Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2118_swa
Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe. Brigid Simiyu & Stephen Wallace Kiswahili Je, umewahi kuona kundi la ng'ombe malishoni? Kila mara ng'ombe hutikisa kichwa chake. Huonekana akijaribu kuwafukuza nzi wanaomsumbua. Lakini, kwa nini nzi hupenda kuzunguka kichwa cha Ng'ombe? Inaaminika kuwa tabia hii ilianza zamani katika nchi ya mbali. Malkia wa nchi hiyo alikuwa tajiri na mkarimu. Siku moja aliamua kuwaandalia wanyama wote karamu. Aliandaa meza kubwa ya nyama, mikate, mboga aina aina na matunda matamu. Wanyama wailfurahia vyakula wakajilamba midomo. Malkia alisema, "Mnyama mkubwa katika kila meza ndiye atakayegawa chakula katika meza hiyo." Ng'ombe alikuwa ameketi meza moja na Kondoo, Mbuzi, Mbwa, Bata Bukini na Nzi. Ng'ombe akaanza kuwagawia chakula. Alimpa kila mnyama kipande kikubwa cha mkate na jibini. Kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe alijifanya hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika. Ng'ombe hakumsikia Nzi. Aliendelea kuula mkate wake. Maskini Nzi aliketi bila chochote huku akiwatazama wanyama wengine wakila. Walipomaliza kula mkate, Ng'ombe aliwagawia nyama na mboga. Kila mnyama alipokea sahani kubwa ya chakula. Lakini, kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe tena hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika kwa sauti kuliko mara ya kwanza. Ng'ombe alimkasirikia Nzi. "Eboi! Kumbe huna adabu?" Ng'ombe alimwuliza. "Mdudu mdogo kama wewe hustahili kuwa katika karamu ya malkia. Subiri hadi wanyama wote wakubwa wamalize kula." Chakula kilikwisha. Maskini Nzi hakupokea hata chembe. Ng'ombe akaanza kugawa matunda tikiti maji na matofaa. Wanyama wote wakapata chakula isipokuwa Nzi. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika tena. Ng'ombe alicheka huku akiuma tofaa. "Ninyi mnasikia chochote?" Aliwauliza wanyama wengine. "Mimi sijasikia chochote." Wanyama wote walishiba kupita kiasi isipokuwa Nzi. Tumbo lake lilinguruma kwa njaa. Baada ya chakula, walicheza na kuburudika. Nzi alikuwa amekasirika. Aliamua kurudi nyumbani. Malkia alimwuliza, "Nzi, mbona unaondoka? Hujafurahia karamu?" Nzi aliinama kwa heshima, "Samahani, chakula kilikuwa kitamu. Lakini sikugawiwa hata chembe." Nzi alimweleza malkia namna ilivyokuwa. Malkia alikasirishwa na Ng'ombe. Malkia akasema, "Kutoka leo, wewe na marafiki zako mtakuwa mkiwasumbua Ng'ombe kila siku tangu asubuhi hadi jioni. Utakizunguka kichwa na kupiga kelele karibu na masikio yake. Hivyo ndivyo atakavyopata funzo. Hatawahi kukudharau tena. Atajua kwamba kwangu mimi, hata mdudu mdogo ni muhimu." Hiyo ndiyo sababu Nzi amekuwa akifanya hadi leo. Yeye na marafiki zake hupiga kelele kwenye masikio ya Ng'ombe tangu asubuhi hadi jioni. Wanapofanya hivyo, wao huimba "Zuum! Zuum! Zii! Hamtatudharau tena. Semeni ndiyo!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe Author - Jaco Jacobs Translation - Brigid Simiyu Illustration - Stephen Wallace Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs (c) Lapa 2016
Ni ndege yupi alibahatika kuwa katika meza moja na ng'ombe
{ "text": [ "Bata bukini" ] }
2118_swa
Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe. Brigid Simiyu & Stephen Wallace Kiswahili Je, umewahi kuona kundi la ng'ombe malishoni? Kila mara ng'ombe hutikisa kichwa chake. Huonekana akijaribu kuwafukuza nzi wanaomsumbua. Lakini, kwa nini nzi hupenda kuzunguka kichwa cha Ng'ombe? Inaaminika kuwa tabia hii ilianza zamani katika nchi ya mbali. Malkia wa nchi hiyo alikuwa tajiri na mkarimu. Siku moja aliamua kuwaandalia wanyama wote karamu. Aliandaa meza kubwa ya nyama, mikate, mboga aina aina na matunda matamu. Wanyama wailfurahia vyakula wakajilamba midomo. Malkia alisema, "Mnyama mkubwa katika kila meza ndiye atakayegawa chakula katika meza hiyo." Ng'ombe alikuwa ameketi meza moja na Kondoo, Mbuzi, Mbwa, Bata Bukini na Nzi. Ng'ombe akaanza kuwagawia chakula. Alimpa kila mnyama kipande kikubwa cha mkate na jibini. Kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe alijifanya hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika. Ng'ombe hakumsikia Nzi. Aliendelea kuula mkate wake. Maskini Nzi aliketi bila chochote huku akiwatazama wanyama wengine wakila. Walipomaliza kula mkate, Ng'ombe aliwagawia nyama na mboga. Kila mnyama alipokea sahani kubwa ya chakula. Lakini, kwa vile Nzi alikuwa mdogo, Ng'ombe tena hakumuona. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika kwa sauti kuliko mara ya kwanza. Ng'ombe alimkasirikia Nzi. "Eboi! Kumbe huna adabu?" Ng'ombe alimwuliza. "Mdudu mdogo kama wewe hustahili kuwa katika karamu ya malkia. Subiri hadi wanyama wote wakubwa wamalize kula." Chakula kilikwisha. Maskini Nzi hakupokea hata chembe. Ng'ombe akaanza kugawa matunda tikiti maji na matofaa. Wanyama wote wakapata chakula isipokuwa Nzi. "Zuum! Zuum! Zii! Na mimi, je? Tafadhali nigawie chakula pia." Nzi alilalamika tena. Ng'ombe alicheka huku akiuma tofaa. "Ninyi mnasikia chochote?" Aliwauliza wanyama wengine. "Mimi sijasikia chochote." Wanyama wote walishiba kupita kiasi isipokuwa Nzi. Tumbo lake lilinguruma kwa njaa. Baada ya chakula, walicheza na kuburudika. Nzi alikuwa amekasirika. Aliamua kurudi nyumbani. Malkia alimwuliza, "Nzi, mbona unaondoka? Hujafurahia karamu?" Nzi aliinama kwa heshima, "Samahani, chakula kilikuwa kitamu. Lakini sikugawiwa hata chembe." Nzi alimweleza malkia namna ilivyokuwa. Malkia alikasirishwa na Ng'ombe. Malkia akasema, "Kutoka leo, wewe na marafiki zako mtakuwa mkiwasumbua Ng'ombe kila siku tangu asubuhi hadi jioni. Utakizunguka kichwa na kupiga kelele karibu na masikio yake. Hivyo ndivyo atakavyopata funzo. Hatawahi kukudharau tena. Atajua kwamba kwangu mimi, hata mdudu mdogo ni muhimu." Hiyo ndiyo sababu Nzi amekuwa akifanya hadi leo. Yeye na marafiki zake hupiga kelele kwenye masikio ya Ng'ombe tangu asubuhi hadi jioni. Wanapofanya hivyo, wao huimba "Zuum! Zuum! Zii! Hamtatudharau tena. Semeni ndiyo!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Nzi humsumbua Ng'ombe Author - Jaco Jacobs Translation - Brigid Simiyu Illustration - Stephen Wallace Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs (c) Lapa 2016
Ni nani hakubahatika kupewa chakula na ng'ombe
{ "text": [ "Nzi" ] }
2119_swa
Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Yayeri anaamka mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anashukuru kwa usiku uliopita. Tunauliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anatandika godoro vizuri. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anawasalimu babu na bibi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaosha uso wake. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anapiga meno yake mswaki. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaoga. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa sare ya shule. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa viatu vyake vyeusi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anafika shuleni mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anasoma kwa bidii. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anacheza na wenzake. Unaelewa kwa nini Yayeri ni mashuhuri? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Author - Michael Oguttu Translation - Kiondo Wilkins Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Nani anaamka mapema
{ "text": [ "Yayeri" ] }
2119_swa
Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Yayeri anaamka mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anashukuru kwa usiku uliopita. Tunauliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anatandika godoro vizuri. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anawasalimu babu na bibi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaosha uso wake. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anapiga meno yake mswaki. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaoga. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa sare ya shule. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa viatu vyake vyeusi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anafika shuleni mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anasoma kwa bidii. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anacheza na wenzake. Unaelewa kwa nini Yayeri ni mashuhuri? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Author - Michael Oguttu Translation - Kiondo Wilkins Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Anashukuru kwa nini
{ "text": [ "usiku uliopita" ] }
2119_swa
Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Yayeri anaamka mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anashukuru kwa usiku uliopita. Tunauliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anatandika godoro vizuri. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anawasalimu babu na bibi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaosha uso wake. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anapiga meno yake mswaki. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaoga. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa sare ya shule. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa viatu vyake vyeusi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anafika shuleni mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anasoma kwa bidii. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anacheza na wenzake. Unaelewa kwa nini Yayeri ni mashuhuri? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Author - Michael Oguttu Translation - Kiondo Wilkins Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Anatandika godoro vipi
{ "text": [ "vizuri" ] }
2119_swa
Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Yayeri anaamka mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anashukuru kwa usiku uliopita. Tunauliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anatandika godoro vizuri. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anawasalimu babu na bibi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaosha uso wake. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anapiga meno yake mswaki. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaoga. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa sare ya shule. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa viatu vyake vyeusi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anafika shuleni mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anasoma kwa bidii. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anacheza na wenzake. Unaelewa kwa nini Yayeri ni mashuhuri? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Author - Michael Oguttu Translation - Kiondo Wilkins Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Anawasalimu kina nani
{ "text": [ "babu na bibi" ] }
2119_swa
Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Yayeri anaamka mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anashukuru kwa usiku uliopita. Tunauliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anatandika godoro vizuri. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anawasalimu babu na bibi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaosha uso wake. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anapiga meno yake mswaki. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anaoga. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa sare ya shule. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anavaa viatu vyake vyeusi. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anafika shuleni mapema. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anasoma kwa bidii. Tunajiuliza, "Kwa nini Yayeri ni mashuhuri?" Anacheza na wenzake. Unaelewa kwa nini Yayeri ni mashuhuri? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Yayeri ni mashuhuri? Author - Michael Oguttu Translation - Kiondo Wilkins Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Anafika shuleni saa ngapi
{ "text": [ "mapema" ] }
2120_swa
Kwa nini Ajao hakuzikwa Ajao alikuwa popo. Aliugua nyumbani kwake bila kupata usaidizi wowote. Baada ya muda, Ajao alifariki. Majirani walisema, "Ajao amekufa. Itatubidi tuwaite jamaa zake waje wamzike." Majirani waliwaita ndege wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Ndege walipokuja, waliona kuwa ni Ajao. Wakasema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Wote wa jamii yetu wana manyoya. Lakini Ajao hana manyoya yoyote. Yeye si mmoja wetu." Kisha ndege hao waliondoka wakaenda zao. Majirani walikubali, "Ndege wamesema ukweli. Ajao hana manyoya. Yeye si wa jamii yao." Kisha mmoja wao akasema, "Labda Ajao ni wa jamii ya panya. Anafanana nao." Majirani waliwaita panya wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Panya walipofika waliona kuwa ni Ajao. Walisema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Kila mmoja wa familia yetu huwa na mkia. Ajao hana mkia." Kisha Panya waliondoka wakaenda zao. Hakuna jamaa wa Ajao aliyepatikana. Kwa hivyo, Ajao hakuzikwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Ajao hakuzikwa Author - Taiwo Ẹhinẹni Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliugua kwake bila uasidizi
{ "text": [ "Ajao" ] }
2120_swa
Kwa nini Ajao hakuzikwa Ajao alikuwa popo. Aliugua nyumbani kwake bila kupata usaidizi wowote. Baada ya muda, Ajao alifariki. Majirani walisema, "Ajao amekufa. Itatubidi tuwaite jamaa zake waje wamzike." Majirani waliwaita ndege wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Ndege walipokuja, waliona kuwa ni Ajao. Wakasema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Wote wa jamii yetu wana manyoya. Lakini Ajao hana manyoya yoyote. Yeye si mmoja wetu." Kisha ndege hao waliondoka wakaenda zao. Majirani walikubali, "Ndege wamesema ukweli. Ajao hana manyoya. Yeye si wa jamii yao." Kisha mmoja wao akasema, "Labda Ajao ni wa jamii ya panya. Anafanana nao." Majirani waliwaita panya wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Panya walipofika waliona kuwa ni Ajao. Walisema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Kila mmoja wa familia yetu huwa na mkia. Ajao hana mkia." Kisha Panya waliondoka wakaenda zao. Hakuna jamaa wa Ajao aliyepatikana. Kwa hivyo, Ajao hakuzikwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Ajao hakuzikwa Author - Taiwo Ẹhinẹni Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Majirani waliwaita nani kuja kumzika Ajao
{ "text": [ "Jamaa zake, ndege" ] }
2120_swa
Kwa nini Ajao hakuzikwa Ajao alikuwa popo. Aliugua nyumbani kwake bila kupata usaidizi wowote. Baada ya muda, Ajao alifariki. Majirani walisema, "Ajao amekufa. Itatubidi tuwaite jamaa zake waje wamzike." Majirani waliwaita ndege wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Ndege walipokuja, waliona kuwa ni Ajao. Wakasema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Wote wa jamii yetu wana manyoya. Lakini Ajao hana manyoya yoyote. Yeye si mmoja wetu." Kisha ndege hao waliondoka wakaenda zao. Majirani walikubali, "Ndege wamesema ukweli. Ajao hana manyoya. Yeye si wa jamii yao." Kisha mmoja wao akasema, "Labda Ajao ni wa jamii ya panya. Anafanana nao." Majirani waliwaita panya wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Panya walipofika waliona kuwa ni Ajao. Walisema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Kila mmoja wa familia yetu huwa na mkia. Ajao hana mkia." Kisha Panya waliondoka wakaenda zao. Hakuna jamaa wa Ajao aliyepatikana. Kwa hivyo, Ajao hakuzikwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Ajao hakuzikwa Author - Taiwo Ẹhinẹni Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ajao alikuwa na tofauti gani na jamii zingine
{ "text": [ "Manyoya" ] }
2120_swa
Kwa nini Ajao hakuzikwa Ajao alikuwa popo. Aliugua nyumbani kwake bila kupata usaidizi wowote. Baada ya muda, Ajao alifariki. Majirani walisema, "Ajao amekufa. Itatubidi tuwaite jamaa zake waje wamzike." Majirani waliwaita ndege wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Ndege walipokuja, waliona kuwa ni Ajao. Wakasema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Wote wa jamii yetu wana manyoya. Lakini Ajao hana manyoya yoyote. Yeye si mmoja wetu." Kisha ndege hao waliondoka wakaenda zao. Majirani walikubali, "Ndege wamesema ukweli. Ajao hana manyoya. Yeye si wa jamii yao." Kisha mmoja wao akasema, "Labda Ajao ni wa jamii ya panya. Anafanana nao." Majirani waliwaita panya wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Panya walipofika waliona kuwa ni Ajao. Walisema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Kila mmoja wa familia yetu huwa na mkia. Ajao hana mkia." Kisha Panya waliondoka wakaenda zao. Hakuna jamaa wa Ajao aliyepatikana. Kwa hivyo, Ajao hakuzikwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Ajao hakuzikwa Author - Taiwo Ẹhinẹni Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baaada ya ndege kuondoka, majirani waliita jamii gani kuja kumwangalia Ajao
{ "text": [ "Jamii ya panya" ] }
2120_swa
Kwa nini Ajao hakuzikwa Ajao alikuwa popo. Aliugua nyumbani kwake bila kupata usaidizi wowote. Baada ya muda, Ajao alifariki. Majirani walisema, "Ajao amekufa. Itatubidi tuwaite jamaa zake waje wamzike." Majirani waliwaita ndege wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Ndege walipokuja, waliona kuwa ni Ajao. Wakasema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Wote wa jamii yetu wana manyoya. Lakini Ajao hana manyoya yoyote. Yeye si mmoja wetu." Kisha ndege hao waliondoka wakaenda zao. Majirani walikubali, "Ndege wamesema ukweli. Ajao hana manyoya. Yeye si wa jamii yao." Kisha mmoja wao akasema, "Labda Ajao ni wa jamii ya panya. Anafanana nao." Majirani waliwaita panya wakisema, "Mmoja wenu amefariki. Njooni mkamzike." Panya walipofika waliona kuwa ni Ajao. Walisema, "Mnyama huyu si wa jamii yetu." "Kila mmoja wa familia yetu huwa na mkia. Ajao hana mkia." Kisha Panya waliondoka wakaenda zao. Hakuna jamaa wa Ajao aliyepatikana. Kwa hivyo, Ajao hakuzikwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini Ajao hakuzikwa Author - Taiwo Ẹhinẹni Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Ajao hakuzikwa
{ "text": [ "Hakuna jamaa yake aliyepatikana" ] }
2121_swa
Kwa nini viboko hawana manyoya Siku moja, Sungura alikuwa anatembea ukingoni mwa mto. Kiboko alikuwa akila majani matamu ya kijani. Kwa bahati mbaya, Kiboko alimkanyaga Sungura mguuni. Kwa uchungu, Sungura alipiga mayowe na kumfokea Kiboko akisema, "Wewe Kiboko! Unaukanyaga mguu wangu. Huoni?" Kiboko alimuomba Sungura msamaha, "Samahani sana rafiki. Sikukusudia. Naomba unisamehe!" Sungura hakumsikiliza. Aliendelea kumfokea Kiboko akisema, "Umefanya makusudi! Siku moja nitalipiza kisasi!" Siku moja, Sungura alimtafuta Moto na kumwambia, "Naomba umuunguze Kiboko atakapotoka kwenye maji baada ya kula majani. Kanikanyaga!" Moto akajibu, "Hapana shaka, rafiki yangu Sungura. Nitafanya ulivyoniambia." Kiboko alipokuwa akila majani kando ya mto, "Whuuush!" Moto akalipuka na kuanza kuyaunguza manyoya ya Kiboko. Kiboko alilia kwa uchungu huku akikimbilia majini. Manyoya yake yote yaliungua. Kiboko alipiga mayowe, "Manyoya yangu yameunguzwa! Moto ameyaunguza manyoya yangu yote! Manyoya yangu yameungua! Manyoya yangu mazuri!" Tangu wakati huo, kiboko hatembei mbali na maji kwa kuhofia kuunguzwa na Moto. Sungura alifurahi sana kumuona Kiboko bila manyoya. Akasema, "Nimelipiza kisasi!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini viboko hawana manyoya Author - Basilio Gimo and David Ker Translation - Wilkins Kiondo Illustration - Carol Liddiment and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Little Zebra Books 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com/.
Kiboko aliukanyanga mguu wa nani alipokuwa akila majani
{ "text": [ "Sungura" ] }
2121_swa
Kwa nini viboko hawana manyoya Siku moja, Sungura alikuwa anatembea ukingoni mwa mto. Kiboko alikuwa akila majani matamu ya kijani. Kwa bahati mbaya, Kiboko alimkanyaga Sungura mguuni. Kwa uchungu, Sungura alipiga mayowe na kumfokea Kiboko akisema, "Wewe Kiboko! Unaukanyaga mguu wangu. Huoni?" Kiboko alimuomba Sungura msamaha, "Samahani sana rafiki. Sikukusudia. Naomba unisamehe!" Sungura hakumsikiliza. Aliendelea kumfokea Kiboko akisema, "Umefanya makusudi! Siku moja nitalipiza kisasi!" Siku moja, Sungura alimtafuta Moto na kumwambia, "Naomba umuunguze Kiboko atakapotoka kwenye maji baada ya kula majani. Kanikanyaga!" Moto akajibu, "Hapana shaka, rafiki yangu Sungura. Nitafanya ulivyoniambia." Kiboko alipokuwa akila majani kando ya mto, "Whuuush!" Moto akalipuka na kuanza kuyaunguza manyoya ya Kiboko. Kiboko alilia kwa uchungu huku akikimbilia majini. Manyoya yake yote yaliungua. Kiboko alipiga mayowe, "Manyoya yangu yameunguzwa! Moto ameyaunguza manyoya yangu yote! Manyoya yangu yameungua! Manyoya yangu mazuri!" Tangu wakati huo, kiboko hatembei mbali na maji kwa kuhofia kuunguzwa na Moto. Sungura alifurahi sana kumuona Kiboko bila manyoya. Akasema, "Nimelipiza kisasi!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini viboko hawana manyoya Author - Basilio Gimo and David Ker Translation - Wilkins Kiondo Illustration - Carol Liddiment and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Little Zebra Books 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com/.
Sungura alitumia rafiki yupi kulipiza kisasi
{ "text": [ "Moto" ] }
2121_swa
Kwa nini viboko hawana manyoya Siku moja, Sungura alikuwa anatembea ukingoni mwa mto. Kiboko alikuwa akila majani matamu ya kijani. Kwa bahati mbaya, Kiboko alimkanyaga Sungura mguuni. Kwa uchungu, Sungura alipiga mayowe na kumfokea Kiboko akisema, "Wewe Kiboko! Unaukanyaga mguu wangu. Huoni?" Kiboko alimuomba Sungura msamaha, "Samahani sana rafiki. Sikukusudia. Naomba unisamehe!" Sungura hakumsikiliza. Aliendelea kumfokea Kiboko akisema, "Umefanya makusudi! Siku moja nitalipiza kisasi!" Siku moja, Sungura alimtafuta Moto na kumwambia, "Naomba umuunguze Kiboko atakapotoka kwenye maji baada ya kula majani. Kanikanyaga!" Moto akajibu, "Hapana shaka, rafiki yangu Sungura. Nitafanya ulivyoniambia." Kiboko alipokuwa akila majani kando ya mto, "Whuuush!" Moto akalipuka na kuanza kuyaunguza manyoya ya Kiboko. Kiboko alilia kwa uchungu huku akikimbilia majini. Manyoya yake yote yaliungua. Kiboko alipiga mayowe, "Manyoya yangu yameunguzwa! Moto ameyaunguza manyoya yangu yote! Manyoya yangu yameungua! Manyoya yangu mazuri!" Tangu wakati huo, kiboko hatembei mbali na maji kwa kuhofia kuunguzwa na Moto. Sungura alifurahi sana kumuona Kiboko bila manyoya. Akasema, "Nimelipiza kisasi!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini viboko hawana manyoya Author - Basilio Gimo and David Ker Translation - Wilkins Kiondo Illustration - Carol Liddiment and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Little Zebra Books 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com/.
Moto alichoma nini ya kiboko
{ "text": [ "Manyoya" ] }
2121_swa
Kwa nini viboko hawana manyoya Siku moja, Sungura alikuwa anatembea ukingoni mwa mto. Kiboko alikuwa akila majani matamu ya kijani. Kwa bahati mbaya, Kiboko alimkanyaga Sungura mguuni. Kwa uchungu, Sungura alipiga mayowe na kumfokea Kiboko akisema, "Wewe Kiboko! Unaukanyaga mguu wangu. Huoni?" Kiboko alimuomba Sungura msamaha, "Samahani sana rafiki. Sikukusudia. Naomba unisamehe!" Sungura hakumsikiliza. Aliendelea kumfokea Kiboko akisema, "Umefanya makusudi! Siku moja nitalipiza kisasi!" Siku moja, Sungura alimtafuta Moto na kumwambia, "Naomba umuunguze Kiboko atakapotoka kwenye maji baada ya kula majani. Kanikanyaga!" Moto akajibu, "Hapana shaka, rafiki yangu Sungura. Nitafanya ulivyoniambia." Kiboko alipokuwa akila majani kando ya mto, "Whuuush!" Moto akalipuka na kuanza kuyaunguza manyoya ya Kiboko. Kiboko alilia kwa uchungu huku akikimbilia majini. Manyoya yake yote yaliungua. Kiboko alipiga mayowe, "Manyoya yangu yameunguzwa! Moto ameyaunguza manyoya yangu yote! Manyoya yangu yameungua! Manyoya yangu mazuri!" Tangu wakati huo, kiboko hatembei mbali na maji kwa kuhofia kuunguzwa na Moto. Sungura alifurahi sana kumuona Kiboko bila manyoya. Akasema, "Nimelipiza kisasi!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini viboko hawana manyoya Author - Basilio Gimo and David Ker Translation - Wilkins Kiondo Illustration - Carol Liddiment and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Little Zebra Books 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com/.
Kiboko huishi wapi
{ "text": [ "Majini" ] }
2121_swa
Kwa nini viboko hawana manyoya Siku moja, Sungura alikuwa anatembea ukingoni mwa mto. Kiboko alikuwa akila majani matamu ya kijani. Kwa bahati mbaya, Kiboko alimkanyaga Sungura mguuni. Kwa uchungu, Sungura alipiga mayowe na kumfokea Kiboko akisema, "Wewe Kiboko! Unaukanyaga mguu wangu. Huoni?" Kiboko alimuomba Sungura msamaha, "Samahani sana rafiki. Sikukusudia. Naomba unisamehe!" Sungura hakumsikiliza. Aliendelea kumfokea Kiboko akisema, "Umefanya makusudi! Siku moja nitalipiza kisasi!" Siku moja, Sungura alimtafuta Moto na kumwambia, "Naomba umuunguze Kiboko atakapotoka kwenye maji baada ya kula majani. Kanikanyaga!" Moto akajibu, "Hapana shaka, rafiki yangu Sungura. Nitafanya ulivyoniambia." Kiboko alipokuwa akila majani kando ya mto, "Whuuush!" Moto akalipuka na kuanza kuyaunguza manyoya ya Kiboko. Kiboko alilia kwa uchungu huku akikimbilia majini. Manyoya yake yote yaliungua. Kiboko alipiga mayowe, "Manyoya yangu yameunguzwa! Moto ameyaunguza manyoya yangu yote! Manyoya yangu yameungua! Manyoya yangu mazuri!" Tangu wakati huo, kiboko hatembei mbali na maji kwa kuhofia kuunguzwa na Moto. Sungura alifurahi sana kumuona Kiboko bila manyoya. Akasema, "Nimelipiza kisasi!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kwa nini viboko hawana manyoya Author - Basilio Gimo and David Ker Translation - Wilkins Kiondo Illustration - Carol Liddiment and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Little Zebra Books 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com/.
Sungura alipokanyagwa mguu kiboko alikuwa akila majani ya rangi gani
{ "text": [ "Kijani" ] }
2122_swa
Kutekwa nyara! Mimi na rafiki yangu Kiki hupenda kuchunguza na kuvumbua mambo. Hii ndiyo sababu tunayafahamu mazingira yetu vyema. Siku moja tulipokuwa tukienda nyumbani kutoka shule, tulikubaliana twende mahali tukafanye uchunguzi. Tulipitia karibu na reli ingawa babake Kiki alikuwa ametuonya dhidi ya kufanya hivyo. Baadaye, tulimwona mwanamume aliyekuwa amevaa koti refu jeusi. Alikuwa akitufuata polepole. Tuliamua kutembea polepole ili tumtazame kwa karibu. Alikuwa mtu wa kuogofya. Ngozi yake ilijaa vipele. Midomo yake ilikuwa midogo na haikuyafunika meno yake ya rangi ya kahawia. Alikuwa na kovu moja kubwa lililofunika nusu ya uso wake. Moyo wangu ulidunda kwa sauti nikadhani mhuni huyo angeweza kuusikia. Nilimkodolea macho. Hakupendezwa na jinsi nilivyomtazama akanikemea kwa ukali, "Wewe mvulana, unaangalia nini?" Kwa woga, tuligeuka na kutimua mbio, lakini mimi sikuweza kukimbia kwa kasi. Mhuni huyo akalishika shati langu na kunivuta kwa nguvu. Rafiki yangu Kiki alifanikiwa kutoroka. Mhuni huyo alininyanyua juu kama karatasi na kunirusha ndani ya gari moja jeupe lililokuwa limeegeshwa hapo uwanjani. Yeye alipanda na kukaa kiti cha mbele. Mwenzake aliyekuwa ndani ya gari, aliniziba macho na kuibana mikono yangu nyuma. Kisha dereva akaliendesha gari hilo kwa kasi ya ambulansi. Yule jambazi wa pili aliyekuwa ameketi karibu nami, aliniwekea kitambaa chenye unyevunyevu usoni mwangu. Nilipounusa unyevunyevu huo, nililala. Baadaye nilipoamka, nilijipata nimeketi sakafuni katika chumba kimoja chenye giza totoro. Kilijaa buibui na panya. Mara mlango wa chumba ukafunguka. Yule mhuni aliyenifunga kitambaa usoni, akaingia akiwa amebeba sahani. "Kula chakula hiki upesi kwa sababu utakwenda safari ndefu," aliniambia. Nilipolisikia neno 'safari' niliamua kula ili nipate nguvu za kujiokoa. Mhuni yule aliifungua kamba niliyofungwa nayo. Nilipokuwa nikila, aliketi pembeni na kuvuta sigara. Moshi ulijaa chumbani mwote. Mlango ulibishwa, mhuni huyo na dereva wakaingia wakiwa wamembeba mvulana. Kiki pia alikuwa ameshikwa! Lo! Tulikuwa tumenaswa katika chumba chenye giza. Baadaye, tulifahamu kuwa yule mhuni mrefu mwenye sura mbaya ndiye alikuwa kiongozi wa genge lile. Mhuni aliyenipa chakula hakufurahia walivyofanya. Tuliwasikia wakibishana pale nje ya chumba. Kiongozi akasema kwa sauti, "Sijali kama unaijua familia yake. Huwezi kubadili nia yako sasa." Kutokana na ubishi huo, tulijua kwamba mmoja wao alitufahamu ingawa sikujua ni yupi. Kiki akasema, "Lazima tupate njia ya kutoroka. Wazazi wetu hawana pesa za kutukomboa." Wahuni hao waliendelea kubishana hadi wakaanza kupigana. Mimi nilimfungua Kiki upesi, tukaufunga mlango na kuanza kutafuta njia ya kutoroka. Tuliona dirisha lenye mianya myembamba iliyopitisha mwangaza. Tulizivuta mbao za dirisha hadi misumari iliyoziunganisha ikang'oka. Kisha tukaziondoa pakawa na mwanya mkubwa. Kiki alikuwa mdogo na mwepesi kuniliko mimi. Tukaamua achapuke kwenda kutafuta usaidizi. Nikamsaidia kupita kwenye kile kidirisha na akaruka chini. Nilikuwa tayari kujaribu kutoka pia, nilipowasikia wahuni wale wakiingia chumbani. Wahuni hao walikuwa wamesikia kishindo cha Kiki. Waliugonga mlango na kuufungua. Walikiangalia kile kidirisha kisha wakaanza kusukumana na kutoka nje. Walikasirika sana, hasa yule mkubwa wao mwenye sura mbaya, walipokosa kujua Kiki alikimbilia upande gani. Alinipiga na kusema, "Wazazi wako watalipa kwa ajili ya kitendo hiki." Wahuni walizipigilia zile mbao na kukiziba kile kidirisha wakanifungia. Niliwasikia wakibishana tena. Aliyevuta sigara alitaka niachiliwe. Dereva alihofia kuwa Kiki angekumbuka njia na kuwaleta polisi. Kiongozi naye alitaka tu kupata pesa. Mara niliisikia sauti ya mtu mzima akisema, "Usiogope. Polisi wameshafika. Lala sakafuni ujifunike kichwa na wala usisonge." Nilisikia kelele na milio ya risasi. Sikufahamu kilichokuwa kikiendelea kwani mambo mengi yalitendeka kwa wakati mmoja! Polisi waliingia chumbani na kuwakamata wahuni wale mara moja. Polisi wa kike aliufungua mlango, akaingia chumbani na kunifunika kwa blanketi. Aliniambia, "Rafiki yako alikuwa na bahati kwa sababu alitupata tukishika doria. Mara moja, tuliitisha usaidizi na tukaja kuwatia adabu hawa majambazi!" Wahuni hao walitiwa pingu na kusukumwa ndani ya gari la polisi. Mimi nilingia kwenye gari moja na yule polisi wa kike. Alinipeleka kwa wazazi wangu waliokuwa na wasiwasi. Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kutekwa nyara! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Ursula Nafula Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Rafiki yake anaitwa nani
{ "text": [ "Kiki" ] }
2122_swa
Kutekwa nyara! Mimi na rafiki yangu Kiki hupenda kuchunguza na kuvumbua mambo. Hii ndiyo sababu tunayafahamu mazingira yetu vyema. Siku moja tulipokuwa tukienda nyumbani kutoka shule, tulikubaliana twende mahali tukafanye uchunguzi. Tulipitia karibu na reli ingawa babake Kiki alikuwa ametuonya dhidi ya kufanya hivyo. Baadaye, tulimwona mwanamume aliyekuwa amevaa koti refu jeusi. Alikuwa akitufuata polepole. Tuliamua kutembea polepole ili tumtazame kwa karibu. Alikuwa mtu wa kuogofya. Ngozi yake ilijaa vipele. Midomo yake ilikuwa midogo na haikuyafunika meno yake ya rangi ya kahawia. Alikuwa na kovu moja kubwa lililofunika nusu ya uso wake. Moyo wangu ulidunda kwa sauti nikadhani mhuni huyo angeweza kuusikia. Nilimkodolea macho. Hakupendezwa na jinsi nilivyomtazama akanikemea kwa ukali, "Wewe mvulana, unaangalia nini?" Kwa woga, tuligeuka na kutimua mbio, lakini mimi sikuweza kukimbia kwa kasi. Mhuni huyo akalishika shati langu na kunivuta kwa nguvu. Rafiki yangu Kiki alifanikiwa kutoroka. Mhuni huyo alininyanyua juu kama karatasi na kunirusha ndani ya gari moja jeupe lililokuwa limeegeshwa hapo uwanjani. Yeye alipanda na kukaa kiti cha mbele. Mwenzake aliyekuwa ndani ya gari, aliniziba macho na kuibana mikono yangu nyuma. Kisha dereva akaliendesha gari hilo kwa kasi ya ambulansi. Yule jambazi wa pili aliyekuwa ameketi karibu nami, aliniwekea kitambaa chenye unyevunyevu usoni mwangu. Nilipounusa unyevunyevu huo, nililala. Baadaye nilipoamka, nilijipata nimeketi sakafuni katika chumba kimoja chenye giza totoro. Kilijaa buibui na panya. Mara mlango wa chumba ukafunguka. Yule mhuni aliyenifunga kitambaa usoni, akaingia akiwa amebeba sahani. "Kula chakula hiki upesi kwa sababu utakwenda safari ndefu," aliniambia. Nilipolisikia neno 'safari' niliamua kula ili nipate nguvu za kujiokoa. Mhuni yule aliifungua kamba niliyofungwa nayo. Nilipokuwa nikila, aliketi pembeni na kuvuta sigara. Moshi ulijaa chumbani mwote. Mlango ulibishwa, mhuni huyo na dereva wakaingia wakiwa wamembeba mvulana. Kiki pia alikuwa ameshikwa! Lo! Tulikuwa tumenaswa katika chumba chenye giza. Baadaye, tulifahamu kuwa yule mhuni mrefu mwenye sura mbaya ndiye alikuwa kiongozi wa genge lile. Mhuni aliyenipa chakula hakufurahia walivyofanya. Tuliwasikia wakibishana pale nje ya chumba. Kiongozi akasema kwa sauti, "Sijali kama unaijua familia yake. Huwezi kubadili nia yako sasa." Kutokana na ubishi huo, tulijua kwamba mmoja wao alitufahamu ingawa sikujua ni yupi. Kiki akasema, "Lazima tupate njia ya kutoroka. Wazazi wetu hawana pesa za kutukomboa." Wahuni hao waliendelea kubishana hadi wakaanza kupigana. Mimi nilimfungua Kiki upesi, tukaufunga mlango na kuanza kutafuta njia ya kutoroka. Tuliona dirisha lenye mianya myembamba iliyopitisha mwangaza. Tulizivuta mbao za dirisha hadi misumari iliyoziunganisha ikang'oka. Kisha tukaziondoa pakawa na mwanya mkubwa. Kiki alikuwa mdogo na mwepesi kuniliko mimi. Tukaamua achapuke kwenda kutafuta usaidizi. Nikamsaidia kupita kwenye kile kidirisha na akaruka chini. Nilikuwa tayari kujaribu kutoka pia, nilipowasikia wahuni wale wakiingia chumbani. Wahuni hao walikuwa wamesikia kishindo cha Kiki. Waliugonga mlango na kuufungua. Walikiangalia kile kidirisha kisha wakaanza kusukumana na kutoka nje. Walikasirika sana, hasa yule mkubwa wao mwenye sura mbaya, walipokosa kujua Kiki alikimbilia upande gani. Alinipiga na kusema, "Wazazi wako watalipa kwa ajili ya kitendo hiki." Wahuni walizipigilia zile mbao na kukiziba kile kidirisha wakanifungia. Niliwasikia wakibishana tena. Aliyevuta sigara alitaka niachiliwe. Dereva alihofia kuwa Kiki angekumbuka njia na kuwaleta polisi. Kiongozi naye alitaka tu kupata pesa. Mara niliisikia sauti ya mtu mzima akisema, "Usiogope. Polisi wameshafika. Lala sakafuni ujifunike kichwa na wala usisonge." Nilisikia kelele na milio ya risasi. Sikufahamu kilichokuwa kikiendelea kwani mambo mengi yalitendeka kwa wakati mmoja! Polisi waliingia chumbani na kuwakamata wahuni wale mara moja. Polisi wa kike aliufungua mlango, akaingia chumbani na kunifunika kwa blanketi. Aliniambia, "Rafiki yako alikuwa na bahati kwa sababu alitupata tukishika doria. Mara moja, tuliitisha usaidizi na tukaja kuwatia adabu hawa majambazi!" Wahuni hao walitiwa pingu na kusukumwa ndani ya gari la polisi. Mimi nilingia kwenye gari moja na yule polisi wa kike. Alinipeleka kwa wazazi wangu waliokuwa na wasiwasi. Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kutekwa nyara! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Ursula Nafula Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mhuni alimshika nini
{ "text": [ "Shati" ] }
2122_swa
Kutekwa nyara! Mimi na rafiki yangu Kiki hupenda kuchunguza na kuvumbua mambo. Hii ndiyo sababu tunayafahamu mazingira yetu vyema. Siku moja tulipokuwa tukienda nyumbani kutoka shule, tulikubaliana twende mahali tukafanye uchunguzi. Tulipitia karibu na reli ingawa babake Kiki alikuwa ametuonya dhidi ya kufanya hivyo. Baadaye, tulimwona mwanamume aliyekuwa amevaa koti refu jeusi. Alikuwa akitufuata polepole. Tuliamua kutembea polepole ili tumtazame kwa karibu. Alikuwa mtu wa kuogofya. Ngozi yake ilijaa vipele. Midomo yake ilikuwa midogo na haikuyafunika meno yake ya rangi ya kahawia. Alikuwa na kovu moja kubwa lililofunika nusu ya uso wake. Moyo wangu ulidunda kwa sauti nikadhani mhuni huyo angeweza kuusikia. Nilimkodolea macho. Hakupendezwa na jinsi nilivyomtazama akanikemea kwa ukali, "Wewe mvulana, unaangalia nini?" Kwa woga, tuligeuka na kutimua mbio, lakini mimi sikuweza kukimbia kwa kasi. Mhuni huyo akalishika shati langu na kunivuta kwa nguvu. Rafiki yangu Kiki alifanikiwa kutoroka. Mhuni huyo alininyanyua juu kama karatasi na kunirusha ndani ya gari moja jeupe lililokuwa limeegeshwa hapo uwanjani. Yeye alipanda na kukaa kiti cha mbele. Mwenzake aliyekuwa ndani ya gari, aliniziba macho na kuibana mikono yangu nyuma. Kisha dereva akaliendesha gari hilo kwa kasi ya ambulansi. Yule jambazi wa pili aliyekuwa ameketi karibu nami, aliniwekea kitambaa chenye unyevunyevu usoni mwangu. Nilipounusa unyevunyevu huo, nililala. Baadaye nilipoamka, nilijipata nimeketi sakafuni katika chumba kimoja chenye giza totoro. Kilijaa buibui na panya. Mara mlango wa chumba ukafunguka. Yule mhuni aliyenifunga kitambaa usoni, akaingia akiwa amebeba sahani. "Kula chakula hiki upesi kwa sababu utakwenda safari ndefu," aliniambia. Nilipolisikia neno 'safari' niliamua kula ili nipate nguvu za kujiokoa. Mhuni yule aliifungua kamba niliyofungwa nayo. Nilipokuwa nikila, aliketi pembeni na kuvuta sigara. Moshi ulijaa chumbani mwote. Mlango ulibishwa, mhuni huyo na dereva wakaingia wakiwa wamembeba mvulana. Kiki pia alikuwa ameshikwa! Lo! Tulikuwa tumenaswa katika chumba chenye giza. Baadaye, tulifahamu kuwa yule mhuni mrefu mwenye sura mbaya ndiye alikuwa kiongozi wa genge lile. Mhuni aliyenipa chakula hakufurahia walivyofanya. Tuliwasikia wakibishana pale nje ya chumba. Kiongozi akasema kwa sauti, "Sijali kama unaijua familia yake. Huwezi kubadili nia yako sasa." Kutokana na ubishi huo, tulijua kwamba mmoja wao alitufahamu ingawa sikujua ni yupi. Kiki akasema, "Lazima tupate njia ya kutoroka. Wazazi wetu hawana pesa za kutukomboa." Wahuni hao waliendelea kubishana hadi wakaanza kupigana. Mimi nilimfungua Kiki upesi, tukaufunga mlango na kuanza kutafuta njia ya kutoroka. Tuliona dirisha lenye mianya myembamba iliyopitisha mwangaza. Tulizivuta mbao za dirisha hadi misumari iliyoziunganisha ikang'oka. Kisha tukaziondoa pakawa na mwanya mkubwa. Kiki alikuwa mdogo na mwepesi kuniliko mimi. Tukaamua achapuke kwenda kutafuta usaidizi. Nikamsaidia kupita kwenye kile kidirisha na akaruka chini. Nilikuwa tayari kujaribu kutoka pia, nilipowasikia wahuni wale wakiingia chumbani. Wahuni hao walikuwa wamesikia kishindo cha Kiki. Waliugonga mlango na kuufungua. Walikiangalia kile kidirisha kisha wakaanza kusukumana na kutoka nje. Walikasirika sana, hasa yule mkubwa wao mwenye sura mbaya, walipokosa kujua Kiki alikimbilia upande gani. Alinipiga na kusema, "Wazazi wako watalipa kwa ajili ya kitendo hiki." Wahuni walizipigilia zile mbao na kukiziba kile kidirisha wakanifungia. Niliwasikia wakibishana tena. Aliyevuta sigara alitaka niachiliwe. Dereva alihofia kuwa Kiki angekumbuka njia na kuwaleta polisi. Kiongozi naye alitaka tu kupata pesa. Mara niliisikia sauti ya mtu mzima akisema, "Usiogope. Polisi wameshafika. Lala sakafuni ujifunike kichwa na wala usisonge." Nilisikia kelele na milio ya risasi. Sikufahamu kilichokuwa kikiendelea kwani mambo mengi yalitendeka kwa wakati mmoja! Polisi waliingia chumbani na kuwakamata wahuni wale mara moja. Polisi wa kike aliufungua mlango, akaingia chumbani na kunifunika kwa blanketi. Aliniambia, "Rafiki yako alikuwa na bahati kwa sababu alitupata tukishika doria. Mara moja, tuliitisha usaidizi na tukaja kuwatia adabu hawa majambazi!" Wahuni hao walitiwa pingu na kusukumwa ndani ya gari la polisi. Mimi nilingia kwenye gari moja na yule polisi wa kike. Alinipeleka kwa wazazi wangu waliokuwa na wasiwasi. Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kutekwa nyara! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Ursula Nafula Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mhuni aliingia akiwa amebeba nini
{ "text": [ "Sahani" ] }
2122_swa
Kutekwa nyara! Mimi na rafiki yangu Kiki hupenda kuchunguza na kuvumbua mambo. Hii ndiyo sababu tunayafahamu mazingira yetu vyema. Siku moja tulipokuwa tukienda nyumbani kutoka shule, tulikubaliana twende mahali tukafanye uchunguzi. Tulipitia karibu na reli ingawa babake Kiki alikuwa ametuonya dhidi ya kufanya hivyo. Baadaye, tulimwona mwanamume aliyekuwa amevaa koti refu jeusi. Alikuwa akitufuata polepole. Tuliamua kutembea polepole ili tumtazame kwa karibu. Alikuwa mtu wa kuogofya. Ngozi yake ilijaa vipele. Midomo yake ilikuwa midogo na haikuyafunika meno yake ya rangi ya kahawia. Alikuwa na kovu moja kubwa lililofunika nusu ya uso wake. Moyo wangu ulidunda kwa sauti nikadhani mhuni huyo angeweza kuusikia. Nilimkodolea macho. Hakupendezwa na jinsi nilivyomtazama akanikemea kwa ukali, "Wewe mvulana, unaangalia nini?" Kwa woga, tuligeuka na kutimua mbio, lakini mimi sikuweza kukimbia kwa kasi. Mhuni huyo akalishika shati langu na kunivuta kwa nguvu. Rafiki yangu Kiki alifanikiwa kutoroka. Mhuni huyo alininyanyua juu kama karatasi na kunirusha ndani ya gari moja jeupe lililokuwa limeegeshwa hapo uwanjani. Yeye alipanda na kukaa kiti cha mbele. Mwenzake aliyekuwa ndani ya gari, aliniziba macho na kuibana mikono yangu nyuma. Kisha dereva akaliendesha gari hilo kwa kasi ya ambulansi. Yule jambazi wa pili aliyekuwa ameketi karibu nami, aliniwekea kitambaa chenye unyevunyevu usoni mwangu. Nilipounusa unyevunyevu huo, nililala. Baadaye nilipoamka, nilijipata nimeketi sakafuni katika chumba kimoja chenye giza totoro. Kilijaa buibui na panya. Mara mlango wa chumba ukafunguka. Yule mhuni aliyenifunga kitambaa usoni, akaingia akiwa amebeba sahani. "Kula chakula hiki upesi kwa sababu utakwenda safari ndefu," aliniambia. Nilipolisikia neno 'safari' niliamua kula ili nipate nguvu za kujiokoa. Mhuni yule aliifungua kamba niliyofungwa nayo. Nilipokuwa nikila, aliketi pembeni na kuvuta sigara. Moshi ulijaa chumbani mwote. Mlango ulibishwa, mhuni huyo na dereva wakaingia wakiwa wamembeba mvulana. Kiki pia alikuwa ameshikwa! Lo! Tulikuwa tumenaswa katika chumba chenye giza. Baadaye, tulifahamu kuwa yule mhuni mrefu mwenye sura mbaya ndiye alikuwa kiongozi wa genge lile. Mhuni aliyenipa chakula hakufurahia walivyofanya. Tuliwasikia wakibishana pale nje ya chumba. Kiongozi akasema kwa sauti, "Sijali kama unaijua familia yake. Huwezi kubadili nia yako sasa." Kutokana na ubishi huo, tulijua kwamba mmoja wao alitufahamu ingawa sikujua ni yupi. Kiki akasema, "Lazima tupate njia ya kutoroka. Wazazi wetu hawana pesa za kutukomboa." Wahuni hao waliendelea kubishana hadi wakaanza kupigana. Mimi nilimfungua Kiki upesi, tukaufunga mlango na kuanza kutafuta njia ya kutoroka. Tuliona dirisha lenye mianya myembamba iliyopitisha mwangaza. Tulizivuta mbao za dirisha hadi misumari iliyoziunganisha ikang'oka. Kisha tukaziondoa pakawa na mwanya mkubwa. Kiki alikuwa mdogo na mwepesi kuniliko mimi. Tukaamua achapuke kwenda kutafuta usaidizi. Nikamsaidia kupita kwenye kile kidirisha na akaruka chini. Nilikuwa tayari kujaribu kutoka pia, nilipowasikia wahuni wale wakiingia chumbani. Wahuni hao walikuwa wamesikia kishindo cha Kiki. Waliugonga mlango na kuufungua. Walikiangalia kile kidirisha kisha wakaanza kusukumana na kutoka nje. Walikasirika sana, hasa yule mkubwa wao mwenye sura mbaya, walipokosa kujua Kiki alikimbilia upande gani. Alinipiga na kusema, "Wazazi wako watalipa kwa ajili ya kitendo hiki." Wahuni walizipigilia zile mbao na kukiziba kile kidirisha wakanifungia. Niliwasikia wakibishana tena. Aliyevuta sigara alitaka niachiliwe. Dereva alihofia kuwa Kiki angekumbuka njia na kuwaleta polisi. Kiongozi naye alitaka tu kupata pesa. Mara niliisikia sauti ya mtu mzima akisema, "Usiogope. Polisi wameshafika. Lala sakafuni ujifunike kichwa na wala usisonge." Nilisikia kelele na milio ya risasi. Sikufahamu kilichokuwa kikiendelea kwani mambo mengi yalitendeka kwa wakati mmoja! Polisi waliingia chumbani na kuwakamata wahuni wale mara moja. Polisi wa kike aliufungua mlango, akaingia chumbani na kunifunika kwa blanketi. Aliniambia, "Rafiki yako alikuwa na bahati kwa sababu alitupata tukishika doria. Mara moja, tuliitisha usaidizi na tukaja kuwatia adabu hawa majambazi!" Wahuni hao walitiwa pingu na kusukumwa ndani ya gari la polisi. Mimi nilingia kwenye gari moja na yule polisi wa kike. Alinipeleka kwa wazazi wangu waliokuwa na wasiwasi. Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kutekwa nyara! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Ursula Nafula Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wahuni walisikia kishindo cha nani
{ "text": [ "Kiki" ] }
2122_swa
Kutekwa nyara! Mimi na rafiki yangu Kiki hupenda kuchunguza na kuvumbua mambo. Hii ndiyo sababu tunayafahamu mazingira yetu vyema. Siku moja tulipokuwa tukienda nyumbani kutoka shule, tulikubaliana twende mahali tukafanye uchunguzi. Tulipitia karibu na reli ingawa babake Kiki alikuwa ametuonya dhidi ya kufanya hivyo. Baadaye, tulimwona mwanamume aliyekuwa amevaa koti refu jeusi. Alikuwa akitufuata polepole. Tuliamua kutembea polepole ili tumtazame kwa karibu. Alikuwa mtu wa kuogofya. Ngozi yake ilijaa vipele. Midomo yake ilikuwa midogo na haikuyafunika meno yake ya rangi ya kahawia. Alikuwa na kovu moja kubwa lililofunika nusu ya uso wake. Moyo wangu ulidunda kwa sauti nikadhani mhuni huyo angeweza kuusikia. Nilimkodolea macho. Hakupendezwa na jinsi nilivyomtazama akanikemea kwa ukali, "Wewe mvulana, unaangalia nini?" Kwa woga, tuligeuka na kutimua mbio, lakini mimi sikuweza kukimbia kwa kasi. Mhuni huyo akalishika shati langu na kunivuta kwa nguvu. Rafiki yangu Kiki alifanikiwa kutoroka. Mhuni huyo alininyanyua juu kama karatasi na kunirusha ndani ya gari moja jeupe lililokuwa limeegeshwa hapo uwanjani. Yeye alipanda na kukaa kiti cha mbele. Mwenzake aliyekuwa ndani ya gari, aliniziba macho na kuibana mikono yangu nyuma. Kisha dereva akaliendesha gari hilo kwa kasi ya ambulansi. Yule jambazi wa pili aliyekuwa ameketi karibu nami, aliniwekea kitambaa chenye unyevunyevu usoni mwangu. Nilipounusa unyevunyevu huo, nililala. Baadaye nilipoamka, nilijipata nimeketi sakafuni katika chumba kimoja chenye giza totoro. Kilijaa buibui na panya. Mara mlango wa chumba ukafunguka. Yule mhuni aliyenifunga kitambaa usoni, akaingia akiwa amebeba sahani. "Kula chakula hiki upesi kwa sababu utakwenda safari ndefu," aliniambia. Nilipolisikia neno 'safari' niliamua kula ili nipate nguvu za kujiokoa. Mhuni yule aliifungua kamba niliyofungwa nayo. Nilipokuwa nikila, aliketi pembeni na kuvuta sigara. Moshi ulijaa chumbani mwote. Mlango ulibishwa, mhuni huyo na dereva wakaingia wakiwa wamembeba mvulana. Kiki pia alikuwa ameshikwa! Lo! Tulikuwa tumenaswa katika chumba chenye giza. Baadaye, tulifahamu kuwa yule mhuni mrefu mwenye sura mbaya ndiye alikuwa kiongozi wa genge lile. Mhuni aliyenipa chakula hakufurahia walivyofanya. Tuliwasikia wakibishana pale nje ya chumba. Kiongozi akasema kwa sauti, "Sijali kama unaijua familia yake. Huwezi kubadili nia yako sasa." Kutokana na ubishi huo, tulijua kwamba mmoja wao alitufahamu ingawa sikujua ni yupi. Kiki akasema, "Lazima tupate njia ya kutoroka. Wazazi wetu hawana pesa za kutukomboa." Wahuni hao waliendelea kubishana hadi wakaanza kupigana. Mimi nilimfungua Kiki upesi, tukaufunga mlango na kuanza kutafuta njia ya kutoroka. Tuliona dirisha lenye mianya myembamba iliyopitisha mwangaza. Tulizivuta mbao za dirisha hadi misumari iliyoziunganisha ikang'oka. Kisha tukaziondoa pakawa na mwanya mkubwa. Kiki alikuwa mdogo na mwepesi kuniliko mimi. Tukaamua achapuke kwenda kutafuta usaidizi. Nikamsaidia kupita kwenye kile kidirisha na akaruka chini. Nilikuwa tayari kujaribu kutoka pia, nilipowasikia wahuni wale wakiingia chumbani. Wahuni hao walikuwa wamesikia kishindo cha Kiki. Waliugonga mlango na kuufungua. Walikiangalia kile kidirisha kisha wakaanza kusukumana na kutoka nje. Walikasirika sana, hasa yule mkubwa wao mwenye sura mbaya, walipokosa kujua Kiki alikimbilia upande gani. Alinipiga na kusema, "Wazazi wako watalipa kwa ajili ya kitendo hiki." Wahuni walizipigilia zile mbao na kukiziba kile kidirisha wakanifungia. Niliwasikia wakibishana tena. Aliyevuta sigara alitaka niachiliwe. Dereva alihofia kuwa Kiki angekumbuka njia na kuwaleta polisi. Kiongozi naye alitaka tu kupata pesa. Mara niliisikia sauti ya mtu mzima akisema, "Usiogope. Polisi wameshafika. Lala sakafuni ujifunike kichwa na wala usisonge." Nilisikia kelele na milio ya risasi. Sikufahamu kilichokuwa kikiendelea kwani mambo mengi yalitendeka kwa wakati mmoja! Polisi waliingia chumbani na kuwakamata wahuni wale mara moja. Polisi wa kike aliufungua mlango, akaingia chumbani na kunifunika kwa blanketi. Aliniambia, "Rafiki yako alikuwa na bahati kwa sababu alitupata tukishika doria. Mara moja, tuliitisha usaidizi na tukaja kuwatia adabu hawa majambazi!" Wahuni hao walitiwa pingu na kusukumwa ndani ya gari la polisi. Mimi nilingia kwenye gari moja na yule polisi wa kike. Alinipeleka kwa wazazi wangu waliokuwa na wasiwasi. Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kutekwa nyara! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Ursula Nafula Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini polisi waliweza kuwashika wale wahuni
{ "text": [ "Walikuwa wanashika doria" ] }
2124_swa
Kusema Asante! Mtu, Simba, Mbwa, Nyoka, Tai na Punda walienda vita. Yona na mkewe waliwakaribisha kwao. Wakawachinjia ng'ombe wao. Kila mmoja alitaka sehemu tofauti ya ng'ombe. Waliahidi kuwapa zawadi. Yona na mkewe walimpa kila mmoja sehemu ya nyama aliyotaka. Baada ya kula, walilala vizuri. Asubuhi, walienda zao. Wiki nyingi zilipita. Simba akawaletea zawadi ya pembe kubwa ya tembo. Mbwa akasema, "Zawaidi yangu itakuwa kuwachungia pembe hii ili isiibwe." Ndugu wa Yona akawaza, "Nitaiba ile pembe niiuze." Alipoenda kuiba ili pembe, Nyoka alimuuma. Yona na mkewe wakachukua mifugo wa mrehemu. Wakawa matajiri. Tai akawaona wafanya biashara. Walibeba pesa na vito vya bei. Tai akazinyakua zile pesa na vito. Akawapelekea Yona na mkewe. Punda alichoka kumbebea tajiri wake gunia nzito la pesa. Akawapelekea Yona na mkewe lile gunia la pesa. "Nashukuru mlivyonisaidia." Yona akasema, "Wanyama wametupa zawadi zao. Lakini, Mtu hajafanya hivyo." Walingonja, wakangoja, lakini, Mtu hakuwaletea zawadi yake alivyoahidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kusema Asante! Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mtu, Simba, Mbwa, Nyoka, Tai na punda walienda wapi
{ "text": [ "vita" ] }
2124_swa
Kusema Asante! Mtu, Simba, Mbwa, Nyoka, Tai na Punda walienda vita. Yona na mkewe waliwakaribisha kwao. Wakawachinjia ng'ombe wao. Kila mmoja alitaka sehemu tofauti ya ng'ombe. Waliahidi kuwapa zawadi. Yona na mkewe walimpa kila mmoja sehemu ya nyama aliyotaka. Baada ya kula, walilala vizuri. Asubuhi, walienda zao. Wiki nyingi zilipita. Simba akawaletea zawadi ya pembe kubwa ya tembo. Mbwa akasema, "Zawaidi yangu itakuwa kuwachungia pembe hii ili isiibwe." Ndugu wa Yona akawaza, "Nitaiba ile pembe niiuze." Alipoenda kuiba ili pembe, Nyoka alimuuma. Yona na mkewe wakachukua mifugo wa mrehemu. Wakawa matajiri. Tai akawaona wafanya biashara. Walibeba pesa na vito vya bei. Tai akazinyakua zile pesa na vito. Akawapelekea Yona na mkewe. Punda alichoka kumbebea tajiri wake gunia nzito la pesa. Akawapelekea Yona na mkewe lile gunia la pesa. "Nashukuru mlivyonisaidia." Yona akasema, "Wanyama wametupa zawadi zao. Lakini, Mtu hajafanya hivyo." Walingonja, wakangoja, lakini, Mtu hakuwaletea zawadi yake alivyoahidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kusema Asante! Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Walichinjiwa nini
{ "text": [ "ng'ombe" ] }
2124_swa
Kusema Asante! Mtu, Simba, Mbwa, Nyoka, Tai na Punda walienda vita. Yona na mkewe waliwakaribisha kwao. Wakawachinjia ng'ombe wao. Kila mmoja alitaka sehemu tofauti ya ng'ombe. Waliahidi kuwapa zawadi. Yona na mkewe walimpa kila mmoja sehemu ya nyama aliyotaka. Baada ya kula, walilala vizuri. Asubuhi, walienda zao. Wiki nyingi zilipita. Simba akawaletea zawadi ya pembe kubwa ya tembo. Mbwa akasema, "Zawaidi yangu itakuwa kuwachungia pembe hii ili isiibwe." Ndugu wa Yona akawaza, "Nitaiba ile pembe niiuze." Alipoenda kuiba ili pembe, Nyoka alimuuma. Yona na mkewe wakachukua mifugo wa mrehemu. Wakawa matajiri. Tai akawaona wafanya biashara. Walibeba pesa na vito vya bei. Tai akazinyakua zile pesa na vito. Akawapelekea Yona na mkewe. Punda alichoka kumbebea tajiri wake gunia nzito la pesa. Akawapelekea Yona na mkewe lile gunia la pesa. "Nashukuru mlivyonisaidia." Yona akasema, "Wanyama wametupa zawadi zao. Lakini, Mtu hajafanya hivyo." Walingonja, wakangoja, lakini, Mtu hakuwaletea zawadi yake alivyoahidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kusema Asante! Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Waliahidi kuwapa nini
{ "text": [ "zawadi" ] }
2124_swa
Kusema Asante! Mtu, Simba, Mbwa, Nyoka, Tai na Punda walienda vita. Yona na mkewe waliwakaribisha kwao. Wakawachinjia ng'ombe wao. Kila mmoja alitaka sehemu tofauti ya ng'ombe. Waliahidi kuwapa zawadi. Yona na mkewe walimpa kila mmoja sehemu ya nyama aliyotaka. Baada ya kula, walilala vizuri. Asubuhi, walienda zao. Wiki nyingi zilipita. Simba akawaletea zawadi ya pembe kubwa ya tembo. Mbwa akasema, "Zawaidi yangu itakuwa kuwachungia pembe hii ili isiibwe." Ndugu wa Yona akawaza, "Nitaiba ile pembe niiuze." Alipoenda kuiba ili pembe, Nyoka alimuuma. Yona na mkewe wakachukua mifugo wa mrehemu. Wakawa matajiri. Tai akawaona wafanya biashara. Walibeba pesa na vito vya bei. Tai akazinyakua zile pesa na vito. Akawapelekea Yona na mkewe. Punda alichoka kumbebea tajiri wake gunia nzito la pesa. Akawapelekea Yona na mkewe lile gunia la pesa. "Nashukuru mlivyonisaidia." Yona akasema, "Wanyama wametupa zawadi zao. Lakini, Mtu hajafanya hivyo." Walingonja, wakangoja, lakini, Mtu hakuwaletea zawadi yake alivyoahidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kusema Asante! Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Simba aliwaletea zawadi gani
{ "text": [ "pembe" ] }
2124_swa
Kusema Asante! Mtu, Simba, Mbwa, Nyoka, Tai na Punda walienda vita. Yona na mkewe waliwakaribisha kwao. Wakawachinjia ng'ombe wao. Kila mmoja alitaka sehemu tofauti ya ng'ombe. Waliahidi kuwapa zawadi. Yona na mkewe walimpa kila mmoja sehemu ya nyama aliyotaka. Baada ya kula, walilala vizuri. Asubuhi, walienda zao. Wiki nyingi zilipita. Simba akawaletea zawadi ya pembe kubwa ya tembo. Mbwa akasema, "Zawaidi yangu itakuwa kuwachungia pembe hii ili isiibwe." Ndugu wa Yona akawaza, "Nitaiba ile pembe niiuze." Alipoenda kuiba ili pembe, Nyoka alimuuma. Yona na mkewe wakachukua mifugo wa mrehemu. Wakawa matajiri. Tai akawaona wafanya biashara. Walibeba pesa na vito vya bei. Tai akazinyakua zile pesa na vito. Akawapelekea Yona na mkewe. Punda alichoka kumbebea tajiri wake gunia nzito la pesa. Akawapelekea Yona na mkewe lile gunia la pesa. "Nashukuru mlivyonisaidia." Yona akasema, "Wanyama wametupa zawadi zao. Lakini, Mtu hajafanya hivyo." Walingonja, wakangoja, lakini, Mtu hakuwaletea zawadi yake alivyoahidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kusema Asante! Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mbona nyoka alimuuma ndugu wa Yona
{ "text": [ "alitaka kuiba pembe auze" ] }
2125_swa
Kulisubiri basi Sam yuko tayari kwenda mjini leo asubuhi. "Basi linatarajiwa kufika saa 3 asubuhi," mama anatabasamu. Sam yuko tayari masaa mawili kabla basi kuwasili. 1 Sam na mamake wanawasili kwenye kituo cha basi saa 2:45 asubuhi. Watu zaidi walikuja kwenye kituo kabla ya 3 asubuhi. Nusu saa baadaye, bado wamesubiri. Sam ana wasiwasi. "Labda basi limeharibika," anawaza. "Labda hatutakwenda mjini leo. Labda sitapata sare zangu za shule." Saa 3:45 asubuhi baadhi ya watu wanakata tamaa na kurudi nyumbani. Sam anaanza kulia. "Tutasubiri kidogo zaidi," mama anamtuliza. Ghafla, wanasikia kelele. Basi linakuja! Basi linawasili kituoni saa 4 kamili za asubuhi. "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo!" dereva anasema. Abiria wanaingia na kuketi. Basi linaondoka saa 4:10 asubuhi. "Basi litaondoka mjini saa ngapi kurudi kijijini?" mamake Sam anauliza. "Basi la bluu litaondoka mjini saa 8:30 alasiri," dereva anajibu. Sam anawaza, "Tutawasili mjini saa 5 kamili mchana." "Tutakuwa na muda kiasi gani mjini kabla basi kuondoka?" Sam anaendelea kuwaza. Maswali zaidi kuhusiana na hadithi: 1. Sam alikuwa tayari kwenda mjini saa ngapi? 2. Sam na mamake walisubiri basi kwa muda gani? 3. Basi lilichelewa kwa dakika ngapi? 4. Safari kwenda mjini itachukuwa dakika ngapi? 5. Sam na mamake watafika kijijini saa ngapi ikiwa basi la bluu linaondoka mjini kwa wakati? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kulisubiri basi Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sama alikuwa tayari masaa mangapi kabla ya basi kuwasili?
{ "text": [ "Mawili" ] }
2125_swa
Kulisubiri basi Sam yuko tayari kwenda mjini leo asubuhi. "Basi linatarajiwa kufika saa 3 asubuhi," mama anatabasamu. Sam yuko tayari masaa mawili kabla basi kuwasili. 1 Sam na mamake wanawasili kwenye kituo cha basi saa 2:45 asubuhi. Watu zaidi walikuja kwenye kituo kabla ya 3 asubuhi. Nusu saa baadaye, bado wamesubiri. Sam ana wasiwasi. "Labda basi limeharibika," anawaza. "Labda hatutakwenda mjini leo. Labda sitapata sare zangu za shule." Saa 3:45 asubuhi baadhi ya watu wanakata tamaa na kurudi nyumbani. Sam anaanza kulia. "Tutasubiri kidogo zaidi," mama anamtuliza. Ghafla, wanasikia kelele. Basi linakuja! Basi linawasili kituoni saa 4 kamili za asubuhi. "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo!" dereva anasema. Abiria wanaingia na kuketi. Basi linaondoka saa 4:10 asubuhi. "Basi litaondoka mjini saa ngapi kurudi kijijini?" mamake Sam anauliza. "Basi la bluu litaondoka mjini saa 8:30 alasiri," dereva anajibu. Sam anawaza, "Tutawasili mjini saa 5 kamili mchana." "Tutakuwa na muda kiasi gani mjini kabla basi kuondoka?" Sam anaendelea kuwaza. Maswali zaidi kuhusiana na hadithi: 1. Sam alikuwa tayari kwenda mjini saa ngapi? 2. Sam na mamake walisubiri basi kwa muda gani? 3. Basi lilichelewa kwa dakika ngapi? 4. Safari kwenda mjini itachukuwa dakika ngapi? 5. Sam na mamake watafika kijijini saa ngapi ikiwa basi la bluu linaondoka mjini kwa wakati? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kulisubiri basi Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sam alisindikishwa na nani hadi kituo cha basi?
{ "text": [ "Mamake" ] }
2125_swa
Kulisubiri basi Sam yuko tayari kwenda mjini leo asubuhi. "Basi linatarajiwa kufika saa 3 asubuhi," mama anatabasamu. Sam yuko tayari masaa mawili kabla basi kuwasili. 1 Sam na mamake wanawasili kwenye kituo cha basi saa 2:45 asubuhi. Watu zaidi walikuja kwenye kituo kabla ya 3 asubuhi. Nusu saa baadaye, bado wamesubiri. Sam ana wasiwasi. "Labda basi limeharibika," anawaza. "Labda hatutakwenda mjini leo. Labda sitapata sare zangu za shule." Saa 3:45 asubuhi baadhi ya watu wanakata tamaa na kurudi nyumbani. Sam anaanza kulia. "Tutasubiri kidogo zaidi," mama anamtuliza. Ghafla, wanasikia kelele. Basi linakuja! Basi linawasili kituoni saa 4 kamili za asubuhi. "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo!" dereva anasema. Abiria wanaingia na kuketi. Basi linaondoka saa 4:10 asubuhi. "Basi litaondoka mjini saa ngapi kurudi kijijini?" mamake Sam anauliza. "Basi la bluu litaondoka mjini saa 8:30 alasiri," dereva anajibu. Sam anawaza, "Tutawasili mjini saa 5 kamili mchana." "Tutakuwa na muda kiasi gani mjini kabla basi kuondoka?" Sam anaendelea kuwaza. Maswali zaidi kuhusiana na hadithi: 1. Sam alikuwa tayari kwenda mjini saa ngapi? 2. Sam na mamake walisubiri basi kwa muda gani? 3. Basi lilichelewa kwa dakika ngapi? 4. Safari kwenda mjini itachukuwa dakika ngapi? 5. Sam na mamake watafika kijijini saa ngapi ikiwa basi la bluu linaondoka mjini kwa wakati? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kulisubiri basi Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sam aliwaza kwamba basi labda imefanya nini?
{ "text": [ "Imeharibika" ] }
2125_swa
Kulisubiri basi Sam yuko tayari kwenda mjini leo asubuhi. "Basi linatarajiwa kufika saa 3 asubuhi," mama anatabasamu. Sam yuko tayari masaa mawili kabla basi kuwasili. 1 Sam na mamake wanawasili kwenye kituo cha basi saa 2:45 asubuhi. Watu zaidi walikuja kwenye kituo kabla ya 3 asubuhi. Nusu saa baadaye, bado wamesubiri. Sam ana wasiwasi. "Labda basi limeharibika," anawaza. "Labda hatutakwenda mjini leo. Labda sitapata sare zangu za shule." Saa 3:45 asubuhi baadhi ya watu wanakata tamaa na kurudi nyumbani. Sam anaanza kulia. "Tutasubiri kidogo zaidi," mama anamtuliza. Ghafla, wanasikia kelele. Basi linakuja! Basi linawasili kituoni saa 4 kamili za asubuhi. "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo!" dereva anasema. Abiria wanaingia na kuketi. Basi linaondoka saa 4:10 asubuhi. "Basi litaondoka mjini saa ngapi kurudi kijijini?" mamake Sam anauliza. "Basi la bluu litaondoka mjini saa 8:30 alasiri," dereva anajibu. Sam anawaza, "Tutawasili mjini saa 5 kamili mchana." "Tutakuwa na muda kiasi gani mjini kabla basi kuondoka?" Sam anaendelea kuwaza. Maswali zaidi kuhusiana na hadithi: 1. Sam alikuwa tayari kwenda mjini saa ngapi? 2. Sam na mamake walisubiri basi kwa muda gani? 3. Basi lilichelewa kwa dakika ngapi? 4. Safari kwenda mjini itachukuwa dakika ngapi? 5. Sam na mamake watafika kijijini saa ngapi ikiwa basi la bluu linaondoka mjini kwa wakati? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kulisubiri basi Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sama alifanya nini baada ya kusubiri kwa muda murefu?
{ "text": [ "Alilia" ] }
2125_swa
Kulisubiri basi Sam yuko tayari kwenda mjini leo asubuhi. "Basi linatarajiwa kufika saa 3 asubuhi," mama anatabasamu. Sam yuko tayari masaa mawili kabla basi kuwasili. 1 Sam na mamake wanawasili kwenye kituo cha basi saa 2:45 asubuhi. Watu zaidi walikuja kwenye kituo kabla ya 3 asubuhi. Nusu saa baadaye, bado wamesubiri. Sam ana wasiwasi. "Labda basi limeharibika," anawaza. "Labda hatutakwenda mjini leo. Labda sitapata sare zangu za shule." Saa 3:45 asubuhi baadhi ya watu wanakata tamaa na kurudi nyumbani. Sam anaanza kulia. "Tutasubiri kidogo zaidi," mama anamtuliza. Ghafla, wanasikia kelele. Basi linakuja! Basi linawasili kituoni saa 4 kamili za asubuhi. "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo!" dereva anasema. Abiria wanaingia na kuketi. Basi linaondoka saa 4:10 asubuhi. "Basi litaondoka mjini saa ngapi kurudi kijijini?" mamake Sam anauliza. "Basi la bluu litaondoka mjini saa 8:30 alasiri," dereva anajibu. Sam anawaza, "Tutawasili mjini saa 5 kamili mchana." "Tutakuwa na muda kiasi gani mjini kabla basi kuondoka?" Sam anaendelea kuwaza. Maswali zaidi kuhusiana na hadithi: 1. Sam alikuwa tayari kwenda mjini saa ngapi? 2. Sam na mamake walisubiri basi kwa muda gani? 3. Basi lilichelewa kwa dakika ngapi? 4. Safari kwenda mjini itachukuwa dakika ngapi? 5. Sam na mamake watafika kijijini saa ngapi ikiwa basi la bluu linaondoka mjini kwa wakati? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kulisubiri basi Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Basi liliwasili saa ngapi asubuhi?
{ "text": [ "Saa nne asubuhi" ] }
2126_swa
Kumtembelea Bibi Odongo na Apiyo walisubiri kwa hamu likizo kufika. Ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi yao. Waliposafiri, waliona milima, wanyama na mashamba. Baada ya muda, Odongo na Apiyo walilala. Walimkuta bibi yao akipumzika chini ya mti. Bibi alicheza na kuimba. Watoto walimpatia zawadi zake. Bibi alifurahi akawapa baraka zake. Odongo na Apiyo walicheza na vipepeo na ndege. Walipanda miti na wakacheza ziwani. Walichoka sana wakalala kabla kumaliza chakula cha jioni. Walimsaidia bibi kukusanya mayai na kuchuma mboga. Bibi aliwafunza Odongo na Apiyo kupika vyakula tofauti. Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibi malishoni. Waliila mimea ya jirani. Walitembelea kibanda cha bibi sokoni. Jioni, walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata. Hatimaye, likizo ilikamilika. Bibi aliwapakia chakula cha kula njiani. Kabla ya kuondoka, walisema, "Bibi, njoo nasi." Odongo na Apiyo walimkumbatia bibi. "Kwaheri, bibi," walisema. Maisha yapi ni mazuri? Ya mjini au ya kijijini? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumtembelea Bibi Author - Violet Otieno Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Odongo na Apiyo walimtembelea nani
{ "text": [ "Bibi" ] }
2126_swa
Kumtembelea Bibi Odongo na Apiyo walisubiri kwa hamu likizo kufika. Ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi yao. Waliposafiri, waliona milima, wanyama na mashamba. Baada ya muda, Odongo na Apiyo walilala. Walimkuta bibi yao akipumzika chini ya mti. Bibi alicheza na kuimba. Watoto walimpatia zawadi zake. Bibi alifurahi akawapa baraka zake. Odongo na Apiyo walicheza na vipepeo na ndege. Walipanda miti na wakacheza ziwani. Walichoka sana wakalala kabla kumaliza chakula cha jioni. Walimsaidia bibi kukusanya mayai na kuchuma mboga. Bibi aliwafunza Odongo na Apiyo kupika vyakula tofauti. Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibi malishoni. Waliila mimea ya jirani. Walitembelea kibanda cha bibi sokoni. Jioni, walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata. Hatimaye, likizo ilikamilika. Bibi aliwapakia chakula cha kula njiani. Kabla ya kuondoka, walisema, "Bibi, njoo nasi." Odongo na Apiyo walimkumbatia bibi. "Kwaheri, bibi," walisema. Maisha yapi ni mazuri? Ya mjini au ya kijijini? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumtembelea Bibi Author - Violet Otieno Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baada ya muda Odongo na Apiyo walifanya nini
{ "text": [ "Walilala" ] }
2126_swa
Kumtembelea Bibi Odongo na Apiyo walisubiri kwa hamu likizo kufika. Ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi yao. Waliposafiri, waliona milima, wanyama na mashamba. Baada ya muda, Odongo na Apiyo walilala. Walimkuta bibi yao akipumzika chini ya mti. Bibi alicheza na kuimba. Watoto walimpatia zawadi zake. Bibi alifurahi akawapa baraka zake. Odongo na Apiyo walicheza na vipepeo na ndege. Walipanda miti na wakacheza ziwani. Walichoka sana wakalala kabla kumaliza chakula cha jioni. Walimsaidia bibi kukusanya mayai na kuchuma mboga. Bibi aliwafunza Odongo na Apiyo kupika vyakula tofauti. Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibi malishoni. Waliila mimea ya jirani. Walitembelea kibanda cha bibi sokoni. Jioni, walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata. Hatimaye, likizo ilikamilika. Bibi aliwapakia chakula cha kula njiani. Kabla ya kuondoka, walisema, "Bibi, njoo nasi." Odongo na Apiyo walimkumbatia bibi. "Kwaheri, bibi," walisema. Maisha yapi ni mazuri? Ya mjini au ya kijijini? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumtembelea Bibi Author - Violet Otieno Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Odongo aliwapeleka nini malishoni
{ "text": [ "Ng'ombe" ] }
2126_swa
Kumtembelea Bibi Odongo na Apiyo walisubiri kwa hamu likizo kufika. Ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi yao. Waliposafiri, waliona milima, wanyama na mashamba. Baada ya muda, Odongo na Apiyo walilala. Walimkuta bibi yao akipumzika chini ya mti. Bibi alicheza na kuimba. Watoto walimpatia zawadi zake. Bibi alifurahi akawapa baraka zake. Odongo na Apiyo walicheza na vipepeo na ndege. Walipanda miti na wakacheza ziwani. Walichoka sana wakalala kabla kumaliza chakula cha jioni. Walimsaidia bibi kukusanya mayai na kuchuma mboga. Bibi aliwafunza Odongo na Apiyo kupika vyakula tofauti. Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibi malishoni. Waliila mimea ya jirani. Walitembelea kibanda cha bibi sokoni. Jioni, walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata. Hatimaye, likizo ilikamilika. Bibi aliwapakia chakula cha kula njiani. Kabla ya kuondoka, walisema, "Bibi, njoo nasi." Odongo na Apiyo walimkumbatia bibi. "Kwaheri, bibi," walisema. Maisha yapi ni mazuri? Ya mjini au ya kijijini? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumtembelea Bibi Author - Violet Otieno Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Odongo na Apiyo walimkumbatia nani
{ "text": [ "Bibi" ] }
2126_swa
Kumtembelea Bibi Odongo na Apiyo walisubiri kwa hamu likizo kufika. Ulikuwa wakati wa kumtembelea bibi yao. Waliposafiri, waliona milima, wanyama na mashamba. Baada ya muda, Odongo na Apiyo walilala. Walimkuta bibi yao akipumzika chini ya mti. Bibi alicheza na kuimba. Watoto walimpatia zawadi zake. Bibi alifurahi akawapa baraka zake. Odongo na Apiyo walicheza na vipepeo na ndege. Walipanda miti na wakacheza ziwani. Walichoka sana wakalala kabla kumaliza chakula cha jioni. Walimsaidia bibi kukusanya mayai na kuchuma mboga. Bibi aliwafunza Odongo na Apiyo kupika vyakula tofauti. Odongo aliwapeleka ng'ombe wa bibi malishoni. Waliila mimea ya jirani. Walitembelea kibanda cha bibi sokoni. Jioni, walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata. Hatimaye, likizo ilikamilika. Bibi aliwapakia chakula cha kula njiani. Kabla ya kuondoka, walisema, "Bibi, njoo nasi." Odongo na Apiyo walimkumbatia bibi. "Kwaheri, bibi," walisema. Maisha yapi ni mazuri? Ya mjini au ya kijijini? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumtembelea Bibi Author - Violet Otieno Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Likizo ilipoisha bibi alifanya nini
{ "text": [ "Aliwapakia Odongo na Apiyo chakula cha kula njiani" ] }
2129_swa
Kumsubiri mtoto Leo ni siku kubwa! Baada ya kusubiri kwa miezi 9, mamake Taby anaenda hospitalini kujifungua mtoto. Atarudi baada ya siku tatu. Unaweza kusoma tarehe na siku hiyo kwenye kalenda? Itakuwa tarehe gani mamake Taby atakaporudi nyumbani? "Kwaheri mpendwa!" Mamake Taby anasema. "Tafadhali, msaidie babako. Nitarudi nyumbani hivi karibuni nikiwa na zawadi itakayotushangaza sote!" Mtoto aliye tumboni kwa mama amekua mkubwa sana. Taby hawezi kumkumbatia mamake kama ilivyokuwa hapo mbeleni. Dereva wa teksi anapiga honi. Wakati umefika wa mama kuondoka. Taby anaanza kulia. Babake anambeba mabegani kwake. Taby hupenda kuwa juu kama alivyo sasa. Sasa yeye ni mrefu kumliko babake. Ikiwa urefu wa babake Taby ni sentimita 160, je, sasa Taby yuko umbali gani kutoka chini? Muda mfupi baadaye, Taby anaanza kulia tena. Hii itakuwa mara ya kwanza kabisa kwa Taby na mamake kutengana. Babake Taby anamweka kwenye kiti kilicho mbele yake. Anamfuta machozi kisha anamzungumzia polepole kumfariji. Anapokuwa amesimama kwenye kiti, Taby anafurahi tena. "Nina umri wa miaka 6! Mimi sasa ni msichana mkubwa!" Taby anasema. Anaposimama kitini kama alivyo sasa, Taby anakuwa mrefu kama babake alivyo. Je, unakumbuka urefu wa babake? Je, Taby ni mrefu kiasi gani anaposimama sakafuni? Taby atasubiri tu siku tatu kuanzia Jumatano hadi Jamamosi, lakini kwake ni kama miaka. Anajaribu kuhesabu saa ambazo atalazimika kusubiri. Anajua kuwa kuna saa 24 kwa siku, kwa hivyo anajiambia, "24 + 24 + 24 ni______." Unajua jawabu? Taby anasema, "Baba, nilidhani kwamba mimi ni mtoto wako! Hivyo ndivyo unavyoniita. Itakuwaje sasa? Je, nitakoma kuwa mtoto wako?" Babake anamwambia, "Wewe ni mtoto wetu wa kwanza wa pekee. Na hivyo ndivyo utakuwa wakati wote." Baba anajibu maswali mengi kuhusu mtoto mpya. Kisha anapata wazao. "Mbona usimwandikie mama barua? Unaweza kumwelezea vile unavyomkosa na kumwuliza maswali kuhusu mtoto atakayezaliwa." "Ningependa sana kufanya hivyo, baba. Utanisaidia kuandika?" Taby anamwambia babake. Baada ya chakula cha mchana, baba anamsaidia Taby kumwandikia mamake barua. Isome barua aliyoiandika Taby: Kwa Mama, Ninakupenda na ninakukosa sana! Baba anasema kuwa utarudi nyumbani Jumamosi. Nina hamu ya kukuona wewe na mtoto. Nina maswali mengi sana. Mtoto wetu mpya ni mvulana au msichana? Atanifanana? Je, ataanza lini kutembea au kuzungumza? Upendo kutoka kwa Taby, binti yako mkubwa. Anapomaliza kuandika barua yake, Taby anaanza kuota. Kisha anafikiri, "Labda watakuwa watoto wawili. Labda, watakuwa mapacha kama baadhi ya marafiki zangu." Taby anafikiria juu ya Zubeda na Brenda, dada mapacha wanaofanana kabisa. "Mapacha wetu wanaweza kuwa wa aina gani?" anaendelea kuwaza. Siku iliyosubiriwa kwa hamu, inafika na Taby anasisimkwa sana. Alikuwa amesubiri kwa siku tatu, au saa 72, lakini ilikuwa kama miezi mingi tangu mamake alipoenda hospitalini. Wamesubiri miezi 9 kwa mtoto kua tumboni mwa mamake. Taby anahesabu miezi kurudi nyuma, "Aprili mpaka Machi, ni mwezi 1, hadi Februari ni miezi...." Hesabu kurudi nyuma ili upate mwezi hasa mtoto alipoanza kua tomboni mwa mama. Taby anawasikia wazazi wake wakiwa mlangoni. Anakimya akitaka kuwashangaza. Lakini, yeye ndiye anayeshangazwa. Mamake alikuwa amekuja nyumbani na mapacha! Taby sasa amepata dada na ndugu! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumsubiri mtoto Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mamake Taby alienda kujifungua baada ya miezi mingapi
{ "text": [ "Tisa" ] }
2129_swa
Kumsubiri mtoto Leo ni siku kubwa! Baada ya kusubiri kwa miezi 9, mamake Taby anaenda hospitalini kujifungua mtoto. Atarudi baada ya siku tatu. Unaweza kusoma tarehe na siku hiyo kwenye kalenda? Itakuwa tarehe gani mamake Taby atakaporudi nyumbani? "Kwaheri mpendwa!" Mamake Taby anasema. "Tafadhali, msaidie babako. Nitarudi nyumbani hivi karibuni nikiwa na zawadi itakayotushangaza sote!" Mtoto aliye tumboni kwa mama amekua mkubwa sana. Taby hawezi kumkumbatia mamake kama ilivyokuwa hapo mbeleni. Dereva wa teksi anapiga honi. Wakati umefika wa mama kuondoka. Taby anaanza kulia. Babake anambeba mabegani kwake. Taby hupenda kuwa juu kama alivyo sasa. Sasa yeye ni mrefu kumliko babake. Ikiwa urefu wa babake Taby ni sentimita 160, je, sasa Taby yuko umbali gani kutoka chini? Muda mfupi baadaye, Taby anaanza kulia tena. Hii itakuwa mara ya kwanza kabisa kwa Taby na mamake kutengana. Babake Taby anamweka kwenye kiti kilicho mbele yake. Anamfuta machozi kisha anamzungumzia polepole kumfariji. Anapokuwa amesimama kwenye kiti, Taby anafurahi tena. "Nina umri wa miaka 6! Mimi sasa ni msichana mkubwa!" Taby anasema. Anaposimama kitini kama alivyo sasa, Taby anakuwa mrefu kama babake alivyo. Je, unakumbuka urefu wa babake? Je, Taby ni mrefu kiasi gani anaposimama sakafuni? Taby atasubiri tu siku tatu kuanzia Jumatano hadi Jamamosi, lakini kwake ni kama miaka. Anajaribu kuhesabu saa ambazo atalazimika kusubiri. Anajua kuwa kuna saa 24 kwa siku, kwa hivyo anajiambia, "24 + 24 + 24 ni______." Unajua jawabu? Taby anasema, "Baba, nilidhani kwamba mimi ni mtoto wako! Hivyo ndivyo unavyoniita. Itakuwaje sasa? Je, nitakoma kuwa mtoto wako?" Babake anamwambia, "Wewe ni mtoto wetu wa kwanza wa pekee. Na hivyo ndivyo utakuwa wakati wote." Baba anajibu maswali mengi kuhusu mtoto mpya. Kisha anapata wazao. "Mbona usimwandikie mama barua? Unaweza kumwelezea vile unavyomkosa na kumwuliza maswali kuhusu mtoto atakayezaliwa." "Ningependa sana kufanya hivyo, baba. Utanisaidia kuandika?" Taby anamwambia babake. Baada ya chakula cha mchana, baba anamsaidia Taby kumwandikia mamake barua. Isome barua aliyoiandika Taby: Kwa Mama, Ninakupenda na ninakukosa sana! Baba anasema kuwa utarudi nyumbani Jumamosi. Nina hamu ya kukuona wewe na mtoto. Nina maswali mengi sana. Mtoto wetu mpya ni mvulana au msichana? Atanifanana? Je, ataanza lini kutembea au kuzungumza? Upendo kutoka kwa Taby, binti yako mkubwa. Anapomaliza kuandika barua yake, Taby anaanza kuota. Kisha anafikiri, "Labda watakuwa watoto wawili. Labda, watakuwa mapacha kama baadhi ya marafiki zangu." Taby anafikiria juu ya Zubeda na Brenda, dada mapacha wanaofanana kabisa. "Mapacha wetu wanaweza kuwa wa aina gani?" anaendelea kuwaza. Siku iliyosubiriwa kwa hamu, inafika na Taby anasisimkwa sana. Alikuwa amesubiri kwa siku tatu, au saa 72, lakini ilikuwa kama miezi mingi tangu mamake alipoenda hospitalini. Wamesubiri miezi 9 kwa mtoto kua tumboni mwa mamake. Taby anahesabu miezi kurudi nyuma, "Aprili mpaka Machi, ni mwezi 1, hadi Februari ni miezi...." Hesabu kurudi nyuma ili upate mwezi hasa mtoto alipoanza kua tomboni mwa mama. Taby anawasikia wazazi wake wakiwa mlangoni. Anakimya akitaka kuwashangaza. Lakini, yeye ndiye anayeshangazwa. Mamake alikuwa amekuja nyumbani na mapacha! Taby sasa amepata dada na ndugu! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumsubiri mtoto Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Urefu wa babake Taby ulikuwa sentimita ngapi
{ "text": [ "160" ] }
2129_swa
Kumsubiri mtoto Leo ni siku kubwa! Baada ya kusubiri kwa miezi 9, mamake Taby anaenda hospitalini kujifungua mtoto. Atarudi baada ya siku tatu. Unaweza kusoma tarehe na siku hiyo kwenye kalenda? Itakuwa tarehe gani mamake Taby atakaporudi nyumbani? "Kwaheri mpendwa!" Mamake Taby anasema. "Tafadhali, msaidie babako. Nitarudi nyumbani hivi karibuni nikiwa na zawadi itakayotushangaza sote!" Mtoto aliye tumboni kwa mama amekua mkubwa sana. Taby hawezi kumkumbatia mamake kama ilivyokuwa hapo mbeleni. Dereva wa teksi anapiga honi. Wakati umefika wa mama kuondoka. Taby anaanza kulia. Babake anambeba mabegani kwake. Taby hupenda kuwa juu kama alivyo sasa. Sasa yeye ni mrefu kumliko babake. Ikiwa urefu wa babake Taby ni sentimita 160, je, sasa Taby yuko umbali gani kutoka chini? Muda mfupi baadaye, Taby anaanza kulia tena. Hii itakuwa mara ya kwanza kabisa kwa Taby na mamake kutengana. Babake Taby anamweka kwenye kiti kilicho mbele yake. Anamfuta machozi kisha anamzungumzia polepole kumfariji. Anapokuwa amesimama kwenye kiti, Taby anafurahi tena. "Nina umri wa miaka 6! Mimi sasa ni msichana mkubwa!" Taby anasema. Anaposimama kitini kama alivyo sasa, Taby anakuwa mrefu kama babake alivyo. Je, unakumbuka urefu wa babake? Je, Taby ni mrefu kiasi gani anaposimama sakafuni? Taby atasubiri tu siku tatu kuanzia Jumatano hadi Jamamosi, lakini kwake ni kama miaka. Anajaribu kuhesabu saa ambazo atalazimika kusubiri. Anajua kuwa kuna saa 24 kwa siku, kwa hivyo anajiambia, "24 + 24 + 24 ni______." Unajua jawabu? Taby anasema, "Baba, nilidhani kwamba mimi ni mtoto wako! Hivyo ndivyo unavyoniita. Itakuwaje sasa? Je, nitakoma kuwa mtoto wako?" Babake anamwambia, "Wewe ni mtoto wetu wa kwanza wa pekee. Na hivyo ndivyo utakuwa wakati wote." Baba anajibu maswali mengi kuhusu mtoto mpya. Kisha anapata wazao. "Mbona usimwandikie mama barua? Unaweza kumwelezea vile unavyomkosa na kumwuliza maswali kuhusu mtoto atakayezaliwa." "Ningependa sana kufanya hivyo, baba. Utanisaidia kuandika?" Taby anamwambia babake. Baada ya chakula cha mchana, baba anamsaidia Taby kumwandikia mamake barua. Isome barua aliyoiandika Taby: Kwa Mama, Ninakupenda na ninakukosa sana! Baba anasema kuwa utarudi nyumbani Jumamosi. Nina hamu ya kukuona wewe na mtoto. Nina maswali mengi sana. Mtoto wetu mpya ni mvulana au msichana? Atanifanana? Je, ataanza lini kutembea au kuzungumza? Upendo kutoka kwa Taby, binti yako mkubwa. Anapomaliza kuandika barua yake, Taby anaanza kuota. Kisha anafikiri, "Labda watakuwa watoto wawili. Labda, watakuwa mapacha kama baadhi ya marafiki zangu." Taby anafikiria juu ya Zubeda na Brenda, dada mapacha wanaofanana kabisa. "Mapacha wetu wanaweza kuwa wa aina gani?" anaendelea kuwaza. Siku iliyosubiriwa kwa hamu, inafika na Taby anasisimkwa sana. Alikuwa amesubiri kwa siku tatu, au saa 72, lakini ilikuwa kama miezi mingi tangu mamake alipoenda hospitalini. Wamesubiri miezi 9 kwa mtoto kua tumboni mwa mamake. Taby anahesabu miezi kurudi nyuma, "Aprili mpaka Machi, ni mwezi 1, hadi Februari ni miezi...." Hesabu kurudi nyuma ili upate mwezi hasa mtoto alipoanza kua tomboni mwa mama. Taby anawasikia wazazi wake wakiwa mlangoni. Anakimya akitaka kuwashangaza. Lakini, yeye ndiye anayeshangazwa. Mamake alikuwa amekuja nyumbani na mapacha! Taby sasa amepata dada na ndugu! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumsubiri mtoto Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Taby alikuwa na umri wa miaka mingapi
{ "text": [ "Miaka sita" ] }
2129_swa
Kumsubiri mtoto Leo ni siku kubwa! Baada ya kusubiri kwa miezi 9, mamake Taby anaenda hospitalini kujifungua mtoto. Atarudi baada ya siku tatu. Unaweza kusoma tarehe na siku hiyo kwenye kalenda? Itakuwa tarehe gani mamake Taby atakaporudi nyumbani? "Kwaheri mpendwa!" Mamake Taby anasema. "Tafadhali, msaidie babako. Nitarudi nyumbani hivi karibuni nikiwa na zawadi itakayotushangaza sote!" Mtoto aliye tumboni kwa mama amekua mkubwa sana. Taby hawezi kumkumbatia mamake kama ilivyokuwa hapo mbeleni. Dereva wa teksi anapiga honi. Wakati umefika wa mama kuondoka. Taby anaanza kulia. Babake anambeba mabegani kwake. Taby hupenda kuwa juu kama alivyo sasa. Sasa yeye ni mrefu kumliko babake. Ikiwa urefu wa babake Taby ni sentimita 160, je, sasa Taby yuko umbali gani kutoka chini? Muda mfupi baadaye, Taby anaanza kulia tena. Hii itakuwa mara ya kwanza kabisa kwa Taby na mamake kutengana. Babake Taby anamweka kwenye kiti kilicho mbele yake. Anamfuta machozi kisha anamzungumzia polepole kumfariji. Anapokuwa amesimama kwenye kiti, Taby anafurahi tena. "Nina umri wa miaka 6! Mimi sasa ni msichana mkubwa!" Taby anasema. Anaposimama kitini kama alivyo sasa, Taby anakuwa mrefu kama babake alivyo. Je, unakumbuka urefu wa babake? Je, Taby ni mrefu kiasi gani anaposimama sakafuni? Taby atasubiri tu siku tatu kuanzia Jumatano hadi Jamamosi, lakini kwake ni kama miaka. Anajaribu kuhesabu saa ambazo atalazimika kusubiri. Anajua kuwa kuna saa 24 kwa siku, kwa hivyo anajiambia, "24 + 24 + 24 ni______." Unajua jawabu? Taby anasema, "Baba, nilidhani kwamba mimi ni mtoto wako! Hivyo ndivyo unavyoniita. Itakuwaje sasa? Je, nitakoma kuwa mtoto wako?" Babake anamwambia, "Wewe ni mtoto wetu wa kwanza wa pekee. Na hivyo ndivyo utakuwa wakati wote." Baba anajibu maswali mengi kuhusu mtoto mpya. Kisha anapata wazao. "Mbona usimwandikie mama barua? Unaweza kumwelezea vile unavyomkosa na kumwuliza maswali kuhusu mtoto atakayezaliwa." "Ningependa sana kufanya hivyo, baba. Utanisaidia kuandika?" Taby anamwambia babake. Baada ya chakula cha mchana, baba anamsaidia Taby kumwandikia mamake barua. Isome barua aliyoiandika Taby: Kwa Mama, Ninakupenda na ninakukosa sana! Baba anasema kuwa utarudi nyumbani Jumamosi. Nina hamu ya kukuona wewe na mtoto. Nina maswali mengi sana. Mtoto wetu mpya ni mvulana au msichana? Atanifanana? Je, ataanza lini kutembea au kuzungumza? Upendo kutoka kwa Taby, binti yako mkubwa. Anapomaliza kuandika barua yake, Taby anaanza kuota. Kisha anafikiri, "Labda watakuwa watoto wawili. Labda, watakuwa mapacha kama baadhi ya marafiki zangu." Taby anafikiria juu ya Zubeda na Brenda, dada mapacha wanaofanana kabisa. "Mapacha wetu wanaweza kuwa wa aina gani?" anaendelea kuwaza. Siku iliyosubiriwa kwa hamu, inafika na Taby anasisimkwa sana. Alikuwa amesubiri kwa siku tatu, au saa 72, lakini ilikuwa kama miezi mingi tangu mamake alipoenda hospitalini. Wamesubiri miezi 9 kwa mtoto kua tumboni mwa mamake. Taby anahesabu miezi kurudi nyuma, "Aprili mpaka Machi, ni mwezi 1, hadi Februari ni miezi...." Hesabu kurudi nyuma ili upate mwezi hasa mtoto alipoanza kua tomboni mwa mama. Taby anawasikia wazazi wake wakiwa mlangoni. Anakimya akitaka kuwashangaza. Lakini, yeye ndiye anayeshangazwa. Mamake alikuwa amekuja nyumbani na mapacha! Taby sasa amepata dada na ndugu! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumsubiri mtoto Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliyemwandikia barua mamake Taby
{ "text": [ "Taby mwenyewe" ] }
2129_swa
Kumsubiri mtoto Leo ni siku kubwa! Baada ya kusubiri kwa miezi 9, mamake Taby anaenda hospitalini kujifungua mtoto. Atarudi baada ya siku tatu. Unaweza kusoma tarehe na siku hiyo kwenye kalenda? Itakuwa tarehe gani mamake Taby atakaporudi nyumbani? "Kwaheri mpendwa!" Mamake Taby anasema. "Tafadhali, msaidie babako. Nitarudi nyumbani hivi karibuni nikiwa na zawadi itakayotushangaza sote!" Mtoto aliye tumboni kwa mama amekua mkubwa sana. Taby hawezi kumkumbatia mamake kama ilivyokuwa hapo mbeleni. Dereva wa teksi anapiga honi. Wakati umefika wa mama kuondoka. Taby anaanza kulia. Babake anambeba mabegani kwake. Taby hupenda kuwa juu kama alivyo sasa. Sasa yeye ni mrefu kumliko babake. Ikiwa urefu wa babake Taby ni sentimita 160, je, sasa Taby yuko umbali gani kutoka chini? Muda mfupi baadaye, Taby anaanza kulia tena. Hii itakuwa mara ya kwanza kabisa kwa Taby na mamake kutengana. Babake Taby anamweka kwenye kiti kilicho mbele yake. Anamfuta machozi kisha anamzungumzia polepole kumfariji. Anapokuwa amesimama kwenye kiti, Taby anafurahi tena. "Nina umri wa miaka 6! Mimi sasa ni msichana mkubwa!" Taby anasema. Anaposimama kitini kama alivyo sasa, Taby anakuwa mrefu kama babake alivyo. Je, unakumbuka urefu wa babake? Je, Taby ni mrefu kiasi gani anaposimama sakafuni? Taby atasubiri tu siku tatu kuanzia Jumatano hadi Jamamosi, lakini kwake ni kama miaka. Anajaribu kuhesabu saa ambazo atalazimika kusubiri. Anajua kuwa kuna saa 24 kwa siku, kwa hivyo anajiambia, "24 + 24 + 24 ni______." Unajua jawabu? Taby anasema, "Baba, nilidhani kwamba mimi ni mtoto wako! Hivyo ndivyo unavyoniita. Itakuwaje sasa? Je, nitakoma kuwa mtoto wako?" Babake anamwambia, "Wewe ni mtoto wetu wa kwanza wa pekee. Na hivyo ndivyo utakuwa wakati wote." Baba anajibu maswali mengi kuhusu mtoto mpya. Kisha anapata wazao. "Mbona usimwandikie mama barua? Unaweza kumwelezea vile unavyomkosa na kumwuliza maswali kuhusu mtoto atakayezaliwa." "Ningependa sana kufanya hivyo, baba. Utanisaidia kuandika?" Taby anamwambia babake. Baada ya chakula cha mchana, baba anamsaidia Taby kumwandikia mamake barua. Isome barua aliyoiandika Taby: Kwa Mama, Ninakupenda na ninakukosa sana! Baba anasema kuwa utarudi nyumbani Jumamosi. Nina hamu ya kukuona wewe na mtoto. Nina maswali mengi sana. Mtoto wetu mpya ni mvulana au msichana? Atanifanana? Je, ataanza lini kutembea au kuzungumza? Upendo kutoka kwa Taby, binti yako mkubwa. Anapomaliza kuandika barua yake, Taby anaanza kuota. Kisha anafikiri, "Labda watakuwa watoto wawili. Labda, watakuwa mapacha kama baadhi ya marafiki zangu." Taby anafikiria juu ya Zubeda na Brenda, dada mapacha wanaofanana kabisa. "Mapacha wetu wanaweza kuwa wa aina gani?" anaendelea kuwaza. Siku iliyosubiriwa kwa hamu, inafika na Taby anasisimkwa sana. Alikuwa amesubiri kwa siku tatu, au saa 72, lakini ilikuwa kama miezi mingi tangu mamake alipoenda hospitalini. Wamesubiri miezi 9 kwa mtoto kua tumboni mwa mamake. Taby anahesabu miezi kurudi nyuma, "Aprili mpaka Machi, ni mwezi 1, hadi Februari ni miezi...." Hesabu kurudi nyuma ili upate mwezi hasa mtoto alipoanza kua tomboni mwa mama. Taby anawasikia wazazi wake wakiwa mlangoni. Anakimya akitaka kuwashangaza. Lakini, yeye ndiye anayeshangazwa. Mamake alikuwa amekuja nyumbani na mapacha! Taby sasa amepata dada na ndugu! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumsubiri mtoto Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Taby angesubiri mamake kwa siku ngapi
{ "text": [ "Tatu" ] }
2130_swa
Kuku na Jongoo Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Lakini walikuwa wakishindana kila wakati. Siku moja waliamua kucheza kandanda ili kuona aliyekuwa mchezaji bora. Walienda uwanjani wakaanza mchezo. Kuku alicheza kwa kasi, lakini Jongoo akacheza kwa kasi zaidi. Kuku alipiga teke mpira ukaende mbali, lakini Jongoo aliupiga ukaenda mbali zaidi. Kuku alianza kukasirika. Waliamua kucheza penalti. Kwanza Jongoo alikuwa mlinda lango. Kuku alifunga bao moja tu. Basi ikawa zamu ya Kuku kulinda lango. Jongoo akaupiga mpira na kufunga bao. Jongoo akapiga chenga akafunga bao. Akapiga mpira wa kichwa na kufunga bao. Jongoo alifunga mabao matano! Kuku alikasirika kwamba alipoteza. Alikuwa mbaya sana aliposhindwa. Jongoo alianza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa anauzingatia mchezo huo sana isivyofaa. Kuku alikasirika sana hadi akafungua mdomo wake wazi na kummeza Jongoo. Kuku alipokuwa akienda nyumbani, alikutana na Mama Jongoo. Mama Jongoo aliuliza, "Je, umemuona mtoto wangu?" Kuku hakusema chochote. Mama Jongoo alikuwa na wasiwasi. Kisha Mama Jongoo akasikia sauti ndogo ikilia, "Mama, nisaidie!" Mama Jongoo aliangalia kila mahali na kusikiliza kwa uangalifu. Sauti ilitoka ndani ya kuku. Mama Jongoo alipiga kelele, "Tumia nguvu yako maalum mtoto wangu!" Jongoo wanaweza kutoa harufu na ladha mbaya. Kuku alianza kuwa mgonjwa. Kuku aliteua. Kisha alimeza na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa! Ladha ya Jongoo ilichukiza! Kuku alikohoa hadi akamtema Jongoo. Mama Jongoo na mtoto wake walitambaa wakaenda mtini ili kujificha Kuanzia wakati huo, kuku wote na jongoo walikuwa maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku na Jongoo Author - Winny Asara Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kuku na jongoo walienda wapi kucheza
{ "text": [ "uwanjani" ] }
2130_swa
Kuku na Jongoo Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Lakini walikuwa wakishindana kila wakati. Siku moja waliamua kucheza kandanda ili kuona aliyekuwa mchezaji bora. Walienda uwanjani wakaanza mchezo. Kuku alicheza kwa kasi, lakini Jongoo akacheza kwa kasi zaidi. Kuku alipiga teke mpira ukaende mbali, lakini Jongoo aliupiga ukaenda mbali zaidi. Kuku alianza kukasirika. Waliamua kucheza penalti. Kwanza Jongoo alikuwa mlinda lango. Kuku alifunga bao moja tu. Basi ikawa zamu ya Kuku kulinda lango. Jongoo akaupiga mpira na kufunga bao. Jongoo akapiga chenga akafunga bao. Akapiga mpira wa kichwa na kufunga bao. Jongoo alifunga mabao matano! Kuku alikasirika kwamba alipoteza. Alikuwa mbaya sana aliposhindwa. Jongoo alianza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa anauzingatia mchezo huo sana isivyofaa. Kuku alikasirika sana hadi akafungua mdomo wake wazi na kummeza Jongoo. Kuku alipokuwa akienda nyumbani, alikutana na Mama Jongoo. Mama Jongoo aliuliza, "Je, umemuona mtoto wangu?" Kuku hakusema chochote. Mama Jongoo alikuwa na wasiwasi. Kisha Mama Jongoo akasikia sauti ndogo ikilia, "Mama, nisaidie!" Mama Jongoo aliangalia kila mahali na kusikiliza kwa uangalifu. Sauti ilitoka ndani ya kuku. Mama Jongoo alipiga kelele, "Tumia nguvu yako maalum mtoto wangu!" Jongoo wanaweza kutoa harufu na ladha mbaya. Kuku alianza kuwa mgonjwa. Kuku aliteua. Kisha alimeza na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa! Ladha ya Jongoo ilichukiza! Kuku alikohoa hadi akamtema Jongoo. Mama Jongoo na mtoto wake walitambaa wakaenda mtini ili kujificha Kuanzia wakati huo, kuku wote na jongoo walikuwa maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku na Jongoo Author - Winny Asara Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa mlinda lango wa kwanza
{ "text": [ "jongoo" ] }
2130_swa
Kuku na Jongoo Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Lakini walikuwa wakishindana kila wakati. Siku moja waliamua kucheza kandanda ili kuona aliyekuwa mchezaji bora. Walienda uwanjani wakaanza mchezo. Kuku alicheza kwa kasi, lakini Jongoo akacheza kwa kasi zaidi. Kuku alipiga teke mpira ukaende mbali, lakini Jongoo aliupiga ukaenda mbali zaidi. Kuku alianza kukasirika. Waliamua kucheza penalti. Kwanza Jongoo alikuwa mlinda lango. Kuku alifunga bao moja tu. Basi ikawa zamu ya Kuku kulinda lango. Jongoo akaupiga mpira na kufunga bao. Jongoo akapiga chenga akafunga bao. Akapiga mpira wa kichwa na kufunga bao. Jongoo alifunga mabao matano! Kuku alikasirika kwamba alipoteza. Alikuwa mbaya sana aliposhindwa. Jongoo alianza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa anauzingatia mchezo huo sana isivyofaa. Kuku alikasirika sana hadi akafungua mdomo wake wazi na kummeza Jongoo. Kuku alipokuwa akienda nyumbani, alikutana na Mama Jongoo. Mama Jongoo aliuliza, "Je, umemuona mtoto wangu?" Kuku hakusema chochote. Mama Jongoo alikuwa na wasiwasi. Kisha Mama Jongoo akasikia sauti ndogo ikilia, "Mama, nisaidie!" Mama Jongoo aliangalia kila mahali na kusikiliza kwa uangalifu. Sauti ilitoka ndani ya kuku. Mama Jongoo alipiga kelele, "Tumia nguvu yako maalum mtoto wangu!" Jongoo wanaweza kutoa harufu na ladha mbaya. Kuku alianza kuwa mgonjwa. Kuku aliteua. Kisha alimeza na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa! Ladha ya Jongoo ilichukiza! Kuku alikohoa hadi akamtema Jongoo. Mama Jongoo na mtoto wake walitambaa wakaenda mtini ili kujificha Kuanzia wakati huo, kuku wote na jongoo walikuwa maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku na Jongoo Author - Winny Asara Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kuku alifunga bao ngapi
{ "text": [ "moja tu" ] }
2130_swa
Kuku na Jongoo Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Lakini walikuwa wakishindana kila wakati. Siku moja waliamua kucheza kandanda ili kuona aliyekuwa mchezaji bora. Walienda uwanjani wakaanza mchezo. Kuku alicheza kwa kasi, lakini Jongoo akacheza kwa kasi zaidi. Kuku alipiga teke mpira ukaende mbali, lakini Jongoo aliupiga ukaenda mbali zaidi. Kuku alianza kukasirika. Waliamua kucheza penalti. Kwanza Jongoo alikuwa mlinda lango. Kuku alifunga bao moja tu. Basi ikawa zamu ya Kuku kulinda lango. Jongoo akaupiga mpira na kufunga bao. Jongoo akapiga chenga akafunga bao. Akapiga mpira wa kichwa na kufunga bao. Jongoo alifunga mabao matano! Kuku alikasirika kwamba alipoteza. Alikuwa mbaya sana aliposhindwa. Jongoo alianza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa anauzingatia mchezo huo sana isivyofaa. Kuku alikasirika sana hadi akafungua mdomo wake wazi na kummeza Jongoo. Kuku alipokuwa akienda nyumbani, alikutana na Mama Jongoo. Mama Jongoo aliuliza, "Je, umemuona mtoto wangu?" Kuku hakusema chochote. Mama Jongoo alikuwa na wasiwasi. Kisha Mama Jongoo akasikia sauti ndogo ikilia, "Mama, nisaidie!" Mama Jongoo aliangalia kila mahali na kusikiliza kwa uangalifu. Sauti ilitoka ndani ya kuku. Mama Jongoo alipiga kelele, "Tumia nguvu yako maalum mtoto wangu!" Jongoo wanaweza kutoa harufu na ladha mbaya. Kuku alianza kuwa mgonjwa. Kuku aliteua. Kisha alimeza na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa! Ladha ya Jongoo ilichukiza! Kuku alikohoa hadi akamtema Jongoo. Mama Jongoo na mtoto wake walitambaa wakaenda mtini ili kujificha Kuanzia wakati huo, kuku wote na jongoo walikuwa maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku na Jongoo Author - Winny Asara Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kuku alikuwa vipi aliposhindwa
{ "text": [ "mbaya sana" ] }
2130_swa
Kuku na Jongoo Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Lakini walikuwa wakishindana kila wakati. Siku moja waliamua kucheza kandanda ili kuona aliyekuwa mchezaji bora. Walienda uwanjani wakaanza mchezo. Kuku alicheza kwa kasi, lakini Jongoo akacheza kwa kasi zaidi. Kuku alipiga teke mpira ukaende mbali, lakini Jongoo aliupiga ukaenda mbali zaidi. Kuku alianza kukasirika. Waliamua kucheza penalti. Kwanza Jongoo alikuwa mlinda lango. Kuku alifunga bao moja tu. Basi ikawa zamu ya Kuku kulinda lango. Jongoo akaupiga mpira na kufunga bao. Jongoo akapiga chenga akafunga bao. Akapiga mpira wa kichwa na kufunga bao. Jongoo alifunga mabao matano! Kuku alikasirika kwamba alipoteza. Alikuwa mbaya sana aliposhindwa. Jongoo alianza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa anauzingatia mchezo huo sana isivyofaa. Kuku alikasirika sana hadi akafungua mdomo wake wazi na kummeza Jongoo. Kuku alipokuwa akienda nyumbani, alikutana na Mama Jongoo. Mama Jongoo aliuliza, "Je, umemuona mtoto wangu?" Kuku hakusema chochote. Mama Jongoo alikuwa na wasiwasi. Kisha Mama Jongoo akasikia sauti ndogo ikilia, "Mama, nisaidie!" Mama Jongoo aliangalia kila mahali na kusikiliza kwa uangalifu. Sauti ilitoka ndani ya kuku. Mama Jongoo alipiga kelele, "Tumia nguvu yako maalum mtoto wangu!" Jongoo wanaweza kutoa harufu na ladha mbaya. Kuku alianza kuwa mgonjwa. Kuku aliteua. Kisha alimeza na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa! Ladha ya Jongoo ilichukiza! Kuku alikohoa hadi akamtema Jongoo. Mama Jongoo na mtoto wake walitambaa wakaenda mtini ili kujificha Kuanzia wakati huo, kuku wote na jongoo walikuwa maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku na Jongoo Author - Winny Asara Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Mbona jongoo alianza kucheka
{ "text": [ "rafiki yake alizingatia mchezo huo sana isivyofaa" ] }
2131_swa
Kumwandikia mama barua Mama aliziweka nguo zake katika begi ndogo. Kisha, aliniita. Alinikumbatia na kusema, "Kwa heri kwa sasa binti yangu." Nilishangaa sana. "Unaenda wapi, mama?" Nilimwuliza nikiwa na wasiwasi. Nilianza kulia nikitaka kumfuata. Lakini, baba alinibeba juu begani kwake. Nililia kwa sauti lakini wapi! Baba alisema, "Mamako anaenda hospitalini kujifungua mtoto." Niliposikia "mtoto", nilitulia na kumwangalia baba. "Kwa nini ajifungulie hospitalini?" Nilitaka majibu ya haraka. Baba alinikalisha juu ya kiti kidogo na kusema, "Nitakueleza kwa nini ni lazima aende hospitalini." Nilihuzunika. Nilisikiliza kwa makini. Lakini sikuelewa kwa nini mwuuguzi hakuja nyumbani. Alipomaliza, nilimwuliza, "Ataendelea kunipenda hata baada ya kurudi na mtoto mwingine?" Babangu alinibeba na kuniambia, "Tutakupenda wakati wote." Nilifurahi sana. "Ninaweza kumwandikia barua akiwa huko?" Nilimwuliza baba. Jioni hiyo, nilianza kumtungia mama barua. Ilikuwa fupi. Nilirarua karatasi kutoka daftari langu na kuanza kuandika. Mama, mama, baba alisema kwamba umeenda kumleta mtoto mwingine? Tafadhali, fanya upesi urudi nyumbani. Ninakuhitaji. Ningependa umlete mtoto msichana ili niweze kucheza naye akiwa mkubwa. Yeye nami tutakusaidia kazi zote. Unaweza kuleta wawili ili mmoja awe wangu ili nimpambe. 16 Ninakusubiri hapa nyumbani. Nitakulaki ukifika. Niliikunja barua yangu ili baba ampelekee mama. Nilipoamka asubuhi, barua haikuwapo. Nikajua baba ndiye aliyeichukua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumwandikia mama barua Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama alikua anaenda wapi?
{ "text": [ "Hospitalini" ] }
2131_swa
Kumwandikia mama barua Mama aliziweka nguo zake katika begi ndogo. Kisha, aliniita. Alinikumbatia na kusema, "Kwa heri kwa sasa binti yangu." Nilishangaa sana. "Unaenda wapi, mama?" Nilimwuliza nikiwa na wasiwasi. Nilianza kulia nikitaka kumfuata. Lakini, baba alinibeba juu begani kwake. Nililia kwa sauti lakini wapi! Baba alisema, "Mamako anaenda hospitalini kujifungua mtoto." Niliposikia "mtoto", nilitulia na kumwangalia baba. "Kwa nini ajifungulie hospitalini?" Nilitaka majibu ya haraka. Baba alinikalisha juu ya kiti kidogo na kusema, "Nitakueleza kwa nini ni lazima aende hospitalini." Nilihuzunika. Nilisikiliza kwa makini. Lakini sikuelewa kwa nini mwuuguzi hakuja nyumbani. Alipomaliza, nilimwuliza, "Ataendelea kunipenda hata baada ya kurudi na mtoto mwingine?" Babangu alinibeba na kuniambia, "Tutakupenda wakati wote." Nilifurahi sana. "Ninaweza kumwandikia barua akiwa huko?" Nilimwuliza baba. Jioni hiyo, nilianza kumtungia mama barua. Ilikuwa fupi. Nilirarua karatasi kutoka daftari langu na kuanza kuandika. Mama, mama, baba alisema kwamba umeenda kumleta mtoto mwingine? Tafadhali, fanya upesi urudi nyumbani. Ninakuhitaji. Ningependa umlete mtoto msichana ili niweze kucheza naye akiwa mkubwa. Yeye nami tutakusaidia kazi zote. Unaweza kuleta wawili ili mmoja awe wangu ili nimpambe. 16 Ninakusubiri hapa nyumbani. Nitakulaki ukifika. Niliikunja barua yangu ili baba ampelekee mama. Nilipoamka asubuhi, barua haikuwapo. Nikajua baba ndiye aliyeichukua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumwandikia mama barua Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nililia baada ya mama kuniambia vipi?
{ "text": [ "Kwaheri" ] }
2131_swa
Kumwandikia mama barua Mama aliziweka nguo zake katika begi ndogo. Kisha, aliniita. Alinikumbatia na kusema, "Kwa heri kwa sasa binti yangu." Nilishangaa sana. "Unaenda wapi, mama?" Nilimwuliza nikiwa na wasiwasi. Nilianza kulia nikitaka kumfuata. Lakini, baba alinibeba juu begani kwake. Nililia kwa sauti lakini wapi! Baba alisema, "Mamako anaenda hospitalini kujifungua mtoto." Niliposikia "mtoto", nilitulia na kumwangalia baba. "Kwa nini ajifungulie hospitalini?" Nilitaka majibu ya haraka. Baba alinikalisha juu ya kiti kidogo na kusema, "Nitakueleza kwa nini ni lazima aende hospitalini." Nilihuzunika. Nilisikiliza kwa makini. Lakini sikuelewa kwa nini mwuuguzi hakuja nyumbani. Alipomaliza, nilimwuliza, "Ataendelea kunipenda hata baada ya kurudi na mtoto mwingine?" Babangu alinibeba na kuniambia, "Tutakupenda wakati wote." Nilifurahi sana. "Ninaweza kumwandikia barua akiwa huko?" Nilimwuliza baba. Jioni hiyo, nilianza kumtungia mama barua. Ilikuwa fupi. Nilirarua karatasi kutoka daftari langu na kuanza kuandika. Mama, mama, baba alisema kwamba umeenda kumleta mtoto mwingine? Tafadhali, fanya upesi urudi nyumbani. Ninakuhitaji. Ningependa umlete mtoto msichana ili niweze kucheza naye akiwa mkubwa. Yeye nami tutakusaidia kazi zote. Unaweza kuleta wawili ili mmoja awe wangu ili nimpambe. 16 Ninakusubiri hapa nyumbani. Nitakulaki ukifika. Niliikunja barua yangu ili baba ampelekee mama. Nilipoamka asubuhi, barua haikuwapo. Nikajua baba ndiye aliyeichukua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumwandikia mama barua Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nilitaka mama ajifungue akiwa wapi?
{ "text": [ "Nyumbani" ] }
2131_swa
Kumwandikia mama barua Mama aliziweka nguo zake katika begi ndogo. Kisha, aliniita. Alinikumbatia na kusema, "Kwa heri kwa sasa binti yangu." Nilishangaa sana. "Unaenda wapi, mama?" Nilimwuliza nikiwa na wasiwasi. Nilianza kulia nikitaka kumfuata. Lakini, baba alinibeba juu begani kwake. Nililia kwa sauti lakini wapi! Baba alisema, "Mamako anaenda hospitalini kujifungua mtoto." Niliposikia "mtoto", nilitulia na kumwangalia baba. "Kwa nini ajifungulie hospitalini?" Nilitaka majibu ya haraka. Baba alinikalisha juu ya kiti kidogo na kusema, "Nitakueleza kwa nini ni lazima aende hospitalini." Nilihuzunika. Nilisikiliza kwa makini. Lakini sikuelewa kwa nini mwuuguzi hakuja nyumbani. Alipomaliza, nilimwuliza, "Ataendelea kunipenda hata baada ya kurudi na mtoto mwingine?" Babangu alinibeba na kuniambia, "Tutakupenda wakati wote." Nilifurahi sana. "Ninaweza kumwandikia barua akiwa huko?" Nilimwuliza baba. Jioni hiyo, nilianza kumtungia mama barua. Ilikuwa fupi. Nilirarua karatasi kutoka daftari langu na kuanza kuandika. Mama, mama, baba alisema kwamba umeenda kumleta mtoto mwingine? Tafadhali, fanya upesi urudi nyumbani. Ninakuhitaji. Ningependa umlete mtoto msichana ili niweze kucheza naye akiwa mkubwa. Yeye nami tutakusaidia kazi zote. Unaweza kuleta wawili ili mmoja awe wangu ili nimpambe. 16 Ninakusubiri hapa nyumbani. Nitakulaki ukifika. Niliikunja barua yangu ili baba ampelekee mama. Nilipoamka asubuhi, barua haikuwapo. Nikajua baba ndiye aliyeichukua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumwandikia mama barua Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nilitaka mama ajifungue matoto wa jinsia gani?
{ "text": [ "Kike" ] }
2131_swa
Kumwandikia mama barua Mama aliziweka nguo zake katika begi ndogo. Kisha, aliniita. Alinikumbatia na kusema, "Kwa heri kwa sasa binti yangu." Nilishangaa sana. "Unaenda wapi, mama?" Nilimwuliza nikiwa na wasiwasi. Nilianza kulia nikitaka kumfuata. Lakini, baba alinibeba juu begani kwake. Nililia kwa sauti lakini wapi! Baba alisema, "Mamako anaenda hospitalini kujifungua mtoto." Niliposikia "mtoto", nilitulia na kumwangalia baba. "Kwa nini ajifungulie hospitalini?" Nilitaka majibu ya haraka. Baba alinikalisha juu ya kiti kidogo na kusema, "Nitakueleza kwa nini ni lazima aende hospitalini." Nilihuzunika. Nilisikiliza kwa makini. Lakini sikuelewa kwa nini mwuuguzi hakuja nyumbani. Alipomaliza, nilimwuliza, "Ataendelea kunipenda hata baada ya kurudi na mtoto mwingine?" Babangu alinibeba na kuniambia, "Tutakupenda wakati wote." Nilifurahi sana. "Ninaweza kumwandikia barua akiwa huko?" Nilimwuliza baba. Jioni hiyo, nilianza kumtungia mama barua. Ilikuwa fupi. Nilirarua karatasi kutoka daftari langu na kuanza kuandika. Mama, mama, baba alisema kwamba umeenda kumleta mtoto mwingine? Tafadhali, fanya upesi urudi nyumbani. Ninakuhitaji. Ningependa umlete mtoto msichana ili niweze kucheza naye akiwa mkubwa. Yeye nami tutakusaidia kazi zote. Unaweza kuleta wawili ili mmoja awe wangu ili nimpambe. 16 Ninakusubiri hapa nyumbani. Nitakulaki ukifika. Niliikunja barua yangu ili baba ampelekee mama. Nilipoamka asubuhi, barua haikuwapo. Nikajua baba ndiye aliyeichukua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kumwandikia mama barua Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nilitaka kuzungumza na mama akiwa hospitalini kupitia njia ipi?
{ "text": [ "Kumwandikia barua" ] }
2134_swa
Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Hapo zamani, katika jiji kubwa la Johannesburg, mtoto msichana alizaliwa. Mtoto huyo alikuwa mimi. Mama yangu alinitaja Miriam. Miriam Makeba. Mama alikuwa mganga wa kienyeji, lakini pia aliwasafishia watu wengine nyumba zao. Ilikuwa vigumu kwa mama kupata pesa za kututosha sisi wawili. Alianza kuuza pombe ya kienyeji ili kupata pesa zaidi. Sheria za nchi hiyo zilisema kwamba kuuza pombe ya kienyeji ilikuwa mbaya. Polisi walimpeleka mama jela kwa muda wa miezi sita. Nilikuwa na umri wa siku 18 tu, na nilimhitaji mama yangu. Kwa hivyo ingawa nilikuwa mtoto mchanga, nilienda gerezani pia. Nikiwa msichana mdogo nilipenda kuimba. Nilipokua mkubwa, nilimsaidia mama kusafisha nyumba. Nilipoimba nikifanya kazi, kazi ilikwenda haraka na siku zilionekana kung'aa. Kuimba kulinifurahisha kuliko ninavyoweza kuelezea. Niliimba kanisani na hii ilifurahisha wengine pia. Muziki una uwezo wa kuwaleta watu pamoja. Tulipokuwa tukiimba, tulikuwa jasiri na wenye nguvu. Watu walisema sauti yangu ilikuwa zawadi na nyimbo zangu zilikuwa za kipekee. Niliimba na wanamuziki wengine na muziki wetu ulisikika ulimwenguni kote. Nyumbani ilikuwa Sophiatown, mahali pa utamaduni na muziki. Sophiatown, mahali ambapo watu wa Afrika Kusini wangeweza kutunga muziki kwa maelewano na kucheza pamoja. Lakini watu ambao walitawala nchi wakati huo hawakupenda umoja huu. Watawala hao hawakutaka watu weusi na weupe kuwa marafiki. Nilijua ilikuwa makosa kuwatendea watu tofauti kwa sababu ya rangi ya ngozi yao. Sikuficha imani yangu, na kwa hivyo wale watu waliotawala walinitaka niondoke nchini. Wakati nilikuwa nikiimba huko Amerika, niliambiwa singeweza kurudi nyumbani. Watu kote ulimwenguni walisikia hadithi yangu. Nyimbo zangu na hadithi yangu ilisaidia wengi kuona jinsi hakukuwa na haki huko Afrika Kusini kwa wale waliokuwa na ngozi nyeusi. Niliamua kuendelea kuimba na kueleza ukweli kuhusu nchi yangu, bila kujali matokeo yake. Ulimwengu uliupenda muziki wangu na nilikaribishwa katika nchi nyingi. Nilishinda tuzo na kuwaimbia watu mashuhuri ulimwenguni kote. Maisha yangu yalikuwa mazuri, lakini kulikuwa na upungufu fulani. Sikuweza kuimba katika nchi yangu, na watu huko hawakuwa huru. Halafu siku nzuri ilifika wakati Nelson Mandela alikuwa rais wa Afrika Kusini. Watu wapya waliisimamia nchi na sheria zisizo za haki zilizikwa kwenye kaburi la sahau. Hatimaye, nilikwenda nyumbani nikiwa na matumaini mapya moyoni mwangu. Baada ya hapo niliweza kuimba katika nchi huru, yenye haki. Watu wenye rangi tofauti za ngozi wangeweza kufurahia muziki pamoja. Nilisaidia kufanikisha hii kwa sababu nilikuwa shujaa na mwenye nguvu. Niliimba ukweli katika nyimbo zangu zote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Author - Jade Mathieson Translation - Ursula Nafula Illustration - Louwrisa Blaauw Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Louwrisa Blaauw, Jade Mathieson, Bianca De Jong, and Bookdash.org 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Ni nini jina la jiii kubwa
{ "text": [ "Johannesburg" ] }
2134_swa
Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Hapo zamani, katika jiji kubwa la Johannesburg, mtoto msichana alizaliwa. Mtoto huyo alikuwa mimi. Mama yangu alinitaja Miriam. Miriam Makeba. Mama alikuwa mganga wa kienyeji, lakini pia aliwasafishia watu wengine nyumba zao. Ilikuwa vigumu kwa mama kupata pesa za kututosha sisi wawili. Alianza kuuza pombe ya kienyeji ili kupata pesa zaidi. Sheria za nchi hiyo zilisema kwamba kuuza pombe ya kienyeji ilikuwa mbaya. Polisi walimpeleka mama jela kwa muda wa miezi sita. Nilikuwa na umri wa siku 18 tu, na nilimhitaji mama yangu. Kwa hivyo ingawa nilikuwa mtoto mchanga, nilienda gerezani pia. Nikiwa msichana mdogo nilipenda kuimba. Nilipokua mkubwa, nilimsaidia mama kusafisha nyumba. Nilipoimba nikifanya kazi, kazi ilikwenda haraka na siku zilionekana kung'aa. Kuimba kulinifurahisha kuliko ninavyoweza kuelezea. Niliimba kanisani na hii ilifurahisha wengine pia. Muziki una uwezo wa kuwaleta watu pamoja. Tulipokuwa tukiimba, tulikuwa jasiri na wenye nguvu. Watu walisema sauti yangu ilikuwa zawadi na nyimbo zangu zilikuwa za kipekee. Niliimba na wanamuziki wengine na muziki wetu ulisikika ulimwenguni kote. Nyumbani ilikuwa Sophiatown, mahali pa utamaduni na muziki. Sophiatown, mahali ambapo watu wa Afrika Kusini wangeweza kutunga muziki kwa maelewano na kucheza pamoja. Lakini watu ambao walitawala nchi wakati huo hawakupenda umoja huu. Watawala hao hawakutaka watu weusi na weupe kuwa marafiki. Nilijua ilikuwa makosa kuwatendea watu tofauti kwa sababu ya rangi ya ngozi yao. Sikuficha imani yangu, na kwa hivyo wale watu waliotawala walinitaka niondoke nchini. Wakati nilikuwa nikiimba huko Amerika, niliambiwa singeweza kurudi nyumbani. Watu kote ulimwenguni walisikia hadithi yangu. Nyimbo zangu na hadithi yangu ilisaidia wengi kuona jinsi hakukuwa na haki huko Afrika Kusini kwa wale waliokuwa na ngozi nyeusi. Niliamua kuendelea kuimba na kueleza ukweli kuhusu nchi yangu, bila kujali matokeo yake. Ulimwengu uliupenda muziki wangu na nilikaribishwa katika nchi nyingi. Nilishinda tuzo na kuwaimbia watu mashuhuri ulimwenguni kote. Maisha yangu yalikuwa mazuri, lakini kulikuwa na upungufu fulani. Sikuweza kuimba katika nchi yangu, na watu huko hawakuwa huru. Halafu siku nzuri ilifika wakati Nelson Mandela alikuwa rais wa Afrika Kusini. Watu wapya waliisimamia nchi na sheria zisizo za haki zilizikwa kwenye kaburi la sahau. Hatimaye, nilikwenda nyumbani nikiwa na matumaini mapya moyoni mwangu. Baada ya hapo niliweza kuimba katika nchi huru, yenye haki. Watu wenye rangi tofauti za ngozi wangeweza kufurahia muziki pamoja. Nilisaidia kufanikisha hii kwa sababu nilikuwa shujaa na mwenye nguvu. Niliimba ukweli katika nyimbo zangu zote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Author - Jade Mathieson Translation - Ursula Nafula Illustration - Louwrisa Blaauw Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Louwrisa Blaauw, Jade Mathieson, Bianca De Jong, and Bookdash.org 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Mama wa MIrriam Makeba alikuwa mganga wa nini
{ "text": [ "Kienyeji" ] }
2134_swa
Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Hapo zamani, katika jiji kubwa la Johannesburg, mtoto msichana alizaliwa. Mtoto huyo alikuwa mimi. Mama yangu alinitaja Miriam. Miriam Makeba. Mama alikuwa mganga wa kienyeji, lakini pia aliwasafishia watu wengine nyumba zao. Ilikuwa vigumu kwa mama kupata pesa za kututosha sisi wawili. Alianza kuuza pombe ya kienyeji ili kupata pesa zaidi. Sheria za nchi hiyo zilisema kwamba kuuza pombe ya kienyeji ilikuwa mbaya. Polisi walimpeleka mama jela kwa muda wa miezi sita. Nilikuwa na umri wa siku 18 tu, na nilimhitaji mama yangu. Kwa hivyo ingawa nilikuwa mtoto mchanga, nilienda gerezani pia. Nikiwa msichana mdogo nilipenda kuimba. Nilipokua mkubwa, nilimsaidia mama kusafisha nyumba. Nilipoimba nikifanya kazi, kazi ilikwenda haraka na siku zilionekana kung'aa. Kuimba kulinifurahisha kuliko ninavyoweza kuelezea. Niliimba kanisani na hii ilifurahisha wengine pia. Muziki una uwezo wa kuwaleta watu pamoja. Tulipokuwa tukiimba, tulikuwa jasiri na wenye nguvu. Watu walisema sauti yangu ilikuwa zawadi na nyimbo zangu zilikuwa za kipekee. Niliimba na wanamuziki wengine na muziki wetu ulisikika ulimwenguni kote. Nyumbani ilikuwa Sophiatown, mahali pa utamaduni na muziki. Sophiatown, mahali ambapo watu wa Afrika Kusini wangeweza kutunga muziki kwa maelewano na kucheza pamoja. Lakini watu ambao walitawala nchi wakati huo hawakupenda umoja huu. Watawala hao hawakutaka watu weusi na weupe kuwa marafiki. Nilijua ilikuwa makosa kuwatendea watu tofauti kwa sababu ya rangi ya ngozi yao. Sikuficha imani yangu, na kwa hivyo wale watu waliotawala walinitaka niondoke nchini. Wakati nilikuwa nikiimba huko Amerika, niliambiwa singeweza kurudi nyumbani. Watu kote ulimwenguni walisikia hadithi yangu. Nyimbo zangu na hadithi yangu ilisaidia wengi kuona jinsi hakukuwa na haki huko Afrika Kusini kwa wale waliokuwa na ngozi nyeusi. Niliamua kuendelea kuimba na kueleza ukweli kuhusu nchi yangu, bila kujali matokeo yake. Ulimwengu uliupenda muziki wangu na nilikaribishwa katika nchi nyingi. Nilishinda tuzo na kuwaimbia watu mashuhuri ulimwenguni kote. Maisha yangu yalikuwa mazuri, lakini kulikuwa na upungufu fulani. Sikuweza kuimba katika nchi yangu, na watu huko hawakuwa huru. Halafu siku nzuri ilifika wakati Nelson Mandela alikuwa rais wa Afrika Kusini. Watu wapya waliisimamia nchi na sheria zisizo za haki zilizikwa kwenye kaburi la sahau. Hatimaye, nilikwenda nyumbani nikiwa na matumaini mapya moyoni mwangu. Baada ya hapo niliweza kuimba katika nchi huru, yenye haki. Watu wenye rangi tofauti za ngozi wangeweza kufurahia muziki pamoja. Nilisaidia kufanikisha hii kwa sababu nilikuwa shujaa na mwenye nguvu. Niliimba ukweli katika nyimbo zangu zote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Author - Jade Mathieson Translation - Ursula Nafula Illustration - Louwrisa Blaauw Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Louwrisa Blaauw, Jade Mathieson, Bianca De Jong, and Bookdash.org 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Mirriam alikuwa na miaka mingapi mama akienda jela
{ "text": [ "18" ] }
2134_swa
Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Hapo zamani, katika jiji kubwa la Johannesburg, mtoto msichana alizaliwa. Mtoto huyo alikuwa mimi. Mama yangu alinitaja Miriam. Miriam Makeba. Mama alikuwa mganga wa kienyeji, lakini pia aliwasafishia watu wengine nyumba zao. Ilikuwa vigumu kwa mama kupata pesa za kututosha sisi wawili. Alianza kuuza pombe ya kienyeji ili kupata pesa zaidi. Sheria za nchi hiyo zilisema kwamba kuuza pombe ya kienyeji ilikuwa mbaya. Polisi walimpeleka mama jela kwa muda wa miezi sita. Nilikuwa na umri wa siku 18 tu, na nilimhitaji mama yangu. Kwa hivyo ingawa nilikuwa mtoto mchanga, nilienda gerezani pia. Nikiwa msichana mdogo nilipenda kuimba. Nilipokua mkubwa, nilimsaidia mama kusafisha nyumba. Nilipoimba nikifanya kazi, kazi ilikwenda haraka na siku zilionekana kung'aa. Kuimba kulinifurahisha kuliko ninavyoweza kuelezea. Niliimba kanisani na hii ilifurahisha wengine pia. Muziki una uwezo wa kuwaleta watu pamoja. Tulipokuwa tukiimba, tulikuwa jasiri na wenye nguvu. Watu walisema sauti yangu ilikuwa zawadi na nyimbo zangu zilikuwa za kipekee. Niliimba na wanamuziki wengine na muziki wetu ulisikika ulimwenguni kote. Nyumbani ilikuwa Sophiatown, mahali pa utamaduni na muziki. Sophiatown, mahali ambapo watu wa Afrika Kusini wangeweza kutunga muziki kwa maelewano na kucheza pamoja. Lakini watu ambao walitawala nchi wakati huo hawakupenda umoja huu. Watawala hao hawakutaka watu weusi na weupe kuwa marafiki. Nilijua ilikuwa makosa kuwatendea watu tofauti kwa sababu ya rangi ya ngozi yao. Sikuficha imani yangu, na kwa hivyo wale watu waliotawala walinitaka niondoke nchini. Wakati nilikuwa nikiimba huko Amerika, niliambiwa singeweza kurudi nyumbani. Watu kote ulimwenguni walisikia hadithi yangu. Nyimbo zangu na hadithi yangu ilisaidia wengi kuona jinsi hakukuwa na haki huko Afrika Kusini kwa wale waliokuwa na ngozi nyeusi. Niliamua kuendelea kuimba na kueleza ukweli kuhusu nchi yangu, bila kujali matokeo yake. Ulimwengu uliupenda muziki wangu na nilikaribishwa katika nchi nyingi. Nilishinda tuzo na kuwaimbia watu mashuhuri ulimwenguni kote. Maisha yangu yalikuwa mazuri, lakini kulikuwa na upungufu fulani. Sikuweza kuimba katika nchi yangu, na watu huko hawakuwa huru. Halafu siku nzuri ilifika wakati Nelson Mandela alikuwa rais wa Afrika Kusini. Watu wapya waliisimamia nchi na sheria zisizo za haki zilizikwa kwenye kaburi la sahau. Hatimaye, nilikwenda nyumbani nikiwa na matumaini mapya moyoni mwangu. Baada ya hapo niliweza kuimba katika nchi huru, yenye haki. Watu wenye rangi tofauti za ngozi wangeweza kufurahia muziki pamoja. Nilisaidia kufanikisha hii kwa sababu nilikuwa shujaa na mwenye nguvu. Niliimba ukweli katika nyimbo zangu zote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Author - Jade Mathieson Translation - Ursula Nafula Illustration - Louwrisa Blaauw Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Louwrisa Blaauw, Jade Mathieson, Bianca De Jong, and Bookdash.org 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Mirriam alipokuwa msichana mdogo alipenda nini
{ "text": [ "Kuimba" ] }
2134_swa
Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Hapo zamani, katika jiji kubwa la Johannesburg, mtoto msichana alizaliwa. Mtoto huyo alikuwa mimi. Mama yangu alinitaja Miriam. Miriam Makeba. Mama alikuwa mganga wa kienyeji, lakini pia aliwasafishia watu wengine nyumba zao. Ilikuwa vigumu kwa mama kupata pesa za kututosha sisi wawili. Alianza kuuza pombe ya kienyeji ili kupata pesa zaidi. Sheria za nchi hiyo zilisema kwamba kuuza pombe ya kienyeji ilikuwa mbaya. Polisi walimpeleka mama jela kwa muda wa miezi sita. Nilikuwa na umri wa siku 18 tu, na nilimhitaji mama yangu. Kwa hivyo ingawa nilikuwa mtoto mchanga, nilienda gerezani pia. Nikiwa msichana mdogo nilipenda kuimba. Nilipokua mkubwa, nilimsaidia mama kusafisha nyumba. Nilipoimba nikifanya kazi, kazi ilikwenda haraka na siku zilionekana kung'aa. Kuimba kulinifurahisha kuliko ninavyoweza kuelezea. Niliimba kanisani na hii ilifurahisha wengine pia. Muziki una uwezo wa kuwaleta watu pamoja. Tulipokuwa tukiimba, tulikuwa jasiri na wenye nguvu. Watu walisema sauti yangu ilikuwa zawadi na nyimbo zangu zilikuwa za kipekee. Niliimba na wanamuziki wengine na muziki wetu ulisikika ulimwenguni kote. Nyumbani ilikuwa Sophiatown, mahali pa utamaduni na muziki. Sophiatown, mahali ambapo watu wa Afrika Kusini wangeweza kutunga muziki kwa maelewano na kucheza pamoja. Lakini watu ambao walitawala nchi wakati huo hawakupenda umoja huu. Watawala hao hawakutaka watu weusi na weupe kuwa marafiki. Nilijua ilikuwa makosa kuwatendea watu tofauti kwa sababu ya rangi ya ngozi yao. Sikuficha imani yangu, na kwa hivyo wale watu waliotawala walinitaka niondoke nchini. Wakati nilikuwa nikiimba huko Amerika, niliambiwa singeweza kurudi nyumbani. Watu kote ulimwenguni walisikia hadithi yangu. Nyimbo zangu na hadithi yangu ilisaidia wengi kuona jinsi hakukuwa na haki huko Afrika Kusini kwa wale waliokuwa na ngozi nyeusi. Niliamua kuendelea kuimba na kueleza ukweli kuhusu nchi yangu, bila kujali matokeo yake. Ulimwengu uliupenda muziki wangu na nilikaribishwa katika nchi nyingi. Nilishinda tuzo na kuwaimbia watu mashuhuri ulimwenguni kote. Maisha yangu yalikuwa mazuri, lakini kulikuwa na upungufu fulani. Sikuweza kuimba katika nchi yangu, na watu huko hawakuwa huru. Halafu siku nzuri ilifika wakati Nelson Mandela alikuwa rais wa Afrika Kusini. Watu wapya waliisimamia nchi na sheria zisizo za haki zilizikwa kwenye kaburi la sahau. Hatimaye, nilikwenda nyumbani nikiwa na matumaini mapya moyoni mwangu. Baada ya hapo niliweza kuimba katika nchi huru, yenye haki. Watu wenye rangi tofauti za ngozi wangeweza kufurahia muziki pamoja. Nilisaidia kufanikisha hii kwa sababu nilikuwa shujaa na mwenye nguvu. Niliimba ukweli katika nyimbo zangu zote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuimba ukweli: Hadithi ya Miriam Makeba Author - Jade Mathieson Translation - Ursula Nafula Illustration - Louwrisa Blaauw Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Louwrisa Blaauw, Jade Mathieson, Bianca De Jong, and Bookdash.org 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Nyimbo za Mirriam zilisaidia na nini
{ "text": [ "Hakukuwa na haki ya watu wa ngozi nyeusi" ] }
2135_swa
Kuhesabu Kabichi Mama Koki amekuwa akichuma kabichi wiki nzima. Dona, Maya na Duki humsaidia Mama Koki katika bustani yake kila Jumamosi asubuhi. Leo watoto hawa watahesabu na kupakia kabichi. Baba Koki atayapeleka masanduku yaliyojaa kabichi sokoni kuuza. Teksi iliwafikisha watoto kwenye Wakati huo, Baba Koki alirejea lango la bustani. Waliliona rundo nyumbani kutoka sokoni. Gari lilikuwa kubwa la kabichi karibu na gari la tupu naye alikuwa akitabasamu. Baba Koki. "Niliuza kabichi zote. Sasa ninaweza "Salala! Kabichi nyingi kweli!" Maya kurekebisha zizi la nguruwe. Nitaweza alishangaa. "Bila shaka kuna kabichi pia kuwanunulia ule mpira wa miguu elfu moja hapo!" Duki alicheka. mliotaka." "La! Hasha! Pengine ni mia mbili tu!" Watoto walishangilia, "Yee!" Dona alipinga. "Hebu tuyakate matofaa mawili Mama Koki alikuwa amewasubiri yaliyobaki ili tugawane kati yetu," langoni. "Hamjambo, nimefurahi Duki aliwaambia. kuwaona!" Aliwasalimu watoto. "Kila mmoja wetu atapata vipande "Hebu tuanze kazi. Mtahesabu na vingapi vya tofaa?" Maya aliuliza. kuweka kabichi kumi na mbili katika kila sanduku. Nina masanduku 20. "Ninajua jibu!" Dona alitabasamu. Wawili kati yenu watapakia kwenye masanduku 7 kila mmoja. Aliyebaki, atapakia kwenye masanduku 6." Watoto walilitazama lile rundo la Waligawana matofaa sawasawa kabichi. Wakajadili njia tofauti za yakabaki matofaa mawili. kuzihesabu kabichi hizo. Watoto waliyaweka matofaa yao "Mimi nitahesabu zangu mbili mbili," mikobani ili waende nayo nyumbani Maya akasema. kwao. "Ninapenda kuhesabu nne nne. Ni haraka," Duki akajibu. "Mimi nitazihesabu tatu tatu ili niwe tofauti nanyi!" Dona akawajibu. Kwanza, watoto walihesabu matofaa Watoto walijaza masanduku yote 20. mawili mawili. Walihesabu: 2, 4, 6, 8, "Kazi nzuri!" Mama Koki 10, 12, 14, 16, na tofaa moja likabaki. aliwapongeza. "Tazama, kabichi Yote pamoja, yalikuwa matofaa 17. zimezalia. Nguruwe wangu wanazipenda. Hebu tuwagawie," Mama Koki aliamua. "Mlipakia jumla ya kabichi ngapi katika masanduku yote? Ni kabichi ngapi zilizalia?" aliwauliza watoto. Waliandika bei kwenye kila sanduku. "Hebu tuone ikiwa mlikisia sawa! Halafu, wakamsaidia Baba Koki Nimewatayarishia nini leo?" Mama kuyapakia kwenye gari. Koki aliyaweka matofaa mezani. "Nilikisia sawa!" Duki alisema kwa Waliweka nusu ya masanduku furaha. upande mmoja. Na nusu nyingine upande wa pili ili uzito ulingane. Mama Koki aliwaambia watoto, "Kumbukeni sharti! Gawanya sawa ili kila mmoja apate haki yake. Hakuna anayepata zaidi wala kidogo kuliko mwingine!" Aliingia ndani kuwaletea alichokuwa "Karibu tukamilishe kazi!" Baba Koki amewaandalia. Watoto walisubiri kwa alisema. "Hebu tuone ni masanduku uvumilivu huku wakikisia mangapi tunahitaji kuweka kila atakacholeta. upande." Aliporejea, waliona mifuko ya aproni yake ikiwa imejaa! Muda mfupi baadaye, masanduku Nyumbani, Mama Koki na watoto yote 20 yalikuwa yamepakiwa kwenye walinyunyizia mimea maji na gari. Baba Koki aliondoka kwenda kukusanya majani. Kufikia saa sita, sokoni. wote walikuwa wamechoka. Aliwaza, "Nikifaulu kuuza masanduku Mama Koki aliwaambia, "Ni wakati yote, nitapata pesa za kutosha. wa karamu yenu. Je, mnajua Nitaweza kuwashangaza watoto kwa nilichowaandalia leo?" kurekebisha zizi la nguruwe!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuhesabu Kabichi Author - Penelope Smith Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama Koki amekuwa akichuma nini
{ "text": [ "kabichi" ] }
2135_swa
Kuhesabu Kabichi Mama Koki amekuwa akichuma kabichi wiki nzima. Dona, Maya na Duki humsaidia Mama Koki katika bustani yake kila Jumamosi asubuhi. Leo watoto hawa watahesabu na kupakia kabichi. Baba Koki atayapeleka masanduku yaliyojaa kabichi sokoni kuuza. Teksi iliwafikisha watoto kwenye Wakati huo, Baba Koki alirejea lango la bustani. Waliliona rundo nyumbani kutoka sokoni. Gari lilikuwa kubwa la kabichi karibu na gari la tupu naye alikuwa akitabasamu. Baba Koki. "Niliuza kabichi zote. Sasa ninaweza "Salala! Kabichi nyingi kweli!" Maya kurekebisha zizi la nguruwe. Nitaweza alishangaa. "Bila shaka kuna kabichi pia kuwanunulia ule mpira wa miguu elfu moja hapo!" Duki alicheka. mliotaka." "La! Hasha! Pengine ni mia mbili tu!" Watoto walishangilia, "Yee!" Dona alipinga. "Hebu tuyakate matofaa mawili Mama Koki alikuwa amewasubiri yaliyobaki ili tugawane kati yetu," langoni. "Hamjambo, nimefurahi Duki aliwaambia. kuwaona!" Aliwasalimu watoto. "Kila mmoja wetu atapata vipande "Hebu tuanze kazi. Mtahesabu na vingapi vya tofaa?" Maya aliuliza. kuweka kabichi kumi na mbili katika kila sanduku. Nina masanduku 20. "Ninajua jibu!" Dona alitabasamu. Wawili kati yenu watapakia kwenye masanduku 7 kila mmoja. Aliyebaki, atapakia kwenye masanduku 6." Watoto walilitazama lile rundo la Waligawana matofaa sawasawa kabichi. Wakajadili njia tofauti za yakabaki matofaa mawili. kuzihesabu kabichi hizo. Watoto waliyaweka matofaa yao "Mimi nitahesabu zangu mbili mbili," mikobani ili waende nayo nyumbani Maya akasema. kwao. "Ninapenda kuhesabu nne nne. Ni haraka," Duki akajibu. "Mimi nitazihesabu tatu tatu ili niwe tofauti nanyi!" Dona akawajibu. Kwanza, watoto walihesabu matofaa Watoto walijaza masanduku yote 20. mawili mawili. Walihesabu: 2, 4, 6, 8, "Kazi nzuri!" Mama Koki 10, 12, 14, 16, na tofaa moja likabaki. aliwapongeza. "Tazama, kabichi Yote pamoja, yalikuwa matofaa 17. zimezalia. Nguruwe wangu wanazipenda. Hebu tuwagawie," Mama Koki aliamua. "Mlipakia jumla ya kabichi ngapi katika masanduku yote? Ni kabichi ngapi zilizalia?" aliwauliza watoto. Waliandika bei kwenye kila sanduku. "Hebu tuone ikiwa mlikisia sawa! Halafu, wakamsaidia Baba Koki Nimewatayarishia nini leo?" Mama kuyapakia kwenye gari. Koki aliyaweka matofaa mezani. "Nilikisia sawa!" Duki alisema kwa Waliweka nusu ya masanduku furaha. upande mmoja. Na nusu nyingine upande wa pili ili uzito ulingane. Mama Koki aliwaambia watoto, "Kumbukeni sharti! Gawanya sawa ili kila mmoja apate haki yake. Hakuna anayepata zaidi wala kidogo kuliko mwingine!" Aliingia ndani kuwaletea alichokuwa "Karibu tukamilishe kazi!" Baba Koki amewaandalia. Watoto walisubiri kwa alisema. "Hebu tuone ni masanduku uvumilivu huku wakikisia mangapi tunahitaji kuweka kila atakacholeta. upande." Aliporejea, waliona mifuko ya aproni yake ikiwa imejaa! Muda mfupi baadaye, masanduku Nyumbani, Mama Koki na watoto yote 20 yalikuwa yamepakiwa kwenye walinyunyizia mimea maji na gari. Baba Koki aliondoka kwenda kukusanya majani. Kufikia saa sita, sokoni. wote walikuwa wamechoka. Aliwaza, "Nikifaulu kuuza masanduku Mama Koki aliwaambia, "Ni wakati yote, nitapata pesa za kutosha. wa karamu yenu. Je, mnajua Nitaweza kuwashangaza watoto kwa nilichowaandalia leo?" kurekebisha zizi la nguruwe!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuhesabu Kabichi Author - Penelope Smith Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Dona, Maya na Duki humsaidia mama Koki lini
{ "text": [ "Jumamosi asubuhi" ] }
2135_swa
Kuhesabu Kabichi Mama Koki amekuwa akichuma kabichi wiki nzima. Dona, Maya na Duki humsaidia Mama Koki katika bustani yake kila Jumamosi asubuhi. Leo watoto hawa watahesabu na kupakia kabichi. Baba Koki atayapeleka masanduku yaliyojaa kabichi sokoni kuuza. Teksi iliwafikisha watoto kwenye Wakati huo, Baba Koki alirejea lango la bustani. Waliliona rundo nyumbani kutoka sokoni. Gari lilikuwa kubwa la kabichi karibu na gari la tupu naye alikuwa akitabasamu. Baba Koki. "Niliuza kabichi zote. Sasa ninaweza "Salala! Kabichi nyingi kweli!" Maya kurekebisha zizi la nguruwe. Nitaweza alishangaa. "Bila shaka kuna kabichi pia kuwanunulia ule mpira wa miguu elfu moja hapo!" Duki alicheka. mliotaka." "La! Hasha! Pengine ni mia mbili tu!" Watoto walishangilia, "Yee!" Dona alipinga. "Hebu tuyakate matofaa mawili Mama Koki alikuwa amewasubiri yaliyobaki ili tugawane kati yetu," langoni. "Hamjambo, nimefurahi Duki aliwaambia. kuwaona!" Aliwasalimu watoto. "Kila mmoja wetu atapata vipande "Hebu tuanze kazi. Mtahesabu na vingapi vya tofaa?" Maya aliuliza. kuweka kabichi kumi na mbili katika kila sanduku. Nina masanduku 20. "Ninajua jibu!" Dona alitabasamu. Wawili kati yenu watapakia kwenye masanduku 7 kila mmoja. Aliyebaki, atapakia kwenye masanduku 6." Watoto walilitazama lile rundo la Waligawana matofaa sawasawa kabichi. Wakajadili njia tofauti za yakabaki matofaa mawili. kuzihesabu kabichi hizo. Watoto waliyaweka matofaa yao "Mimi nitahesabu zangu mbili mbili," mikobani ili waende nayo nyumbani Maya akasema. kwao. "Ninapenda kuhesabu nne nne. Ni haraka," Duki akajibu. "Mimi nitazihesabu tatu tatu ili niwe tofauti nanyi!" Dona akawajibu. Kwanza, watoto walihesabu matofaa Watoto walijaza masanduku yote 20. mawili mawili. Walihesabu: 2, 4, 6, 8, "Kazi nzuri!" Mama Koki 10, 12, 14, 16, na tofaa moja likabaki. aliwapongeza. "Tazama, kabichi Yote pamoja, yalikuwa matofaa 17. zimezalia. Nguruwe wangu wanazipenda. Hebu tuwagawie," Mama Koki aliamua. "Mlipakia jumla ya kabichi ngapi katika masanduku yote? Ni kabichi ngapi zilizalia?" aliwauliza watoto. Waliandika bei kwenye kila sanduku. "Hebu tuone ikiwa mlikisia sawa! Halafu, wakamsaidia Baba Koki Nimewatayarishia nini leo?" Mama kuyapakia kwenye gari. Koki aliyaweka matofaa mezani. "Nilikisia sawa!" Duki alisema kwa Waliweka nusu ya masanduku furaha. upande mmoja. Na nusu nyingine upande wa pili ili uzito ulingane. Mama Koki aliwaambia watoto, "Kumbukeni sharti! Gawanya sawa ili kila mmoja apate haki yake. Hakuna anayepata zaidi wala kidogo kuliko mwingine!" Aliingia ndani kuwaletea alichokuwa "Karibu tukamilishe kazi!" Baba Koki amewaandalia. Watoto walisubiri kwa alisema. "Hebu tuone ni masanduku uvumilivu huku wakikisia mangapi tunahitaji kuweka kila atakacholeta. upande." Aliporejea, waliona mifuko ya aproni yake ikiwa imejaa! Muda mfupi baadaye, masanduku Nyumbani, Mama Koki na watoto yote 20 yalikuwa yamepakiwa kwenye walinyunyizia mimea maji na gari. Baba Koki aliondoka kwenda kukusanya majani. Kufikia saa sita, sokoni. wote walikuwa wamechoka. Aliwaza, "Nikifaulu kuuza masanduku Mama Koki aliwaambia, "Ni wakati yote, nitapata pesa za kutosha. wa karamu yenu. Je, mnajua Nitaweza kuwashangaza watoto kwa nilichowaandalia leo?" kurekebisha zizi la nguruwe!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuhesabu Kabichi Author - Penelope Smith Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Yalibaki matofaa mangapi
{ "text": [ "mawili" ] }
2135_swa
Kuhesabu Kabichi Mama Koki amekuwa akichuma kabichi wiki nzima. Dona, Maya na Duki humsaidia Mama Koki katika bustani yake kila Jumamosi asubuhi. Leo watoto hawa watahesabu na kupakia kabichi. Baba Koki atayapeleka masanduku yaliyojaa kabichi sokoni kuuza. Teksi iliwafikisha watoto kwenye Wakati huo, Baba Koki alirejea lango la bustani. Waliliona rundo nyumbani kutoka sokoni. Gari lilikuwa kubwa la kabichi karibu na gari la tupu naye alikuwa akitabasamu. Baba Koki. "Niliuza kabichi zote. Sasa ninaweza "Salala! Kabichi nyingi kweli!" Maya kurekebisha zizi la nguruwe. Nitaweza alishangaa. "Bila shaka kuna kabichi pia kuwanunulia ule mpira wa miguu elfu moja hapo!" Duki alicheka. mliotaka." "La! Hasha! Pengine ni mia mbili tu!" Watoto walishangilia, "Yee!" Dona alipinga. "Hebu tuyakate matofaa mawili Mama Koki alikuwa amewasubiri yaliyobaki ili tugawane kati yetu," langoni. "Hamjambo, nimefurahi Duki aliwaambia. kuwaona!" Aliwasalimu watoto. "Kila mmoja wetu atapata vipande "Hebu tuanze kazi. Mtahesabu na vingapi vya tofaa?" Maya aliuliza. kuweka kabichi kumi na mbili katika kila sanduku. Nina masanduku 20. "Ninajua jibu!" Dona alitabasamu. Wawili kati yenu watapakia kwenye masanduku 7 kila mmoja. Aliyebaki, atapakia kwenye masanduku 6." Watoto walilitazama lile rundo la Waligawana matofaa sawasawa kabichi. Wakajadili njia tofauti za yakabaki matofaa mawili. kuzihesabu kabichi hizo. Watoto waliyaweka matofaa yao "Mimi nitahesabu zangu mbili mbili," mikobani ili waende nayo nyumbani Maya akasema. kwao. "Ninapenda kuhesabu nne nne. Ni haraka," Duki akajibu. "Mimi nitazihesabu tatu tatu ili niwe tofauti nanyi!" Dona akawajibu. Kwanza, watoto walihesabu matofaa Watoto walijaza masanduku yote 20. mawili mawili. Walihesabu: 2, 4, 6, 8, "Kazi nzuri!" Mama Koki 10, 12, 14, 16, na tofaa moja likabaki. aliwapongeza. "Tazama, kabichi Yote pamoja, yalikuwa matofaa 17. zimezalia. Nguruwe wangu wanazipenda. Hebu tuwagawie," Mama Koki aliamua. "Mlipakia jumla ya kabichi ngapi katika masanduku yote? Ni kabichi ngapi zilizalia?" aliwauliza watoto. Waliandika bei kwenye kila sanduku. "Hebu tuone ikiwa mlikisia sawa! Halafu, wakamsaidia Baba Koki Nimewatayarishia nini leo?" Mama kuyapakia kwenye gari. Koki aliyaweka matofaa mezani. "Nilikisia sawa!" Duki alisema kwa Waliweka nusu ya masanduku furaha. upande mmoja. Na nusu nyingine upande wa pili ili uzito ulingane. Mama Koki aliwaambia watoto, "Kumbukeni sharti! Gawanya sawa ili kila mmoja apate haki yake. Hakuna anayepata zaidi wala kidogo kuliko mwingine!" Aliingia ndani kuwaletea alichokuwa "Karibu tukamilishe kazi!" Baba Koki amewaandalia. Watoto walisubiri kwa alisema. "Hebu tuone ni masanduku uvumilivu huku wakikisia mangapi tunahitaji kuweka kila atakacholeta. upande." Aliporejea, waliona mifuko ya aproni yake ikiwa imejaa! Muda mfupi baadaye, masanduku Nyumbani, Mama Koki na watoto yote 20 yalikuwa yamepakiwa kwenye walinyunyizia mimea maji na gari. Baba Koki aliondoka kwenda kukusanya majani. Kufikia saa sita, sokoni. wote walikuwa wamechoka. Aliwaza, "Nikifaulu kuuza masanduku Mama Koki aliwaambia, "Ni wakati yote, nitapata pesa za kutosha. wa karamu yenu. Je, mnajua Nitaweza kuwashangaza watoto kwa nilichowaandalia leo?" kurekebisha zizi la nguruwe!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuhesabu Kabichi Author - Penelope Smith Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba Koki alikuwa na masanduku mangapi
{ "text": [ "20" ] }
2135_swa
Kuhesabu Kabichi Mama Koki amekuwa akichuma kabichi wiki nzima. Dona, Maya na Duki humsaidia Mama Koki katika bustani yake kila Jumamosi asubuhi. Leo watoto hawa watahesabu na kupakia kabichi. Baba Koki atayapeleka masanduku yaliyojaa kabichi sokoni kuuza. Teksi iliwafikisha watoto kwenye Wakati huo, Baba Koki alirejea lango la bustani. Waliliona rundo nyumbani kutoka sokoni. Gari lilikuwa kubwa la kabichi karibu na gari la tupu naye alikuwa akitabasamu. Baba Koki. "Niliuza kabichi zote. Sasa ninaweza "Salala! Kabichi nyingi kweli!" Maya kurekebisha zizi la nguruwe. Nitaweza alishangaa. "Bila shaka kuna kabichi pia kuwanunulia ule mpira wa miguu elfu moja hapo!" Duki alicheka. mliotaka." "La! Hasha! Pengine ni mia mbili tu!" Watoto walishangilia, "Yee!" Dona alipinga. "Hebu tuyakate matofaa mawili Mama Koki alikuwa amewasubiri yaliyobaki ili tugawane kati yetu," langoni. "Hamjambo, nimefurahi Duki aliwaambia. kuwaona!" Aliwasalimu watoto. "Kila mmoja wetu atapata vipande "Hebu tuanze kazi. Mtahesabu na vingapi vya tofaa?" Maya aliuliza. kuweka kabichi kumi na mbili katika kila sanduku. Nina masanduku 20. "Ninajua jibu!" Dona alitabasamu. Wawili kati yenu watapakia kwenye masanduku 7 kila mmoja. Aliyebaki, atapakia kwenye masanduku 6." Watoto walilitazama lile rundo la Waligawana matofaa sawasawa kabichi. Wakajadili njia tofauti za yakabaki matofaa mawili. kuzihesabu kabichi hizo. Watoto waliyaweka matofaa yao "Mimi nitahesabu zangu mbili mbili," mikobani ili waende nayo nyumbani Maya akasema. kwao. "Ninapenda kuhesabu nne nne. Ni haraka," Duki akajibu. "Mimi nitazihesabu tatu tatu ili niwe tofauti nanyi!" Dona akawajibu. Kwanza, watoto walihesabu matofaa Watoto walijaza masanduku yote 20. mawili mawili. Walihesabu: 2, 4, 6, 8, "Kazi nzuri!" Mama Koki 10, 12, 14, 16, na tofaa moja likabaki. aliwapongeza. "Tazama, kabichi Yote pamoja, yalikuwa matofaa 17. zimezalia. Nguruwe wangu wanazipenda. Hebu tuwagawie," Mama Koki aliamua. "Mlipakia jumla ya kabichi ngapi katika masanduku yote? Ni kabichi ngapi zilizalia?" aliwauliza watoto. Waliandika bei kwenye kila sanduku. "Hebu tuone ikiwa mlikisia sawa! Halafu, wakamsaidia Baba Koki Nimewatayarishia nini leo?" Mama kuyapakia kwenye gari. Koki aliyaweka matofaa mezani. "Nilikisia sawa!" Duki alisema kwa Waliweka nusu ya masanduku furaha. upande mmoja. Na nusu nyingine upande wa pili ili uzito ulingane. Mama Koki aliwaambia watoto, "Kumbukeni sharti! Gawanya sawa ili kila mmoja apate haki yake. Hakuna anayepata zaidi wala kidogo kuliko mwingine!" Aliingia ndani kuwaletea alichokuwa "Karibu tukamilishe kazi!" Baba Koki amewaandalia. Watoto walisubiri kwa alisema. "Hebu tuone ni masanduku uvumilivu huku wakikisia mangapi tunahitaji kuweka kila atakacholeta. upande." Aliporejea, waliona mifuko ya aproni yake ikiwa imejaa! Muda mfupi baadaye, masanduku Nyumbani, Mama Koki na watoto yote 20 yalikuwa yamepakiwa kwenye walinyunyizia mimea maji na gari. Baba Koki aliondoka kwenda kukusanya majani. Kufikia saa sita, sokoni. wote walikuwa wamechoka. Aliwaza, "Nikifaulu kuuza masanduku Mama Koki aliwaambia, "Ni wakati yote, nitapata pesa za kutosha. wa karamu yenu. Je, mnajua Nitaweza kuwashangaza watoto kwa nilichowaandalia leo?" kurekebisha zizi la nguruwe!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuhesabu Kabichi Author - Penelope Smith Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona mama Koki alitaka wagawanye sawa
{ "text": [ "ili kila mmoja apate haki yake" ] }
2137_swa
Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Kondoo aliishi jijini. Alipochoka na maisha ya jiji, aliamua kwenda kichakani. Njiani, alikutana na Fisi aliyekuwa hajala kwa siku nyingi. Kondoo alisema, "Hujambo ndugu Fisi? Hujambo ndugu Fisi?" Fisi alimjibu Kondoo, "Usinisalimu ukirudia rudia hivyo. Tenda jambo uitulize njaa niliyonayo." Kondoo aliposikia hivyo, alianza kukimbia. Alijikuta katika pango la Simba huku akifuatwa na Fisi. Fisi alifika pangoni huku akimrushia Simba vumbi machoni. Simba alimwambia Fisi, "Kwani hatuwezi hata kupata amani pangoni kwetu? Unaturushia vumbi machoni mwetu!" Fisi alijibu, "Samahani Mfalme, sikukusudia kukudharau! Ninakifukuza chakula changu!" Simba alisema, "Wewe Fisi, ni chakula kwangu pia. Je, nilikufukuza? Ulikuja wewe mwenyewe. Usinilaumu baadaye." Simba akamwuliza Kondoo, "Mbona ulikuja kichakani?" Kondoo akajibu, "Nilikuja kwa sababu mimi ni mwaguzi." Simba akasema, "Zitayarishe dawa za kienyeji unihakikishie kwamba wewe ni mwaguzi kweli." Kondoo akajibu, "Dawa zangu ni ghali mno." Simba akasema, "Hiyo si shida. Hakuna jambo nisiloweza kufanya." Kondoo akasema, "Sikio la Fisi ndilo dawa." Simba akalikata sikio la Fisi na kumpatia Kondoo. Kondoo akaliweka sikio hilo ndani ya chupa iliyokuwa na asali. Kisha akampatia Simba. Simba alipolila lile sikio, lilikuwa tamu sana. Akamwuliza Kondoo, "Inawezekana kulipata sikio la pili?" Kondoo akasema, "Ndiyo, inawezekana mfalme wangu." Kwa hivyo, Simba alilikata sikio la Fisi la pili akampatia Kondoo. Kondoo akaliweka tena ndani ya chupa iliyokuwa na asali kisha akampatia Simba. Simba akamwuliza Kondoo, "Je, inawezekana kuipata ngozi?" Kondoo akajibu, "Nadhani inawezekana mfalme wangu." Fisi aliposikia hivyo, aliogopa kufa. Alitoroka huku akifukuzwa na Simba. "Ikiwa hivyo ndivyo maisha yalivyo kichakani, heri nirudi nyumbani," Kondoo alisema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Author - Mohammed Alhaji Modu Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kondoo aliishi wapi
{ "text": [ "jijini" ] }
2137_swa
Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Kondoo aliishi jijini. Alipochoka na maisha ya jiji, aliamua kwenda kichakani. Njiani, alikutana na Fisi aliyekuwa hajala kwa siku nyingi. Kondoo alisema, "Hujambo ndugu Fisi? Hujambo ndugu Fisi?" Fisi alimjibu Kondoo, "Usinisalimu ukirudia rudia hivyo. Tenda jambo uitulize njaa niliyonayo." Kondoo aliposikia hivyo, alianza kukimbia. Alijikuta katika pango la Simba huku akifuatwa na Fisi. Fisi alifika pangoni huku akimrushia Simba vumbi machoni. Simba alimwambia Fisi, "Kwani hatuwezi hata kupata amani pangoni kwetu? Unaturushia vumbi machoni mwetu!" Fisi alijibu, "Samahani Mfalme, sikukusudia kukudharau! Ninakifukuza chakula changu!" Simba alisema, "Wewe Fisi, ni chakula kwangu pia. Je, nilikufukuza? Ulikuja wewe mwenyewe. Usinilaumu baadaye." Simba akamwuliza Kondoo, "Mbona ulikuja kichakani?" Kondoo akajibu, "Nilikuja kwa sababu mimi ni mwaguzi." Simba akasema, "Zitayarishe dawa za kienyeji unihakikishie kwamba wewe ni mwaguzi kweli." Kondoo akajibu, "Dawa zangu ni ghali mno." Simba akasema, "Hiyo si shida. Hakuna jambo nisiloweza kufanya." Kondoo akasema, "Sikio la Fisi ndilo dawa." Simba akalikata sikio la Fisi na kumpatia Kondoo. Kondoo akaliweka sikio hilo ndani ya chupa iliyokuwa na asali. Kisha akampatia Simba. Simba alipolila lile sikio, lilikuwa tamu sana. Akamwuliza Kondoo, "Inawezekana kulipata sikio la pili?" Kondoo akasema, "Ndiyo, inawezekana mfalme wangu." Kwa hivyo, Simba alilikata sikio la Fisi la pili akampatia Kondoo. Kondoo akaliweka tena ndani ya chupa iliyokuwa na asali kisha akampatia Simba. Simba akamwuliza Kondoo, "Je, inawezekana kuipata ngozi?" Kondoo akajibu, "Nadhani inawezekana mfalme wangu." Fisi aliposikia hivyo, aliogopa kufa. Alitoroka huku akifukuzwa na Simba. "Ikiwa hivyo ndivyo maisha yalivyo kichakani, heri nirudi nyumbani," Kondoo alisema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Author - Mohammed Alhaji Modu Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Alipochoka na maisha ya jiji aliamua kwenda wapi
{ "text": [ "kichakani" ] }
2137_swa
Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Kondoo aliishi jijini. Alipochoka na maisha ya jiji, aliamua kwenda kichakani. Njiani, alikutana na Fisi aliyekuwa hajala kwa siku nyingi. Kondoo alisema, "Hujambo ndugu Fisi? Hujambo ndugu Fisi?" Fisi alimjibu Kondoo, "Usinisalimu ukirudia rudia hivyo. Tenda jambo uitulize njaa niliyonayo." Kondoo aliposikia hivyo, alianza kukimbia. Alijikuta katika pango la Simba huku akifuatwa na Fisi. Fisi alifika pangoni huku akimrushia Simba vumbi machoni. Simba alimwambia Fisi, "Kwani hatuwezi hata kupata amani pangoni kwetu? Unaturushia vumbi machoni mwetu!" Fisi alijibu, "Samahani Mfalme, sikukusudia kukudharau! Ninakifukuza chakula changu!" Simba alisema, "Wewe Fisi, ni chakula kwangu pia. Je, nilikufukuza? Ulikuja wewe mwenyewe. Usinilaumu baadaye." Simba akamwuliza Kondoo, "Mbona ulikuja kichakani?" Kondoo akajibu, "Nilikuja kwa sababu mimi ni mwaguzi." Simba akasema, "Zitayarishe dawa za kienyeji unihakikishie kwamba wewe ni mwaguzi kweli." Kondoo akajibu, "Dawa zangu ni ghali mno." Simba akasema, "Hiyo si shida. Hakuna jambo nisiloweza kufanya." Kondoo akasema, "Sikio la Fisi ndilo dawa." Simba akalikata sikio la Fisi na kumpatia Kondoo. Kondoo akaliweka sikio hilo ndani ya chupa iliyokuwa na asali. Kisha akampatia Simba. Simba alipolila lile sikio, lilikuwa tamu sana. Akamwuliza Kondoo, "Inawezekana kulipata sikio la pili?" Kondoo akasema, "Ndiyo, inawezekana mfalme wangu." Kwa hivyo, Simba alilikata sikio la Fisi la pili akampatia Kondoo. Kondoo akaliweka tena ndani ya chupa iliyokuwa na asali kisha akampatia Simba. Simba akamwuliza Kondoo, "Je, inawezekana kuipata ngozi?" Kondoo akajibu, "Nadhani inawezekana mfalme wangu." Fisi aliposikia hivyo, aliogopa kufa. Alitoroka huku akifukuzwa na Simba. "Ikiwa hivyo ndivyo maisha yalivyo kichakani, heri nirudi nyumbani," Kondoo alisema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Author - Mohammed Alhaji Modu Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kondoo alijikuta katika pango la nani
{ "text": [ "Simba" ] }
2137_swa
Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Kondoo aliishi jijini. Alipochoka na maisha ya jiji, aliamua kwenda kichakani. Njiani, alikutana na Fisi aliyekuwa hajala kwa siku nyingi. Kondoo alisema, "Hujambo ndugu Fisi? Hujambo ndugu Fisi?" Fisi alimjibu Kondoo, "Usinisalimu ukirudia rudia hivyo. Tenda jambo uitulize njaa niliyonayo." Kondoo aliposikia hivyo, alianza kukimbia. Alijikuta katika pango la Simba huku akifuatwa na Fisi. Fisi alifika pangoni huku akimrushia Simba vumbi machoni. Simba alimwambia Fisi, "Kwani hatuwezi hata kupata amani pangoni kwetu? Unaturushia vumbi machoni mwetu!" Fisi alijibu, "Samahani Mfalme, sikukusudia kukudharau! Ninakifukuza chakula changu!" Simba alisema, "Wewe Fisi, ni chakula kwangu pia. Je, nilikufukuza? Ulikuja wewe mwenyewe. Usinilaumu baadaye." Simba akamwuliza Kondoo, "Mbona ulikuja kichakani?" Kondoo akajibu, "Nilikuja kwa sababu mimi ni mwaguzi." Simba akasema, "Zitayarishe dawa za kienyeji unihakikishie kwamba wewe ni mwaguzi kweli." Kondoo akajibu, "Dawa zangu ni ghali mno." Simba akasema, "Hiyo si shida. Hakuna jambo nisiloweza kufanya." Kondoo akasema, "Sikio la Fisi ndilo dawa." Simba akalikata sikio la Fisi na kumpatia Kondoo. Kondoo akaliweka sikio hilo ndani ya chupa iliyokuwa na asali. Kisha akampatia Simba. Simba alipolila lile sikio, lilikuwa tamu sana. Akamwuliza Kondoo, "Inawezekana kulipata sikio la pili?" Kondoo akasema, "Ndiyo, inawezekana mfalme wangu." Kwa hivyo, Simba alilikata sikio la Fisi la pili akampatia Kondoo. Kondoo akaliweka tena ndani ya chupa iliyokuwa na asali kisha akampatia Simba. Simba akamwuliza Kondoo, "Je, inawezekana kuipata ngozi?" Kondoo akajibu, "Nadhani inawezekana mfalme wangu." Fisi aliposikia hivyo, aliogopa kufa. Alitoroka huku akifukuzwa na Simba. "Ikiwa hivyo ndivyo maisha yalivyo kichakani, heri nirudi nyumbani," Kondoo alisema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Author - Mohammed Alhaji Modu Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sikio la nani ndilo dawa
{ "text": [ "Fisi" ] }
2137_swa
Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Kondoo aliishi jijini. Alipochoka na maisha ya jiji, aliamua kwenda kichakani. Njiani, alikutana na Fisi aliyekuwa hajala kwa siku nyingi. Kondoo alisema, "Hujambo ndugu Fisi? Hujambo ndugu Fisi?" Fisi alimjibu Kondoo, "Usinisalimu ukirudia rudia hivyo. Tenda jambo uitulize njaa niliyonayo." Kondoo aliposikia hivyo, alianza kukimbia. Alijikuta katika pango la Simba huku akifuatwa na Fisi. Fisi alifika pangoni huku akimrushia Simba vumbi machoni. Simba alimwambia Fisi, "Kwani hatuwezi hata kupata amani pangoni kwetu? Unaturushia vumbi machoni mwetu!" Fisi alijibu, "Samahani Mfalme, sikukusudia kukudharau! Ninakifukuza chakula changu!" Simba alisema, "Wewe Fisi, ni chakula kwangu pia. Je, nilikufukuza? Ulikuja wewe mwenyewe. Usinilaumu baadaye." Simba akamwuliza Kondoo, "Mbona ulikuja kichakani?" Kondoo akajibu, "Nilikuja kwa sababu mimi ni mwaguzi." Simba akasema, "Zitayarishe dawa za kienyeji unihakikishie kwamba wewe ni mwaguzi kweli." Kondoo akajibu, "Dawa zangu ni ghali mno." Simba akasema, "Hiyo si shida. Hakuna jambo nisiloweza kufanya." Kondoo akasema, "Sikio la Fisi ndilo dawa." Simba akalikata sikio la Fisi na kumpatia Kondoo. Kondoo akaliweka sikio hilo ndani ya chupa iliyokuwa na asali. Kisha akampatia Simba. Simba alipolila lile sikio, lilikuwa tamu sana. Akamwuliza Kondoo, "Inawezekana kulipata sikio la pili?" Kondoo akasema, "Ndiyo, inawezekana mfalme wangu." Kwa hivyo, Simba alilikata sikio la Fisi la pili akampatia Kondoo. Kondoo akaliweka tena ndani ya chupa iliyokuwa na asali kisha akampatia Simba. Simba akamwuliza Kondoo, "Je, inawezekana kuipata ngozi?" Kondoo akajibu, "Nadhani inawezekana mfalme wangu." Fisi aliposikia hivyo, aliogopa kufa. Alitoroka huku akifukuzwa na Simba. "Ikiwa hivyo ndivyo maisha yalivyo kichakani, heri nirudi nyumbani," Kondoo alisema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kondoo aliyechoka na maisha ya jijini Author - Mohammed Alhaji Modu Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini kondoo aliamua kwenda kichakani
{ "text": [ "kwa sababu alichoka na maisha ya jiji" ] }
2138_swa
Kuku amfanyia Tai hila Hapo zamani, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Siku moja, Tai alimkuta Kuku akiwa anapumzika chini ya mti. Alikuwa amesimamia mguu mmoja pekee. Tai alimwuliza Kuku, "Mguu wako mwingine uko wapi?" Kuku alimweleza Tai, "Mwenye duka aliukata na badala yake akanipatia vitu hivi." Tai alimwuliza Kuku ikiwa yeye pia angeweza kufanya hivyo. Vilevile alitaka mfuko uliojaa vitu. Kuku alikubali. Tai alimwendea mwenye duka akitaka aukate mguu wake mmoja na badala yake ampatie vitu vitamu. Mwenye duka alikubali akafanya hivyo. Tai aliruka ruka kwa mguu mmoja akielekea nyumbani. Hata hivyo, alivifurahia vitu alivopewa na mwenye duka. Tai alipofika nyumbani, alimkuta Kuku akiwa na miguu yake miwili. Tai alikasirika sana akaanza kumfukuza Kuku. Lakini hakuweza kumshika. Hiyo ndiyo sababu Tai huwashambulia vifaranga wa Kuku kila mara. Anapomshika mmoja, yeye humla. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku amfanyia Tai hila Author - Nathan Higenyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tai alimkuta kuku akipumzika chini ya nini
{ "text": [ "mti" ] }
2138_swa
Kuku amfanyia Tai hila Hapo zamani, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Siku moja, Tai alimkuta Kuku akiwa anapumzika chini ya mti. Alikuwa amesimamia mguu mmoja pekee. Tai alimwuliza Kuku, "Mguu wako mwingine uko wapi?" Kuku alimweleza Tai, "Mwenye duka aliukata na badala yake akanipatia vitu hivi." Tai alimwuliza Kuku ikiwa yeye pia angeweza kufanya hivyo. Vilevile alitaka mfuko uliojaa vitu. Kuku alikubali. Tai alimwendea mwenye duka akitaka aukate mguu wake mmoja na badala yake ampatie vitu vitamu. Mwenye duka alikubali akafanya hivyo. Tai aliruka ruka kwa mguu mmoja akielekea nyumbani. Hata hivyo, alivifurahia vitu alivopewa na mwenye duka. Tai alipofika nyumbani, alimkuta Kuku akiwa na miguu yake miwili. Tai alikasirika sana akaanza kumfukuza Kuku. Lakini hakuweza kumshika. Hiyo ndiyo sababu Tai huwashambulia vifaranga wa Kuku kila mara. Anapomshika mmoja, yeye humla. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku amfanyia Tai hila Author - Nathan Higenyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tai alivifurahia vitu alivyopewa na nani
{ "text": [ "mwenye duka" ] }
2138_swa
Kuku amfanyia Tai hila Hapo zamani, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Siku moja, Tai alimkuta Kuku akiwa anapumzika chini ya mti. Alikuwa amesimamia mguu mmoja pekee. Tai alimwuliza Kuku, "Mguu wako mwingine uko wapi?" Kuku alimweleza Tai, "Mwenye duka aliukata na badala yake akanipatia vitu hivi." Tai alimwuliza Kuku ikiwa yeye pia angeweza kufanya hivyo. Vilevile alitaka mfuko uliojaa vitu. Kuku alikubali. Tai alimwendea mwenye duka akitaka aukate mguu wake mmoja na badala yake ampatie vitu vitamu. Mwenye duka alikubali akafanya hivyo. Tai aliruka ruka kwa mguu mmoja akielekea nyumbani. Hata hivyo, alivifurahia vitu alivopewa na mwenye duka. Tai alipofika nyumbani, alimkuta Kuku akiwa na miguu yake miwili. Tai alikasirika sana akaanza kumfukuza Kuku. Lakini hakuweza kumshika. Hiyo ndiyo sababu Tai huwashambulia vifaranga wa Kuku kila mara. Anapomshika mmoja, yeye humla. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku amfanyia Tai hila Author - Nathan Higenyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tai alikasirika sana na akaanza kufanya nini
{ "text": [ "kumfukuza kuku" ] }
2138_swa
Kuku amfanyia Tai hila Hapo zamani, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Siku moja, Tai alimkuta Kuku akiwa anapumzika chini ya mti. Alikuwa amesimamia mguu mmoja pekee. Tai alimwuliza Kuku, "Mguu wako mwingine uko wapi?" Kuku alimweleza Tai, "Mwenye duka aliukata na badala yake akanipatia vitu hivi." Tai alimwuliza Kuku ikiwa yeye pia angeweza kufanya hivyo. Vilevile alitaka mfuko uliojaa vitu. Kuku alikubali. Tai alimwendea mwenye duka akitaka aukate mguu wake mmoja na badala yake ampatie vitu vitamu. Mwenye duka alikubali akafanya hivyo. Tai aliruka ruka kwa mguu mmoja akielekea nyumbani. Hata hivyo, alivifurahia vitu alivopewa na mwenye duka. Tai alipofika nyumbani, alimkuta Kuku akiwa na miguu yake miwili. Tai alikasirika sana akaanza kumfukuza Kuku. Lakini hakuweza kumshika. Hiyo ndiyo sababu Tai huwashambulia vifaranga wa Kuku kila mara. Anapomshika mmoja, yeye humla. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku amfanyia Tai hila Author - Nathan Higenyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tai aliruka ruka kwa mguu mmoja akielekea wapi
{ "text": [ "nyumbani" ] }
2138_swa
Kuku amfanyia Tai hila Hapo zamani, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Siku moja, Tai alimkuta Kuku akiwa anapumzika chini ya mti. Alikuwa amesimamia mguu mmoja pekee. Tai alimwuliza Kuku, "Mguu wako mwingine uko wapi?" Kuku alimweleza Tai, "Mwenye duka aliukata na badala yake akanipatia vitu hivi." Tai alimwuliza Kuku ikiwa yeye pia angeweza kufanya hivyo. Vilevile alitaka mfuko uliojaa vitu. Kuku alikubali. Tai alimwendea mwenye duka akitaka aukate mguu wake mmoja na badala yake ampatie vitu vitamu. Mwenye duka alikubali akafanya hivyo. Tai aliruka ruka kwa mguu mmoja akielekea nyumbani. Hata hivyo, alivifurahia vitu alivopewa na mwenye duka. Tai alipofika nyumbani, alimkuta Kuku akiwa na miguu yake miwili. Tai alikasirika sana akaanza kumfukuza Kuku. Lakini hakuweza kumshika. Hiyo ndiyo sababu Tai huwashambulia vifaranga wa Kuku kila mara. Anapomshika mmoja, yeye humla. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuku amfanyia Tai hila Author - Nathan Higenyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Tai alimwendea mwenye duka
{ "text": [ "ili aukate mguu wake" ] }
2141_swa
Kiumbe cha ajabu Familia ya Zina ilikuwa yenye furaha. Binti wao wawili walijifunza kutoka kwa mama yao jinsi ya kupika na kutunza bustani. Kila walipokula chakula cha jioni, waliongea kuhusu waliyotenda siku hiyo. Baba aliwaonya wanawe kutoingia msituni kabisa. Aliwaambia kuhusu kiumbe cha ajabu kilichoishi katika msitu huo. Alisema, "Kiumbe hicho ni kama sisi wawili pamoja!" Siku moja, wasichana wale walikuwa wakicheza karibu na mto. Waliuzunguka mti, na ghafla, walikabiliana na kiumbe cha ajabu! Kiumbe hicho kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Wakitetemeka kwa woga, walikimbia kuwaeleza ndugu zao walichokuwa wameona. Hata hivyo, wavulana hao hawakuwaamini, "Ni upuzi wa wasichana tu!" walisema. Mwishowe, hamu iliwazidi. Wavulana hao waliwafuata dada zao wakaelekea mtoni ili kujionea wenyewe kiumbe hicho cha ajabu. Walitafuta na kutafuta lakini waliona nyasi ndefu na miti peke yake. Waliposikia kelele, walitazama juu. Juu ya mti waliona kiumbe cha ajabu wasichokuwa wameona tangu. Kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Kila sehemu ya mwili ilikuwa mbili mbili kinyume na wao waliokuwa na moja. Watoto hao waliogopa, wakakimbia kuwaambia wazazi wao. Muda mfupi baadaye, familia ya Zina nzima ilikuwa pale mtoni kukichunguza kiumbe hicho cha ajabu. "Msiniumize!" Kiumbe hicho kilisema, huku kikijificha nyuma ya mti. Wakati huo, familia ya Zina iliweza kuona mguu mmoja, kiganja kimoja, mkono mmoja na jicho moja pekee. "Mimi ni kama ninyi tu," kiumbe hicho kiliendelea kusema. "Tofauti kati yangu nanyi ni kwamba kila sehemu ya mwili wangu iliumbwa mbili mbili." Hivyo ndivyo familia ya Zina iligundua kwamba kiumbe hicho hakikuwa cha kuogopwa. Ilikuwa tu hali iliyokuwa tofauti na yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiumbe cha ajabu Author - Mlungisi Madlala and Ntombikayise Ngidi Translation - Ursula Nafula Illustration - Tawanda Mhand Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni familia ya nani iliyokuwa na furaha
{ "text": [ "Zena" ] }
2141_swa
Kiumbe cha ajabu Familia ya Zina ilikuwa yenye furaha. Binti wao wawili walijifunza kutoka kwa mama yao jinsi ya kupika na kutunza bustani. Kila walipokula chakula cha jioni, waliongea kuhusu waliyotenda siku hiyo. Baba aliwaonya wanawe kutoingia msituni kabisa. Aliwaambia kuhusu kiumbe cha ajabu kilichoishi katika msitu huo. Alisema, "Kiumbe hicho ni kama sisi wawili pamoja!" Siku moja, wasichana wale walikuwa wakicheza karibu na mto. Waliuzunguka mti, na ghafla, walikabiliana na kiumbe cha ajabu! Kiumbe hicho kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Wakitetemeka kwa woga, walikimbia kuwaeleza ndugu zao walichokuwa wameona. Hata hivyo, wavulana hao hawakuwaamini, "Ni upuzi wa wasichana tu!" walisema. Mwishowe, hamu iliwazidi. Wavulana hao waliwafuata dada zao wakaelekea mtoni ili kujionea wenyewe kiumbe hicho cha ajabu. Walitafuta na kutafuta lakini waliona nyasi ndefu na miti peke yake. Waliposikia kelele, walitazama juu. Juu ya mti waliona kiumbe cha ajabu wasichokuwa wameona tangu. Kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Kila sehemu ya mwili ilikuwa mbili mbili kinyume na wao waliokuwa na moja. Watoto hao waliogopa, wakakimbia kuwaambia wazazi wao. Muda mfupi baadaye, familia ya Zina nzima ilikuwa pale mtoni kukichunguza kiumbe hicho cha ajabu. "Msiniumize!" Kiumbe hicho kilisema, huku kikijificha nyuma ya mti. Wakati huo, familia ya Zina iliweza kuona mguu mmoja, kiganja kimoja, mkono mmoja na jicho moja pekee. "Mimi ni kama ninyi tu," kiumbe hicho kiliendelea kusema. "Tofauti kati yangu nanyi ni kwamba kila sehemu ya mwili wangu iliumbwa mbili mbili." Hivyo ndivyo familia ya Zina iligundua kwamba kiumbe hicho hakikuwa cha kuogopwa. Ilikuwa tu hali iliyokuwa tofauti na yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiumbe cha ajabu Author - Mlungisi Madlala and Ntombikayise Ngidi Translation - Ursula Nafula Illustration - Tawanda Mhand Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba aliwaonya wanawe kutoingia wapi
{ "text": [ "msituni" ] }
2141_swa
Kiumbe cha ajabu Familia ya Zina ilikuwa yenye furaha. Binti wao wawili walijifunza kutoka kwa mama yao jinsi ya kupika na kutunza bustani. Kila walipokula chakula cha jioni, waliongea kuhusu waliyotenda siku hiyo. Baba aliwaonya wanawe kutoingia msituni kabisa. Aliwaambia kuhusu kiumbe cha ajabu kilichoishi katika msitu huo. Alisema, "Kiumbe hicho ni kama sisi wawili pamoja!" Siku moja, wasichana wale walikuwa wakicheza karibu na mto. Waliuzunguka mti, na ghafla, walikabiliana na kiumbe cha ajabu! Kiumbe hicho kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Wakitetemeka kwa woga, walikimbia kuwaeleza ndugu zao walichokuwa wameona. Hata hivyo, wavulana hao hawakuwaamini, "Ni upuzi wa wasichana tu!" walisema. Mwishowe, hamu iliwazidi. Wavulana hao waliwafuata dada zao wakaelekea mtoni ili kujionea wenyewe kiumbe hicho cha ajabu. Walitafuta na kutafuta lakini waliona nyasi ndefu na miti peke yake. Waliposikia kelele, walitazama juu. Juu ya mti waliona kiumbe cha ajabu wasichokuwa wameona tangu. Kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Kila sehemu ya mwili ilikuwa mbili mbili kinyume na wao waliokuwa na moja. Watoto hao waliogopa, wakakimbia kuwaambia wazazi wao. Muda mfupi baadaye, familia ya Zina nzima ilikuwa pale mtoni kukichunguza kiumbe hicho cha ajabu. "Msiniumize!" Kiumbe hicho kilisema, huku kikijificha nyuma ya mti. Wakati huo, familia ya Zina iliweza kuona mguu mmoja, kiganja kimoja, mkono mmoja na jicho moja pekee. "Mimi ni kama ninyi tu," kiumbe hicho kiliendelea kusema. "Tofauti kati yangu nanyi ni kwamba kila sehemu ya mwili wangu iliumbwa mbili mbili." Hivyo ndivyo familia ya Zina iligundua kwamba kiumbe hicho hakikuwa cha kuogopwa. Ilikuwa tu hali iliyokuwa tofauti na yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiumbe cha ajabu Author - Mlungisi Madlala and Ntombikayise Ngidi Translation - Ursula Nafula Illustration - Tawanda Mhand Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wasichana walikuwa wakicheza wapi
{ "text": [ "karibu na mto" ] }
2141_swa
Kiumbe cha ajabu Familia ya Zina ilikuwa yenye furaha. Binti wao wawili walijifunza kutoka kwa mama yao jinsi ya kupika na kutunza bustani. Kila walipokula chakula cha jioni, waliongea kuhusu waliyotenda siku hiyo. Baba aliwaonya wanawe kutoingia msituni kabisa. Aliwaambia kuhusu kiumbe cha ajabu kilichoishi katika msitu huo. Alisema, "Kiumbe hicho ni kama sisi wawili pamoja!" Siku moja, wasichana wale walikuwa wakicheza karibu na mto. Waliuzunguka mti, na ghafla, walikabiliana na kiumbe cha ajabu! Kiumbe hicho kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Wakitetemeka kwa woga, walikimbia kuwaeleza ndugu zao walichokuwa wameona. Hata hivyo, wavulana hao hawakuwaamini, "Ni upuzi wa wasichana tu!" walisema. Mwishowe, hamu iliwazidi. Wavulana hao waliwafuata dada zao wakaelekea mtoni ili kujionea wenyewe kiumbe hicho cha ajabu. Walitafuta na kutafuta lakini waliona nyasi ndefu na miti peke yake. Waliposikia kelele, walitazama juu. Juu ya mti waliona kiumbe cha ajabu wasichokuwa wameona tangu. Kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Kila sehemu ya mwili ilikuwa mbili mbili kinyume na wao waliokuwa na moja. Watoto hao waliogopa, wakakimbia kuwaambia wazazi wao. Muda mfupi baadaye, familia ya Zina nzima ilikuwa pale mtoni kukichunguza kiumbe hicho cha ajabu. "Msiniumize!" Kiumbe hicho kilisema, huku kikijificha nyuma ya mti. Wakati huo, familia ya Zina iliweza kuona mguu mmoja, kiganja kimoja, mkono mmoja na jicho moja pekee. "Mimi ni kama ninyi tu," kiumbe hicho kiliendelea kusema. "Tofauti kati yangu nanyi ni kwamba kila sehemu ya mwili wangu iliumbwa mbili mbili." Hivyo ndivyo familia ya Zina iligundua kwamba kiumbe hicho hakikuwa cha kuogopwa. Ilikuwa tu hali iliyokuwa tofauti na yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiumbe cha ajabu Author - Mlungisi Madlala and Ntombikayise Ngidi Translation - Ursula Nafula Illustration - Tawanda Mhand Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Waliona wapi kiumbe cha ajabu
{ "text": [ "juu ya mti" ] }
2141_swa
Kiumbe cha ajabu Familia ya Zina ilikuwa yenye furaha. Binti wao wawili walijifunza kutoka kwa mama yao jinsi ya kupika na kutunza bustani. Kila walipokula chakula cha jioni, waliongea kuhusu waliyotenda siku hiyo. Baba aliwaonya wanawe kutoingia msituni kabisa. Aliwaambia kuhusu kiumbe cha ajabu kilichoishi katika msitu huo. Alisema, "Kiumbe hicho ni kama sisi wawili pamoja!" Siku moja, wasichana wale walikuwa wakicheza karibu na mto. Waliuzunguka mti, na ghafla, walikabiliana na kiumbe cha ajabu! Kiumbe hicho kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Wakitetemeka kwa woga, walikimbia kuwaeleza ndugu zao walichokuwa wameona. Hata hivyo, wavulana hao hawakuwaamini, "Ni upuzi wa wasichana tu!" walisema. Mwishowe, hamu iliwazidi. Wavulana hao waliwafuata dada zao wakaelekea mtoni ili kujionea wenyewe kiumbe hicho cha ajabu. Walitafuta na kutafuta lakini waliona nyasi ndefu na miti peke yake. Waliposikia kelele, walitazama juu. Juu ya mti waliona kiumbe cha ajabu wasichokuwa wameona tangu. Kilikuwa na macho mawili, mapua mawili, viganja viwili na mikono miwili. Kila sehemu ya mwili ilikuwa mbili mbili kinyume na wao waliokuwa na moja. Watoto hao waliogopa, wakakimbia kuwaambia wazazi wao. Muda mfupi baadaye, familia ya Zina nzima ilikuwa pale mtoni kukichunguza kiumbe hicho cha ajabu. "Msiniumize!" Kiumbe hicho kilisema, huku kikijificha nyuma ya mti. Wakati huo, familia ya Zina iliweza kuona mguu mmoja, kiganja kimoja, mkono mmoja na jicho moja pekee. "Mimi ni kama ninyi tu," kiumbe hicho kiliendelea kusema. "Tofauti kati yangu nanyi ni kwamba kila sehemu ya mwili wangu iliumbwa mbili mbili." Hivyo ndivyo familia ya Zina iligundua kwamba kiumbe hicho hakikuwa cha kuogopwa. Ilikuwa tu hali iliyokuwa tofauti na yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiumbe cha ajabu Author - Mlungisi Madlala and Ntombikayise Ngidi Translation - Ursula Nafula Illustration - Tawanda Mhand Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona wavulana waliwafuata wasichana kuelekea mtoni
{ "text": [ "ili kujionea wenyewe kiumbe hicho cha ajabu" ] }
2143_swa
Kiundu mlafi Hapo kale, katika kijiji cha Katumbi, aliishi mwanamme aliyeitwa Kiundu. Alipenda sana kula nyama. Mwanawe Chifu wa Katumbi alikuwa ametimu umri wa kuoa. Chifu aliwaalika wanakijiji harusini. Kiundu alipata mwaliko wa harusi hii. Pia, alisikia kuwa kungekuwa na sherehe ya harusi katika kijiji cha Nyamani. "Aaa! Sherehe mbili kwa siku moja! Lazima nihudhurie sherehe zote mbili," Kiundu aliwaza. "Nitaenda kwanza Nyamani kisha nirudi Katumbi," akaendelea kuwaza. Kiundu alirauka mapema na kuelekea Nyamani. Alipofika Nyamani, sherehe ilikuwa haijaanza. "Nitarudi Katumbi, baadaye nirejee Nyamani," Kiundu aliamua. Kiundu alirudi Katumbi. Alitarajia angekuta nyama zikiwa tayari. Baada ya safari ndefu, alihisi njaa sana. Alipofika Katumbi, chakula kilikuwa bado hakichakuwa tayari. Kiundu akawaza, "Niliwaacha wapishi Nyamani wakijiandaa kupika. Chakula lazima kiwe tayari sasa." Kiundu aliamua kurudi Nyamani. Kiundu alipofika Nyamani, watu walikuwa tayari wamekula. Wageni walikuwa wanawatuza zawadi maarusi. Kiundu alikuwa mchoyo na hakuwa ameleta zawadi. Alitaka kula tu. Kiundu alikasirika alipokosa chakula. Mara moja, aliamua kurudi kwao Katumbi. Kwa vile alikuwa mwenye njaa na mchovu, hangeweza kutembea haraka. Alipowasili kwao Katumbi, wageni walikuwa wamemaliza kula chakula chote. Walikuwa wakiimba na kucheza kwa furaha. Alipoambiwa kuwa chakula kilikuwa kimeisha, Kiundu alikasirika sana. Lo! Kiundu alizikosa nyama kwenye sherehe zote mbili. Alitembea polepole akirudi nyumbani akiwa mwenye huzuni na njaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiundu mlafi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Caren Echesa Illustration - Alex Zablon Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kiundu aliishi katika kijiji kipi
{ "text": [ "Katumbi" ] }
2143_swa
Kiundu mlafi Hapo kale, katika kijiji cha Katumbi, aliishi mwanamme aliyeitwa Kiundu. Alipenda sana kula nyama. Mwanawe Chifu wa Katumbi alikuwa ametimu umri wa kuoa. Chifu aliwaalika wanakijiji harusini. Kiundu alipata mwaliko wa harusi hii. Pia, alisikia kuwa kungekuwa na sherehe ya harusi katika kijiji cha Nyamani. "Aaa! Sherehe mbili kwa siku moja! Lazima nihudhurie sherehe zote mbili," Kiundu aliwaza. "Nitaenda kwanza Nyamani kisha nirudi Katumbi," akaendelea kuwaza. Kiundu alirauka mapema na kuelekea Nyamani. Alipofika Nyamani, sherehe ilikuwa haijaanza. "Nitarudi Katumbi, baadaye nirejee Nyamani," Kiundu aliamua. Kiundu alirudi Katumbi. Alitarajia angekuta nyama zikiwa tayari. Baada ya safari ndefu, alihisi njaa sana. Alipofika Katumbi, chakula kilikuwa bado hakichakuwa tayari. Kiundu akawaza, "Niliwaacha wapishi Nyamani wakijiandaa kupika. Chakula lazima kiwe tayari sasa." Kiundu aliamua kurudi Nyamani. Kiundu alipofika Nyamani, watu walikuwa tayari wamekula. Wageni walikuwa wanawatuza zawadi maarusi. Kiundu alikuwa mchoyo na hakuwa ameleta zawadi. Alitaka kula tu. Kiundu alikasirika alipokosa chakula. Mara moja, aliamua kurudi kwao Katumbi. Kwa vile alikuwa mwenye njaa na mchovu, hangeweza kutembea haraka. Alipowasili kwao Katumbi, wageni walikuwa wamemaliza kula chakula chote. Walikuwa wakiimba na kucheza kwa furaha. Alipoambiwa kuwa chakula kilikuwa kimeisha, Kiundu alikasirika sana. Lo! Kiundu alizikosa nyama kwenye sherehe zote mbili. Alitembea polepole akirudi nyumbani akiwa mwenye huzuni na njaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiundu mlafi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Caren Echesa Illustration - Alex Zablon Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kiundu alipata mwaliko wa nini
{ "text": [ "Harusi" ] }
2143_swa
Kiundu mlafi Hapo kale, katika kijiji cha Katumbi, aliishi mwanamme aliyeitwa Kiundu. Alipenda sana kula nyama. Mwanawe Chifu wa Katumbi alikuwa ametimu umri wa kuoa. Chifu aliwaalika wanakijiji harusini. Kiundu alipata mwaliko wa harusi hii. Pia, alisikia kuwa kungekuwa na sherehe ya harusi katika kijiji cha Nyamani. "Aaa! Sherehe mbili kwa siku moja! Lazima nihudhurie sherehe zote mbili," Kiundu aliwaza. "Nitaenda kwanza Nyamani kisha nirudi Katumbi," akaendelea kuwaza. Kiundu alirauka mapema na kuelekea Nyamani. Alipofika Nyamani, sherehe ilikuwa haijaanza. "Nitarudi Katumbi, baadaye nirejee Nyamani," Kiundu aliamua. Kiundu alirudi Katumbi. Alitarajia angekuta nyama zikiwa tayari. Baada ya safari ndefu, alihisi njaa sana. Alipofika Katumbi, chakula kilikuwa bado hakichakuwa tayari. Kiundu akawaza, "Niliwaacha wapishi Nyamani wakijiandaa kupika. Chakula lazima kiwe tayari sasa." Kiundu aliamua kurudi Nyamani. Kiundu alipofika Nyamani, watu walikuwa tayari wamekula. Wageni walikuwa wanawatuza zawadi maarusi. Kiundu alikuwa mchoyo na hakuwa ameleta zawadi. Alitaka kula tu. Kiundu alikasirika alipokosa chakula. Mara moja, aliamua kurudi kwao Katumbi. Kwa vile alikuwa mwenye njaa na mchovu, hangeweza kutembea haraka. Alipowasili kwao Katumbi, wageni walikuwa wamemaliza kula chakula chote. Walikuwa wakiimba na kucheza kwa furaha. Alipoambiwa kuwa chakula kilikuwa kimeisha, Kiundu alikasirika sana. Lo! Kiundu alizikosa nyama kwenye sherehe zote mbili. Alitembea polepole akirudi nyumbani akiwa mwenye huzuni na njaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiundu mlafi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Caren Echesa Illustration - Alex Zablon Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kiundu alipofika wapi alipata wageni wamekula
{ "text": [ "Nyamani" ] }
2143_swa
Kiundu mlafi Hapo kale, katika kijiji cha Katumbi, aliishi mwanamme aliyeitwa Kiundu. Alipenda sana kula nyama. Mwanawe Chifu wa Katumbi alikuwa ametimu umri wa kuoa. Chifu aliwaalika wanakijiji harusini. Kiundu alipata mwaliko wa harusi hii. Pia, alisikia kuwa kungekuwa na sherehe ya harusi katika kijiji cha Nyamani. "Aaa! Sherehe mbili kwa siku moja! Lazima nihudhurie sherehe zote mbili," Kiundu aliwaza. "Nitaenda kwanza Nyamani kisha nirudi Katumbi," akaendelea kuwaza. Kiundu alirauka mapema na kuelekea Nyamani. Alipofika Nyamani, sherehe ilikuwa haijaanza. "Nitarudi Katumbi, baadaye nirejee Nyamani," Kiundu aliamua. Kiundu alirudi Katumbi. Alitarajia angekuta nyama zikiwa tayari. Baada ya safari ndefu, alihisi njaa sana. Alipofika Katumbi, chakula kilikuwa bado hakichakuwa tayari. Kiundu akawaza, "Niliwaacha wapishi Nyamani wakijiandaa kupika. Chakula lazima kiwe tayari sasa." Kiundu aliamua kurudi Nyamani. Kiundu alipofika Nyamani, watu walikuwa tayari wamekula. Wageni walikuwa wanawatuza zawadi maarusi. Kiundu alikuwa mchoyo na hakuwa ameleta zawadi. Alitaka kula tu. Kiundu alikasirika alipokosa chakula. Mara moja, aliamua kurudi kwao Katumbi. Kwa vile alikuwa mwenye njaa na mchovu, hangeweza kutembea haraka. Alipowasili kwao Katumbi, wageni walikuwa wamemaliza kula chakula chote. Walikuwa wakiimba na kucheza kwa furaha. Alipoambiwa kuwa chakula kilikuwa kimeisha, Kiundu alikasirika sana. Lo! Kiundu alizikosa nyama kwenye sherehe zote mbili. Alitembea polepole akirudi nyumbani akiwa mwenye huzuni na njaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiundu mlafi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Caren Echesa Illustration - Alex Zablon Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kiundu alifanya nini alipokosa chakula
{ "text": [ "Alikasirika" ] }
2143_swa
Kiundu mlafi Hapo kale, katika kijiji cha Katumbi, aliishi mwanamme aliyeitwa Kiundu. Alipenda sana kula nyama. Mwanawe Chifu wa Katumbi alikuwa ametimu umri wa kuoa. Chifu aliwaalika wanakijiji harusini. Kiundu alipata mwaliko wa harusi hii. Pia, alisikia kuwa kungekuwa na sherehe ya harusi katika kijiji cha Nyamani. "Aaa! Sherehe mbili kwa siku moja! Lazima nihudhurie sherehe zote mbili," Kiundu aliwaza. "Nitaenda kwanza Nyamani kisha nirudi Katumbi," akaendelea kuwaza. Kiundu alirauka mapema na kuelekea Nyamani. Alipofika Nyamani, sherehe ilikuwa haijaanza. "Nitarudi Katumbi, baadaye nirejee Nyamani," Kiundu aliamua. Kiundu alirudi Katumbi. Alitarajia angekuta nyama zikiwa tayari. Baada ya safari ndefu, alihisi njaa sana. Alipofika Katumbi, chakula kilikuwa bado hakichakuwa tayari. Kiundu akawaza, "Niliwaacha wapishi Nyamani wakijiandaa kupika. Chakula lazima kiwe tayari sasa." Kiundu aliamua kurudi Nyamani. Kiundu alipofika Nyamani, watu walikuwa tayari wamekula. Wageni walikuwa wanawatuza zawadi maarusi. Kiundu alikuwa mchoyo na hakuwa ameleta zawadi. Alitaka kula tu. Kiundu alikasirika alipokosa chakula. Mara moja, aliamua kurudi kwao Katumbi. Kwa vile alikuwa mwenye njaa na mchovu, hangeweza kutembea haraka. Alipowasili kwao Katumbi, wageni walikuwa wamemaliza kula chakula chote. Walikuwa wakiimba na kucheza kwa furaha. Alipoambiwa kuwa chakula kilikuwa kimeisha, Kiundu alikasirika sana. Lo! Kiundu alizikosa nyama kwenye sherehe zote mbili. Alitembea polepole akirudi nyumbani akiwa mwenye huzuni na njaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiundu mlafi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Caren Echesa Illustration - Alex Zablon Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Kiundu alirudi nyumbani na huzuni na njaa
{ "text": [ "Alikosa chakula Katumbi na Nyamani" ] }
2145_swa
Kima na kiangazi Hapo kale kiangazi kilienea nchi nzima. Miti ilisinyaa. Mito ilikauka. Watu na mifugo wakakosa maji na chakula. Walikonda sana. Kima wengi walioishi milimani walikufa kwa njaa. Siku moja, Kima mmoja wa kike alitaka kutafuta suluhu. Alienda kutafuta sehemu isiyo na kiangazi. Alisafiri kwa siku nyingi. Alipita vichaka, akapanda milima na kuvuka mabonde. Hatimaye, Kima huyo alifika mahali palipoitwa Tirkol. Alipata matunda aina nyingi na mto uliobubujika maji. Alifurahi sana. Kima yule alipiga kambi hapo. Alikula matunda mengi. Akanona na kumetameta. Kwa furaha, aliogelea mtoni kila siku. Baada ya muda, aliamua kurudi milimani. Alitaka kujua walionusurika na athari za kiangazi. Alibeba matunda mengi akipitia njia aliyoitumia awali. Alipofika milimani, kima walionusurika walimlaki. Kila mmoja wao aliyataka yale matunda aliyoyaleta. Walimwuliza, "Ni sehemu gani iliyo nzuri hivi? Tupeleke pia nasi." Kima aliwaelezea uzuri wa Tirkol. Akakubali kuwapeleka huko. Kima wote walihamia Tirkol. Walikula matunda, wakanywa maji, wakapumzika na wakanona. Wakaapa kutorudi milimani tena. Punde, kima wenyeji wa Tirkol waligundua kwamba kima wa milimani walikuwa wamehamia sehemu yao. Walihofia kuwa matunda hayangewatosha. Wakaamua kuwafukuza kima waliotoka milimani. Siku moja kima wa milimani walikuwa mtoni wakinywa maji. Kima wa Tirkol waliwavamia kwa mijeledi. Walitaka kuwachapa na kuwafukuza. Kabla ya vita kuanza, kima mmoja mzee aliwauliza, "Mbona mnataka kupigana? Mimi naona kuna chakula cha kututosha sote." Tangu siku hiyo, kima wa kutoka milimani na wale wa Tirkol wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima na kiangazi Author - Alice Edui Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini kilienea nchi nzima
{ "text": [ "kiangazi" ] }
2145_swa
Kima na kiangazi Hapo kale kiangazi kilienea nchi nzima. Miti ilisinyaa. Mito ilikauka. Watu na mifugo wakakosa maji na chakula. Walikonda sana. Kima wengi walioishi milimani walikufa kwa njaa. Siku moja, Kima mmoja wa kike alitaka kutafuta suluhu. Alienda kutafuta sehemu isiyo na kiangazi. Alisafiri kwa siku nyingi. Alipita vichaka, akapanda milima na kuvuka mabonde. Hatimaye, Kima huyo alifika mahali palipoitwa Tirkol. Alipata matunda aina nyingi na mto uliobubujika maji. Alifurahi sana. Kima yule alipiga kambi hapo. Alikula matunda mengi. Akanona na kumetameta. Kwa furaha, aliogelea mtoni kila siku. Baada ya muda, aliamua kurudi milimani. Alitaka kujua walionusurika na athari za kiangazi. Alibeba matunda mengi akipitia njia aliyoitumia awali. Alipofika milimani, kima walionusurika walimlaki. Kila mmoja wao aliyataka yale matunda aliyoyaleta. Walimwuliza, "Ni sehemu gani iliyo nzuri hivi? Tupeleke pia nasi." Kima aliwaelezea uzuri wa Tirkol. Akakubali kuwapeleka huko. Kima wote walihamia Tirkol. Walikula matunda, wakanywa maji, wakapumzika na wakanona. Wakaapa kutorudi milimani tena. Punde, kima wenyeji wa Tirkol waligundua kwamba kima wa milimani walikuwa wamehamia sehemu yao. Walihofia kuwa matunda hayangewatosha. Wakaamua kuwafukuza kima waliotoka milimani. Siku moja kima wa milimani walikuwa mtoni wakinywa maji. Kima wa Tirkol waliwavamia kwa mijeledi. Walitaka kuwachapa na kuwafukuza. Kabla ya vita kuanza, kima mmoja mzee aliwauliza, "Mbona mnataka kupigana? Mimi naona kuna chakula cha kututosha sote." Tangu siku hiyo, kima wa kutoka milimani na wale wa Tirkol wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima na kiangazi Author - Alice Edui Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mito ilifanyika nini
{ "text": [ "ilikauka" ] }
2145_swa
Kima na kiangazi Hapo kale kiangazi kilienea nchi nzima. Miti ilisinyaa. Mito ilikauka. Watu na mifugo wakakosa maji na chakula. Walikonda sana. Kima wengi walioishi milimani walikufa kwa njaa. Siku moja, Kima mmoja wa kike alitaka kutafuta suluhu. Alienda kutafuta sehemu isiyo na kiangazi. Alisafiri kwa siku nyingi. Alipita vichaka, akapanda milima na kuvuka mabonde. Hatimaye, Kima huyo alifika mahali palipoitwa Tirkol. Alipata matunda aina nyingi na mto uliobubujika maji. Alifurahi sana. Kima yule alipiga kambi hapo. Alikula matunda mengi. Akanona na kumetameta. Kwa furaha, aliogelea mtoni kila siku. Baada ya muda, aliamua kurudi milimani. Alitaka kujua walionusurika na athari za kiangazi. Alibeba matunda mengi akipitia njia aliyoitumia awali. Alipofika milimani, kima walionusurika walimlaki. Kila mmoja wao aliyataka yale matunda aliyoyaleta. Walimwuliza, "Ni sehemu gani iliyo nzuri hivi? Tupeleke pia nasi." Kima aliwaelezea uzuri wa Tirkol. Akakubali kuwapeleka huko. Kima wote walihamia Tirkol. Walikula matunda, wakanywa maji, wakapumzika na wakanona. Wakaapa kutorudi milimani tena. Punde, kima wenyeji wa Tirkol waligundua kwamba kima wa milimani walikuwa wamehamia sehemu yao. Walihofia kuwa matunda hayangewatosha. Wakaamua kuwafukuza kima waliotoka milimani. Siku moja kima wa milimani walikuwa mtoni wakinywa maji. Kima wa Tirkol waliwavamia kwa mijeledi. Walitaka kuwachapa na kuwafukuza. Kabla ya vita kuanza, kima mmoja mzee aliwauliza, "Mbona mnataka kupigana? Mimi naona kuna chakula cha kututosha sote." Tangu siku hiyo, kima wa kutoka milimani na wale wa Tirkol wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima na kiangazi Author - Alice Edui Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kima alipofika mlimani kima walionusurika walifanya nini
{ "text": [ "walimlaki" ] }
2145_swa
Kima na kiangazi Hapo kale kiangazi kilienea nchi nzima. Miti ilisinyaa. Mito ilikauka. Watu na mifugo wakakosa maji na chakula. Walikonda sana. Kima wengi walioishi milimani walikufa kwa njaa. Siku moja, Kima mmoja wa kike alitaka kutafuta suluhu. Alienda kutafuta sehemu isiyo na kiangazi. Alisafiri kwa siku nyingi. Alipita vichaka, akapanda milima na kuvuka mabonde. Hatimaye, Kima huyo alifika mahali palipoitwa Tirkol. Alipata matunda aina nyingi na mto uliobubujika maji. Alifurahi sana. Kima yule alipiga kambi hapo. Alikula matunda mengi. Akanona na kumetameta. Kwa furaha, aliogelea mtoni kila siku. Baada ya muda, aliamua kurudi milimani. Alitaka kujua walionusurika na athari za kiangazi. Alibeba matunda mengi akipitia njia aliyoitumia awali. Alipofika milimani, kima walionusurika walimlaki. Kila mmoja wao aliyataka yale matunda aliyoyaleta. Walimwuliza, "Ni sehemu gani iliyo nzuri hivi? Tupeleke pia nasi." Kima aliwaelezea uzuri wa Tirkol. Akakubali kuwapeleka huko. Kima wote walihamia Tirkol. Walikula matunda, wakanywa maji, wakapumzika na wakanona. Wakaapa kutorudi milimani tena. Punde, kima wenyeji wa Tirkol waligundua kwamba kima wa milimani walikuwa wamehamia sehemu yao. Walihofia kuwa matunda hayangewatosha. Wakaamua kuwafukuza kima waliotoka milimani. Siku moja kima wa milimani walikuwa mtoni wakinywa maji. Kima wa Tirkol waliwavamia kwa mijeledi. Walitaka kuwachapa na kuwafukuza. Kabla ya vita kuanza, kima mmoja mzee aliwauliza, "Mbona mnataka kupigana? Mimi naona kuna chakula cha kututosha sote." Tangu siku hiyo, kima wa kutoka milimani na wale wa Tirkol wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima na kiangazi Author - Alice Edui Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
kina nani walikuwa mtoni wakinywa maji
{ "text": [ "kima wa milimani" ] }
2145_swa
Kima na kiangazi Hapo kale kiangazi kilienea nchi nzima. Miti ilisinyaa. Mito ilikauka. Watu na mifugo wakakosa maji na chakula. Walikonda sana. Kima wengi walioishi milimani walikufa kwa njaa. Siku moja, Kima mmoja wa kike alitaka kutafuta suluhu. Alienda kutafuta sehemu isiyo na kiangazi. Alisafiri kwa siku nyingi. Alipita vichaka, akapanda milima na kuvuka mabonde. Hatimaye, Kima huyo alifika mahali palipoitwa Tirkol. Alipata matunda aina nyingi na mto uliobubujika maji. Alifurahi sana. Kima yule alipiga kambi hapo. Alikula matunda mengi. Akanona na kumetameta. Kwa furaha, aliogelea mtoni kila siku. Baada ya muda, aliamua kurudi milimani. Alitaka kujua walionusurika na athari za kiangazi. Alibeba matunda mengi akipitia njia aliyoitumia awali. Alipofika milimani, kima walionusurika walimlaki. Kila mmoja wao aliyataka yale matunda aliyoyaleta. Walimwuliza, "Ni sehemu gani iliyo nzuri hivi? Tupeleke pia nasi." Kima aliwaelezea uzuri wa Tirkol. Akakubali kuwapeleka huko. Kima wote walihamia Tirkol. Walikula matunda, wakanywa maji, wakapumzika na wakanona. Wakaapa kutorudi milimani tena. Punde, kima wenyeji wa Tirkol waligundua kwamba kima wa milimani walikuwa wamehamia sehemu yao. Walihofia kuwa matunda hayangewatosha. Wakaamua kuwafukuza kima waliotoka milimani. Siku moja kima wa milimani walikuwa mtoni wakinywa maji. Kima wa Tirkol waliwavamia kwa mijeledi. Walitaka kuwachapa na kuwafukuza. Kabla ya vita kuanza, kima mmoja mzee aliwauliza, "Mbona mnataka kupigana? Mimi naona kuna chakula cha kututosha sote." Tangu siku hiyo, kima wa kutoka milimani na wale wa Tirkol wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima na kiangazi Author - Alice Edui Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini watu na mifugo walikonda sana
{ "text": [ "kwa sababu walikosa maji na chakula" ] }
2146_swa
Kimbia Sungura, Kimbia! Sungura alikuwa amelala chini ya mti. Tofaa likaanguka kutoka mti ule. Sungura akasikia sauti ikisema, "Kimbia Sungura, kimbia!" Sungura akasema, "Kitu kilianguka nikasikia, 'Kimbia Sungura kimbia!'" Kuku alianza kukimbia aliposikia alivyosema Sungura. Wakamwambia Mbwa, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Mbwa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Mbwa akamwambia Farasi, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Farasi akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Farasi akamjibu, "Sijui." Punda pia akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akamwambia Ng'ombe, "Sungura alisikia kitu kikianguka akakimbia." Ng'ombe alikuwa na wasiwasi. Akaanza pia kukimbia pamoja nao. Ng'ombe akamwambia Paka, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Paka akaanza kukimbia na wanyama wengine. Walimkuta mvulana akawauliza, "Kwani hamjui kilichotendeka?" "Ni mimi niliyesema, "Kimbia Sungura kimbia!" Mvulana alicheka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kimbia Sungura, Kimbia! Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa maelala chini ya mti
{ "text": [ "Sungura" ] }
2146_swa
Kimbia Sungura, Kimbia! Sungura alikuwa amelala chini ya mti. Tofaa likaanguka kutoka mti ule. Sungura akasikia sauti ikisema, "Kimbia Sungura, kimbia!" Sungura akasema, "Kitu kilianguka nikasikia, 'Kimbia Sungura kimbia!'" Kuku alianza kukimbia aliposikia alivyosema Sungura. Wakamwambia Mbwa, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Mbwa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Mbwa akamwambia Farasi, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Farasi akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Farasi akamjibu, "Sijui." Punda pia akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akamwambia Ng'ombe, "Sungura alisikia kitu kikianguka akakimbia." Ng'ombe alikuwa na wasiwasi. Akaanza pia kukimbia pamoja nao. Ng'ombe akamwambia Paka, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Paka akaanza kukimbia na wanyama wengine. Walimkuta mvulana akawauliza, "Kwani hamjui kilichotendeka?" "Ni mimi niliyesema, "Kimbia Sungura kimbia!" Mvulana alicheka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kimbia Sungura, Kimbia! Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini kilianguka kutoka mti ule
{ "text": [ "Tofaa" ] }
2146_swa
Kimbia Sungura, Kimbia! Sungura alikuwa amelala chini ya mti. Tofaa likaanguka kutoka mti ule. Sungura akasikia sauti ikisema, "Kimbia Sungura, kimbia!" Sungura akasema, "Kitu kilianguka nikasikia, 'Kimbia Sungura kimbia!'" Kuku alianza kukimbia aliposikia alivyosema Sungura. Wakamwambia Mbwa, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Mbwa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Mbwa akamwambia Farasi, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Farasi akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Farasi akamjibu, "Sijui." Punda pia akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akamwambia Ng'ombe, "Sungura alisikia kitu kikianguka akakimbia." Ng'ombe alikuwa na wasiwasi. Akaanza pia kukimbia pamoja nao. Ng'ombe akamwambia Paka, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Paka akaanza kukimbia na wanyama wengine. Walimkuta mvulana akawauliza, "Kwani hamjui kilichotendeka?" "Ni mimi niliyesema, "Kimbia Sungura kimbia!" Mvulana alicheka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kimbia Sungura, Kimbia! Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kuku alianza kufanya nini
{ "text": [ "Alianza kukimbia" ] }
2146_swa
Kimbia Sungura, Kimbia! Sungura alikuwa amelala chini ya mti. Tofaa likaanguka kutoka mti ule. Sungura akasikia sauti ikisema, "Kimbia Sungura, kimbia!" Sungura akasema, "Kitu kilianguka nikasikia, 'Kimbia Sungura kimbia!'" Kuku alianza kukimbia aliposikia alivyosema Sungura. Wakamwambia Mbwa, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Mbwa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Mbwa akamwambia Farasi, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Farasi akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Farasi akamjibu, "Sijui." Punda pia akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akamwambia Ng'ombe, "Sungura alisikia kitu kikianguka akakimbia." Ng'ombe alikuwa na wasiwasi. Akaanza pia kukimbia pamoja nao. Ng'ombe akamwambia Paka, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Paka akaanza kukimbia na wanyama wengine. Walimkuta mvulana akawauliza, "Kwani hamjui kilichotendeka?" "Ni mimi niliyesema, "Kimbia Sungura kimbia!" Mvulana alicheka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kimbia Sungura, Kimbia! Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa na wasiwasi
{ "text": [ "Ng'ombe" ] }
2146_swa
Kimbia Sungura, Kimbia! Sungura alikuwa amelala chini ya mti. Tofaa likaanguka kutoka mti ule. Sungura akasikia sauti ikisema, "Kimbia Sungura, kimbia!" Sungura akasema, "Kitu kilianguka nikasikia, 'Kimbia Sungura kimbia!'" Kuku alianza kukimbia aliposikia alivyosema Sungura. Wakamwambia Mbwa, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Mbwa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Mbwa akamwambia Farasi, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Farasi akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Farasi akamjibu, "Sijui." Punda pia akaanza kukimbia pamoja nao. Punda akamwambia Ng'ombe, "Sungura alisikia kitu kikianguka akakimbia." Ng'ombe alikuwa na wasiwasi. Akaanza pia kukimbia pamoja nao. Ng'ombe akamwambia Paka, "Sungura alisikia kitu kikianguka naye akakimbia." Paka akaanza kukimbia na wanyama wengine. Walimkuta mvulana akawauliza, "Kwani hamjui kilichotendeka?" "Ni mimi niliyesema, "Kimbia Sungura kimbia!" Mvulana alicheka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kimbia Sungura, Kimbia! Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Ng'ombe alianza kukimbia pamoja nao
{ "text": [ "Kwa sababu alikuwa na wasiwasi" ] }
2147_swa
Kima ala mkia wake Hapo zamani za kale, Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima mwenye rangi ya kijani kibichi. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali, lakini ulikuwa mtego kwake! Walienda katika shamba la mahindi na kuanza kula. Sungura mwakili alikuwa amezungumza na mwenye shamba. Alitaka Kima ashikwe kuonyesha kuwa alikuwa mjinga. Sungura mwakili alianza kupiga kelele, "Wezi! Wezi! Mahindi yako yameisha yote!" Kisha akaruka, akatoroka na kwenda zake. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Kwa vile alikuwa na mkia mrefu, hakuweza kwenda kwa kasi. Wenyewe walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Tulikuona, wewe ni yule Kima mwizi." Walimshika na kuanza kumpiga. Hakuweza kustahimili uchungu kwa hivyo alisema, "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika." Hata hivyo, wenyewe waliukata mkia wake na kumwambia, "Nenda kamwambie rafiki yako kuwa tuliukata mkia wako!" Walipoondoka, Sungura alinyemelea na kuuchukua mkia wa Kima na kuupika. Kisha Sungura alimualika kima kwa chakula cha mchana. Mwisho wa mlo Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokula. Kima mjinga alijibu, "La, sijui!" Sungura alimwambia kuwa alikuwa amekula mkia wake mwenyewe kisha akatoroka. Kutoka siku hiyo, walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima ala mkia wake Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kima alikua na rangi gani
{ "text": [ "kijani kibichi" ] }
2147_swa
Kima ala mkia wake Hapo zamani za kale, Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima mwenye rangi ya kijani kibichi. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali, lakini ulikuwa mtego kwake! Walienda katika shamba la mahindi na kuanza kula. Sungura mwakili alikuwa amezungumza na mwenye shamba. Alitaka Kima ashikwe kuonyesha kuwa alikuwa mjinga. Sungura mwakili alianza kupiga kelele, "Wezi! Wezi! Mahindi yako yameisha yote!" Kisha akaruka, akatoroka na kwenda zake. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Kwa vile alikuwa na mkia mrefu, hakuweza kwenda kwa kasi. Wenyewe walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Tulikuona, wewe ni yule Kima mwizi." Walimshika na kuanza kumpiga. Hakuweza kustahimili uchungu kwa hivyo alisema, "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika." Hata hivyo, wenyewe waliukata mkia wake na kumwambia, "Nenda kamwambie rafiki yako kuwa tuliukata mkia wako!" Walipoondoka, Sungura alinyemelea na kuuchukua mkia wa Kima na kuupika. Kisha Sungura alimualika kima kwa chakula cha mchana. Mwisho wa mlo Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokula. Kima mjinga alijibu, "La, sijui!" Sungura alimwambia kuwa alikuwa amekula mkia wake mwenyewe kisha akatoroka. Kutoka siku hiyo, walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima ala mkia wake Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nini kilimfanya Kima asiweze kuenda kwa kasi
{ "text": [ "mkia wake mrefu" ] }
2147_swa
Kima ala mkia wake Hapo zamani za kale, Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima mwenye rangi ya kijani kibichi. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali, lakini ulikuwa mtego kwake! Walienda katika shamba la mahindi na kuanza kula. Sungura mwakili alikuwa amezungumza na mwenye shamba. Alitaka Kima ashikwe kuonyesha kuwa alikuwa mjinga. Sungura mwakili alianza kupiga kelele, "Wezi! Wezi! Mahindi yako yameisha yote!" Kisha akaruka, akatoroka na kwenda zake. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Kwa vile alikuwa na mkia mrefu, hakuweza kwenda kwa kasi. Wenyewe walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Tulikuona, wewe ni yule Kima mwizi." Walimshika na kuanza kumpiga. Hakuweza kustahimili uchungu kwa hivyo alisema, "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika." Hata hivyo, wenyewe waliukata mkia wake na kumwambia, "Nenda kamwambie rafiki yako kuwa tuliukata mkia wako!" Walipoondoka, Sungura alinyemelea na kuuchukua mkia wa Kima na kuupika. Kisha Sungura alimualika kima kwa chakula cha mchana. Mwisho wa mlo Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokula. Kima mjinga alijibu, "La, sijui!" Sungura alimwambia kuwa alikuwa amekula mkia wake mwenyewe kisha akatoroka. Kutoka siku hiyo, walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima ala mkia wake Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alimualika Kima waende kwa shamba la maindi
{ "text": [ "sungura" ] }
2147_swa
Kima ala mkia wake Hapo zamani za kale, Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima mwenye rangi ya kijani kibichi. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali, lakini ulikuwa mtego kwake! Walienda katika shamba la mahindi na kuanza kula. Sungura mwakili alikuwa amezungumza na mwenye shamba. Alitaka Kima ashikwe kuonyesha kuwa alikuwa mjinga. Sungura mwakili alianza kupiga kelele, "Wezi! Wezi! Mahindi yako yameisha yote!" Kisha akaruka, akatoroka na kwenda zake. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Kwa vile alikuwa na mkia mrefu, hakuweza kwenda kwa kasi. Wenyewe walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Tulikuona, wewe ni yule Kima mwizi." Walimshika na kuanza kumpiga. Hakuweza kustahimili uchungu kwa hivyo alisema, "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika." Hata hivyo, wenyewe waliukata mkia wake na kumwambia, "Nenda kamwambie rafiki yako kuwa tuliukata mkia wako!" Walipoondoka, Sungura alinyemelea na kuuchukua mkia wa Kima na kuupika. Kisha Sungura alimualika kima kwa chakula cha mchana. Mwisho wa mlo Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokula. Kima mjinga alijibu, "La, sijui!" Sungura alimwambia kuwa alikuwa amekula mkia wake mwenyewe kisha akatoroka. Kutoka siku hiyo, walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima ala mkia wake Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kima alipoteza mkia wake lini
{ "text": [ "aliposhikwa na kukatwa" ] }
2147_swa
Kima ala mkia wake Hapo zamani za kale, Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima mwenye rangi ya kijani kibichi. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali, lakini ulikuwa mtego kwake! Walienda katika shamba la mahindi na kuanza kula. Sungura mwakili alikuwa amezungumza na mwenye shamba. Alitaka Kima ashikwe kuonyesha kuwa alikuwa mjinga. Sungura mwakili alianza kupiga kelele, "Wezi! Wezi! Mahindi yako yameisha yote!" Kisha akaruka, akatoroka na kwenda zake. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Kwa vile alikuwa na mkia mrefu, hakuweza kwenda kwa kasi. Wenyewe walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Tulikuona, wewe ni yule Kima mwizi." Walimshika na kuanza kumpiga. Hakuweza kustahimili uchungu kwa hivyo alisema, "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika." Hata hivyo, wenyewe waliukata mkia wake na kumwambia, "Nenda kamwambie rafiki yako kuwa tuliukata mkia wako!" Walipoondoka, Sungura alinyemelea na kuuchukua mkia wa Kima na kuupika. Kisha Sungura alimualika kima kwa chakula cha mchana. Mwisho wa mlo Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokula. Kima mjinga alijibu, "La, sijui!" Sungura alimwambia kuwa alikuwa amekula mkia wake mwenyewe kisha akatoroka. Kutoka siku hiyo, walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima ala mkia wake Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni kwa nini sungura alizungumza na mwenye shamba
{ "text": [ "alitaka Kima ashikwe kuonyesha kuwa alikua mjinga" ] }
2148_swa
Kinywa na Mkono Hapo zamani, kulikuwa na marafiki wawili, Kinywa na Mkono. Waliishi kijijini kama ndugu kila mmoja na mkewe. Baada ya muda mfupi, mke wa Kinywa alifariki. Kinywa alimwomba rafiki yake vifaa ili amzike mke wake. Kinywa aliporudi nyumbani, aligundua kwamba alikuwa amelipoteza panga la Mkono. Alienda kuomba msamaha ila Mkono hakutaka kusikia maelezo yoyote. Mkono alimlazimisha Kinywa amrudishie panga lake na lisiwe jingine bali lile alilokuwa amemuazima. Kinywa hakuwa na la kufanya. Aliamua kurudi alipomzika mkewe ili alitafute panga hilo. Alitafuta kila mahali lakini, hakulipata. Mwishowe, aliamua kuchimbua kaburi ili angalie. La kushangaza ni kuwa hata mwili wa mkewe haukuwepo tena kaburini. Kwa huzuni, Kinywa alirudi nyumbani. Alipokaribia kufika, alimwona mbwa akiwa na panga hilo. Wakati huo, aliisikia sauti ya mkewe ikisema, "Huyu ni mtumishi wako." Kinywa alilichukua panga lile akamrudishia Mkono. Yeye akabaki na mbwa yule. Kinywa aliishi na mbwa yule akimsaidia kuwinda. Siku moja aliacha kumwita mbwa na kuanza kumwita Mtumishi. Waliishi kwa furaha hadi urafiki baina ya Kinywa na Mkono uliporudi kuwa kama ulivyokuwa mbeleni. Baadaye, Mkono alitamani kula nyama, lakini hakuwa na mbwa wa kumwindia. Alikwenda kuomba mbwa wa Kinywa. Kinywa hakusita kumpatia Mtumishi wake. Lakini alimwambia asimwite mbwa bali amwite Mtumishi. Mkono alienda na Mtumishi popote alipotaka. Kila alichomtaka afanye, alifanya. Allimtuma porini kuwinda. Mkono alimfurahia Mtumishi sana. Siku moja walipokuwa porini, Mtumishi alipotea. Kinywa alianza kumwita, "Mtumishi! Mtumishi! Uko wapi?" Alipochoka, alisema kwa hasira, "Mbwa huyu ni gaidi sana." Wakati huo Mtumishi alitokea na kusema, "Umeniita mbwa! Naenda zangu." Alitoroka. Mkono alirudi nyumbani bila Mtumishi. Alienda kwa rafikiye Kinywa kumpasha habari ya kupotea kwa Mtumishi. Kinywa hakufurahia ujumbe huo. Alimlazimisha Mkono kumrudishia Mtumishi wake. Mkono hakufaulu kufanya hivyo. Tangu siku hiyo hadi leo, mkono ni mtumishi wa kinywa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kinywa na Mkono Author - Espoir Ntinda Illustration - Espoir Ntinda Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kijijini kulikuwa na marafiki wangapi?
{ "text": [ "Wawili" ] }
2148_swa
Kinywa na Mkono Hapo zamani, kulikuwa na marafiki wawili, Kinywa na Mkono. Waliishi kijijini kama ndugu kila mmoja na mkewe. Baada ya muda mfupi, mke wa Kinywa alifariki. Kinywa alimwomba rafiki yake vifaa ili amzike mke wake. Kinywa aliporudi nyumbani, aligundua kwamba alikuwa amelipoteza panga la Mkono. Alienda kuomba msamaha ila Mkono hakutaka kusikia maelezo yoyote. Mkono alimlazimisha Kinywa amrudishie panga lake na lisiwe jingine bali lile alilokuwa amemuazima. Kinywa hakuwa na la kufanya. Aliamua kurudi alipomzika mkewe ili alitafute panga hilo. Alitafuta kila mahali lakini, hakulipata. Mwishowe, aliamua kuchimbua kaburi ili angalie. La kushangaza ni kuwa hata mwili wa mkewe haukuwepo tena kaburini. Kwa huzuni, Kinywa alirudi nyumbani. Alipokaribia kufika, alimwona mbwa akiwa na panga hilo. Wakati huo, aliisikia sauti ya mkewe ikisema, "Huyu ni mtumishi wako." Kinywa alilichukua panga lile akamrudishia Mkono. Yeye akabaki na mbwa yule. Kinywa aliishi na mbwa yule akimsaidia kuwinda. Siku moja aliacha kumwita mbwa na kuanza kumwita Mtumishi. Waliishi kwa furaha hadi urafiki baina ya Kinywa na Mkono uliporudi kuwa kama ulivyokuwa mbeleni. Baadaye, Mkono alitamani kula nyama, lakini hakuwa na mbwa wa kumwindia. Alikwenda kuomba mbwa wa Kinywa. Kinywa hakusita kumpatia Mtumishi wake. Lakini alimwambia asimwite mbwa bali amwite Mtumishi. Mkono alienda na Mtumishi popote alipotaka. Kila alichomtaka afanye, alifanya. Allimtuma porini kuwinda. Mkono alimfurahia Mtumishi sana. Siku moja walipokuwa porini, Mtumishi alipotea. Kinywa alianza kumwita, "Mtumishi! Mtumishi! Uko wapi?" Alipochoka, alisema kwa hasira, "Mbwa huyu ni gaidi sana." Wakati huo Mtumishi alitokea na kusema, "Umeniita mbwa! Naenda zangu." Alitoroka. Mkono alirudi nyumbani bila Mtumishi. Alienda kwa rafikiye Kinywa kumpasha habari ya kupotea kwa Mtumishi. Kinywa hakufurahia ujumbe huo. Alimlazimisha Mkono kumrudishia Mtumishi wake. Mkono hakufaulu kufanya hivyo. Tangu siku hiyo hadi leo, mkono ni mtumishi wa kinywa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kinywa na Mkono Author - Espoir Ntinda Illustration - Espoir Ntinda Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Rafiki yupi alipoteza mkewe?
{ "text": [ "Kinywa" ] }
2148_swa
Kinywa na Mkono Hapo zamani, kulikuwa na marafiki wawili, Kinywa na Mkono. Waliishi kijijini kama ndugu kila mmoja na mkewe. Baada ya muda mfupi, mke wa Kinywa alifariki. Kinywa alimwomba rafiki yake vifaa ili amzike mke wake. Kinywa aliporudi nyumbani, aligundua kwamba alikuwa amelipoteza panga la Mkono. Alienda kuomba msamaha ila Mkono hakutaka kusikia maelezo yoyote. Mkono alimlazimisha Kinywa amrudishie panga lake na lisiwe jingine bali lile alilokuwa amemuazima. Kinywa hakuwa na la kufanya. Aliamua kurudi alipomzika mkewe ili alitafute panga hilo. Alitafuta kila mahali lakini, hakulipata. Mwishowe, aliamua kuchimbua kaburi ili angalie. La kushangaza ni kuwa hata mwili wa mkewe haukuwepo tena kaburini. Kwa huzuni, Kinywa alirudi nyumbani. Alipokaribia kufika, alimwona mbwa akiwa na panga hilo. Wakati huo, aliisikia sauti ya mkewe ikisema, "Huyu ni mtumishi wako." Kinywa alilichukua panga lile akamrudishia Mkono. Yeye akabaki na mbwa yule. Kinywa aliishi na mbwa yule akimsaidia kuwinda. Siku moja aliacha kumwita mbwa na kuanza kumwita Mtumishi. Waliishi kwa furaha hadi urafiki baina ya Kinywa na Mkono uliporudi kuwa kama ulivyokuwa mbeleni. Baadaye, Mkono alitamani kula nyama, lakini hakuwa na mbwa wa kumwindia. Alikwenda kuomba mbwa wa Kinywa. Kinywa hakusita kumpatia Mtumishi wake. Lakini alimwambia asimwite mbwa bali amwite Mtumishi. Mkono alienda na Mtumishi popote alipotaka. Kila alichomtaka afanye, alifanya. Allimtuma porini kuwinda. Mkono alimfurahia Mtumishi sana. Siku moja walipokuwa porini, Mtumishi alipotea. Kinywa alianza kumwita, "Mtumishi! Mtumishi! Uko wapi?" Alipochoka, alisema kwa hasira, "Mbwa huyu ni gaidi sana." Wakati huo Mtumishi alitokea na kusema, "Umeniita mbwa! Naenda zangu." Alitoroka. Mkono alirudi nyumbani bila Mtumishi. Alienda kwa rafikiye Kinywa kumpasha habari ya kupotea kwa Mtumishi. Kinywa hakufurahia ujumbe huo. Alimlazimisha Mkono kumrudishia Mtumishi wake. Mkono hakufaulu kufanya hivyo. Tangu siku hiyo hadi leo, mkono ni mtumishi wa kinywa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kinywa na Mkono Author - Espoir Ntinda Illustration - Espoir Ntinda Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbwa wa Kinywa ulijulikana kama nani?
{ "text": [ "Mtumishi" ] }