Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
1103_swa
Raha tele bei ya unga wa ugali ikishuka Magharibi Walaji ugali katika eneo la Magharibi wamepata afueni baada ya bei ya unga wa mahindi kushuka. Bei zilishuka kufuatia ukosefu wa soko la mahindi kwani kuna bidhaa hiyo tele inayoingizwa nchini kwa bei nafuu kutoka Uganda, wakati ambapo mavuno ya humu nchini pia yamejaa. Wasagaji mahindi katika eneo hilo jana walisema hawana pa kuuza unga wa mamilioni ya pesa kwa sababu hakuna wanunuzi. Hii imewalazimu kuteremsha bei hadi Sh90 kwa mfuko wa kilo mbili, kutoka Sh130 miezi miwili iliyopita. "Tunakumbwa na changamoto kubwa kuuza bidhaa zetu kwa vile wanunuzi ni wachache sokoni ilhali tulitumia fedha nyingi viwandani," akasema Bw Kipngetich Ngetich kutoka kiwanda cha usagaji mahindi cha Ineet, mjini Eldoret. Bei ya mahindi ilishuka kutoka Sh3,200 hadi Sh2,800 kwa kila gunia la kilo 90 katika maeneo mengi ya Magharibi baada ya bidhaa hiyo kuwasili kutoka Uganda kwa bei ya chini. Bidhaa nyinginezo pia zimeanza kushuka bei, kama vile kabeji iliyoshuka hadi Sh1,300 kutoka Sh1,800 na sukuma wiki inayouzwa kwa Sh700 kutoka Sh1,300 kufuatia mavuno tele eneo la Kerio Valley. "Bei za mahindi zinatarajiwa kushuka zaidi kwa sababu kuna mavuno ya bidhaa mbadala, kuwasili kwa mahindi kutoka Uganda, na mavuno yanayotarajiwa katika eneo hilo," akasema Bw Moses Kiptoo, mfanyabiashara wa mahindi Eldoret. Hali hii imetokea wakati ambapo mzozo unatarajiwa kati ya kaunti zilizo chini ya Jumuia ya Kiuchumi Kaskazini mwa Rift Valley (NOREB) na wamiliki wa viwanda vya kibinafsi kuhusu ununuzi wa mahindi kutoka kwa wakulima kupitia kwa madalali.
Nani ni wachache sokoni
{ "text": [ "wanunuzi" ] }
1103_swa
Raha tele bei ya unga wa ugali ikishuka Magharibi Walaji ugali katika eneo la Magharibi wamepata afueni baada ya bei ya unga wa mahindi kushuka. Bei zilishuka kufuatia ukosefu wa soko la mahindi kwani kuna bidhaa hiyo tele inayoingizwa nchini kwa bei nafuu kutoka Uganda, wakati ambapo mavuno ya humu nchini pia yamejaa. Wasagaji mahindi katika eneo hilo jana walisema hawana pa kuuza unga wa mamilioni ya pesa kwa sababu hakuna wanunuzi. Hii imewalazimu kuteremsha bei hadi Sh90 kwa mfuko wa kilo mbili, kutoka Sh130 miezi miwili iliyopita. "Tunakumbwa na changamoto kubwa kuuza bidhaa zetu kwa vile wanunuzi ni wachache sokoni ilhali tulitumia fedha nyingi viwandani," akasema Bw Kipngetich Ngetich kutoka kiwanda cha usagaji mahindi cha Ineet, mjini Eldoret. Bei ya mahindi ilishuka kutoka Sh3,200 hadi Sh2,800 kwa kila gunia la kilo 90 katika maeneo mengi ya Magharibi baada ya bidhaa hiyo kuwasili kutoka Uganda kwa bei ya chini. Bidhaa nyinginezo pia zimeanza kushuka bei, kama vile kabeji iliyoshuka hadi Sh1,300 kutoka Sh1,800 na sukuma wiki inayouzwa kwa Sh700 kutoka Sh1,300 kufuatia mavuno tele eneo la Kerio Valley. "Bei za mahindi zinatarajiwa kushuka zaidi kwa sababu kuna mavuno ya bidhaa mbadala, kuwasili kwa mahindi kutoka Uganda, na mavuno yanayotarajiwa katika eneo hilo," akasema Bw Moses Kiptoo, mfanyabiashara wa mahindi Eldoret. Hali hii imetokea wakati ambapo mzozo unatarajiwa kati ya kaunti zilizo chini ya Jumuia ya Kiuchumi Kaskazini mwa Rift Valley (NOREB) na wamiliki wa viwanda vya kibinafsi kuhusu ununuzi wa mahindi kutoka kwa wakulima kupitia kwa madalali.
Bei za nini zinatarajiwa kushuka zaidi
{ "text": [ "mahindi" ] }
1105_swa
Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuondolewa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome kuchochea uvamizi dhidi ya walimu ambao si wa asili ya eneo hilo. Walimu wamekuwa wakitoroka eneo hilo kutokana na ukosefu wa usalama unaosababishwa na uvamizi wa mara kwa mara wa makundi ya kigaidi. Katibu Mkuu wa Kuppet Akelo Misori, jana alitoa wito kwa viongozi washirikiane na serikali kutatua masuala ya ukosefu wa usalama na kuwazima magaidi badala ya kuwalaumu walimu wanaotorokea usalama wao. "Kama chama tunasikitikia uvamizi wa mara kwa mara dhidi ya walimu ambao si wenyeji wa Kaskazini Mashariki. Wanasiasa wanafaa wapendekeza suluhisho badala ya kuwakashifu,” akasema Bw Misori. Afisa huyo alisema kwamba chama hicho hakitafurahi kushiriki maombolezi ya hata mwalimu mmoja ambaye atafariki kutokana na uvamizi wa makundi ya kigaidi. Isitoshe, Bw Misori aliongeza kwamba chama hicho kinaunga mkono uamuzi wa Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kuhakikisha hali ya usalama kwa walimu inapewa kipaumbele. Mwezi uliopita, TSC iliwahamisha zaidi ya walimu 1,000 ambao si wenyeji wa Wajir, Mandera na Garissa kufutia uvamizi wa kigaidi uliowalenga. Hatua ya TSC ilichochewa na kisa cha Januari 13 ambapo wahalifu waliojihami vikali waliwaua walimu watatu wa kiume katika kituo cha Kamuthe. Hata hivyo, viongozi wa eneo hilo walipinga hatua ya TSC wakisema imelemaza shughuli za masomo katika shule za umma za eneo hilo. Viongozi hao walioongozwa na Kiongozi wa wengi kwenye Bunge la Kitaifa Aden Duale wanataka tume na Waziri wa Elimu Profesa George Magoha wafike mbele ya bunge ili waeleze mikakati waliyoweka kuhakikisha shughuli za masomo zinarejelewa kama kawaida. Bw Duale aliahidi kutafuta suluhu kwa tatizo la walimu wasioasili kuvamiwa na wapiganaji wa Al Shabaab huku magavana Ali Korane (Garissa), Ali Roba (Mandera) wakisema eneo hilo kwa sasa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu. “Tuna watoto walioko shuleni lakini hakuna walimu wa kuwapa mafunzo. Hii ni kuwanyima watoto wetu haki ya kikatiba ya kupata elimu,” akasema Bw Korane.
Chama cha walimu wa shule ya upili na vyuo anuwai huitwaje
{ "text": [ "KUPPET" ] }
1105_swa
Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuondolewa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome kuchochea uvamizi dhidi ya walimu ambao si wa asili ya eneo hilo. Walimu wamekuwa wakitoroka eneo hilo kutokana na ukosefu wa usalama unaosababishwa na uvamizi wa mara kwa mara wa makundi ya kigaidi. Katibu Mkuu wa Kuppet Akelo Misori, jana alitoa wito kwa viongozi washirikiane na serikali kutatua masuala ya ukosefu wa usalama na kuwazima magaidi badala ya kuwalaumu walimu wanaotorokea usalama wao. "Kama chama tunasikitikia uvamizi wa mara kwa mara dhidi ya walimu ambao si wenyeji wa Kaskazini Mashariki. Wanasiasa wanafaa wapendekeza suluhisho badala ya kuwakashifu,” akasema Bw Misori. Afisa huyo alisema kwamba chama hicho hakitafurahi kushiriki maombolezi ya hata mwalimu mmoja ambaye atafariki kutokana na uvamizi wa makundi ya kigaidi. Isitoshe, Bw Misori aliongeza kwamba chama hicho kinaunga mkono uamuzi wa Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kuhakikisha hali ya usalama kwa walimu inapewa kipaumbele. Mwezi uliopita, TSC iliwahamisha zaidi ya walimu 1,000 ambao si wenyeji wa Wajir, Mandera na Garissa kufutia uvamizi wa kigaidi uliowalenga. Hatua ya TSC ilichochewa na kisa cha Januari 13 ambapo wahalifu waliojihami vikali waliwaua walimu watatu wa kiume katika kituo cha Kamuthe. Hata hivyo, viongozi wa eneo hilo walipinga hatua ya TSC wakisema imelemaza shughuli za masomo katika shule za umma za eneo hilo. Viongozi hao walioongozwa na Kiongozi wa wengi kwenye Bunge la Kitaifa Aden Duale wanataka tume na Waziri wa Elimu Profesa George Magoha wafike mbele ya bunge ili waeleze mikakati waliyoweka kuhakikisha shughuli za masomo zinarejelewa kama kawaida. Bw Duale aliahidi kutafuta suluhu kwa tatizo la walimu wasioasili kuvamiwa na wapiganaji wa Al Shabaab huku magavana Ali Korane (Garissa), Ali Roba (Mandera) wakisema eneo hilo kwa sasa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu. “Tuna watoto walioko shuleni lakini hakuna walimu wa kuwapa mafunzo. Hii ni kuwanyima watoto wetu haki ya kikatiba ya kupata elimu,” akasema Bw Korane.
Nani wamekuwa wakitoroka kutokana na ukosefu wa usalama
{ "text": [ "Walimu" ] }
1105_swa
Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuondolewa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome kuchochea uvamizi dhidi ya walimu ambao si wa asili ya eneo hilo. Walimu wamekuwa wakitoroka eneo hilo kutokana na ukosefu wa usalama unaosababishwa na uvamizi wa mara kwa mara wa makundi ya kigaidi. Katibu Mkuu wa Kuppet Akelo Misori, jana alitoa wito kwa viongozi washirikiane na serikali kutatua masuala ya ukosefu wa usalama na kuwazima magaidi badala ya kuwalaumu walimu wanaotorokea usalama wao. "Kama chama tunasikitikia uvamizi wa mara kwa mara dhidi ya walimu ambao si wenyeji wa Kaskazini Mashariki. Wanasiasa wanafaa wapendekeza suluhisho badala ya kuwakashifu,” akasema Bw Misori. Afisa huyo alisema kwamba chama hicho hakitafurahi kushiriki maombolezi ya hata mwalimu mmoja ambaye atafariki kutokana na uvamizi wa makundi ya kigaidi. Isitoshe, Bw Misori aliongeza kwamba chama hicho kinaunga mkono uamuzi wa Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kuhakikisha hali ya usalama kwa walimu inapewa kipaumbele. Mwezi uliopita, TSC iliwahamisha zaidi ya walimu 1,000 ambao si wenyeji wa Wajir, Mandera na Garissa kufutia uvamizi wa kigaidi uliowalenga. Hatua ya TSC ilichochewa na kisa cha Januari 13 ambapo wahalifu waliojihami vikali waliwaua walimu watatu wa kiume katika kituo cha Kamuthe. Hata hivyo, viongozi wa eneo hilo walipinga hatua ya TSC wakisema imelemaza shughuli za masomo katika shule za umma za eneo hilo. Viongozi hao walioongozwa na Kiongozi wa wengi kwenye Bunge la Kitaifa Aden Duale wanataka tume na Waziri wa Elimu Profesa George Magoha wafike mbele ya bunge ili waeleze mikakati waliyoweka kuhakikisha shughuli za masomo zinarejelewa kama kawaida. Bw Duale aliahidi kutafuta suluhu kwa tatizo la walimu wasioasili kuvamiwa na wapiganaji wa Al Shabaab huku magavana Ali Korane (Garissa), Ali Roba (Mandera) wakisema eneo hilo kwa sasa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu. “Tuna watoto walioko shuleni lakini hakuna walimu wa kuwapa mafunzo. Hii ni kuwanyima watoto wetu haki ya kikatiba ya kupata elimu,” akasema Bw Korane.
Katibu wa Kuppet anaitwa nani
{ "text": [ "Akelo Misori" ] }
1105_swa
Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuondolewa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome kuchochea uvamizi dhidi ya walimu ambao si wa asili ya eneo hilo. Walimu wamekuwa wakitoroka eneo hilo kutokana na ukosefu wa usalama unaosababishwa na uvamizi wa mara kwa mara wa makundi ya kigaidi. Katibu Mkuu wa Kuppet Akelo Misori, jana alitoa wito kwa viongozi washirikiane na serikali kutatua masuala ya ukosefu wa usalama na kuwazima magaidi badala ya kuwalaumu walimu wanaotorokea usalama wao. "Kama chama tunasikitikia uvamizi wa mara kwa mara dhidi ya walimu ambao si wenyeji wa Kaskazini Mashariki. Wanasiasa wanafaa wapendekeza suluhisho badala ya kuwakashifu,” akasema Bw Misori. Afisa huyo alisema kwamba chama hicho hakitafurahi kushiriki maombolezi ya hata mwalimu mmoja ambaye atafariki kutokana na uvamizi wa makundi ya kigaidi. Isitoshe, Bw Misori aliongeza kwamba chama hicho kinaunga mkono uamuzi wa Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kuhakikisha hali ya usalama kwa walimu inapewa kipaumbele. Mwezi uliopita, TSC iliwahamisha zaidi ya walimu 1,000 ambao si wenyeji wa Wajir, Mandera na Garissa kufutia uvamizi wa kigaidi uliowalenga. Hatua ya TSC ilichochewa na kisa cha Januari 13 ambapo wahalifu waliojihami vikali waliwaua walimu watatu wa kiume katika kituo cha Kamuthe. Hata hivyo, viongozi wa eneo hilo walipinga hatua ya TSC wakisema imelemaza shughuli za masomo katika shule za umma za eneo hilo. Viongozi hao walioongozwa na Kiongozi wa wengi kwenye Bunge la Kitaifa Aden Duale wanataka tume na Waziri wa Elimu Profesa George Magoha wafike mbele ya bunge ili waeleze mikakati waliyoweka kuhakikisha shughuli za masomo zinarejelewa kama kawaida. Bw Duale aliahidi kutafuta suluhu kwa tatizo la walimu wasioasili kuvamiwa na wapiganaji wa Al Shabaab huku magavana Ali Korane (Garissa), Ali Roba (Mandera) wakisema eneo hilo kwa sasa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu. “Tuna watoto walioko shuleni lakini hakuna walimu wa kuwapa mafunzo. Hii ni kuwanyima watoto wetu haki ya kikatiba ya kupata elimu,” akasema Bw Korane.
Tume ya kuwaajiri walimu inaitwaje
{ "text": [ "TSC" ] }
1105_swa
Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuondolewa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome kuchochea uvamizi dhidi ya walimu ambao si wa asili ya eneo hilo. Walimu wamekuwa wakitoroka eneo hilo kutokana na ukosefu wa usalama unaosababishwa na uvamizi wa mara kwa mara wa makundi ya kigaidi. Katibu Mkuu wa Kuppet Akelo Misori, jana alitoa wito kwa viongozi washirikiane na serikali kutatua masuala ya ukosefu wa usalama na kuwazima magaidi badala ya kuwalaumu walimu wanaotorokea usalama wao. "Kama chama tunasikitikia uvamizi wa mara kwa mara dhidi ya walimu ambao si wenyeji wa Kaskazini Mashariki. Wanasiasa wanafaa wapendekeza suluhisho badala ya kuwakashifu,” akasema Bw Misori. Afisa huyo alisema kwamba chama hicho hakitafurahi kushiriki maombolezi ya hata mwalimu mmoja ambaye atafariki kutokana na uvamizi wa makundi ya kigaidi. Isitoshe, Bw Misori aliongeza kwamba chama hicho kinaunga mkono uamuzi wa Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kuhakikisha hali ya usalama kwa walimu inapewa kipaumbele. Mwezi uliopita, TSC iliwahamisha zaidi ya walimu 1,000 ambao si wenyeji wa Wajir, Mandera na Garissa kufutia uvamizi wa kigaidi uliowalenga. Hatua ya TSC ilichochewa na kisa cha Januari 13 ambapo wahalifu waliojihami vikali waliwaua walimu watatu wa kiume katika kituo cha Kamuthe. Hata hivyo, viongozi wa eneo hilo walipinga hatua ya TSC wakisema imelemaza shughuli za masomo katika shule za umma za eneo hilo. Viongozi hao walioongozwa na Kiongozi wa wengi kwenye Bunge la Kitaifa Aden Duale wanataka tume na Waziri wa Elimu Profesa George Magoha wafike mbele ya bunge ili waeleze mikakati waliyoweka kuhakikisha shughuli za masomo zinarejelewa kama kawaida. Bw Duale aliahidi kutafuta suluhu kwa tatizo la walimu wasioasili kuvamiwa na wapiganaji wa Al Shabaab huku magavana Ali Korane (Garissa), Ali Roba (Mandera) wakisema eneo hilo kwa sasa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu. “Tuna watoto walioko shuleni lakini hakuna walimu wa kuwapa mafunzo. Hii ni kuwanyima watoto wetu haki ya kikatiba ya kupata elimu,” akasema Bw Korane.
Wahalifu waliwauwa walimu watatu wa kiume katika eneo lipi
{ "text": [ "Kamuthe" ] }
1107_swa
Wanaume wasitumie kisingizio cha mavazi kubaka Suala la mavazi wanayovaa wanawake na wasichana imezungumziwa mara nyingi. Wakati mwingi watu na hasa wanaume huwasuta wanawake wanaovalia mavazi mafupi ama yaliyowabana kupindukia wakidai wanawatia kwenye majaribu ya ngono. Wanawake walioko kwenye ulingo wa kisiasa kwa mfano huwa na wakati mgumu sana kwa kuwa kwa kawaida wao huangaliwa na kuhukumiwa kulingana na jinsi wanavyojivaa. Watu huamini ya kwamba wanawake hawa wanafaa kuvaa kwa njia fulani. Pindi tu picha ya mwanamke maarufu inapojitokeza kwenye mitandao ya kijamii akiwa na mavazi yanayofichua sehemu za mwili wake kwa kiwango fulani,utawasikia wengi wakimsuta na kusema kwamba hajiheshimu wala haiheshimu jamii. Swala la ubakaji kwa mfano huweza kwa mara nyingi kuibua hisia tofauti kuhusian na mavazi ya wanawake.Wengi wa wanaume husema kwamba inawezekana kuwa aliyebakwa alivaa kwa namna ya kumshawishi aliyembaka. Hizi ni fikra potovu na za kuudhi sana. Tuchukue mfano wa mwanamke kama vile Akothee ambaye muimbaji maarufu hapa Kenya. Akothee amekuwa katika mstari wa mbele kupigania haki yake ya kuvaa apendavyo kwa kauli ya ‘mavazi yangu chaguo langu’. Katika ukurasa wake wa Instagramu kwa mfano, Akothee kwa kawaida huweka picha akiwa amevalia mavazi mafupi, ambayo wanatamaduni husema ni mafupi kupindukia. Mara nyingi watu humtusi kwa jinsi alivyovaa kwa madai kuwa anachangia utovu wa maadili. Kwa kawaida wapo watu ambao hujihisi kuwa wenye jukumu la kuwahukumu watu kimavazi. Ukweli ni kuwa hakuna sheria yoyote iliyowekwa nchini ya kudhibiti wanawake kimavazi kwani itakuwa nikukiuka haki zao za kufanya maamuzi huru. Hivyo wanawake wana haki ya kufanya chaguo lao na kuvaa wapendavyo. Nchi ya Uganda kwa mfano kuna wakati ambapo kulikuwa na mswada bungeni wa kuweka sheria ya kudhibiti mavazi ya wananwake ili kuwazuia kuvaa nguo fupi. Lilikuwa ni swala lililobua hisia tofauti na wanawake walipinga kwa hali na mali kwa kuandamana na kusema kuwa wana haki ya kuvaa watakacho. Katika ulimwengu wa sasa, ni juu ya wanaume kukubali mabadiliko katika mitindo na kuwaheshimu kwa mavazi wanayovaa. Ni jukumu la wanaume kuwa na udhibiti wa kibinafsi wa hisia zao na kuwaheshimu wanawake wote. Hivyo ni jukumu la wanaume wenye tamaa ya kifisi kujidhibiti. Wabakaji wanaotoa uvaaji wa nguo fupi kama sababu yao kutekeleza kitendo hicho cha uhalifu wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Mwandishi ni mhadisi na mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na vijana.
Mavazi mafupi na yaliyowabana wanawake huwatia wanaume kwenye nini
{ "text": [ "majaribu ya ngono" ] }
1107_swa
Wanaume wasitumie kisingizio cha mavazi kubaka Suala la mavazi wanayovaa wanawake na wasichana imezungumziwa mara nyingi. Wakati mwingi watu na hasa wanaume huwasuta wanawake wanaovalia mavazi mafupi ama yaliyowabana kupindukia wakidai wanawatia kwenye majaribu ya ngono. Wanawake walioko kwenye ulingo wa kisiasa kwa mfano huwa na wakati mgumu sana kwa kuwa kwa kawaida wao huangaliwa na kuhukumiwa kulingana na jinsi wanavyojivaa. Watu huamini ya kwamba wanawake hawa wanafaa kuvaa kwa njia fulani. Pindi tu picha ya mwanamke maarufu inapojitokeza kwenye mitandao ya kijamii akiwa na mavazi yanayofichua sehemu za mwili wake kwa kiwango fulani,utawasikia wengi wakimsuta na kusema kwamba hajiheshimu wala haiheshimu jamii. Swala la ubakaji kwa mfano huweza kwa mara nyingi kuibua hisia tofauti kuhusian na mavazi ya wanawake.Wengi wa wanaume husema kwamba inawezekana kuwa aliyebakwa alivaa kwa namna ya kumshawishi aliyembaka. Hizi ni fikra potovu na za kuudhi sana. Tuchukue mfano wa mwanamke kama vile Akothee ambaye muimbaji maarufu hapa Kenya. Akothee amekuwa katika mstari wa mbele kupigania haki yake ya kuvaa apendavyo kwa kauli ya ‘mavazi yangu chaguo langu’. Katika ukurasa wake wa Instagramu kwa mfano, Akothee kwa kawaida huweka picha akiwa amevalia mavazi mafupi, ambayo wanatamaduni husema ni mafupi kupindukia. Mara nyingi watu humtusi kwa jinsi alivyovaa kwa madai kuwa anachangia utovu wa maadili. Kwa kawaida wapo watu ambao hujihisi kuwa wenye jukumu la kuwahukumu watu kimavazi. Ukweli ni kuwa hakuna sheria yoyote iliyowekwa nchini ya kudhibiti wanawake kimavazi kwani itakuwa nikukiuka haki zao za kufanya maamuzi huru. Hivyo wanawake wana haki ya kufanya chaguo lao na kuvaa wapendavyo. Nchi ya Uganda kwa mfano kuna wakati ambapo kulikuwa na mswada bungeni wa kuweka sheria ya kudhibiti mavazi ya wananwake ili kuwazuia kuvaa nguo fupi. Lilikuwa ni swala lililobua hisia tofauti na wanawake walipinga kwa hali na mali kwa kuandamana na kusema kuwa wana haki ya kuvaa watakacho. Katika ulimwengu wa sasa, ni juu ya wanaume kukubali mabadiliko katika mitindo na kuwaheshimu kwa mavazi wanayovaa. Ni jukumu la wanaume kuwa na udhibiti wa kibinafsi wa hisia zao na kuwaheshimu wanawake wote. Hivyo ni jukumu la wanaume wenye tamaa ya kifisi kujidhibiti. Wabakaji wanaotoa uvaaji wa nguo fupi kama sababu yao kutekeleza kitendo hicho cha uhalifu wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Mwandishi ni mhadisi na mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na vijana.
Ni wanawake gani huwa na wakati mgumu
{ "text": [ "wa kisiasa" ] }
1107_swa
Wanaume wasitumie kisingizio cha mavazi kubaka Suala la mavazi wanayovaa wanawake na wasichana imezungumziwa mara nyingi. Wakati mwingi watu na hasa wanaume huwasuta wanawake wanaovalia mavazi mafupi ama yaliyowabana kupindukia wakidai wanawatia kwenye majaribu ya ngono. Wanawake walioko kwenye ulingo wa kisiasa kwa mfano huwa na wakati mgumu sana kwa kuwa kwa kawaida wao huangaliwa na kuhukumiwa kulingana na jinsi wanavyojivaa. Watu huamini ya kwamba wanawake hawa wanafaa kuvaa kwa njia fulani. Pindi tu picha ya mwanamke maarufu inapojitokeza kwenye mitandao ya kijamii akiwa na mavazi yanayofichua sehemu za mwili wake kwa kiwango fulani,utawasikia wengi wakimsuta na kusema kwamba hajiheshimu wala haiheshimu jamii. Swala la ubakaji kwa mfano huweza kwa mara nyingi kuibua hisia tofauti kuhusian na mavazi ya wanawake.Wengi wa wanaume husema kwamba inawezekana kuwa aliyebakwa alivaa kwa namna ya kumshawishi aliyembaka. Hizi ni fikra potovu na za kuudhi sana. Tuchukue mfano wa mwanamke kama vile Akothee ambaye muimbaji maarufu hapa Kenya. Akothee amekuwa katika mstari wa mbele kupigania haki yake ya kuvaa apendavyo kwa kauli ya ‘mavazi yangu chaguo langu’. Katika ukurasa wake wa Instagramu kwa mfano, Akothee kwa kawaida huweka picha akiwa amevalia mavazi mafupi, ambayo wanatamaduni husema ni mafupi kupindukia. Mara nyingi watu humtusi kwa jinsi alivyovaa kwa madai kuwa anachangia utovu wa maadili. Kwa kawaida wapo watu ambao hujihisi kuwa wenye jukumu la kuwahukumu watu kimavazi. Ukweli ni kuwa hakuna sheria yoyote iliyowekwa nchini ya kudhibiti wanawake kimavazi kwani itakuwa nikukiuka haki zao za kufanya maamuzi huru. Hivyo wanawake wana haki ya kufanya chaguo lao na kuvaa wapendavyo. Nchi ya Uganda kwa mfano kuna wakati ambapo kulikuwa na mswada bungeni wa kuweka sheria ya kudhibiti mavazi ya wananwake ili kuwazuia kuvaa nguo fupi. Lilikuwa ni swala lililobua hisia tofauti na wanawake walipinga kwa hali na mali kwa kuandamana na kusema kuwa wana haki ya kuvaa watakacho. Katika ulimwengu wa sasa, ni juu ya wanaume kukubali mabadiliko katika mitindo na kuwaheshimu kwa mavazi wanayovaa. Ni jukumu la wanaume kuwa na udhibiti wa kibinafsi wa hisia zao na kuwaheshimu wanawake wote. Hivyo ni jukumu la wanaume wenye tamaa ya kifisi kujidhibiti. Wabakaji wanaotoa uvaaji wa nguo fupi kama sababu yao kutekeleza kitendo hicho cha uhalifu wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Mwandishi ni mhadisi na mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na vijana.
Akothee ni nani
{ "text": [ "mwimbaji maaruu" ] }
1107_swa
Wanaume wasitumie kisingizio cha mavazi kubaka Suala la mavazi wanayovaa wanawake na wasichana imezungumziwa mara nyingi. Wakati mwingi watu na hasa wanaume huwasuta wanawake wanaovalia mavazi mafupi ama yaliyowabana kupindukia wakidai wanawatia kwenye majaribu ya ngono. Wanawake walioko kwenye ulingo wa kisiasa kwa mfano huwa na wakati mgumu sana kwa kuwa kwa kawaida wao huangaliwa na kuhukumiwa kulingana na jinsi wanavyojivaa. Watu huamini ya kwamba wanawake hawa wanafaa kuvaa kwa njia fulani. Pindi tu picha ya mwanamke maarufu inapojitokeza kwenye mitandao ya kijamii akiwa na mavazi yanayofichua sehemu za mwili wake kwa kiwango fulani,utawasikia wengi wakimsuta na kusema kwamba hajiheshimu wala haiheshimu jamii. Swala la ubakaji kwa mfano huweza kwa mara nyingi kuibua hisia tofauti kuhusian na mavazi ya wanawake.Wengi wa wanaume husema kwamba inawezekana kuwa aliyebakwa alivaa kwa namna ya kumshawishi aliyembaka. Hizi ni fikra potovu na za kuudhi sana. Tuchukue mfano wa mwanamke kama vile Akothee ambaye muimbaji maarufu hapa Kenya. Akothee amekuwa katika mstari wa mbele kupigania haki yake ya kuvaa apendavyo kwa kauli ya ‘mavazi yangu chaguo langu’. Katika ukurasa wake wa Instagramu kwa mfano, Akothee kwa kawaida huweka picha akiwa amevalia mavazi mafupi, ambayo wanatamaduni husema ni mafupi kupindukia. Mara nyingi watu humtusi kwa jinsi alivyovaa kwa madai kuwa anachangia utovu wa maadili. Kwa kawaida wapo watu ambao hujihisi kuwa wenye jukumu la kuwahukumu watu kimavazi. Ukweli ni kuwa hakuna sheria yoyote iliyowekwa nchini ya kudhibiti wanawake kimavazi kwani itakuwa nikukiuka haki zao za kufanya maamuzi huru. Hivyo wanawake wana haki ya kufanya chaguo lao na kuvaa wapendavyo. Nchi ya Uganda kwa mfano kuna wakati ambapo kulikuwa na mswada bungeni wa kuweka sheria ya kudhibiti mavazi ya wananwake ili kuwazuia kuvaa nguo fupi. Lilikuwa ni swala lililobua hisia tofauti na wanawake walipinga kwa hali na mali kwa kuandamana na kusema kuwa wana haki ya kuvaa watakacho. Katika ulimwengu wa sasa, ni juu ya wanaume kukubali mabadiliko katika mitindo na kuwaheshimu kwa mavazi wanayovaa. Ni jukumu la wanaume kuwa na udhibiti wa kibinafsi wa hisia zao na kuwaheshimu wanawake wote. Hivyo ni jukumu la wanaume wenye tamaa ya kifisi kujidhibiti. Wabakaji wanaotoa uvaaji wa nguo fupi kama sababu yao kutekeleza kitendo hicho cha uhalifu wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Mwandishi ni mhadisi na mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na vijana.
Akothee amekua akipigania haki yake ya nini
{ "text": [ "kuvaa apendavyo" ] }
1107_swa
Wanaume wasitumie kisingizio cha mavazi kubaka Suala la mavazi wanayovaa wanawake na wasichana imezungumziwa mara nyingi. Wakati mwingi watu na hasa wanaume huwasuta wanawake wanaovalia mavazi mafupi ama yaliyowabana kupindukia wakidai wanawatia kwenye majaribu ya ngono. Wanawake walioko kwenye ulingo wa kisiasa kwa mfano huwa na wakati mgumu sana kwa kuwa kwa kawaida wao huangaliwa na kuhukumiwa kulingana na jinsi wanavyojivaa. Watu huamini ya kwamba wanawake hawa wanafaa kuvaa kwa njia fulani. Pindi tu picha ya mwanamke maarufu inapojitokeza kwenye mitandao ya kijamii akiwa na mavazi yanayofichua sehemu za mwili wake kwa kiwango fulani,utawasikia wengi wakimsuta na kusema kwamba hajiheshimu wala haiheshimu jamii. Swala la ubakaji kwa mfano huweza kwa mara nyingi kuibua hisia tofauti kuhusian na mavazi ya wanawake.Wengi wa wanaume husema kwamba inawezekana kuwa aliyebakwa alivaa kwa namna ya kumshawishi aliyembaka. Hizi ni fikra potovu na za kuudhi sana. Tuchukue mfano wa mwanamke kama vile Akothee ambaye muimbaji maarufu hapa Kenya. Akothee amekuwa katika mstari wa mbele kupigania haki yake ya kuvaa apendavyo kwa kauli ya ‘mavazi yangu chaguo langu’. Katika ukurasa wake wa Instagramu kwa mfano, Akothee kwa kawaida huweka picha akiwa amevalia mavazi mafupi, ambayo wanatamaduni husema ni mafupi kupindukia. Mara nyingi watu humtusi kwa jinsi alivyovaa kwa madai kuwa anachangia utovu wa maadili. Kwa kawaida wapo watu ambao hujihisi kuwa wenye jukumu la kuwahukumu watu kimavazi. Ukweli ni kuwa hakuna sheria yoyote iliyowekwa nchini ya kudhibiti wanawake kimavazi kwani itakuwa nikukiuka haki zao za kufanya maamuzi huru. Hivyo wanawake wana haki ya kufanya chaguo lao na kuvaa wapendavyo. Nchi ya Uganda kwa mfano kuna wakati ambapo kulikuwa na mswada bungeni wa kuweka sheria ya kudhibiti mavazi ya wananwake ili kuwazuia kuvaa nguo fupi. Lilikuwa ni swala lililobua hisia tofauti na wanawake walipinga kwa hali na mali kwa kuandamana na kusema kuwa wana haki ya kuvaa watakacho. Katika ulimwengu wa sasa, ni juu ya wanaume kukubali mabadiliko katika mitindo na kuwaheshimu kwa mavazi wanayovaa. Ni jukumu la wanaume kuwa na udhibiti wa kibinafsi wa hisia zao na kuwaheshimu wanawake wote. Hivyo ni jukumu la wanaume wenye tamaa ya kifisi kujidhibiti. Wabakaji wanaotoa uvaaji wa nguo fupi kama sababu yao kutekeleza kitendo hicho cha uhalifu wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Mwandishi ni mhadisi na mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na vijana.
Akothee huweka picha instagramu akiwa amevalia ninni
{ "text": [ "mavazi mafupi" ] }
1108_swa
Kilimo cha Kahawa na Mihogo Familia ya Muchemi imeshiriki kilimo cha kahawa katika eneo la Sugoi lililo maarufu kwa mahindi tangu 1984 Kwao kahawa ndiyo lulu, achia mbali mahindi Huku akiwa amevalia nguo yenye mistari na pua yake imezibwa, anatembea kutoka mti mmoja hadi mwingine akikagua shamba lake kubwa katika eneo la Sugoi, kaunti ya Uasin Gishu. Siku hii, anakagua mimea wakati ambapo wafanyakazi wake wanaendesha shughuli ya kunyunyiza dawa katika mimea hiyo katika sehemu ya shamba lao la ukubwa wa ekari 52. Kwa ujumla wanamiliki shamba la ekari 72 katika eneo hilo. Mama Mary Muchemi, 59, na mumewe Dancan Muchemi wamekuwa wakiendesha kilimo cha kahawa katika eneo hili amabalo ni maarufu kwa kilimo cha mahindi kuanzia 1984. Tofauti ya wakulima wengine wa eneo hili, waliamua kugura kilimo cha mahindi baada ya kupata hasara kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo. “Wakati huo, kama ilivyo sasa, bei ya mahindi ilikuwa imeshuka kwa kiwango kikubwa mno huku gharama ya pembejeo ikipanda. Bei ya mahindi ilikuwa Sh3,000 kwa gunia moja la kilo 90. Hii ndio maana tuliamua kujaribu bahati yetu katika kilimo cha kahawa,”anasema Bi Muchemi. Hata hivyo, mkulima huyu anasema waliamua kuendelea na kilimo cha mahindi katika eneo la ukubwa wa ekari 20 katika shamba zima wanalomiliki. “Mahindi tunayozalisha katika sehemu hii huwa ni ya chakula tu. Na mavuno yaliwa mazuri zaidi sisi huuza magunia kadhaa ili kupata pesa za matumizi,” Mama Muchemi anaeleza. Wakulima hawa kwanza walianza kwa kupanda kahawa aina ya SL28 katika ekari sita za kwanza mnamo 1984. Waliongeza mimea na kahama mwaka baada ya mwingine na ilipotimu mwaka 2005 walikuwa wamepanda katika sehemu yenye ukubwa wa ekari 52. “Kahawa ni nzuri kwa sababu ukiipanda kwa mara ya kwanza, huhitaji kupanda kwa mara nyingi kama vile mahindi au mimea mingine. Kile unafanya ni kukata matawi yake kisha inaanza kuzalisha matunda katika msimu mpya. Pia wafanyikazi wetu hunyunyuzia dawa za kuangamiza wadudu na magugu,” anasema Bi. Muchemi. Kutoka mkahawa mmoja, wakulima hawa hupata kilo 30 za buni (berries). Kwa jumla wao huvuna kati ya tani 30 na 50 za buni kutoka shamba hilo. Baada ya kuvunwa, kahawa huwekwa katika gredi saba kulingana na ukubwa wa buni. Kwa mfano, gredi ya ‘AA’ au ‘AB’ huuzwa kwa Sh200 kwa kilo moja. Na gredi ya chini kabisa ambayo ni ile ya ‘E’ huuzwa kwa Sh70 kwa kilo moja, kwa mujibu na viwango vya bei ya kahawa katika soko la kimataifa. Bi Muchemi anasema mavuno yakiwa mazuri zaidi, wanaweza kutia kibindoni takriban Sh300,000 kutoka kwa eneo la ukubwa wa ekari moja. "Huwa tunauza kahawa yetu katika kiwanda cha kahawa kilichoko eneo la Rupa katika mji wa Eldoret.Wao hununua mazao yetu kila mara," anasema Mary. Lakini baada ya wakulima hawa kung'amua kuwa kahawa aina ya SL28 huathiriwa zaidi na magonjwa, waliamua kuanza kupanda kahawa aina ya Ruiru 11 ambayo hustahimili ugonjwa. Ili kupanda mmea mmoja wa kahawa, wakulima hawa hutumia kilo 18 ya mbolea ya kiasili iliyochanganywa na mchanga na kuwekwa ndani ya shimo la kina cha futi tatu. Na baada ya miaka mitatu mti wa kahawa huwa umeanza kuzalisha buni (berries) tayari kuvunwa. Nafasi ya upana wa futi tisa huachwa kutoka shimo moja hadi jingine. “Baada ya miaka mitano hadi saba huwa tunaanza kukata miti ya zamani ili kutoa nafasi kwa upanzi wa mmea mpya. Hii ni kwa sababu mti wa kahawa unapozeeka huwa unapata magonjwa kwa haraka,” Mary anasema kuwa wameajiri wafanyikazi 40 katika shamba lao. Anasema kuwa ili kupata kiwango cha juu cha mavuno, matawi ya miti ya kahawa hukatwa (pruning) katika miezi ya Februari na Machi. “Kando na hayo, wafanyakazi wetu huondoa magugu shambani, hunyunyuzia dawa na kuangamiza magonjwa mbali na kutilia mimea mbolea ya kisasa aina ya Calcium Ammonium Nitrate (CAN). Bi Muchemi anasema kwamba baadhi ya changamoto ambazo wao hukumbwa nazo ni magonjwa kama yanayoathiri matawi ya kahawa (leaf rust) na buni inayojulikana kwa kimombo kama ( Coffee Berry Disease- CBD) ambayo hushambulia mimea. “Mkahawa unapoathiriwa na ugonjwa wa CBD, buni zake hubadilika rangi na kuwa nyeusi badala ya rangi ya kijani au nyekundu. Kisha zinaanza kudondoka. Kwa upande mwingine leaf rust hufanya matawi kunyauka na hivyo kukosa kuzalisha buni”, anaeleza meneja wa shamba Robert Ndungu. Naibu mkurugenzi msimamizi wa kitengo cha kilimo cha kilimo cha Kahawa katika kaunti ya Uasin Gishu Luka Rotich anawashauri wakulima kujifunza mbinu bora za utunzaji wa kilimo cha kahawa ili waimarishe mavuno yao. Anawashauri wakulima kutoka maeneo mengine nchini kuwa bei ya kahawa ingali nzuri katika masomo ya kimataifa na hivyo kuna haja ya kuendeleza kilimo hicho.
Kwa nini bwana na bi Muchemi waliachana na kilimo cha mahindi?
{ "text": [ "Walipata hasara kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo" ] }
1108_swa
Kilimo cha Kahawa na Mihogo Familia ya Muchemi imeshiriki kilimo cha kahawa katika eneo la Sugoi lililo maarufu kwa mahindi tangu 1984 Kwao kahawa ndiyo lulu, achia mbali mahindi Huku akiwa amevalia nguo yenye mistari na pua yake imezibwa, anatembea kutoka mti mmoja hadi mwingine akikagua shamba lake kubwa katika eneo la Sugoi, kaunti ya Uasin Gishu. Siku hii, anakagua mimea wakati ambapo wafanyakazi wake wanaendesha shughuli ya kunyunyiza dawa katika mimea hiyo katika sehemu ya shamba lao la ukubwa wa ekari 52. Kwa ujumla wanamiliki shamba la ekari 72 katika eneo hilo. Mama Mary Muchemi, 59, na mumewe Dancan Muchemi wamekuwa wakiendesha kilimo cha kahawa katika eneo hili amabalo ni maarufu kwa kilimo cha mahindi kuanzia 1984. Tofauti ya wakulima wengine wa eneo hili, waliamua kugura kilimo cha mahindi baada ya kupata hasara kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo. “Wakati huo, kama ilivyo sasa, bei ya mahindi ilikuwa imeshuka kwa kiwango kikubwa mno huku gharama ya pembejeo ikipanda. Bei ya mahindi ilikuwa Sh3,000 kwa gunia moja la kilo 90. Hii ndio maana tuliamua kujaribu bahati yetu katika kilimo cha kahawa,”anasema Bi Muchemi. Hata hivyo, mkulima huyu anasema waliamua kuendelea na kilimo cha mahindi katika eneo la ukubwa wa ekari 20 katika shamba zima wanalomiliki. “Mahindi tunayozalisha katika sehemu hii huwa ni ya chakula tu. Na mavuno yaliwa mazuri zaidi sisi huuza magunia kadhaa ili kupata pesa za matumizi,” Mama Muchemi anaeleza. Wakulima hawa kwanza walianza kwa kupanda kahawa aina ya SL28 katika ekari sita za kwanza mnamo 1984. Waliongeza mimea na kahama mwaka baada ya mwingine na ilipotimu mwaka 2005 walikuwa wamepanda katika sehemu yenye ukubwa wa ekari 52. “Kahawa ni nzuri kwa sababu ukiipanda kwa mara ya kwanza, huhitaji kupanda kwa mara nyingi kama vile mahindi au mimea mingine. Kile unafanya ni kukata matawi yake kisha inaanza kuzalisha matunda katika msimu mpya. Pia wafanyikazi wetu hunyunyuzia dawa za kuangamiza wadudu na magugu,” anasema Bi. Muchemi. Kutoka mkahawa mmoja, wakulima hawa hupata kilo 30 za buni (berries). Kwa jumla wao huvuna kati ya tani 30 na 50 za buni kutoka shamba hilo. Baada ya kuvunwa, kahawa huwekwa katika gredi saba kulingana na ukubwa wa buni. Kwa mfano, gredi ya ‘AA’ au ‘AB’ huuzwa kwa Sh200 kwa kilo moja. Na gredi ya chini kabisa ambayo ni ile ya ‘E’ huuzwa kwa Sh70 kwa kilo moja, kwa mujibu na viwango vya bei ya kahawa katika soko la kimataifa. Bi Muchemi anasema mavuno yakiwa mazuri zaidi, wanaweza kutia kibindoni takriban Sh300,000 kutoka kwa eneo la ukubwa wa ekari moja. "Huwa tunauza kahawa yetu katika kiwanda cha kahawa kilichoko eneo la Rupa katika mji wa Eldoret.Wao hununua mazao yetu kila mara," anasema Mary. Lakini baada ya wakulima hawa kung'amua kuwa kahawa aina ya SL28 huathiriwa zaidi na magonjwa, waliamua kuanza kupanda kahawa aina ya Ruiru 11 ambayo hustahimili ugonjwa. Ili kupanda mmea mmoja wa kahawa, wakulima hawa hutumia kilo 18 ya mbolea ya kiasili iliyochanganywa na mchanga na kuwekwa ndani ya shimo la kina cha futi tatu. Na baada ya miaka mitatu mti wa kahawa huwa umeanza kuzalisha buni (berries) tayari kuvunwa. Nafasi ya upana wa futi tisa huachwa kutoka shimo moja hadi jingine. “Baada ya miaka mitano hadi saba huwa tunaanza kukata miti ya zamani ili kutoa nafasi kwa upanzi wa mmea mpya. Hii ni kwa sababu mti wa kahawa unapozeeka huwa unapata magonjwa kwa haraka,” Mary anasema kuwa wameajiri wafanyikazi 40 katika shamba lao. Anasema kuwa ili kupata kiwango cha juu cha mavuno, matawi ya miti ya kahawa hukatwa (pruning) katika miezi ya Februari na Machi. “Kando na hayo, wafanyakazi wetu huondoa magugu shambani, hunyunyuzia dawa na kuangamiza magonjwa mbali na kutilia mimea mbolea ya kisasa aina ya Calcium Ammonium Nitrate (CAN). Bi Muchemi anasema kwamba baadhi ya changamoto ambazo wao hukumbwa nazo ni magonjwa kama yanayoathiri matawi ya kahawa (leaf rust) na buni inayojulikana kwa kimombo kama ( Coffee Berry Disease- CBD) ambayo hushambulia mimea. “Mkahawa unapoathiriwa na ugonjwa wa CBD, buni zake hubadilika rangi na kuwa nyeusi badala ya rangi ya kijani au nyekundu. Kisha zinaanza kudondoka. Kwa upande mwingine leaf rust hufanya matawi kunyauka na hivyo kukosa kuzalisha buni”, anaeleza meneja wa shamba Robert Ndungu. Naibu mkurugenzi msimamizi wa kitengo cha kilimo cha kilimo cha Kahawa katika kaunti ya Uasin Gishu Luka Rotich anawashauri wakulima kujifunza mbinu bora za utunzaji wa kilimo cha kahawa ili waimarishe mavuno yao. Anawashauri wakulima kutoka maeneo mengine nchini kuwa bei ya kahawa ingali nzuri katika masomo ya kimataifa na hivyo kuna haja ya kuendeleza kilimo hicho.
Bwana Muchemi anamiliki shamba ekari ngapi?
{ "text": [ "72" ] }
1108_swa
Kilimo cha Kahawa na Mihogo Familia ya Muchemi imeshiriki kilimo cha kahawa katika eneo la Sugoi lililo maarufu kwa mahindi tangu 1984 Kwao kahawa ndiyo lulu, achia mbali mahindi Huku akiwa amevalia nguo yenye mistari na pua yake imezibwa, anatembea kutoka mti mmoja hadi mwingine akikagua shamba lake kubwa katika eneo la Sugoi, kaunti ya Uasin Gishu. Siku hii, anakagua mimea wakati ambapo wafanyakazi wake wanaendesha shughuli ya kunyunyiza dawa katika mimea hiyo katika sehemu ya shamba lao la ukubwa wa ekari 52. Kwa ujumla wanamiliki shamba la ekari 72 katika eneo hilo. Mama Mary Muchemi, 59, na mumewe Dancan Muchemi wamekuwa wakiendesha kilimo cha kahawa katika eneo hili amabalo ni maarufu kwa kilimo cha mahindi kuanzia 1984. Tofauti ya wakulima wengine wa eneo hili, waliamua kugura kilimo cha mahindi baada ya kupata hasara kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo. “Wakati huo, kama ilivyo sasa, bei ya mahindi ilikuwa imeshuka kwa kiwango kikubwa mno huku gharama ya pembejeo ikipanda. Bei ya mahindi ilikuwa Sh3,000 kwa gunia moja la kilo 90. Hii ndio maana tuliamua kujaribu bahati yetu katika kilimo cha kahawa,”anasema Bi Muchemi. Hata hivyo, mkulima huyu anasema waliamua kuendelea na kilimo cha mahindi katika eneo la ukubwa wa ekari 20 katika shamba zima wanalomiliki. “Mahindi tunayozalisha katika sehemu hii huwa ni ya chakula tu. Na mavuno yaliwa mazuri zaidi sisi huuza magunia kadhaa ili kupata pesa za matumizi,” Mama Muchemi anaeleza. Wakulima hawa kwanza walianza kwa kupanda kahawa aina ya SL28 katika ekari sita za kwanza mnamo 1984. Waliongeza mimea na kahama mwaka baada ya mwingine na ilipotimu mwaka 2005 walikuwa wamepanda katika sehemu yenye ukubwa wa ekari 52. “Kahawa ni nzuri kwa sababu ukiipanda kwa mara ya kwanza, huhitaji kupanda kwa mara nyingi kama vile mahindi au mimea mingine. Kile unafanya ni kukata matawi yake kisha inaanza kuzalisha matunda katika msimu mpya. Pia wafanyikazi wetu hunyunyuzia dawa za kuangamiza wadudu na magugu,” anasema Bi. Muchemi. Kutoka mkahawa mmoja, wakulima hawa hupata kilo 30 za buni (berries). Kwa jumla wao huvuna kati ya tani 30 na 50 za buni kutoka shamba hilo. Baada ya kuvunwa, kahawa huwekwa katika gredi saba kulingana na ukubwa wa buni. Kwa mfano, gredi ya ‘AA’ au ‘AB’ huuzwa kwa Sh200 kwa kilo moja. Na gredi ya chini kabisa ambayo ni ile ya ‘E’ huuzwa kwa Sh70 kwa kilo moja, kwa mujibu na viwango vya bei ya kahawa katika soko la kimataifa. Bi Muchemi anasema mavuno yakiwa mazuri zaidi, wanaweza kutia kibindoni takriban Sh300,000 kutoka kwa eneo la ukubwa wa ekari moja. "Huwa tunauza kahawa yetu katika kiwanda cha kahawa kilichoko eneo la Rupa katika mji wa Eldoret.Wao hununua mazao yetu kila mara," anasema Mary. Lakini baada ya wakulima hawa kung'amua kuwa kahawa aina ya SL28 huathiriwa zaidi na magonjwa, waliamua kuanza kupanda kahawa aina ya Ruiru 11 ambayo hustahimili ugonjwa. Ili kupanda mmea mmoja wa kahawa, wakulima hawa hutumia kilo 18 ya mbolea ya kiasili iliyochanganywa na mchanga na kuwekwa ndani ya shimo la kina cha futi tatu. Na baada ya miaka mitatu mti wa kahawa huwa umeanza kuzalisha buni (berries) tayari kuvunwa. Nafasi ya upana wa futi tisa huachwa kutoka shimo moja hadi jingine. “Baada ya miaka mitano hadi saba huwa tunaanza kukata miti ya zamani ili kutoa nafasi kwa upanzi wa mmea mpya. Hii ni kwa sababu mti wa kahawa unapozeeka huwa unapata magonjwa kwa haraka,” Mary anasema kuwa wameajiri wafanyikazi 40 katika shamba lao. Anasema kuwa ili kupata kiwango cha juu cha mavuno, matawi ya miti ya kahawa hukatwa (pruning) katika miezi ya Februari na Machi. “Kando na hayo, wafanyakazi wetu huondoa magugu shambani, hunyunyuzia dawa na kuangamiza magonjwa mbali na kutilia mimea mbolea ya kisasa aina ya Calcium Ammonium Nitrate (CAN). Bi Muchemi anasema kwamba baadhi ya changamoto ambazo wao hukumbwa nazo ni magonjwa kama yanayoathiri matawi ya kahawa (leaf rust) na buni inayojulikana kwa kimombo kama ( Coffee Berry Disease- CBD) ambayo hushambulia mimea. “Mkahawa unapoathiriwa na ugonjwa wa CBD, buni zake hubadilika rangi na kuwa nyeusi badala ya rangi ya kijani au nyekundu. Kisha zinaanza kudondoka. Kwa upande mwingine leaf rust hufanya matawi kunyauka na hivyo kukosa kuzalisha buni”, anaeleza meneja wa shamba Robert Ndungu. Naibu mkurugenzi msimamizi wa kitengo cha kilimo cha kilimo cha Kahawa katika kaunti ya Uasin Gishu Luka Rotich anawashauri wakulima kujifunza mbinu bora za utunzaji wa kilimo cha kahawa ili waimarishe mavuno yao. Anawashauri wakulima kutoka maeneo mengine nchini kuwa bei ya kahawa ingali nzuri katika masomo ya kimataifa na hivyo kuna haja ya kuendeleza kilimo hicho.
Ni gharama ya bidhaa ipi ilikuwa imepanda?
{ "text": [ "Pembejeo" ] }
1108_swa
Kilimo cha Kahawa na Mihogo Familia ya Muchemi imeshiriki kilimo cha kahawa katika eneo la Sugoi lililo maarufu kwa mahindi tangu 1984 Kwao kahawa ndiyo lulu, achia mbali mahindi Huku akiwa amevalia nguo yenye mistari na pua yake imezibwa, anatembea kutoka mti mmoja hadi mwingine akikagua shamba lake kubwa katika eneo la Sugoi, kaunti ya Uasin Gishu. Siku hii, anakagua mimea wakati ambapo wafanyakazi wake wanaendesha shughuli ya kunyunyiza dawa katika mimea hiyo katika sehemu ya shamba lao la ukubwa wa ekari 52. Kwa ujumla wanamiliki shamba la ekari 72 katika eneo hilo. Mama Mary Muchemi, 59, na mumewe Dancan Muchemi wamekuwa wakiendesha kilimo cha kahawa katika eneo hili amabalo ni maarufu kwa kilimo cha mahindi kuanzia 1984. Tofauti ya wakulima wengine wa eneo hili, waliamua kugura kilimo cha mahindi baada ya kupata hasara kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo. “Wakati huo, kama ilivyo sasa, bei ya mahindi ilikuwa imeshuka kwa kiwango kikubwa mno huku gharama ya pembejeo ikipanda. Bei ya mahindi ilikuwa Sh3,000 kwa gunia moja la kilo 90. Hii ndio maana tuliamua kujaribu bahati yetu katika kilimo cha kahawa,”anasema Bi Muchemi. Hata hivyo, mkulima huyu anasema waliamua kuendelea na kilimo cha mahindi katika eneo la ukubwa wa ekari 20 katika shamba zima wanalomiliki. “Mahindi tunayozalisha katika sehemu hii huwa ni ya chakula tu. Na mavuno yaliwa mazuri zaidi sisi huuza magunia kadhaa ili kupata pesa za matumizi,” Mama Muchemi anaeleza. Wakulima hawa kwanza walianza kwa kupanda kahawa aina ya SL28 katika ekari sita za kwanza mnamo 1984. Waliongeza mimea na kahama mwaka baada ya mwingine na ilipotimu mwaka 2005 walikuwa wamepanda katika sehemu yenye ukubwa wa ekari 52. “Kahawa ni nzuri kwa sababu ukiipanda kwa mara ya kwanza, huhitaji kupanda kwa mara nyingi kama vile mahindi au mimea mingine. Kile unafanya ni kukata matawi yake kisha inaanza kuzalisha matunda katika msimu mpya. Pia wafanyikazi wetu hunyunyuzia dawa za kuangamiza wadudu na magugu,” anasema Bi. Muchemi. Kutoka mkahawa mmoja, wakulima hawa hupata kilo 30 za buni (berries). Kwa jumla wao huvuna kati ya tani 30 na 50 za buni kutoka shamba hilo. Baada ya kuvunwa, kahawa huwekwa katika gredi saba kulingana na ukubwa wa buni. Kwa mfano, gredi ya ‘AA’ au ‘AB’ huuzwa kwa Sh200 kwa kilo moja. Na gredi ya chini kabisa ambayo ni ile ya ‘E’ huuzwa kwa Sh70 kwa kilo moja, kwa mujibu na viwango vya bei ya kahawa katika soko la kimataifa. Bi Muchemi anasema mavuno yakiwa mazuri zaidi, wanaweza kutia kibindoni takriban Sh300,000 kutoka kwa eneo la ukubwa wa ekari moja. "Huwa tunauza kahawa yetu katika kiwanda cha kahawa kilichoko eneo la Rupa katika mji wa Eldoret.Wao hununua mazao yetu kila mara," anasema Mary. Lakini baada ya wakulima hawa kung'amua kuwa kahawa aina ya SL28 huathiriwa zaidi na magonjwa, waliamua kuanza kupanda kahawa aina ya Ruiru 11 ambayo hustahimili ugonjwa. Ili kupanda mmea mmoja wa kahawa, wakulima hawa hutumia kilo 18 ya mbolea ya kiasili iliyochanganywa na mchanga na kuwekwa ndani ya shimo la kina cha futi tatu. Na baada ya miaka mitatu mti wa kahawa huwa umeanza kuzalisha buni (berries) tayari kuvunwa. Nafasi ya upana wa futi tisa huachwa kutoka shimo moja hadi jingine. “Baada ya miaka mitano hadi saba huwa tunaanza kukata miti ya zamani ili kutoa nafasi kwa upanzi wa mmea mpya. Hii ni kwa sababu mti wa kahawa unapozeeka huwa unapata magonjwa kwa haraka,” Mary anasema kuwa wameajiri wafanyikazi 40 katika shamba lao. Anasema kuwa ili kupata kiwango cha juu cha mavuno, matawi ya miti ya kahawa hukatwa (pruning) katika miezi ya Februari na Machi. “Kando na hayo, wafanyakazi wetu huondoa magugu shambani, hunyunyuzia dawa na kuangamiza magonjwa mbali na kutilia mimea mbolea ya kisasa aina ya Calcium Ammonium Nitrate (CAN). Bi Muchemi anasema kwamba baadhi ya changamoto ambazo wao hukumbwa nazo ni magonjwa kama yanayoathiri matawi ya kahawa (leaf rust) na buni inayojulikana kwa kimombo kama ( Coffee Berry Disease- CBD) ambayo hushambulia mimea. “Mkahawa unapoathiriwa na ugonjwa wa CBD, buni zake hubadilika rangi na kuwa nyeusi badala ya rangi ya kijani au nyekundu. Kisha zinaanza kudondoka. Kwa upande mwingine leaf rust hufanya matawi kunyauka na hivyo kukosa kuzalisha buni”, anaeleza meneja wa shamba Robert Ndungu. Naibu mkurugenzi msimamizi wa kitengo cha kilimo cha kilimo cha Kahawa katika kaunti ya Uasin Gishu Luka Rotich anawashauri wakulima kujifunza mbinu bora za utunzaji wa kilimo cha kahawa ili waimarishe mavuno yao. Anawashauri wakulima kutoka maeneo mengine nchini kuwa bei ya kahawa ingali nzuri katika masomo ya kimataifa na hivyo kuna haja ya kuendeleza kilimo hicho.
Familia ya Muchemi ilikuwa ikiishi wapi?
{ "text": [ "Sugoi, kaunit ya Uasin Gishu" ] }
1108_swa
Kilimo cha Kahawa na Mihogo Familia ya Muchemi imeshiriki kilimo cha kahawa katika eneo la Sugoi lililo maarufu kwa mahindi tangu 1984 Kwao kahawa ndiyo lulu, achia mbali mahindi Huku akiwa amevalia nguo yenye mistari na pua yake imezibwa, anatembea kutoka mti mmoja hadi mwingine akikagua shamba lake kubwa katika eneo la Sugoi, kaunti ya Uasin Gishu. Siku hii, anakagua mimea wakati ambapo wafanyakazi wake wanaendesha shughuli ya kunyunyiza dawa katika mimea hiyo katika sehemu ya shamba lao la ukubwa wa ekari 52. Kwa ujumla wanamiliki shamba la ekari 72 katika eneo hilo. Mama Mary Muchemi, 59, na mumewe Dancan Muchemi wamekuwa wakiendesha kilimo cha kahawa katika eneo hili amabalo ni maarufu kwa kilimo cha mahindi kuanzia 1984. Tofauti ya wakulima wengine wa eneo hili, waliamua kugura kilimo cha mahindi baada ya kupata hasara kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo. “Wakati huo, kama ilivyo sasa, bei ya mahindi ilikuwa imeshuka kwa kiwango kikubwa mno huku gharama ya pembejeo ikipanda. Bei ya mahindi ilikuwa Sh3,000 kwa gunia moja la kilo 90. Hii ndio maana tuliamua kujaribu bahati yetu katika kilimo cha kahawa,”anasema Bi Muchemi. Hata hivyo, mkulima huyu anasema waliamua kuendelea na kilimo cha mahindi katika eneo la ukubwa wa ekari 20 katika shamba zima wanalomiliki. “Mahindi tunayozalisha katika sehemu hii huwa ni ya chakula tu. Na mavuno yaliwa mazuri zaidi sisi huuza magunia kadhaa ili kupata pesa za matumizi,” Mama Muchemi anaeleza. Wakulima hawa kwanza walianza kwa kupanda kahawa aina ya SL28 katika ekari sita za kwanza mnamo 1984. Waliongeza mimea na kahama mwaka baada ya mwingine na ilipotimu mwaka 2005 walikuwa wamepanda katika sehemu yenye ukubwa wa ekari 52. “Kahawa ni nzuri kwa sababu ukiipanda kwa mara ya kwanza, huhitaji kupanda kwa mara nyingi kama vile mahindi au mimea mingine. Kile unafanya ni kukata matawi yake kisha inaanza kuzalisha matunda katika msimu mpya. Pia wafanyikazi wetu hunyunyuzia dawa za kuangamiza wadudu na magugu,” anasema Bi. Muchemi. Kutoka mkahawa mmoja, wakulima hawa hupata kilo 30 za buni (berries). Kwa jumla wao huvuna kati ya tani 30 na 50 za buni kutoka shamba hilo. Baada ya kuvunwa, kahawa huwekwa katika gredi saba kulingana na ukubwa wa buni. Kwa mfano, gredi ya ‘AA’ au ‘AB’ huuzwa kwa Sh200 kwa kilo moja. Na gredi ya chini kabisa ambayo ni ile ya ‘E’ huuzwa kwa Sh70 kwa kilo moja, kwa mujibu na viwango vya bei ya kahawa katika soko la kimataifa. Bi Muchemi anasema mavuno yakiwa mazuri zaidi, wanaweza kutia kibindoni takriban Sh300,000 kutoka kwa eneo la ukubwa wa ekari moja. "Huwa tunauza kahawa yetu katika kiwanda cha kahawa kilichoko eneo la Rupa katika mji wa Eldoret.Wao hununua mazao yetu kila mara," anasema Mary. Lakini baada ya wakulima hawa kung'amua kuwa kahawa aina ya SL28 huathiriwa zaidi na magonjwa, waliamua kuanza kupanda kahawa aina ya Ruiru 11 ambayo hustahimili ugonjwa. Ili kupanda mmea mmoja wa kahawa, wakulima hawa hutumia kilo 18 ya mbolea ya kiasili iliyochanganywa na mchanga na kuwekwa ndani ya shimo la kina cha futi tatu. Na baada ya miaka mitatu mti wa kahawa huwa umeanza kuzalisha buni (berries) tayari kuvunwa. Nafasi ya upana wa futi tisa huachwa kutoka shimo moja hadi jingine. “Baada ya miaka mitano hadi saba huwa tunaanza kukata miti ya zamani ili kutoa nafasi kwa upanzi wa mmea mpya. Hii ni kwa sababu mti wa kahawa unapozeeka huwa unapata magonjwa kwa haraka,” Mary anasema kuwa wameajiri wafanyikazi 40 katika shamba lao. Anasema kuwa ili kupata kiwango cha juu cha mavuno, matawi ya miti ya kahawa hukatwa (pruning) katika miezi ya Februari na Machi. “Kando na hayo, wafanyakazi wetu huondoa magugu shambani, hunyunyuzia dawa na kuangamiza magonjwa mbali na kutilia mimea mbolea ya kisasa aina ya Calcium Ammonium Nitrate (CAN). Bi Muchemi anasema kwamba baadhi ya changamoto ambazo wao hukumbwa nazo ni magonjwa kama yanayoathiri matawi ya kahawa (leaf rust) na buni inayojulikana kwa kimombo kama ( Coffee Berry Disease- CBD) ambayo hushambulia mimea. “Mkahawa unapoathiriwa na ugonjwa wa CBD, buni zake hubadilika rangi na kuwa nyeusi badala ya rangi ya kijani au nyekundu. Kisha zinaanza kudondoka. Kwa upande mwingine leaf rust hufanya matawi kunyauka na hivyo kukosa kuzalisha buni”, anaeleza meneja wa shamba Robert Ndungu. Naibu mkurugenzi msimamizi wa kitengo cha kilimo cha kilimo cha Kahawa katika kaunti ya Uasin Gishu Luka Rotich anawashauri wakulima kujifunza mbinu bora za utunzaji wa kilimo cha kahawa ili waimarishe mavuno yao. Anawashauri wakulima kutoka maeneo mengine nchini kuwa bei ya kahawa ingali nzuri katika masomo ya kimataifa na hivyo kuna haja ya kuendeleza kilimo hicho.
Mavuno ya kahawa yakiwa mazuri wao hupata faida gani?
{ "text": [ "Takribani shilingi 300 000 kutoka kwa ekari moja" ] }
1109_swa
Licha ya kusomea ualimu, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki KWA kawaida, wakazi wa Magharibi ya nchi; Kisumu na Kisii hupenda kilimo cha viazi vitamu japo kwa manufaa yao ya nyumbani. Lakini kwake Rose Agatha, mkaazi wa kijiji cha Musacho, Mugirango Kusini, kwenye barabara kuu ya Kisumu-Kisii, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki yake ya kila siku. Akili Mali ilikutana naye katika shamba lake la ekari tatu ambapo amekuwa akipanda viazi vitamu kwa muda wa miaka 12. “Nilisomea kozi ya ualimu na nikawa na matumaini makubwa kwamba baada ya kuhitimu, ningeajiriwa katika shule moja ya serikali. Hilo halikutimia na nilizidi kupata changamoto haswa kwa kukosa fedha za kujifaa maishani,” akasema Bi Agatha. “Nilikaa na mama muda mrefu na nikawa najifunza jinsi alivyopenda kupanda viazi vitamu ili tuapate chakula cha kutosha nyumbani. Alikuwa na bidii sana japo alipanda sehemu ndogo tu. Nilipokosa hela za kujikimu kimaisha, nilitamani niwe nikivuna na kuuza sokoni,” akasema. Mnamo 2008, Bi Agatha alisema alichoshwa na hali ya kuhangaika na akaamua kujaribu kilimo hicho. Licha ya kukosa raslimali, alitia bidii ili kutimiza ndoto yake. Kwa mara ya kwanza, alitayarisha shamba nusu ekari alilopewa na mamaye na baada ya kutumia Sh3,000 kununua mbegu na kupanda viazi hivyo, alipata faida ya Sh11,000. “Faida hiyo ilinipa nguvu na bidii ya kujaribu mara nyingine na wakati wa awamu ya pili, mambo yaliendelea kuwa mazuri,” akasema. Viazi vitamu huchukua takribani miezi sita shambani kabla ya kuwa tayari. Bi Agatha alisema hupanda viazi hivyo mara mbili kwa kila mwaka na kupata zaidi ya Sh400,000 kwa awamu moja , wakati wa mvua ya kawaida. “Kunazo aina tofauti za viazi vitamu. Kunazo zile ambazo ndani yake huwa na rangi ya mayai, nyingine huwa na rangi nyeupe na aina ya mwisho huwa na mchanganyiko wa rangi ya zambarau na nyeupe,” akasema. Shambani mwake, Bi Agatha hupanda aina zote tatu za viazi vitamu ili kupanua soko la bidhaa hiyo. Huuza viazi vyake kwa wafanyibiashara katika soko la Kisii mjini, Kisumu na Kakamega. Anasema ameweza kuhifadhi wateja wake kwa sababu ya kuwapa viazi vizuri na vya aina mbalimbali. Gunia moja la viazi vitamu la kilo 50 yeye huuza kwa Sh2,500 na wakati wa kiangazi bei hubadilika na kuwa kati ya Sh3,000 na Sh4,000. Kila anapovuna, Bi Agatha huchanganya mchanga na mbolea ya kienyeji iliyotengenezwa kwa samadi, uchafu mwingine wa mifugo na matawi ya miti yaliyokuwa na kuoza. Changamoto anazopitia Bi Agatha ni kama vile mkurupuko wa magonjwa ya mchanga , bei mbovu na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo huathiri mazao. “Wakati wa kubadilisha mbegu, huwa kuna changamoto kubwa kwa sababu mchanga huchukua muda mrefu kukubali aina tofauti ya mbegu,” akasema. Changamoto nyingine ni barabara mbovu. Wakati wa mvua humsababishia hasara kubwa. Kulingana naye, kilimo cha viazi vitamu kimemfaa siku nyingi na kumwezesha kujenga nyumba, kusomesha wanawe wawili na pia kumsaidia kuwekeza katika kufuga ng’ombe wa maziwa.
Wakazi wa magharibi hupenda kilimo cha nini
{ "text": [ "Viazi vitamu" ] }
1109_swa
Licha ya kusomea ualimu, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki KWA kawaida, wakazi wa Magharibi ya nchi; Kisumu na Kisii hupenda kilimo cha viazi vitamu japo kwa manufaa yao ya nyumbani. Lakini kwake Rose Agatha, mkaazi wa kijiji cha Musacho, Mugirango Kusini, kwenye barabara kuu ya Kisumu-Kisii, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki yake ya kila siku. Akili Mali ilikutana naye katika shamba lake la ekari tatu ambapo amekuwa akipanda viazi vitamu kwa muda wa miaka 12. “Nilisomea kozi ya ualimu na nikawa na matumaini makubwa kwamba baada ya kuhitimu, ningeajiriwa katika shule moja ya serikali. Hilo halikutimia na nilizidi kupata changamoto haswa kwa kukosa fedha za kujifaa maishani,” akasema Bi Agatha. “Nilikaa na mama muda mrefu na nikawa najifunza jinsi alivyopenda kupanda viazi vitamu ili tuapate chakula cha kutosha nyumbani. Alikuwa na bidii sana japo alipanda sehemu ndogo tu. Nilipokosa hela za kujikimu kimaisha, nilitamani niwe nikivuna na kuuza sokoni,” akasema. Mnamo 2008, Bi Agatha alisema alichoshwa na hali ya kuhangaika na akaamua kujaribu kilimo hicho. Licha ya kukosa raslimali, alitia bidii ili kutimiza ndoto yake. Kwa mara ya kwanza, alitayarisha shamba nusu ekari alilopewa na mamaye na baada ya kutumia Sh3,000 kununua mbegu na kupanda viazi hivyo, alipata faida ya Sh11,000. “Faida hiyo ilinipa nguvu na bidii ya kujaribu mara nyingine na wakati wa awamu ya pili, mambo yaliendelea kuwa mazuri,” akasema. Viazi vitamu huchukua takribani miezi sita shambani kabla ya kuwa tayari. Bi Agatha alisema hupanda viazi hivyo mara mbili kwa kila mwaka na kupata zaidi ya Sh400,000 kwa awamu moja , wakati wa mvua ya kawaida. “Kunazo aina tofauti za viazi vitamu. Kunazo zile ambazo ndani yake huwa na rangi ya mayai, nyingine huwa na rangi nyeupe na aina ya mwisho huwa na mchanganyiko wa rangi ya zambarau na nyeupe,” akasema. Shambani mwake, Bi Agatha hupanda aina zote tatu za viazi vitamu ili kupanua soko la bidhaa hiyo. Huuza viazi vyake kwa wafanyibiashara katika soko la Kisii mjini, Kisumu na Kakamega. Anasema ameweza kuhifadhi wateja wake kwa sababu ya kuwapa viazi vizuri na vya aina mbalimbali. Gunia moja la viazi vitamu la kilo 50 yeye huuza kwa Sh2,500 na wakati wa kiangazi bei hubadilika na kuwa kati ya Sh3,000 na Sh4,000. Kila anapovuna, Bi Agatha huchanganya mchanga na mbolea ya kienyeji iliyotengenezwa kwa samadi, uchafu mwingine wa mifugo na matawi ya miti yaliyokuwa na kuoza. Changamoto anazopitia Bi Agatha ni kama vile mkurupuko wa magonjwa ya mchanga , bei mbovu na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo huathiri mazao. “Wakati wa kubadilisha mbegu, huwa kuna changamoto kubwa kwa sababu mchanga huchukua muda mrefu kukubali aina tofauti ya mbegu,” akasema. Changamoto nyingine ni barabara mbovu. Wakati wa mvua humsababishia hasara kubwa. Kulingana naye, kilimo cha viazi vitamu kimemfaa siku nyingi na kumwezesha kujenga nyumba, kusomesha wanawe wawili na pia kumsaidia kuwekeza katika kufuga ng’ombe wa maziwa.
Nini humpa Rose Agatha riziki ya kila siku
{ "text": [ "Kilimo cha viazi vitamu" ] }
1109_swa
Licha ya kusomea ualimu, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki KWA kawaida, wakazi wa Magharibi ya nchi; Kisumu na Kisii hupenda kilimo cha viazi vitamu japo kwa manufaa yao ya nyumbani. Lakini kwake Rose Agatha, mkaazi wa kijiji cha Musacho, Mugirango Kusini, kwenye barabara kuu ya Kisumu-Kisii, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki yake ya kila siku. Akili Mali ilikutana naye katika shamba lake la ekari tatu ambapo amekuwa akipanda viazi vitamu kwa muda wa miaka 12. “Nilisomea kozi ya ualimu na nikawa na matumaini makubwa kwamba baada ya kuhitimu, ningeajiriwa katika shule moja ya serikali. Hilo halikutimia na nilizidi kupata changamoto haswa kwa kukosa fedha za kujifaa maishani,” akasema Bi Agatha. “Nilikaa na mama muda mrefu na nikawa najifunza jinsi alivyopenda kupanda viazi vitamu ili tuapate chakula cha kutosha nyumbani. Alikuwa na bidii sana japo alipanda sehemu ndogo tu. Nilipokosa hela za kujikimu kimaisha, nilitamani niwe nikivuna na kuuza sokoni,” akasema. Mnamo 2008, Bi Agatha alisema alichoshwa na hali ya kuhangaika na akaamua kujaribu kilimo hicho. Licha ya kukosa raslimali, alitia bidii ili kutimiza ndoto yake. Kwa mara ya kwanza, alitayarisha shamba nusu ekari alilopewa na mamaye na baada ya kutumia Sh3,000 kununua mbegu na kupanda viazi hivyo, alipata faida ya Sh11,000. “Faida hiyo ilinipa nguvu na bidii ya kujaribu mara nyingine na wakati wa awamu ya pili, mambo yaliendelea kuwa mazuri,” akasema. Viazi vitamu huchukua takribani miezi sita shambani kabla ya kuwa tayari. Bi Agatha alisema hupanda viazi hivyo mara mbili kwa kila mwaka na kupata zaidi ya Sh400,000 kwa awamu moja , wakati wa mvua ya kawaida. “Kunazo aina tofauti za viazi vitamu. Kunazo zile ambazo ndani yake huwa na rangi ya mayai, nyingine huwa na rangi nyeupe na aina ya mwisho huwa na mchanganyiko wa rangi ya zambarau na nyeupe,” akasema. Shambani mwake, Bi Agatha hupanda aina zote tatu za viazi vitamu ili kupanua soko la bidhaa hiyo. Huuza viazi vyake kwa wafanyibiashara katika soko la Kisii mjini, Kisumu na Kakamega. Anasema ameweza kuhifadhi wateja wake kwa sababu ya kuwapa viazi vizuri na vya aina mbalimbali. Gunia moja la viazi vitamu la kilo 50 yeye huuza kwa Sh2,500 na wakati wa kiangazi bei hubadilika na kuwa kati ya Sh3,000 na Sh4,000. Kila anapovuna, Bi Agatha huchanganya mchanga na mbolea ya kienyeji iliyotengenezwa kwa samadi, uchafu mwingine wa mifugo na matawi ya miti yaliyokuwa na kuoza. Changamoto anazopitia Bi Agatha ni kama vile mkurupuko wa magonjwa ya mchanga , bei mbovu na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo huathiri mazao. “Wakati wa kubadilisha mbegu, huwa kuna changamoto kubwa kwa sababu mchanga huchukua muda mrefu kukubali aina tofauti ya mbegu,” akasema. Changamoto nyingine ni barabara mbovu. Wakati wa mvua humsababishia hasara kubwa. Kulingana naye, kilimo cha viazi vitamu kimemfaa siku nyingi na kumwezesha kujenga nyumba, kusomesha wanawe wawili na pia kumsaidia kuwekeza katika kufuga ng’ombe wa maziwa.
Rose amepanda viazi katika shamba lake la ekari tatu kwa miaka mingapi
{ "text": [ "Miaka 12" ] }
1109_swa
Licha ya kusomea ualimu, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki KWA kawaida, wakazi wa Magharibi ya nchi; Kisumu na Kisii hupenda kilimo cha viazi vitamu japo kwa manufaa yao ya nyumbani. Lakini kwake Rose Agatha, mkaazi wa kijiji cha Musacho, Mugirango Kusini, kwenye barabara kuu ya Kisumu-Kisii, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki yake ya kila siku. Akili Mali ilikutana naye katika shamba lake la ekari tatu ambapo amekuwa akipanda viazi vitamu kwa muda wa miaka 12. “Nilisomea kozi ya ualimu na nikawa na matumaini makubwa kwamba baada ya kuhitimu, ningeajiriwa katika shule moja ya serikali. Hilo halikutimia na nilizidi kupata changamoto haswa kwa kukosa fedha za kujifaa maishani,” akasema Bi Agatha. “Nilikaa na mama muda mrefu na nikawa najifunza jinsi alivyopenda kupanda viazi vitamu ili tuapate chakula cha kutosha nyumbani. Alikuwa na bidii sana japo alipanda sehemu ndogo tu. Nilipokosa hela za kujikimu kimaisha, nilitamani niwe nikivuna na kuuza sokoni,” akasema. Mnamo 2008, Bi Agatha alisema alichoshwa na hali ya kuhangaika na akaamua kujaribu kilimo hicho. Licha ya kukosa raslimali, alitia bidii ili kutimiza ndoto yake. Kwa mara ya kwanza, alitayarisha shamba nusu ekari alilopewa na mamaye na baada ya kutumia Sh3,000 kununua mbegu na kupanda viazi hivyo, alipata faida ya Sh11,000. “Faida hiyo ilinipa nguvu na bidii ya kujaribu mara nyingine na wakati wa awamu ya pili, mambo yaliendelea kuwa mazuri,” akasema. Viazi vitamu huchukua takribani miezi sita shambani kabla ya kuwa tayari. Bi Agatha alisema hupanda viazi hivyo mara mbili kwa kila mwaka na kupata zaidi ya Sh400,000 kwa awamu moja , wakati wa mvua ya kawaida. “Kunazo aina tofauti za viazi vitamu. Kunazo zile ambazo ndani yake huwa na rangi ya mayai, nyingine huwa na rangi nyeupe na aina ya mwisho huwa na mchanganyiko wa rangi ya zambarau na nyeupe,” akasema. Shambani mwake, Bi Agatha hupanda aina zote tatu za viazi vitamu ili kupanua soko la bidhaa hiyo. Huuza viazi vyake kwa wafanyibiashara katika soko la Kisii mjini, Kisumu na Kakamega. Anasema ameweza kuhifadhi wateja wake kwa sababu ya kuwapa viazi vizuri na vya aina mbalimbali. Gunia moja la viazi vitamu la kilo 50 yeye huuza kwa Sh2,500 na wakati wa kiangazi bei hubadilika na kuwa kati ya Sh3,000 na Sh4,000. Kila anapovuna, Bi Agatha huchanganya mchanga na mbolea ya kienyeji iliyotengenezwa kwa samadi, uchafu mwingine wa mifugo na matawi ya miti yaliyokuwa na kuoza. Changamoto anazopitia Bi Agatha ni kama vile mkurupuko wa magonjwa ya mchanga , bei mbovu na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo huathiri mazao. “Wakati wa kubadilisha mbegu, huwa kuna changamoto kubwa kwa sababu mchanga huchukua muda mrefu kukubali aina tofauti ya mbegu,” akasema. Changamoto nyingine ni barabara mbovu. Wakati wa mvua humsababishia hasara kubwa. Kulingana naye, kilimo cha viazi vitamu kimemfaa siku nyingi na kumwezesha kujenga nyumba, kusomesha wanawe wawili na pia kumsaidia kuwekeza katika kufuga ng’ombe wa maziwa.
Rose alitumia hela ngapi kununua mbegu za viazi
{ "text": [ "Shilingi elfu tatu" ] }
1109_swa
Licha ya kusomea ualimu, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki KWA kawaida, wakazi wa Magharibi ya nchi; Kisumu na Kisii hupenda kilimo cha viazi vitamu japo kwa manufaa yao ya nyumbani. Lakini kwake Rose Agatha, mkaazi wa kijiji cha Musacho, Mugirango Kusini, kwenye barabara kuu ya Kisumu-Kisii, kilimo cha viazi vitamu ndicho humpa riziki yake ya kila siku. Akili Mali ilikutana naye katika shamba lake la ekari tatu ambapo amekuwa akipanda viazi vitamu kwa muda wa miaka 12. “Nilisomea kozi ya ualimu na nikawa na matumaini makubwa kwamba baada ya kuhitimu, ningeajiriwa katika shule moja ya serikali. Hilo halikutimia na nilizidi kupata changamoto haswa kwa kukosa fedha za kujifaa maishani,” akasema Bi Agatha. “Nilikaa na mama muda mrefu na nikawa najifunza jinsi alivyopenda kupanda viazi vitamu ili tuapate chakula cha kutosha nyumbani. Alikuwa na bidii sana japo alipanda sehemu ndogo tu. Nilipokosa hela za kujikimu kimaisha, nilitamani niwe nikivuna na kuuza sokoni,” akasema. Mnamo 2008, Bi Agatha alisema alichoshwa na hali ya kuhangaika na akaamua kujaribu kilimo hicho. Licha ya kukosa raslimali, alitia bidii ili kutimiza ndoto yake. Kwa mara ya kwanza, alitayarisha shamba nusu ekari alilopewa na mamaye na baada ya kutumia Sh3,000 kununua mbegu na kupanda viazi hivyo, alipata faida ya Sh11,000. “Faida hiyo ilinipa nguvu na bidii ya kujaribu mara nyingine na wakati wa awamu ya pili, mambo yaliendelea kuwa mazuri,” akasema. Viazi vitamu huchukua takribani miezi sita shambani kabla ya kuwa tayari. Bi Agatha alisema hupanda viazi hivyo mara mbili kwa kila mwaka na kupata zaidi ya Sh400,000 kwa awamu moja , wakati wa mvua ya kawaida. “Kunazo aina tofauti za viazi vitamu. Kunazo zile ambazo ndani yake huwa na rangi ya mayai, nyingine huwa na rangi nyeupe na aina ya mwisho huwa na mchanganyiko wa rangi ya zambarau na nyeupe,” akasema. Shambani mwake, Bi Agatha hupanda aina zote tatu za viazi vitamu ili kupanua soko la bidhaa hiyo. Huuza viazi vyake kwa wafanyibiashara katika soko la Kisii mjini, Kisumu na Kakamega. Anasema ameweza kuhifadhi wateja wake kwa sababu ya kuwapa viazi vizuri na vya aina mbalimbali. Gunia moja la viazi vitamu la kilo 50 yeye huuza kwa Sh2,500 na wakati wa kiangazi bei hubadilika na kuwa kati ya Sh3,000 na Sh4,000. Kila anapovuna, Bi Agatha huchanganya mchanga na mbolea ya kienyeji iliyotengenezwa kwa samadi, uchafu mwingine wa mifugo na matawi ya miti yaliyokuwa na kuoza. Changamoto anazopitia Bi Agatha ni kama vile mkurupuko wa magonjwa ya mchanga , bei mbovu na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo huathiri mazao. “Wakati wa kubadilisha mbegu, huwa kuna changamoto kubwa kwa sababu mchanga huchukua muda mrefu kukubali aina tofauti ya mbegu,” akasema. Changamoto nyingine ni barabara mbovu. Wakati wa mvua humsababishia hasara kubwa. Kulingana naye, kilimo cha viazi vitamu kimemfaa siku nyingi na kumwezesha kujenga nyumba, kusomesha wanawe wawili na pia kumsaidia kuwekeza katika kufuga ng’ombe wa maziwa.
Viazi huchukua miezi mingapi kuwa tayari
{ "text": [ "Miezi sita" ] }
1110_swa
Hoja ya kuzima uuzaji muguka. Kaunti yaibua maoni mseto Watafunaji muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya kupiga marufuku uraibu huo itapitishwa na Bunge wa Kaunti ya Lamu wiki hii. Diwani wa Wadi ya Mkunumbi, Bw. Paul Kimani Njuguna, ambaye pia ni Naibu Spika katika Bunge la Lamu, alisema anapanga kuwasilisha hoja bungeni katikati ya wiki inayopendekeza marufuku kwa usambazaji, uuzaji na ulaji muguka kote Lamu. Kulingana na Bw. Njuguna, bidhaa hiyo imesababisha maisha ya vijana wengi Lamu kuharibika kwa kuwa wamejitosa katika uraibu huo na kukosa kuwajibikia masuala ya ujenzi wa taifa na maendeleo. Bw Njuguna pia alilaumu desturi ya utafunaji muguka kwa kuchangia idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule na kupotelea katika uraibu huo. Alisema ni kupitia marufuku ya muguka ambapo pia talaka nyingi zinazoshuhudiwa Lamu kila kuchao zitapungua. Alisema familia nyingi zimezongwa na umaskini kutokana na kwamba wanaostahili kuziinua wamepotelea katika katika utafunaji wa muguka. Alisema anaamini madiwani wenzake katika bunge hilo watamuunga mkono kwa kauli moja ili kuona kwamba muguka unapigwa marufuku Lamu ili kuokoa na kizazi cha siku zijazo. “Nimejiandaa kuwasilisha hoja Bungeni Lamu juma hili. Hoja hiyo inapendekeza muguka kupigwa marufuku, ambapo hautaruhusiwa kuingizwa, kuuzwa au kutafunwa eneo hili. Haya yote ni kutokana na athari mbaya ambazo umeleta kwa jamii yetu," alisema Akaongeza, “Vijana, wakiwemo wanafunzi wa shule wamepotelea katika utafunaji wa muguka kutokana na kwamba ni rahisi kuupata. Isitoshe, wanaume na hata akina mama hawawajibikii vilivyo familia zao. Kila pesa wanazopata wako mbioni kununua muguka. Umaskini umekithiri miongoni mwa familia nyingi hapa Lamu kwa sababu ya muguka," akasema Bw Njuguna. Baadhi ya wafanyabiashara wa miraa na muguka, Kaunti ya Lamu aidha wamepinga vikali mpango wa huo wakidai ni njama ya kuwaharibia biashara yao. Mwenyekiti wa Jamii ya Wameru, Kaunti ya Lamu, Bw Jacob Muroki, alisema hoja hiyo pia inalenga jamii husika ya Wameru ambao ndio waliojikita katika biashara ya miraa na muguka. Alipinga madai kwamba miraa inauziwa watoto wadogo, akisisitiza kuwa ipo haja ya wazazi wenyewe kuwajibikia malezi ya watoto wao badala ya kuwan yoshea wafanyabiashara kidole cha lawama. “Kwanza miraa na muguka inakubaika kikatiba. Inakuaje leo hili bunge la Lamu linataka kupiga marufuku ulaji muguka. Hiyo ni njama ya kufungia nje jamii ya Wameru ambao wamejikita sana biashara ya muguka,” akasema Bw Muroki. Kauli yake iliungwa mkono na Bw John Kirea ambaye ni muuzaji mashuhuri wa muguka mjini Lamu aliyesisitiza kuwa muguka huuziwa watu wazima pekee wala si watoto. Naye mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Miraa, Kaunti ya Lamu, Bw Ibrahim Kamanja, alilitaka bunge la kaunti ya Lamu kujadili hoja zinazoleta manufaa kwa wananchi na hata kuwajenga badala ya kuwabomoa.
Watafunaji muguka ni wa kaunti gani
{ "text": [ "Lamu" ] }
1110_swa
Hoja ya kuzima uuzaji muguka. Kaunti yaibua maoni mseto Watafunaji muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya kupiga marufuku uraibu huo itapitishwa na Bunge wa Kaunti ya Lamu wiki hii. Diwani wa Wadi ya Mkunumbi, Bw. Paul Kimani Njuguna, ambaye pia ni Naibu Spika katika Bunge la Lamu, alisema anapanga kuwasilisha hoja bungeni katikati ya wiki inayopendekeza marufuku kwa usambazaji, uuzaji na ulaji muguka kote Lamu. Kulingana na Bw. Njuguna, bidhaa hiyo imesababisha maisha ya vijana wengi Lamu kuharibika kwa kuwa wamejitosa katika uraibu huo na kukosa kuwajibikia masuala ya ujenzi wa taifa na maendeleo. Bw Njuguna pia alilaumu desturi ya utafunaji muguka kwa kuchangia idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule na kupotelea katika uraibu huo. Alisema ni kupitia marufuku ya muguka ambapo pia talaka nyingi zinazoshuhudiwa Lamu kila kuchao zitapungua. Alisema familia nyingi zimezongwa na umaskini kutokana na kwamba wanaostahili kuziinua wamepotelea katika katika utafunaji wa muguka. Alisema anaamini madiwani wenzake katika bunge hilo watamuunga mkono kwa kauli moja ili kuona kwamba muguka unapigwa marufuku Lamu ili kuokoa na kizazi cha siku zijazo. “Nimejiandaa kuwasilisha hoja Bungeni Lamu juma hili. Hoja hiyo inapendekeza muguka kupigwa marufuku, ambapo hautaruhusiwa kuingizwa, kuuzwa au kutafunwa eneo hili. Haya yote ni kutokana na athari mbaya ambazo umeleta kwa jamii yetu," alisema Akaongeza, “Vijana, wakiwemo wanafunzi wa shule wamepotelea katika utafunaji wa muguka kutokana na kwamba ni rahisi kuupata. Isitoshe, wanaume na hata akina mama hawawajibikii vilivyo familia zao. Kila pesa wanazopata wako mbioni kununua muguka. Umaskini umekithiri miongoni mwa familia nyingi hapa Lamu kwa sababu ya muguka," akasema Bw Njuguna. Baadhi ya wafanyabiashara wa miraa na muguka, Kaunti ya Lamu aidha wamepinga vikali mpango wa huo wakidai ni njama ya kuwaharibia biashara yao. Mwenyekiti wa Jamii ya Wameru, Kaunti ya Lamu, Bw Jacob Muroki, alisema hoja hiyo pia inalenga jamii husika ya Wameru ambao ndio waliojikita katika biashara ya miraa na muguka. Alipinga madai kwamba miraa inauziwa watoto wadogo, akisisitiza kuwa ipo haja ya wazazi wenyewe kuwajibikia malezi ya watoto wao badala ya kuwan yoshea wafanyabiashara kidole cha lawama. “Kwanza miraa na muguka inakubaika kikatiba. Inakuaje leo hili bunge la Lamu linataka kupiga marufuku ulaji muguka. Hiyo ni njama ya kufungia nje jamii ya Wameru ambao wamejikita sana biashara ya muguka,” akasema Bw Muroki. Kauli yake iliungwa mkono na Bw John Kirea ambaye ni muuzaji mashuhuri wa muguka mjini Lamu aliyesisitiza kuwa muguka huuziwa watu wazima pekee wala si watoto. Naye mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Miraa, Kaunti ya Lamu, Bw Ibrahim Kamanja, alilitaka bunge la kaunti ya Lamu kujadili hoja zinazoleta manufaa kwa wananchi na hata kuwajenga badala ya kuwabomoa.
Nani Diwani wa wadi ya Mkunumbi
{ "text": [ "Bw Paul Kimani" ] }
1110_swa
Hoja ya kuzima uuzaji muguka. Kaunti yaibua maoni mseto Watafunaji muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya kupiga marufuku uraibu huo itapitishwa na Bunge wa Kaunti ya Lamu wiki hii. Diwani wa Wadi ya Mkunumbi, Bw. Paul Kimani Njuguna, ambaye pia ni Naibu Spika katika Bunge la Lamu, alisema anapanga kuwasilisha hoja bungeni katikati ya wiki inayopendekeza marufuku kwa usambazaji, uuzaji na ulaji muguka kote Lamu. Kulingana na Bw. Njuguna, bidhaa hiyo imesababisha maisha ya vijana wengi Lamu kuharibika kwa kuwa wamejitosa katika uraibu huo na kukosa kuwajibikia masuala ya ujenzi wa taifa na maendeleo. Bw Njuguna pia alilaumu desturi ya utafunaji muguka kwa kuchangia idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule na kupotelea katika uraibu huo. Alisema ni kupitia marufuku ya muguka ambapo pia talaka nyingi zinazoshuhudiwa Lamu kila kuchao zitapungua. Alisema familia nyingi zimezongwa na umaskini kutokana na kwamba wanaostahili kuziinua wamepotelea katika katika utafunaji wa muguka. Alisema anaamini madiwani wenzake katika bunge hilo watamuunga mkono kwa kauli moja ili kuona kwamba muguka unapigwa marufuku Lamu ili kuokoa na kizazi cha siku zijazo. “Nimejiandaa kuwasilisha hoja Bungeni Lamu juma hili. Hoja hiyo inapendekeza muguka kupigwa marufuku, ambapo hautaruhusiwa kuingizwa, kuuzwa au kutafunwa eneo hili. Haya yote ni kutokana na athari mbaya ambazo umeleta kwa jamii yetu," alisema Akaongeza, “Vijana, wakiwemo wanafunzi wa shule wamepotelea katika utafunaji wa muguka kutokana na kwamba ni rahisi kuupata. Isitoshe, wanaume na hata akina mama hawawajibikii vilivyo familia zao. Kila pesa wanazopata wako mbioni kununua muguka. Umaskini umekithiri miongoni mwa familia nyingi hapa Lamu kwa sababu ya muguka," akasema Bw Njuguna. Baadhi ya wafanyabiashara wa miraa na muguka, Kaunti ya Lamu aidha wamepinga vikali mpango wa huo wakidai ni njama ya kuwaharibia biashara yao. Mwenyekiti wa Jamii ya Wameru, Kaunti ya Lamu, Bw Jacob Muroki, alisema hoja hiyo pia inalenga jamii husika ya Wameru ambao ndio waliojikita katika biashara ya miraa na muguka. Alipinga madai kwamba miraa inauziwa watoto wadogo, akisisitiza kuwa ipo haja ya wazazi wenyewe kuwajibikia malezi ya watoto wao badala ya kuwan yoshea wafanyabiashara kidole cha lawama. “Kwanza miraa na muguka inakubaika kikatiba. Inakuaje leo hili bunge la Lamu linataka kupiga marufuku ulaji muguka. Hiyo ni njama ya kufungia nje jamii ya Wameru ambao wamejikita sana biashara ya muguka,” akasema Bw Muroki. Kauli yake iliungwa mkono na Bw John Kirea ambaye ni muuzaji mashuhuri wa muguka mjini Lamu aliyesisitiza kuwa muguka huuziwa watu wazima pekee wala si watoto. Naye mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Miraa, Kaunti ya Lamu, Bw Ibrahim Kamanja, alilitaka bunge la kaunti ya Lamu kujadili hoja zinazoleta manufaa kwa wananchi na hata kuwajenga badala ya kuwabomoa.
Nini kimechangia idadi kubwa ya wanafunzi kuwacha shule
{ "text": [ "utafunaji muguka" ] }
1110_swa
Hoja ya kuzima uuzaji muguka. Kaunti yaibua maoni mseto Watafunaji muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya kupiga marufuku uraibu huo itapitishwa na Bunge wa Kaunti ya Lamu wiki hii. Diwani wa Wadi ya Mkunumbi, Bw. Paul Kimani Njuguna, ambaye pia ni Naibu Spika katika Bunge la Lamu, alisema anapanga kuwasilisha hoja bungeni katikati ya wiki inayopendekeza marufuku kwa usambazaji, uuzaji na ulaji muguka kote Lamu. Kulingana na Bw. Njuguna, bidhaa hiyo imesababisha maisha ya vijana wengi Lamu kuharibika kwa kuwa wamejitosa katika uraibu huo na kukosa kuwajibikia masuala ya ujenzi wa taifa na maendeleo. Bw Njuguna pia alilaumu desturi ya utafunaji muguka kwa kuchangia idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule na kupotelea katika uraibu huo. Alisema ni kupitia marufuku ya muguka ambapo pia talaka nyingi zinazoshuhudiwa Lamu kila kuchao zitapungua. Alisema familia nyingi zimezongwa na umaskini kutokana na kwamba wanaostahili kuziinua wamepotelea katika katika utafunaji wa muguka. Alisema anaamini madiwani wenzake katika bunge hilo watamuunga mkono kwa kauli moja ili kuona kwamba muguka unapigwa marufuku Lamu ili kuokoa na kizazi cha siku zijazo. “Nimejiandaa kuwasilisha hoja Bungeni Lamu juma hili. Hoja hiyo inapendekeza muguka kupigwa marufuku, ambapo hautaruhusiwa kuingizwa, kuuzwa au kutafunwa eneo hili. Haya yote ni kutokana na athari mbaya ambazo umeleta kwa jamii yetu," alisema Akaongeza, “Vijana, wakiwemo wanafunzi wa shule wamepotelea katika utafunaji wa muguka kutokana na kwamba ni rahisi kuupata. Isitoshe, wanaume na hata akina mama hawawajibikii vilivyo familia zao. Kila pesa wanazopata wako mbioni kununua muguka. Umaskini umekithiri miongoni mwa familia nyingi hapa Lamu kwa sababu ya muguka," akasema Bw Njuguna. Baadhi ya wafanyabiashara wa miraa na muguka, Kaunti ya Lamu aidha wamepinga vikali mpango wa huo wakidai ni njama ya kuwaharibia biashara yao. Mwenyekiti wa Jamii ya Wameru, Kaunti ya Lamu, Bw Jacob Muroki, alisema hoja hiyo pia inalenga jamii husika ya Wameru ambao ndio waliojikita katika biashara ya miraa na muguka. Alipinga madai kwamba miraa inauziwa watoto wadogo, akisisitiza kuwa ipo haja ya wazazi wenyewe kuwajibikia malezi ya watoto wao badala ya kuwan yoshea wafanyabiashara kidole cha lawama. “Kwanza miraa na muguka inakubaika kikatiba. Inakuaje leo hili bunge la Lamu linataka kupiga marufuku ulaji muguka. Hiyo ni njama ya kufungia nje jamii ya Wameru ambao wamejikita sana biashara ya muguka,” akasema Bw Muroki. Kauli yake iliungwa mkono na Bw John Kirea ambaye ni muuzaji mashuhuri wa muguka mjini Lamu aliyesisitiza kuwa muguka huuziwa watu wazima pekee wala si watoto. Naye mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Miraa, Kaunti ya Lamu, Bw Ibrahim Kamanja, alilitaka bunge la kaunti ya Lamu kujadili hoja zinazoleta manufaa kwa wananchi na hata kuwajenga badala ya kuwabomoa.
Kupigwa marufuku kwa muguka kutapunguza nini
{ "text": [ "talaka nyingi" ] }
1110_swa
Hoja ya kuzima uuzaji muguka. Kaunti yaibua maoni mseto Watafunaji muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya kupiga marufuku uraibu huo itapitishwa na Bunge wa Kaunti ya Lamu wiki hii. Diwani wa Wadi ya Mkunumbi, Bw. Paul Kimani Njuguna, ambaye pia ni Naibu Spika katika Bunge la Lamu, alisema anapanga kuwasilisha hoja bungeni katikati ya wiki inayopendekeza marufuku kwa usambazaji, uuzaji na ulaji muguka kote Lamu. Kulingana na Bw. Njuguna, bidhaa hiyo imesababisha maisha ya vijana wengi Lamu kuharibika kwa kuwa wamejitosa katika uraibu huo na kukosa kuwajibikia masuala ya ujenzi wa taifa na maendeleo. Bw Njuguna pia alilaumu desturi ya utafunaji muguka kwa kuchangia idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule na kupotelea katika uraibu huo. Alisema ni kupitia marufuku ya muguka ambapo pia talaka nyingi zinazoshuhudiwa Lamu kila kuchao zitapungua. Alisema familia nyingi zimezongwa na umaskini kutokana na kwamba wanaostahili kuziinua wamepotelea katika katika utafunaji wa muguka. Alisema anaamini madiwani wenzake katika bunge hilo watamuunga mkono kwa kauli moja ili kuona kwamba muguka unapigwa marufuku Lamu ili kuokoa na kizazi cha siku zijazo. “Nimejiandaa kuwasilisha hoja Bungeni Lamu juma hili. Hoja hiyo inapendekeza muguka kupigwa marufuku, ambapo hautaruhusiwa kuingizwa, kuuzwa au kutafunwa eneo hili. Haya yote ni kutokana na athari mbaya ambazo umeleta kwa jamii yetu," alisema Akaongeza, “Vijana, wakiwemo wanafunzi wa shule wamepotelea katika utafunaji wa muguka kutokana na kwamba ni rahisi kuupata. Isitoshe, wanaume na hata akina mama hawawajibikii vilivyo familia zao. Kila pesa wanazopata wako mbioni kununua muguka. Umaskini umekithiri miongoni mwa familia nyingi hapa Lamu kwa sababu ya muguka," akasema Bw Njuguna. Baadhi ya wafanyabiashara wa miraa na muguka, Kaunti ya Lamu aidha wamepinga vikali mpango wa huo wakidai ni njama ya kuwaharibia biashara yao. Mwenyekiti wa Jamii ya Wameru, Kaunti ya Lamu, Bw Jacob Muroki, alisema hoja hiyo pia inalenga jamii husika ya Wameru ambao ndio waliojikita katika biashara ya miraa na muguka. Alipinga madai kwamba miraa inauziwa watoto wadogo, akisisitiza kuwa ipo haja ya wazazi wenyewe kuwajibikia malezi ya watoto wao badala ya kuwan yoshea wafanyabiashara kidole cha lawama. “Kwanza miraa na muguka inakubaika kikatiba. Inakuaje leo hili bunge la Lamu linataka kupiga marufuku ulaji muguka. Hiyo ni njama ya kufungia nje jamii ya Wameru ambao wamejikita sana biashara ya muguka,” akasema Bw Muroki. Kauli yake iliungwa mkono na Bw John Kirea ambaye ni muuzaji mashuhuri wa muguka mjini Lamu aliyesisitiza kuwa muguka huuziwa watu wazima pekee wala si watoto. Naye mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Miraa, Kaunti ya Lamu, Bw Ibrahim Kamanja, alilitaka bunge la kaunti ya Lamu kujadili hoja zinazoleta manufaa kwa wananchi na hata kuwajenga badala ya kuwabomoa.
Nini kimefanya familia nyingi kuzongwa na umaskini
{ "text": [ "utafunaji wa muguka" ] }
1111_swa
Msambao wa kasi wa nzige wazua hofu tele Hofu imezidi kuhusu uwezekano wa hasara kubwa kwa wakulima katika Kaunti za Kisumu na Nyeri, baada ya makundi ya nzige kufika na kuanza kuvamia mashamba Jumanne jioni. Wadudu hao hatari na ambao wamekuwa wakitekeleza mavamizi kwa mimea nchini na mataifa jirani zaidi ya mwezi sasa walionekana maeneo ya Mukurweini na Mathira (Nyeri), na Muhoroni (Kisumu), wakiwatia wakazi hofu kuhusu usalama wa mimea yao. Hata hivyo, huko Nyeri wakazi wa maeneo ya Ndima na Muhuru waliamua kutumia mbinu zao wenyewe na wakafanikiwa kuwatimua nzige hao kutoka mashamba yao, baada ya serikali kukawia. Wakazi hao wanasemekana kuanza kujipanga Jumatatu jioni waliposikia fununu kuwa wadudu hao walikuwa wameonekana wakielekea huko katika eneo la Chehe, kando mwa Mlima Kenya. Nzige walipofika Jumanne asubuhi, wakazi hao walichoma magurudumu na matawi ili kutoa moshi mkubwa, kisha wakachanganya maji, pilipili pamoja na mimea mingine ya kienyeji na kunyunyuzia mimea. Vilevile, waliendelea kupiga nduru kwa sauti za juu na kupiga madebe matupu ili kutoa sauti kubwa, vitendo vyote hivi vikiwakosesha nzige amani na kuwafanya kuhamia kwingine. Kufikia saa za adhuhuri jana Taifa Leo ilipozuru, nzige hao walikuwa wameondoka, bila hata kusababisha madhara yoyote kwa mimea. “Tuliripoti suala hili kwa serikali lakini tulipogundua kuwa hakukuwa na msaada tukaamua kujiundia mbinu ya kuwafukuza nzige sisi wenyewe, wasiharibu mimea,” akasema mkazi kwa jina Muriithi. Nzige hao walifika Nyeri wakiwa katika makundi mawili na walifanya uharibifu kidogo katika baadhi ya mashamba ya majani chai na kahawa. Lakini baada ya kufanya ukaguzi jana, idara ya kilimo katika kaunti hiyo iliwataka wakazi kutokuwa na hofu, kwani bado hakuna hasara imeshuhudiwa. “Tumekuwa mashambani leo asubuhi. Hakuna hasara kubwa kwa mimea kutokana na ukaguzi wetu hadi sasa kwani(nzige hao) wamekula nyasi aina ya Napier tu,” akasema James Wachihi, waziri wa Kilimo. Wakulima walikuwa wakihofia kuwa huenda wadudu hao wangeathiri shughuli ya mimea ya kahawa kutoa maua na kuathiri mazao. Wakati walivamia sehemu za mashamba ya mimea hiyo. Nzige hao walitaga mayai mengi ambayo sasa wakulima wanahofia kuwa yataangua kizazi kingine cha wadudu hao waharibifu, wakati serikali ya kaunti ilisema itasambaza dawa za kunyunyuzia mayai hayo kwa wakulima. Katika Kaunti ya Kisumu, wakulima wa miwa walikuwa wakihofia hasara kubwa baada ya wadudu hao kuvamia mashamba, wakazi wa eneo la Ngere Kamarawa wakiiomba serikali kuwasaidia kuwamaliza. “Eneo la Muhoroni ndilo huzalisha chakula kingi Kisumu, tusisubiri wakulima wapate hasara ndipo suluhisho itolewe,” akasema Naibu Kamishna wa Kaunti eneo la Muhoroni Erick Wanyonyi. Wakati huohuo, Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) lilitaja hali ya nzige kuvamia mashamba Kenya, Ethiopia na Somalia kuwa ya kutisha sana na ambayo inatishia hali ya utoshelezaji wa vyakula siku za baadaye. Maafisa wa FAO walisema kuwa makundi ya nzige yanazidi kuripotiwa kuhama hama kati ya Ethiopia na Kenya, wakati wadudu hao wanazidi kutaga mayai.
Ni nini imevamia mashamba katika kaunti za Nyeri na Kisumu
{ "text": [ "Nzige" ] }
1111_swa
Msambao wa kasi wa nzige wazua hofu tele Hofu imezidi kuhusu uwezekano wa hasara kubwa kwa wakulima katika Kaunti za Kisumu na Nyeri, baada ya makundi ya nzige kufika na kuanza kuvamia mashamba Jumanne jioni. Wadudu hao hatari na ambao wamekuwa wakitekeleza mavamizi kwa mimea nchini na mataifa jirani zaidi ya mwezi sasa walionekana maeneo ya Mukurweini na Mathira (Nyeri), na Muhoroni (Kisumu), wakiwatia wakazi hofu kuhusu usalama wa mimea yao. Hata hivyo, huko Nyeri wakazi wa maeneo ya Ndima na Muhuru waliamua kutumia mbinu zao wenyewe na wakafanikiwa kuwatimua nzige hao kutoka mashamba yao, baada ya serikali kukawia. Wakazi hao wanasemekana kuanza kujipanga Jumatatu jioni waliposikia fununu kuwa wadudu hao walikuwa wameonekana wakielekea huko katika eneo la Chehe, kando mwa Mlima Kenya. Nzige walipofika Jumanne asubuhi, wakazi hao walichoma magurudumu na matawi ili kutoa moshi mkubwa, kisha wakachanganya maji, pilipili pamoja na mimea mingine ya kienyeji na kunyunyuzia mimea. Vilevile, waliendelea kupiga nduru kwa sauti za juu na kupiga madebe matupu ili kutoa sauti kubwa, vitendo vyote hivi vikiwakosesha nzige amani na kuwafanya kuhamia kwingine. Kufikia saa za adhuhuri jana Taifa Leo ilipozuru, nzige hao walikuwa wameondoka, bila hata kusababisha madhara yoyote kwa mimea. “Tuliripoti suala hili kwa serikali lakini tulipogundua kuwa hakukuwa na msaada tukaamua kujiundia mbinu ya kuwafukuza nzige sisi wenyewe, wasiharibu mimea,” akasema mkazi kwa jina Muriithi. Nzige hao walifika Nyeri wakiwa katika makundi mawili na walifanya uharibifu kidogo katika baadhi ya mashamba ya majani chai na kahawa. Lakini baada ya kufanya ukaguzi jana, idara ya kilimo katika kaunti hiyo iliwataka wakazi kutokuwa na hofu, kwani bado hakuna hasara imeshuhudiwa. “Tumekuwa mashambani leo asubuhi. Hakuna hasara kubwa kwa mimea kutokana na ukaguzi wetu hadi sasa kwani(nzige hao) wamekula nyasi aina ya Napier tu,” akasema James Wachihi, waziri wa Kilimo. Wakulima walikuwa wakihofia kuwa huenda wadudu hao wangeathiri shughuli ya mimea ya kahawa kutoa maua na kuathiri mazao. Wakati walivamia sehemu za mashamba ya mimea hiyo. Nzige hao walitaga mayai mengi ambayo sasa wakulima wanahofia kuwa yataangua kizazi kingine cha wadudu hao waharibifu, wakati serikali ya kaunti ilisema itasambaza dawa za kunyunyuzia mayai hayo kwa wakulima. Katika Kaunti ya Kisumu, wakulima wa miwa walikuwa wakihofia hasara kubwa baada ya wadudu hao kuvamia mashamba, wakazi wa eneo la Ngere Kamarawa wakiiomba serikali kuwasaidia kuwamaliza. “Eneo la Muhoroni ndilo huzalisha chakula kingi Kisumu, tusisubiri wakulima wapate hasara ndipo suluhisho itolewe,” akasema Naibu Kamishna wa Kaunti eneo la Muhoroni Erick Wanyonyi. Wakati huohuo, Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) lilitaja hali ya nzige kuvamia mashamba Kenya, Ethiopia na Somalia kuwa ya kutisha sana na ambayo inatishia hali ya utoshelezaji wa vyakula siku za baadaye. Maafisa wa FAO walisema kuwa makundi ya nzige yanazidi kuripotiwa kuhama hama kati ya Ethiopia na Kenya, wakati wadudu hao wanazidi kutaga mayai.
Wakazi walichoma nini nini ili kuwazuia nzige
{ "text": [ "Magurudumu" ] }
1111_swa
Msambao wa kasi wa nzige wazua hofu tele Hofu imezidi kuhusu uwezekano wa hasara kubwa kwa wakulima katika Kaunti za Kisumu na Nyeri, baada ya makundi ya nzige kufika na kuanza kuvamia mashamba Jumanne jioni. Wadudu hao hatari na ambao wamekuwa wakitekeleza mavamizi kwa mimea nchini na mataifa jirani zaidi ya mwezi sasa walionekana maeneo ya Mukurweini na Mathira (Nyeri), na Muhoroni (Kisumu), wakiwatia wakazi hofu kuhusu usalama wa mimea yao. Hata hivyo, huko Nyeri wakazi wa maeneo ya Ndima na Muhuru waliamua kutumia mbinu zao wenyewe na wakafanikiwa kuwatimua nzige hao kutoka mashamba yao, baada ya serikali kukawia. Wakazi hao wanasemekana kuanza kujipanga Jumatatu jioni waliposikia fununu kuwa wadudu hao walikuwa wameonekana wakielekea huko katika eneo la Chehe, kando mwa Mlima Kenya. Nzige walipofika Jumanne asubuhi, wakazi hao walichoma magurudumu na matawi ili kutoa moshi mkubwa, kisha wakachanganya maji, pilipili pamoja na mimea mingine ya kienyeji na kunyunyuzia mimea. Vilevile, waliendelea kupiga nduru kwa sauti za juu na kupiga madebe matupu ili kutoa sauti kubwa, vitendo vyote hivi vikiwakosesha nzige amani na kuwafanya kuhamia kwingine. Kufikia saa za adhuhuri jana Taifa Leo ilipozuru, nzige hao walikuwa wameondoka, bila hata kusababisha madhara yoyote kwa mimea. “Tuliripoti suala hili kwa serikali lakini tulipogundua kuwa hakukuwa na msaada tukaamua kujiundia mbinu ya kuwafukuza nzige sisi wenyewe, wasiharibu mimea,” akasema mkazi kwa jina Muriithi. Nzige hao walifika Nyeri wakiwa katika makundi mawili na walifanya uharibifu kidogo katika baadhi ya mashamba ya majani chai na kahawa. Lakini baada ya kufanya ukaguzi jana, idara ya kilimo katika kaunti hiyo iliwataka wakazi kutokuwa na hofu, kwani bado hakuna hasara imeshuhudiwa. “Tumekuwa mashambani leo asubuhi. Hakuna hasara kubwa kwa mimea kutokana na ukaguzi wetu hadi sasa kwani(nzige hao) wamekula nyasi aina ya Napier tu,” akasema James Wachihi, waziri wa Kilimo. Wakulima walikuwa wakihofia kuwa huenda wadudu hao wangeathiri shughuli ya mimea ya kahawa kutoa maua na kuathiri mazao. Wakati walivamia sehemu za mashamba ya mimea hiyo. Nzige hao walitaga mayai mengi ambayo sasa wakulima wanahofia kuwa yataangua kizazi kingine cha wadudu hao waharibifu, wakati serikali ya kaunti ilisema itasambaza dawa za kunyunyuzia mayai hayo kwa wakulima. Katika Kaunti ya Kisumu, wakulima wa miwa walikuwa wakihofia hasara kubwa baada ya wadudu hao kuvamia mashamba, wakazi wa eneo la Ngere Kamarawa wakiiomba serikali kuwasaidia kuwamaliza. “Eneo la Muhoroni ndilo huzalisha chakula kingi Kisumu, tusisubiri wakulima wapate hasara ndipo suluhisho itolewe,” akasema Naibu Kamishna wa Kaunti eneo la Muhoroni Erick Wanyonyi. Wakati huohuo, Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) lilitaja hali ya nzige kuvamia mashamba Kenya, Ethiopia na Somalia kuwa ya kutisha sana na ambayo inatishia hali ya utoshelezaji wa vyakula siku za baadaye. Maafisa wa FAO walisema kuwa makundi ya nzige yanazidi kuripotiwa kuhama hama kati ya Ethiopia na Kenya, wakati wadudu hao wanazidi kutaga mayai.
Nani alisema kuwa wamejiundia mbinu ya kuwafukuza nzige
{ "text": [ "Muriithi" ] }
1111_swa
Msambao wa kasi wa nzige wazua hofu tele Hofu imezidi kuhusu uwezekano wa hasara kubwa kwa wakulima katika Kaunti za Kisumu na Nyeri, baada ya makundi ya nzige kufika na kuanza kuvamia mashamba Jumanne jioni. Wadudu hao hatari na ambao wamekuwa wakitekeleza mavamizi kwa mimea nchini na mataifa jirani zaidi ya mwezi sasa walionekana maeneo ya Mukurweini na Mathira (Nyeri), na Muhoroni (Kisumu), wakiwatia wakazi hofu kuhusu usalama wa mimea yao. Hata hivyo, huko Nyeri wakazi wa maeneo ya Ndima na Muhuru waliamua kutumia mbinu zao wenyewe na wakafanikiwa kuwatimua nzige hao kutoka mashamba yao, baada ya serikali kukawia. Wakazi hao wanasemekana kuanza kujipanga Jumatatu jioni waliposikia fununu kuwa wadudu hao walikuwa wameonekana wakielekea huko katika eneo la Chehe, kando mwa Mlima Kenya. Nzige walipofika Jumanne asubuhi, wakazi hao walichoma magurudumu na matawi ili kutoa moshi mkubwa, kisha wakachanganya maji, pilipili pamoja na mimea mingine ya kienyeji na kunyunyuzia mimea. Vilevile, waliendelea kupiga nduru kwa sauti za juu na kupiga madebe matupu ili kutoa sauti kubwa, vitendo vyote hivi vikiwakosesha nzige amani na kuwafanya kuhamia kwingine. Kufikia saa za adhuhuri jana Taifa Leo ilipozuru, nzige hao walikuwa wameondoka, bila hata kusababisha madhara yoyote kwa mimea. “Tuliripoti suala hili kwa serikali lakini tulipogundua kuwa hakukuwa na msaada tukaamua kujiundia mbinu ya kuwafukuza nzige sisi wenyewe, wasiharibu mimea,” akasema mkazi kwa jina Muriithi. Nzige hao walifika Nyeri wakiwa katika makundi mawili na walifanya uharibifu kidogo katika baadhi ya mashamba ya majani chai na kahawa. Lakini baada ya kufanya ukaguzi jana, idara ya kilimo katika kaunti hiyo iliwataka wakazi kutokuwa na hofu, kwani bado hakuna hasara imeshuhudiwa. “Tumekuwa mashambani leo asubuhi. Hakuna hasara kubwa kwa mimea kutokana na ukaguzi wetu hadi sasa kwani(nzige hao) wamekula nyasi aina ya Napier tu,” akasema James Wachihi, waziri wa Kilimo. Wakulima walikuwa wakihofia kuwa huenda wadudu hao wangeathiri shughuli ya mimea ya kahawa kutoa maua na kuathiri mazao. Wakati walivamia sehemu za mashamba ya mimea hiyo. Nzige hao walitaga mayai mengi ambayo sasa wakulima wanahofia kuwa yataangua kizazi kingine cha wadudu hao waharibifu, wakati serikali ya kaunti ilisema itasambaza dawa za kunyunyuzia mayai hayo kwa wakulima. Katika Kaunti ya Kisumu, wakulima wa miwa walikuwa wakihofia hasara kubwa baada ya wadudu hao kuvamia mashamba, wakazi wa eneo la Ngere Kamarawa wakiiomba serikali kuwasaidia kuwamaliza. “Eneo la Muhoroni ndilo huzalisha chakula kingi Kisumu, tusisubiri wakulima wapate hasara ndipo suluhisho itolewe,” akasema Naibu Kamishna wa Kaunti eneo la Muhoroni Erick Wanyonyi. Wakati huohuo, Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) lilitaja hali ya nzige kuvamia mashamba Kenya, Ethiopia na Somalia kuwa ya kutisha sana na ambayo inatishia hali ya utoshelezaji wa vyakula siku za baadaye. Maafisa wa FAO walisema kuwa makundi ya nzige yanazidi kuripotiwa kuhama hama kati ya Ethiopia na Kenya, wakati wadudu hao wanazidi kutaga mayai.
Nzige walitaga nini
{ "text": [ "Mayai" ] }
1111_swa
Msambao wa kasi wa nzige wazua hofu tele Hofu imezidi kuhusu uwezekano wa hasara kubwa kwa wakulima katika Kaunti za Kisumu na Nyeri, baada ya makundi ya nzige kufika na kuanza kuvamia mashamba Jumanne jioni. Wadudu hao hatari na ambao wamekuwa wakitekeleza mavamizi kwa mimea nchini na mataifa jirani zaidi ya mwezi sasa walionekana maeneo ya Mukurweini na Mathira (Nyeri), na Muhoroni (Kisumu), wakiwatia wakazi hofu kuhusu usalama wa mimea yao. Hata hivyo, huko Nyeri wakazi wa maeneo ya Ndima na Muhuru waliamua kutumia mbinu zao wenyewe na wakafanikiwa kuwatimua nzige hao kutoka mashamba yao, baada ya serikali kukawia. Wakazi hao wanasemekana kuanza kujipanga Jumatatu jioni waliposikia fununu kuwa wadudu hao walikuwa wameonekana wakielekea huko katika eneo la Chehe, kando mwa Mlima Kenya. Nzige walipofika Jumanne asubuhi, wakazi hao walichoma magurudumu na matawi ili kutoa moshi mkubwa, kisha wakachanganya maji, pilipili pamoja na mimea mingine ya kienyeji na kunyunyuzia mimea. Vilevile, waliendelea kupiga nduru kwa sauti za juu na kupiga madebe matupu ili kutoa sauti kubwa, vitendo vyote hivi vikiwakosesha nzige amani na kuwafanya kuhamia kwingine. Kufikia saa za adhuhuri jana Taifa Leo ilipozuru, nzige hao walikuwa wameondoka, bila hata kusababisha madhara yoyote kwa mimea. “Tuliripoti suala hili kwa serikali lakini tulipogundua kuwa hakukuwa na msaada tukaamua kujiundia mbinu ya kuwafukuza nzige sisi wenyewe, wasiharibu mimea,” akasema mkazi kwa jina Muriithi. Nzige hao walifika Nyeri wakiwa katika makundi mawili na walifanya uharibifu kidogo katika baadhi ya mashamba ya majani chai na kahawa. Lakini baada ya kufanya ukaguzi jana, idara ya kilimo katika kaunti hiyo iliwataka wakazi kutokuwa na hofu, kwani bado hakuna hasara imeshuhudiwa. “Tumekuwa mashambani leo asubuhi. Hakuna hasara kubwa kwa mimea kutokana na ukaguzi wetu hadi sasa kwani(nzige hao) wamekula nyasi aina ya Napier tu,” akasema James Wachihi, waziri wa Kilimo. Wakulima walikuwa wakihofia kuwa huenda wadudu hao wangeathiri shughuli ya mimea ya kahawa kutoa maua na kuathiri mazao. Wakati walivamia sehemu za mashamba ya mimea hiyo. Nzige hao walitaga mayai mengi ambayo sasa wakulima wanahofia kuwa yataangua kizazi kingine cha wadudu hao waharibifu, wakati serikali ya kaunti ilisema itasambaza dawa za kunyunyuzia mayai hayo kwa wakulima. Katika Kaunti ya Kisumu, wakulima wa miwa walikuwa wakihofia hasara kubwa baada ya wadudu hao kuvamia mashamba, wakazi wa eneo la Ngere Kamarawa wakiiomba serikali kuwasaidia kuwamaliza. “Eneo la Muhoroni ndilo huzalisha chakula kingi Kisumu, tusisubiri wakulima wapate hasara ndipo suluhisho itolewe,” akasema Naibu Kamishna wa Kaunti eneo la Muhoroni Erick Wanyonyi. Wakati huohuo, Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) lilitaja hali ya nzige kuvamia mashamba Kenya, Ethiopia na Somalia kuwa ya kutisha sana na ambayo inatishia hali ya utoshelezaji wa vyakula siku za baadaye. Maafisa wa FAO walisema kuwa makundi ya nzige yanazidi kuripotiwa kuhama hama kati ya Ethiopia na Kenya, wakati wadudu hao wanazidi kutaga mayai.
Ni eneo lipi huzalisha chakula kingi Kisumu
{ "text": [ "Muhoroni" ] }
1112_swa
Ufugaji fanifu wa Sungura jijini Suala ukosefu wa ardhi au shamba la kuziendeshea shughuli za kilimo huwa ni kikwazo kikuu, aghalabu katika maeneo ya miji na majiji makuu si tu nchini, bali pia katika nchi nyinginezo. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaoishi mijini huvitumia vipande vya ardhi hata viwe vidogo kiasi gani, kukiendeleza kilimo na kujiruzuku. Baadhi yao hushughulikia ukuzaji wa mimea tofauti tofauti, ilhali wengine hushughulika na ufugaji wa mifugo, mathalani; ng'ombe wa maziwa, mbuzi, kuku, sungura, mabatabukini, mabatamzinga, kanga, miongoni mwa mifugo mingine. Lazaro Tumbuti ni mmojawapo wa wale wanaotumia sehemu ndogo ambazo ni nadra kupatikana kuendeleza shughuli za zaraa. Yeye hushughulikia ufugaji wa sungura katika eneo la Lunga Lunga, Viwandani, jijini Nairobi. Alianza kufanya shughuli hii mwaka uliopita. "Nilianza na sungura wanne; mmoja wa kiume na wengine wa kike. Niliwanunua kutoka kwa marafiki hapa mtaani, lakini kuna mmoja niliyemleta kutoka nyumbani," afichua mkulima huyo. Anasema kuwa aliwanunua sungura hao kwa bei ya Sh500 kila mmoja; wote wakiwa wadogo. Kwa kuwa alikuwa limbukeni katika shughuli hii, aliwaacha sungura hao wote katika kibanda kimoja pasi na kuwatenganisha, na alipigwa butwaa alipogutuka siku moja na kupata idadi ikiwa imeongezeka baada ya vitungule (wanasungura) kuzaliwa. Mkulima huyo hutumia masalio ya mboga kama vile sukuma wiki na kabeji anayokusanya kutoka kwa wauzaji wa mboga mtaani kuwalisha. "Nilikuwa nimejaribu kuwapa chakula cha madukani, lakini kina gharama ya juu. Kuna chakula cha sungura ambacho kinakaa kama mchele. Ukienda hapa Pembe utauziwa kilo kumi kwa Sh500, na ukiwa na sungura wengi, gharama huwa kubwa. Niliona ni heri niendelee tu kuwapa sukuma wiki," asema, akiongeza kuwa alikuwa akizitumia lishe hizo kwa muda wa wiki moja tu. Tumbuti anasema changamoto kuu ni magonjwa wakati wa mvua. "Wakati kuna baridi na unyevunyevu sungura huwa wagonjwa, lakini wakati kuna jua, magonjwa si mengi," adokeza mkulima huyu mwenye umri wa miaka 32. Miongoni mwa magonjwa hayo ni pamoja na kupooza miguu, vidonda vya masikioni, kufura kwa macho n.k. Anadokeza kuwa yeye huwapeleka sungura wake kwa daktari ili awape dawa anazofaa kuzitumia kuwatibu sungura wake. Aidha, kwa wakati mwingine humchukua daktari wa mifugo ili awakague wanyama hao. Mkulima huyo anasikitika kuwa sungura wake wengi wamewahi kufa kutokana na magonjwa mbalimbali. Anasema kwamba kuna wakati wa mvua ambapo alikuwa akiwapa lishe zenye maji mengi, jambo lililosababisha kuvimbiwa tumboni na kufa. "Wale wadogo wenye umri wa wiki tatu ndio waliokuwa wakifa sana," aongeza mkulima huyo. Awali, sungura wake walikuwa wakiongezeka kwa kasi kwa sababu hakuwa akiwatenga wa kiume na wa kike, hivyo walipata fursa aula ya kujamiiana na kuongezeka upesi mno. Hata hivyo, mkulima huyu anasema kuwa kwa wakati huu, yeye huwafungia sungura wa kiume katika kibanda tofauti huku wale wa kike wakiwekwa katika sehemu yao. “Wanapozaliwa ninawaacha kwa muda wa mwezi mmoja halafu ninaona kama ni wa kike au kiume na kuwatenganisha," aongeza. Tumbuti anafichua kwamba yeye huwauza sungura wake baada ya kuwapima kwa kilo. Kwa mfugaji ambaye anataka kuwafuga mimi humuuzia kwa Sh800, na kwa wale ambao wanataka sungura wa kuliwa huwauzia kwa Sh650 kwa kilo moja,” asema mkulima huyu, akiongeza kuwa sungura mmoja anaweza kufikisha uzito wa kilo tatu. Hata hivyo, kuwapata wateja wanaotaka kununua nyama ya sungura huwa ni vigumu na ameamua kuitangaza biashara hiyo mitandaoni, ili kuwavutia wateja wengi. Yeye humuuza sungura mmoja mwenye umri wa mwezi mmoja na nusu kwa bei ya Sh500, na yule mkubwa kabisa humuuza kwa Sh800. Mkulima huyo anafichua kuwa amewahi kuwa na sungura 80, japo idadi imepungua kwa wakati huu, kwa sababu baadhi yao hufa wakati wa mvua, kutokana na maradhi, huku akiwauza wengine. Licha ya kupata mbolea pamoja na mkojo kutoka kwa sungura wake, mkulima yuyo huyo anasema hajawahi kupata wateja wa kuwauzia, na hivyo kushurutika kuumwaga mkojo huo pamoja na mbolea. Mfugaji huyo anapania kujitosa katika ufugaji wa kuku pia, kwa sababu kupata soko la kuwauza kuku huwa si vigumu sana. Tayari ameanza kuwafuga kuku kadha wa kadha karibu na eneo hilo anakowafugia sungura. Tumbuti anadokeza kuwa yeye hulipia kodi ya Sh3,000 kukitumia kipande cha ploti ya anachotumia kuwafuga sungura hao. Mkulima huyu anasema shule ya upili ya Star of Hope, ambayo huwapeleka wanafunzi kujifunza kuhusu ufugaji wa sungura katika eneo hilo. "Pia huja kuchukua mkojo na mbolea kutumia kufanyia ukulima shuleni," asema, akiongeza kwamba wao pia hununua sungura wa kufanyia upasuaji kwa ajili ya mafunzo kwa wanafunzi. Anawashauri vijana kujitosa katika shughuli mbalimbali za kilimo, hata kama wana ardhi ndogo, badala ya kuhangaika na kufadhaika wakizitafuta ajira. Mbali na shughuli ya ufugaji wa sungura na kuku, mkulima huyo pia anaazimia kujitosa hufikisha uzito wa kilo tatu la katika ukuzaji wa mimea kwa kutumia kivungulio (greenhouse).
Baadhi ya watu huvitumia vipande vya ardhi kufanya nini
{ "text": [ "kukiendeleza kilimo" ] }
1112_swa
Ufugaji fanifu wa Sungura jijini Suala ukosefu wa ardhi au shamba la kuziendeshea shughuli za kilimo huwa ni kikwazo kikuu, aghalabu katika maeneo ya miji na majiji makuu si tu nchini, bali pia katika nchi nyinginezo. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaoishi mijini huvitumia vipande vya ardhi hata viwe vidogo kiasi gani, kukiendeleza kilimo na kujiruzuku. Baadhi yao hushughulikia ukuzaji wa mimea tofauti tofauti, ilhali wengine hushughulika na ufugaji wa mifugo, mathalani; ng'ombe wa maziwa, mbuzi, kuku, sungura, mabatabukini, mabatamzinga, kanga, miongoni mwa mifugo mingine. Lazaro Tumbuti ni mmojawapo wa wale wanaotumia sehemu ndogo ambazo ni nadra kupatikana kuendeleza shughuli za zaraa. Yeye hushughulikia ufugaji wa sungura katika eneo la Lunga Lunga, Viwandani, jijini Nairobi. Alianza kufanya shughuli hii mwaka uliopita. "Nilianza na sungura wanne; mmoja wa kiume na wengine wa kike. Niliwanunua kutoka kwa marafiki hapa mtaani, lakini kuna mmoja niliyemleta kutoka nyumbani," afichua mkulima huyo. Anasema kuwa aliwanunua sungura hao kwa bei ya Sh500 kila mmoja; wote wakiwa wadogo. Kwa kuwa alikuwa limbukeni katika shughuli hii, aliwaacha sungura hao wote katika kibanda kimoja pasi na kuwatenganisha, na alipigwa butwaa alipogutuka siku moja na kupata idadi ikiwa imeongezeka baada ya vitungule (wanasungura) kuzaliwa. Mkulima huyo hutumia masalio ya mboga kama vile sukuma wiki na kabeji anayokusanya kutoka kwa wauzaji wa mboga mtaani kuwalisha. "Nilikuwa nimejaribu kuwapa chakula cha madukani, lakini kina gharama ya juu. Kuna chakula cha sungura ambacho kinakaa kama mchele. Ukienda hapa Pembe utauziwa kilo kumi kwa Sh500, na ukiwa na sungura wengi, gharama huwa kubwa. Niliona ni heri niendelee tu kuwapa sukuma wiki," asema, akiongeza kuwa alikuwa akizitumia lishe hizo kwa muda wa wiki moja tu. Tumbuti anasema changamoto kuu ni magonjwa wakati wa mvua. "Wakati kuna baridi na unyevunyevu sungura huwa wagonjwa, lakini wakati kuna jua, magonjwa si mengi," adokeza mkulima huyu mwenye umri wa miaka 32. Miongoni mwa magonjwa hayo ni pamoja na kupooza miguu, vidonda vya masikioni, kufura kwa macho n.k. Anadokeza kuwa yeye huwapeleka sungura wake kwa daktari ili awape dawa anazofaa kuzitumia kuwatibu sungura wake. Aidha, kwa wakati mwingine humchukua daktari wa mifugo ili awakague wanyama hao. Mkulima huyo anasikitika kuwa sungura wake wengi wamewahi kufa kutokana na magonjwa mbalimbali. Anasema kwamba kuna wakati wa mvua ambapo alikuwa akiwapa lishe zenye maji mengi, jambo lililosababisha kuvimbiwa tumboni na kufa. "Wale wadogo wenye umri wa wiki tatu ndio waliokuwa wakifa sana," aongeza mkulima huyo. Awali, sungura wake walikuwa wakiongezeka kwa kasi kwa sababu hakuwa akiwatenga wa kiume na wa kike, hivyo walipata fursa aula ya kujamiiana na kuongezeka upesi mno. Hata hivyo, mkulima huyu anasema kuwa kwa wakati huu, yeye huwafungia sungura wa kiume katika kibanda tofauti huku wale wa kike wakiwekwa katika sehemu yao. “Wanapozaliwa ninawaacha kwa muda wa mwezi mmoja halafu ninaona kama ni wa kike au kiume na kuwatenganisha," aongeza. Tumbuti anafichua kwamba yeye huwauza sungura wake baada ya kuwapima kwa kilo. Kwa mfugaji ambaye anataka kuwafuga mimi humuuzia kwa Sh800, na kwa wale ambao wanataka sungura wa kuliwa huwauzia kwa Sh650 kwa kilo moja,” asema mkulima huyu, akiongeza kuwa sungura mmoja anaweza kufikisha uzito wa kilo tatu. Hata hivyo, kuwapata wateja wanaotaka kununua nyama ya sungura huwa ni vigumu na ameamua kuitangaza biashara hiyo mitandaoni, ili kuwavutia wateja wengi. Yeye humuuza sungura mmoja mwenye umri wa mwezi mmoja na nusu kwa bei ya Sh500, na yule mkubwa kabisa humuuza kwa Sh800. Mkulima huyo anafichua kuwa amewahi kuwa na sungura 80, japo idadi imepungua kwa wakati huu, kwa sababu baadhi yao hufa wakati wa mvua, kutokana na maradhi, huku akiwauza wengine. Licha ya kupata mbolea pamoja na mkojo kutoka kwa sungura wake, mkulima yuyo huyo anasema hajawahi kupata wateja wa kuwauzia, na hivyo kushurutika kuumwaga mkojo huo pamoja na mbolea. Mfugaji huyo anapania kujitosa katika ufugaji wa kuku pia, kwa sababu kupata soko la kuwauza kuku huwa si vigumu sana. Tayari ameanza kuwafuga kuku kadha wa kadha karibu na eneo hilo anakowafugia sungura. Tumbuti anadokeza kuwa yeye hulipia kodi ya Sh3,000 kukitumia kipande cha ploti ya anachotumia kuwafuga sungura hao. Mkulima huyu anasema shule ya upili ya Star of Hope, ambayo huwapeleka wanafunzi kujifunza kuhusu ufugaji wa sungura katika eneo hilo. "Pia huja kuchukua mkojo na mbolea kutumia kufanyia ukulima shuleni," asema, akiongeza kwamba wao pia hununua sungura wa kufanyia upasuaji kwa ajili ya mafunzo kwa wanafunzi. Anawashauri vijana kujitosa katika shughuli mbalimbali za kilimo, hata kama wana ardhi ndogo, badala ya kuhangaika na kufadhaika wakizitafuta ajira. Mbali na shughuli ya ufugaji wa sungura na kuku, mkulima huyo pia anaazimia kujitosa hufikisha uzito wa kilo tatu la katika ukuzaji wa mimea kwa kutumia kivungulio (greenhouse).
Nani mojawapo wa wanaotumia sehemu ndogo kuendeleza shughuli za zaraa
{ "text": [ "Lazaro tumbuti" ] }
1112_swa
Ufugaji fanifu wa Sungura jijini Suala ukosefu wa ardhi au shamba la kuziendeshea shughuli za kilimo huwa ni kikwazo kikuu, aghalabu katika maeneo ya miji na majiji makuu si tu nchini, bali pia katika nchi nyinginezo. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaoishi mijini huvitumia vipande vya ardhi hata viwe vidogo kiasi gani, kukiendeleza kilimo na kujiruzuku. Baadhi yao hushughulikia ukuzaji wa mimea tofauti tofauti, ilhali wengine hushughulika na ufugaji wa mifugo, mathalani; ng'ombe wa maziwa, mbuzi, kuku, sungura, mabatabukini, mabatamzinga, kanga, miongoni mwa mifugo mingine. Lazaro Tumbuti ni mmojawapo wa wale wanaotumia sehemu ndogo ambazo ni nadra kupatikana kuendeleza shughuli za zaraa. Yeye hushughulikia ufugaji wa sungura katika eneo la Lunga Lunga, Viwandani, jijini Nairobi. Alianza kufanya shughuli hii mwaka uliopita. "Nilianza na sungura wanne; mmoja wa kiume na wengine wa kike. Niliwanunua kutoka kwa marafiki hapa mtaani, lakini kuna mmoja niliyemleta kutoka nyumbani," afichua mkulima huyo. Anasema kuwa aliwanunua sungura hao kwa bei ya Sh500 kila mmoja; wote wakiwa wadogo. Kwa kuwa alikuwa limbukeni katika shughuli hii, aliwaacha sungura hao wote katika kibanda kimoja pasi na kuwatenganisha, na alipigwa butwaa alipogutuka siku moja na kupata idadi ikiwa imeongezeka baada ya vitungule (wanasungura) kuzaliwa. Mkulima huyo hutumia masalio ya mboga kama vile sukuma wiki na kabeji anayokusanya kutoka kwa wauzaji wa mboga mtaani kuwalisha. "Nilikuwa nimejaribu kuwapa chakula cha madukani, lakini kina gharama ya juu. Kuna chakula cha sungura ambacho kinakaa kama mchele. Ukienda hapa Pembe utauziwa kilo kumi kwa Sh500, na ukiwa na sungura wengi, gharama huwa kubwa. Niliona ni heri niendelee tu kuwapa sukuma wiki," asema, akiongeza kuwa alikuwa akizitumia lishe hizo kwa muda wa wiki moja tu. Tumbuti anasema changamoto kuu ni magonjwa wakati wa mvua. "Wakati kuna baridi na unyevunyevu sungura huwa wagonjwa, lakini wakati kuna jua, magonjwa si mengi," adokeza mkulima huyu mwenye umri wa miaka 32. Miongoni mwa magonjwa hayo ni pamoja na kupooza miguu, vidonda vya masikioni, kufura kwa macho n.k. Anadokeza kuwa yeye huwapeleka sungura wake kwa daktari ili awape dawa anazofaa kuzitumia kuwatibu sungura wake. Aidha, kwa wakati mwingine humchukua daktari wa mifugo ili awakague wanyama hao. Mkulima huyo anasikitika kuwa sungura wake wengi wamewahi kufa kutokana na magonjwa mbalimbali. Anasema kwamba kuna wakati wa mvua ambapo alikuwa akiwapa lishe zenye maji mengi, jambo lililosababisha kuvimbiwa tumboni na kufa. "Wale wadogo wenye umri wa wiki tatu ndio waliokuwa wakifa sana," aongeza mkulima huyo. Awali, sungura wake walikuwa wakiongezeka kwa kasi kwa sababu hakuwa akiwatenga wa kiume na wa kike, hivyo walipata fursa aula ya kujamiiana na kuongezeka upesi mno. Hata hivyo, mkulima huyu anasema kuwa kwa wakati huu, yeye huwafungia sungura wa kiume katika kibanda tofauti huku wale wa kike wakiwekwa katika sehemu yao. “Wanapozaliwa ninawaacha kwa muda wa mwezi mmoja halafu ninaona kama ni wa kike au kiume na kuwatenganisha," aongeza. Tumbuti anafichua kwamba yeye huwauza sungura wake baada ya kuwapima kwa kilo. Kwa mfugaji ambaye anataka kuwafuga mimi humuuzia kwa Sh800, na kwa wale ambao wanataka sungura wa kuliwa huwauzia kwa Sh650 kwa kilo moja,” asema mkulima huyu, akiongeza kuwa sungura mmoja anaweza kufikisha uzito wa kilo tatu. Hata hivyo, kuwapata wateja wanaotaka kununua nyama ya sungura huwa ni vigumu na ameamua kuitangaza biashara hiyo mitandaoni, ili kuwavutia wateja wengi. Yeye humuuza sungura mmoja mwenye umri wa mwezi mmoja na nusu kwa bei ya Sh500, na yule mkubwa kabisa humuuza kwa Sh800. Mkulima huyo anafichua kuwa amewahi kuwa na sungura 80, japo idadi imepungua kwa wakati huu, kwa sababu baadhi yao hufa wakati wa mvua, kutokana na maradhi, huku akiwauza wengine. Licha ya kupata mbolea pamoja na mkojo kutoka kwa sungura wake, mkulima yuyo huyo anasema hajawahi kupata wateja wa kuwauzia, na hivyo kushurutika kuumwaga mkojo huo pamoja na mbolea. Mfugaji huyo anapania kujitosa katika ufugaji wa kuku pia, kwa sababu kupata soko la kuwauza kuku huwa si vigumu sana. Tayari ameanza kuwafuga kuku kadha wa kadha karibu na eneo hilo anakowafugia sungura. Tumbuti anadokeza kuwa yeye hulipia kodi ya Sh3,000 kukitumia kipande cha ploti ya anachotumia kuwafuga sungura hao. Mkulima huyu anasema shule ya upili ya Star of Hope, ambayo huwapeleka wanafunzi kujifunza kuhusu ufugaji wa sungura katika eneo hilo. "Pia huja kuchukua mkojo na mbolea kutumia kufanyia ukulima shuleni," asema, akiongeza kwamba wao pia hununua sungura wa kufanyia upasuaji kwa ajili ya mafunzo kwa wanafunzi. Anawashauri vijana kujitosa katika shughuli mbalimbali za kilimo, hata kama wana ardhi ndogo, badala ya kuhangaika na kufadhaika wakizitafuta ajira. Mbali na shughuli ya ufugaji wa sungura na kuku, mkulima huyo pia anaazimia kujitosa hufikisha uzito wa kilo tatu la katika ukuzaji wa mimea kwa kutumia kivungulio (greenhouse).
Lazaro hushughulikia nini
{ "text": [ "ufugaji wa sungura" ] }
1112_swa
Ufugaji fanifu wa Sungura jijini Suala ukosefu wa ardhi au shamba la kuziendeshea shughuli za kilimo huwa ni kikwazo kikuu, aghalabu katika maeneo ya miji na majiji makuu si tu nchini, bali pia katika nchi nyinginezo. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaoishi mijini huvitumia vipande vya ardhi hata viwe vidogo kiasi gani, kukiendeleza kilimo na kujiruzuku. Baadhi yao hushughulikia ukuzaji wa mimea tofauti tofauti, ilhali wengine hushughulika na ufugaji wa mifugo, mathalani; ng'ombe wa maziwa, mbuzi, kuku, sungura, mabatabukini, mabatamzinga, kanga, miongoni mwa mifugo mingine. Lazaro Tumbuti ni mmojawapo wa wale wanaotumia sehemu ndogo ambazo ni nadra kupatikana kuendeleza shughuli za zaraa. Yeye hushughulikia ufugaji wa sungura katika eneo la Lunga Lunga, Viwandani, jijini Nairobi. Alianza kufanya shughuli hii mwaka uliopita. "Nilianza na sungura wanne; mmoja wa kiume na wengine wa kike. Niliwanunua kutoka kwa marafiki hapa mtaani, lakini kuna mmoja niliyemleta kutoka nyumbani," afichua mkulima huyo. Anasema kuwa aliwanunua sungura hao kwa bei ya Sh500 kila mmoja; wote wakiwa wadogo. Kwa kuwa alikuwa limbukeni katika shughuli hii, aliwaacha sungura hao wote katika kibanda kimoja pasi na kuwatenganisha, na alipigwa butwaa alipogutuka siku moja na kupata idadi ikiwa imeongezeka baada ya vitungule (wanasungura) kuzaliwa. Mkulima huyo hutumia masalio ya mboga kama vile sukuma wiki na kabeji anayokusanya kutoka kwa wauzaji wa mboga mtaani kuwalisha. "Nilikuwa nimejaribu kuwapa chakula cha madukani, lakini kina gharama ya juu. Kuna chakula cha sungura ambacho kinakaa kama mchele. Ukienda hapa Pembe utauziwa kilo kumi kwa Sh500, na ukiwa na sungura wengi, gharama huwa kubwa. Niliona ni heri niendelee tu kuwapa sukuma wiki," asema, akiongeza kuwa alikuwa akizitumia lishe hizo kwa muda wa wiki moja tu. Tumbuti anasema changamoto kuu ni magonjwa wakati wa mvua. "Wakati kuna baridi na unyevunyevu sungura huwa wagonjwa, lakini wakati kuna jua, magonjwa si mengi," adokeza mkulima huyu mwenye umri wa miaka 32. Miongoni mwa magonjwa hayo ni pamoja na kupooza miguu, vidonda vya masikioni, kufura kwa macho n.k. Anadokeza kuwa yeye huwapeleka sungura wake kwa daktari ili awape dawa anazofaa kuzitumia kuwatibu sungura wake. Aidha, kwa wakati mwingine humchukua daktari wa mifugo ili awakague wanyama hao. Mkulima huyo anasikitika kuwa sungura wake wengi wamewahi kufa kutokana na magonjwa mbalimbali. Anasema kwamba kuna wakati wa mvua ambapo alikuwa akiwapa lishe zenye maji mengi, jambo lililosababisha kuvimbiwa tumboni na kufa. "Wale wadogo wenye umri wa wiki tatu ndio waliokuwa wakifa sana," aongeza mkulima huyo. Awali, sungura wake walikuwa wakiongezeka kwa kasi kwa sababu hakuwa akiwatenga wa kiume na wa kike, hivyo walipata fursa aula ya kujamiiana na kuongezeka upesi mno. Hata hivyo, mkulima huyu anasema kuwa kwa wakati huu, yeye huwafungia sungura wa kiume katika kibanda tofauti huku wale wa kike wakiwekwa katika sehemu yao. “Wanapozaliwa ninawaacha kwa muda wa mwezi mmoja halafu ninaona kama ni wa kike au kiume na kuwatenganisha," aongeza. Tumbuti anafichua kwamba yeye huwauza sungura wake baada ya kuwapima kwa kilo. Kwa mfugaji ambaye anataka kuwafuga mimi humuuzia kwa Sh800, na kwa wale ambao wanataka sungura wa kuliwa huwauzia kwa Sh650 kwa kilo moja,” asema mkulima huyu, akiongeza kuwa sungura mmoja anaweza kufikisha uzito wa kilo tatu. Hata hivyo, kuwapata wateja wanaotaka kununua nyama ya sungura huwa ni vigumu na ameamua kuitangaza biashara hiyo mitandaoni, ili kuwavutia wateja wengi. Yeye humuuza sungura mmoja mwenye umri wa mwezi mmoja na nusu kwa bei ya Sh500, na yule mkubwa kabisa humuuza kwa Sh800. Mkulima huyo anafichua kuwa amewahi kuwa na sungura 80, japo idadi imepungua kwa wakati huu, kwa sababu baadhi yao hufa wakati wa mvua, kutokana na maradhi, huku akiwauza wengine. Licha ya kupata mbolea pamoja na mkojo kutoka kwa sungura wake, mkulima yuyo huyo anasema hajawahi kupata wateja wa kuwauzia, na hivyo kushurutika kuumwaga mkojo huo pamoja na mbolea. Mfugaji huyo anapania kujitosa katika ufugaji wa kuku pia, kwa sababu kupata soko la kuwauza kuku huwa si vigumu sana. Tayari ameanza kuwafuga kuku kadha wa kadha karibu na eneo hilo anakowafugia sungura. Tumbuti anadokeza kuwa yeye hulipia kodi ya Sh3,000 kukitumia kipande cha ploti ya anachotumia kuwafuga sungura hao. Mkulima huyu anasema shule ya upili ya Star of Hope, ambayo huwapeleka wanafunzi kujifunza kuhusu ufugaji wa sungura katika eneo hilo. "Pia huja kuchukua mkojo na mbolea kutumia kufanyia ukulima shuleni," asema, akiongeza kwamba wao pia hununua sungura wa kufanyia upasuaji kwa ajili ya mafunzo kwa wanafunzi. Anawashauri vijana kujitosa katika shughuli mbalimbali za kilimo, hata kama wana ardhi ndogo, badala ya kuhangaika na kufadhaika wakizitafuta ajira. Mbali na shughuli ya ufugaji wa sungura na kuku, mkulima huyo pia anaazimia kujitosa hufikisha uzito wa kilo tatu la katika ukuzaji wa mimea kwa kutumia kivungulio (greenhouse).
Mkulima huyo hutumia nini kuwalisha Sungura
{ "text": [ "masalio ya mboga" ] }
1112_swa
Ufugaji fanifu wa Sungura jijini Suala ukosefu wa ardhi au shamba la kuziendeshea shughuli za kilimo huwa ni kikwazo kikuu, aghalabu katika maeneo ya miji na majiji makuu si tu nchini, bali pia katika nchi nyinginezo. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaoishi mijini huvitumia vipande vya ardhi hata viwe vidogo kiasi gani, kukiendeleza kilimo na kujiruzuku. Baadhi yao hushughulikia ukuzaji wa mimea tofauti tofauti, ilhali wengine hushughulika na ufugaji wa mifugo, mathalani; ng'ombe wa maziwa, mbuzi, kuku, sungura, mabatabukini, mabatamzinga, kanga, miongoni mwa mifugo mingine. Lazaro Tumbuti ni mmojawapo wa wale wanaotumia sehemu ndogo ambazo ni nadra kupatikana kuendeleza shughuli za zaraa. Yeye hushughulikia ufugaji wa sungura katika eneo la Lunga Lunga, Viwandani, jijini Nairobi. Alianza kufanya shughuli hii mwaka uliopita. "Nilianza na sungura wanne; mmoja wa kiume na wengine wa kike. Niliwanunua kutoka kwa marafiki hapa mtaani, lakini kuna mmoja niliyemleta kutoka nyumbani," afichua mkulima huyo. Anasema kuwa aliwanunua sungura hao kwa bei ya Sh500 kila mmoja; wote wakiwa wadogo. Kwa kuwa alikuwa limbukeni katika shughuli hii, aliwaacha sungura hao wote katika kibanda kimoja pasi na kuwatenganisha, na alipigwa butwaa alipogutuka siku moja na kupata idadi ikiwa imeongezeka baada ya vitungule (wanasungura) kuzaliwa. Mkulima huyo hutumia masalio ya mboga kama vile sukuma wiki na kabeji anayokusanya kutoka kwa wauzaji wa mboga mtaani kuwalisha. "Nilikuwa nimejaribu kuwapa chakula cha madukani, lakini kina gharama ya juu. Kuna chakula cha sungura ambacho kinakaa kama mchele. Ukienda hapa Pembe utauziwa kilo kumi kwa Sh500, na ukiwa na sungura wengi, gharama huwa kubwa. Niliona ni heri niendelee tu kuwapa sukuma wiki," asema, akiongeza kuwa alikuwa akizitumia lishe hizo kwa muda wa wiki moja tu. Tumbuti anasema changamoto kuu ni magonjwa wakati wa mvua. "Wakati kuna baridi na unyevunyevu sungura huwa wagonjwa, lakini wakati kuna jua, magonjwa si mengi," adokeza mkulima huyu mwenye umri wa miaka 32. Miongoni mwa magonjwa hayo ni pamoja na kupooza miguu, vidonda vya masikioni, kufura kwa macho n.k. Anadokeza kuwa yeye huwapeleka sungura wake kwa daktari ili awape dawa anazofaa kuzitumia kuwatibu sungura wake. Aidha, kwa wakati mwingine humchukua daktari wa mifugo ili awakague wanyama hao. Mkulima huyo anasikitika kuwa sungura wake wengi wamewahi kufa kutokana na magonjwa mbalimbali. Anasema kwamba kuna wakati wa mvua ambapo alikuwa akiwapa lishe zenye maji mengi, jambo lililosababisha kuvimbiwa tumboni na kufa. "Wale wadogo wenye umri wa wiki tatu ndio waliokuwa wakifa sana," aongeza mkulima huyo. Awali, sungura wake walikuwa wakiongezeka kwa kasi kwa sababu hakuwa akiwatenga wa kiume na wa kike, hivyo walipata fursa aula ya kujamiiana na kuongezeka upesi mno. Hata hivyo, mkulima huyu anasema kuwa kwa wakati huu, yeye huwafungia sungura wa kiume katika kibanda tofauti huku wale wa kike wakiwekwa katika sehemu yao. “Wanapozaliwa ninawaacha kwa muda wa mwezi mmoja halafu ninaona kama ni wa kike au kiume na kuwatenganisha," aongeza. Tumbuti anafichua kwamba yeye huwauza sungura wake baada ya kuwapima kwa kilo. Kwa mfugaji ambaye anataka kuwafuga mimi humuuzia kwa Sh800, na kwa wale ambao wanataka sungura wa kuliwa huwauzia kwa Sh650 kwa kilo moja,” asema mkulima huyu, akiongeza kuwa sungura mmoja anaweza kufikisha uzito wa kilo tatu. Hata hivyo, kuwapata wateja wanaotaka kununua nyama ya sungura huwa ni vigumu na ameamua kuitangaza biashara hiyo mitandaoni, ili kuwavutia wateja wengi. Yeye humuuza sungura mmoja mwenye umri wa mwezi mmoja na nusu kwa bei ya Sh500, na yule mkubwa kabisa humuuza kwa Sh800. Mkulima huyo anafichua kuwa amewahi kuwa na sungura 80, japo idadi imepungua kwa wakati huu, kwa sababu baadhi yao hufa wakati wa mvua, kutokana na maradhi, huku akiwauza wengine. Licha ya kupata mbolea pamoja na mkojo kutoka kwa sungura wake, mkulima yuyo huyo anasema hajawahi kupata wateja wa kuwauzia, na hivyo kushurutika kuumwaga mkojo huo pamoja na mbolea. Mfugaji huyo anapania kujitosa katika ufugaji wa kuku pia, kwa sababu kupata soko la kuwauza kuku huwa si vigumu sana. Tayari ameanza kuwafuga kuku kadha wa kadha karibu na eneo hilo anakowafugia sungura. Tumbuti anadokeza kuwa yeye hulipia kodi ya Sh3,000 kukitumia kipande cha ploti ya anachotumia kuwafuga sungura hao. Mkulima huyu anasema shule ya upili ya Star of Hope, ambayo huwapeleka wanafunzi kujifunza kuhusu ufugaji wa sungura katika eneo hilo. "Pia huja kuchukua mkojo na mbolea kutumia kufanyia ukulima shuleni," asema, akiongeza kwamba wao pia hununua sungura wa kufanyia upasuaji kwa ajili ya mafunzo kwa wanafunzi. Anawashauri vijana kujitosa katika shughuli mbalimbali za kilimo, hata kama wana ardhi ndogo, badala ya kuhangaika na kufadhaika wakizitafuta ajira. Mbali na shughuli ya ufugaji wa sungura na kuku, mkulima huyo pia anaazimia kujitosa hufikisha uzito wa kilo tatu la katika ukuzaji wa mimea kwa kutumia kivungulio (greenhouse).
Timbuti alisema changamoto kuu wakati wa mvua ni gani
{ "text": [ "magonjwa" ] }
1113_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA CORONA Ama Kweli, alitakalo Mola huwa, yote hutokea ! Kwa kudura yake Maulana. UVIKO-79 au Korona ni ugonjwa ulioanzia nchini China Mwezi Disemba mwaka elfu mbili kumi na tisa mjini Wuhan. Tangu wakati huo ugonjwa Wenyewe umeenea kwenye mataifa mia moja . themanini na mbili. Virusi vya Korona ni jami Kubwa ya virusi Vinavyojulikana kusababisha magonjwa mengine. Uviko-19 unafanana na homa ya mafua aambukizayo kwa kasi mno. Ugonjwa huu husababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Madhara ya ugonjwa huu ni, Janga la Korona umesababisha kuporomo ka kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla UVIKO-19 umeathiri mataifa kadhaa yakiwemo Tunisia, Marekani na Tanzania. Katika taifa la Tanzania Wanawake Mkowa mkoani Mtwara wamesema wanaathiriwa na janga la Virusi Vya corona na kueleza kuwa biashara zao. Zinayumba kimtaji na kushindwa kuelez Kuendeleza biashara. Haya yalifanyika mwaka jana lakini kilio bado Kiko. I Pili janga la Corona lilifanya watu wachukue Imikopo. Watu wanahofia taasisi za mikopo na mabenki yatachukua mali yao na kuuzwa Kutokana na kushindwa Kurejesha mikopo kwa wakati. Biashara za watu zimeenda mrama na mahuluki Kukosa Kulisha famlilia zao. Hayo yameelezwa kwenye Kongarnaro maalum la kujadili athari za janga la Virusi vya Corona kwa wanawake lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali Litwalo Kimwamu na kufadhiliwa na mfuko wa wanawake Tanzania ambapo wanawake wanajihusisha na shughuli mbalimbali walilalamikia kuporomoka kwa uchumi. Janga la Corona limeathiri, pia vijana wasio na kazi wala bazi yaani wenye biashara ndogo ndogo. Vijana wengi wanawasiwasi kuwa huenda mali zao ambazo walizoweka dhamana kwenye taasisi ya fedha zitachukuliwa na Kupigwa mnada. Mathalani, Janga la Corona limeathiri nchi hiyo upande wa kijamii ngazi ya familia hadi Serikalini kutokana na kusitishwa kwa huduma mbalimbali kama zoezi la wajili wa vitambulisho vya taifa kwa kuwa lilisimama kwa muda na kusababisha baadhi ya akina mama kushindwa kuendelea kufuatia haki zao kwenye masuala ya marathi Kando na hayo, Janga la Corona lilisimamisha huduma nyingi katika taifa la Kenya ikiwemo usafiri, biashara na hata maendeleo ya nchi. Uchumi wa taifa la Kenya Umeddimi. Kwa kiasi kikubwa. Isitoshe, Janga la Corona limesitisha tamaduni za wananchi wa Kenya kama vile watu kutembelea na kusalimiana kwa mikono na hata kukumbatina Shughuli za kuabudu katika mabadi kama vile msikitini na kanisani Adinasi wanapaswa kukaa umbali wa mita moja unusu. Hata Shamrashamra za harusi na matanga zinapaswa kuhudhuriwa na watu wachache ili kuepuka maambukizi . Afadhali ya mrama kuliko ya Kuzama. Aghalabu, Janga la Korona limeathiri shughuli La kimasomo kwa asilimia tisini na sita wanafunzi walipoteza muda wakiwa ghetto kwa takriban miezi kumi hivi Wengi wa Wanafunzi walirudi shuleni wakiwa wamesahau kila kitu na hii iliwapa walimu wakati mgumu sana .Miongoni mwa hayo ni kuwa watu wengi wamepigwa Kalamu hasa madereva wahudumu wanahoteli na hata waliomo maofisini. Ingawa janga la Corona limefanya wana siasa Kupigwa marufuku kuweka mikutano ya hadhara na makongamano ya watu hasa wakati huu ambao tunaelekea Kufanya uchaguzi mkuu mwaka yao. Mengineyo ni kuwa tujikinge na maradhi haya kwa kuvaa barakoa na kuosha mikono kwa maji vuguvugu au dawa za kuuwa vijidudu kwa angalau sekunde.
Korona ilianzia nchini wapi
{ "text": [ "China" ] }
1113_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA CORONA Ama Kweli, alitakalo Mola huwa, yote hutokea ! Kwa kudura yake Maulana. UVIKO-79 au Korona ni ugonjwa ulioanzia nchini China Mwezi Disemba mwaka elfu mbili kumi na tisa mjini Wuhan. Tangu wakati huo ugonjwa Wenyewe umeenea kwenye mataifa mia moja . themanini na mbili. Virusi vya Korona ni jami Kubwa ya virusi Vinavyojulikana kusababisha magonjwa mengine. Uviko-19 unafanana na homa ya mafua aambukizayo kwa kasi mno. Ugonjwa huu husababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Madhara ya ugonjwa huu ni, Janga la Korona umesababisha kuporomo ka kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla UVIKO-19 umeathiri mataifa kadhaa yakiwemo Tunisia, Marekani na Tanzania. Katika taifa la Tanzania Wanawake Mkowa mkoani Mtwara wamesema wanaathiriwa na janga la Virusi Vya corona na kueleza kuwa biashara zao. Zinayumba kimtaji na kushindwa kuelez Kuendeleza biashara. Haya yalifanyika mwaka jana lakini kilio bado Kiko. I Pili janga la Corona lilifanya watu wachukue Imikopo. Watu wanahofia taasisi za mikopo na mabenki yatachukua mali yao na kuuzwa Kutokana na kushindwa Kurejesha mikopo kwa wakati. Biashara za watu zimeenda mrama na mahuluki Kukosa Kulisha famlilia zao. Hayo yameelezwa kwenye Kongarnaro maalum la kujadili athari za janga la Virusi vya Corona kwa wanawake lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali Litwalo Kimwamu na kufadhiliwa na mfuko wa wanawake Tanzania ambapo wanawake wanajihusisha na shughuli mbalimbali walilalamikia kuporomoka kwa uchumi. Janga la Corona limeathiri, pia vijana wasio na kazi wala bazi yaani wenye biashara ndogo ndogo. Vijana wengi wanawasiwasi kuwa huenda mali zao ambazo walizoweka dhamana kwenye taasisi ya fedha zitachukuliwa na Kupigwa mnada. Mathalani, Janga la Corona limeathiri nchi hiyo upande wa kijamii ngazi ya familia hadi Serikalini kutokana na kusitishwa kwa huduma mbalimbali kama zoezi la wajili wa vitambulisho vya taifa kwa kuwa lilisimama kwa muda na kusababisha baadhi ya akina mama kushindwa kuendelea kufuatia haki zao kwenye masuala ya marathi Kando na hayo, Janga la Corona lilisimamisha huduma nyingi katika taifa la Kenya ikiwemo usafiri, biashara na hata maendeleo ya nchi. Uchumi wa taifa la Kenya Umeddimi. Kwa kiasi kikubwa. Isitoshe, Janga la Corona limesitisha tamaduni za wananchi wa Kenya kama vile watu kutembelea na kusalimiana kwa mikono na hata kukumbatina Shughuli za kuabudu katika mabadi kama vile msikitini na kanisani Adinasi wanapaswa kukaa umbali wa mita moja unusu. Hata Shamrashamra za harusi na matanga zinapaswa kuhudhuriwa na watu wachache ili kuepuka maambukizi . Afadhali ya mrama kuliko ya Kuzama. Aghalabu, Janga la Korona limeathiri shughuli La kimasomo kwa asilimia tisini na sita wanafunzi walipoteza muda wakiwa ghetto kwa takriban miezi kumi hivi Wengi wa Wanafunzi walirudi shuleni wakiwa wamesahau kila kitu na hii iliwapa walimu wakati mgumu sana .Miongoni mwa hayo ni kuwa watu wengi wamepigwa Kalamu hasa madereva wahudumu wanahoteli na hata waliomo maofisini. Ingawa janga la Corona limefanya wana siasa Kupigwa marufuku kuweka mikutano ya hadhara na makongamano ya watu hasa wakati huu ambao tunaelekea Kufanya uchaguzi mkuu mwaka yao. Mengineyo ni kuwa tujikinge na maradhi haya kwa kuvaa barakoa na kuosha mikono kwa maji vuguvugu au dawa za kuuwa vijidudu kwa angalau sekunde.
Janga la Korona watu wengi wachukue nini
{ "text": [ "Mikopo" ] }
1113_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA CORONA Ama Kweli, alitakalo Mola huwa, yote hutokea ! Kwa kudura yake Maulana. UVIKO-79 au Korona ni ugonjwa ulioanzia nchini China Mwezi Disemba mwaka elfu mbili kumi na tisa mjini Wuhan. Tangu wakati huo ugonjwa Wenyewe umeenea kwenye mataifa mia moja . themanini na mbili. Virusi vya Korona ni jami Kubwa ya virusi Vinavyojulikana kusababisha magonjwa mengine. Uviko-19 unafanana na homa ya mafua aambukizayo kwa kasi mno. Ugonjwa huu husababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Madhara ya ugonjwa huu ni, Janga la Korona umesababisha kuporomo ka kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla UVIKO-19 umeathiri mataifa kadhaa yakiwemo Tunisia, Marekani na Tanzania. Katika taifa la Tanzania Wanawake Mkowa mkoani Mtwara wamesema wanaathiriwa na janga la Virusi Vya corona na kueleza kuwa biashara zao. Zinayumba kimtaji na kushindwa kuelez Kuendeleza biashara. Haya yalifanyika mwaka jana lakini kilio bado Kiko. I Pili janga la Corona lilifanya watu wachukue Imikopo. Watu wanahofia taasisi za mikopo na mabenki yatachukua mali yao na kuuzwa Kutokana na kushindwa Kurejesha mikopo kwa wakati. Biashara za watu zimeenda mrama na mahuluki Kukosa Kulisha famlilia zao. Hayo yameelezwa kwenye Kongarnaro maalum la kujadili athari za janga la Virusi vya Corona kwa wanawake lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali Litwalo Kimwamu na kufadhiliwa na mfuko wa wanawake Tanzania ambapo wanawake wanajihusisha na shughuli mbalimbali walilalamikia kuporomoka kwa uchumi. Janga la Corona limeathiri, pia vijana wasio na kazi wala bazi yaani wenye biashara ndogo ndogo. Vijana wengi wanawasiwasi kuwa huenda mali zao ambazo walizoweka dhamana kwenye taasisi ya fedha zitachukuliwa na Kupigwa mnada. Mathalani, Janga la Corona limeathiri nchi hiyo upande wa kijamii ngazi ya familia hadi Serikalini kutokana na kusitishwa kwa huduma mbalimbali kama zoezi la wajili wa vitambulisho vya taifa kwa kuwa lilisimama kwa muda na kusababisha baadhi ya akina mama kushindwa kuendelea kufuatia haki zao kwenye masuala ya marathi Kando na hayo, Janga la Corona lilisimamisha huduma nyingi katika taifa la Kenya ikiwemo usafiri, biashara na hata maendeleo ya nchi. Uchumi wa taifa la Kenya Umeddimi. Kwa kiasi kikubwa. Isitoshe, Janga la Corona limesitisha tamaduni za wananchi wa Kenya kama vile watu kutembelea na kusalimiana kwa mikono na hata kukumbatina Shughuli za kuabudu katika mabadi kama vile msikitini na kanisani Adinasi wanapaswa kukaa umbali wa mita moja unusu. Hata Shamrashamra za harusi na matanga zinapaswa kuhudhuriwa na watu wachache ili kuepuka maambukizi . Afadhali ya mrama kuliko ya Kuzama. Aghalabu, Janga la Korona limeathiri shughuli La kimasomo kwa asilimia tisini na sita wanafunzi walipoteza muda wakiwa ghetto kwa takriban miezi kumi hivi Wengi wa Wanafunzi walirudi shuleni wakiwa wamesahau kila kitu na hii iliwapa walimu wakati mgumu sana .Miongoni mwa hayo ni kuwa watu wengi wamepigwa Kalamu hasa madereva wahudumu wanahoteli na hata waliomo maofisini. Ingawa janga la Corona limefanya wana siasa Kupigwa marufuku kuweka mikutano ya hadhara na makongamano ya watu hasa wakati huu ambao tunaelekea Kufanya uchaguzi mkuu mwaka yao. Mengineyo ni kuwa tujikinge na maradhi haya kwa kuvaa barakoa na kuosha mikono kwa maji vuguvugu au dawa za kuuwa vijidudu kwa angalau sekunde.
Janga la Korona limesababisha kuporomoka Kwa nini ya nchi
{ "text": [ "Maendeleo" ] }
1113_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA CORONA Ama Kweli, alitakalo Mola huwa, yote hutokea ! Kwa kudura yake Maulana. UVIKO-79 au Korona ni ugonjwa ulioanzia nchini China Mwezi Disemba mwaka elfu mbili kumi na tisa mjini Wuhan. Tangu wakati huo ugonjwa Wenyewe umeenea kwenye mataifa mia moja . themanini na mbili. Virusi vya Korona ni jami Kubwa ya virusi Vinavyojulikana kusababisha magonjwa mengine. Uviko-19 unafanana na homa ya mafua aambukizayo kwa kasi mno. Ugonjwa huu husababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Madhara ya ugonjwa huu ni, Janga la Korona umesababisha kuporomo ka kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla UVIKO-19 umeathiri mataifa kadhaa yakiwemo Tunisia, Marekani na Tanzania. Katika taifa la Tanzania Wanawake Mkowa mkoani Mtwara wamesema wanaathiriwa na janga la Virusi Vya corona na kueleza kuwa biashara zao. Zinayumba kimtaji na kushindwa kuelez Kuendeleza biashara. Haya yalifanyika mwaka jana lakini kilio bado Kiko. I Pili janga la Corona lilifanya watu wachukue Imikopo. Watu wanahofia taasisi za mikopo na mabenki yatachukua mali yao na kuuzwa Kutokana na kushindwa Kurejesha mikopo kwa wakati. Biashara za watu zimeenda mrama na mahuluki Kukosa Kulisha famlilia zao. Hayo yameelezwa kwenye Kongarnaro maalum la kujadili athari za janga la Virusi vya Corona kwa wanawake lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali Litwalo Kimwamu na kufadhiliwa na mfuko wa wanawake Tanzania ambapo wanawake wanajihusisha na shughuli mbalimbali walilalamikia kuporomoka kwa uchumi. Janga la Corona limeathiri, pia vijana wasio na kazi wala bazi yaani wenye biashara ndogo ndogo. Vijana wengi wanawasiwasi kuwa huenda mali zao ambazo walizoweka dhamana kwenye taasisi ya fedha zitachukuliwa na Kupigwa mnada. Mathalani, Janga la Corona limeathiri nchi hiyo upande wa kijamii ngazi ya familia hadi Serikalini kutokana na kusitishwa kwa huduma mbalimbali kama zoezi la wajili wa vitambulisho vya taifa kwa kuwa lilisimama kwa muda na kusababisha baadhi ya akina mama kushindwa kuendelea kufuatia haki zao kwenye masuala ya marathi Kando na hayo, Janga la Corona lilisimamisha huduma nyingi katika taifa la Kenya ikiwemo usafiri, biashara na hata maendeleo ya nchi. Uchumi wa taifa la Kenya Umeddimi. Kwa kiasi kikubwa. Isitoshe, Janga la Corona limesitisha tamaduni za wananchi wa Kenya kama vile watu kutembelea na kusalimiana kwa mikono na hata kukumbatina Shughuli za kuabudu katika mabadi kama vile msikitini na kanisani Adinasi wanapaswa kukaa umbali wa mita moja unusu. Hata Shamrashamra za harusi na matanga zinapaswa kuhudhuriwa na watu wachache ili kuepuka maambukizi . Afadhali ya mrama kuliko ya Kuzama. Aghalabu, Janga la Korona limeathiri shughuli La kimasomo kwa asilimia tisini na sita wanafunzi walipoteza muda wakiwa ghetto kwa takriban miezi kumi hivi Wengi wa Wanafunzi walirudi shuleni wakiwa wamesahau kila kitu na hii iliwapa walimu wakati mgumu sana .Miongoni mwa hayo ni kuwa watu wengi wamepigwa Kalamu hasa madereva wahudumu wanahoteli na hata waliomo maofisini. Ingawa janga la Corona limefanya wana siasa Kupigwa marufuku kuweka mikutano ya hadhara na makongamano ya watu hasa wakati huu ambao tunaelekea Kufanya uchaguzi mkuu mwaka yao. Mengineyo ni kuwa tujikinge na maradhi haya kwa kuvaa barakoa na kuosha mikono kwa maji vuguvugu au dawa za kuuwa vijidudu kwa angalau sekunde.
Nini imedidimia Kwa kiasi kikubwa
{ "text": [ "Uchumi wa Kenya" ] }
1113_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA CORONA Ama Kweli, alitakalo Mola huwa, yote hutokea ! Kwa kudura yake Maulana. UVIKO-79 au Korona ni ugonjwa ulioanzia nchini China Mwezi Disemba mwaka elfu mbili kumi na tisa mjini Wuhan. Tangu wakati huo ugonjwa Wenyewe umeenea kwenye mataifa mia moja . themanini na mbili. Virusi vya Korona ni jami Kubwa ya virusi Vinavyojulikana kusababisha magonjwa mengine. Uviko-19 unafanana na homa ya mafua aambukizayo kwa kasi mno. Ugonjwa huu husababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Madhara ya ugonjwa huu ni, Janga la Korona umesababisha kuporomo ka kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla UVIKO-19 umeathiri mataifa kadhaa yakiwemo Tunisia, Marekani na Tanzania. Katika taifa la Tanzania Wanawake Mkowa mkoani Mtwara wamesema wanaathiriwa na janga la Virusi Vya corona na kueleza kuwa biashara zao. Zinayumba kimtaji na kushindwa kuelez Kuendeleza biashara. Haya yalifanyika mwaka jana lakini kilio bado Kiko. I Pili janga la Corona lilifanya watu wachukue Imikopo. Watu wanahofia taasisi za mikopo na mabenki yatachukua mali yao na kuuzwa Kutokana na kushindwa Kurejesha mikopo kwa wakati. Biashara za watu zimeenda mrama na mahuluki Kukosa Kulisha famlilia zao. Hayo yameelezwa kwenye Kongarnaro maalum la kujadili athari za janga la Virusi vya Corona kwa wanawake lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali Litwalo Kimwamu na kufadhiliwa na mfuko wa wanawake Tanzania ambapo wanawake wanajihusisha na shughuli mbalimbali walilalamikia kuporomoka kwa uchumi. Janga la Corona limeathiri, pia vijana wasio na kazi wala bazi yaani wenye biashara ndogo ndogo. Vijana wengi wanawasiwasi kuwa huenda mali zao ambazo walizoweka dhamana kwenye taasisi ya fedha zitachukuliwa na Kupigwa mnada. Mathalani, Janga la Corona limeathiri nchi hiyo upande wa kijamii ngazi ya familia hadi Serikalini kutokana na kusitishwa kwa huduma mbalimbali kama zoezi la wajili wa vitambulisho vya taifa kwa kuwa lilisimama kwa muda na kusababisha baadhi ya akina mama kushindwa kuendelea kufuatia haki zao kwenye masuala ya marathi Kando na hayo, Janga la Corona lilisimamisha huduma nyingi katika taifa la Kenya ikiwemo usafiri, biashara na hata maendeleo ya nchi. Uchumi wa taifa la Kenya Umeddimi. Kwa kiasi kikubwa. Isitoshe, Janga la Corona limesitisha tamaduni za wananchi wa Kenya kama vile watu kutembelea na kusalimiana kwa mikono na hata kukumbatina Shughuli za kuabudu katika mabadi kama vile msikitini na kanisani Adinasi wanapaswa kukaa umbali wa mita moja unusu. Hata Shamrashamra za harusi na matanga zinapaswa kuhudhuriwa na watu wachache ili kuepuka maambukizi . Afadhali ya mrama kuliko ya Kuzama. Aghalabu, Janga la Korona limeathiri shughuli La kimasomo kwa asilimia tisini na sita wanafunzi walipoteza muda wakiwa ghetto kwa takriban miezi kumi hivi Wengi wa Wanafunzi walirudi shuleni wakiwa wamesahau kila kitu na hii iliwapa walimu wakati mgumu sana .Miongoni mwa hayo ni kuwa watu wengi wamepigwa Kalamu hasa madereva wahudumu wanahoteli na hata waliomo maofisini. Ingawa janga la Corona limefanya wana siasa Kupigwa marufuku kuweka mikutano ya hadhara na makongamano ya watu hasa wakati huu ambao tunaelekea Kufanya uchaguzi mkuu mwaka yao. Mengineyo ni kuwa tujikinge na maradhi haya kwa kuvaa barakoa na kuosha mikono kwa maji vuguvugu au dawa za kuuwa vijidudu kwa angalau sekunde.
Kwa nini watu walipigwa kalamu
{ "text": [ "Kwa sababu ya janga la korona" ] }
1115_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni virusi ambavyo huleta ugonjwa wa UVIKO-19. Corona ya sasa huitwa UVIKO-19 kwa sababu ilifichuka mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ilichipuka Wuhan, China. Huku, Kenya ikipata muathiriwa wa kwanza wa UVIKO-19, tarehe kumi na tatu, Machi, mwaka wa elfu mbili na ishirini. Muathiriwa wa virusi vya corona huwa na homa kali, kikohozi kikavu uchovu na ukosefu wa hamu ya chakula. Virusi vyenyewe ni vya aina tatu, Delta - ambayo ni hatari sana na inauwa watu wengi kama mchanga, Alpha na Beta. Virusi hivi vimeleta madhara yafuatayo: Awali, Janga la corona limechangia watu wengi kukata kamba. Si wadogo si wakubwa, si wazee, si vijana; kila umri umeathirika, Lo! haichagui wala haibagui. Jambo hili limeacha mayatima na wajane wengi kote duniani. Kulingana na gazeti la Taifa Leo la tarehe kumi, Juni, mwaka huu, waathiriwa waliaaga dunia walikuwa elfu tatu, mia tatu arobaini na tano Nchini Kenya. Lo! Isisahaulike kuwa idadi ya wafu linazidi kupaa. Vilevile, janga hili limesababisha watu wengi kufutwa kazi. Waajiri wakizingatia kuwa kinga ni bora kuliko tiba; wamepiga watu kalamu ili waweze kubakisha waajiriwa wachache. Biashara kama na hoteli, mikahawa na hata mabaa zikiishia kufungwa. Hili likafanya waajiriwa wote kufutwa kazi kw,a sababu ya ukosefu wa mishahara. Jambo hili limesababisha watu wengi kuvunjika moyo. Pamoja na hayo, maradhi ya UVIKO- 19 yanaongeza nambari ya walalahoi nchini. Kwani, waliopigwa kalamu hupata shida waanzapo kutafuta tonge la kulisha aila zao. Baadhi ya walimu na wafanyakazi wa shule za kibinafsi walipigwa kalamu kwa ukosefu wa fedha za kuwalipa. Hili lilitokea Kenya wakati shule zilipofungwa mwaka jana. La kusikitisha lilikuwa kuna baadhi ya walimu wakijitoa uhai kwa hofu ya kutoweza kutimiza mahitaji ya kimsingi kwa aila zao. Hata hivyo mtaka mema sharti adhurike, baadhi yao walijikakamua na kufanya kazi za kijungujiko kwani waliamini kuwa mgagaa na upwa hali wali mkavu. Mbali na hayo, janga la corona limezorotesha uchumi wa nchi chungu nzima. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini nchi yetu haikuweza kuagiza bidhaa kama nguo, mashine na elektroniki kutoka China wala kuuza nje majani chai, pareto na kahawa. Jambo hili lilikosesha serikali ushuru. Lau, pesa zingepatikana, zingesaidia kwa kuboresha miundo msingi. Zaidi ya hayo, janga la corona limezamisha mapato katika jamii kulingana na gazeti la Taifa Leo la Tarehe kumi na mbili, Juni, mwaka huu, mabasi yaliyokuwa yakibeba abiria yamefikisha kazi ukingoni na kwa sasa yanafanya kazi ya uchukuzi ili kujipatia pato. Jambo hili lilichochewa na sheria ya Wizara ya Afya ya kuwa wabebe abiria thuluthi waliokuwa wakibeba. Mfano mzuri ni kampuni ya Modern Coast na Mombasa Raha zilizoacha biashara ya kubeba abiria kulingana na gazeti hilo. Lo! Jambo ambalo lilileta hasara kubwa katika biashara hizi. Isitoshe, elimu ilizorota kwa kuwa shule zilifungwa takribani katika nchi zote za ulimwengu. Hapa Kenya, shule zilifungwa kwa miezi tisa. Wanagenzi wengine walijihusisha na masomo ya mitandaoni. Kwani, waliamini kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hata hivyo, bahati ya mjumba, si ya mpwa. Kwani, wazazi wengine hawakuweza kununua vifurushi vya simu, ili watoto wao waweze kusoma mitandaoni, ambayo ilikuwa ikiendelezwa kwa zoom na Google. La hasha! Jambo hili lilileta ukosefu wa usawa katika jamii. Juu ya hayo, janga la Corona limesababisha upotovu wa maadili. Shule zilipofungwa, wanagenzi walibaki nyumbani bila kujishugulisha kimasomo. Baadhi yao walisingizia kusoma kutumia simu kumbe waingia Youtube na kuangalia sinema zisizofaa. Wengine walijihusisha na mapenzi ya mapema na kwa kuwa wazazi wao hawataki aibu, huwaozesha mapema. Wengine walijiingiza katika ufuko na vijana kuingia katika magenge ya wizi na kutumia mihadarati. Afanalek! Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu. Kwani licha ya kukanywa na wazazi wao, bado hujiingiza katika tabia hizo za usherati. Kwa wakati huu, wengine wanakula kalenda au wameenda junguneo kitambo. Minghairi ya hayo, janga la Corona limeongeza ufisadi kwa asilimia kubwa sana. Muwele akienda hospitalini akiwa na ugonjwa usio sugu kama vile mafua ya kawaida, pana uwezekano wa madaktari walafi kumweka karantini wakidai ana Corona na kumla pesa. Tusisahau pia askari kanzu waliowekwa ili wawatie mbaroni waliokiuka sheria ya kuvaa barakoa na kuepuka msongamano hupatiwa hongo na kuwaachilia huru. Kwa kweli, Mwenye nguvu mpishe. Kuongezea, janga la corona limechangia cheche za moto zinazoharibu kidiplomasia miongoni mwa nchi. Mfano mzuri ni pale wananchi walizuiwa kuingia nchi zingine. Mfano, Wakenya walipokatazwa kuingia Tanzania na wao pia kuzuiwa kuingia Kenya. Nchi hizo ambazo ni marafiki wa kufa kuzikana; uhusiano wao ulipungua bila ya kujali maarifa ambayo yangelitokea japo wangelitangamana. Hata hivyo, asiyejua maana haambiwi maana. Kadhalika , janga la corona linasababisha uhaba wa vitanda na oksijeni hospitalini. Jambo hili linafanya adinasi kwenda jongomeo. Corona ya Delta iliumiza nchi ya India vibaya sana bila huruma. Mwishowe, Pakistan nchi ambayo iko karibu na India kama pua na mdomo, ilibidi wawasaidie kwa kuwapa chanjo . Kwani waathiriwa walikuwa wengi mithili ya mchanga baharini, huku wakishinda idadi ya vitanda oksijeni na kipumilishi cha kitabibu zilizomo hospitalini. Bila shaka, akufuataye kwa dhiki ndiye rafiki. Bila shaka, janga la corona limeongeza ukosefu wa uhuru nchini. Nchi au kata ambazo zinasemekana kuwa na kesi nyingi za virusi hivi; zimewekewa zuio la kutoka. Mfano mzuri ni katika kata kumi na tatu zilizoko Kenya, ambazo zimeathiriwa sana na corona aina ya Delta. Kata hizi ambazo mojawapo ni Busia, watu wake hawawezi kutoka au kuingia katika kata hiyo. Hii huzua chuki baina ya watu na nchi zingine. Kabla sijasahau janga la corona linasababisha sekta ya utalii kudorora. Hakukuwa na watalii kwani nchi zilifungwa na hakuna aliyeruhusiwa kutoka au kuingia nchini. Katika mbuga zinazoaminika kuwa ni za adinasi binafsi, walinzi wake hawaku shughulikia wanyama. Kwa kuwa mishahara yao inapatikana kwa zile fedha ambazo watalii hawa wangetoa. Licha ya hayo, janga la corona limechangia pakubwa katika kutengana kwa aila. Kulingana na gazeti la Daily Nation la ljumaa, tarehe tisa, Juni, mwaka huu, Kevin Ochieng, anayeshughulikia waathiriwa wa Uviko-19 katika hospitali ya Jaramogi alijitenga na aila yake ili kuzuia virusi hivyo kusambaa. Kumalizia, janga la corona limeongeza unyanyapaa katika wagonjwa au madaktari wanaoshughulikia masuala ya corona. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe tisa, ljumaa, Juni, mwaka huu, B. Celine anayefanya kazi katika hospitali ya Jaramogi alithibitisha jambo hili. Kwani, familia na marafiki walimtenga wakisema atawaambukiza Corona. Isitoshe, walimtolea Jina ‘Covid’. Ndio janga la corona limeleta maafa, lakini pia kuna uzuri wake. Kwa mfano, kafyu imeleta usalama, kwani hakuna mtu kutoka usiku na pia kufanya wazazi wanaofanya kazi mbali au usiku kuwa karibu na aila zao. Pia, madaktari wameajiri na kusaidia familia zao. Isitoshe, kuna vijana na serikali mbalimbali waliokuza vipaji vyao. Kuna wengine waliochukulia corona kama kitega-uchumi, kwa mfano, wenye kuuza vitambaa na barakoa. Kwa hakika, corona ni kifo, lakini tukifuata masharti yaliyotolewa na serikali na wataalamu wa matibabu tunaweza kuepuka janga hili. Kwa mfano, madaktari kuvaa kifaa kinga, vikinga uso, glavu na vazigubi wanapowatibu wagonjwa wa UVIKO-19. Adinasi, nao wanaruhusiwa watumie vitakasa, kuepuka msongamano na wavae barakoa. Naamini kuwa, abadi abadi kam!! hakata jiwe. Tukizingatia na kufuatilia hatua hizi, patachangia pakubwa katika kudidimiza makali ya janga la corona.
Ni virusi gani huleta ugonjwa wa UVIKO-19
{ "text": [ "Corona" ] }
1115_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni virusi ambavyo huleta ugonjwa wa UVIKO-19. Corona ya sasa huitwa UVIKO-19 kwa sababu ilifichuka mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ilichipuka Wuhan, China. Huku, Kenya ikipata muathiriwa wa kwanza wa UVIKO-19, tarehe kumi na tatu, Machi, mwaka wa elfu mbili na ishirini. Muathiriwa wa virusi vya corona huwa na homa kali, kikohozi kikavu uchovu na ukosefu wa hamu ya chakula. Virusi vyenyewe ni vya aina tatu, Delta - ambayo ni hatari sana na inauwa watu wengi kama mchanga, Alpha na Beta. Virusi hivi vimeleta madhara yafuatayo: Awali, Janga la corona limechangia watu wengi kukata kamba. Si wadogo si wakubwa, si wazee, si vijana; kila umri umeathirika, Lo! haichagui wala haibagui. Jambo hili limeacha mayatima na wajane wengi kote duniani. Kulingana na gazeti la Taifa Leo la tarehe kumi, Juni, mwaka huu, waathiriwa waliaaga dunia walikuwa elfu tatu, mia tatu arobaini na tano Nchini Kenya. Lo! Isisahaulike kuwa idadi ya wafu linazidi kupaa. Vilevile, janga hili limesababisha watu wengi kufutwa kazi. Waajiri wakizingatia kuwa kinga ni bora kuliko tiba; wamepiga watu kalamu ili waweze kubakisha waajiriwa wachache. Biashara kama na hoteli, mikahawa na hata mabaa zikiishia kufungwa. Hili likafanya waajiriwa wote kufutwa kazi kw,a sababu ya ukosefu wa mishahara. Jambo hili limesababisha watu wengi kuvunjika moyo. Pamoja na hayo, maradhi ya UVIKO- 19 yanaongeza nambari ya walalahoi nchini. Kwani, waliopigwa kalamu hupata shida waanzapo kutafuta tonge la kulisha aila zao. Baadhi ya walimu na wafanyakazi wa shule za kibinafsi walipigwa kalamu kwa ukosefu wa fedha za kuwalipa. Hili lilitokea Kenya wakati shule zilipofungwa mwaka jana. La kusikitisha lilikuwa kuna baadhi ya walimu wakijitoa uhai kwa hofu ya kutoweza kutimiza mahitaji ya kimsingi kwa aila zao. Hata hivyo mtaka mema sharti adhurike, baadhi yao walijikakamua na kufanya kazi za kijungujiko kwani waliamini kuwa mgagaa na upwa hali wali mkavu. Mbali na hayo, janga la corona limezorotesha uchumi wa nchi chungu nzima. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini nchi yetu haikuweza kuagiza bidhaa kama nguo, mashine na elektroniki kutoka China wala kuuza nje majani chai, pareto na kahawa. Jambo hili lilikosesha serikali ushuru. Lau, pesa zingepatikana, zingesaidia kwa kuboresha miundo msingi. Zaidi ya hayo, janga la corona limezamisha mapato katika jamii kulingana na gazeti la Taifa Leo la Tarehe kumi na mbili, Juni, mwaka huu, mabasi yaliyokuwa yakibeba abiria yamefikisha kazi ukingoni na kwa sasa yanafanya kazi ya uchukuzi ili kujipatia pato. Jambo hili lilichochewa na sheria ya Wizara ya Afya ya kuwa wabebe abiria thuluthi waliokuwa wakibeba. Mfano mzuri ni kampuni ya Modern Coast na Mombasa Raha zilizoacha biashara ya kubeba abiria kulingana na gazeti hilo. Lo! Jambo ambalo lilileta hasara kubwa katika biashara hizi. Isitoshe, elimu ilizorota kwa kuwa shule zilifungwa takribani katika nchi zote za ulimwengu. Hapa Kenya, shule zilifungwa kwa miezi tisa. Wanagenzi wengine walijihusisha na masomo ya mitandaoni. Kwani, waliamini kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hata hivyo, bahati ya mjumba, si ya mpwa. Kwani, wazazi wengine hawakuweza kununua vifurushi vya simu, ili watoto wao waweze kusoma mitandaoni, ambayo ilikuwa ikiendelezwa kwa zoom na Google. La hasha! Jambo hili lilileta ukosefu wa usawa katika jamii. Juu ya hayo, janga la Corona limesababisha upotovu wa maadili. Shule zilipofungwa, wanagenzi walibaki nyumbani bila kujishugulisha kimasomo. Baadhi yao walisingizia kusoma kutumia simu kumbe waingia Youtube na kuangalia sinema zisizofaa. Wengine walijihusisha na mapenzi ya mapema na kwa kuwa wazazi wao hawataki aibu, huwaozesha mapema. Wengine walijiingiza katika ufuko na vijana kuingia katika magenge ya wizi na kutumia mihadarati. Afanalek! Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu. Kwani licha ya kukanywa na wazazi wao, bado hujiingiza katika tabia hizo za usherati. Kwa wakati huu, wengine wanakula kalenda au wameenda junguneo kitambo. Minghairi ya hayo, janga la Corona limeongeza ufisadi kwa asilimia kubwa sana. Muwele akienda hospitalini akiwa na ugonjwa usio sugu kama vile mafua ya kawaida, pana uwezekano wa madaktari walafi kumweka karantini wakidai ana Corona na kumla pesa. Tusisahau pia askari kanzu waliowekwa ili wawatie mbaroni waliokiuka sheria ya kuvaa barakoa na kuepuka msongamano hupatiwa hongo na kuwaachilia huru. Kwa kweli, Mwenye nguvu mpishe. Kuongezea, janga la corona limechangia cheche za moto zinazoharibu kidiplomasia miongoni mwa nchi. Mfano mzuri ni pale wananchi walizuiwa kuingia nchi zingine. Mfano, Wakenya walipokatazwa kuingia Tanzania na wao pia kuzuiwa kuingia Kenya. Nchi hizo ambazo ni marafiki wa kufa kuzikana; uhusiano wao ulipungua bila ya kujali maarifa ambayo yangelitokea japo wangelitangamana. Hata hivyo, asiyejua maana haambiwi maana. Kadhalika , janga la corona linasababisha uhaba wa vitanda na oksijeni hospitalini. Jambo hili linafanya adinasi kwenda jongomeo. Corona ya Delta iliumiza nchi ya India vibaya sana bila huruma. Mwishowe, Pakistan nchi ambayo iko karibu na India kama pua na mdomo, ilibidi wawasaidie kwa kuwapa chanjo . Kwani waathiriwa walikuwa wengi mithili ya mchanga baharini, huku wakishinda idadi ya vitanda oksijeni na kipumilishi cha kitabibu zilizomo hospitalini. Bila shaka, akufuataye kwa dhiki ndiye rafiki. Bila shaka, janga la corona limeongeza ukosefu wa uhuru nchini. Nchi au kata ambazo zinasemekana kuwa na kesi nyingi za virusi hivi; zimewekewa zuio la kutoka. Mfano mzuri ni katika kata kumi na tatu zilizoko Kenya, ambazo zimeathiriwa sana na corona aina ya Delta. Kata hizi ambazo mojawapo ni Busia, watu wake hawawezi kutoka au kuingia katika kata hiyo. Hii huzua chuki baina ya watu na nchi zingine. Kabla sijasahau janga la corona linasababisha sekta ya utalii kudorora. Hakukuwa na watalii kwani nchi zilifungwa na hakuna aliyeruhusiwa kutoka au kuingia nchini. Katika mbuga zinazoaminika kuwa ni za adinasi binafsi, walinzi wake hawaku shughulikia wanyama. Kwa kuwa mishahara yao inapatikana kwa zile fedha ambazo watalii hawa wangetoa. Licha ya hayo, janga la corona limechangia pakubwa katika kutengana kwa aila. Kulingana na gazeti la Daily Nation la ljumaa, tarehe tisa, Juni, mwaka huu, Kevin Ochieng, anayeshughulikia waathiriwa wa Uviko-19 katika hospitali ya Jaramogi alijitenga na aila yake ili kuzuia virusi hivyo kusambaa. Kumalizia, janga la corona limeongeza unyanyapaa katika wagonjwa au madaktari wanaoshughulikia masuala ya corona. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe tisa, ljumaa, Juni, mwaka huu, B. Celine anayefanya kazi katika hospitali ya Jaramogi alithibitisha jambo hili. Kwani, familia na marafiki walimtenga wakisema atawaambukiza Corona. Isitoshe, walimtolea Jina ‘Covid’. Ndio janga la corona limeleta maafa, lakini pia kuna uzuri wake. Kwa mfano, kafyu imeleta usalama, kwani hakuna mtu kutoka usiku na pia kufanya wazazi wanaofanya kazi mbali au usiku kuwa karibu na aila zao. Pia, madaktari wameajiri na kusaidia familia zao. Isitoshe, kuna vijana na serikali mbalimbali waliokuza vipaji vyao. Kuna wengine waliochukulia corona kama kitega-uchumi, kwa mfano, wenye kuuza vitambaa na barakoa. Kwa hakika, corona ni kifo, lakini tukifuata masharti yaliyotolewa na serikali na wataalamu wa matibabu tunaweza kuepuka janga hili. Kwa mfano, madaktari kuvaa kifaa kinga, vikinga uso, glavu na vazigubi wanapowatibu wagonjwa wa UVIKO-19. Adinasi, nao wanaruhusiwa watumie vitakasa, kuepuka msongamano na wavae barakoa. Naamini kuwa, abadi abadi kam!! hakata jiwe. Tukizingatia na kufuatilia hatua hizi, patachangia pakubwa katika kudidimiza makali ya janga la corona.
Ni muda upi ambao shule za Kenya zilifungwa
{ "text": [ "miezi tisa" ] }
1115_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni virusi ambavyo huleta ugonjwa wa UVIKO-19. Corona ya sasa huitwa UVIKO-19 kwa sababu ilifichuka mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ilichipuka Wuhan, China. Huku, Kenya ikipata muathiriwa wa kwanza wa UVIKO-19, tarehe kumi na tatu, Machi, mwaka wa elfu mbili na ishirini. Muathiriwa wa virusi vya corona huwa na homa kali, kikohozi kikavu uchovu na ukosefu wa hamu ya chakula. Virusi vyenyewe ni vya aina tatu, Delta - ambayo ni hatari sana na inauwa watu wengi kama mchanga, Alpha na Beta. Virusi hivi vimeleta madhara yafuatayo: Awali, Janga la corona limechangia watu wengi kukata kamba. Si wadogo si wakubwa, si wazee, si vijana; kila umri umeathirika, Lo! haichagui wala haibagui. Jambo hili limeacha mayatima na wajane wengi kote duniani. Kulingana na gazeti la Taifa Leo la tarehe kumi, Juni, mwaka huu, waathiriwa waliaaga dunia walikuwa elfu tatu, mia tatu arobaini na tano Nchini Kenya. Lo! Isisahaulike kuwa idadi ya wafu linazidi kupaa. Vilevile, janga hili limesababisha watu wengi kufutwa kazi. Waajiri wakizingatia kuwa kinga ni bora kuliko tiba; wamepiga watu kalamu ili waweze kubakisha waajiriwa wachache. Biashara kama na hoteli, mikahawa na hata mabaa zikiishia kufungwa. Hili likafanya waajiriwa wote kufutwa kazi kw,a sababu ya ukosefu wa mishahara. Jambo hili limesababisha watu wengi kuvunjika moyo. Pamoja na hayo, maradhi ya UVIKO- 19 yanaongeza nambari ya walalahoi nchini. Kwani, waliopigwa kalamu hupata shida waanzapo kutafuta tonge la kulisha aila zao. Baadhi ya walimu na wafanyakazi wa shule za kibinafsi walipigwa kalamu kwa ukosefu wa fedha za kuwalipa. Hili lilitokea Kenya wakati shule zilipofungwa mwaka jana. La kusikitisha lilikuwa kuna baadhi ya walimu wakijitoa uhai kwa hofu ya kutoweza kutimiza mahitaji ya kimsingi kwa aila zao. Hata hivyo mtaka mema sharti adhurike, baadhi yao walijikakamua na kufanya kazi za kijungujiko kwani waliamini kuwa mgagaa na upwa hali wali mkavu. Mbali na hayo, janga la corona limezorotesha uchumi wa nchi chungu nzima. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini nchi yetu haikuweza kuagiza bidhaa kama nguo, mashine na elektroniki kutoka China wala kuuza nje majani chai, pareto na kahawa. Jambo hili lilikosesha serikali ushuru. Lau, pesa zingepatikana, zingesaidia kwa kuboresha miundo msingi. Zaidi ya hayo, janga la corona limezamisha mapato katika jamii kulingana na gazeti la Taifa Leo la Tarehe kumi na mbili, Juni, mwaka huu, mabasi yaliyokuwa yakibeba abiria yamefikisha kazi ukingoni na kwa sasa yanafanya kazi ya uchukuzi ili kujipatia pato. Jambo hili lilichochewa na sheria ya Wizara ya Afya ya kuwa wabebe abiria thuluthi waliokuwa wakibeba. Mfano mzuri ni kampuni ya Modern Coast na Mombasa Raha zilizoacha biashara ya kubeba abiria kulingana na gazeti hilo. Lo! Jambo ambalo lilileta hasara kubwa katika biashara hizi. Isitoshe, elimu ilizorota kwa kuwa shule zilifungwa takribani katika nchi zote za ulimwengu. Hapa Kenya, shule zilifungwa kwa miezi tisa. Wanagenzi wengine walijihusisha na masomo ya mitandaoni. Kwani, waliamini kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hata hivyo, bahati ya mjumba, si ya mpwa. Kwani, wazazi wengine hawakuweza kununua vifurushi vya simu, ili watoto wao waweze kusoma mitandaoni, ambayo ilikuwa ikiendelezwa kwa zoom na Google. La hasha! Jambo hili lilileta ukosefu wa usawa katika jamii. Juu ya hayo, janga la Corona limesababisha upotovu wa maadili. Shule zilipofungwa, wanagenzi walibaki nyumbani bila kujishugulisha kimasomo. Baadhi yao walisingizia kusoma kutumia simu kumbe waingia Youtube na kuangalia sinema zisizofaa. Wengine walijihusisha na mapenzi ya mapema na kwa kuwa wazazi wao hawataki aibu, huwaozesha mapema. Wengine walijiingiza katika ufuko na vijana kuingia katika magenge ya wizi na kutumia mihadarati. Afanalek! Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu. Kwani licha ya kukanywa na wazazi wao, bado hujiingiza katika tabia hizo za usherati. Kwa wakati huu, wengine wanakula kalenda au wameenda junguneo kitambo. Minghairi ya hayo, janga la Corona limeongeza ufisadi kwa asilimia kubwa sana. Muwele akienda hospitalini akiwa na ugonjwa usio sugu kama vile mafua ya kawaida, pana uwezekano wa madaktari walafi kumweka karantini wakidai ana Corona na kumla pesa. Tusisahau pia askari kanzu waliowekwa ili wawatie mbaroni waliokiuka sheria ya kuvaa barakoa na kuepuka msongamano hupatiwa hongo na kuwaachilia huru. Kwa kweli, Mwenye nguvu mpishe. Kuongezea, janga la corona limechangia cheche za moto zinazoharibu kidiplomasia miongoni mwa nchi. Mfano mzuri ni pale wananchi walizuiwa kuingia nchi zingine. Mfano, Wakenya walipokatazwa kuingia Tanzania na wao pia kuzuiwa kuingia Kenya. Nchi hizo ambazo ni marafiki wa kufa kuzikana; uhusiano wao ulipungua bila ya kujali maarifa ambayo yangelitokea japo wangelitangamana. Hata hivyo, asiyejua maana haambiwi maana. Kadhalika , janga la corona linasababisha uhaba wa vitanda na oksijeni hospitalini. Jambo hili linafanya adinasi kwenda jongomeo. Corona ya Delta iliumiza nchi ya India vibaya sana bila huruma. Mwishowe, Pakistan nchi ambayo iko karibu na India kama pua na mdomo, ilibidi wawasaidie kwa kuwapa chanjo . Kwani waathiriwa walikuwa wengi mithili ya mchanga baharini, huku wakishinda idadi ya vitanda oksijeni na kipumilishi cha kitabibu zilizomo hospitalini. Bila shaka, akufuataye kwa dhiki ndiye rafiki. Bila shaka, janga la corona limeongeza ukosefu wa uhuru nchini. Nchi au kata ambazo zinasemekana kuwa na kesi nyingi za virusi hivi; zimewekewa zuio la kutoka. Mfano mzuri ni katika kata kumi na tatu zilizoko Kenya, ambazo zimeathiriwa sana na corona aina ya Delta. Kata hizi ambazo mojawapo ni Busia, watu wake hawawezi kutoka au kuingia katika kata hiyo. Hii huzua chuki baina ya watu na nchi zingine. Kabla sijasahau janga la corona linasababisha sekta ya utalii kudorora. Hakukuwa na watalii kwani nchi zilifungwa na hakuna aliyeruhusiwa kutoka au kuingia nchini. Katika mbuga zinazoaminika kuwa ni za adinasi binafsi, walinzi wake hawaku shughulikia wanyama. Kwa kuwa mishahara yao inapatikana kwa zile fedha ambazo watalii hawa wangetoa. Licha ya hayo, janga la corona limechangia pakubwa katika kutengana kwa aila. Kulingana na gazeti la Daily Nation la ljumaa, tarehe tisa, Juni, mwaka huu, Kevin Ochieng, anayeshughulikia waathiriwa wa Uviko-19 katika hospitali ya Jaramogi alijitenga na aila yake ili kuzuia virusi hivyo kusambaa. Kumalizia, janga la corona limeongeza unyanyapaa katika wagonjwa au madaktari wanaoshughulikia masuala ya corona. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe tisa, ljumaa, Juni, mwaka huu, B. Celine anayefanya kazi katika hospitali ya Jaramogi alithibitisha jambo hili. Kwani, familia na marafiki walimtenga wakisema atawaambukiza Corona. Isitoshe, walimtolea Jina ‘Covid’. Ndio janga la corona limeleta maafa, lakini pia kuna uzuri wake. Kwa mfano, kafyu imeleta usalama, kwani hakuna mtu kutoka usiku na pia kufanya wazazi wanaofanya kazi mbali au usiku kuwa karibu na aila zao. Pia, madaktari wameajiri na kusaidia familia zao. Isitoshe, kuna vijana na serikali mbalimbali waliokuza vipaji vyao. Kuna wengine waliochukulia corona kama kitega-uchumi, kwa mfano, wenye kuuza vitambaa na barakoa. Kwa hakika, corona ni kifo, lakini tukifuata masharti yaliyotolewa na serikali na wataalamu wa matibabu tunaweza kuepuka janga hili. Kwa mfano, madaktari kuvaa kifaa kinga, vikinga uso, glavu na vazigubi wanapowatibu wagonjwa wa UVIKO-19. Adinasi, nao wanaruhusiwa watumie vitakasa, kuepuka msongamano na wavae barakoa. Naamini kuwa, abadi abadi kam!! hakata jiwe. Tukizingatia na kufuatilia hatua hizi, patachangia pakubwa katika kudidimiza makali ya janga la corona.
Ni mtandao upi ambao wanafunzi walitumia kusomea wakati shule zilifungwa
{ "text": [ "google" ] }
1115_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni virusi ambavyo huleta ugonjwa wa UVIKO-19. Corona ya sasa huitwa UVIKO-19 kwa sababu ilifichuka mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ilichipuka Wuhan, China. Huku, Kenya ikipata muathiriwa wa kwanza wa UVIKO-19, tarehe kumi na tatu, Machi, mwaka wa elfu mbili na ishirini. Muathiriwa wa virusi vya corona huwa na homa kali, kikohozi kikavu uchovu na ukosefu wa hamu ya chakula. Virusi vyenyewe ni vya aina tatu, Delta - ambayo ni hatari sana na inauwa watu wengi kama mchanga, Alpha na Beta. Virusi hivi vimeleta madhara yafuatayo: Awali, Janga la corona limechangia watu wengi kukata kamba. Si wadogo si wakubwa, si wazee, si vijana; kila umri umeathirika, Lo! haichagui wala haibagui. Jambo hili limeacha mayatima na wajane wengi kote duniani. Kulingana na gazeti la Taifa Leo la tarehe kumi, Juni, mwaka huu, waathiriwa waliaaga dunia walikuwa elfu tatu, mia tatu arobaini na tano Nchini Kenya. Lo! Isisahaulike kuwa idadi ya wafu linazidi kupaa. Vilevile, janga hili limesababisha watu wengi kufutwa kazi. Waajiri wakizingatia kuwa kinga ni bora kuliko tiba; wamepiga watu kalamu ili waweze kubakisha waajiriwa wachache. Biashara kama na hoteli, mikahawa na hata mabaa zikiishia kufungwa. Hili likafanya waajiriwa wote kufutwa kazi kw,a sababu ya ukosefu wa mishahara. Jambo hili limesababisha watu wengi kuvunjika moyo. Pamoja na hayo, maradhi ya UVIKO- 19 yanaongeza nambari ya walalahoi nchini. Kwani, waliopigwa kalamu hupata shida waanzapo kutafuta tonge la kulisha aila zao. Baadhi ya walimu na wafanyakazi wa shule za kibinafsi walipigwa kalamu kwa ukosefu wa fedha za kuwalipa. Hili lilitokea Kenya wakati shule zilipofungwa mwaka jana. La kusikitisha lilikuwa kuna baadhi ya walimu wakijitoa uhai kwa hofu ya kutoweza kutimiza mahitaji ya kimsingi kwa aila zao. Hata hivyo mtaka mema sharti adhurike, baadhi yao walijikakamua na kufanya kazi za kijungujiko kwani waliamini kuwa mgagaa na upwa hali wali mkavu. Mbali na hayo, janga la corona limezorotesha uchumi wa nchi chungu nzima. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini nchi yetu haikuweza kuagiza bidhaa kama nguo, mashine na elektroniki kutoka China wala kuuza nje majani chai, pareto na kahawa. Jambo hili lilikosesha serikali ushuru. Lau, pesa zingepatikana, zingesaidia kwa kuboresha miundo msingi. Zaidi ya hayo, janga la corona limezamisha mapato katika jamii kulingana na gazeti la Taifa Leo la Tarehe kumi na mbili, Juni, mwaka huu, mabasi yaliyokuwa yakibeba abiria yamefikisha kazi ukingoni na kwa sasa yanafanya kazi ya uchukuzi ili kujipatia pato. Jambo hili lilichochewa na sheria ya Wizara ya Afya ya kuwa wabebe abiria thuluthi waliokuwa wakibeba. Mfano mzuri ni kampuni ya Modern Coast na Mombasa Raha zilizoacha biashara ya kubeba abiria kulingana na gazeti hilo. Lo! Jambo ambalo lilileta hasara kubwa katika biashara hizi. Isitoshe, elimu ilizorota kwa kuwa shule zilifungwa takribani katika nchi zote za ulimwengu. Hapa Kenya, shule zilifungwa kwa miezi tisa. Wanagenzi wengine walijihusisha na masomo ya mitandaoni. Kwani, waliamini kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hata hivyo, bahati ya mjumba, si ya mpwa. Kwani, wazazi wengine hawakuweza kununua vifurushi vya simu, ili watoto wao waweze kusoma mitandaoni, ambayo ilikuwa ikiendelezwa kwa zoom na Google. La hasha! Jambo hili lilileta ukosefu wa usawa katika jamii. Juu ya hayo, janga la Corona limesababisha upotovu wa maadili. Shule zilipofungwa, wanagenzi walibaki nyumbani bila kujishugulisha kimasomo. Baadhi yao walisingizia kusoma kutumia simu kumbe waingia Youtube na kuangalia sinema zisizofaa. Wengine walijihusisha na mapenzi ya mapema na kwa kuwa wazazi wao hawataki aibu, huwaozesha mapema. Wengine walijiingiza katika ufuko na vijana kuingia katika magenge ya wizi na kutumia mihadarati. Afanalek! Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu. Kwani licha ya kukanywa na wazazi wao, bado hujiingiza katika tabia hizo za usherati. Kwa wakati huu, wengine wanakula kalenda au wameenda junguneo kitambo. Minghairi ya hayo, janga la Corona limeongeza ufisadi kwa asilimia kubwa sana. Muwele akienda hospitalini akiwa na ugonjwa usio sugu kama vile mafua ya kawaida, pana uwezekano wa madaktari walafi kumweka karantini wakidai ana Corona na kumla pesa. Tusisahau pia askari kanzu waliowekwa ili wawatie mbaroni waliokiuka sheria ya kuvaa barakoa na kuepuka msongamano hupatiwa hongo na kuwaachilia huru. Kwa kweli, Mwenye nguvu mpishe. Kuongezea, janga la corona limechangia cheche za moto zinazoharibu kidiplomasia miongoni mwa nchi. Mfano mzuri ni pale wananchi walizuiwa kuingia nchi zingine. Mfano, Wakenya walipokatazwa kuingia Tanzania na wao pia kuzuiwa kuingia Kenya. Nchi hizo ambazo ni marafiki wa kufa kuzikana; uhusiano wao ulipungua bila ya kujali maarifa ambayo yangelitokea japo wangelitangamana. Hata hivyo, asiyejua maana haambiwi maana. Kadhalika , janga la corona linasababisha uhaba wa vitanda na oksijeni hospitalini. Jambo hili linafanya adinasi kwenda jongomeo. Corona ya Delta iliumiza nchi ya India vibaya sana bila huruma. Mwishowe, Pakistan nchi ambayo iko karibu na India kama pua na mdomo, ilibidi wawasaidie kwa kuwapa chanjo . Kwani waathiriwa walikuwa wengi mithili ya mchanga baharini, huku wakishinda idadi ya vitanda oksijeni na kipumilishi cha kitabibu zilizomo hospitalini. Bila shaka, akufuataye kwa dhiki ndiye rafiki. Bila shaka, janga la corona limeongeza ukosefu wa uhuru nchini. Nchi au kata ambazo zinasemekana kuwa na kesi nyingi za virusi hivi; zimewekewa zuio la kutoka. Mfano mzuri ni katika kata kumi na tatu zilizoko Kenya, ambazo zimeathiriwa sana na corona aina ya Delta. Kata hizi ambazo mojawapo ni Busia, watu wake hawawezi kutoka au kuingia katika kata hiyo. Hii huzua chuki baina ya watu na nchi zingine. Kabla sijasahau janga la corona linasababisha sekta ya utalii kudorora. Hakukuwa na watalii kwani nchi zilifungwa na hakuna aliyeruhusiwa kutoka au kuingia nchini. Katika mbuga zinazoaminika kuwa ni za adinasi binafsi, walinzi wake hawaku shughulikia wanyama. Kwa kuwa mishahara yao inapatikana kwa zile fedha ambazo watalii hawa wangetoa. Licha ya hayo, janga la corona limechangia pakubwa katika kutengana kwa aila. Kulingana na gazeti la Daily Nation la ljumaa, tarehe tisa, Juni, mwaka huu, Kevin Ochieng, anayeshughulikia waathiriwa wa Uviko-19 katika hospitali ya Jaramogi alijitenga na aila yake ili kuzuia virusi hivyo kusambaa. Kumalizia, janga la corona limeongeza unyanyapaa katika wagonjwa au madaktari wanaoshughulikia masuala ya corona. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe tisa, ljumaa, Juni, mwaka huu, B. Celine anayefanya kazi katika hospitali ya Jaramogi alithibitisha jambo hili. Kwani, familia na marafiki walimtenga wakisema atawaambukiza Corona. Isitoshe, walimtolea Jina ‘Covid’. Ndio janga la corona limeleta maafa, lakini pia kuna uzuri wake. Kwa mfano, kafyu imeleta usalama, kwani hakuna mtu kutoka usiku na pia kufanya wazazi wanaofanya kazi mbali au usiku kuwa karibu na aila zao. Pia, madaktari wameajiri na kusaidia familia zao. Isitoshe, kuna vijana na serikali mbalimbali waliokuza vipaji vyao. Kuna wengine waliochukulia corona kama kitega-uchumi, kwa mfano, wenye kuuza vitambaa na barakoa. Kwa hakika, corona ni kifo, lakini tukifuata masharti yaliyotolewa na serikali na wataalamu wa matibabu tunaweza kuepuka janga hili. Kwa mfano, madaktari kuvaa kifaa kinga, vikinga uso, glavu na vazigubi wanapowatibu wagonjwa wa UVIKO-19. Adinasi, nao wanaruhusiwa watumie vitakasa, kuepuka msongamano na wavae barakoa. Naamini kuwa, abadi abadi kam!! hakata jiwe. Tukizingatia na kufuatilia hatua hizi, patachangia pakubwa katika kudidimiza makali ya janga la corona.
Muathiriwa wa kwanza Kenya alipatikana na virusi vya Corona lini
{ "text": [ "13/3/2020" ] }
1115_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni virusi ambavyo huleta ugonjwa wa UVIKO-19. Corona ya sasa huitwa UVIKO-19 kwa sababu ilifichuka mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ilichipuka Wuhan, China. Huku, Kenya ikipata muathiriwa wa kwanza wa UVIKO-19, tarehe kumi na tatu, Machi, mwaka wa elfu mbili na ishirini. Muathiriwa wa virusi vya corona huwa na homa kali, kikohozi kikavu uchovu na ukosefu wa hamu ya chakula. Virusi vyenyewe ni vya aina tatu, Delta - ambayo ni hatari sana na inauwa watu wengi kama mchanga, Alpha na Beta. Virusi hivi vimeleta madhara yafuatayo: Awali, Janga la corona limechangia watu wengi kukata kamba. Si wadogo si wakubwa, si wazee, si vijana; kila umri umeathirika, Lo! haichagui wala haibagui. Jambo hili limeacha mayatima na wajane wengi kote duniani. Kulingana na gazeti la Taifa Leo la tarehe kumi, Juni, mwaka huu, waathiriwa waliaaga dunia walikuwa elfu tatu, mia tatu arobaini na tano Nchini Kenya. Lo! Isisahaulike kuwa idadi ya wafu linazidi kupaa. Vilevile, janga hili limesababisha watu wengi kufutwa kazi. Waajiri wakizingatia kuwa kinga ni bora kuliko tiba; wamepiga watu kalamu ili waweze kubakisha waajiriwa wachache. Biashara kama na hoteli, mikahawa na hata mabaa zikiishia kufungwa. Hili likafanya waajiriwa wote kufutwa kazi kw,a sababu ya ukosefu wa mishahara. Jambo hili limesababisha watu wengi kuvunjika moyo. Pamoja na hayo, maradhi ya UVIKO- 19 yanaongeza nambari ya walalahoi nchini. Kwani, waliopigwa kalamu hupata shida waanzapo kutafuta tonge la kulisha aila zao. Baadhi ya walimu na wafanyakazi wa shule za kibinafsi walipigwa kalamu kwa ukosefu wa fedha za kuwalipa. Hili lilitokea Kenya wakati shule zilipofungwa mwaka jana. La kusikitisha lilikuwa kuna baadhi ya walimu wakijitoa uhai kwa hofu ya kutoweza kutimiza mahitaji ya kimsingi kwa aila zao. Hata hivyo mtaka mema sharti adhurike, baadhi yao walijikakamua na kufanya kazi za kijungujiko kwani waliamini kuwa mgagaa na upwa hali wali mkavu. Mbali na hayo, janga la corona limezorotesha uchumi wa nchi chungu nzima. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini nchi yetu haikuweza kuagiza bidhaa kama nguo, mashine na elektroniki kutoka China wala kuuza nje majani chai, pareto na kahawa. Jambo hili lilikosesha serikali ushuru. Lau, pesa zingepatikana, zingesaidia kwa kuboresha miundo msingi. Zaidi ya hayo, janga la corona limezamisha mapato katika jamii kulingana na gazeti la Taifa Leo la Tarehe kumi na mbili, Juni, mwaka huu, mabasi yaliyokuwa yakibeba abiria yamefikisha kazi ukingoni na kwa sasa yanafanya kazi ya uchukuzi ili kujipatia pato. Jambo hili lilichochewa na sheria ya Wizara ya Afya ya kuwa wabebe abiria thuluthi waliokuwa wakibeba. Mfano mzuri ni kampuni ya Modern Coast na Mombasa Raha zilizoacha biashara ya kubeba abiria kulingana na gazeti hilo. Lo! Jambo ambalo lilileta hasara kubwa katika biashara hizi. Isitoshe, elimu ilizorota kwa kuwa shule zilifungwa takribani katika nchi zote za ulimwengu. Hapa Kenya, shule zilifungwa kwa miezi tisa. Wanagenzi wengine walijihusisha na masomo ya mitandaoni. Kwani, waliamini kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hata hivyo, bahati ya mjumba, si ya mpwa. Kwani, wazazi wengine hawakuweza kununua vifurushi vya simu, ili watoto wao waweze kusoma mitandaoni, ambayo ilikuwa ikiendelezwa kwa zoom na Google. La hasha! Jambo hili lilileta ukosefu wa usawa katika jamii. Juu ya hayo, janga la Corona limesababisha upotovu wa maadili. Shule zilipofungwa, wanagenzi walibaki nyumbani bila kujishugulisha kimasomo. Baadhi yao walisingizia kusoma kutumia simu kumbe waingia Youtube na kuangalia sinema zisizofaa. Wengine walijihusisha na mapenzi ya mapema na kwa kuwa wazazi wao hawataki aibu, huwaozesha mapema. Wengine walijiingiza katika ufuko na vijana kuingia katika magenge ya wizi na kutumia mihadarati. Afanalek! Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu. Kwani licha ya kukanywa na wazazi wao, bado hujiingiza katika tabia hizo za usherati. Kwa wakati huu, wengine wanakula kalenda au wameenda junguneo kitambo. Minghairi ya hayo, janga la Corona limeongeza ufisadi kwa asilimia kubwa sana. Muwele akienda hospitalini akiwa na ugonjwa usio sugu kama vile mafua ya kawaida, pana uwezekano wa madaktari walafi kumweka karantini wakidai ana Corona na kumla pesa. Tusisahau pia askari kanzu waliowekwa ili wawatie mbaroni waliokiuka sheria ya kuvaa barakoa na kuepuka msongamano hupatiwa hongo na kuwaachilia huru. Kwa kweli, Mwenye nguvu mpishe. Kuongezea, janga la corona limechangia cheche za moto zinazoharibu kidiplomasia miongoni mwa nchi. Mfano mzuri ni pale wananchi walizuiwa kuingia nchi zingine. Mfano, Wakenya walipokatazwa kuingia Tanzania na wao pia kuzuiwa kuingia Kenya. Nchi hizo ambazo ni marafiki wa kufa kuzikana; uhusiano wao ulipungua bila ya kujali maarifa ambayo yangelitokea japo wangelitangamana. Hata hivyo, asiyejua maana haambiwi maana. Kadhalika , janga la corona linasababisha uhaba wa vitanda na oksijeni hospitalini. Jambo hili linafanya adinasi kwenda jongomeo. Corona ya Delta iliumiza nchi ya India vibaya sana bila huruma. Mwishowe, Pakistan nchi ambayo iko karibu na India kama pua na mdomo, ilibidi wawasaidie kwa kuwapa chanjo . Kwani waathiriwa walikuwa wengi mithili ya mchanga baharini, huku wakishinda idadi ya vitanda oksijeni na kipumilishi cha kitabibu zilizomo hospitalini. Bila shaka, akufuataye kwa dhiki ndiye rafiki. Bila shaka, janga la corona limeongeza ukosefu wa uhuru nchini. Nchi au kata ambazo zinasemekana kuwa na kesi nyingi za virusi hivi; zimewekewa zuio la kutoka. Mfano mzuri ni katika kata kumi na tatu zilizoko Kenya, ambazo zimeathiriwa sana na corona aina ya Delta. Kata hizi ambazo mojawapo ni Busia, watu wake hawawezi kutoka au kuingia katika kata hiyo. Hii huzua chuki baina ya watu na nchi zingine. Kabla sijasahau janga la corona linasababisha sekta ya utalii kudorora. Hakukuwa na watalii kwani nchi zilifungwa na hakuna aliyeruhusiwa kutoka au kuingia nchini. Katika mbuga zinazoaminika kuwa ni za adinasi binafsi, walinzi wake hawaku shughulikia wanyama. Kwa kuwa mishahara yao inapatikana kwa zile fedha ambazo watalii hawa wangetoa. Licha ya hayo, janga la corona limechangia pakubwa katika kutengana kwa aila. Kulingana na gazeti la Daily Nation la ljumaa, tarehe tisa, Juni, mwaka huu, Kevin Ochieng, anayeshughulikia waathiriwa wa Uviko-19 katika hospitali ya Jaramogi alijitenga na aila yake ili kuzuia virusi hivyo kusambaa. Kumalizia, janga la corona limeongeza unyanyapaa katika wagonjwa au madaktari wanaoshughulikia masuala ya corona. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe tisa, ljumaa, Juni, mwaka huu, B. Celine anayefanya kazi katika hospitali ya Jaramogi alithibitisha jambo hili. Kwani, familia na marafiki walimtenga wakisema atawaambukiza Corona. Isitoshe, walimtolea Jina ‘Covid’. Ndio janga la corona limeleta maafa, lakini pia kuna uzuri wake. Kwa mfano, kafyu imeleta usalama, kwani hakuna mtu kutoka usiku na pia kufanya wazazi wanaofanya kazi mbali au usiku kuwa karibu na aila zao. Pia, madaktari wameajiri na kusaidia familia zao. Isitoshe, kuna vijana na serikali mbalimbali waliokuza vipaji vyao. Kuna wengine waliochukulia corona kama kitega-uchumi, kwa mfano, wenye kuuza vitambaa na barakoa. Kwa hakika, corona ni kifo, lakini tukifuata masharti yaliyotolewa na serikali na wataalamu wa matibabu tunaweza kuepuka janga hili. Kwa mfano, madaktari kuvaa kifaa kinga, vikinga uso, glavu na vazigubi wanapowatibu wagonjwa wa UVIKO-19. Adinasi, nao wanaruhusiwa watumie vitakasa, kuepuka msongamano na wavae barakoa. Naamini kuwa, abadi abadi kam!! hakata jiwe. Tukizingatia na kufuatilia hatua hizi, patachangia pakubwa katika kudidimiza makali ya janga la corona.
Corona imezorotesha uchumi wa nchi kivipi
{ "text": [ "nchi haingeweza kuagiza bidhaa kutoka nje au kuuza kuenda nje" ] }
1116_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YAJABABISHWIAYO NA JANGA LA CORONA Ikhlasi ni kwamba UVIKO-19 ni uele wa virusi vya corona ambavyo vilingunduliwa mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa Wuhan China, kanda ya kati ya mkoa wa Hubei. Yamkini ugonjwa huu ulitokana na ulaji wa popo. Maradhi ya Uviko-19 hujibainisha baada ya takribani siku kumi na nne baadha ya muathiriwa kuambukizwa. Ugonjwa huathiri sehemu ni upumuaji. Bela, Alpha na Delta ni aina za Corona ambazo zimewamaliza watu mithili ya mchanga ufuoni mwa bahari. Makaburi yamjaa hadi kutapika sehemu za Uitaliano na India. Chambilecho waimantiki na wataalamu wenye lisani za uhodari na utalalamidhi, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Corona ni kimbunga kinachosomba kila kitu, si watu, si amani, na si maendeleo. UVIKO-19 umesababisha madhara chungu nzima, yakianzia kwa; Hakika, janga la corona limeangamiza dunia ambapo mamia ya watu wameiaga dunia. Ugonjwa huu hawa huwakumba adinasi walio kula chumvi nyingi na wenye ndwele sugu, mathalani: kisukari, pumu, kifua kikuu na shinikizo la damu. Watu wengi walioenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu kwani hauchagui yeyote yule, tajiri au maskini, mwembamba au mnene kama akini hayati Augusto Heleno, Zororo Malamba, Manu Dibango na Stephen Karanja. Kulingana na habari za Citizen mwezi Juni, dunia imepoteza waja zaidi ya milioni tatu mia saba sitini na sita elfu mia mbili themanini na wanne kupitia kwa mikono kati ya Uviko-19. Mbaya zaidi, corona imeubunanga uchumi duniani. Biashara za kimataifa zimefungwa kwa sababu ya watu kuhofia maambukizi ya corona. Kenya hununua bidhaa aina mbalimbali haya kutoka nchini China ambako ugonjwa huu ulichipuka. Bidhaa hizi ni simu, magari, mashine mbalimbali, nguo za mitumba, viatu na dawa. Mwaka jana, Kenya ilisimamisha uagizaji wa bidhaa kwa muda. Jambo hili pia lilifanya Uingereza kukata uhusiano wao wa kibiashara na Uganda hivyo kusababisha upungufu wa bidhaa katika nchi. Isitoshe, janga la corona limeathiri utalii. Hakuna atakaye taka kutalii nchi yoyote ile na matokeo yake ni kupata corona. Kaunti ya Kwale inasifika sana kwa hewa yake safi, mabonde na mlima mandhari murua, visiwa na mahoteli ya kifahari. Kwa sasa amini usiamini, Kwale imekuwa kimya kama maji mtungini kwani kabla ya corona kulikuwa na pilka pilka nyingi. Wafanyakazi wengi waligwa kalamu mikahawani na hoteli, mbuga za kuhifadhia wanyama na madukani. Sehemu kama Burj Khalifa, msitu wa Amazon na Diani zinakosa wateja kwa watu kuhofia UVIKO-19 ndipo wafanyakazi kupigwa kalamu. Kisha, janga la corona limeweka ripoti mpya iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa Muungano wa ulaya na Shirika la Marekani la msaada wa kimataifa (USAID) inaonyesha kuwa janga la mlipuko wa uviko-19 linaweka njia panda mustakabali wa chakula na lishe. Watoto, wazima na wagonjwa wote wanasumbuka kujitafutia riziki. Watu wengi wamedhohofika na wengine kukuta kamba kwa baa la njaa. Vilevile, corona ilifanya shule kufungwa karibia pande zote duniani kupitia ugonjwa huu. Wanagenzi walikaa manzilini kwa takribani miezi tisa. Kiwango cha elimu walichokuwa nacho kilipotelea hewani. Wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari walikaa mitaani wakitafuta hamsini za kufanya. Wengi wao walijiunga katika magenge mbalimbali, maghulumu wakuabini bahazi la mihadarati na mabanati walipata ujauzito wa mapema. Pia, corona imepigia debe uhalifu. Kumekuwa na vurugu kila mahali. Siku hizi wizi wa mabavu umeenea na kuwa kama kazi ya kawaida. Wezi hawa huwapora waja katika nyakati hizi ngumu. Hii haitoshi, wanawauwa au kuwakata sehemu za mwili. Watoto na akina banati wengi hutekwanyara na kubahatika, wao hupatikana katika mazingira ya kutatanisha wasioweza kusema be wala te. Watu wamekuwa mahayawani hawaambiliki hawasemezeki. Bado anaendelea kumkagua mwenzake kisa na maana, janga la corona liliwafisha na kuyashinikiza kumwaga unga wao Hata hivyo. Mutahi Kagwe, waziri wa Afya nchini Kenya alipiga marufuku ibada makanisani, hekaluni na misikitini na alihakikisha maabadini humu mlifungwa mpaka idadi ya wahisiwa wa corona wapungue Kaunti kumi na tatu nchini Kenya zikiwemo: Bomet, Kisi Kakamega, Busia, Kisumu, Siaya, Bungoma, Kericho, Migori, Trans Nzoia, Homa Bay, Nyamira na Vihiga zilipigwa marufuku mikutano yoyote, usafiri, maabadini na sherehe zozote zile. Ili kupunguza ueneaji wa corona katika sehemu hizi, ni sharti wakaazi wa maeneo haya kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni kila mara, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani kulingana na gazeti la Daily Nation. Kadhalika, ufisadi umeongezeka. Kenya ilipokea zaidi ya bilioni mia mbili kutoka kwa Shirika la Afya Duniani na wafadhili kutoka nchi za nje. Pesa hizi zilitumika vibaya ndipo kukawa na kandarasi ya Misamiati ya mabilioni ya uviko-19. Mabilionea hawa walichukuwa pesa zao na kuamini kuwa zitatumika kihalali ila binadamu ni yule yule mwenye tamaa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe kumi, Juni mwaka huu, kaunti za Migori, Bomet, Vihiga Trans Nzoia, Kisii, Kisumu, Siaya, Busia, Kericho, Bungoma, Kakamega, Nyamira na Homa Bay zimetumia bilioni saba nukta sita tatu. Madiwani wana kashfa ya matumizi mabaya ya pesa kwani pesa hizi zimetumiwa kwa usafiri wa kiundani na nje ya Kenya miezi tisa ya kwanza baada ya kupata maambukizi katika wimbi la kwanza. Minghairi ya hayo janga la corona limezuwa uhasama baina ya baadhi ya nchi. Nusura Kenya igombane na Tanzania mwaka jana kwa sababu serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaleta bidhaa kutoka Tanzania wapimwe. Wakati huo Tanzania ilidai kuwa imeidhibiti corona. China na Marekani nusura ziwe na utata wa kidiplomasia wakati rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump alidai kuwa virusi vya corona vilitengenezwa kwa maabara ya China. Fauka ya hayo, janga la corona limeathiri pakubwa nchi ya India miezi hii michache baada ya kuambukizwa. Hospitali zimejaa na wagonjwa wa corona hadi kutapika. Baniani wengine walikuwa wakiabudu sanamu walibadili dini kwa sababu waliona miungu yao ni kazi bure. Wameivunja na kuichoma miungu yao. Walioaga dunia walichomwa pamoja na wengine kuchomwa juu yao kwa kukosa sehemu za kuwachoma. Nikiongezea, janga la corona limewafanya wengine kujitoa uhai. Nasikitika kuwa halaiki ya watu walijitoa uhai kwa sababu ya corona aidha kwa kutengwa kwa vurugu mahospitalini. Nchini mbalimbali kama Kenya, China, India na Uitaliano zimetoa habari kuwa waja wengi wamejitoa uhai bila kufikiria matokeo. Wengine kushauriwa kuwa hawatapona na waliaga dunia kwa sababu hakuna dawa ya uviko-19. Ama vile pia kwa kuongezea michezo imeathirika pakubwa. Michezo ambayo ilitayarishwa kufanya ilihairishwa na mengine kukatizwa. Pia wachezaji wanapofanya michezo yao huwa wanahofia kuambukizwa na wenzao kila dakika wanapumzika na kupimwa sana kabla hawajayaanza michezo. Hadhira ya kushangilia haipo na kufanya michezo kuboesha. Si kandanda, si voliboli, si mipira ya vikapu yote imehairishwa. Nikimalizia, tuharuki zimechacha pande zote duniani. Kila mmoja anahofia afya yake. Vurugu limetanda masokoni, hospitalini, barabarani na maabudini. Kinga za corona zikifuatwa, chanjo za Pfizer, Bio NTech, Astrazeneca na SARS-COV-2 zikitumika huyu ndege mjanja atanaswa kwa tundu bovu. Watu washauriane kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani. Kilicho na mwanzo hakika kina mwisho tujue ya kwamba, neno hili likivuma mno ni mwisho wa mambo.
irusi ya UVIKO 19 vilitambuliwa wapi
{ "text": [ "Wuhan China" ] }
1116_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YAJABABISHWIAYO NA JANGA LA CORONA Ikhlasi ni kwamba UVIKO-19 ni uele wa virusi vya corona ambavyo vilingunduliwa mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa Wuhan China, kanda ya kati ya mkoa wa Hubei. Yamkini ugonjwa huu ulitokana na ulaji wa popo. Maradhi ya Uviko-19 hujibainisha baada ya takribani siku kumi na nne baadha ya muathiriwa kuambukizwa. Ugonjwa huathiri sehemu ni upumuaji. Bela, Alpha na Delta ni aina za Corona ambazo zimewamaliza watu mithili ya mchanga ufuoni mwa bahari. Makaburi yamjaa hadi kutapika sehemu za Uitaliano na India. Chambilecho waimantiki na wataalamu wenye lisani za uhodari na utalalamidhi, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Corona ni kimbunga kinachosomba kila kitu, si watu, si amani, na si maendeleo. UVIKO-19 umesababisha madhara chungu nzima, yakianzia kwa; Hakika, janga la corona limeangamiza dunia ambapo mamia ya watu wameiaga dunia. Ugonjwa huu hawa huwakumba adinasi walio kula chumvi nyingi na wenye ndwele sugu, mathalani: kisukari, pumu, kifua kikuu na shinikizo la damu. Watu wengi walioenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu kwani hauchagui yeyote yule, tajiri au maskini, mwembamba au mnene kama akini hayati Augusto Heleno, Zororo Malamba, Manu Dibango na Stephen Karanja. Kulingana na habari za Citizen mwezi Juni, dunia imepoteza waja zaidi ya milioni tatu mia saba sitini na sita elfu mia mbili themanini na wanne kupitia kwa mikono kati ya Uviko-19. Mbaya zaidi, corona imeubunanga uchumi duniani. Biashara za kimataifa zimefungwa kwa sababu ya watu kuhofia maambukizi ya corona. Kenya hununua bidhaa aina mbalimbali haya kutoka nchini China ambako ugonjwa huu ulichipuka. Bidhaa hizi ni simu, magari, mashine mbalimbali, nguo za mitumba, viatu na dawa. Mwaka jana, Kenya ilisimamisha uagizaji wa bidhaa kwa muda. Jambo hili pia lilifanya Uingereza kukata uhusiano wao wa kibiashara na Uganda hivyo kusababisha upungufu wa bidhaa katika nchi. Isitoshe, janga la corona limeathiri utalii. Hakuna atakaye taka kutalii nchi yoyote ile na matokeo yake ni kupata corona. Kaunti ya Kwale inasifika sana kwa hewa yake safi, mabonde na mlima mandhari murua, visiwa na mahoteli ya kifahari. Kwa sasa amini usiamini, Kwale imekuwa kimya kama maji mtungini kwani kabla ya corona kulikuwa na pilka pilka nyingi. Wafanyakazi wengi waligwa kalamu mikahawani na hoteli, mbuga za kuhifadhia wanyama na madukani. Sehemu kama Burj Khalifa, msitu wa Amazon na Diani zinakosa wateja kwa watu kuhofia UVIKO-19 ndipo wafanyakazi kupigwa kalamu. Kisha, janga la corona limeweka ripoti mpya iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa Muungano wa ulaya na Shirika la Marekani la msaada wa kimataifa (USAID) inaonyesha kuwa janga la mlipuko wa uviko-19 linaweka njia panda mustakabali wa chakula na lishe. Watoto, wazima na wagonjwa wote wanasumbuka kujitafutia riziki. Watu wengi wamedhohofika na wengine kukuta kamba kwa baa la njaa. Vilevile, corona ilifanya shule kufungwa karibia pande zote duniani kupitia ugonjwa huu. Wanagenzi walikaa manzilini kwa takribani miezi tisa. Kiwango cha elimu walichokuwa nacho kilipotelea hewani. Wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari walikaa mitaani wakitafuta hamsini za kufanya. Wengi wao walijiunga katika magenge mbalimbali, maghulumu wakuabini bahazi la mihadarati na mabanati walipata ujauzito wa mapema. Pia, corona imepigia debe uhalifu. Kumekuwa na vurugu kila mahali. Siku hizi wizi wa mabavu umeenea na kuwa kama kazi ya kawaida. Wezi hawa huwapora waja katika nyakati hizi ngumu. Hii haitoshi, wanawauwa au kuwakata sehemu za mwili. Watoto na akina banati wengi hutekwanyara na kubahatika, wao hupatikana katika mazingira ya kutatanisha wasioweza kusema be wala te. Watu wamekuwa mahayawani hawaambiliki hawasemezeki. Bado anaendelea kumkagua mwenzake kisa na maana, janga la corona liliwafisha na kuyashinikiza kumwaga unga wao Hata hivyo. Mutahi Kagwe, waziri wa Afya nchini Kenya alipiga marufuku ibada makanisani, hekaluni na misikitini na alihakikisha maabadini humu mlifungwa mpaka idadi ya wahisiwa wa corona wapungue Kaunti kumi na tatu nchini Kenya zikiwemo: Bomet, Kisi Kakamega, Busia, Kisumu, Siaya, Bungoma, Kericho, Migori, Trans Nzoia, Homa Bay, Nyamira na Vihiga zilipigwa marufuku mikutano yoyote, usafiri, maabadini na sherehe zozote zile. Ili kupunguza ueneaji wa corona katika sehemu hizi, ni sharti wakaazi wa maeneo haya kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni kila mara, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani kulingana na gazeti la Daily Nation. Kadhalika, ufisadi umeongezeka. Kenya ilipokea zaidi ya bilioni mia mbili kutoka kwa Shirika la Afya Duniani na wafadhili kutoka nchi za nje. Pesa hizi zilitumika vibaya ndipo kukawa na kandarasi ya Misamiati ya mabilioni ya uviko-19. Mabilionea hawa walichukuwa pesa zao na kuamini kuwa zitatumika kihalali ila binadamu ni yule yule mwenye tamaa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe kumi, Juni mwaka huu, kaunti za Migori, Bomet, Vihiga Trans Nzoia, Kisii, Kisumu, Siaya, Busia, Kericho, Bungoma, Kakamega, Nyamira na Homa Bay zimetumia bilioni saba nukta sita tatu. Madiwani wana kashfa ya matumizi mabaya ya pesa kwani pesa hizi zimetumiwa kwa usafiri wa kiundani na nje ya Kenya miezi tisa ya kwanza baada ya kupata maambukizi katika wimbi la kwanza. Minghairi ya hayo janga la corona limezuwa uhasama baina ya baadhi ya nchi. Nusura Kenya igombane na Tanzania mwaka jana kwa sababu serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaleta bidhaa kutoka Tanzania wapimwe. Wakati huo Tanzania ilidai kuwa imeidhibiti corona. China na Marekani nusura ziwe na utata wa kidiplomasia wakati rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump alidai kuwa virusi vya corona vilitengenezwa kwa maabara ya China. Fauka ya hayo, janga la corona limeathiri pakubwa nchi ya India miezi hii michache baada ya kuambukizwa. Hospitali zimejaa na wagonjwa wa corona hadi kutapika. Baniani wengine walikuwa wakiabudu sanamu walibadili dini kwa sababu waliona miungu yao ni kazi bure. Wameivunja na kuichoma miungu yao. Walioaga dunia walichomwa pamoja na wengine kuchomwa juu yao kwa kukosa sehemu za kuwachoma. Nikiongezea, janga la corona limewafanya wengine kujitoa uhai. Nasikitika kuwa halaiki ya watu walijitoa uhai kwa sababu ya corona aidha kwa kutengwa kwa vurugu mahospitalini. Nchini mbalimbali kama Kenya, China, India na Uitaliano zimetoa habari kuwa waja wengi wamejitoa uhai bila kufikiria matokeo. Wengine kushauriwa kuwa hawatapona na waliaga dunia kwa sababu hakuna dawa ya uviko-19. Ama vile pia kwa kuongezea michezo imeathirika pakubwa. Michezo ambayo ilitayarishwa kufanya ilihairishwa na mengine kukatizwa. Pia wachezaji wanapofanya michezo yao huwa wanahofia kuambukizwa na wenzao kila dakika wanapumzika na kupimwa sana kabla hawajayaanza michezo. Hadhira ya kushangilia haipo na kufanya michezo kuboesha. Si kandanda, si voliboli, si mipira ya vikapu yote imehairishwa. Nikimalizia, tuharuki zimechacha pande zote duniani. Kila mmoja anahofia afya yake. Vurugu limetanda masokoni, hospitalini, barabarani na maabudini. Kinga za corona zikifuatwa, chanjo za Pfizer, Bio NTech, Astrazeneca na SARS-COV-2 zikitumika huyu ndege mjanja atanaswa kwa tundu bovu. Watu washauriane kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani. Kilicho na mwanzo hakika kina mwisho tujue ya kwamba, neno hili likivuma mno ni mwisho wa mambo.
Ugonjwa huu ulitokana na ulaji wa nini
{ "text": [ "popo" ] }
1116_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YAJABABISHWIAYO NA JANGA LA CORONA Ikhlasi ni kwamba UVIKO-19 ni uele wa virusi vya corona ambavyo vilingunduliwa mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa Wuhan China, kanda ya kati ya mkoa wa Hubei. Yamkini ugonjwa huu ulitokana na ulaji wa popo. Maradhi ya Uviko-19 hujibainisha baada ya takribani siku kumi na nne baadha ya muathiriwa kuambukizwa. Ugonjwa huathiri sehemu ni upumuaji. Bela, Alpha na Delta ni aina za Corona ambazo zimewamaliza watu mithili ya mchanga ufuoni mwa bahari. Makaburi yamjaa hadi kutapika sehemu za Uitaliano na India. Chambilecho waimantiki na wataalamu wenye lisani za uhodari na utalalamidhi, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Corona ni kimbunga kinachosomba kila kitu, si watu, si amani, na si maendeleo. UVIKO-19 umesababisha madhara chungu nzima, yakianzia kwa; Hakika, janga la corona limeangamiza dunia ambapo mamia ya watu wameiaga dunia. Ugonjwa huu hawa huwakumba adinasi walio kula chumvi nyingi na wenye ndwele sugu, mathalani: kisukari, pumu, kifua kikuu na shinikizo la damu. Watu wengi walioenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu kwani hauchagui yeyote yule, tajiri au maskini, mwembamba au mnene kama akini hayati Augusto Heleno, Zororo Malamba, Manu Dibango na Stephen Karanja. Kulingana na habari za Citizen mwezi Juni, dunia imepoteza waja zaidi ya milioni tatu mia saba sitini na sita elfu mia mbili themanini na wanne kupitia kwa mikono kati ya Uviko-19. Mbaya zaidi, corona imeubunanga uchumi duniani. Biashara za kimataifa zimefungwa kwa sababu ya watu kuhofia maambukizi ya corona. Kenya hununua bidhaa aina mbalimbali haya kutoka nchini China ambako ugonjwa huu ulichipuka. Bidhaa hizi ni simu, magari, mashine mbalimbali, nguo za mitumba, viatu na dawa. Mwaka jana, Kenya ilisimamisha uagizaji wa bidhaa kwa muda. Jambo hili pia lilifanya Uingereza kukata uhusiano wao wa kibiashara na Uganda hivyo kusababisha upungufu wa bidhaa katika nchi. Isitoshe, janga la corona limeathiri utalii. Hakuna atakaye taka kutalii nchi yoyote ile na matokeo yake ni kupata corona. Kaunti ya Kwale inasifika sana kwa hewa yake safi, mabonde na mlima mandhari murua, visiwa na mahoteli ya kifahari. Kwa sasa amini usiamini, Kwale imekuwa kimya kama maji mtungini kwani kabla ya corona kulikuwa na pilka pilka nyingi. Wafanyakazi wengi waligwa kalamu mikahawani na hoteli, mbuga za kuhifadhia wanyama na madukani. Sehemu kama Burj Khalifa, msitu wa Amazon na Diani zinakosa wateja kwa watu kuhofia UVIKO-19 ndipo wafanyakazi kupigwa kalamu. Kisha, janga la corona limeweka ripoti mpya iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa Muungano wa ulaya na Shirika la Marekani la msaada wa kimataifa (USAID) inaonyesha kuwa janga la mlipuko wa uviko-19 linaweka njia panda mustakabali wa chakula na lishe. Watoto, wazima na wagonjwa wote wanasumbuka kujitafutia riziki. Watu wengi wamedhohofika na wengine kukuta kamba kwa baa la njaa. Vilevile, corona ilifanya shule kufungwa karibia pande zote duniani kupitia ugonjwa huu. Wanagenzi walikaa manzilini kwa takribani miezi tisa. Kiwango cha elimu walichokuwa nacho kilipotelea hewani. Wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari walikaa mitaani wakitafuta hamsini za kufanya. Wengi wao walijiunga katika magenge mbalimbali, maghulumu wakuabini bahazi la mihadarati na mabanati walipata ujauzito wa mapema. Pia, corona imepigia debe uhalifu. Kumekuwa na vurugu kila mahali. Siku hizi wizi wa mabavu umeenea na kuwa kama kazi ya kawaida. Wezi hawa huwapora waja katika nyakati hizi ngumu. Hii haitoshi, wanawauwa au kuwakata sehemu za mwili. Watoto na akina banati wengi hutekwanyara na kubahatika, wao hupatikana katika mazingira ya kutatanisha wasioweza kusema be wala te. Watu wamekuwa mahayawani hawaambiliki hawasemezeki. Bado anaendelea kumkagua mwenzake kisa na maana, janga la corona liliwafisha na kuyashinikiza kumwaga unga wao Hata hivyo. Mutahi Kagwe, waziri wa Afya nchini Kenya alipiga marufuku ibada makanisani, hekaluni na misikitini na alihakikisha maabadini humu mlifungwa mpaka idadi ya wahisiwa wa corona wapungue Kaunti kumi na tatu nchini Kenya zikiwemo: Bomet, Kisi Kakamega, Busia, Kisumu, Siaya, Bungoma, Kericho, Migori, Trans Nzoia, Homa Bay, Nyamira na Vihiga zilipigwa marufuku mikutano yoyote, usafiri, maabadini na sherehe zozote zile. Ili kupunguza ueneaji wa corona katika sehemu hizi, ni sharti wakaazi wa maeneo haya kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni kila mara, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani kulingana na gazeti la Daily Nation. Kadhalika, ufisadi umeongezeka. Kenya ilipokea zaidi ya bilioni mia mbili kutoka kwa Shirika la Afya Duniani na wafadhili kutoka nchi za nje. Pesa hizi zilitumika vibaya ndipo kukawa na kandarasi ya Misamiati ya mabilioni ya uviko-19. Mabilionea hawa walichukuwa pesa zao na kuamini kuwa zitatumika kihalali ila binadamu ni yule yule mwenye tamaa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe kumi, Juni mwaka huu, kaunti za Migori, Bomet, Vihiga Trans Nzoia, Kisii, Kisumu, Siaya, Busia, Kericho, Bungoma, Kakamega, Nyamira na Homa Bay zimetumia bilioni saba nukta sita tatu. Madiwani wana kashfa ya matumizi mabaya ya pesa kwani pesa hizi zimetumiwa kwa usafiri wa kiundani na nje ya Kenya miezi tisa ya kwanza baada ya kupata maambukizi katika wimbi la kwanza. Minghairi ya hayo janga la corona limezuwa uhasama baina ya baadhi ya nchi. Nusura Kenya igombane na Tanzania mwaka jana kwa sababu serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaleta bidhaa kutoka Tanzania wapimwe. Wakati huo Tanzania ilidai kuwa imeidhibiti corona. China na Marekani nusura ziwe na utata wa kidiplomasia wakati rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump alidai kuwa virusi vya corona vilitengenezwa kwa maabara ya China. Fauka ya hayo, janga la corona limeathiri pakubwa nchi ya India miezi hii michache baada ya kuambukizwa. Hospitali zimejaa na wagonjwa wa corona hadi kutapika. Baniani wengine walikuwa wakiabudu sanamu walibadili dini kwa sababu waliona miungu yao ni kazi bure. Wameivunja na kuichoma miungu yao. Walioaga dunia walichomwa pamoja na wengine kuchomwa juu yao kwa kukosa sehemu za kuwachoma. Nikiongezea, janga la corona limewafanya wengine kujitoa uhai. Nasikitika kuwa halaiki ya watu walijitoa uhai kwa sababu ya corona aidha kwa kutengwa kwa vurugu mahospitalini. Nchini mbalimbali kama Kenya, China, India na Uitaliano zimetoa habari kuwa waja wengi wamejitoa uhai bila kufikiria matokeo. Wengine kushauriwa kuwa hawatapona na waliaga dunia kwa sababu hakuna dawa ya uviko-19. Ama vile pia kwa kuongezea michezo imeathirika pakubwa. Michezo ambayo ilitayarishwa kufanya ilihairishwa na mengine kukatizwa. Pia wachezaji wanapofanya michezo yao huwa wanahofia kuambukizwa na wenzao kila dakika wanapumzika na kupimwa sana kabla hawajayaanza michezo. Hadhira ya kushangilia haipo na kufanya michezo kuboesha. Si kandanda, si voliboli, si mipira ya vikapu yote imehairishwa. Nikimalizia, tuharuki zimechacha pande zote duniani. Kila mmoja anahofia afya yake. Vurugu limetanda masokoni, hospitalini, barabarani na maabudini. Kinga za corona zikifuatwa, chanjo za Pfizer, Bio NTech, Astrazeneca na SARS-COV-2 zikitumika huyu ndege mjanja atanaswa kwa tundu bovu. Watu washauriane kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani. Kilicho na mwanzo hakika kina mwisho tujue ya kwamba, neno hili likivuma mno ni mwisho wa mambo.
Maradhi ya UVIKO-19 hujibainisha baada ya siku ngapi
{ "text": [ "siku kumi na nne" ] }
1116_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YAJABABISHWIAYO NA JANGA LA CORONA Ikhlasi ni kwamba UVIKO-19 ni uele wa virusi vya corona ambavyo vilingunduliwa mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa Wuhan China, kanda ya kati ya mkoa wa Hubei. Yamkini ugonjwa huu ulitokana na ulaji wa popo. Maradhi ya Uviko-19 hujibainisha baada ya takribani siku kumi na nne baadha ya muathiriwa kuambukizwa. Ugonjwa huathiri sehemu ni upumuaji. Bela, Alpha na Delta ni aina za Corona ambazo zimewamaliza watu mithili ya mchanga ufuoni mwa bahari. Makaburi yamjaa hadi kutapika sehemu za Uitaliano na India. Chambilecho waimantiki na wataalamu wenye lisani za uhodari na utalalamidhi, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Corona ni kimbunga kinachosomba kila kitu, si watu, si amani, na si maendeleo. UVIKO-19 umesababisha madhara chungu nzima, yakianzia kwa; Hakika, janga la corona limeangamiza dunia ambapo mamia ya watu wameiaga dunia. Ugonjwa huu hawa huwakumba adinasi walio kula chumvi nyingi na wenye ndwele sugu, mathalani: kisukari, pumu, kifua kikuu na shinikizo la damu. Watu wengi walioenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu kwani hauchagui yeyote yule, tajiri au maskini, mwembamba au mnene kama akini hayati Augusto Heleno, Zororo Malamba, Manu Dibango na Stephen Karanja. Kulingana na habari za Citizen mwezi Juni, dunia imepoteza waja zaidi ya milioni tatu mia saba sitini na sita elfu mia mbili themanini na wanne kupitia kwa mikono kati ya Uviko-19. Mbaya zaidi, corona imeubunanga uchumi duniani. Biashara za kimataifa zimefungwa kwa sababu ya watu kuhofia maambukizi ya corona. Kenya hununua bidhaa aina mbalimbali haya kutoka nchini China ambako ugonjwa huu ulichipuka. Bidhaa hizi ni simu, magari, mashine mbalimbali, nguo za mitumba, viatu na dawa. Mwaka jana, Kenya ilisimamisha uagizaji wa bidhaa kwa muda. Jambo hili pia lilifanya Uingereza kukata uhusiano wao wa kibiashara na Uganda hivyo kusababisha upungufu wa bidhaa katika nchi. Isitoshe, janga la corona limeathiri utalii. Hakuna atakaye taka kutalii nchi yoyote ile na matokeo yake ni kupata corona. Kaunti ya Kwale inasifika sana kwa hewa yake safi, mabonde na mlima mandhari murua, visiwa na mahoteli ya kifahari. Kwa sasa amini usiamini, Kwale imekuwa kimya kama maji mtungini kwani kabla ya corona kulikuwa na pilka pilka nyingi. Wafanyakazi wengi waligwa kalamu mikahawani na hoteli, mbuga za kuhifadhia wanyama na madukani. Sehemu kama Burj Khalifa, msitu wa Amazon na Diani zinakosa wateja kwa watu kuhofia UVIKO-19 ndipo wafanyakazi kupigwa kalamu. Kisha, janga la corona limeweka ripoti mpya iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa Muungano wa ulaya na Shirika la Marekani la msaada wa kimataifa (USAID) inaonyesha kuwa janga la mlipuko wa uviko-19 linaweka njia panda mustakabali wa chakula na lishe. Watoto, wazima na wagonjwa wote wanasumbuka kujitafutia riziki. Watu wengi wamedhohofika na wengine kukuta kamba kwa baa la njaa. Vilevile, corona ilifanya shule kufungwa karibia pande zote duniani kupitia ugonjwa huu. Wanagenzi walikaa manzilini kwa takribani miezi tisa. Kiwango cha elimu walichokuwa nacho kilipotelea hewani. Wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari walikaa mitaani wakitafuta hamsini za kufanya. Wengi wao walijiunga katika magenge mbalimbali, maghulumu wakuabini bahazi la mihadarati na mabanati walipata ujauzito wa mapema. Pia, corona imepigia debe uhalifu. Kumekuwa na vurugu kila mahali. Siku hizi wizi wa mabavu umeenea na kuwa kama kazi ya kawaida. Wezi hawa huwapora waja katika nyakati hizi ngumu. Hii haitoshi, wanawauwa au kuwakata sehemu za mwili. Watoto na akina banati wengi hutekwanyara na kubahatika, wao hupatikana katika mazingira ya kutatanisha wasioweza kusema be wala te. Watu wamekuwa mahayawani hawaambiliki hawasemezeki. Bado anaendelea kumkagua mwenzake kisa na maana, janga la corona liliwafisha na kuyashinikiza kumwaga unga wao Hata hivyo. Mutahi Kagwe, waziri wa Afya nchini Kenya alipiga marufuku ibada makanisani, hekaluni na misikitini na alihakikisha maabadini humu mlifungwa mpaka idadi ya wahisiwa wa corona wapungue Kaunti kumi na tatu nchini Kenya zikiwemo: Bomet, Kisi Kakamega, Busia, Kisumu, Siaya, Bungoma, Kericho, Migori, Trans Nzoia, Homa Bay, Nyamira na Vihiga zilipigwa marufuku mikutano yoyote, usafiri, maabadini na sherehe zozote zile. Ili kupunguza ueneaji wa corona katika sehemu hizi, ni sharti wakaazi wa maeneo haya kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni kila mara, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani kulingana na gazeti la Daily Nation. Kadhalika, ufisadi umeongezeka. Kenya ilipokea zaidi ya bilioni mia mbili kutoka kwa Shirika la Afya Duniani na wafadhili kutoka nchi za nje. Pesa hizi zilitumika vibaya ndipo kukawa na kandarasi ya Misamiati ya mabilioni ya uviko-19. Mabilionea hawa walichukuwa pesa zao na kuamini kuwa zitatumika kihalali ila binadamu ni yule yule mwenye tamaa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe kumi, Juni mwaka huu, kaunti za Migori, Bomet, Vihiga Trans Nzoia, Kisii, Kisumu, Siaya, Busia, Kericho, Bungoma, Kakamega, Nyamira na Homa Bay zimetumia bilioni saba nukta sita tatu. Madiwani wana kashfa ya matumizi mabaya ya pesa kwani pesa hizi zimetumiwa kwa usafiri wa kiundani na nje ya Kenya miezi tisa ya kwanza baada ya kupata maambukizi katika wimbi la kwanza. Minghairi ya hayo janga la corona limezuwa uhasama baina ya baadhi ya nchi. Nusura Kenya igombane na Tanzania mwaka jana kwa sababu serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaleta bidhaa kutoka Tanzania wapimwe. Wakati huo Tanzania ilidai kuwa imeidhibiti corona. China na Marekani nusura ziwe na utata wa kidiplomasia wakati rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump alidai kuwa virusi vya corona vilitengenezwa kwa maabara ya China. Fauka ya hayo, janga la corona limeathiri pakubwa nchi ya India miezi hii michache baada ya kuambukizwa. Hospitali zimejaa na wagonjwa wa corona hadi kutapika. Baniani wengine walikuwa wakiabudu sanamu walibadili dini kwa sababu waliona miungu yao ni kazi bure. Wameivunja na kuichoma miungu yao. Walioaga dunia walichomwa pamoja na wengine kuchomwa juu yao kwa kukosa sehemu za kuwachoma. Nikiongezea, janga la corona limewafanya wengine kujitoa uhai. Nasikitika kuwa halaiki ya watu walijitoa uhai kwa sababu ya corona aidha kwa kutengwa kwa vurugu mahospitalini. Nchini mbalimbali kama Kenya, China, India na Uitaliano zimetoa habari kuwa waja wengi wamejitoa uhai bila kufikiria matokeo. Wengine kushauriwa kuwa hawatapona na waliaga dunia kwa sababu hakuna dawa ya uviko-19. Ama vile pia kwa kuongezea michezo imeathirika pakubwa. Michezo ambayo ilitayarishwa kufanya ilihairishwa na mengine kukatizwa. Pia wachezaji wanapofanya michezo yao huwa wanahofia kuambukizwa na wenzao kila dakika wanapumzika na kupimwa sana kabla hawajayaanza michezo. Hadhira ya kushangilia haipo na kufanya michezo kuboesha. Si kandanda, si voliboli, si mipira ya vikapu yote imehairishwa. Nikimalizia, tuharuki zimechacha pande zote duniani. Kila mmoja anahofia afya yake. Vurugu limetanda masokoni, hospitalini, barabarani na maabudini. Kinga za corona zikifuatwa, chanjo za Pfizer, Bio NTech, Astrazeneca na SARS-COV-2 zikitumika huyu ndege mjanja atanaswa kwa tundu bovu. Watu washauriane kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani. Kilicho na mwanzo hakika kina mwisho tujue ya kwamba, neno hili likivuma mno ni mwisho wa mambo.
Ugonjwa huu huathiri sehemu gani
{ "text": [ "za upumuaji" ] }
1116_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YAJABABISHWIAYO NA JANGA LA CORONA Ikhlasi ni kwamba UVIKO-19 ni uele wa virusi vya corona ambavyo vilingunduliwa mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa Wuhan China, kanda ya kati ya mkoa wa Hubei. Yamkini ugonjwa huu ulitokana na ulaji wa popo. Maradhi ya Uviko-19 hujibainisha baada ya takribani siku kumi na nne baadha ya muathiriwa kuambukizwa. Ugonjwa huathiri sehemu ni upumuaji. Bela, Alpha na Delta ni aina za Corona ambazo zimewamaliza watu mithili ya mchanga ufuoni mwa bahari. Makaburi yamjaa hadi kutapika sehemu za Uitaliano na India. Chambilecho waimantiki na wataalamu wenye lisani za uhodari na utalalamidhi, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Corona ni kimbunga kinachosomba kila kitu, si watu, si amani, na si maendeleo. UVIKO-19 umesababisha madhara chungu nzima, yakianzia kwa; Hakika, janga la corona limeangamiza dunia ambapo mamia ya watu wameiaga dunia. Ugonjwa huu hawa huwakumba adinasi walio kula chumvi nyingi na wenye ndwele sugu, mathalani: kisukari, pumu, kifua kikuu na shinikizo la damu. Watu wengi walioenda jongomeo kwa sababu ya ugonjwa huu kwani hauchagui yeyote yule, tajiri au maskini, mwembamba au mnene kama akini hayati Augusto Heleno, Zororo Malamba, Manu Dibango na Stephen Karanja. Kulingana na habari za Citizen mwezi Juni, dunia imepoteza waja zaidi ya milioni tatu mia saba sitini na sita elfu mia mbili themanini na wanne kupitia kwa mikono kati ya Uviko-19. Mbaya zaidi, corona imeubunanga uchumi duniani. Biashara za kimataifa zimefungwa kwa sababu ya watu kuhofia maambukizi ya corona. Kenya hununua bidhaa aina mbalimbali haya kutoka nchini China ambako ugonjwa huu ulichipuka. Bidhaa hizi ni simu, magari, mashine mbalimbali, nguo za mitumba, viatu na dawa. Mwaka jana, Kenya ilisimamisha uagizaji wa bidhaa kwa muda. Jambo hili pia lilifanya Uingereza kukata uhusiano wao wa kibiashara na Uganda hivyo kusababisha upungufu wa bidhaa katika nchi. Isitoshe, janga la corona limeathiri utalii. Hakuna atakaye taka kutalii nchi yoyote ile na matokeo yake ni kupata corona. Kaunti ya Kwale inasifika sana kwa hewa yake safi, mabonde na mlima mandhari murua, visiwa na mahoteli ya kifahari. Kwa sasa amini usiamini, Kwale imekuwa kimya kama maji mtungini kwani kabla ya corona kulikuwa na pilka pilka nyingi. Wafanyakazi wengi waligwa kalamu mikahawani na hoteli, mbuga za kuhifadhia wanyama na madukani. Sehemu kama Burj Khalifa, msitu wa Amazon na Diani zinakosa wateja kwa watu kuhofia UVIKO-19 ndipo wafanyakazi kupigwa kalamu. Kisha, janga la corona limeweka ripoti mpya iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa Muungano wa ulaya na Shirika la Marekani la msaada wa kimataifa (USAID) inaonyesha kuwa janga la mlipuko wa uviko-19 linaweka njia panda mustakabali wa chakula na lishe. Watoto, wazima na wagonjwa wote wanasumbuka kujitafutia riziki. Watu wengi wamedhohofika na wengine kukuta kamba kwa baa la njaa. Vilevile, corona ilifanya shule kufungwa karibia pande zote duniani kupitia ugonjwa huu. Wanagenzi walikaa manzilini kwa takribani miezi tisa. Kiwango cha elimu walichokuwa nacho kilipotelea hewani. Wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari walikaa mitaani wakitafuta hamsini za kufanya. Wengi wao walijiunga katika magenge mbalimbali, maghulumu wakuabini bahazi la mihadarati na mabanati walipata ujauzito wa mapema. Pia, corona imepigia debe uhalifu. Kumekuwa na vurugu kila mahali. Siku hizi wizi wa mabavu umeenea na kuwa kama kazi ya kawaida. Wezi hawa huwapora waja katika nyakati hizi ngumu. Hii haitoshi, wanawauwa au kuwakata sehemu za mwili. Watoto na akina banati wengi hutekwanyara na kubahatika, wao hupatikana katika mazingira ya kutatanisha wasioweza kusema be wala te. Watu wamekuwa mahayawani hawaambiliki hawasemezeki. Bado anaendelea kumkagua mwenzake kisa na maana, janga la corona liliwafisha na kuyashinikiza kumwaga unga wao Hata hivyo. Mutahi Kagwe, waziri wa Afya nchini Kenya alipiga marufuku ibada makanisani, hekaluni na misikitini na alihakikisha maabadini humu mlifungwa mpaka idadi ya wahisiwa wa corona wapungue Kaunti kumi na tatu nchini Kenya zikiwemo: Bomet, Kisi Kakamega, Busia, Kisumu, Siaya, Bungoma, Kericho, Migori, Trans Nzoia, Homa Bay, Nyamira na Vihiga zilipigwa marufuku mikutano yoyote, usafiri, maabadini na sherehe zozote zile. Ili kupunguza ueneaji wa corona katika sehemu hizi, ni sharti wakaazi wa maeneo haya kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni kila mara, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani kulingana na gazeti la Daily Nation. Kadhalika, ufisadi umeongezeka. Kenya ilipokea zaidi ya bilioni mia mbili kutoka kwa Shirika la Afya Duniani na wafadhili kutoka nchi za nje. Pesa hizi zilitumika vibaya ndipo kukawa na kandarasi ya Misamiati ya mabilioni ya uviko-19. Mabilionea hawa walichukuwa pesa zao na kuamini kuwa zitatumika kihalali ila binadamu ni yule yule mwenye tamaa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe kumi, Juni mwaka huu, kaunti za Migori, Bomet, Vihiga Trans Nzoia, Kisii, Kisumu, Siaya, Busia, Kericho, Bungoma, Kakamega, Nyamira na Homa Bay zimetumia bilioni saba nukta sita tatu. Madiwani wana kashfa ya matumizi mabaya ya pesa kwani pesa hizi zimetumiwa kwa usafiri wa kiundani na nje ya Kenya miezi tisa ya kwanza baada ya kupata maambukizi katika wimbi la kwanza. Minghairi ya hayo janga la corona limezuwa uhasama baina ya baadhi ya nchi. Nusura Kenya igombane na Tanzania mwaka jana kwa sababu serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaleta bidhaa kutoka Tanzania wapimwe. Wakati huo Tanzania ilidai kuwa imeidhibiti corona. China na Marekani nusura ziwe na utata wa kidiplomasia wakati rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump alidai kuwa virusi vya corona vilitengenezwa kwa maabara ya China. Fauka ya hayo, janga la corona limeathiri pakubwa nchi ya India miezi hii michache baada ya kuambukizwa. Hospitali zimejaa na wagonjwa wa corona hadi kutapika. Baniani wengine walikuwa wakiabudu sanamu walibadili dini kwa sababu waliona miungu yao ni kazi bure. Wameivunja na kuichoma miungu yao. Walioaga dunia walichomwa pamoja na wengine kuchomwa juu yao kwa kukosa sehemu za kuwachoma. Nikiongezea, janga la corona limewafanya wengine kujitoa uhai. Nasikitika kuwa halaiki ya watu walijitoa uhai kwa sababu ya corona aidha kwa kutengwa kwa vurugu mahospitalini. Nchini mbalimbali kama Kenya, China, India na Uitaliano zimetoa habari kuwa waja wengi wamejitoa uhai bila kufikiria matokeo. Wengine kushauriwa kuwa hawatapona na waliaga dunia kwa sababu hakuna dawa ya uviko-19. Ama vile pia kwa kuongezea michezo imeathirika pakubwa. Michezo ambayo ilitayarishwa kufanya ilihairishwa na mengine kukatizwa. Pia wachezaji wanapofanya michezo yao huwa wanahofia kuambukizwa na wenzao kila dakika wanapumzika na kupimwa sana kabla hawajayaanza michezo. Hadhira ya kushangilia haipo na kufanya michezo kuboesha. Si kandanda, si voliboli, si mipira ya vikapu yote imehairishwa. Nikimalizia, tuharuki zimechacha pande zote duniani. Kila mmoja anahofia afya yake. Vurugu limetanda masokoni, hospitalini, barabarani na maabudini. Kinga za corona zikifuatwa, chanjo za Pfizer, Bio NTech, Astrazeneca na SARS-COV-2 zikitumika huyu ndege mjanja atanaswa kwa tundu bovu. Watu washauriane kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji safi na sabuni, kuepuka msongamano na kukaa nyumbani. Kilicho na mwanzo hakika kina mwisho tujue ya kwamba, neno hili likivuma mno ni mwisho wa mambo.
Kwa nini biashara za kimataifa zimefungwa
{ "text": [ "kwa watu kuhofia maambukizi ya corona" ] }
1117_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Korona ni virusi vinavyoleta ugonjwa upi
{ "text": [ "UVIKO" ] }
1117_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Janga la Korona limeleta nini duniani
{ "text": [ "Tanzia" ] }
1117_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Michezo ya olimpiki ilifanyika wapi
{ "text": [ "Tokyo" ] }
1117_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Ramadhani ni mwezi upi
{ "text": [ "Mtukufu" ] }
1117_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Korona imesababisha vipi kuporomoka kwa uchumi
{ "text": [ "Kenya haikuagiza na China haikuuza bidhaa zake" ] }
1118_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Unaaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangaza kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali uviko-19 imewafanya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumakuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafasi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili janga la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusambaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifutwa kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wangoje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kafyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika korona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya, wanakumbana na upungufu wa chakula. Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingira safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya, si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wameajiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za korona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Madhara yapi makuu ya janga la korona
{ "text": [ "Vifo" ] }
1118_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Unaaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangaza kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali uviko-19 imewafanya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumakuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafasi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili janga la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusambaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifutwa kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wangoje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kafyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika korona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya, wanakumbana na upungufu wa chakula. Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingira safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya, si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wameajiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za korona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Nguo, mashine na magari ni baadhi ya bidhaa ambazo Kenya huagiza kutoka wapi
{ "text": [ "China" ] }
1118_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Unaaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangaza kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali uviko-19 imewafanya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumakuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafasi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili janga la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusambaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifutwa kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wangoje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kafyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika korona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya, wanakumbana na upungufu wa chakula. Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingira safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya, si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wameajiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za korona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Uchovu, homakali, kikohozi kikavu na joto jingi ni baadhi ya dalili za ugonjwa upi
{ "text": [ "Uviko -19" ] }
1118_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Unaaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangaza kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali uviko-19 imewafanya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumakuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafasi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili janga la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusambaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifutwa kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wangoje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kafyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika korona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya, wanakumbana na upungufu wa chakula. Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingira safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya, si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wameajiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za korona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Ni mwaka upi Kenya ilikosa kuagiza bidhaa kutoka China kwa sababu ya Korona
{ "text": [ "Mwaka wa elfu mbili na ishirini" ] }
1118_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Unaaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangaza kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali uviko-19 imewafanya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumakuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafasi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili janga la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusambaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifutwa kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wangoje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kafyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika korona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya, wanakumbana na upungufu wa chakula. Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingira safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya, si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wameajiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za korona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Utafiti uliofanywa bungeni ulibaini ni asilimia ngapi ya wakenya ina upungufu wa chakula
{ "text": [ "Asilimia themanini na sita" ] }
1119_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ni aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa ya virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu, mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa. Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani. Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeeneza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kuolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao. Watu wengine wamepata wakati wa kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Corona ina aina ya virusi gani
{ "text": [ "Delta na Alpha" ] }
1119_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ni aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa ya virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu, mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa. Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani. Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeeneza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kuolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao. Watu wengine wamepata wakati wa kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Ni nani wamechangia katika kuenea kwa ufisadi wakati wa Corona
{ "text": [ "askari na madaktari" ] }
1119_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ni aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa ya virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu, mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa. Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani. Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeeneza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kuolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao. Watu wengine wamepata wakati wa kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Ni nini ambayo ilichangia wasichana kupachikwa mimba
{ "text": [ "shule kufungwa" ] }
1119_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ni aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa ya virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu, mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa. Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani. Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeeneza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kuolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao. Watu wengine wamepata wakati wa kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Ni wakati gani waalimu walianza kujitoa uhai
{ "text": [ "shule zilipofungwa" ] }
1119_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ni aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa ya virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu, mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa. Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani. Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeeneza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kuolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao. Watu wengine wamepata wakati wa kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Ni kwa nini waalimu wa shule za kibinafsi walijitoa uhai
{ "text": [ "kwa kukosa mishahara kwa shule walizofundisha" ] }
1121_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzinge. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Beta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo: Mosi, ni janga lililoweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari. Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, si India, si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu. Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tele kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu. Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuangamiza maisha yao. Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo. Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona. Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika. Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za krismasi, iddi, Jamhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote. Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu. Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau. Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja. Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa. Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa. Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke msongamano ya watu na avae barakoa kila wakati. Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo. Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
Ni mwigizaji yupi maarfufu aliangamia na maradhi ya Corona
{ "text": [ "Papa shirandula" ] }
1121_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzinge. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Beta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo: Mosi, ni janga lililoweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari. Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, si India, si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu. Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tele kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu. Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuangamiza maisha yao. Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo. Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona. Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika. Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za krismasi, iddi, Jamhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote. Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu. Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau. Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja. Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa. Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa. Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke msongamano ya watu na avae barakoa kila wakati. Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo. Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
Nini kilifanyika kama mtu hana barakoa
{ "text": [ "alitozwa pesa" ] }
1121_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzinge. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Beta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo: Mosi, ni janga lililoweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari. Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, si India, si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu. Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tele kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu. Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuangamiza maisha yao. Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo. Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona. Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika. Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za krismasi, iddi, Jamhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote. Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu. Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau. Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja. Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa. Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa. Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke msongamano ya watu na avae barakoa kila wakati. Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo. Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
Nini ambayo ilifanyikia wale wapatikanao na ugojwa wa Corona
{ "text": [ "waliwekwa karantini" ] }
1121_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzinge. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Beta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo: Mosi, ni janga lililoweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari. Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, si India, si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu. Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tele kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu. Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuangamiza maisha yao. Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo. Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona. Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika. Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za krismasi, iddi, Jamhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote. Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu. Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau. Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja. Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa. Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa. Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke msongamano ya watu na avae barakoa kila wakati. Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo. Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
Ni wakati gani wanafunzi wengi walianza kuharibika kimaadili
{ "text": [ "shule zilipofungwa" ] }
1121_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzinge. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Beta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo: Mosi, ni janga lililoweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari. Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, si India, si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu. Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tele kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu. Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuangamiza maisha yao. Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo. Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona. Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika. Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za krismasi, iddi, Jamhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote. Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu. Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau. Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja. Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa. Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa. Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke msongamano ya watu na avae barakoa kila wakati. Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo. Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
Ni kwa nini nchi nyingi zilifunga maabadi
{ "text": [ "juu ya kujitenga kwa woga ili kupunguza idadi ya maambukizi" ] }
1125_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cho haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Corona ni ugonjwa unaothiri nini kwa watu
{ "text": [ "mfumo wa upumuaji" ] }
1125_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cho haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Nini kimechangia umaskini kwa watu
{ "text": [ "ukosefu wa kazi" ] }
1125_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cho haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Ni mbunge yupi aliambukizwa virusi na kuaga dunia
{ "text": [ "Ramadhan Seif Kajembe" ] }
1125_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cho haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Ni lini ugonjwa huu wa Corona ulilipuka China
{ "text": [ "15/12/2019" ] }
1125_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana , kinyume cho haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikan kwa bimdamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya vasa ambavyo vimeleta mradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi n tira. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kague alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani m kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofau tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arubaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Belta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya , Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani , si . Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaj}. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vugu vugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Ni kwa nini UVIKO-19 umezorotesha usalama
{ "text": [ "ukosefu wa kazi umesababisha watu kujiunga na vikundi vibaya" ] }
1141_swa
KULEGEZWA KWA KANUNI ZA KAFYUU KANDA MWAZIWA VICTORIA Hatua ya serikali kuu kulegeza kanuniza kudhibiti msambao wa virusi vya korona katika kaunti 13 za kanda ya ziwa imepokelewa kwa kheir njema kutoka kwa wakaazi hasaa Kisumu. Kulingana na baadhi ya waliozungumza na meza yetu ya Matukio, hatua ya serikali ambayo ilipelekea kusongezwa mbele kwa muda wa kafyu kutoka saa1 jioni hadi saa nne usiku itachangia kuregesha maisha yao katika hali ya kawaida kwa kiasi fulani. Katika hatua hii,waumini wa dini ya Kiislamu sawia na wenzao mbao sio Waislamu wameelezea furaha yao wakirejelea ibada katika sehemu za ibada ila kwa masharti. Kwa upande mwingine, wafanyibiashara nao wamesema, hatua hii ni afueni baada ya biashara zao kuripoti mapungufu ya mauzo ikizingatiwa kuwa,muda wa jioni wateja wakiwemo wanaofanya kazi hupata nafasi ya kutafuta bidhaa. Faiza Swaleh ni mmoja wawafanyibiashara Kisumu ambaye anasema amekuwa akilazimika kufunga duka lake mapema kutokanana muda wa kafyu kauli sawia ikiungwa mkono na Philip Otieno ambaye ni mtengezaji magari. Hatahivyo, kulegezwa kwa kanuni za kudhibiti korona katika ukanda huu sio kiashiria cha kupungua kwa maambukizi nchini ikizingatiwa kuwa,kwa mujibu wa wizara ya afya, kaunti za Nairobi na Mombasa tayari zimeanza kuripoti ongezeko la wagonjwa wanaotafuta hewa ya oksijeni.
Philipo Otieno hufanya kazi gani
{ "text": [ "Hutengeneza magari" ] }
1141_swa
KULEGEZWA KWA KANUNI ZA KAFYUU KANDA MWAZIWA VICTORIA Hatua ya serikali kuu kulegeza kanuniza kudhibiti msambao wa virusi vya korona katika kaunti 13 za kanda ya ziwa imepokelewa kwa kheir njema kutoka kwa wakaazi hasaa Kisumu. Kulingana na baadhi ya waliozungumza na meza yetu ya Matukio, hatua ya serikali ambayo ilipelekea kusongezwa mbele kwa muda wa kafyu kutoka saa1 jioni hadi saa nne usiku itachangia kuregesha maisha yao katika hali ya kawaida kwa kiasi fulani. Katika hatua hii,waumini wa dini ya Kiislamu sawia na wenzao mbao sio Waislamu wameelezea furaha yao wakirejelea ibada katika sehemu za ibada ila kwa masharti. Kwa upande mwingine, wafanyibiashara nao wamesema, hatua hii ni afueni baada ya biashara zao kuripoti mapungufu ya mauzo ikizingatiwa kuwa,muda wa jioni wateja wakiwemo wanaofanya kazi hupata nafasi ya kutafuta bidhaa. Faiza Swaleh ni mmoja wawafanyibiashara Kisumu ambaye anasema amekuwa akilazimika kufunga duka lake mapema kutokanana muda wa kafyu kauli sawia ikiungwa mkono na Philip Otieno ambaye ni mtengezaji magari. Hatahivyo, kulegezwa kwa kanuni za kudhibiti korona katika ukanda huu sio kiashiria cha kupungua kwa maambukizi nchini ikizingatiwa kuwa,kwa mujibu wa wizara ya afya, kaunti za Nairobi na Mombasa tayari zimeanza kuripoti ongezeko la wagonjwa wanaotafuta hewa ya oksijeni.
Ni kaunti zipi ziliripoti ongezeko la wagonjwa wanaotafuta oksijeni
{ "text": [ "Nairobi na Mombasa" ] }
1141_swa
KULEGEZWA KWA KANUNI ZA KAFYUU KANDA MWAZIWA VICTORIA Hatua ya serikali kuu kulegeza kanuniza kudhibiti msambao wa virusi vya korona katika kaunti 13 za kanda ya ziwa imepokelewa kwa kheir njema kutoka kwa wakaazi hasaa Kisumu. Kulingana na baadhi ya waliozungumza na meza yetu ya Matukio, hatua ya serikali ambayo ilipelekea kusongezwa mbele kwa muda wa kafyu kutoka saa1 jioni hadi saa nne usiku itachangia kuregesha maisha yao katika hali ya kawaida kwa kiasi fulani. Katika hatua hii,waumini wa dini ya Kiislamu sawia na wenzao mbao sio Waislamu wameelezea furaha yao wakirejelea ibada katika sehemu za ibada ila kwa masharti. Kwa upande mwingine, wafanyibiashara nao wamesema, hatua hii ni afueni baada ya biashara zao kuripoti mapungufu ya mauzo ikizingatiwa kuwa,muda wa jioni wateja wakiwemo wanaofanya kazi hupata nafasi ya kutafuta bidhaa. Faiza Swaleh ni mmoja wawafanyibiashara Kisumu ambaye anasema amekuwa akilazimika kufunga duka lake mapema kutokanana muda wa kafyu kauli sawia ikiungwa mkono na Philip Otieno ambaye ni mtengezaji magari. Hatahivyo, kulegezwa kwa kanuni za kudhibiti korona katika ukanda huu sio kiashiria cha kupungua kwa maambukizi nchini ikizingatiwa kuwa,kwa mujibu wa wizara ya afya, kaunti za Nairobi na Mombasa tayari zimeanza kuripoti ongezeko la wagonjwa wanaotafuta hewa ya oksijeni.
Muda wa kafyu ulisongezwa kutoka SAA ngapi hadi SAA ngapi
{ "text": [ "SAA moja jioni hadi SAA nne usiku" ] }
1141_swa
KULEGEZWA KWA KANUNI ZA KAFYUU KANDA MWAZIWA VICTORIA Hatua ya serikali kuu kulegeza kanuniza kudhibiti msambao wa virusi vya korona katika kaunti 13 za kanda ya ziwa imepokelewa kwa kheir njema kutoka kwa wakaazi hasaa Kisumu. Kulingana na baadhi ya waliozungumza na meza yetu ya Matukio, hatua ya serikali ambayo ilipelekea kusongezwa mbele kwa muda wa kafyu kutoka saa1 jioni hadi saa nne usiku itachangia kuregesha maisha yao katika hali ya kawaida kwa kiasi fulani. Katika hatua hii,waumini wa dini ya Kiislamu sawia na wenzao mbao sio Waislamu wameelezea furaha yao wakirejelea ibada katika sehemu za ibada ila kwa masharti. Kwa upande mwingine, wafanyibiashara nao wamesema, hatua hii ni afueni baada ya biashara zao kuripoti mapungufu ya mauzo ikizingatiwa kuwa,muda wa jioni wateja wakiwemo wanaofanya kazi hupata nafasi ya kutafuta bidhaa. Faiza Swaleh ni mmoja wawafanyibiashara Kisumu ambaye anasema amekuwa akilazimika kufunga duka lake mapema kutokanana muda wa kafyu kauli sawia ikiungwa mkono na Philip Otieno ambaye ni mtengezaji magari. Hatahivyo, kulegezwa kwa kanuni za kudhibiti korona katika ukanda huu sio kiashiria cha kupungua kwa maambukizi nchini ikizingatiwa kuwa,kwa mujibu wa wizara ya afya, kaunti za Nairobi na Mombasa tayari zimeanza kuripoti ongezeko la wagonjwa wanaotafuta hewa ya oksijeni.
Baada ya masharti kulegezwa waumini walirejelea nini
{ "text": [ "Ibada" ] }
1141_swa
KULEGEZWA KWA KANUNI ZA KAFYUU KANDA MWAZIWA VICTORIA Hatua ya serikali kuu kulegeza kanuniza kudhibiti msambao wa virusi vya korona katika kaunti 13 za kanda ya ziwa imepokelewa kwa kheir njema kutoka kwa wakaazi hasaa Kisumu. Kulingana na baadhi ya waliozungumza na meza yetu ya Matukio, hatua ya serikali ambayo ilipelekea kusongezwa mbele kwa muda wa kafyu kutoka saa1 jioni hadi saa nne usiku itachangia kuregesha maisha yao katika hali ya kawaida kwa kiasi fulani. Katika hatua hii,waumini wa dini ya Kiislamu sawia na wenzao mbao sio Waislamu wameelezea furaha yao wakirejelea ibada katika sehemu za ibada ila kwa masharti. Kwa upande mwingine, wafanyibiashara nao wamesema, hatua hii ni afueni baada ya biashara zao kuripoti mapungufu ya mauzo ikizingatiwa kuwa,muda wa jioni wateja wakiwemo wanaofanya kazi hupata nafasi ya kutafuta bidhaa. Faiza Swaleh ni mmoja wawafanyibiashara Kisumu ambaye anasema amekuwa akilazimika kufunga duka lake mapema kutokanana muda wa kafyu kauli sawia ikiungwa mkono na Philip Otieno ambaye ni mtengezaji magari. Hatahivyo, kulegezwa kwa kanuni za kudhibiti korona katika ukanda huu sio kiashiria cha kupungua kwa maambukizi nchini ikizingatiwa kuwa,kwa mujibu wa wizara ya afya, kaunti za Nairobi na Mombasa tayari zimeanza kuripoti ongezeko la wagonjwa wanaotafuta hewa ya oksijeni.
Ni wapi Faiza Swaleh alikuwa anaifanyia biashara yake
{ "text": [ "Kisumu" ] }
1144_swa
Ataka Echesa achunguzwe alivyoingia humo na watu 3 Ruto ajitakasa kuhusu utapeli ofisini mwake Uchunguzi kuhusu kashfa ya utapeli inayodaiwa kuhusisha ofisi ya Naibu Rais William Ruto unapoendelea, maswali yanazidi kuibuka kuhusu iwapo Dkt Ruto binafsi alifahamu njama hiyo. Wapelelezi waliopiga kambi katika ofisi yake kwa siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine watatu wamwewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Ruto kuwahoji. Bw Echesa na wenzake walikamatwa nje ya ofisi baada ya kutia sahihi kandarasi feki ya kununua silaha na wakurugenzi wa kampuni ya Eco Advanced Technology kutoka Poland. Wapelelezi wamebaini kwamba kandarasi hiyo feki ilitiwa sahihi katika Harambee Annex, afisi rasmi ya Dkt Ruto. Alimwandikia barua Inspekta Jenerali siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine. Si wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. watatu wamewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Naibu Rais. Bw Echesa ni mwandani wa Dkt Ruto na kuna wanaouliza iwapo njama ya mabilioni ya pesa ingefanyika katika ofisi yake bila yeye kufahamu. Maafisa wa upelelezi walisema kwamba washukiwa hao walipatikana na stakabadhi ghushi za kandarasi wakidai zilikuwa zimetoka wizara ya ulinzi. Wizara hiyo imejitenga na stakabadhi hizo na kusema wakurugenzi wa kampuni hiyo Stanley Kozlowski na Momdou Mostafa Amer hawakutembelea Wizara ya Ulinzi. Kulingana na stakabadhi hizo, tenda hiyo ilikuwa ya kununua silaha za kima cha Sh39.5 bilioni. Jana Dkt Ruto aliyekutana na wafanyakazi wa ofisi yake ya Harambee Annex katika afisi yake iliyoko mtaani Karen, alimwandikia barua Inspekta Jenerali wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze jinsi wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. Kwenye barua yake, Dkt Ruto anasema Bw Echesa na wageni wawili waliingia katika chumba cha wageni katika orofa ya pili hatua ambayo inazua wasiwasi kuhusu usalama katika ofisi hizo."Tukio hili ni hitilafu kubwa kwa Naibu Rais na linahitaji kuchunguzwa kikamilifu,” inasema barua iliyoandikwa na mkuu wa wafanyakazi katika ofisi ya Dkt Ruto, Bw Ken Osinde. Dkt Ruto anataka maafisa wa usalama waliomruhusu Echesa na wenzake katika ofisi hizo watambuliwe. Katika hatua inayoweza kubadilisha mkondo wa uchunguzi, Dkt Ruto anamtaka Bw Mutyambai. kuwachunguza wawekezaji waliodai walitapeliwa na Echesa. Anataka uchunguzi uelekezwe kubaini nia yao nchini iwapo wana vibali vya kuwa nchini na kwanini walikuwa katika ofisi yake Februari 13. "Wizara ya mashauri ya kigeni inapaswa kutoa habari kuhusu raia hawa wawili wa kigeni na maelezo ya kampuni wanazodai wanawakilisha,” inaeleza barua hiyo. Bw Ruto anataka wawekezaji hao wazuiwe kuondoka nchini hadi uchunguzi anaotaka ukamilike. Aidha, anataka kampuni ya Eco advance Technology ichunguzwe kubaini iwapo ina wawakilishi humu nchini na aina ya biashara inayofanya. Haya yanaajiri baada ya wapelelezi kutambua wafanyakazi saba kutoka afisi ya Harambee Annex ambao itahoji kuhusu sakata hiyo. Wapelelezi wanakagua kamera za usalama baada ya kupata vidokezo kwamba Bw Echesa na wenzake walikutana katika ofisi hiyo Januari 20 mwaka huu kupanga utapeli huo. Duru zinasema kuwa wapelelezi wanapekua kompyuta za baadhi ya wafanyakazi ili kubaini iwapo kuna yeyote aliyewasiliana kwa barua pepe na kampuni ya Eco Advanced Technologies. Bw Kozlowski aliambia wapelelezi kwamba alipokea barua pepe ikimjulisha kuhusu zabuni ya kununua vifaa vya kijeshi katika wizara ya ulinzi. NAIBU Rais William Ruto akihojiwa na kituo cha habari cha Nation majuzi katika makao yake mtaani Karen. Anataka Echesa achunguzwe alivyoingia ofisini mwake.
Ni uchunguzi wa nini ulifanywa ofisini mwa naibu rais Ruto?
{ "text": [ "Kashfa ya utapeli" ] }
1144_swa
Ataka Echesa achunguzwe alivyoingia humo na watu 3 Ruto ajitakasa kuhusu utapeli ofisini mwake Uchunguzi kuhusu kashfa ya utapeli inayodaiwa kuhusisha ofisi ya Naibu Rais William Ruto unapoendelea, maswali yanazidi kuibuka kuhusu iwapo Dkt Ruto binafsi alifahamu njama hiyo. Wapelelezi waliopiga kambi katika ofisi yake kwa siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine watatu wamwewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Ruto kuwahoji. Bw Echesa na wenzake walikamatwa nje ya ofisi baada ya kutia sahihi kandarasi feki ya kununua silaha na wakurugenzi wa kampuni ya Eco Advanced Technology kutoka Poland. Wapelelezi wamebaini kwamba kandarasi hiyo feki ilitiwa sahihi katika Harambee Annex, afisi rasmi ya Dkt Ruto. Alimwandikia barua Inspekta Jenerali siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine. Si wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. watatu wamewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Naibu Rais. Bw Echesa ni mwandani wa Dkt Ruto na kuna wanaouliza iwapo njama ya mabilioni ya pesa ingefanyika katika ofisi yake bila yeye kufahamu. Maafisa wa upelelezi walisema kwamba washukiwa hao walipatikana na stakabadhi ghushi za kandarasi wakidai zilikuwa zimetoka wizara ya ulinzi. Wizara hiyo imejitenga na stakabadhi hizo na kusema wakurugenzi wa kampuni hiyo Stanley Kozlowski na Momdou Mostafa Amer hawakutembelea Wizara ya Ulinzi. Kulingana na stakabadhi hizo, tenda hiyo ilikuwa ya kununua silaha za kima cha Sh39.5 bilioni. Jana Dkt Ruto aliyekutana na wafanyakazi wa ofisi yake ya Harambee Annex katika afisi yake iliyoko mtaani Karen, alimwandikia barua Inspekta Jenerali wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze jinsi wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. Kwenye barua yake, Dkt Ruto anasema Bw Echesa na wageni wawili waliingia katika chumba cha wageni katika orofa ya pili hatua ambayo inazua wasiwasi kuhusu usalama katika ofisi hizo."Tukio hili ni hitilafu kubwa kwa Naibu Rais na linahitaji kuchunguzwa kikamilifu,” inasema barua iliyoandikwa na mkuu wa wafanyakazi katika ofisi ya Dkt Ruto, Bw Ken Osinde. Dkt Ruto anataka maafisa wa usalama waliomruhusu Echesa na wenzake katika ofisi hizo watambuliwe. Katika hatua inayoweza kubadilisha mkondo wa uchunguzi, Dkt Ruto anamtaka Bw Mutyambai. kuwachunguza wawekezaji waliodai walitapeliwa na Echesa. Anataka uchunguzi uelekezwe kubaini nia yao nchini iwapo wana vibali vya kuwa nchini na kwanini walikuwa katika ofisi yake Februari 13. "Wizara ya mashauri ya kigeni inapaswa kutoa habari kuhusu raia hawa wawili wa kigeni na maelezo ya kampuni wanazodai wanawakilisha,” inaeleza barua hiyo. Bw Ruto anataka wawekezaji hao wazuiwe kuondoka nchini hadi uchunguzi anaotaka ukamilike. Aidha, anataka kampuni ya Eco advance Technology ichunguzwe kubaini iwapo ina wawakilishi humu nchini na aina ya biashara inayofanya. Haya yanaajiri baada ya wapelelezi kutambua wafanyakazi saba kutoka afisi ya Harambee Annex ambao itahoji kuhusu sakata hiyo. Wapelelezi wanakagua kamera za usalama baada ya kupata vidokezo kwamba Bw Echesa na wenzake walikutana katika ofisi hiyo Januari 20 mwaka huu kupanga utapeli huo. Duru zinasema kuwa wapelelezi wanapekua kompyuta za baadhi ya wafanyakazi ili kubaini iwapo kuna yeyote aliyewasiliana kwa barua pepe na kampuni ya Eco Advanced Technologies. Bw Kozlowski aliambia wapelelezi kwamba alipokea barua pepe ikimjulisha kuhusu zabuni ya kununua vifaa vya kijeshi katika wizara ya ulinzi. NAIBU Rais William Ruto akihojiwa na kituo cha habari cha Nation majuzi katika makao yake mtaani Karen. Anataka Echesa achunguzwe alivyoingia ofisini mwake.
Wachunguzi walichukuwa muda gani kupeleleza ofisi ya naibu rais Ruto?
{ "text": [ "Siku tatu" ] }
1144_swa
Ataka Echesa achunguzwe alivyoingia humo na watu 3 Ruto ajitakasa kuhusu utapeli ofisini mwake Uchunguzi kuhusu kashfa ya utapeli inayodaiwa kuhusisha ofisi ya Naibu Rais William Ruto unapoendelea, maswali yanazidi kuibuka kuhusu iwapo Dkt Ruto binafsi alifahamu njama hiyo. Wapelelezi waliopiga kambi katika ofisi yake kwa siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine watatu wamwewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Ruto kuwahoji. Bw Echesa na wenzake walikamatwa nje ya ofisi baada ya kutia sahihi kandarasi feki ya kununua silaha na wakurugenzi wa kampuni ya Eco Advanced Technology kutoka Poland. Wapelelezi wamebaini kwamba kandarasi hiyo feki ilitiwa sahihi katika Harambee Annex, afisi rasmi ya Dkt Ruto. Alimwandikia barua Inspekta Jenerali siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine. Si wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. watatu wamewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Naibu Rais. Bw Echesa ni mwandani wa Dkt Ruto na kuna wanaouliza iwapo njama ya mabilioni ya pesa ingefanyika katika ofisi yake bila yeye kufahamu. Maafisa wa upelelezi walisema kwamba washukiwa hao walipatikana na stakabadhi ghushi za kandarasi wakidai zilikuwa zimetoka wizara ya ulinzi. Wizara hiyo imejitenga na stakabadhi hizo na kusema wakurugenzi wa kampuni hiyo Stanley Kozlowski na Momdou Mostafa Amer hawakutembelea Wizara ya Ulinzi. Kulingana na stakabadhi hizo, tenda hiyo ilikuwa ya kununua silaha za kima cha Sh39.5 bilioni. Jana Dkt Ruto aliyekutana na wafanyakazi wa ofisi yake ya Harambee Annex katika afisi yake iliyoko mtaani Karen, alimwandikia barua Inspekta Jenerali wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze jinsi wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. Kwenye barua yake, Dkt Ruto anasema Bw Echesa na wageni wawili waliingia katika chumba cha wageni katika orofa ya pili hatua ambayo inazua wasiwasi kuhusu usalama katika ofisi hizo."Tukio hili ni hitilafu kubwa kwa Naibu Rais na linahitaji kuchunguzwa kikamilifu,” inasema barua iliyoandikwa na mkuu wa wafanyakazi katika ofisi ya Dkt Ruto, Bw Ken Osinde. Dkt Ruto anataka maafisa wa usalama waliomruhusu Echesa na wenzake katika ofisi hizo watambuliwe. Katika hatua inayoweza kubadilisha mkondo wa uchunguzi, Dkt Ruto anamtaka Bw Mutyambai. kuwachunguza wawekezaji waliodai walitapeliwa na Echesa. Anataka uchunguzi uelekezwe kubaini nia yao nchini iwapo wana vibali vya kuwa nchini na kwanini walikuwa katika ofisi yake Februari 13. "Wizara ya mashauri ya kigeni inapaswa kutoa habari kuhusu raia hawa wawili wa kigeni na maelezo ya kampuni wanazodai wanawakilisha,” inaeleza barua hiyo. Bw Ruto anataka wawekezaji hao wazuiwe kuondoka nchini hadi uchunguzi anaotaka ukamilike. Aidha, anataka kampuni ya Eco advance Technology ichunguzwe kubaini iwapo ina wawakilishi humu nchini na aina ya biashara inayofanya. Haya yanaajiri baada ya wapelelezi kutambua wafanyakazi saba kutoka afisi ya Harambee Annex ambao itahoji kuhusu sakata hiyo. Wapelelezi wanakagua kamera za usalama baada ya kupata vidokezo kwamba Bw Echesa na wenzake walikutana katika ofisi hiyo Januari 20 mwaka huu kupanga utapeli huo. Duru zinasema kuwa wapelelezi wanapekua kompyuta za baadhi ya wafanyakazi ili kubaini iwapo kuna yeyote aliyewasiliana kwa barua pepe na kampuni ya Eco Advanced Technologies. Bw Kozlowski aliambia wapelelezi kwamba alipokea barua pepe ikimjulisha kuhusu zabuni ya kununua vifaa vya kijeshi katika wizara ya ulinzi. NAIBU Rais William Ruto akihojiwa na kituo cha habari cha Nation majuzi katika makao yake mtaani Karen. Anataka Echesa achunguzwe alivyoingia ofisini mwake.
Kwa nini bwana Echesa na wenzake walikamatwa?
{ "text": [ "Kwa kutia sahihi kandarasi feki ya kununua silaha" ] }
1144_swa
Ataka Echesa achunguzwe alivyoingia humo na watu 3 Ruto ajitakasa kuhusu utapeli ofisini mwake Uchunguzi kuhusu kashfa ya utapeli inayodaiwa kuhusisha ofisi ya Naibu Rais William Ruto unapoendelea, maswali yanazidi kuibuka kuhusu iwapo Dkt Ruto binafsi alifahamu njama hiyo. Wapelelezi waliopiga kambi katika ofisi yake kwa siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine watatu wamwewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Ruto kuwahoji. Bw Echesa na wenzake walikamatwa nje ya ofisi baada ya kutia sahihi kandarasi feki ya kununua silaha na wakurugenzi wa kampuni ya Eco Advanced Technology kutoka Poland. Wapelelezi wamebaini kwamba kandarasi hiyo feki ilitiwa sahihi katika Harambee Annex, afisi rasmi ya Dkt Ruto. Alimwandikia barua Inspekta Jenerali siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine. Si wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. watatu wamewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Naibu Rais. Bw Echesa ni mwandani wa Dkt Ruto na kuna wanaouliza iwapo njama ya mabilioni ya pesa ingefanyika katika ofisi yake bila yeye kufahamu. Maafisa wa upelelezi walisema kwamba washukiwa hao walipatikana na stakabadhi ghushi za kandarasi wakidai zilikuwa zimetoka wizara ya ulinzi. Wizara hiyo imejitenga na stakabadhi hizo na kusema wakurugenzi wa kampuni hiyo Stanley Kozlowski na Momdou Mostafa Amer hawakutembelea Wizara ya Ulinzi. Kulingana na stakabadhi hizo, tenda hiyo ilikuwa ya kununua silaha za kima cha Sh39.5 bilioni. Jana Dkt Ruto aliyekutana na wafanyakazi wa ofisi yake ya Harambee Annex katika afisi yake iliyoko mtaani Karen, alimwandikia barua Inspekta Jenerali wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze jinsi wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. Kwenye barua yake, Dkt Ruto anasema Bw Echesa na wageni wawili waliingia katika chumba cha wageni katika orofa ya pili hatua ambayo inazua wasiwasi kuhusu usalama katika ofisi hizo."Tukio hili ni hitilafu kubwa kwa Naibu Rais na linahitaji kuchunguzwa kikamilifu,” inasema barua iliyoandikwa na mkuu wa wafanyakazi katika ofisi ya Dkt Ruto, Bw Ken Osinde. Dkt Ruto anataka maafisa wa usalama waliomruhusu Echesa na wenzake katika ofisi hizo watambuliwe. Katika hatua inayoweza kubadilisha mkondo wa uchunguzi, Dkt Ruto anamtaka Bw Mutyambai. kuwachunguza wawekezaji waliodai walitapeliwa na Echesa. Anataka uchunguzi uelekezwe kubaini nia yao nchini iwapo wana vibali vya kuwa nchini na kwanini walikuwa katika ofisi yake Februari 13. "Wizara ya mashauri ya kigeni inapaswa kutoa habari kuhusu raia hawa wawili wa kigeni na maelezo ya kampuni wanazodai wanawakilisha,” inaeleza barua hiyo. Bw Ruto anataka wawekezaji hao wazuiwe kuondoka nchini hadi uchunguzi anaotaka ukamilike. Aidha, anataka kampuni ya Eco advance Technology ichunguzwe kubaini iwapo ina wawakilishi humu nchini na aina ya biashara inayofanya. Haya yanaajiri baada ya wapelelezi kutambua wafanyakazi saba kutoka afisi ya Harambee Annex ambao itahoji kuhusu sakata hiyo. Wapelelezi wanakagua kamera za usalama baada ya kupata vidokezo kwamba Bw Echesa na wenzake walikutana katika ofisi hiyo Januari 20 mwaka huu kupanga utapeli huo. Duru zinasema kuwa wapelelezi wanapekua kompyuta za baadhi ya wafanyakazi ili kubaini iwapo kuna yeyote aliyewasiliana kwa barua pepe na kampuni ya Eco Advanced Technologies. Bw Kozlowski aliambia wapelelezi kwamba alipokea barua pepe ikimjulisha kuhusu zabuni ya kununua vifaa vya kijeshi katika wizara ya ulinzi. NAIBU Rais William Ruto akihojiwa na kituo cha habari cha Nation majuzi katika makao yake mtaani Karen. Anataka Echesa achunguzwe alivyoingia ofisini mwake.
Echesa na wenzake walikamatwa wapi?
{ "text": [ "Nje ya ofisi ya naibu wa rais Ruto" ] }
1144_swa
Ataka Echesa achunguzwe alivyoingia humo na watu 3 Ruto ajitakasa kuhusu utapeli ofisini mwake Uchunguzi kuhusu kashfa ya utapeli inayodaiwa kuhusisha ofisi ya Naibu Rais William Ruto unapoendelea, maswali yanazidi kuibuka kuhusu iwapo Dkt Ruto binafsi alifahamu njama hiyo. Wapelelezi waliopiga kambi katika ofisi yake kwa siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine watatu wamwewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Ruto kuwahoji. Bw Echesa na wenzake walikamatwa nje ya ofisi baada ya kutia sahihi kandarasi feki ya kununua silaha na wakurugenzi wa kampuni ya Eco Advanced Technology kutoka Poland. Wapelelezi wamebaini kwamba kandarasi hiyo feki ilitiwa sahihi katika Harambee Annex, afisi rasmi ya Dkt Ruto. Alimwandikia barua Inspekta Jenerali siku tatu kufuatia kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze Waziri wa Michezo Rashid Echesa na washukiwa wengine. Si wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. watatu wamewaita maafisa wakuu katika ofisi ya Naibu Rais. Bw Echesa ni mwandani wa Dkt Ruto na kuna wanaouliza iwapo njama ya mabilioni ya pesa ingefanyika katika ofisi yake bila yeye kufahamu. Maafisa wa upelelezi walisema kwamba washukiwa hao walipatikana na stakabadhi ghushi za kandarasi wakidai zilikuwa zimetoka wizara ya ulinzi. Wizara hiyo imejitenga na stakabadhi hizo na kusema wakurugenzi wa kampuni hiyo Stanley Kozlowski na Momdou Mostafa Amer hawakutembelea Wizara ya Ulinzi. Kulingana na stakabadhi hizo, tenda hiyo ilikuwa ya kununua silaha za kima cha Sh39.5 bilioni. Jana Dkt Ruto aliyekutana na wafanyakazi wa ofisi yake ya Harambee Annex katika afisi yake iliyoko mtaani Karen, alimwandikia barua Inspekta Jenerali wa polisi Hillary Mutyambai akimtaka achunguze jinsi wageni waliweza kuingia katika ofisi zake. Kwenye barua yake, Dkt Ruto anasema Bw Echesa na wageni wawili waliingia katika chumba cha wageni katika orofa ya pili hatua ambayo inazua wasiwasi kuhusu usalama katika ofisi hizo."Tukio hili ni hitilafu kubwa kwa Naibu Rais na linahitaji kuchunguzwa kikamilifu,” inasema barua iliyoandikwa na mkuu wa wafanyakazi katika ofisi ya Dkt Ruto, Bw Ken Osinde. Dkt Ruto anataka maafisa wa usalama waliomruhusu Echesa na wenzake katika ofisi hizo watambuliwe. Katika hatua inayoweza kubadilisha mkondo wa uchunguzi, Dkt Ruto anamtaka Bw Mutyambai. kuwachunguza wawekezaji waliodai walitapeliwa na Echesa. Anataka uchunguzi uelekezwe kubaini nia yao nchini iwapo wana vibali vya kuwa nchini na kwanini walikuwa katika ofisi yake Februari 13. "Wizara ya mashauri ya kigeni inapaswa kutoa habari kuhusu raia hawa wawili wa kigeni na maelezo ya kampuni wanazodai wanawakilisha,” inaeleza barua hiyo. Bw Ruto anataka wawekezaji hao wazuiwe kuondoka nchini hadi uchunguzi anaotaka ukamilike. Aidha, anataka kampuni ya Eco advance Technology ichunguzwe kubaini iwapo ina wawakilishi humu nchini na aina ya biashara inayofanya. Haya yanaajiri baada ya wapelelezi kutambua wafanyakazi saba kutoka afisi ya Harambee Annex ambao itahoji kuhusu sakata hiyo. Wapelelezi wanakagua kamera za usalama baada ya kupata vidokezo kwamba Bw Echesa na wenzake walikutana katika ofisi hiyo Januari 20 mwaka huu kupanga utapeli huo. Duru zinasema kuwa wapelelezi wanapekua kompyuta za baadhi ya wafanyakazi ili kubaini iwapo kuna yeyote aliyewasiliana kwa barua pepe na kampuni ya Eco Advanced Technologies. Bw Kozlowski aliambia wapelelezi kwamba alipokea barua pepe ikimjulisha kuhusu zabuni ya kununua vifaa vya kijeshi katika wizara ya ulinzi. NAIBU Rais William Ruto akihojiwa na kituo cha habari cha Nation majuzi katika makao yake mtaani Karen. Anataka Echesa achunguzwe alivyoingia ofisini mwake.
Washukiwa walipatikana na ithibati gani kuwa walikuwa wameagiza silaha ghushi?
{ "text": [ "Stakabadhi gushi za kandarasi wakidai zimetoka wizara ya ulinzi" ] }
1145_swa
Mwenyekiti Na Katibu Mkuu watofautiana vikali kuhusu pendekezo la madiwani kumg’oa Sonko kitini SONKO AGAWANYA ODM VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko. Baadhi ya madiwani katika Bunge la Kaunti ya Nairobi wamekuwa wakisema kuna mipango ya kumfurusha Bw Sonko ambaye alikatazwa na mahakama kuingia afisini mwake hadi wakati kesi yake kuhusu ufisadi itakapokamilika. Katika Chama cha ODM, baadhi ya madiwani huwa wako katika mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za kumtimua gavana huyo, lakini kuna wengine wanaopinga. Jana, Mwenyekiti wa chama hicho katika kaunti ya Nairobi, Bw George Aladwa, na Katibu Mkuu wa chama, Bw Edwin Sifuna walitoa taarifa za kutofautiana kuhusu msimamo wa chama. Kwa mujimu wa barua iliyoandikwa na Bw, Aladwa, Kiongozi wa Chama, Bw Raila Odinga alikuwa ameagiza wanachama waiunge shughuli zozote za kumwondoa Bw Sonko mamlakani. "Kumekuwa na madai yanayoenea kwamba chama chetu kinaunga mkono kufurushwa kwa Gavana Mike Mbuvi Sonko. Nimeagizwa na kiongozi wa chama Bw Raila Odinga kushauri madiwani kuwa chama hakiungi mkono hatua hiyo,” akasema. Bw Aladwa alionya madiwani dhidi ya kutia sahihi kwa pendekezo lolote la kumtimua Bw Sonko isipokuwa kama chama kitaagiza hivyo. Hata hivyo, Bw Sifuna ambaye ndiye msemaji wa mwenye chama alipuulizilia mbali barua hiyo na kusema mawasiliano rasmi kutoka kwa ODM yanafaa kutoka kwake kama Katibu Mkuu, wala si kutoka kwa afisa mwingine yeyote hasa wanaosimamia afisi za mashinani. Kulingana naye viongozi wakuu wa chama hicho waliamua kutoingilia mamlaka ya madiwani. "Tunataka kusema wazi kwamba chama hiki na kiongozi hawaingilii na hawataingilia mamlaka ambayo wananchi walikabidhi madiwani kutekeleza majukumu yao yote ikiwemo kukagua shughuli za afisi ya gavana,” akasema kwenye taarifa. Tangu mwaka uliopita, Bw Aladwa amekuwa akiwasilisha barua kwa madiwani wa ODM Nairobi kutoshiriki katika harakati za kumg’oa Bw Sonko mamlakani. Taarifa aliyotoa jana iliibua mdahalo miongoni mwa wananchi ambao walishangaa kama misimamo ya Bw Sonko katika siku za hivi majuzi ndizo zilimfanya Bw Odinga kumtetea kwa madiwani.\ Bw Sonko alianza kwa kusambaza picha zilizomwonyesha akisalimiana na Bw odinga mapema mwaka huu, kisha akafadhali shughuli za kuhamasisha Mpango wa Maridhiano jijini kwa madaha. Alibandika jumbe za kushabikia BBI kwenye magari yake ya kinafsi na yale ya kufanya shughuli za utoaji msaada kwa jamii kama vile malori ya kusambaza maji. Baadhi ya jumbe hizo huandamana na picha za Rais na Bw Odinga. Kwa msingi huo, watumizi wa mitanadao wa kijamii walidai Gavana wa kiambu Bw Ferdinand Waititu, angekuwa mjanja na kuunga mkono BBI ili aepuke kutimuliwa. Kando na hayo, wadadisi wa masuala ya kisiasa wanasema kuna uwezekano Bw odinga na Rais Uhuru Kenyatta wangependa kuwe na uchaguzi mdogo wa ugavana katika kaunti hiyo. Jinsi ilivyo kwa sasa ambapo hakuna Naibu Gavana, Bw sonko akiondolewa mamlakani itabidi Spika wa Bunge la Kaunti, Bi beatrice Elachi ashike zamu kwa muda kisha uchaguzi mdogo ufanye kuchaga gavana mpya. Ikizingatiwa taharuki za kisiasa zilizoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo katika eneobunge la kibra mwaka uliopita, wadadisi wanasema uchaguzi mdogo wa ugavana katika jiji hilo kuu hautatikisa handsheki pekee bali pia chama cha Jubilee kwa jumla. AFISA Mkuu wa Benki ya Absa, Jeremy Awori (kushoto) ajumuika na wafanyakazi wake kusherehekea kuzinduliwa kwa benki hiyo ambayo imekuwa ikifahamika kama Barclays Bank. Sherehe hiyo ilifanyika jana jijini Nairobi. (Habari Kamili uk 4) Picha/Hisani
Nani Gavana wa Nairobi
{ "text": [ "Mike Sonko" ] }
1145_swa
Mwenyekiti Na Katibu Mkuu watofautiana vikali kuhusu pendekezo la madiwani kumg’oa Sonko kitini SONKO AGAWANYA ODM VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko. Baadhi ya madiwani katika Bunge la Kaunti ya Nairobi wamekuwa wakisema kuna mipango ya kumfurusha Bw Sonko ambaye alikatazwa na mahakama kuingia afisini mwake hadi wakati kesi yake kuhusu ufisadi itakapokamilika. Katika Chama cha ODM, baadhi ya madiwani huwa wako katika mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za kumtimua gavana huyo, lakini kuna wengine wanaopinga. Jana, Mwenyekiti wa chama hicho katika kaunti ya Nairobi, Bw George Aladwa, na Katibu Mkuu wa chama, Bw Edwin Sifuna walitoa taarifa za kutofautiana kuhusu msimamo wa chama. Kwa mujimu wa barua iliyoandikwa na Bw, Aladwa, Kiongozi wa Chama, Bw Raila Odinga alikuwa ameagiza wanachama waiunge shughuli zozote za kumwondoa Bw Sonko mamlakani. "Kumekuwa na madai yanayoenea kwamba chama chetu kinaunga mkono kufurushwa kwa Gavana Mike Mbuvi Sonko. Nimeagizwa na kiongozi wa chama Bw Raila Odinga kushauri madiwani kuwa chama hakiungi mkono hatua hiyo,” akasema. Bw Aladwa alionya madiwani dhidi ya kutia sahihi kwa pendekezo lolote la kumtimua Bw Sonko isipokuwa kama chama kitaagiza hivyo. Hata hivyo, Bw Sifuna ambaye ndiye msemaji wa mwenye chama alipuulizilia mbali barua hiyo na kusema mawasiliano rasmi kutoka kwa ODM yanafaa kutoka kwake kama Katibu Mkuu, wala si kutoka kwa afisa mwingine yeyote hasa wanaosimamia afisi za mashinani. Kulingana naye viongozi wakuu wa chama hicho waliamua kutoingilia mamlaka ya madiwani. "Tunataka kusema wazi kwamba chama hiki na kiongozi hawaingilii na hawataingilia mamlaka ambayo wananchi walikabidhi madiwani kutekeleza majukumu yao yote ikiwemo kukagua shughuli za afisi ya gavana,” akasema kwenye taarifa. Tangu mwaka uliopita, Bw Aladwa amekuwa akiwasilisha barua kwa madiwani wa ODM Nairobi kutoshiriki katika harakati za kumg’oa Bw Sonko mamlakani. Taarifa aliyotoa jana iliibua mdahalo miongoni mwa wananchi ambao walishangaa kama misimamo ya Bw Sonko katika siku za hivi majuzi ndizo zilimfanya Bw Odinga kumtetea kwa madiwani.\ Bw Sonko alianza kwa kusambaza picha zilizomwonyesha akisalimiana na Bw odinga mapema mwaka huu, kisha akafadhali shughuli za kuhamasisha Mpango wa Maridhiano jijini kwa madaha. Alibandika jumbe za kushabikia BBI kwenye magari yake ya kinafsi na yale ya kufanya shughuli za utoaji msaada kwa jamii kama vile malori ya kusambaza maji. Baadhi ya jumbe hizo huandamana na picha za Rais na Bw Odinga. Kwa msingi huo, watumizi wa mitanadao wa kijamii walidai Gavana wa kiambu Bw Ferdinand Waititu, angekuwa mjanja na kuunga mkono BBI ili aepuke kutimuliwa. Kando na hayo, wadadisi wa masuala ya kisiasa wanasema kuna uwezekano Bw odinga na Rais Uhuru Kenyatta wangependa kuwe na uchaguzi mdogo wa ugavana katika kaunti hiyo. Jinsi ilivyo kwa sasa ambapo hakuna Naibu Gavana, Bw sonko akiondolewa mamlakani itabidi Spika wa Bunge la Kaunti, Bi beatrice Elachi ashike zamu kwa muda kisha uchaguzi mdogo ufanye kuchaga gavana mpya. Ikizingatiwa taharuki za kisiasa zilizoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo katika eneobunge la kibra mwaka uliopita, wadadisi wanasema uchaguzi mdogo wa ugavana katika jiji hilo kuu hautatikisa handsheki pekee bali pia chama cha Jubilee kwa jumla. AFISA Mkuu wa Benki ya Absa, Jeremy Awori (kushoto) ajumuika na wafanyakazi wake kusherehekea kuzinduliwa kwa benki hiyo ambayo imekuwa ikifahamika kama Barclays Bank. Sherehe hiyo ilifanyika jana jijini Nairobi. (Habari Kamili uk 4) Picha/Hisani
Sonko alikatazwa kuingia afisini mwake na nani
{ "text": [ "mahakama" ] }
1145_swa
Mwenyekiti Na Katibu Mkuu watofautiana vikali kuhusu pendekezo la madiwani kumg’oa Sonko kitini SONKO AGAWANYA ODM VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko. Baadhi ya madiwani katika Bunge la Kaunti ya Nairobi wamekuwa wakisema kuna mipango ya kumfurusha Bw Sonko ambaye alikatazwa na mahakama kuingia afisini mwake hadi wakati kesi yake kuhusu ufisadi itakapokamilika. Katika Chama cha ODM, baadhi ya madiwani huwa wako katika mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za kumtimua gavana huyo, lakini kuna wengine wanaopinga. Jana, Mwenyekiti wa chama hicho katika kaunti ya Nairobi, Bw George Aladwa, na Katibu Mkuu wa chama, Bw Edwin Sifuna walitoa taarifa za kutofautiana kuhusu msimamo wa chama. Kwa mujimu wa barua iliyoandikwa na Bw, Aladwa, Kiongozi wa Chama, Bw Raila Odinga alikuwa ameagiza wanachama waiunge shughuli zozote za kumwondoa Bw Sonko mamlakani. "Kumekuwa na madai yanayoenea kwamba chama chetu kinaunga mkono kufurushwa kwa Gavana Mike Mbuvi Sonko. Nimeagizwa na kiongozi wa chama Bw Raila Odinga kushauri madiwani kuwa chama hakiungi mkono hatua hiyo,” akasema. Bw Aladwa alionya madiwani dhidi ya kutia sahihi kwa pendekezo lolote la kumtimua Bw Sonko isipokuwa kama chama kitaagiza hivyo. Hata hivyo, Bw Sifuna ambaye ndiye msemaji wa mwenye chama alipuulizilia mbali barua hiyo na kusema mawasiliano rasmi kutoka kwa ODM yanafaa kutoka kwake kama Katibu Mkuu, wala si kutoka kwa afisa mwingine yeyote hasa wanaosimamia afisi za mashinani. Kulingana naye viongozi wakuu wa chama hicho waliamua kutoingilia mamlaka ya madiwani. "Tunataka kusema wazi kwamba chama hiki na kiongozi hawaingilii na hawataingilia mamlaka ambayo wananchi walikabidhi madiwani kutekeleza majukumu yao yote ikiwemo kukagua shughuli za afisi ya gavana,” akasema kwenye taarifa. Tangu mwaka uliopita, Bw Aladwa amekuwa akiwasilisha barua kwa madiwani wa ODM Nairobi kutoshiriki katika harakati za kumg’oa Bw Sonko mamlakani. Taarifa aliyotoa jana iliibua mdahalo miongoni mwa wananchi ambao walishangaa kama misimamo ya Bw Sonko katika siku za hivi majuzi ndizo zilimfanya Bw Odinga kumtetea kwa madiwani.\ Bw Sonko alianza kwa kusambaza picha zilizomwonyesha akisalimiana na Bw odinga mapema mwaka huu, kisha akafadhali shughuli za kuhamasisha Mpango wa Maridhiano jijini kwa madaha. Alibandika jumbe za kushabikia BBI kwenye magari yake ya kinafsi na yale ya kufanya shughuli za utoaji msaada kwa jamii kama vile malori ya kusambaza maji. Baadhi ya jumbe hizo huandamana na picha za Rais na Bw Odinga. Kwa msingi huo, watumizi wa mitanadao wa kijamii walidai Gavana wa kiambu Bw Ferdinand Waititu, angekuwa mjanja na kuunga mkono BBI ili aepuke kutimuliwa. Kando na hayo, wadadisi wa masuala ya kisiasa wanasema kuna uwezekano Bw odinga na Rais Uhuru Kenyatta wangependa kuwe na uchaguzi mdogo wa ugavana katika kaunti hiyo. Jinsi ilivyo kwa sasa ambapo hakuna Naibu Gavana, Bw sonko akiondolewa mamlakani itabidi Spika wa Bunge la Kaunti, Bi beatrice Elachi ashike zamu kwa muda kisha uchaguzi mdogo ufanye kuchaga gavana mpya. Ikizingatiwa taharuki za kisiasa zilizoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo katika eneobunge la kibra mwaka uliopita, wadadisi wanasema uchaguzi mdogo wa ugavana katika jiji hilo kuu hautatikisa handsheki pekee bali pia chama cha Jubilee kwa jumla. AFISA Mkuu wa Benki ya Absa, Jeremy Awori (kushoto) ajumuika na wafanyakazi wake kusherehekea kuzinduliwa kwa benki hiyo ambayo imekuwa ikifahamika kama Barclays Bank. Sherehe hiyo ilifanyika jana jijini Nairobi. (Habari Kamili uk 4) Picha/Hisani
Nani mwenyekiti wa chama hicho
{ "text": [ "Bw George Aladwa" ] }
1145_swa
Mwenyekiti Na Katibu Mkuu watofautiana vikali kuhusu pendekezo la madiwani kumg’oa Sonko kitini SONKO AGAWANYA ODM VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko. Baadhi ya madiwani katika Bunge la Kaunti ya Nairobi wamekuwa wakisema kuna mipango ya kumfurusha Bw Sonko ambaye alikatazwa na mahakama kuingia afisini mwake hadi wakati kesi yake kuhusu ufisadi itakapokamilika. Katika Chama cha ODM, baadhi ya madiwani huwa wako katika mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za kumtimua gavana huyo, lakini kuna wengine wanaopinga. Jana, Mwenyekiti wa chama hicho katika kaunti ya Nairobi, Bw George Aladwa, na Katibu Mkuu wa chama, Bw Edwin Sifuna walitoa taarifa za kutofautiana kuhusu msimamo wa chama. Kwa mujimu wa barua iliyoandikwa na Bw, Aladwa, Kiongozi wa Chama, Bw Raila Odinga alikuwa ameagiza wanachama waiunge shughuli zozote za kumwondoa Bw Sonko mamlakani. "Kumekuwa na madai yanayoenea kwamba chama chetu kinaunga mkono kufurushwa kwa Gavana Mike Mbuvi Sonko. Nimeagizwa na kiongozi wa chama Bw Raila Odinga kushauri madiwani kuwa chama hakiungi mkono hatua hiyo,” akasema. Bw Aladwa alionya madiwani dhidi ya kutia sahihi kwa pendekezo lolote la kumtimua Bw Sonko isipokuwa kama chama kitaagiza hivyo. Hata hivyo, Bw Sifuna ambaye ndiye msemaji wa mwenye chama alipuulizilia mbali barua hiyo na kusema mawasiliano rasmi kutoka kwa ODM yanafaa kutoka kwake kama Katibu Mkuu, wala si kutoka kwa afisa mwingine yeyote hasa wanaosimamia afisi za mashinani. Kulingana naye viongozi wakuu wa chama hicho waliamua kutoingilia mamlaka ya madiwani. "Tunataka kusema wazi kwamba chama hiki na kiongozi hawaingilii na hawataingilia mamlaka ambayo wananchi walikabidhi madiwani kutekeleza majukumu yao yote ikiwemo kukagua shughuli za afisi ya gavana,” akasema kwenye taarifa. Tangu mwaka uliopita, Bw Aladwa amekuwa akiwasilisha barua kwa madiwani wa ODM Nairobi kutoshiriki katika harakati za kumg’oa Bw Sonko mamlakani. Taarifa aliyotoa jana iliibua mdahalo miongoni mwa wananchi ambao walishangaa kama misimamo ya Bw Sonko katika siku za hivi majuzi ndizo zilimfanya Bw Odinga kumtetea kwa madiwani.\ Bw Sonko alianza kwa kusambaza picha zilizomwonyesha akisalimiana na Bw odinga mapema mwaka huu, kisha akafadhali shughuli za kuhamasisha Mpango wa Maridhiano jijini kwa madaha. Alibandika jumbe za kushabikia BBI kwenye magari yake ya kinafsi na yale ya kufanya shughuli za utoaji msaada kwa jamii kama vile malori ya kusambaza maji. Baadhi ya jumbe hizo huandamana na picha za Rais na Bw Odinga. Kwa msingi huo, watumizi wa mitanadao wa kijamii walidai Gavana wa kiambu Bw Ferdinand Waititu, angekuwa mjanja na kuunga mkono BBI ili aepuke kutimuliwa. Kando na hayo, wadadisi wa masuala ya kisiasa wanasema kuna uwezekano Bw odinga na Rais Uhuru Kenyatta wangependa kuwe na uchaguzi mdogo wa ugavana katika kaunti hiyo. Jinsi ilivyo kwa sasa ambapo hakuna Naibu Gavana, Bw sonko akiondolewa mamlakani itabidi Spika wa Bunge la Kaunti, Bi beatrice Elachi ashike zamu kwa muda kisha uchaguzi mdogo ufanye kuchaga gavana mpya. Ikizingatiwa taharuki za kisiasa zilizoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo katika eneobunge la kibra mwaka uliopita, wadadisi wanasema uchaguzi mdogo wa ugavana katika jiji hilo kuu hautatikisa handsheki pekee bali pia chama cha Jubilee kwa jumla. AFISA Mkuu wa Benki ya Absa, Jeremy Awori (kushoto) ajumuika na wafanyakazi wake kusherehekea kuzinduliwa kwa benki hiyo ambayo imekuwa ikifahamika kama Barclays Bank. Sherehe hiyo ilifanyika jana jijini Nairobi. (Habari Kamili uk 4) Picha/Hisani
Barua iliandikwa na nani
{ "text": [ "Bw Aladwa" ] }
1145_swa
Mwenyekiti Na Katibu Mkuu watofautiana vikali kuhusu pendekezo la madiwani kumg’oa Sonko kitini SONKO AGAWANYA ODM VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko. Baadhi ya madiwani katika Bunge la Kaunti ya Nairobi wamekuwa wakisema kuna mipango ya kumfurusha Bw Sonko ambaye alikatazwa na mahakama kuingia afisini mwake hadi wakati kesi yake kuhusu ufisadi itakapokamilika. Katika Chama cha ODM, baadhi ya madiwani huwa wako katika mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za kumtimua gavana huyo, lakini kuna wengine wanaopinga. Jana, Mwenyekiti wa chama hicho katika kaunti ya Nairobi, Bw George Aladwa, na Katibu Mkuu wa chama, Bw Edwin Sifuna walitoa taarifa za kutofautiana kuhusu msimamo wa chama. Kwa mujimu wa barua iliyoandikwa na Bw, Aladwa, Kiongozi wa Chama, Bw Raila Odinga alikuwa ameagiza wanachama waiunge shughuli zozote za kumwondoa Bw Sonko mamlakani. "Kumekuwa na madai yanayoenea kwamba chama chetu kinaunga mkono kufurushwa kwa Gavana Mike Mbuvi Sonko. Nimeagizwa na kiongozi wa chama Bw Raila Odinga kushauri madiwani kuwa chama hakiungi mkono hatua hiyo,” akasema. Bw Aladwa alionya madiwani dhidi ya kutia sahihi kwa pendekezo lolote la kumtimua Bw Sonko isipokuwa kama chama kitaagiza hivyo. Hata hivyo, Bw Sifuna ambaye ndiye msemaji wa mwenye chama alipuulizilia mbali barua hiyo na kusema mawasiliano rasmi kutoka kwa ODM yanafaa kutoka kwake kama Katibu Mkuu, wala si kutoka kwa afisa mwingine yeyote hasa wanaosimamia afisi za mashinani. Kulingana naye viongozi wakuu wa chama hicho waliamua kutoingilia mamlaka ya madiwani. "Tunataka kusema wazi kwamba chama hiki na kiongozi hawaingilii na hawataingilia mamlaka ambayo wananchi walikabidhi madiwani kutekeleza majukumu yao yote ikiwemo kukagua shughuli za afisi ya gavana,” akasema kwenye taarifa. Tangu mwaka uliopita, Bw Aladwa amekuwa akiwasilisha barua kwa madiwani wa ODM Nairobi kutoshiriki katika harakati za kumg’oa Bw Sonko mamlakani. Taarifa aliyotoa jana iliibua mdahalo miongoni mwa wananchi ambao walishangaa kama misimamo ya Bw Sonko katika siku za hivi majuzi ndizo zilimfanya Bw Odinga kumtetea kwa madiwani.\ Bw Sonko alianza kwa kusambaza picha zilizomwonyesha akisalimiana na Bw odinga mapema mwaka huu, kisha akafadhali shughuli za kuhamasisha Mpango wa Maridhiano jijini kwa madaha. Alibandika jumbe za kushabikia BBI kwenye magari yake ya kinafsi na yale ya kufanya shughuli za utoaji msaada kwa jamii kama vile malori ya kusambaza maji. Baadhi ya jumbe hizo huandamana na picha za Rais na Bw Odinga. Kwa msingi huo, watumizi wa mitanadao wa kijamii walidai Gavana wa kiambu Bw Ferdinand Waititu, angekuwa mjanja na kuunga mkono BBI ili aepuke kutimuliwa. Kando na hayo, wadadisi wa masuala ya kisiasa wanasema kuna uwezekano Bw odinga na Rais Uhuru Kenyatta wangependa kuwe na uchaguzi mdogo wa ugavana katika kaunti hiyo. Jinsi ilivyo kwa sasa ambapo hakuna Naibu Gavana, Bw sonko akiondolewa mamlakani itabidi Spika wa Bunge la Kaunti, Bi beatrice Elachi ashike zamu kwa muda kisha uchaguzi mdogo ufanye kuchaga gavana mpya. Ikizingatiwa taharuki za kisiasa zilizoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo katika eneobunge la kibra mwaka uliopita, wadadisi wanasema uchaguzi mdogo wa ugavana katika jiji hilo kuu hautatikisa handsheki pekee bali pia chama cha Jubilee kwa jumla. AFISA Mkuu wa Benki ya Absa, Jeremy Awori (kushoto) ajumuika na wafanyakazi wake kusherehekea kuzinduliwa kwa benki hiyo ambayo imekuwa ikifahamika kama Barclays Bank. Sherehe hiyo ilifanyika jana jijini Nairobi. (Habari Kamili uk 4) Picha/Hisani
Kiongozi wa chama ni nani
{ "text": [ "Bw Raila Odinga" ] }
1152_swa
Mawasiliano Binadamu huwasiliana kwa njia mbalimbali kila siku. Njia hizi ni kama vile mazungumzo, maandishi, ishara na teknolojia. Mazungumzo hata hivyo, ni nyenzo inayotumika na watu wengi, si walimu, si wanafunzi na hata wanabiashara. Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyenzo bainishi ni lugha ya sauti. Mazungumzo yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha: Hushirikisha majibu papo hapo kwa sababu ni ya ana kwa ana, Hujenga mahusiano mema miongoni mwa washiriki (mwalimu na wanafunzi) kama mwanafunzi anapitia tatizo lolote. Mazungumzo huhusisha matumizi ya ishara na miondoko ya mwili ili wanafunzi waelewe Zaidi. mawasiliano ya mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti na mate tu. Huweza kutumika Kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa, kurudiwarudiwa na hata kukosolewa papo hapo. . Mazungumzo vile vile yamekumbwa na changamoto zifuatazo: Hayana rekodi ya kudumu kw ahivyo huweza kusahaulika kwa vile hayaandikwi. Mazungumzo yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mwalimu maswali. Huweza kuzua fujo hasa wazumgumzanji wanapokosa kuelewana katika kambo. Mazungunzo pia huweza kupoteza kiini cha ujumbe kadiri ujumbe unavyosonga na washiriki kuongezeka. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji. Hivyo basi, mazungumzo ni nyenzo muhimu na rahisi kwa sababu haina gharama kubwa – inahitaji sauti na yaweza kutukia kwa kundoi kubwa la watu. Vile vile, ujumbe hupatwa papo hapo kwa wakati huo huo
Binadamu huwasiliana kupitia njia zipi
{ "text": [ "Mazungumzo, maandishi, ishara na teknolojia" ] }
1152_swa
Mawasiliano Binadamu huwasiliana kwa njia mbalimbali kila siku. Njia hizi ni kama vile mazungumzo, maandishi, ishara na teknolojia. Mazungumzo hata hivyo, ni nyenzo inayotumika na watu wengi, si walimu, si wanafunzi na hata wanabiashara. Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyenzo bainishi ni lugha ya sauti. Mazungumzo yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha: Hushirikisha majibu papo hapo kwa sababu ni ya ana kwa ana, Hujenga mahusiano mema miongoni mwa washiriki (mwalimu na wanafunzi) kama mwanafunzi anapitia tatizo lolote. Mazungumzo huhusisha matumizi ya ishara na miondoko ya mwili ili wanafunzi waelewe Zaidi. mawasiliano ya mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti na mate tu. Huweza kutumika Kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa, kurudiwarudiwa na hata kukosolewa papo hapo. . Mazungumzo vile vile yamekumbwa na changamoto zifuatazo: Hayana rekodi ya kudumu kw ahivyo huweza kusahaulika kwa vile hayaandikwi. Mazungumzo yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mwalimu maswali. Huweza kuzua fujo hasa wazumgumzanji wanapokosa kuelewana katika kambo. Mazungunzo pia huweza kupoteza kiini cha ujumbe kadiri ujumbe unavyosonga na washiriki kuongezeka. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji. Hivyo basi, mazungumzo ni nyenzo muhimu na rahisi kwa sababu haina gharama kubwa – inahitaji sauti na yaweza kutukia kwa kundoi kubwa la watu. Vile vile, ujumbe hupatwa papo hapo kwa wakati huo huo
Kwa nini mawasiliano ya mazungumzo hayana gharama
{ "text": [ "Kwa sababu huhitaji mate na sauti pekee" ] }
1152_swa
Mawasiliano Binadamu huwasiliana kwa njia mbalimbali kila siku. Njia hizi ni kama vile mazungumzo, maandishi, ishara na teknolojia. Mazungumzo hata hivyo, ni nyenzo inayotumika na watu wengi, si walimu, si wanafunzi na hata wanabiashara. Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyenzo bainishi ni lugha ya sauti. Mazungumzo yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha: Hushirikisha majibu papo hapo kwa sababu ni ya ana kwa ana, Hujenga mahusiano mema miongoni mwa washiriki (mwalimu na wanafunzi) kama mwanafunzi anapitia tatizo lolote. Mazungumzo huhusisha matumizi ya ishara na miondoko ya mwili ili wanafunzi waelewe Zaidi. mawasiliano ya mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti na mate tu. Huweza kutumika Kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa, kurudiwarudiwa na hata kukosolewa papo hapo. . Mazungumzo vile vile yamekumbwa na changamoto zifuatazo: Hayana rekodi ya kudumu kw ahivyo huweza kusahaulika kwa vile hayaandikwi. Mazungumzo yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mwalimu maswali. Huweza kuzua fujo hasa wazumgumzanji wanapokosa kuelewana katika kambo. Mazungunzo pia huweza kupoteza kiini cha ujumbe kadiri ujumbe unavyosonga na washiriki kuongezeka. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji. Hivyo basi, mazungumzo ni nyenzo muhimu na rahisi kwa sababu haina gharama kubwa – inahitaji sauti na yaweza kutukia kwa kundoi kubwa la watu. Vile vile, ujumbe hupatwa papo hapo kwa wakati huo huo
Nyenzo bainishi ya mazungumzo ni ipi
{ "text": [ "Lugha ya sauti" ] }
1152_swa
Mawasiliano Binadamu huwasiliana kwa njia mbalimbali kila siku. Njia hizi ni kama vile mazungumzo, maandishi, ishara na teknolojia. Mazungumzo hata hivyo, ni nyenzo inayotumika na watu wengi, si walimu, si wanafunzi na hata wanabiashara. Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyenzo bainishi ni lugha ya sauti. Mazungumzo yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha: Hushirikisha majibu papo hapo kwa sababu ni ya ana kwa ana, Hujenga mahusiano mema miongoni mwa washiriki (mwalimu na wanafunzi) kama mwanafunzi anapitia tatizo lolote. Mazungumzo huhusisha matumizi ya ishara na miondoko ya mwili ili wanafunzi waelewe Zaidi. mawasiliano ya mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti na mate tu. Huweza kutumika Kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa, kurudiwarudiwa na hata kukosolewa papo hapo. . Mazungumzo vile vile yamekumbwa na changamoto zifuatazo: Hayana rekodi ya kudumu kw ahivyo huweza kusahaulika kwa vile hayaandikwi. Mazungumzo yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mwalimu maswali. Huweza kuzua fujo hasa wazumgumzanji wanapokosa kuelewana katika kambo. Mazungunzo pia huweza kupoteza kiini cha ujumbe kadiri ujumbe unavyosonga na washiriki kuongezeka. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji. Hivyo basi, mazungumzo ni nyenzo muhimu na rahisi kwa sababu haina gharama kubwa – inahitaji sauti na yaweza kutukia kwa kundoi kubwa la watu. Vile vile, ujumbe hupatwa papo hapo kwa wakati huo huo
Ni ipi mojawapo ya faida ya mazungumzo
{ "text": [ "Kujenga mahusiano mema miongoni mwa washiriki" ] }
1152_swa
Mawasiliano Binadamu huwasiliana kwa njia mbalimbali kila siku. Njia hizi ni kama vile mazungumzo, maandishi, ishara na teknolojia. Mazungumzo hata hivyo, ni nyenzo inayotumika na watu wengi, si walimu, si wanafunzi na hata wanabiashara. Mazungumzo hujumuisha mawasiliano ya moja kwa moja na nyenzo bainishi ni lugha ya sauti. Mazungumzo yana faida zifuatazo katika somo lolote la lugha: Hushirikisha majibu papo hapo kwa sababu ni ya ana kwa ana, Hujenga mahusiano mema miongoni mwa washiriki (mwalimu na wanafunzi) kama mwanafunzi anapitia tatizo lolote. Mazungumzo huhusisha matumizi ya ishara na miondoko ya mwili ili wanafunzi waelewe Zaidi. mawasiliano ya mazungumzo hayana gharama kubwa kwa sababu yanahitaji sauti na mate tu. Huweza kutumika Kwa umati au kundi kubwa la wasikilizaji wanaopata ujumbe wakati huo huo. Mazungumzo vile vile huweza kukaririwa, kurudiwarudiwa na hata kukosolewa papo hapo. . Mazungumzo vile vile yamekumbwa na changamoto zifuatazo: Hayana rekodi ya kudumu kw ahivyo huweza kusahaulika kwa vile hayaandikwi. Mazungumzo yana sifa ya kukatizana na kujibizana hasa kwa wale wanauliza mwalimu maswali. Huweza kuzua fujo hasa wazumgumzanji wanapokosa kuelewana katika kambo. Mazungunzo pia huweza kupoteza kiini cha ujumbe kadiri ujumbe unavyosonga na washiriki kuongezeka. Mazungumzo hupoteza makini ya msikilizaji anapozidi kumsikiliza mzungumzaji. Hivyo basi, mazungumzo ni nyenzo muhimu na rahisi kwa sababu haina gharama kubwa – inahitaji sauti na yaweza kutukia kwa kundoi kubwa la watu. Vile vile, ujumbe hupatwa papo hapo kwa wakati huo huo
Ipi ni mojawapo ya changamoto inayokumba mazungumzo
{ "text": [ "Hayana rekodi ya kudumu kwa hivyo huweza kusahaulika kwa kuwa hayaandikwi" ] }
1153_swa
Ishara – Lugha Nyenzo ni njia inayotumiwa katika kuwasilisha ujumbe. Njia mojawapo ni Ishara ambayo huweza kutumiwa kwa uamilifu katika somo lolote la lugha kama fasihi. Ishara ni lugha inayohusisha miendo ya mikono, uso, kichwa na pia sehemu nzima ya juu ya mwili bila kuhusisha sauti. Ishara hutumiwa katika fasihi kuwasilisha vipengele tofauti. Ishara huhusisha ulimwengu wenye busara na ulimwengu wa kiroho kupitia picha zilizoonyesha hisia. Vilevile, ishara hutumiwa katika kazi ya fasihi kuwakilisha vitu au dhana fulani kwa mfano, radi na ngurumo kuashiria vita au ukosefu wa amani. Matumia ya Ishara katika fasihi hutegemea na ubingwa wa msanii wa kujua mambo mbalimbali katika mazingira anayohusisha katika jamii. Lengo kuu la kutumia Ishara ni kusisitiza maudhui na dhana kuu inayoibuka lugha ya Ishara hutumia mieleko na mahali pa ishara ili ifikishe taarifa muhimu, kwa mfano, alama ya kulia inabadilika kutegemea ishara maalum ya uso. Lugha ya ishara pia huweza kuibua hisia kwa anayesikiliza au msomaji kutaka kujua zaidi kuhusu mawazo ya mtunzi na pia kuweza kuelewa vyema kutokana na hisia za mtunzi. Ishara ni muhimu kwa kuwa wanadamu huitafsiri na kupata ujumbe kutoka kwake bila kutaka maelezo zaidi kwa mfano alama za trafiki huonyesha vitendo anuwai vinavyohitajika wakati wa kuendesha gari au kutembea barabarani. Tungo la fasihi haitegemei maneno pekee ili iweze kuamilika, hutegemea ishara ya kuonekana ili kuelezea dhana ambayo haiko katika maneno. Licha ya hayo Ishara pia huweaa kutafsiriwa visivyo, hivyo kusababisha ugomvi isipokuwa ishara maalum.
Njia inayotumiwa katika kuwasilisha ujumbe huitwaje
{ "text": [ "Nyenzo" ] }
1153_swa
Ishara – Lugha Nyenzo ni njia inayotumiwa katika kuwasilisha ujumbe. Njia mojawapo ni Ishara ambayo huweza kutumiwa kwa uamilifu katika somo lolote la lugha kama fasihi. Ishara ni lugha inayohusisha miendo ya mikono, uso, kichwa na pia sehemu nzima ya juu ya mwili bila kuhusisha sauti. Ishara hutumiwa katika fasihi kuwasilisha vipengele tofauti. Ishara huhusisha ulimwengu wenye busara na ulimwengu wa kiroho kupitia picha zilizoonyesha hisia. Vilevile, ishara hutumiwa katika kazi ya fasihi kuwakilisha vitu au dhana fulani kwa mfano, radi na ngurumo kuashiria vita au ukosefu wa amani. Matumia ya Ishara katika fasihi hutegemea na ubingwa wa msanii wa kujua mambo mbalimbali katika mazingira anayohusisha katika jamii. Lengo kuu la kutumia Ishara ni kusisitiza maudhui na dhana kuu inayoibuka lugha ya Ishara hutumia mieleko na mahali pa ishara ili ifikishe taarifa muhimu, kwa mfano, alama ya kulia inabadilika kutegemea ishara maalum ya uso. Lugha ya ishara pia huweza kuibua hisia kwa anayesikiliza au msomaji kutaka kujua zaidi kuhusu mawazo ya mtunzi na pia kuweza kuelewa vyema kutokana na hisia za mtunzi. Ishara ni muhimu kwa kuwa wanadamu huitafsiri na kupata ujumbe kutoka kwake bila kutaka maelezo zaidi kwa mfano alama za trafiki huonyesha vitendo anuwai vinavyohitajika wakati wa kuendesha gari au kutembea barabarani. Tungo la fasihi haitegemei maneno pekee ili iweze kuamilika, hutegemea ishara ya kuonekana ili kuelezea dhana ambayo haiko katika maneno. Licha ya hayo Ishara pia huweaa kutafsiriwa visivyo, hivyo kusababisha ugomvi isipokuwa ishara maalum.
Ni lugha gani inayohusisha miendo ya sehemu nzima ya juu ya mwili
{ "text": [ "Ishara" ] }
1153_swa
Ishara – Lugha Nyenzo ni njia inayotumiwa katika kuwasilisha ujumbe. Njia mojawapo ni Ishara ambayo huweza kutumiwa kwa uamilifu katika somo lolote la lugha kama fasihi. Ishara ni lugha inayohusisha miendo ya mikono, uso, kichwa na pia sehemu nzima ya juu ya mwili bila kuhusisha sauti. Ishara hutumiwa katika fasihi kuwasilisha vipengele tofauti. Ishara huhusisha ulimwengu wenye busara na ulimwengu wa kiroho kupitia picha zilizoonyesha hisia. Vilevile, ishara hutumiwa katika kazi ya fasihi kuwakilisha vitu au dhana fulani kwa mfano, radi na ngurumo kuashiria vita au ukosefu wa amani. Matumia ya Ishara katika fasihi hutegemea na ubingwa wa msanii wa kujua mambo mbalimbali katika mazingira anayohusisha katika jamii. Lengo kuu la kutumia Ishara ni kusisitiza maudhui na dhana kuu inayoibuka lugha ya Ishara hutumia mieleko na mahali pa ishara ili ifikishe taarifa muhimu, kwa mfano, alama ya kulia inabadilika kutegemea ishara maalum ya uso. Lugha ya ishara pia huweza kuibua hisia kwa anayesikiliza au msomaji kutaka kujua zaidi kuhusu mawazo ya mtunzi na pia kuweza kuelewa vyema kutokana na hisia za mtunzi. Ishara ni muhimu kwa kuwa wanadamu huitafsiri na kupata ujumbe kutoka kwake bila kutaka maelezo zaidi kwa mfano alama za trafiki huonyesha vitendo anuwai vinavyohitajika wakati wa kuendesha gari au kutembea barabarani. Tungo la fasihi haitegemei maneno pekee ili iweze kuamilika, hutegemea ishara ya kuonekana ili kuelezea dhana ambayo haiko katika maneno. Licha ya hayo Ishara pia huweaa kutafsiriwa visivyo, hivyo kusababisha ugomvi isipokuwa ishara maalum.
Ishaara uhusisha ulimwengu wenye nini
{ "text": [ "Busara" ] }