Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
1535_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii hukashifu watu kutii kila wanachoambiwa na watu waliowazidi umri kwa sababu wasipotii huweza kupata tatizo na hatimaye kujuta na majuto ni mjukuu,huja kinyume. Katika kata ndogo ya Kimamaji, paliondokea kijana mmoja kwa jina Yakobo. Yakobo alizaliwa kwenye familia ya walala heri, kwa hivyo alidekezwa kama yai. Alikuwa ndiye mwana kwenye ndoa ya Bwana na Bi Mwajuma. Yakobo alipofika umri wa kwenda shuleni, alipelekwa kwenye shule moja ya kifahari katika jimbo hilo. Kila alichotaka wazazi wake walijikaza kisabuni ili mwana wao awe na furaha. Kwenye shule, hapo mwanzo Yakobo alitia bidii za mchwa na alikuwa mwenye nidhamu ya hali ya juu, walimu pamoja na wanafunzi wenzake walimpenda sana hadi wakamteua kuwa kiranja mkuu shuleni. Kwenye mtihani, Yakobo alifaulu vyema na walimu walizidi kumtuza na kumsifu. Kwa kweli, tembo akisifiwa, tembo hulitia maji. Yakobo alianza kugeuka ghafla. Alianza kujiunga na makundi mabaya ya vijana wenzake. Mwalimu mkuu hakuchelewa kugundua haya, alimwonya Yakobo dhidi ya kujiunga na vijana hao kwa sababu alijua kuwa atembeaye na pwagu ni pwagu. Yakobo alibadilika na akawa anawadharau walimu, wanafunzi na hata wazazi wake. Walimu wake walijitolea kwa udi na uvumba kumwonya lakini masikio ya kura hayasikii dawa kamwe. Wazazi wake nao walijaribu lakini juhudi zao hazikufua dafu. Baada ya kufika kwenye darasa la saba, Yakobo alizidi kuwa mtukutu zaidi. Walimu nao hawakufa roho kumwonya kwa kuwa walijua penye nia pana njia. Yakobo, kwa kukara kurikiza, alijiunga na kikundi cha kutumia dawa za kulevya. Baada ya miezi sita, Yakobo alitoroka shuleni na kujiunga na kundi moja la wezi. Aliporipotiwa kwenye chifu na wakuu wengine kujini, Yakobo aliwadharau na kuwaacha vinywa wazi kwenye boma lao. Miaka zilipozidi kusonga, Yakobo alizidi kukua na kuwa pwagu mkuu. Aliwapora watu kwenye kila eneo la kijiji chao na hata akazidisha na kwenda kwenye vijiji vinginevyo. Kazi yake Yakobo ilikuwa ni kuwaibia watu na hata akazidi na kuanza kuuza dawa za kulevya. Lakini kama walivyosema wahenga, siku za mwizi ni arobaini, siku yake Yakobo ilifika. Alijiunga na kundi la wezi ambao waliweza kuiba kwenye benki. Aliweza kuiba na kufaulu kwenye benki kadhaa. Kwa kweli, siku ya nyani kufa, miti yote huteleza. Yakobo waliweza kuingia kwenye benki kuu na walinda usalama walikuwa tayari. Yakobo aliweza kuponea kifo chupuchupu baada ya kupigwa risasi kwenye miguu yake yote. Ilibidi miguo yake ikatwe na Yakobo akabakia kuwa kilema. Wazazi wake walilia kwi kwi kwi, lakini maji yakimwagika hayazoleki. Yahobo alijuta lakini majuto ni mjukuu na huja kinyume, hapo ndipo nilipojua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Yakobo alitoroka shuleni baada ya miezi mingapi
{ "text": [ "Sita" ] }
1535_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii hukashifu watu kutii kila wanachoambiwa na watu waliowazidi umri kwa sababu wasipotii huweza kupata tatizo na hatimaye kujuta na majuto ni mjukuu,huja kinyume. Katika kata ndogo ya Kimamaji, paliondokea kijana mmoja kwa jina Yakobo. Yakobo alizaliwa kwenye familia ya walala heri, kwa hivyo alidekezwa kama yai. Alikuwa ndiye mwana kwenye ndoa ya Bwana na Bi Mwajuma. Yakobo alipofika umri wa kwenda shuleni, alipelekwa kwenye shule moja ya kifahari katika jimbo hilo. Kila alichotaka wazazi wake walijikaza kisabuni ili mwana wao awe na furaha. Kwenye shule, hapo mwanzo Yakobo alitia bidii za mchwa na alikuwa mwenye nidhamu ya hali ya juu, walimu pamoja na wanafunzi wenzake walimpenda sana hadi wakamteua kuwa kiranja mkuu shuleni. Kwenye mtihani, Yakobo alifaulu vyema na walimu walizidi kumtuza na kumsifu. Kwa kweli, tembo akisifiwa, tembo hulitia maji. Yakobo alianza kugeuka ghafla. Alianza kujiunga na makundi mabaya ya vijana wenzake. Mwalimu mkuu hakuchelewa kugundua haya, alimwonya Yakobo dhidi ya kujiunga na vijana hao kwa sababu alijua kuwa atembeaye na pwagu ni pwagu. Yakobo alibadilika na akawa anawadharau walimu, wanafunzi na hata wazazi wake. Walimu wake walijitolea kwa udi na uvumba kumwonya lakini masikio ya kura hayasikii dawa kamwe. Wazazi wake nao walijaribu lakini juhudi zao hazikufua dafu. Baada ya kufika kwenye darasa la saba, Yakobo alizidi kuwa mtukutu zaidi. Walimu nao hawakufa roho kumwonya kwa kuwa walijua penye nia pana njia. Yakobo, kwa kukara kurikiza, alijiunga na kikundi cha kutumia dawa za kulevya. Baada ya miezi sita, Yakobo alitoroka shuleni na kujiunga na kundi moja la wezi. Aliporipotiwa kwenye chifu na wakuu wengine kujini, Yakobo aliwadharau na kuwaacha vinywa wazi kwenye boma lao. Miaka zilipozidi kusonga, Yakobo alizidi kukua na kuwa pwagu mkuu. Aliwapora watu kwenye kila eneo la kijiji chao na hata akazidisha na kwenda kwenye vijiji vinginevyo. Kazi yake Yakobo ilikuwa ni kuwaibia watu na hata akazidi na kuanza kuuza dawa za kulevya. Lakini kama walivyosema wahenga, siku za mwizi ni arobaini, siku yake Yakobo ilifika. Alijiunga na kundi la wezi ambao waliweza kuiba kwenye benki. Aliweza kuiba na kufaulu kwenye benki kadhaa. Kwa kweli, siku ya nyani kufa, miti yote huteleza. Yakobo waliweza kuingia kwenye benki kuu na walinda usalama walikuwa tayari. Yakobo aliweza kuponea kifo chupuchupu baada ya kupigwa risasi kwenye miguu yake yote. Ilibidi miguo yake ikatwe na Yakobo akabakia kuwa kilema. Wazazi wake walilia kwi kwi kwi, lakini maji yakimwagika hayazoleki. Yahobo alijuta lakini majuto ni mjukuu na huja kinyume, hapo ndipo nilipojua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Familia ya Yakobo iliishi katika Kata ipi
{ "text": [ "Kisimamaji" ] }
1536_swa
MANUFAA YA KILIMO Mkono mtupu haulambwi, kama alivyozidi kuniambia Bi Dama, na hivyo basi adinasi wengi wameweza kujitoza katika biashara mbali mbali ili kulitia tonge mdomoni mwao, ila wapo wasiotambua kilimo na hivyo basi kujitoza katika nyanja tofauti tofauti zisizo na manufaa. Huu ndio uti wa mgongo katika taifa lolote lile, ingawa wengi hususia na kusema kuwa ni kazi ya mgongo chini jembe mkononi. Ijapokuwa ndivyo wanavyoona kilimo, nayo ina manufaa zaidi ya maneno yao. Kilimo huongeza kiasi cha chakula nchini kutokana na mavuno yatokayo kwenye makonde na maeneo mengi nchini. Si haba kuwa uwezo wa nchi kuwa imara na ya uwezo wa kiamarika lazima chakula kiwe cha wingi ili wazalendo wake wajivunie nchi yao badala ya kusafiri nchi jirani. Chakula pia kimeweza kusafirishwa sehemu ambazo huwa na uhaba wa mvua na hata nchi nyingine mbali mbali na hivyo basi kuimarisha undugu baina ya nchi moja kwa nyingine. Kutokana na kilimo, ujenzi wa viwanda tofauti vinavyohusishwa na kilimo vimeweza kuongezeka nchini. Ongezeko hili la viwanda limeweza kuwa la manufaa kwani limeweza kuwapa watu ajira. Vijana wameweza kuajiriwa katika viwanda mbali mbali hivyo basi kusababisha upungufu wa visa vya uhalifu kama vile wizi, mauaji, matumizi ya mihadarati na pia ubakaji. Ni kongole kubwa kwa kilimo. Kutokana na ujenzi wa viwanda, uimarishaji wa sekta mbali mbali umefuata, kama vile ujenzi wa barabara. Ujenzi wa barabara umewezesha mavuno kusafirishwa kutoka mashambani kuelekea viwandani and kutoka viwandani kwenda sokoni na sehemu za mahitaji. Kutokana na ujenzi wa barabara au njia nzuri, kilimo kimeweza kuleta ukuaji na uimarishaji katika biashara na hivyo basi kuongeza idadi ya maduka ya biashara. Katika biashara, nchi imeweza kujihusisha katika mashindano ya biashara na hivyo kujipima na nchi zingine. Pia, kilimo kimeweza kuongeza idadi ya watu nchini hivyo basi kukuza umoja katika nchi tofauti. Ni bora kujihusisha na kilimo na hivyo basi kuimarisha ukuaji na ubora wake katika nyanja tofauti tofauti.
Nani alimwambia kuwa mkono mtupu haulambwi
{ "text": [ "Bi. Dama" ] }
1536_swa
MANUFAA YA KILIMO Mkono mtupu haulambwi, kama alivyozidi kuniambia Bi Dama, na hivyo basi adinasi wengi wameweza kujitoza katika biashara mbali mbali ili kulitia tonge mdomoni mwao, ila wapo wasiotambua kilimo na hivyo basi kujitoza katika nyanja tofauti tofauti zisizo na manufaa. Huu ndio uti wa mgongo katika taifa lolote lile, ingawa wengi hususia na kusema kuwa ni kazi ya mgongo chini jembe mkononi. Ijapokuwa ndivyo wanavyoona kilimo, nayo ina manufaa zaidi ya maneno yao. Kilimo huongeza kiasi cha chakula nchini kutokana na mavuno yatokayo kwenye makonde na maeneo mengi nchini. Si haba kuwa uwezo wa nchi kuwa imara na ya uwezo wa kiamarika lazima chakula kiwe cha wingi ili wazalendo wake wajivunie nchi yao badala ya kusafiri nchi jirani. Chakula pia kimeweza kusafirishwa sehemu ambazo huwa na uhaba wa mvua na hata nchi nyingine mbali mbali na hivyo basi kuimarisha undugu baina ya nchi moja kwa nyingine. Kutokana na kilimo, ujenzi wa viwanda tofauti vinavyohusishwa na kilimo vimeweza kuongezeka nchini. Ongezeko hili la viwanda limeweza kuwa la manufaa kwani limeweza kuwapa watu ajira. Vijana wameweza kuajiriwa katika viwanda mbali mbali hivyo basi kusababisha upungufu wa visa vya uhalifu kama vile wizi, mauaji, matumizi ya mihadarati na pia ubakaji. Ni kongole kubwa kwa kilimo. Kutokana na ujenzi wa viwanda, uimarishaji wa sekta mbali mbali umefuata, kama vile ujenzi wa barabara. Ujenzi wa barabara umewezesha mavuno kusafirishwa kutoka mashambani kuelekea viwandani and kutoka viwandani kwenda sokoni na sehemu za mahitaji. Kutokana na ujenzi wa barabara au njia nzuri, kilimo kimeweza kuleta ukuaji na uimarishaji katika biashara na hivyo basi kuongeza idadi ya maduka ya biashara. Katika biashara, nchi imeweza kujihusisha katika mashindano ya biashara na hivyo kujipima na nchi zingine. Pia, kilimo kimeweza kuongeza idadi ya watu nchini hivyo basi kukuza umoja katika nchi tofauti. Ni bora kujihusisha na kilimo na hivyo basi kuimarisha ukuaji na ubora wake katika nyanja tofauti tofauti.
Kilimo huongeza idadi ya nini
{ "text": [ "Chakula" ] }
1536_swa
MANUFAA YA KILIMO Mkono mtupu haulambwi, kama alivyozidi kuniambia Bi Dama, na hivyo basi adinasi wengi wameweza kujitoza katika biashara mbali mbali ili kulitia tonge mdomoni mwao, ila wapo wasiotambua kilimo na hivyo basi kujitoza katika nyanja tofauti tofauti zisizo na manufaa. Huu ndio uti wa mgongo katika taifa lolote lile, ingawa wengi hususia na kusema kuwa ni kazi ya mgongo chini jembe mkononi. Ijapokuwa ndivyo wanavyoona kilimo, nayo ina manufaa zaidi ya maneno yao. Kilimo huongeza kiasi cha chakula nchini kutokana na mavuno yatokayo kwenye makonde na maeneo mengi nchini. Si haba kuwa uwezo wa nchi kuwa imara na ya uwezo wa kiamarika lazima chakula kiwe cha wingi ili wazalendo wake wajivunie nchi yao badala ya kusafiri nchi jirani. Chakula pia kimeweza kusafirishwa sehemu ambazo huwa na uhaba wa mvua na hata nchi nyingine mbali mbali na hivyo basi kuimarisha undugu baina ya nchi moja kwa nyingine. Kutokana na kilimo, ujenzi wa viwanda tofauti vinavyohusishwa na kilimo vimeweza kuongezeka nchini. Ongezeko hili la viwanda limeweza kuwa la manufaa kwani limeweza kuwapa watu ajira. Vijana wameweza kuajiriwa katika viwanda mbali mbali hivyo basi kusababisha upungufu wa visa vya uhalifu kama vile wizi, mauaji, matumizi ya mihadarati na pia ubakaji. Ni kongole kubwa kwa kilimo. Kutokana na ujenzi wa viwanda, uimarishaji wa sekta mbali mbali umefuata, kama vile ujenzi wa barabara. Ujenzi wa barabara umewezesha mavuno kusafirishwa kutoka mashambani kuelekea viwandani and kutoka viwandani kwenda sokoni na sehemu za mahitaji. Kutokana na ujenzi wa barabara au njia nzuri, kilimo kimeweza kuleta ukuaji na uimarishaji katika biashara na hivyo basi kuongeza idadi ya maduka ya biashara. Katika biashara, nchi imeweza kujihusisha katika mashindano ya biashara na hivyo kujipima na nchi zingine. Pia, kilimo kimeweza kuongeza idadi ya watu nchini hivyo basi kukuza umoja katika nchi tofauti. Ni bora kujihusisha na kilimo na hivyo basi kuimarisha ukuaji na ubora wake katika nyanja tofauti tofauti.
Ni nini imesaidia kuongezeka kwa viwanda
{ "text": [ "Kilimo" ] }
1536_swa
MANUFAA YA KILIMO Mkono mtupu haulambwi, kama alivyozidi kuniambia Bi Dama, na hivyo basi adinasi wengi wameweza kujitoza katika biashara mbali mbali ili kulitia tonge mdomoni mwao, ila wapo wasiotambua kilimo na hivyo basi kujitoza katika nyanja tofauti tofauti zisizo na manufaa. Huu ndio uti wa mgongo katika taifa lolote lile, ingawa wengi hususia na kusema kuwa ni kazi ya mgongo chini jembe mkononi. Ijapokuwa ndivyo wanavyoona kilimo, nayo ina manufaa zaidi ya maneno yao. Kilimo huongeza kiasi cha chakula nchini kutokana na mavuno yatokayo kwenye makonde na maeneo mengi nchini. Si haba kuwa uwezo wa nchi kuwa imara na ya uwezo wa kiamarika lazima chakula kiwe cha wingi ili wazalendo wake wajivunie nchi yao badala ya kusafiri nchi jirani. Chakula pia kimeweza kusafirishwa sehemu ambazo huwa na uhaba wa mvua na hata nchi nyingine mbali mbali na hivyo basi kuimarisha undugu baina ya nchi moja kwa nyingine. Kutokana na kilimo, ujenzi wa viwanda tofauti vinavyohusishwa na kilimo vimeweza kuongezeka nchini. Ongezeko hili la viwanda limeweza kuwa la manufaa kwani limeweza kuwapa watu ajira. Vijana wameweza kuajiriwa katika viwanda mbali mbali hivyo basi kusababisha upungufu wa visa vya uhalifu kama vile wizi, mauaji, matumizi ya mihadarati na pia ubakaji. Ni kongole kubwa kwa kilimo. Kutokana na ujenzi wa viwanda, uimarishaji wa sekta mbali mbali umefuata, kama vile ujenzi wa barabara. Ujenzi wa barabara umewezesha mavuno kusafirishwa kutoka mashambani kuelekea viwandani and kutoka viwandani kwenda sokoni na sehemu za mahitaji. Kutokana na ujenzi wa barabara au njia nzuri, kilimo kimeweza kuleta ukuaji na uimarishaji katika biashara na hivyo basi kuongeza idadi ya maduka ya biashara. Katika biashara, nchi imeweza kujihusisha katika mashindano ya biashara na hivyo kujipima na nchi zingine. Pia, kilimo kimeweza kuongeza idadi ya watu nchini hivyo basi kukuza umoja katika nchi tofauti. Ni bora kujihusisha na kilimo na hivyo basi kuimarisha ukuaji na ubora wake katika nyanja tofauti tofauti.
Kuimarika kwa nini kumesababisha mavuno kusafirishwa
{ "text": [ "Barabara" ] }
1536_swa
MANUFAA YA KILIMO Mkono mtupu haulambwi, kama alivyozidi kuniambia Bi Dama, na hivyo basi adinasi wengi wameweza kujitoza katika biashara mbali mbali ili kulitia tonge mdomoni mwao, ila wapo wasiotambua kilimo na hivyo basi kujitoza katika nyanja tofauti tofauti zisizo na manufaa. Huu ndio uti wa mgongo katika taifa lolote lile, ingawa wengi hususia na kusema kuwa ni kazi ya mgongo chini jembe mkononi. Ijapokuwa ndivyo wanavyoona kilimo, nayo ina manufaa zaidi ya maneno yao. Kilimo huongeza kiasi cha chakula nchini kutokana na mavuno yatokayo kwenye makonde na maeneo mengi nchini. Si haba kuwa uwezo wa nchi kuwa imara na ya uwezo wa kiamarika lazima chakula kiwe cha wingi ili wazalendo wake wajivunie nchi yao badala ya kusafiri nchi jirani. Chakula pia kimeweza kusafirishwa sehemu ambazo huwa na uhaba wa mvua na hata nchi nyingine mbali mbali na hivyo basi kuimarisha undugu baina ya nchi moja kwa nyingine. Kutokana na kilimo, ujenzi wa viwanda tofauti vinavyohusishwa na kilimo vimeweza kuongezeka nchini. Ongezeko hili la viwanda limeweza kuwa la manufaa kwani limeweza kuwapa watu ajira. Vijana wameweza kuajiriwa katika viwanda mbali mbali hivyo basi kusababisha upungufu wa visa vya uhalifu kama vile wizi, mauaji, matumizi ya mihadarati na pia ubakaji. Ni kongole kubwa kwa kilimo. Kutokana na ujenzi wa viwanda, uimarishaji wa sekta mbali mbali umefuata, kama vile ujenzi wa barabara. Ujenzi wa barabara umewezesha mavuno kusafirishwa kutoka mashambani kuelekea viwandani and kutoka viwandani kwenda sokoni na sehemu za mahitaji. Kutokana na ujenzi wa barabara au njia nzuri, kilimo kimeweza kuleta ukuaji na uimarishaji katika biashara na hivyo basi kuongeza idadi ya maduka ya biashara. Katika biashara, nchi imeweza kujihusisha katika mashindano ya biashara na hivyo kujipima na nchi zingine. Pia, kilimo kimeweza kuongeza idadi ya watu nchini hivyo basi kukuza umoja katika nchi tofauti. Ni bora kujihusisha na kilimo na hivyo basi kuimarisha ukuaji na ubora wake katika nyanja tofauti tofauti.
Kwa nini idadi ya maduka huongezeka
{ "text": [ "Kutokana na uimarikaji wa biashara." ] }
1537_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI JINSI AMBAVYO WANAWEZA KUIMARISHA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA Mwalimu: Karibu mlango u wazi Mwanafunzi: Nilifungua mlango. Mwalimu: (alipoona ni mimi alinikaribisha vyema) Aaah! Karibu mwanafunzi wangu. Karibia uketi. Mwanafunzi: Asanti sana mwalimu, nishakaribia. Mwalimu: U hali gani? Natumai uko buheri wa afya? Mwanafunzi: Naam mwalimu, mimi ni shwari, ni buheri wa afya namshukuru Maulana. Mwalimu: Asanti sana kwa kuskia wito wangu. Sababu kuu ya kukuita hapa ni kwamba wewe kama mwanafunzi wa kidato cha nne, ningependa unieleze jinsi ambavyo tutaweza kuimarisha matokeo yetu sisi kama shule. Mwanafunzi: Mwalimu hoja hii pia nami nimekuwa nikifiria vile ambavyo ningepata wakati nije tuzungumze nawe. Kuna Changamoto hasa ambazo wanafunzi wanapitia na kuna namna ambayo tunaweza kuzitatua. Wanafunzi wengi wana uzoefu wa kutohudhuria somo kadhaa na walimu hata hawaulizi au kutilia mkazo kwa nini hawajahudhuria. Mwalimu: Hilo ndilo donda sugu hapa na kama walimu hatujui jinsi ambavyo tunaweza kulitatua. Nikiuliza, kwa nini wanafunzi hawa hawataki kuhudhuria masomo mengine? Mwanafunzi: Mwalimu, swali hilo ni swali baligha kwa kuwa amimi binafsi nimejaribu kuwauliza wengine kwanini, jibu ambalo wanasema ni kuwa baada ya saa saba wameweka somo kama hisabati na wakati huo wanakuwa wamechoka na kwa hivyo wanaonelea ni vyema kutohudhuria. Kwa hivyo 'time-table' inafaa kubadilishwa. Mwalimu: (Akitingiza kichwa) Naam, hilo nalo nimelipata na nimeinakili. Hoja nyingine? Mwanafunzi: Nyingine ni kuwa, mitihani ambayo tunafanya, walimu hawadurusu nasi na saa zingine maswali mengine hujirudia, kwa hivyo waweze kutusaidia. Mwalimu: Lingine kando na hilo? Mwanafunzi: Mwalimu, kulikuwa na yale majarabu ambayo tulikuwa tunafanya na shule zingingine ambayo yalitupa motisha ya kutia kwa bidii ya mchwa. Labda mjarabu kuyarejesha. Mwalimu: Kuhusu majarabu hayo nitazungumza na mwalimu mkuu aweze kuzungumza na walimu wakuu wenzake. Mwanafunzi: La mwisho ni kwamba kulikuwa na zawadi ambazo walikuwa wanawapa wanafunzi waliofanya vyema na tena walikuwa wanaenda kuzuru pahali ambapo wangewapa motisha ya kutia bidii, wale waliobaki shuleni walitia bidii ili pia wao waweze kutuzwa. Mwalimu: Asanti sana kwa mawaidha yako ambayo tutatilia mkazo na tuone kama yataimarisha matokeo.
Mazungumzo yalikua baina ya nani na nani
{ "text": [ "mwanafunzi na mwalimu" ] }
1537_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI JINSI AMBAVYO WANAWEZA KUIMARISHA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA Mwalimu: Karibu mlango u wazi Mwanafunzi: Nilifungua mlango. Mwalimu: (alipoona ni mimi alinikaribisha vyema) Aaah! Karibu mwanafunzi wangu. Karibia uketi. Mwanafunzi: Asanti sana mwalimu, nishakaribia. Mwalimu: U hali gani? Natumai uko buheri wa afya? Mwanafunzi: Naam mwalimu, mimi ni shwari, ni buheri wa afya namshukuru Maulana. Mwalimu: Asanti sana kwa kuskia wito wangu. Sababu kuu ya kukuita hapa ni kwamba wewe kama mwanafunzi wa kidato cha nne, ningependa unieleze jinsi ambavyo tutaweza kuimarisha matokeo yetu sisi kama shule. Mwanafunzi: Mwalimu hoja hii pia nami nimekuwa nikifiria vile ambavyo ningepata wakati nije tuzungumze nawe. Kuna Changamoto hasa ambazo wanafunzi wanapitia na kuna namna ambayo tunaweza kuzitatua. Wanafunzi wengi wana uzoefu wa kutohudhuria somo kadhaa na walimu hata hawaulizi au kutilia mkazo kwa nini hawajahudhuria. Mwalimu: Hilo ndilo donda sugu hapa na kama walimu hatujui jinsi ambavyo tunaweza kulitatua. Nikiuliza, kwa nini wanafunzi hawa hawataki kuhudhuria masomo mengine? Mwanafunzi: Mwalimu, swali hilo ni swali baligha kwa kuwa amimi binafsi nimejaribu kuwauliza wengine kwanini, jibu ambalo wanasema ni kuwa baada ya saa saba wameweka somo kama hisabati na wakati huo wanakuwa wamechoka na kwa hivyo wanaonelea ni vyema kutohudhuria. Kwa hivyo 'time-table' inafaa kubadilishwa. Mwalimu: (Akitingiza kichwa) Naam, hilo nalo nimelipata na nimeinakili. Hoja nyingine? Mwanafunzi: Nyingine ni kuwa, mitihani ambayo tunafanya, walimu hawadurusu nasi na saa zingine maswali mengine hujirudia, kwa hivyo waweze kutusaidia. Mwalimu: Lingine kando na hilo? Mwanafunzi: Mwalimu, kulikuwa na yale majarabu ambayo tulikuwa tunafanya na shule zingingine ambayo yalitupa motisha ya kutia kwa bidii ya mchwa. Labda mjarabu kuyarejesha. Mwalimu: Kuhusu majarabu hayo nitazungumza na mwalimu mkuu aweze kuzungumza na walimu wakuu wenzake. Mwanafunzi: La mwisho ni kwamba kulikuwa na zawadi ambazo walikuwa wanawapa wanafunzi waliofanya vyema na tena walikuwa wanaenda kuzuru pahali ambapo wangewapa motisha ya kutia bidii, wale waliobaki shuleni walitia bidii ili pia wao waweze kutuzwa. Mwalimu: Asanti sana kwa mawaidha yako ambayo tutatilia mkazo na tuone kama yataimarisha matokeo.
Wanafunzi wengi wana uzoefu wa kufanya nini
{ "text": [ "kutohudhuria somo" ] }
1537_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI JINSI AMBAVYO WANAWEZA KUIMARISHA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA Mwalimu: Karibu mlango u wazi Mwanafunzi: Nilifungua mlango. Mwalimu: (alipoona ni mimi alinikaribisha vyema) Aaah! Karibu mwanafunzi wangu. Karibia uketi. Mwanafunzi: Asanti sana mwalimu, nishakaribia. Mwalimu: U hali gani? Natumai uko buheri wa afya? Mwanafunzi: Naam mwalimu, mimi ni shwari, ni buheri wa afya namshukuru Maulana. Mwalimu: Asanti sana kwa kuskia wito wangu. Sababu kuu ya kukuita hapa ni kwamba wewe kama mwanafunzi wa kidato cha nne, ningependa unieleze jinsi ambavyo tutaweza kuimarisha matokeo yetu sisi kama shule. Mwanafunzi: Mwalimu hoja hii pia nami nimekuwa nikifiria vile ambavyo ningepata wakati nije tuzungumze nawe. Kuna Changamoto hasa ambazo wanafunzi wanapitia na kuna namna ambayo tunaweza kuzitatua. Wanafunzi wengi wana uzoefu wa kutohudhuria somo kadhaa na walimu hata hawaulizi au kutilia mkazo kwa nini hawajahudhuria. Mwalimu: Hilo ndilo donda sugu hapa na kama walimu hatujui jinsi ambavyo tunaweza kulitatua. Nikiuliza, kwa nini wanafunzi hawa hawataki kuhudhuria masomo mengine? Mwanafunzi: Mwalimu, swali hilo ni swali baligha kwa kuwa amimi binafsi nimejaribu kuwauliza wengine kwanini, jibu ambalo wanasema ni kuwa baada ya saa saba wameweka somo kama hisabati na wakati huo wanakuwa wamechoka na kwa hivyo wanaonelea ni vyema kutohudhuria. Kwa hivyo 'time-table' inafaa kubadilishwa. Mwalimu: (Akitingiza kichwa) Naam, hilo nalo nimelipata na nimeinakili. Hoja nyingine? Mwanafunzi: Nyingine ni kuwa, mitihani ambayo tunafanya, walimu hawadurusu nasi na saa zingine maswali mengine hujirudia, kwa hivyo waweze kutusaidia. Mwalimu: Lingine kando na hilo? Mwanafunzi: Mwalimu, kulikuwa na yale majarabu ambayo tulikuwa tunafanya na shule zingingine ambayo yalitupa motisha ya kutia kwa bidii ya mchwa. Labda mjarabu kuyarejesha. Mwalimu: Kuhusu majarabu hayo nitazungumza na mwalimu mkuu aweze kuzungumza na walimu wakuu wenzake. Mwanafunzi: La mwisho ni kwamba kulikuwa na zawadi ambazo walikuwa wanawapa wanafunzi waliofanya vyema na tena walikuwa wanaenda kuzuru pahali ambapo wangewapa motisha ya kutia bidii, wale waliobaki shuleni walitia bidii ili pia wao waweze kutuzwa. Mwalimu: Asanti sana kwa mawaidha yako ambayo tutatilia mkazo na tuone kama yataimarisha matokeo.
hizo mijaraba walizokuwa wakifanya na shule zingine ziliwasaidia kufanya nini
{ "text": [ "kutia bidii" ] }
1537_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI JINSI AMBAVYO WANAWEZA KUIMARISHA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA Mwalimu: Karibu mlango u wazi Mwanafunzi: Nilifungua mlango. Mwalimu: (alipoona ni mimi alinikaribisha vyema) Aaah! Karibu mwanafunzi wangu. Karibia uketi. Mwanafunzi: Asanti sana mwalimu, nishakaribia. Mwalimu: U hali gani? Natumai uko buheri wa afya? Mwanafunzi: Naam mwalimu, mimi ni shwari, ni buheri wa afya namshukuru Maulana. Mwalimu: Asanti sana kwa kuskia wito wangu. Sababu kuu ya kukuita hapa ni kwamba wewe kama mwanafunzi wa kidato cha nne, ningependa unieleze jinsi ambavyo tutaweza kuimarisha matokeo yetu sisi kama shule. Mwanafunzi: Mwalimu hoja hii pia nami nimekuwa nikifiria vile ambavyo ningepata wakati nije tuzungumze nawe. Kuna Changamoto hasa ambazo wanafunzi wanapitia na kuna namna ambayo tunaweza kuzitatua. Wanafunzi wengi wana uzoefu wa kutohudhuria somo kadhaa na walimu hata hawaulizi au kutilia mkazo kwa nini hawajahudhuria. Mwalimu: Hilo ndilo donda sugu hapa na kama walimu hatujui jinsi ambavyo tunaweza kulitatua. Nikiuliza, kwa nini wanafunzi hawa hawataki kuhudhuria masomo mengine? Mwanafunzi: Mwalimu, swali hilo ni swali baligha kwa kuwa amimi binafsi nimejaribu kuwauliza wengine kwanini, jibu ambalo wanasema ni kuwa baada ya saa saba wameweka somo kama hisabati na wakati huo wanakuwa wamechoka na kwa hivyo wanaonelea ni vyema kutohudhuria. Kwa hivyo 'time-table' inafaa kubadilishwa. Mwalimu: (Akitingiza kichwa) Naam, hilo nalo nimelipata na nimeinakili. Hoja nyingine? Mwanafunzi: Nyingine ni kuwa, mitihani ambayo tunafanya, walimu hawadurusu nasi na saa zingine maswali mengine hujirudia, kwa hivyo waweze kutusaidia. Mwalimu: Lingine kando na hilo? Mwanafunzi: Mwalimu, kulikuwa na yale majarabu ambayo tulikuwa tunafanya na shule zingingine ambayo yalitupa motisha ya kutia kwa bidii ya mchwa. Labda mjarabu kuyarejesha. Mwalimu: Kuhusu majarabu hayo nitazungumza na mwalimu mkuu aweze kuzungumza na walimu wakuu wenzake. Mwanafunzi: La mwisho ni kwamba kulikuwa na zawadi ambazo walikuwa wanawapa wanafunzi waliofanya vyema na tena walikuwa wanaenda kuzuru pahali ambapo wangewapa motisha ya kutia bidii, wale waliobaki shuleni walitia bidii ili pia wao waweze kutuzwa. Mwalimu: Asanti sana kwa mawaidha yako ambayo tutatilia mkazo na tuone kama yataimarisha matokeo.
Ni lini ambapo wanafunzi wangeweza kuzuru mahali ambapo wangepata motisha
{ "text": [ "walipofanya vyema" ] }
1537_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI JINSI AMBAVYO WANAWEZA KUIMARISHA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA Mwalimu: Karibu mlango u wazi Mwanafunzi: Nilifungua mlango. Mwalimu: (alipoona ni mimi alinikaribisha vyema) Aaah! Karibu mwanafunzi wangu. Karibia uketi. Mwanafunzi: Asanti sana mwalimu, nishakaribia. Mwalimu: U hali gani? Natumai uko buheri wa afya? Mwanafunzi: Naam mwalimu, mimi ni shwari, ni buheri wa afya namshukuru Maulana. Mwalimu: Asanti sana kwa kuskia wito wangu. Sababu kuu ya kukuita hapa ni kwamba wewe kama mwanafunzi wa kidato cha nne, ningependa unieleze jinsi ambavyo tutaweza kuimarisha matokeo yetu sisi kama shule. Mwanafunzi: Mwalimu hoja hii pia nami nimekuwa nikifiria vile ambavyo ningepata wakati nije tuzungumze nawe. Kuna Changamoto hasa ambazo wanafunzi wanapitia na kuna namna ambayo tunaweza kuzitatua. Wanafunzi wengi wana uzoefu wa kutohudhuria somo kadhaa na walimu hata hawaulizi au kutilia mkazo kwa nini hawajahudhuria. Mwalimu: Hilo ndilo donda sugu hapa na kama walimu hatujui jinsi ambavyo tunaweza kulitatua. Nikiuliza, kwa nini wanafunzi hawa hawataki kuhudhuria masomo mengine? Mwanafunzi: Mwalimu, swali hilo ni swali baligha kwa kuwa amimi binafsi nimejaribu kuwauliza wengine kwanini, jibu ambalo wanasema ni kuwa baada ya saa saba wameweka somo kama hisabati na wakati huo wanakuwa wamechoka na kwa hivyo wanaonelea ni vyema kutohudhuria. Kwa hivyo 'time-table' inafaa kubadilishwa. Mwalimu: (Akitingiza kichwa) Naam, hilo nalo nimelipata na nimeinakili. Hoja nyingine? Mwanafunzi: Nyingine ni kuwa, mitihani ambayo tunafanya, walimu hawadurusu nasi na saa zingine maswali mengine hujirudia, kwa hivyo waweze kutusaidia. Mwalimu: Lingine kando na hilo? Mwanafunzi: Mwalimu, kulikuwa na yale majarabu ambayo tulikuwa tunafanya na shule zingingine ambayo yalitupa motisha ya kutia kwa bidii ya mchwa. Labda mjarabu kuyarejesha. Mwalimu: Kuhusu majarabu hayo nitazungumza na mwalimu mkuu aweze kuzungumza na walimu wakuu wenzake. Mwanafunzi: La mwisho ni kwamba kulikuwa na zawadi ambazo walikuwa wanawapa wanafunzi waliofanya vyema na tena walikuwa wanaenda kuzuru pahali ambapo wangewapa motisha ya kutia bidii, wale waliobaki shuleni walitia bidii ili pia wao waweze kutuzwa. Mwalimu: Asanti sana kwa mawaidha yako ambayo tutatilia mkazo na tuone kama yataimarisha matokeo.
Ni kwa nini wanafunzi hawahudhurii somo
{ "text": [ "somo kama hisabati limewekwa saa saba na huwa wamechoka" ] }
1538_swa
UHUSIANO NA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Naam! Khama suala linaloibukia hapa nchi mwetu Kenya jamii imezoroteka na kuharibika na hata kukiuka tamaduni na mienendo mema kutokana na swala la vijana kuhusika kimapenzi. Mapenzi ni hali au tamaa ya kutaka kuwa karibu sana na jinsia nyingine ili kuleta mvuto na haja kuwa pamoja sana kutokana na mvuto wa hisia. Jamii imeendelea kuwa mbovu na chafu kupita mpaka kutokana na vijana hawa hawa ambao bado hawajakua tayari kwa maisha ya kuasi ukapera. Vijana hasa wale barubaru waliovunja ungo wamejitosa katika kadarasi hizi za kimapenzi bila kujua umuhimu na maana ya mapenzi hivyo basi kusababisha balaa kwa jamii ambayo ndio mwalimu wa kuwakuza wananchi kwa kuwatilia maanani na mielekeo njema. Naam! Vijana wanapopewa ruhusa ya kujumuisha yote maovu na mema, wanapata nafasi ya kuwa kama watu wazima ambao miaka yao imewaruhusu kuhusiana kimapenzi. Wanajaribu kila mbinu ili wodhihirike kuwa pia hao si wachache, hivyo basi, utulivu na utamaduni wa jamii huzoroteka. Kutokana na hayo, jamii inaendelea kuwa ovu na isiyo aminika tena kuwapa wanawao mienendo sawa. Vijana wamepata fursa ya kuwa kwenye mitandao pindi wanapotumia simu zao. Simu hizi, tarakilishi pamoja na vifaa vingine vya utandawazi vimachangia pakubwa sana haswa katika suala la kuzorota kwa mienendo na tabia miongoni mwa vijana. Mwanzo, simu itampa kijana mvuto wa kutazama video na picha amabzao zinahusika na mapenzi. Basi vijana hawa wanupata mvuto wa kimapenzi na kutaka kujaribu kuwa kama wale wanaowatazama kwenye video na picha. Hivyo basi, wao huhusika na mapenzi kiholela bila tahadhari na kupuuza masharti wanayopewa wakijiona kuwa wanajua sana. Vijana wengi, haswa maghulamu, wameweza kupata magonjwa mbalimbali kutokana na hali hii ya kujitoza kwenye mapenzi. Wengi wamepata magonjwa kama Ukimwi ambao hauna tiba. Mabanati nao wameavya mimba bila hata kujali madhara amabayo inaleta kwa miili yao. Hali hii imewasababisha wengi kuacha shule. Jamii inafaa kuwaangalia kwa makini vijana kwani hao ndio watatunza jamii katika siku za usoni. Ikiwa jamii haitatilia maanani suala la kuwatunza vijana, basi jamii litatupiliwa mbali kwa kukosa kutekeleza wajibu wake. Wazazi wawe makini sana na wanawao, wawe tayari kuwarekebisha pindi tu wanapo fanya makosa. Vijana pia wanapaswa kujiheshimu na wawe wenye adabu ili kudumisha uhusiano mwema kati ya jamii na taifa lote kwa jumla.
Mapenzi hufanyika kati ya watu wangapi?
{ "text": [ "Wawili" ] }
1538_swa
UHUSIANO NA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Naam! Khama suala linaloibukia hapa nchi mwetu Kenya jamii imezoroteka na kuharibika na hata kukiuka tamaduni na mienendo mema kutokana na swala la vijana kuhusika kimapenzi. Mapenzi ni hali au tamaa ya kutaka kuwa karibu sana na jinsia nyingine ili kuleta mvuto na haja kuwa pamoja sana kutokana na mvuto wa hisia. Jamii imeendelea kuwa mbovu na chafu kupita mpaka kutokana na vijana hawa hawa ambao bado hawajakua tayari kwa maisha ya kuasi ukapera. Vijana hasa wale barubaru waliovunja ungo wamejitosa katika kadarasi hizi za kimapenzi bila kujua umuhimu na maana ya mapenzi hivyo basi kusababisha balaa kwa jamii ambayo ndio mwalimu wa kuwakuza wananchi kwa kuwatilia maanani na mielekeo njema. Naam! Vijana wanapopewa ruhusa ya kujumuisha yote maovu na mema, wanapata nafasi ya kuwa kama watu wazima ambao miaka yao imewaruhusu kuhusiana kimapenzi. Wanajaribu kila mbinu ili wodhihirike kuwa pia hao si wachache, hivyo basi, utulivu na utamaduni wa jamii huzoroteka. Kutokana na hayo, jamii inaendelea kuwa ovu na isiyo aminika tena kuwapa wanawao mienendo sawa. Vijana wamepata fursa ya kuwa kwenye mitandao pindi wanapotumia simu zao. Simu hizi, tarakilishi pamoja na vifaa vingine vya utandawazi vimachangia pakubwa sana haswa katika suala la kuzorota kwa mienendo na tabia miongoni mwa vijana. Mwanzo, simu itampa kijana mvuto wa kutazama video na picha amabzao zinahusika na mapenzi. Basi vijana hawa wanupata mvuto wa kimapenzi na kutaka kujaribu kuwa kama wale wanaowatazama kwenye video na picha. Hivyo basi, wao huhusika na mapenzi kiholela bila tahadhari na kupuuza masharti wanayopewa wakijiona kuwa wanajua sana. Vijana wengi, haswa maghulamu, wameweza kupata magonjwa mbalimbali kutokana na hali hii ya kujitoza kwenye mapenzi. Wengi wamepata magonjwa kama Ukimwi ambao hauna tiba. Mabanati nao wameavya mimba bila hata kujali madhara amabayo inaleta kwa miili yao. Hali hii imewasababisha wengi kuacha shule. Jamii inafaa kuwaangalia kwa makini vijana kwani hao ndio watatunza jamii katika siku za usoni. Ikiwa jamii haitatilia maanani suala la kuwatunza vijana, basi jamii litatupiliwa mbali kwa kukosa kutekeleza wajibu wake. Wazazi wawe makini sana na wanawao, wawe tayari kuwarekebisha pindi tu wanapo fanya makosa. Vijana pia wanapaswa kujiheshimu na wawe wenye adabu ili kudumisha uhusiano mwema kati ya jamii na taifa lote kwa jumla.
Nini huchangia mapenzi kati ya vijana?
{ "text": [ "Mtandao" ] }
1538_swa
UHUSIANO NA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Naam! Khama suala linaloibukia hapa nchi mwetu Kenya jamii imezoroteka na kuharibika na hata kukiuka tamaduni na mienendo mema kutokana na swala la vijana kuhusika kimapenzi. Mapenzi ni hali au tamaa ya kutaka kuwa karibu sana na jinsia nyingine ili kuleta mvuto na haja kuwa pamoja sana kutokana na mvuto wa hisia. Jamii imeendelea kuwa mbovu na chafu kupita mpaka kutokana na vijana hawa hawa ambao bado hawajakua tayari kwa maisha ya kuasi ukapera. Vijana hasa wale barubaru waliovunja ungo wamejitosa katika kadarasi hizi za kimapenzi bila kujua umuhimu na maana ya mapenzi hivyo basi kusababisha balaa kwa jamii ambayo ndio mwalimu wa kuwakuza wananchi kwa kuwatilia maanani na mielekeo njema. Naam! Vijana wanapopewa ruhusa ya kujumuisha yote maovu na mema, wanapata nafasi ya kuwa kama watu wazima ambao miaka yao imewaruhusu kuhusiana kimapenzi. Wanajaribu kila mbinu ili wodhihirike kuwa pia hao si wachache, hivyo basi, utulivu na utamaduni wa jamii huzoroteka. Kutokana na hayo, jamii inaendelea kuwa ovu na isiyo aminika tena kuwapa wanawao mienendo sawa. Vijana wamepata fursa ya kuwa kwenye mitandao pindi wanapotumia simu zao. Simu hizi, tarakilishi pamoja na vifaa vingine vya utandawazi vimachangia pakubwa sana haswa katika suala la kuzorota kwa mienendo na tabia miongoni mwa vijana. Mwanzo, simu itampa kijana mvuto wa kutazama video na picha amabzao zinahusika na mapenzi. Basi vijana hawa wanupata mvuto wa kimapenzi na kutaka kujaribu kuwa kama wale wanaowatazama kwenye video na picha. Hivyo basi, wao huhusika na mapenzi kiholela bila tahadhari na kupuuza masharti wanayopewa wakijiona kuwa wanajua sana. Vijana wengi, haswa maghulamu, wameweza kupata magonjwa mbalimbali kutokana na hali hii ya kujitoza kwenye mapenzi. Wengi wamepata magonjwa kama Ukimwi ambao hauna tiba. Mabanati nao wameavya mimba bila hata kujali madhara amabayo inaleta kwa miili yao. Hali hii imewasababisha wengi kuacha shule. Jamii inafaa kuwaangalia kwa makini vijana kwani hao ndio watatunza jamii katika siku za usoni. Ikiwa jamii haitatilia maanani suala la kuwatunza vijana, basi jamii litatupiliwa mbali kwa kukosa kutekeleza wajibu wake. Wazazi wawe makini sana na wanawao, wawe tayari kuwarekebisha pindi tu wanapo fanya makosa. Vijana pia wanapaswa kujiheshimu na wawe wenye adabu ili kudumisha uhusiano mwema kati ya jamii na taifa lote kwa jumla.
Jina lingine la wasichana ni lipi?
{ "text": [ "Mabanati" ] }
1538_swa
UHUSIANO NA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Naam! Khama suala linaloibukia hapa nchi mwetu Kenya jamii imezoroteka na kuharibika na hata kukiuka tamaduni na mienendo mema kutokana na swala la vijana kuhusika kimapenzi. Mapenzi ni hali au tamaa ya kutaka kuwa karibu sana na jinsia nyingine ili kuleta mvuto na haja kuwa pamoja sana kutokana na mvuto wa hisia. Jamii imeendelea kuwa mbovu na chafu kupita mpaka kutokana na vijana hawa hawa ambao bado hawajakua tayari kwa maisha ya kuasi ukapera. Vijana hasa wale barubaru waliovunja ungo wamejitosa katika kadarasi hizi za kimapenzi bila kujua umuhimu na maana ya mapenzi hivyo basi kusababisha balaa kwa jamii ambayo ndio mwalimu wa kuwakuza wananchi kwa kuwatilia maanani na mielekeo njema. Naam! Vijana wanapopewa ruhusa ya kujumuisha yote maovu na mema, wanapata nafasi ya kuwa kama watu wazima ambao miaka yao imewaruhusu kuhusiana kimapenzi. Wanajaribu kila mbinu ili wodhihirike kuwa pia hao si wachache, hivyo basi, utulivu na utamaduni wa jamii huzoroteka. Kutokana na hayo, jamii inaendelea kuwa ovu na isiyo aminika tena kuwapa wanawao mienendo sawa. Vijana wamepata fursa ya kuwa kwenye mitandao pindi wanapotumia simu zao. Simu hizi, tarakilishi pamoja na vifaa vingine vya utandawazi vimachangia pakubwa sana haswa katika suala la kuzorota kwa mienendo na tabia miongoni mwa vijana. Mwanzo, simu itampa kijana mvuto wa kutazama video na picha amabzao zinahusika na mapenzi. Basi vijana hawa wanupata mvuto wa kimapenzi na kutaka kujaribu kuwa kama wale wanaowatazama kwenye video na picha. Hivyo basi, wao huhusika na mapenzi kiholela bila tahadhari na kupuuza masharti wanayopewa wakijiona kuwa wanajua sana. Vijana wengi, haswa maghulamu, wameweza kupata magonjwa mbalimbali kutokana na hali hii ya kujitoza kwenye mapenzi. Wengi wamepata magonjwa kama Ukimwi ambao hauna tiba. Mabanati nao wameavya mimba bila hata kujali madhara amabayo inaleta kwa miili yao. Hali hii imewasababisha wengi kuacha shule. Jamii inafaa kuwaangalia kwa makini vijana kwani hao ndio watatunza jamii katika siku za usoni. Ikiwa jamii haitatilia maanani suala la kuwatunza vijana, basi jamii litatupiliwa mbali kwa kukosa kutekeleza wajibu wake. Wazazi wawe makini sana na wanawao, wawe tayari kuwarekebisha pindi tu wanapo fanya makosa. Vijana pia wanapaswa kujiheshimu na wawe wenye adabu ili kudumisha uhusiano mwema kati ya jamii na taifa lote kwa jumla.
Video za kimapenzi hutazamwa wapi?
{ "text": [ "Simu" ] }
1538_swa
UHUSIANO NA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Naam! Khama suala linaloibukia hapa nchi mwetu Kenya jamii imezoroteka na kuharibika na hata kukiuka tamaduni na mienendo mema kutokana na swala la vijana kuhusika kimapenzi. Mapenzi ni hali au tamaa ya kutaka kuwa karibu sana na jinsia nyingine ili kuleta mvuto na haja kuwa pamoja sana kutokana na mvuto wa hisia. Jamii imeendelea kuwa mbovu na chafu kupita mpaka kutokana na vijana hawa hawa ambao bado hawajakua tayari kwa maisha ya kuasi ukapera. Vijana hasa wale barubaru waliovunja ungo wamejitosa katika kadarasi hizi za kimapenzi bila kujua umuhimu na maana ya mapenzi hivyo basi kusababisha balaa kwa jamii ambayo ndio mwalimu wa kuwakuza wananchi kwa kuwatilia maanani na mielekeo njema. Naam! Vijana wanapopewa ruhusa ya kujumuisha yote maovu na mema, wanapata nafasi ya kuwa kama watu wazima ambao miaka yao imewaruhusu kuhusiana kimapenzi. Wanajaribu kila mbinu ili wodhihirike kuwa pia hao si wachache, hivyo basi, utulivu na utamaduni wa jamii huzoroteka. Kutokana na hayo, jamii inaendelea kuwa ovu na isiyo aminika tena kuwapa wanawao mienendo sawa. Vijana wamepata fursa ya kuwa kwenye mitandao pindi wanapotumia simu zao. Simu hizi, tarakilishi pamoja na vifaa vingine vya utandawazi vimachangia pakubwa sana haswa katika suala la kuzorota kwa mienendo na tabia miongoni mwa vijana. Mwanzo, simu itampa kijana mvuto wa kutazama video na picha amabzao zinahusika na mapenzi. Basi vijana hawa wanupata mvuto wa kimapenzi na kutaka kujaribu kuwa kama wale wanaowatazama kwenye video na picha. Hivyo basi, wao huhusika na mapenzi kiholela bila tahadhari na kupuuza masharti wanayopewa wakijiona kuwa wanajua sana. Vijana wengi, haswa maghulamu, wameweza kupata magonjwa mbalimbali kutokana na hali hii ya kujitoza kwenye mapenzi. Wengi wamepata magonjwa kama Ukimwi ambao hauna tiba. Mabanati nao wameavya mimba bila hata kujali madhara amabayo inaleta kwa miili yao. Hali hii imewasababisha wengi kuacha shule. Jamii inafaa kuwaangalia kwa makini vijana kwani hao ndio watatunza jamii katika siku za usoni. Ikiwa jamii haitatilia maanani suala la kuwatunza vijana, basi jamii litatupiliwa mbali kwa kukosa kutekeleza wajibu wake. Wazazi wawe makini sana na wanawao, wawe tayari kuwarekebisha pindi tu wanapo fanya makosa. Vijana pia wanapaswa kujiheshimu na wawe wenye adabu ili kudumisha uhusiano mwema kati ya jamii na taifa lote kwa jumla.
Mapenzi ya kiholelaholela hueneza nini?
{ "text": [ "Magonjwa baina ya vijana" ] }
1539_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea kama vile mahindi, maharagwe, miembe na mengineyo au ufugaji wa wanyama wa nyumbani. Kama tujuavyo kilimo ni muhimu katika uchumi ya Kenya kwa njia mbali mbali kama vile: Kilimo kimeleta ukuaji wa nchi kwa sababu mimea hizo inayopandwa kama vile miwa na mahindi inauzwa kwenye nchi mbali mbali za kigeni hivyo basi nchi inapata fedha amabazo serikali itatumia katika ujenzi wa nchi. Njia mbali mbali za kujenga nchi ni kama vile ujenzi wa barabara, hosiptali, na pia ununuzi wa mashine ambazo zitafanya kazi iwe rahisi katika mashamba hayo. Kilimo pia kimeweza kuleta kasi kwa sababu vijana au wanarika wameweza kupata ajira kupitia kilimo. Vijana hawa wanapofanya kazi katika mashamba haya, huwa hawana wakati wa kujitosa katika maadili maovu kama vile uhalifu na matumizi ya mmihadarati. Kilimo pia husaidia kupambana na suala la njaa nchini. Nchi inapokuwa na mimea mbali mbali ya chakula, huweza kutumia kuwalisha wananchi wake. Chakula hiki kinaweza kuwasaidia wengi, ata walio katika makambi ya wakimbizi. Kilimo cha ufugaji wa wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, na ngamia kinaweza kusaidia kuimarisha uchumi kwa sababu wanyama kama ng’ombe hukamuliwa maziwa na kuuzwa kwenye makambuni ya maziwa. Kampuni hizi husindika maziwa haya na kuweza kuyauza kwa wananchi na hivyo basi kuweza kuimaisha uchumi wetu.
Kilimo ni upandaji na ufugaji wa wanyama gani
{ "text": [ "wa nyumbani" ] }
1539_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea kama vile mahindi, maharagwe, miembe na mengineyo au ufugaji wa wanyama wa nyumbani. Kama tujuavyo kilimo ni muhimu katika uchumi ya Kenya kwa njia mbali mbali kama vile: Kilimo kimeleta ukuaji wa nchi kwa sababu mimea hizo inayopandwa kama vile miwa na mahindi inauzwa kwenye nchi mbali mbali za kigeni hivyo basi nchi inapata fedha amabazo serikali itatumia katika ujenzi wa nchi. Njia mbali mbali za kujenga nchi ni kama vile ujenzi wa barabara, hosiptali, na pia ununuzi wa mashine ambazo zitafanya kazi iwe rahisi katika mashamba hayo. Kilimo pia kimeweza kuleta kasi kwa sababu vijana au wanarika wameweza kupata ajira kupitia kilimo. Vijana hawa wanapofanya kazi katika mashamba haya, huwa hawana wakati wa kujitosa katika maadili maovu kama vile uhalifu na matumizi ya mmihadarati. Kilimo pia husaidia kupambana na suala la njaa nchini. Nchi inapokuwa na mimea mbali mbali ya chakula, huweza kutumia kuwalisha wananchi wake. Chakula hiki kinaweza kuwasaidia wengi, ata walio katika makambi ya wakimbizi. Kilimo cha ufugaji wa wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, na ngamia kinaweza kusaidia kuimarisha uchumi kwa sababu wanyama kama ng’ombe hukamuliwa maziwa na kuuzwa kwenye makambuni ya maziwa. Kampuni hizi husindika maziwa haya na kuweza kuyauza kwa wananchi na hivyo basi kuweza kuimaisha uchumi wetu.
Kina nani wamekosa kazi
{ "text": [ "vijana" ] }
1539_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea kama vile mahindi, maharagwe, miembe na mengineyo au ufugaji wa wanyama wa nyumbani. Kama tujuavyo kilimo ni muhimu katika uchumi ya Kenya kwa njia mbali mbali kama vile: Kilimo kimeleta ukuaji wa nchi kwa sababu mimea hizo inayopandwa kama vile miwa na mahindi inauzwa kwenye nchi mbali mbali za kigeni hivyo basi nchi inapata fedha amabazo serikali itatumia katika ujenzi wa nchi. Njia mbali mbali za kujenga nchi ni kama vile ujenzi wa barabara, hosiptali, na pia ununuzi wa mashine ambazo zitafanya kazi iwe rahisi katika mashamba hayo. Kilimo pia kimeweza kuleta kasi kwa sababu vijana au wanarika wameweza kupata ajira kupitia kilimo. Vijana hawa wanapofanya kazi katika mashamba haya, huwa hawana wakati wa kujitosa katika maadili maovu kama vile uhalifu na matumizi ya mmihadarati. Kilimo pia husaidia kupambana na suala la njaa nchini. Nchi inapokuwa na mimea mbali mbali ya chakula, huweza kutumia kuwalisha wananchi wake. Chakula hiki kinaweza kuwasaidia wengi, ata walio katika makambi ya wakimbizi. Kilimo cha ufugaji wa wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, na ngamia kinaweza kusaidia kuimarisha uchumi kwa sababu wanyama kama ng’ombe hukamuliwa maziwa na kuuzwa kwenye makambuni ya maziwa. Kampuni hizi husindika maziwa haya na kuweza kuyauza kwa wananchi na hivyo basi kuweza kuimaisha uchumi wetu.
Nini hufanya kazi rahisi mashambani
{ "text": [ "mashine" ] }
1539_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea kama vile mahindi, maharagwe, miembe na mengineyo au ufugaji wa wanyama wa nyumbani. Kama tujuavyo kilimo ni muhimu katika uchumi ya Kenya kwa njia mbali mbali kama vile: Kilimo kimeleta ukuaji wa nchi kwa sababu mimea hizo inayopandwa kama vile miwa na mahindi inauzwa kwenye nchi mbali mbali za kigeni hivyo basi nchi inapata fedha amabazo serikali itatumia katika ujenzi wa nchi. Njia mbali mbali za kujenga nchi ni kama vile ujenzi wa barabara, hosiptali, na pia ununuzi wa mashine ambazo zitafanya kazi iwe rahisi katika mashamba hayo. Kilimo pia kimeweza kuleta kasi kwa sababu vijana au wanarika wameweza kupata ajira kupitia kilimo. Vijana hawa wanapofanya kazi katika mashamba haya, huwa hawana wakati wa kujitosa katika maadili maovu kama vile uhalifu na matumizi ya mmihadarati. Kilimo pia husaidia kupambana na suala la njaa nchini. Nchi inapokuwa na mimea mbali mbali ya chakula, huweza kutumia kuwalisha wananchi wake. Chakula hiki kinaweza kuwasaidia wengi, ata walio katika makambi ya wakimbizi. Kilimo cha ufugaji wa wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, na ngamia kinaweza kusaidia kuimarisha uchumi kwa sababu wanyama kama ng’ombe hukamuliwa maziwa na kuuzwa kwenye makambuni ya maziwa. Kampuni hizi husindika maziwa haya na kuweza kuyauza kwa wananchi na hivyo basi kuweza kuimaisha uchumi wetu.
kilimo husaidia serikali kupata pesa za kufanya nini
{ "text": [ "kujenga nchi" ] }
1539_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea kama vile mahindi, maharagwe, miembe na mengineyo au ufugaji wa wanyama wa nyumbani. Kama tujuavyo kilimo ni muhimu katika uchumi ya Kenya kwa njia mbali mbali kama vile: Kilimo kimeleta ukuaji wa nchi kwa sababu mimea hizo inayopandwa kama vile miwa na mahindi inauzwa kwenye nchi mbali mbali za kigeni hivyo basi nchi inapata fedha amabazo serikali itatumia katika ujenzi wa nchi. Njia mbali mbali za kujenga nchi ni kama vile ujenzi wa barabara, hosiptali, na pia ununuzi wa mashine ambazo zitafanya kazi iwe rahisi katika mashamba hayo. Kilimo pia kimeweza kuleta kasi kwa sababu vijana au wanarika wameweza kupata ajira kupitia kilimo. Vijana hawa wanapofanya kazi katika mashamba haya, huwa hawana wakati wa kujitosa katika maadili maovu kama vile uhalifu na matumizi ya mmihadarati. Kilimo pia husaidia kupambana na suala la njaa nchini. Nchi inapokuwa na mimea mbali mbali ya chakula, huweza kutumia kuwalisha wananchi wake. Chakula hiki kinaweza kuwasaidia wengi, ata walio katika makambi ya wakimbizi. Kilimo cha ufugaji wa wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, na ngamia kinaweza kusaidia kuimarisha uchumi kwa sababu wanyama kama ng’ombe hukamuliwa maziwa na kuuzwa kwenye makambuni ya maziwa. Kampuni hizi husindika maziwa haya na kuweza kuyauza kwa wananchi na hivyo basi kuweza kuimaisha uchumi wetu.
Kilimo hutoa swala la njaa vipi
{ "text": [ "nchi inapokuwa na chakula cha kutosha huwalisha wananchi" ] }
1540_swa
HOTUBA KUHUSU DAWA ZA KULEVYA NA MADHARA YAKE “Vijana, wazee, kina mama na watoto hamjamboni? Leo tumekusanyika katika shule hii ya Maruki ya Mbale ili tuweze kuelimika na kujua madhara ya dawa za kule vya. Dawa hizi zinapotumika husaidia mwili kuwepo katika hali ya kawaida? Hiyo ndio maana na matumizi yake. Dawa hizi pia zina madhara haswa zinapotumiwa vibaya zinaleta madhara ya kiafya na hata kiuchumi. Katika serikali hii yetu ya Kenya, vijana wengi, haswa asilimia sabini, wanatumia dawa hizi za kulevya vibaya. Dawa hizi ni kama bangi, miraa, chang’aa, sigara, na hata pombe ya aina yoyote. Dawa hizi zinatumika kwa njia mbalimbali kama kuvuta, kunywa, kutafuna ama kujidunga mwilini. Vijana wengi katika shule na hata katika jamii zetu wanatumia dawa hizi kwa kiasi kingi. Vijana hawa wanazitumia wakiamini kuwa zinawasaidia kupunguza mawazo, kuongeza nguvu mwilini, kuwapa akili nyingi na kuwafanya wajihisi vyema kimwili. Nyinyi vijana hamjui kuwa manaharibu miili yenu na hata kuleta hasara katika jamii, pamoja na kuzorotesha uchumi. Hivi leo nataka niwape mawaidha jinsi ambavyo dawa hizi zina madhara mengi. Kwanza kabisa, dawa hizi zinaleta magonjwa kama vile kansa ya mapafu, kurukwa na akili, kuzembea na kuumwa na kichwa kila wakati. Pia mtu anaweza kupata ajali, macho kubakia mekundu, kuwa mchafu na kunuka kwa watu, wakati mwingine pia husababisha vita. Mbali na hayo, yanamfanya mtu awe mwizi wakati hana pesa za kununua dawa hizo. Mtu anaanza kutumia lugha ya matusi, anatumia pesa zote kulewa na kukosa chakula. Wengine pia wanaachana katika ndoa yao na familia kuvunjika. Matumiza ya dawa za kulevya yanasababishwa na mambo kama marafiki wabaya, vitisho kutoka kwa vikundi ambavyo mnahusiano nayo, ukosefu wa malezi bora yanayofaa, mazingira ya mtu, kukosa wazazi na hata kujifunza kutoka kwa wengine. Hata hivyo, utumizi wa dawa hizi za kulevya unaweza kuzuiliwa kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa ni kuchagua marafiki zenu vyema, ambao watawasaidia kwa njia inayofaa, kutafuta mawaidha kwa walio karibu nawe, haswa wazazi wenu, kuwajibika katika masomo yenu, wazazi kuwalinda na kuwashauri watoto wenu, serikali kutoa onyo kwa vijana walio chini ya miaka kumi na nane wasipatikane katika vilabu na wasipatikane wakitumia mihadarati, la sivyo wadhibiwe vikali. Mwisho kabisa ni vijana kukubali tabia nzuri na mashauri mema wanazoambiwa katika jamii zao. Iwapo mawaidha haya yutazingatiwa, vijana mtaheshimika na mtakuwa vizazi na viongozi wema katika jamii na nchi yenu. Asanteni kwa kila mtu aliyeniskiliza na Mungu awabariki nyote.”
Wamekusanyika ili waweze kujua madhara ya dawa zipi
{ "text": [ "Kulevya" ] }
1540_swa
HOTUBA KUHUSU DAWA ZA KULEVYA NA MADHARA YAKE “Vijana, wazee, kina mama na watoto hamjamboni? Leo tumekusanyika katika shule hii ya Maruki ya Mbale ili tuweze kuelimika na kujua madhara ya dawa za kule vya. Dawa hizi zinapotumika husaidia mwili kuwepo katika hali ya kawaida? Hiyo ndio maana na matumizi yake. Dawa hizi pia zina madhara haswa zinapotumiwa vibaya zinaleta madhara ya kiafya na hata kiuchumi. Katika serikali hii yetu ya Kenya, vijana wengi, haswa asilimia sabini, wanatumia dawa hizi za kulevya vibaya. Dawa hizi ni kama bangi, miraa, chang’aa, sigara, na hata pombe ya aina yoyote. Dawa hizi zinatumika kwa njia mbalimbali kama kuvuta, kunywa, kutafuna ama kujidunga mwilini. Vijana wengi katika shule na hata katika jamii zetu wanatumia dawa hizi kwa kiasi kingi. Vijana hawa wanazitumia wakiamini kuwa zinawasaidia kupunguza mawazo, kuongeza nguvu mwilini, kuwapa akili nyingi na kuwafanya wajihisi vyema kimwili. Nyinyi vijana hamjui kuwa manaharibu miili yenu na hata kuleta hasara katika jamii, pamoja na kuzorotesha uchumi. Hivi leo nataka niwape mawaidha jinsi ambavyo dawa hizi zina madhara mengi. Kwanza kabisa, dawa hizi zinaleta magonjwa kama vile kansa ya mapafu, kurukwa na akili, kuzembea na kuumwa na kichwa kila wakati. Pia mtu anaweza kupata ajali, macho kubakia mekundu, kuwa mchafu na kunuka kwa watu, wakati mwingine pia husababisha vita. Mbali na hayo, yanamfanya mtu awe mwizi wakati hana pesa za kununua dawa hizo. Mtu anaanza kutumia lugha ya matusi, anatumia pesa zote kulewa na kukosa chakula. Wengine pia wanaachana katika ndoa yao na familia kuvunjika. Matumiza ya dawa za kulevya yanasababishwa na mambo kama marafiki wabaya, vitisho kutoka kwa vikundi ambavyo mnahusiano nayo, ukosefu wa malezi bora yanayofaa, mazingira ya mtu, kukosa wazazi na hata kujifunza kutoka kwa wengine. Hata hivyo, utumizi wa dawa hizi za kulevya unaweza kuzuiliwa kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa ni kuchagua marafiki zenu vyema, ambao watawasaidia kwa njia inayofaa, kutafuta mawaidha kwa walio karibu nawe, haswa wazazi wenu, kuwajibika katika masomo yenu, wazazi kuwalinda na kuwashauri watoto wenu, serikali kutoa onyo kwa vijana walio chini ya miaka kumi na nane wasipatikane katika vilabu na wasipatikane wakitumia mihadarati, la sivyo wadhibiwe vikali. Mwisho kabisa ni vijana kukubali tabia nzuri na mashauri mema wanazoambiwa katika jamii zao. Iwapo mawaidha haya yutazingatiwa, vijana mtaheshimika na mtakuwa vizazi na viongozi wema katika jamii na nchi yenu. Asanteni kwa kila mtu aliyeniskiliza na Mungu awabariki nyote.”
Asilia mia gani ya vijana wanatumia dawa za kulevya
{ "text": [ "Sabini" ] }
1540_swa
HOTUBA KUHUSU DAWA ZA KULEVYA NA MADHARA YAKE “Vijana, wazee, kina mama na watoto hamjamboni? Leo tumekusanyika katika shule hii ya Maruki ya Mbale ili tuweze kuelimika na kujua madhara ya dawa za kule vya. Dawa hizi zinapotumika husaidia mwili kuwepo katika hali ya kawaida? Hiyo ndio maana na matumizi yake. Dawa hizi pia zina madhara haswa zinapotumiwa vibaya zinaleta madhara ya kiafya na hata kiuchumi. Katika serikali hii yetu ya Kenya, vijana wengi, haswa asilimia sabini, wanatumia dawa hizi za kulevya vibaya. Dawa hizi ni kama bangi, miraa, chang’aa, sigara, na hata pombe ya aina yoyote. Dawa hizi zinatumika kwa njia mbalimbali kama kuvuta, kunywa, kutafuna ama kujidunga mwilini. Vijana wengi katika shule na hata katika jamii zetu wanatumia dawa hizi kwa kiasi kingi. Vijana hawa wanazitumia wakiamini kuwa zinawasaidia kupunguza mawazo, kuongeza nguvu mwilini, kuwapa akili nyingi na kuwafanya wajihisi vyema kimwili. Nyinyi vijana hamjui kuwa manaharibu miili yenu na hata kuleta hasara katika jamii, pamoja na kuzorotesha uchumi. Hivi leo nataka niwape mawaidha jinsi ambavyo dawa hizi zina madhara mengi. Kwanza kabisa, dawa hizi zinaleta magonjwa kama vile kansa ya mapafu, kurukwa na akili, kuzembea na kuumwa na kichwa kila wakati. Pia mtu anaweza kupata ajali, macho kubakia mekundu, kuwa mchafu na kunuka kwa watu, wakati mwingine pia husababisha vita. Mbali na hayo, yanamfanya mtu awe mwizi wakati hana pesa za kununua dawa hizo. Mtu anaanza kutumia lugha ya matusi, anatumia pesa zote kulewa na kukosa chakula. Wengine pia wanaachana katika ndoa yao na familia kuvunjika. Matumiza ya dawa za kulevya yanasababishwa na mambo kama marafiki wabaya, vitisho kutoka kwa vikundi ambavyo mnahusiano nayo, ukosefu wa malezi bora yanayofaa, mazingira ya mtu, kukosa wazazi na hata kujifunza kutoka kwa wengine. Hata hivyo, utumizi wa dawa hizi za kulevya unaweza kuzuiliwa kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa ni kuchagua marafiki zenu vyema, ambao watawasaidia kwa njia inayofaa, kutafuta mawaidha kwa walio karibu nawe, haswa wazazi wenu, kuwajibika katika masomo yenu, wazazi kuwalinda na kuwashauri watoto wenu, serikali kutoa onyo kwa vijana walio chini ya miaka kumi na nane wasipatikane katika vilabu na wasipatikane wakitumia mihadarati, la sivyo wadhibiwe vikali. Mwisho kabisa ni vijana kukubali tabia nzuri na mashauri mema wanazoambiwa katika jamii zao. Iwapo mawaidha haya yutazingatiwa, vijana mtaheshimika na mtakuwa vizazi na viongozi wema katika jamii na nchi yenu. Asanteni kwa kila mtu aliyeniskiliza na Mungu awabariki nyote.”
Vijana wanatumia dawa wakiamini kuwa itawasaidia kupunguza nini
{ "text": [ "Mawazo" ] }
1540_swa
HOTUBA KUHUSU DAWA ZA KULEVYA NA MADHARA YAKE “Vijana, wazee, kina mama na watoto hamjamboni? Leo tumekusanyika katika shule hii ya Maruki ya Mbale ili tuweze kuelimika na kujua madhara ya dawa za kule vya. Dawa hizi zinapotumika husaidia mwili kuwepo katika hali ya kawaida? Hiyo ndio maana na matumizi yake. Dawa hizi pia zina madhara haswa zinapotumiwa vibaya zinaleta madhara ya kiafya na hata kiuchumi. Katika serikali hii yetu ya Kenya, vijana wengi, haswa asilimia sabini, wanatumia dawa hizi za kulevya vibaya. Dawa hizi ni kama bangi, miraa, chang’aa, sigara, na hata pombe ya aina yoyote. Dawa hizi zinatumika kwa njia mbalimbali kama kuvuta, kunywa, kutafuna ama kujidunga mwilini. Vijana wengi katika shule na hata katika jamii zetu wanatumia dawa hizi kwa kiasi kingi. Vijana hawa wanazitumia wakiamini kuwa zinawasaidia kupunguza mawazo, kuongeza nguvu mwilini, kuwapa akili nyingi na kuwafanya wajihisi vyema kimwili. Nyinyi vijana hamjui kuwa manaharibu miili yenu na hata kuleta hasara katika jamii, pamoja na kuzorotesha uchumi. Hivi leo nataka niwape mawaidha jinsi ambavyo dawa hizi zina madhara mengi. Kwanza kabisa, dawa hizi zinaleta magonjwa kama vile kansa ya mapafu, kurukwa na akili, kuzembea na kuumwa na kichwa kila wakati. Pia mtu anaweza kupata ajali, macho kubakia mekundu, kuwa mchafu na kunuka kwa watu, wakati mwingine pia husababisha vita. Mbali na hayo, yanamfanya mtu awe mwizi wakati hana pesa za kununua dawa hizo. Mtu anaanza kutumia lugha ya matusi, anatumia pesa zote kulewa na kukosa chakula. Wengine pia wanaachana katika ndoa yao na familia kuvunjika. Matumiza ya dawa za kulevya yanasababishwa na mambo kama marafiki wabaya, vitisho kutoka kwa vikundi ambavyo mnahusiano nayo, ukosefu wa malezi bora yanayofaa, mazingira ya mtu, kukosa wazazi na hata kujifunza kutoka kwa wengine. Hata hivyo, utumizi wa dawa hizi za kulevya unaweza kuzuiliwa kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa ni kuchagua marafiki zenu vyema, ambao watawasaidia kwa njia inayofaa, kutafuta mawaidha kwa walio karibu nawe, haswa wazazi wenu, kuwajibika katika masomo yenu, wazazi kuwalinda na kuwashauri watoto wenu, serikali kutoa onyo kwa vijana walio chini ya miaka kumi na nane wasipatikane katika vilabu na wasipatikane wakitumia mihadarati, la sivyo wadhibiwe vikali. Mwisho kabisa ni vijana kukubali tabia nzuri na mashauri mema wanazoambiwa katika jamii zao. Iwapo mawaidha haya yutazingatiwa, vijana mtaheshimika na mtakuwa vizazi na viongozi wema katika jamii na nchi yenu. Asanteni kwa kila mtu aliyeniskiliza na Mungu awabariki nyote.”
Ni nini husababisha kansa,kuruka akili na kuumwa na kichwa
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
1540_swa
HOTUBA KUHUSU DAWA ZA KULEVYA NA MADHARA YAKE “Vijana, wazee, kina mama na watoto hamjamboni? Leo tumekusanyika katika shule hii ya Maruki ya Mbale ili tuweze kuelimika na kujua madhara ya dawa za kule vya. Dawa hizi zinapotumika husaidia mwili kuwepo katika hali ya kawaida? Hiyo ndio maana na matumizi yake. Dawa hizi pia zina madhara haswa zinapotumiwa vibaya zinaleta madhara ya kiafya na hata kiuchumi. Katika serikali hii yetu ya Kenya, vijana wengi, haswa asilimia sabini, wanatumia dawa hizi za kulevya vibaya. Dawa hizi ni kama bangi, miraa, chang’aa, sigara, na hata pombe ya aina yoyote. Dawa hizi zinatumika kwa njia mbalimbali kama kuvuta, kunywa, kutafuna ama kujidunga mwilini. Vijana wengi katika shule na hata katika jamii zetu wanatumia dawa hizi kwa kiasi kingi. Vijana hawa wanazitumia wakiamini kuwa zinawasaidia kupunguza mawazo, kuongeza nguvu mwilini, kuwapa akili nyingi na kuwafanya wajihisi vyema kimwili. Nyinyi vijana hamjui kuwa manaharibu miili yenu na hata kuleta hasara katika jamii, pamoja na kuzorotesha uchumi. Hivi leo nataka niwape mawaidha jinsi ambavyo dawa hizi zina madhara mengi. Kwanza kabisa, dawa hizi zinaleta magonjwa kama vile kansa ya mapafu, kurukwa na akili, kuzembea na kuumwa na kichwa kila wakati. Pia mtu anaweza kupata ajali, macho kubakia mekundu, kuwa mchafu na kunuka kwa watu, wakati mwingine pia husababisha vita. Mbali na hayo, yanamfanya mtu awe mwizi wakati hana pesa za kununua dawa hizo. Mtu anaanza kutumia lugha ya matusi, anatumia pesa zote kulewa na kukosa chakula. Wengine pia wanaachana katika ndoa yao na familia kuvunjika. Matumiza ya dawa za kulevya yanasababishwa na mambo kama marafiki wabaya, vitisho kutoka kwa vikundi ambavyo mnahusiano nayo, ukosefu wa malezi bora yanayofaa, mazingira ya mtu, kukosa wazazi na hata kujifunza kutoka kwa wengine. Hata hivyo, utumizi wa dawa hizi za kulevya unaweza kuzuiliwa kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa ni kuchagua marafiki zenu vyema, ambao watawasaidia kwa njia inayofaa, kutafuta mawaidha kwa walio karibu nawe, haswa wazazi wenu, kuwajibika katika masomo yenu, wazazi kuwalinda na kuwashauri watoto wenu, serikali kutoa onyo kwa vijana walio chini ya miaka kumi na nane wasipatikane katika vilabu na wasipatikane wakitumia mihadarati, la sivyo wadhibiwe vikali. Mwisho kabisa ni vijana kukubali tabia nzuri na mashauri mema wanazoambiwa katika jamii zao. Iwapo mawaidha haya yutazingatiwa, vijana mtaheshimika na mtakuwa vizazi na viongozi wema katika jamii na nchi yenu. Asanteni kwa kila mtu aliyeniskiliza na Mungu awabariki nyote.”
Wazazi wanawashauri watoto kuhusu nini
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
1543_swa
JINSI YA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara nchini Kenya imekuwa mojawapo ya zoezi la kila mtu ili kustahimili maisha nchini Kenya. Biashara inasaidia watu wengi humu nchini kuondoa makali ya umaskini, kuendeleza nchi kiuchumi hivyo basi, haipaswi kulegeza hata kidogo. Tunafaa kuimarisha biashara humu nchini ili wananchi waweze kujiendeleza na pia tuweze kuishi kwa amani na upendo. Serikali inafaa kuimarisha muindo msingi iliyopo humu nchini ili kuweza kurahishisha biashara. Mfano ni ujenzi wa barabara bora ili kuwezesha usafirishaji wa bidhaa kutoka viwandani hadi sokoni. Serikali inapaswa kupunguza ada au kodi au ushuru inayotozwa kwa wafanyabiashara. Jambo hili litaweza kuwashawishi watu wengi kufanya biashara bila ya kuogopa kupata hasara. Hili litafanya taifa kuimarika kiuchumi. Nne, serikali inapaswa kuhakikisha kuna matumizi bora ya malighafi na pia ya kutosha na pia kuwe na ugawaji sawa wa mali. Jambo hili litasaidia kuleta amani nchini na watu wengi wataweza kujiinua kimaisha na pia kuimarisha uchumi wa taifa letu. Wafanyibiashara wanapaswa kuwa na ushirikiano mwema baina ya na pia baina yao na wanaoumia bidhaa zao ili kuleta amani na ili watu waweze kufikia malengo yao ya maisha. Hata hivyo, serikali pia inapaswa kujenga majumba ambayo watu watukuwa wakilipa kodi na kufanyia biashara na kodi hii itaweza kuendeleza nchi na kuinua nchi kimaendeleo na pia watu wataweza kujikimu kimaisha. Mbali na hayo, serikali inapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia mpya katika biashara hadi ziweze kufua dafu pale ambapo watu watafunzwa dhidi ya kutumia mitambo mbalimbali kibiashara, kuendeleza somo la biashara katika shule za upili, kukuza ubunifu na mazingira mema ya kufanyia biashara, kuelimisha watu jinsi ya kuanza biashara kutoka kwa pato dogo hadi kubwa, kuibua miradi mbalimbali ambayo itaeneza biashara na pia kuvutia mataifa mengine kuingilia kati.
Biashara hukuza nini nchini?
{ "text": [ "Uchumi" ] }
1543_swa
JINSI YA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara nchini Kenya imekuwa mojawapo ya zoezi la kila mtu ili kustahimili maisha nchini Kenya. Biashara inasaidia watu wengi humu nchini kuondoa makali ya umaskini, kuendeleza nchi kiuchumi hivyo basi, haipaswi kulegeza hata kidogo. Tunafaa kuimarisha biashara humu nchini ili wananchi waweze kujiendeleza na pia tuweze kuishi kwa amani na upendo. Serikali inafaa kuimarisha muindo msingi iliyopo humu nchini ili kuweza kurahishisha biashara. Mfano ni ujenzi wa barabara bora ili kuwezesha usafirishaji wa bidhaa kutoka viwandani hadi sokoni. Serikali inapaswa kupunguza ada au kodi au ushuru inayotozwa kwa wafanyabiashara. Jambo hili litaweza kuwashawishi watu wengi kufanya biashara bila ya kuogopa kupata hasara. Hili litafanya taifa kuimarika kiuchumi. Nne, serikali inapaswa kuhakikisha kuna matumizi bora ya malighafi na pia ya kutosha na pia kuwe na ugawaji sawa wa mali. Jambo hili litasaidia kuleta amani nchini na watu wengi wataweza kujiinua kimaisha na pia kuimarisha uchumi wa taifa letu. Wafanyibiashara wanapaswa kuwa na ushirikiano mwema baina ya na pia baina yao na wanaoumia bidhaa zao ili kuleta amani na ili watu waweze kufikia malengo yao ya maisha. Hata hivyo, serikali pia inapaswa kujenga majumba ambayo watu watukuwa wakilipa kodi na kufanyia biashara na kodi hii itaweza kuendeleza nchi na kuinua nchi kimaendeleo na pia watu wataweza kujikimu kimaisha. Mbali na hayo, serikali inapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia mpya katika biashara hadi ziweze kufua dafu pale ambapo watu watafunzwa dhidi ya kutumia mitambo mbalimbali kibiashara, kuendeleza somo la biashara katika shule za upili, kukuza ubunifu na mazingira mema ya kufanyia biashara, kuelimisha watu jinsi ya kuanza biashara kutoka kwa pato dogo hadi kubwa, kuibua miradi mbalimbali ambayo itaeneza biashara na pia kuvutia mataifa mengine kuingilia kati.
Biashara hufukuza nini?
{ "text": [ "Umaskini" ] }
1543_swa
JINSI YA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara nchini Kenya imekuwa mojawapo ya zoezi la kila mtu ili kustahimili maisha nchini Kenya. Biashara inasaidia watu wengi humu nchini kuondoa makali ya umaskini, kuendeleza nchi kiuchumi hivyo basi, haipaswi kulegeza hata kidogo. Tunafaa kuimarisha biashara humu nchini ili wananchi waweze kujiendeleza na pia tuweze kuishi kwa amani na upendo. Serikali inafaa kuimarisha muindo msingi iliyopo humu nchini ili kuweza kurahishisha biashara. Mfano ni ujenzi wa barabara bora ili kuwezesha usafirishaji wa bidhaa kutoka viwandani hadi sokoni. Serikali inapaswa kupunguza ada au kodi au ushuru inayotozwa kwa wafanyabiashara. Jambo hili litaweza kuwashawishi watu wengi kufanya biashara bila ya kuogopa kupata hasara. Hili litafanya taifa kuimarika kiuchumi. Nne, serikali inapaswa kuhakikisha kuna matumizi bora ya malighafi na pia ya kutosha na pia kuwe na ugawaji sawa wa mali. Jambo hili litasaidia kuleta amani nchini na watu wengi wataweza kujiinua kimaisha na pia kuimarisha uchumi wa taifa letu. Wafanyibiashara wanapaswa kuwa na ushirikiano mwema baina ya na pia baina yao na wanaoumia bidhaa zao ili kuleta amani na ili watu waweze kufikia malengo yao ya maisha. Hata hivyo, serikali pia inapaswa kujenga majumba ambayo watu watukuwa wakilipa kodi na kufanyia biashara na kodi hii itaweza kuendeleza nchi na kuinua nchi kimaendeleo na pia watu wataweza kujikimu kimaisha. Mbali na hayo, serikali inapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia mpya katika biashara hadi ziweze kufua dafu pale ambapo watu watafunzwa dhidi ya kutumia mitambo mbalimbali kibiashara, kuendeleza somo la biashara katika shule za upili, kukuza ubunifu na mazingira mema ya kufanyia biashara, kuelimisha watu jinsi ya kuanza biashara kutoka kwa pato dogo hadi kubwa, kuibua miradi mbalimbali ambayo itaeneza biashara na pia kuvutia mataifa mengine kuingilia kati.
Muundo msingi upi huimarisha biashara?
{ "text": [ "Barabara" ] }
1543_swa
JINSI YA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara nchini Kenya imekuwa mojawapo ya zoezi la kila mtu ili kustahimili maisha nchini Kenya. Biashara inasaidia watu wengi humu nchini kuondoa makali ya umaskini, kuendeleza nchi kiuchumi hivyo basi, haipaswi kulegeza hata kidogo. Tunafaa kuimarisha biashara humu nchini ili wananchi waweze kujiendeleza na pia tuweze kuishi kwa amani na upendo. Serikali inafaa kuimarisha muindo msingi iliyopo humu nchini ili kuweza kurahishisha biashara. Mfano ni ujenzi wa barabara bora ili kuwezesha usafirishaji wa bidhaa kutoka viwandani hadi sokoni. Serikali inapaswa kupunguza ada au kodi au ushuru inayotozwa kwa wafanyabiashara. Jambo hili litaweza kuwashawishi watu wengi kufanya biashara bila ya kuogopa kupata hasara. Hili litafanya taifa kuimarika kiuchumi. Nne, serikali inapaswa kuhakikisha kuna matumizi bora ya malighafi na pia ya kutosha na pia kuwe na ugawaji sawa wa mali. Jambo hili litasaidia kuleta amani nchini na watu wengi wataweza kujiinua kimaisha na pia kuimarisha uchumi wa taifa letu. Wafanyibiashara wanapaswa kuwa na ushirikiano mwema baina ya na pia baina yao na wanaoumia bidhaa zao ili kuleta amani na ili watu waweze kufikia malengo yao ya maisha. Hata hivyo, serikali pia inapaswa kujenga majumba ambayo watu watukuwa wakilipa kodi na kufanyia biashara na kodi hii itaweza kuendeleza nchi na kuinua nchi kimaendeleo na pia watu wataweza kujikimu kimaisha. Mbali na hayo, serikali inapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia mpya katika biashara hadi ziweze kufua dafu pale ambapo watu watafunzwa dhidi ya kutumia mitambo mbalimbali kibiashara, kuendeleza somo la biashara katika shule za upili, kukuza ubunifu na mazingira mema ya kufanyia biashara, kuelimisha watu jinsi ya kuanza biashara kutoka kwa pato dogo hadi kubwa, kuibua miradi mbalimbali ambayo itaeneza biashara na pia kuvutia mataifa mengine kuingilia kati.
Mwanabiashara hupata nini kazini?
{ "text": [ "Pesa" ] }
1543_swa
JINSI YA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara nchini Kenya imekuwa mojawapo ya zoezi la kila mtu ili kustahimili maisha nchini Kenya. Biashara inasaidia watu wengi humu nchini kuondoa makali ya umaskini, kuendeleza nchi kiuchumi hivyo basi, haipaswi kulegeza hata kidogo. Tunafaa kuimarisha biashara humu nchini ili wananchi waweze kujiendeleza na pia tuweze kuishi kwa amani na upendo. Serikali inafaa kuimarisha muindo msingi iliyopo humu nchini ili kuweza kurahishisha biashara. Mfano ni ujenzi wa barabara bora ili kuwezesha usafirishaji wa bidhaa kutoka viwandani hadi sokoni. Serikali inapaswa kupunguza ada au kodi au ushuru inayotozwa kwa wafanyabiashara. Jambo hili litaweza kuwashawishi watu wengi kufanya biashara bila ya kuogopa kupata hasara. Hili litafanya taifa kuimarika kiuchumi. Nne, serikali inapaswa kuhakikisha kuna matumizi bora ya malighafi na pia ya kutosha na pia kuwe na ugawaji sawa wa mali. Jambo hili litasaidia kuleta amani nchini na watu wengi wataweza kujiinua kimaisha na pia kuimarisha uchumi wa taifa letu. Wafanyibiashara wanapaswa kuwa na ushirikiano mwema baina ya na pia baina yao na wanaoumia bidhaa zao ili kuleta amani na ili watu waweze kufikia malengo yao ya maisha. Hata hivyo, serikali pia inapaswa kujenga majumba ambayo watu watukuwa wakilipa kodi na kufanyia biashara na kodi hii itaweza kuendeleza nchi na kuinua nchi kimaendeleo na pia watu wataweza kujikimu kimaisha. Mbali na hayo, serikali inapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia mpya katika biashara hadi ziweze kufua dafu pale ambapo watu watafunzwa dhidi ya kutumia mitambo mbalimbali kibiashara, kuendeleza somo la biashara katika shule za upili, kukuza ubunifu na mazingira mema ya kufanyia biashara, kuelimisha watu jinsi ya kuanza biashara kutoka kwa pato dogo hadi kubwa, kuibua miradi mbalimbali ambayo itaeneza biashara na pia kuvutia mataifa mengine kuingilia kati.
Nani anaweza kuimarisha biashara nchini?
{ "text": [ "Serikali ya kitaifa katika nchi" ] }
1544_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni shughuli za uchukuzi ambapo bidhaa hubadilishwa kwa bidhaa zingine au pesa ili kukimu mahitaji ya maisha miongoni mwa binadamu. Shughuli za kibiashara ni muhimu sana katika kuwezesha binadamu kupata mahitaji yake. Biashara ni muhimu isipokuwa kuwa kuna changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa biashara humu nchini. Serikali ya Kenya inafaa itekeleze malengo yafuatayo ili biashara ilimarike miongoni mwa wakenya. Ujenzi wa barabara ili kuwezesha wanabiashara kusafirisha bidhaa zao katika masoke mbalimbali. Njia mbovu huathiri bidhaa zinazosafirishwa, hata hivyo, bidhaa zingine hufika sokoni kama zimeharibika tayari. Barabara mbovu pia huchelewesha wanabiashara kuwasili sokoni, kwani huchukua muda mwingi sana barabarani badala ya kuwa sokoni wakiuza bidhaa kwa muda unaofaa ili wauze baadhi ya bidhaa hizi. Serikali pia yafaa iimarishe usalama kwa wafanyabiashara pamoja na bidhaa zao. Usalama ukikosekana nchini huogofya wanabiashara kwa sababu huogopa kuuawa na hata bidhaa zao kuibwa. Wizi wa bidhaa za wafanyabiashara huwapelekea hasara na kusababisha kufilisika kibiashara. Pia, serikali inafaa ipunguze kiwango cha ushuru ili wanabiashara wengi wajitome katika ulingo wa biashara. Ushuru wa juu hufanya wanabiashara kufifia katika utekelezaji wa biashara. Kiwango cha juu cha ushuru kinawafanya wana biashara kupandisha bei za bidhaa ili kuweza kukimu kiwango cha ushuru na hata hivyo, kupoteza wateja wao. Kukosekana kwa wateja husababisha kuharibika kwa bidhaa zinazoharibika baada ya muda mfupi. Serikali inafaa ishirikiane na nchi mbalimbali kupanua au kuwatafutia wanabiashara wa humu nchini soko ya bidhaa zao. Bidhaa zimejaa humu nchini na hata kukosa soko. Bidhaa hizi zinafaa ziuzwe katika nchi zinazokosa bidhaa hizi ili kuwapa wanabiashara motisha ya kuingia katika biashara. Serikali ikishirikiana na nchi zingine za kigeni pia itawaondolea wanabiashara vizingiti mipakani. Hivi wana biashara watakuwa huru kuingia na kutoka katika nchi zingine ili kuzidisha mapato yao. Serikali pia inafaa iwajengee wanabiashara vibanda sokoni ili waweze kufanya biashara zao kila wakati. Wafanyabiashara wengi hawana mahali pa kujizuia dhidi ya hali kali ya hewa. Wanaathiriwa na hali ya anga. kama vile jua kali, mvua na hata upepo unaoandamana na vumbi. Haya matatizo husababisha magonjwa kama vile saratani ya ngozi, homa na pepopunda. Wanabiashara wanaofanyia bisishara zao katika soko wazi hupoteza wakati wao mwingi kunapokuwa kukinyesha. Hili tatizo huwaletea mapato duni ya biashara na hata kuathiri wateja wao. Serikali pia inafaa iwape wananchi hela katika kiwango kilicho sawa ili waanzishe biashara. Hivi wananchi wengi wataingilia biashara mbalimbali zitakazozaana na kuleta manufaa katika nchi. Hivi pia serikali itakuwa na uwezo wa kupata maradufu pesa walizowapa wananchi ili kuanzisha biashara. Hii ni kwa sababu pesa hizi hurejeshwa kwa serikali kwa kuongezea riba ya kiwango kidogo cha pesa.
Serikali inapaswa kufanya nini kuimarisha usafirishaji wa bidhaa
{ "text": [ "kujenga barabara" ] }
1544_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni shughuli za uchukuzi ambapo bidhaa hubadilishwa kwa bidhaa zingine au pesa ili kukimu mahitaji ya maisha miongoni mwa binadamu. Shughuli za kibiashara ni muhimu sana katika kuwezesha binadamu kupata mahitaji yake. Biashara ni muhimu isipokuwa kuwa kuna changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa biashara humu nchini. Serikali ya Kenya inafaa itekeleze malengo yafuatayo ili biashara ilimarike miongoni mwa wakenya. Ujenzi wa barabara ili kuwezesha wanabiashara kusafirisha bidhaa zao katika masoke mbalimbali. Njia mbovu huathiri bidhaa zinazosafirishwa, hata hivyo, bidhaa zingine hufika sokoni kama zimeharibika tayari. Barabara mbovu pia huchelewesha wanabiashara kuwasili sokoni, kwani huchukua muda mwingi sana barabarani badala ya kuwa sokoni wakiuza bidhaa kwa muda unaofaa ili wauze baadhi ya bidhaa hizi. Serikali pia yafaa iimarishe usalama kwa wafanyabiashara pamoja na bidhaa zao. Usalama ukikosekana nchini huogofya wanabiashara kwa sababu huogopa kuuawa na hata bidhaa zao kuibwa. Wizi wa bidhaa za wafanyabiashara huwapelekea hasara na kusababisha kufilisika kibiashara. Pia, serikali inafaa ipunguze kiwango cha ushuru ili wanabiashara wengi wajitome katika ulingo wa biashara. Ushuru wa juu hufanya wanabiashara kufifia katika utekelezaji wa biashara. Kiwango cha juu cha ushuru kinawafanya wana biashara kupandisha bei za bidhaa ili kuweza kukimu kiwango cha ushuru na hata hivyo, kupoteza wateja wao. Kukosekana kwa wateja husababisha kuharibika kwa bidhaa zinazoharibika baada ya muda mfupi. Serikali inafaa ishirikiane na nchi mbalimbali kupanua au kuwatafutia wanabiashara wa humu nchini soko ya bidhaa zao. Bidhaa zimejaa humu nchini na hata kukosa soko. Bidhaa hizi zinafaa ziuzwe katika nchi zinazokosa bidhaa hizi ili kuwapa wanabiashara motisha ya kuingia katika biashara. Serikali ikishirikiana na nchi zingine za kigeni pia itawaondolea wanabiashara vizingiti mipakani. Hivi wana biashara watakuwa huru kuingia na kutoka katika nchi zingine ili kuzidisha mapato yao. Serikali pia inafaa iwajengee wanabiashara vibanda sokoni ili waweze kufanya biashara zao kila wakati. Wafanyabiashara wengi hawana mahali pa kujizuia dhidi ya hali kali ya hewa. Wanaathiriwa na hali ya anga. kama vile jua kali, mvua na hata upepo unaoandamana na vumbi. Haya matatizo husababisha magonjwa kama vile saratani ya ngozi, homa na pepopunda. Wanabiashara wanaofanyia bisishara zao katika soko wazi hupoteza wakati wao mwingi kunapokuwa kukinyesha. Hili tatizo huwaletea mapato duni ya biashara na hata kuathiri wateja wao. Serikali pia inafaa iwape wananchi hela katika kiwango kilicho sawa ili waanzishe biashara. Hivi wananchi wengi wataingilia biashara mbalimbali zitakazozaana na kuleta manufaa katika nchi. Hivi pia serikali itakuwa na uwezo wa kupata maradufu pesa walizowapa wananchi ili kuanzisha biashara. Hii ni kwa sababu pesa hizi hurejeshwa kwa serikali kwa kuongezea riba ya kiwango kidogo cha pesa.
Nini husababisha kufilisika kwa biashara
{ "text": [ "uporaji wa bidhaa" ] }
1544_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni shughuli za uchukuzi ambapo bidhaa hubadilishwa kwa bidhaa zingine au pesa ili kukimu mahitaji ya maisha miongoni mwa binadamu. Shughuli za kibiashara ni muhimu sana katika kuwezesha binadamu kupata mahitaji yake. Biashara ni muhimu isipokuwa kuwa kuna changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa biashara humu nchini. Serikali ya Kenya inafaa itekeleze malengo yafuatayo ili biashara ilimarike miongoni mwa wakenya. Ujenzi wa barabara ili kuwezesha wanabiashara kusafirisha bidhaa zao katika masoke mbalimbali. Njia mbovu huathiri bidhaa zinazosafirishwa, hata hivyo, bidhaa zingine hufika sokoni kama zimeharibika tayari. Barabara mbovu pia huchelewesha wanabiashara kuwasili sokoni, kwani huchukua muda mwingi sana barabarani badala ya kuwa sokoni wakiuza bidhaa kwa muda unaofaa ili wauze baadhi ya bidhaa hizi. Serikali pia yafaa iimarishe usalama kwa wafanyabiashara pamoja na bidhaa zao. Usalama ukikosekana nchini huogofya wanabiashara kwa sababu huogopa kuuawa na hata bidhaa zao kuibwa. Wizi wa bidhaa za wafanyabiashara huwapelekea hasara na kusababisha kufilisika kibiashara. Pia, serikali inafaa ipunguze kiwango cha ushuru ili wanabiashara wengi wajitome katika ulingo wa biashara. Ushuru wa juu hufanya wanabiashara kufifia katika utekelezaji wa biashara. Kiwango cha juu cha ushuru kinawafanya wana biashara kupandisha bei za bidhaa ili kuweza kukimu kiwango cha ushuru na hata hivyo, kupoteza wateja wao. Kukosekana kwa wateja husababisha kuharibika kwa bidhaa zinazoharibika baada ya muda mfupi. Serikali inafaa ishirikiane na nchi mbalimbali kupanua au kuwatafutia wanabiashara wa humu nchini soko ya bidhaa zao. Bidhaa zimejaa humu nchini na hata kukosa soko. Bidhaa hizi zinafaa ziuzwe katika nchi zinazokosa bidhaa hizi ili kuwapa wanabiashara motisha ya kuingia katika biashara. Serikali ikishirikiana na nchi zingine za kigeni pia itawaondolea wanabiashara vizingiti mipakani. Hivi wana biashara watakuwa huru kuingia na kutoka katika nchi zingine ili kuzidisha mapato yao. Serikali pia inafaa iwajengee wanabiashara vibanda sokoni ili waweze kufanya biashara zao kila wakati. Wafanyabiashara wengi hawana mahali pa kujizuia dhidi ya hali kali ya hewa. Wanaathiriwa na hali ya anga. kama vile jua kali, mvua na hata upepo unaoandamana na vumbi. Haya matatizo husababisha magonjwa kama vile saratani ya ngozi, homa na pepopunda. Wanabiashara wanaofanyia bisishara zao katika soko wazi hupoteza wakati wao mwingi kunapokuwa kukinyesha. Hili tatizo huwaletea mapato duni ya biashara na hata kuathiri wateja wao. Serikali pia inafaa iwape wananchi hela katika kiwango kilicho sawa ili waanzishe biashara. Hivi wananchi wengi wataingilia biashara mbalimbali zitakazozaana na kuleta manufaa katika nchi. Hivi pia serikali itakuwa na uwezo wa kupata maradufu pesa walizowapa wananchi ili kuanzisha biashara. Hii ni kwa sababu pesa hizi hurejeshwa kwa serikali kwa kuongezea riba ya kiwango kidogo cha pesa.
Nini husababisha wanabiashara kupandisha bei za bidhaa
{ "text": [ "ushuru wa juu" ] }
1544_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni shughuli za uchukuzi ambapo bidhaa hubadilishwa kwa bidhaa zingine au pesa ili kukimu mahitaji ya maisha miongoni mwa binadamu. Shughuli za kibiashara ni muhimu sana katika kuwezesha binadamu kupata mahitaji yake. Biashara ni muhimu isipokuwa kuwa kuna changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa biashara humu nchini. Serikali ya Kenya inafaa itekeleze malengo yafuatayo ili biashara ilimarike miongoni mwa wakenya. Ujenzi wa barabara ili kuwezesha wanabiashara kusafirisha bidhaa zao katika masoke mbalimbali. Njia mbovu huathiri bidhaa zinazosafirishwa, hata hivyo, bidhaa zingine hufika sokoni kama zimeharibika tayari. Barabara mbovu pia huchelewesha wanabiashara kuwasili sokoni, kwani huchukua muda mwingi sana barabarani badala ya kuwa sokoni wakiuza bidhaa kwa muda unaofaa ili wauze baadhi ya bidhaa hizi. Serikali pia yafaa iimarishe usalama kwa wafanyabiashara pamoja na bidhaa zao. Usalama ukikosekana nchini huogofya wanabiashara kwa sababu huogopa kuuawa na hata bidhaa zao kuibwa. Wizi wa bidhaa za wafanyabiashara huwapelekea hasara na kusababisha kufilisika kibiashara. Pia, serikali inafaa ipunguze kiwango cha ushuru ili wanabiashara wengi wajitome katika ulingo wa biashara. Ushuru wa juu hufanya wanabiashara kufifia katika utekelezaji wa biashara. Kiwango cha juu cha ushuru kinawafanya wana biashara kupandisha bei za bidhaa ili kuweza kukimu kiwango cha ushuru na hata hivyo, kupoteza wateja wao. Kukosekana kwa wateja husababisha kuharibika kwa bidhaa zinazoharibika baada ya muda mfupi. Serikali inafaa ishirikiane na nchi mbalimbali kupanua au kuwatafutia wanabiashara wa humu nchini soko ya bidhaa zao. Bidhaa zimejaa humu nchini na hata kukosa soko. Bidhaa hizi zinafaa ziuzwe katika nchi zinazokosa bidhaa hizi ili kuwapa wanabiashara motisha ya kuingia katika biashara. Serikali ikishirikiana na nchi zingine za kigeni pia itawaondolea wanabiashara vizingiti mipakani. Hivi wana biashara watakuwa huru kuingia na kutoka katika nchi zingine ili kuzidisha mapato yao. Serikali pia inafaa iwajengee wanabiashara vibanda sokoni ili waweze kufanya biashara zao kila wakati. Wafanyabiashara wengi hawana mahali pa kujizuia dhidi ya hali kali ya hewa. Wanaathiriwa na hali ya anga. kama vile jua kali, mvua na hata upepo unaoandamana na vumbi. Haya matatizo husababisha magonjwa kama vile saratani ya ngozi, homa na pepopunda. Wanabiashara wanaofanyia bisishara zao katika soko wazi hupoteza wakati wao mwingi kunapokuwa kukinyesha. Hili tatizo huwaletea mapato duni ya biashara na hata kuathiri wateja wao. Serikali pia inafaa iwape wananchi hela katika kiwango kilicho sawa ili waanzishe biashara. Hivi wananchi wengi wataingilia biashara mbalimbali zitakazozaana na kuleta manufaa katika nchi. Hivi pia serikali itakuwa na uwezo wa kupata maradufu pesa walizowapa wananchi ili kuanzisha biashara. Hii ni kwa sababu pesa hizi hurejeshwa kwa serikali kwa kuongezea riba ya kiwango kidogo cha pesa.
Ni lini wanabiashara wanaweza pata motisha kuingia katika biashara
{ "text": [ "wanapouza bidhaa nje" ] }
1544_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA Biashara ni shughuli za uchukuzi ambapo bidhaa hubadilishwa kwa bidhaa zingine au pesa ili kukimu mahitaji ya maisha miongoni mwa binadamu. Shughuli za kibiashara ni muhimu sana katika kuwezesha binadamu kupata mahitaji yake. Biashara ni muhimu isipokuwa kuwa kuna changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa biashara humu nchini. Serikali ya Kenya inafaa itekeleze malengo yafuatayo ili biashara ilimarike miongoni mwa wakenya. Ujenzi wa barabara ili kuwezesha wanabiashara kusafirisha bidhaa zao katika masoke mbalimbali. Njia mbovu huathiri bidhaa zinazosafirishwa, hata hivyo, bidhaa zingine hufika sokoni kama zimeharibika tayari. Barabara mbovu pia huchelewesha wanabiashara kuwasili sokoni, kwani huchukua muda mwingi sana barabarani badala ya kuwa sokoni wakiuza bidhaa kwa muda unaofaa ili wauze baadhi ya bidhaa hizi. Serikali pia yafaa iimarishe usalama kwa wafanyabiashara pamoja na bidhaa zao. Usalama ukikosekana nchini huogofya wanabiashara kwa sababu huogopa kuuawa na hata bidhaa zao kuibwa. Wizi wa bidhaa za wafanyabiashara huwapelekea hasara na kusababisha kufilisika kibiashara. Pia, serikali inafaa ipunguze kiwango cha ushuru ili wanabiashara wengi wajitome katika ulingo wa biashara. Ushuru wa juu hufanya wanabiashara kufifia katika utekelezaji wa biashara. Kiwango cha juu cha ushuru kinawafanya wana biashara kupandisha bei za bidhaa ili kuweza kukimu kiwango cha ushuru na hata hivyo, kupoteza wateja wao. Kukosekana kwa wateja husababisha kuharibika kwa bidhaa zinazoharibika baada ya muda mfupi. Serikali inafaa ishirikiane na nchi mbalimbali kupanua au kuwatafutia wanabiashara wa humu nchini soko ya bidhaa zao. Bidhaa zimejaa humu nchini na hata kukosa soko. Bidhaa hizi zinafaa ziuzwe katika nchi zinazokosa bidhaa hizi ili kuwapa wanabiashara motisha ya kuingia katika biashara. Serikali ikishirikiana na nchi zingine za kigeni pia itawaondolea wanabiashara vizingiti mipakani. Hivi wana biashara watakuwa huru kuingia na kutoka katika nchi zingine ili kuzidisha mapato yao. Serikali pia inafaa iwajengee wanabiashara vibanda sokoni ili waweze kufanya biashara zao kila wakati. Wafanyabiashara wengi hawana mahali pa kujizuia dhidi ya hali kali ya hewa. Wanaathiriwa na hali ya anga. kama vile jua kali, mvua na hata upepo unaoandamana na vumbi. Haya matatizo husababisha magonjwa kama vile saratani ya ngozi, homa na pepopunda. Wanabiashara wanaofanyia bisishara zao katika soko wazi hupoteza wakati wao mwingi kunapokuwa kukinyesha. Hili tatizo huwaletea mapato duni ya biashara na hata kuathiri wateja wao. Serikali pia inafaa iwape wananchi hela katika kiwango kilicho sawa ili waanzishe biashara. Hivi wananchi wengi wataingilia biashara mbalimbali zitakazozaana na kuleta manufaa katika nchi. Hivi pia serikali itakuwa na uwezo wa kupata maradufu pesa walizowapa wananchi ili kuanzisha biashara. Hii ni kwa sababu pesa hizi hurejeshwa kwa serikali kwa kuongezea riba ya kiwango kidogo cha pesa.
Kwa nini serikali inapaswa kuwajengea wanabiashara vibanda
{ "text": [ "ili waweze kufanya biashara zao kila wakati" ] }
1545_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE “Mwenyekiti wa kamati ya shule, wanakamati, walimu, wazazi na wanafunzi hamjambo? Kwanza furaha isiyo na kifani kuwaona nyote mahala hapa. Bila kuupoteza muda, ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ya leo. Katika mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana, matokeo hayakuwa ya kuridhisha mno. Shule hii ina uzoefu wa kupeleka wanafunzikaribia wote katika chuo kikuu. Mwaka huu ni kinyume kabisa. Baada ya wanafunzi mia tatu kupanda mbegu zao za bidii ya mchwa, hatimaye wakati wao wa kuvuna uliwadia. Kuna wale ambao mavuno yao yaliwaridhisha pamoja na aila yao ila waliokuwa goigoi hawana nyuso za kumtazama mtu yeyote. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo; Alama za A tatu, B+ Arobaini, B hamsini, B- sabini C+mia moja hamsini, C kumi na tatu. Kwa hivyo, wanafunzi kumi na hwatatu hawatajiunga chuo kikuu. Ningependa kuhimiza wanafunzi kuhusu bidii. Hamna yeyote anayetia bidii ya mchwa kisha Maulana akamruzuku asichokitaka. Kumbuka kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hakuna atakayefanikiwa bila kutia bidii kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Ukitaka kufanikiwa katika jambo lazima utie akili yako kwenye jambo hilo. Wazazi pia mna nafasi yenu. Mnahitaji kuwapa wana wenu mawaidha. Mnapokosa kuwapa Vifaa muhimu kama vile vikokotoo mnachangia katika kufeli kwao. Walimu ningependa kuwashukuru kwa ushirikiano wa hali ya juu mliotuonyesha. Kwani, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Nawahimiza muendelee kuwasaidia vijana hawa katika kuwaonyesha njia. Hawa ndio watakaoturidhi baada ya sisi kula chumvi. Mwisho ningependa kuwashukuru nyote mliofanikisha mwaka jana kwa kusaidia kwa jambo moja au lingine. Asanteni.”
Shule hiyo ina mazoea ya kupeleka karibu wote wapi
{ "text": [ "Chuo kikuu" ] }
1545_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE “Mwenyekiti wa kamati ya shule, wanakamati, walimu, wazazi na wanafunzi hamjambo? Kwanza furaha isiyo na kifani kuwaona nyote mahala hapa. Bila kuupoteza muda, ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ya leo. Katika mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana, matokeo hayakuwa ya kuridhisha mno. Shule hii ina uzoefu wa kupeleka wanafunzikaribia wote katika chuo kikuu. Mwaka huu ni kinyume kabisa. Baada ya wanafunzi mia tatu kupanda mbegu zao za bidii ya mchwa, hatimaye wakati wao wa kuvuna uliwadia. Kuna wale ambao mavuno yao yaliwaridhisha pamoja na aila yao ila waliokuwa goigoi hawana nyuso za kumtazama mtu yeyote. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo; Alama za A tatu, B+ Arobaini, B hamsini, B- sabini C+mia moja hamsini, C kumi na tatu. Kwa hivyo, wanafunzi kumi na hwatatu hawatajiunga chuo kikuu. Ningependa kuhimiza wanafunzi kuhusu bidii. Hamna yeyote anayetia bidii ya mchwa kisha Maulana akamruzuku asichokitaka. Kumbuka kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hakuna atakayefanikiwa bila kutia bidii kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Ukitaka kufanikiwa katika jambo lazima utie akili yako kwenye jambo hilo. Wazazi pia mna nafasi yenu. Mnahitaji kuwapa wana wenu mawaidha. Mnapokosa kuwapa Vifaa muhimu kama vile vikokotoo mnachangia katika kufeli kwao. Walimu ningependa kuwashukuru kwa ushirikiano wa hali ya juu mliotuonyesha. Kwani, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Nawahimiza muendelee kuwasaidia vijana hawa katika kuwaonyesha njia. Hawa ndio watakaoturidhi baada ya sisi kula chumvi. Mwisho ningependa kuwashukuru nyote mliofanikisha mwaka jana kwa kusaidia kwa jambo moja au lingine. Asanteni.”
Ni wanafunzi mia ngapi walipanda mbegu zao na bidii ya mchwa
{ "text": [ "Tatu" ] }
1545_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE “Mwenyekiti wa kamati ya shule, wanakamati, walimu, wazazi na wanafunzi hamjambo? Kwanza furaha isiyo na kifani kuwaona nyote mahala hapa. Bila kuupoteza muda, ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ya leo. Katika mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana, matokeo hayakuwa ya kuridhisha mno. Shule hii ina uzoefu wa kupeleka wanafunzikaribia wote katika chuo kikuu. Mwaka huu ni kinyume kabisa. Baada ya wanafunzi mia tatu kupanda mbegu zao za bidii ya mchwa, hatimaye wakati wao wa kuvuna uliwadia. Kuna wale ambao mavuno yao yaliwaridhisha pamoja na aila yao ila waliokuwa goigoi hawana nyuso za kumtazama mtu yeyote. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo; Alama za A tatu, B+ Arobaini, B hamsini, B- sabini C+mia moja hamsini, C kumi na tatu. Kwa hivyo, wanafunzi kumi na hwatatu hawatajiunga chuo kikuu. Ningependa kuhimiza wanafunzi kuhusu bidii. Hamna yeyote anayetia bidii ya mchwa kisha Maulana akamruzuku asichokitaka. Kumbuka kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hakuna atakayefanikiwa bila kutia bidii kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Ukitaka kufanikiwa katika jambo lazima utie akili yako kwenye jambo hilo. Wazazi pia mna nafasi yenu. Mnahitaji kuwapa wana wenu mawaidha. Mnapokosa kuwapa Vifaa muhimu kama vile vikokotoo mnachangia katika kufeli kwao. Walimu ningependa kuwashukuru kwa ushirikiano wa hali ya juu mliotuonyesha. Kwani, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Nawahimiza muendelee kuwasaidia vijana hawa katika kuwaonyesha njia. Hawa ndio watakaoturidhi baada ya sisi kula chumvi. Mwisho ningependa kuwashukuru nyote mliofanikisha mwaka jana kwa kusaidia kwa jambo moja au lingine. Asanteni.”
Wanafunzi kumi na watatu hawatajiunga na chuo kipi
{ "text": [ "Kikuu" ] }
1545_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE “Mwenyekiti wa kamati ya shule, wanakamati, walimu, wazazi na wanafunzi hamjambo? Kwanza furaha isiyo na kifani kuwaona nyote mahala hapa. Bila kuupoteza muda, ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ya leo. Katika mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana, matokeo hayakuwa ya kuridhisha mno. Shule hii ina uzoefu wa kupeleka wanafunzikaribia wote katika chuo kikuu. Mwaka huu ni kinyume kabisa. Baada ya wanafunzi mia tatu kupanda mbegu zao za bidii ya mchwa, hatimaye wakati wao wa kuvuna uliwadia. Kuna wale ambao mavuno yao yaliwaridhisha pamoja na aila yao ila waliokuwa goigoi hawana nyuso za kumtazama mtu yeyote. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo; Alama za A tatu, B+ Arobaini, B hamsini, B- sabini C+mia moja hamsini, C kumi na tatu. Kwa hivyo, wanafunzi kumi na hwatatu hawatajiunga chuo kikuu. Ningependa kuhimiza wanafunzi kuhusu bidii. Hamna yeyote anayetia bidii ya mchwa kisha Maulana akamruzuku asichokitaka. Kumbuka kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hakuna atakayefanikiwa bila kutia bidii kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Ukitaka kufanikiwa katika jambo lazima utie akili yako kwenye jambo hilo. Wazazi pia mna nafasi yenu. Mnahitaji kuwapa wana wenu mawaidha. Mnapokosa kuwapa Vifaa muhimu kama vile vikokotoo mnachangia katika kufeli kwao. Walimu ningependa kuwashukuru kwa ushirikiano wa hali ya juu mliotuonyesha. Kwani, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Nawahimiza muendelee kuwasaidia vijana hawa katika kuwaonyesha njia. Hawa ndio watakaoturidhi baada ya sisi kula chumvi. Mwisho ningependa kuwashukuru nyote mliofanikisha mwaka jana kwa kusaidia kwa jambo moja au lingine. Asanteni.”
Ajizi ni nyumba ya nini
{ "text": [ "Njaa" ] }
1545_swa
HOTUBA YA MWALIMU MKUU KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE “Mwenyekiti wa kamati ya shule, wanakamati, walimu, wazazi na wanafunzi hamjambo? Kwanza furaha isiyo na kifani kuwaona nyote mahala hapa. Bila kuupoteza muda, ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ya leo. Katika mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana, matokeo hayakuwa ya kuridhisha mno. Shule hii ina uzoefu wa kupeleka wanafunzikaribia wote katika chuo kikuu. Mwaka huu ni kinyume kabisa. Baada ya wanafunzi mia tatu kupanda mbegu zao za bidii ya mchwa, hatimaye wakati wao wa kuvuna uliwadia. Kuna wale ambao mavuno yao yaliwaridhisha pamoja na aila yao ila waliokuwa goigoi hawana nyuso za kumtazama mtu yeyote. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo; Alama za A tatu, B+ Arobaini, B hamsini, B- sabini C+mia moja hamsini, C kumi na tatu. Kwa hivyo, wanafunzi kumi na hwatatu hawatajiunga chuo kikuu. Ningependa kuhimiza wanafunzi kuhusu bidii. Hamna yeyote anayetia bidii ya mchwa kisha Maulana akamruzuku asichokitaka. Kumbuka kuwa ajizi ni nyumba ya njaa. Hakuna atakayefanikiwa bila kutia bidii kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Ukitaka kufanikiwa katika jambo lazima utie akili yako kwenye jambo hilo. Wazazi pia mna nafasi yenu. Mnahitaji kuwapa wana wenu mawaidha. Mnapokosa kuwapa Vifaa muhimu kama vile vikokotoo mnachangia katika kufeli kwao. Walimu ningependa kuwashukuru kwa ushirikiano wa hali ya juu mliotuonyesha. Kwani, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Nawahimiza muendelee kuwasaidia vijana hawa katika kuwaonyesha njia. Hawa ndio watakaoturidhi baada ya sisi kula chumvi. Mwisho ningependa kuwashukuru nyote mliofanikisha mwaka jana kwa kusaidia kwa jambo moja au lingine. Asanteni.”
Ni nani wataendelea kuwasaidia vijana ili kuwaonyesha njia
{ "text": [ "Walimu" ] }
1546_swa
NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inastahili kuendelezwa na sio kuendelezwa tu bali kuendelezwa kwa njia ifaayo ili iweze kuvutia watu wote. Ili Kiswahili kiimarike, yafaa kuwepo siku ambayo ni ya kiswahili pekee kutumika kama lugha ya kuwasiliana na sio kingereza tu. Hili linawezekana iwapo wanafunzi na walimu wataungana kuhakikisha linatendeka. Katika nchi za Afrika na hata kote ulimwenguni, tume ya kusimamia lugha ya Kiswahili yafaa kuteuliwa. Tume hii itasaidia kufafanua na kutoa maelezo kuhusu msamiati ya Kiswahili ambayo wananchi wakiwemo walimu na wanafunzi hawaelewi. Hii itasaidia pakubwa kuweza kutimiza ndoto ya kuimarisha lugha ya kiswahili nchini na hata ulimwenguni. Kuwepo kwa mashindano ya uandishi wa insha nchini huweza kusaidia kuisongeza lugha ya kiswahili mbele kwani wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali huweza kuandika insha hizi. Makosa ambayo hupatikana hurekebishwa na maneno au misamiati mwafaka ambayo inafaa kutumiwa. lli lugha ya kiswahili iweze kuimarika, yafaa viongozi wanapotoa hotuba zao au matangazo yao, wayaeleze kupitia lugha ya kiswahili. Jambo hili litawafanya watu wengi kuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya kiswahili. Hivyo basi, hata bungeni kusiwe tu kunatumika lugha ya kiingereza bali pia kiswahili kitumike. Maktaba ya vitabu vya kiswahili yafa kutengenezwa ili utafiti uweze kufanywa na wanafunzi wa lugha ya kiswahili ili kupanua msamiati wa kiswahili na kukijenga katika kiwango kingine. Kupitia kuhudhuria vikao vya idara ya kiswahili, tunaweza kusikiliza mikakati iliyo wekwa na inayonuia kuimarisha kiswahili.
Lugha ya taifa la Kenya ni lipi?
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
1546_swa
NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inastahili kuendelezwa na sio kuendelezwa tu bali kuendelezwa kwa njia ifaayo ili iweze kuvutia watu wote. Ili Kiswahili kiimarike, yafaa kuwepo siku ambayo ni ya kiswahili pekee kutumika kama lugha ya kuwasiliana na sio kingereza tu. Hili linawezekana iwapo wanafunzi na walimu wataungana kuhakikisha linatendeka. Katika nchi za Afrika na hata kote ulimwenguni, tume ya kusimamia lugha ya Kiswahili yafaa kuteuliwa. Tume hii itasaidia kufafanua na kutoa maelezo kuhusu msamiati ya Kiswahili ambayo wananchi wakiwemo walimu na wanafunzi hawaelewi. Hii itasaidia pakubwa kuweza kutimiza ndoto ya kuimarisha lugha ya kiswahili nchini na hata ulimwenguni. Kuwepo kwa mashindano ya uandishi wa insha nchini huweza kusaidia kuisongeza lugha ya kiswahili mbele kwani wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali huweza kuandika insha hizi. Makosa ambayo hupatikana hurekebishwa na maneno au misamiati mwafaka ambayo inafaa kutumiwa. lli lugha ya kiswahili iweze kuimarika, yafaa viongozi wanapotoa hotuba zao au matangazo yao, wayaeleze kupitia lugha ya kiswahili. Jambo hili litawafanya watu wengi kuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya kiswahili. Hivyo basi, hata bungeni kusiwe tu kunatumika lugha ya kiingereza bali pia kiswahili kitumike. Maktaba ya vitabu vya kiswahili yafa kutengenezwa ili utafiti uweze kufanywa na wanafunzi wa lugha ya kiswahili ili kupanua msamiati wa kiswahili na kukijenga katika kiwango kingine. Kupitia kuhudhuria vikao vya idara ya kiswahili, tunaweza kusikiliza mikakati iliyo wekwa na inayonuia kuimarisha kiswahili.
Maneno magumu huitwa aje?
{ "text": [ "Misamiati" ] }
1546_swa
NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inastahili kuendelezwa na sio kuendelezwa tu bali kuendelezwa kwa njia ifaayo ili iweze kuvutia watu wote. Ili Kiswahili kiimarike, yafaa kuwepo siku ambayo ni ya kiswahili pekee kutumika kama lugha ya kuwasiliana na sio kingereza tu. Hili linawezekana iwapo wanafunzi na walimu wataungana kuhakikisha linatendeka. Katika nchi za Afrika na hata kote ulimwenguni, tume ya kusimamia lugha ya Kiswahili yafaa kuteuliwa. Tume hii itasaidia kufafanua na kutoa maelezo kuhusu msamiati ya Kiswahili ambayo wananchi wakiwemo walimu na wanafunzi hawaelewi. Hii itasaidia pakubwa kuweza kutimiza ndoto ya kuimarisha lugha ya kiswahili nchini na hata ulimwenguni. Kuwepo kwa mashindano ya uandishi wa insha nchini huweza kusaidia kuisongeza lugha ya kiswahili mbele kwani wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali huweza kuandika insha hizi. Makosa ambayo hupatikana hurekebishwa na maneno au misamiati mwafaka ambayo inafaa kutumiwa. lli lugha ya kiswahili iweze kuimarika, yafaa viongozi wanapotoa hotuba zao au matangazo yao, wayaeleze kupitia lugha ya kiswahili. Jambo hili litawafanya watu wengi kuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya kiswahili. Hivyo basi, hata bungeni kusiwe tu kunatumika lugha ya kiingereza bali pia kiswahili kitumike. Maktaba ya vitabu vya kiswahili yafa kutengenezwa ili utafiti uweze kufanywa na wanafunzi wa lugha ya kiswahili ili kupanua msamiati wa kiswahili na kukijenga katika kiwango kingine. Kupitia kuhudhuria vikao vya idara ya kiswahili, tunaweza kusikiliza mikakati iliyo wekwa na inayonuia kuimarisha kiswahili.
Viongozi hutumia lugha ipi?
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
1546_swa
NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inastahili kuendelezwa na sio kuendelezwa tu bali kuendelezwa kwa njia ifaayo ili iweze kuvutia watu wote. Ili Kiswahili kiimarike, yafaa kuwepo siku ambayo ni ya kiswahili pekee kutumika kama lugha ya kuwasiliana na sio kingereza tu. Hili linawezekana iwapo wanafunzi na walimu wataungana kuhakikisha linatendeka. Katika nchi za Afrika na hata kote ulimwenguni, tume ya kusimamia lugha ya Kiswahili yafaa kuteuliwa. Tume hii itasaidia kufafanua na kutoa maelezo kuhusu msamiati ya Kiswahili ambayo wananchi wakiwemo walimu na wanafunzi hawaelewi. Hii itasaidia pakubwa kuweza kutimiza ndoto ya kuimarisha lugha ya kiswahili nchini na hata ulimwenguni. Kuwepo kwa mashindano ya uandishi wa insha nchini huweza kusaidia kuisongeza lugha ya kiswahili mbele kwani wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali huweza kuandika insha hizi. Makosa ambayo hupatikana hurekebishwa na maneno au misamiati mwafaka ambayo inafaa kutumiwa. lli lugha ya kiswahili iweze kuimarika, yafaa viongozi wanapotoa hotuba zao au matangazo yao, wayaeleze kupitia lugha ya kiswahili. Jambo hili litawafanya watu wengi kuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya kiswahili. Hivyo basi, hata bungeni kusiwe tu kunatumika lugha ya kiingereza bali pia kiswahili kitumike. Maktaba ya vitabu vya kiswahili yafa kutengenezwa ili utafiti uweze kufanywa na wanafunzi wa lugha ya kiswahili ili kupanua msamiati wa kiswahili na kukijenga katika kiwango kingine. Kupitia kuhudhuria vikao vya idara ya kiswahili, tunaweza kusikiliza mikakati iliyo wekwa na inayonuia kuimarisha kiswahili.
Kenya hutengeneza sheria wapi?
{ "text": [ "Bungeni" ] }
1546_swa
NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inastahili kuendelezwa na sio kuendelezwa tu bali kuendelezwa kwa njia ifaayo ili iweze kuvutia watu wote. Ili Kiswahili kiimarike, yafaa kuwepo siku ambayo ni ya kiswahili pekee kutumika kama lugha ya kuwasiliana na sio kingereza tu. Hili linawezekana iwapo wanafunzi na walimu wataungana kuhakikisha linatendeka. Katika nchi za Afrika na hata kote ulimwenguni, tume ya kusimamia lugha ya Kiswahili yafaa kuteuliwa. Tume hii itasaidia kufafanua na kutoa maelezo kuhusu msamiati ya Kiswahili ambayo wananchi wakiwemo walimu na wanafunzi hawaelewi. Hii itasaidia pakubwa kuweza kutimiza ndoto ya kuimarisha lugha ya kiswahili nchini na hata ulimwenguni. Kuwepo kwa mashindano ya uandishi wa insha nchini huweza kusaidia kuisongeza lugha ya kiswahili mbele kwani wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali huweza kuandika insha hizi. Makosa ambayo hupatikana hurekebishwa na maneno au misamiati mwafaka ambayo inafaa kutumiwa. lli lugha ya kiswahili iweze kuimarika, yafaa viongozi wanapotoa hotuba zao au matangazo yao, wayaeleze kupitia lugha ya kiswahili. Jambo hili litawafanya watu wengi kuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya kiswahili. Hivyo basi, hata bungeni kusiwe tu kunatumika lugha ya kiingereza bali pia kiswahili kitumike. Maktaba ya vitabu vya kiswahili yafa kutengenezwa ili utafiti uweze kufanywa na wanafunzi wa lugha ya kiswahili ili kupanua msamiati wa kiswahili na kukijenga katika kiwango kingine. Kupitia kuhudhuria vikao vya idara ya kiswahili, tunaweza kusikiliza mikakati iliyo wekwa na inayonuia kuimarisha kiswahili.
Kiswahili ni maarufu eneo gani la Afrika?
{ "text": [ "Afrika mashariki haswa Kenya Uganda na Tanzania" ] }
1547_swa
UHAKIKI WA KIGOGO CHA PAULINE KEYA Kitabu hiki kinaanza na wachongaji watatu, Boza, Kombe na Sudi wakiwa katika soko la chapakazi wakiendeleza shughuli ya kila siku ya uchongaji vinyago. Boza anaonekana kutema tema mate ovyo huku akiangalia kijirununu chake naye Sudi anakula embe. Uchafuzi wa mazingira katika soko uko bayana kwa sababu povu jeupe linaonekana na uvundo upo sokoni. Ashua, mkewe Sudi anawaletea chai na mahamri matatu, Sudi anafungulia kijiredio cha simu ambapo matangazo ya kufungwa kwa soko kwa muda wa mwezi unatolewa. Boza na Kombe wanaonekana kuunga mkono tangaza hilo bila kujua watakachokula na mahitaji yao watakavyoyakimu kwa muda huo. Majoka, ambaye ni kiongozi wa jimbo hili la Sagamoyo, amemchukuwa binamuye, Mzee Kenga, na kumfanya mshauri wake. Kenga, ambaye anawatembelea wachongaji hawa watatu, anaonekana kuwa fisadi kwani anamlazimisha fudi ambaye amekataa kuchonga kinyago cha kiongozi wa Sagamoyo kwa minajili ya sherehe za miaka sitini ya uhuru. Migomo ya wafanyikazi inaonekana kwa ajili ya mishahara duni wanayotolewa. Majoka anaonekana kufurahishwa na jambo hili kwani anasema anatumia mbinu ya kuingiza na kutoa yaani anaongeza mishahara ya wafanyikazi hawa kwa asilimia kidogo kisha aongeze ushuru. Kenga anamshauri Majoka vibaya kwa kumwambia azuie maandamano yanayoendelezwa na Tunu na Sudi. Inaonekana bayana wakati ambapo alimwangamiza Jabali, mpinzani wake na kumsingizia ajali pia Majoka anajaribu kumuuwa Tunu ila inapatikana alivunjwa mguu tu! Kwa ajili ya upeperushaji wa habari kuwa Tunu awanie uongozi wa Sagamoyo, kituo cha Mzalendo kinanyimwa uhuru wa upeperushaji na kufungwa. Kituo kimoja tu kinabakia na hicho cha mashujaa wa Sagamoyo. Majoka anaonekana kumiliki mali kama Majora and Majoka Company ambayo wafanyikazi wake wanaonekana kuangamia ndani. Majoka and Majoka academy ambayo inaendeleza masomo duni na wanafunzi wake wandishia kuwa makabeji. Isitoshe, vifo vya wanasagamoyo vi bayana ambapo kwa ajili ya kufungiwa kwa soko, wanaume wamekosa cha kufanya na kuishia Mangweni ambapo Asiya na Nguromo walipata kibali cha uuzaji wa pombe haramu. Pombe hii inawapofusha watu na pia inasemekana Nguromo alifia huko Mangweni kwa ajili ya kunyongwa na chatu. Mazishi ya Ngurumo yanaharakishwa na Majoko eti shuguli za sherehe zisikatishwe. Ngao Junior anaangamia katika uwanja wa ndege. Habari hizi zinamfanya Majoka kuzimia na kupelekwa hospitalini ambapo katika ndoto, nafsi yake inamhukumu kwa maovu aliyowatendea wanasagamoyo. Mkewe Majoka, Husda, pia ana kushtuliwa na habari za kifo cha Ngao Junior. Inapofika siku ya kilele cha kusherehekea, watu wanakongamana mbele ya soko la chapakazi wakiongozwa na Tunu na Majoka anabaki na watu kumi katika sherehe zake. Hii inampa hasira na kumfanya aende walipo akina Tunu. Huko, inaonekana anasalitiwa na wenzake na Tunu anainuliwa juu ili aongoze Sagamoyo.
Boza, kombe na sudi wametajwa kuwa wanafanya kazi gani
{ "text": [ "Uchongaji" ] }
1547_swa
UHAKIKI WA KIGOGO CHA PAULINE KEYA Kitabu hiki kinaanza na wachongaji watatu, Boza, Kombe na Sudi wakiwa katika soko la chapakazi wakiendeleza shughuli ya kila siku ya uchongaji vinyago. Boza anaonekana kutema tema mate ovyo huku akiangalia kijirununu chake naye Sudi anakula embe. Uchafuzi wa mazingira katika soko uko bayana kwa sababu povu jeupe linaonekana na uvundo upo sokoni. Ashua, mkewe Sudi anawaletea chai na mahamri matatu, Sudi anafungulia kijiredio cha simu ambapo matangazo ya kufungwa kwa soko kwa muda wa mwezi unatolewa. Boza na Kombe wanaonekana kuunga mkono tangaza hilo bila kujua watakachokula na mahitaji yao watakavyoyakimu kwa muda huo. Majoka, ambaye ni kiongozi wa jimbo hili la Sagamoyo, amemchukuwa binamuye, Mzee Kenga, na kumfanya mshauri wake. Kenga, ambaye anawatembelea wachongaji hawa watatu, anaonekana kuwa fisadi kwani anamlazimisha fudi ambaye amekataa kuchonga kinyago cha kiongozi wa Sagamoyo kwa minajili ya sherehe za miaka sitini ya uhuru. Migomo ya wafanyikazi inaonekana kwa ajili ya mishahara duni wanayotolewa. Majoka anaonekana kufurahishwa na jambo hili kwani anasema anatumia mbinu ya kuingiza na kutoa yaani anaongeza mishahara ya wafanyikazi hawa kwa asilimia kidogo kisha aongeze ushuru. Kenga anamshauri Majoka vibaya kwa kumwambia azuie maandamano yanayoendelezwa na Tunu na Sudi. Inaonekana bayana wakati ambapo alimwangamiza Jabali, mpinzani wake na kumsingizia ajali pia Majoka anajaribu kumuuwa Tunu ila inapatikana alivunjwa mguu tu! Kwa ajili ya upeperushaji wa habari kuwa Tunu awanie uongozi wa Sagamoyo, kituo cha Mzalendo kinanyimwa uhuru wa upeperushaji na kufungwa. Kituo kimoja tu kinabakia na hicho cha mashujaa wa Sagamoyo. Majoka anaonekana kumiliki mali kama Majora and Majoka Company ambayo wafanyikazi wake wanaonekana kuangamia ndani. Majoka and Majoka academy ambayo inaendeleza masomo duni na wanafunzi wake wandishia kuwa makabeji. Isitoshe, vifo vya wanasagamoyo vi bayana ambapo kwa ajili ya kufungiwa kwa soko, wanaume wamekosa cha kufanya na kuishia Mangweni ambapo Asiya na Nguromo walipata kibali cha uuzaji wa pombe haramu. Pombe hii inawapofusha watu na pia inasemekana Nguromo alifia huko Mangweni kwa ajili ya kunyongwa na chatu. Mazishi ya Ngurumo yanaharakishwa na Majoko eti shuguli za sherehe zisikatishwe. Ngao Junior anaangamia katika uwanja wa ndege. Habari hizi zinamfanya Majoka kuzimia na kupelekwa hospitalini ambapo katika ndoto, nafsi yake inamhukumu kwa maovu aliyowatendea wanasagamoyo. Mkewe Majoka, Husda, pia ana kushtuliwa na habari za kifo cha Ngao Junior. Inapofika siku ya kilele cha kusherehekea, watu wanakongamana mbele ya soko la chapakazi wakiongozwa na Tunu na Majoka anabaki na watu kumi katika sherehe zake. Hii inampa hasira na kumfanya aende walipo akina Tunu. Huko, inaonekana anasalitiwa na wenzake na Tunu anainuliwa juu ili aongoze Sagamoyo.
Povu jeupe sokoni liliashiria nini
{ "text": [ "Uchafu na uvundo sokoni" ] }
1547_swa
UHAKIKI WA KIGOGO CHA PAULINE KEYA Kitabu hiki kinaanza na wachongaji watatu, Boza, Kombe na Sudi wakiwa katika soko la chapakazi wakiendeleza shughuli ya kila siku ya uchongaji vinyago. Boza anaonekana kutema tema mate ovyo huku akiangalia kijirununu chake naye Sudi anakula embe. Uchafuzi wa mazingira katika soko uko bayana kwa sababu povu jeupe linaonekana na uvundo upo sokoni. Ashua, mkewe Sudi anawaletea chai na mahamri matatu, Sudi anafungulia kijiredio cha simu ambapo matangazo ya kufungwa kwa soko kwa muda wa mwezi unatolewa. Boza na Kombe wanaonekana kuunga mkono tangaza hilo bila kujua watakachokula na mahitaji yao watakavyoyakimu kwa muda huo. Majoka, ambaye ni kiongozi wa jimbo hili la Sagamoyo, amemchukuwa binamuye, Mzee Kenga, na kumfanya mshauri wake. Kenga, ambaye anawatembelea wachongaji hawa watatu, anaonekana kuwa fisadi kwani anamlazimisha fudi ambaye amekataa kuchonga kinyago cha kiongozi wa Sagamoyo kwa minajili ya sherehe za miaka sitini ya uhuru. Migomo ya wafanyikazi inaonekana kwa ajili ya mishahara duni wanayotolewa. Majoka anaonekana kufurahishwa na jambo hili kwani anasema anatumia mbinu ya kuingiza na kutoa yaani anaongeza mishahara ya wafanyikazi hawa kwa asilimia kidogo kisha aongeze ushuru. Kenga anamshauri Majoka vibaya kwa kumwambia azuie maandamano yanayoendelezwa na Tunu na Sudi. Inaonekana bayana wakati ambapo alimwangamiza Jabali, mpinzani wake na kumsingizia ajali pia Majoka anajaribu kumuuwa Tunu ila inapatikana alivunjwa mguu tu! Kwa ajili ya upeperushaji wa habari kuwa Tunu awanie uongozi wa Sagamoyo, kituo cha Mzalendo kinanyimwa uhuru wa upeperushaji na kufungwa. Kituo kimoja tu kinabakia na hicho cha mashujaa wa Sagamoyo. Majoka anaonekana kumiliki mali kama Majora and Majoka Company ambayo wafanyikazi wake wanaonekana kuangamia ndani. Majoka and Majoka academy ambayo inaendeleza masomo duni na wanafunzi wake wandishia kuwa makabeji. Isitoshe, vifo vya wanasagamoyo vi bayana ambapo kwa ajili ya kufungiwa kwa soko, wanaume wamekosa cha kufanya na kuishia Mangweni ambapo Asiya na Nguromo walipata kibali cha uuzaji wa pombe haramu. Pombe hii inawapofusha watu na pia inasemekana Nguromo alifia huko Mangweni kwa ajili ya kunyongwa na chatu. Mazishi ya Ngurumo yanaharakishwa na Majoko eti shuguli za sherehe zisikatishwe. Ngao Junior anaangamia katika uwanja wa ndege. Habari hizi zinamfanya Majoka kuzimia na kupelekwa hospitalini ambapo katika ndoto, nafsi yake inamhukumu kwa maovu aliyowatendea wanasagamoyo. Mkewe Majoka, Husda, pia ana kushtuliwa na habari za kifo cha Ngao Junior. Inapofika siku ya kilele cha kusherehekea, watu wanakongamana mbele ya soko la chapakazi wakiongozwa na Tunu na Majoka anabaki na watu kumi katika sherehe zake. Hii inampa hasira na kumfanya aende walipo akina Tunu. Huko, inaonekana anasalitiwa na wenzake na Tunu anainuliwa juu ili aongoze Sagamoyo.
Ashua alikuwa mkewe nani
{ "text": [ "Sudi" ] }
1547_swa
UHAKIKI WA KIGOGO CHA PAULINE KEYA Kitabu hiki kinaanza na wachongaji watatu, Boza, Kombe na Sudi wakiwa katika soko la chapakazi wakiendeleza shughuli ya kila siku ya uchongaji vinyago. Boza anaonekana kutema tema mate ovyo huku akiangalia kijirununu chake naye Sudi anakula embe. Uchafuzi wa mazingira katika soko uko bayana kwa sababu povu jeupe linaonekana na uvundo upo sokoni. Ashua, mkewe Sudi anawaletea chai na mahamri matatu, Sudi anafungulia kijiredio cha simu ambapo matangazo ya kufungwa kwa soko kwa muda wa mwezi unatolewa. Boza na Kombe wanaonekana kuunga mkono tangaza hilo bila kujua watakachokula na mahitaji yao watakavyoyakimu kwa muda huo. Majoka, ambaye ni kiongozi wa jimbo hili la Sagamoyo, amemchukuwa binamuye, Mzee Kenga, na kumfanya mshauri wake. Kenga, ambaye anawatembelea wachongaji hawa watatu, anaonekana kuwa fisadi kwani anamlazimisha fudi ambaye amekataa kuchonga kinyago cha kiongozi wa Sagamoyo kwa minajili ya sherehe za miaka sitini ya uhuru. Migomo ya wafanyikazi inaonekana kwa ajili ya mishahara duni wanayotolewa. Majoka anaonekana kufurahishwa na jambo hili kwani anasema anatumia mbinu ya kuingiza na kutoa yaani anaongeza mishahara ya wafanyikazi hawa kwa asilimia kidogo kisha aongeze ushuru. Kenga anamshauri Majoka vibaya kwa kumwambia azuie maandamano yanayoendelezwa na Tunu na Sudi. Inaonekana bayana wakati ambapo alimwangamiza Jabali, mpinzani wake na kumsingizia ajali pia Majoka anajaribu kumuuwa Tunu ila inapatikana alivunjwa mguu tu! Kwa ajili ya upeperushaji wa habari kuwa Tunu awanie uongozi wa Sagamoyo, kituo cha Mzalendo kinanyimwa uhuru wa upeperushaji na kufungwa. Kituo kimoja tu kinabakia na hicho cha mashujaa wa Sagamoyo. Majoka anaonekana kumiliki mali kama Majora and Majoka Company ambayo wafanyikazi wake wanaonekana kuangamia ndani. Majoka and Majoka academy ambayo inaendeleza masomo duni na wanafunzi wake wandishia kuwa makabeji. Isitoshe, vifo vya wanasagamoyo vi bayana ambapo kwa ajili ya kufungiwa kwa soko, wanaume wamekosa cha kufanya na kuishia Mangweni ambapo Asiya na Nguromo walipata kibali cha uuzaji wa pombe haramu. Pombe hii inawapofusha watu na pia inasemekana Nguromo alifia huko Mangweni kwa ajili ya kunyongwa na chatu. Mazishi ya Ngurumo yanaharakishwa na Majoko eti shuguli za sherehe zisikatishwe. Ngao Junior anaangamia katika uwanja wa ndege. Habari hizi zinamfanya Majoka kuzimia na kupelekwa hospitalini ambapo katika ndoto, nafsi yake inamhukumu kwa maovu aliyowatendea wanasagamoyo. Mkewe Majoka, Husda, pia ana kushtuliwa na habari za kifo cha Ngao Junior. Inapofika siku ya kilele cha kusherehekea, watu wanakongamana mbele ya soko la chapakazi wakiongozwa na Tunu na Majoka anabaki na watu kumi katika sherehe zake. Hii inampa hasira na kumfanya aende walipo akina Tunu. Huko, inaonekana anasalitiwa na wenzake na Tunu anainuliwa juu ili aongoze Sagamoyo.
Ni nani alikuwa mshauri wa Majoka
{ "text": [ "Binamuye mzee Kenga" ] }
1547_swa
UHAKIKI WA KIGOGO CHA PAULINE KEYA Kitabu hiki kinaanza na wachongaji watatu, Boza, Kombe na Sudi wakiwa katika soko la chapakazi wakiendeleza shughuli ya kila siku ya uchongaji vinyago. Boza anaonekana kutema tema mate ovyo huku akiangalia kijirununu chake naye Sudi anakula embe. Uchafuzi wa mazingira katika soko uko bayana kwa sababu povu jeupe linaonekana na uvundo upo sokoni. Ashua, mkewe Sudi anawaletea chai na mahamri matatu, Sudi anafungulia kijiredio cha simu ambapo matangazo ya kufungwa kwa soko kwa muda wa mwezi unatolewa. Boza na Kombe wanaonekana kuunga mkono tangaza hilo bila kujua watakachokula na mahitaji yao watakavyoyakimu kwa muda huo. Majoka, ambaye ni kiongozi wa jimbo hili la Sagamoyo, amemchukuwa binamuye, Mzee Kenga, na kumfanya mshauri wake. Kenga, ambaye anawatembelea wachongaji hawa watatu, anaonekana kuwa fisadi kwani anamlazimisha fudi ambaye amekataa kuchonga kinyago cha kiongozi wa Sagamoyo kwa minajili ya sherehe za miaka sitini ya uhuru. Migomo ya wafanyikazi inaonekana kwa ajili ya mishahara duni wanayotolewa. Majoka anaonekana kufurahishwa na jambo hili kwani anasema anatumia mbinu ya kuingiza na kutoa yaani anaongeza mishahara ya wafanyikazi hawa kwa asilimia kidogo kisha aongeze ushuru. Kenga anamshauri Majoka vibaya kwa kumwambia azuie maandamano yanayoendelezwa na Tunu na Sudi. Inaonekana bayana wakati ambapo alimwangamiza Jabali, mpinzani wake na kumsingizia ajali pia Majoka anajaribu kumuuwa Tunu ila inapatikana alivunjwa mguu tu! Kwa ajili ya upeperushaji wa habari kuwa Tunu awanie uongozi wa Sagamoyo, kituo cha Mzalendo kinanyimwa uhuru wa upeperushaji na kufungwa. Kituo kimoja tu kinabakia na hicho cha mashujaa wa Sagamoyo. Majoka anaonekana kumiliki mali kama Majora and Majoka Company ambayo wafanyikazi wake wanaonekana kuangamia ndani. Majoka and Majoka academy ambayo inaendeleza masomo duni na wanafunzi wake wandishia kuwa makabeji. Isitoshe, vifo vya wanasagamoyo vi bayana ambapo kwa ajili ya kufungiwa kwa soko, wanaume wamekosa cha kufanya na kuishia Mangweni ambapo Asiya na Nguromo walipata kibali cha uuzaji wa pombe haramu. Pombe hii inawapofusha watu na pia inasemekana Nguromo alifia huko Mangweni kwa ajili ya kunyongwa na chatu. Mazishi ya Ngurumo yanaharakishwa na Majoko eti shuguli za sherehe zisikatishwe. Ngao Junior anaangamia katika uwanja wa ndege. Habari hizi zinamfanya Majoka kuzimia na kupelekwa hospitalini ambapo katika ndoto, nafsi yake inamhukumu kwa maovu aliyowatendea wanasagamoyo. Mkewe Majoka, Husda, pia ana kushtuliwa na habari za kifo cha Ngao Junior. Inapofika siku ya kilele cha kusherehekea, watu wanakongamana mbele ya soko la chapakazi wakiongozwa na Tunu na Majoka anabaki na watu kumi katika sherehe zake. Hii inampa hasira na kumfanya aende walipo akina Tunu. Huko, inaonekana anasalitiwa na wenzake na Tunu anainuliwa juu ili aongoze Sagamoyo.
Husda alikuwa mke wa nani
{ "text": [ "Majoka" ] }
1549_swa
NAFASI YA MUZIKI KATIKA JAMII Muziki ni ule uwezo wa kutumia ala au mdomo kuwasilisha ujumbe. Muziki ni mojawapo ya njia za kujiburudisha na kuwapa watu furaha. Kuna aina nyingi za muziki kulingana na vitu kama tabaka, dini, kabila na hali ya mwimbaji.Muziki una manufaa mengi na hutumika hata katika kuibua hisia za wasikilizaji na waimbaji. Muziki huwa kioo, kwa vile wakati nyimbo huimbwa huongelelea kuhusu historia ya jamii na utamaduni wake. Kupitia nyimbo, watu huweza kujua zaidi kuhusu jamii fulani. Muziki huweza kutumika na watu wa umri zote ili wawe wenye furaha na wajiamini. Muziki humpa mtu matumaini wakati ambapo anasumbuliwa na jambo. Nyimbo huweza kuponya roho inayougua. Nyimbo huleta wanajamii pamoja na kuwapa nguvu. Muziki huwa na njia za kukunyata roho za watu. Nyimbo kama vile nyiso, huunganisha watu katika makumbusho au matanga, nyimbo za kikabila huwa na manufaa kubwa kwa wanaoimba ama hadhira inayozisikiliza. Muziki ni chombo cha kuleta watu pamoja kwa satabu tofauti. Nyimbo husaidia kukuza maadili katika jamii. Nyimbo za kidini humpa mtu mwelekeo wa jinsi ya kuishi na husisitiza mapenzi ya kindugu kati ya wanajamii. Muziki husaidia pia kupitisha wakati na huwa, kwa kawaida, wa kuchangamsha watu. Muziki ni suluhisho kwa matatizo ya wanaopitia shida. Katika utunzi wa nyimbo, watu huweza kutumia akili na kuweza kuwasaidia kwa njia nyingi. Wakiwa wanatunga nyimbo, hawawezi pata fursa ya kujihusisha katika tabia hasi kama matumizi ya madawa za kulevya na wizi wa vitu. Huweza kukuza fikra ya watu na kuendeleza ubunifu kati ya watunzi wenyewe. Mtu akiwa na muziki wake huwa na furaha na huweza kuwa na kitu cha kumtia hamnazo. Nyimbo zilizotungwa vizuri huweza kuuzwa na kumpa mtu hela anazoweza kutumia kujijenga na kujiendeleza kimaisha. Watu wengine wakiona hivi, wanaweza kupata ari ya kutunga nyimbo. Muziki huwa tofauti kulingana na mahali pa kuimbiwa na kutokana na hadhira. Muziki huwa kitambulisho kwa watu wanaoziimba. Nyimbo za kitaifa huweza kuwa na ujumbe wenye manufaa kwa wanajamii na husaidia katika kuwafunza watu vile dini huathiri hali ya uchumi ya nchi. Nyimbo za taifa huweza kuwahimiza watu katika ujenzi wa taifa na masuala ibuka nyingine. Katika hitimisho, muziki ni sekta ambayo isingalikuwa, jamii zingekuwa na mkondo mwingine ambao haungekuwa mzuri. Muziki umesaidia katika ukuzaji wa maadili, kuwepo kwa umoja wa watu na ubunifu baina ya watu.
Muziki huwa kioo cha jamii unapozungumzia nini
{ "text": [ "Historia ya jamii na utamaduni" ] }
1549_swa
NAFASI YA MUZIKI KATIKA JAMII Muziki ni ule uwezo wa kutumia ala au mdomo kuwasilisha ujumbe. Muziki ni mojawapo ya njia za kujiburudisha na kuwapa watu furaha. Kuna aina nyingi za muziki kulingana na vitu kama tabaka, dini, kabila na hali ya mwimbaji.Muziki una manufaa mengi na hutumika hata katika kuibua hisia za wasikilizaji na waimbaji. Muziki huwa kioo, kwa vile wakati nyimbo huimbwa huongelelea kuhusu historia ya jamii na utamaduni wake. Kupitia nyimbo, watu huweza kujua zaidi kuhusu jamii fulani. Muziki huweza kutumika na watu wa umri zote ili wawe wenye furaha na wajiamini. Muziki humpa mtu matumaini wakati ambapo anasumbuliwa na jambo. Nyimbo huweza kuponya roho inayougua. Nyimbo huleta wanajamii pamoja na kuwapa nguvu. Muziki huwa na njia za kukunyata roho za watu. Nyimbo kama vile nyiso, huunganisha watu katika makumbusho au matanga, nyimbo za kikabila huwa na manufaa kubwa kwa wanaoimba ama hadhira inayozisikiliza. Muziki ni chombo cha kuleta watu pamoja kwa satabu tofauti. Nyimbo husaidia kukuza maadili katika jamii. Nyimbo za kidini humpa mtu mwelekeo wa jinsi ya kuishi na husisitiza mapenzi ya kindugu kati ya wanajamii. Muziki husaidia pia kupitisha wakati na huwa, kwa kawaida, wa kuchangamsha watu. Muziki ni suluhisho kwa matatizo ya wanaopitia shida. Katika utunzi wa nyimbo, watu huweza kutumia akili na kuweza kuwasaidia kwa njia nyingi. Wakiwa wanatunga nyimbo, hawawezi pata fursa ya kujihusisha katika tabia hasi kama matumizi ya madawa za kulevya na wizi wa vitu. Huweza kukuza fikra ya watu na kuendeleza ubunifu kati ya watunzi wenyewe. Mtu akiwa na muziki wake huwa na furaha na huweza kuwa na kitu cha kumtia hamnazo. Nyimbo zilizotungwa vizuri huweza kuuzwa na kumpa mtu hela anazoweza kutumia kujijenga na kujiendeleza kimaisha. Watu wengine wakiona hivi, wanaweza kupata ari ya kutunga nyimbo. Muziki huwa tofauti kulingana na mahali pa kuimbiwa na kutokana na hadhira. Muziki huwa kitambulisho kwa watu wanaoziimba. Nyimbo za kitaifa huweza kuwa na ujumbe wenye manufaa kwa wanajamii na husaidia katika kuwafunza watu vile dini huathiri hali ya uchumi ya nchi. Nyimbo za taifa huweza kuwahimiza watu katika ujenzi wa taifa na masuala ibuka nyingine. Katika hitimisho, muziki ni sekta ambayo isingalikuwa, jamii zingekuwa na mkondo mwingine ambao haungekuwa mzuri. Muziki umesaidia katika ukuzaji wa maadili, kuwepo kwa umoja wa watu na ubunifu baina ya watu.
Watu hujua kuhusu jamii fulani kupitia nini
{ "text": [ "Nyimbo" ] }
1549_swa
NAFASI YA MUZIKI KATIKA JAMII Muziki ni ule uwezo wa kutumia ala au mdomo kuwasilisha ujumbe. Muziki ni mojawapo ya njia za kujiburudisha na kuwapa watu furaha. Kuna aina nyingi za muziki kulingana na vitu kama tabaka, dini, kabila na hali ya mwimbaji.Muziki una manufaa mengi na hutumika hata katika kuibua hisia za wasikilizaji na waimbaji. Muziki huwa kioo, kwa vile wakati nyimbo huimbwa huongelelea kuhusu historia ya jamii na utamaduni wake. Kupitia nyimbo, watu huweza kujua zaidi kuhusu jamii fulani. Muziki huweza kutumika na watu wa umri zote ili wawe wenye furaha na wajiamini. Muziki humpa mtu matumaini wakati ambapo anasumbuliwa na jambo. Nyimbo huweza kuponya roho inayougua. Nyimbo huleta wanajamii pamoja na kuwapa nguvu. Muziki huwa na njia za kukunyata roho za watu. Nyimbo kama vile nyiso, huunganisha watu katika makumbusho au matanga, nyimbo za kikabila huwa na manufaa kubwa kwa wanaoimba ama hadhira inayozisikiliza. Muziki ni chombo cha kuleta watu pamoja kwa satabu tofauti. Nyimbo husaidia kukuza maadili katika jamii. Nyimbo za kidini humpa mtu mwelekeo wa jinsi ya kuishi na husisitiza mapenzi ya kindugu kati ya wanajamii. Muziki husaidia pia kupitisha wakati na huwa, kwa kawaida, wa kuchangamsha watu. Muziki ni suluhisho kwa matatizo ya wanaopitia shida. Katika utunzi wa nyimbo, watu huweza kutumia akili na kuweza kuwasaidia kwa njia nyingi. Wakiwa wanatunga nyimbo, hawawezi pata fursa ya kujihusisha katika tabia hasi kama matumizi ya madawa za kulevya na wizi wa vitu. Huweza kukuza fikra ya watu na kuendeleza ubunifu kati ya watunzi wenyewe. Mtu akiwa na muziki wake huwa na furaha na huweza kuwa na kitu cha kumtia hamnazo. Nyimbo zilizotungwa vizuri huweza kuuzwa na kumpa mtu hela anazoweza kutumia kujijenga na kujiendeleza kimaisha. Watu wengine wakiona hivi, wanaweza kupata ari ya kutunga nyimbo. Muziki huwa tofauti kulingana na mahali pa kuimbiwa na kutokana na hadhira. Muziki huwa kitambulisho kwa watu wanaoziimba. Nyimbo za kitaifa huweza kuwa na ujumbe wenye manufaa kwa wanajamii na husaidia katika kuwafunza watu vile dini huathiri hali ya uchumi ya nchi. Nyimbo za taifa huweza kuwahimiza watu katika ujenzi wa taifa na masuala ibuka nyingine. Katika hitimisho, muziki ni sekta ambayo isingalikuwa, jamii zingekuwa na mkondo mwingine ambao haungekuwa mzuri. Muziki umesaidia katika ukuzaji wa maadili, kuwepo kwa umoja wa watu na ubunifu baina ya watu.
Ni nyimbo zipi huunganisha watu pamoja wakati wa matanga au makumbusho
{ "text": [ "Nyiso" ] }
1549_swa
NAFASI YA MUZIKI KATIKA JAMII Muziki ni ule uwezo wa kutumia ala au mdomo kuwasilisha ujumbe. Muziki ni mojawapo ya njia za kujiburudisha na kuwapa watu furaha. Kuna aina nyingi za muziki kulingana na vitu kama tabaka, dini, kabila na hali ya mwimbaji.Muziki una manufaa mengi na hutumika hata katika kuibua hisia za wasikilizaji na waimbaji. Muziki huwa kioo, kwa vile wakati nyimbo huimbwa huongelelea kuhusu historia ya jamii na utamaduni wake. Kupitia nyimbo, watu huweza kujua zaidi kuhusu jamii fulani. Muziki huweza kutumika na watu wa umri zote ili wawe wenye furaha na wajiamini. Muziki humpa mtu matumaini wakati ambapo anasumbuliwa na jambo. Nyimbo huweza kuponya roho inayougua. Nyimbo huleta wanajamii pamoja na kuwapa nguvu. Muziki huwa na njia za kukunyata roho za watu. Nyimbo kama vile nyiso, huunganisha watu katika makumbusho au matanga, nyimbo za kikabila huwa na manufaa kubwa kwa wanaoimba ama hadhira inayozisikiliza. Muziki ni chombo cha kuleta watu pamoja kwa satabu tofauti. Nyimbo husaidia kukuza maadili katika jamii. Nyimbo za kidini humpa mtu mwelekeo wa jinsi ya kuishi na husisitiza mapenzi ya kindugu kati ya wanajamii. Muziki husaidia pia kupitisha wakati na huwa, kwa kawaida, wa kuchangamsha watu. Muziki ni suluhisho kwa matatizo ya wanaopitia shida. Katika utunzi wa nyimbo, watu huweza kutumia akili na kuweza kuwasaidia kwa njia nyingi. Wakiwa wanatunga nyimbo, hawawezi pata fursa ya kujihusisha katika tabia hasi kama matumizi ya madawa za kulevya na wizi wa vitu. Huweza kukuza fikra ya watu na kuendeleza ubunifu kati ya watunzi wenyewe. Mtu akiwa na muziki wake huwa na furaha na huweza kuwa na kitu cha kumtia hamnazo. Nyimbo zilizotungwa vizuri huweza kuuzwa na kumpa mtu hela anazoweza kutumia kujijenga na kujiendeleza kimaisha. Watu wengine wakiona hivi, wanaweza kupata ari ya kutunga nyimbo. Muziki huwa tofauti kulingana na mahali pa kuimbiwa na kutokana na hadhira. Muziki huwa kitambulisho kwa watu wanaoziimba. Nyimbo za kitaifa huweza kuwa na ujumbe wenye manufaa kwa wanajamii na husaidia katika kuwafunza watu vile dini huathiri hali ya uchumi ya nchi. Nyimbo za taifa huweza kuwahimiza watu katika ujenzi wa taifa na masuala ibuka nyingine. Katika hitimisho, muziki ni sekta ambayo isingalikuwa, jamii zingekuwa na mkondo mwingine ambao haungekuwa mzuri. Muziki umesaidia katika ukuzaji wa maadili, kuwepo kwa umoja wa watu na ubunifu baina ya watu.
Nyimbo zipi husisitiza mapenzi ya kindugu kati ya wanajamii
{ "text": [ "Nyimbo za kidini" ] }
1549_swa
NAFASI YA MUZIKI KATIKA JAMII Muziki ni ule uwezo wa kutumia ala au mdomo kuwasilisha ujumbe. Muziki ni mojawapo ya njia za kujiburudisha na kuwapa watu furaha. Kuna aina nyingi za muziki kulingana na vitu kama tabaka, dini, kabila na hali ya mwimbaji.Muziki una manufaa mengi na hutumika hata katika kuibua hisia za wasikilizaji na waimbaji. Muziki huwa kioo, kwa vile wakati nyimbo huimbwa huongelelea kuhusu historia ya jamii na utamaduni wake. Kupitia nyimbo, watu huweza kujua zaidi kuhusu jamii fulani. Muziki huweza kutumika na watu wa umri zote ili wawe wenye furaha na wajiamini. Muziki humpa mtu matumaini wakati ambapo anasumbuliwa na jambo. Nyimbo huweza kuponya roho inayougua. Nyimbo huleta wanajamii pamoja na kuwapa nguvu. Muziki huwa na njia za kukunyata roho za watu. Nyimbo kama vile nyiso, huunganisha watu katika makumbusho au matanga, nyimbo za kikabila huwa na manufaa kubwa kwa wanaoimba ama hadhira inayozisikiliza. Muziki ni chombo cha kuleta watu pamoja kwa satabu tofauti. Nyimbo husaidia kukuza maadili katika jamii. Nyimbo za kidini humpa mtu mwelekeo wa jinsi ya kuishi na husisitiza mapenzi ya kindugu kati ya wanajamii. Muziki husaidia pia kupitisha wakati na huwa, kwa kawaida, wa kuchangamsha watu. Muziki ni suluhisho kwa matatizo ya wanaopitia shida. Katika utunzi wa nyimbo, watu huweza kutumia akili na kuweza kuwasaidia kwa njia nyingi. Wakiwa wanatunga nyimbo, hawawezi pata fursa ya kujihusisha katika tabia hasi kama matumizi ya madawa za kulevya na wizi wa vitu. Huweza kukuza fikra ya watu na kuendeleza ubunifu kati ya watunzi wenyewe. Mtu akiwa na muziki wake huwa na furaha na huweza kuwa na kitu cha kumtia hamnazo. Nyimbo zilizotungwa vizuri huweza kuuzwa na kumpa mtu hela anazoweza kutumia kujijenga na kujiendeleza kimaisha. Watu wengine wakiona hivi, wanaweza kupata ari ya kutunga nyimbo. Muziki huwa tofauti kulingana na mahali pa kuimbiwa na kutokana na hadhira. Muziki huwa kitambulisho kwa watu wanaoziimba. Nyimbo za kitaifa huweza kuwa na ujumbe wenye manufaa kwa wanajamii na husaidia katika kuwafunza watu vile dini huathiri hali ya uchumi ya nchi. Nyimbo za taifa huweza kuwahimiza watu katika ujenzi wa taifa na masuala ibuka nyingine. Katika hitimisho, muziki ni sekta ambayo isingalikuwa, jamii zingekuwa na mkondo mwingine ambao haungekuwa mzuri. Muziki umesaidia katika ukuzaji wa maadili, kuwepo kwa umoja wa watu na ubunifu baina ya watu.
Ni kipi kimechangiwa na muziki
{ "text": [ "Ukuzaji wa maadili na ubunifu baina ya watu" ] }
1550_swa
MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI Ama kweli mvumilivu hula mbivu. Katika kitongoji cha Wapweke paliibuka kijulanga mmoja aliye fahamika kama Kafuzu. Kafuzu alikuwa katika darasa la saba katika shule ya Kipaombele. Licha ya hali yao kuwa ya uchochole, alipata fursa ya kusomea katika shule hii. Kafuzu hakufanya ajizi masomoni kwani alifahamu fika huwa ajizi ni nyumba ya njaa. Dhamiria lak? lilikuwa kuwakopoa wavyele wake kutoka kwa umaskini. Wazazi wake Kafuzu walimdhamiria kama mboni ya macho yao. Walijifunga mikanda tumboni na kujisabili kwa hali na mali kupata karo ya Kafuzu. Waliishi kuamka alfajiri umande ungali nyasini na kujitwika mipini ya majembe yao mabegani kutafuta watakapo ambulia kupata kibarua kitakacho wapa ajira. Waliporejea nyumbani jioni, walikuwa kachoka tiki. Mara nyingi walimpata Kafuzu kazama vitabuni, kujielewesha mengi ya waliyofunzwa. Mara kwa mara, wangemuhimiza mwanao kuwa atie bidii masomoni. Baada ya Kafuzu kuingia katika chumba cha I.C.U walivyorejelea darasa la nane, hapo ndipo majukumu yalivyoongezeka. Alihitaji vitabu vya ziada mara kwa mara. Kiwango cha karo cha darasa la nane pia kilikuwa cha juu kuliko madarasa mengine kwani walikipata kishuka shuleni. Fauka ya hayo, alihitaji mafuta yaliyo kiwezesha kibatari alichokitumia kumpa mwanga wakati wa kusoma. Bidii na wasaha wa wazazi wake kijulanga huyu hayakuenda joshi. Baada ya mtihani wa kitaifa kufanywa na matokeo yake kutangazwa, Kafuzu alikuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora katika kata yake. Iliwafurahisha sana wazazi wake. Walijihisi kama vibogoyo walioota meno. Walisherehekea kufuzu kwa mwanao pamoja na majirani na hata kijiji kwa jumla. Kwa mara ya kwanza, shule ya kipaombele iliandikisha mwanufunzi aliyenakili alama mia nne ishirini. Hili lilipelekea kujivuma kwa walimu wake Kafuzu kwa ubunifu wake. Baada ya wiki mbili, kiwewe kilianza tena kuwanyemelea wazaziwe Kafuzu. Licha ya kuwa mwanao alifuzu, maswali yaliyoibuka akilini mwao yalikuwa ni wapi watakapo toa karo hasa ya kuendeleza masomo ya mwanao. Walianza kuwatembelea watu walio kuwa na cheo ili kuomba msaada wa karo ya mwanao. Walizunguka ofisi zote za kiserekali kwa miezi miwili mtawalia bila kufanikiwa. Mwaka mpya uliwadia na wanafunzi wa kidato cha kwanza wakaanza kumiminika shuleni. Wazazi wake Kafuzu walikuwa wamesalia tu na wiki moja ili kuinyakua fursa ya mwanao kujiunga na shule ya upili ila hawakuwa na chochote. Hapo ndipo waliporudi katika shule aliposomea Kafuzu kuomba msaada. Kwa bahati nasibu, walimu walijitolea mhanga kugaramia masomo ya Kafuzu hadi chuo kikuu ikiwa angefuzu. Kafuzu alijiunga na shule ya upili ya Magwiji. Huko, alitia bidii masomoni. Alivumilia hali zote zilizomkumba. Alifahamu kuwa yeye ndiye aliyekuwa nyota ya jamii yake. Baada ya kipindi cha miaka minne, Kafuzu alifuzu na alama ya A-, alijiunga na Chuo Kikuu na kusomea udaktari. Alibahatika kuajiriwa kazi nje ya taifa lake. Alifukua wazazi wake katika kaburi la umaskini na hata kukiendeleza kijiji chake kimaendeleo. Hapo ndipo nilipofahamu kuwa mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Mchumia juani hulia wapi
{ "text": [ "Kivulini" ] }
1550_swa
MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI Ama kweli mvumilivu hula mbivu. Katika kitongoji cha Wapweke paliibuka kijulanga mmoja aliye fahamika kama Kafuzu. Kafuzu alikuwa katika darasa la saba katika shule ya Kipaombele. Licha ya hali yao kuwa ya uchochole, alipata fursa ya kusomea katika shule hii. Kafuzu hakufanya ajizi masomoni kwani alifahamu fika huwa ajizi ni nyumba ya njaa. Dhamiria lak? lilikuwa kuwakopoa wavyele wake kutoka kwa umaskini. Wazazi wake Kafuzu walimdhamiria kama mboni ya macho yao. Walijifunga mikanda tumboni na kujisabili kwa hali na mali kupata karo ya Kafuzu. Waliishi kuamka alfajiri umande ungali nyasini na kujitwika mipini ya majembe yao mabegani kutafuta watakapo ambulia kupata kibarua kitakacho wapa ajira. Waliporejea nyumbani jioni, walikuwa kachoka tiki. Mara nyingi walimpata Kafuzu kazama vitabuni, kujielewesha mengi ya waliyofunzwa. Mara kwa mara, wangemuhimiza mwanao kuwa atie bidii masomoni. Baada ya Kafuzu kuingia katika chumba cha I.C.U walivyorejelea darasa la nane, hapo ndipo majukumu yalivyoongezeka. Alihitaji vitabu vya ziada mara kwa mara. Kiwango cha karo cha darasa la nane pia kilikuwa cha juu kuliko madarasa mengine kwani walikipata kishuka shuleni. Fauka ya hayo, alihitaji mafuta yaliyo kiwezesha kibatari alichokitumia kumpa mwanga wakati wa kusoma. Bidii na wasaha wa wazazi wake kijulanga huyu hayakuenda joshi. Baada ya mtihani wa kitaifa kufanywa na matokeo yake kutangazwa, Kafuzu alikuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora katika kata yake. Iliwafurahisha sana wazazi wake. Walijihisi kama vibogoyo walioota meno. Walisherehekea kufuzu kwa mwanao pamoja na majirani na hata kijiji kwa jumla. Kwa mara ya kwanza, shule ya kipaombele iliandikisha mwanufunzi aliyenakili alama mia nne ishirini. Hili lilipelekea kujivuma kwa walimu wake Kafuzu kwa ubunifu wake. Baada ya wiki mbili, kiwewe kilianza tena kuwanyemelea wazaziwe Kafuzu. Licha ya kuwa mwanao alifuzu, maswali yaliyoibuka akilini mwao yalikuwa ni wapi watakapo toa karo hasa ya kuendeleza masomo ya mwanao. Walianza kuwatembelea watu walio kuwa na cheo ili kuomba msaada wa karo ya mwanao. Walizunguka ofisi zote za kiserekali kwa miezi miwili mtawalia bila kufanikiwa. Mwaka mpya uliwadia na wanafunzi wa kidato cha kwanza wakaanza kumiminika shuleni. Wazazi wake Kafuzu walikuwa wamesalia tu na wiki moja ili kuinyakua fursa ya mwanao kujiunga na shule ya upili ila hawakuwa na chochote. Hapo ndipo waliporudi katika shule aliposomea Kafuzu kuomba msaada. Kwa bahati nasibu, walimu walijitolea mhanga kugaramia masomo ya Kafuzu hadi chuo kikuu ikiwa angefuzu. Kafuzu alijiunga na shule ya upili ya Magwiji. Huko, alitia bidii masomoni. Alivumilia hali zote zilizomkumba. Alifahamu kuwa yeye ndiye aliyekuwa nyota ya jamii yake. Baada ya kipindi cha miaka minne, Kafuzu alifuzu na alama ya A-, alijiunga na Chuo Kikuu na kusomea udaktari. Alibahatika kuajiriwa kazi nje ya taifa lake. Alifukua wazazi wake katika kaburi la umaskini na hata kukiendeleza kijiji chake kimaendeleo. Hapo ndipo nilipofahamu kuwa mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Mvumilivu hula nini
{ "text": [ "Mbivu" ] }
1550_swa
MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI Ama kweli mvumilivu hula mbivu. Katika kitongoji cha Wapweke paliibuka kijulanga mmoja aliye fahamika kama Kafuzu. Kafuzu alikuwa katika darasa la saba katika shule ya Kipaombele. Licha ya hali yao kuwa ya uchochole, alipata fursa ya kusomea katika shule hii. Kafuzu hakufanya ajizi masomoni kwani alifahamu fika huwa ajizi ni nyumba ya njaa. Dhamiria lak? lilikuwa kuwakopoa wavyele wake kutoka kwa umaskini. Wazazi wake Kafuzu walimdhamiria kama mboni ya macho yao. Walijifunga mikanda tumboni na kujisabili kwa hali na mali kupata karo ya Kafuzu. Waliishi kuamka alfajiri umande ungali nyasini na kujitwika mipini ya majembe yao mabegani kutafuta watakapo ambulia kupata kibarua kitakacho wapa ajira. Waliporejea nyumbani jioni, walikuwa kachoka tiki. Mara nyingi walimpata Kafuzu kazama vitabuni, kujielewesha mengi ya waliyofunzwa. Mara kwa mara, wangemuhimiza mwanao kuwa atie bidii masomoni. Baada ya Kafuzu kuingia katika chumba cha I.C.U walivyorejelea darasa la nane, hapo ndipo majukumu yalivyoongezeka. Alihitaji vitabu vya ziada mara kwa mara. Kiwango cha karo cha darasa la nane pia kilikuwa cha juu kuliko madarasa mengine kwani walikipata kishuka shuleni. Fauka ya hayo, alihitaji mafuta yaliyo kiwezesha kibatari alichokitumia kumpa mwanga wakati wa kusoma. Bidii na wasaha wa wazazi wake kijulanga huyu hayakuenda joshi. Baada ya mtihani wa kitaifa kufanywa na matokeo yake kutangazwa, Kafuzu alikuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora katika kata yake. Iliwafurahisha sana wazazi wake. Walijihisi kama vibogoyo walioota meno. Walisherehekea kufuzu kwa mwanao pamoja na majirani na hata kijiji kwa jumla. Kwa mara ya kwanza, shule ya kipaombele iliandikisha mwanufunzi aliyenakili alama mia nne ishirini. Hili lilipelekea kujivuma kwa walimu wake Kafuzu kwa ubunifu wake. Baada ya wiki mbili, kiwewe kilianza tena kuwanyemelea wazaziwe Kafuzu. Licha ya kuwa mwanao alifuzu, maswali yaliyoibuka akilini mwao yalikuwa ni wapi watakapo toa karo hasa ya kuendeleza masomo ya mwanao. Walianza kuwatembelea watu walio kuwa na cheo ili kuomba msaada wa karo ya mwanao. Walizunguka ofisi zote za kiserekali kwa miezi miwili mtawalia bila kufanikiwa. Mwaka mpya uliwadia na wanafunzi wa kidato cha kwanza wakaanza kumiminika shuleni. Wazazi wake Kafuzu walikuwa wamesalia tu na wiki moja ili kuinyakua fursa ya mwanao kujiunga na shule ya upili ila hawakuwa na chochote. Hapo ndipo waliporudi katika shule aliposomea Kafuzu kuomba msaada. Kwa bahati nasibu, walimu walijitolea mhanga kugaramia masomo ya Kafuzu hadi chuo kikuu ikiwa angefuzu. Kafuzu alijiunga na shule ya upili ya Magwiji. Huko, alitia bidii masomoni. Alivumilia hali zote zilizomkumba. Alifahamu kuwa yeye ndiye aliyekuwa nyota ya jamii yake. Baada ya kipindi cha miaka minne, Kafuzu alifuzu na alama ya A-, alijiunga na Chuo Kikuu na kusomea udaktari. Alibahatika kuajiriwa kazi nje ya taifa lake. Alifukua wazazi wake katika kaburi la umaskini na hata kukiendeleza kijiji chake kimaendeleo. Hapo ndipo nilipofahamu kuwa mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Kafuza alikuwa katika darasa la ngapi
{ "text": [ "Saba" ] }
1550_swa
MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI Ama kweli mvumilivu hula mbivu. Katika kitongoji cha Wapweke paliibuka kijulanga mmoja aliye fahamika kama Kafuzu. Kafuzu alikuwa katika darasa la saba katika shule ya Kipaombele. Licha ya hali yao kuwa ya uchochole, alipata fursa ya kusomea katika shule hii. Kafuzu hakufanya ajizi masomoni kwani alifahamu fika huwa ajizi ni nyumba ya njaa. Dhamiria lak? lilikuwa kuwakopoa wavyele wake kutoka kwa umaskini. Wazazi wake Kafuzu walimdhamiria kama mboni ya macho yao. Walijifunga mikanda tumboni na kujisabili kwa hali na mali kupata karo ya Kafuzu. Waliishi kuamka alfajiri umande ungali nyasini na kujitwika mipini ya majembe yao mabegani kutafuta watakapo ambulia kupata kibarua kitakacho wapa ajira. Waliporejea nyumbani jioni, walikuwa kachoka tiki. Mara nyingi walimpata Kafuzu kazama vitabuni, kujielewesha mengi ya waliyofunzwa. Mara kwa mara, wangemuhimiza mwanao kuwa atie bidii masomoni. Baada ya Kafuzu kuingia katika chumba cha I.C.U walivyorejelea darasa la nane, hapo ndipo majukumu yalivyoongezeka. Alihitaji vitabu vya ziada mara kwa mara. Kiwango cha karo cha darasa la nane pia kilikuwa cha juu kuliko madarasa mengine kwani walikipata kishuka shuleni. Fauka ya hayo, alihitaji mafuta yaliyo kiwezesha kibatari alichokitumia kumpa mwanga wakati wa kusoma. Bidii na wasaha wa wazazi wake kijulanga huyu hayakuenda joshi. Baada ya mtihani wa kitaifa kufanywa na matokeo yake kutangazwa, Kafuzu alikuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora katika kata yake. Iliwafurahisha sana wazazi wake. Walijihisi kama vibogoyo walioota meno. Walisherehekea kufuzu kwa mwanao pamoja na majirani na hata kijiji kwa jumla. Kwa mara ya kwanza, shule ya kipaombele iliandikisha mwanufunzi aliyenakili alama mia nne ishirini. Hili lilipelekea kujivuma kwa walimu wake Kafuzu kwa ubunifu wake. Baada ya wiki mbili, kiwewe kilianza tena kuwanyemelea wazaziwe Kafuzu. Licha ya kuwa mwanao alifuzu, maswali yaliyoibuka akilini mwao yalikuwa ni wapi watakapo toa karo hasa ya kuendeleza masomo ya mwanao. Walianza kuwatembelea watu walio kuwa na cheo ili kuomba msaada wa karo ya mwanao. Walizunguka ofisi zote za kiserekali kwa miezi miwili mtawalia bila kufanikiwa. Mwaka mpya uliwadia na wanafunzi wa kidato cha kwanza wakaanza kumiminika shuleni. Wazazi wake Kafuzu walikuwa wamesalia tu na wiki moja ili kuinyakua fursa ya mwanao kujiunga na shule ya upili ila hawakuwa na chochote. Hapo ndipo waliporudi katika shule aliposomea Kafuzu kuomba msaada. Kwa bahati nasibu, walimu walijitolea mhanga kugaramia masomo ya Kafuzu hadi chuo kikuu ikiwa angefuzu. Kafuzu alijiunga na shule ya upili ya Magwiji. Huko, alitia bidii masomoni. Alivumilia hali zote zilizomkumba. Alifahamu kuwa yeye ndiye aliyekuwa nyota ya jamii yake. Baada ya kipindi cha miaka minne, Kafuzu alifuzu na alama ya A-, alijiunga na Chuo Kikuu na kusomea udaktari. Alibahatika kuajiriwa kazi nje ya taifa lake. Alifukua wazazi wake katika kaburi la umaskini na hata kukiendeleza kijiji chake kimaendeleo. Hapo ndipo nilipofahamu kuwa mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Wazazi wake walisherehekea kufuzu kwa mwanao pamoja na kina nani
{ "text": [ "Majirani" ] }
1550_swa
MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI Ama kweli mvumilivu hula mbivu. Katika kitongoji cha Wapweke paliibuka kijulanga mmoja aliye fahamika kama Kafuzu. Kafuzu alikuwa katika darasa la saba katika shule ya Kipaombele. Licha ya hali yao kuwa ya uchochole, alipata fursa ya kusomea katika shule hii. Kafuzu hakufanya ajizi masomoni kwani alifahamu fika huwa ajizi ni nyumba ya njaa. Dhamiria lak? lilikuwa kuwakopoa wavyele wake kutoka kwa umaskini. Wazazi wake Kafuzu walimdhamiria kama mboni ya macho yao. Walijifunga mikanda tumboni na kujisabili kwa hali na mali kupata karo ya Kafuzu. Waliishi kuamka alfajiri umande ungali nyasini na kujitwika mipini ya majembe yao mabegani kutafuta watakapo ambulia kupata kibarua kitakacho wapa ajira. Waliporejea nyumbani jioni, walikuwa kachoka tiki. Mara nyingi walimpata Kafuzu kazama vitabuni, kujielewesha mengi ya waliyofunzwa. Mara kwa mara, wangemuhimiza mwanao kuwa atie bidii masomoni. Baada ya Kafuzu kuingia katika chumba cha I.C.U walivyorejelea darasa la nane, hapo ndipo majukumu yalivyoongezeka. Alihitaji vitabu vya ziada mara kwa mara. Kiwango cha karo cha darasa la nane pia kilikuwa cha juu kuliko madarasa mengine kwani walikipata kishuka shuleni. Fauka ya hayo, alihitaji mafuta yaliyo kiwezesha kibatari alichokitumia kumpa mwanga wakati wa kusoma. Bidii na wasaha wa wazazi wake kijulanga huyu hayakuenda joshi. Baada ya mtihani wa kitaifa kufanywa na matokeo yake kutangazwa, Kafuzu alikuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora katika kata yake. Iliwafurahisha sana wazazi wake. Walijihisi kama vibogoyo walioota meno. Walisherehekea kufuzu kwa mwanao pamoja na majirani na hata kijiji kwa jumla. Kwa mara ya kwanza, shule ya kipaombele iliandikisha mwanufunzi aliyenakili alama mia nne ishirini. Hili lilipelekea kujivuma kwa walimu wake Kafuzu kwa ubunifu wake. Baada ya wiki mbili, kiwewe kilianza tena kuwanyemelea wazaziwe Kafuzu. Licha ya kuwa mwanao alifuzu, maswali yaliyoibuka akilini mwao yalikuwa ni wapi watakapo toa karo hasa ya kuendeleza masomo ya mwanao. Walianza kuwatembelea watu walio kuwa na cheo ili kuomba msaada wa karo ya mwanao. Walizunguka ofisi zote za kiserekali kwa miezi miwili mtawalia bila kufanikiwa. Mwaka mpya uliwadia na wanafunzi wa kidato cha kwanza wakaanza kumiminika shuleni. Wazazi wake Kafuzu walikuwa wamesalia tu na wiki moja ili kuinyakua fursa ya mwanao kujiunga na shule ya upili ila hawakuwa na chochote. Hapo ndipo waliporudi katika shule aliposomea Kafuzu kuomba msaada. Kwa bahati nasibu, walimu walijitolea mhanga kugaramia masomo ya Kafuzu hadi chuo kikuu ikiwa angefuzu. Kafuzu alijiunga na shule ya upili ya Magwiji. Huko, alitia bidii masomoni. Alivumilia hali zote zilizomkumba. Alifahamu kuwa yeye ndiye aliyekuwa nyota ya jamii yake. Baada ya kipindi cha miaka minne, Kafuzu alifuzu na alama ya A-, alijiunga na Chuo Kikuu na kusomea udaktari. Alibahatika kuajiriwa kazi nje ya taifa lake. Alifukua wazazi wake katika kaburi la umaskini na hata kukiendeleza kijiji chake kimaendeleo. Hapo ndipo nilipofahamu kuwa mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Mgaagaa na upwa hali nini
{ "text": [ "Wali mkavu" ] }
1552_swa
Tarehe ya kuzaliwa : Tarehe nane mwezi wa tisa mwaka wa elfu moja kenda tisini na nane. Urai: Mkenya Mahali pa kuzaliwa : Kenya - Nairobi. Anwani : S.L.P 198 MARAGOLI SIMU : 0700 000000. Barua pepe : [email protected] Jinsia : Mwanamume. Hadhi ya ndoa : Ukapera. Nambari ya kitambulisho : 28951361 Lugha : Kingereza, Kiswahili na Kijerumani 2. Elimu 2007 - 2009 - Chuo kikuu cha Manchester Shahada ya uzamili taaluma ya maswala ya jinsia. 2002 - 2006 - Chuo kikuu cha Nairobi Shahada ya uzamifu, taaluma ya haki na uzalendo 2001 - 2005 - Shule ya upili ya Majaliwa Cheti cha KCSE alama ya A- 1990 - 2000 - Shule ya msingi ya Umazeshi Cheti cha KCPE alama 410 3. TAJRIBA YA KAZI Karani msaidizi katika shule ya upili ya Uzalenda kwanzia mwaka wa 2015 hadi mwaka wa 2019. 2001-2005 - Kiranja mkuu katika taaluma ya mawasiliano na habari katika shule ya upili ya Majaliwe 4. URAIBU Uraibu wangu ni: i)Kuandika vitabu vya Kiswahili na kiingereza. ii)Kuandika majarida. iii)Kusaidia kuzindua miradi itakayowasaidia watu wasiojiweza katika jamii. UWANACHAMA 2016 - 2018 - Nilichaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama cha wanahabari kaunti yetu ya Chapakazi. 2019 - 2020 - Nilishiriki kwenye kongamano la wanahabari Naivasha na kupewa nadhifa katika kitengo cha uchunguzi wa maswala ya jinsia. AZIMIO LANGU Azimio langu kama mwanahabari. Ninataka kupaa kitaaluma na kuweza kufanya utafiti wa kisa mbalimbali yanayoisumbua serikali yetu na kupata suluhu. WAREJELEWA 1.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ya Umazeshi bwana Juma Obolo ambaye nambari yake ya simu ni 0800000761. 2.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye anapatikana kwa barua pepe a [email protected]. 3.Waziri wa maswala ya ndani na habari kaunti ya chapakazi bwana Musa Abdallah nambari yake ya simu 0728324558. 4.Vilevile ninayo barua pepe ambayo ni [email protected].
Mwandishi alisomea shule ipi ya upili
{ "text": [ "ya Majariwa" ] }
1552_swa
Tarehe ya kuzaliwa : Tarehe nane mwezi wa tisa mwaka wa elfu moja kenda tisini na nane. Urai: Mkenya Mahali pa kuzaliwa : Kenya - Nairobi. Anwani : S.L.P 198 MARAGOLI SIMU : 0700 000000. Barua pepe : [email protected] Jinsia : Mwanamume. Hadhi ya ndoa : Ukapera. Nambari ya kitambulisho : 28951361 Lugha : Kingereza, Kiswahili na Kijerumani 2. Elimu 2007 - 2009 - Chuo kikuu cha Manchester Shahada ya uzamili taaluma ya maswala ya jinsia. 2002 - 2006 - Chuo kikuu cha Nairobi Shahada ya uzamifu, taaluma ya haki na uzalendo 2001 - 2005 - Shule ya upili ya Majaliwa Cheti cha KCSE alama ya A- 1990 - 2000 - Shule ya msingi ya Umazeshi Cheti cha KCPE alama 410 3. TAJRIBA YA KAZI Karani msaidizi katika shule ya upili ya Uzalenda kwanzia mwaka wa 2015 hadi mwaka wa 2019. 2001-2005 - Kiranja mkuu katika taaluma ya mawasiliano na habari katika shule ya upili ya Majaliwe 4. URAIBU Uraibu wangu ni: i)Kuandika vitabu vya Kiswahili na kiingereza. ii)Kuandika majarida. iii)Kusaidia kuzindua miradi itakayowasaidia watu wasiojiweza katika jamii. UWANACHAMA 2016 - 2018 - Nilichaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama cha wanahabari kaunti yetu ya Chapakazi. 2019 - 2020 - Nilishiriki kwenye kongamano la wanahabari Naivasha na kupewa nadhifa katika kitengo cha uchunguzi wa maswala ya jinsia. AZIMIO LANGU Azimio langu kama mwanahabari. Ninataka kupaa kitaaluma na kuweza kufanya utafiti wa kisa mbalimbali yanayoisumbua serikali yetu na kupata suluhu. WAREJELEWA 1.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ya Umazeshi bwana Juma Obolo ambaye nambari yake ya simu ni 0800000761. 2.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye anapatikana kwa barua pepe a [email protected]. 3.Waziri wa maswala ya ndani na habari kaunti ya chapakazi bwana Musa Abdallah nambari yake ya simu 0728324558. 4.Vilevile ninayo barua pepe ambayo ni [email protected].
Alipata alama ngapi katika mtihani wa KCPE
{ "text": [ "410" ] }
1552_swa
Tarehe ya kuzaliwa : Tarehe nane mwezi wa tisa mwaka wa elfu moja kenda tisini na nane. Urai: Mkenya Mahali pa kuzaliwa : Kenya - Nairobi. Anwani : S.L.P 198 MARAGOLI SIMU : 0700 000000. Barua pepe : [email protected] Jinsia : Mwanamume. Hadhi ya ndoa : Ukapera. Nambari ya kitambulisho : 28951361 Lugha : Kingereza, Kiswahili na Kijerumani 2. Elimu 2007 - 2009 - Chuo kikuu cha Manchester Shahada ya uzamili taaluma ya maswala ya jinsia. 2002 - 2006 - Chuo kikuu cha Nairobi Shahada ya uzamifu, taaluma ya haki na uzalendo 2001 - 2005 - Shule ya upili ya Majaliwa Cheti cha KCSE alama ya A- 1990 - 2000 - Shule ya msingi ya Umazeshi Cheti cha KCPE alama 410 3. TAJRIBA YA KAZI Karani msaidizi katika shule ya upili ya Uzalenda kwanzia mwaka wa 2015 hadi mwaka wa 2019. 2001-2005 - Kiranja mkuu katika taaluma ya mawasiliano na habari katika shule ya upili ya Majaliwe 4. URAIBU Uraibu wangu ni: i)Kuandika vitabu vya Kiswahili na kiingereza. ii)Kuandika majarida. iii)Kusaidia kuzindua miradi itakayowasaidia watu wasiojiweza katika jamii. UWANACHAMA 2016 - 2018 - Nilichaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama cha wanahabari kaunti yetu ya Chapakazi. 2019 - 2020 - Nilishiriki kwenye kongamano la wanahabari Naivasha na kupewa nadhifa katika kitengo cha uchunguzi wa maswala ya jinsia. AZIMIO LANGU Azimio langu kama mwanahabari. Ninataka kupaa kitaaluma na kuweza kufanya utafiti wa kisa mbalimbali yanayoisumbua serikali yetu na kupata suluhu. WAREJELEWA 1.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ya Umazeshi bwana Juma Obolo ambaye nambari yake ya simu ni 0800000761. 2.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye anapatikana kwa barua pepe a [email protected]. 3.Waziri wa maswala ya ndani na habari kaunti ya chapakazi bwana Musa Abdallah nambari yake ya simu 0728324558. 4.Vilevile ninayo barua pepe ambayo ni [email protected].
Ametoka katika kaunti gani
{ "text": [ "Chapakazi" ] }
1552_swa
Tarehe ya kuzaliwa : Tarehe nane mwezi wa tisa mwaka wa elfu moja kenda tisini na nane. Urai: Mkenya Mahali pa kuzaliwa : Kenya - Nairobi. Anwani : S.L.P 198 MARAGOLI SIMU : 0700 000000. Barua pepe : [email protected] Jinsia : Mwanamume. Hadhi ya ndoa : Ukapera. Nambari ya kitambulisho : 28951361 Lugha : Kingereza, Kiswahili na Kijerumani 2. Elimu 2007 - 2009 - Chuo kikuu cha Manchester Shahada ya uzamili taaluma ya maswala ya jinsia. 2002 - 2006 - Chuo kikuu cha Nairobi Shahada ya uzamifu, taaluma ya haki na uzalendo 2001 - 2005 - Shule ya upili ya Majaliwa Cheti cha KCSE alama ya A- 1990 - 2000 - Shule ya msingi ya Umazeshi Cheti cha KCPE alama 410 3. TAJRIBA YA KAZI Karani msaidizi katika shule ya upili ya Uzalenda kwanzia mwaka wa 2015 hadi mwaka wa 2019. 2001-2005 - Kiranja mkuu katika taaluma ya mawasiliano na habari katika shule ya upili ya Majaliwe 4. URAIBU Uraibu wangu ni: i)Kuandika vitabu vya Kiswahili na kiingereza. ii)Kuandika majarida. iii)Kusaidia kuzindua miradi itakayowasaidia watu wasiojiweza katika jamii. UWANACHAMA 2016 - 2018 - Nilichaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama cha wanahabari kaunti yetu ya Chapakazi. 2019 - 2020 - Nilishiriki kwenye kongamano la wanahabari Naivasha na kupewa nadhifa katika kitengo cha uchunguzi wa maswala ya jinsia. AZIMIO LANGU Azimio langu kama mwanahabari. Ninataka kupaa kitaaluma na kuweza kufanya utafiti wa kisa mbalimbali yanayoisumbua serikali yetu na kupata suluhu. WAREJELEWA 1.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ya Umazeshi bwana Juma Obolo ambaye nambari yake ya simu ni 0800000761. 2.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye anapatikana kwa barua pepe a [email protected]. 3.Waziri wa maswala ya ndani na habari kaunti ya chapakazi bwana Musa Abdallah nambari yake ya simu 0728324558. 4.Vilevile ninayo barua pepe ambayo ni [email protected].
Alishiriki katika kongamano la kina nani
{ "text": [ "wanahabari" ] }
1552_swa
Tarehe ya kuzaliwa : Tarehe nane mwezi wa tisa mwaka wa elfu moja kenda tisini na nane. Urai: Mkenya Mahali pa kuzaliwa : Kenya - Nairobi. Anwani : S.L.P 198 MARAGOLI SIMU : 0700 000000. Barua pepe : [email protected] Jinsia : Mwanamume. Hadhi ya ndoa : Ukapera. Nambari ya kitambulisho : 28951361 Lugha : Kingereza, Kiswahili na Kijerumani 2. Elimu 2007 - 2009 - Chuo kikuu cha Manchester Shahada ya uzamili taaluma ya maswala ya jinsia. 2002 - 2006 - Chuo kikuu cha Nairobi Shahada ya uzamifu, taaluma ya haki na uzalendo 2001 - 2005 - Shule ya upili ya Majaliwa Cheti cha KCSE alama ya A- 1990 - 2000 - Shule ya msingi ya Umazeshi Cheti cha KCPE alama 410 3. TAJRIBA YA KAZI Karani msaidizi katika shule ya upili ya Uzalenda kwanzia mwaka wa 2015 hadi mwaka wa 2019. 2001-2005 - Kiranja mkuu katika taaluma ya mawasiliano na habari katika shule ya upili ya Majaliwe 4. URAIBU Uraibu wangu ni: i)Kuandika vitabu vya Kiswahili na kiingereza. ii)Kuandika majarida. iii)Kusaidia kuzindua miradi itakayowasaidia watu wasiojiweza katika jamii. UWANACHAMA 2016 - 2018 - Nilichaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama cha wanahabari kaunti yetu ya Chapakazi. 2019 - 2020 - Nilishiriki kwenye kongamano la wanahabari Naivasha na kupewa nadhifa katika kitengo cha uchunguzi wa maswala ya jinsia. AZIMIO LANGU Azimio langu kama mwanahabari. Ninataka kupaa kitaaluma na kuweza kufanya utafiti wa kisa mbalimbali yanayoisumbua serikali yetu na kupata suluhu. WAREJELEWA 1.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ya Umazeshi bwana Juma Obolo ambaye nambari yake ya simu ni 0800000761. 2.Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye anapatikana kwa barua pepe a [email protected]. 3.Waziri wa maswala ya ndani na habari kaunti ya chapakazi bwana Musa Abdallah nambari yake ya simu 0728324558. 4.Vilevile ninayo barua pepe ambayo ni [email protected].
Nini azimio lake kama mwanahabari
{ "text": [ "kupaa kitaaluma na kufanya utafiti wa visa mbalimbali" ] }
1559_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Tunafaa kulinda mazingira yetu Tusipo linda mazingira yetu, watu wengi wanaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Hadi wa leo, ugonjwa wa kipindupindu bado upo na unaua kwa sababu ya kukosa kulinda mazingira. Hakikisha mahali unapoishi ni pasafi. Unapo maliza kutumia maji machafu, uwe na mahali pamoja pa kumwaga maji haya. Watoto wengi wamekaufa kwa sababu ya uchafu·Wanapotoka choo, hawanawi mikono na wanaenda kula na mikono hii.Kitendo hiki kinawasababisha kuambukizwa na ugonjwa wa kipindupindu.Ni kwa sababu ya uchafu. Watu wengine wanajaribu kulinda mazingira lakini wengine hawana shuguli hii. Watu wanaoishi mahali pachafu wanafaa wahame ama wasafishe mazingira ili waweze kujilinda na madhara ya kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao hauchagui,inalingana na mazingira kama ni chafu au safi. Kitu muhimu pia, tunapo chafua mazingira tunahatarisha maisha ya wanyama ambao wanaishi msituni na majini, sana sana wanaoishi majini. Watu wengi huenda kufulia mtoni na povu hiyo ya sabuni inawafanya samaki kukosa hewa ya kupumua na wana kata roho. Wengine wanaogea mtoni na kujisaidia mtoni na hiyo ni tabia mbaya. Serekali inafaa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo ili kulinda wanyama hao. Wananchi wanafa kuilinda mazingira yetu kwa sababu mazingira ni muhimu kwa binadamu na wanyama. Tuyalinde mazingira yetu.
Watu wengi wanaweza kupata ugonjwa gani
{ "text": [ "wa kipindupindu" ] }
1559_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Tunafaa kulinda mazingira yetu Tusipo linda mazingira yetu, watu wengi wanaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Hadi wa leo, ugonjwa wa kipindupindu bado upo na unaua kwa sababu ya kukosa kulinda mazingira. Hakikisha mahali unapoishi ni pasafi. Unapo maliza kutumia maji machafu, uwe na mahali pamoja pa kumwaga maji haya. Watoto wengi wamekaufa kwa sababu ya uchafu·Wanapotoka choo, hawanawi mikono na wanaenda kula na mikono hii.Kitendo hiki kinawasababisha kuambukizwa na ugonjwa wa kipindupindu.Ni kwa sababu ya uchafu. Watu wengine wanajaribu kulinda mazingira lakini wengine hawana shuguli hii. Watu wanaoishi mahali pachafu wanafaa wahame ama wasafishe mazingira ili waweze kujilinda na madhara ya kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao hauchagui,inalingana na mazingira kama ni chafu au safi. Kitu muhimu pia, tunapo chafua mazingira tunahatarisha maisha ya wanyama ambao wanaishi msituni na majini, sana sana wanaoishi majini. Watu wengi huenda kufulia mtoni na povu hiyo ya sabuni inawafanya samaki kukosa hewa ya kupumua na wana kata roho. Wengine wanaogea mtoni na kujisaidia mtoni na hiyo ni tabia mbaya. Serekali inafaa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo ili kulinda wanyama hao. Wananchi wanafa kuilinda mazingira yetu kwa sababu mazingira ni muhimu kwa binadamu na wanyama. Tuyalinde mazingira yetu.
Ugonjwa wa kipindupindu unasababishwa na kukosa kulinda nini
{ "text": [ "mazingira" ] }
1559_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Tunafaa kulinda mazingira yetu Tusipo linda mazingira yetu, watu wengi wanaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Hadi wa leo, ugonjwa wa kipindupindu bado upo na unaua kwa sababu ya kukosa kulinda mazingira. Hakikisha mahali unapoishi ni pasafi. Unapo maliza kutumia maji machafu, uwe na mahali pamoja pa kumwaga maji haya. Watoto wengi wamekaufa kwa sababu ya uchafu·Wanapotoka choo, hawanawi mikono na wanaenda kula na mikono hii.Kitendo hiki kinawasababisha kuambukizwa na ugonjwa wa kipindupindu.Ni kwa sababu ya uchafu. Watu wengine wanajaribu kulinda mazingira lakini wengine hawana shuguli hii. Watu wanaoishi mahali pachafu wanafaa wahame ama wasafishe mazingira ili waweze kujilinda na madhara ya kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao hauchagui,inalingana na mazingira kama ni chafu au safi. Kitu muhimu pia, tunapo chafua mazingira tunahatarisha maisha ya wanyama ambao wanaishi msituni na majini, sana sana wanaoishi majini. Watu wengi huenda kufulia mtoni na povu hiyo ya sabuni inawafanya samaki kukosa hewa ya kupumua na wana kata roho. Wengine wanaogea mtoni na kujisaidia mtoni na hiyo ni tabia mbaya. Serekali inafaa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo ili kulinda wanyama hao. Wananchi wanafa kuilinda mazingira yetu kwa sababu mazingira ni muhimu kwa binadamu na wanyama. Tuyalinde mazingira yetu.
Nani wengi wamekufa kwa sababu ya uchafu
{ "text": [ "watoto" ] }
1559_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Tunafaa kulinda mazingira yetu Tusipo linda mazingira yetu, watu wengi wanaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Hadi wa leo, ugonjwa wa kipindupindu bado upo na unaua kwa sababu ya kukosa kulinda mazingira. Hakikisha mahali unapoishi ni pasafi. Unapo maliza kutumia maji machafu, uwe na mahali pamoja pa kumwaga maji haya. Watoto wengi wamekaufa kwa sababu ya uchafu·Wanapotoka choo, hawanawi mikono na wanaenda kula na mikono hii.Kitendo hiki kinawasababisha kuambukizwa na ugonjwa wa kipindupindu.Ni kwa sababu ya uchafu. Watu wengine wanajaribu kulinda mazingira lakini wengine hawana shuguli hii. Watu wanaoishi mahali pachafu wanafaa wahame ama wasafishe mazingira ili waweze kujilinda na madhara ya kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao hauchagui,inalingana na mazingira kama ni chafu au safi. Kitu muhimu pia, tunapo chafua mazingira tunahatarisha maisha ya wanyama ambao wanaishi msituni na majini, sana sana wanaoishi majini. Watu wengi huenda kufulia mtoni na povu hiyo ya sabuni inawafanya samaki kukosa hewa ya kupumua na wana kata roho. Wengine wanaogea mtoni na kujisaidia mtoni na hiyo ni tabia mbaya. Serekali inafaa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo ili kulinda wanyama hao. Wananchi wanafa kuilinda mazingira yetu kwa sababu mazingira ni muhimu kwa binadamu na wanyama. Tuyalinde mazingira yetu.
Ni lini tunahatarisha maisha ya wanyama
{ "text": [ "tunapochafua mazingira" ] }
1559_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. Tunafaa kulinda mazingira yetu Tusipo linda mazingira yetu, watu wengi wanaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Hadi wa leo, ugonjwa wa kipindupindu bado upo na unaua kwa sababu ya kukosa kulinda mazingira. Hakikisha mahali unapoishi ni pasafi. Unapo maliza kutumia maji machafu, uwe na mahali pamoja pa kumwaga maji haya. Watoto wengi wamekaufa kwa sababu ya uchafu·Wanapotoka choo, hawanawi mikono na wanaenda kula na mikono hii.Kitendo hiki kinawasababisha kuambukizwa na ugonjwa wa kipindupindu.Ni kwa sababu ya uchafu. Watu wengine wanajaribu kulinda mazingira lakini wengine hawana shuguli hii. Watu wanaoishi mahali pachafu wanafaa wahame ama wasafishe mazingira ili waweze kujilinda na madhara ya kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa ambao hauchagui,inalingana na mazingira kama ni chafu au safi. Kitu muhimu pia, tunapo chafua mazingira tunahatarisha maisha ya wanyama ambao wanaishi msituni na majini, sana sana wanaoishi majini. Watu wengi huenda kufulia mtoni na povu hiyo ya sabuni inawafanya samaki kukosa hewa ya kupumua na wana kata roho. Wengine wanaogea mtoni na kujisaidia mtoni na hiyo ni tabia mbaya. Serekali inafaa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo ili kulinda wanyama hao. Wananchi wanafa kuilinda mazingira yetu kwa sababu mazingira ni muhimu kwa binadamu na wanyama. Tuyalinde mazingira yetu.
Mbona serikali inafaa kuchukua hatua haraka
{ "text": [ "ili kuwalinda wanyama hao" ] }
1560_swa
Madhara ya kuchafua Mazingira Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Katika kijiji cha Pembezoni, palishi halaiki ya watu, kila familia ilikuwa na watoto kumi. Licha ya hayo, watu hawa walikuwa wakikaribiana kama pua na mdomo. Katika kijiji hiki watu walikuwa wengi kama siafu. Baadhi ya watu wa kijiji hiki hawakuwa wakizingatia usafi. Mazingira yao yalikuwa machafu, walikuwa wakitupa takataka kila mahali. Maji machafu yalikuwa yakitiririka kila mahali. Katika kijiji hiki watu hawakuwa wanaoga. Muda si muda, watu hawa walikuwa wagonjwa karibu wote. Kila mtu alikuwa anashugulika na hali yake na familia yake. Watoto wadogo walikuwa wakikimbia hapa pale kwa sababu ya kuumwa na tumbo. Kabla ya sekunde mbili, watu walikuwa wakianguka chini na kukufa. Karibu watu ishirini waliaga. Kila mtu alishikwa na mchanganyiko wa shaka na shauka. Baada ya hayo machifu walikuja na kusaidia watu hawa. Machifu hawa waligawanyika kwa makundi mawili, wengine walipeleka wagonjwa hosipitali na wengine wakapeleka maiti kwenye vyumba vya kuhufadhi maiti. Baada ya muda mfupi, waliopelekwa hosipitali walipona na kurudi nyumbani. Ilikuwa ni furaha tele kuwaona watu hawa. Kila mtu alifurahi zaidi ya ghaya. Baada ya muda mfupi, mambo yalikuwa sawa. Machifu na watu wa kijiji hiki walipanga mkutano na kuzungumzia usafi katika mazingira yao. Kila mtu alikubali kuzingatia usafi. Walielewa kwamba uchafu ni hasara na ni mharibifu. Baada ya hayo mazingira yalikuwa yakimetameta, mazingira yalikuwa safi sana.
Nini humzingira kiumbe yeyote
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1560_swa
Madhara ya kuchafua Mazingira Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Katika kijiji cha Pembezoni, palishi halaiki ya watu, kila familia ilikuwa na watoto kumi. Licha ya hayo, watu hawa walikuwa wakikaribiana kama pua na mdomo. Katika kijiji hiki watu walikuwa wengi kama siafu. Baadhi ya watu wa kijiji hiki hawakuwa wakizingatia usafi. Mazingira yao yalikuwa machafu, walikuwa wakitupa takataka kila mahali. Maji machafu yalikuwa yakitiririka kila mahali. Katika kijiji hiki watu hawakuwa wanaoga. Muda si muda, watu hawa walikuwa wagonjwa karibu wote. Kila mtu alikuwa anashugulika na hali yake na familia yake. Watoto wadogo walikuwa wakikimbia hapa pale kwa sababu ya kuumwa na tumbo. Kabla ya sekunde mbili, watu walikuwa wakianguka chini na kukufa. Karibu watu ishirini waliaga. Kila mtu alishikwa na mchanganyiko wa shaka na shauka. Baada ya hayo machifu walikuja na kusaidia watu hawa. Machifu hawa waligawanyika kwa makundi mawili, wengine walipeleka wagonjwa hosipitali na wengine wakapeleka maiti kwenye vyumba vya kuhufadhi maiti. Baada ya muda mfupi, waliopelekwa hosipitali walipona na kurudi nyumbani. Ilikuwa ni furaha tele kuwaona watu hawa. Kila mtu alifurahi zaidi ya ghaya. Baada ya muda mfupi, mambo yalikuwa sawa. Machifu na watu wa kijiji hiki walipanga mkutano na kuzungumzia usafi katika mazingira yao. Kila mtu alikubali kuzingatia usafi. Walielewa kwamba uchafu ni hasara na ni mharibifu. Baada ya hayo mazingira yalikuwa yakimetameta, mazingira yalikuwa safi sana.
Kijiji cha pembezoni, kila familia ilikuwa na watoto wangapi
{ "text": [ "Kumi" ] }
1560_swa
Madhara ya kuchafua Mazingira Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Katika kijiji cha Pembezoni, palishi halaiki ya watu, kila familia ilikuwa na watoto kumi. Licha ya hayo, watu hawa walikuwa wakikaribiana kama pua na mdomo. Katika kijiji hiki watu walikuwa wengi kama siafu. Baadhi ya watu wa kijiji hiki hawakuwa wakizingatia usafi. Mazingira yao yalikuwa machafu, walikuwa wakitupa takataka kila mahali. Maji machafu yalikuwa yakitiririka kila mahali. Katika kijiji hiki watu hawakuwa wanaoga. Muda si muda, watu hawa walikuwa wagonjwa karibu wote. Kila mtu alikuwa anashugulika na hali yake na familia yake. Watoto wadogo walikuwa wakikimbia hapa pale kwa sababu ya kuumwa na tumbo. Kabla ya sekunde mbili, watu walikuwa wakianguka chini na kukufa. Karibu watu ishirini waliaga. Kila mtu alishikwa na mchanganyiko wa shaka na shauka. Baada ya hayo machifu walikuja na kusaidia watu hawa. Machifu hawa waligawanyika kwa makundi mawili, wengine walipeleka wagonjwa hosipitali na wengine wakapeleka maiti kwenye vyumba vya kuhufadhi maiti. Baada ya muda mfupi, waliopelekwa hosipitali walipona na kurudi nyumbani. Ilikuwa ni furaha tele kuwaona watu hawa. Kila mtu alifurahi zaidi ya ghaya. Baada ya muda mfupi, mambo yalikuwa sawa. Machifu na watu wa kijiji hiki walipanga mkutano na kuzungumzia usafi katika mazingira yao. Kila mtu alikubali kuzingatia usafi. Walielewa kwamba uchafu ni hasara na ni mharibifu. Baada ya hayo mazingira yalikuwa yakimetameta, mazingira yalikuwa safi sana.
Ni katika kijiji kipi watu walikuwa wengi kama siafu
{ "text": [ "Pembezoni" ] }
1560_swa
Madhara ya kuchafua Mazingira Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Katika kijiji cha Pembezoni, palishi halaiki ya watu, kila familia ilikuwa na watoto kumi. Licha ya hayo, watu hawa walikuwa wakikaribiana kama pua na mdomo. Katika kijiji hiki watu walikuwa wengi kama siafu. Baadhi ya watu wa kijiji hiki hawakuwa wakizingatia usafi. Mazingira yao yalikuwa machafu, walikuwa wakitupa takataka kila mahali. Maji machafu yalikuwa yakitiririka kila mahali. Katika kijiji hiki watu hawakuwa wanaoga. Muda si muda, watu hawa walikuwa wagonjwa karibu wote. Kila mtu alikuwa anashugulika na hali yake na familia yake. Watoto wadogo walikuwa wakikimbia hapa pale kwa sababu ya kuumwa na tumbo. Kabla ya sekunde mbili, watu walikuwa wakianguka chini na kukufa. Karibu watu ishirini waliaga. Kila mtu alishikwa na mchanganyiko wa shaka na shauka. Baada ya hayo machifu walikuja na kusaidia watu hawa. Machifu hawa waligawanyika kwa makundi mawili, wengine walipeleka wagonjwa hosipitali na wengine wakapeleka maiti kwenye vyumba vya kuhufadhi maiti. Baada ya muda mfupi, waliopelekwa hosipitali walipona na kurudi nyumbani. Ilikuwa ni furaha tele kuwaona watu hawa. Kila mtu alifurahi zaidi ya ghaya. Baada ya muda mfupi, mambo yalikuwa sawa. Machifu na watu wa kijiji hiki walipanga mkutano na kuzungumzia usafi katika mazingira yao. Kila mtu alikubali kuzingatia usafi. Walielewa kwamba uchafu ni hasara na ni mharibifu. Baada ya hayo mazingira yalikuwa yakimetameta, mazingira yalikuwa safi sana.
Kwa nini watoto wadogo walikuwa wanakimbia hapa na pale
{ "text": [ "Walikuwa wakiumwa na tumbo" ] }
1560_swa
Madhara ya kuchafua Mazingira Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Katika kijiji cha Pembezoni, palishi halaiki ya watu, kila familia ilikuwa na watoto kumi. Licha ya hayo, watu hawa walikuwa wakikaribiana kama pua na mdomo. Katika kijiji hiki watu walikuwa wengi kama siafu. Baadhi ya watu wa kijiji hiki hawakuwa wakizingatia usafi. Mazingira yao yalikuwa machafu, walikuwa wakitupa takataka kila mahali. Maji machafu yalikuwa yakitiririka kila mahali. Katika kijiji hiki watu hawakuwa wanaoga. Muda si muda, watu hawa walikuwa wagonjwa karibu wote. Kila mtu alikuwa anashugulika na hali yake na familia yake. Watoto wadogo walikuwa wakikimbia hapa pale kwa sababu ya kuumwa na tumbo. Kabla ya sekunde mbili, watu walikuwa wakianguka chini na kukufa. Karibu watu ishirini waliaga. Kila mtu alishikwa na mchanganyiko wa shaka na shauka. Baada ya hayo machifu walikuja na kusaidia watu hawa. Machifu hawa waligawanyika kwa makundi mawili, wengine walipeleka wagonjwa hosipitali na wengine wakapeleka maiti kwenye vyumba vya kuhufadhi maiti. Baada ya muda mfupi, waliopelekwa hosipitali walipona na kurudi nyumbani. Ilikuwa ni furaha tele kuwaona watu hawa. Kila mtu alifurahi zaidi ya ghaya. Baada ya muda mfupi, mambo yalikuwa sawa. Machifu na watu wa kijiji hiki walipanga mkutano na kuzungumzia usafi katika mazingira yao. Kila mtu alikubali kuzingatia usafi. Walielewa kwamba uchafu ni hasara na ni mharibifu. Baada ya hayo mazingira yalikuwa yakimetameta, mazingira yalikuwa safi sana.
Machifu walijigawa katika makundi mangapi kuwasaidia waliokuwa wakianguka
{ "text": [ "Mawili" ] }
1561_swa
MADHARA YA KUICHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila binadamu anastahili kuyaweka maazingira yake yakiwa masafi. Ili kuweka mazingira yetu yawe safi,hatufai kutupa takataka ovyo ovyo na pia tufagie mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa kama malarıa na kipindupindu. Pia kuweza kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi tupande miti ili ituletee afya njema na pia kutuletea mvua.Pia tunastahili kufyeka nyasi na kuyatoa maji ambayo ni machafu ili nyumba zetu ziwe safi . Tunafaa tufagie mazingira na tuokote takataka kama karatasi zinazotupa ovyo ovyo. Mazingira haya yafaa yawe safi kwa sababu pia ni nyumbani kwa wanyama. Wanyama hawa wakiwekwa kwa mazingira machafu wataaga. Sisi sote tunafaa tukae mazingira yakiwa safi kwa sababu ni kwa usalama wetu wenyewe. Tukiacha mazingira yakiwa machafu watu watagonjeka magonjwa kama kifua kikuu, mafua na pia ukiugua magonjwa haya unaweza kuambukizana. Mazingira yanafaa yawe safi kila wakati ili tujiepushe na magonjwa haya.Tukichafua mazingira tutaugua maradhi haya. Kwa hiyo tunafaa tujilinde na tulinde familia zetu kuwa kueka mazingira yakiwa safi na pia ni kwa usalama wetu wenyewe.
Mazingira machafu huchangia magonjwa gani
{ "text": [ "Malaria na kipindupindu" ] }
1561_swa
MADHARA YA KUICHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila binadamu anastahili kuyaweka maazingira yake yakiwa masafi. Ili kuweka mazingira yetu yawe safi,hatufai kutupa takataka ovyo ovyo na pia tufagie mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa kama malarıa na kipindupindu. Pia kuweza kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi tupande miti ili ituletee afya njema na pia kutuletea mvua.Pia tunastahili kufyeka nyasi na kuyatoa maji ambayo ni machafu ili nyumba zetu ziwe safi . Tunafaa tufagie mazingira na tuokote takataka kama karatasi zinazotupa ovyo ovyo. Mazingira haya yafaa yawe safi kwa sababu pia ni nyumbani kwa wanyama. Wanyama hawa wakiwekwa kwa mazingira machafu wataaga. Sisi sote tunafaa tukae mazingira yakiwa safi kwa sababu ni kwa usalama wetu wenyewe. Tukiacha mazingira yakiwa machafu watu watagonjeka magonjwa kama kifua kikuu, mafua na pia ukiugua magonjwa haya unaweza kuambukizana. Mazingira yanafaa yawe safi kila wakati ili tujiepushe na magonjwa haya.Tukichafua mazingira tutaugua maradhi haya. Kwa hiyo tunafaa tujilinde na tulinde familia zetu kuwa kueka mazingira yakiwa safi na pia ni kwa usalama wetu wenyewe.
Nini kinafaa kupandwa ili kuyaweka mazingira safi
{ "text": [ "Miti" ] }
1561_swa
MADHARA YA KUICHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila binadamu anastahili kuyaweka maazingira yake yakiwa masafi. Ili kuweka mazingira yetu yawe safi,hatufai kutupa takataka ovyo ovyo na pia tufagie mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa kama malarıa na kipindupindu. Pia kuweza kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi tupande miti ili ituletee afya njema na pia kutuletea mvua.Pia tunastahili kufyeka nyasi na kuyatoa maji ambayo ni machafu ili nyumba zetu ziwe safi . Tunafaa tufagie mazingira na tuokote takataka kama karatasi zinazotupa ovyo ovyo. Mazingira haya yafaa yawe safi kwa sababu pia ni nyumbani kwa wanyama. Wanyama hawa wakiwekwa kwa mazingira machafu wataaga. Sisi sote tunafaa tukae mazingira yakiwa safi kwa sababu ni kwa usalama wetu wenyewe. Tukiacha mazingira yakiwa machafu watu watagonjeka magonjwa kama kifua kikuu, mafua na pia ukiugua magonjwa haya unaweza kuambukizana. Mazingira yanafaa yawe safi kila wakati ili tujiepushe na magonjwa haya.Tukichafua mazingira tutaugua maradhi haya. Kwa hiyo tunafaa tujilinde na tulinde familia zetu kuwa kueka mazingira yakiwa safi na pia ni kwa usalama wetu wenyewe.
Mazingira machafu husababisha watu kugonjeka magonjwa yapi
{ "text": [ "Kifua kikuu na mafua" ] }
1561_swa
MADHARA YA KUICHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila binadamu anastahili kuyaweka maazingira yake yakiwa masafi. Ili kuweka mazingira yetu yawe safi,hatufai kutupa takataka ovyo ovyo na pia tufagie mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa kama malarıa na kipindupindu. Pia kuweza kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi tupande miti ili ituletee afya njema na pia kutuletea mvua.Pia tunastahili kufyeka nyasi na kuyatoa maji ambayo ni machafu ili nyumba zetu ziwe safi . Tunafaa tufagie mazingira na tuokote takataka kama karatasi zinazotupa ovyo ovyo. Mazingira haya yafaa yawe safi kwa sababu pia ni nyumbani kwa wanyama. Wanyama hawa wakiwekwa kwa mazingira machafu wataaga. Sisi sote tunafaa tukae mazingira yakiwa safi kwa sababu ni kwa usalama wetu wenyewe. Tukiacha mazingira yakiwa machafu watu watagonjeka magonjwa kama kifua kikuu, mafua na pia ukiugua magonjwa haya unaweza kuambukizana. Mazingira yanafaa yawe safi kila wakati ili tujiepushe na magonjwa haya.Tukichafua mazingira tutaugua maradhi haya. Kwa hiyo tunafaa tujilinde na tulinde familia zetu kuwa kueka mazingira yakiwa safi na pia ni kwa usalama wetu wenyewe.
Miti huleta nini
{ "text": [ "Mvua" ] }
1561_swa
MADHARA YA KUICHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila binadamu anastahili kuyaweka maazingira yake yakiwa masafi. Ili kuweka mazingira yetu yawe safi,hatufai kutupa takataka ovyo ovyo na pia tufagie mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa kama malarıa na kipindupindu. Pia kuweza kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi tupande miti ili ituletee afya njema na pia kutuletea mvua.Pia tunastahili kufyeka nyasi na kuyatoa maji ambayo ni machafu ili nyumba zetu ziwe safi . Tunafaa tufagie mazingira na tuokote takataka kama karatasi zinazotupa ovyo ovyo. Mazingira haya yafaa yawe safi kwa sababu pia ni nyumbani kwa wanyama. Wanyama hawa wakiwekwa kwa mazingira machafu wataaga. Sisi sote tunafaa tukae mazingira yakiwa safi kwa sababu ni kwa usalama wetu wenyewe. Tukiacha mazingira yakiwa machafu watu watagonjeka magonjwa kama kifua kikuu, mafua na pia ukiugua magonjwa haya unaweza kuambukizana. Mazingira yanafaa yawe safi kila wakati ili tujiepushe na magonjwa haya.Tukichafua mazingira tutaugua maradhi haya. Kwa hiyo tunafaa tujilinde na tulinde familia zetu kuwa kueka mazingira yakiwa safi na pia ni kwa usalama wetu wenyewe.
Mazingira yakilindwa kipi kitaepukika
{ "text": [ "Magonjwa mbalimbali" ] }
1562_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kiumbe inayotu zunguka sisi wanadamu. na madhara ni jinsi watu hutupa uchafu kwa mazingira. Jumatatu iliyopita ilikuwa ni siku ya kuongoja kwa hamu na ghamu kwa sababu wakubwa wa usafi walitutembelea kuagaalia jinsi watu wanavyochafua mazingira yao. Siku hiyo tulijaribu yetu yote kusafisha mazingira yetu lakini wapi, yalikuwa machafu sana. Watu walipofika walishagaa jinsi mazingira yetu yalikua machafu. Wakubwa wa usafi walipokuja, walituambia tutakavyosafisha mazingira yetu kwa sababu kuchafuwa mazingira kunaleta madhara mengi sana kama vile, watu wakiyanywa maji machafu wataambukizwa magonjwa yanayo sababishwa na maji machafu kama vile kipindupindu. Huu ugonjwa ni mbaya sana katika maisha ya binadamu. Kutupatupa takataka pia kuna madhara.Mifugo wakila karatasi watakufa na hiyo ni hasara kubwa sana. Watu hawa waliwakumbusha watu wachimbe vyoo kwa sababu watu wanachafuwa mazingira kwa kuenda choo kila mahali. Ni madhara sana kwa maisha ya binadamu. Utakapokula chakula nzi anakujia na kupandilia chakula na ametoka mahali apapo watu wameenda choo na kusababisha magonjwa mengi sana. Kuwa na mazingira masafi ni kitu kizuri kwa maana huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo.Tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa safi kila mahali tunakoishi Tujiangalie na mazingiria yetu na pia kuwa wasafi kila mahali na pahali tunakoishi. Mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu sisi wanadamu na viumbe wengineo.
Kuchafua mazingira kunaleta nini
{ "text": [ "madhara mengi" ] }
1562_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kiumbe inayotu zunguka sisi wanadamu. na madhara ni jinsi watu hutupa uchafu kwa mazingira. Jumatatu iliyopita ilikuwa ni siku ya kuongoja kwa hamu na ghamu kwa sababu wakubwa wa usafi walitutembelea kuagaalia jinsi watu wanavyochafua mazingira yao. Siku hiyo tulijaribu yetu yote kusafisha mazingira yetu lakini wapi, yalikuwa machafu sana. Watu walipofika walishagaa jinsi mazingira yetu yalikua machafu. Wakubwa wa usafi walipokuja, walituambia tutakavyosafisha mazingira yetu kwa sababu kuchafuwa mazingira kunaleta madhara mengi sana kama vile, watu wakiyanywa maji machafu wataambukizwa magonjwa yanayo sababishwa na maji machafu kama vile kipindupindu. Huu ugonjwa ni mbaya sana katika maisha ya binadamu. Kutupatupa takataka pia kuna madhara.Mifugo wakila karatasi watakufa na hiyo ni hasara kubwa sana. Watu hawa waliwakumbusha watu wachimbe vyoo kwa sababu watu wanachafuwa mazingira kwa kuenda choo kila mahali. Ni madhara sana kwa maisha ya binadamu. Utakapokula chakula nzi anakujia na kupandilia chakula na ametoka mahali apapo watu wameenda choo na kusababisha magonjwa mengi sana. Kuwa na mazingira masafi ni kitu kizuri kwa maana huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo.Tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa safi kila mahali tunakoishi Tujiangalie na mazingiria yetu na pia kuwa wasafi kila mahali na pahali tunakoishi. Mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu sisi wanadamu na viumbe wengineo.
Ni ugonjwa gani unasababishwa kwa kunywa maji machafu
{ "text": [ "kipindupindu" ] }
1562_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kiumbe inayotu zunguka sisi wanadamu. na madhara ni jinsi watu hutupa uchafu kwa mazingira. Jumatatu iliyopita ilikuwa ni siku ya kuongoja kwa hamu na ghamu kwa sababu wakubwa wa usafi walitutembelea kuagaalia jinsi watu wanavyochafua mazingira yao. Siku hiyo tulijaribu yetu yote kusafisha mazingira yetu lakini wapi, yalikuwa machafu sana. Watu walipofika walishagaa jinsi mazingira yetu yalikua machafu. Wakubwa wa usafi walipokuja, walituambia tutakavyosafisha mazingira yetu kwa sababu kuchafuwa mazingira kunaleta madhara mengi sana kama vile, watu wakiyanywa maji machafu wataambukizwa magonjwa yanayo sababishwa na maji machafu kama vile kipindupindu. Huu ugonjwa ni mbaya sana katika maisha ya binadamu. Kutupatupa takataka pia kuna madhara.Mifugo wakila karatasi watakufa na hiyo ni hasara kubwa sana. Watu hawa waliwakumbusha watu wachimbe vyoo kwa sababu watu wanachafuwa mazingira kwa kuenda choo kila mahali. Ni madhara sana kwa maisha ya binadamu. Utakapokula chakula nzi anakujia na kupandilia chakula na ametoka mahali apapo watu wameenda choo na kusababisha magonjwa mengi sana. Kuwa na mazingira masafi ni kitu kizuri kwa maana huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo.Tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa safi kila mahali tunakoishi Tujiangalie na mazingiria yetu na pia kuwa wasafi kila mahali na pahali tunakoishi. Mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu sisi wanadamu na viumbe wengineo.
Mifugo wakikula karatasi watafanya nini
{ "text": [ "watakufa" ] }
1562_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kiumbe inayotu zunguka sisi wanadamu. na madhara ni jinsi watu hutupa uchafu kwa mazingira. Jumatatu iliyopita ilikuwa ni siku ya kuongoja kwa hamu na ghamu kwa sababu wakubwa wa usafi walitutembelea kuagaalia jinsi watu wanavyochafua mazingira yao. Siku hiyo tulijaribu yetu yote kusafisha mazingira yetu lakini wapi, yalikuwa machafu sana. Watu walipofika walishagaa jinsi mazingira yetu yalikua machafu. Wakubwa wa usafi walipokuja, walituambia tutakavyosafisha mazingira yetu kwa sababu kuchafuwa mazingira kunaleta madhara mengi sana kama vile, watu wakiyanywa maji machafu wataambukizwa magonjwa yanayo sababishwa na maji machafu kama vile kipindupindu. Huu ugonjwa ni mbaya sana katika maisha ya binadamu. Kutupatupa takataka pia kuna madhara.Mifugo wakila karatasi watakufa na hiyo ni hasara kubwa sana. Watu hawa waliwakumbusha watu wachimbe vyoo kwa sababu watu wanachafuwa mazingira kwa kuenda choo kila mahali. Ni madhara sana kwa maisha ya binadamu. Utakapokula chakula nzi anakujia na kupandilia chakula na ametoka mahali apapo watu wameenda choo na kusababisha magonjwa mengi sana. Kuwa na mazingira masafi ni kitu kizuri kwa maana huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo.Tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa safi kila mahali tunakoishi Tujiangalie na mazingiria yetu na pia kuwa wasafi kila mahali na pahali tunakoishi. Mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu sisi wanadamu na viumbe wengineo.
Wakubwa wa usafi waliwatembelea lini
{ "text": [ "Jumatatu iliopita" ] }
1562_swa
Insha kuhusu madhara ya kuchafua mazingira Mazingira ni kiumbe inayotu zunguka sisi wanadamu. na madhara ni jinsi watu hutupa uchafu kwa mazingira. Jumatatu iliyopita ilikuwa ni siku ya kuongoja kwa hamu na ghamu kwa sababu wakubwa wa usafi walitutembelea kuagaalia jinsi watu wanavyochafua mazingira yao. Siku hiyo tulijaribu yetu yote kusafisha mazingira yetu lakini wapi, yalikuwa machafu sana. Watu walipofika walishagaa jinsi mazingira yetu yalikua machafu. Wakubwa wa usafi walipokuja, walituambia tutakavyosafisha mazingira yetu kwa sababu kuchafuwa mazingira kunaleta madhara mengi sana kama vile, watu wakiyanywa maji machafu wataambukizwa magonjwa yanayo sababishwa na maji machafu kama vile kipindupindu. Huu ugonjwa ni mbaya sana katika maisha ya binadamu. Kutupatupa takataka pia kuna madhara.Mifugo wakila karatasi watakufa na hiyo ni hasara kubwa sana. Watu hawa waliwakumbusha watu wachimbe vyoo kwa sababu watu wanachafuwa mazingira kwa kuenda choo kila mahali. Ni madhara sana kwa maisha ya binadamu. Utakapokula chakula nzi anakujia na kupandilia chakula na ametoka mahali apapo watu wameenda choo na kusababisha magonjwa mengi sana. Kuwa na mazingira masafi ni kitu kizuri kwa maana huleta afya nzuri kwa wanadamu na viumbe wengineo.Tujiangalie na mazingira yetu na pia kuwa safi kila mahali tunakoishi Tujiangalie na mazingiria yetu na pia kuwa wasafi kila mahali na pahali tunakoishi. Mazingira ni kitu muhimu sana katika maisha yetu sisi wanadamu na viumbe wengineo.
Mbona Jumatatu iliopita ilikua ya kungoja kwa hamu
{ "text": [ "kwa kuwa wakubwa wa usafi walikua wawatembelee" ] }
1563_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa yakiathirika pakubwa. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo na hatimaye kuathiri mazingira.Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Mojawapo ya tishio kubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa aina yoyote huathiri mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi ambazo zina viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zingine. Uchafuzi hufanyika pia katika mito. Maji ya mito huwa na sumu nyingi kiasi cha kwamba wanyama wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haukuwa mwingi hapo awali, lakini si kwamba haupo. Wakulima wanahimizwa kulima kwa dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo, lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Idadi kubwa ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha kwamba baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote. Hata hivyo Sheria hizo zinaweza tu kutekelezwa kitaifa. Waziri wa mazingira hutekeleza kazi yake kwenye ngazi za kitafa. Kunayo mashirika ya kimataifa ambayo yanahusika na mambo ya kutunza mazingira.Mashirika hayo haywezi kuamuru serikali za nchi mbalimbali kuhusu aina za sheria zinazopaswa kupitisha, bali hushauri na kueleza hatari za kuchafua mazingira na jinsi ya kujiepusha na athari hizo. Kwa njia hiyo, waziri wa mazingira hufanya nchi kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Ardhi, mito, maziwa na bahari ni nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1563_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa yakiathirika pakubwa. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo na hatimaye kuathiri mazingira.Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Mojawapo ya tishio kubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa aina yoyote huathiri mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi ambazo zina viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zingine. Uchafuzi hufanyika pia katika mito. Maji ya mito huwa na sumu nyingi kiasi cha kwamba wanyama wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haukuwa mwingi hapo awali, lakini si kwamba haupo. Wakulima wanahimizwa kulima kwa dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo, lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Idadi kubwa ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha kwamba baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote. Hata hivyo Sheria hizo zinaweza tu kutekelezwa kitaifa. Waziri wa mazingira hutekeleza kazi yake kwenye ngazi za kitafa. Kunayo mashirika ya kimataifa ambayo yanahusika na mambo ya kutunza mazingira.Mashirika hayo haywezi kuamuru serikali za nchi mbalimbali kuhusu aina za sheria zinazopaswa kupitisha, bali hushauri na kueleza hatari za kuchafua mazingira na jinsi ya kujiepusha na athari hizo. Kwa njia hiyo, waziri wa mazingira hufanya nchi kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Mbinu za nini duni husababisha mmomonyoko wa udongo
{ "text": [ "Kilimo" ] }
1563_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa yakiathirika pakubwa. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo na hatimaye kuathiri mazingira.Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Mojawapo ya tishio kubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa aina yoyote huathiri mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi ambazo zina viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zingine. Uchafuzi hufanyika pia katika mito. Maji ya mito huwa na sumu nyingi kiasi cha kwamba wanyama wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haukuwa mwingi hapo awali, lakini si kwamba haupo. Wakulima wanahimizwa kulima kwa dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo, lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Idadi kubwa ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha kwamba baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote. Hata hivyo Sheria hizo zinaweza tu kutekelezwa kitaifa. Waziri wa mazingira hutekeleza kazi yake kwenye ngazi za kitafa. Kunayo mashirika ya kimataifa ambayo yanahusika na mambo ya kutunza mazingira.Mashirika hayo haywezi kuamuru serikali za nchi mbalimbali kuhusu aina za sheria zinazopaswa kupitisha, bali hushauri na kueleza hatari za kuchafua mazingira na jinsi ya kujiepusha na athari hizo. Kwa njia hiyo, waziri wa mazingira hufanya nchi kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Uchafuzi ni mojawapo ya nini kwenye mazingira
{ "text": [ "Vitisho" ] }
1563_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa yakiathirika pakubwa. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo na hatimaye kuathiri mazingira.Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Mojawapo ya tishio kubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa aina yoyote huathiri mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi ambazo zina viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zingine. Uchafuzi hufanyika pia katika mito. Maji ya mito huwa na sumu nyingi kiasi cha kwamba wanyama wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haukuwa mwingi hapo awali, lakini si kwamba haupo. Wakulima wanahimizwa kulima kwa dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo, lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Idadi kubwa ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha kwamba baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote. Hata hivyo Sheria hizo zinaweza tu kutekelezwa kitaifa. Waziri wa mazingira hutekeleza kazi yake kwenye ngazi za kitafa. Kunayo mashirika ya kimataifa ambayo yanahusika na mambo ya kutunza mazingira.Mashirika hayo haywezi kuamuru serikali za nchi mbalimbali kuhusu aina za sheria zinazopaswa kupitisha, bali hushauri na kueleza hatari za kuchafua mazingira na jinsi ya kujiepusha na athari hizo. Kwa njia hiyo, waziri wa mazingira hufanya nchi kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Ufugaji wa nini hugeuza sehemu ikawa jangwa
{ "text": [ "Mifugo" ] }
1563_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Wakati huu ambao idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka, mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa yakiathirika pakubwa. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo na hatimaye kuathiri mazingira.Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Mojawapo ya tishio kubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa aina yoyote huathiri mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi ambazo zina viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zingine. Uchafuzi hufanyika pia katika mito. Maji ya mito huwa na sumu nyingi kiasi cha kwamba wanyama wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haukuwa mwingi hapo awali, lakini si kwamba haupo. Wakulima wanahimizwa kulima kwa dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo, lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Idadi kubwa ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha kwamba baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote. Hata hivyo Sheria hizo zinaweza tu kutekelezwa kitaifa. Waziri wa mazingira hutekeleza kazi yake kwenye ngazi za kitafa. Kunayo mashirika ya kimataifa ambayo yanahusika na mambo ya kutunza mazingira.Mashirika hayo haywezi kuamuru serikali za nchi mbalimbali kuhusu aina za sheria zinazopaswa kupitisha, bali hushauri na kueleza hatari za kuchafua mazingira na jinsi ya kujiepusha na athari hizo. Kwa njia hiyo, waziri wa mazingira hufanya nchi kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Maji ya mto huwa na nini
{ "text": [ "Sumu nyingi" ] }
1564_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Mazingira ni kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu ndiposa tunafaa kuyaweka yakiwa safi na bora zaidi. Tusipoweka mazingira yetu yakiwa safi, tunaweza kukumbwa na madhara kama vile magonjwa kama kipindupindu, kichocho na mengineo, yanayoweza kudhuru afya yetu. Kipindupindu husababishwa na kutupa taka ovyo ovyo na kichocho husababishwa na kushika au kukanyanga maji machafu. Sisi sote tunapaswa kutoa maji yote ambayo yako karibu na mazingira yetu, kuokota taka na kukata nyasi ndefu ili tuweze kuzuia ugonjwa wa malaria. Malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu. Mbu hukaa katika maeneo yaliyo na nyasi ndefu na maji machafu. Kuna watu wengine ambao hawazingatii usafi katika mazingira. Miti pia ni baadhi ya vitu ambavyo tunafaa tuzingatie. Tunapata hewa safi kutokana na miti. Miti pia hutusaidia kuleta mvua. Tunapaswa kupanda miti mingi na kuitunza isiweze kukatwa na kuinyunyizia maji ikiwa miche. Wanadamu ndio wanaoshiriki zaidi katika uchafuzi wa mazingira. Shuleni pia kuna wanafunzi ambao hawazingatii usafi wa mazingira,wao hutupa karatasi ovyo ovyoo bila kujali afya yao au ya wanafunzi wengine. Walimu pia wanafaa wasisitize usafi wa mazingira na kuwaadhibu wanafunzi ambao hawazingatii usafi. Katika shule za bweni, wanafunzi wanafaa kuzingatia usafi kwa kuoga kila siku. Nyumbani kwetu pia usafi unafaa uzingatiwe ili kujiepusha magonjwa katika familia zetu. Machafuko ya viwandani ni njia mojawapo ya uchafuzi wa mazingira. Viwanda hutengeneza vifaa ambavyo vinatoa moshi inayochafua hewa, na maji machafu yanayochafua mito ambayo watu huchota mají na wanyama pia hunywa maji hayo. Kwa hivyo kuchunga na kusafisha mazingira yetu ni jukumu letu sisi sote. Pia, tupande miti mingi ili tuweze kupata hewa safi na mvua wakati ambapo tunahitaji.
Mazingira chafu husababisha ugonjwa kama ipi?
{ "text": [ "Kichocho" ] }
1564_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Mazingira ni kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu ndiposa tunafaa kuyaweka yakiwa safi na bora zaidi. Tusipoweka mazingira yetu yakiwa safi, tunaweza kukumbwa na madhara kama vile magonjwa kama kipindupindu, kichocho na mengineo, yanayoweza kudhuru afya yetu. Kipindupindu husababishwa na kutupa taka ovyo ovyo na kichocho husababishwa na kushika au kukanyanga maji machafu. Sisi sote tunapaswa kutoa maji yote ambayo yako karibu na mazingira yetu, kuokota taka na kukata nyasi ndefu ili tuweze kuzuia ugonjwa wa malaria. Malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu. Mbu hukaa katika maeneo yaliyo na nyasi ndefu na maji machafu. Kuna watu wengine ambao hawazingatii usafi katika mazingira. Miti pia ni baadhi ya vitu ambavyo tunafaa tuzingatie. Tunapata hewa safi kutokana na miti. Miti pia hutusaidia kuleta mvua. Tunapaswa kupanda miti mingi na kuitunza isiweze kukatwa na kuinyunyizia maji ikiwa miche. Wanadamu ndio wanaoshiriki zaidi katika uchafuzi wa mazingira. Shuleni pia kuna wanafunzi ambao hawazingatii usafi wa mazingira,wao hutupa karatasi ovyo ovyoo bila kujali afya yao au ya wanafunzi wengine. Walimu pia wanafaa wasisitize usafi wa mazingira na kuwaadhibu wanafunzi ambao hawazingatii usafi. Katika shule za bweni, wanafunzi wanafaa kuzingatia usafi kwa kuoga kila siku. Nyumbani kwetu pia usafi unafaa uzingatiwe ili kujiepusha magonjwa katika familia zetu. Machafuko ya viwandani ni njia mojawapo ya uchafuzi wa mazingira. Viwanda hutengeneza vifaa ambavyo vinatoa moshi inayochafua hewa, na maji machafu yanayochafua mito ambayo watu huchota mají na wanyama pia hunywa maji hayo. Kwa hivyo kuchunga na kusafisha mazingira yetu ni jukumu letu sisi sote. Pia, tupande miti mingi ili tuweze kupata hewa safi na mvua wakati ambapo tunahitaji.
Kipindupindu kuletwa na nini?
{ "text": [ "Kutupa taka ovyo" ] }
1564_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Mazingira ni kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu ndiposa tunafaa kuyaweka yakiwa safi na bora zaidi. Tusipoweka mazingira yetu yakiwa safi, tunaweza kukumbwa na madhara kama vile magonjwa kama kipindupindu, kichocho na mengineo, yanayoweza kudhuru afya yetu. Kipindupindu husababishwa na kutupa taka ovyo ovyo na kichocho husababishwa na kushika au kukanyanga maji machafu. Sisi sote tunapaswa kutoa maji yote ambayo yako karibu na mazingira yetu, kuokota taka na kukata nyasi ndefu ili tuweze kuzuia ugonjwa wa malaria. Malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu. Mbu hukaa katika maeneo yaliyo na nyasi ndefu na maji machafu. Kuna watu wengine ambao hawazingatii usafi katika mazingira. Miti pia ni baadhi ya vitu ambavyo tunafaa tuzingatie. Tunapata hewa safi kutokana na miti. Miti pia hutusaidia kuleta mvua. Tunapaswa kupanda miti mingi na kuitunza isiweze kukatwa na kuinyunyizia maji ikiwa miche. Wanadamu ndio wanaoshiriki zaidi katika uchafuzi wa mazingira. Shuleni pia kuna wanafunzi ambao hawazingatii usafi wa mazingira,wao hutupa karatasi ovyo ovyoo bila kujali afya yao au ya wanafunzi wengine. Walimu pia wanafaa wasisitize usafi wa mazingira na kuwaadhibu wanafunzi ambao hawazingatii usafi. Katika shule za bweni, wanafunzi wanafaa kuzingatia usafi kwa kuoga kila siku. Nyumbani kwetu pia usafi unafaa uzingatiwe ili kujiepusha magonjwa katika familia zetu. Machafuko ya viwandani ni njia mojawapo ya uchafuzi wa mazingira. Viwanda hutengeneza vifaa ambavyo vinatoa moshi inayochafua hewa, na maji machafu yanayochafua mito ambayo watu huchota mají na wanyama pia hunywa maji hayo. Kwa hivyo kuchunga na kusafisha mazingira yetu ni jukumu letu sisi sote. Pia, tupande miti mingi ili tuweze kupata hewa safi na mvua wakati ambapo tunahitaji.
Mnyama yupi huhusishwa na ugonjwa wa kichocho?
{ "text": [ "Konokoni" ] }
1564_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Mazingira ni kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu ndiposa tunafaa kuyaweka yakiwa safi na bora zaidi. Tusipoweka mazingira yetu yakiwa safi, tunaweza kukumbwa na madhara kama vile magonjwa kama kipindupindu, kichocho na mengineo, yanayoweza kudhuru afya yetu. Kipindupindu husababishwa na kutupa taka ovyo ovyo na kichocho husababishwa na kushika au kukanyanga maji machafu. Sisi sote tunapaswa kutoa maji yote ambayo yako karibu na mazingira yetu, kuokota taka na kukata nyasi ndefu ili tuweze kuzuia ugonjwa wa malaria. Malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu. Mbu hukaa katika maeneo yaliyo na nyasi ndefu na maji machafu. Kuna watu wengine ambao hawazingatii usafi katika mazingira. Miti pia ni baadhi ya vitu ambavyo tunafaa tuzingatie. Tunapata hewa safi kutokana na miti. Miti pia hutusaidia kuleta mvua. Tunapaswa kupanda miti mingi na kuitunza isiweze kukatwa na kuinyunyizia maji ikiwa miche. Wanadamu ndio wanaoshiriki zaidi katika uchafuzi wa mazingira. Shuleni pia kuna wanafunzi ambao hawazingatii usafi wa mazingira,wao hutupa karatasi ovyo ovyoo bila kujali afya yao au ya wanafunzi wengine. Walimu pia wanafaa wasisitize usafi wa mazingira na kuwaadhibu wanafunzi ambao hawazingatii usafi. Katika shule za bweni, wanafunzi wanafaa kuzingatia usafi kwa kuoga kila siku. Nyumbani kwetu pia usafi unafaa uzingatiwe ili kujiepusha magonjwa katika familia zetu. Machafuko ya viwandani ni njia mojawapo ya uchafuzi wa mazingira. Viwanda hutengeneza vifaa ambavyo vinatoa moshi inayochafua hewa, na maji machafu yanayochafua mito ambayo watu huchota mají na wanyama pia hunywa maji hayo. Kwa hivyo kuchunga na kusafisha mazingira yetu ni jukumu letu sisi sote. Pia, tupande miti mingi ili tuweze kupata hewa safi na mvua wakati ambapo tunahitaji.
Hewa safi huletwa na nini?
{ "text": [ "Miti" ] }
1564_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi au maisha yake. Mazingira ni kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu ndiposa tunafaa kuyaweka yakiwa safi na bora zaidi. Tusipoweka mazingira yetu yakiwa safi, tunaweza kukumbwa na madhara kama vile magonjwa kama kipindupindu, kichocho na mengineo, yanayoweza kudhuru afya yetu. Kipindupindu husababishwa na kutupa taka ovyo ovyo na kichocho husababishwa na kushika au kukanyanga maji machafu. Sisi sote tunapaswa kutoa maji yote ambayo yako karibu na mazingira yetu, kuokota taka na kukata nyasi ndefu ili tuweze kuzuia ugonjwa wa malaria. Malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu. Mbu hukaa katika maeneo yaliyo na nyasi ndefu na maji machafu. Kuna watu wengine ambao hawazingatii usafi katika mazingira. Miti pia ni baadhi ya vitu ambavyo tunafaa tuzingatie. Tunapata hewa safi kutokana na miti. Miti pia hutusaidia kuleta mvua. Tunapaswa kupanda miti mingi na kuitunza isiweze kukatwa na kuinyunyizia maji ikiwa miche. Wanadamu ndio wanaoshiriki zaidi katika uchafuzi wa mazingira. Shuleni pia kuna wanafunzi ambao hawazingatii usafi wa mazingira,wao hutupa karatasi ovyo ovyoo bila kujali afya yao au ya wanafunzi wengine. Walimu pia wanafaa wasisitize usafi wa mazingira na kuwaadhibu wanafunzi ambao hawazingatii usafi. Katika shule za bweni, wanafunzi wanafaa kuzingatia usafi kwa kuoga kila siku. Nyumbani kwetu pia usafi unafaa uzingatiwe ili kujiepusha magonjwa katika familia zetu. Machafuko ya viwandani ni njia mojawapo ya uchafuzi wa mazingira. Viwanda hutengeneza vifaa ambavyo vinatoa moshi inayochafua hewa, na maji machafu yanayochafua mito ambayo watu huchota mají na wanyama pia hunywa maji hayo. Kwa hivyo kuchunga na kusafisha mazingira yetu ni jukumu letu sisi sote. Pia, tupande miti mingi ili tuweze kupata hewa safi na mvua wakati ambapo tunahitaji.
Mambo yanayomzunguka binadamu mahali anapoishi hufahamika kama nini?
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1565_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni muhimu mwilini na hata katika maisha yetu.Tunapoyachafua mazingira yetu tuyaamsha magonjwa aina mingi. Mazingira ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mazingira ni muhimu lakini tusipoyazingatia hayatakuwa mazuri.Magonjwa yanayosababishwa na uchafuazi wa mazingira ni kama vile kipindupindu. Njia za kuzingatia mazingira yetu kama vile kuosha choo zetu, kufagia mazingira yetu na pia kuchoma taka taka. Tukifanya hivi tutajiepusha na magonjwa hayo. Pia kuna uchafuzi unaosababishwa na viwanda.Viwanda hivi huelekeza maji taka yao mitoni.Ng’ombe au binadamu wakiyanywa maji hayo wanaweza kuwa wagonjwa na kudhuru afya yao.Ng’ombe waliokunya maji ambayo yamejaa kemikali hugonjeka na hivyo basi wanapokamuliwa maziwa, hutoa maziwa ambayo yanaweza kudhuru maisha ya binadamu. Mazingira ni muhimu kwa sababu yanatupa vitu vingi na tukiendelea kuyachafua sote tutagonjeka Kutupa taka taka kila mahali kunasababisha uchafuzi wa mazingira na hivyo basi kuathiri maisha yetu kwa njia moja au nyingine. Kutupa taka taka kila mahali pia huwadhuru wanyama wetu. Mazingira yana umuhimu mwingi. Tunafaa kutunza mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.Tukilinda mazingira yetu, tutaboresha maisha yetu na pia ya kizazi kijacho.
Nini ni muhimu mwilini
{ "text": [ "mazingira" ] }
1565_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni muhimu mwilini na hata katika maisha yetu.Tunapoyachafua mazingira yetu tuyaamsha magonjwa aina mingi. Mazingira ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mazingira ni muhimu lakini tusipoyazingatia hayatakuwa mazuri.Magonjwa yanayosababishwa na uchafuazi wa mazingira ni kama vile kipindupindu. Njia za kuzingatia mazingira yetu kama vile kuosha choo zetu, kufagia mazingira yetu na pia kuchoma taka taka. Tukifanya hivi tutajiepusha na magonjwa hayo. Pia kuna uchafuzi unaosababishwa na viwanda.Viwanda hivi huelekeza maji taka yao mitoni.Ng’ombe au binadamu wakiyanywa maji hayo wanaweza kuwa wagonjwa na kudhuru afya yao.Ng’ombe waliokunya maji ambayo yamejaa kemikali hugonjeka na hivyo basi wanapokamuliwa maziwa, hutoa maziwa ambayo yanaweza kudhuru maisha ya binadamu. Mazingira ni muhimu kwa sababu yanatupa vitu vingi na tukiendelea kuyachafua sote tutagonjeka Kutupa taka taka kila mahali kunasababisha uchafuzi wa mazingira na hivyo basi kuathiri maisha yetu kwa njia moja au nyingine. Kutupa taka taka kila mahali pia huwadhuru wanyama wetu. Mazingira yana umuhimu mwingi. Tunafaa kutunza mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.Tukilinda mazingira yetu, tutaboresha maisha yetu na pia ya kizazi kijacho.
Lini tunayaamsha na kuyaita magonjwa
{ "text": [ "tunapoyachafua mazingira" ] }
1565_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni muhimu mwilini na hata katika maisha yetu.Tunapoyachafua mazingira yetu tuyaamsha magonjwa aina mingi. Mazingira ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mazingira ni muhimu lakini tusipoyazingatia hayatakuwa mazuri.Magonjwa yanayosababishwa na uchafuazi wa mazingira ni kama vile kipindupindu. Njia za kuzingatia mazingira yetu kama vile kuosha choo zetu, kufagia mazingira yetu na pia kuchoma taka taka. Tukifanya hivi tutajiepusha na magonjwa hayo. Pia kuna uchafuzi unaosababishwa na viwanda.Viwanda hivi huelekeza maji taka yao mitoni.Ng’ombe au binadamu wakiyanywa maji hayo wanaweza kuwa wagonjwa na kudhuru afya yao.Ng’ombe waliokunya maji ambayo yamejaa kemikali hugonjeka na hivyo basi wanapokamuliwa maziwa, hutoa maziwa ambayo yanaweza kudhuru maisha ya binadamu. Mazingira ni muhimu kwa sababu yanatupa vitu vingi na tukiendelea kuyachafua sote tutagonjeka Kutupa taka taka kila mahali kunasababisha uchafuzi wa mazingira na hivyo basi kuathiri maisha yetu kwa njia moja au nyingine. Kutupa taka taka kila mahali pia huwadhuru wanyama wetu. Mazingira yana umuhimu mwingi. Tunafaa kutunza mazingira yetu ili kuepukana na magonjwa.Tukilinda mazingira yetu, tutaboresha maisha yetu na pia ya kizazi kijacho.
Binadamu hutegemea ng'ombe kupata nini
{ "text": [ "maziwa" ] }