Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
1469_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUPATWA NA MAKUU Kwa kweli methali yenyewe inajieleza kimantiki kuwa mja yeyote asipotilia maanani mambo na maelekezo anayopewa na wakuu wake, bila shaka husafiria baharini. Kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi methali hii ina umuhimu mkubwa maana hutumika kuwashawishi adinasi ambao huwa hawasikilizi wanaoambiwa. Jane alikuwa kimada mwenye uso jamala. Ingawa wahenga walilonga kuwa ukwara hauhitaji mafuta, yeye alikuwa kinyume. Alikuwa akijitia nakshi na kujitia manukato ili kuwavutia maghulamu kariani. Ama kwa kweli wazembwe na wazembwezi hawakutupwaya pwaya kwa mipwayo ya kuwa waliponadi kuwa kila mwamba ngoma huvutia kwake. Kila kaski alirauka bukrata wa ashiye na kujipodoa kidesturi. Baadaye aliondoka huku akiwaacha wavyele wake wakimpkaripia maana hulka zake hazikuwafaa kamwe. Walijaribu juu chini kumpa wosia na wosia wa dhati lakini yote yaligonga pang'ando. Alipoulizwa alijibu "Pilipili usioila yakuashiani ? Wavyele hawa waliudhika sana kwa kuona vile mwana wao wa pekee alivyobadilika. Siku si nyami, waliinua mikono na kumwacha afunzwe na dunia. Hii ni maadamu walilaamali fika kuwa majuto ni mjukuu huja kinyume. Jane alipong'amua kwamba alikuwa akijitawala alianza kuja na mpenzi wake mpaka manzilini kwao bila kuwasononekea wazazi wake. Kweli, cha kuvunda hakina ubani. Alisahau kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka abu yake aliyekuwa simba licha ya kula chumvi nyingi hivyo alishindwa kuvumilia hayo yafanyike kwake. Alimfukuza mwanawe kabisa na akamuonya arudi atakapoona ametosheka. Raha na maraha yalimuita naye akaitika. Yeye ni mpenzi wake waliguria mtaa baidi ambako mapenzi yalishika nari. Vyumba vya densi ndivyo vilivyokuwa makao yao. Waliishi hivyo kwa miezi kadhaa bila taswishi yoyote lahaula chochote ambacho kina mwanzo hakika kina ncha. Siku mosi Jane alikosana na mpenzi wake. Hii ilitokea baada ya yeye kupatwa wakiwa na kimwana mwingine na hapo alifukuzwa kama kijibwa kilichoiba mafuta. Mambo ni kangaja huenda yakaja ndivyo walivyokuli wenye lugha. Jane alitamani dunia ipasuke immeze lakini wapi! Ilimbidi kurejea baitani kwao akidhani kwamba wazee wake walikuwa bunga waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Kurudi kwake kulikuwa ni kama kutoka kufiwako kwenda kuliwako nyama. Abu yake alimsindikiza hadi hospitalini ili apimwe kwa kuwa siha yake ilidhoofika sana. Kupimwa kwake kulikuwa sawia na walivyodhania. Jane alikuwa amebugia ngano ikamtoa paradiso. Fauka ya hayo, alikuwa na ukimwi. Alilia sana lakini yote yalikuwa bure bilashi. Waama maji yakimwagika hayazoleki. Aliyakumbuka mawaidha ya wavyele wake akatia sahihi kuwa asiyesikia la wakuu hufikwa na makuu.
Jane alianza kuja na mpenzi wake maanzilini kwao lini
{ "text": [ "alipong'amua alikuwa akijitawala" ] }
1469_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUPATWA NA MAKUU Kwa kweli methali yenyewe inajieleza kimantiki kuwa mja yeyote asipotilia maanani mambo na maelekezo anayopewa na wakuu wake, bila shaka husafiria baharini. Kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi methali hii ina umuhimu mkubwa maana hutumika kuwashawishi adinasi ambao huwa hawasikilizi wanaoambiwa. Jane alikuwa kimada mwenye uso jamala. Ingawa wahenga walilonga kuwa ukwara hauhitaji mafuta, yeye alikuwa kinyume. Alikuwa akijitia nakshi na kujitia manukato ili kuwavutia maghulamu kariani. Ama kwa kweli wazembwe na wazembwezi hawakutupwaya pwaya kwa mipwayo ya kuwa waliponadi kuwa kila mwamba ngoma huvutia kwake. Kila kaski alirauka bukrata wa ashiye na kujipodoa kidesturi. Baadaye aliondoka huku akiwaacha wavyele wake wakimpkaripia maana hulka zake hazikuwafaa kamwe. Walijaribu juu chini kumpa wosia na wosia wa dhati lakini yote yaligonga pang'ando. Alipoulizwa alijibu "Pilipili usioila yakuashiani ? Wavyele hawa waliudhika sana kwa kuona vile mwana wao wa pekee alivyobadilika. Siku si nyami, waliinua mikono na kumwacha afunzwe na dunia. Hii ni maadamu walilaamali fika kuwa majuto ni mjukuu huja kinyume. Jane alipong'amua kwamba alikuwa akijitawala alianza kuja na mpenzi wake mpaka manzilini kwao bila kuwasononekea wazazi wake. Kweli, cha kuvunda hakina ubani. Alisahau kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka abu yake aliyekuwa simba licha ya kula chumvi nyingi hivyo alishindwa kuvumilia hayo yafanyike kwake. Alimfukuza mwanawe kabisa na akamuonya arudi atakapoona ametosheka. Raha na maraha yalimuita naye akaitika. Yeye ni mpenzi wake waliguria mtaa baidi ambako mapenzi yalishika nari. Vyumba vya densi ndivyo vilivyokuwa makao yao. Waliishi hivyo kwa miezi kadhaa bila taswishi yoyote lahaula chochote ambacho kina mwanzo hakika kina ncha. Siku mosi Jane alikosana na mpenzi wake. Hii ilitokea baada ya yeye kupatwa wakiwa na kimwana mwingine na hapo alifukuzwa kama kijibwa kilichoiba mafuta. Mambo ni kangaja huenda yakaja ndivyo walivyokuli wenye lugha. Jane alitamani dunia ipasuke immeze lakini wapi! Ilimbidi kurejea baitani kwao akidhani kwamba wazee wake walikuwa bunga waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Kurudi kwake kulikuwa ni kama kutoka kufiwako kwenda kuliwako nyama. Abu yake alimsindikiza hadi hospitalini ili apimwe kwa kuwa siha yake ilidhoofika sana. Kupimwa kwake kulikuwa sawia na walivyodhania. Jane alikuwa amebugia ngano ikamtoa paradiso. Fauka ya hayo, alikuwa na ukimwi. Alilia sana lakini yote yalikuwa bure bilashi. Waama maji yakimwagika hayazoleki. Aliyakumbuka mawaidha ya wavyele wake akatia sahihi kuwa asiyesikia la wakuu hufikwa na makuu.
Mbona Jane alikosana na mpenziwe
{ "text": [ "alipatikana akiwa na kimwana mwingine" ] }
1470_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mwenye kukataa anapoonywa huishia kujipoza mwenyewe. Mtu anapoelekezwa vyema na wakuu si vizuri kujifanya jeuri. Methali kisawe ni kuwa asiyeonywa huona kwa macho yake. Katika kitongoji cha maporomoko, paliishi ghulamu mmoja kwa jina Kamau, ghulamu huyu alikuwa kijana mtanashati, wa miraba minne na mwenye misuli tinginya. Licha ya hayo Kamau hakufanikiwa kupata jiko lakini aliendelea na kumuomba Rabuka ili amkidhie mahitaji yake kwani alielewa fika maana ya methali iliyoradidiwa na walimu mara mzo kuwa mwomba Mungu si mtovu. Haukupita muda mrefu kabla ya Kamau kupata jiko. Mkewe alikuwa mrembo kupindukia. Ulimbwende wake kiooni ulimpa tabasamu kuyeyusha barafu moyoni mwa msununu yeyote yule. Inna Maulama wa Lisani hawakupiga fununu bin tetesi walipoketi ukumbini sako kwa bako na kulonga kuwa uso mzuri hauhitaji urembo. Mkewe Kamau alifanikiwa kukopoa mwana ambaye kwa kweli alikuwamtanashati na pia mweupe pepepe laula theruji. Mtoto huyu walimpa jina Tomaso. Tomaso alitunzwa kama mboni ya jicho hawakutaka mtoto wao kukosa lolote walimlea katika tunu na tamasha. Tomasa alivyozidi kukua ndivyo maisha yalivyozidi kunyooka na kuwa safi. Alijiona malaika, akawa mtundu ja mkia wa mbuzi. Hakusikia la mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Mtoto wa watu alianza kupotea inna wahenga na wahenguzi hawakutuvisha miwani ya mbao walipolonga asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tomaso akaingilia wizi, akawa mwizi hodari shuleni, wanagenzi wenzake walimjua kwa kuwa mkatili. Kalamu, penseli na kadhalika vyote alibadilisha kama nguo. Hakumuogopa mtu yeyote kwani aliona kama dunia ni yake. Tomaso alikuwa akichezea tope. Chambilecho mchezea tope humrukia. Tomaso aliendelea vivi hivi mpaka akawa mwizi hata huko kijijini. Kwanza alianza kumuiba kuku wa jirani kisha akamla. Wavyele wake walijaribu kumuonya lakini ng'o hakusikia la muadhini wala ya mteka maji msikitini. Waama, wahenga wakongamawe hawakuambulia dole gutu walipoamba kuwa asiyesikia la wakuu husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi. Wavyele wake walijaribu juu chini kumkunja samaki angali mbichi lakini walishindwa. Majirani walijaribu kumuonya lakini wapi kweli alikuwa mkaidi, inna mtoto mkaidi hafaidi hadi siku ya idi. Kaski wahedi Tomaso alikuwa akizururazurura huku na huko kama mbwa kiko atafutaye makombo. Ghafla bin vuu; akamuona kondoo. Bila kupoteza wakati kwani wasaa ni mbango si mjango, Tomaso alimnasa na kumwekelea mabegani na kwanza safari kurudi nyumbani. Muda si ayami, Tomasi alizingirwa na wanakijiji waliokuwa na hasira za mkizi. kumbe walikuwa wamemtega naye akaingia mtegoni. Walimpa kichapo cha mbwa. Tomaso alijaribu kulia kwi kwi kwi lakini hakuna aliyemsikiliza chambilecho dua ya kuku haimpati mwewe. Wavyele wake walipofika walimkuta akiwa katika hali mahututi. Si hayati si mamati. Masikitiko na majonzi yalishirikiana kumzingira maskini Tomaso. Inaa wahenga na wahenguzi hawakutuvisha joho linalotupwaya pwaya kula mipwayo ya kugwa walipoamba kuwa, Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kamau aliishi katika Kitongoji kipi
{ "text": [ "Maporomoko" ] }
1470_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mwenye kukataa anapoonywa huishia kujipoza mwenyewe. Mtu anapoelekezwa vyema na wakuu si vizuri kujifanya jeuri. Methali kisawe ni kuwa asiyeonywa huona kwa macho yake. Katika kitongoji cha maporomoko, paliishi ghulamu mmoja kwa jina Kamau, ghulamu huyu alikuwa kijana mtanashati, wa miraba minne na mwenye misuli tinginya. Licha ya hayo Kamau hakufanikiwa kupata jiko lakini aliendelea na kumuomba Rabuka ili amkidhie mahitaji yake kwani alielewa fika maana ya methali iliyoradidiwa na walimu mara mzo kuwa mwomba Mungu si mtovu. Haukupita muda mrefu kabla ya Kamau kupata jiko. Mkewe alikuwa mrembo kupindukia. Ulimbwende wake kiooni ulimpa tabasamu kuyeyusha barafu moyoni mwa msununu yeyote yule. Inna Maulama wa Lisani hawakupiga fununu bin tetesi walipoketi ukumbini sako kwa bako na kulonga kuwa uso mzuri hauhitaji urembo. Mkewe Kamau alifanikiwa kukopoa mwana ambaye kwa kweli alikuwamtanashati na pia mweupe pepepe laula theruji. Mtoto huyu walimpa jina Tomaso. Tomaso alitunzwa kama mboni ya jicho hawakutaka mtoto wao kukosa lolote walimlea katika tunu na tamasha. Tomasa alivyozidi kukua ndivyo maisha yalivyozidi kunyooka na kuwa safi. Alijiona malaika, akawa mtundu ja mkia wa mbuzi. Hakusikia la mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Mtoto wa watu alianza kupotea inna wahenga na wahenguzi hawakutuvisha miwani ya mbao walipolonga asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tomaso akaingilia wizi, akawa mwizi hodari shuleni, wanagenzi wenzake walimjua kwa kuwa mkatili. Kalamu, penseli na kadhalika vyote alibadilisha kama nguo. Hakumuogopa mtu yeyote kwani aliona kama dunia ni yake. Tomaso alikuwa akichezea tope. Chambilecho mchezea tope humrukia. Tomaso aliendelea vivi hivi mpaka akawa mwizi hata huko kijijini. Kwanza alianza kumuiba kuku wa jirani kisha akamla. Wavyele wake walijaribu kumuonya lakini ng'o hakusikia la muadhini wala ya mteka maji msikitini. Waama, wahenga wakongamawe hawakuambulia dole gutu walipoamba kuwa asiyesikia la wakuu husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi. Wavyele wake walijaribu juu chini kumkunja samaki angali mbichi lakini walishindwa. Majirani walijaribu kumuonya lakini wapi kweli alikuwa mkaidi, inna mtoto mkaidi hafaidi hadi siku ya idi. Kaski wahedi Tomaso alikuwa akizururazurura huku na huko kama mbwa kiko atafutaye makombo. Ghafla bin vuu; akamuona kondoo. Bila kupoteza wakati kwani wasaa ni mbango si mjango, Tomaso alimnasa na kumwekelea mabegani na kwanza safari kurudi nyumbani. Muda si ayami, Tomasi alizingirwa na wanakijiji waliokuwa na hasira za mkizi. kumbe walikuwa wamemtega naye akaingia mtegoni. Walimpa kichapo cha mbwa. Tomaso alijaribu kulia kwi kwi kwi lakini hakuna aliyemsikiliza chambilecho dua ya kuku haimpati mwewe. Wavyele wake walipofika walimkuta akiwa katika hali mahututi. Si hayati si mamati. Masikitiko na majonzi yalishirikiana kumzingira maskini Tomaso. Inaa wahenga na wahenguzi hawakutuvisha joho linalotupwaya pwaya kula mipwayo ya kugwa walipoamba kuwa, Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tomaso alikuwa mtoto wa nani
{ "text": [ "Kamau" ] }
1470_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mwenye kukataa anapoonywa huishia kujipoza mwenyewe. Mtu anapoelekezwa vyema na wakuu si vizuri kujifanya jeuri. Methali kisawe ni kuwa asiyeonywa huona kwa macho yake. Katika kitongoji cha maporomoko, paliishi ghulamu mmoja kwa jina Kamau, ghulamu huyu alikuwa kijana mtanashati, wa miraba minne na mwenye misuli tinginya. Licha ya hayo Kamau hakufanikiwa kupata jiko lakini aliendelea na kumuomba Rabuka ili amkidhie mahitaji yake kwani alielewa fika maana ya methali iliyoradidiwa na walimu mara mzo kuwa mwomba Mungu si mtovu. Haukupita muda mrefu kabla ya Kamau kupata jiko. Mkewe alikuwa mrembo kupindukia. Ulimbwende wake kiooni ulimpa tabasamu kuyeyusha barafu moyoni mwa msununu yeyote yule. Inna Maulama wa Lisani hawakupiga fununu bin tetesi walipoketi ukumbini sako kwa bako na kulonga kuwa uso mzuri hauhitaji urembo. Mkewe Kamau alifanikiwa kukopoa mwana ambaye kwa kweli alikuwamtanashati na pia mweupe pepepe laula theruji. Mtoto huyu walimpa jina Tomaso. Tomaso alitunzwa kama mboni ya jicho hawakutaka mtoto wao kukosa lolote walimlea katika tunu na tamasha. Tomasa alivyozidi kukua ndivyo maisha yalivyozidi kunyooka na kuwa safi. Alijiona malaika, akawa mtundu ja mkia wa mbuzi. Hakusikia la mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Mtoto wa watu alianza kupotea inna wahenga na wahenguzi hawakutuvisha miwani ya mbao walipolonga asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tomaso akaingilia wizi, akawa mwizi hodari shuleni, wanagenzi wenzake walimjua kwa kuwa mkatili. Kalamu, penseli na kadhalika vyote alibadilisha kama nguo. Hakumuogopa mtu yeyote kwani aliona kama dunia ni yake. Tomaso alikuwa akichezea tope. Chambilecho mchezea tope humrukia. Tomaso aliendelea vivi hivi mpaka akawa mwizi hata huko kijijini. Kwanza alianza kumuiba kuku wa jirani kisha akamla. Wavyele wake walijaribu kumuonya lakini ng'o hakusikia la muadhini wala ya mteka maji msikitini. Waama, wahenga wakongamawe hawakuambulia dole gutu walipoamba kuwa asiyesikia la wakuu husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi. Wavyele wake walijaribu juu chini kumkunja samaki angali mbichi lakini walishindwa. Majirani walijaribu kumuonya lakini wapi kweli alikuwa mkaidi, inna mtoto mkaidi hafaidi hadi siku ya idi. Kaski wahedi Tomaso alikuwa akizururazurura huku na huko kama mbwa kiko atafutaye makombo. Ghafla bin vuu; akamuona kondoo. Bila kupoteza wakati kwani wasaa ni mbango si mjango, Tomaso alimnasa na kumwekelea mabegani na kwanza safari kurudi nyumbani. Muda si ayami, Tomasi alizingirwa na wanakijiji waliokuwa na hasira za mkizi. kumbe walikuwa wamemtega naye akaingia mtegoni. Walimpa kichapo cha mbwa. Tomaso alijaribu kulia kwi kwi kwi lakini hakuna aliyemsikiliza chambilecho dua ya kuku haimpati mwewe. Wavyele wake walipofika walimkuta akiwa katika hali mahututi. Si hayati si mamati. Masikitiko na majonzi yalishirikiana kumzingira maskini Tomaso. Inaa wahenga na wahenguzi hawakutuvisha joho linalotupwaya pwaya kula mipwayo ya kugwa walipoamba kuwa, Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Tomaso alibadilika akawa nani shuleni
{ "text": [ "Mwizi hodari" ] }
1470_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mwenye kukataa anapoonywa huishia kujipoza mwenyewe. Mtu anapoelekezwa vyema na wakuu si vizuri kujifanya jeuri. Methali kisawe ni kuwa asiyeonywa huona kwa macho yake. Katika kitongoji cha maporomoko, paliishi ghulamu mmoja kwa jina Kamau, ghulamu huyu alikuwa kijana mtanashati, wa miraba minne na mwenye misuli tinginya. Licha ya hayo Kamau hakufanikiwa kupata jiko lakini aliendelea na kumuomba Rabuka ili amkidhie mahitaji yake kwani alielewa fika maana ya methali iliyoradidiwa na walimu mara mzo kuwa mwomba Mungu si mtovu. Haukupita muda mrefu kabla ya Kamau kupata jiko. Mkewe alikuwa mrembo kupindukia. Ulimbwende wake kiooni ulimpa tabasamu kuyeyusha barafu moyoni mwa msununu yeyote yule. Inna Maulama wa Lisani hawakupiga fununu bin tetesi walipoketi ukumbini sako kwa bako na kulonga kuwa uso mzuri hauhitaji urembo. Mkewe Kamau alifanikiwa kukopoa mwana ambaye kwa kweli alikuwamtanashati na pia mweupe pepepe laula theruji. Mtoto huyu walimpa jina Tomaso. Tomaso alitunzwa kama mboni ya jicho hawakutaka mtoto wao kukosa lolote walimlea katika tunu na tamasha. Tomasa alivyozidi kukua ndivyo maisha yalivyozidi kunyooka na kuwa safi. Alijiona malaika, akawa mtundu ja mkia wa mbuzi. Hakusikia la mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Mtoto wa watu alianza kupotea inna wahenga na wahenguzi hawakutuvisha miwani ya mbao walipolonga asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tomaso akaingilia wizi, akawa mwizi hodari shuleni, wanagenzi wenzake walimjua kwa kuwa mkatili. Kalamu, penseli na kadhalika vyote alibadilisha kama nguo. Hakumuogopa mtu yeyote kwani aliona kama dunia ni yake. Tomaso alikuwa akichezea tope. Chambilecho mchezea tope humrukia. Tomaso aliendelea vivi hivi mpaka akawa mwizi hata huko kijijini. Kwanza alianza kumuiba kuku wa jirani kisha akamla. Wavyele wake walijaribu kumuonya lakini ng'o hakusikia la muadhini wala ya mteka maji msikitini. Waama, wahenga wakongamawe hawakuambulia dole gutu walipoamba kuwa asiyesikia la wakuu husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi. Wavyele wake walijaribu juu chini kumkunja samaki angali mbichi lakini walishindwa. Majirani walijaribu kumuonya lakini wapi kweli alikuwa mkaidi, inna mtoto mkaidi hafaidi hadi siku ya idi. Kaski wahedi Tomaso alikuwa akizururazurura huku na huko kama mbwa kiko atafutaye makombo. Ghafla bin vuu; akamuona kondoo. Bila kupoteza wakati kwani wasaa ni mbango si mjango, Tomaso alimnasa na kumwekelea mabegani na kwanza safari kurudi nyumbani. Muda si ayami, Tomasi alizingirwa na wanakijiji waliokuwa na hasira za mkizi. kumbe walikuwa wamemtega naye akaingia mtegoni. Walimpa kichapo cha mbwa. Tomaso alijaribu kulia kwi kwi kwi lakini hakuna aliyemsikiliza chambilecho dua ya kuku haimpati mwewe. Wavyele wake walipofika walimkuta akiwa katika hali mahututi. Si hayati si mamati. Masikitiko na majonzi yalishirikiana kumzingira maskini Tomaso. Inaa wahenga na wahenguzi hawakutuvisha joho linalotupwaya pwaya kula mipwayo ya kugwa walipoamba kuwa, Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ni mnyama yupi Tomaso alimweka mabegani
{ "text": [ "Kondoo" ] }
1470_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mwenye kukataa anapoonywa huishia kujipoza mwenyewe. Mtu anapoelekezwa vyema na wakuu si vizuri kujifanya jeuri. Methali kisawe ni kuwa asiyeonywa huona kwa macho yake. Katika kitongoji cha maporomoko, paliishi ghulamu mmoja kwa jina Kamau, ghulamu huyu alikuwa kijana mtanashati, wa miraba minne na mwenye misuli tinginya. Licha ya hayo Kamau hakufanikiwa kupata jiko lakini aliendelea na kumuomba Rabuka ili amkidhie mahitaji yake kwani alielewa fika maana ya methali iliyoradidiwa na walimu mara mzo kuwa mwomba Mungu si mtovu. Haukupita muda mrefu kabla ya Kamau kupata jiko. Mkewe alikuwa mrembo kupindukia. Ulimbwende wake kiooni ulimpa tabasamu kuyeyusha barafu moyoni mwa msununu yeyote yule. Inna Maulama wa Lisani hawakupiga fununu bin tetesi walipoketi ukumbini sako kwa bako na kulonga kuwa uso mzuri hauhitaji urembo. Mkewe Kamau alifanikiwa kukopoa mwana ambaye kwa kweli alikuwamtanashati na pia mweupe pepepe laula theruji. Mtoto huyu walimpa jina Tomaso. Tomaso alitunzwa kama mboni ya jicho hawakutaka mtoto wao kukosa lolote walimlea katika tunu na tamasha. Tomasa alivyozidi kukua ndivyo maisha yalivyozidi kunyooka na kuwa safi. Alijiona malaika, akawa mtundu ja mkia wa mbuzi. Hakusikia la mwadhini wala ya mteka maji msikitini. Mtoto wa watu alianza kupotea inna wahenga na wahenguzi hawakutuvisha miwani ya mbao walipolonga asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tomaso akaingilia wizi, akawa mwizi hodari shuleni, wanagenzi wenzake walimjua kwa kuwa mkatili. Kalamu, penseli na kadhalika vyote alibadilisha kama nguo. Hakumuogopa mtu yeyote kwani aliona kama dunia ni yake. Tomaso alikuwa akichezea tope. Chambilecho mchezea tope humrukia. Tomaso aliendelea vivi hivi mpaka akawa mwizi hata huko kijijini. Kwanza alianza kumuiba kuku wa jirani kisha akamla. Wavyele wake walijaribu kumuonya lakini ng'o hakusikia la muadhini wala ya mteka maji msikitini. Waama, wahenga wakongamawe hawakuambulia dole gutu walipoamba kuwa asiyesikia la wakuu husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi. Wavyele wake walijaribu juu chini kumkunja samaki angali mbichi lakini walishindwa. Majirani walijaribu kumuonya lakini wapi kweli alikuwa mkaidi, inna mtoto mkaidi hafaidi hadi siku ya idi. Kaski wahedi Tomaso alikuwa akizururazurura huku na huko kama mbwa kiko atafutaye makombo. Ghafla bin vuu; akamuona kondoo. Bila kupoteza wakati kwani wasaa ni mbango si mjango, Tomaso alimnasa na kumwekelea mabegani na kwanza safari kurudi nyumbani. Muda si ayami, Tomasi alizingirwa na wanakijiji waliokuwa na hasira za mkizi. kumbe walikuwa wamemtega naye akaingia mtegoni. Walimpa kichapo cha mbwa. Tomaso alijaribu kulia kwi kwi kwi lakini hakuna aliyemsikiliza chambilecho dua ya kuku haimpati mwewe. Wavyele wake walipofika walimkuta akiwa katika hali mahututi. Si hayati si mamati. Masikitiko na majonzi yalishirikiana kumzingira maskini Tomaso. Inaa wahenga na wahenguzi hawakutuvisha joho linalotupwaya pwaya kula mipwayo ya kugwa walipoamba kuwa, Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ni kijana yupi alikuwa mtanashati na mwenye misuli tinginya
{ "text": [ "Kamau" ] }
1473_swa
pamoja na koto. Ahadi ni deni, dawa yake ni kulipa. Karim hakuringa kamwe kama afanyavyo tausi. Aliendelea kufanya za mchwa na kujifunga kibwebwe. Aliendelea na masomo yake hadi chuo kikuu. Baada ya kumaliza masomo yake na kufaulu alipata kazi kama mkurugenzi wa kampuni ya kutengeneza mbolea kutoka kwa samadi ya ng'ombe. Wavyele wake pamoja na yule tajiri walikuwa na furaha mpwitompwito kama mama waliojifungua salama salimini. Karim aliwajengea wazazi wake jumba la kifahari mno. Baada ya mwongo mmoja, kila mmoja kutoka mlango wao alikuwa amepata mwili wenye siha si haba. Uso wake, mama yake Karim ulikuwa maji ya kunde na wenye kung'aa kama mbalamwezi. Ama kwa yakini hawakuwa mbumbumbu walipoketi barazani na kulonga kuwa mgaagaa na Upwa hali wali mtupu. Funzo tupatalo ni kuwa Mungu hamwachi mja wake. Pili waliobahatika wasaidie wale ambao hawajabahatika. Mwenye kusaidiwa naye asaidie kwani kwendako hisani hurudi hisani hakurudi nuksani.
Mtu anayekaa pale ufuoni mwa bahari hujulikana kama nani?
{ "text": [ "Mgaagaa" ] }
1473_swa
pamoja na koto. Ahadi ni deni, dawa yake ni kulipa. Karim hakuringa kamwe kama afanyavyo tausi. Aliendelea kufanya za mchwa na kujifunga kibwebwe. Aliendelea na masomo yake hadi chuo kikuu. Baada ya kumaliza masomo yake na kufaulu alipata kazi kama mkurugenzi wa kampuni ya kutengeneza mbolea kutoka kwa samadi ya ng'ombe. Wavyele wake pamoja na yule tajiri walikuwa na furaha mpwitompwito kama mama waliojifungua salama salimini. Karim aliwajengea wazazi wake jumba la kifahari mno. Baada ya mwongo mmoja, kila mmoja kutoka mlango wao alikuwa amepata mwili wenye siha si haba. Uso wake, mama yake Karim ulikuwa maji ya kunde na wenye kung'aa kama mbalamwezi. Ama kwa yakini hawakuwa mbumbumbu walipoketi barazani na kulonga kuwa mgaagaa na Upwa hali wali mtupu. Funzo tupatalo ni kuwa Mungu hamwachi mja wake. Pili waliobahatika wasaidie wale ambao hawajabahatika. Mwenye kusaidiwa naye asaidie kwani kwendako hisani hurudi hisani hakurudi nuksani.
Nani asiyekula wali mkavu?
{ "text": [ "Mgaagaa" ] }
1473_swa
pamoja na koto. Ahadi ni deni, dawa yake ni kulipa. Karim hakuringa kamwe kama afanyavyo tausi. Aliendelea kufanya za mchwa na kujifunga kibwebwe. Aliendelea na masomo yake hadi chuo kikuu. Baada ya kumaliza masomo yake na kufaulu alipata kazi kama mkurugenzi wa kampuni ya kutengeneza mbolea kutoka kwa samadi ya ng'ombe. Wavyele wake pamoja na yule tajiri walikuwa na furaha mpwitompwito kama mama waliojifungua salama salimini. Karim aliwajengea wazazi wake jumba la kifahari mno. Baada ya mwongo mmoja, kila mmoja kutoka mlango wao alikuwa amepata mwili wenye siha si haba. Uso wake, mama yake Karim ulikuwa maji ya kunde na wenye kung'aa kama mbalamwezi. Ama kwa yakini hawakuwa mbumbumbu walipoketi barazani na kulonga kuwa mgaagaa na Upwa hali wali mtupu. Funzo tupatalo ni kuwa Mungu hamwachi mja wake. Pili waliobahatika wasaidie wale ambao hawajabahatika. Mwenye kusaidiwa naye asaidie kwani kwendako hisani hurudi hisani hakurudi nuksani.
Mtaka cha mvunguni sharti afanye nini?
{ "text": [ "Ainame" ] }
1473_swa
pamoja na koto. Ahadi ni deni, dawa yake ni kulipa. Karim hakuringa kamwe kama afanyavyo tausi. Aliendelea kufanya za mchwa na kujifunga kibwebwe. Aliendelea na masomo yake hadi chuo kikuu. Baada ya kumaliza masomo yake na kufaulu alipata kazi kama mkurugenzi wa kampuni ya kutengeneza mbolea kutoka kwa samadi ya ng'ombe. Wavyele wake pamoja na yule tajiri walikuwa na furaha mpwitompwito kama mama waliojifungua salama salimini. Karim aliwajengea wazazi wake jumba la kifahari mno. Baada ya mwongo mmoja, kila mmoja kutoka mlango wao alikuwa amepata mwili wenye siha si haba. Uso wake, mama yake Karim ulikuwa maji ya kunde na wenye kung'aa kama mbalamwezi. Ama kwa yakini hawakuwa mbumbumbu walipoketi barazani na kulonga kuwa mgaagaa na Upwa hali wali mtupu. Funzo tupatalo ni kuwa Mungu hamwachi mja wake. Pili waliobahatika wasaidie wale ambao hawajabahatika. Mwenye kusaidiwa naye asaidie kwani kwendako hisani hurudi hisani hakurudi nuksani.
Ghulamu anayezungumziwa na mwandishi alitoka katika kitongoji kipi?
{ "text": [ "Abkasim" ] }
1473_swa
pamoja na koto. Ahadi ni deni, dawa yake ni kulipa. Karim hakuringa kamwe kama afanyavyo tausi. Aliendelea kufanya za mchwa na kujifunga kibwebwe. Aliendelea na masomo yake hadi chuo kikuu. Baada ya kumaliza masomo yake na kufaulu alipata kazi kama mkurugenzi wa kampuni ya kutengeneza mbolea kutoka kwa samadi ya ng'ombe. Wavyele wake pamoja na yule tajiri walikuwa na furaha mpwitompwito kama mama waliojifungua salama salimini. Karim aliwajengea wazazi wake jumba la kifahari mno. Baada ya mwongo mmoja, kila mmoja kutoka mlango wao alikuwa amepata mwili wenye siha si haba. Uso wake, mama yake Karim ulikuwa maji ya kunde na wenye kung'aa kama mbalamwezi. Ama kwa yakini hawakuwa mbumbumbu walipoketi barazani na kulonga kuwa mgaagaa na Upwa hali wali mtupu. Funzo tupatalo ni kuwa Mungu hamwachi mja wake. Pili waliobahatika wasaidie wale ambao hawajabahatika. Mwenye kusaidiwa naye asaidie kwani kwendako hisani hurudi hisani hakurudi nuksani.
Jahazi la mkata haliendi wapi?
{ "text": [ "Jozi" ] }
1474_swa
.....baada ya hayo tulirejea nyumbani tukiwa na aibu na hasira. Kaski moja nilirauka bukrata wa ashia kabla ya kikwara wa kwanza kuwika. Ni kwa kuwa nilijua kuwa nyota njema huonekana alfajiri. Nilikuwa na furaha riboribo mithili ya gumba aliyesababisha kizazi. Nilitoka chumbani mwangu kwa mwendo wa kobe hadi jikoni. Mwia si mwia, nilimaliza na kuishia hadi sebuleni nilioga na kuyavalia mavazi yangu na kunifanya nitie fora. Nilielekwa shuleni mapema zaidi. Ilikuwa ni siku ya michezo shuleni mwetu. Shule jirani ingefika kutoana jasho na wachezaji wetu. Wengi wa mashabiki na maashiki walisikika wakisema "leo ni leo msema kesho ni mwongo." Mnamo mwendo wa saa nne mchana, miamba wale wawili waliteremka hadi ugani. Vifijo na nderemo zilifunika kote. Wachezaji wote wa timu mbili walivalia sare za kutia fora. Kabla ya mechi kuanza, kila timu ilipiga bismilahi kwa Maulana kwani walielewa mwomba Mola si mtovu. Punde si punde kipenga kilipulizwa na kinyang'anyiro kilianza. Hayawi hayawi huwa, wachezaji wa kila timu walijaribu juu chini kudhihirisha umahiri na ustadi wao wa kusakata soka. Mashabiki nao walishangilia timu zao vilivyo. Wachezaji wetu walionyesha bidii ya mchwa nasi tukawashangilia maradufu. Kwani si wahenga walisema kuwa mcheza kwao hutuzwa. Dakika ya kumi, mchezaji wetu nambari 5 alipata kucheka na wavu kwa kuingiza bao la kwanza. Waama wavuvi wa pweza huопапа mwambani. Nderemo zilisikika kutoka kwa mashabiki wa timu yetu. Wachezaji wa timu geni walinyamaza mithili ya maji mtungini na kukunja mikia yao. Mambo yalikuwa yamewaendea segemnege. Tuliwabeza huku tukiwakumbusha kuwa jogoo wa shambani hawiki mjini. Dakika ya arubaini mchezaji yule yule aliingiza goli jingine. Lo! Nakwambia wachezaji wetu walikuwa na bidii za mchwa. Walicheza kufa na kupona huku wakielewa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Wachezaji wale hawakufa moyo walizidi kujikakamua. Baadaye kidogo kipenga kililia na ukatimia wakati wa mapumziko. Tuliwapongeza wachezaji wetu kwa kuwa chanda chema huvishwa pete. Wapinzani wetu walijikunyata katika pembe moja ya uwanja huku wakielezwa kuwa kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga sima. Kipindi kilipotimia, wachezaji walijitoma uwanjani kwa kipindi cha "kwaheri ya kuonana." Mechi ikaendelea. Mchezo ulikuwa wa kasi huku vikoa vyote viwili vikatafuta bao kwa udi na uvumba. Mnamo muda wa dakika sabini na tano, timu geni ikacheka na wavu. Mashabiki wa timu geni waliendelea kushangilia huku wakijua kuwa penye nia pana njia. Mara wakafunga bao la pili. Lo! Mambo yakawa sulubu bin suluhu. Mambo yalianza kwenda mrama. Kumbe wahenga hawakutuchezea kayaya ya chini. Kwa chini walipolenga kutangulia sio kufika na mpanda ngazi hushuka! Nyasi zilizidi kuumia. Nilitamani ardhi ipanuke inimeze niliposhuhudia mchezaji wa timu pinzani akiwapiga chenga wachezaji wetu tatu na kutingiza wavu. Maskini mlinda lango wetu alipiga mbizi upande wa kulia huku mpira ukielekea upande wa kushoto. Kwani methali isemayo baada ya dhiki furaja ilikuwa kinyume kwetu. Mchezaji yule yule alipiga mkwaya wa nne na wa tamati. Kwani wahenga hawakuwa bwegi bin bazi waliponena "Mgema akisifiwa tembo hulitia maji." Refa alipuliza kipenga na mechi ikafika mwisho huku timu geni ikiwa kifua mbele. Kwani kimya kingi kina kishindo kikuu. Baada ya hayo tulitegea nyumbani tukiwa na aibu na hasira.
Nyota njema huonekana lini
{ "text": [ "Asubuhi" ] }
1474_swa
.....baada ya hayo tulirejea nyumbani tukiwa na aibu na hasira. Kaski moja nilirauka bukrata wa ashia kabla ya kikwara wa kwanza kuwika. Ni kwa kuwa nilijua kuwa nyota njema huonekana alfajiri. Nilikuwa na furaha riboribo mithili ya gumba aliyesababisha kizazi. Nilitoka chumbani mwangu kwa mwendo wa kobe hadi jikoni. Mwia si mwia, nilimaliza na kuishia hadi sebuleni nilioga na kuyavalia mavazi yangu na kunifanya nitie fora. Nilielekwa shuleni mapema zaidi. Ilikuwa ni siku ya michezo shuleni mwetu. Shule jirani ingefika kutoana jasho na wachezaji wetu. Wengi wa mashabiki na maashiki walisikika wakisema "leo ni leo msema kesho ni mwongo." Mnamo mwendo wa saa nne mchana, miamba wale wawili waliteremka hadi ugani. Vifijo na nderemo zilifunika kote. Wachezaji wote wa timu mbili walivalia sare za kutia fora. Kabla ya mechi kuanza, kila timu ilipiga bismilahi kwa Maulana kwani walielewa mwomba Mola si mtovu. Punde si punde kipenga kilipulizwa na kinyang'anyiro kilianza. Hayawi hayawi huwa, wachezaji wa kila timu walijaribu juu chini kudhihirisha umahiri na ustadi wao wa kusakata soka. Mashabiki nao walishangilia timu zao vilivyo. Wachezaji wetu walionyesha bidii ya mchwa nasi tukawashangilia maradufu. Kwani si wahenga walisema kuwa mcheza kwao hutuzwa. Dakika ya kumi, mchezaji wetu nambari 5 alipata kucheka na wavu kwa kuingiza bao la kwanza. Waama wavuvi wa pweza huопапа mwambani. Nderemo zilisikika kutoka kwa mashabiki wa timu yetu. Wachezaji wa timu geni walinyamaza mithili ya maji mtungini na kukunja mikia yao. Mambo yalikuwa yamewaendea segemnege. Tuliwabeza huku tukiwakumbusha kuwa jogoo wa shambani hawiki mjini. Dakika ya arubaini mchezaji yule yule aliingiza goli jingine. Lo! Nakwambia wachezaji wetu walikuwa na bidii za mchwa. Walicheza kufa na kupona huku wakielewa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Wachezaji wale hawakufa moyo walizidi kujikakamua. Baadaye kidogo kipenga kililia na ukatimia wakati wa mapumziko. Tuliwapongeza wachezaji wetu kwa kuwa chanda chema huvishwa pete. Wapinzani wetu walijikunyata katika pembe moja ya uwanja huku wakielezwa kuwa kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga sima. Kipindi kilipotimia, wachezaji walijitoma uwanjani kwa kipindi cha "kwaheri ya kuonana." Mechi ikaendelea. Mchezo ulikuwa wa kasi huku vikoa vyote viwili vikatafuta bao kwa udi na uvumba. Mnamo muda wa dakika sabini na tano, timu geni ikacheka na wavu. Mashabiki wa timu geni waliendelea kushangilia huku wakijua kuwa penye nia pana njia. Mara wakafunga bao la pili. Lo! Mambo yakawa sulubu bin suluhu. Mambo yalianza kwenda mrama. Kumbe wahenga hawakutuchezea kayaya ya chini. Kwa chini walipolenga kutangulia sio kufika na mpanda ngazi hushuka! Nyasi zilizidi kuumia. Nilitamani ardhi ipanuke inimeze niliposhuhudia mchezaji wa timu pinzani akiwapiga chenga wachezaji wetu tatu na kutingiza wavu. Maskini mlinda lango wetu alipiga mbizi upande wa kulia huku mpira ukielekea upande wa kushoto. Kwani methali isemayo baada ya dhiki furaja ilikuwa kinyume kwetu. Mchezaji yule yule alipiga mkwaya wa nne na wa tamati. Kwani wahenga hawakuwa bwegi bin bazi waliponena "Mgema akisifiwa tembo hulitia maji." Refa alipuliza kipenga na mechi ikafika mwisho huku timu geni ikiwa kifua mbele. Kwani kimya kingi kina kishindo kikuu. Baada ya hayo tulitegea nyumbani tukiwa na aibu na hasira.
Alikuwa na furaha aina gani
{ "text": [ "Riboribo" ] }
1474_swa
.....baada ya hayo tulirejea nyumbani tukiwa na aibu na hasira. Kaski moja nilirauka bukrata wa ashia kabla ya kikwara wa kwanza kuwika. Ni kwa kuwa nilijua kuwa nyota njema huonekana alfajiri. Nilikuwa na furaha riboribo mithili ya gumba aliyesababisha kizazi. Nilitoka chumbani mwangu kwa mwendo wa kobe hadi jikoni. Mwia si mwia, nilimaliza na kuishia hadi sebuleni nilioga na kuyavalia mavazi yangu na kunifanya nitie fora. Nilielekwa shuleni mapema zaidi. Ilikuwa ni siku ya michezo shuleni mwetu. Shule jirani ingefika kutoana jasho na wachezaji wetu. Wengi wa mashabiki na maashiki walisikika wakisema "leo ni leo msema kesho ni mwongo." Mnamo mwendo wa saa nne mchana, miamba wale wawili waliteremka hadi ugani. Vifijo na nderemo zilifunika kote. Wachezaji wote wa timu mbili walivalia sare za kutia fora. Kabla ya mechi kuanza, kila timu ilipiga bismilahi kwa Maulana kwani walielewa mwomba Mola si mtovu. Punde si punde kipenga kilipulizwa na kinyang'anyiro kilianza. Hayawi hayawi huwa, wachezaji wa kila timu walijaribu juu chini kudhihirisha umahiri na ustadi wao wa kusakata soka. Mashabiki nao walishangilia timu zao vilivyo. Wachezaji wetu walionyesha bidii ya mchwa nasi tukawashangilia maradufu. Kwani si wahenga walisema kuwa mcheza kwao hutuzwa. Dakika ya kumi, mchezaji wetu nambari 5 alipata kucheka na wavu kwa kuingiza bao la kwanza. Waama wavuvi wa pweza huопапа mwambani. Nderemo zilisikika kutoka kwa mashabiki wa timu yetu. Wachezaji wa timu geni walinyamaza mithili ya maji mtungini na kukunja mikia yao. Mambo yalikuwa yamewaendea segemnege. Tuliwabeza huku tukiwakumbusha kuwa jogoo wa shambani hawiki mjini. Dakika ya arubaini mchezaji yule yule aliingiza goli jingine. Lo! Nakwambia wachezaji wetu walikuwa na bidii za mchwa. Walicheza kufa na kupona huku wakielewa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Wachezaji wale hawakufa moyo walizidi kujikakamua. Baadaye kidogo kipenga kililia na ukatimia wakati wa mapumziko. Tuliwapongeza wachezaji wetu kwa kuwa chanda chema huvishwa pete. Wapinzani wetu walijikunyata katika pembe moja ya uwanja huku wakielezwa kuwa kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga sima. Kipindi kilipotimia, wachezaji walijitoma uwanjani kwa kipindi cha "kwaheri ya kuonana." Mechi ikaendelea. Mchezo ulikuwa wa kasi huku vikoa vyote viwili vikatafuta bao kwa udi na uvumba. Mnamo muda wa dakika sabini na tano, timu geni ikacheka na wavu. Mashabiki wa timu geni waliendelea kushangilia huku wakijua kuwa penye nia pana njia. Mara wakafunga bao la pili. Lo! Mambo yakawa sulubu bin suluhu. Mambo yalianza kwenda mrama. Kumbe wahenga hawakutuchezea kayaya ya chini. Kwa chini walipolenga kutangulia sio kufika na mpanda ngazi hushuka! Nyasi zilizidi kuumia. Nilitamani ardhi ipanuke inimeze niliposhuhudia mchezaji wa timu pinzani akiwapiga chenga wachezaji wetu tatu na kutingiza wavu. Maskini mlinda lango wetu alipiga mbizi upande wa kulia huku mpira ukielekea upande wa kushoto. Kwani methali isemayo baada ya dhiki furaja ilikuwa kinyume kwetu. Mchezaji yule yule alipiga mkwaya wa nne na wa tamati. Kwani wahenga hawakuwa bwegi bin bazi waliponena "Mgema akisifiwa tembo hulitia maji." Refa alipuliza kipenga na mechi ikafika mwisho huku timu geni ikiwa kifua mbele. Kwani kimya kingi kina kishindo kikuu. Baada ya hayo tulitegea nyumbani tukiwa na aibu na hasira.
Alielekea shuleni lini
{ "text": [ "Mapema" ] }
1474_swa
.....baada ya hayo tulirejea nyumbani tukiwa na aibu na hasira. Kaski moja nilirauka bukrata wa ashia kabla ya kikwara wa kwanza kuwika. Ni kwa kuwa nilijua kuwa nyota njema huonekana alfajiri. Nilikuwa na furaha riboribo mithili ya gumba aliyesababisha kizazi. Nilitoka chumbani mwangu kwa mwendo wa kobe hadi jikoni. Mwia si mwia, nilimaliza na kuishia hadi sebuleni nilioga na kuyavalia mavazi yangu na kunifanya nitie fora. Nilielekwa shuleni mapema zaidi. Ilikuwa ni siku ya michezo shuleni mwetu. Shule jirani ingefika kutoana jasho na wachezaji wetu. Wengi wa mashabiki na maashiki walisikika wakisema "leo ni leo msema kesho ni mwongo." Mnamo mwendo wa saa nne mchana, miamba wale wawili waliteremka hadi ugani. Vifijo na nderemo zilifunika kote. Wachezaji wote wa timu mbili walivalia sare za kutia fora. Kabla ya mechi kuanza, kila timu ilipiga bismilahi kwa Maulana kwani walielewa mwomba Mola si mtovu. Punde si punde kipenga kilipulizwa na kinyang'anyiro kilianza. Hayawi hayawi huwa, wachezaji wa kila timu walijaribu juu chini kudhihirisha umahiri na ustadi wao wa kusakata soka. Mashabiki nao walishangilia timu zao vilivyo. Wachezaji wetu walionyesha bidii ya mchwa nasi tukawashangilia maradufu. Kwani si wahenga walisema kuwa mcheza kwao hutuzwa. Dakika ya kumi, mchezaji wetu nambari 5 alipata kucheka na wavu kwa kuingiza bao la kwanza. Waama wavuvi wa pweza huопапа mwambani. Nderemo zilisikika kutoka kwa mashabiki wa timu yetu. Wachezaji wa timu geni walinyamaza mithili ya maji mtungini na kukunja mikia yao. Mambo yalikuwa yamewaendea segemnege. Tuliwabeza huku tukiwakumbusha kuwa jogoo wa shambani hawiki mjini. Dakika ya arubaini mchezaji yule yule aliingiza goli jingine. Lo! Nakwambia wachezaji wetu walikuwa na bidii za mchwa. Walicheza kufa na kupona huku wakielewa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Wachezaji wale hawakufa moyo walizidi kujikakamua. Baadaye kidogo kipenga kililia na ukatimia wakati wa mapumziko. Tuliwapongeza wachezaji wetu kwa kuwa chanda chema huvishwa pete. Wapinzani wetu walijikunyata katika pembe moja ya uwanja huku wakielezwa kuwa kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga sima. Kipindi kilipotimia, wachezaji walijitoma uwanjani kwa kipindi cha "kwaheri ya kuonana." Mechi ikaendelea. Mchezo ulikuwa wa kasi huku vikoa vyote viwili vikatafuta bao kwa udi na uvumba. Mnamo muda wa dakika sabini na tano, timu geni ikacheka na wavu. Mashabiki wa timu geni waliendelea kushangilia huku wakijua kuwa penye nia pana njia. Mara wakafunga bao la pili. Lo! Mambo yakawa sulubu bin suluhu. Mambo yalianza kwenda mrama. Kumbe wahenga hawakutuchezea kayaya ya chini. Kwa chini walipolenga kutangulia sio kufika na mpanda ngazi hushuka! Nyasi zilizidi kuumia. Nilitamani ardhi ipanuke inimeze niliposhuhudia mchezaji wa timu pinzani akiwapiga chenga wachezaji wetu tatu na kutingiza wavu. Maskini mlinda lango wetu alipiga mbizi upande wa kulia huku mpira ukielekea upande wa kushoto. Kwani methali isemayo baada ya dhiki furaja ilikuwa kinyume kwetu. Mchezaji yule yule alipiga mkwaya wa nne na wa tamati. Kwani wahenga hawakuwa bwegi bin bazi waliponena "Mgema akisifiwa tembo hulitia maji." Refa alipuliza kipenga na mechi ikafika mwisho huku timu geni ikiwa kifua mbele. Kwani kimya kingi kina kishindo kikuu. Baada ya hayo tulitegea nyumbani tukiwa na aibu na hasira.
Timu geni ilicheka na wavu dakika ya ngapi
{ "text": [ "Sabini na tano" ] }
1474_swa
.....baada ya hayo tulirejea nyumbani tukiwa na aibu na hasira. Kaski moja nilirauka bukrata wa ashia kabla ya kikwara wa kwanza kuwika. Ni kwa kuwa nilijua kuwa nyota njema huonekana alfajiri. Nilikuwa na furaha riboribo mithili ya gumba aliyesababisha kizazi. Nilitoka chumbani mwangu kwa mwendo wa kobe hadi jikoni. Mwia si mwia, nilimaliza na kuishia hadi sebuleni nilioga na kuyavalia mavazi yangu na kunifanya nitie fora. Nilielekwa shuleni mapema zaidi. Ilikuwa ni siku ya michezo shuleni mwetu. Shule jirani ingefika kutoana jasho na wachezaji wetu. Wengi wa mashabiki na maashiki walisikika wakisema "leo ni leo msema kesho ni mwongo." Mnamo mwendo wa saa nne mchana, miamba wale wawili waliteremka hadi ugani. Vifijo na nderemo zilifunika kote. Wachezaji wote wa timu mbili walivalia sare za kutia fora. Kabla ya mechi kuanza, kila timu ilipiga bismilahi kwa Maulana kwani walielewa mwomba Mola si mtovu. Punde si punde kipenga kilipulizwa na kinyang'anyiro kilianza. Hayawi hayawi huwa, wachezaji wa kila timu walijaribu juu chini kudhihirisha umahiri na ustadi wao wa kusakata soka. Mashabiki nao walishangilia timu zao vilivyo. Wachezaji wetu walionyesha bidii ya mchwa nasi tukawashangilia maradufu. Kwani si wahenga walisema kuwa mcheza kwao hutuzwa. Dakika ya kumi, mchezaji wetu nambari 5 alipata kucheka na wavu kwa kuingiza bao la kwanza. Waama wavuvi wa pweza huопапа mwambani. Nderemo zilisikika kutoka kwa mashabiki wa timu yetu. Wachezaji wa timu geni walinyamaza mithili ya maji mtungini na kukunja mikia yao. Mambo yalikuwa yamewaendea segemnege. Tuliwabeza huku tukiwakumbusha kuwa jogoo wa shambani hawiki mjini. Dakika ya arubaini mchezaji yule yule aliingiza goli jingine. Lo! Nakwambia wachezaji wetu walikuwa na bidii za mchwa. Walicheza kufa na kupona huku wakielewa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame. Wachezaji wale hawakufa moyo walizidi kujikakamua. Baadaye kidogo kipenga kililia na ukatimia wakati wa mapumziko. Tuliwapongeza wachezaji wetu kwa kuwa chanda chema huvishwa pete. Wapinzani wetu walijikunyata katika pembe moja ya uwanja huku wakielezwa kuwa kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga sima. Kipindi kilipotimia, wachezaji walijitoma uwanjani kwa kipindi cha "kwaheri ya kuonana." Mechi ikaendelea. Mchezo ulikuwa wa kasi huku vikoa vyote viwili vikatafuta bao kwa udi na uvumba. Mnamo muda wa dakika sabini na tano, timu geni ikacheka na wavu. Mashabiki wa timu geni waliendelea kushangilia huku wakijua kuwa penye nia pana njia. Mara wakafunga bao la pili. Lo! Mambo yakawa sulubu bin suluhu. Mambo yalianza kwenda mrama. Kumbe wahenga hawakutuchezea kayaya ya chini. Kwa chini walipolenga kutangulia sio kufika na mpanda ngazi hushuka! Nyasi zilizidi kuumia. Nilitamani ardhi ipanuke inimeze niliposhuhudia mchezaji wa timu pinzani akiwapiga chenga wachezaji wetu tatu na kutingiza wavu. Maskini mlinda lango wetu alipiga mbizi upande wa kulia huku mpira ukielekea upande wa kushoto. Kwani methali isemayo baada ya dhiki furaja ilikuwa kinyume kwetu. Mchezaji yule yule alipiga mkwaya wa nne na wa tamati. Kwani wahenga hawakuwa bwegi bin bazi waliponena "Mgema akisifiwa tembo hulitia maji." Refa alipuliza kipenga na mechi ikafika mwisho huku timu geni ikiwa kifua mbele. Kwani kimya kingi kina kishindo kikuu. Baada ya hayo tulitegea nyumbani tukiwa na aibu na hasira.
Kwa nini refa alipuliza kipenga
{ "text": [ "Kuonyesha mwisho wa mechi" ] }
1475_swa
Mila ni nyendo za nasaba fulani. Desturi ni kanuni zinazofuatwa ili kuwapa waja mwongozo aushini. Ni muhimu kwa adinasi kufuata mila na desturi zao kwani mwacha mila ni mtumwa. Waaafrika wana mila na desturi si kichele. Wao hutoa kafara ili kutuliza ghadhabu za Mungu nyakati za ukame, mara nyingi, wanyama wanaotolewa kama kafara huwa weusi lau mpingo au weupe pe pe pe. Kondoo, jogoo na hata fahali huchinjwa na kutolewa kwa miungu nyakati za kadhia. Waafrika wajipatapo wakiogelea kwenye mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi hutoa kafara. Waafrika walisadiki kuwa miungu waliishi milimani, kwenye mapango, kando ya mito mikubwa na hata chini ya miti mikubwa kama mibuyu. Ghulamu walipohitimu umri wa kuingia jandoni, walitarajiwa kumenyana na wanyama wakali. Pia waliogelea katika mito yenye maji baridi kama barafu wakiwa uchi wa hayawani. Haya yote yalinuiwa kupima kiwango chao cha ujasiri. Baada ya tohara, walitarajiwa kuwa na staha. Mavazi ya Waafrika yalikuwa nadhifu na yaliyokuwa ya staha. Yalikuwa kinyume na yale yavaliwayo na wana wa siku hizi wasioambilika wala kusemeka. Magoma yalitumiwa kama njia ya mawasiliano yalipopigwa,kila mmoja alielewa kuwa mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo na kuitikia wito. Aliyepatwa na kadhia kama kifo au kuteketezwa kwa kiambo ndiye aliyepiga yale magoma, kwani kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali akaja. Mila na desturi zilikuwa dira aushini. Pasipo mila, wengi wangechanganyikiwa kwani dunia rangi rangile. Bila shaka kizuri hakikosi ila, kama walivyolonga wavyele wetu wa zama zilizoipa dunia kisogo. Desturi nyingine zilikuwa zenye dhuluma na za upuzi mkubwa. Kati ya mila zilizokuwa na nakisi ni tohara ya wanawake, ambayo ni kinyume na kuwapa wanawake haki zao. Wakati mwingine wari walivuja ngeu si haba na kusafiri hadi kuzimu, bila mwaliko maalumu baada ya kutahiri. Huzuni ilioje kuwa malaika waliozaliwa wakiwa wameota magego, au wakiwa hawana ila yoyote ili ya kimaumbile, walisindikizwa kwenda ahera kupitia mila na desturi duni. Huu ni upotovu wa shufaka kwani Mterehemezi Muumba yote hawezi kukosolewa na viumbe duni. Ni jambo la kuogofya, pengine la kushangaza kuwa katika makabila mengine mume,anaposafiri jongomeo bila nauli wala matwana, mke alitarajiwa kulala kwenye kitanda kimoja na kimba hadi che! Yamkini maskini hulazimika kufanya hayo kwa hofu ya kutembelewa na Izraili. Desturi ya kurithi wake wa wafiwa ni mojawapo ya mila zinazostahili kuzikwa katika kaburi la sahau. Hii ni kwa sababu desturi hii huchangia kuenezwa kwa ndwele za zinaa kama Ukimwi. Kwa kawaida binadamu ana dosari ya kuwa mwenye wivu na ni ukweli usiopingika kuwa hakuna bibi awezaye kujubunika amwonapo mumewe akimrithi bibi wa nduguye. Mfumo wa elimu wa kisasa,umechangia mno kupuuzwa kwa mila na desturi za Waafrika. Hii ni kwa sababu, Waafrika wanaposafiri mbali na makwao kwa masomo zaidi, hawana budi kufuata ya ugenini kwani msafiri ni kafiri. Hata hivyo, ni jukunu la kila mmoja wetu kuendeleza mila zenye mwongozo aushini na kukataa zile duni kwa kinywa kipana.
Nani wana mila na desturi si kichele
{ "text": [ "waafrika" ] }
1475_swa
Mila ni nyendo za nasaba fulani. Desturi ni kanuni zinazofuatwa ili kuwapa waja mwongozo aushini. Ni muhimu kwa adinasi kufuata mila na desturi zao kwani mwacha mila ni mtumwa. Waaafrika wana mila na desturi si kichele. Wao hutoa kafara ili kutuliza ghadhabu za Mungu nyakati za ukame, mara nyingi, wanyama wanaotolewa kama kafara huwa weusi lau mpingo au weupe pe pe pe. Kondoo, jogoo na hata fahali huchinjwa na kutolewa kwa miungu nyakati za kadhia. Waafrika wajipatapo wakiogelea kwenye mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi hutoa kafara. Waafrika walisadiki kuwa miungu waliishi milimani, kwenye mapango, kando ya mito mikubwa na hata chini ya miti mikubwa kama mibuyu. Ghulamu walipohitimu umri wa kuingia jandoni, walitarajiwa kumenyana na wanyama wakali. Pia waliogelea katika mito yenye maji baridi kama barafu wakiwa uchi wa hayawani. Haya yote yalinuiwa kupima kiwango chao cha ujasiri. Baada ya tohara, walitarajiwa kuwa na staha. Mavazi ya Waafrika yalikuwa nadhifu na yaliyokuwa ya staha. Yalikuwa kinyume na yale yavaliwayo na wana wa siku hizi wasioambilika wala kusemeka. Magoma yalitumiwa kama njia ya mawasiliano yalipopigwa,kila mmoja alielewa kuwa mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo na kuitikia wito. Aliyepatwa na kadhia kama kifo au kuteketezwa kwa kiambo ndiye aliyepiga yale magoma, kwani kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali akaja. Mila na desturi zilikuwa dira aushini. Pasipo mila, wengi wangechanganyikiwa kwani dunia rangi rangile. Bila shaka kizuri hakikosi ila, kama walivyolonga wavyele wetu wa zama zilizoipa dunia kisogo. Desturi nyingine zilikuwa zenye dhuluma na za upuzi mkubwa. Kati ya mila zilizokuwa na nakisi ni tohara ya wanawake, ambayo ni kinyume na kuwapa wanawake haki zao. Wakati mwingine wari walivuja ngeu si haba na kusafiri hadi kuzimu, bila mwaliko maalumu baada ya kutahiri. Huzuni ilioje kuwa malaika waliozaliwa wakiwa wameota magego, au wakiwa hawana ila yoyote ili ya kimaumbile, walisindikizwa kwenda ahera kupitia mila na desturi duni. Huu ni upotovu wa shufaka kwani Mterehemezi Muumba yote hawezi kukosolewa na viumbe duni. Ni jambo la kuogofya, pengine la kushangaza kuwa katika makabila mengine mume,anaposafiri jongomeo bila nauli wala matwana, mke alitarajiwa kulala kwenye kitanda kimoja na kimba hadi che! Yamkini maskini hulazimika kufanya hayo kwa hofu ya kutembelewa na Izraili. Desturi ya kurithi wake wa wafiwa ni mojawapo ya mila zinazostahili kuzikwa katika kaburi la sahau. Hii ni kwa sababu desturi hii huchangia kuenezwa kwa ndwele za zinaa kama Ukimwi. Kwa kawaida binadamu ana dosari ya kuwa mwenye wivu na ni ukweli usiopingika kuwa hakuna bibi awezaye kujubunika amwonapo mumewe akimrithi bibi wa nduguye. Mfumo wa elimu wa kisasa,umechangia mno kupuuzwa kwa mila na desturi za Waafrika. Hii ni kwa sababu, Waafrika wanaposafiri mbali na makwao kwa masomo zaidi, hawana budi kufuata ya ugenini kwani msafiri ni kafiri. Hata hivyo, ni jukunu la kila mmoja wetu kuendeleza mila zenye mwongozo aushini na kukataa zile duni kwa kinywa kipana.
Mke alitarajiwa kulala kwenye kitanda na kimba hadi lini
{ "text": [ "che" ] }
1475_swa
Mila ni nyendo za nasaba fulani. Desturi ni kanuni zinazofuatwa ili kuwapa waja mwongozo aushini. Ni muhimu kwa adinasi kufuata mila na desturi zao kwani mwacha mila ni mtumwa. Waaafrika wana mila na desturi si kichele. Wao hutoa kafara ili kutuliza ghadhabu za Mungu nyakati za ukame, mara nyingi, wanyama wanaotolewa kama kafara huwa weusi lau mpingo au weupe pe pe pe. Kondoo, jogoo na hata fahali huchinjwa na kutolewa kwa miungu nyakati za kadhia. Waafrika wajipatapo wakiogelea kwenye mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi hutoa kafara. Waafrika walisadiki kuwa miungu waliishi milimani, kwenye mapango, kando ya mito mikubwa na hata chini ya miti mikubwa kama mibuyu. Ghulamu walipohitimu umri wa kuingia jandoni, walitarajiwa kumenyana na wanyama wakali. Pia waliogelea katika mito yenye maji baridi kama barafu wakiwa uchi wa hayawani. Haya yote yalinuiwa kupima kiwango chao cha ujasiri. Baada ya tohara, walitarajiwa kuwa na staha. Mavazi ya Waafrika yalikuwa nadhifu na yaliyokuwa ya staha. Yalikuwa kinyume na yale yavaliwayo na wana wa siku hizi wasioambilika wala kusemeka. Magoma yalitumiwa kama njia ya mawasiliano yalipopigwa,kila mmoja alielewa kuwa mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo na kuitikia wito. Aliyepatwa na kadhia kama kifo au kuteketezwa kwa kiambo ndiye aliyepiga yale magoma, kwani kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali akaja. Mila na desturi zilikuwa dira aushini. Pasipo mila, wengi wangechanganyikiwa kwani dunia rangi rangile. Bila shaka kizuri hakikosi ila, kama walivyolonga wavyele wetu wa zama zilizoipa dunia kisogo. Desturi nyingine zilikuwa zenye dhuluma na za upuzi mkubwa. Kati ya mila zilizokuwa na nakisi ni tohara ya wanawake, ambayo ni kinyume na kuwapa wanawake haki zao. Wakati mwingine wari walivuja ngeu si haba na kusafiri hadi kuzimu, bila mwaliko maalumu baada ya kutahiri. Huzuni ilioje kuwa malaika waliozaliwa wakiwa wameota magego, au wakiwa hawana ila yoyote ili ya kimaumbile, walisindikizwa kwenda ahera kupitia mila na desturi duni. Huu ni upotovu wa shufaka kwani Mterehemezi Muumba yote hawezi kukosolewa na viumbe duni. Ni jambo la kuogofya, pengine la kushangaza kuwa katika makabila mengine mume,anaposafiri jongomeo bila nauli wala matwana, mke alitarajiwa kulala kwenye kitanda kimoja na kimba hadi che! Yamkini maskini hulazimika kufanya hayo kwa hofu ya kutembelewa na Izraili. Desturi ya kurithi wake wa wafiwa ni mojawapo ya mila zinazostahili kuzikwa katika kaburi la sahau. Hii ni kwa sababu desturi hii huchangia kuenezwa kwa ndwele za zinaa kama Ukimwi. Kwa kawaida binadamu ana dosari ya kuwa mwenye wivu na ni ukweli usiopingika kuwa hakuna bibi awezaye kujubunika amwonapo mumewe akimrithi bibi wa nduguye. Mfumo wa elimu wa kisasa,umechangia mno kupuuzwa kwa mila na desturi za Waafrika. Hii ni kwa sababu, Waafrika wanaposafiri mbali na makwao kwa masomo zaidi, hawana budi kufuata ya ugenini kwani msafiri ni kafiri. Hata hivyo, ni jukunu la kila mmoja wetu kuendeleza mila zenye mwongozo aushini na kukataa zile duni kwa kinywa kipana.
Desturi ya kuridhi wake hueneze ndwele gani
{ "text": [ "za zinaa" ] }
1475_swa
Mila ni nyendo za nasaba fulani. Desturi ni kanuni zinazofuatwa ili kuwapa waja mwongozo aushini. Ni muhimu kwa adinasi kufuata mila na desturi zao kwani mwacha mila ni mtumwa. Waaafrika wana mila na desturi si kichele. Wao hutoa kafara ili kutuliza ghadhabu za Mungu nyakati za ukame, mara nyingi, wanyama wanaotolewa kama kafara huwa weusi lau mpingo au weupe pe pe pe. Kondoo, jogoo na hata fahali huchinjwa na kutolewa kwa miungu nyakati za kadhia. Waafrika wajipatapo wakiogelea kwenye mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi hutoa kafara. Waafrika walisadiki kuwa miungu waliishi milimani, kwenye mapango, kando ya mito mikubwa na hata chini ya miti mikubwa kama mibuyu. Ghulamu walipohitimu umri wa kuingia jandoni, walitarajiwa kumenyana na wanyama wakali. Pia waliogelea katika mito yenye maji baridi kama barafu wakiwa uchi wa hayawani. Haya yote yalinuiwa kupima kiwango chao cha ujasiri. Baada ya tohara, walitarajiwa kuwa na staha. Mavazi ya Waafrika yalikuwa nadhifu na yaliyokuwa ya staha. Yalikuwa kinyume na yale yavaliwayo na wana wa siku hizi wasioambilika wala kusemeka. Magoma yalitumiwa kama njia ya mawasiliano yalipopigwa,kila mmoja alielewa kuwa mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo na kuitikia wito. Aliyepatwa na kadhia kama kifo au kuteketezwa kwa kiambo ndiye aliyepiga yale magoma, kwani kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali akaja. Mila na desturi zilikuwa dira aushini. Pasipo mila, wengi wangechanganyikiwa kwani dunia rangi rangile. Bila shaka kizuri hakikosi ila, kama walivyolonga wavyele wetu wa zama zilizoipa dunia kisogo. Desturi nyingine zilikuwa zenye dhuluma na za upuzi mkubwa. Kati ya mila zilizokuwa na nakisi ni tohara ya wanawake, ambayo ni kinyume na kuwapa wanawake haki zao. Wakati mwingine wari walivuja ngeu si haba na kusafiri hadi kuzimu, bila mwaliko maalumu baada ya kutahiri. Huzuni ilioje kuwa malaika waliozaliwa wakiwa wameota magego, au wakiwa hawana ila yoyote ili ya kimaumbile, walisindikizwa kwenda ahera kupitia mila na desturi duni. Huu ni upotovu wa shufaka kwani Mterehemezi Muumba yote hawezi kukosolewa na viumbe duni. Ni jambo la kuogofya, pengine la kushangaza kuwa katika makabila mengine mume,anaposafiri jongomeo bila nauli wala matwana, mke alitarajiwa kulala kwenye kitanda kimoja na kimba hadi che! Yamkini maskini hulazimika kufanya hayo kwa hofu ya kutembelewa na Izraili. Desturi ya kurithi wake wa wafiwa ni mojawapo ya mila zinazostahili kuzikwa katika kaburi la sahau. Hii ni kwa sababu desturi hii huchangia kuenezwa kwa ndwele za zinaa kama Ukimwi. Kwa kawaida binadamu ana dosari ya kuwa mwenye wivu na ni ukweli usiopingika kuwa hakuna bibi awezaye kujubunika amwonapo mumewe akimrithi bibi wa nduguye. Mfumo wa elimu wa kisasa,umechangia mno kupuuzwa kwa mila na desturi za Waafrika. Hii ni kwa sababu, Waafrika wanaposafiri mbali na makwao kwa masomo zaidi, hawana budi kufuata ya ugenini kwani msafiri ni kafiri. Hata hivyo, ni jukunu la kila mmoja wetu kuendeleza mila zenye mwongozo aushini na kukataa zile duni kwa kinywa kipana.
Malaika walizaliwa wakiwa wameota nini
{ "text": [ "magego" ] }
1475_swa
Mila ni nyendo za nasaba fulani. Desturi ni kanuni zinazofuatwa ili kuwapa waja mwongozo aushini. Ni muhimu kwa adinasi kufuata mila na desturi zao kwani mwacha mila ni mtumwa. Waaafrika wana mila na desturi si kichele. Wao hutoa kafara ili kutuliza ghadhabu za Mungu nyakati za ukame, mara nyingi, wanyama wanaotolewa kama kafara huwa weusi lau mpingo au weupe pe pe pe. Kondoo, jogoo na hata fahali huchinjwa na kutolewa kwa miungu nyakati za kadhia. Waafrika wajipatapo wakiogelea kwenye mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi hutoa kafara. Waafrika walisadiki kuwa miungu waliishi milimani, kwenye mapango, kando ya mito mikubwa na hata chini ya miti mikubwa kama mibuyu. Ghulamu walipohitimu umri wa kuingia jandoni, walitarajiwa kumenyana na wanyama wakali. Pia waliogelea katika mito yenye maji baridi kama barafu wakiwa uchi wa hayawani. Haya yote yalinuiwa kupima kiwango chao cha ujasiri. Baada ya tohara, walitarajiwa kuwa na staha. Mavazi ya Waafrika yalikuwa nadhifu na yaliyokuwa ya staha. Yalikuwa kinyume na yale yavaliwayo na wana wa siku hizi wasioambilika wala kusemeka. Magoma yalitumiwa kama njia ya mawasiliano yalipopigwa,kila mmoja alielewa kuwa mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo na kuitikia wito. Aliyepatwa na kadhia kama kifo au kuteketezwa kwa kiambo ndiye aliyepiga yale magoma, kwani kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali akaja. Mila na desturi zilikuwa dira aushini. Pasipo mila, wengi wangechanganyikiwa kwani dunia rangi rangile. Bila shaka kizuri hakikosi ila, kama walivyolonga wavyele wetu wa zama zilizoipa dunia kisogo. Desturi nyingine zilikuwa zenye dhuluma na za upuzi mkubwa. Kati ya mila zilizokuwa na nakisi ni tohara ya wanawake, ambayo ni kinyume na kuwapa wanawake haki zao. Wakati mwingine wari walivuja ngeu si haba na kusafiri hadi kuzimu, bila mwaliko maalumu baada ya kutahiri. Huzuni ilioje kuwa malaika waliozaliwa wakiwa wameota magego, au wakiwa hawana ila yoyote ili ya kimaumbile, walisindikizwa kwenda ahera kupitia mila na desturi duni. Huu ni upotovu wa shufaka kwani Mterehemezi Muumba yote hawezi kukosolewa na viumbe duni. Ni jambo la kuogofya, pengine la kushangaza kuwa katika makabila mengine mume,anaposafiri jongomeo bila nauli wala matwana, mke alitarajiwa kulala kwenye kitanda kimoja na kimba hadi che! Yamkini maskini hulazimika kufanya hayo kwa hofu ya kutembelewa na Izraili. Desturi ya kurithi wake wa wafiwa ni mojawapo ya mila zinazostahili kuzikwa katika kaburi la sahau. Hii ni kwa sababu desturi hii huchangia kuenezwa kwa ndwele za zinaa kama Ukimwi. Kwa kawaida binadamu ana dosari ya kuwa mwenye wivu na ni ukweli usiopingika kuwa hakuna bibi awezaye kujubunika amwonapo mumewe akimrithi bibi wa nduguye. Mfumo wa elimu wa kisasa,umechangia mno kupuuzwa kwa mila na desturi za Waafrika. Hii ni kwa sababu, Waafrika wanaposafiri mbali na makwao kwa masomo zaidi, hawana budi kufuata ya ugenini kwani msafiri ni kafiri. Hata hivyo, ni jukunu la kila mmoja wetu kuendeleza mila zenye mwongozo aushini na kukataa zile duni kwa kinywa kipana.
Mbona waafrika hutoa kafara
{ "text": [ "ili kutuliza ghadhabu za Mungu nyakati za ukame" ] }
1476_swa
Janga la uele usiogangika wa ukimwi ni tisho kubwa. Kungwi walio katika giza la kaniki kuhusu jinsi virusi vya uele huu husambaa hutumia kisu kimoja kuwatahiri wasichana unyagoni. Kitendo hiki kimewapa wasichana wengi tiketi ya kufumwa na mvi wa manaya. Maradhi mengine yawezayo kusababishwa na tohara ya wanawake ni yale ya zinaa. Aidha isipofanywa kwa njia mufti wari wanaweza kuvuja ngeu nyingi. Licha ya kuhisi uchungu mwingi, wasichana hawa wanatarajiwa kuozwa tu, mara baada ya kutoka unyagoni. Kisa na maana ni kuwa wamekuwa watu wazima. Dhuluma hii huwanyima nafasi katika nyanja za elimu. Je, mtoto wa miaka kumi na miwili akitahiriwa kisha aozwe atayaweza ya kijamii kweli? Tohara kwa wanawake imepigwa marufuku na serikali ya nchi yetu ya Kenya. Makanisa vile vile yamepiga marufuku tabia hii mbi. Ni jukumu la kila mtu mzalendo kushirikiana na serikali, makanisa na mashirika mengine kukomesha kitendo hiki kikatili. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Wasichana wetu wanapofikisha umri wa kubaleghe, badala ya kupashwa tohara wapelekwe katika warsha za kuwafunza kuhusu utu uzima. Mawaidha waliokuwa wakipewa wakati huo yaimarishwe na wapashwe habari hizo kulingana na umuhimu wa maisha ya siku hizi. Maisha ya sasa yataka kuzungumziana na kuelezana kinaga ubaga pasi na kuficha chochote. Yajapo bila shaka yapokee.
Mterehemezi aliwapa Wayahudi amri ipi?
{ "text": [ "Kupashwa tohara" ] }
1476_swa
Janga la uele usiogangika wa ukimwi ni tisho kubwa. Kungwi walio katika giza la kaniki kuhusu jinsi virusi vya uele huu husambaa hutumia kisu kimoja kuwatahiri wasichana unyagoni. Kitendo hiki kimewapa wasichana wengi tiketi ya kufumwa na mvi wa manaya. Maradhi mengine yawezayo kusababishwa na tohara ya wanawake ni yale ya zinaa. Aidha isipofanywa kwa njia mufti wari wanaweza kuvuja ngeu nyingi. Licha ya kuhisi uchungu mwingi, wasichana hawa wanatarajiwa kuozwa tu, mara baada ya kutoka unyagoni. Kisa na maana ni kuwa wamekuwa watu wazima. Dhuluma hii huwanyima nafasi katika nyanja za elimu. Je, mtoto wa miaka kumi na miwili akitahiriwa kisha aozwe atayaweza ya kijamii kweli? Tohara kwa wanawake imepigwa marufuku na serikali ya nchi yetu ya Kenya. Makanisa vile vile yamepiga marufuku tabia hii mbi. Ni jukumu la kila mtu mzalendo kushirikiana na serikali, makanisa na mashirika mengine kukomesha kitendo hiki kikatili. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Wasichana wetu wanapofikisha umri wa kubaleghe, badala ya kupashwa tohara wapelekwe katika warsha za kuwafunza kuhusu utu uzima. Mawaidha waliokuwa wakipewa wakati huo yaimarishwe na wapashwe habari hizo kulingana na umuhimu wa maisha ya siku hizi. Maisha ya sasa yataka kuzungumziana na kuelezana kinaga ubaga pasi na kuficha chochote. Yajapo bila shaka yapokee.
Wayahudi walipashwa tohari kwa sababu gani?
{ "text": [ "Kutambulika kama wana wake" ] }
1476_swa
Janga la uele usiogangika wa ukimwi ni tisho kubwa. Kungwi walio katika giza la kaniki kuhusu jinsi virusi vya uele huu husambaa hutumia kisu kimoja kuwatahiri wasichana unyagoni. Kitendo hiki kimewapa wasichana wengi tiketi ya kufumwa na mvi wa manaya. Maradhi mengine yawezayo kusababishwa na tohara ya wanawake ni yale ya zinaa. Aidha isipofanywa kwa njia mufti wari wanaweza kuvuja ngeu nyingi. Licha ya kuhisi uchungu mwingi, wasichana hawa wanatarajiwa kuozwa tu, mara baada ya kutoka unyagoni. Kisa na maana ni kuwa wamekuwa watu wazima. Dhuluma hii huwanyima nafasi katika nyanja za elimu. Je, mtoto wa miaka kumi na miwili akitahiriwa kisha aozwe atayaweza ya kijamii kweli? Tohara kwa wanawake imepigwa marufuku na serikali ya nchi yetu ya Kenya. Makanisa vile vile yamepiga marufuku tabia hii mbi. Ni jukumu la kila mtu mzalendo kushirikiana na serikali, makanisa na mashirika mengine kukomesha kitendo hiki kikatili. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Wasichana wetu wanapofikisha umri wa kubaleghe, badala ya kupashwa tohara wapelekwe katika warsha za kuwafunza kuhusu utu uzima. Mawaidha waliokuwa wakipewa wakati huo yaimarishwe na wapashwe habari hizo kulingana na umuhimu wa maisha ya siku hizi. Maisha ya sasa yataka kuzungumziana na kuelezana kinaga ubaga pasi na kuficha chochote. Yajapo bila shaka yapokee.
Mwacha mila ni nani?
{ "text": [ "Mtumwa" ] }
1476_swa
Janga la uele usiogangika wa ukimwi ni tisho kubwa. Kungwi walio katika giza la kaniki kuhusu jinsi virusi vya uele huu husambaa hutumia kisu kimoja kuwatahiri wasichana unyagoni. Kitendo hiki kimewapa wasichana wengi tiketi ya kufumwa na mvi wa manaya. Maradhi mengine yawezayo kusababishwa na tohara ya wanawake ni yale ya zinaa. Aidha isipofanywa kwa njia mufti wari wanaweza kuvuja ngeu nyingi. Licha ya kuhisi uchungu mwingi, wasichana hawa wanatarajiwa kuozwa tu, mara baada ya kutoka unyagoni. Kisa na maana ni kuwa wamekuwa watu wazima. Dhuluma hii huwanyima nafasi katika nyanja za elimu. Je, mtoto wa miaka kumi na miwili akitahiriwa kisha aozwe atayaweza ya kijamii kweli? Tohara kwa wanawake imepigwa marufuku na serikali ya nchi yetu ya Kenya. Makanisa vile vile yamepiga marufuku tabia hii mbi. Ni jukumu la kila mtu mzalendo kushirikiana na serikali, makanisa na mashirika mengine kukomesha kitendo hiki kikatili. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Wasichana wetu wanapofikisha umri wa kubaleghe, badala ya kupashwa tohara wapelekwe katika warsha za kuwafunza kuhusu utu uzima. Mawaidha waliokuwa wakipewa wakati huo yaimarishwe na wapashwe habari hizo kulingana na umuhimu wa maisha ya siku hizi. Maisha ya sasa yataka kuzungumziana na kuelezana kinaga ubaga pasi na kuficha chochote. Yajapo bila shaka yapokee.
Kupashwa tohara haina maana yoyote kwa kina nani?
{ "text": [ "Wanawali" ] }
1476_swa
Janga la uele usiogangika wa ukimwi ni tisho kubwa. Kungwi walio katika giza la kaniki kuhusu jinsi virusi vya uele huu husambaa hutumia kisu kimoja kuwatahiri wasichana unyagoni. Kitendo hiki kimewapa wasichana wengi tiketi ya kufumwa na mvi wa manaya. Maradhi mengine yawezayo kusababishwa na tohara ya wanawake ni yale ya zinaa. Aidha isipofanywa kwa njia mufti wari wanaweza kuvuja ngeu nyingi. Licha ya kuhisi uchungu mwingi, wasichana hawa wanatarajiwa kuozwa tu, mara baada ya kutoka unyagoni. Kisa na maana ni kuwa wamekuwa watu wazima. Dhuluma hii huwanyima nafasi katika nyanja za elimu. Je, mtoto wa miaka kumi na miwili akitahiriwa kisha aozwe atayaweza ya kijamii kweli? Tohara kwa wanawake imepigwa marufuku na serikali ya nchi yetu ya Kenya. Makanisa vile vile yamepiga marufuku tabia hii mbi. Ni jukumu la kila mtu mzalendo kushirikiana na serikali, makanisa na mashirika mengine kukomesha kitendo hiki kikatili. Tukumbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa. Wasichana wetu wanapofikisha umri wa kubaleghe, badala ya kupashwa tohara wapelekwe katika warsha za kuwafunza kuhusu utu uzima. Mawaidha waliokuwa wakipewa wakati huo yaimarishwe na wapashwe habari hizo kulingana na umuhimu wa maisha ya siku hizi. Maisha ya sasa yataka kuzungumziana na kuelezana kinaga ubaga pasi na kuficha chochote. Yajapo bila shaka yapokee.
Nani huwatahirisha wana vichakani?
{ "text": [ "Kungwi" ] }
1477_swa
SHULE ZA BWENI NI BORA KULIKO ZA KUTWA Vidokezi Utangulizi Kuunga mkono - Kupinga 1. Muda wa kusoma ni mwingi - 1. Wanafunzi hukosa uhusiano na jamii yake 2. Mazingara ya kusoma ni bora - 2. Usambazaji wa maradhi 3. Usalama - 3. Upweke 4. Mwanafunzi hujifunza kujitegemea 5. Usawa kati ya wanafunzi Shule ni mahali ambapo wanafunzi hufundiswa elimu ya kusoma, kuandika na hisabati. Pia ni mahali ambapo watoto kutoka jamii tofauti tofauti hukutana na kubadilishana mawazo na kutangamana vyema. Nchini kuna shule za umma na zile za kibinafsi au za mashirika au zile zilizoanzishwa na dini mbalimbali. Kati ya shule hizi kuna zile ambazo wanafunzi hawaruhusiwi kurudi nyumbani baada ya masomo. Hizi ndizo za bweni. Zile shule ambazo wanafunzi hurudi nyumbani baada ya masomo ya jioni huitwa shule za kutwa. Shule za bweni ni bora kuliko za kutwa kwa sababu wanafunzi wanasomea katika shule hizi hupata muda wa kutosha kusoma bila kupoteza wakati wowote kutumwa hapa na pale. Wale wanaosomea shule, za kutwa hutumwa dukani, sokoni, mtoni na huchoka sana unapofika wakati wa kusoma. Aidha wao hufanya kazi nyingi nyumbani, si shambani si jikoni, si malishoni. Mazingira ya kusomea katika shule za bweni huwa ni bora zaidi kuliko shule za kutwa. Endapo mwanafunzi atapata utata katika masomo yake, huweza kuwafikia wenzake au walimu haraka na kupata usaidizi. Ama kweli fimbo ya karibu ndiyo iuayo nyoka. Vilevile usalama wa wanafunzi wanaosomea shule za bweni huwa ni mkubwa sana kwa vile hawatoki shuleni, basi hakuna lolote linaloweza kuwadhuru kama vile wale wanaosomea shule za kutwa. Njiani kwenda na kurudi nyumbani wao hawana usalama wa kutosha kutokana na wanyama wakali, wabakaji, watekaji nyara na hata wauwaji. Bila usalama, masomo na ndoto za wanafunzi huwathirika mno. Licha ya hayo, wanafunzi katika shule za bweni hujifunza kujitegemea. Hata wakiwa wadogo wanaweza kujifulia, kupiga deki, kutandika vitanda, kuoga wenyewe na hata kujilisha. Wale ambao wanakuwa na mama zao kila siku au yaya huzembea zaidi na hata huwa na mawazo ya kitoto kila kuchao. Aidha shule za bweni huleta usawa kati ya wanafunzi kwani mazingira yao huwa sawa ingawa wanatoka katika jamii tofauti. Matajiri na masikini ni sawa katika shule za bweni ilhali katika shule za kutwa kuna mgawanyiko mkubwa sana kwani kuna wale hupelekwa shuleni kwa magari makubwa, wengine baskeli na wengine hutembea. Hili huathiri uhusiano wa wanafunzi na huchangia utengano baina yao. Hata hivyo hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Wanafunzi wanaosomea katika shule za bweni, hukosa uhusiano wa karibu na familia zao. Wengi husononeka na kufikiria nyumbani kila mara ilhali wale wanaosomea shule za kutwa hutangamana na jamii zao kila siku baada ya kurudi nyumbani magharibi. Isitoshe,mkurupuko wa maradhi utokeapo katika shule za bweni , maradhi hayo husambaa haraka na wanafunzi wengi huathirika. Hii husababisha kufungwa kwa shule na kukatiza masomo kwa muda ilhali wale wa shule za kutwa wanaendelea kusoma bila bughudha. Basi, kwa sababu kadhaa nilizozitaja sina budi kuwaalika wenzangu kujiunga na shule za bweni. Waama, chema chajiuza. Elimu ni taa na taa hizi zitang'aa gizani ikiwa kila mtoto atapewa fursa na kupata elimu katika mazingira bora.
Shuleni wanafunzi hufundishwa nini
{ "text": [ "Elimu ya kusoma, kuandika na hisabati" ] }
1477_swa
SHULE ZA BWENI NI BORA KULIKO ZA KUTWA Vidokezi Utangulizi Kuunga mkono - Kupinga 1. Muda wa kusoma ni mwingi - 1. Wanafunzi hukosa uhusiano na jamii yake 2. Mazingara ya kusoma ni bora - 2. Usambazaji wa maradhi 3. Usalama - 3. Upweke 4. Mwanafunzi hujifunza kujitegemea 5. Usawa kati ya wanafunzi Shule ni mahali ambapo wanafunzi hufundiswa elimu ya kusoma, kuandika na hisabati. Pia ni mahali ambapo watoto kutoka jamii tofauti tofauti hukutana na kubadilishana mawazo na kutangamana vyema. Nchini kuna shule za umma na zile za kibinafsi au za mashirika au zile zilizoanzishwa na dini mbalimbali. Kati ya shule hizi kuna zile ambazo wanafunzi hawaruhusiwi kurudi nyumbani baada ya masomo. Hizi ndizo za bweni. Zile shule ambazo wanafunzi hurudi nyumbani baada ya masomo ya jioni huitwa shule za kutwa. Shule za bweni ni bora kuliko za kutwa kwa sababu wanafunzi wanasomea katika shule hizi hupata muda wa kutosha kusoma bila kupoteza wakati wowote kutumwa hapa na pale. Wale wanaosomea shule, za kutwa hutumwa dukani, sokoni, mtoni na huchoka sana unapofika wakati wa kusoma. Aidha wao hufanya kazi nyingi nyumbani, si shambani si jikoni, si malishoni. Mazingira ya kusomea katika shule za bweni huwa ni bora zaidi kuliko shule za kutwa. Endapo mwanafunzi atapata utata katika masomo yake, huweza kuwafikia wenzake au walimu haraka na kupata usaidizi. Ama kweli fimbo ya karibu ndiyo iuayo nyoka. Vilevile usalama wa wanafunzi wanaosomea shule za bweni huwa ni mkubwa sana kwa vile hawatoki shuleni, basi hakuna lolote linaloweza kuwadhuru kama vile wale wanaosomea shule za kutwa. Njiani kwenda na kurudi nyumbani wao hawana usalama wa kutosha kutokana na wanyama wakali, wabakaji, watekaji nyara na hata wauwaji. Bila usalama, masomo na ndoto za wanafunzi huwathirika mno. Licha ya hayo, wanafunzi katika shule za bweni hujifunza kujitegemea. Hata wakiwa wadogo wanaweza kujifulia, kupiga deki, kutandika vitanda, kuoga wenyewe na hata kujilisha. Wale ambao wanakuwa na mama zao kila siku au yaya huzembea zaidi na hata huwa na mawazo ya kitoto kila kuchao. Aidha shule za bweni huleta usawa kati ya wanafunzi kwani mazingira yao huwa sawa ingawa wanatoka katika jamii tofauti. Matajiri na masikini ni sawa katika shule za bweni ilhali katika shule za kutwa kuna mgawanyiko mkubwa sana kwani kuna wale hupelekwa shuleni kwa magari makubwa, wengine baskeli na wengine hutembea. Hili huathiri uhusiano wa wanafunzi na huchangia utengano baina yao. Hata hivyo hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Wanafunzi wanaosomea katika shule za bweni, hukosa uhusiano wa karibu na familia zao. Wengi husononeka na kufikiria nyumbani kila mara ilhali wale wanaosomea shule za kutwa hutangamana na jamii zao kila siku baada ya kurudi nyumbani magharibi. Isitoshe,mkurupuko wa maradhi utokeapo katika shule za bweni , maradhi hayo husambaa haraka na wanafunzi wengi huathirika. Hii husababisha kufungwa kwa shule na kukatiza masomo kwa muda ilhali wale wa shule za kutwa wanaendelea kusoma bila bughudha. Basi, kwa sababu kadhaa nilizozitaja sina budi kuwaalika wenzangu kujiunga na shule za bweni. Waama, chema chajiuza. Elimu ni taa na taa hizi zitang'aa gizani ikiwa kila mtoto atapewa fursa na kupata elimu katika mazingira bora.
Nchini kuna shule aina ngapi
{ "text": [ "Za umma na kibinafsi" ] }
1477_swa
SHULE ZA BWENI NI BORA KULIKO ZA KUTWA Vidokezi Utangulizi Kuunga mkono - Kupinga 1. Muda wa kusoma ni mwingi - 1. Wanafunzi hukosa uhusiano na jamii yake 2. Mazingara ya kusoma ni bora - 2. Usambazaji wa maradhi 3. Usalama - 3. Upweke 4. Mwanafunzi hujifunza kujitegemea 5. Usawa kati ya wanafunzi Shule ni mahali ambapo wanafunzi hufundiswa elimu ya kusoma, kuandika na hisabati. Pia ni mahali ambapo watoto kutoka jamii tofauti tofauti hukutana na kubadilishana mawazo na kutangamana vyema. Nchini kuna shule za umma na zile za kibinafsi au za mashirika au zile zilizoanzishwa na dini mbalimbali. Kati ya shule hizi kuna zile ambazo wanafunzi hawaruhusiwi kurudi nyumbani baada ya masomo. Hizi ndizo za bweni. Zile shule ambazo wanafunzi hurudi nyumbani baada ya masomo ya jioni huitwa shule za kutwa. Shule za bweni ni bora kuliko za kutwa kwa sababu wanafunzi wanasomea katika shule hizi hupata muda wa kutosha kusoma bila kupoteza wakati wowote kutumwa hapa na pale. Wale wanaosomea shule, za kutwa hutumwa dukani, sokoni, mtoni na huchoka sana unapofika wakati wa kusoma. Aidha wao hufanya kazi nyingi nyumbani, si shambani si jikoni, si malishoni. Mazingira ya kusomea katika shule za bweni huwa ni bora zaidi kuliko shule za kutwa. Endapo mwanafunzi atapata utata katika masomo yake, huweza kuwafikia wenzake au walimu haraka na kupata usaidizi. Ama kweli fimbo ya karibu ndiyo iuayo nyoka. Vilevile usalama wa wanafunzi wanaosomea shule za bweni huwa ni mkubwa sana kwa vile hawatoki shuleni, basi hakuna lolote linaloweza kuwadhuru kama vile wale wanaosomea shule za kutwa. Njiani kwenda na kurudi nyumbani wao hawana usalama wa kutosha kutokana na wanyama wakali, wabakaji, watekaji nyara na hata wauwaji. Bila usalama, masomo na ndoto za wanafunzi huwathirika mno. Licha ya hayo, wanafunzi katika shule za bweni hujifunza kujitegemea. Hata wakiwa wadogo wanaweza kujifulia, kupiga deki, kutandika vitanda, kuoga wenyewe na hata kujilisha. Wale ambao wanakuwa na mama zao kila siku au yaya huzembea zaidi na hata huwa na mawazo ya kitoto kila kuchao. Aidha shule za bweni huleta usawa kati ya wanafunzi kwani mazingira yao huwa sawa ingawa wanatoka katika jamii tofauti. Matajiri na masikini ni sawa katika shule za bweni ilhali katika shule za kutwa kuna mgawanyiko mkubwa sana kwani kuna wale hupelekwa shuleni kwa magari makubwa, wengine baskeli na wengine hutembea. Hili huathiri uhusiano wa wanafunzi na huchangia utengano baina yao. Hata hivyo hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Wanafunzi wanaosomea katika shule za bweni, hukosa uhusiano wa karibu na familia zao. Wengi husononeka na kufikiria nyumbani kila mara ilhali wale wanaosomea shule za kutwa hutangamana na jamii zao kila siku baada ya kurudi nyumbani magharibi. Isitoshe,mkurupuko wa maradhi utokeapo katika shule za bweni , maradhi hayo husambaa haraka na wanafunzi wengi huathirika. Hii husababisha kufungwa kwa shule na kukatiza masomo kwa muda ilhali wale wa shule za kutwa wanaendelea kusoma bila bughudha. Basi, kwa sababu kadhaa nilizozitaja sina budi kuwaalika wenzangu kujiunga na shule za bweni. Waama, chema chajiuza. Elimu ni taa na taa hizi zitang'aa gizani ikiwa kila mtoto atapewa fursa na kupata elimu katika mazingira bora.
Ni katika shule zipi mazingira ya kusoma huwa bora zaidi
{ "text": [ "Za bweni" ] }
1477_swa
SHULE ZA BWENI NI BORA KULIKO ZA KUTWA Vidokezi Utangulizi Kuunga mkono - Kupinga 1. Muda wa kusoma ni mwingi - 1. Wanafunzi hukosa uhusiano na jamii yake 2. Mazingara ya kusoma ni bora - 2. Usambazaji wa maradhi 3. Usalama - 3. Upweke 4. Mwanafunzi hujifunza kujitegemea 5. Usawa kati ya wanafunzi Shule ni mahali ambapo wanafunzi hufundiswa elimu ya kusoma, kuandika na hisabati. Pia ni mahali ambapo watoto kutoka jamii tofauti tofauti hukutana na kubadilishana mawazo na kutangamana vyema. Nchini kuna shule za umma na zile za kibinafsi au za mashirika au zile zilizoanzishwa na dini mbalimbali. Kati ya shule hizi kuna zile ambazo wanafunzi hawaruhusiwi kurudi nyumbani baada ya masomo. Hizi ndizo za bweni. Zile shule ambazo wanafunzi hurudi nyumbani baada ya masomo ya jioni huitwa shule za kutwa. Shule za bweni ni bora kuliko za kutwa kwa sababu wanafunzi wanasomea katika shule hizi hupata muda wa kutosha kusoma bila kupoteza wakati wowote kutumwa hapa na pale. Wale wanaosomea shule, za kutwa hutumwa dukani, sokoni, mtoni na huchoka sana unapofika wakati wa kusoma. Aidha wao hufanya kazi nyingi nyumbani, si shambani si jikoni, si malishoni. Mazingira ya kusomea katika shule za bweni huwa ni bora zaidi kuliko shule za kutwa. Endapo mwanafunzi atapata utata katika masomo yake, huweza kuwafikia wenzake au walimu haraka na kupata usaidizi. Ama kweli fimbo ya karibu ndiyo iuayo nyoka. Vilevile usalama wa wanafunzi wanaosomea shule za bweni huwa ni mkubwa sana kwa vile hawatoki shuleni, basi hakuna lolote linaloweza kuwadhuru kama vile wale wanaosomea shule za kutwa. Njiani kwenda na kurudi nyumbani wao hawana usalama wa kutosha kutokana na wanyama wakali, wabakaji, watekaji nyara na hata wauwaji. Bila usalama, masomo na ndoto za wanafunzi huwathirika mno. Licha ya hayo, wanafunzi katika shule za bweni hujifunza kujitegemea. Hata wakiwa wadogo wanaweza kujifulia, kupiga deki, kutandika vitanda, kuoga wenyewe na hata kujilisha. Wale ambao wanakuwa na mama zao kila siku au yaya huzembea zaidi na hata huwa na mawazo ya kitoto kila kuchao. Aidha shule za bweni huleta usawa kati ya wanafunzi kwani mazingira yao huwa sawa ingawa wanatoka katika jamii tofauti. Matajiri na masikini ni sawa katika shule za bweni ilhali katika shule za kutwa kuna mgawanyiko mkubwa sana kwani kuna wale hupelekwa shuleni kwa magari makubwa, wengine baskeli na wengine hutembea. Hili huathiri uhusiano wa wanafunzi na huchangia utengano baina yao. Hata hivyo hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Wanafunzi wanaosomea katika shule za bweni, hukosa uhusiano wa karibu na familia zao. Wengi husononeka na kufikiria nyumbani kila mara ilhali wale wanaosomea shule za kutwa hutangamana na jamii zao kila siku baada ya kurudi nyumbani magharibi. Isitoshe,mkurupuko wa maradhi utokeapo katika shule za bweni , maradhi hayo husambaa haraka na wanafunzi wengi huathirika. Hii husababisha kufungwa kwa shule na kukatiza masomo kwa muda ilhali wale wa shule za kutwa wanaendelea kusoma bila bughudha. Basi, kwa sababu kadhaa nilizozitaja sina budi kuwaalika wenzangu kujiunga na shule za bweni. Waama, chema chajiuza. Elimu ni taa na taa hizi zitang'aa gizani ikiwa kila mtoto atapewa fursa na kupata elimu katika mazingira bora.
Shule za bweni huwakinga wanafunzi kutokana na nini
{ "text": [ "Wanyama hatari, wabakaji na wauwaji" ] }
1477_swa
SHULE ZA BWENI NI BORA KULIKO ZA KUTWA Vidokezi Utangulizi Kuunga mkono - Kupinga 1. Muda wa kusoma ni mwingi - 1. Wanafunzi hukosa uhusiano na jamii yake 2. Mazingara ya kusoma ni bora - 2. Usambazaji wa maradhi 3. Usalama - 3. Upweke 4. Mwanafunzi hujifunza kujitegemea 5. Usawa kati ya wanafunzi Shule ni mahali ambapo wanafunzi hufundiswa elimu ya kusoma, kuandika na hisabati. Pia ni mahali ambapo watoto kutoka jamii tofauti tofauti hukutana na kubadilishana mawazo na kutangamana vyema. Nchini kuna shule za umma na zile za kibinafsi au za mashirika au zile zilizoanzishwa na dini mbalimbali. Kati ya shule hizi kuna zile ambazo wanafunzi hawaruhusiwi kurudi nyumbani baada ya masomo. Hizi ndizo za bweni. Zile shule ambazo wanafunzi hurudi nyumbani baada ya masomo ya jioni huitwa shule za kutwa. Shule za bweni ni bora kuliko za kutwa kwa sababu wanafunzi wanasomea katika shule hizi hupata muda wa kutosha kusoma bila kupoteza wakati wowote kutumwa hapa na pale. Wale wanaosomea shule, za kutwa hutumwa dukani, sokoni, mtoni na huchoka sana unapofika wakati wa kusoma. Aidha wao hufanya kazi nyingi nyumbani, si shambani si jikoni, si malishoni. Mazingira ya kusomea katika shule za bweni huwa ni bora zaidi kuliko shule za kutwa. Endapo mwanafunzi atapata utata katika masomo yake, huweza kuwafikia wenzake au walimu haraka na kupata usaidizi. Ama kweli fimbo ya karibu ndiyo iuayo nyoka. Vilevile usalama wa wanafunzi wanaosomea shule za bweni huwa ni mkubwa sana kwa vile hawatoki shuleni, basi hakuna lolote linaloweza kuwadhuru kama vile wale wanaosomea shule za kutwa. Njiani kwenda na kurudi nyumbani wao hawana usalama wa kutosha kutokana na wanyama wakali, wabakaji, watekaji nyara na hata wauwaji. Bila usalama, masomo na ndoto za wanafunzi huwathirika mno. Licha ya hayo, wanafunzi katika shule za bweni hujifunza kujitegemea. Hata wakiwa wadogo wanaweza kujifulia, kupiga deki, kutandika vitanda, kuoga wenyewe na hata kujilisha. Wale ambao wanakuwa na mama zao kila siku au yaya huzembea zaidi na hata huwa na mawazo ya kitoto kila kuchao. Aidha shule za bweni huleta usawa kati ya wanafunzi kwani mazingira yao huwa sawa ingawa wanatoka katika jamii tofauti. Matajiri na masikini ni sawa katika shule za bweni ilhali katika shule za kutwa kuna mgawanyiko mkubwa sana kwani kuna wale hupelekwa shuleni kwa magari makubwa, wengine baskeli na wengine hutembea. Hili huathiri uhusiano wa wanafunzi na huchangia utengano baina yao. Hata hivyo hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Wanafunzi wanaosomea katika shule za bweni, hukosa uhusiano wa karibu na familia zao. Wengi husononeka na kufikiria nyumbani kila mara ilhali wale wanaosomea shule za kutwa hutangamana na jamii zao kila siku baada ya kurudi nyumbani magharibi. Isitoshe,mkurupuko wa maradhi utokeapo katika shule za bweni , maradhi hayo husambaa haraka na wanafunzi wengi huathirika. Hii husababisha kufungwa kwa shule na kukatiza masomo kwa muda ilhali wale wa shule za kutwa wanaendelea kusoma bila bughudha. Basi, kwa sababu kadhaa nilizozitaja sina budi kuwaalika wenzangu kujiunga na shule za bweni. Waama, chema chajiuza. Elimu ni taa na taa hizi zitang'aa gizani ikiwa kila mtoto atapewa fursa na kupata elimu katika mazingira bora.
Kipi huchangia utengano baina ya wanafunzi wa shule za kutwa
{ "text": [ "Mbinu tofauti tofauti za usafiri" ] }
1478_swa
Andika insha inayoisha na ...maskini! sasa afanye nini? hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu. Methali yote yang'aayo si dhahabu yatueleza kwamba ni jukumu letu kuangalia undani wa kitu au jambo. Pia inatueleza tusipumbazike au tusihadaike na rangi ya chai utamu ni sukari. Methali hii inatueleza kwamba ni jukumu letu kuchunguza jambo kwanza. Siku moja ghulamu mmosi alikuwa akitoka shuleni kuelekea nyumbani. Alipofika mahali ambapo palikuwa na kichaka kidogo, alisimama wima kama askari wa gwaride. Wanagenzi wenzake walikuwa wameshaondoka. Hii ilikuwa tu ni kawaida yake kuondoka shuleni akiwa amechelewa. Alipokuwa akienda mwendo wake wa arubii, mzee mmoja kwa jina asilolijua alifika haraka. Baada ya kufika pale ghulamu yule alikuwa akiduda du du du. Yule insi alimweleza kinagaubaga kalammba angependa ampeleke mahali ambapo mabasi ya karatina yalipokuwa. Yule barobaro bila kusikitika alielekea aste aste hadi mahali yule adinasi alipokuwa. Bila kupoteza mulia waliingia ndani ya gari hilo na kuendelea na safari yao. Waling'oa nanga haraka iwezekanavyo. Baada ya kufikia kwenye stani ya mabasi ya Karatina, kijana huyo aliomba msamaha walaki insi huyo hakunisikiliza. Barobaro yule aliendelea na safari yake hadi fikra zikakataa katakata. Gari hilo lilikuwa lindelekeα πήίαμα lami ηα μα matope. Walipofika katika kituo kimoja cha basi, yule adinasi aliendelea na safari hadi barobaro yule akaanza kulia. Aliona kweli ni vizuri kujua undani wa kitu kwani alikuwa ameshatembelea jongomeo. Baada ya kwenda kwa mwendo wa kasi sana, walifika mahali ambapo adinasi yule alikuwa ameliendesha gari lake kwa mwendo wa arubii. Polisi walilisimamisha gari hilo walaki yule insi alikataa katakata kusimama. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, gari la yule insi lilipigwa risasi moja hadi likasimama lenyewe. Baada ya kungalia ndani, walishtuka kumwona yule barobaro ndani ya gari lile. Walisongea aste aste ili wamuulize habari zote. Ghafla tu polisi walipofungua mlango, adinasi yule alifyatuka na kwenda mwendo wa kasi sana. Baada ya muda mdogo tu, yule barobaro aliingizwa ndani ya gari la polisi. Walienda mwendo wa arubii. Walipofika katika kituo cha polisi cha Karatina, barobaro yule alipigwa jeki kwa yoyote yale. Baada ya saa mbili yule ghulamu alifika kwenye stani ya basi. Alipofika tu insi yule yule tu alikuja na misuli yake ikiwa tinginya. Alimbeba na kuelekea naye hadi msitu wa Mau. Moyo wa yule insi alimwelekeza hadi mahali ambapo palikuwa na watu wengi. Baada ya kufika pale, yule barobaro aliwakuta wamejihami kwa silaha mbaya. Yule barobaro hakujiamini kwani moyo wake ulidunda hadi ungepasua ngozi yake. maskini afanye nini sasa? Hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu.
Ghulamu alifika mahali palikuwa na nini
{ "text": [ "kichaka kidogo" ] }
1478_swa
Andika insha inayoisha na ...maskini! sasa afanye nini? hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu. Methali yote yang'aayo si dhahabu yatueleza kwamba ni jukumu letu kuangalia undani wa kitu au jambo. Pia inatueleza tusipumbazike au tusihadaike na rangi ya chai utamu ni sukari. Methali hii inatueleza kwamba ni jukumu letu kuchunguza jambo kwanza. Siku moja ghulamu mmosi alikuwa akitoka shuleni kuelekea nyumbani. Alipofika mahali ambapo palikuwa na kichaka kidogo, alisimama wima kama askari wa gwaride. Wanagenzi wenzake walikuwa wameshaondoka. Hii ilikuwa tu ni kawaida yake kuondoka shuleni akiwa amechelewa. Alipokuwa akienda mwendo wake wa arubii, mzee mmoja kwa jina asilolijua alifika haraka. Baada ya kufika pale ghulamu yule alikuwa akiduda du du du. Yule insi alimweleza kinagaubaga kalammba angependa ampeleke mahali ambapo mabasi ya karatina yalipokuwa. Yule barobaro bila kusikitika alielekea aste aste hadi mahali yule adinasi alipokuwa. Bila kupoteza mulia waliingia ndani ya gari hilo na kuendelea na safari yao. Waling'oa nanga haraka iwezekanavyo. Baada ya kufikia kwenye stani ya mabasi ya Karatina, kijana huyo aliomba msamaha walaki insi huyo hakunisikiliza. Barobaro yule aliendelea na safari yake hadi fikra zikakataa katakata. Gari hilo lilikuwa lindelekeα πήίαμα lami ηα μα matope. Walipofika katika kituo kimoja cha basi, yule adinasi aliendelea na safari hadi barobaro yule akaanza kulia. Aliona kweli ni vizuri kujua undani wa kitu kwani alikuwa ameshatembelea jongomeo. Baada ya kwenda kwa mwendo wa kasi sana, walifika mahali ambapo adinasi yule alikuwa ameliendesha gari lake kwa mwendo wa arubii. Polisi walilisimamisha gari hilo walaki yule insi alikataa katakata kusimama. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, gari la yule insi lilipigwa risasi moja hadi likasimama lenyewe. Baada ya kungalia ndani, walishtuka kumwona yule barobaro ndani ya gari lile. Walisongea aste aste ili wamuulize habari zote. Ghafla tu polisi walipofungua mlango, adinasi yule alifyatuka na kwenda mwendo wa kasi sana. Baada ya muda mdogo tu, yule barobaro aliingizwa ndani ya gari la polisi. Walienda mwendo wa arubii. Walipofika katika kituo cha polisi cha Karatina, barobaro yule alipigwa jeki kwa yoyote yale. Baada ya saa mbili yule ghulamu alifika kwenye stani ya basi. Alipofika tu insi yule yule tu alikuja na misuli yake ikiwa tinginya. Alimbeba na kuelekea naye hadi msitu wa Mau. Moyo wa yule insi alimwelekeza hadi mahali ambapo palikuwa na watu wengi. Baada ya kufika pale, yule barobaro aliwakuta wamejihami kwa silaha mbaya. Yule barobaro hakujiamini kwani moyo wake ulidunda hadi ungepasua ngozi yake. maskini afanye nini sasa? Hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu.
Yule insi alitaka kupelekwa kwenye mabasi gani
{ "text": [ "ya Karatina " ] }
1478_swa
Andika insha inayoisha na ...maskini! sasa afanye nini? hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu. Methali yote yang'aayo si dhahabu yatueleza kwamba ni jukumu letu kuangalia undani wa kitu au jambo. Pia inatueleza tusipumbazike au tusihadaike na rangi ya chai utamu ni sukari. Methali hii inatueleza kwamba ni jukumu letu kuchunguza jambo kwanza. Siku moja ghulamu mmosi alikuwa akitoka shuleni kuelekea nyumbani. Alipofika mahali ambapo palikuwa na kichaka kidogo, alisimama wima kama askari wa gwaride. Wanagenzi wenzake walikuwa wameshaondoka. Hii ilikuwa tu ni kawaida yake kuondoka shuleni akiwa amechelewa. Alipokuwa akienda mwendo wake wa arubii, mzee mmoja kwa jina asilolijua alifika haraka. Baada ya kufika pale ghulamu yule alikuwa akiduda du du du. Yule insi alimweleza kinagaubaga kalammba angependa ampeleke mahali ambapo mabasi ya karatina yalipokuwa. Yule barobaro bila kusikitika alielekea aste aste hadi mahali yule adinasi alipokuwa. Bila kupoteza mulia waliingia ndani ya gari hilo na kuendelea na safari yao. Waling'oa nanga haraka iwezekanavyo. Baada ya kufikia kwenye stani ya mabasi ya Karatina, kijana huyo aliomba msamaha walaki insi huyo hakunisikiliza. Barobaro yule aliendelea na safari yake hadi fikra zikakataa katakata. Gari hilo lilikuwa lindelekeα πήίαμα lami ηα μα matope. Walipofika katika kituo kimoja cha basi, yule adinasi aliendelea na safari hadi barobaro yule akaanza kulia. Aliona kweli ni vizuri kujua undani wa kitu kwani alikuwa ameshatembelea jongomeo. Baada ya kwenda kwa mwendo wa kasi sana, walifika mahali ambapo adinasi yule alikuwa ameliendesha gari lake kwa mwendo wa arubii. Polisi walilisimamisha gari hilo walaki yule insi alikataa katakata kusimama. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, gari la yule insi lilipigwa risasi moja hadi likasimama lenyewe. Baada ya kungalia ndani, walishtuka kumwona yule barobaro ndani ya gari lile. Walisongea aste aste ili wamuulize habari zote. Ghafla tu polisi walipofungua mlango, adinasi yule alifyatuka na kwenda mwendo wa kasi sana. Baada ya muda mdogo tu, yule barobaro aliingizwa ndani ya gari la polisi. Walienda mwendo wa arubii. Walipofika katika kituo cha polisi cha Karatina, barobaro yule alipigwa jeki kwa yoyote yale. Baada ya saa mbili yule ghulamu alifika kwenye stani ya basi. Alipofika tu insi yule yule tu alikuja na misuli yake ikiwa tinginya. Alimbeba na kuelekea naye hadi msitu wa Mau. Moyo wa yule insi alimwelekeza hadi mahali ambapo palikuwa na watu wengi. Baada ya kufika pale, yule barobaro aliwakuta wamejihami kwa silaha mbaya. Yule barobaro hakujiamini kwani moyo wake ulidunda hadi ungepasua ngozi yake. maskini afanye nini sasa? Hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu.
Nani walilisimamisha gari hilo
{ "text": [ "polisi" ] }
1478_swa
Andika insha inayoisha na ...maskini! sasa afanye nini? hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu. Methali yote yang'aayo si dhahabu yatueleza kwamba ni jukumu letu kuangalia undani wa kitu au jambo. Pia inatueleza tusipumbazike au tusihadaike na rangi ya chai utamu ni sukari. Methali hii inatueleza kwamba ni jukumu letu kuchunguza jambo kwanza. Siku moja ghulamu mmosi alikuwa akitoka shuleni kuelekea nyumbani. Alipofika mahali ambapo palikuwa na kichaka kidogo, alisimama wima kama askari wa gwaride. Wanagenzi wenzake walikuwa wameshaondoka. Hii ilikuwa tu ni kawaida yake kuondoka shuleni akiwa amechelewa. Alipokuwa akienda mwendo wake wa arubii, mzee mmoja kwa jina asilolijua alifika haraka. Baada ya kufika pale ghulamu yule alikuwa akiduda du du du. Yule insi alimweleza kinagaubaga kalammba angependa ampeleke mahali ambapo mabasi ya karatina yalipokuwa. Yule barobaro bila kusikitika alielekea aste aste hadi mahali yule adinasi alipokuwa. Bila kupoteza mulia waliingia ndani ya gari hilo na kuendelea na safari yao. Waling'oa nanga haraka iwezekanavyo. Baada ya kufikia kwenye stani ya mabasi ya Karatina, kijana huyo aliomba msamaha walaki insi huyo hakunisikiliza. Barobaro yule aliendelea na safari yake hadi fikra zikakataa katakata. Gari hilo lilikuwa lindelekeα πήίαμα lami ηα μα matope. Walipofika katika kituo kimoja cha basi, yule adinasi aliendelea na safari hadi barobaro yule akaanza kulia. Aliona kweli ni vizuri kujua undani wa kitu kwani alikuwa ameshatembelea jongomeo. Baada ya kwenda kwa mwendo wa kasi sana, walifika mahali ambapo adinasi yule alikuwa ameliendesha gari lake kwa mwendo wa arubii. Polisi walilisimamisha gari hilo walaki yule insi alikataa katakata kusimama. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, gari la yule insi lilipigwa risasi moja hadi likasimama lenyewe. Baada ya kungalia ndani, walishtuka kumwona yule barobaro ndani ya gari lile. Walisongea aste aste ili wamuulize habari zote. Ghafla tu polisi walipofungua mlango, adinasi yule alifyatuka na kwenda mwendo wa kasi sana. Baada ya muda mdogo tu, yule barobaro aliingizwa ndani ya gari la polisi. Walienda mwendo wa arubii. Walipofika katika kituo cha polisi cha Karatina, barobaro yule alipigwa jeki kwa yoyote yale. Baada ya saa mbili yule ghulamu alifika kwenye stani ya basi. Alipofika tu insi yule yule tu alikuja na misuli yake ikiwa tinginya. Alimbeba na kuelekea naye hadi msitu wa Mau. Moyo wa yule insi alimwelekeza hadi mahali ambapo palikuwa na watu wengi. Baada ya kufika pale, yule barobaro aliwakuta wamejihami kwa silaha mbaya. Yule barobaro hakujiamini kwani moyo wake ulidunda hadi ungepasua ngozi yake. maskini afanye nini sasa? Hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu.
Yule ghulamu alifika lini kwenye stani ya basi
{ "text": [ "baada ya saa mbili" ] }
1478_swa
Andika insha inayoisha na ...maskini! sasa afanye nini? hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu. Methali yote yang'aayo si dhahabu yatueleza kwamba ni jukumu letu kuangalia undani wa kitu au jambo. Pia inatueleza tusipumbazike au tusihadaike na rangi ya chai utamu ni sukari. Methali hii inatueleza kwamba ni jukumu letu kuchunguza jambo kwanza. Siku moja ghulamu mmosi alikuwa akitoka shuleni kuelekea nyumbani. Alipofika mahali ambapo palikuwa na kichaka kidogo, alisimama wima kama askari wa gwaride. Wanagenzi wenzake walikuwa wameshaondoka. Hii ilikuwa tu ni kawaida yake kuondoka shuleni akiwa amechelewa. Alipokuwa akienda mwendo wake wa arubii, mzee mmoja kwa jina asilolijua alifika haraka. Baada ya kufika pale ghulamu yule alikuwa akiduda du du du. Yule insi alimweleza kinagaubaga kalammba angependa ampeleke mahali ambapo mabasi ya karatina yalipokuwa. Yule barobaro bila kusikitika alielekea aste aste hadi mahali yule adinasi alipokuwa. Bila kupoteza mulia waliingia ndani ya gari hilo na kuendelea na safari yao. Waling'oa nanga haraka iwezekanavyo. Baada ya kufikia kwenye stani ya mabasi ya Karatina, kijana huyo aliomba msamaha walaki insi huyo hakunisikiliza. Barobaro yule aliendelea na safari yake hadi fikra zikakataa katakata. Gari hilo lilikuwa lindelekeα πήίαμα lami ηα μα matope. Walipofika katika kituo kimoja cha basi, yule adinasi aliendelea na safari hadi barobaro yule akaanza kulia. Aliona kweli ni vizuri kujua undani wa kitu kwani alikuwa ameshatembelea jongomeo. Baada ya kwenda kwa mwendo wa kasi sana, walifika mahali ambapo adinasi yule alikuwa ameliendesha gari lake kwa mwendo wa arubii. Polisi walilisimamisha gari hilo walaki yule insi alikataa katakata kusimama. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, gari la yule insi lilipigwa risasi moja hadi likasimama lenyewe. Baada ya kungalia ndani, walishtuka kumwona yule barobaro ndani ya gari lile. Walisongea aste aste ili wamuulize habari zote. Ghafla tu polisi walipofungua mlango, adinasi yule alifyatuka na kwenda mwendo wa kasi sana. Baada ya muda mdogo tu, yule barobaro aliingizwa ndani ya gari la polisi. Walienda mwendo wa arubii. Walipofika katika kituo cha polisi cha Karatina, barobaro yule alipigwa jeki kwa yoyote yale. Baada ya saa mbili yule ghulamu alifika kwenye stani ya basi. Alipofika tu insi yule yule tu alikuja na misuli yake ikiwa tinginya. Alimbeba na kuelekea naye hadi msitu wa Mau. Moyo wa yule insi alimwelekeza hadi mahali ambapo palikuwa na watu wengi. Baada ya kufika pale, yule barobaro aliwakuta wamejihami kwa silaha mbaya. Yule barobaro hakujiamini kwani moyo wake ulidunda hadi ungepasua ngozi yake. maskini afanye nini sasa? Hapo ndipo alipogundua ukweli wa msemo, yote yang'aayo si dhahabu.
Mbona walisogea aste aste
{ "text": [ "ili wamuulize habari zote" ] }
1479_swa
................. ama kwa kusema kweli wahenga hawakukosea waliponena "Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole" MSIBA WA KUJITAKIA "Mwanangu wendapi ?" Nina alimwuliza mtoto wake Chikichi kwa biwi la simanzi na masikitiko si haba. "Asiyesikia maoni ya wakubwa husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi, wahenga na wahenguzi walilonga." Alizidi kumwelezea mwanawe. Chikichi alikuwa amefura kama totovu . Aliyashibisha mashavu yake kwa hasira za mkizi yakawa kama vifuu vya nazi. Alimpa mgongo mama mzazi na kumwonyesha kisogo. Alijiona kuwa yeye alikuwa amekomaa na kutokwa na ubwabwa wa shingo. Wahenga hawakuambulia patupu wala kucheza ngoma goya walipolonga dalili ya mvua ni mawingu. Alichanganya miguu, guu mosi guu pili huku sauti bum! bum! bu! Ikisikika mita kumi mduara. "Mama naye, eee.......eee........" Ajiona kabugia chumvi si haba na mawaidha yake duni yalistahili kutupiliwa kwenye kaburi la sahau. "Siyataki, akalishe nguruwe nayo." Nafsi yake Chikichi ilimghilibu. Waama sikio la kufa halina dawa. Jamani! Kakimbilia kuliko giza totoro! Aidha shadidi! Alizidi kupiga hatua kuelekea sebuleni mwa muhibu wake Pendeza. Alipokewa kwa haiba na bashasha, tena kwa mikono miwili. Moyo wa ghulamu ulimdundadunda kwa furaha ghaya. Chambilecho wahenga cha kuvuja hakina rubani. Mama alipigwa na masikitiko na mababaiko. Alipigwa na butwaa akaachwa kinywa achama. Wingu jeusi la kizimwili likaanza kutanda moyoni na maishani mwake. Alikuwa na imani tifutifu kuwa mtoto wake angemtoa ufukarani. Kweli hawakuwa mbu mbu mbu waliposema kuwa uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Pindi baada ya majuma matatu aliitwa skulini na kuelezwa kinagaubaga kuhusu tabia potovu za mwana wake. Tabia hizo zilikera . Tayari alikuwa akivuta sigara, dawa haramu kazitumia. Isitoshe, katembea ovyo ovyo na mahaluku shuleni na vitongojini. Asiyeogopa ng'ombe, ng'ombe ni yeye. Wengi walimpa jina "kifagio' Wanafunzi wa darasa la sita walimshauri akome kuchezea sega la nyuki lakini hayo hayakumhusu ndewe wala sikio. Nasaha alizitupilia kwenye kaburi la sahau. Liwe liwalo, mtoto akililia wembe mpe. Alijitia moyo na kuyabingirisha maisha yake kama gurudumu bingiri bingiri. Mchimba kisima huingia mwenyewe. Hawakuzunguka mbuyu wahenga. Baba yake, alijaribu kumsaidia alakulihali lakini aliambulia nunge. Bakora haikumsaidia wala kisu moto. Mambo yalianza kwenda shoro. Kijana akawa kama jini au mwehu. Kutembea kukawa staha yake. Maji yakamwagika. Alibaki imara na kushikilia hulka zake kikiki. Alianza kuyumbayumba kama chombo kilichodungiliwa kwa manowari. "chikichi, dunia rangi rangile iliwashinda mababu zetu seuze wewe? Elewa kuwa dunia ni mfano wa Jabali kavu" Nasaha hizo hazikumfaa. Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Mambo ni kangaja huenda yakaja. Hauchi hauchi unakucha. Dada kaanza kuuguagua homahoma. Homa ikawa mafua. Kisha kapata leseni ya kuendeshaendesha. Halafu ngozi yake ikaanza kubadilika. Dalili ya ushehe ni kilemba. Alikonda na kukondeana kama ng'onda. Kisha siha ikamponyoka
Dalili ya mvua ni nini?
{ "text": [ "Mawingu" ] }
1479_swa
................. ama kwa kusema kweli wahenga hawakukosea waliponena "Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole" MSIBA WA KUJITAKIA "Mwanangu wendapi ?" Nina alimwuliza mtoto wake Chikichi kwa biwi la simanzi na masikitiko si haba. "Asiyesikia maoni ya wakubwa husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi, wahenga na wahenguzi walilonga." Alizidi kumwelezea mwanawe. Chikichi alikuwa amefura kama totovu . Aliyashibisha mashavu yake kwa hasira za mkizi yakawa kama vifuu vya nazi. Alimpa mgongo mama mzazi na kumwonyesha kisogo. Alijiona kuwa yeye alikuwa amekomaa na kutokwa na ubwabwa wa shingo. Wahenga hawakuambulia patupu wala kucheza ngoma goya walipolonga dalili ya mvua ni mawingu. Alichanganya miguu, guu mosi guu pili huku sauti bum! bum! bu! Ikisikika mita kumi mduara. "Mama naye, eee.......eee........" Ajiona kabugia chumvi si haba na mawaidha yake duni yalistahili kutupiliwa kwenye kaburi la sahau. "Siyataki, akalishe nguruwe nayo." Nafsi yake Chikichi ilimghilibu. Waama sikio la kufa halina dawa. Jamani! Kakimbilia kuliko giza totoro! Aidha shadidi! Alizidi kupiga hatua kuelekea sebuleni mwa muhibu wake Pendeza. Alipokewa kwa haiba na bashasha, tena kwa mikono miwili. Moyo wa ghulamu ulimdundadunda kwa furaha ghaya. Chambilecho wahenga cha kuvuja hakina rubani. Mama alipigwa na masikitiko na mababaiko. Alipigwa na butwaa akaachwa kinywa achama. Wingu jeusi la kizimwili likaanza kutanda moyoni na maishani mwake. Alikuwa na imani tifutifu kuwa mtoto wake angemtoa ufukarani. Kweli hawakuwa mbu mbu mbu waliposema kuwa uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Pindi baada ya majuma matatu aliitwa skulini na kuelezwa kinagaubaga kuhusu tabia potovu za mwana wake. Tabia hizo zilikera . Tayari alikuwa akivuta sigara, dawa haramu kazitumia. Isitoshe, katembea ovyo ovyo na mahaluku shuleni na vitongojini. Asiyeogopa ng'ombe, ng'ombe ni yeye. Wengi walimpa jina "kifagio' Wanafunzi wa darasa la sita walimshauri akome kuchezea sega la nyuki lakini hayo hayakumhusu ndewe wala sikio. Nasaha alizitupilia kwenye kaburi la sahau. Liwe liwalo, mtoto akililia wembe mpe. Alijitia moyo na kuyabingirisha maisha yake kama gurudumu bingiri bingiri. Mchimba kisima huingia mwenyewe. Hawakuzunguka mbuyu wahenga. Baba yake, alijaribu kumsaidia alakulihali lakini aliambulia nunge. Bakora haikumsaidia wala kisu moto. Mambo yalianza kwenda shoro. Kijana akawa kama jini au mwehu. Kutembea kukawa staha yake. Maji yakamwagika. Alibaki imara na kushikilia hulka zake kikiki. Alianza kuyumbayumba kama chombo kilichodungiliwa kwa manowari. "chikichi, dunia rangi rangile iliwashinda mababu zetu seuze wewe? Elewa kuwa dunia ni mfano wa Jabali kavu" Nasaha hizo hazikumfaa. Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Mambo ni kangaja huenda yakaja. Hauchi hauchi unakucha. Dada kaanza kuuguagua homahoma. Homa ikawa mafua. Kisha kapata leseni ya kuendeshaendesha. Halafu ngozi yake ikaanza kubadilika. Dalili ya ushehe ni kilemba. Alikonda na kukondeana kama ng'onda. Kisha siha ikamponyoka
Mwanake mama alijulikana kama nani?
{ "text": [ "Chikichi" ] }
1479_swa
................. ama kwa kusema kweli wahenga hawakukosea waliponena "Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole" MSIBA WA KUJITAKIA "Mwanangu wendapi ?" Nina alimwuliza mtoto wake Chikichi kwa biwi la simanzi na masikitiko si haba. "Asiyesikia maoni ya wakubwa husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi, wahenga na wahenguzi walilonga." Alizidi kumwelezea mwanawe. Chikichi alikuwa amefura kama totovu . Aliyashibisha mashavu yake kwa hasira za mkizi yakawa kama vifuu vya nazi. Alimpa mgongo mama mzazi na kumwonyesha kisogo. Alijiona kuwa yeye alikuwa amekomaa na kutokwa na ubwabwa wa shingo. Wahenga hawakuambulia patupu wala kucheza ngoma goya walipolonga dalili ya mvua ni mawingu. Alichanganya miguu, guu mosi guu pili huku sauti bum! bum! bu! Ikisikika mita kumi mduara. "Mama naye, eee.......eee........" Ajiona kabugia chumvi si haba na mawaidha yake duni yalistahili kutupiliwa kwenye kaburi la sahau. "Siyataki, akalishe nguruwe nayo." Nafsi yake Chikichi ilimghilibu. Waama sikio la kufa halina dawa. Jamani! Kakimbilia kuliko giza totoro! Aidha shadidi! Alizidi kupiga hatua kuelekea sebuleni mwa muhibu wake Pendeza. Alipokewa kwa haiba na bashasha, tena kwa mikono miwili. Moyo wa ghulamu ulimdundadunda kwa furaha ghaya. Chambilecho wahenga cha kuvuja hakina rubani. Mama alipigwa na masikitiko na mababaiko. Alipigwa na butwaa akaachwa kinywa achama. Wingu jeusi la kizimwili likaanza kutanda moyoni na maishani mwake. Alikuwa na imani tifutifu kuwa mtoto wake angemtoa ufukarani. Kweli hawakuwa mbu mbu mbu waliposema kuwa uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Pindi baada ya majuma matatu aliitwa skulini na kuelezwa kinagaubaga kuhusu tabia potovu za mwana wake. Tabia hizo zilikera . Tayari alikuwa akivuta sigara, dawa haramu kazitumia. Isitoshe, katembea ovyo ovyo na mahaluku shuleni na vitongojini. Asiyeogopa ng'ombe, ng'ombe ni yeye. Wengi walimpa jina "kifagio' Wanafunzi wa darasa la sita walimshauri akome kuchezea sega la nyuki lakini hayo hayakumhusu ndewe wala sikio. Nasaha alizitupilia kwenye kaburi la sahau. Liwe liwalo, mtoto akililia wembe mpe. Alijitia moyo na kuyabingirisha maisha yake kama gurudumu bingiri bingiri. Mchimba kisima huingia mwenyewe. Hawakuzunguka mbuyu wahenga. Baba yake, alijaribu kumsaidia alakulihali lakini aliambulia nunge. Bakora haikumsaidia wala kisu moto. Mambo yalianza kwenda shoro. Kijana akawa kama jini au mwehu. Kutembea kukawa staha yake. Maji yakamwagika. Alibaki imara na kushikilia hulka zake kikiki. Alianza kuyumbayumba kama chombo kilichodungiliwa kwa manowari. "chikichi, dunia rangi rangile iliwashinda mababu zetu seuze wewe? Elewa kuwa dunia ni mfano wa Jabali kavu" Nasaha hizo hazikumfaa. Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Mambo ni kangaja huenda yakaja. Hauchi hauchi unakucha. Dada kaanza kuuguagua homahoma. Homa ikawa mafua. Kisha kapata leseni ya kuendeshaendesha. Halafu ngozi yake ikaanza kubadilika. Dalili ya ushehe ni kilemba. Alikonda na kukondeana kama ng'onda. Kisha siha ikamponyoka
Sikio la kufa halina nini?
{ "text": [ "Dawa" ] }
1479_swa
................. ama kwa kusema kweli wahenga hawakukosea waliponena "Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole" MSIBA WA KUJITAKIA "Mwanangu wendapi ?" Nina alimwuliza mtoto wake Chikichi kwa biwi la simanzi na masikitiko si haba. "Asiyesikia maoni ya wakubwa husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi, wahenga na wahenguzi walilonga." Alizidi kumwelezea mwanawe. Chikichi alikuwa amefura kama totovu . Aliyashibisha mashavu yake kwa hasira za mkizi yakawa kama vifuu vya nazi. Alimpa mgongo mama mzazi na kumwonyesha kisogo. Alijiona kuwa yeye alikuwa amekomaa na kutokwa na ubwabwa wa shingo. Wahenga hawakuambulia patupu wala kucheza ngoma goya walipolonga dalili ya mvua ni mawingu. Alichanganya miguu, guu mosi guu pili huku sauti bum! bum! bu! Ikisikika mita kumi mduara. "Mama naye, eee.......eee........" Ajiona kabugia chumvi si haba na mawaidha yake duni yalistahili kutupiliwa kwenye kaburi la sahau. "Siyataki, akalishe nguruwe nayo." Nafsi yake Chikichi ilimghilibu. Waama sikio la kufa halina dawa. Jamani! Kakimbilia kuliko giza totoro! Aidha shadidi! Alizidi kupiga hatua kuelekea sebuleni mwa muhibu wake Pendeza. Alipokewa kwa haiba na bashasha, tena kwa mikono miwili. Moyo wa ghulamu ulimdundadunda kwa furaha ghaya. Chambilecho wahenga cha kuvuja hakina rubani. Mama alipigwa na masikitiko na mababaiko. Alipigwa na butwaa akaachwa kinywa achama. Wingu jeusi la kizimwili likaanza kutanda moyoni na maishani mwake. Alikuwa na imani tifutifu kuwa mtoto wake angemtoa ufukarani. Kweli hawakuwa mbu mbu mbu waliposema kuwa uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Pindi baada ya majuma matatu aliitwa skulini na kuelezwa kinagaubaga kuhusu tabia potovu za mwana wake. Tabia hizo zilikera . Tayari alikuwa akivuta sigara, dawa haramu kazitumia. Isitoshe, katembea ovyo ovyo na mahaluku shuleni na vitongojini. Asiyeogopa ng'ombe, ng'ombe ni yeye. Wengi walimpa jina "kifagio' Wanafunzi wa darasa la sita walimshauri akome kuchezea sega la nyuki lakini hayo hayakumhusu ndewe wala sikio. Nasaha alizitupilia kwenye kaburi la sahau. Liwe liwalo, mtoto akililia wembe mpe. Alijitia moyo na kuyabingirisha maisha yake kama gurudumu bingiri bingiri. Mchimba kisima huingia mwenyewe. Hawakuzunguka mbuyu wahenga. Baba yake, alijaribu kumsaidia alakulihali lakini aliambulia nunge. Bakora haikumsaidia wala kisu moto. Mambo yalianza kwenda shoro. Kijana akawa kama jini au mwehu. Kutembea kukawa staha yake. Maji yakamwagika. Alibaki imara na kushikilia hulka zake kikiki. Alianza kuyumbayumba kama chombo kilichodungiliwa kwa manowari. "chikichi, dunia rangi rangile iliwashinda mababu zetu seuze wewe? Elewa kuwa dunia ni mfano wa Jabali kavu" Nasaha hizo hazikumfaa. Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Mambo ni kangaja huenda yakaja. Hauchi hauchi unakucha. Dada kaanza kuuguagua homahoma. Homa ikawa mafua. Kisha kapata leseni ya kuendeshaendesha. Halafu ngozi yake ikaanza kubadilika. Dalili ya ushehe ni kilemba. Alikonda na kukondeana kama ng'onda. Kisha siha ikamponyoka
Nani alikuwa amejawa na biwi la simanzi?
{ "text": [ "Mamake Chikichi" ] }
1479_swa
................. ama kwa kusema kweli wahenga hawakukosea waliponena "Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole" MSIBA WA KUJITAKIA "Mwanangu wendapi ?" Nina alimwuliza mtoto wake Chikichi kwa biwi la simanzi na masikitiko si haba. "Asiyesikia maoni ya wakubwa husafiria kwa mtumbwi wa udongo wa mfinyanzi, wahenga na wahenguzi walilonga." Alizidi kumwelezea mwanawe. Chikichi alikuwa amefura kama totovu . Aliyashibisha mashavu yake kwa hasira za mkizi yakawa kama vifuu vya nazi. Alimpa mgongo mama mzazi na kumwonyesha kisogo. Alijiona kuwa yeye alikuwa amekomaa na kutokwa na ubwabwa wa shingo. Wahenga hawakuambulia patupu wala kucheza ngoma goya walipolonga dalili ya mvua ni mawingu. Alichanganya miguu, guu mosi guu pili huku sauti bum! bum! bu! Ikisikika mita kumi mduara. "Mama naye, eee.......eee........" Ajiona kabugia chumvi si haba na mawaidha yake duni yalistahili kutupiliwa kwenye kaburi la sahau. "Siyataki, akalishe nguruwe nayo." Nafsi yake Chikichi ilimghilibu. Waama sikio la kufa halina dawa. Jamani! Kakimbilia kuliko giza totoro! Aidha shadidi! Alizidi kupiga hatua kuelekea sebuleni mwa muhibu wake Pendeza. Alipokewa kwa haiba na bashasha, tena kwa mikono miwili. Moyo wa ghulamu ulimdundadunda kwa furaha ghaya. Chambilecho wahenga cha kuvuja hakina rubani. Mama alipigwa na masikitiko na mababaiko. Alipigwa na butwaa akaachwa kinywa achama. Wingu jeusi la kizimwili likaanza kutanda moyoni na maishani mwake. Alikuwa na imani tifutifu kuwa mtoto wake angemtoa ufukarani. Kweli hawakuwa mbu mbu mbu waliposema kuwa uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Pindi baada ya majuma matatu aliitwa skulini na kuelezwa kinagaubaga kuhusu tabia potovu za mwana wake. Tabia hizo zilikera . Tayari alikuwa akivuta sigara, dawa haramu kazitumia. Isitoshe, katembea ovyo ovyo na mahaluku shuleni na vitongojini. Asiyeogopa ng'ombe, ng'ombe ni yeye. Wengi walimpa jina "kifagio' Wanafunzi wa darasa la sita walimshauri akome kuchezea sega la nyuki lakini hayo hayakumhusu ndewe wala sikio. Nasaha alizitupilia kwenye kaburi la sahau. Liwe liwalo, mtoto akililia wembe mpe. Alijitia moyo na kuyabingirisha maisha yake kama gurudumu bingiri bingiri. Mchimba kisima huingia mwenyewe. Hawakuzunguka mbuyu wahenga. Baba yake, alijaribu kumsaidia alakulihali lakini aliambulia nunge. Bakora haikumsaidia wala kisu moto. Mambo yalianza kwenda shoro. Kijana akawa kama jini au mwehu. Kutembea kukawa staha yake. Maji yakamwagika. Alibaki imara na kushikilia hulka zake kikiki. Alianza kuyumbayumba kama chombo kilichodungiliwa kwa manowari. "chikichi, dunia rangi rangile iliwashinda mababu zetu seuze wewe? Elewa kuwa dunia ni mfano wa Jabali kavu" Nasaha hizo hazikumfaa. Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Mambo ni kangaja huenda yakaja. Hauchi hauchi unakucha. Dada kaanza kuuguagua homahoma. Homa ikawa mafua. Kisha kapata leseni ya kuendeshaendesha. Halafu ngozi yake ikaanza kubadilika. Dalili ya ushehe ni kilemba. Alikonda na kukondeana kama ng'onda. Kisha siha ikamponyoka
Chambilecho cha kuvuja hakina nini?
{ "text": [ "Rubani" ] }
1480_swa
MZEE ZAITUNI Mzee Zaituni alikuwa kwenye ukiwa wa kimya kilichopasuapasua ukiwa wa pori hilo. Alibandika na kubandua chapuchapu za nyayo zake. Alitembeatembea huku akimangamanga kama mlevi aliyepiga gongo haramu aila ya 'Majonzi ya simba' Alizivurugavuruga vipilipili vya utimutimu wa julfa zake. Alikuwa amekamatwa papatupapatu na furi furi za migongano ya mirindimo ya 'waza wazua, 'jenga bomoa'. Ushikwapo shikamana. Walinena wazee wa enzi za kuenziwa za 'Ndemi na Mathathi'. Pori lilikuwa kama kiza kaniki lenye ukiwa na upweke uliopenyapenya masikioni na kumuuma pakubwa. Akili zilimwendea mbiombio na migongano ya mawazo ikawa kama milima. Hakuwa na wakati wa kumwomba mitume zeuze Nabii! "Maria mke wangu wa dhati" Aliizungumzia nafsi yake. Mariamu alipiga kite na kubingirika kitandani bingiribingiri kama gari lililokosa njia. Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kiwewe, hamaniko na dukuduku za hangahanga za moyoni zilimjaa chekwachekwa. Aka! Kuzaa si kazi, jozi ni kulea mwana, wakaghilibu wajadi. Alizidi kuupenyapenya msitu ule kwa mnyatio wa tahathari tahathari kabla ya athari alielewa fikafika. Ghafla bin vuu, pori lilishamiriwa na milio migeni migeni na ya ajabu. Milio hiyo ilitisha kama kaputi. Aliduwaa na kupumbaa kisha akapigwa na bufwaa ghaifa ya kushangaa. Alitetema mwilini tetemeteteme lubwi kwenye tawi hafifu kwenye msimu wa kusikusi. Nyayo zake zilishidilia chini asijue la kufanya na zikawa nanga. Parafujo za miguu zilikauka kama jangwa la sahara. Mtume mwombezi! Alitulia tuli kama maji kasikini. Alingojea kukiona alichokiona shaitani alipomfinya mwana wa Mungu matakoni. Macho yalimtoka pima na akayakondoa nje kukiona kiwiliwili, kibonge kama cha insi kilichojaa nywele jeusi pi pi pi laula mpingo.Kilibeba mabegani mwake kaputi ya mtu marehemu. Ibilisi! Iziraili mkuu! Alilaani vikali huku akiyatema mate. Katika mazingaombwe na hekaheka za ukunga, Mariamu Tuo alijifungua salama salimi. 'Asante Mungu' Nyemi tano zilipigwa, mvulana dhuria kwishazaliwa. Mzee Zaituni alichapuachapua, patashika za miguu yake kwa mwendo wa kasi hadi chengoni mwake. "Hongera bibi yangu, Dayani amekusaidia kwa hali na mali". Mara maria akazimia zi.
Nani alikuwa akitembea akimangamanga kama mlevi
{ "text": [ "Mzee Zaitun" ] }
1480_swa
MZEE ZAITUNI Mzee Zaituni alikuwa kwenye ukiwa wa kimya kilichopasuapasua ukiwa wa pori hilo. Alibandika na kubandua chapuchapu za nyayo zake. Alitembeatembea huku akimangamanga kama mlevi aliyepiga gongo haramu aila ya 'Majonzi ya simba' Alizivurugavuruga vipilipili vya utimutimu wa julfa zake. Alikuwa amekamatwa papatupapatu na furi furi za migongano ya mirindimo ya 'waza wazua, 'jenga bomoa'. Ushikwapo shikamana. Walinena wazee wa enzi za kuenziwa za 'Ndemi na Mathathi'. Pori lilikuwa kama kiza kaniki lenye ukiwa na upweke uliopenyapenya masikioni na kumuuma pakubwa. Akili zilimwendea mbiombio na migongano ya mawazo ikawa kama milima. Hakuwa na wakati wa kumwomba mitume zeuze Nabii! "Maria mke wangu wa dhati" Aliizungumzia nafsi yake. Mariamu alipiga kite na kubingirika kitandani bingiribingiri kama gari lililokosa njia. Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kiwewe, hamaniko na dukuduku za hangahanga za moyoni zilimjaa chekwachekwa. Aka! Kuzaa si kazi, jozi ni kulea mwana, wakaghilibu wajadi. Alizidi kuupenyapenya msitu ule kwa mnyatio wa tahathari tahathari kabla ya athari alielewa fikafika. Ghafla bin vuu, pori lilishamiriwa na milio migeni migeni na ya ajabu. Milio hiyo ilitisha kama kaputi. Aliduwaa na kupumbaa kisha akapigwa na bufwaa ghaifa ya kushangaa. Alitetema mwilini tetemeteteme lubwi kwenye tawi hafifu kwenye msimu wa kusikusi. Nyayo zake zilishidilia chini asijue la kufanya na zikawa nanga. Parafujo za miguu zilikauka kama jangwa la sahara. Mtume mwombezi! Alitulia tuli kama maji kasikini. Alingojea kukiona alichokiona shaitani alipomfinya mwana wa Mungu matakoni. Macho yalimtoka pima na akayakondoa nje kukiona kiwiliwili, kibonge kama cha insi kilichojaa nywele jeusi pi pi pi laula mpingo.Kilibeba mabegani mwake kaputi ya mtu marehemu. Ibilisi! Iziraili mkuu! Alilaani vikali huku akiyatema mate. Katika mazingaombwe na hekaheka za ukunga, Mariamu Tuo alijifungua salama salimi. 'Asante Mungu' Nyemi tano zilipigwa, mvulana dhuria kwishazaliwa. Mzee Zaituni alichapuachapua, patashika za miguu yake kwa mwendo wa kasi hadi chengoni mwake. "Hongera bibi yangu, Dayani amekusaidia kwa hali na mali". Mara maria akazimia zi.
Mzee alikuwa akitembea akielekea wapi
{ "text": [ "Porini" ] }
1480_swa
MZEE ZAITUNI Mzee Zaituni alikuwa kwenye ukiwa wa kimya kilichopasuapasua ukiwa wa pori hilo. Alibandika na kubandua chapuchapu za nyayo zake. Alitembeatembea huku akimangamanga kama mlevi aliyepiga gongo haramu aila ya 'Majonzi ya simba' Alizivurugavuruga vipilipili vya utimutimu wa julfa zake. Alikuwa amekamatwa papatupapatu na furi furi za migongano ya mirindimo ya 'waza wazua, 'jenga bomoa'. Ushikwapo shikamana. Walinena wazee wa enzi za kuenziwa za 'Ndemi na Mathathi'. Pori lilikuwa kama kiza kaniki lenye ukiwa na upweke uliopenyapenya masikioni na kumuuma pakubwa. Akili zilimwendea mbiombio na migongano ya mawazo ikawa kama milima. Hakuwa na wakati wa kumwomba mitume zeuze Nabii! "Maria mke wangu wa dhati" Aliizungumzia nafsi yake. Mariamu alipiga kite na kubingirika kitandani bingiribingiri kama gari lililokosa njia. Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kiwewe, hamaniko na dukuduku za hangahanga za moyoni zilimjaa chekwachekwa. Aka! Kuzaa si kazi, jozi ni kulea mwana, wakaghilibu wajadi. Alizidi kuupenyapenya msitu ule kwa mnyatio wa tahathari tahathari kabla ya athari alielewa fikafika. Ghafla bin vuu, pori lilishamiriwa na milio migeni migeni na ya ajabu. Milio hiyo ilitisha kama kaputi. Aliduwaa na kupumbaa kisha akapigwa na bufwaa ghaifa ya kushangaa. Alitetema mwilini tetemeteteme lubwi kwenye tawi hafifu kwenye msimu wa kusikusi. Nyayo zake zilishidilia chini asijue la kufanya na zikawa nanga. Parafujo za miguu zilikauka kama jangwa la sahara. Mtume mwombezi! Alitulia tuli kama maji kasikini. Alingojea kukiona alichokiona shaitani alipomfinya mwana wa Mungu matakoni. Macho yalimtoka pima na akayakondoa nje kukiona kiwiliwili, kibonge kama cha insi kilichojaa nywele jeusi pi pi pi laula mpingo.Kilibeba mabegani mwake kaputi ya mtu marehemu. Ibilisi! Iziraili mkuu! Alilaani vikali huku akiyatema mate. Katika mazingaombwe na hekaheka za ukunga, Mariamu Tuo alijifungua salama salimi. 'Asante Mungu' Nyemi tano zilipigwa, mvulana dhuria kwishazaliwa. Mzee Zaituni alichapuachapua, patashika za miguu yake kwa mwendo wa kasi hadi chengoni mwake. "Hongera bibi yangu, Dayani amekusaidia kwa hali na mali". Mara maria akazimia zi.
Mzee aliponyatia na kupenyeza msitu alisikia nini
{ "text": [ "Milio migeni migeni ya ajabu" ] }
1480_swa
MZEE ZAITUNI Mzee Zaituni alikuwa kwenye ukiwa wa kimya kilichopasuapasua ukiwa wa pori hilo. Alibandika na kubandua chapuchapu za nyayo zake. Alitembeatembea huku akimangamanga kama mlevi aliyepiga gongo haramu aila ya 'Majonzi ya simba' Alizivurugavuruga vipilipili vya utimutimu wa julfa zake. Alikuwa amekamatwa papatupapatu na furi furi za migongano ya mirindimo ya 'waza wazua, 'jenga bomoa'. Ushikwapo shikamana. Walinena wazee wa enzi za kuenziwa za 'Ndemi na Mathathi'. Pori lilikuwa kama kiza kaniki lenye ukiwa na upweke uliopenyapenya masikioni na kumuuma pakubwa. Akili zilimwendea mbiombio na migongano ya mawazo ikawa kama milima. Hakuwa na wakati wa kumwomba mitume zeuze Nabii! "Maria mke wangu wa dhati" Aliizungumzia nafsi yake. Mariamu alipiga kite na kubingirika kitandani bingiribingiri kama gari lililokosa njia. Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kiwewe, hamaniko na dukuduku za hangahanga za moyoni zilimjaa chekwachekwa. Aka! Kuzaa si kazi, jozi ni kulea mwana, wakaghilibu wajadi. Alizidi kuupenyapenya msitu ule kwa mnyatio wa tahathari tahathari kabla ya athari alielewa fikafika. Ghafla bin vuu, pori lilishamiriwa na milio migeni migeni na ya ajabu. Milio hiyo ilitisha kama kaputi. Aliduwaa na kupumbaa kisha akapigwa na bufwaa ghaifa ya kushangaa. Alitetema mwilini tetemeteteme lubwi kwenye tawi hafifu kwenye msimu wa kusikusi. Nyayo zake zilishidilia chini asijue la kufanya na zikawa nanga. Parafujo za miguu zilikauka kama jangwa la sahara. Mtume mwombezi! Alitulia tuli kama maji kasikini. Alingojea kukiona alichokiona shaitani alipomfinya mwana wa Mungu matakoni. Macho yalimtoka pima na akayakondoa nje kukiona kiwiliwili, kibonge kama cha insi kilichojaa nywele jeusi pi pi pi laula mpingo.Kilibeba mabegani mwake kaputi ya mtu marehemu. Ibilisi! Iziraili mkuu! Alilaani vikali huku akiyatema mate. Katika mazingaombwe na hekaheka za ukunga, Mariamu Tuo alijifungua salama salimi. 'Asante Mungu' Nyemi tano zilipigwa, mvulana dhuria kwishazaliwa. Mzee Zaituni alichapuachapua, patashika za miguu yake kwa mwendo wa kasi hadi chengoni mwake. "Hongera bibi yangu, Dayani amekusaidia kwa hali na mali". Mara maria akazimia zi.
Nini kilikauka kama janga la sahara
{ "text": [ "Parafujo za miguu" ] }
1480_swa
MZEE ZAITUNI Mzee Zaituni alikuwa kwenye ukiwa wa kimya kilichopasuapasua ukiwa wa pori hilo. Alibandika na kubandua chapuchapu za nyayo zake. Alitembeatembea huku akimangamanga kama mlevi aliyepiga gongo haramu aila ya 'Majonzi ya simba' Alizivurugavuruga vipilipili vya utimutimu wa julfa zake. Alikuwa amekamatwa papatupapatu na furi furi za migongano ya mirindimo ya 'waza wazua, 'jenga bomoa'. Ushikwapo shikamana. Walinena wazee wa enzi za kuenziwa za 'Ndemi na Mathathi'. Pori lilikuwa kama kiza kaniki lenye ukiwa na upweke uliopenyapenya masikioni na kumuuma pakubwa. Akili zilimwendea mbiombio na migongano ya mawazo ikawa kama milima. Hakuwa na wakati wa kumwomba mitume zeuze Nabii! "Maria mke wangu wa dhati" Aliizungumzia nafsi yake. Mariamu alipiga kite na kubingirika kitandani bingiribingiri kama gari lililokosa njia. Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kiwewe, hamaniko na dukuduku za hangahanga za moyoni zilimjaa chekwachekwa. Aka! Kuzaa si kazi, jozi ni kulea mwana, wakaghilibu wajadi. Alizidi kuupenyapenya msitu ule kwa mnyatio wa tahathari tahathari kabla ya athari alielewa fikafika. Ghafla bin vuu, pori lilishamiriwa na milio migeni migeni na ya ajabu. Milio hiyo ilitisha kama kaputi. Aliduwaa na kupumbaa kisha akapigwa na bufwaa ghaifa ya kushangaa. Alitetema mwilini tetemeteteme lubwi kwenye tawi hafifu kwenye msimu wa kusikusi. Nyayo zake zilishidilia chini asijue la kufanya na zikawa nanga. Parafujo za miguu zilikauka kama jangwa la sahara. Mtume mwombezi! Alitulia tuli kama maji kasikini. Alingojea kukiona alichokiona shaitani alipomfinya mwana wa Mungu matakoni. Macho yalimtoka pima na akayakondoa nje kukiona kiwiliwili, kibonge kama cha insi kilichojaa nywele jeusi pi pi pi laula mpingo.Kilibeba mabegani mwake kaputi ya mtu marehemu. Ibilisi! Iziraili mkuu! Alilaani vikali huku akiyatema mate. Katika mazingaombwe na hekaheka za ukunga, Mariamu Tuo alijifungua salama salimi. 'Asante Mungu' Nyemi tano zilipigwa, mvulana dhuria kwishazaliwa. Mzee Zaituni alichapuachapua, patashika za miguu yake kwa mwendo wa kasi hadi chengoni mwake. "Hongera bibi yangu, Dayani amekusaidia kwa hali na mali". Mara maria akazimia zi.
Kwa nini nyemi tano zilipigwa
{ "text": [ "Mariamu Tua alijifungua salama salmini" ] }
1481_swa
Andika kisa cha kusisimua ambacho kitamalizika kwa maneno haya: ..............."Sitarudia kosa hilo tena aushini." MASHAKA YALIYONIPATA "Nenda, sitaki kukuona machoni pangu.Mimi ni barobaro mwenye akili timami ambazo zina uwezo wa kunifanya nitende nitakalo?" Hadija alimwambia mama yake aliyekongeka. Ninake Hadija alikuwa anamweleza Hadija hasara za kurandaranda kama jibwa koko litafutalo makombo. Mtoto ambaye hulka zake-zilikuwa za kutamaniwa na kuvuliwa kofia na wengi, aligeukia ukubwani akawa haambiliki hasemezeki. Wasemao husema kuwa kimumunye huharibikia ukubwani. Hadija alikuwa na maskio nanga ambayo hayakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini, aidha hayakusikia dawa wala kafara. Baba yake alikuwa ameshaaga dunia .Hadija alilelewa na mama yake kwa dhiki nyingi. Alipobaleghe, akaanza kuwa kichwa kigumu. Mama mtu alilia na ije balaa iondoe baa. Siku moja, Hadija alidamka mafungulia ng'ombe. Akatembea kenyekenye hadi kwa swahibu yake waliyependana kama chanda na pete . Walikuwa wamehaidiana kukutana na alielewa fika kuwa ahadi ni deni. Alisimama kandokando ya barabara na kungoja waja waliokuwa na mapato mazito kwa kuwa huo ulikuwa mwisho wa mwezi. Nasaha za kidini hutunasihi kilo mahuluku atavuna alichokipanda. Atakayevuna cha mwingine adhabu kali ipo. Mla kuku wa mwenzio hulipa ng'ombe. Kisha, Mungu atamwadhibu. Mwia si mwia, adinasi mmoja aliyeonekana mkwasi, alijitokeza mbele yao.Bila kujali togo wala jando, walimrukia na kumpokonya ngwnje zake alizobeba kabla kutoroka, halaiki ya watu ilikuwa imewazingira. Naam! Siku za mwizi ni arobaini Umati ule ukawa na kigeugeu cha kinyongo na kuwageukia wanyang'anyi wale Wakachapwa kichapo cha mbwa aliyetabawali msikitini Hadija na swahibu yake walitandikwa sawa sawa. Walivuja ngeu nyingi mno. Hadija alijaribu kuomba msamaha kwa kuwaeleza ya kuwa hayakuwa mapenzi yake ila ni hali ya nchi iliyvokuwa lakini wapi! Maneno yake yaliangukia masikio ya viziwi. Harakati zao ziliambulia patupu kama kumwosha kuku miguuni. Yaumi hiyo alitambua ya kuwa dunia si chochote, si lolote ila tambara bovu. Isitoshe alijua, kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya kuvuja ngeu walitiwa nguvuni. Walipelekwa hosipitalini ambako walitibiwa na kupewa ruhusa ya kwenda zao kortini tayari kwa hukumu yao. Kulingana na sheria za nchi hii yetu tukufu wizi wa kutumia mabavu huwa na adhabu ya kuhukumiwa kifo. Hadija alilia kwi kwi kwi lakini mwiba wa kujichoma hauna kilio. Alianza kujuta huku akijiahidi, "Sitarudia kosa hilo tena aushini."
Hadija alikuwa na masikio yepi
{ "text": [ "Nanga" ] }
1481_swa
Andika kisa cha kusisimua ambacho kitamalizika kwa maneno haya: ..............."Sitarudia kosa hilo tena aushini." MASHAKA YALIYONIPATA "Nenda, sitaki kukuona machoni pangu.Mimi ni barobaro mwenye akili timami ambazo zina uwezo wa kunifanya nitende nitakalo?" Hadija alimwambia mama yake aliyekongeka. Ninake Hadija alikuwa anamweleza Hadija hasara za kurandaranda kama jibwa koko litafutalo makombo. Mtoto ambaye hulka zake-zilikuwa za kutamaniwa na kuvuliwa kofia na wengi, aligeukia ukubwani akawa haambiliki hasemezeki. Wasemao husema kuwa kimumunye huharibikia ukubwani. Hadija alikuwa na maskio nanga ambayo hayakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini, aidha hayakusikia dawa wala kafara. Baba yake alikuwa ameshaaga dunia .Hadija alilelewa na mama yake kwa dhiki nyingi. Alipobaleghe, akaanza kuwa kichwa kigumu. Mama mtu alilia na ije balaa iondoe baa. Siku moja, Hadija alidamka mafungulia ng'ombe. Akatembea kenyekenye hadi kwa swahibu yake waliyependana kama chanda na pete . Walikuwa wamehaidiana kukutana na alielewa fika kuwa ahadi ni deni. Alisimama kandokando ya barabara na kungoja waja waliokuwa na mapato mazito kwa kuwa huo ulikuwa mwisho wa mwezi. Nasaha za kidini hutunasihi kilo mahuluku atavuna alichokipanda. Atakayevuna cha mwingine adhabu kali ipo. Mla kuku wa mwenzio hulipa ng'ombe. Kisha, Mungu atamwadhibu. Mwia si mwia, adinasi mmoja aliyeonekana mkwasi, alijitokeza mbele yao.Bila kujali togo wala jando, walimrukia na kumpokonya ngwnje zake alizobeba kabla kutoroka, halaiki ya watu ilikuwa imewazingira. Naam! Siku za mwizi ni arobaini Umati ule ukawa na kigeugeu cha kinyongo na kuwageukia wanyang'anyi wale Wakachapwa kichapo cha mbwa aliyetabawali msikitini Hadija na swahibu yake walitandikwa sawa sawa. Walivuja ngeu nyingi mno. Hadija alijaribu kuomba msamaha kwa kuwaeleza ya kuwa hayakuwa mapenzi yake ila ni hali ya nchi iliyvokuwa lakini wapi! Maneno yake yaliangukia masikio ya viziwi. Harakati zao ziliambulia patupu kama kumwosha kuku miguuni. Yaumi hiyo alitambua ya kuwa dunia si chochote, si lolote ila tambara bovu. Isitoshe alijua, kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya kuvuja ngeu walitiwa nguvuni. Walipelekwa hosipitalini ambako walitibiwa na kupewa ruhusa ya kwenda zao kortini tayari kwa hukumu yao. Kulingana na sheria za nchi hii yetu tukufu wizi wa kutumia mabavu huwa na adhabu ya kuhukumiwa kifo. Hadija alilia kwi kwi kwi lakini mwiba wa kujichoma hauna kilio. Alianza kujuta huku akijiahidi, "Sitarudia kosa hilo tena aushini."
Hadija alidamka mafungulia nini
{ "text": [ "Ng'ombe" ] }
1481_swa
Andika kisa cha kusisimua ambacho kitamalizika kwa maneno haya: ..............."Sitarudia kosa hilo tena aushini." MASHAKA YALIYONIPATA "Nenda, sitaki kukuona machoni pangu.Mimi ni barobaro mwenye akili timami ambazo zina uwezo wa kunifanya nitende nitakalo?" Hadija alimwambia mama yake aliyekongeka. Ninake Hadija alikuwa anamweleza Hadija hasara za kurandaranda kama jibwa koko litafutalo makombo. Mtoto ambaye hulka zake-zilikuwa za kutamaniwa na kuvuliwa kofia na wengi, aligeukia ukubwani akawa haambiliki hasemezeki. Wasemao husema kuwa kimumunye huharibikia ukubwani. Hadija alikuwa na maskio nanga ambayo hayakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini, aidha hayakusikia dawa wala kafara. Baba yake alikuwa ameshaaga dunia .Hadija alilelewa na mama yake kwa dhiki nyingi. Alipobaleghe, akaanza kuwa kichwa kigumu. Mama mtu alilia na ije balaa iondoe baa. Siku moja, Hadija alidamka mafungulia ng'ombe. Akatembea kenyekenye hadi kwa swahibu yake waliyependana kama chanda na pete . Walikuwa wamehaidiana kukutana na alielewa fika kuwa ahadi ni deni. Alisimama kandokando ya barabara na kungoja waja waliokuwa na mapato mazito kwa kuwa huo ulikuwa mwisho wa mwezi. Nasaha za kidini hutunasihi kilo mahuluku atavuna alichokipanda. Atakayevuna cha mwingine adhabu kali ipo. Mla kuku wa mwenzio hulipa ng'ombe. Kisha, Mungu atamwadhibu. Mwia si mwia, adinasi mmoja aliyeonekana mkwasi, alijitokeza mbele yao.Bila kujali togo wala jando, walimrukia na kumpokonya ngwnje zake alizobeba kabla kutoroka, halaiki ya watu ilikuwa imewazingira. Naam! Siku za mwizi ni arobaini Umati ule ukawa na kigeugeu cha kinyongo na kuwageukia wanyang'anyi wale Wakachapwa kichapo cha mbwa aliyetabawali msikitini Hadija na swahibu yake walitandikwa sawa sawa. Walivuja ngeu nyingi mno. Hadija alijaribu kuomba msamaha kwa kuwaeleza ya kuwa hayakuwa mapenzi yake ila ni hali ya nchi iliyvokuwa lakini wapi! Maneno yake yaliangukia masikio ya viziwi. Harakati zao ziliambulia patupu kama kumwosha kuku miguuni. Yaumi hiyo alitambua ya kuwa dunia si chochote, si lolote ila tambara bovu. Isitoshe alijua, kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya kuvuja ngeu walitiwa nguvuni. Walipelekwa hosipitalini ambako walitibiwa na kupewa ruhusa ya kwenda zao kortini tayari kwa hukumu yao. Kulingana na sheria za nchi hii yetu tukufu wizi wa kutumia mabavu huwa na adhabu ya kuhukumiwa kifo. Hadija alilia kwi kwi kwi lakini mwiba wa kujichoma hauna kilio. Alianza kujuta huku akijiahidi, "Sitarudia kosa hilo tena aushini."
Wanyang'a walichapwa kichapo cha nini
{ "text": [ "Mbwa" ] }
1481_swa
Andika kisa cha kusisimua ambacho kitamalizika kwa maneno haya: ..............."Sitarudia kosa hilo tena aushini." MASHAKA YALIYONIPATA "Nenda, sitaki kukuona machoni pangu.Mimi ni barobaro mwenye akili timami ambazo zina uwezo wa kunifanya nitende nitakalo?" Hadija alimwambia mama yake aliyekongeka. Ninake Hadija alikuwa anamweleza Hadija hasara za kurandaranda kama jibwa koko litafutalo makombo. Mtoto ambaye hulka zake-zilikuwa za kutamaniwa na kuvuliwa kofia na wengi, aligeukia ukubwani akawa haambiliki hasemezeki. Wasemao husema kuwa kimumunye huharibikia ukubwani. Hadija alikuwa na maskio nanga ambayo hayakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini, aidha hayakusikia dawa wala kafara. Baba yake alikuwa ameshaaga dunia .Hadija alilelewa na mama yake kwa dhiki nyingi. Alipobaleghe, akaanza kuwa kichwa kigumu. Mama mtu alilia na ije balaa iondoe baa. Siku moja, Hadija alidamka mafungulia ng'ombe. Akatembea kenyekenye hadi kwa swahibu yake waliyependana kama chanda na pete . Walikuwa wamehaidiana kukutana na alielewa fika kuwa ahadi ni deni. Alisimama kandokando ya barabara na kungoja waja waliokuwa na mapato mazito kwa kuwa huo ulikuwa mwisho wa mwezi. Nasaha za kidini hutunasihi kilo mahuluku atavuna alichokipanda. Atakayevuna cha mwingine adhabu kali ipo. Mla kuku wa mwenzio hulipa ng'ombe. Kisha, Mungu atamwadhibu. Mwia si mwia, adinasi mmoja aliyeonekana mkwasi, alijitokeza mbele yao.Bila kujali togo wala jando, walimrukia na kumpokonya ngwnje zake alizobeba kabla kutoroka, halaiki ya watu ilikuwa imewazingira. Naam! Siku za mwizi ni arobaini Umati ule ukawa na kigeugeu cha kinyongo na kuwageukia wanyang'anyi wale Wakachapwa kichapo cha mbwa aliyetabawali msikitini Hadija na swahibu yake walitandikwa sawa sawa. Walivuja ngeu nyingi mno. Hadija alijaribu kuomba msamaha kwa kuwaeleza ya kuwa hayakuwa mapenzi yake ila ni hali ya nchi iliyvokuwa lakini wapi! Maneno yake yaliangukia masikio ya viziwi. Harakati zao ziliambulia patupu kama kumwosha kuku miguuni. Yaumi hiyo alitambua ya kuwa dunia si chochote, si lolote ila tambara bovu. Isitoshe alijua, kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya kuvuja ngeu walitiwa nguvuni. Walipelekwa hosipitalini ambako walitibiwa na kupewa ruhusa ya kwenda zao kortini tayari kwa hukumu yao. Kulingana na sheria za nchi hii yetu tukufu wizi wa kutumia mabavu huwa na adhabu ya kuhukumiwa kifo. Hadija alilia kwi kwi kwi lakini mwiba wa kujichoma hauna kilio. Alianza kujuta huku akijiahidi, "Sitarudia kosa hilo tena aushini."
Baada ya kuvunja ngeu walitiwa wapi
{ "text": [ "Nguvuni" ] }
1481_swa
Andika kisa cha kusisimua ambacho kitamalizika kwa maneno haya: ..............."Sitarudia kosa hilo tena aushini." MASHAKA YALIYONIPATA "Nenda, sitaki kukuona machoni pangu.Mimi ni barobaro mwenye akili timami ambazo zina uwezo wa kunifanya nitende nitakalo?" Hadija alimwambia mama yake aliyekongeka. Ninake Hadija alikuwa anamweleza Hadija hasara za kurandaranda kama jibwa koko litafutalo makombo. Mtoto ambaye hulka zake-zilikuwa za kutamaniwa na kuvuliwa kofia na wengi, aligeukia ukubwani akawa haambiliki hasemezeki. Wasemao husema kuwa kimumunye huharibikia ukubwani. Hadija alikuwa na maskio nanga ambayo hayakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini, aidha hayakusikia dawa wala kafara. Baba yake alikuwa ameshaaga dunia .Hadija alilelewa na mama yake kwa dhiki nyingi. Alipobaleghe, akaanza kuwa kichwa kigumu. Mama mtu alilia na ije balaa iondoe baa. Siku moja, Hadija alidamka mafungulia ng'ombe. Akatembea kenyekenye hadi kwa swahibu yake waliyependana kama chanda na pete . Walikuwa wamehaidiana kukutana na alielewa fika kuwa ahadi ni deni. Alisimama kandokando ya barabara na kungoja waja waliokuwa na mapato mazito kwa kuwa huo ulikuwa mwisho wa mwezi. Nasaha za kidini hutunasihi kilo mahuluku atavuna alichokipanda. Atakayevuna cha mwingine adhabu kali ipo. Mla kuku wa mwenzio hulipa ng'ombe. Kisha, Mungu atamwadhibu. Mwia si mwia, adinasi mmoja aliyeonekana mkwasi, alijitokeza mbele yao.Bila kujali togo wala jando, walimrukia na kumpokonya ngwnje zake alizobeba kabla kutoroka, halaiki ya watu ilikuwa imewazingira. Naam! Siku za mwizi ni arobaini Umati ule ukawa na kigeugeu cha kinyongo na kuwageukia wanyang'anyi wale Wakachapwa kichapo cha mbwa aliyetabawali msikitini Hadija na swahibu yake walitandikwa sawa sawa. Walivuja ngeu nyingi mno. Hadija alijaribu kuomba msamaha kwa kuwaeleza ya kuwa hayakuwa mapenzi yake ila ni hali ya nchi iliyvokuwa lakini wapi! Maneno yake yaliangukia masikio ya viziwi. Harakati zao ziliambulia patupu kama kumwosha kuku miguuni. Yaumi hiyo alitambua ya kuwa dunia si chochote, si lolote ila tambara bovu. Isitoshe alijua, kilichomtoa kanga manyoya. Baada ya kuvuja ngeu walitiwa nguvuni. Walipelekwa hosipitalini ambako walitibiwa na kupewa ruhusa ya kwenda zao kortini tayari kwa hukumu yao. Kulingana na sheria za nchi hii yetu tukufu wizi wa kutumia mabavu huwa na adhabu ya kuhukumiwa kifo. Hadija alilia kwi kwi kwi lakini mwiba wa kujichoma hauna kilio. Alianza kujuta huku akijiahidi, "Sitarudia kosa hilo tena aushini."
Kwa nini Hadija alilia kwikwikwi
{ "text": [ "Kwa kusikia adhabu kwa mujibu wa sheria za nchi" ] }
1482_swa
MZEE KAFINOO Shahibu Kafinoo ni meneja wa shirika la umma katika mji wa Korokocho. Ana kitambi kikubwa lau kiriba, kipara kinachong'aa mithili ya uso wa malaika matembezi yake ya haiba ya ubwana. Huduma ya maika 35 aliyotoa kwa shirika hilo ndiyo matumaini ya uzee wake. Anatakiwa kustaafu katika miezi sita ijayo na kuendelea kuishi kwa malipo ya pensheni kila mwezi. Hii ni mbali na kibunda cha marupurupa ya fulusi sufufu atakazopokea atakapoondoka kazini. Ujana wake ulimpita kama moshi. Kwa vyovyote vile, mzee Kafinoo ana wajibu mkubwa wa kuwa makini sana ili aumalize vizuri muda mfupi uliosalia kabla ya kustaafu. Amelibeba yai ambalo linaweza kumponyoka mkononi likaanguka na kuvunjika sekunde ya mwisha. Moyo wake ulianza kuhahahaha na kudundadunda kama ngoma . Mawazo yaligongana na kufurika furi furi ubongoni mwake. Miaka mingi imepita ilhali hakuwa amejifanyia chochote kile. Alisahau sauti za wahenga na wahenguzi, chuma kiwahi kingali moto. Muda hamruhusu kuku kumeza punje ya mchele. Alijipa moyo. Aidha ganga ganga za mganga humwacha mgonjwa katika hali ya matumaini. Mzee Kafinoo anapoendelea kupanda ngazi kazini na kukomaa kwa umri anazidi kuzingatie anasa za dunia. Utadhani ni tineja! Kwake ni mwiko siku kukamilika bila kunywa pombe. Huwashawishi kwa sabuni ya roho, mbali na gari lake jipya ambalo ni mali ya shirika la umma analofanyia kazi. Ni ibura kuwa amewaringa wasichana zaidi ya kumi na wanane. Wazee wa jadi walikaa kitako barazani wakibarizi na kulonga kinaga ubaga kuwa hakuna refu lisilokuwa na ncha. Pia yeye ni gwiji katika upigaji mtindi mtaani .Anakunywa pombe haramu ya kienyeji ambayo kwa majina bandia ni cham au machozi ya simba. Ana sifa kochokocho katika uvaliaji huu wa miwani. Nasaha alizopewa ziliangukia masikio habta yenye nta.Hakika nguruwe aendalo ndilo atendalo. Siku moja, mzee Kafinoo alitoroka kazini kama kawaida. Akapanda gari lake na kuliendesha kasi hadi mtaa maarufu wa Madongoporoka. Aliliegesha gari lake kwenye ua wa nyumba ya mamapima mmojα. Amefahamiki sαnα sαηα na mamapima huyu ambaye anajua udhaifu wa hulka zake, yaani shauku ya fisi juu ya wanawake wa wenyewe. Mbali na ile ya kupiga mtindi kiasi cha kutojitambua. Mgema huyu wa machozi ya simba (kumi kumi) amefua dafu katika lengo lake la kumfyonza mzee Kafinoo baada ya kugundua tamaa yake. Baadhi ya faida anazopata ni kulipiwa kodi ya nyumba kila mwezi na kutimiziwa mahitaji mengine mengi ya kimsingi. Mzee wa watu hajui kuwa dudu liumalo usilipe kidole. Utajuta mwenyewe nayo majuto ni mjukuu.
Kafinoo alikuwa anafanya kazi katika mji upi?
{ "text": [ "Korokocho" ] }
1482_swa
MZEE KAFINOO Shahibu Kafinoo ni meneja wa shirika la umma katika mji wa Korokocho. Ana kitambi kikubwa lau kiriba, kipara kinachong'aa mithili ya uso wa malaika matembezi yake ya haiba ya ubwana. Huduma ya maika 35 aliyotoa kwa shirika hilo ndiyo matumaini ya uzee wake. Anatakiwa kustaafu katika miezi sita ijayo na kuendelea kuishi kwa malipo ya pensheni kila mwezi. Hii ni mbali na kibunda cha marupurupa ya fulusi sufufu atakazopokea atakapoondoka kazini. Ujana wake ulimpita kama moshi. Kwa vyovyote vile, mzee Kafinoo ana wajibu mkubwa wa kuwa makini sana ili aumalize vizuri muda mfupi uliosalia kabla ya kustaafu. Amelibeba yai ambalo linaweza kumponyoka mkononi likaanguka na kuvunjika sekunde ya mwisha. Moyo wake ulianza kuhahahaha na kudundadunda kama ngoma . Mawazo yaligongana na kufurika furi furi ubongoni mwake. Miaka mingi imepita ilhali hakuwa amejifanyia chochote kile. Alisahau sauti za wahenga na wahenguzi, chuma kiwahi kingali moto. Muda hamruhusu kuku kumeza punje ya mchele. Alijipa moyo. Aidha ganga ganga za mganga humwacha mgonjwa katika hali ya matumaini. Mzee Kafinoo anapoendelea kupanda ngazi kazini na kukomaa kwa umri anazidi kuzingatie anasa za dunia. Utadhani ni tineja! Kwake ni mwiko siku kukamilika bila kunywa pombe. Huwashawishi kwa sabuni ya roho, mbali na gari lake jipya ambalo ni mali ya shirika la umma analofanyia kazi. Ni ibura kuwa amewaringa wasichana zaidi ya kumi na wanane. Wazee wa jadi walikaa kitako barazani wakibarizi na kulonga kinaga ubaga kuwa hakuna refu lisilokuwa na ncha. Pia yeye ni gwiji katika upigaji mtindi mtaani .Anakunywa pombe haramu ya kienyeji ambayo kwa majina bandia ni cham au machozi ya simba. Ana sifa kochokocho katika uvaliaji huu wa miwani. Nasaha alizopewa ziliangukia masikio habta yenye nta.Hakika nguruwe aendalo ndilo atendalo. Siku moja, mzee Kafinoo alitoroka kazini kama kawaida. Akapanda gari lake na kuliendesha kasi hadi mtaa maarufu wa Madongoporoka. Aliliegesha gari lake kwenye ua wa nyumba ya mamapima mmojα. Amefahamiki sαnα sαηα na mamapima huyu ambaye anajua udhaifu wa hulka zake, yaani shauku ya fisi juu ya wanawake wa wenyewe. Mbali na ile ya kupiga mtindi kiasi cha kutojitambua. Mgema huyu wa machozi ya simba (kumi kumi) amefua dafu katika lengo lake la kumfyonza mzee Kafinoo baada ya kugundua tamaa yake. Baadhi ya faida anazopata ni kulipiwa kodi ya nyumba kila mwezi na kutimiziwa mahitaji mengine mengi ya kimsingi. Mzee wa watu hajui kuwa dudu liumalo usilipe kidole. Utajuta mwenyewe nayo majuto ni mjukuu.
Kafinoo alikuwa na nini kichwani kilichong'aa kama uso wa malaika?
{ "text": [ "Kipara" ] }
1482_swa
MZEE KAFINOO Shahibu Kafinoo ni meneja wa shirika la umma katika mji wa Korokocho. Ana kitambi kikubwa lau kiriba, kipara kinachong'aa mithili ya uso wa malaika matembezi yake ya haiba ya ubwana. Huduma ya maika 35 aliyotoa kwa shirika hilo ndiyo matumaini ya uzee wake. Anatakiwa kustaafu katika miezi sita ijayo na kuendelea kuishi kwa malipo ya pensheni kila mwezi. Hii ni mbali na kibunda cha marupurupa ya fulusi sufufu atakazopokea atakapoondoka kazini. Ujana wake ulimpita kama moshi. Kwa vyovyote vile, mzee Kafinoo ana wajibu mkubwa wa kuwa makini sana ili aumalize vizuri muda mfupi uliosalia kabla ya kustaafu. Amelibeba yai ambalo linaweza kumponyoka mkononi likaanguka na kuvunjika sekunde ya mwisha. Moyo wake ulianza kuhahahaha na kudundadunda kama ngoma . Mawazo yaligongana na kufurika furi furi ubongoni mwake. Miaka mingi imepita ilhali hakuwa amejifanyia chochote kile. Alisahau sauti za wahenga na wahenguzi, chuma kiwahi kingali moto. Muda hamruhusu kuku kumeza punje ya mchele. Alijipa moyo. Aidha ganga ganga za mganga humwacha mgonjwa katika hali ya matumaini. Mzee Kafinoo anapoendelea kupanda ngazi kazini na kukomaa kwa umri anazidi kuzingatie anasa za dunia. Utadhani ni tineja! Kwake ni mwiko siku kukamilika bila kunywa pombe. Huwashawishi kwa sabuni ya roho, mbali na gari lake jipya ambalo ni mali ya shirika la umma analofanyia kazi. Ni ibura kuwa amewaringa wasichana zaidi ya kumi na wanane. Wazee wa jadi walikaa kitako barazani wakibarizi na kulonga kinaga ubaga kuwa hakuna refu lisilokuwa na ncha. Pia yeye ni gwiji katika upigaji mtindi mtaani .Anakunywa pombe haramu ya kienyeji ambayo kwa majina bandia ni cham au machozi ya simba. Ana sifa kochokocho katika uvaliaji huu wa miwani. Nasaha alizopewa ziliangukia masikio habta yenye nta.Hakika nguruwe aendalo ndilo atendalo. Siku moja, mzee Kafinoo alitoroka kazini kama kawaida. Akapanda gari lake na kuliendesha kasi hadi mtaa maarufu wa Madongoporoka. Aliliegesha gari lake kwenye ua wa nyumba ya mamapima mmojα. Amefahamiki sαnα sαηα na mamapima huyu ambaye anajua udhaifu wa hulka zake, yaani shauku ya fisi juu ya wanawake wa wenyewe. Mbali na ile ya kupiga mtindi kiasi cha kutojitambua. Mgema huyu wa machozi ya simba (kumi kumi) amefua dafu katika lengo lake la kumfyonza mzee Kafinoo baada ya kugundua tamaa yake. Baadhi ya faida anazopata ni kulipiwa kodi ya nyumba kila mwezi na kutimiziwa mahitaji mengine mengi ya kimsingi. Mzee wa watu hajui kuwa dudu liumalo usilipe kidole. Utajuta mwenyewe nayo majuto ni mjukuu.
Kafinoo alifanya kazi kwa miaka mingapi?
{ "text": [ "35" ] }
1482_swa
MZEE KAFINOO Shahibu Kafinoo ni meneja wa shirika la umma katika mji wa Korokocho. Ana kitambi kikubwa lau kiriba, kipara kinachong'aa mithili ya uso wa malaika matembezi yake ya haiba ya ubwana. Huduma ya maika 35 aliyotoa kwa shirika hilo ndiyo matumaini ya uzee wake. Anatakiwa kustaafu katika miezi sita ijayo na kuendelea kuishi kwa malipo ya pensheni kila mwezi. Hii ni mbali na kibunda cha marupurupa ya fulusi sufufu atakazopokea atakapoondoka kazini. Ujana wake ulimpita kama moshi. Kwa vyovyote vile, mzee Kafinoo ana wajibu mkubwa wa kuwa makini sana ili aumalize vizuri muda mfupi uliosalia kabla ya kustaafu. Amelibeba yai ambalo linaweza kumponyoka mkononi likaanguka na kuvunjika sekunde ya mwisha. Moyo wake ulianza kuhahahaha na kudundadunda kama ngoma . Mawazo yaligongana na kufurika furi furi ubongoni mwake. Miaka mingi imepita ilhali hakuwa amejifanyia chochote kile. Alisahau sauti za wahenga na wahenguzi, chuma kiwahi kingali moto. Muda hamruhusu kuku kumeza punje ya mchele. Alijipa moyo. Aidha ganga ganga za mganga humwacha mgonjwa katika hali ya matumaini. Mzee Kafinoo anapoendelea kupanda ngazi kazini na kukomaa kwa umri anazidi kuzingatie anasa za dunia. Utadhani ni tineja! Kwake ni mwiko siku kukamilika bila kunywa pombe. Huwashawishi kwa sabuni ya roho, mbali na gari lake jipya ambalo ni mali ya shirika la umma analofanyia kazi. Ni ibura kuwa amewaringa wasichana zaidi ya kumi na wanane. Wazee wa jadi walikaa kitako barazani wakibarizi na kulonga kinaga ubaga kuwa hakuna refu lisilokuwa na ncha. Pia yeye ni gwiji katika upigaji mtindi mtaani .Anakunywa pombe haramu ya kienyeji ambayo kwa majina bandia ni cham au machozi ya simba. Ana sifa kochokocho katika uvaliaji huu wa miwani. Nasaha alizopewa ziliangukia masikio habta yenye nta.Hakika nguruwe aendalo ndilo atendalo. Siku moja, mzee Kafinoo alitoroka kazini kama kawaida. Akapanda gari lake na kuliendesha kasi hadi mtaa maarufu wa Madongoporoka. Aliliegesha gari lake kwenye ua wa nyumba ya mamapima mmojα. Amefahamiki sαnα sαηα na mamapima huyu ambaye anajua udhaifu wa hulka zake, yaani shauku ya fisi juu ya wanawake wa wenyewe. Mbali na ile ya kupiga mtindi kiasi cha kutojitambua. Mgema huyu wa machozi ya simba (kumi kumi) amefua dafu katika lengo lake la kumfyonza mzee Kafinoo baada ya kugundua tamaa yake. Baadhi ya faida anazopata ni kulipiwa kodi ya nyumba kila mwezi na kutimiziwa mahitaji mengine mengi ya kimsingi. Mzee wa watu hajui kuwa dudu liumalo usilipe kidole. Utajuta mwenyewe nayo majuto ni mjukuu.
Kafinoo alipaswa kustaafu katika muda gani?
{ "text": [ "Miezi sita" ] }
1482_swa
MZEE KAFINOO Shahibu Kafinoo ni meneja wa shirika la umma katika mji wa Korokocho. Ana kitambi kikubwa lau kiriba, kipara kinachong'aa mithili ya uso wa malaika matembezi yake ya haiba ya ubwana. Huduma ya maika 35 aliyotoa kwa shirika hilo ndiyo matumaini ya uzee wake. Anatakiwa kustaafu katika miezi sita ijayo na kuendelea kuishi kwa malipo ya pensheni kila mwezi. Hii ni mbali na kibunda cha marupurupa ya fulusi sufufu atakazopokea atakapoondoka kazini. Ujana wake ulimpita kama moshi. Kwa vyovyote vile, mzee Kafinoo ana wajibu mkubwa wa kuwa makini sana ili aumalize vizuri muda mfupi uliosalia kabla ya kustaafu. Amelibeba yai ambalo linaweza kumponyoka mkononi likaanguka na kuvunjika sekunde ya mwisha. Moyo wake ulianza kuhahahaha na kudundadunda kama ngoma . Mawazo yaligongana na kufurika furi furi ubongoni mwake. Miaka mingi imepita ilhali hakuwa amejifanyia chochote kile. Alisahau sauti za wahenga na wahenguzi, chuma kiwahi kingali moto. Muda hamruhusu kuku kumeza punje ya mchele. Alijipa moyo. Aidha ganga ganga za mganga humwacha mgonjwa katika hali ya matumaini. Mzee Kafinoo anapoendelea kupanda ngazi kazini na kukomaa kwa umri anazidi kuzingatie anasa za dunia. Utadhani ni tineja! Kwake ni mwiko siku kukamilika bila kunywa pombe. Huwashawishi kwa sabuni ya roho, mbali na gari lake jipya ambalo ni mali ya shirika la umma analofanyia kazi. Ni ibura kuwa amewaringa wasichana zaidi ya kumi na wanane. Wazee wa jadi walikaa kitako barazani wakibarizi na kulonga kinaga ubaga kuwa hakuna refu lisilokuwa na ncha. Pia yeye ni gwiji katika upigaji mtindi mtaani .Anakunywa pombe haramu ya kienyeji ambayo kwa majina bandia ni cham au machozi ya simba. Ana sifa kochokocho katika uvaliaji huu wa miwani. Nasaha alizopewa ziliangukia masikio habta yenye nta.Hakika nguruwe aendalo ndilo atendalo. Siku moja, mzee Kafinoo alitoroka kazini kama kawaida. Akapanda gari lake na kuliendesha kasi hadi mtaa maarufu wa Madongoporoka. Aliliegesha gari lake kwenye ua wa nyumba ya mamapima mmojα. Amefahamiki sαnα sαηα na mamapima huyu ambaye anajua udhaifu wa hulka zake, yaani shauku ya fisi juu ya wanawake wa wenyewe. Mbali na ile ya kupiga mtindi kiasi cha kutojitambua. Mgema huyu wa machozi ya simba (kumi kumi) amefua dafu katika lengo lake la kumfyonza mzee Kafinoo baada ya kugundua tamaa yake. Baadhi ya faida anazopata ni kulipiwa kodi ya nyumba kila mwezi na kutimiziwa mahitaji mengine mengi ya kimsingi. Mzee wa watu hajui kuwa dudu liumalo usilipe kidole. Utajuta mwenyewe nayo majuto ni mjukuu.
Ganga ganga za mganga humwacha mgonjwa katika hali gani?
{ "text": [ "Matumaini" ] }
1483_swa
HOTUBA KUHUSU UKIMWI "Mabibi, mabwana, wanagenzi na watoto, hamjambo? Tumejumuika hapa kwa kusudi wahedi kuhusu uwele huu hatari wa ukimwi. Mie kama waziri wa afya nawafahamisha kuwa maelfu ya waliolazwa hospitalini wakitaka tiba wanaugua ugonjwa huu. Vile vile ninawajua mahaluki wengi ambao wamejikwatua kwatu kwatu wakiandamana na wavyele na wazazi wao wakitafuta dawa na kafara kutoka kwa waganga na waganguzi wanaambulia patupu. Tafadhali mwanangu acha kucheza na jua wavyele wako mlioshindana nao lau insi na kivuli chake aidha, kupe na mkia wa bakari walijongomea na kufuata baraste kuu ya marahaba na kukaribishwa ahera. Najua maisha yamekwenda segemnege tangu mtengane nao kama ardhi na mbingu. Vile vile hata waja wako wakiwa hawana mbele wala nyuma, serikali itawasaidia kuendeleza maisha yetu vipi? Sasa ni wasaa wangu wa kuzungumzia kuhusu njia ambazo uele huu wa UKIMWI huambukizwa. Njia mojawapo ya kuupata uwele huu ni kujiingiza katika njia sizizofaa Kwa mfano udanguro na ukahaba. Ni sharti tujiepushe na vibiriti ngoma. Kadhia hii imesumbua jamhuri hii hadi twaizungumzia bungeni bila mafanikio. Pia tunao ghulamu ambao huwafunza wengine tabia muwi. Tabia hizi ni kama utumizi wa dawa afyuni haramu au mihadarati. Binadamu anapotumia dawa hizi huwa goigoi asielewe afanyalo. Hapo ndipo vijana hawa wanajiingiza katika tabia za umbeumbe na hatima huwa ni kuupata na kueneza ugonjwa huu sugu. Pia kuna madaktari, matabibu, waganga na waganguzi ambao huwawezi kuwaamini, kwa sababu wanaweza wakawa ni masogora. Ukitaka kuwa salama salamini na buheri wa afya ni vizuri ununue sindano kisha itakaswe vizuri. Vile vile kama mjuavyo kujikinga ni afadhali kuliko matibabu. Kunazo njia za kujikinga. Njia moja ni kuchagua mke au mume mtakayeaminia. Kisha mwandamane hadi hospitalini mkapimwe. Tumieni hospitali ambazo zajulikana. Madaktari kwenye zahanati zingine ni masogora tu wasiojua lolote au kung'amua chochote. Kutokana na kadhia ya wasaa itanibidi ni komee hapo nikitarajia kuwa sijawapigia mbuzi zeze wasakate rumba. Natumaini kuwa mtayatia na kuyaandika katika nyoyo zenu kama alivyosema Suleimani katika kitabu chake cha Methali. Mtayatilia maneno yangu na kuyachamsi dhahiri shahiri. Dunia si lolote si chochote ila tambara mbovu wakanena. 'Ndemi na Mathathi' wazee hawa hawakuwa wakikama tetere walipolonga kuwa majuto ni mjukuu. Tujihadhari kabla ya athari. Kujikinga ni bora kuliko kutibu. Ukimwi ni nduli kakatima asiye na huruma ila dhuluma tupu. Kumbukeni unauwa zaidi ya watu mia saba kila vaumu hapa nchini Kenya pekee. Nawataki heri na fanaka katika maisha yenu mnavyozidi kupambana na janga hili. Asanteni."
Maelfu waliolazwa hospitalini wanaugua nini
{ "text": [ "Ukimwi" ] }
1483_swa
HOTUBA KUHUSU UKIMWI "Mabibi, mabwana, wanagenzi na watoto, hamjambo? Tumejumuika hapa kwa kusudi wahedi kuhusu uwele huu hatari wa ukimwi. Mie kama waziri wa afya nawafahamisha kuwa maelfu ya waliolazwa hospitalini wakitaka tiba wanaugua ugonjwa huu. Vile vile ninawajua mahaluki wengi ambao wamejikwatua kwatu kwatu wakiandamana na wavyele na wazazi wao wakitafuta dawa na kafara kutoka kwa waganga na waganguzi wanaambulia patupu. Tafadhali mwanangu acha kucheza na jua wavyele wako mlioshindana nao lau insi na kivuli chake aidha, kupe na mkia wa bakari walijongomea na kufuata baraste kuu ya marahaba na kukaribishwa ahera. Najua maisha yamekwenda segemnege tangu mtengane nao kama ardhi na mbingu. Vile vile hata waja wako wakiwa hawana mbele wala nyuma, serikali itawasaidia kuendeleza maisha yetu vipi? Sasa ni wasaa wangu wa kuzungumzia kuhusu njia ambazo uele huu wa UKIMWI huambukizwa. Njia mojawapo ya kuupata uwele huu ni kujiingiza katika njia sizizofaa Kwa mfano udanguro na ukahaba. Ni sharti tujiepushe na vibiriti ngoma. Kadhia hii imesumbua jamhuri hii hadi twaizungumzia bungeni bila mafanikio. Pia tunao ghulamu ambao huwafunza wengine tabia muwi. Tabia hizi ni kama utumizi wa dawa afyuni haramu au mihadarati. Binadamu anapotumia dawa hizi huwa goigoi asielewe afanyalo. Hapo ndipo vijana hawa wanajiingiza katika tabia za umbeumbe na hatima huwa ni kuupata na kueneza ugonjwa huu sugu. Pia kuna madaktari, matabibu, waganga na waganguzi ambao huwawezi kuwaamini, kwa sababu wanaweza wakawa ni masogora. Ukitaka kuwa salama salamini na buheri wa afya ni vizuri ununue sindano kisha itakaswe vizuri. Vile vile kama mjuavyo kujikinga ni afadhali kuliko matibabu. Kunazo njia za kujikinga. Njia moja ni kuchagua mke au mume mtakayeaminia. Kisha mwandamane hadi hospitalini mkapimwe. Tumieni hospitali ambazo zajulikana. Madaktari kwenye zahanati zingine ni masogora tu wasiojua lolote au kung'amua chochote. Kutokana na kadhia ya wasaa itanibidi ni komee hapo nikitarajia kuwa sijawapigia mbuzi zeze wasakate rumba. Natumaini kuwa mtayatia na kuyaandika katika nyoyo zenu kama alivyosema Suleimani katika kitabu chake cha Methali. Mtayatilia maneno yangu na kuyachamsi dhahiri shahiri. Dunia si lolote si chochote ila tambara mbovu wakanena. 'Ndemi na Mathathi' wazee hawa hawakuwa wakikama tetere walipolonga kuwa majuto ni mjukuu. Tujihadhari kabla ya athari. Kujikinga ni bora kuliko kutibu. Ukimwi ni nduli kakatima asiye na huruma ila dhuluma tupu. Kumbukeni unauwa zaidi ya watu mia saba kila vaumu hapa nchini Kenya pekee. Nawataki heri na fanaka katika maisha yenu mnavyozidi kupambana na janga hili. Asanteni."
Nani anahutubia hadhira
{ "text": [ "Waziri wa afya" ] }
1483_swa
HOTUBA KUHUSU UKIMWI "Mabibi, mabwana, wanagenzi na watoto, hamjambo? Tumejumuika hapa kwa kusudi wahedi kuhusu uwele huu hatari wa ukimwi. Mie kama waziri wa afya nawafahamisha kuwa maelfu ya waliolazwa hospitalini wakitaka tiba wanaugua ugonjwa huu. Vile vile ninawajua mahaluki wengi ambao wamejikwatua kwatu kwatu wakiandamana na wavyele na wazazi wao wakitafuta dawa na kafara kutoka kwa waganga na waganguzi wanaambulia patupu. Tafadhali mwanangu acha kucheza na jua wavyele wako mlioshindana nao lau insi na kivuli chake aidha, kupe na mkia wa bakari walijongomea na kufuata baraste kuu ya marahaba na kukaribishwa ahera. Najua maisha yamekwenda segemnege tangu mtengane nao kama ardhi na mbingu. Vile vile hata waja wako wakiwa hawana mbele wala nyuma, serikali itawasaidia kuendeleza maisha yetu vipi? Sasa ni wasaa wangu wa kuzungumzia kuhusu njia ambazo uele huu wa UKIMWI huambukizwa. Njia mojawapo ya kuupata uwele huu ni kujiingiza katika njia sizizofaa Kwa mfano udanguro na ukahaba. Ni sharti tujiepushe na vibiriti ngoma. Kadhia hii imesumbua jamhuri hii hadi twaizungumzia bungeni bila mafanikio. Pia tunao ghulamu ambao huwafunza wengine tabia muwi. Tabia hizi ni kama utumizi wa dawa afyuni haramu au mihadarati. Binadamu anapotumia dawa hizi huwa goigoi asielewe afanyalo. Hapo ndipo vijana hawa wanajiingiza katika tabia za umbeumbe na hatima huwa ni kuupata na kueneza ugonjwa huu sugu. Pia kuna madaktari, matabibu, waganga na waganguzi ambao huwawezi kuwaamini, kwa sababu wanaweza wakawa ni masogora. Ukitaka kuwa salama salamini na buheri wa afya ni vizuri ununue sindano kisha itakaswe vizuri. Vile vile kama mjuavyo kujikinga ni afadhali kuliko matibabu. Kunazo njia za kujikinga. Njia moja ni kuchagua mke au mume mtakayeaminia. Kisha mwandamane hadi hospitalini mkapimwe. Tumieni hospitali ambazo zajulikana. Madaktari kwenye zahanati zingine ni masogora tu wasiojua lolote au kung'amua chochote. Kutokana na kadhia ya wasaa itanibidi ni komee hapo nikitarajia kuwa sijawapigia mbuzi zeze wasakate rumba. Natumaini kuwa mtayatia na kuyaandika katika nyoyo zenu kama alivyosema Suleimani katika kitabu chake cha Methali. Mtayatilia maneno yangu na kuyachamsi dhahiri shahiri. Dunia si lolote si chochote ila tambara mbovu wakanena. 'Ndemi na Mathathi' wazee hawa hawakuwa wakikama tetere walipolonga kuwa majuto ni mjukuu. Tujihadhari kabla ya athari. Kujikinga ni bora kuliko kutibu. Ukimwi ni nduli kakatima asiye na huruma ila dhuluma tupu. Kumbukeni unauwa zaidi ya watu mia saba kila vaumu hapa nchini Kenya pekee. Nawataki heri na fanaka katika maisha yenu mnavyozidi kupambana na janga hili. Asanteni."
Yeyote anaweza ambukizwa ukimwi kutumia njia zipi
{ "text": [ "Udanguro na ukahaba" ] }
1483_swa
HOTUBA KUHUSU UKIMWI "Mabibi, mabwana, wanagenzi na watoto, hamjambo? Tumejumuika hapa kwa kusudi wahedi kuhusu uwele huu hatari wa ukimwi. Mie kama waziri wa afya nawafahamisha kuwa maelfu ya waliolazwa hospitalini wakitaka tiba wanaugua ugonjwa huu. Vile vile ninawajua mahaluki wengi ambao wamejikwatua kwatu kwatu wakiandamana na wavyele na wazazi wao wakitafuta dawa na kafara kutoka kwa waganga na waganguzi wanaambulia patupu. Tafadhali mwanangu acha kucheza na jua wavyele wako mlioshindana nao lau insi na kivuli chake aidha, kupe na mkia wa bakari walijongomea na kufuata baraste kuu ya marahaba na kukaribishwa ahera. Najua maisha yamekwenda segemnege tangu mtengane nao kama ardhi na mbingu. Vile vile hata waja wako wakiwa hawana mbele wala nyuma, serikali itawasaidia kuendeleza maisha yetu vipi? Sasa ni wasaa wangu wa kuzungumzia kuhusu njia ambazo uele huu wa UKIMWI huambukizwa. Njia mojawapo ya kuupata uwele huu ni kujiingiza katika njia sizizofaa Kwa mfano udanguro na ukahaba. Ni sharti tujiepushe na vibiriti ngoma. Kadhia hii imesumbua jamhuri hii hadi twaizungumzia bungeni bila mafanikio. Pia tunao ghulamu ambao huwafunza wengine tabia muwi. Tabia hizi ni kama utumizi wa dawa afyuni haramu au mihadarati. Binadamu anapotumia dawa hizi huwa goigoi asielewe afanyalo. Hapo ndipo vijana hawa wanajiingiza katika tabia za umbeumbe na hatima huwa ni kuupata na kueneza ugonjwa huu sugu. Pia kuna madaktari, matabibu, waganga na waganguzi ambao huwawezi kuwaamini, kwa sababu wanaweza wakawa ni masogora. Ukitaka kuwa salama salamini na buheri wa afya ni vizuri ununue sindano kisha itakaswe vizuri. Vile vile kama mjuavyo kujikinga ni afadhali kuliko matibabu. Kunazo njia za kujikinga. Njia moja ni kuchagua mke au mume mtakayeaminia. Kisha mwandamane hadi hospitalini mkapimwe. Tumieni hospitali ambazo zajulikana. Madaktari kwenye zahanati zingine ni masogora tu wasiojua lolote au kung'amua chochote. Kutokana na kadhia ya wasaa itanibidi ni komee hapo nikitarajia kuwa sijawapigia mbuzi zeze wasakate rumba. Natumaini kuwa mtayatia na kuyaandika katika nyoyo zenu kama alivyosema Suleimani katika kitabu chake cha Methali. Mtayatilia maneno yangu na kuyachamsi dhahiri shahiri. Dunia si lolote si chochote ila tambara mbovu wakanena. 'Ndemi na Mathathi' wazee hawa hawakuwa wakikama tetere walipolonga kuwa majuto ni mjukuu. Tujihadhari kabla ya athari. Kujikinga ni bora kuliko kutibu. Ukimwi ni nduli kakatima asiye na huruma ila dhuluma tupu. Kumbukeni unauwa zaidi ya watu mia saba kila vaumu hapa nchini Kenya pekee. Nawataki heri na fanaka katika maisha yenu mnavyozidi kupambana na janga hili. Asanteni."
Njia mojawapo ya kujikinga na uwele huu ni ipi
{ "text": [ "Kuchagua mke au mume mtakayeaminia" ] }
1483_swa
HOTUBA KUHUSU UKIMWI "Mabibi, mabwana, wanagenzi na watoto, hamjambo? Tumejumuika hapa kwa kusudi wahedi kuhusu uwele huu hatari wa ukimwi. Mie kama waziri wa afya nawafahamisha kuwa maelfu ya waliolazwa hospitalini wakitaka tiba wanaugua ugonjwa huu. Vile vile ninawajua mahaluki wengi ambao wamejikwatua kwatu kwatu wakiandamana na wavyele na wazazi wao wakitafuta dawa na kafara kutoka kwa waganga na waganguzi wanaambulia patupu. Tafadhali mwanangu acha kucheza na jua wavyele wako mlioshindana nao lau insi na kivuli chake aidha, kupe na mkia wa bakari walijongomea na kufuata baraste kuu ya marahaba na kukaribishwa ahera. Najua maisha yamekwenda segemnege tangu mtengane nao kama ardhi na mbingu. Vile vile hata waja wako wakiwa hawana mbele wala nyuma, serikali itawasaidia kuendeleza maisha yetu vipi? Sasa ni wasaa wangu wa kuzungumzia kuhusu njia ambazo uele huu wa UKIMWI huambukizwa. Njia mojawapo ya kuupata uwele huu ni kujiingiza katika njia sizizofaa Kwa mfano udanguro na ukahaba. Ni sharti tujiepushe na vibiriti ngoma. Kadhia hii imesumbua jamhuri hii hadi twaizungumzia bungeni bila mafanikio. Pia tunao ghulamu ambao huwafunza wengine tabia muwi. Tabia hizi ni kama utumizi wa dawa afyuni haramu au mihadarati. Binadamu anapotumia dawa hizi huwa goigoi asielewe afanyalo. Hapo ndipo vijana hawa wanajiingiza katika tabia za umbeumbe na hatima huwa ni kuupata na kueneza ugonjwa huu sugu. Pia kuna madaktari, matabibu, waganga na waganguzi ambao huwawezi kuwaamini, kwa sababu wanaweza wakawa ni masogora. Ukitaka kuwa salama salamini na buheri wa afya ni vizuri ununue sindano kisha itakaswe vizuri. Vile vile kama mjuavyo kujikinga ni afadhali kuliko matibabu. Kunazo njia za kujikinga. Njia moja ni kuchagua mke au mume mtakayeaminia. Kisha mwandamane hadi hospitalini mkapimwe. Tumieni hospitali ambazo zajulikana. Madaktari kwenye zahanati zingine ni masogora tu wasiojua lolote au kung'amua chochote. Kutokana na kadhia ya wasaa itanibidi ni komee hapo nikitarajia kuwa sijawapigia mbuzi zeze wasakate rumba. Natumaini kuwa mtayatia na kuyaandika katika nyoyo zenu kama alivyosema Suleimani katika kitabu chake cha Methali. Mtayatilia maneno yangu na kuyachamsi dhahiri shahiri. Dunia si lolote si chochote ila tambara mbovu wakanena. 'Ndemi na Mathathi' wazee hawa hawakuwa wakikama tetere walipolonga kuwa majuto ni mjukuu. Tujihadhari kabla ya athari. Kujikinga ni bora kuliko kutibu. Ukimwi ni nduli kakatima asiye na huruma ila dhuluma tupu. Kumbukeni unauwa zaidi ya watu mia saba kila vaumu hapa nchini Kenya pekee. Nawataki heri na fanaka katika maisha yenu mnavyozidi kupambana na janga hili. Asanteni."
Waziri alikuwa anawahutubia kina nani
{ "text": [ "Mseto wa mahuluki" ] }
1484_swa
HAKI ZA WATOTO Kuku huwatunza vifaranga wake kwa upendo mwingi sana. Utamwona akiwalinda kutoka kwa wanyama wakubwa kama ng'ombe. Huwatahadharisha dhidi ya mwewe anayepaa angani. Ndiposa akapigiwa misemo kuwa teke la kuku halimuumizi mwanawe. Aidha ,dua la kuku halipati mwewe. Iwapo kuku anaweza haya sembuse binadamu mwenye akili razini. Nasikitishwa na baadhi yetu ambao wanawadhulumu hata kuwaumiza watoto. Mtoto afaa apewe haki ya lishe bora. Ale na anywe vizuri. Mnunulie nguo ambazo zitamkidhi mwili wake. Tatu mtoto apewe pahali pazuri pa kuishi - nyumba nzuri. Mie nauliza-mtoto aliyetupu mtaani, haya mahitaji muhimu ayatoa wapi? Kwanza nani aliwazaa? Si ninyi wenye kula, kuvika na kuishi vizuri! Mtoto huyu atapata wapi ulinzi ,matibabu au upendo? Katika miji yetu hapa nchini mwetu mna watoto wengi mno. Baadhi yao hupata malezi yaliyo bora. Wengine hata hivyo hukosa mengi. Utapata mama mwenye uwezo hata wa kifedha akiwaachilia wanawe wafe njaa, eti kisha na maana ni mfanyakazi. Anawaachia yaya. Yaya au mjakazi huyu ndiye mambo yote si malazi, nguo na hata lugha. Anafunzwa mawi, na mawi hayafunzwi au kuimbiwa mwana. Wengine wadogo wasiojua kutamka huadhibiwa na mayaya kwa sababu ya wazazi wao. Zinguo la mtukutu ni ufito - Hili sikatai, lakini kazi bila kipimo watu huteta. Tumewaona wangapi wαlioadhibiα kinyama na wazazi, walimu na jamii kwα jumlα. Mzazi mmoja alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumchapa mtoto na kumwacha na vidonda mwilini. Yasemekana kuwa alikuwa hata amemmwagia mafuta amchome. Uyahawani ulioje? Kweli uchungu wa mwana aujuaye ni nani? Mwalimu nawe pima pigo lako. Wengi wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kuadhibu. Serikali yetu imepiga marufuku utumiaji wa mjeredi shuleni. Mtume Paulo kwenye waraka wa pili kwa Wathesoloniki alinena kuwa mzem asipewe chakula. Ndio! Lakini kazi yataka kipimo. Mwana afanye kazi kadiri uwezo wake. Asipewe kazi ngumu na kali. Vile vile apewe muda ufaao wa kufanya kazi ile. Utampata mtoto yu shambani saa kumi na mbili akipalilia mihogo kabla kwenda shuleni. Jioni yuang'atuka saa moja wakati wa magharibi. Huu si unyama jamani? Mtoto wa kike asiozwe kabla ya wakati wake. Hivyo ni kama kula matunda mabichi. Wewe unayemwoa mtoto, huwa huna hata soni? Si kiwiliwili cha mwanao huyu, si akili, hakuna ambalo limekomaa? Wazee acheni shauku. Njia mbili zilimshinda fisi - Mwendesha farasi wawili hupasuka msamba. Banati wasikeketwe. Hii ni mila potovu na isiyochukuana na maadili ya kibaolojia,kijinsia na kidini. Viongozi wa makundi ya kuwatetea wanawake kama FIDA, piganeni kufa kupona, mtashinda udhalimu huu. Wahenga walinena kuwa atafutaye hachoki na akichoka keshapata. Ni haki ya mwana kuongozwa vizuri. Kumbukeni kuwapa mifano sawa. Hata baba unapopiga gongo, mbona uje nyumbani ukiwa chakari? Ikiwa wavuta sigara mbona ufanye vile chumbani mwa mapumziko? Mbona mwatumia tepe ambazo ni cha kisha mwakosa kuzihifadhi vizuri? Mtoto akiichukua na kuitumia atakuchukuaje? Kumbuka mwana anapobebwa hutazama kisogo cha nina. Mwana wa nyoka ni nyoka. Mshaurini mtoto wenu. Akipotoka hamtakuwa lawamani hata ng'o. Mtoto wa kike ashauriwe wakati akibaleghe naye wa kiume vile vile. Kuna mengine yanayowangojea duniani kwa hamu na ghamu. Pengine asiyesikia la wakuu hupatwa na makuu. Mtoto apewe uhuru wa kutumia muda wake pengine michezoni. Mtegee siku lako ndi na umsikilize usimpuuze, huenda ana jambo muhimu. Mtembeze duniani kumwonyesha mazuri na mawi ya dunia. Dunia kuna shari na heri. Kuna washari wa hali njema. Jenga mwanao awe imara. Kambare mkunje angali mbichi. Singependa kutamka kuwa elimu si jambo la msingi. Wengine wenu hawawapeleki watoto wao shuleni. Kwanza masomo ya msingi ni ya bure. Shukrani kwa serikali yetu tawala. Hebu fikiria mtu wa siku hizi akipelekea wengine barua asomewe. Fedheha. Kuna shule ya msingi, sekondari na chuo kikuu. Masomo yakungojea. Natoa wito kwa wote wahusika, mtoto apewe haki zake zote bila kunyimwa. Heko kwa mashirika yanayowatetea watoto na kuwapa haki zao. Heko kwa shirika la umoja wa mataifa (UN) kwa halakati zake. UNICEF, KO, Mtoto wa Afrika, UNHCR. Ni kweli kazi zenu ni nyeti. Shukrani.
Nani huwatunza vifaranga wake kwa upendo mwingi sana?
{ "text": [ "Kuku" ] }
1484_swa
HAKI ZA WATOTO Kuku huwatunza vifaranga wake kwa upendo mwingi sana. Utamwona akiwalinda kutoka kwa wanyama wakubwa kama ng'ombe. Huwatahadharisha dhidi ya mwewe anayepaa angani. Ndiposa akapigiwa misemo kuwa teke la kuku halimuumizi mwanawe. Aidha ,dua la kuku halipati mwewe. Iwapo kuku anaweza haya sembuse binadamu mwenye akili razini. Nasikitishwa na baadhi yetu ambao wanawadhulumu hata kuwaumiza watoto. Mtoto afaa apewe haki ya lishe bora. Ale na anywe vizuri. Mnunulie nguo ambazo zitamkidhi mwili wake. Tatu mtoto apewe pahali pazuri pa kuishi - nyumba nzuri. Mie nauliza-mtoto aliyetupu mtaani, haya mahitaji muhimu ayatoa wapi? Kwanza nani aliwazaa? Si ninyi wenye kula, kuvika na kuishi vizuri! Mtoto huyu atapata wapi ulinzi ,matibabu au upendo? Katika miji yetu hapa nchini mwetu mna watoto wengi mno. Baadhi yao hupata malezi yaliyo bora. Wengine hata hivyo hukosa mengi. Utapata mama mwenye uwezo hata wa kifedha akiwaachilia wanawe wafe njaa, eti kisha na maana ni mfanyakazi. Anawaachia yaya. Yaya au mjakazi huyu ndiye mambo yote si malazi, nguo na hata lugha. Anafunzwa mawi, na mawi hayafunzwi au kuimbiwa mwana. Wengine wadogo wasiojua kutamka huadhibiwa na mayaya kwa sababu ya wazazi wao. Zinguo la mtukutu ni ufito - Hili sikatai, lakini kazi bila kipimo watu huteta. Tumewaona wangapi wαlioadhibiα kinyama na wazazi, walimu na jamii kwα jumlα. Mzazi mmoja alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumchapa mtoto na kumwacha na vidonda mwilini. Yasemekana kuwa alikuwa hata amemmwagia mafuta amchome. Uyahawani ulioje? Kweli uchungu wa mwana aujuaye ni nani? Mwalimu nawe pima pigo lako. Wengi wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kuadhibu. Serikali yetu imepiga marufuku utumiaji wa mjeredi shuleni. Mtume Paulo kwenye waraka wa pili kwa Wathesoloniki alinena kuwa mzem asipewe chakula. Ndio! Lakini kazi yataka kipimo. Mwana afanye kazi kadiri uwezo wake. Asipewe kazi ngumu na kali. Vile vile apewe muda ufaao wa kufanya kazi ile. Utampata mtoto yu shambani saa kumi na mbili akipalilia mihogo kabla kwenda shuleni. Jioni yuang'atuka saa moja wakati wa magharibi. Huu si unyama jamani? Mtoto wa kike asiozwe kabla ya wakati wake. Hivyo ni kama kula matunda mabichi. Wewe unayemwoa mtoto, huwa huna hata soni? Si kiwiliwili cha mwanao huyu, si akili, hakuna ambalo limekomaa? Wazee acheni shauku. Njia mbili zilimshinda fisi - Mwendesha farasi wawili hupasuka msamba. Banati wasikeketwe. Hii ni mila potovu na isiyochukuana na maadili ya kibaolojia,kijinsia na kidini. Viongozi wa makundi ya kuwatetea wanawake kama FIDA, piganeni kufa kupona, mtashinda udhalimu huu. Wahenga walinena kuwa atafutaye hachoki na akichoka keshapata. Ni haki ya mwana kuongozwa vizuri. Kumbukeni kuwapa mifano sawa. Hata baba unapopiga gongo, mbona uje nyumbani ukiwa chakari? Ikiwa wavuta sigara mbona ufanye vile chumbani mwa mapumziko? Mbona mwatumia tepe ambazo ni cha kisha mwakosa kuzihifadhi vizuri? Mtoto akiichukua na kuitumia atakuchukuaje? Kumbuka mwana anapobebwa hutazama kisogo cha nina. Mwana wa nyoka ni nyoka. Mshaurini mtoto wenu. Akipotoka hamtakuwa lawamani hata ng'o. Mtoto wa kike ashauriwe wakati akibaleghe naye wa kiume vile vile. Kuna mengine yanayowangojea duniani kwa hamu na ghamu. Pengine asiyesikia la wakuu hupatwa na makuu. Mtoto apewe uhuru wa kutumia muda wake pengine michezoni. Mtegee siku lako ndi na umsikilize usimpuuze, huenda ana jambo muhimu. Mtembeze duniani kumwonyesha mazuri na mawi ya dunia. Dunia kuna shari na heri. Kuna washari wa hali njema. Jenga mwanao awe imara. Kambare mkunje angali mbichi. Singependa kutamka kuwa elimu si jambo la msingi. Wengine wenu hawawapeleki watoto wao shuleni. Kwanza masomo ya msingi ni ya bure. Shukrani kwa serikali yetu tawala. Hebu fikiria mtu wa siku hizi akipelekea wengine barua asomewe. Fedheha. Kuna shule ya msingi, sekondari na chuo kikuu. Masomo yakungojea. Natoa wito kwa wote wahusika, mtoto apewe haki zake zote bila kunyimwa. Heko kwa mashirika yanayowatetea watoto na kuwapa haki zao. Heko kwa shirika la umoja wa mataifa (UN) kwa halakati zake. UNICEF, KO, Mtoto wa Afrika, UNHCR. Ni kweli kazi zenu ni nyeti. Shukrani.
Nani hupaa angani kwa nia ya kuwatafuta vifaranga?
{ "text": [ "Mwewe" ] }
1484_swa
HAKI ZA WATOTO Kuku huwatunza vifaranga wake kwa upendo mwingi sana. Utamwona akiwalinda kutoka kwa wanyama wakubwa kama ng'ombe. Huwatahadharisha dhidi ya mwewe anayepaa angani. Ndiposa akapigiwa misemo kuwa teke la kuku halimuumizi mwanawe. Aidha ,dua la kuku halipati mwewe. Iwapo kuku anaweza haya sembuse binadamu mwenye akili razini. Nasikitishwa na baadhi yetu ambao wanawadhulumu hata kuwaumiza watoto. Mtoto afaa apewe haki ya lishe bora. Ale na anywe vizuri. Mnunulie nguo ambazo zitamkidhi mwili wake. Tatu mtoto apewe pahali pazuri pa kuishi - nyumba nzuri. Mie nauliza-mtoto aliyetupu mtaani, haya mahitaji muhimu ayatoa wapi? Kwanza nani aliwazaa? Si ninyi wenye kula, kuvika na kuishi vizuri! Mtoto huyu atapata wapi ulinzi ,matibabu au upendo? Katika miji yetu hapa nchini mwetu mna watoto wengi mno. Baadhi yao hupata malezi yaliyo bora. Wengine hata hivyo hukosa mengi. Utapata mama mwenye uwezo hata wa kifedha akiwaachilia wanawe wafe njaa, eti kisha na maana ni mfanyakazi. Anawaachia yaya. Yaya au mjakazi huyu ndiye mambo yote si malazi, nguo na hata lugha. Anafunzwa mawi, na mawi hayafunzwi au kuimbiwa mwana. Wengine wadogo wasiojua kutamka huadhibiwa na mayaya kwa sababu ya wazazi wao. Zinguo la mtukutu ni ufito - Hili sikatai, lakini kazi bila kipimo watu huteta. Tumewaona wangapi wαlioadhibiα kinyama na wazazi, walimu na jamii kwα jumlα. Mzazi mmoja alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumchapa mtoto na kumwacha na vidonda mwilini. Yasemekana kuwa alikuwa hata amemmwagia mafuta amchome. Uyahawani ulioje? Kweli uchungu wa mwana aujuaye ni nani? Mwalimu nawe pima pigo lako. Wengi wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kuadhibu. Serikali yetu imepiga marufuku utumiaji wa mjeredi shuleni. Mtume Paulo kwenye waraka wa pili kwa Wathesoloniki alinena kuwa mzem asipewe chakula. Ndio! Lakini kazi yataka kipimo. Mwana afanye kazi kadiri uwezo wake. Asipewe kazi ngumu na kali. Vile vile apewe muda ufaao wa kufanya kazi ile. Utampata mtoto yu shambani saa kumi na mbili akipalilia mihogo kabla kwenda shuleni. Jioni yuang'atuka saa moja wakati wa magharibi. Huu si unyama jamani? Mtoto wa kike asiozwe kabla ya wakati wake. Hivyo ni kama kula matunda mabichi. Wewe unayemwoa mtoto, huwa huna hata soni? Si kiwiliwili cha mwanao huyu, si akili, hakuna ambalo limekomaa? Wazee acheni shauku. Njia mbili zilimshinda fisi - Mwendesha farasi wawili hupasuka msamba. Banati wasikeketwe. Hii ni mila potovu na isiyochukuana na maadili ya kibaolojia,kijinsia na kidini. Viongozi wa makundi ya kuwatetea wanawake kama FIDA, piganeni kufa kupona, mtashinda udhalimu huu. Wahenga walinena kuwa atafutaye hachoki na akichoka keshapata. Ni haki ya mwana kuongozwa vizuri. Kumbukeni kuwapa mifano sawa. Hata baba unapopiga gongo, mbona uje nyumbani ukiwa chakari? Ikiwa wavuta sigara mbona ufanye vile chumbani mwa mapumziko? Mbona mwatumia tepe ambazo ni cha kisha mwakosa kuzihifadhi vizuri? Mtoto akiichukua na kuitumia atakuchukuaje? Kumbuka mwana anapobebwa hutazama kisogo cha nina. Mwana wa nyoka ni nyoka. Mshaurini mtoto wenu. Akipotoka hamtakuwa lawamani hata ng'o. Mtoto wa kike ashauriwe wakati akibaleghe naye wa kiume vile vile. Kuna mengine yanayowangojea duniani kwa hamu na ghamu. Pengine asiyesikia la wakuu hupatwa na makuu. Mtoto apewe uhuru wa kutumia muda wake pengine michezoni. Mtegee siku lako ndi na umsikilize usimpuuze, huenda ana jambo muhimu. Mtembeze duniani kumwonyesha mazuri na mawi ya dunia. Dunia kuna shari na heri. Kuna washari wa hali njema. Jenga mwanao awe imara. Kambare mkunje angali mbichi. Singependa kutamka kuwa elimu si jambo la msingi. Wengine wenu hawawapeleki watoto wao shuleni. Kwanza masomo ya msingi ni ya bure. Shukrani kwa serikali yetu tawala. Hebu fikiria mtu wa siku hizi akipelekea wengine barua asomewe. Fedheha. Kuna shule ya msingi, sekondari na chuo kikuu. Masomo yakungojea. Natoa wito kwa wote wahusika, mtoto apewe haki zake zote bila kunyimwa. Heko kwa mashirika yanayowatetea watoto na kuwapa haki zao. Heko kwa shirika la umoja wa mataifa (UN) kwa halakati zake. UNICEF, KO, Mtoto wa Afrika, UNHCR. Ni kweli kazi zenu ni nyeti. Shukrani.
Dua la kuku halimpati nani?
{ "text": [ "Mwewe" ] }
1484_swa
HAKI ZA WATOTO Kuku huwatunza vifaranga wake kwa upendo mwingi sana. Utamwona akiwalinda kutoka kwa wanyama wakubwa kama ng'ombe. Huwatahadharisha dhidi ya mwewe anayepaa angani. Ndiposa akapigiwa misemo kuwa teke la kuku halimuumizi mwanawe. Aidha ,dua la kuku halipati mwewe. Iwapo kuku anaweza haya sembuse binadamu mwenye akili razini. Nasikitishwa na baadhi yetu ambao wanawadhulumu hata kuwaumiza watoto. Mtoto afaa apewe haki ya lishe bora. Ale na anywe vizuri. Mnunulie nguo ambazo zitamkidhi mwili wake. Tatu mtoto apewe pahali pazuri pa kuishi - nyumba nzuri. Mie nauliza-mtoto aliyetupu mtaani, haya mahitaji muhimu ayatoa wapi? Kwanza nani aliwazaa? Si ninyi wenye kula, kuvika na kuishi vizuri! Mtoto huyu atapata wapi ulinzi ,matibabu au upendo? Katika miji yetu hapa nchini mwetu mna watoto wengi mno. Baadhi yao hupata malezi yaliyo bora. Wengine hata hivyo hukosa mengi. Utapata mama mwenye uwezo hata wa kifedha akiwaachilia wanawe wafe njaa, eti kisha na maana ni mfanyakazi. Anawaachia yaya. Yaya au mjakazi huyu ndiye mambo yote si malazi, nguo na hata lugha. Anafunzwa mawi, na mawi hayafunzwi au kuimbiwa mwana. Wengine wadogo wasiojua kutamka huadhibiwa na mayaya kwa sababu ya wazazi wao. Zinguo la mtukutu ni ufito - Hili sikatai, lakini kazi bila kipimo watu huteta. Tumewaona wangapi wαlioadhibiα kinyama na wazazi, walimu na jamii kwα jumlα. Mzazi mmoja alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumchapa mtoto na kumwacha na vidonda mwilini. Yasemekana kuwa alikuwa hata amemmwagia mafuta amchome. Uyahawani ulioje? Kweli uchungu wa mwana aujuaye ni nani? Mwalimu nawe pima pigo lako. Wengi wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kuadhibu. Serikali yetu imepiga marufuku utumiaji wa mjeredi shuleni. Mtume Paulo kwenye waraka wa pili kwa Wathesoloniki alinena kuwa mzem asipewe chakula. Ndio! Lakini kazi yataka kipimo. Mwana afanye kazi kadiri uwezo wake. Asipewe kazi ngumu na kali. Vile vile apewe muda ufaao wa kufanya kazi ile. Utampata mtoto yu shambani saa kumi na mbili akipalilia mihogo kabla kwenda shuleni. Jioni yuang'atuka saa moja wakati wa magharibi. Huu si unyama jamani? Mtoto wa kike asiozwe kabla ya wakati wake. Hivyo ni kama kula matunda mabichi. Wewe unayemwoa mtoto, huwa huna hata soni? Si kiwiliwili cha mwanao huyu, si akili, hakuna ambalo limekomaa? Wazee acheni shauku. Njia mbili zilimshinda fisi - Mwendesha farasi wawili hupasuka msamba. Banati wasikeketwe. Hii ni mila potovu na isiyochukuana na maadili ya kibaolojia,kijinsia na kidini. Viongozi wa makundi ya kuwatetea wanawake kama FIDA, piganeni kufa kupona, mtashinda udhalimu huu. Wahenga walinena kuwa atafutaye hachoki na akichoka keshapata. Ni haki ya mwana kuongozwa vizuri. Kumbukeni kuwapa mifano sawa. Hata baba unapopiga gongo, mbona uje nyumbani ukiwa chakari? Ikiwa wavuta sigara mbona ufanye vile chumbani mwa mapumziko? Mbona mwatumia tepe ambazo ni cha kisha mwakosa kuzihifadhi vizuri? Mtoto akiichukua na kuitumia atakuchukuaje? Kumbuka mwana anapobebwa hutazama kisogo cha nina. Mwana wa nyoka ni nyoka. Mshaurini mtoto wenu. Akipotoka hamtakuwa lawamani hata ng'o. Mtoto wa kike ashauriwe wakati akibaleghe naye wa kiume vile vile. Kuna mengine yanayowangojea duniani kwa hamu na ghamu. Pengine asiyesikia la wakuu hupatwa na makuu. Mtoto apewe uhuru wa kutumia muda wake pengine michezoni. Mtegee siku lako ndi na umsikilize usimpuuze, huenda ana jambo muhimu. Mtembeze duniani kumwonyesha mazuri na mawi ya dunia. Dunia kuna shari na heri. Kuna washari wa hali njema. Jenga mwanao awe imara. Kambare mkunje angali mbichi. Singependa kutamka kuwa elimu si jambo la msingi. Wengine wenu hawawapeleki watoto wao shuleni. Kwanza masomo ya msingi ni ya bure. Shukrani kwa serikali yetu tawala. Hebu fikiria mtu wa siku hizi akipelekea wengine barua asomewe. Fedheha. Kuna shule ya msingi, sekondari na chuo kikuu. Masomo yakungojea. Natoa wito kwa wote wahusika, mtoto apewe haki zake zote bila kunyimwa. Heko kwa mashirika yanayowatetea watoto na kuwapa haki zao. Heko kwa shirika la umoja wa mataifa (UN) kwa halakati zake. UNICEF, KO, Mtoto wa Afrika, UNHCR. Ni kweli kazi zenu ni nyeti. Shukrani.
Ni haki ya nani kulishwa vizuri?
{ "text": [ "Mtoto" ] }
1484_swa
HAKI ZA WATOTO Kuku huwatunza vifaranga wake kwa upendo mwingi sana. Utamwona akiwalinda kutoka kwa wanyama wakubwa kama ng'ombe. Huwatahadharisha dhidi ya mwewe anayepaa angani. Ndiposa akapigiwa misemo kuwa teke la kuku halimuumizi mwanawe. Aidha ,dua la kuku halipati mwewe. Iwapo kuku anaweza haya sembuse binadamu mwenye akili razini. Nasikitishwa na baadhi yetu ambao wanawadhulumu hata kuwaumiza watoto. Mtoto afaa apewe haki ya lishe bora. Ale na anywe vizuri. Mnunulie nguo ambazo zitamkidhi mwili wake. Tatu mtoto apewe pahali pazuri pa kuishi - nyumba nzuri. Mie nauliza-mtoto aliyetupu mtaani, haya mahitaji muhimu ayatoa wapi? Kwanza nani aliwazaa? Si ninyi wenye kula, kuvika na kuishi vizuri! Mtoto huyu atapata wapi ulinzi ,matibabu au upendo? Katika miji yetu hapa nchini mwetu mna watoto wengi mno. Baadhi yao hupata malezi yaliyo bora. Wengine hata hivyo hukosa mengi. Utapata mama mwenye uwezo hata wa kifedha akiwaachilia wanawe wafe njaa, eti kisha na maana ni mfanyakazi. Anawaachia yaya. Yaya au mjakazi huyu ndiye mambo yote si malazi, nguo na hata lugha. Anafunzwa mawi, na mawi hayafunzwi au kuimbiwa mwana. Wengine wadogo wasiojua kutamka huadhibiwa na mayaya kwa sababu ya wazazi wao. Zinguo la mtukutu ni ufito - Hili sikatai, lakini kazi bila kipimo watu huteta. Tumewaona wangapi wαlioadhibiα kinyama na wazazi, walimu na jamii kwα jumlα. Mzazi mmoja alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumchapa mtoto na kumwacha na vidonda mwilini. Yasemekana kuwa alikuwa hata amemmwagia mafuta amchome. Uyahawani ulioje? Kweli uchungu wa mwana aujuaye ni nani? Mwalimu nawe pima pigo lako. Wengi wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kuadhibu. Serikali yetu imepiga marufuku utumiaji wa mjeredi shuleni. Mtume Paulo kwenye waraka wa pili kwa Wathesoloniki alinena kuwa mzem asipewe chakula. Ndio! Lakini kazi yataka kipimo. Mwana afanye kazi kadiri uwezo wake. Asipewe kazi ngumu na kali. Vile vile apewe muda ufaao wa kufanya kazi ile. Utampata mtoto yu shambani saa kumi na mbili akipalilia mihogo kabla kwenda shuleni. Jioni yuang'atuka saa moja wakati wa magharibi. Huu si unyama jamani? Mtoto wa kike asiozwe kabla ya wakati wake. Hivyo ni kama kula matunda mabichi. Wewe unayemwoa mtoto, huwa huna hata soni? Si kiwiliwili cha mwanao huyu, si akili, hakuna ambalo limekomaa? Wazee acheni shauku. Njia mbili zilimshinda fisi - Mwendesha farasi wawili hupasuka msamba. Banati wasikeketwe. Hii ni mila potovu na isiyochukuana na maadili ya kibaolojia,kijinsia na kidini. Viongozi wa makundi ya kuwatetea wanawake kama FIDA, piganeni kufa kupona, mtashinda udhalimu huu. Wahenga walinena kuwa atafutaye hachoki na akichoka keshapata. Ni haki ya mwana kuongozwa vizuri. Kumbukeni kuwapa mifano sawa. Hata baba unapopiga gongo, mbona uje nyumbani ukiwa chakari? Ikiwa wavuta sigara mbona ufanye vile chumbani mwa mapumziko? Mbona mwatumia tepe ambazo ni cha kisha mwakosa kuzihifadhi vizuri? Mtoto akiichukua na kuitumia atakuchukuaje? Kumbuka mwana anapobebwa hutazama kisogo cha nina. Mwana wa nyoka ni nyoka. Mshaurini mtoto wenu. Akipotoka hamtakuwa lawamani hata ng'o. Mtoto wa kike ashauriwe wakati akibaleghe naye wa kiume vile vile. Kuna mengine yanayowangojea duniani kwa hamu na ghamu. Pengine asiyesikia la wakuu hupatwa na makuu. Mtoto apewe uhuru wa kutumia muda wake pengine michezoni. Mtegee siku lako ndi na umsikilize usimpuuze, huenda ana jambo muhimu. Mtembeze duniani kumwonyesha mazuri na mawi ya dunia. Dunia kuna shari na heri. Kuna washari wa hali njema. Jenga mwanao awe imara. Kambare mkunje angali mbichi. Singependa kutamka kuwa elimu si jambo la msingi. Wengine wenu hawawapeleki watoto wao shuleni. Kwanza masomo ya msingi ni ya bure. Shukrani kwa serikali yetu tawala. Hebu fikiria mtu wa siku hizi akipelekea wengine barua asomewe. Fedheha. Kuna shule ya msingi, sekondari na chuo kikuu. Masomo yakungojea. Natoa wito kwa wote wahusika, mtoto apewe haki zake zote bila kunyimwa. Heko kwa mashirika yanayowatetea watoto na kuwapa haki zao. Heko kwa shirika la umoja wa mataifa (UN) kwa halakati zake. UNICEF, KO, Mtoto wa Afrika, UNHCR. Ni kweli kazi zenu ni nyeti. Shukrani.
Zinguo la mtukutu ni nini?
{ "text": [ "Ufito" ] }
1491_swa
Kwa umbali, Jere alihisi ncha za macho vibandani vilivyozagaa zikimehoma kijiani alikotembelea. Wingu kubwa la uvumbi lilifanya anga kuonekana kama ziwa kubwa lililobwagia chote na yote lilikovunia. Sauti hapa na pale ilisikika na kwa sekunde alidhani kalisikia jina lake katajwa na kisha kufuatiwa na kimya. Jere alielewa ya kwamba alifananishwa na nduguye Meya aliyekuwa mkashifu, na ambaye hakuyatekeleza matakwa ya Ajmaina waliomchagua na kwa kweli hajulikani mwema na muovu. Dhidi alivyomwonya nduguye kuhusu jambo hilo alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa. Meya aliwaongoza watu kwa ufimbo na yule ambaye alijaribu kuyakashifu matendo yake alipambana ana kwa ana na simba marara. Alikumbuka wakati mmoja alipomtembelea nduguye kwa lengo la kutetea haki za wafanyikazi jijini. Juhudi zake ziliambulia patupu alipopokea kichapo cha mbwa kwenye kiwambo kile. Dunia mti mkavu kiumbe usiuegemee. Sheria mpya ilipitishiwa ya kwamba wote waliojaribu kugatua serikali wangekatwa ndimi zao kwa kosa la uchochezi. Jambo hilo lilichochea mgomo wa wafanyakazi jijini huko. Bila shaka, amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Hayo yote hayakulainisha moyo wa Firauni huyu na alipohojiwa na wanahabari, alisema kwamba ilikuwa shida iliyosuluhishwa katika sekta ya fedha na wafanyakazi wangeyapata marupurupu yao yote, pindi warejeapo kazini. Aliendelea kusema ya kwamba jiji lake tukufu lilikuwa miongoni mwa miji iliyoendelea na ikiwa wangekosa kurejea makazini mwao, ikiwa fadhila ya punda ni mashuzi, wote wangepigwa kalamu na wengine wengi waliohitimu kutoka vyuo vikuu waajiriwe. Jambo hilo lilitia simanzi moyoni mwa Jere kwani alighairi vyema uongozi wa nduguye ungegonga mwamba, iwapo hatua ya dharura isingechukuliwa. Lakini afanyeje na yote aliyohitaji alikuwa tayari kajizatiti kuyatekeleza? Aliamini ya kwamba damu ni nzito kuliko maji lakini moyo wake uliatuliwa na vitendo vyake vya kijuha. Upendo aliokuwa nao kwake tangu utotoni hadi wakati wa ujana ndio uliomfanya akate kauli kurejea kiamboni pale. Kwa mara hii, hata kama angepokea kichapo kingine ama zaidi apate kukatwa ulimi. Afua ni mbili, kufa na kupona na kwa imani kuu aliamini ya kwamba atafutaye hachoki, akichoka keshapata. Imani hii ndiyo iliyomfikisha mlangoni pale apate kufa na mzaliwa naye.
Meya alikuwa ndugu yake nani
{ "text": [ "Jere" ] }
1491_swa
Kwa umbali, Jere alihisi ncha za macho vibandani vilivyozagaa zikimehoma kijiani alikotembelea. Wingu kubwa la uvumbi lilifanya anga kuonekana kama ziwa kubwa lililobwagia chote na yote lilikovunia. Sauti hapa na pale ilisikika na kwa sekunde alidhani kalisikia jina lake katajwa na kisha kufuatiwa na kimya. Jere alielewa ya kwamba alifananishwa na nduguye Meya aliyekuwa mkashifu, na ambaye hakuyatekeleza matakwa ya Ajmaina waliomchagua na kwa kweli hajulikani mwema na muovu. Dhidi alivyomwonya nduguye kuhusu jambo hilo alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa. Meya aliwaongoza watu kwa ufimbo na yule ambaye alijaribu kuyakashifu matendo yake alipambana ana kwa ana na simba marara. Alikumbuka wakati mmoja alipomtembelea nduguye kwa lengo la kutetea haki za wafanyikazi jijini. Juhudi zake ziliambulia patupu alipopokea kichapo cha mbwa kwenye kiwambo kile. Dunia mti mkavu kiumbe usiuegemee. Sheria mpya ilipitishiwa ya kwamba wote waliojaribu kugatua serikali wangekatwa ndimi zao kwa kosa la uchochezi. Jambo hilo lilichochea mgomo wa wafanyakazi jijini huko. Bila shaka, amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Hayo yote hayakulainisha moyo wa Firauni huyu na alipohojiwa na wanahabari, alisema kwamba ilikuwa shida iliyosuluhishwa katika sekta ya fedha na wafanyakazi wangeyapata marupurupu yao yote, pindi warejeapo kazini. Aliendelea kusema ya kwamba jiji lake tukufu lilikuwa miongoni mwa miji iliyoendelea na ikiwa wangekosa kurejea makazini mwao, ikiwa fadhila ya punda ni mashuzi, wote wangepigwa kalamu na wengine wengi waliohitimu kutoka vyuo vikuu waajiriwe. Jambo hilo lilitia simanzi moyoni mwa Jere kwani alighairi vyema uongozi wa nduguye ungegonga mwamba, iwapo hatua ya dharura isingechukuliwa. Lakini afanyeje na yote aliyohitaji alikuwa tayari kajizatiti kuyatekeleza? Aliamini ya kwamba damu ni nzito kuliko maji lakini moyo wake uliatuliwa na vitendo vyake vya kijuha. Upendo aliokuwa nao kwake tangu utotoni hadi wakati wa ujana ndio uliomfanya akate kauli kurejea kiamboni pale. Kwa mara hii, hata kama angepokea kichapo kingine ama zaidi apate kukatwa ulimi. Afua ni mbili, kufa na kupona na kwa imani kuu aliamini ya kwamba atafutaye hachoki, akichoka keshapata. Imani hii ndiyo iliyomfikisha mlangoni pale apate kufa na mzaliwa naye.
Amani haiji ila kwa ncha ya nini
{ "text": [ "Upanga" ] }
1491_swa
Kwa umbali, Jere alihisi ncha za macho vibandani vilivyozagaa zikimehoma kijiani alikotembelea. Wingu kubwa la uvumbi lilifanya anga kuonekana kama ziwa kubwa lililobwagia chote na yote lilikovunia. Sauti hapa na pale ilisikika na kwa sekunde alidhani kalisikia jina lake katajwa na kisha kufuatiwa na kimya. Jere alielewa ya kwamba alifananishwa na nduguye Meya aliyekuwa mkashifu, na ambaye hakuyatekeleza matakwa ya Ajmaina waliomchagua na kwa kweli hajulikani mwema na muovu. Dhidi alivyomwonya nduguye kuhusu jambo hilo alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa. Meya aliwaongoza watu kwa ufimbo na yule ambaye alijaribu kuyakashifu matendo yake alipambana ana kwa ana na simba marara. Alikumbuka wakati mmoja alipomtembelea nduguye kwa lengo la kutetea haki za wafanyikazi jijini. Juhudi zake ziliambulia patupu alipopokea kichapo cha mbwa kwenye kiwambo kile. Dunia mti mkavu kiumbe usiuegemee. Sheria mpya ilipitishiwa ya kwamba wote waliojaribu kugatua serikali wangekatwa ndimi zao kwa kosa la uchochezi. Jambo hilo lilichochea mgomo wa wafanyakazi jijini huko. Bila shaka, amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Hayo yote hayakulainisha moyo wa Firauni huyu na alipohojiwa na wanahabari, alisema kwamba ilikuwa shida iliyosuluhishwa katika sekta ya fedha na wafanyakazi wangeyapata marupurupu yao yote, pindi warejeapo kazini. Aliendelea kusema ya kwamba jiji lake tukufu lilikuwa miongoni mwa miji iliyoendelea na ikiwa wangekosa kurejea makazini mwao, ikiwa fadhila ya punda ni mashuzi, wote wangepigwa kalamu na wengine wengi waliohitimu kutoka vyuo vikuu waajiriwe. Jambo hilo lilitia simanzi moyoni mwa Jere kwani alighairi vyema uongozi wa nduguye ungegonga mwamba, iwapo hatua ya dharura isingechukuliwa. Lakini afanyeje na yote aliyohitaji alikuwa tayari kajizatiti kuyatekeleza? Aliamini ya kwamba damu ni nzito kuliko maji lakini moyo wake uliatuliwa na vitendo vyake vya kijuha. Upendo aliokuwa nao kwake tangu utotoni hadi wakati wa ujana ndio uliomfanya akate kauli kurejea kiamboni pale. Kwa mara hii, hata kama angepokea kichapo kingine ama zaidi apate kukatwa ulimi. Afua ni mbili, kufa na kupona na kwa imani kuu aliamini ya kwamba atafutaye hachoki, akichoka keshapata. Imani hii ndiyo iliyomfikisha mlangoni pale apate kufa na mzaliwa naye.
Kipi kilifanya anga kuonekana kama ziwa kubwa
{ "text": [ "Wingu la uvumbi" ] }
1491_swa
Kwa umbali, Jere alihisi ncha za macho vibandani vilivyozagaa zikimehoma kijiani alikotembelea. Wingu kubwa la uvumbi lilifanya anga kuonekana kama ziwa kubwa lililobwagia chote na yote lilikovunia. Sauti hapa na pale ilisikika na kwa sekunde alidhani kalisikia jina lake katajwa na kisha kufuatiwa na kimya. Jere alielewa ya kwamba alifananishwa na nduguye Meya aliyekuwa mkashifu, na ambaye hakuyatekeleza matakwa ya Ajmaina waliomchagua na kwa kweli hajulikani mwema na muovu. Dhidi alivyomwonya nduguye kuhusu jambo hilo alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa. Meya aliwaongoza watu kwa ufimbo na yule ambaye alijaribu kuyakashifu matendo yake alipambana ana kwa ana na simba marara. Alikumbuka wakati mmoja alipomtembelea nduguye kwa lengo la kutetea haki za wafanyikazi jijini. Juhudi zake ziliambulia patupu alipopokea kichapo cha mbwa kwenye kiwambo kile. Dunia mti mkavu kiumbe usiuegemee. Sheria mpya ilipitishiwa ya kwamba wote waliojaribu kugatua serikali wangekatwa ndimi zao kwa kosa la uchochezi. Jambo hilo lilichochea mgomo wa wafanyakazi jijini huko. Bila shaka, amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Hayo yote hayakulainisha moyo wa Firauni huyu na alipohojiwa na wanahabari, alisema kwamba ilikuwa shida iliyosuluhishwa katika sekta ya fedha na wafanyakazi wangeyapata marupurupu yao yote, pindi warejeapo kazini. Aliendelea kusema ya kwamba jiji lake tukufu lilikuwa miongoni mwa miji iliyoendelea na ikiwa wangekosa kurejea makazini mwao, ikiwa fadhila ya punda ni mashuzi, wote wangepigwa kalamu na wengine wengi waliohitimu kutoka vyuo vikuu waajiriwe. Jambo hilo lilitia simanzi moyoni mwa Jere kwani alighairi vyema uongozi wa nduguye ungegonga mwamba, iwapo hatua ya dharura isingechukuliwa. Lakini afanyeje na yote aliyohitaji alikuwa tayari kajizatiti kuyatekeleza? Aliamini ya kwamba damu ni nzito kuliko maji lakini moyo wake uliatuliwa na vitendo vyake vya kijuha. Upendo aliokuwa nao kwake tangu utotoni hadi wakati wa ujana ndio uliomfanya akate kauli kurejea kiamboni pale. Kwa mara hii, hata kama angepokea kichapo kingine ama zaidi apate kukatwa ulimi. Afua ni mbili, kufa na kupona na kwa imani kuu aliamini ya kwamba atafutaye hachoki, akichoka keshapata. Imani hii ndiyo iliyomfikisha mlangoni pale apate kufa na mzaliwa naye.
Ndugu mkashifu wa jere aliitwa nani
{ "text": [ "Meya" ] }
1491_swa
Kwa umbali, Jere alihisi ncha za macho vibandani vilivyozagaa zikimehoma kijiani alikotembelea. Wingu kubwa la uvumbi lilifanya anga kuonekana kama ziwa kubwa lililobwagia chote na yote lilikovunia. Sauti hapa na pale ilisikika na kwa sekunde alidhani kalisikia jina lake katajwa na kisha kufuatiwa na kimya. Jere alielewa ya kwamba alifananishwa na nduguye Meya aliyekuwa mkashifu, na ambaye hakuyatekeleza matakwa ya Ajmaina waliomchagua na kwa kweli hajulikani mwema na muovu. Dhidi alivyomwonya nduguye kuhusu jambo hilo alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa. Meya aliwaongoza watu kwa ufimbo na yule ambaye alijaribu kuyakashifu matendo yake alipambana ana kwa ana na simba marara. Alikumbuka wakati mmoja alipomtembelea nduguye kwa lengo la kutetea haki za wafanyikazi jijini. Juhudi zake ziliambulia patupu alipopokea kichapo cha mbwa kwenye kiwambo kile. Dunia mti mkavu kiumbe usiuegemee. Sheria mpya ilipitishiwa ya kwamba wote waliojaribu kugatua serikali wangekatwa ndimi zao kwa kosa la uchochezi. Jambo hilo lilichochea mgomo wa wafanyakazi jijini huko. Bila shaka, amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Hayo yote hayakulainisha moyo wa Firauni huyu na alipohojiwa na wanahabari, alisema kwamba ilikuwa shida iliyosuluhishwa katika sekta ya fedha na wafanyakazi wangeyapata marupurupu yao yote, pindi warejeapo kazini. Aliendelea kusema ya kwamba jiji lake tukufu lilikuwa miongoni mwa miji iliyoendelea na ikiwa wangekosa kurejea makazini mwao, ikiwa fadhila ya punda ni mashuzi, wote wangepigwa kalamu na wengine wengi waliohitimu kutoka vyuo vikuu waajiriwe. Jambo hilo lilitia simanzi moyoni mwa Jere kwani alighairi vyema uongozi wa nduguye ungegonga mwamba, iwapo hatua ya dharura isingechukuliwa. Lakini afanyeje na yote aliyohitaji alikuwa tayari kajizatiti kuyatekeleza? Aliamini ya kwamba damu ni nzito kuliko maji lakini moyo wake uliatuliwa na vitendo vyake vya kijuha. Upendo aliokuwa nao kwake tangu utotoni hadi wakati wa ujana ndio uliomfanya akate kauli kurejea kiamboni pale. Kwa mara hii, hata kama angepokea kichapo kingine ama zaidi apate kukatwa ulimi. Afua ni mbili, kufa na kupona na kwa imani kuu aliamini ya kwamba atafutaye hachoki, akichoka keshapata. Imani hii ndiyo iliyomfikisha mlangoni pale apate kufa na mzaliwa naye.
Ni vipi Meya aliwaongoza watu
{ "text": [ "Kwa ufimbo na mapambano" ] }
1492_swa
Kuna aina mbili kuu za misitu. Ipo ile ya kiasili ambayo hukua yenyewe na ile ya kupandwa na binadamu. Misitu ni hazina kuu katika nchi. Faida za miti si haba. Unapokaa sasa hivi chanzo chake ni misitu kwa kuwa hutupa malighafi mbalimbali zikiwemo mbao za kuunda makochi, meza, milango, shubaka na samani nyinginezo. Misitu huwa maskani ya wanyama. Mathalani, ndege hujenga viota vyao mitini. Wanyama wengine aidha hujisetiri chini ya miti jua linapowaka. Fauka ya hayo, misitu ii hii huwapa wanyama hao chakula. Enzi za babu zetu hakukuwa na hospitali za kisasa. Madaktari wa miti shamba walitumia majani na mizizi ili kuweza kutibu ndwele ainati. Hata leo kuna baadhi ya jamii ambazo hutumia miti shamba badala ya kutibiwa na madaktari wa kizungu. Si hayo tu, misitu huvuta mvua. Mahali penye miti huwa rahisi sana kupata mvua ikilinganishwa na jangwani. Nayo mvua inyeshapo hufanya miti iwe na rangi ya kijani kibichi na hivyo hurembesha mazingira yanayowavutia watalii. Watalii hawa wakija huleta pesa za kigeni na kuimarisha uchumi wa taifa. Viwanda mbalimbali hupata malighafi kutokana na misitu hasa viwanda vya kutengeneza karatasi kule Webuye. Kuni zinazotumiwa kwa kupikia aidha hutokana na misitu. Mbali na hayo, misitu hutoa nafasi za kazi kwa watu ambao hufanya kazi kwenye viwanda; wahifadhi mbuga za wanyama na wengineo. Misitu huzuia mmomonyoko wa udongo. Mizizi ya miti hushika udongo na kuufanya uwe mgumu hivyo kuzuia kumomonyoka. Nayo matawi ya miti yanapopukutika hurutubisha ardhi zaidi. Licha ya hayo misitu huzuia chemichemi za maji kukauka na hivyo maji maenge hutiririka kutoka kwenye misitu. Basi hatuna budi kuhifadhi misitu la sivyo tutalia kilio cha majuto. Tusiwe wa kujiletea balaa. Tukumbuke kuwa mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi.
Kuna aina ngapi kuu za misitu
{ "text": [ "Mbili" ] }
1492_swa
Kuna aina mbili kuu za misitu. Ipo ile ya kiasili ambayo hukua yenyewe na ile ya kupandwa na binadamu. Misitu ni hazina kuu katika nchi. Faida za miti si haba. Unapokaa sasa hivi chanzo chake ni misitu kwa kuwa hutupa malighafi mbalimbali zikiwemo mbao za kuunda makochi, meza, milango, shubaka na samani nyinginezo. Misitu huwa maskani ya wanyama. Mathalani, ndege hujenga viota vyao mitini. Wanyama wengine aidha hujisetiri chini ya miti jua linapowaka. Fauka ya hayo, misitu ii hii huwapa wanyama hao chakula. Enzi za babu zetu hakukuwa na hospitali za kisasa. Madaktari wa miti shamba walitumia majani na mizizi ili kuweza kutibu ndwele ainati. Hata leo kuna baadhi ya jamii ambazo hutumia miti shamba badala ya kutibiwa na madaktari wa kizungu. Si hayo tu, misitu huvuta mvua. Mahali penye miti huwa rahisi sana kupata mvua ikilinganishwa na jangwani. Nayo mvua inyeshapo hufanya miti iwe na rangi ya kijani kibichi na hivyo hurembesha mazingira yanayowavutia watalii. Watalii hawa wakija huleta pesa za kigeni na kuimarisha uchumi wa taifa. Viwanda mbalimbali hupata malighafi kutokana na misitu hasa viwanda vya kutengeneza karatasi kule Webuye. Kuni zinazotumiwa kwa kupikia aidha hutokana na misitu. Mbali na hayo, misitu hutoa nafasi za kazi kwa watu ambao hufanya kazi kwenye viwanda; wahifadhi mbuga za wanyama na wengineo. Misitu huzuia mmomonyoko wa udongo. Mizizi ya miti hushika udongo na kuufanya uwe mgumu hivyo kuzuia kumomonyoka. Nayo matawi ya miti yanapopukutika hurutubisha ardhi zaidi. Licha ya hayo misitu huzuia chemichemi za maji kukauka na hivyo maji maenge hutiririka kutoka kwenye misitu. Basi hatuna budi kuhifadhi misitu la sivyo tutalia kilio cha majuto. Tusiwe wa kujiletea balaa. Tukumbuke kuwa mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi.
Ipo ile ya kiasili na ya kupandwa na nani
{ "text": [ "Binadamu" ] }
1492_swa
Kuna aina mbili kuu za misitu. Ipo ile ya kiasili ambayo hukua yenyewe na ile ya kupandwa na binadamu. Misitu ni hazina kuu katika nchi. Faida za miti si haba. Unapokaa sasa hivi chanzo chake ni misitu kwa kuwa hutupa malighafi mbalimbali zikiwemo mbao za kuunda makochi, meza, milango, shubaka na samani nyinginezo. Misitu huwa maskani ya wanyama. Mathalani, ndege hujenga viota vyao mitini. Wanyama wengine aidha hujisetiri chini ya miti jua linapowaka. Fauka ya hayo, misitu ii hii huwapa wanyama hao chakula. Enzi za babu zetu hakukuwa na hospitali za kisasa. Madaktari wa miti shamba walitumia majani na mizizi ili kuweza kutibu ndwele ainati. Hata leo kuna baadhi ya jamii ambazo hutumia miti shamba badala ya kutibiwa na madaktari wa kizungu. Si hayo tu, misitu huvuta mvua. Mahali penye miti huwa rahisi sana kupata mvua ikilinganishwa na jangwani. Nayo mvua inyeshapo hufanya miti iwe na rangi ya kijani kibichi na hivyo hurembesha mazingira yanayowavutia watalii. Watalii hawa wakija huleta pesa za kigeni na kuimarisha uchumi wa taifa. Viwanda mbalimbali hupata malighafi kutokana na misitu hasa viwanda vya kutengeneza karatasi kule Webuye. Kuni zinazotumiwa kwa kupikia aidha hutokana na misitu. Mbali na hayo, misitu hutoa nafasi za kazi kwa watu ambao hufanya kazi kwenye viwanda; wahifadhi mbuga za wanyama na wengineo. Misitu huzuia mmomonyoko wa udongo. Mizizi ya miti hushika udongo na kuufanya uwe mgumu hivyo kuzuia kumomonyoka. Nayo matawi ya miti yanapopukutika hurutubisha ardhi zaidi. Licha ya hayo misitu huzuia chemichemi za maji kukauka na hivyo maji maenge hutiririka kutoka kwenye misitu. Basi hatuna budi kuhifadhi misitu la sivyo tutalia kilio cha majuto. Tusiwe wa kujiletea balaa. Tukumbuke kuwa mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi.
Misitu ni nini katika nchi
{ "text": [ "Hazina kuu" ] }
1492_swa
Kuna aina mbili kuu za misitu. Ipo ile ya kiasili ambayo hukua yenyewe na ile ya kupandwa na binadamu. Misitu ni hazina kuu katika nchi. Faida za miti si haba. Unapokaa sasa hivi chanzo chake ni misitu kwa kuwa hutupa malighafi mbalimbali zikiwemo mbao za kuunda makochi, meza, milango, shubaka na samani nyinginezo. Misitu huwa maskani ya wanyama. Mathalani, ndege hujenga viota vyao mitini. Wanyama wengine aidha hujisetiri chini ya miti jua linapowaka. Fauka ya hayo, misitu ii hii huwapa wanyama hao chakula. Enzi za babu zetu hakukuwa na hospitali za kisasa. Madaktari wa miti shamba walitumia majani na mizizi ili kuweza kutibu ndwele ainati. Hata leo kuna baadhi ya jamii ambazo hutumia miti shamba badala ya kutibiwa na madaktari wa kizungu. Si hayo tu, misitu huvuta mvua. Mahali penye miti huwa rahisi sana kupata mvua ikilinganishwa na jangwani. Nayo mvua inyeshapo hufanya miti iwe na rangi ya kijani kibichi na hivyo hurembesha mazingira yanayowavutia watalii. Watalii hawa wakija huleta pesa za kigeni na kuimarisha uchumi wa taifa. Viwanda mbalimbali hupata malighafi kutokana na misitu hasa viwanda vya kutengeneza karatasi kule Webuye. Kuni zinazotumiwa kwa kupikia aidha hutokana na misitu. Mbali na hayo, misitu hutoa nafasi za kazi kwa watu ambao hufanya kazi kwenye viwanda; wahifadhi mbuga za wanyama na wengineo. Misitu huzuia mmomonyoko wa udongo. Mizizi ya miti hushika udongo na kuufanya uwe mgumu hivyo kuzuia kumomonyoka. Nayo matawi ya miti yanapopukutika hurutubisha ardhi zaidi. Licha ya hayo misitu huzuia chemichemi za maji kukauka na hivyo maji maenge hutiririka kutoka kwenye misitu. Basi hatuna budi kuhifadhi misitu la sivyo tutalia kilio cha majuto. Tusiwe wa kujiletea balaa. Tukumbuke kuwa mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi.
Misitu huwa maskani ya nani
{ "text": [ "Wanyama" ] }
1492_swa
Kuna aina mbili kuu za misitu. Ipo ile ya kiasili ambayo hukua yenyewe na ile ya kupandwa na binadamu. Misitu ni hazina kuu katika nchi. Faida za miti si haba. Unapokaa sasa hivi chanzo chake ni misitu kwa kuwa hutupa malighafi mbalimbali zikiwemo mbao za kuunda makochi, meza, milango, shubaka na samani nyinginezo. Misitu huwa maskani ya wanyama. Mathalani, ndege hujenga viota vyao mitini. Wanyama wengine aidha hujisetiri chini ya miti jua linapowaka. Fauka ya hayo, misitu ii hii huwapa wanyama hao chakula. Enzi za babu zetu hakukuwa na hospitali za kisasa. Madaktari wa miti shamba walitumia majani na mizizi ili kuweza kutibu ndwele ainati. Hata leo kuna baadhi ya jamii ambazo hutumia miti shamba badala ya kutibiwa na madaktari wa kizungu. Si hayo tu, misitu huvuta mvua. Mahali penye miti huwa rahisi sana kupata mvua ikilinganishwa na jangwani. Nayo mvua inyeshapo hufanya miti iwe na rangi ya kijani kibichi na hivyo hurembesha mazingira yanayowavutia watalii. Watalii hawa wakija huleta pesa za kigeni na kuimarisha uchumi wa taifa. Viwanda mbalimbali hupata malighafi kutokana na misitu hasa viwanda vya kutengeneza karatasi kule Webuye. Kuni zinazotumiwa kwa kupikia aidha hutokana na misitu. Mbali na hayo, misitu hutoa nafasi za kazi kwa watu ambao hufanya kazi kwenye viwanda; wahifadhi mbuga za wanyama na wengineo. Misitu huzuia mmomonyoko wa udongo. Mizizi ya miti hushika udongo na kuufanya uwe mgumu hivyo kuzuia kumomonyoka. Nayo matawi ya miti yanapopukutika hurutubisha ardhi zaidi. Licha ya hayo misitu huzuia chemichemi za maji kukauka na hivyo maji maenge hutiririka kutoka kwenye misitu. Basi hatuna budi kuhifadhi misitu la sivyo tutalia kilio cha majuto. Tusiwe wa kujiletea balaa. Tukumbuke kuwa mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi.
Viwanda mbalimbali hupata malighafi kutokana na misitu hasa viwanda gani
{ "text": [ "Vya kutengeneza karatasi" ] }
1493_swa
Leo yetu ilitegemea sana jana yetu. Vivyo hivyo kesho yetu itategemea pakubwa leo yetu. Mambo tuliyoyafanya jana ndiyo yaliyotuandalia dhiki yetu ya leo au furaha yetu. Ina maana kuwa endapo tunahitaji kuwa na maisha mema ya usoni, ni sharti tuchuje mema na maovu leo, tuyafanye yaliyo mema na kuyaambaa yaliyo maovu. Nimejaribu kupiga darubini kwa muda kuhusu kesho ya nchi yetu pamoja na uchumi wake, nikapata kwamba huenda hatutakuwa na lolote wala chochote cha kujipigia kifua endapo hatutawadhibiti vijana wetu. Vijana hawa wanaobaleghe wanastahili kwa vyovyote vile kushikwa sikio ndipo tutakapoweza kujijengea taifa zuri la kesho. Visa vya wanaume kuwachija wake zao na wake kuwaangamiza waume zao si jambo geni katika jamii yetu. Ni jambo ambalo tunakumbana nalo kila uchao na kulisoma magazetini, kutazama runingani na hata kusikiliza redioni taarifa za habari zisomwapo. Hilo kwangu si la kuwazia tena, linalonitonesha kidonda ni ongezeko la vifo vya vijana hawa wadogo, hao niliowataja kuwa ndio kesho yetu. Vifo ambavyo vinatikisa nchi yetu, vinatikisa kesho ambayo I mikononi mwa vijana hawa. Vifo ambavyo vinawaacha wazazi wengi wakisononeka mioyoni. Vifo vinavyomaliza nguvu ya kukuza uchumi. Nchi itabaki kama mnofu wa nyama uliogugunwa na mbwa na kuachwa bila hata chinyango moja ya nyama. Tuelewe kuwa mfupa mkavu hautamaniki. Vilevile nchi isiyo na kesho inayotamanisha na angavu haitapendeka. Itakinaiwa kabla ya kuonjwa. Ijapokuwa vijana wengi wanapuuzilia mbali wosia na makanyo ya watangulizi wao, ni dhahiri kwamba wanapotoka. Wanajiingiza katika mahusiano ambayo hawawezi kuyamudu. Mahusiano ambayo yanawamalizia muda, kuwaharibu mawazo na kufuja hela kidogo wanazopewa na wazazi wao baada ya kuuza mbuzi ama ndizi nyumbani kule mashambani. Kulingana na wanasaikolojia, vijana wengi hufanya hivi bila ya kuingizwa na mtu. Hujitumbukiza kwenye dau la mauti wakijua. Uigazi wa tabia za mtu fulani kwa sababu kwa njia moja au nyingine anaonekana bora umewafanya vijana wengi kujipata katika mahusiano ya kimapenzi. Mahusiano hayo kwa njia moja au nyingine huleta madhara. Kwao ikiwemo mimba za mapema, kusitisha masomo, vifo kwa akina dada hasa wakati wa kuavya mimba na upotovu wa tabia njema katika jamii. Maisha si maisha iwapo mtu aishipo hana la kumsukuma kwenda mbele na hivyo basi vijana wanafaa watambue kwamba la msingi maishani si kumwiga mtu ila kutenda la haki na sawa. Halikadhalika wanafaa kutenda lile ambalo litawafaidi wao binafsi na jamii zao ila si la kuwahuzunisha na kuwaacha wakilia na kusaga meno. Muda ndio huu kwa vijana wote kujiapia mioyoni mwao kuwa watamakinikia masomo yenye kesho njema, watajali jamii ambayo inawaangalia na la mwisho kuangazia upeo wa nchi inayowategemea kukua kwake. Wazazi na walimu shuleni ni jukumu lao kushirikiana kuhakikisha kwamba wanajizatiti kuwahamasisha watoto na wanafunzi wao mtawalia, wajue madhara ya kujipaka matope ya mahusiano haya. Je, kuna faida gani kujiingiza katika uhusiano wa mapema wa mapenzi ambao mtu huishia kaburini au kitandani cha hospitali ukidungwa sindano zaidi ya moja eti ni kukusaidia usalie hai? Nielezeni nielewe tafadhali, faida ya haya mahusiano ya akhera iko wapi?
Leo yetu ilitegemea sana nini
{ "text": [ "Jana yetu" ] }
1493_swa
Leo yetu ilitegemea sana jana yetu. Vivyo hivyo kesho yetu itategemea pakubwa leo yetu. Mambo tuliyoyafanya jana ndiyo yaliyotuandalia dhiki yetu ya leo au furaha yetu. Ina maana kuwa endapo tunahitaji kuwa na maisha mema ya usoni, ni sharti tuchuje mema na maovu leo, tuyafanye yaliyo mema na kuyaambaa yaliyo maovu. Nimejaribu kupiga darubini kwa muda kuhusu kesho ya nchi yetu pamoja na uchumi wake, nikapata kwamba huenda hatutakuwa na lolote wala chochote cha kujipigia kifua endapo hatutawadhibiti vijana wetu. Vijana hawa wanaobaleghe wanastahili kwa vyovyote vile kushikwa sikio ndipo tutakapoweza kujijengea taifa zuri la kesho. Visa vya wanaume kuwachija wake zao na wake kuwaangamiza waume zao si jambo geni katika jamii yetu. Ni jambo ambalo tunakumbana nalo kila uchao na kulisoma magazetini, kutazama runingani na hata kusikiliza redioni taarifa za habari zisomwapo. Hilo kwangu si la kuwazia tena, linalonitonesha kidonda ni ongezeko la vifo vya vijana hawa wadogo, hao niliowataja kuwa ndio kesho yetu. Vifo ambavyo vinatikisa nchi yetu, vinatikisa kesho ambayo I mikononi mwa vijana hawa. Vifo ambavyo vinawaacha wazazi wengi wakisononeka mioyoni. Vifo vinavyomaliza nguvu ya kukuza uchumi. Nchi itabaki kama mnofu wa nyama uliogugunwa na mbwa na kuachwa bila hata chinyango moja ya nyama. Tuelewe kuwa mfupa mkavu hautamaniki. Vilevile nchi isiyo na kesho inayotamanisha na angavu haitapendeka. Itakinaiwa kabla ya kuonjwa. Ijapokuwa vijana wengi wanapuuzilia mbali wosia na makanyo ya watangulizi wao, ni dhahiri kwamba wanapotoka. Wanajiingiza katika mahusiano ambayo hawawezi kuyamudu. Mahusiano ambayo yanawamalizia muda, kuwaharibu mawazo na kufuja hela kidogo wanazopewa na wazazi wao baada ya kuuza mbuzi ama ndizi nyumbani kule mashambani. Kulingana na wanasaikolojia, vijana wengi hufanya hivi bila ya kuingizwa na mtu. Hujitumbukiza kwenye dau la mauti wakijua. Uigazi wa tabia za mtu fulani kwa sababu kwa njia moja au nyingine anaonekana bora umewafanya vijana wengi kujipata katika mahusiano ya kimapenzi. Mahusiano hayo kwa njia moja au nyingine huleta madhara. Kwao ikiwemo mimba za mapema, kusitisha masomo, vifo kwa akina dada hasa wakati wa kuavya mimba na upotovu wa tabia njema katika jamii. Maisha si maisha iwapo mtu aishipo hana la kumsukuma kwenda mbele na hivyo basi vijana wanafaa watambue kwamba la msingi maishani si kumwiga mtu ila kutenda la haki na sawa. Halikadhalika wanafaa kutenda lile ambalo litawafaidi wao binafsi na jamii zao ila si la kuwahuzunisha na kuwaacha wakilia na kusaga meno. Muda ndio huu kwa vijana wote kujiapia mioyoni mwao kuwa watamakinikia masomo yenye kesho njema, watajali jamii ambayo inawaangalia na la mwisho kuangazia upeo wa nchi inayowategemea kukua kwake. Wazazi na walimu shuleni ni jukumu lao kushirikiana kuhakikisha kwamba wanajizatiti kuwahamasisha watoto na wanafunzi wao mtawalia, wajue madhara ya kujipaka matope ya mahusiano haya. Je, kuna faida gani kujiingiza katika uhusiano wa mapema wa mapenzi ambao mtu huishia kaburini au kitandani cha hospitali ukidungwa sindano zaidi ya moja eti ni kukusaidia usalie hai? Nielezeni nielewe tafadhali, faida ya haya mahusiano ya akhera iko wapi?
Vivyo hivyo, kesho yetu itategemea nini
{ "text": [ "Leo yetu" ] }
1493_swa
Leo yetu ilitegemea sana jana yetu. Vivyo hivyo kesho yetu itategemea pakubwa leo yetu. Mambo tuliyoyafanya jana ndiyo yaliyotuandalia dhiki yetu ya leo au furaha yetu. Ina maana kuwa endapo tunahitaji kuwa na maisha mema ya usoni, ni sharti tuchuje mema na maovu leo, tuyafanye yaliyo mema na kuyaambaa yaliyo maovu. Nimejaribu kupiga darubini kwa muda kuhusu kesho ya nchi yetu pamoja na uchumi wake, nikapata kwamba huenda hatutakuwa na lolote wala chochote cha kujipigia kifua endapo hatutawadhibiti vijana wetu. Vijana hawa wanaobaleghe wanastahili kwa vyovyote vile kushikwa sikio ndipo tutakapoweza kujijengea taifa zuri la kesho. Visa vya wanaume kuwachija wake zao na wake kuwaangamiza waume zao si jambo geni katika jamii yetu. Ni jambo ambalo tunakumbana nalo kila uchao na kulisoma magazetini, kutazama runingani na hata kusikiliza redioni taarifa za habari zisomwapo. Hilo kwangu si la kuwazia tena, linalonitonesha kidonda ni ongezeko la vifo vya vijana hawa wadogo, hao niliowataja kuwa ndio kesho yetu. Vifo ambavyo vinatikisa nchi yetu, vinatikisa kesho ambayo I mikononi mwa vijana hawa. Vifo ambavyo vinawaacha wazazi wengi wakisononeka mioyoni. Vifo vinavyomaliza nguvu ya kukuza uchumi. Nchi itabaki kama mnofu wa nyama uliogugunwa na mbwa na kuachwa bila hata chinyango moja ya nyama. Tuelewe kuwa mfupa mkavu hautamaniki. Vilevile nchi isiyo na kesho inayotamanisha na angavu haitapendeka. Itakinaiwa kabla ya kuonjwa. Ijapokuwa vijana wengi wanapuuzilia mbali wosia na makanyo ya watangulizi wao, ni dhahiri kwamba wanapotoka. Wanajiingiza katika mahusiano ambayo hawawezi kuyamudu. Mahusiano ambayo yanawamalizia muda, kuwaharibu mawazo na kufuja hela kidogo wanazopewa na wazazi wao baada ya kuuza mbuzi ama ndizi nyumbani kule mashambani. Kulingana na wanasaikolojia, vijana wengi hufanya hivi bila ya kuingizwa na mtu. Hujitumbukiza kwenye dau la mauti wakijua. Uigazi wa tabia za mtu fulani kwa sababu kwa njia moja au nyingine anaonekana bora umewafanya vijana wengi kujipata katika mahusiano ya kimapenzi. Mahusiano hayo kwa njia moja au nyingine huleta madhara. Kwao ikiwemo mimba za mapema, kusitisha masomo, vifo kwa akina dada hasa wakati wa kuavya mimba na upotovu wa tabia njema katika jamii. Maisha si maisha iwapo mtu aishipo hana la kumsukuma kwenda mbele na hivyo basi vijana wanafaa watambue kwamba la msingi maishani si kumwiga mtu ila kutenda la haki na sawa. Halikadhalika wanafaa kutenda lile ambalo litawafaidi wao binafsi na jamii zao ila si la kuwahuzunisha na kuwaacha wakilia na kusaga meno. Muda ndio huu kwa vijana wote kujiapia mioyoni mwao kuwa watamakinikia masomo yenye kesho njema, watajali jamii ambayo inawaangalia na la mwisho kuangazia upeo wa nchi inayowategemea kukua kwake. Wazazi na walimu shuleni ni jukumu lao kushirikiana kuhakikisha kwamba wanajizatiti kuwahamasisha watoto na wanafunzi wao mtawalia, wajue madhara ya kujipaka matope ya mahusiano haya. Je, kuna faida gani kujiingiza katika uhusiano wa mapema wa mapenzi ambao mtu huishia kaburini au kitandani cha hospitali ukidungwa sindano zaidi ya moja eti ni kukusaidia usalie hai? Nielezeni nielewe tafadhali, faida ya haya mahusiano ya akhera iko wapi?
Huenda hatutakuwa na chochote cha kujivunia endapo hatutawadhibiti kina nani
{ "text": [ "Vijana wetu" ] }
1493_swa
Leo yetu ilitegemea sana jana yetu. Vivyo hivyo kesho yetu itategemea pakubwa leo yetu. Mambo tuliyoyafanya jana ndiyo yaliyotuandalia dhiki yetu ya leo au furaha yetu. Ina maana kuwa endapo tunahitaji kuwa na maisha mema ya usoni, ni sharti tuchuje mema na maovu leo, tuyafanye yaliyo mema na kuyaambaa yaliyo maovu. Nimejaribu kupiga darubini kwa muda kuhusu kesho ya nchi yetu pamoja na uchumi wake, nikapata kwamba huenda hatutakuwa na lolote wala chochote cha kujipigia kifua endapo hatutawadhibiti vijana wetu. Vijana hawa wanaobaleghe wanastahili kwa vyovyote vile kushikwa sikio ndipo tutakapoweza kujijengea taifa zuri la kesho. Visa vya wanaume kuwachija wake zao na wake kuwaangamiza waume zao si jambo geni katika jamii yetu. Ni jambo ambalo tunakumbana nalo kila uchao na kulisoma magazetini, kutazama runingani na hata kusikiliza redioni taarifa za habari zisomwapo. Hilo kwangu si la kuwazia tena, linalonitonesha kidonda ni ongezeko la vifo vya vijana hawa wadogo, hao niliowataja kuwa ndio kesho yetu. Vifo ambavyo vinatikisa nchi yetu, vinatikisa kesho ambayo I mikononi mwa vijana hawa. Vifo ambavyo vinawaacha wazazi wengi wakisononeka mioyoni. Vifo vinavyomaliza nguvu ya kukuza uchumi. Nchi itabaki kama mnofu wa nyama uliogugunwa na mbwa na kuachwa bila hata chinyango moja ya nyama. Tuelewe kuwa mfupa mkavu hautamaniki. Vilevile nchi isiyo na kesho inayotamanisha na angavu haitapendeka. Itakinaiwa kabla ya kuonjwa. Ijapokuwa vijana wengi wanapuuzilia mbali wosia na makanyo ya watangulizi wao, ni dhahiri kwamba wanapotoka. Wanajiingiza katika mahusiano ambayo hawawezi kuyamudu. Mahusiano ambayo yanawamalizia muda, kuwaharibu mawazo na kufuja hela kidogo wanazopewa na wazazi wao baada ya kuuza mbuzi ama ndizi nyumbani kule mashambani. Kulingana na wanasaikolojia, vijana wengi hufanya hivi bila ya kuingizwa na mtu. Hujitumbukiza kwenye dau la mauti wakijua. Uigazi wa tabia za mtu fulani kwa sababu kwa njia moja au nyingine anaonekana bora umewafanya vijana wengi kujipata katika mahusiano ya kimapenzi. Mahusiano hayo kwa njia moja au nyingine huleta madhara. Kwao ikiwemo mimba za mapema, kusitisha masomo, vifo kwa akina dada hasa wakati wa kuavya mimba na upotovu wa tabia njema katika jamii. Maisha si maisha iwapo mtu aishipo hana la kumsukuma kwenda mbele na hivyo basi vijana wanafaa watambue kwamba la msingi maishani si kumwiga mtu ila kutenda la haki na sawa. Halikadhalika wanafaa kutenda lile ambalo litawafaidi wao binafsi na jamii zao ila si la kuwahuzunisha na kuwaacha wakilia na kusaga meno. Muda ndio huu kwa vijana wote kujiapia mioyoni mwao kuwa watamakinikia masomo yenye kesho njema, watajali jamii ambayo inawaangalia na la mwisho kuangazia upeo wa nchi inayowategemea kukua kwake. Wazazi na walimu shuleni ni jukumu lao kushirikiana kuhakikisha kwamba wanajizatiti kuwahamasisha watoto na wanafunzi wao mtawalia, wajue madhara ya kujipaka matope ya mahusiano haya. Je, kuna faida gani kujiingiza katika uhusiano wa mapema wa mapenzi ambao mtu huishia kaburini au kitandani cha hospitali ukidungwa sindano zaidi ya moja eti ni kukusaidia usalie hai? Nielezeni nielewe tafadhali, faida ya haya mahusiano ya akhera iko wapi?
Visa vya wanaume kuwachinja wake zao si jambo geni katika jamii gani
{ "text": [ "Yetu" ] }
1493_swa
Leo yetu ilitegemea sana jana yetu. Vivyo hivyo kesho yetu itategemea pakubwa leo yetu. Mambo tuliyoyafanya jana ndiyo yaliyotuandalia dhiki yetu ya leo au furaha yetu. Ina maana kuwa endapo tunahitaji kuwa na maisha mema ya usoni, ni sharti tuchuje mema na maovu leo, tuyafanye yaliyo mema na kuyaambaa yaliyo maovu. Nimejaribu kupiga darubini kwa muda kuhusu kesho ya nchi yetu pamoja na uchumi wake, nikapata kwamba huenda hatutakuwa na lolote wala chochote cha kujipigia kifua endapo hatutawadhibiti vijana wetu. Vijana hawa wanaobaleghe wanastahili kwa vyovyote vile kushikwa sikio ndipo tutakapoweza kujijengea taifa zuri la kesho. Visa vya wanaume kuwachija wake zao na wake kuwaangamiza waume zao si jambo geni katika jamii yetu. Ni jambo ambalo tunakumbana nalo kila uchao na kulisoma magazetini, kutazama runingani na hata kusikiliza redioni taarifa za habari zisomwapo. Hilo kwangu si la kuwazia tena, linalonitonesha kidonda ni ongezeko la vifo vya vijana hawa wadogo, hao niliowataja kuwa ndio kesho yetu. Vifo ambavyo vinatikisa nchi yetu, vinatikisa kesho ambayo I mikononi mwa vijana hawa. Vifo ambavyo vinawaacha wazazi wengi wakisononeka mioyoni. Vifo vinavyomaliza nguvu ya kukuza uchumi. Nchi itabaki kama mnofu wa nyama uliogugunwa na mbwa na kuachwa bila hata chinyango moja ya nyama. Tuelewe kuwa mfupa mkavu hautamaniki. Vilevile nchi isiyo na kesho inayotamanisha na angavu haitapendeka. Itakinaiwa kabla ya kuonjwa. Ijapokuwa vijana wengi wanapuuzilia mbali wosia na makanyo ya watangulizi wao, ni dhahiri kwamba wanapotoka. Wanajiingiza katika mahusiano ambayo hawawezi kuyamudu. Mahusiano ambayo yanawamalizia muda, kuwaharibu mawazo na kufuja hela kidogo wanazopewa na wazazi wao baada ya kuuza mbuzi ama ndizi nyumbani kule mashambani. Kulingana na wanasaikolojia, vijana wengi hufanya hivi bila ya kuingizwa na mtu. Hujitumbukiza kwenye dau la mauti wakijua. Uigazi wa tabia za mtu fulani kwa sababu kwa njia moja au nyingine anaonekana bora umewafanya vijana wengi kujipata katika mahusiano ya kimapenzi. Mahusiano hayo kwa njia moja au nyingine huleta madhara. Kwao ikiwemo mimba za mapema, kusitisha masomo, vifo kwa akina dada hasa wakati wa kuavya mimba na upotovu wa tabia njema katika jamii. Maisha si maisha iwapo mtu aishipo hana la kumsukuma kwenda mbele na hivyo basi vijana wanafaa watambue kwamba la msingi maishani si kumwiga mtu ila kutenda la haki na sawa. Halikadhalika wanafaa kutenda lile ambalo litawafaidi wao binafsi na jamii zao ila si la kuwahuzunisha na kuwaacha wakilia na kusaga meno. Muda ndio huu kwa vijana wote kujiapia mioyoni mwao kuwa watamakinikia masomo yenye kesho njema, watajali jamii ambayo inawaangalia na la mwisho kuangazia upeo wa nchi inayowategemea kukua kwake. Wazazi na walimu shuleni ni jukumu lao kushirikiana kuhakikisha kwamba wanajizatiti kuwahamasisha watoto na wanafunzi wao mtawalia, wajue madhara ya kujipaka matope ya mahusiano haya. Je, kuna faida gani kujiingiza katika uhusiano wa mapema wa mapenzi ambao mtu huishia kaburini au kitandani cha hospitali ukidungwa sindano zaidi ya moja eti ni kukusaidia usalie hai? Nielezeni nielewe tafadhali, faida ya haya mahusiano ya akhera iko wapi?
Nani wanafaa watambue kwamba la msingi maishani si kumwiga mtu
{ "text": [ "Vijana" ] }
1495_swa
Utunzaji wa mazingira ni jambo ambalo sharti lishughulikiwe kote. Hata hivyo, licha ya juhudi za serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwahimiza wananchi kuyalinda mazingira yao, inasikitisha kuona kwamba baadhi ya watu wametia masikio yao nta. Hawa ni wale wanaoboronga mazingira yao kila uchao huku wakitarajia serikali iuchukue mzigo huu kikamilifu. Ni ukweli usiopingika kwamba asasi zinazohusika na uhifadhi wa mazingira zimelegea kwa njia moja au nyingine. Lakini lazima tujue kuwa wanaohasirika zaidi ni sisi wenyewe. Ukitupa taka kidogo mahali nami nitupe zangu, matokeo yatakuwa mabiwi katika eneo zima. Ajabu ni kuwa hakuna anayeona mchango wake katika uchafuzi huu. Zamani maeneo ya mashambani yalivutia sana kutokana na miti ya kijani iliyovavagaa kote. Hewa ya huko ilikuwa burudani tosha ambapo waliostakimu mijini walipenda kupitisha likizo zao. Siku hizi hali ni kinyume kabisa. Ukizuru huko utapokelewa na mchanga tifutifu kwani miti haipo tena. Mingi imekatwa ili kupata kuni, makaa au mbao za matumizi mbalimbali. Matokeo ya haya yote ni kuwa hali ya anga haitabiriki tena. Hata mvua ambayo ni tegemeo la wakulima wengi imeadimika kama wali wa daku. Mazingira yasipotunzwa, wadudu kama nzi na mbu, pamoja na wanyama waharibifu hupata nafasi murua ya kuzaana kwa wingi. Hawa nao hawachangii kwa kuharibu rasilimali zetu tu bali pia baadhi yao husambaza magonjwa hatari kwa binadamu na mifugo. Watu wengi wamejifilisi rasilimali zao kwa kutibu ndwele ambazo wangejiepushia kwa kudumisha usafi katika mazingira yao. Vijana ndio nguzo ya taifa hili. Wakiwajibika ipasavyo, tunaweza kulisafisha taifa letu liwe la kuhusudiwa na wengi. Mathalani, kwa kutumia elimu wanayopewa katika shule na vyuo vya ufundi, wanaweza kutumia baadhi ya taka kuundia bidhaa zitakazouzwa na kuwakidhia mahitaji yao. Taka kama vile vyuma, sandarusi na vifaa vya kielektroniki zitafaa sana katika kuyafanikisha haya. Halikadhalika, taka zinazooza kama vile uchafu wa jikoni zinaweza kurutubisha vishamba vidogovidogo watakavyoanzisha wanafunzi shuleni. Hapa panaweza kukuzwa matunda na mboga ambazo zitatumika mumo humo shuleni au hata kuuzwa na kuleta kipato. Janga la uchafuzi wa mazingira linatuathiri sote, si wakubwa si wadogo, si wakwasi si wakata. Hatuwezi kuachia serikali peke yake jukumu hili kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Ni vyema kujiuliza "Mimi binafsi nimetoa mchango upi katika uhifadhi wa mazingira?
Baadhi ya watu wanatia masikio yao nini
{ "text": [ "nta" ] }
1495_swa
Utunzaji wa mazingira ni jambo ambalo sharti lishughulikiwe kote. Hata hivyo, licha ya juhudi za serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwahimiza wananchi kuyalinda mazingira yao, inasikitisha kuona kwamba baadhi ya watu wametia masikio yao nta. Hawa ni wale wanaoboronga mazingira yao kila uchao huku wakitarajia serikali iuchukue mzigo huu kikamilifu. Ni ukweli usiopingika kwamba asasi zinazohusika na uhifadhi wa mazingira zimelegea kwa njia moja au nyingine. Lakini lazima tujue kuwa wanaohasirika zaidi ni sisi wenyewe. Ukitupa taka kidogo mahali nami nitupe zangu, matokeo yatakuwa mabiwi katika eneo zima. Ajabu ni kuwa hakuna anayeona mchango wake katika uchafuzi huu. Zamani maeneo ya mashambani yalivutia sana kutokana na miti ya kijani iliyovavagaa kote. Hewa ya huko ilikuwa burudani tosha ambapo waliostakimu mijini walipenda kupitisha likizo zao. Siku hizi hali ni kinyume kabisa. Ukizuru huko utapokelewa na mchanga tifutifu kwani miti haipo tena. Mingi imekatwa ili kupata kuni, makaa au mbao za matumizi mbalimbali. Matokeo ya haya yote ni kuwa hali ya anga haitabiriki tena. Hata mvua ambayo ni tegemeo la wakulima wengi imeadimika kama wali wa daku. Mazingira yasipotunzwa, wadudu kama nzi na mbu, pamoja na wanyama waharibifu hupata nafasi murua ya kuzaana kwa wingi. Hawa nao hawachangii kwa kuharibu rasilimali zetu tu bali pia baadhi yao husambaza magonjwa hatari kwa binadamu na mifugo. Watu wengi wamejifilisi rasilimali zao kwa kutibu ndwele ambazo wangejiepushia kwa kudumisha usafi katika mazingira yao. Vijana ndio nguzo ya taifa hili. Wakiwajibika ipasavyo, tunaweza kulisafisha taifa letu liwe la kuhusudiwa na wengi. Mathalani, kwa kutumia elimu wanayopewa katika shule na vyuo vya ufundi, wanaweza kutumia baadhi ya taka kuundia bidhaa zitakazouzwa na kuwakidhia mahitaji yao. Taka kama vile vyuma, sandarusi na vifaa vya kielektroniki zitafaa sana katika kuyafanikisha haya. Halikadhalika, taka zinazooza kama vile uchafu wa jikoni zinaweza kurutubisha vishamba vidogovidogo watakavyoanzisha wanafunzi shuleni. Hapa panaweza kukuzwa matunda na mboga ambazo zitatumika mumo humo shuleni au hata kuuzwa na kuleta kipato. Janga la uchafuzi wa mazingira linatuathiri sote, si wakubwa si wadogo, si wakwasi si wakata. Hatuwezi kuachia serikali peke yake jukumu hili kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Ni vyema kujiuliza "Mimi binafsi nimetoa mchango upi katika uhifadhi wa mazingira?
Lini maeneo ya mashambani yalivutia sana
{ "text": [ "zamani" ] }
1495_swa
Utunzaji wa mazingira ni jambo ambalo sharti lishughulikiwe kote. Hata hivyo, licha ya juhudi za serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwahimiza wananchi kuyalinda mazingira yao, inasikitisha kuona kwamba baadhi ya watu wametia masikio yao nta. Hawa ni wale wanaoboronga mazingira yao kila uchao huku wakitarajia serikali iuchukue mzigo huu kikamilifu. Ni ukweli usiopingika kwamba asasi zinazohusika na uhifadhi wa mazingira zimelegea kwa njia moja au nyingine. Lakini lazima tujue kuwa wanaohasirika zaidi ni sisi wenyewe. Ukitupa taka kidogo mahali nami nitupe zangu, matokeo yatakuwa mabiwi katika eneo zima. Ajabu ni kuwa hakuna anayeona mchango wake katika uchafuzi huu. Zamani maeneo ya mashambani yalivutia sana kutokana na miti ya kijani iliyovavagaa kote. Hewa ya huko ilikuwa burudani tosha ambapo waliostakimu mijini walipenda kupitisha likizo zao. Siku hizi hali ni kinyume kabisa. Ukizuru huko utapokelewa na mchanga tifutifu kwani miti haipo tena. Mingi imekatwa ili kupata kuni, makaa au mbao za matumizi mbalimbali. Matokeo ya haya yote ni kuwa hali ya anga haitabiriki tena. Hata mvua ambayo ni tegemeo la wakulima wengi imeadimika kama wali wa daku. Mazingira yasipotunzwa, wadudu kama nzi na mbu, pamoja na wanyama waharibifu hupata nafasi murua ya kuzaana kwa wingi. Hawa nao hawachangii kwa kuharibu rasilimali zetu tu bali pia baadhi yao husambaza magonjwa hatari kwa binadamu na mifugo. Watu wengi wamejifilisi rasilimali zao kwa kutibu ndwele ambazo wangejiepushia kwa kudumisha usafi katika mazingira yao. Vijana ndio nguzo ya taifa hili. Wakiwajibika ipasavyo, tunaweza kulisafisha taifa letu liwe la kuhusudiwa na wengi. Mathalani, kwa kutumia elimu wanayopewa katika shule na vyuo vya ufundi, wanaweza kutumia baadhi ya taka kuundia bidhaa zitakazouzwa na kuwakidhia mahitaji yao. Taka kama vile vyuma, sandarusi na vifaa vya kielektroniki zitafaa sana katika kuyafanikisha haya. Halikadhalika, taka zinazooza kama vile uchafu wa jikoni zinaweza kurutubisha vishamba vidogovidogo watakavyoanzisha wanafunzi shuleni. Hapa panaweza kukuzwa matunda na mboga ambazo zitatumika mumo humo shuleni au hata kuuzwa na kuleta kipato. Janga la uchafuzi wa mazingira linatuathiri sote, si wakubwa si wadogo, si wakwasi si wakata. Hatuwezi kuachia serikali peke yake jukumu hili kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Ni vyema kujiuliza "Mimi binafsi nimetoa mchango upi katika uhifadhi wa mazingira?
Nani nguzo la taifa hili
{ "text": [ "vijana" ] }
1495_swa
Utunzaji wa mazingira ni jambo ambalo sharti lishughulikiwe kote. Hata hivyo, licha ya juhudi za serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwahimiza wananchi kuyalinda mazingira yao, inasikitisha kuona kwamba baadhi ya watu wametia masikio yao nta. Hawa ni wale wanaoboronga mazingira yao kila uchao huku wakitarajia serikali iuchukue mzigo huu kikamilifu. Ni ukweli usiopingika kwamba asasi zinazohusika na uhifadhi wa mazingira zimelegea kwa njia moja au nyingine. Lakini lazima tujue kuwa wanaohasirika zaidi ni sisi wenyewe. Ukitupa taka kidogo mahali nami nitupe zangu, matokeo yatakuwa mabiwi katika eneo zima. Ajabu ni kuwa hakuna anayeona mchango wake katika uchafuzi huu. Zamani maeneo ya mashambani yalivutia sana kutokana na miti ya kijani iliyovavagaa kote. Hewa ya huko ilikuwa burudani tosha ambapo waliostakimu mijini walipenda kupitisha likizo zao. Siku hizi hali ni kinyume kabisa. Ukizuru huko utapokelewa na mchanga tifutifu kwani miti haipo tena. Mingi imekatwa ili kupata kuni, makaa au mbao za matumizi mbalimbali. Matokeo ya haya yote ni kuwa hali ya anga haitabiriki tena. Hata mvua ambayo ni tegemeo la wakulima wengi imeadimika kama wali wa daku. Mazingira yasipotunzwa, wadudu kama nzi na mbu, pamoja na wanyama waharibifu hupata nafasi murua ya kuzaana kwa wingi. Hawa nao hawachangii kwa kuharibu rasilimali zetu tu bali pia baadhi yao husambaza magonjwa hatari kwa binadamu na mifugo. Watu wengi wamejifilisi rasilimali zao kwa kutibu ndwele ambazo wangejiepushia kwa kudumisha usafi katika mazingira yao. Vijana ndio nguzo ya taifa hili. Wakiwajibika ipasavyo, tunaweza kulisafisha taifa letu liwe la kuhusudiwa na wengi. Mathalani, kwa kutumia elimu wanayopewa katika shule na vyuo vya ufundi, wanaweza kutumia baadhi ya taka kuundia bidhaa zitakazouzwa na kuwakidhia mahitaji yao. Taka kama vile vyuma, sandarusi na vifaa vya kielektroniki zitafaa sana katika kuyafanikisha haya. Halikadhalika, taka zinazooza kama vile uchafu wa jikoni zinaweza kurutubisha vishamba vidogovidogo watakavyoanzisha wanafunzi shuleni. Hapa panaweza kukuzwa matunda na mboga ambazo zitatumika mumo humo shuleni au hata kuuzwa na kuleta kipato. Janga la uchafuzi wa mazingira linatuathiri sote, si wakubwa si wadogo, si wakwasi si wakata. Hatuwezi kuachia serikali peke yake jukumu hili kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Ni vyema kujiuliza "Mimi binafsi nimetoa mchango upi katika uhifadhi wa mazingira?
Taka zinazoozazinaweza kurutubisha vishamba gani
{ "text": [ "vidogovidogo" ] }
1495_swa
Utunzaji wa mazingira ni jambo ambalo sharti lishughulikiwe kote. Hata hivyo, licha ya juhudi za serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwahimiza wananchi kuyalinda mazingira yao, inasikitisha kuona kwamba baadhi ya watu wametia masikio yao nta. Hawa ni wale wanaoboronga mazingira yao kila uchao huku wakitarajia serikali iuchukue mzigo huu kikamilifu. Ni ukweli usiopingika kwamba asasi zinazohusika na uhifadhi wa mazingira zimelegea kwa njia moja au nyingine. Lakini lazima tujue kuwa wanaohasirika zaidi ni sisi wenyewe. Ukitupa taka kidogo mahali nami nitupe zangu, matokeo yatakuwa mabiwi katika eneo zima. Ajabu ni kuwa hakuna anayeona mchango wake katika uchafuzi huu. Zamani maeneo ya mashambani yalivutia sana kutokana na miti ya kijani iliyovavagaa kote. Hewa ya huko ilikuwa burudani tosha ambapo waliostakimu mijini walipenda kupitisha likizo zao. Siku hizi hali ni kinyume kabisa. Ukizuru huko utapokelewa na mchanga tifutifu kwani miti haipo tena. Mingi imekatwa ili kupata kuni, makaa au mbao za matumizi mbalimbali. Matokeo ya haya yote ni kuwa hali ya anga haitabiriki tena. Hata mvua ambayo ni tegemeo la wakulima wengi imeadimika kama wali wa daku. Mazingira yasipotunzwa, wadudu kama nzi na mbu, pamoja na wanyama waharibifu hupata nafasi murua ya kuzaana kwa wingi. Hawa nao hawachangii kwa kuharibu rasilimali zetu tu bali pia baadhi yao husambaza magonjwa hatari kwa binadamu na mifugo. Watu wengi wamejifilisi rasilimali zao kwa kutibu ndwele ambazo wangejiepushia kwa kudumisha usafi katika mazingira yao. Vijana ndio nguzo ya taifa hili. Wakiwajibika ipasavyo, tunaweza kulisafisha taifa letu liwe la kuhusudiwa na wengi. Mathalani, kwa kutumia elimu wanayopewa katika shule na vyuo vya ufundi, wanaweza kutumia baadhi ya taka kuundia bidhaa zitakazouzwa na kuwakidhia mahitaji yao. Taka kama vile vyuma, sandarusi na vifaa vya kielektroniki zitafaa sana katika kuyafanikisha haya. Halikadhalika, taka zinazooza kama vile uchafu wa jikoni zinaweza kurutubisha vishamba vidogovidogo watakavyoanzisha wanafunzi shuleni. Hapa panaweza kukuzwa matunda na mboga ambazo zitatumika mumo humo shuleni au hata kuuzwa na kuleta kipato. Janga la uchafuzi wa mazingira linatuathiri sote, si wakubwa si wadogo, si wakwasi si wakata. Hatuwezi kuachia serikali peke yake jukumu hili kwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo. Ni vyema kujiuliza "Mimi binafsi nimetoa mchango upi katika uhifadhi wa mazingira?
Mbona ukifika mashambani unapokelewa na mchanga tifutifu
{ "text": [ "miti haipo tena" ] }
1496_swa
Tudo alikuwa maarufu sana pale mtaani. Biashara yake ya kuuza vipuri vya magari ilinoga kutokana na mambo mawili. Kwanza, takribani kila kipuri kilipatikana pale na hata ulipokuta vimeisha ungehakikishiwa kukipata siku iliyofuata. Pili, hivi vilikuwa ni vipuri vilivyotumika; Eksi- Japani kama walivyoita wenyeji ambavyo vilipatikana kwa bei tahafifu kabisa. Tudo mwenyewe alizoea kusema kwamba bei ni makubaliano. Mtajie gari tu na kifaa unachohitaji, naye atakupa mara moja. Wengi walizipongeza sana juhudi za Tudo hususan wakati huu ambapo idadi kubwa ya vijana haina kazi wala bazi. Hata alikuwa amewaajiri vijana wawili wa kumwauni katika kazi yake. Waama, lau vijana wengi wangeuiga mfano wake, taifa lingepiga hatua kubwa sana kiuchumi. Hata hivyo, chambilecho mababu zetu, ungalijua alacho nyuki usingalirambaasali. Jioni moja, Tudo alilifunga duka lake kama kawaida na kuondoka kwa gari lake dogo. Kama kawaida, alielekea mjini kununua vipuri zaidi. Kulingana na wenyeji, alipenda kuviendea jioni au usiku ili apate nafasi ya kuwahudumia wateja mchana kutwa. Jamaa mmoja, mwendesha bodaboda aliamua kumfuata kisirisiri ili ajue vinakouzwa vipuri vile angaa naye akajaribu bahati yake. Ajabu ni kwamba badala ya kuingia mjini, Tudo alibeta na kushika tariki iliyotoka nje ya mji. Jamaa yule alitamauka kiasi akatamani kurudi. Hata hivyo, aliamua kuwa alishayavulia maji nguo, hakuwa na budi kuyaoga. Tudo alisimama kidogo katika eneo mojawapo, wanaume wengine watatu wakaliabiri gari lake, wakaondoka. Yule jamaa aliamua kuwafuata tu. Walifika kwenye njia panda, nje ya mji kabisa, wakaliegesha gari. Jamaa yule aliificha pikipiki yake na kusubiri. Muda si muda, lilikuja gari moja la kibinafsi lililoendeshwa kwa mwendo wa kadri. Ghafla, Tudo alilikingamisha gari lake barabarani na kumlazimisha dereva yule kulisimamisha gari lake. Wakati uo huo jamaa aliowabeba Tudo walishuka wakamrusha dereva yule nje na kuliondoa gari lake kwa kasi huku wakifuatwa nyuma na gari la Tudo. Yule jamaa mdadisi aliyashuhudia yote kutoka mafichoni. Mwenye gari alibaki pale huku amechanganyikiwa kama kuku aliyepokonywa vifaranga na mwewe. Mpelelezi wetu alitokeza mafichoni akajitambulisha kwa mhasiriwa yule. Alimchukua kwa pikipiki yake hadi kituoni mwa polisi kupiga ripoti. Jamaa wetu alielezea dhahiri shahiri jinsi alivyomfahamu Tudo na hata mahali pake pa kazi. Siku iliyofuata, Tudo aliwapata wageni wasio wa kawaida. Gari lililoibwa lilikuwa limepatikana asubuhi iyo hiyo bila vipuri kadhaa. Baada ya kujitambulisha, polisi walimtaka awaonyeshe stakabadhi alizotumia kununulia bidhaa zake. Hapo alisita na kuduwaa, jambo lililowafanya polisi kutilia uamuzi wao. Papo hapo, Tudo akatiwa pingu akisubiri kusimamishwa kizimbani.
Nani alikuwa maarufu sana mtaani
{ "text": [ "Tudo" ] }
1496_swa
Tudo alikuwa maarufu sana pale mtaani. Biashara yake ya kuuza vipuri vya magari ilinoga kutokana na mambo mawili. Kwanza, takribani kila kipuri kilipatikana pale na hata ulipokuta vimeisha ungehakikishiwa kukipata siku iliyofuata. Pili, hivi vilikuwa ni vipuri vilivyotumika; Eksi- Japani kama walivyoita wenyeji ambavyo vilipatikana kwa bei tahafifu kabisa. Tudo mwenyewe alizoea kusema kwamba bei ni makubaliano. Mtajie gari tu na kifaa unachohitaji, naye atakupa mara moja. Wengi walizipongeza sana juhudi za Tudo hususan wakati huu ambapo idadi kubwa ya vijana haina kazi wala bazi. Hata alikuwa amewaajiri vijana wawili wa kumwauni katika kazi yake. Waama, lau vijana wengi wangeuiga mfano wake, taifa lingepiga hatua kubwa sana kiuchumi. Hata hivyo, chambilecho mababu zetu, ungalijua alacho nyuki usingalirambaasali. Jioni moja, Tudo alilifunga duka lake kama kawaida na kuondoka kwa gari lake dogo. Kama kawaida, alielekea mjini kununua vipuri zaidi. Kulingana na wenyeji, alipenda kuviendea jioni au usiku ili apate nafasi ya kuwahudumia wateja mchana kutwa. Jamaa mmoja, mwendesha bodaboda aliamua kumfuata kisirisiri ili ajue vinakouzwa vipuri vile angaa naye akajaribu bahati yake. Ajabu ni kwamba badala ya kuingia mjini, Tudo alibeta na kushika tariki iliyotoka nje ya mji. Jamaa yule alitamauka kiasi akatamani kurudi. Hata hivyo, aliamua kuwa alishayavulia maji nguo, hakuwa na budi kuyaoga. Tudo alisimama kidogo katika eneo mojawapo, wanaume wengine watatu wakaliabiri gari lake, wakaondoka. Yule jamaa aliamua kuwafuata tu. Walifika kwenye njia panda, nje ya mji kabisa, wakaliegesha gari. Jamaa yule aliificha pikipiki yake na kusubiri. Muda si muda, lilikuja gari moja la kibinafsi lililoendeshwa kwa mwendo wa kadri. Ghafla, Tudo alilikingamisha gari lake barabarani na kumlazimisha dereva yule kulisimamisha gari lake. Wakati uo huo jamaa aliowabeba Tudo walishuka wakamrusha dereva yule nje na kuliondoa gari lake kwa kasi huku wakifuatwa nyuma na gari la Tudo. Yule jamaa mdadisi aliyashuhudia yote kutoka mafichoni. Mwenye gari alibaki pale huku amechanganyikiwa kama kuku aliyepokonywa vifaranga na mwewe. Mpelelezi wetu alitokeza mafichoni akajitambulisha kwa mhasiriwa yule. Alimchukua kwa pikipiki yake hadi kituoni mwa polisi kupiga ripoti. Jamaa wetu alielezea dhahiri shahiri jinsi alivyomfahamu Tudo na hata mahali pake pa kazi. Siku iliyofuata, Tudo aliwapata wageni wasio wa kawaida. Gari lililoibwa lilikuwa limepatikana asubuhi iyo hiyo bila vipuri kadhaa. Baada ya kujitambulisha, polisi walimtaka awaonyeshe stakabadhi alizotumia kununulia bidhaa zake. Hapo alisita na kuduwaa, jambo lililowafanya polisi kutilia uamuzi wao. Papo hapo, Tudo akatiwa pingu akisubiri kusimamishwa kizimbani.
Tuado alikuwa amewajiri vijana wangapi
{ "text": [ "Wawili" ] }
1496_swa
Tudo alikuwa maarufu sana pale mtaani. Biashara yake ya kuuza vipuri vya magari ilinoga kutokana na mambo mawili. Kwanza, takribani kila kipuri kilipatikana pale na hata ulipokuta vimeisha ungehakikishiwa kukipata siku iliyofuata. Pili, hivi vilikuwa ni vipuri vilivyotumika; Eksi- Japani kama walivyoita wenyeji ambavyo vilipatikana kwa bei tahafifu kabisa. Tudo mwenyewe alizoea kusema kwamba bei ni makubaliano. Mtajie gari tu na kifaa unachohitaji, naye atakupa mara moja. Wengi walizipongeza sana juhudi za Tudo hususan wakati huu ambapo idadi kubwa ya vijana haina kazi wala bazi. Hata alikuwa amewaajiri vijana wawili wa kumwauni katika kazi yake. Waama, lau vijana wengi wangeuiga mfano wake, taifa lingepiga hatua kubwa sana kiuchumi. Hata hivyo, chambilecho mababu zetu, ungalijua alacho nyuki usingalirambaasali. Jioni moja, Tudo alilifunga duka lake kama kawaida na kuondoka kwa gari lake dogo. Kama kawaida, alielekea mjini kununua vipuri zaidi. Kulingana na wenyeji, alipenda kuviendea jioni au usiku ili apate nafasi ya kuwahudumia wateja mchana kutwa. Jamaa mmoja, mwendesha bodaboda aliamua kumfuata kisirisiri ili ajue vinakouzwa vipuri vile angaa naye akajaribu bahati yake. Ajabu ni kwamba badala ya kuingia mjini, Tudo alibeta na kushika tariki iliyotoka nje ya mji. Jamaa yule alitamauka kiasi akatamani kurudi. Hata hivyo, aliamua kuwa alishayavulia maji nguo, hakuwa na budi kuyaoga. Tudo alisimama kidogo katika eneo mojawapo, wanaume wengine watatu wakaliabiri gari lake, wakaondoka. Yule jamaa aliamua kuwafuata tu. Walifika kwenye njia panda, nje ya mji kabisa, wakaliegesha gari. Jamaa yule aliificha pikipiki yake na kusubiri. Muda si muda, lilikuja gari moja la kibinafsi lililoendeshwa kwa mwendo wa kadri. Ghafla, Tudo alilikingamisha gari lake barabarani na kumlazimisha dereva yule kulisimamisha gari lake. Wakati uo huo jamaa aliowabeba Tudo walishuka wakamrusha dereva yule nje na kuliondoa gari lake kwa kasi huku wakifuatwa nyuma na gari la Tudo. Yule jamaa mdadisi aliyashuhudia yote kutoka mafichoni. Mwenye gari alibaki pale huku amechanganyikiwa kama kuku aliyepokonywa vifaranga na mwewe. Mpelelezi wetu alitokeza mafichoni akajitambulisha kwa mhasiriwa yule. Alimchukua kwa pikipiki yake hadi kituoni mwa polisi kupiga ripoti. Jamaa wetu alielezea dhahiri shahiri jinsi alivyomfahamu Tudo na hata mahali pake pa kazi. Siku iliyofuata, Tudo aliwapata wageni wasio wa kawaida. Gari lililoibwa lilikuwa limepatikana asubuhi iyo hiyo bila vipuri kadhaa. Baada ya kujitambulisha, polisi walimtaka awaonyeshe stakabadhi alizotumia kununulia bidhaa zake. Hapo alisita na kuduwaa, jambo lililowafanya polisi kutilia uamuzi wao. Papo hapo, Tudo akatiwa pingu akisubiri kusimamishwa kizimbani.
Jioni moja Tudo alifunga nini lake
{ "text": [ "Duka" ] }
1496_swa
Tudo alikuwa maarufu sana pale mtaani. Biashara yake ya kuuza vipuri vya magari ilinoga kutokana na mambo mawili. Kwanza, takribani kila kipuri kilipatikana pale na hata ulipokuta vimeisha ungehakikishiwa kukipata siku iliyofuata. Pili, hivi vilikuwa ni vipuri vilivyotumika; Eksi- Japani kama walivyoita wenyeji ambavyo vilipatikana kwa bei tahafifu kabisa. Tudo mwenyewe alizoea kusema kwamba bei ni makubaliano. Mtajie gari tu na kifaa unachohitaji, naye atakupa mara moja. Wengi walizipongeza sana juhudi za Tudo hususan wakati huu ambapo idadi kubwa ya vijana haina kazi wala bazi. Hata alikuwa amewaajiri vijana wawili wa kumwauni katika kazi yake. Waama, lau vijana wengi wangeuiga mfano wake, taifa lingepiga hatua kubwa sana kiuchumi. Hata hivyo, chambilecho mababu zetu, ungalijua alacho nyuki usingalirambaasali. Jioni moja, Tudo alilifunga duka lake kama kawaida na kuondoka kwa gari lake dogo. Kama kawaida, alielekea mjini kununua vipuri zaidi. Kulingana na wenyeji, alipenda kuviendea jioni au usiku ili apate nafasi ya kuwahudumia wateja mchana kutwa. Jamaa mmoja, mwendesha bodaboda aliamua kumfuata kisirisiri ili ajue vinakouzwa vipuri vile angaa naye akajaribu bahati yake. Ajabu ni kwamba badala ya kuingia mjini, Tudo alibeta na kushika tariki iliyotoka nje ya mji. Jamaa yule alitamauka kiasi akatamani kurudi. Hata hivyo, aliamua kuwa alishayavulia maji nguo, hakuwa na budi kuyaoga. Tudo alisimama kidogo katika eneo mojawapo, wanaume wengine watatu wakaliabiri gari lake, wakaondoka. Yule jamaa aliamua kuwafuata tu. Walifika kwenye njia panda, nje ya mji kabisa, wakaliegesha gari. Jamaa yule aliificha pikipiki yake na kusubiri. Muda si muda, lilikuja gari moja la kibinafsi lililoendeshwa kwa mwendo wa kadri. Ghafla, Tudo alilikingamisha gari lake barabarani na kumlazimisha dereva yule kulisimamisha gari lake. Wakati uo huo jamaa aliowabeba Tudo walishuka wakamrusha dereva yule nje na kuliondoa gari lake kwa kasi huku wakifuatwa nyuma na gari la Tudo. Yule jamaa mdadisi aliyashuhudia yote kutoka mafichoni. Mwenye gari alibaki pale huku amechanganyikiwa kama kuku aliyepokonywa vifaranga na mwewe. Mpelelezi wetu alitokeza mafichoni akajitambulisha kwa mhasiriwa yule. Alimchukua kwa pikipiki yake hadi kituoni mwa polisi kupiga ripoti. Jamaa wetu alielezea dhahiri shahiri jinsi alivyomfahamu Tudo na hata mahali pake pa kazi. Siku iliyofuata, Tudo aliwapata wageni wasio wa kawaida. Gari lililoibwa lilikuwa limepatikana asubuhi iyo hiyo bila vipuri kadhaa. Baada ya kujitambulisha, polisi walimtaka awaonyeshe stakabadhi alizotumia kununulia bidhaa zake. Hapo alisita na kuduwaa, jambo lililowafanya polisi kutilia uamuzi wao. Papo hapo, Tudo akatiwa pingu akisubiri kusimamishwa kizimbani.
Nnai alijitambulisha kwa mhasiriwa
{ "text": [ "Mpelelezi" ] }
1496_swa
Tudo alikuwa maarufu sana pale mtaani. Biashara yake ya kuuza vipuri vya magari ilinoga kutokana na mambo mawili. Kwanza, takribani kila kipuri kilipatikana pale na hata ulipokuta vimeisha ungehakikishiwa kukipata siku iliyofuata. Pili, hivi vilikuwa ni vipuri vilivyotumika; Eksi- Japani kama walivyoita wenyeji ambavyo vilipatikana kwa bei tahafifu kabisa. Tudo mwenyewe alizoea kusema kwamba bei ni makubaliano. Mtajie gari tu na kifaa unachohitaji, naye atakupa mara moja. Wengi walizipongeza sana juhudi za Tudo hususan wakati huu ambapo idadi kubwa ya vijana haina kazi wala bazi. Hata alikuwa amewaajiri vijana wawili wa kumwauni katika kazi yake. Waama, lau vijana wengi wangeuiga mfano wake, taifa lingepiga hatua kubwa sana kiuchumi. Hata hivyo, chambilecho mababu zetu, ungalijua alacho nyuki usingalirambaasali. Jioni moja, Tudo alilifunga duka lake kama kawaida na kuondoka kwa gari lake dogo. Kama kawaida, alielekea mjini kununua vipuri zaidi. Kulingana na wenyeji, alipenda kuviendea jioni au usiku ili apate nafasi ya kuwahudumia wateja mchana kutwa. Jamaa mmoja, mwendesha bodaboda aliamua kumfuata kisirisiri ili ajue vinakouzwa vipuri vile angaa naye akajaribu bahati yake. Ajabu ni kwamba badala ya kuingia mjini, Tudo alibeta na kushika tariki iliyotoka nje ya mji. Jamaa yule alitamauka kiasi akatamani kurudi. Hata hivyo, aliamua kuwa alishayavulia maji nguo, hakuwa na budi kuyaoga. Tudo alisimama kidogo katika eneo mojawapo, wanaume wengine watatu wakaliabiri gari lake, wakaondoka. Yule jamaa aliamua kuwafuata tu. Walifika kwenye njia panda, nje ya mji kabisa, wakaliegesha gari. Jamaa yule aliificha pikipiki yake na kusubiri. Muda si muda, lilikuja gari moja la kibinafsi lililoendeshwa kwa mwendo wa kadri. Ghafla, Tudo alilikingamisha gari lake barabarani na kumlazimisha dereva yule kulisimamisha gari lake. Wakati uo huo jamaa aliowabeba Tudo walishuka wakamrusha dereva yule nje na kuliondoa gari lake kwa kasi huku wakifuatwa nyuma na gari la Tudo. Yule jamaa mdadisi aliyashuhudia yote kutoka mafichoni. Mwenye gari alibaki pale huku amechanganyikiwa kama kuku aliyepokonywa vifaranga na mwewe. Mpelelezi wetu alitokeza mafichoni akajitambulisha kwa mhasiriwa yule. Alimchukua kwa pikipiki yake hadi kituoni mwa polisi kupiga ripoti. Jamaa wetu alielezea dhahiri shahiri jinsi alivyomfahamu Tudo na hata mahali pake pa kazi. Siku iliyofuata, Tudo aliwapata wageni wasio wa kawaida. Gari lililoibwa lilikuwa limepatikana asubuhi iyo hiyo bila vipuri kadhaa. Baada ya kujitambulisha, polisi walimtaka awaonyeshe stakabadhi alizotumia kununulia bidhaa zake. Hapo alisita na kuduwaa, jambo lililowafanya polisi kutilia uamuzi wao. Papo hapo, Tudo akatiwa pingu akisubiri kusimamishwa kizimbani.
Kwa nini Tudo alitiwa pingu
{ "text": [ "Alikuwa ameshiriki katika wizi wa gari" ] }
1497_swa
Habari kwamba taifa letu limepiga hatua kiasi cha kuondolewa kwenye orodha ya mataifa ya ulimwengu wa tatu na kujiunga na yale ya ulimwengu wa pili ni za kutia moyo. Hii ina maana kwamba sasa tunaweza kuyatosheleza mahitaji yetu bila kuenda kulilia hali kwa mataifa makuu yanayotawala uchumi wa ulimwengu. Baadhi ya misaada uliyokabidhiwa hapo awali iliandamana na masharti makali ambayo tulikubali shingo upande. Kama tujuavyo, uso wa kufadhiliwa u chini. Licha ya hayo, adinasi wengi wanasaili mpororo wa maswali. Kwao, wanashangaa ni vipi taifa kusemekana kuwa limesonga mbele ilhali wao wanaendelea kuselelea katika kitovu cha ulitima? Hali hii ina maana moja tu. Rasilimali zetu zimeongezeka lakini wanaozihodhi ni wachache. Wengine wameachiwa kutazamia pembeni tu na kuomba dua wanyeshewe na angaa mvua ya baraka siku moja. Mojawapo ya majukumu ya serikali ni kuhakikisha kwamba rasilimali zilizopo zinawaendea wote. Kupitia mfumo wa ugatuzi, kila mmoja anapaswa kulifurahia pato la taifa bila kujali alipo, umri, jinsia, kabila wala maumbile yake. Taifa ni letu sote. Kila mmoja hana budi kuzuka na mbinu yake ya kujizumbulia riziki alimuradi isiweze kukiuka sheria za nchi. Mathalani, vijana wanaweza kutumia ubunifu wao kuvumbua mbinu mwafaka za kujiendeleza. Wakianzisha miradi yao, wanaweza kupewa ruzuku na karadha na mashirika ya kiserikali ila nao wapate kupiga hatua. Vijana nao wasijipakatie mikono tu wanaposaidiwa, sharti wakazane kujifanyia wawezalo. Elimu ni njia mwafaka ya kukabiliana na uhitaji wa aina yoyote katika jamii. Vijana walio shuleni wanashauriwa kuitumia vyema nafasi waliyo nayo ili kujijengea mustakabali thabiti. Wasije kutilia nanga kisomo kabla ya kuhitimu viwango vipasavyo. Kufanya hivi kutawatumbukiza katika lindi la masaibu. Kama tujuavyo, majuto ni mjuku. Vijana wengi wameandama sana starehe na kusahau wajibu wao katika kulijenga taifa. Sharti vijulanga hawa wakumbushwe kuwa kazi mbi si mchezo mwema. Baadhi ya kazi wanazozipuuza zinaweza kuwaimarisha kiuchumi na kuliboresha taifa kwa jumla. Ni vijana wangapi wanaoyaacha mashamba makubwa kule nyumbani na kudai eti hawana kazi? Wengine hata hawadiriki kujiuliza vipawa vyao ni vipi wala hawajitahidi kuvipalilia. Maendeleo ya taifa yanahitaji ushirika wa kila mwananchi mwenye nia njema kwa taifa lake. Pamoja tuyapige vita maovu kama vile ufisadi, uzembe na mila potovu ambayo ianawafanya baadhi yetu tuwe wakunguni. Pamoja tutaweza.
Misaada iliandamana na nini
{ "text": [ "Masharti" ] }
1497_swa
Habari kwamba taifa letu limepiga hatua kiasi cha kuondolewa kwenye orodha ya mataifa ya ulimwengu wa tatu na kujiunga na yale ya ulimwengu wa pili ni za kutia moyo. Hii ina maana kwamba sasa tunaweza kuyatosheleza mahitaji yetu bila kuenda kulilia hali kwa mataifa makuu yanayotawala uchumi wa ulimwengu. Baadhi ya misaada uliyokabidhiwa hapo awali iliandamana na masharti makali ambayo tulikubali shingo upande. Kama tujuavyo, uso wa kufadhiliwa u chini. Licha ya hayo, adinasi wengi wanasaili mpororo wa maswali. Kwao, wanashangaa ni vipi taifa kusemekana kuwa limesonga mbele ilhali wao wanaendelea kuselelea katika kitovu cha ulitima? Hali hii ina maana moja tu. Rasilimali zetu zimeongezeka lakini wanaozihodhi ni wachache. Wengine wameachiwa kutazamia pembeni tu na kuomba dua wanyeshewe na angaa mvua ya baraka siku moja. Mojawapo ya majukumu ya serikali ni kuhakikisha kwamba rasilimali zilizopo zinawaendea wote. Kupitia mfumo wa ugatuzi, kila mmoja anapaswa kulifurahia pato la taifa bila kujali alipo, umri, jinsia, kabila wala maumbile yake. Taifa ni letu sote. Kila mmoja hana budi kuzuka na mbinu yake ya kujizumbulia riziki alimuradi isiweze kukiuka sheria za nchi. Mathalani, vijana wanaweza kutumia ubunifu wao kuvumbua mbinu mwafaka za kujiendeleza. Wakianzisha miradi yao, wanaweza kupewa ruzuku na karadha na mashirika ya kiserikali ila nao wapate kupiga hatua. Vijana nao wasijipakatie mikono tu wanaposaidiwa, sharti wakazane kujifanyia wawezalo. Elimu ni njia mwafaka ya kukabiliana na uhitaji wa aina yoyote katika jamii. Vijana walio shuleni wanashauriwa kuitumia vyema nafasi waliyo nayo ili kujijengea mustakabali thabiti. Wasije kutilia nanga kisomo kabla ya kuhitimu viwango vipasavyo. Kufanya hivi kutawatumbukiza katika lindi la masaibu. Kama tujuavyo, majuto ni mjuku. Vijana wengi wameandama sana starehe na kusahau wajibu wao katika kulijenga taifa. Sharti vijulanga hawa wakumbushwe kuwa kazi mbi si mchezo mwema. Baadhi ya kazi wanazozipuuza zinaweza kuwaimarisha kiuchumi na kuliboresha taifa kwa jumla. Ni vijana wangapi wanaoyaacha mashamba makubwa kule nyumbani na kudai eti hawana kazi? Wengine hata hawadiriki kujiuliza vipawa vyao ni vipi wala hawajitahidi kuvipalilia. Maendeleo ya taifa yanahitaji ushirika wa kila mwananchi mwenye nia njema kwa taifa lake. Pamoja tuyapige vita maovu kama vile ufisadi, uzembe na mila potovu ambayo ianawafanya baadhi yetu tuwe wakunguni. Pamoja tutaweza.
Raslimali zimeongezeka lakini wanaozihodhi ni wepi
{ "text": [ "Wachache" ] }
1497_swa
Habari kwamba taifa letu limepiga hatua kiasi cha kuondolewa kwenye orodha ya mataifa ya ulimwengu wa tatu na kujiunga na yale ya ulimwengu wa pili ni za kutia moyo. Hii ina maana kwamba sasa tunaweza kuyatosheleza mahitaji yetu bila kuenda kulilia hali kwa mataifa makuu yanayotawala uchumi wa ulimwengu. Baadhi ya misaada uliyokabidhiwa hapo awali iliandamana na masharti makali ambayo tulikubali shingo upande. Kama tujuavyo, uso wa kufadhiliwa u chini. Licha ya hayo, adinasi wengi wanasaili mpororo wa maswali. Kwao, wanashangaa ni vipi taifa kusemekana kuwa limesonga mbele ilhali wao wanaendelea kuselelea katika kitovu cha ulitima? Hali hii ina maana moja tu. Rasilimali zetu zimeongezeka lakini wanaozihodhi ni wachache. Wengine wameachiwa kutazamia pembeni tu na kuomba dua wanyeshewe na angaa mvua ya baraka siku moja. Mojawapo ya majukumu ya serikali ni kuhakikisha kwamba rasilimali zilizopo zinawaendea wote. Kupitia mfumo wa ugatuzi, kila mmoja anapaswa kulifurahia pato la taifa bila kujali alipo, umri, jinsia, kabila wala maumbile yake. Taifa ni letu sote. Kila mmoja hana budi kuzuka na mbinu yake ya kujizumbulia riziki alimuradi isiweze kukiuka sheria za nchi. Mathalani, vijana wanaweza kutumia ubunifu wao kuvumbua mbinu mwafaka za kujiendeleza. Wakianzisha miradi yao, wanaweza kupewa ruzuku na karadha na mashirika ya kiserikali ila nao wapate kupiga hatua. Vijana nao wasijipakatie mikono tu wanaposaidiwa, sharti wakazane kujifanyia wawezalo. Elimu ni njia mwafaka ya kukabiliana na uhitaji wa aina yoyote katika jamii. Vijana walio shuleni wanashauriwa kuitumia vyema nafasi waliyo nayo ili kujijengea mustakabali thabiti. Wasije kutilia nanga kisomo kabla ya kuhitimu viwango vipasavyo. Kufanya hivi kutawatumbukiza katika lindi la masaibu. Kama tujuavyo, majuto ni mjuku. Vijana wengi wameandama sana starehe na kusahau wajibu wao katika kulijenga taifa. Sharti vijulanga hawa wakumbushwe kuwa kazi mbi si mchezo mwema. Baadhi ya kazi wanazozipuuza zinaweza kuwaimarisha kiuchumi na kuliboresha taifa kwa jumla. Ni vijana wangapi wanaoyaacha mashamba makubwa kule nyumbani na kudai eti hawana kazi? Wengine hata hawadiriki kujiuliza vipawa vyao ni vipi wala hawajitahidi kuvipalilia. Maendeleo ya taifa yanahitaji ushirika wa kila mwananchi mwenye nia njema kwa taifa lake. Pamoja tuyapige vita maovu kama vile ufisadi, uzembe na mila potovu ambayo ianawafanya baadhi yetu tuwe wakunguni. Pamoja tutaweza.
Vijana wakianza miradi watapewa nini
{ "text": [ "Ruzuku" ] }
1497_swa
Habari kwamba taifa letu limepiga hatua kiasi cha kuondolewa kwenye orodha ya mataifa ya ulimwengu wa tatu na kujiunga na yale ya ulimwengu wa pili ni za kutia moyo. Hii ina maana kwamba sasa tunaweza kuyatosheleza mahitaji yetu bila kuenda kulilia hali kwa mataifa makuu yanayotawala uchumi wa ulimwengu. Baadhi ya misaada uliyokabidhiwa hapo awali iliandamana na masharti makali ambayo tulikubali shingo upande. Kama tujuavyo, uso wa kufadhiliwa u chini. Licha ya hayo, adinasi wengi wanasaili mpororo wa maswali. Kwao, wanashangaa ni vipi taifa kusemekana kuwa limesonga mbele ilhali wao wanaendelea kuselelea katika kitovu cha ulitima? Hali hii ina maana moja tu. Rasilimali zetu zimeongezeka lakini wanaozihodhi ni wachache. Wengine wameachiwa kutazamia pembeni tu na kuomba dua wanyeshewe na angaa mvua ya baraka siku moja. Mojawapo ya majukumu ya serikali ni kuhakikisha kwamba rasilimali zilizopo zinawaendea wote. Kupitia mfumo wa ugatuzi, kila mmoja anapaswa kulifurahia pato la taifa bila kujali alipo, umri, jinsia, kabila wala maumbile yake. Taifa ni letu sote. Kila mmoja hana budi kuzuka na mbinu yake ya kujizumbulia riziki alimuradi isiweze kukiuka sheria za nchi. Mathalani, vijana wanaweza kutumia ubunifu wao kuvumbua mbinu mwafaka za kujiendeleza. Wakianzisha miradi yao, wanaweza kupewa ruzuku na karadha na mashirika ya kiserikali ila nao wapate kupiga hatua. Vijana nao wasijipakatie mikono tu wanaposaidiwa, sharti wakazane kujifanyia wawezalo. Elimu ni njia mwafaka ya kukabiliana na uhitaji wa aina yoyote katika jamii. Vijana walio shuleni wanashauriwa kuitumia vyema nafasi waliyo nayo ili kujijengea mustakabali thabiti. Wasije kutilia nanga kisomo kabla ya kuhitimu viwango vipasavyo. Kufanya hivi kutawatumbukiza katika lindi la masaibu. Kama tujuavyo, majuto ni mjuku. Vijana wengi wameandama sana starehe na kusahau wajibu wao katika kulijenga taifa. Sharti vijulanga hawa wakumbushwe kuwa kazi mbi si mchezo mwema. Baadhi ya kazi wanazozipuuza zinaweza kuwaimarisha kiuchumi na kuliboresha taifa kwa jumla. Ni vijana wangapi wanaoyaacha mashamba makubwa kule nyumbani na kudai eti hawana kazi? Wengine hata hawadiriki kujiuliza vipawa vyao ni vipi wala hawajitahidi kuvipalilia. Maendeleo ya taifa yanahitaji ushirika wa kila mwananchi mwenye nia njema kwa taifa lake. Pamoja tuyapige vita maovu kama vile ufisadi, uzembe na mila potovu ambayo ianawafanya baadhi yetu tuwe wakunguni. Pamoja tutaweza.
Vijana wengi wameandama nini
{ "text": [ "Starehe" ] }
1497_swa
Habari kwamba taifa letu limepiga hatua kiasi cha kuondolewa kwenye orodha ya mataifa ya ulimwengu wa tatu na kujiunga na yale ya ulimwengu wa pili ni za kutia moyo. Hii ina maana kwamba sasa tunaweza kuyatosheleza mahitaji yetu bila kuenda kulilia hali kwa mataifa makuu yanayotawala uchumi wa ulimwengu. Baadhi ya misaada uliyokabidhiwa hapo awali iliandamana na masharti makali ambayo tulikubali shingo upande. Kama tujuavyo, uso wa kufadhiliwa u chini. Licha ya hayo, adinasi wengi wanasaili mpororo wa maswali. Kwao, wanashangaa ni vipi taifa kusemekana kuwa limesonga mbele ilhali wao wanaendelea kuselelea katika kitovu cha ulitima? Hali hii ina maana moja tu. Rasilimali zetu zimeongezeka lakini wanaozihodhi ni wachache. Wengine wameachiwa kutazamia pembeni tu na kuomba dua wanyeshewe na angaa mvua ya baraka siku moja. Mojawapo ya majukumu ya serikali ni kuhakikisha kwamba rasilimali zilizopo zinawaendea wote. Kupitia mfumo wa ugatuzi, kila mmoja anapaswa kulifurahia pato la taifa bila kujali alipo, umri, jinsia, kabila wala maumbile yake. Taifa ni letu sote. Kila mmoja hana budi kuzuka na mbinu yake ya kujizumbulia riziki alimuradi isiweze kukiuka sheria za nchi. Mathalani, vijana wanaweza kutumia ubunifu wao kuvumbua mbinu mwafaka za kujiendeleza. Wakianzisha miradi yao, wanaweza kupewa ruzuku na karadha na mashirika ya kiserikali ila nao wapate kupiga hatua. Vijana nao wasijipakatie mikono tu wanaposaidiwa, sharti wakazane kujifanyia wawezalo. Elimu ni njia mwafaka ya kukabiliana na uhitaji wa aina yoyote katika jamii. Vijana walio shuleni wanashauriwa kuitumia vyema nafasi waliyo nayo ili kujijengea mustakabali thabiti. Wasije kutilia nanga kisomo kabla ya kuhitimu viwango vipasavyo. Kufanya hivi kutawatumbukiza katika lindi la masaibu. Kama tujuavyo, majuto ni mjuku. Vijana wengi wameandama sana starehe na kusahau wajibu wao katika kulijenga taifa. Sharti vijulanga hawa wakumbushwe kuwa kazi mbi si mchezo mwema. Baadhi ya kazi wanazozipuuza zinaweza kuwaimarisha kiuchumi na kuliboresha taifa kwa jumla. Ni vijana wangapi wanaoyaacha mashamba makubwa kule nyumbani na kudai eti hawana kazi? Wengine hata hawadiriki kujiuliza vipawa vyao ni vipi wala hawajitahidi kuvipalilia. Maendeleo ya taifa yanahitaji ushirika wa kila mwananchi mwenye nia njema kwa taifa lake. Pamoja tuyapige vita maovu kama vile ufisadi, uzembe na mila potovu ambayo ianawafanya baadhi yetu tuwe wakunguni. Pamoja tutaweza.
Kwa nini tupigane na ufisadi, uzembe na mila potovu
{ "text": [ "Ili tuwe na maendeleo ya taifa" ] }
1498_swa
Mwendo wa saa mbili na ushei, lango la tarabe lilifunguliwa taratibu. Ni mara chache sana ambapo Gangara aliweza kuiona sehemu ya nje ya lango hili. Awali, aliliona pale tu walipopelekwa pamoja na wafungwa wenzake, chini ya ulinzi mkali, ama kuenda kunadhifisha mji au kushiriki shughuli nyinginezo kama walivyohitajika. Lango hili limemdhibiti kwa nusu mwongo sasa japo kwa Gangara, hii ni miongo mitano! Lakini leo, imesibu kuwa hauchi hauchi kunakucha. Wake umekucha che! na kumwangazia waa! Kwa nuru ya uhuru. Kumbukumbu za Gangara zilimregesha katika siku zake za kisogoni, akakumbuka akiwa danga la mwana katika shule ya msingi ya Maarifa. Wavyele wake walalahai, walijifunga mkanja mwanao akapata hiki na kile, mradi aweze kujitegemea na kuwa taa iwapo yatakuwa majaliwa. Siku zote Gangara akiahidi kuinamia cha mvunguni na kuibuka na mzo wa maarifa. Katika mwaka wake wa saba katika shule ya msingi, Gangara aliwapata mahabubu watundu akanolewa akapata. Kufumba na kufumbua, akajipata ameabiri dau la mihadarati. Kila siku, wavyele wake walisikika wakilaani kwamba fulusi zao zilitoweka kimiujiza. Ambalo hawakujua ni kwamba njenje zao zilitumika kugharamia starehe za mwana wao. Baadhi ya vitu vya thamani aidha vilianza kuota mbawa kiajabuajabu. Baada ya kushauriana, wavyele walikata shauri la kutolewa fedha chumbani. Gangara alipohojiwa alikula mori na kuanza kuwakaripia wavyele wake. "Hivi mmenikosea thamani kiasi cha kuniita pwagu. Tazameni mlivyonitelekeza. Hata masrufu hamnipi tena. Mbona mlinizaa kuja kunitesa? “Alisaili kwa uchungu. Mama mtu alipojaribu kumtuliza mwanawe alifunguliwa mfereji wa matusi akapigwa na mughma. Hakuamini masikio yake. “Huyu ni yule mwanangu niliyemzaa, nikamwamisha na kumchuchia? Leo hii anathubutu kunisagua kiasi hiki? Ama kweli, ivushayo ni mbovu. Hapo alilia hadi kifua kikalowana kabisa kwa machozi. Jioni iyo hiyo Gangara aliwasimulia wenzake masaibu yake wakamsikitikia sana. Siku iyo hiyo walikula njama kutorokea mjini. Walipofika huko, walitumia akali ya fulusi waliyokuwa nayo kununulia mihadarati na kushiriki anasa. Walichosahau ni kuwa chovyachovya humaliza buyu la asali. Pesa zilipotindika waliamua kuingilia uhalifu ili kukidhi mahitaji yao. Awali walivamia gereji moja na kuiba vipuri vya magari. Baadaye waliviuza kwa bei ya kutupa na kuendesha maisha yao. Ujanja wao uliishia jangwani usiku mmoja waliponaswa na polisi walioshika doria. Hawakuweza kueleza walikotoka usiku huo wala walikopata vipuri vya magari. Basi walinda usalama wakajijazia. Visa vya wizi wa vipuri vilikuwa vimeshamiri mkoani humo. Hatimaye Gangara na wenzake walifunguliwa mashtaka na kuhukumiwa. Gangara mwenyewe hakuona haja ya kukata rufaa. Ushahidi dhidi yake haukuwa na ati-ati. Wenzake walishindwa kuvumilia mateso gerezani wakasalimu amri. Mmoja wao aliugua na kukata kamba. Mwenzake naye alishiriki mapigano akaangamizwa na mfungwa mwenzake. Kwa Gangara, ilikuwa heri nusu ya shari kuliko shari kamili. Wakati huu, Gangara aliona jambo moja tu. Alitaka kuwaona wavyele wake awaangukie miguuni na kulia kama mtoto mdogo. Alitamani afike kama yule Mwana Mpotevu na kuomba radhi zao. Tayari , machozi ya majonzi yalikuwa yakimdondoka ndo ndo ndo!
Gangara alikuwa nani katika jamii?
{ "text": [ "Mfungwa" ] }
1498_swa
Mwendo wa saa mbili na ushei, lango la tarabe lilifunguliwa taratibu. Ni mara chache sana ambapo Gangara aliweza kuiona sehemu ya nje ya lango hili. Awali, aliliona pale tu walipopelekwa pamoja na wafungwa wenzake, chini ya ulinzi mkali, ama kuenda kunadhifisha mji au kushiriki shughuli nyinginezo kama walivyohitajika. Lango hili limemdhibiti kwa nusu mwongo sasa japo kwa Gangara, hii ni miongo mitano! Lakini leo, imesibu kuwa hauchi hauchi kunakucha. Wake umekucha che! na kumwangazia waa! Kwa nuru ya uhuru. Kumbukumbu za Gangara zilimregesha katika siku zake za kisogoni, akakumbuka akiwa danga la mwana katika shule ya msingi ya Maarifa. Wavyele wake walalahai, walijifunga mkanja mwanao akapata hiki na kile, mradi aweze kujitegemea na kuwa taa iwapo yatakuwa majaliwa. Siku zote Gangara akiahidi kuinamia cha mvunguni na kuibuka na mzo wa maarifa. Katika mwaka wake wa saba katika shule ya msingi, Gangara aliwapata mahabubu watundu akanolewa akapata. Kufumba na kufumbua, akajipata ameabiri dau la mihadarati. Kila siku, wavyele wake walisikika wakilaani kwamba fulusi zao zilitoweka kimiujiza. Ambalo hawakujua ni kwamba njenje zao zilitumika kugharamia starehe za mwana wao. Baadhi ya vitu vya thamani aidha vilianza kuota mbawa kiajabuajabu. Baada ya kushauriana, wavyele walikata shauri la kutolewa fedha chumbani. Gangara alipohojiwa alikula mori na kuanza kuwakaripia wavyele wake. "Hivi mmenikosea thamani kiasi cha kuniita pwagu. Tazameni mlivyonitelekeza. Hata masrufu hamnipi tena. Mbona mlinizaa kuja kunitesa? “Alisaili kwa uchungu. Mama mtu alipojaribu kumtuliza mwanawe alifunguliwa mfereji wa matusi akapigwa na mughma. Hakuamini masikio yake. “Huyu ni yule mwanangu niliyemzaa, nikamwamisha na kumchuchia? Leo hii anathubutu kunisagua kiasi hiki? Ama kweli, ivushayo ni mbovu. Hapo alilia hadi kifua kikalowana kabisa kwa machozi. Jioni iyo hiyo Gangara aliwasimulia wenzake masaibu yake wakamsikitikia sana. Siku iyo hiyo walikula njama kutorokea mjini. Walipofika huko, walitumia akali ya fulusi waliyokuwa nayo kununulia mihadarati na kushiriki anasa. Walichosahau ni kuwa chovyachovya humaliza buyu la asali. Pesa zilipotindika waliamua kuingilia uhalifu ili kukidhi mahitaji yao. Awali walivamia gereji moja na kuiba vipuri vya magari. Baadaye waliviuza kwa bei ya kutupa na kuendesha maisha yao. Ujanja wao uliishia jangwani usiku mmoja waliponaswa na polisi walioshika doria. Hawakuweza kueleza walikotoka usiku huo wala walikopata vipuri vya magari. Basi walinda usalama wakajijazia. Visa vya wizi wa vipuri vilikuwa vimeshamiri mkoani humo. Hatimaye Gangara na wenzake walifunguliwa mashtaka na kuhukumiwa. Gangara mwenyewe hakuona haja ya kukata rufaa. Ushahidi dhidi yake haukuwa na ati-ati. Wenzake walishindwa kuvumilia mateso gerezani wakasalimu amri. Mmoja wao aliugua na kukata kamba. Mwenzake naye alishiriki mapigano akaangamizwa na mfungwa mwenzake. Kwa Gangara, ilikuwa heri nusu ya shari kuliko shari kamili. Wakati huu, Gangara aliona jambo moja tu. Alitaka kuwaona wavyele wake awaangukie miguuni na kulia kama mtoto mdogo. Alitamani afike kama yule Mwana Mpotevu na kuomba radhi zao. Tayari , machozi ya majonzi yalikuwa yakimdondoka ndo ndo ndo!
Gangara alisomea shule ipi ya msingi?
{ "text": [ "Maarifa" ] }
1498_swa
Mwendo wa saa mbili na ushei, lango la tarabe lilifunguliwa taratibu. Ni mara chache sana ambapo Gangara aliweza kuiona sehemu ya nje ya lango hili. Awali, aliliona pale tu walipopelekwa pamoja na wafungwa wenzake, chini ya ulinzi mkali, ama kuenda kunadhifisha mji au kushiriki shughuli nyinginezo kama walivyohitajika. Lango hili limemdhibiti kwa nusu mwongo sasa japo kwa Gangara, hii ni miongo mitano! Lakini leo, imesibu kuwa hauchi hauchi kunakucha. Wake umekucha che! na kumwangazia waa! Kwa nuru ya uhuru. Kumbukumbu za Gangara zilimregesha katika siku zake za kisogoni, akakumbuka akiwa danga la mwana katika shule ya msingi ya Maarifa. Wavyele wake walalahai, walijifunga mkanja mwanao akapata hiki na kile, mradi aweze kujitegemea na kuwa taa iwapo yatakuwa majaliwa. Siku zote Gangara akiahidi kuinamia cha mvunguni na kuibuka na mzo wa maarifa. Katika mwaka wake wa saba katika shule ya msingi, Gangara aliwapata mahabubu watundu akanolewa akapata. Kufumba na kufumbua, akajipata ameabiri dau la mihadarati. Kila siku, wavyele wake walisikika wakilaani kwamba fulusi zao zilitoweka kimiujiza. Ambalo hawakujua ni kwamba njenje zao zilitumika kugharamia starehe za mwana wao. Baadhi ya vitu vya thamani aidha vilianza kuota mbawa kiajabuajabu. Baada ya kushauriana, wavyele walikata shauri la kutolewa fedha chumbani. Gangara alipohojiwa alikula mori na kuanza kuwakaripia wavyele wake. "Hivi mmenikosea thamani kiasi cha kuniita pwagu. Tazameni mlivyonitelekeza. Hata masrufu hamnipi tena. Mbona mlinizaa kuja kunitesa? “Alisaili kwa uchungu. Mama mtu alipojaribu kumtuliza mwanawe alifunguliwa mfereji wa matusi akapigwa na mughma. Hakuamini masikio yake. “Huyu ni yule mwanangu niliyemzaa, nikamwamisha na kumchuchia? Leo hii anathubutu kunisagua kiasi hiki? Ama kweli, ivushayo ni mbovu. Hapo alilia hadi kifua kikalowana kabisa kwa machozi. Jioni iyo hiyo Gangara aliwasimulia wenzake masaibu yake wakamsikitikia sana. Siku iyo hiyo walikula njama kutorokea mjini. Walipofika huko, walitumia akali ya fulusi waliyokuwa nayo kununulia mihadarati na kushiriki anasa. Walichosahau ni kuwa chovyachovya humaliza buyu la asali. Pesa zilipotindika waliamua kuingilia uhalifu ili kukidhi mahitaji yao. Awali walivamia gereji moja na kuiba vipuri vya magari. Baadaye waliviuza kwa bei ya kutupa na kuendesha maisha yao. Ujanja wao uliishia jangwani usiku mmoja waliponaswa na polisi walioshika doria. Hawakuweza kueleza walikotoka usiku huo wala walikopata vipuri vya magari. Basi walinda usalama wakajijazia. Visa vya wizi wa vipuri vilikuwa vimeshamiri mkoani humo. Hatimaye Gangara na wenzake walifunguliwa mashtaka na kuhukumiwa. Gangara mwenyewe hakuona haja ya kukata rufaa. Ushahidi dhidi yake haukuwa na ati-ati. Wenzake walishindwa kuvumilia mateso gerezani wakasalimu amri. Mmoja wao aliugua na kukata kamba. Mwenzake naye alishiriki mapigano akaangamizwa na mfungwa mwenzake. Kwa Gangara, ilikuwa heri nusu ya shari kuliko shari kamili. Wakati huu, Gangara aliona jambo moja tu. Alitaka kuwaona wavyele wake awaangukie miguuni na kulia kama mtoto mdogo. Alitamani afike kama yule Mwana Mpotevu na kuomba radhi zao. Tayari , machozi ya majonzi yalikuwa yakimdondoka ndo ndo ndo!
Gangara alianza kutumia mihadarati akiwa katika darasa lipi?
{ "text": [ "La saba" ] }