Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
0568_swa |
Shirika laungama uvuvi umenoga ila ukosefu wa uhifadhi ni pigo kuu
Mwenyekiti wa shirika la mkopo la Kilifi Fishers, Kassim Shali mnamo Jumatano alisema kuwa wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi (BMU) katika kaunti ya Kilifi wamepata hasara ya takriban Sh5 milioni kwa kutokuwa na vifaa vya kuhifadhi samaki.
Hasara hii ilitokea walipovua viwango vya juu vya samaki tangu mwezi wa Disemba mwaka jana hadi sasa, baada ya kushirikisha wavuvi kutoka Pemba, Tanzania ambao wana ujuzi wa kuvua katika maeneo ya ndani ya bahari.
Akizungumza katika kivukio cha feri cha kitambo katika mji wa Kilifi, Bw Shali alisema kuwa wavuvi katika maeneo hayo hawana vifaa vya kisasa vya kuhifadhi idadi kubwa ya samaki, jambo ambalo limaeathiri soko lao.
"Zaidi ya tani tatu za samaki hu vuliwa kila siku lakini hatuna mahali pa kuwahifadhi. Wavuvi na wachuuzi wa samaki wanapata hasara wakati huu ambapo mavuno ni mengi na soko la samaki ni duni,” akasema.
Wavuvi na wauzaji samaki wamelazimika kukopesha samaki wao kwa wafanyabiashara katika miji ya Mtwapa na Mombasa na bado hawajalipwa. Baadhi ya samaki hao wamekaushwa kwa matumizi ya baadaye huku wengine wakiuzwa kwa bei ya chini.
Kwa sasa bei ya samaki imeteremka kutoka Sh250 kwa kilo moja hadi Sh100.
Kulingana na Bw Shali, kulikuwa na mtambo wa kuhifadhi samaki ambao uliundwa miaka 10 Iiliyopita wakati Gavana Amason Kingi alikuwa waziri wa uvuvi, lakini uliharibika.
Alisema kwa sasa wavuvi wamelazi mika kutafuta soko haraka kabla samaki waharibike.
| Samaki tani ngapi huvuliwa kila siku kulingana na Kassim | {
"text": [
"Tatu"
]
} |
0568_swa |
Shirika laungama uvuvi umenoga ila ukosefu wa uhifadhi ni pigo kuu
Mwenyekiti wa shirika la mkopo la Kilifi Fishers, Kassim Shali mnamo Jumatano alisema kuwa wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi (BMU) katika kaunti ya Kilifi wamepata hasara ya takriban Sh5 milioni kwa kutokuwa na vifaa vya kuhifadhi samaki.
Hasara hii ilitokea walipovua viwango vya juu vya samaki tangu mwezi wa Disemba mwaka jana hadi sasa, baada ya kushirikisha wavuvi kutoka Pemba, Tanzania ambao wana ujuzi wa kuvua katika maeneo ya ndani ya bahari.
Akizungumza katika kivukio cha feri cha kitambo katika mji wa Kilifi, Bw Shali alisema kuwa wavuvi katika maeneo hayo hawana vifaa vya kisasa vya kuhifadhi idadi kubwa ya samaki, jambo ambalo limaeathiri soko lao.
"Zaidi ya tani tatu za samaki hu vuliwa kila siku lakini hatuna mahali pa kuwahifadhi. Wavuvi na wachuuzi wa samaki wanapata hasara wakati huu ambapo mavuno ni mengi na soko la samaki ni duni,” akasema.
Wavuvi na wauzaji samaki wamelazimika kukopesha samaki wao kwa wafanyabiashara katika miji ya Mtwapa na Mombasa na bado hawajalipwa. Baadhi ya samaki hao wamekaushwa kwa matumizi ya baadaye huku wengine wakiuzwa kwa bei ya chini.
Kwa sasa bei ya samaki imeteremka kutoka Sh250 kwa kilo moja hadi Sh100.
Kulingana na Bw Shali, kulikuwa na mtambo wa kuhifadhi samaki ambao uliundwa miaka 10 Iiliyopita wakati Gavana Amason Kingi alikuwa waziri wa uvuvi, lakini uliharibika.
Alisema kwa sasa wavuvi wamelazi mika kutafuta soko haraka kabla samaki waharibike.
| Bei ya samaki imeteremka kutoka shilingi 250 kwa kilo moja hadi shilingi ngapi | {
"text": [
"Shilingi 100"
]
} |
0569_swa | Serikali yatoa ahadi kutuma walimu Kaskazini Mashariki
WIZARA ya Elimu imetangaza mpango wa dharura wa kutuma walimu katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ambapo elimu imesitishwa, baada ya walimu kufurushwa kufuata tishio la ugaidi. Takriban walimu 2,340 ambao si wenyeji wa eneo hilo walindolewa na Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) kufuatia tishio la ugaidi.
Hii ni baada ya washukiwa wa ugaidi kuvamia eneo la Kamuthe Kaunti ya Garissa ambapo walimu watatu waliuawa. Hata hivyo. Prof George Magoha, Waziri wa Elimu alitangaza kuwa walimu wengi ambao si wenyeji wanatarajiwa kutumwa eneo hilo.
“Watoto wote nchini Kenya ni sawa. Hakuna aliye bora zaidi ya mwingine hata kama anatoka eneo gani wote ni watoto wetu. Serikali inapania kutuma walimu eneo hilo na kuhakikisha usalama wao unaboreshwa sawia na watoto wetu,” alisema waziri huyo.
Prof Magoha alisema walimu ambao ni wenyeji pamoja na wale ambao si wenyeji wataimarisha elimu eneo hilo ambalo kwa sasa, sekta hiyo imedorora. Aliwahakikishia wakazi, watoto na uongozi wa eneo la Kaskazini Mashariki ya kwamba sekta ya elimu itaimarika.
Sekta ya elimu imeathirika pakubwa tangu TSC iwaondoe walimu ambao si wenyeji wa eneo hilo, kufuatia tishio la ugaidi la wanamgambo wa kundi la Al Shabaab ambao wamekuwa wakivamia si Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Uongozi wa eneo hilo umeamua kutuma wafanyikazi wa kaunti na watu wakujitolea kufunza wanafunzi baada ya walimu kuondolewa.
| Takriban walimu wangapi waliondolewa na TSC | {
"text": [
"2340"
]
} |
0569_swa | Serikali yatoa ahadi kutuma walimu Kaskazini Mashariki
WIZARA ya Elimu imetangaza mpango wa dharura wa kutuma walimu katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ambapo elimu imesitishwa, baada ya walimu kufurushwa kufuata tishio la ugaidi. Takriban walimu 2,340 ambao si wenyeji wa eneo hilo walindolewa na Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) kufuatia tishio la ugaidi.
Hii ni baada ya washukiwa wa ugaidi kuvamia eneo la Kamuthe Kaunti ya Garissa ambapo walimu watatu waliuawa. Hata hivyo. Prof George Magoha, Waziri wa Elimu alitangaza kuwa walimu wengi ambao si wenyeji wanatarajiwa kutumwa eneo hilo.
“Watoto wote nchini Kenya ni sawa. Hakuna aliye bora zaidi ya mwingine hata kama anatoka eneo gani wote ni watoto wetu. Serikali inapania kutuma walimu eneo hilo na kuhakikisha usalama wao unaboreshwa sawia na watoto wetu,” alisema waziri huyo.
Prof Magoha alisema walimu ambao ni wenyeji pamoja na wale ambao si wenyeji wataimarisha elimu eneo hilo ambalo kwa sasa, sekta hiyo imedorora. Aliwahakikishia wakazi, watoto na uongozi wa eneo la Kaskazini Mashariki ya kwamba sekta ya elimu itaimarika.
Sekta ya elimu imeathirika pakubwa tangu TSC iwaondoe walimu ambao si wenyeji wa eneo hilo, kufuatia tishio la ugaidi la wanamgambo wa kundi la Al Shabaab ambao wamekuwa wakivamia si Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Uongozi wa eneo hilo umeamua kutuma wafanyikazi wa kaunti na watu wakujitolea kufunza wanafunzi baada ya walimu kuondolewa.
| Prof. George Mahoga ni waziri wa nini | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
0569_swa | Serikali yatoa ahadi kutuma walimu Kaskazini Mashariki
WIZARA ya Elimu imetangaza mpango wa dharura wa kutuma walimu katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ambapo elimu imesitishwa, baada ya walimu kufurushwa kufuata tishio la ugaidi. Takriban walimu 2,340 ambao si wenyeji wa eneo hilo walindolewa na Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) kufuatia tishio la ugaidi.
Hii ni baada ya washukiwa wa ugaidi kuvamia eneo la Kamuthe Kaunti ya Garissa ambapo walimu watatu waliuawa. Hata hivyo. Prof George Magoha, Waziri wa Elimu alitangaza kuwa walimu wengi ambao si wenyeji wanatarajiwa kutumwa eneo hilo.
“Watoto wote nchini Kenya ni sawa. Hakuna aliye bora zaidi ya mwingine hata kama anatoka eneo gani wote ni watoto wetu. Serikali inapania kutuma walimu eneo hilo na kuhakikisha usalama wao unaboreshwa sawia na watoto wetu,” alisema waziri huyo.
Prof Magoha alisema walimu ambao ni wenyeji pamoja na wale ambao si wenyeji wataimarisha elimu eneo hilo ambalo kwa sasa, sekta hiyo imedorora. Aliwahakikishia wakazi, watoto na uongozi wa eneo la Kaskazini Mashariki ya kwamba sekta ya elimu itaimarika.
Sekta ya elimu imeathirika pakubwa tangu TSC iwaondoe walimu ambao si wenyeji wa eneo hilo, kufuatia tishio la ugaidi la wanamgambo wa kundi la Al Shabaab ambao wamekuwa wakivamia si Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Uongozi wa eneo hilo umeamua kutuma wafanyikazi wa kaunti na watu wakujitolea kufunza wanafunzi baada ya walimu kuondolewa.
| Serikali inapania kutuma nani na kuhakikisha usalama wao | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
0569_swa | Serikali yatoa ahadi kutuma walimu Kaskazini Mashariki
WIZARA ya Elimu imetangaza mpango wa dharura wa kutuma walimu katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ambapo elimu imesitishwa, baada ya walimu kufurushwa kufuata tishio la ugaidi. Takriban walimu 2,340 ambao si wenyeji wa eneo hilo walindolewa na Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) kufuatia tishio la ugaidi.
Hii ni baada ya washukiwa wa ugaidi kuvamia eneo la Kamuthe Kaunti ya Garissa ambapo walimu watatu waliuawa. Hata hivyo. Prof George Magoha, Waziri wa Elimu alitangaza kuwa walimu wengi ambao si wenyeji wanatarajiwa kutumwa eneo hilo.
“Watoto wote nchini Kenya ni sawa. Hakuna aliye bora zaidi ya mwingine hata kama anatoka eneo gani wote ni watoto wetu. Serikali inapania kutuma walimu eneo hilo na kuhakikisha usalama wao unaboreshwa sawia na watoto wetu,” alisema waziri huyo.
Prof Magoha alisema walimu ambao ni wenyeji pamoja na wale ambao si wenyeji wataimarisha elimu eneo hilo ambalo kwa sasa, sekta hiyo imedorora. Aliwahakikishia wakazi, watoto na uongozi wa eneo la Kaskazini Mashariki ya kwamba sekta ya elimu itaimarika.
Sekta ya elimu imeathirika pakubwa tangu TSC iwaondoe walimu ambao si wenyeji wa eneo hilo, kufuatia tishio la ugaidi la wanamgambo wa kundi la Al Shabaab ambao wamekuwa wakivamia si Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Uongozi wa eneo hilo umeamua kutuma wafanyikazi wa kaunti na watu wakujitolea kufunza wanafunzi baada ya walimu kuondolewa.
| Sekta ya nini imeathirika tangu TSC iwaondoe walimu | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
0569_swa | Serikali yatoa ahadi kutuma walimu Kaskazini Mashariki
WIZARA ya Elimu imetangaza mpango wa dharura wa kutuma walimu katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ambapo elimu imesitishwa, baada ya walimu kufurushwa kufuata tishio la ugaidi. Takriban walimu 2,340 ambao si wenyeji wa eneo hilo walindolewa na Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) kufuatia tishio la ugaidi.
Hii ni baada ya washukiwa wa ugaidi kuvamia eneo la Kamuthe Kaunti ya Garissa ambapo walimu watatu waliuawa. Hata hivyo. Prof George Magoha, Waziri wa Elimu alitangaza kuwa walimu wengi ambao si wenyeji wanatarajiwa kutumwa eneo hilo.
“Watoto wote nchini Kenya ni sawa. Hakuna aliye bora zaidi ya mwingine hata kama anatoka eneo gani wote ni watoto wetu. Serikali inapania kutuma walimu eneo hilo na kuhakikisha usalama wao unaboreshwa sawia na watoto wetu,” alisema waziri huyo.
Prof Magoha alisema walimu ambao ni wenyeji pamoja na wale ambao si wenyeji wataimarisha elimu eneo hilo ambalo kwa sasa, sekta hiyo imedorora. Aliwahakikishia wakazi, watoto na uongozi wa eneo la Kaskazini Mashariki ya kwamba sekta ya elimu itaimarika.
Sekta ya elimu imeathirika pakubwa tangu TSC iwaondoe walimu ambao si wenyeji wa eneo hilo, kufuatia tishio la ugaidi la wanamgambo wa kundi la Al Shabaab ambao wamekuwa wakivamia si Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Uongozi wa eneo hilo umeamua kutuma wafanyikazi wa kaunti na watu wakujitolea kufunza wanafunzi baada ya walimu kuondolewa.
| Wafanyi kazi wa kaunti na watu wakujitolea watafunza nani | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
0745_swa |
Wanawake washauriwa kupigania viti vya kisiasa
TAMASHA ya Mdahalo wa Watu (PDF) 2020 kuhusu Ushindani na Ushirikiano katika Maendeleo ya Demokrasia ilianza Jumatano, huku wanawake zaidi wakihimizwa kuwania nafasi za uongozi.
Akitoa hotuba yake ya ufunguzi katika hafla hiyo, Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa aliwahimiza wanawake zaidi wabuni vyama vya kisiasa.
Bw Wamalwa aliwapongeza kinara wa Narc-Kenya Bi Martha Karua na Gavana Charity Ngilu wa Kitui kwa kuwa katika mstari wa mbele katika kupigania demokrasia nchini.
Bi Ngilu alikuwa miongoni mwa viongozi waliobuni muungano wa Narc mnamo 2002.
Hafla hiyo imeandaliwa na Kituo cha Demokrasia ya Vyama Vingi Kenya (CMD)
"Nampongeza Bi Karua kwa kuongoza chama cha kisiasa nchini, jambo ambalo si rahisi. Bi Ngilu pia ni kiongozi shupavu wa kisiasa. Tungependa kuona wanawake zaidi wakiunda na kuongoza vyama vya kisiasa," alisema Bw Wamalwa.
Aliwahimiza wanawake zaidi wajitokeze na kuwania ugavana, ikizingatiwa kwa sasa kuna magavana wawili; Bi Ngilu na Gavana Anne Waiguru (Kirinyaga).
Kauli yake iliungwa mkono na Katibu Mkuu wa ODM Bw Edwin Sifuna, aliyewataka wanawake wajikakamue kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
Wakati huo huo, kinara wa ANC, Bw Musalia Mudavadi ameonya kwamba huenda Mpango wa Maridhiano (BBI) ukazua migawanyiko mikubwa, ikiwa viongozi wote hawatapewa nafasi kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.
Akihutubu jana kwenye mwendelezo wa tamasha hizo jijini Nairobi, Bw Mudavadi alionya kuwa lazima mchakato huo usikitwe kwa viongozi, bali masuala ambayo yatawaunganisha Wakenya.
"Mjadala wa BBI ni nafasi nzuri ya kuangazia masuala yanayozua migawanyiko baina yetu. Huenda tukashuhudia migawayiko zaidi wakati wa kura ya maamuzi. Inafaa kila mmoja apewe nafasi bila ubaguzi wala mapendeleo yoyote,” akasema.
Kauli yake pia iliungwa mkono na Bi Karua. Spika wa Bunge la Kitaifa Bw Justin Muturi, naye alihimiza vyama vya kisiasa kuweka misingi thabiti itakayovifanya kuwa taasisi huru.
Alisema kuwa chini ya mazingira ya sasa, vyama vya kisiasa vimekuwa vikihusishwa na watu binafsi, badala ya kuonekana kama taasisi zinazojisimamia.
Baadhi ya masuala mengine yaliyojitokeza wazi kwenye vikao hivyo ni nafasi ya vijana kwenye vyama vya kisiasa na uwakilishi wa walemavu katika nyadhifa za uongozi.
Viongozi walikabiliwa na wakati mgumu wakati vijana waliwataka kuelezea kuhusu baadhi ya changamoto zinazowakumba kama vile ukosefu wa ajira, kutowakilishwa kwenye vyama vya kisiasa, kuandamwa kwa kutolipa mikopo ya Bodi ya Elimu ya Juu (HELB) kati ya changamoto zingine.
| Tamasha gani lilianza Jumatano? | {
"text": [
"Tamasha ya Mdalo wa watu (PDF) 2020"
]
} |
0745_swa |
Wanawake washauriwa kupigania viti vya kisiasa
TAMASHA ya Mdahalo wa Watu (PDF) 2020 kuhusu Ushindani na Ushirikiano katika Maendeleo ya Demokrasia ilianza Jumatano, huku wanawake zaidi wakihimizwa kuwania nafasi za uongozi.
Akitoa hotuba yake ya ufunguzi katika hafla hiyo, Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa aliwahimiza wanawake zaidi wabuni vyama vya kisiasa.
Bw Wamalwa aliwapongeza kinara wa Narc-Kenya Bi Martha Karua na Gavana Charity Ngilu wa Kitui kwa kuwa katika mstari wa mbele katika kupigania demokrasia nchini.
Bi Ngilu alikuwa miongoni mwa viongozi waliobuni muungano wa Narc mnamo 2002.
Hafla hiyo imeandaliwa na Kituo cha Demokrasia ya Vyama Vingi Kenya (CMD)
"Nampongeza Bi Karua kwa kuongoza chama cha kisiasa nchini, jambo ambalo si rahisi. Bi Ngilu pia ni kiongozi shupavu wa kisiasa. Tungependa kuona wanawake zaidi wakiunda na kuongoza vyama vya kisiasa," alisema Bw Wamalwa.
Aliwahimiza wanawake zaidi wajitokeze na kuwania ugavana, ikizingatiwa kwa sasa kuna magavana wawili; Bi Ngilu na Gavana Anne Waiguru (Kirinyaga).
Kauli yake iliungwa mkono na Katibu Mkuu wa ODM Bw Edwin Sifuna, aliyewataka wanawake wajikakamue kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
Wakati huo huo, kinara wa ANC, Bw Musalia Mudavadi ameonya kwamba huenda Mpango wa Maridhiano (BBI) ukazua migawanyiko mikubwa, ikiwa viongozi wote hawatapewa nafasi kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.
Akihutubu jana kwenye mwendelezo wa tamasha hizo jijini Nairobi, Bw Mudavadi alionya kuwa lazima mchakato huo usikitwe kwa viongozi, bali masuala ambayo yatawaunganisha Wakenya.
"Mjadala wa BBI ni nafasi nzuri ya kuangazia masuala yanayozua migawanyiko baina yetu. Huenda tukashuhudia migawayiko zaidi wakati wa kura ya maamuzi. Inafaa kila mmoja apewe nafasi bila ubaguzi wala mapendeleo yoyote,” akasema.
Kauli yake pia iliungwa mkono na Bi Karua. Spika wa Bunge la Kitaifa Bw Justin Muturi, naye alihimiza vyama vya kisiasa kuweka misingi thabiti itakayovifanya kuwa taasisi huru.
Alisema kuwa chini ya mazingira ya sasa, vyama vya kisiasa vimekuwa vikihusishwa na watu binafsi, badala ya kuonekana kama taasisi zinazojisimamia.
Baadhi ya masuala mengine yaliyojitokeza wazi kwenye vikao hivyo ni nafasi ya vijana kwenye vyama vya kisiasa na uwakilishi wa walemavu katika nyadhifa za uongozi.
Viongozi walikabiliwa na wakati mgumu wakati vijana waliwataka kuelezea kuhusu baadhi ya changamoto zinazowakumba kama vile ukosefu wa ajira, kutowakilishwa kwenye vyama vya kisiasa, kuandamwa kwa kutolipa mikopo ya Bodi ya Elimu ya Juu (HELB) kati ya changamoto zingine.
| Waziri wa ugatuzi ni nani? | {
"text": [
"Eugine Wamalwa"
]
} |
0745_swa |
Wanawake washauriwa kupigania viti vya kisiasa
TAMASHA ya Mdahalo wa Watu (PDF) 2020 kuhusu Ushindani na Ushirikiano katika Maendeleo ya Demokrasia ilianza Jumatano, huku wanawake zaidi wakihimizwa kuwania nafasi za uongozi.
Akitoa hotuba yake ya ufunguzi katika hafla hiyo, Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa aliwahimiza wanawake zaidi wabuni vyama vya kisiasa.
Bw Wamalwa aliwapongeza kinara wa Narc-Kenya Bi Martha Karua na Gavana Charity Ngilu wa Kitui kwa kuwa katika mstari wa mbele katika kupigania demokrasia nchini.
Bi Ngilu alikuwa miongoni mwa viongozi waliobuni muungano wa Narc mnamo 2002.
Hafla hiyo imeandaliwa na Kituo cha Demokrasia ya Vyama Vingi Kenya (CMD)
"Nampongeza Bi Karua kwa kuongoza chama cha kisiasa nchini, jambo ambalo si rahisi. Bi Ngilu pia ni kiongozi shupavu wa kisiasa. Tungependa kuona wanawake zaidi wakiunda na kuongoza vyama vya kisiasa," alisema Bw Wamalwa.
Aliwahimiza wanawake zaidi wajitokeze na kuwania ugavana, ikizingatiwa kwa sasa kuna magavana wawili; Bi Ngilu na Gavana Anne Waiguru (Kirinyaga).
Kauli yake iliungwa mkono na Katibu Mkuu wa ODM Bw Edwin Sifuna, aliyewataka wanawake wajikakamue kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
Wakati huo huo, kinara wa ANC, Bw Musalia Mudavadi ameonya kwamba huenda Mpango wa Maridhiano (BBI) ukazua migawanyiko mikubwa, ikiwa viongozi wote hawatapewa nafasi kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.
Akihutubu jana kwenye mwendelezo wa tamasha hizo jijini Nairobi, Bw Mudavadi alionya kuwa lazima mchakato huo usikitwe kwa viongozi, bali masuala ambayo yatawaunganisha Wakenya.
"Mjadala wa BBI ni nafasi nzuri ya kuangazia masuala yanayozua migawanyiko baina yetu. Huenda tukashuhudia migawayiko zaidi wakati wa kura ya maamuzi. Inafaa kila mmoja apewe nafasi bila ubaguzi wala mapendeleo yoyote,” akasema.
Kauli yake pia iliungwa mkono na Bi Karua. Spika wa Bunge la Kitaifa Bw Justin Muturi, naye alihimiza vyama vya kisiasa kuweka misingi thabiti itakayovifanya kuwa taasisi huru.
Alisema kuwa chini ya mazingira ya sasa, vyama vya kisiasa vimekuwa vikihusishwa na watu binafsi, badala ya kuonekana kama taasisi zinazojisimamia.
Baadhi ya masuala mengine yaliyojitokeza wazi kwenye vikao hivyo ni nafasi ya vijana kwenye vyama vya kisiasa na uwakilishi wa walemavu katika nyadhifa za uongozi.
Viongozi walikabiliwa na wakati mgumu wakati vijana waliwataka kuelezea kuhusu baadhi ya changamoto zinazowakumba kama vile ukosefu wa ajira, kutowakilishwa kwenye vyama vya kisiasa, kuandamwa kwa kutolipa mikopo ya Bodi ya Elimu ya Juu (HELB) kati ya changamoto zingine.
| Mbona Bi Martha Karua na gavana Ngilu walipongezwa? | {
"text": [
"kwa kupigania demokrasia nchini"
]
} |
0745_swa |
Wanawake washauriwa kupigania viti vya kisiasa
TAMASHA ya Mdahalo wa Watu (PDF) 2020 kuhusu Ushindani na Ushirikiano katika Maendeleo ya Demokrasia ilianza Jumatano, huku wanawake zaidi wakihimizwa kuwania nafasi za uongozi.
Akitoa hotuba yake ya ufunguzi katika hafla hiyo, Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa aliwahimiza wanawake zaidi wabuni vyama vya kisiasa.
Bw Wamalwa aliwapongeza kinara wa Narc-Kenya Bi Martha Karua na Gavana Charity Ngilu wa Kitui kwa kuwa katika mstari wa mbele katika kupigania demokrasia nchini.
Bi Ngilu alikuwa miongoni mwa viongozi waliobuni muungano wa Narc mnamo 2002.
Hafla hiyo imeandaliwa na Kituo cha Demokrasia ya Vyama Vingi Kenya (CMD)
"Nampongeza Bi Karua kwa kuongoza chama cha kisiasa nchini, jambo ambalo si rahisi. Bi Ngilu pia ni kiongozi shupavu wa kisiasa. Tungependa kuona wanawake zaidi wakiunda na kuongoza vyama vya kisiasa," alisema Bw Wamalwa.
Aliwahimiza wanawake zaidi wajitokeze na kuwania ugavana, ikizingatiwa kwa sasa kuna magavana wawili; Bi Ngilu na Gavana Anne Waiguru (Kirinyaga).
Kauli yake iliungwa mkono na Katibu Mkuu wa ODM Bw Edwin Sifuna, aliyewataka wanawake wajikakamue kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
Wakati huo huo, kinara wa ANC, Bw Musalia Mudavadi ameonya kwamba huenda Mpango wa Maridhiano (BBI) ukazua migawanyiko mikubwa, ikiwa viongozi wote hawatapewa nafasi kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.
Akihutubu jana kwenye mwendelezo wa tamasha hizo jijini Nairobi, Bw Mudavadi alionya kuwa lazima mchakato huo usikitwe kwa viongozi, bali masuala ambayo yatawaunganisha Wakenya.
"Mjadala wa BBI ni nafasi nzuri ya kuangazia masuala yanayozua migawanyiko baina yetu. Huenda tukashuhudia migawayiko zaidi wakati wa kura ya maamuzi. Inafaa kila mmoja apewe nafasi bila ubaguzi wala mapendeleo yoyote,” akasema.
Kauli yake pia iliungwa mkono na Bi Karua. Spika wa Bunge la Kitaifa Bw Justin Muturi, naye alihimiza vyama vya kisiasa kuweka misingi thabiti itakayovifanya kuwa taasisi huru.
Alisema kuwa chini ya mazingira ya sasa, vyama vya kisiasa vimekuwa vikihusishwa na watu binafsi, badala ya kuonekana kama taasisi zinazojisimamia.
Baadhi ya masuala mengine yaliyojitokeza wazi kwenye vikao hivyo ni nafasi ya vijana kwenye vyama vya kisiasa na uwakilishi wa walemavu katika nyadhifa za uongozi.
Viongozi walikabiliwa na wakati mgumu wakati vijana waliwataka kuelezea kuhusu baadhi ya changamoto zinazowakumba kama vile ukosefu wa ajira, kutowakilishwa kwenye vyama vya kisiasa, kuandamwa kwa kutolipa mikopo ya Bodi ya Elimu ya Juu (HELB) kati ya changamoto zingine.
| Muungano wa Narc ulibuniwa mwaka gani? | {
"text": [
"2002"
]
} |
0745_swa |
Wanawake washauriwa kupigania viti vya kisiasa
TAMASHA ya Mdahalo wa Watu (PDF) 2020 kuhusu Ushindani na Ushirikiano katika Maendeleo ya Demokrasia ilianza Jumatano, huku wanawake zaidi wakihimizwa kuwania nafasi za uongozi.
Akitoa hotuba yake ya ufunguzi katika hafla hiyo, Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa aliwahimiza wanawake zaidi wabuni vyama vya kisiasa.
Bw Wamalwa aliwapongeza kinara wa Narc-Kenya Bi Martha Karua na Gavana Charity Ngilu wa Kitui kwa kuwa katika mstari wa mbele katika kupigania demokrasia nchini.
Bi Ngilu alikuwa miongoni mwa viongozi waliobuni muungano wa Narc mnamo 2002.
Hafla hiyo imeandaliwa na Kituo cha Demokrasia ya Vyama Vingi Kenya (CMD)
"Nampongeza Bi Karua kwa kuongoza chama cha kisiasa nchini, jambo ambalo si rahisi. Bi Ngilu pia ni kiongozi shupavu wa kisiasa. Tungependa kuona wanawake zaidi wakiunda na kuongoza vyama vya kisiasa," alisema Bw Wamalwa.
Aliwahimiza wanawake zaidi wajitokeze na kuwania ugavana, ikizingatiwa kwa sasa kuna magavana wawili; Bi Ngilu na Gavana Anne Waiguru (Kirinyaga).
Kauli yake iliungwa mkono na Katibu Mkuu wa ODM Bw Edwin Sifuna, aliyewataka wanawake wajikakamue kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
Wakati huo huo, kinara wa ANC, Bw Musalia Mudavadi ameonya kwamba huenda Mpango wa Maridhiano (BBI) ukazua migawanyiko mikubwa, ikiwa viongozi wote hawatapewa nafasi kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.
Akihutubu jana kwenye mwendelezo wa tamasha hizo jijini Nairobi, Bw Mudavadi alionya kuwa lazima mchakato huo usikitwe kwa viongozi, bali masuala ambayo yatawaunganisha Wakenya.
"Mjadala wa BBI ni nafasi nzuri ya kuangazia masuala yanayozua migawanyiko baina yetu. Huenda tukashuhudia migawayiko zaidi wakati wa kura ya maamuzi. Inafaa kila mmoja apewe nafasi bila ubaguzi wala mapendeleo yoyote,” akasema.
Kauli yake pia iliungwa mkono na Bi Karua. Spika wa Bunge la Kitaifa Bw Justin Muturi, naye alihimiza vyama vya kisiasa kuweka misingi thabiti itakayovifanya kuwa taasisi huru.
Alisema kuwa chini ya mazingira ya sasa, vyama vya kisiasa vimekuwa vikihusishwa na watu binafsi, badala ya kuonekana kama taasisi zinazojisimamia.
Baadhi ya masuala mengine yaliyojitokeza wazi kwenye vikao hivyo ni nafasi ya vijana kwenye vyama vya kisiasa na uwakilishi wa walemavu katika nyadhifa za uongozi.
Viongozi walikabiliwa na wakati mgumu wakati vijana waliwataka kuelezea kuhusu baadhi ya changamoto zinazowakumba kama vile ukosefu wa ajira, kutowakilishwa kwenye vyama vya kisiasa, kuandamwa kwa kutolipa mikopo ya Bodi ya Elimu ya Juu (HELB) kati ya changamoto zingine.
| Taja jina la Gavana yeyote mwanamke? | {
"text": [
"Bi Charity Ngilu , Bi Anne Waiguru"
]
} |
0746_swa | Ni bayana Jubilee si chochote wala lolote bali kaka tupu au gofu la kale
CHAMA cha kuku, ama ukipenda Kanu, kilikipata! Kabisa, kilipothubutu kumeza tingatinga na moshi wake. Kilivimbiwa kikalazimika kutapika, kikabaki hoi, mpaka sasa kinatapatapa. Kinaona vimulimuli, mazingaombwe, kina kisunzi tele.
Hata wewe, ikiwa una akili razini, ungawa jogoo unaweza kumeza tinga tinga linalobomoa nyika na kuifanya shamba?
Nashukuru maulana kwa kuniweka hai nishuhudie historia ikijirudia. Tusidanganyane: Jubilee imekwisha! Hamna kitu.
Mwana wa Jaramogi, sawa tu na alivyomhangaisha mwendazake mzee kirungu na chama chake cha kuku, ameichanachana Jubilee kama tambara la mwendawazimu!
Ama unataka kuniambia hujakutana na wanasiasa wa Jubilee wakirusha mikono hewani na kujizungumzia mambo yasiyoeleweka? Wanauliza ‘kwani kuliendaje?’
Tangu hapo nikiambiwa kila soko lina mwendawazimu wake, lakini sikutahadharishwa kwamba soko moja linaweza kuwa na wendawazimu wengi kuliko watu timamu.
Nakataa kuwa muovu kama baadhii ya WAKENYA wenye hasira ambao nimewaona mtandaoni wakiomba upepo wa Corona virus upitie bungeni kuwaadhibu wakora fulani.
Nakataa kuwa muovu kama wengine waliotia duwa ya kuku dhidi ya mwewe, 18 nzige waliotuwa nchini wafike bungeni na kuingia machoni mwa wakora hao.
Nataka wakora wetu wawe salama hadi hapo 2022 ambapo nakuhakikishia takriban asilimia 75 watatemwa na wananchi kama kikohozi cha Corona virus.
Hatukuwachagua wakahasimiane, kutishiana wala kututumuliana misuli kana kwamba wanajiangalia michezo ya olimpiki. Kazi yetu hawafanyi, wanajaza matumbo yao.
Mara hii nakataa kumlaumu Agwambo. Nitampongeza kwa kuwa mjanja. Alipojinyima, bila kujua, fursa ya kuingia bungeni akishindwa uchaguzi wa urais alizuwa mbinu nyingine.
Katiba ya 2010, ambayo alivumisha kuliko BBI, ilihakikisha kwamba akishindwa kikweli au kura zake ziibiwe angekaa nje ya bunge.
Hivi ilibidi atafute njia ya kujidumishia ushawishi kwa kisiasa. Hebu mvumilie kofia kwa kuwatoa wabunge bungeni waje huku nje wampiganie badala yake yeye kuwafuata huko.
Ni watu wangapi nchini Kenya waliona uwezo huo? Aliketi nje ya bunge kati ya 2013 na 2017, wengi wakmcheka eti hana kazi, kumbe mungu wake halali!
Dua yake ilijibiwa, yule mjanja mwenyeji wa ikulu akawa amepanga wakati murua wakumtumia Agwambo.
Tulikutabiria hapa, na tukakuambia mchuuzi kukuwa asubuhi alikuwa msindikizaji watu, kwamba angetupwa nje baada ya uchaguzi mkuu uliopita, lakini hukutusikiza.
Ndivyo sias zilivyokote duniani; ukiitumia ngazi kukwea, jukumu lako la kwanza ni kuiangusha au kuivunjavunja asitumie mwingine kukufikia.
Hivyo ndivyo Jubilee inakufa kifo cha kasi mikononi mwa Agwambo, tena kwa raha za mwana wa Jomo.
Changamoto yangu kwa Agwambo mara hii ni kwamba awe mwanamume kamili, afike ikulu alikotamani kufika miaka yote hii, asiwe kama kiko ambacho hutumiwa kupakua mchuzi na wala hakili.
Ni changamoto kwani najua mwana wa Jomo hajaacha chanja zake, angali anatafuta njia ya kumwangamiza Agwambo kisiasa akishamsaidia kumzima mchuuzi wa asubuhi.
Ikiwa Agwambo ataruka mtego huo, hapo ndipo nitakubali ni mwanaume kamili. Tangu hapo sijapenda kisingizio chake kwamba kura zake zimeibwa.
Nina ugumu wa kumpa mtu kura yangu ikiwa hawezi kuitunza, Wanaume ni kuonana, twende nalo!
Uhuru akishindwa kung’oa Ruto kupitia bunge ataandamwa yeye
Kina mwana wa mlima Kenya husema anaye tazamiwa ugangani hana chaguo, hukubali analo ambiwa. Labda ‘Ouru’ ameamini kwamba anaweza kumg’oa DKT Bill Samoei kupitia bunge? Huo ni mtego, akishindwa kumg’oa atasombwa mwenyewe.
| Chama kipi kinarejelewa kama chama cha kuku | {
"text": [
"chama cha KANU"
]
} |
0746_swa | Ni bayana Jubilee si chochote wala lolote bali kaka tupu au gofu la kale
CHAMA cha kuku, ama ukipenda Kanu, kilikipata! Kabisa, kilipothubutu kumeza tingatinga na moshi wake. Kilivimbiwa kikalazimika kutapika, kikabaki hoi, mpaka sasa kinatapatapa. Kinaona vimulimuli, mazingaombwe, kina kisunzi tele.
Hata wewe, ikiwa una akili razini, ungawa jogoo unaweza kumeza tinga tinga linalobomoa nyika na kuifanya shamba?
Nashukuru maulana kwa kuniweka hai nishuhudie historia ikijirudia. Tusidanganyane: Jubilee imekwisha! Hamna kitu.
Mwana wa Jaramogi, sawa tu na alivyomhangaisha mwendazake mzee kirungu na chama chake cha kuku, ameichanachana Jubilee kama tambara la mwendawazimu!
Ama unataka kuniambia hujakutana na wanasiasa wa Jubilee wakirusha mikono hewani na kujizungumzia mambo yasiyoeleweka? Wanauliza ‘kwani kuliendaje?’
Tangu hapo nikiambiwa kila soko lina mwendawazimu wake, lakini sikutahadharishwa kwamba soko moja linaweza kuwa na wendawazimu wengi kuliko watu timamu.
Nakataa kuwa muovu kama baadhii ya WAKENYA wenye hasira ambao nimewaona mtandaoni wakiomba upepo wa Corona virus upitie bungeni kuwaadhibu wakora fulani.
Nakataa kuwa muovu kama wengine waliotia duwa ya kuku dhidi ya mwewe, 18 nzige waliotuwa nchini wafike bungeni na kuingia machoni mwa wakora hao.
Nataka wakora wetu wawe salama hadi hapo 2022 ambapo nakuhakikishia takriban asilimia 75 watatemwa na wananchi kama kikohozi cha Corona virus.
Hatukuwachagua wakahasimiane, kutishiana wala kututumuliana misuli kana kwamba wanajiangalia michezo ya olimpiki. Kazi yetu hawafanyi, wanajaza matumbo yao.
Mara hii nakataa kumlaumu Agwambo. Nitampongeza kwa kuwa mjanja. Alipojinyima, bila kujua, fursa ya kuingia bungeni akishindwa uchaguzi wa urais alizuwa mbinu nyingine.
Katiba ya 2010, ambayo alivumisha kuliko BBI, ilihakikisha kwamba akishindwa kikweli au kura zake ziibiwe angekaa nje ya bunge.
Hivi ilibidi atafute njia ya kujidumishia ushawishi kwa kisiasa. Hebu mvumilie kofia kwa kuwatoa wabunge bungeni waje huku nje wampiganie badala yake yeye kuwafuata huko.
Ni watu wangapi nchini Kenya waliona uwezo huo? Aliketi nje ya bunge kati ya 2013 na 2017, wengi wakmcheka eti hana kazi, kumbe mungu wake halali!
Dua yake ilijibiwa, yule mjanja mwenyeji wa ikulu akawa amepanga wakati murua wakumtumia Agwambo.
Tulikutabiria hapa, na tukakuambia mchuuzi kukuwa asubuhi alikuwa msindikizaji watu, kwamba angetupwa nje baada ya uchaguzi mkuu uliopita, lakini hukutusikiza.
Ndivyo sias zilivyokote duniani; ukiitumia ngazi kukwea, jukumu lako la kwanza ni kuiangusha au kuivunjavunja asitumie mwingine kukufikia.
Hivyo ndivyo Jubilee inakufa kifo cha kasi mikononi mwa Agwambo, tena kwa raha za mwana wa Jomo.
Changamoto yangu kwa Agwambo mara hii ni kwamba awe mwanamume kamili, afike ikulu alikotamani kufika miaka yote hii, asiwe kama kiko ambacho hutumiwa kupakua mchuzi na wala hakili.
Ni changamoto kwani najua mwana wa Jomo hajaacha chanja zake, angali anatafuta njia ya kumwangamiza Agwambo kisiasa akishamsaidia kumzima mchuuzi wa asubuhi.
Ikiwa Agwambo ataruka mtego huo, hapo ndipo nitakubali ni mwanaume kamili. Tangu hapo sijapenda kisingizio chake kwamba kura zake zimeibwa.
Nina ugumu wa kumpa mtu kura yangu ikiwa hawezi kuitunza, Wanaume ni kuonana, twende nalo!
Uhuru akishindwa kung’oa Ruto kupitia bunge ataandamwa yeye
Kina mwana wa mlima Kenya husema anaye tazamiwa ugangani hana chaguo, hukubali analo ambiwa. Labda ‘Ouru’ ameamini kwamba anaweza kumg’oa DKT Bill Samoei kupitia bunge? Huo ni mtego, akishindwa kumg’oa atasombwa mwenyewe.
| Nani amechanachana Chama cha Jubilee kama tambara la mwenda wa wazimu? | {
"text": [
"Mwanawe Jaramogi"
]
} |
0746_swa | Ni bayana Jubilee si chochote wala lolote bali kaka tupu au gofu la kale
CHAMA cha kuku, ama ukipenda Kanu, kilikipata! Kabisa, kilipothubutu kumeza tingatinga na moshi wake. Kilivimbiwa kikalazimika kutapika, kikabaki hoi, mpaka sasa kinatapatapa. Kinaona vimulimuli, mazingaombwe, kina kisunzi tele.
Hata wewe, ikiwa una akili razini, ungawa jogoo unaweza kumeza tinga tinga linalobomoa nyika na kuifanya shamba?
Nashukuru maulana kwa kuniweka hai nishuhudie historia ikijirudia. Tusidanganyane: Jubilee imekwisha! Hamna kitu.
Mwana wa Jaramogi, sawa tu na alivyomhangaisha mwendazake mzee kirungu na chama chake cha kuku, ameichanachana Jubilee kama tambara la mwendawazimu!
Ama unataka kuniambia hujakutana na wanasiasa wa Jubilee wakirusha mikono hewani na kujizungumzia mambo yasiyoeleweka? Wanauliza ‘kwani kuliendaje?’
Tangu hapo nikiambiwa kila soko lina mwendawazimu wake, lakini sikutahadharishwa kwamba soko moja linaweza kuwa na wendawazimu wengi kuliko watu timamu.
Nakataa kuwa muovu kama baadhii ya WAKENYA wenye hasira ambao nimewaona mtandaoni wakiomba upepo wa Corona virus upitie bungeni kuwaadhibu wakora fulani.
Nakataa kuwa muovu kama wengine waliotia duwa ya kuku dhidi ya mwewe, 18 nzige waliotuwa nchini wafike bungeni na kuingia machoni mwa wakora hao.
Nataka wakora wetu wawe salama hadi hapo 2022 ambapo nakuhakikishia takriban asilimia 75 watatemwa na wananchi kama kikohozi cha Corona virus.
Hatukuwachagua wakahasimiane, kutishiana wala kututumuliana misuli kana kwamba wanajiangalia michezo ya olimpiki. Kazi yetu hawafanyi, wanajaza matumbo yao.
Mara hii nakataa kumlaumu Agwambo. Nitampongeza kwa kuwa mjanja. Alipojinyima, bila kujua, fursa ya kuingia bungeni akishindwa uchaguzi wa urais alizuwa mbinu nyingine.
Katiba ya 2010, ambayo alivumisha kuliko BBI, ilihakikisha kwamba akishindwa kikweli au kura zake ziibiwe angekaa nje ya bunge.
Hivi ilibidi atafute njia ya kujidumishia ushawishi kwa kisiasa. Hebu mvumilie kofia kwa kuwatoa wabunge bungeni waje huku nje wampiganie badala yake yeye kuwafuata huko.
Ni watu wangapi nchini Kenya waliona uwezo huo? Aliketi nje ya bunge kati ya 2013 na 2017, wengi wakmcheka eti hana kazi, kumbe mungu wake halali!
Dua yake ilijibiwa, yule mjanja mwenyeji wa ikulu akawa amepanga wakati murua wakumtumia Agwambo.
Tulikutabiria hapa, na tukakuambia mchuuzi kukuwa asubuhi alikuwa msindikizaji watu, kwamba angetupwa nje baada ya uchaguzi mkuu uliopita, lakini hukutusikiza.
Ndivyo sias zilivyokote duniani; ukiitumia ngazi kukwea, jukumu lako la kwanza ni kuiangusha au kuivunjavunja asitumie mwingine kukufikia.
Hivyo ndivyo Jubilee inakufa kifo cha kasi mikononi mwa Agwambo, tena kwa raha za mwana wa Jomo.
Changamoto yangu kwa Agwambo mara hii ni kwamba awe mwanamume kamili, afike ikulu alikotamani kufika miaka yote hii, asiwe kama kiko ambacho hutumiwa kupakua mchuzi na wala hakili.
Ni changamoto kwani najua mwana wa Jomo hajaacha chanja zake, angali anatafuta njia ya kumwangamiza Agwambo kisiasa akishamsaidia kumzima mchuuzi wa asubuhi.
Ikiwa Agwambo ataruka mtego huo, hapo ndipo nitakubali ni mwanaume kamili. Tangu hapo sijapenda kisingizio chake kwamba kura zake zimeibwa.
Nina ugumu wa kumpa mtu kura yangu ikiwa hawezi kuitunza, Wanaume ni kuonana, twende nalo!
Uhuru akishindwa kung’oa Ruto kupitia bunge ataandamwa yeye
Kina mwana wa mlima Kenya husema anaye tazamiwa ugangani hana chaguo, hukubali analo ambiwa. Labda ‘Ouru’ ameamini kwamba anaweza kumg’oa DKT Bill Samoei kupitia bunge? Huo ni mtego, akishindwa kumg’oa atasombwa mwenyewe.
| Wasiasa wa chama kipi wanarushiana mikono? | {
"text": [
"Jubilee"
]
} |
0746_swa | Ni bayana Jubilee si chochote wala lolote bali kaka tupu au gofu la kale
CHAMA cha kuku, ama ukipenda Kanu, kilikipata! Kabisa, kilipothubutu kumeza tingatinga na moshi wake. Kilivimbiwa kikalazimika kutapika, kikabaki hoi, mpaka sasa kinatapatapa. Kinaona vimulimuli, mazingaombwe, kina kisunzi tele.
Hata wewe, ikiwa una akili razini, ungawa jogoo unaweza kumeza tinga tinga linalobomoa nyika na kuifanya shamba?
Nashukuru maulana kwa kuniweka hai nishuhudie historia ikijirudia. Tusidanganyane: Jubilee imekwisha! Hamna kitu.
Mwana wa Jaramogi, sawa tu na alivyomhangaisha mwendazake mzee kirungu na chama chake cha kuku, ameichanachana Jubilee kama tambara la mwendawazimu!
Ama unataka kuniambia hujakutana na wanasiasa wa Jubilee wakirusha mikono hewani na kujizungumzia mambo yasiyoeleweka? Wanauliza ‘kwani kuliendaje?’
Tangu hapo nikiambiwa kila soko lina mwendawazimu wake, lakini sikutahadharishwa kwamba soko moja linaweza kuwa na wendawazimu wengi kuliko watu timamu.
Nakataa kuwa muovu kama baadhii ya WAKENYA wenye hasira ambao nimewaona mtandaoni wakiomba upepo wa Corona virus upitie bungeni kuwaadhibu wakora fulani.
Nakataa kuwa muovu kama wengine waliotia duwa ya kuku dhidi ya mwewe, 18 nzige waliotuwa nchini wafike bungeni na kuingia machoni mwa wakora hao.
Nataka wakora wetu wawe salama hadi hapo 2022 ambapo nakuhakikishia takriban asilimia 75 watatemwa na wananchi kama kikohozi cha Corona virus.
Hatukuwachagua wakahasimiane, kutishiana wala kututumuliana misuli kana kwamba wanajiangalia michezo ya olimpiki. Kazi yetu hawafanyi, wanajaza matumbo yao.
Mara hii nakataa kumlaumu Agwambo. Nitampongeza kwa kuwa mjanja. Alipojinyima, bila kujua, fursa ya kuingia bungeni akishindwa uchaguzi wa urais alizuwa mbinu nyingine.
Katiba ya 2010, ambayo alivumisha kuliko BBI, ilihakikisha kwamba akishindwa kikweli au kura zake ziibiwe angekaa nje ya bunge.
Hivi ilibidi atafute njia ya kujidumishia ushawishi kwa kisiasa. Hebu mvumilie kofia kwa kuwatoa wabunge bungeni waje huku nje wampiganie badala yake yeye kuwafuata huko.
Ni watu wangapi nchini Kenya waliona uwezo huo? Aliketi nje ya bunge kati ya 2013 na 2017, wengi wakmcheka eti hana kazi, kumbe mungu wake halali!
Dua yake ilijibiwa, yule mjanja mwenyeji wa ikulu akawa amepanga wakati murua wakumtumia Agwambo.
Tulikutabiria hapa, na tukakuambia mchuuzi kukuwa asubuhi alikuwa msindikizaji watu, kwamba angetupwa nje baada ya uchaguzi mkuu uliopita, lakini hukutusikiza.
Ndivyo sias zilivyokote duniani; ukiitumia ngazi kukwea, jukumu lako la kwanza ni kuiangusha au kuivunjavunja asitumie mwingine kukufikia.
Hivyo ndivyo Jubilee inakufa kifo cha kasi mikononi mwa Agwambo, tena kwa raha za mwana wa Jomo.
Changamoto yangu kwa Agwambo mara hii ni kwamba awe mwanamume kamili, afike ikulu alikotamani kufika miaka yote hii, asiwe kama kiko ambacho hutumiwa kupakua mchuzi na wala hakili.
Ni changamoto kwani najua mwana wa Jomo hajaacha chanja zake, angali anatafuta njia ya kumwangamiza Agwambo kisiasa akishamsaidia kumzima mchuuzi wa asubuhi.
Ikiwa Agwambo ataruka mtego huo, hapo ndipo nitakubali ni mwanaume kamili. Tangu hapo sijapenda kisingizio chake kwamba kura zake zimeibwa.
Nina ugumu wa kumpa mtu kura yangu ikiwa hawezi kuitunza, Wanaume ni kuonana, twende nalo!
Uhuru akishindwa kung’oa Ruto kupitia bunge ataandamwa yeye
Kina mwana wa mlima Kenya husema anaye tazamiwa ugangani hana chaguo, hukubali analo ambiwa. Labda ‘Ouru’ ameamini kwamba anaweza kumg’oa DKT Bill Samoei kupitia bunge? Huo ni mtego, akishindwa kumg’oa atasombwa mwenyewe.
| Kila soko lina nini? | {
"text": [
"Mwendawazimu wake"
]
} |
0746_swa | Ni bayana Jubilee si chochote wala lolote bali kaka tupu au gofu la kale
CHAMA cha kuku, ama ukipenda Kanu, kilikipata! Kabisa, kilipothubutu kumeza tingatinga na moshi wake. Kilivimbiwa kikalazimika kutapika, kikabaki hoi, mpaka sasa kinatapatapa. Kinaona vimulimuli, mazingaombwe, kina kisunzi tele.
Hata wewe, ikiwa una akili razini, ungawa jogoo unaweza kumeza tinga tinga linalobomoa nyika na kuifanya shamba?
Nashukuru maulana kwa kuniweka hai nishuhudie historia ikijirudia. Tusidanganyane: Jubilee imekwisha! Hamna kitu.
Mwana wa Jaramogi, sawa tu na alivyomhangaisha mwendazake mzee kirungu na chama chake cha kuku, ameichanachana Jubilee kama tambara la mwendawazimu!
Ama unataka kuniambia hujakutana na wanasiasa wa Jubilee wakirusha mikono hewani na kujizungumzia mambo yasiyoeleweka? Wanauliza ‘kwani kuliendaje?’
Tangu hapo nikiambiwa kila soko lina mwendawazimu wake, lakini sikutahadharishwa kwamba soko moja linaweza kuwa na wendawazimu wengi kuliko watu timamu.
Nakataa kuwa muovu kama baadhii ya WAKENYA wenye hasira ambao nimewaona mtandaoni wakiomba upepo wa Corona virus upitie bungeni kuwaadhibu wakora fulani.
Nakataa kuwa muovu kama wengine waliotia duwa ya kuku dhidi ya mwewe, 18 nzige waliotuwa nchini wafike bungeni na kuingia machoni mwa wakora hao.
Nataka wakora wetu wawe salama hadi hapo 2022 ambapo nakuhakikishia takriban asilimia 75 watatemwa na wananchi kama kikohozi cha Corona virus.
Hatukuwachagua wakahasimiane, kutishiana wala kututumuliana misuli kana kwamba wanajiangalia michezo ya olimpiki. Kazi yetu hawafanyi, wanajaza matumbo yao.
Mara hii nakataa kumlaumu Agwambo. Nitampongeza kwa kuwa mjanja. Alipojinyima, bila kujua, fursa ya kuingia bungeni akishindwa uchaguzi wa urais alizuwa mbinu nyingine.
Katiba ya 2010, ambayo alivumisha kuliko BBI, ilihakikisha kwamba akishindwa kikweli au kura zake ziibiwe angekaa nje ya bunge.
Hivi ilibidi atafute njia ya kujidumishia ushawishi kwa kisiasa. Hebu mvumilie kofia kwa kuwatoa wabunge bungeni waje huku nje wampiganie badala yake yeye kuwafuata huko.
Ni watu wangapi nchini Kenya waliona uwezo huo? Aliketi nje ya bunge kati ya 2013 na 2017, wengi wakmcheka eti hana kazi, kumbe mungu wake halali!
Dua yake ilijibiwa, yule mjanja mwenyeji wa ikulu akawa amepanga wakati murua wakumtumia Agwambo.
Tulikutabiria hapa, na tukakuambia mchuuzi kukuwa asubuhi alikuwa msindikizaji watu, kwamba angetupwa nje baada ya uchaguzi mkuu uliopita, lakini hukutusikiza.
Ndivyo sias zilivyokote duniani; ukiitumia ngazi kukwea, jukumu lako la kwanza ni kuiangusha au kuivunjavunja asitumie mwingine kukufikia.
Hivyo ndivyo Jubilee inakufa kifo cha kasi mikononi mwa Agwambo, tena kwa raha za mwana wa Jomo.
Changamoto yangu kwa Agwambo mara hii ni kwamba awe mwanamume kamili, afike ikulu alikotamani kufika miaka yote hii, asiwe kama kiko ambacho hutumiwa kupakua mchuzi na wala hakili.
Ni changamoto kwani najua mwana wa Jomo hajaacha chanja zake, angali anatafuta njia ya kumwangamiza Agwambo kisiasa akishamsaidia kumzima mchuuzi wa asubuhi.
Ikiwa Agwambo ataruka mtego huo, hapo ndipo nitakubali ni mwanaume kamili. Tangu hapo sijapenda kisingizio chake kwamba kura zake zimeibwa.
Nina ugumu wa kumpa mtu kura yangu ikiwa hawezi kuitunza, Wanaume ni kuonana, twende nalo!
Uhuru akishindwa kung’oa Ruto kupitia bunge ataandamwa yeye
Kina mwana wa mlima Kenya husema anaye tazamiwa ugangani hana chaguo, hukubali analo ambiwa. Labda ‘Ouru’ ameamini kwamba anaweza kumg’oa DKT Bill Samoei kupitia bunge? Huo ni mtego, akishindwa kumg’oa atasombwa mwenyewe.
| Kwa nini mwandishi anataka wakora hao wawe salama hadi 2022? | {
"text": [
"kushuhudia asilimia 75 ikitemwa na umma"
]
} |
0747_swa | Kivumbi cha kumrithi Joho chatifuka, Mboko yumo pia
SIASA za kumrithi Gavana Hassan Joho zimepamba moto huku wabunge wakijizatiti kupata baraka za kinara huyo wa Kaunti ya Mombasa.
Wabunge Bi Mishi Mboko (Likoni), Bw Abdulswamad Nassir (Mvita), Bw Ali Mbogo (Kisauni), Bw Badi Twalib (Jomvu), Bw Omar Mwinyi (Changamwe) na spika wa bunge la Kaunti ya Mombasa Harub Khatri, wako mbioni kusaka umaarufu huku wakisubiri kutawazwa na Bw Joho ambaye anausemi mkubwa wa siasa za eneo la Pwani.
Bw Joho anachukuliwa kama msemaji wa siasa eneo la Pwani na wanasiasa wengi wamekuwa wakimfuata kupata baraka zake hususan wale wa chama cha ODM.
Hata hivyo, Bw Joho ambaye anamaliza hatamu yake ya ugavana baada ya kuongoza kwa vipindi viwili, amesalia kinya kuhusu swala la mrithi wake.
Bw Joho yuko katika njia-panda kwani wandani wake wanatarajia awatawaze kumridhi.
Bi Mboko alisema anamsubiri gavana huyo kuamua mrithi wake.
“Tuache kujipiga vifua, kupiga kelele na ooh sijui nini na nini, Bw Joho atasawazisha kila kitu, yeye ndiye atakaye amua. Lakini kama wanawake, ninawasihi tuanze kujipanga mapema ili tupate kura nyingi zaidi,” alisema Bi Mboko.
Alisema wabunge wote wanaotaka kumrithi gavana huyo ni wanafunzi wake wakisiasa.
“Bw Nassir na mimi tunataka ugavana na sote tuko upande wa gavana wetu, kwa hivyo acheni propaganda za kugonganisha watu. Bw Mwinyi, Bw Mbogo, Bw Khatri na mimi Mishi Mboko tunavizia kiti cha ugabvana,” alisema.
Bi Mboko ni mwanamke wa kwanza kugombea ugavana wa Mombasa ambayo inawapiga 500000.
Alisema ananuia kuwaunganisha wanawake na vijana ili kupata kura zao. Awali alitajwa kuwa mbichi katika siasa za Mombasa, lakini katika siku za hivi majuzi amejitokeza kama mwanasiasa shupavu akimenyana na wanaume.
Akiongea kwenye sherehe za kuadhimisha siku za wanawake duniani mnamo Machi 3, Bi Mboko alisema yuko tayari kumrithi Bw Joho kwani anakisomo na amekomaa kwenye kisiasa. Alisema licha ya kupakwa tope, amejizatiti kwenye ulingo huo baada ya kumenyana na wanaume kwenye uchaguzi wa ubunge wa Likoni mwaka wa 2017.
Bi Mboko mwenye shahada ya mawasiliano kutoka chuo kikuu cha Moi, aliandikisha historia baada ya kuwa mwanamke wa kwanza Mombasa kuchaguliwa bunge. Hata hivyo, mwanachama huyo shupavu wa ODM alikisihi chama chake kuhakikisha usawa katika ugavi wa uongozi mwaka wa 2022.
| Nani ana usemi mkubwa wa siasa za eneo la pwani | {
"text": [
"Bw Joho"
]
} |
0747_swa | Kivumbi cha kumrithi Joho chatifuka, Mboko yumo pia
SIASA za kumrithi Gavana Hassan Joho zimepamba moto huku wabunge wakijizatiti kupata baraka za kinara huyo wa Kaunti ya Mombasa.
Wabunge Bi Mishi Mboko (Likoni), Bw Abdulswamad Nassir (Mvita), Bw Ali Mbogo (Kisauni), Bw Badi Twalib (Jomvu), Bw Omar Mwinyi (Changamwe) na spika wa bunge la Kaunti ya Mombasa Harub Khatri, wako mbioni kusaka umaarufu huku wakisubiri kutawazwa na Bw Joho ambaye anausemi mkubwa wa siasa za eneo la Pwani.
Bw Joho anachukuliwa kama msemaji wa siasa eneo la Pwani na wanasiasa wengi wamekuwa wakimfuata kupata baraka zake hususan wale wa chama cha ODM.
Hata hivyo, Bw Joho ambaye anamaliza hatamu yake ya ugavana baada ya kuongoza kwa vipindi viwili, amesalia kinya kuhusu swala la mrithi wake.
Bw Joho yuko katika njia-panda kwani wandani wake wanatarajia awatawaze kumridhi.
Bi Mboko alisema anamsubiri gavana huyo kuamua mrithi wake.
“Tuache kujipiga vifua, kupiga kelele na ooh sijui nini na nini, Bw Joho atasawazisha kila kitu, yeye ndiye atakaye amua. Lakini kama wanawake, ninawasihi tuanze kujipanga mapema ili tupate kura nyingi zaidi,” alisema Bi Mboko.
Alisema wabunge wote wanaotaka kumrithi gavana huyo ni wanafunzi wake wakisiasa.
“Bw Nassir na mimi tunataka ugavana na sote tuko upande wa gavana wetu, kwa hivyo acheni propaganda za kugonganisha watu. Bw Mwinyi, Bw Mbogo, Bw Khatri na mimi Mishi Mboko tunavizia kiti cha ugabvana,” alisema.
Bi Mboko ni mwanamke wa kwanza kugombea ugavana wa Mombasa ambayo inawapiga 500000.
Alisema ananuia kuwaunganisha wanawake na vijana ili kupata kura zao. Awali alitajwa kuwa mbichi katika siasa za Mombasa, lakini katika siku za hivi majuzi amejitokeza kama mwanasiasa shupavu akimenyana na wanaume.
Akiongea kwenye sherehe za kuadhimisha siku za wanawake duniani mnamo Machi 3, Bi Mboko alisema yuko tayari kumrithi Bw Joho kwani anakisomo na amekomaa kwenye kisiasa. Alisema licha ya kupakwa tope, amejizatiti kwenye ulingo huo baada ya kumenyana na wanaume kwenye uchaguzi wa ubunge wa Likoni mwaka wa 2017.
Bi Mboko mwenye shahada ya mawasiliano kutoka chuo kikuu cha Moi, aliandikisha historia baada ya kuwa mwanamke wa kwanza Mombasa kuchaguliwa bunge. Hata hivyo, mwanachama huyo shupavu wa ODM alikisihi chama chake kuhakikisha usawa katika ugavi wa uongozi mwaka wa 2022.
| Wanasiasa wa chama gani wamekua wakifuata Joho wapate baraka | {
"text": [
"ODM"
]
} |
0747_swa | Kivumbi cha kumrithi Joho chatifuka, Mboko yumo pia
SIASA za kumrithi Gavana Hassan Joho zimepamba moto huku wabunge wakijizatiti kupata baraka za kinara huyo wa Kaunti ya Mombasa.
Wabunge Bi Mishi Mboko (Likoni), Bw Abdulswamad Nassir (Mvita), Bw Ali Mbogo (Kisauni), Bw Badi Twalib (Jomvu), Bw Omar Mwinyi (Changamwe) na spika wa bunge la Kaunti ya Mombasa Harub Khatri, wako mbioni kusaka umaarufu huku wakisubiri kutawazwa na Bw Joho ambaye anausemi mkubwa wa siasa za eneo la Pwani.
Bw Joho anachukuliwa kama msemaji wa siasa eneo la Pwani na wanasiasa wengi wamekuwa wakimfuata kupata baraka zake hususan wale wa chama cha ODM.
Hata hivyo, Bw Joho ambaye anamaliza hatamu yake ya ugavana baada ya kuongoza kwa vipindi viwili, amesalia kinya kuhusu swala la mrithi wake.
Bw Joho yuko katika njia-panda kwani wandani wake wanatarajia awatawaze kumridhi.
Bi Mboko alisema anamsubiri gavana huyo kuamua mrithi wake.
“Tuache kujipiga vifua, kupiga kelele na ooh sijui nini na nini, Bw Joho atasawazisha kila kitu, yeye ndiye atakaye amua. Lakini kama wanawake, ninawasihi tuanze kujipanga mapema ili tupate kura nyingi zaidi,” alisema Bi Mboko.
Alisema wabunge wote wanaotaka kumrithi gavana huyo ni wanafunzi wake wakisiasa.
“Bw Nassir na mimi tunataka ugavana na sote tuko upande wa gavana wetu, kwa hivyo acheni propaganda za kugonganisha watu. Bw Mwinyi, Bw Mbogo, Bw Khatri na mimi Mishi Mboko tunavizia kiti cha ugabvana,” alisema.
Bi Mboko ni mwanamke wa kwanza kugombea ugavana wa Mombasa ambayo inawapiga 500000.
Alisema ananuia kuwaunganisha wanawake na vijana ili kupata kura zao. Awali alitajwa kuwa mbichi katika siasa za Mombasa, lakini katika siku za hivi majuzi amejitokeza kama mwanasiasa shupavu akimenyana na wanaume.
Akiongea kwenye sherehe za kuadhimisha siku za wanawake duniani mnamo Machi 3, Bi Mboko alisema yuko tayari kumrithi Bw Joho kwani anakisomo na amekomaa kwenye kisiasa. Alisema licha ya kupakwa tope, amejizatiti kwenye ulingo huo baada ya kumenyana na wanaume kwenye uchaguzi wa ubunge wa Likoni mwaka wa 2017.
Bi Mboko mwenye shahada ya mawasiliano kutoka chuo kikuu cha Moi, aliandikisha historia baada ya kuwa mwanamke wa kwanza Mombasa kuchaguliwa bunge. Hata hivyo, mwanachama huyo shupavu wa ODM alikisihi chama chake kuhakikisha usawa katika ugavi wa uongozi mwaka wa 2022.
| Ni vipindi vingapi Joho ameongoza kama gavana | {
"text": [
"viwili"
]
} |
0747_swa | Kivumbi cha kumrithi Joho chatifuka, Mboko yumo pia
SIASA za kumrithi Gavana Hassan Joho zimepamba moto huku wabunge wakijizatiti kupata baraka za kinara huyo wa Kaunti ya Mombasa.
Wabunge Bi Mishi Mboko (Likoni), Bw Abdulswamad Nassir (Mvita), Bw Ali Mbogo (Kisauni), Bw Badi Twalib (Jomvu), Bw Omar Mwinyi (Changamwe) na spika wa bunge la Kaunti ya Mombasa Harub Khatri, wako mbioni kusaka umaarufu huku wakisubiri kutawazwa na Bw Joho ambaye anausemi mkubwa wa siasa za eneo la Pwani.
Bw Joho anachukuliwa kama msemaji wa siasa eneo la Pwani na wanasiasa wengi wamekuwa wakimfuata kupata baraka zake hususan wale wa chama cha ODM.
Hata hivyo, Bw Joho ambaye anamaliza hatamu yake ya ugavana baada ya kuongoza kwa vipindi viwili, amesalia kinya kuhusu swala la mrithi wake.
Bw Joho yuko katika njia-panda kwani wandani wake wanatarajia awatawaze kumridhi.
Bi Mboko alisema anamsubiri gavana huyo kuamua mrithi wake.
“Tuache kujipiga vifua, kupiga kelele na ooh sijui nini na nini, Bw Joho atasawazisha kila kitu, yeye ndiye atakaye amua. Lakini kama wanawake, ninawasihi tuanze kujipanga mapema ili tupate kura nyingi zaidi,” alisema Bi Mboko.
Alisema wabunge wote wanaotaka kumrithi gavana huyo ni wanafunzi wake wakisiasa.
“Bw Nassir na mimi tunataka ugavana na sote tuko upande wa gavana wetu, kwa hivyo acheni propaganda za kugonganisha watu. Bw Mwinyi, Bw Mbogo, Bw Khatri na mimi Mishi Mboko tunavizia kiti cha ugabvana,” alisema.
Bi Mboko ni mwanamke wa kwanza kugombea ugavana wa Mombasa ambayo inawapiga 500000.
Alisema ananuia kuwaunganisha wanawake na vijana ili kupata kura zao. Awali alitajwa kuwa mbichi katika siasa za Mombasa, lakini katika siku za hivi majuzi amejitokeza kama mwanasiasa shupavu akimenyana na wanaume.
Akiongea kwenye sherehe za kuadhimisha siku za wanawake duniani mnamo Machi 3, Bi Mboko alisema yuko tayari kumrithi Bw Joho kwani anakisomo na amekomaa kwenye kisiasa. Alisema licha ya kupakwa tope, amejizatiti kwenye ulingo huo baada ya kumenyana na wanaume kwenye uchaguzi wa ubunge wa Likoni mwaka wa 2017.
Bi Mboko mwenye shahada ya mawasiliano kutoka chuo kikuu cha Moi, aliandikisha historia baada ya kuwa mwanamke wa kwanza Mombasa kuchaguliwa bunge. Hata hivyo, mwanachama huyo shupavu wa ODM alikisihi chama chake kuhakikisha usawa katika ugavi wa uongozi mwaka wa 2022.
| Nani alisema anangoja Gavana aamue mrithi wake | {
"text": [
"Bi Mboko"
]
} |
0747_swa | Kivumbi cha kumrithi Joho chatifuka, Mboko yumo pia
SIASA za kumrithi Gavana Hassan Joho zimepamba moto huku wabunge wakijizatiti kupata baraka za kinara huyo wa Kaunti ya Mombasa.
Wabunge Bi Mishi Mboko (Likoni), Bw Abdulswamad Nassir (Mvita), Bw Ali Mbogo (Kisauni), Bw Badi Twalib (Jomvu), Bw Omar Mwinyi (Changamwe) na spika wa bunge la Kaunti ya Mombasa Harub Khatri, wako mbioni kusaka umaarufu huku wakisubiri kutawazwa na Bw Joho ambaye anausemi mkubwa wa siasa za eneo la Pwani.
Bw Joho anachukuliwa kama msemaji wa siasa eneo la Pwani na wanasiasa wengi wamekuwa wakimfuata kupata baraka zake hususan wale wa chama cha ODM.
Hata hivyo, Bw Joho ambaye anamaliza hatamu yake ya ugavana baada ya kuongoza kwa vipindi viwili, amesalia kinya kuhusu swala la mrithi wake.
Bw Joho yuko katika njia-panda kwani wandani wake wanatarajia awatawaze kumridhi.
Bi Mboko alisema anamsubiri gavana huyo kuamua mrithi wake.
“Tuache kujipiga vifua, kupiga kelele na ooh sijui nini na nini, Bw Joho atasawazisha kila kitu, yeye ndiye atakaye amua. Lakini kama wanawake, ninawasihi tuanze kujipanga mapema ili tupate kura nyingi zaidi,” alisema Bi Mboko.
Alisema wabunge wote wanaotaka kumrithi gavana huyo ni wanafunzi wake wakisiasa.
“Bw Nassir na mimi tunataka ugavana na sote tuko upande wa gavana wetu, kwa hivyo acheni propaganda za kugonganisha watu. Bw Mwinyi, Bw Mbogo, Bw Khatri na mimi Mishi Mboko tunavizia kiti cha ugabvana,” alisema.
Bi Mboko ni mwanamke wa kwanza kugombea ugavana wa Mombasa ambayo inawapiga 500000.
Alisema ananuia kuwaunganisha wanawake na vijana ili kupata kura zao. Awali alitajwa kuwa mbichi katika siasa za Mombasa, lakini katika siku za hivi majuzi amejitokeza kama mwanasiasa shupavu akimenyana na wanaume.
Akiongea kwenye sherehe za kuadhimisha siku za wanawake duniani mnamo Machi 3, Bi Mboko alisema yuko tayari kumrithi Bw Joho kwani anakisomo na amekomaa kwenye kisiasa. Alisema licha ya kupakwa tope, amejizatiti kwenye ulingo huo baada ya kumenyana na wanaume kwenye uchaguzi wa ubunge wa Likoni mwaka wa 2017.
Bi Mboko mwenye shahada ya mawasiliano kutoka chuo kikuu cha Moi, aliandikisha historia baada ya kuwa mwanamke wa kwanza Mombasa kuchaguliwa bunge. Hata hivyo, mwanachama huyo shupavu wa ODM alikisihi chama chake kuhakikisha usawa katika ugavi wa uongozi mwaka wa 2022.
| Nani mwanamke wa kwanza kugombea ugavana Mombasa | {
"text": [
"Bi Mboko"
]
} |
0748_swa |
Madai ya Ruto kuhusu tishio kwa maisha yake yasipuuzwe
MAJUZI Naibu Rais, William Ruto akihutubia waombolezaji katika mazishi ya Sajini Kipyegon Kenei yaliyofanyika Nakuru, alisema kwamba, anajua kuna njama za kumzuia kwa kila mbinu kuhakikisha hashiriki katika uchaguzi wa 2022.
Na kushtua zaidi aliwataka wanaohusika na njama hiyo waelewe kuwa labda wamuue lakini harudi nyuma katika azma yake ya kuwania Urais.
Matamshi hayo yaliyotamkwa na kiongozi wa hadhi ya Dkt Ruto hayafai kupuuzwa na kuachwa yapite hivi hivi bila kuchunguzwa ukweli wake. Matamshi kama haya yanafaa kuelekezwa kwa idara ya ujasusi ili Wakenya wajue kina nani hao wenye uwezo na ujasiri wa kutishia maisha ya Naibu Rais.
Serikali inafaa kukoma kupuuza madai ya Dkt Ruto kwa sababu kwa bahati mbaya jambo baya likimpata naamini kutazuka fujo na kujenga uadui unaoweza kuweka nchi katika hali ya hatari, vurugu na kukwamisha maendeleo na hata kutibua mpango wa maridhiano unaoendelea kwa sasa.
Dkt Ruto naye anapaswa kujitolea kushirikiana na idara ya uchunguzi nchini, kwa kuwapa maelezo muhimu kwa kina kuhusu mipango na njama za maadui wake ili baada ya uchunguzi washtakiwe na sote tuwajue.
Usalama wa viongozi wetu wawe serikalini au upinzani unafaa kuwa wa kuaminika kwa sababu ni haki yao kulindwa dhidi ya maadui wao wa kisiasa na kadhalika. Naibu Rais ni kiongozi mkakamavu na mweledi katika kuzungumza, na matamshi yake yanaweza kuaminiwa kuwa ya ukweli na wafuasi wake, kiasi cha wao kutumiwa vibaya hata ikiwa madai hayo yalikuwa ya kisiasa tu.
Kwa mujibu wa Naibu Rais, marehemu Sajini Kenei ambaye alifanya kazi katika ofisi yake, alikufa kutokana na vita vya kisiasa dhidi yake. Kuna sababu tosha kwamba wapo watu wanaompiga Ruto vita kisiasa kutokana na azma yake kisiasa ya 2022, na madai hayo yatavuruga siasa zetu ikiwa kiongozi yeyote atakufa kutokana na kisiasa.
Sipingi hatua ya Dkt Ruto kuelezea hisia zake kwa sababu kuna uhuru wa kuongea ila napinga njia aliyotumia kutoa matamshi hayo kwani akiwa mtu mwenye mamlaka serikalini angetumia idara husika kuchunguza madai yake badala ya kuwatia Wakenya hofu bure.
Sitilii shaka madai ya Dkt Ruto bali naomba Wakenya wasiwe watu wa kuamini kila matamshi yanayotolewa na viongozi hadharani. Naomba Naibu Rais, ikiwa hawezi kuwasilisha madai hayo kwa polisi, akome kuyatoa ili yasiwe kichocheo cha kuvuruga amani. Ikiwa kiongozi anaamini maisha yake yako hatarini anafaa kutumia njia faafu kuwasilisha ujumbe wake.
| Mazishi yalikua ya nani | {
"text": [
"Sajini Kipyegon Kenei"
]
} |
0748_swa |
Madai ya Ruto kuhusu tishio kwa maisha yake yasipuuzwe
MAJUZI Naibu Rais, William Ruto akihutubia waombolezaji katika mazishi ya Sajini Kipyegon Kenei yaliyofanyika Nakuru, alisema kwamba, anajua kuna njama za kumzuia kwa kila mbinu kuhakikisha hashiriki katika uchaguzi wa 2022.
Na kushtua zaidi aliwataka wanaohusika na njama hiyo waelewe kuwa labda wamuue lakini harudi nyuma katika azma yake ya kuwania Urais.
Matamshi hayo yaliyotamkwa na kiongozi wa hadhi ya Dkt Ruto hayafai kupuuzwa na kuachwa yapite hivi hivi bila kuchunguzwa ukweli wake. Matamshi kama haya yanafaa kuelekezwa kwa idara ya ujasusi ili Wakenya wajue kina nani hao wenye uwezo na ujasiri wa kutishia maisha ya Naibu Rais.
Serikali inafaa kukoma kupuuza madai ya Dkt Ruto kwa sababu kwa bahati mbaya jambo baya likimpata naamini kutazuka fujo na kujenga uadui unaoweza kuweka nchi katika hali ya hatari, vurugu na kukwamisha maendeleo na hata kutibua mpango wa maridhiano unaoendelea kwa sasa.
Dkt Ruto naye anapaswa kujitolea kushirikiana na idara ya uchunguzi nchini, kwa kuwapa maelezo muhimu kwa kina kuhusu mipango na njama za maadui wake ili baada ya uchunguzi washtakiwe na sote tuwajue.
Usalama wa viongozi wetu wawe serikalini au upinzani unafaa kuwa wa kuaminika kwa sababu ni haki yao kulindwa dhidi ya maadui wao wa kisiasa na kadhalika. Naibu Rais ni kiongozi mkakamavu na mweledi katika kuzungumza, na matamshi yake yanaweza kuaminiwa kuwa ya ukweli na wafuasi wake, kiasi cha wao kutumiwa vibaya hata ikiwa madai hayo yalikuwa ya kisiasa tu.
Kwa mujibu wa Naibu Rais, marehemu Sajini Kenei ambaye alifanya kazi katika ofisi yake, alikufa kutokana na vita vya kisiasa dhidi yake. Kuna sababu tosha kwamba wapo watu wanaompiga Ruto vita kisiasa kutokana na azma yake kisiasa ya 2022, na madai hayo yatavuruga siasa zetu ikiwa kiongozi yeyote atakufa kutokana na kisiasa.
Sipingi hatua ya Dkt Ruto kuelezea hisia zake kwa sababu kuna uhuru wa kuongea ila napinga njia aliyotumia kutoa matamshi hayo kwani akiwa mtu mwenye mamlaka serikalini angetumia idara husika kuchunguza madai yake badala ya kuwatia Wakenya hofu bure.
Sitilii shaka madai ya Dkt Ruto bali naomba Wakenya wasiwe watu wa kuamini kila matamshi yanayotolewa na viongozi hadharani. Naomba Naibu Rais, ikiwa hawezi kuwasilisha madai hayo kwa polisi, akome kuyatoa ili yasiwe kichocheo cha kuvuruga amani. Ikiwa kiongozi anaamini maisha yake yako hatarini anafaa kutumia njia faafu kuwasilisha ujumbe wake.
| Ni maisha ya nani yalitishiwa | {
"text": [
"Naibu Rais"
]
} |
0748_swa |
Madai ya Ruto kuhusu tishio kwa maisha yake yasipuuzwe
MAJUZI Naibu Rais, William Ruto akihutubia waombolezaji katika mazishi ya Sajini Kipyegon Kenei yaliyofanyika Nakuru, alisema kwamba, anajua kuna njama za kumzuia kwa kila mbinu kuhakikisha hashiriki katika uchaguzi wa 2022.
Na kushtua zaidi aliwataka wanaohusika na njama hiyo waelewe kuwa labda wamuue lakini harudi nyuma katika azma yake ya kuwania Urais.
Matamshi hayo yaliyotamkwa na kiongozi wa hadhi ya Dkt Ruto hayafai kupuuzwa na kuachwa yapite hivi hivi bila kuchunguzwa ukweli wake. Matamshi kama haya yanafaa kuelekezwa kwa idara ya ujasusi ili Wakenya wajue kina nani hao wenye uwezo na ujasiri wa kutishia maisha ya Naibu Rais.
Serikali inafaa kukoma kupuuza madai ya Dkt Ruto kwa sababu kwa bahati mbaya jambo baya likimpata naamini kutazuka fujo na kujenga uadui unaoweza kuweka nchi katika hali ya hatari, vurugu na kukwamisha maendeleo na hata kutibua mpango wa maridhiano unaoendelea kwa sasa.
Dkt Ruto naye anapaswa kujitolea kushirikiana na idara ya uchunguzi nchini, kwa kuwapa maelezo muhimu kwa kina kuhusu mipango na njama za maadui wake ili baada ya uchunguzi washtakiwe na sote tuwajue.
Usalama wa viongozi wetu wawe serikalini au upinzani unafaa kuwa wa kuaminika kwa sababu ni haki yao kulindwa dhidi ya maadui wao wa kisiasa na kadhalika. Naibu Rais ni kiongozi mkakamavu na mweledi katika kuzungumza, na matamshi yake yanaweza kuaminiwa kuwa ya ukweli na wafuasi wake, kiasi cha wao kutumiwa vibaya hata ikiwa madai hayo yalikuwa ya kisiasa tu.
Kwa mujibu wa Naibu Rais, marehemu Sajini Kenei ambaye alifanya kazi katika ofisi yake, alikufa kutokana na vita vya kisiasa dhidi yake. Kuna sababu tosha kwamba wapo watu wanaompiga Ruto vita kisiasa kutokana na azma yake kisiasa ya 2022, na madai hayo yatavuruga siasa zetu ikiwa kiongozi yeyote atakufa kutokana na kisiasa.
Sipingi hatua ya Dkt Ruto kuelezea hisia zake kwa sababu kuna uhuru wa kuongea ila napinga njia aliyotumia kutoa matamshi hayo kwani akiwa mtu mwenye mamlaka serikalini angetumia idara husika kuchunguza madai yake badala ya kuwatia Wakenya hofu bure.
Sitilii shaka madai ya Dkt Ruto bali naomba Wakenya wasiwe watu wa kuamini kila matamshi yanayotolewa na viongozi hadharani. Naomba Naibu Rais, ikiwa hawezi kuwasilisha madai hayo kwa polisi, akome kuyatoa ili yasiwe kichocheo cha kuvuruga amani. Ikiwa kiongozi anaamini maisha yake yako hatarini anafaa kutumia njia faafu kuwasilisha ujumbe wake.
| Serikali inafaa kufanyia nini madai ya Dkt Ruto | {
"text": [
"kukoma kupuuza"
]
} |
0748_swa |
Madai ya Ruto kuhusu tishio kwa maisha yake yasipuuzwe
MAJUZI Naibu Rais, William Ruto akihutubia waombolezaji katika mazishi ya Sajini Kipyegon Kenei yaliyofanyika Nakuru, alisema kwamba, anajua kuna njama za kumzuia kwa kila mbinu kuhakikisha hashiriki katika uchaguzi wa 2022.
Na kushtua zaidi aliwataka wanaohusika na njama hiyo waelewe kuwa labda wamuue lakini harudi nyuma katika azma yake ya kuwania Urais.
Matamshi hayo yaliyotamkwa na kiongozi wa hadhi ya Dkt Ruto hayafai kupuuzwa na kuachwa yapite hivi hivi bila kuchunguzwa ukweli wake. Matamshi kama haya yanafaa kuelekezwa kwa idara ya ujasusi ili Wakenya wajue kina nani hao wenye uwezo na ujasiri wa kutishia maisha ya Naibu Rais.
Serikali inafaa kukoma kupuuza madai ya Dkt Ruto kwa sababu kwa bahati mbaya jambo baya likimpata naamini kutazuka fujo na kujenga uadui unaoweza kuweka nchi katika hali ya hatari, vurugu na kukwamisha maendeleo na hata kutibua mpango wa maridhiano unaoendelea kwa sasa.
Dkt Ruto naye anapaswa kujitolea kushirikiana na idara ya uchunguzi nchini, kwa kuwapa maelezo muhimu kwa kina kuhusu mipango na njama za maadui wake ili baada ya uchunguzi washtakiwe na sote tuwajue.
Usalama wa viongozi wetu wawe serikalini au upinzani unafaa kuwa wa kuaminika kwa sababu ni haki yao kulindwa dhidi ya maadui wao wa kisiasa na kadhalika. Naibu Rais ni kiongozi mkakamavu na mweledi katika kuzungumza, na matamshi yake yanaweza kuaminiwa kuwa ya ukweli na wafuasi wake, kiasi cha wao kutumiwa vibaya hata ikiwa madai hayo yalikuwa ya kisiasa tu.
Kwa mujibu wa Naibu Rais, marehemu Sajini Kenei ambaye alifanya kazi katika ofisi yake, alikufa kutokana na vita vya kisiasa dhidi yake. Kuna sababu tosha kwamba wapo watu wanaompiga Ruto vita kisiasa kutokana na azma yake kisiasa ya 2022, na madai hayo yatavuruga siasa zetu ikiwa kiongozi yeyote atakufa kutokana na kisiasa.
Sipingi hatua ya Dkt Ruto kuelezea hisia zake kwa sababu kuna uhuru wa kuongea ila napinga njia aliyotumia kutoa matamshi hayo kwani akiwa mtu mwenye mamlaka serikalini angetumia idara husika kuchunguza madai yake badala ya kuwatia Wakenya hofu bure.
Sitilii shaka madai ya Dkt Ruto bali naomba Wakenya wasiwe watu wa kuamini kila matamshi yanayotolewa na viongozi hadharani. Naomba Naibu Rais, ikiwa hawezi kuwasilisha madai hayo kwa polisi, akome kuyatoa ili yasiwe kichocheo cha kuvuruga amani. Ikiwa kiongozi anaamini maisha yake yako hatarini anafaa kutumia njia faafu kuwasilisha ujumbe wake.
| Dkt Ruto anapaswa kufanya nini na idara ya uchunguzi | {
"text": [
"kujitolea kushirikiana"
]
} |
0748_swa |
Madai ya Ruto kuhusu tishio kwa maisha yake yasipuuzwe
MAJUZI Naibu Rais, William Ruto akihutubia waombolezaji katika mazishi ya Sajini Kipyegon Kenei yaliyofanyika Nakuru, alisema kwamba, anajua kuna njama za kumzuia kwa kila mbinu kuhakikisha hashiriki katika uchaguzi wa 2022.
Na kushtua zaidi aliwataka wanaohusika na njama hiyo waelewe kuwa labda wamuue lakini harudi nyuma katika azma yake ya kuwania Urais.
Matamshi hayo yaliyotamkwa na kiongozi wa hadhi ya Dkt Ruto hayafai kupuuzwa na kuachwa yapite hivi hivi bila kuchunguzwa ukweli wake. Matamshi kama haya yanafaa kuelekezwa kwa idara ya ujasusi ili Wakenya wajue kina nani hao wenye uwezo na ujasiri wa kutishia maisha ya Naibu Rais.
Serikali inafaa kukoma kupuuza madai ya Dkt Ruto kwa sababu kwa bahati mbaya jambo baya likimpata naamini kutazuka fujo na kujenga uadui unaoweza kuweka nchi katika hali ya hatari, vurugu na kukwamisha maendeleo na hata kutibua mpango wa maridhiano unaoendelea kwa sasa.
Dkt Ruto naye anapaswa kujitolea kushirikiana na idara ya uchunguzi nchini, kwa kuwapa maelezo muhimu kwa kina kuhusu mipango na njama za maadui wake ili baada ya uchunguzi washtakiwe na sote tuwajue.
Usalama wa viongozi wetu wawe serikalini au upinzani unafaa kuwa wa kuaminika kwa sababu ni haki yao kulindwa dhidi ya maadui wao wa kisiasa na kadhalika. Naibu Rais ni kiongozi mkakamavu na mweledi katika kuzungumza, na matamshi yake yanaweza kuaminiwa kuwa ya ukweli na wafuasi wake, kiasi cha wao kutumiwa vibaya hata ikiwa madai hayo yalikuwa ya kisiasa tu.
Kwa mujibu wa Naibu Rais, marehemu Sajini Kenei ambaye alifanya kazi katika ofisi yake, alikufa kutokana na vita vya kisiasa dhidi yake. Kuna sababu tosha kwamba wapo watu wanaompiga Ruto vita kisiasa kutokana na azma yake kisiasa ya 2022, na madai hayo yatavuruga siasa zetu ikiwa kiongozi yeyote atakufa kutokana na kisiasa.
Sipingi hatua ya Dkt Ruto kuelezea hisia zake kwa sababu kuna uhuru wa kuongea ila napinga njia aliyotumia kutoa matamshi hayo kwani akiwa mtu mwenye mamlaka serikalini angetumia idara husika kuchunguza madai yake badala ya kuwatia Wakenya hofu bure.
Sitilii shaka madai ya Dkt Ruto bali naomba Wakenya wasiwe watu wa kuamini kila matamshi yanayotolewa na viongozi hadharani. Naomba Naibu Rais, ikiwa hawezi kuwasilisha madai hayo kwa polisi, akome kuyatoa ili yasiwe kichocheo cha kuvuruga amani. Ikiwa kiongozi anaamini maisha yake yako hatarini anafaa kutumia njia faafu kuwasilisha ujumbe wake.
| Ni haki ya nani kulindwa dhidi ya maadui wa kisiasa | {
"text": [
"viongozi"
]
} |
0749_swa | Hamning'oi kitini, Ruto ajibu wabunge
Wafuasi wa Naibu Rais William Ruto wakitoroka baada ya kutawanywa na maafisa wa polisi walipoandamana mjini Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu hapo jana. Waandamanaji hao walikuwa wakimtetea Dkt Ruto kuhusiana na tishio la kung'olewa mamlakani.
NAIBU Rais William Ruto jana alipuuzilia mbali mpango wa mahasimu wake kisiasa kutaka kumbandua mamlakani, akisema kuwa hawatafanikiwa.
Alisema hayo wakati wafuasi wake waliokuwa wakiandamana mjini Eldoret bilaidhini ya polisi kueleza kughadhabishwa kwao na mpango huo wa kumbandua, walikabiliwa vikali na polisi na kutawanywa kwa vitoa machozi.
Dkt Ruto alikuwa akizungumza katika Kaunti ya Nandi ambapo alizindua miradi kadhaa na kuwaambia wabunge wanaopanga kumbandua kuwa wanafanya kazi ya bure.
Alisema kuwa juhudi hizo zitafanikiwa tu kuitatiza serikali ya Jubilee isitimize ahadi ilizotowa kwa Wakenya katika uchaguzi uliopita.
“Nawashauri wanaopanga kunibandua huko Nairobi kuwa mipango yenu ya kichinichini haitwafikisha popote. Mnafaa kurudi kuwahudumia waliowachagua kwani huko kunibandua mnako nipangia kunaweza kuwarudia mkabanduliwa na wananchi,” akasema alipokuwa eneo la Mosop ambapo alikuwa akipeana hati za umiliki wa ardhi.
Vile vile, Dkt Ruto aliwapuuzilia viongozi ambao wamekuwa wakimkosoa kuwa anamkosea Rais Uhuru Kenyatta heshima, akisema wana malengo yao ya kibinafsi.
“Viongozi waache kuwa wakora na waongo. Tuhakikishe tunatenda tuliowaahidi wananchi. Bado mimi na Rais tunafanyia watu wetu kazi,” Dkt Ruto akasema.
Viongozi wanaomkosoa wamekuwa wakidai kuwa Dkt Ruto ameleweshwa na azma ya urais katika uchaguzi wa 2022 badala ya kuwahudumia Wakenya.
"Mimi kama msaidizi wa Rais, ninafahamu kile nilichaguliwa kufanya. Watu wengine wanadhani nikienda mahali ninaenda kupiga siasa. Sijakuja hapa Nandi kupiga kampeni, huo wakati utafika.” akasema. "Nasikia wengine wakisema ninapiga kampeni. Bado sijaanza. Bado namsaidia Rais kutekeleza ajenda alizowaahidi Wakenya, na ninafanya hivyo jinsi inatarajiwa," akaongeza.
Lakini viongozi walioandamana nayewalionekana kupiga vita Mpango wa Maridhiano (BBI) ulioanzishwa na Rais Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga.
"BBI na reggae ni ngeni kwetu. Hatuko tayari kwa reggae, bado tunashughulika na agenda nne kuu, kutekeleza miradi ya maendeleo na kuhudumia watu wetu,” akasema gavana wa Nandi Stephen Sang.
Dkt Ruto yuko katika ziara siku chache ngome yake ya kaskazini mwa bonde wa ufa, na leo anatarajiwa kaunti za Trans Nzoia na Pokot magharibi.
Mjini eldoret nako, polisi walilazimika kutumia gesi za kutoa machozi, kutawanya kikundi cha wanafuasi wa Dkt Ruto ambao walikuwa wakiandamana, kutaka aheshimiwe na wanaoongozi BBI.Waandamanaji hao ambao walikuwa wakiimba nyimbo za kukashifu BBI walikashifu mchakato mzima wa kuendesha mikutano yake kuwa imebadilishwa kuwa ya kisiasa. | Polisi walitumia nini kuwatawanya waliokuwa wakiandamana mjini Eldoret | {
"text": [
"Vitoa machozi"
]
} |
0749_swa | Hamning'oi kitini, Ruto ajibu wabunge
Wafuasi wa Naibu Rais William Ruto wakitoroka baada ya kutawanywa na maafisa wa polisi walipoandamana mjini Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu hapo jana. Waandamanaji hao walikuwa wakimtetea Dkt Ruto kuhusiana na tishio la kung'olewa mamlakani.
NAIBU Rais William Ruto jana alipuuzilia mbali mpango wa mahasimu wake kisiasa kutaka kumbandua mamlakani, akisema kuwa hawatafanikiwa.
Alisema hayo wakati wafuasi wake waliokuwa wakiandamana mjini Eldoret bilaidhini ya polisi kueleza kughadhabishwa kwao na mpango huo wa kumbandua, walikabiliwa vikali na polisi na kutawanywa kwa vitoa machozi.
Dkt Ruto alikuwa akizungumza katika Kaunti ya Nandi ambapo alizindua miradi kadhaa na kuwaambia wabunge wanaopanga kumbandua kuwa wanafanya kazi ya bure.
Alisema kuwa juhudi hizo zitafanikiwa tu kuitatiza serikali ya Jubilee isitimize ahadi ilizotowa kwa Wakenya katika uchaguzi uliopita.
“Nawashauri wanaopanga kunibandua huko Nairobi kuwa mipango yenu ya kichinichini haitwafikisha popote. Mnafaa kurudi kuwahudumia waliowachagua kwani huko kunibandua mnako nipangia kunaweza kuwarudia mkabanduliwa na wananchi,” akasema alipokuwa eneo la Mosop ambapo alikuwa akipeana hati za umiliki wa ardhi.
Vile vile, Dkt Ruto aliwapuuzilia viongozi ambao wamekuwa wakimkosoa kuwa anamkosea Rais Uhuru Kenyatta heshima, akisema wana malengo yao ya kibinafsi.
“Viongozi waache kuwa wakora na waongo. Tuhakikishe tunatenda tuliowaahidi wananchi. Bado mimi na Rais tunafanyia watu wetu kazi,” Dkt Ruto akasema.
Viongozi wanaomkosoa wamekuwa wakidai kuwa Dkt Ruto ameleweshwa na azma ya urais katika uchaguzi wa 2022 badala ya kuwahudumia Wakenya.
"Mimi kama msaidizi wa Rais, ninafahamu kile nilichaguliwa kufanya. Watu wengine wanadhani nikienda mahali ninaenda kupiga siasa. Sijakuja hapa Nandi kupiga kampeni, huo wakati utafika.” akasema. "Nasikia wengine wakisema ninapiga kampeni. Bado sijaanza. Bado namsaidia Rais kutekeleza ajenda alizowaahidi Wakenya, na ninafanya hivyo jinsi inatarajiwa," akaongeza.
Lakini viongozi walioandamana nayewalionekana kupiga vita Mpango wa Maridhiano (BBI) ulioanzishwa na Rais Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga.
"BBI na reggae ni ngeni kwetu. Hatuko tayari kwa reggae, bado tunashughulika na agenda nne kuu, kutekeleza miradi ya maendeleo na kuhudumia watu wetu,” akasema gavana wa Nandi Stephen Sang.
Dkt Ruto yuko katika ziara siku chache ngome yake ya kaskazini mwa bonde wa ufa, na leo anatarajiwa kaunti za Trans Nzoia na Pokot magharibi.
Mjini eldoret nako, polisi walilazimika kutumia gesi za kutoa machozi, kutawanya kikundi cha wanafuasi wa Dkt Ruto ambao walikuwa wakiandamana, kutaka aheshimiwe na wanaoongozi BBI.Waandamanaji hao ambao walikuwa wakiimba nyimbo za kukashifu BBI walikashifu mchakato mzima wa kuendesha mikutano yake kuwa imebadilishwa kuwa ya kisiasa. | Nani wanapanga kumbadua Dkt Ruto mamlakani | {
"text": [
"Mahasimu wake wa kisiasa"
]
} |
0749_swa | Hamning'oi kitini, Ruto ajibu wabunge
Wafuasi wa Naibu Rais William Ruto wakitoroka baada ya kutawanywa na maafisa wa polisi walipoandamana mjini Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu hapo jana. Waandamanaji hao walikuwa wakimtetea Dkt Ruto kuhusiana na tishio la kung'olewa mamlakani.
NAIBU Rais William Ruto jana alipuuzilia mbali mpango wa mahasimu wake kisiasa kutaka kumbandua mamlakani, akisema kuwa hawatafanikiwa.
Alisema hayo wakati wafuasi wake waliokuwa wakiandamana mjini Eldoret bilaidhini ya polisi kueleza kughadhabishwa kwao na mpango huo wa kumbandua, walikabiliwa vikali na polisi na kutawanywa kwa vitoa machozi.
Dkt Ruto alikuwa akizungumza katika Kaunti ya Nandi ambapo alizindua miradi kadhaa na kuwaambia wabunge wanaopanga kumbandua kuwa wanafanya kazi ya bure.
Alisema kuwa juhudi hizo zitafanikiwa tu kuitatiza serikali ya Jubilee isitimize ahadi ilizotowa kwa Wakenya katika uchaguzi uliopita.
“Nawashauri wanaopanga kunibandua huko Nairobi kuwa mipango yenu ya kichinichini haitwafikisha popote. Mnafaa kurudi kuwahudumia waliowachagua kwani huko kunibandua mnako nipangia kunaweza kuwarudia mkabanduliwa na wananchi,” akasema alipokuwa eneo la Mosop ambapo alikuwa akipeana hati za umiliki wa ardhi.
Vile vile, Dkt Ruto aliwapuuzilia viongozi ambao wamekuwa wakimkosoa kuwa anamkosea Rais Uhuru Kenyatta heshima, akisema wana malengo yao ya kibinafsi.
“Viongozi waache kuwa wakora na waongo. Tuhakikishe tunatenda tuliowaahidi wananchi. Bado mimi na Rais tunafanyia watu wetu kazi,” Dkt Ruto akasema.
Viongozi wanaomkosoa wamekuwa wakidai kuwa Dkt Ruto ameleweshwa na azma ya urais katika uchaguzi wa 2022 badala ya kuwahudumia Wakenya.
"Mimi kama msaidizi wa Rais, ninafahamu kile nilichaguliwa kufanya. Watu wengine wanadhani nikienda mahali ninaenda kupiga siasa. Sijakuja hapa Nandi kupiga kampeni, huo wakati utafika.” akasema. "Nasikia wengine wakisema ninapiga kampeni. Bado sijaanza. Bado namsaidia Rais kutekeleza ajenda alizowaahidi Wakenya, na ninafanya hivyo jinsi inatarajiwa," akaongeza.
Lakini viongozi walioandamana nayewalionekana kupiga vita Mpango wa Maridhiano (BBI) ulioanzishwa na Rais Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga.
"BBI na reggae ni ngeni kwetu. Hatuko tayari kwa reggae, bado tunashughulika na agenda nne kuu, kutekeleza miradi ya maendeleo na kuhudumia watu wetu,” akasema gavana wa Nandi Stephen Sang.
Dkt Ruto yuko katika ziara siku chache ngome yake ya kaskazini mwa bonde wa ufa, na leo anatarajiwa kaunti za Trans Nzoia na Pokot magharibi.
Mjini eldoret nako, polisi walilazimika kutumia gesi za kutoa machozi, kutawanya kikundi cha wanafuasi wa Dkt Ruto ambao walikuwa wakiandamana, kutaka aheshimiwe na wanaoongozi BBI.Waandamanaji hao ambao walikuwa wakiimba nyimbo za kukashifu BBI walikashifu mchakato mzima wa kuendesha mikutano yake kuwa imebadilishwa kuwa ya kisiasa. | Stephen Sang ni gavana wa wapi | {
"text": [
"Nandi"
]
} |
0749_swa | Hamning'oi kitini, Ruto ajibu wabunge
Wafuasi wa Naibu Rais William Ruto wakitoroka baada ya kutawanywa na maafisa wa polisi walipoandamana mjini Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu hapo jana. Waandamanaji hao walikuwa wakimtetea Dkt Ruto kuhusiana na tishio la kung'olewa mamlakani.
NAIBU Rais William Ruto jana alipuuzilia mbali mpango wa mahasimu wake kisiasa kutaka kumbandua mamlakani, akisema kuwa hawatafanikiwa.
Alisema hayo wakati wafuasi wake waliokuwa wakiandamana mjini Eldoret bilaidhini ya polisi kueleza kughadhabishwa kwao na mpango huo wa kumbandua, walikabiliwa vikali na polisi na kutawanywa kwa vitoa machozi.
Dkt Ruto alikuwa akizungumza katika Kaunti ya Nandi ambapo alizindua miradi kadhaa na kuwaambia wabunge wanaopanga kumbandua kuwa wanafanya kazi ya bure.
Alisema kuwa juhudi hizo zitafanikiwa tu kuitatiza serikali ya Jubilee isitimize ahadi ilizotowa kwa Wakenya katika uchaguzi uliopita.
“Nawashauri wanaopanga kunibandua huko Nairobi kuwa mipango yenu ya kichinichini haitwafikisha popote. Mnafaa kurudi kuwahudumia waliowachagua kwani huko kunibandua mnako nipangia kunaweza kuwarudia mkabanduliwa na wananchi,” akasema alipokuwa eneo la Mosop ambapo alikuwa akipeana hati za umiliki wa ardhi.
Vile vile, Dkt Ruto aliwapuuzilia viongozi ambao wamekuwa wakimkosoa kuwa anamkosea Rais Uhuru Kenyatta heshima, akisema wana malengo yao ya kibinafsi.
“Viongozi waache kuwa wakora na waongo. Tuhakikishe tunatenda tuliowaahidi wananchi. Bado mimi na Rais tunafanyia watu wetu kazi,” Dkt Ruto akasema.
Viongozi wanaomkosoa wamekuwa wakidai kuwa Dkt Ruto ameleweshwa na azma ya urais katika uchaguzi wa 2022 badala ya kuwahudumia Wakenya.
"Mimi kama msaidizi wa Rais, ninafahamu kile nilichaguliwa kufanya. Watu wengine wanadhani nikienda mahali ninaenda kupiga siasa. Sijakuja hapa Nandi kupiga kampeni, huo wakati utafika.” akasema. "Nasikia wengine wakisema ninapiga kampeni. Bado sijaanza. Bado namsaidia Rais kutekeleza ajenda alizowaahidi Wakenya, na ninafanya hivyo jinsi inatarajiwa," akaongeza.
Lakini viongozi walioandamana nayewalionekana kupiga vita Mpango wa Maridhiano (BBI) ulioanzishwa na Rais Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga.
"BBI na reggae ni ngeni kwetu. Hatuko tayari kwa reggae, bado tunashughulika na agenda nne kuu, kutekeleza miradi ya maendeleo na kuhudumia watu wetu,” akasema gavana wa Nandi Stephen Sang.
Dkt Ruto yuko katika ziara siku chache ngome yake ya kaskazini mwa bonde wa ufa, na leo anatarajiwa kaunti za Trans Nzoia na Pokot magharibi.
Mjini eldoret nako, polisi walilazimika kutumia gesi za kutoa machozi, kutawanya kikundi cha wanafuasi wa Dkt Ruto ambao walikuwa wakiandamana, kutaka aheshimiwe na wanaoongozi BBI.Waandamanaji hao ambao walikuwa wakiimba nyimbo za kukashifu BBI walikashifu mchakato mzima wa kuendesha mikutano yake kuwa imebadilishwa kuwa ya kisiasa. | Ruto alisema nini akiwa Mosop | {
"text": [
"Wananchi wanaweza kumbadua yeyote"
]
} |
0749_swa | Hamning'oi kitini, Ruto ajibu wabunge
Wafuasi wa Naibu Rais William Ruto wakitoroka baada ya kutawanywa na maafisa wa polisi walipoandamana mjini Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu hapo jana. Waandamanaji hao walikuwa wakimtetea Dkt Ruto kuhusiana na tishio la kung'olewa mamlakani.
NAIBU Rais William Ruto jana alipuuzilia mbali mpango wa mahasimu wake kisiasa kutaka kumbandua mamlakani, akisema kuwa hawatafanikiwa.
Alisema hayo wakati wafuasi wake waliokuwa wakiandamana mjini Eldoret bilaidhini ya polisi kueleza kughadhabishwa kwao na mpango huo wa kumbandua, walikabiliwa vikali na polisi na kutawanywa kwa vitoa machozi.
Dkt Ruto alikuwa akizungumza katika Kaunti ya Nandi ambapo alizindua miradi kadhaa na kuwaambia wabunge wanaopanga kumbandua kuwa wanafanya kazi ya bure.
Alisema kuwa juhudi hizo zitafanikiwa tu kuitatiza serikali ya Jubilee isitimize ahadi ilizotowa kwa Wakenya katika uchaguzi uliopita.
“Nawashauri wanaopanga kunibandua huko Nairobi kuwa mipango yenu ya kichinichini haitwafikisha popote. Mnafaa kurudi kuwahudumia waliowachagua kwani huko kunibandua mnako nipangia kunaweza kuwarudia mkabanduliwa na wananchi,” akasema alipokuwa eneo la Mosop ambapo alikuwa akipeana hati za umiliki wa ardhi.
Vile vile, Dkt Ruto aliwapuuzilia viongozi ambao wamekuwa wakimkosoa kuwa anamkosea Rais Uhuru Kenyatta heshima, akisema wana malengo yao ya kibinafsi.
“Viongozi waache kuwa wakora na waongo. Tuhakikishe tunatenda tuliowaahidi wananchi. Bado mimi na Rais tunafanyia watu wetu kazi,” Dkt Ruto akasema.
Viongozi wanaomkosoa wamekuwa wakidai kuwa Dkt Ruto ameleweshwa na azma ya urais katika uchaguzi wa 2022 badala ya kuwahudumia Wakenya.
"Mimi kama msaidizi wa Rais, ninafahamu kile nilichaguliwa kufanya. Watu wengine wanadhani nikienda mahali ninaenda kupiga siasa. Sijakuja hapa Nandi kupiga kampeni, huo wakati utafika.” akasema. "Nasikia wengine wakisema ninapiga kampeni. Bado sijaanza. Bado namsaidia Rais kutekeleza ajenda alizowaahidi Wakenya, na ninafanya hivyo jinsi inatarajiwa," akaongeza.
Lakini viongozi walioandamana nayewalionekana kupiga vita Mpango wa Maridhiano (BBI) ulioanzishwa na Rais Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga.
"BBI na reggae ni ngeni kwetu. Hatuko tayari kwa reggae, bado tunashughulika na agenda nne kuu, kutekeleza miradi ya maendeleo na kuhudumia watu wetu,” akasema gavana wa Nandi Stephen Sang.
Dkt Ruto yuko katika ziara siku chache ngome yake ya kaskazini mwa bonde wa ufa, na leo anatarajiwa kaunti za Trans Nzoia na Pokot magharibi.
Mjini eldoret nako, polisi walilazimika kutumia gesi za kutoa machozi, kutawanya kikundi cha wanafuasi wa Dkt Ruto ambao walikuwa wakiandamana, kutaka aheshimiwe na wanaoongozi BBI.Waandamanaji hao ambao walikuwa wakiimba nyimbo za kukashifu BBI walikashifu mchakato mzima wa kuendesha mikutano yake kuwa imebadilishwa kuwa ya kisiasa. | Viongozi wanamkosoa Ruto wanadai kuwa Ruto ameleweshwa na nini | {
"text": [
"Azma ya urais katika uchaguzi 2022"
]
} |
0879_swa | Uvamizi Ikulu: Baba aomba msamaha
Babake Brian Kibet Bera, kijana aliyeingia Ikulu ya Nairobi mnamo Jumatatu jioni akiwa na nia ya kumuua Rais Uhuru Kenyatta, amemwomba rais aingilie kati ili kijana huyo aruhusiwe kukamilisha masomo yake.
Bw David Bera amesema mwanawe alikuwa na matatizo ya kiakili kwa karibu miaka miwili sasa, na alipokea matibabu katika hospitali mbalimbali nchini.
"Anaweza kuchangia pakubwa katika nchi hii akipewa nafasi. Kama ataruhusiwa kukamilisha kozi yake ambayo inaisha Julai, anaweza kusaidia nchi hii baadaye. Anahitaji tu matibabu,” akasema Bw Bera alipohojiwa kwenye Runinga ya Citizen mnano jumanne usiku. Brian, 25, alipigwa risasi akajeruhiwa begani na walinzi alipovamia Ikulu mnamo Jumatatu jioni akiwa amejihami kwa kisu.
Awali alikuwa ametishia kwenye mtandao wa Facebook kwa karibu wiki moja kwamba alitaka kumuua Rais Kenyatta akimlaumu kwa kusababisha mateso na unyanyasaji wa walalahoi.
Lakini kwenye mahojiano, babake alisema kijana huyo, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano anayesomea uhandisi katika Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT), ni mwenye nidhamu ya hali ya juu na hangefanya shambulio hilo kama angekuwa mwenye akili timamu.
Vilevile, aliomba vijana wanao shabikia kitendo hicho mtandaoni wakome na waelewe kwamba mwanawe hakujua alichokuwa akifanya.
Kile alichofanya hakikuwa sawa na hakuwa mzima kiakili. Kama angekuwa sawa kiakili hangefanya hivyo. Vijana wasisifu kile alichofanya. Mwanangu ni mgonjwa,” akasema.
Kulingana naye, nidhamu ya Brian ndiyo ilimwezesha kufanya vyema kwenye
masomo yake tangu shule ya msingi hadi akapata alama ya 'A' kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Shule ya Upili (KCSE) na hatimaye kwenda kusomea uhandisi.
Alianza kutatizika kiakili alipokuwa katika mwaka wa tatu chuoni, kulingana na
babake.
Katika maandishi yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook, Brian alikuwa amekashifu vikali watu wanaodai kwamba amerukwa akili.
| Brian Kibet Bera aliingia wapi | {
"text": [
"Ikulu"
]
} |
0879_swa | Uvamizi Ikulu: Baba aomba msamaha
Babake Brian Kibet Bera, kijana aliyeingia Ikulu ya Nairobi mnamo Jumatatu jioni akiwa na nia ya kumuua Rais Uhuru Kenyatta, amemwomba rais aingilie kati ili kijana huyo aruhusiwe kukamilisha masomo yake.
Bw David Bera amesema mwanawe alikuwa na matatizo ya kiakili kwa karibu miaka miwili sasa, na alipokea matibabu katika hospitali mbalimbali nchini.
"Anaweza kuchangia pakubwa katika nchi hii akipewa nafasi. Kama ataruhusiwa kukamilisha kozi yake ambayo inaisha Julai, anaweza kusaidia nchi hii baadaye. Anahitaji tu matibabu,” akasema Bw Bera alipohojiwa kwenye Runinga ya Citizen mnano jumanne usiku. Brian, 25, alipigwa risasi akajeruhiwa begani na walinzi alipovamia Ikulu mnamo Jumatatu jioni akiwa amejihami kwa kisu.
Awali alikuwa ametishia kwenye mtandao wa Facebook kwa karibu wiki moja kwamba alitaka kumuua Rais Kenyatta akimlaumu kwa kusababisha mateso na unyanyasaji wa walalahoi.
Lakini kwenye mahojiano, babake alisema kijana huyo, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano anayesomea uhandisi katika Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT), ni mwenye nidhamu ya hali ya juu na hangefanya shambulio hilo kama angekuwa mwenye akili timamu.
Vilevile, aliomba vijana wanao shabikia kitendo hicho mtandaoni wakome na waelewe kwamba mwanawe hakujua alichokuwa akifanya.
Kile alichofanya hakikuwa sawa na hakuwa mzima kiakili. Kama angekuwa sawa kiakili hangefanya hivyo. Vijana wasisifu kile alichofanya. Mwanangu ni mgonjwa,” akasema.
Kulingana naye, nidhamu ya Brian ndiyo ilimwezesha kufanya vyema kwenye
masomo yake tangu shule ya msingi hadi akapata alama ya 'A' kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Shule ya Upili (KCSE) na hatimaye kwenda kusomea uhandisi.
Alianza kutatizika kiakili alipokuwa katika mwaka wa tatu chuoni, kulingana na
babake.
Katika maandishi yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook, Brian alikuwa amekashifu vikali watu wanaodai kwamba amerukwa akili.
| Bwana David Bera alisema mwanawe alikuwa na matatizo ya nini | {
"text": [
"Kiakili"
]
} |
0879_swa | Uvamizi Ikulu: Baba aomba msamaha
Babake Brian Kibet Bera, kijana aliyeingia Ikulu ya Nairobi mnamo Jumatatu jioni akiwa na nia ya kumuua Rais Uhuru Kenyatta, amemwomba rais aingilie kati ili kijana huyo aruhusiwe kukamilisha masomo yake.
Bw David Bera amesema mwanawe alikuwa na matatizo ya kiakili kwa karibu miaka miwili sasa, na alipokea matibabu katika hospitali mbalimbali nchini.
"Anaweza kuchangia pakubwa katika nchi hii akipewa nafasi. Kama ataruhusiwa kukamilisha kozi yake ambayo inaisha Julai, anaweza kusaidia nchi hii baadaye. Anahitaji tu matibabu,” akasema Bw Bera alipohojiwa kwenye Runinga ya Citizen mnano jumanne usiku. Brian, 25, alipigwa risasi akajeruhiwa begani na walinzi alipovamia Ikulu mnamo Jumatatu jioni akiwa amejihami kwa kisu.
Awali alikuwa ametishia kwenye mtandao wa Facebook kwa karibu wiki moja kwamba alitaka kumuua Rais Kenyatta akimlaumu kwa kusababisha mateso na unyanyasaji wa walalahoi.
Lakini kwenye mahojiano, babake alisema kijana huyo, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano anayesomea uhandisi katika Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT), ni mwenye nidhamu ya hali ya juu na hangefanya shambulio hilo kama angekuwa mwenye akili timamu.
Vilevile, aliomba vijana wanao shabikia kitendo hicho mtandaoni wakome na waelewe kwamba mwanawe hakujua alichokuwa akifanya.
Kile alichofanya hakikuwa sawa na hakuwa mzima kiakili. Kama angekuwa sawa kiakili hangefanya hivyo. Vijana wasisifu kile alichofanya. Mwanangu ni mgonjwa,” akasema.
Kulingana naye, nidhamu ya Brian ndiyo ilimwezesha kufanya vyema kwenye
masomo yake tangu shule ya msingi hadi akapata alama ya 'A' kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Shule ya Upili (KCSE) na hatimaye kwenda kusomea uhandisi.
Alianza kutatizika kiakili alipokuwa katika mwaka wa tatu chuoni, kulingana na
babake.
Katika maandishi yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook, Brian alikuwa amekashifu vikali watu wanaodai kwamba amerukwa akili.
| Brian alikuwa amejihami na nini alipovamia ikulu | {
"text": [
"Kisu"
]
} |
0879_swa | Uvamizi Ikulu: Baba aomba msamaha
Babake Brian Kibet Bera, kijana aliyeingia Ikulu ya Nairobi mnamo Jumatatu jioni akiwa na nia ya kumuua Rais Uhuru Kenyatta, amemwomba rais aingilie kati ili kijana huyo aruhusiwe kukamilisha masomo yake.
Bw David Bera amesema mwanawe alikuwa na matatizo ya kiakili kwa karibu miaka miwili sasa, na alipokea matibabu katika hospitali mbalimbali nchini.
"Anaweza kuchangia pakubwa katika nchi hii akipewa nafasi. Kama ataruhusiwa kukamilisha kozi yake ambayo inaisha Julai, anaweza kusaidia nchi hii baadaye. Anahitaji tu matibabu,” akasema Bw Bera alipohojiwa kwenye Runinga ya Citizen mnano jumanne usiku. Brian, 25, alipigwa risasi akajeruhiwa begani na walinzi alipovamia Ikulu mnamo Jumatatu jioni akiwa amejihami kwa kisu.
Awali alikuwa ametishia kwenye mtandao wa Facebook kwa karibu wiki moja kwamba alitaka kumuua Rais Kenyatta akimlaumu kwa kusababisha mateso na unyanyasaji wa walalahoi.
Lakini kwenye mahojiano, babake alisema kijana huyo, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano anayesomea uhandisi katika Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT), ni mwenye nidhamu ya hali ya juu na hangefanya shambulio hilo kama angekuwa mwenye akili timamu.
Vilevile, aliomba vijana wanao shabikia kitendo hicho mtandaoni wakome na waelewe kwamba mwanawe hakujua alichokuwa akifanya.
Kile alichofanya hakikuwa sawa na hakuwa mzima kiakili. Kama angekuwa sawa kiakili hangefanya hivyo. Vijana wasisifu kile alichofanya. Mwanangu ni mgonjwa,” akasema.
Kulingana naye, nidhamu ya Brian ndiyo ilimwezesha kufanya vyema kwenye
masomo yake tangu shule ya msingi hadi akapata alama ya 'A' kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Shule ya Upili (KCSE) na hatimaye kwenda kusomea uhandisi.
Alianza kutatizika kiakili alipokuwa katika mwaka wa tatu chuoni, kulingana na
babake.
Katika maandishi yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook, Brian alikuwa amekashifu vikali watu wanaodai kwamba amerukwa akili.
| Brian Kibet Bera anasomea chuo kikuu kipi | {
"text": [
"JKUAT"
]
} |
0879_swa | Uvamizi Ikulu: Baba aomba msamaha
Babake Brian Kibet Bera, kijana aliyeingia Ikulu ya Nairobi mnamo Jumatatu jioni akiwa na nia ya kumuua Rais Uhuru Kenyatta, amemwomba rais aingilie kati ili kijana huyo aruhusiwe kukamilisha masomo yake.
Bw David Bera amesema mwanawe alikuwa na matatizo ya kiakili kwa karibu miaka miwili sasa, na alipokea matibabu katika hospitali mbalimbali nchini.
"Anaweza kuchangia pakubwa katika nchi hii akipewa nafasi. Kama ataruhusiwa kukamilisha kozi yake ambayo inaisha Julai, anaweza kusaidia nchi hii baadaye. Anahitaji tu matibabu,” akasema Bw Bera alipohojiwa kwenye Runinga ya Citizen mnano jumanne usiku. Brian, 25, alipigwa risasi akajeruhiwa begani na walinzi alipovamia Ikulu mnamo Jumatatu jioni akiwa amejihami kwa kisu.
Awali alikuwa ametishia kwenye mtandao wa Facebook kwa karibu wiki moja kwamba alitaka kumuua Rais Kenyatta akimlaumu kwa kusababisha mateso na unyanyasaji wa walalahoi.
Lakini kwenye mahojiano, babake alisema kijana huyo, ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano anayesomea uhandisi katika Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT), ni mwenye nidhamu ya hali ya juu na hangefanya shambulio hilo kama angekuwa mwenye akili timamu.
Vilevile, aliomba vijana wanao shabikia kitendo hicho mtandaoni wakome na waelewe kwamba mwanawe hakujua alichokuwa akifanya.
Kile alichofanya hakikuwa sawa na hakuwa mzima kiakili. Kama angekuwa sawa kiakili hangefanya hivyo. Vijana wasisifu kile alichofanya. Mwanangu ni mgonjwa,” akasema.
Kulingana naye, nidhamu ya Brian ndiyo ilimwezesha kufanya vyema kwenye
masomo yake tangu shule ya msingi hadi akapata alama ya 'A' kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Shule ya Upili (KCSE) na hatimaye kwenda kusomea uhandisi.
Alianza kutatizika kiakili alipokuwa katika mwaka wa tatu chuoni, kulingana na
babake.
Katika maandishi yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook, Brian alikuwa amekashifu vikali watu wanaodai kwamba amerukwa akili.
| Brian alianza kutatizika akiwa mwaka upi chuoni | {
"text": [
"Tatu"
]
} |
0880_swa |
Yaani Kenya yahitaji sare tu kufuzu
Leo usiku timu yetu ya taifa ya soka Harambee Stars itashuka dimbani kumaliza udhia na timu ya Senegal katika mechi ya mwisho ya Kundi C.
Juma lililopita, Harambee Stars ilishinda mechi yake ya kwanza katika kipute hiki baada ya kuilaza Taifa Stars ya Tanzania kwa mabao matatu kwa mawili. Mabao mawili yalifungwa na mhandisi Michael Olunga naye Johanna Omolo akatinga jingine.
Hata hivyo, Taifa Stars ya Tanzania ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuona lango la adui awali kabisa mchezoni, kunako dakika ya sita kupitia mchezaji Simon Msuva aliyefunga marudio ya mpira uliopanguliwa na kipa wa Kenya Patrick Matasi, mkwaju uliokuwa umepigwa na mshambulizi wa Tanzania Mbwana Samatta.
Kenya ilisawazisha kunako dakika ya 39 kupitia Olunga lakini bao hilo halikudumu hata dakika moja kwani Samatta aliongezea Tanzania bao la pili kwenye dakika ya arobaini na kufanya mambo kusalia hivyo hadi muda wa mapumziko.
Kenya ilisawazisha tena kunako dakika ya sitini na mbili katika kipindi cha pili kupitia Omolo naye injinia Olunga akawazima kabisa wachezaji wa Taifa Stars na mashabiki wote wa Tanzania waliokuwa wakitazama mechi hii mubashara kule Tanzania bara, visiwa vya Unguja na Pemba kwa kupiga shuti kimo cha nyoka na kufunga bao la tatu ambalo lilitosha kuleta ushindi.
Awali, Algeria ilikuwa imeshinda Senegal kwa bao moja kwa bila katika mechi iliyoshuhudia maamuzi mabovu sana kupitia kwa refa ambapo Senegal walinyimwa penalti ya wazi baada ya kiungo Sadio Mane kufanyiwa madhambi katika eneo la hatari.
Ushinde wa Senegal uliiacha katika nafasi ya pili na alama tatu sawa na Kenya inayodunishwa na mabao katika kundi linaloongozwa na Algeria kwa pointi sita na ambayo tayari imefuzu kwa awamu ya 16 bora. Tanzania inaburuta mkia bila alama.
Mechi ya leo hivyo basi ina umuhimu mkubwa kwa timu zote mbili huku timu zote mbili zikihitaji ushindi ilikufuzu. Hata hivyo, sare ya aina yoyote bado inaweza kuisababishia timu yoyote kati ya hizi kufuzu.
Kumbuka kwamba mbali na mshindi katika kila kundi pamoja na nambari ya pili kufuzu kwenye awamu ya mwondoano, kuna timu nyingine nne zitakazofuzu kama zilizomaliza kwenye nafasi ya tatu lakini zikiwa na pointi nyingi na mabao mengi.
Hata Kenya ikishindwa ni leo na Senegal, bado kuna uwezekano wa kufuzu ingawa uwezekano huo utategemea matokeo ya timu nyingine katika makundi mengine. Kwa kawaida, mshinde bora ni timu ambayo angalau imeshinda mechi moja katika kundi na angalau kuzoa sare.
Endapo Kenya itafuzu kwa awamu ya mwondoano, basi itakuwa mara kwanza kufanya hivyo. Kenya ilipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya Algeria kwa kunyukwa mabao mawili kwa bila sawa na Tanzania iliyopigwa mabao mawili kwa bila na Senegal.
Hata hivyo, halitakuwa jambo rahisi kwa Kenya kuifunga au kuishinda Senegal siku ya leo kwani Senegal ni miongoni mwa timu bora barani Afrika.
Wachezaji wote wa Senegal wanacheza katika ligi kubwa kubwa za Ulaya kama huyu Sadio Mane anayeichezea Liverpool iliyoshinda UEFA. | Timu ya Harambee stars inacheza na timu gani? | {
"text": [
" Senegali"
]
} |
0880_swa |
Yaani Kenya yahitaji sare tu kufuzu
Leo usiku timu yetu ya taifa ya soka Harambee Stars itashuka dimbani kumaliza udhia na timu ya Senegal katika mechi ya mwisho ya Kundi C.
Juma lililopita, Harambee Stars ilishinda mechi yake ya kwanza katika kipute hiki baada ya kuilaza Taifa Stars ya Tanzania kwa mabao matatu kwa mawili. Mabao mawili yalifungwa na mhandisi Michael Olunga naye Johanna Omolo akatinga jingine.
Hata hivyo, Taifa Stars ya Tanzania ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuona lango la adui awali kabisa mchezoni, kunako dakika ya sita kupitia mchezaji Simon Msuva aliyefunga marudio ya mpira uliopanguliwa na kipa wa Kenya Patrick Matasi, mkwaju uliokuwa umepigwa na mshambulizi wa Tanzania Mbwana Samatta.
Kenya ilisawazisha kunako dakika ya 39 kupitia Olunga lakini bao hilo halikudumu hata dakika moja kwani Samatta aliongezea Tanzania bao la pili kwenye dakika ya arobaini na kufanya mambo kusalia hivyo hadi muda wa mapumziko.
Kenya ilisawazisha tena kunako dakika ya sitini na mbili katika kipindi cha pili kupitia Omolo naye injinia Olunga akawazima kabisa wachezaji wa Taifa Stars na mashabiki wote wa Tanzania waliokuwa wakitazama mechi hii mubashara kule Tanzania bara, visiwa vya Unguja na Pemba kwa kupiga shuti kimo cha nyoka na kufunga bao la tatu ambalo lilitosha kuleta ushindi.
Awali, Algeria ilikuwa imeshinda Senegal kwa bao moja kwa bila katika mechi iliyoshuhudia maamuzi mabovu sana kupitia kwa refa ambapo Senegal walinyimwa penalti ya wazi baada ya kiungo Sadio Mane kufanyiwa madhambi katika eneo la hatari.
Ushinde wa Senegal uliiacha katika nafasi ya pili na alama tatu sawa na Kenya inayodunishwa na mabao katika kundi linaloongozwa na Algeria kwa pointi sita na ambayo tayari imefuzu kwa awamu ya 16 bora. Tanzania inaburuta mkia bila alama.
Mechi ya leo hivyo basi ina umuhimu mkubwa kwa timu zote mbili huku timu zote mbili zikihitaji ushindi ilikufuzu. Hata hivyo, sare ya aina yoyote bado inaweza kuisababishia timu yoyote kati ya hizi kufuzu.
Kumbuka kwamba mbali na mshindi katika kila kundi pamoja na nambari ya pili kufuzu kwenye awamu ya mwondoano, kuna timu nyingine nne zitakazofuzu kama zilizomaliza kwenye nafasi ya tatu lakini zikiwa na pointi nyingi na mabao mengi.
Hata Kenya ikishindwa ni leo na Senegal, bado kuna uwezekano wa kufuzu ingawa uwezekano huo utategemea matokeo ya timu nyingine katika makundi mengine. Kwa kawaida, mshinde bora ni timu ambayo angalau imeshinda mechi moja katika kundi na angalau kuzoa sare.
Endapo Kenya itafuzu kwa awamu ya mwondoano, basi itakuwa mara kwanza kufanya hivyo. Kenya ilipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya Algeria kwa kunyukwa mabao mawili kwa bila sawa na Tanzania iliyopigwa mabao mawili kwa bila na Senegal.
Hata hivyo, halitakuwa jambo rahisi kwa Kenya kuifunga au kuishinda Senegal siku ya leo kwani Senegal ni miongoni mwa timu bora barani Afrika.
Wachezaji wote wa Senegal wanacheza katika ligi kubwa kubwa za Ulaya kama huyu Sadio Mane anayeichezea Liverpool iliyoshinda UEFA. | Harambee stars ilifunga Taifa stars mabao mangapi? | {
"text": [
"Matatu kwa mawili"
]
} |
0880_swa |
Yaani Kenya yahitaji sare tu kufuzu
Leo usiku timu yetu ya taifa ya soka Harambee Stars itashuka dimbani kumaliza udhia na timu ya Senegal katika mechi ya mwisho ya Kundi C.
Juma lililopita, Harambee Stars ilishinda mechi yake ya kwanza katika kipute hiki baada ya kuilaza Taifa Stars ya Tanzania kwa mabao matatu kwa mawili. Mabao mawili yalifungwa na mhandisi Michael Olunga naye Johanna Omolo akatinga jingine.
Hata hivyo, Taifa Stars ya Tanzania ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuona lango la adui awali kabisa mchezoni, kunako dakika ya sita kupitia mchezaji Simon Msuva aliyefunga marudio ya mpira uliopanguliwa na kipa wa Kenya Patrick Matasi, mkwaju uliokuwa umepigwa na mshambulizi wa Tanzania Mbwana Samatta.
Kenya ilisawazisha kunako dakika ya 39 kupitia Olunga lakini bao hilo halikudumu hata dakika moja kwani Samatta aliongezea Tanzania bao la pili kwenye dakika ya arobaini na kufanya mambo kusalia hivyo hadi muda wa mapumziko.
Kenya ilisawazisha tena kunako dakika ya sitini na mbili katika kipindi cha pili kupitia Omolo naye injinia Olunga akawazima kabisa wachezaji wa Taifa Stars na mashabiki wote wa Tanzania waliokuwa wakitazama mechi hii mubashara kule Tanzania bara, visiwa vya Unguja na Pemba kwa kupiga shuti kimo cha nyoka na kufunga bao la tatu ambalo lilitosha kuleta ushindi.
Awali, Algeria ilikuwa imeshinda Senegal kwa bao moja kwa bila katika mechi iliyoshuhudia maamuzi mabovu sana kupitia kwa refa ambapo Senegal walinyimwa penalti ya wazi baada ya kiungo Sadio Mane kufanyiwa madhambi katika eneo la hatari.
Ushinde wa Senegal uliiacha katika nafasi ya pili na alama tatu sawa na Kenya inayodunishwa na mabao katika kundi linaloongozwa na Algeria kwa pointi sita na ambayo tayari imefuzu kwa awamu ya 16 bora. Tanzania inaburuta mkia bila alama.
Mechi ya leo hivyo basi ina umuhimu mkubwa kwa timu zote mbili huku timu zote mbili zikihitaji ushindi ilikufuzu. Hata hivyo, sare ya aina yoyote bado inaweza kuisababishia timu yoyote kati ya hizi kufuzu.
Kumbuka kwamba mbali na mshindi katika kila kundi pamoja na nambari ya pili kufuzu kwenye awamu ya mwondoano, kuna timu nyingine nne zitakazofuzu kama zilizomaliza kwenye nafasi ya tatu lakini zikiwa na pointi nyingi na mabao mengi.
Hata Kenya ikishindwa ni leo na Senegal, bado kuna uwezekano wa kufuzu ingawa uwezekano huo utategemea matokeo ya timu nyingine katika makundi mengine. Kwa kawaida, mshinde bora ni timu ambayo angalau imeshinda mechi moja katika kundi na angalau kuzoa sare.
Endapo Kenya itafuzu kwa awamu ya mwondoano, basi itakuwa mara kwanza kufanya hivyo. Kenya ilipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya Algeria kwa kunyukwa mabao mawili kwa bila sawa na Tanzania iliyopigwa mabao mawili kwa bila na Senegal.
Hata hivyo, halitakuwa jambo rahisi kwa Kenya kuifunga au kuishinda Senegal siku ya leo kwani Senegal ni miongoni mwa timu bora barani Afrika.
Wachezaji wote wa Senegal wanacheza katika ligi kubwa kubwa za Ulaya kama huyu Sadio Mane anayeichezea Liverpool iliyoshinda UEFA. | Timu gani ilikuwa ya kwanza kuondolewa mchezoni? | {
"text": [
"Taifa stars ya Tanzania"
]
} |
0880_swa |
Yaani Kenya yahitaji sare tu kufuzu
Leo usiku timu yetu ya taifa ya soka Harambee Stars itashuka dimbani kumaliza udhia na timu ya Senegal katika mechi ya mwisho ya Kundi C.
Juma lililopita, Harambee Stars ilishinda mechi yake ya kwanza katika kipute hiki baada ya kuilaza Taifa Stars ya Tanzania kwa mabao matatu kwa mawili. Mabao mawili yalifungwa na mhandisi Michael Olunga naye Johanna Omolo akatinga jingine.
Hata hivyo, Taifa Stars ya Tanzania ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuona lango la adui awali kabisa mchezoni, kunako dakika ya sita kupitia mchezaji Simon Msuva aliyefunga marudio ya mpira uliopanguliwa na kipa wa Kenya Patrick Matasi, mkwaju uliokuwa umepigwa na mshambulizi wa Tanzania Mbwana Samatta.
Kenya ilisawazisha kunako dakika ya 39 kupitia Olunga lakini bao hilo halikudumu hata dakika moja kwani Samatta aliongezea Tanzania bao la pili kwenye dakika ya arobaini na kufanya mambo kusalia hivyo hadi muda wa mapumziko.
Kenya ilisawazisha tena kunako dakika ya sitini na mbili katika kipindi cha pili kupitia Omolo naye injinia Olunga akawazima kabisa wachezaji wa Taifa Stars na mashabiki wote wa Tanzania waliokuwa wakitazama mechi hii mubashara kule Tanzania bara, visiwa vya Unguja na Pemba kwa kupiga shuti kimo cha nyoka na kufunga bao la tatu ambalo lilitosha kuleta ushindi.
Awali, Algeria ilikuwa imeshinda Senegal kwa bao moja kwa bila katika mechi iliyoshuhudia maamuzi mabovu sana kupitia kwa refa ambapo Senegal walinyimwa penalti ya wazi baada ya kiungo Sadio Mane kufanyiwa madhambi katika eneo la hatari.
Ushinde wa Senegal uliiacha katika nafasi ya pili na alama tatu sawa na Kenya inayodunishwa na mabao katika kundi linaloongozwa na Algeria kwa pointi sita na ambayo tayari imefuzu kwa awamu ya 16 bora. Tanzania inaburuta mkia bila alama.
Mechi ya leo hivyo basi ina umuhimu mkubwa kwa timu zote mbili huku timu zote mbili zikihitaji ushindi ilikufuzu. Hata hivyo, sare ya aina yoyote bado inaweza kuisababishia timu yoyote kati ya hizi kufuzu.
Kumbuka kwamba mbali na mshindi katika kila kundi pamoja na nambari ya pili kufuzu kwenye awamu ya mwondoano, kuna timu nyingine nne zitakazofuzu kama zilizomaliza kwenye nafasi ya tatu lakini zikiwa na pointi nyingi na mabao mengi.
Hata Kenya ikishindwa ni leo na Senegal, bado kuna uwezekano wa kufuzu ingawa uwezekano huo utategemea matokeo ya timu nyingine katika makundi mengine. Kwa kawaida, mshinde bora ni timu ambayo angalau imeshinda mechi moja katika kundi na angalau kuzoa sare.
Endapo Kenya itafuzu kwa awamu ya mwondoano, basi itakuwa mara kwanza kufanya hivyo. Kenya ilipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya Algeria kwa kunyukwa mabao mawili kwa bila sawa na Tanzania iliyopigwa mabao mawili kwa bila na Senegal.
Hata hivyo, halitakuwa jambo rahisi kwa Kenya kuifunga au kuishinda Senegal siku ya leo kwani Senegal ni miongoni mwa timu bora barani Afrika.
Wachezaji wote wa Senegal wanacheza katika ligi kubwa kubwa za Ulaya kama huyu Sadio Mane anayeichezea Liverpool iliyoshinda UEFA. | Mchezaji yupi aliyefunga timu ya taifa stars mabao mawili | {
"text": [
"Samatha Mbwana"
]
} |
0880_swa |
Yaani Kenya yahitaji sare tu kufuzu
Leo usiku timu yetu ya taifa ya soka Harambee Stars itashuka dimbani kumaliza udhia na timu ya Senegal katika mechi ya mwisho ya Kundi C.
Juma lililopita, Harambee Stars ilishinda mechi yake ya kwanza katika kipute hiki baada ya kuilaza Taifa Stars ya Tanzania kwa mabao matatu kwa mawili. Mabao mawili yalifungwa na mhandisi Michael Olunga naye Johanna Omolo akatinga jingine.
Hata hivyo, Taifa Stars ya Tanzania ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuona lango la adui awali kabisa mchezoni, kunako dakika ya sita kupitia mchezaji Simon Msuva aliyefunga marudio ya mpira uliopanguliwa na kipa wa Kenya Patrick Matasi, mkwaju uliokuwa umepigwa na mshambulizi wa Tanzania Mbwana Samatta.
Kenya ilisawazisha kunako dakika ya 39 kupitia Olunga lakini bao hilo halikudumu hata dakika moja kwani Samatta aliongezea Tanzania bao la pili kwenye dakika ya arobaini na kufanya mambo kusalia hivyo hadi muda wa mapumziko.
Kenya ilisawazisha tena kunako dakika ya sitini na mbili katika kipindi cha pili kupitia Omolo naye injinia Olunga akawazima kabisa wachezaji wa Taifa Stars na mashabiki wote wa Tanzania waliokuwa wakitazama mechi hii mubashara kule Tanzania bara, visiwa vya Unguja na Pemba kwa kupiga shuti kimo cha nyoka na kufunga bao la tatu ambalo lilitosha kuleta ushindi.
Awali, Algeria ilikuwa imeshinda Senegal kwa bao moja kwa bila katika mechi iliyoshuhudia maamuzi mabovu sana kupitia kwa refa ambapo Senegal walinyimwa penalti ya wazi baada ya kiungo Sadio Mane kufanyiwa madhambi katika eneo la hatari.
Ushinde wa Senegal uliiacha katika nafasi ya pili na alama tatu sawa na Kenya inayodunishwa na mabao katika kundi linaloongozwa na Algeria kwa pointi sita na ambayo tayari imefuzu kwa awamu ya 16 bora. Tanzania inaburuta mkia bila alama.
Mechi ya leo hivyo basi ina umuhimu mkubwa kwa timu zote mbili huku timu zote mbili zikihitaji ushindi ilikufuzu. Hata hivyo, sare ya aina yoyote bado inaweza kuisababishia timu yoyote kati ya hizi kufuzu.
Kumbuka kwamba mbali na mshindi katika kila kundi pamoja na nambari ya pili kufuzu kwenye awamu ya mwondoano, kuna timu nyingine nne zitakazofuzu kama zilizomaliza kwenye nafasi ya tatu lakini zikiwa na pointi nyingi na mabao mengi.
Hata Kenya ikishindwa ni leo na Senegal, bado kuna uwezekano wa kufuzu ingawa uwezekano huo utategemea matokeo ya timu nyingine katika makundi mengine. Kwa kawaida, mshinde bora ni timu ambayo angalau imeshinda mechi moja katika kundi na angalau kuzoa sare.
Endapo Kenya itafuzu kwa awamu ya mwondoano, basi itakuwa mara kwanza kufanya hivyo. Kenya ilipoteza mechi yake ya kwanza dhidi ya Algeria kwa kunyukwa mabao mawili kwa bila sawa na Tanzania iliyopigwa mabao mawili kwa bila na Senegal.
Hata hivyo, halitakuwa jambo rahisi kwa Kenya kuifunga au kuishinda Senegal siku ya leo kwani Senegal ni miongoni mwa timu bora barani Afrika.
Wachezaji wote wa Senegal wanacheza katika ligi kubwa kubwa za Ulaya kama huyu Sadio Mane anayeichezea Liverpool iliyoshinda UEFA. | Ni mechi ipi ilishuhudia maamuzi mabovu? | {
"text": [
"Baina ya Algeria na Senegali"
]
} |
0882_swa |
Yasisitiza walimu waliotolewa katika sajili yake kutokana na utovu wa nidhamu wasiingie darasani
TSC yaonya walimu wakuu dhidi ya kuajiri waliofutwa
TUME ya kuajiri Walimu (TSC) imeapa kuwachukulia hatua kali walimu wakuu watakaojiri walimu waliotolewa katika sajili ya tume hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
Akizungumza mjini Mombasa katika kongamano la walimu wakuu. Afisa Mkuu Mtendaji watume hiyo. Dkt Nancy Macharia alisema walimu waliopokonywa nambari ya sajili ya tume hiyo kwa makosa ya kushiriki mapenzi na wanafunzi hawastahili kuruhusiwa kuingia darasani.
Aidha aliwamrisha walimu wakuu kutoruhusu walimu ambao hawajasajiliwa na tume hiyo kufundisha ili kudhibiti visa vya TSC kuchafuliwa jina na wachache ambao hawatambulikitume hiyo.
Tunatoa hatua hii wakati huu ambao tumekuwa tukishuhudia visa vya walimu kudhulumu wanafunzi kimapenzi, kisha tukinyoshewa vidole vya lawama kama waajiri wao. Hatutakubali kuchafuliwa jina na watu ambao hawatambuliki na tume." alisema.
Ikiwa ni siku ya tatu tangu kongamano hilo kuanza mkurugenzi huyo alisema tume hiyo haitumuhurumia mwalimu yeyote atakayehusika kimapenzi na mwanafunzi licha ya umri wa mwanafunzi.
"Haijalishi mwanafunzi ana umri wa miaka mingapi hata kama ni miaka 30, kama bado yuko shuleni tutamlinda kutokana na walimu wanaokiuka sheria za ajira." alisema Dkt Macharia.
Wakati huo huo amewakataza walimu dhidi ya kufuata maagizo kutoka kwa watu ambao wanakiuka sheria na tume hiyo.
Dkt Macharia amesema ni upuzi kwa walimu kutarajia kulipwa mshahara kutoka kwa tume ya ajira ilhali wanapokea maagizo kutoka kwa watu ambao hawana nia safi na tume hiyo.
"Inatuumiza moyo kila mara tunalazimika kuadhibu walimu ambao wamepotoshwa kwa kupewa maneno ya uchochezi ambayo si sahihi," alisema.
Pia amewataka walimu wakuu kuhudhuria shuleni kila siku na iwapo watakuwa na udhuru basi kujulisha tume mapema kuepuka malumbano.
"Sisi ni binadamu tunapatwa na matatizo hivyo mnaomba ruhusa. Msipofanya hivyo msitarajie sisi kujitia hamnazo, tutawaandama na kukuadhibu kulingana na sheria," alisema.
| TSC imeonya walimu wakuu kuhusu nini? | {
"text": [
"Kutowaajiri walimu waliotolewa katika sajiliya tume ya TSC"
]
} |
0882_swa |
Yasisitiza walimu waliotolewa katika sajili yake kutokana na utovu wa nidhamu wasiingie darasani
TSC yaonya walimu wakuu dhidi ya kuajiri waliofutwa
TUME ya kuajiri Walimu (TSC) imeapa kuwachukulia hatua kali walimu wakuu watakaojiri walimu waliotolewa katika sajili ya tume hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
Akizungumza mjini Mombasa katika kongamano la walimu wakuu. Afisa Mkuu Mtendaji watume hiyo. Dkt Nancy Macharia alisema walimu waliopokonywa nambari ya sajili ya tume hiyo kwa makosa ya kushiriki mapenzi na wanafunzi hawastahili kuruhusiwa kuingia darasani.
Aidha aliwamrisha walimu wakuu kutoruhusu walimu ambao hawajasajiliwa na tume hiyo kufundisha ili kudhibiti visa vya TSC kuchafuliwa jina na wachache ambao hawatambulikitume hiyo.
Tunatoa hatua hii wakati huu ambao tumekuwa tukishuhudia visa vya walimu kudhulumu wanafunzi kimapenzi, kisha tukinyoshewa vidole vya lawama kama waajiri wao. Hatutakubali kuchafuliwa jina na watu ambao hawatambuliki na tume." alisema.
Ikiwa ni siku ya tatu tangu kongamano hilo kuanza mkurugenzi huyo alisema tume hiyo haitumuhurumia mwalimu yeyote atakayehusika kimapenzi na mwanafunzi licha ya umri wa mwanafunzi.
"Haijalishi mwanafunzi ana umri wa miaka mingapi hata kama ni miaka 30, kama bado yuko shuleni tutamlinda kutokana na walimu wanaokiuka sheria za ajira." alisema Dkt Macharia.
Wakati huo huo amewakataza walimu dhidi ya kufuata maagizo kutoka kwa watu ambao wanakiuka sheria na tume hiyo.
Dkt Macharia amesema ni upuzi kwa walimu kutarajia kulipwa mshahara kutoka kwa tume ya ajira ilhali wanapokea maagizo kutoka kwa watu ambao hawana nia safi na tume hiyo.
"Inatuumiza moyo kila mara tunalazimika kuadhibu walimu ambao wamepotoshwa kwa kupewa maneno ya uchochezi ambayo si sahihi," alisema.
Pia amewataka walimu wakuu kuhudhuria shuleni kila siku na iwapo watakuwa na udhuru basi kujulisha tume mapema kuepuka malumbano.
"Sisi ni binadamu tunapatwa na matatizo hivyo mnaomba ruhusa. Msipofanya hivyo msitarajie sisi kujitia hamnazo, tutawaandama na kukuadhibu kulingana na sheria," alisema.
| Kongamano la walimu wakuu lilifanyika wapi? | {
"text": [
"Mjini Mombasa "
]
} |
0882_swa |
Yasisitiza walimu waliotolewa katika sajili yake kutokana na utovu wa nidhamu wasiingie darasani
TSC yaonya walimu wakuu dhidi ya kuajiri waliofutwa
TUME ya kuajiri Walimu (TSC) imeapa kuwachukulia hatua kali walimu wakuu watakaojiri walimu waliotolewa katika sajili ya tume hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
Akizungumza mjini Mombasa katika kongamano la walimu wakuu. Afisa Mkuu Mtendaji watume hiyo. Dkt Nancy Macharia alisema walimu waliopokonywa nambari ya sajili ya tume hiyo kwa makosa ya kushiriki mapenzi na wanafunzi hawastahili kuruhusiwa kuingia darasani.
Aidha aliwamrisha walimu wakuu kutoruhusu walimu ambao hawajasajiliwa na tume hiyo kufundisha ili kudhibiti visa vya TSC kuchafuliwa jina na wachache ambao hawatambulikitume hiyo.
Tunatoa hatua hii wakati huu ambao tumekuwa tukishuhudia visa vya walimu kudhulumu wanafunzi kimapenzi, kisha tukinyoshewa vidole vya lawama kama waajiri wao. Hatutakubali kuchafuliwa jina na watu ambao hawatambuliki na tume." alisema.
Ikiwa ni siku ya tatu tangu kongamano hilo kuanza mkurugenzi huyo alisema tume hiyo haitumuhurumia mwalimu yeyote atakayehusika kimapenzi na mwanafunzi licha ya umri wa mwanafunzi.
"Haijalishi mwanafunzi ana umri wa miaka mingapi hata kama ni miaka 30, kama bado yuko shuleni tutamlinda kutokana na walimu wanaokiuka sheria za ajira." alisema Dkt Macharia.
Wakati huo huo amewakataza walimu dhidi ya kufuata maagizo kutoka kwa watu ambao wanakiuka sheria na tume hiyo.
Dkt Macharia amesema ni upuzi kwa walimu kutarajia kulipwa mshahara kutoka kwa tume ya ajira ilhali wanapokea maagizo kutoka kwa watu ambao hawana nia safi na tume hiyo.
"Inatuumiza moyo kila mara tunalazimika kuadhibu walimu ambao wamepotoshwa kwa kupewa maneno ya uchochezi ambayo si sahihi," alisema.
Pia amewataka walimu wakuu kuhudhuria shuleni kila siku na iwapo watakuwa na udhuru basi kujulisha tume mapema kuepuka malumbano.
"Sisi ni binadamu tunapatwa na matatizo hivyo mnaomba ruhusa. Msipofanya hivyo msitarajie sisi kujitia hamnazo, tutawaandama na kukuadhibu kulingana na sheria," alisema.
| Kwa sababu gani TSC anawaamuru walimu wakuu kutoruhusu walimu wasiosajiliwa kufunza? | {
"text": [
"Kudhibiti visa vya TSC kuchafuliwa jina na wachache. "
]
} |
0882_swa |
Yasisitiza walimu waliotolewa katika sajili yake kutokana na utovu wa nidhamu wasiingie darasani
TSC yaonya walimu wakuu dhidi ya kuajiri waliofutwa
TUME ya kuajiri Walimu (TSC) imeapa kuwachukulia hatua kali walimu wakuu watakaojiri walimu waliotolewa katika sajili ya tume hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
Akizungumza mjini Mombasa katika kongamano la walimu wakuu. Afisa Mkuu Mtendaji watume hiyo. Dkt Nancy Macharia alisema walimu waliopokonywa nambari ya sajili ya tume hiyo kwa makosa ya kushiriki mapenzi na wanafunzi hawastahili kuruhusiwa kuingia darasani.
Aidha aliwamrisha walimu wakuu kutoruhusu walimu ambao hawajasajiliwa na tume hiyo kufundisha ili kudhibiti visa vya TSC kuchafuliwa jina na wachache ambao hawatambulikitume hiyo.
Tunatoa hatua hii wakati huu ambao tumekuwa tukishuhudia visa vya walimu kudhulumu wanafunzi kimapenzi, kisha tukinyoshewa vidole vya lawama kama waajiri wao. Hatutakubali kuchafuliwa jina na watu ambao hawatambuliki na tume." alisema.
Ikiwa ni siku ya tatu tangu kongamano hilo kuanza mkurugenzi huyo alisema tume hiyo haitumuhurumia mwalimu yeyote atakayehusika kimapenzi na mwanafunzi licha ya umri wa mwanafunzi.
"Haijalishi mwanafunzi ana umri wa miaka mingapi hata kama ni miaka 30, kama bado yuko shuleni tutamlinda kutokana na walimu wanaokiuka sheria za ajira." alisema Dkt Macharia.
Wakati huo huo amewakataza walimu dhidi ya kufuata maagizo kutoka kwa watu ambao wanakiuka sheria na tume hiyo.
Dkt Macharia amesema ni upuzi kwa walimu kutarajia kulipwa mshahara kutoka kwa tume ya ajira ilhali wanapokea maagizo kutoka kwa watu ambao hawana nia safi na tume hiyo.
"Inatuumiza moyo kila mara tunalazimika kuadhibu walimu ambao wamepotoshwa kwa kupewa maneno ya uchochezi ambayo si sahihi," alisema.
Pia amewataka walimu wakuu kuhudhuria shuleni kila siku na iwapo watakuwa na udhuru basi kujulisha tume mapema kuepuka malumbano.
"Sisi ni binadamu tunapatwa na matatizo hivyo mnaomba ruhusa. Msipofanya hivyo msitarajie sisi kujitia hamnazo, tutawaandama na kukuadhibu kulingana na sheria," alisema.
| Ni visa vipi vya walimu vimekuwa vikishuhudiwa | {
"text": [
"Walimu kudhulumu wanafunzi kimapenzi"
]
} |
0882_swa |
Yasisitiza walimu waliotolewa katika sajili yake kutokana na utovu wa nidhamu wasiingie darasani
TSC yaonya walimu wakuu dhidi ya kuajiri waliofutwa
TUME ya kuajiri Walimu (TSC) imeapa kuwachukulia hatua kali walimu wakuu watakaojiri walimu waliotolewa katika sajili ya tume hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
Akizungumza mjini Mombasa katika kongamano la walimu wakuu. Afisa Mkuu Mtendaji watume hiyo. Dkt Nancy Macharia alisema walimu waliopokonywa nambari ya sajili ya tume hiyo kwa makosa ya kushiriki mapenzi na wanafunzi hawastahili kuruhusiwa kuingia darasani.
Aidha aliwamrisha walimu wakuu kutoruhusu walimu ambao hawajasajiliwa na tume hiyo kufundisha ili kudhibiti visa vya TSC kuchafuliwa jina na wachache ambao hawatambulikitume hiyo.
Tunatoa hatua hii wakati huu ambao tumekuwa tukishuhudia visa vya walimu kudhulumu wanafunzi kimapenzi, kisha tukinyoshewa vidole vya lawama kama waajiri wao. Hatutakubali kuchafuliwa jina na watu ambao hawatambuliki na tume." alisema.
Ikiwa ni siku ya tatu tangu kongamano hilo kuanza mkurugenzi huyo alisema tume hiyo haitumuhurumia mwalimu yeyote atakayehusika kimapenzi na mwanafunzi licha ya umri wa mwanafunzi.
"Haijalishi mwanafunzi ana umri wa miaka mingapi hata kama ni miaka 30, kama bado yuko shuleni tutamlinda kutokana na walimu wanaokiuka sheria za ajira." alisema Dkt Macharia.
Wakati huo huo amewakataza walimu dhidi ya kufuata maagizo kutoka kwa watu ambao wanakiuka sheria na tume hiyo.
Dkt Macharia amesema ni upuzi kwa walimu kutarajia kulipwa mshahara kutoka kwa tume ya ajira ilhali wanapokea maagizo kutoka kwa watu ambao hawana nia safi na tume hiyo.
"Inatuumiza moyo kila mara tunalazimika kuadhibu walimu ambao wamepotoshwa kwa kupewa maneno ya uchochezi ambayo si sahihi," alisema.
Pia amewataka walimu wakuu kuhudhuria shuleni kila siku na iwapo watakuwa na udhuru basi kujulisha tume mapema kuepuka malumbano.
"Sisi ni binadamu tunapatwa na matatizo hivyo mnaomba ruhusa. Msipofanya hivyo msitarajie sisi kujitia hamnazo, tutawaandama na kukuadhibu kulingana na sheria," alisema.
| Walimu wanapotoshwa kwa namna gani? | {
"text": [
"Kwa kuchochewa kwa mambo yasiosahihi"
]
} |
0883_swa | Sekta ya afya nchini iige yafanywayo ughaibuni
Juzi nimezama kwenye lindi la mawazo nikitafakari kuhusu maslahi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi barani Afrika.
Lililochochea tafakuri zangu ni tangazo la Wizara ya Afya ya Afrika Kusini kwamba wanasayansi wa taifa hilo wametengeza dawa mpya ya kupunguza makali ya HIV.
Taarifa hiyo ilinitanabahisha kwamba Siku ya Ukimwi Duniani iliadhimishwa Desemba Mosi. Si kwamba nina mapuumba ya mambo muhimu kama siku hiyo, la hasha!
Binafsi nimewapoteza jamaa wengi tu kutokana na ugonjwa huo, hivyo basi mapambano dhidi ya virusi vyenyewe ni vita ambavyo sisiti kushiriki pale fursa inapojitokeza.
Hata hivyo, nimeambatwa na uzembe wa kukumbuka baadhi ya tarehe ambazo miaka iliyopita zilikuwa muhimu mno kwangu.
Kisa na maana? Ninaishi katika nchi ya watu ambayo ina sekta ya afya madhubuti hivi kwamba maradhi yanayotuhangaisha nyumbani Afrika hayatajwi huku.
Ingawa takwimu zinaonyesha kwamba Marekani kungali na watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi, kamwe huwezi kuona matangazo yoyote kuhusu suala hilo. Hakuna zanahati zozote maalum za watu kwenda kupimwa, wala kampeni dhidi ya virusi vyenyewe.
Si kwamba wagonjwa wanafichwa; mapambano dhidi ya HIV si suala la dharura Marekani, limedhibitiwa. Anayehitaji dawa huzipata, lishe bora nayo ipo, hivyo huwezi kumwona mtu aliyekonde ana kwa kukosa chochote kati ya vitu muhimu vya kumwezesha kuishi vyema.
Ikiwa kuna kitu ambacho nimetamani serikali zetu Afrika ziige kutoka nchi hizi za watu, basi ni usimamizi wa sekta ya afya. Mikakati ipo ya kupambana na dharura zozote za afya, nayo maradhi ambayo yana tiba yameshughulikiwa hivi kwamba hatari za maambukizi mapya zimebanwa kikamilifu.
Mathalan, huku hakuna Malaria, ugonjwa dhalimu ambao alinitwalia mdogo wangu yapata miaka 18 iliyopita. Huo ni wakati ambapo ugonjwa wa malaria bado ulikuwa tisho kubwa kwa wazazi wa Nairobi na maeneo ya mlima Kenya.
Leo hii naambiwa vituo vya afya vya serikali vilivyoko maeneo hayo haviekwi dawa za ugonjwa huo kwa kuwa inaaminika umeangamizwa kabisa.
Ukifika huko ukiwa na dalili za malaria utaulizwa iwapo ulisafiri maeneo ya magharibi mwa nchi, Nyanza au Pwani ambapo bado kuna mbu hatari wanaoneza ugonjwa huo.
Swali ambalo limekuwa likidunda kwenye kichwa changu kwa muda sasa ni: kwa nini serikali ya kitaifa isitumie mbinu ilizotumia kudhibiti malaria kwenye maeneo ya Nairobi nakati kuwafaa wakazi wana maeneo mengine?
Gharama
Inaigharimu serikali kiasi gani cha pesa kuzuia maambukizi ikilinganishwa na kuwatibu watu ambao tayari wameambukizwa? Je, watu wanastahili kufa kutokana na malaria katika karne ya 21?
Ukishukiwa kuwa na malaria nchini Marekani, basi itabidi uzuiliwe pahali pako maalum, tiba itafutwe Afrika au kwingineko, utibiwe kisha uruhusiwe kwenda nyumbani. Marathi mengi kama homa kali huzuiwa kwa chanjo badala ya kusubiri hadi yawe janga la kitaifa, hatua ambayo huepusha mateso na hasara. Yale sugu kama saratani yanakabiliwa kutoka pande zote kwani takriban kila hospitali ina kitengo maalum cha utafiti na matibabu ugonjwa huo.
Huduma ya kusafisha figo kwa mashine, ambayo huzifilisisha familia nyingi afrika hutolewa bila malipo, sikwambii ukihitaji usafiri watakujia na kukurejesha nyumbani. Laiti serikali zote Afrika zingezingatia umadhubuti wa sekta za afya angalau kuyaondoa maradhi ambayo yanaweza kuangamizwa, zibaki kubadiliana na HIV pekee.
Afrika Kusini ilipokuwa ikijiandaa kuzindua dawa mpya za kupunguza makali ya HIV juzi, taifa jirani Zimbabwe ilikuwa na msukosuko wa watu kujifia ovyo!
Kwanini? Sekta ya afya imeporomoka kabisa, madaktari waligoma wakachoka wakaishia kukimbia kazi kabisa, dawa za kimsingi hata za kudhibiti maumivu hazipo pia.
Tunajua historia ya Zimbabwe: uzembe, wizi na ulaji rushwa ni maovu ambayo yamekuwa desturi. Afrika tutaacha kuwana kama nzi tukimaliza maovu haya.
| Taifa gani lilitengeneza dawa mpya ya kupunguza makali ya HIV | {
"text": [
"Afrika Kusini"
]
} |
0883_swa | Sekta ya afya nchini iige yafanywayo ughaibuni
Juzi nimezama kwenye lindi la mawazo nikitafakari kuhusu maslahi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi barani Afrika.
Lililochochea tafakuri zangu ni tangazo la Wizara ya Afya ya Afrika Kusini kwamba wanasayansi wa taifa hilo wametengeza dawa mpya ya kupunguza makali ya HIV.
Taarifa hiyo ilinitanabahisha kwamba Siku ya Ukimwi Duniani iliadhimishwa Desemba Mosi. Si kwamba nina mapuumba ya mambo muhimu kama siku hiyo, la hasha!
Binafsi nimewapoteza jamaa wengi tu kutokana na ugonjwa huo, hivyo basi mapambano dhidi ya virusi vyenyewe ni vita ambavyo sisiti kushiriki pale fursa inapojitokeza.
Hata hivyo, nimeambatwa na uzembe wa kukumbuka baadhi ya tarehe ambazo miaka iliyopita zilikuwa muhimu mno kwangu.
Kisa na maana? Ninaishi katika nchi ya watu ambayo ina sekta ya afya madhubuti hivi kwamba maradhi yanayotuhangaisha nyumbani Afrika hayatajwi huku.
Ingawa takwimu zinaonyesha kwamba Marekani kungali na watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi, kamwe huwezi kuona matangazo yoyote kuhusu suala hilo. Hakuna zanahati zozote maalum za watu kwenda kupimwa, wala kampeni dhidi ya virusi vyenyewe.
Si kwamba wagonjwa wanafichwa; mapambano dhidi ya HIV si suala la dharura Marekani, limedhibitiwa. Anayehitaji dawa huzipata, lishe bora nayo ipo, hivyo huwezi kumwona mtu aliyekonde ana kwa kukosa chochote kati ya vitu muhimu vya kumwezesha kuishi vyema.
Ikiwa kuna kitu ambacho nimetamani serikali zetu Afrika ziige kutoka nchi hizi za watu, basi ni usimamizi wa sekta ya afya. Mikakati ipo ya kupambana na dharura zozote za afya, nayo maradhi ambayo yana tiba yameshughulikiwa hivi kwamba hatari za maambukizi mapya zimebanwa kikamilifu.
Mathalan, huku hakuna Malaria, ugonjwa dhalimu ambao alinitwalia mdogo wangu yapata miaka 18 iliyopita. Huo ni wakati ambapo ugonjwa wa malaria bado ulikuwa tisho kubwa kwa wazazi wa Nairobi na maeneo ya mlima Kenya.
Leo hii naambiwa vituo vya afya vya serikali vilivyoko maeneo hayo haviekwi dawa za ugonjwa huo kwa kuwa inaaminika umeangamizwa kabisa.
Ukifika huko ukiwa na dalili za malaria utaulizwa iwapo ulisafiri maeneo ya magharibi mwa nchi, Nyanza au Pwani ambapo bado kuna mbu hatari wanaoneza ugonjwa huo.
Swali ambalo limekuwa likidunda kwenye kichwa changu kwa muda sasa ni: kwa nini serikali ya kitaifa isitumie mbinu ilizotumia kudhibiti malaria kwenye maeneo ya Nairobi nakati kuwafaa wakazi wana maeneo mengine?
Gharama
Inaigharimu serikali kiasi gani cha pesa kuzuia maambukizi ikilinganishwa na kuwatibu watu ambao tayari wameambukizwa? Je, watu wanastahili kufa kutokana na malaria katika karne ya 21?
Ukishukiwa kuwa na malaria nchini Marekani, basi itabidi uzuiliwe pahali pako maalum, tiba itafutwe Afrika au kwingineko, utibiwe kisha uruhusiwe kwenda nyumbani. Marathi mengi kama homa kali huzuiwa kwa chanjo badala ya kusubiri hadi yawe janga la kitaifa, hatua ambayo huepusha mateso na hasara. Yale sugu kama saratani yanakabiliwa kutoka pande zote kwani takriban kila hospitali ina kitengo maalum cha utafiti na matibabu ugonjwa huo.
Huduma ya kusafisha figo kwa mashine, ambayo huzifilisisha familia nyingi afrika hutolewa bila malipo, sikwambii ukihitaji usafiri watakujia na kukurejesha nyumbani. Laiti serikali zote Afrika zingezingatia umadhubuti wa sekta za afya angalau kuyaondoa maradhi ambayo yanaweza kuangamizwa, zibaki kubadiliana na HIV pekee.
Afrika Kusini ilipokuwa ikijiandaa kuzindua dawa mpya za kupunguza makali ya HIV juzi, taifa jirani Zimbabwe ilikuwa na msukosuko wa watu kujifia ovyo!
Kwanini? Sekta ya afya imeporomoka kabisa, madaktari waligoma wakachoka wakaishia kukimbia kazi kabisa, dawa za kimsingi hata za kudhibiti maumivu hazipo pia.
Tunajua historia ya Zimbabwe: uzembe, wizi na ulaji rushwa ni maovu ambayo yamekuwa desturi. Afrika tutaacha kuwana kama nzi tukimaliza maovu haya.
| amewapoteza nani kutokana na ugonjwa huo | {
"text": [
"jamaa wengi"
]
} |
0883_swa | Sekta ya afya nchini iige yafanywayo ughaibuni
Juzi nimezama kwenye lindi la mawazo nikitafakari kuhusu maslahi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi barani Afrika.
Lililochochea tafakuri zangu ni tangazo la Wizara ya Afya ya Afrika Kusini kwamba wanasayansi wa taifa hilo wametengeza dawa mpya ya kupunguza makali ya HIV.
Taarifa hiyo ilinitanabahisha kwamba Siku ya Ukimwi Duniani iliadhimishwa Desemba Mosi. Si kwamba nina mapuumba ya mambo muhimu kama siku hiyo, la hasha!
Binafsi nimewapoteza jamaa wengi tu kutokana na ugonjwa huo, hivyo basi mapambano dhidi ya virusi vyenyewe ni vita ambavyo sisiti kushiriki pale fursa inapojitokeza.
Hata hivyo, nimeambatwa na uzembe wa kukumbuka baadhi ya tarehe ambazo miaka iliyopita zilikuwa muhimu mno kwangu.
Kisa na maana? Ninaishi katika nchi ya watu ambayo ina sekta ya afya madhubuti hivi kwamba maradhi yanayotuhangaisha nyumbani Afrika hayatajwi huku.
Ingawa takwimu zinaonyesha kwamba Marekani kungali na watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi, kamwe huwezi kuona matangazo yoyote kuhusu suala hilo. Hakuna zanahati zozote maalum za watu kwenda kupimwa, wala kampeni dhidi ya virusi vyenyewe.
Si kwamba wagonjwa wanafichwa; mapambano dhidi ya HIV si suala la dharura Marekani, limedhibitiwa. Anayehitaji dawa huzipata, lishe bora nayo ipo, hivyo huwezi kumwona mtu aliyekonde ana kwa kukosa chochote kati ya vitu muhimu vya kumwezesha kuishi vyema.
Ikiwa kuna kitu ambacho nimetamani serikali zetu Afrika ziige kutoka nchi hizi za watu, basi ni usimamizi wa sekta ya afya. Mikakati ipo ya kupambana na dharura zozote za afya, nayo maradhi ambayo yana tiba yameshughulikiwa hivi kwamba hatari za maambukizi mapya zimebanwa kikamilifu.
Mathalan, huku hakuna Malaria, ugonjwa dhalimu ambao alinitwalia mdogo wangu yapata miaka 18 iliyopita. Huo ni wakati ambapo ugonjwa wa malaria bado ulikuwa tisho kubwa kwa wazazi wa Nairobi na maeneo ya mlima Kenya.
Leo hii naambiwa vituo vya afya vya serikali vilivyoko maeneo hayo haviekwi dawa za ugonjwa huo kwa kuwa inaaminika umeangamizwa kabisa.
Ukifika huko ukiwa na dalili za malaria utaulizwa iwapo ulisafiri maeneo ya magharibi mwa nchi, Nyanza au Pwani ambapo bado kuna mbu hatari wanaoneza ugonjwa huo.
Swali ambalo limekuwa likidunda kwenye kichwa changu kwa muda sasa ni: kwa nini serikali ya kitaifa isitumie mbinu ilizotumia kudhibiti malaria kwenye maeneo ya Nairobi nakati kuwafaa wakazi wana maeneo mengine?
Gharama
Inaigharimu serikali kiasi gani cha pesa kuzuia maambukizi ikilinganishwa na kuwatibu watu ambao tayari wameambukizwa? Je, watu wanastahili kufa kutokana na malaria katika karne ya 21?
Ukishukiwa kuwa na malaria nchini Marekani, basi itabidi uzuiliwe pahali pako maalum, tiba itafutwe Afrika au kwingineko, utibiwe kisha uruhusiwe kwenda nyumbani. Marathi mengi kama homa kali huzuiwa kwa chanjo badala ya kusubiri hadi yawe janga la kitaifa, hatua ambayo huepusha mateso na hasara. Yale sugu kama saratani yanakabiliwa kutoka pande zote kwani takriban kila hospitali ina kitengo maalum cha utafiti na matibabu ugonjwa huo.
Huduma ya kusafisha figo kwa mashine, ambayo huzifilisisha familia nyingi afrika hutolewa bila malipo, sikwambii ukihitaji usafiri watakujia na kukurejesha nyumbani. Laiti serikali zote Afrika zingezingatia umadhubuti wa sekta za afya angalau kuyaondoa maradhi ambayo yanaweza kuangamizwa, zibaki kubadiliana na HIV pekee.
Afrika Kusini ilipokuwa ikijiandaa kuzindua dawa mpya za kupunguza makali ya HIV juzi, taifa jirani Zimbabwe ilikuwa na msukosuko wa watu kujifia ovyo!
Kwanini? Sekta ya afya imeporomoka kabisa, madaktari waligoma wakachoka wakaishia kukimbia kazi kabisa, dawa za kimsingi hata za kudhibiti maumivu hazipo pia.
Tunajua historia ya Zimbabwe: uzembe, wizi na ulaji rushwa ni maovu ambayo yamekuwa desturi. Afrika tutaacha kuwana kama nzi tukimaliza maovu haya.
| Marekani kungali na watu wanaoishi na nini | {
"text": [
"virusi vya ukimwi"
]
} |
0883_swa | Sekta ya afya nchini iige yafanywayo ughaibuni
Juzi nimezama kwenye lindi la mawazo nikitafakari kuhusu maslahi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi barani Afrika.
Lililochochea tafakuri zangu ni tangazo la Wizara ya Afya ya Afrika Kusini kwamba wanasayansi wa taifa hilo wametengeza dawa mpya ya kupunguza makali ya HIV.
Taarifa hiyo ilinitanabahisha kwamba Siku ya Ukimwi Duniani iliadhimishwa Desemba Mosi. Si kwamba nina mapuumba ya mambo muhimu kama siku hiyo, la hasha!
Binafsi nimewapoteza jamaa wengi tu kutokana na ugonjwa huo, hivyo basi mapambano dhidi ya virusi vyenyewe ni vita ambavyo sisiti kushiriki pale fursa inapojitokeza.
Hata hivyo, nimeambatwa na uzembe wa kukumbuka baadhi ya tarehe ambazo miaka iliyopita zilikuwa muhimu mno kwangu.
Kisa na maana? Ninaishi katika nchi ya watu ambayo ina sekta ya afya madhubuti hivi kwamba maradhi yanayotuhangaisha nyumbani Afrika hayatajwi huku.
Ingawa takwimu zinaonyesha kwamba Marekani kungali na watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi, kamwe huwezi kuona matangazo yoyote kuhusu suala hilo. Hakuna zanahati zozote maalum za watu kwenda kupimwa, wala kampeni dhidi ya virusi vyenyewe.
Si kwamba wagonjwa wanafichwa; mapambano dhidi ya HIV si suala la dharura Marekani, limedhibitiwa. Anayehitaji dawa huzipata, lishe bora nayo ipo, hivyo huwezi kumwona mtu aliyekonde ana kwa kukosa chochote kati ya vitu muhimu vya kumwezesha kuishi vyema.
Ikiwa kuna kitu ambacho nimetamani serikali zetu Afrika ziige kutoka nchi hizi za watu, basi ni usimamizi wa sekta ya afya. Mikakati ipo ya kupambana na dharura zozote za afya, nayo maradhi ambayo yana tiba yameshughulikiwa hivi kwamba hatari za maambukizi mapya zimebanwa kikamilifu.
Mathalan, huku hakuna Malaria, ugonjwa dhalimu ambao alinitwalia mdogo wangu yapata miaka 18 iliyopita. Huo ni wakati ambapo ugonjwa wa malaria bado ulikuwa tisho kubwa kwa wazazi wa Nairobi na maeneo ya mlima Kenya.
Leo hii naambiwa vituo vya afya vya serikali vilivyoko maeneo hayo haviekwi dawa za ugonjwa huo kwa kuwa inaaminika umeangamizwa kabisa.
Ukifika huko ukiwa na dalili za malaria utaulizwa iwapo ulisafiri maeneo ya magharibi mwa nchi, Nyanza au Pwani ambapo bado kuna mbu hatari wanaoneza ugonjwa huo.
Swali ambalo limekuwa likidunda kwenye kichwa changu kwa muda sasa ni: kwa nini serikali ya kitaifa isitumie mbinu ilizotumia kudhibiti malaria kwenye maeneo ya Nairobi nakati kuwafaa wakazi wana maeneo mengine?
Gharama
Inaigharimu serikali kiasi gani cha pesa kuzuia maambukizi ikilinganishwa na kuwatibu watu ambao tayari wameambukizwa? Je, watu wanastahili kufa kutokana na malaria katika karne ya 21?
Ukishukiwa kuwa na malaria nchini Marekani, basi itabidi uzuiliwe pahali pako maalum, tiba itafutwe Afrika au kwingineko, utibiwe kisha uruhusiwe kwenda nyumbani. Marathi mengi kama homa kali huzuiwa kwa chanjo badala ya kusubiri hadi yawe janga la kitaifa, hatua ambayo huepusha mateso na hasara. Yale sugu kama saratani yanakabiliwa kutoka pande zote kwani takriban kila hospitali ina kitengo maalum cha utafiti na matibabu ugonjwa huo.
Huduma ya kusafisha figo kwa mashine, ambayo huzifilisisha familia nyingi afrika hutolewa bila malipo, sikwambii ukihitaji usafiri watakujia na kukurejesha nyumbani. Laiti serikali zote Afrika zingezingatia umadhubuti wa sekta za afya angalau kuyaondoa maradhi ambayo yanaweza kuangamizwa, zibaki kubadiliana na HIV pekee.
Afrika Kusini ilipokuwa ikijiandaa kuzindua dawa mpya za kupunguza makali ya HIV juzi, taifa jirani Zimbabwe ilikuwa na msukosuko wa watu kujifia ovyo!
Kwanini? Sekta ya afya imeporomoka kabisa, madaktari waligoma wakachoka wakaishia kukimbia kazi kabisa, dawa za kimsingi hata za kudhibiti maumivu hazipo pia.
Tunajua historia ya Zimbabwe: uzembe, wizi na ulaji rushwa ni maovu ambayo yamekuwa desturi. Afrika tutaacha kuwana kama nzi tukimaliza maovu haya.
| Serikali za Afrika zinafaa kuiga usimamizi wa nini | {
"text": [
"sekta za afya"
]
} |
0883_swa | Sekta ya afya nchini iige yafanywayo ughaibuni
Juzi nimezama kwenye lindi la mawazo nikitafakari kuhusu maslahi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi barani Afrika.
Lililochochea tafakuri zangu ni tangazo la Wizara ya Afya ya Afrika Kusini kwamba wanasayansi wa taifa hilo wametengeza dawa mpya ya kupunguza makali ya HIV.
Taarifa hiyo ilinitanabahisha kwamba Siku ya Ukimwi Duniani iliadhimishwa Desemba Mosi. Si kwamba nina mapuumba ya mambo muhimu kama siku hiyo, la hasha!
Binafsi nimewapoteza jamaa wengi tu kutokana na ugonjwa huo, hivyo basi mapambano dhidi ya virusi vyenyewe ni vita ambavyo sisiti kushiriki pale fursa inapojitokeza.
Hata hivyo, nimeambatwa na uzembe wa kukumbuka baadhi ya tarehe ambazo miaka iliyopita zilikuwa muhimu mno kwangu.
Kisa na maana? Ninaishi katika nchi ya watu ambayo ina sekta ya afya madhubuti hivi kwamba maradhi yanayotuhangaisha nyumbani Afrika hayatajwi huku.
Ingawa takwimu zinaonyesha kwamba Marekani kungali na watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi, kamwe huwezi kuona matangazo yoyote kuhusu suala hilo. Hakuna zanahati zozote maalum za watu kwenda kupimwa, wala kampeni dhidi ya virusi vyenyewe.
Si kwamba wagonjwa wanafichwa; mapambano dhidi ya HIV si suala la dharura Marekani, limedhibitiwa. Anayehitaji dawa huzipata, lishe bora nayo ipo, hivyo huwezi kumwona mtu aliyekonde ana kwa kukosa chochote kati ya vitu muhimu vya kumwezesha kuishi vyema.
Ikiwa kuna kitu ambacho nimetamani serikali zetu Afrika ziige kutoka nchi hizi za watu, basi ni usimamizi wa sekta ya afya. Mikakati ipo ya kupambana na dharura zozote za afya, nayo maradhi ambayo yana tiba yameshughulikiwa hivi kwamba hatari za maambukizi mapya zimebanwa kikamilifu.
Mathalan, huku hakuna Malaria, ugonjwa dhalimu ambao alinitwalia mdogo wangu yapata miaka 18 iliyopita. Huo ni wakati ambapo ugonjwa wa malaria bado ulikuwa tisho kubwa kwa wazazi wa Nairobi na maeneo ya mlima Kenya.
Leo hii naambiwa vituo vya afya vya serikali vilivyoko maeneo hayo haviekwi dawa za ugonjwa huo kwa kuwa inaaminika umeangamizwa kabisa.
Ukifika huko ukiwa na dalili za malaria utaulizwa iwapo ulisafiri maeneo ya magharibi mwa nchi, Nyanza au Pwani ambapo bado kuna mbu hatari wanaoneza ugonjwa huo.
Swali ambalo limekuwa likidunda kwenye kichwa changu kwa muda sasa ni: kwa nini serikali ya kitaifa isitumie mbinu ilizotumia kudhibiti malaria kwenye maeneo ya Nairobi nakati kuwafaa wakazi wana maeneo mengine?
Gharama
Inaigharimu serikali kiasi gani cha pesa kuzuia maambukizi ikilinganishwa na kuwatibu watu ambao tayari wameambukizwa? Je, watu wanastahili kufa kutokana na malaria katika karne ya 21?
Ukishukiwa kuwa na malaria nchini Marekani, basi itabidi uzuiliwe pahali pako maalum, tiba itafutwe Afrika au kwingineko, utibiwe kisha uruhusiwe kwenda nyumbani. Marathi mengi kama homa kali huzuiwa kwa chanjo badala ya kusubiri hadi yawe janga la kitaifa, hatua ambayo huepusha mateso na hasara. Yale sugu kama saratani yanakabiliwa kutoka pande zote kwani takriban kila hospitali ina kitengo maalum cha utafiti na matibabu ugonjwa huo.
Huduma ya kusafisha figo kwa mashine, ambayo huzifilisisha familia nyingi afrika hutolewa bila malipo, sikwambii ukihitaji usafiri watakujia na kukurejesha nyumbani. Laiti serikali zote Afrika zingezingatia umadhubuti wa sekta za afya angalau kuyaondoa maradhi ambayo yanaweza kuangamizwa, zibaki kubadiliana na HIV pekee.
Afrika Kusini ilipokuwa ikijiandaa kuzindua dawa mpya za kupunguza makali ya HIV juzi, taifa jirani Zimbabwe ilikuwa na msukosuko wa watu kujifia ovyo!
Kwanini? Sekta ya afya imeporomoka kabisa, madaktari waligoma wakachoka wakaishia kukimbia kazi kabisa, dawa za kimsingi hata za kudhibiti maumivu hazipo pia.
Tunajua historia ya Zimbabwe: uzembe, wizi na ulaji rushwa ni maovu ambayo yamekuwa desturi. Afrika tutaacha kuwana kama nzi tukimaliza maovu haya.
| Maradhi kama homa huzuiwa na nini | {
"text": [
"chanjo"
]
} |
0884_swa |
Raha ya mashabiki baada ya Safari Rally kurudishwa WRC
Mwaka 2020 unasubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa Mbio za Magari nchini Kenya na eneo la Afrika Mashariki kwa jumla. Hii ni baada ya Kenya kufaulu kujumuishwa tena kwenye kalenda ya Mbio za Magari za Dunia (WRC). Itakuwa mara ya kwanza duru ya dunia inaandaliwa nchini Kenya tangu mwaka 2002.
Wakenya wamekuwa wakitawala Mbio za Magari za Bara Afrika (ARC) tangu mwaka 2015. Kurejeshwa kwa Safari Rally kwenye kalenda ya dunia (WRC) kunawapatia fursa nzuri ya kuonyesha kuwa mbali na kuwa na uwezo wa kuandaa mashindano ya kiwango cha dunia, pia wanaweza kushindania taji dhidi ya magwiji kutoka nje ya Afrika. Jaspreet Singh Chatthe alitwaa taji la Afrika mwaka 2015 akiendesha gari la aina ya Mitsubishi, Don Smith akatawala mwaka 2016 akipeleka gari la aina ya Subaru naye Manvir Baryan akafagia mataji ya mwaka 2017, 2018 na 2019 akitumia gari la aina ya Skoda. Mbali na wafalme hao wa bara Afrika, washindi wa mataji ya Kenya Baldev Chager (2008, 2013, 2014 na 2019) na Carl Tundo (2007, 2009, 2012 na 2018) ni baadhi ya madereva ambao Wakenya wataweka matumaini yao kwao wakitumai watawakilisha taifa vilivyo.
Miaka 17 iliyopita, Kenya ilishuhudia ikiondolewa kwenye ratiba ya WRC kutokana na ukosefu wa fedha na pia kushindwa kufanya mipango inayohitajika. Hata hivyo, baada ya kupigania kurejeshwa kwenye ratiba hiyo kwa zaidi ya miaka sita, Kenya ilifaulu mwaka 2019. Shirikisho la Mbio za Magari la Kenya (KMSF) lilifanya kampeni kali kuanzia mwaka 2013 likipata uungwaji mkono kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta na pia kusaidiwa kifedha kwa karibu Sh250 milioni kutoka kwa serikali.
KCB, ambayo imekuwa ikidhamini mbio za magari nchini Kenya, ilifadhili duru ya Safari Rally 2019 kwa Sh50 milioni.
Duru hiyo, ambayo ilikuwa ya kitaifa na Afrika, ilitumiwa na Shirikisho la Mbio za Magari Duniani (FIA) kupima uwezo wa Kenya kuwa mwenyeji wa duru ya dunia. lliandaliwa mwezi Julai, huku Chager na mwelekezi wake Ravi Soni wakijiongezea taji la tatu la Safari Rally kwa kumaliza wa kwanza mbele ya bingwa mara nne wa Safari Rally Carl Tundo, na Manvir Baryan. Tangazo la kurejeshwa kwenye kalenda ya dunia lilifanywa na Rais wa FIA Jean Todt mnamo Septemba 27, 2019. | Mwaka upi unasubiriwa na wapenzi wa mbio za magari Kenya na Afrika Masharika kwa ujumla | {
"text": [
"2020"
]
} |
0884_swa |
Raha ya mashabiki baada ya Safari Rally kurudishwa WRC
Mwaka 2020 unasubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa Mbio za Magari nchini Kenya na eneo la Afrika Mashariki kwa jumla. Hii ni baada ya Kenya kufaulu kujumuishwa tena kwenye kalenda ya Mbio za Magari za Dunia (WRC). Itakuwa mara ya kwanza duru ya dunia inaandaliwa nchini Kenya tangu mwaka 2002.
Wakenya wamekuwa wakitawala Mbio za Magari za Bara Afrika (ARC) tangu mwaka 2015. Kurejeshwa kwa Safari Rally kwenye kalenda ya dunia (WRC) kunawapatia fursa nzuri ya kuonyesha kuwa mbali na kuwa na uwezo wa kuandaa mashindano ya kiwango cha dunia, pia wanaweza kushindania taji dhidi ya magwiji kutoka nje ya Afrika. Jaspreet Singh Chatthe alitwaa taji la Afrika mwaka 2015 akiendesha gari la aina ya Mitsubishi, Don Smith akatawala mwaka 2016 akipeleka gari la aina ya Subaru naye Manvir Baryan akafagia mataji ya mwaka 2017, 2018 na 2019 akitumia gari la aina ya Skoda. Mbali na wafalme hao wa bara Afrika, washindi wa mataji ya Kenya Baldev Chager (2008, 2013, 2014 na 2019) na Carl Tundo (2007, 2009, 2012 na 2018) ni baadhi ya madereva ambao Wakenya wataweka matumaini yao kwao wakitumai watawakilisha taifa vilivyo.
Miaka 17 iliyopita, Kenya ilishuhudia ikiondolewa kwenye ratiba ya WRC kutokana na ukosefu wa fedha na pia kushindwa kufanya mipango inayohitajika. Hata hivyo, baada ya kupigania kurejeshwa kwenye ratiba hiyo kwa zaidi ya miaka sita, Kenya ilifaulu mwaka 2019. Shirikisho la Mbio za Magari la Kenya (KMSF) lilifanya kampeni kali kuanzia mwaka 2013 likipata uungwaji mkono kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta na pia kusaidiwa kifedha kwa karibu Sh250 milioni kutoka kwa serikali.
KCB, ambayo imekuwa ikidhamini mbio za magari nchini Kenya, ilifadhili duru ya Safari Rally 2019 kwa Sh50 milioni.
Duru hiyo, ambayo ilikuwa ya kitaifa na Afrika, ilitumiwa na Shirikisho la Mbio za Magari Duniani (FIA) kupima uwezo wa Kenya kuwa mwenyeji wa duru ya dunia. lliandaliwa mwezi Julai, huku Chager na mwelekezi wake Ravi Soni wakijiongezea taji la tatu la Safari Rally kwa kumaliza wa kwanza mbele ya bingwa mara nne wa Safari Rally Carl Tundo, na Manvir Baryan. Tangazo la kurejeshwa kwenye kalenda ya dunia lilifanywa na Rais wa FIA Jean Todt mnamo Septemba 27, 2019. | Wakenya wametawala mbio za magari za Bara la Afrika ARC tangu mwaka upi | {
"text": [
"2015"
]
} |
0884_swa |
Raha ya mashabiki baada ya Safari Rally kurudishwa WRC
Mwaka 2020 unasubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa Mbio za Magari nchini Kenya na eneo la Afrika Mashariki kwa jumla. Hii ni baada ya Kenya kufaulu kujumuishwa tena kwenye kalenda ya Mbio za Magari za Dunia (WRC). Itakuwa mara ya kwanza duru ya dunia inaandaliwa nchini Kenya tangu mwaka 2002.
Wakenya wamekuwa wakitawala Mbio za Magari za Bara Afrika (ARC) tangu mwaka 2015. Kurejeshwa kwa Safari Rally kwenye kalenda ya dunia (WRC) kunawapatia fursa nzuri ya kuonyesha kuwa mbali na kuwa na uwezo wa kuandaa mashindano ya kiwango cha dunia, pia wanaweza kushindania taji dhidi ya magwiji kutoka nje ya Afrika. Jaspreet Singh Chatthe alitwaa taji la Afrika mwaka 2015 akiendesha gari la aina ya Mitsubishi, Don Smith akatawala mwaka 2016 akipeleka gari la aina ya Subaru naye Manvir Baryan akafagia mataji ya mwaka 2017, 2018 na 2019 akitumia gari la aina ya Skoda. Mbali na wafalme hao wa bara Afrika, washindi wa mataji ya Kenya Baldev Chager (2008, 2013, 2014 na 2019) na Carl Tundo (2007, 2009, 2012 na 2018) ni baadhi ya madereva ambao Wakenya wataweka matumaini yao kwao wakitumai watawakilisha taifa vilivyo.
Miaka 17 iliyopita, Kenya ilishuhudia ikiondolewa kwenye ratiba ya WRC kutokana na ukosefu wa fedha na pia kushindwa kufanya mipango inayohitajika. Hata hivyo, baada ya kupigania kurejeshwa kwenye ratiba hiyo kwa zaidi ya miaka sita, Kenya ilifaulu mwaka 2019. Shirikisho la Mbio za Magari la Kenya (KMSF) lilifanya kampeni kali kuanzia mwaka 2013 likipata uungwaji mkono kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta na pia kusaidiwa kifedha kwa karibu Sh250 milioni kutoka kwa serikali.
KCB, ambayo imekuwa ikidhamini mbio za magari nchini Kenya, ilifadhili duru ya Safari Rally 2019 kwa Sh50 milioni.
Duru hiyo, ambayo ilikuwa ya kitaifa na Afrika, ilitumiwa na Shirikisho la Mbio za Magari Duniani (FIA) kupima uwezo wa Kenya kuwa mwenyeji wa duru ya dunia. lliandaliwa mwezi Julai, huku Chager na mwelekezi wake Ravi Soni wakijiongezea taji la tatu la Safari Rally kwa kumaliza wa kwanza mbele ya bingwa mara nne wa Safari Rally Carl Tundo, na Manvir Baryan. Tangazo la kurejeshwa kwenye kalenda ya dunia lilifanywa na Rais wa FIA Jean Todt mnamo Septemba 27, 2019. | Nani alitwaa taji la Afrika mwaka 2015 akiendesha gari la aina ya mitsubishi | {
"text": [
"Jaspreet Singh Chatthe"
]
} |
0884_swa |
Raha ya mashabiki baada ya Safari Rally kurudishwa WRC
Mwaka 2020 unasubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa Mbio za Magari nchini Kenya na eneo la Afrika Mashariki kwa jumla. Hii ni baada ya Kenya kufaulu kujumuishwa tena kwenye kalenda ya Mbio za Magari za Dunia (WRC). Itakuwa mara ya kwanza duru ya dunia inaandaliwa nchini Kenya tangu mwaka 2002.
Wakenya wamekuwa wakitawala Mbio za Magari za Bara Afrika (ARC) tangu mwaka 2015. Kurejeshwa kwa Safari Rally kwenye kalenda ya dunia (WRC) kunawapatia fursa nzuri ya kuonyesha kuwa mbali na kuwa na uwezo wa kuandaa mashindano ya kiwango cha dunia, pia wanaweza kushindania taji dhidi ya magwiji kutoka nje ya Afrika. Jaspreet Singh Chatthe alitwaa taji la Afrika mwaka 2015 akiendesha gari la aina ya Mitsubishi, Don Smith akatawala mwaka 2016 akipeleka gari la aina ya Subaru naye Manvir Baryan akafagia mataji ya mwaka 2017, 2018 na 2019 akitumia gari la aina ya Skoda. Mbali na wafalme hao wa bara Afrika, washindi wa mataji ya Kenya Baldev Chager (2008, 2013, 2014 na 2019) na Carl Tundo (2007, 2009, 2012 na 2018) ni baadhi ya madereva ambao Wakenya wataweka matumaini yao kwao wakitumai watawakilisha taifa vilivyo.
Miaka 17 iliyopita, Kenya ilishuhudia ikiondolewa kwenye ratiba ya WRC kutokana na ukosefu wa fedha na pia kushindwa kufanya mipango inayohitajika. Hata hivyo, baada ya kupigania kurejeshwa kwenye ratiba hiyo kwa zaidi ya miaka sita, Kenya ilifaulu mwaka 2019. Shirikisho la Mbio za Magari la Kenya (KMSF) lilifanya kampeni kali kuanzia mwaka 2013 likipata uungwaji mkono kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta na pia kusaidiwa kifedha kwa karibu Sh250 milioni kutoka kwa serikali.
KCB, ambayo imekuwa ikidhamini mbio za magari nchini Kenya, ilifadhili duru ya Safari Rally 2019 kwa Sh50 milioni.
Duru hiyo, ambayo ilikuwa ya kitaifa na Afrika, ilitumiwa na Shirikisho la Mbio za Magari Duniani (FIA) kupima uwezo wa Kenya kuwa mwenyeji wa duru ya dunia. lliandaliwa mwezi Julai, huku Chager na mwelekezi wake Ravi Soni wakijiongezea taji la tatu la Safari Rally kwa kumaliza wa kwanza mbele ya bingwa mara nne wa Safari Rally Carl Tundo, na Manvir Baryan. Tangazo la kurejeshwa kwenye kalenda ya dunia lilifanywa na Rais wa FIA Jean Todt mnamo Septemba 27, 2019. | Mwaka wa 2016 ni nani alipeleka gari la aina ya subaru | {
"text": [
"Don Smith"
]
} |
0884_swa |
Raha ya mashabiki baada ya Safari Rally kurudishwa WRC
Mwaka 2020 unasubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa Mbio za Magari nchini Kenya na eneo la Afrika Mashariki kwa jumla. Hii ni baada ya Kenya kufaulu kujumuishwa tena kwenye kalenda ya Mbio za Magari za Dunia (WRC). Itakuwa mara ya kwanza duru ya dunia inaandaliwa nchini Kenya tangu mwaka 2002.
Wakenya wamekuwa wakitawala Mbio za Magari za Bara Afrika (ARC) tangu mwaka 2015. Kurejeshwa kwa Safari Rally kwenye kalenda ya dunia (WRC) kunawapatia fursa nzuri ya kuonyesha kuwa mbali na kuwa na uwezo wa kuandaa mashindano ya kiwango cha dunia, pia wanaweza kushindania taji dhidi ya magwiji kutoka nje ya Afrika. Jaspreet Singh Chatthe alitwaa taji la Afrika mwaka 2015 akiendesha gari la aina ya Mitsubishi, Don Smith akatawala mwaka 2016 akipeleka gari la aina ya Subaru naye Manvir Baryan akafagia mataji ya mwaka 2017, 2018 na 2019 akitumia gari la aina ya Skoda. Mbali na wafalme hao wa bara Afrika, washindi wa mataji ya Kenya Baldev Chager (2008, 2013, 2014 na 2019) na Carl Tundo (2007, 2009, 2012 na 2018) ni baadhi ya madereva ambao Wakenya wataweka matumaini yao kwao wakitumai watawakilisha taifa vilivyo.
Miaka 17 iliyopita, Kenya ilishuhudia ikiondolewa kwenye ratiba ya WRC kutokana na ukosefu wa fedha na pia kushindwa kufanya mipango inayohitajika. Hata hivyo, baada ya kupigania kurejeshwa kwenye ratiba hiyo kwa zaidi ya miaka sita, Kenya ilifaulu mwaka 2019. Shirikisho la Mbio za Magari la Kenya (KMSF) lilifanya kampeni kali kuanzia mwaka 2013 likipata uungwaji mkono kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta na pia kusaidiwa kifedha kwa karibu Sh250 milioni kutoka kwa serikali.
KCB, ambayo imekuwa ikidhamini mbio za magari nchini Kenya, ilifadhili duru ya Safari Rally 2019 kwa Sh50 milioni.
Duru hiyo, ambayo ilikuwa ya kitaifa na Afrika, ilitumiwa na Shirikisho la Mbio za Magari Duniani (FIA) kupima uwezo wa Kenya kuwa mwenyeji wa duru ya dunia. lliandaliwa mwezi Julai, huku Chager na mwelekezi wake Ravi Soni wakijiongezea taji la tatu la Safari Rally kwa kumaliza wa kwanza mbele ya bingwa mara nne wa Safari Rally Carl Tundo, na Manvir Baryan. Tangazo la kurejeshwa kwenye kalenda ya dunia lilifanywa na Rais wa FIA Jean Todt mnamo Septemba 27, 2019. | KCB imekuwa ikidhamini mbio za magari, ilifadhali duru ya safari Rally kitita cha pesa ngapi | {
"text": [
"Milioni 50"
]
} |
0886_swa | Wasukumwa jela miaka 10 kuficha heroini ndani ya kobe
Raia wa Nigeria na Mkenya wamefungwa miaka kumi jela kila mmoja, kwa kusafirisha ng'ambo dawa za kulevya zikiwa zimefichwa ndani ya vinyago vya kobe.
Punde tu baada ya kufungwa jela wakili wao Evans Ondieki aliwasilisha rufaa, akisema ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) haikuwasilisha ushahidi wa kutosha kwa korti kuwatupa jela kwa mwongo mmoja.
Bw Ondieki anaomba Mahakama Kuu ifutilie mbali kifungo hicho akidai vinyago na vipuri vinavyodaiwa vili kuwa na dawa hizo, vilifunguliwa bila washtakiwa kuwepo.
Anadai huenda dawa hizo zilirundikwa katika bidhaa hizo na watu wasiojulikana. Wafungwa hao Samuel Uche na Geoffrey Onchangu Ondieki walipewa adhabu hiyo na Hakimu Mkuu L.Onyina baada ya kuwapata na hatia ya kusafirisha heroini nchini Uholanzi na Nigeria mtawalia.
Thamani ya heroini hiyo ilikuwa Sh4,453,425. Wawili hao walishtakiwa kufanya makosa hayo Machi 9, 2017
Uche alituma nchini Uholanzi heroini yenye thamani ya Sh1,452,945 ndani ya vinyago vya kobe, akidai ni zawadi ya bathidei kwa Bi Ruth Brown.
Ondieki alipatikana na hatia ya kutuma heroini yenye thamani ya Sh3,000,480.
Uche pia alifungwa kwa kosa la kupatikana akiishi nchini Kenya bila kibali.
Alikamatwa na polisi mtaani Kayole, Nairobi. Akipitisha hukumu Bw Onyina alisema maafisa wa Idara ya Forodha walipokuwa wanakagua bidhaa katika kifurushi cha DHL Cargo uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA), walikumbana na vipuri vya pikipiki vilivyokuwa vinatumwa nchini Nigeria na Bw Ondieki.
Vipuri hivyo vilikuwa vinatumiwa nduguye Uche anayefanya biashara ya kuuza pikipiki. | Ni raia wa kutoka mataifa yapi wametiwa mbaroni kwa kuhusika na mihadarati? | {
"text": [
"Nigeria na Kenya"
]
} |
0886_swa | Wasukumwa jela miaka 10 kuficha heroini ndani ya kobe
Raia wa Nigeria na Mkenya wamefungwa miaka kumi jela kila mmoja, kwa kusafirisha ng'ambo dawa za kulevya zikiwa zimefichwa ndani ya vinyago vya kobe.
Punde tu baada ya kufungwa jela wakili wao Evans Ondieki aliwasilisha rufaa, akisema ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) haikuwasilisha ushahidi wa kutosha kwa korti kuwatupa jela kwa mwongo mmoja.
Bw Ondieki anaomba Mahakama Kuu ifutilie mbali kifungo hicho akidai vinyago na vipuri vinavyodaiwa vili kuwa na dawa hizo, vilifunguliwa bila washtakiwa kuwepo.
Anadai huenda dawa hizo zilirundikwa katika bidhaa hizo na watu wasiojulikana. Wafungwa hao Samuel Uche na Geoffrey Onchangu Ondieki walipewa adhabu hiyo na Hakimu Mkuu L.Onyina baada ya kuwapata na hatia ya kusafirisha heroini nchini Uholanzi na Nigeria mtawalia.
Thamani ya heroini hiyo ilikuwa Sh4,453,425. Wawili hao walishtakiwa kufanya makosa hayo Machi 9, 2017
Uche alituma nchini Uholanzi heroini yenye thamani ya Sh1,452,945 ndani ya vinyago vya kobe, akidai ni zawadi ya bathidei kwa Bi Ruth Brown.
Ondieki alipatikana na hatia ya kutuma heroini yenye thamani ya Sh3,000,480.
Uche pia alifungwa kwa kosa la kupatikana akiishi nchini Kenya bila kibali.
Alikamatwa na polisi mtaani Kayole, Nairobi. Akipitisha hukumu Bw Onyina alisema maafisa wa Idara ya Forodha walipokuwa wanakagua bidhaa katika kifurushi cha DHL Cargo uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA), walikumbana na vipuri vya pikipiki vilivyokuwa vinatumwa nchini Nigeria na Bw Ondieki.
Vipuri hivyo vilikuwa vinatumiwa nduguye Uche anayefanya biashara ya kuuza pikipiki. | Maombi ya bwana Ondieki kwa mahakama kuu yalikuwa yapi? | {
"text": [
"Ifutilie mbali kifungo hicho kwa madai kuwa vipuri na vinyago vilifunguliwa bila yeye kuwepo"
]
} |
0886_swa | Wasukumwa jela miaka 10 kuficha heroini ndani ya kobe
Raia wa Nigeria na Mkenya wamefungwa miaka kumi jela kila mmoja, kwa kusafirisha ng'ambo dawa za kulevya zikiwa zimefichwa ndani ya vinyago vya kobe.
Punde tu baada ya kufungwa jela wakili wao Evans Ondieki aliwasilisha rufaa, akisema ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) haikuwasilisha ushahidi wa kutosha kwa korti kuwatupa jela kwa mwongo mmoja.
Bw Ondieki anaomba Mahakama Kuu ifutilie mbali kifungo hicho akidai vinyago na vipuri vinavyodaiwa vili kuwa na dawa hizo, vilifunguliwa bila washtakiwa kuwepo.
Anadai huenda dawa hizo zilirundikwa katika bidhaa hizo na watu wasiojulikana. Wafungwa hao Samuel Uche na Geoffrey Onchangu Ondieki walipewa adhabu hiyo na Hakimu Mkuu L.Onyina baada ya kuwapata na hatia ya kusafirisha heroini nchini Uholanzi na Nigeria mtawalia.
Thamani ya heroini hiyo ilikuwa Sh4,453,425. Wawili hao walishtakiwa kufanya makosa hayo Machi 9, 2017
Uche alituma nchini Uholanzi heroini yenye thamani ya Sh1,452,945 ndani ya vinyago vya kobe, akidai ni zawadi ya bathidei kwa Bi Ruth Brown.
Ondieki alipatikana na hatia ya kutuma heroini yenye thamani ya Sh3,000,480.
Uche pia alifungwa kwa kosa la kupatikana akiishi nchini Kenya bila kibali.
Alikamatwa na polisi mtaani Kayole, Nairobi. Akipitisha hukumu Bw Onyina alisema maafisa wa Idara ya Forodha walipokuwa wanakagua bidhaa katika kifurushi cha DHL Cargo uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA), walikumbana na vipuri vya pikipiki vilivyokuwa vinatumwa nchini Nigeria na Bw Ondieki.
Vipuri hivyo vilikuwa vinatumiwa nduguye Uche anayefanya biashara ya kuuza pikipiki. | Wafungwa waliohusika na mihadarati ni nani? | {
"text": [
"Samuel Uche na Geoffery Onchangu"
]
} |
0886_swa | Wasukumwa jela miaka 10 kuficha heroini ndani ya kobe
Raia wa Nigeria na Mkenya wamefungwa miaka kumi jela kila mmoja, kwa kusafirisha ng'ambo dawa za kulevya zikiwa zimefichwa ndani ya vinyago vya kobe.
Punde tu baada ya kufungwa jela wakili wao Evans Ondieki aliwasilisha rufaa, akisema ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) haikuwasilisha ushahidi wa kutosha kwa korti kuwatupa jela kwa mwongo mmoja.
Bw Ondieki anaomba Mahakama Kuu ifutilie mbali kifungo hicho akidai vinyago na vipuri vinavyodaiwa vili kuwa na dawa hizo, vilifunguliwa bila washtakiwa kuwepo.
Anadai huenda dawa hizo zilirundikwa katika bidhaa hizo na watu wasiojulikana. Wafungwa hao Samuel Uche na Geoffrey Onchangu Ondieki walipewa adhabu hiyo na Hakimu Mkuu L.Onyina baada ya kuwapata na hatia ya kusafirisha heroini nchini Uholanzi na Nigeria mtawalia.
Thamani ya heroini hiyo ilikuwa Sh4,453,425. Wawili hao walishtakiwa kufanya makosa hayo Machi 9, 2017
Uche alituma nchini Uholanzi heroini yenye thamani ya Sh1,452,945 ndani ya vinyago vya kobe, akidai ni zawadi ya bathidei kwa Bi Ruth Brown.
Ondieki alipatikana na hatia ya kutuma heroini yenye thamani ya Sh3,000,480.
Uche pia alifungwa kwa kosa la kupatikana akiishi nchini Kenya bila kibali.
Alikamatwa na polisi mtaani Kayole, Nairobi. Akipitisha hukumu Bw Onyina alisema maafisa wa Idara ya Forodha walipokuwa wanakagua bidhaa katika kifurushi cha DHL Cargo uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA), walikumbana na vipuri vya pikipiki vilivyokuwa vinatumwa nchini Nigeria na Bw Ondieki.
Vipuri hivyo vilikuwa vinatumiwa nduguye Uche anayefanya biashara ya kuuza pikipiki. | Hakimu aliwapata wahusika na hatia gani? | {
"text": [
"Kusafirisha heroini"
]
} |
0886_swa | Wasukumwa jela miaka 10 kuficha heroini ndani ya kobe
Raia wa Nigeria na Mkenya wamefungwa miaka kumi jela kila mmoja, kwa kusafirisha ng'ambo dawa za kulevya zikiwa zimefichwa ndani ya vinyago vya kobe.
Punde tu baada ya kufungwa jela wakili wao Evans Ondieki aliwasilisha rufaa, akisema ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) haikuwasilisha ushahidi wa kutosha kwa korti kuwatupa jela kwa mwongo mmoja.
Bw Ondieki anaomba Mahakama Kuu ifutilie mbali kifungo hicho akidai vinyago na vipuri vinavyodaiwa vili kuwa na dawa hizo, vilifunguliwa bila washtakiwa kuwepo.
Anadai huenda dawa hizo zilirundikwa katika bidhaa hizo na watu wasiojulikana. Wafungwa hao Samuel Uche na Geoffrey Onchangu Ondieki walipewa adhabu hiyo na Hakimu Mkuu L.Onyina baada ya kuwapata na hatia ya kusafirisha heroini nchini Uholanzi na Nigeria mtawalia.
Thamani ya heroini hiyo ilikuwa Sh4,453,425. Wawili hao walishtakiwa kufanya makosa hayo Machi 9, 2017
Uche alituma nchini Uholanzi heroini yenye thamani ya Sh1,452,945 ndani ya vinyago vya kobe, akidai ni zawadi ya bathidei kwa Bi Ruth Brown.
Ondieki alipatikana na hatia ya kutuma heroini yenye thamani ya Sh3,000,480.
Uche pia alifungwa kwa kosa la kupatikana akiishi nchini Kenya bila kibali.
Alikamatwa na polisi mtaani Kayole, Nairobi. Akipitisha hukumu Bw Onyina alisema maafisa wa Idara ya Forodha walipokuwa wanakagua bidhaa katika kifurushi cha DHL Cargo uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA), walikumbana na vipuri vya pikipiki vilivyokuwa vinatumwa nchini Nigeria na Bw Ondieki.
Vipuri hivyo vilikuwa vinatumiwa nduguye Uche anayefanya biashara ya kuuza pikipiki. | Wahusika walitekeleza makosa yao lini? | {
"text": [
"Machi 9, 2017"
]
} |
0949_swa | Bwana Shida alizaliwa katika mtaa wa Mashaka mjini Nakuru. Alipozaliwa, Bwana mdogo alilelewa vyema na wazazi wake Bw. na Bi. Faraja. Ama kwa hakika, maisha yake ya utotoni yalikuwa ya halua na tende.
Katika maisha yake ya shuleni, Shida alikuwa mtoto mwadilifu na aliyetunukiwa na ubongo. Darasani. Shida alikuwa wembe katika kila somo. Kutokana na juhudi zake za duduvule agotaye shina la mti, kila mja shuleni alivutiwa naye.
Kadri miaka ilivyoendelea kusonga ndivyo Shida ailivyoendelea kujifunga nira. Kwake yeye alielewa kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hivyo basi walipofanya mtihani wao wa kitaifa alitia fora zaidi gatuzini. Kutokana na alama nzuri, Shida alituzwa na waja wote ambao walikuja kusherehekea ushindi wake kwao kijijini. Kwa hakika karamu ambayo iliandaliwa ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Baada ya majuma mawili barua za kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Baada ya miaka minne katika shule ya upili, matokeo yalikuwa ya kuridhisha mno! Shida alizoa daraja la A katika masomo yote kwa jumla. Naam, mkokoto wa jembe si bure yao.
Muda si muda, Bwana Shida aliitwa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kusomea shahada ya itikisadi. Katika chuo kikuu, maisha yalionekana kuwa shwari bila shari. Chuoni kulikuwa na uhuru wa kufanya chochote alichotaka. Laiti Bw. Shida angetambua kile ambacho kingemsibu.....
Kufikia mwishoni mwa mwaka wa pili, hali yake Shida ilianza kuingia doa. Alianza kuugua kila mara. Hali hii iliendelea hadi hali ikawa si hali tena. Maji yalizidi unga. Chambilecho wahenga, kupanda mchongoma kushuka ndiyo ngoma.
Kwa wote waliomjua Shida walikosa kuamini macho yao. Ugonjwa ulimla na kumguguna namna mchwa walavyo gogo la mti. Hakika uele wake ulikuwa dhihirisho tosha la upungufu wa matibabu nchini. Ulikuwa ni ugonjwa wa siku nyingi. Japo alisafiri mbali na karibu kutafuta tiba, matumaini yake yalifika hatima.
Alipofika mwaka wa tatu chuoni, Shida alilemewa kabisa na shughuli za masomo. Aghalabu alishinda hospitalini kisa na maana alikuwa na nyondenyonde nyingi. Mwili wote ulijaa mabaka ungedhani ni jangwa la sahara.
Kijijini watu wengi aliomfahamu Shida walikuwa wamepigwa na butwaa wasiwe na la kufanya. Hakuna mja yeyote aliyetaka kuzungumzia kuhusu jambo lililomfika mwanachuo huyo.
Ingawa watu walionekana kujawa na wasiwasi kuhusu hulka na mienendo ya vijana wa kijijini, ilibainika kuwa pana haja ya kila mmoja kuwa na maadili katika jamii. Ndiposa wakasema, tahadhari kabla ya hatari.
| Bwana Shida alizaliwa katika mtaa gani | {
"text": [
"Mashaka"
]
} |
0949_swa | Bwana Shida alizaliwa katika mtaa wa Mashaka mjini Nakuru. Alipozaliwa, Bwana mdogo alilelewa vyema na wazazi wake Bw. na Bi. Faraja. Ama kwa hakika, maisha yake ya utotoni yalikuwa ya halua na tende.
Katika maisha yake ya shuleni, Shida alikuwa mtoto mwadilifu na aliyetunukiwa na ubongo. Darasani. Shida alikuwa wembe katika kila somo. Kutokana na juhudi zake za duduvule agotaye shina la mti, kila mja shuleni alivutiwa naye.
Kadri miaka ilivyoendelea kusonga ndivyo Shida ailivyoendelea kujifunga nira. Kwake yeye alielewa kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hivyo basi walipofanya mtihani wao wa kitaifa alitia fora zaidi gatuzini. Kutokana na alama nzuri, Shida alituzwa na waja wote ambao walikuja kusherehekea ushindi wake kwao kijijini. Kwa hakika karamu ambayo iliandaliwa ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Baada ya majuma mawili barua za kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Baada ya miaka minne katika shule ya upili, matokeo yalikuwa ya kuridhisha mno! Shida alizoa daraja la A katika masomo yote kwa jumla. Naam, mkokoto wa jembe si bure yao.
Muda si muda, Bwana Shida aliitwa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kusomea shahada ya itikisadi. Katika chuo kikuu, maisha yalionekana kuwa shwari bila shari. Chuoni kulikuwa na uhuru wa kufanya chochote alichotaka. Laiti Bw. Shida angetambua kile ambacho kingemsibu.....
Kufikia mwishoni mwa mwaka wa pili, hali yake Shida ilianza kuingia doa. Alianza kuugua kila mara. Hali hii iliendelea hadi hali ikawa si hali tena. Maji yalizidi unga. Chambilecho wahenga, kupanda mchongoma kushuka ndiyo ngoma.
Kwa wote waliomjua Shida walikosa kuamini macho yao. Ugonjwa ulimla na kumguguna namna mchwa walavyo gogo la mti. Hakika uele wake ulikuwa dhihirisho tosha la upungufu wa matibabu nchini. Ulikuwa ni ugonjwa wa siku nyingi. Japo alisafiri mbali na karibu kutafuta tiba, matumaini yake yalifika hatima.
Alipofika mwaka wa tatu chuoni, Shida alilemewa kabisa na shughuli za masomo. Aghalabu alishinda hospitalini kisa na maana alikuwa na nyondenyonde nyingi. Mwili wote ulijaa mabaka ungedhani ni jangwa la sahara.
Kijijini watu wengi aliomfahamu Shida walikuwa wamepigwa na butwaa wasiwe na la kufanya. Hakuna mja yeyote aliyetaka kuzungumzia kuhusu jambo lililomfika mwanachuo huyo.
Ingawa watu walionekana kujawa na wasiwasi kuhusu hulka na mienendo ya vijana wa kijijini, ilibainika kuwa pana haja ya kila mmoja kuwa na maadili katika jamii. Ndiposa wakasema, tahadhari kabla ya hatari.
| Shida aliitwa chuo kikuu kigani | {
"text": [
"cha Kenyatta"
]
} |
0949_swa | Bwana Shida alizaliwa katika mtaa wa Mashaka mjini Nakuru. Alipozaliwa, Bwana mdogo alilelewa vyema na wazazi wake Bw. na Bi. Faraja. Ama kwa hakika, maisha yake ya utotoni yalikuwa ya halua na tende.
Katika maisha yake ya shuleni, Shida alikuwa mtoto mwadilifu na aliyetunukiwa na ubongo. Darasani. Shida alikuwa wembe katika kila somo. Kutokana na juhudi zake za duduvule agotaye shina la mti, kila mja shuleni alivutiwa naye.
Kadri miaka ilivyoendelea kusonga ndivyo Shida ailivyoendelea kujifunga nira. Kwake yeye alielewa kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hivyo basi walipofanya mtihani wao wa kitaifa alitia fora zaidi gatuzini. Kutokana na alama nzuri, Shida alituzwa na waja wote ambao walikuja kusherehekea ushindi wake kwao kijijini. Kwa hakika karamu ambayo iliandaliwa ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Baada ya majuma mawili barua za kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Baada ya miaka minne katika shule ya upili, matokeo yalikuwa ya kuridhisha mno! Shida alizoa daraja la A katika masomo yote kwa jumla. Naam, mkokoto wa jembe si bure yao.
Muda si muda, Bwana Shida aliitwa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kusomea shahada ya itikisadi. Katika chuo kikuu, maisha yalionekana kuwa shwari bila shari. Chuoni kulikuwa na uhuru wa kufanya chochote alichotaka. Laiti Bw. Shida angetambua kile ambacho kingemsibu.....
Kufikia mwishoni mwa mwaka wa pili, hali yake Shida ilianza kuingia doa. Alianza kuugua kila mara. Hali hii iliendelea hadi hali ikawa si hali tena. Maji yalizidi unga. Chambilecho wahenga, kupanda mchongoma kushuka ndiyo ngoma.
Kwa wote waliomjua Shida walikosa kuamini macho yao. Ugonjwa ulimla na kumguguna namna mchwa walavyo gogo la mti. Hakika uele wake ulikuwa dhihirisho tosha la upungufu wa matibabu nchini. Ulikuwa ni ugonjwa wa siku nyingi. Japo alisafiri mbali na karibu kutafuta tiba, matumaini yake yalifika hatima.
Alipofika mwaka wa tatu chuoni, Shida alilemewa kabisa na shughuli za masomo. Aghalabu alishinda hospitalini kisa na maana alikuwa na nyondenyonde nyingi. Mwili wote ulijaa mabaka ungedhani ni jangwa la sahara.
Kijijini watu wengi aliomfahamu Shida walikuwa wamepigwa na butwaa wasiwe na la kufanya. Hakuna mja yeyote aliyetaka kuzungumzia kuhusu jambo lililomfika mwanachuo huyo.
Ingawa watu walionekana kujawa na wasiwasi kuhusu hulka na mienendo ya vijana wa kijijini, ilibainika kuwa pana haja ya kila mmoja kuwa na maadili katika jamii. Ndiposa wakasema, tahadhari kabla ya hatari.
| Shida alienda kusomea shahada ya nini | {
"text": [
"itikisadi"
]
} |
0949_swa | Bwana Shida alizaliwa katika mtaa wa Mashaka mjini Nakuru. Alipozaliwa, Bwana mdogo alilelewa vyema na wazazi wake Bw. na Bi. Faraja. Ama kwa hakika, maisha yake ya utotoni yalikuwa ya halua na tende.
Katika maisha yake ya shuleni, Shida alikuwa mtoto mwadilifu na aliyetunukiwa na ubongo. Darasani. Shida alikuwa wembe katika kila somo. Kutokana na juhudi zake za duduvule agotaye shina la mti, kila mja shuleni alivutiwa naye.
Kadri miaka ilivyoendelea kusonga ndivyo Shida ailivyoendelea kujifunga nira. Kwake yeye alielewa kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hivyo basi walipofanya mtihani wao wa kitaifa alitia fora zaidi gatuzini. Kutokana na alama nzuri, Shida alituzwa na waja wote ambao walikuja kusherehekea ushindi wake kwao kijijini. Kwa hakika karamu ambayo iliandaliwa ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Baada ya majuma mawili barua za kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Baada ya miaka minne katika shule ya upili, matokeo yalikuwa ya kuridhisha mno! Shida alizoa daraja la A katika masomo yote kwa jumla. Naam, mkokoto wa jembe si bure yao.
Muda si muda, Bwana Shida aliitwa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kusomea shahada ya itikisadi. Katika chuo kikuu, maisha yalionekana kuwa shwari bila shari. Chuoni kulikuwa na uhuru wa kufanya chochote alichotaka. Laiti Bw. Shida angetambua kile ambacho kingemsibu.....
Kufikia mwishoni mwa mwaka wa pili, hali yake Shida ilianza kuingia doa. Alianza kuugua kila mara. Hali hii iliendelea hadi hali ikawa si hali tena. Maji yalizidi unga. Chambilecho wahenga, kupanda mchongoma kushuka ndiyo ngoma.
Kwa wote waliomjua Shida walikosa kuamini macho yao. Ugonjwa ulimla na kumguguna namna mchwa walavyo gogo la mti. Hakika uele wake ulikuwa dhihirisho tosha la upungufu wa matibabu nchini. Ulikuwa ni ugonjwa wa siku nyingi. Japo alisafiri mbali na karibu kutafuta tiba, matumaini yake yalifika hatima.
Alipofika mwaka wa tatu chuoni, Shida alilemewa kabisa na shughuli za masomo. Aghalabu alishinda hospitalini kisa na maana alikuwa na nyondenyonde nyingi. Mwili wote ulijaa mabaka ungedhani ni jangwa la sahara.
Kijijini watu wengi aliomfahamu Shida walikuwa wamepigwa na butwaa wasiwe na la kufanya. Hakuna mja yeyote aliyetaka kuzungumzia kuhusu jambo lililomfika mwanachuo huyo.
Ingawa watu walionekana kujawa na wasiwasi kuhusu hulka na mienendo ya vijana wa kijijini, ilibainika kuwa pana haja ya kila mmoja kuwa na maadili katika jamii. Ndiposa wakasema, tahadhari kabla ya hatari.
| Shida alilemewa kabisa na shughuli za masomo lini | {
"text": [
"mwaka wa tatu"
]
} |
0949_swa | Bwana Shida alizaliwa katika mtaa wa Mashaka mjini Nakuru. Alipozaliwa, Bwana mdogo alilelewa vyema na wazazi wake Bw. na Bi. Faraja. Ama kwa hakika, maisha yake ya utotoni yalikuwa ya halua na tende.
Katika maisha yake ya shuleni, Shida alikuwa mtoto mwadilifu na aliyetunukiwa na ubongo. Darasani. Shida alikuwa wembe katika kila somo. Kutokana na juhudi zake za duduvule agotaye shina la mti, kila mja shuleni alivutiwa naye.
Kadri miaka ilivyoendelea kusonga ndivyo Shida ailivyoendelea kujifunga nira. Kwake yeye alielewa kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hivyo basi walipofanya mtihani wao wa kitaifa alitia fora zaidi gatuzini. Kutokana na alama nzuri, Shida alituzwa na waja wote ambao walikuja kusherehekea ushindi wake kwao kijijini. Kwa hakika karamu ambayo iliandaliwa ilikuwa ya ndovu kumla mwanawe.
Baada ya majuma mawili barua za kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Baada ya miaka minne katika shule ya upili, matokeo yalikuwa ya kuridhisha mno! Shida alizoa daraja la A katika masomo yote kwa jumla. Naam, mkokoto wa jembe si bure yao.
Muda si muda, Bwana Shida aliitwa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kusomea shahada ya itikisadi. Katika chuo kikuu, maisha yalionekana kuwa shwari bila shari. Chuoni kulikuwa na uhuru wa kufanya chochote alichotaka. Laiti Bw. Shida angetambua kile ambacho kingemsibu.....
Kufikia mwishoni mwa mwaka wa pili, hali yake Shida ilianza kuingia doa. Alianza kuugua kila mara. Hali hii iliendelea hadi hali ikawa si hali tena. Maji yalizidi unga. Chambilecho wahenga, kupanda mchongoma kushuka ndiyo ngoma.
Kwa wote waliomjua Shida walikosa kuamini macho yao. Ugonjwa ulimla na kumguguna namna mchwa walavyo gogo la mti. Hakika uele wake ulikuwa dhihirisho tosha la upungufu wa matibabu nchini. Ulikuwa ni ugonjwa wa siku nyingi. Japo alisafiri mbali na karibu kutafuta tiba, matumaini yake yalifika hatima.
Alipofika mwaka wa tatu chuoni, Shida alilemewa kabisa na shughuli za masomo. Aghalabu alishinda hospitalini kisa na maana alikuwa na nyondenyonde nyingi. Mwili wote ulijaa mabaka ungedhani ni jangwa la sahara.
Kijijini watu wengi aliomfahamu Shida walikuwa wamepigwa na butwaa wasiwe na la kufanya. Hakuna mja yeyote aliyetaka kuzungumzia kuhusu jambo lililomfika mwanachuo huyo.
Ingawa watu walionekana kujawa na wasiwasi kuhusu hulka na mienendo ya vijana wa kijijini, ilibainika kuwa pana haja ya kila mmoja kuwa na maadili katika jamii. Ndiposa wakasema, tahadhari kabla ya hatari.
| Kwa nini waliomjua Shida walikosa kuamini macho yao | {
"text": [
"ugonjwa ulimla na kumguguna namna mchwa walavyo gogo la mti"
]
} |
0950_swa | Siku ya Mashujaa, ni siku muhimu sana katika historia yetu. Baada ya wapiganaji Wazalenda kwa jino na ukucha, hatimaye taifa letu lilipata ukombozi wa kuwa nchi huru. Tarehe ishirini ya kila mwaka huadhimisha siku rasmi ya Mashujaa.
Maadhimisho haya, huandaliwa ili kuwakumbuka wote ambao walijitolea mhanga kupigania uhuru wetu kutoka kwenye minyororo ya Wakoloni.
Katika kipindi cha utawala wa Mkoloni nchini haki za kibinadamu zilikiukwa. Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa. Watu walifurushwa kutoka katika mashamba yao, watu walifanyishwa kazi za sulubu sisemi kazi za shokoa na malipo yalikuwa ya kukera mno... Malipo duni! Aidha watu hawakuruhusiwa kutembea bila vitambulisho spesheli vilivyoning'inia shingoni daima dawamu.
Tangu taifa letu lianze kujitawala, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Baada ya kuunda serikali huru ya watu huru, wapiganaji wa Maumau walitumbukia katika makaburi ya sahau. Hakuna mja yeyote aliyepata kuzungumzia kuhusu wapiganaji hawa hata leo hii! Chambilecho wahenga, ivushayo ni mbovu.
Katika sherehe za kitaifa utawasikia viongozi ambao wanashikilia nyadhifa kubwa serikali wakidai eti tunawasherehekea mashujaa wa nchi hii. Ama kwa hakika wanaonufaika na matunda ya uhuru ni mashujaa kindakindaki? Mbona viongozi wetu hawataki kuwatambua watu ambao walihatarisha maisha yao kama vile Bildad Kagia, Ochieng Oneko, Kungu Karumba, Fred Kubai, Paul Ngei na Jomo Kenyatta, Wengine walisafirishwajongomeo kwa kupigwa risasi.
Ni jambo la kukereta maini katika taifa letu kuzungumzia kuhusu madhara yaliyotukabili zaidi ya miaka hamsini iliyopita. Ili tuweze kupiga hatua kimaendeleo ipo haja kuweka miundomsingi dhabiti ili kukabiliana na janga la umaskini, makali ya njaa, ujinga, magonjwa pamoja na ubepari ambao umekithiri kwa viongozi wetu.
Kutokana na misukosuko tunayoshuhudia nchini ya kisiasa, Wakenya wote tunalo jukumu la kuwapiga kalamu viongozi ambao hawana ajenda na sera za maendeleo.
| Siku rasmi ya mashujaa huadhimishwa tarehe gani | {
"text": [
"ishirini"
]
} |
0950_swa | Siku ya Mashujaa, ni siku muhimu sana katika historia yetu. Baada ya wapiganaji Wazalenda kwa jino na ukucha, hatimaye taifa letu lilipata ukombozi wa kuwa nchi huru. Tarehe ishirini ya kila mwaka huadhimisha siku rasmi ya Mashujaa.
Maadhimisho haya, huandaliwa ili kuwakumbuka wote ambao walijitolea mhanga kupigania uhuru wetu kutoka kwenye minyororo ya Wakoloni.
Katika kipindi cha utawala wa Mkoloni nchini haki za kibinadamu zilikiukwa. Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa. Watu walifurushwa kutoka katika mashamba yao, watu walifanyishwa kazi za sulubu sisemi kazi za shokoa na malipo yalikuwa ya kukera mno... Malipo duni! Aidha watu hawakuruhusiwa kutembea bila vitambulisho spesheli vilivyoning'inia shingoni daima dawamu.
Tangu taifa letu lianze kujitawala, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Baada ya kuunda serikali huru ya watu huru, wapiganaji wa Maumau walitumbukia katika makaburi ya sahau. Hakuna mja yeyote aliyepata kuzungumzia kuhusu wapiganaji hawa hata leo hii! Chambilecho wahenga, ivushayo ni mbovu.
Katika sherehe za kitaifa utawasikia viongozi ambao wanashikilia nyadhifa kubwa serikali wakidai eti tunawasherehekea mashujaa wa nchi hii. Ama kwa hakika wanaonufaika na matunda ya uhuru ni mashujaa kindakindaki? Mbona viongozi wetu hawataki kuwatambua watu ambao walihatarisha maisha yao kama vile Bildad Kagia, Ochieng Oneko, Kungu Karumba, Fred Kubai, Paul Ngei na Jomo Kenyatta, Wengine walisafirishwajongomeo kwa kupigwa risasi.
Ni jambo la kukereta maini katika taifa letu kuzungumzia kuhusu madhara yaliyotukabili zaidi ya miaka hamsini iliyopita. Ili tuweze kupiga hatua kimaendeleo ipo haja kuweka miundomsingi dhabiti ili kukabiliana na janga la umaskini, makali ya njaa, ujinga, magonjwa pamoja na ubepari ambao umekithiri kwa viongozi wetu.
Kutokana na misukosuko tunayoshuhudia nchini ya kisiasa, Wakenya wote tunalo jukumu la kuwapiga kalamu viongozi ambao hawana ajenda na sera za maendeleo.
| Maadhimisho haya huandaliwa kuwakumbuka nani | {
"text": [
"waliotupigania uhuru"
]
} |
0950_swa | Siku ya Mashujaa, ni siku muhimu sana katika historia yetu. Baada ya wapiganaji Wazalenda kwa jino na ukucha, hatimaye taifa letu lilipata ukombozi wa kuwa nchi huru. Tarehe ishirini ya kila mwaka huadhimisha siku rasmi ya Mashujaa.
Maadhimisho haya, huandaliwa ili kuwakumbuka wote ambao walijitolea mhanga kupigania uhuru wetu kutoka kwenye minyororo ya Wakoloni.
Katika kipindi cha utawala wa Mkoloni nchini haki za kibinadamu zilikiukwa. Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa. Watu walifurushwa kutoka katika mashamba yao, watu walifanyishwa kazi za sulubu sisemi kazi za shokoa na malipo yalikuwa ya kukera mno... Malipo duni! Aidha watu hawakuruhusiwa kutembea bila vitambulisho spesheli vilivyoning'inia shingoni daima dawamu.
Tangu taifa letu lianze kujitawala, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Baada ya kuunda serikali huru ya watu huru, wapiganaji wa Maumau walitumbukia katika makaburi ya sahau. Hakuna mja yeyote aliyepata kuzungumzia kuhusu wapiganaji hawa hata leo hii! Chambilecho wahenga, ivushayo ni mbovu.
Katika sherehe za kitaifa utawasikia viongozi ambao wanashikilia nyadhifa kubwa serikali wakidai eti tunawasherehekea mashujaa wa nchi hii. Ama kwa hakika wanaonufaika na matunda ya uhuru ni mashujaa kindakindaki? Mbona viongozi wetu hawataki kuwatambua watu ambao walihatarisha maisha yao kama vile Bildad Kagia, Ochieng Oneko, Kungu Karumba, Fred Kubai, Paul Ngei na Jomo Kenyatta, Wengine walisafirishwajongomeo kwa kupigwa risasi.
Ni jambo la kukereta maini katika taifa letu kuzungumzia kuhusu madhara yaliyotukabili zaidi ya miaka hamsini iliyopita. Ili tuweze kupiga hatua kimaendeleo ipo haja kuweka miundomsingi dhabiti ili kukabiliana na janga la umaskini, makali ya njaa, ujinga, magonjwa pamoja na ubepari ambao umekithiri kwa viongozi wetu.
Kutokana na misukosuko tunayoshuhudia nchini ya kisiasa, Wakenya wote tunalo jukumu la kuwapiga kalamu viongozi ambao hawana ajenda na sera za maendeleo.
| Katika kipindi cha utawala wa mkoloni nini kilifanyika | {
"text": [
"haki zilikiukwa"
]
} |
0950_swa | Siku ya Mashujaa, ni siku muhimu sana katika historia yetu. Baada ya wapiganaji Wazalenda kwa jino na ukucha, hatimaye taifa letu lilipata ukombozi wa kuwa nchi huru. Tarehe ishirini ya kila mwaka huadhimisha siku rasmi ya Mashujaa.
Maadhimisho haya, huandaliwa ili kuwakumbuka wote ambao walijitolea mhanga kupigania uhuru wetu kutoka kwenye minyororo ya Wakoloni.
Katika kipindi cha utawala wa Mkoloni nchini haki za kibinadamu zilikiukwa. Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa. Watu walifurushwa kutoka katika mashamba yao, watu walifanyishwa kazi za sulubu sisemi kazi za shokoa na malipo yalikuwa ya kukera mno... Malipo duni! Aidha watu hawakuruhusiwa kutembea bila vitambulisho spesheli vilivyoning'inia shingoni daima dawamu.
Tangu taifa letu lianze kujitawala, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Baada ya kuunda serikali huru ya watu huru, wapiganaji wa Maumau walitumbukia katika makaburi ya sahau. Hakuna mja yeyote aliyepata kuzungumzia kuhusu wapiganaji hawa hata leo hii! Chambilecho wahenga, ivushayo ni mbovu.
Katika sherehe za kitaifa utawasikia viongozi ambao wanashikilia nyadhifa kubwa serikali wakidai eti tunawasherehekea mashujaa wa nchi hii. Ama kwa hakika wanaonufaika na matunda ya uhuru ni mashujaa kindakindaki? Mbona viongozi wetu hawataki kuwatambua watu ambao walihatarisha maisha yao kama vile Bildad Kagia, Ochieng Oneko, Kungu Karumba, Fred Kubai, Paul Ngei na Jomo Kenyatta, Wengine walisafirishwajongomeo kwa kupigwa risasi.
Ni jambo la kukereta maini katika taifa letu kuzungumzia kuhusu madhara yaliyotukabili zaidi ya miaka hamsini iliyopita. Ili tuweze kupiga hatua kimaendeleo ipo haja kuweka miundomsingi dhabiti ili kukabiliana na janga la umaskini, makali ya njaa, ujinga, magonjwa pamoja na ubepari ambao umekithiri kwa viongozi wetu.
Kutokana na misukosuko tunayoshuhudia nchini ya kisiasa, Wakenya wote tunalo jukumu la kuwapiga kalamu viongozi ambao hawana ajenda na sera za maendeleo.
| Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa lini | {
"text": [
"mkoloni alipokua akitawala"
]
} |
0950_swa | Siku ya Mashujaa, ni siku muhimu sana katika historia yetu. Baada ya wapiganaji Wazalenda kwa jino na ukucha, hatimaye taifa letu lilipata ukombozi wa kuwa nchi huru. Tarehe ishirini ya kila mwaka huadhimisha siku rasmi ya Mashujaa.
Maadhimisho haya, huandaliwa ili kuwakumbuka wote ambao walijitolea mhanga kupigania uhuru wetu kutoka kwenye minyororo ya Wakoloni.
Katika kipindi cha utawala wa Mkoloni nchini haki za kibinadamu zilikiukwa. Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa. Watu walifurushwa kutoka katika mashamba yao, watu walifanyishwa kazi za sulubu sisemi kazi za shokoa na malipo yalikuwa ya kukera mno... Malipo duni! Aidha watu hawakuruhusiwa kutembea bila vitambulisho spesheli vilivyoning'inia shingoni daima dawamu.
Tangu taifa letu lianze kujitawala, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Baada ya kuunda serikali huru ya watu huru, wapiganaji wa Maumau walitumbukia katika makaburi ya sahau. Hakuna mja yeyote aliyepata kuzungumzia kuhusu wapiganaji hawa hata leo hii! Chambilecho wahenga, ivushayo ni mbovu.
Katika sherehe za kitaifa utawasikia viongozi ambao wanashikilia nyadhifa kubwa serikali wakidai eti tunawasherehekea mashujaa wa nchi hii. Ama kwa hakika wanaonufaika na matunda ya uhuru ni mashujaa kindakindaki? Mbona viongozi wetu hawataki kuwatambua watu ambao walihatarisha maisha yao kama vile Bildad Kagia, Ochieng Oneko, Kungu Karumba, Fred Kubai, Paul Ngei na Jomo Kenyatta, Wengine walisafirishwajongomeo kwa kupigwa risasi.
Ni jambo la kukereta maini katika taifa letu kuzungumzia kuhusu madhara yaliyotukabili zaidi ya miaka hamsini iliyopita. Ili tuweze kupiga hatua kimaendeleo ipo haja kuweka miundomsingi dhabiti ili kukabiliana na janga la umaskini, makali ya njaa, ujinga, magonjwa pamoja na ubepari ambao umekithiri kwa viongozi wetu.
Kutokana na misukosuko tunayoshuhudia nchini ya kisiasa, Wakenya wote tunalo jukumu la kuwapiga kalamu viongozi ambao hawana ajenda na sera za maendeleo.
| Dhuluma za kila aina zilishuhudiwa kivipi | {
"text": [
"watu kufurushwa kwa mashamba yao na kufanyishwa kazi za sulubu"
]
} |
0951_swa | Hapo katika kitongoji chetu palikuwa na Mwanasayansi wa Uswahilini. Akili zake zilimruka na hizo ndizo zilizokuwa habari katika kinywa cha kila mmoja. Jamaa huyu alikuwa mwerevu masomoni kwa kuwa ndiye aliyewaauni wengi kutatua shida za kimasomo. Alikuwa na ujuzi mkubwa katika somo la Sayansi na Kiswahili. Hii ndiyo sababu akapewa lakabu ya mwanasayansi wa Uswahilini. Yeye ndiye aliyekuwa taa ya shule yetu.
Alipoingia darasa la nane muhula wa kwanza wenzake walimshauri kuwa kama angevuta bangi, angeongeza upevu wake masomoni maradufu. Angezichafua karatasi zote kwa asilimia tisini na tano. Kwa kuwa alikuwa amesikia fununu kuwa matumizi ya bangi huongeza nguvu, aliona kama wenzake walisema ukweli. Kuipata bangi halikuwa tatizo. Washauri wake walikuwa wagavi wa bidhaa hiyo pale shuleni. Awali walimpa bila malipo kwa kuwa walidai walimwojesha. Muda si muda, alianza kununua. Baada ya muda, kijana alinasika katika mtego asioweza kujitoa.
Hali yake ilianza kubadilika. Mwanasayansi aliyekuwa nadhifu kiasi cha uchafu kumuogopa, akawa mchafu kama fuko. Walimu waliposhtukia hali yake, walikuwa wamechelewa. Wakamwacha ili aufanye mtihani wake wa K.C.P.E. kisha ajiendee zake. Siku zile tatu za kufanya mtihani, ndipo akili zilimruka kabisa. sijalimit
Bila kuona tahayuri, alichukua dawati lake kutoka ukumbini walikotakiwa kuufanyia mtihani na kulipeleka katika uwanja wa soka ambapo walikuwa wakivutia bangi usiku. Alipoulizwa kwa nini akafanya hivi alisema alikuwa akiufanya mtihani wake na hakutaka usumbufu. Hakupewa katarasi za mtihani. Mtihani wake ulikuwa kulitazama jua kutoka mashariki likielekea magharibi. Wakati wa chamcha ulipofika, yeye aliandamana na wengine. Hatimaye alirudi pale pale kuendelea na vituko vyake alasiri.
Hapo ndipo utawala wa shule uliingilia kati ili kujaribu kumsaidia. Lakini akawa mkali kama simba. Hakutaka yeyote kumsumbua alipokuwa makini akifanya mtihani wake. Aliyejaribu kumsaidia alimwona kama hasidi aliyetaka afeli katika mtihani wake.
Maji yalipozidi unga, ilibidi polisi waitwe. Walimtia pingu na kumpeleka katika kituo cha polisi. Huko nako polisi walikipata. Walishambuliwa kwa meno, kucha na mateke ati kwa kumzuia kufanya mtihani. Aliwaona polisi kama maadui wa ufanisi wake. Hapo askari walimchukua na kumpeleka katika hospitali ya wagonjwa wa akili. Kweli dawa za kulevya ni mbaya. Ziliyaharibu maisha ya mwanafunzi ambaye mustakabali wake uling'aa kuliko hata mbalamwezi.
| Mwanasayansi wa Uswahilini alifahamika kwa uhodari wake katika masomo yapi? | {
"text": [
"Sayansi na Kiswahili"
]
} |
0951_swa | Hapo katika kitongoji chetu palikuwa na Mwanasayansi wa Uswahilini. Akili zake zilimruka na hizo ndizo zilizokuwa habari katika kinywa cha kila mmoja. Jamaa huyu alikuwa mwerevu masomoni kwa kuwa ndiye aliyewaauni wengi kutatua shida za kimasomo. Alikuwa na ujuzi mkubwa katika somo la Sayansi na Kiswahili. Hii ndiyo sababu akapewa lakabu ya mwanasayansi wa Uswahilini. Yeye ndiye aliyekuwa taa ya shule yetu.
Alipoingia darasa la nane muhula wa kwanza wenzake walimshauri kuwa kama angevuta bangi, angeongeza upevu wake masomoni maradufu. Angezichafua karatasi zote kwa asilimia tisini na tano. Kwa kuwa alikuwa amesikia fununu kuwa matumizi ya bangi huongeza nguvu, aliona kama wenzake walisema ukweli. Kuipata bangi halikuwa tatizo. Washauri wake walikuwa wagavi wa bidhaa hiyo pale shuleni. Awali walimpa bila malipo kwa kuwa walidai walimwojesha. Muda si muda, alianza kununua. Baada ya muda, kijana alinasika katika mtego asioweza kujitoa.
Hali yake ilianza kubadilika. Mwanasayansi aliyekuwa nadhifu kiasi cha uchafu kumuogopa, akawa mchafu kama fuko. Walimu waliposhtukia hali yake, walikuwa wamechelewa. Wakamwacha ili aufanye mtihani wake wa K.C.P.E. kisha ajiendee zake. Siku zile tatu za kufanya mtihani, ndipo akili zilimruka kabisa. sijalimit
Bila kuona tahayuri, alichukua dawati lake kutoka ukumbini walikotakiwa kuufanyia mtihani na kulipeleka katika uwanja wa soka ambapo walikuwa wakivutia bangi usiku. Alipoulizwa kwa nini akafanya hivi alisema alikuwa akiufanya mtihani wake na hakutaka usumbufu. Hakupewa katarasi za mtihani. Mtihani wake ulikuwa kulitazama jua kutoka mashariki likielekea magharibi. Wakati wa chamcha ulipofika, yeye aliandamana na wengine. Hatimaye alirudi pale pale kuendelea na vituko vyake alasiri.
Hapo ndipo utawala wa shule uliingilia kati ili kujaribu kumsaidia. Lakini akawa mkali kama simba. Hakutaka yeyote kumsumbua alipokuwa makini akifanya mtihani wake. Aliyejaribu kumsaidia alimwona kama hasidi aliyetaka afeli katika mtihani wake.
Maji yalipozidi unga, ilibidi polisi waitwe. Walimtia pingu na kumpeleka katika kituo cha polisi. Huko nako polisi walikipata. Walishambuliwa kwa meno, kucha na mateke ati kwa kumzuia kufanya mtihani. Aliwaona polisi kama maadui wa ufanisi wake. Hapo askari walimchukua na kumpeleka katika hospitali ya wagonjwa wa akili. Kweli dawa za kulevya ni mbaya. Ziliyaharibu maisha ya mwanafunzi ambaye mustakabali wake uling'aa kuliko hata mbalamwezi.
| Mwanasayansi wa Uswahilini alihadaiwa kufanya nini? | {
"text": [
"Kuvuta bangi"
]
} |
0951_swa | Hapo katika kitongoji chetu palikuwa na Mwanasayansi wa Uswahilini. Akili zake zilimruka na hizo ndizo zilizokuwa habari katika kinywa cha kila mmoja. Jamaa huyu alikuwa mwerevu masomoni kwa kuwa ndiye aliyewaauni wengi kutatua shida za kimasomo. Alikuwa na ujuzi mkubwa katika somo la Sayansi na Kiswahili. Hii ndiyo sababu akapewa lakabu ya mwanasayansi wa Uswahilini. Yeye ndiye aliyekuwa taa ya shule yetu.
Alipoingia darasa la nane muhula wa kwanza wenzake walimshauri kuwa kama angevuta bangi, angeongeza upevu wake masomoni maradufu. Angezichafua karatasi zote kwa asilimia tisini na tano. Kwa kuwa alikuwa amesikia fununu kuwa matumizi ya bangi huongeza nguvu, aliona kama wenzake walisema ukweli. Kuipata bangi halikuwa tatizo. Washauri wake walikuwa wagavi wa bidhaa hiyo pale shuleni. Awali walimpa bila malipo kwa kuwa walidai walimwojesha. Muda si muda, alianza kununua. Baada ya muda, kijana alinasika katika mtego asioweza kujitoa.
Hali yake ilianza kubadilika. Mwanasayansi aliyekuwa nadhifu kiasi cha uchafu kumuogopa, akawa mchafu kama fuko. Walimu waliposhtukia hali yake, walikuwa wamechelewa. Wakamwacha ili aufanye mtihani wake wa K.C.P.E. kisha ajiendee zake. Siku zile tatu za kufanya mtihani, ndipo akili zilimruka kabisa. sijalimit
Bila kuona tahayuri, alichukua dawati lake kutoka ukumbini walikotakiwa kuufanyia mtihani na kulipeleka katika uwanja wa soka ambapo walikuwa wakivutia bangi usiku. Alipoulizwa kwa nini akafanya hivi alisema alikuwa akiufanya mtihani wake na hakutaka usumbufu. Hakupewa katarasi za mtihani. Mtihani wake ulikuwa kulitazama jua kutoka mashariki likielekea magharibi. Wakati wa chamcha ulipofika, yeye aliandamana na wengine. Hatimaye alirudi pale pale kuendelea na vituko vyake alasiri.
Hapo ndipo utawala wa shule uliingilia kati ili kujaribu kumsaidia. Lakini akawa mkali kama simba. Hakutaka yeyote kumsumbua alipokuwa makini akifanya mtihani wake. Aliyejaribu kumsaidia alimwona kama hasidi aliyetaka afeli katika mtihani wake.
Maji yalipozidi unga, ilibidi polisi waitwe. Walimtia pingu na kumpeleka katika kituo cha polisi. Huko nako polisi walikipata. Walishambuliwa kwa meno, kucha na mateke ati kwa kumzuia kufanya mtihani. Aliwaona polisi kama maadui wa ufanisi wake. Hapo askari walimchukua na kumpeleka katika hospitali ya wagonjwa wa akili. Kweli dawa za kulevya ni mbaya. Ziliyaharibu maisha ya mwanafunzi ambaye mustakabali wake uling'aa kuliko hata mbalamwezi.
| Washauri waliomhadaa Mwanasayansi wa Uswahilini walikuwa wapi? | {
"text": [
"Shuleni mwake"
]
} |
0951_swa | Hapo katika kitongoji chetu palikuwa na Mwanasayansi wa Uswahilini. Akili zake zilimruka na hizo ndizo zilizokuwa habari katika kinywa cha kila mmoja. Jamaa huyu alikuwa mwerevu masomoni kwa kuwa ndiye aliyewaauni wengi kutatua shida za kimasomo. Alikuwa na ujuzi mkubwa katika somo la Sayansi na Kiswahili. Hii ndiyo sababu akapewa lakabu ya mwanasayansi wa Uswahilini. Yeye ndiye aliyekuwa taa ya shule yetu.
Alipoingia darasa la nane muhula wa kwanza wenzake walimshauri kuwa kama angevuta bangi, angeongeza upevu wake masomoni maradufu. Angezichafua karatasi zote kwa asilimia tisini na tano. Kwa kuwa alikuwa amesikia fununu kuwa matumizi ya bangi huongeza nguvu, aliona kama wenzake walisema ukweli. Kuipata bangi halikuwa tatizo. Washauri wake walikuwa wagavi wa bidhaa hiyo pale shuleni. Awali walimpa bila malipo kwa kuwa walidai walimwojesha. Muda si muda, alianza kununua. Baada ya muda, kijana alinasika katika mtego asioweza kujitoa.
Hali yake ilianza kubadilika. Mwanasayansi aliyekuwa nadhifu kiasi cha uchafu kumuogopa, akawa mchafu kama fuko. Walimu waliposhtukia hali yake, walikuwa wamechelewa. Wakamwacha ili aufanye mtihani wake wa K.C.P.E. kisha ajiendee zake. Siku zile tatu za kufanya mtihani, ndipo akili zilimruka kabisa. sijalimit
Bila kuona tahayuri, alichukua dawati lake kutoka ukumbini walikotakiwa kuufanyia mtihani na kulipeleka katika uwanja wa soka ambapo walikuwa wakivutia bangi usiku. Alipoulizwa kwa nini akafanya hivi alisema alikuwa akiufanya mtihani wake na hakutaka usumbufu. Hakupewa katarasi za mtihani. Mtihani wake ulikuwa kulitazama jua kutoka mashariki likielekea magharibi. Wakati wa chamcha ulipofika, yeye aliandamana na wengine. Hatimaye alirudi pale pale kuendelea na vituko vyake alasiri.
Hapo ndipo utawala wa shule uliingilia kati ili kujaribu kumsaidia. Lakini akawa mkali kama simba. Hakutaka yeyote kumsumbua alipokuwa makini akifanya mtihani wake. Aliyejaribu kumsaidia alimwona kama hasidi aliyetaka afeli katika mtihani wake.
Maji yalipozidi unga, ilibidi polisi waitwe. Walimtia pingu na kumpeleka katika kituo cha polisi. Huko nako polisi walikipata. Walishambuliwa kwa meno, kucha na mateke ati kwa kumzuia kufanya mtihani. Aliwaona polisi kama maadui wa ufanisi wake. Hapo askari walimchukua na kumpeleka katika hospitali ya wagonjwa wa akili. Kweli dawa za kulevya ni mbaya. Ziliyaharibu maisha ya mwanafunzi ambaye mustakabali wake uling'aa kuliko hata mbalamwezi.
| Mwanasayansi wa Uswahilini alipewa bangi bure na washauri wake waliodai kuwa wanafanya nini? | {
"text": [
"Wanamwonjesha"
]
} |
0951_swa | Hapo katika kitongoji chetu palikuwa na Mwanasayansi wa Uswahilini. Akili zake zilimruka na hizo ndizo zilizokuwa habari katika kinywa cha kila mmoja. Jamaa huyu alikuwa mwerevu masomoni kwa kuwa ndiye aliyewaauni wengi kutatua shida za kimasomo. Alikuwa na ujuzi mkubwa katika somo la Sayansi na Kiswahili. Hii ndiyo sababu akapewa lakabu ya mwanasayansi wa Uswahilini. Yeye ndiye aliyekuwa taa ya shule yetu.
Alipoingia darasa la nane muhula wa kwanza wenzake walimshauri kuwa kama angevuta bangi, angeongeza upevu wake masomoni maradufu. Angezichafua karatasi zote kwa asilimia tisini na tano. Kwa kuwa alikuwa amesikia fununu kuwa matumizi ya bangi huongeza nguvu, aliona kama wenzake walisema ukweli. Kuipata bangi halikuwa tatizo. Washauri wake walikuwa wagavi wa bidhaa hiyo pale shuleni. Awali walimpa bila malipo kwa kuwa walidai walimwojesha. Muda si muda, alianza kununua. Baada ya muda, kijana alinasika katika mtego asioweza kujitoa.
Hali yake ilianza kubadilika. Mwanasayansi aliyekuwa nadhifu kiasi cha uchafu kumuogopa, akawa mchafu kama fuko. Walimu waliposhtukia hali yake, walikuwa wamechelewa. Wakamwacha ili aufanye mtihani wake wa K.C.P.E. kisha ajiendee zake. Siku zile tatu za kufanya mtihani, ndipo akili zilimruka kabisa. sijalimit
Bila kuona tahayuri, alichukua dawati lake kutoka ukumbini walikotakiwa kuufanyia mtihani na kulipeleka katika uwanja wa soka ambapo walikuwa wakivutia bangi usiku. Alipoulizwa kwa nini akafanya hivi alisema alikuwa akiufanya mtihani wake na hakutaka usumbufu. Hakupewa katarasi za mtihani. Mtihani wake ulikuwa kulitazama jua kutoka mashariki likielekea magharibi. Wakati wa chamcha ulipofika, yeye aliandamana na wengine. Hatimaye alirudi pale pale kuendelea na vituko vyake alasiri.
Hapo ndipo utawala wa shule uliingilia kati ili kujaribu kumsaidia. Lakini akawa mkali kama simba. Hakutaka yeyote kumsumbua alipokuwa makini akifanya mtihani wake. Aliyejaribu kumsaidia alimwona kama hasidi aliyetaka afeli katika mtihani wake.
Maji yalipozidi unga, ilibidi polisi waitwe. Walimtia pingu na kumpeleka katika kituo cha polisi. Huko nako polisi walikipata. Walishambuliwa kwa meno, kucha na mateke ati kwa kumzuia kufanya mtihani. Aliwaona polisi kama maadui wa ufanisi wake. Hapo askari walimchukua na kumpeleka katika hospitali ya wagonjwa wa akili. Kweli dawa za kulevya ni mbaya. Ziliyaharibu maisha ya mwanafunzi ambaye mustakabali wake uling'aa kuliko hata mbalamwezi.
| Akili yake Mwanasayansi wa Uswahilini iliruka wakati gani? | {
"text": [
"Akifanya mtihani wake wa KCPE"
]
} |
0954_swa | Wengi husema kuwa siasa ni maisha. Tangu nizaliwe, nilikuta siasa na hata wa leo siasa zingalipo. Kwa ufupi haziishi ila tu zinaweza kuchukua mifumo na maumbo mbalimbali kulingana na wakati,
Siasa ya ulimwengu ilibadilika pakubwa katika miaka ya mwanzoni mwa miaka ya tisini. Mfumo wa ukomunisti ulioshamiri katika mataifa ya Ulaya Mashariki ulisambaratika. Huu ni mfumo ambao ulikuwako kwa miaka mingi. Mfumo huu ulijengwa kwenye imani ya kuwa, mataifa yana jukumu kubwa la kuhakikisha kuwa pana usawa katika ugavi wa rasilimali za taifa linalohusika. Huduma nyingi za kijamii zilifuata mkondo wa maamuzi ya viongozi wa nchi na chama ambacho kilikuwa na satua kubwa juu yaraia.*
Mataifa mengi yaliyofuata mkondo huu wa siasa yaliamini kuwa yalitilia maanani utu na raia wake. Siasa ya ukomunisti iliamini kuwa siasa iliyoshika mizizi katika nchi za Ulaya ya Magharibi na Marekani, ya Ubepar. ilikuwa mbaya. Waliamini kuwa Ubepari unawavua watu utu wao na kuwafanya watende matendo ambayo hayana chembe ya ubinadamu. Walishikilia kuwa Ubepari ni mfumo uliotovukwa na utu. Si ajabu kuwa mtu mmoja anaweza kuwa tajiri kupindukia katika mazingira ya kuzungukwa na mafukara milioni hamsini. Ukomunisti uliamini kuwa Ubepari ni mfumo hasi ambao hatimaye unaweza kuiangamiza nchi. Nchi zilizofuata siasa ya Ubepari na mfumo wa soko huria, zilikuwa na sababu zao.
Wao waliamini kuwa ukomunisti ulikuwa mfumo unaowatia raia kwenye kongwe kama watumwa. Walishikilia kuwa ukomunisti ulikuwa na imani potovu kuhusu umuhimu wa dini katika maisha ya binadamu. Kila binadamu anahitaji uhuru wa kuamua ataufuata mkondo upi wa mawazo na ataifuata dini ipi. Uhuru wa aina hii haupatikani katika nchi zilizofuata ukomunisti. Vilevile walishikilia kwamba dola haipaswi kufanya maamuzi yote kuyahusu maisa ya raia wake. Kila kiumbe ana uhuru wa kuama mambo yake ya kibinafsi. Kwa kiasi fulani waliopenda siasa ya Ubepari na soko huria waliakisi usemi wa mtaalamu mmoja aliyesema kuwa licha ya mtu kuzaliwa huru, kila mahali anaishi katika minyororo.
Kwa sasa ni muhali kusema wazi ni mfumo upi ambao ni aali kuliko mwingine. Mfumo wa Ubepari na ule wa som huria unampa mtu mwenye juhudi nafasi ya kujiendeleza kabisa bila ya kuwepo vizingiti. Shida ni kuwa kujiendeleza huku huenda pia kukahusisha hadaa na ghiliba katika biashara anayoifanya. Ukomunisti kwa upande wake unaudhibiti uhuru wa kibinafsi wa mtu sana. Kila binadamu huhitaji uhuru ili aweze kujiendeleza. Wakati uliotangulia husambaratika kwa mfumo huu uliotawaliwa na tuhuma na vita baridi baina ya mataifa yaliyopigia debe na yale yaliyoupinga. Tatizo jingine la Ubepari ni kuwa mataifa yenye uwezo huyaangamiza yale yasiyo nao.
| Wengi husema kuwa siasa ni nini | {
"text": [
"maisha"
]
} |
0954_swa | Wengi husema kuwa siasa ni maisha. Tangu nizaliwe, nilikuta siasa na hata wa leo siasa zingalipo. Kwa ufupi haziishi ila tu zinaweza kuchukua mifumo na maumbo mbalimbali kulingana na wakati,
Siasa ya ulimwengu ilibadilika pakubwa katika miaka ya mwanzoni mwa miaka ya tisini. Mfumo wa ukomunisti ulioshamiri katika mataifa ya Ulaya Mashariki ulisambaratika. Huu ni mfumo ambao ulikuwako kwa miaka mingi. Mfumo huu ulijengwa kwenye imani ya kuwa, mataifa yana jukumu kubwa la kuhakikisha kuwa pana usawa katika ugavi wa rasilimali za taifa linalohusika. Huduma nyingi za kijamii zilifuata mkondo wa maamuzi ya viongozi wa nchi na chama ambacho kilikuwa na satua kubwa juu yaraia.*
Mataifa mengi yaliyofuata mkondo huu wa siasa yaliamini kuwa yalitilia maanani utu na raia wake. Siasa ya ukomunisti iliamini kuwa siasa iliyoshika mizizi katika nchi za Ulaya ya Magharibi na Marekani, ya Ubepar. ilikuwa mbaya. Waliamini kuwa Ubepari unawavua watu utu wao na kuwafanya watende matendo ambayo hayana chembe ya ubinadamu. Walishikilia kuwa Ubepari ni mfumo uliotovukwa na utu. Si ajabu kuwa mtu mmoja anaweza kuwa tajiri kupindukia katika mazingira ya kuzungukwa na mafukara milioni hamsini. Ukomunisti uliamini kuwa Ubepari ni mfumo hasi ambao hatimaye unaweza kuiangamiza nchi. Nchi zilizofuata siasa ya Ubepari na mfumo wa soko huria, zilikuwa na sababu zao.
Wao waliamini kuwa ukomunisti ulikuwa mfumo unaowatia raia kwenye kongwe kama watumwa. Walishikilia kuwa ukomunisti ulikuwa na imani potovu kuhusu umuhimu wa dini katika maisha ya binadamu. Kila binadamu anahitaji uhuru wa kuamua ataufuata mkondo upi wa mawazo na ataifuata dini ipi. Uhuru wa aina hii haupatikani katika nchi zilizofuata ukomunisti. Vilevile walishikilia kwamba dola haipaswi kufanya maamuzi yote kuyahusu maisa ya raia wake. Kila kiumbe ana uhuru wa kuama mambo yake ya kibinafsi. Kwa kiasi fulani waliopenda siasa ya Ubepari na soko huria waliakisi usemi wa mtaalamu mmoja aliyesema kuwa licha ya mtu kuzaliwa huru, kila mahali anaishi katika minyororo.
Kwa sasa ni muhali kusema wazi ni mfumo upi ambao ni aali kuliko mwingine. Mfumo wa Ubepari na ule wa som huria unampa mtu mwenye juhudi nafasi ya kujiendeleza kabisa bila ya kuwepo vizingiti. Shida ni kuwa kujiendeleza huku huenda pia kukahusisha hadaa na ghiliba katika biashara anayoifanya. Ukomunisti kwa upande wake unaudhibiti uhuru wa kibinafsi wa mtu sana. Kila binadamu huhitaji uhuru ili aweze kujiendeleza. Wakati uliotangulia husambaratika kwa mfumo huu uliotawaliwa na tuhuma na vita baridi baina ya mataifa yaliyopigia debe na yale yaliyoupinga. Tatizo jingine la Ubepari ni kuwa mataifa yenye uwezo huyaangamiza yale yasiyo nao.
| Mfumo wa ukomunisti ulishamiri katika mataifa gani | {
"text": [
"ya Ulaya Mashariki"
]
} |
0954_swa | Wengi husema kuwa siasa ni maisha. Tangu nizaliwe, nilikuta siasa na hata wa leo siasa zingalipo. Kwa ufupi haziishi ila tu zinaweza kuchukua mifumo na maumbo mbalimbali kulingana na wakati,
Siasa ya ulimwengu ilibadilika pakubwa katika miaka ya mwanzoni mwa miaka ya tisini. Mfumo wa ukomunisti ulioshamiri katika mataifa ya Ulaya Mashariki ulisambaratika. Huu ni mfumo ambao ulikuwako kwa miaka mingi. Mfumo huu ulijengwa kwenye imani ya kuwa, mataifa yana jukumu kubwa la kuhakikisha kuwa pana usawa katika ugavi wa rasilimali za taifa linalohusika. Huduma nyingi za kijamii zilifuata mkondo wa maamuzi ya viongozi wa nchi na chama ambacho kilikuwa na satua kubwa juu yaraia.*
Mataifa mengi yaliyofuata mkondo huu wa siasa yaliamini kuwa yalitilia maanani utu na raia wake. Siasa ya ukomunisti iliamini kuwa siasa iliyoshika mizizi katika nchi za Ulaya ya Magharibi na Marekani, ya Ubepar. ilikuwa mbaya. Waliamini kuwa Ubepari unawavua watu utu wao na kuwafanya watende matendo ambayo hayana chembe ya ubinadamu. Walishikilia kuwa Ubepari ni mfumo uliotovukwa na utu. Si ajabu kuwa mtu mmoja anaweza kuwa tajiri kupindukia katika mazingira ya kuzungukwa na mafukara milioni hamsini. Ukomunisti uliamini kuwa Ubepari ni mfumo hasi ambao hatimaye unaweza kuiangamiza nchi. Nchi zilizofuata siasa ya Ubepari na mfumo wa soko huria, zilikuwa na sababu zao.
Wao waliamini kuwa ukomunisti ulikuwa mfumo unaowatia raia kwenye kongwe kama watumwa. Walishikilia kuwa ukomunisti ulikuwa na imani potovu kuhusu umuhimu wa dini katika maisha ya binadamu. Kila binadamu anahitaji uhuru wa kuamua ataufuata mkondo upi wa mawazo na ataifuata dini ipi. Uhuru wa aina hii haupatikani katika nchi zilizofuata ukomunisti. Vilevile walishikilia kwamba dola haipaswi kufanya maamuzi yote kuyahusu maisa ya raia wake. Kila kiumbe ana uhuru wa kuama mambo yake ya kibinafsi. Kwa kiasi fulani waliopenda siasa ya Ubepari na soko huria waliakisi usemi wa mtaalamu mmoja aliyesema kuwa licha ya mtu kuzaliwa huru, kila mahali anaishi katika minyororo.
Kwa sasa ni muhali kusema wazi ni mfumo upi ambao ni aali kuliko mwingine. Mfumo wa Ubepari na ule wa som huria unampa mtu mwenye juhudi nafasi ya kujiendeleza kabisa bila ya kuwepo vizingiti. Shida ni kuwa kujiendeleza huku huenda pia kukahusisha hadaa na ghiliba katika biashara anayoifanya. Ukomunisti kwa upande wake unaudhibiti uhuru wa kibinafsi wa mtu sana. Kila binadamu huhitaji uhuru ili aweze kujiendeleza. Wakati uliotangulia husambaratika kwa mfumo huu uliotawaliwa na tuhuma na vita baridi baina ya mataifa yaliyopigia debe na yale yaliyoupinga. Tatizo jingine la Ubepari ni kuwa mataifa yenye uwezo huyaangamiza yale yasiyo nao.
| Mataifa yaliyofuata mkondo wa ukomunisti waliamini ubepari unawavua watu nini | {
"text": [
"utu wao"
]
} |
0954_swa | Wengi husema kuwa siasa ni maisha. Tangu nizaliwe, nilikuta siasa na hata wa leo siasa zingalipo. Kwa ufupi haziishi ila tu zinaweza kuchukua mifumo na maumbo mbalimbali kulingana na wakati,
Siasa ya ulimwengu ilibadilika pakubwa katika miaka ya mwanzoni mwa miaka ya tisini. Mfumo wa ukomunisti ulioshamiri katika mataifa ya Ulaya Mashariki ulisambaratika. Huu ni mfumo ambao ulikuwako kwa miaka mingi. Mfumo huu ulijengwa kwenye imani ya kuwa, mataifa yana jukumu kubwa la kuhakikisha kuwa pana usawa katika ugavi wa rasilimali za taifa linalohusika. Huduma nyingi za kijamii zilifuata mkondo wa maamuzi ya viongozi wa nchi na chama ambacho kilikuwa na satua kubwa juu yaraia.*
Mataifa mengi yaliyofuata mkondo huu wa siasa yaliamini kuwa yalitilia maanani utu na raia wake. Siasa ya ukomunisti iliamini kuwa siasa iliyoshika mizizi katika nchi za Ulaya ya Magharibi na Marekani, ya Ubepar. ilikuwa mbaya. Waliamini kuwa Ubepari unawavua watu utu wao na kuwafanya watende matendo ambayo hayana chembe ya ubinadamu. Walishikilia kuwa Ubepari ni mfumo uliotovukwa na utu. Si ajabu kuwa mtu mmoja anaweza kuwa tajiri kupindukia katika mazingira ya kuzungukwa na mafukara milioni hamsini. Ukomunisti uliamini kuwa Ubepari ni mfumo hasi ambao hatimaye unaweza kuiangamiza nchi. Nchi zilizofuata siasa ya Ubepari na mfumo wa soko huria, zilikuwa na sababu zao.
Wao waliamini kuwa ukomunisti ulikuwa mfumo unaowatia raia kwenye kongwe kama watumwa. Walishikilia kuwa ukomunisti ulikuwa na imani potovu kuhusu umuhimu wa dini katika maisha ya binadamu. Kila binadamu anahitaji uhuru wa kuamua ataufuata mkondo upi wa mawazo na ataifuata dini ipi. Uhuru wa aina hii haupatikani katika nchi zilizofuata ukomunisti. Vilevile walishikilia kwamba dola haipaswi kufanya maamuzi yote kuyahusu maisa ya raia wake. Kila kiumbe ana uhuru wa kuama mambo yake ya kibinafsi. Kwa kiasi fulani waliopenda siasa ya Ubepari na soko huria waliakisi usemi wa mtaalamu mmoja aliyesema kuwa licha ya mtu kuzaliwa huru, kila mahali anaishi katika minyororo.
Kwa sasa ni muhali kusema wazi ni mfumo upi ambao ni aali kuliko mwingine. Mfumo wa Ubepari na ule wa som huria unampa mtu mwenye juhudi nafasi ya kujiendeleza kabisa bila ya kuwepo vizingiti. Shida ni kuwa kujiendeleza huku huenda pia kukahusisha hadaa na ghiliba katika biashara anayoifanya. Ukomunisti kwa upande wake unaudhibiti uhuru wa kibinafsi wa mtu sana. Kila binadamu huhitaji uhuru ili aweze kujiendeleza. Wakati uliotangulia husambaratika kwa mfumo huu uliotawaliwa na tuhuma na vita baridi baina ya mataifa yaliyopigia debe na yale yaliyoupinga. Tatizo jingine la Ubepari ni kuwa mataifa yenye uwezo huyaangamiza yale yasiyo nao.
| Siasa ya ulimwengu ilibadilika pakubwa lini | {
"text": [
"miaka ya mwanzoni"
]
} |
0954_swa | Wengi husema kuwa siasa ni maisha. Tangu nizaliwe, nilikuta siasa na hata wa leo siasa zingalipo. Kwa ufupi haziishi ila tu zinaweza kuchukua mifumo na maumbo mbalimbali kulingana na wakati,
Siasa ya ulimwengu ilibadilika pakubwa katika miaka ya mwanzoni mwa miaka ya tisini. Mfumo wa ukomunisti ulioshamiri katika mataifa ya Ulaya Mashariki ulisambaratika. Huu ni mfumo ambao ulikuwako kwa miaka mingi. Mfumo huu ulijengwa kwenye imani ya kuwa, mataifa yana jukumu kubwa la kuhakikisha kuwa pana usawa katika ugavi wa rasilimali za taifa linalohusika. Huduma nyingi za kijamii zilifuata mkondo wa maamuzi ya viongozi wa nchi na chama ambacho kilikuwa na satua kubwa juu yaraia.*
Mataifa mengi yaliyofuata mkondo huu wa siasa yaliamini kuwa yalitilia maanani utu na raia wake. Siasa ya ukomunisti iliamini kuwa siasa iliyoshika mizizi katika nchi za Ulaya ya Magharibi na Marekani, ya Ubepar. ilikuwa mbaya. Waliamini kuwa Ubepari unawavua watu utu wao na kuwafanya watende matendo ambayo hayana chembe ya ubinadamu. Walishikilia kuwa Ubepari ni mfumo uliotovukwa na utu. Si ajabu kuwa mtu mmoja anaweza kuwa tajiri kupindukia katika mazingira ya kuzungukwa na mafukara milioni hamsini. Ukomunisti uliamini kuwa Ubepari ni mfumo hasi ambao hatimaye unaweza kuiangamiza nchi. Nchi zilizofuata siasa ya Ubepari na mfumo wa soko huria, zilikuwa na sababu zao.
Wao waliamini kuwa ukomunisti ulikuwa mfumo unaowatia raia kwenye kongwe kama watumwa. Walishikilia kuwa ukomunisti ulikuwa na imani potovu kuhusu umuhimu wa dini katika maisha ya binadamu. Kila binadamu anahitaji uhuru wa kuamua ataufuata mkondo upi wa mawazo na ataifuata dini ipi. Uhuru wa aina hii haupatikani katika nchi zilizofuata ukomunisti. Vilevile walishikilia kwamba dola haipaswi kufanya maamuzi yote kuyahusu maisa ya raia wake. Kila kiumbe ana uhuru wa kuama mambo yake ya kibinafsi. Kwa kiasi fulani waliopenda siasa ya Ubepari na soko huria waliakisi usemi wa mtaalamu mmoja aliyesema kuwa licha ya mtu kuzaliwa huru, kila mahali anaishi katika minyororo.
Kwa sasa ni muhali kusema wazi ni mfumo upi ambao ni aali kuliko mwingine. Mfumo wa Ubepari na ule wa som huria unampa mtu mwenye juhudi nafasi ya kujiendeleza kabisa bila ya kuwepo vizingiti. Shida ni kuwa kujiendeleza huku huenda pia kukahusisha hadaa na ghiliba katika biashara anayoifanya. Ukomunisti kwa upande wake unaudhibiti uhuru wa kibinafsi wa mtu sana. Kila binadamu huhitaji uhuru ili aweze kujiendeleza. Wakati uliotangulia husambaratika kwa mfumo huu uliotawaliwa na tuhuma na vita baridi baina ya mataifa yaliyopigia debe na yale yaliyoupinga. Tatizo jingine la Ubepari ni kuwa mataifa yenye uwezo huyaangamiza yale yasiyo nao.
| Kwa nini walishikilia kuwa ubepari ni mfumo uliotovukwa na utu | {
"text": [
"mtu anaweza kuwa tajiri kupindukia katika mazingira ya mafukara"
]
} |
0955_swa | Bidii aliamini kuwa mtaka la waridi sharti adhurike. Hivyo basi baada ya kufuzu na kufaulu katika mtihani wake, hakujikalia ubwana. Alianza kutuma barua za maombi ya kazi katika idara mbalimbali za dola. Usisahau kuwa, kwenda bure si kukaa bure. Mwishowe alipata mwaliko wa kwenda kufanya usaili katika mji wa Rahaleo. Kazi ambayo alihojiwa juu yake ilikuwa ya donge nono. Ni gange ambayo ingembadilisha kama rangi ya lumbwi. Ilikuwa jahara kama pengo kuwa mashauo, mbwembwe, maringo na mikogo ndizo zingekuwa kitambulisho chake. Mipango yake hii aliifanya kisiri kwa kuwa hakuna aliyekuwa na mwao wa mahojiano yake haya. Hii ndiyo sababu aliifanya safari yake usiku wakati wengine walikuwa wamelala usingizi wapono.
Basi la usiku lingeondoka saa mbili na ushei, Bidii basi akanuma vitafunio vyake. Zilipofika saa mbili na dakika nane, basi likaanza kuchuana na kamba ndefu isiyoweza kufunga kuni.
Baada ya saa tatu hivi, dereva alilisimamisha basi katika kituo cha Tua. Hapa paliwapa abiria nafasi ya kununua vinywaji huku wengine wakienda msalani. Bidii alipoona kuwa wengine wote walikuwa wameshuka, hata yeye alitoka. Alienda hotelini na kuagiza mtindi ale pamoja na kimanda. Alikivamia kimanda kile jinsi kiwavi anavyoguguna shamba la mpunga. Wengi walishangaa kwa kuwa, kimanda hicho kilikuwa cha yai la mbuni. Baada ya kula kimanda chake, aliteremsha kwa mtindi wake na akawa tayari kwa safari. Hatimaye basi lilianza safari.
Kutokana na nguvu nyingi za chakula alichokula, jasho lilianza kumtoka. Tumbo nalo likaanza kumchafuka. Alianza kuhangaika kama nondo aliyetumbukia taani. Lisilo budi hubidi. Aliamua kumwomba dereva kulisimamisha gari ili aende pembeni. Dereva naye aliongeza kasi kwa kuwa alihofia Bidii alikuwa pwagu aliyetaka gari lisimame ili wenzake wawashambulie abiria.
Baada ya kuumia sana, Bidii alianza kutapika. Dereva kuona hivyo hakuwa na jingine ila kulisimamisha gari. Aliliegesha kando na kumwomba Bidii kushuka ili apate nafasi ya kujisaidia. Naye Bidii kupata nafasi hiyo, alifyatuka karna mshale wa msasi mwenye kisasi. Alikimbia msituni ili kujisaidia. Kwa bahati mbaya, alimkanyaga kuchakulo aliyemrushia maji yenye uvundo alioshindwa hata yeye mwenyewe (Bidii) kuvumilia.
| Nani aliamini kuwa mtaka la waridi sharti adhurike | {
"text": [
"Bidii"
]
} |
0955_swa | Bidii aliamini kuwa mtaka la waridi sharti adhurike. Hivyo basi baada ya kufuzu na kufaulu katika mtihani wake, hakujikalia ubwana. Alianza kutuma barua za maombi ya kazi katika idara mbalimbali za dola. Usisahau kuwa, kwenda bure si kukaa bure. Mwishowe alipata mwaliko wa kwenda kufanya usaili katika mji wa Rahaleo. Kazi ambayo alihojiwa juu yake ilikuwa ya donge nono. Ni gange ambayo ingembadilisha kama rangi ya lumbwi. Ilikuwa jahara kama pengo kuwa mashauo, mbwembwe, maringo na mikogo ndizo zingekuwa kitambulisho chake. Mipango yake hii aliifanya kisiri kwa kuwa hakuna aliyekuwa na mwao wa mahojiano yake haya. Hii ndiyo sababu aliifanya safari yake usiku wakati wengine walikuwa wamelala usingizi wapono.
Basi la usiku lingeondoka saa mbili na ushei, Bidii basi akanuma vitafunio vyake. Zilipofika saa mbili na dakika nane, basi likaanza kuchuana na kamba ndefu isiyoweza kufunga kuni.
Baada ya saa tatu hivi, dereva alilisimamisha basi katika kituo cha Tua. Hapa paliwapa abiria nafasi ya kununua vinywaji huku wengine wakienda msalani. Bidii alipoona kuwa wengine wote walikuwa wameshuka, hata yeye alitoka. Alienda hotelini na kuagiza mtindi ale pamoja na kimanda. Alikivamia kimanda kile jinsi kiwavi anavyoguguna shamba la mpunga. Wengi walishangaa kwa kuwa, kimanda hicho kilikuwa cha yai la mbuni. Baada ya kula kimanda chake, aliteremsha kwa mtindi wake na akawa tayari kwa safari. Hatimaye basi lilianza safari.
Kutokana na nguvu nyingi za chakula alichokula, jasho lilianza kumtoka. Tumbo nalo likaanza kumchafuka. Alianza kuhangaika kama nondo aliyetumbukia taani. Lisilo budi hubidi. Aliamua kumwomba dereva kulisimamisha gari ili aende pembeni. Dereva naye aliongeza kasi kwa kuwa alihofia Bidii alikuwa pwagu aliyetaka gari lisimame ili wenzake wawashambulie abiria.
Baada ya kuumia sana, Bidii alianza kutapika. Dereva kuona hivyo hakuwa na jingine ila kulisimamisha gari. Aliliegesha kando na kumwomba Bidii kushuka ili apate nafasi ya kujisaidia. Naye Bidii kupata nafasi hiyo, alifyatuka karna mshale wa msasi mwenye kisasi. Alikimbia msituni ili kujisaidia. Kwa bahati mbaya, alimkanyaga kuchakulo aliyemrushia maji yenye uvundo alioshindwa hata yeye mwenyewe (Bidii) kuvumilia.
| Bidii alifanya usaili katika mji upi | {
"text": [
"Rahaleo"
]
} |
0955_swa | Bidii aliamini kuwa mtaka la waridi sharti adhurike. Hivyo basi baada ya kufuzu na kufaulu katika mtihani wake, hakujikalia ubwana. Alianza kutuma barua za maombi ya kazi katika idara mbalimbali za dola. Usisahau kuwa, kwenda bure si kukaa bure. Mwishowe alipata mwaliko wa kwenda kufanya usaili katika mji wa Rahaleo. Kazi ambayo alihojiwa juu yake ilikuwa ya donge nono. Ni gange ambayo ingembadilisha kama rangi ya lumbwi. Ilikuwa jahara kama pengo kuwa mashauo, mbwembwe, maringo na mikogo ndizo zingekuwa kitambulisho chake. Mipango yake hii aliifanya kisiri kwa kuwa hakuna aliyekuwa na mwao wa mahojiano yake haya. Hii ndiyo sababu aliifanya safari yake usiku wakati wengine walikuwa wamelala usingizi wapono.
Basi la usiku lingeondoka saa mbili na ushei, Bidii basi akanuma vitafunio vyake. Zilipofika saa mbili na dakika nane, basi likaanza kuchuana na kamba ndefu isiyoweza kufunga kuni.
Baada ya saa tatu hivi, dereva alilisimamisha basi katika kituo cha Tua. Hapa paliwapa abiria nafasi ya kununua vinywaji huku wengine wakienda msalani. Bidii alipoona kuwa wengine wote walikuwa wameshuka, hata yeye alitoka. Alienda hotelini na kuagiza mtindi ale pamoja na kimanda. Alikivamia kimanda kile jinsi kiwavi anavyoguguna shamba la mpunga. Wengi walishangaa kwa kuwa, kimanda hicho kilikuwa cha yai la mbuni. Baada ya kula kimanda chake, aliteremsha kwa mtindi wake na akawa tayari kwa safari. Hatimaye basi lilianza safari.
Kutokana na nguvu nyingi za chakula alichokula, jasho lilianza kumtoka. Tumbo nalo likaanza kumchafuka. Alianza kuhangaika kama nondo aliyetumbukia taani. Lisilo budi hubidi. Aliamua kumwomba dereva kulisimamisha gari ili aende pembeni. Dereva naye aliongeza kasi kwa kuwa alihofia Bidii alikuwa pwagu aliyetaka gari lisimame ili wenzake wawashambulie abiria.
Baada ya kuumia sana, Bidii alianza kutapika. Dereva kuona hivyo hakuwa na jingine ila kulisimamisha gari. Aliliegesha kando na kumwomba Bidii kushuka ili apate nafasi ya kujisaidia. Naye Bidii kupata nafasi hiyo, alifyatuka karna mshale wa msasi mwenye kisasi. Alikimbia msituni ili kujisaidia. Kwa bahati mbaya, alimkanyaga kuchakulo aliyemrushia maji yenye uvundo alioshindwa hata yeye mwenyewe (Bidii) kuvumilia.
| Gange aliyohojiwa Bidii ingembadilisha kama rangi ya nini | {
"text": [
"Lumbwi"
]
} |
0955_swa | Bidii aliamini kuwa mtaka la waridi sharti adhurike. Hivyo basi baada ya kufuzu na kufaulu katika mtihani wake, hakujikalia ubwana. Alianza kutuma barua za maombi ya kazi katika idara mbalimbali za dola. Usisahau kuwa, kwenda bure si kukaa bure. Mwishowe alipata mwaliko wa kwenda kufanya usaili katika mji wa Rahaleo. Kazi ambayo alihojiwa juu yake ilikuwa ya donge nono. Ni gange ambayo ingembadilisha kama rangi ya lumbwi. Ilikuwa jahara kama pengo kuwa mashauo, mbwembwe, maringo na mikogo ndizo zingekuwa kitambulisho chake. Mipango yake hii aliifanya kisiri kwa kuwa hakuna aliyekuwa na mwao wa mahojiano yake haya. Hii ndiyo sababu aliifanya safari yake usiku wakati wengine walikuwa wamelala usingizi wapono.
Basi la usiku lingeondoka saa mbili na ushei, Bidii basi akanuma vitafunio vyake. Zilipofika saa mbili na dakika nane, basi likaanza kuchuana na kamba ndefu isiyoweza kufunga kuni.
Baada ya saa tatu hivi, dereva alilisimamisha basi katika kituo cha Tua. Hapa paliwapa abiria nafasi ya kununua vinywaji huku wengine wakienda msalani. Bidii alipoona kuwa wengine wote walikuwa wameshuka, hata yeye alitoka. Alienda hotelini na kuagiza mtindi ale pamoja na kimanda. Alikivamia kimanda kile jinsi kiwavi anavyoguguna shamba la mpunga. Wengi walishangaa kwa kuwa, kimanda hicho kilikuwa cha yai la mbuni. Baada ya kula kimanda chake, aliteremsha kwa mtindi wake na akawa tayari kwa safari. Hatimaye basi lilianza safari.
Kutokana na nguvu nyingi za chakula alichokula, jasho lilianza kumtoka. Tumbo nalo likaanza kumchafuka. Alianza kuhangaika kama nondo aliyetumbukia taani. Lisilo budi hubidi. Aliamua kumwomba dereva kulisimamisha gari ili aende pembeni. Dereva naye aliongeza kasi kwa kuwa alihofia Bidii alikuwa pwagu aliyetaka gari lisimame ili wenzake wawashambulie abiria.
Baada ya kuumia sana, Bidii alianza kutapika. Dereva kuona hivyo hakuwa na jingine ila kulisimamisha gari. Aliliegesha kando na kumwomba Bidii kushuka ili apate nafasi ya kujisaidia. Naye Bidii kupata nafasi hiyo, alifyatuka karna mshale wa msasi mwenye kisasi. Alikimbia msituni ili kujisaidia. Kwa bahati mbaya, alimkanyaga kuchakulo aliyemrushia maji yenye uvundo alioshindwa hata yeye mwenyewe (Bidii) kuvumilia.
| Basi alilotumia Bidii kusafiri lilianza safari saa ngapi | {
"text": [
"Saa mbili na dakika nane"
]
} |
0955_swa | Bidii aliamini kuwa mtaka la waridi sharti adhurike. Hivyo basi baada ya kufuzu na kufaulu katika mtihani wake, hakujikalia ubwana. Alianza kutuma barua za maombi ya kazi katika idara mbalimbali za dola. Usisahau kuwa, kwenda bure si kukaa bure. Mwishowe alipata mwaliko wa kwenda kufanya usaili katika mji wa Rahaleo. Kazi ambayo alihojiwa juu yake ilikuwa ya donge nono. Ni gange ambayo ingembadilisha kama rangi ya lumbwi. Ilikuwa jahara kama pengo kuwa mashauo, mbwembwe, maringo na mikogo ndizo zingekuwa kitambulisho chake. Mipango yake hii aliifanya kisiri kwa kuwa hakuna aliyekuwa na mwao wa mahojiano yake haya. Hii ndiyo sababu aliifanya safari yake usiku wakati wengine walikuwa wamelala usingizi wapono.
Basi la usiku lingeondoka saa mbili na ushei, Bidii basi akanuma vitafunio vyake. Zilipofika saa mbili na dakika nane, basi likaanza kuchuana na kamba ndefu isiyoweza kufunga kuni.
Baada ya saa tatu hivi, dereva alilisimamisha basi katika kituo cha Tua. Hapa paliwapa abiria nafasi ya kununua vinywaji huku wengine wakienda msalani. Bidii alipoona kuwa wengine wote walikuwa wameshuka, hata yeye alitoka. Alienda hotelini na kuagiza mtindi ale pamoja na kimanda. Alikivamia kimanda kile jinsi kiwavi anavyoguguna shamba la mpunga. Wengi walishangaa kwa kuwa, kimanda hicho kilikuwa cha yai la mbuni. Baada ya kula kimanda chake, aliteremsha kwa mtindi wake na akawa tayari kwa safari. Hatimaye basi lilianza safari.
Kutokana na nguvu nyingi za chakula alichokula, jasho lilianza kumtoka. Tumbo nalo likaanza kumchafuka. Alianza kuhangaika kama nondo aliyetumbukia taani. Lisilo budi hubidi. Aliamua kumwomba dereva kulisimamisha gari ili aende pembeni. Dereva naye aliongeza kasi kwa kuwa alihofia Bidii alikuwa pwagu aliyetaka gari lisimame ili wenzake wawashambulie abiria.
Baada ya kuumia sana, Bidii alianza kutapika. Dereva kuona hivyo hakuwa na jingine ila kulisimamisha gari. Aliliegesha kando na kumwomba Bidii kushuka ili apate nafasi ya kujisaidia. Naye Bidii kupata nafasi hiyo, alifyatuka karna mshale wa msasi mwenye kisasi. Alikimbia msituni ili kujisaidia. Kwa bahati mbaya, alimkanyaga kuchakulo aliyemrushia maji yenye uvundo alioshindwa hata yeye mwenyewe (Bidii) kuvumilia.
| Dereva alisimamisha gari katika kituo kipi | {
"text": [
"Tua"
]
} |
0956_swa | Wenyeji wa kitongoji cha Kibwareng wana umoja mithili ya siafu. Wao hushirikiana bega kwa bega wakati wa shida na wakati wa raha. Mmoja wao anapocheka, hucheka naye pamoja, anapolia pia hulia naye. Huo ndio undugu wa kufaana sio kufanana. Wanaaminiana na kudhaminiana kwa hali na mali. Wanaelewa fika maana ya methali kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Ole wako ikiwa utafika kijijini humo ukiwa na nia mbaya au azma ya kumhujumu mmoja wao. Hii itakuwa sawa na kutia kichwa chako kinywani mwa simba.
Ulikuwa usiku wa manane, usiku tulivu na shwari wenye giza la kaniki. Ungepita pale kijijini, kile ungesikia tu ni misono na mikoromo ya waliokuwa wakifurahia lepe lao la usingizi baada ya kuchapa kazi mchana kutwa. Lau isingalikuwa hiyo miforoto, ungelidhani sehemu hiyo ni ganjo.
Ni wakati kama huu ambao wale wanaopenda kuvuna wasipopanda hutekeleza yao. Ghafia bin vuu, kamsa zilizohanikiza hewani kutoka upande wa nyumba ya Mzee Magongo ziliwaalika wenyeji kwa kasi ya umeme. Kufumba na kufumbua, walikuwa wamezingira nyumba hiyo huku wamejihami kwa kila aina ya silaha ili kukabiliana na nduli barabara. Humo ndani genge la majambazi lilikuwa katika pilka pilka za kuvikusanya vyombo vya thamani vya mzee Magongo. Magongo na mkewe walikuwa wamelala twa. Jambazi moja liliwasimamia likiwa na sime mkononi. Wakaanza kuona kwamba kamba yao ya uhai inatishia kukatika.
Punde tu majambazi walipotoka, walikutana ana kwa ana na kikosi cha wanajeshi. Vita vikali vikazuka baina ya wanajeshi na majambazi hao. Majambazi walizidiwa nguvu wakasalimu amri. Wale ambao hawakuwa na bahati walifumwa mishale na mikuki na hivyo kuenda jongomeo. Maiti hao walipelekwa hadi makafani. Waliotoroka walinaswa na kutiwa mbaroni. Ama kwa kweli, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Ni kina nani wana umoja mithili ya siafu | {
"text": [
"Wenyeji wa kitongoji cha kibwareng"
]
} |
0956_swa | Wenyeji wa kitongoji cha Kibwareng wana umoja mithili ya siafu. Wao hushirikiana bega kwa bega wakati wa shida na wakati wa raha. Mmoja wao anapocheka, hucheka naye pamoja, anapolia pia hulia naye. Huo ndio undugu wa kufaana sio kufanana. Wanaaminiana na kudhaminiana kwa hali na mali. Wanaelewa fika maana ya methali kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Ole wako ikiwa utafika kijijini humo ukiwa na nia mbaya au azma ya kumhujumu mmoja wao. Hii itakuwa sawa na kutia kichwa chako kinywani mwa simba.
Ulikuwa usiku wa manane, usiku tulivu na shwari wenye giza la kaniki. Ungepita pale kijijini, kile ungesikia tu ni misono na mikoromo ya waliokuwa wakifurahia lepe lao la usingizi baada ya kuchapa kazi mchana kutwa. Lau isingalikuwa hiyo miforoto, ungelidhani sehemu hiyo ni ganjo.
Ni wakati kama huu ambao wale wanaopenda kuvuna wasipopanda hutekeleza yao. Ghafia bin vuu, kamsa zilizohanikiza hewani kutoka upande wa nyumba ya Mzee Magongo ziliwaalika wenyeji kwa kasi ya umeme. Kufumba na kufumbua, walikuwa wamezingira nyumba hiyo huku wamejihami kwa kila aina ya silaha ili kukabiliana na nduli barabara. Humo ndani genge la majambazi lilikuwa katika pilka pilka za kuvikusanya vyombo vya thamani vya mzee Magongo. Magongo na mkewe walikuwa wamelala twa. Jambazi moja liliwasimamia likiwa na sime mkononi. Wakaanza kuona kwamba kamba yao ya uhai inatishia kukatika.
Punde tu majambazi walipotoka, walikutana ana kwa ana na kikosi cha wanajeshi. Vita vikali vikazuka baina ya wanajeshi na majambazi hao. Majambazi walizidiwa nguvu wakasalimu amri. Wale ambao hawakuwa na bahati walifumwa mishale na mikuki na hivyo kuenda jongomeo. Maiti hao walipelekwa hadi makafani. Waliotoroka walinaswa na kutiwa mbaroni. Ama kwa kweli, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Wao hushirikiana vipi | {
"text": [
"Bega kwa bega"
]
} |
0956_swa | Wenyeji wa kitongoji cha Kibwareng wana umoja mithili ya siafu. Wao hushirikiana bega kwa bega wakati wa shida na wakati wa raha. Mmoja wao anapocheka, hucheka naye pamoja, anapolia pia hulia naye. Huo ndio undugu wa kufaana sio kufanana. Wanaaminiana na kudhaminiana kwa hali na mali. Wanaelewa fika maana ya methali kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Ole wako ikiwa utafika kijijini humo ukiwa na nia mbaya au azma ya kumhujumu mmoja wao. Hii itakuwa sawa na kutia kichwa chako kinywani mwa simba.
Ulikuwa usiku wa manane, usiku tulivu na shwari wenye giza la kaniki. Ungepita pale kijijini, kile ungesikia tu ni misono na mikoromo ya waliokuwa wakifurahia lepe lao la usingizi baada ya kuchapa kazi mchana kutwa. Lau isingalikuwa hiyo miforoto, ungelidhani sehemu hiyo ni ganjo.
Ni wakati kama huu ambao wale wanaopenda kuvuna wasipopanda hutekeleza yao. Ghafia bin vuu, kamsa zilizohanikiza hewani kutoka upande wa nyumba ya Mzee Magongo ziliwaalika wenyeji kwa kasi ya umeme. Kufumba na kufumbua, walikuwa wamezingira nyumba hiyo huku wamejihami kwa kila aina ya silaha ili kukabiliana na nduli barabara. Humo ndani genge la majambazi lilikuwa katika pilka pilka za kuvikusanya vyombo vya thamani vya mzee Magongo. Magongo na mkewe walikuwa wamelala twa. Jambazi moja liliwasimamia likiwa na sime mkononi. Wakaanza kuona kwamba kamba yao ya uhai inatishia kukatika.
Punde tu majambazi walipotoka, walikutana ana kwa ana na kikosi cha wanajeshi. Vita vikali vikazuka baina ya wanajeshi na majambazi hao. Majambazi walizidiwa nguvu wakasalimu amri. Wale ambao hawakuwa na bahati walifumwa mishale na mikuki na hivyo kuenda jongomeo. Maiti hao walipelekwa hadi makafani. Waliotoroka walinaswa na kutiwa mbaroni. Ama kwa kweli, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Ni nini hakivunji chawa | {
"text": [
"Kidole kimoja"
]
} |
0956_swa | Wenyeji wa kitongoji cha Kibwareng wana umoja mithili ya siafu. Wao hushirikiana bega kwa bega wakati wa shida na wakati wa raha. Mmoja wao anapocheka, hucheka naye pamoja, anapolia pia hulia naye. Huo ndio undugu wa kufaana sio kufanana. Wanaaminiana na kudhaminiana kwa hali na mali. Wanaelewa fika maana ya methali kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Ole wako ikiwa utafika kijijini humo ukiwa na nia mbaya au azma ya kumhujumu mmoja wao. Hii itakuwa sawa na kutia kichwa chako kinywani mwa simba.
Ulikuwa usiku wa manane, usiku tulivu na shwari wenye giza la kaniki. Ungepita pale kijijini, kile ungesikia tu ni misono na mikoromo ya waliokuwa wakifurahia lepe lao la usingizi baada ya kuchapa kazi mchana kutwa. Lau isingalikuwa hiyo miforoto, ungelidhani sehemu hiyo ni ganjo.
Ni wakati kama huu ambao wale wanaopenda kuvuna wasipopanda hutekeleza yao. Ghafia bin vuu, kamsa zilizohanikiza hewani kutoka upande wa nyumba ya Mzee Magongo ziliwaalika wenyeji kwa kasi ya umeme. Kufumba na kufumbua, walikuwa wamezingira nyumba hiyo huku wamejihami kwa kila aina ya silaha ili kukabiliana na nduli barabara. Humo ndani genge la majambazi lilikuwa katika pilka pilka za kuvikusanya vyombo vya thamani vya mzee Magongo. Magongo na mkewe walikuwa wamelala twa. Jambazi moja liliwasimamia likiwa na sime mkononi. Wakaanza kuona kwamba kamba yao ya uhai inatishia kukatika.
Punde tu majambazi walipotoka, walikutana ana kwa ana na kikosi cha wanajeshi. Vita vikali vikazuka baina ya wanajeshi na majambazi hao. Majambazi walizidiwa nguvu wakasalimu amri. Wale ambao hawakuwa na bahati walifumwa mishale na mikuki na hivyo kuenda jongomeo. Maiti hao walipelekwa hadi makafani. Waliotoroka walinaswa na kutiwa mbaroni. Ama kwa kweli, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Nini kilizuka baina ya wanajeshi na majambazi | {
"text": [
"Vita vikali"
]
} |
0956_swa | Wenyeji wa kitongoji cha Kibwareng wana umoja mithili ya siafu. Wao hushirikiana bega kwa bega wakati wa shida na wakati wa raha. Mmoja wao anapocheka, hucheka naye pamoja, anapolia pia hulia naye. Huo ndio undugu wa kufaana sio kufanana. Wanaaminiana na kudhaminiana kwa hali na mali. Wanaelewa fika maana ya methali kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Ole wako ikiwa utafika kijijini humo ukiwa na nia mbaya au azma ya kumhujumu mmoja wao. Hii itakuwa sawa na kutia kichwa chako kinywani mwa simba.
Ulikuwa usiku wa manane, usiku tulivu na shwari wenye giza la kaniki. Ungepita pale kijijini, kile ungesikia tu ni misono na mikoromo ya waliokuwa wakifurahia lepe lao la usingizi baada ya kuchapa kazi mchana kutwa. Lau isingalikuwa hiyo miforoto, ungelidhani sehemu hiyo ni ganjo.
Ni wakati kama huu ambao wale wanaopenda kuvuna wasipopanda hutekeleza yao. Ghafia bin vuu, kamsa zilizohanikiza hewani kutoka upande wa nyumba ya Mzee Magongo ziliwaalika wenyeji kwa kasi ya umeme. Kufumba na kufumbua, walikuwa wamezingira nyumba hiyo huku wamejihami kwa kila aina ya silaha ili kukabiliana na nduli barabara. Humo ndani genge la majambazi lilikuwa katika pilka pilka za kuvikusanya vyombo vya thamani vya mzee Magongo. Magongo na mkewe walikuwa wamelala twa. Jambazi moja liliwasimamia likiwa na sime mkononi. Wakaanza kuona kwamba kamba yao ya uhai inatishia kukatika.
Punde tu majambazi walipotoka, walikutana ana kwa ana na kikosi cha wanajeshi. Vita vikali vikazuka baina ya wanajeshi na majambazi hao. Majambazi walizidiwa nguvu wakasalimu amri. Wale ambao hawakuwa na bahati walifumwa mishale na mikuki na hivyo kuenda jongomeo. Maiti hao walipelekwa hadi makafani. Waliotoroka walinaswa na kutiwa mbaroni. Ama kwa kweli, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
| Nani walikuwa wamelala twa | {
"text": [
"Magongo na mkewe"
]
} |
0957_swa | Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41 - 50.
Msimu wa masika ulipofika waja walizipanda mbegu zao katika makunde yaliyokuwa
yametayarishwa mnamo majira ya chaka. Takriban baada ya wiki tatu miche ilianza kupaliliwa. Aghalabu mimea ya mihindi hupaliliwa baada ya majuma mawili tangu ichipuke. Mvua iliendelea kunyesha nayo mimea ikazidi kunawiri. Urefu wa mimea ulifikia kimo cha magoti ya mtu mkubwa. Hapo ndipo mazuri yalipofikia tamati. Mvua ilizidi kiasi. Bila shaka chochote kizuri kikizidi huwa sumu. Vijito viligeuka kuwa majito. Sehemu kavu tambarare ziligeuka kuwa maziwa. Mmomonyoko wa udongo ulizikumba sehernu nyingi hususan maeneo ya miteremko.
Mbali na uharibifu wa mimea, makao ya watu vilevile hayakuonewa huruma. Wanyama wengi wa kufugwa walisombwa na maji na kuangamia. Waja waliyapoteza mali yao lakini wakashukuru Mola kwa kuyanusuru maisha yao. Ama kweli, heri nusu shari kuliko shari kamili. Mvua ilinyesha mfululizo kwa juma moja unusu. Watu walipumua wakadhani matatizo yamefika kikomo. Walianza kukadiria na kukisia hasara iliyosababishwa na mvua. Kumbe huo ulikuwa ni mwanzo wa ngoma. Hiyo ilikuwa ni lele tu. Maafa yaliyofuata mafuriko ndiyo yaliyopita mipaka. Maradhi ya kuhara na kutapika yalilikumba jimbo lote zima. Wengi wa watu waliugua ndwele hizo za kutisha.
Ilikuwa vigumu kuhudumia wahasiriwa kikamilifu kwani miundo msingi ilikuwa
imeathiriwa. Wahenga walinena hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Uchechefu wa chakula ukawa ni janga jingine. Watu sisisi walikuwa wakilala katika maeneo wazi. Baridi shadidi iliwasinya nao mbu waliwafyonza damu bila huruma. Hebu fikira hali ya mtu anayeendesha ajabil, hana malazi, hana makazi na wakati uo huo, anashambuliwa na mbu. Ukawa ni msumari moto juu ya jeraha.
Serikali iliingilia kati kujaribu angaa kunusuru meli ambayo tayari ilikuwa imegonga mwamba. Kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, basi meli licha ya kugonga mwamba haikuzama. Abiria wote waliokolewa na misaada ya kila nui ilitolewa.
41. Msimu wa masika ni wakati wa
A. jua jingi
B. mvua za rasha rasha
C. mvua nyingi
D. majanga mengi.
42. Mashamba yalitayarishwa kwa upanzi msimu
upi?
A. Mchoo
B. Vuli
C. Kiangazi
D. Vichaka
43. Mahindi yanapochipuka hupaliliwa baada ya
kipindi cha
A. majuma mawili
B. wiki moja
C. siku kumi na mbili
D. wiki tatu
46. Mvua ilinyesha kidindia kwa muda wa
A. siku kumi na nne.
B.juma moja na nusu.
C. mwezi mmoja.
D. majuma mawili.
47. Ni maeneo yapi yaliathiriwa zaidi na
mmomonyoko wa udongo?
A. Maeneo ya nyanda
B. Maeneo tambarare
C. Maeneo ya vilima
D. Maeneo ya miteremko
48. "Serikali ina mkono mrefu." Ni ipi maana ya
kifungu hiki?
A. Serikali ina uwezo mkubwa.
B. Serikali haijali chochote.
C. Serikali huvaa nguo zenye mikono
mirefu
D. Serikali inachukia mvua.
44. Kauli ipi iliyo sahihi?
A. Mvua ilikuwa baraka mwanzoni.
B. Mvua haikuharibu nyumba za watu.
C. Mvua ilisababisha maafa tangu
mwanzo hadi tamati.
D. Mvua ilikuja msimu wa kiangazi.
45. Kwa nini ilikuwa vigumu kuhudumia
wagonjwa?
A. Hakukuwa na dawa za kutosha.
B. Hata wauguzi nao waliathiriwa.
C. Barabara za kuwafikia na kuzifikia
hospitali ziliharibiwa.
D. Wagonjwa hawakuwa na makao.
49. Mbali na tatizo la ugonjwa waathirwa
walikumbwa na tatizo lipi jingine?
A. Njaa na ajali za meli
B. Baridi na maumivu.
C. Wizi na mbu
D. Njaa na uhaba wa makazi.
50. Serikali iliingilia kati kufanya lipi?
A. Kuzuia meli isizame.
B. Kuwakamata wahalifu.
C. Kusimamisha mvua.
D. Kuwaokoa wahasiriwa wa janga la
gharika.
LYNK DARASA LA SABA
| Nani walipanda mbegu zao | {
"text": [
"Waja"
]
} |
0957_swa | Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41 - 50.
Msimu wa masika ulipofika waja walizipanda mbegu zao katika makunde yaliyokuwa
yametayarishwa mnamo majira ya chaka. Takriban baada ya wiki tatu miche ilianza kupaliliwa. Aghalabu mimea ya mihindi hupaliliwa baada ya majuma mawili tangu ichipuke. Mvua iliendelea kunyesha nayo mimea ikazidi kunawiri. Urefu wa mimea ulifikia kimo cha magoti ya mtu mkubwa. Hapo ndipo mazuri yalipofikia tamati. Mvua ilizidi kiasi. Bila shaka chochote kizuri kikizidi huwa sumu. Vijito viligeuka kuwa majito. Sehemu kavu tambarare ziligeuka kuwa maziwa. Mmomonyoko wa udongo ulizikumba sehernu nyingi hususan maeneo ya miteremko.
Mbali na uharibifu wa mimea, makao ya watu vilevile hayakuonewa huruma. Wanyama wengi wa kufugwa walisombwa na maji na kuangamia. Waja waliyapoteza mali yao lakini wakashukuru Mola kwa kuyanusuru maisha yao. Ama kweli, heri nusu shari kuliko shari kamili. Mvua ilinyesha mfululizo kwa juma moja unusu. Watu walipumua wakadhani matatizo yamefika kikomo. Walianza kukadiria na kukisia hasara iliyosababishwa na mvua. Kumbe huo ulikuwa ni mwanzo wa ngoma. Hiyo ilikuwa ni lele tu. Maafa yaliyofuata mafuriko ndiyo yaliyopita mipaka. Maradhi ya kuhara na kutapika yalilikumba jimbo lote zima. Wengi wa watu waliugua ndwele hizo za kutisha.
Ilikuwa vigumu kuhudumia wahasiriwa kikamilifu kwani miundo msingi ilikuwa
imeathiriwa. Wahenga walinena hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Uchechefu wa chakula ukawa ni janga jingine. Watu sisisi walikuwa wakilala katika maeneo wazi. Baridi shadidi iliwasinya nao mbu waliwafyonza damu bila huruma. Hebu fikira hali ya mtu anayeendesha ajabil, hana malazi, hana makazi na wakati uo huo, anashambuliwa na mbu. Ukawa ni msumari moto juu ya jeraha.
Serikali iliingilia kati kujaribu angaa kunusuru meli ambayo tayari ilikuwa imegonga mwamba. Kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, basi meli licha ya kugonga mwamba haikuzama. Abiria wote waliokolewa na misaada ya kila nui ilitolewa.
41. Msimu wa masika ni wakati wa
A. jua jingi
B. mvua za rasha rasha
C. mvua nyingi
D. majanga mengi.
42. Mashamba yalitayarishwa kwa upanzi msimu
upi?
A. Mchoo
B. Vuli
C. Kiangazi
D. Vichaka
43. Mahindi yanapochipuka hupaliliwa baada ya
kipindi cha
A. majuma mawili
B. wiki moja
C. siku kumi na mbili
D. wiki tatu
46. Mvua ilinyesha kidindia kwa muda wa
A. siku kumi na nne.
B.juma moja na nusu.
C. mwezi mmoja.
D. majuma mawili.
47. Ni maeneo yapi yaliathiriwa zaidi na
mmomonyoko wa udongo?
A. Maeneo ya nyanda
B. Maeneo tambarare
C. Maeneo ya vilima
D. Maeneo ya miteremko
48. "Serikali ina mkono mrefu." Ni ipi maana ya
kifungu hiki?
A. Serikali ina uwezo mkubwa.
B. Serikali haijali chochote.
C. Serikali huvaa nguo zenye mikono
mirefu
D. Serikali inachukia mvua.
44. Kauli ipi iliyo sahihi?
A. Mvua ilikuwa baraka mwanzoni.
B. Mvua haikuharibu nyumba za watu.
C. Mvua ilisababisha maafa tangu
mwanzo hadi tamati.
D. Mvua ilikuja msimu wa kiangazi.
45. Kwa nini ilikuwa vigumu kuhudumia
wagonjwa?
A. Hakukuwa na dawa za kutosha.
B. Hata wauguzi nao waliathiriwa.
C. Barabara za kuwafikia na kuzifikia
hospitali ziliharibiwa.
D. Wagonjwa hawakuwa na makao.
49. Mbali na tatizo la ugonjwa waathirwa
walikumbwa na tatizo lipi jingine?
A. Njaa na ajali za meli
B. Baridi na maumivu.
C. Wizi na mbu
D. Njaa na uhaba wa makazi.
50. Serikali iliingilia kati kufanya lipi?
A. Kuzuia meli isizame.
B. Kuwakamata wahalifu.
C. Kusimamisha mvua.
D. Kuwaokoa wahasiriwa wa janga la
gharika.
LYNK DARASA LA SABA
| Waja walizipanda mbegu zao msimu gani | {
"text": [
"Wa masika"
]
} |
0957_swa | Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41 - 50.
Msimu wa masika ulipofika waja walizipanda mbegu zao katika makunde yaliyokuwa
yametayarishwa mnamo majira ya chaka. Takriban baada ya wiki tatu miche ilianza kupaliliwa. Aghalabu mimea ya mihindi hupaliliwa baada ya majuma mawili tangu ichipuke. Mvua iliendelea kunyesha nayo mimea ikazidi kunawiri. Urefu wa mimea ulifikia kimo cha magoti ya mtu mkubwa. Hapo ndipo mazuri yalipofikia tamati. Mvua ilizidi kiasi. Bila shaka chochote kizuri kikizidi huwa sumu. Vijito viligeuka kuwa majito. Sehemu kavu tambarare ziligeuka kuwa maziwa. Mmomonyoko wa udongo ulizikumba sehernu nyingi hususan maeneo ya miteremko.
Mbali na uharibifu wa mimea, makao ya watu vilevile hayakuonewa huruma. Wanyama wengi wa kufugwa walisombwa na maji na kuangamia. Waja waliyapoteza mali yao lakini wakashukuru Mola kwa kuyanusuru maisha yao. Ama kweli, heri nusu shari kuliko shari kamili. Mvua ilinyesha mfululizo kwa juma moja unusu. Watu walipumua wakadhani matatizo yamefika kikomo. Walianza kukadiria na kukisia hasara iliyosababishwa na mvua. Kumbe huo ulikuwa ni mwanzo wa ngoma. Hiyo ilikuwa ni lele tu. Maafa yaliyofuata mafuriko ndiyo yaliyopita mipaka. Maradhi ya kuhara na kutapika yalilikumba jimbo lote zima. Wengi wa watu waliugua ndwele hizo za kutisha.
Ilikuwa vigumu kuhudumia wahasiriwa kikamilifu kwani miundo msingi ilikuwa
imeathiriwa. Wahenga walinena hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Uchechefu wa chakula ukawa ni janga jingine. Watu sisisi walikuwa wakilala katika maeneo wazi. Baridi shadidi iliwasinya nao mbu waliwafyonza damu bila huruma. Hebu fikira hali ya mtu anayeendesha ajabil, hana malazi, hana makazi na wakati uo huo, anashambuliwa na mbu. Ukawa ni msumari moto juu ya jeraha.
Serikali iliingilia kati kujaribu angaa kunusuru meli ambayo tayari ilikuwa imegonga mwamba. Kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, basi meli licha ya kugonga mwamba haikuzama. Abiria wote waliokolewa na misaada ya kila nui ilitolewa.
41. Msimu wa masika ni wakati wa
A. jua jingi
B. mvua za rasha rasha
C. mvua nyingi
D. majanga mengi.
42. Mashamba yalitayarishwa kwa upanzi msimu
upi?
A. Mchoo
B. Vuli
C. Kiangazi
D. Vichaka
43. Mahindi yanapochipuka hupaliliwa baada ya
kipindi cha
A. majuma mawili
B. wiki moja
C. siku kumi na mbili
D. wiki tatu
46. Mvua ilinyesha kidindia kwa muda wa
A. siku kumi na nne.
B.juma moja na nusu.
C. mwezi mmoja.
D. majuma mawili.
47. Ni maeneo yapi yaliathiriwa zaidi na
mmomonyoko wa udongo?
A. Maeneo ya nyanda
B. Maeneo tambarare
C. Maeneo ya vilima
D. Maeneo ya miteremko
48. "Serikali ina mkono mrefu." Ni ipi maana ya
kifungu hiki?
A. Serikali ina uwezo mkubwa.
B. Serikali haijali chochote.
C. Serikali huvaa nguo zenye mikono
mirefu
D. Serikali inachukia mvua.
44. Kauli ipi iliyo sahihi?
A. Mvua ilikuwa baraka mwanzoni.
B. Mvua haikuharibu nyumba za watu.
C. Mvua ilisababisha maafa tangu
mwanzo hadi tamati.
D. Mvua ilikuja msimu wa kiangazi.
45. Kwa nini ilikuwa vigumu kuhudumia
wagonjwa?
A. Hakukuwa na dawa za kutosha.
B. Hata wauguzi nao waliathiriwa.
C. Barabara za kuwafikia na kuzifikia
hospitali ziliharibiwa.
D. Wagonjwa hawakuwa na makao.
49. Mbali na tatizo la ugonjwa waathirwa
walikumbwa na tatizo lipi jingine?
A. Njaa na ajali za meli
B. Baridi na maumivu.
C. Wizi na mbu
D. Njaa na uhaba wa makazi.
50. Serikali iliingilia kati kufanya lipi?
A. Kuzuia meli isizame.
B. Kuwakamata wahalifu.
C. Kusimamisha mvua.
D. Kuwaokoa wahasiriwa wa janga la
gharika.
LYNK DARASA LA SABA
| Baada ya wiki tatu nini ilianza kupaliliwa | {
"text": [
"Miche"
]
} |
0957_swa | Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41 - 50.
Msimu wa masika ulipofika waja walizipanda mbegu zao katika makunde yaliyokuwa
yametayarishwa mnamo majira ya chaka. Takriban baada ya wiki tatu miche ilianza kupaliliwa. Aghalabu mimea ya mihindi hupaliliwa baada ya majuma mawili tangu ichipuke. Mvua iliendelea kunyesha nayo mimea ikazidi kunawiri. Urefu wa mimea ulifikia kimo cha magoti ya mtu mkubwa. Hapo ndipo mazuri yalipofikia tamati. Mvua ilizidi kiasi. Bila shaka chochote kizuri kikizidi huwa sumu. Vijito viligeuka kuwa majito. Sehemu kavu tambarare ziligeuka kuwa maziwa. Mmomonyoko wa udongo ulizikumba sehernu nyingi hususan maeneo ya miteremko.
Mbali na uharibifu wa mimea, makao ya watu vilevile hayakuonewa huruma. Wanyama wengi wa kufugwa walisombwa na maji na kuangamia. Waja waliyapoteza mali yao lakini wakashukuru Mola kwa kuyanusuru maisha yao. Ama kweli, heri nusu shari kuliko shari kamili. Mvua ilinyesha mfululizo kwa juma moja unusu. Watu walipumua wakadhani matatizo yamefika kikomo. Walianza kukadiria na kukisia hasara iliyosababishwa na mvua. Kumbe huo ulikuwa ni mwanzo wa ngoma. Hiyo ilikuwa ni lele tu. Maafa yaliyofuata mafuriko ndiyo yaliyopita mipaka. Maradhi ya kuhara na kutapika yalilikumba jimbo lote zima. Wengi wa watu waliugua ndwele hizo za kutisha.
Ilikuwa vigumu kuhudumia wahasiriwa kikamilifu kwani miundo msingi ilikuwa
imeathiriwa. Wahenga walinena hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Uchechefu wa chakula ukawa ni janga jingine. Watu sisisi walikuwa wakilala katika maeneo wazi. Baridi shadidi iliwasinya nao mbu waliwafyonza damu bila huruma. Hebu fikira hali ya mtu anayeendesha ajabil, hana malazi, hana makazi na wakati uo huo, anashambuliwa na mbu. Ukawa ni msumari moto juu ya jeraha.
Serikali iliingilia kati kujaribu angaa kunusuru meli ambayo tayari ilikuwa imegonga mwamba. Kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, basi meli licha ya kugonga mwamba haikuzama. Abiria wote waliokolewa na misaada ya kila nui ilitolewa.
41. Msimu wa masika ni wakati wa
A. jua jingi
B. mvua za rasha rasha
C. mvua nyingi
D. majanga mengi.
42. Mashamba yalitayarishwa kwa upanzi msimu
upi?
A. Mchoo
B. Vuli
C. Kiangazi
D. Vichaka
43. Mahindi yanapochipuka hupaliliwa baada ya
kipindi cha
A. majuma mawili
B. wiki moja
C. siku kumi na mbili
D. wiki tatu
46. Mvua ilinyesha kidindia kwa muda wa
A. siku kumi na nne.
B.juma moja na nusu.
C. mwezi mmoja.
D. majuma mawili.
47. Ni maeneo yapi yaliathiriwa zaidi na
mmomonyoko wa udongo?
A. Maeneo ya nyanda
B. Maeneo tambarare
C. Maeneo ya vilima
D. Maeneo ya miteremko
48. "Serikali ina mkono mrefu." Ni ipi maana ya
kifungu hiki?
A. Serikali ina uwezo mkubwa.
B. Serikali haijali chochote.
C. Serikali huvaa nguo zenye mikono
mirefu
D. Serikali inachukia mvua.
44. Kauli ipi iliyo sahihi?
A. Mvua ilikuwa baraka mwanzoni.
B. Mvua haikuharibu nyumba za watu.
C. Mvua ilisababisha maafa tangu
mwanzo hadi tamati.
D. Mvua ilikuja msimu wa kiangazi.
45. Kwa nini ilikuwa vigumu kuhudumia
wagonjwa?
A. Hakukuwa na dawa za kutosha.
B. Hata wauguzi nao waliathiriwa.
C. Barabara za kuwafikia na kuzifikia
hospitali ziliharibiwa.
D. Wagonjwa hawakuwa na makao.
49. Mbali na tatizo la ugonjwa waathirwa
walikumbwa na tatizo lipi jingine?
A. Njaa na ajali za meli
B. Baridi na maumivu.
C. Wizi na mbu
D. Njaa na uhaba wa makazi.
50. Serikali iliingilia kati kufanya lipi?
A. Kuzuia meli isizame.
B. Kuwakamata wahalifu.
C. Kusimamisha mvua.
D. Kuwaokoa wahasiriwa wa janga la
gharika.
LYNK DARASA LA SABA
| Waja walimshukuru nani kwa kuyanusuru maisha yao | {
"text": [
"Mola"
]
} |
0957_swa | Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41 - 50.
Msimu wa masika ulipofika waja walizipanda mbegu zao katika makunde yaliyokuwa
yametayarishwa mnamo majira ya chaka. Takriban baada ya wiki tatu miche ilianza kupaliliwa. Aghalabu mimea ya mihindi hupaliliwa baada ya majuma mawili tangu ichipuke. Mvua iliendelea kunyesha nayo mimea ikazidi kunawiri. Urefu wa mimea ulifikia kimo cha magoti ya mtu mkubwa. Hapo ndipo mazuri yalipofikia tamati. Mvua ilizidi kiasi. Bila shaka chochote kizuri kikizidi huwa sumu. Vijito viligeuka kuwa majito. Sehemu kavu tambarare ziligeuka kuwa maziwa. Mmomonyoko wa udongo ulizikumba sehernu nyingi hususan maeneo ya miteremko.
Mbali na uharibifu wa mimea, makao ya watu vilevile hayakuonewa huruma. Wanyama wengi wa kufugwa walisombwa na maji na kuangamia. Waja waliyapoteza mali yao lakini wakashukuru Mola kwa kuyanusuru maisha yao. Ama kweli, heri nusu shari kuliko shari kamili. Mvua ilinyesha mfululizo kwa juma moja unusu. Watu walipumua wakadhani matatizo yamefika kikomo. Walianza kukadiria na kukisia hasara iliyosababishwa na mvua. Kumbe huo ulikuwa ni mwanzo wa ngoma. Hiyo ilikuwa ni lele tu. Maafa yaliyofuata mafuriko ndiyo yaliyopita mipaka. Maradhi ya kuhara na kutapika yalilikumba jimbo lote zima. Wengi wa watu waliugua ndwele hizo za kutisha.
Ilikuwa vigumu kuhudumia wahasiriwa kikamilifu kwani miundo msingi ilikuwa
imeathiriwa. Wahenga walinena hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Uchechefu wa chakula ukawa ni janga jingine. Watu sisisi walikuwa wakilala katika maeneo wazi. Baridi shadidi iliwasinya nao mbu waliwafyonza damu bila huruma. Hebu fikira hali ya mtu anayeendesha ajabil, hana malazi, hana makazi na wakati uo huo, anashambuliwa na mbu. Ukawa ni msumari moto juu ya jeraha.
Serikali iliingilia kati kujaribu angaa kunusuru meli ambayo tayari ilikuwa imegonga mwamba. Kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, basi meli licha ya kugonga mwamba haikuzama. Abiria wote waliokolewa na misaada ya kila nui ilitolewa.
41. Msimu wa masika ni wakati wa
A. jua jingi
B. mvua za rasha rasha
C. mvua nyingi
D. majanga mengi.
42. Mashamba yalitayarishwa kwa upanzi msimu
upi?
A. Mchoo
B. Vuli
C. Kiangazi
D. Vichaka
43. Mahindi yanapochipuka hupaliliwa baada ya
kipindi cha
A. majuma mawili
B. wiki moja
C. siku kumi na mbili
D. wiki tatu
46. Mvua ilinyesha kidindia kwa muda wa
A. siku kumi na nne.
B.juma moja na nusu.
C. mwezi mmoja.
D. majuma mawili.
47. Ni maeneo yapi yaliathiriwa zaidi na
mmomonyoko wa udongo?
A. Maeneo ya nyanda
B. Maeneo tambarare
C. Maeneo ya vilima
D. Maeneo ya miteremko
48. "Serikali ina mkono mrefu." Ni ipi maana ya
kifungu hiki?
A. Serikali ina uwezo mkubwa.
B. Serikali haijali chochote.
C. Serikali huvaa nguo zenye mikono
mirefu
D. Serikali inachukia mvua.
44. Kauli ipi iliyo sahihi?
A. Mvua ilikuwa baraka mwanzoni.
B. Mvua haikuharibu nyumba za watu.
C. Mvua ilisababisha maafa tangu
mwanzo hadi tamati.
D. Mvua ilikuja msimu wa kiangazi.
45. Kwa nini ilikuwa vigumu kuhudumia
wagonjwa?
A. Hakukuwa na dawa za kutosha.
B. Hata wauguzi nao waliathiriwa.
C. Barabara za kuwafikia na kuzifikia
hospitali ziliharibiwa.
D. Wagonjwa hawakuwa na makao.
49. Mbali na tatizo la ugonjwa waathirwa
walikumbwa na tatizo lipi jingine?
A. Njaa na ajali za meli
B. Baridi na maumivu.
C. Wizi na mbu
D. Njaa na uhaba wa makazi.
50. Serikali iliingilia kati kufanya lipi?
A. Kuzuia meli isizame.
B. Kuwakamata wahalifu.
C. Kusimamisha mvua.
D. Kuwaokoa wahasiriwa wa janga la
gharika.
LYNK DARASA LA SABA
| Nani aliingilia kati kujaribu angaa kunusuru meli ambayo tayari ilikuwa imegonga mwamba | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
1103_swa |
Raha tele bei ya unga wa ugali ikishuka Magharibi
Walaji ugali katika eneo la Magharibi wamepata afueni baada ya bei ya unga wa mahindi kushuka.
Bei zilishuka kufuatia ukosefu wa soko la mahindi kwani kuna bidhaa hiyo tele inayoingizwa nchini kwa bei nafuu kutoka Uganda, wakati ambapo mavuno ya humu nchini pia yamejaa.
Wasagaji mahindi katika eneo hilo jana walisema hawana pa kuuza unga wa mamilioni ya pesa kwa sababu hakuna wanunuzi.
Hii imewalazimu kuteremsha bei hadi Sh90 kwa mfuko wa kilo mbili, kutoka Sh130 miezi miwili iliyopita.
"Tunakumbwa na changamoto kubwa kuuza bidhaa zetu kwa vile wanunuzi ni wachache sokoni ilhali tulitumia fedha nyingi viwandani," akasema Bw Kipngetich Ngetich kutoka kiwanda cha usagaji mahindi cha Ineet, mjini Eldoret.
Bei ya mahindi ilishuka kutoka Sh3,200 hadi Sh2,800 kwa kila gunia la kilo 90 katika maeneo mengi ya Magharibi baada ya bidhaa hiyo kuwasili kutoka Uganda kwa bei ya chini.
Bidhaa nyinginezo pia zimeanza kushuka bei, kama vile kabeji iliyoshuka hadi Sh1,300 kutoka Sh1,800 na sukuma wiki inayouzwa kwa Sh700 kutoka Sh1,300 kufuatia mavuno tele eneo la Kerio Valley.
"Bei za mahindi zinatarajiwa kushuka zaidi kwa sababu kuna mavuno ya bidhaa mbadala, kuwasili kwa mahindi kutoka Uganda, na mavuno yanayotarajiwa katika eneo hilo," akasema Bw Moses Kiptoo, mfanyabiashara wa mahindi Eldoret.
Hali hii imetokea wakati ambapo mzozo unatarajiwa kati ya kaunti zilizo chini ya Jumuia ya Kiuchumi Kaskazini mwa Rift Valley (NOREB) na wamiliki wa viwanda vya kibinafsi kuhusu ununuzi wa mahindi kutoka kwa wakulima kupitia kwa madalali.
| Walaji nini wamepata afueni | {
"text": [
"ugali"
]
} |
1103_swa |
Raha tele bei ya unga wa ugali ikishuka Magharibi
Walaji ugali katika eneo la Magharibi wamepata afueni baada ya bei ya unga wa mahindi kushuka.
Bei zilishuka kufuatia ukosefu wa soko la mahindi kwani kuna bidhaa hiyo tele inayoingizwa nchini kwa bei nafuu kutoka Uganda, wakati ambapo mavuno ya humu nchini pia yamejaa.
Wasagaji mahindi katika eneo hilo jana walisema hawana pa kuuza unga wa mamilioni ya pesa kwa sababu hakuna wanunuzi.
Hii imewalazimu kuteremsha bei hadi Sh90 kwa mfuko wa kilo mbili, kutoka Sh130 miezi miwili iliyopita.
"Tunakumbwa na changamoto kubwa kuuza bidhaa zetu kwa vile wanunuzi ni wachache sokoni ilhali tulitumia fedha nyingi viwandani," akasema Bw Kipngetich Ngetich kutoka kiwanda cha usagaji mahindi cha Ineet, mjini Eldoret.
Bei ya mahindi ilishuka kutoka Sh3,200 hadi Sh2,800 kwa kila gunia la kilo 90 katika maeneo mengi ya Magharibi baada ya bidhaa hiyo kuwasili kutoka Uganda kwa bei ya chini.
Bidhaa nyinginezo pia zimeanza kushuka bei, kama vile kabeji iliyoshuka hadi Sh1,300 kutoka Sh1,800 na sukuma wiki inayouzwa kwa Sh700 kutoka Sh1,300 kufuatia mavuno tele eneo la Kerio Valley.
"Bei za mahindi zinatarajiwa kushuka zaidi kwa sababu kuna mavuno ya bidhaa mbadala, kuwasili kwa mahindi kutoka Uganda, na mavuno yanayotarajiwa katika eneo hilo," akasema Bw Moses Kiptoo, mfanyabiashara wa mahindi Eldoret.
Hali hii imetokea wakati ambapo mzozo unatarajiwa kati ya kaunti zilizo chini ya Jumuia ya Kiuchumi Kaskazini mwa Rift Valley (NOREB) na wamiliki wa viwanda vya kibinafsi kuhusu ununuzi wa mahindi kutoka kwa wakulima kupitia kwa madalali.
| Nini ilishuka kufuatia ukosefu wa soko la mahindi | {
"text": [
"bei"
]
} |
1103_swa |
Raha tele bei ya unga wa ugali ikishuka Magharibi
Walaji ugali katika eneo la Magharibi wamepata afueni baada ya bei ya unga wa mahindi kushuka.
Bei zilishuka kufuatia ukosefu wa soko la mahindi kwani kuna bidhaa hiyo tele inayoingizwa nchini kwa bei nafuu kutoka Uganda, wakati ambapo mavuno ya humu nchini pia yamejaa.
Wasagaji mahindi katika eneo hilo jana walisema hawana pa kuuza unga wa mamilioni ya pesa kwa sababu hakuna wanunuzi.
Hii imewalazimu kuteremsha bei hadi Sh90 kwa mfuko wa kilo mbili, kutoka Sh130 miezi miwili iliyopita.
"Tunakumbwa na changamoto kubwa kuuza bidhaa zetu kwa vile wanunuzi ni wachache sokoni ilhali tulitumia fedha nyingi viwandani," akasema Bw Kipngetich Ngetich kutoka kiwanda cha usagaji mahindi cha Ineet, mjini Eldoret.
Bei ya mahindi ilishuka kutoka Sh3,200 hadi Sh2,800 kwa kila gunia la kilo 90 katika maeneo mengi ya Magharibi baada ya bidhaa hiyo kuwasili kutoka Uganda kwa bei ya chini.
Bidhaa nyinginezo pia zimeanza kushuka bei, kama vile kabeji iliyoshuka hadi Sh1,300 kutoka Sh1,800 na sukuma wiki inayouzwa kwa Sh700 kutoka Sh1,300 kufuatia mavuno tele eneo la Kerio Valley.
"Bei za mahindi zinatarajiwa kushuka zaidi kwa sababu kuna mavuno ya bidhaa mbadala, kuwasili kwa mahindi kutoka Uganda, na mavuno yanayotarajiwa katika eneo hilo," akasema Bw Moses Kiptoo, mfanyabiashara wa mahindi Eldoret.
Hali hii imetokea wakati ambapo mzozo unatarajiwa kati ya kaunti zilizo chini ya Jumuia ya Kiuchumi Kaskazini mwa Rift Valley (NOREB) na wamiliki wa viwanda vya kibinafsi kuhusu ununuzi wa mahindi kutoka kwa wakulima kupitia kwa madalali.
| Wasagaji walisema lini hawana pa kuuza unga | {
"text": [
"jana"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.