Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
1351_swa |
YOTE YANGAYO SI DHAHABU
Hapo zamani za kale wanyama waliungana kuchimba Kisima ili Kuepukana na tatizo la uhaba la maji.Wote walichangia mradi wa kuchimba kisima; si Simba, si ndovu si chui, si fisi wala nyati. Lakini - Sungura alikata katakata kujiunga na wanyama wenzake kwenye mradi huo. Wanyama wenzake walienda kwake kila uchao kumtaka awasaidie Lakini ng’o hawakufua dafu. Sungura alikuwa tu analala kwake mchanakutwa na usiku kucha hajali wala habali.
Basi wanyama hao walipofika maji walifurahia na kushangaikia si haba walifanya karamu kubwa kusheherekea mafanikio yao. Aidha walipanga mikakati ya Kudumisha na kulinda Kisima chao na adimu. Simba aliyekuwa mfalme wa wanyama wote
na kusema.
“ kipo hiki kinyangarika kiitwacho Sungura kilicho kataa kata kata kuungana nasi katika uchimbaji wa kisima tumesumbuka peke yetu. Tumenyanyasika chini ya jua peke yetu. Sungura amejitenga nasi lake kubwa ni kutucheka na kupiga ubwete.” Siku iliyofuata mnyama mwingine akawa kwenye zamu. Mambo yakawa yale yale. Sungura anarauka mapema anakuja anamtamanisha asali na kumfungia mtini kama sharti. Kisha anakataa kumpa yote maji. Anatumia maji anabeba mengine na kuchafua kisima. si chui, si tumbili, si ngiri, Si mfalme simba wote walihadaika kabisa na kusingizia majitu makubwa kuwavamia kama mbinu ya kuepuka Lawama na fedheha.
Mwishowe walipoangalia nyuma waliona kwamba mambo yamekuwa mabaya sana wakaanza kutimua mbio na kuenda zao. Hata hivyo walipoangalia msituni waliona moto ukiwakujia na hawakuwa wanajua kwamba moto ulitokea wapi na unaelekea wapi.
-------- aligeuka nyuma alikotoka ndimi za moto bado zilikuwa zinaonekana na kumkumbusha janga Lililomfika.
| Moto ikuwa unawaka walpi | {
"text": [
"Msituni"
]
} |
1351_swa |
YOTE YANGAYO SI DHAHABU
Hapo zamani za kale wanyama waliungana kuchimba Kisima ili Kuepukana na tatizo la uhaba la maji.Wote walichangia mradi wa kuchimba kisima; si Simba, si ndovu si chui, si fisi wala nyati. Lakini - Sungura alikata katakata kujiunga na wanyama wenzake kwenye mradi huo. Wanyama wenzake walienda kwake kila uchao kumtaka awasaidie Lakini ng’o hawakufua dafu. Sungura alikuwa tu analala kwake mchanakutwa na usiku kucha hajali wala habali.
Basi wanyama hao walipofika maji walifurahia na kushangaikia si haba walifanya karamu kubwa kusheherekea mafanikio yao. Aidha walipanga mikakati ya Kudumisha na kulinda Kisima chao na adimu. Simba aliyekuwa mfalme wa wanyama wote
na kusema.
“ kipo hiki kinyangarika kiitwacho Sungura kilicho kataa kata kata kuungana nasi katika uchimbaji wa kisima tumesumbuka peke yetu. Tumenyanyasika chini ya jua peke yetu. Sungura amejitenga nasi lake kubwa ni kutucheka na kupiga ubwete.” Siku iliyofuata mnyama mwingine akawa kwenye zamu. Mambo yakawa yale yale. Sungura anarauka mapema anakuja anamtamanisha asali na kumfungia mtini kama sharti. Kisha anakataa kumpa yote maji. Anatumia maji anabeba mengine na kuchafua kisima. si chui, si tumbili, si ngiri, Si mfalme simba wote walihadaika kabisa na kusingizia majitu makubwa kuwavamia kama mbinu ya kuepuka Lawama na fedheha.
Mwishowe walipoangalia nyuma waliona kwamba mambo yamekuwa mabaya sana wakaanza kutimua mbio na kuenda zao. Hata hivyo walipoangalia msituni waliona moto ukiwakujia na hawakuwa wanajua kwamba moto ulitokea wapi na unaelekea wapi.
-------- aligeuka nyuma alikotoka ndimi za moto bado zilikuwa zinaonekana na kumkumbusha janga Lililomfika.
| Kwa nini wanyama waliungsna kuchimba kisima | {
"text": [
"Kuepukana tatizo la uhaba wa msji"
]
} |
1352_swa | UTANGULIZI
Kuna nyezo mbalimbali za mawasiliano na ambazo zimesaidia sana ama zina uamilifu katika somo la lugha yoyote ile. Mojawapo ya nyenzo hizo za mawasiliano ni kupitia vifaa vya miigo,faili ya picha, chati,,kadi za maneno ya projekta, ubao, vitabu vya kozi na umbao ambazo ni nyenzo za kuonwa. Nyenzo hizio za kuonwa zina uamilifu wa katika somo la lugha yoyote ule ifuatayo:
Nyenzo za kuonwa zina umuhimu mkubbwa katika ufundishaji wa lugha. Katika ufunzaji wa lugha yoyote ukiwemo wa lugha za kigeni, nyenzo za kuonwa huwa zina dhima kuu, Zaidi huwa ni njia ya kupatanisha hoja na funzo na mawazo ya mwanafunzi hivyo kuchangia katika somo la lugha yoyote ile.
Nyenzo hizi za kuonwahutumika vyema kufundisha vipengele muhimu vya lugha. Nyenzo za kuonwa hutumika kufundisha miundo ya lugha na misamiati ya kiswahili,. Miundo hii ni Pamoja na fonolojia na mafolojia ya Kiswahili. Hii inasaidia katika lugha ya Kiswahili.
Nyenzo za kuonwa hutumika kama kirejeleo cha kuonekana kuliko kirejeleo cha maongezi au maandishi.Nyenzo za kufundisha Kiswahili zikitumiwa kama kirejeleo cha kuonekana zitamsaidia mwanafunzi kuelewa miundo ya lugha ya Kiswahili kwa kuwa dhana hii huwa dhahania. Hii inasaidia katika kuendeleza lugha ya kiswahili.
Nyenzo ya kuonwa ni kama ufundishaji kupitia mitandao, kanda za televisheni na video, utoaji wa mafunzo kupitia televisheni, kanda za kunasia sauti na ipadi. Slaidi za filamu hupangwa kwa utaratibu kuelekezwa ukutani na kuwa njia mwafaka ya kufundisha lugha. Mbinu hii hutumika vyema katika kufanya mazoezi ya misamiati na miundo ya lugha ya Kiswahili. Mbinu hii humuondolea mwanafunzi uchovu na kuchochea motisha kwenye kipindi cha Kiswahili. Hii inachangia katika kuendeleza lugha ya Kiswahili.
| Kuna nini mbalimbali za mawasiliano | {
"text": [
"Nyenzo"
]
} |
1352_swa | UTANGULIZI
Kuna nyezo mbalimbali za mawasiliano na ambazo zimesaidia sana ama zina uamilifu katika somo la lugha yoyote ile. Mojawapo ya nyenzo hizo za mawasiliano ni kupitia vifaa vya miigo,faili ya picha, chati,,kadi za maneno ya projekta, ubao, vitabu vya kozi na umbao ambazo ni nyenzo za kuonwa. Nyenzo hizio za kuonwa zina uamilifu wa katika somo la lugha yoyote ule ifuatayo:
Nyenzo za kuonwa zina umuhimu mkubbwa katika ufundishaji wa lugha. Katika ufunzaji wa lugha yoyote ukiwemo wa lugha za kigeni, nyenzo za kuonwa huwa zina dhima kuu, Zaidi huwa ni njia ya kupatanisha hoja na funzo na mawazo ya mwanafunzi hivyo kuchangia katika somo la lugha yoyote ile.
Nyenzo hizi za kuonwahutumika vyema kufundisha vipengele muhimu vya lugha. Nyenzo za kuonwa hutumika kufundisha miundo ya lugha na misamiati ya kiswahili,. Miundo hii ni Pamoja na fonolojia na mafolojia ya Kiswahili. Hii inasaidia katika lugha ya Kiswahili.
Nyenzo za kuonwa hutumika kama kirejeleo cha kuonekana kuliko kirejeleo cha maongezi au maandishi.Nyenzo za kufundisha Kiswahili zikitumiwa kama kirejeleo cha kuonekana zitamsaidia mwanafunzi kuelewa miundo ya lugha ya Kiswahili kwa kuwa dhana hii huwa dhahania. Hii inasaidia katika kuendeleza lugha ya kiswahili.
Nyenzo ya kuonwa ni kama ufundishaji kupitia mitandao, kanda za televisheni na video, utoaji wa mafunzo kupitia televisheni, kanda za kunasia sauti na ipadi. Slaidi za filamu hupangwa kwa utaratibu kuelekezwa ukutani na kuwa njia mwafaka ya kufundisha lugha. Mbinu hii hutumika vyema katika kufanya mazoezi ya misamiati na miundo ya lugha ya Kiswahili. Mbinu hii humuondolea mwanafunzi uchovu na kuchochea motisha kwenye kipindi cha Kiswahili. Hii inachangia katika kuendeleza lugha ya Kiswahili.
| Mojawapo ya nyenzo hizo za mawasiliano ni kupitia nini | {
"text": [
"Vifaa vya miigo"
]
} |
1352_swa | UTANGULIZI
Kuna nyezo mbalimbali za mawasiliano na ambazo zimesaidia sana ama zina uamilifu katika somo la lugha yoyote ile. Mojawapo ya nyenzo hizo za mawasiliano ni kupitia vifaa vya miigo,faili ya picha, chati,,kadi za maneno ya projekta, ubao, vitabu vya kozi na umbao ambazo ni nyenzo za kuonwa. Nyenzo hizio za kuonwa zina uamilifu wa katika somo la lugha yoyote ule ifuatayo:
Nyenzo za kuonwa zina umuhimu mkubbwa katika ufundishaji wa lugha. Katika ufunzaji wa lugha yoyote ukiwemo wa lugha za kigeni, nyenzo za kuonwa huwa zina dhima kuu, Zaidi huwa ni njia ya kupatanisha hoja na funzo na mawazo ya mwanafunzi hivyo kuchangia katika somo la lugha yoyote ile.
Nyenzo hizi za kuonwahutumika vyema kufundisha vipengele muhimu vya lugha. Nyenzo za kuonwa hutumika kufundisha miundo ya lugha na misamiati ya kiswahili,. Miundo hii ni Pamoja na fonolojia na mafolojia ya Kiswahili. Hii inasaidia katika lugha ya Kiswahili.
Nyenzo za kuonwa hutumika kama kirejeleo cha kuonekana kuliko kirejeleo cha maongezi au maandishi.Nyenzo za kufundisha Kiswahili zikitumiwa kama kirejeleo cha kuonekana zitamsaidia mwanafunzi kuelewa miundo ya lugha ya Kiswahili kwa kuwa dhana hii huwa dhahania. Hii inasaidia katika kuendeleza lugha ya kiswahili.
Nyenzo ya kuonwa ni kama ufundishaji kupitia mitandao, kanda za televisheni na video, utoaji wa mafunzo kupitia televisheni, kanda za kunasia sauti na ipadi. Slaidi za filamu hupangwa kwa utaratibu kuelekezwa ukutani na kuwa njia mwafaka ya kufundisha lugha. Mbinu hii hutumika vyema katika kufanya mazoezi ya misamiati na miundo ya lugha ya Kiswahili. Mbinu hii humuondolea mwanafunzi uchovu na kuchochea motisha kwenye kipindi cha Kiswahili. Hii inachangia katika kuendeleza lugha ya Kiswahili.
| Ni nyenzo gani zilizo na umuhimu mkubwa katika ufundishaji wa lugha | {
"text": [
"Nyenzo za kutazamwa"
]
} |
1352_swa | UTANGULIZI
Kuna nyezo mbalimbali za mawasiliano na ambazo zimesaidia sana ama zina uamilifu katika somo la lugha yoyote ile. Mojawapo ya nyenzo hizo za mawasiliano ni kupitia vifaa vya miigo,faili ya picha, chati,,kadi za maneno ya projekta, ubao, vitabu vya kozi na umbao ambazo ni nyenzo za kuonwa. Nyenzo hizio za kuonwa zina uamilifu wa katika somo la lugha yoyote ule ifuatayo:
Nyenzo za kuonwa zina umuhimu mkubbwa katika ufundishaji wa lugha. Katika ufunzaji wa lugha yoyote ukiwemo wa lugha za kigeni, nyenzo za kuonwa huwa zina dhima kuu, Zaidi huwa ni njia ya kupatanisha hoja na funzo na mawazo ya mwanafunzi hivyo kuchangia katika somo la lugha yoyote ile.
Nyenzo hizi za kuonwahutumika vyema kufundisha vipengele muhimu vya lugha. Nyenzo za kuonwa hutumika kufundisha miundo ya lugha na misamiati ya kiswahili,. Miundo hii ni Pamoja na fonolojia na mafolojia ya Kiswahili. Hii inasaidia katika lugha ya Kiswahili.
Nyenzo za kuonwa hutumika kama kirejeleo cha kuonekana kuliko kirejeleo cha maongezi au maandishi.Nyenzo za kufundisha Kiswahili zikitumiwa kama kirejeleo cha kuonekana zitamsaidia mwanafunzi kuelewa miundo ya lugha ya Kiswahili kwa kuwa dhana hii huwa dhahania. Hii inasaidia katika kuendeleza lugha ya kiswahili.
Nyenzo ya kuonwa ni kama ufundishaji kupitia mitandao, kanda za televisheni na video, utoaji wa mafunzo kupitia televisheni, kanda za kunasia sauti na ipadi. Slaidi za filamu hupangwa kwa utaratibu kuelekezwa ukutani na kuwa njia mwafaka ya kufundisha lugha. Mbinu hii hutumika vyema katika kufanya mazoezi ya misamiati na miundo ya lugha ya Kiswahili. Mbinu hii humuondolea mwanafunzi uchovu na kuchochea motisha kwenye kipindi cha Kiswahili. Hii inachangia katika kuendeleza lugha ya Kiswahili.
| Nyenzo za kuonwa hutumika kufundisha miundo ya lugha na nini | {
"text": [
"Misamiati ya kiswahili"
]
} |
1352_swa | UTANGULIZI
Kuna nyezo mbalimbali za mawasiliano na ambazo zimesaidia sana ama zina uamilifu katika somo la lugha yoyote ile. Mojawapo ya nyenzo hizo za mawasiliano ni kupitia vifaa vya miigo,faili ya picha, chati,,kadi za maneno ya projekta, ubao, vitabu vya kozi na umbao ambazo ni nyenzo za kuonwa. Nyenzo hizio za kuonwa zina uamilifu wa katika somo la lugha yoyote ule ifuatayo:
Nyenzo za kuonwa zina umuhimu mkubbwa katika ufundishaji wa lugha. Katika ufunzaji wa lugha yoyote ukiwemo wa lugha za kigeni, nyenzo za kuonwa huwa zina dhima kuu, Zaidi huwa ni njia ya kupatanisha hoja na funzo na mawazo ya mwanafunzi hivyo kuchangia katika somo la lugha yoyote ile.
Nyenzo hizi za kuonwahutumika vyema kufundisha vipengele muhimu vya lugha. Nyenzo za kuonwa hutumika kufundisha miundo ya lugha na misamiati ya kiswahili,. Miundo hii ni Pamoja na fonolojia na mafolojia ya Kiswahili. Hii inasaidia katika lugha ya Kiswahili.
Nyenzo za kuonwa hutumika kama kirejeleo cha kuonekana kuliko kirejeleo cha maongezi au maandishi.Nyenzo za kufundisha Kiswahili zikitumiwa kama kirejeleo cha kuonekana zitamsaidia mwanafunzi kuelewa miundo ya lugha ya Kiswahili kwa kuwa dhana hii huwa dhahania. Hii inasaidia katika kuendeleza lugha ya kiswahili.
Nyenzo ya kuonwa ni kama ufundishaji kupitia mitandao, kanda za televisheni na video, utoaji wa mafunzo kupitia televisheni, kanda za kunasia sauti na ipadi. Slaidi za filamu hupangwa kwa utaratibu kuelekezwa ukutani na kuwa njia mwafaka ya kufundisha lugha. Mbinu hii hutumika vyema katika kufanya mazoezi ya misamiati na miundo ya lugha ya Kiswahili. Mbinu hii humuondolea mwanafunzi uchovu na kuchochea motisha kwenye kipindi cha Kiswahili. Hii inachangia katika kuendeleza lugha ya Kiswahili.
| Ni nyenzo gani hutumika vyema kufundisha vipengele muhimu vya lugha | {
"text": [
"Nyenzo za kuonwa"
]
} |
1356_swa | NYENZO YA TEKNOLOJIA
UTANGULIZI
Ulimwengu wa sasa wa utandawazi umesababisha kuzagaa kwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano hususan kompyuta na vitumi vyake.
UAMILIFU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia inaweza kuonekana, kusema au kusikika karibu popote ulimwenguni bila ya kujali asili yake. Inaweza kusema kuwa teknolojia ya mawasiliano ndio sababu ya matokeo ya utandawazi.
Hii pia imesababisha ubadilishanaji wa lugha ambayo umeongeza maarifa ya lugha tofauti pamoja na ile ya asili na kuifanya iwe kawaida kuwa ya watu kuwa kwenye lugha mbili, lugha tatu.
Maendeleo ya kiteknolojia katika usafirishaji pia yamenufaisha mawasiliano haswa kwa wakati unaochukua kuenda au kutumia kitu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambayo imepungua haswa katika miaka ya karibuni.
Masomo tofauti kama vile ya kimuziki, densi, sinema, sanaa ya kuona na maonyesho, fasihi, lugha ya dini, umefanya mkoa mmoja ujulikane na na mwingine.
Utamaduni mbalimbali umeweza kusambaa na kusababisha utamaduni mpya. Kuenea kwa mawasiliano na utandawazi kunaongeza utalii wa kikanda ya kimataifa. Kategoria moja ya utalii ni wa muziki ambao unasababishwa na kuandaa tamasha la muziki, kategoria nyingine ni utalii wa mazingira kama ukusanyaji wa taka. Upesi wa mawasiliano na ujifunzaji wa lugha pia umewezesha ubadilishaji wa maarifa na mbinu za utafiti kote ulimwenguni. Hii imeruhusu maendeleo kuharakishwa katika maeneo kama vile afya, mazingira na unajimu, kati na zingine. Katika nyanja ya uchumi, kuna mazungumzo mengi juu ya kutoweka kwa mipaka kwani tofauti za nchi imekoma kuwa kikwazo kuwa faida wakati wa kufanya biashara ya kila aina katika nyanja ya kibinafsi na kati ya serikali.
Teknolojia huweza kuandamana na michoro/picha wakati wa kuwasilisha ujumbe hivyo basi kufunza masomo ya kisayansi kupitia teknolojia yamekuwa rahisi kufunzwa mashuleni.
MAREJELEO
Kamusi ya lugha ya Uhispania" (2018) Katika Royal Academy
Fanjul,E “Utandawazi ni nini” huko iberglobal. | Tekinolojia ya mawasiliano ndio husababisha nini | {
"text": [
"Utandawazi"
]
} |
1356_swa | NYENZO YA TEKNOLOJIA
UTANGULIZI
Ulimwengu wa sasa wa utandawazi umesababisha kuzagaa kwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano hususan kompyuta na vitumi vyake.
UAMILIFU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia inaweza kuonekana, kusema au kusikika karibu popote ulimwenguni bila ya kujali asili yake. Inaweza kusema kuwa teknolojia ya mawasiliano ndio sababu ya matokeo ya utandawazi.
Hii pia imesababisha ubadilishanaji wa lugha ambayo umeongeza maarifa ya lugha tofauti pamoja na ile ya asili na kuifanya iwe kawaida kuwa ya watu kuwa kwenye lugha mbili, lugha tatu.
Maendeleo ya kiteknolojia katika usafirishaji pia yamenufaisha mawasiliano haswa kwa wakati unaochukua kuenda au kutumia kitu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambayo imepungua haswa katika miaka ya karibuni.
Masomo tofauti kama vile ya kimuziki, densi, sinema, sanaa ya kuona na maonyesho, fasihi, lugha ya dini, umefanya mkoa mmoja ujulikane na na mwingine.
Utamaduni mbalimbali umeweza kusambaa na kusababisha utamaduni mpya. Kuenea kwa mawasiliano na utandawazi kunaongeza utalii wa kikanda ya kimataifa. Kategoria moja ya utalii ni wa muziki ambao unasababishwa na kuandaa tamasha la muziki, kategoria nyingine ni utalii wa mazingira kama ukusanyaji wa taka. Upesi wa mawasiliano na ujifunzaji wa lugha pia umewezesha ubadilishaji wa maarifa na mbinu za utafiti kote ulimwenguni. Hii imeruhusu maendeleo kuharakishwa katika maeneo kama vile afya, mazingira na unajimu, kati na zingine. Katika nyanja ya uchumi, kuna mazungumzo mengi juu ya kutoweka kwa mipaka kwani tofauti za nchi imekoma kuwa kikwazo kuwa faida wakati wa kufanya biashara ya kila aina katika nyanja ya kibinafsi na kati ya serikali.
Teknolojia huweza kuandamana na michoro/picha wakati wa kuwasilisha ujumbe hivyo basi kufunza masomo ya kisayansi kupitia teknolojia yamekuwa rahisi kufunzwa mashuleni.
MAREJELEO
Kamusi ya lugha ya Uhispania" (2018) Katika Royal Academy
Fanjul,E “Utandawazi ni nini” huko iberglobal. | Maendeleo ya kitekinolojia katika usafirishaji yamenufaisha nini | {
"text": [
"Mawasiliano"
]
} |
1356_swa | NYENZO YA TEKNOLOJIA
UTANGULIZI
Ulimwengu wa sasa wa utandawazi umesababisha kuzagaa kwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano hususan kompyuta na vitumi vyake.
UAMILIFU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia inaweza kuonekana, kusema au kusikika karibu popote ulimwenguni bila ya kujali asili yake. Inaweza kusema kuwa teknolojia ya mawasiliano ndio sababu ya matokeo ya utandawazi.
Hii pia imesababisha ubadilishanaji wa lugha ambayo umeongeza maarifa ya lugha tofauti pamoja na ile ya asili na kuifanya iwe kawaida kuwa ya watu kuwa kwenye lugha mbili, lugha tatu.
Maendeleo ya kiteknolojia katika usafirishaji pia yamenufaisha mawasiliano haswa kwa wakati unaochukua kuenda au kutumia kitu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambayo imepungua haswa katika miaka ya karibuni.
Masomo tofauti kama vile ya kimuziki, densi, sinema, sanaa ya kuona na maonyesho, fasihi, lugha ya dini, umefanya mkoa mmoja ujulikane na na mwingine.
Utamaduni mbalimbali umeweza kusambaa na kusababisha utamaduni mpya. Kuenea kwa mawasiliano na utandawazi kunaongeza utalii wa kikanda ya kimataifa. Kategoria moja ya utalii ni wa muziki ambao unasababishwa na kuandaa tamasha la muziki, kategoria nyingine ni utalii wa mazingira kama ukusanyaji wa taka. Upesi wa mawasiliano na ujifunzaji wa lugha pia umewezesha ubadilishaji wa maarifa na mbinu za utafiti kote ulimwenguni. Hii imeruhusu maendeleo kuharakishwa katika maeneo kama vile afya, mazingira na unajimu, kati na zingine. Katika nyanja ya uchumi, kuna mazungumzo mengi juu ya kutoweka kwa mipaka kwani tofauti za nchi imekoma kuwa kikwazo kuwa faida wakati wa kufanya biashara ya kila aina katika nyanja ya kibinafsi na kati ya serikali.
Teknolojia huweza kuandamana na michoro/picha wakati wa kuwasilisha ujumbe hivyo basi kufunza masomo ya kisayansi kupitia teknolojia yamekuwa rahisi kufunzwa mashuleni.
MAREJELEO
Kamusi ya lugha ya Uhispania" (2018) Katika Royal Academy
Fanjul,E “Utandawazi ni nini” huko iberglobal. | Kuenea kwa mawasiliano kumeeneza utalii wa nini | {
"text": [
"Kikanda"
]
} |
1356_swa | NYENZO YA TEKNOLOJIA
UTANGULIZI
Ulimwengu wa sasa wa utandawazi umesababisha kuzagaa kwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano hususan kompyuta na vitumi vyake.
UAMILIFU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia inaweza kuonekana, kusema au kusikika karibu popote ulimwenguni bila ya kujali asili yake. Inaweza kusema kuwa teknolojia ya mawasiliano ndio sababu ya matokeo ya utandawazi.
Hii pia imesababisha ubadilishanaji wa lugha ambayo umeongeza maarifa ya lugha tofauti pamoja na ile ya asili na kuifanya iwe kawaida kuwa ya watu kuwa kwenye lugha mbili, lugha tatu.
Maendeleo ya kiteknolojia katika usafirishaji pia yamenufaisha mawasiliano haswa kwa wakati unaochukua kuenda au kutumia kitu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambayo imepungua haswa katika miaka ya karibuni.
Masomo tofauti kama vile ya kimuziki, densi, sinema, sanaa ya kuona na maonyesho, fasihi, lugha ya dini, umefanya mkoa mmoja ujulikane na na mwingine.
Utamaduni mbalimbali umeweza kusambaa na kusababisha utamaduni mpya. Kuenea kwa mawasiliano na utandawazi kunaongeza utalii wa kikanda ya kimataifa. Kategoria moja ya utalii ni wa muziki ambao unasababishwa na kuandaa tamasha la muziki, kategoria nyingine ni utalii wa mazingira kama ukusanyaji wa taka. Upesi wa mawasiliano na ujifunzaji wa lugha pia umewezesha ubadilishaji wa maarifa na mbinu za utafiti kote ulimwenguni. Hii imeruhusu maendeleo kuharakishwa katika maeneo kama vile afya, mazingira na unajimu, kati na zingine. Katika nyanja ya uchumi, kuna mazungumzo mengi juu ya kutoweka kwa mipaka kwani tofauti za nchi imekoma kuwa kikwazo kuwa faida wakati wa kufanya biashara ya kila aina katika nyanja ya kibinafsi na kati ya serikali.
Teknolojia huweza kuandamana na michoro/picha wakati wa kuwasilisha ujumbe hivyo basi kufunza masomo ya kisayansi kupitia teknolojia yamekuwa rahisi kufunzwa mashuleni.
MAREJELEO
Kamusi ya lugha ya Uhispania" (2018) Katika Royal Academy
Fanjul,E “Utandawazi ni nini” huko iberglobal. | Katika uchumi kuna mazungumzo ya utowekaji wa nini | {
"text": [
"mipaka"
]
} |
1356_swa | NYENZO YA TEKNOLOJIA
UTANGULIZI
Ulimwengu wa sasa wa utandawazi umesababisha kuzagaa kwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano hususan kompyuta na vitumi vyake.
UAMILIFU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia inaweza kuonekana, kusema au kusikika karibu popote ulimwenguni bila ya kujali asili yake. Inaweza kusema kuwa teknolojia ya mawasiliano ndio sababu ya matokeo ya utandawazi.
Hii pia imesababisha ubadilishanaji wa lugha ambayo umeongeza maarifa ya lugha tofauti pamoja na ile ya asili na kuifanya iwe kawaida kuwa ya watu kuwa kwenye lugha mbili, lugha tatu.
Maendeleo ya kiteknolojia katika usafirishaji pia yamenufaisha mawasiliano haswa kwa wakati unaochukua kuenda au kutumia kitu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambayo imepungua haswa katika miaka ya karibuni.
Masomo tofauti kama vile ya kimuziki, densi, sinema, sanaa ya kuona na maonyesho, fasihi, lugha ya dini, umefanya mkoa mmoja ujulikane na na mwingine.
Utamaduni mbalimbali umeweza kusambaa na kusababisha utamaduni mpya. Kuenea kwa mawasiliano na utandawazi kunaongeza utalii wa kikanda ya kimataifa. Kategoria moja ya utalii ni wa muziki ambao unasababishwa na kuandaa tamasha la muziki, kategoria nyingine ni utalii wa mazingira kama ukusanyaji wa taka. Upesi wa mawasiliano na ujifunzaji wa lugha pia umewezesha ubadilishaji wa maarifa na mbinu za utafiti kote ulimwenguni. Hii imeruhusu maendeleo kuharakishwa katika maeneo kama vile afya, mazingira na unajimu, kati na zingine. Katika nyanja ya uchumi, kuna mazungumzo mengi juu ya kutoweka kwa mipaka kwani tofauti za nchi imekoma kuwa kikwazo kuwa faida wakati wa kufanya biashara ya kila aina katika nyanja ya kibinafsi na kati ya serikali.
Teknolojia huweza kuandamana na michoro/picha wakati wa kuwasilisha ujumbe hivyo basi kufunza masomo ya kisayansi kupitia teknolojia yamekuwa rahisi kufunzwa mashuleni.
MAREJELEO
Kamusi ya lugha ya Uhispania" (2018) Katika Royal Academy
Fanjul,E “Utandawazi ni nini” huko iberglobal. | Kwa nini kufunza somo la sayansi imekuwa rahisi | {
"text": [
"Teknolojia huweza kuandamana michoro na picha"
]
} |
1403_swa | Binadamu huwasiliana kwa njia tofauti kila siku. Njia hizi ni kama vile maandishi, mazungumzo, ishara, matumizi ya picha ngoma na kadhalika. Mazungumzo hata hivyo ni njia ambayo inatumiwa na watu wengi kama vile wanafunzi, walimu wafanyi biashara na pia watoto.
Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyengo bainishi ni lugha ya sauti. Yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha. Hushirikisha majibu papo kwa hapo kwa kuwa ni ya ana kwa ana, mazungumzo hukuisha matumizi ya lugha na miondoko ya mwili kama vile mhadhiri anapofunza mwanafunzi anatumia miondoko mwa mwili ili mwanafunzi aelewe vizuri, hujenga mahusiano mema miongoni mwa washirika kama vile mhubiri na washiriki kanisani kwa kuwashirikisha katika kuimba nyimbo na kuwapa fursa ya kusoma biblia.
Mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti. Huweza kutumiwa kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa kurudiwa rudiwa na hata kukosolewa papo hapo mazungumo yanapoendelea, hutumiwa pia kushawishi watu kuhusu jambo fulani kama vile kampeni, kushawishi watu kupigia kura mtu fulani.
Ingawa mazungumzo yana faida nyingi, imekuwa na changamoto zifuatazo, huweza kusahaulika kwa sababu haina rekodi ya kudumu, huweza kuzua fujo miongoni mwa washiriki kama katika kampeni mnaposema mambo ambayo hayaridhishi msikilizaji. Yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mhadhiri maswali. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji.
Hivyo basi mazungumzo ni nyenzo ambayo ni ya maana sana katika mawasiliano ya binadamu kwa sababu ni ya ana kwa ana na majibu ni ya papo hapo, haina gharama kubwa kwa kuwa
inahitaji sauti. Ingawa ina changamoto, faida zake ni nyingi! kama nilivyotaja hapo awali. | Ni njia gani inayotumiwa na watu wengi | {
"text": [
"Mazungumzo"
]
} |
1403_swa | Binadamu huwasiliana kwa njia tofauti kila siku. Njia hizi ni kama vile maandishi, mazungumzo, ishara, matumizi ya picha ngoma na kadhalika. Mazungumzo hata hivyo ni njia ambayo inatumiwa na watu wengi kama vile wanafunzi, walimu wafanyi biashara na pia watoto.
Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyengo bainishi ni lugha ya sauti. Yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha. Hushirikisha majibu papo kwa hapo kwa kuwa ni ya ana kwa ana, mazungumzo hukuisha matumizi ya lugha na miondoko ya mwili kama vile mhadhiri anapofunza mwanafunzi anatumia miondoko mwa mwili ili mwanafunzi aelewe vizuri, hujenga mahusiano mema miongoni mwa washirika kama vile mhubiri na washiriki kanisani kwa kuwashirikisha katika kuimba nyimbo na kuwapa fursa ya kusoma biblia.
Mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti. Huweza kutumiwa kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa kurudiwa rudiwa na hata kukosolewa papo hapo mazungumo yanapoendelea, hutumiwa pia kushawishi watu kuhusu jambo fulani kama vile kampeni, kushawishi watu kupigia kura mtu fulani.
Ingawa mazungumzo yana faida nyingi, imekuwa na changamoto zifuatazo, huweza kusahaulika kwa sababu haina rekodi ya kudumu, huweza kuzua fujo miongoni mwa washiriki kama katika kampeni mnaposema mambo ambayo hayaridhishi msikilizaji. Yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mhadhiri maswali. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji.
Hivyo basi mazungumzo ni nyenzo ambayo ni ya maana sana katika mawasiliano ya binadamu kwa sababu ni ya ana kwa ana na majibu ni ya papo hapo, haina gharama kubwa kwa kuwa
inahitaji sauti. Ingawa ina changamoto, faida zake ni nyingi! kama nilivyotaja hapo awali. | Lugha ipi inayotumiwa katika mawasiliano | {
"text": [
"sauti"
]
} |
1403_swa | Binadamu huwasiliana kwa njia tofauti kila siku. Njia hizi ni kama vile maandishi, mazungumzo, ishara, matumizi ya picha ngoma na kadhalika. Mazungumzo hata hivyo ni njia ambayo inatumiwa na watu wengi kama vile wanafunzi, walimu wafanyi biashara na pia watoto.
Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyengo bainishi ni lugha ya sauti. Yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha. Hushirikisha majibu papo kwa hapo kwa kuwa ni ya ana kwa ana, mazungumzo hukuisha matumizi ya lugha na miondoko ya mwili kama vile mhadhiri anapofunza mwanafunzi anatumia miondoko mwa mwili ili mwanafunzi aelewe vizuri, hujenga mahusiano mema miongoni mwa washirika kama vile mhubiri na washiriki kanisani kwa kuwashirikisha katika kuimba nyimbo na kuwapa fursa ya kusoma biblia.
Mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti. Huweza kutumiwa kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa kurudiwa rudiwa na hata kukosolewa papo hapo mazungumo yanapoendelea, hutumiwa pia kushawishi watu kuhusu jambo fulani kama vile kampeni, kushawishi watu kupigia kura mtu fulani.
Ingawa mazungumzo yana faida nyingi, imekuwa na changamoto zifuatazo, huweza kusahaulika kwa sababu haina rekodi ya kudumu, huweza kuzua fujo miongoni mwa washiriki kama katika kampeni mnaposema mambo ambayo hayaridhishi msikilizaji. Yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mhadhiri maswali. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji.
Hivyo basi mazungumzo ni nyenzo ambayo ni ya maana sana katika mawasiliano ya binadamu kwa sababu ni ya ana kwa ana na majibu ni ya papo hapo, haina gharama kubwa kwa kuwa
inahitaji sauti. Ingawa ina changamoto, faida zake ni nyingi! kama nilivyotaja hapo awali. | Mazungumzo hayana nini kubwa | {
"text": [
"Gharama"
]
} |
1403_swa | Binadamu huwasiliana kwa njia tofauti kila siku. Njia hizi ni kama vile maandishi, mazungumzo, ishara, matumizi ya picha ngoma na kadhalika. Mazungumzo hata hivyo ni njia ambayo inatumiwa na watu wengi kama vile wanafunzi, walimu wafanyi biashara na pia watoto.
Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyengo bainishi ni lugha ya sauti. Yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha. Hushirikisha majibu papo kwa hapo kwa kuwa ni ya ana kwa ana, mazungumzo hukuisha matumizi ya lugha na miondoko ya mwili kama vile mhadhiri anapofunza mwanafunzi anatumia miondoko mwa mwili ili mwanafunzi aelewe vizuri, hujenga mahusiano mema miongoni mwa washirika kama vile mhubiri na washiriki kanisani kwa kuwashirikisha katika kuimba nyimbo na kuwapa fursa ya kusoma biblia.
Mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti. Huweza kutumiwa kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa kurudiwa rudiwa na hata kukosolewa papo hapo mazungumo yanapoendelea, hutumiwa pia kushawishi watu kuhusu jambo fulani kama vile kampeni, kushawishi watu kupigia kura mtu fulani.
Ingawa mazungumzo yana faida nyingi, imekuwa na changamoto zifuatazo, huweza kusahaulika kwa sababu haina rekodi ya kudumu, huweza kuzua fujo miongoni mwa washiriki kama katika kampeni mnaposema mambo ambayo hayaridhishi msikilizaji. Yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mhadhiri maswali. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji.
Hivyo basi mazungumzo ni nyenzo ambayo ni ya maana sana katika mawasiliano ya binadamu kwa sababu ni ya ana kwa ana na majibu ni ya papo hapo, haina gharama kubwa kwa kuwa
inahitaji sauti. Ingawa ina changamoto, faida zake ni nyingi! kama nilivyotaja hapo awali. | Mazungumzo hupoteza nini ya msikilizaji | {
"text": [
"Makini"
]
} |
1403_swa | Binadamu huwasiliana kwa njia tofauti kila siku. Njia hizi ni kama vile maandishi, mazungumzo, ishara, matumizi ya picha ngoma na kadhalika. Mazungumzo hata hivyo ni njia ambayo inatumiwa na watu wengi kama vile wanafunzi, walimu wafanyi biashara na pia watoto.
Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyengo bainishi ni lugha ya sauti. Yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha. Hushirikisha majibu papo kwa hapo kwa kuwa ni ya ana kwa ana, mazungumzo hukuisha matumizi ya lugha na miondoko ya mwili kama vile mhadhiri anapofunza mwanafunzi anatumia miondoko mwa mwili ili mwanafunzi aelewe vizuri, hujenga mahusiano mema miongoni mwa washirika kama vile mhubiri na washiriki kanisani kwa kuwashirikisha katika kuimba nyimbo na kuwapa fursa ya kusoma biblia.
Mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti. Huweza kutumiwa kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa kurudiwa rudiwa na hata kukosolewa papo hapo mazungumo yanapoendelea, hutumiwa pia kushawishi watu kuhusu jambo fulani kama vile kampeni, kushawishi watu kupigia kura mtu fulani.
Ingawa mazungumzo yana faida nyingi, imekuwa na changamoto zifuatazo, huweza kusahaulika kwa sababu haina rekodi ya kudumu, huweza kuzua fujo miongoni mwa washiriki kama katika kampeni mnaposema mambo ambayo hayaridhishi msikilizaji. Yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mhadhiri maswali. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji.
Hivyo basi mazungumzo ni nyenzo ambayo ni ya maana sana katika mawasiliano ya binadamu kwa sababu ni ya ana kwa ana na majibu ni ya papo hapo, haina gharama kubwa kwa kuwa
inahitaji sauti. Ingawa ina changamoto, faida zake ni nyingi! kama nilivyotaja hapo awali. | Kwa nini mazungumzo ni nyenzo chanya ya mawasiliano | {
"text": [
"Ni ya ana kwa ana na majibu ya papo hapo"
]
} |
1434_swa | HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA KUDUMISHA MTOTO MSICHANA
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu Kiranja mkuu, Viranja wengine na Wanafunzi wenzangu hamjamboni?
Mnavyojua leo ni siku kuu yo mtoto wa kike duniani Mimi ni yule yule mtetezi wa elimu ya mtoto msichana na haki zake zote. Nimesimama mbele yenu kuwahutubia kuhusu Umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii nzima. Mwanamke ndiye hushikilia familia yake. Kwa mikono yake mwenyewe, mwanamke ataijenga familia yake mwanamke asiyeelimika ni aibu na chukizo kwa familia yake na mwanamke aliyeelimika ni furaha riberibe kwa familia yake. Familia zikiungana zinaunda Jamii. Jamii zenge Wanawake walioelimika ni Jamii zenye maendeleo ya hali juu. Nani kati yetu asiyependa maendeleo ?..
Kuelimisha msichana kinaondoa utegemezi katika kitamaduni za kiafrika, Mwanamke amechukuliwa kama kiumbe kinachomtegemea mwanamume kama kupe anayenyonya damu kwenye mkia wa ng’ombe. Hii ni kwa kuwa maana mwanamke wa zamani hakupewa nafasi ya kuenda shuleni na kufungua ubongo wake. Msichana atakufungua ubongo wake anapoelimishwa.Baadaye anapata ajira na kuwasaidia wanajamii kulisukuma gurudumu la maisha. Maana, kichango ni kuchangizana.
Mtoto wa kike akielimishwa ataepuka ndoa za mapema. Ndoa za mapema zimekuwa na hasara nyingi katika jamii Mojawapo ya hasara hizo ni makosa au unyanyasaji wa wanandoa wachanga.Wasichana wanapoozwa mapema, akili yao huwa haijakoma Hivyo aghalabu huwa hawezi kufanya mazuri yanayofaa kwa kutumia akili kambuzi na akili razini. Huwa wanawategemea waume zao kuamua vitu vidogo vidogo ambapo mwanamke aliyesoma angefanya. Pia wakijiepusha na matatizo kama vile hitilafu za uzazi zinazotokana na kutokomaa kwa nyumba ya uzazi au mjimsichana huyo anapopata ujauzito.
Sitaki kuwachosha kwa mengi lakini nawaambia kuwa mkielimisha mwanamke, mwanamke huyo atapata nafasi ya kupiga kelele. Atakataa kunyanyaswa na kuhuniwa na wanaume au wanawake wenzake. Hapo zamani za kale mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani aliponyanyaswa. Elimu ikampa nafasi na ujasiri wa simba na nguvu za kupiga mbiu jambo mbaya linapotokea.
Kila lililo na mwanzo lina mwisho. Nawashukuru nyinyi nyote kwa kuniazima masikio yenu niwahutubie. Tumuelimishe mtoto msichana ili tushirikiane katika kukurukakara za maisha. Asante. | Anahutubia umuhimu wa elimu ya nani | {
"text": [
"msichana"
]
} |
1434_swa | HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA KUDUMISHA MTOTO MSICHANA
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu Kiranja mkuu, Viranja wengine na Wanafunzi wenzangu hamjamboni?
Mnavyojua leo ni siku kuu yo mtoto wa kike duniani Mimi ni yule yule mtetezi wa elimu ya mtoto msichana na haki zake zote. Nimesimama mbele yenu kuwahutubia kuhusu Umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii nzima. Mwanamke ndiye hushikilia familia yake. Kwa mikono yake mwenyewe, mwanamke ataijenga familia yake mwanamke asiyeelimika ni aibu na chukizo kwa familia yake na mwanamke aliyeelimika ni furaha riberibe kwa familia yake. Familia zikiungana zinaunda Jamii. Jamii zenge Wanawake walioelimika ni Jamii zenye maendeleo ya hali juu. Nani kati yetu asiyependa maendeleo ?..
Kuelimisha msichana kinaondoa utegemezi katika kitamaduni za kiafrika, Mwanamke amechukuliwa kama kiumbe kinachomtegemea mwanamume kama kupe anayenyonya damu kwenye mkia wa ng’ombe. Hii ni kwa kuwa maana mwanamke wa zamani hakupewa nafasi ya kuenda shuleni na kufungua ubongo wake. Msichana atakufungua ubongo wake anapoelimishwa.Baadaye anapata ajira na kuwasaidia wanajamii kulisukuma gurudumu la maisha. Maana, kichango ni kuchangizana.
Mtoto wa kike akielimishwa ataepuka ndoa za mapema. Ndoa za mapema zimekuwa na hasara nyingi katika jamii Mojawapo ya hasara hizo ni makosa au unyanyasaji wa wanandoa wachanga.Wasichana wanapoozwa mapema, akili yao huwa haijakoma Hivyo aghalabu huwa hawezi kufanya mazuri yanayofaa kwa kutumia akili kambuzi na akili razini. Huwa wanawategemea waume zao kuamua vitu vidogo vidogo ambapo mwanamke aliyesoma angefanya. Pia wakijiepusha na matatizo kama vile hitilafu za uzazi zinazotokana na kutokomaa kwa nyumba ya uzazi au mjimsichana huyo anapopata ujauzito.
Sitaki kuwachosha kwa mengi lakini nawaambia kuwa mkielimisha mwanamke, mwanamke huyo atapata nafasi ya kupiga kelele. Atakataa kunyanyaswa na kuhuniwa na wanaume au wanawake wenzake. Hapo zamani za kale mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani aliponyanyaswa. Elimu ikampa nafasi na ujasiri wa simba na nguvu za kupiga mbiu jambo mbaya linapotokea.
Kila lililo na mwanzo lina mwisho. Nawashukuru nyinyi nyote kwa kuniazima masikio yenu niwahutubie. Tumuelimishe mtoto msichana ili tushirikiane katika kukurukakara za maisha. Asante. | Nani hushikilia familia yake | {
"text": [
"mwanamke"
]
} |
1434_swa | HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA KUDUMISHA MTOTO MSICHANA
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu Kiranja mkuu, Viranja wengine na Wanafunzi wenzangu hamjamboni?
Mnavyojua leo ni siku kuu yo mtoto wa kike duniani Mimi ni yule yule mtetezi wa elimu ya mtoto msichana na haki zake zote. Nimesimama mbele yenu kuwahutubia kuhusu Umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii nzima. Mwanamke ndiye hushikilia familia yake. Kwa mikono yake mwenyewe, mwanamke ataijenga familia yake mwanamke asiyeelimika ni aibu na chukizo kwa familia yake na mwanamke aliyeelimika ni furaha riberibe kwa familia yake. Familia zikiungana zinaunda Jamii. Jamii zenge Wanawake walioelimika ni Jamii zenye maendeleo ya hali juu. Nani kati yetu asiyependa maendeleo ?..
Kuelimisha msichana kinaondoa utegemezi katika kitamaduni za kiafrika, Mwanamke amechukuliwa kama kiumbe kinachomtegemea mwanamume kama kupe anayenyonya damu kwenye mkia wa ng’ombe. Hii ni kwa kuwa maana mwanamke wa zamani hakupewa nafasi ya kuenda shuleni na kufungua ubongo wake. Msichana atakufungua ubongo wake anapoelimishwa.Baadaye anapata ajira na kuwasaidia wanajamii kulisukuma gurudumu la maisha. Maana, kichango ni kuchangizana.
Mtoto wa kike akielimishwa ataepuka ndoa za mapema. Ndoa za mapema zimekuwa na hasara nyingi katika jamii Mojawapo ya hasara hizo ni makosa au unyanyasaji wa wanandoa wachanga.Wasichana wanapoozwa mapema, akili yao huwa haijakoma Hivyo aghalabu huwa hawezi kufanya mazuri yanayofaa kwa kutumia akili kambuzi na akili razini. Huwa wanawategemea waume zao kuamua vitu vidogo vidogo ambapo mwanamke aliyesoma angefanya. Pia wakijiepusha na matatizo kama vile hitilafu za uzazi zinazotokana na kutokomaa kwa nyumba ya uzazi au mjimsichana huyo anapopata ujauzito.
Sitaki kuwachosha kwa mengi lakini nawaambia kuwa mkielimisha mwanamke, mwanamke huyo atapata nafasi ya kupiga kelele. Atakataa kunyanyaswa na kuhuniwa na wanaume au wanawake wenzake. Hapo zamani za kale mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani aliponyanyaswa. Elimu ikampa nafasi na ujasiri wa simba na nguvu za kupiga mbiu jambo mbaya linapotokea.
Kila lililo na mwanzo lina mwisho. Nawashukuru nyinyi nyote kwa kuniazima masikio yenu niwahutubie. Tumuelimishe mtoto msichana ili tushirikiane katika kukurukakara za maisha. Asante. | Kuelimisha msichana kunaondoa nini | {
"text": [
"utegemezi"
]
} |
1434_swa | HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA KUDUMISHA MTOTO MSICHANA
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu Kiranja mkuu, Viranja wengine na Wanafunzi wenzangu hamjamboni?
Mnavyojua leo ni siku kuu yo mtoto wa kike duniani Mimi ni yule yule mtetezi wa elimu ya mtoto msichana na haki zake zote. Nimesimama mbele yenu kuwahutubia kuhusu Umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii nzima. Mwanamke ndiye hushikilia familia yake. Kwa mikono yake mwenyewe, mwanamke ataijenga familia yake mwanamke asiyeelimika ni aibu na chukizo kwa familia yake na mwanamke aliyeelimika ni furaha riberibe kwa familia yake. Familia zikiungana zinaunda Jamii. Jamii zenge Wanawake walioelimika ni Jamii zenye maendeleo ya hali juu. Nani kati yetu asiyependa maendeleo ?..
Kuelimisha msichana kinaondoa utegemezi katika kitamaduni za kiafrika, Mwanamke amechukuliwa kama kiumbe kinachomtegemea mwanamume kama kupe anayenyonya damu kwenye mkia wa ng’ombe. Hii ni kwa kuwa maana mwanamke wa zamani hakupewa nafasi ya kuenda shuleni na kufungua ubongo wake. Msichana atakufungua ubongo wake anapoelimishwa.Baadaye anapata ajira na kuwasaidia wanajamii kulisukuma gurudumu la maisha. Maana, kichango ni kuchangizana.
Mtoto wa kike akielimishwa ataepuka ndoa za mapema. Ndoa za mapema zimekuwa na hasara nyingi katika jamii Mojawapo ya hasara hizo ni makosa au unyanyasaji wa wanandoa wachanga.Wasichana wanapoozwa mapema, akili yao huwa haijakoma Hivyo aghalabu huwa hawezi kufanya mazuri yanayofaa kwa kutumia akili kambuzi na akili razini. Huwa wanawategemea waume zao kuamua vitu vidogo vidogo ambapo mwanamke aliyesoma angefanya. Pia wakijiepusha na matatizo kama vile hitilafu za uzazi zinazotokana na kutokomaa kwa nyumba ya uzazi au mjimsichana huyo anapopata ujauzito.
Sitaki kuwachosha kwa mengi lakini nawaambia kuwa mkielimisha mwanamke, mwanamke huyo atapata nafasi ya kupiga kelele. Atakataa kunyanyaswa na kuhuniwa na wanaume au wanawake wenzake. Hapo zamani za kale mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani aliponyanyaswa. Elimu ikampa nafasi na ujasiri wa simba na nguvu za kupiga mbiu jambo mbaya linapotokea.
Kila lililo na mwanzo lina mwisho. Nawashukuru nyinyi nyote kwa kuniazima masikio yenu niwahutubie. Tumuelimishe mtoto msichana ili tushirikiane katika kukurukakara za maisha. Asante. | Mtoto wa kike akielimishwa ataepuka nini | {
"text": [
"ndoa za mapema"
]
} |
1434_swa | HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA KUDUMISHA MTOTO MSICHANA
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, walimu Kiranja mkuu, Viranja wengine na Wanafunzi wenzangu hamjamboni?
Mnavyojua leo ni siku kuu yo mtoto wa kike duniani Mimi ni yule yule mtetezi wa elimu ya mtoto msichana na haki zake zote. Nimesimama mbele yenu kuwahutubia kuhusu Umuhimu wa elimu ya msichana.
Elimu ya mtoto msichana ni elimu kwa jamii nzima. Mwanamke ndiye hushikilia familia yake. Kwa mikono yake mwenyewe, mwanamke ataijenga familia yake mwanamke asiyeelimika ni aibu na chukizo kwa familia yake na mwanamke aliyeelimika ni furaha riberibe kwa familia yake. Familia zikiungana zinaunda Jamii. Jamii zenge Wanawake walioelimika ni Jamii zenye maendeleo ya hali juu. Nani kati yetu asiyependa maendeleo ?..
Kuelimisha msichana kinaondoa utegemezi katika kitamaduni za kiafrika, Mwanamke amechukuliwa kama kiumbe kinachomtegemea mwanamume kama kupe anayenyonya damu kwenye mkia wa ng’ombe. Hii ni kwa kuwa maana mwanamke wa zamani hakupewa nafasi ya kuenda shuleni na kufungua ubongo wake. Msichana atakufungua ubongo wake anapoelimishwa.Baadaye anapata ajira na kuwasaidia wanajamii kulisukuma gurudumu la maisha. Maana, kichango ni kuchangizana.
Mtoto wa kike akielimishwa ataepuka ndoa za mapema. Ndoa za mapema zimekuwa na hasara nyingi katika jamii Mojawapo ya hasara hizo ni makosa au unyanyasaji wa wanandoa wachanga.Wasichana wanapoozwa mapema, akili yao huwa haijakoma Hivyo aghalabu huwa hawezi kufanya mazuri yanayofaa kwa kutumia akili kambuzi na akili razini. Huwa wanawategemea waume zao kuamua vitu vidogo vidogo ambapo mwanamke aliyesoma angefanya. Pia wakijiepusha na matatizo kama vile hitilafu za uzazi zinazotokana na kutokomaa kwa nyumba ya uzazi au mjimsichana huyo anapopata ujauzito.
Sitaki kuwachosha kwa mengi lakini nawaambia kuwa mkielimisha mwanamke, mwanamke huyo atapata nafasi ya kupiga kelele. Atakataa kunyanyaswa na kuhuniwa na wanaume au wanawake wenzake. Hapo zamani za kale mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani aliponyanyaswa. Elimu ikampa nafasi na ujasiri wa simba na nguvu za kupiga mbiu jambo mbaya linapotokea.
Kila lililo na mwanzo lina mwisho. Nawashukuru nyinyi nyote kwa kuniazima masikio yenu niwahutubie. Tumuelimishe mtoto msichana ili tushirikiane katika kukurukakara za maisha. Asante. | Lini mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani | {
"text": [
"zamani za kale"
]
} |
1440_swa |
Ajabu sisi Waafrika bado tunabaguana kuhusu weusi wetu
PENGINE umekumbana na video fupi iliyoenea mtandaoni inayoonyesha kemikali fulani inayosemekana Kusafisha ngozi ya wanawake Weusi na kuwabadilishana kuwa “wazungu”.
Katika video hiyo, mwanamke fulani ambaye yuko nusu uchi anaonekana akiwa amejitumbukiza ndani ya beseni lililojaa kemikali hii huku mwanamke mwingine akionekana kuonyesha jinsi bidhaa hii inavyoondoa rangi ya ju ya ngozi ya binti huyu.
“Inasafisha ngozi kabisa,” anasema.
Uhalisi wa video hii haujathibitishwa lakini kilichobainika ni kwamba
watu wengi walionekana kukerwa na video hii huku wengi wakishindwa
kumithili _kwa nini mtu anavyoweza kuhatarisha usalama wa afya yake ili kuchubua ngozi zao.
Lakini maoni ya kaka mmoja yalinivutia. “Tunawatusi watu wenye ngozi nyeusi miongoni mwetu huku tukionekana kuvutiwa sana na rangi nyeupe, ilhali tunatarajia mabinti zetu. waendelee kufurahia ngozi zao
nyeusi,” alisema.
Huu ndio uhalisi wa maisha; chuki dhidi ya ngozi zetu. Ni suala ambalo
limekita mizizi hata katika mifumo mbali mbali ambapo ni hivi majuzi
tu ambapo wanawake wa Kiafrika wenye ngozi nyeusi walianza kushirikishwa katika matangazo ya kibiashara au taaluma. zinazohusisha
urembo. Ni suala ambalo limeumba mawazo ya wengi kudhani kwamba
urembo ni kuwamweupe.
Muigizaji Lupita Nyong’o aliwahi kufichua kwamba awali, ngozi yake nyeusi ilimzuia kupata nafasi nyingi za uigizaji hapa Kenya. Kwa upande mwingine mwanahabari mmoja aliwahi kufichua jinsi kama mwanamke mweusi katika taaluma_hiyo, alivyong’ang’ana kutoonekana licha ya kuwa mojawapo ya watangazaji shupavu nchini.
Haya ni masaibu ya mwanamke mwenye ngozi nyeusi sio ugenini, bali hapa Afrika. Hapa Kenya kuna msemo maarufu ‘rangi ya thao’ ambao ume kuwa ukiambatanisha weupe hasa kwa mwanamke, na mgodi wa dhahabu kwani wanaamini kwamba rangi nyeupe ya ngozi ni jukwaa la kufikia mfuko wa dume tajiri.
Ndiposa_ tumeshudia baadhi ya masosholaiti wakijigamba kutumia utaratibu ghali kujichubua huku wakilinganisha uamuzi wao na uwekezaji.
Kisha tunajiuliza kwa nini biashara yabidhaa za kujichubua kwenye bara
bara ya Latema inazidi kunawiri, ilhali mabinti wanafahamu madhara yanayotokana na matumizi ya bidhaa hizi sumu.
| Nini inasafisha ngozi ya wanawake weusi | {
"text": [
"kemikali"
]
} |
1440_swa |
Ajabu sisi Waafrika bado tunabaguana kuhusu weusi wetu
PENGINE umekumbana na video fupi iliyoenea mtandaoni inayoonyesha kemikali fulani inayosemekana Kusafisha ngozi ya wanawake Weusi na kuwabadilishana kuwa “wazungu”.
Katika video hiyo, mwanamke fulani ambaye yuko nusu uchi anaonekana akiwa amejitumbukiza ndani ya beseni lililojaa kemikali hii huku mwanamke mwingine akionekana kuonyesha jinsi bidhaa hii inavyoondoa rangi ya ju ya ngozi ya binti huyu.
“Inasafisha ngozi kabisa,” anasema.
Uhalisi wa video hii haujathibitishwa lakini kilichobainika ni kwamba
watu wengi walionekana kukerwa na video hii huku wengi wakishindwa
kumithili _kwa nini mtu anavyoweza kuhatarisha usalama wa afya yake ili kuchubua ngozi zao.
Lakini maoni ya kaka mmoja yalinivutia. “Tunawatusi watu wenye ngozi nyeusi miongoni mwetu huku tukionekana kuvutiwa sana na rangi nyeupe, ilhali tunatarajia mabinti zetu. waendelee kufurahia ngozi zao
nyeusi,” alisema.
Huu ndio uhalisi wa maisha; chuki dhidi ya ngozi zetu. Ni suala ambalo
limekita mizizi hata katika mifumo mbali mbali ambapo ni hivi majuzi
tu ambapo wanawake wa Kiafrika wenye ngozi nyeusi walianza kushirikishwa katika matangazo ya kibiashara au taaluma. zinazohusisha
urembo. Ni suala ambalo limeumba mawazo ya wengi kudhani kwamba
urembo ni kuwamweupe.
Muigizaji Lupita Nyong’o aliwahi kufichua kwamba awali, ngozi yake nyeusi ilimzuia kupata nafasi nyingi za uigizaji hapa Kenya. Kwa upande mwingine mwanahabari mmoja aliwahi kufichua jinsi kama mwanamke mweusi katika taaluma_hiyo, alivyong’ang’ana kutoonekana licha ya kuwa mojawapo ya watangazaji shupavu nchini.
Haya ni masaibu ya mwanamke mwenye ngozi nyeusi sio ugenini, bali hapa Afrika. Hapa Kenya kuna msemo maarufu ‘rangi ya thao’ ambao ume kuwa ukiambatanisha weupe hasa kwa mwanamke, na mgodi wa dhahabu kwani wanaamini kwamba rangi nyeupe ya ngozi ni jukwaa la kufikia mfuko wa dume tajiri.
Ndiposa_ tumeshudia baadhi ya masosholaiti wakijigamba kutumia utaratibu ghali kujichubua huku wakilinganisha uamuzi wao na uwekezaji.
Kisha tunajiuliza kwa nini biashara yabidhaa za kujichubua kwenye bara
bara ya Latema inazidi kunawiri, ilhali mabinti wanafahamu madhara yanayotokana na matumizi ya bidhaa hizi sumu.
| Bidhaa hiyo iliondoa rangi ya juu ya ngozi ya nani | {
"text": [
"binti huyo"
]
} |
1440_swa |
Ajabu sisi Waafrika bado tunabaguana kuhusu weusi wetu
PENGINE umekumbana na video fupi iliyoenea mtandaoni inayoonyesha kemikali fulani inayosemekana Kusafisha ngozi ya wanawake Weusi na kuwabadilishana kuwa “wazungu”.
Katika video hiyo, mwanamke fulani ambaye yuko nusu uchi anaonekana akiwa amejitumbukiza ndani ya beseni lililojaa kemikali hii huku mwanamke mwingine akionekana kuonyesha jinsi bidhaa hii inavyoondoa rangi ya ju ya ngozi ya binti huyu.
“Inasafisha ngozi kabisa,” anasema.
Uhalisi wa video hii haujathibitishwa lakini kilichobainika ni kwamba
watu wengi walionekana kukerwa na video hii huku wengi wakishindwa
kumithili _kwa nini mtu anavyoweza kuhatarisha usalama wa afya yake ili kuchubua ngozi zao.
Lakini maoni ya kaka mmoja yalinivutia. “Tunawatusi watu wenye ngozi nyeusi miongoni mwetu huku tukionekana kuvutiwa sana na rangi nyeupe, ilhali tunatarajia mabinti zetu. waendelee kufurahia ngozi zao
nyeusi,” alisema.
Huu ndio uhalisi wa maisha; chuki dhidi ya ngozi zetu. Ni suala ambalo
limekita mizizi hata katika mifumo mbali mbali ambapo ni hivi majuzi
tu ambapo wanawake wa Kiafrika wenye ngozi nyeusi walianza kushirikishwa katika matangazo ya kibiashara au taaluma. zinazohusisha
urembo. Ni suala ambalo limeumba mawazo ya wengi kudhani kwamba
urembo ni kuwamweupe.
Muigizaji Lupita Nyong’o aliwahi kufichua kwamba awali, ngozi yake nyeusi ilimzuia kupata nafasi nyingi za uigizaji hapa Kenya. Kwa upande mwingine mwanahabari mmoja aliwahi kufichua jinsi kama mwanamke mweusi katika taaluma_hiyo, alivyong’ang’ana kutoonekana licha ya kuwa mojawapo ya watangazaji shupavu nchini.
Haya ni masaibu ya mwanamke mwenye ngozi nyeusi sio ugenini, bali hapa Afrika. Hapa Kenya kuna msemo maarufu ‘rangi ya thao’ ambao ume kuwa ukiambatanisha weupe hasa kwa mwanamke, na mgodi wa dhahabu kwani wanaamini kwamba rangi nyeupe ya ngozi ni jukwaa la kufikia mfuko wa dume tajiri.
Ndiposa_ tumeshudia baadhi ya masosholaiti wakijigamba kutumia utaratibu ghali kujichubua huku wakilinganisha uamuzi wao na uwekezaji.
Kisha tunajiuliza kwa nini biashara yabidhaa za kujichubua kwenye bara
bara ya Latema inazidi kunawiri, ilhali mabinti wanafahamu madhara yanayotokana na matumizi ya bidhaa hizi sumu.
| Nani wanatarajiwa waendelee kuzipenda ngozi zao nyeusi | {
"text": [
"mabinti zetu"
]
} |
1440_swa |
Ajabu sisi Waafrika bado tunabaguana kuhusu weusi wetu
PENGINE umekumbana na video fupi iliyoenea mtandaoni inayoonyesha kemikali fulani inayosemekana Kusafisha ngozi ya wanawake Weusi na kuwabadilishana kuwa “wazungu”.
Katika video hiyo, mwanamke fulani ambaye yuko nusu uchi anaonekana akiwa amejitumbukiza ndani ya beseni lililojaa kemikali hii huku mwanamke mwingine akionekana kuonyesha jinsi bidhaa hii inavyoondoa rangi ya ju ya ngozi ya binti huyu.
“Inasafisha ngozi kabisa,” anasema.
Uhalisi wa video hii haujathibitishwa lakini kilichobainika ni kwamba
watu wengi walionekana kukerwa na video hii huku wengi wakishindwa
kumithili _kwa nini mtu anavyoweza kuhatarisha usalama wa afya yake ili kuchubua ngozi zao.
Lakini maoni ya kaka mmoja yalinivutia. “Tunawatusi watu wenye ngozi nyeusi miongoni mwetu huku tukionekana kuvutiwa sana na rangi nyeupe, ilhali tunatarajia mabinti zetu. waendelee kufurahia ngozi zao
nyeusi,” alisema.
Huu ndio uhalisi wa maisha; chuki dhidi ya ngozi zetu. Ni suala ambalo
limekita mizizi hata katika mifumo mbali mbali ambapo ni hivi majuzi
tu ambapo wanawake wa Kiafrika wenye ngozi nyeusi walianza kushirikishwa katika matangazo ya kibiashara au taaluma. zinazohusisha
urembo. Ni suala ambalo limeumba mawazo ya wengi kudhani kwamba
urembo ni kuwamweupe.
Muigizaji Lupita Nyong’o aliwahi kufichua kwamba awali, ngozi yake nyeusi ilimzuia kupata nafasi nyingi za uigizaji hapa Kenya. Kwa upande mwingine mwanahabari mmoja aliwahi kufichua jinsi kama mwanamke mweusi katika taaluma_hiyo, alivyong’ang’ana kutoonekana licha ya kuwa mojawapo ya watangazaji shupavu nchini.
Haya ni masaibu ya mwanamke mwenye ngozi nyeusi sio ugenini, bali hapa Afrika. Hapa Kenya kuna msemo maarufu ‘rangi ya thao’ ambao ume kuwa ukiambatanisha weupe hasa kwa mwanamke, na mgodi wa dhahabu kwani wanaamini kwamba rangi nyeupe ya ngozi ni jukwaa la kufikia mfuko wa dume tajiri.
Ndiposa_ tumeshudia baadhi ya masosholaiti wakijigamba kutumia utaratibu ghali kujichubua huku wakilinganisha uamuzi wao na uwekezaji.
Kisha tunajiuliza kwa nini biashara yabidhaa za kujichubua kwenye bara
bara ya Latema inazidi kunawiri, ilhali mabinti wanafahamu madhara yanayotokana na matumizi ya bidhaa hizi sumu.
| Nani alifichua kwamba ngozi yake ilimzuia kupata nafasi za uigizaji | {
"text": [
"Lupita Nyong'o"
]
} |
1440_swa |
Ajabu sisi Waafrika bado tunabaguana kuhusu weusi wetu
PENGINE umekumbana na video fupi iliyoenea mtandaoni inayoonyesha kemikali fulani inayosemekana Kusafisha ngozi ya wanawake Weusi na kuwabadilishana kuwa “wazungu”.
Katika video hiyo, mwanamke fulani ambaye yuko nusu uchi anaonekana akiwa amejitumbukiza ndani ya beseni lililojaa kemikali hii huku mwanamke mwingine akionekana kuonyesha jinsi bidhaa hii inavyoondoa rangi ya ju ya ngozi ya binti huyu.
“Inasafisha ngozi kabisa,” anasema.
Uhalisi wa video hii haujathibitishwa lakini kilichobainika ni kwamba
watu wengi walionekana kukerwa na video hii huku wengi wakishindwa
kumithili _kwa nini mtu anavyoweza kuhatarisha usalama wa afya yake ili kuchubua ngozi zao.
Lakini maoni ya kaka mmoja yalinivutia. “Tunawatusi watu wenye ngozi nyeusi miongoni mwetu huku tukionekana kuvutiwa sana na rangi nyeupe, ilhali tunatarajia mabinti zetu. waendelee kufurahia ngozi zao
nyeusi,” alisema.
Huu ndio uhalisi wa maisha; chuki dhidi ya ngozi zetu. Ni suala ambalo
limekita mizizi hata katika mifumo mbali mbali ambapo ni hivi majuzi
tu ambapo wanawake wa Kiafrika wenye ngozi nyeusi walianza kushirikishwa katika matangazo ya kibiashara au taaluma. zinazohusisha
urembo. Ni suala ambalo limeumba mawazo ya wengi kudhani kwamba
urembo ni kuwamweupe.
Muigizaji Lupita Nyong’o aliwahi kufichua kwamba awali, ngozi yake nyeusi ilimzuia kupata nafasi nyingi za uigizaji hapa Kenya. Kwa upande mwingine mwanahabari mmoja aliwahi kufichua jinsi kama mwanamke mweusi katika taaluma_hiyo, alivyong’ang’ana kutoonekana licha ya kuwa mojawapo ya watangazaji shupavu nchini.
Haya ni masaibu ya mwanamke mwenye ngozi nyeusi sio ugenini, bali hapa Afrika. Hapa Kenya kuna msemo maarufu ‘rangi ya thao’ ambao ume kuwa ukiambatanisha weupe hasa kwa mwanamke, na mgodi wa dhahabu kwani wanaamini kwamba rangi nyeupe ya ngozi ni jukwaa la kufikia mfuko wa dume tajiri.
Ndiposa_ tumeshudia baadhi ya masosholaiti wakijigamba kutumia utaratibu ghali kujichubua huku wakilinganisha uamuzi wao na uwekezaji.
Kisha tunajiuliza kwa nini biashara yabidhaa za kujichubua kwenye bara
bara ya Latema inazidi kunawiri, ilhali mabinti wanafahamu madhara yanayotokana na matumizi ya bidhaa hizi sumu.
| Ngozi gani ni jukwaa la kufikia mfuko wa dume tajiri | {
"text": [
"nyeupe"
]
} |
1442_swa | Mwanajeshi anayedaiwa kuua mke na wana kupimwa akili mara ya pili
Mahakama Kuu mjini Nyeri imeahirisha kwa siku 12 zaidi kumfungulia kesi ya mauaji mwanajeshi anayeshukiwa kumuua mkewe na watoto wake wawili mjini Nanyuki ili aweze kupimwa akili. Katika uamuzi wake, Jaji Jairus Ngaah, aliahirisha kesi hiyo kufuatia ombi la upande wa mashtaka uliota ka mshukiwa Peter Mugure, kuzuiliwa katika Gereza Kuu la King'ong'o.
Katika ombi hilo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (SADPP), Bw Peter Mailanyi, alieleza korti kuwa Bw Mugure bado hajafanyiwa ukaguzi wa kiakili kikamilifu, hatua ambayo ni sharti la kisheria katika kesi ya mauaji.
Bw Mailanyi alieleza mahakama kuwa jaribio la kumfanyia Bw Mugure ukaguzi wa kiakili mnamo Alhamisi katika hospitali ya rufaa ya Nanyuki, liligonga mwamba baada ya daktari kukataa kutia sahihi ripoti ya matibabu.
Upande wa mashtaka ulidai kwamba daktari huyo alisisitiza kuzungumza na jamaa ya mshukiwa kabla ya kutia sahihi ripoti ya matibabu. "Walisema daktari R N Gathuri alikuwa amesisitiza kuzungumza na jamaa ya Mugure katika hali ambayo ingeashiria kwamba alikuwa akimsaidia mshukiwa kwa namna moja au nyingine. Daktari huyo alitenda kitendo kinachokiuka kanuni za mahakama," alifafanua Bw Mailanyi.
Kutokana na sababu hii, Bw Mailanyi alieleza mahakama kwamba upande wa mashtaka ulihitaji kesi hiyo kuahirishwa kwa majuma mengine mawili, ili kuwezesha mshukiwa kupelekwa kwa ukaguzi wa pili wa kiakili katika Hospitali ya Rufaa ya Nyeri.
Kesi hiyo itasikilizwa katika ma hakama ya Nyeri baada ya mashahidi kueleza kuwa wanahofia maisha yao mjini Nanyuki.
| Mwanajeshi aliwauwa mkewe na wanawe wangapi | {
"text": [
"Wawili "
]
} |
1442_swa | Mwanajeshi anayedaiwa kuua mke na wana kupimwa akili mara ya pili
Mahakama Kuu mjini Nyeri imeahirisha kwa siku 12 zaidi kumfungulia kesi ya mauaji mwanajeshi anayeshukiwa kumuua mkewe na watoto wake wawili mjini Nanyuki ili aweze kupimwa akili. Katika uamuzi wake, Jaji Jairus Ngaah, aliahirisha kesi hiyo kufuatia ombi la upande wa mashtaka uliota ka mshukiwa Peter Mugure, kuzuiliwa katika Gereza Kuu la King'ong'o.
Katika ombi hilo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (SADPP), Bw Peter Mailanyi, alieleza korti kuwa Bw Mugure bado hajafanyiwa ukaguzi wa kiakili kikamilifu, hatua ambayo ni sharti la kisheria katika kesi ya mauaji.
Bw Mailanyi alieleza mahakama kuwa jaribio la kumfanyia Bw Mugure ukaguzi wa kiakili mnamo Alhamisi katika hospitali ya rufaa ya Nanyuki, liligonga mwamba baada ya daktari kukataa kutia sahihi ripoti ya matibabu.
Upande wa mashtaka ulidai kwamba daktari huyo alisisitiza kuzungumza na jamaa ya mshukiwa kabla ya kutia sahihi ripoti ya matibabu. "Walisema daktari R N Gathuri alikuwa amesisitiza kuzungumza na jamaa ya Mugure katika hali ambayo ingeashiria kwamba alikuwa akimsaidia mshukiwa kwa namna moja au nyingine. Daktari huyo alitenda kitendo kinachokiuka kanuni za mahakama," alifafanua Bw Mailanyi.
Kutokana na sababu hii, Bw Mailanyi alieleza mahakama kwamba upande wa mashtaka ulihitaji kesi hiyo kuahirishwa kwa majuma mengine mawili, ili kuwezesha mshukiwa kupelekwa kwa ukaguzi wa pili wa kiakili katika Hospitali ya Rufaa ya Nyeri.
Kesi hiyo itasikilizwa katika ma hakama ya Nyeri baada ya mashahidi kueleza kuwa wanahofia maisha yao mjini Nanyuki.
| Jaji Jairus Ngaah aliahirisha kumfungulia kesi mwanajeshi kwa siku ngapi | {
"text": [
"Siku kumi na mbili"
]
} |
1442_swa | Mwanajeshi anayedaiwa kuua mke na wana kupimwa akili mara ya pili
Mahakama Kuu mjini Nyeri imeahirisha kwa siku 12 zaidi kumfungulia kesi ya mauaji mwanajeshi anayeshukiwa kumuua mkewe na watoto wake wawili mjini Nanyuki ili aweze kupimwa akili. Katika uamuzi wake, Jaji Jairus Ngaah, aliahirisha kesi hiyo kufuatia ombi la upande wa mashtaka uliota ka mshukiwa Peter Mugure, kuzuiliwa katika Gereza Kuu la King'ong'o.
Katika ombi hilo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (SADPP), Bw Peter Mailanyi, alieleza korti kuwa Bw Mugure bado hajafanyiwa ukaguzi wa kiakili kikamilifu, hatua ambayo ni sharti la kisheria katika kesi ya mauaji.
Bw Mailanyi alieleza mahakama kuwa jaribio la kumfanyia Bw Mugure ukaguzi wa kiakili mnamo Alhamisi katika hospitali ya rufaa ya Nanyuki, liligonga mwamba baada ya daktari kukataa kutia sahihi ripoti ya matibabu.
Upande wa mashtaka ulidai kwamba daktari huyo alisisitiza kuzungumza na jamaa ya mshukiwa kabla ya kutia sahihi ripoti ya matibabu. "Walisema daktari R N Gathuri alikuwa amesisitiza kuzungumza na jamaa ya Mugure katika hali ambayo ingeashiria kwamba alikuwa akimsaidia mshukiwa kwa namna moja au nyingine. Daktari huyo alitenda kitendo kinachokiuka kanuni za mahakama," alifafanua Bw Mailanyi.
Kutokana na sababu hii, Bw Mailanyi alieleza mahakama kwamba upande wa mashtaka ulihitaji kesi hiyo kuahirishwa kwa majuma mengine mawili, ili kuwezesha mshukiwa kupelekwa kwa ukaguzi wa pili wa kiakili katika Hospitali ya Rufaa ya Nyeri.
Kesi hiyo itasikilizwa katika ma hakama ya Nyeri baada ya mashahidi kueleza kuwa wanahofia maisha yao mjini Nanyuki.
| Nani alikuwa naibu mkurugenzi mkuu wa Mashtaka ya umma | {
"text": [
"Bw Peter Mailanyi"
]
} |
1442_swa | Mwanajeshi anayedaiwa kuua mke na wana kupimwa akili mara ya pili
Mahakama Kuu mjini Nyeri imeahirisha kwa siku 12 zaidi kumfungulia kesi ya mauaji mwanajeshi anayeshukiwa kumuua mkewe na watoto wake wawili mjini Nanyuki ili aweze kupimwa akili. Katika uamuzi wake, Jaji Jairus Ngaah, aliahirisha kesi hiyo kufuatia ombi la upande wa mashtaka uliota ka mshukiwa Peter Mugure, kuzuiliwa katika Gereza Kuu la King'ong'o.
Katika ombi hilo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (SADPP), Bw Peter Mailanyi, alieleza korti kuwa Bw Mugure bado hajafanyiwa ukaguzi wa kiakili kikamilifu, hatua ambayo ni sharti la kisheria katika kesi ya mauaji.
Bw Mailanyi alieleza mahakama kuwa jaribio la kumfanyia Bw Mugure ukaguzi wa kiakili mnamo Alhamisi katika hospitali ya rufaa ya Nanyuki, liligonga mwamba baada ya daktari kukataa kutia sahihi ripoti ya matibabu.
Upande wa mashtaka ulidai kwamba daktari huyo alisisitiza kuzungumza na jamaa ya mshukiwa kabla ya kutia sahihi ripoti ya matibabu. "Walisema daktari R N Gathuri alikuwa amesisitiza kuzungumza na jamaa ya Mugure katika hali ambayo ingeashiria kwamba alikuwa akimsaidia mshukiwa kwa namna moja au nyingine. Daktari huyo alitenda kitendo kinachokiuka kanuni za mahakama," alifafanua Bw Mailanyi.
Kutokana na sababu hii, Bw Mailanyi alieleza mahakama kwamba upande wa mashtaka ulihitaji kesi hiyo kuahirishwa kwa majuma mengine mawili, ili kuwezesha mshukiwa kupelekwa kwa ukaguzi wa pili wa kiakili katika Hospitali ya Rufaa ya Nyeri.
Kesi hiyo itasikilizwa katika ma hakama ya Nyeri baada ya mashahidi kueleza kuwa wanahofia maisha yao mjini Nanyuki.
| Bw Mugure alikuwa afanyiwe nini | {
"text": [
"Ukaguzi wa akili"
]
} |
1442_swa | Mwanajeshi anayedaiwa kuua mke na wana kupimwa akili mara ya pili
Mahakama Kuu mjini Nyeri imeahirisha kwa siku 12 zaidi kumfungulia kesi ya mauaji mwanajeshi anayeshukiwa kumuua mkewe na watoto wake wawili mjini Nanyuki ili aweze kupimwa akili. Katika uamuzi wake, Jaji Jairus Ngaah, aliahirisha kesi hiyo kufuatia ombi la upande wa mashtaka uliota ka mshukiwa Peter Mugure, kuzuiliwa katika Gereza Kuu la King'ong'o.
Katika ombi hilo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (SADPP), Bw Peter Mailanyi, alieleza korti kuwa Bw Mugure bado hajafanyiwa ukaguzi wa kiakili kikamilifu, hatua ambayo ni sharti la kisheria katika kesi ya mauaji.
Bw Mailanyi alieleza mahakama kuwa jaribio la kumfanyia Bw Mugure ukaguzi wa kiakili mnamo Alhamisi katika hospitali ya rufaa ya Nanyuki, liligonga mwamba baada ya daktari kukataa kutia sahihi ripoti ya matibabu.
Upande wa mashtaka ulidai kwamba daktari huyo alisisitiza kuzungumza na jamaa ya mshukiwa kabla ya kutia sahihi ripoti ya matibabu. "Walisema daktari R N Gathuri alikuwa amesisitiza kuzungumza na jamaa ya Mugure katika hali ambayo ingeashiria kwamba alikuwa akimsaidia mshukiwa kwa namna moja au nyingine. Daktari huyo alitenda kitendo kinachokiuka kanuni za mahakama," alifafanua Bw Mailanyi.
Kutokana na sababu hii, Bw Mailanyi alieleza mahakama kwamba upande wa mashtaka ulihitaji kesi hiyo kuahirishwa kwa majuma mengine mawili, ili kuwezesha mshukiwa kupelekwa kwa ukaguzi wa pili wa kiakili katika Hospitali ya Rufaa ya Nyeri.
Kesi hiyo itasikilizwa katika ma hakama ya Nyeri baada ya mashahidi kueleza kuwa wanahofia maisha yao mjini Nanyuki.
| Daktari yupi alikataa kutia sahihi katika ripoti ya matibabu ya Mugure | {
"text": [
"Daktari R N Gathuri"
]
} |
1446_swa |
Malizia ---Hakika, niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo
PENYE UREMBO NDIPO PENYE ULIMBO
Mashaka alijishika tama kwa uchungu na masikitiko makuu. Mstakabali wake ulijaa makunyanzi mithili ya mgunda wa viazi mbatata. Ilikuwa ni soni kubwa kwamba bingwa wa kitongoji chetu, alikuwa ametia guu moja kaburini na jingine ardhini. Mashaka aliyakunjua maisha yake ya siku za kisogoi akapiga darubini na kutanabahi mambo yote yaliyomtumbukiza katika dimbwi la jitimai.
Mashaka alikuwa kijana mwenye nidhamu, fauka ya hayo, alikuwa mwenye mbinde za tingatinga na mtanashati ajabu. Basi huyo ndiye aliyekuwa barubaru imara kama chuma cha pua. Alikuwa ni fahali ambaye aliwafanya ng'ombe kupigana. Wanawake wengi wakaoneana gere sababu ya Mashaka. Wakaamini kuwa atakayefanikiwa kufunga ndoa naye ni mteule aliyeteulika.
Ingawa kulikuwa na wanawake wengi Mashaka alimtamani mmoja, mmoja pekee. Huyo ailkuwa Susan binti Mayai. Susan aliingia katika maisha ya Mashaka wakati ambapo biashara yake ilikuwa imeimarika pakubwa. Ama kweli haina tabibu ndwele ya mapenzi, lau Mashaka angalijua kwamba kitumbua chake kimeingia mchanga, asingalijiingiza kwenye usuhuba uliomletea lindi la mashaka na shakawa tele.
Susana alikuwa mwanamke wa kigugumiwa mate. Bila shaka aliumbwa akaumbika, mrembo kama hurulaini. Urembo wake uliwateka bakunja wanaume wengi pasi na kutambua kuwa uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Sifa zake zilisambaa ndani na nje ya kitongoji chao. Usuhuba kati yao ukanawiri na wakaanza kushiriki ngono bila kujali wala kubali.
Mashaka alionywa na kukanywa dhidi ya kujikosea heshima lakini hakukanyika, kweli sikio la kufa halisikii dawa. Akatia masikio nta na kusema kuwa ni wivu tu wa walimwengu. Akaamua kwamba hatasikiliza la togo wala la jando. Alifanya haya minghairi ya kutambua kuwa mkataa pema, pabaya pamwita.
Mashaja akapapia mambo bila kutambua kuwa dunia ni bahari yenye papa na papaupanga ambao ukiwapatia kwa pupa na papara, utalia kilio cha mbwa midomo juu. Hali halisi ya mambo ilidhihirika dhahiri shahiri, Susana alipomtumia arafa. "Dunia hadaa ulimwengu shujaa, wewe mburukenge tukutane ahera.”Lahaula! Kumbe nyumba nzuri si mlango, fungua uingie ndani. Baada ya kupokea arafa alishikwa na wasiwasi wa mwasi aliyeasi kadamnasi ya insi.
Ikathibitika kuwa Susana alikuwa na virusi vya ukimwi. Mashaka akawa mwenda Pate ambaye hauyi kiuyacho ni kilio lakini angemlilia nani? Susana alitoweka, kwa sasa Mashaka ni gofu la mtu. Amekonda na kukondeana mwiko wa pilau. Amefilisika nyondenyonde za ukimwi zimemfikisha hatima ya matumaini. Kila nimwangaliapo Mashaka nayakumba maneno ya hayati babu yangu “Msiba wa kujitakia hauna kilio.” Kisa cha Mashaka kilinifungua macho. Hakika niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo. | Mashaka alikua kijana mwenye nini | {
"text": [
"nidhamu"
]
} |
1446_swa |
Malizia ---Hakika, niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo
PENYE UREMBO NDIPO PENYE ULIMBO
Mashaka alijishika tama kwa uchungu na masikitiko makuu. Mstakabali wake ulijaa makunyanzi mithili ya mgunda wa viazi mbatata. Ilikuwa ni soni kubwa kwamba bingwa wa kitongoji chetu, alikuwa ametia guu moja kaburini na jingine ardhini. Mashaka aliyakunjua maisha yake ya siku za kisogoi akapiga darubini na kutanabahi mambo yote yaliyomtumbukiza katika dimbwi la jitimai.
Mashaka alikuwa kijana mwenye nidhamu, fauka ya hayo, alikuwa mwenye mbinde za tingatinga na mtanashati ajabu. Basi huyo ndiye aliyekuwa barubaru imara kama chuma cha pua. Alikuwa ni fahali ambaye aliwafanya ng'ombe kupigana. Wanawake wengi wakaoneana gere sababu ya Mashaka. Wakaamini kuwa atakayefanikiwa kufunga ndoa naye ni mteule aliyeteulika.
Ingawa kulikuwa na wanawake wengi Mashaka alimtamani mmoja, mmoja pekee. Huyo ailkuwa Susan binti Mayai. Susan aliingia katika maisha ya Mashaka wakati ambapo biashara yake ilikuwa imeimarika pakubwa. Ama kweli haina tabibu ndwele ya mapenzi, lau Mashaka angalijua kwamba kitumbua chake kimeingia mchanga, asingalijiingiza kwenye usuhuba uliomletea lindi la mashaka na shakawa tele.
Susana alikuwa mwanamke wa kigugumiwa mate. Bila shaka aliumbwa akaumbika, mrembo kama hurulaini. Urembo wake uliwateka bakunja wanaume wengi pasi na kutambua kuwa uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Sifa zake zilisambaa ndani na nje ya kitongoji chao. Usuhuba kati yao ukanawiri na wakaanza kushiriki ngono bila kujali wala kubali.
Mashaka alionywa na kukanywa dhidi ya kujikosea heshima lakini hakukanyika, kweli sikio la kufa halisikii dawa. Akatia masikio nta na kusema kuwa ni wivu tu wa walimwengu. Akaamua kwamba hatasikiliza la togo wala la jando. Alifanya haya minghairi ya kutambua kuwa mkataa pema, pabaya pamwita.
Mashaja akapapia mambo bila kutambua kuwa dunia ni bahari yenye papa na papaupanga ambao ukiwapatia kwa pupa na papara, utalia kilio cha mbwa midomo juu. Hali halisi ya mambo ilidhihirika dhahiri shahiri, Susana alipomtumia arafa. "Dunia hadaa ulimwengu shujaa, wewe mburukenge tukutane ahera.”Lahaula! Kumbe nyumba nzuri si mlango, fungua uingie ndani. Baada ya kupokea arafa alishikwa na wasiwasi wa mwasi aliyeasi kadamnasi ya insi.
Ikathibitika kuwa Susana alikuwa na virusi vya ukimwi. Mashaka akawa mwenda Pate ambaye hauyi kiuyacho ni kilio lakini angemlilia nani? Susana alitoweka, kwa sasa Mashaka ni gofu la mtu. Amekonda na kukondeana mwiko wa pilau. Amefilisika nyondenyonde za ukimwi zimemfikisha hatima ya matumaini. Kila nimwangaliapo Mashaka nayakumba maneno ya hayati babu yangu “Msiba wa kujitakia hauna kilio.” Kisa cha Mashaka kilinifungua macho. Hakika niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo. | Mashaka alimtamani mwanamke aliyeitwa nani | {
"text": [
"Susan binti mayai"
]
} |
1446_swa |
Malizia ---Hakika, niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo
PENYE UREMBO NDIPO PENYE ULIMBO
Mashaka alijishika tama kwa uchungu na masikitiko makuu. Mstakabali wake ulijaa makunyanzi mithili ya mgunda wa viazi mbatata. Ilikuwa ni soni kubwa kwamba bingwa wa kitongoji chetu, alikuwa ametia guu moja kaburini na jingine ardhini. Mashaka aliyakunjua maisha yake ya siku za kisogoi akapiga darubini na kutanabahi mambo yote yaliyomtumbukiza katika dimbwi la jitimai.
Mashaka alikuwa kijana mwenye nidhamu, fauka ya hayo, alikuwa mwenye mbinde za tingatinga na mtanashati ajabu. Basi huyo ndiye aliyekuwa barubaru imara kama chuma cha pua. Alikuwa ni fahali ambaye aliwafanya ng'ombe kupigana. Wanawake wengi wakaoneana gere sababu ya Mashaka. Wakaamini kuwa atakayefanikiwa kufunga ndoa naye ni mteule aliyeteulika.
Ingawa kulikuwa na wanawake wengi Mashaka alimtamani mmoja, mmoja pekee. Huyo ailkuwa Susan binti Mayai. Susan aliingia katika maisha ya Mashaka wakati ambapo biashara yake ilikuwa imeimarika pakubwa. Ama kweli haina tabibu ndwele ya mapenzi, lau Mashaka angalijua kwamba kitumbua chake kimeingia mchanga, asingalijiingiza kwenye usuhuba uliomletea lindi la mashaka na shakawa tele.
Susana alikuwa mwanamke wa kigugumiwa mate. Bila shaka aliumbwa akaumbika, mrembo kama hurulaini. Urembo wake uliwateka bakunja wanaume wengi pasi na kutambua kuwa uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Sifa zake zilisambaa ndani na nje ya kitongoji chao. Usuhuba kati yao ukanawiri na wakaanza kushiriki ngono bila kujali wala kubali.
Mashaka alionywa na kukanywa dhidi ya kujikosea heshima lakini hakukanyika, kweli sikio la kufa halisikii dawa. Akatia masikio nta na kusema kuwa ni wivu tu wa walimwengu. Akaamua kwamba hatasikiliza la togo wala la jando. Alifanya haya minghairi ya kutambua kuwa mkataa pema, pabaya pamwita.
Mashaja akapapia mambo bila kutambua kuwa dunia ni bahari yenye papa na papaupanga ambao ukiwapatia kwa pupa na papara, utalia kilio cha mbwa midomo juu. Hali halisi ya mambo ilidhihirika dhahiri shahiri, Susana alipomtumia arafa. "Dunia hadaa ulimwengu shujaa, wewe mburukenge tukutane ahera.”Lahaula! Kumbe nyumba nzuri si mlango, fungua uingie ndani. Baada ya kupokea arafa alishikwa na wasiwasi wa mwasi aliyeasi kadamnasi ya insi.
Ikathibitika kuwa Susana alikuwa na virusi vya ukimwi. Mashaka akawa mwenda Pate ambaye hauyi kiuyacho ni kilio lakini angemlilia nani? Susana alitoweka, kwa sasa Mashaka ni gofu la mtu. Amekonda na kukondeana mwiko wa pilau. Amefilisika nyondenyonde za ukimwi zimemfikisha hatima ya matumaini. Kila nimwangaliapo Mashaka nayakumba maneno ya hayati babu yangu “Msiba wa kujitakia hauna kilio.” Kisa cha Mashaka kilinifungua macho. Hakika niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo. | Mashaka alionywa na kukanywa dhidi ya nini | {
"text": [
"kujikosea heshima"
]
} |
1446_swa |
Malizia ---Hakika, niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo
PENYE UREMBO NDIPO PENYE ULIMBO
Mashaka alijishika tama kwa uchungu na masikitiko makuu. Mstakabali wake ulijaa makunyanzi mithili ya mgunda wa viazi mbatata. Ilikuwa ni soni kubwa kwamba bingwa wa kitongoji chetu, alikuwa ametia guu moja kaburini na jingine ardhini. Mashaka aliyakunjua maisha yake ya siku za kisogoi akapiga darubini na kutanabahi mambo yote yaliyomtumbukiza katika dimbwi la jitimai.
Mashaka alikuwa kijana mwenye nidhamu, fauka ya hayo, alikuwa mwenye mbinde za tingatinga na mtanashati ajabu. Basi huyo ndiye aliyekuwa barubaru imara kama chuma cha pua. Alikuwa ni fahali ambaye aliwafanya ng'ombe kupigana. Wanawake wengi wakaoneana gere sababu ya Mashaka. Wakaamini kuwa atakayefanikiwa kufunga ndoa naye ni mteule aliyeteulika.
Ingawa kulikuwa na wanawake wengi Mashaka alimtamani mmoja, mmoja pekee. Huyo ailkuwa Susan binti Mayai. Susan aliingia katika maisha ya Mashaka wakati ambapo biashara yake ilikuwa imeimarika pakubwa. Ama kweli haina tabibu ndwele ya mapenzi, lau Mashaka angalijua kwamba kitumbua chake kimeingia mchanga, asingalijiingiza kwenye usuhuba uliomletea lindi la mashaka na shakawa tele.
Susana alikuwa mwanamke wa kigugumiwa mate. Bila shaka aliumbwa akaumbika, mrembo kama hurulaini. Urembo wake uliwateka bakunja wanaume wengi pasi na kutambua kuwa uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Sifa zake zilisambaa ndani na nje ya kitongoji chao. Usuhuba kati yao ukanawiri na wakaanza kushiriki ngono bila kujali wala kubali.
Mashaka alionywa na kukanywa dhidi ya kujikosea heshima lakini hakukanyika, kweli sikio la kufa halisikii dawa. Akatia masikio nta na kusema kuwa ni wivu tu wa walimwengu. Akaamua kwamba hatasikiliza la togo wala la jando. Alifanya haya minghairi ya kutambua kuwa mkataa pema, pabaya pamwita.
Mashaja akapapia mambo bila kutambua kuwa dunia ni bahari yenye papa na papaupanga ambao ukiwapatia kwa pupa na papara, utalia kilio cha mbwa midomo juu. Hali halisi ya mambo ilidhihirika dhahiri shahiri, Susana alipomtumia arafa. "Dunia hadaa ulimwengu shujaa, wewe mburukenge tukutane ahera.”Lahaula! Kumbe nyumba nzuri si mlango, fungua uingie ndani. Baada ya kupokea arafa alishikwa na wasiwasi wa mwasi aliyeasi kadamnasi ya insi.
Ikathibitika kuwa Susana alikuwa na virusi vya ukimwi. Mashaka akawa mwenda Pate ambaye hauyi kiuyacho ni kilio lakini angemlilia nani? Susana alitoweka, kwa sasa Mashaka ni gofu la mtu. Amekonda na kukondeana mwiko wa pilau. Amefilisika nyondenyonde za ukimwi zimemfikisha hatima ya matumaini. Kila nimwangaliapo Mashaka nayakumba maneno ya hayati babu yangu “Msiba wa kujitakia hauna kilio.” Kisa cha Mashaka kilinifungua macho. Hakika niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo. | Susan aliingia katika maisha ya Mashaka lini | {
"text": [
"biashara ilipokua imeimarika"
]
} |
1446_swa |
Malizia ---Hakika, niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo
PENYE UREMBO NDIPO PENYE ULIMBO
Mashaka alijishika tama kwa uchungu na masikitiko makuu. Mstakabali wake ulijaa makunyanzi mithili ya mgunda wa viazi mbatata. Ilikuwa ni soni kubwa kwamba bingwa wa kitongoji chetu, alikuwa ametia guu moja kaburini na jingine ardhini. Mashaka aliyakunjua maisha yake ya siku za kisogoi akapiga darubini na kutanabahi mambo yote yaliyomtumbukiza katika dimbwi la jitimai.
Mashaka alikuwa kijana mwenye nidhamu, fauka ya hayo, alikuwa mwenye mbinde za tingatinga na mtanashati ajabu. Basi huyo ndiye aliyekuwa barubaru imara kama chuma cha pua. Alikuwa ni fahali ambaye aliwafanya ng'ombe kupigana. Wanawake wengi wakaoneana gere sababu ya Mashaka. Wakaamini kuwa atakayefanikiwa kufunga ndoa naye ni mteule aliyeteulika.
Ingawa kulikuwa na wanawake wengi Mashaka alimtamani mmoja, mmoja pekee. Huyo ailkuwa Susan binti Mayai. Susan aliingia katika maisha ya Mashaka wakati ambapo biashara yake ilikuwa imeimarika pakubwa. Ama kweli haina tabibu ndwele ya mapenzi, lau Mashaka angalijua kwamba kitumbua chake kimeingia mchanga, asingalijiingiza kwenye usuhuba uliomletea lindi la mashaka na shakawa tele.
Susana alikuwa mwanamke wa kigugumiwa mate. Bila shaka aliumbwa akaumbika, mrembo kama hurulaini. Urembo wake uliwateka bakunja wanaume wengi pasi na kutambua kuwa uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Sifa zake zilisambaa ndani na nje ya kitongoji chao. Usuhuba kati yao ukanawiri na wakaanza kushiriki ngono bila kujali wala kubali.
Mashaka alionywa na kukanywa dhidi ya kujikosea heshima lakini hakukanyika, kweli sikio la kufa halisikii dawa. Akatia masikio nta na kusema kuwa ni wivu tu wa walimwengu. Akaamua kwamba hatasikiliza la togo wala la jando. Alifanya haya minghairi ya kutambua kuwa mkataa pema, pabaya pamwita.
Mashaja akapapia mambo bila kutambua kuwa dunia ni bahari yenye papa na papaupanga ambao ukiwapatia kwa pupa na papara, utalia kilio cha mbwa midomo juu. Hali halisi ya mambo ilidhihirika dhahiri shahiri, Susana alipomtumia arafa. "Dunia hadaa ulimwengu shujaa, wewe mburukenge tukutane ahera.”Lahaula! Kumbe nyumba nzuri si mlango, fungua uingie ndani. Baada ya kupokea arafa alishikwa na wasiwasi wa mwasi aliyeasi kadamnasi ya insi.
Ikathibitika kuwa Susana alikuwa na virusi vya ukimwi. Mashaka akawa mwenda Pate ambaye hauyi kiuyacho ni kilio lakini angemlilia nani? Susana alitoweka, kwa sasa Mashaka ni gofu la mtu. Amekonda na kukondeana mwiko wa pilau. Amefilisika nyondenyonde za ukimwi zimemfikisha hatima ya matumaini. Kila nimwangaliapo Mashaka nayakumba maneno ya hayati babu yangu “Msiba wa kujitakia hauna kilio.” Kisa cha Mashaka kilinifungua macho. Hakika niliamini kuwa penye urembo ndipo penye ulimbo. | Kwa nini wanawake wengi walioneana gere sababu ya Mashaka | {
"text": [
"waliamini atakayefanikiwa kufunga ndoa naye ndiye mteule aliyeteulika"
]
} |
1452_swa | UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Bila shaka wahenga na wahenguzi, waligonga ndipo walipoamba kwamba umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ndimi hizi za kihenga zina maana wadhiha kabisa. Humaanisha kwamba umoja katika kutekeleza jambo hufanikisha jambo hilo. Hata hivyo, utengano huwa ni udhaifu. Methali hii huambiwa watu wasioona thamani ya umoja. Hutumika kuwaeleza kuwa ili kunawiri, ni sharti washirikiane. Aidha, nguzo moja haijengi nyumba.
Kimya cha makaburi kulitanda katika bonde la Sahau. Hali ya eneo hilo haikuwa ni hali tena. Wakazi wengi walikuwa wakihamia kwingine. Sehemu ile haingeweza kuwaweka tena. Waja wengi walinuia kutafuta mahame. Kisa na maana ikiwa ni dhahiri shahiri. Tandabeluwa ilikuwa imezuka.
Kilima Heri kilimilikiwa na jamii ya wavuzi katika upande huo mwingine wa bonde la Sahau, jamii ya Walahaula ilijaa. Wanawake wa maeneo yote mawili walijishika tama. Wanaume waliobaki, walibaki kujijutia. Naam, majuto ni mjukuu.
Kila mja alizama katika bahari ya luja. Tukapiga darubini na kutanabahi siku zile za furaha na fahari, ambapo Wavuzi na Walahaula, waliishi kwa utangamano. Zama hizo, ndizo zilikuwa aali zaidi. Maisha yalikuwa bila kasoro yoyote. Makabila haya mawili hayakutambua, tofauti zao. Hizo ndizo siku walipojua kwamba mkono mmoja hauchinji ng'ombe .Ndizo zilikuwa siku za furaha ghaya.Kuna migunda iliyomilikiwa na makabila tofauti. Maarusi nao walikuwa ni wa makabila‘mseto. Ndoa za aina hizi ziliimarisha umoja zaidi ya kuleta furaha mpwitompwito. Ada na desturi za makabila yote mawili zilioana. Mila nazo hazikuachwa nyuma kwani kila mmoja alisadiki kuwa mwacha mila ni mtumwa. Makonde yalinawiri naye Mola akazidi kutubariki.
Masumbufu na maumbufu yetu, yalianza wazee walipoanza kufa. Vijana.wakachukua uongozi wa watu muhimu katika kudumisha amani wakabugia chumvi wakawa hawana ngoma hawana maulidi. Vijana wasio hekima wakashika hatamu. Walipojitoa katika ulingo wa siasa, wakaanza kuwapikisha wakazi majungu. Mara leo Watahaula wamefanya huu, mara kesho Wavuzi, wamewafanyia wenzao unyama. Mambo yakachukua mkondo tofauti.
Maji yakazidi unga. Mambo yakaenda segemnege. Masalale! Sokomoko ikazuka. Nyumba zikateketezwa wakongwe wakasafirishwa jongomeo pasi nauli wala matwana. Idadi ya waja ikapungua. Methali isemayo amani haiji ili kwa ncha ya upanga,ikawapumbaza wengi. Mzana mzaha ukatunga usaha.
Sasa, eneo hilo likawa ni duni. Ukame uliwatatiza wakazi. Mola hata naye alijawa na ghamidha za mkizi. Akalaani hali yetu ya anga. Mchanga uliozoa damu ya wakongwe na watoto wasio hatia ukakosa rutuba. Hatimaye tukabaki kujijutia. Kumbe tulikuwa tukijipalia makaa! Hata hivyo, huo ni msiba wa kujitakia usioambiwa pole.Maji yakimwagika, hayazoleki. Wakati ulikuwa umewadia ambapo sote tulifaa kuacha ya shetri na kushika ya gubeti. Naam, yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Toka lini mafiga mawili yakainjika chungu. Ulikuwa ni wakati wa kusameheana. Tulikata shauri kurudiana madhali, tulikuwa tumetambua jambo muhimu- Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. | Udhaifu huonekana wakati watu hawana nini? | {
"text": [
"Umoja"
]
} |
1452_swa | UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Bila shaka wahenga na wahenguzi, waligonga ndipo walipoamba kwamba umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ndimi hizi za kihenga zina maana wadhiha kabisa. Humaanisha kwamba umoja katika kutekeleza jambo hufanikisha jambo hilo. Hata hivyo, utengano huwa ni udhaifu. Methali hii huambiwa watu wasioona thamani ya umoja. Hutumika kuwaeleza kuwa ili kunawiri, ni sharti washirikiane. Aidha, nguzo moja haijengi nyumba.
Kimya cha makaburi kulitanda katika bonde la Sahau. Hali ya eneo hilo haikuwa ni hali tena. Wakazi wengi walikuwa wakihamia kwingine. Sehemu ile haingeweza kuwaweka tena. Waja wengi walinuia kutafuta mahame. Kisa na maana ikiwa ni dhahiri shahiri. Tandabeluwa ilikuwa imezuka.
Kilima Heri kilimilikiwa na jamii ya wavuzi katika upande huo mwingine wa bonde la Sahau, jamii ya Walahaula ilijaa. Wanawake wa maeneo yote mawili walijishika tama. Wanaume waliobaki, walibaki kujijutia. Naam, majuto ni mjukuu.
Kila mja alizama katika bahari ya luja. Tukapiga darubini na kutanabahi siku zile za furaha na fahari, ambapo Wavuzi na Walahaula, waliishi kwa utangamano. Zama hizo, ndizo zilikuwa aali zaidi. Maisha yalikuwa bila kasoro yoyote. Makabila haya mawili hayakutambua, tofauti zao. Hizo ndizo siku walipojua kwamba mkono mmoja hauchinji ng'ombe .Ndizo zilikuwa siku za furaha ghaya.Kuna migunda iliyomilikiwa na makabila tofauti. Maarusi nao walikuwa ni wa makabila‘mseto. Ndoa za aina hizi ziliimarisha umoja zaidi ya kuleta furaha mpwitompwito. Ada na desturi za makabila yote mawili zilioana. Mila nazo hazikuachwa nyuma kwani kila mmoja alisadiki kuwa mwacha mila ni mtumwa. Makonde yalinawiri naye Mola akazidi kutubariki.
Masumbufu na maumbufu yetu, yalianza wazee walipoanza kufa. Vijana.wakachukua uongozi wa watu muhimu katika kudumisha amani wakabugia chumvi wakawa hawana ngoma hawana maulidi. Vijana wasio hekima wakashika hatamu. Walipojitoa katika ulingo wa siasa, wakaanza kuwapikisha wakazi majungu. Mara leo Watahaula wamefanya huu, mara kesho Wavuzi, wamewafanyia wenzao unyama. Mambo yakachukua mkondo tofauti.
Maji yakazidi unga. Mambo yakaenda segemnege. Masalale! Sokomoko ikazuka. Nyumba zikateketezwa wakongwe wakasafirishwa jongomeo pasi nauli wala matwana. Idadi ya waja ikapungua. Methali isemayo amani haiji ili kwa ncha ya upanga,ikawapumbaza wengi. Mzana mzaha ukatunga usaha.
Sasa, eneo hilo likawa ni duni. Ukame uliwatatiza wakazi. Mola hata naye alijawa na ghamidha za mkizi. Akalaani hali yetu ya anga. Mchanga uliozoa damu ya wakongwe na watoto wasio hatia ukakosa rutuba. Hatimaye tukabaki kujijutia. Kumbe tulikuwa tukijipalia makaa! Hata hivyo, huo ni msiba wa kujitakia usioambiwa pole.Maji yakimwagika, hayazoleki. Wakati ulikuwa umewadia ambapo sote tulifaa kuacha ya shetri na kushika ya gubeti. Naam, yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Toka lini mafiga mawili yakainjika chungu. Ulikuwa ni wakati wa kusameheana. Tulikata shauri kurudiana madhali, tulikuwa tumetambua jambo muhimu- Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. | Wakazi wa eneo lipi walikuwa wakihimia kwingine? | {
"text": [
"Sahau"
]
} |
1452_swa | UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Bila shaka wahenga na wahenguzi, waligonga ndipo walipoamba kwamba umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ndimi hizi za kihenga zina maana wadhiha kabisa. Humaanisha kwamba umoja katika kutekeleza jambo hufanikisha jambo hilo. Hata hivyo, utengano huwa ni udhaifu. Methali hii huambiwa watu wasioona thamani ya umoja. Hutumika kuwaeleza kuwa ili kunawiri, ni sharti washirikiane. Aidha, nguzo moja haijengi nyumba.
Kimya cha makaburi kulitanda katika bonde la Sahau. Hali ya eneo hilo haikuwa ni hali tena. Wakazi wengi walikuwa wakihamia kwingine. Sehemu ile haingeweza kuwaweka tena. Waja wengi walinuia kutafuta mahame. Kisa na maana ikiwa ni dhahiri shahiri. Tandabeluwa ilikuwa imezuka.
Kilima Heri kilimilikiwa na jamii ya wavuzi katika upande huo mwingine wa bonde la Sahau, jamii ya Walahaula ilijaa. Wanawake wa maeneo yote mawili walijishika tama. Wanaume waliobaki, walibaki kujijutia. Naam, majuto ni mjukuu.
Kila mja alizama katika bahari ya luja. Tukapiga darubini na kutanabahi siku zile za furaha na fahari, ambapo Wavuzi na Walahaula, waliishi kwa utangamano. Zama hizo, ndizo zilikuwa aali zaidi. Maisha yalikuwa bila kasoro yoyote. Makabila haya mawili hayakutambua, tofauti zao. Hizo ndizo siku walipojua kwamba mkono mmoja hauchinji ng'ombe .Ndizo zilikuwa siku za furaha ghaya.Kuna migunda iliyomilikiwa na makabila tofauti. Maarusi nao walikuwa ni wa makabila‘mseto. Ndoa za aina hizi ziliimarisha umoja zaidi ya kuleta furaha mpwitompwito. Ada na desturi za makabila yote mawili zilioana. Mila nazo hazikuachwa nyuma kwani kila mmoja alisadiki kuwa mwacha mila ni mtumwa. Makonde yalinawiri naye Mola akazidi kutubariki.
Masumbufu na maumbufu yetu, yalianza wazee walipoanza kufa. Vijana.wakachukua uongozi wa watu muhimu katika kudumisha amani wakabugia chumvi wakawa hawana ngoma hawana maulidi. Vijana wasio hekima wakashika hatamu. Walipojitoa katika ulingo wa siasa, wakaanza kuwapikisha wakazi majungu. Mara leo Watahaula wamefanya huu, mara kesho Wavuzi, wamewafanyia wenzao unyama. Mambo yakachukua mkondo tofauti.
Maji yakazidi unga. Mambo yakaenda segemnege. Masalale! Sokomoko ikazuka. Nyumba zikateketezwa wakongwe wakasafirishwa jongomeo pasi nauli wala matwana. Idadi ya waja ikapungua. Methali isemayo amani haiji ili kwa ncha ya upanga,ikawapumbaza wengi. Mzana mzaha ukatunga usaha.
Sasa, eneo hilo likawa ni duni. Ukame uliwatatiza wakazi. Mola hata naye alijawa na ghamidha za mkizi. Akalaani hali yetu ya anga. Mchanga uliozoa damu ya wakongwe na watoto wasio hatia ukakosa rutuba. Hatimaye tukabaki kujijutia. Kumbe tulikuwa tukijipalia makaa! Hata hivyo, huo ni msiba wa kujitakia usioambiwa pole.Maji yakimwagika, hayazoleki. Wakati ulikuwa umewadia ambapo sote tulifaa kuacha ya shetri na kushika ya gubeti. Naam, yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Toka lini mafiga mawili yakainjika chungu. Ulikuwa ni wakati wa kusameheana. Tulikata shauri kurudiana madhali, tulikuwa tumetambua jambo muhimu- Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. | Watu gani walikuwa wakiishi kwa utangamano kitambo? | {
"text": [
"Wavuzi na Walahaula"
]
} |
1452_swa | UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Bila shaka wahenga na wahenguzi, waligonga ndipo walipoamba kwamba umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ndimi hizi za kihenga zina maana wadhiha kabisa. Humaanisha kwamba umoja katika kutekeleza jambo hufanikisha jambo hilo. Hata hivyo, utengano huwa ni udhaifu. Methali hii huambiwa watu wasioona thamani ya umoja. Hutumika kuwaeleza kuwa ili kunawiri, ni sharti washirikiane. Aidha, nguzo moja haijengi nyumba.
Kimya cha makaburi kulitanda katika bonde la Sahau. Hali ya eneo hilo haikuwa ni hali tena. Wakazi wengi walikuwa wakihamia kwingine. Sehemu ile haingeweza kuwaweka tena. Waja wengi walinuia kutafuta mahame. Kisa na maana ikiwa ni dhahiri shahiri. Tandabeluwa ilikuwa imezuka.
Kilima Heri kilimilikiwa na jamii ya wavuzi katika upande huo mwingine wa bonde la Sahau, jamii ya Walahaula ilijaa. Wanawake wa maeneo yote mawili walijishika tama. Wanaume waliobaki, walibaki kujijutia. Naam, majuto ni mjukuu.
Kila mja alizama katika bahari ya luja. Tukapiga darubini na kutanabahi siku zile za furaha na fahari, ambapo Wavuzi na Walahaula, waliishi kwa utangamano. Zama hizo, ndizo zilikuwa aali zaidi. Maisha yalikuwa bila kasoro yoyote. Makabila haya mawili hayakutambua, tofauti zao. Hizo ndizo siku walipojua kwamba mkono mmoja hauchinji ng'ombe .Ndizo zilikuwa siku za furaha ghaya.Kuna migunda iliyomilikiwa na makabila tofauti. Maarusi nao walikuwa ni wa makabila‘mseto. Ndoa za aina hizi ziliimarisha umoja zaidi ya kuleta furaha mpwitompwito. Ada na desturi za makabila yote mawili zilioana. Mila nazo hazikuachwa nyuma kwani kila mmoja alisadiki kuwa mwacha mila ni mtumwa. Makonde yalinawiri naye Mola akazidi kutubariki.
Masumbufu na maumbufu yetu, yalianza wazee walipoanza kufa. Vijana.wakachukua uongozi wa watu muhimu katika kudumisha amani wakabugia chumvi wakawa hawana ngoma hawana maulidi. Vijana wasio hekima wakashika hatamu. Walipojitoa katika ulingo wa siasa, wakaanza kuwapikisha wakazi majungu. Mara leo Watahaula wamefanya huu, mara kesho Wavuzi, wamewafanyia wenzao unyama. Mambo yakachukua mkondo tofauti.
Maji yakazidi unga. Mambo yakaenda segemnege. Masalale! Sokomoko ikazuka. Nyumba zikateketezwa wakongwe wakasafirishwa jongomeo pasi nauli wala matwana. Idadi ya waja ikapungua. Methali isemayo amani haiji ili kwa ncha ya upanga,ikawapumbaza wengi. Mzana mzaha ukatunga usaha.
Sasa, eneo hilo likawa ni duni. Ukame uliwatatiza wakazi. Mola hata naye alijawa na ghamidha za mkizi. Akalaani hali yetu ya anga. Mchanga uliozoa damu ya wakongwe na watoto wasio hatia ukakosa rutuba. Hatimaye tukabaki kujijutia. Kumbe tulikuwa tukijipalia makaa! Hata hivyo, huo ni msiba wa kujitakia usioambiwa pole.Maji yakimwagika, hayazoleki. Wakati ulikuwa umewadia ambapo sote tulifaa kuacha ya shetri na kushika ya gubeti. Naam, yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Toka lini mafiga mawili yakainjika chungu. Ulikuwa ni wakati wa kusameheana. Tulikata shauri kurudiana madhali, tulikuwa tumetambua jambo muhimu- Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. | Mkono mmoja hauchinji nini? | {
"text": [
"Ng'ombe"
]
} |
1452_swa | UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Bila shaka wahenga na wahenguzi, waligonga ndipo walipoamba kwamba umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ndimi hizi za kihenga zina maana wadhiha kabisa. Humaanisha kwamba umoja katika kutekeleza jambo hufanikisha jambo hilo. Hata hivyo, utengano huwa ni udhaifu. Methali hii huambiwa watu wasioona thamani ya umoja. Hutumika kuwaeleza kuwa ili kunawiri, ni sharti washirikiane. Aidha, nguzo moja haijengi nyumba.
Kimya cha makaburi kulitanda katika bonde la Sahau. Hali ya eneo hilo haikuwa ni hali tena. Wakazi wengi walikuwa wakihamia kwingine. Sehemu ile haingeweza kuwaweka tena. Waja wengi walinuia kutafuta mahame. Kisa na maana ikiwa ni dhahiri shahiri. Tandabeluwa ilikuwa imezuka.
Kilima Heri kilimilikiwa na jamii ya wavuzi katika upande huo mwingine wa bonde la Sahau, jamii ya Walahaula ilijaa. Wanawake wa maeneo yote mawili walijishika tama. Wanaume waliobaki, walibaki kujijutia. Naam, majuto ni mjukuu.
Kila mja alizama katika bahari ya luja. Tukapiga darubini na kutanabahi siku zile za furaha na fahari, ambapo Wavuzi na Walahaula, waliishi kwa utangamano. Zama hizo, ndizo zilikuwa aali zaidi. Maisha yalikuwa bila kasoro yoyote. Makabila haya mawili hayakutambua, tofauti zao. Hizo ndizo siku walipojua kwamba mkono mmoja hauchinji ng'ombe .Ndizo zilikuwa siku za furaha ghaya.Kuna migunda iliyomilikiwa na makabila tofauti. Maarusi nao walikuwa ni wa makabila‘mseto. Ndoa za aina hizi ziliimarisha umoja zaidi ya kuleta furaha mpwitompwito. Ada na desturi za makabila yote mawili zilioana. Mila nazo hazikuachwa nyuma kwani kila mmoja alisadiki kuwa mwacha mila ni mtumwa. Makonde yalinawiri naye Mola akazidi kutubariki.
Masumbufu na maumbufu yetu, yalianza wazee walipoanza kufa. Vijana.wakachukua uongozi wa watu muhimu katika kudumisha amani wakabugia chumvi wakawa hawana ngoma hawana maulidi. Vijana wasio hekima wakashika hatamu. Walipojitoa katika ulingo wa siasa, wakaanza kuwapikisha wakazi majungu. Mara leo Watahaula wamefanya huu, mara kesho Wavuzi, wamewafanyia wenzao unyama. Mambo yakachukua mkondo tofauti.
Maji yakazidi unga. Mambo yakaenda segemnege. Masalale! Sokomoko ikazuka. Nyumba zikateketezwa wakongwe wakasafirishwa jongomeo pasi nauli wala matwana. Idadi ya waja ikapungua. Methali isemayo amani haiji ili kwa ncha ya upanga,ikawapumbaza wengi. Mzana mzaha ukatunga usaha.
Sasa, eneo hilo likawa ni duni. Ukame uliwatatiza wakazi. Mola hata naye alijawa na ghamidha za mkizi. Akalaani hali yetu ya anga. Mchanga uliozoa damu ya wakongwe na watoto wasio hatia ukakosa rutuba. Hatimaye tukabaki kujijutia. Kumbe tulikuwa tukijipalia makaa! Hata hivyo, huo ni msiba wa kujitakia usioambiwa pole.Maji yakimwagika, hayazoleki. Wakati ulikuwa umewadia ambapo sote tulifaa kuacha ya shetri na kushika ya gubeti. Naam, yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Toka lini mafiga mawili yakainjika chungu. Ulikuwa ni wakati wa kusameheana. Tulikata shauri kurudiana madhali, tulikuwa tumetambua jambo muhimu- Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. | Maarusi walikuwa wa kabila ipi? | {
"text": [
"Mseto"
]
} |
1453_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Alipiga Bismillahi kutoa shukrani kwa nani | {
"text": [
"Hababi"
]
} |
1453_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Alifika kanisani saa ngapi | {
"text": [
"nne"
]
} |
1453_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Bwana na Bi harusi walipigana nini hadharani | {
"text": [
"Busu"
]
} |
1453_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Bi harusi aliitwa nani | {
"text": [
"Maria"
]
} |
1453_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Kwa nini waumini walitulia | {
"text": [
"Walikuwa wanasikiliza ibada"
]
} |
1454_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Hapo jadi na jadudi paliondokea ghulamu aliyeitwa kabonyi. Aliishi na wavyele wake na walikuwa malodi. Kabonyi hakushirikiana na watoto wa hohehahe kwa sababu sura yake ilikuwa ya kupendeza ingawa wahenga na wahenguzi hawakukosa walipolonga kuwa yote yang'aayo si dhahabu.
Kabonyi alicheza na watoto waliokuwa wa matajiri kama wazazi wake. Wengi wa masahibu wa Kabonyi walikuwa na hulka mbaya ambazo hazikuwapendeza adinasi wengi. Kabonyi alikatazwa kucheza nao ilhali alitia nta masikioni.
Siku moja Kabonyi alitoka chengoni mwao na kuelekea kwa sahibu yake mmoja. Mwandani huyo alimwambia Kabonyi waende wakatembee mtaani. Walienda kwa papara ili wasichelewe kufika na kuwasili mapema huko mtaani chambilecho wahenga chelewa chelewa utapata mwana si wako.
Kabonyi na rafikiye walipofika huko mtaani waliingia katika duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka na kumcharaza muuzaji hadi akianza kutiririkwa na ngeu tiriritiriri. Kabonyi walianza kusaka kila mahali hapo dukani na kunyakua fedha za bidhaa 20 dukani.
Punde si punde, pwagu wale waliduwaa na kubung'aa kuwa muuzaji alikuwa ameipiga dunia kisogo. Wezi wale walikuwa wajinga kiasi cha kondoo kwa sababu waliendelea kutafuta ngwenje zingine. Mwia si mwia, walishtukia kuwa walikuwa mikononi mwa kigaro cha askari. Walitiwa mbaroni bila ya kufahamu walivyojulikana na hapo wakakubali methali ya kiswahili isemayo siku za mwizi ni arubaini.
Habari za ghulamu wale wawili zilienea kote kijijini kama moto majira ya kiangazi walipokosekana. Wazazi wao walianza kuwatafuta kama shilingi kwa yo pili kwa kuwa hawakujua walipokuwa. Siku moja, wazazi wale walijifikisha kwenye kituo cha polisi na kuwakuta wamefikishwa mahakamani. Masalalaa! wavyele wa Kabonyi na mwandani wake walishangaa kwa kuwakuta mahakamani.
Wavulana wale wlipowatupia macho wazazi wao, walishindwa na la kunena Hawa wavulana walikuwa wajanja mithili ya sungura. Walitoroka kutoka gerezani ilhali hawakujulikana. Kwa bahati mbaya, walipokuwa wakitoroka, walikutana no polisi waliokuwa wamewakamata. Walirudishwa wakichapwa kichapo cha mbwa. Walitulia tuli ja maji ya mtungi.
Wazazi wao hawakushughulika nao tena kwa sababu walijua kuwa walikuwa watukutu. Baada ya siku kadha, habari mbaya ilienea kuwa Kabonyi na rafikiye walikuwa wamekumbana na mateso na maradhi mengi huko jela. | Hapo jadi na jadudi paliondokea ghulamu aliyeitwa nani | {
"text": [
"Kabonyi"
]
} |
1454_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Hapo jadi na jadudi paliondokea ghulamu aliyeitwa kabonyi. Aliishi na wavyele wake na walikuwa malodi. Kabonyi hakushirikiana na watoto wa hohehahe kwa sababu sura yake ilikuwa ya kupendeza ingawa wahenga na wahenguzi hawakukosa walipolonga kuwa yote yang'aayo si dhahabu.
Kabonyi alicheza na watoto waliokuwa wa matajiri kama wazazi wake. Wengi wa masahibu wa Kabonyi walikuwa na hulka mbaya ambazo hazikuwapendeza adinasi wengi. Kabonyi alikatazwa kucheza nao ilhali alitia nta masikioni.
Siku moja Kabonyi alitoka chengoni mwao na kuelekea kwa sahibu yake mmoja. Mwandani huyo alimwambia Kabonyi waende wakatembee mtaani. Walienda kwa papara ili wasichelewe kufika na kuwasili mapema huko mtaani chambilecho wahenga chelewa chelewa utapata mwana si wako.
Kabonyi na rafikiye walipofika huko mtaani waliingia katika duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka na kumcharaza muuzaji hadi akianza kutiririkwa na ngeu tiriritiriri. Kabonyi walianza kusaka kila mahali hapo dukani na kunyakua fedha za bidhaa 20 dukani.
Punde si punde, pwagu wale waliduwaa na kubung'aa kuwa muuzaji alikuwa ameipiga dunia kisogo. Wezi wale walikuwa wajinga kiasi cha kondoo kwa sababu waliendelea kutafuta ngwenje zingine. Mwia si mwia, walishtukia kuwa walikuwa mikononi mwa kigaro cha askari. Walitiwa mbaroni bila ya kufahamu walivyojulikana na hapo wakakubali methali ya kiswahili isemayo siku za mwizi ni arubaini.
Habari za ghulamu wale wawili zilienea kote kijijini kama moto majira ya kiangazi walipokosekana. Wazazi wao walianza kuwatafuta kama shilingi kwa yo pili kwa kuwa hawakujua walipokuwa. Siku moja, wazazi wale walijifikisha kwenye kituo cha polisi na kuwakuta wamefikishwa mahakamani. Masalalaa! wavyele wa Kabonyi na mwandani wake walishangaa kwa kuwakuta mahakamani.
Wavulana wale wlipowatupia macho wazazi wao, walishindwa na la kunena Hawa wavulana walikuwa wajanja mithili ya sungura. Walitoroka kutoka gerezani ilhali hawakujulikana. Kwa bahati mbaya, walipokuwa wakitoroka, walikutana no polisi waliokuwa wamewakamata. Walirudishwa wakichapwa kichapo cha mbwa. Walitulia tuli ja maji ya mtungi.
Wazazi wao hawakushughulika nao tena kwa sababu walijua kuwa walikuwa watukutu. Baada ya siku kadha, habari mbaya ilienea kuwa Kabonyi na rafikiye walikuwa wamekumbana na mateso na maradhi mengi huko jela. | Chelewachelewa utapata nani si wako | {
"text": [
"Mwana"
]
} |
1454_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Hapo jadi na jadudi paliondokea ghulamu aliyeitwa kabonyi. Aliishi na wavyele wake na walikuwa malodi. Kabonyi hakushirikiana na watoto wa hohehahe kwa sababu sura yake ilikuwa ya kupendeza ingawa wahenga na wahenguzi hawakukosa walipolonga kuwa yote yang'aayo si dhahabu.
Kabonyi alicheza na watoto waliokuwa wa matajiri kama wazazi wake. Wengi wa masahibu wa Kabonyi walikuwa na hulka mbaya ambazo hazikuwapendeza adinasi wengi. Kabonyi alikatazwa kucheza nao ilhali alitia nta masikioni.
Siku moja Kabonyi alitoka chengoni mwao na kuelekea kwa sahibu yake mmoja. Mwandani huyo alimwambia Kabonyi waende wakatembee mtaani. Walienda kwa papara ili wasichelewe kufika na kuwasili mapema huko mtaani chambilecho wahenga chelewa chelewa utapata mwana si wako.
Kabonyi na rafikiye walipofika huko mtaani waliingia katika duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka na kumcharaza muuzaji hadi akianza kutiririkwa na ngeu tiriritiriri. Kabonyi walianza kusaka kila mahali hapo dukani na kunyakua fedha za bidhaa 20 dukani.
Punde si punde, pwagu wale waliduwaa na kubung'aa kuwa muuzaji alikuwa ameipiga dunia kisogo. Wezi wale walikuwa wajinga kiasi cha kondoo kwa sababu waliendelea kutafuta ngwenje zingine. Mwia si mwia, walishtukia kuwa walikuwa mikononi mwa kigaro cha askari. Walitiwa mbaroni bila ya kufahamu walivyojulikana na hapo wakakubali methali ya kiswahili isemayo siku za mwizi ni arubaini.
Habari za ghulamu wale wawili zilienea kote kijijini kama moto majira ya kiangazi walipokosekana. Wazazi wao walianza kuwatafuta kama shilingi kwa yo pili kwa kuwa hawakujua walipokuwa. Siku moja, wazazi wale walijifikisha kwenye kituo cha polisi na kuwakuta wamefikishwa mahakamani. Masalalaa! wavyele wa Kabonyi na mwandani wake walishangaa kwa kuwakuta mahakamani.
Wavulana wale wlipowatupia macho wazazi wao, walishindwa na la kunena Hawa wavulana walikuwa wajanja mithili ya sungura. Walitoroka kutoka gerezani ilhali hawakujulikana. Kwa bahati mbaya, walipokuwa wakitoroka, walikutana no polisi waliokuwa wamewakamata. Walirudishwa wakichapwa kichapo cha mbwa. Walitulia tuli ja maji ya mtungi.
Wazazi wao hawakushughulika nao tena kwa sababu walijua kuwa walikuwa watukutu. Baada ya siku kadha, habari mbaya ilienea kuwa Kabonyi na rafikiye walikuwa wamekumbana na mateso na maradhi mengi huko jela. | Kaboyi na rafikiye walipofika huko mtaani walinunua nini | {
"text": [
"Peremende"
]
} |
1454_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Hapo jadi na jadudi paliondokea ghulamu aliyeitwa kabonyi. Aliishi na wavyele wake na walikuwa malodi. Kabonyi hakushirikiana na watoto wa hohehahe kwa sababu sura yake ilikuwa ya kupendeza ingawa wahenga na wahenguzi hawakukosa walipolonga kuwa yote yang'aayo si dhahabu.
Kabonyi alicheza na watoto waliokuwa wa matajiri kama wazazi wake. Wengi wa masahibu wa Kabonyi walikuwa na hulka mbaya ambazo hazikuwapendeza adinasi wengi. Kabonyi alikatazwa kucheza nao ilhali alitia nta masikioni.
Siku moja Kabonyi alitoka chengoni mwao na kuelekea kwa sahibu yake mmoja. Mwandani huyo alimwambia Kabonyi waende wakatembee mtaani. Walienda kwa papara ili wasichelewe kufika na kuwasili mapema huko mtaani chambilecho wahenga chelewa chelewa utapata mwana si wako.
Kabonyi na rafikiye walipofika huko mtaani waliingia katika duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka na kumcharaza muuzaji hadi akianza kutiririkwa na ngeu tiriritiriri. Kabonyi walianza kusaka kila mahali hapo dukani na kunyakua fedha za bidhaa 20 dukani.
Punde si punde, pwagu wale waliduwaa na kubung'aa kuwa muuzaji alikuwa ameipiga dunia kisogo. Wezi wale walikuwa wajinga kiasi cha kondoo kwa sababu waliendelea kutafuta ngwenje zingine. Mwia si mwia, walishtukia kuwa walikuwa mikononi mwa kigaro cha askari. Walitiwa mbaroni bila ya kufahamu walivyojulikana na hapo wakakubali methali ya kiswahili isemayo siku za mwizi ni arubaini.
Habari za ghulamu wale wawili zilienea kote kijijini kama moto majira ya kiangazi walipokosekana. Wazazi wao walianza kuwatafuta kama shilingi kwa yo pili kwa kuwa hawakujua walipokuwa. Siku moja, wazazi wale walijifikisha kwenye kituo cha polisi na kuwakuta wamefikishwa mahakamani. Masalalaa! wavyele wa Kabonyi na mwandani wake walishangaa kwa kuwakuta mahakamani.
Wavulana wale wlipowatupia macho wazazi wao, walishindwa na la kunena Hawa wavulana walikuwa wajanja mithili ya sungura. Walitoroka kutoka gerezani ilhali hawakujulikana. Kwa bahati mbaya, walipokuwa wakitoroka, walikutana no polisi waliokuwa wamewakamata. Walirudishwa wakichapwa kichapo cha mbwa. Walitulia tuli ja maji ya mtungi.
Wazazi wao hawakushughulika nao tena kwa sababu walijua kuwa walikuwa watukutu. Baada ya siku kadha, habari mbaya ilienea kuwa Kabonyi na rafikiye walikuwa wamekumbana na mateso na maradhi mengi huko jela. | nani walianza kuwatafuta Kabonyi na rafikiye kama shilingi | {
"text": [
"Wazazi wao"
]
} |
1454_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Hapo jadi na jadudi paliondokea ghulamu aliyeitwa kabonyi. Aliishi na wavyele wake na walikuwa malodi. Kabonyi hakushirikiana na watoto wa hohehahe kwa sababu sura yake ilikuwa ya kupendeza ingawa wahenga na wahenguzi hawakukosa walipolonga kuwa yote yang'aayo si dhahabu.
Kabonyi alicheza na watoto waliokuwa wa matajiri kama wazazi wake. Wengi wa masahibu wa Kabonyi walikuwa na hulka mbaya ambazo hazikuwapendeza adinasi wengi. Kabonyi alikatazwa kucheza nao ilhali alitia nta masikioni.
Siku moja Kabonyi alitoka chengoni mwao na kuelekea kwa sahibu yake mmoja. Mwandani huyo alimwambia Kabonyi waende wakatembee mtaani. Walienda kwa papara ili wasichelewe kufika na kuwasili mapema huko mtaani chambilecho wahenga chelewa chelewa utapata mwana si wako.
Kabonyi na rafikiye walipofika huko mtaani waliingia katika duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka moja na kujifanya walikuwa wanunuzi. Walinunua peremende isitoshe wakaingia kwenye duka na kumcharaza muuzaji hadi akianza kutiririkwa na ngeu tiriritiriri. Kabonyi walianza kusaka kila mahali hapo dukani na kunyakua fedha za bidhaa 20 dukani.
Punde si punde, pwagu wale waliduwaa na kubung'aa kuwa muuzaji alikuwa ameipiga dunia kisogo. Wezi wale walikuwa wajinga kiasi cha kondoo kwa sababu waliendelea kutafuta ngwenje zingine. Mwia si mwia, walishtukia kuwa walikuwa mikononi mwa kigaro cha askari. Walitiwa mbaroni bila ya kufahamu walivyojulikana na hapo wakakubali methali ya kiswahili isemayo siku za mwizi ni arubaini.
Habari za ghulamu wale wawili zilienea kote kijijini kama moto majira ya kiangazi walipokosekana. Wazazi wao walianza kuwatafuta kama shilingi kwa yo pili kwa kuwa hawakujua walipokuwa. Siku moja, wazazi wale walijifikisha kwenye kituo cha polisi na kuwakuta wamefikishwa mahakamani. Masalalaa! wavyele wa Kabonyi na mwandani wake walishangaa kwa kuwakuta mahakamani.
Wavulana wale wlipowatupia macho wazazi wao, walishindwa na la kunena Hawa wavulana walikuwa wajanja mithili ya sungura. Walitoroka kutoka gerezani ilhali hawakujulikana. Kwa bahati mbaya, walipokuwa wakitoroka, walikutana no polisi waliokuwa wamewakamata. Walirudishwa wakichapwa kichapo cha mbwa. Walitulia tuli ja maji ya mtungi.
Wazazi wao hawakushughulika nao tena kwa sababu walijua kuwa walikuwa watukutu. Baada ya siku kadha, habari mbaya ilienea kuwa Kabonyi na rafikiye walikuwa wamekumbana na mateso na maradhi mengi huko jela. | Wavulana hawa walikuwa wajanja mithili ya nani | {
"text": [
"Sungura"
]
} |
1455_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama kweli lisemalo lipo na kama halipo li njiani laja wazee wenye busara walilonga.
Hapo zamani aliishi mwanamwali aliyekuwa akiitwa Raha. Raha alikua mkembe mcheshi, mtanashati na mwenye uso wa haiba. Hulka zake hazikuwa za kupendeza. Wazazi wake walijaribu kumpa nasaha lakini yeye aliwaona chira waropokao maneno shelabela . Baba yake aliyekuwa simba alijaribu kisu mara bakora, lakini wapi! Raha alibaki imara kwenye tabia zake mbaya. Kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa. Rika lake lilimwimbia wimbo mui ambao hauimbiwi mwana. Kwa yakini udongo upatilize ungali maji.
Raha alikata shauri kwenda kuishi mjini. Alifunganya virago vyake kutokomea. Hakufahamu kuwa mkataa pema pabaya pamwita. Alianza kuishi laazizi yake walioshibana lau kupe na mkia wa bakari. Wahenga na wahenguzi hawakuwa juha bin zuzu waliponena kuwa mwenda pate harudi, kirudicho ni kilio. Mambo yalianza kwenda segemnege. Muhibu wake aliugua uwele usiosikia dawa. Baada ya yaumu kadhaa rafikiye alifarakana na dunia.
Raha akawa hana mbele wala nyuma. Akaanza kujitegemea kwa hali na mali. Raha alikuwa hapiki hapakui, kwani hakuwa na pesa za kununua vyakula . Siku moja Raha alikata shauri kuiba ili apate angalau maakuli. Raha alijikakamua vilivyo na kunyapanyapa kwenye duka moja ambalo lilikuwa karibu na mastaki yake. Alizoea kulifilisi kwa macho tu. Aliuvunja mlango na kujitoma ndani na kuaza kung'ang'ana papatu papatu na bidhaa. Nguruwe aliendealo ndilo afanyalo. Wazee wa jadi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipotafakari kuwa mwenye nguvu mpishe. Raha alizidiwa nguvu. Alijipigisha ukutani.
Aliezekwa kofi moja lililomfanya aone vimulimuli na kuwaona wahenga wahenguzi wakiwa wameketi chini kitako barazani wakitafakari fani za lugha. Majuto ni mjukuu huja kinyume. Raha akawa regerege kama aliyepooza kwa kiungo. Polisi walipashwa habari ambapo waliwasili mahali pale kwa mwendo matiti. Alibebwa hobelahobela, ima fa ima na kurushwa kama gunia la mboga kwenye karandinga lao. Kituoni mwa polisi aliinuliwa juu juu hangahanga na kurush korokoroni. niliamini kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu.
Raha alistaajabu ya Musa kabla ya kuona ya Firauni. Raha alipokuwa huko korokoroni alikumbuka vile nina yake alikuwa akimwonya. Kwa kweli Raha aliona cha mtema kuni, bin kilichomtoa kanga manyoya. Aliunga mkono msemo kuwa ziba mwanya usipite panya kwa kuyatia masikio yake nta na kuwa na kichwa kikubwa. Ndipo aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mwanamwali aliitwa nani | {
"text": [
"Raha"
]
} |
1455_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama kweli lisemalo lipo na kama halipo li njiani laja wazee wenye busara walilonga.
Hapo zamani aliishi mwanamwali aliyekuwa akiitwa Raha. Raha alikua mkembe mcheshi, mtanashati na mwenye uso wa haiba. Hulka zake hazikuwa za kupendeza. Wazazi wake walijaribu kumpa nasaha lakini yeye aliwaona chira waropokao maneno shelabela . Baba yake aliyekuwa simba alijaribu kisu mara bakora, lakini wapi! Raha alibaki imara kwenye tabia zake mbaya. Kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa. Rika lake lilimwimbia wimbo mui ambao hauimbiwi mwana. Kwa yakini udongo upatilize ungali maji.
Raha alikata shauri kwenda kuishi mjini. Alifunganya virago vyake kutokomea. Hakufahamu kuwa mkataa pema pabaya pamwita. Alianza kuishi laazizi yake walioshibana lau kupe na mkia wa bakari. Wahenga na wahenguzi hawakuwa juha bin zuzu waliponena kuwa mwenda pate harudi, kirudicho ni kilio. Mambo yalianza kwenda segemnege. Muhibu wake aliugua uwele usiosikia dawa. Baada ya yaumu kadhaa rafikiye alifarakana na dunia.
Raha akawa hana mbele wala nyuma. Akaanza kujitegemea kwa hali na mali. Raha alikuwa hapiki hapakui, kwani hakuwa na pesa za kununua vyakula . Siku moja Raha alikata shauri kuiba ili apate angalau maakuli. Raha alijikakamua vilivyo na kunyapanyapa kwenye duka moja ambalo lilikuwa karibu na mastaki yake. Alizoea kulifilisi kwa macho tu. Aliuvunja mlango na kujitoma ndani na kuaza kung'ang'ana papatu papatu na bidhaa. Nguruwe aliendealo ndilo afanyalo. Wazee wa jadi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipotafakari kuwa mwenye nguvu mpishe. Raha alizidiwa nguvu. Alijipigisha ukutani.
Aliezekwa kofi moja lililomfanya aone vimulimuli na kuwaona wahenga wahenguzi wakiwa wameketi chini kitako barazani wakitafakari fani za lugha. Majuto ni mjukuu huja kinyume. Raha akawa regerege kama aliyepooza kwa kiungo. Polisi walipashwa habari ambapo waliwasili mahali pale kwa mwendo matiti. Alibebwa hobelahobela, ima fa ima na kurushwa kama gunia la mboga kwenye karandinga lao. Kituoni mwa polisi aliinuliwa juu juu hangahanga na kurush korokoroni. niliamini kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu.
Raha alistaajabu ya Musa kabla ya kuona ya Firauni. Raha alipokuwa huko korokoroni alikumbuka vile nina yake alikuwa akimwonya. Kwa kweli Raha aliona cha mtema kuni, bin kilichomtoa kanga manyoya. Aliunga mkono msemo kuwa ziba mwanya usipite panya kwa kuyatia masikio yake nta na kuwa na kichwa kikubwa. Ndipo aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Raha aliamua kufanya nini angalau apate maakuli | {
"text": [
"alikata shauri kuiba"
]
} |
1455_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama kweli lisemalo lipo na kama halipo li njiani laja wazee wenye busara walilonga.
Hapo zamani aliishi mwanamwali aliyekuwa akiitwa Raha. Raha alikua mkembe mcheshi, mtanashati na mwenye uso wa haiba. Hulka zake hazikuwa za kupendeza. Wazazi wake walijaribu kumpa nasaha lakini yeye aliwaona chira waropokao maneno shelabela . Baba yake aliyekuwa simba alijaribu kisu mara bakora, lakini wapi! Raha alibaki imara kwenye tabia zake mbaya. Kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa. Rika lake lilimwimbia wimbo mui ambao hauimbiwi mwana. Kwa yakini udongo upatilize ungali maji.
Raha alikata shauri kwenda kuishi mjini. Alifunganya virago vyake kutokomea. Hakufahamu kuwa mkataa pema pabaya pamwita. Alianza kuishi laazizi yake walioshibana lau kupe na mkia wa bakari. Wahenga na wahenguzi hawakuwa juha bin zuzu waliponena kuwa mwenda pate harudi, kirudicho ni kilio. Mambo yalianza kwenda segemnege. Muhibu wake aliugua uwele usiosikia dawa. Baada ya yaumu kadhaa rafikiye alifarakana na dunia.
Raha akawa hana mbele wala nyuma. Akaanza kujitegemea kwa hali na mali. Raha alikuwa hapiki hapakui, kwani hakuwa na pesa za kununua vyakula . Siku moja Raha alikata shauri kuiba ili apate angalau maakuli. Raha alijikakamua vilivyo na kunyapanyapa kwenye duka moja ambalo lilikuwa karibu na mastaki yake. Alizoea kulifilisi kwa macho tu. Aliuvunja mlango na kujitoma ndani na kuaza kung'ang'ana papatu papatu na bidhaa. Nguruwe aliendealo ndilo afanyalo. Wazee wa jadi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipotafakari kuwa mwenye nguvu mpishe. Raha alizidiwa nguvu. Alijipigisha ukutani.
Aliezekwa kofi moja lililomfanya aone vimulimuli na kuwaona wahenga wahenguzi wakiwa wameketi chini kitako barazani wakitafakari fani za lugha. Majuto ni mjukuu huja kinyume. Raha akawa regerege kama aliyepooza kwa kiungo. Polisi walipashwa habari ambapo waliwasili mahali pale kwa mwendo matiti. Alibebwa hobelahobela, ima fa ima na kurushwa kama gunia la mboga kwenye karandinga lao. Kituoni mwa polisi aliinuliwa juu juu hangahanga na kurush korokoroni. niliamini kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu.
Raha alistaajabu ya Musa kabla ya kuona ya Firauni. Raha alipokuwa huko korokoroni alikumbuka vile nina yake alikuwa akimwonya. Kwa kweli Raha aliona cha mtema kuni, bin kilichomtoa kanga manyoya. Aliunga mkono msemo kuwa ziba mwanya usipite panya kwa kuyatia masikio yake nta na kuwa na kichwa kikubwa. Ndipo aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Nani walipashwa habari | {
"text": [
"polisi"
]
} |
1455_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama kweli lisemalo lipo na kama halipo li njiani laja wazee wenye busara walilonga.
Hapo zamani aliishi mwanamwali aliyekuwa akiitwa Raha. Raha alikua mkembe mcheshi, mtanashati na mwenye uso wa haiba. Hulka zake hazikuwa za kupendeza. Wazazi wake walijaribu kumpa nasaha lakini yeye aliwaona chira waropokao maneno shelabela . Baba yake aliyekuwa simba alijaribu kisu mara bakora, lakini wapi! Raha alibaki imara kwenye tabia zake mbaya. Kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa. Rika lake lilimwimbia wimbo mui ambao hauimbiwi mwana. Kwa yakini udongo upatilize ungali maji.
Raha alikata shauri kwenda kuishi mjini. Alifunganya virago vyake kutokomea. Hakufahamu kuwa mkataa pema pabaya pamwita. Alianza kuishi laazizi yake walioshibana lau kupe na mkia wa bakari. Wahenga na wahenguzi hawakuwa juha bin zuzu waliponena kuwa mwenda pate harudi, kirudicho ni kilio. Mambo yalianza kwenda segemnege. Muhibu wake aliugua uwele usiosikia dawa. Baada ya yaumu kadhaa rafikiye alifarakana na dunia.
Raha akawa hana mbele wala nyuma. Akaanza kujitegemea kwa hali na mali. Raha alikuwa hapiki hapakui, kwani hakuwa na pesa za kununua vyakula . Siku moja Raha alikata shauri kuiba ili apate angalau maakuli. Raha alijikakamua vilivyo na kunyapanyapa kwenye duka moja ambalo lilikuwa karibu na mastaki yake. Alizoea kulifilisi kwa macho tu. Aliuvunja mlango na kujitoma ndani na kuaza kung'ang'ana papatu papatu na bidhaa. Nguruwe aliendealo ndilo afanyalo. Wazee wa jadi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipotafakari kuwa mwenye nguvu mpishe. Raha alizidiwa nguvu. Alijipigisha ukutani.
Aliezekwa kofi moja lililomfanya aone vimulimuli na kuwaona wahenga wahenguzi wakiwa wameketi chini kitako barazani wakitafakari fani za lugha. Majuto ni mjukuu huja kinyume. Raha akawa regerege kama aliyepooza kwa kiungo. Polisi walipashwa habari ambapo waliwasili mahali pale kwa mwendo matiti. Alibebwa hobelahobela, ima fa ima na kurushwa kama gunia la mboga kwenye karandinga lao. Kituoni mwa polisi aliinuliwa juu juu hangahanga na kurush korokoroni. niliamini kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu.
Raha alistaajabu ya Musa kabla ya kuona ya Firauni. Raha alipokuwa huko korokoroni alikumbuka vile nina yake alikuwa akimwonya. Kwa kweli Raha aliona cha mtema kuni, bin kilichomtoa kanga manyoya. Aliunga mkono msemo kuwa ziba mwanya usipite panya kwa kuyatia masikio yake nta na kuwa na kichwa kikubwa. Ndipo aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Raha aliamua kukata shauri la kuiba lini | {
"text": [
"alipokosa chakula"
]
} |
1455_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama kweli lisemalo lipo na kama halipo li njiani laja wazee wenye busara walilonga.
Hapo zamani aliishi mwanamwali aliyekuwa akiitwa Raha. Raha alikua mkembe mcheshi, mtanashati na mwenye uso wa haiba. Hulka zake hazikuwa za kupendeza. Wazazi wake walijaribu kumpa nasaha lakini yeye aliwaona chira waropokao maneno shelabela . Baba yake aliyekuwa simba alijaribu kisu mara bakora, lakini wapi! Raha alibaki imara kwenye tabia zake mbaya. Kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa. Rika lake lilimwimbia wimbo mui ambao hauimbiwi mwana. Kwa yakini udongo upatilize ungali maji.
Raha alikata shauri kwenda kuishi mjini. Alifunganya virago vyake kutokomea. Hakufahamu kuwa mkataa pema pabaya pamwita. Alianza kuishi laazizi yake walioshibana lau kupe na mkia wa bakari. Wahenga na wahenguzi hawakuwa juha bin zuzu waliponena kuwa mwenda pate harudi, kirudicho ni kilio. Mambo yalianza kwenda segemnege. Muhibu wake aliugua uwele usiosikia dawa. Baada ya yaumu kadhaa rafikiye alifarakana na dunia.
Raha akawa hana mbele wala nyuma. Akaanza kujitegemea kwa hali na mali. Raha alikuwa hapiki hapakui, kwani hakuwa na pesa za kununua vyakula . Siku moja Raha alikata shauri kuiba ili apate angalau maakuli. Raha alijikakamua vilivyo na kunyapanyapa kwenye duka moja ambalo lilikuwa karibu na mastaki yake. Alizoea kulifilisi kwa macho tu. Aliuvunja mlango na kujitoma ndani na kuaza kung'ang'ana papatu papatu na bidhaa. Nguruwe aliendealo ndilo afanyalo. Wazee wa jadi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipotafakari kuwa mwenye nguvu mpishe. Raha alizidiwa nguvu. Alijipigisha ukutani.
Aliezekwa kofi moja lililomfanya aone vimulimuli na kuwaona wahenga wahenguzi wakiwa wameketi chini kitako barazani wakitafakari fani za lugha. Majuto ni mjukuu huja kinyume. Raha akawa regerege kama aliyepooza kwa kiungo. Polisi walipashwa habari ambapo waliwasili mahali pale kwa mwendo matiti. Alibebwa hobelahobela, ima fa ima na kurushwa kama gunia la mboga kwenye karandinga lao. Kituoni mwa polisi aliinuliwa juu juu hangahanga na kurush korokoroni. niliamini kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu.
Raha alistaajabu ya Musa kabla ya kuona ya Firauni. Raha alipokuwa huko korokoroni alikumbuka vile nina yake alikuwa akimwonya. Kwa kweli Raha aliona cha mtema kuni, bin kilichomtoa kanga manyoya. Aliunga mkono msemo kuwa ziba mwanya usipite panya kwa kuyatia masikio yake nta na kuwa na kichwa kikubwa. Ndipo aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Rafikiye Raha alifarakana na dunia aje | {
"text": [
"aliugua uwele ambao haukusikia dawa"
]
} |
1457_swa | Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe kutoka upande wa matlai. Parafujo za miguu ziliregea legelege huku mtima ukinipapasa papasa kana kwamba ibilisi alikuwa amealikwa huko. Migongano ya waza wazua ilinitawala pakubwa.
Kriski hii nilikuwa peke yangu baada ya nina na abu kungoa habla mlaesha ya ijumaa. Nilitoka mzo mzo kwa mwendo wa ulibwedi huku nikiukomea mlango kome kome. Huku nje kiza la kaniki lilienea na kuzagaa tepetepe tamdhiri nari nyikani. Nilirudi wangu wangu kiamboni na kuchukua kiangaza pamoja na rungu ya baba na hapo nikaelekea kule maana nilimazi vyema ya wahenga, “mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo.
Nilienda kwa mwendo wa matiti na kila hatua niliyoifanya, mayowe yalizidi na mara hii niliweza kutambua sauti ya shangazi iliyo nyororo inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Nilipokaribia mle kiamboni mwa shangazi, nilitulia tuli kama maji ya mtungi na nikasimama tisti tisti nikisubiri kwa hamaki na vishindo ambacho kingetoa. Ama kwa kweli nyakanga mahusuhi hawakutupaka mafuta kwa mdomo wa chupa waliporonga kuntu kuwa 'Asiyeogopa bakari, bakari ni yeye.
Hakuna lililotokea, hivyo niliingia mle nyumbani ambapo niliwakuta waja si haba wakilia kwa hofu. Machozi yaliwalenga machoni na kuwadondoka ndo ndo ndo licha ya kuwa ni wazee na maajuza. Nilielezewa kinaganaga kuwa mpenzi wake shangazi alikuwa ameshaenda kusiko marejeo labda nchi za ughaibuni. Kwa kweli waambao waliamba kifo ni mgeni ambaye habishi hodi.
Kifo cha huyu shababi kilitokea baada ya yeye kuwa na ugamui baina ya majambazi. Taratha ambao walikuwa wamenaswa na askari. Majambazi wale walitiwa mikononi baada ya yeye kuwashtaki kwamba wao ni wachuuza na walanguzi wa mihadarati. Hakujua kwamba alitia chumvi kwenye kidonda alakulihali hakupewa hata sekonti ya kujuta majuto ya mjukuu.
Kifo hakina huruma. Kilimpokonya shangazi mpenzi aliyemtegemea kwa hali na mali. Kweli mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Muda si kiduchu adinasi wengi walifika kumpa shangazi mkono wa buriani na kumpa usaidizi chambilecho wahenga akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. | Nilisikia nini kutoka upande wa matlai | {
"text": [
"Mayowe"
]
} |
1457_swa | Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe kutoka upande wa matlai. Parafujo za miguu ziliregea legelege huku mtima ukinipapasa papasa kana kwamba ibilisi alikuwa amealikwa huko. Migongano ya waza wazua ilinitawala pakubwa.
Kriski hii nilikuwa peke yangu baada ya nina na abu kungoa habla mlaesha ya ijumaa. Nilitoka mzo mzo kwa mwendo wa ulibwedi huku nikiukomea mlango kome kome. Huku nje kiza la kaniki lilienea na kuzagaa tepetepe tamdhiri nari nyikani. Nilirudi wangu wangu kiamboni na kuchukua kiangaza pamoja na rungu ya baba na hapo nikaelekea kule maana nilimazi vyema ya wahenga, “mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo.
Nilienda kwa mwendo wa matiti na kila hatua niliyoifanya, mayowe yalizidi na mara hii niliweza kutambua sauti ya shangazi iliyo nyororo inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Nilipokaribia mle kiamboni mwa shangazi, nilitulia tuli kama maji ya mtungi na nikasimama tisti tisti nikisubiri kwa hamaki na vishindo ambacho kingetoa. Ama kwa kweli nyakanga mahusuhi hawakutupaka mafuta kwa mdomo wa chupa waliporonga kuntu kuwa 'Asiyeogopa bakari, bakari ni yeye.
Hakuna lililotokea, hivyo niliingia mle nyumbani ambapo niliwakuta waja si haba wakilia kwa hofu. Machozi yaliwalenga machoni na kuwadondoka ndo ndo ndo licha ya kuwa ni wazee na maajuza. Nilielezewa kinaganaga kuwa mpenzi wake shangazi alikuwa ameshaenda kusiko marejeo labda nchi za ughaibuni. Kwa kweli waambao waliamba kifo ni mgeni ambaye habishi hodi.
Kifo cha huyu shababi kilitokea baada ya yeye kuwa na ugamui baina ya majambazi. Taratha ambao walikuwa wamenaswa na askari. Majambazi wale walitiwa mikononi baada ya yeye kuwashtaki kwamba wao ni wachuuza na walanguzi wa mihadarati. Hakujua kwamba alitia chumvi kwenye kidonda alakulihali hakupewa hata sekonti ya kujuta majuto ya mjukuu.
Kifo hakina huruma. Kilimpokonya shangazi mpenzi aliyemtegemea kwa hali na mali. Kweli mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Muda si kiduchu adinasi wengi walifika kumpa shangazi mkono wa buriani na kumpa usaidizi chambilecho wahenga akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. | Nilipoingia mle nyumbani niliwakuta waja wakifanya nini | {
"text": [
"Wakilia kwa hofu"
]
} |
1457_swa | Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe kutoka upande wa matlai. Parafujo za miguu ziliregea legelege huku mtima ukinipapasa papasa kana kwamba ibilisi alikuwa amealikwa huko. Migongano ya waza wazua ilinitawala pakubwa.
Kriski hii nilikuwa peke yangu baada ya nina na abu kungoa habla mlaesha ya ijumaa. Nilitoka mzo mzo kwa mwendo wa ulibwedi huku nikiukomea mlango kome kome. Huku nje kiza la kaniki lilienea na kuzagaa tepetepe tamdhiri nari nyikani. Nilirudi wangu wangu kiamboni na kuchukua kiangaza pamoja na rungu ya baba na hapo nikaelekea kule maana nilimazi vyema ya wahenga, “mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo.
Nilienda kwa mwendo wa matiti na kila hatua niliyoifanya, mayowe yalizidi na mara hii niliweza kutambua sauti ya shangazi iliyo nyororo inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Nilipokaribia mle kiamboni mwa shangazi, nilitulia tuli kama maji ya mtungi na nikasimama tisti tisti nikisubiri kwa hamaki na vishindo ambacho kingetoa. Ama kwa kweli nyakanga mahusuhi hawakutupaka mafuta kwa mdomo wa chupa waliporonga kuntu kuwa 'Asiyeogopa bakari, bakari ni yeye.
Hakuna lililotokea, hivyo niliingia mle nyumbani ambapo niliwakuta waja si haba wakilia kwa hofu. Machozi yaliwalenga machoni na kuwadondoka ndo ndo ndo licha ya kuwa ni wazee na maajuza. Nilielezewa kinaganaga kuwa mpenzi wake shangazi alikuwa ameshaenda kusiko marejeo labda nchi za ughaibuni. Kwa kweli waambao waliamba kifo ni mgeni ambaye habishi hodi.
Kifo cha huyu shababi kilitokea baada ya yeye kuwa na ugamui baina ya majambazi. Taratha ambao walikuwa wamenaswa na askari. Majambazi wale walitiwa mikononi baada ya yeye kuwashtaki kwamba wao ni wachuuza na walanguzi wa mihadarati. Hakujua kwamba alitia chumvi kwenye kidonda alakulihali hakupewa hata sekonti ya kujuta majuto ya mjukuu.
Kifo hakina huruma. Kilimpokonya shangazi mpenzi aliyemtegemea kwa hali na mali. Kweli mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Muda si kiduchu adinasi wengi walifika kumpa shangazi mkono wa buriani na kumpa usaidizi chambilecho wahenga akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. | Ni nini kiliwalenga machoni na kudondoka ndo ndo ndo | {
"text": [
"Machozi"
]
} |
1457_swa | Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe kutoka upande wa matlai. Parafujo za miguu ziliregea legelege huku mtima ukinipapasa papasa kana kwamba ibilisi alikuwa amealikwa huko. Migongano ya waza wazua ilinitawala pakubwa.
Kriski hii nilikuwa peke yangu baada ya nina na abu kungoa habla mlaesha ya ijumaa. Nilitoka mzo mzo kwa mwendo wa ulibwedi huku nikiukomea mlango kome kome. Huku nje kiza la kaniki lilienea na kuzagaa tepetepe tamdhiri nari nyikani. Nilirudi wangu wangu kiamboni na kuchukua kiangaza pamoja na rungu ya baba na hapo nikaelekea kule maana nilimazi vyema ya wahenga, “mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo.
Nilienda kwa mwendo wa matiti na kila hatua niliyoifanya, mayowe yalizidi na mara hii niliweza kutambua sauti ya shangazi iliyo nyororo inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Nilipokaribia mle kiamboni mwa shangazi, nilitulia tuli kama maji ya mtungi na nikasimama tisti tisti nikisubiri kwa hamaki na vishindo ambacho kingetoa. Ama kwa kweli nyakanga mahusuhi hawakutupaka mafuta kwa mdomo wa chupa waliporonga kuntu kuwa 'Asiyeogopa bakari, bakari ni yeye.
Hakuna lililotokea, hivyo niliingia mle nyumbani ambapo niliwakuta waja si haba wakilia kwa hofu. Machozi yaliwalenga machoni na kuwadondoka ndo ndo ndo licha ya kuwa ni wazee na maajuza. Nilielezewa kinaganaga kuwa mpenzi wake shangazi alikuwa ameshaenda kusiko marejeo labda nchi za ughaibuni. Kwa kweli waambao waliamba kifo ni mgeni ambaye habishi hodi.
Kifo cha huyu shababi kilitokea baada ya yeye kuwa na ugamui baina ya majambazi. Taratha ambao walikuwa wamenaswa na askari. Majambazi wale walitiwa mikononi baada ya yeye kuwashtaki kwamba wao ni wachuuza na walanguzi wa mihadarati. Hakujua kwamba alitia chumvi kwenye kidonda alakulihali hakupewa hata sekonti ya kujuta majuto ya mjukuu.
Kifo hakina huruma. Kilimpokonya shangazi mpenzi aliyemtegemea kwa hali na mali. Kweli mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Muda si kiduchu adinasi wengi walifika kumpa shangazi mkono wa buriani na kumpa usaidizi chambilecho wahenga akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. | Ni nini hakina huruma | {
"text": [
"Kifo"
]
} |
1457_swa | Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe kutoka upande wa matlai. Parafujo za miguu ziliregea legelege huku mtima ukinipapasa papasa kana kwamba ibilisi alikuwa amealikwa huko. Migongano ya waza wazua ilinitawala pakubwa.
Kriski hii nilikuwa peke yangu baada ya nina na abu kungoa habla mlaesha ya ijumaa. Nilitoka mzo mzo kwa mwendo wa ulibwedi huku nikiukomea mlango kome kome. Huku nje kiza la kaniki lilienea na kuzagaa tepetepe tamdhiri nari nyikani. Nilirudi wangu wangu kiamboni na kuchukua kiangaza pamoja na rungu ya baba na hapo nikaelekea kule maana nilimazi vyema ya wahenga, “mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo.
Nilienda kwa mwendo wa matiti na kila hatua niliyoifanya, mayowe yalizidi na mara hii niliweza kutambua sauti ya shangazi iliyo nyororo inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Nilipokaribia mle kiamboni mwa shangazi, nilitulia tuli kama maji ya mtungi na nikasimama tisti tisti nikisubiri kwa hamaki na vishindo ambacho kingetoa. Ama kwa kweli nyakanga mahusuhi hawakutupaka mafuta kwa mdomo wa chupa waliporonga kuntu kuwa 'Asiyeogopa bakari, bakari ni yeye.
Hakuna lililotokea, hivyo niliingia mle nyumbani ambapo niliwakuta waja si haba wakilia kwa hofu. Machozi yaliwalenga machoni na kuwadondoka ndo ndo ndo licha ya kuwa ni wazee na maajuza. Nilielezewa kinaganaga kuwa mpenzi wake shangazi alikuwa ameshaenda kusiko marejeo labda nchi za ughaibuni. Kwa kweli waambao waliamba kifo ni mgeni ambaye habishi hodi.
Kifo cha huyu shababi kilitokea baada ya yeye kuwa na ugamui baina ya majambazi. Taratha ambao walikuwa wamenaswa na askari. Majambazi wale walitiwa mikononi baada ya yeye kuwashtaki kwamba wao ni wachuuza na walanguzi wa mihadarati. Hakujua kwamba alitia chumvi kwenye kidonda alakulihali hakupewa hata sekonti ya kujuta majuto ya mjukuu.
Kifo hakina huruma. Kilimpokonya shangazi mpenzi aliyemtegemea kwa hali na mali. Kweli mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Muda si kiduchu adinasi wengi walifika kumpa shangazi mkono wa buriani na kumpa usaidizi chambilecho wahenga akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. | Nani walishtakiwa kwamba wao ni wachuuza na walanguzi wa mihadarati | {
"text": [
"Majambazi"
]
} |
1459_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Maisha yetu yaliendelea kuwa magumu siku baada ya siku. Matumbo yetu yalinguruma kwa njaa huku yakidai haki yao. Tulikonda na kukundeana kama ng'onda. Tuling'ang'ana kulisukuma gurudumu la maisha ingawa matatizo yalizidi kutuzingira kama nyuki wazingiravyo mzinga. Madhila haya yote yalianza pindi tu mama alipokubali mwito wa kurudi kwa muumba wake. Mlungizi wangu alisikika akilalamika kuwa Mungu alikuwa ametuzika katika kaburi la mghafala. Ama kwa yakini hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Maisha ya baba yalifungua ukurasa mpya; alianza kupiga mtindi na kurudi nyumbani usiku wa mashetani.
Maisha yakawa si maisha tena, maadamu nilikuwa kifunguamimba, ndugu zangu walinitazamia kuyakimu mahitaji yao. Hata hivyo sikufa moyo, niliendelea kumwamini Rabana kwa kuikumbuka methali kuwa mcha Mungu si mtovu. Ulimwengu ulipokuwa hautuweki tena, niliamua liwalo na liwe, tungerudi alikozaliwa mama. Tuling'oa nanga alfajiri na kushika hamsini zetu kuelekea kwa bibi. Mawazo yalinifurika furifuri kichwani mwangu. Swali nyeti lililonitatiza ni: Nyanya angetukubali ? Niliamua kujipa mtazamo chanya wa maisha igawa yalikuwa magumu kupindukia. Methali nilizoziona kitabuni zilinidhihirikia dhahiri shahiri. Kweli waambao waliamba dunia mti mkavu kiumbe siulemele.
Tulifika na kuwasili mto kwekwe ambao ulisifika sana kwa kuvunja kingo zake msimu wa masika. Mawingu yalitanda ishara tosha kuwa mvua ingenyesha kidindia. Ama kweli dalili ya mvua ni mawingu. Baridi ya mzizimo ilinifanya nitetemeke kama kishingo msimu wa kipupwe. Woga ulininyemelea na kuniteka nyara. Mto uu huu ndio uliotupokonya mama mzazi. Nilihisi kizunguzungu lakini nikavuka bila kuanguka. Ndugu zangu walivuka salama salimini ila kitindamimba wetu aliteleza na kuanguka mtoni chubwi! Kumbe ndege mbaya alituandama.
Moyo uliniatulika si haba sikuweza kuvumilia kilio. Niliruka majini na kuongelea kama samaki, na kwa nyota ya jaha niliweza kumshika na kung'ang'ana naye hadi kingo za mto Kwekwe. Kwa kikuti kibichi Makaburi alikuwa salama salimini, kweli Mungu si Athumani.
Tulipiga milundi na kuwafikia wengine. Walikuwa wamejawa na wasiwasi wa mwasi na walipotuona walifurahi sawa na tasa aliyeshika himila na kukopoa pacha. Tulipowasili, nyanya alitupokea kwa mikono miwili akatupiga pambaja na kundondokwa machozi ya furaha. Tulimweleza yote yaliyotukumba kutoka alfa hadi omega. Alituhakikishia maisha ya fawaishi; ya raha bila karaha. Ama kweli wahenga hawakutupiga mafamba waliponena kuwa baada ya dhiki faraja.
| Kwa nini matumbo yalinguruma | {
"text": [
"Kwa sababu ya njaa"
]
} |
1459_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Maisha yetu yaliendelea kuwa magumu siku baada ya siku. Matumbo yetu yalinguruma kwa njaa huku yakidai haki yao. Tulikonda na kukundeana kama ng'onda. Tuling'ang'ana kulisukuma gurudumu la maisha ingawa matatizo yalizidi kutuzingira kama nyuki wazingiravyo mzinga. Madhila haya yote yalianza pindi tu mama alipokubali mwito wa kurudi kwa muumba wake. Mlungizi wangu alisikika akilalamika kuwa Mungu alikuwa ametuzika katika kaburi la mghafala. Ama kwa yakini hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Maisha ya baba yalifungua ukurasa mpya; alianza kupiga mtindi na kurudi nyumbani usiku wa mashetani.
Maisha yakawa si maisha tena, maadamu nilikuwa kifunguamimba, ndugu zangu walinitazamia kuyakimu mahitaji yao. Hata hivyo sikufa moyo, niliendelea kumwamini Rabana kwa kuikumbuka methali kuwa mcha Mungu si mtovu. Ulimwengu ulipokuwa hautuweki tena, niliamua liwalo na liwe, tungerudi alikozaliwa mama. Tuling'oa nanga alfajiri na kushika hamsini zetu kuelekea kwa bibi. Mawazo yalinifurika furifuri kichwani mwangu. Swali nyeti lililonitatiza ni: Nyanya angetukubali ? Niliamua kujipa mtazamo chanya wa maisha igawa yalikuwa magumu kupindukia. Methali nilizoziona kitabuni zilinidhihirikia dhahiri shahiri. Kweli waambao waliamba dunia mti mkavu kiumbe siulemele.
Tulifika na kuwasili mto kwekwe ambao ulisifika sana kwa kuvunja kingo zake msimu wa masika. Mawingu yalitanda ishara tosha kuwa mvua ingenyesha kidindia. Ama kweli dalili ya mvua ni mawingu. Baridi ya mzizimo ilinifanya nitetemeke kama kishingo msimu wa kipupwe. Woga ulininyemelea na kuniteka nyara. Mto uu huu ndio uliotupokonya mama mzazi. Nilihisi kizunguzungu lakini nikavuka bila kuanguka. Ndugu zangu walivuka salama salimini ila kitindamimba wetu aliteleza na kuanguka mtoni chubwi! Kumbe ndege mbaya alituandama.
Moyo uliniatulika si haba sikuweza kuvumilia kilio. Niliruka majini na kuongelea kama samaki, na kwa nyota ya jaha niliweza kumshika na kung'ang'ana naye hadi kingo za mto Kwekwe. Kwa kikuti kibichi Makaburi alikuwa salama salimini, kweli Mungu si Athumani.
Tulipiga milundi na kuwafikia wengine. Walikuwa wamejawa na wasiwasi wa mwasi na walipotuona walifurahi sawa na tasa aliyeshika himila na kukopoa pacha. Tulipowasili, nyanya alitupokea kwa mikono miwili akatupiga pambaja na kundondokwa machozi ya furaha. Tulimweleza yote yaliyotukumba kutoka alfa hadi omega. Alituhakikishia maisha ya fawaishi; ya raha bila karaha. Ama kweli wahenga hawakutupiga mafamba waliponena kuwa baada ya dhiki faraja.
| Mzinga huzingirwa na nini | {
"text": [
"Nyuki"
]
} |
1459_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Maisha yetu yaliendelea kuwa magumu siku baada ya siku. Matumbo yetu yalinguruma kwa njaa huku yakidai haki yao. Tulikonda na kukundeana kama ng'onda. Tuling'ang'ana kulisukuma gurudumu la maisha ingawa matatizo yalizidi kutuzingira kama nyuki wazingiravyo mzinga. Madhila haya yote yalianza pindi tu mama alipokubali mwito wa kurudi kwa muumba wake. Mlungizi wangu alisikika akilalamika kuwa Mungu alikuwa ametuzika katika kaburi la mghafala. Ama kwa yakini hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Maisha ya baba yalifungua ukurasa mpya; alianza kupiga mtindi na kurudi nyumbani usiku wa mashetani.
Maisha yakawa si maisha tena, maadamu nilikuwa kifunguamimba, ndugu zangu walinitazamia kuyakimu mahitaji yao. Hata hivyo sikufa moyo, niliendelea kumwamini Rabana kwa kuikumbuka methali kuwa mcha Mungu si mtovu. Ulimwengu ulipokuwa hautuweki tena, niliamua liwalo na liwe, tungerudi alikozaliwa mama. Tuling'oa nanga alfajiri na kushika hamsini zetu kuelekea kwa bibi. Mawazo yalinifurika furifuri kichwani mwangu. Swali nyeti lililonitatiza ni: Nyanya angetukubali ? Niliamua kujipa mtazamo chanya wa maisha igawa yalikuwa magumu kupindukia. Methali nilizoziona kitabuni zilinidhihirikia dhahiri shahiri. Kweli waambao waliamba dunia mti mkavu kiumbe siulemele.
Tulifika na kuwasili mto kwekwe ambao ulisifika sana kwa kuvunja kingo zake msimu wa masika. Mawingu yalitanda ishara tosha kuwa mvua ingenyesha kidindia. Ama kweli dalili ya mvua ni mawingu. Baridi ya mzizimo ilinifanya nitetemeke kama kishingo msimu wa kipupwe. Woga ulininyemelea na kuniteka nyara. Mto uu huu ndio uliotupokonya mama mzazi. Nilihisi kizunguzungu lakini nikavuka bila kuanguka. Ndugu zangu walivuka salama salimini ila kitindamimba wetu aliteleza na kuanguka mtoni chubwi! Kumbe ndege mbaya alituandama.
Moyo uliniatulika si haba sikuweza kuvumilia kilio. Niliruka majini na kuongelea kama samaki, na kwa nyota ya jaha niliweza kumshika na kung'ang'ana naye hadi kingo za mto Kwekwe. Kwa kikuti kibichi Makaburi alikuwa salama salimini, kweli Mungu si Athumani.
Tulipiga milundi na kuwafikia wengine. Walikuwa wamejawa na wasiwasi wa mwasi na walipotuona walifurahi sawa na tasa aliyeshika himila na kukopoa pacha. Tulipowasili, nyanya alitupokea kwa mikono miwili akatupiga pambaja na kundondokwa machozi ya furaha. Tulimweleza yote yaliyotukumba kutoka alfa hadi omega. Alituhakikishia maisha ya fawaishi; ya raha bila karaha. Ama kweli wahenga hawakutupiga mafamba waliponena kuwa baada ya dhiki faraja.
| Babake msimulizi alirudi nyumbani saa ngapi | {
"text": [
"Usiku wa mashetani"
]
} |
1459_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Maisha yetu yaliendelea kuwa magumu siku baada ya siku. Matumbo yetu yalinguruma kwa njaa huku yakidai haki yao. Tulikonda na kukundeana kama ng'onda. Tuling'ang'ana kulisukuma gurudumu la maisha ingawa matatizo yalizidi kutuzingira kama nyuki wazingiravyo mzinga. Madhila haya yote yalianza pindi tu mama alipokubali mwito wa kurudi kwa muumba wake. Mlungizi wangu alisikika akilalamika kuwa Mungu alikuwa ametuzika katika kaburi la mghafala. Ama kwa yakini hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Maisha ya baba yalifungua ukurasa mpya; alianza kupiga mtindi na kurudi nyumbani usiku wa mashetani.
Maisha yakawa si maisha tena, maadamu nilikuwa kifunguamimba, ndugu zangu walinitazamia kuyakimu mahitaji yao. Hata hivyo sikufa moyo, niliendelea kumwamini Rabana kwa kuikumbuka methali kuwa mcha Mungu si mtovu. Ulimwengu ulipokuwa hautuweki tena, niliamua liwalo na liwe, tungerudi alikozaliwa mama. Tuling'oa nanga alfajiri na kushika hamsini zetu kuelekea kwa bibi. Mawazo yalinifurika furifuri kichwani mwangu. Swali nyeti lililonitatiza ni: Nyanya angetukubali ? Niliamua kujipa mtazamo chanya wa maisha igawa yalikuwa magumu kupindukia. Methali nilizoziona kitabuni zilinidhihirikia dhahiri shahiri. Kweli waambao waliamba dunia mti mkavu kiumbe siulemele.
Tulifika na kuwasili mto kwekwe ambao ulisifika sana kwa kuvunja kingo zake msimu wa masika. Mawingu yalitanda ishara tosha kuwa mvua ingenyesha kidindia. Ama kweli dalili ya mvua ni mawingu. Baridi ya mzizimo ilinifanya nitetemeke kama kishingo msimu wa kipupwe. Woga ulininyemelea na kuniteka nyara. Mto uu huu ndio uliotupokonya mama mzazi. Nilihisi kizunguzungu lakini nikavuka bila kuanguka. Ndugu zangu walivuka salama salimini ila kitindamimba wetu aliteleza na kuanguka mtoni chubwi! Kumbe ndege mbaya alituandama.
Moyo uliniatulika si haba sikuweza kuvumilia kilio. Niliruka majini na kuongelea kama samaki, na kwa nyota ya jaha niliweza kumshika na kung'ang'ana naye hadi kingo za mto Kwekwe. Kwa kikuti kibichi Makaburi alikuwa salama salimini, kweli Mungu si Athumani.
Tulipiga milundi na kuwafikia wengine. Walikuwa wamejawa na wasiwasi wa mwasi na walipotuona walifurahi sawa na tasa aliyeshika himila na kukopoa pacha. Tulipowasili, nyanya alitupokea kwa mikono miwili akatupiga pambaja na kundondokwa machozi ya furaha. Tulimweleza yote yaliyotukumba kutoka alfa hadi omega. Alituhakikishia maisha ya fawaishi; ya raha bila karaha. Ama kweli wahenga hawakutupiga mafamba waliponena kuwa baada ya dhiki faraja.
| Msimulizi alikuwa mtoto wa ngapi | {
"text": [
"Kwanza, kifunguamimba"
]
} |
1459_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Maisha yetu yaliendelea kuwa magumu siku baada ya siku. Matumbo yetu yalinguruma kwa njaa huku yakidai haki yao. Tulikonda na kukundeana kama ng'onda. Tuling'ang'ana kulisukuma gurudumu la maisha ingawa matatizo yalizidi kutuzingira kama nyuki wazingiravyo mzinga. Madhila haya yote yalianza pindi tu mama alipokubali mwito wa kurudi kwa muumba wake. Mlungizi wangu alisikika akilalamika kuwa Mungu alikuwa ametuzika katika kaburi la mghafala. Ama kwa yakini hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Maisha ya baba yalifungua ukurasa mpya; alianza kupiga mtindi na kurudi nyumbani usiku wa mashetani.
Maisha yakawa si maisha tena, maadamu nilikuwa kifunguamimba, ndugu zangu walinitazamia kuyakimu mahitaji yao. Hata hivyo sikufa moyo, niliendelea kumwamini Rabana kwa kuikumbuka methali kuwa mcha Mungu si mtovu. Ulimwengu ulipokuwa hautuweki tena, niliamua liwalo na liwe, tungerudi alikozaliwa mama. Tuling'oa nanga alfajiri na kushika hamsini zetu kuelekea kwa bibi. Mawazo yalinifurika furifuri kichwani mwangu. Swali nyeti lililonitatiza ni: Nyanya angetukubali ? Niliamua kujipa mtazamo chanya wa maisha igawa yalikuwa magumu kupindukia. Methali nilizoziona kitabuni zilinidhihirikia dhahiri shahiri. Kweli waambao waliamba dunia mti mkavu kiumbe siulemele.
Tulifika na kuwasili mto kwekwe ambao ulisifika sana kwa kuvunja kingo zake msimu wa masika. Mawingu yalitanda ishara tosha kuwa mvua ingenyesha kidindia. Ama kweli dalili ya mvua ni mawingu. Baridi ya mzizimo ilinifanya nitetemeke kama kishingo msimu wa kipupwe. Woga ulininyemelea na kuniteka nyara. Mto uu huu ndio uliotupokonya mama mzazi. Nilihisi kizunguzungu lakini nikavuka bila kuanguka. Ndugu zangu walivuka salama salimini ila kitindamimba wetu aliteleza na kuanguka mtoni chubwi! Kumbe ndege mbaya alituandama.
Moyo uliniatulika si haba sikuweza kuvumilia kilio. Niliruka majini na kuongelea kama samaki, na kwa nyota ya jaha niliweza kumshika na kung'ang'ana naye hadi kingo za mto Kwekwe. Kwa kikuti kibichi Makaburi alikuwa salama salimini, kweli Mungu si Athumani.
Tulipiga milundi na kuwafikia wengine. Walikuwa wamejawa na wasiwasi wa mwasi na walipotuona walifurahi sawa na tasa aliyeshika himila na kukopoa pacha. Tulipowasili, nyanya alitupokea kwa mikono miwili akatupiga pambaja na kundondokwa machozi ya furaha. Tulimweleza yote yaliyotukumba kutoka alfa hadi omega. Alituhakikishia maisha ya fawaishi; ya raha bila karaha. Ama kweli wahenga hawakutupiga mafamba waliponena kuwa baada ya dhiki faraja.
| Msimulizi na wenzake walifunga safari na kuelekea wapi | {
"text": [
"Kwa bibi yao"
]
} |
1461_swa | SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa.....
Nina yangu alikuwa ametueleza kinagaubaga kuwa angetupeleka ziara ambayo bila shaka ingefana. Dada yangu alikuwa amevunja ungo na fauka ya hayo, alikuwa amechumbiwa na shababi shamali. Ni bayana kuwa aliipuuza lisani isemayo: kuchumbia si kuoa. Dada yangu angefunga pingu za maisha hapo karibuni na alionyesha ishara za furaha ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Punde si punde nilizama zi katika lindi la usingizi wa pono.
Naam kucha kusikuche hatimaye kulikucha. Kila aliyegona alidamka. Niliamka pindi tu jogoo alipowika na nilipigwa na butwaa nilipoona jua likimwaga na kumwaga miale yake ya zari kwenye janibu mashariki. Mwia si mwia, nilivalia lebasi zangu zilizonyooka twa! Nilipiga milundi hadi sebuleni nikiwa na nia na azma ya kupata sebeho. Bila shaka Nina alikuwa ameandaa staftahi iliyokuwa tamu ja halua. Baada ya kupata kiamsha kinywa sote tuliandamana sako kwa bako hadi kituoni.
Nyuni walipuruka puruka huku wakikorokocha kwa sauti wazijuazo wao wenyewe. Maadam siku nemi kuonekana che. Tuliwasihi stanini na kungoja kwa hamu na dukuduku ja raghba aliyengoja kwenda kuhiji mjini maka. Muda si muda, matwana iliwasili na sote tulijitosa ndani. Muziki uliokuwa ukidunda du! du! du! ulituteka bakunja.
Safari yetu iling'oa nanga. Tulisafiri kwa muda mrefu hadi pale dereva alipotuarifu kuwa kulikuwa na hitilafu. Aliliegesha gari kando ya baraste na sote tulishuka. Kando yetu kulikuwa na msitu umejaa giza totoro. Dhana zangu zilinionya dhidi ya kusimama kando ya msitu huo lakini nilizitupilia mbali afanalek! kumbe, dalili ya mvua ni mawingu. Watu wanne walijitokeza na kutuzingira. Walituamuru tulale chini kisha wakaanza kuvuruga vitu vyetu. Hata baada ya kutupora, walituamuru tutembee kwa mwendo wa arubii tukielekea msituni. Mtima wangu uliniduika dwika na kunidunda ja fokomire za wazaramo.
Wengi walianza kulia kwi ! kwi! kwi! lakini mwishowe walinyamaza, ishara wazi kuwa walifahamu kuwa; kilio si dawa na ushikwapo shikamana. Tulitembea kwa muda mrefu na tulikuwa tumechoka hoi bin tik! Watu wale waliovalia barakoa vichwani pao waliangua vicheko ungedhani walitaka kuponda raha kwani kufa kwaya. Dereva ambaye alikuwa mwenye umri wa makamo kukiuka umri na kuketi chini. Lo! wote wale walimfumania na kumkata shingo na zile silaha zao. Maskini dereva alienda jongomeo pasi nauli wala ajizi.
Moyo wangu ulizidi kutapatapa na kugwaya guayo ja fisi ugenini lakini nilijipa moyo. Mara tu mmoja wa abiria alianza kunung'unika na wengine wetu walimuunga mkono. Alitueleza kuwa tungewapangia hayawani wale njama kisha tuwakabili. Kwa kuwa wahenga wa zama kongwe za mawe hawakugeuka kuwa wamba ngozi waliposema 'ukuni mmoja hauwaki mekoni. Sote tuliungana pamoja.
Papo hapo, kila insi alikamata mawe huku wengine wakishika vijiti vikubwa. Tuliwakimbilia na kuanza kuwapa kichapo cha mbwa. Kila mtu alikuwa amejawa na ghadhabu na alipata fursa murua ya kuzitoa hasira zake. Tulipuridhika, tuliamua kuwatoa barakoa zao na kile nilichoona kilinifanya karibu nizirai. Abu yangu na ghulamu yule ambaye alifaa kumwoa dada yangu walikuwepo. Dada yangu alitiririkwa na machozi kwa kuwa hakuwahi kufikiri kuwa jambo kama hilo lingemtendekea.
Nina nami hatukuwa na budi ila kusalimu amri. Polisi waliarifiwa na waliwafiki haraka ja umeme. Abu pamoja na genge lake walipelekwa korokoroni na ilikuwa dhahiri shahiri kuwa wangehukumiwa kifungo cha maisha. Waama si vyote viowevu ni maji. Tulirudi mastakimuni huku tukiwa tumejawa na masikitiko mengi.
Kila kuchapo, mimi hukumbuka yale yaliyotokea na machozi hunilenga lenga lakini swali nijiulizalo ni je, mbona abu alifanya hivyo?
| Dadangu alikuwa amechumbiwa na nani | {
"text": [
"Shababi Shamali"
]
} |
1461_swa | SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa.....
Nina yangu alikuwa ametueleza kinagaubaga kuwa angetupeleka ziara ambayo bila shaka ingefana. Dada yangu alikuwa amevunja ungo na fauka ya hayo, alikuwa amechumbiwa na shababi shamali. Ni bayana kuwa aliipuuza lisani isemayo: kuchumbia si kuoa. Dada yangu angefunga pingu za maisha hapo karibuni na alionyesha ishara za furaha ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Punde si punde nilizama zi katika lindi la usingizi wa pono.
Naam kucha kusikuche hatimaye kulikucha. Kila aliyegona alidamka. Niliamka pindi tu jogoo alipowika na nilipigwa na butwaa nilipoona jua likimwaga na kumwaga miale yake ya zari kwenye janibu mashariki. Mwia si mwia, nilivalia lebasi zangu zilizonyooka twa! Nilipiga milundi hadi sebuleni nikiwa na nia na azma ya kupata sebeho. Bila shaka Nina alikuwa ameandaa staftahi iliyokuwa tamu ja halua. Baada ya kupata kiamsha kinywa sote tuliandamana sako kwa bako hadi kituoni.
Nyuni walipuruka puruka huku wakikorokocha kwa sauti wazijuazo wao wenyewe. Maadam siku nemi kuonekana che. Tuliwasihi stanini na kungoja kwa hamu na dukuduku ja raghba aliyengoja kwenda kuhiji mjini maka. Muda si muda, matwana iliwasili na sote tulijitosa ndani. Muziki uliokuwa ukidunda du! du! du! ulituteka bakunja.
Safari yetu iling'oa nanga. Tulisafiri kwa muda mrefu hadi pale dereva alipotuarifu kuwa kulikuwa na hitilafu. Aliliegesha gari kando ya baraste na sote tulishuka. Kando yetu kulikuwa na msitu umejaa giza totoro. Dhana zangu zilinionya dhidi ya kusimama kando ya msitu huo lakini nilizitupilia mbali afanalek! kumbe, dalili ya mvua ni mawingu. Watu wanne walijitokeza na kutuzingira. Walituamuru tulale chini kisha wakaanza kuvuruga vitu vyetu. Hata baada ya kutupora, walituamuru tutembee kwa mwendo wa arubii tukielekea msituni. Mtima wangu uliniduika dwika na kunidunda ja fokomire za wazaramo.
Wengi walianza kulia kwi ! kwi! kwi! lakini mwishowe walinyamaza, ishara wazi kuwa walifahamu kuwa; kilio si dawa na ushikwapo shikamana. Tulitembea kwa muda mrefu na tulikuwa tumechoka hoi bin tik! Watu wale waliovalia barakoa vichwani pao waliangua vicheko ungedhani walitaka kuponda raha kwani kufa kwaya. Dereva ambaye alikuwa mwenye umri wa makamo kukiuka umri na kuketi chini. Lo! wote wale walimfumania na kumkata shingo na zile silaha zao. Maskini dereva alienda jongomeo pasi nauli wala ajizi.
Moyo wangu ulizidi kutapatapa na kugwaya guayo ja fisi ugenini lakini nilijipa moyo. Mara tu mmoja wa abiria alianza kunung'unika na wengine wetu walimuunga mkono. Alitueleza kuwa tungewapangia hayawani wale njama kisha tuwakabili. Kwa kuwa wahenga wa zama kongwe za mawe hawakugeuka kuwa wamba ngozi waliposema 'ukuni mmoja hauwaki mekoni. Sote tuliungana pamoja.
Papo hapo, kila insi alikamata mawe huku wengine wakishika vijiti vikubwa. Tuliwakimbilia na kuanza kuwapa kichapo cha mbwa. Kila mtu alikuwa amejawa na ghadhabu na alipata fursa murua ya kuzitoa hasira zake. Tulipuridhika, tuliamua kuwatoa barakoa zao na kile nilichoona kilinifanya karibu nizirai. Abu yangu na ghulamu yule ambaye alifaa kumwoa dada yangu walikuwepo. Dada yangu alitiririkwa na machozi kwa kuwa hakuwahi kufikiri kuwa jambo kama hilo lingemtendekea.
Nina nami hatukuwa na budi ila kusalimu amri. Polisi waliarifiwa na waliwafiki haraka ja umeme. Abu pamoja na genge lake walipelekwa korokoroni na ilikuwa dhahiri shahiri kuwa wangehukumiwa kifungo cha maisha. Waama si vyote viowevu ni maji. Tulirudi mastakimuni huku tukiwa tumejawa na masikitiko mengi.
Kila kuchapo, mimi hukumbuka yale yaliyotokea na machozi hunilenga lenga lakini swali nijiulizalo ni je, mbona abu alifanya hivyo?
| Nina alikuwa ameandaa nini | {
"text": [
"staftahi"
]
} |
1461_swa | SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa.....
Nina yangu alikuwa ametueleza kinagaubaga kuwa angetupeleka ziara ambayo bila shaka ingefana. Dada yangu alikuwa amevunja ungo na fauka ya hayo, alikuwa amechumbiwa na shababi shamali. Ni bayana kuwa aliipuuza lisani isemayo: kuchumbia si kuoa. Dada yangu angefunga pingu za maisha hapo karibuni na alionyesha ishara za furaha ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Punde si punde nilizama zi katika lindi la usingizi wa pono.
Naam kucha kusikuche hatimaye kulikucha. Kila aliyegona alidamka. Niliamka pindi tu jogoo alipowika na nilipigwa na butwaa nilipoona jua likimwaga na kumwaga miale yake ya zari kwenye janibu mashariki. Mwia si mwia, nilivalia lebasi zangu zilizonyooka twa! Nilipiga milundi hadi sebuleni nikiwa na nia na azma ya kupata sebeho. Bila shaka Nina alikuwa ameandaa staftahi iliyokuwa tamu ja halua. Baada ya kupata kiamsha kinywa sote tuliandamana sako kwa bako hadi kituoni.
Nyuni walipuruka puruka huku wakikorokocha kwa sauti wazijuazo wao wenyewe. Maadam siku nemi kuonekana che. Tuliwasihi stanini na kungoja kwa hamu na dukuduku ja raghba aliyengoja kwenda kuhiji mjini maka. Muda si muda, matwana iliwasili na sote tulijitosa ndani. Muziki uliokuwa ukidunda du! du! du! ulituteka bakunja.
Safari yetu iling'oa nanga. Tulisafiri kwa muda mrefu hadi pale dereva alipotuarifu kuwa kulikuwa na hitilafu. Aliliegesha gari kando ya baraste na sote tulishuka. Kando yetu kulikuwa na msitu umejaa giza totoro. Dhana zangu zilinionya dhidi ya kusimama kando ya msitu huo lakini nilizitupilia mbali afanalek! kumbe, dalili ya mvua ni mawingu. Watu wanne walijitokeza na kutuzingira. Walituamuru tulale chini kisha wakaanza kuvuruga vitu vyetu. Hata baada ya kutupora, walituamuru tutembee kwa mwendo wa arubii tukielekea msituni. Mtima wangu uliniduika dwika na kunidunda ja fokomire za wazaramo.
Wengi walianza kulia kwi ! kwi! kwi! lakini mwishowe walinyamaza, ishara wazi kuwa walifahamu kuwa; kilio si dawa na ushikwapo shikamana. Tulitembea kwa muda mrefu na tulikuwa tumechoka hoi bin tik! Watu wale waliovalia barakoa vichwani pao waliangua vicheko ungedhani walitaka kuponda raha kwani kufa kwaya. Dereva ambaye alikuwa mwenye umri wa makamo kukiuka umri na kuketi chini. Lo! wote wale walimfumania na kumkata shingo na zile silaha zao. Maskini dereva alienda jongomeo pasi nauli wala ajizi.
Moyo wangu ulizidi kutapatapa na kugwaya guayo ja fisi ugenini lakini nilijipa moyo. Mara tu mmoja wa abiria alianza kunung'unika na wengine wetu walimuunga mkono. Alitueleza kuwa tungewapangia hayawani wale njama kisha tuwakabili. Kwa kuwa wahenga wa zama kongwe za mawe hawakugeuka kuwa wamba ngozi waliposema 'ukuni mmoja hauwaki mekoni. Sote tuliungana pamoja.
Papo hapo, kila insi alikamata mawe huku wengine wakishika vijiti vikubwa. Tuliwakimbilia na kuanza kuwapa kichapo cha mbwa. Kila mtu alikuwa amejawa na ghadhabu na alipata fursa murua ya kuzitoa hasira zake. Tulipuridhika, tuliamua kuwatoa barakoa zao na kile nilichoona kilinifanya karibu nizirai. Abu yangu na ghulamu yule ambaye alifaa kumwoa dada yangu walikuwepo. Dada yangu alitiririkwa na machozi kwa kuwa hakuwahi kufikiri kuwa jambo kama hilo lingemtendekea.
Nina nami hatukuwa na budi ila kusalimu amri. Polisi waliarifiwa na waliwafiki haraka ja umeme. Abu pamoja na genge lake walipelekwa korokoroni na ilikuwa dhahiri shahiri kuwa wangehukumiwa kifungo cha maisha. Waama si vyote viowevu ni maji. Tulirudi mastakimuni huku tukiwa tumejawa na masikitiko mengi.
Kila kuchapo, mimi hukumbuka yale yaliyotokea na machozi hunilenga lenga lakini swali nijiulizalo ni je, mbona abu alifanya hivyo?
| Siku nemi huonekana lini | {
"text": [
"che"
]
} |
1461_swa | SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa.....
Nina yangu alikuwa ametueleza kinagaubaga kuwa angetupeleka ziara ambayo bila shaka ingefana. Dada yangu alikuwa amevunja ungo na fauka ya hayo, alikuwa amechumbiwa na shababi shamali. Ni bayana kuwa aliipuuza lisani isemayo: kuchumbia si kuoa. Dada yangu angefunga pingu za maisha hapo karibuni na alionyesha ishara za furaha ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Punde si punde nilizama zi katika lindi la usingizi wa pono.
Naam kucha kusikuche hatimaye kulikucha. Kila aliyegona alidamka. Niliamka pindi tu jogoo alipowika na nilipigwa na butwaa nilipoona jua likimwaga na kumwaga miale yake ya zari kwenye janibu mashariki. Mwia si mwia, nilivalia lebasi zangu zilizonyooka twa! Nilipiga milundi hadi sebuleni nikiwa na nia na azma ya kupata sebeho. Bila shaka Nina alikuwa ameandaa staftahi iliyokuwa tamu ja halua. Baada ya kupata kiamsha kinywa sote tuliandamana sako kwa bako hadi kituoni.
Nyuni walipuruka puruka huku wakikorokocha kwa sauti wazijuazo wao wenyewe. Maadam siku nemi kuonekana che. Tuliwasihi stanini na kungoja kwa hamu na dukuduku ja raghba aliyengoja kwenda kuhiji mjini maka. Muda si muda, matwana iliwasili na sote tulijitosa ndani. Muziki uliokuwa ukidunda du! du! du! ulituteka bakunja.
Safari yetu iling'oa nanga. Tulisafiri kwa muda mrefu hadi pale dereva alipotuarifu kuwa kulikuwa na hitilafu. Aliliegesha gari kando ya baraste na sote tulishuka. Kando yetu kulikuwa na msitu umejaa giza totoro. Dhana zangu zilinionya dhidi ya kusimama kando ya msitu huo lakini nilizitupilia mbali afanalek! kumbe, dalili ya mvua ni mawingu. Watu wanne walijitokeza na kutuzingira. Walituamuru tulale chini kisha wakaanza kuvuruga vitu vyetu. Hata baada ya kutupora, walituamuru tutembee kwa mwendo wa arubii tukielekea msituni. Mtima wangu uliniduika dwika na kunidunda ja fokomire za wazaramo.
Wengi walianza kulia kwi ! kwi! kwi! lakini mwishowe walinyamaza, ishara wazi kuwa walifahamu kuwa; kilio si dawa na ushikwapo shikamana. Tulitembea kwa muda mrefu na tulikuwa tumechoka hoi bin tik! Watu wale waliovalia barakoa vichwani pao waliangua vicheko ungedhani walitaka kuponda raha kwani kufa kwaya. Dereva ambaye alikuwa mwenye umri wa makamo kukiuka umri na kuketi chini. Lo! wote wale walimfumania na kumkata shingo na zile silaha zao. Maskini dereva alienda jongomeo pasi nauli wala ajizi.
Moyo wangu ulizidi kutapatapa na kugwaya guayo ja fisi ugenini lakini nilijipa moyo. Mara tu mmoja wa abiria alianza kunung'unika na wengine wetu walimuunga mkono. Alitueleza kuwa tungewapangia hayawani wale njama kisha tuwakabili. Kwa kuwa wahenga wa zama kongwe za mawe hawakugeuka kuwa wamba ngozi waliposema 'ukuni mmoja hauwaki mekoni. Sote tuliungana pamoja.
Papo hapo, kila insi alikamata mawe huku wengine wakishika vijiti vikubwa. Tuliwakimbilia na kuanza kuwapa kichapo cha mbwa. Kila mtu alikuwa amejawa na ghadhabu na alipata fursa murua ya kuzitoa hasira zake. Tulipuridhika, tuliamua kuwatoa barakoa zao na kile nilichoona kilinifanya karibu nizirai. Abu yangu na ghulamu yule ambaye alifaa kumwoa dada yangu walikuwepo. Dada yangu alitiririkwa na machozi kwa kuwa hakuwahi kufikiri kuwa jambo kama hilo lingemtendekea.
Nina nami hatukuwa na budi ila kusalimu amri. Polisi waliarifiwa na waliwafiki haraka ja umeme. Abu pamoja na genge lake walipelekwa korokoroni na ilikuwa dhahiri shahiri kuwa wangehukumiwa kifungo cha maisha. Waama si vyote viowevu ni maji. Tulirudi mastakimuni huku tukiwa tumejawa na masikitiko mengi.
Kila kuchapo, mimi hukumbuka yale yaliyotokea na machozi hunilenga lenga lakini swali nijiulizalo ni je, mbona abu alifanya hivyo?
| Tulisafiri kwa muda gani | {
"text": [
"muda mrefu"
]
} |
1461_swa | SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa.....
Nina yangu alikuwa ametueleza kinagaubaga kuwa angetupeleka ziara ambayo bila shaka ingefana. Dada yangu alikuwa amevunja ungo na fauka ya hayo, alikuwa amechumbiwa na shababi shamali. Ni bayana kuwa aliipuuza lisani isemayo: kuchumbia si kuoa. Dada yangu angefunga pingu za maisha hapo karibuni na alionyesha ishara za furaha ya mvuvi aliyekinasa kishazi cha samaki. Punde si punde nilizama zi katika lindi la usingizi wa pono.
Naam kucha kusikuche hatimaye kulikucha. Kila aliyegona alidamka. Niliamka pindi tu jogoo alipowika na nilipigwa na butwaa nilipoona jua likimwaga na kumwaga miale yake ya zari kwenye janibu mashariki. Mwia si mwia, nilivalia lebasi zangu zilizonyooka twa! Nilipiga milundi hadi sebuleni nikiwa na nia na azma ya kupata sebeho. Bila shaka Nina alikuwa ameandaa staftahi iliyokuwa tamu ja halua. Baada ya kupata kiamsha kinywa sote tuliandamana sako kwa bako hadi kituoni.
Nyuni walipuruka puruka huku wakikorokocha kwa sauti wazijuazo wao wenyewe. Maadam siku nemi kuonekana che. Tuliwasihi stanini na kungoja kwa hamu na dukuduku ja raghba aliyengoja kwenda kuhiji mjini maka. Muda si muda, matwana iliwasili na sote tulijitosa ndani. Muziki uliokuwa ukidunda du! du! du! ulituteka bakunja.
Safari yetu iling'oa nanga. Tulisafiri kwa muda mrefu hadi pale dereva alipotuarifu kuwa kulikuwa na hitilafu. Aliliegesha gari kando ya baraste na sote tulishuka. Kando yetu kulikuwa na msitu umejaa giza totoro. Dhana zangu zilinionya dhidi ya kusimama kando ya msitu huo lakini nilizitupilia mbali afanalek! kumbe, dalili ya mvua ni mawingu. Watu wanne walijitokeza na kutuzingira. Walituamuru tulale chini kisha wakaanza kuvuruga vitu vyetu. Hata baada ya kutupora, walituamuru tutembee kwa mwendo wa arubii tukielekea msituni. Mtima wangu uliniduika dwika na kunidunda ja fokomire za wazaramo.
Wengi walianza kulia kwi ! kwi! kwi! lakini mwishowe walinyamaza, ishara wazi kuwa walifahamu kuwa; kilio si dawa na ushikwapo shikamana. Tulitembea kwa muda mrefu na tulikuwa tumechoka hoi bin tik! Watu wale waliovalia barakoa vichwani pao waliangua vicheko ungedhani walitaka kuponda raha kwani kufa kwaya. Dereva ambaye alikuwa mwenye umri wa makamo kukiuka umri na kuketi chini. Lo! wote wale walimfumania na kumkata shingo na zile silaha zao. Maskini dereva alienda jongomeo pasi nauli wala ajizi.
Moyo wangu ulizidi kutapatapa na kugwaya guayo ja fisi ugenini lakini nilijipa moyo. Mara tu mmoja wa abiria alianza kunung'unika na wengine wetu walimuunga mkono. Alitueleza kuwa tungewapangia hayawani wale njama kisha tuwakabili. Kwa kuwa wahenga wa zama kongwe za mawe hawakugeuka kuwa wamba ngozi waliposema 'ukuni mmoja hauwaki mekoni. Sote tuliungana pamoja.
Papo hapo, kila insi alikamata mawe huku wengine wakishika vijiti vikubwa. Tuliwakimbilia na kuanza kuwapa kichapo cha mbwa. Kila mtu alikuwa amejawa na ghadhabu na alipata fursa murua ya kuzitoa hasira zake. Tulipuridhika, tuliamua kuwatoa barakoa zao na kile nilichoona kilinifanya karibu nizirai. Abu yangu na ghulamu yule ambaye alifaa kumwoa dada yangu walikuwepo. Dada yangu alitiririkwa na machozi kwa kuwa hakuwahi kufikiri kuwa jambo kama hilo lingemtendekea.
Nina nami hatukuwa na budi ila kusalimu amri. Polisi waliarifiwa na waliwafiki haraka ja umeme. Abu pamoja na genge lake walipelekwa korokoroni na ilikuwa dhahiri shahiri kuwa wangehukumiwa kifungo cha maisha. Waama si vyote viowevu ni maji. Tulirudi mastakimuni huku tukiwa tumejawa na masikitiko mengi.
Kila kuchapo, mimi hukumbuka yale yaliyotokea na machozi hunilenga lenga lakini swali nijiulizalo ni je, mbona abu alifanya hivyo?
| Mbona dada alitiririkwa na machozi | {
"text": [
"hakuwahi kufikiri kuwa jambo kama hilo lingetendeka"
]
} |
1462_swa | TEKNOLOJIA IMELETA FAIDA NYINGI KULIKO HASARA
Vidokezi
Utangulizi
Kuunga mkono - Kupinga
1. Kuumarisha mawasiliano - 1. Kumomonyoka kwa maadili
2. Matumizi ya vifaa vya kilimo - 2. Kuongezeka kwa ajali
3. Ajira na starehe - 3. Watu wengine kupoteza kazi
4. Sekta ya afya kuboreshwa
5. Kusadia katika elimu na usalama
6. Uchukuzi, ujenzi na viwanda
Nasimama kidete kuunga mkono mjadala huu usemao kuwa teknolojia imeleta faida nyingi kuliko hasara. Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya zana ama mitambo hususan katika kilimo, viwanda, mawasiliano, elimu, uchukuzi na ujeuzi na katika sekta ya afya.
Ama kwa hakika mawasiliano yamerahisishwa kupitia teknolojia. Matumizi ya rununu, tarakilishi na barua pepe ni mifano mizuri. Mja anaweza kutuma na kupokea habari kwa haraka kupitia vifaa hivi. Simu na rununu huhitaji mtu kuwa na kadiwia ili kuzungumza au kutuma arafa. Iwapo tarakilishi imeunganishwa na mtandao wa intaneti ni rahisi kuwezesha mtu kupata habari anazotaka. Redio na runinga ni vifaa ambavyo hutumika pia katika mawasiliano kuwapasha watu habari. Habari za nyanjani, kitaifa na kimataifa huweza kupatikana kwa urahisi kupitia vifaa hivi vya teknolojia. Mambo haya yote yanaifanya dunia kuwa kijiji kidogo na watu huweza kutangamana kwa urahisi. Ama kweli ya jana si ya leo.
Licha ya hayo teknolojia ya kisasa imeboresha sekta ya kilimo pakubwa .Ni kupitia teknolojia ii hii ambapo mashine za kuwakama ng'ombe ,kunyunyizia mashamba maji, kulima, upanzi na uvunaji wa mazao umerahisishwa.Aidha mashine za kuhifadhi vyakula visiharibike zinatokana na teknolojia.Fauka ya hayo uzalishaji wa wanyama na mbegu kisaki (G.M.O) unatokana na teknolojia ya kisasa.
Kusema kweli ni dhahiri shahiri kuwa teknolojia imesaidia kuwapa watu wengi ajira .Watu chungu nzima wameajiriwa katika viwanda ,kuendesha na kukarabati mitambo. Kwa hivyo teknolojia hubuni nafasi za kazi. Siku hizi upweke umetupwa. | Tekinolojia ni maarifa ya nini | {
"text": [
"Sayansi"
]
} |
1462_swa | TEKNOLOJIA IMELETA FAIDA NYINGI KULIKO HASARA
Vidokezi
Utangulizi
Kuunga mkono - Kupinga
1. Kuumarisha mawasiliano - 1. Kumomonyoka kwa maadili
2. Matumizi ya vifaa vya kilimo - 2. Kuongezeka kwa ajali
3. Ajira na starehe - 3. Watu wengine kupoteza kazi
4. Sekta ya afya kuboreshwa
5. Kusadia katika elimu na usalama
6. Uchukuzi, ujenzi na viwanda
Nasimama kidete kuunga mkono mjadala huu usemao kuwa teknolojia imeleta faida nyingi kuliko hasara. Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya zana ama mitambo hususan katika kilimo, viwanda, mawasiliano, elimu, uchukuzi na ujeuzi na katika sekta ya afya.
Ama kwa hakika mawasiliano yamerahisishwa kupitia teknolojia. Matumizi ya rununu, tarakilishi na barua pepe ni mifano mizuri. Mja anaweza kutuma na kupokea habari kwa haraka kupitia vifaa hivi. Simu na rununu huhitaji mtu kuwa na kadiwia ili kuzungumza au kutuma arafa. Iwapo tarakilishi imeunganishwa na mtandao wa intaneti ni rahisi kuwezesha mtu kupata habari anazotaka. Redio na runinga ni vifaa ambavyo hutumika pia katika mawasiliano kuwapasha watu habari. Habari za nyanjani, kitaifa na kimataifa huweza kupatikana kwa urahisi kupitia vifaa hivi vya teknolojia. Mambo haya yote yanaifanya dunia kuwa kijiji kidogo na watu huweza kutangamana kwa urahisi. Ama kweli ya jana si ya leo.
Licha ya hayo teknolojia ya kisasa imeboresha sekta ya kilimo pakubwa .Ni kupitia teknolojia ii hii ambapo mashine za kuwakama ng'ombe ,kunyunyizia mashamba maji, kulima, upanzi na uvunaji wa mazao umerahisishwa.Aidha mashine za kuhifadhi vyakula visiharibike zinatokana na teknolojia.Fauka ya hayo uzalishaji wa wanyama na mbegu kisaki (G.M.O) unatokana na teknolojia ya kisasa.
Kusema kweli ni dhahiri shahiri kuwa teknolojia imesaidia kuwapa watu wengi ajira .Watu chungu nzima wameajiriwa katika viwanda ,kuendesha na kukarabati mitambo. Kwa hivyo teknolojia hubuni nafasi za kazi. Siku hizi upweke umetupwa. | Tekinolojia imeboresha sekta ipi | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
1462_swa | TEKNOLOJIA IMELETA FAIDA NYINGI KULIKO HASARA
Vidokezi
Utangulizi
Kuunga mkono - Kupinga
1. Kuumarisha mawasiliano - 1. Kumomonyoka kwa maadili
2. Matumizi ya vifaa vya kilimo - 2. Kuongezeka kwa ajali
3. Ajira na starehe - 3. Watu wengine kupoteza kazi
4. Sekta ya afya kuboreshwa
5. Kusadia katika elimu na usalama
6. Uchukuzi, ujenzi na viwanda
Nasimama kidete kuunga mkono mjadala huu usemao kuwa teknolojia imeleta faida nyingi kuliko hasara. Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya zana ama mitambo hususan katika kilimo, viwanda, mawasiliano, elimu, uchukuzi na ujeuzi na katika sekta ya afya.
Ama kwa hakika mawasiliano yamerahisishwa kupitia teknolojia. Matumizi ya rununu, tarakilishi na barua pepe ni mifano mizuri. Mja anaweza kutuma na kupokea habari kwa haraka kupitia vifaa hivi. Simu na rununu huhitaji mtu kuwa na kadiwia ili kuzungumza au kutuma arafa. Iwapo tarakilishi imeunganishwa na mtandao wa intaneti ni rahisi kuwezesha mtu kupata habari anazotaka. Redio na runinga ni vifaa ambavyo hutumika pia katika mawasiliano kuwapasha watu habari. Habari za nyanjani, kitaifa na kimataifa huweza kupatikana kwa urahisi kupitia vifaa hivi vya teknolojia. Mambo haya yote yanaifanya dunia kuwa kijiji kidogo na watu huweza kutangamana kwa urahisi. Ama kweli ya jana si ya leo.
Licha ya hayo teknolojia ya kisasa imeboresha sekta ya kilimo pakubwa .Ni kupitia teknolojia ii hii ambapo mashine za kuwakama ng'ombe ,kunyunyizia mashamba maji, kulima, upanzi na uvunaji wa mazao umerahisishwa.Aidha mashine za kuhifadhi vyakula visiharibike zinatokana na teknolojia.Fauka ya hayo uzalishaji wa wanyama na mbegu kisaki (G.M.O) unatokana na teknolojia ya kisasa.
Kusema kweli ni dhahiri shahiri kuwa teknolojia imesaidia kuwapa watu wengi ajira .Watu chungu nzima wameajiriwa katika viwanda ,kuendesha na kukarabati mitambo. Kwa hivyo teknolojia hubuni nafasi za kazi. Siku hizi upweke umetupwa. | Tekinolojia imewapa watu nini | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
1462_swa | TEKNOLOJIA IMELETA FAIDA NYINGI KULIKO HASARA
Vidokezi
Utangulizi
Kuunga mkono - Kupinga
1. Kuumarisha mawasiliano - 1. Kumomonyoka kwa maadili
2. Matumizi ya vifaa vya kilimo - 2. Kuongezeka kwa ajali
3. Ajira na starehe - 3. Watu wengine kupoteza kazi
4. Sekta ya afya kuboreshwa
5. Kusadia katika elimu na usalama
6. Uchukuzi, ujenzi na viwanda
Nasimama kidete kuunga mkono mjadala huu usemao kuwa teknolojia imeleta faida nyingi kuliko hasara. Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya zana ama mitambo hususan katika kilimo, viwanda, mawasiliano, elimu, uchukuzi na ujeuzi na katika sekta ya afya.
Ama kwa hakika mawasiliano yamerahisishwa kupitia teknolojia. Matumizi ya rununu, tarakilishi na barua pepe ni mifano mizuri. Mja anaweza kutuma na kupokea habari kwa haraka kupitia vifaa hivi. Simu na rununu huhitaji mtu kuwa na kadiwia ili kuzungumza au kutuma arafa. Iwapo tarakilishi imeunganishwa na mtandao wa intaneti ni rahisi kuwezesha mtu kupata habari anazotaka. Redio na runinga ni vifaa ambavyo hutumika pia katika mawasiliano kuwapasha watu habari. Habari za nyanjani, kitaifa na kimataifa huweza kupatikana kwa urahisi kupitia vifaa hivi vya teknolojia. Mambo haya yote yanaifanya dunia kuwa kijiji kidogo na watu huweza kutangamana kwa urahisi. Ama kweli ya jana si ya leo.
Licha ya hayo teknolojia ya kisasa imeboresha sekta ya kilimo pakubwa .Ni kupitia teknolojia ii hii ambapo mashine za kuwakama ng'ombe ,kunyunyizia mashamba maji, kulima, upanzi na uvunaji wa mazao umerahisishwa.Aidha mashine za kuhifadhi vyakula visiharibike zinatokana na teknolojia.Fauka ya hayo uzalishaji wa wanyama na mbegu kisaki (G.M.O) unatokana na teknolojia ya kisasa.
Kusema kweli ni dhahiri shahiri kuwa teknolojia imesaidia kuwapa watu wengi ajira .Watu chungu nzima wameajiriwa katika viwanda ,kuendesha na kukarabati mitambo. Kwa hivyo teknolojia hubuni nafasi za kazi. Siku hizi upweke umetupwa. | Tekinolojia imesaidia ujenzi wa nini | {
"text": [
"Barabara"
]
} |
1462_swa | TEKNOLOJIA IMELETA FAIDA NYINGI KULIKO HASARA
Vidokezi
Utangulizi
Kuunga mkono - Kupinga
1. Kuumarisha mawasiliano - 1. Kumomonyoka kwa maadili
2. Matumizi ya vifaa vya kilimo - 2. Kuongezeka kwa ajali
3. Ajira na starehe - 3. Watu wengine kupoteza kazi
4. Sekta ya afya kuboreshwa
5. Kusadia katika elimu na usalama
6. Uchukuzi, ujenzi na viwanda
Nasimama kidete kuunga mkono mjadala huu usemao kuwa teknolojia imeleta faida nyingi kuliko hasara. Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya zana ama mitambo hususan katika kilimo, viwanda, mawasiliano, elimu, uchukuzi na ujeuzi na katika sekta ya afya.
Ama kwa hakika mawasiliano yamerahisishwa kupitia teknolojia. Matumizi ya rununu, tarakilishi na barua pepe ni mifano mizuri. Mja anaweza kutuma na kupokea habari kwa haraka kupitia vifaa hivi. Simu na rununu huhitaji mtu kuwa na kadiwia ili kuzungumza au kutuma arafa. Iwapo tarakilishi imeunganishwa na mtandao wa intaneti ni rahisi kuwezesha mtu kupata habari anazotaka. Redio na runinga ni vifaa ambavyo hutumika pia katika mawasiliano kuwapasha watu habari. Habari za nyanjani, kitaifa na kimataifa huweza kupatikana kwa urahisi kupitia vifaa hivi vya teknolojia. Mambo haya yote yanaifanya dunia kuwa kijiji kidogo na watu huweza kutangamana kwa urahisi. Ama kweli ya jana si ya leo.
Licha ya hayo teknolojia ya kisasa imeboresha sekta ya kilimo pakubwa .Ni kupitia teknolojia ii hii ambapo mashine za kuwakama ng'ombe ,kunyunyizia mashamba maji, kulima, upanzi na uvunaji wa mazao umerahisishwa.Aidha mashine za kuhifadhi vyakula visiharibike zinatokana na teknolojia.Fauka ya hayo uzalishaji wa wanyama na mbegu kisaki (G.M.O) unatokana na teknolojia ya kisasa.
Kusema kweli ni dhahiri shahiri kuwa teknolojia imesaidia kuwapa watu wengi ajira .Watu chungu nzima wameajiriwa katika viwanda ,kuendesha na kukarabati mitambo. Kwa hivyo teknolojia hubuni nafasi za kazi. Siku hizi upweke umetupwa. | Kwa nini watu wanapigwa karamu | {
"text": [
"Mashine moja inaweza kufanya kazi inayofanywa na watu wengi"
]
} |
1464_swa | MNAZI
Bila shaka sisi sote tumewahi kulisikia neno hili mnazi. Je, mnazi ni nini? Mnazi ni mmea ambao ni mrefu na mwembamba mmea huo hauna panda au matawi yoyote na unatoa majani marefu yanayoitwa makuti. Pia mmea huo hukua sana pande za pwani ambako kuna joto jingi na huzaa matunda yanayoitwa nazi.
Ni kwa nini basi, mmea kama huu unajulikana sana? Sababu ya mnazi kujulikana ina asili yake katika faida zinazopatikana kutokana na mmea huu.
| Sote tumewahi kulisikia neno gani | {
"text": [
"mnazi"
]
} |
1464_swa | MNAZI
Bila shaka sisi sote tumewahi kulisikia neno hili mnazi. Je, mnazi ni nini? Mnazi ni mmea ambao ni mrefu na mwembamba mmea huo hauna panda au matawi yoyote na unatoa majani marefu yanayoitwa makuti. Pia mmea huo hukua sana pande za pwani ambako kuna joto jingi na huzaa matunda yanayoitwa nazi.
Ni kwa nini basi, mmea kama huu unajulikana sana? Sababu ya mnazi kujulikana ina asili yake katika faida zinazopatikana kutokana na mmea huu.
| Lile tunda lake ni chakula kwa nani | {
"text": [
"mwanadamu"
]
} |
1464_swa | MNAZI
Bila shaka sisi sote tumewahi kulisikia neno hili mnazi. Je, mnazi ni nini? Mnazi ni mmea ambao ni mrefu na mwembamba mmea huo hauna panda au matawi yoyote na unatoa majani marefu yanayoitwa makuti. Pia mmea huo hukua sana pande za pwani ambako kuna joto jingi na huzaa matunda yanayoitwa nazi.
Ni kwa nini basi, mmea kama huu unajulikana sana? Sababu ya mnazi kujulikana ina asili yake katika faida zinazopatikana kutokana na mmea huu.
| Kinazi kinapokuwa zaidi huitwa nini | {
"text": [
"kidaka"
]
} |
1464_swa | MNAZI
Bila shaka sisi sote tumewahi kulisikia neno hili mnazi. Je, mnazi ni nini? Mnazi ni mmea ambao ni mrefu na mwembamba mmea huo hauna panda au matawi yoyote na unatoa majani marefu yanayoitwa makuti. Pia mmea huo hukua sana pande za pwani ambako kuna joto jingi na huzaa matunda yanayoitwa nazi.
Ni kwa nini basi, mmea kama huu unajulikana sana? Sababu ya mnazi kujulikana ina asili yake katika faida zinazopatikana kutokana na mmea huu.
| Makumbi ya nazi husokotwa na kuwa nini | {
"text": [
"kamba"
]
} |
1464_swa | MNAZI
Bila shaka sisi sote tumewahi kulisikia neno hili mnazi. Je, mnazi ni nini? Mnazi ni mmea ambao ni mrefu na mwembamba mmea huo hauna panda au matawi yoyote na unatoa majani marefu yanayoitwa makuti. Pia mmea huo hukua sana pande za pwani ambako kuna joto jingi na huzaa matunda yanayoitwa nazi.
Ni kwa nini basi, mmea kama huu unajulikana sana? Sababu ya mnazi kujulikana ina asili yake katika faida zinazopatikana kutokana na mmea huu.
| Kwa nini mnazi unajulikana sana | {
"text": [
"kwa faida zinazotokana na mmea huu"
]
} |
1465_swa | NDOA YA UNAFIKI
"Angalikuwa na rununu au barabara yoyote ndefu au fupi ningalimfikia liwe liwalo." Mwari alijipata akilonga peke yake katikati ya njia. Alimagamaga na kuangazaangaza macho kama kachero. Alipigwa na kukabwa kooni papatupapatu na biwi la simanzi huku akimeza mirututu ya mafunda ya mate machungu. Akilini mlifurika furifuri mawazo ya kwa nini? Mbona ikawa mimi? Alihisi kigegezi cha ghafla. Haikuwa kawaida yake kumuudhi nzi seuze binadamu? Mtoto mbeja mwenye moyo mweupe na vipawa adimu alijikuta akiomboleza kifo cha ndoa yake. Cha mtima cha moyo. Moyo wa kupenda hausemeki.
Ndoa hufungwa mbinguni kisha, mwanadamu kuhitimisha na kuthibitishwa hapa duniani. Mambo yake yalienda upogo. 'Zaina mpenzi wa dhati Moyo ulimuuma na kumdundadunda dududu! Kama ngoma za tum tum za Afrika Magharibi. Kipendacho moyo hula na nyama mbichi. Hiari ya moyo ni dawa. Mapenzi ni kikohozi hayafichiki. Mapenzi ni kama mgomba hujiotea pahali popote penye mbolea. Mwari alijituliza huku wingu jeusi likizidi kutanda maishani mwake.
Alijipumzisha chini ya kivuli kandokando ya barabara. Pumzi zilimpanda kama mama mwenye kite tayari kujifungua. Moyo nao ulimwenda kasi mara mia kwa dakika. Nduli! Fisi! Alikemea bwana arusi Zaina wa Chudi Bahati wa Kuhemerahemera. Ungalimwona ungalidhani ni mganga akapige bao. Aliyakumbuka yote moyoni. Huyu ghulamu alivyomposa kwa upole mwingi. Vile alivyokubali kizuzu na kujiingiza mtegoni hakuna aliyemwonya kuwa yuakanyaga mavi ambayo daima yatamnuka. "Sikudharau biu mbona inibiuke?" Alijiuliza.
Kijana Zaina aliumbwa wa huba na haiba ya upole wa malaika. Weusi wa makaa ndio uliomghilibu na kumhadaa kama jua la masika. Alimpenda kwa dhati ya moyo wake hata ingawa wa bua. Alimwahidi mbingu seuze ndege. Alitiririkwa na kijasho chembamba kwapani. Aliengwaengwa na machozi motomoto machoni yaliomfanya aonekane kama sanamu ya Vasco Dagama. Kumbe uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.
Alijilaza chini kisha akajigaragaza huku akibwabwaja maneno yasioeleweka. Mara safari hii yuainuka, tena yuainama, mara bismillahi, kisha kalala kingalingali. Alishikwa na bila shaka alishikamana. Mwishowe alibaki kama fuko mchangani.
Vumbi liliharibu nywele zake za julfa ambazo zilikuwa ni ishara ya urembo wake wa nakshi. Alipiga msasa ndoa yao ambayo ilienda tete na kubingirika bingiribingiri kwenye kina kirefu cha bahari ya luja. "Niliwadharau wenzangu wote wakubwa kwa wadogo na hata kuwabeza . Ghulamu aliyenipenda nilimwonyesha kisogo kisa na maana alilelewa na kuimbiwa wimbo mui. Nilisahau kuwa mkulima hasahau jembe seuze kiserema. Sikuwa hata nimealika yeyote kutoka kwa akraba yetu, majirani au washiriki wenzangu kanisani. Nilijigeuza chachandu kujipalia makaa." alijuta.
Mara alizinduka na kumwona Zaina mbele yake amesimama tisti. Zaina alizama zi kama upepo wa kusi na kutoweka asionekane tena. "Mke mtu kapigiwa simu. "Kumbe niliyekusudia kuwa mume wangu tayari alikuwa ameshaoa na kupata mtoto mmoja na wa pili angali chupani" Hebu fikiria yuyu huyu alikuwa pasta, mhubiri au ukipenda mchungaji wa kondoo wa bwana. Mnafiki mkubwa." Alitumbua macho yake na kuachwa kinywa wazi. Alishangaa ghaya ya kushangaa Ijumaa hiyo alasiri. Alisahau kuwa ukuukuu wa kamba sio upya wa ukambaa. Habari ya uongo ina ncha saba. Kupata kuna Mungu ukikosa shukuru. Kuregarega si kufa, kufa ni kuoza utumbo.
Ama kweli majuto ni mjukuu huja kinyume. Kanisani sikuwaaga watu kama ilivyo desturi wala kuwaalika. Wahenga walinena mjinga mpe kilemba utamwona mwendowe. Pavumapo palilie si kazi kudamirika. Alijiona hana hanani.
Alikata shauri kujiondoshea balaa hiyo na beluwa kwa kujitia kitanzi. Mama wee! Baba wee! Moyo ulimponza wavyele wake walinishawishi aache kwanza eti ni makataa. Kweli lini ng'ombe wa masikini atazaa pacha? Huyu naye mkwasi mnafiki tena mkia wa mbuzi. Pendo huota palipo na pendo sio palipo na fulusi sufufu. Mwacha kiwi hanacho na chema humpotele. Niliamini na kusadiki kuwa mchagua nazi hupata koroma.
Giza shadidi la kaniki lilitanda machoni pake na benibeni kuingilia maisha yake kwa mabavu. Alisimama imara kama mwamba, akapiga hatua moja, ya pili, tatu, kasi, sikujua alikotokomea.Bwana Mungu wangu alikosa nini?
| nani alijipata akilonga peke yake katikati ya njia | {
"text": [
"Mwari"
]
} |
1465_swa | NDOA YA UNAFIKI
"Angalikuwa na rununu au barabara yoyote ndefu au fupi ningalimfikia liwe liwalo." Mwari alijipata akilonga peke yake katikati ya njia. Alimagamaga na kuangazaangaza macho kama kachero. Alipigwa na kukabwa kooni papatupapatu na biwi la simanzi huku akimeza mirututu ya mafunda ya mate machungu. Akilini mlifurika furifuri mawazo ya kwa nini? Mbona ikawa mimi? Alihisi kigegezi cha ghafla. Haikuwa kawaida yake kumuudhi nzi seuze binadamu? Mtoto mbeja mwenye moyo mweupe na vipawa adimu alijikuta akiomboleza kifo cha ndoa yake. Cha mtima cha moyo. Moyo wa kupenda hausemeki.
Ndoa hufungwa mbinguni kisha, mwanadamu kuhitimisha na kuthibitishwa hapa duniani. Mambo yake yalienda upogo. 'Zaina mpenzi wa dhati Moyo ulimuuma na kumdundadunda dududu! Kama ngoma za tum tum za Afrika Magharibi. Kipendacho moyo hula na nyama mbichi. Hiari ya moyo ni dawa. Mapenzi ni kikohozi hayafichiki. Mapenzi ni kama mgomba hujiotea pahali popote penye mbolea. Mwari alijituliza huku wingu jeusi likizidi kutanda maishani mwake.
Alijipumzisha chini ya kivuli kandokando ya barabara. Pumzi zilimpanda kama mama mwenye kite tayari kujifungua. Moyo nao ulimwenda kasi mara mia kwa dakika. Nduli! Fisi! Alikemea bwana arusi Zaina wa Chudi Bahati wa Kuhemerahemera. Ungalimwona ungalidhani ni mganga akapige bao. Aliyakumbuka yote moyoni. Huyu ghulamu alivyomposa kwa upole mwingi. Vile alivyokubali kizuzu na kujiingiza mtegoni hakuna aliyemwonya kuwa yuakanyaga mavi ambayo daima yatamnuka. "Sikudharau biu mbona inibiuke?" Alijiuliza.
Kijana Zaina aliumbwa wa huba na haiba ya upole wa malaika. Weusi wa makaa ndio uliomghilibu na kumhadaa kama jua la masika. Alimpenda kwa dhati ya moyo wake hata ingawa wa bua. Alimwahidi mbingu seuze ndege. Alitiririkwa na kijasho chembamba kwapani. Aliengwaengwa na machozi motomoto machoni yaliomfanya aonekane kama sanamu ya Vasco Dagama. Kumbe uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.
Alijilaza chini kisha akajigaragaza huku akibwabwaja maneno yasioeleweka. Mara safari hii yuainuka, tena yuainama, mara bismillahi, kisha kalala kingalingali. Alishikwa na bila shaka alishikamana. Mwishowe alibaki kama fuko mchangani.
Vumbi liliharibu nywele zake za julfa ambazo zilikuwa ni ishara ya urembo wake wa nakshi. Alipiga msasa ndoa yao ambayo ilienda tete na kubingirika bingiribingiri kwenye kina kirefu cha bahari ya luja. "Niliwadharau wenzangu wote wakubwa kwa wadogo na hata kuwabeza . Ghulamu aliyenipenda nilimwonyesha kisogo kisa na maana alilelewa na kuimbiwa wimbo mui. Nilisahau kuwa mkulima hasahau jembe seuze kiserema. Sikuwa hata nimealika yeyote kutoka kwa akraba yetu, majirani au washiriki wenzangu kanisani. Nilijigeuza chachandu kujipalia makaa." alijuta.
Mara alizinduka na kumwona Zaina mbele yake amesimama tisti. Zaina alizama zi kama upepo wa kusi na kutoweka asionekane tena. "Mke mtu kapigiwa simu. "Kumbe niliyekusudia kuwa mume wangu tayari alikuwa ameshaoa na kupata mtoto mmoja na wa pili angali chupani" Hebu fikiria yuyu huyu alikuwa pasta, mhubiri au ukipenda mchungaji wa kondoo wa bwana. Mnafiki mkubwa." Alitumbua macho yake na kuachwa kinywa wazi. Alishangaa ghaya ya kushangaa Ijumaa hiyo alasiri. Alisahau kuwa ukuukuu wa kamba sio upya wa ukambaa. Habari ya uongo ina ncha saba. Kupata kuna Mungu ukikosa shukuru. Kuregarega si kufa, kufa ni kuoza utumbo.
Ama kweli majuto ni mjukuu huja kinyume. Kanisani sikuwaaga watu kama ilivyo desturi wala kuwaalika. Wahenga walinena mjinga mpe kilemba utamwona mwendowe. Pavumapo palilie si kazi kudamirika. Alijiona hana hanani.
Alikata shauri kujiondoshea balaa hiyo na beluwa kwa kujitia kitanzi. Mama wee! Baba wee! Moyo ulimponza wavyele wake walinishawishi aache kwanza eti ni makataa. Kweli lini ng'ombe wa masikini atazaa pacha? Huyu naye mkwasi mnafiki tena mkia wa mbuzi. Pendo huota palipo na pendo sio palipo na fulusi sufufu. Mwacha kiwi hanacho na chema humpotele. Niliamini na kusadiki kuwa mchagua nazi hupata koroma.
Giza shadidi la kaniki lilitanda machoni pake na benibeni kuingilia maisha yake kwa mabavu. Alisimama imara kama mwamba, akapiga hatua moja, ya pili, tatu, kasi, sikujua alikotokomea.Bwana Mungu wangu alikosa nini?
| Mwari alimagamaga na kuangaangaza macho kama nani | {
"text": [
"Kachero"
]
} |
1465_swa | NDOA YA UNAFIKI
"Angalikuwa na rununu au barabara yoyote ndefu au fupi ningalimfikia liwe liwalo." Mwari alijipata akilonga peke yake katikati ya njia. Alimagamaga na kuangazaangaza macho kama kachero. Alipigwa na kukabwa kooni papatupapatu na biwi la simanzi huku akimeza mirututu ya mafunda ya mate machungu. Akilini mlifurika furifuri mawazo ya kwa nini? Mbona ikawa mimi? Alihisi kigegezi cha ghafla. Haikuwa kawaida yake kumuudhi nzi seuze binadamu? Mtoto mbeja mwenye moyo mweupe na vipawa adimu alijikuta akiomboleza kifo cha ndoa yake. Cha mtima cha moyo. Moyo wa kupenda hausemeki.
Ndoa hufungwa mbinguni kisha, mwanadamu kuhitimisha na kuthibitishwa hapa duniani. Mambo yake yalienda upogo. 'Zaina mpenzi wa dhati Moyo ulimuuma na kumdundadunda dududu! Kama ngoma za tum tum za Afrika Magharibi. Kipendacho moyo hula na nyama mbichi. Hiari ya moyo ni dawa. Mapenzi ni kikohozi hayafichiki. Mapenzi ni kama mgomba hujiotea pahali popote penye mbolea. Mwari alijituliza huku wingu jeusi likizidi kutanda maishani mwake.
Alijipumzisha chini ya kivuli kandokando ya barabara. Pumzi zilimpanda kama mama mwenye kite tayari kujifungua. Moyo nao ulimwenda kasi mara mia kwa dakika. Nduli! Fisi! Alikemea bwana arusi Zaina wa Chudi Bahati wa Kuhemerahemera. Ungalimwona ungalidhani ni mganga akapige bao. Aliyakumbuka yote moyoni. Huyu ghulamu alivyomposa kwa upole mwingi. Vile alivyokubali kizuzu na kujiingiza mtegoni hakuna aliyemwonya kuwa yuakanyaga mavi ambayo daima yatamnuka. "Sikudharau biu mbona inibiuke?" Alijiuliza.
Kijana Zaina aliumbwa wa huba na haiba ya upole wa malaika. Weusi wa makaa ndio uliomghilibu na kumhadaa kama jua la masika. Alimpenda kwa dhati ya moyo wake hata ingawa wa bua. Alimwahidi mbingu seuze ndege. Alitiririkwa na kijasho chembamba kwapani. Aliengwaengwa na machozi motomoto machoni yaliomfanya aonekane kama sanamu ya Vasco Dagama. Kumbe uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.
Alijilaza chini kisha akajigaragaza huku akibwabwaja maneno yasioeleweka. Mara safari hii yuainuka, tena yuainama, mara bismillahi, kisha kalala kingalingali. Alishikwa na bila shaka alishikamana. Mwishowe alibaki kama fuko mchangani.
Vumbi liliharibu nywele zake za julfa ambazo zilikuwa ni ishara ya urembo wake wa nakshi. Alipiga msasa ndoa yao ambayo ilienda tete na kubingirika bingiribingiri kwenye kina kirefu cha bahari ya luja. "Niliwadharau wenzangu wote wakubwa kwa wadogo na hata kuwabeza . Ghulamu aliyenipenda nilimwonyesha kisogo kisa na maana alilelewa na kuimbiwa wimbo mui. Nilisahau kuwa mkulima hasahau jembe seuze kiserema. Sikuwa hata nimealika yeyote kutoka kwa akraba yetu, majirani au washiriki wenzangu kanisani. Nilijigeuza chachandu kujipalia makaa." alijuta.
Mara alizinduka na kumwona Zaina mbele yake amesimama tisti. Zaina alizama zi kama upepo wa kusi na kutoweka asionekane tena. "Mke mtu kapigiwa simu. "Kumbe niliyekusudia kuwa mume wangu tayari alikuwa ameshaoa na kupata mtoto mmoja na wa pili angali chupani" Hebu fikiria yuyu huyu alikuwa pasta, mhubiri au ukipenda mchungaji wa kondoo wa bwana. Mnafiki mkubwa." Alitumbua macho yake na kuachwa kinywa wazi. Alishangaa ghaya ya kushangaa Ijumaa hiyo alasiri. Alisahau kuwa ukuukuu wa kamba sio upya wa ukambaa. Habari ya uongo ina ncha saba. Kupata kuna Mungu ukikosa shukuru. Kuregarega si kufa, kufa ni kuoza utumbo.
Ama kweli majuto ni mjukuu huja kinyume. Kanisani sikuwaaga watu kama ilivyo desturi wala kuwaalika. Wahenga walinena mjinga mpe kilemba utamwona mwendowe. Pavumapo palilie si kazi kudamirika. Alijiona hana hanani.
Alikata shauri kujiondoshea balaa hiyo na beluwa kwa kujitia kitanzi. Mama wee! Baba wee! Moyo ulimponza wavyele wake walinishawishi aache kwanza eti ni makataa. Kweli lini ng'ombe wa masikini atazaa pacha? Huyu naye mkwasi mnafiki tena mkia wa mbuzi. Pendo huota palipo na pendo sio palipo na fulusi sufufu. Mwacha kiwi hanacho na chema humpotele. Niliamini na kusadiki kuwa mchagua nazi hupata koroma.
Giza shadidi la kaniki lilitanda machoni pake na benibeni kuingilia maisha yake kwa mabavu. Alisimama imara kama mwamba, akapiga hatua moja, ya pili, tatu, kasi, sikujua alikotokomea.Bwana Mungu wangu alikosa nini?
| ndoa hufungwa wapi | {
"text": [
"Mbinguni"
]
} |
1465_swa | NDOA YA UNAFIKI
"Angalikuwa na rununu au barabara yoyote ndefu au fupi ningalimfikia liwe liwalo." Mwari alijipata akilonga peke yake katikati ya njia. Alimagamaga na kuangazaangaza macho kama kachero. Alipigwa na kukabwa kooni papatupapatu na biwi la simanzi huku akimeza mirututu ya mafunda ya mate machungu. Akilini mlifurika furifuri mawazo ya kwa nini? Mbona ikawa mimi? Alihisi kigegezi cha ghafla. Haikuwa kawaida yake kumuudhi nzi seuze binadamu? Mtoto mbeja mwenye moyo mweupe na vipawa adimu alijikuta akiomboleza kifo cha ndoa yake. Cha mtima cha moyo. Moyo wa kupenda hausemeki.
Ndoa hufungwa mbinguni kisha, mwanadamu kuhitimisha na kuthibitishwa hapa duniani. Mambo yake yalienda upogo. 'Zaina mpenzi wa dhati Moyo ulimuuma na kumdundadunda dududu! Kama ngoma za tum tum za Afrika Magharibi. Kipendacho moyo hula na nyama mbichi. Hiari ya moyo ni dawa. Mapenzi ni kikohozi hayafichiki. Mapenzi ni kama mgomba hujiotea pahali popote penye mbolea. Mwari alijituliza huku wingu jeusi likizidi kutanda maishani mwake.
Alijipumzisha chini ya kivuli kandokando ya barabara. Pumzi zilimpanda kama mama mwenye kite tayari kujifungua. Moyo nao ulimwenda kasi mara mia kwa dakika. Nduli! Fisi! Alikemea bwana arusi Zaina wa Chudi Bahati wa Kuhemerahemera. Ungalimwona ungalidhani ni mganga akapige bao. Aliyakumbuka yote moyoni. Huyu ghulamu alivyomposa kwa upole mwingi. Vile alivyokubali kizuzu na kujiingiza mtegoni hakuna aliyemwonya kuwa yuakanyaga mavi ambayo daima yatamnuka. "Sikudharau biu mbona inibiuke?" Alijiuliza.
Kijana Zaina aliumbwa wa huba na haiba ya upole wa malaika. Weusi wa makaa ndio uliomghilibu na kumhadaa kama jua la masika. Alimpenda kwa dhati ya moyo wake hata ingawa wa bua. Alimwahidi mbingu seuze ndege. Alitiririkwa na kijasho chembamba kwapani. Aliengwaengwa na machozi motomoto machoni yaliomfanya aonekane kama sanamu ya Vasco Dagama. Kumbe uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.
Alijilaza chini kisha akajigaragaza huku akibwabwaja maneno yasioeleweka. Mara safari hii yuainuka, tena yuainama, mara bismillahi, kisha kalala kingalingali. Alishikwa na bila shaka alishikamana. Mwishowe alibaki kama fuko mchangani.
Vumbi liliharibu nywele zake za julfa ambazo zilikuwa ni ishara ya urembo wake wa nakshi. Alipiga msasa ndoa yao ambayo ilienda tete na kubingirika bingiribingiri kwenye kina kirefu cha bahari ya luja. "Niliwadharau wenzangu wote wakubwa kwa wadogo na hata kuwabeza . Ghulamu aliyenipenda nilimwonyesha kisogo kisa na maana alilelewa na kuimbiwa wimbo mui. Nilisahau kuwa mkulima hasahau jembe seuze kiserema. Sikuwa hata nimealika yeyote kutoka kwa akraba yetu, majirani au washiriki wenzangu kanisani. Nilijigeuza chachandu kujipalia makaa." alijuta.
Mara alizinduka na kumwona Zaina mbele yake amesimama tisti. Zaina alizama zi kama upepo wa kusi na kutoweka asionekane tena. "Mke mtu kapigiwa simu. "Kumbe niliyekusudia kuwa mume wangu tayari alikuwa ameshaoa na kupata mtoto mmoja na wa pili angali chupani" Hebu fikiria yuyu huyu alikuwa pasta, mhubiri au ukipenda mchungaji wa kondoo wa bwana. Mnafiki mkubwa." Alitumbua macho yake na kuachwa kinywa wazi. Alishangaa ghaya ya kushangaa Ijumaa hiyo alasiri. Alisahau kuwa ukuukuu wa kamba sio upya wa ukambaa. Habari ya uongo ina ncha saba. Kupata kuna Mungu ukikosa shukuru. Kuregarega si kufa, kufa ni kuoza utumbo.
Ama kweli majuto ni mjukuu huja kinyume. Kanisani sikuwaaga watu kama ilivyo desturi wala kuwaalika. Wahenga walinena mjinga mpe kilemba utamwona mwendowe. Pavumapo palilie si kazi kudamirika. Alijiona hana hanani.
Alikata shauri kujiondoshea balaa hiyo na beluwa kwa kujitia kitanzi. Mama wee! Baba wee! Moyo ulimponza wavyele wake walinishawishi aache kwanza eti ni makataa. Kweli lini ng'ombe wa masikini atazaa pacha? Huyu naye mkwasi mnafiki tena mkia wa mbuzi. Pendo huota palipo na pendo sio palipo na fulusi sufufu. Mwacha kiwi hanacho na chema humpotele. Niliamini na kusadiki kuwa mchagua nazi hupata koroma.
Giza shadidi la kaniki lilitanda machoni pake na benibeni kuingilia maisha yake kwa mabavu. Alisimama imara kama mwamba, akapiga hatua moja, ya pili, tatu, kasi, sikujua alikotokomea.Bwana Mungu wangu alikosa nini?
| Mwari alijipumzisha chini ya nini | {
"text": [
"Kivuli"
]
} |
1465_swa | NDOA YA UNAFIKI
"Angalikuwa na rununu au barabara yoyote ndefu au fupi ningalimfikia liwe liwalo." Mwari alijipata akilonga peke yake katikati ya njia. Alimagamaga na kuangazaangaza macho kama kachero. Alipigwa na kukabwa kooni papatupapatu na biwi la simanzi huku akimeza mirututu ya mafunda ya mate machungu. Akilini mlifurika furifuri mawazo ya kwa nini? Mbona ikawa mimi? Alihisi kigegezi cha ghafla. Haikuwa kawaida yake kumuudhi nzi seuze binadamu? Mtoto mbeja mwenye moyo mweupe na vipawa adimu alijikuta akiomboleza kifo cha ndoa yake. Cha mtima cha moyo. Moyo wa kupenda hausemeki.
Ndoa hufungwa mbinguni kisha, mwanadamu kuhitimisha na kuthibitishwa hapa duniani. Mambo yake yalienda upogo. 'Zaina mpenzi wa dhati Moyo ulimuuma na kumdundadunda dududu! Kama ngoma za tum tum za Afrika Magharibi. Kipendacho moyo hula na nyama mbichi. Hiari ya moyo ni dawa. Mapenzi ni kikohozi hayafichiki. Mapenzi ni kama mgomba hujiotea pahali popote penye mbolea. Mwari alijituliza huku wingu jeusi likizidi kutanda maishani mwake.
Alijipumzisha chini ya kivuli kandokando ya barabara. Pumzi zilimpanda kama mama mwenye kite tayari kujifungua. Moyo nao ulimwenda kasi mara mia kwa dakika. Nduli! Fisi! Alikemea bwana arusi Zaina wa Chudi Bahati wa Kuhemerahemera. Ungalimwona ungalidhani ni mganga akapige bao. Aliyakumbuka yote moyoni. Huyu ghulamu alivyomposa kwa upole mwingi. Vile alivyokubali kizuzu na kujiingiza mtegoni hakuna aliyemwonya kuwa yuakanyaga mavi ambayo daima yatamnuka. "Sikudharau biu mbona inibiuke?" Alijiuliza.
Kijana Zaina aliumbwa wa huba na haiba ya upole wa malaika. Weusi wa makaa ndio uliomghilibu na kumhadaa kama jua la masika. Alimpenda kwa dhati ya moyo wake hata ingawa wa bua. Alimwahidi mbingu seuze ndege. Alitiririkwa na kijasho chembamba kwapani. Aliengwaengwa na machozi motomoto machoni yaliomfanya aonekane kama sanamu ya Vasco Dagama. Kumbe uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.
Alijilaza chini kisha akajigaragaza huku akibwabwaja maneno yasioeleweka. Mara safari hii yuainuka, tena yuainama, mara bismillahi, kisha kalala kingalingali. Alishikwa na bila shaka alishikamana. Mwishowe alibaki kama fuko mchangani.
Vumbi liliharibu nywele zake za julfa ambazo zilikuwa ni ishara ya urembo wake wa nakshi. Alipiga msasa ndoa yao ambayo ilienda tete na kubingirika bingiribingiri kwenye kina kirefu cha bahari ya luja. "Niliwadharau wenzangu wote wakubwa kwa wadogo na hata kuwabeza . Ghulamu aliyenipenda nilimwonyesha kisogo kisa na maana alilelewa na kuimbiwa wimbo mui. Nilisahau kuwa mkulima hasahau jembe seuze kiserema. Sikuwa hata nimealika yeyote kutoka kwa akraba yetu, majirani au washiriki wenzangu kanisani. Nilijigeuza chachandu kujipalia makaa." alijuta.
Mara alizinduka na kumwona Zaina mbele yake amesimama tisti. Zaina alizama zi kama upepo wa kusi na kutoweka asionekane tena. "Mke mtu kapigiwa simu. "Kumbe niliyekusudia kuwa mume wangu tayari alikuwa ameshaoa na kupata mtoto mmoja na wa pili angali chupani" Hebu fikiria yuyu huyu alikuwa pasta, mhubiri au ukipenda mchungaji wa kondoo wa bwana. Mnafiki mkubwa." Alitumbua macho yake na kuachwa kinywa wazi. Alishangaa ghaya ya kushangaa Ijumaa hiyo alasiri. Alisahau kuwa ukuukuu wa kamba sio upya wa ukambaa. Habari ya uongo ina ncha saba. Kupata kuna Mungu ukikosa shukuru. Kuregarega si kufa, kufa ni kuoza utumbo.
Ama kweli majuto ni mjukuu huja kinyume. Kanisani sikuwaaga watu kama ilivyo desturi wala kuwaalika. Wahenga walinena mjinga mpe kilemba utamwona mwendowe. Pavumapo palilie si kazi kudamirika. Alijiona hana hanani.
Alikata shauri kujiondoshea balaa hiyo na beluwa kwa kujitia kitanzi. Mama wee! Baba wee! Moyo ulimponza wavyele wake walinishawishi aache kwanza eti ni makataa. Kweli lini ng'ombe wa masikini atazaa pacha? Huyu naye mkwasi mnafiki tena mkia wa mbuzi. Pendo huota palipo na pendo sio palipo na fulusi sufufu. Mwacha kiwi hanacho na chema humpotele. Niliamini na kusadiki kuwa mchagua nazi hupata koroma.
Giza shadidi la kaniki lilitanda machoni pake na benibeni kuingilia maisha yake kwa mabavu. Alisimama imara kama mwamba, akapiga hatua moja, ya pili, tatu, kasi, sikujua alikotokomea.Bwana Mungu wangu alikosa nini?
| Nani aliumbwa wa huba na haiba ya upole wa malaika | {
"text": [
"Kijana Zaina"
]
} |
1466_swa | MUNGU HAMWACHI MJA WAKE
"Leo mtanitambua", Mama alisema kwa hasira za mkizi. Alikuwa amechoshwa na mbuzi waliokuwa wakivamia shamba letu la mboga. Basi niliandamana na mama kama kupe na mkia wa bakari hadi mle shambani. Waama alionekana kuwa na majonzi yaliyokuwa yamemkaripia moyo.
Katika harakati zile, ghulamu wawili walizuka na wakaninyakua na kunifululisha hadi msituni kwa mwendo wa matiti. Nilielewa kuwa ningesafiria njia ya marahaba ili nikaribishwe ahera. Walionekana kama akina pangu pakavu, tia mchuzi. Nilipojaribu kuzungumza nilizabwa kofi na kutupiwa cheche za matusi yasiokuwa na kisa wala maana. Maskini mama aliachwa katika hali ya hamaniko asijue la kutenda wala la kusema ila dua la kuku lisilompata mwewe.
Nilipelekwa katika kijumba kibovu sana. Mle niliachwa peke yangu lakini Mungu wangu hakunisahau. Niliwaza na kuwazua mkururo wa fikira akilini mwangu ulinitesa huku nikiona jehanamu puani pangu. Waama niliogelea katika biwi la simanzi.
Watekaji nyara wale walikuwa wamepiga miludi, kiguu na njia hadi ulevini ambako walipiga mtindi na kulewa chopi. Walirejea wakiwa hawajijui hawajitambui. Walikuwa wamerowa rovurovu na kunuka fee mithili kidonda.
Waliniamuru niwaelezee kinagaubaga kuhusu mali ya baba yangu. Nilikataa abadan katan kunena lolote lile la heri au shari. Hapo nilitolewa kisu kikali kama wembe. Jasho jembamba lilinidondoka kwapani. Moyo wangu ulidunda kama wa mbwa aliyenusurika kumezwa na chatu. Nikaona heri niyanusuru maisha yangu kwa kuwaelezea ukweli. 'Marafiki zangu' wakafurahia sana habari hiyo.
Punde si punde, walilala usingizi wa pono. Niliwaona kuwa mazuzu. Nilimshukuru Rabuka kwa kunilinda kutokana na kadhia ile. Niliufungua mlango na kuufunga ndi, huku nikiwaacha mazuzu hao wakiwa wamelala kifudifudi.
Giza shadidi lilikuwa limechukua hatamu. Macho hayangeweza kuona upeo wowote. Nilikanyaga popote kenyekenye hadi nyumbani. Wavyele wangu walinipokea kwa mikono miwili kwani hiyo ilikuwa ibura kwao. Hawangeamini
| Mama alikuwa amechoshwa na nini | {
"text": [
"Mbuzi"
]
} |
1466_swa | MUNGU HAMWACHI MJA WAKE
"Leo mtanitambua", Mama alisema kwa hasira za mkizi. Alikuwa amechoshwa na mbuzi waliokuwa wakivamia shamba letu la mboga. Basi niliandamana na mama kama kupe na mkia wa bakari hadi mle shambani. Waama alionekana kuwa na majonzi yaliyokuwa yamemkaripia moyo.
Katika harakati zile, ghulamu wawili walizuka na wakaninyakua na kunifululisha hadi msituni kwa mwendo wa matiti. Nilielewa kuwa ningesafiria njia ya marahaba ili nikaribishwe ahera. Walionekana kama akina pangu pakavu, tia mchuzi. Nilipojaribu kuzungumza nilizabwa kofi na kutupiwa cheche za matusi yasiokuwa na kisa wala maana. Maskini mama aliachwa katika hali ya hamaniko asijue la kutenda wala la kusema ila dua la kuku lisilompata mwewe.
Nilipelekwa katika kijumba kibovu sana. Mle niliachwa peke yangu lakini Mungu wangu hakunisahau. Niliwaza na kuwazua mkururo wa fikira akilini mwangu ulinitesa huku nikiona jehanamu puani pangu. Waama niliogelea katika biwi la simanzi.
Watekaji nyara wale walikuwa wamepiga miludi, kiguu na njia hadi ulevini ambako walipiga mtindi na kulewa chopi. Walirejea wakiwa hawajijui hawajitambui. Walikuwa wamerowa rovurovu na kunuka fee mithili kidonda.
Waliniamuru niwaelezee kinagaubaga kuhusu mali ya baba yangu. Nilikataa abadan katan kunena lolote lile la heri au shari. Hapo nilitolewa kisu kikali kama wembe. Jasho jembamba lilinidondoka kwapani. Moyo wangu ulidunda kama wa mbwa aliyenusurika kumezwa na chatu. Nikaona heri niyanusuru maisha yangu kwa kuwaelezea ukweli. 'Marafiki zangu' wakafurahia sana habari hiyo.
Punde si punde, walilala usingizi wa pono. Niliwaona kuwa mazuzu. Nilimshukuru Rabuka kwa kunilinda kutokana na kadhia ile. Niliufungua mlango na kuufunga ndi, huku nikiwaacha mazuzu hao wakiwa wamelala kifudifudi.
Giza shadidi lilikuwa limechukua hatamu. Macho hayangeweza kuona upeo wowote. Nilikanyaga popote kenyekenye hadi nyumbani. Wavyele wangu walinipokea kwa mikono miwili kwani hiyo ilikuwa ibura kwao. Hawangeamini
| Mbuzi walikuwa wakivamia nini | {
"text": [
"Shamba letu"
]
} |
1466_swa | MUNGU HAMWACHI MJA WAKE
"Leo mtanitambua", Mama alisema kwa hasira za mkizi. Alikuwa amechoshwa na mbuzi waliokuwa wakivamia shamba letu la mboga. Basi niliandamana na mama kama kupe na mkia wa bakari hadi mle shambani. Waama alionekana kuwa na majonzi yaliyokuwa yamemkaripia moyo.
Katika harakati zile, ghulamu wawili walizuka na wakaninyakua na kunifululisha hadi msituni kwa mwendo wa matiti. Nilielewa kuwa ningesafiria njia ya marahaba ili nikaribishwe ahera. Walionekana kama akina pangu pakavu, tia mchuzi. Nilipojaribu kuzungumza nilizabwa kofi na kutupiwa cheche za matusi yasiokuwa na kisa wala maana. Maskini mama aliachwa katika hali ya hamaniko asijue la kutenda wala la kusema ila dua la kuku lisilompata mwewe.
Nilipelekwa katika kijumba kibovu sana. Mle niliachwa peke yangu lakini Mungu wangu hakunisahau. Niliwaza na kuwazua mkururo wa fikira akilini mwangu ulinitesa huku nikiona jehanamu puani pangu. Waama niliogelea katika biwi la simanzi.
Watekaji nyara wale walikuwa wamepiga miludi, kiguu na njia hadi ulevini ambako walipiga mtindi na kulewa chopi. Walirejea wakiwa hawajijui hawajitambui. Walikuwa wamerowa rovurovu na kunuka fee mithili kidonda.
Waliniamuru niwaelezee kinagaubaga kuhusu mali ya baba yangu. Nilikataa abadan katan kunena lolote lile la heri au shari. Hapo nilitolewa kisu kikali kama wembe. Jasho jembamba lilinidondoka kwapani. Moyo wangu ulidunda kama wa mbwa aliyenusurika kumezwa na chatu. Nikaona heri niyanusuru maisha yangu kwa kuwaelezea ukweli. 'Marafiki zangu' wakafurahia sana habari hiyo.
Punde si punde, walilala usingizi wa pono. Niliwaona kuwa mazuzu. Nilimshukuru Rabuka kwa kunilinda kutokana na kadhia ile. Niliufungua mlango na kuufunga ndi, huku nikiwaacha mazuzu hao wakiwa wamelala kifudifudi.
Giza shadidi lilikuwa limechukua hatamu. Macho hayangeweza kuona upeo wowote. Nilikanyaga popote kenyekenye hadi nyumbani. Wavyele wangu walinipokea kwa mikono miwili kwani hiyo ilikuwa ibura kwao. Hawangeamini
| Nilimshukuru nani kwa kunilinda | {
"text": [
"Rabuka"
]
} |
1466_swa | MUNGU HAMWACHI MJA WAKE
"Leo mtanitambua", Mama alisema kwa hasira za mkizi. Alikuwa amechoshwa na mbuzi waliokuwa wakivamia shamba letu la mboga. Basi niliandamana na mama kama kupe na mkia wa bakari hadi mle shambani. Waama alionekana kuwa na majonzi yaliyokuwa yamemkaripia moyo.
Katika harakati zile, ghulamu wawili walizuka na wakaninyakua na kunifululisha hadi msituni kwa mwendo wa matiti. Nilielewa kuwa ningesafiria njia ya marahaba ili nikaribishwe ahera. Walionekana kama akina pangu pakavu, tia mchuzi. Nilipojaribu kuzungumza nilizabwa kofi na kutupiwa cheche za matusi yasiokuwa na kisa wala maana. Maskini mama aliachwa katika hali ya hamaniko asijue la kutenda wala la kusema ila dua la kuku lisilompata mwewe.
Nilipelekwa katika kijumba kibovu sana. Mle niliachwa peke yangu lakini Mungu wangu hakunisahau. Niliwaza na kuwazua mkururo wa fikira akilini mwangu ulinitesa huku nikiona jehanamu puani pangu. Waama niliogelea katika biwi la simanzi.
Watekaji nyara wale walikuwa wamepiga miludi, kiguu na njia hadi ulevini ambako walipiga mtindi na kulewa chopi. Walirejea wakiwa hawajijui hawajitambui. Walikuwa wamerowa rovurovu na kunuka fee mithili kidonda.
Waliniamuru niwaelezee kinagaubaga kuhusu mali ya baba yangu. Nilikataa abadan katan kunena lolote lile la heri au shari. Hapo nilitolewa kisu kikali kama wembe. Jasho jembamba lilinidondoka kwapani. Moyo wangu ulidunda kama wa mbwa aliyenusurika kumezwa na chatu. Nikaona heri niyanusuru maisha yangu kwa kuwaelezea ukweli. 'Marafiki zangu' wakafurahia sana habari hiyo.
Punde si punde, walilala usingizi wa pono. Niliwaona kuwa mazuzu. Nilimshukuru Rabuka kwa kunilinda kutokana na kadhia ile. Niliufungua mlango na kuufunga ndi, huku nikiwaacha mazuzu hao wakiwa wamelala kifudifudi.
Giza shadidi lilikuwa limechukua hatamu. Macho hayangeweza kuona upeo wowote. Nilikanyaga popote kenyekenye hadi nyumbani. Wavyele wangu walinipokea kwa mikono miwili kwani hiyo ilikuwa ibura kwao. Hawangeamini
| Ni nini hakingeweza kuona upeo wowote | {
"text": [
"Macho"
]
} |
1466_swa | MUNGU HAMWACHI MJA WAKE
"Leo mtanitambua", Mama alisema kwa hasira za mkizi. Alikuwa amechoshwa na mbuzi waliokuwa wakivamia shamba letu la mboga. Basi niliandamana na mama kama kupe na mkia wa bakari hadi mle shambani. Waama alionekana kuwa na majonzi yaliyokuwa yamemkaripia moyo.
Katika harakati zile, ghulamu wawili walizuka na wakaninyakua na kunifululisha hadi msituni kwa mwendo wa matiti. Nilielewa kuwa ningesafiria njia ya marahaba ili nikaribishwe ahera. Walionekana kama akina pangu pakavu, tia mchuzi. Nilipojaribu kuzungumza nilizabwa kofi na kutupiwa cheche za matusi yasiokuwa na kisa wala maana. Maskini mama aliachwa katika hali ya hamaniko asijue la kutenda wala la kusema ila dua la kuku lisilompata mwewe.
Nilipelekwa katika kijumba kibovu sana. Mle niliachwa peke yangu lakini Mungu wangu hakunisahau. Niliwaza na kuwazua mkururo wa fikira akilini mwangu ulinitesa huku nikiona jehanamu puani pangu. Waama niliogelea katika biwi la simanzi.
Watekaji nyara wale walikuwa wamepiga miludi, kiguu na njia hadi ulevini ambako walipiga mtindi na kulewa chopi. Walirejea wakiwa hawajijui hawajitambui. Walikuwa wamerowa rovurovu na kunuka fee mithili kidonda.
Waliniamuru niwaelezee kinagaubaga kuhusu mali ya baba yangu. Nilikataa abadan katan kunena lolote lile la heri au shari. Hapo nilitolewa kisu kikali kama wembe. Jasho jembamba lilinidondoka kwapani. Moyo wangu ulidunda kama wa mbwa aliyenusurika kumezwa na chatu. Nikaona heri niyanusuru maisha yangu kwa kuwaelezea ukweli. 'Marafiki zangu' wakafurahia sana habari hiyo.
Punde si punde, walilala usingizi wa pono. Niliwaona kuwa mazuzu. Nilimshukuru Rabuka kwa kunilinda kutokana na kadhia ile. Niliufungua mlango na kuufunga ndi, huku nikiwaacha mazuzu hao wakiwa wamelala kifudifudi.
Giza shadidi lilikuwa limechukua hatamu. Macho hayangeweza kuona upeo wowote. Nilikanyaga popote kenyekenye hadi nyumbani. Wavyele wangu walinipokea kwa mikono miwili kwani hiyo ilikuwa ibura kwao. Hawangeamini
| Ghulamu wale walitiwa mbaroni na kufikishwa wapi | {
"text": [
"Mahakamani"
]
} |
1467_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Msiri wake aliitwa nani | {
"text": [
"Bakari"
]
} |
1467_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Bwana harusi alinukia nini | {
"text": [
"marashi ya Sultan"
]
} |
1467_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Chanda gani huvikwa pete | {
"text": [
"chema"
]
} |
1467_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Siku njema huonekana lini | {
"text": [
"asubuhi"
]
} |
1467_swa | NDOA ZIKO MBINGUNI
Siku hiyo nilirauka che kabla ya giza la kaniki kuisha. Nilipiga bismillahi ili kutoa shukurani za dhati kwa Hababi. Lengo azizi lilikuwa ni kujizatiti kwa udi na uvumba nihudhurie nikahi ya msiri wangu aliyeitwa Bakari. Nilikibwakia kiamshakinywa kilichokuwa kimenoga mathalani embe boribo. Nilifanya halahala, chambilecho wakale chelewa chelewa utampata mwana si wako. Wakati wa mafungulia nyama niling'oa nanga. Niliwapa wavyele wangu mkono wa buriani. Niliwaambia wawe na matumaini nitarudi kwani, mwendea tezi na omo marejeo ni ngamani.
Saa nne ushei nilikuwa nimefika kanisani. Bwana arusi alikuwa amejikwatua kwatukwatu kwa suti ya sufi ya rangi ya nili. Nilipomkaribia alinukia marashi ya Sultan. Bi arusi alikuwa amevaa veli nyeupe pe mithili ya theluji. Pia alionekana mwenye furaha kochokocho.Nyuso za maarusi zilidhihirisha raha waliyokuwa nayo.
Bwana na Bi. harusi walikuwa wakipigana busu hadharani. Kipendacho moyo hula nyama bichi. Ibada ya harusi iliongozwa na kasisi Juma aliyekuwa na maneno mengi kama chiriku. Ndani ya kanisa mlikuwa mmetiwa nakshi, taa za rangi tofauti zilikuwa zikimetameta metumetu. Viambazani vibofu vilikamilisha urembo wa kanisa.
Alianzia kwa kunena kuwa ndoa hufungwa mbinguni. Bi harusi ambaye alikuwa mwana wa mkalimani aliitwa Maria. Alikuwa kipusa wa haiba. Chanda chema huvikwa pete kwani Maria alistahili kuolewa.
Mahubiri yalitoka agano la kale. Kasisi aliwasihi waishi maisha yenye ramsa riboribo. Pia, aliwaombea Mola awe kurunzi ya aushi yao.
Waumini walitulia tuli na kunyamaa ji lau maji mtungini huku wakishiriki ibada. Ibada ilimalizika huku kila insi akiwa ametekwa nyara na uchovu kama wa mchimba mgodi wa dhahabu kutoka nchi ya Azani. Tafrija kabambe ziliandaliwa katika ukumbi wa Peponi.
Tulipofika ukumbini ramuramu ya watu ilikuwa imengojea maarusi kwa hamu na dukuduku. Magari yaliegeshwa kando ya ukumbi. Mseto wa mapochopochopo uliletwa ambao ulikuwa umeandaliwa na wapishi mahiri. Ulikuwa ni biriani, pilau, minofu ya kuku, sarara na kima.
Ulikuwa, umetiwa viungo kochokocho kama mdalasini, karafuu na bizari . Kila aliyehudhuria alihondohondoa mseto huo hadi matumbo yakawa viliba. Waama, siku njema huonekana asubuhi.
| Mbona alipiga bismillahi siku hiyo | {
"text": [
"ili kutoa shukrani za dhati kwa Hababi"
]
} |
1469_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUPATWA NA MAKUU
Kwa kweli methali yenyewe inajieleza kimantiki kuwa mja yeyote asipotilia maanani mambo na maelekezo anayopewa na wakuu wake, bila shaka husafiria baharini. Kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi methali hii ina umuhimu mkubwa maana hutumika kuwashawishi adinasi ambao huwa hawasikilizi wanaoambiwa.
Jane alikuwa kimada mwenye uso jamala. Ingawa wahenga walilonga kuwa ukwara hauhitaji mafuta, yeye alikuwa kinyume. Alikuwa akijitia nakshi na kujitia manukato ili kuwavutia maghulamu kariani. Ama kwa kweli wazembwe na wazembwezi hawakutupwaya pwaya kwa mipwayo ya kuwa waliponadi kuwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.
Kila kaski alirauka bukrata wa ashiye na kujipodoa kidesturi. Baadaye aliondoka huku akiwaacha wavyele wake wakimpkaripia maana hulka zake hazikuwafaa kamwe. Walijaribu juu chini kumpa wosia na wosia wa dhati lakini yote yaligonga pang'ando. Alipoulizwa alijibu "Pilipili usioila yakuashiani ? Wavyele hawa waliudhika sana kwa kuona vile mwana wao wa pekee alivyobadilika. Siku si nyami, waliinua mikono na kumwacha afunzwe na dunia. Hii ni maadamu walilaamali fika kuwa majuto ni mjukuu huja kinyume.
Jane alipong'amua kwamba alikuwa akijitawala alianza kuja na mpenzi wake mpaka manzilini kwao bila kuwasononekea wazazi wake. Kweli, cha kuvunda hakina ubani. Alisahau kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka abu yake aliyekuwa simba licha ya kula chumvi nyingi hivyo alishindwa kuvumilia hayo yafanyike kwake. Alimfukuza mwanawe kabisa na akamuonya arudi atakapoona ametosheka.
Raha na maraha yalimuita naye akaitika. Yeye ni mpenzi wake waliguria mtaa baidi ambako mapenzi yalishika nari. Vyumba vya densi ndivyo vilivyokuwa makao yao. Waliishi hivyo kwa miezi kadhaa bila taswishi yoyote lahaula chochote ambacho kina mwanzo hakika kina ncha.
Siku mosi Jane alikosana na mpenzi wake. Hii ilitokea baada ya yeye kupatwa wakiwa na kimwana mwingine na hapo alifukuzwa kama kijibwa kilichoiba mafuta. Mambo ni kangaja huenda yakaja ndivyo walivyokuli wenye lugha. Jane alitamani dunia ipasuke immeze lakini wapi! Ilimbidi kurejea baitani kwao akidhani kwamba wazee wake walikuwa bunga waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani.
Kurudi kwake kulikuwa ni kama kutoka kufiwako kwenda kuliwako nyama. Abu yake alimsindikiza hadi hospitalini ili apimwe kwa kuwa siha yake ilidhoofika sana. Kupimwa kwake kulikuwa sawia na walivyodhania. Jane alikuwa amebugia ngano ikamtoa paradiso. Fauka ya hayo, alikuwa na ukimwi. Alilia sana lakini yote yalikuwa bure bilashi. Waama maji yakimwagika hayazoleki. Aliyakumbuka mawaidha ya wavyele wake akatia sahihi kuwa asiyesikia la wakuu hufikwa na makuu. | Jane alipatikana na ugonjwa gani | {
"text": [
"ukimwi"
]
} |
1469_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUPATWA NA MAKUU
Kwa kweli methali yenyewe inajieleza kimantiki kuwa mja yeyote asipotilia maanani mambo na maelekezo anayopewa na wakuu wake, bila shaka husafiria baharini. Kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi methali hii ina umuhimu mkubwa maana hutumika kuwashawishi adinasi ambao huwa hawasikilizi wanaoambiwa.
Jane alikuwa kimada mwenye uso jamala. Ingawa wahenga walilonga kuwa ukwara hauhitaji mafuta, yeye alikuwa kinyume. Alikuwa akijitia nakshi na kujitia manukato ili kuwavutia maghulamu kariani. Ama kwa kweli wazembwe na wazembwezi hawakutupwaya pwaya kwa mipwayo ya kuwa waliponadi kuwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.
Kila kaski alirauka bukrata wa ashiye na kujipodoa kidesturi. Baadaye aliondoka huku akiwaacha wavyele wake wakimpkaripia maana hulka zake hazikuwafaa kamwe. Walijaribu juu chini kumpa wosia na wosia wa dhati lakini yote yaligonga pang'ando. Alipoulizwa alijibu "Pilipili usioila yakuashiani ? Wavyele hawa waliudhika sana kwa kuona vile mwana wao wa pekee alivyobadilika. Siku si nyami, waliinua mikono na kumwacha afunzwe na dunia. Hii ni maadamu walilaamali fika kuwa majuto ni mjukuu huja kinyume.
Jane alipong'amua kwamba alikuwa akijitawala alianza kuja na mpenzi wake mpaka manzilini kwao bila kuwasononekea wazazi wake. Kweli, cha kuvunda hakina ubani. Alisahau kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka abu yake aliyekuwa simba licha ya kula chumvi nyingi hivyo alishindwa kuvumilia hayo yafanyike kwake. Alimfukuza mwanawe kabisa na akamuonya arudi atakapoona ametosheka.
Raha na maraha yalimuita naye akaitika. Yeye ni mpenzi wake waliguria mtaa baidi ambako mapenzi yalishika nari. Vyumba vya densi ndivyo vilivyokuwa makao yao. Waliishi hivyo kwa miezi kadhaa bila taswishi yoyote lahaula chochote ambacho kina mwanzo hakika kina ncha.
Siku mosi Jane alikosana na mpenzi wake. Hii ilitokea baada ya yeye kupatwa wakiwa na kimwana mwingine na hapo alifukuzwa kama kijibwa kilichoiba mafuta. Mambo ni kangaja huenda yakaja ndivyo walivyokuli wenye lugha. Jane alitamani dunia ipasuke immeze lakini wapi! Ilimbidi kurejea baitani kwao akidhani kwamba wazee wake walikuwa bunga waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani.
Kurudi kwake kulikuwa ni kama kutoka kufiwako kwenda kuliwako nyama. Abu yake alimsindikiza hadi hospitalini ili apimwe kwa kuwa siha yake ilidhoofika sana. Kupimwa kwake kulikuwa sawia na walivyodhania. Jane alikuwa amebugia ngano ikamtoa paradiso. Fauka ya hayo, alikuwa na ukimwi. Alilia sana lakini yote yalikuwa bure bilashi. Waama maji yakimwagika hayazoleki. Aliyakumbuka mawaidha ya wavyele wake akatia sahihi kuwa asiyesikia la wakuu hufikwa na makuu. | Jane alikosana na nani | {
"text": [
"mpenzi wake"
]
} |
1469_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUPATWA NA MAKUU
Kwa kweli methali yenyewe inajieleza kimantiki kuwa mja yeyote asipotilia maanani mambo na maelekezo anayopewa na wakuu wake, bila shaka husafiria baharini. Kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi methali hii ina umuhimu mkubwa maana hutumika kuwashawishi adinasi ambao huwa hawasikilizi wanaoambiwa.
Jane alikuwa kimada mwenye uso jamala. Ingawa wahenga walilonga kuwa ukwara hauhitaji mafuta, yeye alikuwa kinyume. Alikuwa akijitia nakshi na kujitia manukato ili kuwavutia maghulamu kariani. Ama kwa kweli wazembwe na wazembwezi hawakutupwaya pwaya kwa mipwayo ya kuwa waliponadi kuwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.
Kila kaski alirauka bukrata wa ashiye na kujipodoa kidesturi. Baadaye aliondoka huku akiwaacha wavyele wake wakimpkaripia maana hulka zake hazikuwafaa kamwe. Walijaribu juu chini kumpa wosia na wosia wa dhati lakini yote yaligonga pang'ando. Alipoulizwa alijibu "Pilipili usioila yakuashiani ? Wavyele hawa waliudhika sana kwa kuona vile mwana wao wa pekee alivyobadilika. Siku si nyami, waliinua mikono na kumwacha afunzwe na dunia. Hii ni maadamu walilaamali fika kuwa majuto ni mjukuu huja kinyume.
Jane alipong'amua kwamba alikuwa akijitawala alianza kuja na mpenzi wake mpaka manzilini kwao bila kuwasononekea wazazi wake. Kweli, cha kuvunda hakina ubani. Alisahau kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka abu yake aliyekuwa simba licha ya kula chumvi nyingi hivyo alishindwa kuvumilia hayo yafanyike kwake. Alimfukuza mwanawe kabisa na akamuonya arudi atakapoona ametosheka.
Raha na maraha yalimuita naye akaitika. Yeye ni mpenzi wake waliguria mtaa baidi ambako mapenzi yalishika nari. Vyumba vya densi ndivyo vilivyokuwa makao yao. Waliishi hivyo kwa miezi kadhaa bila taswishi yoyote lahaula chochote ambacho kina mwanzo hakika kina ncha.
Siku mosi Jane alikosana na mpenzi wake. Hii ilitokea baada ya yeye kupatwa wakiwa na kimwana mwingine na hapo alifukuzwa kama kijibwa kilichoiba mafuta. Mambo ni kangaja huenda yakaja ndivyo walivyokuli wenye lugha. Jane alitamani dunia ipasuke immeze lakini wapi! Ilimbidi kurejea baitani kwao akidhani kwamba wazee wake walikuwa bunga waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani.
Kurudi kwake kulikuwa ni kama kutoka kufiwako kwenda kuliwako nyama. Abu yake alimsindikiza hadi hospitalini ili apimwe kwa kuwa siha yake ilidhoofika sana. Kupimwa kwake kulikuwa sawia na walivyodhania. Jane alikuwa amebugia ngano ikamtoa paradiso. Fauka ya hayo, alikuwa na ukimwi. Alilia sana lakini yote yalikuwa bure bilashi. Waama maji yakimwagika hayazoleki. Aliyakumbuka mawaidha ya wavyele wake akatia sahihi kuwa asiyesikia la wakuu hufikwa na makuu. | Nani walimkaripia Jane | {
"text": [
"wavyele wake"
]
} |
Subsets and Splits