Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2183_swa
Ariana anataka kutembelea Kenya Ariana yuko Amerika. Anataka kutembelea Kenya. Barabarani, ataona kondoo. Ataona bodaboda na tuktuk. Ataona jamaa zake wa Kenya. Jamaa zake watafanya sherehe kubwa. Ariana atasherehekea na kufurahi nao. Ariana atacheza na watoto wengine. Akienda sokoni, ataona vitu vingi tofauti vikiuzwa. Atawaona watu waliovalia mavazi tofuati. Atakula matunda mengi sana. Atakula machungwa, ndizi na mananasi. Ariana atajaribu kupanda miti mrefu. Hajawahi kufanya hivyo akiwa Amerika. Atayaona mashamba yenye mimea tofauti. Wakenya wengi ni wakulima. Atatembelea mbuga za wanyama. Atawaona wanyama wa porini kama simba, ndovu, twiga na punda milia. Ataona wanyama wa kufugwa kama kuku, paka, mbuzi na njiwa. Amerika, anafuga paka mmoja na mbwa mmoja. Atashuhudia harusi kijijini. Atawaona watu wakiimba na kucheza ngoma za kitamaduni. Ataitembelea pwani ya Kenya. Ataogelea katika bahari ya Hindi. Jumapili, Ariana atajiunga na jamaa zake kwenda kanisani. Ariana atafurahia sana kuitembelea Kenya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ariana anataka kutembelea Kenya Author - Kez Badi Illustration - Brian Wambi, Catherine Groenewald, Isaac Okwir, Jesse Breytenbach, Rob Owen and Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ataogelea katika bahari gani
{ "text": [ "ya Hindi" ] }
2183_swa
Ariana anataka kutembelea Kenya Ariana yuko Amerika. Anataka kutembelea Kenya. Barabarani, ataona kondoo. Ataona bodaboda na tuktuk. Ataona jamaa zake wa Kenya. Jamaa zake watafanya sherehe kubwa. Ariana atasherehekea na kufurahi nao. Ariana atacheza na watoto wengine. Akienda sokoni, ataona vitu vingi tofauti vikiuzwa. Atawaona watu waliovalia mavazi tofuati. Atakula matunda mengi sana. Atakula machungwa, ndizi na mananasi. Ariana atajaribu kupanda miti mrefu. Hajawahi kufanya hivyo akiwa Amerika. Atayaona mashamba yenye mimea tofauti. Wakenya wengi ni wakulima. Atatembelea mbuga za wanyama. Atawaona wanyama wa porini kama simba, ndovu, twiga na punda milia. Ataona wanyama wa kufugwa kama kuku, paka, mbuzi na njiwa. Amerika, anafuga paka mmoja na mbwa mmoja. Atashuhudia harusi kijijini. Atawaona watu wakiimba na kucheza ngoma za kitamaduni. Ataitembelea pwani ya Kenya. Ataogelea katika bahari ya Hindi. Jumapili, Ariana atajiunga na jamaa zake kwenda kanisani. Ariana atafurahia sana kuitembelea Kenya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ariana anataka kutembelea Kenya Author - Kez Badi Illustration - Brian Wambi, Catherine Groenewald, Isaac Okwir, Jesse Breytenbach, Rob Owen and Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Ariana atajaribu kupanda miti mirefu
{ "text": [ "Kwa sababu hajawahi kufanya hivyo akiwa America" ] }
2185_swa
Asiyetii wazee Hapo zamani, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Jalo. Jalo aliwaasi wazazi wake. Watu walijua kuwa mvulana huyo alikosa adabu. Siku moja Jalo na mamake waliwatembelea jamaa zao kijijini. Kabla wao kuondoka kurejea nyumbani, jamaa zao waliwapatia zawadi. Walimpeleka Jalo na mamake kwenye bustani iliyojaa matunda. Kisha wakawaalika kula matunda yoyote waliyopenda. Ila, hawakutakiwa kuchuma kutoka kwa mwembe. Jalo aliona mwembe mkubwa uliokuwa na maembe mengi mabivu. Jalo alishangaa kuyaona maembe mengi mabivu. Aliamua kuchuma moja. Ingawa Jalo alikuwa ameonywa kutokula kutoka kwenye mwembe, alifanya hivyo. Alisema, "Litakalofanyika, lifanyike. Ninataka kulila embe hili." Mamake Jalo alimwonya tena. Hata hivyo, Jalo hakumtii. Alipolila tu hilo embe, tumbo ilianza kunguruma. Jalo aliendelea kuhisi vibaya akaanza kulia. Kichwa chake kilianza kuvimba. Halafu, mwembe uliota kichwani kwake! Jalo aligeuka na kuwa mwembe. Tangu wakati huo, kila mwembe huo unapoguswa, huimba, "Asiyewatii wazee, atajuta. Jalo ni mfano." Hivyo ndivyo ilivyo. Wahenga husema, "Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Asiyetii wazee Author - Yakubu Aliyu Malumri Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jalo alienda kutembelea jamaa zao kijijini na nani
{ "text": [ "mamake" ] }
2185_swa
Asiyetii wazee Hapo zamani, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Jalo. Jalo aliwaasi wazazi wake. Watu walijua kuwa mvulana huyo alikosa adabu. Siku moja Jalo na mamake waliwatembelea jamaa zao kijijini. Kabla wao kuondoka kurejea nyumbani, jamaa zao waliwapatia zawadi. Walimpeleka Jalo na mamake kwenye bustani iliyojaa matunda. Kisha wakawaalika kula matunda yoyote waliyopenda. Ila, hawakutakiwa kuchuma kutoka kwa mwembe. Jalo aliona mwembe mkubwa uliokuwa na maembe mengi mabivu. Jalo alishangaa kuyaona maembe mengi mabivu. Aliamua kuchuma moja. Ingawa Jalo alikuwa ameonywa kutokula kutoka kwenye mwembe, alifanya hivyo. Alisema, "Litakalofanyika, lifanyike. Ninataka kulila embe hili." Mamake Jalo alimwonya tena. Hata hivyo, Jalo hakumtii. Alipolila tu hilo embe, tumbo ilianza kunguruma. Jalo aliendelea kuhisi vibaya akaanza kulia. Kichwa chake kilianza kuvimba. Halafu, mwembe uliota kichwani kwake! Jalo aligeuka na kuwa mwembe. Tangu wakati huo, kila mwembe huo unapoguswa, huimba, "Asiyewatii wazee, atajuta. Jalo ni mfano." Hivyo ndivyo ilivyo. Wahenga husema, "Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Asiyetii wazee Author - Yakubu Aliyu Malumri Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bustani waliopelekwa ilikua imejaa nini
{ "text": [ "matunda" ] }
2185_swa
Asiyetii wazee Hapo zamani, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Jalo. Jalo aliwaasi wazazi wake. Watu walijua kuwa mvulana huyo alikosa adabu. Siku moja Jalo na mamake waliwatembelea jamaa zao kijijini. Kabla wao kuondoka kurejea nyumbani, jamaa zao waliwapatia zawadi. Walimpeleka Jalo na mamake kwenye bustani iliyojaa matunda. Kisha wakawaalika kula matunda yoyote waliyopenda. Ila, hawakutakiwa kuchuma kutoka kwa mwembe. Jalo aliona mwembe mkubwa uliokuwa na maembe mengi mabivu. Jalo alishangaa kuyaona maembe mengi mabivu. Aliamua kuchuma moja. Ingawa Jalo alikuwa ameonywa kutokula kutoka kwenye mwembe, alifanya hivyo. Alisema, "Litakalofanyika, lifanyike. Ninataka kulila embe hili." Mamake Jalo alimwonya tena. Hata hivyo, Jalo hakumtii. Alipolila tu hilo embe, tumbo ilianza kunguruma. Jalo aliendelea kuhisi vibaya akaanza kulia. Kichwa chake kilianza kuvimba. Halafu, mwembe uliota kichwani kwake! Jalo aligeuka na kuwa mwembe. Tangu wakati huo, kila mwembe huo unapoguswa, huimba, "Asiyewatii wazee, atajuta. Jalo ni mfano." Hivyo ndivyo ilivyo. Wahenga husema, "Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Asiyetii wazee Author - Yakubu Aliyu Malumri Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Walialikwa kula matunda yote isipokua tunda lipi
{ "text": [ "la mwembe" ] }
2185_swa
Asiyetii wazee Hapo zamani, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Jalo. Jalo aliwaasi wazazi wake. Watu walijua kuwa mvulana huyo alikosa adabu. Siku moja Jalo na mamake waliwatembelea jamaa zao kijijini. Kabla wao kuondoka kurejea nyumbani, jamaa zao waliwapatia zawadi. Walimpeleka Jalo na mamake kwenye bustani iliyojaa matunda. Kisha wakawaalika kula matunda yoyote waliyopenda. Ila, hawakutakiwa kuchuma kutoka kwa mwembe. Jalo aliona mwembe mkubwa uliokuwa na maembe mengi mabivu. Jalo alishangaa kuyaona maembe mengi mabivu. Aliamua kuchuma moja. Ingawa Jalo alikuwa ameonywa kutokula kutoka kwenye mwembe, alifanya hivyo. Alisema, "Litakalofanyika, lifanyike. Ninataka kulila embe hili." Mamake Jalo alimwonya tena. Hata hivyo, Jalo hakumtii. Alipolila tu hilo embe, tumbo ilianza kunguruma. Jalo aliendelea kuhisi vibaya akaanza kulia. Kichwa chake kilianza kuvimba. Halafu, mwembe uliota kichwani kwake! Jalo aligeuka na kuwa mwembe. Tangu wakati huo, kila mwembe huo unapoguswa, huimba, "Asiyewatii wazee, atajuta. Jalo ni mfano." Hivyo ndivyo ilivyo. Wahenga husema, "Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Asiyetii wazee Author - Yakubu Aliyu Malumri Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tumbo la Jalo lilianza kunguruma lini
{ "text": [ "alipolila embe" ] }
2185_swa
Asiyetii wazee Hapo zamani, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Jalo. Jalo aliwaasi wazazi wake. Watu walijua kuwa mvulana huyo alikosa adabu. Siku moja Jalo na mamake waliwatembelea jamaa zao kijijini. Kabla wao kuondoka kurejea nyumbani, jamaa zao waliwapatia zawadi. Walimpeleka Jalo na mamake kwenye bustani iliyojaa matunda. Kisha wakawaalika kula matunda yoyote waliyopenda. Ila, hawakutakiwa kuchuma kutoka kwa mwembe. Jalo aliona mwembe mkubwa uliokuwa na maembe mengi mabivu. Jalo alishangaa kuyaona maembe mengi mabivu. Aliamua kuchuma moja. Ingawa Jalo alikuwa ameonywa kutokula kutoka kwenye mwembe, alifanya hivyo. Alisema, "Litakalofanyika, lifanyike. Ninataka kulila embe hili." Mamake Jalo alimwonya tena. Hata hivyo, Jalo hakumtii. Alipolila tu hilo embe, tumbo ilianza kunguruma. Jalo aliendelea kuhisi vibaya akaanza kulia. Kichwa chake kilianza kuvimba. Halafu, mwembe uliota kichwani kwake! Jalo aligeuka na kuwa mwembe. Tangu wakati huo, kila mwembe huo unapoguswa, huimba, "Asiyewatii wazee, atajuta. Jalo ni mfano." Hivyo ndivyo ilivyo. Wahenga husema, "Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Asiyetii wazee Author - Yakubu Aliyu Malumri Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwembe kila ulipoguswa ulikua ukiimba aje
{ "text": [ "asiyewatii wazee atajuta. Jalo ni mfano" ] }
2186_swa
Bahati mbaya! Mimi na Kiki ni marafiki. Sisi hutembea kwenda nyumbani. Siku moja, mwanamme alitufuata. Meno yake yalikuwa ya kutisha. Ngozi yake ilijaa vipele. Tulipomtazama, alitupigia kelele kwa hasira. Yeye na wenzake walinisukuma ndani ya gari. Kiki aliweza kutoroka. Waliniweka katika chumba chenye giza. Walinifunga mikono. Mwanamme mmoja alisema, "Kula chakula hiki. Safari ni ndefu." Nilipokuwa nikila, yule mwanamme alivuta sigara. Ghafla, wenzake walirudi. Walikuwa wanamvuta Kiki. Tuliwasikia wanaume hao wakipingana kwa sauti ya juu. Kiki alisema, "Lazima tutoroke. Wazazi wetu hawataweza kuwalipa." Tulivuta mbao kutoka kwenye dirisha. Tuliona mwangaza. Kiki alikuwa mdogo kuniliko. Alitoka kwenda kutafuta usaidizi. Wanaume waliingia ndani kwa fujo. Kiongozi wao alikasirika sana. Walirudi katika chumba walichokuwa. Waliendelea kugombana. Mara nilisikia sauti ikisema, "Usiogope. Polisi wamefika." Kulikuwa na kelele nyingi pamoja na milio ya risasi. Polisi wa kike alisema, "Kila kitu ni sawa. Uko salama sasa." Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bahati mbaya! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani marafiki
{ "text": [ "Mimi na Kiki" ] }
2186_swa
Bahati mbaya! Mimi na Kiki ni marafiki. Sisi hutembea kwenda nyumbani. Siku moja, mwanamme alitufuata. Meno yake yalikuwa ya kutisha. Ngozi yake ilijaa vipele. Tulipomtazama, alitupigia kelele kwa hasira. Yeye na wenzake walinisukuma ndani ya gari. Kiki aliweza kutoroka. Waliniweka katika chumba chenye giza. Walinifunga mikono. Mwanamme mmoja alisema, "Kula chakula hiki. Safari ni ndefu." Nilipokuwa nikila, yule mwanamme alivuta sigara. Ghafla, wenzake walirudi. Walikuwa wanamvuta Kiki. Tuliwasikia wanaume hao wakipingana kwa sauti ya juu. Kiki alisema, "Lazima tutoroke. Wazazi wetu hawataweza kuwalipa." Tulivuta mbao kutoka kwenye dirisha. Tuliona mwangaza. Kiki alikuwa mdogo kuniliko. Alitoka kwenda kutafuta usaidizi. Wanaume waliingia ndani kwa fujo. Kiongozi wao alikasirika sana. Walirudi katika chumba walichokuwa. Waliendelea kugombana. Mara nilisikia sauti ikisema, "Usiogope. Polisi wamefika." Kulikuwa na kelele nyingi pamoja na milio ya risasi. Polisi wa kike alisema, "Kila kitu ni sawa. Uko salama sasa." Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bahati mbaya! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Siku moja mwanamume alifanya nini
{ "text": [ "Aliwafuata" ] }
2186_swa
Bahati mbaya! Mimi na Kiki ni marafiki. Sisi hutembea kwenda nyumbani. Siku moja, mwanamme alitufuata. Meno yake yalikuwa ya kutisha. Ngozi yake ilijaa vipele. Tulipomtazama, alitupigia kelele kwa hasira. Yeye na wenzake walinisukuma ndani ya gari. Kiki aliweza kutoroka. Waliniweka katika chumba chenye giza. Walinifunga mikono. Mwanamme mmoja alisema, "Kula chakula hiki. Safari ni ndefu." Nilipokuwa nikila, yule mwanamme alivuta sigara. Ghafla, wenzake walirudi. Walikuwa wanamvuta Kiki. Tuliwasikia wanaume hao wakipingana kwa sauti ya juu. Kiki alisema, "Lazima tutoroke. Wazazi wetu hawataweza kuwalipa." Tulivuta mbao kutoka kwenye dirisha. Tuliona mwangaza. Kiki alikuwa mdogo kuniliko. Alitoka kwenda kutafuta usaidizi. Wanaume waliingia ndani kwa fujo. Kiongozi wao alikasirika sana. Walirudi katika chumba walichokuwa. Waliendelea kugombana. Mara nilisikia sauti ikisema, "Usiogope. Polisi wamefika." Kulikuwa na kelele nyingi pamoja na milio ya risasi. Polisi wa kike alisema, "Kila kitu ni sawa. Uko salama sasa." Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bahati mbaya! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kiki aliweza kufanya nini
{ "text": [ "Kutoroka" ] }
2186_swa
Bahati mbaya! Mimi na Kiki ni marafiki. Sisi hutembea kwenda nyumbani. Siku moja, mwanamme alitufuata. Meno yake yalikuwa ya kutisha. Ngozi yake ilijaa vipele. Tulipomtazama, alitupigia kelele kwa hasira. Yeye na wenzake walinisukuma ndani ya gari. Kiki aliweza kutoroka. Waliniweka katika chumba chenye giza. Walinifunga mikono. Mwanamme mmoja alisema, "Kula chakula hiki. Safari ni ndefu." Nilipokuwa nikila, yule mwanamme alivuta sigara. Ghafla, wenzake walirudi. Walikuwa wanamvuta Kiki. Tuliwasikia wanaume hao wakipingana kwa sauti ya juu. Kiki alisema, "Lazima tutoroke. Wazazi wetu hawataweza kuwalipa." Tulivuta mbao kutoka kwenye dirisha. Tuliona mwangaza. Kiki alikuwa mdogo kuniliko. Alitoka kwenda kutafuta usaidizi. Wanaume waliingia ndani kwa fujo. Kiongozi wao alikasirika sana. Walirudi katika chumba walichokuwa. Waliendelea kugombana. Mara nilisikia sauti ikisema, "Usiogope. Polisi wamefika." Kulikuwa na kelele nyingi pamoja na milio ya risasi. Polisi wa kike alisema, "Kila kitu ni sawa. Uko salama sasa." Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bahati mbaya! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tangu siku hiyo mimi na Kiki tumekuwaje
{ "text": [ "Tumekuwa waangalifu zaidi" ] }
2186_swa
Bahati mbaya! Mimi na Kiki ni marafiki. Sisi hutembea kwenda nyumbani. Siku moja, mwanamme alitufuata. Meno yake yalikuwa ya kutisha. Ngozi yake ilijaa vipele. Tulipomtazama, alitupigia kelele kwa hasira. Yeye na wenzake walinisukuma ndani ya gari. Kiki aliweza kutoroka. Waliniweka katika chumba chenye giza. Walinifunga mikono. Mwanamme mmoja alisema, "Kula chakula hiki. Safari ni ndefu." Nilipokuwa nikila, yule mwanamme alivuta sigara. Ghafla, wenzake walirudi. Walikuwa wanamvuta Kiki. Tuliwasikia wanaume hao wakipingana kwa sauti ya juu. Kiki alisema, "Lazima tutoroke. Wazazi wetu hawataweza kuwalipa." Tulivuta mbao kutoka kwenye dirisha. Tuliona mwangaza. Kiki alikuwa mdogo kuniliko. Alitoka kwenda kutafuta usaidizi. Wanaume waliingia ndani kwa fujo. Kiongozi wao alikasirika sana. Walirudi katika chumba walichokuwa. Waliendelea kugombana. Mara nilisikia sauti ikisema, "Usiogope. Polisi wamefika." Kulikuwa na kelele nyingi pamoja na milio ya risasi. Polisi wa kike alisema, "Kila kitu ni sawa. Uko salama sasa." Tangu siku hiyo, mimi na Kiki tumekuwa waangalifu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bahati mbaya! Author - Richard Khadambi and Collins Kipkirui Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni kwa nini Kiki alitoka kwenda kutafuta usaidizi
{ "text": [ "Kwa sababu alikuwa mdogo kuniliko" ] }
2190_swa
Basi kubwa la bluu Kulikuwa na basi moja tu katika kijiji cha akina Ebei. Lilikuwa basi kubwa lenye rangi ya bluu. Lilinguruma sana. Siku moja mamake Ebei alisema, "Kesho tutaenda mjini kununua sare yako ya shule." Ebei alifurahi sana. Kumbe atasafiri katika lile basi kubwa la bluu! Usiku huo hakupata lepe la usingizi. Mamake alipoenda kumuamsha, Ebei alikuwa tayari amevaa. Ebei na mamake walienda kwenye kituo cha basi. Walisubiri lile basi kubwa la bluu. Basi halikufika. Watu wengine walifika pale kituoni. Wote walilalamika kuwa basi lilichelewa. Mmoja aliuliza, "Basi limetuacha?" Ebei alikuwa na wasiswasi. "Tusipokwenda mjini, sitapata sare yangu ya shule," aliwaza. Baadhi yao walikata tamaa wakarudi nyumbani. Ebei alilia akakataa kurudi. "Tutasubiri zaidi," mamake alimtuliza. Ghafla, walisikia mngurumo. Wakaona vumbi hewani. Basi lilikuwa linakuja kwa kasi. Basi halikuwa la bluu wala halikuwa kubwa. Basi lile lilikuwa dogo na jekundu. Waliosubiri waliliangalia tu na hawakuingia ndani. Dereva aliwaita, "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo." Ebei na mamake walikuwa wa kwanza kuingia. Mara wote waliingia ndani ya basi lile dogo jekundu. Ebei alichungulia dirishani. Aliwaona watu wengi zaidi wakiingia ndani ya basi. Mara basi likaondoka. Ebei aliwaona watu wengine wakikimbia kulifikia basi. Walikuwa tayari wamechelewa. Mamake Ebei alimwuliza dereva, "Liko wapi basi kubwa la bluu?" Dereva alimjibu, "Basi la bluu liliharibika. Linatengenezwa. Kesho litakuja." Ebei hakujali rangi wala ukubwa wa basi. Alifurahi kuwa basi lile lilikuwa linawapeleka mjini. Hatimaye, atanunuliwa sare ya shule. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Basi kubwa la bluu Author - Mecelin Kakoro Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kulikuwa na basi ngapi kijiji cha akina Ebei
{ "text": [ "Moja" ] }
2190_swa
Basi kubwa la bluu Kulikuwa na basi moja tu katika kijiji cha akina Ebei. Lilikuwa basi kubwa lenye rangi ya bluu. Lilinguruma sana. Siku moja mamake Ebei alisema, "Kesho tutaenda mjini kununua sare yako ya shule." Ebei alifurahi sana. Kumbe atasafiri katika lile basi kubwa la bluu! Usiku huo hakupata lepe la usingizi. Mamake alipoenda kumuamsha, Ebei alikuwa tayari amevaa. Ebei na mamake walienda kwenye kituo cha basi. Walisubiri lile basi kubwa la bluu. Basi halikufika. Watu wengine walifika pale kituoni. Wote walilalamika kuwa basi lilichelewa. Mmoja aliuliza, "Basi limetuacha?" Ebei alikuwa na wasiswasi. "Tusipokwenda mjini, sitapata sare yangu ya shule," aliwaza. Baadhi yao walikata tamaa wakarudi nyumbani. Ebei alilia akakataa kurudi. "Tutasubiri zaidi," mamake alimtuliza. Ghafla, walisikia mngurumo. Wakaona vumbi hewani. Basi lilikuwa linakuja kwa kasi. Basi halikuwa la bluu wala halikuwa kubwa. Basi lile lilikuwa dogo na jekundu. Waliosubiri waliliangalia tu na hawakuingia ndani. Dereva aliwaita, "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo." Ebei na mamake walikuwa wa kwanza kuingia. Mara wote waliingia ndani ya basi lile dogo jekundu. Ebei alichungulia dirishani. Aliwaona watu wengi zaidi wakiingia ndani ya basi. Mara basi likaondoka. Ebei aliwaona watu wengine wakikimbia kulifikia basi. Walikuwa tayari wamechelewa. Mamake Ebei alimwuliza dereva, "Liko wapi basi kubwa la bluu?" Dereva alimjibu, "Basi la bluu liliharibika. Linatengenezwa. Kesho litakuja." Ebei hakujali rangi wala ukubwa wa basi. Alifurahi kuwa basi lile lilikuwa linawapeleka mjini. Hatimaye, atanunuliwa sare ya shule. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Basi kubwa la bluu Author - Mecelin Kakoro Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Basi lilikuwa na rangi ipi
{ "text": [ "Bluu" ] }
2190_swa
Basi kubwa la bluu Kulikuwa na basi moja tu katika kijiji cha akina Ebei. Lilikuwa basi kubwa lenye rangi ya bluu. Lilinguruma sana. Siku moja mamake Ebei alisema, "Kesho tutaenda mjini kununua sare yako ya shule." Ebei alifurahi sana. Kumbe atasafiri katika lile basi kubwa la bluu! Usiku huo hakupata lepe la usingizi. Mamake alipoenda kumuamsha, Ebei alikuwa tayari amevaa. Ebei na mamake walienda kwenye kituo cha basi. Walisubiri lile basi kubwa la bluu. Basi halikufika. Watu wengine walifika pale kituoni. Wote walilalamika kuwa basi lilichelewa. Mmoja aliuliza, "Basi limetuacha?" Ebei alikuwa na wasiswasi. "Tusipokwenda mjini, sitapata sare yangu ya shule," aliwaza. Baadhi yao walikata tamaa wakarudi nyumbani. Ebei alilia akakataa kurudi. "Tutasubiri zaidi," mamake alimtuliza. Ghafla, walisikia mngurumo. Wakaona vumbi hewani. Basi lilikuwa linakuja kwa kasi. Basi halikuwa la bluu wala halikuwa kubwa. Basi lile lilikuwa dogo na jekundu. Waliosubiri waliliangalia tu na hawakuingia ndani. Dereva aliwaita, "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo." Ebei na mamake walikuwa wa kwanza kuingia. Mara wote waliingia ndani ya basi lile dogo jekundu. Ebei alichungulia dirishani. Aliwaona watu wengi zaidi wakiingia ndani ya basi. Mara basi likaondoka. Ebei aliwaona watu wengine wakikimbia kulifikia basi. Walikuwa tayari wamechelewa. Mamake Ebei alimwuliza dereva, "Liko wapi basi kubwa la bluu?" Dereva alimjibu, "Basi la bluu liliharibika. Linatengenezwa. Kesho litakuja." Ebei hakujali rangi wala ukubwa wa basi. Alifurahi kuwa basi lile lilikuwa linawapeleka mjini. Hatimaye, atanunuliwa sare ya shule. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Basi kubwa la bluu Author - Mecelin Kakoro Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ebei alipatwa na nini
{ "text": [ "Wasiwasi" ] }
2190_swa
Basi kubwa la bluu Kulikuwa na basi moja tu katika kijiji cha akina Ebei. Lilikuwa basi kubwa lenye rangi ya bluu. Lilinguruma sana. Siku moja mamake Ebei alisema, "Kesho tutaenda mjini kununua sare yako ya shule." Ebei alifurahi sana. Kumbe atasafiri katika lile basi kubwa la bluu! Usiku huo hakupata lepe la usingizi. Mamake alipoenda kumuamsha, Ebei alikuwa tayari amevaa. Ebei na mamake walienda kwenye kituo cha basi. Walisubiri lile basi kubwa la bluu. Basi halikufika. Watu wengine walifika pale kituoni. Wote walilalamika kuwa basi lilichelewa. Mmoja aliuliza, "Basi limetuacha?" Ebei alikuwa na wasiswasi. "Tusipokwenda mjini, sitapata sare yangu ya shule," aliwaza. Baadhi yao walikata tamaa wakarudi nyumbani. Ebei alilia akakataa kurudi. "Tutasubiri zaidi," mamake alimtuliza. Ghafla, walisikia mngurumo. Wakaona vumbi hewani. Basi lilikuwa linakuja kwa kasi. Basi halikuwa la bluu wala halikuwa kubwa. Basi lile lilikuwa dogo na jekundu. Waliosubiri waliliangalia tu na hawakuingia ndani. Dereva aliwaita, "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo." Ebei na mamake walikuwa wa kwanza kuingia. Mara wote waliingia ndani ya basi lile dogo jekundu. Ebei alichungulia dirishani. Aliwaona watu wengi zaidi wakiingia ndani ya basi. Mara basi likaondoka. Ebei aliwaona watu wengine wakikimbia kulifikia basi. Walikuwa tayari wamechelewa. Mamake Ebei alimwuliza dereva, "Liko wapi basi kubwa la bluu?" Dereva alimjibu, "Basi la bluu liliharibika. Linatengenezwa. Kesho litakuja." Ebei hakujali rangi wala ukubwa wa basi. Alifurahi kuwa basi lile lilikuwa linawapeleka mjini. Hatimaye, atanunuliwa sare ya shule. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Basi kubwa la bluu Author - Mecelin Kakoro Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Basi la bluu lilikuwa limefanya nini
{ "text": [ "Limeharibika" ] }
2190_swa
Basi kubwa la bluu Kulikuwa na basi moja tu katika kijiji cha akina Ebei. Lilikuwa basi kubwa lenye rangi ya bluu. Lilinguruma sana. Siku moja mamake Ebei alisema, "Kesho tutaenda mjini kununua sare yako ya shule." Ebei alifurahi sana. Kumbe atasafiri katika lile basi kubwa la bluu! Usiku huo hakupata lepe la usingizi. Mamake alipoenda kumuamsha, Ebei alikuwa tayari amevaa. Ebei na mamake walienda kwenye kituo cha basi. Walisubiri lile basi kubwa la bluu. Basi halikufika. Watu wengine walifika pale kituoni. Wote walilalamika kuwa basi lilichelewa. Mmoja aliuliza, "Basi limetuacha?" Ebei alikuwa na wasiswasi. "Tusipokwenda mjini, sitapata sare yangu ya shule," aliwaza. Baadhi yao walikata tamaa wakarudi nyumbani. Ebei alilia akakataa kurudi. "Tutasubiri zaidi," mamake alimtuliza. Ghafla, walisikia mngurumo. Wakaona vumbi hewani. Basi lilikuwa linakuja kwa kasi. Basi halikuwa la bluu wala halikuwa kubwa. Basi lile lilikuwa dogo na jekundu. Waliosubiri waliliangalia tu na hawakuingia ndani. Dereva aliwaita, "Ingieni! Ingieni! Tumechelewa sana leo." Ebei na mamake walikuwa wa kwanza kuingia. Mara wote waliingia ndani ya basi lile dogo jekundu. Ebei alichungulia dirishani. Aliwaona watu wengi zaidi wakiingia ndani ya basi. Mara basi likaondoka. Ebei aliwaona watu wengine wakikimbia kulifikia basi. Walikuwa tayari wamechelewa. Mamake Ebei alimwuliza dereva, "Liko wapi basi kubwa la bluu?" Dereva alimjibu, "Basi la bluu liliharibika. Linatengenezwa. Kesho litakuja." Ebei hakujali rangi wala ukubwa wa basi. Alifurahi kuwa basi lile lilikuwa linawapeleka mjini. Hatimaye, atanunuliwa sare ya shule. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Basi kubwa la bluu Author - Mecelin Kakoro Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini walitumia basi jekendu
{ "text": [ "Basi la bluu lilikuwa limeharibika" ] }
2191_swa
Bi Simu Huyu anaitwa Bi Simu. Mtazame vizuri! Bi Simu ana simu tano. Asubuhi, yeye huzipanga simu zake tano mezani. Kila simu inatumika kwapigia watu tofauti. Simu ya rangi ya manjano ni ya kuwasiliana na familia yake. Nayo ile ya rangi nyeupe, ni ya kuwasiliana na wenzake anaofanya nao kazi. Bi Simu huitumia ile ya rangi nyekundu kuwasiliana na watu anaowadai! Ile ya rangi ya waridi ni ya kuwasiliana na marafiki zake wa karibu. Kuna ile ya kizambarau. Bi Simu huitumia hii kuwasiliana na wanaohitaji msaada wake. Bi Simu hufurahia watu wanapofurahi. Hapendi ugomvi wala vita. Asipokuwa kazini, Bi Simu huwaalika watoto ukumbini kwake. Wao hutazama runinga na kupata mawaidha. Bi Simu anawahurumia wanyonge. Huwatembelea wagonjwa na wazee nyumbani kwao. Kila apitapo, watu hupiga mayowe wakimwita, "Bi Simu! Bi Simu!" Naye hufurahia na kusema, "Mimi ni Bi Simu. Nazitumia simu zangu kuwasiliana na wote." Huyo ni Bi Simu na simu zake tano! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bi Simu Author - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bi simu ana simu ngapi
{ "text": [ "tano" ] }
2191_swa
Bi Simu Huyu anaitwa Bi Simu. Mtazame vizuri! Bi Simu ana simu tano. Asubuhi, yeye huzipanga simu zake tano mezani. Kila simu inatumika kwapigia watu tofauti. Simu ya rangi ya manjano ni ya kuwasiliana na familia yake. Nayo ile ya rangi nyeupe, ni ya kuwasiliana na wenzake anaofanya nao kazi. Bi Simu huitumia ile ya rangi nyekundu kuwasiliana na watu anaowadai! Ile ya rangi ya waridi ni ya kuwasiliana na marafiki zake wa karibu. Kuna ile ya kizambarau. Bi Simu huitumia hii kuwasiliana na wanaohitaji msaada wake. Bi Simu hufurahia watu wanapofurahi. Hapendi ugomvi wala vita. Asipokuwa kazini, Bi Simu huwaalika watoto ukumbini kwake. Wao hutazama runinga na kupata mawaidha. Bi Simu anawahurumia wanyonge. Huwatembelea wagonjwa na wazee nyumbani kwao. Kila apitapo, watu hupiga mayowe wakimwita, "Bi Simu! Bi Simu!" Naye hufurahia na kusema, "Mimi ni Bi Simu. Nazitumia simu zangu kuwasiliana na wote." Huyo ni Bi Simu na simu zake tano! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bi Simu Author - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bi Simu hupanga simu zake mezani lini
{ "text": [ "asubuhi" ] }
2191_swa
Bi Simu Huyu anaitwa Bi Simu. Mtazame vizuri! Bi Simu ana simu tano. Asubuhi, yeye huzipanga simu zake tano mezani. Kila simu inatumika kwapigia watu tofauti. Simu ya rangi ya manjano ni ya kuwasiliana na familia yake. Nayo ile ya rangi nyeupe, ni ya kuwasiliana na wenzake anaofanya nao kazi. Bi Simu huitumia ile ya rangi nyekundu kuwasiliana na watu anaowadai! Ile ya rangi ya waridi ni ya kuwasiliana na marafiki zake wa karibu. Kuna ile ya kizambarau. Bi Simu huitumia hii kuwasiliana na wanaohitaji msaada wake. Bi Simu hufurahia watu wanapofurahi. Hapendi ugomvi wala vita. Asipokuwa kazini, Bi Simu huwaalika watoto ukumbini kwake. Wao hutazama runinga na kupata mawaidha. Bi Simu anawahurumia wanyonge. Huwatembelea wagonjwa na wazee nyumbani kwao. Kila apitapo, watu hupiga mayowe wakimwita, "Bi Simu! Bi Simu!" Naye hufurahia na kusema, "Mimi ni Bi Simu. Nazitumia simu zangu kuwasiliana na wote." Huyo ni Bi Simu na simu zake tano! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bi Simu Author - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simu gani ni ya kuwasiliana na familia yake
{ "text": [ "ya manjano" ] }
2191_swa
Bi Simu Huyu anaitwa Bi Simu. Mtazame vizuri! Bi Simu ana simu tano. Asubuhi, yeye huzipanga simu zake tano mezani. Kila simu inatumika kwapigia watu tofauti. Simu ya rangi ya manjano ni ya kuwasiliana na familia yake. Nayo ile ya rangi nyeupe, ni ya kuwasiliana na wenzake anaofanya nao kazi. Bi Simu huitumia ile ya rangi nyekundu kuwasiliana na watu anaowadai! Ile ya rangi ya waridi ni ya kuwasiliana na marafiki zake wa karibu. Kuna ile ya kizambarau. Bi Simu huitumia hii kuwasiliana na wanaohitaji msaada wake. Bi Simu hufurahia watu wanapofurahi. Hapendi ugomvi wala vita. Asipokuwa kazini, Bi Simu huwaalika watoto ukumbini kwake. Wao hutazama runinga na kupata mawaidha. Bi Simu anawahurumia wanyonge. Huwatembelea wagonjwa na wazee nyumbani kwao. Kila apitapo, watu hupiga mayowe wakimwita, "Bi Simu! Bi Simu!" Naye hufurahia na kusema, "Mimi ni Bi Simu. Nazitumia simu zangu kuwasiliana na wote." Huyo ni Bi Simu na simu zake tano! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bi Simu Author - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bi Simu huzitumia vipi simu zake
{ "text": [ "kuwasiliana na wote" ] }
2191_swa
Bi Simu Huyu anaitwa Bi Simu. Mtazame vizuri! Bi Simu ana simu tano. Asubuhi, yeye huzipanga simu zake tano mezani. Kila simu inatumika kwapigia watu tofauti. Simu ya rangi ya manjano ni ya kuwasiliana na familia yake. Nayo ile ya rangi nyeupe, ni ya kuwasiliana na wenzake anaofanya nao kazi. Bi Simu huitumia ile ya rangi nyekundu kuwasiliana na watu anaowadai! Ile ya rangi ya waridi ni ya kuwasiliana na marafiki zake wa karibu. Kuna ile ya kizambarau. Bi Simu huitumia hii kuwasiliana na wanaohitaji msaada wake. Bi Simu hufurahia watu wanapofurahi. Hapendi ugomvi wala vita. Asipokuwa kazini, Bi Simu huwaalika watoto ukumbini kwake. Wao hutazama runinga na kupata mawaidha. Bi Simu anawahurumia wanyonge. Huwatembelea wagonjwa na wazee nyumbani kwao. Kila apitapo, watu hupiga mayowe wakimwita, "Bi Simu! Bi Simu!" Naye hufurahia na kusema, "Mimi ni Bi Simu. Nazitumia simu zangu kuwasiliana na wote." Huyo ni Bi Simu na simu zake tano! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bi Simu Author - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Bi Simu hufurahia watu wanapofurahi
{ "text": [ "hapendi ugomvi wala vita" ] }
2192_swa
Biantaka na chungu kilichokufa Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyeitwa Biantaka. Alikuwa na ng'ombe. Kila siku Biantaka alimlisha ng'ombe wake na kumpa maji. Alikuwa na chungu kidogo alichotumia kuchota maji. Siku moja, Biantaka alimwendea jirani yake kumuomba chungu kikubwa ili akitumie kuchota maji. Jirani yake alikubali kumwazima Biantaka chungu kikubwa. Alisema, "Tatizo la jirani yangu ni tatizo langu." Siku chache baadaye, Biantaka alienda kwa mfinyanzi akanunua chungu kidogo. Alipofika nyumbani, alikiweka ndani ya kile chungu kikubwa alichomuomba jirani yake. Alijitwika chungu kikubwa kilichokuwa na kile kidogo ndani yake. Akaenda moja kwa moja hadi kwa jirani yake aliyemwazima. Biantaka alimwambia, "Nimekurejeshea chungu chako ambacho kimezaa kingine." Jirani alishangaa kwamba chungu chake kilikuwa kimezaa chungu kingine. Alimpongeza Biantaka akisema, "Umebarikiwa sana." Baada ya muda, Biantaka alirudi kwa jirani yake kumuomba chungu tena. Mara hii, kakuwa na nia nzuri. Mwenye chungu alimsubiri Biantaka arejeshe chungu chake bila mafanikio. Mwishowe, alikwenda nyumbani kwa Biantaka akasema, "Nimekuja kukichukuwa chungu changu." Biantaka alimwambia jirani yake, "Rafiki yangu, chungu chetu kilifariki. Nilikusudia kuja kukuletea ujumbe huo mbaya." Kwa mshangao, Jirani aliruka juu. Uso wake ulianza kufura kwa hasira. Alipiga kelele akimkemea Biantaka, "Sijawahi kusikia kuwa chungu kinafariki!" Biantaka alimjibu, "Rafiki yangu, lazima uyakubali mambo haya. Kila kitu kinachozaa lazima pia kifariki. Mimi pia nilihuzunika sana kufuatia kifo cha chungu chako kikubwa." Jirani alifoka kwa hasira akaenda kortini kumshtaki Biantaka. Hakimu alisikiliza maelezo ya pande zote mbili. Aliamua kuwa jirani mwenye chungu ndiye aliyekuwa na makosa. Hakimu alimwuliza, "Biantaka alipokwambia kuwa chungu chako kilizaa, ulikubali. Kwa hivyo unapaswa kukubali anaposema kwamba kila kiumbe hai kinachozaa lazima kifariki kwa kuwa anasema ukweli." Hivyo ndivyo hakimu alivyoamua kesi hiyo. Jirani alitembea polepole kama konokono akarudi nyumbani. Alikuwa amekipoteza chungu chake kikubwa. Naye Biantaka alikuwa amekipata chungu kikubwa kwa kutumia ujanja wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biantaka na chungu kilichokufa Author - Peter Kisakye Translation - Ursula Nafula Illustration - Emily Berg Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Biantaka alikua na nini
{ "text": [ "ng'ombe" ] }
2192_swa
Biantaka na chungu kilichokufa Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyeitwa Biantaka. Alikuwa na ng'ombe. Kila siku Biantaka alimlisha ng'ombe wake na kumpa maji. Alikuwa na chungu kidogo alichotumia kuchota maji. Siku moja, Biantaka alimwendea jirani yake kumuomba chungu kikubwa ili akitumie kuchota maji. Jirani yake alikubali kumwazima Biantaka chungu kikubwa. Alisema, "Tatizo la jirani yangu ni tatizo langu." Siku chache baadaye, Biantaka alienda kwa mfinyanzi akanunua chungu kidogo. Alipofika nyumbani, alikiweka ndani ya kile chungu kikubwa alichomuomba jirani yake. Alijitwika chungu kikubwa kilichokuwa na kile kidogo ndani yake. Akaenda moja kwa moja hadi kwa jirani yake aliyemwazima. Biantaka alimwambia, "Nimekurejeshea chungu chako ambacho kimezaa kingine." Jirani alishangaa kwamba chungu chake kilikuwa kimezaa chungu kingine. Alimpongeza Biantaka akisema, "Umebarikiwa sana." Baada ya muda, Biantaka alirudi kwa jirani yake kumuomba chungu tena. Mara hii, kakuwa na nia nzuri. Mwenye chungu alimsubiri Biantaka arejeshe chungu chake bila mafanikio. Mwishowe, alikwenda nyumbani kwa Biantaka akasema, "Nimekuja kukichukuwa chungu changu." Biantaka alimwambia jirani yake, "Rafiki yangu, chungu chetu kilifariki. Nilikusudia kuja kukuletea ujumbe huo mbaya." Kwa mshangao, Jirani aliruka juu. Uso wake ulianza kufura kwa hasira. Alipiga kelele akimkemea Biantaka, "Sijawahi kusikia kuwa chungu kinafariki!" Biantaka alimjibu, "Rafiki yangu, lazima uyakubali mambo haya. Kila kitu kinachozaa lazima pia kifariki. Mimi pia nilihuzunika sana kufuatia kifo cha chungu chako kikubwa." Jirani alifoka kwa hasira akaenda kortini kumshtaki Biantaka. Hakimu alisikiliza maelezo ya pande zote mbili. Aliamua kuwa jirani mwenye chungu ndiye aliyekuwa na makosa. Hakimu alimwuliza, "Biantaka alipokwambia kuwa chungu chako kilizaa, ulikubali. Kwa hivyo unapaswa kukubali anaposema kwamba kila kiumbe hai kinachozaa lazima kifariki kwa kuwa anasema ukweli." Hivyo ndivyo hakimu alivyoamua kesi hiyo. Jirani alitembea polepole kama konokono akarudi nyumbani. Alikuwa amekipoteza chungu chake kikubwa. Naye Biantaka alikuwa amekipata chungu kikubwa kwa kutumia ujanja wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biantaka na chungu kilichokufa Author - Peter Kisakye Translation - Ursula Nafula Illustration - Emily Berg Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Biantaka alienda kwa jirani kumuomba nini
{ "text": [ "chungu kikubwa" ] }
2192_swa
Biantaka na chungu kilichokufa Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyeitwa Biantaka. Alikuwa na ng'ombe. Kila siku Biantaka alimlisha ng'ombe wake na kumpa maji. Alikuwa na chungu kidogo alichotumia kuchota maji. Siku moja, Biantaka alimwendea jirani yake kumuomba chungu kikubwa ili akitumie kuchota maji. Jirani yake alikubali kumwazima Biantaka chungu kikubwa. Alisema, "Tatizo la jirani yangu ni tatizo langu." Siku chache baadaye, Biantaka alienda kwa mfinyanzi akanunua chungu kidogo. Alipofika nyumbani, alikiweka ndani ya kile chungu kikubwa alichomuomba jirani yake. Alijitwika chungu kikubwa kilichokuwa na kile kidogo ndani yake. Akaenda moja kwa moja hadi kwa jirani yake aliyemwazima. Biantaka alimwambia, "Nimekurejeshea chungu chako ambacho kimezaa kingine." Jirani alishangaa kwamba chungu chake kilikuwa kimezaa chungu kingine. Alimpongeza Biantaka akisema, "Umebarikiwa sana." Baada ya muda, Biantaka alirudi kwa jirani yake kumuomba chungu tena. Mara hii, kakuwa na nia nzuri. Mwenye chungu alimsubiri Biantaka arejeshe chungu chake bila mafanikio. Mwishowe, alikwenda nyumbani kwa Biantaka akasema, "Nimekuja kukichukuwa chungu changu." Biantaka alimwambia jirani yake, "Rafiki yangu, chungu chetu kilifariki. Nilikusudia kuja kukuletea ujumbe huo mbaya." Kwa mshangao, Jirani aliruka juu. Uso wake ulianza kufura kwa hasira. Alipiga kelele akimkemea Biantaka, "Sijawahi kusikia kuwa chungu kinafariki!" Biantaka alimjibu, "Rafiki yangu, lazima uyakubali mambo haya. Kila kitu kinachozaa lazima pia kifariki. Mimi pia nilihuzunika sana kufuatia kifo cha chungu chako kikubwa." Jirani alifoka kwa hasira akaenda kortini kumshtaki Biantaka. Hakimu alisikiliza maelezo ya pande zote mbili. Aliamua kuwa jirani mwenye chungu ndiye aliyekuwa na makosa. Hakimu alimwuliza, "Biantaka alipokwambia kuwa chungu chako kilizaa, ulikubali. Kwa hivyo unapaswa kukubali anaposema kwamba kila kiumbe hai kinachozaa lazima kifariki kwa kuwa anasema ukweli." Hivyo ndivyo hakimu alivyoamua kesi hiyo. Jirani alitembea polepole kama konokono akarudi nyumbani. Alikuwa amekipoteza chungu chake kikubwa. Naye Biantaka alikuwa amekipata chungu kikubwa kwa kutumia ujanja wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biantaka na chungu kilichokufa Author - Peter Kisakye Translation - Ursula Nafula Illustration - Emily Berg Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Jirani alimpongeza Biantaka kwa kusema nini
{ "text": [ "amebarikiwa sana" ] }
2192_swa
Biantaka na chungu kilichokufa Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyeitwa Biantaka. Alikuwa na ng'ombe. Kila siku Biantaka alimlisha ng'ombe wake na kumpa maji. Alikuwa na chungu kidogo alichotumia kuchota maji. Siku moja, Biantaka alimwendea jirani yake kumuomba chungu kikubwa ili akitumie kuchota maji. Jirani yake alikubali kumwazima Biantaka chungu kikubwa. Alisema, "Tatizo la jirani yangu ni tatizo langu." Siku chache baadaye, Biantaka alienda kwa mfinyanzi akanunua chungu kidogo. Alipofika nyumbani, alikiweka ndani ya kile chungu kikubwa alichomuomba jirani yake. Alijitwika chungu kikubwa kilichokuwa na kile kidogo ndani yake. Akaenda moja kwa moja hadi kwa jirani yake aliyemwazima. Biantaka alimwambia, "Nimekurejeshea chungu chako ambacho kimezaa kingine." Jirani alishangaa kwamba chungu chake kilikuwa kimezaa chungu kingine. Alimpongeza Biantaka akisema, "Umebarikiwa sana." Baada ya muda, Biantaka alirudi kwa jirani yake kumuomba chungu tena. Mara hii, kakuwa na nia nzuri. Mwenye chungu alimsubiri Biantaka arejeshe chungu chake bila mafanikio. Mwishowe, alikwenda nyumbani kwa Biantaka akasema, "Nimekuja kukichukuwa chungu changu." Biantaka alimwambia jirani yake, "Rafiki yangu, chungu chetu kilifariki. Nilikusudia kuja kukuletea ujumbe huo mbaya." Kwa mshangao, Jirani aliruka juu. Uso wake ulianza kufura kwa hasira. Alipiga kelele akimkemea Biantaka, "Sijawahi kusikia kuwa chungu kinafariki!" Biantaka alimjibu, "Rafiki yangu, lazima uyakubali mambo haya. Kila kitu kinachozaa lazima pia kifariki. Mimi pia nilihuzunika sana kufuatia kifo cha chungu chako kikubwa." Jirani alifoka kwa hasira akaenda kortini kumshtaki Biantaka. Hakimu alisikiliza maelezo ya pande zote mbili. Aliamua kuwa jirani mwenye chungu ndiye aliyekuwa na makosa. Hakimu alimwuliza, "Biantaka alipokwambia kuwa chungu chako kilizaa, ulikubali. Kwa hivyo unapaswa kukubali anaposema kwamba kila kiumbe hai kinachozaa lazima kifariki kwa kuwa anasema ukweli." Hivyo ndivyo hakimu alivyoamua kesi hiyo. Jirani alitembea polepole kama konokono akarudi nyumbani. Alikuwa amekipoteza chungu chake kikubwa. Naye Biantaka alikuwa amekipata chungu kikubwa kwa kutumia ujanja wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biantaka na chungu kilichokufa Author - Peter Kisakye Translation - Ursula Nafula Illustration - Emily Berg Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Jirani alikwenda nyumbani kwake Biantaka lini kukichukua chungu
{ "text": [ "aliposubiri bila mafanikio" ] }
2192_swa
Biantaka na chungu kilichokufa Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyeitwa Biantaka. Alikuwa na ng'ombe. Kila siku Biantaka alimlisha ng'ombe wake na kumpa maji. Alikuwa na chungu kidogo alichotumia kuchota maji. Siku moja, Biantaka alimwendea jirani yake kumuomba chungu kikubwa ili akitumie kuchota maji. Jirani yake alikubali kumwazima Biantaka chungu kikubwa. Alisema, "Tatizo la jirani yangu ni tatizo langu." Siku chache baadaye, Biantaka alienda kwa mfinyanzi akanunua chungu kidogo. Alipofika nyumbani, alikiweka ndani ya kile chungu kikubwa alichomuomba jirani yake. Alijitwika chungu kikubwa kilichokuwa na kile kidogo ndani yake. Akaenda moja kwa moja hadi kwa jirani yake aliyemwazima. Biantaka alimwambia, "Nimekurejeshea chungu chako ambacho kimezaa kingine." Jirani alishangaa kwamba chungu chake kilikuwa kimezaa chungu kingine. Alimpongeza Biantaka akisema, "Umebarikiwa sana." Baada ya muda, Biantaka alirudi kwa jirani yake kumuomba chungu tena. Mara hii, kakuwa na nia nzuri. Mwenye chungu alimsubiri Biantaka arejeshe chungu chake bila mafanikio. Mwishowe, alikwenda nyumbani kwa Biantaka akasema, "Nimekuja kukichukuwa chungu changu." Biantaka alimwambia jirani yake, "Rafiki yangu, chungu chetu kilifariki. Nilikusudia kuja kukuletea ujumbe huo mbaya." Kwa mshangao, Jirani aliruka juu. Uso wake ulianza kufura kwa hasira. Alipiga kelele akimkemea Biantaka, "Sijawahi kusikia kuwa chungu kinafariki!" Biantaka alimjibu, "Rafiki yangu, lazima uyakubali mambo haya. Kila kitu kinachozaa lazima pia kifariki. Mimi pia nilihuzunika sana kufuatia kifo cha chungu chako kikubwa." Jirani alifoka kwa hasira akaenda kortini kumshtaki Biantaka. Hakimu alisikiliza maelezo ya pande zote mbili. Aliamua kuwa jirani mwenye chungu ndiye aliyekuwa na makosa. Hakimu alimwuliza, "Biantaka alipokwambia kuwa chungu chako kilizaa, ulikubali. Kwa hivyo unapaswa kukubali anaposema kwamba kila kiumbe hai kinachozaa lazima kifariki kwa kuwa anasema ukweli." Hivyo ndivyo hakimu alivyoamua kesi hiyo. Jirani alitembea polepole kama konokono akarudi nyumbani. Alikuwa amekipoteza chungu chake kikubwa. Naye Biantaka alikuwa amekipata chungu kikubwa kwa kutumia ujanja wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biantaka na chungu kilichokufa Author - Peter Kisakye Translation - Ursula Nafula Illustration - Emily Berg Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Kwa nini jirani alitembea polepole kama konokono akirudi nyumbani
{ "text": [ "alikua amekipoteza chungu chake kikubwa" ] }
2193_swa
Biashara ya Akoro ya ndizi Akoro ni mumewe Chichi. Wanaishi katika kijiji kiitwacho Kanam katika Kaunti ya Turkana. Akoro ana bustani ya ndizi inayompatia mazao mazuri. Siku moja kabla jua kuwa kali, Akoro aliondoka akibeba kreti ya ndizi mbivu kichwani kwake. Alitembea kwa ujasiri akielekea sokoni Kilindo, umbali wa kilomita moja kutoka nyumbani kwake. Wanaume na wanawake wa umri wake walimtazama kwa mshangao. Baadhi yao hata walimcheka kwa sauti, "Bila shaka Akoro amerogwa. Anawezaje kufanya kazi kama hii? Wanaume kutoka jamii yetu hawauzi ndizi!" Lakini, Akoro hakujali. Alikuwa ameamua kuifanya kazi yoyote kwa bidii. Alipowasili sokoni tu, Akoro alizipanga ndizi zake kisha akaketi karibu nazo akisubiri wateja. Alijiuliza, "Kuna yeyote atakayezinunua ndizi zangu?" Dakika chache baadaye, mwanamke aliyevalia rinda la kizambarau, alikikaribia kibanda cha Akoro. "Unauza ndizi kilo moja pesa ngapi?" mwanamke yule aliuliza. "Shilingi hamsini, dadangu," Akoro alimjibu kwa heshima. Mwanamke yule akasema, "Tafadhali nifungie kilo moja na nusu. Lakini, lazima unipunguzie bei." Akoro akamjibu, "Hakuna shida dadangu, nitapunguza shilingi kumi. Wewe ni mteja wangu wa kwanza." Akoro alimpatia mwanamke yule ndizi zake. Akoro alianza kufurahia biashara yake. Wanunuzi walivutiwa na ndizi zilizopendeza na maneno ya Akoro matamu. Adhuhuri, Akoro alikuwa amechoka kusimama. Alikikalia kigoda akaendelea kuuza ndizi zake. Mwanamke aliyevalia rinda la bluu, alinunua ndizi nyingi. Waliomcheka Akoro, walianza kushangaa jinsi biashara yake ya ndizi ilivyonawiri. Saa tisa alasiri, Akoro alimuuzia mwanamke aliyekuwa akitoka kazi ndizi zake za mwisho. Aliwapa ndizi mbili mbili wanaume walioketi naye wakati huo wote. Walimtumbuiza kwa hadithi tamu alipowasubiri wateja. Akoro alliondoka na kreti tupu kichwani. Alitembea akiimba wimbo wa furaha akijivunia kazi aliyoifanya siku hiyo. Aliwaza, "Kufanya bidii kwa dhati ni jambo muhimu maishani." Aliinunulia familiia yake unga wa mahindi, mafuta ya mboga, chai, sukari na mkate. Kisha alienda nyumbani kwa furaha. Mawazo yake yalijaa mipango ya kuipanua biashara yake ya ndizi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biashara ya Akoro ya ndizi Author - Mele Joab Translation - Ursula Nafula Illustration - Atilabachew Reda and Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Creative Commons Attribution (Cc-By 4.0) 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Akoro na Chichi wanaishi kaunti gani
{ "text": [ "Turkana" ] }
2193_swa
Biashara ya Akoro ya ndizi Akoro ni mumewe Chichi. Wanaishi katika kijiji kiitwacho Kanam katika Kaunti ya Turkana. Akoro ana bustani ya ndizi inayompatia mazao mazuri. Siku moja kabla jua kuwa kali, Akoro aliondoka akibeba kreti ya ndizi mbivu kichwani kwake. Alitembea kwa ujasiri akielekea sokoni Kilindo, umbali wa kilomita moja kutoka nyumbani kwake. Wanaume na wanawake wa umri wake walimtazama kwa mshangao. Baadhi yao hata walimcheka kwa sauti, "Bila shaka Akoro amerogwa. Anawezaje kufanya kazi kama hii? Wanaume kutoka jamii yetu hawauzi ndizi!" Lakini, Akoro hakujali. Alikuwa ameamua kuifanya kazi yoyote kwa bidii. Alipowasili sokoni tu, Akoro alizipanga ndizi zake kisha akaketi karibu nazo akisubiri wateja. Alijiuliza, "Kuna yeyote atakayezinunua ndizi zangu?" Dakika chache baadaye, mwanamke aliyevalia rinda la kizambarau, alikikaribia kibanda cha Akoro. "Unauza ndizi kilo moja pesa ngapi?" mwanamke yule aliuliza. "Shilingi hamsini, dadangu," Akoro alimjibu kwa heshima. Mwanamke yule akasema, "Tafadhali nifungie kilo moja na nusu. Lakini, lazima unipunguzie bei." Akoro akamjibu, "Hakuna shida dadangu, nitapunguza shilingi kumi. Wewe ni mteja wangu wa kwanza." Akoro alimpatia mwanamke yule ndizi zake. Akoro alianza kufurahia biashara yake. Wanunuzi walivutiwa na ndizi zilizopendeza na maneno ya Akoro matamu. Adhuhuri, Akoro alikuwa amechoka kusimama. Alikikalia kigoda akaendelea kuuza ndizi zake. Mwanamke aliyevalia rinda la bluu, alinunua ndizi nyingi. Waliomcheka Akoro, walianza kushangaa jinsi biashara yake ya ndizi ilivyonawiri. Saa tisa alasiri, Akoro alimuuzia mwanamke aliyekuwa akitoka kazi ndizi zake za mwisho. Aliwapa ndizi mbili mbili wanaume walioketi naye wakati huo wote. Walimtumbuiza kwa hadithi tamu alipowasubiri wateja. Akoro alliondoka na kreti tupu kichwani. Alitembea akiimba wimbo wa furaha akijivunia kazi aliyoifanya siku hiyo. Aliwaza, "Kufanya bidii kwa dhati ni jambo muhimu maishani." Aliinunulia familiia yake unga wa mahindi, mafuta ya mboga, chai, sukari na mkate. Kisha alienda nyumbani kwa furaha. Mawazo yake yalijaa mipango ya kuipanua biashara yake ya ndizi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biashara ya Akoro ya ndizi Author - Mele Joab Translation - Ursula Nafula Illustration - Atilabachew Reda and Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Creative Commons Attribution (Cc-By 4.0) 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Soko lilikuwa umbali wa kilomita ngapi kutoka nyumbani kwa Akoro
{ "text": [ "Kilomita moja" ] }
2193_swa
Biashara ya Akoro ya ndizi Akoro ni mumewe Chichi. Wanaishi katika kijiji kiitwacho Kanam katika Kaunti ya Turkana. Akoro ana bustani ya ndizi inayompatia mazao mazuri. Siku moja kabla jua kuwa kali, Akoro aliondoka akibeba kreti ya ndizi mbivu kichwani kwake. Alitembea kwa ujasiri akielekea sokoni Kilindo, umbali wa kilomita moja kutoka nyumbani kwake. Wanaume na wanawake wa umri wake walimtazama kwa mshangao. Baadhi yao hata walimcheka kwa sauti, "Bila shaka Akoro amerogwa. Anawezaje kufanya kazi kama hii? Wanaume kutoka jamii yetu hawauzi ndizi!" Lakini, Akoro hakujali. Alikuwa ameamua kuifanya kazi yoyote kwa bidii. Alipowasili sokoni tu, Akoro alizipanga ndizi zake kisha akaketi karibu nazo akisubiri wateja. Alijiuliza, "Kuna yeyote atakayezinunua ndizi zangu?" Dakika chache baadaye, mwanamke aliyevalia rinda la kizambarau, alikikaribia kibanda cha Akoro. "Unauza ndizi kilo moja pesa ngapi?" mwanamke yule aliuliza. "Shilingi hamsini, dadangu," Akoro alimjibu kwa heshima. Mwanamke yule akasema, "Tafadhali nifungie kilo moja na nusu. Lakini, lazima unipunguzie bei." Akoro akamjibu, "Hakuna shida dadangu, nitapunguza shilingi kumi. Wewe ni mteja wangu wa kwanza." Akoro alimpatia mwanamke yule ndizi zake. Akoro alianza kufurahia biashara yake. Wanunuzi walivutiwa na ndizi zilizopendeza na maneno ya Akoro matamu. Adhuhuri, Akoro alikuwa amechoka kusimama. Alikikalia kigoda akaendelea kuuza ndizi zake. Mwanamke aliyevalia rinda la bluu, alinunua ndizi nyingi. Waliomcheka Akoro, walianza kushangaa jinsi biashara yake ya ndizi ilivyonawiri. Saa tisa alasiri, Akoro alimuuzia mwanamke aliyekuwa akitoka kazi ndizi zake za mwisho. Aliwapa ndizi mbili mbili wanaume walioketi naye wakati huo wote. Walimtumbuiza kwa hadithi tamu alipowasubiri wateja. Akoro alliondoka na kreti tupu kichwani. Alitembea akiimba wimbo wa furaha akijivunia kazi aliyoifanya siku hiyo. Aliwaza, "Kufanya bidii kwa dhati ni jambo muhimu maishani." Aliinunulia familiia yake unga wa mahindi, mafuta ya mboga, chai, sukari na mkate. Kisha alienda nyumbani kwa furaha. Mawazo yake yalijaa mipango ya kuipanua biashara yake ya ndizi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biashara ya Akoro ya ndizi Author - Mele Joab Translation - Ursula Nafula Illustration - Atilabachew Reda and Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Creative Commons Attribution (Cc-By 4.0) 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mteja wa kwanza wa Akoro alikuwa nani
{ "text": [ "Mwanamke mwenye rinda la kizambarau" ] }
2193_swa
Biashara ya Akoro ya ndizi Akoro ni mumewe Chichi. Wanaishi katika kijiji kiitwacho Kanam katika Kaunti ya Turkana. Akoro ana bustani ya ndizi inayompatia mazao mazuri. Siku moja kabla jua kuwa kali, Akoro aliondoka akibeba kreti ya ndizi mbivu kichwani kwake. Alitembea kwa ujasiri akielekea sokoni Kilindo, umbali wa kilomita moja kutoka nyumbani kwake. Wanaume na wanawake wa umri wake walimtazama kwa mshangao. Baadhi yao hata walimcheka kwa sauti, "Bila shaka Akoro amerogwa. Anawezaje kufanya kazi kama hii? Wanaume kutoka jamii yetu hawauzi ndizi!" Lakini, Akoro hakujali. Alikuwa ameamua kuifanya kazi yoyote kwa bidii. Alipowasili sokoni tu, Akoro alizipanga ndizi zake kisha akaketi karibu nazo akisubiri wateja. Alijiuliza, "Kuna yeyote atakayezinunua ndizi zangu?" Dakika chache baadaye, mwanamke aliyevalia rinda la kizambarau, alikikaribia kibanda cha Akoro. "Unauza ndizi kilo moja pesa ngapi?" mwanamke yule aliuliza. "Shilingi hamsini, dadangu," Akoro alimjibu kwa heshima. Mwanamke yule akasema, "Tafadhali nifungie kilo moja na nusu. Lakini, lazima unipunguzie bei." Akoro akamjibu, "Hakuna shida dadangu, nitapunguza shilingi kumi. Wewe ni mteja wangu wa kwanza." Akoro alimpatia mwanamke yule ndizi zake. Akoro alianza kufurahia biashara yake. Wanunuzi walivutiwa na ndizi zilizopendeza na maneno ya Akoro matamu. Adhuhuri, Akoro alikuwa amechoka kusimama. Alikikalia kigoda akaendelea kuuza ndizi zake. Mwanamke aliyevalia rinda la bluu, alinunua ndizi nyingi. Waliomcheka Akoro, walianza kushangaa jinsi biashara yake ya ndizi ilivyonawiri. Saa tisa alasiri, Akoro alimuuzia mwanamke aliyekuwa akitoka kazi ndizi zake za mwisho. Aliwapa ndizi mbili mbili wanaume walioketi naye wakati huo wote. Walimtumbuiza kwa hadithi tamu alipowasubiri wateja. Akoro alliondoka na kreti tupu kichwani. Alitembea akiimba wimbo wa furaha akijivunia kazi aliyoifanya siku hiyo. Aliwaza, "Kufanya bidii kwa dhati ni jambo muhimu maishani." Aliinunulia familiia yake unga wa mahindi, mafuta ya mboga, chai, sukari na mkate. Kisha alienda nyumbani kwa furaha. Mawazo yake yalijaa mipango ya kuipanua biashara yake ya ndizi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biashara ya Akoro ya ndizi Author - Mele Joab Translation - Ursula Nafula Illustration - Atilabachew Reda and Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Creative Commons Attribution (Cc-By 4.0) 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mteja wa pili wa Akoro alikuwa amevalia rinda la rangi gani
{ "text": [ "Bluu" ] }
2193_swa
Biashara ya Akoro ya ndizi Akoro ni mumewe Chichi. Wanaishi katika kijiji kiitwacho Kanam katika Kaunti ya Turkana. Akoro ana bustani ya ndizi inayompatia mazao mazuri. Siku moja kabla jua kuwa kali, Akoro aliondoka akibeba kreti ya ndizi mbivu kichwani kwake. Alitembea kwa ujasiri akielekea sokoni Kilindo, umbali wa kilomita moja kutoka nyumbani kwake. Wanaume na wanawake wa umri wake walimtazama kwa mshangao. Baadhi yao hata walimcheka kwa sauti, "Bila shaka Akoro amerogwa. Anawezaje kufanya kazi kama hii? Wanaume kutoka jamii yetu hawauzi ndizi!" Lakini, Akoro hakujali. Alikuwa ameamua kuifanya kazi yoyote kwa bidii. Alipowasili sokoni tu, Akoro alizipanga ndizi zake kisha akaketi karibu nazo akisubiri wateja. Alijiuliza, "Kuna yeyote atakayezinunua ndizi zangu?" Dakika chache baadaye, mwanamke aliyevalia rinda la kizambarau, alikikaribia kibanda cha Akoro. "Unauza ndizi kilo moja pesa ngapi?" mwanamke yule aliuliza. "Shilingi hamsini, dadangu," Akoro alimjibu kwa heshima. Mwanamke yule akasema, "Tafadhali nifungie kilo moja na nusu. Lakini, lazima unipunguzie bei." Akoro akamjibu, "Hakuna shida dadangu, nitapunguza shilingi kumi. Wewe ni mteja wangu wa kwanza." Akoro alimpatia mwanamke yule ndizi zake. Akoro alianza kufurahia biashara yake. Wanunuzi walivutiwa na ndizi zilizopendeza na maneno ya Akoro matamu. Adhuhuri, Akoro alikuwa amechoka kusimama. Alikikalia kigoda akaendelea kuuza ndizi zake. Mwanamke aliyevalia rinda la bluu, alinunua ndizi nyingi. Waliomcheka Akoro, walianza kushangaa jinsi biashara yake ya ndizi ilivyonawiri. Saa tisa alasiri, Akoro alimuuzia mwanamke aliyekuwa akitoka kazi ndizi zake za mwisho. Aliwapa ndizi mbili mbili wanaume walioketi naye wakati huo wote. Walimtumbuiza kwa hadithi tamu alipowasubiri wateja. Akoro alliondoka na kreti tupu kichwani. Alitembea akiimba wimbo wa furaha akijivunia kazi aliyoifanya siku hiyo. Aliwaza, "Kufanya bidii kwa dhati ni jambo muhimu maishani." Aliinunulia familiia yake unga wa mahindi, mafuta ya mboga, chai, sukari na mkate. Kisha alienda nyumbani kwa furaha. Mawazo yake yalijaa mipango ya kuipanua biashara yake ya ndizi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Biashara ya Akoro ya ndizi Author - Mele Joab Translation - Ursula Nafula Illustration - Atilabachew Reda and Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Creative Commons Attribution (Cc-By 4.0) 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Akoro alinunua nini baada ya kuuza ndizi zake
{ "text": [ "Unga wa mahindi, mafuta ya mboga, chai, mkate na sukari" ] }
2195_swa
Bibi atusimulia hadithi Tulikusanyika kwa bibi kuzisikiliza hadithi zake. Usiku huo, tuliketi karibu na meko bibi alipotusimulia hadithi: Sungura na Tembo walikuwa majirani na pia marafiki. Sungura alipenda uyoga, lakini alikuwa mvivu sana. Alizoea kuiba uyoga wa Tembo. Mwaka mmoja, Tembo alipanda ndizi na maboga. Kwa hivyo, Sungura hakupata uyoga. Sungura alikosa chakula kwa siku nyingi akaamua kuiba ndizi za Tembo. Tembo aligundua kwamba ndizi zake zilikuwa zikiibwa. Alimwambia Sungura, "Kuna mtu ananiibia." Sungura aliuliza, "Anaweza kuwa nani anayekuibia?" Tembo alianza kuimba, "Nitamshika mwizi! Aaa! Nitamshika mwizi! Ooo!" Sungura alikuwa na wasiwasi sana. Tembo alimwuliza Kima amchungie shamba lake. Lakini, Sungura hakuiba siku hiyo. Hakuiba siku iliyofuata pia. Kima alichoka kuchunga akarudi nyumbani. Siku iliyofuata, Sungura alienda shambani kwa Tembo kuiba tena. Tembo alipoenda kukagua mimea yake, Sungura alijificha katika matawi ya maboga. Tembo aliyaona matawi yakitingika akaanza kuimba, "Nimemshika mwizi! Aaa! Nimemshika mwizi! Ooo!" Tembo alitafuta kila mahali lakini hakumpata mwizi. Siku moja, Sungura alipokuwa akila mazao ya Tembo shambani, Tembo aliwasili. Sungura aliruka na kujificha ndani ya boga moja kubwa. Tembo aliliona lile boga kubwa akasema, "Ooo! Hapa kuna boga kubwa. Litakuwa chakula changu cha mchana." Alilimeza papo hapo! Sungura alijaribu kuruka nje ya lile boga, lakini hakuweza. Tembo alipohisi kitu kikiruka tumboni mwake, alijiuliza, "Hili ni boga aina gani linaloruka tumboni?" Tembo alilitema nje lile boga. Kabla kulikagua, Sungura alijitosa nje akatoroka. Tembo hakuwahi kumshika mwizi. Bibi alisema, "Na huo ndio mwisho wa hadithi." "Asante bibi," tulimjibu. Tuliweka vikombe vyetu vya maziwa. Tukaenda kulala tukiwaza juu ya hadithi hiyo ya bibi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bibi atusimulia hadithi Author - Mutai Chepkoech Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Hadithi iliyosimuliwa na bibi ilihusu wanyama gani
{ "text": [ "Sungura na Tembo" ] }
2195_swa
Bibi atusimulia hadithi Tulikusanyika kwa bibi kuzisikiliza hadithi zake. Usiku huo, tuliketi karibu na meko bibi alipotusimulia hadithi: Sungura na Tembo walikuwa majirani na pia marafiki. Sungura alipenda uyoga, lakini alikuwa mvivu sana. Alizoea kuiba uyoga wa Tembo. Mwaka mmoja, Tembo alipanda ndizi na maboga. Kwa hivyo, Sungura hakupata uyoga. Sungura alikosa chakula kwa siku nyingi akaamua kuiba ndizi za Tembo. Tembo aligundua kwamba ndizi zake zilikuwa zikiibwa. Alimwambia Sungura, "Kuna mtu ananiibia." Sungura aliuliza, "Anaweza kuwa nani anayekuibia?" Tembo alianza kuimba, "Nitamshika mwizi! Aaa! Nitamshika mwizi! Ooo!" Sungura alikuwa na wasiwasi sana. Tembo alimwuliza Kima amchungie shamba lake. Lakini, Sungura hakuiba siku hiyo. Hakuiba siku iliyofuata pia. Kima alichoka kuchunga akarudi nyumbani. Siku iliyofuata, Sungura alienda shambani kwa Tembo kuiba tena. Tembo alipoenda kukagua mimea yake, Sungura alijificha katika matawi ya maboga. Tembo aliyaona matawi yakitingika akaanza kuimba, "Nimemshika mwizi! Aaa! Nimemshika mwizi! Ooo!" Tembo alitafuta kila mahali lakini hakumpata mwizi. Siku moja, Sungura alipokuwa akila mazao ya Tembo shambani, Tembo aliwasili. Sungura aliruka na kujificha ndani ya boga moja kubwa. Tembo aliliona lile boga kubwa akasema, "Ooo! Hapa kuna boga kubwa. Litakuwa chakula changu cha mchana." Alilimeza papo hapo! Sungura alijaribu kuruka nje ya lile boga, lakini hakuweza. Tembo alipohisi kitu kikiruka tumboni mwake, alijiuliza, "Hili ni boga aina gani linaloruka tumboni?" Tembo alilitema nje lile boga. Kabla kulikagua, Sungura alijitosa nje akatoroka. Tembo hakuwahi kumshika mwizi. Bibi alisema, "Na huo ndio mwisho wa hadithi." "Asante bibi," tulimjibu. Tuliweka vikombe vyetu vya maziwa. Tukaenda kulala tukiwaza juu ya hadithi hiyo ya bibi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bibi atusimulia hadithi Author - Mutai Chepkoech Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alimchungia Tembo shamba lake
{ "text": [ "Kima" ] }
2195_swa
Bibi atusimulia hadithi Tulikusanyika kwa bibi kuzisikiliza hadithi zake. Usiku huo, tuliketi karibu na meko bibi alipotusimulia hadithi: Sungura na Tembo walikuwa majirani na pia marafiki. Sungura alipenda uyoga, lakini alikuwa mvivu sana. Alizoea kuiba uyoga wa Tembo. Mwaka mmoja, Tembo alipanda ndizi na maboga. Kwa hivyo, Sungura hakupata uyoga. Sungura alikosa chakula kwa siku nyingi akaamua kuiba ndizi za Tembo. Tembo aligundua kwamba ndizi zake zilikuwa zikiibwa. Alimwambia Sungura, "Kuna mtu ananiibia." Sungura aliuliza, "Anaweza kuwa nani anayekuibia?" Tembo alianza kuimba, "Nitamshika mwizi! Aaa! Nitamshika mwizi! Ooo!" Sungura alikuwa na wasiwasi sana. Tembo alimwuliza Kima amchungie shamba lake. Lakini, Sungura hakuiba siku hiyo. Hakuiba siku iliyofuata pia. Kima alichoka kuchunga akarudi nyumbani. Siku iliyofuata, Sungura alienda shambani kwa Tembo kuiba tena. Tembo alipoenda kukagua mimea yake, Sungura alijificha katika matawi ya maboga. Tembo aliyaona matawi yakitingika akaanza kuimba, "Nimemshika mwizi! Aaa! Nimemshika mwizi! Ooo!" Tembo alitafuta kila mahali lakini hakumpata mwizi. Siku moja, Sungura alipokuwa akila mazao ya Tembo shambani, Tembo aliwasili. Sungura aliruka na kujificha ndani ya boga moja kubwa. Tembo aliliona lile boga kubwa akasema, "Ooo! Hapa kuna boga kubwa. Litakuwa chakula changu cha mchana." Alilimeza papo hapo! Sungura alijaribu kuruka nje ya lile boga, lakini hakuweza. Tembo alipohisi kitu kikiruka tumboni mwake, alijiuliza, "Hili ni boga aina gani linaloruka tumboni?" Tembo alilitema nje lile boga. Kabla kulikagua, Sungura alijitosa nje akatoroka. Tembo hakuwahi kumshika mwizi. Bibi alisema, "Na huo ndio mwisho wa hadithi." "Asante bibi," tulimjibu. Tuliweka vikombe vyetu vya maziwa. Tukaenda kulala tukiwaza juu ya hadithi hiyo ya bibi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bibi atusimulia hadithi Author - Mutai Chepkoech Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alikuwa na uzoefu wa kuiba uyoga wa Tembo
{ "text": [ "Sungura" ] }
2195_swa
Bibi atusimulia hadithi Tulikusanyika kwa bibi kuzisikiliza hadithi zake. Usiku huo, tuliketi karibu na meko bibi alipotusimulia hadithi: Sungura na Tembo walikuwa majirani na pia marafiki. Sungura alipenda uyoga, lakini alikuwa mvivu sana. Alizoea kuiba uyoga wa Tembo. Mwaka mmoja, Tembo alipanda ndizi na maboga. Kwa hivyo, Sungura hakupata uyoga. Sungura alikosa chakula kwa siku nyingi akaamua kuiba ndizi za Tembo. Tembo aligundua kwamba ndizi zake zilikuwa zikiibwa. Alimwambia Sungura, "Kuna mtu ananiibia." Sungura aliuliza, "Anaweza kuwa nani anayekuibia?" Tembo alianza kuimba, "Nitamshika mwizi! Aaa! Nitamshika mwizi! Ooo!" Sungura alikuwa na wasiwasi sana. Tembo alimwuliza Kima amchungie shamba lake. Lakini, Sungura hakuiba siku hiyo. Hakuiba siku iliyofuata pia. Kima alichoka kuchunga akarudi nyumbani. Siku iliyofuata, Sungura alienda shambani kwa Tembo kuiba tena. Tembo alipoenda kukagua mimea yake, Sungura alijificha katika matawi ya maboga. Tembo aliyaona matawi yakitingika akaanza kuimba, "Nimemshika mwizi! Aaa! Nimemshika mwizi! Ooo!" Tembo alitafuta kila mahali lakini hakumpata mwizi. Siku moja, Sungura alipokuwa akila mazao ya Tembo shambani, Tembo aliwasili. Sungura aliruka na kujificha ndani ya boga moja kubwa. Tembo aliliona lile boga kubwa akasema, "Ooo! Hapa kuna boga kubwa. Litakuwa chakula changu cha mchana." Alilimeza papo hapo! Sungura alijaribu kuruka nje ya lile boga, lakini hakuweza. Tembo alipohisi kitu kikiruka tumboni mwake, alijiuliza, "Hili ni boga aina gani linaloruka tumboni?" Tembo alilitema nje lile boga. Kabla kulikagua, Sungura alijitosa nje akatoroka. Tembo hakuwahi kumshika mwizi. Bibi alisema, "Na huo ndio mwisho wa hadithi." "Asante bibi," tulimjibu. Tuliweka vikombe vyetu vya maziwa. Tukaenda kulala tukiwaza juu ya hadithi hiyo ya bibi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bibi atusimulia hadithi Author - Mutai Chepkoech Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alijificha katika matawi ya maboga Tembo alipokuwa anaikagua mimea yake
{ "text": [ "Sungura" ] }
2195_swa
Bibi atusimulia hadithi Tulikusanyika kwa bibi kuzisikiliza hadithi zake. Usiku huo, tuliketi karibu na meko bibi alipotusimulia hadithi: Sungura na Tembo walikuwa majirani na pia marafiki. Sungura alipenda uyoga, lakini alikuwa mvivu sana. Alizoea kuiba uyoga wa Tembo. Mwaka mmoja, Tembo alipanda ndizi na maboga. Kwa hivyo, Sungura hakupata uyoga. Sungura alikosa chakula kwa siku nyingi akaamua kuiba ndizi za Tembo. Tembo aligundua kwamba ndizi zake zilikuwa zikiibwa. Alimwambia Sungura, "Kuna mtu ananiibia." Sungura aliuliza, "Anaweza kuwa nani anayekuibia?" Tembo alianza kuimba, "Nitamshika mwizi! Aaa! Nitamshika mwizi! Ooo!" Sungura alikuwa na wasiwasi sana. Tembo alimwuliza Kima amchungie shamba lake. Lakini, Sungura hakuiba siku hiyo. Hakuiba siku iliyofuata pia. Kima alichoka kuchunga akarudi nyumbani. Siku iliyofuata, Sungura alienda shambani kwa Tembo kuiba tena. Tembo alipoenda kukagua mimea yake, Sungura alijificha katika matawi ya maboga. Tembo aliyaona matawi yakitingika akaanza kuimba, "Nimemshika mwizi! Aaa! Nimemshika mwizi! Ooo!" Tembo alitafuta kila mahali lakini hakumpata mwizi. Siku moja, Sungura alipokuwa akila mazao ya Tembo shambani, Tembo aliwasili. Sungura aliruka na kujificha ndani ya boga moja kubwa. Tembo aliliona lile boga kubwa akasema, "Ooo! Hapa kuna boga kubwa. Litakuwa chakula changu cha mchana." Alilimeza papo hapo! Sungura alijaribu kuruka nje ya lile boga, lakini hakuweza. Tembo alipohisi kitu kikiruka tumboni mwake, alijiuliza, "Hili ni boga aina gani linaloruka tumboni?" Tembo alilitema nje lile boga. Kabla kulikagua, Sungura alijitosa nje akatoroka. Tembo hakuwahi kumshika mwizi. Bibi alisema, "Na huo ndio mwisho wa hadithi." "Asante bibi," tulimjibu. Tuliweka vikombe vyetu vya maziwa. Tukaenda kulala tukiwaza juu ya hadithi hiyo ya bibi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Bibi atusimulia hadithi Author - Mutai Chepkoech Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni wanyama wangapi wametajwa katika hadithi hii
{ "text": [ "Watatu" ] }
2197_swa
Binti wa Mflame Kayanja Hapo zamani za kale, palikuwa na Mfalme kwa jina Kayanja. Yeye, mkewe malkia na Apenyo binti yao, waliishi katika kasri kubwa. Apenyo alikuwa msichana mrembo. Kila mwanamume alitaka kumwoa, lakini mfalme Kayanja alitaka mahari ya juu sana. Karibu na kasri la mfalme Kayanja, aliishi Chifu Aludah Mkuu. Aliitwa 'Mkuu' kwa sababu kila aliyeishi pale kijijini, alimtii. Chifu Aludah alikuwa amempoteza mkewe kutokana na ugonjwa wa malaria. Alitaka kuoa mke mwingine. Chifu Aludah alikuwa mzee mfupi mwenye upara. Aliamua kupeleka mahari kwa Mfalme Kayanja ili amwoe bintiye. Walipokuwa wakijadili mahari, Kakembo, kijakazi wa Mfalme, aliyasikia mazungumzo yao. Kakembo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na Apenyo. Chifu Aludah alikubali kumpa Mfalme Kayanja nusu ya mali yake. Pia, alileta sindano ambayo ilikuwa sehemu ya mahari aliyoleta. Matayarisho ya harusi yalifanywa kisirisiri baina ya Mfalme Kayanja na Chifu Aludah. Mfalme Kayanja alijua kwamba bintiye hangefurahia uamuzi huo. Juma moja kabla ya siku ya harusi hiyo ya kifalme, Kakembo alimjulisha Apenyo. "Mpendwa binti-mfalme, babako amepanga kukuoza kwa Chifu Aludah. Harusi itafanyika katika muda wa juma moja." Apenyo alishtuka asijue la kufanya. Aliwaza, "Kamwe sitaolewa na yule mzee mwenye upara. Kamwe! Lazima nimwone Trevor, mpenzi wangu. Lazima achukue hatua bila kupoteza muda." Usiku huo Apenyo alitoroka. Babake angegundua alikokuwa akienda angekasirika sana. Alipitia kwenye msitu wa giza wenye mawe. Mwishowe, akafika kwa Trevor. Aliwasili kwa Trevor akiwa mchovu, mwenye njaa na kiu. Trevor alimkaribisha. "Mpenzi wangu, mbona ukakimbia umbali huu peke yako usiku?" Trevor aliuliza. Alimletea maji ya kunywa kisha akatulia kumsubiri Apenyo aongee. Apenyo alikunywa maji, akashusha pumzi na kusema, "Babangu anataka kunioza kwa chifu Aludah Mkuu. Lakini, siwezi kuolewa na yule mzee mwovu. Trevor, ningependa kuolewa nawe hata kama wewe ni maskini. Ninakupenda." "Lakini sina chochote cha kulipia mahari." Trevor alilalama. Apenyo alijibu, "Naelewa, lakini nataka kuolewa nawe tu." Apenyo alisema, "Hebu twende kwa Kategga, mwenye mashua, atuvushe hadi upande mwingine wa mto tumuepuke babangu." Mfalme Kayanja alipogundua kuwa bintiye ametoweka, aliamuru msako ufanywe kijijini. Walinzi na askari walimtafuta Apenyo kila mahali, lakini, hawakumpata. Walirudi na kumwambia Mfalme kwamba Apenyo hakuonekana popote. "Basi tafuteni pia vichakani," Mfalme Kayanja aliamrisha kwa hasira. Trevor na Apenyo walifanya haraka kwenda mtoni. Wakati huo, mawingu meusi yalianza kukusanyika angani. Dhoruba kubwa ilikuwa inakaribia. Kategga, mwenye mashua, alikuwa anafunga mashua yake Trevor na Apenyo walipofika. Trevor alimwmomba Kategga awavukishe hadi ng'ambo ya pili ya mto. Kategga alikataa akawaelezea kwamba dhoruba kali ilikuwa inakaribia na ingekuwa hatari kuvuka. Trevor alisizitiza huku akimwelezea kwa nini itawalazimu kuvuka wakati huo. Alitia mkono mfukoni na kutoa kete yenye thamani na kumpa Kategga. Kategga aliwaonea huruma akakubali kuwavusha haraka kabla ya dhoruba. Kategga aliivuta mashua ukingoni. Wakaabiri na kuanza safari. Mfalme Kayanja na Chifu Aludah walipofika ufukweni, waliwaona watu watatu mashuani wakivuka. Wakatambua kwamba Apenyo alikuwa anatoroka. Dhoruba kali ilisababisha mawimbi makubwa. Kategga alishindwa kudhibiti mashua. Mfalme alilia, "Tafadhali rudini! Nawasamehe." Mayowe yake yalikuwa ya bure. Mashua ilipinduka wote wakazama. Tangu siku hiyo, walioishi katika ufalme wa Kayanja, walimwoa waliyemtaka, tajiri au maskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Binti wa Mflame Kayanja Author - Amana Yunus Translation - Brigid Simiyu Illustration - Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mfalme aliitwa kwa jina gani
{ "text": [ "Kayanja" ] }
2197_swa
Binti wa Mflame Kayanja Hapo zamani za kale, palikuwa na Mfalme kwa jina Kayanja. Yeye, mkewe malkia na Apenyo binti yao, waliishi katika kasri kubwa. Apenyo alikuwa msichana mrembo. Kila mwanamume alitaka kumwoa, lakini mfalme Kayanja alitaka mahari ya juu sana. Karibu na kasri la mfalme Kayanja, aliishi Chifu Aludah Mkuu. Aliitwa 'Mkuu' kwa sababu kila aliyeishi pale kijijini, alimtii. Chifu Aludah alikuwa amempoteza mkewe kutokana na ugonjwa wa malaria. Alitaka kuoa mke mwingine. Chifu Aludah alikuwa mzee mfupi mwenye upara. Aliamua kupeleka mahari kwa Mfalme Kayanja ili amwoe bintiye. Walipokuwa wakijadili mahari, Kakembo, kijakazi wa Mfalme, aliyasikia mazungumzo yao. Kakembo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na Apenyo. Chifu Aludah alikubali kumpa Mfalme Kayanja nusu ya mali yake. Pia, alileta sindano ambayo ilikuwa sehemu ya mahari aliyoleta. Matayarisho ya harusi yalifanywa kisirisiri baina ya Mfalme Kayanja na Chifu Aludah. Mfalme Kayanja alijua kwamba bintiye hangefurahia uamuzi huo. Juma moja kabla ya siku ya harusi hiyo ya kifalme, Kakembo alimjulisha Apenyo. "Mpendwa binti-mfalme, babako amepanga kukuoza kwa Chifu Aludah. Harusi itafanyika katika muda wa juma moja." Apenyo alishtuka asijue la kufanya. Aliwaza, "Kamwe sitaolewa na yule mzee mwenye upara. Kamwe! Lazima nimwone Trevor, mpenzi wangu. Lazima achukue hatua bila kupoteza muda." Usiku huo Apenyo alitoroka. Babake angegundua alikokuwa akienda angekasirika sana. Alipitia kwenye msitu wa giza wenye mawe. Mwishowe, akafika kwa Trevor. Aliwasili kwa Trevor akiwa mchovu, mwenye njaa na kiu. Trevor alimkaribisha. "Mpenzi wangu, mbona ukakimbia umbali huu peke yako usiku?" Trevor aliuliza. Alimletea maji ya kunywa kisha akatulia kumsubiri Apenyo aongee. Apenyo alikunywa maji, akashusha pumzi na kusema, "Babangu anataka kunioza kwa chifu Aludah Mkuu. Lakini, siwezi kuolewa na yule mzee mwovu. Trevor, ningependa kuolewa nawe hata kama wewe ni maskini. Ninakupenda." "Lakini sina chochote cha kulipia mahari." Trevor alilalama. Apenyo alijibu, "Naelewa, lakini nataka kuolewa nawe tu." Apenyo alisema, "Hebu twende kwa Kategga, mwenye mashua, atuvushe hadi upande mwingine wa mto tumuepuke babangu." Mfalme Kayanja alipogundua kuwa bintiye ametoweka, aliamuru msako ufanywe kijijini. Walinzi na askari walimtafuta Apenyo kila mahali, lakini, hawakumpata. Walirudi na kumwambia Mfalme kwamba Apenyo hakuonekana popote. "Basi tafuteni pia vichakani," Mfalme Kayanja aliamrisha kwa hasira. Trevor na Apenyo walifanya haraka kwenda mtoni. Wakati huo, mawingu meusi yalianza kukusanyika angani. Dhoruba kubwa ilikuwa inakaribia. Kategga, mwenye mashua, alikuwa anafunga mashua yake Trevor na Apenyo walipofika. Trevor alimwmomba Kategga awavukishe hadi ng'ambo ya pili ya mto. Kategga alikataa akawaelezea kwamba dhoruba kali ilikuwa inakaribia na ingekuwa hatari kuvuka. Trevor alisizitiza huku akimwelezea kwa nini itawalazimu kuvuka wakati huo. Alitia mkono mfukoni na kutoa kete yenye thamani na kumpa Kategga. Kategga aliwaonea huruma akakubali kuwavusha haraka kabla ya dhoruba. Kategga aliivuta mashua ukingoni. Wakaabiri na kuanza safari. Mfalme Kayanja na Chifu Aludah walipofika ufukweni, waliwaona watu watatu mashuani wakivuka. Wakatambua kwamba Apenyo alikuwa anatoroka. Dhoruba kali ilisababisha mawimbi makubwa. Kategga alishindwa kudhibiti mashua. Mfalme alilia, "Tafadhali rudini! Nawasamehe." Mayowe yake yalikuwa ya bure. Mashua ilipinduka wote wakazama. Tangu siku hiyo, walioishi katika ufalme wa Kayanja, walimwoa waliyemtaka, tajiri au maskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Binti wa Mflame Kayanja Author - Amana Yunus Translation - Brigid Simiyu Illustration - Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
nani alikuwa msichana mrembo
{ "text": [ "Apenyo" ] }
2197_swa
Binti wa Mflame Kayanja Hapo zamani za kale, palikuwa na Mfalme kwa jina Kayanja. Yeye, mkewe malkia na Apenyo binti yao, waliishi katika kasri kubwa. Apenyo alikuwa msichana mrembo. Kila mwanamume alitaka kumwoa, lakini mfalme Kayanja alitaka mahari ya juu sana. Karibu na kasri la mfalme Kayanja, aliishi Chifu Aludah Mkuu. Aliitwa 'Mkuu' kwa sababu kila aliyeishi pale kijijini, alimtii. Chifu Aludah alikuwa amempoteza mkewe kutokana na ugonjwa wa malaria. Alitaka kuoa mke mwingine. Chifu Aludah alikuwa mzee mfupi mwenye upara. Aliamua kupeleka mahari kwa Mfalme Kayanja ili amwoe bintiye. Walipokuwa wakijadili mahari, Kakembo, kijakazi wa Mfalme, aliyasikia mazungumzo yao. Kakembo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na Apenyo. Chifu Aludah alikubali kumpa Mfalme Kayanja nusu ya mali yake. Pia, alileta sindano ambayo ilikuwa sehemu ya mahari aliyoleta. Matayarisho ya harusi yalifanywa kisirisiri baina ya Mfalme Kayanja na Chifu Aludah. Mfalme Kayanja alijua kwamba bintiye hangefurahia uamuzi huo. Juma moja kabla ya siku ya harusi hiyo ya kifalme, Kakembo alimjulisha Apenyo. "Mpendwa binti-mfalme, babako amepanga kukuoza kwa Chifu Aludah. Harusi itafanyika katika muda wa juma moja." Apenyo alishtuka asijue la kufanya. Aliwaza, "Kamwe sitaolewa na yule mzee mwenye upara. Kamwe! Lazima nimwone Trevor, mpenzi wangu. Lazima achukue hatua bila kupoteza muda." Usiku huo Apenyo alitoroka. Babake angegundua alikokuwa akienda angekasirika sana. Alipitia kwenye msitu wa giza wenye mawe. Mwishowe, akafika kwa Trevor. Aliwasili kwa Trevor akiwa mchovu, mwenye njaa na kiu. Trevor alimkaribisha. "Mpenzi wangu, mbona ukakimbia umbali huu peke yako usiku?" Trevor aliuliza. Alimletea maji ya kunywa kisha akatulia kumsubiri Apenyo aongee. Apenyo alikunywa maji, akashusha pumzi na kusema, "Babangu anataka kunioza kwa chifu Aludah Mkuu. Lakini, siwezi kuolewa na yule mzee mwovu. Trevor, ningependa kuolewa nawe hata kama wewe ni maskini. Ninakupenda." "Lakini sina chochote cha kulipia mahari." Trevor alilalama. Apenyo alijibu, "Naelewa, lakini nataka kuolewa nawe tu." Apenyo alisema, "Hebu twende kwa Kategga, mwenye mashua, atuvushe hadi upande mwingine wa mto tumuepuke babangu." Mfalme Kayanja alipogundua kuwa bintiye ametoweka, aliamuru msako ufanywe kijijini. Walinzi na askari walimtafuta Apenyo kila mahali, lakini, hawakumpata. Walirudi na kumwambia Mfalme kwamba Apenyo hakuonekana popote. "Basi tafuteni pia vichakani," Mfalme Kayanja aliamrisha kwa hasira. Trevor na Apenyo walifanya haraka kwenda mtoni. Wakati huo, mawingu meusi yalianza kukusanyika angani. Dhoruba kubwa ilikuwa inakaribia. Kategga, mwenye mashua, alikuwa anafunga mashua yake Trevor na Apenyo walipofika. Trevor alimwmomba Kategga awavukishe hadi ng'ambo ya pili ya mto. Kategga alikataa akawaelezea kwamba dhoruba kali ilikuwa inakaribia na ingekuwa hatari kuvuka. Trevor alisizitiza huku akimwelezea kwa nini itawalazimu kuvuka wakati huo. Alitia mkono mfukoni na kutoa kete yenye thamani na kumpa Kategga. Kategga aliwaonea huruma akakubali kuwavusha haraka kabla ya dhoruba. Kategga aliivuta mashua ukingoni. Wakaabiri na kuanza safari. Mfalme Kayanja na Chifu Aludah walipofika ufukweni, waliwaona watu watatu mashuani wakivuka. Wakatambua kwamba Apenyo alikuwa anatoroka. Dhoruba kali ilisababisha mawimbi makubwa. Kategga alishindwa kudhibiti mashua. Mfalme alilia, "Tafadhali rudini! Nawasamehe." Mayowe yake yalikuwa ya bure. Mashua ilipinduka wote wakazama. Tangu siku hiyo, walioishi katika ufalme wa Kayanja, walimwoa waliyemtaka, tajiri au maskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Binti wa Mflame Kayanja Author - Amana Yunus Translation - Brigid Simiyu Illustration - Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
kwa nini Chifu Aludah aliitwa Mkuu
{ "text": [ "kwa sababu kila aliyeishi pale kijijini alimtii" ] }
2197_swa
Binti wa Mflame Kayanja Hapo zamani za kale, palikuwa na Mfalme kwa jina Kayanja. Yeye, mkewe malkia na Apenyo binti yao, waliishi katika kasri kubwa. Apenyo alikuwa msichana mrembo. Kila mwanamume alitaka kumwoa, lakini mfalme Kayanja alitaka mahari ya juu sana. Karibu na kasri la mfalme Kayanja, aliishi Chifu Aludah Mkuu. Aliitwa 'Mkuu' kwa sababu kila aliyeishi pale kijijini, alimtii. Chifu Aludah alikuwa amempoteza mkewe kutokana na ugonjwa wa malaria. Alitaka kuoa mke mwingine. Chifu Aludah alikuwa mzee mfupi mwenye upara. Aliamua kupeleka mahari kwa Mfalme Kayanja ili amwoe bintiye. Walipokuwa wakijadili mahari, Kakembo, kijakazi wa Mfalme, aliyasikia mazungumzo yao. Kakembo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na Apenyo. Chifu Aludah alikubali kumpa Mfalme Kayanja nusu ya mali yake. Pia, alileta sindano ambayo ilikuwa sehemu ya mahari aliyoleta. Matayarisho ya harusi yalifanywa kisirisiri baina ya Mfalme Kayanja na Chifu Aludah. Mfalme Kayanja alijua kwamba bintiye hangefurahia uamuzi huo. Juma moja kabla ya siku ya harusi hiyo ya kifalme, Kakembo alimjulisha Apenyo. "Mpendwa binti-mfalme, babako amepanga kukuoza kwa Chifu Aludah. Harusi itafanyika katika muda wa juma moja." Apenyo alishtuka asijue la kufanya. Aliwaza, "Kamwe sitaolewa na yule mzee mwenye upara. Kamwe! Lazima nimwone Trevor, mpenzi wangu. Lazima achukue hatua bila kupoteza muda." Usiku huo Apenyo alitoroka. Babake angegundua alikokuwa akienda angekasirika sana. Alipitia kwenye msitu wa giza wenye mawe. Mwishowe, akafika kwa Trevor. Aliwasili kwa Trevor akiwa mchovu, mwenye njaa na kiu. Trevor alimkaribisha. "Mpenzi wangu, mbona ukakimbia umbali huu peke yako usiku?" Trevor aliuliza. Alimletea maji ya kunywa kisha akatulia kumsubiri Apenyo aongee. Apenyo alikunywa maji, akashusha pumzi na kusema, "Babangu anataka kunioza kwa chifu Aludah Mkuu. Lakini, siwezi kuolewa na yule mzee mwovu. Trevor, ningependa kuolewa nawe hata kama wewe ni maskini. Ninakupenda." "Lakini sina chochote cha kulipia mahari." Trevor alilalama. Apenyo alijibu, "Naelewa, lakini nataka kuolewa nawe tu." Apenyo alisema, "Hebu twende kwa Kategga, mwenye mashua, atuvushe hadi upande mwingine wa mto tumuepuke babangu." Mfalme Kayanja alipogundua kuwa bintiye ametoweka, aliamuru msako ufanywe kijijini. Walinzi na askari walimtafuta Apenyo kila mahali, lakini, hawakumpata. Walirudi na kumwambia Mfalme kwamba Apenyo hakuonekana popote. "Basi tafuteni pia vichakani," Mfalme Kayanja aliamrisha kwa hasira. Trevor na Apenyo walifanya haraka kwenda mtoni. Wakati huo, mawingu meusi yalianza kukusanyika angani. Dhoruba kubwa ilikuwa inakaribia. Kategga, mwenye mashua, alikuwa anafunga mashua yake Trevor na Apenyo walipofika. Trevor alimwmomba Kategga awavukishe hadi ng'ambo ya pili ya mto. Kategga alikataa akawaelezea kwamba dhoruba kali ilikuwa inakaribia na ingekuwa hatari kuvuka. Trevor alisizitiza huku akimwelezea kwa nini itawalazimu kuvuka wakati huo. Alitia mkono mfukoni na kutoa kete yenye thamani na kumpa Kategga. Kategga aliwaonea huruma akakubali kuwavusha haraka kabla ya dhoruba. Kategga aliivuta mashua ukingoni. Wakaabiri na kuanza safari. Mfalme Kayanja na Chifu Aludah walipofika ufukweni, waliwaona watu watatu mashuani wakivuka. Wakatambua kwamba Apenyo alikuwa anatoroka. Dhoruba kali ilisababisha mawimbi makubwa. Kategga alishindwa kudhibiti mashua. Mfalme alilia, "Tafadhali rudini! Nawasamehe." Mayowe yake yalikuwa ya bure. Mashua ilipinduka wote wakazama. Tangu siku hiyo, walioishi katika ufalme wa Kayanja, walimwoa waliyemtaka, tajiri au maskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Binti wa Mflame Kayanja Author - Amana Yunus Translation - Brigid Simiyu Illustration - Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Chifu Aludah alikuwa amempoteza mkewe kutokana na ugonjwa gani
{ "text": [ "malaria" ] }
2197_swa
Binti wa Mflame Kayanja Hapo zamani za kale, palikuwa na Mfalme kwa jina Kayanja. Yeye, mkewe malkia na Apenyo binti yao, waliishi katika kasri kubwa. Apenyo alikuwa msichana mrembo. Kila mwanamume alitaka kumwoa, lakini mfalme Kayanja alitaka mahari ya juu sana. Karibu na kasri la mfalme Kayanja, aliishi Chifu Aludah Mkuu. Aliitwa 'Mkuu' kwa sababu kila aliyeishi pale kijijini, alimtii. Chifu Aludah alikuwa amempoteza mkewe kutokana na ugonjwa wa malaria. Alitaka kuoa mke mwingine. Chifu Aludah alikuwa mzee mfupi mwenye upara. Aliamua kupeleka mahari kwa Mfalme Kayanja ili amwoe bintiye. Walipokuwa wakijadili mahari, Kakembo, kijakazi wa Mfalme, aliyasikia mazungumzo yao. Kakembo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na Apenyo. Chifu Aludah alikubali kumpa Mfalme Kayanja nusu ya mali yake. Pia, alileta sindano ambayo ilikuwa sehemu ya mahari aliyoleta. Matayarisho ya harusi yalifanywa kisirisiri baina ya Mfalme Kayanja na Chifu Aludah. Mfalme Kayanja alijua kwamba bintiye hangefurahia uamuzi huo. Juma moja kabla ya siku ya harusi hiyo ya kifalme, Kakembo alimjulisha Apenyo. "Mpendwa binti-mfalme, babako amepanga kukuoza kwa Chifu Aludah. Harusi itafanyika katika muda wa juma moja." Apenyo alishtuka asijue la kufanya. Aliwaza, "Kamwe sitaolewa na yule mzee mwenye upara. Kamwe! Lazima nimwone Trevor, mpenzi wangu. Lazima achukue hatua bila kupoteza muda." Usiku huo Apenyo alitoroka. Babake angegundua alikokuwa akienda angekasirika sana. Alipitia kwenye msitu wa giza wenye mawe. Mwishowe, akafika kwa Trevor. Aliwasili kwa Trevor akiwa mchovu, mwenye njaa na kiu. Trevor alimkaribisha. "Mpenzi wangu, mbona ukakimbia umbali huu peke yako usiku?" Trevor aliuliza. Alimletea maji ya kunywa kisha akatulia kumsubiri Apenyo aongee. Apenyo alikunywa maji, akashusha pumzi na kusema, "Babangu anataka kunioza kwa chifu Aludah Mkuu. Lakini, siwezi kuolewa na yule mzee mwovu. Trevor, ningependa kuolewa nawe hata kama wewe ni maskini. Ninakupenda." "Lakini sina chochote cha kulipia mahari." Trevor alilalama. Apenyo alijibu, "Naelewa, lakini nataka kuolewa nawe tu." Apenyo alisema, "Hebu twende kwa Kategga, mwenye mashua, atuvushe hadi upande mwingine wa mto tumuepuke babangu." Mfalme Kayanja alipogundua kuwa bintiye ametoweka, aliamuru msako ufanywe kijijini. Walinzi na askari walimtafuta Apenyo kila mahali, lakini, hawakumpata. Walirudi na kumwambia Mfalme kwamba Apenyo hakuonekana popote. "Basi tafuteni pia vichakani," Mfalme Kayanja aliamrisha kwa hasira. Trevor na Apenyo walifanya haraka kwenda mtoni. Wakati huo, mawingu meusi yalianza kukusanyika angani. Dhoruba kubwa ilikuwa inakaribia. Kategga, mwenye mashua, alikuwa anafunga mashua yake Trevor na Apenyo walipofika. Trevor alimwmomba Kategga awavukishe hadi ng'ambo ya pili ya mto. Kategga alikataa akawaelezea kwamba dhoruba kali ilikuwa inakaribia na ingekuwa hatari kuvuka. Trevor alisizitiza huku akimwelezea kwa nini itawalazimu kuvuka wakati huo. Alitia mkono mfukoni na kutoa kete yenye thamani na kumpa Kategga. Kategga aliwaonea huruma akakubali kuwavusha haraka kabla ya dhoruba. Kategga aliivuta mashua ukingoni. Wakaabiri na kuanza safari. Mfalme Kayanja na Chifu Aludah walipofika ufukweni, waliwaona watu watatu mashuani wakivuka. Wakatambua kwamba Apenyo alikuwa anatoroka. Dhoruba kali ilisababisha mawimbi makubwa. Kategga alishindwa kudhibiti mashua. Mfalme alilia, "Tafadhali rudini! Nawasamehe." Mayowe yake yalikuwa ya bure. Mashua ilipinduka wote wakazama. Tangu siku hiyo, walioishi katika ufalme wa Kayanja, walimwoa waliyemtaka, tajiri au maskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Binti wa Mflame Kayanja Author - Amana Yunus Translation - Brigid Simiyu Illustration - Natalie Propa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
mbona Kategga alikubali kuwavusha
{ "text": [ "aliwaonea huruma" ] }
2200_swa
Chiriku Chiriku alionywa na mamake kutoongea sana. Hakutii. Shangazi ya Chiriku aliishi mbali. Siku moja,alikuwa mgonjwa. Chiriku alitumwa kumpelekea shangazi chakula. Ilikuwa jioni. Chiriku alikutana na Sinso. Sinso alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinso alimwuliza alichobeba. Chiriku alijibu, "Nimebeba nyama na mayai." Aliongeza, "Ninampelekea shangazi mgonjwa." Sinso alikitamani chakula. Sinso alimpa kwaheri. Alikimbia akajificha nyumbani kwa shangazi. Sinso alimmeza shangazi. Akajifunika blanketi lake. Chiriku alipowasili, nyumba ilikuwa kimya. Aliita, "Shangazi, uko wapi?" Hakusikia sauti ya shangazi yake. Alishangaa kuona umbo kubwa. Aliuliza, "Mbona una masikio makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikusikie." Aliuliza tena, "Mbona una macho makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikuone." Mwisho aliuliza, "Mbona una mdomo mkubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikumeze." Sinso alimmeza Chiriku. Chiriku aliendelea kuuliza maswali akiwa tumboni. Mwishoni, Sinso alichoka na maswali aliyouliza Chiriku. Alimtema nje. Chiriku na shangazi yake waliokolewa. Chiriku alikoma kuongea ovyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chiriku Author - Gaspah Juma Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Chiriku alonywa na mamake kutofanya nini sana?
{ "text": [ "Kutoongea" ] }
2200_swa
Chiriku Chiriku alionywa na mamake kutoongea sana. Hakutii. Shangazi ya Chiriku aliishi mbali. Siku moja,alikuwa mgonjwa. Chiriku alitumwa kumpelekea shangazi chakula. Ilikuwa jioni. Chiriku alikutana na Sinso. Sinso alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinso alimwuliza alichobeba. Chiriku alijibu, "Nimebeba nyama na mayai." Aliongeza, "Ninampelekea shangazi mgonjwa." Sinso alikitamani chakula. Sinso alimpa kwaheri. Alikimbia akajificha nyumbani kwa shangazi. Sinso alimmeza shangazi. Akajifunika blanketi lake. Chiriku alipowasili, nyumba ilikuwa kimya. Aliita, "Shangazi, uko wapi?" Hakusikia sauti ya shangazi yake. Alishangaa kuona umbo kubwa. Aliuliza, "Mbona una masikio makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikusikie." Aliuliza tena, "Mbona una macho makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikuone." Mwisho aliuliza, "Mbona una mdomo mkubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikumeze." Sinso alimmeza Chiriku. Chiriku aliendelea kuuliza maswali akiwa tumboni. Mwishoni, Sinso alichoka na maswali aliyouliza Chiriku. Alimtema nje. Chiriku na shangazi yake waliokolewa. Chiriku alikoma kuongea ovyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chiriku Author - Gaspah Juma Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sinso alimmeza Chiriku na nani?
{ "text": [ "Shangaziye" ] }
2200_swa
Chiriku Chiriku alionywa na mamake kutoongea sana. Hakutii. Shangazi ya Chiriku aliishi mbali. Siku moja,alikuwa mgonjwa. Chiriku alitumwa kumpelekea shangazi chakula. Ilikuwa jioni. Chiriku alikutana na Sinso. Sinso alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinso alimwuliza alichobeba. Chiriku alijibu, "Nimebeba nyama na mayai." Aliongeza, "Ninampelekea shangazi mgonjwa." Sinso alikitamani chakula. Sinso alimpa kwaheri. Alikimbia akajificha nyumbani kwa shangazi. Sinso alimmeza shangazi. Akajifunika blanketi lake. Chiriku alipowasili, nyumba ilikuwa kimya. Aliita, "Shangazi, uko wapi?" Hakusikia sauti ya shangazi yake. Alishangaa kuona umbo kubwa. Aliuliza, "Mbona una masikio makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikusikie." Aliuliza tena, "Mbona una macho makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikuone." Mwisho aliuliza, "Mbona una mdomo mkubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikumeze." Sinso alimmeza Chiriku. Chiriku aliendelea kuuliza maswali akiwa tumboni. Mwishoni, Sinso alichoka na maswali aliyouliza Chiriku. Alimtema nje. Chiriku na shangazi yake waliokolewa. Chiriku alikoma kuongea ovyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chiriku Author - Gaspah Juma Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua fisi aliyegeuka mtu?
{ "text": [ "Sinso" ] }
2200_swa
Chiriku Chiriku alionywa na mamake kutoongea sana. Hakutii. Shangazi ya Chiriku aliishi mbali. Siku moja,alikuwa mgonjwa. Chiriku alitumwa kumpelekea shangazi chakula. Ilikuwa jioni. Chiriku alikutana na Sinso. Sinso alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinso alimwuliza alichobeba. Chiriku alijibu, "Nimebeba nyama na mayai." Aliongeza, "Ninampelekea shangazi mgonjwa." Sinso alikitamani chakula. Sinso alimpa kwaheri. Alikimbia akajificha nyumbani kwa shangazi. Sinso alimmeza shangazi. Akajifunika blanketi lake. Chiriku alipowasili, nyumba ilikuwa kimya. Aliita, "Shangazi, uko wapi?" Hakusikia sauti ya shangazi yake. Alishangaa kuona umbo kubwa. Aliuliza, "Mbona una masikio makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikusikie." Aliuliza tena, "Mbona una macho makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikuone." Mwisho aliuliza, "Mbona una mdomo mkubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikumeze." Sinso alimmeza Chiriku. Chiriku aliendelea kuuliza maswali akiwa tumboni. Mwishoni, Sinso alichoka na maswali aliyouliza Chiriku. Alimtema nje. Chiriku na shangazi yake waliokolewa. Chiriku alikoma kuongea ovyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chiriku Author - Gaspah Juma Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sinso alikitamani nini alichokibeba Chiriku?
{ "text": [ "Chakula" ] }
2200_swa
Chiriku Chiriku alionywa na mamake kutoongea sana. Hakutii. Shangazi ya Chiriku aliishi mbali. Siku moja,alikuwa mgonjwa. Chiriku alitumwa kumpelekea shangazi chakula. Ilikuwa jioni. Chiriku alikutana na Sinso. Sinso alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinso alimwuliza alichobeba. Chiriku alijibu, "Nimebeba nyama na mayai." Aliongeza, "Ninampelekea shangazi mgonjwa." Sinso alikitamani chakula. Sinso alimpa kwaheri. Alikimbia akajificha nyumbani kwa shangazi. Sinso alimmeza shangazi. Akajifunika blanketi lake. Chiriku alipowasili, nyumba ilikuwa kimya. Aliita, "Shangazi, uko wapi?" Hakusikia sauti ya shangazi yake. Alishangaa kuona umbo kubwa. Aliuliza, "Mbona una masikio makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikusikie." Aliuliza tena, "Mbona una macho makubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikuone." Mwisho aliuliza, "Mbona una mdomo mkubwa?" Sinso alijibu, "Ili nikumeze." Sinso alimmeza Chiriku. Chiriku aliendelea kuuliza maswali akiwa tumboni. Mwishoni, Sinso alichoka na maswali aliyouliza Chiriku. Alimtema nje. Chiriku na shangazi yake waliokolewa. Chiriku alikoma kuongea ovyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chiriku Author - Gaspah Juma Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Chiriku alitumwa kupelekea shangazi yake nini?
{ "text": [ "Chakula kilichopikwa" ] }
2201_swa
Chui na Swara Mara nyingi, Chui alitaka kumshika Swara. Swara naye alikuwa akitoroka kila alipomwona Chui. Siku moja, Chui alimwambia Swara, "Ningependa tuwe marafiki. Unachokula, mimi sili. Hakuna sababu ya kuwa maadui." Swara alikubali. Chui akasema, "Tule kiapo cha kutufanya marafiki. Atakayeasi, mtoto wake atakufa." Walikula kiapo cha kuwafanya marafiki. Usiku, Swara alilala chini ya mti na Chui akalala juu ya mti katikati ya matawi. Baada ya muda, Swara alinona na Chui alikonda. Chui alitamani kumla Swara aliyenona. Akasema, "Sina haja na kiapo. Sina hata mtoto!" Chui alimrukia Swara akajaribu kumshika. Lakini, hakuweza. Alinaswa kwenye matawi. Swara alishtuka sana. Aliruka juu akaanza kulia, "Bee! Bee!" Chui akamsihi, "Rafiki yangu, nisaidie. Tulikubaliana kuwa atakayevunja kiapo chetu, atampoteza mtoto wake." Swara alimjibu, "Inaonekana kuwa wazazi wako ndio waliokula kiapo. Sasa wewe ndiwe utakayekufa." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chui na Swara Author - Magabi Enyew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mara nyingi chui alitaka kumshika nani
{ "text": [ "swara" ] }
2201_swa
Chui na Swara Mara nyingi, Chui alitaka kumshika Swara. Swara naye alikuwa akitoroka kila alipomwona Chui. Siku moja, Chui alimwambia Swara, "Ningependa tuwe marafiki. Unachokula, mimi sili. Hakuna sababu ya kuwa maadui." Swara alikubali. Chui akasema, "Tule kiapo cha kutufanya marafiki. Atakayeasi, mtoto wake atakufa." Walikula kiapo cha kuwafanya marafiki. Usiku, Swara alilala chini ya mti na Chui akalala juu ya mti katikati ya matawi. Baada ya muda, Swara alinona na Chui alikonda. Chui alitamani kumla Swara aliyenona. Akasema, "Sina haja na kiapo. Sina hata mtoto!" Chui alimrukia Swara akajaribu kumshika. Lakini, hakuweza. Alinaswa kwenye matawi. Swara alishtuka sana. Aliruka juu akaanza kulia, "Bee! Bee!" Chui akamsihi, "Rafiki yangu, nisaidie. Tulikubaliana kuwa atakayevunja kiapo chetu, atampoteza mtoto wake." Swara alimjibu, "Inaonekana kuwa wazazi wako ndio waliokula kiapo. Sasa wewe ndiwe utakayekufa." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chui na Swara Author - Magabi Enyew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Chui na swala walikula kiapo cha nini
{ "text": [ "kuwafanya marafiki" ] }
2201_swa
Chui na Swara Mara nyingi, Chui alitaka kumshika Swara. Swara naye alikuwa akitoroka kila alipomwona Chui. Siku moja, Chui alimwambia Swara, "Ningependa tuwe marafiki. Unachokula, mimi sili. Hakuna sababu ya kuwa maadui." Swara alikubali. Chui akasema, "Tule kiapo cha kutufanya marafiki. Atakayeasi, mtoto wake atakufa." Walikula kiapo cha kuwafanya marafiki. Usiku, Swara alilala chini ya mti na Chui akalala juu ya mti katikati ya matawi. Baada ya muda, Swara alinona na Chui alikonda. Chui alitamani kumla Swara aliyenona. Akasema, "Sina haja na kiapo. Sina hata mtoto!" Chui alimrukia Swara akajaribu kumshika. Lakini, hakuweza. Alinaswa kwenye matawi. Swara alishtuka sana. Aliruka juu akaanza kulia, "Bee! Bee!" Chui akamsihi, "Rafiki yangu, nisaidie. Tulikubaliana kuwa atakayevunja kiapo chetu, atampoteza mtoto wake." Swara alimjibu, "Inaonekana kuwa wazazi wako ndio waliokula kiapo. Sasa wewe ndiwe utakayekufa." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chui na Swara Author - Magabi Enyew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Usiku Swara alilala wapi
{ "text": [ "chini ya mti" ] }
2201_swa
Chui na Swara Mara nyingi, Chui alitaka kumshika Swara. Swara naye alikuwa akitoroka kila alipomwona Chui. Siku moja, Chui alimwambia Swara, "Ningependa tuwe marafiki. Unachokula, mimi sili. Hakuna sababu ya kuwa maadui." Swara alikubali. Chui akasema, "Tule kiapo cha kutufanya marafiki. Atakayeasi, mtoto wake atakufa." Walikula kiapo cha kuwafanya marafiki. Usiku, Swara alilala chini ya mti na Chui akalala juu ya mti katikati ya matawi. Baada ya muda, Swara alinona na Chui alikonda. Chui alitamani kumla Swara aliyenona. Akasema, "Sina haja na kiapo. Sina hata mtoto!" Chui alimrukia Swara akajaribu kumshika. Lakini, hakuweza. Alinaswa kwenye matawi. Swara alishtuka sana. Aliruka juu akaanza kulia, "Bee! Bee!" Chui akamsihi, "Rafiki yangu, nisaidie. Tulikubaliana kuwa atakayevunja kiapo chetu, atampoteza mtoto wake." Swara alimjibu, "Inaonekana kuwa wazazi wako ndio waliokula kiapo. Sasa wewe ndiwe utakayekufa." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chui na Swara Author - Magabi Enyew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Chui alitamani kufanya nini
{ "text": [ "kumla swara aliyenona" ] }
2201_swa
Chui na Swara Mara nyingi, Chui alitaka kumshika Swara. Swara naye alikuwa akitoroka kila alipomwona Chui. Siku moja, Chui alimwambia Swara, "Ningependa tuwe marafiki. Unachokula, mimi sili. Hakuna sababu ya kuwa maadui." Swara alikubali. Chui akasema, "Tule kiapo cha kutufanya marafiki. Atakayeasi, mtoto wake atakufa." Walikula kiapo cha kuwafanya marafiki. Usiku, Swara alilala chini ya mti na Chui akalala juu ya mti katikati ya matawi. Baada ya muda, Swara alinona na Chui alikonda. Chui alitamani kumla Swara aliyenona. Akasema, "Sina haja na kiapo. Sina hata mtoto!" Chui alimrukia Swara akajaribu kumshika. Lakini, hakuweza. Alinaswa kwenye matawi. Swara alishtuka sana. Aliruka juu akaanza kulia, "Bee! Bee!" Chui akamsihi, "Rafiki yangu, nisaidie. Tulikubaliana kuwa atakayevunja kiapo chetu, atampoteza mtoto wake." Swara alimjibu, "Inaonekana kuwa wazazi wako ndio waliokula kiapo. Sasa wewe ndiwe utakayekufa." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Chui na Swara Author - Magabi Enyew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mbona chui alishindwa kumshika swara
{ "text": [ "alinaswa kwenye matawi" ] }
2205_swa
Demane na Demazane Hapo zamani kuliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Mjomba aliwachapa na kuwapatia uji mwepesi. Walitorokea pangoni wakaishi kwa hofu nyingi. Majitu yaliishi karibu na pango hilo. Waliunda mlango wenye mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Kamwe usipike nyama. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama na kuimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo Demazane alichoka kukaa pangoni peke yake. Siku moja alitembea na kupanda miti. Alifurahia akawaza, "Labda hakuna majitu." Keshoye, alipata ukakamavu. Aliuwasha moto pangoni ili kuondoa baridi. Kwa kuogopa majitu, aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demazane aliwaza. Demane aliimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane alimwambia, "Nilichoma nyama hii kwenye jua nje ya pango." Kwa vile Demane alikuwa amechoka, hakuuliza maswali zaidi. Siku iliyofuata, Demazane alichoma nyama tena. Alpomaliza, alisikia wimbo: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane akasema, "Wewe si kakangu. Hiyo sio sauti yake." Baada ya muda mfupi, aliskikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana sana na ya kakake. Demazane aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Kabla kuondoka, Demazane aliweza kuliokota jivu la jikoni na kulibeba. Walipokuwa wakienda, alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi, alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini, aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipouona moto mbali. Demane aliona jitu limeketi karibu na moto. Mkoba mkubwa ulikuwa karibu nalo. Alikaribia akichechemea kama aliyeumia mguu. Alisema, "Naomba maji ya kunywa. Nimeumia mguu." "Nitakuletea maji lakini usiguse mkoba wangu." Jitu lilisema huku likiweka mkoba huo vizuri. Jitu lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko, ukafunguka na dadake akatoka. Demane aliubadilisha mkoba huo na wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kitakachotokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mkoba. Nenda ukaulete!" Msichana alipofungua mkoba, nyuki walimwuma mkono akalia kwa sauti, "Inauma, inauma." Jitu lilimwambia mvulana aende kumsaidia. Yeye pia aliumwa akalia kwa uchungu. "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti huku likiufungua mkoba. Nyuki wengi waliliuma kichwani, masikioni na machoni. Lilirukaruka na kulia kwa uchungu. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na Demazane Author - South African Folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Pacha wa Demane aliitwaje?
{ "text": [ "Demazane" ] }
2205_swa
Demane na Demazane Hapo zamani kuliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Mjomba aliwachapa na kuwapatia uji mwepesi. Walitorokea pangoni wakaishi kwa hofu nyingi. Majitu yaliishi karibu na pango hilo. Waliunda mlango wenye mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Kamwe usipike nyama. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama na kuimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo Demazane alichoka kukaa pangoni peke yake. Siku moja alitembea na kupanda miti. Alifurahia akawaza, "Labda hakuna majitu." Keshoye, alipata ukakamavu. Aliuwasha moto pangoni ili kuondoa baridi. Kwa kuogopa majitu, aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demazane aliwaza. Demane aliimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane alimwambia, "Nilichoma nyama hii kwenye jua nje ya pango." Kwa vile Demane alikuwa amechoka, hakuuliza maswali zaidi. Siku iliyofuata, Demazane alichoma nyama tena. Alpomaliza, alisikia wimbo: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane akasema, "Wewe si kakangu. Hiyo sio sauti yake." Baada ya muda mfupi, aliskikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana sana na ya kakake. Demazane aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Kabla kuondoka, Demazane aliweza kuliokota jivu la jikoni na kulibeba. Walipokuwa wakienda, alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi, alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini, aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipouona moto mbali. Demane aliona jitu limeketi karibu na moto. Mkoba mkubwa ulikuwa karibu nalo. Alikaribia akichechemea kama aliyeumia mguu. Alisema, "Naomba maji ya kunywa. Nimeumia mguu." "Nitakuletea maji lakini usiguse mkoba wangu." Jitu lilisema huku likiweka mkoba huo vizuri. Jitu lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko, ukafunguka na dadake akatoka. Demane aliubadilisha mkoba huo na wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kitakachotokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mkoba. Nenda ukaulete!" Msichana alipofungua mkoba, nyuki walimwuma mkono akalia kwa sauti, "Inauma, inauma." Jitu lilimwambia mvulana aende kumsaidia. Yeye pia aliumwa akalia kwa uchungu. "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti huku likiufungua mkoba. Nyuki wengi waliliuma kichwani, masikioni na machoni. Lilirukaruka na kulia kwa uchungu. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na Demazane Author - South African Folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demane na Demazane walipewa uji wa aina gani?
{ "text": [ "Mwepesi" ] }
2205_swa
Demane na Demazane Hapo zamani kuliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Mjomba aliwachapa na kuwapatia uji mwepesi. Walitorokea pangoni wakaishi kwa hofu nyingi. Majitu yaliishi karibu na pango hilo. Waliunda mlango wenye mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Kamwe usipike nyama. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama na kuimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo Demazane alichoka kukaa pangoni peke yake. Siku moja alitembea na kupanda miti. Alifurahia akawaza, "Labda hakuna majitu." Keshoye, alipata ukakamavu. Aliuwasha moto pangoni ili kuondoa baridi. Kwa kuogopa majitu, aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demazane aliwaza. Demane aliimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane alimwambia, "Nilichoma nyama hii kwenye jua nje ya pango." Kwa vile Demane alikuwa amechoka, hakuuliza maswali zaidi. Siku iliyofuata, Demazane alichoma nyama tena. Alpomaliza, alisikia wimbo: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane akasema, "Wewe si kakangu. Hiyo sio sauti yake." Baada ya muda mfupi, aliskikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana sana na ya kakake. Demazane aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Kabla kuondoka, Demazane aliweza kuliokota jivu la jikoni na kulibeba. Walipokuwa wakienda, alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi, alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini, aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipouona moto mbali. Demane aliona jitu limeketi karibu na moto. Mkoba mkubwa ulikuwa karibu nalo. Alikaribia akichechemea kama aliyeumia mguu. Alisema, "Naomba maji ya kunywa. Nimeumia mguu." "Nitakuletea maji lakini usiguse mkoba wangu." Jitu lilisema huku likiweka mkoba huo vizuri. Jitu lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko, ukafunguka na dadake akatoka. Demane aliubadilisha mkoba huo na wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kitakachotokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mkoba. Nenda ukaulete!" Msichana alipofungua mkoba, nyuki walimwuma mkono akalia kwa sauti, "Inauma, inauma." Jitu lilimwambia mvulana aende kumsaidia. Yeye pia aliumwa akalia kwa uchungu. "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti huku likiufungua mkoba. Nyuki wengi waliliuma kichwani, masikioni na machoni. Lilirukaruka na kulia kwa uchungu. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na Demazane Author - South African Folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua akiwachapa hawa pacha?
{ "text": [ "Mjomba" ] }
2205_swa
Demane na Demazane Hapo zamani kuliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Mjomba aliwachapa na kuwapatia uji mwepesi. Walitorokea pangoni wakaishi kwa hofu nyingi. Majitu yaliishi karibu na pango hilo. Waliunda mlango wenye mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Kamwe usipike nyama. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama na kuimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo Demazane alichoka kukaa pangoni peke yake. Siku moja alitembea na kupanda miti. Alifurahia akawaza, "Labda hakuna majitu." Keshoye, alipata ukakamavu. Aliuwasha moto pangoni ili kuondoa baridi. Kwa kuogopa majitu, aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demazane aliwaza. Demane aliimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane alimwambia, "Nilichoma nyama hii kwenye jua nje ya pango." Kwa vile Demane alikuwa amechoka, hakuuliza maswali zaidi. Siku iliyofuata, Demazane alichoma nyama tena. Alpomaliza, alisikia wimbo: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane akasema, "Wewe si kakangu. Hiyo sio sauti yake." Baada ya muda mfupi, aliskikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana sana na ya kakake. Demazane aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Kabla kuondoka, Demazane aliweza kuliokota jivu la jikoni na kulibeba. Walipokuwa wakienda, alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi, alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini, aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipouona moto mbali. Demane aliona jitu limeketi karibu na moto. Mkoba mkubwa ulikuwa karibu nalo. Alikaribia akichechemea kama aliyeumia mguu. Alisema, "Naomba maji ya kunywa. Nimeumia mguu." "Nitakuletea maji lakini usiguse mkoba wangu." Jitu lilisema huku likiweka mkoba huo vizuri. Jitu lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko, ukafunguka na dadake akatoka. Demane aliubadilisha mkoba huo na wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kitakachotokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mkoba. Nenda ukaulete!" Msichana alipofungua mkoba, nyuki walimwuma mkono akalia kwa sauti, "Inauma, inauma." Jitu lilimwambia mvulana aende kumsaidia. Yeye pia aliumwa akalia kwa uchungu. "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti huku likiufungua mkoba. Nyuki wengi waliliuma kichwani, masikioni na machoni. Lilirukaruka na kulia kwa uchungu. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na Demazane Author - South African Folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demazane alikuwa wa jinsi ipi?
{ "text": [ "Kike" ] }
2205_swa
Demane na Demazane Hapo zamani kuliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Mjomba aliwachapa na kuwapatia uji mwepesi. Walitorokea pangoni wakaishi kwa hofu nyingi. Majitu yaliishi karibu na pango hilo. Waliunda mlango wenye mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Kamwe usipike nyama. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama na kuimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo Demazane alichoka kukaa pangoni peke yake. Siku moja alitembea na kupanda miti. Alifurahia akawaza, "Labda hakuna majitu." Keshoye, alipata ukakamavu. Aliuwasha moto pangoni ili kuondoa baridi. Kwa kuogopa majitu, aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demazane aliwaza. Demane aliimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane alimwambia, "Nilichoma nyama hii kwenye jua nje ya pango." Kwa vile Demane alikuwa amechoka, hakuuliza maswali zaidi. Siku iliyofuata, Demazane alichoma nyama tena. Alpomaliza, alisikia wimbo: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Demazane akasema, "Wewe si kakangu. Hiyo sio sauti yake." Baada ya muda mfupi, aliskikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane nimefika kwenye pango nimewinda korongo ufungue kwa mpango asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana sana na ya kakake. Demazane aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Kabla kuondoka, Demazane aliweza kuliokota jivu la jikoni na kulibeba. Walipokuwa wakienda, alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi, alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini, aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipouona moto mbali. Demane aliona jitu limeketi karibu na moto. Mkoba mkubwa ulikuwa karibu nalo. Alikaribia akichechemea kama aliyeumia mguu. Alisema, "Naomba maji ya kunywa. Nimeumia mguu." "Nitakuletea maji lakini usiguse mkoba wangu." Jitu lilisema huku likiweka mkoba huo vizuri. Jitu lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko, ukafunguka na dadake akatoka. Demane aliubadilisha mkoba huo na wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kitakachotokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mkoba. Nenda ukaulete!" Msichana alipofungua mkoba, nyuki walimwuma mkono akalia kwa sauti, "Inauma, inauma." Jitu lilimwambia mvulana aende kumsaidia. Yeye pia aliumwa akalia kwa uchungu. "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti huku likiufungua mkoba. Nyuki wengi waliliuma kichwani, masikioni na machoni. Lilirukaruka na kulia kwa uchungu. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na Demazane Author - South African Folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demane na Demazane walitorokea kuishi wapi?
{ "text": [ "Pangoni wakaishi na hofu nyingi zaidi" ] }
2206_swa
Demane na pacha wake Hapo zamani za kale paliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Huko kwa mjomba wao, walitendewa mabaya. Walichapwa kwa vibiko virefu, na walipewa uji mwepesi mara moja tu kwa siku. Kwa sababu hiyo, walitoroka. Hawakuwa na nyumba ya kuishi. Waliona pango wakaamua kuishi ndani mwake. Waliogopa kwa sababu walisikia kwamba majitu yaliyowala watu yaliishi karibu. Kwa hivyo waliunda mlango wenye nguvu. Wakafunga kiingilio na kuacha mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Kisha Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Na usipike nyama kamwe. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama ya sungura, ndege au paa. Kila aliporudi pangoni aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Kesho yake alipata ukakamavu, akawasha moto ili kuondoa baridi. Lakini aliwasha moto huo ndani ya pango kwa kuogopa majitu. Aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demane aliporudi nyumbani aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Demane aliingia na kuiona nyama. Aliuliza, "Uliichomaje nyama bila moto?" "Niliichoma kwenye jua nje ya pango," Demazane alijibu upesi. Demane alikuwa amechoka. Hakuuliza swali tena. Waliendelea kufurahia chakula. Siku iliyofuata Demazane aliwasha moto akachoma nyama tena. Alpomaliza aliusikia wimbo. Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Lakini sauti hiyo haikuwa kama ya kakake. Demazane akajibu, "Hapana, wewe si kakangu. Sauti hiyo si yake." Baada ya muda mfupi alisikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana na ya kakake. Kwa hivyo aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Lakini, Demazane aliokota jivu la jikoni akabeba. Alipokuwa akibebwa alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipoona moto mbali. Demane aliona jitu lililojaa nywele limeketi karibu na moto. Mfuko mkubwa ulikuwa karibu naye. Alisongea karibu na jitu hilo akijifanya anachechemea kama mtu aliyeumia mguu. "Tafadhali babu," Demane alisema, "naomba unisaidie. Nimeumia mguu. Naomba maji ya kunywa." Jitu likasema, "Ngoja nikuletee maji lakini usiguse mfuko wangu. Jitu lilisema huku likiweka mfuko ule vizuri ndani ya nyumba." Jitu lile lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko. Ulifunguka na dadake akatoka. Demane alibadilisha mfuko huo na mfuko wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kile ambacho kingetokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mfuko. Nenda ukaulete! Msichana alifungua mfuko kuona kilichokuwa ndani. Nyuki walimwuma mkono akalia akisema kwa sauti, "Inauma, inauma." "Nenda ukamsaidie," jitu lilimwambia mvulana kwa sauti. Pia mvulana aliumwa akalia kwa uchungu." "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti likajitoma ndani ya nyumba. Lilifunga mlango na kufungua ule mfuko. Nyuki wale walichomoka kwa wingi na kumwuma kichwani, masikioni, na hata kwenye macho. Alishindwa kuona akarukaruka na kulia kwa uchungu mwingi. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Baadaye, Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo wa nyuki. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demane na Demazane walienda kuishi na nani
{ "text": [ "mjomba wao" ] }
2206_swa
Demane na pacha wake Hapo zamani za kale paliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Huko kwa mjomba wao, walitendewa mabaya. Walichapwa kwa vibiko virefu, na walipewa uji mwepesi mara moja tu kwa siku. Kwa sababu hiyo, walitoroka. Hawakuwa na nyumba ya kuishi. Waliona pango wakaamua kuishi ndani mwake. Waliogopa kwa sababu walisikia kwamba majitu yaliyowala watu yaliishi karibu. Kwa hivyo waliunda mlango wenye nguvu. Wakafunga kiingilio na kuacha mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Kisha Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Na usipike nyama kamwe. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama ya sungura, ndege au paa. Kila aliporudi pangoni aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Kesho yake alipata ukakamavu, akawasha moto ili kuondoa baridi. Lakini aliwasha moto huo ndani ya pango kwa kuogopa majitu. Aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demane aliporudi nyumbani aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Demane aliingia na kuiona nyama. Aliuliza, "Uliichomaje nyama bila moto?" "Niliichoma kwenye jua nje ya pango," Demazane alijibu upesi. Demane alikuwa amechoka. Hakuuliza swali tena. Waliendelea kufurahia chakula. Siku iliyofuata Demazane aliwasha moto akachoma nyama tena. Alpomaliza aliusikia wimbo. Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Lakini sauti hiyo haikuwa kama ya kakake. Demazane akajibu, "Hapana, wewe si kakangu. Sauti hiyo si yake." Baada ya muda mfupi alisikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana na ya kakake. Kwa hivyo aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Lakini, Demazane aliokota jivu la jikoni akabeba. Alipokuwa akibebwa alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipoona moto mbali. Demane aliona jitu lililojaa nywele limeketi karibu na moto. Mfuko mkubwa ulikuwa karibu naye. Alisongea karibu na jitu hilo akijifanya anachechemea kama mtu aliyeumia mguu. "Tafadhali babu," Demane alisema, "naomba unisaidie. Nimeumia mguu. Naomba maji ya kunywa." Jitu likasema, "Ngoja nikuletee maji lakini usiguse mfuko wangu. Jitu lilisema huku likiweka mfuko ule vizuri ndani ya nyumba." Jitu lile lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko. Ulifunguka na dadake akatoka. Demane alibadilisha mfuko huo na mfuko wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kile ambacho kingetokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mfuko. Nenda ukaulete! Msichana alifungua mfuko kuona kilichokuwa ndani. Nyuki walimwuma mkono akalia akisema kwa sauti, "Inauma, inauma." "Nenda ukamsaidie," jitu lilimwambia mvulana kwa sauti. Pia mvulana aliumwa akalia kwa uchungu." "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti likajitoma ndani ya nyumba. Lilifunga mlango na kufungua ule mfuko. Nyuki wale walichomoka kwa wingi na kumwuma kichwani, masikioni, na hata kwenye macho. Alishindwa kuona akarukaruka na kulia kwa uchungu mwingi. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Baadaye, Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo wa nyuki. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demane alipomwambia dadake abaki pangoni, alienda kufanya nini
{ "text": [ "kutafuta chakula" ] }
2206_swa
Demane na pacha wake Hapo zamani za kale paliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Huko kwa mjomba wao, walitendewa mabaya. Walichapwa kwa vibiko virefu, na walipewa uji mwepesi mara moja tu kwa siku. Kwa sababu hiyo, walitoroka. Hawakuwa na nyumba ya kuishi. Waliona pango wakaamua kuishi ndani mwake. Waliogopa kwa sababu walisikia kwamba majitu yaliyowala watu yaliishi karibu. Kwa hivyo waliunda mlango wenye nguvu. Wakafunga kiingilio na kuacha mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Kisha Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Na usipike nyama kamwe. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama ya sungura, ndege au paa. Kila aliporudi pangoni aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Kesho yake alipata ukakamavu, akawasha moto ili kuondoa baridi. Lakini aliwasha moto huo ndani ya pango kwa kuogopa majitu. Aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demane aliporudi nyumbani aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Demane aliingia na kuiona nyama. Aliuliza, "Uliichomaje nyama bila moto?" "Niliichoma kwenye jua nje ya pango," Demazane alijibu upesi. Demane alikuwa amechoka. Hakuuliza swali tena. Waliendelea kufurahia chakula. Siku iliyofuata Demazane aliwasha moto akachoma nyama tena. Alpomaliza aliusikia wimbo. Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Lakini sauti hiyo haikuwa kama ya kakake. Demazane akajibu, "Hapana, wewe si kakangu. Sauti hiyo si yake." Baada ya muda mfupi alisikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana na ya kakake. Kwa hivyo aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Lakini, Demazane aliokota jivu la jikoni akabeba. Alipokuwa akibebwa alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipoona moto mbali. Demane aliona jitu lililojaa nywele limeketi karibu na moto. Mfuko mkubwa ulikuwa karibu naye. Alisongea karibu na jitu hilo akijifanya anachechemea kama mtu aliyeumia mguu. "Tafadhali babu," Demane alisema, "naomba unisaidie. Nimeumia mguu. Naomba maji ya kunywa." Jitu likasema, "Ngoja nikuletee maji lakini usiguse mfuko wangu. Jitu lilisema huku likiweka mfuko ule vizuri ndani ya nyumba." Jitu lile lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko. Ulifunguka na dadake akatoka. Demane alibadilisha mfuko huo na mfuko wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kile ambacho kingetokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mfuko. Nenda ukaulete! Msichana alifungua mfuko kuona kilichokuwa ndani. Nyuki walimwuma mkono akalia akisema kwa sauti, "Inauma, inauma." "Nenda ukamsaidie," jitu lilimwambia mvulana kwa sauti. Pia mvulana aliumwa akalia kwa uchungu." "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti likajitoma ndani ya nyumba. Lilifunga mlango na kufungua ule mfuko. Nyuki wale walichomoka kwa wingi na kumwuma kichwani, masikioni, na hata kwenye macho. Alishindwa kuona akarukaruka na kulia kwa uchungu mwingi. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Baadaye, Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo wa nyuki. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Majitu hupenda nini
{ "text": [ "harufu ya nyama" ] }
2206_swa
Demane na pacha wake Hapo zamani za kale paliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Huko kwa mjomba wao, walitendewa mabaya. Walichapwa kwa vibiko virefu, na walipewa uji mwepesi mara moja tu kwa siku. Kwa sababu hiyo, walitoroka. Hawakuwa na nyumba ya kuishi. Waliona pango wakaamua kuishi ndani mwake. Waliogopa kwa sababu walisikia kwamba majitu yaliyowala watu yaliishi karibu. Kwa hivyo waliunda mlango wenye nguvu. Wakafunga kiingilio na kuacha mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Kisha Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Na usipike nyama kamwe. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama ya sungura, ndege au paa. Kila aliporudi pangoni aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Kesho yake alipata ukakamavu, akawasha moto ili kuondoa baridi. Lakini aliwasha moto huo ndani ya pango kwa kuogopa majitu. Aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demane aliporudi nyumbani aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Demane aliingia na kuiona nyama. Aliuliza, "Uliichomaje nyama bila moto?" "Niliichoma kwenye jua nje ya pango," Demazane alijibu upesi. Demane alikuwa amechoka. Hakuuliza swali tena. Waliendelea kufurahia chakula. Siku iliyofuata Demazane aliwasha moto akachoma nyama tena. Alpomaliza aliusikia wimbo. Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Lakini sauti hiyo haikuwa kama ya kakake. Demazane akajibu, "Hapana, wewe si kakangu. Sauti hiyo si yake." Baada ya muda mfupi alisikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana na ya kakake. Kwa hivyo aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Lakini, Demazane aliokota jivu la jikoni akabeba. Alipokuwa akibebwa alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipoona moto mbali. Demane aliona jitu lililojaa nywele limeketi karibu na moto. Mfuko mkubwa ulikuwa karibu naye. Alisongea karibu na jitu hilo akijifanya anachechemea kama mtu aliyeumia mguu. "Tafadhali babu," Demane alisema, "naomba unisaidie. Nimeumia mguu. Naomba maji ya kunywa." Jitu likasema, "Ngoja nikuletee maji lakini usiguse mfuko wangu. Jitu lilisema huku likiweka mfuko ule vizuri ndani ya nyumba." Jitu lile lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko. Ulifunguka na dadake akatoka. Demane alibadilisha mfuko huo na mfuko wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kile ambacho kingetokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mfuko. Nenda ukaulete! Msichana alifungua mfuko kuona kilichokuwa ndani. Nyuki walimwuma mkono akalia akisema kwa sauti, "Inauma, inauma." "Nenda ukamsaidie," jitu lilimwambia mvulana kwa sauti. Pia mvulana aliumwa akalia kwa uchungu." "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti likajitoma ndani ya nyumba. Lilifunga mlango na kufungua ule mfuko. Nyuki wale walichomoka kwa wingi na kumwuma kichwani, masikioni, na hata kwenye macho. Alishindwa kuona akarukaruka na kulia kwa uchungu mwingi. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Baadaye, Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo wa nyuki. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demane alikua akiimba lini
{ "text": [ "kila aliporudi pangoni" ] }
2206_swa
Demane na pacha wake Hapo zamani za kale paliondokea mvulana mmoja aliyeitwa Demane. Alikuwa na pacha mwenzake aliyeitwa Demazane. Wazazi wao walipofariki, Demane na Demazane walienda kuishi na mjomba wao. Huko kwa mjomba wao, walitendewa mabaya. Walichapwa kwa vibiko virefu, na walipewa uji mwepesi mara moja tu kwa siku. Kwa sababu hiyo, walitoroka. Hawakuwa na nyumba ya kuishi. Waliona pango wakaamua kuishi ndani mwake. Waliogopa kwa sababu walisikia kwamba majitu yaliyowala watu yaliishi karibu. Kwa hivyo waliunda mlango wenye nguvu. Wakafunga kiingilio na kuacha mashimo mawili ya kupitisha hewa na mwangaza. Kisha Demane akamwambia dadake, "Baki humu pangoni nikatafute chakula. Na usipike nyama kamwe. Majitu hupenda sana harufu ya nyama." Kila jioni Demane alirudi na nyama ya sungura, ndege au paa. Kila aliporudi pangoni aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Kesho yake alipata ukakamavu, akawasha moto ili kuondoa baridi. Lakini aliwasha moto huo ndani ya pango kwa kuogopa majitu. Aliufunga mlango kabisa. "Nina hakika hakuna hatari nikichoma nyama kwa moto huu. Chakula cha kuchomwa ni kitamu." Demane aliporudi nyumbani aliimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Demane aliingia na kuiona nyama. Aliuliza, "Uliichomaje nyama bila moto?" "Niliichoma kwenye jua nje ya pango," Demazane alijibu upesi. Demane alikuwa amechoka. Hakuuliza swali tena. Waliendelea kufurahia chakula. Siku iliyofuata Demazane aliwasha moto akachoma nyama tena. Alpomaliza aliusikia wimbo. Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Lakini sauti hiyo haikuwa kama ya kakake. Demazane akajibu, "Hapana, wewe si kakangu. Sauti hiyo si yake." Baada ya muda mfupi alisikia sauti tena ikiimba: Demazane, Demazane, nimefika kwenye pango, nifungulie mlango, ndiye mimi si uongo, nimewinda na korongo, tupike kwa kikaango, ufungue kwa mpango, asiingie muongo. Sauti hiyo ilifanana na ya kakake. Kwa hivyo aliufungua mlango. Jitu kubwa lenye nywele mwili mzima lilijaa mlangoni. Likamchukua Demazane haraka. Lakini, Demazane aliokota jivu la jikoni akabeba. Alipokuwa akibebwa alimimina jivu lile njiani walikopitia. Demane aliporudi alipata mlango ukiwa wazi na Demazane hakuwa ndani. Lakini aliona jivu lililomwagwa kulekea msituni. Alifuata jivu hilo mpaka alipoona moto mbali. Demane aliona jitu lililojaa nywele limeketi karibu na moto. Mfuko mkubwa ulikuwa karibu naye. Alisongea karibu na jitu hilo akijifanya anachechemea kama mtu aliyeumia mguu. "Tafadhali babu," Demane alisema, "naomba unisaidie. Nimeumia mguu. Naomba maji ya kunywa." Jitu likasema, "Ngoja nikuletee maji lakini usiguse mfuko wangu. Jitu lilisema huku likiweka mfuko ule vizuri ndani ya nyumba." Jitu lile lilipoondoka kwenda mtoni, Demane alikata kamba ya mfuko. Ulifunguka na dadake akatoka. Demane alibadilisha mfuko huo na mfuko wake uliojaa nyuki. Kisha yeye na dadake wakajificha na kungoja kuona kile ambacho kingetokea. Jitu lilirudi na maji pamoja na watoto wake wawili, msichana na mvulana. Likamwambia msichana, "Kuna mlo mtamu ndani ya mfuko. Nenda ukaulete! Msichana alifungua mfuko kuona kilichokuwa ndani. Nyuki walimwuma mkono akalia akisema kwa sauti, "Inauma, inauma." "Nenda ukamsaidie," jitu lilimwambia mvulana kwa sauti. Pia mvulana aliumwa akalia kwa uchungu." "Msinifanye mjinga," jitu lilisema kwa sauti likajitoma ndani ya nyumba. Lilifunga mlango na kufungua ule mfuko. Nyuki wale walichomoka kwa wingi na kumwuma kichwani, masikioni, na hata kwenye macho. Alishindwa kuona akarukaruka na kulia kwa uchungu mwingi. Jitu lilikimbia kuelekea kwenye bwawa la maji. Lilichopeka kichwa kwenye matope likakwama huko. Liligeuka na kuwa kisiki cha mti uliokatwa. Nyuki walijenga mzinga wao kwenye kisiki hicho. Baadaye, Demane na Demazane walifurahia asali tamu kutoka kwa mzinga huo wa nyuki. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Demane alimsaidia dadake aje
{ "text": [ "alikata kamba ya mfuko dadake akatoka,kisha akauweka wa nyuki" ] }
2207_swa
Dereva Juma Juma anaishi mjini. Yeye ni Dereva wa gari la abiria. Juma ni dereva stadi na mwenye heshima kwa wateja wake. Siku moja, Kasim, ambaye alikuwa jirani yake alimpa kazi. Alitaka Juma awaendea wageni wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi. Wageni walikuwa wakitoka ng'ambo. Kasim pia alimwambia awatafutie wageni wake hoteli safi na yenye mandhari ya kuvutia. Wageni walipofika hotelini, waliagiza samaki. Walimwalika Juma kushiriki nao chakula cha mchana. Kasim pia alijiunga nao. Alasiri siku hiyo, Kasim aliwapeleka wageni wake kwenye Mbuga ya Wanyama. Juma alitaka sana kufika mapema kabla ya lango la Mbuga kufungwa. Ilimbidi aliendeshe gari lake kwa kasi sana. Askari waliokuwa zamu wakaliona gari lake Juma likipita kasi. Mgeni mmoja akaamka kutoka usingizi wa pono na kufoka kwa sauti kubwa, "Taratibu dereva! Utasababisha ajali." Gari la polisi lililokuwa linawafuata likawafikia. Inspeka wa polisi akawaamurisha washuke chini. Juma alijitetea, lakini wapi! Alikuwa amevunja sheria za barabarani. Waliandamana mpaka kituo cha polisi. Juma alitozwa faini na akaomba mshamaa. Askari wakamrejeshea gari lake. Kasim akaomba msamaha kwa wageni wake. Wakaanza safari tena kuelekea Mbugani. Walifika Mbugani saa kumi na mbili unusu. Lango la Mbuga lilikuwa halijafunguliwa. Juma aliwaomba wageni wa Kasim msamaha. Tangu siku hiyo, Juma huliendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za barabarani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Dereva Juma Author - Jemimah Makena Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Juma anaishi wapi
{ "text": [ "Mjini" ] }
2207_swa
Dereva Juma Juma anaishi mjini. Yeye ni Dereva wa gari la abiria. Juma ni dereva stadi na mwenye heshima kwa wateja wake. Siku moja, Kasim, ambaye alikuwa jirani yake alimpa kazi. Alitaka Juma awaendea wageni wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi. Wageni walikuwa wakitoka ng'ambo. Kasim pia alimwambia awatafutie wageni wake hoteli safi na yenye mandhari ya kuvutia. Wageni walipofika hotelini, waliagiza samaki. Walimwalika Juma kushiriki nao chakula cha mchana. Kasim pia alijiunga nao. Alasiri siku hiyo, Kasim aliwapeleka wageni wake kwenye Mbuga ya Wanyama. Juma alitaka sana kufika mapema kabla ya lango la Mbuga kufungwa. Ilimbidi aliendeshe gari lake kwa kasi sana. Askari waliokuwa zamu wakaliona gari lake Juma likipita kasi. Mgeni mmoja akaamka kutoka usingizi wa pono na kufoka kwa sauti kubwa, "Taratibu dereva! Utasababisha ajali." Gari la polisi lililokuwa linawafuata likawafikia. Inspeka wa polisi akawaamurisha washuke chini. Juma alijitetea, lakini wapi! Alikuwa amevunja sheria za barabarani. Waliandamana mpaka kituo cha polisi. Juma alitozwa faini na akaomba mshamaa. Askari wakamrejeshea gari lake. Kasim akaomba msamaha kwa wageni wake. Wakaanza safari tena kuelekea Mbugani. Walifika Mbugani saa kumi na mbili unusu. Lango la Mbuga lilikuwa halijafunguliwa. Juma aliwaomba wageni wa Kasim msamaha. Tangu siku hiyo, Juma huliendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za barabarani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Dereva Juma Author - Jemimah Makena Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Juma ni dereva wa gari la nini
{ "text": [ "Abiria" ] }
2207_swa
Dereva Juma Juma anaishi mjini. Yeye ni Dereva wa gari la abiria. Juma ni dereva stadi na mwenye heshima kwa wateja wake. Siku moja, Kasim, ambaye alikuwa jirani yake alimpa kazi. Alitaka Juma awaendea wageni wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi. Wageni walikuwa wakitoka ng'ambo. Kasim pia alimwambia awatafutie wageni wake hoteli safi na yenye mandhari ya kuvutia. Wageni walipofika hotelini, waliagiza samaki. Walimwalika Juma kushiriki nao chakula cha mchana. Kasim pia alijiunga nao. Alasiri siku hiyo, Kasim aliwapeleka wageni wake kwenye Mbuga ya Wanyama. Juma alitaka sana kufika mapema kabla ya lango la Mbuga kufungwa. Ilimbidi aliendeshe gari lake kwa kasi sana. Askari waliokuwa zamu wakaliona gari lake Juma likipita kasi. Mgeni mmoja akaamka kutoka usingizi wa pono na kufoka kwa sauti kubwa, "Taratibu dereva! Utasababisha ajali." Gari la polisi lililokuwa linawafuata likawafikia. Inspeka wa polisi akawaamurisha washuke chini. Juma alijitetea, lakini wapi! Alikuwa amevunja sheria za barabarani. Waliandamana mpaka kituo cha polisi. Juma alitozwa faini na akaomba mshamaa. Askari wakamrejeshea gari lake. Kasim akaomba msamaha kwa wageni wake. Wakaanza safari tena kuelekea Mbugani. Walifika Mbugani saa kumi na mbili unusu. Lango la Mbuga lilikuwa halijafunguliwa. Juma aliwaomba wageni wa Kasim msamaha. Tangu siku hiyo, Juma huliendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za barabarani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Dereva Juma Author - Jemimah Makena Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wageni wa Kasim walikuwa wakitoka wapi
{ "text": [ "Ng'ambo" ] }
2207_swa
Dereva Juma Juma anaishi mjini. Yeye ni Dereva wa gari la abiria. Juma ni dereva stadi na mwenye heshima kwa wateja wake. Siku moja, Kasim, ambaye alikuwa jirani yake alimpa kazi. Alitaka Juma awaendea wageni wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi. Wageni walikuwa wakitoka ng'ambo. Kasim pia alimwambia awatafutie wageni wake hoteli safi na yenye mandhari ya kuvutia. Wageni walipofika hotelini, waliagiza samaki. Walimwalika Juma kushiriki nao chakula cha mchana. Kasim pia alijiunga nao. Alasiri siku hiyo, Kasim aliwapeleka wageni wake kwenye Mbuga ya Wanyama. Juma alitaka sana kufika mapema kabla ya lango la Mbuga kufungwa. Ilimbidi aliendeshe gari lake kwa kasi sana. Askari waliokuwa zamu wakaliona gari lake Juma likipita kasi. Mgeni mmoja akaamka kutoka usingizi wa pono na kufoka kwa sauti kubwa, "Taratibu dereva! Utasababisha ajali." Gari la polisi lililokuwa linawafuata likawafikia. Inspeka wa polisi akawaamurisha washuke chini. Juma alijitetea, lakini wapi! Alikuwa amevunja sheria za barabarani. Waliandamana mpaka kituo cha polisi. Juma alitozwa faini na akaomba mshamaa. Askari wakamrejeshea gari lake. Kasim akaomba msamaha kwa wageni wake. Wakaanza safari tena kuelekea Mbugani. Walifika Mbugani saa kumi na mbili unusu. Lango la Mbuga lilikuwa halijafunguliwa. Juma aliwaomba wageni wa Kasim msamaha. Tangu siku hiyo, Juma huliendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za barabarani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Dereva Juma Author - Jemimah Makena Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kasim aliwapeleka wageni wake wapi
{ "text": [ "Mbuga la wanyama" ] }
2207_swa
Dereva Juma Juma anaishi mjini. Yeye ni Dereva wa gari la abiria. Juma ni dereva stadi na mwenye heshima kwa wateja wake. Siku moja, Kasim, ambaye alikuwa jirani yake alimpa kazi. Alitaka Juma awaendea wageni wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi. Wageni walikuwa wakitoka ng'ambo. Kasim pia alimwambia awatafutie wageni wake hoteli safi na yenye mandhari ya kuvutia. Wageni walipofika hotelini, waliagiza samaki. Walimwalika Juma kushiriki nao chakula cha mchana. Kasim pia alijiunga nao. Alasiri siku hiyo, Kasim aliwapeleka wageni wake kwenye Mbuga ya Wanyama. Juma alitaka sana kufika mapema kabla ya lango la Mbuga kufungwa. Ilimbidi aliendeshe gari lake kwa kasi sana. Askari waliokuwa zamu wakaliona gari lake Juma likipita kasi. Mgeni mmoja akaamka kutoka usingizi wa pono na kufoka kwa sauti kubwa, "Taratibu dereva! Utasababisha ajali." Gari la polisi lililokuwa linawafuata likawafikia. Inspeka wa polisi akawaamurisha washuke chini. Juma alijitetea, lakini wapi! Alikuwa amevunja sheria za barabarani. Waliandamana mpaka kituo cha polisi. Juma alitozwa faini na akaomba mshamaa. Askari wakamrejeshea gari lake. Kasim akaomba msamaha kwa wageni wake. Wakaanza safari tena kuelekea Mbugani. Walifika Mbugani saa kumi na mbili unusu. Lango la Mbuga lilikuwa halijafunguliwa. Juma aliwaomba wageni wa Kasim msamaha. Tangu siku hiyo, Juma huliendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za barabarani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Dereva Juma Author - Jemimah Makena Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Juma alitozwa faini
{ "text": [ "Kwa kuvunja sheria za barabara" ] }
2209_swa
Elia na mzee Elia aliishi katika nyumba ya kifahari mjini Ebiba. Wazazi wake walikuwa matajiri. Elia alikuwa na mbwa aliyeitwa Chita. Alimtunza Chita vizuri sana. Kila siku, baba alimpeleka Elia shuleni na kumrudishi jioni. Alasiri moja walikuwa njiani kurudi nyumbani. Baba alienda katika duka moja kubwa kununua bidhaa. Elia alimwona mzee mmoja aliyekuwa amebaba mzigo mkubwa mgongoni. Alikuwa amechoka kwa hivyo alitembea polepole. Elia aliendelea kumtazama. Mzee yule aliketi chini ya mti kisha akafungua mzigo ule. Alichomoa chupa mbili za plastiki akaanza kuzitengeneza viatu. Elia aliwaza juu ya mzee huyo kwa muda mrefu. Alihuzunika na wala hakuweza kufurahia chakula chake. Aliwaza, "Nitawezaje kumsaidia?" Aliamua kuchukua baadhi ya fedha zake. Akamwita Chita halafu akapanda baiskeli yake na kuondoka. Alienda hadi kwenye lile duka ambako babake alikuwa amenunua bidhaa. Alinunua vitu vingi akampelekea yule mzee na kusema, "Hujambo babu!" Mzee alimjibu, "Amani iwe nawe, mwanangu." Elia akamwuliza, "Babu, unatoka wapi?" Mzee akamjibu, "Mwanangu, njaa imenifukuza kutoka kijijini kwangu. Nipo hapa kutafuta ajira." Elia alimpatia bidhaa alivyokuwa amenunua. Mzee yule hakuamini alipoviona viatu. Alimshukuru Elia kwa moyo wake wote. Elia alisema, "Sasa lazima nirudi nyumbani kabla mamangu hajaanza kunitafuta." Elia na mbwa wake walipoondoka, mzee aliwapungia mkono. Alisema kwa tabasamu, "Barikiwa, mwanangu." Elia alipowasili nyumbani, mamake alimwuliza, "Ulikuwa wapi?" Mama alikuwa na wasiwasi. Elia alimwambia kila kitu. Mama alimmwonea mwanawe fahari kubwa sana kwa kitendo chake cha ukarimu. Baadaye, baba alimwambia Elia, "Tunakujivunia, mwanangu. Lakini, ni lazima utuambie kabla ya kuondoka nyumbani. Shika hizi hela utumie kwa sababu ulitumia zako kumsaidia yule mzee!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Elia na mzee Author - Nwanne Felix-Emeribe Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Elia aliishi mjini wapi
{ "text": [ "Ebiba" ] }
2209_swa
Elia na mzee Elia aliishi katika nyumba ya kifahari mjini Ebiba. Wazazi wake walikuwa matajiri. Elia alikuwa na mbwa aliyeitwa Chita. Alimtunza Chita vizuri sana. Kila siku, baba alimpeleka Elia shuleni na kumrudishi jioni. Alasiri moja walikuwa njiani kurudi nyumbani. Baba alienda katika duka moja kubwa kununua bidhaa. Elia alimwona mzee mmoja aliyekuwa amebaba mzigo mkubwa mgongoni. Alikuwa amechoka kwa hivyo alitembea polepole. Elia aliendelea kumtazama. Mzee yule aliketi chini ya mti kisha akafungua mzigo ule. Alichomoa chupa mbili za plastiki akaanza kuzitengeneza viatu. Elia aliwaza juu ya mzee huyo kwa muda mrefu. Alihuzunika na wala hakuweza kufurahia chakula chake. Aliwaza, "Nitawezaje kumsaidia?" Aliamua kuchukua baadhi ya fedha zake. Akamwita Chita halafu akapanda baiskeli yake na kuondoka. Alienda hadi kwenye lile duka ambako babake alikuwa amenunua bidhaa. Alinunua vitu vingi akampelekea yule mzee na kusema, "Hujambo babu!" Mzee alimjibu, "Amani iwe nawe, mwanangu." Elia akamwuliza, "Babu, unatoka wapi?" Mzee akamjibu, "Mwanangu, njaa imenifukuza kutoka kijijini kwangu. Nipo hapa kutafuta ajira." Elia alimpatia bidhaa alivyokuwa amenunua. Mzee yule hakuamini alipoviona viatu. Alimshukuru Elia kwa moyo wake wote. Elia alisema, "Sasa lazima nirudi nyumbani kabla mamangu hajaanza kunitafuta." Elia na mbwa wake walipoondoka, mzee aliwapungia mkono. Alisema kwa tabasamu, "Barikiwa, mwanangu." Elia alipowasili nyumbani, mamake alimwuliza, "Ulikuwa wapi?" Mama alikuwa na wasiwasi. Elia alimwambia kila kitu. Mama alimmwonea mwanawe fahari kubwa sana kwa kitendo chake cha ukarimu. Baadaye, baba alimwambia Elia, "Tunakujivunia, mwanangu. Lakini, ni lazima utuambie kabla ya kuondoka nyumbani. Shika hizi hela utumie kwa sababu ulitumia zako kumsaidia yule mzee!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Elia na mzee Author - Nwanne Felix-Emeribe Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Alikuwa na mbwa aliyeitwa nani
{ "text": [ "Chita" ] }
2209_swa
Elia na mzee Elia aliishi katika nyumba ya kifahari mjini Ebiba. Wazazi wake walikuwa matajiri. Elia alikuwa na mbwa aliyeitwa Chita. Alimtunza Chita vizuri sana. Kila siku, baba alimpeleka Elia shuleni na kumrudishi jioni. Alasiri moja walikuwa njiani kurudi nyumbani. Baba alienda katika duka moja kubwa kununua bidhaa. Elia alimwona mzee mmoja aliyekuwa amebaba mzigo mkubwa mgongoni. Alikuwa amechoka kwa hivyo alitembea polepole. Elia aliendelea kumtazama. Mzee yule aliketi chini ya mti kisha akafungua mzigo ule. Alichomoa chupa mbili za plastiki akaanza kuzitengeneza viatu. Elia aliwaza juu ya mzee huyo kwa muda mrefu. Alihuzunika na wala hakuweza kufurahia chakula chake. Aliwaza, "Nitawezaje kumsaidia?" Aliamua kuchukua baadhi ya fedha zake. Akamwita Chita halafu akapanda baiskeli yake na kuondoka. Alienda hadi kwenye lile duka ambako babake alikuwa amenunua bidhaa. Alinunua vitu vingi akampelekea yule mzee na kusema, "Hujambo babu!" Mzee alimjibu, "Amani iwe nawe, mwanangu." Elia akamwuliza, "Babu, unatoka wapi?" Mzee akamjibu, "Mwanangu, njaa imenifukuza kutoka kijijini kwangu. Nipo hapa kutafuta ajira." Elia alimpatia bidhaa alivyokuwa amenunua. Mzee yule hakuamini alipoviona viatu. Alimshukuru Elia kwa moyo wake wote. Elia alisema, "Sasa lazima nirudi nyumbani kabla mamangu hajaanza kunitafuta." Elia na mbwa wake walipoondoka, mzee aliwapungia mkono. Alisema kwa tabasamu, "Barikiwa, mwanangu." Elia alipowasili nyumbani, mamake alimwuliza, "Ulikuwa wapi?" Mama alikuwa na wasiwasi. Elia alimwambia kila kitu. Mama alimmwonea mwanawe fahari kubwa sana kwa kitendo chake cha ukarimu. Baadaye, baba alimwambia Elia, "Tunakujivunia, mwanangu. Lakini, ni lazima utuambie kabla ya kuondoka nyumbani. Shika hizi hela utumie kwa sababu ulitumia zako kumsaidia yule mzee!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Elia na mzee Author - Nwanne Felix-Emeribe Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mzee aliketi chini ya nini
{ "text": [ "Mti" ] }
2209_swa
Elia na mzee Elia aliishi katika nyumba ya kifahari mjini Ebiba. Wazazi wake walikuwa matajiri. Elia alikuwa na mbwa aliyeitwa Chita. Alimtunza Chita vizuri sana. Kila siku, baba alimpeleka Elia shuleni na kumrudishi jioni. Alasiri moja walikuwa njiani kurudi nyumbani. Baba alienda katika duka moja kubwa kununua bidhaa. Elia alimwona mzee mmoja aliyekuwa amebaba mzigo mkubwa mgongoni. Alikuwa amechoka kwa hivyo alitembea polepole. Elia aliendelea kumtazama. Mzee yule aliketi chini ya mti kisha akafungua mzigo ule. Alichomoa chupa mbili za plastiki akaanza kuzitengeneza viatu. Elia aliwaza juu ya mzee huyo kwa muda mrefu. Alihuzunika na wala hakuweza kufurahia chakula chake. Aliwaza, "Nitawezaje kumsaidia?" Aliamua kuchukua baadhi ya fedha zake. Akamwita Chita halafu akapanda baiskeli yake na kuondoka. Alienda hadi kwenye lile duka ambako babake alikuwa amenunua bidhaa. Alinunua vitu vingi akampelekea yule mzee na kusema, "Hujambo babu!" Mzee alimjibu, "Amani iwe nawe, mwanangu." Elia akamwuliza, "Babu, unatoka wapi?" Mzee akamjibu, "Mwanangu, njaa imenifukuza kutoka kijijini kwangu. Nipo hapa kutafuta ajira." Elia alimpatia bidhaa alivyokuwa amenunua. Mzee yule hakuamini alipoviona viatu. Alimshukuru Elia kwa moyo wake wote. Elia alisema, "Sasa lazima nirudi nyumbani kabla mamangu hajaanza kunitafuta." Elia na mbwa wake walipoondoka, mzee aliwapungia mkono. Alisema kwa tabasamu, "Barikiwa, mwanangu." Elia alipowasili nyumbani, mamake alimwuliza, "Ulikuwa wapi?" Mama alikuwa na wasiwasi. Elia alimwambia kila kitu. Mama alimmwonea mwanawe fahari kubwa sana kwa kitendo chake cha ukarimu. Baadaye, baba alimwambia Elia, "Tunakujivunia, mwanangu. Lakini, ni lazima utuambie kabla ya kuondoka nyumbani. Shika hizi hela utumie kwa sababu ulitumia zako kumsaidia yule mzee!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Elia na mzee Author - Nwanne Felix-Emeribe Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama alimwonea mwanawe nini
{ "text": [ "fahari kubwa sana" ] }
2209_swa
Elia na mzee Elia aliishi katika nyumba ya kifahari mjini Ebiba. Wazazi wake walikuwa matajiri. Elia alikuwa na mbwa aliyeitwa Chita. Alimtunza Chita vizuri sana. Kila siku, baba alimpeleka Elia shuleni na kumrudishi jioni. Alasiri moja walikuwa njiani kurudi nyumbani. Baba alienda katika duka moja kubwa kununua bidhaa. Elia alimwona mzee mmoja aliyekuwa amebaba mzigo mkubwa mgongoni. Alikuwa amechoka kwa hivyo alitembea polepole. Elia aliendelea kumtazama. Mzee yule aliketi chini ya mti kisha akafungua mzigo ule. Alichomoa chupa mbili za plastiki akaanza kuzitengeneza viatu. Elia aliwaza juu ya mzee huyo kwa muda mrefu. Alihuzunika na wala hakuweza kufurahia chakula chake. Aliwaza, "Nitawezaje kumsaidia?" Aliamua kuchukua baadhi ya fedha zake. Akamwita Chita halafu akapanda baiskeli yake na kuondoka. Alienda hadi kwenye lile duka ambako babake alikuwa amenunua bidhaa. Alinunua vitu vingi akampelekea yule mzee na kusema, "Hujambo babu!" Mzee alimjibu, "Amani iwe nawe, mwanangu." Elia akamwuliza, "Babu, unatoka wapi?" Mzee akamjibu, "Mwanangu, njaa imenifukuza kutoka kijijini kwangu. Nipo hapa kutafuta ajira." Elia alimpatia bidhaa alivyokuwa amenunua. Mzee yule hakuamini alipoviona viatu. Alimshukuru Elia kwa moyo wake wote. Elia alisema, "Sasa lazima nirudi nyumbani kabla mamangu hajaanza kunitafuta." Elia na mbwa wake walipoondoka, mzee aliwapungia mkono. Alisema kwa tabasamu, "Barikiwa, mwanangu." Elia alipowasili nyumbani, mamake alimwuliza, "Ulikuwa wapi?" Mama alikuwa na wasiwasi. Elia alimwambia kila kitu. Mama alimmwonea mwanawe fahari kubwa sana kwa kitendo chake cha ukarimu. Baadaye, baba alimwambia Elia, "Tunakujivunia, mwanangu. Lakini, ni lazima utuambie kabla ya kuondoka nyumbani. Shika hizi hela utumie kwa sababu ulitumia zako kumsaidia yule mzee!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Elia na mzee Author - Nwanne Felix-Emeribe Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini mzee alitembea polepole
{ "text": [ "Kwa sababu alikuwa amechoka " ] }
2210_swa
Fahali na Punda Zamani, aliishi mkulima mmoja maskini aliyekuwa na Fahali mzee. Fahali huyo hakupenda kulima. Alipenda kubaki nyumbani akila nyasi, akinywa maji na kupumzika. Mkulima huyo vilevile alikuwa na Punda. Punda na Fahali walikuwa marafiki. Mwisho wa siku, walizoea kuongea pamoja. Siku moja, Fahali alisema, "Nimechoka sana. Nimefanya kazi siku nzima. Jembe ni kubwa na zito. Naye mkulima haniruhusu kupumzika." Punda alimtazama Fahali akawaza, "Bila shaka Fahali ni mvivu na hapendi kufanya kazi." Kisha akasema, "Unadhani kuwa jembe lako ni zito? Niamini, rafiki yangu, jembe ni jepesi! Mimi leo nimebeba gunia la ngano mgongoni. Nina hakika lilikuwa zito kuliko jembe lako." Siku iliyofuata, walikutana tena. Fahali akasema, "Nimekuwa na siku mbaya leo. Shamba la bwana wangu liko mbali na limejaa mawe. Nimefanya kazi mchana kutwa. Sikupumzika hata kidogo." "Eti ulifanya kazi ngumu?" Punda alimwuliza. "Mimi leo nilikwenda sokoni mjini, kilomita nyingi kutoka hapa. Nina hakika nimefanya kazi ngumu kuliko wewe." Siku iliyofuata, Fahali alirudi nyumbani akiwa amechelewa tena. Alimwambia Punda, "Ah! Rafiki! Leo ilikuwa siku mbaya kwangu." Lakini, Punda hakutaka kumsikiliza Fahali zaidi. Punda alimwambia, "Wewe huchoka kila wakati na kila siku ni mbaya kwako. Mkulima atakapokuja kesho, lala na ufumbe macho yako useme, 'Moo! Moo!' Mkulima akifikiri wewe ni mgonjwa, atakuruhusu upumzike." Fahali alilipenda wazo hilo akasema, "Asante mpenzi Punda. Wazo zuri sana." Asubuhi iliyofuata, Fahali alilala na mkulima alipofika, aliyafumba macho yake akalia, "Moo! Moo!" Mkulima alimtazama akawaza, "Maskini Fahali wangu ni mgonjwa. Lakini, ni lazima nililime shamba langu. Ni nani atakayenisaidia? Haidhuru, kuna Punda! Atalivuta jembe leo." Mkulima alimpeleka Punda shambani akamfunga jembe na kuanza kumcharaza, "Nenda! Haraka! Vuta!" Alimshurutisha Punda. Punda alifanya kazi siku nzima. Jioni alikuwa amechoka sana. Alitembea polepole kwenda nyumbani. Fahali alisubiri na alipomwona, alisema, "Mpendwa Punda, nilikuwa na siku nzuri leo. Nilikula nyasi, nikanywa maji na nikapumzika chini ya mti mkubwa. Nataka kupumzika tena kesho. Je, nifanyeje? Nipe wazo jingine." Punda alimtazama Fahali, akawaza, "Kazi yake ni mbaya kuliko yangu. Sitaki kuifanya tena kesho." Hatimaye, Punda akasema, "Rafiki yangu, kuwa makini. Leo nimemsikia mkulima akimwambia hivi mkewe, 'Fahali wangu ni mchovu kila wakati na sasa ni mgonjwa. Asipopata nafuu kesho, nitamchinja tule nyama.'" Fahali aliogopa sana akalia akisema, "Eti nini? Alisema hivyo? Kesho, nitafanya kazi yangu. Nimepata nafuu sasa na wala si mchovu tena!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fahali na Punda Author - Melese Getahun Wolde and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Nani alikuwa na fahali mzee
{ "text": [ "mkulima" ] }
2210_swa
Fahali na Punda Zamani, aliishi mkulima mmoja maskini aliyekuwa na Fahali mzee. Fahali huyo hakupenda kulima. Alipenda kubaki nyumbani akila nyasi, akinywa maji na kupumzika. Mkulima huyo vilevile alikuwa na Punda. Punda na Fahali walikuwa marafiki. Mwisho wa siku, walizoea kuongea pamoja. Siku moja, Fahali alisema, "Nimechoka sana. Nimefanya kazi siku nzima. Jembe ni kubwa na zito. Naye mkulima haniruhusu kupumzika." Punda alimtazama Fahali akawaza, "Bila shaka Fahali ni mvivu na hapendi kufanya kazi." Kisha akasema, "Unadhani kuwa jembe lako ni zito? Niamini, rafiki yangu, jembe ni jepesi! Mimi leo nimebeba gunia la ngano mgongoni. Nina hakika lilikuwa zito kuliko jembe lako." Siku iliyofuata, walikutana tena. Fahali akasema, "Nimekuwa na siku mbaya leo. Shamba la bwana wangu liko mbali na limejaa mawe. Nimefanya kazi mchana kutwa. Sikupumzika hata kidogo." "Eti ulifanya kazi ngumu?" Punda alimwuliza. "Mimi leo nilikwenda sokoni mjini, kilomita nyingi kutoka hapa. Nina hakika nimefanya kazi ngumu kuliko wewe." Siku iliyofuata, Fahali alirudi nyumbani akiwa amechelewa tena. Alimwambia Punda, "Ah! Rafiki! Leo ilikuwa siku mbaya kwangu." Lakini, Punda hakutaka kumsikiliza Fahali zaidi. Punda alimwambia, "Wewe huchoka kila wakati na kila siku ni mbaya kwako. Mkulima atakapokuja kesho, lala na ufumbe macho yako useme, 'Moo! Moo!' Mkulima akifikiri wewe ni mgonjwa, atakuruhusu upumzike." Fahali alilipenda wazo hilo akasema, "Asante mpenzi Punda. Wazo zuri sana." Asubuhi iliyofuata, Fahali alilala na mkulima alipofika, aliyafumba macho yake akalia, "Moo! Moo!" Mkulima alimtazama akawaza, "Maskini Fahali wangu ni mgonjwa. Lakini, ni lazima nililime shamba langu. Ni nani atakayenisaidia? Haidhuru, kuna Punda! Atalivuta jembe leo." Mkulima alimpeleka Punda shambani akamfunga jembe na kuanza kumcharaza, "Nenda! Haraka! Vuta!" Alimshurutisha Punda. Punda alifanya kazi siku nzima. Jioni alikuwa amechoka sana. Alitembea polepole kwenda nyumbani. Fahali alisubiri na alipomwona, alisema, "Mpendwa Punda, nilikuwa na siku nzuri leo. Nilikula nyasi, nikanywa maji na nikapumzika chini ya mti mkubwa. Nataka kupumzika tena kesho. Je, nifanyeje? Nipe wazo jingine." Punda alimtazama Fahali, akawaza, "Kazi yake ni mbaya kuliko yangu. Sitaki kuifanya tena kesho." Hatimaye, Punda akasema, "Rafiki yangu, kuwa makini. Leo nimemsikia mkulima akimwambia hivi mkewe, 'Fahali wangu ni mchovu kila wakati na sasa ni mgonjwa. Asipopata nafuu kesho, nitamchinja tule nyama.'" Fahali aliogopa sana akalia akisema, "Eti nini? Alisema hivyo? Kesho, nitafanya kazi yangu. Nimepata nafuu sasa na wala si mchovu tena!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fahali na Punda Author - Melese Getahun Wolde and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Punda na fahali walizoea kuongea pamoja lini
{ "text": [ "mwisho wa siku" ] }
2210_swa
Fahali na Punda Zamani, aliishi mkulima mmoja maskini aliyekuwa na Fahali mzee. Fahali huyo hakupenda kulima. Alipenda kubaki nyumbani akila nyasi, akinywa maji na kupumzika. Mkulima huyo vilevile alikuwa na Punda. Punda na Fahali walikuwa marafiki. Mwisho wa siku, walizoea kuongea pamoja. Siku moja, Fahali alisema, "Nimechoka sana. Nimefanya kazi siku nzima. Jembe ni kubwa na zito. Naye mkulima haniruhusu kupumzika." Punda alimtazama Fahali akawaza, "Bila shaka Fahali ni mvivu na hapendi kufanya kazi." Kisha akasema, "Unadhani kuwa jembe lako ni zito? Niamini, rafiki yangu, jembe ni jepesi! Mimi leo nimebeba gunia la ngano mgongoni. Nina hakika lilikuwa zito kuliko jembe lako." Siku iliyofuata, walikutana tena. Fahali akasema, "Nimekuwa na siku mbaya leo. Shamba la bwana wangu liko mbali na limejaa mawe. Nimefanya kazi mchana kutwa. Sikupumzika hata kidogo." "Eti ulifanya kazi ngumu?" Punda alimwuliza. "Mimi leo nilikwenda sokoni mjini, kilomita nyingi kutoka hapa. Nina hakika nimefanya kazi ngumu kuliko wewe." Siku iliyofuata, Fahali alirudi nyumbani akiwa amechelewa tena. Alimwambia Punda, "Ah! Rafiki! Leo ilikuwa siku mbaya kwangu." Lakini, Punda hakutaka kumsikiliza Fahali zaidi. Punda alimwambia, "Wewe huchoka kila wakati na kila siku ni mbaya kwako. Mkulima atakapokuja kesho, lala na ufumbe macho yako useme, 'Moo! Moo!' Mkulima akifikiri wewe ni mgonjwa, atakuruhusu upumzike." Fahali alilipenda wazo hilo akasema, "Asante mpenzi Punda. Wazo zuri sana." Asubuhi iliyofuata, Fahali alilala na mkulima alipofika, aliyafumba macho yake akalia, "Moo! Moo!" Mkulima alimtazama akawaza, "Maskini Fahali wangu ni mgonjwa. Lakini, ni lazima nililime shamba langu. Ni nani atakayenisaidia? Haidhuru, kuna Punda! Atalivuta jembe leo." Mkulima alimpeleka Punda shambani akamfunga jembe na kuanza kumcharaza, "Nenda! Haraka! Vuta!" Alimshurutisha Punda. Punda alifanya kazi siku nzima. Jioni alikuwa amechoka sana. Alitembea polepole kwenda nyumbani. Fahali alisubiri na alipomwona, alisema, "Mpendwa Punda, nilikuwa na siku nzuri leo. Nilikula nyasi, nikanywa maji na nikapumzika chini ya mti mkubwa. Nataka kupumzika tena kesho. Je, nifanyeje? Nipe wazo jingine." Punda alimtazama Fahali, akawaza, "Kazi yake ni mbaya kuliko yangu. Sitaki kuifanya tena kesho." Hatimaye, Punda akasema, "Rafiki yangu, kuwa makini. Leo nimemsikia mkulima akimwambia hivi mkewe, 'Fahali wangu ni mchovu kila wakati na sasa ni mgonjwa. Asipopata nafuu kesho, nitamchinja tule nyama.'" Fahali aliogopa sana akalia akisema, "Eti nini? Alisema hivyo? Kesho, nitafanya kazi yangu. Nimepata nafuu sasa na wala si mchovu tena!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fahali na Punda Author - Melese Getahun Wolde and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Punda alibeba nini mgongoni
{ "text": [ "gunia la ngano" ] }
2210_swa
Fahali na Punda Zamani, aliishi mkulima mmoja maskini aliyekuwa na Fahali mzee. Fahali huyo hakupenda kulima. Alipenda kubaki nyumbani akila nyasi, akinywa maji na kupumzika. Mkulima huyo vilevile alikuwa na Punda. Punda na Fahali walikuwa marafiki. Mwisho wa siku, walizoea kuongea pamoja. Siku moja, Fahali alisema, "Nimechoka sana. Nimefanya kazi siku nzima. Jembe ni kubwa na zito. Naye mkulima haniruhusu kupumzika." Punda alimtazama Fahali akawaza, "Bila shaka Fahali ni mvivu na hapendi kufanya kazi." Kisha akasema, "Unadhani kuwa jembe lako ni zito? Niamini, rafiki yangu, jembe ni jepesi! Mimi leo nimebeba gunia la ngano mgongoni. Nina hakika lilikuwa zito kuliko jembe lako." Siku iliyofuata, walikutana tena. Fahali akasema, "Nimekuwa na siku mbaya leo. Shamba la bwana wangu liko mbali na limejaa mawe. Nimefanya kazi mchana kutwa. Sikupumzika hata kidogo." "Eti ulifanya kazi ngumu?" Punda alimwuliza. "Mimi leo nilikwenda sokoni mjini, kilomita nyingi kutoka hapa. Nina hakika nimefanya kazi ngumu kuliko wewe." Siku iliyofuata, Fahali alirudi nyumbani akiwa amechelewa tena. Alimwambia Punda, "Ah! Rafiki! Leo ilikuwa siku mbaya kwangu." Lakini, Punda hakutaka kumsikiliza Fahali zaidi. Punda alimwambia, "Wewe huchoka kila wakati na kila siku ni mbaya kwako. Mkulima atakapokuja kesho, lala na ufumbe macho yako useme, 'Moo! Moo!' Mkulima akifikiri wewe ni mgonjwa, atakuruhusu upumzike." Fahali alilipenda wazo hilo akasema, "Asante mpenzi Punda. Wazo zuri sana." Asubuhi iliyofuata, Fahali alilala na mkulima alipofika, aliyafumba macho yake akalia, "Moo! Moo!" Mkulima alimtazama akawaza, "Maskini Fahali wangu ni mgonjwa. Lakini, ni lazima nililime shamba langu. Ni nani atakayenisaidia? Haidhuru, kuna Punda! Atalivuta jembe leo." Mkulima alimpeleka Punda shambani akamfunga jembe na kuanza kumcharaza, "Nenda! Haraka! Vuta!" Alimshurutisha Punda. Punda alifanya kazi siku nzima. Jioni alikuwa amechoka sana. Alitembea polepole kwenda nyumbani. Fahali alisubiri na alipomwona, alisema, "Mpendwa Punda, nilikuwa na siku nzuri leo. Nilikula nyasi, nikanywa maji na nikapumzika chini ya mti mkubwa. Nataka kupumzika tena kesho. Je, nifanyeje? Nipe wazo jingine." Punda alimtazama Fahali, akawaza, "Kazi yake ni mbaya kuliko yangu. Sitaki kuifanya tena kesho." Hatimaye, Punda akasema, "Rafiki yangu, kuwa makini. Leo nimemsikia mkulima akimwambia hivi mkewe, 'Fahali wangu ni mchovu kila wakati na sasa ni mgonjwa. Asipopata nafuu kesho, nitamchinja tule nyama.'" Fahali aliogopa sana akalia akisema, "Eti nini? Alisema hivyo? Kesho, nitafanya kazi yangu. Nimepata nafuu sasa na wala si mchovu tena!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fahali na Punda Author - Melese Getahun Wolde and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Nani huchoka kila wakati
{ "text": [ "fahali" ] }
2210_swa
Fahali na Punda Zamani, aliishi mkulima mmoja maskini aliyekuwa na Fahali mzee. Fahali huyo hakupenda kulima. Alipenda kubaki nyumbani akila nyasi, akinywa maji na kupumzika. Mkulima huyo vilevile alikuwa na Punda. Punda na Fahali walikuwa marafiki. Mwisho wa siku, walizoea kuongea pamoja. Siku moja, Fahali alisema, "Nimechoka sana. Nimefanya kazi siku nzima. Jembe ni kubwa na zito. Naye mkulima haniruhusu kupumzika." Punda alimtazama Fahali akawaza, "Bila shaka Fahali ni mvivu na hapendi kufanya kazi." Kisha akasema, "Unadhani kuwa jembe lako ni zito? Niamini, rafiki yangu, jembe ni jepesi! Mimi leo nimebeba gunia la ngano mgongoni. Nina hakika lilikuwa zito kuliko jembe lako." Siku iliyofuata, walikutana tena. Fahali akasema, "Nimekuwa na siku mbaya leo. Shamba la bwana wangu liko mbali na limejaa mawe. Nimefanya kazi mchana kutwa. Sikupumzika hata kidogo." "Eti ulifanya kazi ngumu?" Punda alimwuliza. "Mimi leo nilikwenda sokoni mjini, kilomita nyingi kutoka hapa. Nina hakika nimefanya kazi ngumu kuliko wewe." Siku iliyofuata, Fahali alirudi nyumbani akiwa amechelewa tena. Alimwambia Punda, "Ah! Rafiki! Leo ilikuwa siku mbaya kwangu." Lakini, Punda hakutaka kumsikiliza Fahali zaidi. Punda alimwambia, "Wewe huchoka kila wakati na kila siku ni mbaya kwako. Mkulima atakapokuja kesho, lala na ufumbe macho yako useme, 'Moo! Moo!' Mkulima akifikiri wewe ni mgonjwa, atakuruhusu upumzike." Fahali alilipenda wazo hilo akasema, "Asante mpenzi Punda. Wazo zuri sana." Asubuhi iliyofuata, Fahali alilala na mkulima alipofika, aliyafumba macho yake akalia, "Moo! Moo!" Mkulima alimtazama akawaza, "Maskini Fahali wangu ni mgonjwa. Lakini, ni lazima nililime shamba langu. Ni nani atakayenisaidia? Haidhuru, kuna Punda! Atalivuta jembe leo." Mkulima alimpeleka Punda shambani akamfunga jembe na kuanza kumcharaza, "Nenda! Haraka! Vuta!" Alimshurutisha Punda. Punda alifanya kazi siku nzima. Jioni alikuwa amechoka sana. Alitembea polepole kwenda nyumbani. Fahali alisubiri na alipomwona, alisema, "Mpendwa Punda, nilikuwa na siku nzuri leo. Nilikula nyasi, nikanywa maji na nikapumzika chini ya mti mkubwa. Nataka kupumzika tena kesho. Je, nifanyeje? Nipe wazo jingine." Punda alimtazama Fahali, akawaza, "Kazi yake ni mbaya kuliko yangu. Sitaki kuifanya tena kesho." Hatimaye, Punda akasema, "Rafiki yangu, kuwa makini. Leo nimemsikia mkulima akimwambia hivi mkewe, 'Fahali wangu ni mchovu kila wakati na sasa ni mgonjwa. Asipopata nafuu kesho, nitamchinja tule nyama.'" Fahali aliogopa sana akalia akisema, "Eti nini? Alisema hivyo? Kesho, nitafanya kazi yangu. Nimepata nafuu sasa na wala si mchovu tena!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fahali na Punda Author - Melese Getahun Wolde and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mbona punda alitembea polepole
{ "text": [ "alikuwa amechoka" ] }
2212_swa
Familia ya Pembenyingi "Mwaka huu tutakuwa na mkutano maalum wa familia," Mama Pembenyingi alitangaza. "Nani atakayehudhuria? Natumai Pembenyingi wote watakuwa. Ninawakosa binamu yangu," Kosi alisema. "Ninakosa zaidi upande wa familia yangu ya Pembenne," Mama alitabasamu. "Ndiyo, ni kitambo sana tangu tuwaone Mstatili, Mraba, na Msambamba," alisema Baba Pembenyingi. "Usisahau, wana watoto watatu sasa!" Mama alimkumbusha Baba. "Na binamu wengine, je? Watakuja?" Fusi aliuliza. Mama alijibu, "Ndiyo, wao ni Pembenyingi, ingawa si Pembenne. Jina lao la ukoo ni Pembetatu. Watoto ni Pembetatu Pacha na Pembetatu Sawa." "Aa, ndiyo, familia ya Pembetatu!" alishangaa Fusi. "Lakini wanafanana sana na Pembenne." "La, sio kabisa," Mama alisema. "Pembetatu wana pande tatu, ilhali Pembenne wana pande nne, kama mimi." Baba Pembenyingi aliongeza, "Nimefurahi kwa sababu binamu zangu wengine watatu watakuwa hapa: Pembetano, Pembesita na Pembenane. Wao pia ni wa familia yetu ya Pembenyingi." Vusi aliuliza, "Baba, mbona tunaitwa Pembenyingi?" "Kwa sababu tuna sura pande mbili. Tumeumbwa kwa mistari iliyonyooka, na maumbo yetu yamefungika, kama unavyoona, mistari yetu yote imeunganika. Binamu yetu Pembetatu, Pembenne, Pembesita, na Pembetano wote watatutembelea," Baba alijibu. "Je, ulisema kuwa Pembenane atakuja? Yeye pia ni jamaa yetu?" Khosi aliuliza. "Bila shaka, binti yangu, ukimtazama, utajua kwamba ni wa familia yetu. Unastahili kuangalia kwa makini idadi ya pande ambazo binamu yako wanazo, au hutaweza kuona tofauti. Binamu Pembenane ana pande nane kwa sababu jina lake linamalizika na nane," Baba alisema. "Sawa, na Pembetano na Pembesita, je?" Vusi aliuliza. "Binamu Pembesita ana pande sita kwa sababu jina lake linamalizika na sita," Baba alijibu. "Pembetano wana pande tano. Mwalimu wetu alituambia kwamba tano inatokana na pande hizo tano," aliongeza Khosi. "Kumbuka kwamba tatu na nne ndizo zinafanya binamu yako Pembetatu na Pembenne kuwa tofauti. "Baba, Pembesaba ana pande ngapi?" Vusi aliuliza. Baba alicheka akasema, "Sitakwambia. Kumbuka tulipiga picha zake tulipokuwa kwa harusi ya mjombako. Ningependa uitazame picha ile kwa makini kisha unieleze unachoona. Vusi aliitazama picha haraka halafu akajibu, Pembesaba ana pande saba!" Khosi aliongeza, "Ndiyo, kumbuka mwalimu wetu alituambia kuwa saba inatokana na idadi sab." "Aa mke wangu, unaona jinsi watoto wetu walivyo werevu? Je, kumi ina maana gani?" Baba aliuliza. "Pembe kumi!" Vusi na Khosi walisema. "Ndiyo, hiyo ndiyo sababu binamu yenu anaitwa Pembekumi. Lakini, hatakuja kwa sababu ataiwakilisha timu ya waogeleaji. Kuna Pembekumi wachache sana shuleni kwao," Mama aliwaambia. Watoto walisema, "Mama na Baba, tunaweza kumualika rafiki yetu Mduara?" Wazazi wao walikubali Mduara kujiunga nao kwa sherehe. Wakati huo, waliusikia mlango ukibishwa. Baba alienda kujua ni nani. "Pembenne wako hapa! Karibu! Karibu!" Baba alishangilia. Familia yote inaruka kuwasalimu Mraba, Mstatili, na watoto watatu wa Msambamba. Pembenne wanafurahi kuwa wa kwanza kufika. Familia ya Pembetatu inabisha mlango muda mfupi baada ya kufika kwa Pembenne. Pembetatu pacha na Pembetatu sawa wamechoka baada ya safari ndefu. Lakini, wamefurahi kuwa pamoja na familia nzima. Hatimaye, Pembenane na Pembesaba wanawasili pamoja na wanao, Pembetano na Pembesita. Pia wemewaleta Miraba watatu. Pembenane anaeleza, "Natumai si tatizo kwamba wana Pembenne watatu kutoka kijijini wamekuja nasi. Hawajawahi kwenda jijini." Mama alitabasamu, "Marafiki na familia wanakaribishwa hapa kila wakati." Aliwatuma watoto wote nje kucheza. "Tutacheza mchezo gani?" Vusi aliwauliza watoto wengine. Pembetatu sawa alisema kwa furaha, "Hebu tucheze mchezo wa maumbo!" Watoto wote wa Pembenyingi walianza kucheza mchezo huo. "Ninaweza kucheza nanyi? Mimi pia ningependa kucheza mchezo wa maumbo," Mduara alisema. Vusi alimjibu, "Aibu kubwa, samahani, huwezi kucheza mchezo huo rafiki yangu." Mraba mmoja aliongeza, "Huoni umbo lako, wewe si wa familia ya Pembenyingi. Duara hawawezi kucheza mchezo wa maumbo." Mduara alihuzunika sana kwa kuachwa nje ya mchezo. Lakini, mchezo haufurahishi sana mmoja akiachwa nje. Vusi alisema, "Ni heri tucheze mchezo ambao Mduara pia anaweza kucheza." Kwa hivyo, Pembenyingi na Mduara walicheza pamoja kwa furaha hadi chakula kitamu kilipokuwa tayari. Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Familia ya Pembenyingi Author - Lindiwe Tshabalala and African Storybook Translation - Ursula Nafula Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Pembenyingi alitangaza kwamba kutakuwa na nini mwako huo
{ "text": [ "Mkutano wa familia" ] }
2212_swa
Familia ya Pembenyingi "Mwaka huu tutakuwa na mkutano maalum wa familia," Mama Pembenyingi alitangaza. "Nani atakayehudhuria? Natumai Pembenyingi wote watakuwa. Ninawakosa binamu yangu," Kosi alisema. "Ninakosa zaidi upande wa familia yangu ya Pembenne," Mama alitabasamu. "Ndiyo, ni kitambo sana tangu tuwaone Mstatili, Mraba, na Msambamba," alisema Baba Pembenyingi. "Usisahau, wana watoto watatu sasa!" Mama alimkumbusha Baba. "Na binamu wengine, je? Watakuja?" Fusi aliuliza. Mama alijibu, "Ndiyo, wao ni Pembenyingi, ingawa si Pembenne. Jina lao la ukoo ni Pembetatu. Watoto ni Pembetatu Pacha na Pembetatu Sawa." "Aa, ndiyo, familia ya Pembetatu!" alishangaa Fusi. "Lakini wanafanana sana na Pembenne." "La, sio kabisa," Mama alisema. "Pembetatu wana pande tatu, ilhali Pembenne wana pande nne, kama mimi." Baba Pembenyingi aliongeza, "Nimefurahi kwa sababu binamu zangu wengine watatu watakuwa hapa: Pembetano, Pembesita na Pembenane. Wao pia ni wa familia yetu ya Pembenyingi." Vusi aliuliza, "Baba, mbona tunaitwa Pembenyingi?" "Kwa sababu tuna sura pande mbili. Tumeumbwa kwa mistari iliyonyooka, na maumbo yetu yamefungika, kama unavyoona, mistari yetu yote imeunganika. Binamu yetu Pembetatu, Pembenne, Pembesita, na Pembetano wote watatutembelea," Baba alijibu. "Je, ulisema kuwa Pembenane atakuja? Yeye pia ni jamaa yetu?" Khosi aliuliza. "Bila shaka, binti yangu, ukimtazama, utajua kwamba ni wa familia yetu. Unastahili kuangalia kwa makini idadi ya pande ambazo binamu yako wanazo, au hutaweza kuona tofauti. Binamu Pembenane ana pande nane kwa sababu jina lake linamalizika na nane," Baba alisema. "Sawa, na Pembetano na Pembesita, je?" Vusi aliuliza. "Binamu Pembesita ana pande sita kwa sababu jina lake linamalizika na sita," Baba alijibu. "Pembetano wana pande tano. Mwalimu wetu alituambia kwamba tano inatokana na pande hizo tano," aliongeza Khosi. "Kumbuka kwamba tatu na nne ndizo zinafanya binamu yako Pembetatu na Pembenne kuwa tofauti. "Baba, Pembesaba ana pande ngapi?" Vusi aliuliza. Baba alicheka akasema, "Sitakwambia. Kumbuka tulipiga picha zake tulipokuwa kwa harusi ya mjombako. Ningependa uitazame picha ile kwa makini kisha unieleze unachoona. Vusi aliitazama picha haraka halafu akajibu, Pembesaba ana pande saba!" Khosi aliongeza, "Ndiyo, kumbuka mwalimu wetu alituambia kuwa saba inatokana na idadi sab." "Aa mke wangu, unaona jinsi watoto wetu walivyo werevu? Je, kumi ina maana gani?" Baba aliuliza. "Pembe kumi!" Vusi na Khosi walisema. "Ndiyo, hiyo ndiyo sababu binamu yenu anaitwa Pembekumi. Lakini, hatakuja kwa sababu ataiwakilisha timu ya waogeleaji. Kuna Pembekumi wachache sana shuleni kwao," Mama aliwaambia. Watoto walisema, "Mama na Baba, tunaweza kumualika rafiki yetu Mduara?" Wazazi wao walikubali Mduara kujiunga nao kwa sherehe. Wakati huo, waliusikia mlango ukibishwa. Baba alienda kujua ni nani. "Pembenne wako hapa! Karibu! Karibu!" Baba alishangilia. Familia yote inaruka kuwasalimu Mraba, Mstatili, na watoto watatu wa Msambamba. Pembenne wanafurahi kuwa wa kwanza kufika. Familia ya Pembetatu inabisha mlango muda mfupi baada ya kufika kwa Pembenne. Pembetatu pacha na Pembetatu sawa wamechoka baada ya safari ndefu. Lakini, wamefurahi kuwa pamoja na familia nzima. Hatimaye, Pembenane na Pembesaba wanawasili pamoja na wanao, Pembetano na Pembesita. Pia wemewaleta Miraba watatu. Pembenane anaeleza, "Natumai si tatizo kwamba wana Pembenne watatu kutoka kijijini wamekuja nasi. Hawajawahi kwenda jijini." Mama alitabasamu, "Marafiki na familia wanakaribishwa hapa kila wakati." Aliwatuma watoto wote nje kucheza. "Tutacheza mchezo gani?" Vusi aliwauliza watoto wengine. Pembetatu sawa alisema kwa furaha, "Hebu tucheze mchezo wa maumbo!" Watoto wote wa Pembenyingi walianza kucheza mchezo huo. "Ninaweza kucheza nanyi? Mimi pia ningependa kucheza mchezo wa maumbo," Mduara alisema. Vusi alimjibu, "Aibu kubwa, samahani, huwezi kucheza mchezo huo rafiki yangu." Mraba mmoja aliongeza, "Huoni umbo lako, wewe si wa familia ya Pembenyingi. Duara hawawezi kucheza mchezo wa maumbo." Mduara alihuzunika sana kwa kuachwa nje ya mchezo. Lakini, mchezo haufurahishi sana mmoja akiachwa nje. Vusi alisema, "Ni heri tucheze mchezo ambao Mduara pia anaweza kucheza." Kwa hivyo, Pembenyingi na Mduara walicheza pamoja kwa furaha hadi chakula kitamu kilipokuwa tayari. Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Familia ya Pembenyingi Author - Lindiwe Tshabalala and African Storybook Translation - Ursula Nafula Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Pembetatu pacha na sawa walikuwa wanatoka katika ukoo upi
{ "text": [ "Wa pembetatu" ] }
2212_swa
Familia ya Pembenyingi "Mwaka huu tutakuwa na mkutano maalum wa familia," Mama Pembenyingi alitangaza. "Nani atakayehudhuria? Natumai Pembenyingi wote watakuwa. Ninawakosa binamu yangu," Kosi alisema. "Ninakosa zaidi upande wa familia yangu ya Pembenne," Mama alitabasamu. "Ndiyo, ni kitambo sana tangu tuwaone Mstatili, Mraba, na Msambamba," alisema Baba Pembenyingi. "Usisahau, wana watoto watatu sasa!" Mama alimkumbusha Baba. "Na binamu wengine, je? Watakuja?" Fusi aliuliza. Mama alijibu, "Ndiyo, wao ni Pembenyingi, ingawa si Pembenne. Jina lao la ukoo ni Pembetatu. Watoto ni Pembetatu Pacha na Pembetatu Sawa." "Aa, ndiyo, familia ya Pembetatu!" alishangaa Fusi. "Lakini wanafanana sana na Pembenne." "La, sio kabisa," Mama alisema. "Pembetatu wana pande tatu, ilhali Pembenne wana pande nne, kama mimi." Baba Pembenyingi aliongeza, "Nimefurahi kwa sababu binamu zangu wengine watatu watakuwa hapa: Pembetano, Pembesita na Pembenane. Wao pia ni wa familia yetu ya Pembenyingi." Vusi aliuliza, "Baba, mbona tunaitwa Pembenyingi?" "Kwa sababu tuna sura pande mbili. Tumeumbwa kwa mistari iliyonyooka, na maumbo yetu yamefungika, kama unavyoona, mistari yetu yote imeunganika. Binamu yetu Pembetatu, Pembenne, Pembesita, na Pembetano wote watatutembelea," Baba alijibu. "Je, ulisema kuwa Pembenane atakuja? Yeye pia ni jamaa yetu?" Khosi aliuliza. "Bila shaka, binti yangu, ukimtazama, utajua kwamba ni wa familia yetu. Unastahili kuangalia kwa makini idadi ya pande ambazo binamu yako wanazo, au hutaweza kuona tofauti. Binamu Pembenane ana pande nane kwa sababu jina lake linamalizika na nane," Baba alisema. "Sawa, na Pembetano na Pembesita, je?" Vusi aliuliza. "Binamu Pembesita ana pande sita kwa sababu jina lake linamalizika na sita," Baba alijibu. "Pembetano wana pande tano. Mwalimu wetu alituambia kwamba tano inatokana na pande hizo tano," aliongeza Khosi. "Kumbuka kwamba tatu na nne ndizo zinafanya binamu yako Pembetatu na Pembenne kuwa tofauti. "Baba, Pembesaba ana pande ngapi?" Vusi aliuliza. Baba alicheka akasema, "Sitakwambia. Kumbuka tulipiga picha zake tulipokuwa kwa harusi ya mjombako. Ningependa uitazame picha ile kwa makini kisha unieleze unachoona. Vusi aliitazama picha haraka halafu akajibu, Pembesaba ana pande saba!" Khosi aliongeza, "Ndiyo, kumbuka mwalimu wetu alituambia kuwa saba inatokana na idadi sab." "Aa mke wangu, unaona jinsi watoto wetu walivyo werevu? Je, kumi ina maana gani?" Baba aliuliza. "Pembe kumi!" Vusi na Khosi walisema. "Ndiyo, hiyo ndiyo sababu binamu yenu anaitwa Pembekumi. Lakini, hatakuja kwa sababu ataiwakilisha timu ya waogeleaji. Kuna Pembekumi wachache sana shuleni kwao," Mama aliwaambia. Watoto walisema, "Mama na Baba, tunaweza kumualika rafiki yetu Mduara?" Wazazi wao walikubali Mduara kujiunga nao kwa sherehe. Wakati huo, waliusikia mlango ukibishwa. Baba alienda kujua ni nani. "Pembenne wako hapa! Karibu! Karibu!" Baba alishangilia. Familia yote inaruka kuwasalimu Mraba, Mstatili, na watoto watatu wa Msambamba. Pembenne wanafurahi kuwa wa kwanza kufika. Familia ya Pembetatu inabisha mlango muda mfupi baada ya kufika kwa Pembenne. Pembetatu pacha na Pembetatu sawa wamechoka baada ya safari ndefu. Lakini, wamefurahi kuwa pamoja na familia nzima. Hatimaye, Pembenane na Pembesaba wanawasili pamoja na wanao, Pembetano na Pembesita. Pia wemewaleta Miraba watatu. Pembenane anaeleza, "Natumai si tatizo kwamba wana Pembenne watatu kutoka kijijini wamekuja nasi. Hawajawahi kwenda jijini." Mama alitabasamu, "Marafiki na familia wanakaribishwa hapa kila wakati." Aliwatuma watoto wote nje kucheza. "Tutacheza mchezo gani?" Vusi aliwauliza watoto wengine. Pembetatu sawa alisema kwa furaha, "Hebu tucheze mchezo wa maumbo!" Watoto wote wa Pembenyingi walianza kucheza mchezo huo. "Ninaweza kucheza nanyi? Mimi pia ningependa kucheza mchezo wa maumbo," Mduara alisema. Vusi alimjibu, "Aibu kubwa, samahani, huwezi kucheza mchezo huo rafiki yangu." Mraba mmoja aliongeza, "Huoni umbo lako, wewe si wa familia ya Pembenyingi. Duara hawawezi kucheza mchezo wa maumbo." Mduara alihuzunika sana kwa kuachwa nje ya mchezo. Lakini, mchezo haufurahishi sana mmoja akiachwa nje. Vusi alisema, "Ni heri tucheze mchezo ambao Mduara pia anaweza kucheza." Kwa hivyo, Pembenyingi na Mduara walicheza pamoja kwa furaha hadi chakula kitamu kilipokuwa tayari. Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Familia ya Pembenyingi Author - Lindiwe Tshabalala and African Storybook Translation - Ursula Nafula Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba pembenyingi alikuwa na binamu wangapi
{ "text": [ "Watatu" ] }
2212_swa
Familia ya Pembenyingi "Mwaka huu tutakuwa na mkutano maalum wa familia," Mama Pembenyingi alitangaza. "Nani atakayehudhuria? Natumai Pembenyingi wote watakuwa. Ninawakosa binamu yangu," Kosi alisema. "Ninakosa zaidi upande wa familia yangu ya Pembenne," Mama alitabasamu. "Ndiyo, ni kitambo sana tangu tuwaone Mstatili, Mraba, na Msambamba," alisema Baba Pembenyingi. "Usisahau, wana watoto watatu sasa!" Mama alimkumbusha Baba. "Na binamu wengine, je? Watakuja?" Fusi aliuliza. Mama alijibu, "Ndiyo, wao ni Pembenyingi, ingawa si Pembenne. Jina lao la ukoo ni Pembetatu. Watoto ni Pembetatu Pacha na Pembetatu Sawa." "Aa, ndiyo, familia ya Pembetatu!" alishangaa Fusi. "Lakini wanafanana sana na Pembenne." "La, sio kabisa," Mama alisema. "Pembetatu wana pande tatu, ilhali Pembenne wana pande nne, kama mimi." Baba Pembenyingi aliongeza, "Nimefurahi kwa sababu binamu zangu wengine watatu watakuwa hapa: Pembetano, Pembesita na Pembenane. Wao pia ni wa familia yetu ya Pembenyingi." Vusi aliuliza, "Baba, mbona tunaitwa Pembenyingi?" "Kwa sababu tuna sura pande mbili. Tumeumbwa kwa mistari iliyonyooka, na maumbo yetu yamefungika, kama unavyoona, mistari yetu yote imeunganika. Binamu yetu Pembetatu, Pembenne, Pembesita, na Pembetano wote watatutembelea," Baba alijibu. "Je, ulisema kuwa Pembenane atakuja? Yeye pia ni jamaa yetu?" Khosi aliuliza. "Bila shaka, binti yangu, ukimtazama, utajua kwamba ni wa familia yetu. Unastahili kuangalia kwa makini idadi ya pande ambazo binamu yako wanazo, au hutaweza kuona tofauti. Binamu Pembenane ana pande nane kwa sababu jina lake linamalizika na nane," Baba alisema. "Sawa, na Pembetano na Pembesita, je?" Vusi aliuliza. "Binamu Pembesita ana pande sita kwa sababu jina lake linamalizika na sita," Baba alijibu. "Pembetano wana pande tano. Mwalimu wetu alituambia kwamba tano inatokana na pande hizo tano," aliongeza Khosi. "Kumbuka kwamba tatu na nne ndizo zinafanya binamu yako Pembetatu na Pembenne kuwa tofauti. "Baba, Pembesaba ana pande ngapi?" Vusi aliuliza. Baba alicheka akasema, "Sitakwambia. Kumbuka tulipiga picha zake tulipokuwa kwa harusi ya mjombako. Ningependa uitazame picha ile kwa makini kisha unieleze unachoona. Vusi aliitazama picha haraka halafu akajibu, Pembesaba ana pande saba!" Khosi aliongeza, "Ndiyo, kumbuka mwalimu wetu alituambia kuwa saba inatokana na idadi sab." "Aa mke wangu, unaona jinsi watoto wetu walivyo werevu? Je, kumi ina maana gani?" Baba aliuliza. "Pembe kumi!" Vusi na Khosi walisema. "Ndiyo, hiyo ndiyo sababu binamu yenu anaitwa Pembekumi. Lakini, hatakuja kwa sababu ataiwakilisha timu ya waogeleaji. Kuna Pembekumi wachache sana shuleni kwao," Mama aliwaambia. Watoto walisema, "Mama na Baba, tunaweza kumualika rafiki yetu Mduara?" Wazazi wao walikubali Mduara kujiunga nao kwa sherehe. Wakati huo, waliusikia mlango ukibishwa. Baba alienda kujua ni nani. "Pembenne wako hapa! Karibu! Karibu!" Baba alishangilia. Familia yote inaruka kuwasalimu Mraba, Mstatili, na watoto watatu wa Msambamba. Pembenne wanafurahi kuwa wa kwanza kufika. Familia ya Pembetatu inabisha mlango muda mfupi baada ya kufika kwa Pembenne. Pembetatu pacha na Pembetatu sawa wamechoka baada ya safari ndefu. Lakini, wamefurahi kuwa pamoja na familia nzima. Hatimaye, Pembenane na Pembesaba wanawasili pamoja na wanao, Pembetano na Pembesita. Pia wemewaleta Miraba watatu. Pembenane anaeleza, "Natumai si tatizo kwamba wana Pembenne watatu kutoka kijijini wamekuja nasi. Hawajawahi kwenda jijini." Mama alitabasamu, "Marafiki na familia wanakaribishwa hapa kila wakati." Aliwatuma watoto wote nje kucheza. "Tutacheza mchezo gani?" Vusi aliwauliza watoto wengine. Pembetatu sawa alisema kwa furaha, "Hebu tucheze mchezo wa maumbo!" Watoto wote wa Pembenyingi walianza kucheza mchezo huo. "Ninaweza kucheza nanyi? Mimi pia ningependa kucheza mchezo wa maumbo," Mduara alisema. Vusi alimjibu, "Aibu kubwa, samahani, huwezi kucheza mchezo huo rafiki yangu." Mraba mmoja aliongeza, "Huoni umbo lako, wewe si wa familia ya Pembenyingi. Duara hawawezi kucheza mchezo wa maumbo." Mduara alihuzunika sana kwa kuachwa nje ya mchezo. Lakini, mchezo haufurahishi sana mmoja akiachwa nje. Vusi alisema, "Ni heri tucheze mchezo ambao Mduara pia anaweza kucheza." Kwa hivyo, Pembenyingi na Mduara walicheza pamoja kwa furaha hadi chakula kitamu kilipokuwa tayari. Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Familia ya Pembenyingi Author - Lindiwe Tshabalala and African Storybook Translation - Ursula Nafula Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliyeuliza ikiwa pembenane atahudhuria mkutano
{ "text": [ "Khosi" ] }
2212_swa
Familia ya Pembenyingi "Mwaka huu tutakuwa na mkutano maalum wa familia," Mama Pembenyingi alitangaza. "Nani atakayehudhuria? Natumai Pembenyingi wote watakuwa. Ninawakosa binamu yangu," Kosi alisema. "Ninakosa zaidi upande wa familia yangu ya Pembenne," Mama alitabasamu. "Ndiyo, ni kitambo sana tangu tuwaone Mstatili, Mraba, na Msambamba," alisema Baba Pembenyingi. "Usisahau, wana watoto watatu sasa!" Mama alimkumbusha Baba. "Na binamu wengine, je? Watakuja?" Fusi aliuliza. Mama alijibu, "Ndiyo, wao ni Pembenyingi, ingawa si Pembenne. Jina lao la ukoo ni Pembetatu. Watoto ni Pembetatu Pacha na Pembetatu Sawa." "Aa, ndiyo, familia ya Pembetatu!" alishangaa Fusi. "Lakini wanafanana sana na Pembenne." "La, sio kabisa," Mama alisema. "Pembetatu wana pande tatu, ilhali Pembenne wana pande nne, kama mimi." Baba Pembenyingi aliongeza, "Nimefurahi kwa sababu binamu zangu wengine watatu watakuwa hapa: Pembetano, Pembesita na Pembenane. Wao pia ni wa familia yetu ya Pembenyingi." Vusi aliuliza, "Baba, mbona tunaitwa Pembenyingi?" "Kwa sababu tuna sura pande mbili. Tumeumbwa kwa mistari iliyonyooka, na maumbo yetu yamefungika, kama unavyoona, mistari yetu yote imeunganika. Binamu yetu Pembetatu, Pembenne, Pembesita, na Pembetano wote watatutembelea," Baba alijibu. "Je, ulisema kuwa Pembenane atakuja? Yeye pia ni jamaa yetu?" Khosi aliuliza. "Bila shaka, binti yangu, ukimtazama, utajua kwamba ni wa familia yetu. Unastahili kuangalia kwa makini idadi ya pande ambazo binamu yako wanazo, au hutaweza kuona tofauti. Binamu Pembenane ana pande nane kwa sababu jina lake linamalizika na nane," Baba alisema. "Sawa, na Pembetano na Pembesita, je?" Vusi aliuliza. "Binamu Pembesita ana pande sita kwa sababu jina lake linamalizika na sita," Baba alijibu. "Pembetano wana pande tano. Mwalimu wetu alituambia kwamba tano inatokana na pande hizo tano," aliongeza Khosi. "Kumbuka kwamba tatu na nne ndizo zinafanya binamu yako Pembetatu na Pembenne kuwa tofauti. "Baba, Pembesaba ana pande ngapi?" Vusi aliuliza. Baba alicheka akasema, "Sitakwambia. Kumbuka tulipiga picha zake tulipokuwa kwa harusi ya mjombako. Ningependa uitazame picha ile kwa makini kisha unieleze unachoona. Vusi aliitazama picha haraka halafu akajibu, Pembesaba ana pande saba!" Khosi aliongeza, "Ndiyo, kumbuka mwalimu wetu alituambia kuwa saba inatokana na idadi sab." "Aa mke wangu, unaona jinsi watoto wetu walivyo werevu? Je, kumi ina maana gani?" Baba aliuliza. "Pembe kumi!" Vusi na Khosi walisema. "Ndiyo, hiyo ndiyo sababu binamu yenu anaitwa Pembekumi. Lakini, hatakuja kwa sababu ataiwakilisha timu ya waogeleaji. Kuna Pembekumi wachache sana shuleni kwao," Mama aliwaambia. Watoto walisema, "Mama na Baba, tunaweza kumualika rafiki yetu Mduara?" Wazazi wao walikubali Mduara kujiunga nao kwa sherehe. Wakati huo, waliusikia mlango ukibishwa. Baba alienda kujua ni nani. "Pembenne wako hapa! Karibu! Karibu!" Baba alishangilia. Familia yote inaruka kuwasalimu Mraba, Mstatili, na watoto watatu wa Msambamba. Pembenne wanafurahi kuwa wa kwanza kufika. Familia ya Pembetatu inabisha mlango muda mfupi baada ya kufika kwa Pembenne. Pembetatu pacha na Pembetatu sawa wamechoka baada ya safari ndefu. Lakini, wamefurahi kuwa pamoja na familia nzima. Hatimaye, Pembenane na Pembesaba wanawasili pamoja na wanao, Pembetano na Pembesita. Pia wemewaleta Miraba watatu. Pembenane anaeleza, "Natumai si tatizo kwamba wana Pembenne watatu kutoka kijijini wamekuja nasi. Hawajawahi kwenda jijini." Mama alitabasamu, "Marafiki na familia wanakaribishwa hapa kila wakati." Aliwatuma watoto wote nje kucheza. "Tutacheza mchezo gani?" Vusi aliwauliza watoto wengine. Pembetatu sawa alisema kwa furaha, "Hebu tucheze mchezo wa maumbo!" Watoto wote wa Pembenyingi walianza kucheza mchezo huo. "Ninaweza kucheza nanyi? Mimi pia ningependa kucheza mchezo wa maumbo," Mduara alisema. Vusi alimjibu, "Aibu kubwa, samahani, huwezi kucheza mchezo huo rafiki yangu." Mraba mmoja aliongeza, "Huoni umbo lako, wewe si wa familia ya Pembenyingi. Duara hawawezi kucheza mchezo wa maumbo." Mduara alihuzunika sana kwa kuachwa nje ya mchezo. Lakini, mchezo haufurahishi sana mmoja akiachwa nje. Vusi alisema, "Ni heri tucheze mchezo ambao Mduara pia anaweza kucheza." Kwa hivyo, Pembenyingi na Mduara walicheza pamoja kwa furaha hadi chakula kitamu kilipokuwa tayari. Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa Tafsiri yako hapa You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Familia ya Pembenyingi Author - Lindiwe Tshabalala and African Storybook Translation - Ursula Nafula Illustration - Isaac Okwir Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alihuzunika baada ya kuachwa nje ya mchezo
{ "text": [ "Mduara" ] }
2216_swa
Fana na wanyama wake (Paka rangi) Fana na familia yake wanaishi katika mji wa Debre Birhan nchini Ethiopia. Fana ni mwanafunzi wa darasa la tatu. Ana roho nzuri na mwenye hekima. Fana anawapenda wanyama. Ana paka mmoja, kuku wawili, mbuzi na njiwa. Anakuwa nao kwa muda mrefu akiwalisha na kucheza nao. Siku moja, Fana na wenzake walikuwa wakicheza uwanjani shuleni. Fana aliwaona watoto wakiwarushia njiwa mawe. Alijiuliza, "Mbona wanawaumiza njiwa?" Aliacha kucheza akakimbia kuelekea mahali watoto wale walikokuwa. Mwanzoni, wenzake hawakuelewa kilichokuwa kikitendeka. Walimfuata. Fana aliwakemea wale watoto, "Acheni kurusha mawe." Wale watoto watukutu walitoroka. Fana aliwashika njiwa waliojeruhiwa. Aliona majeraha kwenye mbawa zao. Aliamua kuwapeleka nyumbani kuwalinda. Fana aliwalisha njiwa. Jioni aliisimulia familia yake alichokiona na kufanya siku ile na jinsi alivyowaokoa njiwa. Asubuhi, Fana na wazazi wake welienda katika kliniki kupata dawa za kuwaponya njiwa. Baada ya siku chache, njiwa walipona majeraha yao. Fana alifurahi sana. Kila mara, Fana aliwaambia marafiki zake, "Ninawapenda wanyama. Wanyama wana manufaa kwetu na ni marafiki zetu. Lazima tuwalinde na kuwahifadhi." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fana na wanyama wake (Paka rangi) Author - Foziya Mohammed Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fana na familia yake wanaishi katika nchi ipi
{ "text": [ "Ethiopia" ] }
2216_swa
Fana na wanyama wake (Paka rangi) Fana na familia yake wanaishi katika mji wa Debre Birhan nchini Ethiopia. Fana ni mwanafunzi wa darasa la tatu. Ana roho nzuri na mwenye hekima. Fana anawapenda wanyama. Ana paka mmoja, kuku wawili, mbuzi na njiwa. Anakuwa nao kwa muda mrefu akiwalisha na kucheza nao. Siku moja, Fana na wenzake walikuwa wakicheza uwanjani shuleni. Fana aliwaona watoto wakiwarushia njiwa mawe. Alijiuliza, "Mbona wanawaumiza njiwa?" Aliacha kucheza akakimbia kuelekea mahali watoto wale walikokuwa. Mwanzoni, wenzake hawakuelewa kilichokuwa kikitendeka. Walimfuata. Fana aliwakemea wale watoto, "Acheni kurusha mawe." Wale watoto watukutu walitoroka. Fana aliwashika njiwa waliojeruhiwa. Aliona majeraha kwenye mbawa zao. Aliamua kuwapeleka nyumbani kuwalinda. Fana aliwalisha njiwa. Jioni aliisimulia familia yake alichokiona na kufanya siku ile na jinsi alivyowaokoa njiwa. Asubuhi, Fana na wazazi wake welienda katika kliniki kupata dawa za kuwaponya njiwa. Baada ya siku chache, njiwa walipona majeraha yao. Fana alifurahi sana. Kila mara, Fana aliwaambia marafiki zake, "Ninawapenda wanyama. Wanyama wana manufaa kwetu na ni marafiki zetu. Lazima tuwalinde na kuwahifadhi." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fana na wanyama wake (Paka rangi) Author - Foziya Mohammed Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Njiwa na walipona baada ya siku ngapi
{ "text": [ "Chache" ] }
2216_swa
Fana na wanyama wake (Paka rangi) Fana na familia yake wanaishi katika mji wa Debre Birhan nchini Ethiopia. Fana ni mwanafunzi wa darasa la tatu. Ana roho nzuri na mwenye hekima. Fana anawapenda wanyama. Ana paka mmoja, kuku wawili, mbuzi na njiwa. Anakuwa nao kwa muda mrefu akiwalisha na kucheza nao. Siku moja, Fana na wenzake walikuwa wakicheza uwanjani shuleni. Fana aliwaona watoto wakiwarushia njiwa mawe. Alijiuliza, "Mbona wanawaumiza njiwa?" Aliacha kucheza akakimbia kuelekea mahali watoto wale walikokuwa. Mwanzoni, wenzake hawakuelewa kilichokuwa kikitendeka. Walimfuata. Fana aliwakemea wale watoto, "Acheni kurusha mawe." Wale watoto watukutu walitoroka. Fana aliwashika njiwa waliojeruhiwa. Aliona majeraha kwenye mbawa zao. Aliamua kuwapeleka nyumbani kuwalinda. Fana aliwalisha njiwa. Jioni aliisimulia familia yake alichokiona na kufanya siku ile na jinsi alivyowaokoa njiwa. Asubuhi, Fana na wazazi wake welienda katika kliniki kupata dawa za kuwaponya njiwa. Baada ya siku chache, njiwa walipona majeraha yao. Fana alifurahi sana. Kila mara, Fana aliwaambia marafiki zake, "Ninawapenda wanyama. Wanyama wana manufaa kwetu na ni marafiki zetu. Lazima tuwalinde na kuwahifadhi." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fana na wanyama wake (Paka rangi) Author - Foziya Mohammed Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fana na wazazi wake walienda wapi kupata dawa za kuwaponya njiwa
{ "text": [ "Kwenye kliniki" ] }
2216_swa
Fana na wanyama wake (Paka rangi) Fana na familia yake wanaishi katika mji wa Debre Birhan nchini Ethiopia. Fana ni mwanafunzi wa darasa la tatu. Ana roho nzuri na mwenye hekima. Fana anawapenda wanyama. Ana paka mmoja, kuku wawili, mbuzi na njiwa. Anakuwa nao kwa muda mrefu akiwalisha na kucheza nao. Siku moja, Fana na wenzake walikuwa wakicheza uwanjani shuleni. Fana aliwaona watoto wakiwarushia njiwa mawe. Alijiuliza, "Mbona wanawaumiza njiwa?" Aliacha kucheza akakimbia kuelekea mahali watoto wale walikokuwa. Mwanzoni, wenzake hawakuelewa kilichokuwa kikitendeka. Walimfuata. Fana aliwakemea wale watoto, "Acheni kurusha mawe." Wale watoto watukutu walitoroka. Fana aliwashika njiwa waliojeruhiwa. Aliona majeraha kwenye mbawa zao. Aliamua kuwapeleka nyumbani kuwalinda. Fana aliwalisha njiwa. Jioni aliisimulia familia yake alichokiona na kufanya siku ile na jinsi alivyowaokoa njiwa. Asubuhi, Fana na wazazi wake welienda katika kliniki kupata dawa za kuwaponya njiwa. Baada ya siku chache, njiwa walipona majeraha yao. Fana alifurahi sana. Kila mara, Fana aliwaambia marafiki zake, "Ninawapenda wanyama. Wanyama wana manufaa kwetu na ni marafiki zetu. Lazima tuwalinde na kuwahifadhi." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fana na wanyama wake (Paka rangi) Author - Foziya Mohammed Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fana alikuwa na wanyama wangapi
{ "text": [ "Wawili" ] }
2216_swa
Fana na wanyama wake (Paka rangi) Fana na familia yake wanaishi katika mji wa Debre Birhan nchini Ethiopia. Fana ni mwanafunzi wa darasa la tatu. Ana roho nzuri na mwenye hekima. Fana anawapenda wanyama. Ana paka mmoja, kuku wawili, mbuzi na njiwa. Anakuwa nao kwa muda mrefu akiwalisha na kucheza nao. Siku moja, Fana na wenzake walikuwa wakicheza uwanjani shuleni. Fana aliwaona watoto wakiwarushia njiwa mawe. Alijiuliza, "Mbona wanawaumiza njiwa?" Aliacha kucheza akakimbia kuelekea mahali watoto wale walikokuwa. Mwanzoni, wenzake hawakuelewa kilichokuwa kikitendeka. Walimfuata. Fana aliwakemea wale watoto, "Acheni kurusha mawe." Wale watoto watukutu walitoroka. Fana aliwashika njiwa waliojeruhiwa. Aliona majeraha kwenye mbawa zao. Aliamua kuwapeleka nyumbani kuwalinda. Fana aliwalisha njiwa. Jioni aliisimulia familia yake alichokiona na kufanya siku ile na jinsi alivyowaokoa njiwa. Asubuhi, Fana na wazazi wake welienda katika kliniki kupata dawa za kuwaponya njiwa. Baada ya siku chache, njiwa walipona majeraha yao. Fana alifurahi sana. Kila mara, Fana aliwaambia marafiki zake, "Ninawapenda wanyama. Wanyama wana manufaa kwetu na ni marafiki zetu. Lazima tuwalinde na kuwahifadhi." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fana na wanyama wake (Paka rangi) Author - Foziya Mohammed Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni ndege wangapi Fana aliwahifadhi
{ "text": [ "Watatu" ] }
2217_swa
Farida, rafiki mwema Kosi na Farida ni marafiki. Wao wanapendana sana na wote wawili wanasoma shule ya Fariji. Kosi na Farida si marafiki tu bali ni majirani. Farida anapenda masomo sana na huwa anaamka mapema kufanya marudio. Kila anapoamka, huwa anamwamsha Kosi. Kosi huchukua wakati sana kabla ya kuamka. Yeye ni mvivu sana. Baada ya kusoma wanajitayarisha na kuenda shule pamoja. Farida hufanya kazi kwao baada ya shule. Kosi hupenda tu kula kila wakati na kucheza bila kufanya kazi. Wazazi humuonya Kosi kuacha tabia hiyo, lakini huwa hasikii. Wao humshauri aige tabia za rafiki yake Farida. Wakati wa likizo, Farida alikuwa akiwafuata wazazi wake shambani kila siku. Alitaka kujifunza mambo mapya wakati huo wa likizo. Farida alipokuwa akimwambia Kosi waende shambani, Kosi alisema kuwa alikuwa amechoka sana. Au alisema kuwa alikuwa akiumwa sana na kichwa. Kosi angeonekana tu kwa kina Farida wakati wa kula. Tabia hii ilimfanya Farida kuhisi vibaya. Farida alipata wazo la kumsaidia rafiki yake kuacha uvivu. Aliamua watengeneze bustani ya maua na kufuga mbwa. Baada ya kumwambia, Kosi alifurahishwa sana na wazo hilo. Wazazi wao pia waliwasaidia kutayarisha bustani ile. Vilevile, waliwapa pesa za kununua mbwa. Baada ya siku kadhaa, maua yao yalianza kumea vizuri. Maua ya Kosi yalihitaji maji. Kila mtu alitamani kuwa na maua kama yale. Farida na Kosi waliendelea kutia bidii kufanya bustani ipendeze zaidi. Kila asubuhi Kosi alipaswa kunyunyizia maua maji naye Farida kuwalisha mbwa. Kosi alizidisha bidii kabisa Jambo ambalo lilifanya wazazi wake kustaajabu. Alianza kuamka mapema bila kuambiwa na mtu. Hakupata wakati wa kulala mchana. Wakati mwingine alisahau kula chakula na kukumbushwa na mamake. Alifurahia sana na kumshukuru rafiki yake Farida. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Farida, rafiki mwema Author - WANGUI ANN Illustration - Jesse Breytenbach, Kenneth Boyowa Okitikpi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Farida kila anapoamka hufanya nini
{ "text": [ "anamwamsha Kosi" ] }
2217_swa
Farida, rafiki mwema Kosi na Farida ni marafiki. Wao wanapendana sana na wote wawili wanasoma shule ya Fariji. Kosi na Farida si marafiki tu bali ni majirani. Farida anapenda masomo sana na huwa anaamka mapema kufanya marudio. Kila anapoamka, huwa anamwamsha Kosi. Kosi huchukua wakati sana kabla ya kuamka. Yeye ni mvivu sana. Baada ya kusoma wanajitayarisha na kuenda shule pamoja. Farida hufanya kazi kwao baada ya shule. Kosi hupenda tu kula kila wakati na kucheza bila kufanya kazi. Wazazi humuonya Kosi kuacha tabia hiyo, lakini huwa hasikii. Wao humshauri aige tabia za rafiki yake Farida. Wakati wa likizo, Farida alikuwa akiwafuata wazazi wake shambani kila siku. Alitaka kujifunza mambo mapya wakati huo wa likizo. Farida alipokuwa akimwambia Kosi waende shambani, Kosi alisema kuwa alikuwa amechoka sana. Au alisema kuwa alikuwa akiumwa sana na kichwa. Kosi angeonekana tu kwa kina Farida wakati wa kula. Tabia hii ilimfanya Farida kuhisi vibaya. Farida alipata wazo la kumsaidia rafiki yake kuacha uvivu. Aliamua watengeneze bustani ya maua na kufuga mbwa. Baada ya kumwambia, Kosi alifurahishwa sana na wazo hilo. Wazazi wao pia waliwasaidia kutayarisha bustani ile. Vilevile, waliwapa pesa za kununua mbwa. Baada ya siku kadhaa, maua yao yalianza kumea vizuri. Maua ya Kosi yalihitaji maji. Kila mtu alitamani kuwa na maua kama yale. Farida na Kosi waliendelea kutia bidii kufanya bustani ipendeze zaidi. Kila asubuhi Kosi alipaswa kunyunyizia maua maji naye Farida kuwalisha mbwa. Kosi alizidisha bidii kabisa Jambo ambalo lilifanya wazazi wake kustaajabu. Alianza kuamka mapema bila kuambiwa na mtu. Hakupata wakati wa kulala mchana. Wakati mwingine alisahau kula chakula na kukumbushwa na mamake. Alifurahia sana na kumshukuru rafiki yake Farida. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Farida, rafiki mwema Author - WANGUI ANN Illustration - Jesse Breytenbach, Kenneth Boyowa Okitikpi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alikua mvivu sana
{ "text": [ "Kosi" ] }
2217_swa
Farida, rafiki mwema Kosi na Farida ni marafiki. Wao wanapendana sana na wote wawili wanasoma shule ya Fariji. Kosi na Farida si marafiki tu bali ni majirani. Farida anapenda masomo sana na huwa anaamka mapema kufanya marudio. Kila anapoamka, huwa anamwamsha Kosi. Kosi huchukua wakati sana kabla ya kuamka. Yeye ni mvivu sana. Baada ya kusoma wanajitayarisha na kuenda shule pamoja. Farida hufanya kazi kwao baada ya shule. Kosi hupenda tu kula kila wakati na kucheza bila kufanya kazi. Wazazi humuonya Kosi kuacha tabia hiyo, lakini huwa hasikii. Wao humshauri aige tabia za rafiki yake Farida. Wakati wa likizo, Farida alikuwa akiwafuata wazazi wake shambani kila siku. Alitaka kujifunza mambo mapya wakati huo wa likizo. Farida alipokuwa akimwambia Kosi waende shambani, Kosi alisema kuwa alikuwa amechoka sana. Au alisema kuwa alikuwa akiumwa sana na kichwa. Kosi angeonekana tu kwa kina Farida wakati wa kula. Tabia hii ilimfanya Farida kuhisi vibaya. Farida alipata wazo la kumsaidia rafiki yake kuacha uvivu. Aliamua watengeneze bustani ya maua na kufuga mbwa. Baada ya kumwambia, Kosi alifurahishwa sana na wazo hilo. Wazazi wao pia waliwasaidia kutayarisha bustani ile. Vilevile, waliwapa pesa za kununua mbwa. Baada ya siku kadhaa, maua yao yalianza kumea vizuri. Maua ya Kosi yalihitaji maji. Kila mtu alitamani kuwa na maua kama yale. Farida na Kosi waliendelea kutia bidii kufanya bustani ipendeze zaidi. Kila asubuhi Kosi alipaswa kunyunyizia maua maji naye Farida kuwalisha mbwa. Kosi alizidisha bidii kabisa Jambo ambalo lilifanya wazazi wake kustaajabu. Alianza kuamka mapema bila kuambiwa na mtu. Hakupata wakati wa kulala mchana. Wakati mwingine alisahau kula chakula na kukumbushwa na mamake. Alifurahia sana na kumshukuru rafiki yake Farida. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Farida, rafiki mwema Author - WANGUI ANN Illustration - Jesse Breytenbach, Kenneth Boyowa Okitikpi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kosi alipenda kufanya nini
{ "text": [ "kula na kucheza" ] }
2217_swa
Farida, rafiki mwema Kosi na Farida ni marafiki. Wao wanapendana sana na wote wawili wanasoma shule ya Fariji. Kosi na Farida si marafiki tu bali ni majirani. Farida anapenda masomo sana na huwa anaamka mapema kufanya marudio. Kila anapoamka, huwa anamwamsha Kosi. Kosi huchukua wakati sana kabla ya kuamka. Yeye ni mvivu sana. Baada ya kusoma wanajitayarisha na kuenda shule pamoja. Farida hufanya kazi kwao baada ya shule. Kosi hupenda tu kula kila wakati na kucheza bila kufanya kazi. Wazazi humuonya Kosi kuacha tabia hiyo, lakini huwa hasikii. Wao humshauri aige tabia za rafiki yake Farida. Wakati wa likizo, Farida alikuwa akiwafuata wazazi wake shambani kila siku. Alitaka kujifunza mambo mapya wakati huo wa likizo. Farida alipokuwa akimwambia Kosi waende shambani, Kosi alisema kuwa alikuwa amechoka sana. Au alisema kuwa alikuwa akiumwa sana na kichwa. Kosi angeonekana tu kwa kina Farida wakati wa kula. Tabia hii ilimfanya Farida kuhisi vibaya. Farida alipata wazo la kumsaidia rafiki yake kuacha uvivu. Aliamua watengeneze bustani ya maua na kufuga mbwa. Baada ya kumwambia, Kosi alifurahishwa sana na wazo hilo. Wazazi wao pia waliwasaidia kutayarisha bustani ile. Vilevile, waliwapa pesa za kununua mbwa. Baada ya siku kadhaa, maua yao yalianza kumea vizuri. Maua ya Kosi yalihitaji maji. Kila mtu alitamani kuwa na maua kama yale. Farida na Kosi waliendelea kutia bidii kufanya bustani ipendeze zaidi. Kila asubuhi Kosi alipaswa kunyunyizia maua maji naye Farida kuwalisha mbwa. Kosi alizidisha bidii kabisa Jambo ambalo lilifanya wazazi wake kustaajabu. Alianza kuamka mapema bila kuambiwa na mtu. Hakupata wakati wa kulala mchana. Wakati mwingine alisahau kula chakula na kukumbushwa na mamake. Alifurahia sana na kumshukuru rafiki yake Farida. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Farida, rafiki mwema Author - WANGUI ANN Illustration - Jesse Breytenbach, Kenneth Boyowa Okitikpi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Farida alikua akienda shambani lini
{ "text": [ "wakati wa likizo" ] }
2217_swa
Farida, rafiki mwema Kosi na Farida ni marafiki. Wao wanapendana sana na wote wawili wanasoma shule ya Fariji. Kosi na Farida si marafiki tu bali ni majirani. Farida anapenda masomo sana na huwa anaamka mapema kufanya marudio. Kila anapoamka, huwa anamwamsha Kosi. Kosi huchukua wakati sana kabla ya kuamka. Yeye ni mvivu sana. Baada ya kusoma wanajitayarisha na kuenda shule pamoja. Farida hufanya kazi kwao baada ya shule. Kosi hupenda tu kula kila wakati na kucheza bila kufanya kazi. Wazazi humuonya Kosi kuacha tabia hiyo, lakini huwa hasikii. Wao humshauri aige tabia za rafiki yake Farida. Wakati wa likizo, Farida alikuwa akiwafuata wazazi wake shambani kila siku. Alitaka kujifunza mambo mapya wakati huo wa likizo. Farida alipokuwa akimwambia Kosi waende shambani, Kosi alisema kuwa alikuwa amechoka sana. Au alisema kuwa alikuwa akiumwa sana na kichwa. Kosi angeonekana tu kwa kina Farida wakati wa kula. Tabia hii ilimfanya Farida kuhisi vibaya. Farida alipata wazo la kumsaidia rafiki yake kuacha uvivu. Aliamua watengeneze bustani ya maua na kufuga mbwa. Baada ya kumwambia, Kosi alifurahishwa sana na wazo hilo. Wazazi wao pia waliwasaidia kutayarisha bustani ile. Vilevile, waliwapa pesa za kununua mbwa. Baada ya siku kadhaa, maua yao yalianza kumea vizuri. Maua ya Kosi yalihitaji maji. Kila mtu alitamani kuwa na maua kama yale. Farida na Kosi waliendelea kutia bidii kufanya bustani ipendeze zaidi. Kila asubuhi Kosi alipaswa kunyunyizia maua maji naye Farida kuwalisha mbwa. Kosi alizidisha bidii kabisa Jambo ambalo lilifanya wazazi wake kustaajabu. Alianza kuamka mapema bila kuambiwa na mtu. Hakupata wakati wa kulala mchana. Wakati mwingine alisahau kula chakula na kukumbushwa na mamake. Alifurahia sana na kumshukuru rafiki yake Farida. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Farida, rafiki mwema Author - WANGUI ANN Illustration - Jesse Breytenbach, Kenneth Boyowa Okitikpi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wazazi wao waliwasaidia vipi Farida na Kosi
{ "text": [ "waliwasaidia kutayarisha bustani na wakawapa pesa za kununua mbwa" ] }
2218_swa
Feni na Chungu cha Mchuzi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni. Feni alicheza mpira wa miguu na kushindana kwenye mbio aina tatu. Feni alipotoka shuleni, alitembea na rafiki yake Hawa kurejea nyumbani. Hawa alimwambia Feni, "Wewe hukimbia kwa kasi!" Feni aliwasili nyumbani na kumkuta mamake jikoni. Feni akasema, "Habari ya jioni, Mama." Mamake akajibu, "Jioni ni nzuri. Habari yako?" Feni akasema, "Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni, na nilikimbia kwa kasi. Ninahisi joto, uchovu na nina njaa sana." Mama akacheka na kusema, "Mpendwa wangu Feni, ulizaliwa na miguu myepesi! Nitatayarisha mchuzi, na chakula cha jioni kitakuwa tayari hivi karibuni." Mama aliweka mafuta katika chungu kikubwa na kukitia mekoni. Mafuta yalipopata moto, aliongeza vitunguu na saumu, akakoroga hadi vikawa laini. Aliongeza pilipili, nyanya, maji kidogo na vipande sita vya nyama ya ng'ombe. Mama akasema, "Feni, tafadhali nisaidie kukoroga mchuzi." Feni akajibu, "Ndiyo, Mama." Feni akakoroga mchuzi mara moja. Akasema, "Mchuzi huu unanukia." Feni akakoroga mchuzi mara mbili. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana." Feni akakoroga mchuzi mara tatu. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana, sana." Halafu Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akimwangalia. Alikuwa akikata mboga za majani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua kipande kimoja cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm..." Tena, Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akiangalia upande wake. Alikuwa akikata mbilingani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua haraka kipande cha pili cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm... Mmm..." Kwa mara nyingine, Feni alimtazama mamake. Mama alikuwa ameangalia upande mwingine. Alikuwa akikata dhania kuongeza kwenye mchuzi. Kwa haraka, Feni akakichukua kipande cha tatu cha nyama kutoka chunguni na kukila! Feni akasema, "Mmm... Mmm...Mmm..." Wakati huo, Mama aliingia jikoni kuongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania. Feni alikuwa bado ameushika mwiko. Mama akatabasamu na kusema, "Feni, asante kwa kunisaidia kukoroga mchuzi." Feni hakujua la kusema. Mama akaongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania kwenye mchuzi. Akauchukua mwiko na kuanza kukoroga mchuzi. Mama akatazama chunguni. Akavitafuta vile vipande sita vya nyama chunguni. "Kimoja...viwili...vitatu..." Akaviona vipande vitatu pekee vya nyama. Mama hakusema chochote. Feni hakusema chochote. Mama alipopakua mchuzi, Feni hakupata nyama yoyote. Feni akasema, "Nisamehe, Mama. Sitarudia tena." Na kweli, Feni hakurudia tena. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Chungu cha Mchuzi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Eric Nii Addy Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikimbia kama upepo
{ "text": [ "Feni" ] }
2218_swa
Feni na Chungu cha Mchuzi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni. Feni alicheza mpira wa miguu na kushindana kwenye mbio aina tatu. Feni alipotoka shuleni, alitembea na rafiki yake Hawa kurejea nyumbani. Hawa alimwambia Feni, "Wewe hukimbia kwa kasi!" Feni aliwasili nyumbani na kumkuta mamake jikoni. Feni akasema, "Habari ya jioni, Mama." Mamake akajibu, "Jioni ni nzuri. Habari yako?" Feni akasema, "Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni, na nilikimbia kwa kasi. Ninahisi joto, uchovu na nina njaa sana." Mama akacheka na kusema, "Mpendwa wangu Feni, ulizaliwa na miguu myepesi! Nitatayarisha mchuzi, na chakula cha jioni kitakuwa tayari hivi karibuni." Mama aliweka mafuta katika chungu kikubwa na kukitia mekoni. Mafuta yalipopata moto, aliongeza vitunguu na saumu, akakoroga hadi vikawa laini. Aliongeza pilipili, nyanya, maji kidogo na vipande sita vya nyama ya ng'ombe. Mama akasema, "Feni, tafadhali nisaidie kukoroga mchuzi." Feni akajibu, "Ndiyo, Mama." Feni akakoroga mchuzi mara moja. Akasema, "Mchuzi huu unanukia." Feni akakoroga mchuzi mara mbili. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana." Feni akakoroga mchuzi mara tatu. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana, sana." Halafu Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akimwangalia. Alikuwa akikata mboga za majani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua kipande kimoja cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm..." Tena, Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akiangalia upande wake. Alikuwa akikata mbilingani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua haraka kipande cha pili cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm... Mmm..." Kwa mara nyingine, Feni alimtazama mamake. Mama alikuwa ameangalia upande mwingine. Alikuwa akikata dhania kuongeza kwenye mchuzi. Kwa haraka, Feni akakichukua kipande cha tatu cha nyama kutoka chunguni na kukila! Feni akasema, "Mmm... Mmm...Mmm..." Wakati huo, Mama aliingia jikoni kuongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania. Feni alikuwa bado ameushika mwiko. Mama akatabasamu na kusema, "Feni, asante kwa kunisaidia kukoroga mchuzi." Feni hakujua la kusema. Mama akaongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania kwenye mchuzi. Akauchukua mwiko na kuanza kukoroga mchuzi. Mama akatazama chunguni. Akavitafuta vile vipande sita vya nyama chunguni. "Kimoja...viwili...vitatu..." Akaviona vipande vitatu pekee vya nyama. Mama hakusema chochote. Feni hakusema chochote. Mama alipopakua mchuzi, Feni hakupata nyama yoyote. Feni akasema, "Nisamehe, Mama. Sitarudia tena." Na kweli, Feni hakurudia tena. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Chungu cha Mchuzi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Eric Nii Addy Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alitembea na nani alipotoka shuleni
{ "text": [ "Hawa" ] }
2218_swa
Feni na Chungu cha Mchuzi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni. Feni alicheza mpira wa miguu na kushindana kwenye mbio aina tatu. Feni alipotoka shuleni, alitembea na rafiki yake Hawa kurejea nyumbani. Hawa alimwambia Feni, "Wewe hukimbia kwa kasi!" Feni aliwasili nyumbani na kumkuta mamake jikoni. Feni akasema, "Habari ya jioni, Mama." Mamake akajibu, "Jioni ni nzuri. Habari yako?" Feni akasema, "Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni, na nilikimbia kwa kasi. Ninahisi joto, uchovu na nina njaa sana." Mama akacheka na kusema, "Mpendwa wangu Feni, ulizaliwa na miguu myepesi! Nitatayarisha mchuzi, na chakula cha jioni kitakuwa tayari hivi karibuni." Mama aliweka mafuta katika chungu kikubwa na kukitia mekoni. Mafuta yalipopata moto, aliongeza vitunguu na saumu, akakoroga hadi vikawa laini. Aliongeza pilipili, nyanya, maji kidogo na vipande sita vya nyama ya ng'ombe. Mama akasema, "Feni, tafadhali nisaidie kukoroga mchuzi." Feni akajibu, "Ndiyo, Mama." Feni akakoroga mchuzi mara moja. Akasema, "Mchuzi huu unanukia." Feni akakoroga mchuzi mara mbili. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana." Feni akakoroga mchuzi mara tatu. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana, sana." Halafu Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akimwangalia. Alikuwa akikata mboga za majani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua kipande kimoja cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm..." Tena, Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akiangalia upande wake. Alikuwa akikata mbilingani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua haraka kipande cha pili cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm... Mmm..." Kwa mara nyingine, Feni alimtazama mamake. Mama alikuwa ameangalia upande mwingine. Alikuwa akikata dhania kuongeza kwenye mchuzi. Kwa haraka, Feni akakichukua kipande cha tatu cha nyama kutoka chunguni na kukila! Feni akasema, "Mmm... Mmm...Mmm..." Wakati huo, Mama aliingia jikoni kuongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania. Feni alikuwa bado ameushika mwiko. Mama akatabasamu na kusema, "Feni, asante kwa kunisaidia kukoroga mchuzi." Feni hakujua la kusema. Mama akaongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania kwenye mchuzi. Akauchukua mwiko na kuanza kukoroga mchuzi. Mama akatazama chunguni. Akavitafuta vile vipande sita vya nyama chunguni. "Kimoja...viwili...vitatu..." Akaviona vipande vitatu pekee vya nyama. Mama hakusema chochote. Feni hakusema chochote. Mama alipopakua mchuzi, Feni hakupata nyama yoyote. Feni akasema, "Nisamehe, Mama. Sitarudia tena." Na kweli, Feni hakurudia tena. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Chungu cha Mchuzi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Eric Nii Addy Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alichukua nini kutoka chunguni
{ "text": [ "Nyama" ] }
2218_swa
Feni na Chungu cha Mchuzi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni. Feni alicheza mpira wa miguu na kushindana kwenye mbio aina tatu. Feni alipotoka shuleni, alitembea na rafiki yake Hawa kurejea nyumbani. Hawa alimwambia Feni, "Wewe hukimbia kwa kasi!" Feni aliwasili nyumbani na kumkuta mamake jikoni. Feni akasema, "Habari ya jioni, Mama." Mamake akajibu, "Jioni ni nzuri. Habari yako?" Feni akasema, "Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni, na nilikimbia kwa kasi. Ninahisi joto, uchovu na nina njaa sana." Mama akacheka na kusema, "Mpendwa wangu Feni, ulizaliwa na miguu myepesi! Nitatayarisha mchuzi, na chakula cha jioni kitakuwa tayari hivi karibuni." Mama aliweka mafuta katika chungu kikubwa na kukitia mekoni. Mafuta yalipopata moto, aliongeza vitunguu na saumu, akakoroga hadi vikawa laini. Aliongeza pilipili, nyanya, maji kidogo na vipande sita vya nyama ya ng'ombe. Mama akasema, "Feni, tafadhali nisaidie kukoroga mchuzi." Feni akajibu, "Ndiyo, Mama." Feni akakoroga mchuzi mara moja. Akasema, "Mchuzi huu unanukia." Feni akakoroga mchuzi mara mbili. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana." Feni akakoroga mchuzi mara tatu. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana, sana." Halafu Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akimwangalia. Alikuwa akikata mboga za majani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua kipande kimoja cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm..." Tena, Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akiangalia upande wake. Alikuwa akikata mbilingani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua haraka kipande cha pili cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm... Mmm..." Kwa mara nyingine, Feni alimtazama mamake. Mama alikuwa ameangalia upande mwingine. Alikuwa akikata dhania kuongeza kwenye mchuzi. Kwa haraka, Feni akakichukua kipande cha tatu cha nyama kutoka chunguni na kukila! Feni akasema, "Mmm... Mmm...Mmm..." Wakati huo, Mama aliingia jikoni kuongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania. Feni alikuwa bado ameushika mwiko. Mama akatabasamu na kusema, "Feni, asante kwa kunisaidia kukoroga mchuzi." Feni hakujua la kusema. Mama akaongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania kwenye mchuzi. Akauchukua mwiko na kuanza kukoroga mchuzi. Mama akatazama chunguni. Akavitafuta vile vipande sita vya nyama chunguni. "Kimoja...viwili...vitatu..." Akaviona vipande vitatu pekee vya nyama. Mama hakusema chochote. Feni hakusema chochote. Mama alipopakua mchuzi, Feni hakupata nyama yoyote. Feni akasema, "Nisamehe, Mama. Sitarudia tena." Na kweli, Feni hakurudia tena. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Chungu cha Mchuzi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Eric Nii Addy Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama aliona vipande vingapi vya nyama
{ "text": [ "Vitatu" ] }
2218_swa
Feni na Chungu cha Mchuzi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni. Feni alicheza mpira wa miguu na kushindana kwenye mbio aina tatu. Feni alipotoka shuleni, alitembea na rafiki yake Hawa kurejea nyumbani. Hawa alimwambia Feni, "Wewe hukimbia kwa kasi!" Feni aliwasili nyumbani na kumkuta mamake jikoni. Feni akasema, "Habari ya jioni, Mama." Mamake akajibu, "Jioni ni nzuri. Habari yako?" Feni akasema, "Leo ilikuwa Siku ya Michezo shuleni, na nilikimbia kwa kasi. Ninahisi joto, uchovu na nina njaa sana." Mama akacheka na kusema, "Mpendwa wangu Feni, ulizaliwa na miguu myepesi! Nitatayarisha mchuzi, na chakula cha jioni kitakuwa tayari hivi karibuni." Mama aliweka mafuta katika chungu kikubwa na kukitia mekoni. Mafuta yalipopata moto, aliongeza vitunguu na saumu, akakoroga hadi vikawa laini. Aliongeza pilipili, nyanya, maji kidogo na vipande sita vya nyama ya ng'ombe. Mama akasema, "Feni, tafadhali nisaidie kukoroga mchuzi." Feni akajibu, "Ndiyo, Mama." Feni akakoroga mchuzi mara moja. Akasema, "Mchuzi huu unanukia." Feni akakoroga mchuzi mara mbili. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana." Feni akakoroga mchuzi mara tatu. Akasema, "Mchuzi huu unanukia sana, sana." Halafu Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akimwangalia. Alikuwa akikata mboga za majani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua kipande kimoja cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm..." Tena, Feni akamtazama mamake. Mama hakuwa akiangalia upande wake. Alikuwa akikata mbilingani kuongeza kwenye mchuzi. Feni akachukua haraka kipande cha pili cha nyama kutoka chunguni na kukila. Feni akasema, "Mmm... Mmm..." Kwa mara nyingine, Feni alimtazama mamake. Mama alikuwa ameangalia upande mwingine. Alikuwa akikata dhania kuongeza kwenye mchuzi. Kwa haraka, Feni akakichukua kipande cha tatu cha nyama kutoka chunguni na kukila! Feni akasema, "Mmm... Mmm...Mmm..." Wakati huo, Mama aliingia jikoni kuongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania. Feni alikuwa bado ameushika mwiko. Mama akatabasamu na kusema, "Feni, asante kwa kunisaidia kukoroga mchuzi." Feni hakujua la kusema. Mama akaongeza mboga ya majani, mbilingani na dhania kwenye mchuzi. Akauchukua mwiko na kuanza kukoroga mchuzi. Mama akatazama chunguni. Akavitafuta vile vipande sita vya nyama chunguni. "Kimoja...viwili...vitatu..." Akaviona vipande vitatu pekee vya nyama. Mama hakusema chochote. Feni hakusema chochote. Mama alipopakua mchuzi, Feni hakupata nyama yoyote. Feni akasema, "Nisamehe, Mama. Sitarudia tena." Na kweli, Feni hakurudia tena. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Chungu cha Mchuzi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Eric Nii Addy Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Feni aliomba msamaha
{ "text": [ "Kwa sababu alikula vipande vitatu vya nyama" ] }
2219_swa
Feni na Mti wenye Asali Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni na babake walikwenda shambani kwa baiskeli kung'oa magugu. Feni alichoka akasema, "Baba, ninahisi joto na uchovu. Niruhusu nipumzike chini ya mwembe." Baba akajibu, "Ndiyo Feni, unaweza kupumzika pale. Lakini, tafadhali, usipande mti wowote leo." Feni aliketi chini ya mwembe. Feni alitazama juu akaona embe moja, maembe mawili, matatu! Yote yalikuwa mabivu. Feni alimtazama babake. Baba alishughulika na hakuangalia upande wake. Polepole, Feni alianza kuukwea mwembe. Aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiyala maembe mabivu." Kwa hivyo, Feni aliketi akayala maembe. Baada ya kula maembe, Feni alishuka chini. Aliuona mti mwingine. Mti huo ulikuwa ukidondokwa kitu chenye rangi ya hudhurungi. Kitu hicho kilikuwa asali! Feni alipenda asali mno! Lakini, hakuwependa nyuki. Feni alitazama juu na kumwona nyuki mmoja mdogo. Feni aliwaza, "Kuna tu nyuki mmoja mdogo. Hataniumiza nikipanda mtini kutafuta asali." Feni alimtazama babake. Baba hakuwa akimwangalia. Kwa hivyo, Feni alipanda juu ya mti na kuchukua asali kutoka shimoni. Feni aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiila asali nyingi tamu." Kwa hivyo, Feni aliketi akaila asali. Baada ya kula asali, Feni alishuka chini kutoka mtini. Halafu aliwaona nyuki. Walikuwa nyuki wengi mno! BZZZ! BZZZ! BZZZ! Feni aliamua kuwatoroka wale nyuki. Feni alikimbia kumtafuta babake. Alikuwa akihema kweli kweli. Baba aliuliza, "Feni, umekuwa wapi?" Feni hakutaka kusema alikokuwa. Badala ya kumjibu babake, Feni alisema, "Baba, tazama nina embe. Je, ungependa kulila?" Baba alijibu, "La, asante Feni. Lazima tuondoke kwenda nyumbani sasa hivi. Mvua itanyesha hivi karibuni." Baba alimbeba Feni kwenye baiskeli wakienda nyumbani. Mvua ilianza kunyesha. Baba aliendesha baiskeli kwa kasi. Baiskeli iliiacha barabara. RURUUU PU! Baiskeli ilimwangukia Feni mguuni. Feni aliushika mguu na kulia kwa uchungu! Walipofika nyumbani, mama na bibi walitaka kujua siku ilivyokwenda walipokuwa shambani. "Feni alipanda mti," baba alisema. "Baba aliendesha baiskeli kwa kasi sana hata ikaniangukia mguuni," Feni alisema. "Aaa, maskini Feni," mama akasema. "Aaa! Aaa! Maskini Feni! Lazima tuutibu mguu wako," bibi akasema. Na hivyo ndivyo walivyofanya. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Mti wenye Asali Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alipenda kufanya nini
{ "text": [ "kucheka" ] }
2219_swa
Feni na Mti wenye Asali Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni na babake walikwenda shambani kwa baiskeli kung'oa magugu. Feni alichoka akasema, "Baba, ninahisi joto na uchovu. Niruhusu nipumzike chini ya mwembe." Baba akajibu, "Ndiyo Feni, unaweza kupumzika pale. Lakini, tafadhali, usipande mti wowote leo." Feni aliketi chini ya mwembe. Feni alitazama juu akaona embe moja, maembe mawili, matatu! Yote yalikuwa mabivu. Feni alimtazama babake. Baba alishughulika na hakuangalia upande wake. Polepole, Feni alianza kuukwea mwembe. Aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiyala maembe mabivu." Kwa hivyo, Feni aliketi akayala maembe. Baada ya kula maembe, Feni alishuka chini. Aliuona mti mwingine. Mti huo ulikuwa ukidondokwa kitu chenye rangi ya hudhurungi. Kitu hicho kilikuwa asali! Feni alipenda asali mno! Lakini, hakuwependa nyuki. Feni alitazama juu na kumwona nyuki mmoja mdogo. Feni aliwaza, "Kuna tu nyuki mmoja mdogo. Hataniumiza nikipanda mtini kutafuta asali." Feni alimtazama babake. Baba hakuwa akimwangalia. Kwa hivyo, Feni alipanda juu ya mti na kuchukua asali kutoka shimoni. Feni aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiila asali nyingi tamu." Kwa hivyo, Feni aliketi akaila asali. Baada ya kula asali, Feni alishuka chini kutoka mtini. Halafu aliwaona nyuki. Walikuwa nyuki wengi mno! BZZZ! BZZZ! BZZZ! Feni aliamua kuwatoroka wale nyuki. Feni alikimbia kumtafuta babake. Alikuwa akihema kweli kweli. Baba aliuliza, "Feni, umekuwa wapi?" Feni hakutaka kusema alikokuwa. Badala ya kumjibu babake, Feni alisema, "Baba, tazama nina embe. Je, ungependa kulila?" Baba alijibu, "La, asante Feni. Lazima tuondoke kwenda nyumbani sasa hivi. Mvua itanyesha hivi karibuni." Baba alimbeba Feni kwenye baiskeli wakienda nyumbani. Mvua ilianza kunyesha. Baba aliendesha baiskeli kwa kasi. Baiskeli iliiacha barabara. RURUUU PU! Baiskeli ilimwangukia Feni mguuni. Feni aliushika mguu na kulia kwa uchungu! Walipofika nyumbani, mama na bibi walitaka kujua siku ilivyokwenda walipokuwa shambani. "Feni alipanda mti," baba alisema. "Baba aliendesha baiskeli kwa kasi sana hata ikaniangukia mguuni," Feni alisema. "Aaa, maskini Feni," mama akasema. "Aaa! Aaa! Maskini Feni! Lazima tuutibu mguu wako," bibi akasema. Na hivyo ndivyo walivyofanya. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Mti wenye Asali Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni na babake walikwenda shambani kufanya nini
{ "text": [ "kung'oa magugu" ] }
2219_swa
Feni na Mti wenye Asali Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni na babake walikwenda shambani kwa baiskeli kung'oa magugu. Feni alichoka akasema, "Baba, ninahisi joto na uchovu. Niruhusu nipumzike chini ya mwembe." Baba akajibu, "Ndiyo Feni, unaweza kupumzika pale. Lakini, tafadhali, usipande mti wowote leo." Feni aliketi chini ya mwembe. Feni alitazama juu akaona embe moja, maembe mawili, matatu! Yote yalikuwa mabivu. Feni alimtazama babake. Baba alishughulika na hakuangalia upande wake. Polepole, Feni alianza kuukwea mwembe. Aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiyala maembe mabivu." Kwa hivyo, Feni aliketi akayala maembe. Baada ya kula maembe, Feni alishuka chini. Aliuona mti mwingine. Mti huo ulikuwa ukidondokwa kitu chenye rangi ya hudhurungi. Kitu hicho kilikuwa asali! Feni alipenda asali mno! Lakini, hakuwependa nyuki. Feni alitazama juu na kumwona nyuki mmoja mdogo. Feni aliwaza, "Kuna tu nyuki mmoja mdogo. Hataniumiza nikipanda mtini kutafuta asali." Feni alimtazama babake. Baba hakuwa akimwangalia. Kwa hivyo, Feni alipanda juu ya mti na kuchukua asali kutoka shimoni. Feni aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiila asali nyingi tamu." Kwa hivyo, Feni aliketi akaila asali. Baada ya kula asali, Feni alishuka chini kutoka mtini. Halafu aliwaona nyuki. Walikuwa nyuki wengi mno! BZZZ! BZZZ! BZZZ! Feni aliamua kuwatoroka wale nyuki. Feni alikimbia kumtafuta babake. Alikuwa akihema kweli kweli. Baba aliuliza, "Feni, umekuwa wapi?" Feni hakutaka kusema alikokuwa. Badala ya kumjibu babake, Feni alisema, "Baba, tazama nina embe. Je, ungependa kulila?" Baba alijibu, "La, asante Feni. Lazima tuondoke kwenda nyumbani sasa hivi. Mvua itanyesha hivi karibuni." Baba alimbeba Feni kwenye baiskeli wakienda nyumbani. Mvua ilianza kunyesha. Baba aliendesha baiskeli kwa kasi. Baiskeli iliiacha barabara. RURUUU PU! Baiskeli ilimwangukia Feni mguuni. Feni aliushika mguu na kulia kwa uchungu! Walipofika nyumbani, mama na bibi walitaka kujua siku ilivyokwenda walipokuwa shambani. "Feni alipanda mti," baba alisema. "Baba aliendesha baiskeli kwa kasi sana hata ikaniangukia mguuni," Feni alisema. "Aaa, maskini Feni," mama akasema. "Aaa! Aaa! Maskini Feni! Lazima tuutibu mguu wako," bibi akasema. Na hivyo ndivyo walivyofanya. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Mti wenye Asali Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alipochoka alipumzika wapi
{ "text": [ "chini ya mwembe" ] }