Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
1752_swa | Nafasi ya mwanamke katika jamii ya sasa imekita mizizi na kupigwa pambaja. Kando na hapo
mbeleni, wanawake sasa wamejitwika katika ulingo wa siasa na uongozi, dini na hata sekta ya ajira basi kujali zilizo za jinsia ya kike au kiume.
Hatua ya kupingana na ufeministi imechangia kupata nafasi ya mwanamke kubadilisha fikra za ufeministi tika vitori imeofikisha katika v izazi vya kila karne imekuwa shughuli ambao imeakifisha kupata usawa wa kijinsia kwa kiwango bora kuliko awali.
Ni wazi hivi leo katika uongozi, aidha ya jamii kiwango cha chini au wa nchi kiwango cha juu. Wanawake wamenyakua nafasi za kazi na vyeo. Mfano, nchini Kenya cheo cha jaji mkuu anayeongoza mahakama kuu kimekabidhiwa mwanamke. Ni hatua mpya katika kukweza nafasi zao na kuwapa motisha. Nchini Tanzania, kiongozi wa taifa yaani rais wa jumuia ya muungano wa Tanzania ni mwanamke. Uongozi umechangia kukubalika kwa kinafasi. Mbeleni, feministi ungedhihirika ambapo watu waliokwezwa katika vyeo vya uongozi ni jinsia ya kiume tu.
Katika dini, jinsia ya kike huonekana wenye nyopo walishawishika haraka. Fasihi simulizi hupasha habari kuwa wamishenari walipoingia Afrika mashariki walisambaza dini kuja kulenga wanawake kuwa wanashawishika upesi. Dini ilipokito mizizi kunazo ziliwazuia wanawake kuongoza ibada au kuhusika na shughuli za madhahabu.
Kadri muda unavyosonga, karne ya leo ina viongozi wa kidini wanawake. Licha ya kuwa finyu fikra ya feministi zimedidimizwa na kuwa na mawazo mapya.
Ngazi ya kazi vimebadilika na kukubali jinsia yoyote katika uwanja wowote wa taaluma. Vizazi vya sasa watakubali kuwa taaluma yoyote huwakubali wanawake kwa wanaume.
Lengo la kila mwanamke ni kuamkia ulimwengu unaompa nafasi sawa bila ya kujali jinsia. Usawa huu unaendelezwa na hatua tunazochukua hivi leo na kukubali usawa wa jinsia katika mifumo yote. | Wanawake huonekana wakiwa na mioyo ipi? | {
"text": [
"Nyepesi"
]
} |
1752_swa | Nafasi ya mwanamke katika jamii ya sasa imekita mizizi na kupigwa pambaja. Kando na hapo
mbeleni, wanawake sasa wamejitwika katika ulingo wa siasa na uongozi, dini na hata sekta ya ajira basi kujali zilizo za jinsia ya kike au kiume.
Hatua ya kupingana na ufeministi imechangia kupata nafasi ya mwanamke kubadilisha fikra za ufeministi tika vitori imeofikisha katika v izazi vya kila karne imekuwa shughuli ambao imeakifisha kupata usawa wa kijinsia kwa kiwango bora kuliko awali.
Ni wazi hivi leo katika uongozi, aidha ya jamii kiwango cha chini au wa nchi kiwango cha juu. Wanawake wamenyakua nafasi za kazi na vyeo. Mfano, nchini Kenya cheo cha jaji mkuu anayeongoza mahakama kuu kimekabidhiwa mwanamke. Ni hatua mpya katika kukweza nafasi zao na kuwapa motisha. Nchini Tanzania, kiongozi wa taifa yaani rais wa jumuia ya muungano wa Tanzania ni mwanamke. Uongozi umechangia kukubalika kwa kinafasi. Mbeleni, feministi ungedhihirika ambapo watu waliokwezwa katika vyeo vya uongozi ni jinsia ya kiume tu.
Katika dini, jinsia ya kike huonekana wenye nyopo walishawishika haraka. Fasihi simulizi hupasha habari kuwa wamishenari walipoingia Afrika mashariki walisambaza dini kuja kulenga wanawake kuwa wanashawishika upesi. Dini ilipokito mizizi kunazo ziliwazuia wanawake kuongoza ibada au kuhusika na shughuli za madhahabu.
Kadri muda unavyosonga, karne ya leo ina viongozi wa kidini wanawake. Licha ya kuwa finyu fikra ya feministi zimedidimizwa na kuwa na mawazo mapya.
Ngazi ya kazi vimebadilika na kukubali jinsia yoyote katika uwanja wowote wa taaluma. Vizazi vya sasa watakubali kuwa taaluma yoyote huwakubali wanawake kwa wanaume.
Lengo la kila mwanamke ni kuamkia ulimwengu unaompa nafasi sawa bila ya kujali jinsia. Usawa huu unaendelezwa na hatua tunazochukua hivi leo na kukubali usawa wa jinsia katika mifumo yote. | Wanawake ni wa jinsia ipi? | {
"text": [
"Kike"
]
} |
1827_swa | NJIA YA KUIMARISHA UMOJA NCHINI
Hali ya amani lazima idumishwe na kudumishwa kwake lazima wananchi wawe na umoja. Jambo la kwanza ili kudumisha umoja nchini ni usawa wa mgawo wa rasilimali za nchi. Hili litafuta utabaka na pahali mtu anaishi kwa kuwa kila mtu atapata kiwango sawa na hivyo kusawazisha umoja na mwishowe kuleta amani.
Ndoa za mseto ikiwa mbinu mwafaka ya pili ya kuleta umoja nchini. Mbinu hii itazuia vurugu na kuleta mshikamano na maendeleo si haba kwa kuwa mtu akioa kutoka jamii tofauti na yake ataendeleza urafiki wa jamii hizo mbili na hivyo kuwaleta pamoja na amani kuwepo.
Tatu ni serikali kushughulisha wananchi katika shughuli za ujenzi. Mfano ni katika ujenzi wa barabara, serikali itoe zabuni na kuwapa bila kubagua wala kuchagua. Pia katika ujenzi wa madarasa shuleni, daraja na kadhalika, hivyo watu wa maeneo mbali mbali wataungana kazini na kuleta umoja.
Nne ni wafanyakazi wa umma kuhamishwa maeneo tofauti tofauti na kufanya kazi na bila kukagua jamii na kuwahudumia wananchi wote wa tabaka zote ili kuleta umoja.
Tano ni kufanya usawa katika vyeo kazini. Hii kuwachagua wote waliohitimu kwa kufanya yao bila ya purukushani na bila kupendelea ukoo, kabila ama jamii fulani juu la lingine, hii italeta umoja ofisini na pahala pengine pote na wote watakuwa na umoja wa kufanya kazi na hivyo kuleta umoja nchini na maendeleo pia.
Sita ni kuhimiza vilabu na michezo pamoja na tamasha. Hapa wachezaji, wanariadha na wengi wengineo watawasili ili kuonyesha ubingwa wao hivyo basi watu wengi watafika na kujumuika kutoka maeneo mbali mbali na hivyo kuleta umoja.
Saba ni kukandamiza na kuwashtaki wanasiasa wanaowagawanya watu kisiasa, kimaendeleo, kiuchumi na kijamii na hivyo watu watabaki kuwa kitu kimoja kama taifa na kuendelea kushirikiana katika maendeleo.
Mwisho kabisa ni kuwahimiza wananchi wenyewe kujitolea mhanga kupigania umoja wao bila ya kujali kitu chochote na kuwapa wananchi elimu juu ya kuimarisha umoja na faida zake, hivyo kuendeleza umoja na amani na kuleta maendeleo. | Hali ipi lazima idumishwe nchini? | {
"text": [
"Amani"
]
} |
1827_swa | NJIA YA KUIMARISHA UMOJA NCHINI
Hali ya amani lazima idumishwe na kudumishwa kwake lazima wananchi wawe na umoja. Jambo la kwanza ili kudumisha umoja nchini ni usawa wa mgawo wa rasilimali za nchi. Hili litafuta utabaka na pahali mtu anaishi kwa kuwa kila mtu atapata kiwango sawa na hivyo kusawazisha umoja na mwishowe kuleta amani.
Ndoa za mseto ikiwa mbinu mwafaka ya pili ya kuleta umoja nchini. Mbinu hii itazuia vurugu na kuleta mshikamano na maendeleo si haba kwa kuwa mtu akioa kutoka jamii tofauti na yake ataendeleza urafiki wa jamii hizo mbili na hivyo kuwaleta pamoja na amani kuwepo.
Tatu ni serikali kushughulisha wananchi katika shughuli za ujenzi. Mfano ni katika ujenzi wa barabara, serikali itoe zabuni na kuwapa bila kubagua wala kuchagua. Pia katika ujenzi wa madarasa shuleni, daraja na kadhalika, hivyo watu wa maeneo mbali mbali wataungana kazini na kuleta umoja.
Nne ni wafanyakazi wa umma kuhamishwa maeneo tofauti tofauti na kufanya kazi na bila kukagua jamii na kuwahudumia wananchi wote wa tabaka zote ili kuleta umoja.
Tano ni kufanya usawa katika vyeo kazini. Hii kuwachagua wote waliohitimu kwa kufanya yao bila ya purukushani na bila kupendelea ukoo, kabila ama jamii fulani juu la lingine, hii italeta umoja ofisini na pahala pengine pote na wote watakuwa na umoja wa kufanya kazi na hivyo kuleta umoja nchini na maendeleo pia.
Sita ni kuhimiza vilabu na michezo pamoja na tamasha. Hapa wachezaji, wanariadha na wengi wengineo watawasili ili kuonyesha ubingwa wao hivyo basi watu wengi watafika na kujumuika kutoka maeneo mbali mbali na hivyo kuleta umoja.
Saba ni kukandamiza na kuwashtaki wanasiasa wanaowagawanya watu kisiasa, kimaendeleo, kiuchumi na kijamii na hivyo watu watabaki kuwa kitu kimoja kama taifa na kuendelea kushirikiana katika maendeleo.
Mwisho kabisa ni kuwahimiza wananchi wenyewe kujitolea mhanga kupigania umoja wao bila ya kujali kitu chochote na kuwapa wananchi elimu juu ya kuimarisha umoja na faida zake, hivyo kuendeleza umoja na amani na kuleta maendeleo. | Ndoa ipi ilileta umoja nchini? | {
"text": [
"Mseto"
]
} |
1827_swa | NJIA YA KUIMARISHA UMOJA NCHINI
Hali ya amani lazima idumishwe na kudumishwa kwake lazima wananchi wawe na umoja. Jambo la kwanza ili kudumisha umoja nchini ni usawa wa mgawo wa rasilimali za nchi. Hili litafuta utabaka na pahali mtu anaishi kwa kuwa kila mtu atapata kiwango sawa na hivyo kusawazisha umoja na mwishowe kuleta amani.
Ndoa za mseto ikiwa mbinu mwafaka ya pili ya kuleta umoja nchini. Mbinu hii itazuia vurugu na kuleta mshikamano na maendeleo si haba kwa kuwa mtu akioa kutoka jamii tofauti na yake ataendeleza urafiki wa jamii hizo mbili na hivyo kuwaleta pamoja na amani kuwepo.
Tatu ni serikali kushughulisha wananchi katika shughuli za ujenzi. Mfano ni katika ujenzi wa barabara, serikali itoe zabuni na kuwapa bila kubagua wala kuchagua. Pia katika ujenzi wa madarasa shuleni, daraja na kadhalika, hivyo watu wa maeneo mbali mbali wataungana kazini na kuleta umoja.
Nne ni wafanyakazi wa umma kuhamishwa maeneo tofauti tofauti na kufanya kazi na bila kukagua jamii na kuwahudumia wananchi wote wa tabaka zote ili kuleta umoja.
Tano ni kufanya usawa katika vyeo kazini. Hii kuwachagua wote waliohitimu kwa kufanya yao bila ya purukushani na bila kupendelea ukoo, kabila ama jamii fulani juu la lingine, hii italeta umoja ofisini na pahala pengine pote na wote watakuwa na umoja wa kufanya kazi na hivyo kuleta umoja nchini na maendeleo pia.
Sita ni kuhimiza vilabu na michezo pamoja na tamasha. Hapa wachezaji, wanariadha na wengi wengineo watawasili ili kuonyesha ubingwa wao hivyo basi watu wengi watafika na kujumuika kutoka maeneo mbali mbali na hivyo kuleta umoja.
Saba ni kukandamiza na kuwashtaki wanasiasa wanaowagawanya watu kisiasa, kimaendeleo, kiuchumi na kijamii na hivyo watu watabaki kuwa kitu kimoja kama taifa na kuendelea kushirikiana katika maendeleo.
Mwisho kabisa ni kuwahimiza wananchi wenyewe kujitolea mhanga kupigania umoja wao bila ya kujali kitu chochote na kuwapa wananchi elimu juu ya kuimarisha umoja na faida zake, hivyo kuendeleza umoja na amani na kuleta maendeleo. | Serekali inafaa kushugulikia sekta ipi nchini? | {
"text": [
"Ujenzi"
]
} |
1827_swa | NJIA YA KUIMARISHA UMOJA NCHINI
Hali ya amani lazima idumishwe na kudumishwa kwake lazima wananchi wawe na umoja. Jambo la kwanza ili kudumisha umoja nchini ni usawa wa mgawo wa rasilimali za nchi. Hili litafuta utabaka na pahali mtu anaishi kwa kuwa kila mtu atapata kiwango sawa na hivyo kusawazisha umoja na mwishowe kuleta amani.
Ndoa za mseto ikiwa mbinu mwafaka ya pili ya kuleta umoja nchini. Mbinu hii itazuia vurugu na kuleta mshikamano na maendeleo si haba kwa kuwa mtu akioa kutoka jamii tofauti na yake ataendeleza urafiki wa jamii hizo mbili na hivyo kuwaleta pamoja na amani kuwepo.
Tatu ni serikali kushughulisha wananchi katika shughuli za ujenzi. Mfano ni katika ujenzi wa barabara, serikali itoe zabuni na kuwapa bila kubagua wala kuchagua. Pia katika ujenzi wa madarasa shuleni, daraja na kadhalika, hivyo watu wa maeneo mbali mbali wataungana kazini na kuleta umoja.
Nne ni wafanyakazi wa umma kuhamishwa maeneo tofauti tofauti na kufanya kazi na bila kukagua jamii na kuwahudumia wananchi wote wa tabaka zote ili kuleta umoja.
Tano ni kufanya usawa katika vyeo kazini. Hii kuwachagua wote waliohitimu kwa kufanya yao bila ya purukushani na bila kupendelea ukoo, kabila ama jamii fulani juu la lingine, hii italeta umoja ofisini na pahala pengine pote na wote watakuwa na umoja wa kufanya kazi na hivyo kuleta umoja nchini na maendeleo pia.
Sita ni kuhimiza vilabu na michezo pamoja na tamasha. Hapa wachezaji, wanariadha na wengi wengineo watawasili ili kuonyesha ubingwa wao hivyo basi watu wengi watafika na kujumuika kutoka maeneo mbali mbali na hivyo kuleta umoja.
Saba ni kukandamiza na kuwashtaki wanasiasa wanaowagawanya watu kisiasa, kimaendeleo, kiuchumi na kijamii na hivyo watu watabaki kuwa kitu kimoja kama taifa na kuendelea kushirikiana katika maendeleo.
Mwisho kabisa ni kuwahimiza wananchi wenyewe kujitolea mhanga kupigania umoja wao bila ya kujali kitu chochote na kuwapa wananchi elimu juu ya kuimarisha umoja na faida zake, hivyo kuendeleza umoja na amani na kuleta maendeleo. | Usawa kazini utaimarisha nini nchini? | {
"text": [
"Umoja"
]
} |
1827_swa | NJIA YA KUIMARISHA UMOJA NCHINI
Hali ya amani lazima idumishwe na kudumishwa kwake lazima wananchi wawe na umoja. Jambo la kwanza ili kudumisha umoja nchini ni usawa wa mgawo wa rasilimali za nchi. Hili litafuta utabaka na pahali mtu anaishi kwa kuwa kila mtu atapata kiwango sawa na hivyo kusawazisha umoja na mwishowe kuleta amani.
Ndoa za mseto ikiwa mbinu mwafaka ya pili ya kuleta umoja nchini. Mbinu hii itazuia vurugu na kuleta mshikamano na maendeleo si haba kwa kuwa mtu akioa kutoka jamii tofauti na yake ataendeleza urafiki wa jamii hizo mbili na hivyo kuwaleta pamoja na amani kuwepo.
Tatu ni serikali kushughulisha wananchi katika shughuli za ujenzi. Mfano ni katika ujenzi wa barabara, serikali itoe zabuni na kuwapa bila kubagua wala kuchagua. Pia katika ujenzi wa madarasa shuleni, daraja na kadhalika, hivyo watu wa maeneo mbali mbali wataungana kazini na kuleta umoja.
Nne ni wafanyakazi wa umma kuhamishwa maeneo tofauti tofauti na kufanya kazi na bila kukagua jamii na kuwahudumia wananchi wote wa tabaka zote ili kuleta umoja.
Tano ni kufanya usawa katika vyeo kazini. Hii kuwachagua wote waliohitimu kwa kufanya yao bila ya purukushani na bila kupendelea ukoo, kabila ama jamii fulani juu la lingine, hii italeta umoja ofisini na pahala pengine pote na wote watakuwa na umoja wa kufanya kazi na hivyo kuleta umoja nchini na maendeleo pia.
Sita ni kuhimiza vilabu na michezo pamoja na tamasha. Hapa wachezaji, wanariadha na wengi wengineo watawasili ili kuonyesha ubingwa wao hivyo basi watu wengi watafika na kujumuika kutoka maeneo mbali mbali na hivyo kuleta umoja.
Saba ni kukandamiza na kuwashtaki wanasiasa wanaowagawanya watu kisiasa, kimaendeleo, kiuchumi na kijamii na hivyo watu watabaki kuwa kitu kimoja kama taifa na kuendelea kushirikiana katika maendeleo.
Mwisho kabisa ni kuwahimiza wananchi wenyewe kujitolea mhanga kupigania umoja wao bila ya kujali kitu chochote na kuwapa wananchi elimu juu ya kuimarisha umoja na faida zake, hivyo kuendeleza umoja na amani na kuleta maendeleo. | Sanaa ipi inaweza imarisha umoja nchini? | {
"text": [
"Michezo miongoni mwa vijana"
]
} |
1829_swa | JINSI UMASKINI NI KIZINGITI CHA MAENDELEO NCHINI NA MBINU ZA KUKABILIANA NAYO.
Umaskini unachangiwa nchini kwa njia tofauti tofauti. Njia mojawapo ni mikopo kutoka nchi zilizoendelea. Hii inafanya nchi kukosa maendeleo kwa kuwa mikopo hiyo hutumika kufadhili miradi ambayo haileti faida kwa nchi. Pia pesa zinazozalishwa na uchumi wa nchi zinatumika kulipa mikopo, hivyo basi nchi kubaki tu pale pale, bila maendeleo. Umaskini pia unasababisha nchi kuwa fukara, kwani fedha nyingi zinatumika kushughulikia magonjwa, kama vile Ukimwi.
Kuna hatua mbalimbali ambazo nchi inafaa kutekeleza, kuanzia kwa viongozi wakuu hadi kwa wananchi. Mojawapo ya hatua hizi ni serikali kuu na hata ya kaunti kupanua nyanja za kazi, hasa kwa vijana. Hii itapunguza maadili mabaya katika jamii kwa mfano, ukahaba ambao husababisha magonjwa mwishowe.
Hatua ya pili ni taifa kupunguza mikopo, na hata ikikopa, fedha hizo zitumike kujenga na kuendeleza nchi. Mikopo ikipunguzwa, itawezesha nchi kupiga hatua za maendeleo na hivyo kujikwamua kutoka kwa umaskini. Sisemi kuwa hii itakuwa tu kwa mpigo, ni polepole na kidogo kidogo, kibaba kitajaa.
Mbinu nyingine ya kujitoa katika lindi la umaskini ni serikali iwajibike katika kuwachukulia hatua wanaotumia mali ya umma kwa manufaa yao. Hatua hii ichukuliwe kwa viongozi wakuu wanaofuja mali ya umma na kujikidhia haki za nyoyo zao. Viongozi wawajibike katika vyeo vyao na watimize ahadi walizohaidi wakati wa kampeni, kwani ni deni kwa wananchi. Pia serikali itumie kodi kujenga pale palipo na kasoro nchini kama vile, kuwapa walahoi mikopo ya kuanzisha biashara zao ndogo ndogo na kujiendeleza.
Usadi ni tatizo lingine sugu ambalo husababisha umaskini nchini. Wananchi wote tushikane mikono na tupinge ufisadi. Tupigane na ufisadi kwa udi na uvumba na kwa pamoja tutafaulu, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Pesa za nchi zisiwe tu kwa baadhi ya wananchi, ilhali wengine wanalia njaa.
Nawarai wananchi wote tuungane pamoja kupigana na jinamizi hili la umaskini na yote yanawezekana, kwa kujidhibiti vilivyo kutokana na hoja zilizotajwa. Tuwe wenye bidii ya mchwa na wenye kuvumilia kwani tutakula mbivu. Tuseme hapana kwa umaskini. | Nini huchangia umaskini | {
"text": [
"Mikopo"
]
} |
1829_swa | JINSI UMASKINI NI KIZINGITI CHA MAENDELEO NCHINI NA MBINU ZA KUKABILIANA NAYO.
Umaskini unachangiwa nchini kwa njia tofauti tofauti. Njia mojawapo ni mikopo kutoka nchi zilizoendelea. Hii inafanya nchi kukosa maendeleo kwa kuwa mikopo hiyo hutumika kufadhili miradi ambayo haileti faida kwa nchi. Pia pesa zinazozalishwa na uchumi wa nchi zinatumika kulipa mikopo, hivyo basi nchi kubaki tu pale pale, bila maendeleo. Umaskini pia unasababisha nchi kuwa fukara, kwani fedha nyingi zinatumika kushughulikia magonjwa, kama vile Ukimwi.
Kuna hatua mbalimbali ambazo nchi inafaa kutekeleza, kuanzia kwa viongozi wakuu hadi kwa wananchi. Mojawapo ya hatua hizi ni serikali kuu na hata ya kaunti kupanua nyanja za kazi, hasa kwa vijana. Hii itapunguza maadili mabaya katika jamii kwa mfano, ukahaba ambao husababisha magonjwa mwishowe.
Hatua ya pili ni taifa kupunguza mikopo, na hata ikikopa, fedha hizo zitumike kujenga na kuendeleza nchi. Mikopo ikipunguzwa, itawezesha nchi kupiga hatua za maendeleo na hivyo kujikwamua kutoka kwa umaskini. Sisemi kuwa hii itakuwa tu kwa mpigo, ni polepole na kidogo kidogo, kibaba kitajaa.
Mbinu nyingine ya kujitoa katika lindi la umaskini ni serikali iwajibike katika kuwachukulia hatua wanaotumia mali ya umma kwa manufaa yao. Hatua hii ichukuliwe kwa viongozi wakuu wanaofuja mali ya umma na kujikidhia haki za nyoyo zao. Viongozi wawajibike katika vyeo vyao na watimize ahadi walizohaidi wakati wa kampeni, kwani ni deni kwa wananchi. Pia serikali itumie kodi kujenga pale palipo na kasoro nchini kama vile, kuwapa walahoi mikopo ya kuanzisha biashara zao ndogo ndogo na kujiendeleza.
Usadi ni tatizo lingine sugu ambalo husababisha umaskini nchini. Wananchi wote tushikane mikono na tupinge ufisadi. Tupigane na ufisadi kwa udi na uvumba na kwa pamoja tutafaulu, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Pesa za nchi zisiwe tu kwa baadhi ya wananchi, ilhali wengine wanalia njaa.
Nawarai wananchi wote tuungane pamoja kupigana na jinamizi hili la umaskini na yote yanawezekana, kwa kujidhibiti vilivyo kutokana na hoja zilizotajwa. Tuwe wenye bidii ya mchwa na wenye kuvumilia kwani tutakula mbivu. Tuseme hapana kwa umaskini. | Nyanja za kazi zinafaa kupanuliwa kwa kina nani | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
1829_swa | JINSI UMASKINI NI KIZINGITI CHA MAENDELEO NCHINI NA MBINU ZA KUKABILIANA NAYO.
Umaskini unachangiwa nchini kwa njia tofauti tofauti. Njia mojawapo ni mikopo kutoka nchi zilizoendelea. Hii inafanya nchi kukosa maendeleo kwa kuwa mikopo hiyo hutumika kufadhili miradi ambayo haileti faida kwa nchi. Pia pesa zinazozalishwa na uchumi wa nchi zinatumika kulipa mikopo, hivyo basi nchi kubaki tu pale pale, bila maendeleo. Umaskini pia unasababisha nchi kuwa fukara, kwani fedha nyingi zinatumika kushughulikia magonjwa, kama vile Ukimwi.
Kuna hatua mbalimbali ambazo nchi inafaa kutekeleza, kuanzia kwa viongozi wakuu hadi kwa wananchi. Mojawapo ya hatua hizi ni serikali kuu na hata ya kaunti kupanua nyanja za kazi, hasa kwa vijana. Hii itapunguza maadili mabaya katika jamii kwa mfano, ukahaba ambao husababisha magonjwa mwishowe.
Hatua ya pili ni taifa kupunguza mikopo, na hata ikikopa, fedha hizo zitumike kujenga na kuendeleza nchi. Mikopo ikipunguzwa, itawezesha nchi kupiga hatua za maendeleo na hivyo kujikwamua kutoka kwa umaskini. Sisemi kuwa hii itakuwa tu kwa mpigo, ni polepole na kidogo kidogo, kibaba kitajaa.
Mbinu nyingine ya kujitoa katika lindi la umaskini ni serikali iwajibike katika kuwachukulia hatua wanaotumia mali ya umma kwa manufaa yao. Hatua hii ichukuliwe kwa viongozi wakuu wanaofuja mali ya umma na kujikidhia haki za nyoyo zao. Viongozi wawajibike katika vyeo vyao na watimize ahadi walizohaidi wakati wa kampeni, kwani ni deni kwa wananchi. Pia serikali itumie kodi kujenga pale palipo na kasoro nchini kama vile, kuwapa walahoi mikopo ya kuanzisha biashara zao ndogo ndogo na kujiendeleza.
Usadi ni tatizo lingine sugu ambalo husababisha umaskini nchini. Wananchi wote tushikane mikono na tupinge ufisadi. Tupigane na ufisadi kwa udi na uvumba na kwa pamoja tutafaulu, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Pesa za nchi zisiwe tu kwa baadhi ya wananchi, ilhali wengine wanalia njaa.
Nawarai wananchi wote tuungane pamoja kupigana na jinamizi hili la umaskini na yote yanawezekana, kwa kujidhibiti vilivyo kutokana na hoja zilizotajwa. Tuwe wenye bidii ya mchwa na wenye kuvumilia kwani tutakula mbivu. Tuseme hapana kwa umaskini. | Nini iwajibike kuwachukulia hatua wanaotumia mali ya umma | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
1829_swa | JINSI UMASKINI NI KIZINGITI CHA MAENDELEO NCHINI NA MBINU ZA KUKABILIANA NAYO.
Umaskini unachangiwa nchini kwa njia tofauti tofauti. Njia mojawapo ni mikopo kutoka nchi zilizoendelea. Hii inafanya nchi kukosa maendeleo kwa kuwa mikopo hiyo hutumika kufadhili miradi ambayo haileti faida kwa nchi. Pia pesa zinazozalishwa na uchumi wa nchi zinatumika kulipa mikopo, hivyo basi nchi kubaki tu pale pale, bila maendeleo. Umaskini pia unasababisha nchi kuwa fukara, kwani fedha nyingi zinatumika kushughulikia magonjwa, kama vile Ukimwi.
Kuna hatua mbalimbali ambazo nchi inafaa kutekeleza, kuanzia kwa viongozi wakuu hadi kwa wananchi. Mojawapo ya hatua hizi ni serikali kuu na hata ya kaunti kupanua nyanja za kazi, hasa kwa vijana. Hii itapunguza maadili mabaya katika jamii kwa mfano, ukahaba ambao husababisha magonjwa mwishowe.
Hatua ya pili ni taifa kupunguza mikopo, na hata ikikopa, fedha hizo zitumike kujenga na kuendeleza nchi. Mikopo ikipunguzwa, itawezesha nchi kupiga hatua za maendeleo na hivyo kujikwamua kutoka kwa umaskini. Sisemi kuwa hii itakuwa tu kwa mpigo, ni polepole na kidogo kidogo, kibaba kitajaa.
Mbinu nyingine ya kujitoa katika lindi la umaskini ni serikali iwajibike katika kuwachukulia hatua wanaotumia mali ya umma kwa manufaa yao. Hatua hii ichukuliwe kwa viongozi wakuu wanaofuja mali ya umma na kujikidhia haki za nyoyo zao. Viongozi wawajibike katika vyeo vyao na watimize ahadi walizohaidi wakati wa kampeni, kwani ni deni kwa wananchi. Pia serikali itumie kodi kujenga pale palipo na kasoro nchini kama vile, kuwapa walahoi mikopo ya kuanzisha biashara zao ndogo ndogo na kujiendeleza.
Usadi ni tatizo lingine sugu ambalo husababisha umaskini nchini. Wananchi wote tushikane mikono na tupinge ufisadi. Tupigane na ufisadi kwa udi na uvumba na kwa pamoja tutafaulu, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Pesa za nchi zisiwe tu kwa baadhi ya wananchi, ilhali wengine wanalia njaa.
Nawarai wananchi wote tuungane pamoja kupigana na jinamizi hili la umaskini na yote yanawezekana, kwa kujidhibiti vilivyo kutokana na hoja zilizotajwa. Tuwe wenye bidii ya mchwa na wenye kuvumilia kwani tutakula mbivu. Tuseme hapana kwa umaskini. | Tupigane na nini kwa jino na ukucha | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
1829_swa | JINSI UMASKINI NI KIZINGITI CHA MAENDELEO NCHINI NA MBINU ZA KUKABILIANA NAYO.
Umaskini unachangiwa nchini kwa njia tofauti tofauti. Njia mojawapo ni mikopo kutoka nchi zilizoendelea. Hii inafanya nchi kukosa maendeleo kwa kuwa mikopo hiyo hutumika kufadhili miradi ambayo haileti faida kwa nchi. Pia pesa zinazozalishwa na uchumi wa nchi zinatumika kulipa mikopo, hivyo basi nchi kubaki tu pale pale, bila maendeleo. Umaskini pia unasababisha nchi kuwa fukara, kwani fedha nyingi zinatumika kushughulikia magonjwa, kama vile Ukimwi.
Kuna hatua mbalimbali ambazo nchi inafaa kutekeleza, kuanzia kwa viongozi wakuu hadi kwa wananchi. Mojawapo ya hatua hizi ni serikali kuu na hata ya kaunti kupanua nyanja za kazi, hasa kwa vijana. Hii itapunguza maadili mabaya katika jamii kwa mfano, ukahaba ambao husababisha magonjwa mwishowe.
Hatua ya pili ni taifa kupunguza mikopo, na hata ikikopa, fedha hizo zitumike kujenga na kuendeleza nchi. Mikopo ikipunguzwa, itawezesha nchi kupiga hatua za maendeleo na hivyo kujikwamua kutoka kwa umaskini. Sisemi kuwa hii itakuwa tu kwa mpigo, ni polepole na kidogo kidogo, kibaba kitajaa.
Mbinu nyingine ya kujitoa katika lindi la umaskini ni serikali iwajibike katika kuwachukulia hatua wanaotumia mali ya umma kwa manufaa yao. Hatua hii ichukuliwe kwa viongozi wakuu wanaofuja mali ya umma na kujikidhia haki za nyoyo zao. Viongozi wawajibike katika vyeo vyao na watimize ahadi walizohaidi wakati wa kampeni, kwani ni deni kwa wananchi. Pia serikali itumie kodi kujenga pale palipo na kasoro nchini kama vile, kuwapa walahoi mikopo ya kuanzisha biashara zao ndogo ndogo na kujiendeleza.
Usadi ni tatizo lingine sugu ambalo husababisha umaskini nchini. Wananchi wote tushikane mikono na tupinge ufisadi. Tupigane na ufisadi kwa udi na uvumba na kwa pamoja tutafaulu, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Pesa za nchi zisiwe tu kwa baadhi ya wananchi, ilhali wengine wanalia njaa.
Nawarai wananchi wote tuungane pamoja kupigana na jinamizi hili la umaskini na yote yanawezekana, kwa kujidhibiti vilivyo kutokana na hoja zilizotajwa. Tuwe wenye bidii ya mchwa na wenye kuvumilia kwani tutakula mbivu. Tuseme hapana kwa umaskini. | Wananchi wataungana kupigana na nini | {
"text": [
"Janga la umaskini"
]
} |
1830_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA.
Katika miongo miwili ambayo imeweza kupita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje.
Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhalika ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Murgu kuwajalia Wakenya, Eliud Kipchoge pamoja na wenzake wanaenda kungarisha jina la Kenya kule nje. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii ni kongole kwake na wengine.
Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbali mbali na kama ni timu, basi wadhamini timu mbalimbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea wawekezaji hawa pesa mingi wapo wataweza kuwapa mafunzo muhimu. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga.
Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa katika sekta zozote zile. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao pia wanapofanyiwa mazuri pia hao watang'ang'ana ili walete mazuri.
Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujavitunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani.
Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujawezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu unyama wa hali ya juu. Misri ilweza kuwakodishia hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku itakayofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu.
Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi hasa mashinani, za michezo. Michezo ya wanakandanda na wacheza wa umri mdogo yafaa iweze kuhudumiwa. Watoto walio na talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kukuza talanta zaidi wanapozidi kukua.
Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika sekta hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarufu zaidi. | Kenya hutegemea nini kupeperusha bendera Ughaibuni | {
"text": [
"michezo"
]
} |
1830_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA.
Katika miongo miwili ambayo imeweza kupita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje.
Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhalika ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Murgu kuwajalia Wakenya, Eliud Kipchoge pamoja na wenzake wanaenda kungarisha jina la Kenya kule nje. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii ni kongole kwake na wengine.
Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbali mbali na kama ni timu, basi wadhamini timu mbalimbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea wawekezaji hawa pesa mingi wapo wataweza kuwapa mafunzo muhimu. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga.
Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa katika sekta zozote zile. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao pia wanapofanyiwa mazuri pia hao watang'ang'ana ili walete mazuri.
Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujavitunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani.
Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujawezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu unyama wa hali ya juu. Misri ilweza kuwakodishia hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku itakayofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu.
Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi hasa mashinani, za michezo. Michezo ya wanakandanda na wacheza wa umri mdogo yafaa iweze kuhudumiwa. Watoto walio na talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kukuza talanta zaidi wanapozidi kukua.
Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika sekta hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarufu zaidi. | Mashabiki wanafaa kushabikia timu gani | {
"text": [
"za nyumbani"
]
} |
1830_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA.
Katika miongo miwili ambayo imeweza kupita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje.
Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhalika ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Murgu kuwajalia Wakenya, Eliud Kipchoge pamoja na wenzake wanaenda kungarisha jina la Kenya kule nje. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii ni kongole kwake na wengine.
Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbali mbali na kama ni timu, basi wadhamini timu mbalimbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea wawekezaji hawa pesa mingi wapo wataweza kuwapa mafunzo muhimu. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga.
Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa katika sekta zozote zile. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao pia wanapofanyiwa mazuri pia hao watang'ang'ana ili walete mazuri.
Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujavitunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani.
Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujawezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu unyama wa hali ya juu. Misri ilweza kuwakodishia hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku itakayofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu.
Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi hasa mashinani, za michezo. Michezo ya wanakandanda na wacheza wa umri mdogo yafaa iweze kuhudumiwa. Watoto walio na talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kukuza talanta zaidi wanapozidi kukua.
Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika sekta hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarufu zaidi. | Nani alivunja rekodi ya dunia | {
"text": [
"Eliud Kipchoge"
]
} |
1830_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA.
Katika miongo miwili ambayo imeweza kupita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje.
Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhalika ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Murgu kuwajalia Wakenya, Eliud Kipchoge pamoja na wenzake wanaenda kungarisha jina la Kenya kule nje. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii ni kongole kwake na wengine.
Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbali mbali na kama ni timu, basi wadhamini timu mbalimbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea wawekezaji hawa pesa mingi wapo wataweza kuwapa mafunzo muhimu. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga.
Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa katika sekta zozote zile. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao pia wanapofanyiwa mazuri pia hao watang'ang'ana ili walete mazuri.
Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujavitunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani.
Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujawezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu unyama wa hali ya juu. Misri ilweza kuwakodishia hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku itakayofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu.
Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi hasa mashinani, za michezo. Michezo ya wanakandanda na wacheza wa umri mdogo yafaa iweze kuhudumiwa. Watoto walio na talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kukuza talanta zaidi wanapozidi kukua.
Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika sekta hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarufu zaidi. | Lini wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri | {
"text": [
"mwaka jana"
]
} |
1830_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA.
Katika miongo miwili ambayo imeweza kupita, michezo nchini Kenya imedidimia. Hili limeweza kushuhudiwa haswa na wapenzi wa soka, riadha na michezo yote kwa jumla. Kenya imekuwa inategemea michezo ili kupeperusha bendera yetu kule ughaibuni. Hakika, huwa furaha tele kwa wananchi wa Kenya kwa kuona bendera yao na wimbo wa taifa ukiimbwa kule kwenye mataifa ya nje.
Licha ya kudidimia huku, pia kuna mafanikio kadhalika ambayo yameweza kuonekana. Njia ya spoti za Kenya imeweza kufunguka. Anga imeweza kung’aa. Baada ya Murgu kuwajalia Wakenya, Eliud Kipchoge pamoja na wenzake wanaenda kungarisha jina la Kenya kule nje. Mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, Kipchoge alivunja rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa muda mfupi sana na kumwachia mwenzake masaa marefu mno kabla ya kumfikia. Hii ni kongole kwake na wengine.
Kwanza, viwanda vya kudhamini michezo lazima viweze kujitokeza ili kudhamini wachezaji mbali mbali na kama ni timu, basi wadhamini timu mbalimbali. Hii itasaidia wachezaji hawa kwa kuwapa hela za matumizi katika safari zao kwenye michezo yoyote ile. Hii itawaletea wawekezaji hawa pesa mingi wapo wataweza kuwapa mafunzo muhimu. Pili, mchezaji au timu inayodhaminiwa lazima itafutiwe mkufunzi mzuri ambaye ni hodari kwa maswala ya michezo. Mchezaji huyu au timu hiyo yafaa ipate mafunzo zaidi na wawe wa kujitolea mhanga.
Viwanja vya michezo vinafaa kujengwa na kuimarishwa katika sekta zozote zile. Viwanja vyenyewe viweze kuwakinga wachezaji na mashabiki. Wao pia wanapofanyiwa mazuri pia hao watang'ang'ana ili walete mazuri.
Mashabiki kwa upande mwingine pia yafaa waweze kushabikia timu za nyumbani kabla ya kuvuka mipaka na kuenda Uingereza, Ureno, Ujerumani, Italia na Uhispania. Sio kwamba hawafai kuwa mashabiki huko, lakini hata ni dhahiri kuwa vitunze vyako kabla hujavitunza vya jirani. Lazima tusherehekee wa hapa kwetu kabla hatujasherehekea kwa jirani.
Viwanda vya kujenga buti za kandanda viweze kuongezwa ili wachezaji wapate mavazi bora. Jezi pia zafaa zinunuliwe wachezaji wetu. Kenya inaweza haya yote isipokuwa wachache wanaojiweza wanatumia uwezo wa wasiojiweza ili kujawezesha. Kumbuka mwaka jana, wachezaji wa Kenya walilala nje kule Misri. Hakika huu unyama wa hali ya juu. Misri ilweza kuwakodishia hoteli moja ile waweze kupumzika kabla ya kuingia uwanjani siku itakayofuata. Huu ni ukatili wa hali ya juu.
Lazima serikali kuu ya Kenya iweze kusaidia na kubuni talanta mingi hasa mashinani, za michezo. Michezo ya wanakandanda na wacheza wa umri mdogo yafaa iweze kuhudumiwa. Watoto walio na talanta wapewe nafasi na hakika wataweza kukuza talanta zaidi wanapozidi kukua.
Hivyo, Kenya itaweza kufaulu michezoni. Kenya itaimarika katika sekta hii ya spoti. Wachezaji hawatahitaji hata umaarufu zaidi. | Mbona viwanda vya kutengeneza buti za kandanda ziongezwe | {
"text": [
"ili wachezaji wapate mavazi bora"
]
} |
1832_swa | JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kufanywa lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hili, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia, kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii, watapata misamiati ya kiswahili ambayo itaipanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo.
Pili, katika shuleni au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufaywa kiwe somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu kwani wale wanaosomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita kwa kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine ili watalii wanaopenda lugha hii waje na kujifunza mengi.
Tatu, Kiswahili kinaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuuza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea pole pole hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika nchi zingine.
Nne,serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kutenga siku fulani za kuzungumza kiswahili. Kwa hivyo, italeta ushirikiano na pia sera za lugha kupitishwa naa hivyo baasi lugha kukua.
La nne, lugha inaweza kuimarishwa kwa kukuza talanta ya vijana kwa kuwaruhusu kujiunga kwa tamasha za muziki, hotuba kwa kiswahili, michezo mbali mbali kama vile kandanda, pia kujiunga na kongamano za kiswahili.
Kumalizia, Kiswahili kinaweza kukuzwa kwa kufanywa kuwa mojaowapo wa lugha zinazotumika maabudini. Hili llitaleta ushirikiano baina ya wakristo na hata kuweza kukuza maarifa yao. | Lugha ya utangazaji nchini Kenya ni ipi? | {
"text": [
"Kiswahili"
]
} |
1832_swa | JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kufanywa lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hili, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia, kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii, watapata misamiati ya kiswahili ambayo itaipanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo.
Pili, katika shuleni au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufaywa kiwe somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu kwani wale wanaosomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita kwa kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine ili watalii wanaopenda lugha hii waje na kujifunza mengi.
Tatu, Kiswahili kinaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuuza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea pole pole hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika nchi zingine.
Nne,serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kutenga siku fulani za kuzungumza kiswahili. Kwa hivyo, italeta ushirikiano na pia sera za lugha kupitishwa naa hivyo baasi lugha kukua.
La nne, lugha inaweza kuimarishwa kwa kukuza talanta ya vijana kwa kuwaruhusu kujiunga kwa tamasha za muziki, hotuba kwa kiswahili, michezo mbali mbali kama vile kandanda, pia kujiunga na kongamano za kiswahili.
Kumalizia, Kiswahili kinaweza kukuzwa kwa kufanywa kuwa mojaowapo wa lugha zinazotumika maabudini. Hili llitaleta ushirikiano baina ya wakristo na hata kuweza kukuza maarifa yao. | Maneno mapya katika lugha ya Kiswahili huitwaje? | {
"text": [
"Misamiati"
]
} |
1832_swa | JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kufanywa lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hili, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia, kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii, watapata misamiati ya kiswahili ambayo itaipanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo.
Pili, katika shuleni au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufaywa kiwe somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu kwani wale wanaosomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita kwa kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine ili watalii wanaopenda lugha hii waje na kujifunza mengi.
Tatu, Kiswahili kinaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuuza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea pole pole hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika nchi zingine.
Nne,serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kutenga siku fulani za kuzungumza kiswahili. Kwa hivyo, italeta ushirikiano na pia sera za lugha kupitishwa naa hivyo baasi lugha kukua.
La nne, lugha inaweza kuimarishwa kwa kukuza talanta ya vijana kwa kuwaruhusu kujiunga kwa tamasha za muziki, hotuba kwa kiswahili, michezo mbali mbali kama vile kandanda, pia kujiunga na kongamano za kiswahili.
Kumalizia, Kiswahili kinaweza kukuzwa kwa kufanywa kuwa mojaowapo wa lugha zinazotumika maabudini. Hili llitaleta ushirikiano baina ya wakristo na hata kuweza kukuza maarifa yao. | Nini huimarisha Kiswahili katika jamii? | {
"text": [
"Uandishi"
]
} |
1832_swa | JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kufanywa lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hili, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia, kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii, watapata misamiati ya kiswahili ambayo itaipanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo.
Pili, katika shuleni au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufaywa kiwe somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu kwani wale wanaosomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita kwa kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine ili watalii wanaopenda lugha hii waje na kujifunza mengi.
Tatu, Kiswahili kinaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuuza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea pole pole hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika nchi zingine.
Nne,serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kutenga siku fulani za kuzungumza kiswahili. Kwa hivyo, italeta ushirikiano na pia sera za lugha kupitishwa naa hivyo baasi lugha kukua.
La nne, lugha inaweza kuimarishwa kwa kukuza talanta ya vijana kwa kuwaruhusu kujiunga kwa tamasha za muziki, hotuba kwa kiswahili, michezo mbali mbali kama vile kandanda, pia kujiunga na kongamano za kiswahili.
Kumalizia, Kiswahili kinaweza kukuzwa kwa kufanywa kuwa mojaowapo wa lugha zinazotumika maabudini. Hili llitaleta ushirikiano baina ya wakristo na hata kuweza kukuza maarifa yao. | Vijana wanaweza kuza Kiswahili kupitia nini? | {
"text": [
"Talanta"
]
} |
1832_swa | JINSI YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Lugha ya Kiswahili inaweza kuimarishwa kwa kufanywa lugha mojawapo ya utangazaji katika vituo vya habari. Kupitia kwa hili, lugha ya Kiswahili itaenezwa nchini na hata ulimwenguni. Hivyo basi kuwaleta wananchi pamoja kupitia kwa lugha hii. Pia, kwa wale wanaotaka kujikita katika lugha hii, watapata misamiati ya kiswahili ambayo itaipanua lugha kwa kuwaleta waswahili kwenye vituo hivyo.
Pili, katika shuleni au vyuo vyote vya elimu, kiswahili kinaweza kuenezwa kwa kufaywa kiwe somo. Hivyo basi, kiswahili kitakua kielimu kwani wale wanaosomea na kuhitimu vyema wanaweza kujikita kwa kufunza kiswahili vyuoni hata katika nchi zingine ili watalii wanaopenda lugha hii waje na kujifunza mengi.
Tatu, Kiswahili kinaweza kuimarishwa kwa kawahimiza waandishi wa makala kuandika hadithi za kiswahili na kuuza. Kwa hivyo, vitabu hivi vitasomwa na ulimwengu huku lugha ikienea pole pole hadi kuwa lugha bora zaidi na kuchaguliwa kuwa lugha ya taifa katika nchi zingine.
Nne,serikali inaweza kuweka mikakati ambayo itahimiza lugha ya kiswahili kwa kutenga siku fulani za kuzungumza kiswahili. Kwa hivyo, italeta ushirikiano na pia sera za lugha kupitishwa naa hivyo baasi lugha kukua.
La nne, lugha inaweza kuimarishwa kwa kukuza talanta ya vijana kwa kuwaruhusu kujiunga kwa tamasha za muziki, hotuba kwa kiswahili, michezo mbali mbali kama vile kandanda, pia kujiunga na kongamano za kiswahili.
Kumalizia, Kiswahili kinaweza kukuzwa kwa kufanywa kuwa mojaowapo wa lugha zinazotumika maabudini. Hili llitaleta ushirikiano baina ya wakristo na hata kuweza kukuza maarifa yao. | Kitabu kipi katika makanisa kinakuza lugha ya Kiswahili? | {
"text": [
"Biblia ambacho hutumika kila Jumapili"
]
} |
1833_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni lugha fanisi na yenye ufasaha ambayo inatumiwa na watu wengi duniani katika mazungumzo ya moja kwa moja. Mwanzo, kiswahili chaweza kuimarishwa iwapo serikali ya Kenya na ya nchi zingine zitaongeza makala ya kiswahili, kwa mfano vitabu, riwaya na kamusi vyuoni ambapo wanafunzi wanaweza kusoma na kuelewa kiswahili vyema. Hii itawapa uwezo
wa kubuni mazungumzo yao na pia katika ubunifu wa insha z??.
Pili, serikali ya Kenya na ulimwenguni yafaa kuongeza idadi ya walimu wa kiswahili vyuoni ambao wataweza kuwapanua wanafunzi kiakili na pia kuwafunza jinsi ya kuainisha, kubainisha, kuyakinisha maneno na sentensi mbalimbali za kiswahili. Hili litawafanya waweze kuelewa jinsi maneno mbalimbali yanatumiwa katika sentensi na hata kuweza kuepuka makosa madogo madogo ya usanifikishaji.
Tatu, serikali ya Kenya inafaa iadhimishe siku ya kiswahili, pale ambapo watu wa asili na fasili mbalimbali wanaweza kutangamana na kuzungumza Kiswahili kwa ubunifu na ufasaha na hivi ukuzaji na uzungumzaji wa kiswahili utaimarika.
Nne, serikali yafaa itengee nyanja ya elimu pesa za kuweza kuwaalika waandishi pamoja na mabingwa wa kiswahili kuja shuleni na kuweza kuwashauri na kuwaelekeza wanafunzi jinsi ya kukikuza kiswahili na kukizungumza. Hii itawawezesha wanafunzi kuyaandika maneno sahihi ya kiswahili na pia kubunisha uandishi wa insha.
Tano, serikali ya Kenya yafaa itumie kiswahili katika matangazo redioni na televisheni pale ambapo watangazaji watatangaza habari zinazochipuka katika lugha ya kiswahili. Hivyo basi, wananchi wengi watakuwa na hamu ya kukijua kiswahili na pia katika kukizungumza.
Sita, sera ya lugha yafaa iangaliwe pale ambapo serikali itakiteua kiswahili kama lugha ya taifa na ya kutumika katika nyanja mbalimbali kwa mfano hospitalini, pale ambapo mazungumzo baina ya mgonjwa na daktari yatakuwa ya Kiswahili.
Saba, serikali kuweza kuandika haki za watu zilizo katika katiba kwa lugha ya kiswahili. Hivi basi watu watasoma sheria hizo kwa urefu na kwa mapana na kuweza kuelewa majukumu yao. Hivyo basi, watu wote watataka kuzungumza lugha ya kiswahili na pia kuweza kuisoma vyema. | Kiswahili ni nini | {
"text": [
"lugha fanisi"
]
} |
1833_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni lugha fanisi na yenye ufasaha ambayo inatumiwa na watu wengi duniani katika mazungumzo ya moja kwa moja. Mwanzo, kiswahili chaweza kuimarishwa iwapo serikali ya Kenya na ya nchi zingine zitaongeza makala ya kiswahili, kwa mfano vitabu, riwaya na kamusi vyuoni ambapo wanafunzi wanaweza kusoma na kuelewa kiswahili vyema. Hii itawapa uwezo
wa kubuni mazungumzo yao na pia katika ubunifu wa insha z??.
Pili, serikali ya Kenya na ulimwenguni yafaa kuongeza idadi ya walimu wa kiswahili vyuoni ambao wataweza kuwapanua wanafunzi kiakili na pia kuwafunza jinsi ya kuainisha, kubainisha, kuyakinisha maneno na sentensi mbalimbali za kiswahili. Hili litawafanya waweze kuelewa jinsi maneno mbalimbali yanatumiwa katika sentensi na hata kuweza kuepuka makosa madogo madogo ya usanifikishaji.
Tatu, serikali ya Kenya inafaa iadhimishe siku ya kiswahili, pale ambapo watu wa asili na fasili mbalimbali wanaweza kutangamana na kuzungumza Kiswahili kwa ubunifu na ufasaha na hivi ukuzaji na uzungumzaji wa kiswahili utaimarika.
Nne, serikali yafaa itengee nyanja ya elimu pesa za kuweza kuwaalika waandishi pamoja na mabingwa wa kiswahili kuja shuleni na kuweza kuwashauri na kuwaelekeza wanafunzi jinsi ya kukikuza kiswahili na kukizungumza. Hii itawawezesha wanafunzi kuyaandika maneno sahihi ya kiswahili na pia kubunisha uandishi wa insha.
Tano, serikali ya Kenya yafaa itumie kiswahili katika matangazo redioni na televisheni pale ambapo watangazaji watatangaza habari zinazochipuka katika lugha ya kiswahili. Hivyo basi, wananchi wengi watakuwa na hamu ya kukijua kiswahili na pia katika kukizungumza.
Sita, sera ya lugha yafaa iangaliwe pale ambapo serikali itakiteua kiswahili kama lugha ya taifa na ya kutumika katika nyanja mbalimbali kwa mfano hospitalini, pale ambapo mazungumzo baina ya mgonjwa na daktari yatakuwa ya Kiswahili.
Saba, serikali kuweza kuandika haki za watu zilizo katika katiba kwa lugha ya kiswahili. Hivi basi watu watasoma sheria hizo kwa urefu na kwa mapana na kuweza kuelewa majukumu yao. Hivyo basi, watu wote watataka kuzungumza lugha ya kiswahili na pia kuweza kuisoma vyema. | Kiswahili chatumika na watu wengi kwa mazungumzo ya nini | {
"text": [
"moja kwa moja"
]
} |
1833_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni lugha fanisi na yenye ufasaha ambayo inatumiwa na watu wengi duniani katika mazungumzo ya moja kwa moja. Mwanzo, kiswahili chaweza kuimarishwa iwapo serikali ya Kenya na ya nchi zingine zitaongeza makala ya kiswahili, kwa mfano vitabu, riwaya na kamusi vyuoni ambapo wanafunzi wanaweza kusoma na kuelewa kiswahili vyema. Hii itawapa uwezo
wa kubuni mazungumzo yao na pia katika ubunifu wa insha z??.
Pili, serikali ya Kenya na ulimwenguni yafaa kuongeza idadi ya walimu wa kiswahili vyuoni ambao wataweza kuwapanua wanafunzi kiakili na pia kuwafunza jinsi ya kuainisha, kubainisha, kuyakinisha maneno na sentensi mbalimbali za kiswahili. Hili litawafanya waweze kuelewa jinsi maneno mbalimbali yanatumiwa katika sentensi na hata kuweza kuepuka makosa madogo madogo ya usanifikishaji.
Tatu, serikali ya Kenya inafaa iadhimishe siku ya kiswahili, pale ambapo watu wa asili na fasili mbalimbali wanaweza kutangamana na kuzungumza Kiswahili kwa ubunifu na ufasaha na hivi ukuzaji na uzungumzaji wa kiswahili utaimarika.
Nne, serikali yafaa itengee nyanja ya elimu pesa za kuweza kuwaalika waandishi pamoja na mabingwa wa kiswahili kuja shuleni na kuweza kuwashauri na kuwaelekeza wanafunzi jinsi ya kukikuza kiswahili na kukizungumza. Hii itawawezesha wanafunzi kuyaandika maneno sahihi ya kiswahili na pia kubunisha uandishi wa insha.
Tano, serikali ya Kenya yafaa itumie kiswahili katika matangazo redioni na televisheni pale ambapo watangazaji watatangaza habari zinazochipuka katika lugha ya kiswahili. Hivyo basi, wananchi wengi watakuwa na hamu ya kukijua kiswahili na pia katika kukizungumza.
Sita, sera ya lugha yafaa iangaliwe pale ambapo serikali itakiteua kiswahili kama lugha ya taifa na ya kutumika katika nyanja mbalimbali kwa mfano hospitalini, pale ambapo mazungumzo baina ya mgonjwa na daktari yatakuwa ya Kiswahili.
Saba, serikali kuweza kuandika haki za watu zilizo katika katiba kwa lugha ya kiswahili. Hivi basi watu watasoma sheria hizo kwa urefu na kwa mapana na kuweza kuelewa majukumu yao. Hivyo basi, watu wote watataka kuzungumza lugha ya kiswahili na pia kuweza kuisoma vyema. | Serikali inafaa iongeze idadi ya uajiri wa walimu wa nini | {
"text": [
"Kiswahili"
]
} |
1833_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni lugha fanisi na yenye ufasaha ambayo inatumiwa na watu wengi duniani katika mazungumzo ya moja kwa moja. Mwanzo, kiswahili chaweza kuimarishwa iwapo serikali ya Kenya na ya nchi zingine zitaongeza makala ya kiswahili, kwa mfano vitabu, riwaya na kamusi vyuoni ambapo wanafunzi wanaweza kusoma na kuelewa kiswahili vyema. Hii itawapa uwezo
wa kubuni mazungumzo yao na pia katika ubunifu wa insha z??.
Pili, serikali ya Kenya na ulimwenguni yafaa kuongeza idadi ya walimu wa kiswahili vyuoni ambao wataweza kuwapanua wanafunzi kiakili na pia kuwafunza jinsi ya kuainisha, kubainisha, kuyakinisha maneno na sentensi mbalimbali za kiswahili. Hili litawafanya waweze kuelewa jinsi maneno mbalimbali yanatumiwa katika sentensi na hata kuweza kuepuka makosa madogo madogo ya usanifikishaji.
Tatu, serikali ya Kenya inafaa iadhimishe siku ya kiswahili, pale ambapo watu wa asili na fasili mbalimbali wanaweza kutangamana na kuzungumza Kiswahili kwa ubunifu na ufasaha na hivi ukuzaji na uzungumzaji wa kiswahili utaimarika.
Nne, serikali yafaa itengee nyanja ya elimu pesa za kuweza kuwaalika waandishi pamoja na mabingwa wa kiswahili kuja shuleni na kuweza kuwashauri na kuwaelekeza wanafunzi jinsi ya kukikuza kiswahili na kukizungumza. Hii itawawezesha wanafunzi kuyaandika maneno sahihi ya kiswahili na pia kubunisha uandishi wa insha.
Tano, serikali ya Kenya yafaa itumie kiswahili katika matangazo redioni na televisheni pale ambapo watangazaji watatangaza habari zinazochipuka katika lugha ya kiswahili. Hivyo basi, wananchi wengi watakuwa na hamu ya kukijua kiswahili na pia katika kukizungumza.
Sita, sera ya lugha yafaa iangaliwe pale ambapo serikali itakiteua kiswahili kama lugha ya taifa na ya kutumika katika nyanja mbalimbali kwa mfano hospitalini, pale ambapo mazungumzo baina ya mgonjwa na daktari yatakuwa ya Kiswahili.
Saba, serikali kuweza kuandika haki za watu zilizo katika katiba kwa lugha ya kiswahili. Hivi basi watu watasoma sheria hizo kwa urefu na kwa mapana na kuweza kuelewa majukumu yao. Hivyo basi, watu wote watataka kuzungumza lugha ya kiswahili na pia kuweza kuisoma vyema. | Watu wa asili na fasihi mbalimbali wanaweza kutangamana lini | {
"text": [
"siku ya Kiswahili"
]
} |
1833_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni lugha fanisi na yenye ufasaha ambayo inatumiwa na watu wengi duniani katika mazungumzo ya moja kwa moja. Mwanzo, kiswahili chaweza kuimarishwa iwapo serikali ya Kenya na ya nchi zingine zitaongeza makala ya kiswahili, kwa mfano vitabu, riwaya na kamusi vyuoni ambapo wanafunzi wanaweza kusoma na kuelewa kiswahili vyema. Hii itawapa uwezo
wa kubuni mazungumzo yao na pia katika ubunifu wa insha z??.
Pili, serikali ya Kenya na ulimwenguni yafaa kuongeza idadi ya walimu wa kiswahili vyuoni ambao wataweza kuwapanua wanafunzi kiakili na pia kuwafunza jinsi ya kuainisha, kubainisha, kuyakinisha maneno na sentensi mbalimbali za kiswahili. Hili litawafanya waweze kuelewa jinsi maneno mbalimbali yanatumiwa katika sentensi na hata kuweza kuepuka makosa madogo madogo ya usanifikishaji.
Tatu, serikali ya Kenya inafaa iadhimishe siku ya kiswahili, pale ambapo watu wa asili na fasili mbalimbali wanaweza kutangamana na kuzungumza Kiswahili kwa ubunifu na ufasaha na hivi ukuzaji na uzungumzaji wa kiswahili utaimarika.
Nne, serikali yafaa itengee nyanja ya elimu pesa za kuweza kuwaalika waandishi pamoja na mabingwa wa kiswahili kuja shuleni na kuweza kuwashauri na kuwaelekeza wanafunzi jinsi ya kukikuza kiswahili na kukizungumza. Hii itawawezesha wanafunzi kuyaandika maneno sahihi ya kiswahili na pia kubunisha uandishi wa insha.
Tano, serikali ya Kenya yafaa itumie kiswahili katika matangazo redioni na televisheni pale ambapo watangazaji watatangaza habari zinazochipuka katika lugha ya kiswahili. Hivyo basi, wananchi wengi watakuwa na hamu ya kukijua kiswahili na pia katika kukizungumza.
Sita, sera ya lugha yafaa iangaliwe pale ambapo serikali itakiteua kiswahili kama lugha ya taifa na ya kutumika katika nyanja mbalimbali kwa mfano hospitalini, pale ambapo mazungumzo baina ya mgonjwa na daktari yatakuwa ya Kiswahili.
Saba, serikali kuweza kuandika haki za watu zilizo katika katiba kwa lugha ya kiswahili. Hivi basi watu watasoma sheria hizo kwa urefu na kwa mapana na kuweza kuelewa majukumu yao. Hivyo basi, watu wote watataka kuzungumza lugha ya kiswahili na pia kuweza kuisoma vyema. | Mbona serikali yafaa kuandika hazi za watu kwa kiswahili | {
"text": [
"ili watu waweze kusoma kwa upana na kuelewa majukumu yao"
]
} |
1834_swa | HOTUBA.
ELIMU NA UMUHIMU WAKE
“Mabwana, mabibi na wanafunzi nawasalimu kwa jina la Yesu, hamjambo? Natumai kuwa m wazima na namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa. Kwanza kabisa, elimu ni nini? Elimu ni mfumo wa kujifunza na kuweza kujua kitu gani kizuri cha kufanya. Au twaweza kusema ni ufunguo wa maisha bora.
Kuna aina tofauti za elimu, kuna elimu iliyo rasmi ambayo hupatikana kwenye shule na kuna ile isiyo rasmi ambayo mara nyingi hufunzwa kule nyumbani. Wazazi wenzangu ningependa kuwahimiza mwapeleke watoto wenu shuleni bila ya kuzingatia jinsia, kwani wote wataweza kutuvusha kutoka kwa lindi la umaskini. Wanunulieni vitabu, kalamu na vyote tisa wanavyohitaji pale shuleni.
Lakini elimu huu yasaidia vipi? Kwanza, kupitia kwa elimu ya vitabu pale shuleni, wanafunzi hawa watapata akili nyingi ya kuwawezesha kufanya vitu kadha wa kadha baadaye kwa maisha yao ya usoni. Tutawapata madaktari, walimu, wahazili, mainjinia, na mawakili ambao wataweza kubadilisha maisha yetu, na hata labda twawezapata rais miongoni mwao.
Pili, elimu hii iutakuza maadili, walimu wataweza kuwafunza jinsi ya kuishi, kuvaa, wanavyostahili kuishi na watu heshima kwa wazazi itakayoweza kuimarishwa katika vizazi vitakavyokuja baada yao.
Tatu, elimu hii itawafunza kumcha Rabuka kupitia somo la dini. Watasoma vifungu vya Biblia na kujua vile Maulana anawahitaji kuishi ili waibuke washindi na kupata baraka maishani. Ama kweli, Mungu hamsahau mja wake.
Kuongezea, wataweza kujifunza jinsi ya kuandika na muhim habisa, kusoma ambayo itawawezesha kuuondoa uongo na udanganyifu wanaotumia kuwalaghai na kuwanyanyasa wazee. Wataweza kuelewa kwa kina na kuzuia maovu katika jamii.
Pia, wataweza kuzigundua talanta zao pale uwanjani wanapotangamana na wenzao. Walimu watawasaidia kuzikuza na kuziimarisha. Labda hiyo ndiyo itakayomlipa mbeleni kuliko kutegemea kazi za kuajiriwa. Kupitia kwa elimu hii, ataweza kubuni mashairi, nyimbo ama kuwa mwandishi wa vitabu.
Kupitia kwa elimu, mwanao ataweza kujua umuhimu wa kufanya kazi na wengine. Kwani wahenga hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Atapata marafiki kutoka nyanja mbalimbali watakaomfunza jinsi wao hufanya vitu na ataweza kuimarika, kukuakiakili na kimwazo. Elimu hii pia itamfunza jinsi ya kurahisisha maisha kwa kufanya vitu kadha wa kadha kwa njia fulani isiyo ya kuharibu bali ya kujenga. Mwisho, tusisahau kuwaombea na kuwapa motisha na kuwasukuma mara kwa mara kwani samaki mkunje angali. mbichi. Asanteni na Mwenyezi Mungu awabariki.” | Nini ufunguo wa maisha bora | {
"text": [
"elimu"
]
} |
1834_swa | HOTUBA.
ELIMU NA UMUHIMU WAKE
“Mabwana, mabibi na wanafunzi nawasalimu kwa jina la Yesu, hamjambo? Natumai kuwa m wazima na namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa. Kwanza kabisa, elimu ni nini? Elimu ni mfumo wa kujifunza na kuweza kujua kitu gani kizuri cha kufanya. Au twaweza kusema ni ufunguo wa maisha bora.
Kuna aina tofauti za elimu, kuna elimu iliyo rasmi ambayo hupatikana kwenye shule na kuna ile isiyo rasmi ambayo mara nyingi hufunzwa kule nyumbani. Wazazi wenzangu ningependa kuwahimiza mwapeleke watoto wenu shuleni bila ya kuzingatia jinsia, kwani wote wataweza kutuvusha kutoka kwa lindi la umaskini. Wanunulieni vitabu, kalamu na vyote tisa wanavyohitaji pale shuleni.
Lakini elimu huu yasaidia vipi? Kwanza, kupitia kwa elimu ya vitabu pale shuleni, wanafunzi hawa watapata akili nyingi ya kuwawezesha kufanya vitu kadha wa kadha baadaye kwa maisha yao ya usoni. Tutawapata madaktari, walimu, wahazili, mainjinia, na mawakili ambao wataweza kubadilisha maisha yetu, na hata labda twawezapata rais miongoni mwao.
Pili, elimu hii iutakuza maadili, walimu wataweza kuwafunza jinsi ya kuishi, kuvaa, wanavyostahili kuishi na watu heshima kwa wazazi itakayoweza kuimarishwa katika vizazi vitakavyokuja baada yao.
Tatu, elimu hii itawafunza kumcha Rabuka kupitia somo la dini. Watasoma vifungu vya Biblia na kujua vile Maulana anawahitaji kuishi ili waibuke washindi na kupata baraka maishani. Ama kweli, Mungu hamsahau mja wake.
Kuongezea, wataweza kujifunza jinsi ya kuandika na muhim habisa, kusoma ambayo itawawezesha kuuondoa uongo na udanganyifu wanaotumia kuwalaghai na kuwanyanyasa wazee. Wataweza kuelewa kwa kina na kuzuia maovu katika jamii.
Pia, wataweza kuzigundua talanta zao pale uwanjani wanapotangamana na wenzao. Walimu watawasaidia kuzikuza na kuziimarisha. Labda hiyo ndiyo itakayomlipa mbeleni kuliko kutegemea kazi za kuajiriwa. Kupitia kwa elimu hii, ataweza kubuni mashairi, nyimbo ama kuwa mwandishi wa vitabu.
Kupitia kwa elimu, mwanao ataweza kujua umuhimu wa kufanya kazi na wengine. Kwani wahenga hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Atapata marafiki kutoka nyanja mbalimbali watakaomfunza jinsi wao hufanya vitu na ataweza kuimarika, kukuakiakili na kimwazo. Elimu hii pia itamfunza jinsi ya kurahisisha maisha kwa kufanya vitu kadha wa kadha kwa njia fulani isiyo ya kuharibu bali ya kujenga. Mwisho, tusisahau kuwaombea na kuwapa motisha na kuwasukuma mara kwa mara kwani samaki mkunje angali. mbichi. Asanteni na Mwenyezi Mungu awabariki.” | Nani wapelekwe shuleni bila kuzingatia jinsia | {
"text": [
"watoto"
]
} |
1834_swa | HOTUBA.
ELIMU NA UMUHIMU WAKE
“Mabwana, mabibi na wanafunzi nawasalimu kwa jina la Yesu, hamjambo? Natumai kuwa m wazima na namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa. Kwanza kabisa, elimu ni nini? Elimu ni mfumo wa kujifunza na kuweza kujua kitu gani kizuri cha kufanya. Au twaweza kusema ni ufunguo wa maisha bora.
Kuna aina tofauti za elimu, kuna elimu iliyo rasmi ambayo hupatikana kwenye shule na kuna ile isiyo rasmi ambayo mara nyingi hufunzwa kule nyumbani. Wazazi wenzangu ningependa kuwahimiza mwapeleke watoto wenu shuleni bila ya kuzingatia jinsia, kwani wote wataweza kutuvusha kutoka kwa lindi la umaskini. Wanunulieni vitabu, kalamu na vyote tisa wanavyohitaji pale shuleni.
Lakini elimu huu yasaidia vipi? Kwanza, kupitia kwa elimu ya vitabu pale shuleni, wanafunzi hawa watapata akili nyingi ya kuwawezesha kufanya vitu kadha wa kadha baadaye kwa maisha yao ya usoni. Tutawapata madaktari, walimu, wahazili, mainjinia, na mawakili ambao wataweza kubadilisha maisha yetu, na hata labda twawezapata rais miongoni mwao.
Pili, elimu hii iutakuza maadili, walimu wataweza kuwafunza jinsi ya kuishi, kuvaa, wanavyostahili kuishi na watu heshima kwa wazazi itakayoweza kuimarishwa katika vizazi vitakavyokuja baada yao.
Tatu, elimu hii itawafunza kumcha Rabuka kupitia somo la dini. Watasoma vifungu vya Biblia na kujua vile Maulana anawahitaji kuishi ili waibuke washindi na kupata baraka maishani. Ama kweli, Mungu hamsahau mja wake.
Kuongezea, wataweza kujifunza jinsi ya kuandika na muhim habisa, kusoma ambayo itawawezesha kuuondoa uongo na udanganyifu wanaotumia kuwalaghai na kuwanyanyasa wazee. Wataweza kuelewa kwa kina na kuzuia maovu katika jamii.
Pia, wataweza kuzigundua talanta zao pale uwanjani wanapotangamana na wenzao. Walimu watawasaidia kuzikuza na kuziimarisha. Labda hiyo ndiyo itakayomlipa mbeleni kuliko kutegemea kazi za kuajiriwa. Kupitia kwa elimu hii, ataweza kubuni mashairi, nyimbo ama kuwa mwandishi wa vitabu.
Kupitia kwa elimu, mwanao ataweza kujua umuhimu wa kufanya kazi na wengine. Kwani wahenga hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Atapata marafiki kutoka nyanja mbalimbali watakaomfunza jinsi wao hufanya vitu na ataweza kuimarika, kukuakiakili na kimwazo. Elimu hii pia itamfunza jinsi ya kurahisisha maisha kwa kufanya vitu kadha wa kadha kwa njia fulani isiyo ya kuharibu bali ya kujenga. Mwisho, tusisahau kuwaombea na kuwapa motisha na kuwasukuma mara kwa mara kwani samaki mkunje angali. mbichi. Asanteni na Mwenyezi Mungu awabariki.” | Mungu hamsahau nani | {
"text": [
"mja wake"
]
} |
1834_swa | HOTUBA.
ELIMU NA UMUHIMU WAKE
“Mabwana, mabibi na wanafunzi nawasalimu kwa jina la Yesu, hamjambo? Natumai kuwa m wazima na namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa. Kwanza kabisa, elimu ni nini? Elimu ni mfumo wa kujifunza na kuweza kujua kitu gani kizuri cha kufanya. Au twaweza kusema ni ufunguo wa maisha bora.
Kuna aina tofauti za elimu, kuna elimu iliyo rasmi ambayo hupatikana kwenye shule na kuna ile isiyo rasmi ambayo mara nyingi hufunzwa kule nyumbani. Wazazi wenzangu ningependa kuwahimiza mwapeleke watoto wenu shuleni bila ya kuzingatia jinsia, kwani wote wataweza kutuvusha kutoka kwa lindi la umaskini. Wanunulieni vitabu, kalamu na vyote tisa wanavyohitaji pale shuleni.
Lakini elimu huu yasaidia vipi? Kwanza, kupitia kwa elimu ya vitabu pale shuleni, wanafunzi hawa watapata akili nyingi ya kuwawezesha kufanya vitu kadha wa kadha baadaye kwa maisha yao ya usoni. Tutawapata madaktari, walimu, wahazili, mainjinia, na mawakili ambao wataweza kubadilisha maisha yetu, na hata labda twawezapata rais miongoni mwao.
Pili, elimu hii iutakuza maadili, walimu wataweza kuwafunza jinsi ya kuishi, kuvaa, wanavyostahili kuishi na watu heshima kwa wazazi itakayoweza kuimarishwa katika vizazi vitakavyokuja baada yao.
Tatu, elimu hii itawafunza kumcha Rabuka kupitia somo la dini. Watasoma vifungu vya Biblia na kujua vile Maulana anawahitaji kuishi ili waibuke washindi na kupata baraka maishani. Ama kweli, Mungu hamsahau mja wake.
Kuongezea, wataweza kujifunza jinsi ya kuandika na muhim habisa, kusoma ambayo itawawezesha kuuondoa uongo na udanganyifu wanaotumia kuwalaghai na kuwanyanyasa wazee. Wataweza kuelewa kwa kina na kuzuia maovu katika jamii.
Pia, wataweza kuzigundua talanta zao pale uwanjani wanapotangamana na wenzao. Walimu watawasaidia kuzikuza na kuziimarisha. Labda hiyo ndiyo itakayomlipa mbeleni kuliko kutegemea kazi za kuajiriwa. Kupitia kwa elimu hii, ataweza kubuni mashairi, nyimbo ama kuwa mwandishi wa vitabu.
Kupitia kwa elimu, mwanao ataweza kujua umuhimu wa kufanya kazi na wengine. Kwani wahenga hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Atapata marafiki kutoka nyanja mbalimbali watakaomfunza jinsi wao hufanya vitu na ataweza kuimarika, kukuakiakili na kimwazo. Elimu hii pia itamfunza jinsi ya kurahisisha maisha kwa kufanya vitu kadha wa kadha kwa njia fulani isiyo ya kuharibu bali ya kujenga. Mwisho, tusisahau kuwaombea na kuwapa motisha na kuwasukuma mara kwa mara kwani samaki mkunje angali. mbichi. Asanteni na Mwenyezi Mungu awabariki.” | Watagundua nini uwanjani wanapotangamana na wenzao | {
"text": [
"talanta zao"
]
} |
1834_swa | HOTUBA.
ELIMU NA UMUHIMU WAKE
“Mabwana, mabibi na wanafunzi nawasalimu kwa jina la Yesu, hamjambo? Natumai kuwa m wazima na namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa. Kwanza kabisa, elimu ni nini? Elimu ni mfumo wa kujifunza na kuweza kujua kitu gani kizuri cha kufanya. Au twaweza kusema ni ufunguo wa maisha bora.
Kuna aina tofauti za elimu, kuna elimu iliyo rasmi ambayo hupatikana kwenye shule na kuna ile isiyo rasmi ambayo mara nyingi hufunzwa kule nyumbani. Wazazi wenzangu ningependa kuwahimiza mwapeleke watoto wenu shuleni bila ya kuzingatia jinsia, kwani wote wataweza kutuvusha kutoka kwa lindi la umaskini. Wanunulieni vitabu, kalamu na vyote tisa wanavyohitaji pale shuleni.
Lakini elimu huu yasaidia vipi? Kwanza, kupitia kwa elimu ya vitabu pale shuleni, wanafunzi hawa watapata akili nyingi ya kuwawezesha kufanya vitu kadha wa kadha baadaye kwa maisha yao ya usoni. Tutawapata madaktari, walimu, wahazili, mainjinia, na mawakili ambao wataweza kubadilisha maisha yetu, na hata labda twawezapata rais miongoni mwao.
Pili, elimu hii iutakuza maadili, walimu wataweza kuwafunza jinsi ya kuishi, kuvaa, wanavyostahili kuishi na watu heshima kwa wazazi itakayoweza kuimarishwa katika vizazi vitakavyokuja baada yao.
Tatu, elimu hii itawafunza kumcha Rabuka kupitia somo la dini. Watasoma vifungu vya Biblia na kujua vile Maulana anawahitaji kuishi ili waibuke washindi na kupata baraka maishani. Ama kweli, Mungu hamsahau mja wake.
Kuongezea, wataweza kujifunza jinsi ya kuandika na muhim habisa, kusoma ambayo itawawezesha kuuondoa uongo na udanganyifu wanaotumia kuwalaghai na kuwanyanyasa wazee. Wataweza kuelewa kwa kina na kuzuia maovu katika jamii.
Pia, wataweza kuzigundua talanta zao pale uwanjani wanapotangamana na wenzao. Walimu watawasaidia kuzikuza na kuziimarisha. Labda hiyo ndiyo itakayomlipa mbeleni kuliko kutegemea kazi za kuajiriwa. Kupitia kwa elimu hii, ataweza kubuni mashairi, nyimbo ama kuwa mwandishi wa vitabu.
Kupitia kwa elimu, mwanao ataweza kujua umuhimu wa kufanya kazi na wengine. Kwani wahenga hawakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Atapata marafiki kutoka nyanja mbalimbali watakaomfunza jinsi wao hufanya vitu na ataweza kuimarika, kukuakiakili na kimwazo. Elimu hii pia itamfunza jinsi ya kurahisisha maisha kwa kufanya vitu kadha wa kadha kwa njia fulani isiyo ya kuharibu bali ya kujenga. Mwisho, tusisahau kuwaombea na kuwapa motisha na kuwasukuma mara kwa mara kwani samaki mkunje angali. mbichi. Asanteni na Mwenyezi Mungu awabariki.” | Nani watamfunza jinsi wao hufanya vitu | {
"text": [
"marafiki"
]
} |
1837_swa | SIASA ZA MGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA JAMII/ INCHI
Siasa ni nini? Ni ile hali ya kugombea nafasi fulani au cheo fulani katika serikali ili kuongoza waja wa nchi fulani. Nchini Kenya, siasa huzuka sana wakati inapokaribia uchaguzi ambao hufanyika baada ya miaka mitano. Viongozi tofauti tofauti hujitoza na kuwania vyeo katika serikali maana kwa wengi huaminika watapata lishe bora na kuweza kuwasahau waliojitokeza kupiga kura hizo. Siasa za migawanyiko ni jambo ambalo huathiri nchi kiuchumi na hadi kimaendeleo. Kwa mfano, viongozi wawili wanajitoza kwenye uga wanaahidi wananchi kutekeleza majukumu yao vilivyo ilhali baada ya kura hizo utengano unatokea baina yao. Na pasipo na umoja utengano ni udhaifu.
Siasa za migawanyiko huchangia pakubwa kwa kueneza ukabila katika jamii. Wananchi huweza kumunga mkono kiongozi wao tu licha ya hata kuweza kuwa na kiongozi mwengine ambaye ni bora. Vyama tofauti tofauti za kisiasa pia huchangia katika ukabila. Viongozi wa majimbo tofauti tofauti huanza vyama vyao ili kuweza kuwa wapinzani na kuweza kuendeleza maudhui ya kisiasa. Ukabila basi ukiweza kukita mizizi, viongozi wa nchi hawawezi kuwa bora kwani wengi watakaopewa nafasi hizo hawatendi haki kwa raia kwani ni tamaa inayowaongoza katika uchaguzi huo. Suluhisho la kuweza kuzuia jambo hili ni kuweza kupunguza idadi vya vyama nchini na kuweza kubakia chache tu kama wakati ule tuliowania uhuru ili kuangamiza ukabila.
Athari nyingine ya siasa ni kwamba husababisha vita miongoni mwa wananchi. Inasemekana kwamba siasa ni mchezo mbaya. Si kila mja huweza kufurahia kiongozi mteuliwa na hivyo kuweza kusababisha vurugu na fujo. Hii huweza kusababisha vifo vya wananchi wasiokuwa na hatia, wana wadogo ambao pengine wangeweza kuwa viongozi wa kesho wanaweza kuzimwa ndoto zao wakiwa wachanga mno. Tendo hili ni la kusikitisha mno kwani siasa ni jambo ambalo limetengwa ndiposa viongozi wateuliwa waweze kuongoza nchi kimaendeleo na kiuchumi lakini badala ya hayo
jamii husika ndio inayoathirika.
Athari nyingine pia ni uharibifu wa mali kupitia mizozo na migogoro baina ya wananchi. Mijengo ya kiraia na barabara inaharibiwa na hivi kuweza kurudisha hali ya uchumi chini. Inaigharimu serikali kuweza hata kukopa pesa kutoa nchi zingine ili kuweza kufanya marekebisho badala ya kuendeleza biashara na nyinginezo. Mali ya umma pia inaweza kugawanywa kwa njia mbaya na jamii kuathirika. Viongozi wabaya wanaweza kufuja mali ya umma bila ya kuwa na huruma. Jamii inaweza kuathirika vilivyo kwani badala ya kufaidika na viongozi wao ni ya kwamba wanabaki kuwa maskini na tajiri anabaki kuwa tajiri.
Utengano ni jambo ambalo linapaswa kupitwa na wakati kwani sisi ni binadamu ratili. Inatupasa tusimame pamoja ili kuweza kutekeleza haki katika siasa. Tuweze kuungana na kuteua kiongozi bora anayefaa na anayeweza kuongoza nchi. Viongozi wengine bora wanaoweza kuongoza kaunti zetu na waweze kuleta mabadiliko. Kuweza kuimarisha siasa ambazo zinaandamana na umoja kimienendo. Si kuhimiza siasa ambazo zitaleta kilio kwa jamii katika siku za usoni ilhali viongozi hawa wabaya wanatabasamu. | Uchaguzi hufanyika baada ya miaka mingapi | {
"text": [
"Mitano"
]
} |
1837_swa | SIASA ZA MGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA JAMII/ INCHI
Siasa ni nini? Ni ile hali ya kugombea nafasi fulani au cheo fulani katika serikali ili kuongoza waja wa nchi fulani. Nchini Kenya, siasa huzuka sana wakati inapokaribia uchaguzi ambao hufanyika baada ya miaka mitano. Viongozi tofauti tofauti hujitoza na kuwania vyeo katika serikali maana kwa wengi huaminika watapata lishe bora na kuweza kuwasahau waliojitokeza kupiga kura hizo. Siasa za migawanyiko ni jambo ambalo huathiri nchi kiuchumi na hadi kimaendeleo. Kwa mfano, viongozi wawili wanajitoza kwenye uga wanaahidi wananchi kutekeleza majukumu yao vilivyo ilhali baada ya kura hizo utengano unatokea baina yao. Na pasipo na umoja utengano ni udhaifu.
Siasa za migawanyiko huchangia pakubwa kwa kueneza ukabila katika jamii. Wananchi huweza kumunga mkono kiongozi wao tu licha ya hata kuweza kuwa na kiongozi mwengine ambaye ni bora. Vyama tofauti tofauti za kisiasa pia huchangia katika ukabila. Viongozi wa majimbo tofauti tofauti huanza vyama vyao ili kuweza kuwa wapinzani na kuweza kuendeleza maudhui ya kisiasa. Ukabila basi ukiweza kukita mizizi, viongozi wa nchi hawawezi kuwa bora kwani wengi watakaopewa nafasi hizo hawatendi haki kwa raia kwani ni tamaa inayowaongoza katika uchaguzi huo. Suluhisho la kuweza kuzuia jambo hili ni kuweza kupunguza idadi vya vyama nchini na kuweza kubakia chache tu kama wakati ule tuliowania uhuru ili kuangamiza ukabila.
Athari nyingine ya siasa ni kwamba husababisha vita miongoni mwa wananchi. Inasemekana kwamba siasa ni mchezo mbaya. Si kila mja huweza kufurahia kiongozi mteuliwa na hivyo kuweza kusababisha vurugu na fujo. Hii huweza kusababisha vifo vya wananchi wasiokuwa na hatia, wana wadogo ambao pengine wangeweza kuwa viongozi wa kesho wanaweza kuzimwa ndoto zao wakiwa wachanga mno. Tendo hili ni la kusikitisha mno kwani siasa ni jambo ambalo limetengwa ndiposa viongozi wateuliwa waweze kuongoza nchi kimaendeleo na kiuchumi lakini badala ya hayo
jamii husika ndio inayoathirika.
Athari nyingine pia ni uharibifu wa mali kupitia mizozo na migogoro baina ya wananchi. Mijengo ya kiraia na barabara inaharibiwa na hivi kuweza kurudisha hali ya uchumi chini. Inaigharimu serikali kuweza hata kukopa pesa kutoa nchi zingine ili kuweza kufanya marekebisho badala ya kuendeleza biashara na nyinginezo. Mali ya umma pia inaweza kugawanywa kwa njia mbaya na jamii kuathirika. Viongozi wabaya wanaweza kufuja mali ya umma bila ya kuwa na huruma. Jamii inaweza kuathirika vilivyo kwani badala ya kufaidika na viongozi wao ni ya kwamba wanabaki kuwa maskini na tajiri anabaki kuwa tajiri.
Utengano ni jambo ambalo linapaswa kupitwa na wakati kwani sisi ni binadamu ratili. Inatupasa tusimame pamoja ili kuweza kutekeleza haki katika siasa. Tuweze kuungana na kuteua kiongozi bora anayefaa na anayeweza kuongoza nchi. Viongozi wengine bora wanaoweza kuongoza kaunti zetu na waweze kuleta mabadiliko. Kuweza kuimarisha siasa ambazo zinaandamana na umoja kimienendo. Si kuhimiza siasa ambazo zitaleta kilio kwa jamii katika siku za usoni ilhali viongozi hawa wabaya wanatabasamu. | Ni siasa zipi huchangia kuenezwa kwa ukabila | {
"text": [
"Siasa za migawanyiko"
]
} |
1837_swa | SIASA ZA MGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA JAMII/ INCHI
Siasa ni nini? Ni ile hali ya kugombea nafasi fulani au cheo fulani katika serikali ili kuongoza waja wa nchi fulani. Nchini Kenya, siasa huzuka sana wakati inapokaribia uchaguzi ambao hufanyika baada ya miaka mitano. Viongozi tofauti tofauti hujitoza na kuwania vyeo katika serikali maana kwa wengi huaminika watapata lishe bora na kuweza kuwasahau waliojitokeza kupiga kura hizo. Siasa za migawanyiko ni jambo ambalo huathiri nchi kiuchumi na hadi kimaendeleo. Kwa mfano, viongozi wawili wanajitoza kwenye uga wanaahidi wananchi kutekeleza majukumu yao vilivyo ilhali baada ya kura hizo utengano unatokea baina yao. Na pasipo na umoja utengano ni udhaifu.
Siasa za migawanyiko huchangia pakubwa kwa kueneza ukabila katika jamii. Wananchi huweza kumunga mkono kiongozi wao tu licha ya hata kuweza kuwa na kiongozi mwengine ambaye ni bora. Vyama tofauti tofauti za kisiasa pia huchangia katika ukabila. Viongozi wa majimbo tofauti tofauti huanza vyama vyao ili kuweza kuwa wapinzani na kuweza kuendeleza maudhui ya kisiasa. Ukabila basi ukiweza kukita mizizi, viongozi wa nchi hawawezi kuwa bora kwani wengi watakaopewa nafasi hizo hawatendi haki kwa raia kwani ni tamaa inayowaongoza katika uchaguzi huo. Suluhisho la kuweza kuzuia jambo hili ni kuweza kupunguza idadi vya vyama nchini na kuweza kubakia chache tu kama wakati ule tuliowania uhuru ili kuangamiza ukabila.
Athari nyingine ya siasa ni kwamba husababisha vita miongoni mwa wananchi. Inasemekana kwamba siasa ni mchezo mbaya. Si kila mja huweza kufurahia kiongozi mteuliwa na hivyo kuweza kusababisha vurugu na fujo. Hii huweza kusababisha vifo vya wananchi wasiokuwa na hatia, wana wadogo ambao pengine wangeweza kuwa viongozi wa kesho wanaweza kuzimwa ndoto zao wakiwa wachanga mno. Tendo hili ni la kusikitisha mno kwani siasa ni jambo ambalo limetengwa ndiposa viongozi wateuliwa waweze kuongoza nchi kimaendeleo na kiuchumi lakini badala ya hayo
jamii husika ndio inayoathirika.
Athari nyingine pia ni uharibifu wa mali kupitia mizozo na migogoro baina ya wananchi. Mijengo ya kiraia na barabara inaharibiwa na hivi kuweza kurudisha hali ya uchumi chini. Inaigharimu serikali kuweza hata kukopa pesa kutoa nchi zingine ili kuweza kufanya marekebisho badala ya kuendeleza biashara na nyinginezo. Mali ya umma pia inaweza kugawanywa kwa njia mbaya na jamii kuathirika. Viongozi wabaya wanaweza kufuja mali ya umma bila ya kuwa na huruma. Jamii inaweza kuathirika vilivyo kwani badala ya kufaidika na viongozi wao ni ya kwamba wanabaki kuwa maskini na tajiri anabaki kuwa tajiri.
Utengano ni jambo ambalo linapaswa kupitwa na wakati kwani sisi ni binadamu ratili. Inatupasa tusimame pamoja ili kuweza kutekeleza haki katika siasa. Tuweze kuungana na kuteua kiongozi bora anayefaa na anayeweza kuongoza nchi. Viongozi wengine bora wanaoweza kuongoza kaunti zetu na waweze kuleta mabadiliko. Kuweza kuimarisha siasa ambazo zinaandamana na umoja kimienendo. Si kuhimiza siasa ambazo zitaleta kilio kwa jamii katika siku za usoni ilhali viongozi hawa wabaya wanatabasamu. | Ni nini suluhisho la ukabila | {
"text": [
"Kupunguza idadi ya vyama nchini"
]
} |
1837_swa | SIASA ZA MGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA JAMII/ INCHI
Siasa ni nini? Ni ile hali ya kugombea nafasi fulani au cheo fulani katika serikali ili kuongoza waja wa nchi fulani. Nchini Kenya, siasa huzuka sana wakati inapokaribia uchaguzi ambao hufanyika baada ya miaka mitano. Viongozi tofauti tofauti hujitoza na kuwania vyeo katika serikali maana kwa wengi huaminika watapata lishe bora na kuweza kuwasahau waliojitokeza kupiga kura hizo. Siasa za migawanyiko ni jambo ambalo huathiri nchi kiuchumi na hadi kimaendeleo. Kwa mfano, viongozi wawili wanajitoza kwenye uga wanaahidi wananchi kutekeleza majukumu yao vilivyo ilhali baada ya kura hizo utengano unatokea baina yao. Na pasipo na umoja utengano ni udhaifu.
Siasa za migawanyiko huchangia pakubwa kwa kueneza ukabila katika jamii. Wananchi huweza kumunga mkono kiongozi wao tu licha ya hata kuweza kuwa na kiongozi mwengine ambaye ni bora. Vyama tofauti tofauti za kisiasa pia huchangia katika ukabila. Viongozi wa majimbo tofauti tofauti huanza vyama vyao ili kuweza kuwa wapinzani na kuweza kuendeleza maudhui ya kisiasa. Ukabila basi ukiweza kukita mizizi, viongozi wa nchi hawawezi kuwa bora kwani wengi watakaopewa nafasi hizo hawatendi haki kwa raia kwani ni tamaa inayowaongoza katika uchaguzi huo. Suluhisho la kuweza kuzuia jambo hili ni kuweza kupunguza idadi vya vyama nchini na kuweza kubakia chache tu kama wakati ule tuliowania uhuru ili kuangamiza ukabila.
Athari nyingine ya siasa ni kwamba husababisha vita miongoni mwa wananchi. Inasemekana kwamba siasa ni mchezo mbaya. Si kila mja huweza kufurahia kiongozi mteuliwa na hivyo kuweza kusababisha vurugu na fujo. Hii huweza kusababisha vifo vya wananchi wasiokuwa na hatia, wana wadogo ambao pengine wangeweza kuwa viongozi wa kesho wanaweza kuzimwa ndoto zao wakiwa wachanga mno. Tendo hili ni la kusikitisha mno kwani siasa ni jambo ambalo limetengwa ndiposa viongozi wateuliwa waweze kuongoza nchi kimaendeleo na kiuchumi lakini badala ya hayo
jamii husika ndio inayoathirika.
Athari nyingine pia ni uharibifu wa mali kupitia mizozo na migogoro baina ya wananchi. Mijengo ya kiraia na barabara inaharibiwa na hivi kuweza kurudisha hali ya uchumi chini. Inaigharimu serikali kuweza hata kukopa pesa kutoa nchi zingine ili kuweza kufanya marekebisho badala ya kuendeleza biashara na nyinginezo. Mali ya umma pia inaweza kugawanywa kwa njia mbaya na jamii kuathirika. Viongozi wabaya wanaweza kufuja mali ya umma bila ya kuwa na huruma. Jamii inaweza kuathirika vilivyo kwani badala ya kufaidika na viongozi wao ni ya kwamba wanabaki kuwa maskini na tajiri anabaki kuwa tajiri.
Utengano ni jambo ambalo linapaswa kupitwa na wakati kwani sisi ni binadamu ratili. Inatupasa tusimame pamoja ili kuweza kutekeleza haki katika siasa. Tuweze kuungana na kuteua kiongozi bora anayefaa na anayeweza kuongoza nchi. Viongozi wengine bora wanaoweza kuongoza kaunti zetu na waweze kuleta mabadiliko. Kuweza kuimarisha siasa ambazo zinaandamana na umoja kimienendo. Si kuhimiza siasa ambazo zitaleta kilio kwa jamii katika siku za usoni ilhali viongozi hawa wabaya wanatabasamu. | Mizozo na migogoro huleta nini baina ya wananchi | {
"text": [
"Uharibifu wa mali"
]
} |
1837_swa | SIASA ZA MGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE KWA JAMII/ INCHI
Siasa ni nini? Ni ile hali ya kugombea nafasi fulani au cheo fulani katika serikali ili kuongoza waja wa nchi fulani. Nchini Kenya, siasa huzuka sana wakati inapokaribia uchaguzi ambao hufanyika baada ya miaka mitano. Viongozi tofauti tofauti hujitoza na kuwania vyeo katika serikali maana kwa wengi huaminika watapata lishe bora na kuweza kuwasahau waliojitokeza kupiga kura hizo. Siasa za migawanyiko ni jambo ambalo huathiri nchi kiuchumi na hadi kimaendeleo. Kwa mfano, viongozi wawili wanajitoza kwenye uga wanaahidi wananchi kutekeleza majukumu yao vilivyo ilhali baada ya kura hizo utengano unatokea baina yao. Na pasipo na umoja utengano ni udhaifu.
Siasa za migawanyiko huchangia pakubwa kwa kueneza ukabila katika jamii. Wananchi huweza kumunga mkono kiongozi wao tu licha ya hata kuweza kuwa na kiongozi mwengine ambaye ni bora. Vyama tofauti tofauti za kisiasa pia huchangia katika ukabila. Viongozi wa majimbo tofauti tofauti huanza vyama vyao ili kuweza kuwa wapinzani na kuweza kuendeleza maudhui ya kisiasa. Ukabila basi ukiweza kukita mizizi, viongozi wa nchi hawawezi kuwa bora kwani wengi watakaopewa nafasi hizo hawatendi haki kwa raia kwani ni tamaa inayowaongoza katika uchaguzi huo. Suluhisho la kuweza kuzuia jambo hili ni kuweza kupunguza idadi vya vyama nchini na kuweza kubakia chache tu kama wakati ule tuliowania uhuru ili kuangamiza ukabila.
Athari nyingine ya siasa ni kwamba husababisha vita miongoni mwa wananchi. Inasemekana kwamba siasa ni mchezo mbaya. Si kila mja huweza kufurahia kiongozi mteuliwa na hivyo kuweza kusababisha vurugu na fujo. Hii huweza kusababisha vifo vya wananchi wasiokuwa na hatia, wana wadogo ambao pengine wangeweza kuwa viongozi wa kesho wanaweza kuzimwa ndoto zao wakiwa wachanga mno. Tendo hili ni la kusikitisha mno kwani siasa ni jambo ambalo limetengwa ndiposa viongozi wateuliwa waweze kuongoza nchi kimaendeleo na kiuchumi lakini badala ya hayo
jamii husika ndio inayoathirika.
Athari nyingine pia ni uharibifu wa mali kupitia mizozo na migogoro baina ya wananchi. Mijengo ya kiraia na barabara inaharibiwa na hivi kuweza kurudisha hali ya uchumi chini. Inaigharimu serikali kuweza hata kukopa pesa kutoa nchi zingine ili kuweza kufanya marekebisho badala ya kuendeleza biashara na nyinginezo. Mali ya umma pia inaweza kugawanywa kwa njia mbaya na jamii kuathirika. Viongozi wabaya wanaweza kufuja mali ya umma bila ya kuwa na huruma. Jamii inaweza kuathirika vilivyo kwani badala ya kufaidika na viongozi wao ni ya kwamba wanabaki kuwa maskini na tajiri anabaki kuwa tajiri.
Utengano ni jambo ambalo linapaswa kupitwa na wakati kwani sisi ni binadamu ratili. Inatupasa tusimame pamoja ili kuweza kutekeleza haki katika siasa. Tuweze kuungana na kuteua kiongozi bora anayefaa na anayeweza kuongoza nchi. Viongozi wengine bora wanaoweza kuongoza kaunti zetu na waweze kuleta mabadiliko. Kuweza kuimarisha siasa ambazo zinaandamana na umoja kimienendo. Si kuhimiza siasa ambazo zitaleta kilio kwa jamii katika siku za usoni ilhali viongozi hawa wabaya wanatabasamu. | Vurugu na fujo wakati wa siasa husababisha nini | {
"text": [
"Vifo vya wananchi wasiokuwa na hatia"
]
} |
1838_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO KWA NCHI
Siasa zina umuhimu wake na pia zina athari zake katika jamii na nchi yetu. Kwanza kabisa,siasa za migawanyiko zinzpotokea, ni watu wengi ambuo hupoteza maisha yao. Wakati huu kila mwananchi huwac ameunga mkono yule kiongozi amjuaye. Kwa hivyo, ulaghai kwenye kuhesabu kura unapotokea, wananchi huanza kupigana wakitako haki upigaji kura itekelezwe. Hali hii husababisha ukosefu wa usalama na watu wengi hupokeza maisha yao.
Wakati na upigaji kura, ni wananchi wengi sana ambao huishi kwa hofu kuu. Wanasiasa ambao wanagombea vyeo kwenye serikali hawajali usalama wa wananchi wake, sehemu zote huwa katika hali ya kutoelenwana. Hali hii husababisha vitu na fumilia nyingi kusumbaratika na kutegana. Hii inakuwa ni vigumu kwa familia kuperta jamaa zake na inasababisha watu kuishi kwa hofu sana.
Pia, siasa husababisha uharibifu wa mimea na mali ambayo huleta hasara kubwa. Hali hii inatokea pale ambapo wananchi wanapigana na kuharibu mali huku nyumba zao zikiteketezwa. Pia mifugo huangamia . Kwa hivyo wananchi hubakia katika lindi la umaskini kwa kupoteza mali yao.
Pia siasa huchangia pukubwa kwa kutoelewana kwa wananchi wa pande zote mbili. Tunapata kwamba wanasiasa wanawaahidi wananchi ahadi ambazo wanshindwa kutekeleza. Hii inasababisha hali ya kutoelewana baina ya wananchi na wanasiasa. Kwa hivyo, inasababisha kutoelewana na baadaye vita huzuka.
Siasa za migawanyiko husababisha ukosefu wa vyakula kwa wanajamii. Wakati ambapo vita vinatokea, hali hii husababisha uharibifu wa mimea na husababisha ukosefu wa chakula kwa wananchi. Hali hii inasababisha kuzoroteka kwa afya ya wananchi.
Athari nyingine ni wizi la kimabavu. pindi usalama unapokosekana, baadhi ya wananchi huanza kuwadhulumu watu kwa kuharibu na kupora mali yao, sehemu za kazi kama vile sokoni kuvunjwa na mali yenye thamani kubwa kuibwa. Hali hii inaathiri sana wananchi.
Siasa za migawannyiko pia husababisha chuki dhidi ya wananchi. Tunapata kuona wananchi wanakosa kuelewana na muda si muda migogoro hutokea. Hali hii inawakosesha wananchi wengine raha na inawafanya kuishi kwa hofu.
Pia siasa za migawanyiko husababisha uharibifu wa biashara za wananchi. Hii imekua ni chanzo kikubwa cha wananchi kuishi katika hali ya umaskini. Kwa hivyo, serikali inafaa iimarishe usalama hapa nchini. | Vita vya kikabilia huchangiwa na nini? | {
"text": [
"Siasa"
]
} |
1838_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO KWA NCHI
Siasa zina umuhimu wake na pia zina athari zake katika jamii na nchi yetu. Kwanza kabisa,siasa za migawanyiko zinzpotokea, ni watu wengi ambuo hupoteza maisha yao. Wakati huu kila mwananchi huwac ameunga mkono yule kiongozi amjuaye. Kwa hivyo, ulaghai kwenye kuhesabu kura unapotokea, wananchi huanza kupigana wakitako haki upigaji kura itekelezwe. Hali hii husababisha ukosefu wa usalama na watu wengi hupokeza maisha yao.
Wakati na upigaji kura, ni wananchi wengi sana ambao huishi kwa hofu kuu. Wanasiasa ambao wanagombea vyeo kwenye serikali hawajali usalama wa wananchi wake, sehemu zote huwa katika hali ya kutoelenwana. Hali hii husababisha vitu na fumilia nyingi kusumbaratika na kutegana. Hii inakuwa ni vigumu kwa familia kuperta jamaa zake na inasababisha watu kuishi kwa hofu sana.
Pia, siasa husababisha uharibifu wa mimea na mali ambayo huleta hasara kubwa. Hali hii inatokea pale ambapo wananchi wanapigana na kuharibu mali huku nyumba zao zikiteketezwa. Pia mifugo huangamia . Kwa hivyo wananchi hubakia katika lindi la umaskini kwa kupoteza mali yao.
Pia siasa huchangia pukubwa kwa kutoelewana kwa wananchi wa pande zote mbili. Tunapata kwamba wanasiasa wanawaahidi wananchi ahadi ambazo wanshindwa kutekeleza. Hii inasababisha hali ya kutoelewana baina ya wananchi na wanasiasa. Kwa hivyo, inasababisha kutoelewana na baadaye vita huzuka.
Siasa za migawanyiko husababisha ukosefu wa vyakula kwa wanajamii. Wakati ambapo vita vinatokea, hali hii husababisha uharibifu wa mimea na husababisha ukosefu wa chakula kwa wananchi. Hali hii inasababisha kuzoroteka kwa afya ya wananchi.
Athari nyingine ni wizi la kimabavu. pindi usalama unapokosekana, baadhi ya wananchi huanza kuwadhulumu watu kwa kuharibu na kupora mali yao, sehemu za kazi kama vile sokoni kuvunjwa na mali yenye thamani kubwa kuibwa. Hali hii inaathiri sana wananchi.
Siasa za migawannyiko pia husababisha chuki dhidi ya wananchi. Tunapata kuona wananchi wanakosa kuelewana na muda si muda migogoro hutokea. Hali hii inawakosesha wananchi wengine raha na inawafanya kuishi kwa hofu.
Pia siasa za migawanyiko husababisha uharibifu wa biashara za wananchi. Hii imekua ni chanzo kikubwa cha wananchi kuishi katika hali ya umaskini. Kwa hivyo, serikali inafaa iimarishe usalama hapa nchini. | Ukosefu wa usalama huchangiwa na nini? | {
"text": [
"Vita"
]
} |
1838_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO KWA NCHI
Siasa zina umuhimu wake na pia zina athari zake katika jamii na nchi yetu. Kwanza kabisa,siasa za migawanyiko zinzpotokea, ni watu wengi ambuo hupoteza maisha yao. Wakati huu kila mwananchi huwac ameunga mkono yule kiongozi amjuaye. Kwa hivyo, ulaghai kwenye kuhesabu kura unapotokea, wananchi huanza kupigana wakitako haki upigaji kura itekelezwe. Hali hii husababisha ukosefu wa usalama na watu wengi hupokeza maisha yao.
Wakati na upigaji kura, ni wananchi wengi sana ambao huishi kwa hofu kuu. Wanasiasa ambao wanagombea vyeo kwenye serikali hawajali usalama wa wananchi wake, sehemu zote huwa katika hali ya kutoelenwana. Hali hii husababisha vitu na fumilia nyingi kusumbaratika na kutegana. Hii inakuwa ni vigumu kwa familia kuperta jamaa zake na inasababisha watu kuishi kwa hofu sana.
Pia, siasa husababisha uharibifu wa mimea na mali ambayo huleta hasara kubwa. Hali hii inatokea pale ambapo wananchi wanapigana na kuharibu mali huku nyumba zao zikiteketezwa. Pia mifugo huangamia . Kwa hivyo wananchi hubakia katika lindi la umaskini kwa kupoteza mali yao.
Pia siasa huchangia pukubwa kwa kutoelewana kwa wananchi wa pande zote mbili. Tunapata kwamba wanasiasa wanawaahidi wananchi ahadi ambazo wanshindwa kutekeleza. Hii inasababisha hali ya kutoelewana baina ya wananchi na wanasiasa. Kwa hivyo, inasababisha kutoelewana na baadaye vita huzuka.
Siasa za migawanyiko husababisha ukosefu wa vyakula kwa wanajamii. Wakati ambapo vita vinatokea, hali hii husababisha uharibifu wa mimea na husababisha ukosefu wa chakula kwa wananchi. Hali hii inasababisha kuzoroteka kwa afya ya wananchi.
Athari nyingine ni wizi la kimabavu. pindi usalama unapokosekana, baadhi ya wananchi huanza kuwadhulumu watu kwa kuharibu na kupora mali yao, sehemu za kazi kama vile sokoni kuvunjwa na mali yenye thamani kubwa kuibwa. Hali hii inaathiri sana wananchi.
Siasa za migawannyiko pia husababisha chuki dhidi ya wananchi. Tunapata kuona wananchi wanakosa kuelewana na muda si muda migogoro hutokea. Hali hii inawakosesha wananchi wengine raha na inawafanya kuishi kwa hofu.
Pia siasa za migawanyiko husababisha uharibifu wa biashara za wananchi. Hii imekua ni chanzo kikubwa cha wananchi kuishi katika hali ya umaskini. Kwa hivyo, serikali inafaa iimarishe usalama hapa nchini. | Wakati upi wananchi huishi na hofu sana? | {
"text": [
"Uchaguzi"
]
} |
1838_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO KWA NCHI
Siasa zina umuhimu wake na pia zina athari zake katika jamii na nchi yetu. Kwanza kabisa,siasa za migawanyiko zinzpotokea, ni watu wengi ambuo hupoteza maisha yao. Wakati huu kila mwananchi huwac ameunga mkono yule kiongozi amjuaye. Kwa hivyo, ulaghai kwenye kuhesabu kura unapotokea, wananchi huanza kupigana wakitako haki upigaji kura itekelezwe. Hali hii husababisha ukosefu wa usalama na watu wengi hupokeza maisha yao.
Wakati na upigaji kura, ni wananchi wengi sana ambao huishi kwa hofu kuu. Wanasiasa ambao wanagombea vyeo kwenye serikali hawajali usalama wa wananchi wake, sehemu zote huwa katika hali ya kutoelenwana. Hali hii husababisha vitu na fumilia nyingi kusumbaratika na kutegana. Hii inakuwa ni vigumu kwa familia kuperta jamaa zake na inasababisha watu kuishi kwa hofu sana.
Pia, siasa husababisha uharibifu wa mimea na mali ambayo huleta hasara kubwa. Hali hii inatokea pale ambapo wananchi wanapigana na kuharibu mali huku nyumba zao zikiteketezwa. Pia mifugo huangamia . Kwa hivyo wananchi hubakia katika lindi la umaskini kwa kupoteza mali yao.
Pia siasa huchangia pukubwa kwa kutoelewana kwa wananchi wa pande zote mbili. Tunapata kwamba wanasiasa wanawaahidi wananchi ahadi ambazo wanshindwa kutekeleza. Hii inasababisha hali ya kutoelewana baina ya wananchi na wanasiasa. Kwa hivyo, inasababisha kutoelewana na baadaye vita huzuka.
Siasa za migawanyiko husababisha ukosefu wa vyakula kwa wanajamii. Wakati ambapo vita vinatokea, hali hii husababisha uharibifu wa mimea na husababisha ukosefu wa chakula kwa wananchi. Hali hii inasababisha kuzoroteka kwa afya ya wananchi.
Athari nyingine ni wizi la kimabavu. pindi usalama unapokosekana, baadhi ya wananchi huanza kuwadhulumu watu kwa kuharibu na kupora mali yao, sehemu za kazi kama vile sokoni kuvunjwa na mali yenye thamani kubwa kuibwa. Hali hii inaathiri sana wananchi.
Siasa za migawannyiko pia husababisha chuki dhidi ya wananchi. Tunapata kuona wananchi wanakosa kuelewana na muda si muda migogoro hutokea. Hali hii inawakosesha wananchi wengine raha na inawafanya kuishi kwa hofu.
Pia siasa za migawanyiko husababisha uharibifu wa biashara za wananchi. Hii imekua ni chanzo kikubwa cha wananchi kuishi katika hali ya umaskini. Kwa hivyo, serikali inafaa iimarishe usalama hapa nchini. | Siasa mbaya pia huchangia uharibifu wa nini? | {
"text": [
"Mimea"
]
} |
1838_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO KWA NCHI
Siasa zina umuhimu wake na pia zina athari zake katika jamii na nchi yetu. Kwanza kabisa,siasa za migawanyiko zinzpotokea, ni watu wengi ambuo hupoteza maisha yao. Wakati huu kila mwananchi huwac ameunga mkono yule kiongozi amjuaye. Kwa hivyo, ulaghai kwenye kuhesabu kura unapotokea, wananchi huanza kupigana wakitako haki upigaji kura itekelezwe. Hali hii husababisha ukosefu wa usalama na watu wengi hupokeza maisha yao.
Wakati na upigaji kura, ni wananchi wengi sana ambao huishi kwa hofu kuu. Wanasiasa ambao wanagombea vyeo kwenye serikali hawajali usalama wa wananchi wake, sehemu zote huwa katika hali ya kutoelenwana. Hali hii husababisha vitu na fumilia nyingi kusumbaratika na kutegana. Hii inakuwa ni vigumu kwa familia kuperta jamaa zake na inasababisha watu kuishi kwa hofu sana.
Pia, siasa husababisha uharibifu wa mimea na mali ambayo huleta hasara kubwa. Hali hii inatokea pale ambapo wananchi wanapigana na kuharibu mali huku nyumba zao zikiteketezwa. Pia mifugo huangamia . Kwa hivyo wananchi hubakia katika lindi la umaskini kwa kupoteza mali yao.
Pia siasa huchangia pukubwa kwa kutoelewana kwa wananchi wa pande zote mbili. Tunapata kwamba wanasiasa wanawaahidi wananchi ahadi ambazo wanshindwa kutekeleza. Hii inasababisha hali ya kutoelewana baina ya wananchi na wanasiasa. Kwa hivyo, inasababisha kutoelewana na baadaye vita huzuka.
Siasa za migawanyiko husababisha ukosefu wa vyakula kwa wanajamii. Wakati ambapo vita vinatokea, hali hii husababisha uharibifu wa mimea na husababisha ukosefu wa chakula kwa wananchi. Hali hii inasababisha kuzoroteka kwa afya ya wananchi.
Athari nyingine ni wizi la kimabavu. pindi usalama unapokosekana, baadhi ya wananchi huanza kuwadhulumu watu kwa kuharibu na kupora mali yao, sehemu za kazi kama vile sokoni kuvunjwa na mali yenye thamani kubwa kuibwa. Hali hii inaathiri sana wananchi.
Siasa za migawannyiko pia husababisha chuki dhidi ya wananchi. Tunapata kuona wananchi wanakosa kuelewana na muda si muda migogoro hutokea. Hali hii inawakosesha wananchi wengine raha na inawafanya kuishi kwa hofu.
Pia siasa za migawanyiko husababisha uharibifu wa biashara za wananchi. Hii imekua ni chanzo kikubwa cha wananchi kuishi katika hali ya umaskini. Kwa hivyo, serikali inafaa iimarishe usalama hapa nchini. | Wanasiasa huahidi wananchi nini wakati wa uchaguzi? | {
"text": [
"Maendeleo ya kiuchumi"
]
} |
1839_swa | NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini.
Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake.
Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya.
Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua.
Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya.
Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
| Asilimia nyingi ya watu hutegemea nini | {
"text": [
"Biashara"
]
} |
1839_swa | NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini.
Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake.
Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya.
Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua.
Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya.
Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
| Ni viwango vya nini vinafaa kupunguzwa | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
1839_swa | NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini.
Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake.
Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya.
Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua.
Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya.
Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
| Serikali inafaa iwapatie wanabiashara nini | {
"text": [
"Vyeti"
]
} |
1839_swa | NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini.
Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake.
Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya.
Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua.
Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya.
Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
| Nini inafaa kuimarishwa | {
"text": [
"Usalama"
]
} |
1839_swa | NJIA MBALI MBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara ndio miundo msingi wa Kenya. Kenya kama taifa inafaa kuimarisha biashara kwa kuwa biashara ndio sekta ambayo asilimia nyingi ya watu hutegemea kujikimu kimaisha. Njia zifuatazo zinaweza kumiwa kuimarisha biashara nchini.
Kwanza ni kupunguza viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa wanabiashara. Ushuru ukipandishwa wanabiashara hupata kuumia. Faida wanayoipata katika biashara hiyo hupungua na hata wengine kuenda hasara. Faida anayoipata mtu kutoka kwa biashara yake ndo yeye hutumia kulipia vitu vidogo vidogo kama kodi ya nyumba ya biashara, wafanyikazi na hata kuimarisha biashara yake.
Pili, kuimarisha barabara zetu. Baadhi ya barabara ziko katika hali mbaya. Bidhaa zinazotakikana kufika sokoni kwa wakati huweza kuchelewa kwa kuwa vinasafirishwa polepole. Hali ya anga pia husababisha barabara ziwe mbaya wakati wa mvua. Magari mengi hukiwama kwenye baraste ambazo ni za matope, hivyo basi kuchelewesha bidhaa. Serikali inafaa kujenga barabara ili kuzuia matukio kama haya.
Pia bidhaa za kutoka ng’ambo zinafaa zipunguzwe. Nchi ya Kenya ina malighafi na pesa za kutosha kuundia bidhaa humu nchini. Bidhaa zinapoundwa humu nchini huwapa vijana nafasi ya kujiunga na kampuni mbalimbali zinazowapa kazi. Hivyo basi, biashara haramu ya dawa za kulevya itapungua.
Serikali pia infaa iwape wanabiashara vyeti vya kudhibitisha kuwa mtu huyo anafaa afanye biashara hiyo. Pesa za kupata vyeti hivi inafaa ipunguzwe ili walalahoi wapate nafasi ya kuanzisha biashara zao ili kujikimu kimaisha. Pia, inapunguza uchochole katika jamii ya wakenya.
Tano, usalama unafaa uimarishwe. Bidhaa hizi za biashara, vyombo na maeneo ya biashara inafaa kulindwa kwa kuwa gharama yao si rahisi. Watu wengi wamejinyima ili waimarishe biashara zao ili waweze kupata faida. Ihali bidhaa zao zinapopotea au zinapoibwa na jambazi, wanapata hasara kubwa sana. Polisi wanafaa watembee usiku wakipiga patroli, wahakikishe kuwa vite viko salama.
| Nauli ya bidhaa za kuharibika haraka ifanywe nini | {
"text": [
"Ipunguzwe ili hasara ya kufika sokoni ipungue"
]
} |
1841_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA KATIKA JENGO LA AFYA HOUSE KUHUSU MSAMBAO NA JINSI YA KUDHIBITI JANGA LA CORONA
“Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Bw.Uhuru Kenyatta, Naibu wake Bw. Wilson, mawaziri, wanahabari na wananchi wazalendo wa Kenya, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwakaribisheni nyingi wote katika hafla hii itakayo chukua muda wa saa chache tu ili tuweze kuzungumzia maswala kuhusu janga hili.
Katika siku za hivi karibuni tumekuwa na visa vingi vya maambukizi ya ugonjwa huu kuliko waliopona na kupata nafuu. Pia, maabara yetu yameweza kuongeza uwezo wao wa kupima ugonjwa huu.
Hivi leo, tumeipima sampuli kutoka kwa watu elfu mbili mia tano themanini na mbili ambao kati yao, watu elfu moja mia tisa na thelatini walipatikana kuwa na ugonjwa huu. Tumewasafirisha walioambukizwa katika hospitali tofauti tofauti humu nchini. Jimbo la Nairobi na Mombasa ndio majimbo yanayoongoza katika maambukizi haya. Pia tunafurahia kusema kwamba leo tumefanikiwa kuwaondoa wagonjwa mia tatu na kumi na moja waliokuwa katika hospitali tofauti tofauti baada ya wao kuweza kupata nafuu. Hata hivyo, tunasikitika kusema kuwa tumewapoteza wagonjwa hamsini na tatu. Idadi hii ndiyo ya juu zaidi kuweza kuripotiwa humu nchini.
Tunashauriwa kufuata maagizo yaliyowekwa kupambana na janga hili, mojawapo ni kuosha mikono kwa maji yanayotiririka aghalabu kwa sekunde thelathini. Pili tunahimizwa kuvaa barakoa kila wakati tunapoenda katika maeneo yaliyo na umati.
Unapohisi maumivu yoyote, unapaswa kwenda katika kituo cha afya kilicho karibu nawe upimwe. Kumbukeni, jukumu la mwananchi ndio funguo katika mafanikio ya kushinda dhidi ya ugonjwa huu. Tunashauriwa pia tusiwatenge wale ambao walioambukizwa ugonjwa huu kwani kuwatenge kunaweza kusababishia madhara kama kusongwa na mawazo mengi.
Asanteni sana kwa kunipa sikio na mungu awabariki nyote mtapokwenda mkwenu na mtakapotekeleza wajibu wenu kupigana na janga hili. Kwaherini.” | Rais wa jamuhuri ya Kenya ni nani? | {
"text": [
"Bwana Uhuru Kenyatta"
]
} |
1841_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA KATIKA JENGO LA AFYA HOUSE KUHUSU MSAMBAO NA JINSI YA KUDHIBITI JANGA LA CORONA
“Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Bw.Uhuru Kenyatta, Naibu wake Bw. Wilson, mawaziri, wanahabari na wananchi wazalendo wa Kenya, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwakaribisheni nyingi wote katika hafla hii itakayo chukua muda wa saa chache tu ili tuweze kuzungumzia maswala kuhusu janga hili.
Katika siku za hivi karibuni tumekuwa na visa vingi vya maambukizi ya ugonjwa huu kuliko waliopona na kupata nafuu. Pia, maabara yetu yameweza kuongeza uwezo wao wa kupima ugonjwa huu.
Hivi leo, tumeipima sampuli kutoka kwa watu elfu mbili mia tano themanini na mbili ambao kati yao, watu elfu moja mia tisa na thelatini walipatikana kuwa na ugonjwa huu. Tumewasafirisha walioambukizwa katika hospitali tofauti tofauti humu nchini. Jimbo la Nairobi na Mombasa ndio majimbo yanayoongoza katika maambukizi haya. Pia tunafurahia kusema kwamba leo tumefanikiwa kuwaondoa wagonjwa mia tatu na kumi na moja waliokuwa katika hospitali tofauti tofauti baada ya wao kuweza kupata nafuu. Hata hivyo, tunasikitika kusema kuwa tumewapoteza wagonjwa hamsini na tatu. Idadi hii ndiyo ya juu zaidi kuweza kuripotiwa humu nchini.
Tunashauriwa kufuata maagizo yaliyowekwa kupambana na janga hili, mojawapo ni kuosha mikono kwa maji yanayotiririka aghalabu kwa sekunde thelathini. Pili tunahimizwa kuvaa barakoa kila wakati tunapoenda katika maeneo yaliyo na umati.
Unapohisi maumivu yoyote, unapaswa kwenda katika kituo cha afya kilicho karibu nawe upimwe. Kumbukeni, jukumu la mwananchi ndio funguo katika mafanikio ya kushinda dhidi ya ugonjwa huu. Tunashauriwa pia tusiwatenge wale ambao walioambukizwa ugonjwa huu kwani kuwatenge kunaweza kusababishia madhara kama kusongwa na mawazo mengi.
Asanteni sana kwa kunipa sikio na mungu awabariki nyote mtapokwenda mkwenu na mtakapotekeleza wajibu wenu kupigana na janga hili. Kwaherini.” | Waziri anadhihirisha nini kuhusu visa vya korona? | {
"text": [
"Maambukizi yamezidi kuliko waliopona na kupata nafuu"
]
} |
1841_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA KATIKA JENGO LA AFYA HOUSE KUHUSU MSAMBAO NA JINSI YA KUDHIBITI JANGA LA CORONA
“Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Bw.Uhuru Kenyatta, Naibu wake Bw. Wilson, mawaziri, wanahabari na wananchi wazalendo wa Kenya, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwakaribisheni nyingi wote katika hafla hii itakayo chukua muda wa saa chache tu ili tuweze kuzungumzia maswala kuhusu janga hili.
Katika siku za hivi karibuni tumekuwa na visa vingi vya maambukizi ya ugonjwa huu kuliko waliopona na kupata nafuu. Pia, maabara yetu yameweza kuongeza uwezo wao wa kupima ugonjwa huu.
Hivi leo, tumeipima sampuli kutoka kwa watu elfu mbili mia tano themanini na mbili ambao kati yao, watu elfu moja mia tisa na thelatini walipatikana kuwa na ugonjwa huu. Tumewasafirisha walioambukizwa katika hospitali tofauti tofauti humu nchini. Jimbo la Nairobi na Mombasa ndio majimbo yanayoongoza katika maambukizi haya. Pia tunafurahia kusema kwamba leo tumefanikiwa kuwaondoa wagonjwa mia tatu na kumi na moja waliokuwa katika hospitali tofauti tofauti baada ya wao kuweza kupata nafuu. Hata hivyo, tunasikitika kusema kuwa tumewapoteza wagonjwa hamsini na tatu. Idadi hii ndiyo ya juu zaidi kuweza kuripotiwa humu nchini.
Tunashauriwa kufuata maagizo yaliyowekwa kupambana na janga hili, mojawapo ni kuosha mikono kwa maji yanayotiririka aghalabu kwa sekunde thelathini. Pili tunahimizwa kuvaa barakoa kila wakati tunapoenda katika maeneo yaliyo na umati.
Unapohisi maumivu yoyote, unapaswa kwenda katika kituo cha afya kilicho karibu nawe upimwe. Kumbukeni, jukumu la mwananchi ndio funguo katika mafanikio ya kushinda dhidi ya ugonjwa huu. Tunashauriwa pia tusiwatenge wale ambao walioambukizwa ugonjwa huu kwani kuwatenge kunaweza kusababishia madhara kama kusongwa na mawazo mengi.
Asanteni sana kwa kunipa sikio na mungu awabariki nyote mtapokwenda mkwenu na mtakapotekeleza wajibu wenu kupigana na janga hili. Kwaherini.” | Ni watu wangapi wamepatikana na ugonjwa wa korona? | {
"text": [
"1930"
]
} |
1841_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA KATIKA JENGO LA AFYA HOUSE KUHUSU MSAMBAO NA JINSI YA KUDHIBITI JANGA LA CORONA
“Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Bw.Uhuru Kenyatta, Naibu wake Bw. Wilson, mawaziri, wanahabari na wananchi wazalendo wa Kenya, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwakaribisheni nyingi wote katika hafla hii itakayo chukua muda wa saa chache tu ili tuweze kuzungumzia maswala kuhusu janga hili.
Katika siku za hivi karibuni tumekuwa na visa vingi vya maambukizi ya ugonjwa huu kuliko waliopona na kupata nafuu. Pia, maabara yetu yameweza kuongeza uwezo wao wa kupima ugonjwa huu.
Hivi leo, tumeipima sampuli kutoka kwa watu elfu mbili mia tano themanini na mbili ambao kati yao, watu elfu moja mia tisa na thelatini walipatikana kuwa na ugonjwa huu. Tumewasafirisha walioambukizwa katika hospitali tofauti tofauti humu nchini. Jimbo la Nairobi na Mombasa ndio majimbo yanayoongoza katika maambukizi haya. Pia tunafurahia kusema kwamba leo tumefanikiwa kuwaondoa wagonjwa mia tatu na kumi na moja waliokuwa katika hospitali tofauti tofauti baada ya wao kuweza kupata nafuu. Hata hivyo, tunasikitika kusema kuwa tumewapoteza wagonjwa hamsini na tatu. Idadi hii ndiyo ya juu zaidi kuweza kuripotiwa humu nchini.
Tunashauriwa kufuata maagizo yaliyowekwa kupambana na janga hili, mojawapo ni kuosha mikono kwa maji yanayotiririka aghalabu kwa sekunde thelathini. Pili tunahimizwa kuvaa barakoa kila wakati tunapoenda katika maeneo yaliyo na umati.
Unapohisi maumivu yoyote, unapaswa kwenda katika kituo cha afya kilicho karibu nawe upimwe. Kumbukeni, jukumu la mwananchi ndio funguo katika mafanikio ya kushinda dhidi ya ugonjwa huu. Tunashauriwa pia tusiwatenge wale ambao walioambukizwa ugonjwa huu kwani kuwatenge kunaweza kusababishia madhara kama kusongwa na mawazo mengi.
Asanteni sana kwa kunipa sikio na mungu awabariki nyote mtapokwenda mkwenu na mtakapotekeleza wajibu wenu kupigana na janga hili. Kwaherini.” | Taja mojawapo ya maagizo yaliyowekwa ili kupambana na Korona | {
"text": [
"Kunawa mikono kwa maji yanayotiririka kwa sekunde thelathini"
]
} |
1841_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA KATIKA JENGO LA AFYA HOUSE KUHUSU MSAMBAO NA JINSI YA KUDHIBITI JANGA LA CORONA
“Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Bw.Uhuru Kenyatta, Naibu wake Bw. Wilson, mawaziri, wanahabari na wananchi wazalendo wa Kenya, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwakaribisheni nyingi wote katika hafla hii itakayo chukua muda wa saa chache tu ili tuweze kuzungumzia maswala kuhusu janga hili.
Katika siku za hivi karibuni tumekuwa na visa vingi vya maambukizi ya ugonjwa huu kuliko waliopona na kupata nafuu. Pia, maabara yetu yameweza kuongeza uwezo wao wa kupima ugonjwa huu.
Hivi leo, tumeipima sampuli kutoka kwa watu elfu mbili mia tano themanini na mbili ambao kati yao, watu elfu moja mia tisa na thelatini walipatikana kuwa na ugonjwa huu. Tumewasafirisha walioambukizwa katika hospitali tofauti tofauti humu nchini. Jimbo la Nairobi na Mombasa ndio majimbo yanayoongoza katika maambukizi haya. Pia tunafurahia kusema kwamba leo tumefanikiwa kuwaondoa wagonjwa mia tatu na kumi na moja waliokuwa katika hospitali tofauti tofauti baada ya wao kuweza kupata nafuu. Hata hivyo, tunasikitika kusema kuwa tumewapoteza wagonjwa hamsini na tatu. Idadi hii ndiyo ya juu zaidi kuweza kuripotiwa humu nchini.
Tunashauriwa kufuata maagizo yaliyowekwa kupambana na janga hili, mojawapo ni kuosha mikono kwa maji yanayotiririka aghalabu kwa sekunde thelathini. Pili tunahimizwa kuvaa barakoa kila wakati tunapoenda katika maeneo yaliyo na umati.
Unapohisi maumivu yoyote, unapaswa kwenda katika kituo cha afya kilicho karibu nawe upimwe. Kumbukeni, jukumu la mwananchi ndio funguo katika mafanikio ya kushinda dhidi ya ugonjwa huu. Tunashauriwa pia tusiwatenge wale ambao walioambukizwa ugonjwa huu kwani kuwatenge kunaweza kusababishia madhara kama kusongwa na mawazo mengi.
Asanteni sana kwa kunipa sikio na mungu awabariki nyote mtapokwenda mkwenu na mtakapotekeleza wajibu wenu kupigana na janga hili. Kwaherini.” | Je, unapahisi maumivu unapaswa kufanya nini? | {
"text": [
"Kutembelea kituo cha afya kilicho karibu nawe"
]
} |
1844_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na tupaswa kuwa safi kila mara. Usafi wa mazingira ni jambo la maana kwa wote ambao wanapumua hewa.
Mazingira chafu huleta picha mbaya kwa maboma yetu. Uchafu huleta madhara ya magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na homa ambazo ni hatari kwa maisha ya wanadamu.
Malaria husababishwa na maji ambayo yamesimama. Mikebe yote inapaswa kuchomwa na kufagia maji yote karibu na makao ya watu.
Mazingira yapokuwa chafu ni vibaya kwa sababu yanahatarisha maisha ya watu. Tunapaswa kupanda miti na tukomeshe ukataji za misitu kwa sababu ndio inatusaidia kupata mvua na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Watu wanakata miti kutoa mbao na kuchoma makaa. Mazingira yanabaki bila miti na upepo mkali ukivuma hubeba mchanga yenye rutuba. Pia mvua ikinyesha, mafuriko husumbua watu sana kwa kubeba vitu vyao na hata watu wanaweza kufa. Tukipanda miti, itatusaidia kwa kuzuia upepo mkali na kuzuia maji.
Moshi ambao hutoka kwenye magari zinapoendeshwa huchafua hewa.
Hewa inapochafuka, huweza kuleta magonjwa ya kupumua.
Tunapaswa kuwa safi hata kwa nyumba zetu. Lazima tufagie kila mara hasa kule jikoni ambako tunapika vyakula ambavyo tunakula. Taka taka zote tupeleke kwenye shimo la taka taka ili tusafishe mazingira yetu.
| Maradhi yanayotokana na mazingira machafu ni kama yapi? | {
"text": [
"Kipindupindu na malaria"
]
} |
1844_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na tupaswa kuwa safi kila mara. Usafi wa mazingira ni jambo la maana kwa wote ambao wanapumua hewa.
Mazingira chafu huleta picha mbaya kwa maboma yetu. Uchafu huleta madhara ya magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na homa ambazo ni hatari kwa maisha ya wanadamu.
Malaria husababishwa na maji ambayo yamesimama. Mikebe yote inapaswa kuchomwa na kufagia maji yote karibu na makao ya watu.
Mazingira yapokuwa chafu ni vibaya kwa sababu yanahatarisha maisha ya watu. Tunapaswa kupanda miti na tukomeshe ukataji za misitu kwa sababu ndio inatusaidia kupata mvua na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Watu wanakata miti kutoa mbao na kuchoma makaa. Mazingira yanabaki bila miti na upepo mkali ukivuma hubeba mchanga yenye rutuba. Pia mvua ikinyesha, mafuriko husumbua watu sana kwa kubeba vitu vyao na hata watu wanaweza kufa. Tukipanda miti, itatusaidia kwa kuzuia upepo mkali na kuzuia maji.
Moshi ambao hutoka kwenye magari zinapoendeshwa huchafua hewa.
Hewa inapochafuka, huweza kuleta magonjwa ya kupumua.
Tunapaswa kuwa safi hata kwa nyumba zetu. Lazima tufagie kila mara hasa kule jikoni ambako tunapika vyakula ambavyo tunakula. Taka taka zote tupeleke kwenye shimo la taka taka ili tusafishe mazingira yetu.
| Maji yaliyosimama kando na nyumba yanaweza leta ugonjwa upi? | {
"text": [
"Malaria"
]
} |
1844_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na tupaswa kuwa safi kila mara. Usafi wa mazingira ni jambo la maana kwa wote ambao wanapumua hewa.
Mazingira chafu huleta picha mbaya kwa maboma yetu. Uchafu huleta madhara ya magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na homa ambazo ni hatari kwa maisha ya wanadamu.
Malaria husababishwa na maji ambayo yamesimama. Mikebe yote inapaswa kuchomwa na kufagia maji yote karibu na makao ya watu.
Mazingira yapokuwa chafu ni vibaya kwa sababu yanahatarisha maisha ya watu. Tunapaswa kupanda miti na tukomeshe ukataji za misitu kwa sababu ndio inatusaidia kupata mvua na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Watu wanakata miti kutoa mbao na kuchoma makaa. Mazingira yanabaki bila miti na upepo mkali ukivuma hubeba mchanga yenye rutuba. Pia mvua ikinyesha, mafuriko husumbua watu sana kwa kubeba vitu vyao na hata watu wanaweza kufa. Tukipanda miti, itatusaidia kwa kuzuia upepo mkali na kuzuia maji.
Moshi ambao hutoka kwenye magari zinapoendeshwa huchafua hewa.
Hewa inapochafuka, huweza kuleta magonjwa ya kupumua.
Tunapaswa kuwa safi hata kwa nyumba zetu. Lazima tufagie kila mara hasa kule jikoni ambako tunapika vyakula ambavyo tunakula. Taka taka zote tupeleke kwenye shimo la taka taka ili tusafishe mazingira yetu.
| Mimea ipi huleta mvua? | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1844_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na tupaswa kuwa safi kila mara. Usafi wa mazingira ni jambo la maana kwa wote ambao wanapumua hewa.
Mazingira chafu huleta picha mbaya kwa maboma yetu. Uchafu huleta madhara ya magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na homa ambazo ni hatari kwa maisha ya wanadamu.
Malaria husababishwa na maji ambayo yamesimama. Mikebe yote inapaswa kuchomwa na kufagia maji yote karibu na makao ya watu.
Mazingira yapokuwa chafu ni vibaya kwa sababu yanahatarisha maisha ya watu. Tunapaswa kupanda miti na tukomeshe ukataji za misitu kwa sababu ndio inatusaidia kupata mvua na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Watu wanakata miti kutoa mbao na kuchoma makaa. Mazingira yanabaki bila miti na upepo mkali ukivuma hubeba mchanga yenye rutuba. Pia mvua ikinyesha, mafuriko husumbua watu sana kwa kubeba vitu vyao na hata watu wanaweza kufa. Tukipanda miti, itatusaidia kwa kuzuia upepo mkali na kuzuia maji.
Moshi ambao hutoka kwenye magari zinapoendeshwa huchafua hewa.
Hewa inapochafuka, huweza kuleta magonjwa ya kupumua.
Tunapaswa kuwa safi hata kwa nyumba zetu. Lazima tufagie kila mara hasa kule jikoni ambako tunapika vyakula ambavyo tunakula. Taka taka zote tupeleke kwenye shimo la taka taka ili tusafishe mazingira yetu.
| Miti hupunguza nini? | {
"text": [
"Mmomonyoko wa udongo"
]
} |
1844_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni mahali ambapo tunaishi na tupaswa kuwa safi kila mara. Usafi wa mazingira ni jambo la maana kwa wote ambao wanapumua hewa.
Mazingira chafu huleta picha mbaya kwa maboma yetu. Uchafu huleta madhara ya magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na homa ambazo ni hatari kwa maisha ya wanadamu.
Malaria husababishwa na maji ambayo yamesimama. Mikebe yote inapaswa kuchomwa na kufagia maji yote karibu na makao ya watu.
Mazingira yapokuwa chafu ni vibaya kwa sababu yanahatarisha maisha ya watu. Tunapaswa kupanda miti na tukomeshe ukataji za misitu kwa sababu ndio inatusaidia kupata mvua na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Watu wanakata miti kutoa mbao na kuchoma makaa. Mazingira yanabaki bila miti na upepo mkali ukivuma hubeba mchanga yenye rutuba. Pia mvua ikinyesha, mafuriko husumbua watu sana kwa kubeba vitu vyao na hata watu wanaweza kufa. Tukipanda miti, itatusaidia kwa kuzuia upepo mkali na kuzuia maji.
Moshi ambao hutoka kwenye magari zinapoendeshwa huchafua hewa.
Hewa inapochafuka, huweza kuleta magonjwa ya kupumua.
Tunapaswa kuwa safi hata kwa nyumba zetu. Lazima tufagie kila mara hasa kule jikoni ambako tunapika vyakula ambavyo tunakula. Taka taka zote tupeleke kwenye shimo la taka taka ili tusafishe mazingira yetu.
| Mvua kubwa husababisha nini wakati hakuna miti? | {
"text": [
"Mafuriko"
]
} |
1845_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MẠZINGIRA
Mazingira ni pahali tunapoishi. Katika mazingira yetu huwa tunzungukwa na vitu mbali mbali kama vile miti, maua na zinginezo. Pahali tunapoishi hasa sisi kama wanadamu ni lazima pawe safi. Hii ni kwa sababu usafi huboresha maisha yetu.
Uchafuzi wa mazingira una madhara kwa sababu unapochafua mazingira yako utapata maradhi mbalimbali kama kolera ambayo isababishwa na mazingira machafu. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile kutupa taka taka ovyo ovyo. Unapotaka kuweka mazingira yako yawe safi, uweke taka taka kwenye biwi la taka na pia uchomwe ili upepo ukija hakutakua na taka taka ya kutawanya.
Tunapo chafua mazingira yetu, tutapata madhara kwa sababu tutapata maradhi. Kuzuia maradhi ni kujikinga, tufanye juu chini tushiriki bega kwa bega tuweke mazingira yetu saf ili tujikinge na maradhi kama vile kipindupindu na maradhi mengine.
Tunapochoma taka taka tusichome karibu na makao wa sababu moshi inatoka hapo inaleta maradhi. Kila mtu achome taka taka mbali kiasi na nyumba yake. Tunapo mwanga maji chafu, tusimwage karibu na nyumba.
Maji chafu inaponyesha, tusikanyange ovyo ovyo kwa sababu kuna wanyama ndani ya hayo maji na husababisha maradhi mbaya.
| Mazingira yetuhuzungukwa na vitu kama vile | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1845_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MẠZINGIRA
Mazingira ni pahali tunapoishi. Katika mazingira yetu huwa tunzungukwa na vitu mbali mbali kama vile miti, maua na zinginezo. Pahali tunapoishi hasa sisi kama wanadamu ni lazima pawe safi. Hii ni kwa sababu usafi huboresha maisha yetu.
Uchafuzi wa mazingira una madhara kwa sababu unapochafua mazingira yako utapata maradhi mbalimbali kama kolera ambayo isababishwa na mazingira machafu. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile kutupa taka taka ovyo ovyo. Unapotaka kuweka mazingira yako yawe safi, uweke taka taka kwenye biwi la taka na pia uchomwe ili upepo ukija hakutakua na taka taka ya kutawanya.
Tunapo chafua mazingira yetu, tutapata madhara kwa sababu tutapata maradhi. Kuzuia maradhi ni kujikinga, tufanye juu chini tushiriki bega kwa bega tuweke mazingira yetu saf ili tujikinge na maradhi kama vile kipindupindu na maradhi mengine.
Tunapochoma taka taka tusichome karibu na makao wa sababu moshi inatoka hapo inaleta maradhi. Kila mtu achome taka taka mbali kiasi na nyumba yake. Tunapo mwanga maji chafu, tusimwage karibu na nyumba.
Maji chafu inaponyesha, tusikanyange ovyo ovyo kwa sababu kuna wanyama ndani ya hayo maji na husababisha maradhi mbaya.
| Usafi hufanya nini | {
"text": [
"Huboresha maisha yetu"
]
} |
1845_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MẠZINGIRA
Mazingira ni pahali tunapoishi. Katika mazingira yetu huwa tunzungukwa na vitu mbali mbali kama vile miti, maua na zinginezo. Pahali tunapoishi hasa sisi kama wanadamu ni lazima pawe safi. Hii ni kwa sababu usafi huboresha maisha yetu.
Uchafuzi wa mazingira una madhara kwa sababu unapochafua mazingira yako utapata maradhi mbalimbali kama kolera ambayo isababishwa na mazingira machafu. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile kutupa taka taka ovyo ovyo. Unapotaka kuweka mazingira yako yawe safi, uweke taka taka kwenye biwi la taka na pia uchomwe ili upepo ukija hakutakua na taka taka ya kutawanya.
Tunapo chafua mazingira yetu, tutapata madhara kwa sababu tutapata maradhi. Kuzuia maradhi ni kujikinga, tufanye juu chini tushiriki bega kwa bega tuweke mazingira yetu saf ili tujikinge na maradhi kama vile kipindupindu na maradhi mengine.
Tunapochoma taka taka tusichome karibu na makao wa sababu moshi inatoka hapo inaleta maradhi. Kila mtu achome taka taka mbali kiasi na nyumba yake. Tunapo mwanga maji chafu, tusimwage karibu na nyumba.
Maji chafu inaponyesha, tusikanyange ovyo ovyo kwa sababu kuna wanyama ndani ya hayo maji na husababisha maradhi mbaya.
| Uchafuzi wa mazingira una nini | {
"text": [
"Madhara"
]
} |
1845_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MẠZINGIRA
Mazingira ni pahali tunapoishi. Katika mazingira yetu huwa tunzungukwa na vitu mbali mbali kama vile miti, maua na zinginezo. Pahali tunapoishi hasa sisi kama wanadamu ni lazima pawe safi. Hii ni kwa sababu usafi huboresha maisha yetu.
Uchafuzi wa mazingira una madhara kwa sababu unapochafua mazingira yako utapata maradhi mbalimbali kama kolera ambayo isababishwa na mazingira machafu. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile kutupa taka taka ovyo ovyo. Unapotaka kuweka mazingira yako yawe safi, uweke taka taka kwenye biwi la taka na pia uchomwe ili upepo ukija hakutakua na taka taka ya kutawanya.
Tunapo chafua mazingira yetu, tutapata madhara kwa sababu tutapata maradhi. Kuzuia maradhi ni kujikinga, tufanye juu chini tushiriki bega kwa bega tuweke mazingira yetu saf ili tujikinge na maradhi kama vile kipindupindu na maradhi mengine.
Tunapochoma taka taka tusichome karibu na makao wa sababu moshi inatoka hapo inaleta maradhi. Kila mtu achome taka taka mbali kiasi na nyumba yake. Tunapo mwanga maji chafu, tusimwage karibu na nyumba.
Maji chafu inaponyesha, tusikanyange ovyo ovyo kwa sababu kuna wanyama ndani ya hayo maji na husababisha maradhi mbaya.
| Tunapochafua mazingira tutapata nini | {
"text": [
"Maradhi"
]
} |
1845_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MẠZINGIRA
Mazingira ni pahali tunapoishi. Katika mazingira yetu huwa tunzungukwa na vitu mbali mbali kama vile miti, maua na zinginezo. Pahali tunapoishi hasa sisi kama wanadamu ni lazima pawe safi. Hii ni kwa sababu usafi huboresha maisha yetu.
Uchafuzi wa mazingira una madhara kwa sababu unapochafua mazingira yako utapata maradhi mbalimbali kama kolera ambayo isababishwa na mazingira machafu. Uchafuzi wa mazingira ni kama vile kutupa taka taka ovyo ovyo. Unapotaka kuweka mazingira yako yawe safi, uweke taka taka kwenye biwi la taka na pia uchomwe ili upepo ukija hakutakua na taka taka ya kutawanya.
Tunapo chafua mazingira yetu, tutapata madhara kwa sababu tutapata maradhi. Kuzuia maradhi ni kujikinga, tufanye juu chini tushiriki bega kwa bega tuweke mazingira yetu saf ili tujikinge na maradhi kama vile kipindupindu na maradhi mengine.
Tunapochoma taka taka tusichome karibu na makao wa sababu moshi inatoka hapo inaleta maradhi. Kila mtu achome taka taka mbali kiasi na nyumba yake. Tunapo mwanga maji chafu, tusimwage karibu na nyumba.
Maji chafu inaponyesha, tusikanyange ovyo ovyo kwa sababu kuna wanyama ndani ya hayo maji na husababisha maradhi mbaya.
| Mbona tusichome takataka karibu na makao | {
"text": [
"Kwa sababu moshi unaotoka huleta maradhi"
]
} |
1846_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mengi sana na mbaya sana kwa sababu huifanya mazingira kuwa machafu sana. Raaban alitupa mazıngıra haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi Insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambayo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa taka taka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kutupa taka taka kwenye biwi au shimo la taka taka. Zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu wote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambayo huletwa mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapoenda haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa. Wengi wao hawana vyoo katika nyumba zao. Wanapotaka kujisaidia, wanakojoa popote na kutoa vinyesi popote.
Tatu ni kwamba, waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la taka taka kwa kila ili kuzui taka taka kutapakaa kila mahali. Hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambayo huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika nyumba zetu. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko karibu na nyumba zetu na kufagia uchafu mwingine kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakio ya chakula.ambazo hutupwa chini, yote yanapaswa kufagiliwa na nyumba ziwe safi na pia kia insi atunze mazin
| Nani alitupa mazingira tuyatunze | {
"text": [
"Raaban"
]
} |
1846_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mengi sana na mbaya sana kwa sababu huifanya mazingira kuwa machafu sana. Raaban alitupa mazıngıra haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi Insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambayo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa taka taka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kutupa taka taka kwenye biwi au shimo la taka taka. Zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu wote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambayo huletwa mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapoenda haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa. Wengi wao hawana vyoo katika nyumba zao. Wanapotaka kujisaidia, wanakojoa popote na kutoa vinyesi popote.
Tatu ni kwamba, waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la taka taka kwa kila ili kuzui taka taka kutapakaa kila mahali. Hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambayo huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika nyumba zetu. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko karibu na nyumba zetu na kufagia uchafu mwingine kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakio ya chakula.ambazo hutupwa chini, yote yanapaswa kufagiliwa na nyumba ziwe safi na pia kia insi atunze mazin
| Madhara ni uharibifu wa nini | {
"text": [
"mazingira"
]
} |
1846_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mengi sana na mbaya sana kwa sababu huifanya mazingira kuwa machafu sana. Raaban alitupa mazıngıra haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi Insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambayo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa taka taka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kutupa taka taka kwenye biwi au shimo la taka taka. Zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu wote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambayo huletwa mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapoenda haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa. Wengi wao hawana vyoo katika nyumba zao. Wanapotaka kujisaidia, wanakojoa popote na kutoa vinyesi popote.
Tatu ni kwamba, waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la taka taka kwa kila ili kuzui taka taka kutapakaa kila mahali. Hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambayo huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika nyumba zetu. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko karibu na nyumba zetu na kufagia uchafu mwingine kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakio ya chakula.ambazo hutupwa chini, yote yanapaswa kufagiliwa na nyumba ziwe safi na pia kia insi atunze mazin
| Tunapaswa kukata nyasi gani | {
"text": [
"ndefu"
]
} |
1846_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mengi sana na mbaya sana kwa sababu huifanya mazingira kuwa machafu sana. Raaban alitupa mazıngıra haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi Insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambayo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa taka taka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kutupa taka taka kwenye biwi au shimo la taka taka. Zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu wote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambayo huletwa mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapoenda haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa. Wengi wao hawana vyoo katika nyumba zao. Wanapotaka kujisaidia, wanakojoa popote na kutoa vinyesi popote.
Tatu ni kwamba, waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la taka taka kwa kila ili kuzui taka taka kutapakaa kila mahali. Hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambayo huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika nyumba zetu. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko karibu na nyumba zetu na kufagia uchafu mwingine kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakio ya chakula.ambazo hutupwa chini, yote yanapaswa kufagiliwa na nyumba ziwe safi na pia kia insi atunze mazin
| Magonjwa kama malaria huletwa na nini | {
"text": [
"uchafu"
]
} |
1846_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni mengi sana na mbaya sana kwa sababu huifanya mazingira kuwa machafu sana. Raaban alitupa mazıngıra haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi Insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambayo hufanya mazingira kuwa machafu ni kwamba watu wengi hutupa taka taka kila mahali hivyo basi wanauchafua mazingira yote. Tunapaswa kutupa taka taka kwenye biwi au shimo la taka taka. Zile za plastiki tunapaswa kuchimba biwi kubwa ambalo uchafu wote huwekwa.
Naam! Madhara ya pili ambayo huletwa mazingira yanapochafuliwa ni kwamba insi wengi wanapoenda haja kubwa ama ndogo huwa wanaweka vinyesi vyao popote wanapokuwa. Wengi wao hawana vyoo katika nyumba zao. Wanapotaka kujisaidia, wanakojoa popote na kutoa vinyesi popote.
Tatu ni kwamba, waja wote wanapaswa kuwa na biwi au shimo la taka taka kwa kila ili kuzui taka taka kutapakaa kila mahali. Hivyo basi tunaweza kujikinga na magonjwa kama malaria ambayo huletwa na uchafu na kutofyeka nyasi ndefu katika nyumba zetu. Kila insi anapaswa kukata nyasi ndefu ambazo ziko karibu na nyumba zetu na kufagia uchafu mwingine kama uchafu wa jikoni kama vile maganda na mabakio ya chakula.ambazo hutupwa chini, yote yanapaswa kufagiliwa na nyumba ziwe safi na pia kia insi atunze mazin
| Kila insi atunze mazingira aje | {
"text": [
"ipasavyo"
]
} |
1847_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu au kiumbe inayo tuzunguka au inayozunguka maisha ya binadamu.
Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mengi na pia hufanya mazingira yetu kukaa vibaya, haiwezi kuvutia mtu yeyote. Mazingira yetu yakiwa chafu mbu na nzi hazibanduki hapo. Nzi hutoka kwa choo na kuja kushika vyombo chumbani, huleta magonjwa kama kipindupindu na zinginezo. Kipindupindu huhatarisha maisha ya binadamu . Mwanadamu anaweza kufa au kuharisha na kutapika.
Mazingira yakiwa chafu, waziri wa afya anapaswa kufanya kazi ya kuwaelimisha wakaazi kuhusu madhara ya mazingira chafu. Taka taka zote zichomwe au kuchimba shimo la kutupa uchafu.
Waziri mmoja wa afya alitembelea shule yetu mwaka wa elfu mbili na ishirini na moja. Alitueleza yeye ni nani na ametoka wapi, kisha akatujuza tusiwe wachafu tuhakikishe kuwa vyoo vyetu ni safi, tuoge na tufue nguo zetu ili tuweze kuboresha afya zetu. Mikono ioshwe kila unapotoka chooni. Alituambia kuna mzee mmoja kijijini kwao aliyeuguwa ugonjwa wa saratani ya moyo. Alikuwa anataka kupumua lakini hakuweze, kupelekwa hosipitalini alijaribu kutoka chumbani mwake ili kuvuta hewa safi lakini hewa ile ilikua chafu, akakohoa hadi akaziari na kufa hapo hapo. Tafadhali kila mtu aliyesikia jambo hili ajirekebishe.
Tangu hiyo siku, nilijuta uzuri wa mazingira safi. Watu wengi wameadhiriwa na mazingira chafu. Watu wanapoaga dunia, idadi ya watu nchini hupungua. Ni vizuri kila mmoja wetu kujitunza na kuhifadhi mazingira ipasavyo ili kuboresha afya zetu.
| Uchafuzi wa mazingira huleta nini | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1847_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu au kiumbe inayo tuzunguka au inayozunguka maisha ya binadamu.
Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mengi na pia hufanya mazingira yetu kukaa vibaya, haiwezi kuvutia mtu yeyote. Mazingira yetu yakiwa chafu mbu na nzi hazibanduki hapo. Nzi hutoka kwa choo na kuja kushika vyombo chumbani, huleta magonjwa kama kipindupindu na zinginezo. Kipindupindu huhatarisha maisha ya binadamu . Mwanadamu anaweza kufa au kuharisha na kutapika.
Mazingira yakiwa chafu, waziri wa afya anapaswa kufanya kazi ya kuwaelimisha wakaazi kuhusu madhara ya mazingira chafu. Taka taka zote zichomwe au kuchimba shimo la kutupa uchafu.
Waziri mmoja wa afya alitembelea shule yetu mwaka wa elfu mbili na ishirini na moja. Alitueleza yeye ni nani na ametoka wapi, kisha akatujuza tusiwe wachafu tuhakikishe kuwa vyoo vyetu ni safi, tuoge na tufue nguo zetu ili tuweze kuboresha afya zetu. Mikono ioshwe kila unapotoka chooni. Alituambia kuna mzee mmoja kijijini kwao aliyeuguwa ugonjwa wa saratani ya moyo. Alikuwa anataka kupumua lakini hakuweze, kupelekwa hosipitalini alijaribu kutoka chumbani mwake ili kuvuta hewa safi lakini hewa ile ilikua chafu, akakohoa hadi akaziari na kufa hapo hapo. Tafadhali kila mtu aliyesikia jambo hili ajirekebishe.
Tangu hiyo siku, nilijuta uzuri wa mazingira safi. Watu wengi wameadhiriwa na mazingira chafu. Watu wanapoaga dunia, idadi ya watu nchini hupungua. Ni vizuri kila mmoja wetu kujitunza na kuhifadhi mazingira ipasavyo ili kuboresha afya zetu.
| Nzi hutoka wapi | {
"text": [
"Choo"
]
} |
1847_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu au kiumbe inayo tuzunguka au inayozunguka maisha ya binadamu.
Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mengi na pia hufanya mazingira yetu kukaa vibaya, haiwezi kuvutia mtu yeyote. Mazingira yetu yakiwa chafu mbu na nzi hazibanduki hapo. Nzi hutoka kwa choo na kuja kushika vyombo chumbani, huleta magonjwa kama kipindupindu na zinginezo. Kipindupindu huhatarisha maisha ya binadamu . Mwanadamu anaweza kufa au kuharisha na kutapika.
Mazingira yakiwa chafu, waziri wa afya anapaswa kufanya kazi ya kuwaelimisha wakaazi kuhusu madhara ya mazingira chafu. Taka taka zote zichomwe au kuchimba shimo la kutupa uchafu.
Waziri mmoja wa afya alitembelea shule yetu mwaka wa elfu mbili na ishirini na moja. Alitueleza yeye ni nani na ametoka wapi, kisha akatujuza tusiwe wachafu tuhakikishe kuwa vyoo vyetu ni safi, tuoge na tufue nguo zetu ili tuweze kuboresha afya zetu. Mikono ioshwe kila unapotoka chooni. Alituambia kuna mzee mmoja kijijini kwao aliyeuguwa ugonjwa wa saratani ya moyo. Alikuwa anataka kupumua lakini hakuweze, kupelekwa hosipitalini alijaribu kutoka chumbani mwake ili kuvuta hewa safi lakini hewa ile ilikua chafu, akakohoa hadi akaziari na kufa hapo hapo. Tafadhali kila mtu aliyesikia jambo hili ajirekebishe.
Tangu hiyo siku, nilijuta uzuri wa mazingira safi. Watu wengi wameadhiriwa na mazingira chafu. Watu wanapoaga dunia, idadi ya watu nchini hupungua. Ni vizuri kila mmoja wetu kujitunza na kuhifadhi mazingira ipasavyo ili kuboresha afya zetu.
| Takataka zinafaa kufanyiwa nini | {
"text": [
"Kuchomwa"
]
} |
1847_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu au kiumbe inayo tuzunguka au inayozunguka maisha ya binadamu.
Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mengi na pia hufanya mazingira yetu kukaa vibaya, haiwezi kuvutia mtu yeyote. Mazingira yetu yakiwa chafu mbu na nzi hazibanduki hapo. Nzi hutoka kwa choo na kuja kushika vyombo chumbani, huleta magonjwa kama kipindupindu na zinginezo. Kipindupindu huhatarisha maisha ya binadamu . Mwanadamu anaweza kufa au kuharisha na kutapika.
Mazingira yakiwa chafu, waziri wa afya anapaswa kufanya kazi ya kuwaelimisha wakaazi kuhusu madhara ya mazingira chafu. Taka taka zote zichomwe au kuchimba shimo la kutupa uchafu.
Waziri mmoja wa afya alitembelea shule yetu mwaka wa elfu mbili na ishirini na moja. Alitueleza yeye ni nani na ametoka wapi, kisha akatujuza tusiwe wachafu tuhakikishe kuwa vyoo vyetu ni safi, tuoge na tufue nguo zetu ili tuweze kuboresha afya zetu. Mikono ioshwe kila unapotoka chooni. Alituambia kuna mzee mmoja kijijini kwao aliyeuguwa ugonjwa wa saratani ya moyo. Alikuwa anataka kupumua lakini hakuweze, kupelekwa hosipitalini alijaribu kutoka chumbani mwake ili kuvuta hewa safi lakini hewa ile ilikua chafu, akakohoa hadi akaziari na kufa hapo hapo. Tafadhali kila mtu aliyesikia jambo hili ajirekebishe.
Tangu hiyo siku, nilijuta uzuri wa mazingira safi. Watu wengi wameadhiriwa na mazingira chafu. Watu wanapoaga dunia, idadi ya watu nchini hupungua. Ni vizuri kila mmoja wetu kujitunza na kuhifadhi mazingira ipasavyo ili kuboresha afya zetu.
| Nani alitembea shule mwaka wa elfu mbili ishisrini na moja | {
"text": [
"Waziri"
]
} |
1847_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni kitu au kiumbe inayo tuzunguka au inayozunguka maisha ya binadamu.
Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa mengi na pia hufanya mazingira yetu kukaa vibaya, haiwezi kuvutia mtu yeyote. Mazingira yetu yakiwa chafu mbu na nzi hazibanduki hapo. Nzi hutoka kwa choo na kuja kushika vyombo chumbani, huleta magonjwa kama kipindupindu na zinginezo. Kipindupindu huhatarisha maisha ya binadamu . Mwanadamu anaweza kufa au kuharisha na kutapika.
Mazingira yakiwa chafu, waziri wa afya anapaswa kufanya kazi ya kuwaelimisha wakaazi kuhusu madhara ya mazingira chafu. Taka taka zote zichomwe au kuchimba shimo la kutupa uchafu.
Waziri mmoja wa afya alitembelea shule yetu mwaka wa elfu mbili na ishirini na moja. Alitueleza yeye ni nani na ametoka wapi, kisha akatujuza tusiwe wachafu tuhakikishe kuwa vyoo vyetu ni safi, tuoge na tufue nguo zetu ili tuweze kuboresha afya zetu. Mikono ioshwe kila unapotoka chooni. Alituambia kuna mzee mmoja kijijini kwao aliyeuguwa ugonjwa wa saratani ya moyo. Alikuwa anataka kupumua lakini hakuweze, kupelekwa hosipitalini alijaribu kutoka chumbani mwake ili kuvuta hewa safi lakini hewa ile ilikua chafu, akakohoa hadi akaziari na kufa hapo hapo. Tafadhali kila mtu aliyesikia jambo hili ajirekebishe.
Tangu hiyo siku, nilijuta uzuri wa mazingira safi. Watu wengi wameadhiriwa na mazingira chafu. Watu wanapoaga dunia, idadi ya watu nchini hupungua. Ni vizuri kila mmoja wetu kujitunza na kuhifadhi mazingira ipasavyo ili kuboresha afya zetu.
| Ni kwa nini ni muhimu kutilia maanani mazingira | {
"text": [
"Kwa vile watu wengi wamedhoofika kutokana na mazingira chafu"
]
} |
2108_swa | Likizo kwa Bibi.
Brigid Simiyu & Catherine Groenewald.
Kiswahili
Odongo na Apiyo waliishi na baba yao mjini. Kila wakati waliitazamia likizo si tu kwa shule kufungwa, bali pia kumtembelea bibi yao. Bibi aliishi katika kijiji cha wavuvi karibu na ziwa kubwa.
Odongo na Apiyo walifurahi kwani ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi kwa mara nyingine. Usiku huo, walifunganya mifuko yao tayari kwa safari ndefu ya kwenda kijijini. Usiku kucha waliongea juu ya likizo na kumtembelea bibi kijijini.
Asubuhi iliyofuata, waliondoka mapema kwenye gari la baba yao kuelekea kijijini. Safarini, waliiona milima, wanyama wa pori na mashamba ya majani chai. Walihesabu magari yaliyopita na kuimba nyimbo walizofunzwa shuleni.
Baada ya muda, walilala kwa sababu ya uchovu.
Walipofika kijijini, baba aliwaamsha. Walimkuta bibi akipumzika kwenye mkeka chini ya mti. Bibi alikuwa mwanamke mrembo na mwenye nguvu.
Bibi aliwakaribisha kwa kucheza na kuimba kwa furaha. Wajukuu wake walifurahi na kumpa zawadi walizomletea kutoka mjini. "Fungua zawadi yangu kwanza," Odongo alimsihi. "La, atafungua yangu kwanza!" Apiyo akasema.
Bibi aliwabariki wajukuu wake baada ya kuzifungua zawadi. Alipendezwa na zawadi walizompelekea.
Baada ya kupmzika, Odongo na Apiyo walitoka nje. Walifurahia kucheza na vipepeo na ndege. Hawakuweza kuwaona vipepeo na ndege wengi mjini.
Walipanda mitini na kuchezea ziwani.
Giza lilipoanza kuingia, walirejea nyumbani. Bibi aliwaandalia chakula, lakini walilala kabla ya kumaliza kukila!
Siku iliyofuata, baba yao aliondoka na kurudi mjini. Aliwaacha Odongo na Apiyo nyumbani kwa bibi.
Odongo na Apiyo walimsaidia bibi yao kufanya kazi za nyumbani. Walitafuta kuni na kuchota maji. Wakakusanya mayai na kuchuna mboga kutoka kwenye bustani.
Bibi aliwafunza wajukuu wake jinsi ya kupika ugali mwororo walioula kwa kitoweo cha nyama. Pia, aliwaonyesha namna ya kupika wali wa nazi walioula kwa mchuzi wa samaki.
Siku moja subuhi, Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibiye malishoni. Kwa bahati mbaya, waliingia shambani mwa jirani. Jirani alitishia kuwafungia ng'ombe kwake kwa kuila mimea yake. Baada ya siku hiyo, Odongo alikuwa mwangalifu zaidi.
Siku ya soko, Odongo na Apiyo walienda pamoja na bibi. Bibi alikuwa na kibanda cha kuuzia mboga, sukari na sabuni. Apiyo aliwaelezea wateja bei za bidhaa. Odongo naye aliwapakia wateja bidhaa walizonunua.
Kabla ya kurejea nyumbani walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata siku hiyo. Baadaye, walikunywa chai pamoja.
Likizo ilipokaribia kuisha, watoto walilazimika kurudi mjini. Bibi alimpatia Odongo kofia naye Apiyo akampatia sweta kama zawadi. Aliwatayarishia chakula watakachokula safarini.
Baba yao alipofika, hawakutaka kuondoka. Walimsihi Bibi kwenda nao mjini. Lakini, alitabasamu na kusema, "Nina kazi nyingi shambani, siwezi kwenda mjini. Nitawasubiri mje hapa kijijini tena."
Odongo na Apiyo walimkumbatia na kumuaga.
Odongo na Apiyo waliwaambia marafiki zao kuhusu maisha kijijini. Baadhi yao waliamini kuwa maisha ya mjini ni bora. Bali wengine waliamini maisha ya kijijini ni bora zaidi. Lakini wote walikubali kwamba Odongo na Apiyo walipendwa na bibi yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Likizo kwa Bibi
Author - Violet Otieno
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Catherine Groenewald
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Odongo na Apiyo waliishi na baba yao wapi | {
"text": [
"Mjini"
]
} |
2108_swa | Likizo kwa Bibi.
Brigid Simiyu & Catherine Groenewald.
Kiswahili
Odongo na Apiyo waliishi na baba yao mjini. Kila wakati waliitazamia likizo si tu kwa shule kufungwa, bali pia kumtembelea bibi yao. Bibi aliishi katika kijiji cha wavuvi karibu na ziwa kubwa.
Odongo na Apiyo walifurahi kwani ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi kwa mara nyingine. Usiku huo, walifunganya mifuko yao tayari kwa safari ndefu ya kwenda kijijini. Usiku kucha waliongea juu ya likizo na kumtembelea bibi kijijini.
Asubuhi iliyofuata, waliondoka mapema kwenye gari la baba yao kuelekea kijijini. Safarini, waliiona milima, wanyama wa pori na mashamba ya majani chai. Walihesabu magari yaliyopita na kuimba nyimbo walizofunzwa shuleni.
Baada ya muda, walilala kwa sababu ya uchovu.
Walipofika kijijini, baba aliwaamsha. Walimkuta bibi akipumzika kwenye mkeka chini ya mti. Bibi alikuwa mwanamke mrembo na mwenye nguvu.
Bibi aliwakaribisha kwa kucheza na kuimba kwa furaha. Wajukuu wake walifurahi na kumpa zawadi walizomletea kutoka mjini. "Fungua zawadi yangu kwanza," Odongo alimsihi. "La, atafungua yangu kwanza!" Apiyo akasema.
Bibi aliwabariki wajukuu wake baada ya kuzifungua zawadi. Alipendezwa na zawadi walizompelekea.
Baada ya kupmzika, Odongo na Apiyo walitoka nje. Walifurahia kucheza na vipepeo na ndege. Hawakuweza kuwaona vipepeo na ndege wengi mjini.
Walipanda mitini na kuchezea ziwani.
Giza lilipoanza kuingia, walirejea nyumbani. Bibi aliwaandalia chakula, lakini walilala kabla ya kumaliza kukila!
Siku iliyofuata, baba yao aliondoka na kurudi mjini. Aliwaacha Odongo na Apiyo nyumbani kwa bibi.
Odongo na Apiyo walimsaidia bibi yao kufanya kazi za nyumbani. Walitafuta kuni na kuchota maji. Wakakusanya mayai na kuchuna mboga kutoka kwenye bustani.
Bibi aliwafunza wajukuu wake jinsi ya kupika ugali mwororo walioula kwa kitoweo cha nyama. Pia, aliwaonyesha namna ya kupika wali wa nazi walioula kwa mchuzi wa samaki.
Siku moja subuhi, Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibiye malishoni. Kwa bahati mbaya, waliingia shambani mwa jirani. Jirani alitishia kuwafungia ng'ombe kwake kwa kuila mimea yake. Baada ya siku hiyo, Odongo alikuwa mwangalifu zaidi.
Siku ya soko, Odongo na Apiyo walienda pamoja na bibi. Bibi alikuwa na kibanda cha kuuzia mboga, sukari na sabuni. Apiyo aliwaelezea wateja bei za bidhaa. Odongo naye aliwapakia wateja bidhaa walizonunua.
Kabla ya kurejea nyumbani walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata siku hiyo. Baadaye, walikunywa chai pamoja.
Likizo ilipokaribia kuisha, watoto walilazimika kurudi mjini. Bibi alimpatia Odongo kofia naye Apiyo akampatia sweta kama zawadi. Aliwatayarishia chakula watakachokula safarini.
Baba yao alipofika, hawakutaka kuondoka. Walimsihi Bibi kwenda nao mjini. Lakini, alitabasamu na kusema, "Nina kazi nyingi shambani, siwezi kwenda mjini. Nitawasubiri mje hapa kijijini tena."
Odongo na Apiyo walimkumbatia na kumuaga.
Odongo na Apiyo waliwaambia marafiki zao kuhusu maisha kijijini. Baadhi yao waliamini kuwa maisha ya mjini ni bora. Bali wengine waliamini maisha ya kijijini ni bora zaidi. Lakini wote walikubali kwamba Odongo na Apiyo walipendwa na bibi yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Likizo kwa Bibi
Author - Violet Otieno
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Catherine Groenewald
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Odongo na Apiyo walifunga mifuko yao kuelekea wapi | {
"text": [
"Kijijini"
]
} |
2108_swa | Likizo kwa Bibi.
Brigid Simiyu & Catherine Groenewald.
Kiswahili
Odongo na Apiyo waliishi na baba yao mjini. Kila wakati waliitazamia likizo si tu kwa shule kufungwa, bali pia kumtembelea bibi yao. Bibi aliishi katika kijiji cha wavuvi karibu na ziwa kubwa.
Odongo na Apiyo walifurahi kwani ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi kwa mara nyingine. Usiku huo, walifunganya mifuko yao tayari kwa safari ndefu ya kwenda kijijini. Usiku kucha waliongea juu ya likizo na kumtembelea bibi kijijini.
Asubuhi iliyofuata, waliondoka mapema kwenye gari la baba yao kuelekea kijijini. Safarini, waliiona milima, wanyama wa pori na mashamba ya majani chai. Walihesabu magari yaliyopita na kuimba nyimbo walizofunzwa shuleni.
Baada ya muda, walilala kwa sababu ya uchovu.
Walipofika kijijini, baba aliwaamsha. Walimkuta bibi akipumzika kwenye mkeka chini ya mti. Bibi alikuwa mwanamke mrembo na mwenye nguvu.
Bibi aliwakaribisha kwa kucheza na kuimba kwa furaha. Wajukuu wake walifurahi na kumpa zawadi walizomletea kutoka mjini. "Fungua zawadi yangu kwanza," Odongo alimsihi. "La, atafungua yangu kwanza!" Apiyo akasema.
Bibi aliwabariki wajukuu wake baada ya kuzifungua zawadi. Alipendezwa na zawadi walizompelekea.
Baada ya kupmzika, Odongo na Apiyo walitoka nje. Walifurahia kucheza na vipepeo na ndege. Hawakuweza kuwaona vipepeo na ndege wengi mjini.
Walipanda mitini na kuchezea ziwani.
Giza lilipoanza kuingia, walirejea nyumbani. Bibi aliwaandalia chakula, lakini walilala kabla ya kumaliza kukila!
Siku iliyofuata, baba yao aliondoka na kurudi mjini. Aliwaacha Odongo na Apiyo nyumbani kwa bibi.
Odongo na Apiyo walimsaidia bibi yao kufanya kazi za nyumbani. Walitafuta kuni na kuchota maji. Wakakusanya mayai na kuchuna mboga kutoka kwenye bustani.
Bibi aliwafunza wajukuu wake jinsi ya kupika ugali mwororo walioula kwa kitoweo cha nyama. Pia, aliwaonyesha namna ya kupika wali wa nazi walioula kwa mchuzi wa samaki.
Siku moja subuhi, Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibiye malishoni. Kwa bahati mbaya, waliingia shambani mwa jirani. Jirani alitishia kuwafungia ng'ombe kwake kwa kuila mimea yake. Baada ya siku hiyo, Odongo alikuwa mwangalifu zaidi.
Siku ya soko, Odongo na Apiyo walienda pamoja na bibi. Bibi alikuwa na kibanda cha kuuzia mboga, sukari na sabuni. Apiyo aliwaelezea wateja bei za bidhaa. Odongo naye aliwapakia wateja bidhaa walizonunua.
Kabla ya kurejea nyumbani walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata siku hiyo. Baadaye, walikunywa chai pamoja.
Likizo ilipokaribia kuisha, watoto walilazimika kurudi mjini. Bibi alimpatia Odongo kofia naye Apiyo akampatia sweta kama zawadi. Aliwatayarishia chakula watakachokula safarini.
Baba yao alipofika, hawakutaka kuondoka. Walimsihi Bibi kwenda nao mjini. Lakini, alitabasamu na kusema, "Nina kazi nyingi shambani, siwezi kwenda mjini. Nitawasubiri mje hapa kijijini tena."
Odongo na Apiyo walimkumbatia na kumuaga.
Odongo na Apiyo waliwaambia marafiki zao kuhusu maisha kijijini. Baadhi yao waliamini kuwa maisha ya mjini ni bora. Bali wengine waliamini maisha ya kijijini ni bora zaidi. Lakini wote walikubali kwamba Odongo na Apiyo walipendwa na bibi yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Likizo kwa Bibi
Author - Violet Otieno
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Catherine Groenewald
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Wajukuu walimpa nyanya yao nini | {
"text": [
"Zawadi"
]
} |
2108_swa | Likizo kwa Bibi.
Brigid Simiyu & Catherine Groenewald.
Kiswahili
Odongo na Apiyo waliishi na baba yao mjini. Kila wakati waliitazamia likizo si tu kwa shule kufungwa, bali pia kumtembelea bibi yao. Bibi aliishi katika kijiji cha wavuvi karibu na ziwa kubwa.
Odongo na Apiyo walifurahi kwani ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi kwa mara nyingine. Usiku huo, walifunganya mifuko yao tayari kwa safari ndefu ya kwenda kijijini. Usiku kucha waliongea juu ya likizo na kumtembelea bibi kijijini.
Asubuhi iliyofuata, waliondoka mapema kwenye gari la baba yao kuelekea kijijini. Safarini, waliiona milima, wanyama wa pori na mashamba ya majani chai. Walihesabu magari yaliyopita na kuimba nyimbo walizofunzwa shuleni.
Baada ya muda, walilala kwa sababu ya uchovu.
Walipofika kijijini, baba aliwaamsha. Walimkuta bibi akipumzika kwenye mkeka chini ya mti. Bibi alikuwa mwanamke mrembo na mwenye nguvu.
Bibi aliwakaribisha kwa kucheza na kuimba kwa furaha. Wajukuu wake walifurahi na kumpa zawadi walizomletea kutoka mjini. "Fungua zawadi yangu kwanza," Odongo alimsihi. "La, atafungua yangu kwanza!" Apiyo akasema.
Bibi aliwabariki wajukuu wake baada ya kuzifungua zawadi. Alipendezwa na zawadi walizompelekea.
Baada ya kupmzika, Odongo na Apiyo walitoka nje. Walifurahia kucheza na vipepeo na ndege. Hawakuweza kuwaona vipepeo na ndege wengi mjini.
Walipanda mitini na kuchezea ziwani.
Giza lilipoanza kuingia, walirejea nyumbani. Bibi aliwaandalia chakula, lakini walilala kabla ya kumaliza kukila!
Siku iliyofuata, baba yao aliondoka na kurudi mjini. Aliwaacha Odongo na Apiyo nyumbani kwa bibi.
Odongo na Apiyo walimsaidia bibi yao kufanya kazi za nyumbani. Walitafuta kuni na kuchota maji. Wakakusanya mayai na kuchuna mboga kutoka kwenye bustani.
Bibi aliwafunza wajukuu wake jinsi ya kupika ugali mwororo walioula kwa kitoweo cha nyama. Pia, aliwaonyesha namna ya kupika wali wa nazi walioula kwa mchuzi wa samaki.
Siku moja subuhi, Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibiye malishoni. Kwa bahati mbaya, waliingia shambani mwa jirani. Jirani alitishia kuwafungia ng'ombe kwake kwa kuila mimea yake. Baada ya siku hiyo, Odongo alikuwa mwangalifu zaidi.
Siku ya soko, Odongo na Apiyo walienda pamoja na bibi. Bibi alikuwa na kibanda cha kuuzia mboga, sukari na sabuni. Apiyo aliwaelezea wateja bei za bidhaa. Odongo naye aliwapakia wateja bidhaa walizonunua.
Kabla ya kurejea nyumbani walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata siku hiyo. Baadaye, walikunywa chai pamoja.
Likizo ilipokaribia kuisha, watoto walilazimika kurudi mjini. Bibi alimpatia Odongo kofia naye Apiyo akampatia sweta kama zawadi. Aliwatayarishia chakula watakachokula safarini.
Baba yao alipofika, hawakutaka kuondoka. Walimsihi Bibi kwenda nao mjini. Lakini, alitabasamu na kusema, "Nina kazi nyingi shambani, siwezi kwenda mjini. Nitawasubiri mje hapa kijijini tena."
Odongo na Apiyo walimkumbatia na kumuaga.
Odongo na Apiyo waliwaambia marafiki zao kuhusu maisha kijijini. Baadhi yao waliamini kuwa maisha ya mjini ni bora. Bali wengine waliamini maisha ya kijijini ni bora zaidi. Lakini wote walikubali kwamba Odongo na Apiyo walipendwa na bibi yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Likizo kwa Bibi
Author - Violet Otieno
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Catherine Groenewald
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Odongo na Apiyo walifunzwa na bibi kazi za wapi | {
"text": [
"Nyumbani"
]
} |
2108_swa | Likizo kwa Bibi.
Brigid Simiyu & Catherine Groenewald.
Kiswahili
Odongo na Apiyo waliishi na baba yao mjini. Kila wakati waliitazamia likizo si tu kwa shule kufungwa, bali pia kumtembelea bibi yao. Bibi aliishi katika kijiji cha wavuvi karibu na ziwa kubwa.
Odongo na Apiyo walifurahi kwani ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi kwa mara nyingine. Usiku huo, walifunganya mifuko yao tayari kwa safari ndefu ya kwenda kijijini. Usiku kucha waliongea juu ya likizo na kumtembelea bibi kijijini.
Asubuhi iliyofuata, waliondoka mapema kwenye gari la baba yao kuelekea kijijini. Safarini, waliiona milima, wanyama wa pori na mashamba ya majani chai. Walihesabu magari yaliyopita na kuimba nyimbo walizofunzwa shuleni.
Baada ya muda, walilala kwa sababu ya uchovu.
Walipofika kijijini, baba aliwaamsha. Walimkuta bibi akipumzika kwenye mkeka chini ya mti. Bibi alikuwa mwanamke mrembo na mwenye nguvu.
Bibi aliwakaribisha kwa kucheza na kuimba kwa furaha. Wajukuu wake walifurahi na kumpa zawadi walizomletea kutoka mjini. "Fungua zawadi yangu kwanza," Odongo alimsihi. "La, atafungua yangu kwanza!" Apiyo akasema.
Bibi aliwabariki wajukuu wake baada ya kuzifungua zawadi. Alipendezwa na zawadi walizompelekea.
Baada ya kupmzika, Odongo na Apiyo walitoka nje. Walifurahia kucheza na vipepeo na ndege. Hawakuweza kuwaona vipepeo na ndege wengi mjini.
Walipanda mitini na kuchezea ziwani.
Giza lilipoanza kuingia, walirejea nyumbani. Bibi aliwaandalia chakula, lakini walilala kabla ya kumaliza kukila!
Siku iliyofuata, baba yao aliondoka na kurudi mjini. Aliwaacha Odongo na Apiyo nyumbani kwa bibi.
Odongo na Apiyo walimsaidia bibi yao kufanya kazi za nyumbani. Walitafuta kuni na kuchota maji. Wakakusanya mayai na kuchuna mboga kutoka kwenye bustani.
Bibi aliwafunza wajukuu wake jinsi ya kupika ugali mwororo walioula kwa kitoweo cha nyama. Pia, aliwaonyesha namna ya kupika wali wa nazi walioula kwa mchuzi wa samaki.
Siku moja subuhi, Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibiye malishoni. Kwa bahati mbaya, waliingia shambani mwa jirani. Jirani alitishia kuwafungia ng'ombe kwake kwa kuila mimea yake. Baada ya siku hiyo, Odongo alikuwa mwangalifu zaidi.
Siku ya soko, Odongo na Apiyo walienda pamoja na bibi. Bibi alikuwa na kibanda cha kuuzia mboga, sukari na sabuni. Apiyo aliwaelezea wateja bei za bidhaa. Odongo naye aliwapakia wateja bidhaa walizonunua.
Kabla ya kurejea nyumbani walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata siku hiyo. Baadaye, walikunywa chai pamoja.
Likizo ilipokaribia kuisha, watoto walilazimika kurudi mjini. Bibi alimpatia Odongo kofia naye Apiyo akampatia sweta kama zawadi. Aliwatayarishia chakula watakachokula safarini.
Baba yao alipofika, hawakutaka kuondoka. Walimsihi Bibi kwenda nao mjini. Lakini, alitabasamu na kusema, "Nina kazi nyingi shambani, siwezi kwenda mjini. Nitawasubiri mje hapa kijijini tena."
Odongo na Apiyo walimkumbatia na kumuaga.
Odongo na Apiyo waliwaambia marafiki zao kuhusu maisha kijijini. Baadhi yao waliamini kuwa maisha ya mjini ni bora. Bali wengine waliamini maisha ya kijijini ni bora zaidi. Lakini wote walikubali kwamba Odongo na Apiyo walipendwa na bibi yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Likizo kwa Bibi
Author - Violet Otieno
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Catherine Groenewald
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwa nini bibi aliwabariki wajukuu wake | {
"text": [
"Kwa vile alipendezwa na zawadi walizompelekea"
]
} |
2111_swa | Leah, Roba na Ng'ombe
Brigid Simiyu
Marion Drew
Kiswahili
Hapo zamani, katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Roba.
Roba alikuwa rafiki ya Leah. Walikuwa majirani.
Siku moja, walienda kuchota maji.
Walipokaribia kisima, walimwona ng'ombe akiwa amelala hapo. Waliketi chini kujadiliana vile wangecheza naye.
Roba alianza kumuiga ng'ombe. Alisema kwa sauti ya juu, "Mooo, mooo, moooooo!"
Aliendelea hadi ng'ombe akawatazama. Leah alishtuka. Roba aligundua kwamba Leah alikuwa ameogopa.
Roba alisema, "Twende tumpige atoroke ili tuchote maji."
Leah alimjibu huku akitetemeka, "Roba, ninaogopa!"
Roba alikuwa wa kwanza kuenda. Leah alimfuata polepole. Walijaribu kumgonga ng'ombe, lakini ng'ombe yule hakusonga.
Roba alisema, "Leah, unaweza kuketi hapa. Mimi nitachota maji." Leah alikubali.
Roba alijaza ndoo ya kwanza maji.
Alipokuwa akijaza ndoo ya pili, ng'ombe alisimama.
Alimuenua Roba juu kwa pembe moja kisha akamtupa mgongoni.
Roba alipiga kelele, "Joo, jooo, jooooo!"
Leah aliangua kicheko na hakuweza kuacha kucheka.
Ng'ombe alisema, "Mooo, mooo, moooooo!"
Leah alipoacha kucheka, alikimbia haraka alivyoweza. Alimpata mamake Roba akifagia.
Alisema huku akihema, "Ma-ma! Ma-ma! Ng'o-mbe amemchukua Roba!"
Mamake Roba aliangusha ufagio akakimbia. Unadhani ni nini kilichotendeka baadaye?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Leah, Roba na Ng'ombe
Author - Matlotlisang Tenane
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Marion Drew
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/,
| Rafikiye Roba aliitwa nani? | {
"text": [
"Leah"
]
} |
2111_swa | Leah, Roba na Ng'ombe
Brigid Simiyu
Marion Drew
Kiswahili
Hapo zamani, katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Roba.
Roba alikuwa rafiki ya Leah. Walikuwa majirani.
Siku moja, walienda kuchota maji.
Walipokaribia kisima, walimwona ng'ombe akiwa amelala hapo. Waliketi chini kujadiliana vile wangecheza naye.
Roba alianza kumuiga ng'ombe. Alisema kwa sauti ya juu, "Mooo, mooo, moooooo!"
Aliendelea hadi ng'ombe akawatazama. Leah alishtuka. Roba aligundua kwamba Leah alikuwa ameogopa.
Roba alisema, "Twende tumpige atoroke ili tuchote maji."
Leah alimjibu huku akitetemeka, "Roba, ninaogopa!"
Roba alikuwa wa kwanza kuenda. Leah alimfuata polepole. Walijaribu kumgonga ng'ombe, lakini ng'ombe yule hakusonga.
Roba alisema, "Leah, unaweza kuketi hapa. Mimi nitachota maji." Leah alikubali.
Roba alijaza ndoo ya kwanza maji.
Alipokuwa akijaza ndoo ya pili, ng'ombe alisimama.
Alimuenua Roba juu kwa pembe moja kisha akamtupa mgongoni.
Roba alipiga kelele, "Joo, jooo, jooooo!"
Leah aliangua kicheko na hakuweza kuacha kucheka.
Ng'ombe alisema, "Mooo, mooo, moooooo!"
Leah alipoacha kucheka, alikimbia haraka alivyoweza. Alimpata mamake Roba akifagia.
Alisema huku akihema, "Ma-ma! Ma-ma! Ng'o-mbe amemchukua Roba!"
Mamake Roba aliangusha ufagio akakimbia. Unadhani ni nini kilichotendeka baadaye?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Leah, Roba na Ng'ombe
Author - Matlotlisang Tenane
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Marion Drew
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/,
| Leah aliogopa nini wakati walikuwa kisimani? | {
"text": [
"Ng'ombe"
]
} |
2111_swa | Leah, Roba na Ng'ombe
Brigid Simiyu
Marion Drew
Kiswahili
Hapo zamani, katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Roba.
Roba alikuwa rafiki ya Leah. Walikuwa majirani.
Siku moja, walienda kuchota maji.
Walipokaribia kisima, walimwona ng'ombe akiwa amelala hapo. Waliketi chini kujadiliana vile wangecheza naye.
Roba alianza kumuiga ng'ombe. Alisema kwa sauti ya juu, "Mooo, mooo, moooooo!"
Aliendelea hadi ng'ombe akawatazama. Leah alishtuka. Roba aligundua kwamba Leah alikuwa ameogopa.
Roba alisema, "Twende tumpige atoroke ili tuchote maji."
Leah alimjibu huku akitetemeka, "Roba, ninaogopa!"
Roba alikuwa wa kwanza kuenda. Leah alimfuata polepole. Walijaribu kumgonga ng'ombe, lakini ng'ombe yule hakusonga.
Roba alisema, "Leah, unaweza kuketi hapa. Mimi nitachota maji." Leah alikubali.
Roba alijaza ndoo ya kwanza maji.
Alipokuwa akijaza ndoo ya pili, ng'ombe alisimama.
Alimuenua Roba juu kwa pembe moja kisha akamtupa mgongoni.
Roba alipiga kelele, "Joo, jooo, jooooo!"
Leah aliangua kicheko na hakuweza kuacha kucheka.
Ng'ombe alisema, "Mooo, mooo, moooooo!"
Leah alipoacha kucheka, alikimbia haraka alivyoweza. Alimpata mamake Roba akifagia.
Alisema huku akihema, "Ma-ma! Ma-ma! Ng'o-mbe amemchukua Roba!"
Mamake Roba aliangusha ufagio akakimbia. Unadhani ni nini kilichotendeka baadaye?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Leah, Roba na Ng'ombe
Author - Matlotlisang Tenane
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Marion Drew
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/,
| Roba alimuiga ng'ombe kwa kutoa sauti ipi? | {
"text": [
"Mooo"
]
} |
2111_swa | Leah, Roba na Ng'ombe
Brigid Simiyu
Marion Drew
Kiswahili
Hapo zamani, katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Roba.
Roba alikuwa rafiki ya Leah. Walikuwa majirani.
Siku moja, walienda kuchota maji.
Walipokaribia kisima, walimwona ng'ombe akiwa amelala hapo. Waliketi chini kujadiliana vile wangecheza naye.
Roba alianza kumuiga ng'ombe. Alisema kwa sauti ya juu, "Mooo, mooo, moooooo!"
Aliendelea hadi ng'ombe akawatazama. Leah alishtuka. Roba aligundua kwamba Leah alikuwa ameogopa.
Roba alisema, "Twende tumpige atoroke ili tuchote maji."
Leah alimjibu huku akitetemeka, "Roba, ninaogopa!"
Roba alikuwa wa kwanza kuenda. Leah alimfuata polepole. Walijaribu kumgonga ng'ombe, lakini ng'ombe yule hakusonga.
Roba alisema, "Leah, unaweza kuketi hapa. Mimi nitachota maji." Leah alikubali.
Roba alijaza ndoo ya kwanza maji.
Alipokuwa akijaza ndoo ya pili, ng'ombe alisimama.
Alimuenua Roba juu kwa pembe moja kisha akamtupa mgongoni.
Roba alipiga kelele, "Joo, jooo, jooooo!"
Leah aliangua kicheko na hakuweza kuacha kucheka.
Ng'ombe alisema, "Mooo, mooo, moooooo!"
Leah alipoacha kucheka, alikimbia haraka alivyoweza. Alimpata mamake Roba akifagia.
Alisema huku akihema, "Ma-ma! Ma-ma! Ng'o-mbe amemchukua Roba!"
Mamake Roba aliangusha ufagio akakimbia. Unadhani ni nini kilichotendeka baadaye?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Leah, Roba na Ng'ombe
Author - Matlotlisang Tenane
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Marion Drew
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/,
| Leah alifanya nini baada ya Roba kuchotwa na ng'ombe? | {
"text": [
"Alicheka"
]
} |
2111_swa | Leah, Roba na Ng'ombe
Brigid Simiyu
Marion Drew
Kiswahili
Hapo zamani, katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Roba.
Roba alikuwa rafiki ya Leah. Walikuwa majirani.
Siku moja, walienda kuchota maji.
Walipokaribia kisima, walimwona ng'ombe akiwa amelala hapo. Waliketi chini kujadiliana vile wangecheza naye.
Roba alianza kumuiga ng'ombe. Alisema kwa sauti ya juu, "Mooo, mooo, moooooo!"
Aliendelea hadi ng'ombe akawatazama. Leah alishtuka. Roba aligundua kwamba Leah alikuwa ameogopa.
Roba alisema, "Twende tumpige atoroke ili tuchote maji."
Leah alimjibu huku akitetemeka, "Roba, ninaogopa!"
Roba alikuwa wa kwanza kuenda. Leah alimfuata polepole. Walijaribu kumgonga ng'ombe, lakini ng'ombe yule hakusonga.
Roba alisema, "Leah, unaweza kuketi hapa. Mimi nitachota maji." Leah alikubali.
Roba alijaza ndoo ya kwanza maji.
Alipokuwa akijaza ndoo ya pili, ng'ombe alisimama.
Alimuenua Roba juu kwa pembe moja kisha akamtupa mgongoni.
Roba alipiga kelele, "Joo, jooo, jooooo!"
Leah aliangua kicheko na hakuweza kuacha kucheka.
Ng'ombe alisema, "Mooo, mooo, moooooo!"
Leah alipoacha kucheka, alikimbia haraka alivyoweza. Alimpata mamake Roba akifagia.
Alisema huku akihema, "Ma-ma! Ma-ma! Ng'o-mbe amemchukua Roba!"
Mamake Roba aliangusha ufagio akakimbia. Unadhani ni nini kilichotendeka baadaye?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Leah, Roba na Ng'ombe
Author - Matlotlisang Tenane
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Marion Drew
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/,
| Leah alimkimbilia nani baada ya ajali ya Roba? | {
"text": [
"Mamake aliyekuwa nyumbani"
]
} |
2112_swa | Lodipo amtoroka mama.
Ramadhan Rajab & Zablon Alex Nguku.
Kiswahili
Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyeitwa Lodipo. Aliishi na wakeze wawili, Akila na Akitela.
Mamake Lodipo alikuwa kipofu. Akitela pekee ndiye aliyekuwa akimsadia.
Siku moja, Akila alimwambia Lodipo, "Tuondoke kijijini humu twende kuliko na amani." Kijijini mwao kulikuwa na uvamizi wa mara kwa mara.
Lodipo akamwambia Akila kuwa hawangeweza kumuacha mama yake pekee. Akila alisisitiza waondoke na wamuache ajuza huyo. "Kama wewe hutaki kuondoka hapa, mimi nitarudi kwa wazazi wangu," Akila alimfokea Lodipo.
Lodipo alimpenda sana Akila. Hivyo, alikubaliana naye na kupanga watakavyotoroka. Akitela alishangazwa na haya yote.
Siku moja, mamake Lodipo alikuwa ameketi chini ya mti. Hakufahamu kilichokuwa kikiendelea. Huku akimwangalia na kumhurumia, Akitela alitafakari, "Itakuwaje tukimwacha peke yake?"
Lodipo na wakeze wawili walipakia mizigo yao kwenye ngamia wao wawili. Wakaondoka kimya kimya bila kumuaga yule ajuza. Akitela alikuwa akilia kwa huzuni ya kumuacha mama mkwe. Aliwaza, "Nitajificha nirudi kuwa naye."
Ajuza huyo alipoachwa peke yake nyumbani, alilia na kuimba wimbo huku akimtaja Lodipo.
Punde, Lodipo na wakeze wawili walipoondoka, wezi wa mifugo walivamia kijiji.
Wezi hao walimwambia ajuza awaeleze alikokwenda mwanawe. Majambazi hao walimwambia kuwa wangemtafuta Lodipo wamuadhibu. Ajuza aliwaomba majambazi wasimdhuru Akitela.
Pia aliwaambia wamrudishie kondoo dume aliyekuwa amechukuliwa na Lodipo.
Majambazi walimtafuta Lodipo na kumpata katika kijiji kipya. Walimshambulia Lodipo na Akila, mkewe wa pili.
Akitela alirudi kijijini pamoja na yule kondoo dume wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Lodipo amtoroka mama
Author - John Nga'sike
Translation - Ramadhan Rajab
Illustration - Zablon Alex Nguku
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Lodipo alikuwa na wake wangapi | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
2112_swa | Lodipo amtoroka mama.
Ramadhan Rajab & Zablon Alex Nguku.
Kiswahili
Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyeitwa Lodipo. Aliishi na wakeze wawili, Akila na Akitela.
Mamake Lodipo alikuwa kipofu. Akitela pekee ndiye aliyekuwa akimsadia.
Siku moja, Akila alimwambia Lodipo, "Tuondoke kijijini humu twende kuliko na amani." Kijijini mwao kulikuwa na uvamizi wa mara kwa mara.
Lodipo akamwambia Akila kuwa hawangeweza kumuacha mama yake pekee. Akila alisisitiza waondoke na wamuache ajuza huyo. "Kama wewe hutaki kuondoka hapa, mimi nitarudi kwa wazazi wangu," Akila alimfokea Lodipo.
Lodipo alimpenda sana Akila. Hivyo, alikubaliana naye na kupanga watakavyotoroka. Akitela alishangazwa na haya yote.
Siku moja, mamake Lodipo alikuwa ameketi chini ya mti. Hakufahamu kilichokuwa kikiendelea. Huku akimwangalia na kumhurumia, Akitela alitafakari, "Itakuwaje tukimwacha peke yake?"
Lodipo na wakeze wawili walipakia mizigo yao kwenye ngamia wao wawili. Wakaondoka kimya kimya bila kumuaga yule ajuza. Akitela alikuwa akilia kwa huzuni ya kumuacha mama mkwe. Aliwaza, "Nitajificha nirudi kuwa naye."
Ajuza huyo alipoachwa peke yake nyumbani, alilia na kuimba wimbo huku akimtaja Lodipo.
Punde, Lodipo na wakeze wawili walipoondoka, wezi wa mifugo walivamia kijiji.
Wezi hao walimwambia ajuza awaeleze alikokwenda mwanawe. Majambazi hao walimwambia kuwa wangemtafuta Lodipo wamuadhibu. Ajuza aliwaomba majambazi wasimdhuru Akitela.
Pia aliwaambia wamrudishie kondoo dume aliyekuwa amechukuliwa na Lodipo.
Majambazi walimtafuta Lodipo na kumpata katika kijiji kipya. Walimshambulia Lodipo na Akila, mkewe wa pili.
Akitela alirudi kijijini pamoja na yule kondoo dume wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Lodipo amtoroka mama
Author - John Nga'sike
Translation - Ramadhan Rajab
Illustration - Zablon Alex Nguku
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni nani aliyekuwa akimsaidia mamake Lodipo | {
"text": [
"Akitela"
]
} |
2112_swa | Lodipo amtoroka mama.
Ramadhan Rajab & Zablon Alex Nguku.
Kiswahili
Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyeitwa Lodipo. Aliishi na wakeze wawili, Akila na Akitela.
Mamake Lodipo alikuwa kipofu. Akitela pekee ndiye aliyekuwa akimsadia.
Siku moja, Akila alimwambia Lodipo, "Tuondoke kijijini humu twende kuliko na amani." Kijijini mwao kulikuwa na uvamizi wa mara kwa mara.
Lodipo akamwambia Akila kuwa hawangeweza kumuacha mama yake pekee. Akila alisisitiza waondoke na wamuache ajuza huyo. "Kama wewe hutaki kuondoka hapa, mimi nitarudi kwa wazazi wangu," Akila alimfokea Lodipo.
Lodipo alimpenda sana Akila. Hivyo, alikubaliana naye na kupanga watakavyotoroka. Akitela alishangazwa na haya yote.
Siku moja, mamake Lodipo alikuwa ameketi chini ya mti. Hakufahamu kilichokuwa kikiendelea. Huku akimwangalia na kumhurumia, Akitela alitafakari, "Itakuwaje tukimwacha peke yake?"
Lodipo na wakeze wawili walipakia mizigo yao kwenye ngamia wao wawili. Wakaondoka kimya kimya bila kumuaga yule ajuza. Akitela alikuwa akilia kwa huzuni ya kumuacha mama mkwe. Aliwaza, "Nitajificha nirudi kuwa naye."
Ajuza huyo alipoachwa peke yake nyumbani, alilia na kuimba wimbo huku akimtaja Lodipo.
Punde, Lodipo na wakeze wawili walipoondoka, wezi wa mifugo walivamia kijiji.
Wezi hao walimwambia ajuza awaeleze alikokwenda mwanawe. Majambazi hao walimwambia kuwa wangemtafuta Lodipo wamuadhibu. Ajuza aliwaomba majambazi wasimdhuru Akitela.
Pia aliwaambia wamrudishie kondoo dume aliyekuwa amechukuliwa na Lodipo.
Majambazi walimtafuta Lodipo na kumpata katika kijiji kipya. Walimshambulia Lodipo na Akila, mkewe wa pili.
Akitela alirudi kijijini pamoja na yule kondoo dume wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Lodipo amtoroka mama
Author - John Nga'sike
Translation - Ramadhan Rajab
Illustration - Zablon Alex Nguku
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni mnyama yupi aliwasaidia Lodipo na wakeze kupakia mizigo yao wakihama | {
"text": [
"Ngamia"
]
} |
2112_swa | Lodipo amtoroka mama.
Ramadhan Rajab & Zablon Alex Nguku.
Kiswahili
Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyeitwa Lodipo. Aliishi na wakeze wawili, Akila na Akitela.
Mamake Lodipo alikuwa kipofu. Akitela pekee ndiye aliyekuwa akimsadia.
Siku moja, Akila alimwambia Lodipo, "Tuondoke kijijini humu twende kuliko na amani." Kijijini mwao kulikuwa na uvamizi wa mara kwa mara.
Lodipo akamwambia Akila kuwa hawangeweza kumuacha mama yake pekee. Akila alisisitiza waondoke na wamuache ajuza huyo. "Kama wewe hutaki kuondoka hapa, mimi nitarudi kwa wazazi wangu," Akila alimfokea Lodipo.
Lodipo alimpenda sana Akila. Hivyo, alikubaliana naye na kupanga watakavyotoroka. Akitela alishangazwa na haya yote.
Siku moja, mamake Lodipo alikuwa ameketi chini ya mti. Hakufahamu kilichokuwa kikiendelea. Huku akimwangalia na kumhurumia, Akitela alitafakari, "Itakuwaje tukimwacha peke yake?"
Lodipo na wakeze wawili walipakia mizigo yao kwenye ngamia wao wawili. Wakaondoka kimya kimya bila kumuaga yule ajuza. Akitela alikuwa akilia kwa huzuni ya kumuacha mama mkwe. Aliwaza, "Nitajificha nirudi kuwa naye."
Ajuza huyo alipoachwa peke yake nyumbani, alilia na kuimba wimbo huku akimtaja Lodipo.
Punde, Lodipo na wakeze wawili walipoondoka, wezi wa mifugo walivamia kijiji.
Wezi hao walimwambia ajuza awaeleze alikokwenda mwanawe. Majambazi hao walimwambia kuwa wangemtafuta Lodipo wamuadhibu. Ajuza aliwaomba majambazi wasimdhuru Akitela.
Pia aliwaambia wamrudishie kondoo dume aliyekuwa amechukuliwa na Lodipo.
Majambazi walimtafuta Lodipo na kumpata katika kijiji kipya. Walimshambulia Lodipo na Akila, mkewe wa pili.
Akitela alirudi kijijini pamoja na yule kondoo dume wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Lodipo amtoroka mama
Author - John Nga'sike
Translation - Ramadhan Rajab
Illustration - Zablon Alex Nguku
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni mwanamke yupi wa Lodipo alitaka wahame | {
"text": [
"Akila"
]
} |
2112_swa | Lodipo amtoroka mama.
Ramadhan Rajab & Zablon Alex Nguku.
Kiswahili
Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyeitwa Lodipo. Aliishi na wakeze wawili, Akila na Akitela.
Mamake Lodipo alikuwa kipofu. Akitela pekee ndiye aliyekuwa akimsadia.
Siku moja, Akila alimwambia Lodipo, "Tuondoke kijijini humu twende kuliko na amani." Kijijini mwao kulikuwa na uvamizi wa mara kwa mara.
Lodipo akamwambia Akila kuwa hawangeweza kumuacha mama yake pekee. Akila alisisitiza waondoke na wamuache ajuza huyo. "Kama wewe hutaki kuondoka hapa, mimi nitarudi kwa wazazi wangu," Akila alimfokea Lodipo.
Lodipo alimpenda sana Akila. Hivyo, alikubaliana naye na kupanga watakavyotoroka. Akitela alishangazwa na haya yote.
Siku moja, mamake Lodipo alikuwa ameketi chini ya mti. Hakufahamu kilichokuwa kikiendelea. Huku akimwangalia na kumhurumia, Akitela alitafakari, "Itakuwaje tukimwacha peke yake?"
Lodipo na wakeze wawili walipakia mizigo yao kwenye ngamia wao wawili. Wakaondoka kimya kimya bila kumuaga yule ajuza. Akitela alikuwa akilia kwa huzuni ya kumuacha mama mkwe. Aliwaza, "Nitajificha nirudi kuwa naye."
Ajuza huyo alipoachwa peke yake nyumbani, alilia na kuimba wimbo huku akimtaja Lodipo.
Punde, Lodipo na wakeze wawili walipoondoka, wezi wa mifugo walivamia kijiji.
Wezi hao walimwambia ajuza awaeleze alikokwenda mwanawe. Majambazi hao walimwambia kuwa wangemtafuta Lodipo wamuadhibu. Ajuza aliwaomba majambazi wasimdhuru Akitela.
Pia aliwaambia wamrudishie kondoo dume aliyekuwa amechukuliwa na Lodipo.
Majambazi walimtafuta Lodipo na kumpata katika kijiji kipya. Walimshambulia Lodipo na Akila, mkewe wa pili.
Akitela alirudi kijijini pamoja na yule kondoo dume wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Lodipo amtoroka mama
Author - John Nga'sike
Translation - Ramadhan Rajab
Illustration - Zablon Alex Nguku
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kondoo yupi aliyekuwa amechukuliwa na Lodipo | {
"text": [
"Kondoo dume"
]
} |
2113_swa | Laana au Baraka?
Geraldine Nanjala & Marleen Visser
Kiswahili
Kwa miezi mingi anga lilikuwa kavu. Lomongin, mbuni mvua maarufu, alizungumza na miungu. Watu walikusanyika nje ya boma lake. Walingoja kwa hamu na ghamu ujumbe wa matumaini.
Aliwahakikishia watu kwamba muumba angewapa mvua hivi karibuni. Wangepanda mimea yao.
Watoto walicheza nje tulipokuwa tukingoja mvua. Baadaye siku hiyo, tuliyaona mawingu meupe mbali mashariki. Nilijua ni mawingu ya mvua.
Watu walikuwa bado wanawaza kuhusu kile mbuni mvua alisema. Mama alipiga yowe kwa sauti, "Pale! Sasa mawingu ni meusi. Njooni ndani."
Mvua ilinyesha. Ikanyesha! Tulikuwa tumeingoja mvua kwa siku nyingi! Mwanzo, tulifurahi.
Maji yalizidi kuwa kila mahali. Daraja la kuunganisha kijiji chetu na sehemu nyingine, lilisombwa na maji.
Nyumba zilisombwa na gharika. Kile kilikuwa baraka, kilikuwa sasa ni mauti kwetu.
Tulikuwa tumejitayarisha kwa upanzi, lakini sasa hatungepanda. Tulikuwa tumeitamani mvua, lakini sasa hatukuitaka tena. Hatukuwa na daraja la kuvukia. Wengi hawakuwa na makazi wala miji.
Na tulikuwa na shida nyingine! Tuliona mamba wakiogelea kila mahali. Hili halikuwa limewahi kutokea tena. Tulichanganyikiwa!
Hatungeenda manunuzi kwa sababu maduka yote yalikuwa ng'ambo ya mto. Watoto hawangeenda shuleni kwa sababu shule zilikuwa ng'ambo ya mto.
Kile kingekuwa baraka, kiligeuka kuwa laana kwetu. Lomongin, mbuni mvua, akakata tamaa vilevile. Aliyekuwa na furaha pekee ni Kapuus na paka wake wanane!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Laana au Baraka?
Author - Alfred Esinyen
Translation - Geraldine Nanjala
Illustration - Marleen Visser, Natalie Propa, Silva Afonso and Vusi Malindi
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) Lolupe Pilot Site 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nani angewapa mvua | {
"text": [
"Muumba"
]
} |
2113_swa | Laana au Baraka?
Geraldine Nanjala & Marleen Visser
Kiswahili
Kwa miezi mingi anga lilikuwa kavu. Lomongin, mbuni mvua maarufu, alizungumza na miungu. Watu walikusanyika nje ya boma lake. Walingoja kwa hamu na ghamu ujumbe wa matumaini.
Aliwahakikishia watu kwamba muumba angewapa mvua hivi karibuni. Wangepanda mimea yao.
Watoto walicheza nje tulipokuwa tukingoja mvua. Baadaye siku hiyo, tuliyaona mawingu meupe mbali mashariki. Nilijua ni mawingu ya mvua.
Watu walikuwa bado wanawaza kuhusu kile mbuni mvua alisema. Mama alipiga yowe kwa sauti, "Pale! Sasa mawingu ni meusi. Njooni ndani."
Mvua ilinyesha. Ikanyesha! Tulikuwa tumeingoja mvua kwa siku nyingi! Mwanzo, tulifurahi.
Maji yalizidi kuwa kila mahali. Daraja la kuunganisha kijiji chetu na sehemu nyingine, lilisombwa na maji.
Nyumba zilisombwa na gharika. Kile kilikuwa baraka, kilikuwa sasa ni mauti kwetu.
Tulikuwa tumejitayarisha kwa upanzi, lakini sasa hatungepanda. Tulikuwa tumeitamani mvua, lakini sasa hatukuitaka tena. Hatukuwa na daraja la kuvukia. Wengi hawakuwa na makazi wala miji.
Na tulikuwa na shida nyingine! Tuliona mamba wakiogelea kila mahali. Hili halikuwa limewahi kutokea tena. Tulichanganyikiwa!
Hatungeenda manunuzi kwa sababu maduka yote yalikuwa ng'ambo ya mto. Watoto hawangeenda shuleni kwa sababu shule zilikuwa ng'ambo ya mto.
Kile kingekuwa baraka, kiligeuka kuwa laana kwetu. Lomongin, mbuni mvua, akakata tamaa vilevile. Aliyekuwa na furaha pekee ni Kapuus na paka wake wanane!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Laana au Baraka?
Author - Alfred Esinyen
Translation - Geraldine Nanjala
Illustration - Marleen Visser, Natalie Propa, Silva Afonso and Vusi Malindi
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) Lolupe Pilot Site 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Tulikuwa tumeingoja mvua kwa muda gani | {
"text": [
"siku nyingi"
]
} |
2113_swa | Laana au Baraka?
Geraldine Nanjala & Marleen Visser
Kiswahili
Kwa miezi mingi anga lilikuwa kavu. Lomongin, mbuni mvua maarufu, alizungumza na miungu. Watu walikusanyika nje ya boma lake. Walingoja kwa hamu na ghamu ujumbe wa matumaini.
Aliwahakikishia watu kwamba muumba angewapa mvua hivi karibuni. Wangepanda mimea yao.
Watoto walicheza nje tulipokuwa tukingoja mvua. Baadaye siku hiyo, tuliyaona mawingu meupe mbali mashariki. Nilijua ni mawingu ya mvua.
Watu walikuwa bado wanawaza kuhusu kile mbuni mvua alisema. Mama alipiga yowe kwa sauti, "Pale! Sasa mawingu ni meusi. Njooni ndani."
Mvua ilinyesha. Ikanyesha! Tulikuwa tumeingoja mvua kwa siku nyingi! Mwanzo, tulifurahi.
Maji yalizidi kuwa kila mahali. Daraja la kuunganisha kijiji chetu na sehemu nyingine, lilisombwa na maji.
Nyumba zilisombwa na gharika. Kile kilikuwa baraka, kilikuwa sasa ni mauti kwetu.
Tulikuwa tumejitayarisha kwa upanzi, lakini sasa hatungepanda. Tulikuwa tumeitamani mvua, lakini sasa hatukuitaka tena. Hatukuwa na daraja la kuvukia. Wengi hawakuwa na makazi wala miji.
Na tulikuwa na shida nyingine! Tuliona mamba wakiogelea kila mahali. Hili halikuwa limewahi kutokea tena. Tulichanganyikiwa!
Hatungeenda manunuzi kwa sababu maduka yote yalikuwa ng'ambo ya mto. Watoto hawangeenda shuleni kwa sababu shule zilikuwa ng'ambo ya mto.
Kile kingekuwa baraka, kiligeuka kuwa laana kwetu. Lomongin, mbuni mvua, akakata tamaa vilevile. Aliyekuwa na furaha pekee ni Kapuus na paka wake wanane!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Laana au Baraka?
Author - Alfred Esinyen
Translation - Geraldine Nanjala
Illustration - Marleen Visser, Natalie Propa, Silva Afonso and Vusi Malindi
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) Lolupe Pilot Site 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nyumba zilifanyika nini | {
"text": [
"Zilisombwa na gharika"
]
} |
2113_swa | Laana au Baraka?
Geraldine Nanjala & Marleen Visser
Kiswahili
Kwa miezi mingi anga lilikuwa kavu. Lomongin, mbuni mvua maarufu, alizungumza na miungu. Watu walikusanyika nje ya boma lake. Walingoja kwa hamu na ghamu ujumbe wa matumaini.
Aliwahakikishia watu kwamba muumba angewapa mvua hivi karibuni. Wangepanda mimea yao.
Watoto walicheza nje tulipokuwa tukingoja mvua. Baadaye siku hiyo, tuliyaona mawingu meupe mbali mashariki. Nilijua ni mawingu ya mvua.
Watu walikuwa bado wanawaza kuhusu kile mbuni mvua alisema. Mama alipiga yowe kwa sauti, "Pale! Sasa mawingu ni meusi. Njooni ndani."
Mvua ilinyesha. Ikanyesha! Tulikuwa tumeingoja mvua kwa siku nyingi! Mwanzo, tulifurahi.
Maji yalizidi kuwa kila mahali. Daraja la kuunganisha kijiji chetu na sehemu nyingine, lilisombwa na maji.
Nyumba zilisombwa na gharika. Kile kilikuwa baraka, kilikuwa sasa ni mauti kwetu.
Tulikuwa tumejitayarisha kwa upanzi, lakini sasa hatungepanda. Tulikuwa tumeitamani mvua, lakini sasa hatukuitaka tena. Hatukuwa na daraja la kuvukia. Wengi hawakuwa na makazi wala miji.
Na tulikuwa na shida nyingine! Tuliona mamba wakiogelea kila mahali. Hili halikuwa limewahi kutokea tena. Tulichanganyikiwa!
Hatungeenda manunuzi kwa sababu maduka yote yalikuwa ng'ambo ya mto. Watoto hawangeenda shuleni kwa sababu shule zilikuwa ng'ambo ya mto.
Kile kingekuwa baraka, kiligeuka kuwa laana kwetu. Lomongin, mbuni mvua, akakata tamaa vilevile. Aliyekuwa na furaha pekee ni Kapuus na paka wake wanane!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Laana au Baraka?
Author - Alfred Esinyen
Translation - Geraldine Nanjala
Illustration - Marleen Visser, Natalie Propa, Silva Afonso and Vusi Malindi
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) Lolupe Pilot Site 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kile kilikuwa baraka kiligeuka kuwa nini | {
"text": [
"laana"
]
} |
2113_swa | Laana au Baraka?
Geraldine Nanjala & Marleen Visser
Kiswahili
Kwa miezi mingi anga lilikuwa kavu. Lomongin, mbuni mvua maarufu, alizungumza na miungu. Watu walikusanyika nje ya boma lake. Walingoja kwa hamu na ghamu ujumbe wa matumaini.
Aliwahakikishia watu kwamba muumba angewapa mvua hivi karibuni. Wangepanda mimea yao.
Watoto walicheza nje tulipokuwa tukingoja mvua. Baadaye siku hiyo, tuliyaona mawingu meupe mbali mashariki. Nilijua ni mawingu ya mvua.
Watu walikuwa bado wanawaza kuhusu kile mbuni mvua alisema. Mama alipiga yowe kwa sauti, "Pale! Sasa mawingu ni meusi. Njooni ndani."
Mvua ilinyesha. Ikanyesha! Tulikuwa tumeingoja mvua kwa siku nyingi! Mwanzo, tulifurahi.
Maji yalizidi kuwa kila mahali. Daraja la kuunganisha kijiji chetu na sehemu nyingine, lilisombwa na maji.
Nyumba zilisombwa na gharika. Kile kilikuwa baraka, kilikuwa sasa ni mauti kwetu.
Tulikuwa tumejitayarisha kwa upanzi, lakini sasa hatungepanda. Tulikuwa tumeitamani mvua, lakini sasa hatukuitaka tena. Hatukuwa na daraja la kuvukia. Wengi hawakuwa na makazi wala miji.
Na tulikuwa na shida nyingine! Tuliona mamba wakiogelea kila mahali. Hili halikuwa limewahi kutokea tena. Tulichanganyikiwa!
Hatungeenda manunuzi kwa sababu maduka yote yalikuwa ng'ambo ya mto. Watoto hawangeenda shuleni kwa sababu shule zilikuwa ng'ambo ya mto.
Kile kingekuwa baraka, kiligeuka kuwa laana kwetu. Lomongin, mbuni mvua, akakata tamaa vilevile. Aliyekuwa na furaha pekee ni Kapuus na paka wake wanane!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Laana au Baraka?
Author - Alfred Esinyen
Translation - Geraldine Nanjala
Illustration - Marleen Visser, Natalie Propa, Silva Afonso and Vusi Malindi
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
(c) Lolupe Pilot Site 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwa nini hatungeenda manunuzi | {
"text": [
"kwa sababu maduka yote yalikuwa ng'ambo ya mto"
]
} |
2115_swa | Kwa nini buibui ana miguu myembamba.
Brigid Simiyu & Wiehan de Jager.
Kiswahili
Kulikuwa na buibui mmoja mvivu aliyeitwa Anansi. Badala ya kujipikia chakula, Anansi alipenda kuwatembelea marafiki zake na kula chakula chao.
Siku moja, Anansi alipitia nyumbani kwa Sungura na kunusa mboga zilizokuwa zikipikwa. Alizitamani sana. Sungura alimwambia, "Hazijaiva, lakini unaweza kunisaidia kuosha vyombo tukisubiri ziive." Anansi akamjibu kwa haraka, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye."
"Nitakujulishaje zitakapokuwa tayari?" Sungura akamwuliza. Anansi akawaza kidogo halafu akasema, "Nitasokota utando nifunge ncha moja mguuni kwangu na nyingine chunguni. Mboga zitakapoiva, utauvuta utando, nami nitakimbia nije." Kwa hivyo, Anansi aliufunga utando kwenye chungu kisha akaenda.
Anansi alimwona Kima na mkewe wakipika maharage. Kima alisema, "Jiunge nasi! Maharagwe karibu yaive." Anansi akamjibu, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye. Nitafunga ncha moja ya utando huu kwenye mguu na nyingine kwenye chungu chako. Maharagwe yatakapoiva, utauvuta utando, nami nitakuja."
Anansi alipita kwa Nguruwe na kunusia viazi vitamu. Nguruwe alisema, "Ninapika viazi vitamu na asali. Njoo tule." Anansi akamjibu, "Ningependa lakini sina muda." Anansi akafunga utando ncha moja mguuni na nyingine kwenye chungu cha viazi vitamu. Akamwambia Nguruwe, "Viazi vitakapoiva, utauvuta utando huu, nami nitakuja."
Anansi alipofika mtoni, miguu yake yote ilikuwa imefungwa kwa ncha za utando. Anansi akawaza, "Hili lilikuwa ni wazo zuri sana. Ila najiuliza ni chungu kipi kitakachoiva kwanza?" Pale pale Anansi akahisi mguu mmoja ukivutwa. Akasema, "Aa, hii ni ncha ya utando uliofungwa kwenye chungu cha mboga."
Anansi aliendelea kuhisi mvuto baada ya mwingine. Alivutwa pande tatu mara moja. "Aa! Jamani!" Anansi alisema alipovutwa kwa mara ya nne. Kabla hajapumua, akahisi ncha ya tano, ya sita, ya saba, na ya nane zikivutwa. Anansi alivutwa huku na kule. Kila mmoja alivuta ncha yake wakati ule ule. Miguu yake ilivutwa ikawa myembamba.
Anansi alijirusha mtoni kwa haraka. Tando zote zilipochukuliwa na maji, alijivuta taratibu kwa maumivu hadi kando ya mto. Alihisi uchungu, "Aa! Aa!" Labda hili halikuwa wazo zuri kabisa." Siku ile hakupata chakula chochote. Tangu wakati huo, buibui huwa na miguu minane myembamba.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini buibui ana miguu myembamba
Author - Ghanaian folktale
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Wiehan de Jager
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Buibui aliitwa nani | {
"text": [
"Anansi"
]
} |
2115_swa | Kwa nini buibui ana miguu myembamba.
Brigid Simiyu & Wiehan de Jager.
Kiswahili
Kulikuwa na buibui mmoja mvivu aliyeitwa Anansi. Badala ya kujipikia chakula, Anansi alipenda kuwatembelea marafiki zake na kula chakula chao.
Siku moja, Anansi alipitia nyumbani kwa Sungura na kunusa mboga zilizokuwa zikipikwa. Alizitamani sana. Sungura alimwambia, "Hazijaiva, lakini unaweza kunisaidia kuosha vyombo tukisubiri ziive." Anansi akamjibu kwa haraka, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye."
"Nitakujulishaje zitakapokuwa tayari?" Sungura akamwuliza. Anansi akawaza kidogo halafu akasema, "Nitasokota utando nifunge ncha moja mguuni kwangu na nyingine chunguni. Mboga zitakapoiva, utauvuta utando, nami nitakimbia nije." Kwa hivyo, Anansi aliufunga utando kwenye chungu kisha akaenda.
Anansi alimwona Kima na mkewe wakipika maharage. Kima alisema, "Jiunge nasi! Maharagwe karibu yaive." Anansi akamjibu, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye. Nitafunga ncha moja ya utando huu kwenye mguu na nyingine kwenye chungu chako. Maharagwe yatakapoiva, utauvuta utando, nami nitakuja."
Anansi alipita kwa Nguruwe na kunusia viazi vitamu. Nguruwe alisema, "Ninapika viazi vitamu na asali. Njoo tule." Anansi akamjibu, "Ningependa lakini sina muda." Anansi akafunga utando ncha moja mguuni na nyingine kwenye chungu cha viazi vitamu. Akamwambia Nguruwe, "Viazi vitakapoiva, utauvuta utando huu, nami nitakuja."
Anansi alipofika mtoni, miguu yake yote ilikuwa imefungwa kwa ncha za utando. Anansi akawaza, "Hili lilikuwa ni wazo zuri sana. Ila najiuliza ni chungu kipi kitakachoiva kwanza?" Pale pale Anansi akahisi mguu mmoja ukivutwa. Akasema, "Aa, hii ni ncha ya utando uliofungwa kwenye chungu cha mboga."
Anansi aliendelea kuhisi mvuto baada ya mwingine. Alivutwa pande tatu mara moja. "Aa! Jamani!" Anansi alisema alipovutwa kwa mara ya nne. Kabla hajapumua, akahisi ncha ya tano, ya sita, ya saba, na ya nane zikivutwa. Anansi alivutwa huku na kule. Kila mmoja alivuta ncha yake wakati ule ule. Miguu yake ilivutwa ikawa myembamba.
Anansi alijirusha mtoni kwa haraka. Tando zote zilipochukuliwa na maji, alijivuta taratibu kwa maumivu hadi kando ya mto. Alihisi uchungu, "Aa! Aa!" Labda hili halikuwa wazo zuri kabisa." Siku ile hakupata chakula chochote. Tangu wakati huo, buibui huwa na miguu minane myembamba.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini buibui ana miguu myembamba
Author - Ghanaian folktale
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Wiehan de Jager
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sungura alimwambia Anansi amsaidie kufanya nini | {
"text": [
"kuosha vyombo"
]
} |
2115_swa | Kwa nini buibui ana miguu myembamba.
Brigid Simiyu & Wiehan de Jager.
Kiswahili
Kulikuwa na buibui mmoja mvivu aliyeitwa Anansi. Badala ya kujipikia chakula, Anansi alipenda kuwatembelea marafiki zake na kula chakula chao.
Siku moja, Anansi alipitia nyumbani kwa Sungura na kunusa mboga zilizokuwa zikipikwa. Alizitamani sana. Sungura alimwambia, "Hazijaiva, lakini unaweza kunisaidia kuosha vyombo tukisubiri ziive." Anansi akamjibu kwa haraka, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye."
"Nitakujulishaje zitakapokuwa tayari?" Sungura akamwuliza. Anansi akawaza kidogo halafu akasema, "Nitasokota utando nifunge ncha moja mguuni kwangu na nyingine chunguni. Mboga zitakapoiva, utauvuta utando, nami nitakimbia nije." Kwa hivyo, Anansi aliufunga utando kwenye chungu kisha akaenda.
Anansi alimwona Kima na mkewe wakipika maharage. Kima alisema, "Jiunge nasi! Maharagwe karibu yaive." Anansi akamjibu, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye. Nitafunga ncha moja ya utando huu kwenye mguu na nyingine kwenye chungu chako. Maharagwe yatakapoiva, utauvuta utando, nami nitakuja."
Anansi alipita kwa Nguruwe na kunusia viazi vitamu. Nguruwe alisema, "Ninapika viazi vitamu na asali. Njoo tule." Anansi akamjibu, "Ningependa lakini sina muda." Anansi akafunga utando ncha moja mguuni na nyingine kwenye chungu cha viazi vitamu. Akamwambia Nguruwe, "Viazi vitakapoiva, utauvuta utando huu, nami nitakuja."
Anansi alipofika mtoni, miguu yake yote ilikuwa imefungwa kwa ncha za utando. Anansi akawaza, "Hili lilikuwa ni wazo zuri sana. Ila najiuliza ni chungu kipi kitakachoiva kwanza?" Pale pale Anansi akahisi mguu mmoja ukivutwa. Akasema, "Aa, hii ni ncha ya utando uliofungwa kwenye chungu cha mboga."
Anansi aliendelea kuhisi mvuto baada ya mwingine. Alivutwa pande tatu mara moja. "Aa! Jamani!" Anansi alisema alipovutwa kwa mara ya nne. Kabla hajapumua, akahisi ncha ya tano, ya sita, ya saba, na ya nane zikivutwa. Anansi alivutwa huku na kule. Kila mmoja alivuta ncha yake wakati ule ule. Miguu yake ilivutwa ikawa myembamba.
Anansi alijirusha mtoni kwa haraka. Tando zote zilipochukuliwa na maji, alijivuta taratibu kwa maumivu hadi kando ya mto. Alihisi uchungu, "Aa! Aa!" Labda hili halikuwa wazo zuri kabisa." Siku ile hakupata chakula chochote. Tangu wakati huo, buibui huwa na miguu minane myembamba.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini buibui ana miguu myembamba
Author - Ghanaian folktale
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Wiehan de Jager
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kima na mkewe walikua wakipika nini | {
"text": [
"maharagwe"
]
} |
2115_swa | Kwa nini buibui ana miguu myembamba.
Brigid Simiyu & Wiehan de Jager.
Kiswahili
Kulikuwa na buibui mmoja mvivu aliyeitwa Anansi. Badala ya kujipikia chakula, Anansi alipenda kuwatembelea marafiki zake na kula chakula chao.
Siku moja, Anansi alipitia nyumbani kwa Sungura na kunusa mboga zilizokuwa zikipikwa. Alizitamani sana. Sungura alimwambia, "Hazijaiva, lakini unaweza kunisaidia kuosha vyombo tukisubiri ziive." Anansi akamjibu kwa haraka, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye."
"Nitakujulishaje zitakapokuwa tayari?" Sungura akamwuliza. Anansi akawaza kidogo halafu akasema, "Nitasokota utando nifunge ncha moja mguuni kwangu na nyingine chunguni. Mboga zitakapoiva, utauvuta utando, nami nitakimbia nije." Kwa hivyo, Anansi aliufunga utando kwenye chungu kisha akaenda.
Anansi alimwona Kima na mkewe wakipika maharage. Kima alisema, "Jiunge nasi! Maharagwe karibu yaive." Anansi akamjibu, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye. Nitafunga ncha moja ya utando huu kwenye mguu na nyingine kwenye chungu chako. Maharagwe yatakapoiva, utauvuta utando, nami nitakuja."
Anansi alipita kwa Nguruwe na kunusia viazi vitamu. Nguruwe alisema, "Ninapika viazi vitamu na asali. Njoo tule." Anansi akamjibu, "Ningependa lakini sina muda." Anansi akafunga utando ncha moja mguuni na nyingine kwenye chungu cha viazi vitamu. Akamwambia Nguruwe, "Viazi vitakapoiva, utauvuta utando huu, nami nitakuja."
Anansi alipofika mtoni, miguu yake yote ilikuwa imefungwa kwa ncha za utando. Anansi akawaza, "Hili lilikuwa ni wazo zuri sana. Ila najiuliza ni chungu kipi kitakachoiva kwanza?" Pale pale Anansi akahisi mguu mmoja ukivutwa. Akasema, "Aa, hii ni ncha ya utando uliofungwa kwenye chungu cha mboga."
Anansi aliendelea kuhisi mvuto baada ya mwingine. Alivutwa pande tatu mara moja. "Aa! Jamani!" Anansi alisema alipovutwa kwa mara ya nne. Kabla hajapumua, akahisi ncha ya tano, ya sita, ya saba, na ya nane zikivutwa. Anansi alivutwa huku na kule. Kila mmoja alivuta ncha yake wakati ule ule. Miguu yake ilivutwa ikawa myembamba.
Anansi alijirusha mtoni kwa haraka. Tando zote zilipochukuliwa na maji, alijivuta taratibu kwa maumivu hadi kando ya mto. Alihisi uchungu, "Aa! Aa!" Labda hili halikuwa wazo zuri kabisa." Siku ile hakupata chakula chochote. Tangu wakati huo, buibui huwa na miguu minane myembamba.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini buibui ana miguu myembamba
Author - Ghanaian folktale
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Wiehan de Jager
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Anansi alimwambia Nguruwe kuwa ataendea viazi vitamu na asali lini | {
"text": [
"vitakapoiva"
]
} |
2115_swa | Kwa nini buibui ana miguu myembamba.
Brigid Simiyu & Wiehan de Jager.
Kiswahili
Kulikuwa na buibui mmoja mvivu aliyeitwa Anansi. Badala ya kujipikia chakula, Anansi alipenda kuwatembelea marafiki zake na kula chakula chao.
Siku moja, Anansi alipitia nyumbani kwa Sungura na kunusa mboga zilizokuwa zikipikwa. Alizitamani sana. Sungura alimwambia, "Hazijaiva, lakini unaweza kunisaidia kuosha vyombo tukisubiri ziive." Anansi akamjibu kwa haraka, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye."
"Nitakujulishaje zitakapokuwa tayari?" Sungura akamwuliza. Anansi akawaza kidogo halafu akasema, "Nitasokota utando nifunge ncha moja mguuni kwangu na nyingine chunguni. Mboga zitakapoiva, utauvuta utando, nami nitakimbia nije." Kwa hivyo, Anansi aliufunga utando kwenye chungu kisha akaenda.
Anansi alimwona Kima na mkewe wakipika maharage. Kima alisema, "Jiunge nasi! Maharagwe karibu yaive." Anansi akamjibu, "Samahani, nina kazi nyingine, nitarudi baadaye. Nitafunga ncha moja ya utando huu kwenye mguu na nyingine kwenye chungu chako. Maharagwe yatakapoiva, utauvuta utando, nami nitakuja."
Anansi alipita kwa Nguruwe na kunusia viazi vitamu. Nguruwe alisema, "Ninapika viazi vitamu na asali. Njoo tule." Anansi akamjibu, "Ningependa lakini sina muda." Anansi akafunga utando ncha moja mguuni na nyingine kwenye chungu cha viazi vitamu. Akamwambia Nguruwe, "Viazi vitakapoiva, utauvuta utando huu, nami nitakuja."
Anansi alipofika mtoni, miguu yake yote ilikuwa imefungwa kwa ncha za utando. Anansi akawaza, "Hili lilikuwa ni wazo zuri sana. Ila najiuliza ni chungu kipi kitakachoiva kwanza?" Pale pale Anansi akahisi mguu mmoja ukivutwa. Akasema, "Aa, hii ni ncha ya utando uliofungwa kwenye chungu cha mboga."
Anansi aliendelea kuhisi mvuto baada ya mwingine. Alivutwa pande tatu mara moja. "Aa! Jamani!" Anansi alisema alipovutwa kwa mara ya nne. Kabla hajapumua, akahisi ncha ya tano, ya sita, ya saba, na ya nane zikivutwa. Anansi alivutwa huku na kule. Kila mmoja alivuta ncha yake wakati ule ule. Miguu yake ilivutwa ikawa myembamba.
Anansi alijirusha mtoni kwa haraka. Tando zote zilipochukuliwa na maji, alijivuta taratibu kwa maumivu hadi kando ya mto. Alihisi uchungu, "Aa! Aa!" Labda hili halikuwa wazo zuri kabisa." Siku ile hakupata chakula chochote. Tangu wakati huo, buibui huwa na miguu minane myembamba.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini buibui ana miguu myembamba
Author - Ghanaian folktale
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Wiehan de Jager
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Anansi alipata aje kuwa na miguu myembamba | {
"text": [
"alipovutwa huku na kule kila mtu akivuta ncha yake"
]
} |
2118_swa | Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe.
Brigid Simiyu & Stephen Wallace
Kiswahili
Je, umewahi kuona kundi la ng'ombe malishoni? Kila mara ng'ombe hutikisa kichwa chake. Huonekana akijaribu kuwafukuza nzi wanaomsumbua. Lakini, kwa nini nzi hupenda kuzunguka kichwa cha Ng'ombe?
Inaaminika kuwa tabia hii ilianza zamani katika nchi ya mbali. Malkia wa nchi hiyo alikuwa tajiri na mkarimu. Siku moja aliamua kuwaandalia wanyama wote karamu. Aliandaa meza kubwa ya nyama, mikate, mboga aina aina na matunda matamu.
Wanyama wailfurahia vyakula wakajilamba midomo. Malkia alisema, "Mnyama mkubwa katika kila meza ndiye atakayegawa chakula katika meza hiyo." Ng'ombe alikuwa ameketi meza moja na Kondoo, Mbuzi, Mbwa, Bata Bukini na Nzi. Ng'ombe akaanza kuwagawia chakula. Alimpa kila mnyama kipande kikubwa cha mkate na jibini.
Kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe alijifanya hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika. Ng'ombe hakumsikia Nzi. Aliendelea kuula mkate wake. Maskini Nzi aliketi bila chochote huku akiwatazama wanyama wengine wakila.
Walipomaliza kula mkate, Ng'ombe aliwagawia nyama na mboga. Kila mnyama alipokea sahani kubwa ya chakula. Lakini, kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe tena hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika kwa sauti kuliko mara ya kwanza. Ng'ombe alimkasirikia Nzi.
"Eboi! Kumbe huna adabu?" Ng'ombe alimwuliza. "Mdudu mdogo kama wewe hustahili kuwa katika karamu ya malkia. Subiri hadi wanyama wote wakubwa wamalize kula." Chakula kilikwisha. Maskini Nzi hakupokea hata chembe. Ng'ombe akaanza kugawa matunda tikiti maji na matofaa.
Wanyama wote wakapata chakula isipokuwa Nzi. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika tena. Ng'ombe alicheka huku akiuma tofaa. "Ninyi mnasikia chochote?" Aliwauliza wanyama wengine. "Mimi sijasikia chochote." Wanyama wote walishiba kupita kiasi isipokuwa Nzi. Tumbo lake lilinguruma kwa njaa.
Baada ya chakula, walicheza na kuburudika. Nzi alikuwa amekasirika. Aliamua kurudi nyumbani. Malkia alimwuliza, "Nzi, mbona unaondoka? Hujafurahia karamu?" Nzi aliinama kwa heshima, "Samahani, chakula kilikuwa kitamu. Lakini sikugawiwa hata chembe." Nzi alimweleza malkia namna ilivyokuwa. Malkia alikasirishwa na Ng'ombe.
Malkia akasema, "Kutoka leo, wewe na marafiki zako mtakuwa mkiwasumbua Ng'ombe kila siku tangu asubuhi hadi jioni. Utakizunguka kichwa na kupiga kelele karibu na masikio yake. Hivyo ndivyo atakavyopata funzo. Hatawahi kukudharau tena. Atajua kwamba kwangu mimi, hata mdudu mdogo ni muhimu."
Hiyo ndiyo sababu Nzi amekuwa akifanya hadi leo. Yeye na marafiki zake hupiga kelele kwenye masikio ya Ng'ombe tangu asubuhi hadi jioni. Wanapofanya hivyo, wao huimba "Zuum! Zuum! Zii! Hamtatudharau tena. Semeni ndiyo!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe
Author - Jaco Jacobs
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Stephen Wallace
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) Lapa 2016
| Karamuni, Malkia aliandaa meza ya vyakula vipi | {
"text": [
"Nyama, mikate, mboga na matunda"
]
} |
2118_swa | Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe.
Brigid Simiyu & Stephen Wallace
Kiswahili
Je, umewahi kuona kundi la ng'ombe malishoni? Kila mara ng'ombe hutikisa kichwa chake. Huonekana akijaribu kuwafukuza nzi wanaomsumbua. Lakini, kwa nini nzi hupenda kuzunguka kichwa cha Ng'ombe?
Inaaminika kuwa tabia hii ilianza zamani katika nchi ya mbali. Malkia wa nchi hiyo alikuwa tajiri na mkarimu. Siku moja aliamua kuwaandalia wanyama wote karamu. Aliandaa meza kubwa ya nyama, mikate, mboga aina aina na matunda matamu.
Wanyama wailfurahia vyakula wakajilamba midomo. Malkia alisema, "Mnyama mkubwa katika kila meza ndiye atakayegawa chakula katika meza hiyo." Ng'ombe alikuwa ameketi meza moja na Kondoo, Mbuzi, Mbwa, Bata Bukini na Nzi. Ng'ombe akaanza kuwagawia chakula. Alimpa kila mnyama kipande kikubwa cha mkate na jibini.
Kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe alijifanya hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika. Ng'ombe hakumsikia Nzi. Aliendelea kuula mkate wake. Maskini Nzi aliketi bila chochote huku akiwatazama wanyama wengine wakila.
Walipomaliza kula mkate, Ng'ombe aliwagawia nyama na mboga. Kila mnyama alipokea sahani kubwa ya chakula. Lakini, kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe tena hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika kwa sauti kuliko mara ya kwanza. Ng'ombe alimkasirikia Nzi.
"Eboi! Kumbe huna adabu?" Ng'ombe alimwuliza. "Mdudu mdogo kama wewe hustahili kuwa katika karamu ya malkia. Subiri hadi wanyama wote wakubwa wamalize kula." Chakula kilikwisha. Maskini Nzi hakupokea hata chembe. Ng'ombe akaanza kugawa matunda tikiti maji na matofaa.
Wanyama wote wakapata chakula isipokuwa Nzi. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika tena. Ng'ombe alicheka huku akiuma tofaa. "Ninyi mnasikia chochote?" Aliwauliza wanyama wengine. "Mimi sijasikia chochote." Wanyama wote walishiba kupita kiasi isipokuwa Nzi. Tumbo lake lilinguruma kwa njaa.
Baada ya chakula, walicheza na kuburudika. Nzi alikuwa amekasirika. Aliamua kurudi nyumbani. Malkia alimwuliza, "Nzi, mbona unaondoka? Hujafurahia karamu?" Nzi aliinama kwa heshima, "Samahani, chakula kilikuwa kitamu. Lakini sikugawiwa hata chembe." Nzi alimweleza malkia namna ilivyokuwa. Malkia alikasirishwa na Ng'ombe.
Malkia akasema, "Kutoka leo, wewe na marafiki zako mtakuwa mkiwasumbua Ng'ombe kila siku tangu asubuhi hadi jioni. Utakizunguka kichwa na kupiga kelele karibu na masikio yake. Hivyo ndivyo atakavyopata funzo. Hatawahi kukudharau tena. Atajua kwamba kwangu mimi, hata mdudu mdogo ni muhimu."
Hiyo ndiyo sababu Nzi amekuwa akifanya hadi leo. Yeye na marafiki zake hupiga kelele kwenye masikio ya Ng'ombe tangu asubuhi hadi jioni. Wanapofanya hivyo, wao huimba "Zuum! Zuum! Zii! Hamtatudharau tena. Semeni ndiyo!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe
Author - Jaco Jacobs
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Stephen Wallace
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) Lapa 2016
| Kwa nini nzi husumbua ng'ombe | {
"text": [
"Ng'ombe alimnyima chakula katika karamu ya malkia"
]
} |
2118_swa | Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe.
Brigid Simiyu & Stephen Wallace
Kiswahili
Je, umewahi kuona kundi la ng'ombe malishoni? Kila mara ng'ombe hutikisa kichwa chake. Huonekana akijaribu kuwafukuza nzi wanaomsumbua. Lakini, kwa nini nzi hupenda kuzunguka kichwa cha Ng'ombe?
Inaaminika kuwa tabia hii ilianza zamani katika nchi ya mbali. Malkia wa nchi hiyo alikuwa tajiri na mkarimu. Siku moja aliamua kuwaandalia wanyama wote karamu. Aliandaa meza kubwa ya nyama, mikate, mboga aina aina na matunda matamu.
Wanyama wailfurahia vyakula wakajilamba midomo. Malkia alisema, "Mnyama mkubwa katika kila meza ndiye atakayegawa chakula katika meza hiyo." Ng'ombe alikuwa ameketi meza moja na Kondoo, Mbuzi, Mbwa, Bata Bukini na Nzi. Ng'ombe akaanza kuwagawia chakula. Alimpa kila mnyama kipande kikubwa cha mkate na jibini.
Kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe alijifanya hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika. Ng'ombe hakumsikia Nzi. Aliendelea kuula mkate wake. Maskini Nzi aliketi bila chochote huku akiwatazama wanyama wengine wakila.
Walipomaliza kula mkate, Ng'ombe aliwagawia nyama na mboga. Kila mnyama alipokea sahani kubwa ya chakula. Lakini, kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe tena hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika kwa sauti kuliko mara ya kwanza. Ng'ombe alimkasirikia Nzi.
"Eboi! Kumbe huna adabu?" Ng'ombe alimwuliza. "Mdudu mdogo kama wewe hustahili kuwa katika karamu ya malkia. Subiri hadi wanyama wote wakubwa wamalize kula." Chakula kilikwisha. Maskini Nzi hakupokea hata chembe. Ng'ombe akaanza kugawa matunda tikiti maji na matofaa.
Wanyama wote wakapata chakula isipokuwa Nzi. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika tena. Ng'ombe alicheka huku akiuma tofaa. "Ninyi mnasikia chochote?" Aliwauliza wanyama wengine. "Mimi sijasikia chochote." Wanyama wote walishiba kupita kiasi isipokuwa Nzi. Tumbo lake lilinguruma kwa njaa.
Baada ya chakula, walicheza na kuburudika. Nzi alikuwa amekasirika. Aliamua kurudi nyumbani. Malkia alimwuliza, "Nzi, mbona unaondoka? Hujafurahia karamu?" Nzi aliinama kwa heshima, "Samahani, chakula kilikuwa kitamu. Lakini sikugawiwa hata chembe." Nzi alimweleza malkia namna ilivyokuwa. Malkia alikasirishwa na Ng'ombe.
Malkia akasema, "Kutoka leo, wewe na marafiki zako mtakuwa mkiwasumbua Ng'ombe kila siku tangu asubuhi hadi jioni. Utakizunguka kichwa na kupiga kelele karibu na masikio yake. Hivyo ndivyo atakavyopata funzo. Hatawahi kukudharau tena. Atajua kwamba kwangu mimi, hata mdudu mdogo ni muhimu."
Hiyo ndiyo sababu Nzi amekuwa akifanya hadi leo. Yeye na marafiki zake hupiga kelele kwenye masikio ya Ng'ombe tangu asubuhi hadi jioni. Wanapofanya hivyo, wao huimba "Zuum! Zuum! Zii! Hamtatudharau tena. Semeni ndiyo!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe
Author - Jaco Jacobs
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Stephen Wallace
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
(c) Lapa 2016
| Kondoo aliketi meza moja na wanyama wapi | {
"text": [
"Ng'ombe, mbuzi na mbwa"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.