Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
0501_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu . Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ini aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo:
Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa.
Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa.
Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu , mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii.
Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao.
Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa . Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani.Je hii ni haki?
Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani.
Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana.
Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa.
Isitoshe, janga la Corona limeengeza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za
Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao.
Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kaolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya.
Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao . Watu wengine wamepata wakati ya kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa
chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
| Ni njia ipi mojawapo ya kuzuia janga la korona | {
"text": [
"Kuvaa barakoa"
]
} |
0501_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu . Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ini aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo:
Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa.
Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa.
Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu , mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii.
Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao.
Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa . Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani.Je hii ni haki?
Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani.
Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana.
Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa.
Isitoshe, janga la Corona limeengeza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za
Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao.
Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kaolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya.
Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao . Watu wengine wamepata wakati ya kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa
chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
| Ni watu takriban wangapi walioruhusiwa kwenda mazishini kutokana na janga la korona | {
"text": [
"Hamsini"
]
} |
0502_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzige. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambaavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Detta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo:
Mosi, ni janga lilioweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari.
Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, Si India, Si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu.
Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tela kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu.
Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuagamiza maisha yao.
Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo.
Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona.
Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika.
Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za kirismasi, iddi, Jamuhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote.
Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu.
Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau.
Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja.
Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa.
Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa.
Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke misongamano ya watu na avae barakoa kila wakati.
Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo.
Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
| Corona ni nini | {
"text": [
"Virusi"
]
} |
0502_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzige. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambaavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Detta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo:
Mosi, ni janga lilioweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari.
Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, Si India, Si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu.
Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tela kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu.
Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuagamiza maisha yao.
Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo.
Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona.
Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika.
Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za kirismasi, iddi, Jamuhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote.
Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu.
Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau.
Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja.
Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa.
Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa.
Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke misongamano ya watu na avae barakoa kila wakati.
Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo.
Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
| Ugonjwa wenyewe unafahamika kama nini | {
"text": [
"Uviko 19"
]
} |
0502_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzige. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambaavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Detta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo:
Mosi, ni janga lilioweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari.
Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, Si India, Si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu.
Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tela kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu.
Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuagamiza maisha yao.
Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo.
Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona.
Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika.
Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za kirismasi, iddi, Jamuhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote.
Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu.
Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau.
Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja.
Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa.
Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa.
Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke misongamano ya watu na avae barakoa kila wakati.
Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo.
Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
| Uligunduliwa tarehe ngapi | {
"text": [
"Kumi na mbili"
]
} |
0502_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzige. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambaavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Detta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo:
Mosi, ni janga lilioweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari.
Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, Si India, Si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu.
Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tela kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu.
Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuagamiza maisha yao.
Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo.
Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona.
Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika.
Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za kirismasi, iddi, Jamuhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote.
Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu.
Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau.
Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja.
Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa.
Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa.
Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke misongamano ya watu na avae barakoa kila wakati.
Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo.
Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
| Janga la corona limesababisha kusambaratika kwa kitu gani | {
"text": [
"Uchumi"
]
} |
0502_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Naam dunia ni kama bahari isiyoisha nzige. Dunia ilipata mabadiliko mnamo Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Ugonjwa wa UVIKO-19. ulizuka ghafla kama lzraili na kusababisha maradhi. Virusi hivyo viliaminika kuwepo tangu mwaka elfu moja mia tisa sitini na tano. Kitovu cha virusi hivi kinasemekana kutoka kwa popo na kutambaa mithili ya atambaavyo nyoka nyasini. Kuna aina mbili za virusi vya Corona: Alpha na Detta-india. Madhara ya janga hili ni kama yafuatayo:
Mosi, ni janga lilioweza kuleta ulalahoi. Wafanyikazi wengi walifutwa kazi ili kuepukana na janga hilo. Kukaa bila kazi kuliwaletea wengi upweke mwingi na uchochole. Mikahawa nayo haikupata wateja hivyo basi kufungwa. Ugonjwa huu ni hatari mithili ya sumu ya nyoka. Jambo la kubaki bila kazi liliwapatia mawazo chungu mzima jaa michanga katika ufuo wa bahari.
Pili, biashara za kimataifa ziliathiriwa sana. Hapo mwaka jana, nchi nyingi zilishindwa kuagiza bidhaa kutoka nje. Si Kenya, si Uganda, Si India, Si China ambako kulitishia zaidi. Biashara nyingi hazikuweza kuendelea na hivyo kuzorotesha uchumi wa kitaifa. Nchi zilitengana na kuogopa mithili ya ardhi na mbingu.
Aidha, uwele wa UVIKO-19 umeleta majonzi tela kwa kupunguza idadi ya jamii. Janga hili limewasababisha watu wengi kusafiri jongomeo kila uchao. Maradhi haya yalimpeleka mwigizaji maarufu Papa Shirandula kusafiri jongomeo. Vile vile, Mohammad Khamis aliyekuwa mwalimu mkuu wa Tononoka alitangulia mwaka huo huo. Kwa kweli hakuna kizuri kinachodumu.
Fauka ya hayo, janga hili la Corona liliharibu utaratibu wa elimu katika nchi tofauti. Ilifikia wakati shule kusimamishwa kwa kauli iliyopitishwa na Bwana Magoha, Waziri wa Elimu nchini Kenya. Ibilisi aitwaye Corona aliweza kurudisha masomo ya wanagenzi wengi nyuma. Baadhi ya wanafunzi waliingilia utumiaji wa mihadarati na kuagamiza maisha yao.
Janga hufuata janga, shule zilipofungwa nchini Kenya, wanafunzi wengi waliharibika kwa kufuata mfumo mpya wa masomo ya mtandao. Masomo hayo waliyafuata kinyume. Wengi walijiingiza kwenye ndoa za mapema na kusahau kama kuna masomo.
Hata hivyo, mwaka jana nchi nyingi zilifunga sehemu za kuabudu juu ya kujitenga kwa waja ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona.
Kando na hayo mila na tamaduni za adinasi zimeathirika pakubwa. Tohara kwa wanaume zilikatizwa na baadhi kwa sababu ya woga wa usambazaji wa virusi. Kwani virusi hivi vingeweza kuwepo kwenye visu, nguo, na kadhalika.
Juu ya hayo, Uviko-19 umeleta utengano mithili ya usiku na mchana baina ya waja. Mjumuiko wakati wa sherehe za kirismasi, iddi, Jamuhuri za Kitaifa hazikuwa zenye shamra shamra kama zilivyo. Sherehe zilifanyika nyumbani bila kutangamana na familia yote.
Hakika, idadi ya wenye uwele haikuonekana kupungua kadri siku zilivyozidi kwenda. Ilifikia wakati serekali kuchukua hatua ya kufanga mipaka. Hatukuweza kuagizia bidhaa wala kupokea watalii nchini kwetu.
Vile vile, ugonjwa wa corona ulishinikiza serikali nyingi kuanzisha kafyu. Yaani saa maalum ya kutoka nje ya majumba na wakati wakurejea bila kuvunja sheria zao. Wafanyakazi wa idara ya uchukuzi kama madereva walienda mrama kwa sheria iliyopitishwa kwani kazi zao za usiku zilitumbukia kwenye kaburi la sahau.
Kadhalika , michezo ya Olimpiki ya Tokyo ilisitishwa, haikufanyika. Jambo hili lilihuzunisha kwani walitarajia pesa kwa kupokea wageni tofauti na vikombe, huku wakijuwa bayana kuwa mchezo kwao hutuzwa. Kwa kweli, mambo ni kangaja huenda yakaja.
Mighairi ya hayo, janga la Corona lilisababisha ufisadi nchini. Kwa wale wenye corona walitengwa na kuwekwa karantini ili kupunguza uenezaji wa virusi huku aila zao zikitozwa fedha ili mtu wao kuwachwa huru. Vile vile, wale ambao hawatafuata kanuni ya kuvaa barakoa walitozwa pesa.
Juu ya hayo, janga hili lilihatarisha maisha ya wengi hivyo basi kuamua kuletwa kwa chanjo kama kinga dhidi ya corona. Nchi nyingi zilipoteza fedha nyingi ambazo zingetumiwa kufanya mambo mengine kama ujenzi wa barabara, zahanati, na shule. Waama, lisilobudi hutendwa.
Mbiu ya mgambo ikilia ujue kuna jambo. Kwa kuwa chenye mwanzo hakikosi mwisho, ninaamini kuwa janga la corona litakosa makali yake ikiwa watu watachukua hatua zifuatazo. Kukaa umbali wa angalau hatua mbili kwa anayekohoa au kupiga chafya, kuepuka kushika macho, mdomo wa mikono isiyo safi kubaki nyumbani endapo husikii vizuri. Iwapo mtu ana dalili kama kushindwa kupumua, sharti aepuke misongamano ya watu na avae barakoa kila wakati.
Naam, hakuna uchungu usiotulia. Hivi sasa, walio na ugonjwa wa corona wameweza kupungua kwa utumiaji wa dawa za mitishamba kama utumiaji wa vitunguu, limau pamoja na tangawizi. Kwa kuwa msumeno hukata mbele na nyuma, madaktari wanapata mshahara mzuri, wauzaji barakoa wamepata kazi, kumeibuka msamiati mpya kwa lugha na mengineo.
Kwa yamkini si yakini, mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo. Wataaluma wetu wamejikakamua na kujua ilipo dawa ya Uviko-19. Alhamdulillah! Chanjo imepatikana kutukinga dhidi ya ugonjwa huu sugu. Kwa kuwa umoja ni nguvu, pamoja tukomeshe Corona.
| Ukosefu wa oksijeni umesababishwa na nini | {
"text": [
"Janga la corona"
]
} |
0503_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni:
Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana?
Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu
virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu.
Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku.
Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao.
Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana.
Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati.
Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
| Ni virusi vipi huleta homa kali | {
"text": [
"Korona"
]
} |
0503_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni:
Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana?
Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu
virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu.
Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku.
Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao.
Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana.
Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati.
Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
| Janga la korona limefanya wengi kwenda wapi | {
"text": [
"Jongomeo"
]
} |
0503_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni:
Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana?
Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu
virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu.
Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku.
Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao.
Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana.
Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati.
Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
| Madaktari wangapi wameaga Indonesia | {
"text": [
"114"
]
} |
0503_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni:
Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana?
Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu
virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu.
Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku.
Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao.
Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana.
Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati.
Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
| Janga la Korona limefanya nini kuongezeka | {
"text": [
"Ufukara"
]
} |
0503_swa | MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA
Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni:
Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana?
Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu
virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu.
Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku.
Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao.
Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana.
Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati.
Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
| Janga la Korona huathiri vipi kisaikolojia | {
"text": [
"Mtu hutengwa asiwaambukize wengine"
]
} |
0504_swa | MATUMIZI YA PESA VYUO VIKUU SASA YAANZE KUMULIKWA
MUDA umefika kwa serikali sasa kuanza kumulika jinsi vyuo vikuu vya umma vinatumia pesa ambazo vinapewa ili kufanikisha masomo ya juu, kufuatia habari za majuzi kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya pesa katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara.
Ripoti hiyo ilipeperushwa na runinga ya Citizen Jumapili ilisema naibu Chansela wa Chuo hicho amekuwa akiongoza ufujaji wa mamilioni ya pesa kujinufaisha kibinafsi, wakati chuo chenyewe bado kinakumbwa na changamoto.
Ni ukweli ulio waazi kuwa vyuo vikuu vya umma nchini vimekuwa vikikumbwa na matatizo mengi, hasa ya ukosefu wa pesa na rasilimali za kuwezesha masomo na utafiti kuendeshwa ifaavyo. Matatizo haya, mara kwa mara yamesababisha viwango vya elimu kudorora, vyuo kuwasomesha wanafunzi madarasani tu, wakati mwishowe ‘watafuzu’ bila kupata ujuzi wa moja kwa moja wa kazi wanazosomea.
Katika vingi vya vyuo vikuu vya umma nchini, wanafunzi kusoma hadi kumaliza bila kuwahi kushiriki tafiti za kisayansi, kiteknolojia ama zingine zinazowiana na kozi wanazosomea ni jambo la kawaida, hali ambayo imesemekana kuwa ni kutokana na uchache wa rasilimali. Hii ni hali ambayo imehatarisha ubora wa elimu ya vyuo vikuu nchini.
Matatizo hayo ni kando na changamoto nyingine zinazovikumba kama migomo ya mara kwa mara ya wafanyikazi wakilalamikia mazingira mabovu kazini, na ya wanafunzi wanaponyimwa huduma muhimu ambazo zinafaa kutolewa.
Mara nyingi, kiini cha migomo hii huwa kukosekana kwa pesa za kufanya jambo fulani, ndipo waathirika wanaamua kutatiza huduma kwa mbinu ya kupigania haki zao.
Serikali haina budi ila kuanzisha uchunguzi wa kina katika usimamizi wa vyuo nchini na kuunyoosha, ili wanafunzi na wafanyakazi wasiwe wakiteseka kila mara, wakati rasilimali zinaporwa na wasimamizi.
Inachukiza sana wakati maafisa ambao wamepewa jukumu la kulinda pesa za umma wanakuwa wa kwanza kuziiba, licha ya kuwa wanalipwa mishahara minono na kuwa kazi zao zinawahitaji kuwa waadilifu kwa kiwango kikubwa.
Serikali isimsaze yeyote anayepatikana na hatia ya kuporapesa, kwani matunda ya wizi huo yamekuwa kudorora kwa viwango vya elimu, na zaidi ya yote kuathiri uchumi wa taifa.
| Nani aliongoza katika ufujaji wa mamilioni katika chuo kikuu cha Maasai Mara | {
"text": [
"Naibu chansela"
]
} |
0504_swa | MATUMIZI YA PESA VYUO VIKUU SASA YAANZE KUMULIKWA
MUDA umefika kwa serikali sasa kuanza kumulika jinsi vyuo vikuu vya umma vinatumia pesa ambazo vinapewa ili kufanikisha masomo ya juu, kufuatia habari za majuzi kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya pesa katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara.
Ripoti hiyo ilipeperushwa na runinga ya Citizen Jumapili ilisema naibu Chansela wa Chuo hicho amekuwa akiongoza ufujaji wa mamilioni ya pesa kujinufaisha kibinafsi, wakati chuo chenyewe bado kinakumbwa na changamoto.
Ni ukweli ulio waazi kuwa vyuo vikuu vya umma nchini vimekuwa vikikumbwa na matatizo mengi, hasa ya ukosefu wa pesa na rasilimali za kuwezesha masomo na utafiti kuendeshwa ifaavyo. Matatizo haya, mara kwa mara yamesababisha viwango vya elimu kudorora, vyuo kuwasomesha wanafunzi madarasani tu, wakati mwishowe ‘watafuzu’ bila kupata ujuzi wa moja kwa moja wa kazi wanazosomea.
Katika vingi vya vyuo vikuu vya umma nchini, wanafunzi kusoma hadi kumaliza bila kuwahi kushiriki tafiti za kisayansi, kiteknolojia ama zingine zinazowiana na kozi wanazosomea ni jambo la kawaida, hali ambayo imesemekana kuwa ni kutokana na uchache wa rasilimali. Hii ni hali ambayo imehatarisha ubora wa elimu ya vyuo vikuu nchini.
Matatizo hayo ni kando na changamoto nyingine zinazovikumba kama migomo ya mara kwa mara ya wafanyikazi wakilalamikia mazingira mabovu kazini, na ya wanafunzi wanaponyimwa huduma muhimu ambazo zinafaa kutolewa.
Mara nyingi, kiini cha migomo hii huwa kukosekana kwa pesa za kufanya jambo fulani, ndipo waathirika wanaamua kutatiza huduma kwa mbinu ya kupigania haki zao.
Serikali haina budi ila kuanzisha uchunguzi wa kina katika usimamizi wa vyuo nchini na kuunyoosha, ili wanafunzi na wafanyakazi wasiwe wakiteseka kila mara, wakati rasilimali zinaporwa na wasimamizi.
Inachukiza sana wakati maafisa ambao wamepewa jukumu la kulinda pesa za umma wanakuwa wa kwanza kuziiba, licha ya kuwa wanalipwa mishahara minono na kuwa kazi zao zinawahitaji kuwa waadilifu kwa kiwango kikubwa.
Serikali isimsaze yeyote anayepatikana na hatia ya kuporapesa, kwani matunda ya wizi huo yamekuwa kudorora kwa viwango vya elimu, na zaidi ya yote kuathiri uchumi wa taifa.
| Kiini cha waathiriwa kutatiza huduma vyuoni ni kipi | {
"text": [
"Ukosefu wa pesa za kufanya mambo fulani"
]
} |
0504_swa | MATUMIZI YA PESA VYUO VIKUU SASA YAANZE KUMULIKWA
MUDA umefika kwa serikali sasa kuanza kumulika jinsi vyuo vikuu vya umma vinatumia pesa ambazo vinapewa ili kufanikisha masomo ya juu, kufuatia habari za majuzi kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya pesa katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara.
Ripoti hiyo ilipeperushwa na runinga ya Citizen Jumapili ilisema naibu Chansela wa Chuo hicho amekuwa akiongoza ufujaji wa mamilioni ya pesa kujinufaisha kibinafsi, wakati chuo chenyewe bado kinakumbwa na changamoto.
Ni ukweli ulio waazi kuwa vyuo vikuu vya umma nchini vimekuwa vikikumbwa na matatizo mengi, hasa ya ukosefu wa pesa na rasilimali za kuwezesha masomo na utafiti kuendeshwa ifaavyo. Matatizo haya, mara kwa mara yamesababisha viwango vya elimu kudorora, vyuo kuwasomesha wanafunzi madarasani tu, wakati mwishowe ‘watafuzu’ bila kupata ujuzi wa moja kwa moja wa kazi wanazosomea.
Katika vingi vya vyuo vikuu vya umma nchini, wanafunzi kusoma hadi kumaliza bila kuwahi kushiriki tafiti za kisayansi, kiteknolojia ama zingine zinazowiana na kozi wanazosomea ni jambo la kawaida, hali ambayo imesemekana kuwa ni kutokana na uchache wa rasilimali. Hii ni hali ambayo imehatarisha ubora wa elimu ya vyuo vikuu nchini.
Matatizo hayo ni kando na changamoto nyingine zinazovikumba kama migomo ya mara kwa mara ya wafanyikazi wakilalamikia mazingira mabovu kazini, na ya wanafunzi wanaponyimwa huduma muhimu ambazo zinafaa kutolewa.
Mara nyingi, kiini cha migomo hii huwa kukosekana kwa pesa za kufanya jambo fulani, ndipo waathirika wanaamua kutatiza huduma kwa mbinu ya kupigania haki zao.
Serikali haina budi ila kuanzisha uchunguzi wa kina katika usimamizi wa vyuo nchini na kuunyoosha, ili wanafunzi na wafanyakazi wasiwe wakiteseka kila mara, wakati rasilimali zinaporwa na wasimamizi.
Inachukiza sana wakati maafisa ambao wamepewa jukumu la kulinda pesa za umma wanakuwa wa kwanza kuziiba, licha ya kuwa wanalipwa mishahara minono na kuwa kazi zao zinawahitaji kuwa waadilifu kwa kiwango kikubwa.
Serikali isimsaze yeyote anayepatikana na hatia ya kuporapesa, kwani matunda ya wizi huo yamekuwa kudorora kwa viwango vya elimu, na zaidi ya yote kuathiri uchumi wa taifa.
| Chuo kipi kimetajwa katika madai ya wizi wa mamilioni ya pesa | {
"text": [
"Maasai Mara"
]
} |
0504_swa | MATUMIZI YA PESA VYUO VIKUU SASA YAANZE KUMULIKWA
MUDA umefika kwa serikali sasa kuanza kumulika jinsi vyuo vikuu vya umma vinatumia pesa ambazo vinapewa ili kufanikisha masomo ya juu, kufuatia habari za majuzi kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya pesa katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara.
Ripoti hiyo ilipeperushwa na runinga ya Citizen Jumapili ilisema naibu Chansela wa Chuo hicho amekuwa akiongoza ufujaji wa mamilioni ya pesa kujinufaisha kibinafsi, wakati chuo chenyewe bado kinakumbwa na changamoto.
Ni ukweli ulio waazi kuwa vyuo vikuu vya umma nchini vimekuwa vikikumbwa na matatizo mengi, hasa ya ukosefu wa pesa na rasilimali za kuwezesha masomo na utafiti kuendeshwa ifaavyo. Matatizo haya, mara kwa mara yamesababisha viwango vya elimu kudorora, vyuo kuwasomesha wanafunzi madarasani tu, wakati mwishowe ‘watafuzu’ bila kupata ujuzi wa moja kwa moja wa kazi wanazosomea.
Katika vingi vya vyuo vikuu vya umma nchini, wanafunzi kusoma hadi kumaliza bila kuwahi kushiriki tafiti za kisayansi, kiteknolojia ama zingine zinazowiana na kozi wanazosomea ni jambo la kawaida, hali ambayo imesemekana kuwa ni kutokana na uchache wa rasilimali. Hii ni hali ambayo imehatarisha ubora wa elimu ya vyuo vikuu nchini.
Matatizo hayo ni kando na changamoto nyingine zinazovikumba kama migomo ya mara kwa mara ya wafanyikazi wakilalamikia mazingira mabovu kazini, na ya wanafunzi wanaponyimwa huduma muhimu ambazo zinafaa kutolewa.
Mara nyingi, kiini cha migomo hii huwa kukosekana kwa pesa za kufanya jambo fulani, ndipo waathirika wanaamua kutatiza huduma kwa mbinu ya kupigania haki zao.
Serikali haina budi ila kuanzisha uchunguzi wa kina katika usimamizi wa vyuo nchini na kuunyoosha, ili wanafunzi na wafanyakazi wasiwe wakiteseka kila mara, wakati rasilimali zinaporwa na wasimamizi.
Inachukiza sana wakati maafisa ambao wamepewa jukumu la kulinda pesa za umma wanakuwa wa kwanza kuziiba, licha ya kuwa wanalipwa mishahara minono na kuwa kazi zao zinawahitaji kuwa waadilifu kwa kiwango kikubwa.
Serikali isimsaze yeyote anayepatikana na hatia ya kuporapesa, kwani matunda ya wizi huo yamekuwa kudorora kwa viwango vya elimu, na zaidi ya yote kuathiri uchumi wa taifa.
| Matunda ya wizi wa pesa chuoni huwa ni nini | {
"text": [
"Kudorora kwa viwango vya elimu"
]
} |
0504_swa | MATUMIZI YA PESA VYUO VIKUU SASA YAANZE KUMULIKWA
MUDA umefika kwa serikali sasa kuanza kumulika jinsi vyuo vikuu vya umma vinatumia pesa ambazo vinapewa ili kufanikisha masomo ya juu, kufuatia habari za majuzi kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya pesa katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara.
Ripoti hiyo ilipeperushwa na runinga ya Citizen Jumapili ilisema naibu Chansela wa Chuo hicho amekuwa akiongoza ufujaji wa mamilioni ya pesa kujinufaisha kibinafsi, wakati chuo chenyewe bado kinakumbwa na changamoto.
Ni ukweli ulio waazi kuwa vyuo vikuu vya umma nchini vimekuwa vikikumbwa na matatizo mengi, hasa ya ukosefu wa pesa na rasilimali za kuwezesha masomo na utafiti kuendeshwa ifaavyo. Matatizo haya, mara kwa mara yamesababisha viwango vya elimu kudorora, vyuo kuwasomesha wanafunzi madarasani tu, wakati mwishowe ‘watafuzu’ bila kupata ujuzi wa moja kwa moja wa kazi wanazosomea.
Katika vingi vya vyuo vikuu vya umma nchini, wanafunzi kusoma hadi kumaliza bila kuwahi kushiriki tafiti za kisayansi, kiteknolojia ama zingine zinazowiana na kozi wanazosomea ni jambo la kawaida, hali ambayo imesemekana kuwa ni kutokana na uchache wa rasilimali. Hii ni hali ambayo imehatarisha ubora wa elimu ya vyuo vikuu nchini.
Matatizo hayo ni kando na changamoto nyingine zinazovikumba kama migomo ya mara kwa mara ya wafanyikazi wakilalamikia mazingira mabovu kazini, na ya wanafunzi wanaponyimwa huduma muhimu ambazo zinafaa kutolewa.
Mara nyingi, kiini cha migomo hii huwa kukosekana kwa pesa za kufanya jambo fulani, ndipo waathirika wanaamua kutatiza huduma kwa mbinu ya kupigania haki zao.
Serikali haina budi ila kuanzisha uchunguzi wa kina katika usimamizi wa vyuo nchini na kuunyoosha, ili wanafunzi na wafanyakazi wasiwe wakiteseka kila mara, wakati rasilimali zinaporwa na wasimamizi.
Inachukiza sana wakati maafisa ambao wamepewa jukumu la kulinda pesa za umma wanakuwa wa kwanza kuziiba, licha ya kuwa wanalipwa mishahara minono na kuwa kazi zao zinawahitaji kuwa waadilifu kwa kiwango kikubwa.
Serikali isimsaze yeyote anayepatikana na hatia ya kuporapesa, kwani matunda ya wizi huo yamekuwa kudorora kwa viwango vya elimu, na zaidi ya yote kuathiri uchumi wa taifa.
| Nani husoma darasani bila kufanya utafiti wa kisayansi kulingana na kozi yake | {
"text": [
"Mwanafunzi"
]
} |
0507_swa | WANANDOA WENGI BADO HAWAJASAJILIWA-KADHI
ZAIDI ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu zinazo fungwa Lamu hazija sajiliwa. Kulingana na afisi ya mahakama ya kadhi, Kaunti ya Lamu, ni asilimia 40 pekee ya ndoa ambazo zimesajiliwa rasmi katika afisi hiyo.
Katika kikao na wanahabari afisini mwake jana, Kadhi Mkuu Mkazi, Swaleh Mohamed, alisema hulka ya wakazi kukosa kusajili ndoa zao inafanya wanandoa wengi kutalakiana.
Bw Mohamed aliwataka wakazi kutilia maanani usajili wa ndoa eneo hilo kwa manufaa yao.
Aliwasisitizia wanawake kuwa mstari wa mbele katika kuwahimiza mabwana zao kufika katika afisi ya kadhi ili kusajili ndoa zao.
Alisema ni jambo la kusikitisha kuona akina mama na watoto wanateseka wanandoa wanapotalikiana.
Alisema kukosa kusajili ndoa eneo hilo ni jambo ambalo limechochea wanaume kuruka ndoa zao.
“Zaidi ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu kwenye mji wa Lamu hazijasajiliwa. Hii ni hatari. Nimeona wanandoa wanaofika hapa afisini kutaka kutalakiana lakini unapata mwishowe mwanamume anaruka ndoa yake kiurahisi akidai yeye hajaoa. Utampeleka wapi na cheti cha kuthibitisha ndoa hakuna? Utapata wanawake na watoto wanateseka bure wakati wa migogoro kama hii.Ni vyema wakazi, hasa wanawake kuwahimiza waume wao waje afisini kusajili ndoa ili wapate haki yao iwapo kutakuwa na kutalakiana au kufariki kwa mmoja wa wanandoa hao,”
Akasema Bw Mohamed
Naye Ustadh Mohamed Abdulkadir alisema, tayari wamejadiliana na ofisi ya kadhi na kuondoa faini zote zinazohitajika kwa wanandoa kusajili ndoa zao.
“Katika harakati za kuwahimiza wanandoa Lamu kusajili ndoa zao, tumejadiiliana na ofisi ya kadhi na kuafikiana kwamba hakuna faini au ada zozoteambazo watu wetu watahitajika kulipa ili wasajiliwe. Hatua hiyo tumeichukua ili kuwahimiza watu kusajili ndoa zao kwa sasa,” akasema Bw Abdulkadir.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa baraza la Maimamu na Wahubiri wa Kiislamu(CIPK) tawi la Lamu, Bw Abubakar Shekuwe, aliwahimiza wanandoa kuheshimiana na kuepuka matumizi ya mihadarati aliyodai inachangia pakubwa kuvunjika kwa ndoa Lamu.
| Nani aliwahimiza wanandoa kuepuka matumizi ya mihadarati | {
"text": [
"Bw Abubakar Shekuwe"
]
} |
0507_swa | WANANDOA WENGI BADO HAWAJASAJILIWA-KADHI
ZAIDI ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu zinazo fungwa Lamu hazija sajiliwa. Kulingana na afisi ya mahakama ya kadhi, Kaunti ya Lamu, ni asilimia 40 pekee ya ndoa ambazo zimesajiliwa rasmi katika afisi hiyo.
Katika kikao na wanahabari afisini mwake jana, Kadhi Mkuu Mkazi, Swaleh Mohamed, alisema hulka ya wakazi kukosa kusajili ndoa zao inafanya wanandoa wengi kutalakiana.
Bw Mohamed aliwataka wakazi kutilia maanani usajili wa ndoa eneo hilo kwa manufaa yao.
Aliwasisitizia wanawake kuwa mstari wa mbele katika kuwahimiza mabwana zao kufika katika afisi ya kadhi ili kusajili ndoa zao.
Alisema ni jambo la kusikitisha kuona akina mama na watoto wanateseka wanandoa wanapotalikiana.
Alisema kukosa kusajili ndoa eneo hilo ni jambo ambalo limechochea wanaume kuruka ndoa zao.
“Zaidi ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu kwenye mji wa Lamu hazijasajiliwa. Hii ni hatari. Nimeona wanandoa wanaofika hapa afisini kutaka kutalakiana lakini unapata mwishowe mwanamume anaruka ndoa yake kiurahisi akidai yeye hajaoa. Utampeleka wapi na cheti cha kuthibitisha ndoa hakuna? Utapata wanawake na watoto wanateseka bure wakati wa migogoro kama hii.Ni vyema wakazi, hasa wanawake kuwahimiza waume wao waje afisini kusajili ndoa ili wapate haki yao iwapo kutakuwa na kutalakiana au kufariki kwa mmoja wa wanandoa hao,”
Akasema Bw Mohamed
Naye Ustadh Mohamed Abdulkadir alisema, tayari wamejadiliana na ofisi ya kadhi na kuondoa faini zote zinazohitajika kwa wanandoa kusajili ndoa zao.
“Katika harakati za kuwahimiza wanandoa Lamu kusajili ndoa zao, tumejadiiliana na ofisi ya kadhi na kuafikiana kwamba hakuna faini au ada zozoteambazo watu wetu watahitajika kulipa ili wasajiliwe. Hatua hiyo tumeichukua ili kuwahimiza watu kusajili ndoa zao kwa sasa,” akasema Bw Abdulkadir.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa baraza la Maimamu na Wahubiri wa Kiislamu(CIPK) tawi la Lamu, Bw Abubakar Shekuwe, aliwahimiza wanandoa kuheshimiana na kuepuka matumizi ya mihadarati aliyodai inachangia pakubwa kuvunjika kwa ndoa Lamu.
| Asilimia ngapi ya ndoa Lamu zimesajiliwa rasmi kulingana na mahakama | {
"text": [
"Arubaini"
]
} |
0507_swa | WANANDOA WENGI BADO HAWAJASAJILIWA-KADHI
ZAIDI ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu zinazo fungwa Lamu hazija sajiliwa. Kulingana na afisi ya mahakama ya kadhi, Kaunti ya Lamu, ni asilimia 40 pekee ya ndoa ambazo zimesajiliwa rasmi katika afisi hiyo.
Katika kikao na wanahabari afisini mwake jana, Kadhi Mkuu Mkazi, Swaleh Mohamed, alisema hulka ya wakazi kukosa kusajili ndoa zao inafanya wanandoa wengi kutalakiana.
Bw Mohamed aliwataka wakazi kutilia maanani usajili wa ndoa eneo hilo kwa manufaa yao.
Aliwasisitizia wanawake kuwa mstari wa mbele katika kuwahimiza mabwana zao kufika katika afisi ya kadhi ili kusajili ndoa zao.
Alisema ni jambo la kusikitisha kuona akina mama na watoto wanateseka wanandoa wanapotalikiana.
Alisema kukosa kusajili ndoa eneo hilo ni jambo ambalo limechochea wanaume kuruka ndoa zao.
“Zaidi ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu kwenye mji wa Lamu hazijasajiliwa. Hii ni hatari. Nimeona wanandoa wanaofika hapa afisini kutaka kutalakiana lakini unapata mwishowe mwanamume anaruka ndoa yake kiurahisi akidai yeye hajaoa. Utampeleka wapi na cheti cha kuthibitisha ndoa hakuna? Utapata wanawake na watoto wanateseka bure wakati wa migogoro kama hii.Ni vyema wakazi, hasa wanawake kuwahimiza waume wao waje afisini kusajili ndoa ili wapate haki yao iwapo kutakuwa na kutalakiana au kufariki kwa mmoja wa wanandoa hao,”
Akasema Bw Mohamed
Naye Ustadh Mohamed Abdulkadir alisema, tayari wamejadiliana na ofisi ya kadhi na kuondoa faini zote zinazohitajika kwa wanandoa kusajili ndoa zao.
“Katika harakati za kuwahimiza wanandoa Lamu kusajili ndoa zao, tumejadiiliana na ofisi ya kadhi na kuafikiana kwamba hakuna faini au ada zozoteambazo watu wetu watahitajika kulipa ili wasajiliwe. Hatua hiyo tumeichukua ili kuwahimiza watu kusajili ndoa zao kwa sasa,” akasema Bw Abdulkadir.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa baraza la Maimamu na Wahubiri wa Kiislamu(CIPK) tawi la Lamu, Bw Abubakar Shekuwe, aliwahimiza wanandoa kuheshimiana na kuepuka matumizi ya mihadarati aliyodai inachangia pakubwa kuvunjika kwa ndoa Lamu.
| Kipi kinachangia wanandoa kutalakiana | {
"text": [
"Kukosa kusajili ndoa zao rasmi"
]
} |
0507_swa | WANANDOA WENGI BADO HAWAJASAJILIWA-KADHI
ZAIDI ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu zinazo fungwa Lamu hazija sajiliwa. Kulingana na afisi ya mahakama ya kadhi, Kaunti ya Lamu, ni asilimia 40 pekee ya ndoa ambazo zimesajiliwa rasmi katika afisi hiyo.
Katika kikao na wanahabari afisini mwake jana, Kadhi Mkuu Mkazi, Swaleh Mohamed, alisema hulka ya wakazi kukosa kusajili ndoa zao inafanya wanandoa wengi kutalakiana.
Bw Mohamed aliwataka wakazi kutilia maanani usajili wa ndoa eneo hilo kwa manufaa yao.
Aliwasisitizia wanawake kuwa mstari wa mbele katika kuwahimiza mabwana zao kufika katika afisi ya kadhi ili kusajili ndoa zao.
Alisema ni jambo la kusikitisha kuona akina mama na watoto wanateseka wanandoa wanapotalikiana.
Alisema kukosa kusajili ndoa eneo hilo ni jambo ambalo limechochea wanaume kuruka ndoa zao.
“Zaidi ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu kwenye mji wa Lamu hazijasajiliwa. Hii ni hatari. Nimeona wanandoa wanaofika hapa afisini kutaka kutalakiana lakini unapata mwishowe mwanamume anaruka ndoa yake kiurahisi akidai yeye hajaoa. Utampeleka wapi na cheti cha kuthibitisha ndoa hakuna? Utapata wanawake na watoto wanateseka bure wakati wa migogoro kama hii.Ni vyema wakazi, hasa wanawake kuwahimiza waume wao waje afisini kusajili ndoa ili wapate haki yao iwapo kutakuwa na kutalakiana au kufariki kwa mmoja wa wanandoa hao,”
Akasema Bw Mohamed
Naye Ustadh Mohamed Abdulkadir alisema, tayari wamejadiliana na ofisi ya kadhi na kuondoa faini zote zinazohitajika kwa wanandoa kusajili ndoa zao.
“Katika harakati za kuwahimiza wanandoa Lamu kusajili ndoa zao, tumejadiiliana na ofisi ya kadhi na kuafikiana kwamba hakuna faini au ada zozoteambazo watu wetu watahitajika kulipa ili wasajiliwe. Hatua hiyo tumeichukua ili kuwahimiza watu kusajili ndoa zao kwa sasa,” akasema Bw Abdulkadir.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa baraza la Maimamu na Wahubiri wa Kiislamu(CIPK) tawi la Lamu, Bw Abubakar Shekuwe, aliwahimiza wanandoa kuheshimiana na kuepuka matumizi ya mihadarati aliyodai inachangia pakubwa kuvunjika kwa ndoa Lamu.
| Stakabadhi ipi hutumika kuthibitisha ndoa kati ya wanandoa | {
"text": [
"Cheti"
]
} |
0507_swa | WANANDOA WENGI BADO HAWAJASAJILIWA-KADHI
ZAIDI ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu zinazo fungwa Lamu hazija sajiliwa. Kulingana na afisi ya mahakama ya kadhi, Kaunti ya Lamu, ni asilimia 40 pekee ya ndoa ambazo zimesajiliwa rasmi katika afisi hiyo.
Katika kikao na wanahabari afisini mwake jana, Kadhi Mkuu Mkazi, Swaleh Mohamed, alisema hulka ya wakazi kukosa kusajili ndoa zao inafanya wanandoa wengi kutalakiana.
Bw Mohamed aliwataka wakazi kutilia maanani usajili wa ndoa eneo hilo kwa manufaa yao.
Aliwasisitizia wanawake kuwa mstari wa mbele katika kuwahimiza mabwana zao kufika katika afisi ya kadhi ili kusajili ndoa zao.
Alisema ni jambo la kusikitisha kuona akina mama na watoto wanateseka wanandoa wanapotalikiana.
Alisema kukosa kusajili ndoa eneo hilo ni jambo ambalo limechochea wanaume kuruka ndoa zao.
“Zaidi ya asilimia 60 ya ndoa za Kiislamu kwenye mji wa Lamu hazijasajiliwa. Hii ni hatari. Nimeona wanandoa wanaofika hapa afisini kutaka kutalakiana lakini unapata mwishowe mwanamume anaruka ndoa yake kiurahisi akidai yeye hajaoa. Utampeleka wapi na cheti cha kuthibitisha ndoa hakuna? Utapata wanawake na watoto wanateseka bure wakati wa migogoro kama hii.Ni vyema wakazi, hasa wanawake kuwahimiza waume wao waje afisini kusajili ndoa ili wapate haki yao iwapo kutakuwa na kutalakiana au kufariki kwa mmoja wa wanandoa hao,”
Akasema Bw Mohamed
Naye Ustadh Mohamed Abdulkadir alisema, tayari wamejadiliana na ofisi ya kadhi na kuondoa faini zote zinazohitajika kwa wanandoa kusajili ndoa zao.
“Katika harakati za kuwahimiza wanandoa Lamu kusajili ndoa zao, tumejadiiliana na ofisi ya kadhi na kuafikiana kwamba hakuna faini au ada zozoteambazo watu wetu watahitajika kulipa ili wasajiliwe. Hatua hiyo tumeichukua ili kuwahimiza watu kusajili ndoa zao kwa sasa,” akasema Bw Abdulkadir.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa baraza la Maimamu na Wahubiri wa Kiislamu(CIPK) tawi la Lamu, Bw Abubakar Shekuwe, aliwahimiza wanandoa kuheshimiana na kuepuka matumizi ya mihadarati aliyodai inachangia pakubwa kuvunjika kwa ndoa Lamu.
| Nani aliyeondoa faini ili wanandoa kusajili ndoa zao | {
"text": [
"Ustadhi Mohamed Abdulkadir"
]
} |
0511_swa | “Uzalishaji kwa wingi wa miwa utasaidia ufufuzi wa Mumias'
WAKULIMA wa miwa kutoka eneo la Mumias wamemtaka Mkurugenzi Mkuu mpya wa Kampuni ya Sukari ya Mumias (MSC), aliyeteuliwa na meneja mrasimu aliyeteuliwa na Benki ya KCB Ponangapalli Venkata Ramana Rao, kuanzisha mpango wa kuimarisha kilimo cha zao hilo.
Wamemshauri Bw Francis Wabuke ambaye alianza kuhudumu katika wadhifa huo mnamo Novemba 28 kuanzisha mchakato huo kabla kufufuliwa kwa kiwanda hicho ili kiweze kupata malighafi ya kutosha kuendesha shughuli zake bila tatizo lolote.
Wakulima hao walipongeza uteuzi wake lakini wakaelezea hofu kwamba huenda asifaulu kufufua kiwanda hicho endapo hatawekeza katika mpango wa "Shida kubwa inayoikumba kampuni ya Sukari ya Mumia si usimamizi mbaya, ukosefu wa mitambo au wafanyakazi bali
ni malighafi. Shughuli za kiwanda haziwezi kufufuliwa ikiwa hakuna miwa ya kutosha kusagwa,” akasema Bw Josephat Waburaka, ambaye ni mkulima kutoka uteuzi eneo la Matawa, Mumias Magharibi. Bw Waburaka alisema kuna ushindani mkubwa kutoka kwa kampuni ndogo za kibinafsi kwa sababu huwa zinawalipa vi uzalishaji wa miwa kwa wingi.
zuri wakulima ambao huwasilisha miwa yao tena baada ya muda mfupi. | Aya1-Nani Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya sukari ya Mumias | {
"text": [
"Ponangapalli Venkata Ramana Ruo"
]
} |
0511_swa | “Uzalishaji kwa wingi wa miwa utasaidia ufufuzi wa Mumias'
WAKULIMA wa miwa kutoka eneo la Mumias wamemtaka Mkurugenzi Mkuu mpya wa Kampuni ya Sukari ya Mumias (MSC), aliyeteuliwa na meneja mrasimu aliyeteuliwa na Benki ya KCB Ponangapalli Venkata Ramana Rao, kuanzisha mpango wa kuimarisha kilimo cha zao hilo.
Wamemshauri Bw Francis Wabuke ambaye alianza kuhudumu katika wadhifa huo mnamo Novemba 28 kuanzisha mchakato huo kabla kufufuliwa kwa kiwanda hicho ili kiweze kupata malighafi ya kutosha kuendesha shughuli zake bila tatizo lolote.
Wakulima hao walipongeza uteuzi wake lakini wakaelezea hofu kwamba huenda asifaulu kufufua kiwanda hicho endapo hatawekeza katika mpango wa "Shida kubwa inayoikumba kampuni ya Sukari ya Mumia si usimamizi mbaya, ukosefu wa mitambo au wafanyakazi bali
ni malighafi. Shughuli za kiwanda haziwezi kufufuliwa ikiwa hakuna miwa ya kutosha kusagwa,” akasema Bw Josephat Waburaka, ambaye ni mkulima kutoka uteuzi eneo la Matawa, Mumias Magharibi. Bw Waburaka alisema kuna ushindani mkubwa kutoka kwa kampuni ndogo za kibinafsi kwa sababu huwa zinawalipa vi uzalishaji wa miwa kwa wingi.
zuri wakulima ambao huwasilisha miwa yao tena baada ya muda mfupi. | Aya2-Nini kinachohitajika kwa kiwanda ili kuendelesha shughuli zake | {
"text": [
"Malighafi"
]
} |
0511_swa | “Uzalishaji kwa wingi wa miwa utasaidia ufufuzi wa Mumias'
WAKULIMA wa miwa kutoka eneo la Mumias wamemtaka Mkurugenzi Mkuu mpya wa Kampuni ya Sukari ya Mumias (MSC), aliyeteuliwa na meneja mrasimu aliyeteuliwa na Benki ya KCB Ponangapalli Venkata Ramana Rao, kuanzisha mpango wa kuimarisha kilimo cha zao hilo.
Wamemshauri Bw Francis Wabuke ambaye alianza kuhudumu katika wadhifa huo mnamo Novemba 28 kuanzisha mchakato huo kabla kufufuliwa kwa kiwanda hicho ili kiweze kupata malighafi ya kutosha kuendesha shughuli zake bila tatizo lolote.
Wakulima hao walipongeza uteuzi wake lakini wakaelezea hofu kwamba huenda asifaulu kufufua kiwanda hicho endapo hatawekeza katika mpango wa "Shida kubwa inayoikumba kampuni ya Sukari ya Mumia si usimamizi mbaya, ukosefu wa mitambo au wafanyakazi bali
ni malighafi. Shughuli za kiwanda haziwezi kufufuliwa ikiwa hakuna miwa ya kutosha kusagwa,” akasema Bw Josephat Waburaka, ambaye ni mkulima kutoka uteuzi eneo la Matawa, Mumias Magharibi. Bw Waburaka alisema kuna ushindani mkubwa kutoka kwa kampuni ndogo za kibinafsi kwa sababu huwa zinawalipa vi uzalishaji wa miwa kwa wingi.
zuri wakulima ambao huwasilisha miwa yao tena baada ya muda mfupi. | Aya3-Mbona wakulima walikuwa na hofu | {
"text": [
"Iwapo Mkurugenzi hatawekeza katika uzalishaji wa miwa kwa wingi"
]
} |
0511_swa | “Uzalishaji kwa wingi wa miwa utasaidia ufufuzi wa Mumias'
WAKULIMA wa miwa kutoka eneo la Mumias wamemtaka Mkurugenzi Mkuu mpya wa Kampuni ya Sukari ya Mumias (MSC), aliyeteuliwa na meneja mrasimu aliyeteuliwa na Benki ya KCB Ponangapalli Venkata Ramana Rao, kuanzisha mpango wa kuimarisha kilimo cha zao hilo.
Wamemshauri Bw Francis Wabuke ambaye alianza kuhudumu katika wadhifa huo mnamo Novemba 28 kuanzisha mchakato huo kabla kufufuliwa kwa kiwanda hicho ili kiweze kupata malighafi ya kutosha kuendesha shughuli zake bila tatizo lolote.
Wakulima hao walipongeza uteuzi wake lakini wakaelezea hofu kwamba huenda asifaulu kufufua kiwanda hicho endapo hatawekeza katika mpango wa "Shida kubwa inayoikumba kampuni ya Sukari ya Mumia si usimamizi mbaya, ukosefu wa mitambo au wafanyakazi bali
ni malighafi. Shughuli za kiwanda haziwezi kufufuliwa ikiwa hakuna miwa ya kutosha kusagwa,” akasema Bw Josephat Waburaka, ambaye ni mkulima kutoka uteuzi eneo la Matawa, Mumias Magharibi. Bw Waburaka alisema kuna ushindani mkubwa kutoka kwa kampuni ndogo za kibinafsi kwa sababu huwa zinawalipa vi uzalishaji wa miwa kwa wingi.
zuri wakulima ambao huwasilisha miwa yao tena baada ya muda mfupi. | Aya4-Taja moja wapo ya watatizo yanayokabili kampuni ya sukari ya mumias | {
"text": [
"Usimamizi mbaya"
]
} |
0511_swa | “Uzalishaji kwa wingi wa miwa utasaidia ufufuzi wa Mumias'
WAKULIMA wa miwa kutoka eneo la Mumias wamemtaka Mkurugenzi Mkuu mpya wa Kampuni ya Sukari ya Mumias (MSC), aliyeteuliwa na meneja mrasimu aliyeteuliwa na Benki ya KCB Ponangapalli Venkata Ramana Rao, kuanzisha mpango wa kuimarisha kilimo cha zao hilo.
Wamemshauri Bw Francis Wabuke ambaye alianza kuhudumu katika wadhifa huo mnamo Novemba 28 kuanzisha mchakato huo kabla kufufuliwa kwa kiwanda hicho ili kiweze kupata malighafi ya kutosha kuendesha shughuli zake bila tatizo lolote.
Wakulima hao walipongeza uteuzi wake lakini wakaelezea hofu kwamba huenda asifaulu kufufua kiwanda hicho endapo hatawekeza katika mpango wa "Shida kubwa inayoikumba kampuni ya Sukari ya Mumia si usimamizi mbaya, ukosefu wa mitambo au wafanyakazi bali
ni malighafi. Shughuli za kiwanda haziwezi kufufuliwa ikiwa hakuna miwa ya kutosha kusagwa,” akasema Bw Josephat Waburaka, ambaye ni mkulima kutoka uteuzi eneo la Matawa, Mumias Magharibi. Bw Waburaka alisema kuna ushindani mkubwa kutoka kwa kampuni ndogo za kibinafsi kwa sababu huwa zinawalipa vi uzalishaji wa miwa kwa wingi.
zuri wakulima ambao huwasilisha miwa yao tena baada ya muda mfupi. | Aya5-Njia ipi kampuni ndogo zinaipa kampuni ya Mumias ushindani | {
"text": [
"Kuwalipa wakulima vizuri na baada ya muda mfupi"
]
} |
0512_swa | Hofu Bondeni mamilioni ya nzige wakivamia mimea
Hali ya wasiwasi imewakumba wakulima katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa, baada ya mamilioni ya nzige kulivamia eneo hilo, huku wakijitayarisha kwa msimu wa upanzi.
Baadhi ya wakulima katika eneo la Moiben, Kaunti ya Uasin Gishu, wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia kuwakabili wadudu hao.
"Wadudu hao walifika katika eneo hili Jumanne jioni kutoka Cherangany, ambapo tuna hofu kwamba wataharibu mazao yetu, ikiwa watataga mayai na kuongeza idadi yao,” akasema Bw Eias Kiptoo, anayekuza mboga na nyanya katika eneo la Meibeki, Moiben.
Kwenye taarifa, serikali ya kaunti hiyo iliwaomba wakazi kuwa waangalifu kwa kuripoti kisa chochote cha uwepo wa nzige hao, ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua.
"Wadudu wengi ni wazima. Wanapendelea kutua katika mashamba yaliyolimwa, ambako mchanga wake si mkavu sana. Hili ni dhihirisho kwamba wamo katika hatua za kutaga mayai, ikasema taarifa hiyo.
Ripoti pia zilieleza kuwa wadudu hao walionekana katika eneo la Cherangany, ambapo baadaye
walielekea katika eneo la Moiben (Uasin Gishu) na baadhi ya maeneo ya kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Bw Sylvester Kemboi, ambaye pia ni mkulima, alisema kuwa nzige hao wanaashiria kwamba wakulima watakuwa na mavuno mengi msimu ujao. Mara ya mwisho nzige kama hao kushuhudiwa ilikuwa mnamo 1952 katika Bonde la Kerio.
"Ingawa kulikuwa na uharibifu mkubwa wa mazao, wazee walitwambia kuwa wadudu hao huwaishara ya mvua kubwa na mavuno mengi. Itatubidi kufanya kafara," akaongeza mkazi huyo.
Waziri wa Kilimo katika kaunti ya Trans Nzoia Bi Mary Nzomo, alisema kwamba kaunti hiyo iko katika hali ya tahadhari kukabili wadudu hao. "Baadhi ya wadudu waliripotiwa kuonekana katika maeneo ya Kipsaina na Surungai, lakini wameelekea katika maeneo mengine. Wadudu
wengine walionekana wakielekea katika Kaunti Ndogo ya Cherangany. Ripoti tulizo nazo zinaonyesha kuwa wamo katika eneo la Moiben,” akasema.
Wakati huo huo, Serikali ya Kitaifa imetoa Sh530 milioni ambazo zitatumika kwenye juhudi za kukabiliana na nzige hao. Hili linajiri huku wakiendelea kuvamia maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu mkubwa.
Katibu katika Idara ya Utafiti wa Kilimo Bw Hamadi Boga alisema kwamba serikali ilitoa fedha hizo kutoka kwa Hazina ya kukabili Hali za Dharura. Fedha hizo ni sehemu ya Sh2.5 bilioni ambazo zimetengwa na serikali kukabili janga hilo nchini.
| Hali ya wasiwasi imewakumba nani | {
"text": [
"wakulima"
]
} |
0512_swa | Hofu Bondeni mamilioni ya nzige wakivamia mimea
Hali ya wasiwasi imewakumba wakulima katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa, baada ya mamilioni ya nzige kulivamia eneo hilo, huku wakijitayarisha kwa msimu wa upanzi.
Baadhi ya wakulima katika eneo la Moiben, Kaunti ya Uasin Gishu, wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia kuwakabili wadudu hao.
"Wadudu hao walifika katika eneo hili Jumanne jioni kutoka Cherangany, ambapo tuna hofu kwamba wataharibu mazao yetu, ikiwa watataga mayai na kuongeza idadi yao,” akasema Bw Eias Kiptoo, anayekuza mboga na nyanya katika eneo la Meibeki, Moiben.
Kwenye taarifa, serikali ya kaunti hiyo iliwaomba wakazi kuwa waangalifu kwa kuripoti kisa chochote cha uwepo wa nzige hao, ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua.
"Wadudu wengi ni wazima. Wanapendelea kutua katika mashamba yaliyolimwa, ambako mchanga wake si mkavu sana. Hili ni dhihirisho kwamba wamo katika hatua za kutaga mayai, ikasema taarifa hiyo.
Ripoti pia zilieleza kuwa wadudu hao walionekana katika eneo la Cherangany, ambapo baadaye
walielekea katika eneo la Moiben (Uasin Gishu) na baadhi ya maeneo ya kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Bw Sylvester Kemboi, ambaye pia ni mkulima, alisema kuwa nzige hao wanaashiria kwamba wakulima watakuwa na mavuno mengi msimu ujao. Mara ya mwisho nzige kama hao kushuhudiwa ilikuwa mnamo 1952 katika Bonde la Kerio.
"Ingawa kulikuwa na uharibifu mkubwa wa mazao, wazee walitwambia kuwa wadudu hao huwaishara ya mvua kubwa na mavuno mengi. Itatubidi kufanya kafara," akaongeza mkazi huyo.
Waziri wa Kilimo katika kaunti ya Trans Nzoia Bi Mary Nzomo, alisema kwamba kaunti hiyo iko katika hali ya tahadhari kukabili wadudu hao. "Baadhi ya wadudu waliripotiwa kuonekana katika maeneo ya Kipsaina na Surungai, lakini wameelekea katika maeneo mengine. Wadudu
wengine walionekana wakielekea katika Kaunti Ndogo ya Cherangany. Ripoti tulizo nazo zinaonyesha kuwa wamo katika eneo la Moiben,” akasema.
Wakati huo huo, Serikali ya Kitaifa imetoa Sh530 milioni ambazo zitatumika kwenye juhudi za kukabiliana na nzige hao. Hili linajiri huku wakiendelea kuvamia maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu mkubwa.
Katibu katika Idara ya Utafiti wa Kilimo Bw Hamadi Boga alisema kwamba serikali ilitoa fedha hizo kutoka kwa Hazina ya kukabili Hali za Dharura. Fedha hizo ni sehemu ya Sh2.5 bilioni ambazo zimetengwa na serikali kukabili janga hilo nchini.
| Wadudu hao walifika katika eneo hilo lini | {
"text": [
"Jumanne jioni"
]
} |
0512_swa | Hofu Bondeni mamilioni ya nzige wakivamia mimea
Hali ya wasiwasi imewakumba wakulima katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa, baada ya mamilioni ya nzige kulivamia eneo hilo, huku wakijitayarisha kwa msimu wa upanzi.
Baadhi ya wakulima katika eneo la Moiben, Kaunti ya Uasin Gishu, wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia kuwakabili wadudu hao.
"Wadudu hao walifika katika eneo hili Jumanne jioni kutoka Cherangany, ambapo tuna hofu kwamba wataharibu mazao yetu, ikiwa watataga mayai na kuongeza idadi yao,” akasema Bw Eias Kiptoo, anayekuza mboga na nyanya katika eneo la Meibeki, Moiben.
Kwenye taarifa, serikali ya kaunti hiyo iliwaomba wakazi kuwa waangalifu kwa kuripoti kisa chochote cha uwepo wa nzige hao, ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua.
"Wadudu wengi ni wazima. Wanapendelea kutua katika mashamba yaliyolimwa, ambako mchanga wake si mkavu sana. Hili ni dhihirisho kwamba wamo katika hatua za kutaga mayai, ikasema taarifa hiyo.
Ripoti pia zilieleza kuwa wadudu hao walionekana katika eneo la Cherangany, ambapo baadaye
walielekea katika eneo la Moiben (Uasin Gishu) na baadhi ya maeneo ya kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Bw Sylvester Kemboi, ambaye pia ni mkulima, alisema kuwa nzige hao wanaashiria kwamba wakulima watakuwa na mavuno mengi msimu ujao. Mara ya mwisho nzige kama hao kushuhudiwa ilikuwa mnamo 1952 katika Bonde la Kerio.
"Ingawa kulikuwa na uharibifu mkubwa wa mazao, wazee walitwambia kuwa wadudu hao huwaishara ya mvua kubwa na mavuno mengi. Itatubidi kufanya kafara," akaongeza mkazi huyo.
Waziri wa Kilimo katika kaunti ya Trans Nzoia Bi Mary Nzomo, alisema kwamba kaunti hiyo iko katika hali ya tahadhari kukabili wadudu hao. "Baadhi ya wadudu waliripotiwa kuonekana katika maeneo ya Kipsaina na Surungai, lakini wameelekea katika maeneo mengine. Wadudu
wengine walionekana wakielekea katika Kaunti Ndogo ya Cherangany. Ripoti tulizo nazo zinaonyesha kuwa wamo katika eneo la Moiben,” akasema.
Wakati huo huo, Serikali ya Kitaifa imetoa Sh530 milioni ambazo zitatumika kwenye juhudi za kukabiliana na nzige hao. Hili linajiri huku wakiendelea kuvamia maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu mkubwa.
Katibu katika Idara ya Utafiti wa Kilimo Bw Hamadi Boga alisema kwamba serikali ilitoa fedha hizo kutoka kwa Hazina ya kukabili Hali za Dharura. Fedha hizo ni sehemu ya Sh2.5 bilioni ambazo zimetengwa na serikali kukabili janga hilo nchini.
| Nani Waziri wa Kilimo katika kaunti ya Transzoia | {
"text": [
"Bi. Mary Nzomo"
]
} |
0512_swa | Hofu Bondeni mamilioni ya nzige wakivamia mimea
Hali ya wasiwasi imewakumba wakulima katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa, baada ya mamilioni ya nzige kulivamia eneo hilo, huku wakijitayarisha kwa msimu wa upanzi.
Baadhi ya wakulima katika eneo la Moiben, Kaunti ya Uasin Gishu, wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia kuwakabili wadudu hao.
"Wadudu hao walifika katika eneo hili Jumanne jioni kutoka Cherangany, ambapo tuna hofu kwamba wataharibu mazao yetu, ikiwa watataga mayai na kuongeza idadi yao,” akasema Bw Eias Kiptoo, anayekuza mboga na nyanya katika eneo la Meibeki, Moiben.
Kwenye taarifa, serikali ya kaunti hiyo iliwaomba wakazi kuwa waangalifu kwa kuripoti kisa chochote cha uwepo wa nzige hao, ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua.
"Wadudu wengi ni wazima. Wanapendelea kutua katika mashamba yaliyolimwa, ambako mchanga wake si mkavu sana. Hili ni dhihirisho kwamba wamo katika hatua za kutaga mayai, ikasema taarifa hiyo.
Ripoti pia zilieleza kuwa wadudu hao walionekana katika eneo la Cherangany, ambapo baadaye
walielekea katika eneo la Moiben (Uasin Gishu) na baadhi ya maeneo ya kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Bw Sylvester Kemboi, ambaye pia ni mkulima, alisema kuwa nzige hao wanaashiria kwamba wakulima watakuwa na mavuno mengi msimu ujao. Mara ya mwisho nzige kama hao kushuhudiwa ilikuwa mnamo 1952 katika Bonde la Kerio.
"Ingawa kulikuwa na uharibifu mkubwa wa mazao, wazee walitwambia kuwa wadudu hao huwaishara ya mvua kubwa na mavuno mengi. Itatubidi kufanya kafara," akaongeza mkazi huyo.
Waziri wa Kilimo katika kaunti ya Trans Nzoia Bi Mary Nzomo, alisema kwamba kaunti hiyo iko katika hali ya tahadhari kukabili wadudu hao. "Baadhi ya wadudu waliripotiwa kuonekana katika maeneo ya Kipsaina na Surungai, lakini wameelekea katika maeneo mengine. Wadudu
wengine walionekana wakielekea katika Kaunti Ndogo ya Cherangany. Ripoti tulizo nazo zinaonyesha kuwa wamo katika eneo la Moiben,” akasema.
Wakati huo huo, Serikali ya Kitaifa imetoa Sh530 milioni ambazo zitatumika kwenye juhudi za kukabiliana na nzige hao. Hili linajiri huku wakiendelea kuvamia maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu mkubwa.
Katibu katika Idara ya Utafiti wa Kilimo Bw Hamadi Boga alisema kwamba serikali ilitoa fedha hizo kutoka kwa Hazina ya kukabili Hali za Dharura. Fedha hizo ni sehemu ya Sh2.5 bilioni ambazo zimetengwa na serikali kukabili janga hilo nchini.
| Serikali ya kitaifa imetoa pesa kukabiliana na nini | {
"text": [
"nzige"
]
} |
0512_swa | Hofu Bondeni mamilioni ya nzige wakivamia mimea
Hali ya wasiwasi imewakumba wakulima katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa, baada ya mamilioni ya nzige kulivamia eneo hilo, huku wakijitayarisha kwa msimu wa upanzi.
Baadhi ya wakulima katika eneo la Moiben, Kaunti ya Uasin Gishu, wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia kuwakabili wadudu hao.
"Wadudu hao walifika katika eneo hili Jumanne jioni kutoka Cherangany, ambapo tuna hofu kwamba wataharibu mazao yetu, ikiwa watataga mayai na kuongeza idadi yao,” akasema Bw Eias Kiptoo, anayekuza mboga na nyanya katika eneo la Meibeki, Moiben.
Kwenye taarifa, serikali ya kaunti hiyo iliwaomba wakazi kuwa waangalifu kwa kuripoti kisa chochote cha uwepo wa nzige hao, ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua.
"Wadudu wengi ni wazima. Wanapendelea kutua katika mashamba yaliyolimwa, ambako mchanga wake si mkavu sana. Hili ni dhihirisho kwamba wamo katika hatua za kutaga mayai, ikasema taarifa hiyo.
Ripoti pia zilieleza kuwa wadudu hao walionekana katika eneo la Cherangany, ambapo baadaye
walielekea katika eneo la Moiben (Uasin Gishu) na baadhi ya maeneo ya kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Bw Sylvester Kemboi, ambaye pia ni mkulima, alisema kuwa nzige hao wanaashiria kwamba wakulima watakuwa na mavuno mengi msimu ujao. Mara ya mwisho nzige kama hao kushuhudiwa ilikuwa mnamo 1952 katika Bonde la Kerio.
"Ingawa kulikuwa na uharibifu mkubwa wa mazao, wazee walitwambia kuwa wadudu hao huwaishara ya mvua kubwa na mavuno mengi. Itatubidi kufanya kafara," akaongeza mkazi huyo.
Waziri wa Kilimo katika kaunti ya Trans Nzoia Bi Mary Nzomo, alisema kwamba kaunti hiyo iko katika hali ya tahadhari kukabili wadudu hao. "Baadhi ya wadudu waliripotiwa kuonekana katika maeneo ya Kipsaina na Surungai, lakini wameelekea katika maeneo mengine. Wadudu
wengine walionekana wakielekea katika Kaunti Ndogo ya Cherangany. Ripoti tulizo nazo zinaonyesha kuwa wamo katika eneo la Moiben,” akasema.
Wakati huo huo, Serikali ya Kitaifa imetoa Sh530 milioni ambazo zitatumika kwenye juhudi za kukabiliana na nzige hao. Hili linajiri huku wakiendelea kuvamia maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu mkubwa.
Katibu katika Idara ya Utafiti wa Kilimo Bw Hamadi Boga alisema kwamba serikali ilitoa fedha hizo kutoka kwa Hazina ya kukabili Hali za Dharura. Fedha hizo ni sehemu ya Sh2.5 bilioni ambazo zimetengwa na serikali kukabili janga hilo nchini.
| Nani ametenga fedha za kukabiliana na janga hili nchini | {
"text": [
"serikali"
]
} |
0520_swa | Pambazuko
Fahamu faida za mkojo wa Sungura katika ukulima
Mkulima, tukiwa katika makala ya mwisho kuhusu ufugaji wa sungura,leo tunaangazia faida za mkojo wa sungura. Kulingana na utafiti wa wataalamu, mkojo wa sungura una faida kubwa katika kilimo.
Mkojo huu unatumiwa katika utayarishaji wa mbolea na kadhalika kupambana na wadudu waharibifu wa mimea ya kilimo.
Ni jambo lililowazi kwa kila mtu hata asiyekuwa mkulima kwamba ukuzaji wa mimea hukabiliwa na matatizo mawili makubwa. Mbolea na madawa ya kupambana na wadudu wanaoharibu mimea mashambani. Wataalamu wanapendekeza kwamba, ili kupunguza gharama za mbolea na madawa ya kukabiliana na wadudu waharibifu, na magonjwa mbali mbali ya mimea, mkojo wa sungura unaweza kusaidia pakubwa kupunguza gharama hizo.
Mkojo wa Sungura una wingi wa Nitrogen. Nitrogen ni kemikali ambayo inapaatikana kwenye anga kwa kiasi cha asilimia 78. Nitrogen inayopatikana katika mkojo wa sungura ni muhimu sana katika utayarishaji wa mbolea ya majani.
Mbali na hayo mkojo huo ni dawa ya kupambana na wadudu wa aina ya nzi ambao hunyonya utomvu wa mimea na kuidhoofisha.
Mkojo huo kadhalika ni sumu kwa wadudu aina tofauti ikiwani pamoja na wadudu wanaokula majani kwa kuyatoboa toboa, na wadudu wengine wanaofyonza maji maji ya mimea wakitafuta lishe.
Wadudu hao wanapovamia mimea kwa wingi huifanya mimea hiyo kupoteza rangi yake thabiti ya kijani na rangi hiyo kififia na kuwa njano. Majani ya mimea hiyo kadhalika huwa madogo na hivyo basi kutatiza na kupunguza uwezo wa mimea wa kuzalisha mazao ya mimea hiyo.
Mbali na nitrogen, mkojo wa sungura una madini ya phosphorous na potassium. Kinyesi cha sungura hutokana na chakula boga boga kingi kikiwa cha rangi ya kijani, hivyo hubadilishwa ndani ya mwili wa mnyama huyo na kufua tia uokaji unaotokea ndani ya tumbo la sungura, hatimaye kinachotoka ni kinyesi chenye faida kwa mimea.
Kuna mengi ya kuzungumzia kuhusu faida ya mkojo wa Sungura,lakini kwanza tuangalie ni mimea ipi inayofaa kunyunyiziwa mkojo wa sungura. Wataalamu wanatuambia kwamba mkojo wa sungura unafaa sana kwa kilimo cha mboga
kama vile kabichi, cucamber, tikiti maji, na mboga za kila aina katika kiwango chochote cha kukua kwa mimea hiyo.
Hata hivyo katika kilimo cha mahindi, unaweza kunyunyizia mahindi yako akiwa bado yanaanza kukua. Je ni zipi taratibu za kutumia mkojo wa sungura kama mbolea? Kulingana na wataalamu kuna taratibu na njia ambazo mkulima anapaswa kuzingatia, ili kutekeleza swala hili la mbolea ya sungura.
Ni lazima kuwe na tahadhari ambazo ni muhimu zizingatiwe katika shughuli hiyo. Kwanza kabisa unapaswa kukusanya mkojo wa sungura kwenye shamba lako au kama wewe si mfugaji wa sungura tafuta kutoka kwa wafugaji ununue.
Sungura aliyekomaa anaweza kutoa mkojo wa kiasi cha mili lita 250 kwa siku, kwa hivyo sungura watano waliokomaa watakupa lita moja ya mkojo kila siku.
Usimwagilie mkojo wa sungura moja kwa moja kwenye mimea baada ya kuukusanya kwa sababu mkojo huo una nguvu za kuchoma mimea yako. Kwa hivyo unatakikana kuchanganya na maji, ili matumizi ya mkojo huo yawe salama kwa mimkea yako.
Mkulima unashauriwa kwamba unapochanganya mkojo wa sungura na maji, uchanganye katika kipimo cha lita moja ya mkojo huo kwa lita tano za maji safi.
Kuna aina tofauti za utekelezaji wa shughuli ya kuweka mbolea kwenye shamba lako, na hilo linaambatana na aina ya mbolea unayotaka kutumia.
Kwa sababu mbolea ya mkojo wa sungura i-maji maji, unapaswa kutumia njia au taratibu sawa na ya kumwagilia maji mimea, au kwa kutumia taratibu ya kunyunyiza mbolea hiyo moja kwa moja kwenye majani ya mimea, ambapo mimea hiyo itasharabu mbolea hiyo kupitia kwenye majani.
Wataalamu wanasema njia rahisi zaidi kati ya hizo mbili, ni ile ya kutumia taratibu za kumwagilia maji mimea, kwani ni rahisi kutekeleza, na haichukui muda mwingi. Mbolea hiyo hujipeleka yenyewe kwenye mizizi ya mimea kila wakati unaponyunyizia maji mimea yako.
Mkojo wa Sungura na faida zake kwa kilimo.
| Mkojo wa nini una faida kubwa katika kilimo | {
"text": [
"Sungura"
]
} |
0520_swa | Pambazuko
Fahamu faida za mkojo wa Sungura katika ukulima
Mkulima, tukiwa katika makala ya mwisho kuhusu ufugaji wa sungura,leo tunaangazia faida za mkojo wa sungura. Kulingana na utafiti wa wataalamu, mkojo wa sungura una faida kubwa katika kilimo.
Mkojo huu unatumiwa katika utayarishaji wa mbolea na kadhalika kupambana na wadudu waharibifu wa mimea ya kilimo.
Ni jambo lililowazi kwa kila mtu hata asiyekuwa mkulima kwamba ukuzaji wa mimea hukabiliwa na matatizo mawili makubwa. Mbolea na madawa ya kupambana na wadudu wanaoharibu mimea mashambani. Wataalamu wanapendekeza kwamba, ili kupunguza gharama za mbolea na madawa ya kukabiliana na wadudu waharibifu, na magonjwa mbali mbali ya mimea, mkojo wa sungura unaweza kusaidia pakubwa kupunguza gharama hizo.
Mkojo wa Sungura una wingi wa Nitrogen. Nitrogen ni kemikali ambayo inapaatikana kwenye anga kwa kiasi cha asilimia 78. Nitrogen inayopatikana katika mkojo wa sungura ni muhimu sana katika utayarishaji wa mbolea ya majani.
Mbali na hayo mkojo huo ni dawa ya kupambana na wadudu wa aina ya nzi ambao hunyonya utomvu wa mimea na kuidhoofisha.
Mkojo huo kadhalika ni sumu kwa wadudu aina tofauti ikiwani pamoja na wadudu wanaokula majani kwa kuyatoboa toboa, na wadudu wengine wanaofyonza maji maji ya mimea wakitafuta lishe.
Wadudu hao wanapovamia mimea kwa wingi huifanya mimea hiyo kupoteza rangi yake thabiti ya kijani na rangi hiyo kififia na kuwa njano. Majani ya mimea hiyo kadhalika huwa madogo na hivyo basi kutatiza na kupunguza uwezo wa mimea wa kuzalisha mazao ya mimea hiyo.
Mbali na nitrogen, mkojo wa sungura una madini ya phosphorous na potassium. Kinyesi cha sungura hutokana na chakula boga boga kingi kikiwa cha rangi ya kijani, hivyo hubadilishwa ndani ya mwili wa mnyama huyo na kufua tia uokaji unaotokea ndani ya tumbo la sungura, hatimaye kinachotoka ni kinyesi chenye faida kwa mimea.
Kuna mengi ya kuzungumzia kuhusu faida ya mkojo wa Sungura,lakini kwanza tuangalie ni mimea ipi inayofaa kunyunyiziwa mkojo wa sungura. Wataalamu wanatuambia kwamba mkojo wa sungura unafaa sana kwa kilimo cha mboga
kama vile kabichi, cucamber, tikiti maji, na mboga za kila aina katika kiwango chochote cha kukua kwa mimea hiyo.
Hata hivyo katika kilimo cha mahindi, unaweza kunyunyizia mahindi yako akiwa bado yanaanza kukua. Je ni zipi taratibu za kutumia mkojo wa sungura kama mbolea? Kulingana na wataalamu kuna taratibu na njia ambazo mkulima anapaswa kuzingatia, ili kutekeleza swala hili la mbolea ya sungura.
Ni lazima kuwe na tahadhari ambazo ni muhimu zizingatiwe katika shughuli hiyo. Kwanza kabisa unapaswa kukusanya mkojo wa sungura kwenye shamba lako au kama wewe si mfugaji wa sungura tafuta kutoka kwa wafugaji ununue.
Sungura aliyekomaa anaweza kutoa mkojo wa kiasi cha mili lita 250 kwa siku, kwa hivyo sungura watano waliokomaa watakupa lita moja ya mkojo kila siku.
Usimwagilie mkojo wa sungura moja kwa moja kwenye mimea baada ya kuukusanya kwa sababu mkojo huo una nguvu za kuchoma mimea yako. Kwa hivyo unatakikana kuchanganya na maji, ili matumizi ya mkojo huo yawe salama kwa mimkea yako.
Mkulima unashauriwa kwamba unapochanganya mkojo wa sungura na maji, uchanganye katika kipimo cha lita moja ya mkojo huo kwa lita tano za maji safi.
Kuna aina tofauti za utekelezaji wa shughuli ya kuweka mbolea kwenye shamba lako, na hilo linaambatana na aina ya mbolea unayotaka kutumia.
Kwa sababu mbolea ya mkojo wa sungura i-maji maji, unapaswa kutumia njia au taratibu sawa na ya kumwagilia maji mimea, au kwa kutumia taratibu ya kunyunyiza mbolea hiyo moja kwa moja kwenye majani ya mimea, ambapo mimea hiyo itasharabu mbolea hiyo kupitia kwenye majani.
Wataalamu wanasema njia rahisi zaidi kati ya hizo mbili, ni ile ya kutumia taratibu za kumwagilia maji mimea, kwani ni rahisi kutekeleza, na haichukui muda mwingi. Mbolea hiyo hujipeleka yenyewe kwenye mizizi ya mimea kila wakati unaponyunyizia maji mimea yako.
Mkojo wa Sungura na faida zake kwa kilimo.
| Mkojo wa sungura una wingi wa nini | {
"text": [
"Nitrogen"
]
} |
0520_swa | Pambazuko
Fahamu faida za mkojo wa Sungura katika ukulima
Mkulima, tukiwa katika makala ya mwisho kuhusu ufugaji wa sungura,leo tunaangazia faida za mkojo wa sungura. Kulingana na utafiti wa wataalamu, mkojo wa sungura una faida kubwa katika kilimo.
Mkojo huu unatumiwa katika utayarishaji wa mbolea na kadhalika kupambana na wadudu waharibifu wa mimea ya kilimo.
Ni jambo lililowazi kwa kila mtu hata asiyekuwa mkulima kwamba ukuzaji wa mimea hukabiliwa na matatizo mawili makubwa. Mbolea na madawa ya kupambana na wadudu wanaoharibu mimea mashambani. Wataalamu wanapendekeza kwamba, ili kupunguza gharama za mbolea na madawa ya kukabiliana na wadudu waharibifu, na magonjwa mbali mbali ya mimea, mkojo wa sungura unaweza kusaidia pakubwa kupunguza gharama hizo.
Mkojo wa Sungura una wingi wa Nitrogen. Nitrogen ni kemikali ambayo inapaatikana kwenye anga kwa kiasi cha asilimia 78. Nitrogen inayopatikana katika mkojo wa sungura ni muhimu sana katika utayarishaji wa mbolea ya majani.
Mbali na hayo mkojo huo ni dawa ya kupambana na wadudu wa aina ya nzi ambao hunyonya utomvu wa mimea na kuidhoofisha.
Mkojo huo kadhalika ni sumu kwa wadudu aina tofauti ikiwani pamoja na wadudu wanaokula majani kwa kuyatoboa toboa, na wadudu wengine wanaofyonza maji maji ya mimea wakitafuta lishe.
Wadudu hao wanapovamia mimea kwa wingi huifanya mimea hiyo kupoteza rangi yake thabiti ya kijani na rangi hiyo kififia na kuwa njano. Majani ya mimea hiyo kadhalika huwa madogo na hivyo basi kutatiza na kupunguza uwezo wa mimea wa kuzalisha mazao ya mimea hiyo.
Mbali na nitrogen, mkojo wa sungura una madini ya phosphorous na potassium. Kinyesi cha sungura hutokana na chakula boga boga kingi kikiwa cha rangi ya kijani, hivyo hubadilishwa ndani ya mwili wa mnyama huyo na kufua tia uokaji unaotokea ndani ya tumbo la sungura, hatimaye kinachotoka ni kinyesi chenye faida kwa mimea.
Kuna mengi ya kuzungumzia kuhusu faida ya mkojo wa Sungura,lakini kwanza tuangalie ni mimea ipi inayofaa kunyunyiziwa mkojo wa sungura. Wataalamu wanatuambia kwamba mkojo wa sungura unafaa sana kwa kilimo cha mboga
kama vile kabichi, cucamber, tikiti maji, na mboga za kila aina katika kiwango chochote cha kukua kwa mimea hiyo.
Hata hivyo katika kilimo cha mahindi, unaweza kunyunyizia mahindi yako akiwa bado yanaanza kukua. Je ni zipi taratibu za kutumia mkojo wa sungura kama mbolea? Kulingana na wataalamu kuna taratibu na njia ambazo mkulima anapaswa kuzingatia, ili kutekeleza swala hili la mbolea ya sungura.
Ni lazima kuwe na tahadhari ambazo ni muhimu zizingatiwe katika shughuli hiyo. Kwanza kabisa unapaswa kukusanya mkojo wa sungura kwenye shamba lako au kama wewe si mfugaji wa sungura tafuta kutoka kwa wafugaji ununue.
Sungura aliyekomaa anaweza kutoa mkojo wa kiasi cha mili lita 250 kwa siku, kwa hivyo sungura watano waliokomaa watakupa lita moja ya mkojo kila siku.
Usimwagilie mkojo wa sungura moja kwa moja kwenye mimea baada ya kuukusanya kwa sababu mkojo huo una nguvu za kuchoma mimea yako. Kwa hivyo unatakikana kuchanganya na maji, ili matumizi ya mkojo huo yawe salama kwa mimkea yako.
Mkulima unashauriwa kwamba unapochanganya mkojo wa sungura na maji, uchanganye katika kipimo cha lita moja ya mkojo huo kwa lita tano za maji safi.
Kuna aina tofauti za utekelezaji wa shughuli ya kuweka mbolea kwenye shamba lako, na hilo linaambatana na aina ya mbolea unayotaka kutumia.
Kwa sababu mbolea ya mkojo wa sungura i-maji maji, unapaswa kutumia njia au taratibu sawa na ya kumwagilia maji mimea, au kwa kutumia taratibu ya kunyunyiza mbolea hiyo moja kwa moja kwenye majani ya mimea, ambapo mimea hiyo itasharabu mbolea hiyo kupitia kwenye majani.
Wataalamu wanasema njia rahisi zaidi kati ya hizo mbili, ni ile ya kutumia taratibu za kumwagilia maji mimea, kwani ni rahisi kutekeleza, na haichukui muda mwingi. Mbolea hiyo hujipeleka yenyewe kwenye mizizi ya mimea kila wakati unaponyunyizia maji mimea yako.
Mkojo wa Sungura na faida zake kwa kilimo.
| Mkojo ni nini kwa wadudu wanaokula majani | {
"text": [
"Sumu"
]
} |
0520_swa | Pambazuko
Fahamu faida za mkojo wa Sungura katika ukulima
Mkulima, tukiwa katika makala ya mwisho kuhusu ufugaji wa sungura,leo tunaangazia faida za mkojo wa sungura. Kulingana na utafiti wa wataalamu, mkojo wa sungura una faida kubwa katika kilimo.
Mkojo huu unatumiwa katika utayarishaji wa mbolea na kadhalika kupambana na wadudu waharibifu wa mimea ya kilimo.
Ni jambo lililowazi kwa kila mtu hata asiyekuwa mkulima kwamba ukuzaji wa mimea hukabiliwa na matatizo mawili makubwa. Mbolea na madawa ya kupambana na wadudu wanaoharibu mimea mashambani. Wataalamu wanapendekeza kwamba, ili kupunguza gharama za mbolea na madawa ya kukabiliana na wadudu waharibifu, na magonjwa mbali mbali ya mimea, mkojo wa sungura unaweza kusaidia pakubwa kupunguza gharama hizo.
Mkojo wa Sungura una wingi wa Nitrogen. Nitrogen ni kemikali ambayo inapaatikana kwenye anga kwa kiasi cha asilimia 78. Nitrogen inayopatikana katika mkojo wa sungura ni muhimu sana katika utayarishaji wa mbolea ya majani.
Mbali na hayo mkojo huo ni dawa ya kupambana na wadudu wa aina ya nzi ambao hunyonya utomvu wa mimea na kuidhoofisha.
Mkojo huo kadhalika ni sumu kwa wadudu aina tofauti ikiwani pamoja na wadudu wanaokula majani kwa kuyatoboa toboa, na wadudu wengine wanaofyonza maji maji ya mimea wakitafuta lishe.
Wadudu hao wanapovamia mimea kwa wingi huifanya mimea hiyo kupoteza rangi yake thabiti ya kijani na rangi hiyo kififia na kuwa njano. Majani ya mimea hiyo kadhalika huwa madogo na hivyo basi kutatiza na kupunguza uwezo wa mimea wa kuzalisha mazao ya mimea hiyo.
Mbali na nitrogen, mkojo wa sungura una madini ya phosphorous na potassium. Kinyesi cha sungura hutokana na chakula boga boga kingi kikiwa cha rangi ya kijani, hivyo hubadilishwa ndani ya mwili wa mnyama huyo na kufua tia uokaji unaotokea ndani ya tumbo la sungura, hatimaye kinachotoka ni kinyesi chenye faida kwa mimea.
Kuna mengi ya kuzungumzia kuhusu faida ya mkojo wa Sungura,lakini kwanza tuangalie ni mimea ipi inayofaa kunyunyiziwa mkojo wa sungura. Wataalamu wanatuambia kwamba mkojo wa sungura unafaa sana kwa kilimo cha mboga
kama vile kabichi, cucamber, tikiti maji, na mboga za kila aina katika kiwango chochote cha kukua kwa mimea hiyo.
Hata hivyo katika kilimo cha mahindi, unaweza kunyunyizia mahindi yako akiwa bado yanaanza kukua. Je ni zipi taratibu za kutumia mkojo wa sungura kama mbolea? Kulingana na wataalamu kuna taratibu na njia ambazo mkulima anapaswa kuzingatia, ili kutekeleza swala hili la mbolea ya sungura.
Ni lazima kuwe na tahadhari ambazo ni muhimu zizingatiwe katika shughuli hiyo. Kwanza kabisa unapaswa kukusanya mkojo wa sungura kwenye shamba lako au kama wewe si mfugaji wa sungura tafuta kutoka kwa wafugaji ununue.
Sungura aliyekomaa anaweza kutoa mkojo wa kiasi cha mili lita 250 kwa siku, kwa hivyo sungura watano waliokomaa watakupa lita moja ya mkojo kila siku.
Usimwagilie mkojo wa sungura moja kwa moja kwenye mimea baada ya kuukusanya kwa sababu mkojo huo una nguvu za kuchoma mimea yako. Kwa hivyo unatakikana kuchanganya na maji, ili matumizi ya mkojo huo yawe salama kwa mimkea yako.
Mkulima unashauriwa kwamba unapochanganya mkojo wa sungura na maji, uchanganye katika kipimo cha lita moja ya mkojo huo kwa lita tano za maji safi.
Kuna aina tofauti za utekelezaji wa shughuli ya kuweka mbolea kwenye shamba lako, na hilo linaambatana na aina ya mbolea unayotaka kutumia.
Kwa sababu mbolea ya mkojo wa sungura i-maji maji, unapaswa kutumia njia au taratibu sawa na ya kumwagilia maji mimea, au kwa kutumia taratibu ya kunyunyiza mbolea hiyo moja kwa moja kwenye majani ya mimea, ambapo mimea hiyo itasharabu mbolea hiyo kupitia kwenye majani.
Wataalamu wanasema njia rahisi zaidi kati ya hizo mbili, ni ile ya kutumia taratibu za kumwagilia maji mimea, kwani ni rahisi kutekeleza, na haichukui muda mwingi. Mbolea hiyo hujipeleka yenyewe kwenye mizizi ya mimea kila wakati unaponyunyizia maji mimea yako.
Mkojo wa Sungura na faida zake kwa kilimo.
| Kinyesi cha sungura hutokana na chakula kipi | {
"text": [
"Mboga"
]
} |
0520_swa | Pambazuko
Fahamu faida za mkojo wa Sungura katika ukulima
Mkulima, tukiwa katika makala ya mwisho kuhusu ufugaji wa sungura,leo tunaangazia faida za mkojo wa sungura. Kulingana na utafiti wa wataalamu, mkojo wa sungura una faida kubwa katika kilimo.
Mkojo huu unatumiwa katika utayarishaji wa mbolea na kadhalika kupambana na wadudu waharibifu wa mimea ya kilimo.
Ni jambo lililowazi kwa kila mtu hata asiyekuwa mkulima kwamba ukuzaji wa mimea hukabiliwa na matatizo mawili makubwa. Mbolea na madawa ya kupambana na wadudu wanaoharibu mimea mashambani. Wataalamu wanapendekeza kwamba, ili kupunguza gharama za mbolea na madawa ya kukabiliana na wadudu waharibifu, na magonjwa mbali mbali ya mimea, mkojo wa sungura unaweza kusaidia pakubwa kupunguza gharama hizo.
Mkojo wa Sungura una wingi wa Nitrogen. Nitrogen ni kemikali ambayo inapaatikana kwenye anga kwa kiasi cha asilimia 78. Nitrogen inayopatikana katika mkojo wa sungura ni muhimu sana katika utayarishaji wa mbolea ya majani.
Mbali na hayo mkojo huo ni dawa ya kupambana na wadudu wa aina ya nzi ambao hunyonya utomvu wa mimea na kuidhoofisha.
Mkojo huo kadhalika ni sumu kwa wadudu aina tofauti ikiwani pamoja na wadudu wanaokula majani kwa kuyatoboa toboa, na wadudu wengine wanaofyonza maji maji ya mimea wakitafuta lishe.
Wadudu hao wanapovamia mimea kwa wingi huifanya mimea hiyo kupoteza rangi yake thabiti ya kijani na rangi hiyo kififia na kuwa njano. Majani ya mimea hiyo kadhalika huwa madogo na hivyo basi kutatiza na kupunguza uwezo wa mimea wa kuzalisha mazao ya mimea hiyo.
Mbali na nitrogen, mkojo wa sungura una madini ya phosphorous na potassium. Kinyesi cha sungura hutokana na chakula boga boga kingi kikiwa cha rangi ya kijani, hivyo hubadilishwa ndani ya mwili wa mnyama huyo na kufua tia uokaji unaotokea ndani ya tumbo la sungura, hatimaye kinachotoka ni kinyesi chenye faida kwa mimea.
Kuna mengi ya kuzungumzia kuhusu faida ya mkojo wa Sungura,lakini kwanza tuangalie ni mimea ipi inayofaa kunyunyiziwa mkojo wa sungura. Wataalamu wanatuambia kwamba mkojo wa sungura unafaa sana kwa kilimo cha mboga
kama vile kabichi, cucamber, tikiti maji, na mboga za kila aina katika kiwango chochote cha kukua kwa mimea hiyo.
Hata hivyo katika kilimo cha mahindi, unaweza kunyunyizia mahindi yako akiwa bado yanaanza kukua. Je ni zipi taratibu za kutumia mkojo wa sungura kama mbolea? Kulingana na wataalamu kuna taratibu na njia ambazo mkulima anapaswa kuzingatia, ili kutekeleza swala hili la mbolea ya sungura.
Ni lazima kuwe na tahadhari ambazo ni muhimu zizingatiwe katika shughuli hiyo. Kwanza kabisa unapaswa kukusanya mkojo wa sungura kwenye shamba lako au kama wewe si mfugaji wa sungura tafuta kutoka kwa wafugaji ununue.
Sungura aliyekomaa anaweza kutoa mkojo wa kiasi cha mili lita 250 kwa siku, kwa hivyo sungura watano waliokomaa watakupa lita moja ya mkojo kila siku.
Usimwagilie mkojo wa sungura moja kwa moja kwenye mimea baada ya kuukusanya kwa sababu mkojo huo una nguvu za kuchoma mimea yako. Kwa hivyo unatakikana kuchanganya na maji, ili matumizi ya mkojo huo yawe salama kwa mimkea yako.
Mkulima unashauriwa kwamba unapochanganya mkojo wa sungura na maji, uchanganye katika kipimo cha lita moja ya mkojo huo kwa lita tano za maji safi.
Kuna aina tofauti za utekelezaji wa shughuli ya kuweka mbolea kwenye shamba lako, na hilo linaambatana na aina ya mbolea unayotaka kutumia.
Kwa sababu mbolea ya mkojo wa sungura i-maji maji, unapaswa kutumia njia au taratibu sawa na ya kumwagilia maji mimea, au kwa kutumia taratibu ya kunyunyiza mbolea hiyo moja kwa moja kwenye majani ya mimea, ambapo mimea hiyo itasharabu mbolea hiyo kupitia kwenye majani.
Wataalamu wanasema njia rahisi zaidi kati ya hizo mbili, ni ile ya kutumia taratibu za kumwagilia maji mimea, kwani ni rahisi kutekeleza, na haichukui muda mwingi. Mbolea hiyo hujipeleka yenyewe kwenye mizizi ya mimea kila wakati unaponyunyizia maji mimea yako.
Mkojo wa Sungura na faida zake kwa kilimo.
| Sungura aliyekomaa hutoa mkojo kiasi cha mililita ngapi | {
"text": [
"250"
]
} |
0523_swa |
(g) Licha ya elimu duni, taja mambo mengine mawili yanayokwamiza jitihada za kuondoa
(alama 2) umaskini. .. . ufisadi.... ........................ wa Gerana....yong pal...
(alama 2) (h) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kama vilivyotumiwa katika taarifa.
(1). Uchecheu wa fedha.
...ukosefu wa fedha (ii) Mfuko wa bei
bei...ghal...
(ALAMA 15)
2. UFUPISHO.
Imesemwa na kurudiwa tena na tena kwamba, iwapo tuna maono ya kujiondoa katika umaskini wa Kupindukia, ni lazima tukipe kilimo umuhimu. Zaidi ya wakenya milioni kumi wamo katika hatari ya kufa katika maeneo mbali mbali kwa sasa kufuatia uhaba wa chakula nchini.
Kiini kikubwa cha njaa hiyo ni mapuuza ya muda mrefu katika sekta ya kilimo. Imesahaulika kuwa karibu asilimia sabini na tano ya wakenya wanategemea kilimo kwa ckakula na mapato ya kifedha kila siku. Kilimo hutoa karibu robo tatu ya nafasi za kazi kwa wananchi na pia kuletea serikali karibu robo ya mapato yake kutokana na mauzo ya mazao katika mataifa ya nje.
Wataalamu wa maswala ya zaraa wanaeleza kuwa pato la nchi linatokana na kilimo huangamiza njaa mara nne zaidi ya mapato yanayotokana na shughuli nyinginezo za kiuchumi. Hiyo ni kwa sababu shughuli za kilimo hulenga kuzalisha vyakula moja kwa moja.
Imebainika kuwa, katika mataifa mengi yanayostawi, asilimia sabini na tano ya wananchi huishi katika maeneo ya mashambani na idadi hii hutegemea kilimo kujimudu kimaisha ilhali hapa Kenya ni asilimia nne pekee ya bajeti inayowekezwa katika kilimo. Kwa wakati huo, ushuru unaotozwa bidhaa za kilimo katika maeneo haya umebainika kuwa mkubwa. Hii imepelekea uwekezaji katika kilimo kupungua na hivyo kuchangia kukithiri kwa baa la njaa.
Wakati umewadia kwa serikali za Afrika na wapangaji wa masuala ya uchumi kuweka juhudi maradufu katika kushabikia ili kumaliza njaa na umaskini. Kuna haja ya kuwajulisha, kuwahimiza na kuwaelimisha wakulima wa mashamba madogo madogo kuhusu mihimili ya zaharaa kama uile uzalishaji wa matunda na mboga, ufugaji wa ndege, samaki na ng'ombe mbali na kuweka mikakati ya kuanzisha nafasi za kazi katika sekta ya kilimo.
Serikali itafikia lengo hili iwapo itaanza kufadhili kilimo, kupunguza gharama za pembejeo za kilimo, kuweka sera zinazodhibiti uuzaji na ununuzi wa vyakula (hasa baina ya mataifa na kuongeza sehemu ya bajeti inayotengewa kilimo. Bila hilo hatutakuwa na lingine bali kukimbilia mataifa yalistawi kuomba misaada ili kuwanusuru raia wetu kutokana na ghadhabu-na njaa
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo.
(maneno 50-55) Matayarisho
(alama 6, 1 ya mtitiriko) Maneno 67)...
Imesemwa na kurudiwa kwamba, iwapo tunamaana kujiondoa katika umaskini wa kupindukia ni lazima tukipe kilimo umuhimu ni mapuuza ua muda mrefu katika sekta ya kilimo kwa aslimia sabani na. | Ni lazima kilimo kipewe nini | {
"text": [
"umuhimu"
]
} |
0523_swa |
(g) Licha ya elimu duni, taja mambo mengine mawili yanayokwamiza jitihada za kuondoa
(alama 2) umaskini. .. . ufisadi.... ........................ wa Gerana....yong pal...
(alama 2) (h) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kama vilivyotumiwa katika taarifa.
(1). Uchecheu wa fedha.
...ukosefu wa fedha (ii) Mfuko wa bei
bei...ghal...
(ALAMA 15)
2. UFUPISHO.
Imesemwa na kurudiwa tena na tena kwamba, iwapo tuna maono ya kujiondoa katika umaskini wa Kupindukia, ni lazima tukipe kilimo umuhimu. Zaidi ya wakenya milioni kumi wamo katika hatari ya kufa katika maeneo mbali mbali kwa sasa kufuatia uhaba wa chakula nchini.
Kiini kikubwa cha njaa hiyo ni mapuuza ya muda mrefu katika sekta ya kilimo. Imesahaulika kuwa karibu asilimia sabini na tano ya wakenya wanategemea kilimo kwa ckakula na mapato ya kifedha kila siku. Kilimo hutoa karibu robo tatu ya nafasi za kazi kwa wananchi na pia kuletea serikali karibu robo ya mapato yake kutokana na mauzo ya mazao katika mataifa ya nje.
Wataalamu wa maswala ya zaraa wanaeleza kuwa pato la nchi linatokana na kilimo huangamiza njaa mara nne zaidi ya mapato yanayotokana na shughuli nyinginezo za kiuchumi. Hiyo ni kwa sababu shughuli za kilimo hulenga kuzalisha vyakula moja kwa moja.
Imebainika kuwa, katika mataifa mengi yanayostawi, asilimia sabini na tano ya wananchi huishi katika maeneo ya mashambani na idadi hii hutegemea kilimo kujimudu kimaisha ilhali hapa Kenya ni asilimia nne pekee ya bajeti inayowekezwa katika kilimo. Kwa wakati huo, ushuru unaotozwa bidhaa za kilimo katika maeneo haya umebainika kuwa mkubwa. Hii imepelekea uwekezaji katika kilimo kupungua na hivyo kuchangia kukithiri kwa baa la njaa.
Wakati umewadia kwa serikali za Afrika na wapangaji wa masuala ya uchumi kuweka juhudi maradufu katika kushabikia ili kumaliza njaa na umaskini. Kuna haja ya kuwajulisha, kuwahimiza na kuwaelimisha wakulima wa mashamba madogo madogo kuhusu mihimili ya zaharaa kama uile uzalishaji wa matunda na mboga, ufugaji wa ndege, samaki na ng'ombe mbali na kuweka mikakati ya kuanzisha nafasi za kazi katika sekta ya kilimo.
Serikali itafikia lengo hili iwapo itaanza kufadhili kilimo, kupunguza gharama za pembejeo za kilimo, kuweka sera zinazodhibiti uuzaji na ununuzi wa vyakula (hasa baina ya mataifa na kuongeza sehemu ya bajeti inayotengewa kilimo. Bila hilo hatutakuwa na lingine bali kukimbilia mataifa yalistawi kuomba misaada ili kuwanusuru raia wetu kutokana na ghadhabu-na njaa
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo.
(maneno 50-55) Matayarisho
(alama 6, 1 ya mtitiriko) Maneno 67)...
Imesemwa na kurudiwa kwamba, iwapo tunamaana kujiondoa katika umaskini wa kupindukia ni lazima tukipe kilimo umuhimu ni mapuuza ua muda mrefu katika sekta ya kilimo kwa aslimia sabani na. | Nini kimechangia wawekezaji katika kilimo kupungua | {
"text": [
"ushuru mkubwa unaotozwa"
]
} |
0523_swa |
(g) Licha ya elimu duni, taja mambo mengine mawili yanayokwamiza jitihada za kuondoa
(alama 2) umaskini. .. . ufisadi.... ........................ wa Gerana....yong pal...
(alama 2) (h) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kama vilivyotumiwa katika taarifa.
(1). Uchecheu wa fedha.
...ukosefu wa fedha (ii) Mfuko wa bei
bei...ghal...
(ALAMA 15)
2. UFUPISHO.
Imesemwa na kurudiwa tena na tena kwamba, iwapo tuna maono ya kujiondoa katika umaskini wa Kupindukia, ni lazima tukipe kilimo umuhimu. Zaidi ya wakenya milioni kumi wamo katika hatari ya kufa katika maeneo mbali mbali kwa sasa kufuatia uhaba wa chakula nchini.
Kiini kikubwa cha njaa hiyo ni mapuuza ya muda mrefu katika sekta ya kilimo. Imesahaulika kuwa karibu asilimia sabini na tano ya wakenya wanategemea kilimo kwa ckakula na mapato ya kifedha kila siku. Kilimo hutoa karibu robo tatu ya nafasi za kazi kwa wananchi na pia kuletea serikali karibu robo ya mapato yake kutokana na mauzo ya mazao katika mataifa ya nje.
Wataalamu wa maswala ya zaraa wanaeleza kuwa pato la nchi linatokana na kilimo huangamiza njaa mara nne zaidi ya mapato yanayotokana na shughuli nyinginezo za kiuchumi. Hiyo ni kwa sababu shughuli za kilimo hulenga kuzalisha vyakula moja kwa moja.
Imebainika kuwa, katika mataifa mengi yanayostawi, asilimia sabini na tano ya wananchi huishi katika maeneo ya mashambani na idadi hii hutegemea kilimo kujimudu kimaisha ilhali hapa Kenya ni asilimia nne pekee ya bajeti inayowekezwa katika kilimo. Kwa wakati huo, ushuru unaotozwa bidhaa za kilimo katika maeneo haya umebainika kuwa mkubwa. Hii imepelekea uwekezaji katika kilimo kupungua na hivyo kuchangia kukithiri kwa baa la njaa.
Wakati umewadia kwa serikali za Afrika na wapangaji wa masuala ya uchumi kuweka juhudi maradufu katika kushabikia ili kumaliza njaa na umaskini. Kuna haja ya kuwajulisha, kuwahimiza na kuwaelimisha wakulima wa mashamba madogo madogo kuhusu mihimili ya zaharaa kama uile uzalishaji wa matunda na mboga, ufugaji wa ndege, samaki na ng'ombe mbali na kuweka mikakati ya kuanzisha nafasi za kazi katika sekta ya kilimo.
Serikali itafikia lengo hili iwapo itaanza kufadhili kilimo, kupunguza gharama za pembejeo za kilimo, kuweka sera zinazodhibiti uuzaji na ununuzi wa vyakula (hasa baina ya mataifa na kuongeza sehemu ya bajeti inayotengewa kilimo. Bila hilo hatutakuwa na lingine bali kukimbilia mataifa yalistawi kuomba misaada ili kuwanusuru raia wetu kutokana na ghadhabu-na njaa
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo.
(maneno 50-55) Matayarisho
(alama 6, 1 ya mtitiriko) Maneno 67)...
Imesemwa na kurudiwa kwamba, iwapo tunamaana kujiondoa katika umaskini wa kupindukia ni lazima tukipe kilimo umuhimu ni mapuuza ua muda mrefu katika sekta ya kilimo kwa aslimia sabani na. | Kujiondoa katika umaskini wa kupindukia lazima tufanye nini | {
"text": [
"tukipe kilimo umuhimu"
]
} |
0523_swa |
(g) Licha ya elimu duni, taja mambo mengine mawili yanayokwamiza jitihada za kuondoa
(alama 2) umaskini. .. . ufisadi.... ........................ wa Gerana....yong pal...
(alama 2) (h) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kama vilivyotumiwa katika taarifa.
(1). Uchecheu wa fedha.
...ukosefu wa fedha (ii) Mfuko wa bei
bei...ghal...
(ALAMA 15)
2. UFUPISHO.
Imesemwa na kurudiwa tena na tena kwamba, iwapo tuna maono ya kujiondoa katika umaskini wa Kupindukia, ni lazima tukipe kilimo umuhimu. Zaidi ya wakenya milioni kumi wamo katika hatari ya kufa katika maeneo mbali mbali kwa sasa kufuatia uhaba wa chakula nchini.
Kiini kikubwa cha njaa hiyo ni mapuuza ya muda mrefu katika sekta ya kilimo. Imesahaulika kuwa karibu asilimia sabini na tano ya wakenya wanategemea kilimo kwa ckakula na mapato ya kifedha kila siku. Kilimo hutoa karibu robo tatu ya nafasi za kazi kwa wananchi na pia kuletea serikali karibu robo ya mapato yake kutokana na mauzo ya mazao katika mataifa ya nje.
Wataalamu wa maswala ya zaraa wanaeleza kuwa pato la nchi linatokana na kilimo huangamiza njaa mara nne zaidi ya mapato yanayotokana na shughuli nyinginezo za kiuchumi. Hiyo ni kwa sababu shughuli za kilimo hulenga kuzalisha vyakula moja kwa moja.
Imebainika kuwa, katika mataifa mengi yanayostawi, asilimia sabini na tano ya wananchi huishi katika maeneo ya mashambani na idadi hii hutegemea kilimo kujimudu kimaisha ilhali hapa Kenya ni asilimia nne pekee ya bajeti inayowekezwa katika kilimo. Kwa wakati huo, ushuru unaotozwa bidhaa za kilimo katika maeneo haya umebainika kuwa mkubwa. Hii imepelekea uwekezaji katika kilimo kupungua na hivyo kuchangia kukithiri kwa baa la njaa.
Wakati umewadia kwa serikali za Afrika na wapangaji wa masuala ya uchumi kuweka juhudi maradufu katika kushabikia ili kumaliza njaa na umaskini. Kuna haja ya kuwajulisha, kuwahimiza na kuwaelimisha wakulima wa mashamba madogo madogo kuhusu mihimili ya zaharaa kama uile uzalishaji wa matunda na mboga, ufugaji wa ndege, samaki na ng'ombe mbali na kuweka mikakati ya kuanzisha nafasi za kazi katika sekta ya kilimo.
Serikali itafikia lengo hili iwapo itaanza kufadhili kilimo, kupunguza gharama za pembejeo za kilimo, kuweka sera zinazodhibiti uuzaji na ununuzi wa vyakula (hasa baina ya mataifa na kuongeza sehemu ya bajeti inayotengewa kilimo. Bila hilo hatutakuwa na lingine bali kukimbilia mataifa yalistawi kuomba misaada ili kuwanusuru raia wetu kutokana na ghadhabu-na njaa
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo.
(maneno 50-55) Matayarisho
(alama 6, 1 ya mtitiriko) Maneno 67)...
Imesemwa na kurudiwa kwamba, iwapo tunamaana kujiondoa katika umaskini wa kupindukia ni lazima tukipe kilimo umuhimu ni mapuuza ua muda mrefu katika sekta ya kilimo kwa aslimia sabani na. | Serikali itafikia lengo la kumaliza njaa na umaskini lini | {
"text": [
"itakapoanza kufadhili kilimo"
]
} |
0523_swa |
(g) Licha ya elimu duni, taja mambo mengine mawili yanayokwamiza jitihada za kuondoa
(alama 2) umaskini. .. . ufisadi.... ........................ wa Gerana....yong pal...
(alama 2) (h) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kama vilivyotumiwa katika taarifa.
(1). Uchecheu wa fedha.
...ukosefu wa fedha (ii) Mfuko wa bei
bei...ghal...
(ALAMA 15)
2. UFUPISHO.
Imesemwa na kurudiwa tena na tena kwamba, iwapo tuna maono ya kujiondoa katika umaskini wa Kupindukia, ni lazima tukipe kilimo umuhimu. Zaidi ya wakenya milioni kumi wamo katika hatari ya kufa katika maeneo mbali mbali kwa sasa kufuatia uhaba wa chakula nchini.
Kiini kikubwa cha njaa hiyo ni mapuuza ya muda mrefu katika sekta ya kilimo. Imesahaulika kuwa karibu asilimia sabini na tano ya wakenya wanategemea kilimo kwa ckakula na mapato ya kifedha kila siku. Kilimo hutoa karibu robo tatu ya nafasi za kazi kwa wananchi na pia kuletea serikali karibu robo ya mapato yake kutokana na mauzo ya mazao katika mataifa ya nje.
Wataalamu wa maswala ya zaraa wanaeleza kuwa pato la nchi linatokana na kilimo huangamiza njaa mara nne zaidi ya mapato yanayotokana na shughuli nyinginezo za kiuchumi. Hiyo ni kwa sababu shughuli za kilimo hulenga kuzalisha vyakula moja kwa moja.
Imebainika kuwa, katika mataifa mengi yanayostawi, asilimia sabini na tano ya wananchi huishi katika maeneo ya mashambani na idadi hii hutegemea kilimo kujimudu kimaisha ilhali hapa Kenya ni asilimia nne pekee ya bajeti inayowekezwa katika kilimo. Kwa wakati huo, ushuru unaotozwa bidhaa za kilimo katika maeneo haya umebainika kuwa mkubwa. Hii imepelekea uwekezaji katika kilimo kupungua na hivyo kuchangia kukithiri kwa baa la njaa.
Wakati umewadia kwa serikali za Afrika na wapangaji wa masuala ya uchumi kuweka juhudi maradufu katika kushabikia ili kumaliza njaa na umaskini. Kuna haja ya kuwajulisha, kuwahimiza na kuwaelimisha wakulima wa mashamba madogo madogo kuhusu mihimili ya zaharaa kama uile uzalishaji wa matunda na mboga, ufugaji wa ndege, samaki na ng'ombe mbali na kuweka mikakati ya kuanzisha nafasi za kazi katika sekta ya kilimo.
Serikali itafikia lengo hili iwapo itaanza kufadhili kilimo, kupunguza gharama za pembejeo za kilimo, kuweka sera zinazodhibiti uuzaji na ununuzi wa vyakula (hasa baina ya mataifa na kuongeza sehemu ya bajeti inayotengewa kilimo. Bila hilo hatutakuwa na lingine bali kukimbilia mataifa yalistawi kuomba misaada ili kuwanusuru raia wetu kutokana na ghadhabu-na njaa
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo.
(maneno 50-55) Matayarisho
(alama 6, 1 ya mtitiriko) Maneno 67)...
Imesemwa na kurudiwa kwamba, iwapo tunamaana kujiondoa katika umaskini wa kupindukia ni lazima tukipe kilimo umuhimu ni mapuuza ua muda mrefu katika sekta ya kilimo kwa aslimia sabani na. | Kwa nini wawekezaji katika kilimo wamepungua | {
"text": [
"ushuru unaotozwa bidhaa maeneo hayo umebainika kuwa mkubwa"
]
} |
0543_swa | Majonzi maskitiko na vilio jana vilitanda kwa siku ya pili wakati familia kadhaa zilipokuwa zikisubiri wapendwa wao waokolewe kwenye vifusi vya jengo lliloporomoka katika mtaa wa tassia. Nairobi Ijumaa iliyopita.
Ukiwa huo unanaendelea huku Naibu kamishina wa kaunti ndogo ya embakasi James Wanyoike akisema kwamba shughuli za ukosefu huenda zikakamilika kesho.
Idadi ya watu walioaga dunia katika tukio hilo pia ilipanda hadi watu saba huku familia nyingi zikisimulia wasiwasi wao kuhusu kutoweka kwa wapendwa wao.
Bado ninasubiri watoto wangu waokolewe na ninaomba wapatikane wakiwa hai. Ninawapenda sana. Akasema Bi Venny Gachemba, mama wa watoto wawili.
Akilengwa na machozi, Bi Gachemba anakumbuka kwa masikitiko namna wanawe Frank Kerosi 11 n Ezra kerosi 6 walivyoondoka nyumbani na pwa wao Eugene Momanyi lakini hawakuonekana tena.
Waliondoka asubuhi wakiniambia wanaenda kumtembelea shangazi na wangerejea kupata staftahi lakini hawakuonekana tena. Niliendelea kulala lakini nikaamshwa na kelele kutoka nje. Akasimulia.
Aliendelea kusimulia kwamba aliamka na kuelekea kwa dadaye karibu na jengo lililoporomoka kuangalia kama watoto wake walikuwa salama.
Nilielekea moja kwa moja kwa nyumba ya dadangu ambako watoto hao walikuwa wakienda lakini sikuwapata . Alinieleza hawakuwa wameenda kwake.Akaongeza.
Alipigwa na butwaa baada ya kuwatafuta hadi saa tano mchana siku hiyo alipoelezwa na wavuana waliokuwa na watoto wake kwamba walikuwa wamekwama ndani ya vifusi hivyo. Wavulana hao walikuwa wameokolewa kutoka kwa jengo.
Kulingana na Bw. Wanyoike watu 35 wameokolewa kutoka kwenye jengo hilo huku miili miwili ikiondolewa na wengine wawili wakiaga dunia hospitalini.
Mnamo Jumamosi mwanaume mmoja na mwingine wa kike waliokolewa na kupelekwa katika hospitali ya kenyatta wanakoendelea kupata matibabu.
| Jengo liliporomoka katika mtaa upi | {
"text": [
"Tassia Nairobi"
]
} |
0543_swa | Majonzi maskitiko na vilio jana vilitanda kwa siku ya pili wakati familia kadhaa zilipokuwa zikisubiri wapendwa wao waokolewe kwenye vifusi vya jengo lliloporomoka katika mtaa wa tassia. Nairobi Ijumaa iliyopita.
Ukiwa huo unanaendelea huku Naibu kamishina wa kaunti ndogo ya embakasi James Wanyoike akisema kwamba shughuli za ukosefu huenda zikakamilika kesho.
Idadi ya watu walioaga dunia katika tukio hilo pia ilipanda hadi watu saba huku familia nyingi zikisimulia wasiwasi wao kuhusu kutoweka kwa wapendwa wao.
Bado ninasubiri watoto wangu waokolewe na ninaomba wapatikane wakiwa hai. Ninawapenda sana. Akasema Bi Venny Gachemba, mama wa watoto wawili.
Akilengwa na machozi, Bi Gachemba anakumbuka kwa masikitiko namna wanawe Frank Kerosi 11 n Ezra kerosi 6 walivyoondoka nyumbani na pwa wao Eugene Momanyi lakini hawakuonekana tena.
Waliondoka asubuhi wakiniambia wanaenda kumtembelea shangazi na wangerejea kupata staftahi lakini hawakuonekana tena. Niliendelea kulala lakini nikaamshwa na kelele kutoka nje. Akasimulia.
Aliendelea kusimulia kwamba aliamka na kuelekea kwa dadaye karibu na jengo lililoporomoka kuangalia kama watoto wake walikuwa salama.
Nilielekea moja kwa moja kwa nyumba ya dadangu ambako watoto hao walikuwa wakienda lakini sikuwapata . Alinieleza hawakuwa wameenda kwake.Akaongeza.
Alipigwa na butwaa baada ya kuwatafuta hadi saa tano mchana siku hiyo alipoelezwa na wavuana waliokuwa na watoto wake kwamba walikuwa wamekwama ndani ya vifusi hivyo. Wavulana hao walikuwa wameokolewa kutoka kwa jengo.
Kulingana na Bw. Wanyoike watu 35 wameokolewa kutoka kwenye jengo hilo huku miili miwili ikiondolewa na wengine wawili wakiaga dunia hospitalini.
Mnamo Jumamosi mwanaume mmoja na mwingine wa kike waliokolewa na kupelekwa katika hospitali ya kenyatta wanakoendelea kupata matibabu.
| Watu wangapi waliokolewa kutoka kwenye jengo lililoporomoka kulingana na Wanyoike | {
"text": [
"Watu thelathini na watano"
]
} |
0543_swa | Majonzi maskitiko na vilio jana vilitanda kwa siku ya pili wakati familia kadhaa zilipokuwa zikisubiri wapendwa wao waokolewe kwenye vifusi vya jengo lliloporomoka katika mtaa wa tassia. Nairobi Ijumaa iliyopita.
Ukiwa huo unanaendelea huku Naibu kamishina wa kaunti ndogo ya embakasi James Wanyoike akisema kwamba shughuli za ukosefu huenda zikakamilika kesho.
Idadi ya watu walioaga dunia katika tukio hilo pia ilipanda hadi watu saba huku familia nyingi zikisimulia wasiwasi wao kuhusu kutoweka kwa wapendwa wao.
Bado ninasubiri watoto wangu waokolewe na ninaomba wapatikane wakiwa hai. Ninawapenda sana. Akasema Bi Venny Gachemba, mama wa watoto wawili.
Akilengwa na machozi, Bi Gachemba anakumbuka kwa masikitiko namna wanawe Frank Kerosi 11 n Ezra kerosi 6 walivyoondoka nyumbani na pwa wao Eugene Momanyi lakini hawakuonekana tena.
Waliondoka asubuhi wakiniambia wanaenda kumtembelea shangazi na wangerejea kupata staftahi lakini hawakuonekana tena. Niliendelea kulala lakini nikaamshwa na kelele kutoka nje. Akasimulia.
Aliendelea kusimulia kwamba aliamka na kuelekea kwa dadaye karibu na jengo lililoporomoka kuangalia kama watoto wake walikuwa salama.
Nilielekea moja kwa moja kwa nyumba ya dadangu ambako watoto hao walikuwa wakienda lakini sikuwapata . Alinieleza hawakuwa wameenda kwake.Akaongeza.
Alipigwa na butwaa baada ya kuwatafuta hadi saa tano mchana siku hiyo alipoelezwa na wavuana waliokuwa na watoto wake kwamba walikuwa wamekwama ndani ya vifusi hivyo. Wavulana hao walikuwa wameokolewa kutoka kwa jengo.
Kulingana na Bw. Wanyoike watu 35 wameokolewa kutoka kwenye jengo hilo huku miili miwili ikiondolewa na wengine wawili wakiaga dunia hospitalini.
Mnamo Jumamosi mwanaume mmoja na mwingine wa kike waliokolewa na kupelekwa katika hospitali ya kenyatta wanakoendelea kupata matibabu.
| Watu wangapi waliaga kutokana na jengo kuporomoka | {
"text": [
"Saba"
]
} |
0543_swa | Majonzi maskitiko na vilio jana vilitanda kwa siku ya pili wakati familia kadhaa zilipokuwa zikisubiri wapendwa wao waokolewe kwenye vifusi vya jengo lliloporomoka katika mtaa wa tassia. Nairobi Ijumaa iliyopita.
Ukiwa huo unanaendelea huku Naibu kamishina wa kaunti ndogo ya embakasi James Wanyoike akisema kwamba shughuli za ukosefu huenda zikakamilika kesho.
Idadi ya watu walioaga dunia katika tukio hilo pia ilipanda hadi watu saba huku familia nyingi zikisimulia wasiwasi wao kuhusu kutoweka kwa wapendwa wao.
Bado ninasubiri watoto wangu waokolewe na ninaomba wapatikane wakiwa hai. Ninawapenda sana. Akasema Bi Venny Gachemba, mama wa watoto wawili.
Akilengwa na machozi, Bi Gachemba anakumbuka kwa masikitiko namna wanawe Frank Kerosi 11 n Ezra kerosi 6 walivyoondoka nyumbani na pwa wao Eugene Momanyi lakini hawakuonekana tena.
Waliondoka asubuhi wakiniambia wanaenda kumtembelea shangazi na wangerejea kupata staftahi lakini hawakuonekana tena. Niliendelea kulala lakini nikaamshwa na kelele kutoka nje. Akasimulia.
Aliendelea kusimulia kwamba aliamka na kuelekea kwa dadaye karibu na jengo lililoporomoka kuangalia kama watoto wake walikuwa salama.
Nilielekea moja kwa moja kwa nyumba ya dadangu ambako watoto hao walikuwa wakienda lakini sikuwapata . Alinieleza hawakuwa wameenda kwake.Akaongeza.
Alipigwa na butwaa baada ya kuwatafuta hadi saa tano mchana siku hiyo alipoelezwa na wavuana waliokuwa na watoto wake kwamba walikuwa wamekwama ndani ya vifusi hivyo. Wavulana hao walikuwa wameokolewa kutoka kwa jengo.
Kulingana na Bw. Wanyoike watu 35 wameokolewa kutoka kwenye jengo hilo huku miili miwili ikiondolewa na wengine wawili wakiaga dunia hospitalini.
Mnamo Jumamosi mwanaume mmoja na mwingine wa kike waliokolewa na kupelekwa katika hospitali ya kenyatta wanakoendelea kupata matibabu.
| Bi Veny Gachemba alikuwa mama wa watoto wangapi | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
0543_swa | Majonzi maskitiko na vilio jana vilitanda kwa siku ya pili wakati familia kadhaa zilipokuwa zikisubiri wapendwa wao waokolewe kwenye vifusi vya jengo lliloporomoka katika mtaa wa tassia. Nairobi Ijumaa iliyopita.
Ukiwa huo unanaendelea huku Naibu kamishina wa kaunti ndogo ya embakasi James Wanyoike akisema kwamba shughuli za ukosefu huenda zikakamilika kesho.
Idadi ya watu walioaga dunia katika tukio hilo pia ilipanda hadi watu saba huku familia nyingi zikisimulia wasiwasi wao kuhusu kutoweka kwa wapendwa wao.
Bado ninasubiri watoto wangu waokolewe na ninaomba wapatikane wakiwa hai. Ninawapenda sana. Akasema Bi Venny Gachemba, mama wa watoto wawili.
Akilengwa na machozi, Bi Gachemba anakumbuka kwa masikitiko namna wanawe Frank Kerosi 11 n Ezra kerosi 6 walivyoondoka nyumbani na pwa wao Eugene Momanyi lakini hawakuonekana tena.
Waliondoka asubuhi wakiniambia wanaenda kumtembelea shangazi na wangerejea kupata staftahi lakini hawakuonekana tena. Niliendelea kulala lakini nikaamshwa na kelele kutoka nje. Akasimulia.
Aliendelea kusimulia kwamba aliamka na kuelekea kwa dadaye karibu na jengo lililoporomoka kuangalia kama watoto wake walikuwa salama.
Nilielekea moja kwa moja kwa nyumba ya dadangu ambako watoto hao walikuwa wakienda lakini sikuwapata . Alinieleza hawakuwa wameenda kwake.Akaongeza.
Alipigwa na butwaa baada ya kuwatafuta hadi saa tano mchana siku hiyo alipoelezwa na wavuana waliokuwa na watoto wake kwamba walikuwa wamekwama ndani ya vifusi hivyo. Wavulana hao walikuwa wameokolewa kutoka kwa jengo.
Kulingana na Bw. Wanyoike watu 35 wameokolewa kutoka kwenye jengo hilo huku miili miwili ikiondolewa na wengine wawili wakiaga dunia hospitalini.
Mnamo Jumamosi mwanaume mmoja na mwingine wa kike waliokolewa na kupelekwa katika hospitali ya kenyatta wanakoendelea kupata matibabu.
| Bi Gachemba aliamshwa na nini kutoka huko nje | {
"text": [
"Kelele"
]
} |
0544_swa | MURANG'A
Mwanafunzi kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wa mpenzi wake
Polisi wa Murang'a wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kumuua mvulana mwenye umri wa miaka mitatu, mwanawe mpenziwe waliyetengana.
Kulingana na Kamanda wa polisi kaunti hiyo Josphat Kinyua, Bw Festus Wachira Maina, 24, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Murang'a aliwaelekeza maafisa hao wa upelelezi hadi msitu mmoja umbali wa mita 150 kutoka nyumba ambako alitupa mwili wa mtoto.
Bw Kinyua alisema mwili wa mwendazake, aliyetambuliwa kama Kingsley Ngigi ulikuwa na majeraha kichwani na machoni akisema mshukiwa amekiri kumuua kutokana na “pepo mbaya".
Alisema kuwa huenda mapenzi kati ya Maina na mamake mtoto huyo, Bi Catherine Muthoni Ngigi, yaliingia hitilafu na ndipo mshukiwa akaelekeza hasira zake kwa mtoto huyo, akiongeza kuwa huenda kifo hicho kilitokana na imani potovu.
"Mshukiwa aliwaelekeza maafisa wetu hadi mahali ambapo alitupa mwili wa marehemu baada ya kutekeleza uhalifu huo. Alidai kuwa alipagawa na pepo mbaya kutoka na imani potovu lakini tutamfungulia mashtaka," Bw Kinyua akaeleza.
Habari kuhusu kutoweka kwa mtoto huyo ziliripotiwa kwanza katika Kituo cha Polisi cha Murang'a Desemba 5, 2019 na msako ukaanza.
Ni baada ya kukamatwa ndipo mshukiwa alifichua ni yeye alimuua mtoto huyo na kutupa mwili msituni.
Duru nyingine zinasema kwam ba huenda Bw Maina alimuua mtoto huyo ili kurejesha uhusiano kati yake na Muthoni ambaye hakufichua kwamba alikuwa na mtoto walipoanza kuchumbiana.
| Mwanaume mmoja anakiri kumuua mvulana wa umri gani? | {
"text": [
"Miaka mitatu"
]
} |
0544_swa | MURANG'A
Mwanafunzi kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wa mpenzi wake
Polisi wa Murang'a wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kumuua mvulana mwenye umri wa miaka mitatu, mwanawe mpenziwe waliyetengana.
Kulingana na Kamanda wa polisi kaunti hiyo Josphat Kinyua, Bw Festus Wachira Maina, 24, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Murang'a aliwaelekeza maafisa hao wa upelelezi hadi msitu mmoja umbali wa mita 150 kutoka nyumba ambako alitupa mwili wa mtoto.
Bw Kinyua alisema mwili wa mwendazake, aliyetambuliwa kama Kingsley Ngigi ulikuwa na majeraha kichwani na machoni akisema mshukiwa amekiri kumuua kutokana na “pepo mbaya".
Alisema kuwa huenda mapenzi kati ya Maina na mamake mtoto huyo, Bi Catherine Muthoni Ngigi, yaliingia hitilafu na ndipo mshukiwa akaelekeza hasira zake kwa mtoto huyo, akiongeza kuwa huenda kifo hicho kilitokana na imani potovu.
"Mshukiwa aliwaelekeza maafisa wetu hadi mahali ambapo alitupa mwili wa marehemu baada ya kutekeleza uhalifu huo. Alidai kuwa alipagawa na pepo mbaya kutoka na imani potovu lakini tutamfungulia mashtaka," Bw Kinyua akaeleza.
Habari kuhusu kutoweka kwa mtoto huyo ziliripotiwa kwanza katika Kituo cha Polisi cha Murang'a Desemba 5, 2019 na msako ukaanza.
Ni baada ya kukamatwa ndipo mshukiwa alifichua ni yeye alimuua mtoto huyo na kutupa mwili msituni.
Duru nyingine zinasema kwam ba huenda Bw Maina alimuua mtoto huyo ili kurejesha uhusiano kati yake na Muthoni ambaye hakufichua kwamba alikuwa na mtoto walipoanza kuchumbiana.
| Festus Wachira Maina alikuwa mwanafunzi wa chuo kipi? | {
"text": [
"chuo kikuu cha Technologia cha Murang'a"
]
} |
0544_swa | MURANG'A
Mwanafunzi kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wa mpenzi wake
Polisi wa Murang'a wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kumuua mvulana mwenye umri wa miaka mitatu, mwanawe mpenziwe waliyetengana.
Kulingana na Kamanda wa polisi kaunti hiyo Josphat Kinyua, Bw Festus Wachira Maina, 24, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Murang'a aliwaelekeza maafisa hao wa upelelezi hadi msitu mmoja umbali wa mita 150 kutoka nyumba ambako alitupa mwili wa mtoto.
Bw Kinyua alisema mwili wa mwendazake, aliyetambuliwa kama Kingsley Ngigi ulikuwa na majeraha kichwani na machoni akisema mshukiwa amekiri kumuua kutokana na “pepo mbaya".
Alisema kuwa huenda mapenzi kati ya Maina na mamake mtoto huyo, Bi Catherine Muthoni Ngigi, yaliingia hitilafu na ndipo mshukiwa akaelekeza hasira zake kwa mtoto huyo, akiongeza kuwa huenda kifo hicho kilitokana na imani potovu.
"Mshukiwa aliwaelekeza maafisa wetu hadi mahali ambapo alitupa mwili wa marehemu baada ya kutekeleza uhalifu huo. Alidai kuwa alipagawa na pepo mbaya kutoka na imani potovu lakini tutamfungulia mashtaka," Bw Kinyua akaeleza.
Habari kuhusu kutoweka kwa mtoto huyo ziliripotiwa kwanza katika Kituo cha Polisi cha Murang'a Desemba 5, 2019 na msako ukaanza.
Ni baada ya kukamatwa ndipo mshukiwa alifichua ni yeye alimuua mtoto huyo na kutupa mwili msituni.
Duru nyingine zinasema kwam ba huenda Bw Maina alimuua mtoto huyo ili kurejesha uhusiano kati yake na Muthoni ambaye hakufichua kwamba alikuwa na mtoto walipoanza kuchumbiana.
| Je mtoto aliyeuwawa alikuwa anaitwaje? | {
"text": [
"Kingsley Ngigi"
]
} |
0544_swa | MURANG'A
Mwanafunzi kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wa mpenzi wake
Polisi wa Murang'a wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kumuua mvulana mwenye umri wa miaka mitatu, mwanawe mpenziwe waliyetengana.
Kulingana na Kamanda wa polisi kaunti hiyo Josphat Kinyua, Bw Festus Wachira Maina, 24, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Murang'a aliwaelekeza maafisa hao wa upelelezi hadi msitu mmoja umbali wa mita 150 kutoka nyumba ambako alitupa mwili wa mtoto.
Bw Kinyua alisema mwili wa mwendazake, aliyetambuliwa kama Kingsley Ngigi ulikuwa na majeraha kichwani na machoni akisema mshukiwa amekiri kumuua kutokana na “pepo mbaya".
Alisema kuwa huenda mapenzi kati ya Maina na mamake mtoto huyo, Bi Catherine Muthoni Ngigi, yaliingia hitilafu na ndipo mshukiwa akaelekeza hasira zake kwa mtoto huyo, akiongeza kuwa huenda kifo hicho kilitokana na imani potovu.
"Mshukiwa aliwaelekeza maafisa wetu hadi mahali ambapo alitupa mwili wa marehemu baada ya kutekeleza uhalifu huo. Alidai kuwa alipagawa na pepo mbaya kutoka na imani potovu lakini tutamfungulia mashtaka," Bw Kinyua akaeleza.
Habari kuhusu kutoweka kwa mtoto huyo ziliripotiwa kwanza katika Kituo cha Polisi cha Murang'a Desemba 5, 2019 na msako ukaanza.
Ni baada ya kukamatwa ndipo mshukiwa alifichua ni yeye alimuua mtoto huyo na kutupa mwili msituni.
Duru nyingine zinasema kwam ba huenda Bw Maina alimuua mtoto huyo ili kurejesha uhusiano kati yake na Muthoni ambaye hakufichua kwamba alikuwa na mtoto walipoanza kuchumbiana.
| Unadhani ni kwanini Maina aliua mtoto huyu? | {
"text": [
"Huenda mapenzi kati yake na mamake mtoto huyu yalihitilifiana"
]
} |
0544_swa | MURANG'A
Mwanafunzi kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wa mpenzi wake
Polisi wa Murang'a wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kumuua mvulana mwenye umri wa miaka mitatu, mwanawe mpenziwe waliyetengana.
Kulingana na Kamanda wa polisi kaunti hiyo Josphat Kinyua, Bw Festus Wachira Maina, 24, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Murang'a aliwaelekeza maafisa hao wa upelelezi hadi msitu mmoja umbali wa mita 150 kutoka nyumba ambako alitupa mwili wa mtoto.
Bw Kinyua alisema mwili wa mwendazake, aliyetambuliwa kama Kingsley Ngigi ulikuwa na majeraha kichwani na machoni akisema mshukiwa amekiri kumuua kutokana na “pepo mbaya".
Alisema kuwa huenda mapenzi kati ya Maina na mamake mtoto huyo, Bi Catherine Muthoni Ngigi, yaliingia hitilafu na ndipo mshukiwa akaelekeza hasira zake kwa mtoto huyo, akiongeza kuwa huenda kifo hicho kilitokana na imani potovu.
"Mshukiwa aliwaelekeza maafisa wetu hadi mahali ambapo alitupa mwili wa marehemu baada ya kutekeleza uhalifu huo. Alidai kuwa alipagawa na pepo mbaya kutoka na imani potovu lakini tutamfungulia mashtaka," Bw Kinyua akaeleza.
Habari kuhusu kutoweka kwa mtoto huyo ziliripotiwa kwanza katika Kituo cha Polisi cha Murang'a Desemba 5, 2019 na msako ukaanza.
Ni baada ya kukamatwa ndipo mshukiwa alifichua ni yeye alimuua mtoto huyo na kutupa mwili msituni.
Duru nyingine zinasema kwam ba huenda Bw Maina alimuua mtoto huyo ili kurejesha uhusiano kati yake na Muthoni ambaye hakufichua kwamba alikuwa na mtoto walipoanza kuchumbiana.
| Habari kuhusu kutoweka kwa mtoto huyu ziliripotiwa lini? | {
"text": [
"Desemba 5, 2019"
]
} |
0550_swa | Vijana wazingatiwe kwa ajira ya sensa
Zoezi la kuwahesabu watu (sensa) litaanza Agosti 24 na vijana wana matumaini makubwa ya kupata ajira wakati wa shughuli hiyo muhimu ya kitaifa.
Ni vyema serikali iwazingatie kuwapa kipaumbele vijana 164,000 watakaoendesha zoezi la kuwahesabu watu.
Katika miaka ya nyuma, Shirika la Kitaifa la Takwimu (KNBS) limekuwa likitoa nafasi hizo kwa walimu na watu wengine wenye ajira ya kudumu, huku vijana waliokamilisha masomo katika viwango vya kidato cha nne, vyuo vya kadri na vyuo vikuu wakiny imwa nafasi hizo.
Vijana wanafaa wapewe nafasi za makarani wa kuhesabu watu na wachanganuzi wa data kwa kutumia teknolojia kwa sababu uwezo wanao, mradi wapewe mafunzo mafupi ya kuwafahamisha yaliyo muhimu katika shughuli hii ya sensa.
Kwa hivyo, serikali inafaa kuhakikisha kuwa shughuli ya kuajiri vibarua hao inaendeshwa kwa njia ya wazi na huru pasipo na maendeleo yoyote.
Matapeli fulani tayari walikuwa wameanza kuwadanganya vijana kwamba wanaweza kuwasaidia kupata kazi hizo kwa "ada kidogo" kabla ya serikali kutangaza rasmi kwamba zoezi la kuwaa jiri watu watakaoendesha sensa hiyo litaanza wiki hii.
Ufisadi usiruhusiwe kupenyeza katika uajiri huo wa watu waliohitimu. Suala la Wakenya wasio na pesa za kutumia kuwahonga maafisa husika kunyimwa nafasi halifai kuruhusiwa kutokea. Watakaoathirika zaidi, bila shaka, watakuwa vijana kutoka familia zenye mapato ya chini iwapo kutakuwa na ufisadi.
Vijana wengi hawana ajira kwa sasa na iwapo zoezi hilo litaingizwa ufisadi basi vijana wataumia zaidi na malengo ya kuboresha maisha yao hayatakuwa yameafikiwa.
Tukae macho wazi kuwakabili hawa matapeli wanaotaka kitu kidogo ili wawasajli vijana katika ajira ya kuhesabu wananchi Agosti 24.
Rais Kenyatta amejitolea kumaliza uovu wa ufisadi ambao umezagaa nchini, na pana haja ya sote kumuunga mkono. Pia Wakenya wajitokeze kwa wingi kuhesabiwa shughuli hii itakapoanza.
| Vijana wana matumaini makubwa ya kupata nini | {
"text": [
"ajira"
]
} |
0550_swa | Vijana wazingatiwe kwa ajira ya sensa
Zoezi la kuwahesabu watu (sensa) litaanza Agosti 24 na vijana wana matumaini makubwa ya kupata ajira wakati wa shughuli hiyo muhimu ya kitaifa.
Ni vyema serikali iwazingatie kuwapa kipaumbele vijana 164,000 watakaoendesha zoezi la kuwahesabu watu.
Katika miaka ya nyuma, Shirika la Kitaifa la Takwimu (KNBS) limekuwa likitoa nafasi hizo kwa walimu na watu wengine wenye ajira ya kudumu, huku vijana waliokamilisha masomo katika viwango vya kidato cha nne, vyuo vya kadri na vyuo vikuu wakiny imwa nafasi hizo.
Vijana wanafaa wapewe nafasi za makarani wa kuhesabu watu na wachanganuzi wa data kwa kutumia teknolojia kwa sababu uwezo wanao, mradi wapewe mafunzo mafupi ya kuwafahamisha yaliyo muhimu katika shughuli hii ya sensa.
Kwa hivyo, serikali inafaa kuhakikisha kuwa shughuli ya kuajiri vibarua hao inaendeshwa kwa njia ya wazi na huru pasipo na maendeleo yoyote.
Matapeli fulani tayari walikuwa wameanza kuwadanganya vijana kwamba wanaweza kuwasaidia kupata kazi hizo kwa "ada kidogo" kabla ya serikali kutangaza rasmi kwamba zoezi la kuwaa jiri watu watakaoendesha sensa hiyo litaanza wiki hii.
Ufisadi usiruhusiwe kupenyeza katika uajiri huo wa watu waliohitimu. Suala la Wakenya wasio na pesa za kutumia kuwahonga maafisa husika kunyimwa nafasi halifai kuruhusiwa kutokea. Watakaoathirika zaidi, bila shaka, watakuwa vijana kutoka familia zenye mapato ya chini iwapo kutakuwa na ufisadi.
Vijana wengi hawana ajira kwa sasa na iwapo zoezi hilo litaingizwa ufisadi basi vijana wataumia zaidi na malengo ya kuboresha maisha yao hayatakuwa yameafikiwa.
Tukae macho wazi kuwakabili hawa matapeli wanaotaka kitu kidogo ili wawasajli vijana katika ajira ya kuhesabu wananchi Agosti 24.
Rais Kenyatta amejitolea kumaliza uovu wa ufisadi ambao umezagaa nchini, na pana haja ya sote kumuunga mkono. Pia Wakenya wajitokeze kwa wingi kuhesabiwa shughuli hii itakapoanza.
| Shirika la kitaifa la Takwimu lilikua likitoa nafasi kwa nani | {
"text": [
"walimu"
]
} |
0550_swa | Vijana wazingatiwe kwa ajira ya sensa
Zoezi la kuwahesabu watu (sensa) litaanza Agosti 24 na vijana wana matumaini makubwa ya kupata ajira wakati wa shughuli hiyo muhimu ya kitaifa.
Ni vyema serikali iwazingatie kuwapa kipaumbele vijana 164,000 watakaoendesha zoezi la kuwahesabu watu.
Katika miaka ya nyuma, Shirika la Kitaifa la Takwimu (KNBS) limekuwa likitoa nafasi hizo kwa walimu na watu wengine wenye ajira ya kudumu, huku vijana waliokamilisha masomo katika viwango vya kidato cha nne, vyuo vya kadri na vyuo vikuu wakiny imwa nafasi hizo.
Vijana wanafaa wapewe nafasi za makarani wa kuhesabu watu na wachanganuzi wa data kwa kutumia teknolojia kwa sababu uwezo wanao, mradi wapewe mafunzo mafupi ya kuwafahamisha yaliyo muhimu katika shughuli hii ya sensa.
Kwa hivyo, serikali inafaa kuhakikisha kuwa shughuli ya kuajiri vibarua hao inaendeshwa kwa njia ya wazi na huru pasipo na maendeleo yoyote.
Matapeli fulani tayari walikuwa wameanza kuwadanganya vijana kwamba wanaweza kuwasaidia kupata kazi hizo kwa "ada kidogo" kabla ya serikali kutangaza rasmi kwamba zoezi la kuwaa jiri watu watakaoendesha sensa hiyo litaanza wiki hii.
Ufisadi usiruhusiwe kupenyeza katika uajiri huo wa watu waliohitimu. Suala la Wakenya wasio na pesa za kutumia kuwahonga maafisa husika kunyimwa nafasi halifai kuruhusiwa kutokea. Watakaoathirika zaidi, bila shaka, watakuwa vijana kutoka familia zenye mapato ya chini iwapo kutakuwa na ufisadi.
Vijana wengi hawana ajira kwa sasa na iwapo zoezi hilo litaingizwa ufisadi basi vijana wataumia zaidi na malengo ya kuboresha maisha yao hayatakuwa yameafikiwa.
Tukae macho wazi kuwakabili hawa matapeli wanaotaka kitu kidogo ili wawasajli vijana katika ajira ya kuhesabu wananchi Agosti 24.
Rais Kenyatta amejitolea kumaliza uovu wa ufisadi ambao umezagaa nchini, na pana haja ya sote kumuunga mkono. Pia Wakenya wajitokeze kwa wingi kuhesabiwa shughuli hii itakapoanza.
| Vijana wanafaa wapewe kazi ya makarani wa kufanya nini | {
"text": [
"kuhesabu watu"
]
} |
0550_swa | Vijana wazingatiwe kwa ajira ya sensa
Zoezi la kuwahesabu watu (sensa) litaanza Agosti 24 na vijana wana matumaini makubwa ya kupata ajira wakati wa shughuli hiyo muhimu ya kitaifa.
Ni vyema serikali iwazingatie kuwapa kipaumbele vijana 164,000 watakaoendesha zoezi la kuwahesabu watu.
Katika miaka ya nyuma, Shirika la Kitaifa la Takwimu (KNBS) limekuwa likitoa nafasi hizo kwa walimu na watu wengine wenye ajira ya kudumu, huku vijana waliokamilisha masomo katika viwango vya kidato cha nne, vyuo vya kadri na vyuo vikuu wakiny imwa nafasi hizo.
Vijana wanafaa wapewe nafasi za makarani wa kuhesabu watu na wachanganuzi wa data kwa kutumia teknolojia kwa sababu uwezo wanao, mradi wapewe mafunzo mafupi ya kuwafahamisha yaliyo muhimu katika shughuli hii ya sensa.
Kwa hivyo, serikali inafaa kuhakikisha kuwa shughuli ya kuajiri vibarua hao inaendeshwa kwa njia ya wazi na huru pasipo na maendeleo yoyote.
Matapeli fulani tayari walikuwa wameanza kuwadanganya vijana kwamba wanaweza kuwasaidia kupata kazi hizo kwa "ada kidogo" kabla ya serikali kutangaza rasmi kwamba zoezi la kuwaa jiri watu watakaoendesha sensa hiyo litaanza wiki hii.
Ufisadi usiruhusiwe kupenyeza katika uajiri huo wa watu waliohitimu. Suala la Wakenya wasio na pesa za kutumia kuwahonga maafisa husika kunyimwa nafasi halifai kuruhusiwa kutokea. Watakaoathirika zaidi, bila shaka, watakuwa vijana kutoka familia zenye mapato ya chini iwapo kutakuwa na ufisadi.
Vijana wengi hawana ajira kwa sasa na iwapo zoezi hilo litaingizwa ufisadi basi vijana wataumia zaidi na malengo ya kuboresha maisha yao hayatakuwa yameafikiwa.
Tukae macho wazi kuwakabili hawa matapeli wanaotaka kitu kidogo ili wawasajli vijana katika ajira ya kuhesabu wananchi Agosti 24.
Rais Kenyatta amejitolea kumaliza uovu wa ufisadi ambao umezagaa nchini, na pana haja ya sote kumuunga mkono. Pia Wakenya wajitokeze kwa wingi kuhesabiwa shughuli hii itakapoanza.
| Shughuli ya kuajiri vibarua haifai kuwa na nini | {
"text": [
"mapendeleo yoyote"
]
} |
0550_swa | Vijana wazingatiwe kwa ajira ya sensa
Zoezi la kuwahesabu watu (sensa) litaanza Agosti 24 na vijana wana matumaini makubwa ya kupata ajira wakati wa shughuli hiyo muhimu ya kitaifa.
Ni vyema serikali iwazingatie kuwapa kipaumbele vijana 164,000 watakaoendesha zoezi la kuwahesabu watu.
Katika miaka ya nyuma, Shirika la Kitaifa la Takwimu (KNBS) limekuwa likitoa nafasi hizo kwa walimu na watu wengine wenye ajira ya kudumu, huku vijana waliokamilisha masomo katika viwango vya kidato cha nne, vyuo vya kadri na vyuo vikuu wakiny imwa nafasi hizo.
Vijana wanafaa wapewe nafasi za makarani wa kuhesabu watu na wachanganuzi wa data kwa kutumia teknolojia kwa sababu uwezo wanao, mradi wapewe mafunzo mafupi ya kuwafahamisha yaliyo muhimu katika shughuli hii ya sensa.
Kwa hivyo, serikali inafaa kuhakikisha kuwa shughuli ya kuajiri vibarua hao inaendeshwa kwa njia ya wazi na huru pasipo na maendeleo yoyote.
Matapeli fulani tayari walikuwa wameanza kuwadanganya vijana kwamba wanaweza kuwasaidia kupata kazi hizo kwa "ada kidogo" kabla ya serikali kutangaza rasmi kwamba zoezi la kuwaa jiri watu watakaoendesha sensa hiyo litaanza wiki hii.
Ufisadi usiruhusiwe kupenyeza katika uajiri huo wa watu waliohitimu. Suala la Wakenya wasio na pesa za kutumia kuwahonga maafisa husika kunyimwa nafasi halifai kuruhusiwa kutokea. Watakaoathirika zaidi, bila shaka, watakuwa vijana kutoka familia zenye mapato ya chini iwapo kutakuwa na ufisadi.
Vijana wengi hawana ajira kwa sasa na iwapo zoezi hilo litaingizwa ufisadi basi vijana wataumia zaidi na malengo ya kuboresha maisha yao hayatakuwa yameafikiwa.
Tukae macho wazi kuwakabili hawa matapeli wanaotaka kitu kidogo ili wawasajli vijana katika ajira ya kuhesabu wananchi Agosti 24.
Rais Kenyatta amejitolea kumaliza uovu wa ufisadi ambao umezagaa nchini, na pana haja ya sote kumuunga mkono. Pia Wakenya wajitokeze kwa wingi kuhesabiwa shughuli hii itakapoanza.
| Matapeli walikua wameanza kufanya nini | {
"text": [
"kuwadanganya vijana"
]
} |
0552_swa | Wazazi na walimu walinde watoto
Ripoti kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaoshirikiana na walimu kuendeleza masomo kwa watoto wao kisiri zinafaa kuchukuliwa kwa uzito.
Wakati serikali ilipoagiza shule zote kufungwa na watoto kwenda nyumbani mara moja, ilikuwa ni jambo la dharura kwa minajili ya kuwaepushia madhara ya virusi vya corona.
Huku idadi ya maambukizi ya ugonjwa huo ikiendelea kuongezeka nchini na kimataifa, pamoja na idadi ya vifo, ingetarajiwa mzazi yeyote yule kuchukulia hali hii kuwa ya kutisha na kumwepushia mtoto wake kwa njia yoyote ile.
Inashangaza jinsi kuna wazazi ambao wameamua kutojali hali ya maisha ya watoto wao na wanawaruhusu kwenda kusomeshwa pamoja na wenzao kisiri.
Imethibitishwa hali ya watu kukongamana wengi katika sehemu moja ni miongoni mwa sababu kuu ambazo zinaleta ongezeko la maambukizi.
Hivyo basi, kwa kuruhusu watoto kukongamana katika sehemu moja wakiendeleza masomo, wazazi na walimu husika wanahatarisha maisha ya watoto hao ambao huenda hawaelewi hatari iliyopo.
Asasi za usalama serikalini zinatakikana kuanzisha msako mara moja na kufichua sehemu ambapo masomo hayo huendelezwa.
Yeyote yule atakayepatikana alihusika katika kuruhusu au kuwezesha masomo hayo haramu, achukuliwe hatua kali za kisheria bila kuhurumiwa.
Wazazi walitarajiwa wangekuwa katika mstari wa mbele kulinda maslahi ya watoto wao na hivyo basi ripoti tunazopokea ni za kusikitisha mno.
Wakati huo huo, ni wazi sasa kwamba kuna wananchi wengi ambao wameshindwa kabisa kufuata maagizo yaliyotolewa na serikali kuhusu kuepusha uenezaji wa virusi vya corona.
Watu wangali wanajazana katika sehemu mbalimbali, wahudumu kadhaa wa uchukuzi wa umma wamesemekana bado wanajaza wasafiri kwenye magari yao na kuna hata raia wanaoandaa karamu manyumbani mwao.
Huenda kuna wale ambao kweli hawana namna nyingine kwani wanategemea vibarua vya kila siku kujitafutia riziki, lakini inahitajika kila mmoja wetu aelewe kuhusu umuhimu wa kukabiliana na ugonjwa huo haraka badala ya kuweka hali ya kuueneza kwa muda mrefu.
| Kuongezeka kwa maambukizi ya korona kumechangiwa na nini | {
"text": [
"Kukongamana kwa pamoja"
]
} |
0552_swa | Wazazi na walimu walinde watoto
Ripoti kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaoshirikiana na walimu kuendeleza masomo kwa watoto wao kisiri zinafaa kuchukuliwa kwa uzito.
Wakati serikali ilipoagiza shule zote kufungwa na watoto kwenda nyumbani mara moja, ilikuwa ni jambo la dharura kwa minajili ya kuwaepushia madhara ya virusi vya corona.
Huku idadi ya maambukizi ya ugonjwa huo ikiendelea kuongezeka nchini na kimataifa, pamoja na idadi ya vifo, ingetarajiwa mzazi yeyote yule kuchukulia hali hii kuwa ya kutisha na kumwepushia mtoto wake kwa njia yoyote ile.
Inashangaza jinsi kuna wazazi ambao wameamua kutojali hali ya maisha ya watoto wao na wanawaruhusu kwenda kusomeshwa pamoja na wenzao kisiri.
Imethibitishwa hali ya watu kukongamana wengi katika sehemu moja ni miongoni mwa sababu kuu ambazo zinaleta ongezeko la maambukizi.
Hivyo basi, kwa kuruhusu watoto kukongamana katika sehemu moja wakiendeleza masomo, wazazi na walimu husika wanahatarisha maisha ya watoto hao ambao huenda hawaelewi hatari iliyopo.
Asasi za usalama serikalini zinatakikana kuanzisha msako mara moja na kufichua sehemu ambapo masomo hayo huendelezwa.
Yeyote yule atakayepatikana alihusika katika kuruhusu au kuwezesha masomo hayo haramu, achukuliwe hatua kali za kisheria bila kuhurumiwa.
Wazazi walitarajiwa wangekuwa katika mstari wa mbele kulinda maslahi ya watoto wao na hivyo basi ripoti tunazopokea ni za kusikitisha mno.
Wakati huo huo, ni wazi sasa kwamba kuna wananchi wengi ambao wameshindwa kabisa kufuata maagizo yaliyotolewa na serikali kuhusu kuepusha uenezaji wa virusi vya corona.
Watu wangali wanajazana katika sehemu mbalimbali, wahudumu kadhaa wa uchukuzi wa umma wamesemekana bado wanajaza wasafiri kwenye magari yao na kuna hata raia wanaoandaa karamu manyumbani mwao.
Huenda kuna wale ambao kweli hawana namna nyingine kwani wanategemea vibarua vya kila siku kujitafutia riziki, lakini inahitajika kila mmoja wetu aelewe kuhusu umuhimu wa kukabiliana na ugonjwa huo haraka badala ya kuweka hali ya kuueneza kwa muda mrefu.
| Asasi za serikali zafaa kufanya nini ili kufichua sehemu zinazoendeleza masomo | {
"text": [
"Msako"
]
} |
0552_swa | Wazazi na walimu walinde watoto
Ripoti kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaoshirikiana na walimu kuendeleza masomo kwa watoto wao kisiri zinafaa kuchukuliwa kwa uzito.
Wakati serikali ilipoagiza shule zote kufungwa na watoto kwenda nyumbani mara moja, ilikuwa ni jambo la dharura kwa minajili ya kuwaepushia madhara ya virusi vya corona.
Huku idadi ya maambukizi ya ugonjwa huo ikiendelea kuongezeka nchini na kimataifa, pamoja na idadi ya vifo, ingetarajiwa mzazi yeyote yule kuchukulia hali hii kuwa ya kutisha na kumwepushia mtoto wake kwa njia yoyote ile.
Inashangaza jinsi kuna wazazi ambao wameamua kutojali hali ya maisha ya watoto wao na wanawaruhusu kwenda kusomeshwa pamoja na wenzao kisiri.
Imethibitishwa hali ya watu kukongamana wengi katika sehemu moja ni miongoni mwa sababu kuu ambazo zinaleta ongezeko la maambukizi.
Hivyo basi, kwa kuruhusu watoto kukongamana katika sehemu moja wakiendeleza masomo, wazazi na walimu husika wanahatarisha maisha ya watoto hao ambao huenda hawaelewi hatari iliyopo.
Asasi za usalama serikalini zinatakikana kuanzisha msako mara moja na kufichua sehemu ambapo masomo hayo huendelezwa.
Yeyote yule atakayepatikana alihusika katika kuruhusu au kuwezesha masomo hayo haramu, achukuliwe hatua kali za kisheria bila kuhurumiwa.
Wazazi walitarajiwa wangekuwa katika mstari wa mbele kulinda maslahi ya watoto wao na hivyo basi ripoti tunazopokea ni za kusikitisha mno.
Wakati huo huo, ni wazi sasa kwamba kuna wananchi wengi ambao wameshindwa kabisa kufuata maagizo yaliyotolewa na serikali kuhusu kuepusha uenezaji wa virusi vya corona.
Watu wangali wanajazana katika sehemu mbalimbali, wahudumu kadhaa wa uchukuzi wa umma wamesemekana bado wanajaza wasafiri kwenye magari yao na kuna hata raia wanaoandaa karamu manyumbani mwao.
Huenda kuna wale ambao kweli hawana namna nyingine kwani wanategemea vibarua vya kila siku kujitafutia riziki, lakini inahitajika kila mmoja wetu aelewe kuhusu umuhimu wa kukabiliana na ugonjwa huo haraka badala ya kuweka hali ya kuueneza kwa muda mrefu.
| Nani huwajaza wasafiri kwenye magari | {
"text": [
"Wahudumu"
]
} |
0552_swa | Wazazi na walimu walinde watoto
Ripoti kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaoshirikiana na walimu kuendeleza masomo kwa watoto wao kisiri zinafaa kuchukuliwa kwa uzito.
Wakati serikali ilipoagiza shule zote kufungwa na watoto kwenda nyumbani mara moja, ilikuwa ni jambo la dharura kwa minajili ya kuwaepushia madhara ya virusi vya corona.
Huku idadi ya maambukizi ya ugonjwa huo ikiendelea kuongezeka nchini na kimataifa, pamoja na idadi ya vifo, ingetarajiwa mzazi yeyote yule kuchukulia hali hii kuwa ya kutisha na kumwepushia mtoto wake kwa njia yoyote ile.
Inashangaza jinsi kuna wazazi ambao wameamua kutojali hali ya maisha ya watoto wao na wanawaruhusu kwenda kusomeshwa pamoja na wenzao kisiri.
Imethibitishwa hali ya watu kukongamana wengi katika sehemu moja ni miongoni mwa sababu kuu ambazo zinaleta ongezeko la maambukizi.
Hivyo basi, kwa kuruhusu watoto kukongamana katika sehemu moja wakiendeleza masomo, wazazi na walimu husika wanahatarisha maisha ya watoto hao ambao huenda hawaelewi hatari iliyopo.
Asasi za usalama serikalini zinatakikana kuanzisha msako mara moja na kufichua sehemu ambapo masomo hayo huendelezwa.
Yeyote yule atakayepatikana alihusika katika kuruhusu au kuwezesha masomo hayo haramu, achukuliwe hatua kali za kisheria bila kuhurumiwa.
Wazazi walitarajiwa wangekuwa katika mstari wa mbele kulinda maslahi ya watoto wao na hivyo basi ripoti tunazopokea ni za kusikitisha mno.
Wakati huo huo, ni wazi sasa kwamba kuna wananchi wengi ambao wameshindwa kabisa kufuata maagizo yaliyotolewa na serikali kuhusu kuepusha uenezaji wa virusi vya corona.
Watu wangali wanajazana katika sehemu mbalimbali, wahudumu kadhaa wa uchukuzi wa umma wamesemekana bado wanajaza wasafiri kwenye magari yao na kuna hata raia wanaoandaa karamu manyumbani mwao.
Huenda kuna wale ambao kweli hawana namna nyingine kwani wanategemea vibarua vya kila siku kujitafutia riziki, lakini inahitajika kila mmoja wetu aelewe kuhusu umuhimu wa kukabiliana na ugonjwa huo haraka badala ya kuweka hali ya kuueneza kwa muda mrefu.
| Serikali iliagiza shule zote kufungwa ili kuwaepushia nini wanafunzi | {
"text": [
"Madhara ya virusi vya korona"
]
} |
0552_swa | Wazazi na walimu walinde watoto
Ripoti kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaoshirikiana na walimu kuendeleza masomo kwa watoto wao kisiri zinafaa kuchukuliwa kwa uzito.
Wakati serikali ilipoagiza shule zote kufungwa na watoto kwenda nyumbani mara moja, ilikuwa ni jambo la dharura kwa minajili ya kuwaepushia madhara ya virusi vya corona.
Huku idadi ya maambukizi ya ugonjwa huo ikiendelea kuongezeka nchini na kimataifa, pamoja na idadi ya vifo, ingetarajiwa mzazi yeyote yule kuchukulia hali hii kuwa ya kutisha na kumwepushia mtoto wake kwa njia yoyote ile.
Inashangaza jinsi kuna wazazi ambao wameamua kutojali hali ya maisha ya watoto wao na wanawaruhusu kwenda kusomeshwa pamoja na wenzao kisiri.
Imethibitishwa hali ya watu kukongamana wengi katika sehemu moja ni miongoni mwa sababu kuu ambazo zinaleta ongezeko la maambukizi.
Hivyo basi, kwa kuruhusu watoto kukongamana katika sehemu moja wakiendeleza masomo, wazazi na walimu husika wanahatarisha maisha ya watoto hao ambao huenda hawaelewi hatari iliyopo.
Asasi za usalama serikalini zinatakikana kuanzisha msako mara moja na kufichua sehemu ambapo masomo hayo huendelezwa.
Yeyote yule atakayepatikana alihusika katika kuruhusu au kuwezesha masomo hayo haramu, achukuliwe hatua kali za kisheria bila kuhurumiwa.
Wazazi walitarajiwa wangekuwa katika mstari wa mbele kulinda maslahi ya watoto wao na hivyo basi ripoti tunazopokea ni za kusikitisha mno.
Wakati huo huo, ni wazi sasa kwamba kuna wananchi wengi ambao wameshindwa kabisa kufuata maagizo yaliyotolewa na serikali kuhusu kuepusha uenezaji wa virusi vya corona.
Watu wangali wanajazana katika sehemu mbalimbali, wahudumu kadhaa wa uchukuzi wa umma wamesemekana bado wanajaza wasafiri kwenye magari yao na kuna hata raia wanaoandaa karamu manyumbani mwao.
Huenda kuna wale ambao kweli hawana namna nyingine kwani wanategemea vibarua vya kila siku kujitafutia riziki, lakini inahitajika kila mmoja wetu aelewe kuhusu umuhimu wa kukabiliana na ugonjwa huo haraka badala ya kuweka hali ya kuueneza kwa muda mrefu.
| Nani walioendeleza masomo kisiri baada ya serikali kuagiza shule zifungwe | {
"text": [
"Wazazi na walimu"
]
} |
0553_swa | Corona si mzaha, serikali iwajibike
Makali ya homa ya Corona yanaendelea kutikisa dunia na haijawasaza watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa na viongozi wakuu wa nchi mbali mbali.
Hapa Kenya, serikali imetangaza hatua ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili kukinga raia dhidi ya maradhi hayo.
Ni janga ambalo Shirika la Afya Ulimwenguni WHO linasema linaweza kusababisha maafa makubwa likipenya katika mataifa ya Afrika ambayo yana mifumo duni ya afya.
Ni kwa mintaarifu hii ambapo kwa mara nyingine tunaomba serikali kutochukulia suala hili kwa mzaha. Ugonjwa unaoweza kuathiri mawaziri wa serikali zilizo na mifumo thabiti ya afya sio mzaha.
Ugonjwa unaolemea nchi yenye uchumi thabiti kama China na kutia tumbo joto washindani wake kama Amerika na Urusi sio wa kuchukuliwa kwa urahisi.
Jukumu la serikali yoyote ni kulinda raia wa nchi ilivyofanya Mongolia kwa kumtenga rais na mawaziri walioandamana naye kuzuru China. Hakukuwa na habari kwamba rais huyo alikataa kutengwa mbali hatua yake ilikuwa mfano wa kuigwa na raia wa nchi hiyo. Serikali haifai kujitetea inapolaumiwa kwa kulegeza kamba kuhusu suala hili hatari kwa usalama wa taifa.
Haikufaa kusubiri hadi Wakenya waende kortini ili iagizwe kufuta safari za ndege kutoka China. Haikufaa kusubiri mahakama iagize raia wa kigeni 239 waliowasili kwa ndege kutoka China Jumatano wafuatiliwe na kutengwa.
Ni jukumu la kila serikali inayojali maslahi ya raia wake wakati huu ambao Corona imezua hofu ulimwenguni. Kile ambacho maafisa wa serikali wanaotetea hatua ya kuruhusu wageni hao nchini wanapaswa kufahamu ni kuwa gharama ya kukabiliana na maradhi hayo yakiingia nchini ni kubwa mno kuliko hasara ya kufuta safari za ndege kutoka China na nchi nyingine zilizoathiriwa.
Hii ndio sababu tunasema kwamba hatua ambazo Rais Uhuru Kenyatta alitangaza Ijumaa zinapaswa kuzingatiwa kikamilifu.
Wahudumu wa afya na maafisa wa usalama wanaoshughulika kukagua wageni katika viwanja vya ndege na mipakani pia wanafaa kukingwa kwa kupatiwa vifaa ili nao wawe salama wanapotekeleza majukumu yao. Corona sio uchawi, sio mzaha, haibagui tajiri na masikini na kwa hivyo, kila hatua inapaswa kuchukuliwa kuzuia isipenye nchini.
| Nani hawajasazwa na makali ya homa ya corona? | {
"text": [
"watu mashuhuri walikiwemo wanasiasa na viongozi wa nchi"
]
} |
0553_swa | Corona si mzaha, serikali iwajibike
Makali ya homa ya Corona yanaendelea kutikisa dunia na haijawasaza watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa na viongozi wakuu wa nchi mbali mbali.
Hapa Kenya, serikali imetangaza hatua ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili kukinga raia dhidi ya maradhi hayo.
Ni janga ambalo Shirika la Afya Ulimwenguni WHO linasema linaweza kusababisha maafa makubwa likipenya katika mataifa ya Afrika ambayo yana mifumo duni ya afya.
Ni kwa mintaarifu hii ambapo kwa mara nyingine tunaomba serikali kutochukulia suala hili kwa mzaha. Ugonjwa unaoweza kuathiri mawaziri wa serikali zilizo na mifumo thabiti ya afya sio mzaha.
Ugonjwa unaolemea nchi yenye uchumi thabiti kama China na kutia tumbo joto washindani wake kama Amerika na Urusi sio wa kuchukuliwa kwa urahisi.
Jukumu la serikali yoyote ni kulinda raia wa nchi ilivyofanya Mongolia kwa kumtenga rais na mawaziri walioandamana naye kuzuru China. Hakukuwa na habari kwamba rais huyo alikataa kutengwa mbali hatua yake ilikuwa mfano wa kuigwa na raia wa nchi hiyo. Serikali haifai kujitetea inapolaumiwa kwa kulegeza kamba kuhusu suala hili hatari kwa usalama wa taifa.
Haikufaa kusubiri hadi Wakenya waende kortini ili iagizwe kufuta safari za ndege kutoka China. Haikufaa kusubiri mahakama iagize raia wa kigeni 239 waliowasili kwa ndege kutoka China Jumatano wafuatiliwe na kutengwa.
Ni jukumu la kila serikali inayojali maslahi ya raia wake wakati huu ambao Corona imezua hofu ulimwenguni. Kile ambacho maafisa wa serikali wanaotetea hatua ya kuruhusu wageni hao nchini wanapaswa kufahamu ni kuwa gharama ya kukabiliana na maradhi hayo yakiingia nchini ni kubwa mno kuliko hasara ya kufuta safari za ndege kutoka China na nchi nyingine zilizoathiriwa.
Hii ndio sababu tunasema kwamba hatua ambazo Rais Uhuru Kenyatta alitangaza Ijumaa zinapaswa kuzingatiwa kikamilifu.
Wahudumu wa afya na maafisa wa usalama wanaoshughulika kukagua wageni katika viwanja vya ndege na mipakani pia wanafaa kukingwa kwa kupatiwa vifaa ili nao wawe salama wanapotekeleza majukumu yao. Corona sio uchawi, sio mzaha, haibagui tajiri na masikini na kwa hivyo, kila hatua inapaswa kuchukuliwa kuzuia isipenye nchini.
| Shirika la Afya ulimwenguni laitwaje? | {
"text": [
"WHO"
]
} |
0553_swa | Corona si mzaha, serikali iwajibike
Makali ya homa ya Corona yanaendelea kutikisa dunia na haijawasaza watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa na viongozi wakuu wa nchi mbali mbali.
Hapa Kenya, serikali imetangaza hatua ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili kukinga raia dhidi ya maradhi hayo.
Ni janga ambalo Shirika la Afya Ulimwenguni WHO linasema linaweza kusababisha maafa makubwa likipenya katika mataifa ya Afrika ambayo yana mifumo duni ya afya.
Ni kwa mintaarifu hii ambapo kwa mara nyingine tunaomba serikali kutochukulia suala hili kwa mzaha. Ugonjwa unaoweza kuathiri mawaziri wa serikali zilizo na mifumo thabiti ya afya sio mzaha.
Ugonjwa unaolemea nchi yenye uchumi thabiti kama China na kutia tumbo joto washindani wake kama Amerika na Urusi sio wa kuchukuliwa kwa urahisi.
Jukumu la serikali yoyote ni kulinda raia wa nchi ilivyofanya Mongolia kwa kumtenga rais na mawaziri walioandamana naye kuzuru China. Hakukuwa na habari kwamba rais huyo alikataa kutengwa mbali hatua yake ilikuwa mfano wa kuigwa na raia wa nchi hiyo. Serikali haifai kujitetea inapolaumiwa kwa kulegeza kamba kuhusu suala hili hatari kwa usalama wa taifa.
Haikufaa kusubiri hadi Wakenya waende kortini ili iagizwe kufuta safari za ndege kutoka China. Haikufaa kusubiri mahakama iagize raia wa kigeni 239 waliowasili kwa ndege kutoka China Jumatano wafuatiliwe na kutengwa.
Ni jukumu la kila serikali inayojali maslahi ya raia wake wakati huu ambao Corona imezua hofu ulimwenguni. Kile ambacho maafisa wa serikali wanaotetea hatua ya kuruhusu wageni hao nchini wanapaswa kufahamu ni kuwa gharama ya kukabiliana na maradhi hayo yakiingia nchini ni kubwa mno kuliko hasara ya kufuta safari za ndege kutoka China na nchi nyingine zilizoathiriwa.
Hii ndio sababu tunasema kwamba hatua ambazo Rais Uhuru Kenyatta alitangaza Ijumaa zinapaswa kuzingatiwa kikamilifu.
Wahudumu wa afya na maafisa wa usalama wanaoshughulika kukagua wageni katika viwanja vya ndege na mipakani pia wanafaa kukingwa kwa kupatiwa vifaa ili nao wawe salama wanapotekeleza majukumu yao. Corona sio uchawi, sio mzaha, haibagui tajiri na masikini na kwa hivyo, kila hatua inapaswa kuchukuliwa kuzuia isipenye nchini.
| Waathiriwa wa corona katika serekali zilizo na mifumo thabiti ya afya ni kina nani? | {
"text": [
"mawaziri wa serekali"
]
} |
0553_swa | Corona si mzaha, serikali iwajibike
Makali ya homa ya Corona yanaendelea kutikisa dunia na haijawasaza watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa na viongozi wakuu wa nchi mbali mbali.
Hapa Kenya, serikali imetangaza hatua ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili kukinga raia dhidi ya maradhi hayo.
Ni janga ambalo Shirika la Afya Ulimwenguni WHO linasema linaweza kusababisha maafa makubwa likipenya katika mataifa ya Afrika ambayo yana mifumo duni ya afya.
Ni kwa mintaarifu hii ambapo kwa mara nyingine tunaomba serikali kutochukulia suala hili kwa mzaha. Ugonjwa unaoweza kuathiri mawaziri wa serikali zilizo na mifumo thabiti ya afya sio mzaha.
Ugonjwa unaolemea nchi yenye uchumi thabiti kama China na kutia tumbo joto washindani wake kama Amerika na Urusi sio wa kuchukuliwa kwa urahisi.
Jukumu la serikali yoyote ni kulinda raia wa nchi ilivyofanya Mongolia kwa kumtenga rais na mawaziri walioandamana naye kuzuru China. Hakukuwa na habari kwamba rais huyo alikataa kutengwa mbali hatua yake ilikuwa mfano wa kuigwa na raia wa nchi hiyo. Serikali haifai kujitetea inapolaumiwa kwa kulegeza kamba kuhusu suala hili hatari kwa usalama wa taifa.
Haikufaa kusubiri hadi Wakenya waende kortini ili iagizwe kufuta safari za ndege kutoka China. Haikufaa kusubiri mahakama iagize raia wa kigeni 239 waliowasili kwa ndege kutoka China Jumatano wafuatiliwe na kutengwa.
Ni jukumu la kila serikali inayojali maslahi ya raia wake wakati huu ambao Corona imezua hofu ulimwenguni. Kile ambacho maafisa wa serikali wanaotetea hatua ya kuruhusu wageni hao nchini wanapaswa kufahamu ni kuwa gharama ya kukabiliana na maradhi hayo yakiingia nchini ni kubwa mno kuliko hasara ya kufuta safari za ndege kutoka China na nchi nyingine zilizoathiriwa.
Hii ndio sababu tunasema kwamba hatua ambazo Rais Uhuru Kenyatta alitangaza Ijumaa zinapaswa kuzingatiwa kikamilifu.
Wahudumu wa afya na maafisa wa usalama wanaoshughulika kukagua wageni katika viwanja vya ndege na mipakani pia wanafaa kukingwa kwa kupatiwa vifaa ili nao wawe salama wanapotekeleza majukumu yao. Corona sio uchawi, sio mzaha, haibagui tajiri na masikini na kwa hivyo, kila hatua inapaswa kuchukuliwa kuzuia isipenye nchini.
| Taja taifa lililotiwa tumbojoto na corona | {
"text": [
"America , Urusi"
]
} |
0553_swa | Corona si mzaha, serikali iwajibike
Makali ya homa ya Corona yanaendelea kutikisa dunia na haijawasaza watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa na viongozi wakuu wa nchi mbali mbali.
Hapa Kenya, serikali imetangaza hatua ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili kukinga raia dhidi ya maradhi hayo.
Ni janga ambalo Shirika la Afya Ulimwenguni WHO linasema linaweza kusababisha maafa makubwa likipenya katika mataifa ya Afrika ambayo yana mifumo duni ya afya.
Ni kwa mintaarifu hii ambapo kwa mara nyingine tunaomba serikali kutochukulia suala hili kwa mzaha. Ugonjwa unaoweza kuathiri mawaziri wa serikali zilizo na mifumo thabiti ya afya sio mzaha.
Ugonjwa unaolemea nchi yenye uchumi thabiti kama China na kutia tumbo joto washindani wake kama Amerika na Urusi sio wa kuchukuliwa kwa urahisi.
Jukumu la serikali yoyote ni kulinda raia wa nchi ilivyofanya Mongolia kwa kumtenga rais na mawaziri walioandamana naye kuzuru China. Hakukuwa na habari kwamba rais huyo alikataa kutengwa mbali hatua yake ilikuwa mfano wa kuigwa na raia wa nchi hiyo. Serikali haifai kujitetea inapolaumiwa kwa kulegeza kamba kuhusu suala hili hatari kwa usalama wa taifa.
Haikufaa kusubiri hadi Wakenya waende kortini ili iagizwe kufuta safari za ndege kutoka China. Haikufaa kusubiri mahakama iagize raia wa kigeni 239 waliowasili kwa ndege kutoka China Jumatano wafuatiliwe na kutengwa.
Ni jukumu la kila serikali inayojali maslahi ya raia wake wakati huu ambao Corona imezua hofu ulimwenguni. Kile ambacho maafisa wa serikali wanaotetea hatua ya kuruhusu wageni hao nchini wanapaswa kufahamu ni kuwa gharama ya kukabiliana na maradhi hayo yakiingia nchini ni kubwa mno kuliko hasara ya kufuta safari za ndege kutoka China na nchi nyingine zilizoathiriwa.
Hii ndio sababu tunasema kwamba hatua ambazo Rais Uhuru Kenyatta alitangaza Ijumaa zinapaswa kuzingatiwa kikamilifu.
Wahudumu wa afya na maafisa wa usalama wanaoshughulika kukagua wageni katika viwanja vya ndege na mipakani pia wanafaa kukingwa kwa kupatiwa vifaa ili nao wawe salama wanapotekeleza majukumu yao. Corona sio uchawi, sio mzaha, haibagui tajiri na masikini na kwa hivyo, kila hatua inapaswa kuchukuliwa kuzuia isipenye nchini.
| Taja jukumu la kila serekali | {
"text": [
"kuilinda raia wa nchi"
]
} |
0554_swa | Serikali yapiga marufuku maziwa kutoka nje
Serikali haitaruhusu maziwa ya bei nafuu yanayoagizwa kutoka nje kufurika soko la Kenya wakati huu serikali inapoweka mikakati ya kulinda wakulima na kufufua sekta ya maziwa, Waziri wa Kilimo, Bw Peter Munya amesema.
Akizungumza na wakulima katika eneo la Bonde la Ufa Kaskazini, Bw Munya alisema maziwa hayo yamewa sababishia wakulima hasara.
Waziri huyo alisema serikali itawachukulia hatua kali wale watakaopatikana wakiingiza maziwa ya bei rahisi nchini.
"Hatutaruhusu uingizaji wa maziwa ya bei rahisi kudhuru sekta yetu ya maziwa. Nimeelekeza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa wakulima wetu wanalindwa. Mtu yeyote atakayekiuka agizo la serikali, atachukuliwa hatua kali,” Bw Munya akasema.
Bw Munya alisema kuwa wizara yake inakagua mageuzi kadhaa katika sekta ya maziwa ambayo yatafanya wakulima kulipwa kulingana na ubora wa maziwa yao.
"Baada ya baraza la mawaziri kupitisha, wiki iliyopita, kwamba SFR idara ndani ya Bodi ya kitaifa ya Kuhifadhi Nafaka (NCPB), nimeiagiza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa maziwa ya unga yanafanywa kuwa sehemu ya akiba ya chakula cha dharura," Bw Munya alisema.
Mbali na hayo, alisema serikali pia itaimarisha bei ya maziwa akisema baadhi ya maduka makubwa yanapata faida nyingi ilhali wakulima hawapati thamani ya bidhaa zao.
"Tumejitolea kulinda wakulima wetu wa maziwa na tutalazimika kuangalia bei ya maduka makubwa kama njia ya kukuza utamaduni wa utumiaji wa maziwa. Nia kuu ni watu wetu waweze kununua kutoka kwa wakulima ili kupata faida kutoka kwa bidhaa zao " alisema.
| Munya alisema ni maziwa gani yanayowasababishia wakulima hasara | {
"text": [
"Maziwa yanayoagizwa kutoka nje"
]
} |
0554_swa | Serikali yapiga marufuku maziwa kutoka nje
Serikali haitaruhusu maziwa ya bei nafuu yanayoagizwa kutoka nje kufurika soko la Kenya wakati huu serikali inapoweka mikakati ya kulinda wakulima na kufufua sekta ya maziwa, Waziri wa Kilimo, Bw Peter Munya amesema.
Akizungumza na wakulima katika eneo la Bonde la Ufa Kaskazini, Bw Munya alisema maziwa hayo yamewa sababishia wakulima hasara.
Waziri huyo alisema serikali itawachukulia hatua kali wale watakaopatikana wakiingiza maziwa ya bei rahisi nchini.
"Hatutaruhusu uingizaji wa maziwa ya bei rahisi kudhuru sekta yetu ya maziwa. Nimeelekeza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa wakulima wetu wanalindwa. Mtu yeyote atakayekiuka agizo la serikali, atachukuliwa hatua kali,” Bw Munya akasema.
Bw Munya alisema kuwa wizara yake inakagua mageuzi kadhaa katika sekta ya maziwa ambayo yatafanya wakulima kulipwa kulingana na ubora wa maziwa yao.
"Baada ya baraza la mawaziri kupitisha, wiki iliyopita, kwamba SFR idara ndani ya Bodi ya kitaifa ya Kuhifadhi Nafaka (NCPB), nimeiagiza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa maziwa ya unga yanafanywa kuwa sehemu ya akiba ya chakula cha dharura," Bw Munya alisema.
Mbali na hayo, alisema serikali pia itaimarisha bei ya maziwa akisema baadhi ya maduka makubwa yanapata faida nyingi ilhali wakulima hawapati thamani ya bidhaa zao.
"Tumejitolea kulinda wakulima wetu wa maziwa na tutalazimika kuangalia bei ya maduka makubwa kama njia ya kukuza utamaduni wa utumiaji wa maziwa. Nia kuu ni watu wetu waweze kununua kutoka kwa wakulima ili kupata faida kutoka kwa bidhaa zao " alisema.
| Bw Peter Munya ni waziri wa nini | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
0554_swa | Serikali yapiga marufuku maziwa kutoka nje
Serikali haitaruhusu maziwa ya bei nafuu yanayoagizwa kutoka nje kufurika soko la Kenya wakati huu serikali inapoweka mikakati ya kulinda wakulima na kufufua sekta ya maziwa, Waziri wa Kilimo, Bw Peter Munya amesema.
Akizungumza na wakulima katika eneo la Bonde la Ufa Kaskazini, Bw Munya alisema maziwa hayo yamewa sababishia wakulima hasara.
Waziri huyo alisema serikali itawachukulia hatua kali wale watakaopatikana wakiingiza maziwa ya bei rahisi nchini.
"Hatutaruhusu uingizaji wa maziwa ya bei rahisi kudhuru sekta yetu ya maziwa. Nimeelekeza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa wakulima wetu wanalindwa. Mtu yeyote atakayekiuka agizo la serikali, atachukuliwa hatua kali,” Bw Munya akasema.
Bw Munya alisema kuwa wizara yake inakagua mageuzi kadhaa katika sekta ya maziwa ambayo yatafanya wakulima kulipwa kulingana na ubora wa maziwa yao.
"Baada ya baraza la mawaziri kupitisha, wiki iliyopita, kwamba SFR idara ndani ya Bodi ya kitaifa ya Kuhifadhi Nafaka (NCPB), nimeiagiza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa maziwa ya unga yanafanywa kuwa sehemu ya akiba ya chakula cha dharura," Bw Munya alisema.
Mbali na hayo, alisema serikali pia itaimarisha bei ya maziwa akisema baadhi ya maduka makubwa yanapata faida nyingi ilhali wakulima hawapati thamani ya bidhaa zao.
"Tumejitolea kulinda wakulima wetu wa maziwa na tutalazimika kuangalia bei ya maduka makubwa kama njia ya kukuza utamaduni wa utumiaji wa maziwa. Nia kuu ni watu wetu waweze kununua kutoka kwa wakulima ili kupata faida kutoka kwa bidhaa zao " alisema.
| Maziwa ya unga ni akiba na chakula cha wakati gani | {
"text": [
"Wakati wa dharura"
]
} |
0554_swa | Serikali yapiga marufuku maziwa kutoka nje
Serikali haitaruhusu maziwa ya bei nafuu yanayoagizwa kutoka nje kufurika soko la Kenya wakati huu serikali inapoweka mikakati ya kulinda wakulima na kufufua sekta ya maziwa, Waziri wa Kilimo, Bw Peter Munya amesema.
Akizungumza na wakulima katika eneo la Bonde la Ufa Kaskazini, Bw Munya alisema maziwa hayo yamewa sababishia wakulima hasara.
Waziri huyo alisema serikali itawachukulia hatua kali wale watakaopatikana wakiingiza maziwa ya bei rahisi nchini.
"Hatutaruhusu uingizaji wa maziwa ya bei rahisi kudhuru sekta yetu ya maziwa. Nimeelekeza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa wakulima wetu wanalindwa. Mtu yeyote atakayekiuka agizo la serikali, atachukuliwa hatua kali,” Bw Munya akasema.
Bw Munya alisema kuwa wizara yake inakagua mageuzi kadhaa katika sekta ya maziwa ambayo yatafanya wakulima kulipwa kulingana na ubora wa maziwa yao.
"Baada ya baraza la mawaziri kupitisha, wiki iliyopita, kwamba SFR idara ndani ya Bodi ya kitaifa ya Kuhifadhi Nafaka (NCPB), nimeiagiza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa maziwa ya unga yanafanywa kuwa sehemu ya akiba ya chakula cha dharura," Bw Munya alisema.
Mbali na hayo, alisema serikali pia itaimarisha bei ya maziwa akisema baadhi ya maduka makubwa yanapata faida nyingi ilhali wakulima hawapati thamani ya bidhaa zao.
"Tumejitolea kulinda wakulima wetu wa maziwa na tutalazimika kuangalia bei ya maduka makubwa kama njia ya kukuza utamaduni wa utumiaji wa maziwa. Nia kuu ni watu wetu waweze kununua kutoka kwa wakulima ili kupata faida kutoka kwa bidhaa zao " alisema.
| Nani hapati thamani ya bidhaa zake licha ya maduka makubwa kupata faida nyingi | {
"text": [
"Mkulima"
]
} |
0554_swa | Serikali yapiga marufuku maziwa kutoka nje
Serikali haitaruhusu maziwa ya bei nafuu yanayoagizwa kutoka nje kufurika soko la Kenya wakati huu serikali inapoweka mikakati ya kulinda wakulima na kufufua sekta ya maziwa, Waziri wa Kilimo, Bw Peter Munya amesema.
Akizungumza na wakulima katika eneo la Bonde la Ufa Kaskazini, Bw Munya alisema maziwa hayo yamewa sababishia wakulima hasara.
Waziri huyo alisema serikali itawachukulia hatua kali wale watakaopatikana wakiingiza maziwa ya bei rahisi nchini.
"Hatutaruhusu uingizaji wa maziwa ya bei rahisi kudhuru sekta yetu ya maziwa. Nimeelekeza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa wakulima wetu wanalindwa. Mtu yeyote atakayekiuka agizo la serikali, atachukuliwa hatua kali,” Bw Munya akasema.
Bw Munya alisema kuwa wizara yake inakagua mageuzi kadhaa katika sekta ya maziwa ambayo yatafanya wakulima kulipwa kulingana na ubora wa maziwa yao.
"Baada ya baraza la mawaziri kupitisha, wiki iliyopita, kwamba SFR idara ndani ya Bodi ya kitaifa ya Kuhifadhi Nafaka (NCPB), nimeiagiza bodi ya maziwa kuhakikisha kuwa maziwa ya unga yanafanywa kuwa sehemu ya akiba ya chakula cha dharura," Bw Munya alisema.
Mbali na hayo, alisema serikali pia itaimarisha bei ya maziwa akisema baadhi ya maduka makubwa yanapata faida nyingi ilhali wakulima hawapati thamani ya bidhaa zao.
"Tumejitolea kulinda wakulima wetu wa maziwa na tutalazimika kuangalia bei ya maduka makubwa kama njia ya kukuza utamaduni wa utumiaji wa maziwa. Nia kuu ni watu wetu waweze kununua kutoka kwa wakulima ili kupata faida kutoka kwa bidhaa zao " alisema.
| Vipi utamaduni wa utumiaji wa maziwa utadumishwa | {
"text": [
"Kwa kununua maziwa ya wakulima"
]
} |
0556_swa | Mutula Kilonzo ajitetea kwa kumwakilisha Sonko
SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi ya ufisadi inayomkabili.
Seneta huyo amejipata lawamani pamoja na mwenzake Kipchumba Murkomen (Elgeyo Marakwet) na mbunge Daniel Maanzo (Makueni) baada yao kuungana na mawakili waliomwakilisha Bw Sonko kwenye kesi hiyo.
Mbali na tuhuma za ufisadi, gavana huyo anakabiliwa na shtaka la kuwashambulia polisi wakati alipokuwa akikamatwa majuma mawili yaliyopita.
Miongoni mwa walioonekana kukasirishwa na hatua hiyo ni Rais Uhuru Kenyatta.
Kwenye hotuba yake wakati wa sherehe za Sikukuu ya Jamhuri, Rais Kenyatta alisema kuwa haifai watumishi wa umma kujihusisha katika masuala ya kibiashara wakiwa bado katika ofisi.
"Mwanasheria Mkuu anapaswa kuharakisha Sheria ya Kudhibiti Matumizi Mabaya ya
Mamlaka na kuuwasilisha kwa taasisi husikawakilisha kama Bunge la Kitaifa ili kujadiliwa” akasemaRais. Agizo hilo lilijiri siku moja baada ya Bw Sonko kuachiliwa kwa dhamana. Hata hivyo, Bw Kilonzo anasema kuwahatabadilisha msimamo wake hata kidogo.
"Hatukumwakilisha Bw Sonko kwa kupuuza sheria. Polisi walimhangaisha walipokuwa
wakimkamata. Nilitaka aachiliwe ili aweze kujitetea akiwa huru,” akasema Bw Kilonzo.
Seneta huyo alisema alimwakilisha Bw Sonko ili kuhakikisha kuwa haki na usalama wake
umezingatiwa. Alimtaja gavana huyo kama rafiki wa kifamilia kwa muda mrefu na mtu ambaye huwa anajitolea sana kuwasaidia wale ambao hawajiwezi katika jamii. Alisema alihisi kuna
haja ya kuhakikisha usalama wake kutoka kwa vikosi vya usalama. | Kesi gani inayomkabili Gavana Mike Sonko | {
"text": [
"ufisadi"
]
} |
0556_swa | Mutula Kilonzo ajitetea kwa kumwakilisha Sonko
SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi ya ufisadi inayomkabili.
Seneta huyo amejipata lawamani pamoja na mwenzake Kipchumba Murkomen (Elgeyo Marakwet) na mbunge Daniel Maanzo (Makueni) baada yao kuungana na mawakili waliomwakilisha Bw Sonko kwenye kesi hiyo.
Mbali na tuhuma za ufisadi, gavana huyo anakabiliwa na shtaka la kuwashambulia polisi wakati alipokuwa akikamatwa majuma mawili yaliyopita.
Miongoni mwa walioonekana kukasirishwa na hatua hiyo ni Rais Uhuru Kenyatta.
Kwenye hotuba yake wakati wa sherehe za Sikukuu ya Jamhuri, Rais Kenyatta alisema kuwa haifai watumishi wa umma kujihusisha katika masuala ya kibiashara wakiwa bado katika ofisi.
"Mwanasheria Mkuu anapaswa kuharakisha Sheria ya Kudhibiti Matumizi Mabaya ya
Mamlaka na kuuwasilisha kwa taasisi husikawakilisha kama Bunge la Kitaifa ili kujadiliwa” akasemaRais. Agizo hilo lilijiri siku moja baada ya Bw Sonko kuachiliwa kwa dhamana. Hata hivyo, Bw Kilonzo anasema kuwahatabadilisha msimamo wake hata kidogo.
"Hatukumwakilisha Bw Sonko kwa kupuuza sheria. Polisi walimhangaisha walipokuwa
wakimkamata. Nilitaka aachiliwe ili aweze kujitetea akiwa huru,” akasema Bw Kilonzo.
Seneta huyo alisema alimwakilisha Bw Sonko ili kuhakikisha kuwa haki na usalama wake
umezingatiwa. Alimtaja gavana huyo kama rafiki wa kifamilia kwa muda mrefu na mtu ambaye huwa anajitolea sana kuwasaidia wale ambao hawajiwezi katika jamii. Alisema alihisi kuna
haja ya kuhakikisha usalama wake kutoka kwa vikosi vya usalama. | Gavana huyo anakabiliwa na shtaka la kuwashambulia nani | {
"text": [
"polisi"
]
} |
0556_swa | Mutula Kilonzo ajitetea kwa kumwakilisha Sonko
SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi ya ufisadi inayomkabili.
Seneta huyo amejipata lawamani pamoja na mwenzake Kipchumba Murkomen (Elgeyo Marakwet) na mbunge Daniel Maanzo (Makueni) baada yao kuungana na mawakili waliomwakilisha Bw Sonko kwenye kesi hiyo.
Mbali na tuhuma za ufisadi, gavana huyo anakabiliwa na shtaka la kuwashambulia polisi wakati alipokuwa akikamatwa majuma mawili yaliyopita.
Miongoni mwa walioonekana kukasirishwa na hatua hiyo ni Rais Uhuru Kenyatta.
Kwenye hotuba yake wakati wa sherehe za Sikukuu ya Jamhuri, Rais Kenyatta alisema kuwa haifai watumishi wa umma kujihusisha katika masuala ya kibiashara wakiwa bado katika ofisi.
"Mwanasheria Mkuu anapaswa kuharakisha Sheria ya Kudhibiti Matumizi Mabaya ya
Mamlaka na kuuwasilisha kwa taasisi husikawakilisha kama Bunge la Kitaifa ili kujadiliwa” akasemaRais. Agizo hilo lilijiri siku moja baada ya Bw Sonko kuachiliwa kwa dhamana. Hata hivyo, Bw Kilonzo anasema kuwahatabadilisha msimamo wake hata kidogo.
"Hatukumwakilisha Bw Sonko kwa kupuuza sheria. Polisi walimhangaisha walipokuwa
wakimkamata. Nilitaka aachiliwe ili aweze kujitetea akiwa huru,” akasema Bw Kilonzo.
Seneta huyo alisema alimwakilisha Bw Sonko ili kuhakikisha kuwa haki na usalama wake
umezingatiwa. Alimtaja gavana huyo kama rafiki wa kifamilia kwa muda mrefu na mtu ambaye huwa anajitolea sana kuwasaidia wale ambao hawajiwezi katika jamii. Alisema alihisi kuna
haja ya kuhakikisha usalama wake kutoka kwa vikosi vya usalama. | Rais alitoa hotuba yake wakati wa sherehe gani | {
"text": [
"sikukuu ya Jamhuri"
]
} |
0556_swa | Mutula Kilonzo ajitetea kwa kumwakilisha Sonko
SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi ya ufisadi inayomkabili.
Seneta huyo amejipata lawamani pamoja na mwenzake Kipchumba Murkomen (Elgeyo Marakwet) na mbunge Daniel Maanzo (Makueni) baada yao kuungana na mawakili waliomwakilisha Bw Sonko kwenye kesi hiyo.
Mbali na tuhuma za ufisadi, gavana huyo anakabiliwa na shtaka la kuwashambulia polisi wakati alipokuwa akikamatwa majuma mawili yaliyopita.
Miongoni mwa walioonekana kukasirishwa na hatua hiyo ni Rais Uhuru Kenyatta.
Kwenye hotuba yake wakati wa sherehe za Sikukuu ya Jamhuri, Rais Kenyatta alisema kuwa haifai watumishi wa umma kujihusisha katika masuala ya kibiashara wakiwa bado katika ofisi.
"Mwanasheria Mkuu anapaswa kuharakisha Sheria ya Kudhibiti Matumizi Mabaya ya
Mamlaka na kuuwasilisha kwa taasisi husikawakilisha kama Bunge la Kitaifa ili kujadiliwa” akasemaRais. Agizo hilo lilijiri siku moja baada ya Bw Sonko kuachiliwa kwa dhamana. Hata hivyo, Bw Kilonzo anasema kuwahatabadilisha msimamo wake hata kidogo.
"Hatukumwakilisha Bw Sonko kwa kupuuza sheria. Polisi walimhangaisha walipokuwa
wakimkamata. Nilitaka aachiliwe ili aweze kujitetea akiwa huru,” akasema Bw Kilonzo.
Seneta huyo alisema alimwakilisha Bw Sonko ili kuhakikisha kuwa haki na usalama wake
umezingatiwa. Alimtaja gavana huyo kama rafiki wa kifamilia kwa muda mrefu na mtu ambaye huwa anajitolea sana kuwasaidia wale ambao hawajiwezi katika jamii. Alisema alihisi kuna
haja ya kuhakikisha usalama wake kutoka kwa vikosi vya usalama. | Bw Kilonzo alisema hatabadilisha nini | {
"text": [
"msimamo wake"
]
} |
0556_swa | Mutula Kilonzo ajitetea kwa kumwakilisha Sonko
SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi ya ufisadi inayomkabili.
Seneta huyo amejipata lawamani pamoja na mwenzake Kipchumba Murkomen (Elgeyo Marakwet) na mbunge Daniel Maanzo (Makueni) baada yao kuungana na mawakili waliomwakilisha Bw Sonko kwenye kesi hiyo.
Mbali na tuhuma za ufisadi, gavana huyo anakabiliwa na shtaka la kuwashambulia polisi wakati alipokuwa akikamatwa majuma mawili yaliyopita.
Miongoni mwa walioonekana kukasirishwa na hatua hiyo ni Rais Uhuru Kenyatta.
Kwenye hotuba yake wakati wa sherehe za Sikukuu ya Jamhuri, Rais Kenyatta alisema kuwa haifai watumishi wa umma kujihusisha katika masuala ya kibiashara wakiwa bado katika ofisi.
"Mwanasheria Mkuu anapaswa kuharakisha Sheria ya Kudhibiti Matumizi Mabaya ya
Mamlaka na kuuwasilisha kwa taasisi husikawakilisha kama Bunge la Kitaifa ili kujadiliwa” akasemaRais. Agizo hilo lilijiri siku moja baada ya Bw Sonko kuachiliwa kwa dhamana. Hata hivyo, Bw Kilonzo anasema kuwahatabadilisha msimamo wake hata kidogo.
"Hatukumwakilisha Bw Sonko kwa kupuuza sheria. Polisi walimhangaisha walipokuwa
wakimkamata. Nilitaka aachiliwe ili aweze kujitetea akiwa huru,” akasema Bw Kilonzo.
Seneta huyo alisema alimwakilisha Bw Sonko ili kuhakikisha kuwa haki na usalama wake
umezingatiwa. Alimtaja gavana huyo kama rafiki wa kifamilia kwa muda mrefu na mtu ambaye huwa anajitolea sana kuwasaidia wale ambao hawajiwezi katika jamii. Alisema alihisi kuna
haja ya kuhakikisha usalama wake kutoka kwa vikosi vya usalama. | Kilonzo alimtaja Gavana kama nani | {
"text": [
"rafiki wa kifamilia"
]
} |
0558_swa | NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI
Tujitahidi kuyazuia maovu kwa watoto
VISA vya watoto kujitoa uhai vimezidi kuripotiwa katika siku za hivi majuzi. Kwa miaka michache sasa, kumekuwa na matukio chungu nzima ambapo watoto wadogo wanapatikana wamejitia kitanzi au kunywa sumu hadi wakafariki. Sababu mbalimbali hutolewa, ikiwemo kwamba walihofia kuadhibiwa na wazazi wao, hawakupata kitu ambacho walitarajia ikiwemo matokeo fulani katika mitihani, au walipokonywa kitu wanachokithamini kama vile simu ya mkononi.
Kila mara visa aina hii vinapotokea, jambo tunalosikia sana vinywani mwa wanaotoa maoni yao ni kwamba wazazi na walezi wanahitaji kubadili mahusiano yao na watoto wao.
Huwa wengi wetu wanaamini kwamba watoto wanajitoa uhai kwa wingi kutokana na wazazi walivyowatelekeza na kukosa muda wa kushauriana nao kuhusu mambo wanayopitia kimaisha.
Ijapokuwa kuna uwezekano kwamba hiki ni chanzo cha matukio hayo ya kuogofya, inahitajika pia tujiulize watoto hawa wanajifunza wapi mbinu za kujitoa uhai.
Siku hizi, si rahisi upate vyombo vikuu vya habari hasa magazeti yakipeperusha habari aina hizi.
Hii ni kutokana na imani miongoni mwa baadhi ya wadau wa sekta ya uanahabari kwamba kuna uwezekano watoto hujifunza mambo haya kutoka kwa habari zinazopeperushwa mara kwa mara.
Inaaminika kadri na jinsi habari hizi zinavyopeperushwa, watoto wengi zaidi wanafuata mkondo huo kwani wanaona wenzao wakifanya hivyo. Ni wakati wa jamii nzima kuchukua muda kutafakari kuhusu kile ambacho tunafanya au tusichofanya, kinachofunza watoto maovu haya yanayokatiza maisha yao wakiwa wachanga.
Ijapokuwa vyombo vya habari vinaweza kujidhibiti na kuzuia upeperushaji wa habari za kutisha aina hii, bado watoto wana uhuru mwingi wanaotumia kupokea habari kutoka kwingineko.
Filamu nyingi wanazotazama bila wazazi kufahamu yaliyomo huwa zimejaa matukio ambapo watu wanatenda maovu ikiwemo kujitoa uhai, kando na matumizi ya mihadarati, ngono na aina nyinginezo za uhalifu.
Vile vile, mitandao ya kijamii na michezo ya kimitandao pia huchangia kueneza maovu tele miongoni mwa watoto wetu.
Haya ni masuala ambayo lazima jamii ianze kutathmini jinsi ya kuyadhibiti kikamilifu la sivyo, tutazidi kupoteza watoto wetu na kuweka hatima ya kizazi kijacho hatarini. | Visa vya nani kujitoa uhai vimezidi | {
"text": [
"watoto"
]
} |
0558_swa | NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI
Tujitahidi kuyazuia maovu kwa watoto
VISA vya watoto kujitoa uhai vimezidi kuripotiwa katika siku za hivi majuzi. Kwa miaka michache sasa, kumekuwa na matukio chungu nzima ambapo watoto wadogo wanapatikana wamejitia kitanzi au kunywa sumu hadi wakafariki. Sababu mbalimbali hutolewa, ikiwemo kwamba walihofia kuadhibiwa na wazazi wao, hawakupata kitu ambacho walitarajia ikiwemo matokeo fulani katika mitihani, au walipokonywa kitu wanachokithamini kama vile simu ya mkononi.
Kila mara visa aina hii vinapotokea, jambo tunalosikia sana vinywani mwa wanaotoa maoni yao ni kwamba wazazi na walezi wanahitaji kubadili mahusiano yao na watoto wao.
Huwa wengi wetu wanaamini kwamba watoto wanajitoa uhai kwa wingi kutokana na wazazi walivyowatelekeza na kukosa muda wa kushauriana nao kuhusu mambo wanayopitia kimaisha.
Ijapokuwa kuna uwezekano kwamba hiki ni chanzo cha matukio hayo ya kuogofya, inahitajika pia tujiulize watoto hawa wanajifunza wapi mbinu za kujitoa uhai.
Siku hizi, si rahisi upate vyombo vikuu vya habari hasa magazeti yakipeperusha habari aina hizi.
Hii ni kutokana na imani miongoni mwa baadhi ya wadau wa sekta ya uanahabari kwamba kuna uwezekano watoto hujifunza mambo haya kutoka kwa habari zinazopeperushwa mara kwa mara.
Inaaminika kadri na jinsi habari hizi zinavyopeperushwa, watoto wengi zaidi wanafuata mkondo huo kwani wanaona wenzao wakifanya hivyo. Ni wakati wa jamii nzima kuchukua muda kutafakari kuhusu kile ambacho tunafanya au tusichofanya, kinachofunza watoto maovu haya yanayokatiza maisha yao wakiwa wachanga.
Ijapokuwa vyombo vya habari vinaweza kujidhibiti na kuzuia upeperushaji wa habari za kutisha aina hii, bado watoto wana uhuru mwingi wanaotumia kupokea habari kutoka kwingineko.
Filamu nyingi wanazotazama bila wazazi kufahamu yaliyomo huwa zimejaa matukio ambapo watu wanatenda maovu ikiwemo kujitoa uhai, kando na matumizi ya mihadarati, ngono na aina nyinginezo za uhalifu.
Vile vile, mitandao ya kijamii na michezo ya kimitandao pia huchangia kueneza maovu tele miongoni mwa watoto wetu.
Haya ni masuala ambayo lazima jamii ianze kutathmini jinsi ya kuyadhibiti kikamilifu la sivyo, tutazidi kupoteza watoto wetu na kuweka hatima ya kizazi kijacho hatarini. | Watoto wanajitoa uhai kutokana na nani walivyowatelekeza | {
"text": [
"wazazi"
]
} |
0558_swa | NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI
Tujitahidi kuyazuia maovu kwa watoto
VISA vya watoto kujitoa uhai vimezidi kuripotiwa katika siku za hivi majuzi. Kwa miaka michache sasa, kumekuwa na matukio chungu nzima ambapo watoto wadogo wanapatikana wamejitia kitanzi au kunywa sumu hadi wakafariki. Sababu mbalimbali hutolewa, ikiwemo kwamba walihofia kuadhibiwa na wazazi wao, hawakupata kitu ambacho walitarajia ikiwemo matokeo fulani katika mitihani, au walipokonywa kitu wanachokithamini kama vile simu ya mkononi.
Kila mara visa aina hii vinapotokea, jambo tunalosikia sana vinywani mwa wanaotoa maoni yao ni kwamba wazazi na walezi wanahitaji kubadili mahusiano yao na watoto wao.
Huwa wengi wetu wanaamini kwamba watoto wanajitoa uhai kwa wingi kutokana na wazazi walivyowatelekeza na kukosa muda wa kushauriana nao kuhusu mambo wanayopitia kimaisha.
Ijapokuwa kuna uwezekano kwamba hiki ni chanzo cha matukio hayo ya kuogofya, inahitajika pia tujiulize watoto hawa wanajifunza wapi mbinu za kujitoa uhai.
Siku hizi, si rahisi upate vyombo vikuu vya habari hasa magazeti yakipeperusha habari aina hizi.
Hii ni kutokana na imani miongoni mwa baadhi ya wadau wa sekta ya uanahabari kwamba kuna uwezekano watoto hujifunza mambo haya kutoka kwa habari zinazopeperushwa mara kwa mara.
Inaaminika kadri na jinsi habari hizi zinavyopeperushwa, watoto wengi zaidi wanafuata mkondo huo kwani wanaona wenzao wakifanya hivyo. Ni wakati wa jamii nzima kuchukua muda kutafakari kuhusu kile ambacho tunafanya au tusichofanya, kinachofunza watoto maovu haya yanayokatiza maisha yao wakiwa wachanga.
Ijapokuwa vyombo vya habari vinaweza kujidhibiti na kuzuia upeperushaji wa habari za kutisha aina hii, bado watoto wana uhuru mwingi wanaotumia kupokea habari kutoka kwingineko.
Filamu nyingi wanazotazama bila wazazi kufahamu yaliyomo huwa zimejaa matukio ambapo watu wanatenda maovu ikiwemo kujitoa uhai, kando na matumizi ya mihadarati, ngono na aina nyinginezo za uhalifu.
Vile vile, mitandao ya kijamii na michezo ya kimitandao pia huchangia kueneza maovu tele miongoni mwa watoto wetu.
Haya ni masuala ambayo lazima jamii ianze kutathmini jinsi ya kuyadhibiti kikamilifu la sivyo, tutazidi kupoteza watoto wetu na kuweka hatima ya kizazi kijacho hatarini. | Watoto wana uhuru wanaotumia kupokea nini kutoka kwingineko | {
"text": [
"habari"
]
} |
0558_swa | NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI
Tujitahidi kuyazuia maovu kwa watoto
VISA vya watoto kujitoa uhai vimezidi kuripotiwa katika siku za hivi majuzi. Kwa miaka michache sasa, kumekuwa na matukio chungu nzima ambapo watoto wadogo wanapatikana wamejitia kitanzi au kunywa sumu hadi wakafariki. Sababu mbalimbali hutolewa, ikiwemo kwamba walihofia kuadhibiwa na wazazi wao, hawakupata kitu ambacho walitarajia ikiwemo matokeo fulani katika mitihani, au walipokonywa kitu wanachokithamini kama vile simu ya mkononi.
Kila mara visa aina hii vinapotokea, jambo tunalosikia sana vinywani mwa wanaotoa maoni yao ni kwamba wazazi na walezi wanahitaji kubadili mahusiano yao na watoto wao.
Huwa wengi wetu wanaamini kwamba watoto wanajitoa uhai kwa wingi kutokana na wazazi walivyowatelekeza na kukosa muda wa kushauriana nao kuhusu mambo wanayopitia kimaisha.
Ijapokuwa kuna uwezekano kwamba hiki ni chanzo cha matukio hayo ya kuogofya, inahitajika pia tujiulize watoto hawa wanajifunza wapi mbinu za kujitoa uhai.
Siku hizi, si rahisi upate vyombo vikuu vya habari hasa magazeti yakipeperusha habari aina hizi.
Hii ni kutokana na imani miongoni mwa baadhi ya wadau wa sekta ya uanahabari kwamba kuna uwezekano watoto hujifunza mambo haya kutoka kwa habari zinazopeperushwa mara kwa mara.
Inaaminika kadri na jinsi habari hizi zinavyopeperushwa, watoto wengi zaidi wanafuata mkondo huo kwani wanaona wenzao wakifanya hivyo. Ni wakati wa jamii nzima kuchukua muda kutafakari kuhusu kile ambacho tunafanya au tusichofanya, kinachofunza watoto maovu haya yanayokatiza maisha yao wakiwa wachanga.
Ijapokuwa vyombo vya habari vinaweza kujidhibiti na kuzuia upeperushaji wa habari za kutisha aina hii, bado watoto wana uhuru mwingi wanaotumia kupokea habari kutoka kwingineko.
Filamu nyingi wanazotazama bila wazazi kufahamu yaliyomo huwa zimejaa matukio ambapo watu wanatenda maovu ikiwemo kujitoa uhai, kando na matumizi ya mihadarati, ngono na aina nyinginezo za uhalifu.
Vile vile, mitandao ya kijamii na michezo ya kimitandao pia huchangia kueneza maovu tele miongoni mwa watoto wetu.
Haya ni masuala ambayo lazima jamii ianze kutathmini jinsi ya kuyadhibiti kikamilifu la sivyo, tutazidi kupoteza watoto wetu na kuweka hatima ya kizazi kijacho hatarini. | Watoto hutazama nini bila wazazi kufahamu | {
"text": [
"filamu"
]
} |
0558_swa | NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI
Tujitahidi kuyazuia maovu kwa watoto
VISA vya watoto kujitoa uhai vimezidi kuripotiwa katika siku za hivi majuzi. Kwa miaka michache sasa, kumekuwa na matukio chungu nzima ambapo watoto wadogo wanapatikana wamejitia kitanzi au kunywa sumu hadi wakafariki. Sababu mbalimbali hutolewa, ikiwemo kwamba walihofia kuadhibiwa na wazazi wao, hawakupata kitu ambacho walitarajia ikiwemo matokeo fulani katika mitihani, au walipokonywa kitu wanachokithamini kama vile simu ya mkononi.
Kila mara visa aina hii vinapotokea, jambo tunalosikia sana vinywani mwa wanaotoa maoni yao ni kwamba wazazi na walezi wanahitaji kubadili mahusiano yao na watoto wao.
Huwa wengi wetu wanaamini kwamba watoto wanajitoa uhai kwa wingi kutokana na wazazi walivyowatelekeza na kukosa muda wa kushauriana nao kuhusu mambo wanayopitia kimaisha.
Ijapokuwa kuna uwezekano kwamba hiki ni chanzo cha matukio hayo ya kuogofya, inahitajika pia tujiulize watoto hawa wanajifunza wapi mbinu za kujitoa uhai.
Siku hizi, si rahisi upate vyombo vikuu vya habari hasa magazeti yakipeperusha habari aina hizi.
Hii ni kutokana na imani miongoni mwa baadhi ya wadau wa sekta ya uanahabari kwamba kuna uwezekano watoto hujifunza mambo haya kutoka kwa habari zinazopeperushwa mara kwa mara.
Inaaminika kadri na jinsi habari hizi zinavyopeperushwa, watoto wengi zaidi wanafuata mkondo huo kwani wanaona wenzao wakifanya hivyo. Ni wakati wa jamii nzima kuchukua muda kutafakari kuhusu kile ambacho tunafanya au tusichofanya, kinachofunza watoto maovu haya yanayokatiza maisha yao wakiwa wachanga.
Ijapokuwa vyombo vya habari vinaweza kujidhibiti na kuzuia upeperushaji wa habari za kutisha aina hii, bado watoto wana uhuru mwingi wanaotumia kupokea habari kutoka kwingineko.
Filamu nyingi wanazotazama bila wazazi kufahamu yaliyomo huwa zimejaa matukio ambapo watu wanatenda maovu ikiwemo kujitoa uhai, kando na matumizi ya mihadarati, ngono na aina nyinginezo za uhalifu.
Vile vile, mitandao ya kijamii na michezo ya kimitandao pia huchangia kueneza maovu tele miongoni mwa watoto wetu.
Haya ni masuala ambayo lazima jamii ianze kutathmini jinsi ya kuyadhibiti kikamilifu la sivyo, tutazidi kupoteza watoto wetu na kuweka hatima ya kizazi kijacho hatarini. | Mitandao ya kijamii hueneza nini | {
"text": [
"maovu"
]
} |
0560_swa | Sikukuu hii inatufunza kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango: kila kitu duniani kinatendekea wa mikakati yake
Krismasi si sherehe tu bali somo muhimu kwetu kuweka mipango
MAHUBIRI
SHAMRASHAMRA za Krismasi huacha mifuko ya watu imesinyaa kila mwaka. Lakini ukweli ni kwamba Krismasi ni somo la jinsi unapanga mikakati yako. Krismasi haitokei kama dharura.
Inajulikana kuwa kila tarehe 25 Desemba ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Zaidi, Krismasi inatufundisha kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango. Hakurupuki, habahatishi wala hachezi bahati nasibu.
Alipanga juu ya kuzaliwa kwa mkombozi wetu. Akaandaa siku na saa hususan ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu.
Ulikuwa ni mpango wa muda mrefu na mkakati dhabiti wa kumkomboa mwanadamu.
Maishani, usipofikiria juu ya kesho hutakuwa nayo. Maisha ni kujipanga.
Isaya alitabiri, “Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli" (Isaya 7:14).
Katika maneno hayo tunaona tangazo la kuzaliwa kwa Yesu Kristo.
Utabiiri huu ulitolewa 736-700 K.K (K.K. ni ufupisho wa Kabla ya Kristo).
Kuna aliyesema, "Mungu kila mara ana kitu kwa ajili yako. Ufunguo wa kila tatizo, mwanga kwa kila kivuli, faraja kwa kila huzuni na mpango kwa kila kesho."
Ndugu msomaji kuwa na mpango wa kila kesho. Kuwa na mpango wa
kila mwaka. Kama kampuni zinawe ka mpango wa miaka 100, kwanini usiwe na mpango angalau wa miaka kumi.
"Usifanye mipango midogo; haina uchawi' wa kusisimua damu ya watu," alisema Daniel Burnham.
Kuwa na mkakati ni vizuri sana. Mpango wa ukombozi wa mwanadamu ni mkakati mkubwa sana. Ulisisimua damu ya Yesu. Ulisisimua damu ya mitume wake. Je, mipango uliyo nayo inasisimua damu yako?
Mungu alishuka kwa mfano wa binadamu. Ni jambo linalozidi mawazo yetu. Kuna mkristo mmoja aliacha kusali kwa sababu haelewi ni vipi Mungu anaweza kujifanya mtu.
Siku ya Krismasi hakwenda kanisani kusali. Mvua ilinyesha sana, na kuku wake waliokuwa nje wakanyeshewa.
Alitaka kuwapeleka kibandani lakini alishinda kuwasiliana nao. Alijiambia, “Ningekuwa na uwezo wa kuwa kama kuku niongee lugha yao, wangenielewa na ningewasaidia."
Tukio hilo likamfanya kupata jibu la tafakari yake, kwamba kwanini Mungu alikuja kama binadamu, akazaliwa na kuishi kama sisi. Lengo lilikuwa kutukomboa.
Somo lingine la Krismasi ni kuwa, popote ulipong'aa. Hata kama umezungukwa na wabezaji, ng'aa. Yesu alizaliwa horini akiwa amezungukwa na wanyama kama ng'ombe na punda.
"Mtoto Yesu anapata joto toka kwa ng'ombe na punda. Ng'ombe ni kwa alama ya bidii katika kazi, kukubali kubezwa hata tunapofanya mema ni sawa na punda ambaye hubeba mizigo lakini hakuna anayemjali" (M Gaspari del Bufalo).
Kuna methali ya Tanzania isemayo, "asiyeweza naye hudharau. Hata ukidharauliwaendelea kung’aa
"Mbezaji ni mtu anayejua njia lakini hawezi kuendesha gari," alisema Kenneth Tynan.
Hata ukiwa horini, ng'aa, Shimoni, ng'aa. Kwenye makazi mabaya ng'aa. Dhahabu hung'aa shimoni ili kutambulika.
Kuna methali nyingine ya Tanzania isemayo, “Jiwe dogo walilitupa majini likasema, "Haizuru, yote ma kazi!"."
"Yesu alizaliwa pahali pasipo pa hadhi, yeye ambaye kiti chake kilikuwa mbinguni, ili atuelekeze katika furaha ya ufalme wa mbinguni. Yeye ambaye ni mkate wa uzima analazwa horini ili atushibishe kama wanyama walivyokuwa wanashibishwa," alisema Baba wa Kanisa Bede.
"Pasingekuwepo na msalaba pasingekuwepo na hori; pasingekuwepo na misumari, pasingekuwepo na nyasi" (Askofu Fulton Sheen.)
Lakini baada ya dhiki faraja, penye msalaba kuna utukufu, penye misumari kuna neema.
"Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita Jina lake Imanuell."
(Isaya 7:14) | Shamrashamra za Krismasi huwacha nini ya watu imesinyaa | {
"text": [
"mifuko"
]
} |
0560_swa | Sikukuu hii inatufunza kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango: kila kitu duniani kinatendekea wa mikakati yake
Krismasi si sherehe tu bali somo muhimu kwetu kuweka mipango
MAHUBIRI
SHAMRASHAMRA za Krismasi huacha mifuko ya watu imesinyaa kila mwaka. Lakini ukweli ni kwamba Krismasi ni somo la jinsi unapanga mikakati yako. Krismasi haitokei kama dharura.
Inajulikana kuwa kila tarehe 25 Desemba ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Zaidi, Krismasi inatufundisha kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango. Hakurupuki, habahatishi wala hachezi bahati nasibu.
Alipanga juu ya kuzaliwa kwa mkombozi wetu. Akaandaa siku na saa hususan ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu.
Ulikuwa ni mpango wa muda mrefu na mkakati dhabiti wa kumkomboa mwanadamu.
Maishani, usipofikiria juu ya kesho hutakuwa nayo. Maisha ni kujipanga.
Isaya alitabiri, “Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli" (Isaya 7:14).
Katika maneno hayo tunaona tangazo la kuzaliwa kwa Yesu Kristo.
Utabiiri huu ulitolewa 736-700 K.K (K.K. ni ufupisho wa Kabla ya Kristo).
Kuna aliyesema, "Mungu kila mara ana kitu kwa ajili yako. Ufunguo wa kila tatizo, mwanga kwa kila kivuli, faraja kwa kila huzuni na mpango kwa kila kesho."
Ndugu msomaji kuwa na mpango wa kila kesho. Kuwa na mpango wa
kila mwaka. Kama kampuni zinawe ka mpango wa miaka 100, kwanini usiwe na mpango angalau wa miaka kumi.
"Usifanye mipango midogo; haina uchawi' wa kusisimua damu ya watu," alisema Daniel Burnham.
Kuwa na mkakati ni vizuri sana. Mpango wa ukombozi wa mwanadamu ni mkakati mkubwa sana. Ulisisimua damu ya Yesu. Ulisisimua damu ya mitume wake. Je, mipango uliyo nayo inasisimua damu yako?
Mungu alishuka kwa mfano wa binadamu. Ni jambo linalozidi mawazo yetu. Kuna mkristo mmoja aliacha kusali kwa sababu haelewi ni vipi Mungu anaweza kujifanya mtu.
Siku ya Krismasi hakwenda kanisani kusali. Mvua ilinyesha sana, na kuku wake waliokuwa nje wakanyeshewa.
Alitaka kuwapeleka kibandani lakini alishinda kuwasiliana nao. Alijiambia, “Ningekuwa na uwezo wa kuwa kama kuku niongee lugha yao, wangenielewa na ningewasaidia."
Tukio hilo likamfanya kupata jibu la tafakari yake, kwamba kwanini Mungu alikuja kama binadamu, akazaliwa na kuishi kama sisi. Lengo lilikuwa kutukomboa.
Somo lingine la Krismasi ni kuwa, popote ulipong'aa. Hata kama umezungukwa na wabezaji, ng'aa. Yesu alizaliwa horini akiwa amezungukwa na wanyama kama ng'ombe na punda.
"Mtoto Yesu anapata joto toka kwa ng'ombe na punda. Ng'ombe ni kwa alama ya bidii katika kazi, kukubali kubezwa hata tunapofanya mema ni sawa na punda ambaye hubeba mizigo lakini hakuna anayemjali" (M Gaspari del Bufalo).
Kuna methali ya Tanzania isemayo, "asiyeweza naye hudharau. Hata ukidharauliwaendelea kung’aa
"Mbezaji ni mtu anayejua njia lakini hawezi kuendesha gari," alisema Kenneth Tynan.
Hata ukiwa horini, ng'aa, Shimoni, ng'aa. Kwenye makazi mabaya ng'aa. Dhahabu hung'aa shimoni ili kutambulika.
Kuna methali nyingine ya Tanzania isemayo, “Jiwe dogo walilitupa majini likasema, "Haizuru, yote ma kazi!"."
"Yesu alizaliwa pahali pasipo pa hadhi, yeye ambaye kiti chake kilikuwa mbinguni, ili atuelekeze katika furaha ya ufalme wa mbinguni. Yeye ambaye ni mkate wa uzima analazwa horini ili atushibishe kama wanyama walivyokuwa wanashibishwa," alisema Baba wa Kanisa Bede.
"Pasingekuwepo na msalaba pasingekuwepo na hori; pasingekuwepo na misumari, pasingekuwepo na nyasi" (Askofu Fulton Sheen.)
Lakini baada ya dhiki faraja, penye msalaba kuna utukufu, penye misumari kuna neema.
"Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita Jina lake Imanuell."
(Isaya 7:14) | Nani hachezi bahati nasibu | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
0560_swa | Sikukuu hii inatufunza kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango: kila kitu duniani kinatendekea wa mikakati yake
Krismasi si sherehe tu bali somo muhimu kwetu kuweka mipango
MAHUBIRI
SHAMRASHAMRA za Krismasi huacha mifuko ya watu imesinyaa kila mwaka. Lakini ukweli ni kwamba Krismasi ni somo la jinsi unapanga mikakati yako. Krismasi haitokei kama dharura.
Inajulikana kuwa kila tarehe 25 Desemba ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Zaidi, Krismasi inatufundisha kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango. Hakurupuki, habahatishi wala hachezi bahati nasibu.
Alipanga juu ya kuzaliwa kwa mkombozi wetu. Akaandaa siku na saa hususan ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu.
Ulikuwa ni mpango wa muda mrefu na mkakati dhabiti wa kumkomboa mwanadamu.
Maishani, usipofikiria juu ya kesho hutakuwa nayo. Maisha ni kujipanga.
Isaya alitabiri, “Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli" (Isaya 7:14).
Katika maneno hayo tunaona tangazo la kuzaliwa kwa Yesu Kristo.
Utabiiri huu ulitolewa 736-700 K.K (K.K. ni ufupisho wa Kabla ya Kristo).
Kuna aliyesema, "Mungu kila mara ana kitu kwa ajili yako. Ufunguo wa kila tatizo, mwanga kwa kila kivuli, faraja kwa kila huzuni na mpango kwa kila kesho."
Ndugu msomaji kuwa na mpango wa kila kesho. Kuwa na mpango wa
kila mwaka. Kama kampuni zinawe ka mpango wa miaka 100, kwanini usiwe na mpango angalau wa miaka kumi.
"Usifanye mipango midogo; haina uchawi' wa kusisimua damu ya watu," alisema Daniel Burnham.
Kuwa na mkakati ni vizuri sana. Mpango wa ukombozi wa mwanadamu ni mkakati mkubwa sana. Ulisisimua damu ya Yesu. Ulisisimua damu ya mitume wake. Je, mipango uliyo nayo inasisimua damu yako?
Mungu alishuka kwa mfano wa binadamu. Ni jambo linalozidi mawazo yetu. Kuna mkristo mmoja aliacha kusali kwa sababu haelewi ni vipi Mungu anaweza kujifanya mtu.
Siku ya Krismasi hakwenda kanisani kusali. Mvua ilinyesha sana, na kuku wake waliokuwa nje wakanyeshewa.
Alitaka kuwapeleka kibandani lakini alishinda kuwasiliana nao. Alijiambia, “Ningekuwa na uwezo wa kuwa kama kuku niongee lugha yao, wangenielewa na ningewasaidia."
Tukio hilo likamfanya kupata jibu la tafakari yake, kwamba kwanini Mungu alikuja kama binadamu, akazaliwa na kuishi kama sisi. Lengo lilikuwa kutukomboa.
Somo lingine la Krismasi ni kuwa, popote ulipong'aa. Hata kama umezungukwa na wabezaji, ng'aa. Yesu alizaliwa horini akiwa amezungukwa na wanyama kama ng'ombe na punda.
"Mtoto Yesu anapata joto toka kwa ng'ombe na punda. Ng'ombe ni kwa alama ya bidii katika kazi, kukubali kubezwa hata tunapofanya mema ni sawa na punda ambaye hubeba mizigo lakini hakuna anayemjali" (M Gaspari del Bufalo).
Kuna methali ya Tanzania isemayo, "asiyeweza naye hudharau. Hata ukidharauliwaendelea kung’aa
"Mbezaji ni mtu anayejua njia lakini hawezi kuendesha gari," alisema Kenneth Tynan.
Hata ukiwa horini, ng'aa, Shimoni, ng'aa. Kwenye makazi mabaya ng'aa. Dhahabu hung'aa shimoni ili kutambulika.
Kuna methali nyingine ya Tanzania isemayo, “Jiwe dogo walilitupa majini likasema, "Haizuru, yote ma kazi!"."
"Yesu alizaliwa pahali pasipo pa hadhi, yeye ambaye kiti chake kilikuwa mbinguni, ili atuelekeze katika furaha ya ufalme wa mbinguni. Yeye ambaye ni mkate wa uzima analazwa horini ili atushibishe kama wanyama walivyokuwa wanashibishwa," alisema Baba wa Kanisa Bede.
"Pasingekuwepo na msalaba pasingekuwepo na hori; pasingekuwepo na misumari, pasingekuwepo na nyasi" (Askofu Fulton Sheen.)
Lakini baada ya dhiki faraja, penye msalaba kuna utukufu, penye misumari kuna neema.
"Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita Jina lake Imanuell."
(Isaya 7:14) | Usipofikiria juu ya lini hutakuwa nayo | {
"text": [
"kesho"
]
} |
0560_swa | Sikukuu hii inatufunza kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango: kila kitu duniani kinatendekea wa mikakati yake
Krismasi si sherehe tu bali somo muhimu kwetu kuweka mipango
MAHUBIRI
SHAMRASHAMRA za Krismasi huacha mifuko ya watu imesinyaa kila mwaka. Lakini ukweli ni kwamba Krismasi ni somo la jinsi unapanga mikakati yako. Krismasi haitokei kama dharura.
Inajulikana kuwa kila tarehe 25 Desemba ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Zaidi, Krismasi inatufundisha kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango. Hakurupuki, habahatishi wala hachezi bahati nasibu.
Alipanga juu ya kuzaliwa kwa mkombozi wetu. Akaandaa siku na saa hususan ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu.
Ulikuwa ni mpango wa muda mrefu na mkakati dhabiti wa kumkomboa mwanadamu.
Maishani, usipofikiria juu ya kesho hutakuwa nayo. Maisha ni kujipanga.
Isaya alitabiri, “Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli" (Isaya 7:14).
Katika maneno hayo tunaona tangazo la kuzaliwa kwa Yesu Kristo.
Utabiiri huu ulitolewa 736-700 K.K (K.K. ni ufupisho wa Kabla ya Kristo).
Kuna aliyesema, "Mungu kila mara ana kitu kwa ajili yako. Ufunguo wa kila tatizo, mwanga kwa kila kivuli, faraja kwa kila huzuni na mpango kwa kila kesho."
Ndugu msomaji kuwa na mpango wa kila kesho. Kuwa na mpango wa
kila mwaka. Kama kampuni zinawe ka mpango wa miaka 100, kwanini usiwe na mpango angalau wa miaka kumi.
"Usifanye mipango midogo; haina uchawi' wa kusisimua damu ya watu," alisema Daniel Burnham.
Kuwa na mkakati ni vizuri sana. Mpango wa ukombozi wa mwanadamu ni mkakati mkubwa sana. Ulisisimua damu ya Yesu. Ulisisimua damu ya mitume wake. Je, mipango uliyo nayo inasisimua damu yako?
Mungu alishuka kwa mfano wa binadamu. Ni jambo linalozidi mawazo yetu. Kuna mkristo mmoja aliacha kusali kwa sababu haelewi ni vipi Mungu anaweza kujifanya mtu.
Siku ya Krismasi hakwenda kanisani kusali. Mvua ilinyesha sana, na kuku wake waliokuwa nje wakanyeshewa.
Alitaka kuwapeleka kibandani lakini alishinda kuwasiliana nao. Alijiambia, “Ningekuwa na uwezo wa kuwa kama kuku niongee lugha yao, wangenielewa na ningewasaidia."
Tukio hilo likamfanya kupata jibu la tafakari yake, kwamba kwanini Mungu alikuja kama binadamu, akazaliwa na kuishi kama sisi. Lengo lilikuwa kutukomboa.
Somo lingine la Krismasi ni kuwa, popote ulipong'aa. Hata kama umezungukwa na wabezaji, ng'aa. Yesu alizaliwa horini akiwa amezungukwa na wanyama kama ng'ombe na punda.
"Mtoto Yesu anapata joto toka kwa ng'ombe na punda. Ng'ombe ni kwa alama ya bidii katika kazi, kukubali kubezwa hata tunapofanya mema ni sawa na punda ambaye hubeba mizigo lakini hakuna anayemjali" (M Gaspari del Bufalo).
Kuna methali ya Tanzania isemayo, "asiyeweza naye hudharau. Hata ukidharauliwaendelea kung’aa
"Mbezaji ni mtu anayejua njia lakini hawezi kuendesha gari," alisema Kenneth Tynan.
Hata ukiwa horini, ng'aa, Shimoni, ng'aa. Kwenye makazi mabaya ng'aa. Dhahabu hung'aa shimoni ili kutambulika.
Kuna methali nyingine ya Tanzania isemayo, “Jiwe dogo walilitupa majini likasema, "Haizuru, yote ma kazi!"."
"Yesu alizaliwa pahali pasipo pa hadhi, yeye ambaye kiti chake kilikuwa mbinguni, ili atuelekeze katika furaha ya ufalme wa mbinguni. Yeye ambaye ni mkate wa uzima analazwa horini ili atushibishe kama wanyama walivyokuwa wanashibishwa," alisema Baba wa Kanisa Bede.
"Pasingekuwepo na msalaba pasingekuwepo na hori; pasingekuwepo na misumari, pasingekuwepo na nyasi" (Askofu Fulton Sheen.)
Lakini baada ya dhiki faraja, penye msalaba kuna utukufu, penye misumari kuna neema.
"Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita Jina lake Imanuell."
(Isaya 7:14) | Isaya alitabiri nani atachukua mimba | {
"text": [
"bikira"
]
} |
0560_swa | Sikukuu hii inatufunza kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango: kila kitu duniani kinatendekea wa mikakati yake
Krismasi si sherehe tu bali somo muhimu kwetu kuweka mipango
MAHUBIRI
SHAMRASHAMRA za Krismasi huacha mifuko ya watu imesinyaa kila mwaka. Lakini ukweli ni kwamba Krismasi ni somo la jinsi unapanga mikakati yako. Krismasi haitokei kama dharura.
Inajulikana kuwa kila tarehe 25 Desemba ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Zaidi, Krismasi inatufundisha kuwa Mungu wetu ni Mungu wa mipango. Hakurupuki, habahatishi wala hachezi bahati nasibu.
Alipanga juu ya kuzaliwa kwa mkombozi wetu. Akaandaa siku na saa hususan ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu.
Ulikuwa ni mpango wa muda mrefu na mkakati dhabiti wa kumkomboa mwanadamu.
Maishani, usipofikiria juu ya kesho hutakuwa nayo. Maisha ni kujipanga.
Isaya alitabiri, “Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli" (Isaya 7:14).
Katika maneno hayo tunaona tangazo la kuzaliwa kwa Yesu Kristo.
Utabiiri huu ulitolewa 736-700 K.K (K.K. ni ufupisho wa Kabla ya Kristo).
Kuna aliyesema, "Mungu kila mara ana kitu kwa ajili yako. Ufunguo wa kila tatizo, mwanga kwa kila kivuli, faraja kwa kila huzuni na mpango kwa kila kesho."
Ndugu msomaji kuwa na mpango wa kila kesho. Kuwa na mpango wa
kila mwaka. Kama kampuni zinawe ka mpango wa miaka 100, kwanini usiwe na mpango angalau wa miaka kumi.
"Usifanye mipango midogo; haina uchawi' wa kusisimua damu ya watu," alisema Daniel Burnham.
Kuwa na mkakati ni vizuri sana. Mpango wa ukombozi wa mwanadamu ni mkakati mkubwa sana. Ulisisimua damu ya Yesu. Ulisisimua damu ya mitume wake. Je, mipango uliyo nayo inasisimua damu yako?
Mungu alishuka kwa mfano wa binadamu. Ni jambo linalozidi mawazo yetu. Kuna mkristo mmoja aliacha kusali kwa sababu haelewi ni vipi Mungu anaweza kujifanya mtu.
Siku ya Krismasi hakwenda kanisani kusali. Mvua ilinyesha sana, na kuku wake waliokuwa nje wakanyeshewa.
Alitaka kuwapeleka kibandani lakini alishinda kuwasiliana nao. Alijiambia, “Ningekuwa na uwezo wa kuwa kama kuku niongee lugha yao, wangenielewa na ningewasaidia."
Tukio hilo likamfanya kupata jibu la tafakari yake, kwamba kwanini Mungu alikuja kama binadamu, akazaliwa na kuishi kama sisi. Lengo lilikuwa kutukomboa.
Somo lingine la Krismasi ni kuwa, popote ulipong'aa. Hata kama umezungukwa na wabezaji, ng'aa. Yesu alizaliwa horini akiwa amezungukwa na wanyama kama ng'ombe na punda.
"Mtoto Yesu anapata joto toka kwa ng'ombe na punda. Ng'ombe ni kwa alama ya bidii katika kazi, kukubali kubezwa hata tunapofanya mema ni sawa na punda ambaye hubeba mizigo lakini hakuna anayemjali" (M Gaspari del Bufalo).
Kuna methali ya Tanzania isemayo, "asiyeweza naye hudharau. Hata ukidharauliwaendelea kung’aa
"Mbezaji ni mtu anayejua njia lakini hawezi kuendesha gari," alisema Kenneth Tynan.
Hata ukiwa horini, ng'aa, Shimoni, ng'aa. Kwenye makazi mabaya ng'aa. Dhahabu hung'aa shimoni ili kutambulika.
Kuna methali nyingine ya Tanzania isemayo, “Jiwe dogo walilitupa majini likasema, "Haizuru, yote ma kazi!"."
"Yesu alizaliwa pahali pasipo pa hadhi, yeye ambaye kiti chake kilikuwa mbinguni, ili atuelekeze katika furaha ya ufalme wa mbinguni. Yeye ambaye ni mkate wa uzima analazwa horini ili atushibishe kama wanyama walivyokuwa wanashibishwa," alisema Baba wa Kanisa Bede.
"Pasingekuwepo na msalaba pasingekuwepo na hori; pasingekuwepo na misumari, pasingekuwepo na nyasi" (Askofu Fulton Sheen.)
Lakini baada ya dhiki faraja, penye msalaba kuna utukufu, penye misumari kuna neema.
"Tazama, bikira atachakua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita Jina lake Imanuell."
(Isaya 7:14) | Mungu ana ufunguo wa kila nini | {
"text": [
"tatizo"
]
} |
0565_swa | Wasafiri wanalalamika nauli za juu
WAKAZI wa Mombasa wanataka serikali iwachukulie hatua wahudumu wa matatu wanaowatoza nauli za juu, kuliko kiwango kilichowekwa na chama cha wamiliki wa matatu hizo.
Bei hizo ziliwekwa baada ya msako mkuu uliofanyika Agosti mwaka 2018, ili kuzuia wahudumu kupandisha bei kiholela.
Wakazi hao wanaozuru maeno mbalimbali ya burudani kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya, walilalamikia kutozwa ada za juu na kupewa maneno machafu na wahudumu hao wanapo kata kulipa ada zaidi.
“Kutoka ufuo wa bahari ya umma ya Jomo Kenyatta hadi maeneo ya Kongowea au Leisure kwa kawaida ni Sh30 lakini sasa hivi wanatutoza
Sh50 au hata 100.
Wanaponadi utasikia wakisema sh100 kila mahali, huu ni uwizi wa macho na tunataka serikali kuwachukulia hatua,” akasema Bw Erick Komora, mkazi wa Kisauni.
‘Mwengine Ben Kazungu alisema kuwa manamba wa matatu hizo hutumia lugha chafu kwa abiria endapo abiria atashindwa kulipa nauli wanayotaka.
“Hawajali kama kuna ‘watoto au watu wazima, manamba wanatumia lugha za matusi, na wanaweza hata kumshukisha abiria kabla ya kufika mwisho wa
safari yake endapo atakosa kutii wanayotaka,” akaeleza.
‘Katika msako uliofanyika mwaka 2018 nchini, matatu zilitakiwa kuwa na vidhibiti mwendo, mikanda,kuwa mwanachama wa sacco,kubandika orodha ya bei watakazo toza kutoka sehemu moja hadi nyengine.
Katika msako huo ilibainika kuwa magari mengi ya usafiri wa umma hawazingatii sheria za trafiki. Licha ya kuwekwa sheria ya magari kuwa na ikanda, matatu nyingi ilikuwa hazijatii amri hiyo.
Kufikia sasa japo matatu zime bandika karatasi inayoonyesha ada zinazofaa kutozwa kutoka sehemu moja hadi nyengine manamba bado wanatoza nauli kulingana na masaa, msimu wa mwaka na idadi ya abiria barabarani.
| Msako mkuu ulifanyika lini | {
"text": [
"Agosti 2018"
]
} |
0565_swa | Wasafiri wanalalamika nauli za juu
WAKAZI wa Mombasa wanataka serikali iwachukulie hatua wahudumu wa matatu wanaowatoza nauli za juu, kuliko kiwango kilichowekwa na chama cha wamiliki wa matatu hizo.
Bei hizo ziliwekwa baada ya msako mkuu uliofanyika Agosti mwaka 2018, ili kuzuia wahudumu kupandisha bei kiholela.
Wakazi hao wanaozuru maeno mbalimbali ya burudani kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya, walilalamikia kutozwa ada za juu na kupewa maneno machafu na wahudumu hao wanapo kata kulipa ada zaidi.
“Kutoka ufuo wa bahari ya umma ya Jomo Kenyatta hadi maeneo ya Kongowea au Leisure kwa kawaida ni Sh30 lakini sasa hivi wanatutoza
Sh50 au hata 100.
Wanaponadi utasikia wakisema sh100 kila mahali, huu ni uwizi wa macho na tunataka serikali kuwachukulia hatua,” akasema Bw Erick Komora, mkazi wa Kisauni.
‘Mwengine Ben Kazungu alisema kuwa manamba wa matatu hizo hutumia lugha chafu kwa abiria endapo abiria atashindwa kulipa nauli wanayotaka.
“Hawajali kama kuna ‘watoto au watu wazima, manamba wanatumia lugha za matusi, na wanaweza hata kumshukisha abiria kabla ya kufika mwisho wa
safari yake endapo atakosa kutii wanayotaka,” akaeleza.
‘Katika msako uliofanyika mwaka 2018 nchini, matatu zilitakiwa kuwa na vidhibiti mwendo, mikanda,kuwa mwanachama wa sacco,kubandika orodha ya bei watakazo toza kutoka sehemu moja hadi nyengine.
Katika msako huo ilibainika kuwa magari mengi ya usafiri wa umma hawazingatii sheria za trafiki. Licha ya kuwekwa sheria ya magari kuwa na ikanda, matatu nyingi ilikuwa hazijatii amri hiyo.
Kufikia sasa japo matatu zime bandika karatasi inayoonyesha ada zinazofaa kutozwa kutoka sehemu moja hadi nyengine manamba bado wanatoza nauli kulingana na masaa, msimu wa mwaka na idadi ya abiria barabarani.
| Wakazi wanazuru nini | {
"text": [
"maeneo ya burudani"
]
} |
0565_swa | Wasafiri wanalalamika nauli za juu
WAKAZI wa Mombasa wanataka serikali iwachukulie hatua wahudumu wa matatu wanaowatoza nauli za juu, kuliko kiwango kilichowekwa na chama cha wamiliki wa matatu hizo.
Bei hizo ziliwekwa baada ya msako mkuu uliofanyika Agosti mwaka 2018, ili kuzuia wahudumu kupandisha bei kiholela.
Wakazi hao wanaozuru maeno mbalimbali ya burudani kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya, walilalamikia kutozwa ada za juu na kupewa maneno machafu na wahudumu hao wanapo kata kulipa ada zaidi.
“Kutoka ufuo wa bahari ya umma ya Jomo Kenyatta hadi maeneo ya Kongowea au Leisure kwa kawaida ni Sh30 lakini sasa hivi wanatutoza
Sh50 au hata 100.
Wanaponadi utasikia wakisema sh100 kila mahali, huu ni uwizi wa macho na tunataka serikali kuwachukulia hatua,” akasema Bw Erick Komora, mkazi wa Kisauni.
‘Mwengine Ben Kazungu alisema kuwa manamba wa matatu hizo hutumia lugha chafu kwa abiria endapo abiria atashindwa kulipa nauli wanayotaka.
“Hawajali kama kuna ‘watoto au watu wazima, manamba wanatumia lugha za matusi, na wanaweza hata kumshukisha abiria kabla ya kufika mwisho wa
safari yake endapo atakosa kutii wanayotaka,” akaeleza.
‘Katika msako uliofanyika mwaka 2018 nchini, matatu zilitakiwa kuwa na vidhibiti mwendo, mikanda,kuwa mwanachama wa sacco,kubandika orodha ya bei watakazo toza kutoka sehemu moja hadi nyengine.
Katika msako huo ilibainika kuwa magari mengi ya usafiri wa umma hawazingatii sheria za trafiki. Licha ya kuwekwa sheria ya magari kuwa na ikanda, matatu nyingi ilikuwa hazijatii amri hiyo.
Kufikia sasa japo matatu zime bandika karatasi inayoonyesha ada zinazofaa kutozwa kutoka sehemu moja hadi nyengine manamba bado wanatoza nauli kulingana na masaa, msimu wa mwaka na idadi ya abiria barabarani.
| Nani alisema serikali iwachukulie hatua | {
"text": [
"Bw Erick Kamora"
]
} |
0565_swa | Wasafiri wanalalamika nauli za juu
WAKAZI wa Mombasa wanataka serikali iwachukulie hatua wahudumu wa matatu wanaowatoza nauli za juu, kuliko kiwango kilichowekwa na chama cha wamiliki wa matatu hizo.
Bei hizo ziliwekwa baada ya msako mkuu uliofanyika Agosti mwaka 2018, ili kuzuia wahudumu kupandisha bei kiholela.
Wakazi hao wanaozuru maeno mbalimbali ya burudani kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya, walilalamikia kutozwa ada za juu na kupewa maneno machafu na wahudumu hao wanapo kata kulipa ada zaidi.
“Kutoka ufuo wa bahari ya umma ya Jomo Kenyatta hadi maeneo ya Kongowea au Leisure kwa kawaida ni Sh30 lakini sasa hivi wanatutoza
Sh50 au hata 100.
Wanaponadi utasikia wakisema sh100 kila mahali, huu ni uwizi wa macho na tunataka serikali kuwachukulia hatua,” akasema Bw Erick Komora, mkazi wa Kisauni.
‘Mwengine Ben Kazungu alisema kuwa manamba wa matatu hizo hutumia lugha chafu kwa abiria endapo abiria atashindwa kulipa nauli wanayotaka.
“Hawajali kama kuna ‘watoto au watu wazima, manamba wanatumia lugha za matusi, na wanaweza hata kumshukisha abiria kabla ya kufika mwisho wa
safari yake endapo atakosa kutii wanayotaka,” akaeleza.
‘Katika msako uliofanyika mwaka 2018 nchini, matatu zilitakiwa kuwa na vidhibiti mwendo, mikanda,kuwa mwanachama wa sacco,kubandika orodha ya bei watakazo toza kutoka sehemu moja hadi nyengine.
Katika msako huo ilibainika kuwa magari mengi ya usafiri wa umma hawazingatii sheria za trafiki. Licha ya kuwekwa sheria ya magari kuwa na ikanda, matatu nyingi ilikuwa hazijatii amri hiyo.
Kufikia sasa japo matatu zime bandika karatasi inayoonyesha ada zinazofaa kutozwa kutoka sehemu moja hadi nyengine manamba bado wanatoza nauli kulingana na masaa, msimu wa mwaka na idadi ya abiria barabarani.
| Manamba hutumia nini kwa abiria | {
"text": [
"lugha chafu"
]
} |
0565_swa | Wasafiri wanalalamika nauli za juu
WAKAZI wa Mombasa wanataka serikali iwachukulie hatua wahudumu wa matatu wanaowatoza nauli za juu, kuliko kiwango kilichowekwa na chama cha wamiliki wa matatu hizo.
Bei hizo ziliwekwa baada ya msako mkuu uliofanyika Agosti mwaka 2018, ili kuzuia wahudumu kupandisha bei kiholela.
Wakazi hao wanaozuru maeno mbalimbali ya burudani kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya, walilalamikia kutozwa ada za juu na kupewa maneno machafu na wahudumu hao wanapo kata kulipa ada zaidi.
“Kutoka ufuo wa bahari ya umma ya Jomo Kenyatta hadi maeneo ya Kongowea au Leisure kwa kawaida ni Sh30 lakini sasa hivi wanatutoza
Sh50 au hata 100.
Wanaponadi utasikia wakisema sh100 kila mahali, huu ni uwizi wa macho na tunataka serikali kuwachukulia hatua,” akasema Bw Erick Komora, mkazi wa Kisauni.
‘Mwengine Ben Kazungu alisema kuwa manamba wa matatu hizo hutumia lugha chafu kwa abiria endapo abiria atashindwa kulipa nauli wanayotaka.
“Hawajali kama kuna ‘watoto au watu wazima, manamba wanatumia lugha za matusi, na wanaweza hata kumshukisha abiria kabla ya kufika mwisho wa
safari yake endapo atakosa kutii wanayotaka,” akaeleza.
‘Katika msako uliofanyika mwaka 2018 nchini, matatu zilitakiwa kuwa na vidhibiti mwendo, mikanda,kuwa mwanachama wa sacco,kubandika orodha ya bei watakazo toza kutoka sehemu moja hadi nyengine.
Katika msako huo ilibainika kuwa magari mengi ya usafiri wa umma hawazingatii sheria za trafiki. Licha ya kuwekwa sheria ya magari kuwa na ikanda, matatu nyingi ilikuwa hazijatii amri hiyo.
Kufikia sasa japo matatu zime bandika karatasi inayoonyesha ada zinazofaa kutozwa kutoka sehemu moja hadi nyengine manamba bado wanatoza nauli kulingana na masaa, msimu wa mwaka na idadi ya abiria barabarani.
| Nini zilitakiwa kuwa na vidhibiti mwendo | {
"text": [
"matatu"
]
} |
0566_swa |
Mhudumu wa mochari alilia korti avute bangi
"Napata wakati mgumu sana usiku, silali kwa sababu nakesha nikiona sura za maiti zikinijia usoni. Jambo hili linanishtua sana na kunifanya nikose usingizi." akasema Bw Kaberia
Mshukiwa huyo ambaye anakabiliwa na shtaka la kupatikana na mihadarati hiyo alisema kuwa kazi hiyo inampa shida sana hasa wakati wa usiku na kuwa hali hiyo imemkosanisha na mkewe.
"Ninakosana na mke wangu kila siku hasa wakati tukienda kanisani. Ananikasirikia kuwa mimi ni mcha Mungu na kwa upande mwingine ninavuta bangi. Tumekuwa na mtafaruku katika uhusiano wetu," aliambia Hakimu Mwandamizi Mkuu Martin Rebera.
Pia, Bw Kaberia alisema kutokana na kazi yake ya kuhudumia maiti, amekosa hamu ya kula chakula na kuwa bangi imekuwa ikimsaidia kurejesha hamu ya kula.
"Nikivuta bangi ninapata hamu ya kula na chakula inateremka vizuri, si kupenda kwangu lakini hali yangu imenilazimu nivute bangi," aliongezea.
Mshukiwa alisema kabla ya kukamatwa, alikuwa katika harakati ya kutafuta kibali kutoka kwa polisi kuendelea kuvuta bangi ili asitatizike na kushtuliwa na sura za maiti.
Hata hivyo, Bw Rabera alimshauri mshukiwa kuwa akitaka kuendelea kuvuta bangi bila kusumbuliwa, ni sharti atafute kibali kutoka kwa polisi na karatasi kutoka kwa daktari ambayo inamkubalia kutumia mihadarati hiyo.
"Hata sisi vile vile tunafanya kazi ngumu lakini hatutumii bangi, lakini kama unataka kuendela kutumia mihadarati hiyo, ni lazi ma upate kibali ambacho utapatiwa baada ya kuwasilisha barua kutoka kwa daktari." Bw Rabera alimshauri.
| Mfanyikazi wa wapi aliomba korti imuruhusu kuvuta bangi | {
"text": [
"Mochari"
]
} |
0566_swa |
Mhudumu wa mochari alilia korti avute bangi
"Napata wakati mgumu sana usiku, silali kwa sababu nakesha nikiona sura za maiti zikinijia usoni. Jambo hili linanishtua sana na kunifanya nikose usingizi." akasema Bw Kaberia
Mshukiwa huyo ambaye anakabiliwa na shtaka la kupatikana na mihadarati hiyo alisema kuwa kazi hiyo inampa shida sana hasa wakati wa usiku na kuwa hali hiyo imemkosanisha na mkewe.
"Ninakosana na mke wangu kila siku hasa wakati tukienda kanisani. Ananikasirikia kuwa mimi ni mcha Mungu na kwa upande mwingine ninavuta bangi. Tumekuwa na mtafaruku katika uhusiano wetu," aliambia Hakimu Mwandamizi Mkuu Martin Rebera.
Pia, Bw Kaberia alisema kutokana na kazi yake ya kuhudumia maiti, amekosa hamu ya kula chakula na kuwa bangi imekuwa ikimsaidia kurejesha hamu ya kula.
"Nikivuta bangi ninapata hamu ya kula na chakula inateremka vizuri, si kupenda kwangu lakini hali yangu imenilazimu nivute bangi," aliongezea.
Mshukiwa alisema kabla ya kukamatwa, alikuwa katika harakati ya kutafuta kibali kutoka kwa polisi kuendelea kuvuta bangi ili asitatizike na kushtuliwa na sura za maiti.
Hata hivyo, Bw Rabera alimshauri mshukiwa kuwa akitaka kuendelea kuvuta bangi bila kusumbuliwa, ni sharti atafute kibali kutoka kwa polisi na karatasi kutoka kwa daktari ambayo inamkubalia kutumia mihadarati hiyo.
"Hata sisi vile vile tunafanya kazi ngumu lakini hatutumii bangi, lakini kama unataka kuendela kutumia mihadarati hiyo, ni lazi ma upate kibali ambacho utapatiwa baada ya kuwasilisha barua kutoka kwa daktari." Bw Rabera alimshauri.
| John Thuranira Kaberia anafanya kazi katika Hospitali kuu ya wapi | {
"text": [
"Pwani"
]
} |
0566_swa |
Mhudumu wa mochari alilia korti avute bangi
"Napata wakati mgumu sana usiku, silali kwa sababu nakesha nikiona sura za maiti zikinijia usoni. Jambo hili linanishtua sana na kunifanya nikose usingizi." akasema Bw Kaberia
Mshukiwa huyo ambaye anakabiliwa na shtaka la kupatikana na mihadarati hiyo alisema kuwa kazi hiyo inampa shida sana hasa wakati wa usiku na kuwa hali hiyo imemkosanisha na mkewe.
"Ninakosana na mke wangu kila siku hasa wakati tukienda kanisani. Ananikasirikia kuwa mimi ni mcha Mungu na kwa upande mwingine ninavuta bangi. Tumekuwa na mtafaruku katika uhusiano wetu," aliambia Hakimu Mwandamizi Mkuu Martin Rebera.
Pia, Bw Kaberia alisema kutokana na kazi yake ya kuhudumia maiti, amekosa hamu ya kula chakula na kuwa bangi imekuwa ikimsaidia kurejesha hamu ya kula.
"Nikivuta bangi ninapata hamu ya kula na chakula inateremka vizuri, si kupenda kwangu lakini hali yangu imenilazimu nivute bangi," aliongezea.
Mshukiwa alisema kabla ya kukamatwa, alikuwa katika harakati ya kutafuta kibali kutoka kwa polisi kuendelea kuvuta bangi ili asitatizike na kushtuliwa na sura za maiti.
Hata hivyo, Bw Rabera alimshauri mshukiwa kuwa akitaka kuendelea kuvuta bangi bila kusumbuliwa, ni sharti atafute kibali kutoka kwa polisi na karatasi kutoka kwa daktari ambayo inamkubalia kutumia mihadarati hiyo.
"Hata sisi vile vile tunafanya kazi ngumu lakini hatutumii bangi, lakini kama unataka kuendela kutumia mihadarati hiyo, ni lazi ma upate kibali ambacho utapatiwa baada ya kuwasilisha barua kutoka kwa daktari." Bw Rabera alimshauri.
| Kaberia amekosa hamu ya kula nini | {
"text": [
"Chakula"
]
} |
0566_swa |
Mhudumu wa mochari alilia korti avute bangi
"Napata wakati mgumu sana usiku, silali kwa sababu nakesha nikiona sura za maiti zikinijia usoni. Jambo hili linanishtua sana na kunifanya nikose usingizi." akasema Bw Kaberia
Mshukiwa huyo ambaye anakabiliwa na shtaka la kupatikana na mihadarati hiyo alisema kuwa kazi hiyo inampa shida sana hasa wakati wa usiku na kuwa hali hiyo imemkosanisha na mkewe.
"Ninakosana na mke wangu kila siku hasa wakati tukienda kanisani. Ananikasirikia kuwa mimi ni mcha Mungu na kwa upande mwingine ninavuta bangi. Tumekuwa na mtafaruku katika uhusiano wetu," aliambia Hakimu Mwandamizi Mkuu Martin Rebera.
Pia, Bw Kaberia alisema kutokana na kazi yake ya kuhudumia maiti, amekosa hamu ya kula chakula na kuwa bangi imekuwa ikimsaidia kurejesha hamu ya kula.
"Nikivuta bangi ninapata hamu ya kula na chakula inateremka vizuri, si kupenda kwangu lakini hali yangu imenilazimu nivute bangi," aliongezea.
Mshukiwa alisema kabla ya kukamatwa, alikuwa katika harakati ya kutafuta kibali kutoka kwa polisi kuendelea kuvuta bangi ili asitatizike na kushtuliwa na sura za maiti.
Hata hivyo, Bw Rabera alimshauri mshukiwa kuwa akitaka kuendelea kuvuta bangi bila kusumbuliwa, ni sharti atafute kibali kutoka kwa polisi na karatasi kutoka kwa daktari ambayo inamkubalia kutumia mihadarati hiyo.
"Hata sisi vile vile tunafanya kazi ngumu lakini hatutumii bangi, lakini kama unataka kuendela kutumia mihadarati hiyo, ni lazi ma upate kibali ambacho utapatiwa baada ya kuwasilisha barua kutoka kwa daktari." Bw Rabera alimshauri.
| Kaberia alitaka kuomba nini kutoka kwa polisi | {
"text": [
"Kibali"
]
} |
0566_swa |
Mhudumu wa mochari alilia korti avute bangi
"Napata wakati mgumu sana usiku, silali kwa sababu nakesha nikiona sura za maiti zikinijia usoni. Jambo hili linanishtua sana na kunifanya nikose usingizi." akasema Bw Kaberia
Mshukiwa huyo ambaye anakabiliwa na shtaka la kupatikana na mihadarati hiyo alisema kuwa kazi hiyo inampa shida sana hasa wakati wa usiku na kuwa hali hiyo imemkosanisha na mkewe.
"Ninakosana na mke wangu kila siku hasa wakati tukienda kanisani. Ananikasirikia kuwa mimi ni mcha Mungu na kwa upande mwingine ninavuta bangi. Tumekuwa na mtafaruku katika uhusiano wetu," aliambia Hakimu Mwandamizi Mkuu Martin Rebera.
Pia, Bw Kaberia alisema kutokana na kazi yake ya kuhudumia maiti, amekosa hamu ya kula chakula na kuwa bangi imekuwa ikimsaidia kurejesha hamu ya kula.
"Nikivuta bangi ninapata hamu ya kula na chakula inateremka vizuri, si kupenda kwangu lakini hali yangu imenilazimu nivute bangi," aliongezea.
Mshukiwa alisema kabla ya kukamatwa, alikuwa katika harakati ya kutafuta kibali kutoka kwa polisi kuendelea kuvuta bangi ili asitatizike na kushtuliwa na sura za maiti.
Hata hivyo, Bw Rabera alimshauri mshukiwa kuwa akitaka kuendelea kuvuta bangi bila kusumbuliwa, ni sharti atafute kibali kutoka kwa polisi na karatasi kutoka kwa daktari ambayo inamkubalia kutumia mihadarati hiyo.
"Hata sisi vile vile tunafanya kazi ngumu lakini hatutumii bangi, lakini kama unataka kuendela kutumia mihadarati hiyo, ni lazi ma upate kibali ambacho utapatiwa baada ya kuwasilisha barua kutoka kwa daktari." Bw Rabera alimshauri.
| Nani alimshauri Kaberia atafute kibali cha kuendelea kuvuta bangi | {
"text": [
"Bw. Rabera"
]
} |
0568_swa |
Shirika laungama uvuvi umenoga ila ukosefu wa uhifadhi ni pigo kuu
Mwenyekiti wa shirika la mkopo la Kilifi Fishers, Kassim Shali mnamo Jumatano alisema kuwa wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi (BMU) katika kaunti ya Kilifi wamepata hasara ya takriban Sh5 milioni kwa kutokuwa na vifaa vya kuhifadhi samaki.
Hasara hii ilitokea walipovua viwango vya juu vya samaki tangu mwezi wa Disemba mwaka jana hadi sasa, baada ya kushirikisha wavuvi kutoka Pemba, Tanzania ambao wana ujuzi wa kuvua katika maeneo ya ndani ya bahari.
Akizungumza katika kivukio cha feri cha kitambo katika mji wa Kilifi, Bw Shali alisema kuwa wavuvi katika maeneo hayo hawana vifaa vya kisasa vya kuhifadhi idadi kubwa ya samaki, jambo ambalo limaeathiri soko lao.
"Zaidi ya tani tatu za samaki hu vuliwa kila siku lakini hatuna mahali pa kuwahifadhi. Wavuvi na wachuuzi wa samaki wanapata hasara wakati huu ambapo mavuno ni mengi na soko la samaki ni duni,” akasema.
Wavuvi na wauzaji samaki wamelazimika kukopesha samaki wao kwa wafanyabiashara katika miji ya Mtwapa na Mombasa na bado hawajalipwa. Baadhi ya samaki hao wamekaushwa kwa matumizi ya baadaye huku wengine wakiuzwa kwa bei ya chini.
Kwa sasa bei ya samaki imeteremka kutoka Sh250 kwa kilo moja hadi Sh100.
Kulingana na Bw Shali, kulikuwa na mtambo wa kuhifadhi samaki ambao uliundwa miaka 10 Iiliyopita wakati Gavana Amason Kingi alikuwa waziri wa uvuvi, lakini uliharibika.
Alisema kwa sasa wavuvi wamelazi mika kutafuta soko haraka kabla samaki waharibike.
| Nani mwenyekiti wa shirika la wavuvi Kilifi | {
"text": [
"Kassim Shali"
]
} |
0568_swa |
Shirika laungama uvuvi umenoga ila ukosefu wa uhifadhi ni pigo kuu
Mwenyekiti wa shirika la mkopo la Kilifi Fishers, Kassim Shali mnamo Jumatano alisema kuwa wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi (BMU) katika kaunti ya Kilifi wamepata hasara ya takriban Sh5 milioni kwa kutokuwa na vifaa vya kuhifadhi samaki.
Hasara hii ilitokea walipovua viwango vya juu vya samaki tangu mwezi wa Disemba mwaka jana hadi sasa, baada ya kushirikisha wavuvi kutoka Pemba, Tanzania ambao wana ujuzi wa kuvua katika maeneo ya ndani ya bahari.
Akizungumza katika kivukio cha feri cha kitambo katika mji wa Kilifi, Bw Shali alisema kuwa wavuvi katika maeneo hayo hawana vifaa vya kisasa vya kuhifadhi idadi kubwa ya samaki, jambo ambalo limaeathiri soko lao.
"Zaidi ya tani tatu za samaki hu vuliwa kila siku lakini hatuna mahali pa kuwahifadhi. Wavuvi na wachuuzi wa samaki wanapata hasara wakati huu ambapo mavuno ni mengi na soko la samaki ni duni,” akasema.
Wavuvi na wauzaji samaki wamelazimika kukopesha samaki wao kwa wafanyabiashara katika miji ya Mtwapa na Mombasa na bado hawajalipwa. Baadhi ya samaki hao wamekaushwa kwa matumizi ya baadaye huku wengine wakiuzwa kwa bei ya chini.
Kwa sasa bei ya samaki imeteremka kutoka Sh250 kwa kilo moja hadi Sh100.
Kulingana na Bw Shali, kulikuwa na mtambo wa kuhifadhi samaki ambao uliundwa miaka 10 Iiliyopita wakati Gavana Amason Kingi alikuwa waziri wa uvuvi, lakini uliharibika.
Alisema kwa sasa wavuvi wamelazi mika kutafuta soko haraka kabla samaki waharibike.
| Wavuvi Kilifi wamepata hasara ya milioni tano kutokana na kukosekana kwa nini | {
"text": [
"Vifaa vya kuhifadhi samaki"
]
} |
0568_swa |
Shirika laungama uvuvi umenoga ila ukosefu wa uhifadhi ni pigo kuu
Mwenyekiti wa shirika la mkopo la Kilifi Fishers, Kassim Shali mnamo Jumatano alisema kuwa wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi (BMU) katika kaunti ya Kilifi wamepata hasara ya takriban Sh5 milioni kwa kutokuwa na vifaa vya kuhifadhi samaki.
Hasara hii ilitokea walipovua viwango vya juu vya samaki tangu mwezi wa Disemba mwaka jana hadi sasa, baada ya kushirikisha wavuvi kutoka Pemba, Tanzania ambao wana ujuzi wa kuvua katika maeneo ya ndani ya bahari.
Akizungumza katika kivukio cha feri cha kitambo katika mji wa Kilifi, Bw Shali alisema kuwa wavuvi katika maeneo hayo hawana vifaa vya kisasa vya kuhifadhi idadi kubwa ya samaki, jambo ambalo limaeathiri soko lao.
"Zaidi ya tani tatu za samaki hu vuliwa kila siku lakini hatuna mahali pa kuwahifadhi. Wavuvi na wachuuzi wa samaki wanapata hasara wakati huu ambapo mavuno ni mengi na soko la samaki ni duni,” akasema.
Wavuvi na wauzaji samaki wamelazimika kukopesha samaki wao kwa wafanyabiashara katika miji ya Mtwapa na Mombasa na bado hawajalipwa. Baadhi ya samaki hao wamekaushwa kwa matumizi ya baadaye huku wengine wakiuzwa kwa bei ya chini.
Kwa sasa bei ya samaki imeteremka kutoka Sh250 kwa kilo moja hadi Sh100.
Kulingana na Bw Shali, kulikuwa na mtambo wa kuhifadhi samaki ambao uliundwa miaka 10 Iiliyopita wakati Gavana Amason Kingi alikuwa waziri wa uvuvi, lakini uliharibika.
Alisema kwa sasa wavuvi wamelazi mika kutafuta soko haraka kabla samaki waharibike.
| Wavuvi Kilifi walivua viwango vya juu vya samaki baada ya kushirikisha wavuvi wengine kutoka wapi | {
"text": [
"Pemba, Tanzania"
]
} |
Subsets and Splits