Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
1612_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayozunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi bali ya kaue lausa safi. Madhara yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu, kumua na tumbo na menginezo. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na mwenye afya bora. Miaka zilizopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi . Watu walikuwa wakitupa taka zao pahali pamoja ili kuzia kuchafu maji. Mazingira hayo yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi na afya bora. Walikuwa na maji safi ya kunywa na kutumia. Miaka hii tunayoishi mazingira yamekuwa machafu sana. Kila mtu anatupa takaa kila pahali hata kwenye mito na kando ya barabara. Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha mahali tunamoishi, barabarani, mikoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuifadhi mazingira. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu na kudumisha usafi kila wakati ili tupate afya bora.
Faida ya kuishi katika mazingira safi ni gani?
{ "text": [ "Afya njema" ] }
1612_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya mazingira. Mazingira ni hali au mambo yanayozunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafuzi bali ya kaue lausa safi. Madhara yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira ni kama magonjwa. Magonjwa kama vile kipindupindu, kumua na tumbo na menginezo. Tunapaswa kudumisha usafi wa mazingira yetu ili tusipatwe na magonjwa. Mazingira safi hufanya afya ya mtu kukuwa vizuri na mwenye afya bora. Miaka zilizopita watu walipanda miti. Miti hiyo iliwasaidia kwa kuleta mvua na hewa safi . Watu walikuwa wakitupa taka zao pahali pamoja ili kuzia kuchafu maji. Mazingira hayo yalikuwa safi kila siku, wakati na hata yenye hewa safi na afya bora. Walikuwa na maji safi ya kunywa na kutumia. Miaka hii tunayoishi mazingira yamekuwa machafu sana. Kila mtu anatupa takaa kila pahali hata kwenye mito na kando ya barabara. Ili kupata mazingira safi tunapaswa kusafisha mahali tunamoishi, barabarani, mikoni na kwingineko. Kupanda miti ni njia moja ya kuifadhi mazingira. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu na kudumisha usafi kila wakati ili tupate afya bora.
Miti husaidia kuleta nini?
{ "text": [ "Mvua" ] }
1613_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyotuzunguka. Kati ya mazingira ni kama miti, mito, majuma na vinginevyo. Madhara ni mambo yanayochafua mazingira. Uchafuzi wa mazingira umeenea kama moto jangwani. Binadamu huchafua mazingira kwa njia mbalimbali kama vile kufungulia maji taka kunaponyesha, kutupa takataka majini, kukata miti ovyo. Umwagaji wa maji taka huaithiri mazingira kwa njia tofauti. Kama vile huua viumbe vya maji, huaribiu hewa tunayopumwa. Tunapomwanga maji taka kwenye mito, tunapatwa na magonjwa kama malaria. Tunavyojua maji taka huleta mbu. Kipindupindu pia huletwa na maji taka. Viwanda pia huathiri mazingira. Vitu visivyotumika viwandani, humwagwa kwenye mashamba na yanaharibu mimea na hewa tunayopumua. Wanaoishi kwenye majumba ya ghorofa, huwa wanategea mvua inyeshe, ili wafungulie hayo maji taka. Kuna njia tofauti za kuzuia haya yote. Kwanza, tuwache kufungulia maji taka, il tuweze kuzuia kusamba kwa magonjwa yanayoletwa na majitaka. Pili,tusidii kupanda miti, bila miti hatuwezi pata mvua.Tuna hitaji mvua ili mimea yetu isikauke na kuzuia tunakoishi kusikuwe jangwa. Tatu,tudumishe usafi wa mazingira yetu ili tuepuke magonjwa yanayoletwa na mazingira machafu.Tuhakikishe takataka zinatupwa kwenye pipa la taka na kuchomwa wakati unaostahili.
Vitu vinavyotuzunguka huitwaje
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1613_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyotuzunguka. Kati ya mazingira ni kama miti, mito, majuma na vinginevyo. Madhara ni mambo yanayochafua mazingira. Uchafuzi wa mazingira umeenea kama moto jangwani. Binadamu huchafua mazingira kwa njia mbalimbali kama vile kufungulia maji taka kunaponyesha, kutupa takataka majini, kukata miti ovyo. Umwagaji wa maji taka huaithiri mazingira kwa njia tofauti. Kama vile huua viumbe vya maji, huaribiu hewa tunayopumwa. Tunapomwanga maji taka kwenye mito, tunapatwa na magonjwa kama malaria. Tunavyojua maji taka huleta mbu. Kipindupindu pia huletwa na maji taka. Viwanda pia huathiri mazingira. Vitu visivyotumika viwandani, humwagwa kwenye mashamba na yanaharibu mimea na hewa tunayopumua. Wanaoishi kwenye majumba ya ghorofa, huwa wanategea mvua inyeshe, ili wafungulie hayo maji taka. Kuna njia tofauti za kuzuia haya yote. Kwanza, tuwache kufungulia maji taka, il tuweze kuzuia kusamba kwa magonjwa yanayoletwa na majitaka. Pili,tusidii kupanda miti, bila miti hatuwezi pata mvua.Tuna hitaji mvua ili mimea yetu isikauke na kuzuia tunakoishi kusikuwe jangwa. Tatu,tudumishe usafi wa mazingira yetu ili tuepuke magonjwa yanayoletwa na mazingira machafu.Tuhakikishe takataka zinatupwa kwenye pipa la taka na kuchomwa wakati unaostahili.
Uchafuzi wa mazingira umeenea kama kama moto wapi
{ "text": [ "Jangwani" ] }
1613_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyotuzunguka. Kati ya mazingira ni kama miti, mito, majuma na vinginevyo. Madhara ni mambo yanayochafua mazingira. Uchafuzi wa mazingira umeenea kama moto jangwani. Binadamu huchafua mazingira kwa njia mbalimbali kama vile kufungulia maji taka kunaponyesha, kutupa takataka majini, kukata miti ovyo. Umwagaji wa maji taka huaithiri mazingira kwa njia tofauti. Kama vile huua viumbe vya maji, huaribiu hewa tunayopumwa. Tunapomwanga maji taka kwenye mito, tunapatwa na magonjwa kama malaria. Tunavyojua maji taka huleta mbu. Kipindupindu pia huletwa na maji taka. Viwanda pia huathiri mazingira. Vitu visivyotumika viwandani, humwagwa kwenye mashamba na yanaharibu mimea na hewa tunayopumua. Wanaoishi kwenye majumba ya ghorofa, huwa wanategea mvua inyeshe, ili wafungulie hayo maji taka. Kuna njia tofauti za kuzuia haya yote. Kwanza, tuwache kufungulia maji taka, il tuweze kuzuia kusamba kwa magonjwa yanayoletwa na majitaka. Pili,tusidii kupanda miti, bila miti hatuwezi pata mvua.Tuna hitaji mvua ili mimea yetu isikauke na kuzuia tunakoishi kusikuwe jangwa. Tatu,tudumishe usafi wa mazingira yetu ili tuepuke magonjwa yanayoletwa na mazingira machafu.Tuhakikishe takataka zinatupwa kwenye pipa la taka na kuchomwa wakati unaostahili.
Umwagaji wa maji yepi huathiri mazingira
{ "text": [ "Taka" ] }
1613_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyotuzunguka. Kati ya mazingira ni kama miti, mito, majuma na vinginevyo. Madhara ni mambo yanayochafua mazingira. Uchafuzi wa mazingira umeenea kama moto jangwani. Binadamu huchafua mazingira kwa njia mbalimbali kama vile kufungulia maji taka kunaponyesha, kutupa takataka majini, kukata miti ovyo. Umwagaji wa maji taka huaithiri mazingira kwa njia tofauti. Kama vile huua viumbe vya maji, huaribiu hewa tunayopumwa. Tunapomwanga maji taka kwenye mito, tunapatwa na magonjwa kama malaria. Tunavyojua maji taka huleta mbu. Kipindupindu pia huletwa na maji taka. Viwanda pia huathiri mazingira. Vitu visivyotumika viwandani, humwagwa kwenye mashamba na yanaharibu mimea na hewa tunayopumua. Wanaoishi kwenye majumba ya ghorofa, huwa wanategea mvua inyeshe, ili wafungulie hayo maji taka. Kuna njia tofauti za kuzuia haya yote. Kwanza, tuwache kufungulia maji taka, il tuweze kuzuia kusamba kwa magonjwa yanayoletwa na majitaka. Pili,tusidii kupanda miti, bila miti hatuwezi pata mvua.Tuna hitaji mvua ili mimea yetu isikauke na kuzuia tunakoishi kusikuwe jangwa. Tatu,tudumishe usafi wa mazingira yetu ili tuepuke magonjwa yanayoletwa na mazingira machafu.Tuhakikishe takataka zinatupwa kwenye pipa la taka na kuchomwa wakati unaostahili.
Tunafaa kupanda nini
{ "text": [ "miti" ] }
1613_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyotuzunguka. Kati ya mazingira ni kama miti, mito, majuma na vinginevyo. Madhara ni mambo yanayochafua mazingira. Uchafuzi wa mazingira umeenea kama moto jangwani. Binadamu huchafua mazingira kwa njia mbalimbali kama vile kufungulia maji taka kunaponyesha, kutupa takataka majini, kukata miti ovyo. Umwagaji wa maji taka huaithiri mazingira kwa njia tofauti. Kama vile huua viumbe vya maji, huaribiu hewa tunayopumwa. Tunapomwanga maji taka kwenye mito, tunapatwa na magonjwa kama malaria. Tunavyojua maji taka huleta mbu. Kipindupindu pia huletwa na maji taka. Viwanda pia huathiri mazingira. Vitu visivyotumika viwandani, humwagwa kwenye mashamba na yanaharibu mimea na hewa tunayopumua. Wanaoishi kwenye majumba ya ghorofa, huwa wanategea mvua inyeshe, ili wafungulie hayo maji taka. Kuna njia tofauti za kuzuia haya yote. Kwanza, tuwache kufungulia maji taka, il tuweze kuzuia kusamba kwa magonjwa yanayoletwa na majitaka. Pili,tusidii kupanda miti, bila miti hatuwezi pata mvua.Tuna hitaji mvua ili mimea yetu isikauke na kuzuia tunakoishi kusikuwe jangwa. Tatu,tudumishe usafi wa mazingira yetu ili tuepuke magonjwa yanayoletwa na mazingira machafu.Tuhakikishe takataka zinatupwa kwenye pipa la taka na kuchomwa wakati unaostahili.
Kwa nini tupande miti
{ "text": [ "Ili tupate mvua" ] }
1614_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni pahali ambapo tunapoishi na kufanyia kazi au ni umbo linalo faidi maisha yetu au yanayo tuzunguka. Tunafaa kuweka mazingira yetu kwa usafi wa hali ya juu. Mazingira yetu yanafaa kuwa mahali ambapo amani hupatikana kwa sababu pako pasufi kama dheloji. Kuweza kuweka mazingira yetu safi tunafaa kukata nyasi katika mazingira yetu. Kwa sababu husababisha Magonjwa na vifo kwa sababu huwa makao ya nyoka na mbu.Hii huhatarisha maisha ya watu. Nyoka huuma mtu na kuwacha sumu mwilini mwa mwanadamu.Sumu hiyo mwilini inaweza kusababisha kifo kwa mtu ambaye hajapata matibabu ya dharura. Kweli maisha nikinga, pia kuna mbu inayosabisha ugonjwa wa malaria. Wengi hukata kwenda hospitali na kwa hivyo wana hatarisha maisha yao. Anophelesi pia ni dudu anayeishi kwa nyasi na husababisha ugonjwa wa homa kali ambayo humaliza mwili nguvu. kwa hivyo kuzuia magonjwa haya ni lazima tukate nyasi ili tuweke mazingira yakiwa safi na kupunguza vifo vinavyoletwa na mazingira machafu. Tunafaa kujenga viwanda vyetu mbali na mazingira yetu na nyumbani mwetu. Kwa sababu viwanda hivi huambatanishwa na kelele na moshi unao haribu afya yetu kea kumaliza oksijeni.Hata nyumbani mwetu tunafaa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi au yakiwa yameng’aa kwa kufagia na kuchoma karatasi za taka. Miti ni muhimu sana katika mazingira yetu tunafaa kuyatunza sana.Miti ina maana sana na hutumika kwa njia tofauti kama vile: kujenga nyumba, meza, madawati na viti vinavyotumika darasani,nyumbani na hata kazini.Miti vile vile inachangia pakubwa kwa kiwango cha mvua tunachopata nchini mwetu. Miti hurembesha mazingira yetu kwa hivyo tukikata miti,tunafaa kupanda tena. Kwa sababu bila miti kutakuwa na upungufu wa maji na dhoruba ya vumbi ambaye itasababisha uaribifu wa mazingira yetu. Plastiki ni kizuizi kingine cha usafi wa mazingira yetu. Tunafaa kukusaya plastiki pamoja na kuzichoma pahali pasipo na watu wengi, ili kuzuia uharibifu wa hewa na kuzuia homa inayosababishwa na moshi. Maji taka yanayopatikana katika mazingira yetu, huharibu hewa na kuleta magonjwa.Ili kudumisha usafi wa mazingira yetu, tunapaswa kumiliki mfumo maalum wa maji taka. Kweli kinga ni dawa, kusafisha mazingira ni kitu cha muhimu sana.wakati tunapofuata sheria za usafi wa mazingira yetu, tunajiepusha na magonjwa mbalimbali. Kinga ni bora kuliko tiba.
Mazingira ni pahali ambapo tunaishi na kufanyia nini
{ "text": [ "Kazi" ] }
1614_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni pahali ambapo tunapoishi na kufanyia kazi au ni umbo linalo faidi maisha yetu au yanayo tuzunguka. Tunafaa kuweka mazingira yetu kwa usafi wa hali ya juu. Mazingira yetu yanafaa kuwa mahali ambapo amani hupatikana kwa sababu pako pasufi kama dheloji. Kuweza kuweka mazingira yetu safi tunafaa kukata nyasi katika mazingira yetu. Kwa sababu husababisha Magonjwa na vifo kwa sababu huwa makao ya nyoka na mbu.Hii huhatarisha maisha ya watu. Nyoka huuma mtu na kuwacha sumu mwilini mwa mwanadamu.Sumu hiyo mwilini inaweza kusababisha kifo kwa mtu ambaye hajapata matibabu ya dharura. Kweli maisha nikinga, pia kuna mbu inayosabisha ugonjwa wa malaria. Wengi hukata kwenda hospitali na kwa hivyo wana hatarisha maisha yao. Anophelesi pia ni dudu anayeishi kwa nyasi na husababisha ugonjwa wa homa kali ambayo humaliza mwili nguvu. kwa hivyo kuzuia magonjwa haya ni lazima tukate nyasi ili tuweke mazingira yakiwa safi na kupunguza vifo vinavyoletwa na mazingira machafu. Tunafaa kujenga viwanda vyetu mbali na mazingira yetu na nyumbani mwetu. Kwa sababu viwanda hivi huambatanishwa na kelele na moshi unao haribu afya yetu kea kumaliza oksijeni.Hata nyumbani mwetu tunafaa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi au yakiwa yameng’aa kwa kufagia na kuchoma karatasi za taka. Miti ni muhimu sana katika mazingira yetu tunafaa kuyatunza sana.Miti ina maana sana na hutumika kwa njia tofauti kama vile: kujenga nyumba, meza, madawati na viti vinavyotumika darasani,nyumbani na hata kazini.Miti vile vile inachangia pakubwa kwa kiwango cha mvua tunachopata nchini mwetu. Miti hurembesha mazingira yetu kwa hivyo tukikata miti,tunafaa kupanda tena. Kwa sababu bila miti kutakuwa na upungufu wa maji na dhoruba ya vumbi ambaye itasababisha uaribifu wa mazingira yetu. Plastiki ni kizuizi kingine cha usafi wa mazingira yetu. Tunafaa kukusaya plastiki pamoja na kuzichoma pahali pasipo na watu wengi, ili kuzuia uharibifu wa hewa na kuzuia homa inayosababishwa na moshi. Maji taka yanayopatikana katika mazingira yetu, huharibu hewa na kuleta magonjwa.Ili kudumisha usafi wa mazingira yetu, tunapaswa kumiliki mfumo maalum wa maji taka. Kweli kinga ni dawa, kusafisha mazingira ni kitu cha muhimu sana.wakati tunapofuata sheria za usafi wa mazingira yetu, tunajiepusha na magonjwa mbalimbali. Kinga ni bora kuliko tiba.
Tunasahau kuweka mazingira yetu kuwa vipi
{ "text": [ "Safi" ] }
1614_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni pahali ambapo tunapoishi na kufanyia kazi au ni umbo linalo faidi maisha yetu au yanayo tuzunguka. Tunafaa kuweka mazingira yetu kwa usafi wa hali ya juu. Mazingira yetu yanafaa kuwa mahali ambapo amani hupatikana kwa sababu pako pasufi kama dheloji. Kuweza kuweka mazingira yetu safi tunafaa kukata nyasi katika mazingira yetu. Kwa sababu husababisha Magonjwa na vifo kwa sababu huwa makao ya nyoka na mbu.Hii huhatarisha maisha ya watu. Nyoka huuma mtu na kuwacha sumu mwilini mwa mwanadamu.Sumu hiyo mwilini inaweza kusababisha kifo kwa mtu ambaye hajapata matibabu ya dharura. Kweli maisha nikinga, pia kuna mbu inayosabisha ugonjwa wa malaria. Wengi hukata kwenda hospitali na kwa hivyo wana hatarisha maisha yao. Anophelesi pia ni dudu anayeishi kwa nyasi na husababisha ugonjwa wa homa kali ambayo humaliza mwili nguvu. kwa hivyo kuzuia magonjwa haya ni lazima tukate nyasi ili tuweke mazingira yakiwa safi na kupunguza vifo vinavyoletwa na mazingira machafu. Tunafaa kujenga viwanda vyetu mbali na mazingira yetu na nyumbani mwetu. Kwa sababu viwanda hivi huambatanishwa na kelele na moshi unao haribu afya yetu kea kumaliza oksijeni.Hata nyumbani mwetu tunafaa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi au yakiwa yameng’aa kwa kufagia na kuchoma karatasi za taka. Miti ni muhimu sana katika mazingira yetu tunafaa kuyatunza sana.Miti ina maana sana na hutumika kwa njia tofauti kama vile: kujenga nyumba, meza, madawati na viti vinavyotumika darasani,nyumbani na hata kazini.Miti vile vile inachangia pakubwa kwa kiwango cha mvua tunachopata nchini mwetu. Miti hurembesha mazingira yetu kwa hivyo tukikata miti,tunafaa kupanda tena. Kwa sababu bila miti kutakuwa na upungufu wa maji na dhoruba ya vumbi ambaye itasababisha uaribifu wa mazingira yetu. Plastiki ni kizuizi kingine cha usafi wa mazingira yetu. Tunafaa kukusaya plastiki pamoja na kuzichoma pahali pasipo na watu wengi, ili kuzuia uharibifu wa hewa na kuzuia homa inayosababishwa na moshi. Maji taka yanayopatikana katika mazingira yetu, huharibu hewa na kuleta magonjwa.Ili kudumisha usafi wa mazingira yetu, tunapaswa kumiliki mfumo maalum wa maji taka. Kweli kinga ni dawa, kusafisha mazingira ni kitu cha muhimu sana.wakati tunapofuata sheria za usafi wa mazingira yetu, tunajiepusha na magonjwa mbalimbali. Kinga ni bora kuliko tiba.
Ili kuweka mazingira yetu kuwa safi tunapaswa kufanya nini
{ "text": [ "Kukata nyasi" ] }
1614_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni pahali ambapo tunapoishi na kufanyia kazi au ni umbo linalo faidi maisha yetu au yanayo tuzunguka. Tunafaa kuweka mazingira yetu kwa usafi wa hali ya juu. Mazingira yetu yanafaa kuwa mahali ambapo amani hupatikana kwa sababu pako pasufi kama dheloji. Kuweza kuweka mazingira yetu safi tunafaa kukata nyasi katika mazingira yetu. Kwa sababu husababisha Magonjwa na vifo kwa sababu huwa makao ya nyoka na mbu.Hii huhatarisha maisha ya watu. Nyoka huuma mtu na kuwacha sumu mwilini mwa mwanadamu.Sumu hiyo mwilini inaweza kusababisha kifo kwa mtu ambaye hajapata matibabu ya dharura. Kweli maisha nikinga, pia kuna mbu inayosabisha ugonjwa wa malaria. Wengi hukata kwenda hospitali na kwa hivyo wana hatarisha maisha yao. Anophelesi pia ni dudu anayeishi kwa nyasi na husababisha ugonjwa wa homa kali ambayo humaliza mwili nguvu. kwa hivyo kuzuia magonjwa haya ni lazima tukate nyasi ili tuweke mazingira yakiwa safi na kupunguza vifo vinavyoletwa na mazingira machafu. Tunafaa kujenga viwanda vyetu mbali na mazingira yetu na nyumbani mwetu. Kwa sababu viwanda hivi huambatanishwa na kelele na moshi unao haribu afya yetu kea kumaliza oksijeni.Hata nyumbani mwetu tunafaa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi au yakiwa yameng’aa kwa kufagia na kuchoma karatasi za taka. Miti ni muhimu sana katika mazingira yetu tunafaa kuyatunza sana.Miti ina maana sana na hutumika kwa njia tofauti kama vile: kujenga nyumba, meza, madawati na viti vinavyotumika darasani,nyumbani na hata kazini.Miti vile vile inachangia pakubwa kwa kiwango cha mvua tunachopata nchini mwetu. Miti hurembesha mazingira yetu kwa hivyo tukikata miti,tunafaa kupanda tena. Kwa sababu bila miti kutakuwa na upungufu wa maji na dhoruba ya vumbi ambaye itasababisha uaribifu wa mazingira yetu. Plastiki ni kizuizi kingine cha usafi wa mazingira yetu. Tunafaa kukusaya plastiki pamoja na kuzichoma pahali pasipo na watu wengi, ili kuzuia uharibifu wa hewa na kuzuia homa inayosababishwa na moshi. Maji taka yanayopatikana katika mazingira yetu, huharibu hewa na kuleta magonjwa.Ili kudumisha usafi wa mazingira yetu, tunapaswa kumiliki mfumo maalum wa maji taka. Kweli kinga ni dawa, kusafisha mazingira ni kitu cha muhimu sana.wakati tunapofuata sheria za usafi wa mazingira yetu, tunajiepusha na magonjwa mbalimbali. Kinga ni bora kuliko tiba.
Nini huuma mtu
{ "text": [ "Nyoka" ] }
1614_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni pahali ambapo tunapoishi na kufanyia kazi au ni umbo linalo faidi maisha yetu au yanayo tuzunguka. Tunafaa kuweka mazingira yetu kwa usafi wa hali ya juu. Mazingira yetu yanafaa kuwa mahali ambapo amani hupatikana kwa sababu pako pasufi kama dheloji. Kuweza kuweka mazingira yetu safi tunafaa kukata nyasi katika mazingira yetu. Kwa sababu husababisha Magonjwa na vifo kwa sababu huwa makao ya nyoka na mbu.Hii huhatarisha maisha ya watu. Nyoka huuma mtu na kuwacha sumu mwilini mwa mwanadamu.Sumu hiyo mwilini inaweza kusababisha kifo kwa mtu ambaye hajapata matibabu ya dharura. Kweli maisha nikinga, pia kuna mbu inayosabisha ugonjwa wa malaria. Wengi hukata kwenda hospitali na kwa hivyo wana hatarisha maisha yao. Anophelesi pia ni dudu anayeishi kwa nyasi na husababisha ugonjwa wa homa kali ambayo humaliza mwili nguvu. kwa hivyo kuzuia magonjwa haya ni lazima tukate nyasi ili tuweke mazingira yakiwa safi na kupunguza vifo vinavyoletwa na mazingira machafu. Tunafaa kujenga viwanda vyetu mbali na mazingira yetu na nyumbani mwetu. Kwa sababu viwanda hivi huambatanishwa na kelele na moshi unao haribu afya yetu kea kumaliza oksijeni.Hata nyumbani mwetu tunafaa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi au yakiwa yameng’aa kwa kufagia na kuchoma karatasi za taka. Miti ni muhimu sana katika mazingira yetu tunafaa kuyatunza sana.Miti ina maana sana na hutumika kwa njia tofauti kama vile: kujenga nyumba, meza, madawati na viti vinavyotumika darasani,nyumbani na hata kazini.Miti vile vile inachangia pakubwa kwa kiwango cha mvua tunachopata nchini mwetu. Miti hurembesha mazingira yetu kwa hivyo tukikata miti,tunafaa kupanda tena. Kwa sababu bila miti kutakuwa na upungufu wa maji na dhoruba ya vumbi ambaye itasababisha uaribifu wa mazingira yetu. Plastiki ni kizuizi kingine cha usafi wa mazingira yetu. Tunafaa kukusaya plastiki pamoja na kuzichoma pahali pasipo na watu wengi, ili kuzuia uharibifu wa hewa na kuzuia homa inayosababishwa na moshi. Maji taka yanayopatikana katika mazingira yetu, huharibu hewa na kuleta magonjwa.Ili kudumisha usafi wa mazingira yetu, tunapaswa kumiliki mfumo maalum wa maji taka. Kweli kinga ni dawa, kusafisha mazingira ni kitu cha muhimu sana.wakati tunapofuata sheria za usafi wa mazingira yetu, tunajiepusha na magonjwa mbalimbali. Kinga ni bora kuliko tiba.
Tunafaa kujenga viwanda mbali na nini
{ "text": [ "Mazingira yetu" ] }
1615_swa
Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi. Hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi wa mazingira. Maana yake ni kuharibu hali yake ya asili . Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira yetu kama vile kutupa taka kwa wingi pahali pasipofaa. Watu wengi hufikiria kuwa uchaguzi huo ni mkubwa katika inchi hizo kuliko nchi zingine. lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambazo hazina viwanda nyingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi zenye viwanda nyingi.Kemikali na takataka hutupwa katika mito kimaksudi. Vitendo hivi husababisha maji ya mito kuwa na sumu nyingi ambayo husumbwa hadi baharini au ziwania.Hatimaye inaathiri wanyama pamoja na mimea. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haupo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo. Maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa za nchi zinazoendelea ni jinsi ya kuongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima na kutilia dawa mbalimbali za kilimo. Baada ya madawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa mtoni. Dawa hizi zifikapo mitoni husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama.
Mambo yote yanayomhusu na kumzunguka mtu huitwaje
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1615_swa
Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi. Hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi wa mazingira. Maana yake ni kuharibu hali yake ya asili . Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira yetu kama vile kutupa taka kwa wingi pahali pasipofaa. Watu wengi hufikiria kuwa uchaguzi huo ni mkubwa katika inchi hizo kuliko nchi zingine. lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambazo hazina viwanda nyingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi zenye viwanda nyingi.Kemikali na takataka hutupwa katika mito kimaksudi. Vitendo hivi husababisha maji ya mito kuwa na sumu nyingi ambayo husumbwa hadi baharini au ziwania.Hatimaye inaathiri wanyama pamoja na mimea. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haupo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo. Maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa za nchi zinazoendelea ni jinsi ya kuongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima na kutilia dawa mbalimbali za kilimo. Baada ya madawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa mtoni. Dawa hizi zifikapo mitoni husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama.
Kemikali na uchafu wa mazingira hutupwa wapi
{ "text": [ "mtoni" ] }
1615_swa
Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi. Hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi wa mazingira. Maana yake ni kuharibu hali yake ya asili . Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira yetu kama vile kutupa taka kwa wingi pahali pasipofaa. Watu wengi hufikiria kuwa uchaguzi huo ni mkubwa katika inchi hizo kuliko nchi zingine. lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambazo hazina viwanda nyingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi zenye viwanda nyingi.Kemikali na takataka hutupwa katika mito kimaksudi. Vitendo hivi husababisha maji ya mito kuwa na sumu nyingi ambayo husumbwa hadi baharini au ziwania.Hatimaye inaathiri wanyama pamoja na mimea. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haupo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo. Maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa za nchi zinazoendelea ni jinsi ya kuongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima na kutilia dawa mbalimbali za kilimo. Baada ya madawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa mtoni. Dawa hizi zifikapo mitoni husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama.
Dawa huwekwa wapi
{ "text": [ "Mashambani" ] }
1615_swa
Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi. Hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi wa mazingira. Maana yake ni kuharibu hali yake ya asili . Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira yetu kama vile kutupa taka kwa wingi pahali pasipofaa. Watu wengi hufikiria kuwa uchaguzi huo ni mkubwa katika inchi hizo kuliko nchi zingine. lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambazo hazina viwanda nyingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi zenye viwanda nyingi.Kemikali na takataka hutupwa katika mito kimaksudi. Vitendo hivi husababisha maji ya mito kuwa na sumu nyingi ambayo husumbwa hadi baharini au ziwania.Hatimaye inaathiri wanyama pamoja na mimea. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haupo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo. Maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa za nchi zinazoendelea ni jinsi ya kuongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima na kutilia dawa mbalimbali za kilimo. Baada ya madawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa mtoni. Dawa hizi zifikapo mitoni husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama.
Dawa husombwa na nini
{ "text": [ "Maji" ] }
1615_swa
Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi. Hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Mojawapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi wa mazingira. Maana yake ni kuharibu hali yake ya asili . Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira yetu kama vile kutupa taka kwa wingi pahali pasipofaa. Watu wengi hufikiria kuwa uchaguzi huo ni mkubwa katika inchi hizo kuliko nchi zingine. lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambazo hazina viwanda nyingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi zenye viwanda nyingi.Kemikali na takataka hutupwa katika mito kimaksudi. Vitendo hivi husababisha maji ya mito kuwa na sumu nyingi ambayo husumbwa hadi baharini au ziwania.Hatimaye inaathiri wanyama pamoja na mimea. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji haupo sana katika nchi zinazoendelea lakini si kwamba haupo. Maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa za nchi zinazoendelea ni jinsi ya kuongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima na kutilia dawa mbalimbali za kilimo. Baada ya madawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa mtoni. Dawa hizi zifikapo mitoni husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama.
Kwa nini dawa zikifika mtoni zina madhara
{ "text": [ "Hukuza mimea inayozuia mwendo wa maji" ] }
1618_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ya kuchafua mazingira inasababisha magonjwa hatari ambayo watu na wanyama humia. Madhara ya kuchafua mazingira husababishwa na binadamu. Watu wengi hutupa takataka ovyo ovyo , hata katika mitaa zetu. madhara ya kuchafua mazingira husababisha magonjwa kama kipindupindu. Kwa ukweli sikio la ufa halisikii dawa, watu wengi wanajua kuwa kukichafua mazingira yetu tutapatwa na magonjwa mbalimbali. Watu na wanyama hupoteza uhai tunafaa kuyasafisha mazingira na kuchoma takataka zote kwenye pipa serikali pia aliwaonya watu wasitumie tena vita vya plastiki kubebea vitu, kwani yanachafua mazingira. Mazingira yakiwa chafu hatutaweza pata hewa safi. Tunafaa tuwe wasafi kuanzia miili zetu, nyumbani mwetu, tunapolala na hata nje ya nyumba zetu. Watu wengi hawaishughulikii mazingira vilivyo. Watu huteka maji kwa mito, na hapo ndipo wengi huoga, kufua na wengineo hutumia kama vyoo.. Watu wengine hujaribu lakini asilimia sabini hawazingatii usafi wa mazingira. Wakati wa mvua, tunafaa kusafisha mazingira kwa sababu wakati huu mbu huenea, karibu na nyumba hasa pa kulala . Tunafaa kuzikata nyasi karibu na nyumba ili tuzuie ugonjowa unaosababishwa na mbu. Malaria na kipindupindu sana sana husababishwa na uchafulizi wa mazingira. Uchafulizi wa mazingira huwaletea wafugaji wa wanyama hasara kwani wanyama hula takataka zinazotupwa ovyo ovyo. Watu wenginge hukata miti ovyo ovyo bila kujua kuwa miti inafaida kubwa. Miti hutusaidiasana katika mazingira zetu Miti huvuta mvua na tena huzuia mmonyoko wa ardhi. Mikebe za plastiki pia zinachafua mazingira kwa kutupwa kila wakati. Mahali pengine kama vyoo ambavyo kila mtu hutumia zinafaa zioshwe vizuri.
Uchafuzi wa mazingira husababishwa na nani
{ "text": [ "Binadamu" ] }
1618_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ya kuchafua mazingira inasababisha magonjwa hatari ambayo watu na wanyama humia. Madhara ya kuchafua mazingira husababishwa na binadamu. Watu wengi hutupa takataka ovyo ovyo , hata katika mitaa zetu. madhara ya kuchafua mazingira husababisha magonjwa kama kipindupindu. Kwa ukweli sikio la ufa halisikii dawa, watu wengi wanajua kuwa kukichafua mazingira yetu tutapatwa na magonjwa mbalimbali. Watu na wanyama hupoteza uhai tunafaa kuyasafisha mazingira na kuchoma takataka zote kwenye pipa serikali pia aliwaonya watu wasitumie tena vita vya plastiki kubebea vitu, kwani yanachafua mazingira. Mazingira yakiwa chafu hatutaweza pata hewa safi. Tunafaa tuwe wasafi kuanzia miili zetu, nyumbani mwetu, tunapolala na hata nje ya nyumba zetu. Watu wengi hawaishughulikii mazingira vilivyo. Watu huteka maji kwa mito, na hapo ndipo wengi huoga, kufua na wengineo hutumia kama vyoo.. Watu wengine hujaribu lakini asilimia sabini hawazingatii usafi wa mazingira. Wakati wa mvua, tunafaa kusafisha mazingira kwa sababu wakati huu mbu huenea, karibu na nyumba hasa pa kulala . Tunafaa kuzikata nyasi karibu na nyumba ili tuzuie ugonjowa unaosababishwa na mbu. Malaria na kipindupindu sana sana husababishwa na uchafulizi wa mazingira. Uchafulizi wa mazingira huwaletea wafugaji wa wanyama hasara kwani wanyama hula takataka zinazotupwa ovyo ovyo. Watu wenginge hukata miti ovyo ovyo bila kujua kuwa miti inafaida kubwa. Miti hutusaidiasana katika mazingira zetu Miti huvuta mvua na tena huzuia mmonyoko wa ardhi. Mikebe za plastiki pia zinachafua mazingira kwa kutupwa kila wakati. Mahali pengine kama vyoo ambavyo kila mtu hutumia zinafaa zioshwe vizuri.
Uchafu husababisha ugonjwa upi
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1618_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ya kuchafua mazingira inasababisha magonjwa hatari ambayo watu na wanyama humia. Madhara ya kuchafua mazingira husababishwa na binadamu. Watu wengi hutupa takataka ovyo ovyo , hata katika mitaa zetu. madhara ya kuchafua mazingira husababisha magonjwa kama kipindupindu. Kwa ukweli sikio la ufa halisikii dawa, watu wengi wanajua kuwa kukichafua mazingira yetu tutapatwa na magonjwa mbalimbali. Watu na wanyama hupoteza uhai tunafaa kuyasafisha mazingira na kuchoma takataka zote kwenye pipa serikali pia aliwaonya watu wasitumie tena vita vya plastiki kubebea vitu, kwani yanachafua mazingira. Mazingira yakiwa chafu hatutaweza pata hewa safi. Tunafaa tuwe wasafi kuanzia miili zetu, nyumbani mwetu, tunapolala na hata nje ya nyumba zetu. Watu wengi hawaishughulikii mazingira vilivyo. Watu huteka maji kwa mito, na hapo ndipo wengi huoga, kufua na wengineo hutumia kama vyoo.. Watu wengine hujaribu lakini asilimia sabini hawazingatii usafi wa mazingira. Wakati wa mvua, tunafaa kusafisha mazingira kwa sababu wakati huu mbu huenea, karibu na nyumba hasa pa kulala . Tunafaa kuzikata nyasi karibu na nyumba ili tuzuie ugonjowa unaosababishwa na mbu. Malaria na kipindupindu sana sana husababishwa na uchafulizi wa mazingira. Uchafulizi wa mazingira huwaletea wafugaji wa wanyama hasara kwani wanyama hula takataka zinazotupwa ovyo ovyo. Watu wenginge hukata miti ovyo ovyo bila kujua kuwa miti inafaida kubwa. Miti hutusaidiasana katika mazingira zetu Miti huvuta mvua na tena huzuia mmonyoko wa ardhi. Mikebe za plastiki pia zinachafua mazingira kwa kutupwa kila wakati. Mahali pengine kama vyoo ambavyo kila mtu hutumia zinafaa zioshwe vizuri.
Maji hutekwa wapi
{ "text": [ "Kwenye mito" ] }
1618_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ya kuchafua mazingira inasababisha magonjwa hatari ambayo watu na wanyama humia. Madhara ya kuchafua mazingira husababishwa na binadamu. Watu wengi hutupa takataka ovyo ovyo , hata katika mitaa zetu. madhara ya kuchafua mazingira husababisha magonjwa kama kipindupindu. Kwa ukweli sikio la ufa halisikii dawa, watu wengi wanajua kuwa kukichafua mazingira yetu tutapatwa na magonjwa mbalimbali. Watu na wanyama hupoteza uhai tunafaa kuyasafisha mazingira na kuchoma takataka zote kwenye pipa serikali pia aliwaonya watu wasitumie tena vita vya plastiki kubebea vitu, kwani yanachafua mazingira. Mazingira yakiwa chafu hatutaweza pata hewa safi. Tunafaa tuwe wasafi kuanzia miili zetu, nyumbani mwetu, tunapolala na hata nje ya nyumba zetu. Watu wengi hawaishughulikii mazingira vilivyo. Watu huteka maji kwa mito, na hapo ndipo wengi huoga, kufua na wengineo hutumia kama vyoo.. Watu wengine hujaribu lakini asilimia sabini hawazingatii usafi wa mazingira. Wakati wa mvua, tunafaa kusafisha mazingira kwa sababu wakati huu mbu huenea, karibu na nyumba hasa pa kulala . Tunafaa kuzikata nyasi karibu na nyumba ili tuzuie ugonjowa unaosababishwa na mbu. Malaria na kipindupindu sana sana husababishwa na uchafulizi wa mazingira. Uchafulizi wa mazingira huwaletea wafugaji wa wanyama hasara kwani wanyama hula takataka zinazotupwa ovyo ovyo. Watu wenginge hukata miti ovyo ovyo bila kujua kuwa miti inafaida kubwa. Miti hutusaidiasana katika mazingira zetu Miti huvuta mvua na tena huzuia mmonyoko wa ardhi. Mikebe za plastiki pia zinachafua mazingira kwa kutupwa kila wakati. Mahali pengine kama vyoo ambavyo kila mtu hutumia zinafaa zioshwe vizuri.
Asilimia ngapi hawazingatii usafi wa mazingira
{ "text": [ "Sabini" ] }
1618_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madhara ya kuchafua mazingira inasababisha magonjwa hatari ambayo watu na wanyama humia. Madhara ya kuchafua mazingira husababishwa na binadamu. Watu wengi hutupa takataka ovyo ovyo , hata katika mitaa zetu. madhara ya kuchafua mazingira husababisha magonjwa kama kipindupindu. Kwa ukweli sikio la ufa halisikii dawa, watu wengi wanajua kuwa kukichafua mazingira yetu tutapatwa na magonjwa mbalimbali. Watu na wanyama hupoteza uhai tunafaa kuyasafisha mazingira na kuchoma takataka zote kwenye pipa serikali pia aliwaonya watu wasitumie tena vita vya plastiki kubebea vitu, kwani yanachafua mazingira. Mazingira yakiwa chafu hatutaweza pata hewa safi. Tunafaa tuwe wasafi kuanzia miili zetu, nyumbani mwetu, tunapolala na hata nje ya nyumba zetu. Watu wengi hawaishughulikii mazingira vilivyo. Watu huteka maji kwa mito, na hapo ndipo wengi huoga, kufua na wengineo hutumia kama vyoo.. Watu wengine hujaribu lakini asilimia sabini hawazingatii usafi wa mazingira. Wakati wa mvua, tunafaa kusafisha mazingira kwa sababu wakati huu mbu huenea, karibu na nyumba hasa pa kulala . Tunafaa kuzikata nyasi karibu na nyumba ili tuzuie ugonjowa unaosababishwa na mbu. Malaria na kipindupindu sana sana husababishwa na uchafulizi wa mazingira. Uchafulizi wa mazingira huwaletea wafugaji wa wanyama hasara kwani wanyama hula takataka zinazotupwa ovyo ovyo. Watu wenginge hukata miti ovyo ovyo bila kujua kuwa miti inafaida kubwa. Miti hutusaidiasana katika mazingira zetu Miti huvuta mvua na tena huzuia mmonyoko wa ardhi. Mikebe za plastiki pia zinachafua mazingira kwa kutupwa kila wakati. Mahali pengine kama vyoo ambavyo kila mtu hutumia zinafaa zioshwe vizuri.
Wadudu wapi huenea wakati wa mvua
{ "text": [ "Mbu" ] }
1619_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake ni muhimu sana kutunza mazingira kwa sababu ndio kitu cha maana sana katika maisha yetu. - Mazingira ina faida zake na madhara yake kwa mfano kutupa takataka ni madhara kwa sababu kunaharibu mazingira. Mazingira yakiwa safi huzui magonjwa mengi sana kwa sababu usafi ndio kitu cha maana katika maisha. Mazingira yakiwa machafu pia nawe utakuwa mchafu kwa sababu hauwezi kukaa pahali palipo na uchafu nawe uwe msafi lazima uwe msafi na mazingira yawe masafi. kwa maana usafi ndio kitu cha maana sana katika kila kitu.Ukiwa mchafu watu wa karibu watakutoroka kwa sababu utakuwa ukinuka na kukuza wadudu mwilini kama vile chawa,kunguni na zinginezo. Huenda ukakosa afya kwa sababu unakula chakula kisicho kisafi hauoshi matunda wala sukuma wiki . Maji ni muhimu kwa sababu hutusaidia kwa namna nyingi sana kwasababu yakiwa machafu huthuru watu wengi sana na watu kuugua na kupata ugonjwa wa kipindupindu na malaria. Humo ndani ya maji ndimo wadudu kama vile mbu huishi na kutaga mayai yake. Pia kukata miti ni kuthuru mazingira kwa sababu mvua itakosa kwa mda mrefu kwa sababu miti huvutia mvua. Hata pia kutupa takataka pahali pasipofaa huthuru mazingira .Takataka hizi huleta harufu mbaya na huthuru mazingira na afya ya wanainchi.
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka nani
{ "text": [ "Kiumbe" ] }
1619_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake ni muhimu sana kutunza mazingira kwa sababu ndio kitu cha maana sana katika maisha yetu. - Mazingira ina faida zake na madhara yake kwa mfano kutupa takataka ni madhara kwa sababu kunaharibu mazingira. Mazingira yakiwa safi huzui magonjwa mengi sana kwa sababu usafi ndio kitu cha maana katika maisha. Mazingira yakiwa machafu pia nawe utakuwa mchafu kwa sababu hauwezi kukaa pahali palipo na uchafu nawe uwe msafi lazima uwe msafi na mazingira yawe masafi. kwa maana usafi ndio kitu cha maana sana katika kila kitu.Ukiwa mchafu watu wa karibu watakutoroka kwa sababu utakuwa ukinuka na kukuza wadudu mwilini kama vile chawa,kunguni na zinginezo. Huenda ukakosa afya kwa sababu unakula chakula kisicho kisafi hauoshi matunda wala sukuma wiki . Maji ni muhimu kwa sababu hutusaidia kwa namna nyingi sana kwasababu yakiwa machafu huthuru watu wengi sana na watu kuugua na kupata ugonjwa wa kipindupindu na malaria. Humo ndani ya maji ndimo wadudu kama vile mbu huishi na kutaga mayai yake. Pia kukata miti ni kuthuru mazingira kwa sababu mvua itakosa kwa mda mrefu kwa sababu miti huvutia mvua. Hata pia kutupa takataka pahali pasipofaa huthuru mazingira .Takataka hizi huleta harufu mbaya na huthuru mazingira na afya ya wanainchi.
Ni muhimu sana kutunza nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1619_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake ni muhimu sana kutunza mazingira kwa sababu ndio kitu cha maana sana katika maisha yetu. - Mazingira ina faida zake na madhara yake kwa mfano kutupa takataka ni madhara kwa sababu kunaharibu mazingira. Mazingira yakiwa safi huzui magonjwa mengi sana kwa sababu usafi ndio kitu cha maana katika maisha. Mazingira yakiwa machafu pia nawe utakuwa mchafu kwa sababu hauwezi kukaa pahali palipo na uchafu nawe uwe msafi lazima uwe msafi na mazingira yawe masafi. kwa maana usafi ndio kitu cha maana sana katika kila kitu.Ukiwa mchafu watu wa karibu watakutoroka kwa sababu utakuwa ukinuka na kukuza wadudu mwilini kama vile chawa,kunguni na zinginezo. Huenda ukakosa afya kwa sababu unakula chakula kisicho kisafi hauoshi matunda wala sukuma wiki . Maji ni muhimu kwa sababu hutusaidia kwa namna nyingi sana kwasababu yakiwa machafu huthuru watu wengi sana na watu kuugua na kupata ugonjwa wa kipindupindu na malaria. Humo ndani ya maji ndimo wadudu kama vile mbu huishi na kutaga mayai yake. Pia kukata miti ni kuthuru mazingira kwa sababu mvua itakosa kwa mda mrefu kwa sababu miti huvutia mvua. Hata pia kutupa takataka pahali pasipofaa huthuru mazingira .Takataka hizi huleta harufu mbaya na huthuru mazingira na afya ya wanainchi.
Mazingira safi huzuia nini
{ "text": [ "Magonjwa mengi" ] }
1619_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake ni muhimu sana kutunza mazingira kwa sababu ndio kitu cha maana sana katika maisha yetu. - Mazingira ina faida zake na madhara yake kwa mfano kutupa takataka ni madhara kwa sababu kunaharibu mazingira. Mazingira yakiwa safi huzui magonjwa mengi sana kwa sababu usafi ndio kitu cha maana katika maisha. Mazingira yakiwa machafu pia nawe utakuwa mchafu kwa sababu hauwezi kukaa pahali palipo na uchafu nawe uwe msafi lazima uwe msafi na mazingira yawe masafi. kwa maana usafi ndio kitu cha maana sana katika kila kitu.Ukiwa mchafu watu wa karibu watakutoroka kwa sababu utakuwa ukinuka na kukuza wadudu mwilini kama vile chawa,kunguni na zinginezo. Huenda ukakosa afya kwa sababu unakula chakula kisicho kisafi hauoshi matunda wala sukuma wiki . Maji ni muhimu kwa sababu hutusaidia kwa namna nyingi sana kwasababu yakiwa machafu huthuru watu wengi sana na watu kuugua na kupata ugonjwa wa kipindupindu na malaria. Humo ndani ya maji ndimo wadudu kama vile mbu huishi na kutaga mayai yake. Pia kukata miti ni kuthuru mazingira kwa sababu mvua itakosa kwa mda mrefu kwa sababu miti huvutia mvua. Hata pia kutupa takataka pahali pasipofaa huthuru mazingira .Takataka hizi huleta harufu mbaya na huthuru mazingira na afya ya wanainchi.
Ni kipi kitu cha maana sana
{ "text": [ "Usafi" ] }
1619_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake ni muhimu sana kutunza mazingira kwa sababu ndio kitu cha maana sana katika maisha yetu. - Mazingira ina faida zake na madhara yake kwa mfano kutupa takataka ni madhara kwa sababu kunaharibu mazingira. Mazingira yakiwa safi huzui magonjwa mengi sana kwa sababu usafi ndio kitu cha maana katika maisha. Mazingira yakiwa machafu pia nawe utakuwa mchafu kwa sababu hauwezi kukaa pahali palipo na uchafu nawe uwe msafi lazima uwe msafi na mazingira yawe masafi. kwa maana usafi ndio kitu cha maana sana katika kila kitu.Ukiwa mchafu watu wa karibu watakutoroka kwa sababu utakuwa ukinuka na kukuza wadudu mwilini kama vile chawa,kunguni na zinginezo. Huenda ukakosa afya kwa sababu unakula chakula kisicho kisafi hauoshi matunda wala sukuma wiki . Maji ni muhimu kwa sababu hutusaidia kwa namna nyingi sana kwasababu yakiwa machafu huthuru watu wengi sana na watu kuugua na kupata ugonjwa wa kipindupindu na malaria. Humo ndani ya maji ndimo wadudu kama vile mbu huishi na kutaga mayai yake. Pia kukata miti ni kuthuru mazingira kwa sababu mvua itakosa kwa mda mrefu kwa sababu miti huvutia mvua. Hata pia kutupa takataka pahali pasipofaa huthuru mazingira .Takataka hizi huleta harufu mbaya na huthuru mazingira na afya ya wanainchi.
Watu wanaweza kukutoroka kwa sababu ya kitu gani
{ "text": [ "Uchafu na kunuka" ] }
1620_swa
MADHARA ZA KUCHAFWA MAZINGIRA Dhairi shairi tukichafua Mazingira yetu tutashikwa na mangonjwa mengi. Kama vile malaria, kipindupindu, pepopunda, na mangonjwa mengineo. Hivyo basi tunapaswa kuhakikisha kuweka mazingira yetu safi ili tusije tukajuta baadaye. Tunapaswa pia kukata nyasi zote ndefu, ndefu, ili tuzuie malaria. Tukichafua mazingira, wanyama wetu hawatapata pahali pa kujitafutia chakula. Tukichafua mazingira yetu sisi kama wanadamu tutaangaika sana. Ingawaje wengine wetu hawasikií. Ama kweli sikio la ufa haliskii dawa. Tukichafua mazingira, hakuna mtu yeyote ataweza kupenda shule zetu na pia nyumba zetu. Usafi ni kitu cha maana sana maishani. Wote. tukijiweko safi hatutashikwa na magonjwa. Ukienda kila mahali utakuwa unasikia watu wakizungumzia shule yenu ilivyojaa uchafu. lakini tukiboresha usafi shuleni, watu watakuwa wakipenda kukuja na kuangalia. Itakua inavutia wengi. Tusichafue mazingira, tunapaswa kutumia msalani, wakati wa kwenda haja. Mazingira ikiwa chafu shule yetu itakuwa mbaya sana, na harufu na pia hewa mbaya. Tukiweka mazingira yetu safi hatutashikwa na magonjwa haya. Kila mtu atakuwa na afya njema. Hakuna mtu yeyote atakuwa mgonjwa. Hivyo basi tunastahili kuweka mazingira yetu safi. hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa ni wazi kua tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote.
Pepopunda husababishwa na nini
{ "text": [ "Mazingira kuwa na uchafu" ] }
1620_swa
MADHARA ZA KUCHAFWA MAZINGIRA Dhairi shairi tukichafua Mazingira yetu tutashikwa na mangonjwa mengi. Kama vile malaria, kipindupindu, pepopunda, na mangonjwa mengineo. Hivyo basi tunapaswa kuhakikisha kuweka mazingira yetu safi ili tusije tukajuta baadaye. Tunapaswa pia kukata nyasi zote ndefu, ndefu, ili tuzuie malaria. Tukichafua mazingira, wanyama wetu hawatapata pahali pa kujitafutia chakula. Tukichafua mazingira yetu sisi kama wanadamu tutaangaika sana. Ingawaje wengine wetu hawasikií. Ama kweli sikio la ufa haliskii dawa. Tukichafua mazingira, hakuna mtu yeyote ataweza kupenda shule zetu na pia nyumba zetu. Usafi ni kitu cha maana sana maishani. Wote. tukijiweko safi hatutashikwa na magonjwa. Ukienda kila mahali utakuwa unasikia watu wakizungumzia shule yenu ilivyojaa uchafu. lakini tukiboresha usafi shuleni, watu watakuwa wakipenda kukuja na kuangalia. Itakua inavutia wengi. Tusichafue mazingira, tunapaswa kutumia msalani, wakati wa kwenda haja. Mazingira ikiwa chafu shule yetu itakuwa mbaya sana, na harufu na pia hewa mbaya. Tukiweka mazingira yetu safi hatutashikwa na magonjwa haya. Kila mtu atakuwa na afya njema. Hakuna mtu yeyote atakuwa mgonjwa. Hivyo basi tunastahili kuweka mazingira yetu safi. hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa ni wazi kua tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote.
Kukatwa kwa nyasi huzuia nini
{ "text": [ "Malaria" ] }
1620_swa
MADHARA ZA KUCHAFWA MAZINGIRA Dhairi shairi tukichafua Mazingira yetu tutashikwa na mangonjwa mengi. Kama vile malaria, kipindupindu, pepopunda, na mangonjwa mengineo. Hivyo basi tunapaswa kuhakikisha kuweka mazingira yetu safi ili tusije tukajuta baadaye. Tunapaswa pia kukata nyasi zote ndefu, ndefu, ili tuzuie malaria. Tukichafua mazingira, wanyama wetu hawatapata pahali pa kujitafutia chakula. Tukichafua mazingira yetu sisi kama wanadamu tutaangaika sana. Ingawaje wengine wetu hawasikií. Ama kweli sikio la ufa haliskii dawa. Tukichafua mazingira, hakuna mtu yeyote ataweza kupenda shule zetu na pia nyumba zetu. Usafi ni kitu cha maana sana maishani. Wote. tukijiweko safi hatutashikwa na magonjwa. Ukienda kila mahali utakuwa unasikia watu wakizungumzia shule yenu ilivyojaa uchafu. lakini tukiboresha usafi shuleni, watu watakuwa wakipenda kukuja na kuangalia. Itakua inavutia wengi. Tusichafue mazingira, tunapaswa kutumia msalani, wakati wa kwenda haja. Mazingira ikiwa chafu shule yetu itakuwa mbaya sana, na harufu na pia hewa mbaya. Tukiweka mazingira yetu safi hatutashikwa na magonjwa haya. Kila mtu atakuwa na afya njema. Hakuna mtu yeyote atakuwa mgonjwa. Hivyo basi tunastahili kuweka mazingira yetu safi. hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa ni wazi kua tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote.
Wanyama hupata chakula chao wapi
{ "text": [ "Kwenye mazingira" ] }
1620_swa
MADHARA ZA KUCHAFWA MAZINGIRA Dhairi shairi tukichafua Mazingira yetu tutashikwa na mangonjwa mengi. Kama vile malaria, kipindupindu, pepopunda, na mangonjwa mengineo. Hivyo basi tunapaswa kuhakikisha kuweka mazingira yetu safi ili tusije tukajuta baadaye. Tunapaswa pia kukata nyasi zote ndefu, ndefu, ili tuzuie malaria. Tukichafua mazingira, wanyama wetu hawatapata pahali pa kujitafutia chakula. Tukichafua mazingira yetu sisi kama wanadamu tutaangaika sana. Ingawaje wengine wetu hawasikií. Ama kweli sikio la ufa haliskii dawa. Tukichafua mazingira, hakuna mtu yeyote ataweza kupenda shule zetu na pia nyumba zetu. Usafi ni kitu cha maana sana maishani. Wote. tukijiweko safi hatutashikwa na magonjwa. Ukienda kila mahali utakuwa unasikia watu wakizungumzia shule yenu ilivyojaa uchafu. lakini tukiboresha usafi shuleni, watu watakuwa wakipenda kukuja na kuangalia. Itakua inavutia wengi. Tusichafue mazingira, tunapaswa kutumia msalani, wakati wa kwenda haja. Mazingira ikiwa chafu shule yetu itakuwa mbaya sana, na harufu na pia hewa mbaya. Tukiweka mazingira yetu safi hatutashikwa na magonjwa haya. Kila mtu atakuwa na afya njema. Hakuna mtu yeyote atakuwa mgonjwa. Hivyo basi tunastahili kuweka mazingira yetu safi. hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa ni wazi kua tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote.
Moshi mwingi wenye sumu hewani hutolewa na nini
{ "text": [ "Viwanda na magari" ] }
1620_swa
MADHARA ZA KUCHAFWA MAZINGIRA Dhairi shairi tukichafua Mazingira yetu tutashikwa na mangonjwa mengi. Kama vile malaria, kipindupindu, pepopunda, na mangonjwa mengineo. Hivyo basi tunapaswa kuhakikisha kuweka mazingira yetu safi ili tusije tukajuta baadaye. Tunapaswa pia kukata nyasi zote ndefu, ndefu, ili tuzuie malaria. Tukichafua mazingira, wanyama wetu hawatapata pahali pa kujitafutia chakula. Tukichafua mazingira yetu sisi kama wanadamu tutaangaika sana. Ingawaje wengine wetu hawasikií. Ama kweli sikio la ufa haliskii dawa. Tukichafua mazingira, hakuna mtu yeyote ataweza kupenda shule zetu na pia nyumba zetu. Usafi ni kitu cha maana sana maishani. Wote. tukijiweko safi hatutashikwa na magonjwa. Ukienda kila mahali utakuwa unasikia watu wakizungumzia shule yenu ilivyojaa uchafu. lakini tukiboresha usafi shuleni, watu watakuwa wakipenda kukuja na kuangalia. Itakua inavutia wengi. Tusichafue mazingira, tunapaswa kutumia msalani, wakati wa kwenda haja. Mazingira ikiwa chafu shule yetu itakuwa mbaya sana, na harufu na pia hewa mbaya. Tukiweka mazingira yetu safi hatutashikwa na magonjwa haya. Kila mtu atakuwa na afya njema. Hakuna mtu yeyote atakuwa mgonjwa. Hivyo basi tunastahili kuweka mazingira yetu safi. hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zilizoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi ya magari hutoa moshi mwingi wenye sumu katika hewa ni wazi kua tatizo hili limekuwa kubwa kiasi cha ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina zote.
Usafi huondoa nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1621_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali au maumbo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au masha yake Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kama vile ukataji wa miti katika mazingira yetu, asilimia kubwa ya watu wanakata miti,hiyo ni uharibifu wa mazingira. Miti huleta faida ya mvua, miti huvuta mvua tena miti huwa makao ya wanyama kama vile ndege. Ndege huishi kwenye miti, miti pia hung’arisha mazingira. Mazingira ni makao yetu sisi kwa wanadamu . Tulipewa mazingira na Mungu wetu kama baraka, ikawa jukumu letu kubwa ni kuitunza na kuing’arisha. Kuna wengine wetu ambao hawajui maana ya kusafisha mazingira.Yaani wanatupa takataka ovyo ovyo kama vile kuyatupa maganda ya ndizi njiani, na sisi watu tunajua ya kwamba kutupa takataka ovyo ovyo ni moja wapo wa madhara za mazingira. Uchafu huleta madhara kama vile magonjwa mbalimbali kupitia maji machafu.Mazingira machafu huletea mwanadamu magonjwa kama vile kolera, ugonjwa wa kuhara na kutapika na mengine mabaya ambayo yaweza kuumiza mwili wa binadamu. Tujikinge na madhara ya uchafu wa mazingira ili tuangamize magonjwa yanayosababishwa na uchafu.Nchin mwetu asilimia kubwa hutangazwa kuwa, wamepatwa na magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira.Tusipojikinga kutokana na madhara ya uchafu wa mazingira, bila shaka tutataabika sana.Nawaomba kwa moyo mkunjufu tuangamize madhara ya uchafu wa mazingira.
Mambo yanayomzunguka mtu sehemu anayoishi au katika maisha yake yanajulikana kama nini?
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1621_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali au maumbo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au masha yake Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kama vile ukataji wa miti katika mazingira yetu, asilimia kubwa ya watu wanakata miti,hiyo ni uharibifu wa mazingira. Miti huleta faida ya mvua, miti huvuta mvua tena miti huwa makao ya wanyama kama vile ndege. Ndege huishi kwenye miti, miti pia hung’arisha mazingira. Mazingira ni makao yetu sisi kwa wanadamu . Tulipewa mazingira na Mungu wetu kama baraka, ikawa jukumu letu kubwa ni kuitunza na kuing’arisha. Kuna wengine wetu ambao hawajui maana ya kusafisha mazingira.Yaani wanatupa takataka ovyo ovyo kama vile kuyatupa maganda ya ndizi njiani, na sisi watu tunajua ya kwamba kutupa takataka ovyo ovyo ni moja wapo wa madhara za mazingira. Uchafu huleta madhara kama vile magonjwa mbalimbali kupitia maji machafu.Mazingira machafu huletea mwanadamu magonjwa kama vile kolera, ugonjwa wa kuhara na kutapika na mengine mabaya ambayo yaweza kuumiza mwili wa binadamu. Tujikinge na madhara ya uchafu wa mazingira ili tuangamize magonjwa yanayosababishwa na uchafu.Nchin mwetu asilimia kubwa hutangazwa kuwa, wamepatwa na magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira.Tusipojikinga kutokana na madhara ya uchafu wa mazingira, bila shaka tutataabika sana.Nawaomba kwa moyo mkunjufu tuangamize madhara ya uchafu wa mazingira.
Nini huvutia mvua nchini?
{ "text": [ "Miti" ] }
1621_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali au maumbo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au masha yake Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kama vile ukataji wa miti katika mazingira yetu, asilimia kubwa ya watu wanakata miti,hiyo ni uharibifu wa mazingira. Miti huleta faida ya mvua, miti huvuta mvua tena miti huwa makao ya wanyama kama vile ndege. Ndege huishi kwenye miti, miti pia hung’arisha mazingira. Mazingira ni makao yetu sisi kwa wanadamu . Tulipewa mazingira na Mungu wetu kama baraka, ikawa jukumu letu kubwa ni kuitunza na kuing’arisha. Kuna wengine wetu ambao hawajui maana ya kusafisha mazingira.Yaani wanatupa takataka ovyo ovyo kama vile kuyatupa maganda ya ndizi njiani, na sisi watu tunajua ya kwamba kutupa takataka ovyo ovyo ni moja wapo wa madhara za mazingira. Uchafu huleta madhara kama vile magonjwa mbalimbali kupitia maji machafu.Mazingira machafu huletea mwanadamu magonjwa kama vile kolera, ugonjwa wa kuhara na kutapika na mengine mabaya ambayo yaweza kuumiza mwili wa binadamu. Tujikinge na madhara ya uchafu wa mazingira ili tuangamize magonjwa yanayosababishwa na uchafu.Nchin mwetu asilimia kubwa hutangazwa kuwa, wamepatwa na magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira.Tusipojikinga kutokana na madhara ya uchafu wa mazingira, bila shaka tutataabika sana.Nawaomba kwa moyo mkunjufu tuangamize madhara ya uchafu wa mazingira.
Kina nani huishi kwenye miti?
{ "text": [ "Ndege" ] }
1621_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali au maumbo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au masha yake Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kama vile ukataji wa miti katika mazingira yetu, asilimia kubwa ya watu wanakata miti,hiyo ni uharibifu wa mazingira. Miti huleta faida ya mvua, miti huvuta mvua tena miti huwa makao ya wanyama kama vile ndege. Ndege huishi kwenye miti, miti pia hung’arisha mazingira. Mazingira ni makao yetu sisi kwa wanadamu . Tulipewa mazingira na Mungu wetu kama baraka, ikawa jukumu letu kubwa ni kuitunza na kuing’arisha. Kuna wengine wetu ambao hawajui maana ya kusafisha mazingira.Yaani wanatupa takataka ovyo ovyo kama vile kuyatupa maganda ya ndizi njiani, na sisi watu tunajua ya kwamba kutupa takataka ovyo ovyo ni moja wapo wa madhara za mazingira. Uchafu huleta madhara kama vile magonjwa mbalimbali kupitia maji machafu.Mazingira machafu huletea mwanadamu magonjwa kama vile kolera, ugonjwa wa kuhara na kutapika na mengine mabaya ambayo yaweza kuumiza mwili wa binadamu. Tujikinge na madhara ya uchafu wa mazingira ili tuangamize magonjwa yanayosababishwa na uchafu.Nchin mwetu asilimia kubwa hutangazwa kuwa, wamepatwa na magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira.Tusipojikinga kutokana na madhara ya uchafu wa mazingira, bila shaka tutataabika sana.Nawaomba kwa moyo mkunjufu tuangamize madhara ya uchafu wa mazingira.
Sokoni watu hutupa aina gani ya takataka ovyo ovyo?
{ "text": [ "Maganda ya ndizi" ] }
1621_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mahali au maumbo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au masha yake Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni kama vile ukataji wa miti katika mazingira yetu, asilimia kubwa ya watu wanakata miti,hiyo ni uharibifu wa mazingira. Miti huleta faida ya mvua, miti huvuta mvua tena miti huwa makao ya wanyama kama vile ndege. Ndege huishi kwenye miti, miti pia hung’arisha mazingira. Mazingira ni makao yetu sisi kwa wanadamu . Tulipewa mazingira na Mungu wetu kama baraka, ikawa jukumu letu kubwa ni kuitunza na kuing’arisha. Kuna wengine wetu ambao hawajui maana ya kusafisha mazingira.Yaani wanatupa takataka ovyo ovyo kama vile kuyatupa maganda ya ndizi njiani, na sisi watu tunajua ya kwamba kutupa takataka ovyo ovyo ni moja wapo wa madhara za mazingira. Uchafu huleta madhara kama vile magonjwa mbalimbali kupitia maji machafu.Mazingira machafu huletea mwanadamu magonjwa kama vile kolera, ugonjwa wa kuhara na kutapika na mengine mabaya ambayo yaweza kuumiza mwili wa binadamu. Tujikinge na madhara ya uchafu wa mazingira ili tuangamize magonjwa yanayosababishwa na uchafu.Nchin mwetu asilimia kubwa hutangazwa kuwa, wamepatwa na magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira.Tusipojikinga kutokana na madhara ya uchafu wa mazingira, bila shaka tutataabika sana.Nawaomba kwa moyo mkunjufu tuangamize madhara ya uchafu wa mazingira.
Ugonjwa upi hutokana na maji machafu?
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1622_swa
Mazingira ni mahali panapozuguka makazi ya watu ama yale yote yanayomzunguka binadamu. Tuna aina mingi za mazingira. Popote mtu huenda amezingirwa na mlima , maziwa, nyasi, nyumba, watu na jangwa. Kuna mazingira ambayo hatuoni, ambapo binadamu akikosa hutoweka na mazingira haya ni hewa. Kwa hivyo tunaona kuwa hewa ni mazingira yetu na ni uhai wetu. Sisi binadamu tunapasu kuyajali mazingira yetu. Wakati mwingine binadamu hufanya mambo yanayomdhuru yeye mwenyewe na mazingira yake.Mojawapo ya mambo haya ni kama kutia au kutupa takataka kila mahali. Kutupa takataka ovyo ovyo kama vile ganda la ndizi, mbivu na mengineo.Mwenzio aweza kujeruhiwa na kuvunjika kiungo cha mwili anapokanyanga ganda hilo la ndizi ambalo lililo tupwa sakafuni awali.Kila aina ya takataka , ina mahali pake malaam ambapo infaa kutupwa. Mifuko ya plastiki yatupwe katika pipa tofauti na maganda ya ndizi na viazi. Kwa sababu sote twaishi katika ulimwengu pamoja kiwango cha uchafuzi wa mazingira yetu iko katika hali ya juu sana. Uchafuzi wa mazingira yetu ina athari nyingi sana hasa kwa binadamu na wanyama. Maji ya mito, bahari na maziwa, yamechafuliwa na takataka ya plastiki, kemikali zinazotoka katika sekta ya viwanda na nyinginezo. Ukataji wa miti ovyo ovyo umesababisa mmomonyoko wa udongo.Vitendo hivi husababisha wanyama wanaoishi mitini na ardhini kukosa makao.Kemikali ambazo zinazopuliziwa magugu huadhiri viumbe ambavyo vinavyoishi ardhini. Moshi unaotoka katika sekta ya viwanda na magari huadhiri hewa tunayopumua. Pia kelele kutoka kwa magari wakati yanapopita barabarani au karibu na majumbani ni mojawapo wa uchafuzi wa mazingira ambao unaitwa uchafuzi wa kelele. Uchafuzi wa kelele hutesa viwanda vya muziki katika mafumba za starehe. Mchafuko wote wa mazingira huleta madhara kwa viumbe vyenye uhai na vyenye havina uhai. Madhara yaliyo bayana ni kama ukosefu wa raha na utulivu kwa ajili ya uchafuzi wa hewa na uchafuzi wa kelele. Pia maradhi yasiyotibika , njaa na vifo. Sisi binadamu tunapaswa kujiuliza mbona tunafanya vitendo vya ujinga kama hivi? Vitendo vya kuhatarisha maisha yetu, wanyama wetu na mazingira yetu? Kama viumbe vyenye akili tunapaswa kufikiria kwanza kabla ya kufanya vitendo vingine. Tunapaswa kukata shauri mara moja, ya kwamba tutarekebisha mwenendo wetu ili kuzuia ueneaji wa machafuko ya mazingira yetu.Tukazane na elimu na maarifa tunayopewa na waziri wa afya . Elimu ni yetu wanafunzi pamoja na watu wazima kwa jumla. Tunapaswa tushirikiane sote ili mipango ya utunzaji wa mazingira iweze kunawiri .Tukijua ya kwamba mazingira masafi ni furaha , afya na uhai wetu sote.
Mazingira ni mahalipanapozunguka nini
{ "text": [ "Makazi ya watu" ] }
1622_swa
Mazingira ni mahali panapozuguka makazi ya watu ama yale yote yanayomzunguka binadamu. Tuna aina mingi za mazingira. Popote mtu huenda amezingirwa na mlima , maziwa, nyasi, nyumba, watu na jangwa. Kuna mazingira ambayo hatuoni, ambapo binadamu akikosa hutoweka na mazingira haya ni hewa. Kwa hivyo tunaona kuwa hewa ni mazingira yetu na ni uhai wetu. Sisi binadamu tunapasu kuyajali mazingira yetu. Wakati mwingine binadamu hufanya mambo yanayomdhuru yeye mwenyewe na mazingira yake.Mojawapo ya mambo haya ni kama kutia au kutupa takataka kila mahali. Kutupa takataka ovyo ovyo kama vile ganda la ndizi, mbivu na mengineo.Mwenzio aweza kujeruhiwa na kuvunjika kiungo cha mwili anapokanyanga ganda hilo la ndizi ambalo lililo tupwa sakafuni awali.Kila aina ya takataka , ina mahali pake malaam ambapo infaa kutupwa. Mifuko ya plastiki yatupwe katika pipa tofauti na maganda ya ndizi na viazi. Kwa sababu sote twaishi katika ulimwengu pamoja kiwango cha uchafuzi wa mazingira yetu iko katika hali ya juu sana. Uchafuzi wa mazingira yetu ina athari nyingi sana hasa kwa binadamu na wanyama. Maji ya mito, bahari na maziwa, yamechafuliwa na takataka ya plastiki, kemikali zinazotoka katika sekta ya viwanda na nyinginezo. Ukataji wa miti ovyo ovyo umesababisa mmomonyoko wa udongo.Vitendo hivi husababisha wanyama wanaoishi mitini na ardhini kukosa makao.Kemikali ambazo zinazopuliziwa magugu huadhiri viumbe ambavyo vinavyoishi ardhini. Moshi unaotoka katika sekta ya viwanda na magari huadhiri hewa tunayopumua. Pia kelele kutoka kwa magari wakati yanapopita barabarani au karibu na majumbani ni mojawapo wa uchafuzi wa mazingira ambao unaitwa uchafuzi wa kelele. Uchafuzi wa kelele hutesa viwanda vya muziki katika mafumba za starehe. Mchafuko wote wa mazingira huleta madhara kwa viumbe vyenye uhai na vyenye havina uhai. Madhara yaliyo bayana ni kama ukosefu wa raha na utulivu kwa ajili ya uchafuzi wa hewa na uchafuzi wa kelele. Pia maradhi yasiyotibika , njaa na vifo. Sisi binadamu tunapaswa kujiuliza mbona tunafanya vitendo vya ujinga kama hivi? Vitendo vya kuhatarisha maisha yetu, wanyama wetu na mazingira yetu? Kama viumbe vyenye akili tunapaswa kufikiria kwanza kabla ya kufanya vitendo vingine. Tunapaswa kukata shauri mara moja, ya kwamba tutarekebisha mwenendo wetu ili kuzuia ueneaji wa machafuko ya mazingira yetu.Tukazane na elimu na maarifa tunayopewa na waziri wa afya . Elimu ni yetu wanafunzi pamoja na watu wazima kwa jumla. Tunapaswa tushirikiane sote ili mipango ya utunzaji wa mazingira iweze kunawiri .Tukijua ya kwamba mazingira masafi ni furaha , afya na uhai wetu sote.
POpote mtu huenda amezingirwa na nini
{ "text": [ "Milima" ] }
1622_swa
Mazingira ni mahali panapozuguka makazi ya watu ama yale yote yanayomzunguka binadamu. Tuna aina mingi za mazingira. Popote mtu huenda amezingirwa na mlima , maziwa, nyasi, nyumba, watu na jangwa. Kuna mazingira ambayo hatuoni, ambapo binadamu akikosa hutoweka na mazingira haya ni hewa. Kwa hivyo tunaona kuwa hewa ni mazingira yetu na ni uhai wetu. Sisi binadamu tunapasu kuyajali mazingira yetu. Wakati mwingine binadamu hufanya mambo yanayomdhuru yeye mwenyewe na mazingira yake.Mojawapo ya mambo haya ni kama kutia au kutupa takataka kila mahali. Kutupa takataka ovyo ovyo kama vile ganda la ndizi, mbivu na mengineo.Mwenzio aweza kujeruhiwa na kuvunjika kiungo cha mwili anapokanyanga ganda hilo la ndizi ambalo lililo tupwa sakafuni awali.Kila aina ya takataka , ina mahali pake malaam ambapo infaa kutupwa. Mifuko ya plastiki yatupwe katika pipa tofauti na maganda ya ndizi na viazi. Kwa sababu sote twaishi katika ulimwengu pamoja kiwango cha uchafuzi wa mazingira yetu iko katika hali ya juu sana. Uchafuzi wa mazingira yetu ina athari nyingi sana hasa kwa binadamu na wanyama. Maji ya mito, bahari na maziwa, yamechafuliwa na takataka ya plastiki, kemikali zinazotoka katika sekta ya viwanda na nyinginezo. Ukataji wa miti ovyo ovyo umesababisa mmomonyoko wa udongo.Vitendo hivi husababisha wanyama wanaoishi mitini na ardhini kukosa makao.Kemikali ambazo zinazopuliziwa magugu huadhiri viumbe ambavyo vinavyoishi ardhini. Moshi unaotoka katika sekta ya viwanda na magari huadhiri hewa tunayopumua. Pia kelele kutoka kwa magari wakati yanapopita barabarani au karibu na majumbani ni mojawapo wa uchafuzi wa mazingira ambao unaitwa uchafuzi wa kelele. Uchafuzi wa kelele hutesa viwanda vya muziki katika mafumba za starehe. Mchafuko wote wa mazingira huleta madhara kwa viumbe vyenye uhai na vyenye havina uhai. Madhara yaliyo bayana ni kama ukosefu wa raha na utulivu kwa ajili ya uchafuzi wa hewa na uchafuzi wa kelele. Pia maradhi yasiyotibika , njaa na vifo. Sisi binadamu tunapaswa kujiuliza mbona tunafanya vitendo vya ujinga kama hivi? Vitendo vya kuhatarisha maisha yetu, wanyama wetu na mazingira yetu? Kama viumbe vyenye akili tunapaswa kufikiria kwanza kabla ya kufanya vitendo vingine. Tunapaswa kukata shauri mara moja, ya kwamba tutarekebisha mwenendo wetu ili kuzuia ueneaji wa machafuko ya mazingira yetu.Tukazane na elimu na maarifa tunayopewa na waziri wa afya . Elimu ni yetu wanafunzi pamoja na watu wazima kwa jumla. Tunapaswa tushirikiane sote ili mipango ya utunzaji wa mazingira iweze kunawiri .Tukijua ya kwamba mazingira masafi ni furaha , afya na uhai wetu sote.
Kuna mazingira ambayo hatufanyi nini
{ "text": [ "Hatuoni" ] }
1622_swa
Mazingira ni mahali panapozuguka makazi ya watu ama yale yote yanayomzunguka binadamu. Tuna aina mingi za mazingira. Popote mtu huenda amezingirwa na mlima , maziwa, nyasi, nyumba, watu na jangwa. Kuna mazingira ambayo hatuoni, ambapo binadamu akikosa hutoweka na mazingira haya ni hewa. Kwa hivyo tunaona kuwa hewa ni mazingira yetu na ni uhai wetu. Sisi binadamu tunapasu kuyajali mazingira yetu. Wakati mwingine binadamu hufanya mambo yanayomdhuru yeye mwenyewe na mazingira yake.Mojawapo ya mambo haya ni kama kutia au kutupa takataka kila mahali. Kutupa takataka ovyo ovyo kama vile ganda la ndizi, mbivu na mengineo.Mwenzio aweza kujeruhiwa na kuvunjika kiungo cha mwili anapokanyanga ganda hilo la ndizi ambalo lililo tupwa sakafuni awali.Kila aina ya takataka , ina mahali pake malaam ambapo infaa kutupwa. Mifuko ya plastiki yatupwe katika pipa tofauti na maganda ya ndizi na viazi. Kwa sababu sote twaishi katika ulimwengu pamoja kiwango cha uchafuzi wa mazingira yetu iko katika hali ya juu sana. Uchafuzi wa mazingira yetu ina athari nyingi sana hasa kwa binadamu na wanyama. Maji ya mito, bahari na maziwa, yamechafuliwa na takataka ya plastiki, kemikali zinazotoka katika sekta ya viwanda na nyinginezo. Ukataji wa miti ovyo ovyo umesababisa mmomonyoko wa udongo.Vitendo hivi husababisha wanyama wanaoishi mitini na ardhini kukosa makao.Kemikali ambazo zinazopuliziwa magugu huadhiri viumbe ambavyo vinavyoishi ardhini. Moshi unaotoka katika sekta ya viwanda na magari huadhiri hewa tunayopumua. Pia kelele kutoka kwa magari wakati yanapopita barabarani au karibu na majumbani ni mojawapo wa uchafuzi wa mazingira ambao unaitwa uchafuzi wa kelele. Uchafuzi wa kelele hutesa viwanda vya muziki katika mafumba za starehe. Mchafuko wote wa mazingira huleta madhara kwa viumbe vyenye uhai na vyenye havina uhai. Madhara yaliyo bayana ni kama ukosefu wa raha na utulivu kwa ajili ya uchafuzi wa hewa na uchafuzi wa kelele. Pia maradhi yasiyotibika , njaa na vifo. Sisi binadamu tunapaswa kujiuliza mbona tunafanya vitendo vya ujinga kama hivi? Vitendo vya kuhatarisha maisha yetu, wanyama wetu na mazingira yetu? Kama viumbe vyenye akili tunapaswa kufikiria kwanza kabla ya kufanya vitendo vingine. Tunapaswa kukata shauri mara moja, ya kwamba tutarekebisha mwenendo wetu ili kuzuia ueneaji wa machafuko ya mazingira yetu.Tukazane na elimu na maarifa tunayopewa na waziri wa afya . Elimu ni yetu wanafunzi pamoja na watu wazima kwa jumla. Tunapaswa tushirikiane sote ili mipango ya utunzaji wa mazingira iweze kunawiri .Tukijua ya kwamba mazingira masafi ni furaha , afya na uhai wetu sote.
Sisi binadamu tunapaswa kujali nini
{ "text": [ "Mazingira yetu" ] }
1622_swa
Mazingira ni mahali panapozuguka makazi ya watu ama yale yote yanayomzunguka binadamu. Tuna aina mingi za mazingira. Popote mtu huenda amezingirwa na mlima , maziwa, nyasi, nyumba, watu na jangwa. Kuna mazingira ambayo hatuoni, ambapo binadamu akikosa hutoweka na mazingira haya ni hewa. Kwa hivyo tunaona kuwa hewa ni mazingira yetu na ni uhai wetu. Sisi binadamu tunapasu kuyajali mazingira yetu. Wakati mwingine binadamu hufanya mambo yanayomdhuru yeye mwenyewe na mazingira yake.Mojawapo ya mambo haya ni kama kutia au kutupa takataka kila mahali. Kutupa takataka ovyo ovyo kama vile ganda la ndizi, mbivu na mengineo.Mwenzio aweza kujeruhiwa na kuvunjika kiungo cha mwili anapokanyanga ganda hilo la ndizi ambalo lililo tupwa sakafuni awali.Kila aina ya takataka , ina mahali pake malaam ambapo infaa kutupwa. Mifuko ya plastiki yatupwe katika pipa tofauti na maganda ya ndizi na viazi. Kwa sababu sote twaishi katika ulimwengu pamoja kiwango cha uchafuzi wa mazingira yetu iko katika hali ya juu sana. Uchafuzi wa mazingira yetu ina athari nyingi sana hasa kwa binadamu na wanyama. Maji ya mito, bahari na maziwa, yamechafuliwa na takataka ya plastiki, kemikali zinazotoka katika sekta ya viwanda na nyinginezo. Ukataji wa miti ovyo ovyo umesababisa mmomonyoko wa udongo.Vitendo hivi husababisha wanyama wanaoishi mitini na ardhini kukosa makao.Kemikali ambazo zinazopuliziwa magugu huadhiri viumbe ambavyo vinavyoishi ardhini. Moshi unaotoka katika sekta ya viwanda na magari huadhiri hewa tunayopumua. Pia kelele kutoka kwa magari wakati yanapopita barabarani au karibu na majumbani ni mojawapo wa uchafuzi wa mazingira ambao unaitwa uchafuzi wa kelele. Uchafuzi wa kelele hutesa viwanda vya muziki katika mafumba za starehe. Mchafuko wote wa mazingira huleta madhara kwa viumbe vyenye uhai na vyenye havina uhai. Madhara yaliyo bayana ni kama ukosefu wa raha na utulivu kwa ajili ya uchafuzi wa hewa na uchafuzi wa kelele. Pia maradhi yasiyotibika , njaa na vifo. Sisi binadamu tunapaswa kujiuliza mbona tunafanya vitendo vya ujinga kama hivi? Vitendo vya kuhatarisha maisha yetu, wanyama wetu na mazingira yetu? Kama viumbe vyenye akili tunapaswa kufikiria kwanza kabla ya kufanya vitendo vingine. Tunapaswa kukata shauri mara moja, ya kwamba tutarekebisha mwenendo wetu ili kuzuia ueneaji wa machafuko ya mazingira yetu.Tukazane na elimu na maarifa tunayopewa na waziri wa afya . Elimu ni yetu wanafunzi pamoja na watu wazima kwa jumla. Tunapaswa tushirikiane sote ili mipango ya utunzaji wa mazingira iweze kunawiri .Tukijua ya kwamba mazingira masafi ni furaha , afya na uhai wetu sote.
Ni nini ambacho kimechafuliwa kwa kumwagiliwa dawa za wadudu
{ "text": [ "Udongo" ] }
1624_swa
KUCHAFUKA KWA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu au yale yote yanayomzunguka binadamu. Vitendo mbali mbali ambazo huyafanya mazingira yetu kuwa chafu ni kama vile kutupa takataka ovyo ovyo, kuyamwaga maji taka pahali pasipo faa. Mazingira ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu. Bila mazingira masafi viumbe vyote venye uhai vingeangamia.Katika mazingira yetu tunafaa kuzingatia usafi kwa sababu hilo ni jukumu letu kuu.Tukiweza kuzingatia usafi tutaepuka madhara mengine sana. Mambo ambayo huyafanya mazingira yetu yawe machafu ni kama vile kutupa takataka pahali pasipo faa, kukata miti ovyo ovyo na pia kuyamwaga maji taka pahali pasipo stahili. Kwa jambo la miti, tukikata miti yetu katika mazingira yetu kutakauka na pia mazingira yatakaa vibaya. kwenye maji taka, tukimwaga maji taka ovyo ovyo magonjwa kama vile kipindupindu na malaria itazuaka.Maji ambayo tunayoyatumia kisha kuyamwaga karibu na nyumba zetu, huleta magonjwa mengine kama vile kuendesha na kutapika. Jambo la pili ni kutupa takataka ovyo ovyo pahali pasipo faa kama vile kutupa takataka katika mito. Baadhi ya wafanyibiashara sokoni, hutupa matunda na mboga zilizoharibika ovyo ovyo. Vitendo hivi vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu.
Mazingira ni yale yote yanayomzunguka nani
{ "text": [ "binadamu" ] }
1624_swa
KUCHAFUKA KWA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu au yale yote yanayomzunguka binadamu. Vitendo mbali mbali ambazo huyafanya mazingira yetu kuwa chafu ni kama vile kutupa takataka ovyo ovyo, kuyamwaga maji taka pahali pasipo faa. Mazingira ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu. Bila mazingira masafi viumbe vyote venye uhai vingeangamia.Katika mazingira yetu tunafaa kuzingatia usafi kwa sababu hilo ni jukumu letu kuu.Tukiweza kuzingatia usafi tutaepuka madhara mengine sana. Mambo ambayo huyafanya mazingira yetu yawe machafu ni kama vile kutupa takataka pahali pasipo faa, kukata miti ovyo ovyo na pia kuyamwaga maji taka pahali pasipo stahili. Kwa jambo la miti, tukikata miti yetu katika mazingira yetu kutakauka na pia mazingira yatakaa vibaya. kwenye maji taka, tukimwaga maji taka ovyo ovyo magonjwa kama vile kipindupindu na malaria itazuaka.Maji ambayo tunayoyatumia kisha kuyamwaga karibu na nyumba zetu, huleta magonjwa mengine kama vile kuendesha na kutapika. Jambo la pili ni kutupa takataka ovyo ovyo pahali pasipo faa kama vile kutupa takataka katika mito. Baadhi ya wafanyibiashara sokoni, hutupa matunda na mboga zilizoharibika ovyo ovyo. Vitendo hivi vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu.
Maji gani huleta kipindupindu
{ "text": [ "machafu" ] }
1624_swa
KUCHAFUKA KWA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu au yale yote yanayomzunguka binadamu. Vitendo mbali mbali ambazo huyafanya mazingira yetu kuwa chafu ni kama vile kutupa takataka ovyo ovyo, kuyamwaga maji taka pahali pasipo faa. Mazingira ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu. Bila mazingira masafi viumbe vyote venye uhai vingeangamia.Katika mazingira yetu tunafaa kuzingatia usafi kwa sababu hilo ni jukumu letu kuu.Tukiweza kuzingatia usafi tutaepuka madhara mengine sana. Mambo ambayo huyafanya mazingira yetu yawe machafu ni kama vile kutupa takataka pahali pasipo faa, kukata miti ovyo ovyo na pia kuyamwaga maji taka pahali pasipo stahili. Kwa jambo la miti, tukikata miti yetu katika mazingira yetu kutakauka na pia mazingira yatakaa vibaya. kwenye maji taka, tukimwaga maji taka ovyo ovyo magonjwa kama vile kipindupindu na malaria itazuaka.Maji ambayo tunayoyatumia kisha kuyamwaga karibu na nyumba zetu, huleta magonjwa mengine kama vile kuendesha na kutapika. Jambo la pili ni kutupa takataka ovyo ovyo pahali pasipo faa kama vile kutupa takataka katika mito. Baadhi ya wafanyibiashara sokoni, hutupa matunda na mboga zilizoharibika ovyo ovyo. Vitendo hivi vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu.
Tukikata nini katika mazingira kutakauka
{ "text": [ "miti" ] }
1624_swa
KUCHAFUKA KWA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu au yale yote yanayomzunguka binadamu. Vitendo mbali mbali ambazo huyafanya mazingira yetu kuwa chafu ni kama vile kutupa takataka ovyo ovyo, kuyamwaga maji taka pahali pasipo faa. Mazingira ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu. Bila mazingira masafi viumbe vyote venye uhai vingeangamia.Katika mazingira yetu tunafaa kuzingatia usafi kwa sababu hilo ni jukumu letu kuu.Tukiweza kuzingatia usafi tutaepuka madhara mengine sana. Mambo ambayo huyafanya mazingira yetu yawe machafu ni kama vile kutupa takataka pahali pasipo faa, kukata miti ovyo ovyo na pia kuyamwaga maji taka pahali pasipo stahili. Kwa jambo la miti, tukikata miti yetu katika mazingira yetu kutakauka na pia mazingira yatakaa vibaya. kwenye maji taka, tukimwaga maji taka ovyo ovyo magonjwa kama vile kipindupindu na malaria itazuaka.Maji ambayo tunayoyatumia kisha kuyamwaga karibu na nyumba zetu, huleta magonjwa mengine kama vile kuendesha na kutapika. Jambo la pili ni kutupa takataka ovyo ovyo pahali pasipo faa kama vile kutupa takataka katika mito. Baadhi ya wafanyibiashara sokoni, hutupa matunda na mboga zilizoharibika ovyo ovyo. Vitendo hivi vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu.
Mazingira hukauka na kukaa vibaya lini
{ "text": [ "tukikata miti" ] }
1624_swa
KUCHAFUKA KWA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu au yale yote yanayomzunguka binadamu. Vitendo mbali mbali ambazo huyafanya mazingira yetu kuwa chafu ni kama vile kutupa takataka ovyo ovyo, kuyamwaga maji taka pahali pasipo faa. Mazingira ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu. Bila mazingira masafi viumbe vyote venye uhai vingeangamia.Katika mazingira yetu tunafaa kuzingatia usafi kwa sababu hilo ni jukumu letu kuu.Tukiweza kuzingatia usafi tutaepuka madhara mengine sana. Mambo ambayo huyafanya mazingira yetu yawe machafu ni kama vile kutupa takataka pahali pasipo faa, kukata miti ovyo ovyo na pia kuyamwaga maji taka pahali pasipo stahili. Kwa jambo la miti, tukikata miti yetu katika mazingira yetu kutakauka na pia mazingira yatakaa vibaya. kwenye maji taka, tukimwaga maji taka ovyo ovyo magonjwa kama vile kipindupindu na malaria itazuaka.Maji ambayo tunayoyatumia kisha kuyamwaga karibu na nyumba zetu, huleta magonjwa mengine kama vile kuendesha na kutapika. Jambo la pili ni kutupa takataka ovyo ovyo pahali pasipo faa kama vile kutupa takataka katika mito. Baadhi ya wafanyibiashara sokoni, hutupa matunda na mboga zilizoharibika ovyo ovyo. Vitendo hivi vinachangia katika uchafuzi wa mazingira yetu.
Mbona kwa watu wanaomwamini Mola mazingira yanafaa yawe safi
{ "text": [ "kwa sababu usafi upo karibu sana na Mola" ] }
1625_swa
Madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Watu wengi hupenda kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi kila pahali waendapo. Tunafaa kutilia maanani mazingira yetu,kila binadamu anafaa ahakikishe mazingira yake ni safi. Mazingira machafu huleta ugonjwa kama kipindupindu: Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaosababisha na uchafu.Mojawapo ya dalili za kipindupindu ni kutapika sana. Baadhi ya watu ambao hununua chakula barabarani kama vile mandazi.Wanakula hiyo mandazi baadaye hutupa barabarani mifuko ambazo zilikuwa zimebeba mandazi hizo.Sio mandazi pekee pia vinyaji na vyakula vinginevyo.Vitendo hivi huchafu mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa mengi sana. Waziri wa mazingira huwahimiza wanainchi kusafisha mazingira yao na kuyaweka yawe safi kila mara. Hakuna mtu anayependa kuishi katika mazingira machafu. Tuendelee kuhimizana kuhusu umuhimu wa kutengeneza mazingira yetu. Watu wamezoea mazingira machafu hadi wafanyibiashara kadhaa huuza chakula kwenye mazingira machafu na wateja wenyewe hawajali, hao ni wanunue kisha waende zao. Baadaye magonjwa yakijitokeza, kama vile kuumwa na tumbo, ndipo wanatambua makosa ambayo walioyafanya kwa kununua chakula katika mazingira ya uchafu. Wazazi wangu huhimiza mimi na mandugu zangu tuwe tukiweka mazingira yetu ya nyumbani safi kila siku. - Watu wengine wanapenda kutupa takataka kwenye mito, bahari na miili ya maji katika mazingira yao. Takataka hizi huchafu maji, na wanyama kama ng'ombe mbuzi na kondoo huadhirika pakubwa wanapokunya maji haya machafu. - kila mtu anafaa aweke mazingira yake yawe masafi. Ili waweze kukuwa na afya bora. Ndio maana waziri wa mazingira amepiga kambi mtaani ili watu wajifunze umuhimu wa usafi katika mazingira yao.
Mazingira chafu haleta ugonjwa gani?
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1625_swa
Madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Watu wengi hupenda kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi kila pahali waendapo. Tunafaa kutilia maanani mazingira yetu,kila binadamu anafaa ahakikishe mazingira yake ni safi. Mazingira machafu huleta ugonjwa kama kipindupindu: Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaosababisha na uchafu.Mojawapo ya dalili za kipindupindu ni kutapika sana. Baadhi ya watu ambao hununua chakula barabarani kama vile mandazi.Wanakula hiyo mandazi baadaye hutupa barabarani mifuko ambazo zilikuwa zimebeba mandazi hizo.Sio mandazi pekee pia vinyaji na vyakula vinginevyo.Vitendo hivi huchafu mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa mengi sana. Waziri wa mazingira huwahimiza wanainchi kusafisha mazingira yao na kuyaweka yawe safi kila mara. Hakuna mtu anayependa kuishi katika mazingira machafu. Tuendelee kuhimizana kuhusu umuhimu wa kutengeneza mazingira yetu. Watu wamezoea mazingira machafu hadi wafanyibiashara kadhaa huuza chakula kwenye mazingira machafu na wateja wenyewe hawajali, hao ni wanunue kisha waende zao. Baadaye magonjwa yakijitokeza, kama vile kuumwa na tumbo, ndipo wanatambua makosa ambayo walioyafanya kwa kununua chakula katika mazingira ya uchafu. Wazazi wangu huhimiza mimi na mandugu zangu tuwe tukiweka mazingira yetu ya nyumbani safi kila siku. - Watu wengine wanapenda kutupa takataka kwenye mito, bahari na miili ya maji katika mazingira yao. Takataka hizi huchafu maji, na wanyama kama ng'ombe mbuzi na kondoo huadhirika pakubwa wanapokunya maji haya machafu. - kila mtu anafaa aweke mazingira yake yawe masafi. Ili waweze kukuwa na afya bora. Ndio maana waziri wa mazingira amepiga kambi mtaani ili watu wajifunze umuhimu wa usafi katika mazingira yao.
Watu hutupa nini chini wakati wananunua maandazi dukani?
{ "text": [ "Karatasi" ] }
1625_swa
Madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Watu wengi hupenda kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi kila pahali waendapo. Tunafaa kutilia maanani mazingira yetu,kila binadamu anafaa ahakikishe mazingira yake ni safi. Mazingira machafu huleta ugonjwa kama kipindupindu: Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaosababisha na uchafu.Mojawapo ya dalili za kipindupindu ni kutapika sana. Baadhi ya watu ambao hununua chakula barabarani kama vile mandazi.Wanakula hiyo mandazi baadaye hutupa barabarani mifuko ambazo zilikuwa zimebeba mandazi hizo.Sio mandazi pekee pia vinyaji na vyakula vinginevyo.Vitendo hivi huchafu mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa mengi sana. Waziri wa mazingira huwahimiza wanainchi kusafisha mazingira yao na kuyaweka yawe safi kila mara. Hakuna mtu anayependa kuishi katika mazingira machafu. Tuendelee kuhimizana kuhusu umuhimu wa kutengeneza mazingira yetu. Watu wamezoea mazingira machafu hadi wafanyibiashara kadhaa huuza chakula kwenye mazingira machafu na wateja wenyewe hawajali, hao ni wanunue kisha waende zao. Baadaye magonjwa yakijitokeza, kama vile kuumwa na tumbo, ndipo wanatambua makosa ambayo walioyafanya kwa kununua chakula katika mazingira ya uchafu. Wazazi wangu huhimiza mimi na mandugu zangu tuwe tukiweka mazingira yetu ya nyumbani safi kila siku. - Watu wengine wanapenda kutupa takataka kwenye mito, bahari na miili ya maji katika mazingira yao. Takataka hizi huchafu maji, na wanyama kama ng'ombe mbuzi na kondoo huadhirika pakubwa wanapokunya maji haya machafu. - kila mtu anafaa aweke mazingira yake yawe masafi. Ili waweze kukuwa na afya bora. Ndio maana waziri wa mazingira amepiga kambi mtaani ili watu wajifunze umuhimu wa usafi katika mazingira yao.
Nani huhimiza watu kusafisha mazingira yao?
{ "text": [ "Waziri wa mazingira" ] }
1625_swa
Madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Watu wengi hupenda kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi kila pahali waendapo. Tunafaa kutilia maanani mazingira yetu,kila binadamu anafaa ahakikishe mazingira yake ni safi. Mazingira machafu huleta ugonjwa kama kipindupindu: Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaosababisha na uchafu.Mojawapo ya dalili za kipindupindu ni kutapika sana. Baadhi ya watu ambao hununua chakula barabarani kama vile mandazi.Wanakula hiyo mandazi baadaye hutupa barabarani mifuko ambazo zilikuwa zimebeba mandazi hizo.Sio mandazi pekee pia vinyaji na vyakula vinginevyo.Vitendo hivi huchafu mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa mengi sana. Waziri wa mazingira huwahimiza wanainchi kusafisha mazingira yao na kuyaweka yawe safi kila mara. Hakuna mtu anayependa kuishi katika mazingira machafu. Tuendelee kuhimizana kuhusu umuhimu wa kutengeneza mazingira yetu. Watu wamezoea mazingira machafu hadi wafanyibiashara kadhaa huuza chakula kwenye mazingira machafu na wateja wenyewe hawajali, hao ni wanunue kisha waende zao. Baadaye magonjwa yakijitokeza, kama vile kuumwa na tumbo, ndipo wanatambua makosa ambayo walioyafanya kwa kununua chakula katika mazingira ya uchafu. Wazazi wangu huhimiza mimi na mandugu zangu tuwe tukiweka mazingira yetu ya nyumbani safi kila siku. - Watu wengine wanapenda kutupa takataka kwenye mito, bahari na miili ya maji katika mazingira yao. Takataka hizi huchafu maji, na wanyama kama ng'ombe mbuzi na kondoo huadhirika pakubwa wanapokunya maji haya machafu. - kila mtu anafaa aweke mazingira yake yawe masafi. Ili waweze kukuwa na afya bora. Ndio maana waziri wa mazingira amepiga kambi mtaani ili watu wajifunze umuhimu wa usafi katika mazingira yao.
Kando na binadamu, wanyama gani wa nyumbani huathirika na mazingira chafu?
{ "text": [ "Ngo'mbe na mbuzi" ] }
1625_swa
Madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Watu wengi hupenda kuchafua mazingira kwa kutupa karatasi kila pahali waendapo. Tunafaa kutilia maanani mazingira yetu,kila binadamu anafaa ahakikishe mazingira yake ni safi. Mazingira machafu huleta ugonjwa kama kipindupindu: Kipindupindu ni ugonjwa ambao unaosababisha na uchafu.Mojawapo ya dalili za kipindupindu ni kutapika sana. Baadhi ya watu ambao hununua chakula barabarani kama vile mandazi.Wanakula hiyo mandazi baadaye hutupa barabarani mifuko ambazo zilikuwa zimebeba mandazi hizo.Sio mandazi pekee pia vinyaji na vyakula vinginevyo.Vitendo hivi huchafu mazingira yetu. Mazingira chafu huleta magonjwa mengi sana. Waziri wa mazingira huwahimiza wanainchi kusafisha mazingira yao na kuyaweka yawe safi kila mara. Hakuna mtu anayependa kuishi katika mazingira machafu. Tuendelee kuhimizana kuhusu umuhimu wa kutengeneza mazingira yetu. Watu wamezoea mazingira machafu hadi wafanyibiashara kadhaa huuza chakula kwenye mazingira machafu na wateja wenyewe hawajali, hao ni wanunue kisha waende zao. Baadaye magonjwa yakijitokeza, kama vile kuumwa na tumbo, ndipo wanatambua makosa ambayo walioyafanya kwa kununua chakula katika mazingira ya uchafu. Wazazi wangu huhimiza mimi na mandugu zangu tuwe tukiweka mazingira yetu ya nyumbani safi kila siku. - Watu wengine wanapenda kutupa takataka kwenye mito, bahari na miili ya maji katika mazingira yao. Takataka hizi huchafu maji, na wanyama kama ng'ombe mbuzi na kondoo huadhirika pakubwa wanapokunya maji haya machafu. - kila mtu anafaa aweke mazingira yake yawe masafi. Ili waweze kukuwa na afya bora. Ndio maana waziri wa mazingira amepiga kambi mtaani ili watu wajifunze umuhimu wa usafi katika mazingira yao.
Binadamu huweza kuishi maisha marefu wakati mwili wake una nini?
{ "text": [ "Afya njema" ] }
1626_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo au vitu vinavyotuzunguka, katika makaazi ya binadamu au kiumbe chochote, kilichoko na uhai. - Hivyo basi, tunafaa kutunza mazingira yetu ili tusipatwe na madhara mabaya katika mili yetu. Inafaa , mtu yeyote akipata karatasi au takataka yoyote anafaa kuokota na kutupa katika dimbwi la takataka, ili kudumisha usafi. Ili kudumisha usafi wa mazingira tunafaa tuokote karatasi na plastiki zote, na bila kusahau ukataji wa nyasi ndefu. Hi ni kwa sababu tusipo okota mikebe hizo, mvua itakaponyesha mikebe hizo huingia maji na baada ya muda mfupi mbu hufanya mikebe hizo makao yao. Mbu huzalina kwa haraka sana, na watakuwa wengi na kuanza kuingia kwenye majumba ya binadamu. Pindi la watakapoingia, watawadunga watu kwa mishale yao yenye ugonjwa wa malaria. Sio mikebe tu, bali hata nyasi ndefu pia, ni makao ya mbu. Kwa hivyo tuzingatie usafi. - Sio Malaria pekee bali tuna magonjwa mengi kama Kipindupindu na hata kifua kikuu. Hata tunaweza kuuzuia ugonjwa wa Korona kwa kupitia usafi na umbali wa kimwili. Ukiangalia Suluhisho kuu ya kuzuia ugonjwa huu ni usafi sana sana. Kunawa mikono ni mojawapo ya usafi inayohitajika kwa kujikinga na magonjwa mbalimbali , Sio Korona tu.
mazingira ni nini
{ "text": [ "Mambo au vitu vinavyotuzunguka" ] }
1626_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo au vitu vinavyotuzunguka, katika makaazi ya binadamu au kiumbe chochote, kilichoko na uhai. - Hivyo basi, tunafaa kutunza mazingira yetu ili tusipatwe na madhara mabaya katika mili yetu. Inafaa , mtu yeyote akipata karatasi au takataka yoyote anafaa kuokota na kutupa katika dimbwi la takataka, ili kudumisha usafi. Ili kudumisha usafi wa mazingira tunafaa tuokote karatasi na plastiki zote, na bila kusahau ukataji wa nyasi ndefu. Hi ni kwa sababu tusipo okota mikebe hizo, mvua itakaponyesha mikebe hizo huingia maji na baada ya muda mfupi mbu hufanya mikebe hizo makao yao. Mbu huzalina kwa haraka sana, na watakuwa wengi na kuanza kuingia kwenye majumba ya binadamu. Pindi la watakapoingia, watawadunga watu kwa mishale yao yenye ugonjwa wa malaria. Sio mikebe tu, bali hata nyasi ndefu pia, ni makao ya mbu. Kwa hivyo tuzingatie usafi. - Sio Malaria pekee bali tuna magonjwa mengi kama Kipindupindu na hata kifua kikuu. Hata tunaweza kuuzuia ugonjwa wa Korona kwa kupitia usafi na umbali wa kimwili. Ukiangalia Suluhisho kuu ya kuzuia ugonjwa huu ni usafi sana sana. Kunawa mikono ni mojawapo ya usafi inayohitajika kwa kujikinga na magonjwa mbalimbali , Sio Korona tu.
Tunafaa kutunza nini
{ "text": [ "Mazingira yetu" ] }
1626_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo au vitu vinavyotuzunguka, katika makaazi ya binadamu au kiumbe chochote, kilichoko na uhai. - Hivyo basi, tunafaa kutunza mazingira yetu ili tusipatwe na madhara mabaya katika mili yetu. Inafaa , mtu yeyote akipata karatasi au takataka yoyote anafaa kuokota na kutupa katika dimbwi la takataka, ili kudumisha usafi. Ili kudumisha usafi wa mazingira tunafaa tuokote karatasi na plastiki zote, na bila kusahau ukataji wa nyasi ndefu. Hi ni kwa sababu tusipo okota mikebe hizo, mvua itakaponyesha mikebe hizo huingia maji na baada ya muda mfupi mbu hufanya mikebe hizo makao yao. Mbu huzalina kwa haraka sana, na watakuwa wengi na kuanza kuingia kwenye majumba ya binadamu. Pindi la watakapoingia, watawadunga watu kwa mishale yao yenye ugonjwa wa malaria. Sio mikebe tu, bali hata nyasi ndefu pia, ni makao ya mbu. Kwa hivyo tuzingatie usafi. - Sio Malaria pekee bali tuna magonjwa mengi kama Kipindupindu na hata kifua kikuu. Hata tunaweza kuuzuia ugonjwa wa Korona kwa kupitia usafi na umbali wa kimwili. Ukiangalia Suluhisho kuu ya kuzuia ugonjwa huu ni usafi sana sana. Kunawa mikono ni mojawapo ya usafi inayohitajika kwa kujikinga na magonjwa mbalimbali , Sio Korona tu.
Ili kudumisha usafi wa mazingira tunafaa kuokota nini
{ "text": [ "Mikebe" ] }
1626_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo au vitu vinavyotuzunguka, katika makaazi ya binadamu au kiumbe chochote, kilichoko na uhai. - Hivyo basi, tunafaa kutunza mazingira yetu ili tusipatwe na madhara mabaya katika mili yetu. Inafaa , mtu yeyote akipata karatasi au takataka yoyote anafaa kuokota na kutupa katika dimbwi la takataka, ili kudumisha usafi. Ili kudumisha usafi wa mazingira tunafaa tuokote karatasi na plastiki zote, na bila kusahau ukataji wa nyasi ndefu. Hi ni kwa sababu tusipo okota mikebe hizo, mvua itakaponyesha mikebe hizo huingia maji na baada ya muda mfupi mbu hufanya mikebe hizo makao yao. Mbu huzalina kwa haraka sana, na watakuwa wengi na kuanza kuingia kwenye majumba ya binadamu. Pindi la watakapoingia, watawadunga watu kwa mishale yao yenye ugonjwa wa malaria. Sio mikebe tu, bali hata nyasi ndefu pia, ni makao ya mbu. Kwa hivyo tuzingatie usafi. - Sio Malaria pekee bali tuna magonjwa mengi kama Kipindupindu na hata kifua kikuu. Hata tunaweza kuuzuia ugonjwa wa Korona kwa kupitia usafi na umbali wa kimwili. Ukiangalia Suluhisho kuu ya kuzuia ugonjwa huu ni usafi sana sana. Kunawa mikono ni mojawapo ya usafi inayohitajika kwa kujikinga na magonjwa mbalimbali , Sio Korona tu.
Nini hufanya mikebe kuwa makao yao
{ "text": [ "Mbu" ] }
1626_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo au vitu vinavyotuzunguka, katika makaazi ya binadamu au kiumbe chochote, kilichoko na uhai. - Hivyo basi, tunafaa kutunza mazingira yetu ili tusipatwe na madhara mabaya katika mili yetu. Inafaa , mtu yeyote akipata karatasi au takataka yoyote anafaa kuokota na kutupa katika dimbwi la takataka, ili kudumisha usafi. Ili kudumisha usafi wa mazingira tunafaa tuokote karatasi na plastiki zote, na bila kusahau ukataji wa nyasi ndefu. Hi ni kwa sababu tusipo okota mikebe hizo, mvua itakaponyesha mikebe hizo huingia maji na baada ya muda mfupi mbu hufanya mikebe hizo makao yao. Mbu huzalina kwa haraka sana, na watakuwa wengi na kuanza kuingia kwenye majumba ya binadamu. Pindi la watakapoingia, watawadunga watu kwa mishale yao yenye ugonjwa wa malaria. Sio mikebe tu, bali hata nyasi ndefu pia, ni makao ya mbu. Kwa hivyo tuzingatie usafi. - Sio Malaria pekee bali tuna magonjwa mengi kama Kipindupindu na hata kifua kikuu. Hata tunaweza kuuzuia ugonjwa wa Korona kwa kupitia usafi na umbali wa kimwili. Ukiangalia Suluhisho kuu ya kuzuia ugonjwa huu ni usafi sana sana. Kunawa mikono ni mojawapo ya usafi inayohitajika kwa kujikinga na magonjwa mbalimbali , Sio Korona tu.
Tunaweza kuzuia ugonjwa gani kupitia kwa usafi
{ "text": [ "Korona" ] }
1627_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madda hii inamaanisha ni hali ya kutupa kila kitu mahali popote kwa mfano : karatasi na mengineo. Mazingira huchafuliwa na sisi wenyewe kwa kukosa hutupa uchafu kwa pipa la taka kama karatasi zinafu kuchomwa. Kwa sababu zinaweza bebwa na upepo na kupelekwa pahali ambapo hapastahili. Tena ukiziacha mahali pamoja uwachane nazo kabisa zikae hapo bila kuchomwa, zinaweza kuchafua mazingira yetu tena. Hata shuleni, kila mwanafunzi anajakumu la kusafisha pahali anapokaa darasani, msalani, pahali anapolala, pahali anapokulia na pia ushoroba. Nyumbani pia tunafaa kuosha kona zote za nyumba. Wakati wa usafi, mtu anafaa kutoa mkeka nje ya nyumba kwa makini ili uchafu uliokokatika mkeka, usianguke kwenye sakafu. Na pia , anafa kuosha mkeka na sakafu zing’are! kabisa na ikuwe kila wiki. Pahali pengine panafa pawe pasafi kila wakati ni jikoni. Jikoni ni pahali ambapo vyakula vinaandaaliwa. Kwa sababu bila usafi, twaweza patwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu. Tunafaa kulala ndani ya neti .Kwa sababu kuna wadudu wanaoletwa na maji machafu na wanajulikana kukuja wakati wa usiku.Wadudu hawa huleta ugonjwa wa malaria na wanajulikana kama mbu. Pia tunafaa kuosha vyoo na pahali pa kushtaki uchafu' tunapo oga. Napo panafa pawe pasafi. Kwa sababu vyoo vikiwa vichafu vitaweza kuleta magonjwa mabaya.
Karatai zinafaa kufanyiwa nini wakati zimetupwa?
{ "text": [ "Kuchomwa" ] }
1627_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madda hii inamaanisha ni hali ya kutupa kila kitu mahali popote kwa mfano : karatasi na mengineo. Mazingira huchafuliwa na sisi wenyewe kwa kukosa hutupa uchafu kwa pipa la taka kama karatasi zinafu kuchomwa. Kwa sababu zinaweza bebwa na upepo na kupelekwa pahali ambapo hapastahili. Tena ukiziacha mahali pamoja uwachane nazo kabisa zikae hapo bila kuchomwa, zinaweza kuchafua mazingira yetu tena. Hata shuleni, kila mwanafunzi anajakumu la kusafisha pahali anapokaa darasani, msalani, pahali anapolala, pahali anapokulia na pia ushoroba. Nyumbani pia tunafaa kuosha kona zote za nyumba. Wakati wa usafi, mtu anafaa kutoa mkeka nje ya nyumba kwa makini ili uchafu uliokokatika mkeka, usianguke kwenye sakafu. Na pia , anafa kuosha mkeka na sakafu zing’are! kabisa na ikuwe kila wiki. Pahali pengine panafa pawe pasafi kila wakati ni jikoni. Jikoni ni pahali ambapo vyakula vinaandaaliwa. Kwa sababu bila usafi, twaweza patwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu. Tunafaa kulala ndani ya neti .Kwa sababu kuna wadudu wanaoletwa na maji machafu na wanajulikana kukuja wakati wa usiku.Wadudu hawa huleta ugonjwa wa malaria na wanajulikana kama mbu. Pia tunafaa kuosha vyoo na pahali pa kushtaki uchafu' tunapo oga. Napo panafa pawe pasafi. Kwa sababu vyoo vikiwa vichafu vitaweza kuleta magonjwa mabaya.
Mahali wanafunzi hulala shuleni huitwaje?
{ "text": [ "Bweni" ] }
1627_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madda hii inamaanisha ni hali ya kutupa kila kitu mahali popote kwa mfano : karatasi na mengineo. Mazingira huchafuliwa na sisi wenyewe kwa kukosa hutupa uchafu kwa pipa la taka kama karatasi zinafu kuchomwa. Kwa sababu zinaweza bebwa na upepo na kupelekwa pahali ambapo hapastahili. Tena ukiziacha mahali pamoja uwachane nazo kabisa zikae hapo bila kuchomwa, zinaweza kuchafua mazingira yetu tena. Hata shuleni, kila mwanafunzi anajakumu la kusafisha pahali anapokaa darasani, msalani, pahali anapolala, pahali anapokulia na pia ushoroba. Nyumbani pia tunafaa kuosha kona zote za nyumba. Wakati wa usafi, mtu anafaa kutoa mkeka nje ya nyumba kwa makini ili uchafu uliokokatika mkeka, usianguke kwenye sakafu. Na pia , anafa kuosha mkeka na sakafu zing’are! kabisa na ikuwe kila wiki. Pahali pengine panafa pawe pasafi kila wakati ni jikoni. Jikoni ni pahali ambapo vyakula vinaandaaliwa. Kwa sababu bila usafi, twaweza patwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu. Tunafaa kulala ndani ya neti .Kwa sababu kuna wadudu wanaoletwa na maji machafu na wanajulikana kukuja wakati wa usiku.Wadudu hawa huleta ugonjwa wa malaria na wanajulikana kama mbu. Pia tunafaa kuosha vyoo na pahali pa kushtaki uchafu' tunapo oga. Napo panafa pawe pasafi. Kwa sababu vyoo vikiwa vichafu vitaweza kuleta magonjwa mabaya.
Mwandishi anahimiza watu walale ndani ya nini ilikujikinga dhidi ya malaria?
{ "text": [ "Neti" ] }
1627_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madda hii inamaanisha ni hali ya kutupa kila kitu mahali popote kwa mfano : karatasi na mengineo. Mazingira huchafuliwa na sisi wenyewe kwa kukosa hutupa uchafu kwa pipa la taka kama karatasi zinafu kuchomwa. Kwa sababu zinaweza bebwa na upepo na kupelekwa pahali ambapo hapastahili. Tena ukiziacha mahali pamoja uwachane nazo kabisa zikae hapo bila kuchomwa, zinaweza kuchafua mazingira yetu tena. Hata shuleni, kila mwanafunzi anajakumu la kusafisha pahali anapokaa darasani, msalani, pahali anapolala, pahali anapokulia na pia ushoroba. Nyumbani pia tunafaa kuosha kona zote za nyumba. Wakati wa usafi, mtu anafaa kutoa mkeka nje ya nyumba kwa makini ili uchafu uliokokatika mkeka, usianguke kwenye sakafu. Na pia , anafa kuosha mkeka na sakafu zing’are! kabisa na ikuwe kila wiki. Pahali pengine panafa pawe pasafi kila wakati ni jikoni. Jikoni ni pahali ambapo vyakula vinaandaaliwa. Kwa sababu bila usafi, twaweza patwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu. Tunafaa kulala ndani ya neti .Kwa sababu kuna wadudu wanaoletwa na maji machafu na wanajulikana kukuja wakati wa usiku.Wadudu hawa huleta ugonjwa wa malaria na wanajulikana kama mbu. Pia tunafaa kuosha vyoo na pahali pa kushtaki uchafu' tunapo oga. Napo panafa pawe pasafi. Kwa sababu vyoo vikiwa vichafu vitaweza kuleta magonjwa mabaya.
Maji machafu mara nyingi husababish ugojwa gani?
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1627_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Madda hii inamaanisha ni hali ya kutupa kila kitu mahali popote kwa mfano : karatasi na mengineo. Mazingira huchafuliwa na sisi wenyewe kwa kukosa hutupa uchafu kwa pipa la taka kama karatasi zinafu kuchomwa. Kwa sababu zinaweza bebwa na upepo na kupelekwa pahali ambapo hapastahili. Tena ukiziacha mahali pamoja uwachane nazo kabisa zikae hapo bila kuchomwa, zinaweza kuchafua mazingira yetu tena. Hata shuleni, kila mwanafunzi anajakumu la kusafisha pahali anapokaa darasani, msalani, pahali anapolala, pahali anapokulia na pia ushoroba. Nyumbani pia tunafaa kuosha kona zote za nyumba. Wakati wa usafi, mtu anafaa kutoa mkeka nje ya nyumba kwa makini ili uchafu uliokokatika mkeka, usianguke kwenye sakafu. Na pia , anafa kuosha mkeka na sakafu zing’are! kabisa na ikuwe kila wiki. Pahali pengine panafa pawe pasafi kila wakati ni jikoni. Jikoni ni pahali ambapo vyakula vinaandaaliwa. Kwa sababu bila usafi, twaweza patwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu. Tunafaa kulala ndani ya neti .Kwa sababu kuna wadudu wanaoletwa na maji machafu na wanajulikana kukuja wakati wa usiku.Wadudu hawa huleta ugonjwa wa malaria na wanajulikana kama mbu. Pia tunafaa kuosha vyoo na pahali pa kushtaki uchafu' tunapo oga. Napo panafa pawe pasafi. Kwa sababu vyoo vikiwa vichafu vitaweza kuleta magonjwa mabaya.
Mwandishi anahimiza mahali gani sharti iwe safi wakati wa kutayarisha vyakula?
{ "text": [ "Mekoni" ] }
1628_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo yanatuzunguka katika sehemu tunayoishi kama vile miti, nyumba, mimea, maduka na vitu vinginevyo. Tunafaa kuweka mazingira yetu yawe safi ili, tukomeshe magonjwa kama malaria, kipindupindu na magonjwa mengine. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya kwa watoto na pia kwa watu wazima. Malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya sana kwa wazee na watoto wachanga.Malaria inaletwa na mdudu mmoja tu! Mbu. Mbu huuma pahali popote mwilini kisha kukuwacha na maradhi ya malaria mwilini..Lazima tuweze kukata nyasi ndefu manyumbani, ili wadudu ambao wanaoitwa mbu wasipate makao. Usiku wakati watu wanapoenda malazini kupumzika, lazima walale chini ya chandarua ili wakomesha ugonjwa wa malaria. Watu wanafaa kuweka juhudi zaidi katika kurokota karatasi na takataka zozote sakafuni au barabarani. Nchi na shule yetu lazima iwe yakupendeza na kuvutia.Shuleni lazima tuwe wasafi ili tuwe na afya bora. Kipindupindu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya mwanadamu. Kipindupindu imeweza kuuwa watu wengi kama millioni moja. Watu wote lazima waweze kuoga mikono wakitoka msalani. Tutie bidii katika kuziosha vyoo vyetu ili tusipate magonjwa kwenye sehemu zetu za siri. Tukinunua vitu dukanilazima tuyaoshe ili tukule au tupike. Lazima tuweke mazingira yetu iwe safi na ya kupendeza i tuzingatie, magonjwa na vifo kwa wanainchi. Watu wote lazima wajifunze usafi . Wazee na vijana wetu lazima wajifunze usafi ili watoto na madada wakuwe safi nyumbani.
Nini kinapaswa kufanywa ili kukomesha magojwa
{ "text": [ "kuweka mazingira safi" ] }
1628_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo yanatuzunguka katika sehemu tunayoishi kama vile miti, nyumba, mimea, maduka na vitu vinginevyo. Tunafaa kuweka mazingira yetu yawe safi ili, tukomeshe magonjwa kama malaria, kipindupindu na magonjwa mengine. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya kwa watoto na pia kwa watu wazima. Malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya sana kwa wazee na watoto wachanga.Malaria inaletwa na mdudu mmoja tu! Mbu. Mbu huuma pahali popote mwilini kisha kukuwacha na maradhi ya malaria mwilini..Lazima tuweze kukata nyasi ndefu manyumbani, ili wadudu ambao wanaoitwa mbu wasipate makao. Usiku wakati watu wanapoenda malazini kupumzika, lazima walale chini ya chandarua ili wakomesha ugonjwa wa malaria. Watu wanafaa kuweka juhudi zaidi katika kurokota karatasi na takataka zozote sakafuni au barabarani. Nchi na shule yetu lazima iwe yakupendeza na kuvutia.Shuleni lazima tuwe wasafi ili tuwe na afya bora. Kipindupindu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya mwanadamu. Kipindupindu imeweza kuuwa watu wengi kama millioni moja. Watu wote lazima waweze kuoga mikono wakitoka msalani. Tutie bidii katika kuziosha vyoo vyetu ili tusipate magonjwa kwenye sehemu zetu za siri. Tukinunua vitu dukanilazima tuyaoshe ili tukule au tupike. Lazima tuweke mazingira yetu iwe safi na ya kupendeza i tuzingatie, magonjwa na vifo kwa wanainchi. Watu wote lazima wajifunze usafi . Wazee na vijana wetu lazima wajifunze usafi ili watoto na madada wakuwe safi nyumbani.
Malaria huletwa na mdudu gani
{ "text": [ "mbu" ] }
1628_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo yanatuzunguka katika sehemu tunayoishi kama vile miti, nyumba, mimea, maduka na vitu vinginevyo. Tunafaa kuweka mazingira yetu yawe safi ili, tukomeshe magonjwa kama malaria, kipindupindu na magonjwa mengine. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya kwa watoto na pia kwa watu wazima. Malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya sana kwa wazee na watoto wachanga.Malaria inaletwa na mdudu mmoja tu! Mbu. Mbu huuma pahali popote mwilini kisha kukuwacha na maradhi ya malaria mwilini..Lazima tuweze kukata nyasi ndefu manyumbani, ili wadudu ambao wanaoitwa mbu wasipate makao. Usiku wakati watu wanapoenda malazini kupumzika, lazima walale chini ya chandarua ili wakomesha ugonjwa wa malaria. Watu wanafaa kuweka juhudi zaidi katika kurokota karatasi na takataka zozote sakafuni au barabarani. Nchi na shule yetu lazima iwe yakupendeza na kuvutia.Shuleni lazima tuwe wasafi ili tuwe na afya bora. Kipindupindu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya mwanadamu. Kipindupindu imeweza kuuwa watu wengi kama millioni moja. Watu wote lazima waweze kuoga mikono wakitoka msalani. Tutie bidii katika kuziosha vyoo vyetu ili tusipate magonjwa kwenye sehemu zetu za siri. Tukinunua vitu dukanilazima tuyaoshe ili tukule au tupike. Lazima tuweke mazingira yetu iwe safi na ya kupendeza i tuzingatie, magonjwa na vifo kwa wanainchi. Watu wote lazima wajifunze usafi . Wazee na vijana wetu lazima wajifunze usafi ili watoto na madada wakuwe safi nyumbani.
watu wanapoenda malazini kulala wajifunike nini
{ "text": [ "neti" ] }
1628_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo yanatuzunguka katika sehemu tunayoishi kama vile miti, nyumba, mimea, maduka na vitu vinginevyo. Tunafaa kuweka mazingira yetu yawe safi ili, tukomeshe magonjwa kama malaria, kipindupindu na magonjwa mengine. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya kwa watoto na pia kwa watu wazima. Malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya sana kwa wazee na watoto wachanga.Malaria inaletwa na mdudu mmoja tu! Mbu. Mbu huuma pahali popote mwilini kisha kukuwacha na maradhi ya malaria mwilini..Lazima tuweze kukata nyasi ndefu manyumbani, ili wadudu ambao wanaoitwa mbu wasipate makao. Usiku wakati watu wanapoenda malazini kupumzika, lazima walale chini ya chandarua ili wakomesha ugonjwa wa malaria. Watu wanafaa kuweka juhudi zaidi katika kurokota karatasi na takataka zozote sakafuni au barabarani. Nchi na shule yetu lazima iwe yakupendeza na kuvutia.Shuleni lazima tuwe wasafi ili tuwe na afya bora. Kipindupindu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya mwanadamu. Kipindupindu imeweza kuuwa watu wengi kama millioni moja. Watu wote lazima waweze kuoga mikono wakitoka msalani. Tutie bidii katika kuziosha vyoo vyetu ili tusipate magonjwa kwenye sehemu zetu za siri. Tukinunua vitu dukanilazima tuyaoshe ili tukule au tupike. Lazima tuweke mazingira yetu iwe safi na ya kupendeza i tuzingatie, magonjwa na vifo kwa wanainchi. Watu wote lazima wajifunze usafi . Wazee na vijana wetu lazima wajifunze usafi ili watoto na madada wakuwe safi nyumbani.
Ni lini watu wanapaswa kujifunika neti
{ "text": [ "wanapokwenda malazini kupumzika" ] }
1628_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo yanatuzunguka katika sehemu tunayoishi kama vile miti, nyumba, mimea, maduka na vitu vinginevyo. Tunafaa kuweka mazingira yetu yawe safi ili, tukomeshe magonjwa kama malaria, kipindupindu na magonjwa mengine. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya kwa watoto na pia kwa watu wazima. Malaria ni ugonjwa ambao ni mbaya sana kwa wazee na watoto wachanga.Malaria inaletwa na mdudu mmoja tu! Mbu. Mbu huuma pahali popote mwilini kisha kukuwacha na maradhi ya malaria mwilini..Lazima tuweze kukata nyasi ndefu manyumbani, ili wadudu ambao wanaoitwa mbu wasipate makao. Usiku wakati watu wanapoenda malazini kupumzika, lazima walale chini ya chandarua ili wakomesha ugonjwa wa malaria. Watu wanafaa kuweka juhudi zaidi katika kurokota karatasi na takataka zozote sakafuni au barabarani. Nchi na shule yetu lazima iwe yakupendeza na kuvutia.Shuleni lazima tuwe wasafi ili tuwe na afya bora. Kipindupindu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya mwanadamu. Kipindupindu imeweza kuuwa watu wengi kama millioni moja. Watu wote lazima waweze kuoga mikono wakitoka msalani. Tutie bidii katika kuziosha vyoo vyetu ili tusipate magonjwa kwenye sehemu zetu za siri. Tukinunua vitu dukanilazima tuyaoshe ili tukule au tupike. Lazima tuweke mazingira yetu iwe safi na ya kupendeza i tuzingatie, magonjwa na vifo kwa wanainchi. Watu wote lazima wajifunze usafi . Wazee na vijana wetu lazima wajifunze usafi ili watoto na madada wakuwe safi nyumbani.
Mbona watu wanapaswa kujifunika neti
{ "text": [ "ili kukomesha ugonjwa wa malaria" ] }
1629_swa
Mazingira ni pahali panapozunguka makazi ya watu. Pia ni yale yote yanayomzunguka binadamu. Uchafuzi wa mazingira hauruhusiwa katika mataifa yote duniani kwa mambo kadha wa kadha. Kama vile tusipopanda miti, hatutapata hewa safi na hakutakuwa na mvua. Kwa hivyo, tunapaswa kupanda miti zaidi ya mbili tunapokata mti wowote ule, ili tuwe na hewa safi na kiwango cha juu cha mvua katika eneo letu. . Pili utupaji takataka ovyo hufanya mazingira yetu kuwa machafu na huleta nzi na magonjwa kama vile kipindupindu na kadhalika. Kipindupindu husababishwa na kutoosha mikono tunapojisaidia na tunapokula chakula. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi husababishwa na kemikali ambazo viwandani hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na uchafu mwingi kiasi kwamba wanyama na mimea wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Kujisaidia ovyo katika mazingira ni uchafuzi wa mazingira unaosababisha harufu mbaya kuenea hewani na kuleta harufu inayozuia watalii wa nchi za mbali kutozuru taifa letu. Hii husababisha uchumi wetukurudi chini. Tusipowaajibika tutapoteza pesa nyingi zinazojenga mataifa na uchumi wetu. Uchafu wa miili yetu husababisha kujikuna, kunuka na kutembelewa na wadudu kama vile chawa kwenye nywele, nyende kwenye miguu. Tunapaswa kukumbuka kuwa usafi ni karibu na Mungu . Tunapaswa kudumisha usafi katika taifa letu ili tuepukane na wadudu hao. Tunapaswa kuepukana na uchafuzi wa mazingira ili tuepukane na vitu mbalimbali katika taifa . Tukifanya hivyo basi tutaishi katika mazingira safi shauri langu ni kuwa tuepuke kuishi katika mazingira chafu.
Miti mingapi ipandwe mingine inapokatwa
{ "text": [ "Miwili" ] }
1629_swa
Mazingira ni pahali panapozunguka makazi ya watu. Pia ni yale yote yanayomzunguka binadamu. Uchafuzi wa mazingira hauruhusiwa katika mataifa yote duniani kwa mambo kadha wa kadha. Kama vile tusipopanda miti, hatutapata hewa safi na hakutakuwa na mvua. Kwa hivyo, tunapaswa kupanda miti zaidi ya mbili tunapokata mti wowote ule, ili tuwe na hewa safi na kiwango cha juu cha mvua katika eneo letu. . Pili utupaji takataka ovyo hufanya mazingira yetu kuwa machafu na huleta nzi na magonjwa kama vile kipindupindu na kadhalika. Kipindupindu husababishwa na kutoosha mikono tunapojisaidia na tunapokula chakula. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi husababishwa na kemikali ambazo viwandani hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na uchafu mwingi kiasi kwamba wanyama na mimea wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Kujisaidia ovyo katika mazingira ni uchafuzi wa mazingira unaosababisha harufu mbaya kuenea hewani na kuleta harufu inayozuia watalii wa nchi za mbali kutozuru taifa letu. Hii husababisha uchumi wetukurudi chini. Tusipowaajibika tutapoteza pesa nyingi zinazojenga mataifa na uchumi wetu. Uchafu wa miili yetu husababisha kujikuna, kunuka na kutembelewa na wadudu kama vile chawa kwenye nywele, nyende kwenye miguu. Tunapaswa kukumbuka kuwa usafi ni karibu na Mungu . Tunapaswa kudumisha usafi katika taifa letu ili tuepukane na wadudu hao. Tunapaswa kuepukana na uchafuzi wa mazingira ili tuepukane na vitu mbalimbali katika taifa . Tukifanya hivyo basi tutaishi katika mazingira safi shauri langu ni kuwa tuepuke kuishi katika mazingira chafu.
Kipi hufanya mazingira kuwa machafu
{ "text": [ "Utupaji taka ovyo" ] }
1629_swa
Mazingira ni pahali panapozunguka makazi ya watu. Pia ni yale yote yanayomzunguka binadamu. Uchafuzi wa mazingira hauruhusiwa katika mataifa yote duniani kwa mambo kadha wa kadha. Kama vile tusipopanda miti, hatutapata hewa safi na hakutakuwa na mvua. Kwa hivyo, tunapaswa kupanda miti zaidi ya mbili tunapokata mti wowote ule, ili tuwe na hewa safi na kiwango cha juu cha mvua katika eneo letu. . Pili utupaji takataka ovyo hufanya mazingira yetu kuwa machafu na huleta nzi na magonjwa kama vile kipindupindu na kadhalika. Kipindupindu husababishwa na kutoosha mikono tunapojisaidia na tunapokula chakula. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi husababishwa na kemikali ambazo viwandani hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na uchafu mwingi kiasi kwamba wanyama na mimea wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Kujisaidia ovyo katika mazingira ni uchafuzi wa mazingira unaosababisha harufu mbaya kuenea hewani na kuleta harufu inayozuia watalii wa nchi za mbali kutozuru taifa letu. Hii husababisha uchumi wetukurudi chini. Tusipowaajibika tutapoteza pesa nyingi zinazojenga mataifa na uchumi wetu. Uchafu wa miili yetu husababisha kujikuna, kunuka na kutembelewa na wadudu kama vile chawa kwenye nywele, nyende kwenye miguu. Tunapaswa kukumbuka kuwa usafi ni karibu na Mungu . Tunapaswa kudumisha usafi katika taifa letu ili tuepukane na wadudu hao. Tunapaswa kuepukana na uchafuzi wa mazingira ili tuepukane na vitu mbalimbali katika taifa . Tukifanya hivyo basi tutaishi katika mazingira safi shauri langu ni kuwa tuepuke kuishi katika mazingira chafu.
Ugonjwa upi husababishwa na kutoosha mikono
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1629_swa
Mazingira ni pahali panapozunguka makazi ya watu. Pia ni yale yote yanayomzunguka binadamu. Uchafuzi wa mazingira hauruhusiwa katika mataifa yote duniani kwa mambo kadha wa kadha. Kama vile tusipopanda miti, hatutapata hewa safi na hakutakuwa na mvua. Kwa hivyo, tunapaswa kupanda miti zaidi ya mbili tunapokata mti wowote ule, ili tuwe na hewa safi na kiwango cha juu cha mvua katika eneo letu. . Pili utupaji takataka ovyo hufanya mazingira yetu kuwa machafu na huleta nzi na magonjwa kama vile kipindupindu na kadhalika. Kipindupindu husababishwa na kutoosha mikono tunapojisaidia na tunapokula chakula. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi husababishwa na kemikali ambazo viwandani hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na uchafu mwingi kiasi kwamba wanyama na mimea wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Kujisaidia ovyo katika mazingira ni uchafuzi wa mazingira unaosababisha harufu mbaya kuenea hewani na kuleta harufu inayozuia watalii wa nchi za mbali kutozuru taifa letu. Hii husababisha uchumi wetukurudi chini. Tusipowaajibika tutapoteza pesa nyingi zinazojenga mataifa na uchumi wetu. Uchafu wa miili yetu husababisha kujikuna, kunuka na kutembelewa na wadudu kama vile chawa kwenye nywele, nyende kwenye miguu. Tunapaswa kukumbuka kuwa usafi ni karibu na Mungu . Tunapaswa kudumisha usafi katika taifa letu ili tuepukane na wadudu hao. Tunapaswa kuepukana na uchafuzi wa mazingira ili tuepukane na vitu mbalimbali katika taifa . Tukifanya hivyo basi tutaishi katika mazingira safi shauri langu ni kuwa tuepuke kuishi katika mazingira chafu.
Kipi hupunguza uvuvi baharini
{ "text": [ "Uvuvi wa nyavu za kukokota" ] }
1629_swa
Mazingira ni pahali panapozunguka makazi ya watu. Pia ni yale yote yanayomzunguka binadamu. Uchafuzi wa mazingira hauruhusiwa katika mataifa yote duniani kwa mambo kadha wa kadha. Kama vile tusipopanda miti, hatutapata hewa safi na hakutakuwa na mvua. Kwa hivyo, tunapaswa kupanda miti zaidi ya mbili tunapokata mti wowote ule, ili tuwe na hewa safi na kiwango cha juu cha mvua katika eneo letu. . Pili utupaji takataka ovyo hufanya mazingira yetu kuwa machafu na huleta nzi na magonjwa kama vile kipindupindu na kadhalika. Kipindupindu husababishwa na kutoosha mikono tunapojisaidia na tunapokula chakula. Uvuvi wa nyavu za kukokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki baharini. Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi husababishwa na kemikali ambazo viwandani hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na uchafu mwingi kiasi kwamba wanyama na mimea wa majini hufa na hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Kujisaidia ovyo katika mazingira ni uchafuzi wa mazingira unaosababisha harufu mbaya kuenea hewani na kuleta harufu inayozuia watalii wa nchi za mbali kutozuru taifa letu. Hii husababisha uchumi wetukurudi chini. Tusipowaajibika tutapoteza pesa nyingi zinazojenga mataifa na uchumi wetu. Uchafu wa miili yetu husababisha kujikuna, kunuka na kutembelewa na wadudu kama vile chawa kwenye nywele, nyende kwenye miguu. Tunapaswa kukumbuka kuwa usafi ni karibu na Mungu . Tunapaswa kudumisha usafi katika taifa letu ili tuepukane na wadudu hao. Tunapaswa kuepukana na uchafuzi wa mazingira ili tuepukane na vitu mbalimbali katika taifa . Tukifanya hivyo basi tutaishi katika mazingira safi shauri langu ni kuwa tuepuke kuishi katika mazingira chafu.
Nini husababisha vifo vya wanyama na mimea majini
{ "text": [ "Kemikali kutoka viwandani" ] }
1632_swa
Mazingira ni mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile unaezaachilia takataka chini hiyo nikuchafua mazingira. Tunafaa kuyachoma taka yatumiki ili tuwe na afya njema. Pia kuna magonjwa ya uchafu kama vile kipindupindu, homa, mafua na vinginevyo. Magonjwa haya yanaletwa na kutosafisha mazingira yetu na kuyanywa maji machafu. Tuzingatie mazingira yetu, tuwe wasafi ndio tusiwe na magonjwa. Kamavile tuokote karatasi, tukate nyasi kwa minajili ya kumzuia mbu kujenga makao, tuoshe nguo na tuoge. Pia tuwafunze marafiki wetu kuzingatia usafi na hata manyumbani mwetu tuzingatie usafi ili tumfurahishe Mwenyezi Mungu na wazazi wetu. Kuna viwanda mbali mbali ambavyo vinachangia pakubwa katika uchafuzi wa hewa.Wanadamu wanafaa kuzingatia usafi na wachunge watoto wachanga ili wasile takataka waepukane na kipundupindu na kuendesha. Katika mazingira yetu tunafaa kufyeka nyasi, kuokota takataka na kusafisha makwetu ili kuzuia magonjwa yanayoletwa na mbu na magonjwa mengine, na tukizingatia usafi tutakua watoto wenye afya.Tufunze nyanya zetu umuhimu wa usafi katika mazingira ndio wasiwe wagonjwa. Viwanda huletea magonjwa kama vile homa, kifua kikuu na vinginevyo. Tuhakikishe majumba yetu yamo mbali na viwanda vinavyochafua hewa. Pia tukae mbali na viwanda vya serabu, simiti, mchanga na mawe. Ndizo zinatudhuru maishani, na tuwe wasafi kila saa ili tuwe wadudu ambao huwa wanapata makao mwilini. Tuzingatie usafi manyumbani ili tumalize malaria.Mahoteli pia wanachafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula ovyo ovyo. Wandugu na Wanadada tutimize usafi kwa sababu ya afya yetu na maisha yetu ya kesho.
Mazingira nimambo yanayomzunguka nani
{ "text": [ "Kiumbe" ] }
1632_swa
Mazingira ni mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile unaezaachilia takataka chini hiyo nikuchafua mazingira. Tunafaa kuyachoma taka yatumiki ili tuwe na afya njema. Pia kuna magonjwa ya uchafu kama vile kipindupindu, homa, mafua na vinginevyo. Magonjwa haya yanaletwa na kutosafisha mazingira yetu na kuyanywa maji machafu. Tuzingatie mazingira yetu, tuwe wasafi ndio tusiwe na magonjwa. Kamavile tuokote karatasi, tukate nyasi kwa minajili ya kumzuia mbu kujenga makao, tuoshe nguo na tuoge. Pia tuwafunze marafiki wetu kuzingatia usafi na hata manyumbani mwetu tuzingatie usafi ili tumfurahishe Mwenyezi Mungu na wazazi wetu. Kuna viwanda mbali mbali ambavyo vinachangia pakubwa katika uchafuzi wa hewa.Wanadamu wanafaa kuzingatia usafi na wachunge watoto wachanga ili wasile takataka waepukane na kipundupindu na kuendesha. Katika mazingira yetu tunafaa kufyeka nyasi, kuokota takataka na kusafisha makwetu ili kuzuia magonjwa yanayoletwa na mbu na magonjwa mengine, na tukizingatia usafi tutakua watoto wenye afya.Tufunze nyanya zetu umuhimu wa usafi katika mazingira ndio wasiwe wagonjwa. Viwanda huletea magonjwa kama vile homa, kifua kikuu na vinginevyo. Tuhakikishe majumba yetu yamo mbali na viwanda vinavyochafua hewa. Pia tukae mbali na viwanda vya serabu, simiti, mchanga na mawe. Ndizo zinatudhuru maishani, na tuwe wasafi kila saa ili tuwe wadudu ambao huwa wanapata makao mwilini. Tuzingatie usafi manyumbani ili tumalize malaria.Mahoteli pia wanachafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula ovyo ovyo. Wandugu na Wanadada tutimize usafi kwa sababu ya afya yetu na maisha yetu ya kesho.
Tunafaa tuchoma taka ili tuwe na nini
{ "text": [ "Afya njema" ] }
1632_swa
Mazingira ni mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile unaezaachilia takataka chini hiyo nikuchafua mazingira. Tunafaa kuyachoma taka yatumiki ili tuwe na afya njema. Pia kuna magonjwa ya uchafu kama vile kipindupindu, homa, mafua na vinginevyo. Magonjwa haya yanaletwa na kutosafisha mazingira yetu na kuyanywa maji machafu. Tuzingatie mazingira yetu, tuwe wasafi ndio tusiwe na magonjwa. Kamavile tuokote karatasi, tukate nyasi kwa minajili ya kumzuia mbu kujenga makao, tuoshe nguo na tuoge. Pia tuwafunze marafiki wetu kuzingatia usafi na hata manyumbani mwetu tuzingatie usafi ili tumfurahishe Mwenyezi Mungu na wazazi wetu. Kuna viwanda mbali mbali ambavyo vinachangia pakubwa katika uchafuzi wa hewa.Wanadamu wanafaa kuzingatia usafi na wachunge watoto wachanga ili wasile takataka waepukane na kipundupindu na kuendesha. Katika mazingira yetu tunafaa kufyeka nyasi, kuokota takataka na kusafisha makwetu ili kuzuia magonjwa yanayoletwa na mbu na magonjwa mengine, na tukizingatia usafi tutakua watoto wenye afya.Tufunze nyanya zetu umuhimu wa usafi katika mazingira ndio wasiwe wagonjwa. Viwanda huletea magonjwa kama vile homa, kifua kikuu na vinginevyo. Tuhakikishe majumba yetu yamo mbali na viwanda vinavyochafua hewa. Pia tukae mbali na viwanda vya serabu, simiti, mchanga na mawe. Ndizo zinatudhuru maishani, na tuwe wasafi kila saa ili tuwe wadudu ambao huwa wanapata makao mwilini. Tuzingatie usafi manyumbani ili tumalize malaria.Mahoteli pia wanachafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula ovyo ovyo. Wandugu na Wanadada tutimize usafi kwa sababu ya afya yetu na maisha yetu ya kesho.
Magonjwa ya uchafu ni kama yapi
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1632_swa
Mazingira ni mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile unaezaachilia takataka chini hiyo nikuchafua mazingira. Tunafaa kuyachoma taka yatumiki ili tuwe na afya njema. Pia kuna magonjwa ya uchafu kama vile kipindupindu, homa, mafua na vinginevyo. Magonjwa haya yanaletwa na kutosafisha mazingira yetu na kuyanywa maji machafu. Tuzingatie mazingira yetu, tuwe wasafi ndio tusiwe na magonjwa. Kamavile tuokote karatasi, tukate nyasi kwa minajili ya kumzuia mbu kujenga makao, tuoshe nguo na tuoge. Pia tuwafunze marafiki wetu kuzingatia usafi na hata manyumbani mwetu tuzingatie usafi ili tumfurahishe Mwenyezi Mungu na wazazi wetu. Kuna viwanda mbali mbali ambavyo vinachangia pakubwa katika uchafuzi wa hewa.Wanadamu wanafaa kuzingatia usafi na wachunge watoto wachanga ili wasile takataka waepukane na kipundupindu na kuendesha. Katika mazingira yetu tunafaa kufyeka nyasi, kuokota takataka na kusafisha makwetu ili kuzuia magonjwa yanayoletwa na mbu na magonjwa mengine, na tukizingatia usafi tutakua watoto wenye afya.Tufunze nyanya zetu umuhimu wa usafi katika mazingira ndio wasiwe wagonjwa. Viwanda huletea magonjwa kama vile homa, kifua kikuu na vinginevyo. Tuhakikishe majumba yetu yamo mbali na viwanda vinavyochafua hewa. Pia tukae mbali na viwanda vya serabu, simiti, mchanga na mawe. Ndizo zinatudhuru maishani, na tuwe wasafi kila saa ili tuwe wadudu ambao huwa wanapata makao mwilini. Tuzingatie usafi manyumbani ili tumalize malaria.Mahoteli pia wanachafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula ovyo ovyo. Wandugu na Wanadada tutimize usafi kwa sababu ya afya yetu na maisha yetu ya kesho.
Katika mazingira yetu tunafaa tunafyeka nini
{ "text": [ "Nyasi" ] }
1632_swa
Mazingira ni mambo yanayo zunguka kiumbe katika sehemu anapoishi. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile unaezaachilia takataka chini hiyo nikuchafua mazingira. Tunafaa kuyachoma taka yatumiki ili tuwe na afya njema. Pia kuna magonjwa ya uchafu kama vile kipindupindu, homa, mafua na vinginevyo. Magonjwa haya yanaletwa na kutosafisha mazingira yetu na kuyanywa maji machafu. Tuzingatie mazingira yetu, tuwe wasafi ndio tusiwe na magonjwa. Kamavile tuokote karatasi, tukate nyasi kwa minajili ya kumzuia mbu kujenga makao, tuoshe nguo na tuoge. Pia tuwafunze marafiki wetu kuzingatia usafi na hata manyumbani mwetu tuzingatie usafi ili tumfurahishe Mwenyezi Mungu na wazazi wetu. Kuna viwanda mbali mbali ambavyo vinachangia pakubwa katika uchafuzi wa hewa.Wanadamu wanafaa kuzingatia usafi na wachunge watoto wachanga ili wasile takataka waepukane na kipundupindu na kuendesha. Katika mazingira yetu tunafaa kufyeka nyasi, kuokota takataka na kusafisha makwetu ili kuzuia magonjwa yanayoletwa na mbu na magonjwa mengine, na tukizingatia usafi tutakua watoto wenye afya.Tufunze nyanya zetu umuhimu wa usafi katika mazingira ndio wasiwe wagonjwa. Viwanda huletea magonjwa kama vile homa, kifua kikuu na vinginevyo. Tuhakikishe majumba yetu yamo mbali na viwanda vinavyochafua hewa. Pia tukae mbali na viwanda vya serabu, simiti, mchanga na mawe. Ndizo zinatudhuru maishani, na tuwe wasafi kila saa ili tuwe wadudu ambao huwa wanapata makao mwilini. Tuzingatie usafi manyumbani ili tumalize malaria.Mahoteli pia wanachafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula ovyo ovyo. Wandugu na Wanadada tutimize usafi kwa sababu ya afya yetu na maisha yetu ya kesho.
Tutimize usafi kwa sababu ya afya yetu na nini
{ "text": [ "Maisha yetu" ] }
1633_swa
Kuchafua mazingira ni pale mtu au watu wanapotupa takataka au kuharibu mazingira katika njia tofauti tofauti. Binadamu wamekuwa viumbe vya ajabu sana, wameshindwa kutunza mazingira yao wenyewe. Kuna matatizo mengi sana na madhara yanayoletwa na uchafuzi wa mazingira. Hii ni kwa sababu binadamu amekataa kata kata kuzingitia sheria za kutunza mazingira yake, kwa hivyo ugonjwa kama kipindupindu unaibuku. Kutupa takataka ovyo ovyo unakuza ungojwa huu ambao hufanya baadhi ya watu wanaogonjeka kupoteza maisha yao. Tumekosa maadili kabisa, tunamwaga maji taka kila mahali, maji hayo yanakindika kila kona ya mji.Katika maji hayo tunawapata konokono ambao husababisha ugonjwa wa kichocho. Utawapata watoto wadogo ambao ni viongozi wa kesho, wakichezea maji taka hayo na tena kwa furaha ilioje, ukistaajabu ya musaa utaona ya firauni. Ashakum sio matusi kwani sisi punguani hatuoni madhara. Viwanda vinavyozalisha kemikali na magari, hutoa moshi ambao huchafua hewa. Vipi tutaweza kuishi katika ulimwengu huu, ambayo Muumba ametupa bila hewa safi? Kemikali zinazotoka mashambani huteremka moja kwa moja hadi kwenye vyanzo vya maji na kudhuru wanyama wanaoishi majini. Kutakuwa na madhara mengine mengi kuliko zenye tukonazo tusipokata shauri na kutunza mazingira yetu. Wadudu hatari kama funza, chawa, kunguni, tutawakaribisha katika mazingira yetu tukiendelea na uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa watatufyonza damu na kutuachia magonjwa hatari kama malale, tutakosa amani kabisa. Uchumi wa taifa utashuka na kushuka kabisa. Mazingira duni yatapelekea tukose fedha za kigeni. Nani anaweza kutembelea au kuzuru nchi yenye mazingira machafu? Hakuna. Kwa hivyo tutapoteza bahati nyingi sana. Pia mbinu mbaya za kilimo zimesababisha mmomonyoko wa udongo ambao umechangia pakubwa katika ukosefu wa rutuba katika udongo. Mmomonyoko wa udongo ukiendelea kwa kasi tutaangamia kwa janga la njaa. Uchimbaji wa madini, pale wanapomaliza haja zao huwa wanaacha mashimo wazi ambayo huwa hatari na huleta madhara na kumpelekea mtu kupata majeraha au kupiga teke dunia. Mbu hupata makao katika mashimo haya yanapojaa maji wakati wa msimu wa mvua. Mbu huleta ugonjwa wa malaria ambao kila mwaka unaua watu milioni moja hadi tatu, asilimia themanini ikiwa ni watoto chini ya umri wa miaka tano. Serikali imejaribu sana kutuelimisha, lakini hatusikii la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Waliopo duniani ni idadi kubwa sana kuliko wale tuliobakia hospitali .Katika uchafuzi wa mazingira yetu ni nani wa kulaumiwa, mimi au wewe?
Mwandishi anahofia ugonjwa upi utalipuka kwa sababu ya kutupa taka ovyo ovyo?
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1633_swa
Kuchafua mazingira ni pale mtu au watu wanapotupa takataka au kuharibu mazingira katika njia tofauti tofauti. Binadamu wamekuwa viumbe vya ajabu sana, wameshindwa kutunza mazingira yao wenyewe. Kuna matatizo mengi sana na madhara yanayoletwa na uchafuzi wa mazingira. Hii ni kwa sababu binadamu amekataa kata kata kuzingitia sheria za kutunza mazingira yake, kwa hivyo ugonjwa kama kipindupindu unaibuku. Kutupa takataka ovyo ovyo unakuza ungojwa huu ambao hufanya baadhi ya watu wanaogonjeka kupoteza maisha yao. Tumekosa maadili kabisa, tunamwaga maji taka kila mahali, maji hayo yanakindika kila kona ya mji.Katika maji hayo tunawapata konokono ambao husababisha ugonjwa wa kichocho. Utawapata watoto wadogo ambao ni viongozi wa kesho, wakichezea maji taka hayo na tena kwa furaha ilioje, ukistaajabu ya musaa utaona ya firauni. Ashakum sio matusi kwani sisi punguani hatuoni madhara. Viwanda vinavyozalisha kemikali na magari, hutoa moshi ambao huchafua hewa. Vipi tutaweza kuishi katika ulimwengu huu, ambayo Muumba ametupa bila hewa safi? Kemikali zinazotoka mashambani huteremka moja kwa moja hadi kwenye vyanzo vya maji na kudhuru wanyama wanaoishi majini. Kutakuwa na madhara mengine mengi kuliko zenye tukonazo tusipokata shauri na kutunza mazingira yetu. Wadudu hatari kama funza, chawa, kunguni, tutawakaribisha katika mazingira yetu tukiendelea na uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa watatufyonza damu na kutuachia magonjwa hatari kama malale, tutakosa amani kabisa. Uchumi wa taifa utashuka na kushuka kabisa. Mazingira duni yatapelekea tukose fedha za kigeni. Nani anaweza kutembelea au kuzuru nchi yenye mazingira machafu? Hakuna. Kwa hivyo tutapoteza bahati nyingi sana. Pia mbinu mbaya za kilimo zimesababisha mmomonyoko wa udongo ambao umechangia pakubwa katika ukosefu wa rutuba katika udongo. Mmomonyoko wa udongo ukiendelea kwa kasi tutaangamia kwa janga la njaa. Uchimbaji wa madini, pale wanapomaliza haja zao huwa wanaacha mashimo wazi ambayo huwa hatari na huleta madhara na kumpelekea mtu kupata majeraha au kupiga teke dunia. Mbu hupata makao katika mashimo haya yanapojaa maji wakati wa msimu wa mvua. Mbu huleta ugonjwa wa malaria ambao kila mwaka unaua watu milioni moja hadi tatu, asilimia themanini ikiwa ni watoto chini ya umri wa miaka tano. Serikali imejaribu sana kutuelimisha, lakini hatusikii la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Waliopo duniani ni idadi kubwa sana kuliko wale tuliobakia hospitali .Katika uchafuzi wa mazingira yetu ni nani wa kulaumiwa, mimi au wewe?
Konokono husababisha ugonjwa upi?
{ "text": [ "Kichocho" ] }
1633_swa
Kuchafua mazingira ni pale mtu au watu wanapotupa takataka au kuharibu mazingira katika njia tofauti tofauti. Binadamu wamekuwa viumbe vya ajabu sana, wameshindwa kutunza mazingira yao wenyewe. Kuna matatizo mengi sana na madhara yanayoletwa na uchafuzi wa mazingira. Hii ni kwa sababu binadamu amekataa kata kata kuzingitia sheria za kutunza mazingira yake, kwa hivyo ugonjwa kama kipindupindu unaibuku. Kutupa takataka ovyo ovyo unakuza ungojwa huu ambao hufanya baadhi ya watu wanaogonjeka kupoteza maisha yao. Tumekosa maadili kabisa, tunamwaga maji taka kila mahali, maji hayo yanakindika kila kona ya mji.Katika maji hayo tunawapata konokono ambao husababisha ugonjwa wa kichocho. Utawapata watoto wadogo ambao ni viongozi wa kesho, wakichezea maji taka hayo na tena kwa furaha ilioje, ukistaajabu ya musaa utaona ya firauni. Ashakum sio matusi kwani sisi punguani hatuoni madhara. Viwanda vinavyozalisha kemikali na magari, hutoa moshi ambao huchafua hewa. Vipi tutaweza kuishi katika ulimwengu huu, ambayo Muumba ametupa bila hewa safi? Kemikali zinazotoka mashambani huteremka moja kwa moja hadi kwenye vyanzo vya maji na kudhuru wanyama wanaoishi majini. Kutakuwa na madhara mengine mengi kuliko zenye tukonazo tusipokata shauri na kutunza mazingira yetu. Wadudu hatari kama funza, chawa, kunguni, tutawakaribisha katika mazingira yetu tukiendelea na uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa watatufyonza damu na kutuachia magonjwa hatari kama malale, tutakosa amani kabisa. Uchumi wa taifa utashuka na kushuka kabisa. Mazingira duni yatapelekea tukose fedha za kigeni. Nani anaweza kutembelea au kuzuru nchi yenye mazingira machafu? Hakuna. Kwa hivyo tutapoteza bahati nyingi sana. Pia mbinu mbaya za kilimo zimesababisha mmomonyoko wa udongo ambao umechangia pakubwa katika ukosefu wa rutuba katika udongo. Mmomonyoko wa udongo ukiendelea kwa kasi tutaangamia kwa janga la njaa. Uchimbaji wa madini, pale wanapomaliza haja zao huwa wanaacha mashimo wazi ambayo huwa hatari na huleta madhara na kumpelekea mtu kupata majeraha au kupiga teke dunia. Mbu hupata makao katika mashimo haya yanapojaa maji wakati wa msimu wa mvua. Mbu huleta ugonjwa wa malaria ambao kila mwaka unaua watu milioni moja hadi tatu, asilimia themanini ikiwa ni watoto chini ya umri wa miaka tano. Serikali imejaribu sana kutuelimisha, lakini hatusikii la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Waliopo duniani ni idadi kubwa sana kuliko wale tuliobakia hospitali .Katika uchafuzi wa mazingira yetu ni nani wa kulaumiwa, mimi au wewe?
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya nani?
{ "text": [ "Firauni" ] }
1633_swa
Kuchafua mazingira ni pale mtu au watu wanapotupa takataka au kuharibu mazingira katika njia tofauti tofauti. Binadamu wamekuwa viumbe vya ajabu sana, wameshindwa kutunza mazingira yao wenyewe. Kuna matatizo mengi sana na madhara yanayoletwa na uchafuzi wa mazingira. Hii ni kwa sababu binadamu amekataa kata kata kuzingitia sheria za kutunza mazingira yake, kwa hivyo ugonjwa kama kipindupindu unaibuku. Kutupa takataka ovyo ovyo unakuza ungojwa huu ambao hufanya baadhi ya watu wanaogonjeka kupoteza maisha yao. Tumekosa maadili kabisa, tunamwaga maji taka kila mahali, maji hayo yanakindika kila kona ya mji.Katika maji hayo tunawapata konokono ambao husababisha ugonjwa wa kichocho. Utawapata watoto wadogo ambao ni viongozi wa kesho, wakichezea maji taka hayo na tena kwa furaha ilioje, ukistaajabu ya musaa utaona ya firauni. Ashakum sio matusi kwani sisi punguani hatuoni madhara. Viwanda vinavyozalisha kemikali na magari, hutoa moshi ambao huchafua hewa. Vipi tutaweza kuishi katika ulimwengu huu, ambayo Muumba ametupa bila hewa safi? Kemikali zinazotoka mashambani huteremka moja kwa moja hadi kwenye vyanzo vya maji na kudhuru wanyama wanaoishi majini. Kutakuwa na madhara mengine mengi kuliko zenye tukonazo tusipokata shauri na kutunza mazingira yetu. Wadudu hatari kama funza, chawa, kunguni, tutawakaribisha katika mazingira yetu tukiendelea na uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa watatufyonza damu na kutuachia magonjwa hatari kama malale, tutakosa amani kabisa. Uchumi wa taifa utashuka na kushuka kabisa. Mazingira duni yatapelekea tukose fedha za kigeni. Nani anaweza kutembelea au kuzuru nchi yenye mazingira machafu? Hakuna. Kwa hivyo tutapoteza bahati nyingi sana. Pia mbinu mbaya za kilimo zimesababisha mmomonyoko wa udongo ambao umechangia pakubwa katika ukosefu wa rutuba katika udongo. Mmomonyoko wa udongo ukiendelea kwa kasi tutaangamia kwa janga la njaa. Uchimbaji wa madini, pale wanapomaliza haja zao huwa wanaacha mashimo wazi ambayo huwa hatari na huleta madhara na kumpelekea mtu kupata majeraha au kupiga teke dunia. Mbu hupata makao katika mashimo haya yanapojaa maji wakati wa msimu wa mvua. Mbu huleta ugonjwa wa malaria ambao kila mwaka unaua watu milioni moja hadi tatu, asilimia themanini ikiwa ni watoto chini ya umri wa miaka tano. Serikali imejaribu sana kutuelimisha, lakini hatusikii la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Waliopo duniani ni idadi kubwa sana kuliko wale tuliobakia hospitali .Katika uchafuzi wa mazingira yetu ni nani wa kulaumiwa, mimi au wewe?
Kifaa kipi hutoa moshi barabarani?
{ "text": [ "Magari" ] }
1633_swa
Kuchafua mazingira ni pale mtu au watu wanapotupa takataka au kuharibu mazingira katika njia tofauti tofauti. Binadamu wamekuwa viumbe vya ajabu sana, wameshindwa kutunza mazingira yao wenyewe. Kuna matatizo mengi sana na madhara yanayoletwa na uchafuzi wa mazingira. Hii ni kwa sababu binadamu amekataa kata kata kuzingitia sheria za kutunza mazingira yake, kwa hivyo ugonjwa kama kipindupindu unaibuku. Kutupa takataka ovyo ovyo unakuza ungojwa huu ambao hufanya baadhi ya watu wanaogonjeka kupoteza maisha yao. Tumekosa maadili kabisa, tunamwaga maji taka kila mahali, maji hayo yanakindika kila kona ya mji.Katika maji hayo tunawapata konokono ambao husababisha ugonjwa wa kichocho. Utawapata watoto wadogo ambao ni viongozi wa kesho, wakichezea maji taka hayo na tena kwa furaha ilioje, ukistaajabu ya musaa utaona ya firauni. Ashakum sio matusi kwani sisi punguani hatuoni madhara. Viwanda vinavyozalisha kemikali na magari, hutoa moshi ambao huchafua hewa. Vipi tutaweza kuishi katika ulimwengu huu, ambayo Muumba ametupa bila hewa safi? Kemikali zinazotoka mashambani huteremka moja kwa moja hadi kwenye vyanzo vya maji na kudhuru wanyama wanaoishi majini. Kutakuwa na madhara mengine mengi kuliko zenye tukonazo tusipokata shauri na kutunza mazingira yetu. Wadudu hatari kama funza, chawa, kunguni, tutawakaribisha katika mazingira yetu tukiendelea na uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa watatufyonza damu na kutuachia magonjwa hatari kama malale, tutakosa amani kabisa. Uchumi wa taifa utashuka na kushuka kabisa. Mazingira duni yatapelekea tukose fedha za kigeni. Nani anaweza kutembelea au kuzuru nchi yenye mazingira machafu? Hakuna. Kwa hivyo tutapoteza bahati nyingi sana. Pia mbinu mbaya za kilimo zimesababisha mmomonyoko wa udongo ambao umechangia pakubwa katika ukosefu wa rutuba katika udongo. Mmomonyoko wa udongo ukiendelea kwa kasi tutaangamia kwa janga la njaa. Uchimbaji wa madini, pale wanapomaliza haja zao huwa wanaacha mashimo wazi ambayo huwa hatari na huleta madhara na kumpelekea mtu kupata majeraha au kupiga teke dunia. Mbu hupata makao katika mashimo haya yanapojaa maji wakati wa msimu wa mvua. Mbu huleta ugonjwa wa malaria ambao kila mwaka unaua watu milioni moja hadi tatu, asilimia themanini ikiwa ni watoto chini ya umri wa miaka tano. Serikali imejaribu sana kutuelimisha, lakini hatusikii la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Waliopo duniani ni idadi kubwa sana kuliko wale tuliobakia hospitali .Katika uchafuzi wa mazingira yetu ni nani wa kulaumiwa, mimi au wewe?
Kina nani wanaochangia ushuru wa nchi watasusia kuja nchini kama mazingira na chafu?
{ "text": [ "Watalii" ] }
1634_swa
Madhara ya kuchafua mazingira. madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Ni vyema tuzingatie mazingira yetu na pia tuyatunze vyema ili tukae na mazingira masafi katika taifa letu. Madhara ya mazingira ni kama vile kutupa takataka na maji taka ovyo ovyo. Tusipo tunza mazingira yetu basi tutakumbana na magonjwa mengi sana kama vile kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa unatokana na uchafuzi wa mazingira dalili zake ni kama vile kuhara na kutapika sana. Pia kuna ugonjwa kama vile malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu jike aitwaye anophelesi ambao huambatana na homa kali. Kwa hivyo tuwe watu wenye kupenda usafi kwa sababu hakuna mtu ambaye anaweza penda kuishi kwenye mazingira machafu. Tusipotunza mazingira, yetu basi tutakuwa kwenye hatari kubwa haswa kwa watoto wadogo. Ni ombi kutoka kwangu yakwamba tukue watu wenye kuzingati maagizo ya wizara ya Afya. Na pia tukiwa manyumbani tuwe watu wakupende kukaa kwenye mazingira masafi. Pia jambo lingine ni kuhusu kupanda miti katika mazingira yetu na hata taifa letu lote. Na tuchome takataka zote karibu na mazingira na hata nyumbani, Shuleni, ili tuweze kupunguza habari za uchafu wa mazingira. Ni vyema tukae katika mazingira masafi na tuwe watu wakuzingatia maagizo ili tuweze kuboresha taifa letu kama sasa hivi tunakumbana na ugonjwa ambao ni janga la corona kwa hivyo tunapasua kuwa tuna nawa mikono na hata kuvalia barakoa kila mara.
Ni vyema kufanyia nini mazingira yetu
{ "text": [ "kuyazingatia na kuyatunza" ] }
1634_swa
Madhara ya kuchafua mazingira. madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Ni vyema tuzingatie mazingira yetu na pia tuyatunze vyema ili tukae na mazingira masafi katika taifa letu. Madhara ya mazingira ni kama vile kutupa takataka na maji taka ovyo ovyo. Tusipo tunza mazingira yetu basi tutakumbana na magonjwa mengi sana kama vile kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa unatokana na uchafuzi wa mazingira dalili zake ni kama vile kuhara na kutapika sana. Pia kuna ugonjwa kama vile malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu jike aitwaye anophelesi ambao huambatana na homa kali. Kwa hivyo tuwe watu wenye kupenda usafi kwa sababu hakuna mtu ambaye anaweza penda kuishi kwenye mazingira machafu. Tusipotunza mazingira, yetu basi tutakuwa kwenye hatari kubwa haswa kwa watoto wadogo. Ni ombi kutoka kwangu yakwamba tukue watu wenye kuzingati maagizo ya wizara ya Afya. Na pia tukiwa manyumbani tuwe watu wakupende kukaa kwenye mazingira masafi. Pia jambo lingine ni kuhusu kupanda miti katika mazingira yetu na hata taifa letu lote. Na tuchome takataka zote karibu na mazingira na hata nyumbani, Shuleni, ili tuweze kupunguza habari za uchafu wa mazingira. Ni vyema tukae katika mazingira masafi na tuwe watu wakuzingatia maagizo ili tuweze kuboresha taifa letu kama sasa hivi tunakumbana na ugonjwa ambao ni janga la corona kwa hivyo tunapasua kuwa tuna nawa mikono na hata kuvalia barakoa kila mara.
Malaria huangamizwa na mdudu gani
{ "text": [ "mbu" ] }
1634_swa
Madhara ya kuchafua mazingira. madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Ni vyema tuzingatie mazingira yetu na pia tuyatunze vyema ili tukae na mazingira masafi katika taifa letu. Madhara ya mazingira ni kama vile kutupa takataka na maji taka ovyo ovyo. Tusipo tunza mazingira yetu basi tutakumbana na magonjwa mengi sana kama vile kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa unatokana na uchafuzi wa mazingira dalili zake ni kama vile kuhara na kutapika sana. Pia kuna ugonjwa kama vile malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu jike aitwaye anophelesi ambao huambatana na homa kali. Kwa hivyo tuwe watu wenye kupenda usafi kwa sababu hakuna mtu ambaye anaweza penda kuishi kwenye mazingira machafu. Tusipotunza mazingira, yetu basi tutakuwa kwenye hatari kubwa haswa kwa watoto wadogo. Ni ombi kutoka kwangu yakwamba tukue watu wenye kuzingati maagizo ya wizara ya Afya. Na pia tukiwa manyumbani tuwe watu wakupende kukaa kwenye mazingira masafi. Pia jambo lingine ni kuhusu kupanda miti katika mazingira yetu na hata taifa letu lote. Na tuchome takataka zote karibu na mazingira na hata nyumbani, Shuleni, ili tuweze kupunguza habari za uchafu wa mazingira. Ni vyema tukae katika mazingira masafi na tuwe watu wakuzingatia maagizo ili tuweze kuboresha taifa letu kama sasa hivi tunakumbana na ugonjwa ambao ni janga la corona kwa hivyo tunapasua kuwa tuna nawa mikono na hata kuvalia barakoa kila mara.
ni Mbu mgani anayeambukiza malaria
{ "text": [ "anofelesi wa jike" ] }
1634_swa
Madhara ya kuchafua mazingira. madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Ni vyema tuzingatie mazingira yetu na pia tuyatunze vyema ili tukae na mazingira masafi katika taifa letu. Madhara ya mazingira ni kama vile kutupa takataka na maji taka ovyo ovyo. Tusipo tunza mazingira yetu basi tutakumbana na magonjwa mengi sana kama vile kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa unatokana na uchafuzi wa mazingira dalili zake ni kama vile kuhara na kutapika sana. Pia kuna ugonjwa kama vile malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu jike aitwaye anophelesi ambao huambatana na homa kali. Kwa hivyo tuwe watu wenye kupenda usafi kwa sababu hakuna mtu ambaye anaweza penda kuishi kwenye mazingira machafu. Tusipotunza mazingira, yetu basi tutakuwa kwenye hatari kubwa haswa kwa watoto wadogo. Ni ombi kutoka kwangu yakwamba tukue watu wenye kuzingati maagizo ya wizara ya Afya. Na pia tukiwa manyumbani tuwe watu wakupende kukaa kwenye mazingira masafi. Pia jambo lingine ni kuhusu kupanda miti katika mazingira yetu na hata taifa letu lote. Na tuchome takataka zote karibu na mazingira na hata nyumbani, Shuleni, ili tuweze kupunguza habari za uchafu wa mazingira. Ni vyema tukae katika mazingira masafi na tuwe watu wakuzingatia maagizo ili tuweze kuboresha taifa letu kama sasa hivi tunakumbana na ugonjwa ambao ni janga la corona kwa hivyo tunapasua kuwa tuna nawa mikono na hata kuvalia barakoa kila mara.
Kupitia ugonjwa wa Corona tunapaswa kuvaa barakoa lini
{ "text": [ "kila mara" ] }
1634_swa
Madhara ya kuchafua mazingira. madhara ni jambo lenye kuleta maangamizi au uharibifu. Ni vyema tuzingatie mazingira yetu na pia tuyatunze vyema ili tukae na mazingira masafi katika taifa letu. Madhara ya mazingira ni kama vile kutupa takataka na maji taka ovyo ovyo. Tusipo tunza mazingira yetu basi tutakumbana na magonjwa mengi sana kama vile kipindupindu. Kipindupindu ni ugonjwa unatokana na uchafuzi wa mazingira dalili zake ni kama vile kuhara na kutapika sana. Pia kuna ugonjwa kama vile malaria ni ugonjwa unaoenezwa na mbu jike aitwaye anophelesi ambao huambatana na homa kali. Kwa hivyo tuwe watu wenye kupenda usafi kwa sababu hakuna mtu ambaye anaweza penda kuishi kwenye mazingira machafu. Tusipotunza mazingira, yetu basi tutakuwa kwenye hatari kubwa haswa kwa watoto wadogo. Ni ombi kutoka kwangu yakwamba tukue watu wenye kuzingati maagizo ya wizara ya Afya. Na pia tukiwa manyumbani tuwe watu wakupende kukaa kwenye mazingira masafi. Pia jambo lingine ni kuhusu kupanda miti katika mazingira yetu na hata taifa letu lote. Na tuchome takataka zote karibu na mazingira na hata nyumbani, Shuleni, ili tuweze kupunguza habari za uchafu wa mazingira. Ni vyema tukae katika mazingira masafi na tuwe watu wakuzingatia maagizo ili tuweze kuboresha taifa letu kama sasa hivi tunakumbana na ugonjwa ambao ni janga la corona kwa hivyo tunapasua kuwa tuna nawa mikono na hata kuvalia barakoa kila mara.
Kipindupindu ni ugonjwa unaoafanya mtu kusikia aje
{ "text": [ "mtu kuendesha na kutapikatapika" ] }
1635_swa
MATHARA NA UCHAFUZI KIA MAZINGIRA. Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe. Athari mata ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote. Uchafuzi wa mazingira ina mathara mengi kwa mfano magonjwa kama vile wabu Waba ni ugonjwa wa kuambukizwa na maji taka. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na vijidudu vikaavyo katika konokono wanaokaa katika maji baridi ya taka. Mathara nyengine ni uchafuzi wa mito na bahari. Humu inchini mwetu, kuna baadhi ya kampuni kubwa kubwa ambazo huyaachilia maji taka kwenye miili ya maji. Miili hii ya maji ni makao kwa wanyama mbali mbali kama vile samaki ambao hukata roho kwa sababu ya uchafu wa mazingira yao. Nao wavuvi wakienda kuvua samaki wanawapata tayari wamekata roho. Hii pia inazorotesha uchumi wa uvuvi wa samaki na eneo hilo kwa jumla. Mathara mengine ni kutupatupa uchafu kila pahali badala ya kutupa kwenye pipa la uchafu . Unapozuru mji huu wetu unayapata karatasi, napi za watoto ambazo zimetumika, maji taka, chupa za plastiki na aina zote za takataka zimetapakaa ovyo ovyo barabarani. Uchafu mtupu! Tumesahau ya kwamba ni sisi tu wenye tutapata madhara ya uchafu wetu .Kwani msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma. Tunapo kata miti na kuchoma makaa hewa chafu ambayo inatoka kwenye makao hizo hudhuru hali ya anga na hapo ndipo tunapata kuna ukame ambapo chakula kinakosekana, maji na mifugo hukata roho kwa sababu kuna ukame.Kuna magari ambazo zina injini mbaya na zinapoendeshwa zina toa moshi o mbaya au chafu ambayo huathiri hewa. ambayo tunapumua na pia hali ya anga.
Kitu kinachomzunguka kiumbe huitwaje
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1635_swa
MATHARA NA UCHAFUZI KIA MAZINGIRA. Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe. Athari mata ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote. Uchafuzi wa mazingira ina mathara mengi kwa mfano magonjwa kama vile wabu Waba ni ugonjwa wa kuambukizwa na maji taka. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na vijidudu vikaavyo katika konokono wanaokaa katika maji baridi ya taka. Mathara nyengine ni uchafuzi wa mito na bahari. Humu inchini mwetu, kuna baadhi ya kampuni kubwa kubwa ambazo huyaachilia maji taka kwenye miili ya maji. Miili hii ya maji ni makao kwa wanyama mbali mbali kama vile samaki ambao hukata roho kwa sababu ya uchafu wa mazingira yao. Nao wavuvi wakienda kuvua samaki wanawapata tayari wamekata roho. Hii pia inazorotesha uchumi wa uvuvi wa samaki na eneo hilo kwa jumla. Mathara mengine ni kutupatupa uchafu kila pahali badala ya kutupa kwenye pipa la uchafu . Unapozuru mji huu wetu unayapata karatasi, napi za watoto ambazo zimetumika, maji taka, chupa za plastiki na aina zote za takataka zimetapakaa ovyo ovyo barabarani. Uchafu mtupu! Tumesahau ya kwamba ni sisi tu wenye tutapata madhara ya uchafu wetu .Kwani msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma. Tunapo kata miti na kuchoma makaa hewa chafu ambayo inatoka kwenye makao hizo hudhuru hali ya anga na hapo ndipo tunapata kuna ukame ambapo chakula kinakosekana, maji na mifugo hukata roho kwa sababu kuna ukame.Kuna magari ambazo zina injini mbaya na zinapoendeshwa zina toa moshi o mbaya au chafu ambayo huathiri hewa. ambayo tunapumua na pia hali ya anga.
Matokeo yanayobakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo huitwa nini
{ "text": [ "Athari" ] }
1635_swa
MATHARA NA UCHAFUZI KIA MAZINGIRA. Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe. Athari mata ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote. Uchafuzi wa mazingira ina mathara mengi kwa mfano magonjwa kama vile wabu Waba ni ugonjwa wa kuambukizwa na maji taka. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na vijidudu vikaavyo katika konokono wanaokaa katika maji baridi ya taka. Mathara nyengine ni uchafuzi wa mito na bahari. Humu inchini mwetu, kuna baadhi ya kampuni kubwa kubwa ambazo huyaachilia maji taka kwenye miili ya maji. Miili hii ya maji ni makao kwa wanyama mbali mbali kama vile samaki ambao hukata roho kwa sababu ya uchafu wa mazingira yao. Nao wavuvi wakienda kuvua samaki wanawapata tayari wamekata roho. Hii pia inazorotesha uchumi wa uvuvi wa samaki na eneo hilo kwa jumla. Mathara mengine ni kutupatupa uchafu kila pahali badala ya kutupa kwenye pipa la uchafu . Unapozuru mji huu wetu unayapata karatasi, napi za watoto ambazo zimetumika, maji taka, chupa za plastiki na aina zote za takataka zimetapakaa ovyo ovyo barabarani. Uchafu mtupu! Tumesahau ya kwamba ni sisi tu wenye tutapata madhara ya uchafu wetu .Kwani msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma. Tunapo kata miti na kuchoma makaa hewa chafu ambayo inatoka kwenye makao hizo hudhuru hali ya anga na hapo ndipo tunapata kuna ukame ambapo chakula kinakosekana, maji na mifugo hukata roho kwa sababu kuna ukame.Kuna magari ambazo zina injini mbaya na zinapoendeshwa zina toa moshi o mbaya au chafu ambayo huathiri hewa. ambayo tunapumua na pia hali ya anga.
Mazingira ni muhimu sana katika maisha ya nani
{ "text": [ "Kiumbe chochote" ] }
1635_swa
MATHARA NA UCHAFUZI KIA MAZINGIRA. Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe. Athari mata ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote. Uchafuzi wa mazingira ina mathara mengi kwa mfano magonjwa kama vile wabu Waba ni ugonjwa wa kuambukizwa na maji taka. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na vijidudu vikaavyo katika konokono wanaokaa katika maji baridi ya taka. Mathara nyengine ni uchafuzi wa mito na bahari. Humu inchini mwetu, kuna baadhi ya kampuni kubwa kubwa ambazo huyaachilia maji taka kwenye miili ya maji. Miili hii ya maji ni makao kwa wanyama mbali mbali kama vile samaki ambao hukata roho kwa sababu ya uchafu wa mazingira yao. Nao wavuvi wakienda kuvua samaki wanawapata tayari wamekata roho. Hii pia inazorotesha uchumi wa uvuvi wa samaki na eneo hilo kwa jumla. Mathara mengine ni kutupatupa uchafu kila pahali badala ya kutupa kwenye pipa la uchafu . Unapozuru mji huu wetu unayapata karatasi, napi za watoto ambazo zimetumika, maji taka, chupa za plastiki na aina zote za takataka zimetapakaa ovyo ovyo barabarani. Uchafu mtupu! Tumesahau ya kwamba ni sisi tu wenye tutapata madhara ya uchafu wetu .Kwani msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma. Tunapo kata miti na kuchoma makaa hewa chafu ambayo inatoka kwenye makao hizo hudhuru hali ya anga na hapo ndipo tunapata kuna ukame ambapo chakula kinakosekana, maji na mifugo hukata roho kwa sababu kuna ukame.Kuna magari ambazo zina injini mbaya na zinapoendeshwa zina toa moshi o mbaya au chafu ambayo huathiri hewa. ambayo tunapumua na pia hali ya anga.
Uchafuzi wa mazingira una madhara mengi kama nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1635_swa
MATHARA NA UCHAFUZI KIA MAZINGIRA. Mazingira ni mambo yanayo mzunguka kiumbe. Athari mata ni matokeo inayo bakia kwa muda baada ya kitu kufikwa na jambo. Mazingira ni muhimu sana katika maisha ya kiumbe chochote. Uchafuzi wa mazingira ina mathara mengi kwa mfano magonjwa kama vile wabu Waba ni ugonjwa wa kuambukizwa na maji taka. Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na vijidudu vikaavyo katika konokono wanaokaa katika maji baridi ya taka. Mathara nyengine ni uchafuzi wa mito na bahari. Humu inchini mwetu, kuna baadhi ya kampuni kubwa kubwa ambazo huyaachilia maji taka kwenye miili ya maji. Miili hii ya maji ni makao kwa wanyama mbali mbali kama vile samaki ambao hukata roho kwa sababu ya uchafu wa mazingira yao. Nao wavuvi wakienda kuvua samaki wanawapata tayari wamekata roho. Hii pia inazorotesha uchumi wa uvuvi wa samaki na eneo hilo kwa jumla. Mathara mengine ni kutupatupa uchafu kila pahali badala ya kutupa kwenye pipa la uchafu . Unapozuru mji huu wetu unayapata karatasi, napi za watoto ambazo zimetumika, maji taka, chupa za plastiki na aina zote za takataka zimetapakaa ovyo ovyo barabarani. Uchafu mtupu! Tumesahau ya kwamba ni sisi tu wenye tutapata madhara ya uchafu wetu .Kwani msumeno haukati mbele peke yake ila hadi nyuma. Tunapo kata miti na kuchoma makaa hewa chafu ambayo inatoka kwenye makao hizo hudhuru hali ya anga na hapo ndipo tunapata kuna ukame ambapo chakula kinakosekana, maji na mifugo hukata roho kwa sababu kuna ukame.Kuna magari ambazo zina injini mbaya na zinapoendeshwa zina toa moshi o mbaya au chafu ambayo huathiri hewa. ambayo tunapumua na pia hali ya anga.
Madhara mengine ni uchafuzi wa mito na nini
{ "text": [ "Bahari" ] }
1637_swa
madhara ya kuchafua mazingira Naam madhara ni kitu chenye kuleta uharibifu au athari mbaya, kama vile ukitumia mazingira vibaya utapatwa na magonjwa kutokana na uchafu.Mfano ukimwaga maji taka ovyo ovyo au kuimwangia kwenye mahali unamoishi. Siku moja kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Karani. Huyu kijana alipewa mawaidha na wenzake shuleni kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira. Karani aliambiwa kuwa mazingira ni mahali muhimu sana .Yeye alishangaa kusikia kwamba mahali anamoishi ni muhimu. Alianza kupiga kelele kusema nyingi maunaongea uongo mwende muongee mambo ya mazingira huko. Kijana huyu alitumia mazingira yake vibaya, kumwaga maji taka anapoishi, kutupa takataka ovyo ovyo na mengine mengi. Mazingira yake yalinuka na mbu zikanza kupata makao . Salaale! Kila siku Karani aliooga na kumwaga maji hayo hapo tu karibu na nyumba yake. Mbu wakaendelea kuongezeka, usiku wa manane Karani anajikuna tu anajikuna tu.Akilala kuna kelele fulani anasikia kama kwamba asijue ni kelele za mbu. Karani aliendelea na tabia zake na matokeo ni tumbo likaanza kumsokota kwelikweli. Usiku si mbu tu wanamvamia bali tumbo halimpi amani. Karani akakata shauri kumtembelea daktari kwa kuwa hajui mbona anajikuna hivyo na kusokotwa na tumbo. Daktari aliendesha vipimo kadhaa na kumuarifu Karani ya kwamba anaugua kutoka malaria na kipindupindu. Daktari alimueleza kuwa ni vyema kutumia mazingira vizuri kwa sababu asipokuwa msafi magonjwa haya yatarudi tu. Karani alinyamaza na akashangaa na akakumbuka ya kwamba marafiki wake walijaribu kumpea mawaidha naye hakusikia la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Daktari alimpaa dawa. Karani alipogunduwa mazingira ni nini alianza kuwa msafi na kila akiamka alifagia mazingira na kuokota takataka kwa mazingira yake na kuyachoma.Alianza kutembea katika kijiji chao na kuwahimiza watu umuhimu wa kutunza mazingira na kusaidia wanakijiji kusafisha mazingira yao. Karani alijulikana sana katika taifa yao kwamba yeye alitumia mazingira yake vibaya na hakawa mgonjwa kwa mwezi mbili na akajuwa kuwa mazingira ni mahali pakuheshimu. Sana, alisema kuwa asiyesikia mawaidha ya wenziwe hufunzwa na ulimwengu. Alipokuwa akiendelea kuwa msafi , siku moja kulikuwa na sherehe katika inchi ya Tanzania. Yeye alianza kufanya usafi katika sherehe hiyo na wata walimuona na wakapenda tabia yake. Alipokuwa akifanya usafi, rais wa nchi hiyo alipofika alimuona Karani akifanya usafi katika mazingira hayo.Rais alimuona kwa umbali na macho yake yakofutia na kuulizia kijana huyo anayefanya usafi ni nani.Rais alipokuwa akiketi alipewa karatasi ambayo ilikuwa na jina ya Karani, akamua ni lazima azungumze kuhusu mazingira. Rais alipoamka watu walishangilia vigelegele, Karani anaendelea kufanya usafi. Watu walinyamaza na Rais akazungumza kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira yetu. Rais alimwitwa Karani aje kwenye jukwaa na kumteua kama balozi wa usafi wa mazingira nchini. Karani alifurahia sana, na akasema kuwa nyoto ya jaha Imeniangukia leo.
Ukitumia mazingira vibaya utapatwa na nini
{ "text": [ "magonjwa" ] }
1637_swa
madhara ya kuchafua mazingira Naam madhara ni kitu chenye kuleta uharibifu au athari mbaya, kama vile ukitumia mazingira vibaya utapatwa na magonjwa kutokana na uchafu.Mfano ukimwaga maji taka ovyo ovyo au kuimwangia kwenye mahali unamoishi. Siku moja kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Karani. Huyu kijana alipewa mawaidha na wenzake shuleni kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira. Karani aliambiwa kuwa mazingira ni mahali muhimu sana .Yeye alishangaa kusikia kwamba mahali anamoishi ni muhimu. Alianza kupiga kelele kusema nyingi maunaongea uongo mwende muongee mambo ya mazingira huko. Kijana huyu alitumia mazingira yake vibaya, kumwaga maji taka anapoishi, kutupa takataka ovyo ovyo na mengine mengi. Mazingira yake yalinuka na mbu zikanza kupata makao . Salaale! Kila siku Karani aliooga na kumwaga maji hayo hapo tu karibu na nyumba yake. Mbu wakaendelea kuongezeka, usiku wa manane Karani anajikuna tu anajikuna tu.Akilala kuna kelele fulani anasikia kama kwamba asijue ni kelele za mbu. Karani aliendelea na tabia zake na matokeo ni tumbo likaanza kumsokota kwelikweli. Usiku si mbu tu wanamvamia bali tumbo halimpi amani. Karani akakata shauri kumtembelea daktari kwa kuwa hajui mbona anajikuna hivyo na kusokotwa na tumbo. Daktari aliendesha vipimo kadhaa na kumuarifu Karani ya kwamba anaugua kutoka malaria na kipindupindu. Daktari alimueleza kuwa ni vyema kutumia mazingira vizuri kwa sababu asipokuwa msafi magonjwa haya yatarudi tu. Karani alinyamaza na akashangaa na akakumbuka ya kwamba marafiki wake walijaribu kumpea mawaidha naye hakusikia la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Daktari alimpaa dawa. Karani alipogunduwa mazingira ni nini alianza kuwa msafi na kila akiamka alifagia mazingira na kuokota takataka kwa mazingira yake na kuyachoma.Alianza kutembea katika kijiji chao na kuwahimiza watu umuhimu wa kutunza mazingira na kusaidia wanakijiji kusafisha mazingira yao. Karani alijulikana sana katika taifa yao kwamba yeye alitumia mazingira yake vibaya na hakawa mgonjwa kwa mwezi mbili na akajuwa kuwa mazingira ni mahali pakuheshimu. Sana, alisema kuwa asiyesikia mawaidha ya wenziwe hufunzwa na ulimwengu. Alipokuwa akiendelea kuwa msafi , siku moja kulikuwa na sherehe katika inchi ya Tanzania. Yeye alianza kufanya usafi katika sherehe hiyo na wata walimuona na wakapenda tabia yake. Alipokuwa akifanya usafi, rais wa nchi hiyo alipofika alimuona Karani akifanya usafi katika mazingira hayo.Rais alimuona kwa umbali na macho yake yakofutia na kuulizia kijana huyo anayefanya usafi ni nani.Rais alipokuwa akiketi alipewa karatasi ambayo ilikuwa na jina ya Karani, akamua ni lazima azungumze kuhusu mazingira. Rais alipoamka watu walishangilia vigelegele, Karani anaendelea kufanya usafi. Watu walinyamaza na Rais akazungumza kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira yetu. Rais alimwitwa Karani aje kwenye jukwaa na kumteua kama balozi wa usafi wa mazingira nchini. Karani alifurahia sana, na akasema kuwa nyoto ya jaha Imeniangukia leo.
Nani alipewa mawaidha na wenzake
{ "text": [ "Karani" ] }
1637_swa
madhara ya kuchafua mazingira Naam madhara ni kitu chenye kuleta uharibifu au athari mbaya, kama vile ukitumia mazingira vibaya utapatwa na magonjwa kutokana na uchafu.Mfano ukimwaga maji taka ovyo ovyo au kuimwangia kwenye mahali unamoishi. Siku moja kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Karani. Huyu kijana alipewa mawaidha na wenzake shuleni kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira. Karani aliambiwa kuwa mazingira ni mahali muhimu sana .Yeye alishangaa kusikia kwamba mahali anamoishi ni muhimu. Alianza kupiga kelele kusema nyingi maunaongea uongo mwende muongee mambo ya mazingira huko. Kijana huyu alitumia mazingira yake vibaya, kumwaga maji taka anapoishi, kutupa takataka ovyo ovyo na mengine mengi. Mazingira yake yalinuka na mbu zikanza kupata makao . Salaale! Kila siku Karani aliooga na kumwaga maji hayo hapo tu karibu na nyumba yake. Mbu wakaendelea kuongezeka, usiku wa manane Karani anajikuna tu anajikuna tu.Akilala kuna kelele fulani anasikia kama kwamba asijue ni kelele za mbu. Karani aliendelea na tabia zake na matokeo ni tumbo likaanza kumsokota kwelikweli. Usiku si mbu tu wanamvamia bali tumbo halimpi amani. Karani akakata shauri kumtembelea daktari kwa kuwa hajui mbona anajikuna hivyo na kusokotwa na tumbo. Daktari aliendesha vipimo kadhaa na kumuarifu Karani ya kwamba anaugua kutoka malaria na kipindupindu. Daktari alimueleza kuwa ni vyema kutumia mazingira vizuri kwa sababu asipokuwa msafi magonjwa haya yatarudi tu. Karani alinyamaza na akashangaa na akakumbuka ya kwamba marafiki wake walijaribu kumpea mawaidha naye hakusikia la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Daktari alimpaa dawa. Karani alipogunduwa mazingira ni nini alianza kuwa msafi na kila akiamka alifagia mazingira na kuokota takataka kwa mazingira yake na kuyachoma.Alianza kutembea katika kijiji chao na kuwahimiza watu umuhimu wa kutunza mazingira na kusaidia wanakijiji kusafisha mazingira yao. Karani alijulikana sana katika taifa yao kwamba yeye alitumia mazingira yake vibaya na hakawa mgonjwa kwa mwezi mbili na akajuwa kuwa mazingira ni mahali pakuheshimu. Sana, alisema kuwa asiyesikia mawaidha ya wenziwe hufunzwa na ulimwengu. Alipokuwa akiendelea kuwa msafi , siku moja kulikuwa na sherehe katika inchi ya Tanzania. Yeye alianza kufanya usafi katika sherehe hiyo na wata walimuona na wakapenda tabia yake. Alipokuwa akifanya usafi, rais wa nchi hiyo alipofika alimuona Karani akifanya usafi katika mazingira hayo.Rais alimuona kwa umbali na macho yake yakofutia na kuulizia kijana huyo anayefanya usafi ni nani.Rais alipokuwa akiketi alipewa karatasi ambayo ilikuwa na jina ya Karani, akamua ni lazima azungumze kuhusu mazingira. Rais alipoamka watu walishangilia vigelegele, Karani anaendelea kufanya usafi. Watu walinyamaza na Rais akazungumza kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira yetu. Rais alimwitwa Karani aje kwenye jukwaa na kumteua kama balozi wa usafi wa mazingira nchini. Karani alifurahia sana, na akasema kuwa nyoto ya jaha Imeniangukia leo.
Alijikuna lini usiku na mchana
{ "text": [ "kila siku" ] }
1637_swa
madhara ya kuchafua mazingira Naam madhara ni kitu chenye kuleta uharibifu au athari mbaya, kama vile ukitumia mazingira vibaya utapatwa na magonjwa kutokana na uchafu.Mfano ukimwaga maji taka ovyo ovyo au kuimwangia kwenye mahali unamoishi. Siku moja kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Karani. Huyu kijana alipewa mawaidha na wenzake shuleni kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira. Karani aliambiwa kuwa mazingira ni mahali muhimu sana .Yeye alishangaa kusikia kwamba mahali anamoishi ni muhimu. Alianza kupiga kelele kusema nyingi maunaongea uongo mwende muongee mambo ya mazingira huko. Kijana huyu alitumia mazingira yake vibaya, kumwaga maji taka anapoishi, kutupa takataka ovyo ovyo na mengine mengi. Mazingira yake yalinuka na mbu zikanza kupata makao . Salaale! Kila siku Karani aliooga na kumwaga maji hayo hapo tu karibu na nyumba yake. Mbu wakaendelea kuongezeka, usiku wa manane Karani anajikuna tu anajikuna tu.Akilala kuna kelele fulani anasikia kama kwamba asijue ni kelele za mbu. Karani aliendelea na tabia zake na matokeo ni tumbo likaanza kumsokota kwelikweli. Usiku si mbu tu wanamvamia bali tumbo halimpi amani. Karani akakata shauri kumtembelea daktari kwa kuwa hajui mbona anajikuna hivyo na kusokotwa na tumbo. Daktari aliendesha vipimo kadhaa na kumuarifu Karani ya kwamba anaugua kutoka malaria na kipindupindu. Daktari alimueleza kuwa ni vyema kutumia mazingira vizuri kwa sababu asipokuwa msafi magonjwa haya yatarudi tu. Karani alinyamaza na akashangaa na akakumbuka ya kwamba marafiki wake walijaribu kumpea mawaidha naye hakusikia la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Daktari alimpaa dawa. Karani alipogunduwa mazingira ni nini alianza kuwa msafi na kila akiamka alifagia mazingira na kuokota takataka kwa mazingira yake na kuyachoma.Alianza kutembea katika kijiji chao na kuwahimiza watu umuhimu wa kutunza mazingira na kusaidia wanakijiji kusafisha mazingira yao. Karani alijulikana sana katika taifa yao kwamba yeye alitumia mazingira yake vibaya na hakawa mgonjwa kwa mwezi mbili na akajuwa kuwa mazingira ni mahali pakuheshimu. Sana, alisema kuwa asiyesikia mawaidha ya wenziwe hufunzwa na ulimwengu. Alipokuwa akiendelea kuwa msafi , siku moja kulikuwa na sherehe katika inchi ya Tanzania. Yeye alianza kufanya usafi katika sherehe hiyo na wata walimuona na wakapenda tabia yake. Alipokuwa akifanya usafi, rais wa nchi hiyo alipofika alimuona Karani akifanya usafi katika mazingira hayo.Rais alimuona kwa umbali na macho yake yakofutia na kuulizia kijana huyo anayefanya usafi ni nani.Rais alipokuwa akiketi alipewa karatasi ambayo ilikuwa na jina ya Karani, akamua ni lazima azungumze kuhusu mazingira. Rais alipoamka watu walishangilia vigelegele, Karani anaendelea kufanya usafi. Watu walinyamaza na Rais akazungumza kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira yetu. Rais alimwitwa Karani aje kwenye jukwaa na kumteua kama balozi wa usafi wa mazingira nchini. Karani alifurahia sana, na akasema kuwa nyoto ya jaha Imeniangukia leo.
Nyota gani ilimwangukia
{ "text": [ "ya jaha" ] }
1637_swa
madhara ya kuchafua mazingira Naam madhara ni kitu chenye kuleta uharibifu au athari mbaya, kama vile ukitumia mazingira vibaya utapatwa na magonjwa kutokana na uchafu.Mfano ukimwaga maji taka ovyo ovyo au kuimwangia kwenye mahali unamoishi. Siku moja kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Karani. Huyu kijana alipewa mawaidha na wenzake shuleni kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira. Karani aliambiwa kuwa mazingira ni mahali muhimu sana .Yeye alishangaa kusikia kwamba mahali anamoishi ni muhimu. Alianza kupiga kelele kusema nyingi maunaongea uongo mwende muongee mambo ya mazingira huko. Kijana huyu alitumia mazingira yake vibaya, kumwaga maji taka anapoishi, kutupa takataka ovyo ovyo na mengine mengi. Mazingira yake yalinuka na mbu zikanza kupata makao . Salaale! Kila siku Karani aliooga na kumwaga maji hayo hapo tu karibu na nyumba yake. Mbu wakaendelea kuongezeka, usiku wa manane Karani anajikuna tu anajikuna tu.Akilala kuna kelele fulani anasikia kama kwamba asijue ni kelele za mbu. Karani aliendelea na tabia zake na matokeo ni tumbo likaanza kumsokota kwelikweli. Usiku si mbu tu wanamvamia bali tumbo halimpi amani. Karani akakata shauri kumtembelea daktari kwa kuwa hajui mbona anajikuna hivyo na kusokotwa na tumbo. Daktari aliendesha vipimo kadhaa na kumuarifu Karani ya kwamba anaugua kutoka malaria na kipindupindu. Daktari alimueleza kuwa ni vyema kutumia mazingira vizuri kwa sababu asipokuwa msafi magonjwa haya yatarudi tu. Karani alinyamaza na akashangaa na akakumbuka ya kwamba marafiki wake walijaribu kumpea mawaidha naye hakusikia la mwadhini wala la mteka maji mskitini. Daktari alimpaa dawa. Karani alipogunduwa mazingira ni nini alianza kuwa msafi na kila akiamka alifagia mazingira na kuokota takataka kwa mazingira yake na kuyachoma.Alianza kutembea katika kijiji chao na kuwahimiza watu umuhimu wa kutunza mazingira na kusaidia wanakijiji kusafisha mazingira yao. Karani alijulikana sana katika taifa yao kwamba yeye alitumia mazingira yake vibaya na hakawa mgonjwa kwa mwezi mbili na akajuwa kuwa mazingira ni mahali pakuheshimu. Sana, alisema kuwa asiyesikia mawaidha ya wenziwe hufunzwa na ulimwengu. Alipokuwa akiendelea kuwa msafi , siku moja kulikuwa na sherehe katika inchi ya Tanzania. Yeye alianza kufanya usafi katika sherehe hiyo na wata walimuona na wakapenda tabia yake. Alipokuwa akifanya usafi, rais wa nchi hiyo alipofika alimuona Karani akifanya usafi katika mazingira hayo.Rais alimuona kwa umbali na macho yake yakofutia na kuulizia kijana huyo anayefanya usafi ni nani.Rais alipokuwa akiketi alipewa karatasi ambayo ilikuwa na jina ya Karani, akamua ni lazima azungumze kuhusu mazingira. Rais alipoamka watu walishangilia vigelegele, Karani anaendelea kufanya usafi. Watu walinyamaza na Rais akazungumza kuhusu umuhimu wa usafi katika mazingira yetu. Rais alimwitwa Karani aje kwenye jukwaa na kumteua kama balozi wa usafi wa mazingira nchini. Karani alifurahia sana, na akasema kuwa nyoto ya jaha Imeniangukia leo.
Kwa nini Karani alisikia tumbo linamuuma
{ "text": [ "kwa sababu ya kutosikia mawaidha ya wenzake" ] }
1638_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurí. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo. Viwanda husababisha uchafuzi wa mazingira kwa kutupa mabaki ya kemikali kwenye miili ya maji na kuchafua hewa kwa moshi. Moshi hutoka kwenye viwanda ambapo wanachoma mabaki ya kemikali na madawa yanapochomwa hospitalini. Pia Kuna Viwanda ambavyo hutupa kemikali mtoni ambapo binadamu huteka maji. Binadamu wanapokunywa maji yale wanaadhirika magonjwa kama kipindupindu ambayo husababishwa kwa kukula au kunywa maji taka. Magoniwa ya homa ya tumbo na kuhara damu. Kwa kweli si rahisi kudumisha siha njema na usafi katika maeneo hayo yaliyojaa watu na kutapika wengine: Hali ni mbaya zaidi katika vitongoji duni vilivyoshamiri sana Katika maeneo ya mijini na majijini si ajabu kuskia mlipuko wa kipindupindu katika maeneo hayo. Hotelini kadhaa pia huchafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula, watoto wadogo huokota na kukula na baada ya kukula wanaweza kuugua. Pia tunafaa kufyeka nyasi na kuondoa maji taka ambayo yamezolea kando mwa nyumba zetu ili kuzuia malaria na magonjwa menginevyo.
Mazingira safi husaidia mtu kupata nini?
{ "text": [ "Afya njema" ] }
1638_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurí. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo. Viwanda husababisha uchafuzi wa mazingira kwa kutupa mabaki ya kemikali kwenye miili ya maji na kuchafua hewa kwa moshi. Moshi hutoka kwenye viwanda ambapo wanachoma mabaki ya kemikali na madawa yanapochomwa hospitalini. Pia Kuna Viwanda ambavyo hutupa kemikali mtoni ambapo binadamu huteka maji. Binadamu wanapokunywa maji yale wanaadhirika magonjwa kama kipindupindu ambayo husababishwa kwa kukula au kunywa maji taka. Magoniwa ya homa ya tumbo na kuhara damu. Kwa kweli si rahisi kudumisha siha njema na usafi katika maeneo hayo yaliyojaa watu na kutapika wengine: Hali ni mbaya zaidi katika vitongoji duni vilivyoshamiri sana Katika maeneo ya mijini na majijini si ajabu kuskia mlipuko wa kipindupindu katika maeneo hayo. Hotelini kadhaa pia huchafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula, watoto wadogo huokota na kukula na baada ya kukula wanaweza kuugua. Pia tunafaa kufyeka nyasi na kuondoa maji taka ambayo yamezolea kando mwa nyumba zetu ili kuzuia malaria na magonjwa menginevyo.
Mambo yanayomzunguka mtu mahali anapoishi huitwaje?
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1638_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurí. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo. Viwanda husababisha uchafuzi wa mazingira kwa kutupa mabaki ya kemikali kwenye miili ya maji na kuchafua hewa kwa moshi. Moshi hutoka kwenye viwanda ambapo wanachoma mabaki ya kemikali na madawa yanapochomwa hospitalini. Pia Kuna Viwanda ambavyo hutupa kemikali mtoni ambapo binadamu huteka maji. Binadamu wanapokunywa maji yale wanaadhirika magonjwa kama kipindupindu ambayo husababishwa kwa kukula au kunywa maji taka. Magoniwa ya homa ya tumbo na kuhara damu. Kwa kweli si rahisi kudumisha siha njema na usafi katika maeneo hayo yaliyojaa watu na kutapika wengine: Hali ni mbaya zaidi katika vitongoji duni vilivyoshamiri sana Katika maeneo ya mijini na majijini si ajabu kuskia mlipuko wa kipindupindu katika maeneo hayo. Hotelini kadhaa pia huchafua mazingira kwa kumwaga mabaki ya chakula, watoto wadogo huokota na kukula na baada ya kukula wanaweza kuugua. Pia tunafaa kufyeka nyasi na kuondoa maji taka ambayo yamezolea kando mwa nyumba zetu ili kuzuia malaria na magonjwa menginevyo.
Nini husababisha kutupwa kwa mabaki ya kemikali kwenye mito?
{ "text": [ "Viwanda" ] }