kuwa taifa ni mfano wa chombo chochote cha usafiri kama vile gari. Kila aliye ndani ya chombo hicho ana wajibu wa kutekeleza ili kuhakikisha kwamba chombo kimefikia hatima yake salama salimini.
Sote tunafaa kujifunga vibwebwe ili kuiendeleza nchi yetu tukufu. Lakini ikiwa basi nia yetu itakuwa hiyo, sharti basi pawe na utengamano. Sote tuwe wa kuchukuliana kama maumbu ili tuweze kuwa na mwingiliano mwema na ushirikiano kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Tukiwa na ushirikiano wa kiko na digali basi jambo lolote, hata liwe gumu kivipi, lazima litatekelezwa. Aidha ni vyema kila mmoja awe na juhudi za duduvule katika lolote alifanyalo kuanzia mzazi, mwalimu hadi kwa mwanafunzi. Wafanyakazi wa aina yoyote, awe ni mkulima, mhazigi, tabibu, boi hata mjakazi afanye afanyalo kwa dhati akiwa na fahamu kuwa anajiimarisha mwenyewe na katika kujiimarisha, huliimarisha taifa pia.
Wanaotia fora zaidi ni wale watakao kuvuna wasikopanda. Hawa ni wale wazembe wanaotaka vya bwerere. Mifano yao ni bayana. Hawa ni wanyang'anyi, majambazi, mafisadi na wahalifu wa aina zote. Wengine badala ya kujikaza kwa kufanya lolote litakalomfaidi kama vile biashara, huamua kuwahangaisha watu kwa kuwany'ang'anya vyao vidogo wanavyojitafutia.
Vijana wahimizwe kutumia elimu yao kuendeleza biashara ya kilimo pale mashambani na sera nyingine zinazoweza kuwaletea manufaa. Washiriki katika michezo na uhifadhi wa mazingira kule kijijini kwa kuzoa taka na kupanda miti.
| Ni wepi wanaotia fora zaidi | {
"text": [
"Watakao kuvuna wasikopanda"
]
} |
1503_swa | Ulikuwa usiku wa manane nilipokuwa nimelala chumbani mwangu. Mara nikasikia mchakacho wa mtu aliyekuwa akitembea nje karibu na dirisha la chumba changu. Niliamka taratibu na kunyapanyapa hadi dirishani nikavuta pazia. Lo! Niliyoyaona sikuweza kuyasadiki hata chembe. Nje kulikuwa na tambo la mtu lenye macho makubwa na mekundu kama damu. Meno yake nayo yalitisha kukithiri mpaka yalikuwa marefu na machunge - michonge kama yale ya msumeno. Kucha zake pia zingeonyesha kivumbi zile za simba.
"Ni baradhuli gani hawa wasio na haya kunisumbua usingizini." Nikajiuliza kimoyomoyo. Moja kwa moja nikazama katika bahari la mawazo. Nikakumbuka Mungu wangu mtukufu ambaye nilikuwa nimemzika kwenye kaburi la sahau kwa miaka na dahari. Nikapiga magoti na kumwomba. "Mungu wangu! Mungu nisaidie! Usi...ni...sahau! Nikajipata naropokwa kama chiriku. Lakini ifahamike kuwa kuomba msaada siko kupewa, aidha kuchumbia siko kuoa kama vile kulenga si kufuma. Ghafla bin vu, jitu lile la mataruma manne liliuachilia mlango teke zito kama nanga. Mlango nao huo! ukajipeperusha kama unyoya mpaka ndani. Nami nikajua kuwa wakati wangu wa kufunzwa kilichomkosesha kuku matiti ulikuwa umewadia. Kwa mara ya kwanza nikabanwa na kiwewe kisicho na kipimo. Uoga ajabu ukanivaa nacho kijasho chembamba na baridi mithili ya barafu kikanitoka kwapani. Mate na makamasi yakanitonatona kwa michirizi minne. Nikatetemeka kama upanga ulliotiwa tahabibu.
Papo nikaukumbuka ule msemo wa wazee wa kale, mbwa hafi maji aonapo ufuko. Mara lo! Woga uliniyeyuka na nikaamua kupambana na lile pandikizi la mtu ana kwa ana.
| Msimulizi alitetemeka kama upanga uliotiwa nini | {
"text": [
"Tahabibu"
]
} |
1503_swa | Ulikuwa usiku wa manane nilipokuwa nimelala chumbani mwangu. Mara nikasikia mchakacho wa mtu aliyekuwa akitembea nje karibu na dirisha la chumba changu. Niliamka taratibu na kunyapanyapa hadi dirishani nikavuta pazia. Lo! Niliyoyaona sikuweza kuyasadiki hata chembe. Nje kulikuwa na tambo la mtu lenye macho makubwa na mekundu kama damu. Meno yake nayo yalitisha kukithiri mpaka yalikuwa marefu na machunge - michonge kama yale ya msumeno. Kucha zake pia zingeonyesha kivumbi zile za simba.
"Ni baradhuli gani hawa wasio na haya kunisumbua usingizini." Nikajiuliza kimoyomoyo. Moja kwa moja nikazama katika bahari la mawazo. Nikakumbuka Mungu wangu mtukufu ambaye nilikuwa nimemzika kwenye kaburi la sahau kwa miaka na dahari. Nikapiga magoti na kumwomba. "Mungu wangu! Mungu nisaidie! Usi...ni...sahau! Nikajipata naropokwa kama chiriku. Lakini ifahamike kuwa kuomba msaada siko kupewa, aidha kuchumbia siko kuoa kama vile kulenga si kufuma. Ghafla bin vu, jitu lile la mataruma manne liliuachilia mlango teke zito kama nanga. Mlango nao huo! ukajipeperusha kama unyoya mpaka ndani. Nami nikajua kuwa wakati wangu wa kufunzwa kilichomkosesha kuku matiti ulikuwa umewadia. Kwa mara ya kwanza nikabanwa na kiwewe kisicho na kipimo. Uoga ajabu ukanivaa nacho kijasho chembamba na baridi mithili ya barafu kikanitoka kwapani. Mate na makamasi yakanitonatona kwa michirizi minne. Nikatetemeka kama upanga ulliotiwa tahabibu.
Papo nikaukumbuka ule msemo wa wazee wa kale, mbwa hafi maji aonapo ufuko. Mara lo! Woga uliniyeyuka na nikaamua kupambana na lile pandikizi la mtu ana kwa ana.
| Msimulizi alisikia mchakacho wa mtu majira ya saa ngapi | {
"text": [
"Usiku wa manane"
]
} |
1503_swa | Ulikuwa usiku wa manane nilipokuwa nimelala chumbani mwangu. Mara nikasikia mchakacho wa mtu aliyekuwa akitembea nje karibu na dirisha la chumba changu. Niliamka taratibu na kunyapanyapa hadi dirishani nikavuta pazia. Lo! Niliyoyaona sikuweza kuyasadiki hata chembe. Nje kulikuwa na tambo la mtu lenye macho makubwa na mekundu kama damu. Meno yake nayo yalitisha kukithiri mpaka yalikuwa marefu na machunge - michonge kama yale ya msumeno. Kucha zake pia zingeonyesha kivumbi zile za simba.
"Ni baradhuli gani hawa wasio na haya kunisumbua usingizini." Nikajiuliza kimoyomoyo. Moja kwa moja nikazama katika bahari la mawazo. Nikakumbuka Mungu wangu mtukufu ambaye nilikuwa nimemzika kwenye kaburi la sahau kwa miaka na dahari. Nikapiga magoti na kumwomba. "Mungu wangu! Mungu nisaidie! Usi...ni...sahau! Nikajipata naropokwa kama chiriku. Lakini ifahamike kuwa kuomba msaada siko kupewa, aidha kuchumbia siko kuoa kama vile kulenga si kufuma. Ghafla bin vu, jitu lile la mataruma manne liliuachilia mlango teke zito kama nanga. Mlango nao huo! ukajipeperusha kama unyoya mpaka ndani. Nami nikajua kuwa wakati wangu wa kufunzwa kilichomkosesha kuku matiti ulikuwa umewadia. Kwa mara ya kwanza nikabanwa na kiwewe kisicho na kipimo. Uoga ajabu ukanivaa nacho kijasho chembamba na baridi mithili ya barafu kikanitoka kwapani. Mate na makamasi yakanitonatona kwa michirizi minne. Nikatetemeka kama upanga ulliotiwa tahabibu.
Papo nikaukumbuka ule msemo wa wazee wa kale, mbwa hafi maji aonapo ufuko. Mara lo! Woga uliniyeyuka na nikaamua kupambana na lile pandikizi la mtu ana kwa ana.
| Kupitia dirisha msimulizi aliona nini | {
"text": [
"Tambo la mtu"
]
} |
1503_swa | Ulikuwa usiku wa manane nilipokuwa nimelala chumbani mwangu. Mara nikasikia mchakacho wa mtu aliyekuwa akitembea nje karibu na dirisha la chumba changu. Niliamka taratibu na kunyapanyapa hadi dirishani nikavuta pazia. Lo! Niliyoyaona sikuweza kuyasadiki hata chembe. Nje kulikuwa na tambo la mtu lenye macho makubwa na mekundu kama damu. Meno yake nayo yalitisha kukithiri mpaka yalikuwa marefu na machunge - michonge kama yale ya msumeno. Kucha zake pia zingeonyesha kivumbi zile za simba.
"Ni baradhuli gani hawa wasio na haya kunisumbua usingizini." Nikajiuliza kimoyomoyo. Moja kwa moja nikazama katika bahari la mawazo. Nikakumbuka Mungu wangu mtukufu ambaye nilikuwa nimemzika kwenye kaburi la sahau kwa miaka na dahari. Nikapiga magoti na kumwomba. "Mungu wangu! Mungu nisaidie! Usi...ni...sahau! Nikajipata naropokwa kama chiriku. Lakini ifahamike kuwa kuomba msaada siko kupewa, aidha kuchumbia siko kuoa kama vile kulenga si kufuma. Ghafla bin vu, jitu lile la mataruma manne liliuachilia mlango teke zito kama nanga. Mlango nao huo! ukajipeperusha kama unyoya mpaka ndani. Nami nikajua kuwa wakati wangu wa kufunzwa kilichomkosesha kuku matiti ulikuwa umewadia. Kwa mara ya kwanza nikabanwa na kiwewe kisicho na kipimo. Uoga ajabu ukanivaa nacho kijasho chembamba na baridi mithili ya barafu kikanitoka kwapani. Mate na makamasi yakanitonatona kwa michirizi minne. Nikatetemeka kama upanga ulliotiwa tahabibu.
Papo nikaukumbuka ule msemo wa wazee wa kale, mbwa hafi maji aonapo ufuko. Mara lo! Woga uliniyeyuka na nikaamua kupambana na lile pandikizi la mtu ana kwa ana.
| Tambo la mtu lilikuwa na macho ya rangi gani | {
"text": [
"Nyekundi kama damu"
]
} |
1503_swa | Ulikuwa usiku wa manane nilipokuwa nimelala chumbani mwangu. Mara nikasikia mchakacho wa mtu aliyekuwa akitembea nje karibu na dirisha la chumba changu. Niliamka taratibu na kunyapanyapa hadi dirishani nikavuta pazia. Lo! Niliyoyaona sikuweza kuyasadiki hata chembe. Nje kulikuwa na tambo la mtu lenye macho makubwa na mekundu kama damu. Meno yake nayo yalitisha kukithiri mpaka yalikuwa marefu na machunge - michonge kama yale ya msumeno. Kucha zake pia zingeonyesha kivumbi zile za simba.
"Ni baradhuli gani hawa wasio na haya kunisumbua usingizini." Nikajiuliza kimoyomoyo. Moja kwa moja nikazama katika bahari la mawazo. Nikakumbuka Mungu wangu mtukufu ambaye nilikuwa nimemzika kwenye kaburi la sahau kwa miaka na dahari. Nikapiga magoti na kumwomba. "Mungu wangu! Mungu nisaidie! Usi...ni...sahau! Nikajipata naropokwa kama chiriku. Lakini ifahamike kuwa kuomba msaada siko kupewa, aidha kuchumbia siko kuoa kama vile kulenga si kufuma. Ghafla bin vu, jitu lile la mataruma manne liliuachilia mlango teke zito kama nanga. Mlango nao huo! ukajipeperusha kama unyoya mpaka ndani. Nami nikajua kuwa wakati wangu wa kufunzwa kilichomkosesha kuku matiti ulikuwa umewadia. Kwa mara ya kwanza nikabanwa na kiwewe kisicho na kipimo. Uoga ajabu ukanivaa nacho kijasho chembamba na baridi mithili ya barafu kikanitoka kwapani. Mate na makamasi yakanitonatona kwa michirizi minne. Nikatetemeka kama upanga ulliotiwa tahabibu.
Papo nikaukumbuka ule msemo wa wazee wa kale, mbwa hafi maji aonapo ufuko. Mara lo! Woga uliniyeyuka na nikaamua kupambana na lile pandikizi la mtu ana kwa ana.
| Meno ya tambo la mtu yalikuwa yamechongwa kama meno ya nini | {
"text": [
"Msumeno"
]
} |
1504_swa | Hapo zamani katika mbuga fulani wanyama wadogo walikuwa wakijadili uovu wa fisi. Walikutana kwa siri kwa sababu walijua wanyama kama simba, chui na fisi walikuwa na hamu kubwa ya kuwashambulia na kuwala.
Swara alikuwa kiongozi wa mkutano na akawaambia wenzake, "Jamani uonevu umezidi. Juma lililopita watoto wawili wa kongoni waliliwa na chui, tena chui alisema hakushiba. Alitaka amshike kongoni amle lakini kongoni aliwahi kukimbia. Juzi mwanangu ameliwa na fisi. Nilimpiga teke jichoni lakini akataka kunitafuna nikakimbia. Sasa tufanyeje?"
Basi wanyama walijadili kwa uchungu maovu hayo kwa muda mrefu. Wote walitaka sana chui na fisi wauawe haraka. Tatizo lao kubwa lilikuwa jinsi ya kuwaua. Wengine walishauri waovu wale wategewe mitego ya kamba na baadaye wapofuliwe. Hata hivyo, ilionekana ni hatari bado.
Hatimaye, sungura akatikisa masikio yake na kusema, "Kuwaua niacheni mimi. Nipeni siku saba nitawaleleza na kuwaonyesha nitakachofanya."
Basi mkutano ukafungwa kwa kumkubalia sungura afanye kazi hiyo usiku ulipoingia. Sungura alikoka moto nje ya nyumba yake. Moto ulipokolea vizuri, akatia jiwe moja ndani ya ule moto. Jiwe lilikuwa na ukubwa wa mpira wa pete. Sungura akaongeza kuni mekoni halafu akaenda kumtafuta fisi pangoni mwake.
Sungura alipofika mlangoni mwa pango akasema, "hodi kwa mzee fisi." Fisi alifurahi moyoni kwa sababu alijua ile sauti ya sungura na alijua kuwa sungura angeweza kuwa chakula chake. Fisi hakujibu haraka. Kwa hivyo, sungura akasogea mlangoni na kubisha tena. Hapo ndipo sungura alipojikuta makuchani mwa fisi! "Nakuletea habari nzuri halafu unanikamata!" Fisi akasema, "mimi nina njaa ya siku nne halafu uniletee habari gani nzuri zaidi ya wewe? Wewe ni riziki yangu." Sungura akampoza. "Hata kama ukinila, hutashiba. Mimi nimekuja nikukaribishe kwangu. Huko nyama ni tele." | Wanyama wadogo walikua wakijadili nini | {
"text": [
"uovu wa fisi"
]
} |
1504_swa | Hapo zamani katika mbuga fulani wanyama wadogo walikuwa wakijadili uovu wa fisi. Walikutana kwa siri kwa sababu walijua wanyama kama simba, chui na fisi walikuwa na hamu kubwa ya kuwashambulia na kuwala.
Swara alikuwa kiongozi wa mkutano na akawaambia wenzake, "Jamani uonevu umezidi. Juma lililopita watoto wawili wa kongoni waliliwa na chui, tena chui alisema hakushiba. Alitaka amshike kongoni amle lakini kongoni aliwahi kukimbia. Juzi mwanangu ameliwa na fisi. Nilimpiga teke jichoni lakini akataka kunitafuna nikakimbia. Sasa tufanyeje?"
Basi wanyama walijadili kwa uchungu maovu hayo kwa muda mrefu. Wote walitaka sana chui na fisi wauawe haraka. Tatizo lao kubwa lilikuwa jinsi ya kuwaua. Wengine walishauri waovu wale wategewe mitego ya kamba na baadaye wapofuliwe. Hata hivyo, ilionekana ni hatari bado.
Hatimaye, sungura akatikisa masikio yake na kusema, "Kuwaua niacheni mimi. Nipeni siku saba nitawaleleza na kuwaonyesha nitakachofanya."
Basi mkutano ukafungwa kwa kumkubalia sungura afanye kazi hiyo usiku ulipoingia. Sungura alikoka moto nje ya nyumba yake. Moto ulipokolea vizuri, akatia jiwe moja ndani ya ule moto. Jiwe lilikuwa na ukubwa wa mpira wa pete. Sungura akaongeza kuni mekoni halafu akaenda kumtafuta fisi pangoni mwake.
Sungura alipofika mlangoni mwa pango akasema, "hodi kwa mzee fisi." Fisi alifurahi moyoni kwa sababu alijua ile sauti ya sungura na alijua kuwa sungura angeweza kuwa chakula chake. Fisi hakujibu haraka. Kwa hivyo, sungura akasogea mlangoni na kubisha tena. Hapo ndipo sungura alipojikuta makuchani mwa fisi! "Nakuletea habari nzuri halafu unanikamata!" Fisi akasema, "mimi nina njaa ya siku nne halafu uniletee habari gani nzuri zaidi ya wewe? Wewe ni riziki yangu." Sungura akampoza. "Hata kama ukinila, hutashiba. Mimi nimekuja nikukaribishe kwangu. Huko nyama ni tele." | Nani alikua kiongozi wa mkutano | {
"text": [
"Swara"
]
} |
1504_swa | Hapo zamani katika mbuga fulani wanyama wadogo walikuwa wakijadili uovu wa fisi. Walikutana kwa siri kwa sababu walijua wanyama kama simba, chui na fisi walikuwa na hamu kubwa ya kuwashambulia na kuwala.
Swara alikuwa kiongozi wa mkutano na akawaambia wenzake, "Jamani uonevu umezidi. Juma lililopita watoto wawili wa kongoni waliliwa na chui, tena chui alisema hakushiba. Alitaka amshike kongoni amle lakini kongoni aliwahi kukimbia. Juzi mwanangu ameliwa na fisi. Nilimpiga teke jichoni lakini akataka kunitafuna nikakimbia. Sasa tufanyeje?"
Basi wanyama walijadili kwa uchungu maovu hayo kwa muda mrefu. Wote walitaka sana chui na fisi wauawe haraka. Tatizo lao kubwa lilikuwa jinsi ya kuwaua. Wengine walishauri waovu wale wategewe mitego ya kamba na baadaye wapofuliwe. Hata hivyo, ilionekana ni hatari bado.
Hatimaye, sungura akatikisa masikio yake na kusema, "Kuwaua niacheni mimi. Nipeni siku saba nitawaleleza na kuwaonyesha nitakachofanya."
Basi mkutano ukafungwa kwa kumkubalia sungura afanye kazi hiyo usiku ulipoingia. Sungura alikoka moto nje ya nyumba yake. Moto ulipokolea vizuri, akatia jiwe moja ndani ya ule moto. Jiwe lilikuwa na ukubwa wa mpira wa pete. Sungura akaongeza kuni mekoni halafu akaenda kumtafuta fisi pangoni mwake.
Sungura alipofika mlangoni mwa pango akasema, "hodi kwa mzee fisi." Fisi alifurahi moyoni kwa sababu alijua ile sauti ya sungura na alijua kuwa sungura angeweza kuwa chakula chake. Fisi hakujibu haraka. Kwa hivyo, sungura akasogea mlangoni na kubisha tena. Hapo ndipo sungura alipojikuta makuchani mwa fisi! "Nakuletea habari nzuri halafu unanikamata!" Fisi akasema, "mimi nina njaa ya siku nne halafu uniletee habari gani nzuri zaidi ya wewe? Wewe ni riziki yangu." Sungura akampoza. "Hata kama ukinila, hutashiba. Mimi nimekuja nikukaribishe kwangu. Huko nyama ni tele." | Sungura alimwambia fisi kwake kuna nini | {
"text": [
"nyama tele"
]
} |
1504_swa | Hapo zamani katika mbuga fulani wanyama wadogo walikuwa wakijadili uovu wa fisi. Walikutana kwa siri kwa sababu walijua wanyama kama simba, chui na fisi walikuwa na hamu kubwa ya kuwashambulia na kuwala.
Swara alikuwa kiongozi wa mkutano na akawaambia wenzake, "Jamani uonevu umezidi. Juma lililopita watoto wawili wa kongoni waliliwa na chui, tena chui alisema hakushiba. Alitaka amshike kongoni amle lakini kongoni aliwahi kukimbia. Juzi mwanangu ameliwa na fisi. Nilimpiga teke jichoni lakini akataka kunitafuna nikakimbia. Sasa tufanyeje?"
Basi wanyama walijadili kwa uchungu maovu hayo kwa muda mrefu. Wote walitaka sana chui na fisi wauawe haraka. Tatizo lao kubwa lilikuwa jinsi ya kuwaua. Wengine walishauri waovu wale wategewe mitego ya kamba na baadaye wapofuliwe. Hata hivyo, ilionekana ni hatari bado.
Hatimaye, sungura akatikisa masikio yake na kusema, "Kuwaua niacheni mimi. Nipeni siku saba nitawaleleza na kuwaonyesha nitakachofanya."
Basi mkutano ukafungwa kwa kumkubalia sungura afanye kazi hiyo usiku ulipoingia. Sungura alikoka moto nje ya nyumba yake. Moto ulipokolea vizuri, akatia jiwe moja ndani ya ule moto. Jiwe lilikuwa na ukubwa wa mpira wa pete. Sungura akaongeza kuni mekoni halafu akaenda kumtafuta fisi pangoni mwake.
Sungura alipofika mlangoni mwa pango akasema, "hodi kwa mzee fisi." Fisi alifurahi moyoni kwa sababu alijua ile sauti ya sungura na alijua kuwa sungura angeweza kuwa chakula chake. Fisi hakujibu haraka. Kwa hivyo, sungura akasogea mlangoni na kubisha tena. Hapo ndipo sungura alipojikuta makuchani mwa fisi! "Nakuletea habari nzuri halafu unanikamata!" Fisi akasema, "mimi nina njaa ya siku nne halafu uniletee habari gani nzuri zaidi ya wewe? Wewe ni riziki yangu." Sungura akampoza. "Hata kama ukinila, hutashiba. Mimi nimekuja nikukaribishe kwangu. Huko nyama ni tele." | Watoto wawili wa kongoni waliliwa na chui lini | {
"text": [
"Juma lililopita"
]
} |
1504_swa | Hapo zamani katika mbuga fulani wanyama wadogo walikuwa wakijadili uovu wa fisi. Walikutana kwa siri kwa sababu walijua wanyama kama simba, chui na fisi walikuwa na hamu kubwa ya kuwashambulia na kuwala.
Swara alikuwa kiongozi wa mkutano na akawaambia wenzake, "Jamani uonevu umezidi. Juma lililopita watoto wawili wa kongoni waliliwa na chui, tena chui alisema hakushiba. Alitaka amshike kongoni amle lakini kongoni aliwahi kukimbia. Juzi mwanangu ameliwa na fisi. Nilimpiga teke jichoni lakini akataka kunitafuna nikakimbia. Sasa tufanyeje?"
Basi wanyama walijadili kwa uchungu maovu hayo kwa muda mrefu. Wote walitaka sana chui na fisi wauawe haraka. Tatizo lao kubwa lilikuwa jinsi ya kuwaua. Wengine walishauri waovu wale wategewe mitego ya kamba na baadaye wapofuliwe. Hata hivyo, ilionekana ni hatari bado.
Hatimaye, sungura akatikisa masikio yake na kusema, "Kuwaua niacheni mimi. Nipeni siku saba nitawaleleza na kuwaonyesha nitakachofanya."
Basi mkutano ukafungwa kwa kumkubalia sungura afanye kazi hiyo usiku ulipoingia. Sungura alikoka moto nje ya nyumba yake. Moto ulipokolea vizuri, akatia jiwe moja ndani ya ule moto. Jiwe lilikuwa na ukubwa wa mpira wa pete. Sungura akaongeza kuni mekoni halafu akaenda kumtafuta fisi pangoni mwake.
Sungura alipofika mlangoni mwa pango akasema, "hodi kwa mzee fisi." Fisi alifurahi moyoni kwa sababu alijua ile sauti ya sungura na alijua kuwa sungura angeweza kuwa chakula chake. Fisi hakujibu haraka. Kwa hivyo, sungura akasogea mlangoni na kubisha tena. Hapo ndipo sungura alipojikuta makuchani mwa fisi! "Nakuletea habari nzuri halafu unanikamata!" Fisi akasema, "mimi nina njaa ya siku nne halafu uniletee habari gani nzuri zaidi ya wewe? Wewe ni riziki yangu." Sungura akampoza. "Hata kama ukinila, hutashiba. Mimi nimekuja nikukaribishe kwangu. Huko nyama ni tele." | Mbona fisi alifurahi moyoni aliposikia sauti ya Sungura | {
"text": [
"alijua kuwa sungura angeweza kuwa chakula chake"
]
} |
1505_swa | Mnazi ni mti ambao hupatikana sana sana katika maeneo ya pwani. Ni mti mrefu na mwembamba; na usiokuwa na matawi kwenye shina lake. Kwenye kilele ndiko kuna makuti ambayo ndiyo majani ya mnazi. Nazi pia hupatikana huko kwenye kilele.
Kuna watu wawili ambao huhusika na mnazi, mgema na mkwezi. Mgema hupanda mnazi kwa ajili ya kugema tembo. Ndio maana kuna methali kuwa cha mlevi huliwa na mgema. Lakini mkwezi hukwea au hupanda mnazi kwa ajili ya kuangua nazi.
Swali ambalo bila shaka unajiuliza ni, ‘Je, mkwezi hupandaje juu ya mnazi?’
Kuna njia mbili za kupanda juu ya mnazi. Ya kwanza ni kwa kutumia kamba. Mkwezi hufunga miguu yake kwa kamba na kuipitisha juu na chini ya nyayo. Kisha akajivuta juu kwenye shina huku akibanisha kamba alizojifunga kwenye shina ili asiteleze.
Njia ya pili ni kwa kutumia vidato. Vidato (umoja ni kidato) ni ngazi ambazo huchongwa kwenye shina la mnazi. Mkwezi hupanda mnazi akitumia ngazi hizi.
Mnazi una faida nyingi sana. Sehemu ya mnazi yenye faida kubwa sana ni nazi yenyewe! Mkwezi anapoangua nazi huifua,yaani hutoa maganda ya juu. Nazi ikishafuliwa hupasuliwa ili kupata nyama nyeupe. Maji yanayotoka kwenye nazi huweza kunywewa kama kinywaji, kisha nazi hukunwa ili kutenganisha nyama na kifuu kwa kutumia mbuzi. Nazi inapokunwa kwa mbuzi huvunjika vipande vidogovidogo. Hivo vipande vidogovidogo ndivyo huwekwa kwenye kifumbu (aina ya kichujio). Kisha maji huongezwa na kichujio kukamuliwa ili kutoa tui.
Tui, yaani maziwa meupe ya nazi, ndiyo huwekwa kwenye chakula kama kiungo ili kuongeza ladha. Tui yaweza kuongezwa kwenye mboga, mchele, maharagwe, mihogo na kadhalika.
Kifuu ama ile sehemu ngumu inayobaki baada ya nyama kutewa, pia ina kazi yake. Yaweza kutumiwa kutengenezea upawa, ambao hutumiwa kama kijiko kikubwa cha kuchotea supu wakati wa kupakua; ama kutengeneza kata ambayo yaweza kutumika kwa kuchotea maji kwenye mtungi. Hii ndiyo maana kuna methali isemayo kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kifuu vile vile kinaweza kutumika kama kuni na kwa kutengenezea mapambo.
Kwenye makumbi (maganda yanayobaki baada ya kufuliwa) hupatikana ndifu. Ndifu ni nyuzinyuzi ambazo hutumika kutengeza kamba. Bidhaa nyingine ambazo hutengenezwa kutokana na nazi ni mafuta ya kujipaka, mafuta ya kupika na sabuni.
Sehemu nyingine ya muhimu katika nazi ni makuti. Makuti hutumika kuezekea nyumba na kutengeneza fagio.
| Ni mti gani sanasana hupatikana pwani | {
"text": [
"Mnazi"
]
} |
1505_swa | Mnazi ni mti ambao hupatikana sana sana katika maeneo ya pwani. Ni mti mrefu na mwembamba; na usiokuwa na matawi kwenye shina lake. Kwenye kilele ndiko kuna makuti ambayo ndiyo majani ya mnazi. Nazi pia hupatikana huko kwenye kilele.
Kuna watu wawili ambao huhusika na mnazi, mgema na mkwezi. Mgema hupanda mnazi kwa ajili ya kugema tembo. Ndio maana kuna methali kuwa cha mlevi huliwa na mgema. Lakini mkwezi hukwea au hupanda mnazi kwa ajili ya kuangua nazi.
Swali ambalo bila shaka unajiuliza ni, ‘Je, mkwezi hupandaje juu ya mnazi?’
Kuna njia mbili za kupanda juu ya mnazi. Ya kwanza ni kwa kutumia kamba. Mkwezi hufunga miguu yake kwa kamba na kuipitisha juu na chini ya nyayo. Kisha akajivuta juu kwenye shina huku akibanisha kamba alizojifunga kwenye shina ili asiteleze.
Njia ya pili ni kwa kutumia vidato. Vidato (umoja ni kidato) ni ngazi ambazo huchongwa kwenye shina la mnazi. Mkwezi hupanda mnazi akitumia ngazi hizi.
Mnazi una faida nyingi sana. Sehemu ya mnazi yenye faida kubwa sana ni nazi yenyewe! Mkwezi anapoangua nazi huifua,yaani hutoa maganda ya juu. Nazi ikishafuliwa hupasuliwa ili kupata nyama nyeupe. Maji yanayotoka kwenye nazi huweza kunywewa kama kinywaji, kisha nazi hukunwa ili kutenganisha nyama na kifuu kwa kutumia mbuzi. Nazi inapokunwa kwa mbuzi huvunjika vipande vidogovidogo. Hivo vipande vidogovidogo ndivyo huwekwa kwenye kifumbu (aina ya kichujio). Kisha maji huongezwa na kichujio kukamuliwa ili kutoa tui.
Tui, yaani maziwa meupe ya nazi, ndiyo huwekwa kwenye chakula kama kiungo ili kuongeza ladha. Tui yaweza kuongezwa kwenye mboga, mchele, maharagwe, mihogo na kadhalika.
Kifuu ama ile sehemu ngumu inayobaki baada ya nyama kutewa, pia ina kazi yake. Yaweza kutumiwa kutengenezea upawa, ambao hutumiwa kama kijiko kikubwa cha kuchotea supu wakati wa kupakua; ama kutengeneza kata ambayo yaweza kutumika kwa kuchotea maji kwenye mtungi. Hii ndiyo maana kuna methali isemayo kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kifuu vile vile kinaweza kutumika kama kuni na kwa kutengenezea mapambo.
Kwenye makumbi (maganda yanayobaki baada ya kufuliwa) hupatikana ndifu. Ndifu ni nyuzinyuzi ambazo hutumika kutengeza kamba. Bidhaa nyingine ambazo hutengenezwa kutokana na nazi ni mafuta ya kujipaka, mafuta ya kupika na sabuni.
Sehemu nyingine ya muhimu katika nazi ni makuti. Makuti hutumika kuezekea nyumba na kutengeneza fagio.
| Ni watu wagani huhusika na mnazi | {
"text": [
"mgema na mkwezi"
]
} |
1505_swa | Mnazi ni mti ambao hupatikana sana sana katika maeneo ya pwani. Ni mti mrefu na mwembamba; na usiokuwa na matawi kwenye shina lake. Kwenye kilele ndiko kuna makuti ambayo ndiyo majani ya mnazi. Nazi pia hupatikana huko kwenye kilele.
Kuna watu wawili ambao huhusika na mnazi, mgema na mkwezi. Mgema hupanda mnazi kwa ajili ya kugema tembo. Ndio maana kuna methali kuwa cha mlevi huliwa na mgema. Lakini mkwezi hukwea au hupanda mnazi kwa ajili ya kuangua nazi.
Swali ambalo bila shaka unajiuliza ni, ‘Je, mkwezi hupandaje juu ya mnazi?’
Kuna njia mbili za kupanda juu ya mnazi. Ya kwanza ni kwa kutumia kamba. Mkwezi hufunga miguu yake kwa kamba na kuipitisha juu na chini ya nyayo. Kisha akajivuta juu kwenye shina huku akibanisha kamba alizojifunga kwenye shina ili asiteleze.
Njia ya pili ni kwa kutumia vidato. Vidato (umoja ni kidato) ni ngazi ambazo huchongwa kwenye shina la mnazi. Mkwezi hupanda mnazi akitumia ngazi hizi.
Mnazi una faida nyingi sana. Sehemu ya mnazi yenye faida kubwa sana ni nazi yenyewe! Mkwezi anapoangua nazi huifua,yaani hutoa maganda ya juu. Nazi ikishafuliwa hupasuliwa ili kupata nyama nyeupe. Maji yanayotoka kwenye nazi huweza kunywewa kama kinywaji, kisha nazi hukunwa ili kutenganisha nyama na kifuu kwa kutumia mbuzi. Nazi inapokunwa kwa mbuzi huvunjika vipande vidogovidogo. Hivo vipande vidogovidogo ndivyo huwekwa kwenye kifumbu (aina ya kichujio). Kisha maji huongezwa na kichujio kukamuliwa ili kutoa tui.
Tui, yaani maziwa meupe ya nazi, ndiyo huwekwa kwenye chakula kama kiungo ili kuongeza ladha. Tui yaweza kuongezwa kwenye mboga, mchele, maharagwe, mihogo na kadhalika.
Kifuu ama ile sehemu ngumu inayobaki baada ya nyama kutewa, pia ina kazi yake. Yaweza kutumiwa kutengenezea upawa, ambao hutumiwa kama kijiko kikubwa cha kuchotea supu wakati wa kupakua; ama kutengeneza kata ambayo yaweza kutumika kwa kuchotea maji kwenye mtungi. Hii ndiyo maana kuna methali isemayo kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kifuu vile vile kinaweza kutumika kama kuni na kwa kutengenezea mapambo.
Kwenye makumbi (maganda yanayobaki baada ya kufuliwa) hupatikana ndifu. Ndifu ni nyuzinyuzi ambazo hutumika kutengeza kamba. Bidhaa nyingine ambazo hutengenezwa kutokana na nazi ni mafuta ya kujipaka, mafuta ya kupika na sabuni.
Sehemu nyingine ya muhimu katika nazi ni makuti. Makuti hutumika kuezekea nyumba na kutengeneza fagio.
| Ni sehemu gani ya mnazi yenye faida kubwa sana | {
"text": [
"Nazi"
]
} |
1505_swa | Mnazi ni mti ambao hupatikana sana sana katika maeneo ya pwani. Ni mti mrefu na mwembamba; na usiokuwa na matawi kwenye shina lake. Kwenye kilele ndiko kuna makuti ambayo ndiyo majani ya mnazi. Nazi pia hupatikana huko kwenye kilele.
Kuna watu wawili ambao huhusika na mnazi, mgema na mkwezi. Mgema hupanda mnazi kwa ajili ya kugema tembo. Ndio maana kuna methali kuwa cha mlevi huliwa na mgema. Lakini mkwezi hukwea au hupanda mnazi kwa ajili ya kuangua nazi.
Swali ambalo bila shaka unajiuliza ni, ‘Je, mkwezi hupandaje juu ya mnazi?’
Kuna njia mbili za kupanda juu ya mnazi. Ya kwanza ni kwa kutumia kamba. Mkwezi hufunga miguu yake kwa kamba na kuipitisha juu na chini ya nyayo. Kisha akajivuta juu kwenye shina huku akibanisha kamba alizojifunga kwenye shina ili asiteleze.
Njia ya pili ni kwa kutumia vidato. Vidato (umoja ni kidato) ni ngazi ambazo huchongwa kwenye shina la mnazi. Mkwezi hupanda mnazi akitumia ngazi hizi.
Mnazi una faida nyingi sana. Sehemu ya mnazi yenye faida kubwa sana ni nazi yenyewe! Mkwezi anapoangua nazi huifua,yaani hutoa maganda ya juu. Nazi ikishafuliwa hupasuliwa ili kupata nyama nyeupe. Maji yanayotoka kwenye nazi huweza kunywewa kama kinywaji, kisha nazi hukunwa ili kutenganisha nyama na kifuu kwa kutumia mbuzi. Nazi inapokunwa kwa mbuzi huvunjika vipande vidogovidogo. Hivo vipande vidogovidogo ndivyo huwekwa kwenye kifumbu (aina ya kichujio). Kisha maji huongezwa na kichujio kukamuliwa ili kutoa tui.
Tui, yaani maziwa meupe ya nazi, ndiyo huwekwa kwenye chakula kama kiungo ili kuongeza ladha. Tui yaweza kuongezwa kwenye mboga, mchele, maharagwe, mihogo na kadhalika.
Kifuu ama ile sehemu ngumu inayobaki baada ya nyama kutewa, pia ina kazi yake. Yaweza kutumiwa kutengenezea upawa, ambao hutumiwa kama kijiko kikubwa cha kuchotea supu wakati wa kupakua; ama kutengeneza kata ambayo yaweza kutumika kwa kuchotea maji kwenye mtungi. Hii ndiyo maana kuna methali isemayo kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kifuu vile vile kinaweza kutumika kama kuni na kwa kutengenezea mapambo.
Kwenye makumbi (maganda yanayobaki baada ya kufuliwa) hupatikana ndifu. Ndifu ni nyuzinyuzi ambazo hutumika kutengeza kamba. Bidhaa nyingine ambazo hutengenezwa kutokana na nazi ni mafuta ya kujipaka, mafuta ya kupika na sabuni.
Sehemu nyingine ya muhimu katika nazi ni makuti. Makuti hutumika kuezekea nyumba na kutengeneza fagio.
| Mkwezi hutoa maganda ya juu ya nazi lini | {
"text": [
"anapoiangua"
]
} |
1505_swa | Mnazi ni mti ambao hupatikana sana sana katika maeneo ya pwani. Ni mti mrefu na mwembamba; na usiokuwa na matawi kwenye shina lake. Kwenye kilele ndiko kuna makuti ambayo ndiyo majani ya mnazi. Nazi pia hupatikana huko kwenye kilele.
Kuna watu wawili ambao huhusika na mnazi, mgema na mkwezi. Mgema hupanda mnazi kwa ajili ya kugema tembo. Ndio maana kuna methali kuwa cha mlevi huliwa na mgema. Lakini mkwezi hukwea au hupanda mnazi kwa ajili ya kuangua nazi.
Swali ambalo bila shaka unajiuliza ni, ‘Je, mkwezi hupandaje juu ya mnazi?’
Kuna njia mbili za kupanda juu ya mnazi. Ya kwanza ni kwa kutumia kamba. Mkwezi hufunga miguu yake kwa kamba na kuipitisha juu na chini ya nyayo. Kisha akajivuta juu kwenye shina huku akibanisha kamba alizojifunga kwenye shina ili asiteleze.
Njia ya pili ni kwa kutumia vidato. Vidato (umoja ni kidato) ni ngazi ambazo huchongwa kwenye shina la mnazi. Mkwezi hupanda mnazi akitumia ngazi hizi.
Mnazi una faida nyingi sana. Sehemu ya mnazi yenye faida kubwa sana ni nazi yenyewe! Mkwezi anapoangua nazi huifua,yaani hutoa maganda ya juu. Nazi ikishafuliwa hupasuliwa ili kupata nyama nyeupe. Maji yanayotoka kwenye nazi huweza kunywewa kama kinywaji, kisha nazi hukunwa ili kutenganisha nyama na kifuu kwa kutumia mbuzi. Nazi inapokunwa kwa mbuzi huvunjika vipande vidogovidogo. Hivo vipande vidogovidogo ndivyo huwekwa kwenye kifumbu (aina ya kichujio). Kisha maji huongezwa na kichujio kukamuliwa ili kutoa tui.
Tui, yaani maziwa meupe ya nazi, ndiyo huwekwa kwenye chakula kama kiungo ili kuongeza ladha. Tui yaweza kuongezwa kwenye mboga, mchele, maharagwe, mihogo na kadhalika.
Kifuu ama ile sehemu ngumu inayobaki baada ya nyama kutewa, pia ina kazi yake. Yaweza kutumiwa kutengenezea upawa, ambao hutumiwa kama kijiko kikubwa cha kuchotea supu wakati wa kupakua; ama kutengeneza kata ambayo yaweza kutumika kwa kuchotea maji kwenye mtungi. Hii ndiyo maana kuna methali isemayo kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kifuu vile vile kinaweza kutumika kama kuni na kwa kutengenezea mapambo.
Kwenye makumbi (maganda yanayobaki baada ya kufuliwa) hupatikana ndifu. Ndifu ni nyuzinyuzi ambazo hutumika kutengeza kamba. Bidhaa nyingine ambazo hutengenezwa kutokana na nazi ni mafuta ya kujipaka, mafuta ya kupika na sabuni.
Sehemu nyingine ya muhimu katika nazi ni makuti. Makuti hutumika kuezekea nyumba na kutengeneza fagio.
| Mbona nazi likishafuliwa hupasuliwa | {
"text": [
"ili nyama nyeupe ipatikane"
]
} |
1506_swa | Sikujua hakuwa amejua kwa uhakika simba alikuwa mnyama wa aina gani, hadi siku ile alipokutana naye uso kwa uso huyu mfalme wa wanyama. Alikuwa akidhani kuwa simba ni kama paka ama mbwa mkubwa. Hakujua kuwa simba alikuwa mnyama wa kutisha.
Alipokuwa akitembea kando ya barabara ya Mombasa, aliona watu wakitimua mbio kutoka upande aliokuwa akienda. Alipowauliza kilichotokea, walimweleza kuwa simba alikuwa ametoroka kutoka mbuga ya wanyama ya Nairobi. Walimshauri akimbie, lakini hakusikia kwa kuwa alitamani kuona simba ni mnyama wa aina gani.Punde si punde akatokea hayawani mkubwa ajabu na mwenye manyoya mengi shingoni. Mara akatoa mngurumo kama radi; mngurumo uliotisha na kumfanya Sikujua kutokwa na jasho jembamba. Sikujua akawa ni mguu niponye. Wacha Sikujua atimue mbio; farasi wa Ngong kando.
Alipofika barabarani alijaribu kusimamisha magari lakini wapi. Magari kadhaa yalipita kwa kasi kwa kuwa madereva pia walikuwa na hofu. Hapo ndipo Sikujua alipoamua kudandia gari la mizigo lililokuwa wazi nyuma, na kujilaza chini kama mfu. Kwa bahati nzuri hakukuwa na msongamano wa magari. Gari lillienda mbio na hivyo Sikujua akanusurika kifo kwa tundu la sindano. Lilipofika mahali salama, Sikujua aliomba dereva asimamishe gari ili ashuke. Aliabiri matatu kuelekea moja kwa moja hadi nyumbani.
Alipofika nyumbani Sikujua aliwasimulia familia yake kisa chake na kuapa kuwa hatawahi kukanyaga mbuga ya wanyama kamwe asije akakutana na simba. Mke wake na watoto walicheka hadi mbavu yakawauma lakini walifurahi kuwa baba yao alikuwa salama.
| Nani mnyama wa kutisha | {
"text": [
"simba"
]
} |
1506_swa | Sikujua hakuwa amejua kwa uhakika simba alikuwa mnyama wa aina gani, hadi siku ile alipokutana naye uso kwa uso huyu mfalme wa wanyama. Alikuwa akidhani kuwa simba ni kama paka ama mbwa mkubwa. Hakujua kuwa simba alikuwa mnyama wa kutisha.
Alipokuwa akitembea kando ya barabara ya Mombasa, aliona watu wakitimua mbio kutoka upande aliokuwa akienda. Alipowauliza kilichotokea, walimweleza kuwa simba alikuwa ametoroka kutoka mbuga ya wanyama ya Nairobi. Walimshauri akimbie, lakini hakusikia kwa kuwa alitamani kuona simba ni mnyama wa aina gani.Punde si punde akatokea hayawani mkubwa ajabu na mwenye manyoya mengi shingoni. Mara akatoa mngurumo kama radi; mngurumo uliotisha na kumfanya Sikujua kutokwa na jasho jembamba. Sikujua akawa ni mguu niponye. Wacha Sikujua atimue mbio; farasi wa Ngong kando.
Alipofika barabarani alijaribu kusimamisha magari lakini wapi. Magari kadhaa yalipita kwa kasi kwa kuwa madereva pia walikuwa na hofu. Hapo ndipo Sikujua alipoamua kudandia gari la mizigo lililokuwa wazi nyuma, na kujilaza chini kama mfu. Kwa bahati nzuri hakukuwa na msongamano wa magari. Gari lillienda mbio na hivyo Sikujua akanusurika kifo kwa tundu la sindano. Lilipofika mahali salama, Sikujua aliomba dereva asimamishe gari ili ashuke. Aliabiri matatu kuelekea moja kwa moja hadi nyumbani.
Alipofika nyumbani Sikujua aliwasimulia familia yake kisa chake na kuapa kuwa hatawahi kukanyaga mbuga ya wanyama kamwe asije akakutana na simba. Mke wake na watoto walicheka hadi mbavu yakawauma lakini walifurahi kuwa baba yao alikuwa salama.
| Simba alikuwa ametoroka mbuga gani ya wanyama | {
"text": [
"ya Nairobi"
]
} |
1506_swa | Sikujua hakuwa amejua kwa uhakika simba alikuwa mnyama wa aina gani, hadi siku ile alipokutana naye uso kwa uso huyu mfalme wa wanyama. Alikuwa akidhani kuwa simba ni kama paka ama mbwa mkubwa. Hakujua kuwa simba alikuwa mnyama wa kutisha.
Alipokuwa akitembea kando ya barabara ya Mombasa, aliona watu wakitimua mbio kutoka upande aliokuwa akienda. Alipowauliza kilichotokea, walimweleza kuwa simba alikuwa ametoroka kutoka mbuga ya wanyama ya Nairobi. Walimshauri akimbie, lakini hakusikia kwa kuwa alitamani kuona simba ni mnyama wa aina gani.Punde si punde akatokea hayawani mkubwa ajabu na mwenye manyoya mengi shingoni. Mara akatoa mngurumo kama radi; mngurumo uliotisha na kumfanya Sikujua kutokwa na jasho jembamba. Sikujua akawa ni mguu niponye. Wacha Sikujua atimue mbio; farasi wa Ngong kando.
Alipofika barabarani alijaribu kusimamisha magari lakini wapi. Magari kadhaa yalipita kwa kasi kwa kuwa madereva pia walikuwa na hofu. Hapo ndipo Sikujua alipoamua kudandia gari la mizigo lililokuwa wazi nyuma, na kujilaza chini kama mfu. Kwa bahati nzuri hakukuwa na msongamano wa magari. Gari lillienda mbio na hivyo Sikujua akanusurika kifo kwa tundu la sindano. Lilipofika mahali salama, Sikujua aliomba dereva asimamishe gari ili ashuke. Aliabiri matatu kuelekea moja kwa moja hadi nyumbani.
Alipofika nyumbani Sikujua aliwasimulia familia yake kisa chake na kuapa kuwa hatawahi kukanyaga mbuga ya wanyama kamwe asije akakutana na simba. Mke wake na watoto walicheka hadi mbavu yakawauma lakini walifurahi kuwa baba yao alikuwa salama.
| Hayawani alitoa mngurumo kama nini | {
"text": [
"radi"
]
} |
1506_swa | Sikujua hakuwa amejua kwa uhakika simba alikuwa mnyama wa aina gani, hadi siku ile alipokutana naye uso kwa uso huyu mfalme wa wanyama. Alikuwa akidhani kuwa simba ni kama paka ama mbwa mkubwa. Hakujua kuwa simba alikuwa mnyama wa kutisha.
Alipokuwa akitembea kando ya barabara ya Mombasa, aliona watu wakitimua mbio kutoka upande aliokuwa akienda. Alipowauliza kilichotokea, walimweleza kuwa simba alikuwa ametoroka kutoka mbuga ya wanyama ya Nairobi. Walimshauri akimbie, lakini hakusikia kwa kuwa alitamani kuona simba ni mnyama wa aina gani.Punde si punde akatokea hayawani mkubwa ajabu na mwenye manyoya mengi shingoni. Mara akatoa mngurumo kama radi; mngurumo uliotisha na kumfanya Sikujua kutokwa na jasho jembamba. Sikujua akawa ni mguu niponye. Wacha Sikujua atimue mbio; farasi wa Ngong kando.
Alipofika barabarani alijaribu kusimamisha magari lakini wapi. Magari kadhaa yalipita kwa kasi kwa kuwa madereva pia walikuwa na hofu. Hapo ndipo Sikujua alipoamua kudandia gari la mizigo lililokuwa wazi nyuma, na kujilaza chini kama mfu. Kwa bahati nzuri hakukuwa na msongamano wa magari. Gari lillienda mbio na hivyo Sikujua akanusurika kifo kwa tundu la sindano. Lilipofika mahali salama, Sikujua aliomba dereva asimamishe gari ili ashuke. Aliabiri matatu kuelekea moja kwa moja hadi nyumbani.
Alipofika nyumbani Sikujua aliwasimulia familia yake kisa chake na kuapa kuwa hatawahi kukanyaga mbuga ya wanyama kamwe asije akakutana na simba. Mke wake na watoto walicheka hadi mbavu yakawauma lakini walifurahi kuwa baba yao alikuwa salama.
| Alijaribu kusimamisha magari lini | {
"text": [
"alipofika barabarani"
]
} |
1506_swa | Sikujua hakuwa amejua kwa uhakika simba alikuwa mnyama wa aina gani, hadi siku ile alipokutana naye uso kwa uso huyu mfalme wa wanyama. Alikuwa akidhani kuwa simba ni kama paka ama mbwa mkubwa. Hakujua kuwa simba alikuwa mnyama wa kutisha.
Alipokuwa akitembea kando ya barabara ya Mombasa, aliona watu wakitimua mbio kutoka upande aliokuwa akienda. Alipowauliza kilichotokea, walimweleza kuwa simba alikuwa ametoroka kutoka mbuga ya wanyama ya Nairobi. Walimshauri akimbie, lakini hakusikia kwa kuwa alitamani kuona simba ni mnyama wa aina gani.Punde si punde akatokea hayawani mkubwa ajabu na mwenye manyoya mengi shingoni. Mara akatoa mngurumo kama radi; mngurumo uliotisha na kumfanya Sikujua kutokwa na jasho jembamba. Sikujua akawa ni mguu niponye. Wacha Sikujua atimue mbio; farasi wa Ngong kando.
Alipofika barabarani alijaribu kusimamisha magari lakini wapi. Magari kadhaa yalipita kwa kasi kwa kuwa madereva pia walikuwa na hofu. Hapo ndipo Sikujua alipoamua kudandia gari la mizigo lililokuwa wazi nyuma, na kujilaza chini kama mfu. Kwa bahati nzuri hakukuwa na msongamano wa magari. Gari lillienda mbio na hivyo Sikujua akanusurika kifo kwa tundu la sindano. Lilipofika mahali salama, Sikujua aliomba dereva asimamishe gari ili ashuke. Aliabiri matatu kuelekea moja kwa moja hadi nyumbani.
Alipofika nyumbani Sikujua aliwasimulia familia yake kisa chake na kuapa kuwa hatawahi kukanyaga mbuga ya wanyama kamwe asije akakutana na simba. Mke wake na watoto walicheka hadi mbavu yakawauma lakini walifurahi kuwa baba yao alikuwa salama.
| Mbona magari kadhaa yalipita kwa kasi | {
"text": [
"madereva pia walikuwa na hofu"
]
} |
1518_swa | KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya kiswahili ni lugha inayoendelea sana. Leo hii lugha hii inasemwa na watu wote nchini Tanzania, Rwanda, Burundi, na nchini Kenya. Aidha lugha hii ina wasemaji si hapa hata katika kisiwa cha Kipemba. Kwa sasa, lugha ya Kiswahili inamudhu nchi za mashariki vizuri sana.
Fauka ya maendeko haya kiswahili kinatumika kuwasilisha ujumbe kama vile katika matangazo kutoka nchi za Afrika Mashariki. Kenya kuna idhaa nyingi za redio za kutangaza habari kwa lugha ya kiswahili ili kila mtu apate mukhtasari kamili wa yanayojiri katika nchi yetu. Katiba mpya ya nchi yetu imapaini kuwa lugha ya kiswahili inafanya vizuri kutoka kabila moja hadi nyingine kama mawasiliano moja kwa moja.
Lengo lingine ni kuwa lugha hii ya Kiswahili ina manufaa yake muhimu kwa yule anayeitumia ipasavyo kwa ufasaha. Lengo hili ni kuwa wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo bingwa Afrika mashariki kwa kufunza lugha sanifu ya kiswahi na isimu jamii.
Azma nyingine ni kwamba lugha hii imepanuka kote kuwa wanafunzi wote ni lazima wajimudu kufundishwa lugha ya kiswahili na kuizungumza kwa ufasaha. Taaluma ya lugha hii imesambaa kote kama biasharani, kidini, siasa na elimu ya nyota.
Kiswahili kilichukua msamiati mwingi wa kigeni ili kuelezea taaluma hizi mpya. Baadaye ilikuja kushukuiwa kwamba ni lugha ya kigeni bali ni lugha ya kiafrika asilia na kitovu chake ni nchini Kenya. Kwanza kabisa lugha ya Kiswahili sasa itashindania nafasi sawa na ile ya kiingereza katika shughuli za kikazi na hata shuleni. Kwa kifupi ili kusitokee mgongano wa matumizi ya lugha hizi mbili, ni muhamu sana kwa kutunga sera za matumizi ya kiswahili.
Kwa upande mwingine vyuo vikuu pamoja na taasisi zingine za matunzo zinastahili kutoa kozi ya lazima katika lugha ya kiswahili kwa wanafunzi wanaojiunga navyo ili kuwaandaa wataalamu zaidi wa lugha ya kiswahili. Hawa wanafunzi watahusika katika mafunzo ya kuwafunza wanaohusika na utekelezali wa serikari. Serikali inastahili kutafuta njia ya kuwahimiza wananchi wote kuionea fahari lugha ya kiswahili, waipende na kuielewa vizuri.
Vile vile, ni muhimu wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo kitovu cha lugha hii na hivyo basi wafanye kila juhudi kuitumia ipasovyo ili tusionekane kama watumwa katika lugha yetu asili. Kwa hivyo, lugha hii inahitaji viongozi vielelezo nchini ambao wanazungumza kiswahili sanifu kwa ufasaha.
Kwa hivyo, viongozi wetu wajiepushe na matumizi ya kiswahili isiyovutia ili wananchi wahimizwe kuzungumza kiswahili kwa ufasaha. Ingekuwa bora ikiwa wangepewa kipaumbele katika kupokea mafunzo katika lugha hii. | Nchi gani bingwa Afrika Mashariki kwa kufunza Kiswahili sanifu | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
1518_swa | KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya kiswahili ni lugha inayoendelea sana. Leo hii lugha hii inasemwa na watu wote nchini Tanzania, Rwanda, Burundi, na nchini Kenya. Aidha lugha hii ina wasemaji si hapa hata katika kisiwa cha Kipemba. Kwa sasa, lugha ya Kiswahili inamudhu nchi za mashariki vizuri sana.
Fauka ya maendeko haya kiswahili kinatumika kuwasilisha ujumbe kama vile katika matangazo kutoka nchi za Afrika Mashariki. Kenya kuna idhaa nyingi za redio za kutangaza habari kwa lugha ya kiswahili ili kila mtu apate mukhtasari kamili wa yanayojiri katika nchi yetu. Katiba mpya ya nchi yetu imapaini kuwa lugha ya kiswahili inafanya vizuri kutoka kabila moja hadi nyingine kama mawasiliano moja kwa moja.
Lengo lingine ni kuwa lugha hii ya Kiswahili ina manufaa yake muhimu kwa yule anayeitumia ipasavyo kwa ufasaha. Lengo hili ni kuwa wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo bingwa Afrika mashariki kwa kufunza lugha sanifu ya kiswahi na isimu jamii.
Azma nyingine ni kwamba lugha hii imepanuka kote kuwa wanafunzi wote ni lazima wajimudu kufundishwa lugha ya kiswahili na kuizungumza kwa ufasaha. Taaluma ya lugha hii imesambaa kote kama biasharani, kidini, siasa na elimu ya nyota.
Kiswahili kilichukua msamiati mwingi wa kigeni ili kuelezea taaluma hizi mpya. Baadaye ilikuja kushukuiwa kwamba ni lugha ya kigeni bali ni lugha ya kiafrika asilia na kitovu chake ni nchini Kenya. Kwanza kabisa lugha ya Kiswahili sasa itashindania nafasi sawa na ile ya kiingereza katika shughuli za kikazi na hata shuleni. Kwa kifupi ili kusitokee mgongano wa matumizi ya lugha hizi mbili, ni muhamu sana kwa kutunga sera za matumizi ya kiswahili.
Kwa upande mwingine vyuo vikuu pamoja na taasisi zingine za matunzo zinastahili kutoa kozi ya lazima katika lugha ya kiswahili kwa wanafunzi wanaojiunga navyo ili kuwaandaa wataalamu zaidi wa lugha ya kiswahili. Hawa wanafunzi watahusika katika mafunzo ya kuwafunza wanaohusika na utekelezali wa serikari. Serikali inastahili kutafuta njia ya kuwahimiza wananchi wote kuionea fahari lugha ya kiswahili, waipende na kuielewa vizuri.
Vile vile, ni muhimu wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo kitovu cha lugha hii na hivyo basi wafanye kila juhudi kuitumia ipasovyo ili tusionekane kama watumwa katika lugha yetu asili. Kwa hivyo, lugha hii inahitaji viongozi vielelezo nchini ambao wanazungumza kiswahili sanifu kwa ufasaha.
Kwa hivyo, viongozi wetu wajiepushe na matumizi ya kiswahili isiyovutia ili wananchi wahimizwe kuzungumza kiswahili kwa ufasaha. Ingekuwa bora ikiwa wangepewa kipaumbele katika kupokea mafunzo katika lugha hii. | Lugha ya Kiswahili inashindania nafasi na lugha gani | {
"text": [
"Kiingereza"
]
} |
1518_swa | KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya kiswahili ni lugha inayoendelea sana. Leo hii lugha hii inasemwa na watu wote nchini Tanzania, Rwanda, Burundi, na nchini Kenya. Aidha lugha hii ina wasemaji si hapa hata katika kisiwa cha Kipemba. Kwa sasa, lugha ya Kiswahili inamudhu nchi za mashariki vizuri sana.
Fauka ya maendeko haya kiswahili kinatumika kuwasilisha ujumbe kama vile katika matangazo kutoka nchi za Afrika Mashariki. Kenya kuna idhaa nyingi za redio za kutangaza habari kwa lugha ya kiswahili ili kila mtu apate mukhtasari kamili wa yanayojiri katika nchi yetu. Katiba mpya ya nchi yetu imapaini kuwa lugha ya kiswahili inafanya vizuri kutoka kabila moja hadi nyingine kama mawasiliano moja kwa moja.
Lengo lingine ni kuwa lugha hii ya Kiswahili ina manufaa yake muhimu kwa yule anayeitumia ipasavyo kwa ufasaha. Lengo hili ni kuwa wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo bingwa Afrika mashariki kwa kufunza lugha sanifu ya kiswahi na isimu jamii.
Azma nyingine ni kwamba lugha hii imepanuka kote kuwa wanafunzi wote ni lazima wajimudu kufundishwa lugha ya kiswahili na kuizungumza kwa ufasaha. Taaluma ya lugha hii imesambaa kote kama biasharani, kidini, siasa na elimu ya nyota.
Kiswahili kilichukua msamiati mwingi wa kigeni ili kuelezea taaluma hizi mpya. Baadaye ilikuja kushukuiwa kwamba ni lugha ya kigeni bali ni lugha ya kiafrika asilia na kitovu chake ni nchini Kenya. Kwanza kabisa lugha ya Kiswahili sasa itashindania nafasi sawa na ile ya kiingereza katika shughuli za kikazi na hata shuleni. Kwa kifupi ili kusitokee mgongano wa matumizi ya lugha hizi mbili, ni muhamu sana kwa kutunga sera za matumizi ya kiswahili.
Kwa upande mwingine vyuo vikuu pamoja na taasisi zingine za matunzo zinastahili kutoa kozi ya lazima katika lugha ya kiswahili kwa wanafunzi wanaojiunga navyo ili kuwaandaa wataalamu zaidi wa lugha ya kiswahili. Hawa wanafunzi watahusika katika mafunzo ya kuwafunza wanaohusika na utekelezali wa serikari. Serikali inastahili kutafuta njia ya kuwahimiza wananchi wote kuionea fahari lugha ya kiswahili, waipende na kuielewa vizuri.
Vile vile, ni muhimu wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo kitovu cha lugha hii na hivyo basi wafanye kila juhudi kuitumia ipasovyo ili tusionekane kama watumwa katika lugha yetu asili. Kwa hivyo, lugha hii inahitaji viongozi vielelezo nchini ambao wanazungumza kiswahili sanifu kwa ufasaha.
Kwa hivyo, viongozi wetu wajiepushe na matumizi ya kiswahili isiyovutia ili wananchi wahimizwe kuzungumza kiswahili kwa ufasaha. Ingekuwa bora ikiwa wangepewa kipaumbele katika kupokea mafunzo katika lugha hii. | Ni lugha gani inaendelea sana | {
"text": [
"Kiswahili"
]
} |
1518_swa | KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya kiswahili ni lugha inayoendelea sana. Leo hii lugha hii inasemwa na watu wote nchini Tanzania, Rwanda, Burundi, na nchini Kenya. Aidha lugha hii ina wasemaji si hapa hata katika kisiwa cha Kipemba. Kwa sasa, lugha ya Kiswahili inamudhu nchi za mashariki vizuri sana.
Fauka ya maendeko haya kiswahili kinatumika kuwasilisha ujumbe kama vile katika matangazo kutoka nchi za Afrika Mashariki. Kenya kuna idhaa nyingi za redio za kutangaza habari kwa lugha ya kiswahili ili kila mtu apate mukhtasari kamili wa yanayojiri katika nchi yetu. Katiba mpya ya nchi yetu imapaini kuwa lugha ya kiswahili inafanya vizuri kutoka kabila moja hadi nyingine kama mawasiliano moja kwa moja.
Lengo lingine ni kuwa lugha hii ya Kiswahili ina manufaa yake muhimu kwa yule anayeitumia ipasavyo kwa ufasaha. Lengo hili ni kuwa wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo bingwa Afrika mashariki kwa kufunza lugha sanifu ya kiswahi na isimu jamii.
Azma nyingine ni kwamba lugha hii imepanuka kote kuwa wanafunzi wote ni lazima wajimudu kufundishwa lugha ya kiswahili na kuizungumza kwa ufasaha. Taaluma ya lugha hii imesambaa kote kama biasharani, kidini, siasa na elimu ya nyota.
Kiswahili kilichukua msamiati mwingi wa kigeni ili kuelezea taaluma hizi mpya. Baadaye ilikuja kushukuiwa kwamba ni lugha ya kigeni bali ni lugha ya kiafrika asilia na kitovu chake ni nchini Kenya. Kwanza kabisa lugha ya Kiswahili sasa itashindania nafasi sawa na ile ya kiingereza katika shughuli za kikazi na hata shuleni. Kwa kifupi ili kusitokee mgongano wa matumizi ya lugha hizi mbili, ni muhamu sana kwa kutunga sera za matumizi ya kiswahili.
Kwa upande mwingine vyuo vikuu pamoja na taasisi zingine za matunzo zinastahili kutoa kozi ya lazima katika lugha ya kiswahili kwa wanafunzi wanaojiunga navyo ili kuwaandaa wataalamu zaidi wa lugha ya kiswahili. Hawa wanafunzi watahusika katika mafunzo ya kuwafunza wanaohusika na utekelezali wa serikari. Serikali inastahili kutafuta njia ya kuwahimiza wananchi wote kuionea fahari lugha ya kiswahili, waipende na kuielewa vizuri.
Vile vile, ni muhimu wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo kitovu cha lugha hii na hivyo basi wafanye kila juhudi kuitumia ipasovyo ili tusionekane kama watumwa katika lugha yetu asili. Kwa hivyo, lugha hii inahitaji viongozi vielelezo nchini ambao wanazungumza kiswahili sanifu kwa ufasaha.
Kwa hivyo, viongozi wetu wajiepushe na matumizi ya kiswahili isiyovutia ili wananchi wahimizwe kuzungumza kiswahili kwa ufasaha. Ingekuwa bora ikiwa wangepewa kipaumbele katika kupokea mafunzo katika lugha hii. | Ni lazima kina naniwafundishwe lugha ya Kiswahili | {
"text": [
"wanafunzi wote"
]
} |
1518_swa | KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya kiswahili ni lugha inayoendelea sana. Leo hii lugha hii inasemwa na watu wote nchini Tanzania, Rwanda, Burundi, na nchini Kenya. Aidha lugha hii ina wasemaji si hapa hata katika kisiwa cha Kipemba. Kwa sasa, lugha ya Kiswahili inamudhu nchi za mashariki vizuri sana.
Fauka ya maendeko haya kiswahili kinatumika kuwasilisha ujumbe kama vile katika matangazo kutoka nchi za Afrika Mashariki. Kenya kuna idhaa nyingi za redio za kutangaza habari kwa lugha ya kiswahili ili kila mtu apate mukhtasari kamili wa yanayojiri katika nchi yetu. Katiba mpya ya nchi yetu imapaini kuwa lugha ya kiswahili inafanya vizuri kutoka kabila moja hadi nyingine kama mawasiliano moja kwa moja.
Lengo lingine ni kuwa lugha hii ya Kiswahili ina manufaa yake muhimu kwa yule anayeitumia ipasavyo kwa ufasaha. Lengo hili ni kuwa wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo bingwa Afrika mashariki kwa kufunza lugha sanifu ya kiswahi na isimu jamii.
Azma nyingine ni kwamba lugha hii imepanuka kote kuwa wanafunzi wote ni lazima wajimudu kufundishwa lugha ya kiswahili na kuizungumza kwa ufasaha. Taaluma ya lugha hii imesambaa kote kama biasharani, kidini, siasa na elimu ya nyota.
Kiswahili kilichukua msamiati mwingi wa kigeni ili kuelezea taaluma hizi mpya. Baadaye ilikuja kushukuiwa kwamba ni lugha ya kigeni bali ni lugha ya kiafrika asilia na kitovu chake ni nchini Kenya. Kwanza kabisa lugha ya Kiswahili sasa itashindania nafasi sawa na ile ya kiingereza katika shughuli za kikazi na hata shuleni. Kwa kifupi ili kusitokee mgongano wa matumizi ya lugha hizi mbili, ni muhamu sana kwa kutunga sera za matumizi ya kiswahili.
Kwa upande mwingine vyuo vikuu pamoja na taasisi zingine za matunzo zinastahili kutoa kozi ya lazima katika lugha ya kiswahili kwa wanafunzi wanaojiunga navyo ili kuwaandaa wataalamu zaidi wa lugha ya kiswahili. Hawa wanafunzi watahusika katika mafunzo ya kuwafunza wanaohusika na utekelezali wa serikari. Serikali inastahili kutafuta njia ya kuwahimiza wananchi wote kuionea fahari lugha ya kiswahili, waipende na kuielewa vizuri.
Vile vile, ni muhimu wananchi watambue kuwa nchi yetu ya Kenya ndiyo kitovu cha lugha hii na hivyo basi wafanye kila juhudi kuitumia ipasovyo ili tusionekane kama watumwa katika lugha yetu asili. Kwa hivyo, lugha hii inahitaji viongozi vielelezo nchini ambao wanazungumza kiswahili sanifu kwa ufasaha.
Kwa hivyo, viongozi wetu wajiepushe na matumizi ya kiswahili isiyovutia ili wananchi wahimizwe kuzungumza kiswahili kwa ufasaha. Ingekuwa bora ikiwa wangepewa kipaumbele katika kupokea mafunzo katika lugha hii. | Mbona Kiswahilikilichukua msamiati wa kigeni | {
"text": [
"ili kuelezea taaluma mpya"
]
} |
1519_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA NCHI/JAMII
Siasa ni itikadi inayofuatwa na kikundi fulani cha watu kama nyenzo, kimsingi za kusukumia tamaduni, uchumi na maisha kwa jumla. Siasa inayotiliwa maanani na wengi ni ile inayofuatwa na viongozi na watawala wanaoshikilia au wanaowania nyadhifa mbalimbali za kuendeleza taifa. Wanasiasa hawa utapata wengine wana maono ya kuliunganisha taifa lakini wengi wao na siasa zao ni za kuligawanisha taifa. Aidha tunazo siasa zinazoendelezwa na mitazamo na sera za watu binafsi. Ni kutokana na sera hizi ambapo baadhi ya nchi duniani zemefikia upeo na zingine zimedidimia kabisa. Mataifa yasiyostawi aghalabu huwa na siasa potoshi.
Baadhi ya wanasiasa ni wakabila. Wao huwahudumia zaidi watu wawaitwao wao huku wakiwapuuza wanaowaona kuwa wa kabila jingine. Baadhi yao hujitahidi kuzuia ustawi wa watu wa kutoka nje ya kabila lao.
Kuna wanasiasa ambao lao ni kuwachanganya viongozi kisiasa. Badala ya kupalilia umoja wa nchi, wao huzua hali ya kutoelewana miongoni mwa wanasiasa na wananchi. Kwa jumla, matokeo yanaweza kuwa baraza la mawaziri lisilo na umoja, bunge na wananchi waliotengana. Hali hii huchangia kudidimia kwa uthabiti wa nchi.
Suala la ufisadi limekuwa sugu katika siasa. Baadhi ya wanasiasa huwahonga wapiga kura ili kuchaguliwa, pindi wangiapo madarakani baadhi yao huanza kuifisidi nchi. Hali ya kufaidi kwa mtu ambayo si stahiki ya mwanasiasa, mapendeleo ya mtu anayewaita watu wake au wao huku akiwanyima wengine. Wengine huishia kupeleka pesa hizi ng’ambo ili wasigunduliwe.
Hali hizi na zinginezo hudidimiza sura ya nchi. Ni jukumu la kila mmoja na mwanchi mzalendo kuwatathimini wanasiasa au siasa za kabla ya kuwapigia kura. Ni sawa na kumeza sumu iwapo atutawapigia kura wanasiasa walio na mitazamo potoshi. Sote tuna hiari na mukhtari kujenga au kubomoa nchi. Wazee wetu wenye busara hawakukosea waliponena kuwa msiba wa kujitakia hauambiwi pole. | Itikadi inayofuatwa na kikundi fulani cha watu huitwa nini | {
"text": [
"Siasa"
]
} |
1519_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA NCHI/JAMII
Siasa ni itikadi inayofuatwa na kikundi fulani cha watu kama nyenzo, kimsingi za kusukumia tamaduni, uchumi na maisha kwa jumla. Siasa inayotiliwa maanani na wengi ni ile inayofuatwa na viongozi na watawala wanaoshikilia au wanaowania nyadhifa mbalimbali za kuendeleza taifa. Wanasiasa hawa utapata wengine wana maono ya kuliunganisha taifa lakini wengi wao na siasa zao ni za kuligawanisha taifa. Aidha tunazo siasa zinazoendelezwa na mitazamo na sera za watu binafsi. Ni kutokana na sera hizi ambapo baadhi ya nchi duniani zemefikia upeo na zingine zimedidimia kabisa. Mataifa yasiyostawi aghalabu huwa na siasa potoshi.
Baadhi ya wanasiasa ni wakabila. Wao huwahudumia zaidi watu wawaitwao wao huku wakiwapuuza wanaowaona kuwa wa kabila jingine. Baadhi yao hujitahidi kuzuia ustawi wa watu wa kutoka nje ya kabila lao.
Kuna wanasiasa ambao lao ni kuwachanganya viongozi kisiasa. Badala ya kupalilia umoja wa nchi, wao huzua hali ya kutoelewana miongoni mwa wanasiasa na wananchi. Kwa jumla, matokeo yanaweza kuwa baraza la mawaziri lisilo na umoja, bunge na wananchi waliotengana. Hali hii huchangia kudidimia kwa uthabiti wa nchi.
Suala la ufisadi limekuwa sugu katika siasa. Baadhi ya wanasiasa huwahonga wapiga kura ili kuchaguliwa, pindi wangiapo madarakani baadhi yao huanza kuifisidi nchi. Hali ya kufaidi kwa mtu ambayo si stahiki ya mwanasiasa, mapendeleo ya mtu anayewaita watu wake au wao huku akiwanyima wengine. Wengine huishia kupeleka pesa hizi ng’ambo ili wasigunduliwe.
Hali hizi na zinginezo hudidimiza sura ya nchi. Ni jukumu la kila mmoja na mwanchi mzalendo kuwatathimini wanasiasa au siasa za kabla ya kuwapigia kura. Ni sawa na kumeza sumu iwapo atutawapigia kura wanasiasa walio na mitazamo potoshi. Sote tuna hiari na mukhtari kujenga au kubomoa nchi. Wazee wetu wenye busara hawakukosea waliponena kuwa msiba wa kujitakia hauambiwi pole. | Wanasiasa wengine huwa na maono ya kuliunganisha nini | {
"text": [
"Taifa"
]
} |
1519_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA NCHI/JAMII
Siasa ni itikadi inayofuatwa na kikundi fulani cha watu kama nyenzo, kimsingi za kusukumia tamaduni, uchumi na maisha kwa jumla. Siasa inayotiliwa maanani na wengi ni ile inayofuatwa na viongozi na watawala wanaoshikilia au wanaowania nyadhifa mbalimbali za kuendeleza taifa. Wanasiasa hawa utapata wengine wana maono ya kuliunganisha taifa lakini wengi wao na siasa zao ni za kuligawanisha taifa. Aidha tunazo siasa zinazoendelezwa na mitazamo na sera za watu binafsi. Ni kutokana na sera hizi ambapo baadhi ya nchi duniani zemefikia upeo na zingine zimedidimia kabisa. Mataifa yasiyostawi aghalabu huwa na siasa potoshi.
Baadhi ya wanasiasa ni wakabila. Wao huwahudumia zaidi watu wawaitwao wao huku wakiwapuuza wanaowaona kuwa wa kabila jingine. Baadhi yao hujitahidi kuzuia ustawi wa watu wa kutoka nje ya kabila lao.
Kuna wanasiasa ambao lao ni kuwachanganya viongozi kisiasa. Badala ya kupalilia umoja wa nchi, wao huzua hali ya kutoelewana miongoni mwa wanasiasa na wananchi. Kwa jumla, matokeo yanaweza kuwa baraza la mawaziri lisilo na umoja, bunge na wananchi waliotengana. Hali hii huchangia kudidimia kwa uthabiti wa nchi.
Suala la ufisadi limekuwa sugu katika siasa. Baadhi ya wanasiasa huwahonga wapiga kura ili kuchaguliwa, pindi wangiapo madarakani baadhi yao huanza kuifisidi nchi. Hali ya kufaidi kwa mtu ambayo si stahiki ya mwanasiasa, mapendeleo ya mtu anayewaita watu wake au wao huku akiwanyima wengine. Wengine huishia kupeleka pesa hizi ng’ambo ili wasigunduliwe.
Hali hizi na zinginezo hudidimiza sura ya nchi. Ni jukumu la kila mmoja na mwanchi mzalendo kuwatathimini wanasiasa au siasa za kabla ya kuwapigia kura. Ni sawa na kumeza sumu iwapo atutawapigia kura wanasiasa walio na mitazamo potoshi. Sote tuna hiari na mukhtari kujenga au kubomoa nchi. Wazee wetu wenye busara hawakukosea waliponena kuwa msiba wa kujitakia hauambiwi pole. | Wanasiasa kama hawa huchochea kina nani | {
"text": [
"Jamii mbili"
]
} |
1519_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA NCHI/JAMII
Siasa ni itikadi inayofuatwa na kikundi fulani cha watu kama nyenzo, kimsingi za kusukumia tamaduni, uchumi na maisha kwa jumla. Siasa inayotiliwa maanani na wengi ni ile inayofuatwa na viongozi na watawala wanaoshikilia au wanaowania nyadhifa mbalimbali za kuendeleza taifa. Wanasiasa hawa utapata wengine wana maono ya kuliunganisha taifa lakini wengi wao na siasa zao ni za kuligawanisha taifa. Aidha tunazo siasa zinazoendelezwa na mitazamo na sera za watu binafsi. Ni kutokana na sera hizi ambapo baadhi ya nchi duniani zemefikia upeo na zingine zimedidimia kabisa. Mataifa yasiyostawi aghalabu huwa na siasa potoshi.
Baadhi ya wanasiasa ni wakabila. Wao huwahudumia zaidi watu wawaitwao wao huku wakiwapuuza wanaowaona kuwa wa kabila jingine. Baadhi yao hujitahidi kuzuia ustawi wa watu wa kutoka nje ya kabila lao.
Kuna wanasiasa ambao lao ni kuwachanganya viongozi kisiasa. Badala ya kupalilia umoja wa nchi, wao huzua hali ya kutoelewana miongoni mwa wanasiasa na wananchi. Kwa jumla, matokeo yanaweza kuwa baraza la mawaziri lisilo na umoja, bunge na wananchi waliotengana. Hali hii huchangia kudidimia kwa uthabiti wa nchi.
Suala la ufisadi limekuwa sugu katika siasa. Baadhi ya wanasiasa huwahonga wapiga kura ili kuchaguliwa, pindi wangiapo madarakani baadhi yao huanza kuifisidi nchi. Hali ya kufaidi kwa mtu ambayo si stahiki ya mwanasiasa, mapendeleo ya mtu anayewaita watu wake au wao huku akiwanyima wengine. Wengine huishia kupeleka pesa hizi ng’ambo ili wasigunduliwe.
Hali hizi na zinginezo hudidimiza sura ya nchi. Ni jukumu la kila mmoja na mwanchi mzalendo kuwatathimini wanasiasa au siasa za kabla ya kuwapigia kura. Ni sawa na kumeza sumu iwapo atutawapigia kura wanasiasa walio na mitazamo potoshi. Sote tuna hiari na mukhtari kujenga au kubomoa nchi. Wazee wetu wenye busara hawakukosea waliponena kuwa msiba wa kujitakia hauambiwi pole. | Ni suala gani limekuwa sugu katika siasa | {
"text": [
"Suala la ufisadi"
]
} |
1519_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA NCHI/JAMII
Siasa ni itikadi inayofuatwa na kikundi fulani cha watu kama nyenzo, kimsingi za kusukumia tamaduni, uchumi na maisha kwa jumla. Siasa inayotiliwa maanani na wengi ni ile inayofuatwa na viongozi na watawala wanaoshikilia au wanaowania nyadhifa mbalimbali za kuendeleza taifa. Wanasiasa hawa utapata wengine wana maono ya kuliunganisha taifa lakini wengi wao na siasa zao ni za kuligawanisha taifa. Aidha tunazo siasa zinazoendelezwa na mitazamo na sera za watu binafsi. Ni kutokana na sera hizi ambapo baadhi ya nchi duniani zemefikia upeo na zingine zimedidimia kabisa. Mataifa yasiyostawi aghalabu huwa na siasa potoshi.
Baadhi ya wanasiasa ni wakabila. Wao huwahudumia zaidi watu wawaitwao wao huku wakiwapuuza wanaowaona kuwa wa kabila jingine. Baadhi yao hujitahidi kuzuia ustawi wa watu wa kutoka nje ya kabila lao.
Kuna wanasiasa ambao lao ni kuwachanganya viongozi kisiasa. Badala ya kupalilia umoja wa nchi, wao huzua hali ya kutoelewana miongoni mwa wanasiasa na wananchi. Kwa jumla, matokeo yanaweza kuwa baraza la mawaziri lisilo na umoja, bunge na wananchi waliotengana. Hali hii huchangia kudidimia kwa uthabiti wa nchi.
Suala la ufisadi limekuwa sugu katika siasa. Baadhi ya wanasiasa huwahonga wapiga kura ili kuchaguliwa, pindi wangiapo madarakani baadhi yao huanza kuifisidi nchi. Hali ya kufaidi kwa mtu ambayo si stahiki ya mwanasiasa, mapendeleo ya mtu anayewaita watu wake au wao huku akiwanyima wengine. Wengine huishia kupeleka pesa hizi ng’ambo ili wasigunduliwe.
Hali hizi na zinginezo hudidimiza sura ya nchi. Ni jukumu la kila mmoja na mwanchi mzalendo kuwatathimini wanasiasa au siasa za kabla ya kuwapigia kura. Ni sawa na kumeza sumu iwapo atutawapigia kura wanasiasa walio na mitazamo potoshi. Sote tuna hiari na mukhtari kujenga au kubomoa nchi. Wazee wetu wenye busara hawakukosea waliponena kuwa msiba wa kujitakia hauambiwi pole. | Hali hii inaleta utengano mkubwa baina ya nani | {
"text": [
"Viongozi na wananchi"
]
} |
1520_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo ni shughuli za ukulima. Hizi ni kazi za kulima ambazo huweza kufanyiwa popote ambapo pana mchanga unaoweza kushamirisha ukuaji wa mimea tofauti, moja au zaidi. Juu ya hayo, mifugo pia hufugwa kwa kuwa wanyama wa nyumbani huwa na faida kochokocho hasa wanapokuwa wenye buheri wa afya. Kilimo ni mojawapo ya sekta za kuimarisha ujenzi na ukuaji wa uchumi wa nchi. Pia huokoa uzorotaji wa uchumi unapoingia mashakani. Kilimo ni kazi ambayo imesheheni humu nchini na hata ulimwengu mzima. Hii huleta faida kochokocho kama vile kubuni nafasi za kazi na hata kuota kwa viwanda aina ainati.
Mosi, kilimo imeweza kubuni nafasi kadhaa za kazi kwa wakaaji wa taifa la Kenya hasa wakati ambao ugonjwa hatari wa homa ya corona ulipoenea kote duniani. Kilimo imeweza kuboresha maisha ya waliopoteza ajira zao kwa kuwa waja wengine hufanya kazi za ukulima pasi na kuenda shuleni au hata kufunzwa jinsi ya kulima au kufunga mifugo. Japo kilimo ni kazi ya kudharauliwa na wengi, wanaopata fursa ya ukulima hupata aghalabu fedha kidogo za kuimarisha maisha yao. Wananchi wanapokuwa na kazi yenye kipato, basi hii huhakikisha uchumi nzuri kwani kuwepo kwa kazi ya kumpa mtu mshahara, na mshahara hutozwa kodi ambayo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wake.
Kodi ambayo wakulima au hata wafanyakazi katika sekta hii ya kalima hulipa hutumiwa kwa njia mbalimbali kama vile katika ujenzi wa baraste hasa katika maeneo ambayo kilimo ndio tegemeo kau. Kujengwa kwa baraste hurahisisha usafirishaji wa bidhaa za kilimo kutoka shambani hadi sokoni. Ujenzi wa barabara ni hakikisho kwa wakulima kuwa mazao au hata bidhaa zao zitafika sokoni salama salimini. Kodi io hiyo pia huweza kutumiwa kujenga zahanati hasa katika maeneo ambayo watu hutegemea kilimo. Hii huhakikisha afya bora kwa wakulima. Wakalima sasa huwa na uwezo wa kufanya kazi kwa udi na uvumba ili kuhakikisha mazao maradufu.
Kutokana na kilimo, serikali imeweza kupata fedha za kuendeleza nchi kiuchumi kutokana na usafirishaji wa bidhaa kama vile maua nchi za nje. Fedha hizi hutumiwa na serikali katika ujenzi wa shule, hospitali na hata barabara. Ujenzi wa shule ni nja moia ya kuhakikishia wakulima kuwa wanapata maarifa zaidi kuhusu kilimo. Pia, hii ni njia ya kuhakikisha kuna wanao pamoja na wakaaji wengine wameweza kupata elimu. Hospitali kwa upande mwingine ni hakikisho la afya njema kwa wananchi.
Vilevile, kilimo imekuwa kipau mbele kuhakikisha uzalishaji wa viwanda aina ainati. Viwanda huhakikisha kuwa watakaotumia bidhaa za kilimo, wanapata bidhaa bora zaidi. Kwa mfano, kiwanda cha sukari na kiwanda cha kusiaga majani chai na mengine mengi. Viwanda pia ndio hutozwa ada nono zaidi. Ada ambazo hutumiwa na serikali kuletea watu nguvu za umeme. Wahenga pia hawakukosea waliponena kuwa penye nia pana njia.
Kwa hayo yote, kilimo ni njia mwafaka wa hakikisho la vyakula mbalimbali na bidhaa za utumizi wa kimsingi. Pia ni njia ya kuwa na kazi ili kuhakikisha kuwa uchumi hauangamii. Ni vyema kufanya kazi ambayo una hakika ya kupata mapato hata kama ni wa mkia la mbuzi. Mapato hayo madogo ndiyo angalau fedha ambazo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wetu. Tuungane mikono tuende kondeni. Basi sio kuenda tu, bali kuenda na kufanya kazi. | Ni nini kimerahisisha usafirishaji wa bidhaa hadi sokoni | {
"text": [
"kujengwa kwa baraste"
]
} |
1520_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo ni shughuli za ukulima. Hizi ni kazi za kulima ambazo huweza kufanyiwa popote ambapo pana mchanga unaoweza kushamirisha ukuaji wa mimea tofauti, moja au zaidi. Juu ya hayo, mifugo pia hufugwa kwa kuwa wanyama wa nyumbani huwa na faida kochokocho hasa wanapokuwa wenye buheri wa afya. Kilimo ni mojawapo ya sekta za kuimarisha ujenzi na ukuaji wa uchumi wa nchi. Pia huokoa uzorotaji wa uchumi unapoingia mashakani. Kilimo ni kazi ambayo imesheheni humu nchini na hata ulimwengu mzima. Hii huleta faida kochokocho kama vile kubuni nafasi za kazi na hata kuota kwa viwanda aina ainati.
Mosi, kilimo imeweza kubuni nafasi kadhaa za kazi kwa wakaaji wa taifa la Kenya hasa wakati ambao ugonjwa hatari wa homa ya corona ulipoenea kote duniani. Kilimo imeweza kuboresha maisha ya waliopoteza ajira zao kwa kuwa waja wengine hufanya kazi za ukulima pasi na kuenda shuleni au hata kufunzwa jinsi ya kulima au kufunga mifugo. Japo kilimo ni kazi ya kudharauliwa na wengi, wanaopata fursa ya ukulima hupata aghalabu fedha kidogo za kuimarisha maisha yao. Wananchi wanapokuwa na kazi yenye kipato, basi hii huhakikisha uchumi nzuri kwani kuwepo kwa kazi ya kumpa mtu mshahara, na mshahara hutozwa kodi ambayo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wake.
Kodi ambayo wakulima au hata wafanyakazi katika sekta hii ya kalima hulipa hutumiwa kwa njia mbalimbali kama vile katika ujenzi wa baraste hasa katika maeneo ambayo kilimo ndio tegemeo kau. Kujengwa kwa baraste hurahisisha usafirishaji wa bidhaa za kilimo kutoka shambani hadi sokoni. Ujenzi wa barabara ni hakikisho kwa wakulima kuwa mazao au hata bidhaa zao zitafika sokoni salama salimini. Kodi io hiyo pia huweza kutumiwa kujenga zahanati hasa katika maeneo ambayo watu hutegemea kilimo. Hii huhakikisha afya bora kwa wakulima. Wakalima sasa huwa na uwezo wa kufanya kazi kwa udi na uvumba ili kuhakikisha mazao maradufu.
Kutokana na kilimo, serikali imeweza kupata fedha za kuendeleza nchi kiuchumi kutokana na usafirishaji wa bidhaa kama vile maua nchi za nje. Fedha hizi hutumiwa na serikali katika ujenzi wa shule, hospitali na hata barabara. Ujenzi wa shule ni nja moia ya kuhakikishia wakulima kuwa wanapata maarifa zaidi kuhusu kilimo. Pia, hii ni njia ya kuhakikisha kuna wanao pamoja na wakaaji wengine wameweza kupata elimu. Hospitali kwa upande mwingine ni hakikisho la afya njema kwa wananchi.
Vilevile, kilimo imekuwa kipau mbele kuhakikisha uzalishaji wa viwanda aina ainati. Viwanda huhakikisha kuwa watakaotumia bidhaa za kilimo, wanapata bidhaa bora zaidi. Kwa mfano, kiwanda cha sukari na kiwanda cha kusiaga majani chai na mengine mengi. Viwanda pia ndio hutozwa ada nono zaidi. Ada ambazo hutumiwa na serikali kuletea watu nguvu za umeme. Wahenga pia hawakukosea waliponena kuwa penye nia pana njia.
Kwa hayo yote, kilimo ni njia mwafaka wa hakikisho la vyakula mbalimbali na bidhaa za utumizi wa kimsingi. Pia ni njia ya kuwa na kazi ili kuhakikisha kuwa uchumi hauangamii. Ni vyema kufanya kazi ambayo una hakika ya kupata mapato hata kama ni wa mkia la mbuzi. Mapato hayo madogo ndiyo angalau fedha ambazo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wetu. Tuungane mikono tuende kondeni. Basi sio kuenda tu, bali kuenda na kufanya kazi. | Ada ambazo hutumiwa na serikali huletea watu nini | {
"text": [
"nguvu za umeme"
]
} |
1520_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo ni shughuli za ukulima. Hizi ni kazi za kulima ambazo huweza kufanyiwa popote ambapo pana mchanga unaoweza kushamirisha ukuaji wa mimea tofauti, moja au zaidi. Juu ya hayo, mifugo pia hufugwa kwa kuwa wanyama wa nyumbani huwa na faida kochokocho hasa wanapokuwa wenye buheri wa afya. Kilimo ni mojawapo ya sekta za kuimarisha ujenzi na ukuaji wa uchumi wa nchi. Pia huokoa uzorotaji wa uchumi unapoingia mashakani. Kilimo ni kazi ambayo imesheheni humu nchini na hata ulimwengu mzima. Hii huleta faida kochokocho kama vile kubuni nafasi za kazi na hata kuota kwa viwanda aina ainati.
Mosi, kilimo imeweza kubuni nafasi kadhaa za kazi kwa wakaaji wa taifa la Kenya hasa wakati ambao ugonjwa hatari wa homa ya corona ulipoenea kote duniani. Kilimo imeweza kuboresha maisha ya waliopoteza ajira zao kwa kuwa waja wengine hufanya kazi za ukulima pasi na kuenda shuleni au hata kufunzwa jinsi ya kulima au kufunga mifugo. Japo kilimo ni kazi ya kudharauliwa na wengi, wanaopata fursa ya ukulima hupata aghalabu fedha kidogo za kuimarisha maisha yao. Wananchi wanapokuwa na kazi yenye kipato, basi hii huhakikisha uchumi nzuri kwani kuwepo kwa kazi ya kumpa mtu mshahara, na mshahara hutozwa kodi ambayo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wake.
Kodi ambayo wakulima au hata wafanyakazi katika sekta hii ya kalima hulipa hutumiwa kwa njia mbalimbali kama vile katika ujenzi wa baraste hasa katika maeneo ambayo kilimo ndio tegemeo kau. Kujengwa kwa baraste hurahisisha usafirishaji wa bidhaa za kilimo kutoka shambani hadi sokoni. Ujenzi wa barabara ni hakikisho kwa wakulima kuwa mazao au hata bidhaa zao zitafika sokoni salama salimini. Kodi io hiyo pia huweza kutumiwa kujenga zahanati hasa katika maeneo ambayo watu hutegemea kilimo. Hii huhakikisha afya bora kwa wakulima. Wakalima sasa huwa na uwezo wa kufanya kazi kwa udi na uvumba ili kuhakikisha mazao maradufu.
Kutokana na kilimo, serikali imeweza kupata fedha za kuendeleza nchi kiuchumi kutokana na usafirishaji wa bidhaa kama vile maua nchi za nje. Fedha hizi hutumiwa na serikali katika ujenzi wa shule, hospitali na hata barabara. Ujenzi wa shule ni nja moia ya kuhakikishia wakulima kuwa wanapata maarifa zaidi kuhusu kilimo. Pia, hii ni njia ya kuhakikisha kuna wanao pamoja na wakaaji wengine wameweza kupata elimu. Hospitali kwa upande mwingine ni hakikisho la afya njema kwa wananchi.
Vilevile, kilimo imekuwa kipau mbele kuhakikisha uzalishaji wa viwanda aina ainati. Viwanda huhakikisha kuwa watakaotumia bidhaa za kilimo, wanapata bidhaa bora zaidi. Kwa mfano, kiwanda cha sukari na kiwanda cha kusiaga majani chai na mengine mengi. Viwanda pia ndio hutozwa ada nono zaidi. Ada ambazo hutumiwa na serikali kuletea watu nguvu za umeme. Wahenga pia hawakukosea waliponena kuwa penye nia pana njia.
Kwa hayo yote, kilimo ni njia mwafaka wa hakikisho la vyakula mbalimbali na bidhaa za utumizi wa kimsingi. Pia ni njia ya kuwa na kazi ili kuhakikisha kuwa uchumi hauangamii. Ni vyema kufanya kazi ambayo una hakika ya kupata mapato hata kama ni wa mkia la mbuzi. Mapato hayo madogo ndiyo angalau fedha ambazo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wetu. Tuungane mikono tuende kondeni. Basi sio kuenda tu, bali kuenda na kufanya kazi. | Kilimo kimeweza kubuni nini kwa wakaazi wa taifa | {
"text": [
"nafasi za kazi"
]
} |
1520_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo ni shughuli za ukulima. Hizi ni kazi za kulima ambazo huweza kufanyiwa popote ambapo pana mchanga unaoweza kushamirisha ukuaji wa mimea tofauti, moja au zaidi. Juu ya hayo, mifugo pia hufugwa kwa kuwa wanyama wa nyumbani huwa na faida kochokocho hasa wanapokuwa wenye buheri wa afya. Kilimo ni mojawapo ya sekta za kuimarisha ujenzi na ukuaji wa uchumi wa nchi. Pia huokoa uzorotaji wa uchumi unapoingia mashakani. Kilimo ni kazi ambayo imesheheni humu nchini na hata ulimwengu mzima. Hii huleta faida kochokocho kama vile kubuni nafasi za kazi na hata kuota kwa viwanda aina ainati.
Mosi, kilimo imeweza kubuni nafasi kadhaa za kazi kwa wakaaji wa taifa la Kenya hasa wakati ambao ugonjwa hatari wa homa ya corona ulipoenea kote duniani. Kilimo imeweza kuboresha maisha ya waliopoteza ajira zao kwa kuwa waja wengine hufanya kazi za ukulima pasi na kuenda shuleni au hata kufunzwa jinsi ya kulima au kufunga mifugo. Japo kilimo ni kazi ya kudharauliwa na wengi, wanaopata fursa ya ukulima hupata aghalabu fedha kidogo za kuimarisha maisha yao. Wananchi wanapokuwa na kazi yenye kipato, basi hii huhakikisha uchumi nzuri kwani kuwepo kwa kazi ya kumpa mtu mshahara, na mshahara hutozwa kodi ambayo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wake.
Kodi ambayo wakulima au hata wafanyakazi katika sekta hii ya kalima hulipa hutumiwa kwa njia mbalimbali kama vile katika ujenzi wa baraste hasa katika maeneo ambayo kilimo ndio tegemeo kau. Kujengwa kwa baraste hurahisisha usafirishaji wa bidhaa za kilimo kutoka shambani hadi sokoni. Ujenzi wa barabara ni hakikisho kwa wakulima kuwa mazao au hata bidhaa zao zitafika sokoni salama salimini. Kodi io hiyo pia huweza kutumiwa kujenga zahanati hasa katika maeneo ambayo watu hutegemea kilimo. Hii huhakikisha afya bora kwa wakulima. Wakalima sasa huwa na uwezo wa kufanya kazi kwa udi na uvumba ili kuhakikisha mazao maradufu.
Kutokana na kilimo, serikali imeweza kupata fedha za kuendeleza nchi kiuchumi kutokana na usafirishaji wa bidhaa kama vile maua nchi za nje. Fedha hizi hutumiwa na serikali katika ujenzi wa shule, hospitali na hata barabara. Ujenzi wa shule ni nja moia ya kuhakikishia wakulima kuwa wanapata maarifa zaidi kuhusu kilimo. Pia, hii ni njia ya kuhakikisha kuna wanao pamoja na wakaaji wengine wameweza kupata elimu. Hospitali kwa upande mwingine ni hakikisho la afya njema kwa wananchi.
Vilevile, kilimo imekuwa kipau mbele kuhakikisha uzalishaji wa viwanda aina ainati. Viwanda huhakikisha kuwa watakaotumia bidhaa za kilimo, wanapata bidhaa bora zaidi. Kwa mfano, kiwanda cha sukari na kiwanda cha kusiaga majani chai na mengine mengi. Viwanda pia ndio hutozwa ada nono zaidi. Ada ambazo hutumiwa na serikali kuletea watu nguvu za umeme. Wahenga pia hawakukosea waliponena kuwa penye nia pana njia.
Kwa hayo yote, kilimo ni njia mwafaka wa hakikisho la vyakula mbalimbali na bidhaa za utumizi wa kimsingi. Pia ni njia ya kuwa na kazi ili kuhakikisha kuwa uchumi hauangamii. Ni vyema kufanya kazi ambayo una hakika ya kupata mapato hata kama ni wa mkia la mbuzi. Mapato hayo madogo ndiyo angalau fedha ambazo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wetu. Tuungane mikono tuende kondeni. Basi sio kuenda tu, bali kuenda na kufanya kazi. | Ni lini kilimo kimeweza kubuni nafasi za kazi kwa wakaazi | {
"text": [
"wakati wa Corona"
]
} |
1520_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo ni shughuli za ukulima. Hizi ni kazi za kulima ambazo huweza kufanyiwa popote ambapo pana mchanga unaoweza kushamirisha ukuaji wa mimea tofauti, moja au zaidi. Juu ya hayo, mifugo pia hufugwa kwa kuwa wanyama wa nyumbani huwa na faida kochokocho hasa wanapokuwa wenye buheri wa afya. Kilimo ni mojawapo ya sekta za kuimarisha ujenzi na ukuaji wa uchumi wa nchi. Pia huokoa uzorotaji wa uchumi unapoingia mashakani. Kilimo ni kazi ambayo imesheheni humu nchini na hata ulimwengu mzima. Hii huleta faida kochokocho kama vile kubuni nafasi za kazi na hata kuota kwa viwanda aina ainati.
Mosi, kilimo imeweza kubuni nafasi kadhaa za kazi kwa wakaaji wa taifa la Kenya hasa wakati ambao ugonjwa hatari wa homa ya corona ulipoenea kote duniani. Kilimo imeweza kuboresha maisha ya waliopoteza ajira zao kwa kuwa waja wengine hufanya kazi za ukulima pasi na kuenda shuleni au hata kufunzwa jinsi ya kulima au kufunga mifugo. Japo kilimo ni kazi ya kudharauliwa na wengi, wanaopata fursa ya ukulima hupata aghalabu fedha kidogo za kuimarisha maisha yao. Wananchi wanapokuwa na kazi yenye kipato, basi hii huhakikisha uchumi nzuri kwani kuwepo kwa kazi ya kumpa mtu mshahara, na mshahara hutozwa kodi ambayo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wake.
Kodi ambayo wakulima au hata wafanyakazi katika sekta hii ya kalima hulipa hutumiwa kwa njia mbalimbali kama vile katika ujenzi wa baraste hasa katika maeneo ambayo kilimo ndio tegemeo kau. Kujengwa kwa baraste hurahisisha usafirishaji wa bidhaa za kilimo kutoka shambani hadi sokoni. Ujenzi wa barabara ni hakikisho kwa wakulima kuwa mazao au hata bidhaa zao zitafika sokoni salama salimini. Kodi io hiyo pia huweza kutumiwa kujenga zahanati hasa katika maeneo ambayo watu hutegemea kilimo. Hii huhakikisha afya bora kwa wakulima. Wakalima sasa huwa na uwezo wa kufanya kazi kwa udi na uvumba ili kuhakikisha mazao maradufu.
Kutokana na kilimo, serikali imeweza kupata fedha za kuendeleza nchi kiuchumi kutokana na usafirishaji wa bidhaa kama vile maua nchi za nje. Fedha hizi hutumiwa na serikali katika ujenzi wa shule, hospitali na hata barabara. Ujenzi wa shule ni nja moia ya kuhakikishia wakulima kuwa wanapata maarifa zaidi kuhusu kilimo. Pia, hii ni njia ya kuhakikisha kuna wanao pamoja na wakaaji wengine wameweza kupata elimu. Hospitali kwa upande mwingine ni hakikisho la afya njema kwa wananchi.
Vilevile, kilimo imekuwa kipau mbele kuhakikisha uzalishaji wa viwanda aina ainati. Viwanda huhakikisha kuwa watakaotumia bidhaa za kilimo, wanapata bidhaa bora zaidi. Kwa mfano, kiwanda cha sukari na kiwanda cha kusiaga majani chai na mengine mengi. Viwanda pia ndio hutozwa ada nono zaidi. Ada ambazo hutumiwa na serikali kuletea watu nguvu za umeme. Wahenga pia hawakukosea waliponena kuwa penye nia pana njia.
Kwa hayo yote, kilimo ni njia mwafaka wa hakikisho la vyakula mbalimbali na bidhaa za utumizi wa kimsingi. Pia ni njia ya kuwa na kazi ili kuhakikisha kuwa uchumi hauangamii. Ni vyema kufanya kazi ambayo una hakika ya kupata mapato hata kama ni wa mkia la mbuzi. Mapato hayo madogo ndiyo angalau fedha ambazo hutumiwa na serikali kujenga uchumi wetu. Tuungane mikono tuende kondeni. Basi sio kuenda tu, bali kuenda na kufanya kazi. | Serikali imeweza kupata fedha za kuendeleza uchumi kivipi | {
"text": [
"usafirishaji wa bidhaa kama maua nchi za nje"
]
} |
1521_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ndio nguzo ya nchi yetu. Kilimo ndio uti wa mgongo wa maisha yetu. Kilimo kimegawanyika mara mbili; ufugaji wa mifugo na upanzi wa mimea. Ufugaji ni kuweka mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, ngamia, bata, kuku na wengineo. Upanzi wa mimea inahusu kutia mbegu ardhini na kupata mazao. Kwa hivyo kutokana na kilimo, Kenya imeng'aa kwa njia nyingi sana.
Kupitia kilimo, wakulima wameweza kuuza mazo yao ni hivyo basi kuweza kulipa ushuru. Ushuru huu hutumika na serikali kuendeleza miradi yake kama vile ujenzi wa hospitali na shule. Kwa njia hii, uchumi wetu unaweza kuimarishwa.
Pili, kupitia kilimo wakulima na watu wengine wameweza kupata vyakula vya kutosha kwani ukulima umeimarisha usambaaji wa vyakula. Pia, kupitia mbinu mpya ya kulima na kufuga kwa kutumia mashine za keteknolojia, ukulima umeweza kuimarishwa na hivyo basi kuna uwepo wa vyakula vya kutosha kuwalisha wananchi wetu.
Tatu, umechangia sana kuwepo kwa amani nchini kwa sababu, kupitia kuuza na kununua, yaani biashara, bidhaa au mazao, watu wa ukoo mbali mbali wameweza kuletwa kwa pamoja. Jambo hili limeleta undugu na ushirikiano baina ya watu mbalimbali nchini Kenya na hali imechangia sana kuwepo kwa amani nchini Kenya.
Kilimo kimeinua kiwango cha maisha kwa vile, kupitia kilimo wakulima wameweza kukimu mahitaji yao kwa maana wana pesa zinazotakikana na pia kimewawezesha kuishi maisha ya hali ya juu.
Mwisho, kilimo kimesaidia kuhifadhi na kuimarisha maendaleo nchini Kenya kwa kuwa mazao au bidhaa zinapouzwa nchi za kigeni, tunapata fedha nyingi ambazo hutumika kujenga nchi. | Wakulima hulipa nini baada ya kuuza mazao yao | {
"text": [
"ushuru"
]
} |
1521_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ndio nguzo ya nchi yetu. Kilimo ndio uti wa mgongo wa maisha yetu. Kilimo kimegawanyika mara mbili; ufugaji wa mifugo na upanzi wa mimea. Ufugaji ni kuweka mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, ngamia, bata, kuku na wengineo. Upanzi wa mimea inahusu kutia mbegu ardhini na kupata mazao. Kwa hivyo kutokana na kilimo, Kenya imeng'aa kwa njia nyingi sana.
Kupitia kilimo, wakulima wameweza kuuza mazo yao ni hivyo basi kuweza kulipa ushuru. Ushuru huu hutumika na serikali kuendeleza miradi yake kama vile ujenzi wa hospitali na shule. Kwa njia hii, uchumi wetu unaweza kuimarishwa.
Pili, kupitia kilimo wakulima na watu wengine wameweza kupata vyakula vya kutosha kwani ukulima umeimarisha usambaaji wa vyakula. Pia, kupitia mbinu mpya ya kulima na kufuga kwa kutumia mashine za keteknolojia, ukulima umeweza kuimarishwa na hivyo basi kuna uwepo wa vyakula vya kutosha kuwalisha wananchi wetu.
Tatu, umechangia sana kuwepo kwa amani nchini kwa sababu, kupitia kuuza na kununua, yaani biashara, bidhaa au mazao, watu wa ukoo mbali mbali wameweza kuletwa kwa pamoja. Jambo hili limeleta undugu na ushirikiano baina ya watu mbalimbali nchini Kenya na hali imechangia sana kuwepo kwa amani nchini Kenya.
Kilimo kimeinua kiwango cha maisha kwa vile, kupitia kilimo wakulima wameweza kukimu mahitaji yao kwa maana wana pesa zinazotakikana na pia kimewawezesha kuishi maisha ya hali ya juu.
Mwisho, kilimo kimesaidia kuhifadhi na kuimarisha maendaleo nchini Kenya kwa kuwa mazao au bidhaa zinapouzwa nchi za kigeni, tunapata fedha nyingi ambazo hutumika kujenga nchi. | Ni nini imefanya Kenya kung'aa | {
"text": [
"kilimo"
]
} |
1521_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ndio nguzo ya nchi yetu. Kilimo ndio uti wa mgongo wa maisha yetu. Kilimo kimegawanyika mara mbili; ufugaji wa mifugo na upanzi wa mimea. Ufugaji ni kuweka mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, ngamia, bata, kuku na wengineo. Upanzi wa mimea inahusu kutia mbegu ardhini na kupata mazao. Kwa hivyo kutokana na kilimo, Kenya imeng'aa kwa njia nyingi sana.
Kupitia kilimo, wakulima wameweza kuuza mazo yao ni hivyo basi kuweza kulipa ushuru. Ushuru huu hutumika na serikali kuendeleza miradi yake kama vile ujenzi wa hospitali na shule. Kwa njia hii, uchumi wetu unaweza kuimarishwa.
Pili, kupitia kilimo wakulima na watu wengine wameweza kupata vyakula vya kutosha kwani ukulima umeimarisha usambaaji wa vyakula. Pia, kupitia mbinu mpya ya kulima na kufuga kwa kutumia mashine za keteknolojia, ukulima umeweza kuimarishwa na hivyo basi kuna uwepo wa vyakula vya kutosha kuwalisha wananchi wetu.
Tatu, umechangia sana kuwepo kwa amani nchini kwa sababu, kupitia kuuza na kununua, yaani biashara, bidhaa au mazao, watu wa ukoo mbali mbali wameweza kuletwa kwa pamoja. Jambo hili limeleta undugu na ushirikiano baina ya watu mbalimbali nchini Kenya na hali imechangia sana kuwepo kwa amani nchini Kenya.
Kilimo kimeinua kiwango cha maisha kwa vile, kupitia kilimo wakulima wameweza kukimu mahitaji yao kwa maana wana pesa zinazotakikana na pia kimewawezesha kuishi maisha ya hali ya juu.
Mwisho, kilimo kimesaidia kuhifadhi na kuimarisha maendaleo nchini Kenya kwa kuwa mazao au bidhaa zinapouzwa nchi za kigeni, tunapata fedha nyingi ambazo hutumika kujenga nchi. | Nini kimesababisha kuwepo kwa vyakula vingi | {
"text": [
"utumizi wa technolojia"
]
} |
1521_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ndio nguzo ya nchi yetu. Kilimo ndio uti wa mgongo wa maisha yetu. Kilimo kimegawanyika mara mbili; ufugaji wa mifugo na upanzi wa mimea. Ufugaji ni kuweka mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, ngamia, bata, kuku na wengineo. Upanzi wa mimea inahusu kutia mbegu ardhini na kupata mazao. Kwa hivyo kutokana na kilimo, Kenya imeng'aa kwa njia nyingi sana.
Kupitia kilimo, wakulima wameweza kuuza mazo yao ni hivyo basi kuweza kulipa ushuru. Ushuru huu hutumika na serikali kuendeleza miradi yake kama vile ujenzi wa hospitali na shule. Kwa njia hii, uchumi wetu unaweza kuimarishwa.
Pili, kupitia kilimo wakulima na watu wengine wameweza kupata vyakula vya kutosha kwani ukulima umeimarisha usambaaji wa vyakula. Pia, kupitia mbinu mpya ya kulima na kufuga kwa kutumia mashine za keteknolojia, ukulima umeweza kuimarishwa na hivyo basi kuna uwepo wa vyakula vya kutosha kuwalisha wananchi wetu.
Tatu, umechangia sana kuwepo kwa amani nchini kwa sababu, kupitia kuuza na kununua, yaani biashara, bidhaa au mazao, watu wa ukoo mbali mbali wameweza kuletwa kwa pamoja. Jambo hili limeleta undugu na ushirikiano baina ya watu mbalimbali nchini Kenya na hali imechangia sana kuwepo kwa amani nchini Kenya.
Kilimo kimeinua kiwango cha maisha kwa vile, kupitia kilimo wakulima wameweza kukimu mahitaji yao kwa maana wana pesa zinazotakikana na pia kimewawezesha kuishi maisha ya hali ya juu.
Mwisho, kilimo kimesaidia kuhifadhi na kuimarisha maendaleo nchini Kenya kwa kuwa mazao au bidhaa zinapouzwa nchi za kigeni, tunapata fedha nyingi ambazo hutumika kujenga nchi. | Wakulima walianza kuishi maisha ya juu lini | {
"text": [
"walipoanzisha kilimo"
]
} |
1521_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ndio nguzo ya nchi yetu. Kilimo ndio uti wa mgongo wa maisha yetu. Kilimo kimegawanyika mara mbili; ufugaji wa mifugo na upanzi wa mimea. Ufugaji ni kuweka mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, ngamia, bata, kuku na wengineo. Upanzi wa mimea inahusu kutia mbegu ardhini na kupata mazao. Kwa hivyo kutokana na kilimo, Kenya imeng'aa kwa njia nyingi sana.
Kupitia kilimo, wakulima wameweza kuuza mazo yao ni hivyo basi kuweza kulipa ushuru. Ushuru huu hutumika na serikali kuendeleza miradi yake kama vile ujenzi wa hospitali na shule. Kwa njia hii, uchumi wetu unaweza kuimarishwa.
Pili, kupitia kilimo wakulima na watu wengine wameweza kupata vyakula vya kutosha kwani ukulima umeimarisha usambaaji wa vyakula. Pia, kupitia mbinu mpya ya kulima na kufuga kwa kutumia mashine za keteknolojia, ukulima umeweza kuimarishwa na hivyo basi kuna uwepo wa vyakula vya kutosha kuwalisha wananchi wetu.
Tatu, umechangia sana kuwepo kwa amani nchini kwa sababu, kupitia kuuza na kununua, yaani biashara, bidhaa au mazao, watu wa ukoo mbali mbali wameweza kuletwa kwa pamoja. Jambo hili limeleta undugu na ushirikiano baina ya watu mbalimbali nchini Kenya na hali imechangia sana kuwepo kwa amani nchini Kenya.
Kilimo kimeinua kiwango cha maisha kwa vile, kupitia kilimo wakulima wameweza kukimu mahitaji yao kwa maana wana pesa zinazotakikana na pia kimewawezesha kuishi maisha ya hali ya juu.
Mwisho, kilimo kimesaidia kuhifadhi na kuimarisha maendaleo nchini Kenya kwa kuwa mazao au bidhaa zinapouzwa nchi za kigeni, tunapata fedha nyingi ambazo hutumika kujenga nchi. | Kilimo kimeimarisha aje maendeleo Kenya | {
"text": [
"bidhaa zinapouzwa nchi geni huleta chapaa nyingi"
]
} |
1522_swa | CHANZO CHA UADUI KATI YA PAKA NA PANYA
Hapo zamani za kale Paka na Panya walikuwa marafiki wa kufa kuzikana. Walibarikiwa na nyumba iliyokuwa imejengwa ikajengeka. Nyumba yao ilizungukwa na kila aina ya matunda kama vile maembe, machungwa na papai. Enzi hizo, Simba ndiye aliyekuwa mfalme wa wanyama. Alikuwa mfalme kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa na nguvu kuliko wanyama wote na ni kweli kuwa mwenye nguvu apishwe.
Siku moja, Sungura aliyekuwa mshauri mkuu wa Simba, alipanga njama ya kunyakua mali ya paka na panya. Kwa kuwa Simba pia alikuwa na kiu ya kumiliki mali ya akina panya aliungana na sungura. Simba alijifanya kuwa alikuwa na ujumbe kwa mfalme mwenzake aliyekuwa anatoka mbali sana.
Alimtuma Sungura kwa Paka na Panya asubuhi na mapema. Paka na Panya walipofika, walipata mfalme kama anawaongoja. Simba aliwaambia, “marafiki zangu, nina mizigo fulani ambao ningependa mpelekee ndovu.” Paka na Panya walishtuka sana kwa kuwa hawakuwa na haya matarajio. Hata hivyo, walikubali kwenda kwa sababu amri ilitoka kwa mfalme. Kila moja wao alikabidhiwa na gunia la chakula. Walipewa onyo la kutoonja vyakula hivyo. Simba aliwahakikishia kuwa atalinda boma lao.
Siku iliyofuata, walianza safari asubuhi na mapema. Jua lilipowaka walikuwa wameshaenda kilomita sita. Njaa na kiu ilianza kuwauna. Hata hivyo walijikaza na kuvumulia haya yote. Waliendelea na safari lakini baada ya nusu saa, njaa iliongezeka. Paka ndiye alikuwa wa kwanza kuweka mzigo wake chini. Aliamua kufungua ile gunia. Panya alijaribu kumwonya lakini maneno yake yaligonga mwamba ni kana kwamba alikuwa anazungumza na kiziwi. Paka alipata nyama na kuku iliyochomwa mle ndani. Alikula mpaka akashiba. Panya hakumgoja, wakati huo alikuwa karibu kufika kwa ndovu. Alimtangulia paka kufika kwenye kasri la ndovu. Ndovu alimkaribisha kwa furaha tele. Paka alipofika, alifika na gunia ikiwa nusu, alipoulizwa alisema kuwa alipatiwa kiasi hicho cha chakula. Siku iliyofuata walirudi kwa mfalme wao. Walipofika, walimpata Simba na Sungura kwa nyumba yao. Kumbe ujumbe ulishafika kwa Simba kuwa Panya hakutii maneno ya mfalme. Simba aliwashauri kuwa wapigane na atakayeshinda ndiye angeenda kuishi kwa nyumba ile.
Tangu siku hiyo, paka na panya hawaelewani, hawawezi kukaa mahali pamoja. | Paka alikuwa rafiki wa kufa kuzikana nani | {
"text": [
"Panya"
]
} |
1522_swa | CHANZO CHA UADUI KATI YA PAKA NA PANYA
Hapo zamani za kale Paka na Panya walikuwa marafiki wa kufa kuzikana. Walibarikiwa na nyumba iliyokuwa imejengwa ikajengeka. Nyumba yao ilizungukwa na kila aina ya matunda kama vile maembe, machungwa na papai. Enzi hizo, Simba ndiye aliyekuwa mfalme wa wanyama. Alikuwa mfalme kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa na nguvu kuliko wanyama wote na ni kweli kuwa mwenye nguvu apishwe.
Siku moja, Sungura aliyekuwa mshauri mkuu wa Simba, alipanga njama ya kunyakua mali ya paka na panya. Kwa kuwa Simba pia alikuwa na kiu ya kumiliki mali ya akina panya aliungana na sungura. Simba alijifanya kuwa alikuwa na ujumbe kwa mfalme mwenzake aliyekuwa anatoka mbali sana.
Alimtuma Sungura kwa Paka na Panya asubuhi na mapema. Paka na Panya walipofika, walipata mfalme kama anawaongoja. Simba aliwaambia, “marafiki zangu, nina mizigo fulani ambao ningependa mpelekee ndovu.” Paka na Panya walishtuka sana kwa kuwa hawakuwa na haya matarajio. Hata hivyo, walikubali kwenda kwa sababu amri ilitoka kwa mfalme. Kila moja wao alikabidhiwa na gunia la chakula. Walipewa onyo la kutoonja vyakula hivyo. Simba aliwahakikishia kuwa atalinda boma lao.
Siku iliyofuata, walianza safari asubuhi na mapema. Jua lilipowaka walikuwa wameshaenda kilomita sita. Njaa na kiu ilianza kuwauna. Hata hivyo walijikaza na kuvumulia haya yote. Waliendelea na safari lakini baada ya nusu saa, njaa iliongezeka. Paka ndiye alikuwa wa kwanza kuweka mzigo wake chini. Aliamua kufungua ile gunia. Panya alijaribu kumwonya lakini maneno yake yaligonga mwamba ni kana kwamba alikuwa anazungumza na kiziwi. Paka alipata nyama na kuku iliyochomwa mle ndani. Alikula mpaka akashiba. Panya hakumgoja, wakati huo alikuwa karibu kufika kwa ndovu. Alimtangulia paka kufika kwenye kasri la ndovu. Ndovu alimkaribisha kwa furaha tele. Paka alipofika, alifika na gunia ikiwa nusu, alipoulizwa alisema kuwa alipatiwa kiasi hicho cha chakula. Siku iliyofuata walirudi kwa mfalme wao. Walipofika, walimpata Simba na Sungura kwa nyumba yao. Kumbe ujumbe ulishafika kwa Simba kuwa Panya hakutii maneno ya mfalme. Simba aliwashauri kuwa wapigane na atakayeshinda ndiye angeenda kuishi kwa nyumba ile.
Tangu siku hiyo, paka na panya hawaelewani, hawawezi kukaa mahali pamoja. | Paka na panya Walibarikiwa na nini | {
"text": [
"Nyumba"
]
} |
1522_swa | CHANZO CHA UADUI KATI YA PAKA NA PANYA
Hapo zamani za kale Paka na Panya walikuwa marafiki wa kufa kuzikana. Walibarikiwa na nyumba iliyokuwa imejengwa ikajengeka. Nyumba yao ilizungukwa na kila aina ya matunda kama vile maembe, machungwa na papai. Enzi hizo, Simba ndiye aliyekuwa mfalme wa wanyama. Alikuwa mfalme kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa na nguvu kuliko wanyama wote na ni kweli kuwa mwenye nguvu apishwe.
Siku moja, Sungura aliyekuwa mshauri mkuu wa Simba, alipanga njama ya kunyakua mali ya paka na panya. Kwa kuwa Simba pia alikuwa na kiu ya kumiliki mali ya akina panya aliungana na sungura. Simba alijifanya kuwa alikuwa na ujumbe kwa mfalme mwenzake aliyekuwa anatoka mbali sana.
Alimtuma Sungura kwa Paka na Panya asubuhi na mapema. Paka na Panya walipofika, walipata mfalme kama anawaongoja. Simba aliwaambia, “marafiki zangu, nina mizigo fulani ambao ningependa mpelekee ndovu.” Paka na Panya walishtuka sana kwa kuwa hawakuwa na haya matarajio. Hata hivyo, walikubali kwenda kwa sababu amri ilitoka kwa mfalme. Kila moja wao alikabidhiwa na gunia la chakula. Walipewa onyo la kutoonja vyakula hivyo. Simba aliwahakikishia kuwa atalinda boma lao.
Siku iliyofuata, walianza safari asubuhi na mapema. Jua lilipowaka walikuwa wameshaenda kilomita sita. Njaa na kiu ilianza kuwauna. Hata hivyo walijikaza na kuvumulia haya yote. Waliendelea na safari lakini baada ya nusu saa, njaa iliongezeka. Paka ndiye alikuwa wa kwanza kuweka mzigo wake chini. Aliamua kufungua ile gunia. Panya alijaribu kumwonya lakini maneno yake yaligonga mwamba ni kana kwamba alikuwa anazungumza na kiziwi. Paka alipata nyama na kuku iliyochomwa mle ndani. Alikula mpaka akashiba. Panya hakumgoja, wakati huo alikuwa karibu kufika kwa ndovu. Alimtangulia paka kufika kwenye kasri la ndovu. Ndovu alimkaribisha kwa furaha tele. Paka alipofika, alifika na gunia ikiwa nusu, alipoulizwa alisema kuwa alipatiwa kiasi hicho cha chakula. Siku iliyofuata walirudi kwa mfalme wao. Walipofika, walimpata Simba na Sungura kwa nyumba yao. Kumbe ujumbe ulishafika kwa Simba kuwa Panya hakutii maneno ya mfalme. Simba aliwashauri kuwa wapigane na atakayeshinda ndiye angeenda kuishi kwa nyumba ile.
Tangu siku hiyo, paka na panya hawaelewani, hawawezi kukaa mahali pamoja. | Nyumba Yao ilizingirwa na nini | {
"text": [
"Ua"
]
} |
1522_swa | CHANZO CHA UADUI KATI YA PAKA NA PANYA
Hapo zamani za kale Paka na Panya walikuwa marafiki wa kufa kuzikana. Walibarikiwa na nyumba iliyokuwa imejengwa ikajengeka. Nyumba yao ilizungukwa na kila aina ya matunda kama vile maembe, machungwa na papai. Enzi hizo, Simba ndiye aliyekuwa mfalme wa wanyama. Alikuwa mfalme kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa na nguvu kuliko wanyama wote na ni kweli kuwa mwenye nguvu apishwe.
Siku moja, Sungura aliyekuwa mshauri mkuu wa Simba, alipanga njama ya kunyakua mali ya paka na panya. Kwa kuwa Simba pia alikuwa na kiu ya kumiliki mali ya akina panya aliungana na sungura. Simba alijifanya kuwa alikuwa na ujumbe kwa mfalme mwenzake aliyekuwa anatoka mbali sana.
Alimtuma Sungura kwa Paka na Panya asubuhi na mapema. Paka na Panya walipofika, walipata mfalme kama anawaongoja. Simba aliwaambia, “marafiki zangu, nina mizigo fulani ambao ningependa mpelekee ndovu.” Paka na Panya walishtuka sana kwa kuwa hawakuwa na haya matarajio. Hata hivyo, walikubali kwenda kwa sababu amri ilitoka kwa mfalme. Kila moja wao alikabidhiwa na gunia la chakula. Walipewa onyo la kutoonja vyakula hivyo. Simba aliwahakikishia kuwa atalinda boma lao.
Siku iliyofuata, walianza safari asubuhi na mapema. Jua lilipowaka walikuwa wameshaenda kilomita sita. Njaa na kiu ilianza kuwauna. Hata hivyo walijikaza na kuvumulia haya yote. Waliendelea na safari lakini baada ya nusu saa, njaa iliongezeka. Paka ndiye alikuwa wa kwanza kuweka mzigo wake chini. Aliamua kufungua ile gunia. Panya alijaribu kumwonya lakini maneno yake yaligonga mwamba ni kana kwamba alikuwa anazungumza na kiziwi. Paka alipata nyama na kuku iliyochomwa mle ndani. Alikula mpaka akashiba. Panya hakumgoja, wakati huo alikuwa karibu kufika kwa ndovu. Alimtangulia paka kufika kwenye kasri la ndovu. Ndovu alimkaribisha kwa furaha tele. Paka alipofika, alifika na gunia ikiwa nusu, alipoulizwa alisema kuwa alipatiwa kiasi hicho cha chakula. Siku iliyofuata walirudi kwa mfalme wao. Walipofika, walimpata Simba na Sungura kwa nyumba yao. Kumbe ujumbe ulishafika kwa Simba kuwa Panya hakutii maneno ya mfalme. Simba aliwashauri kuwa wapigane na atakayeshinda ndiye angeenda kuishi kwa nyumba ile.
Tangu siku hiyo, paka na panya hawaelewani, hawawezi kukaa mahali pamoja. | Nani alikuwa mshauri wa simba | {
"text": [
"Sungura"
]
} |
1522_swa | CHANZO CHA UADUI KATI YA PAKA NA PANYA
Hapo zamani za kale Paka na Panya walikuwa marafiki wa kufa kuzikana. Walibarikiwa na nyumba iliyokuwa imejengwa ikajengeka. Nyumba yao ilizungukwa na kila aina ya matunda kama vile maembe, machungwa na papai. Enzi hizo, Simba ndiye aliyekuwa mfalme wa wanyama. Alikuwa mfalme kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa na nguvu kuliko wanyama wote na ni kweli kuwa mwenye nguvu apishwe.
Siku moja, Sungura aliyekuwa mshauri mkuu wa Simba, alipanga njama ya kunyakua mali ya paka na panya. Kwa kuwa Simba pia alikuwa na kiu ya kumiliki mali ya akina panya aliungana na sungura. Simba alijifanya kuwa alikuwa na ujumbe kwa mfalme mwenzake aliyekuwa anatoka mbali sana.
Alimtuma Sungura kwa Paka na Panya asubuhi na mapema. Paka na Panya walipofika, walipata mfalme kama anawaongoja. Simba aliwaambia, “marafiki zangu, nina mizigo fulani ambao ningependa mpelekee ndovu.” Paka na Panya walishtuka sana kwa kuwa hawakuwa na haya matarajio. Hata hivyo, walikubali kwenda kwa sababu amri ilitoka kwa mfalme. Kila moja wao alikabidhiwa na gunia la chakula. Walipewa onyo la kutoonja vyakula hivyo. Simba aliwahakikishia kuwa atalinda boma lao.
Siku iliyofuata, walianza safari asubuhi na mapema. Jua lilipowaka walikuwa wameshaenda kilomita sita. Njaa na kiu ilianza kuwauna. Hata hivyo walijikaza na kuvumulia haya yote. Waliendelea na safari lakini baada ya nusu saa, njaa iliongezeka. Paka ndiye alikuwa wa kwanza kuweka mzigo wake chini. Aliamua kufungua ile gunia. Panya alijaribu kumwonya lakini maneno yake yaligonga mwamba ni kana kwamba alikuwa anazungumza na kiziwi. Paka alipata nyama na kuku iliyochomwa mle ndani. Alikula mpaka akashiba. Panya hakumgoja, wakati huo alikuwa karibu kufika kwa ndovu. Alimtangulia paka kufika kwenye kasri la ndovu. Ndovu alimkaribisha kwa furaha tele. Paka alipofika, alifika na gunia ikiwa nusu, alipoulizwa alisema kuwa alipatiwa kiasi hicho cha chakula. Siku iliyofuata walirudi kwa mfalme wao. Walipofika, walimpata Simba na Sungura kwa nyumba yao. Kumbe ujumbe ulishafika kwa Simba kuwa Panya hakutii maneno ya mfalme. Simba aliwashauri kuwa wapigane na atakayeshinda ndiye angeenda kuishi kwa nyumba ile.
Tangu siku hiyo, paka na panya hawaelewani, hawawezi kukaa mahali pamoja. | Kwa nini paka na panya hawaelewani | {
"text": [
" Mshindi wa mapigano Yao ataishi katika nyumba Yao iliyotwaliwa na simba na sungura"
]
} |
1523_swa | SIKU YA HERI
Mamangu, Vumilia Msubili, alizaliwa Tanga, Tanzania. Alikuwa mwana wa pekee kwa mke wa mwisho wa Mzee Mwimo Msubili aliyekuwa na wake kumi na wawili na watoto wapatao tisini huku akionekane kama mfalme.
Alipozaliwa mamangu, babu alikuwa amebugia chumvi ya kutosha. Dau lake lilikuwa karibu kutia nanga ufuoni baada ya safari ya miaka mingi katika bahari ya maisha akafa. Baada ya kifo cha babu, yaliyokumba boma lake magumu yasiyo na kifani. Uhaba wa chakula na mavazi ukashamiri vilivyo. Utesi na uhasama wa wake wenza ukakolea, kwa Mzee Mwimo kukawa hakukaliki tena.
Mii mkuu ukianguka ndege huwa mashakani.
Bibi yangu alipoona mji huo haumweki tena, alitwaa mwanawe na kurejea kwao Kisauni, Mombasa alikokulia mama. Mama alipokaribia kufanya mtihani wake wa darasa la saba, bibi wa mtu alichoka kukaa maisha hii peke yake na akaamua kumfuata mumewe. Hayakuwa mambo mepesi kwa mama, aliomboleza sana na kwa hayo yote hakuweza kufaulu mtihani. Hata hivyo mama alikuwa mwepesi wa kufahamu mambo. Shuleni ndiko kulikochipuka kipawa chake cha uimbaji wa nyimbo za taarab.
Kwa kuwa mama hakuweza kuendelea na masomo, kiongozi wa kikundi cha Majaliwa Taarab alipomnasihi ajiunge nacho, hakuwa na budi kukubali. Kwa miaka mingi, mama alijulikana kama mwimbaji hodari wa nyimbo za taarab nchini na hata nchi za kigeni. Akawa na sifa si haba kama sifa zingekuwa milki, basi mama angekuwa mkwasi. Ilifikia wakati ambapo afya yake ilianza kudhoofika. Waganga na waganguzi wakashindwa kumtibu, hata madaktari. Mama mtu akawa anangojea kifo chake. Baada ya wiki moja, mama aliaga dunia, maneno yake ya mwisho yakiwa, "haidhuru, asaa itakuja siku ya heri kwako mwa-na--Re-- he-"
Televisheni, magazetini , redioni kote kulitangazwa kifo cha mama. Kile ambacho sikuweza kuelewa ni yale maneno ya mama ya mwisho, penginc siku ya heri itakapofika nitaelewa. Siku njema ambapo, hapatakuwa na kifo wala magonjwa tena wala kuwapoteza unaowapenda. Basi nilijua kuwa siku ya heri itafika nitakapompata baba yangu mzazi, ambaye kwa miaka kumi na tisa sasa sijawahi mwona wala hata picha zake.
Nilijihisi kupigwa pute na dunia, maisha yangu yalibadilika sana. Nikawa kama omba omba mitaani, nilizifanaya kazi zozote zile ili nipate mlo, vazi na hata pa kulala kwa kuwa nyumba aliyoiacha mama haikuwa nyumba, isombwa na mvua ya masika. Niliishia kuyaghani mashairi na kuchora hata kwenye hoteli kubwa kubwa, walipenda kazi yangu. Kazi hii ndiyo iliyokuwa talanta yangu eti.
Sikujua kughani mashairi ndiko kutanikutanisha na baba, ambaye alikuwa mwandishi wa vitabu si haba sikwambii hata 'Sauti you bara! Hii ilikuwa siku ya heri kwangu. Baba alikuwa mkwasi sana, aliyamiliki ekari za mashamba . Siku ya heri aliyoniambra mama ikatimia na basi nikajua sitakosa chochote wala lolote. Alhamdulillahi! | Mamake Vumilia alizaliwa wapi | {
"text": [
"Tanga"
]
} |
1523_swa | SIKU YA HERI
Mamangu, Vumilia Msubili, alizaliwa Tanga, Tanzania. Alikuwa mwana wa pekee kwa mke wa mwisho wa Mzee Mwimo Msubili aliyekuwa na wake kumi na wawili na watoto wapatao tisini huku akionekane kama mfalme.
Alipozaliwa mamangu, babu alikuwa amebugia chumvi ya kutosha. Dau lake lilikuwa karibu kutia nanga ufuoni baada ya safari ya miaka mingi katika bahari ya maisha akafa. Baada ya kifo cha babu, yaliyokumba boma lake magumu yasiyo na kifani. Uhaba wa chakula na mavazi ukashamiri vilivyo. Utesi na uhasama wa wake wenza ukakolea, kwa Mzee Mwimo kukawa hakukaliki tena.
Mii mkuu ukianguka ndege huwa mashakani.
Bibi yangu alipoona mji huo haumweki tena, alitwaa mwanawe na kurejea kwao Kisauni, Mombasa alikokulia mama. Mama alipokaribia kufanya mtihani wake wa darasa la saba, bibi wa mtu alichoka kukaa maisha hii peke yake na akaamua kumfuata mumewe. Hayakuwa mambo mepesi kwa mama, aliomboleza sana na kwa hayo yote hakuweza kufaulu mtihani. Hata hivyo mama alikuwa mwepesi wa kufahamu mambo. Shuleni ndiko kulikochipuka kipawa chake cha uimbaji wa nyimbo za taarab.
Kwa kuwa mama hakuweza kuendelea na masomo, kiongozi wa kikundi cha Majaliwa Taarab alipomnasihi ajiunge nacho, hakuwa na budi kukubali. Kwa miaka mingi, mama alijulikana kama mwimbaji hodari wa nyimbo za taarab nchini na hata nchi za kigeni. Akawa na sifa si haba kama sifa zingekuwa milki, basi mama angekuwa mkwasi. Ilifikia wakati ambapo afya yake ilianza kudhoofika. Waganga na waganguzi wakashindwa kumtibu, hata madaktari. Mama mtu akawa anangojea kifo chake. Baada ya wiki moja, mama aliaga dunia, maneno yake ya mwisho yakiwa, "haidhuru, asaa itakuja siku ya heri kwako mwa-na--Re-- he-"
Televisheni, magazetini , redioni kote kulitangazwa kifo cha mama. Kile ambacho sikuweza kuelewa ni yale maneno ya mama ya mwisho, penginc siku ya heri itakapofika nitaelewa. Siku njema ambapo, hapatakuwa na kifo wala magonjwa tena wala kuwapoteza unaowapenda. Basi nilijua kuwa siku ya heri itafika nitakapompata baba yangu mzazi, ambaye kwa miaka kumi na tisa sasa sijawahi mwona wala hata picha zake.
Nilijihisi kupigwa pute na dunia, maisha yangu yalibadilika sana. Nikawa kama omba omba mitaani, nilizifanaya kazi zozote zile ili nipate mlo, vazi na hata pa kulala kwa kuwa nyumba aliyoiacha mama haikuwa nyumba, isombwa na mvua ya masika. Niliishia kuyaghani mashairi na kuchora hata kwenye hoteli kubwa kubwa, walipenda kazi yangu. Kazi hii ndiyo iliyokuwa talanta yangu eti.
Sikujua kughani mashairi ndiko kutanikutanisha na baba, ambaye alikuwa mwandishi wa vitabu si haba sikwambii hata 'Sauti you bara! Hii ilikuwa siku ya heri kwangu. Baba alikuwa mkwasi sana, aliyamiliki ekari za mashamba . Siku ya heri aliyoniambra mama ikatimia na basi nikajua sitakosa chochote wala lolote. Alhamdulillahi! | Mzee Mwimo Msubili alikuwa na wake wangapi | {
"text": [
"kumi na wawili"
]
} |
1523_swa | SIKU YA HERI
Mamangu, Vumilia Msubili, alizaliwa Tanga, Tanzania. Alikuwa mwana wa pekee kwa mke wa mwisho wa Mzee Mwimo Msubili aliyekuwa na wake kumi na wawili na watoto wapatao tisini huku akionekane kama mfalme.
Alipozaliwa mamangu, babu alikuwa amebugia chumvi ya kutosha. Dau lake lilikuwa karibu kutia nanga ufuoni baada ya safari ya miaka mingi katika bahari ya maisha akafa. Baada ya kifo cha babu, yaliyokumba boma lake magumu yasiyo na kifani. Uhaba wa chakula na mavazi ukashamiri vilivyo. Utesi na uhasama wa wake wenza ukakolea, kwa Mzee Mwimo kukawa hakukaliki tena.
Mii mkuu ukianguka ndege huwa mashakani.
Bibi yangu alipoona mji huo haumweki tena, alitwaa mwanawe na kurejea kwao Kisauni, Mombasa alikokulia mama. Mama alipokaribia kufanya mtihani wake wa darasa la saba, bibi wa mtu alichoka kukaa maisha hii peke yake na akaamua kumfuata mumewe. Hayakuwa mambo mepesi kwa mama, aliomboleza sana na kwa hayo yote hakuweza kufaulu mtihani. Hata hivyo mama alikuwa mwepesi wa kufahamu mambo. Shuleni ndiko kulikochipuka kipawa chake cha uimbaji wa nyimbo za taarab.
Kwa kuwa mama hakuweza kuendelea na masomo, kiongozi wa kikundi cha Majaliwa Taarab alipomnasihi ajiunge nacho, hakuwa na budi kukubali. Kwa miaka mingi, mama alijulikana kama mwimbaji hodari wa nyimbo za taarab nchini na hata nchi za kigeni. Akawa na sifa si haba kama sifa zingekuwa milki, basi mama angekuwa mkwasi. Ilifikia wakati ambapo afya yake ilianza kudhoofika. Waganga na waganguzi wakashindwa kumtibu, hata madaktari. Mama mtu akawa anangojea kifo chake. Baada ya wiki moja, mama aliaga dunia, maneno yake ya mwisho yakiwa, "haidhuru, asaa itakuja siku ya heri kwako mwa-na--Re-- he-"
Televisheni, magazetini , redioni kote kulitangazwa kifo cha mama. Kile ambacho sikuweza kuelewa ni yale maneno ya mama ya mwisho, penginc siku ya heri itakapofika nitaelewa. Siku njema ambapo, hapatakuwa na kifo wala magonjwa tena wala kuwapoteza unaowapenda. Basi nilijua kuwa siku ya heri itafika nitakapompata baba yangu mzazi, ambaye kwa miaka kumi na tisa sasa sijawahi mwona wala hata picha zake.
Nilijihisi kupigwa pute na dunia, maisha yangu yalibadilika sana. Nikawa kama omba omba mitaani, nilizifanaya kazi zozote zile ili nipate mlo, vazi na hata pa kulala kwa kuwa nyumba aliyoiacha mama haikuwa nyumba, isombwa na mvua ya masika. Niliishia kuyaghani mashairi na kuchora hata kwenye hoteli kubwa kubwa, walipenda kazi yangu. Kazi hii ndiyo iliyokuwa talanta yangu eti.
Sikujua kughani mashairi ndiko kutanikutanisha na baba, ambaye alikuwa mwandishi wa vitabu si haba sikwambii hata 'Sauti you bara! Hii ilikuwa siku ya heri kwangu. Baba alikuwa mkwasi sana, aliyamiliki ekari za mashamba . Siku ya heri aliyoniambra mama ikatimia na basi nikajua sitakosa chochote wala lolote. Alhamdulillahi! | kifo cha nani kilitokea | {
"text": [
"babu"
]
} |
1523_swa | SIKU YA HERI
Mamangu, Vumilia Msubili, alizaliwa Tanga, Tanzania. Alikuwa mwana wa pekee kwa mke wa mwisho wa Mzee Mwimo Msubili aliyekuwa na wake kumi na wawili na watoto wapatao tisini huku akionekane kama mfalme.
Alipozaliwa mamangu, babu alikuwa amebugia chumvi ya kutosha. Dau lake lilikuwa karibu kutia nanga ufuoni baada ya safari ya miaka mingi katika bahari ya maisha akafa. Baada ya kifo cha babu, yaliyokumba boma lake magumu yasiyo na kifani. Uhaba wa chakula na mavazi ukashamiri vilivyo. Utesi na uhasama wa wake wenza ukakolea, kwa Mzee Mwimo kukawa hakukaliki tena.
Mii mkuu ukianguka ndege huwa mashakani.
Bibi yangu alipoona mji huo haumweki tena, alitwaa mwanawe na kurejea kwao Kisauni, Mombasa alikokulia mama. Mama alipokaribia kufanya mtihani wake wa darasa la saba, bibi wa mtu alichoka kukaa maisha hii peke yake na akaamua kumfuata mumewe. Hayakuwa mambo mepesi kwa mama, aliomboleza sana na kwa hayo yote hakuweza kufaulu mtihani. Hata hivyo mama alikuwa mwepesi wa kufahamu mambo. Shuleni ndiko kulikochipuka kipawa chake cha uimbaji wa nyimbo za taarab.
Kwa kuwa mama hakuweza kuendelea na masomo, kiongozi wa kikundi cha Majaliwa Taarab alipomnasihi ajiunge nacho, hakuwa na budi kukubali. Kwa miaka mingi, mama alijulikana kama mwimbaji hodari wa nyimbo za taarab nchini na hata nchi za kigeni. Akawa na sifa si haba kama sifa zingekuwa milki, basi mama angekuwa mkwasi. Ilifikia wakati ambapo afya yake ilianza kudhoofika. Waganga na waganguzi wakashindwa kumtibu, hata madaktari. Mama mtu akawa anangojea kifo chake. Baada ya wiki moja, mama aliaga dunia, maneno yake ya mwisho yakiwa, "haidhuru, asaa itakuja siku ya heri kwako mwa-na--Re-- he-"
Televisheni, magazetini , redioni kote kulitangazwa kifo cha mama. Kile ambacho sikuweza kuelewa ni yale maneno ya mama ya mwisho, penginc siku ya heri itakapofika nitaelewa. Siku njema ambapo, hapatakuwa na kifo wala magonjwa tena wala kuwapoteza unaowapenda. Basi nilijua kuwa siku ya heri itafika nitakapompata baba yangu mzazi, ambaye kwa miaka kumi na tisa sasa sijawahi mwona wala hata picha zake.
Nilijihisi kupigwa pute na dunia, maisha yangu yalibadilika sana. Nikawa kama omba omba mitaani, nilizifanaya kazi zozote zile ili nipate mlo, vazi na hata pa kulala kwa kuwa nyumba aliyoiacha mama haikuwa nyumba, isombwa na mvua ya masika. Niliishia kuyaghani mashairi na kuchora hata kwenye hoteli kubwa kubwa, walipenda kazi yangu. Kazi hii ndiyo iliyokuwa talanta yangu eti.
Sikujua kughani mashairi ndiko kutanikutanisha na baba, ambaye alikuwa mwandishi wa vitabu si haba sikwambii hata 'Sauti you bara! Hii ilikuwa siku ya heri kwangu. Baba alikuwa mkwasi sana, aliyamiliki ekari za mashamba . Siku ya heri aliyoniambra mama ikatimia na basi nikajua sitakosa chochote wala lolote. Alhamdulillahi! | Mamake alikuwa na kipawa cha kuimba nyimbo gani | {
"text": [
"za Taarab"
]
} |
1523_swa | SIKU YA HERI
Mamangu, Vumilia Msubili, alizaliwa Tanga, Tanzania. Alikuwa mwana wa pekee kwa mke wa mwisho wa Mzee Mwimo Msubili aliyekuwa na wake kumi na wawili na watoto wapatao tisini huku akionekane kama mfalme.
Alipozaliwa mamangu, babu alikuwa amebugia chumvi ya kutosha. Dau lake lilikuwa karibu kutia nanga ufuoni baada ya safari ya miaka mingi katika bahari ya maisha akafa. Baada ya kifo cha babu, yaliyokumba boma lake magumu yasiyo na kifani. Uhaba wa chakula na mavazi ukashamiri vilivyo. Utesi na uhasama wa wake wenza ukakolea, kwa Mzee Mwimo kukawa hakukaliki tena.
Mii mkuu ukianguka ndege huwa mashakani.
Bibi yangu alipoona mji huo haumweki tena, alitwaa mwanawe na kurejea kwao Kisauni, Mombasa alikokulia mama. Mama alipokaribia kufanya mtihani wake wa darasa la saba, bibi wa mtu alichoka kukaa maisha hii peke yake na akaamua kumfuata mumewe. Hayakuwa mambo mepesi kwa mama, aliomboleza sana na kwa hayo yote hakuweza kufaulu mtihani. Hata hivyo mama alikuwa mwepesi wa kufahamu mambo. Shuleni ndiko kulikochipuka kipawa chake cha uimbaji wa nyimbo za taarab.
Kwa kuwa mama hakuweza kuendelea na masomo, kiongozi wa kikundi cha Majaliwa Taarab alipomnasihi ajiunge nacho, hakuwa na budi kukubali. Kwa miaka mingi, mama alijulikana kama mwimbaji hodari wa nyimbo za taarab nchini na hata nchi za kigeni. Akawa na sifa si haba kama sifa zingekuwa milki, basi mama angekuwa mkwasi. Ilifikia wakati ambapo afya yake ilianza kudhoofika. Waganga na waganguzi wakashindwa kumtibu, hata madaktari. Mama mtu akawa anangojea kifo chake. Baada ya wiki moja, mama aliaga dunia, maneno yake ya mwisho yakiwa, "haidhuru, asaa itakuja siku ya heri kwako mwa-na--Re-- he-"
Televisheni, magazetini , redioni kote kulitangazwa kifo cha mama. Kile ambacho sikuweza kuelewa ni yale maneno ya mama ya mwisho, penginc siku ya heri itakapofika nitaelewa. Siku njema ambapo, hapatakuwa na kifo wala magonjwa tena wala kuwapoteza unaowapenda. Basi nilijua kuwa siku ya heri itafika nitakapompata baba yangu mzazi, ambaye kwa miaka kumi na tisa sasa sijawahi mwona wala hata picha zake.
Nilijihisi kupigwa pute na dunia, maisha yangu yalibadilika sana. Nikawa kama omba omba mitaani, nilizifanaya kazi zozote zile ili nipate mlo, vazi na hata pa kulala kwa kuwa nyumba aliyoiacha mama haikuwa nyumba, isombwa na mvua ya masika. Niliishia kuyaghani mashairi na kuchora hata kwenye hoteli kubwa kubwa, walipenda kazi yangu. Kazi hii ndiyo iliyokuwa talanta yangu eti.
Sikujua kughani mashairi ndiko kutanikutanisha na baba, ambaye alikuwa mwandishi wa vitabu si haba sikwambii hata 'Sauti you bara! Hii ilikuwa siku ya heri kwangu. Baba alikuwa mkwasi sana, aliyamiliki ekari za mashamba . Siku ya heri aliyoniambra mama ikatimia na basi nikajua sitakosa chochote wala lolote. Alhamdulillahi! | Mbona mamake alikuwa na sifa si haba | {
"text": [
"alikuwa mwimbaji hodari"
]
} |
1524_swa | CHOZI LA HERI
"Sijui nimshukuru vipi? Sijui nimpe zawadi gani? Lakini wacha nimwombee Mwenyezi Mungu amlinde, azidi kuishi duniani kwa miaka na mikaka." Hayo yalikuwa maneno ya Tabu baada ya kukamilisha miaka sita katika chuo kikuu. Jamii, familia na hata marafiki waliwajibika kwenda kushuhudia kuona akipata digri yake ya udaktari.
Tabu alipatwa na tabu baada ya kukamilisha shule ya msingi na kupata alama mia nne hamsini katika mtihani wa kitaifa. Lakini hata hivyo jahazi yake ilizama kwani wazazi wake hawakuweza kukimu masomo yake katika shule ya upili. Hivyo basi alilazimika kubaki nyumbani kwa mwaka mmoja baada ya wanafunzi ambao alikuwa akisoma nao wamekwishajiunga na shule ya upili. Basi maisha yake yalichukua mkondo mpya.
Baado ya Tabu karibu kuwabembeleza wazazi wake wawezee kumpeleka shule lakini maombi yake yaliambulia patupu kwani, hata yeye alikuwa akiona ufukara uliokuwa nyumbani kwao. Basi Tabu aliamua kupambana na hali yake, alijituma kuenda kutafuta riziki katika viwanda mbalimbali. Alifanikiwa kupata kazi katika kibanda kimoja. Ingawa malipo yake ilikuwa ya kijungu jiko, alilazimika kufanya kazi hiyo kwa kuwa alielewa kuwa mkono mtupu haurambwi. Ingawa malipo hayakuwa ya kuridhisha, alikuwa na ndoto ya kujipeleka shule kupitia kwa hela alizopata kutokana na kazi ile.
Tabu alitia bidii kwa kazi hiyo, alilazimika kuamka asubuhi kabla ya jogoo ya kwanza kuwika na kurudi usiku saa tatu. Baada ya miezi tisa, siku moja akitoka kazini alikutana na kipusa mmoja kwa jina Biti ambaye walikuwa wamesoma naye katika shule ya msingi. Baada ya kusemezana kuhusu ya kale, aliweza kumfamisha Biti kuwa hakuweza kujiunga na shule ya upili kutokana na hali ya wazazi wake. Biti alitaka kumkumbatia lakini moyo wake ulikanya kwani angemwongezea majonzi kwani, Tabu ndiye aliyeibuka wa kwanza katika shule yao.
Biti aliweza kumfahamisha mamake kuhusu matatizo ya Tabu. Ijapokuwa mamake hakuwa anamfahamu lakini, baada ya kuelewa shida alizokuwa akipitia, alimwambia Biti kuwa angependa kumwona. Mamake Biti hakuwa na biashara yenye mapato mazuri kwani alichokuwa akipata ilikuwa ya kijungu jiko. Ilitokea kisadfa kuwa siku aliyokuwa anfukuzwa shule kwa sababu ya kukosa karo ndio siku ambayo Biti alikutana na Tabu akirudi nyumbani kwani hakuwa anajihisi vizuri. Biti aliweza kumfahamisha kuwa mamake angependa kumwona.
Baada ya siku mbili, Tabu aliamka asubuhi kwenda kumwona mamake Biti. Mama mtu aliweza kuzungumza naye na mwishowe walifika kwa suluhisho ambayo ilikuwa ni kumpeleka shule mwaka ujao. Tabu kwa vile alikuwa na hamu ya kuenda shule, alimpa pesa ambazo alikuwa akiweka ili kumpunguzia mzingo. Tabu aliweza kurudi nyumbani huku akitiririkwa na machozi usiniulize yalikuwa ya heri au huzuni.
Wakati wote huu Tabu alikuwa akiishi na mjombake. Baada ya kufika nyumbani, mjombake alimwamia kwamba hawezi kuishi naye kwani Chifu wa kijiji alikuwa anafanya msako wa kuwanasa wazazi ambao watoto wao hawakuwa wanaenda shule. Basi ilimlazimisha Tabu afunge virango vyake na kwenda kuishi na akina Biti na hata kujiunga na shule ya upili. Matokeo yake ni kwamba alikuwa amewaongezea gharama ya maisha. Maisha hayakuwa rahisi kwa kuwa mapato hayakuwa ya kutosha, lakini, alilazimika kuishi kwani mwenye pupa hadiriki kula tamu. Aliweza kuyavumilia maisha hayo ijapokuwa tatizo ya karo ilikuwa ikibisha hodi kila mara, lakini mamake Biti aliwajibika hadi pale alipohitimu shule ya upili na kupata alama ya A+ na kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta na hapo ndipo alihitimu kama daktari. | Nani alihitimu chuo kikuu baada ya kukamilisha miaka sita | {
"text": [
"Tabu"
]
} |
1524_swa | CHOZI LA HERI
"Sijui nimshukuru vipi? Sijui nimpe zawadi gani? Lakini wacha nimwombee Mwenyezi Mungu amlinde, azidi kuishi duniani kwa miaka na mikaka." Hayo yalikuwa maneno ya Tabu baada ya kukamilisha miaka sita katika chuo kikuu. Jamii, familia na hata marafiki waliwajibika kwenda kushuhudia kuona akipata digri yake ya udaktari.
Tabu alipatwa na tabu baada ya kukamilisha shule ya msingi na kupata alama mia nne hamsini katika mtihani wa kitaifa. Lakini hata hivyo jahazi yake ilizama kwani wazazi wake hawakuweza kukimu masomo yake katika shule ya upili. Hivyo basi alilazimika kubaki nyumbani kwa mwaka mmoja baada ya wanafunzi ambao alikuwa akisoma nao wamekwishajiunga na shule ya upili. Basi maisha yake yalichukua mkondo mpya.
Baado ya Tabu karibu kuwabembeleza wazazi wake wawezee kumpeleka shule lakini maombi yake yaliambulia patupu kwani, hata yeye alikuwa akiona ufukara uliokuwa nyumbani kwao. Basi Tabu aliamua kupambana na hali yake, alijituma kuenda kutafuta riziki katika viwanda mbalimbali. Alifanikiwa kupata kazi katika kibanda kimoja. Ingawa malipo yake ilikuwa ya kijungu jiko, alilazimika kufanya kazi hiyo kwa kuwa alielewa kuwa mkono mtupu haurambwi. Ingawa malipo hayakuwa ya kuridhisha, alikuwa na ndoto ya kujipeleka shule kupitia kwa hela alizopata kutokana na kazi ile.
Tabu alitia bidii kwa kazi hiyo, alilazimika kuamka asubuhi kabla ya jogoo ya kwanza kuwika na kurudi usiku saa tatu. Baada ya miezi tisa, siku moja akitoka kazini alikutana na kipusa mmoja kwa jina Biti ambaye walikuwa wamesoma naye katika shule ya msingi. Baada ya kusemezana kuhusu ya kale, aliweza kumfamisha Biti kuwa hakuweza kujiunga na shule ya upili kutokana na hali ya wazazi wake. Biti alitaka kumkumbatia lakini moyo wake ulikanya kwani angemwongezea majonzi kwani, Tabu ndiye aliyeibuka wa kwanza katika shule yao.
Biti aliweza kumfahamisha mamake kuhusu matatizo ya Tabu. Ijapokuwa mamake hakuwa anamfahamu lakini, baada ya kuelewa shida alizokuwa akipitia, alimwambia Biti kuwa angependa kumwona. Mamake Biti hakuwa na biashara yenye mapato mazuri kwani alichokuwa akipata ilikuwa ya kijungu jiko. Ilitokea kisadfa kuwa siku aliyokuwa anfukuzwa shule kwa sababu ya kukosa karo ndio siku ambayo Biti alikutana na Tabu akirudi nyumbani kwani hakuwa anajihisi vizuri. Biti aliweza kumfahamisha kuwa mamake angependa kumwona.
Baada ya siku mbili, Tabu aliamka asubuhi kwenda kumwona mamake Biti. Mama mtu aliweza kuzungumza naye na mwishowe walifika kwa suluhisho ambayo ilikuwa ni kumpeleka shule mwaka ujao. Tabu kwa vile alikuwa na hamu ya kuenda shule, alimpa pesa ambazo alikuwa akiweka ili kumpunguzia mzingo. Tabu aliweza kurudi nyumbani huku akitiririkwa na machozi usiniulize yalikuwa ya heri au huzuni.
Wakati wote huu Tabu alikuwa akiishi na mjombake. Baada ya kufika nyumbani, mjombake alimwamia kwamba hawezi kuishi naye kwani Chifu wa kijiji alikuwa anafanya msako wa kuwanasa wazazi ambao watoto wao hawakuwa wanaenda shule. Basi ilimlazimisha Tabu afunge virango vyake na kwenda kuishi na akina Biti na hata kujiunga na shule ya upili. Matokeo yake ni kwamba alikuwa amewaongezea gharama ya maisha. Maisha hayakuwa rahisi kwa kuwa mapato hayakuwa ya kutosha, lakini, alilazimika kuishi kwani mwenye pupa hadiriki kula tamu. Aliweza kuyavumilia maisha hayo ijapokuwa tatizo ya karo ilikuwa ikibisha hodi kila mara, lakini mamake Biti aliwajibika hadi pale alipohitimu shule ya upili na kupata alama ya A+ na kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta na hapo ndipo alihitimu kama daktari. | Familia na marafiki walienda kushuhudia akipata digri yake ya nini | {
"text": [
"Udakitari"
]
} |
1524_swa | CHOZI LA HERI
"Sijui nimshukuru vipi? Sijui nimpe zawadi gani? Lakini wacha nimwombee Mwenyezi Mungu amlinde, azidi kuishi duniani kwa miaka na mikaka." Hayo yalikuwa maneno ya Tabu baada ya kukamilisha miaka sita katika chuo kikuu. Jamii, familia na hata marafiki waliwajibika kwenda kushuhudia kuona akipata digri yake ya udaktari.
Tabu alipatwa na tabu baada ya kukamilisha shule ya msingi na kupata alama mia nne hamsini katika mtihani wa kitaifa. Lakini hata hivyo jahazi yake ilizama kwani wazazi wake hawakuweza kukimu masomo yake katika shule ya upili. Hivyo basi alilazimika kubaki nyumbani kwa mwaka mmoja baada ya wanafunzi ambao alikuwa akisoma nao wamekwishajiunga na shule ya upili. Basi maisha yake yalichukua mkondo mpya.
Baado ya Tabu karibu kuwabembeleza wazazi wake wawezee kumpeleka shule lakini maombi yake yaliambulia patupu kwani, hata yeye alikuwa akiona ufukara uliokuwa nyumbani kwao. Basi Tabu aliamua kupambana na hali yake, alijituma kuenda kutafuta riziki katika viwanda mbalimbali. Alifanikiwa kupata kazi katika kibanda kimoja. Ingawa malipo yake ilikuwa ya kijungu jiko, alilazimika kufanya kazi hiyo kwa kuwa alielewa kuwa mkono mtupu haurambwi. Ingawa malipo hayakuwa ya kuridhisha, alikuwa na ndoto ya kujipeleka shule kupitia kwa hela alizopata kutokana na kazi ile.
Tabu alitia bidii kwa kazi hiyo, alilazimika kuamka asubuhi kabla ya jogoo ya kwanza kuwika na kurudi usiku saa tatu. Baada ya miezi tisa, siku moja akitoka kazini alikutana na kipusa mmoja kwa jina Biti ambaye walikuwa wamesoma naye katika shule ya msingi. Baada ya kusemezana kuhusu ya kale, aliweza kumfamisha Biti kuwa hakuweza kujiunga na shule ya upili kutokana na hali ya wazazi wake. Biti alitaka kumkumbatia lakini moyo wake ulikanya kwani angemwongezea majonzi kwani, Tabu ndiye aliyeibuka wa kwanza katika shule yao.
Biti aliweza kumfahamisha mamake kuhusu matatizo ya Tabu. Ijapokuwa mamake hakuwa anamfahamu lakini, baada ya kuelewa shida alizokuwa akipitia, alimwambia Biti kuwa angependa kumwona. Mamake Biti hakuwa na biashara yenye mapato mazuri kwani alichokuwa akipata ilikuwa ya kijungu jiko. Ilitokea kisadfa kuwa siku aliyokuwa anfukuzwa shule kwa sababu ya kukosa karo ndio siku ambayo Biti alikutana na Tabu akirudi nyumbani kwani hakuwa anajihisi vizuri. Biti aliweza kumfahamisha kuwa mamake angependa kumwona.
Baada ya siku mbili, Tabu aliamka asubuhi kwenda kumwona mamake Biti. Mama mtu aliweza kuzungumza naye na mwishowe walifika kwa suluhisho ambayo ilikuwa ni kumpeleka shule mwaka ujao. Tabu kwa vile alikuwa na hamu ya kuenda shule, alimpa pesa ambazo alikuwa akiweka ili kumpunguzia mzingo. Tabu aliweza kurudi nyumbani huku akitiririkwa na machozi usiniulize yalikuwa ya heri au huzuni.
Wakati wote huu Tabu alikuwa akiishi na mjombake. Baada ya kufika nyumbani, mjombake alimwamia kwamba hawezi kuishi naye kwani Chifu wa kijiji alikuwa anafanya msako wa kuwanasa wazazi ambao watoto wao hawakuwa wanaenda shule. Basi ilimlazimisha Tabu afunge virango vyake na kwenda kuishi na akina Biti na hata kujiunga na shule ya upili. Matokeo yake ni kwamba alikuwa amewaongezea gharama ya maisha. Maisha hayakuwa rahisi kwa kuwa mapato hayakuwa ya kutosha, lakini, alilazimika kuishi kwani mwenye pupa hadiriki kula tamu. Aliweza kuyavumilia maisha hayo ijapokuwa tatizo ya karo ilikuwa ikibisha hodi kila mara, lakini mamake Biti aliwajibika hadi pale alipohitimu shule ya upili na kupata alama ya A+ na kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta na hapo ndipo alihitimu kama daktari. | Baada ya kukamilisha shule ya msingi Tabu alilazimika kubaki nyumbani kwa muda gani | {
"text": [
"Mwaka mmoja"
]
} |
1524_swa | CHOZI LA HERI
"Sijui nimshukuru vipi? Sijui nimpe zawadi gani? Lakini wacha nimwombee Mwenyezi Mungu amlinde, azidi kuishi duniani kwa miaka na mikaka." Hayo yalikuwa maneno ya Tabu baada ya kukamilisha miaka sita katika chuo kikuu. Jamii, familia na hata marafiki waliwajibika kwenda kushuhudia kuona akipata digri yake ya udaktari.
Tabu alipatwa na tabu baada ya kukamilisha shule ya msingi na kupata alama mia nne hamsini katika mtihani wa kitaifa. Lakini hata hivyo jahazi yake ilizama kwani wazazi wake hawakuweza kukimu masomo yake katika shule ya upili. Hivyo basi alilazimika kubaki nyumbani kwa mwaka mmoja baada ya wanafunzi ambao alikuwa akisoma nao wamekwishajiunga na shule ya upili. Basi maisha yake yalichukua mkondo mpya.
Baado ya Tabu karibu kuwabembeleza wazazi wake wawezee kumpeleka shule lakini maombi yake yaliambulia patupu kwani, hata yeye alikuwa akiona ufukara uliokuwa nyumbani kwao. Basi Tabu aliamua kupambana na hali yake, alijituma kuenda kutafuta riziki katika viwanda mbalimbali. Alifanikiwa kupata kazi katika kibanda kimoja. Ingawa malipo yake ilikuwa ya kijungu jiko, alilazimika kufanya kazi hiyo kwa kuwa alielewa kuwa mkono mtupu haurambwi. Ingawa malipo hayakuwa ya kuridhisha, alikuwa na ndoto ya kujipeleka shule kupitia kwa hela alizopata kutokana na kazi ile.
Tabu alitia bidii kwa kazi hiyo, alilazimika kuamka asubuhi kabla ya jogoo ya kwanza kuwika na kurudi usiku saa tatu. Baada ya miezi tisa, siku moja akitoka kazini alikutana na kipusa mmoja kwa jina Biti ambaye walikuwa wamesoma naye katika shule ya msingi. Baada ya kusemezana kuhusu ya kale, aliweza kumfamisha Biti kuwa hakuweza kujiunga na shule ya upili kutokana na hali ya wazazi wake. Biti alitaka kumkumbatia lakini moyo wake ulikanya kwani angemwongezea majonzi kwani, Tabu ndiye aliyeibuka wa kwanza katika shule yao.
Biti aliweza kumfahamisha mamake kuhusu matatizo ya Tabu. Ijapokuwa mamake hakuwa anamfahamu lakini, baada ya kuelewa shida alizokuwa akipitia, alimwambia Biti kuwa angependa kumwona. Mamake Biti hakuwa na biashara yenye mapato mazuri kwani alichokuwa akipata ilikuwa ya kijungu jiko. Ilitokea kisadfa kuwa siku aliyokuwa anfukuzwa shule kwa sababu ya kukosa karo ndio siku ambayo Biti alikutana na Tabu akirudi nyumbani kwani hakuwa anajihisi vizuri. Biti aliweza kumfahamisha kuwa mamake angependa kumwona.
Baada ya siku mbili, Tabu aliamka asubuhi kwenda kumwona mamake Biti. Mama mtu aliweza kuzungumza naye na mwishowe walifika kwa suluhisho ambayo ilikuwa ni kumpeleka shule mwaka ujao. Tabu kwa vile alikuwa na hamu ya kuenda shule, alimpa pesa ambazo alikuwa akiweka ili kumpunguzia mzingo. Tabu aliweza kurudi nyumbani huku akitiririkwa na machozi usiniulize yalikuwa ya heri au huzuni.
Wakati wote huu Tabu alikuwa akiishi na mjombake. Baada ya kufika nyumbani, mjombake alimwamia kwamba hawezi kuishi naye kwani Chifu wa kijiji alikuwa anafanya msako wa kuwanasa wazazi ambao watoto wao hawakuwa wanaenda shule. Basi ilimlazimisha Tabu afunge virango vyake na kwenda kuishi na akina Biti na hata kujiunga na shule ya upili. Matokeo yake ni kwamba alikuwa amewaongezea gharama ya maisha. Maisha hayakuwa rahisi kwa kuwa mapato hayakuwa ya kutosha, lakini, alilazimika kuishi kwani mwenye pupa hadiriki kula tamu. Aliweza kuyavumilia maisha hayo ijapokuwa tatizo ya karo ilikuwa ikibisha hodi kila mara, lakini mamake Biti aliwajibika hadi pale alipohitimu shule ya upili na kupata alama ya A+ na kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta na hapo ndipo alihitimu kama daktari. | Wakati wote huu Tabu alikuwa akiishi na nani | {
"text": [
"Mjombake"
]
} |
1524_swa | CHOZI LA HERI
"Sijui nimshukuru vipi? Sijui nimpe zawadi gani? Lakini wacha nimwombee Mwenyezi Mungu amlinde, azidi kuishi duniani kwa miaka na mikaka." Hayo yalikuwa maneno ya Tabu baada ya kukamilisha miaka sita katika chuo kikuu. Jamii, familia na hata marafiki waliwajibika kwenda kushuhudia kuona akipata digri yake ya udaktari.
Tabu alipatwa na tabu baada ya kukamilisha shule ya msingi na kupata alama mia nne hamsini katika mtihani wa kitaifa. Lakini hata hivyo jahazi yake ilizama kwani wazazi wake hawakuweza kukimu masomo yake katika shule ya upili. Hivyo basi alilazimika kubaki nyumbani kwa mwaka mmoja baada ya wanafunzi ambao alikuwa akisoma nao wamekwishajiunga na shule ya upili. Basi maisha yake yalichukua mkondo mpya.
Baado ya Tabu karibu kuwabembeleza wazazi wake wawezee kumpeleka shule lakini maombi yake yaliambulia patupu kwani, hata yeye alikuwa akiona ufukara uliokuwa nyumbani kwao. Basi Tabu aliamua kupambana na hali yake, alijituma kuenda kutafuta riziki katika viwanda mbalimbali. Alifanikiwa kupata kazi katika kibanda kimoja. Ingawa malipo yake ilikuwa ya kijungu jiko, alilazimika kufanya kazi hiyo kwa kuwa alielewa kuwa mkono mtupu haurambwi. Ingawa malipo hayakuwa ya kuridhisha, alikuwa na ndoto ya kujipeleka shule kupitia kwa hela alizopata kutokana na kazi ile.
Tabu alitia bidii kwa kazi hiyo, alilazimika kuamka asubuhi kabla ya jogoo ya kwanza kuwika na kurudi usiku saa tatu. Baada ya miezi tisa, siku moja akitoka kazini alikutana na kipusa mmoja kwa jina Biti ambaye walikuwa wamesoma naye katika shule ya msingi. Baada ya kusemezana kuhusu ya kale, aliweza kumfamisha Biti kuwa hakuweza kujiunga na shule ya upili kutokana na hali ya wazazi wake. Biti alitaka kumkumbatia lakini moyo wake ulikanya kwani angemwongezea majonzi kwani, Tabu ndiye aliyeibuka wa kwanza katika shule yao.
Biti aliweza kumfahamisha mamake kuhusu matatizo ya Tabu. Ijapokuwa mamake hakuwa anamfahamu lakini, baada ya kuelewa shida alizokuwa akipitia, alimwambia Biti kuwa angependa kumwona. Mamake Biti hakuwa na biashara yenye mapato mazuri kwani alichokuwa akipata ilikuwa ya kijungu jiko. Ilitokea kisadfa kuwa siku aliyokuwa anfukuzwa shule kwa sababu ya kukosa karo ndio siku ambayo Biti alikutana na Tabu akirudi nyumbani kwani hakuwa anajihisi vizuri. Biti aliweza kumfahamisha kuwa mamake angependa kumwona.
Baada ya siku mbili, Tabu aliamka asubuhi kwenda kumwona mamake Biti. Mama mtu aliweza kuzungumza naye na mwishowe walifika kwa suluhisho ambayo ilikuwa ni kumpeleka shule mwaka ujao. Tabu kwa vile alikuwa na hamu ya kuenda shule, alimpa pesa ambazo alikuwa akiweka ili kumpunguzia mzingo. Tabu aliweza kurudi nyumbani huku akitiririkwa na machozi usiniulize yalikuwa ya heri au huzuni.
Wakati wote huu Tabu alikuwa akiishi na mjombake. Baada ya kufika nyumbani, mjombake alimwamia kwamba hawezi kuishi naye kwani Chifu wa kijiji alikuwa anafanya msako wa kuwanasa wazazi ambao watoto wao hawakuwa wanaenda shule. Basi ilimlazimisha Tabu afunge virango vyake na kwenda kuishi na akina Biti na hata kujiunga na shule ya upili. Matokeo yake ni kwamba alikuwa amewaongezea gharama ya maisha. Maisha hayakuwa rahisi kwa kuwa mapato hayakuwa ya kutosha, lakini, alilazimika kuishi kwani mwenye pupa hadiriki kula tamu. Aliweza kuyavumilia maisha hayo ijapokuwa tatizo ya karo ilikuwa ikibisha hodi kila mara, lakini mamake Biti aliwajibika hadi pale alipohitimu shule ya upili na kupata alama ya A+ na kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta na hapo ndipo alihitimu kama daktari. | Kwa nini mjombake hakuweza kuendelea kuishi naye | {
"text": [
"Kwa sababu chifu alikuwa anawanasa wazazi ambao watoto wao hawakuwa wanaenda shule"
]
} |
1525_swa | HOTUBA KUHUSU ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
"Naibu wa Rais, Gavana wetu, wabunge wenzangu pamoja na wananchi wazalendo, mjuavyo leo ni siku kuu ya mtoto msichana ulimwenguni. Mimi ni mtetezi wa haki za mtoto msichana. Niko hapa leo ili niwahutubie kuhusu umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii mzima. Msichana ndiye hushikilia familia yake kwa mikono yake mwenyewe, anaiporomosha yeye mwenyewe na pia kuijenga yeye mwenyewe. Msichana asiyeelimika ni aibu kwa familia yake. Jamii iliyo na wanawake walioelimika ni furaha kwa familia yako. Jamii ambayo ina wasichana walio elimika ni jamii yenye maendeleo ya hali ya juu. Nani kati yenu asiyependa maendeleo?
Kuelimisha msichana kunaondoa utegemezi katika tamaduni zetu. Msichana amechukuliwa kama kiumbe dhaifu , anayetegemea mwanaume kwa kila jambo kama mtu asiyeweza jambo lolote. Hii ni kwa sababu msichana hakupewa nafasi ya kwenda shule. Msichana anapoelimika, anapata ajira kwa haraka na kuwasaidia wanajamii wengine kulisukuma gurudumu la maisha.
Mtoto wa kike akielimishwa, ataepuka ndoa za mapema na pia kupinga ukeketaji. Jambo la ukeketaji limeleta madhara kwa wana wetu wa kike. Limeleta ukosefu wa amani katika jami zetu. Hiyo ni kinyume na sheria. Leo nimesimama hapa kupinga na kuwatetea wasichana wote duniani na yeyote yule atakayepatikana akimtendea mtoto michana hayo basi atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Wasichana wanalazimishwa katika ndoa za mapema kwa sababu ya mali. Nani hapa kati yenu anataka kumwona mtoto wake akihangaika? Nani? Asimame tumwone! Mbona kumtendea unyama? Jamani nasikitika sana nikimwona mtoto mchanga ampoozwa kwa mzee. Tafadhali wazazi wapendwa, tuwaelimishe wasichana wetu.
Mtoto msichana anapoelimishwa huleta usawa na kijinsia katika jamii. Husaidia wazazi wao kwa kila jambo. Elimu yao imefanya ashindane na mwanaume katika hadhi sawa katika maeneo ya kazi. Kuna nchi kadhaa ambazo zina wanawake marais.
Ningependa tuungane pamoja ili tuhakikishe wasichana wanasoma wote bila tashwishi yoyoto na bila kubaguliwa. Kila mtoto ana haki ya kusoma awe msichana au mvulana. Sitawachosha na mengi lakini nagwambia kuwa tukielimisha msichana, basi msichana huyo atapata nafasi ya kupiga kelele anaponyanyaswa na mwanaume au mwanamke mwenzake. Zamani, mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani anaponyanyaswa kwa kuwa hakuwa na mtetezi na pia hakuwa na elimu. Elimu kwake itampa nafasi ya kujitetea kwa ujasiri na nguvu za kupinga mambo mabaya yanapotokea.
Nawashukuru nyinyi nyoto kwa kutega masikio yenu kunsikiliza kwa makini. Asanteni." | Nani alikuwa anahutubia hadhira | {
"text": [
"Mbunge"
]
} |
1525_swa | HOTUBA KUHUSU ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
"Naibu wa Rais, Gavana wetu, wabunge wenzangu pamoja na wananchi wazalendo, mjuavyo leo ni siku kuu ya mtoto msichana ulimwenguni. Mimi ni mtetezi wa haki za mtoto msichana. Niko hapa leo ili niwahutubie kuhusu umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii mzima. Msichana ndiye hushikilia familia yake kwa mikono yake mwenyewe, anaiporomosha yeye mwenyewe na pia kuijenga yeye mwenyewe. Msichana asiyeelimika ni aibu kwa familia yake. Jamii iliyo na wanawake walioelimika ni furaha kwa familia yako. Jamii ambayo ina wasichana walio elimika ni jamii yenye maendeleo ya hali ya juu. Nani kati yenu asiyependa maendeleo?
Kuelimisha msichana kunaondoa utegemezi katika tamaduni zetu. Msichana amechukuliwa kama kiumbe dhaifu , anayetegemea mwanaume kwa kila jambo kama mtu asiyeweza jambo lolote. Hii ni kwa sababu msichana hakupewa nafasi ya kwenda shule. Msichana anapoelimika, anapata ajira kwa haraka na kuwasaidia wanajamii wengine kulisukuma gurudumu la maisha.
Mtoto wa kike akielimishwa, ataepuka ndoa za mapema na pia kupinga ukeketaji. Jambo la ukeketaji limeleta madhara kwa wana wetu wa kike. Limeleta ukosefu wa amani katika jami zetu. Hiyo ni kinyume na sheria. Leo nimesimama hapa kupinga na kuwatetea wasichana wote duniani na yeyote yule atakayepatikana akimtendea mtoto michana hayo basi atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Wasichana wanalazimishwa katika ndoa za mapema kwa sababu ya mali. Nani hapa kati yenu anataka kumwona mtoto wake akihangaika? Nani? Asimame tumwone! Mbona kumtendea unyama? Jamani nasikitika sana nikimwona mtoto mchanga ampoozwa kwa mzee. Tafadhali wazazi wapendwa, tuwaelimishe wasichana wetu.
Mtoto msichana anapoelimishwa huleta usawa na kijinsia katika jamii. Husaidia wazazi wao kwa kila jambo. Elimu yao imefanya ashindane na mwanaume katika hadhi sawa katika maeneo ya kazi. Kuna nchi kadhaa ambazo zina wanawake marais.
Ningependa tuungane pamoja ili tuhakikishe wasichana wanasoma wote bila tashwishi yoyoto na bila kubaguliwa. Kila mtoto ana haki ya kusoma awe msichana au mvulana. Sitawachosha na mengi lakini nagwambia kuwa tukielimisha msichana, basi msichana huyo atapata nafasi ya kupiga kelele anaponyanyaswa na mwanaume au mwanamke mwenzake. Zamani, mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani anaponyanyaswa kwa kuwa hakuwa na mtetezi na pia hakuwa na elimu. Elimu kwake itampa nafasi ya kujitetea kwa ujasiri na nguvu za kupinga mambo mabaya yanapotokea.
Nawashukuru nyinyi nyoto kwa kutega masikio yenu kunsikiliza kwa makini. Asanteni." | Maendeleo huletwa na nani katika jamii | {
"text": [
"Msichana aliyeelimika"
]
} |
1525_swa | HOTUBA KUHUSU ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
"Naibu wa Rais, Gavana wetu, wabunge wenzangu pamoja na wananchi wazalendo, mjuavyo leo ni siku kuu ya mtoto msichana ulimwenguni. Mimi ni mtetezi wa haki za mtoto msichana. Niko hapa leo ili niwahutubie kuhusu umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii mzima. Msichana ndiye hushikilia familia yake kwa mikono yake mwenyewe, anaiporomosha yeye mwenyewe na pia kuijenga yeye mwenyewe. Msichana asiyeelimika ni aibu kwa familia yake. Jamii iliyo na wanawake walioelimika ni furaha kwa familia yako. Jamii ambayo ina wasichana walio elimika ni jamii yenye maendeleo ya hali ya juu. Nani kati yenu asiyependa maendeleo?
Kuelimisha msichana kunaondoa utegemezi katika tamaduni zetu. Msichana amechukuliwa kama kiumbe dhaifu , anayetegemea mwanaume kwa kila jambo kama mtu asiyeweza jambo lolote. Hii ni kwa sababu msichana hakupewa nafasi ya kwenda shule. Msichana anapoelimika, anapata ajira kwa haraka na kuwasaidia wanajamii wengine kulisukuma gurudumu la maisha.
Mtoto wa kike akielimishwa, ataepuka ndoa za mapema na pia kupinga ukeketaji. Jambo la ukeketaji limeleta madhara kwa wana wetu wa kike. Limeleta ukosefu wa amani katika jami zetu. Hiyo ni kinyume na sheria. Leo nimesimama hapa kupinga na kuwatetea wasichana wote duniani na yeyote yule atakayepatikana akimtendea mtoto michana hayo basi atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Wasichana wanalazimishwa katika ndoa za mapema kwa sababu ya mali. Nani hapa kati yenu anataka kumwona mtoto wake akihangaika? Nani? Asimame tumwone! Mbona kumtendea unyama? Jamani nasikitika sana nikimwona mtoto mchanga ampoozwa kwa mzee. Tafadhali wazazi wapendwa, tuwaelimishe wasichana wetu.
Mtoto msichana anapoelimishwa huleta usawa na kijinsia katika jamii. Husaidia wazazi wao kwa kila jambo. Elimu yao imefanya ashindane na mwanaume katika hadhi sawa katika maeneo ya kazi. Kuna nchi kadhaa ambazo zina wanawake marais.
Ningependa tuungane pamoja ili tuhakikishe wasichana wanasoma wote bila tashwishi yoyoto na bila kubaguliwa. Kila mtoto ana haki ya kusoma awe msichana au mvulana. Sitawachosha na mengi lakini nagwambia kuwa tukielimisha msichana, basi msichana huyo atapata nafasi ya kupiga kelele anaponyanyaswa na mwanaume au mwanamke mwenzake. Zamani, mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani anaponyanyaswa kwa kuwa hakuwa na mtetezi na pia hakuwa na elimu. Elimu kwake itampa nafasi ya kujitetea kwa ujasiri na nguvu za kupinga mambo mabaya yanapotokea.
Nawashukuru nyinyi nyoto kwa kutega masikio yenu kunsikiliza kwa makini. Asanteni." | Elimu humwepusha mtoto wa kike kutokana na nini | {
"text": [
"Ukeketaji na ndoa za mapema"
]
} |
1525_swa | HOTUBA KUHUSU ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
"Naibu wa Rais, Gavana wetu, wabunge wenzangu pamoja na wananchi wazalendo, mjuavyo leo ni siku kuu ya mtoto msichana ulimwenguni. Mimi ni mtetezi wa haki za mtoto msichana. Niko hapa leo ili niwahutubie kuhusu umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii mzima. Msichana ndiye hushikilia familia yake kwa mikono yake mwenyewe, anaiporomosha yeye mwenyewe na pia kuijenga yeye mwenyewe. Msichana asiyeelimika ni aibu kwa familia yake. Jamii iliyo na wanawake walioelimika ni furaha kwa familia yako. Jamii ambayo ina wasichana walio elimika ni jamii yenye maendeleo ya hali ya juu. Nani kati yenu asiyependa maendeleo?
Kuelimisha msichana kunaondoa utegemezi katika tamaduni zetu. Msichana amechukuliwa kama kiumbe dhaifu , anayetegemea mwanaume kwa kila jambo kama mtu asiyeweza jambo lolote. Hii ni kwa sababu msichana hakupewa nafasi ya kwenda shule. Msichana anapoelimika, anapata ajira kwa haraka na kuwasaidia wanajamii wengine kulisukuma gurudumu la maisha.
Mtoto wa kike akielimishwa, ataepuka ndoa za mapema na pia kupinga ukeketaji. Jambo la ukeketaji limeleta madhara kwa wana wetu wa kike. Limeleta ukosefu wa amani katika jami zetu. Hiyo ni kinyume na sheria. Leo nimesimama hapa kupinga na kuwatetea wasichana wote duniani na yeyote yule atakayepatikana akimtendea mtoto michana hayo basi atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Wasichana wanalazimishwa katika ndoa za mapema kwa sababu ya mali. Nani hapa kati yenu anataka kumwona mtoto wake akihangaika? Nani? Asimame tumwone! Mbona kumtendea unyama? Jamani nasikitika sana nikimwona mtoto mchanga ampoozwa kwa mzee. Tafadhali wazazi wapendwa, tuwaelimishe wasichana wetu.
Mtoto msichana anapoelimishwa huleta usawa na kijinsia katika jamii. Husaidia wazazi wao kwa kila jambo. Elimu yao imefanya ashindane na mwanaume katika hadhi sawa katika maeneo ya kazi. Kuna nchi kadhaa ambazo zina wanawake marais.
Ningependa tuungane pamoja ili tuhakikishe wasichana wanasoma wote bila tashwishi yoyoto na bila kubaguliwa. Kila mtoto ana haki ya kusoma awe msichana au mvulana. Sitawachosha na mengi lakini nagwambia kuwa tukielimisha msichana, basi msichana huyo atapata nafasi ya kupiga kelele anaponyanyaswa na mwanaume au mwanamke mwenzake. Zamani, mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani anaponyanyaswa kwa kuwa hakuwa na mtetezi na pia hakuwa na elimu. Elimu kwake itampa nafasi ya kujitetea kwa ujasiri na nguvu za kupinga mambo mabaya yanapotokea.
Nawashukuru nyinyi nyoto kwa kutega masikio yenu kunsikiliza kwa makini. Asanteni." | Kujitetea,ujasiri na nguvu kwa msichana utatokana na yeye kupata nini | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
1525_swa | HOTUBA KUHUSU ELIMU YA MTOTO MSICHANA.
"Naibu wa Rais, Gavana wetu, wabunge wenzangu pamoja na wananchi wazalendo, mjuavyo leo ni siku kuu ya mtoto msichana ulimwenguni. Mimi ni mtetezi wa haki za mtoto msichana. Niko hapa leo ili niwahutubie kuhusu umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii mzima. Msichana ndiye hushikilia familia yake kwa mikono yake mwenyewe, anaiporomosha yeye mwenyewe na pia kuijenga yeye mwenyewe. Msichana asiyeelimika ni aibu kwa familia yake. Jamii iliyo na wanawake walioelimika ni furaha kwa familia yako. Jamii ambayo ina wasichana walio elimika ni jamii yenye maendeleo ya hali ya juu. Nani kati yenu asiyependa maendeleo?
Kuelimisha msichana kunaondoa utegemezi katika tamaduni zetu. Msichana amechukuliwa kama kiumbe dhaifu , anayetegemea mwanaume kwa kila jambo kama mtu asiyeweza jambo lolote. Hii ni kwa sababu msichana hakupewa nafasi ya kwenda shule. Msichana anapoelimika, anapata ajira kwa haraka na kuwasaidia wanajamii wengine kulisukuma gurudumu la maisha.
Mtoto wa kike akielimishwa, ataepuka ndoa za mapema na pia kupinga ukeketaji. Jambo la ukeketaji limeleta madhara kwa wana wetu wa kike. Limeleta ukosefu wa amani katika jami zetu. Hiyo ni kinyume na sheria. Leo nimesimama hapa kupinga na kuwatetea wasichana wote duniani na yeyote yule atakayepatikana akimtendea mtoto michana hayo basi atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Wasichana wanalazimishwa katika ndoa za mapema kwa sababu ya mali. Nani hapa kati yenu anataka kumwona mtoto wake akihangaika? Nani? Asimame tumwone! Mbona kumtendea unyama? Jamani nasikitika sana nikimwona mtoto mchanga ampoozwa kwa mzee. Tafadhali wazazi wapendwa, tuwaelimishe wasichana wetu.
Mtoto msichana anapoelimishwa huleta usawa na kijinsia katika jamii. Husaidia wazazi wao kwa kila jambo. Elimu yao imefanya ashindane na mwanaume katika hadhi sawa katika maeneo ya kazi. Kuna nchi kadhaa ambazo zina wanawake marais.
Ningependa tuungane pamoja ili tuhakikishe wasichana wanasoma wote bila tashwishi yoyoto na bila kubaguliwa. Kila mtoto ana haki ya kusoma awe msichana au mvulana. Sitawachosha na mengi lakini nagwambia kuwa tukielimisha msichana, basi msichana huyo atapata nafasi ya kupiga kelele anaponyanyaswa na mwanaume au mwanamke mwenzake. Zamani, mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani anaponyanyaswa kwa kuwa hakuwa na mtetezi na pia hakuwa na elimu. Elimu kwake itampa nafasi ya kujitetea kwa ujasiri na nguvu za kupinga mambo mabaya yanapotokea.
Nawashukuru nyinyi nyoto kwa kutega masikio yenu kunsikiliza kwa makini. Asanteni." | Mtoto wa kike akielimishwa anaweza kuwa nani | {
"text": [
"Rais wa Kenya"
]
} |
1527_swa | MARADHI YA KIPINDUPINDU.
"Wageni waheshimiwa, wakuu wa elimu, wauguzi, walimu, wazazi na wanafunzi, hamjambo. Nimefurahi mno na kukuridhikia kufika kwenu kwenye mkutano huu kuzungumzia suala muhimu la maradhi ya kipindupindu. Ugonjwa huu huwapata wote, wakubwa kwa wadogo. Kila mja amezishuhudia hasara ambazo zimesababishwa na maradhi haya. Swali ni je, tufanyeje kukabiliana na uwele huu? Cchukua hatua popote ulipo. Kumbuka hatua huanza na mtu binafsi
Njia moja ambayo imesababisha kuenea kwa maradhi haya ni uchafu ulio katika mazingira yetu. Baadhi ya chemchemi za maji tunazotegemea zimemejaa takataka, ilhali tunatumia maji hayo kupika na hata kunywa. Si hayo ndiyo mauti ya kujitakia? Jinsi nyingine ya kupata ugonjwa au maradhi haya ni kula vyakula visivyo visafi hasa zile zinazouzwa sokoni. Mfano ni kama vile maembe. Ni heri tungamue ukweli kuwa usafi ni jambo mahususi katika kukomesha maradhi haya.
Haijalishi vyakula vina sura nzuri kiasi gani, muhimu ni ikiwa ni safi. Hatuna budi kukabiliana na janga hili tukiwa imara. Zipo hatua kadhaa zinazofaa kuchukuliwa taratibu iwapo tunakusudia kuangamiza kipindupindu. Tuhakikisheni kwamba vyakula tulayyo ni visafi. Pia ni muhimu kunawa mikono pindi tunapotoka maliwatoni, kuosha vyombo vinavyo tumika kwenye upishi viwe safi na tufike hopitalini kuchunguzwa kikamilifu kila tunapokumbana na msimu wa ndwele zozote. Tusidhihaki maradhi yoyote au ishara zozote za kuugua. Wengine wetu huyanywa maji machafu na maji yoyote yatokayo kwenye vidimbwi na mabwawa. Hawaoni umuhimu wa kuchemsha maji na vyakula. Madaktari nanyi msilaze damu, kagueni mazingira yote.
Tusipuuze kuripoti visa vya maradhi kama haya. Janga hili linaweza kuwapeleka watu wengi jongomeo kwa sababu ni hatari sana. Janga hili ni hatari sana. Kutozingatia sheria za kawaida kama vile kunawa mikono baada ya kutoka msalani na kula vyakula viuzavyo masokoni ni chanzo cha maafa haya. Wauza nyama katika buchari hawana budi kuhitimu tusije tukaangamia machoni pa matapeli wasio na chembe cha huruma. Huenda nyama tuzilazo zikatokana na hayawani kama vila paka. Kumbuka si kila king’aacho huwa dhahabu.
Tudumishe usafi na kuwa makini katika afya zetu kwani maisha ni kama yai, lisilostahili kusimama kwenye ncha ya kidole. Tazama namna kideri huwlimaliza ndege hususan kuku vizimbani. Basi wapenzi wasikilizaji ninapolikunja jamvi, baada ya nyie kuyatii niliyoyasema, si tu kwa kujifaidi bali muweze kuzinduka na kujua ukweli wa mambo. Mjue kwamba kinga ni bora kuliko tiba. Myati niliyosema na mtaishi kwa bahati ya Muumba wetu na tuwe safi na tudumishe usafi wa kila mahali. Asanteni." | Hasara zimesababishwa na maradhi yepi | {
"text": [
"waba"
]
} |
1527_swa | MARADHI YA KIPINDUPINDU.
"Wageni waheshimiwa, wakuu wa elimu, wauguzi, walimu, wazazi na wanafunzi, hamjambo. Nimefurahi mno na kukuridhikia kufika kwenu kwenye mkutano huu kuzungumzia suala muhimu la maradhi ya kipindupindu. Ugonjwa huu huwapata wote, wakubwa kwa wadogo. Kila mja amezishuhudia hasara ambazo zimesababishwa na maradhi haya. Swali ni je, tufanyeje kukabiliana na uwele huu? Cchukua hatua popote ulipo. Kumbuka hatua huanza na mtu binafsi
Njia moja ambayo imesababisha kuenea kwa maradhi haya ni uchafu ulio katika mazingira yetu. Baadhi ya chemchemi za maji tunazotegemea zimemejaa takataka, ilhali tunatumia maji hayo kupika na hata kunywa. Si hayo ndiyo mauti ya kujitakia? Jinsi nyingine ya kupata ugonjwa au maradhi haya ni kula vyakula visivyo visafi hasa zile zinazouzwa sokoni. Mfano ni kama vile maembe. Ni heri tungamue ukweli kuwa usafi ni jambo mahususi katika kukomesha maradhi haya.
Haijalishi vyakula vina sura nzuri kiasi gani, muhimu ni ikiwa ni safi. Hatuna budi kukabiliana na janga hili tukiwa imara. Zipo hatua kadhaa zinazofaa kuchukuliwa taratibu iwapo tunakusudia kuangamiza kipindupindu. Tuhakikisheni kwamba vyakula tulayyo ni visafi. Pia ni muhimu kunawa mikono pindi tunapotoka maliwatoni, kuosha vyombo vinavyo tumika kwenye upishi viwe safi na tufike hopitalini kuchunguzwa kikamilifu kila tunapokumbana na msimu wa ndwele zozote. Tusidhihaki maradhi yoyote au ishara zozote za kuugua. Wengine wetu huyanywa maji machafu na maji yoyote yatokayo kwenye vidimbwi na mabwawa. Hawaoni umuhimu wa kuchemsha maji na vyakula. Madaktari nanyi msilaze damu, kagueni mazingira yote.
Tusipuuze kuripoti visa vya maradhi kama haya. Janga hili linaweza kuwapeleka watu wengi jongomeo kwa sababu ni hatari sana. Janga hili ni hatari sana. Kutozingatia sheria za kawaida kama vile kunawa mikono baada ya kutoka msalani na kula vyakula viuzavyo masokoni ni chanzo cha maafa haya. Wauza nyama katika buchari hawana budi kuhitimu tusije tukaangamia machoni pa matapeli wasio na chembe cha huruma. Huenda nyama tuzilazo zikatokana na hayawani kama vila paka. Kumbuka si kila king’aacho huwa dhahabu.
Tudumishe usafi na kuwa makini katika afya zetu kwani maisha ni kama yai, lisilostahili kusimama kwenye ncha ya kidole. Tazama namna kideri huwlimaliza ndege hususan kuku vizimbani. Basi wapenzi wasikilizaji ninapolikunja jamvi, baada ya nyie kuyatii niliyoyasema, si tu kwa kujifaidi bali muweze kuzinduka na kujua ukweli wa mambo. Mjue kwamba kinga ni bora kuliko tiba. Myati niliyosema na mtaishi kwa bahati ya Muumba wetu na tuwe safi na tudumishe usafi wa kila mahali. Asanteni." | Kuenea kwa maradhi kunatokana na ukosefu wa usafi wa wapi | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1527_swa | MARADHI YA KIPINDUPINDU.
"Wageni waheshimiwa, wakuu wa elimu, wauguzi, walimu, wazazi na wanafunzi, hamjambo. Nimefurahi mno na kukuridhikia kufika kwenu kwenye mkutano huu kuzungumzia suala muhimu la maradhi ya kipindupindu. Ugonjwa huu huwapata wote, wakubwa kwa wadogo. Kila mja amezishuhudia hasara ambazo zimesababishwa na maradhi haya. Swali ni je, tufanyeje kukabiliana na uwele huu? Cchukua hatua popote ulipo. Kumbuka hatua huanza na mtu binafsi
Njia moja ambayo imesababisha kuenea kwa maradhi haya ni uchafu ulio katika mazingira yetu. Baadhi ya chemchemi za maji tunazotegemea zimemejaa takataka, ilhali tunatumia maji hayo kupika na hata kunywa. Si hayo ndiyo mauti ya kujitakia? Jinsi nyingine ya kupata ugonjwa au maradhi haya ni kula vyakula visivyo visafi hasa zile zinazouzwa sokoni. Mfano ni kama vile maembe. Ni heri tungamue ukweli kuwa usafi ni jambo mahususi katika kukomesha maradhi haya.
Haijalishi vyakula vina sura nzuri kiasi gani, muhimu ni ikiwa ni safi. Hatuna budi kukabiliana na janga hili tukiwa imara. Zipo hatua kadhaa zinazofaa kuchukuliwa taratibu iwapo tunakusudia kuangamiza kipindupindu. Tuhakikisheni kwamba vyakula tulayyo ni visafi. Pia ni muhimu kunawa mikono pindi tunapotoka maliwatoni, kuosha vyombo vinavyo tumika kwenye upishi viwe safi na tufike hopitalini kuchunguzwa kikamilifu kila tunapokumbana na msimu wa ndwele zozote. Tusidhihaki maradhi yoyote au ishara zozote za kuugua. Wengine wetu huyanywa maji machafu na maji yoyote yatokayo kwenye vidimbwi na mabwawa. Hawaoni umuhimu wa kuchemsha maji na vyakula. Madaktari nanyi msilaze damu, kagueni mazingira yote.
Tusipuuze kuripoti visa vya maradhi kama haya. Janga hili linaweza kuwapeleka watu wengi jongomeo kwa sababu ni hatari sana. Janga hili ni hatari sana. Kutozingatia sheria za kawaida kama vile kunawa mikono baada ya kutoka msalani na kula vyakula viuzavyo masokoni ni chanzo cha maafa haya. Wauza nyama katika buchari hawana budi kuhitimu tusije tukaangamia machoni pa matapeli wasio na chembe cha huruma. Huenda nyama tuzilazo zikatokana na hayawani kama vila paka. Kumbuka si kila king’aacho huwa dhahabu.
Tudumishe usafi na kuwa makini katika afya zetu kwani maisha ni kama yai, lisilostahili kusimama kwenye ncha ya kidole. Tazama namna kideri huwlimaliza ndege hususan kuku vizimbani. Basi wapenzi wasikilizaji ninapolikunja jamvi, baada ya nyie kuyatii niliyoyasema, si tu kwa kujifaidi bali muweze kuzinduka na kujua ukweli wa mambo. Mjue kwamba kinga ni bora kuliko tiba. Myati niliyosema na mtaishi kwa bahati ya Muumba wetu na tuwe safi na tudumishe usafi wa kila mahali. Asanteni." | Wengine wao hunywa gani machafu yatokayo kwenye vidimbwi na mabwawa | {
"text": [
"Maji"
]
} |
1527_swa | MARADHI YA KIPINDUPINDU.
"Wageni waheshimiwa, wakuu wa elimu, wauguzi, walimu, wazazi na wanafunzi, hamjambo. Nimefurahi mno na kukuridhikia kufika kwenu kwenye mkutano huu kuzungumzia suala muhimu la maradhi ya kipindupindu. Ugonjwa huu huwapata wote, wakubwa kwa wadogo. Kila mja amezishuhudia hasara ambazo zimesababishwa na maradhi haya. Swali ni je, tufanyeje kukabiliana na uwele huu? Cchukua hatua popote ulipo. Kumbuka hatua huanza na mtu binafsi
Njia moja ambayo imesababisha kuenea kwa maradhi haya ni uchafu ulio katika mazingira yetu. Baadhi ya chemchemi za maji tunazotegemea zimemejaa takataka, ilhali tunatumia maji hayo kupika na hata kunywa. Si hayo ndiyo mauti ya kujitakia? Jinsi nyingine ya kupata ugonjwa au maradhi haya ni kula vyakula visivyo visafi hasa zile zinazouzwa sokoni. Mfano ni kama vile maembe. Ni heri tungamue ukweli kuwa usafi ni jambo mahususi katika kukomesha maradhi haya.
Haijalishi vyakula vina sura nzuri kiasi gani, muhimu ni ikiwa ni safi. Hatuna budi kukabiliana na janga hili tukiwa imara. Zipo hatua kadhaa zinazofaa kuchukuliwa taratibu iwapo tunakusudia kuangamiza kipindupindu. Tuhakikisheni kwamba vyakula tulayyo ni visafi. Pia ni muhimu kunawa mikono pindi tunapotoka maliwatoni, kuosha vyombo vinavyo tumika kwenye upishi viwe safi na tufike hopitalini kuchunguzwa kikamilifu kila tunapokumbana na msimu wa ndwele zozote. Tusidhihaki maradhi yoyote au ishara zozote za kuugua. Wengine wetu huyanywa maji machafu na maji yoyote yatokayo kwenye vidimbwi na mabwawa. Hawaoni umuhimu wa kuchemsha maji na vyakula. Madaktari nanyi msilaze damu, kagueni mazingira yote.
Tusipuuze kuripoti visa vya maradhi kama haya. Janga hili linaweza kuwapeleka watu wengi jongomeo kwa sababu ni hatari sana. Janga hili ni hatari sana. Kutozingatia sheria za kawaida kama vile kunawa mikono baada ya kutoka msalani na kula vyakula viuzavyo masokoni ni chanzo cha maafa haya. Wauza nyama katika buchari hawana budi kuhitimu tusije tukaangamia machoni pa matapeli wasio na chembe cha huruma. Huenda nyama tuzilazo zikatokana na hayawani kama vila paka. Kumbuka si kila king’aacho huwa dhahabu.
Tudumishe usafi na kuwa makini katika afya zetu kwani maisha ni kama yai, lisilostahili kusimama kwenye ncha ya kidole. Tazama namna kideri huwlimaliza ndege hususan kuku vizimbani. Basi wapenzi wasikilizaji ninapolikunja jamvi, baada ya nyie kuyatii niliyoyasema, si tu kwa kujifaidi bali muweze kuzinduka na kujua ukweli wa mambo. Mjue kwamba kinga ni bora kuliko tiba. Myati niliyosema na mtaishi kwa bahati ya Muumba wetu na tuwe safi na tudumishe usafi wa kila mahali. Asanteni." | Janga limewapeleka wengi wapi | {
"text": [
"Jongomeo"
]
} |
1527_swa | MARADHI YA KIPINDUPINDU.
"Wageni waheshimiwa, wakuu wa elimu, wauguzi, walimu, wazazi na wanafunzi, hamjambo. Nimefurahi mno na kukuridhikia kufika kwenu kwenye mkutano huu kuzungumzia suala muhimu la maradhi ya kipindupindu. Ugonjwa huu huwapata wote, wakubwa kwa wadogo. Kila mja amezishuhudia hasara ambazo zimesababishwa na maradhi haya. Swali ni je, tufanyeje kukabiliana na uwele huu? Cchukua hatua popote ulipo. Kumbuka hatua huanza na mtu binafsi
Njia moja ambayo imesababisha kuenea kwa maradhi haya ni uchafu ulio katika mazingira yetu. Baadhi ya chemchemi za maji tunazotegemea zimemejaa takataka, ilhali tunatumia maji hayo kupika na hata kunywa. Si hayo ndiyo mauti ya kujitakia? Jinsi nyingine ya kupata ugonjwa au maradhi haya ni kula vyakula visivyo visafi hasa zile zinazouzwa sokoni. Mfano ni kama vile maembe. Ni heri tungamue ukweli kuwa usafi ni jambo mahususi katika kukomesha maradhi haya.
Haijalishi vyakula vina sura nzuri kiasi gani, muhimu ni ikiwa ni safi. Hatuna budi kukabiliana na janga hili tukiwa imara. Zipo hatua kadhaa zinazofaa kuchukuliwa taratibu iwapo tunakusudia kuangamiza kipindupindu. Tuhakikisheni kwamba vyakula tulayyo ni visafi. Pia ni muhimu kunawa mikono pindi tunapotoka maliwatoni, kuosha vyombo vinavyo tumika kwenye upishi viwe safi na tufike hopitalini kuchunguzwa kikamilifu kila tunapokumbana na msimu wa ndwele zozote. Tusidhihaki maradhi yoyote au ishara zozote za kuugua. Wengine wetu huyanywa maji machafu na maji yoyote yatokayo kwenye vidimbwi na mabwawa. Hawaoni umuhimu wa kuchemsha maji na vyakula. Madaktari nanyi msilaze damu, kagueni mazingira yote.
Tusipuuze kuripoti visa vya maradhi kama haya. Janga hili linaweza kuwapeleka watu wengi jongomeo kwa sababu ni hatari sana. Janga hili ni hatari sana. Kutozingatia sheria za kawaida kama vile kunawa mikono baada ya kutoka msalani na kula vyakula viuzavyo masokoni ni chanzo cha maafa haya. Wauza nyama katika buchari hawana budi kuhitimu tusije tukaangamia machoni pa matapeli wasio na chembe cha huruma. Huenda nyama tuzilazo zikatokana na hayawani kama vila paka. Kumbuka si kila king’aacho huwa dhahabu.
Tudumishe usafi na kuwa makini katika afya zetu kwani maisha ni kama yai, lisilostahili kusimama kwenye ncha ya kidole. Tazama namna kideri huwlimaliza ndege hususan kuku vizimbani. Basi wapenzi wasikilizaji ninapolikunja jamvi, baada ya nyie kuyatii niliyoyasema, si tu kwa kujifaidi bali muweze kuzinduka na kujua ukweli wa mambo. Mjue kwamba kinga ni bora kuliko tiba. Myati niliyosema na mtaishi kwa bahati ya Muumba wetu na tuwe safi na tudumishe usafi wa kila mahali. Asanteni." | Ni nini haistahili kusimama kwa ncha ya kidole | {
"text": [
"yai"
]
} |
1528_swa | HOTUBA KUHUSU TABIA NJEMA.
"Kwa mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu wenzangu, wavyele na wanafunzi wapendwa hamjambo? Kwa wale ambao hawanifahamu mimi ni mwalimu Ken Walibora ambaye alikuwa mwanafunzi katika shule hii miaka kadhaa iliyopita. Kwanza tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai ili tuweze kufika hapa. Leo hii nina furaha furifuri kusimama mbele yenu ile kuzungumza kuhusu tabia njema.
Kwanza, wanafunzi mfahamu kwamba tabia ni muhimu kwa mwanadamu. Kokote utakakokwenda, tabia yako huwa pamoja nawe.Ndipo hasa wahenga na wahenguzi hawakukosa waliponena kuwa tabia ni kioo cha mwili. Tabia njema kwa mwanadamu huwa kama mwangaza unaomtoa kwenye giza la dhiki. Ukiwa na tabia mbaya huwezi kufaulu katika maisha ya kisasa kwa kuwa hakuna atakayeweza kukusaidia ukiwa kwa shida.
Tabia njema huanza kwa walimu na wazazi, kwa hivyo ningependa kuwakumbusha muwe funzo kwa wanafunzi hawa kwa kuwatendea mema kwa kuwa mwana hutazama kisogo cha ninaye. Mjue kwamba wanafunzi hawa ndio walimu, madaktari na hata mawaziri wa kesho. Tukiwa na hulka murua itakuwa funzo kwao kuwa na tabia nzuri.
Wanafunzi wapendwa, mjue kwamba huwezi kupita mitihani kama una tabia mbaya. Je, mmewahi kumwona mwanafunzi yeyote mwenye tabia mbaya akipita mitihani yake? Pia, heshima ni hali ya tabia njema. Mimi nilipokuwa rika kama lenu, niliheshimu wazazi wangu na tabia yangu nzuri ndiyo imenifanya niwe mtu wa maana. Kadhalika, ieleweke ya kwamba tabia ni ngozi ya mwili.
Hivi ni kusema kuwa, usipojihadhari na kujizuia kutenda mabaya, tabia mbovu itakuganda kama gundi. Jaribu iwezekanavyo ujikinge na yafuatayo. Kwanza, haifai mtu kuwa mkaidi kama punda. Hata kama u mjuzi au mrembo, vile vile uwe na umbo jamali, haifai kuringa kama tausi. Hiyo ni tabia ya kiburi ambayo haimfai mwanadamu mwemye mwenendo mwema.
Isitoshe, hatufai kujiingiza katikati ya mambo ya watu. Mjihusishe na shughuli zenu tu, mjiepushe na mambo ya wengine maana hayakuhusu ndwewe wala sikio! Nyakati zimekuwa mbaya kwa hivyo ni afadhali kujihadhari. Ni vizuri pia wanafunzi wawe na marafiki haba wenye sifa murua kuliko kuwa na wengi wabaya. Rafiki mbaya hata kama mnajuana vilivyo heri ubaidike naye kama ardhi na mbingu.
Ninapohitimisha nataka kuwaambia kwamba muwe wanafunzi wenye hulka murua ili muweze kuwa watu wa maana katika siku za usoni. Ninawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi kwa kutia masikio yenu ndi ili kusikiliza hotuba yangu. Mnaporudi makwenu mfunze jamaa na marafiki kuhusu tabia nzuri. Mungu awe nanyi na muwe na siku njema.Asanteni." | Taarifa inazungumza kuhusu nini? | {
"text": [
"Tabia njema"
]
} |
1528_swa | HOTUBA KUHUSU TABIA NJEMA.
"Kwa mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu wenzangu, wavyele na wanafunzi wapendwa hamjambo? Kwa wale ambao hawanifahamu mimi ni mwalimu Ken Walibora ambaye alikuwa mwanafunzi katika shule hii miaka kadhaa iliyopita. Kwanza tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai ili tuweze kufika hapa. Leo hii nina furaha furifuri kusimama mbele yenu ile kuzungumza kuhusu tabia njema.
Kwanza, wanafunzi mfahamu kwamba tabia ni muhimu kwa mwanadamu. Kokote utakakokwenda, tabia yako huwa pamoja nawe.Ndipo hasa wahenga na wahenguzi hawakukosa waliponena kuwa tabia ni kioo cha mwili. Tabia njema kwa mwanadamu huwa kama mwangaza unaomtoa kwenye giza la dhiki. Ukiwa na tabia mbaya huwezi kufaulu katika maisha ya kisasa kwa kuwa hakuna atakayeweza kukusaidia ukiwa kwa shida.
Tabia njema huanza kwa walimu na wazazi, kwa hivyo ningependa kuwakumbusha muwe funzo kwa wanafunzi hawa kwa kuwatendea mema kwa kuwa mwana hutazama kisogo cha ninaye. Mjue kwamba wanafunzi hawa ndio walimu, madaktari na hata mawaziri wa kesho. Tukiwa na hulka murua itakuwa funzo kwao kuwa na tabia nzuri.
Wanafunzi wapendwa, mjue kwamba huwezi kupita mitihani kama una tabia mbaya. Je, mmewahi kumwona mwanafunzi yeyote mwenye tabia mbaya akipita mitihani yake? Pia, heshima ni hali ya tabia njema. Mimi nilipokuwa rika kama lenu, niliheshimu wazazi wangu na tabia yangu nzuri ndiyo imenifanya niwe mtu wa maana. Kadhalika, ieleweke ya kwamba tabia ni ngozi ya mwili.
Hivi ni kusema kuwa, usipojihadhari na kujizuia kutenda mabaya, tabia mbovu itakuganda kama gundi. Jaribu iwezekanavyo ujikinge na yafuatayo. Kwanza, haifai mtu kuwa mkaidi kama punda. Hata kama u mjuzi au mrembo, vile vile uwe na umbo jamali, haifai kuringa kama tausi. Hiyo ni tabia ya kiburi ambayo haimfai mwanadamu mwemye mwenendo mwema.
Isitoshe, hatufai kujiingiza katikati ya mambo ya watu. Mjihusishe na shughuli zenu tu, mjiepushe na mambo ya wengine maana hayakuhusu ndwewe wala sikio! Nyakati zimekuwa mbaya kwa hivyo ni afadhali kujihadhari. Ni vizuri pia wanafunzi wawe na marafiki haba wenye sifa murua kuliko kuwa na wengi wabaya. Rafiki mbaya hata kama mnajuana vilivyo heri ubaidike naye kama ardhi na mbingu.
Ninapohitimisha nataka kuwaambia kwamba muwe wanafunzi wenye hulka murua ili muweze kuwa watu wa maana katika siku za usoni. Ninawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi kwa kutia masikio yenu ndi ili kusikiliza hotuba yangu. Mnaporudi makwenu mfunze jamaa na marafiki kuhusu tabia nzuri. Mungu awe nanyi na muwe na siku njema.Asanteni." | Wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema nini? | {
"text": [
"Tabia ni kia cha mwili"
]
} |
1528_swa | HOTUBA KUHUSU TABIA NJEMA.
"Kwa mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu wenzangu, wavyele na wanafunzi wapendwa hamjambo? Kwa wale ambao hawanifahamu mimi ni mwalimu Ken Walibora ambaye alikuwa mwanafunzi katika shule hii miaka kadhaa iliyopita. Kwanza tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai ili tuweze kufika hapa. Leo hii nina furaha furifuri kusimama mbele yenu ile kuzungumza kuhusu tabia njema.
Kwanza, wanafunzi mfahamu kwamba tabia ni muhimu kwa mwanadamu. Kokote utakakokwenda, tabia yako huwa pamoja nawe.Ndipo hasa wahenga na wahenguzi hawakukosa waliponena kuwa tabia ni kioo cha mwili. Tabia njema kwa mwanadamu huwa kama mwangaza unaomtoa kwenye giza la dhiki. Ukiwa na tabia mbaya huwezi kufaulu katika maisha ya kisasa kwa kuwa hakuna atakayeweza kukusaidia ukiwa kwa shida.
Tabia njema huanza kwa walimu na wazazi, kwa hivyo ningependa kuwakumbusha muwe funzo kwa wanafunzi hawa kwa kuwatendea mema kwa kuwa mwana hutazama kisogo cha ninaye. Mjue kwamba wanafunzi hawa ndio walimu, madaktari na hata mawaziri wa kesho. Tukiwa na hulka murua itakuwa funzo kwao kuwa na tabia nzuri.
Wanafunzi wapendwa, mjue kwamba huwezi kupita mitihani kama una tabia mbaya. Je, mmewahi kumwona mwanafunzi yeyote mwenye tabia mbaya akipita mitihani yake? Pia, heshima ni hali ya tabia njema. Mimi nilipokuwa rika kama lenu, niliheshimu wazazi wangu na tabia yangu nzuri ndiyo imenifanya niwe mtu wa maana. Kadhalika, ieleweke ya kwamba tabia ni ngozi ya mwili.
Hivi ni kusema kuwa, usipojihadhari na kujizuia kutenda mabaya, tabia mbovu itakuganda kama gundi. Jaribu iwezekanavyo ujikinge na yafuatayo. Kwanza, haifai mtu kuwa mkaidi kama punda. Hata kama u mjuzi au mrembo, vile vile uwe na umbo jamali, haifai kuringa kama tausi. Hiyo ni tabia ya kiburi ambayo haimfai mwanadamu mwemye mwenendo mwema.
Isitoshe, hatufai kujiingiza katikati ya mambo ya watu. Mjihusishe na shughuli zenu tu, mjiepushe na mambo ya wengine maana hayakuhusu ndwewe wala sikio! Nyakati zimekuwa mbaya kwa hivyo ni afadhali kujihadhari. Ni vizuri pia wanafunzi wawe na marafiki haba wenye sifa murua kuliko kuwa na wengi wabaya. Rafiki mbaya hata kama mnajuana vilivyo heri ubaidike naye kama ardhi na mbingu.
Ninapohitimisha nataka kuwaambia kwamba muwe wanafunzi wenye hulka murua ili muweze kuwa watu wa maana katika siku za usoni. Ninawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi kwa kutia masikio yenu ndi ili kusikiliza hotuba yangu. Mnaporudi makwenu mfunze jamaa na marafiki kuhusu tabia nzuri. Mungu awe nanyi na muwe na siku njema.Asanteni." | Nani ndiye chenzo cha tabia njema? | {
"text": [
"Walimu na wazazi"
]
} |
1528_swa | HOTUBA KUHUSU TABIA NJEMA.
"Kwa mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu wenzangu, wavyele na wanafunzi wapendwa hamjambo? Kwa wale ambao hawanifahamu mimi ni mwalimu Ken Walibora ambaye alikuwa mwanafunzi katika shule hii miaka kadhaa iliyopita. Kwanza tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai ili tuweze kufika hapa. Leo hii nina furaha furifuri kusimama mbele yenu ile kuzungumza kuhusu tabia njema.
Kwanza, wanafunzi mfahamu kwamba tabia ni muhimu kwa mwanadamu. Kokote utakakokwenda, tabia yako huwa pamoja nawe.Ndipo hasa wahenga na wahenguzi hawakukosa waliponena kuwa tabia ni kioo cha mwili. Tabia njema kwa mwanadamu huwa kama mwangaza unaomtoa kwenye giza la dhiki. Ukiwa na tabia mbaya huwezi kufaulu katika maisha ya kisasa kwa kuwa hakuna atakayeweza kukusaidia ukiwa kwa shida.
Tabia njema huanza kwa walimu na wazazi, kwa hivyo ningependa kuwakumbusha muwe funzo kwa wanafunzi hawa kwa kuwatendea mema kwa kuwa mwana hutazama kisogo cha ninaye. Mjue kwamba wanafunzi hawa ndio walimu, madaktari na hata mawaziri wa kesho. Tukiwa na hulka murua itakuwa funzo kwao kuwa na tabia nzuri.
Wanafunzi wapendwa, mjue kwamba huwezi kupita mitihani kama una tabia mbaya. Je, mmewahi kumwona mwanafunzi yeyote mwenye tabia mbaya akipita mitihani yake? Pia, heshima ni hali ya tabia njema. Mimi nilipokuwa rika kama lenu, niliheshimu wazazi wangu na tabia yangu nzuri ndiyo imenifanya niwe mtu wa maana. Kadhalika, ieleweke ya kwamba tabia ni ngozi ya mwili.
Hivi ni kusema kuwa, usipojihadhari na kujizuia kutenda mabaya, tabia mbovu itakuganda kama gundi. Jaribu iwezekanavyo ujikinge na yafuatayo. Kwanza, haifai mtu kuwa mkaidi kama punda. Hata kama u mjuzi au mrembo, vile vile uwe na umbo jamali, haifai kuringa kama tausi. Hiyo ni tabia ya kiburi ambayo haimfai mwanadamu mwemye mwenendo mwema.
Isitoshe, hatufai kujiingiza katikati ya mambo ya watu. Mjihusishe na shughuli zenu tu, mjiepushe na mambo ya wengine maana hayakuhusu ndwewe wala sikio! Nyakati zimekuwa mbaya kwa hivyo ni afadhali kujihadhari. Ni vizuri pia wanafunzi wawe na marafiki haba wenye sifa murua kuliko kuwa na wengi wabaya. Rafiki mbaya hata kama mnajuana vilivyo heri ubaidike naye kama ardhi na mbingu.
Ninapohitimisha nataka kuwaambia kwamba muwe wanafunzi wenye hulka murua ili muweze kuwa watu wa maana katika siku za usoni. Ninawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi kwa kutia masikio yenu ndi ili kusikiliza hotuba yangu. Mnaporudi makwenu mfunze jamaa na marafiki kuhusu tabia nzuri. Mungu awe nanyi na muwe na siku njema.Asanteni." | Kizingiti kikuu katika kupasi mitihani ni nini? | {
"text": [
"Tabia hasi ya wanafunzi"
]
} |
1528_swa | HOTUBA KUHUSU TABIA NJEMA.
"Kwa mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu wenzangu, wavyele na wanafunzi wapendwa hamjambo? Kwa wale ambao hawanifahamu mimi ni mwalimu Ken Walibora ambaye alikuwa mwanafunzi katika shule hii miaka kadhaa iliyopita. Kwanza tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai ili tuweze kufika hapa. Leo hii nina furaha furifuri kusimama mbele yenu ile kuzungumza kuhusu tabia njema.
Kwanza, wanafunzi mfahamu kwamba tabia ni muhimu kwa mwanadamu. Kokote utakakokwenda, tabia yako huwa pamoja nawe.Ndipo hasa wahenga na wahenguzi hawakukosa waliponena kuwa tabia ni kioo cha mwili. Tabia njema kwa mwanadamu huwa kama mwangaza unaomtoa kwenye giza la dhiki. Ukiwa na tabia mbaya huwezi kufaulu katika maisha ya kisasa kwa kuwa hakuna atakayeweza kukusaidia ukiwa kwa shida.
Tabia njema huanza kwa walimu na wazazi, kwa hivyo ningependa kuwakumbusha muwe funzo kwa wanafunzi hawa kwa kuwatendea mema kwa kuwa mwana hutazama kisogo cha ninaye. Mjue kwamba wanafunzi hawa ndio walimu, madaktari na hata mawaziri wa kesho. Tukiwa na hulka murua itakuwa funzo kwao kuwa na tabia nzuri.
Wanafunzi wapendwa, mjue kwamba huwezi kupita mitihani kama una tabia mbaya. Je, mmewahi kumwona mwanafunzi yeyote mwenye tabia mbaya akipita mitihani yake? Pia, heshima ni hali ya tabia njema. Mimi nilipokuwa rika kama lenu, niliheshimu wazazi wangu na tabia yangu nzuri ndiyo imenifanya niwe mtu wa maana. Kadhalika, ieleweke ya kwamba tabia ni ngozi ya mwili.
Hivi ni kusema kuwa, usipojihadhari na kujizuia kutenda mabaya, tabia mbovu itakuganda kama gundi. Jaribu iwezekanavyo ujikinge na yafuatayo. Kwanza, haifai mtu kuwa mkaidi kama punda. Hata kama u mjuzi au mrembo, vile vile uwe na umbo jamali, haifai kuringa kama tausi. Hiyo ni tabia ya kiburi ambayo haimfai mwanadamu mwemye mwenendo mwema.
Isitoshe, hatufai kujiingiza katikati ya mambo ya watu. Mjihusishe na shughuli zenu tu, mjiepushe na mambo ya wengine maana hayakuhusu ndwewe wala sikio! Nyakati zimekuwa mbaya kwa hivyo ni afadhali kujihadhari. Ni vizuri pia wanafunzi wawe na marafiki haba wenye sifa murua kuliko kuwa na wengi wabaya. Rafiki mbaya hata kama mnajuana vilivyo heri ubaidike naye kama ardhi na mbingu.
Ninapohitimisha nataka kuwaambia kwamba muwe wanafunzi wenye hulka murua ili muweze kuwa watu wa maana katika siku za usoni. Ninawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi kwa kutia masikio yenu ndi ili kusikiliza hotuba yangu. Mnaporudi makwenu mfunze jamaa na marafiki kuhusu tabia nzuri. Mungu awe nanyi na muwe na siku njema.Asanteni." | Unastahili kutenda yapi ili kuwa na tabia bora? | {
"text": [
"Kutokuwa mkaidi kama punda"
]
} |
1531_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA KUIMARISHA UCHUMI NCHINI
Kutokana na kilimo, nchi ya Kenya imeweza kuimarika kwa njia zifuatazo:
Kubumiwa kwa nafasi za ajira nchini.
Watu wameweza kujiajiri wenyewe kwa kujishugulisha na kilimo aina ainanti. Hawa hufanya kazi katika mashamba yao na kujipa riziki. Wapo watu wengine ambao hufanya kazi katika viwanda mbalimbali vinavyotegemea kilimo kama vile viwanda vya kusaga mahindi, sukari na viwanda vya maziwa. Watu hawa hulipa kodi kwa nchi na hivyo nchi hurmarika kiuchumi.
Kuimarika kwa miundo msingi nchini.
Miundo msingi kama vile barabara na reli imebuniwa ili kusafirisha bidhaa za kilimo kwenye viwanda mbali mbali na pia kusafirisha bidhaa zilizokamilika na zilizo tayari kwa matumizi kutoka viwandani hadi sokoni. Pia usafiri wa ndege ambao hutumiwa hasa kusafirisha maua kutoka nchini hadi nchi za ng'ambo umeimarishwa na teknolojia ya kisasa. Kupitia haya, nchi inazidi kuimarika kila uchao.
Pesa za kigeni.
Bidhaa za kilimo kama vile maua, matunda, sharubati na nyama husafirishwa hadi mataifa ya kigeni. Nchi ya Kenya hupokea pesa za kigeni kutokana na bidhaa hizi. Pesa hizi hutumiwa kuimarisha huduma za afya, elimu na miundo msingi nchini.
Kupitia kilimo, nchi ya Kenya imeweza kujitegemea na kujitosheleza kwa chakula. Hii imesaidia serikali kutumia pesa ambazo ingetumia kuagiza chakula kutoka mataifa ya kigeni kuimarisha nchi.
Kilimo kimehakikisha kuwa kuna matumizi bora ya rasilimali za nchi kama madini, maji na misitu. Maji kwa mfano hutumiwa katika unyunyizaji wa mashamba ya vyakula. Misitu hutumiwa kusafisha mazingira.
Kilimo kimeimarisha nyanja ya utafiti nchini ili kuhakikisha kuwa kuna mbegu zinazotoa mazao mengi na mifugo wenye faida nyingi kwa wakulima. Hii husaidia pia katika kujua mbegu ambazo hunawiri na kufanya vyema katika sehemu mbali mbali za nchi.
Kilimo hufanya vyema nchini na hivyo kimewavutia wawekezaji kutoka mataifa ya kigeni ambao wamewekeza humu nchini kwa kupanda vyakula, kufuga mifugo na pia upanzi wa maua hasa kule Naivasha. Wawekezaji hawa wameweza kutoa nafasi za kazi kwa vijana nchini na hivyo kuimarisha uchumi wa nchi na kuleta maendeleo.
Kuchipuka kwa viwanda nchini
Bidhaa za kilimo hutumiwa viwandani katika kutengeneza bidhaa na vitu vya thamani. Hii imesababisha kuzuka kwa viwanda vinavyohusika na hivyo kuimarisha nchí kiuchumi. | Watu wanapofanya kazi kwa mashamba yao wanatafuta nini | {
"text": [
"riziki"
]
} |
1531_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA KUIMARISHA UCHUMI NCHINI
Kutokana na kilimo, nchi ya Kenya imeweza kuimarika kwa njia zifuatazo:
Kubumiwa kwa nafasi za ajira nchini.
Watu wameweza kujiajiri wenyewe kwa kujishugulisha na kilimo aina ainanti. Hawa hufanya kazi katika mashamba yao na kujipa riziki. Wapo watu wengine ambao hufanya kazi katika viwanda mbalimbali vinavyotegemea kilimo kama vile viwanda vya kusaga mahindi, sukari na viwanda vya maziwa. Watu hawa hulipa kodi kwa nchi na hivyo nchi hurmarika kiuchumi.
Kuimarika kwa miundo msingi nchini.
Miundo msingi kama vile barabara na reli imebuniwa ili kusafirisha bidhaa za kilimo kwenye viwanda mbali mbali na pia kusafirisha bidhaa zilizokamilika na zilizo tayari kwa matumizi kutoka viwandani hadi sokoni. Pia usafiri wa ndege ambao hutumiwa hasa kusafirisha maua kutoka nchini hadi nchi za ng'ambo umeimarishwa na teknolojia ya kisasa. Kupitia haya, nchi inazidi kuimarika kila uchao.
Pesa za kigeni.
Bidhaa za kilimo kama vile maua, matunda, sharubati na nyama husafirishwa hadi mataifa ya kigeni. Nchi ya Kenya hupokea pesa za kigeni kutokana na bidhaa hizi. Pesa hizi hutumiwa kuimarisha huduma za afya, elimu na miundo msingi nchini.
Kupitia kilimo, nchi ya Kenya imeweza kujitegemea na kujitosheleza kwa chakula. Hii imesaidia serikali kutumia pesa ambazo ingetumia kuagiza chakula kutoka mataifa ya kigeni kuimarisha nchi.
Kilimo kimehakikisha kuwa kuna matumizi bora ya rasilimali za nchi kama madini, maji na misitu. Maji kwa mfano hutumiwa katika unyunyizaji wa mashamba ya vyakula. Misitu hutumiwa kusafisha mazingira.
Kilimo kimeimarisha nyanja ya utafiti nchini ili kuhakikisha kuwa kuna mbegu zinazotoa mazao mengi na mifugo wenye faida nyingi kwa wakulima. Hii husaidia pia katika kujua mbegu ambazo hunawiri na kufanya vyema katika sehemu mbali mbali za nchi.
Kilimo hufanya vyema nchini na hivyo kimewavutia wawekezaji kutoka mataifa ya kigeni ambao wamewekeza humu nchini kwa kupanda vyakula, kufuga mifugo na pia upanzi wa maua hasa kule Naivasha. Wawekezaji hawa wameweza kutoa nafasi za kazi kwa vijana nchini na hivyo kuimarisha uchumi wa nchi na kuleta maendeleo.
Kuchipuka kwa viwanda nchini
Bidhaa za kilimo hutumiwa viwandani katika kutengeneza bidhaa na vitu vya thamani. Hii imesababisha kuzuka kwa viwanda vinavyohusika na hivyo kuimarisha nchí kiuchumi. | Kodi inayolipwa hutumiwa kufanya nini | {
"text": [
"kuendelesha nchi kimaendeleo"
]
} |
1531_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA KUIMARISHA UCHUMI NCHINI
Kutokana na kilimo, nchi ya Kenya imeweza kuimarika kwa njia zifuatazo:
Kubumiwa kwa nafasi za ajira nchini.
Watu wameweza kujiajiri wenyewe kwa kujishugulisha na kilimo aina ainanti. Hawa hufanya kazi katika mashamba yao na kujipa riziki. Wapo watu wengine ambao hufanya kazi katika viwanda mbalimbali vinavyotegemea kilimo kama vile viwanda vya kusaga mahindi, sukari na viwanda vya maziwa. Watu hawa hulipa kodi kwa nchi na hivyo nchi hurmarika kiuchumi.
Kuimarika kwa miundo msingi nchini.
Miundo msingi kama vile barabara na reli imebuniwa ili kusafirisha bidhaa za kilimo kwenye viwanda mbali mbali na pia kusafirisha bidhaa zilizokamilika na zilizo tayari kwa matumizi kutoka viwandani hadi sokoni. Pia usafiri wa ndege ambao hutumiwa hasa kusafirisha maua kutoka nchini hadi nchi za ng'ambo umeimarishwa na teknolojia ya kisasa. Kupitia haya, nchi inazidi kuimarika kila uchao.
Pesa za kigeni.
Bidhaa za kilimo kama vile maua, matunda, sharubati na nyama husafirishwa hadi mataifa ya kigeni. Nchi ya Kenya hupokea pesa za kigeni kutokana na bidhaa hizi. Pesa hizi hutumiwa kuimarisha huduma za afya, elimu na miundo msingi nchini.
Kupitia kilimo, nchi ya Kenya imeweza kujitegemea na kujitosheleza kwa chakula. Hii imesaidia serikali kutumia pesa ambazo ingetumia kuagiza chakula kutoka mataifa ya kigeni kuimarisha nchi.
Kilimo kimehakikisha kuwa kuna matumizi bora ya rasilimali za nchi kama madini, maji na misitu. Maji kwa mfano hutumiwa katika unyunyizaji wa mashamba ya vyakula. Misitu hutumiwa kusafisha mazingira.
Kilimo kimeimarisha nyanja ya utafiti nchini ili kuhakikisha kuwa kuna mbegu zinazotoa mazao mengi na mifugo wenye faida nyingi kwa wakulima. Hii husaidia pia katika kujua mbegu ambazo hunawiri na kufanya vyema katika sehemu mbali mbali za nchi.
Kilimo hufanya vyema nchini na hivyo kimewavutia wawekezaji kutoka mataifa ya kigeni ambao wamewekeza humu nchini kwa kupanda vyakula, kufuga mifugo na pia upanzi wa maua hasa kule Naivasha. Wawekezaji hawa wameweza kutoa nafasi za kazi kwa vijana nchini na hivyo kuimarisha uchumi wa nchi na kuleta maendeleo.
Kuchipuka kwa viwanda nchini
Bidhaa za kilimo hutumiwa viwandani katika kutengeneza bidhaa na vitu vya thamani. Hii imesababisha kuzuka kwa viwanda vinavyohusika na hivyo kuimarisha nchí kiuchumi. | Nini kimesaidia usafirishaji wa bidhaa kutoka shambani hadi viwandani | {
"text": [
"barabara na reli"
]
} |
1531_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA KUIMARISHA UCHUMI NCHINI
Kutokana na kilimo, nchi ya Kenya imeweza kuimarika kwa njia zifuatazo:
Kubumiwa kwa nafasi za ajira nchini.
Watu wameweza kujiajiri wenyewe kwa kujishugulisha na kilimo aina ainanti. Hawa hufanya kazi katika mashamba yao na kujipa riziki. Wapo watu wengine ambao hufanya kazi katika viwanda mbalimbali vinavyotegemea kilimo kama vile viwanda vya kusaga mahindi, sukari na viwanda vya maziwa. Watu hawa hulipa kodi kwa nchi na hivyo nchi hurmarika kiuchumi.
Kuimarika kwa miundo msingi nchini.
Miundo msingi kama vile barabara na reli imebuniwa ili kusafirisha bidhaa za kilimo kwenye viwanda mbali mbali na pia kusafirisha bidhaa zilizokamilika na zilizo tayari kwa matumizi kutoka viwandani hadi sokoni. Pia usafiri wa ndege ambao hutumiwa hasa kusafirisha maua kutoka nchini hadi nchi za ng'ambo umeimarishwa na teknolojia ya kisasa. Kupitia haya, nchi inazidi kuimarika kila uchao.
Pesa za kigeni.
Bidhaa za kilimo kama vile maua, matunda, sharubati na nyama husafirishwa hadi mataifa ya kigeni. Nchi ya Kenya hupokea pesa za kigeni kutokana na bidhaa hizi. Pesa hizi hutumiwa kuimarisha huduma za afya, elimu na miundo msingi nchini.
Kupitia kilimo, nchi ya Kenya imeweza kujitegemea na kujitosheleza kwa chakula. Hii imesaidia serikali kutumia pesa ambazo ingetumia kuagiza chakula kutoka mataifa ya kigeni kuimarisha nchi.
Kilimo kimehakikisha kuwa kuna matumizi bora ya rasilimali za nchi kama madini, maji na misitu. Maji kwa mfano hutumiwa katika unyunyizaji wa mashamba ya vyakula. Misitu hutumiwa kusafisha mazingira.
Kilimo kimeimarisha nyanja ya utafiti nchini ili kuhakikisha kuwa kuna mbegu zinazotoa mazao mengi na mifugo wenye faida nyingi kwa wakulima. Hii husaidia pia katika kujua mbegu ambazo hunawiri na kufanya vyema katika sehemu mbali mbali za nchi.
Kilimo hufanya vyema nchini na hivyo kimewavutia wawekezaji kutoka mataifa ya kigeni ambao wamewekeza humu nchini kwa kupanda vyakula, kufuga mifugo na pia upanzi wa maua hasa kule Naivasha. Wawekezaji hawa wameweza kutoa nafasi za kazi kwa vijana nchini na hivyo kuimarisha uchumi wa nchi na kuleta maendeleo.
Kuchipuka kwa viwanda nchini
Bidhaa za kilimo hutumiwa viwandani katika kutengeneza bidhaa na vitu vya thamani. Hii imesababisha kuzuka kwa viwanda vinavyohusika na hivyo kuimarisha nchí kiuchumi. | Bidhaa husafirishwa kutoka shambani mpaka viwandani lini | {
"text": [
"wakati ziko tayari"
]
} |
1531_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA KUIMARISHA UCHUMI NCHINI
Kutokana na kilimo, nchi ya Kenya imeweza kuimarika kwa njia zifuatazo:
Kubumiwa kwa nafasi za ajira nchini.
Watu wameweza kujiajiri wenyewe kwa kujishugulisha na kilimo aina ainanti. Hawa hufanya kazi katika mashamba yao na kujipa riziki. Wapo watu wengine ambao hufanya kazi katika viwanda mbalimbali vinavyotegemea kilimo kama vile viwanda vya kusaga mahindi, sukari na viwanda vya maziwa. Watu hawa hulipa kodi kwa nchi na hivyo nchi hurmarika kiuchumi.
Kuimarika kwa miundo msingi nchini.
Miundo msingi kama vile barabara na reli imebuniwa ili kusafirisha bidhaa za kilimo kwenye viwanda mbali mbali na pia kusafirisha bidhaa zilizokamilika na zilizo tayari kwa matumizi kutoka viwandani hadi sokoni. Pia usafiri wa ndege ambao hutumiwa hasa kusafirisha maua kutoka nchini hadi nchi za ng'ambo umeimarishwa na teknolojia ya kisasa. Kupitia haya, nchi inazidi kuimarika kila uchao.
Pesa za kigeni.
Bidhaa za kilimo kama vile maua, matunda, sharubati na nyama husafirishwa hadi mataifa ya kigeni. Nchi ya Kenya hupokea pesa za kigeni kutokana na bidhaa hizi. Pesa hizi hutumiwa kuimarisha huduma za afya, elimu na miundo msingi nchini.
Kupitia kilimo, nchi ya Kenya imeweza kujitegemea na kujitosheleza kwa chakula. Hii imesaidia serikali kutumia pesa ambazo ingetumia kuagiza chakula kutoka mataifa ya kigeni kuimarisha nchi.
Kilimo kimehakikisha kuwa kuna matumizi bora ya rasilimali za nchi kama madini, maji na misitu. Maji kwa mfano hutumiwa katika unyunyizaji wa mashamba ya vyakula. Misitu hutumiwa kusafisha mazingira.
Kilimo kimeimarisha nyanja ya utafiti nchini ili kuhakikisha kuwa kuna mbegu zinazotoa mazao mengi na mifugo wenye faida nyingi kwa wakulima. Hii husaidia pia katika kujua mbegu ambazo hunawiri na kufanya vyema katika sehemu mbali mbali za nchi.
Kilimo hufanya vyema nchini na hivyo kimewavutia wawekezaji kutoka mataifa ya kigeni ambao wamewekeza humu nchini kwa kupanda vyakula, kufuga mifugo na pia upanzi wa maua hasa kule Naivasha. Wawekezaji hawa wameweza kutoa nafasi za kazi kwa vijana nchini na hivyo kuimarisha uchumi wa nchi na kuleta maendeleo.
Kuchipuka kwa viwanda nchini
Bidhaa za kilimo hutumiwa viwandani katika kutengeneza bidhaa na vitu vya thamani. Hii imesababisha kuzuka kwa viwanda vinavyohusika na hivyo kuimarisha nchí kiuchumi. | Kilimo kimeimarisha nyanja za utafiti kivipi | {
"text": [
"mbegu kuhakikishwa zinazotoa mazao mengi na kuna mifugo wenye faida"
]
} |
1532_swa | NDOA YATIBUKA
Kime alikuwa amejiandaa kuingia katika awamu nyingine kabisa ya maisha. Alisubiri kubadilisha majina yake, alikuwa kachoshwa mno kuitwa Mhum, Kapera, Kinukamito, Hanithi na Machagu. Baadhi ya majina hayo hayakuelezea hali halisi aliyokuwemo, ila ni kwa sababu ya kukosa heshima miongoni mwa baadhi ya wanajamii kutokana na hali iliyomzingira. Chambilecho wahenga upweke ni uvundo.
Wazee wa kwao na wahenga waliwasili nyumbani mwa Bwana Kimo. Walileta ujumbe wa kuthibitisha posa na ndoa kati ya Kime na Kimada. Kime alisubiri kwa hamu na ghamu ujumbe kutoka kwa washanga wake kama mama mjamzito asubirivyo wakati wa zingizi. Waama, jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Kulingana na mkataba wa awali, ilikuwa imeafikiwa kuwa ndoa au akidi kati ya wawili hawa ingefanyika ndani ya majuma mawili yajayo.
Wazee waliketi kitako huku kila mmoja akiwa na uso ulioashiria zaidi ya yaliyosubiriwa. Mzee Kidemo alifungua mdomo kama ilivyo kawaida yake huku wengino wakitulia tuama na kumpa fursa Kidamo kupasua mbarika. Alianza Kidomo “kwendako mena hurudi mema ila leo hii huenda msemo huu haukuwa upande wetu.” Moyo ulianza kumpapa, Kime alijikaza kiume , mume ni mume ingawa gumegume na sifa za mtume.
"Mara ya kwanza tulipoenda kwa mzee Mkali kuuliza mkono wa ndoa tulipokelewa kwa taadhima na wakati huo mkewa, Bi Kilahi, hakuwa. Mambo yalitengenea wazee tukaongea kama waswahili wanaojuana kwa vilemba mkataba ukaafikiwa tukiachana kwa amani hata tukiwa tumekwisha afikiana siku ya kufunga ndoa. Hapo, Kime alikodoa macho pima zaidi na moyo ukampapa hata nusura uondoke kifuani ukapumzike!
Leo tumempata Bi Mlahi na mambo yakaenda shoro, kumbe palipo na wazee hapaharibiki neno hadi wanawake waingilie kati! Bi Mlahi amekuja na masharti yake mapya na hali ilivyo amemzidi mumewe nguvu. Mosi amesema harusi ya bintiye sharti iwe ya kifahari na vyakula viagizwe kutoka nje ya nchi, kiwango cha mahari kiwe maradufu ya kile tulichokubaliana awali. Binti yake hawezi ozwa wala kuishi na mwanamume ambaye hajaenda shuleni kama wewe maana mtazaa watoto mbumbumbu mzungu wa reli, aidha mbele wala nyuma maskini wa sina sinani nikiulizwa siungami. Hayo yasitoshe, anamtaka mwanamume mwenye miraba minne na wala si gofu na nyundo kama wewe!
Hatukutaka kuendelea kumpa masikio yetu tulikata kauli ya kuondoka bila ya kuaga tulipoona mzee mwenzetu hana uwezo juu ya mkewe, hatukutaka kumwagiwa mkojo wa maneno yanayoshusha hadhi ya mwanamume mwenzetu maskioni, tulihiari kuondoka na ndo maana tuko hapa kukupa nususi ya mambo."
Kime katika mawazo yake alifikia mwisho wa kuwaza, alikuwa amemaliza kuwaza sasa anawazua. Alianza kujidharau maana kati ya haya yote hakuna hata moja ambalo angelitimiza kwa sasa, alisononeka, akawa anajiuliza kilichomleta duniani, kama ni kutosoma haikuwa kupenda kwake, ni ulitima uliovuruga nasaba yake naye akawa yatima baada ya wazazi wake kufa kutokana na hali isiyoeleweka. Ni mapenzi hayana adabu. Mapenzi ni kama mgomba usiomea changarewani, ndoa sasa ikawa imeingia doa. | Nani alikuwa amechoka kuitwa mhuni | {
"text": [
"Kime"
]
} |
1532_swa | NDOA YATIBUKA
Kime alikuwa amejiandaa kuingia katika awamu nyingine kabisa ya maisha. Alisubiri kubadilisha majina yake, alikuwa kachoshwa mno kuitwa Mhum, Kapera, Kinukamito, Hanithi na Machagu. Baadhi ya majina hayo hayakuelezea hali halisi aliyokuwemo, ila ni kwa sababu ya kukosa heshima miongoni mwa baadhi ya wanajamii kutokana na hali iliyomzingira. Chambilecho wahenga upweke ni uvundo.
Wazee wa kwao na wahenga waliwasili nyumbani mwa Bwana Kimo. Walileta ujumbe wa kuthibitisha posa na ndoa kati ya Kime na Kimada. Kime alisubiri kwa hamu na ghamu ujumbe kutoka kwa washanga wake kama mama mjamzito asubirivyo wakati wa zingizi. Waama, jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Kulingana na mkataba wa awali, ilikuwa imeafikiwa kuwa ndoa au akidi kati ya wawili hawa ingefanyika ndani ya majuma mawili yajayo.
Wazee waliketi kitako huku kila mmoja akiwa na uso ulioashiria zaidi ya yaliyosubiriwa. Mzee Kidemo alifungua mdomo kama ilivyo kawaida yake huku wengino wakitulia tuama na kumpa fursa Kidamo kupasua mbarika. Alianza Kidomo “kwendako mena hurudi mema ila leo hii huenda msemo huu haukuwa upande wetu.” Moyo ulianza kumpapa, Kime alijikaza kiume , mume ni mume ingawa gumegume na sifa za mtume.
"Mara ya kwanza tulipoenda kwa mzee Mkali kuuliza mkono wa ndoa tulipokelewa kwa taadhima na wakati huo mkewa, Bi Kilahi, hakuwa. Mambo yalitengenea wazee tukaongea kama waswahili wanaojuana kwa vilemba mkataba ukaafikiwa tukiachana kwa amani hata tukiwa tumekwisha afikiana siku ya kufunga ndoa. Hapo, Kime alikodoa macho pima zaidi na moyo ukampapa hata nusura uondoke kifuani ukapumzike!
Leo tumempata Bi Mlahi na mambo yakaenda shoro, kumbe palipo na wazee hapaharibiki neno hadi wanawake waingilie kati! Bi Mlahi amekuja na masharti yake mapya na hali ilivyo amemzidi mumewe nguvu. Mosi amesema harusi ya bintiye sharti iwe ya kifahari na vyakula viagizwe kutoka nje ya nchi, kiwango cha mahari kiwe maradufu ya kile tulichokubaliana awali. Binti yake hawezi ozwa wala kuishi na mwanamume ambaye hajaenda shuleni kama wewe maana mtazaa watoto mbumbumbu mzungu wa reli, aidha mbele wala nyuma maskini wa sina sinani nikiulizwa siungami. Hayo yasitoshe, anamtaka mwanamume mwenye miraba minne na wala si gofu na nyundo kama wewe!
Hatukutaka kuendelea kumpa masikio yetu tulikata kauli ya kuondoka bila ya kuaga tulipoona mzee mwenzetu hana uwezo juu ya mkewe, hatukutaka kumwagiwa mkojo wa maneno yanayoshusha hadhi ya mwanamume mwenzetu maskioni, tulihiari kuondoka na ndo maana tuko hapa kukupa nususi ya mambo."
Kime katika mawazo yake alifikia mwisho wa kuwaza, alikuwa amemaliza kuwaza sasa anawazua. Alianza kujidharau maana kati ya haya yote hakuna hata moja ambalo angelitimiza kwa sasa, alisononeka, akawa anajiuliza kilichomleta duniani, kama ni kutosoma haikuwa kupenda kwake, ni ulitima uliovuruga nasaba yake naye akawa yatima baada ya wazazi wake kufa kutokana na hali isiyoeleweka. Ni mapenzi hayana adabu. Mapenzi ni kama mgomba usiomea changarewani, ndoa sasa ikawa imeingia doa. | Upweke ni nini | {
"text": [
"Uvundo"
]
} |
1532_swa | NDOA YATIBUKA
Kime alikuwa amejiandaa kuingia katika awamu nyingine kabisa ya maisha. Alisubiri kubadilisha majina yake, alikuwa kachoshwa mno kuitwa Mhum, Kapera, Kinukamito, Hanithi na Machagu. Baadhi ya majina hayo hayakuelezea hali halisi aliyokuwemo, ila ni kwa sababu ya kukosa heshima miongoni mwa baadhi ya wanajamii kutokana na hali iliyomzingira. Chambilecho wahenga upweke ni uvundo.
Wazee wa kwao na wahenga waliwasili nyumbani mwa Bwana Kimo. Walileta ujumbe wa kuthibitisha posa na ndoa kati ya Kime na Kimada. Kime alisubiri kwa hamu na ghamu ujumbe kutoka kwa washanga wake kama mama mjamzito asubirivyo wakati wa zingizi. Waama, jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Kulingana na mkataba wa awali, ilikuwa imeafikiwa kuwa ndoa au akidi kati ya wawili hawa ingefanyika ndani ya majuma mawili yajayo.
Wazee waliketi kitako huku kila mmoja akiwa na uso ulioashiria zaidi ya yaliyosubiriwa. Mzee Kidemo alifungua mdomo kama ilivyo kawaida yake huku wengino wakitulia tuama na kumpa fursa Kidamo kupasua mbarika. Alianza Kidomo “kwendako mena hurudi mema ila leo hii huenda msemo huu haukuwa upande wetu.” Moyo ulianza kumpapa, Kime alijikaza kiume , mume ni mume ingawa gumegume na sifa za mtume.
"Mara ya kwanza tulipoenda kwa mzee Mkali kuuliza mkono wa ndoa tulipokelewa kwa taadhima na wakati huo mkewa, Bi Kilahi, hakuwa. Mambo yalitengenea wazee tukaongea kama waswahili wanaojuana kwa vilemba mkataba ukaafikiwa tukiachana kwa amani hata tukiwa tumekwisha afikiana siku ya kufunga ndoa. Hapo, Kime alikodoa macho pima zaidi na moyo ukampapa hata nusura uondoke kifuani ukapumzike!
Leo tumempata Bi Mlahi na mambo yakaenda shoro, kumbe palipo na wazee hapaharibiki neno hadi wanawake waingilie kati! Bi Mlahi amekuja na masharti yake mapya na hali ilivyo amemzidi mumewe nguvu. Mosi amesema harusi ya bintiye sharti iwe ya kifahari na vyakula viagizwe kutoka nje ya nchi, kiwango cha mahari kiwe maradufu ya kile tulichokubaliana awali. Binti yake hawezi ozwa wala kuishi na mwanamume ambaye hajaenda shuleni kama wewe maana mtazaa watoto mbumbumbu mzungu wa reli, aidha mbele wala nyuma maskini wa sina sinani nikiulizwa siungami. Hayo yasitoshe, anamtaka mwanamume mwenye miraba minne na wala si gofu na nyundo kama wewe!
Hatukutaka kuendelea kumpa masikio yetu tulikata kauli ya kuondoka bila ya kuaga tulipoona mzee mwenzetu hana uwezo juu ya mkewe, hatukutaka kumwagiwa mkojo wa maneno yanayoshusha hadhi ya mwanamume mwenzetu maskioni, tulihiari kuondoka na ndo maana tuko hapa kukupa nususi ya mambo."
Kime katika mawazo yake alifikia mwisho wa kuwaza, alikuwa amemaliza kuwaza sasa anawazua. Alianza kujidharau maana kati ya haya yote hakuna hata moja ambalo angelitimiza kwa sasa, alisononeka, akawa anajiuliza kilichomleta duniani, kama ni kutosoma haikuwa kupenda kwake, ni ulitima uliovuruga nasaba yake naye akawa yatima baada ya wazazi wake kufa kutokana na hali isiyoeleweka. Ni mapenzi hayana adabu. Mapenzi ni kama mgomba usiomea changarewani, ndoa sasa ikawa imeingia doa. | Wazee walikwa wsmeleta nini | {
"text": [
"Posa"
]
} |
1532_swa | NDOA YATIBUKA
Kime alikuwa amejiandaa kuingia katika awamu nyingine kabisa ya maisha. Alisubiri kubadilisha majina yake, alikuwa kachoshwa mno kuitwa Mhum, Kapera, Kinukamito, Hanithi na Machagu. Baadhi ya majina hayo hayakuelezea hali halisi aliyokuwemo, ila ni kwa sababu ya kukosa heshima miongoni mwa baadhi ya wanajamii kutokana na hali iliyomzingira. Chambilecho wahenga upweke ni uvundo.
Wazee wa kwao na wahenga waliwasili nyumbani mwa Bwana Kimo. Walileta ujumbe wa kuthibitisha posa na ndoa kati ya Kime na Kimada. Kime alisubiri kwa hamu na ghamu ujumbe kutoka kwa washanga wake kama mama mjamzito asubirivyo wakati wa zingizi. Waama, jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Kulingana na mkataba wa awali, ilikuwa imeafikiwa kuwa ndoa au akidi kati ya wawili hawa ingefanyika ndani ya majuma mawili yajayo.
Wazee waliketi kitako huku kila mmoja akiwa na uso ulioashiria zaidi ya yaliyosubiriwa. Mzee Kidemo alifungua mdomo kama ilivyo kawaida yake huku wengino wakitulia tuama na kumpa fursa Kidamo kupasua mbarika. Alianza Kidomo “kwendako mena hurudi mema ila leo hii huenda msemo huu haukuwa upande wetu.” Moyo ulianza kumpapa, Kime alijikaza kiume , mume ni mume ingawa gumegume na sifa za mtume.
"Mara ya kwanza tulipoenda kwa mzee Mkali kuuliza mkono wa ndoa tulipokelewa kwa taadhima na wakati huo mkewa, Bi Kilahi, hakuwa. Mambo yalitengenea wazee tukaongea kama waswahili wanaojuana kwa vilemba mkataba ukaafikiwa tukiachana kwa amani hata tukiwa tumekwisha afikiana siku ya kufunga ndoa. Hapo, Kime alikodoa macho pima zaidi na moyo ukampapa hata nusura uondoke kifuani ukapumzike!
Leo tumempata Bi Mlahi na mambo yakaenda shoro, kumbe palipo na wazee hapaharibiki neno hadi wanawake waingilie kati! Bi Mlahi amekuja na masharti yake mapya na hali ilivyo amemzidi mumewe nguvu. Mosi amesema harusi ya bintiye sharti iwe ya kifahari na vyakula viagizwe kutoka nje ya nchi, kiwango cha mahari kiwe maradufu ya kile tulichokubaliana awali. Binti yake hawezi ozwa wala kuishi na mwanamume ambaye hajaenda shuleni kama wewe maana mtazaa watoto mbumbumbu mzungu wa reli, aidha mbele wala nyuma maskini wa sina sinani nikiulizwa siungami. Hayo yasitoshe, anamtaka mwanamume mwenye miraba minne na wala si gofu na nyundo kama wewe!
Hatukutaka kuendelea kumpa masikio yetu tulikata kauli ya kuondoka bila ya kuaga tulipoona mzee mwenzetu hana uwezo juu ya mkewe, hatukutaka kumwagiwa mkojo wa maneno yanayoshusha hadhi ya mwanamume mwenzetu maskioni, tulihiari kuondoka na ndo maana tuko hapa kukupa nususi ya mambo."
Kime katika mawazo yake alifikia mwisho wa kuwaza, alikuwa amemaliza kuwaza sasa anawazua. Alianza kujidharau maana kati ya haya yote hakuna hata moja ambalo angelitimiza kwa sasa, alisononeka, akawa anajiuliza kilichomleta duniani, kama ni kutosoma haikuwa kupenda kwake, ni ulitima uliovuruga nasaba yake naye akawa yatima baada ya wazazi wake kufa kutokana na hali isiyoeleweka. Ni mapenzi hayana adabu. Mapenzi ni kama mgomba usiomea changarewani, ndoa sasa ikawa imeingia doa. | Wazazi W nani walikwa wamefariki | {
"text": [
"Kime"
]
} |
1532_swa | NDOA YATIBUKA
Kime alikuwa amejiandaa kuingia katika awamu nyingine kabisa ya maisha. Alisubiri kubadilisha majina yake, alikuwa kachoshwa mno kuitwa Mhum, Kapera, Kinukamito, Hanithi na Machagu. Baadhi ya majina hayo hayakuelezea hali halisi aliyokuwemo, ila ni kwa sababu ya kukosa heshima miongoni mwa baadhi ya wanajamii kutokana na hali iliyomzingira. Chambilecho wahenga upweke ni uvundo.
Wazee wa kwao na wahenga waliwasili nyumbani mwa Bwana Kimo. Walileta ujumbe wa kuthibitisha posa na ndoa kati ya Kime na Kimada. Kime alisubiri kwa hamu na ghamu ujumbe kutoka kwa washanga wake kama mama mjamzito asubirivyo wakati wa zingizi. Waama, jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Kulingana na mkataba wa awali, ilikuwa imeafikiwa kuwa ndoa au akidi kati ya wawili hawa ingefanyika ndani ya majuma mawili yajayo.
Wazee waliketi kitako huku kila mmoja akiwa na uso ulioashiria zaidi ya yaliyosubiriwa. Mzee Kidemo alifungua mdomo kama ilivyo kawaida yake huku wengino wakitulia tuama na kumpa fursa Kidamo kupasua mbarika. Alianza Kidomo “kwendako mena hurudi mema ila leo hii huenda msemo huu haukuwa upande wetu.” Moyo ulianza kumpapa, Kime alijikaza kiume , mume ni mume ingawa gumegume na sifa za mtume.
"Mara ya kwanza tulipoenda kwa mzee Mkali kuuliza mkono wa ndoa tulipokelewa kwa taadhima na wakati huo mkewa, Bi Kilahi, hakuwa. Mambo yalitengenea wazee tukaongea kama waswahili wanaojuana kwa vilemba mkataba ukaafikiwa tukiachana kwa amani hata tukiwa tumekwisha afikiana siku ya kufunga ndoa. Hapo, Kime alikodoa macho pima zaidi na moyo ukampapa hata nusura uondoke kifuani ukapumzike!
Leo tumempata Bi Mlahi na mambo yakaenda shoro, kumbe palipo na wazee hapaharibiki neno hadi wanawake waingilie kati! Bi Mlahi amekuja na masharti yake mapya na hali ilivyo amemzidi mumewe nguvu. Mosi amesema harusi ya bintiye sharti iwe ya kifahari na vyakula viagizwe kutoka nje ya nchi, kiwango cha mahari kiwe maradufu ya kile tulichokubaliana awali. Binti yake hawezi ozwa wala kuishi na mwanamume ambaye hajaenda shuleni kama wewe maana mtazaa watoto mbumbumbu mzungu wa reli, aidha mbele wala nyuma maskini wa sina sinani nikiulizwa siungami. Hayo yasitoshe, anamtaka mwanamume mwenye miraba minne na wala si gofu na nyundo kama wewe!
Hatukutaka kuendelea kumpa masikio yetu tulikata kauli ya kuondoka bila ya kuaga tulipoona mzee mwenzetu hana uwezo juu ya mkewe, hatukutaka kumwagiwa mkojo wa maneno yanayoshusha hadhi ya mwanamume mwenzetu maskioni, tulihiari kuondoka na ndo maana tuko hapa kukupa nususi ya mambo."
Kime katika mawazo yake alifikia mwisho wa kuwaza, alikuwa amemaliza kuwaza sasa anawazua. Alianza kujidharau maana kati ya haya yote hakuna hata moja ambalo angelitimiza kwa sasa, alisononeka, akawa anajiuliza kilichomleta duniani, kama ni kutosoma haikuwa kupenda kwake, ni ulitima uliovuruga nasaba yake naye akawa yatima baada ya wazazi wake kufa kutokana na hali isiyoeleweka. Ni mapenzi hayana adabu. Mapenzi ni kama mgomba usiomea changarewani, ndoa sasa ikawa imeingia doa. | Bi mlahi alitoa masharti yapi kuhusu harusi ya bintiye | {
"text": [
"Iwe ya kifahari na vyakula viagizwe kutoka nje ya nchi"
]
} |
1533_swa | UVUMILIVU
Hapo zama za kale paliishi familia moja katika kijiji cha wachochole. Familia hiyo ilikuwa na jumla ya watu watatu, baba, mama na mtoto mmoja aliyeitwa Bidii. Wazazi wa Bidii walikuwa maskini kupindukia kama jina la kijiji chao. Wazazi wa Bidii walifanya yote wawezalo ili wampeleke mwanao shuleni. Bidii alipokuwa miaka saba, alipelekwa katika shule ya Tangamano ambapo alianze masomo yake ya chekechea. Bidii alikuwa mtoto mchangamfu na mwerevu sana kwa kuwa alikuwa na bidi za mchwa wajengao kichuguu kwa mate.
Wazazi wake waliishi wakimwelekeza kila mara kuwa awaheshimu walimu na watu wengine na atie bidii masomoni. Bidii aliweza kufanya alivyokuwa akielezwa na akasoma hadi darasa la nane. Katika darasa, aliweza kuwa mshindi katika mitihani yote waliyofanya mpaka walimu wake wakawa wanafurahishwa na kazi yake. Alifanya mtihani wake vyema na walipotangaza matokeo ya mtihani wa kitaifa alikua ameibuka kuwa mshindi nchi mzima. Bidii aliitwa katika shule ya upili na kwa kuwa wazazi wake hawakuwa na kipato cha kumpeleka slule hiyo, waliweza kuitisha mchango na wanakiji wakajitolea na kumsaidia mpaka akaenda sluleni.
Katika shule ya upili, Bidii aliendelea kutia bidii masomoni, kwa kuwa alikuwa ana tamaa ya kuwa daktari ili awasaidie watu kama yeye kijijini mwao na kuwatoa wazazi wake katika lindi la ufukara. Alipofika kidato cha nne, alifanya mtihani wake wa kitaifa na pia akaibuka wa kwanza nchini. Wazazi wake walijawa na furaha kwa kuwa walijua mwanao atawaokoa kutoka lindi la umaskini. Bidii aliweza kuitwa katika chuo kikuu na Rais wa nchi akajitolea kumlipia karo. Alisomea udaktari kwa miaka sita na baada ya hapo akaajiriwa kama daktari mkuu wa upasuaji nchini. Alipopata mshahara wake, aliweza kutumia kuwasaidia watoto ambao walikuwa wanapitia maisha kama yake kwa kuwapeleka shuleni na kuwanunulia chakula. Pia aliwajengea wazazi wake nyumba la kifahari na kuwafanyia kila kitu walichohitaji pale nyumbani.
Baada ya mwaka mmoja, Bidii aliweza kujenga hospitali katika kijiji chao ambacho kilikuwa kimedharauliwa kwa sababu ya walalahai. Aliweza kuwahudumia wagonjwa wote waliokuwa pale kjijini kwa kuwa hospitali zilikuwa mbali na hawangeweza kuzifikia na pia walikuwa wanabaguliwa. Aliweza kuwapa wale vijana ambao walikuwa wamehitimu katika chuo kikuu lakini hawakuwa wamepata kazi kama madaktari katika kituo chake ili waweze kujiendeleza kimaisha na wasijihusishe katika matendo maovu.
Hapo ndipo nilipotambua ya kwamba mchumia juani hulia kivulini. Bidii alikumbana na matatizo chungu nzima kupitia masomo yake tangu utotoni lakini mwishowe akafanikiwa kutokana na bidii aliyokuwa nayo na uvumilivu. Kwa kweli, mtaka cha mvunguni sharti ainame. | Mtoto alikua anaitwa nani | {
"text": [
"Bidii"
]
} |
1533_swa | UVUMILIVU
Hapo zama za kale paliishi familia moja katika kijiji cha wachochole. Familia hiyo ilikuwa na jumla ya watu watatu, baba, mama na mtoto mmoja aliyeitwa Bidii. Wazazi wa Bidii walikuwa maskini kupindukia kama jina la kijiji chao. Wazazi wa Bidii walifanya yote wawezalo ili wampeleke mwanao shuleni. Bidii alipokuwa miaka saba, alipelekwa katika shule ya Tangamano ambapo alianze masomo yake ya chekechea. Bidii alikuwa mtoto mchangamfu na mwerevu sana kwa kuwa alikuwa na bidi za mchwa wajengao kichuguu kwa mate.
Wazazi wake waliishi wakimwelekeza kila mara kuwa awaheshimu walimu na watu wengine na atie bidii masomoni. Bidii aliweza kufanya alivyokuwa akielezwa na akasoma hadi darasa la nane. Katika darasa, aliweza kuwa mshindi katika mitihani yote waliyofanya mpaka walimu wake wakawa wanafurahishwa na kazi yake. Alifanya mtihani wake vyema na walipotangaza matokeo ya mtihani wa kitaifa alikua ameibuka kuwa mshindi nchi mzima. Bidii aliitwa katika shule ya upili na kwa kuwa wazazi wake hawakuwa na kipato cha kumpeleka slule hiyo, waliweza kuitisha mchango na wanakiji wakajitolea na kumsaidia mpaka akaenda sluleni.
Katika shule ya upili, Bidii aliendelea kutia bidii masomoni, kwa kuwa alikuwa ana tamaa ya kuwa daktari ili awasaidie watu kama yeye kijijini mwao na kuwatoa wazazi wake katika lindi la ufukara. Alipofika kidato cha nne, alifanya mtihani wake wa kitaifa na pia akaibuka wa kwanza nchini. Wazazi wake walijawa na furaha kwa kuwa walijua mwanao atawaokoa kutoka lindi la umaskini. Bidii aliweza kuitwa katika chuo kikuu na Rais wa nchi akajitolea kumlipia karo. Alisomea udaktari kwa miaka sita na baada ya hapo akaajiriwa kama daktari mkuu wa upasuaji nchini. Alipopata mshahara wake, aliweza kutumia kuwasaidia watoto ambao walikuwa wanapitia maisha kama yake kwa kuwapeleka shuleni na kuwanunulia chakula. Pia aliwajengea wazazi wake nyumba la kifahari na kuwafanyia kila kitu walichohitaji pale nyumbani.
Baada ya mwaka mmoja, Bidii aliweza kujenga hospitali katika kijiji chao ambacho kilikuwa kimedharauliwa kwa sababu ya walalahai. Aliweza kuwahudumia wagonjwa wote waliokuwa pale kjijini kwa kuwa hospitali zilikuwa mbali na hawangeweza kuzifikia na pia walikuwa wanabaguliwa. Aliweza kuwapa wale vijana ambao walikuwa wamehitimu katika chuo kikuu lakini hawakuwa wamepata kazi kama madaktari katika kituo chake ili waweze kujiendeleza kimaisha na wasijihusishe katika matendo maovu.
Hapo ndipo nilipotambua ya kwamba mchumia juani hulia kivulini. Bidii alikumbana na matatizo chungu nzima kupitia masomo yake tangu utotoni lakini mwishowe akafanikiwa kutokana na bidii aliyokuwa nayo na uvumilivu. Kwa kweli, mtaka cha mvunguni sharti ainame. | Nani walimsaidia Bidii kwa kumchangia hadi akaenda shule ya upili | {
"text": [
"wanakijiji"
]
} |
1533_swa | UVUMILIVU
Hapo zama za kale paliishi familia moja katika kijiji cha wachochole. Familia hiyo ilikuwa na jumla ya watu watatu, baba, mama na mtoto mmoja aliyeitwa Bidii. Wazazi wa Bidii walikuwa maskini kupindukia kama jina la kijiji chao. Wazazi wa Bidii walifanya yote wawezalo ili wampeleke mwanao shuleni. Bidii alipokuwa miaka saba, alipelekwa katika shule ya Tangamano ambapo alianze masomo yake ya chekechea. Bidii alikuwa mtoto mchangamfu na mwerevu sana kwa kuwa alikuwa na bidi za mchwa wajengao kichuguu kwa mate.
Wazazi wake waliishi wakimwelekeza kila mara kuwa awaheshimu walimu na watu wengine na atie bidii masomoni. Bidii aliweza kufanya alivyokuwa akielezwa na akasoma hadi darasa la nane. Katika darasa, aliweza kuwa mshindi katika mitihani yote waliyofanya mpaka walimu wake wakawa wanafurahishwa na kazi yake. Alifanya mtihani wake vyema na walipotangaza matokeo ya mtihani wa kitaifa alikua ameibuka kuwa mshindi nchi mzima. Bidii aliitwa katika shule ya upili na kwa kuwa wazazi wake hawakuwa na kipato cha kumpeleka slule hiyo, waliweza kuitisha mchango na wanakiji wakajitolea na kumsaidia mpaka akaenda sluleni.
Katika shule ya upili, Bidii aliendelea kutia bidii masomoni, kwa kuwa alikuwa ana tamaa ya kuwa daktari ili awasaidie watu kama yeye kijijini mwao na kuwatoa wazazi wake katika lindi la ufukara. Alipofika kidato cha nne, alifanya mtihani wake wa kitaifa na pia akaibuka wa kwanza nchini. Wazazi wake walijawa na furaha kwa kuwa walijua mwanao atawaokoa kutoka lindi la umaskini. Bidii aliweza kuitwa katika chuo kikuu na Rais wa nchi akajitolea kumlipia karo. Alisomea udaktari kwa miaka sita na baada ya hapo akaajiriwa kama daktari mkuu wa upasuaji nchini. Alipopata mshahara wake, aliweza kutumia kuwasaidia watoto ambao walikuwa wanapitia maisha kama yake kwa kuwapeleka shuleni na kuwanunulia chakula. Pia aliwajengea wazazi wake nyumba la kifahari na kuwafanyia kila kitu walichohitaji pale nyumbani.
Baada ya mwaka mmoja, Bidii aliweza kujenga hospitali katika kijiji chao ambacho kilikuwa kimedharauliwa kwa sababu ya walalahai. Aliweza kuwahudumia wagonjwa wote waliokuwa pale kjijini kwa kuwa hospitali zilikuwa mbali na hawangeweza kuzifikia na pia walikuwa wanabaguliwa. Aliweza kuwapa wale vijana ambao walikuwa wamehitimu katika chuo kikuu lakini hawakuwa wamepata kazi kama madaktari katika kituo chake ili waweze kujiendeleza kimaisha na wasijihusishe katika matendo maovu.
Hapo ndipo nilipotambua ya kwamba mchumia juani hulia kivulini. Bidii alikumbana na matatizo chungu nzima kupitia masomo yake tangu utotoni lakini mwishowe akafanikiwa kutokana na bidii aliyokuwa nayo na uvumilivu. Kwa kweli, mtaka cha mvunguni sharti ainame. | Bidii alisomea nini alipokua chuo kikuu kwa miaka sita | {
"text": [
"udaktari wa upasuaji"
]
} |
1533_swa | UVUMILIVU
Hapo zama za kale paliishi familia moja katika kijiji cha wachochole. Familia hiyo ilikuwa na jumla ya watu watatu, baba, mama na mtoto mmoja aliyeitwa Bidii. Wazazi wa Bidii walikuwa maskini kupindukia kama jina la kijiji chao. Wazazi wa Bidii walifanya yote wawezalo ili wampeleke mwanao shuleni. Bidii alipokuwa miaka saba, alipelekwa katika shule ya Tangamano ambapo alianze masomo yake ya chekechea. Bidii alikuwa mtoto mchangamfu na mwerevu sana kwa kuwa alikuwa na bidi za mchwa wajengao kichuguu kwa mate.
Wazazi wake waliishi wakimwelekeza kila mara kuwa awaheshimu walimu na watu wengine na atie bidii masomoni. Bidii aliweza kufanya alivyokuwa akielezwa na akasoma hadi darasa la nane. Katika darasa, aliweza kuwa mshindi katika mitihani yote waliyofanya mpaka walimu wake wakawa wanafurahishwa na kazi yake. Alifanya mtihani wake vyema na walipotangaza matokeo ya mtihani wa kitaifa alikua ameibuka kuwa mshindi nchi mzima. Bidii aliitwa katika shule ya upili na kwa kuwa wazazi wake hawakuwa na kipato cha kumpeleka slule hiyo, waliweza kuitisha mchango na wanakiji wakajitolea na kumsaidia mpaka akaenda sluleni.
Katika shule ya upili, Bidii aliendelea kutia bidii masomoni, kwa kuwa alikuwa ana tamaa ya kuwa daktari ili awasaidie watu kama yeye kijijini mwao na kuwatoa wazazi wake katika lindi la ufukara. Alipofika kidato cha nne, alifanya mtihani wake wa kitaifa na pia akaibuka wa kwanza nchini. Wazazi wake walijawa na furaha kwa kuwa walijua mwanao atawaokoa kutoka lindi la umaskini. Bidii aliweza kuitwa katika chuo kikuu na Rais wa nchi akajitolea kumlipia karo. Alisomea udaktari kwa miaka sita na baada ya hapo akaajiriwa kama daktari mkuu wa upasuaji nchini. Alipopata mshahara wake, aliweza kutumia kuwasaidia watoto ambao walikuwa wanapitia maisha kama yake kwa kuwapeleka shuleni na kuwanunulia chakula. Pia aliwajengea wazazi wake nyumba la kifahari na kuwafanyia kila kitu walichohitaji pale nyumbani.
Baada ya mwaka mmoja, Bidii aliweza kujenga hospitali katika kijiji chao ambacho kilikuwa kimedharauliwa kwa sababu ya walalahai. Aliweza kuwahudumia wagonjwa wote waliokuwa pale kjijini kwa kuwa hospitali zilikuwa mbali na hawangeweza kuzifikia na pia walikuwa wanabaguliwa. Aliweza kuwapa wale vijana ambao walikuwa wamehitimu katika chuo kikuu lakini hawakuwa wamepata kazi kama madaktari katika kituo chake ili waweze kujiendeleza kimaisha na wasijihusishe katika matendo maovu.
Hapo ndipo nilipotambua ya kwamba mchumia juani hulia kivulini. Bidii alikumbana na matatizo chungu nzima kupitia masomo yake tangu utotoni lakini mwishowe akafanikiwa kutokana na bidii aliyokuwa nayo na uvumilivu. Kwa kweli, mtaka cha mvunguni sharti ainame. | Bidii alipelekwa shule ya Tangamano lini | {
"text": [
"alipokuwa miaka saba"
]
} |
1533_swa | UVUMILIVU
Hapo zama za kale paliishi familia moja katika kijiji cha wachochole. Familia hiyo ilikuwa na jumla ya watu watatu, baba, mama na mtoto mmoja aliyeitwa Bidii. Wazazi wa Bidii walikuwa maskini kupindukia kama jina la kijiji chao. Wazazi wa Bidii walifanya yote wawezalo ili wampeleke mwanao shuleni. Bidii alipokuwa miaka saba, alipelekwa katika shule ya Tangamano ambapo alianze masomo yake ya chekechea. Bidii alikuwa mtoto mchangamfu na mwerevu sana kwa kuwa alikuwa na bidi za mchwa wajengao kichuguu kwa mate.
Wazazi wake waliishi wakimwelekeza kila mara kuwa awaheshimu walimu na watu wengine na atie bidii masomoni. Bidii aliweza kufanya alivyokuwa akielezwa na akasoma hadi darasa la nane. Katika darasa, aliweza kuwa mshindi katika mitihani yote waliyofanya mpaka walimu wake wakawa wanafurahishwa na kazi yake. Alifanya mtihani wake vyema na walipotangaza matokeo ya mtihani wa kitaifa alikua ameibuka kuwa mshindi nchi mzima. Bidii aliitwa katika shule ya upili na kwa kuwa wazazi wake hawakuwa na kipato cha kumpeleka slule hiyo, waliweza kuitisha mchango na wanakiji wakajitolea na kumsaidia mpaka akaenda sluleni.
Katika shule ya upili, Bidii aliendelea kutia bidii masomoni, kwa kuwa alikuwa ana tamaa ya kuwa daktari ili awasaidie watu kama yeye kijijini mwao na kuwatoa wazazi wake katika lindi la ufukara. Alipofika kidato cha nne, alifanya mtihani wake wa kitaifa na pia akaibuka wa kwanza nchini. Wazazi wake walijawa na furaha kwa kuwa walijua mwanao atawaokoa kutoka lindi la umaskini. Bidii aliweza kuitwa katika chuo kikuu na Rais wa nchi akajitolea kumlipia karo. Alisomea udaktari kwa miaka sita na baada ya hapo akaajiriwa kama daktari mkuu wa upasuaji nchini. Alipopata mshahara wake, aliweza kutumia kuwasaidia watoto ambao walikuwa wanapitia maisha kama yake kwa kuwapeleka shuleni na kuwanunulia chakula. Pia aliwajengea wazazi wake nyumba la kifahari na kuwafanyia kila kitu walichohitaji pale nyumbani.
Baada ya mwaka mmoja, Bidii aliweza kujenga hospitali katika kijiji chao ambacho kilikuwa kimedharauliwa kwa sababu ya walalahai. Aliweza kuwahudumia wagonjwa wote waliokuwa pale kjijini kwa kuwa hospitali zilikuwa mbali na hawangeweza kuzifikia na pia walikuwa wanabaguliwa. Aliweza kuwapa wale vijana ambao walikuwa wamehitimu katika chuo kikuu lakini hawakuwa wamepata kazi kama madaktari katika kituo chake ili waweze kujiendeleza kimaisha na wasijihusishe katika matendo maovu.
Hapo ndipo nilipotambua ya kwamba mchumia juani hulia kivulini. Bidii alikumbana na matatizo chungu nzima kupitia masomo yake tangu utotoni lakini mwishowe akafanikiwa kutokana na bidii aliyokuwa nayo na uvumilivu. Kwa kweli, mtaka cha mvunguni sharti ainame. | Bidii aliweza kuwasaidia wanakijiji kivipi alipomaliza chuo kikuu | {
"text": [
"aliweza kujenga hospitali katika kijiji na kuwahudumia wagonjwa"
]
} |
1535_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii hukashifu watu kutii kila wanachoambiwa na watu waliowazidi umri kwa sababu wasipotii huweza kupata tatizo na hatimaye kujuta na majuto ni mjukuu,huja kinyume.
Katika kata ndogo ya Kimamaji, paliondokea kijana mmoja kwa jina Yakobo. Yakobo alizaliwa kwenye familia ya walala heri, kwa hivyo alidekezwa kama yai. Alikuwa ndiye mwana kwenye ndoa ya Bwana na Bi Mwajuma. Yakobo alipofika umri wa kwenda shuleni, alipelekwa kwenye shule moja ya kifahari katika jimbo hilo. Kila alichotaka wazazi wake walijikaza kisabuni ili mwana wao awe na furaha.
Kwenye shule, hapo mwanzo Yakobo alitia bidii za mchwa na alikuwa mwenye nidhamu ya hali ya juu, walimu pamoja na wanafunzi wenzake walimpenda sana hadi wakamteua kuwa kiranja mkuu shuleni. Kwenye mtihani, Yakobo alifaulu vyema na walimu walizidi kumtuza na kumsifu.
Kwa kweli, tembo akisifiwa, tembo hulitia maji. Yakobo alianza kugeuka ghafla. Alianza kujiunga na makundi mabaya ya vijana wenzake. Mwalimu mkuu hakuchelewa kugundua haya, alimwonya Yakobo dhidi ya kujiunga na vijana hao kwa sababu alijua kuwa atembeaye na pwagu ni pwagu. Yakobo alibadilika na akawa anawadharau walimu, wanafunzi na hata wazazi wake. Walimu wake walijitolea kwa udi na uvumba kumwonya lakini masikio ya kura hayasikii dawa kamwe. Wazazi wake nao walijaribu lakini juhudi zao hazikufua dafu. Baada ya kufika kwenye darasa la saba, Yakobo alizidi kuwa mtukutu zaidi. Walimu nao hawakufa roho kumwonya kwa kuwa walijua penye nia pana njia.
Yakobo, kwa kukara kurikiza, alijiunga na kikundi cha kutumia dawa za kulevya. Baada ya miezi sita, Yakobo alitoroka shuleni na kujiunga na kundi moja la wezi. Aliporipotiwa kwenye chifu na wakuu wengine kujini, Yakobo aliwadharau na kuwaacha vinywa wazi kwenye boma lao.
Miaka zilipozidi kusonga, Yakobo alizidi kukua na kuwa pwagu mkuu. Aliwapora watu kwenye kila eneo la kijiji chao na hata akazidisha na kwenda kwenye vijiji vinginevyo. Kazi yake Yakobo ilikuwa ni kuwaibia watu na hata akazidi na kuanza kuuza dawa za kulevya.
Lakini kama walivyosema wahenga, siku za mwizi ni arobaini, siku yake Yakobo ilifika. Alijiunga na kundi la wezi ambao waliweza kuiba kwenye benki. Aliweza kuiba na kufaulu kwenye benki kadhaa. Kwa kweli, siku ya nyani kufa, miti yote huteleza. Yakobo waliweza kuingia kwenye benki kuu na walinda usalama walikuwa tayari.
Yakobo aliweza kuponea kifo chupuchupu baada ya kupigwa risasi kwenye miguu yake yote. Ilibidi miguo yake ikatwe na Yakobo akabakia kuwa kilema. Wazazi wake walilia kwi kwi kwi, lakini maji yakimwagika hayazoleki. Yahobo alijuta lakini majuto ni mjukuu na huja kinyume, hapo ndipo nilipojua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Yakobo alikuwa mtoto wa nani | {
"text": [
"Bwana na Bi Mwajuma"
]
} |
1535_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii hukashifu watu kutii kila wanachoambiwa na watu waliowazidi umri kwa sababu wasipotii huweza kupata tatizo na hatimaye kujuta na majuto ni mjukuu,huja kinyume.
Katika kata ndogo ya Kimamaji, paliondokea kijana mmoja kwa jina Yakobo. Yakobo alizaliwa kwenye familia ya walala heri, kwa hivyo alidekezwa kama yai. Alikuwa ndiye mwana kwenye ndoa ya Bwana na Bi Mwajuma. Yakobo alipofika umri wa kwenda shuleni, alipelekwa kwenye shule moja ya kifahari katika jimbo hilo. Kila alichotaka wazazi wake walijikaza kisabuni ili mwana wao awe na furaha.
Kwenye shule, hapo mwanzo Yakobo alitia bidii za mchwa na alikuwa mwenye nidhamu ya hali ya juu, walimu pamoja na wanafunzi wenzake walimpenda sana hadi wakamteua kuwa kiranja mkuu shuleni. Kwenye mtihani, Yakobo alifaulu vyema na walimu walizidi kumtuza na kumsifu.
Kwa kweli, tembo akisifiwa, tembo hulitia maji. Yakobo alianza kugeuka ghafla. Alianza kujiunga na makundi mabaya ya vijana wenzake. Mwalimu mkuu hakuchelewa kugundua haya, alimwonya Yakobo dhidi ya kujiunga na vijana hao kwa sababu alijua kuwa atembeaye na pwagu ni pwagu. Yakobo alibadilika na akawa anawadharau walimu, wanafunzi na hata wazazi wake. Walimu wake walijitolea kwa udi na uvumba kumwonya lakini masikio ya kura hayasikii dawa kamwe. Wazazi wake nao walijaribu lakini juhudi zao hazikufua dafu. Baada ya kufika kwenye darasa la saba, Yakobo alizidi kuwa mtukutu zaidi. Walimu nao hawakufa roho kumwonya kwa kuwa walijua penye nia pana njia.
Yakobo, kwa kukara kurikiza, alijiunga na kikundi cha kutumia dawa za kulevya. Baada ya miezi sita, Yakobo alitoroka shuleni na kujiunga na kundi moja la wezi. Aliporipotiwa kwenye chifu na wakuu wengine kujini, Yakobo aliwadharau na kuwaacha vinywa wazi kwenye boma lao.
Miaka zilipozidi kusonga, Yakobo alizidi kukua na kuwa pwagu mkuu. Aliwapora watu kwenye kila eneo la kijiji chao na hata akazidisha na kwenda kwenye vijiji vinginevyo. Kazi yake Yakobo ilikuwa ni kuwaibia watu na hata akazidi na kuanza kuuza dawa za kulevya.
Lakini kama walivyosema wahenga, siku za mwizi ni arobaini, siku yake Yakobo ilifika. Alijiunga na kundi la wezi ambao waliweza kuiba kwenye benki. Aliweza kuiba na kufaulu kwenye benki kadhaa. Kwa kweli, siku ya nyani kufa, miti yote huteleza. Yakobo waliweza kuingia kwenye benki kuu na walinda usalama walikuwa tayari.
Yakobo aliweza kuponea kifo chupuchupu baada ya kupigwa risasi kwenye miguu yake yote. Ilibidi miguo yake ikatwe na Yakobo akabakia kuwa kilema. Wazazi wake walilia kwi kwi kwi, lakini maji yakimwagika hayazoleki. Yahobo alijuta lakini majuto ni mjukuu na huja kinyume, hapo ndipo nilipojua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Nidhamu ya Yakobo ilimwelekeza kuchaguliwa kuwa nani | {
"text": [
"Kiranja mkuu"
]
} |
1535_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii hukashifu watu kutii kila wanachoambiwa na watu waliowazidi umri kwa sababu wasipotii huweza kupata tatizo na hatimaye kujuta na majuto ni mjukuu,huja kinyume.
Katika kata ndogo ya Kimamaji, paliondokea kijana mmoja kwa jina Yakobo. Yakobo alizaliwa kwenye familia ya walala heri, kwa hivyo alidekezwa kama yai. Alikuwa ndiye mwana kwenye ndoa ya Bwana na Bi Mwajuma. Yakobo alipofika umri wa kwenda shuleni, alipelekwa kwenye shule moja ya kifahari katika jimbo hilo. Kila alichotaka wazazi wake walijikaza kisabuni ili mwana wao awe na furaha.
Kwenye shule, hapo mwanzo Yakobo alitia bidii za mchwa na alikuwa mwenye nidhamu ya hali ya juu, walimu pamoja na wanafunzi wenzake walimpenda sana hadi wakamteua kuwa kiranja mkuu shuleni. Kwenye mtihani, Yakobo alifaulu vyema na walimu walizidi kumtuza na kumsifu.
Kwa kweli, tembo akisifiwa, tembo hulitia maji. Yakobo alianza kugeuka ghafla. Alianza kujiunga na makundi mabaya ya vijana wenzake. Mwalimu mkuu hakuchelewa kugundua haya, alimwonya Yakobo dhidi ya kujiunga na vijana hao kwa sababu alijua kuwa atembeaye na pwagu ni pwagu. Yakobo alibadilika na akawa anawadharau walimu, wanafunzi na hata wazazi wake. Walimu wake walijitolea kwa udi na uvumba kumwonya lakini masikio ya kura hayasikii dawa kamwe. Wazazi wake nao walijaribu lakini juhudi zao hazikufua dafu. Baada ya kufika kwenye darasa la saba, Yakobo alizidi kuwa mtukutu zaidi. Walimu nao hawakufa roho kumwonya kwa kuwa walijua penye nia pana njia.
Yakobo, kwa kukara kurikiza, alijiunga na kikundi cha kutumia dawa za kulevya. Baada ya miezi sita, Yakobo alitoroka shuleni na kujiunga na kundi moja la wezi. Aliporipotiwa kwenye chifu na wakuu wengine kujini, Yakobo aliwadharau na kuwaacha vinywa wazi kwenye boma lao.
Miaka zilipozidi kusonga, Yakobo alizidi kukua na kuwa pwagu mkuu. Aliwapora watu kwenye kila eneo la kijiji chao na hata akazidisha na kwenda kwenye vijiji vinginevyo. Kazi yake Yakobo ilikuwa ni kuwaibia watu na hata akazidi na kuanza kuuza dawa za kulevya.
Lakini kama walivyosema wahenga, siku za mwizi ni arobaini, siku yake Yakobo ilifika. Alijiunga na kundi la wezi ambao waliweza kuiba kwenye benki. Aliweza kuiba na kufaulu kwenye benki kadhaa. Kwa kweli, siku ya nyani kufa, miti yote huteleza. Yakobo waliweza kuingia kwenye benki kuu na walinda usalama walikuwa tayari.
Yakobo aliweza kuponea kifo chupuchupu baada ya kupigwa risasi kwenye miguu yake yote. Ilibidi miguo yake ikatwe na Yakobo akabakia kuwa kilema. Wazazi wake walilia kwi kwi kwi, lakini maji yakimwagika hayazoleki. Yahobo alijuta lakini majuto ni mjukuu na huja kinyume, hapo ndipo nilipojua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Yakobo alijiunga na kikundi kipi | {
"text": [
"Cha utumiaji wa dawa za kulevya"
]
} |
Subsets and Splits