Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2219_swa
Feni na Mti wenye Asali Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni na babake walikwenda shambani kwa baiskeli kung'oa magugu. Feni alichoka akasema, "Baba, ninahisi joto na uchovu. Niruhusu nipumzike chini ya mwembe." Baba akajibu, "Ndiyo Feni, unaweza kupumzika pale. Lakini, tafadhali, usipande mti wowote leo." Feni aliketi chini ya mwembe. Feni alitazama juu akaona embe moja, maembe mawili, matatu! Yote yalikuwa mabivu. Feni alimtazama babake. Baba alishughulika na hakuangalia upande wake. Polepole, Feni alianza kuukwea mwembe. Aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiyala maembe mabivu." Kwa hivyo, Feni aliketi akayala maembe. Baada ya kula maembe, Feni alishuka chini. Aliuona mti mwingine. Mti huo ulikuwa ukidondokwa kitu chenye rangi ya hudhurungi. Kitu hicho kilikuwa asali! Feni alipenda asali mno! Lakini, hakuwependa nyuki. Feni alitazama juu na kumwona nyuki mmoja mdogo. Feni aliwaza, "Kuna tu nyuki mmoja mdogo. Hataniumiza nikipanda mtini kutafuta asali." Feni alimtazama babake. Baba hakuwa akimwangalia. Kwa hivyo, Feni alipanda juu ya mti na kuchukua asali kutoka shimoni. Feni aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiila asali nyingi tamu." Kwa hivyo, Feni aliketi akaila asali. Baada ya kula asali, Feni alishuka chini kutoka mtini. Halafu aliwaona nyuki. Walikuwa nyuki wengi mno! BZZZ! BZZZ! BZZZ! Feni aliamua kuwatoroka wale nyuki. Feni alikimbia kumtafuta babake. Alikuwa akihema kweli kweli. Baba aliuliza, "Feni, umekuwa wapi?" Feni hakutaka kusema alikokuwa. Badala ya kumjibu babake, Feni alisema, "Baba, tazama nina embe. Je, ungependa kulila?" Baba alijibu, "La, asante Feni. Lazima tuondoke kwenda nyumbani sasa hivi. Mvua itanyesha hivi karibuni." Baba alimbeba Feni kwenye baiskeli wakienda nyumbani. Mvua ilianza kunyesha. Baba aliendesha baiskeli kwa kasi. Baiskeli iliiacha barabara. RURUUU PU! Baiskeli ilimwangukia Feni mguuni. Feni aliushika mguu na kulia kwa uchungu! Walipofika nyumbani, mama na bibi walitaka kujua siku ilivyokwenda walipokuwa shambani. "Feni alipanda mti," baba alisema. "Baba aliendesha baiskeli kwa kasi sana hata ikaniangukia mguuni," Feni alisema. "Aaa, maskini Feni," mama akasema. "Aaa! Aaa! Maskini Feni! Lazima tuutibu mguu wako," bibi akasema. Na hivyo ndivyo walivyofanya. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Mti wenye Asali Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni aliona nini alipotazama juu
{ "text": [ "maembe" ] }
2219_swa
Feni na Mti wenye Asali Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni na babake walikwenda shambani kwa baiskeli kung'oa magugu. Feni alichoka akasema, "Baba, ninahisi joto na uchovu. Niruhusu nipumzike chini ya mwembe." Baba akajibu, "Ndiyo Feni, unaweza kupumzika pale. Lakini, tafadhali, usipande mti wowote leo." Feni aliketi chini ya mwembe. Feni alitazama juu akaona embe moja, maembe mawili, matatu! Yote yalikuwa mabivu. Feni alimtazama babake. Baba alishughulika na hakuangalia upande wake. Polepole, Feni alianza kuukwea mwembe. Aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiyala maembe mabivu." Kwa hivyo, Feni aliketi akayala maembe. Baada ya kula maembe, Feni alishuka chini. Aliuona mti mwingine. Mti huo ulikuwa ukidondokwa kitu chenye rangi ya hudhurungi. Kitu hicho kilikuwa asali! Feni alipenda asali mno! Lakini, hakuwependa nyuki. Feni alitazama juu na kumwona nyuki mmoja mdogo. Feni aliwaza, "Kuna tu nyuki mmoja mdogo. Hataniumiza nikipanda mtini kutafuta asali." Feni alimtazama babake. Baba hakuwa akimwangalia. Kwa hivyo, Feni alipanda juu ya mti na kuchukua asali kutoka shimoni. Feni aliwaza, "Nitapumzikia pahali hapa pazuri nikiila asali nyingi tamu." Kwa hivyo, Feni aliketi akaila asali. Baada ya kula asali, Feni alishuka chini kutoka mtini. Halafu aliwaona nyuki. Walikuwa nyuki wengi mno! BZZZ! BZZZ! BZZZ! Feni aliamua kuwatoroka wale nyuki. Feni alikimbia kumtafuta babake. Alikuwa akihema kweli kweli. Baba aliuliza, "Feni, umekuwa wapi?" Feni hakutaka kusema alikokuwa. Badala ya kumjibu babake, Feni alisema, "Baba, tazama nina embe. Je, ungependa kulila?" Baba alijibu, "La, asante Feni. Lazima tuondoke kwenda nyumbani sasa hivi. Mvua itanyesha hivi karibuni." Baba alimbeba Feni kwenye baiskeli wakienda nyumbani. Mvua ilianza kunyesha. Baba aliendesha baiskeli kwa kasi. Baiskeli iliiacha barabara. RURUUU PU! Baiskeli ilimwangukia Feni mguuni. Feni aliushika mguu na kulia kwa uchungu! Walipofika nyumbani, mama na bibi walitaka kujua siku ilivyokwenda walipokuwa shambani. "Feni alipanda mti," baba alisema. "Baba aliendesha baiskeli kwa kasi sana hata ikaniangukia mguuni," Feni alisema. "Aaa, maskini Feni," mama akasema. "Aaa! Aaa! Maskini Feni! Lazima tuutibu mguu wako," bibi akasema. Na hivyo ndivyo walivyofanya. Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Mti wenye Asali Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini baiskeli iliacha barabara
{ "text": [ "baba aliiendesha kwa kasi" ] }
2220_swa
Feni na Nyoka Kijani Kibichi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni alienda na mama na baba kutafuta kuni. Feni alipenda kumsaidia mama na baba lakini, kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Pia, kulikuwa na vitu vingi vya kuona: ndege, tumbili, na anga! Mama alisema, "Feni! Tafadhali sikiliza! Unaweza kutafuta kuni hapa na hapo... ...lakini, Feni, tafadhali, chunga pahali unapokwenda, pia, kuwa mwangalifu." Mama na baba wakashughulika kutafuta kuni. Wakapata vipande vikubwa vya kuni. Vilevile, wakapata vipande vidogo vya kuni. Feni pia akashughulika kutafuta kuni. Akapata vipande vidogo vya kuni. Akapata vipande vidogo sana vya kuni. Halafu Feni akatazama juu. Akamwona ndege kwenye nyasi ndefu. Kisha Feni akatazama chini. Akamwona chungu mwenye rangi ya hudhurungi. Tena Feni akaliona jani maridadi. Jani hilo lilikuwa kijani kibichi na lilimetameta. Feni akasema, "Hili halionekani kama jani!" Ghafla, jani hilo maridadi likasonga! Feni akasema, "Hili si jani maridadi. Huyu ni nyoka kijani kibichi!" Feni akapiga kelele, "Eii!" Feni akakimbia haraka kuwatafuta baba na mama. Feni akamwona babake. Feni akasema, "Nyoka! Nyoka!" Baba akauliza, "Wapi? Wapi?" Feni akajibu, "Hapo! Hapo!" Halafu babake akamfukuza yule nyoka kijani kibichi kwa kijiti. Nyoka kijani kibichi akatoroka akaenda zake. Baba akasema, "Feni, uko salama. Twende tumwambie mama kuhusu yule nyoka kijani kibichi." Mama akasema, "Feni, nimefurahi kwamba nyoka kijani kibichi hakukuuma... ...lakini wakati mwingine, tafadhali, tafadhali, kuwa macho na utazame unakokwenda." Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Nyoka Kijani Kibichi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alipenda kufanya nini?
{ "text": [ "Kucheka" ] }
2220_swa
Feni na Nyoka Kijani Kibichi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni alienda na mama na baba kutafuta kuni. Feni alipenda kumsaidia mama na baba lakini, kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Pia, kulikuwa na vitu vingi vya kuona: ndege, tumbili, na anga! Mama alisema, "Feni! Tafadhali sikiliza! Unaweza kutafuta kuni hapa na hapo... ...lakini, Feni, tafadhali, chunga pahali unapokwenda, pia, kuwa mwangalifu." Mama na baba wakashughulika kutafuta kuni. Wakapata vipande vikubwa vya kuni. Vilevile, wakapata vipande vidogo vya kuni. Feni pia akashughulika kutafuta kuni. Akapata vipande vidogo vya kuni. Akapata vipande vidogo sana vya kuni. Halafu Feni akatazama juu. Akamwona ndege kwenye nyasi ndefu. Kisha Feni akatazama chini. Akamwona chungu mwenye rangi ya hudhurungi. Tena Feni akaliona jani maridadi. Jani hilo lilikuwa kijani kibichi na lilimetameta. Feni akasema, "Hili halionekani kama jani!" Ghafla, jani hilo maridadi likasonga! Feni akasema, "Hili si jani maridadi. Huyu ni nyoka kijani kibichi!" Feni akapiga kelele, "Eii!" Feni akakimbia haraka kuwatafuta baba na mama. Feni akamwona babake. Feni akasema, "Nyoka! Nyoka!" Baba akauliza, "Wapi? Wapi?" Feni akajibu, "Hapo! Hapo!" Halafu babake akamfukuza yule nyoka kijani kibichi kwa kijiti. Nyoka kijani kibichi akatoroka akaenda zake. Baba akasema, "Feni, uko salama. Twende tumwambie mama kuhusu yule nyoka kijani kibichi." Mama akasema, "Feni, nimefurahi kwamba nyoka kijani kibichi hakukuuma... ...lakini wakati mwingine, tafadhali, tafadhali, kuwa macho na utazame unakokwenda." Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Nyoka Kijani Kibichi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alikuwa mwepesi wa kufanya nini?
{ "text": [ "Kukimbia" ] }
2220_swa
Feni na Nyoka Kijani Kibichi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni alienda na mama na baba kutafuta kuni. Feni alipenda kumsaidia mama na baba lakini, kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Pia, kulikuwa na vitu vingi vya kuona: ndege, tumbili, na anga! Mama alisema, "Feni! Tafadhali sikiliza! Unaweza kutafuta kuni hapa na hapo... ...lakini, Feni, tafadhali, chunga pahali unapokwenda, pia, kuwa mwangalifu." Mama na baba wakashughulika kutafuta kuni. Wakapata vipande vikubwa vya kuni. Vilevile, wakapata vipande vidogo vya kuni. Feni pia akashughulika kutafuta kuni. Akapata vipande vidogo vya kuni. Akapata vipande vidogo sana vya kuni. Halafu Feni akatazama juu. Akamwona ndege kwenye nyasi ndefu. Kisha Feni akatazama chini. Akamwona chungu mwenye rangi ya hudhurungi. Tena Feni akaliona jani maridadi. Jani hilo lilikuwa kijani kibichi na lilimetameta. Feni akasema, "Hili halionekani kama jani!" Ghafla, jani hilo maridadi likasonga! Feni akasema, "Hili si jani maridadi. Huyu ni nyoka kijani kibichi!" Feni akapiga kelele, "Eii!" Feni akakimbia haraka kuwatafuta baba na mama. Feni akamwona babake. Feni akasema, "Nyoka! Nyoka!" Baba akauliza, "Wapi? Wapi?" Feni akajibu, "Hapo! Hapo!" Halafu babake akamfukuza yule nyoka kijani kibichi kwa kijiti. Nyoka kijani kibichi akatoroka akaenda zake. Baba akasema, "Feni, uko salama. Twende tumwambie mama kuhusu yule nyoka kijani kibichi." Mama akasema, "Feni, nimefurahi kwamba nyoka kijani kibichi hakukuuma... ...lakini wakati mwingine, tafadhali, tafadhali, kuwa macho na utazame unakokwenda." Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Nyoka Kijani Kibichi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni na wazazi wake walienda msituni kutafuta nini?
{ "text": [ "Kuni" ] }
2220_swa
Feni na Nyoka Kijani Kibichi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni alienda na mama na baba kutafuta kuni. Feni alipenda kumsaidia mama na baba lakini, kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Pia, kulikuwa na vitu vingi vya kuona: ndege, tumbili, na anga! Mama alisema, "Feni! Tafadhali sikiliza! Unaweza kutafuta kuni hapa na hapo... ...lakini, Feni, tafadhali, chunga pahali unapokwenda, pia, kuwa mwangalifu." Mama na baba wakashughulika kutafuta kuni. Wakapata vipande vikubwa vya kuni. Vilevile, wakapata vipande vidogo vya kuni. Feni pia akashughulika kutafuta kuni. Akapata vipande vidogo vya kuni. Akapata vipande vidogo sana vya kuni. Halafu Feni akatazama juu. Akamwona ndege kwenye nyasi ndefu. Kisha Feni akatazama chini. Akamwona chungu mwenye rangi ya hudhurungi. Tena Feni akaliona jani maridadi. Jani hilo lilikuwa kijani kibichi na lilimetameta. Feni akasema, "Hili halionekani kama jani!" Ghafla, jani hilo maridadi likasonga! Feni akasema, "Hili si jani maridadi. Huyu ni nyoka kijani kibichi!" Feni akapiga kelele, "Eii!" Feni akakimbia haraka kuwatafuta baba na mama. Feni akamwona babake. Feni akasema, "Nyoka! Nyoka!" Baba akauliza, "Wapi? Wapi?" Feni akajibu, "Hapo! Hapo!" Halafu babake akamfukuza yule nyoka kijani kibichi kwa kijiti. Nyoka kijani kibichi akatoroka akaenda zake. Baba akasema, "Feni, uko salama. Twende tumwambie mama kuhusu yule nyoka kijani kibichi." Mama akasema, "Feni, nimefurahi kwamba nyoka kijani kibichi hakukuuma... ...lakini wakati mwingine, tafadhali, tafadhali, kuwa macho na utazame unakokwenda." Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Nyoka Kijani Kibichi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Feni alimwona chungu mwenye rangi ipi?
{ "text": [ "Hudhurungi" ] }
2220_swa
Feni na Nyoka Kijani Kibichi Feni alikuwa msichana mdogo aliyekimbia kama upepo. Feni alipenda kucheka na alijaribu alivyoweza kutenda alivyoambiwa. Siku moja, Feni alienda na mama na baba kutafuta kuni. Feni alipenda kumsaidia mama na baba lakini, kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Pia, kulikuwa na vitu vingi vya kuona: ndege, tumbili, na anga! Mama alisema, "Feni! Tafadhali sikiliza! Unaweza kutafuta kuni hapa na hapo... ...lakini, Feni, tafadhali, chunga pahali unapokwenda, pia, kuwa mwangalifu." Mama na baba wakashughulika kutafuta kuni. Wakapata vipande vikubwa vya kuni. Vilevile, wakapata vipande vidogo vya kuni. Feni pia akashughulika kutafuta kuni. Akapata vipande vidogo vya kuni. Akapata vipande vidogo sana vya kuni. Halafu Feni akatazama juu. Akamwona ndege kwenye nyasi ndefu. Kisha Feni akatazama chini. Akamwona chungu mwenye rangi ya hudhurungi. Tena Feni akaliona jani maridadi. Jani hilo lilikuwa kijani kibichi na lilimetameta. Feni akasema, "Hili halionekani kama jani!" Ghafla, jani hilo maridadi likasonga! Feni akasema, "Hili si jani maridadi. Huyu ni nyoka kijani kibichi!" Feni akapiga kelele, "Eii!" Feni akakimbia haraka kuwatafuta baba na mama. Feni akamwona babake. Feni akasema, "Nyoka! Nyoka!" Baba akauliza, "Wapi? Wapi?" Feni akajibu, "Hapo! Hapo!" Halafu babake akamfukuza yule nyoka kijani kibichi kwa kijiti. Nyoka kijani kibichi akatoroka akaenda zake. Baba akasema, "Feni, uko salama. Twende tumwambie mama kuhusu yule nyoka kijani kibichi." Mama akasema, "Feni, nimefurahi kwamba nyoka kijani kibichi hakukuuma... ...lakini wakati mwingine, tafadhali, tafadhali, kuwa macho na utazame unakokwenda." Na huo ukawa ndio mwisho wa jambo hilo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Feni na Nyoka Kijani Kibichi Author - Osu Library Fund Translation - Ursula Nafula Illustration - Therson Boadu Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wakati Feni alitazama juu, aliona nini?
{ "text": [ "Ndege kwenye nyasi ndefu" ] }
2222_swa
Fisi mlafi Hapo zamani, kulikuwa na dada wawili, Kalio na Akiru. Siku moja, walienda kuchota maji mtoni. Walipokuwa wakirudi nyumbani, waliketi juu ya jiwe kubwa kupumzika. Baada ya kupumzika, Kalio hakuweza kusimama tena. Alikuwa amekwama kwenye jiwe. Akiru alikimbia nyumbani kumjulisha mama yao. Kalio aliposubiri usaidizi, Fisi alijificha nyuma ya jiwe akimmezea mate. Mama alipofika, alijaribu kumvuta Kalio, lakini ilikuwa bure. Kalio alikuwa kweli amekwama kwenye jiwe. Mama alimtuliza Kalio akisema, "Nitazungusha ua hapa ili uwe salama." Mama alijenga ua. Aliweka mlango karibu na Kalio ili autumie akimletea chakula. Mama alipomaliza kujenga ua, alimwambia Kalio, "Nitakapokuletea chakula, nitakuwa nikiimbia wimbo kujitambulisha. Utakapousikia, utanifungulia." Mama aliongeza kumweleza Kalio, "Usimfungulie mtu mwingine." Mama aliimba wimbo huo kila alipokuja kumwona Kalio. Kalio angeufungua mlango na kupatiwa chakula. Fisi alijificha kila wakati akimsikiliza mamake Kalio akiimba. Fisi alifanya mazoezi mengi akiiga sauti ya mamake Kalio. Mwanzoni, hakufaulu. Wanyama wenzake walimshauri Fisi, "Mmeze nzi wa mtoni ili sauti yako iwe bora." Fisi alimmeza nzi wa mtoni akaenda kuimba, lakini Kalio hakuufungua mlango. Fisi alishauriwa na wenzake tena, "Labda ukimmeza nzi kutoka sehemu tambarare, utaimba vizuri." Fisi alifanya alivyoshauriwa na wenzake. Mara hii, sauti ya Fisi ilikuwa bora alipoimba. Kalio aliufungua mlango na Fisi akamla. Mama alimpelekea Kalio chakula kama ilivyokuwa kawaida. Aliimba mara nyingi, lakini mlango haukufunguka. Aligundua kwamba alikuwa amempoteza bintiye. Mama alifanya mkutano na wanyama wote. Baada ya kuwasha moto mkubwa, aliwaambia, "Nyote mtauruka moto huu. Aliyemla Kalio, ataanguka ndani na kuteketea." Wanyama wengine waliuruka moto salama, mmoja baada ya mwingine. Ilipofika zamu ya Mbweha, alisita kidogo. Hatimaye, Mbweha alipouruka, moto uliiunguza ncha ya mkia wake. Mbweha alikuwa ameionja damu ya Kalio. Fisi alikuwa wa mwisho. Alipouruka moto, alianguka ndani na kuanza kuteketea. Wanyama walifahamu kuwa Fisi ndiye alikuwa amemla Kalio. Waliimba wimbo wa kumsuta Fisi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi mlafi Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kalio na Akiru walienda kuchota maji wapi
{ "text": [ "mtoni" ] }
2222_swa
Fisi mlafi Hapo zamani, kulikuwa na dada wawili, Kalio na Akiru. Siku moja, walienda kuchota maji mtoni. Walipokuwa wakirudi nyumbani, waliketi juu ya jiwe kubwa kupumzika. Baada ya kupumzika, Kalio hakuweza kusimama tena. Alikuwa amekwama kwenye jiwe. Akiru alikimbia nyumbani kumjulisha mama yao. Kalio aliposubiri usaidizi, Fisi alijificha nyuma ya jiwe akimmezea mate. Mama alipofika, alijaribu kumvuta Kalio, lakini ilikuwa bure. Kalio alikuwa kweli amekwama kwenye jiwe. Mama alimtuliza Kalio akisema, "Nitazungusha ua hapa ili uwe salama." Mama alijenga ua. Aliweka mlango karibu na Kalio ili autumie akimletea chakula. Mama alipomaliza kujenga ua, alimwambia Kalio, "Nitakapokuletea chakula, nitakuwa nikiimbia wimbo kujitambulisha. Utakapousikia, utanifungulia." Mama aliongeza kumweleza Kalio, "Usimfungulie mtu mwingine." Mama aliimba wimbo huo kila alipokuja kumwona Kalio. Kalio angeufungua mlango na kupatiwa chakula. Fisi alijificha kila wakati akimsikiliza mamake Kalio akiimba. Fisi alifanya mazoezi mengi akiiga sauti ya mamake Kalio. Mwanzoni, hakufaulu. Wanyama wenzake walimshauri Fisi, "Mmeze nzi wa mtoni ili sauti yako iwe bora." Fisi alimmeza nzi wa mtoni akaenda kuimba, lakini Kalio hakuufungua mlango. Fisi alishauriwa na wenzake tena, "Labda ukimmeza nzi kutoka sehemu tambarare, utaimba vizuri." Fisi alifanya alivyoshauriwa na wenzake. Mara hii, sauti ya Fisi ilikuwa bora alipoimba. Kalio aliufungua mlango na Fisi akamla. Mama alimpelekea Kalio chakula kama ilivyokuwa kawaida. Aliimba mara nyingi, lakini mlango haukufunguka. Aligundua kwamba alikuwa amempoteza bintiye. Mama alifanya mkutano na wanyama wote. Baada ya kuwasha moto mkubwa, aliwaambia, "Nyote mtauruka moto huu. Aliyemla Kalio, ataanguka ndani na kuteketea." Wanyama wengine waliuruka moto salama, mmoja baada ya mwingine. Ilipofika zamu ya Mbweha, alisita kidogo. Hatimaye, Mbweha alipouruka, moto uliiunguza ncha ya mkia wake. Mbweha alikuwa ameionja damu ya Kalio. Fisi alikuwa wa mwisho. Alipouruka moto, alianguka ndani na kuanza kuteketea. Wanyama walifahamu kuwa Fisi ndiye alikuwa amemla Kalio. Waliimba wimbo wa kumsuta Fisi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi mlafi Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alijificha nyuma ya jiwe
{ "text": [ "fisi" ] }
2222_swa
Fisi mlafi Hapo zamani, kulikuwa na dada wawili, Kalio na Akiru. Siku moja, walienda kuchota maji mtoni. Walipokuwa wakirudi nyumbani, waliketi juu ya jiwe kubwa kupumzika. Baada ya kupumzika, Kalio hakuweza kusimama tena. Alikuwa amekwama kwenye jiwe. Akiru alikimbia nyumbani kumjulisha mama yao. Kalio aliposubiri usaidizi, Fisi alijificha nyuma ya jiwe akimmezea mate. Mama alipofika, alijaribu kumvuta Kalio, lakini ilikuwa bure. Kalio alikuwa kweli amekwama kwenye jiwe. Mama alimtuliza Kalio akisema, "Nitazungusha ua hapa ili uwe salama." Mama alijenga ua. Aliweka mlango karibu na Kalio ili autumie akimletea chakula. Mama alipomaliza kujenga ua, alimwambia Kalio, "Nitakapokuletea chakula, nitakuwa nikiimbia wimbo kujitambulisha. Utakapousikia, utanifungulia." Mama aliongeza kumweleza Kalio, "Usimfungulie mtu mwingine." Mama aliimba wimbo huo kila alipokuja kumwona Kalio. Kalio angeufungua mlango na kupatiwa chakula. Fisi alijificha kila wakati akimsikiliza mamake Kalio akiimba. Fisi alifanya mazoezi mengi akiiga sauti ya mamake Kalio. Mwanzoni, hakufaulu. Wanyama wenzake walimshauri Fisi, "Mmeze nzi wa mtoni ili sauti yako iwe bora." Fisi alimmeza nzi wa mtoni akaenda kuimba, lakini Kalio hakuufungua mlango. Fisi alishauriwa na wenzake tena, "Labda ukimmeza nzi kutoka sehemu tambarare, utaimba vizuri." Fisi alifanya alivyoshauriwa na wenzake. Mara hii, sauti ya Fisi ilikuwa bora alipoimba. Kalio aliufungua mlango na Fisi akamla. Mama alimpelekea Kalio chakula kama ilivyokuwa kawaida. Aliimba mara nyingi, lakini mlango haukufunguka. Aligundua kwamba alikuwa amempoteza bintiye. Mama alifanya mkutano na wanyama wote. Baada ya kuwasha moto mkubwa, aliwaambia, "Nyote mtauruka moto huu. Aliyemla Kalio, ataanguka ndani na kuteketea." Wanyama wengine waliuruka moto salama, mmoja baada ya mwingine. Ilipofika zamu ya Mbweha, alisita kidogo. Hatimaye, Mbweha alipouruka, moto uliiunguza ncha ya mkia wake. Mbweha alikuwa ameionja damu ya Kalio. Fisi alikuwa wa mwisho. Alipouruka moto, alianguka ndani na kuanza kuteketea. Wanyama walifahamu kuwa Fisi ndiye alikuwa amemla Kalio. Waliimba wimbo wa kumsuta Fisi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi mlafi Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama alijenga nini
{ "text": [ "ua" ] }
2222_swa
Fisi mlafi Hapo zamani, kulikuwa na dada wawili, Kalio na Akiru. Siku moja, walienda kuchota maji mtoni. Walipokuwa wakirudi nyumbani, waliketi juu ya jiwe kubwa kupumzika. Baada ya kupumzika, Kalio hakuweza kusimama tena. Alikuwa amekwama kwenye jiwe. Akiru alikimbia nyumbani kumjulisha mama yao. Kalio aliposubiri usaidizi, Fisi alijificha nyuma ya jiwe akimmezea mate. Mama alipofika, alijaribu kumvuta Kalio, lakini ilikuwa bure. Kalio alikuwa kweli amekwama kwenye jiwe. Mama alimtuliza Kalio akisema, "Nitazungusha ua hapa ili uwe salama." Mama alijenga ua. Aliweka mlango karibu na Kalio ili autumie akimletea chakula. Mama alipomaliza kujenga ua, alimwambia Kalio, "Nitakapokuletea chakula, nitakuwa nikiimbia wimbo kujitambulisha. Utakapousikia, utanifungulia." Mama aliongeza kumweleza Kalio, "Usimfungulie mtu mwingine." Mama aliimba wimbo huo kila alipokuja kumwona Kalio. Kalio angeufungua mlango na kupatiwa chakula. Fisi alijificha kila wakati akimsikiliza mamake Kalio akiimba. Fisi alifanya mazoezi mengi akiiga sauti ya mamake Kalio. Mwanzoni, hakufaulu. Wanyama wenzake walimshauri Fisi, "Mmeze nzi wa mtoni ili sauti yako iwe bora." Fisi alimmeza nzi wa mtoni akaenda kuimba, lakini Kalio hakuufungua mlango. Fisi alishauriwa na wenzake tena, "Labda ukimmeza nzi kutoka sehemu tambarare, utaimba vizuri." Fisi alifanya alivyoshauriwa na wenzake. Mara hii, sauti ya Fisi ilikuwa bora alipoimba. Kalio aliufungua mlango na Fisi akamla. Mama alimpelekea Kalio chakula kama ilivyokuwa kawaida. Aliimba mara nyingi, lakini mlango haukufunguka. Aligundua kwamba alikuwa amempoteza bintiye. Mama alifanya mkutano na wanyama wote. Baada ya kuwasha moto mkubwa, aliwaambia, "Nyote mtauruka moto huu. Aliyemla Kalio, ataanguka ndani na kuteketea." Wanyama wengine waliuruka moto salama, mmoja baada ya mwingine. Ilipofika zamu ya Mbweha, alisita kidogo. Hatimaye, Mbweha alipouruka, moto uliiunguza ncha ya mkia wake. Mbweha alikuwa ameionja damu ya Kalio. Fisi alikuwa wa mwisho. Alipouruka moto, alianguka ndani na kuanza kuteketea. Wanyama walifahamu kuwa Fisi ndiye alikuwa amemla Kalio. Waliimba wimbo wa kumsuta Fisi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi mlafi Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama aliimba wimbo lini
{ "text": [ "kila alipokuja kumwona Kalio" ] }
2222_swa
Fisi mlafi Hapo zamani, kulikuwa na dada wawili, Kalio na Akiru. Siku moja, walienda kuchota maji mtoni. Walipokuwa wakirudi nyumbani, waliketi juu ya jiwe kubwa kupumzika. Baada ya kupumzika, Kalio hakuweza kusimama tena. Alikuwa amekwama kwenye jiwe. Akiru alikimbia nyumbani kumjulisha mama yao. Kalio aliposubiri usaidizi, Fisi alijificha nyuma ya jiwe akimmezea mate. Mama alipofika, alijaribu kumvuta Kalio, lakini ilikuwa bure. Kalio alikuwa kweli amekwama kwenye jiwe. Mama alimtuliza Kalio akisema, "Nitazungusha ua hapa ili uwe salama." Mama alijenga ua. Aliweka mlango karibu na Kalio ili autumie akimletea chakula. Mama alipomaliza kujenga ua, alimwambia Kalio, "Nitakapokuletea chakula, nitakuwa nikiimbia wimbo kujitambulisha. Utakapousikia, utanifungulia." Mama aliongeza kumweleza Kalio, "Usimfungulie mtu mwingine." Mama aliimba wimbo huo kila alipokuja kumwona Kalio. Kalio angeufungua mlango na kupatiwa chakula. Fisi alijificha kila wakati akimsikiliza mamake Kalio akiimba. Fisi alifanya mazoezi mengi akiiga sauti ya mamake Kalio. Mwanzoni, hakufaulu. Wanyama wenzake walimshauri Fisi, "Mmeze nzi wa mtoni ili sauti yako iwe bora." Fisi alimmeza nzi wa mtoni akaenda kuimba, lakini Kalio hakuufungua mlango. Fisi alishauriwa na wenzake tena, "Labda ukimmeza nzi kutoka sehemu tambarare, utaimba vizuri." Fisi alifanya alivyoshauriwa na wenzake. Mara hii, sauti ya Fisi ilikuwa bora alipoimba. Kalio aliufungua mlango na Fisi akamla. Mama alimpelekea Kalio chakula kama ilivyokuwa kawaida. Aliimba mara nyingi, lakini mlango haukufunguka. Aligundua kwamba alikuwa amempoteza bintiye. Mama alifanya mkutano na wanyama wote. Baada ya kuwasha moto mkubwa, aliwaambia, "Nyote mtauruka moto huu. Aliyemla Kalio, ataanguka ndani na kuteketea." Wanyama wengine waliuruka moto salama, mmoja baada ya mwingine. Ilipofika zamu ya Mbweha, alisita kidogo. Hatimaye, Mbweha alipouruka, moto uliiunguza ncha ya mkia wake. Mbweha alikuwa ameionja damu ya Kalio. Fisi alikuwa wa mwisho. Alipouruka moto, alianguka ndani na kuanza kuteketea. Wanyama walifahamu kuwa Fisi ndiye alikuwa amemla Kalio. Waliimba wimbo wa kumsuta Fisi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi mlafi Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona walimshauri fisi ammeze nzi
{ "text": [ "ili sauti yake iwe bora" ] }
2223_swa
Fisi na Kobe Fisi mlafi aliishi katika kijiji cha Mkosi. Katika kijiji jirani, aliishi Kobe mwoga. Fisi na Kobe walikuwa marafiki. Fisi alisikia kwamba kulikuwa na nyuki waliotengeneza asali tamu kuliko yote. Nyuki hao walisafiri mbali na mizinga yao mara moja kwa mwaka. "Lazima tuipate ile asali nyuki watakapokuwa safarini," Fisi alimwambia Kobe. Ingawa Kobe aliogopa kwenda, hakuwa na ujasiri wa kukataa. Asubuhi iliyofuata, Fisi na Kobe walianza safari yao. Fisi alienda kwa kasi huku Kobe akijikokota nyuma kwa woga. Walipanda milima wakashuka kisha wakavuka mabonde. Waliuvuka mto mkubwa wakaendelea na safari yao wakiwa na nia ya kuifikia ile mizinga ya nyuki. Hatimaye, waliona mizinga ya nyuki milimani kwenye miti. Fisi alikwenda kwa haraka. Kobe alikuwa tayari kuzirai kutokana na njaa na uchovu. Fisi alipoufikia mzinga mkubwa zaidi, alimwambia Kobe, "Haraka! Panda juu ya mti uuangushe mzinga chini." Kobe aling'ang'ana kuupanda mti. Alipofanya hivyo, aliangalia chini mara kwa mara asije akaanguka. Fisi alikasirishwa na kitendo hicho akaanza kumpigia Kobe kelele. Kobe alipougusa mzinga, alisikia sauti ya nyuki. Kumbe walikuwa bado ndani ya mzinga wao! Kobe alishtuka akaanguka chini. Mzinga wa nyuki ulimwangukia Kobe akafunikwa na kufichwa na asali! Fisi alianza kuilamba ile asali. Lakini nyuki hawakufurahia kitendo hicho. Nyuki walimuuma Fisi kila sehemu ya mwili akaamua kukimbilia usalama wake. Hata hivyo, nyuki walimfuata wakaendelea kumuuma. Fisi aliteremka kutoka mlimani, akavuka mto na bonde. Nyuki waliendelea kumuuma wakati huo wote. Kobe naye alikuwa bado chini ya mzinga mkubwa. Hatimaye, kila kitu kilikuwa kimya. Kobe aligundua kuwa mzinga na asali vilikuwa vimekaukia mgongoni kwake. Kobe alitambua kuwa hakuhitaji tena kujificha kichakani. Gamba jipya alilopata lingeweza kumkinga na hatari yoyote. Fisi alikuwa amechoka na alijaa vidonda mwilini. Alizirai kabla kufika nyumbani. Alipoamka, aligundua kwamba mishale ya nyuki ilisababisha madoadoa kwenye ngozi yake. Hivi ndivyo kobe alivyopata gamba lake ngumu naye fisi akapata madoadoa kwenye ngozi yake. Urafiki kati ya fisi na kobe uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kobe Author - Alice Mulwa Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fisi mlafi aliishi katika kijiji kipi
{ "text": [ "Cha Mkosi" ] }
2223_swa
Fisi na Kobe Fisi mlafi aliishi katika kijiji cha Mkosi. Katika kijiji jirani, aliishi Kobe mwoga. Fisi na Kobe walikuwa marafiki. Fisi alisikia kwamba kulikuwa na nyuki waliotengeneza asali tamu kuliko yote. Nyuki hao walisafiri mbali na mizinga yao mara moja kwa mwaka. "Lazima tuipate ile asali nyuki watakapokuwa safarini," Fisi alimwambia Kobe. Ingawa Kobe aliogopa kwenda, hakuwa na ujasiri wa kukataa. Asubuhi iliyofuata, Fisi na Kobe walianza safari yao. Fisi alienda kwa kasi huku Kobe akijikokota nyuma kwa woga. Walipanda milima wakashuka kisha wakavuka mabonde. Waliuvuka mto mkubwa wakaendelea na safari yao wakiwa na nia ya kuifikia ile mizinga ya nyuki. Hatimaye, waliona mizinga ya nyuki milimani kwenye miti. Fisi alikwenda kwa haraka. Kobe alikuwa tayari kuzirai kutokana na njaa na uchovu. Fisi alipoufikia mzinga mkubwa zaidi, alimwambia Kobe, "Haraka! Panda juu ya mti uuangushe mzinga chini." Kobe aling'ang'ana kuupanda mti. Alipofanya hivyo, aliangalia chini mara kwa mara asije akaanguka. Fisi alikasirishwa na kitendo hicho akaanza kumpigia Kobe kelele. Kobe alipougusa mzinga, alisikia sauti ya nyuki. Kumbe walikuwa bado ndani ya mzinga wao! Kobe alishtuka akaanguka chini. Mzinga wa nyuki ulimwangukia Kobe akafunikwa na kufichwa na asali! Fisi alianza kuilamba ile asali. Lakini nyuki hawakufurahia kitendo hicho. Nyuki walimuuma Fisi kila sehemu ya mwili akaamua kukimbilia usalama wake. Hata hivyo, nyuki walimfuata wakaendelea kumuuma. Fisi aliteremka kutoka mlimani, akavuka mto na bonde. Nyuki waliendelea kumuuma wakati huo wote. Kobe naye alikuwa bado chini ya mzinga mkubwa. Hatimaye, kila kitu kilikuwa kimya. Kobe aligundua kuwa mzinga na asali vilikuwa vimekaukia mgongoni kwake. Kobe alitambua kuwa hakuhitaji tena kujificha kichakani. Gamba jipya alilopata lingeweza kumkinga na hatari yoyote. Fisi alikuwa amechoka na alijaa vidonda mwilini. Alizirai kabla kufika nyumbani. Alipoamka, aligundua kwamba mishale ya nyuki ilisababisha madoadoa kwenye ngozi yake. Hivi ndivyo kobe alivyopata gamba lake ngumu naye fisi akapata madoadoa kwenye ngozi yake. Urafiki kati ya fisi na kobe uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kobe Author - Alice Mulwa Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliishi katika kijiji jirani
{ "text": [ "Kobe mwoga" ] }
2223_swa
Fisi na Kobe Fisi mlafi aliishi katika kijiji cha Mkosi. Katika kijiji jirani, aliishi Kobe mwoga. Fisi na Kobe walikuwa marafiki. Fisi alisikia kwamba kulikuwa na nyuki waliotengeneza asali tamu kuliko yote. Nyuki hao walisafiri mbali na mizinga yao mara moja kwa mwaka. "Lazima tuipate ile asali nyuki watakapokuwa safarini," Fisi alimwambia Kobe. Ingawa Kobe aliogopa kwenda, hakuwa na ujasiri wa kukataa. Asubuhi iliyofuata, Fisi na Kobe walianza safari yao. Fisi alienda kwa kasi huku Kobe akijikokota nyuma kwa woga. Walipanda milima wakashuka kisha wakavuka mabonde. Waliuvuka mto mkubwa wakaendelea na safari yao wakiwa na nia ya kuifikia ile mizinga ya nyuki. Hatimaye, waliona mizinga ya nyuki milimani kwenye miti. Fisi alikwenda kwa haraka. Kobe alikuwa tayari kuzirai kutokana na njaa na uchovu. Fisi alipoufikia mzinga mkubwa zaidi, alimwambia Kobe, "Haraka! Panda juu ya mti uuangushe mzinga chini." Kobe aling'ang'ana kuupanda mti. Alipofanya hivyo, aliangalia chini mara kwa mara asije akaanguka. Fisi alikasirishwa na kitendo hicho akaanza kumpigia Kobe kelele. Kobe alipougusa mzinga, alisikia sauti ya nyuki. Kumbe walikuwa bado ndani ya mzinga wao! Kobe alishtuka akaanguka chini. Mzinga wa nyuki ulimwangukia Kobe akafunikwa na kufichwa na asali! Fisi alianza kuilamba ile asali. Lakini nyuki hawakufurahia kitendo hicho. Nyuki walimuuma Fisi kila sehemu ya mwili akaamua kukimbilia usalama wake. Hata hivyo, nyuki walimfuata wakaendelea kumuuma. Fisi aliteremka kutoka mlimani, akavuka mto na bonde. Nyuki waliendelea kumuuma wakati huo wote. Kobe naye alikuwa bado chini ya mzinga mkubwa. Hatimaye, kila kitu kilikuwa kimya. Kobe aligundua kuwa mzinga na asali vilikuwa vimekaukia mgongoni kwake. Kobe alitambua kuwa hakuhitaji tena kujificha kichakani. Gamba jipya alilopata lingeweza kumkinga na hatari yoyote. Fisi alikuwa amechoka na alijaa vidonda mwilini. Alizirai kabla kufika nyumbani. Alipoamka, aligundua kwamba mishale ya nyuki ilisababisha madoadoa kwenye ngozi yake. Hivi ndivyo kobe alivyopata gamba lake ngumu naye fisi akapata madoadoa kwenye ngozi yake. Urafiki kati ya fisi na kobe uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kobe Author - Alice Mulwa Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani walikuwa marafiki
{ "text": [ "Fisi na kobe" ] }
2223_swa
Fisi na Kobe Fisi mlafi aliishi katika kijiji cha Mkosi. Katika kijiji jirani, aliishi Kobe mwoga. Fisi na Kobe walikuwa marafiki. Fisi alisikia kwamba kulikuwa na nyuki waliotengeneza asali tamu kuliko yote. Nyuki hao walisafiri mbali na mizinga yao mara moja kwa mwaka. "Lazima tuipate ile asali nyuki watakapokuwa safarini," Fisi alimwambia Kobe. Ingawa Kobe aliogopa kwenda, hakuwa na ujasiri wa kukataa. Asubuhi iliyofuata, Fisi na Kobe walianza safari yao. Fisi alienda kwa kasi huku Kobe akijikokota nyuma kwa woga. Walipanda milima wakashuka kisha wakavuka mabonde. Waliuvuka mto mkubwa wakaendelea na safari yao wakiwa na nia ya kuifikia ile mizinga ya nyuki. Hatimaye, waliona mizinga ya nyuki milimani kwenye miti. Fisi alikwenda kwa haraka. Kobe alikuwa tayari kuzirai kutokana na njaa na uchovu. Fisi alipoufikia mzinga mkubwa zaidi, alimwambia Kobe, "Haraka! Panda juu ya mti uuangushe mzinga chini." Kobe aling'ang'ana kuupanda mti. Alipofanya hivyo, aliangalia chini mara kwa mara asije akaanguka. Fisi alikasirishwa na kitendo hicho akaanza kumpigia Kobe kelele. Kobe alipougusa mzinga, alisikia sauti ya nyuki. Kumbe walikuwa bado ndani ya mzinga wao! Kobe alishtuka akaanguka chini. Mzinga wa nyuki ulimwangukia Kobe akafunikwa na kufichwa na asali! Fisi alianza kuilamba ile asali. Lakini nyuki hawakufurahia kitendo hicho. Nyuki walimuuma Fisi kila sehemu ya mwili akaamua kukimbilia usalama wake. Hata hivyo, nyuki walimfuata wakaendelea kumuuma. Fisi aliteremka kutoka mlimani, akavuka mto na bonde. Nyuki waliendelea kumuuma wakati huo wote. Kobe naye alikuwa bado chini ya mzinga mkubwa. Hatimaye, kila kitu kilikuwa kimya. Kobe aligundua kuwa mzinga na asali vilikuwa vimekaukia mgongoni kwake. Kobe alitambua kuwa hakuhitaji tena kujificha kichakani. Gamba jipya alilopata lingeweza kumkinga na hatari yoyote. Fisi alikuwa amechoka na alijaa vidonda mwilini. Alizirai kabla kufika nyumbani. Alipoamka, aligundua kwamba mishale ya nyuki ilisababisha madoadoa kwenye ngozi yake. Hivi ndivyo kobe alivyopata gamba lake ngumu naye fisi akapata madoadoa kwenye ngozi yake. Urafiki kati ya fisi na kobe uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kobe Author - Alice Mulwa Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fisi alijaa nini mwilini
{ "text": [ "Vidonda" ] }
2223_swa
Fisi na Kobe Fisi mlafi aliishi katika kijiji cha Mkosi. Katika kijiji jirani, aliishi Kobe mwoga. Fisi na Kobe walikuwa marafiki. Fisi alisikia kwamba kulikuwa na nyuki waliotengeneza asali tamu kuliko yote. Nyuki hao walisafiri mbali na mizinga yao mara moja kwa mwaka. "Lazima tuipate ile asali nyuki watakapokuwa safarini," Fisi alimwambia Kobe. Ingawa Kobe aliogopa kwenda, hakuwa na ujasiri wa kukataa. Asubuhi iliyofuata, Fisi na Kobe walianza safari yao. Fisi alienda kwa kasi huku Kobe akijikokota nyuma kwa woga. Walipanda milima wakashuka kisha wakavuka mabonde. Waliuvuka mto mkubwa wakaendelea na safari yao wakiwa na nia ya kuifikia ile mizinga ya nyuki. Hatimaye, waliona mizinga ya nyuki milimani kwenye miti. Fisi alikwenda kwa haraka. Kobe alikuwa tayari kuzirai kutokana na njaa na uchovu. Fisi alipoufikia mzinga mkubwa zaidi, alimwambia Kobe, "Haraka! Panda juu ya mti uuangushe mzinga chini." Kobe aling'ang'ana kuupanda mti. Alipofanya hivyo, aliangalia chini mara kwa mara asije akaanguka. Fisi alikasirishwa na kitendo hicho akaanza kumpigia Kobe kelele. Kobe alipougusa mzinga, alisikia sauti ya nyuki. Kumbe walikuwa bado ndani ya mzinga wao! Kobe alishtuka akaanguka chini. Mzinga wa nyuki ulimwangukia Kobe akafunikwa na kufichwa na asali! Fisi alianza kuilamba ile asali. Lakini nyuki hawakufurahia kitendo hicho. Nyuki walimuuma Fisi kila sehemu ya mwili akaamua kukimbilia usalama wake. Hata hivyo, nyuki walimfuata wakaendelea kumuuma. Fisi aliteremka kutoka mlimani, akavuka mto na bonde. Nyuki waliendelea kumuuma wakati huo wote. Kobe naye alikuwa bado chini ya mzinga mkubwa. Hatimaye, kila kitu kilikuwa kimya. Kobe aligundua kuwa mzinga na asali vilikuwa vimekaukia mgongoni kwake. Kobe alitambua kuwa hakuhitaji tena kujificha kichakani. Gamba jipya alilopata lingeweza kumkinga na hatari yoyote. Fisi alikuwa amechoka na alijaa vidonda mwilini. Alizirai kabla kufika nyumbani. Alipoamka, aligundua kwamba mishale ya nyuki ilisababisha madoadoa kwenye ngozi yake. Hivi ndivyo kobe alivyopata gamba lake ngumu naye fisi akapata madoadoa kwenye ngozi yake. Urafiki kati ya fisi na kobe uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kobe Author - Alice Mulwa Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini kobe alikuwa tayari kuzirai
{ "text": [ "Kwa sababu alikuwa na njaa na uchovu" ] }
2224_swa
Fisi na Kunguru Fisi na Kunguru walikuwa marafiki ingawa walikuwa tofauti. Kunguru aliruka lakini Fisi alitembea tu. Siku moja Fisi alitaka kumfahamu Kunguru zaidi. Alimwuliza, "Ni kitu gani cheupe kilicho nyuma ya shingo yako?" Kunguru alimjibu Fisi, "Ni nyama nono nimekuwa nikiila huko angani ninaporuka. Nimeila kwa muda mrefu hadi imejibandika shingoni mwangu." Fisi aliposikia juu ya nyama, alidondokwa na mate. Alitamani sana kula nyama hiyo. Ataipataje ikiwa angani naye hakuwa na mabawa ya kuruka na kuifikia? Fisi alimwomba Kunguru, "Tafadhali rafiki yangu, nikopeshe manyoya ili nijitengenezee mabawa. Nina hamu sana ya kuruka kama wewe na kuila ile nyama." Kwa ukarimu wake, Kunguru alimpatia Fisi manyoya. Fisi aliyashona mabawa, akayaunganisha na mwili wake akajaribu kuruka. Uzito wake ulimshinda akalazimika kuwa na mpango tofauti. Fisi alimwambia Kunguru, "Niruhusu niushikilie mkia wako utakaporuka angani." Kunguru alikubali akasema, "Ninajua una hamu ya kuruka. Hebu tufanye hivyo kesho asubuhi." Asubuhi ilipofika, Fisi aliushikilia mkia wa Kunguru, Kunguru aliporuka. Kunguru aliruka mpaka akachoka kabisa. Fisi alimsihi, "Tafadhali rafiki yangu, endelea kidogo zaidi!" Walipokifikia kipande cha kwanza cha wingu kubwa jeupe, Fisi alidhani ni nyama nono. Mara Fisi alisikia sauti. Unyoya mmoja alioushika uling'oka kutoka kwenye mkia wa Kunguru! Akasikia sauti ya pili, ya tatu na ya nne. Kunguru alijihisi mwepesi. Alikuwa ameondokewa na mzigo 'Fisi.' Kunguru aliimba: Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Fisi aliimba kinyume akisema: Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Hatimaye, manyoya yote yaling'oka. Fisi akaelea peke yake angani. Alilirukia wingu jeupe akidhani ni nyama nono ambayo angejishikilia. Lakini, alipojaribu kuishika ile "nyama," aliyashika mawingu majimaji tu! Fisi alianza kuanguka kwa kasi kutoka angani. Alipaza sauti akisema, "Nisaidie! Nisaidie!" Hakuna aliyemsikia. Kunguru alikuwa ametokomea mawinguni. Fisi alianguka chini kwa kishindo akalala kimya kwa muda. Baadaye aliamka kwa maumivu akipiga mayowe. Mguu wake mmoja ulikuwa umevunjika. Alikuwa na madoadoa mengi mwilini. Fisi hajaweza kuruka. Urafiki baina yake na Kunguru haukuwepo tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kunguru Author - Ann Nduku Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kunguru alimwambia Fisi ni nini kilicho nyuma ya shingo yake
{ "text": [ "nyama nono" ] }
2224_swa
Fisi na Kunguru Fisi na Kunguru walikuwa marafiki ingawa walikuwa tofauti. Kunguru aliruka lakini Fisi alitembea tu. Siku moja Fisi alitaka kumfahamu Kunguru zaidi. Alimwuliza, "Ni kitu gani cheupe kilicho nyuma ya shingo yako?" Kunguru alimjibu Fisi, "Ni nyama nono nimekuwa nikiila huko angani ninaporuka. Nimeila kwa muda mrefu hadi imejibandika shingoni mwangu." Fisi aliposikia juu ya nyama, alidondokwa na mate. Alitamani sana kula nyama hiyo. Ataipataje ikiwa angani naye hakuwa na mabawa ya kuruka na kuifikia? Fisi alimwomba Kunguru, "Tafadhali rafiki yangu, nikopeshe manyoya ili nijitengenezee mabawa. Nina hamu sana ya kuruka kama wewe na kuila ile nyama." Kwa ukarimu wake, Kunguru alimpatia Fisi manyoya. Fisi aliyashona mabawa, akayaunganisha na mwili wake akajaribu kuruka. Uzito wake ulimshinda akalazimika kuwa na mpango tofauti. Fisi alimwambia Kunguru, "Niruhusu niushikilie mkia wako utakaporuka angani." Kunguru alikubali akasema, "Ninajua una hamu ya kuruka. Hebu tufanye hivyo kesho asubuhi." Asubuhi ilipofika, Fisi aliushikilia mkia wa Kunguru, Kunguru aliporuka. Kunguru aliruka mpaka akachoka kabisa. Fisi alimsihi, "Tafadhali rafiki yangu, endelea kidogo zaidi!" Walipokifikia kipande cha kwanza cha wingu kubwa jeupe, Fisi alidhani ni nyama nono. Mara Fisi alisikia sauti. Unyoya mmoja alioushika uling'oka kutoka kwenye mkia wa Kunguru! Akasikia sauti ya pili, ya tatu na ya nne. Kunguru alijihisi mwepesi. Alikuwa ameondokewa na mzigo 'Fisi.' Kunguru aliimba: Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Fisi aliimba kinyume akisema: Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Hatimaye, manyoya yote yaling'oka. Fisi akaelea peke yake angani. Alilirukia wingu jeupe akidhani ni nyama nono ambayo angejishikilia. Lakini, alipojaribu kuishika ile "nyama," aliyashika mawingu majimaji tu! Fisi alianza kuanguka kwa kasi kutoka angani. Alipaza sauti akisema, "Nisaidie! Nisaidie!" Hakuna aliyemsikia. Kunguru alikuwa ametokomea mawinguni. Fisi alianguka chini kwa kishindo akalala kimya kwa muda. Baadaye aliamka kwa maumivu akipiga mayowe. Mguu wake mmoja ulikuwa umevunjika. Alikuwa na madoadoa mengi mwilini. Fisi hajaweza kuruka. Urafiki baina yake na Kunguru haukuwepo tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kunguru Author - Ann Nduku Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fisi alitamani sana nini
{ "text": [ "kuila nyama hiyo" ] }
2224_swa
Fisi na Kunguru Fisi na Kunguru walikuwa marafiki ingawa walikuwa tofauti. Kunguru aliruka lakini Fisi alitembea tu. Siku moja Fisi alitaka kumfahamu Kunguru zaidi. Alimwuliza, "Ni kitu gani cheupe kilicho nyuma ya shingo yako?" Kunguru alimjibu Fisi, "Ni nyama nono nimekuwa nikiila huko angani ninaporuka. Nimeila kwa muda mrefu hadi imejibandika shingoni mwangu." Fisi aliposikia juu ya nyama, alidondokwa na mate. Alitamani sana kula nyama hiyo. Ataipataje ikiwa angani naye hakuwa na mabawa ya kuruka na kuifikia? Fisi alimwomba Kunguru, "Tafadhali rafiki yangu, nikopeshe manyoya ili nijitengenezee mabawa. Nina hamu sana ya kuruka kama wewe na kuila ile nyama." Kwa ukarimu wake, Kunguru alimpatia Fisi manyoya. Fisi aliyashona mabawa, akayaunganisha na mwili wake akajaribu kuruka. Uzito wake ulimshinda akalazimika kuwa na mpango tofauti. Fisi alimwambia Kunguru, "Niruhusu niushikilie mkia wako utakaporuka angani." Kunguru alikubali akasema, "Ninajua una hamu ya kuruka. Hebu tufanye hivyo kesho asubuhi." Asubuhi ilipofika, Fisi aliushikilia mkia wa Kunguru, Kunguru aliporuka. Kunguru aliruka mpaka akachoka kabisa. Fisi alimsihi, "Tafadhali rafiki yangu, endelea kidogo zaidi!" Walipokifikia kipande cha kwanza cha wingu kubwa jeupe, Fisi alidhani ni nyama nono. Mara Fisi alisikia sauti. Unyoya mmoja alioushika uling'oka kutoka kwenye mkia wa Kunguru! Akasikia sauti ya pili, ya tatu na ya nne. Kunguru alijihisi mwepesi. Alikuwa ameondokewa na mzigo 'Fisi.' Kunguru aliimba: Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Fisi aliimba kinyume akisema: Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Hatimaye, manyoya yote yaling'oka. Fisi akaelea peke yake angani. Alilirukia wingu jeupe akidhani ni nyama nono ambayo angejishikilia. Lakini, alipojaribu kuishika ile "nyama," aliyashika mawingu majimaji tu! Fisi alianza kuanguka kwa kasi kutoka angani. Alipaza sauti akisema, "Nisaidie! Nisaidie!" Hakuna aliyemsikia. Kunguru alikuwa ametokomea mawinguni. Fisi alianguka chini kwa kishindo akalala kimya kwa muda. Baadaye aliamka kwa maumivu akipiga mayowe. Mguu wake mmoja ulikuwa umevunjika. Alikuwa na madoadoa mengi mwilini. Fisi hajaweza kuruka. Urafiki baina yake na Kunguru haukuwepo tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kunguru Author - Ann Nduku Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fisi alimwambia Kunguru amruhusu ashikilie nini
{ "text": [ "mkia wake" ] }
2224_swa
Fisi na Kunguru Fisi na Kunguru walikuwa marafiki ingawa walikuwa tofauti. Kunguru aliruka lakini Fisi alitembea tu. Siku moja Fisi alitaka kumfahamu Kunguru zaidi. Alimwuliza, "Ni kitu gani cheupe kilicho nyuma ya shingo yako?" Kunguru alimjibu Fisi, "Ni nyama nono nimekuwa nikiila huko angani ninaporuka. Nimeila kwa muda mrefu hadi imejibandika shingoni mwangu." Fisi aliposikia juu ya nyama, alidondokwa na mate. Alitamani sana kula nyama hiyo. Ataipataje ikiwa angani naye hakuwa na mabawa ya kuruka na kuifikia? Fisi alimwomba Kunguru, "Tafadhali rafiki yangu, nikopeshe manyoya ili nijitengenezee mabawa. Nina hamu sana ya kuruka kama wewe na kuila ile nyama." Kwa ukarimu wake, Kunguru alimpatia Fisi manyoya. Fisi aliyashona mabawa, akayaunganisha na mwili wake akajaribu kuruka. Uzito wake ulimshinda akalazimika kuwa na mpango tofauti. Fisi alimwambia Kunguru, "Niruhusu niushikilie mkia wako utakaporuka angani." Kunguru alikubali akasema, "Ninajua una hamu ya kuruka. Hebu tufanye hivyo kesho asubuhi." Asubuhi ilipofika, Fisi aliushikilia mkia wa Kunguru, Kunguru aliporuka. Kunguru aliruka mpaka akachoka kabisa. Fisi alimsihi, "Tafadhali rafiki yangu, endelea kidogo zaidi!" Walipokifikia kipande cha kwanza cha wingu kubwa jeupe, Fisi alidhani ni nyama nono. Mara Fisi alisikia sauti. Unyoya mmoja alioushika uling'oka kutoka kwenye mkia wa Kunguru! Akasikia sauti ya pili, ya tatu na ya nne. Kunguru alijihisi mwepesi. Alikuwa ameondokewa na mzigo 'Fisi.' Kunguru aliimba: Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Fisi aliimba kinyume akisema: Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Hatimaye, manyoya yote yaling'oka. Fisi akaelea peke yake angani. Alilirukia wingu jeupe akidhani ni nyama nono ambayo angejishikilia. Lakini, alipojaribu kuishika ile "nyama," aliyashika mawingu majimaji tu! Fisi alianza kuanguka kwa kasi kutoka angani. Alipaza sauti akisema, "Nisaidie! Nisaidie!" Hakuna aliyemsikia. Kunguru alikuwa ametokomea mawinguni. Fisi alianguka chini kwa kishindo akalala kimya kwa muda. Baadaye aliamka kwa maumivu akipiga mayowe. Mguu wake mmoja ulikuwa umevunjika. Alikuwa na madoadoa mengi mwilini. Fisi hajaweza kuruka. Urafiki baina yake na Kunguru haukuwepo tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kunguru Author - Ann Nduku Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kunguru alimwambia Fisi kuwa wataruka lini
{ "text": [ "kesho yake asubuhi" ] }
2224_swa
Fisi na Kunguru Fisi na Kunguru walikuwa marafiki ingawa walikuwa tofauti. Kunguru aliruka lakini Fisi alitembea tu. Siku moja Fisi alitaka kumfahamu Kunguru zaidi. Alimwuliza, "Ni kitu gani cheupe kilicho nyuma ya shingo yako?" Kunguru alimjibu Fisi, "Ni nyama nono nimekuwa nikiila huko angani ninaporuka. Nimeila kwa muda mrefu hadi imejibandika shingoni mwangu." Fisi aliposikia juu ya nyama, alidondokwa na mate. Alitamani sana kula nyama hiyo. Ataipataje ikiwa angani naye hakuwa na mabawa ya kuruka na kuifikia? Fisi alimwomba Kunguru, "Tafadhali rafiki yangu, nikopeshe manyoya ili nijitengenezee mabawa. Nina hamu sana ya kuruka kama wewe na kuila ile nyama." Kwa ukarimu wake, Kunguru alimpatia Fisi manyoya. Fisi aliyashona mabawa, akayaunganisha na mwili wake akajaribu kuruka. Uzito wake ulimshinda akalazimika kuwa na mpango tofauti. Fisi alimwambia Kunguru, "Niruhusu niushikilie mkia wako utakaporuka angani." Kunguru alikubali akasema, "Ninajua una hamu ya kuruka. Hebu tufanye hivyo kesho asubuhi." Asubuhi ilipofika, Fisi aliushikilia mkia wa Kunguru, Kunguru aliporuka. Kunguru aliruka mpaka akachoka kabisa. Fisi alimsihi, "Tafadhali rafiki yangu, endelea kidogo zaidi!" Walipokifikia kipande cha kwanza cha wingu kubwa jeupe, Fisi alidhani ni nyama nono. Mara Fisi alisikia sauti. Unyoya mmoja alioushika uling'oka kutoka kwenye mkia wa Kunguru! Akasikia sauti ya pili, ya tatu na ya nne. Kunguru alijihisi mwepesi. Alikuwa ameondokewa na mzigo 'Fisi.' Kunguru aliimba: Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Manyoya ya Kunguru jinyonyoe. Fisi aliimba kinyume akisema: Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Manyoya ya Kunguru yashikane yasijinyonyoe. Hatimaye, manyoya yote yaling'oka. Fisi akaelea peke yake angani. Alilirukia wingu jeupe akidhani ni nyama nono ambayo angejishikilia. Lakini, alipojaribu kuishika ile "nyama," aliyashika mawingu majimaji tu! Fisi alianza kuanguka kwa kasi kutoka angani. Alipaza sauti akisema, "Nisaidie! Nisaidie!" Hakuna aliyemsikia. Kunguru alikuwa ametokomea mawinguni. Fisi alianguka chini kwa kishindo akalala kimya kwa muda. Baadaye aliamka kwa maumivu akipiga mayowe. Mguu wake mmoja ulikuwa umevunjika. Alikuwa na madoadoa mengi mwilini. Fisi hajaweza kuruka. Urafiki baina yake na Kunguru haukuwepo tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Fisi na Kunguru Author - Ann Nduku Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini urafiki wa Fisi na Kunguru haukuwepo tena
{ "text": [ "kwa kuwa Fisi hakuweza kuruka" ] }
2226_swa
Gawanya sawa! Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Translation - Brigid Simiyu Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alifaulu kugawa Keki mara tatu kwa usawa
{ "text": [ "Dominic" ] }
2226_swa
Gawanya sawa! Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Translation - Brigid Simiyu Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua wa kwanza kujaribu kugawa keki
{ "text": [ "Maya" ] }
2226_swa
Gawanya sawa! Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Translation - Brigid Simiyu Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama Koki alipenda kufanyia nini watoto walipomsaidia
{ "text": [ "kuwaandalia sherehe ndogo" ] }
2226_swa
Gawanya sawa! Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Translation - Brigid Simiyu Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni lini Maya,Dama na Dominic walikua wakimsaidia Mama Koki
{ "text": [ "Jumamosi asubuhi" ] }
2226_swa
Gawanya sawa! Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Translation - Brigid Simiyu Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Dominic aliweza aje kugawa Keki sehemu tatu sawa
{ "text": [ "alikumbuka gari la babake lenye mistari inayogawa sehemu tatu sawa" ] }
2227_swa
Gawanya sawa! (Paka rangi) Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! (Paka rangi) Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bustani ya mama Koki ikikua na mimea ipi?
{ "text": [ "Mboga" ] }
2227_swa
Gawanya sawa! (Paka rangi) Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! (Paka rangi) Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama Koki alipenda kuandalia watoto nini walipomsaidia?
{ "text": [ "Sherehe" ] }
2227_swa
Gawanya sawa! (Paka rangi) Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! (Paka rangi) Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sharti moja la mama Koki ilikua watoto wagawane kila kitu kwa kiasi kipi?
{ "text": [ "Sawa" ] }
2227_swa
Gawanya sawa! (Paka rangi) Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! (Paka rangi) Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Maya alitaka kukata keki kwa vipande vingapi?
{ "text": [ "Vitatu" ] }
2227_swa
Gawanya sawa! (Paka rangi) Ilikuwa Jumamosi asubuhi. Maya, Dama na Dominic walikuwa wakimsaidia Mama Koki katika bustani yake ya mboga. Watoto hao walikuwa wakipalilia na kunyunyizia mboga maji. Baadaye, walichuma mboga zilizokomaa. Kila mmoja wao angepeleka nyumbani stroberi, mchicha na karoti. Mama Koki alipenda kuwaandalia watoto sherehe ndogo walipomsaidia. Huwapatia keki, chokoleti, au peremende zinazofanana na nyoka. Wakati mwingine aliwapatia matofaa, pea au machungwa. Mama Koki alikuwa na sharti moja tu. "Wagawe yote sawa!" Watoto walijua kuwa ni lazima wagawane kila kitu walichopatiwa kwa kiasi sawa. Mama Koki alioka keki na watoto walisubiri kupatiwa ili wagawane. "Hii hapa keki!" Mama Koki alisema akitabasamu. "Kumbukeni sharti kwamba kila mmoja lazima apate kiasi sawa. Gaweni sawa! Mspigane!" Maya alikuwa wa kwanza kujaribu kugawa keki. Alitumia kisu kuweka mistari juu ya keki. Wengine walimtazama. "Nitakata sehemu tatu zilizo sawa!" Maya alisema akiwaonyesha. "Hapana!" Dama alikataa. "Kipande cha katikati ni kikubwa zaidi!" Dominic pia alitikisa kichwa. Maya alicheka kisha akamwambia Dama ajaribu kugawa. "Nipe kisu nikate. Hii ni kazi rahisi!" Dama alisema. Kwanza alifuta mistari aliyoiweka Maya kisha akajlamba vidole. Dama alianza kwa kugawa kutoka juu hadi chini na kutoka upande mmoja hadi katikati. "Tazama, hizi ni sehemu tatu!" Maya na Dominic walilalamika pamoja, "Sehemu hizi tatu si sawa!" "Gawanya sawa! Lazima kila kipande kiwe na ukubwa ulio sawa na umbo sawa," Dominic akaongeza. Dama akajibu, "Dominic, si ujaribu? Nina hakika hutaweza!" "Keki hii ingekuwa umbo la mraba au pembe nne, ingekuwa rahisi kugawa!" Dominic alisema. "Ingekuwa rahisi pia tungegawana tukiwa wanne." Maya aliongeza kusema. Wakati huo, Dominic alikumbuka gari la babake. Lilikuwa na alama ya mistari inayowezesha kugawa sehemu tatu zilizo sawa. Akasema, "Najua tutakavyogawa." Dominic akachora mistari mitatu juu ya keki. Keki ingekatwa kufuata mistari hiyo, ingekuwa vipande vitatu vilivyo sawa. Dama alisema, "Umetushangaza sana Dominic. Umewezaje kuhakikisha umegawa vipande sawa?" Dominic alitabasamu. Hakutaka kuwaambia siri yake. Wakati huo, Mama Koki alitoka ndani ya nyumba akiwa amebeba bilauri za sharubati. "Mama Koki, Dominic amepata njia ya kukata keki vipande vitatu vilivyo sawa," Maya alimwambia. "Hongera Dominic, umefaulu kugawa sehemu tatu zilizo sawa! Sasa ni wakati wa kwenda nyumbani," Mama Koki aliwaambia. Kisha Maya alikata keki taratibu kufuata mistari iliyochorwa na Dominic. Watoto walihakikisha kwamba sehemu zote zilikuwa sawa. Kila mmoja akaiweka keki yake tayari kwenda nyumbani. Babake Dominic alipowasili kuwachukua watoto, Dominic alimlaki akitaka kumweleza jinsi alivyofaulu kuigawa keki vipande vitatu vilivyo sawa. Andika hapa tafsiri ya maumbo haya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Gawanya sawa! (Paka rangi) Author - Penelope Smith and Hamsa Venkatakrishnan Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Babake Dominic alitumia nini kusafiri?
{ "text": [ "Gari lililokua na mistari ya iliyowezesha kugawa" ] }
2228_swa
Hadithi kumhusu Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyefanya kazi shambani na mamake. Waliishi karibu na Mlima Kenya, Afrika Mashariki. Msichana huyo aliitwa Wangari. Wangari alilima katika bustani ya familia yake. Alipanda mbegu ndogo katika ardhi iliyokuwa na joto. Alipenda majira ya jioni, wakati jua lilipotua. Giza lilipozidi, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alikuwa mwerevu. Alikuwa na hamu ya kwenda shule lakini, wazazi wake walitaka awasaidie nyumbani. Alipofikisha umri wa miaka saba, alikubaliwa akaanza kwenda shule. Wangari alipenda kusoma na kujifunza kupitia kila kitabu alichosoma. Alifanya vyema akaalikwa kwenda Amerika kuendeleza masoma yake. Alichangamshwa sana na nafasi hii. Alipenda kuufahamu ulimwengu zaidi. Alipokuwa chuoni huko Amerika, Wangari alijifunza mambo mapya. Alisomea mimea na jinsi inavyokua. Alikumbuka vile alivyocheza na ndugu zake. Vilevile, alikumbuka kivuli cha miti maridadi ya misitu ya Kenya. Alipojifunza, alifahamu kuwa aliwapenda watu wa Kenya. Alitaka wafurahi na wawe huru. Alikumbuka kwao nyumbani Afrika. Wangari alikamilisha masomo yake akarudi Kenya. Nchi yake ilikuwa imebadilika sana. Watu matajiri walikuwa wameikata miti. Wanawake walikosa kuni. Watu wengi walikuwa maskini. Watoto walikuwa na njaa. Wangari aliwafunza wanawake kupanda miti. Waliiuza miti hiyo na kupata pesa. Walizitumia kwa mahitaji ya familia zao. Walifurahi kwa sababu Wangari aliwasaidia kuwa na nguvu na uwezo. Muda ulipopita, miti mipya ilikuwa misitu. Mito ilianza tena kupitisha maji. Ujumbe wa Wangari ulienea Afrika nzima. Leo, mamilioni ya miti imesitawi kutokana na juhudi za Wangari. Watu ulimwengu mzima walifahamu bidii ambayo Wangari alikuwa amefanya. Walimpa Tuzo la Amani la Nobel. Wangari alikuwa mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kupokea tuzo hilo. Wangari aliaga dunia mwaka 2011. Tunaweza kumfikiria kila tunapouona mti wa kupendeza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hadithi kumhusu Wangari Maathai Author - Nicola Rijsdijk Translation - Ursula Nafula Illustration - Maya Marshak Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Nicola Rijsdijk, Maya Marshak, Tarryn-Anne Anderson, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Wangarii waliishi wapi
{ "text": [ "karibu na mlima Kenya" ] }
2228_swa
Hadithi kumhusu Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyefanya kazi shambani na mamake. Waliishi karibu na Mlima Kenya, Afrika Mashariki. Msichana huyo aliitwa Wangari. Wangari alilima katika bustani ya familia yake. Alipanda mbegu ndogo katika ardhi iliyokuwa na joto. Alipenda majira ya jioni, wakati jua lilipotua. Giza lilipozidi, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alikuwa mwerevu. Alikuwa na hamu ya kwenda shule lakini, wazazi wake walitaka awasaidie nyumbani. Alipofikisha umri wa miaka saba, alikubaliwa akaanza kwenda shule. Wangari alipenda kusoma na kujifunza kupitia kila kitabu alichosoma. Alifanya vyema akaalikwa kwenda Amerika kuendeleza masoma yake. Alichangamshwa sana na nafasi hii. Alipenda kuufahamu ulimwengu zaidi. Alipokuwa chuoni huko Amerika, Wangari alijifunza mambo mapya. Alisomea mimea na jinsi inavyokua. Alikumbuka vile alivyocheza na ndugu zake. Vilevile, alikumbuka kivuli cha miti maridadi ya misitu ya Kenya. Alipojifunza, alifahamu kuwa aliwapenda watu wa Kenya. Alitaka wafurahi na wawe huru. Alikumbuka kwao nyumbani Afrika. Wangari alikamilisha masomo yake akarudi Kenya. Nchi yake ilikuwa imebadilika sana. Watu matajiri walikuwa wameikata miti. Wanawake walikosa kuni. Watu wengi walikuwa maskini. Watoto walikuwa na njaa. Wangari aliwafunza wanawake kupanda miti. Waliiuza miti hiyo na kupata pesa. Walizitumia kwa mahitaji ya familia zao. Walifurahi kwa sababu Wangari aliwasaidia kuwa na nguvu na uwezo. Muda ulipopita, miti mipya ilikuwa misitu. Mito ilianza tena kupitisha maji. Ujumbe wa Wangari ulienea Afrika nzima. Leo, mamilioni ya miti imesitawi kutokana na juhudi za Wangari. Watu ulimwengu mzima walifahamu bidii ambayo Wangari alikuwa amefanya. Walimpa Tuzo la Amani la Nobel. Wangari alikuwa mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kupokea tuzo hilo. Wangari aliaga dunia mwaka 2011. Tunaweza kumfikiria kila tunapouona mti wa kupendeza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hadithi kumhusu Wangari Maathai Author - Nicola Rijsdijk Translation - Ursula Nafula Illustration - Maya Marshak Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Nicola Rijsdijk, Maya Marshak, Tarryn-Anne Anderson, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Wangari aliwafunza wanawake kufanya nini
{ "text": [ "kupanda miti" ] }
2228_swa
Hadithi kumhusu Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyefanya kazi shambani na mamake. Waliishi karibu na Mlima Kenya, Afrika Mashariki. Msichana huyo aliitwa Wangari. Wangari alilima katika bustani ya familia yake. Alipanda mbegu ndogo katika ardhi iliyokuwa na joto. Alipenda majira ya jioni, wakati jua lilipotua. Giza lilipozidi, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alikuwa mwerevu. Alikuwa na hamu ya kwenda shule lakini, wazazi wake walitaka awasaidie nyumbani. Alipofikisha umri wa miaka saba, alikubaliwa akaanza kwenda shule. Wangari alipenda kusoma na kujifunza kupitia kila kitabu alichosoma. Alifanya vyema akaalikwa kwenda Amerika kuendeleza masoma yake. Alichangamshwa sana na nafasi hii. Alipenda kuufahamu ulimwengu zaidi. Alipokuwa chuoni huko Amerika, Wangari alijifunza mambo mapya. Alisomea mimea na jinsi inavyokua. Alikumbuka vile alivyocheza na ndugu zake. Vilevile, alikumbuka kivuli cha miti maridadi ya misitu ya Kenya. Alipojifunza, alifahamu kuwa aliwapenda watu wa Kenya. Alitaka wafurahi na wawe huru. Alikumbuka kwao nyumbani Afrika. Wangari alikamilisha masomo yake akarudi Kenya. Nchi yake ilikuwa imebadilika sana. Watu matajiri walikuwa wameikata miti. Wanawake walikosa kuni. Watu wengi walikuwa maskini. Watoto walikuwa na njaa. Wangari aliwafunza wanawake kupanda miti. Waliiuza miti hiyo na kupata pesa. Walizitumia kwa mahitaji ya familia zao. Walifurahi kwa sababu Wangari aliwasaidia kuwa na nguvu na uwezo. Muda ulipopita, miti mipya ilikuwa misitu. Mito ilianza tena kupitisha maji. Ujumbe wa Wangari ulienea Afrika nzima. Leo, mamilioni ya miti imesitawi kutokana na juhudi za Wangari. Watu ulimwengu mzima walifahamu bidii ambayo Wangari alikuwa amefanya. Walimpa Tuzo la Amani la Nobel. Wangari alikuwa mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kupokea tuzo hilo. Wangari aliaga dunia mwaka 2011. Tunaweza kumfikiria kila tunapouona mti wa kupendeza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hadithi kumhusu Wangari Maathai Author - Nicola Rijsdijk Translation - Ursula Nafula Illustration - Maya Marshak Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Nicola Rijsdijk, Maya Marshak, Tarryn-Anne Anderson, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Wangari alipewa tuzo gani
{ "text": [ "la amani la Nobel" ] }
2228_swa
Hadithi kumhusu Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyefanya kazi shambani na mamake. Waliishi karibu na Mlima Kenya, Afrika Mashariki. Msichana huyo aliitwa Wangari. Wangari alilima katika bustani ya familia yake. Alipanda mbegu ndogo katika ardhi iliyokuwa na joto. Alipenda majira ya jioni, wakati jua lilipotua. Giza lilipozidi, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alikuwa mwerevu. Alikuwa na hamu ya kwenda shule lakini, wazazi wake walitaka awasaidie nyumbani. Alipofikisha umri wa miaka saba, alikubaliwa akaanza kwenda shule. Wangari alipenda kusoma na kujifunza kupitia kila kitabu alichosoma. Alifanya vyema akaalikwa kwenda Amerika kuendeleza masoma yake. Alichangamshwa sana na nafasi hii. Alipenda kuufahamu ulimwengu zaidi. Alipokuwa chuoni huko Amerika, Wangari alijifunza mambo mapya. Alisomea mimea na jinsi inavyokua. Alikumbuka vile alivyocheza na ndugu zake. Vilevile, alikumbuka kivuli cha miti maridadi ya misitu ya Kenya. Alipojifunza, alifahamu kuwa aliwapenda watu wa Kenya. Alitaka wafurahi na wawe huru. Alikumbuka kwao nyumbani Afrika. Wangari alikamilisha masomo yake akarudi Kenya. Nchi yake ilikuwa imebadilika sana. Watu matajiri walikuwa wameikata miti. Wanawake walikosa kuni. Watu wengi walikuwa maskini. Watoto walikuwa na njaa. Wangari aliwafunza wanawake kupanda miti. Waliiuza miti hiyo na kupata pesa. Walizitumia kwa mahitaji ya familia zao. Walifurahi kwa sababu Wangari aliwasaidia kuwa na nguvu na uwezo. Muda ulipopita, miti mipya ilikuwa misitu. Mito ilianza tena kupitisha maji. Ujumbe wa Wangari ulienea Afrika nzima. Leo, mamilioni ya miti imesitawi kutokana na juhudi za Wangari. Watu ulimwengu mzima walifahamu bidii ambayo Wangari alikuwa amefanya. Walimpa Tuzo la Amani la Nobel. Wangari alikuwa mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kupokea tuzo hilo. Wangari aliaga dunia mwaka 2011. Tunaweza kumfikiria kila tunapouona mti wa kupendeza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hadithi kumhusu Wangari Maathai Author - Nicola Rijsdijk Translation - Ursula Nafula Illustration - Maya Marshak Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Nicola Rijsdijk, Maya Marshak, Tarryn-Anne Anderson, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Miti mingapi imesitawi kutokana na juhudi za Wangari
{ "text": [ "mamilioni" ] }
2228_swa
Hadithi kumhusu Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyefanya kazi shambani na mamake. Waliishi karibu na Mlima Kenya, Afrika Mashariki. Msichana huyo aliitwa Wangari. Wangari alilima katika bustani ya familia yake. Alipanda mbegu ndogo katika ardhi iliyokuwa na joto. Alipenda majira ya jioni, wakati jua lilipotua. Giza lilipozidi, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alikuwa mwerevu. Alikuwa na hamu ya kwenda shule lakini, wazazi wake walitaka awasaidie nyumbani. Alipofikisha umri wa miaka saba, alikubaliwa akaanza kwenda shule. Wangari alipenda kusoma na kujifunza kupitia kila kitabu alichosoma. Alifanya vyema akaalikwa kwenda Amerika kuendeleza masoma yake. Alichangamshwa sana na nafasi hii. Alipenda kuufahamu ulimwengu zaidi. Alipokuwa chuoni huko Amerika, Wangari alijifunza mambo mapya. Alisomea mimea na jinsi inavyokua. Alikumbuka vile alivyocheza na ndugu zake. Vilevile, alikumbuka kivuli cha miti maridadi ya misitu ya Kenya. Alipojifunza, alifahamu kuwa aliwapenda watu wa Kenya. Alitaka wafurahi na wawe huru. Alikumbuka kwao nyumbani Afrika. Wangari alikamilisha masomo yake akarudi Kenya. Nchi yake ilikuwa imebadilika sana. Watu matajiri walikuwa wameikata miti. Wanawake walikosa kuni. Watu wengi walikuwa maskini. Watoto walikuwa na njaa. Wangari aliwafunza wanawake kupanda miti. Waliiuza miti hiyo na kupata pesa. Walizitumia kwa mahitaji ya familia zao. Walifurahi kwa sababu Wangari aliwasaidia kuwa na nguvu na uwezo. Muda ulipopita, miti mipya ilikuwa misitu. Mito ilianza tena kupitisha maji. Ujumbe wa Wangari ulienea Afrika nzima. Leo, mamilioni ya miti imesitawi kutokana na juhudi za Wangari. Watu ulimwengu mzima walifahamu bidii ambayo Wangari alikuwa amefanya. Walimpa Tuzo la Amani la Nobel. Wangari alikuwa mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kupokea tuzo hilo. Wangari aliaga dunia mwaka 2011. Tunaweza kumfikiria kila tunapouona mti wa kupendeza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hadithi kumhusu Wangari Maathai Author - Nicola Rijsdijk Translation - Ursula Nafula Illustration - Maya Marshak Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Nicola Rijsdijk, Maya Marshak, Tarryn-Anne Anderson, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org
Mbona wanawake walifurahi
{ "text": [ "Wangari aliwasaidia kuwa na nguvu na uwezo" ] }
2229_swa
Hakimu asiyekuwa na busara Hapo zamani, waliishi majirani wawili marafiki, Meseret na Demeke. Walikuwa maskini sana. Siku moja, Meseret alimwambia Demeke, "Lazima leo niipeleke ngano yangu sokoni. Gunia ni nzito na soko iko mbali. Ningekuwa na pesa za kutosha, ningemnunua punda." Demeke alijibu, "Nami lazima nikavinunue vyungu vipya leo sokoni. Vitakuwa vizito mno. Heri ningekuwa na punda vilevile. Kwa sasa, ninazo tu nusu ya pesa." Meseret alikuwa na wazo. Alisema, "Hebu tumnunue punda pamoja. Wewe utalipa nusu nami nilipe nusu. Nitamtumia kwenda sokoni kwa juma moja nawe umtumie kwa juma lingine." Meseret na Demeke walimnunua punda. Kwa muda mrefu waliishi kwa furaha. Siku moja, babake Meseret alifariki. Meseret alirithi mashamba, miti, ng'ombe na kondoo. Alikuwa tajiri na hakutaka kufanya kazi na Demeke tena. Vilevile, alitaka nusu yake ya punda. Meseret alimwambia Demeke, "Mbwa wangu wanahitaji nyama. Ninataka kumchinja punda wetu wewe uchukuwe nusu yake nami nichukuwe nusu itakayobaki." Demeke alilia, "Sihitaji nyama yoyote ila punda. Ikiwa unataka kumchinja, nipe pesa za nusu yangu." Meseret alifoka, "Sitakupatia pesa zozote. Nusu ya punda ni yangu na ninaitaka sasa." Demeke alisema, "Hebu twende kwa hakimu atuamulie." Meseret na Demeke walienda kumwona hakimu alisiyekuwa na busara. Hakuwasikiliza kwa makini. Hakimu aliwauliza, "Mnammiliki punda pamoja?" "Ndiyo," Meseret na Demeke waliitikia. Hakimu akasema, "Basi, kila mmoja atapata nusu. Iwapo Meseret anataka nusu yake, ana haki ya kuichukuwa. Mchinjeni punda kisha mmgawe nusu mbili." Meseret alifurahi. Alimchinja punda na kuchukua nusu ya nyama kuwapelekea mbwa wake. Demeke alihuzunika akawaza, "Maskini punda wangu hayupo tena, na sasa lazima nibebe kila kitu mwenyewe." Baadaye, Meseret alitaka kujijengea nyumba mpya. Alifikiri, "Nitakiteketeza chumba changu kizee kisha niijenge nyumba mpya nzuri na kubwa." Meseret alivihamisha vitu kutoka chumbani. Demeke alimwuliza, "Unafanya nini?" Meseret alimjibu, "Ninataka kukiteketeza chumba changu ili niijenge nyumba mpya." Demeke alikuwa na wasiwasi, "Lakini, chumba chako ki karibu na changu. Ukikiteketeza, changu pia kitateketea." Kwa hasira, Meseret alisema, "Usijaribu kunizuia! Hiki ni chumba changu na nikitaka nitakiteketeza." Demeke alilia, "Wacha! Hebu twende tumwulize hakimu." Kwa sababu hakimu hakuwa mwenye busara, hakusikiliza kwa makini wala hakuelewa. Hatimaye alisema, "Meseret ana haki ya kukiteketeze chumba chake na hakuna anayeweza kumzuia." Meseret alipokiteketeza chumba chake, upepo uliupeperusha moto hadi kwenye paa la chumba cha Demeke. Punde, chumba chake pia kilianza kuteketea. Demeke alimlilia hakimu, "Tazama! Meseret amekiteketeza chumba changu! Lazima anilipe." Hakimu aliamua, "La! Meseret alikiteketeza chumba chake. Moto ndio uliokiunguza chumba chako. Meseret hastahili kukulipa." Maskini Demeke alihuzunika sana. Hakuwa na punda wala chumba. Alibaki na shamba peke yake. Kila siku alifanya kazi shambani mwake na usiku kulala chini ya mti. Demeke alifanya kazi kwa bidii shambani mwake. Aliyang'oa magugu na kuwafukuza ndege. Wakati wa kuvuna ulipofika, kulikuwa na mazao mazuri ya mbaazi. Siku moja, wanawe Meseret walipitia katika shamba la Demeke. Waliona mbaazi wakasema, "Mbaazi ni tamu sana!" Walizivamia wakazitoa zote. Demeke alipowaona wanawe Meseret, aliwaambia, "Nirudishieni mbaazi zangu." Walimjibu kwa dharau, "Hatuwezi kukurudishia kwa kuwa tumezila. Mwulize baba akulipe." Demeke alimwambia Meseret, "Wanao wamezila mbaazi zangu." Meseret alimjibu, "Nitakupa pesa." "Sitaki pesa zako. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alitishia. "Subiri! Hebu twende tumuulize hakimu," Meseret alilia. Meseret na Demeke walimwona hakimu yule yule. Kama kawaida, hakuwasikiliza kwa makini wala hakufikiria juu ya tukio hilo. "Wanawe Meseret walikula mbaazi zako na ni lazima zirudishwe. Pasua tumbo zao uchukuwe mbaazi zako." Hakimu aliamua. Meseret alisononeka sana akasema, "Wanangu watafariki! Tafadhali, Demeke, nitakupatia pesa." "Nilitaka pesa ulipomchinja punda wetu. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alinena. Demeke alichukua kisu chake. "Nitakujengea chumba kipya! Naomba msamaha kwa kukiteketeza chumba chako cha kwanza," Meseret alisema. "Sitaki chumba kipya. Ninataka mbaazi zangu," Demeke alimjibu. Alianza kukitia kisu chake makali. "La! La! Tafadhali, ngoja! Hebu twende tukawaone wazee. Tafadhali rafiki yangu wa jadi, wacha wazee waamue." Meseret alilia. Meseret na Demeke walienda kuwaona wazee wa kijiji. Wazee waliongea kwa muda mrefu. Mwishowe walimwambia Meseret, "Ulikosea ulipokataa kumlipa Demeke nusu ya punda wake. Ulikosea pia ulipokiteketeza chumba chake, na wanao walipozila mbaazi zake." Wazee walimgeukia Demeke wakasema, "Unataka kuwaua wanawe Meseret. Hilo ni kosa pia. Huu ni uamuzi wetu. Lazima Meseret ampatie Demeke nusu ya miti yake yote, mashamba, ng'ombe na kondoo. Hivyo, mtaishi pamoja kwa amani." Meseret alimpatia Demeke nusu ya mali yake. Waliishi pamoja kwa furaha bila kugombana tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hakimu asiyekuwa na busara Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Meseret alimwambia Demeke lazima apeleke nini sokoni
{ "text": [ "ngano" ] }
2229_swa
Hakimu asiyekuwa na busara Hapo zamani, waliishi majirani wawili marafiki, Meseret na Demeke. Walikuwa maskini sana. Siku moja, Meseret alimwambia Demeke, "Lazima leo niipeleke ngano yangu sokoni. Gunia ni nzito na soko iko mbali. Ningekuwa na pesa za kutosha, ningemnunua punda." Demeke alijibu, "Nami lazima nikavinunue vyungu vipya leo sokoni. Vitakuwa vizito mno. Heri ningekuwa na punda vilevile. Kwa sasa, ninazo tu nusu ya pesa." Meseret alikuwa na wazo. Alisema, "Hebu tumnunue punda pamoja. Wewe utalipa nusu nami nilipe nusu. Nitamtumia kwenda sokoni kwa juma moja nawe umtumie kwa juma lingine." Meseret na Demeke walimnunua punda. Kwa muda mrefu waliishi kwa furaha. Siku moja, babake Meseret alifariki. Meseret alirithi mashamba, miti, ng'ombe na kondoo. Alikuwa tajiri na hakutaka kufanya kazi na Demeke tena. Vilevile, alitaka nusu yake ya punda. Meseret alimwambia Demeke, "Mbwa wangu wanahitaji nyama. Ninataka kumchinja punda wetu wewe uchukuwe nusu yake nami nichukuwe nusu itakayobaki." Demeke alilia, "Sihitaji nyama yoyote ila punda. Ikiwa unataka kumchinja, nipe pesa za nusu yangu." Meseret alifoka, "Sitakupatia pesa zozote. Nusu ya punda ni yangu na ninaitaka sasa." Demeke alisema, "Hebu twende kwa hakimu atuamulie." Meseret na Demeke walienda kumwona hakimu alisiyekuwa na busara. Hakuwasikiliza kwa makini. Hakimu aliwauliza, "Mnammiliki punda pamoja?" "Ndiyo," Meseret na Demeke waliitikia. Hakimu akasema, "Basi, kila mmoja atapata nusu. Iwapo Meseret anataka nusu yake, ana haki ya kuichukuwa. Mchinjeni punda kisha mmgawe nusu mbili." Meseret alifurahi. Alimchinja punda na kuchukua nusu ya nyama kuwapelekea mbwa wake. Demeke alihuzunika akawaza, "Maskini punda wangu hayupo tena, na sasa lazima nibebe kila kitu mwenyewe." Baadaye, Meseret alitaka kujijengea nyumba mpya. Alifikiri, "Nitakiteketeza chumba changu kizee kisha niijenge nyumba mpya nzuri na kubwa." Meseret alivihamisha vitu kutoka chumbani. Demeke alimwuliza, "Unafanya nini?" Meseret alimjibu, "Ninataka kukiteketeza chumba changu ili niijenge nyumba mpya." Demeke alikuwa na wasiwasi, "Lakini, chumba chako ki karibu na changu. Ukikiteketeza, changu pia kitateketea." Kwa hasira, Meseret alisema, "Usijaribu kunizuia! Hiki ni chumba changu na nikitaka nitakiteketeza." Demeke alilia, "Wacha! Hebu twende tumwulize hakimu." Kwa sababu hakimu hakuwa mwenye busara, hakusikiliza kwa makini wala hakuelewa. Hatimaye alisema, "Meseret ana haki ya kukiteketeze chumba chake na hakuna anayeweza kumzuia." Meseret alipokiteketeza chumba chake, upepo uliupeperusha moto hadi kwenye paa la chumba cha Demeke. Punde, chumba chake pia kilianza kuteketea. Demeke alimlilia hakimu, "Tazama! Meseret amekiteketeza chumba changu! Lazima anilipe." Hakimu aliamua, "La! Meseret alikiteketeza chumba chake. Moto ndio uliokiunguza chumba chako. Meseret hastahili kukulipa." Maskini Demeke alihuzunika sana. Hakuwa na punda wala chumba. Alibaki na shamba peke yake. Kila siku alifanya kazi shambani mwake na usiku kulala chini ya mti. Demeke alifanya kazi kwa bidii shambani mwake. Aliyang'oa magugu na kuwafukuza ndege. Wakati wa kuvuna ulipofika, kulikuwa na mazao mazuri ya mbaazi. Siku moja, wanawe Meseret walipitia katika shamba la Demeke. Waliona mbaazi wakasema, "Mbaazi ni tamu sana!" Walizivamia wakazitoa zote. Demeke alipowaona wanawe Meseret, aliwaambia, "Nirudishieni mbaazi zangu." Walimjibu kwa dharau, "Hatuwezi kukurudishia kwa kuwa tumezila. Mwulize baba akulipe." Demeke alimwambia Meseret, "Wanao wamezila mbaazi zangu." Meseret alimjibu, "Nitakupa pesa." "Sitaki pesa zako. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alitishia. "Subiri! Hebu twende tumuulize hakimu," Meseret alilia. Meseret na Demeke walimwona hakimu yule yule. Kama kawaida, hakuwasikiliza kwa makini wala hakufikiria juu ya tukio hilo. "Wanawe Meseret walikula mbaazi zako na ni lazima zirudishwe. Pasua tumbo zao uchukuwe mbaazi zako." Hakimu aliamua. Meseret alisononeka sana akasema, "Wanangu watafariki! Tafadhali, Demeke, nitakupatia pesa." "Nilitaka pesa ulipomchinja punda wetu. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alinena. Demeke alichukua kisu chake. "Nitakujengea chumba kipya! Naomba msamaha kwa kukiteketeza chumba chako cha kwanza," Meseret alisema. "Sitaki chumba kipya. Ninataka mbaazi zangu," Demeke alimjibu. Alianza kukitia kisu chake makali. "La! La! Tafadhali, ngoja! Hebu twende tukawaone wazee. Tafadhali rafiki yangu wa jadi, wacha wazee waamue." Meseret alilia. Meseret na Demeke walienda kuwaona wazee wa kijiji. Wazee waliongea kwa muda mrefu. Mwishowe walimwambia Meseret, "Ulikosea ulipokataa kumlipa Demeke nusu ya punda wake. Ulikosea pia ulipokiteketeza chumba chake, na wanao walipozila mbaazi zake." Wazee walimgeukia Demeke wakasema, "Unataka kuwaua wanawe Meseret. Hilo ni kosa pia. Huu ni uamuzi wetu. Lazima Meseret ampatie Demeke nusu ya miti yake yote, mashamba, ng'ombe na kondoo. Hivyo, mtaishi pamoja kwa amani." Meseret alimpatia Demeke nusu ya mali yake. Waliishi pamoja kwa furaha bila kugombana tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hakimu asiyekuwa na busara Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Meseret alitaka wanunue nini pamoja
{ "text": [ "punda" ] }
2229_swa
Hakimu asiyekuwa na busara Hapo zamani, waliishi majirani wawili marafiki, Meseret na Demeke. Walikuwa maskini sana. Siku moja, Meseret alimwambia Demeke, "Lazima leo niipeleke ngano yangu sokoni. Gunia ni nzito na soko iko mbali. Ningekuwa na pesa za kutosha, ningemnunua punda." Demeke alijibu, "Nami lazima nikavinunue vyungu vipya leo sokoni. Vitakuwa vizito mno. Heri ningekuwa na punda vilevile. Kwa sasa, ninazo tu nusu ya pesa." Meseret alikuwa na wazo. Alisema, "Hebu tumnunue punda pamoja. Wewe utalipa nusu nami nilipe nusu. Nitamtumia kwenda sokoni kwa juma moja nawe umtumie kwa juma lingine." Meseret na Demeke walimnunua punda. Kwa muda mrefu waliishi kwa furaha. Siku moja, babake Meseret alifariki. Meseret alirithi mashamba, miti, ng'ombe na kondoo. Alikuwa tajiri na hakutaka kufanya kazi na Demeke tena. Vilevile, alitaka nusu yake ya punda. Meseret alimwambia Demeke, "Mbwa wangu wanahitaji nyama. Ninataka kumchinja punda wetu wewe uchukuwe nusu yake nami nichukuwe nusu itakayobaki." Demeke alilia, "Sihitaji nyama yoyote ila punda. Ikiwa unataka kumchinja, nipe pesa za nusu yangu." Meseret alifoka, "Sitakupatia pesa zozote. Nusu ya punda ni yangu na ninaitaka sasa." Demeke alisema, "Hebu twende kwa hakimu atuamulie." Meseret na Demeke walienda kumwona hakimu alisiyekuwa na busara. Hakuwasikiliza kwa makini. Hakimu aliwauliza, "Mnammiliki punda pamoja?" "Ndiyo," Meseret na Demeke waliitikia. Hakimu akasema, "Basi, kila mmoja atapata nusu. Iwapo Meseret anataka nusu yake, ana haki ya kuichukuwa. Mchinjeni punda kisha mmgawe nusu mbili." Meseret alifurahi. Alimchinja punda na kuchukua nusu ya nyama kuwapelekea mbwa wake. Demeke alihuzunika akawaza, "Maskini punda wangu hayupo tena, na sasa lazima nibebe kila kitu mwenyewe." Baadaye, Meseret alitaka kujijengea nyumba mpya. Alifikiri, "Nitakiteketeza chumba changu kizee kisha niijenge nyumba mpya nzuri na kubwa." Meseret alivihamisha vitu kutoka chumbani. Demeke alimwuliza, "Unafanya nini?" Meseret alimjibu, "Ninataka kukiteketeza chumba changu ili niijenge nyumba mpya." Demeke alikuwa na wasiwasi, "Lakini, chumba chako ki karibu na changu. Ukikiteketeza, changu pia kitateketea." Kwa hasira, Meseret alisema, "Usijaribu kunizuia! Hiki ni chumba changu na nikitaka nitakiteketeza." Demeke alilia, "Wacha! Hebu twende tumwulize hakimu." Kwa sababu hakimu hakuwa mwenye busara, hakusikiliza kwa makini wala hakuelewa. Hatimaye alisema, "Meseret ana haki ya kukiteketeze chumba chake na hakuna anayeweza kumzuia." Meseret alipokiteketeza chumba chake, upepo uliupeperusha moto hadi kwenye paa la chumba cha Demeke. Punde, chumba chake pia kilianza kuteketea. Demeke alimlilia hakimu, "Tazama! Meseret amekiteketeza chumba changu! Lazima anilipe." Hakimu aliamua, "La! Meseret alikiteketeza chumba chake. Moto ndio uliokiunguza chumba chako. Meseret hastahili kukulipa." Maskini Demeke alihuzunika sana. Hakuwa na punda wala chumba. Alibaki na shamba peke yake. Kila siku alifanya kazi shambani mwake na usiku kulala chini ya mti. Demeke alifanya kazi kwa bidii shambani mwake. Aliyang'oa magugu na kuwafukuza ndege. Wakati wa kuvuna ulipofika, kulikuwa na mazao mazuri ya mbaazi. Siku moja, wanawe Meseret walipitia katika shamba la Demeke. Waliona mbaazi wakasema, "Mbaazi ni tamu sana!" Walizivamia wakazitoa zote. Demeke alipowaona wanawe Meseret, aliwaambia, "Nirudishieni mbaazi zangu." Walimjibu kwa dharau, "Hatuwezi kukurudishia kwa kuwa tumezila. Mwulize baba akulipe." Demeke alimwambia Meseret, "Wanao wamezila mbaazi zangu." Meseret alimjibu, "Nitakupa pesa." "Sitaki pesa zako. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alitishia. "Subiri! Hebu twende tumuulize hakimu," Meseret alilia. Meseret na Demeke walimwona hakimu yule yule. Kama kawaida, hakuwasikiliza kwa makini wala hakufikiria juu ya tukio hilo. "Wanawe Meseret walikula mbaazi zako na ni lazima zirudishwe. Pasua tumbo zao uchukuwe mbaazi zako." Hakimu aliamua. Meseret alisononeka sana akasema, "Wanangu watafariki! Tafadhali, Demeke, nitakupatia pesa." "Nilitaka pesa ulipomchinja punda wetu. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alinena. Demeke alichukua kisu chake. "Nitakujengea chumba kipya! Naomba msamaha kwa kukiteketeza chumba chako cha kwanza," Meseret alisema. "Sitaki chumba kipya. Ninataka mbaazi zangu," Demeke alimjibu. Alianza kukitia kisu chake makali. "La! La! Tafadhali, ngoja! Hebu twende tukawaone wazee. Tafadhali rafiki yangu wa jadi, wacha wazee waamue." Meseret alilia. Meseret na Demeke walienda kuwaona wazee wa kijiji. Wazee waliongea kwa muda mrefu. Mwishowe walimwambia Meseret, "Ulikosea ulipokataa kumlipa Demeke nusu ya punda wake. Ulikosea pia ulipokiteketeza chumba chake, na wanao walipozila mbaazi zake." Wazee walimgeukia Demeke wakasema, "Unataka kuwaua wanawe Meseret. Hilo ni kosa pia. Huu ni uamuzi wetu. Lazima Meseret ampatie Demeke nusu ya miti yake yote, mashamba, ng'ombe na kondoo. Hivyo, mtaishi pamoja kwa amani." Meseret alimpatia Demeke nusu ya mali yake. Waliishi pamoja kwa furaha bila kugombana tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hakimu asiyekuwa na busara Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Nani walizivamia mbaazi zake Demeke shambani
{ "text": [ "wanawe Meseret" ] }
2229_swa
Hakimu asiyekuwa na busara Hapo zamani, waliishi majirani wawili marafiki, Meseret na Demeke. Walikuwa maskini sana. Siku moja, Meseret alimwambia Demeke, "Lazima leo niipeleke ngano yangu sokoni. Gunia ni nzito na soko iko mbali. Ningekuwa na pesa za kutosha, ningemnunua punda." Demeke alijibu, "Nami lazima nikavinunue vyungu vipya leo sokoni. Vitakuwa vizito mno. Heri ningekuwa na punda vilevile. Kwa sasa, ninazo tu nusu ya pesa." Meseret alikuwa na wazo. Alisema, "Hebu tumnunue punda pamoja. Wewe utalipa nusu nami nilipe nusu. Nitamtumia kwenda sokoni kwa juma moja nawe umtumie kwa juma lingine." Meseret na Demeke walimnunua punda. Kwa muda mrefu waliishi kwa furaha. Siku moja, babake Meseret alifariki. Meseret alirithi mashamba, miti, ng'ombe na kondoo. Alikuwa tajiri na hakutaka kufanya kazi na Demeke tena. Vilevile, alitaka nusu yake ya punda. Meseret alimwambia Demeke, "Mbwa wangu wanahitaji nyama. Ninataka kumchinja punda wetu wewe uchukuwe nusu yake nami nichukuwe nusu itakayobaki." Demeke alilia, "Sihitaji nyama yoyote ila punda. Ikiwa unataka kumchinja, nipe pesa za nusu yangu." Meseret alifoka, "Sitakupatia pesa zozote. Nusu ya punda ni yangu na ninaitaka sasa." Demeke alisema, "Hebu twende kwa hakimu atuamulie." Meseret na Demeke walienda kumwona hakimu alisiyekuwa na busara. Hakuwasikiliza kwa makini. Hakimu aliwauliza, "Mnammiliki punda pamoja?" "Ndiyo," Meseret na Demeke waliitikia. Hakimu akasema, "Basi, kila mmoja atapata nusu. Iwapo Meseret anataka nusu yake, ana haki ya kuichukuwa. Mchinjeni punda kisha mmgawe nusu mbili." Meseret alifurahi. Alimchinja punda na kuchukua nusu ya nyama kuwapelekea mbwa wake. Demeke alihuzunika akawaza, "Maskini punda wangu hayupo tena, na sasa lazima nibebe kila kitu mwenyewe." Baadaye, Meseret alitaka kujijengea nyumba mpya. Alifikiri, "Nitakiteketeza chumba changu kizee kisha niijenge nyumba mpya nzuri na kubwa." Meseret alivihamisha vitu kutoka chumbani. Demeke alimwuliza, "Unafanya nini?" Meseret alimjibu, "Ninataka kukiteketeza chumba changu ili niijenge nyumba mpya." Demeke alikuwa na wasiwasi, "Lakini, chumba chako ki karibu na changu. Ukikiteketeza, changu pia kitateketea." Kwa hasira, Meseret alisema, "Usijaribu kunizuia! Hiki ni chumba changu na nikitaka nitakiteketeza." Demeke alilia, "Wacha! Hebu twende tumwulize hakimu." Kwa sababu hakimu hakuwa mwenye busara, hakusikiliza kwa makini wala hakuelewa. Hatimaye alisema, "Meseret ana haki ya kukiteketeze chumba chake na hakuna anayeweza kumzuia." Meseret alipokiteketeza chumba chake, upepo uliupeperusha moto hadi kwenye paa la chumba cha Demeke. Punde, chumba chake pia kilianza kuteketea. Demeke alimlilia hakimu, "Tazama! Meseret amekiteketeza chumba changu! Lazima anilipe." Hakimu aliamua, "La! Meseret alikiteketeza chumba chake. Moto ndio uliokiunguza chumba chako. Meseret hastahili kukulipa." Maskini Demeke alihuzunika sana. Hakuwa na punda wala chumba. Alibaki na shamba peke yake. Kila siku alifanya kazi shambani mwake na usiku kulala chini ya mti. Demeke alifanya kazi kwa bidii shambani mwake. Aliyang'oa magugu na kuwafukuza ndege. Wakati wa kuvuna ulipofika, kulikuwa na mazao mazuri ya mbaazi. Siku moja, wanawe Meseret walipitia katika shamba la Demeke. Waliona mbaazi wakasema, "Mbaazi ni tamu sana!" Walizivamia wakazitoa zote. Demeke alipowaona wanawe Meseret, aliwaambia, "Nirudishieni mbaazi zangu." Walimjibu kwa dharau, "Hatuwezi kukurudishia kwa kuwa tumezila. Mwulize baba akulipe." Demeke alimwambia Meseret, "Wanao wamezila mbaazi zangu." Meseret alimjibu, "Nitakupa pesa." "Sitaki pesa zako. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alitishia. "Subiri! Hebu twende tumuulize hakimu," Meseret alilia. Meseret na Demeke walimwona hakimu yule yule. Kama kawaida, hakuwasikiliza kwa makini wala hakufikiria juu ya tukio hilo. "Wanawe Meseret walikula mbaazi zako na ni lazima zirudishwe. Pasua tumbo zao uchukuwe mbaazi zako." Hakimu aliamua. Meseret alisononeka sana akasema, "Wanangu watafariki! Tafadhali, Demeke, nitakupatia pesa." "Nilitaka pesa ulipomchinja punda wetu. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alinena. Demeke alichukua kisu chake. "Nitakujengea chumba kipya! Naomba msamaha kwa kukiteketeza chumba chako cha kwanza," Meseret alisema. "Sitaki chumba kipya. Ninataka mbaazi zangu," Demeke alimjibu. Alianza kukitia kisu chake makali. "La! La! Tafadhali, ngoja! Hebu twende tukawaone wazee. Tafadhali rafiki yangu wa jadi, wacha wazee waamue." Meseret alilia. Meseret na Demeke walienda kuwaona wazee wa kijiji. Wazee waliongea kwa muda mrefu. Mwishowe walimwambia Meseret, "Ulikosea ulipokataa kumlipa Demeke nusu ya punda wake. Ulikosea pia ulipokiteketeza chumba chake, na wanao walipozila mbaazi zake." Wazee walimgeukia Demeke wakasema, "Unataka kuwaua wanawe Meseret. Hilo ni kosa pia. Huu ni uamuzi wetu. Lazima Meseret ampatie Demeke nusu ya miti yake yote, mashamba, ng'ombe na kondoo. Hivyo, mtaishi pamoja kwa amani." Meseret alimpatia Demeke nusu ya mali yake. Waliishi pamoja kwa furaha bila kugombana tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hakimu asiyekuwa na busara Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Ni lini Meseret alirithi mashamba,miti,ng'ombe na kondoo
{ "text": [ "babake alipofariki" ] }
2229_swa
Hakimu asiyekuwa na busara Hapo zamani, waliishi majirani wawili marafiki, Meseret na Demeke. Walikuwa maskini sana. Siku moja, Meseret alimwambia Demeke, "Lazima leo niipeleke ngano yangu sokoni. Gunia ni nzito na soko iko mbali. Ningekuwa na pesa za kutosha, ningemnunua punda." Demeke alijibu, "Nami lazima nikavinunue vyungu vipya leo sokoni. Vitakuwa vizito mno. Heri ningekuwa na punda vilevile. Kwa sasa, ninazo tu nusu ya pesa." Meseret alikuwa na wazo. Alisema, "Hebu tumnunue punda pamoja. Wewe utalipa nusu nami nilipe nusu. Nitamtumia kwenda sokoni kwa juma moja nawe umtumie kwa juma lingine." Meseret na Demeke walimnunua punda. Kwa muda mrefu waliishi kwa furaha. Siku moja, babake Meseret alifariki. Meseret alirithi mashamba, miti, ng'ombe na kondoo. Alikuwa tajiri na hakutaka kufanya kazi na Demeke tena. Vilevile, alitaka nusu yake ya punda. Meseret alimwambia Demeke, "Mbwa wangu wanahitaji nyama. Ninataka kumchinja punda wetu wewe uchukuwe nusu yake nami nichukuwe nusu itakayobaki." Demeke alilia, "Sihitaji nyama yoyote ila punda. Ikiwa unataka kumchinja, nipe pesa za nusu yangu." Meseret alifoka, "Sitakupatia pesa zozote. Nusu ya punda ni yangu na ninaitaka sasa." Demeke alisema, "Hebu twende kwa hakimu atuamulie." Meseret na Demeke walienda kumwona hakimu alisiyekuwa na busara. Hakuwasikiliza kwa makini. Hakimu aliwauliza, "Mnammiliki punda pamoja?" "Ndiyo," Meseret na Demeke waliitikia. Hakimu akasema, "Basi, kila mmoja atapata nusu. Iwapo Meseret anataka nusu yake, ana haki ya kuichukuwa. Mchinjeni punda kisha mmgawe nusu mbili." Meseret alifurahi. Alimchinja punda na kuchukua nusu ya nyama kuwapelekea mbwa wake. Demeke alihuzunika akawaza, "Maskini punda wangu hayupo tena, na sasa lazima nibebe kila kitu mwenyewe." Baadaye, Meseret alitaka kujijengea nyumba mpya. Alifikiri, "Nitakiteketeza chumba changu kizee kisha niijenge nyumba mpya nzuri na kubwa." Meseret alivihamisha vitu kutoka chumbani. Demeke alimwuliza, "Unafanya nini?" Meseret alimjibu, "Ninataka kukiteketeza chumba changu ili niijenge nyumba mpya." Demeke alikuwa na wasiwasi, "Lakini, chumba chako ki karibu na changu. Ukikiteketeza, changu pia kitateketea." Kwa hasira, Meseret alisema, "Usijaribu kunizuia! Hiki ni chumba changu na nikitaka nitakiteketeza." Demeke alilia, "Wacha! Hebu twende tumwulize hakimu." Kwa sababu hakimu hakuwa mwenye busara, hakusikiliza kwa makini wala hakuelewa. Hatimaye alisema, "Meseret ana haki ya kukiteketeze chumba chake na hakuna anayeweza kumzuia." Meseret alipokiteketeza chumba chake, upepo uliupeperusha moto hadi kwenye paa la chumba cha Demeke. Punde, chumba chake pia kilianza kuteketea. Demeke alimlilia hakimu, "Tazama! Meseret amekiteketeza chumba changu! Lazima anilipe." Hakimu aliamua, "La! Meseret alikiteketeza chumba chake. Moto ndio uliokiunguza chumba chako. Meseret hastahili kukulipa." Maskini Demeke alihuzunika sana. Hakuwa na punda wala chumba. Alibaki na shamba peke yake. Kila siku alifanya kazi shambani mwake na usiku kulala chini ya mti. Demeke alifanya kazi kwa bidii shambani mwake. Aliyang'oa magugu na kuwafukuza ndege. Wakati wa kuvuna ulipofika, kulikuwa na mazao mazuri ya mbaazi. Siku moja, wanawe Meseret walipitia katika shamba la Demeke. Waliona mbaazi wakasema, "Mbaazi ni tamu sana!" Walizivamia wakazitoa zote. Demeke alipowaona wanawe Meseret, aliwaambia, "Nirudishieni mbaazi zangu." Walimjibu kwa dharau, "Hatuwezi kukurudishia kwa kuwa tumezila. Mwulize baba akulipe." Demeke alimwambia Meseret, "Wanao wamezila mbaazi zangu." Meseret alimjibu, "Nitakupa pesa." "Sitaki pesa zako. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alitishia. "Subiri! Hebu twende tumuulize hakimu," Meseret alilia. Meseret na Demeke walimwona hakimu yule yule. Kama kawaida, hakuwasikiliza kwa makini wala hakufikiria juu ya tukio hilo. "Wanawe Meseret walikula mbaazi zako na ni lazima zirudishwe. Pasua tumbo zao uchukuwe mbaazi zako." Hakimu aliamua. Meseret alisononeka sana akasema, "Wanangu watafariki! Tafadhali, Demeke, nitakupatia pesa." "Nilitaka pesa ulipomchinja punda wetu. Ninataka mbaazi zangu." Demeke alinena. Demeke alichukua kisu chake. "Nitakujengea chumba kipya! Naomba msamaha kwa kukiteketeza chumba chako cha kwanza," Meseret alisema. "Sitaki chumba kipya. Ninataka mbaazi zangu," Demeke alimjibu. Alianza kukitia kisu chake makali. "La! La! Tafadhali, ngoja! Hebu twende tukawaone wazee. Tafadhali rafiki yangu wa jadi, wacha wazee waamue." Meseret alilia. Meseret na Demeke walienda kuwaona wazee wa kijiji. Wazee waliongea kwa muda mrefu. Mwishowe walimwambia Meseret, "Ulikosea ulipokataa kumlipa Demeke nusu ya punda wake. Ulikosea pia ulipokiteketeza chumba chake, na wanao walipozila mbaazi zake." Wazee walimgeukia Demeke wakasema, "Unataka kuwaua wanawe Meseret. Hilo ni kosa pia. Huu ni uamuzi wetu. Lazima Meseret ampatie Demeke nusu ya miti yake yote, mashamba, ng'ombe na kondoo. Hivyo, mtaishi pamoja kwa amani." Meseret alimpatia Demeke nusu ya mali yake. Waliishi pamoja kwa furaha bila kugombana tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hakimu asiyekuwa na busara Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kwa nini hakimu hakuwa mwenye busara
{ "text": [ "hakusikiliza kwa makini wala kuelewa" ] }
2232_swa
Hisia huja na kwenda Ada anacheka kwa sababu alisikia hadithi ya kuchekesha. Anatabasamu. Ada anahisi nini? Tisa anahisi hasira. Ana mkunjo kipajini kwake. Kwa nini amekasirika? Yadoo anaogopa giza. Kila mtu huhisi hofu wakati mwingine. Lakini Yadoo anaweza kuomba msaada. Chidu ana wasiwasi juu ya kazi yake ya shule. Anaweza kumwambia mwalimu wake. Anaweza kuomba msaada. Lushan anacheza cheza! Ni sawa kufanya mchezo wakati mwingine. Ethuro anajisikia mwenye huzuni. Ni sawa kulia. Hisia huja na kwenda. Yatoo amejawa na furaha. Yeye amefurahi. Hisia huja na kwenda. Hadiza anahisi uvivu. Anahitaji kupata kitu cha kufanya. Ayoo ana hasira. Amechanganyikiwa Hasira ni hisia ngumu. Lizy amesisimka. Je! Ni nini sababu ya msisimko wake? Mama alitayarisha chakula akipendacho. Zege alihisi usingizi. Alikuwa amechoka sana. "Lakini, 'kuhisi usingizi' ni hisia?" Effy anauliza. Effy amechanganyikiwa Je! Unaweza kujibu swali lake? Lempaa anahisi mshangao na mshtuko. Alisikia uvumi fulani. Ni ukweli? Nelly ni mgonjwa. Anahisi huzuni. Anahitaji dawa na kupumzika ili ajisikie bora. Selina anahisi kutosheka. Amemaliza kazi zake za nyumbani. Sasa anaweza kucheza. Victor hana kazi leo. Anamwonyesha Selina vidole viwili. "Kazi nzuri, sasa hebu tucheze!" anasema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hisia huja na kwenda Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Joe Werna Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni wahusika wangapi wametajwa katika taarifa hii ya hisia huja na kwenda
{ "text": [ "Kumi na sita" ] }
2232_swa
Hisia huja na kwenda Ada anacheka kwa sababu alisikia hadithi ya kuchekesha. Anatabasamu. Ada anahisi nini? Tisa anahisi hasira. Ana mkunjo kipajini kwake. Kwa nini amekasirika? Yadoo anaogopa giza. Kila mtu huhisi hofu wakati mwingine. Lakini Yadoo anaweza kuomba msaada. Chidu ana wasiwasi juu ya kazi yake ya shule. Anaweza kumwambia mwalimu wake. Anaweza kuomba msaada. Lushan anacheza cheza! Ni sawa kufanya mchezo wakati mwingine. Ethuro anajisikia mwenye huzuni. Ni sawa kulia. Hisia huja na kwenda. Yatoo amejawa na furaha. Yeye amefurahi. Hisia huja na kwenda. Hadiza anahisi uvivu. Anahitaji kupata kitu cha kufanya. Ayoo ana hasira. Amechanganyikiwa Hasira ni hisia ngumu. Lizy amesisimka. Je! Ni nini sababu ya msisimko wake? Mama alitayarisha chakula akipendacho. Zege alihisi usingizi. Alikuwa amechoka sana. "Lakini, 'kuhisi usingizi' ni hisia?" Effy anauliza. Effy amechanganyikiwa Je! Unaweza kujibu swali lake? Lempaa anahisi mshangao na mshtuko. Alisikia uvumi fulani. Ni ukweli? Nelly ni mgonjwa. Anahisi huzuni. Anahitaji dawa na kupumzika ili ajisikie bora. Selina anahisi kutosheka. Amemaliza kazi zake za nyumbani. Sasa anaweza kucheza. Victor hana kazi leo. Anamwonyesha Selina vidole viwili. "Kazi nzuri, sasa hebu tucheze!" anasema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hisia huja na kwenda Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Joe Werna Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kazi ya shule ilimpa nani wasiwasi
{ "text": [ "Chidu" ] }
2232_swa
Hisia huja na kwenda Ada anacheka kwa sababu alisikia hadithi ya kuchekesha. Anatabasamu. Ada anahisi nini? Tisa anahisi hasira. Ana mkunjo kipajini kwake. Kwa nini amekasirika? Yadoo anaogopa giza. Kila mtu huhisi hofu wakati mwingine. Lakini Yadoo anaweza kuomba msaada. Chidu ana wasiwasi juu ya kazi yake ya shule. Anaweza kumwambia mwalimu wake. Anaweza kuomba msaada. Lushan anacheza cheza! Ni sawa kufanya mchezo wakati mwingine. Ethuro anajisikia mwenye huzuni. Ni sawa kulia. Hisia huja na kwenda. Yatoo amejawa na furaha. Yeye amefurahi. Hisia huja na kwenda. Hadiza anahisi uvivu. Anahitaji kupata kitu cha kufanya. Ayoo ana hasira. Amechanganyikiwa Hasira ni hisia ngumu. Lizy amesisimka. Je! Ni nini sababu ya msisimko wake? Mama alitayarisha chakula akipendacho. Zege alihisi usingizi. Alikuwa amechoka sana. "Lakini, 'kuhisi usingizi' ni hisia?" Effy anauliza. Effy amechanganyikiwa Je! Unaweza kujibu swali lake? Lempaa anahisi mshangao na mshtuko. Alisikia uvumi fulani. Ni ukweli? Nelly ni mgonjwa. Anahisi huzuni. Anahitaji dawa na kupumzika ili ajisikie bora. Selina anahisi kutosheka. Amemaliza kazi zake za nyumbani. Sasa anaweza kucheza. Victor hana kazi leo. Anamwonyesha Selina vidole viwili. "Kazi nzuri, sasa hebu tucheze!" anasema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hisia huja na kwenda Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Joe Werna Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alikuwa na hasira ambayo ilikuwa hisia ngumu
{ "text": [ "Ayoo" ] }
2232_swa
Hisia huja na kwenda Ada anacheka kwa sababu alisikia hadithi ya kuchekesha. Anatabasamu. Ada anahisi nini? Tisa anahisi hasira. Ana mkunjo kipajini kwake. Kwa nini amekasirika? Yadoo anaogopa giza. Kila mtu huhisi hofu wakati mwingine. Lakini Yadoo anaweza kuomba msaada. Chidu ana wasiwasi juu ya kazi yake ya shule. Anaweza kumwambia mwalimu wake. Anaweza kuomba msaada. Lushan anacheza cheza! Ni sawa kufanya mchezo wakati mwingine. Ethuro anajisikia mwenye huzuni. Ni sawa kulia. Hisia huja na kwenda. Yatoo amejawa na furaha. Yeye amefurahi. Hisia huja na kwenda. Hadiza anahisi uvivu. Anahitaji kupata kitu cha kufanya. Ayoo ana hasira. Amechanganyikiwa Hasira ni hisia ngumu. Lizy amesisimka. Je! Ni nini sababu ya msisimko wake? Mama alitayarisha chakula akipendacho. Zege alihisi usingizi. Alikuwa amechoka sana. "Lakini, 'kuhisi usingizi' ni hisia?" Effy anauliza. Effy amechanganyikiwa Je! Unaweza kujibu swali lake? Lempaa anahisi mshangao na mshtuko. Alisikia uvumi fulani. Ni ukweli? Nelly ni mgonjwa. Anahisi huzuni. Anahitaji dawa na kupumzika ili ajisikie bora. Selina anahisi kutosheka. Amemaliza kazi zake za nyumbani. Sasa anaweza kucheza. Victor hana kazi leo. Anamwonyesha Selina vidole viwili. "Kazi nzuri, sasa hebu tucheze!" anasema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hisia huja na kwenda Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Joe Werna Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Zege alihisi usingizi
{ "text": [ "Alikuwa amechoka sana" ] }
2232_swa
Hisia huja na kwenda Ada anacheka kwa sababu alisikia hadithi ya kuchekesha. Anatabasamu. Ada anahisi nini? Tisa anahisi hasira. Ana mkunjo kipajini kwake. Kwa nini amekasirika? Yadoo anaogopa giza. Kila mtu huhisi hofu wakati mwingine. Lakini Yadoo anaweza kuomba msaada. Chidu ana wasiwasi juu ya kazi yake ya shule. Anaweza kumwambia mwalimu wake. Anaweza kuomba msaada. Lushan anacheza cheza! Ni sawa kufanya mchezo wakati mwingine. Ethuro anajisikia mwenye huzuni. Ni sawa kulia. Hisia huja na kwenda. Yatoo amejawa na furaha. Yeye amefurahi. Hisia huja na kwenda. Hadiza anahisi uvivu. Anahitaji kupata kitu cha kufanya. Ayoo ana hasira. Amechanganyikiwa Hasira ni hisia ngumu. Lizy amesisimka. Je! Ni nini sababu ya msisimko wake? Mama alitayarisha chakula akipendacho. Zege alihisi usingizi. Alikuwa amechoka sana. "Lakini, 'kuhisi usingizi' ni hisia?" Effy anauliza. Effy amechanganyikiwa Je! Unaweza kujibu swali lake? Lempaa anahisi mshangao na mshtuko. Alisikia uvumi fulani. Ni ukweli? Nelly ni mgonjwa. Anahisi huzuni. Anahitaji dawa na kupumzika ili ajisikie bora. Selina anahisi kutosheka. Amemaliza kazi zake za nyumbani. Sasa anaweza kucheza. Victor hana kazi leo. Anamwonyesha Selina vidole viwili. "Kazi nzuri, sasa hebu tucheze!" anasema. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Hisia huja na kwenda Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Joe Werna Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani angeweza kucheza baada ya kumaliza kazi zake za nyumbani
{ "text": [ "Selina" ] }
2233_swa
Jaga, Paka wa Mtaani Hapo zamani, paliishi paka kwa jina Jaga. Jaga alikuwa wa kipekee, wakutamanika, na mwenye rangi ya kuvutia wengi. Alikuwa na afia nzuri kabisa na alikuwa akila chakula kitamu na kupendeza pale mtaani kama mkate,keki,nyama na kunywa mazi Jaga aliishi katika duka la mzee Taji.Hili ni duka lililokuwa kubwa kuliko maduka mengine katika mtaa ule na iliuzwa karibu bidhaa zote ambazo hutumika nyumbani. Watu waliishi kujaa pale wakinunua unga,nafaka,mafuta,sukari na zinginezo Jaga alipenda sana maisha ya mtaani. Watoto walicheza naye Kila siku.wengine walimpa keki ili kumvutia kwao.Jinzi siku ziliendelea kusonga ndivio Jaga aliendelea kuwa mkunbwa na angelida lile duka la bwana Taji na kuzuia panya kuhari vyakula la. Siku moja duka la mzee Taji Lilivamiwa na wezi na walichukuwa vitu vingi sana. Watu walipofika kusaidia wezi walikuwa wameenda zao tayari na ilikuwa Jambo mbaya sana la kuhuzunisha. Mzee Taji aliamua kurudi kijijini na kuanzisha kilimo. Hivyo basi lazima Jaga angemfuata bwana Taji kijijini na wote wawili waliona wazo nzuri. Hivyo basi aliamua kufuga ng'ombe,mbuzi,mbwa na kuku. Siku za mwazoni maisha ya kijijini yalikuwa kama Yale ya mtaani. Mzee Taji aliweza kumnunulia Jaga chakula kitamu. Siku zilivyosonga bwana Taji alianza kuwa na kazi nyingi. Jaga hangeweza kumfuata Kila mahali na alianza kuaachwa nyumbani. Jioni bwana Taji angerudi akiwa amechoka kutoka shambani na hangeweza kununua vitamu vya kumpa Jaga.Jaga alianza kujifunza maisha mapya. Akaaza kuwinda ili kupata chakula kizuri. Siku moja alikula kuku,na jioni ililpofika Bwana Taji akamkosa. Alipopitapita Shambani aliona manyoya ya kuku. Bwana Taji alimpa mkate na maziwa akanywa maziwa kidogo tu.Jaga aliwala kuku wote pale nyumbani. Mbwa wa bwana Taji hakupendezwa na tabiya ya Jaga. Baada ya siku kadthaa kupita bwana Taji alijua kuwa Jaga ndiye amekula kuku wote. Alikasirika sana kumtukuza.Kutoka siku Ile mbwa wa bwana Taji akawa anamtukuza Jaga. Taji alimsamehe Jaga na kumkaribisha tena lakini chuki kati ya mbwa na Jaga haikuisha hadi siku ya leo You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jaga, Paka wa Mtaani Author - WANGUI ANN Illustration - Isaac Okwir, Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jina la paka wa kipekee ilikuwa ipi?
{ "text": [ "Jaga" ] }
2233_swa
Jaga, Paka wa Mtaani Hapo zamani, paliishi paka kwa jina Jaga. Jaga alikuwa wa kipekee, wakutamanika, na mwenye rangi ya kuvutia wengi. Alikuwa na afia nzuri kabisa na alikuwa akila chakula kitamu na kupendeza pale mtaani kama mkate,keki,nyama na kunywa mazi Jaga aliishi katika duka la mzee Taji.Hili ni duka lililokuwa kubwa kuliko maduka mengine katika mtaa ule na iliuzwa karibu bidhaa zote ambazo hutumika nyumbani. Watu waliishi kujaa pale wakinunua unga,nafaka,mafuta,sukari na zinginezo Jaga alipenda sana maisha ya mtaani. Watoto walicheza naye Kila siku.wengine walimpa keki ili kumvutia kwao.Jinzi siku ziliendelea kusonga ndivio Jaga aliendelea kuwa mkunbwa na angelida lile duka la bwana Taji na kuzuia panya kuhari vyakula la. Siku moja duka la mzee Taji Lilivamiwa na wezi na walichukuwa vitu vingi sana. Watu walipofika kusaidia wezi walikuwa wameenda zao tayari na ilikuwa Jambo mbaya sana la kuhuzunisha. Mzee Taji aliamua kurudi kijijini na kuanzisha kilimo. Hivyo basi lazima Jaga angemfuata bwana Taji kijijini na wote wawili waliona wazo nzuri. Hivyo basi aliamua kufuga ng'ombe,mbuzi,mbwa na kuku. Siku za mwazoni maisha ya kijijini yalikuwa kama Yale ya mtaani. Mzee Taji aliweza kumnunulia Jaga chakula kitamu. Siku zilivyosonga bwana Taji alianza kuwa na kazi nyingi. Jaga hangeweza kumfuata Kila mahali na alianza kuaachwa nyumbani. Jioni bwana Taji angerudi akiwa amechoka kutoka shambani na hangeweza kununua vitamu vya kumpa Jaga.Jaga alianza kujifunza maisha mapya. Akaaza kuwinda ili kupata chakula kizuri. Siku moja alikula kuku,na jioni ililpofika Bwana Taji akamkosa. Alipopitapita Shambani aliona manyoya ya kuku. Bwana Taji alimpa mkate na maziwa akanywa maziwa kidogo tu.Jaga aliwala kuku wote pale nyumbani. Mbwa wa bwana Taji hakupendezwa na tabiya ya Jaga. Baada ya siku kadthaa kupita bwana Taji alijua kuwa Jaga ndiye amekula kuku wote. Alikasirika sana kumtukuza.Kutoka siku Ile mbwa wa bwana Taji akawa anamtukuza Jaga. Taji alimsamehe Jaga na kumkaribisha tena lakini chuki kati ya mbwa na Jaga haikuisha hadi siku ya leo You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jaga, Paka wa Mtaani Author - WANGUI ANN Illustration - Isaac Okwir, Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jaga aliishi katika duka la mzee yupi?
{ "text": [ "Taji" ] }
2233_swa
Jaga, Paka wa Mtaani Hapo zamani, paliishi paka kwa jina Jaga. Jaga alikuwa wa kipekee, wakutamanika, na mwenye rangi ya kuvutia wengi. Alikuwa na afia nzuri kabisa na alikuwa akila chakula kitamu na kupendeza pale mtaani kama mkate,keki,nyama na kunywa mazi Jaga aliishi katika duka la mzee Taji.Hili ni duka lililokuwa kubwa kuliko maduka mengine katika mtaa ule na iliuzwa karibu bidhaa zote ambazo hutumika nyumbani. Watu waliishi kujaa pale wakinunua unga,nafaka,mafuta,sukari na zinginezo Jaga alipenda sana maisha ya mtaani. Watoto walicheza naye Kila siku.wengine walimpa keki ili kumvutia kwao.Jinzi siku ziliendelea kusonga ndivio Jaga aliendelea kuwa mkunbwa na angelida lile duka la bwana Taji na kuzuia panya kuhari vyakula la. Siku moja duka la mzee Taji Lilivamiwa na wezi na walichukuwa vitu vingi sana. Watu walipofika kusaidia wezi walikuwa wameenda zao tayari na ilikuwa Jambo mbaya sana la kuhuzunisha. Mzee Taji aliamua kurudi kijijini na kuanzisha kilimo. Hivyo basi lazima Jaga angemfuata bwana Taji kijijini na wote wawili waliona wazo nzuri. Hivyo basi aliamua kufuga ng'ombe,mbuzi,mbwa na kuku. Siku za mwazoni maisha ya kijijini yalikuwa kama Yale ya mtaani. Mzee Taji aliweza kumnunulia Jaga chakula kitamu. Siku zilivyosonga bwana Taji alianza kuwa na kazi nyingi. Jaga hangeweza kumfuata Kila mahali na alianza kuaachwa nyumbani. Jioni bwana Taji angerudi akiwa amechoka kutoka shambani na hangeweza kununua vitamu vya kumpa Jaga.Jaga alianza kujifunza maisha mapya. Akaaza kuwinda ili kupata chakula kizuri. Siku moja alikula kuku,na jioni ililpofika Bwana Taji akamkosa. Alipopitapita Shambani aliona manyoya ya kuku. Bwana Taji alimpa mkate na maziwa akanywa maziwa kidogo tu.Jaga aliwala kuku wote pale nyumbani. Mbwa wa bwana Taji hakupendezwa na tabiya ya Jaga. Baada ya siku kadthaa kupita bwana Taji alijua kuwa Jaga ndiye amekula kuku wote. Alikasirika sana kumtukuza.Kutoka siku Ile mbwa wa bwana Taji akawa anamtukuza Jaga. Taji alimsamehe Jaga na kumkaribisha tena lakini chuki kati ya mbwa na Jaga haikuisha hadi siku ya leo You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jaga, Paka wa Mtaani Author - WANGUI ANN Illustration - Isaac Okwir, Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jaga alipenda sana maisha ya sehemu gani?
{ "text": [ "Mtaani" ] }
2233_swa
Jaga, Paka wa Mtaani Hapo zamani, paliishi paka kwa jina Jaga. Jaga alikuwa wa kipekee, wakutamanika, na mwenye rangi ya kuvutia wengi. Alikuwa na afia nzuri kabisa na alikuwa akila chakula kitamu na kupendeza pale mtaani kama mkate,keki,nyama na kunywa mazi Jaga aliishi katika duka la mzee Taji.Hili ni duka lililokuwa kubwa kuliko maduka mengine katika mtaa ule na iliuzwa karibu bidhaa zote ambazo hutumika nyumbani. Watu waliishi kujaa pale wakinunua unga,nafaka,mafuta,sukari na zinginezo Jaga alipenda sana maisha ya mtaani. Watoto walicheza naye Kila siku.wengine walimpa keki ili kumvutia kwao.Jinzi siku ziliendelea kusonga ndivio Jaga aliendelea kuwa mkunbwa na angelida lile duka la bwana Taji na kuzuia panya kuhari vyakula la. Siku moja duka la mzee Taji Lilivamiwa na wezi na walichukuwa vitu vingi sana. Watu walipofika kusaidia wezi walikuwa wameenda zao tayari na ilikuwa Jambo mbaya sana la kuhuzunisha. Mzee Taji aliamua kurudi kijijini na kuanzisha kilimo. Hivyo basi lazima Jaga angemfuata bwana Taji kijijini na wote wawili waliona wazo nzuri. Hivyo basi aliamua kufuga ng'ombe,mbuzi,mbwa na kuku. Siku za mwazoni maisha ya kijijini yalikuwa kama Yale ya mtaani. Mzee Taji aliweza kumnunulia Jaga chakula kitamu. Siku zilivyosonga bwana Taji alianza kuwa na kazi nyingi. Jaga hangeweza kumfuata Kila mahali na alianza kuaachwa nyumbani. Jioni bwana Taji angerudi akiwa amechoka kutoka shambani na hangeweza kununua vitamu vya kumpa Jaga.Jaga alianza kujifunza maisha mapya. Akaaza kuwinda ili kupata chakula kizuri. Siku moja alikula kuku,na jioni ililpofika Bwana Taji akamkosa. Alipopitapita Shambani aliona manyoya ya kuku. Bwana Taji alimpa mkate na maziwa akanywa maziwa kidogo tu.Jaga aliwala kuku wote pale nyumbani. Mbwa wa bwana Taji hakupendezwa na tabiya ya Jaga. Baada ya siku kadthaa kupita bwana Taji alijua kuwa Jaga ndiye amekula kuku wote. Alikasirika sana kumtukuza.Kutoka siku Ile mbwa wa bwana Taji akawa anamtukuza Jaga. Taji alimsamehe Jaga na kumkaribisha tena lakini chuki kati ya mbwa na Jaga haikuisha hadi siku ya leo You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jaga, Paka wa Mtaani Author - WANGUI ANN Illustration - Isaac Okwir, Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jaga alizuia kina nani kuharibu vyakula?
{ "text": [ "Panya" ] }
2233_swa
Jaga, Paka wa Mtaani Hapo zamani, paliishi paka kwa jina Jaga. Jaga alikuwa wa kipekee, wakutamanika, na mwenye rangi ya kuvutia wengi. Alikuwa na afia nzuri kabisa na alikuwa akila chakula kitamu na kupendeza pale mtaani kama mkate,keki,nyama na kunywa mazi Jaga aliishi katika duka la mzee Taji.Hili ni duka lililokuwa kubwa kuliko maduka mengine katika mtaa ule na iliuzwa karibu bidhaa zote ambazo hutumika nyumbani. Watu waliishi kujaa pale wakinunua unga,nafaka,mafuta,sukari na zinginezo Jaga alipenda sana maisha ya mtaani. Watoto walicheza naye Kila siku.wengine walimpa keki ili kumvutia kwao.Jinzi siku ziliendelea kusonga ndivio Jaga aliendelea kuwa mkunbwa na angelida lile duka la bwana Taji na kuzuia panya kuhari vyakula la. Siku moja duka la mzee Taji Lilivamiwa na wezi na walichukuwa vitu vingi sana. Watu walipofika kusaidia wezi walikuwa wameenda zao tayari na ilikuwa Jambo mbaya sana la kuhuzunisha. Mzee Taji aliamua kurudi kijijini na kuanzisha kilimo. Hivyo basi lazima Jaga angemfuata bwana Taji kijijini na wote wawili waliona wazo nzuri. Hivyo basi aliamua kufuga ng'ombe,mbuzi,mbwa na kuku. Siku za mwazoni maisha ya kijijini yalikuwa kama Yale ya mtaani. Mzee Taji aliweza kumnunulia Jaga chakula kitamu. Siku zilivyosonga bwana Taji alianza kuwa na kazi nyingi. Jaga hangeweza kumfuata Kila mahali na alianza kuaachwa nyumbani. Jioni bwana Taji angerudi akiwa amechoka kutoka shambani na hangeweza kununua vitamu vya kumpa Jaga.Jaga alianza kujifunza maisha mapya. Akaaza kuwinda ili kupata chakula kizuri. Siku moja alikula kuku,na jioni ililpofika Bwana Taji akamkosa. Alipopitapita Shambani aliona manyoya ya kuku. Bwana Taji alimpa mkate na maziwa akanywa maziwa kidogo tu.Jaga aliwala kuku wote pale nyumbani. Mbwa wa bwana Taji hakupendezwa na tabiya ya Jaga. Baada ya siku kadthaa kupita bwana Taji alijua kuwa Jaga ndiye amekula kuku wote. Alikasirika sana kumtukuza.Kutoka siku Ile mbwa wa bwana Taji akawa anamtukuza Jaga. Taji alimsamehe Jaga na kumkaribisha tena lakini chuki kati ya mbwa na Jaga haikuisha hadi siku ya leo You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jaga, Paka wa Mtaani Author - WANGUI ANN Illustration - Isaac Okwir, Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Duka la mzee Taji lilivamiwa na kina nani?
{ "text": [ "Wezi waliochukua vitu vingi sana" ] }
2234_swa
Jambazi Hapo zamani za kale, kulikuwa na wafanya biashara waliokwenda kila mahali. Walisafiri wakati wa musimu wa baridi na musimu wa joto. Walivuka milima, majangwa na misitu wakiuza na kununua bidhaa. Wafanya biashara hao waliwaogopa majambazi, kwa hivyo walisafiri wakiwa katika vikundi. Ilitokea kuwa mfanya biashara mmoja hakuweza kupata kikundi cha kusafiri nacho, kwa hivyo, alisafiri peke yake. Alikutana na jambazi akawa na hofu. Jambazi huyo alimwuliza, "Wewe ni nani?" Alijibu, "Mimi ni mfanya biashara." "Uko peke yako?" "La! Marafiki zangu wako nyuma ingawa sasa niko peke yangu," alijibu. Wakati huo, mfanya biashara mwingine alikuja kutoka nyuma yao. Alijificha akatazama kwa hofu jambazi yule akimwua mfanya biashara wa kwanza na kumzika. Aliwaza, "Nitaendeleaje na safari yangu? Yaliyompata mwenzangu yatanipata mimi pia." Aliogopa kuvuka akabaki mahali hapo kwa muda. Baadaye, aliwaza, "Siwezi kukaa hapa milele. Lazima niendelee na safari yangu." Alipita mahali ambapo jambazi alikuwa amemwua mfanya biashara wa kwanza. Alifika kijijini akiwa amehuzunika sana. Hakuweza kutabasamu wala kuzungumza na watu. Watu walimwuliza, "Ulikuwa mchangamfu, lakini sasa umehuzunika. Kwa nini?" "Nimechoka na ninahisi kiu," alisema. Alikaa hapo kijijini usiku wote. Siku iliyofuata, aliendelea na safari yake. Watu walizidi kumwuliza, "Unasumbuliwa na nini?" Mfanya biashara alijiuliza, "Je, niwaambie au la?" Mwishowe, aliamua kuwaambia yaliyompata mfanya biashara mwenzake. Alipomaliza kuwasimulia, wanakijiji walijua kuwa jambazi alikuwa ametoka kijijini kwao. Walisema, "Ni vibaya sana kitendo kama hiki kutendeka hapa. Tutajaribu kujua aliyeuawa ni nani." Lakini, hawakusema jambo lolote kuhusu jambazi aliyemwua mfanya biashara huyo. Mfanya biashara yule aliwaambia wanakijiji, "Nilimuona mtu akizika maiti ya mtu mwengine. Sikujua aliyezikwa alikuwa nani wala jambazi alikuwa nani. Sitawahi kurudi mahali hapa tena." Mfalme wa kijiji alisikia jinsi wafanya biashara walikuwa wakiuawa na kuzikwa na majambazi. Alihuzunika. "Je, majambazi wanawezaje kuwafanyia wafanya biashara hivi katika milki yangu?" Alitafuta njia ya kusuluhisha tatizo hilo. "Nitawaalika watu wote katika sherehe kisha nijaribu kuwashika majambazi hao." Mfalme alipendwa sana na watu wake. Aliwaandalia sherehe wakulima, makasisi na kila mtu kijijini. Wote walikula, wakanywa na kujiburudisha. Mfalme akasema, "Binti yangu ni mgonjwa. Dawa pekee inayoweza kumponya ni ndimu inayomea karibu na maji baridi yaliyo mbali na wanapoishi binadamu. Kuna yeyote anayeweza kuniletea ndimu hiyo?" Kila mtu aliwaza, "Je, nitaipata wapi ndimu aina hiyo?" Hawakusema chochote ila jambazi alisimama haraka akasema, "Mheshimiwa, nitakuletea ndimu hiyo, lakini nipe muda wa wiki mbili." Jambazi alikwenda moja kwa moja mpaka mahali alipomzika mfanya biashara aliyemwua kwa sababu ndimu aliyotaka mfalme ilimea hapo. Alikimbilia kuipata kabla mtu mwingine kufanya hivyo. Aliziweka ndimu mfukoni halafu akakimbia kumpelekea mfalme. Baada ya kusubiri langoni kwa siku kadhaa, alikubaliwa kumwona mfalme. Alisema, "Niko tayari kutimiza mahitaji yako. Nimekuletea ulichokitaka. Tafadhali kipokee." Mfalme alisema, "Nimefurahi umekileta nilichotaka. Ningependa unipe tukiwa mbele ya watu wengi." Mfalme aliwaita watu wote kutoka kijijini kwenda katika ikulu. Walipokuwa wanakula na kunywa, alisema, "Mtu huyu ametimiza ahadi yake kama mlivyosikia. Alisema ataleta tunda nililohitaji na amelileta. Ningependa kupokea zawadi hii kubwa mbele yenu nyote." Watu walifikiri kuwa jambazi angepata zawadi ya pesa. Walimwonea wivu. Walishangaa jinsi alipata matunda hayo ya pekee. Jambazi aliufungua mfuko wake ili kumpatia mfalme ndimu mbili. Alipozitoa mfukoni, zilikuwa ndimu mbili, lakini alipomkabidhi mfalme, ziligeuka na kuwa mafuvu mawili ya binadamu. Hili lilipofanyika, watu wote walikasirika, naye jambazi akapigwa na butwaa. Mfalme alitabasamu. Kwa muda mrefu, alikuwa akitamani kukomesha ujambazi katika ufalme wake. Alitaka vitendo vyao viovu kujulikana kwa kila mtu. Alikuwa akiomba Mola amwonyeshe nani aliyekuwa jambazi. Siku hiyo, maombi yake yalijibiwa. Alijua mtu huyo ndiye aliyekuwa muuaji. Alitoa amri atiwe gerezani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jambazi Author - DiresGebre-Meskel and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Wafanya biashara waliwaogopa majambazi na kusafiri vipi
{ "text": [ "Vikundi" ] }
2234_swa
Jambazi Hapo zamani za kale, kulikuwa na wafanya biashara waliokwenda kila mahali. Walisafiri wakati wa musimu wa baridi na musimu wa joto. Walivuka milima, majangwa na misitu wakiuza na kununua bidhaa. Wafanya biashara hao waliwaogopa majambazi, kwa hivyo walisafiri wakiwa katika vikundi. Ilitokea kuwa mfanya biashara mmoja hakuweza kupata kikundi cha kusafiri nacho, kwa hivyo, alisafiri peke yake. Alikutana na jambazi akawa na hofu. Jambazi huyo alimwuliza, "Wewe ni nani?" Alijibu, "Mimi ni mfanya biashara." "Uko peke yako?" "La! Marafiki zangu wako nyuma ingawa sasa niko peke yangu," alijibu. Wakati huo, mfanya biashara mwingine alikuja kutoka nyuma yao. Alijificha akatazama kwa hofu jambazi yule akimwua mfanya biashara wa kwanza na kumzika. Aliwaza, "Nitaendeleaje na safari yangu? Yaliyompata mwenzangu yatanipata mimi pia." Aliogopa kuvuka akabaki mahali hapo kwa muda. Baadaye, aliwaza, "Siwezi kukaa hapa milele. Lazima niendelee na safari yangu." Alipita mahali ambapo jambazi alikuwa amemwua mfanya biashara wa kwanza. Alifika kijijini akiwa amehuzunika sana. Hakuweza kutabasamu wala kuzungumza na watu. Watu walimwuliza, "Ulikuwa mchangamfu, lakini sasa umehuzunika. Kwa nini?" "Nimechoka na ninahisi kiu," alisema. Alikaa hapo kijijini usiku wote. Siku iliyofuata, aliendelea na safari yake. Watu walizidi kumwuliza, "Unasumbuliwa na nini?" Mfanya biashara alijiuliza, "Je, niwaambie au la?" Mwishowe, aliamua kuwaambia yaliyompata mfanya biashara mwenzake. Alipomaliza kuwasimulia, wanakijiji walijua kuwa jambazi alikuwa ametoka kijijini kwao. Walisema, "Ni vibaya sana kitendo kama hiki kutendeka hapa. Tutajaribu kujua aliyeuawa ni nani." Lakini, hawakusema jambo lolote kuhusu jambazi aliyemwua mfanya biashara huyo. Mfanya biashara yule aliwaambia wanakijiji, "Nilimuona mtu akizika maiti ya mtu mwengine. Sikujua aliyezikwa alikuwa nani wala jambazi alikuwa nani. Sitawahi kurudi mahali hapa tena." Mfalme wa kijiji alisikia jinsi wafanya biashara walikuwa wakiuawa na kuzikwa na majambazi. Alihuzunika. "Je, majambazi wanawezaje kuwafanyia wafanya biashara hivi katika milki yangu?" Alitafuta njia ya kusuluhisha tatizo hilo. "Nitawaalika watu wote katika sherehe kisha nijaribu kuwashika majambazi hao." Mfalme alipendwa sana na watu wake. Aliwaandalia sherehe wakulima, makasisi na kila mtu kijijini. Wote walikula, wakanywa na kujiburudisha. Mfalme akasema, "Binti yangu ni mgonjwa. Dawa pekee inayoweza kumponya ni ndimu inayomea karibu na maji baridi yaliyo mbali na wanapoishi binadamu. Kuna yeyote anayeweza kuniletea ndimu hiyo?" Kila mtu aliwaza, "Je, nitaipata wapi ndimu aina hiyo?" Hawakusema chochote ila jambazi alisimama haraka akasema, "Mheshimiwa, nitakuletea ndimu hiyo, lakini nipe muda wa wiki mbili." Jambazi alikwenda moja kwa moja mpaka mahali alipomzika mfanya biashara aliyemwua kwa sababu ndimu aliyotaka mfalme ilimea hapo. Alikimbilia kuipata kabla mtu mwingine kufanya hivyo. Aliziweka ndimu mfukoni halafu akakimbia kumpelekea mfalme. Baada ya kusubiri langoni kwa siku kadhaa, alikubaliwa kumwona mfalme. Alisema, "Niko tayari kutimiza mahitaji yako. Nimekuletea ulichokitaka. Tafadhali kipokee." Mfalme alisema, "Nimefurahi umekileta nilichotaka. Ningependa unipe tukiwa mbele ya watu wengi." Mfalme aliwaita watu wote kutoka kijijini kwenda katika ikulu. Walipokuwa wanakula na kunywa, alisema, "Mtu huyu ametimiza ahadi yake kama mlivyosikia. Alisema ataleta tunda nililohitaji na amelileta. Ningependa kupokea zawadi hii kubwa mbele yenu nyote." Watu walifikiri kuwa jambazi angepata zawadi ya pesa. Walimwonea wivu. Walishangaa jinsi alipata matunda hayo ya pekee. Jambazi aliufungua mfuko wake ili kumpatia mfalme ndimu mbili. Alipozitoa mfukoni, zilikuwa ndimu mbili, lakini alipomkabidhi mfalme, ziligeuka na kuwa mafuvu mawili ya binadamu. Hili lilipofanyika, watu wote walikasirika, naye jambazi akapigwa na butwaa. Mfalme alitabasamu. Kwa muda mrefu, alikuwa akitamani kukomesha ujambazi katika ufalme wake. Alitaka vitendo vyao viovu kujulikana kwa kila mtu. Alikuwa akiomba Mola amwonyeshe nani aliyekuwa jambazi. Siku hiyo, maombi yake yalijibiwa. Alijua mtu huyo ndiye aliyekuwa muuaji. Alitoa amri atiwe gerezani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jambazi Author - DiresGebre-Meskel and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Jambazi alimfanyia nini mfanya biashara
{ "text": [ "Alimuua" ] }
2234_swa
Jambazi Hapo zamani za kale, kulikuwa na wafanya biashara waliokwenda kila mahali. Walisafiri wakati wa musimu wa baridi na musimu wa joto. Walivuka milima, majangwa na misitu wakiuza na kununua bidhaa. Wafanya biashara hao waliwaogopa majambazi, kwa hivyo walisafiri wakiwa katika vikundi. Ilitokea kuwa mfanya biashara mmoja hakuweza kupata kikundi cha kusafiri nacho, kwa hivyo, alisafiri peke yake. Alikutana na jambazi akawa na hofu. Jambazi huyo alimwuliza, "Wewe ni nani?" Alijibu, "Mimi ni mfanya biashara." "Uko peke yako?" "La! Marafiki zangu wako nyuma ingawa sasa niko peke yangu," alijibu. Wakati huo, mfanya biashara mwingine alikuja kutoka nyuma yao. Alijificha akatazama kwa hofu jambazi yule akimwua mfanya biashara wa kwanza na kumzika. Aliwaza, "Nitaendeleaje na safari yangu? Yaliyompata mwenzangu yatanipata mimi pia." Aliogopa kuvuka akabaki mahali hapo kwa muda. Baadaye, aliwaza, "Siwezi kukaa hapa milele. Lazima niendelee na safari yangu." Alipita mahali ambapo jambazi alikuwa amemwua mfanya biashara wa kwanza. Alifika kijijini akiwa amehuzunika sana. Hakuweza kutabasamu wala kuzungumza na watu. Watu walimwuliza, "Ulikuwa mchangamfu, lakini sasa umehuzunika. Kwa nini?" "Nimechoka na ninahisi kiu," alisema. Alikaa hapo kijijini usiku wote. Siku iliyofuata, aliendelea na safari yake. Watu walizidi kumwuliza, "Unasumbuliwa na nini?" Mfanya biashara alijiuliza, "Je, niwaambie au la?" Mwishowe, aliamua kuwaambia yaliyompata mfanya biashara mwenzake. Alipomaliza kuwasimulia, wanakijiji walijua kuwa jambazi alikuwa ametoka kijijini kwao. Walisema, "Ni vibaya sana kitendo kama hiki kutendeka hapa. Tutajaribu kujua aliyeuawa ni nani." Lakini, hawakusema jambo lolote kuhusu jambazi aliyemwua mfanya biashara huyo. Mfanya biashara yule aliwaambia wanakijiji, "Nilimuona mtu akizika maiti ya mtu mwengine. Sikujua aliyezikwa alikuwa nani wala jambazi alikuwa nani. Sitawahi kurudi mahali hapa tena." Mfalme wa kijiji alisikia jinsi wafanya biashara walikuwa wakiuawa na kuzikwa na majambazi. Alihuzunika. "Je, majambazi wanawezaje kuwafanyia wafanya biashara hivi katika milki yangu?" Alitafuta njia ya kusuluhisha tatizo hilo. "Nitawaalika watu wote katika sherehe kisha nijaribu kuwashika majambazi hao." Mfalme alipendwa sana na watu wake. Aliwaandalia sherehe wakulima, makasisi na kila mtu kijijini. Wote walikula, wakanywa na kujiburudisha. Mfalme akasema, "Binti yangu ni mgonjwa. Dawa pekee inayoweza kumponya ni ndimu inayomea karibu na maji baridi yaliyo mbali na wanapoishi binadamu. Kuna yeyote anayeweza kuniletea ndimu hiyo?" Kila mtu aliwaza, "Je, nitaipata wapi ndimu aina hiyo?" Hawakusema chochote ila jambazi alisimama haraka akasema, "Mheshimiwa, nitakuletea ndimu hiyo, lakini nipe muda wa wiki mbili." Jambazi alikwenda moja kwa moja mpaka mahali alipomzika mfanya biashara aliyemwua kwa sababu ndimu aliyotaka mfalme ilimea hapo. Alikimbilia kuipata kabla mtu mwingine kufanya hivyo. Aliziweka ndimu mfukoni halafu akakimbia kumpelekea mfalme. Baada ya kusubiri langoni kwa siku kadhaa, alikubaliwa kumwona mfalme. Alisema, "Niko tayari kutimiza mahitaji yako. Nimekuletea ulichokitaka. Tafadhali kipokee." Mfalme alisema, "Nimefurahi umekileta nilichotaka. Ningependa unipe tukiwa mbele ya watu wengi." Mfalme aliwaita watu wote kutoka kijijini kwenda katika ikulu. Walipokuwa wanakula na kunywa, alisema, "Mtu huyu ametimiza ahadi yake kama mlivyosikia. Alisema ataleta tunda nililohitaji na amelileta. Ningependa kupokea zawadi hii kubwa mbele yenu nyote." Watu walifikiri kuwa jambazi angepata zawadi ya pesa. Walimwonea wivu. Walishangaa jinsi alipata matunda hayo ya pekee. Jambazi aliufungua mfuko wake ili kumpatia mfalme ndimu mbili. Alipozitoa mfukoni, zilikuwa ndimu mbili, lakini alipomkabidhi mfalme, ziligeuka na kuwa mafuvu mawili ya binadamu. Hili lilipofanyika, watu wote walikasirika, naye jambazi akapigwa na butwaa. Mfalme alitabasamu. Kwa muda mrefu, alikuwa akitamani kukomesha ujambazi katika ufalme wake. Alitaka vitendo vyao viovu kujulikana kwa kila mtu. Alikuwa akiomba Mola amwonyeshe nani aliyekuwa jambazi. Siku hiyo, maombi yake yalijibiwa. Alijua mtu huyo ndiye aliyekuwa muuaji. Alitoa amri atiwe gerezani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jambazi Author - DiresGebre-Meskel and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mfalme aliandaa nini
{ "text": [ "Sherehe" ] }
2234_swa
Jambazi Hapo zamani za kale, kulikuwa na wafanya biashara waliokwenda kila mahali. Walisafiri wakati wa musimu wa baridi na musimu wa joto. Walivuka milima, majangwa na misitu wakiuza na kununua bidhaa. Wafanya biashara hao waliwaogopa majambazi, kwa hivyo walisafiri wakiwa katika vikundi. Ilitokea kuwa mfanya biashara mmoja hakuweza kupata kikundi cha kusafiri nacho, kwa hivyo, alisafiri peke yake. Alikutana na jambazi akawa na hofu. Jambazi huyo alimwuliza, "Wewe ni nani?" Alijibu, "Mimi ni mfanya biashara." "Uko peke yako?" "La! Marafiki zangu wako nyuma ingawa sasa niko peke yangu," alijibu. Wakati huo, mfanya biashara mwingine alikuja kutoka nyuma yao. Alijificha akatazama kwa hofu jambazi yule akimwua mfanya biashara wa kwanza na kumzika. Aliwaza, "Nitaendeleaje na safari yangu? Yaliyompata mwenzangu yatanipata mimi pia." Aliogopa kuvuka akabaki mahali hapo kwa muda. Baadaye, aliwaza, "Siwezi kukaa hapa milele. Lazima niendelee na safari yangu." Alipita mahali ambapo jambazi alikuwa amemwua mfanya biashara wa kwanza. Alifika kijijini akiwa amehuzunika sana. Hakuweza kutabasamu wala kuzungumza na watu. Watu walimwuliza, "Ulikuwa mchangamfu, lakini sasa umehuzunika. Kwa nini?" "Nimechoka na ninahisi kiu," alisema. Alikaa hapo kijijini usiku wote. Siku iliyofuata, aliendelea na safari yake. Watu walizidi kumwuliza, "Unasumbuliwa na nini?" Mfanya biashara alijiuliza, "Je, niwaambie au la?" Mwishowe, aliamua kuwaambia yaliyompata mfanya biashara mwenzake. Alipomaliza kuwasimulia, wanakijiji walijua kuwa jambazi alikuwa ametoka kijijini kwao. Walisema, "Ni vibaya sana kitendo kama hiki kutendeka hapa. Tutajaribu kujua aliyeuawa ni nani." Lakini, hawakusema jambo lolote kuhusu jambazi aliyemwua mfanya biashara huyo. Mfanya biashara yule aliwaambia wanakijiji, "Nilimuona mtu akizika maiti ya mtu mwengine. Sikujua aliyezikwa alikuwa nani wala jambazi alikuwa nani. Sitawahi kurudi mahali hapa tena." Mfalme wa kijiji alisikia jinsi wafanya biashara walikuwa wakiuawa na kuzikwa na majambazi. Alihuzunika. "Je, majambazi wanawezaje kuwafanyia wafanya biashara hivi katika milki yangu?" Alitafuta njia ya kusuluhisha tatizo hilo. "Nitawaalika watu wote katika sherehe kisha nijaribu kuwashika majambazi hao." Mfalme alipendwa sana na watu wake. Aliwaandalia sherehe wakulima, makasisi na kila mtu kijijini. Wote walikula, wakanywa na kujiburudisha. Mfalme akasema, "Binti yangu ni mgonjwa. Dawa pekee inayoweza kumponya ni ndimu inayomea karibu na maji baridi yaliyo mbali na wanapoishi binadamu. Kuna yeyote anayeweza kuniletea ndimu hiyo?" Kila mtu aliwaza, "Je, nitaipata wapi ndimu aina hiyo?" Hawakusema chochote ila jambazi alisimama haraka akasema, "Mheshimiwa, nitakuletea ndimu hiyo, lakini nipe muda wa wiki mbili." Jambazi alikwenda moja kwa moja mpaka mahali alipomzika mfanya biashara aliyemwua kwa sababu ndimu aliyotaka mfalme ilimea hapo. Alikimbilia kuipata kabla mtu mwingine kufanya hivyo. Aliziweka ndimu mfukoni halafu akakimbia kumpelekea mfalme. Baada ya kusubiri langoni kwa siku kadhaa, alikubaliwa kumwona mfalme. Alisema, "Niko tayari kutimiza mahitaji yako. Nimekuletea ulichokitaka. Tafadhali kipokee." Mfalme alisema, "Nimefurahi umekileta nilichotaka. Ningependa unipe tukiwa mbele ya watu wengi." Mfalme aliwaita watu wote kutoka kijijini kwenda katika ikulu. Walipokuwa wanakula na kunywa, alisema, "Mtu huyu ametimiza ahadi yake kama mlivyosikia. Alisema ataleta tunda nililohitaji na amelileta. Ningependa kupokea zawadi hii kubwa mbele yenu nyote." Watu walifikiri kuwa jambazi angepata zawadi ya pesa. Walimwonea wivu. Walishangaa jinsi alipata matunda hayo ya pekee. Jambazi aliufungua mfuko wake ili kumpatia mfalme ndimu mbili. Alipozitoa mfukoni, zilikuwa ndimu mbili, lakini alipomkabidhi mfalme, ziligeuka na kuwa mafuvu mawili ya binadamu. Hili lilipofanyika, watu wote walikasirika, naye jambazi akapigwa na butwaa. Mfalme alitabasamu. Kwa muda mrefu, alikuwa akitamani kukomesha ujambazi katika ufalme wake. Alitaka vitendo vyao viovu kujulikana kwa kila mtu. Alikuwa akiomba Mola amwonyeshe nani aliyekuwa jambazi. Siku hiyo, maombi yake yalijibiwa. Alijua mtu huyo ndiye aliyekuwa muuaji. Alitoa amri atiwe gerezani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jambazi Author - DiresGebre-Meskel and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Jambazi aliweka nini mfukoni
{ "text": [ "Ndimu" ] }
2234_swa
Jambazi Hapo zamani za kale, kulikuwa na wafanya biashara waliokwenda kila mahali. Walisafiri wakati wa musimu wa baridi na musimu wa joto. Walivuka milima, majangwa na misitu wakiuza na kununua bidhaa. Wafanya biashara hao waliwaogopa majambazi, kwa hivyo walisafiri wakiwa katika vikundi. Ilitokea kuwa mfanya biashara mmoja hakuweza kupata kikundi cha kusafiri nacho, kwa hivyo, alisafiri peke yake. Alikutana na jambazi akawa na hofu. Jambazi huyo alimwuliza, "Wewe ni nani?" Alijibu, "Mimi ni mfanya biashara." "Uko peke yako?" "La! Marafiki zangu wako nyuma ingawa sasa niko peke yangu," alijibu. Wakati huo, mfanya biashara mwingine alikuja kutoka nyuma yao. Alijificha akatazama kwa hofu jambazi yule akimwua mfanya biashara wa kwanza na kumzika. Aliwaza, "Nitaendeleaje na safari yangu? Yaliyompata mwenzangu yatanipata mimi pia." Aliogopa kuvuka akabaki mahali hapo kwa muda. Baadaye, aliwaza, "Siwezi kukaa hapa milele. Lazima niendelee na safari yangu." Alipita mahali ambapo jambazi alikuwa amemwua mfanya biashara wa kwanza. Alifika kijijini akiwa amehuzunika sana. Hakuweza kutabasamu wala kuzungumza na watu. Watu walimwuliza, "Ulikuwa mchangamfu, lakini sasa umehuzunika. Kwa nini?" "Nimechoka na ninahisi kiu," alisema. Alikaa hapo kijijini usiku wote. Siku iliyofuata, aliendelea na safari yake. Watu walizidi kumwuliza, "Unasumbuliwa na nini?" Mfanya biashara alijiuliza, "Je, niwaambie au la?" Mwishowe, aliamua kuwaambia yaliyompata mfanya biashara mwenzake. Alipomaliza kuwasimulia, wanakijiji walijua kuwa jambazi alikuwa ametoka kijijini kwao. Walisema, "Ni vibaya sana kitendo kama hiki kutendeka hapa. Tutajaribu kujua aliyeuawa ni nani." Lakini, hawakusema jambo lolote kuhusu jambazi aliyemwua mfanya biashara huyo. Mfanya biashara yule aliwaambia wanakijiji, "Nilimuona mtu akizika maiti ya mtu mwengine. Sikujua aliyezikwa alikuwa nani wala jambazi alikuwa nani. Sitawahi kurudi mahali hapa tena." Mfalme wa kijiji alisikia jinsi wafanya biashara walikuwa wakiuawa na kuzikwa na majambazi. Alihuzunika. "Je, majambazi wanawezaje kuwafanyia wafanya biashara hivi katika milki yangu?" Alitafuta njia ya kusuluhisha tatizo hilo. "Nitawaalika watu wote katika sherehe kisha nijaribu kuwashika majambazi hao." Mfalme alipendwa sana na watu wake. Aliwaandalia sherehe wakulima, makasisi na kila mtu kijijini. Wote walikula, wakanywa na kujiburudisha. Mfalme akasema, "Binti yangu ni mgonjwa. Dawa pekee inayoweza kumponya ni ndimu inayomea karibu na maji baridi yaliyo mbali na wanapoishi binadamu. Kuna yeyote anayeweza kuniletea ndimu hiyo?" Kila mtu aliwaza, "Je, nitaipata wapi ndimu aina hiyo?" Hawakusema chochote ila jambazi alisimama haraka akasema, "Mheshimiwa, nitakuletea ndimu hiyo, lakini nipe muda wa wiki mbili." Jambazi alikwenda moja kwa moja mpaka mahali alipomzika mfanya biashara aliyemwua kwa sababu ndimu aliyotaka mfalme ilimea hapo. Alikimbilia kuipata kabla mtu mwingine kufanya hivyo. Aliziweka ndimu mfukoni halafu akakimbia kumpelekea mfalme. Baada ya kusubiri langoni kwa siku kadhaa, alikubaliwa kumwona mfalme. Alisema, "Niko tayari kutimiza mahitaji yako. Nimekuletea ulichokitaka. Tafadhali kipokee." Mfalme alisema, "Nimefurahi umekileta nilichotaka. Ningependa unipe tukiwa mbele ya watu wengi." Mfalme aliwaita watu wote kutoka kijijini kwenda katika ikulu. Walipokuwa wanakula na kunywa, alisema, "Mtu huyu ametimiza ahadi yake kama mlivyosikia. Alisema ataleta tunda nililohitaji na amelileta. Ningependa kupokea zawadi hii kubwa mbele yenu nyote." Watu walifikiri kuwa jambazi angepata zawadi ya pesa. Walimwonea wivu. Walishangaa jinsi alipata matunda hayo ya pekee. Jambazi aliufungua mfuko wake ili kumpatia mfalme ndimu mbili. Alipozitoa mfukoni, zilikuwa ndimu mbili, lakini alipomkabidhi mfalme, ziligeuka na kuwa mafuvu mawili ya binadamu. Hili lilipofanyika, watu wote walikasirika, naye jambazi akapigwa na butwaa. Mfalme alitabasamu. Kwa muda mrefu, alikuwa akitamani kukomesha ujambazi katika ufalme wake. Alitaka vitendo vyao viovu kujulikana kwa kila mtu. Alikuwa akiomba Mola amwonyeshe nani aliyekuwa jambazi. Siku hiyo, maombi yake yalijibiwa. Alijua mtu huyo ndiye aliyekuwa muuaji. Alitoa amri atiwe gerezani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jambazi Author - DiresGebre-Meskel and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kwa nini mfalme aliagiza jambazi litiwe gerezani
{ "text": [ "Kwa kuua mfanya biashara" ] }
2239_swa
Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Mkahawa huzaa matunda yaliyo na mbegu ndani. Mbegu hizo ni kahawa. Kuna hekaya nyingi kuhusu jinsi kahawa ilivyogunduliwa. Mojawapo inamhusu Kaldi, raia wa Ethiopia. Kaldi alikuwa mchungaji nchini Ethiopia. Inasemekana kuwa siku moja mbuzi wake waliyala matunda ya rangi nyekundu kutoka mti wa kahawa. Baadaye, Kaldi alishuhudia mbuzi hao wakirukaruka kwa uchangamfu usiokuwa wa kawaida. Kaldi alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua ikiwa matunda yale yaliwapa mbuzi wake nguvu fulani. Alionja ladha yake chungu alipoyatavuna. Baadaye, Kaldi alikuwa macho. Yeye pia alihisi nguvu fulani mpya. Alichuma baadhi ya majani na yale matunda. Aliyapeleka nyumbani na kumpatia mkewe. Mkewe alipoyatavuna yale matunda, naye pia aliathirika kama Kaldi. Alikuwa macho na kuhisi nguvu ya kipekee. Kaldi na mkewe waliamini kuwa matunda yale yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. Siku chache baadaye, Kaldi aliwapelekea watawa matunda yale na majani yake. Aliwahadithia jinsi mbuzi wake walivyoathirika walipoyala matunda yale. Alipoondoka, watawa wawili walimfuata kisirisiri wakitaka kujua ikiwa ilikuwa ukweli. Walihakikisha walipowaona mbuzi wakichangamka na kucheza baada ya kuyala yale matunda. Watawa walirudi nyumbani na kuyachemsha yale matunda ya kahawa. Walipoyanywa maji yaliyochemka, ladha yake ilikuwa chungu sana! Walidhani kuwa kilikuwa kinywaji cha shetani. Waliyatupa matunda yaliyobaki kwenye moto. Yalipochomeka, walinusu harufu yake nzuri. Walipata wazo la kuzikaanga zile mbegu kwanza kabla ya kuzichemsha. Kinywaji kilichotoka kwenye mbegu zilizokaangwa kilikuwa na ladha nzuri zaidi. Baada ya watawa kunywa kinywaji kile, walikuwa macho na wenye nguvu. Tangu wakati huo, watu hunywa kahawa ili kuwa macho na pia kuburudika. Kwa hivyo, unywaji wa kahawa ulianzia nchini Ethiopia na kuenea ulimwengu mzima! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Author - Alemu Abebe and CODE Ethiopia Translation - Ursula Nafula Illustration - Mekasha Haile Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © CODE Ethiopia 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kahawa huzaliwa na nini
{ "text": [ "Mkahawa" ] }
2239_swa
Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Mkahawa huzaa matunda yaliyo na mbegu ndani. Mbegu hizo ni kahawa. Kuna hekaya nyingi kuhusu jinsi kahawa ilivyogunduliwa. Mojawapo inamhusu Kaldi, raia wa Ethiopia. Kaldi alikuwa mchungaji nchini Ethiopia. Inasemekana kuwa siku moja mbuzi wake waliyala matunda ya rangi nyekundu kutoka mti wa kahawa. Baadaye, Kaldi alishuhudia mbuzi hao wakirukaruka kwa uchangamfu usiokuwa wa kawaida. Kaldi alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua ikiwa matunda yale yaliwapa mbuzi wake nguvu fulani. Alionja ladha yake chungu alipoyatavuna. Baadaye, Kaldi alikuwa macho. Yeye pia alihisi nguvu fulani mpya. Alichuma baadhi ya majani na yale matunda. Aliyapeleka nyumbani na kumpatia mkewe. Mkewe alipoyatavuna yale matunda, naye pia aliathirika kama Kaldi. Alikuwa macho na kuhisi nguvu ya kipekee. Kaldi na mkewe waliamini kuwa matunda yale yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. Siku chache baadaye, Kaldi aliwapelekea watawa matunda yale na majani yake. Aliwahadithia jinsi mbuzi wake walivyoathirika walipoyala matunda yale. Alipoondoka, watawa wawili walimfuata kisirisiri wakitaka kujua ikiwa ilikuwa ukweli. Walihakikisha walipowaona mbuzi wakichangamka na kucheza baada ya kuyala yale matunda. Watawa walirudi nyumbani na kuyachemsha yale matunda ya kahawa. Walipoyanywa maji yaliyochemka, ladha yake ilikuwa chungu sana! Walidhani kuwa kilikuwa kinywaji cha shetani. Waliyatupa matunda yaliyobaki kwenye moto. Yalipochomeka, walinusu harufu yake nzuri. Walipata wazo la kuzikaanga zile mbegu kwanza kabla ya kuzichemsha. Kinywaji kilichotoka kwenye mbegu zilizokaangwa kilikuwa na ladha nzuri zaidi. Baada ya watawa kunywa kinywaji kile, walikuwa macho na wenye nguvu. Tangu wakati huo, watu hunywa kahawa ili kuwa macho na pia kuburudika. Kwa hivyo, unywaji wa kahawa ulianzia nchini Ethiopia na kuenea ulimwengu mzima! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Author - Alemu Abebe and CODE Ethiopia Translation - Ursula Nafula Illustration - Mekasha Haile Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © CODE Ethiopia 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kaldi na mkewe waliamini matunda hayo yametoka kwa nani
{ "text": [ "kwa Mungu" ] }
2239_swa
Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Mkahawa huzaa matunda yaliyo na mbegu ndani. Mbegu hizo ni kahawa. Kuna hekaya nyingi kuhusu jinsi kahawa ilivyogunduliwa. Mojawapo inamhusu Kaldi, raia wa Ethiopia. Kaldi alikuwa mchungaji nchini Ethiopia. Inasemekana kuwa siku moja mbuzi wake waliyala matunda ya rangi nyekundu kutoka mti wa kahawa. Baadaye, Kaldi alishuhudia mbuzi hao wakirukaruka kwa uchangamfu usiokuwa wa kawaida. Kaldi alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua ikiwa matunda yale yaliwapa mbuzi wake nguvu fulani. Alionja ladha yake chungu alipoyatavuna. Baadaye, Kaldi alikuwa macho. Yeye pia alihisi nguvu fulani mpya. Alichuma baadhi ya majani na yale matunda. Aliyapeleka nyumbani na kumpatia mkewe. Mkewe alipoyatavuna yale matunda, naye pia aliathirika kama Kaldi. Alikuwa macho na kuhisi nguvu ya kipekee. Kaldi na mkewe waliamini kuwa matunda yale yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. Siku chache baadaye, Kaldi aliwapelekea watawa matunda yale na majani yake. Aliwahadithia jinsi mbuzi wake walivyoathirika walipoyala matunda yale. Alipoondoka, watawa wawili walimfuata kisirisiri wakitaka kujua ikiwa ilikuwa ukweli. Walihakikisha walipowaona mbuzi wakichangamka na kucheza baada ya kuyala yale matunda. Watawa walirudi nyumbani na kuyachemsha yale matunda ya kahawa. Walipoyanywa maji yaliyochemka, ladha yake ilikuwa chungu sana! Walidhani kuwa kilikuwa kinywaji cha shetani. Waliyatupa matunda yaliyobaki kwenye moto. Yalipochomeka, walinusu harufu yake nzuri. Walipata wazo la kuzikaanga zile mbegu kwanza kabla ya kuzichemsha. Kinywaji kilichotoka kwenye mbegu zilizokaangwa kilikuwa na ladha nzuri zaidi. Baada ya watawa kunywa kinywaji kile, walikuwa macho na wenye nguvu. Tangu wakati huo, watu hunywa kahawa ili kuwa macho na pia kuburudika. Kwa hivyo, unywaji wa kahawa ulianzia nchini Ethiopia na kuenea ulimwengu mzima! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Author - Alemu Abebe and CODE Ethiopia Translation - Ursula Nafula Illustration - Mekasha Haile Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © CODE Ethiopia 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Watawa walifanyia nini matunda yaliyobaki ya kahawa
{ "text": [ "waliyatupa kwenye moto" ] }
2239_swa
Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Mkahawa huzaa matunda yaliyo na mbegu ndani. Mbegu hizo ni kahawa. Kuna hekaya nyingi kuhusu jinsi kahawa ilivyogunduliwa. Mojawapo inamhusu Kaldi, raia wa Ethiopia. Kaldi alikuwa mchungaji nchini Ethiopia. Inasemekana kuwa siku moja mbuzi wake waliyala matunda ya rangi nyekundu kutoka mti wa kahawa. Baadaye, Kaldi alishuhudia mbuzi hao wakirukaruka kwa uchangamfu usiokuwa wa kawaida. Kaldi alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua ikiwa matunda yale yaliwapa mbuzi wake nguvu fulani. Alionja ladha yake chungu alipoyatavuna. Baadaye, Kaldi alikuwa macho. Yeye pia alihisi nguvu fulani mpya. Alichuma baadhi ya majani na yale matunda. Aliyapeleka nyumbani na kumpatia mkewe. Mkewe alipoyatavuna yale matunda, naye pia aliathirika kama Kaldi. Alikuwa macho na kuhisi nguvu ya kipekee. Kaldi na mkewe waliamini kuwa matunda yale yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. Siku chache baadaye, Kaldi aliwapelekea watawa matunda yale na majani yake. Aliwahadithia jinsi mbuzi wake walivyoathirika walipoyala matunda yale. Alipoondoka, watawa wawili walimfuata kisirisiri wakitaka kujua ikiwa ilikuwa ukweli. Walihakikisha walipowaona mbuzi wakichangamka na kucheza baada ya kuyala yale matunda. Watawa walirudi nyumbani na kuyachemsha yale matunda ya kahawa. Walipoyanywa maji yaliyochemka, ladha yake ilikuwa chungu sana! Walidhani kuwa kilikuwa kinywaji cha shetani. Waliyatupa matunda yaliyobaki kwenye moto. Yalipochomeka, walinusu harufu yake nzuri. Walipata wazo la kuzikaanga zile mbegu kwanza kabla ya kuzichemsha. Kinywaji kilichotoka kwenye mbegu zilizokaangwa kilikuwa na ladha nzuri zaidi. Baada ya watawa kunywa kinywaji kile, walikuwa macho na wenye nguvu. Tangu wakati huo, watu hunywa kahawa ili kuwa macho na pia kuburudika. Kwa hivyo, unywaji wa kahawa ulianzia nchini Ethiopia na kuenea ulimwengu mzima! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Author - Alemu Abebe and CODE Ethiopia Translation - Ursula Nafula Illustration - Mekasha Haile Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © CODE Ethiopia 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kaldi aliwapelekea watawa matunda hayo na majani yake lini
{ "text": [ "siku chache baadaye" ] }
2239_swa
Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Mkahawa huzaa matunda yaliyo na mbegu ndani. Mbegu hizo ni kahawa. Kuna hekaya nyingi kuhusu jinsi kahawa ilivyogunduliwa. Mojawapo inamhusu Kaldi, raia wa Ethiopia. Kaldi alikuwa mchungaji nchini Ethiopia. Inasemekana kuwa siku moja mbuzi wake waliyala matunda ya rangi nyekundu kutoka mti wa kahawa. Baadaye, Kaldi alishuhudia mbuzi hao wakirukaruka kwa uchangamfu usiokuwa wa kawaida. Kaldi alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua ikiwa matunda yale yaliwapa mbuzi wake nguvu fulani. Alionja ladha yake chungu alipoyatavuna. Baadaye, Kaldi alikuwa macho. Yeye pia alihisi nguvu fulani mpya. Alichuma baadhi ya majani na yale matunda. Aliyapeleka nyumbani na kumpatia mkewe. Mkewe alipoyatavuna yale matunda, naye pia aliathirika kama Kaldi. Alikuwa macho na kuhisi nguvu ya kipekee. Kaldi na mkewe waliamini kuwa matunda yale yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. Siku chache baadaye, Kaldi aliwapelekea watawa matunda yale na majani yake. Aliwahadithia jinsi mbuzi wake walivyoathirika walipoyala matunda yale. Alipoondoka, watawa wawili walimfuata kisirisiri wakitaka kujua ikiwa ilikuwa ukweli. Walihakikisha walipowaona mbuzi wakichangamka na kucheza baada ya kuyala yale matunda. Watawa walirudi nyumbani na kuyachemsha yale matunda ya kahawa. Walipoyanywa maji yaliyochemka, ladha yake ilikuwa chungu sana! Walidhani kuwa kilikuwa kinywaji cha shetani. Waliyatupa matunda yaliyobaki kwenye moto. Yalipochomeka, walinusu harufu yake nzuri. Walipata wazo la kuzikaanga zile mbegu kwanza kabla ya kuzichemsha. Kinywaji kilichotoka kwenye mbegu zilizokaangwa kilikuwa na ladha nzuri zaidi. Baada ya watawa kunywa kinywaji kile, walikuwa macho na wenye nguvu. Tangu wakati huo, watu hunywa kahawa ili kuwa macho na pia kuburudika. Kwa hivyo, unywaji wa kahawa ulianzia nchini Ethiopia na kuenea ulimwengu mzima! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi kahawa ilivyogunduliwa Author - Alemu Abebe and CODE Ethiopia Translation - Ursula Nafula Illustration - Mekasha Haile Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © CODE Ethiopia 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni kwa nini watu hunywa kahawa
{ "text": [ "ili kuwa macho na pia kuburudika" ] }
2241_swa
Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Siku moja, mvua kubwa ilikuwa imenyesha. Imani alitazama angani na kwa mara ya kwanza, aliona rangi. Rangi zile zilipendeza sana. Alidhani kuwa mtu fulani alikuwa amefanya kazi kubwa ya kuipaka anga rangi kama vile babake alivyozipaka nyumba. Alikimbia kumweleza dadake. "Sarah, tazama! Mtu fulani ametupakia anga rangi na kuirembesha." Lakini Sarah alisema, "Usiwe mshenzi! Huo ni upinde. Wewe ni mdogo nami ni mkubwa. Ninajua kwa nini upinde uko angani. Hebu nikuonyeshe." Alimpeleka Imani katika bustani ya wanyama akasema, "Upinde hautokezei kwa sababu simba wananguruma kwa mara ya kwanza. Wala hautokezei kwa sababu tembo wanazaliwa." Sarah alimpeleka tena Imani kwenye bustani ya maua akasema, "Upinde hautokezei eti kwa sababu vipepeo wameipoteza rangi yao mawinguni." Sarah alimwonyesha Imani kitabu akasema, "Vilevile, upinde hautokezei eti kwa sababu vifaru wanakimbia na kuzitisha rangi." "Ninajua kwa nini pinde hutokezea. Mama alinieleza, nami sasa ninakueleza!" Sarah alimwelekeza Imani kwenye uwanja wa michezo. "Pinde hutokezea angani kwa ajili ya watoto kama mimi na wewe. Siku moja, rangi zilitazama chini kutoka juu na zikafurahia kile zilizoweza kuona." "Ziliwaona watoto wenye rangi ya maji ya kunde, rangi nyeusi na rangi iliyo katikati. Ziliwaza, 'Ni ajabu ilioje kupendeza kama watoto hawa wanavyopendeza.'" "Rangi hizo zilikuja pamoja angani zikajadiliana ambavyo zingefanya. Ziliamua, 'Tutaweza tu kupendeza tukiwa kikundi.'" "Sasa, huwa zinaungana pamoja na kung'ara namna zinavyoweza. Zina matumaini ya kupendeza kama watoto zinazoona, watoto kama mimi na wewe." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Author - Zainab Ayoza Omaki Translation - Ursula Nafula Illustration - Offei Tettey Eugene Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alitazama angani akaona rangi iliyopendeza?
{ "text": [ "Imani" ] }
2241_swa
Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Siku moja, mvua kubwa ilikuwa imenyesha. Imani alitazama angani na kwa mara ya kwanza, aliona rangi. Rangi zile zilipendeza sana. Alidhani kuwa mtu fulani alikuwa amefanya kazi kubwa ya kuipaka anga rangi kama vile babake alivyozipaka nyumba. Alikimbia kumweleza dadake. "Sarah, tazama! Mtu fulani ametupakia anga rangi na kuirembesha." Lakini Sarah alisema, "Usiwe mshenzi! Huo ni upinde. Wewe ni mdogo nami ni mkubwa. Ninajua kwa nini upinde uko angani. Hebu nikuonyeshe." Alimpeleka Imani katika bustani ya wanyama akasema, "Upinde hautokezei kwa sababu simba wananguruma kwa mara ya kwanza. Wala hautokezei kwa sababu tembo wanazaliwa." Sarah alimpeleka tena Imani kwenye bustani ya maua akasema, "Upinde hautokezei eti kwa sababu vipepeo wameipoteza rangi yao mawinguni." Sarah alimwonyesha Imani kitabu akasema, "Vilevile, upinde hautokezei eti kwa sababu vifaru wanakimbia na kuzitisha rangi." "Ninajua kwa nini pinde hutokezea. Mama alinieleza, nami sasa ninakueleza!" Sarah alimwelekeza Imani kwenye uwanja wa michezo. "Pinde hutokezea angani kwa ajili ya watoto kama mimi na wewe. Siku moja, rangi zilitazama chini kutoka juu na zikafurahia kile zilizoweza kuona." "Ziliwaona watoto wenye rangi ya maji ya kunde, rangi nyeusi na rangi iliyo katikati. Ziliwaza, 'Ni ajabu ilioje kupendeza kama watoto hawa wanavyopendeza.'" "Rangi hizo zilikuja pamoja angani zikajadiliana ambavyo zingefanya. Ziliamua, 'Tutaweza tu kupendeza tukiwa kikundi.'" "Sasa, huwa zinaungana pamoja na kung'ara namna zinavyoweza. Zina matumaini ya kupendeza kama watoto zinazoona, watoto kama mimi na wewe." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Author - Zainab Ayoza Omaki Translation - Ursula Nafula Illustration - Offei Tettey Eugene Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Babake Imani alifanya kazi ya kupaka nyumba nini?
{ "text": [ "Rangi" ] }
2241_swa
Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Siku moja, mvua kubwa ilikuwa imenyesha. Imani alitazama angani na kwa mara ya kwanza, aliona rangi. Rangi zile zilipendeza sana. Alidhani kuwa mtu fulani alikuwa amefanya kazi kubwa ya kuipaka anga rangi kama vile babake alivyozipaka nyumba. Alikimbia kumweleza dadake. "Sarah, tazama! Mtu fulani ametupakia anga rangi na kuirembesha." Lakini Sarah alisema, "Usiwe mshenzi! Huo ni upinde. Wewe ni mdogo nami ni mkubwa. Ninajua kwa nini upinde uko angani. Hebu nikuonyeshe." Alimpeleka Imani katika bustani ya wanyama akasema, "Upinde hautokezei kwa sababu simba wananguruma kwa mara ya kwanza. Wala hautokezei kwa sababu tembo wanazaliwa." Sarah alimpeleka tena Imani kwenye bustani ya maua akasema, "Upinde hautokezei eti kwa sababu vipepeo wameipoteza rangi yao mawinguni." Sarah alimwonyesha Imani kitabu akasema, "Vilevile, upinde hautokezei eti kwa sababu vifaru wanakimbia na kuzitisha rangi." "Ninajua kwa nini pinde hutokezea. Mama alinieleza, nami sasa ninakueleza!" Sarah alimwelekeza Imani kwenye uwanja wa michezo. "Pinde hutokezea angani kwa ajili ya watoto kama mimi na wewe. Siku moja, rangi zilitazama chini kutoka juu na zikafurahia kile zilizoweza kuona." "Ziliwaona watoto wenye rangi ya maji ya kunde, rangi nyeusi na rangi iliyo katikati. Ziliwaza, 'Ni ajabu ilioje kupendeza kama watoto hawa wanavyopendeza.'" "Rangi hizo zilikuja pamoja angani zikajadiliana ambavyo zingefanya. Ziliamua, 'Tutaweza tu kupendeza tukiwa kikundi.'" "Sasa, huwa zinaungana pamoja na kung'ara namna zinavyoweza. Zina matumaini ya kupendeza kama watoto zinazoona, watoto kama mimi na wewe." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Author - Zainab Ayoza Omaki Translation - Ursula Nafula Illustration - Offei Tettey Eugene Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Dadake Imani aliitwaje?
{ "text": [ "Sarah" ] }
2241_swa
Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Siku moja, mvua kubwa ilikuwa imenyesha. Imani alitazama angani na kwa mara ya kwanza, aliona rangi. Rangi zile zilipendeza sana. Alidhani kuwa mtu fulani alikuwa amefanya kazi kubwa ya kuipaka anga rangi kama vile babake alivyozipaka nyumba. Alikimbia kumweleza dadake. "Sarah, tazama! Mtu fulani ametupakia anga rangi na kuirembesha." Lakini Sarah alisema, "Usiwe mshenzi! Huo ni upinde. Wewe ni mdogo nami ni mkubwa. Ninajua kwa nini upinde uko angani. Hebu nikuonyeshe." Alimpeleka Imani katika bustani ya wanyama akasema, "Upinde hautokezei kwa sababu simba wananguruma kwa mara ya kwanza. Wala hautokezei kwa sababu tembo wanazaliwa." Sarah alimpeleka tena Imani kwenye bustani ya maua akasema, "Upinde hautokezei eti kwa sababu vipepeo wameipoteza rangi yao mawinguni." Sarah alimwonyesha Imani kitabu akasema, "Vilevile, upinde hautokezei eti kwa sababu vifaru wanakimbia na kuzitisha rangi." "Ninajua kwa nini pinde hutokezea. Mama alinieleza, nami sasa ninakueleza!" Sarah alimwelekeza Imani kwenye uwanja wa michezo. "Pinde hutokezea angani kwa ajili ya watoto kama mimi na wewe. Siku moja, rangi zilitazama chini kutoka juu na zikafurahia kile zilizoweza kuona." "Ziliwaona watoto wenye rangi ya maji ya kunde, rangi nyeusi na rangi iliyo katikati. Ziliwaza, 'Ni ajabu ilioje kupendeza kama watoto hawa wanavyopendeza.'" "Rangi hizo zilikuja pamoja angani zikajadiliana ambavyo zingefanya. Ziliamua, 'Tutaweza tu kupendeza tukiwa kikundi.'" "Sasa, huwa zinaungana pamoja na kung'ara namna zinavyoweza. Zina matumaini ya kupendeza kama watoto zinazoona, watoto kama mimi na wewe." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Author - Zainab Ayoza Omaki Translation - Ursula Nafula Illustration - Offei Tettey Eugene Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Rangi inayoonekana kwenye anga wakati wa mvua huitwaje?
{ "text": [ "Upinde" ] }
2241_swa
Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Siku moja, mvua kubwa ilikuwa imenyesha. Imani alitazama angani na kwa mara ya kwanza, aliona rangi. Rangi zile zilipendeza sana. Alidhani kuwa mtu fulani alikuwa amefanya kazi kubwa ya kuipaka anga rangi kama vile babake alivyozipaka nyumba. Alikimbia kumweleza dadake. "Sarah, tazama! Mtu fulani ametupakia anga rangi na kuirembesha." Lakini Sarah alisema, "Usiwe mshenzi! Huo ni upinde. Wewe ni mdogo nami ni mkubwa. Ninajua kwa nini upinde uko angani. Hebu nikuonyeshe." Alimpeleka Imani katika bustani ya wanyama akasema, "Upinde hautokezei kwa sababu simba wananguruma kwa mara ya kwanza. Wala hautokezei kwa sababu tembo wanazaliwa." Sarah alimpeleka tena Imani kwenye bustani ya maua akasema, "Upinde hautokezei eti kwa sababu vipepeo wameipoteza rangi yao mawinguni." Sarah alimwonyesha Imani kitabu akasema, "Vilevile, upinde hautokezei eti kwa sababu vifaru wanakimbia na kuzitisha rangi." "Ninajua kwa nini pinde hutokezea. Mama alinieleza, nami sasa ninakueleza!" Sarah alimwelekeza Imani kwenye uwanja wa michezo. "Pinde hutokezea angani kwa ajili ya watoto kama mimi na wewe. Siku moja, rangi zilitazama chini kutoka juu na zikafurahia kile zilizoweza kuona." "Ziliwaona watoto wenye rangi ya maji ya kunde, rangi nyeusi na rangi iliyo katikati. Ziliwaza, 'Ni ajabu ilioje kupendeza kama watoto hawa wanavyopendeza.'" "Rangi hizo zilikuja pamoja angani zikajadiliana ambavyo zingefanya. Ziliamua, 'Tutaweza tu kupendeza tukiwa kikundi.'" "Sasa, huwa zinaungana pamoja na kung'ara namna zinavyoweza. Zina matumaini ya kupendeza kama watoto zinazoona, watoto kama mimi na wewe." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi rangi zilivyokuja pamoja angani Author - Zainab Ayoza Omaki Translation - Ursula Nafula Illustration - Offei Tettey Eugene Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Upinde hautokani na nani anaponguruma?
{ "text": [ "Simba aliye msituni" ] }
2242_swa
Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Hapo zamani hakukuwa na majira ya usiku katika kijiji cha kina Opio. Watu walilala wakati wowote walipochoka. Walifanya kazi zao walipoamka. Siku moja, Opio alienda na mbwa wake kuwinda. Baada ya muda mfupi, mbwa walianza kumfukuza paa. Opio aliwafuata akakimbia kwa muda wa saa nyingi. Alipochoka alipumzika halafu baadaye alianza kukimbia tena. Lakini, hakuwaona mbwa wake. Opio alijipata katika kijiji tofauti. Alimwambia mwenye nyumba, "Nimechoka. Nahitaji kupumzika." Mtu yule alimjibu, "Unakaribishwa kupumzika hapa. Je, ungependa kunywa pombe kidogo?" Opio alikuwa na kiu. Aliinywa pombe kidogo kisha akalala. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Aliyafumba na kuyafumbua macho yake mara nyingi. Mwishowe, alimwambia mhisani wake, "Ulinipa kinywaji kibaya. Siwezi tena kuona sawasawa." Mwenye nyumba alimwambia, "Hukunywa kinywaji kibaya na macho yako ni sawasawa. Sasa hivi ni usiku. Kwani hujui usiku? Siku ikiisha, usiku hufuata." Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku akapendezwa sana nao. Alikaa hapo siku nyingine ili auone usiku ukiingia tena. Asubuhi iliyofuata, yule mtu alimweleza Opio, "Giza litakapoanza kuingia, anza kutembea ukienda kijijini kwenu. Ukitembea huku ukiangalia mbele usiku utakufuata. Ukiangalia nyuma usiku utapotea." Opio alifanya alivyoambiwa. Usiku huo alianza kutembea akielekea kijijini kwao. Alihisi giza likimfuata nyuma. Alikuwa na haja ya kuangalia nyuma lakini alijizuia. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa. Walimwuliza, "Huu ni ugonjwa gani uliotuletea? Ni nini hiki cheusi kinachokufuata?" Opio akawaeleza, "Ndugu zangu, kitu hiki cheusi kinachonifuata kinaitwa usiku. Mnavyoogopa ndivyo nilivyoogopa pia." Opio aliendelea kuwaeleza, "Ninyi vilevile mtaupenda usiku. Mwangaza ukija tutaweza kufanya kazi. Na usiku ukiingia tutapumzika." Na hivyo ndivyo majira ya usiku yalivyotambuliwa katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Author - Robert Ekuka Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Hakukuwa na nini katika kijiji cha kina Opio
{ "text": [ "Majira" ] }
2242_swa
Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Hapo zamani hakukuwa na majira ya usiku katika kijiji cha kina Opio. Watu walilala wakati wowote walipochoka. Walifanya kazi zao walipoamka. Siku moja, Opio alienda na mbwa wake kuwinda. Baada ya muda mfupi, mbwa walianza kumfukuza paa. Opio aliwafuata akakimbia kwa muda wa saa nyingi. Alipochoka alipumzika halafu baadaye alianza kukimbia tena. Lakini, hakuwaona mbwa wake. Opio alijipata katika kijiji tofauti. Alimwambia mwenye nyumba, "Nimechoka. Nahitaji kupumzika." Mtu yule alimjibu, "Unakaribishwa kupumzika hapa. Je, ungependa kunywa pombe kidogo?" Opio alikuwa na kiu. Aliinywa pombe kidogo kisha akalala. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Aliyafumba na kuyafumbua macho yake mara nyingi. Mwishowe, alimwambia mhisani wake, "Ulinipa kinywaji kibaya. Siwezi tena kuona sawasawa." Mwenye nyumba alimwambia, "Hukunywa kinywaji kibaya na macho yako ni sawasawa. Sasa hivi ni usiku. Kwani hujui usiku? Siku ikiisha, usiku hufuata." Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku akapendezwa sana nao. Alikaa hapo siku nyingine ili auone usiku ukiingia tena. Asubuhi iliyofuata, yule mtu alimweleza Opio, "Giza litakapoanza kuingia, anza kutembea ukienda kijijini kwenu. Ukitembea huku ukiangalia mbele usiku utakufuata. Ukiangalia nyuma usiku utapotea." Opio alifanya alivyoambiwa. Usiku huo alianza kutembea akielekea kijijini kwao. Alihisi giza likimfuata nyuma. Alikuwa na haja ya kuangalia nyuma lakini alijizuia. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa. Walimwuliza, "Huu ni ugonjwa gani uliotuletea? Ni nini hiki cheusi kinachokufuata?" Opio akawaeleza, "Ndugu zangu, kitu hiki cheusi kinachonifuata kinaitwa usiku. Mnavyoogopa ndivyo nilivyoogopa pia." Opio aliendelea kuwaeleza, "Ninyi vilevile mtaupenda usiku. Mwangaza ukija tutaweza kufanya kazi. Na usiku ukiingia tutapumzika." Na hivyo ndivyo majira ya usiku yalivyotambuliwa katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Author - Robert Ekuka Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Opio alienda na nini kuwinda
{ "text": [ "Mbwa" ] }
2242_swa
Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Hapo zamani hakukuwa na majira ya usiku katika kijiji cha kina Opio. Watu walilala wakati wowote walipochoka. Walifanya kazi zao walipoamka. Siku moja, Opio alienda na mbwa wake kuwinda. Baada ya muda mfupi, mbwa walianza kumfukuza paa. Opio aliwafuata akakimbia kwa muda wa saa nyingi. Alipochoka alipumzika halafu baadaye alianza kukimbia tena. Lakini, hakuwaona mbwa wake. Opio alijipata katika kijiji tofauti. Alimwambia mwenye nyumba, "Nimechoka. Nahitaji kupumzika." Mtu yule alimjibu, "Unakaribishwa kupumzika hapa. Je, ungependa kunywa pombe kidogo?" Opio alikuwa na kiu. Aliinywa pombe kidogo kisha akalala. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Aliyafumba na kuyafumbua macho yake mara nyingi. Mwishowe, alimwambia mhisani wake, "Ulinipa kinywaji kibaya. Siwezi tena kuona sawasawa." Mwenye nyumba alimwambia, "Hukunywa kinywaji kibaya na macho yako ni sawasawa. Sasa hivi ni usiku. Kwani hujui usiku? Siku ikiisha, usiku hufuata." Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku akapendezwa sana nao. Alikaa hapo siku nyingine ili auone usiku ukiingia tena. Asubuhi iliyofuata, yule mtu alimweleza Opio, "Giza litakapoanza kuingia, anza kutembea ukienda kijijini kwenu. Ukitembea huku ukiangalia mbele usiku utakufuata. Ukiangalia nyuma usiku utapotea." Opio alifanya alivyoambiwa. Usiku huo alianza kutembea akielekea kijijini kwao. Alihisi giza likimfuata nyuma. Alikuwa na haja ya kuangalia nyuma lakini alijizuia. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa. Walimwuliza, "Huu ni ugonjwa gani uliotuletea? Ni nini hiki cheusi kinachokufuata?" Opio akawaeleza, "Ndugu zangu, kitu hiki cheusi kinachonifuata kinaitwa usiku. Mnavyoogopa ndivyo nilivyoogopa pia." Opio aliendelea kuwaeleza, "Ninyi vilevile mtaupenda usiku. Mwangaza ukija tutaweza kufanya kazi. Na usiku ukiingia tutapumzika." Na hivyo ndivyo majira ya usiku yalivyotambuliwa katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Author - Robert Ekuka Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Opio alikunywa nini kabla kulala
{ "text": [ "Pombe" ] }
2242_swa
Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Hapo zamani hakukuwa na majira ya usiku katika kijiji cha kina Opio. Watu walilala wakati wowote walipochoka. Walifanya kazi zao walipoamka. Siku moja, Opio alienda na mbwa wake kuwinda. Baada ya muda mfupi, mbwa walianza kumfukuza paa. Opio aliwafuata akakimbia kwa muda wa saa nyingi. Alipochoka alipumzika halafu baadaye alianza kukimbia tena. Lakini, hakuwaona mbwa wake. Opio alijipata katika kijiji tofauti. Alimwambia mwenye nyumba, "Nimechoka. Nahitaji kupumzika." Mtu yule alimjibu, "Unakaribishwa kupumzika hapa. Je, ungependa kunywa pombe kidogo?" Opio alikuwa na kiu. Aliinywa pombe kidogo kisha akalala. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Aliyafumba na kuyafumbua macho yake mara nyingi. Mwishowe, alimwambia mhisani wake, "Ulinipa kinywaji kibaya. Siwezi tena kuona sawasawa." Mwenye nyumba alimwambia, "Hukunywa kinywaji kibaya na macho yako ni sawasawa. Sasa hivi ni usiku. Kwani hujui usiku? Siku ikiisha, usiku hufuata." Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku akapendezwa sana nao. Alikaa hapo siku nyingine ili auone usiku ukiingia tena. Asubuhi iliyofuata, yule mtu alimweleza Opio, "Giza litakapoanza kuingia, anza kutembea ukienda kijijini kwenu. Ukitembea huku ukiangalia mbele usiku utakufuata. Ukiangalia nyuma usiku utapotea." Opio alifanya alivyoambiwa. Usiku huo alianza kutembea akielekea kijijini kwao. Alihisi giza likimfuata nyuma. Alikuwa na haja ya kuangalia nyuma lakini alijizuia. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa. Walimwuliza, "Huu ni ugonjwa gani uliotuletea? Ni nini hiki cheusi kinachokufuata?" Opio akawaeleza, "Ndugu zangu, kitu hiki cheusi kinachonifuata kinaitwa usiku. Mnavyoogopa ndivyo nilivyoogopa pia." Opio aliendelea kuwaeleza, "Ninyi vilevile mtaupenda usiku. Mwangaza ukija tutaweza kufanya kazi. Na usiku ukiingia tutapumzika." Na hivyo ndivyo majira ya usiku yalivyotambuliwa katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Author - Robert Ekuka Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwangaza ukija watafanya nini
{ "text": [ "Kazi" ] }
2242_swa
Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Hapo zamani hakukuwa na majira ya usiku katika kijiji cha kina Opio. Watu walilala wakati wowote walipochoka. Walifanya kazi zao walipoamka. Siku moja, Opio alienda na mbwa wake kuwinda. Baada ya muda mfupi, mbwa walianza kumfukuza paa. Opio aliwafuata akakimbia kwa muda wa saa nyingi. Alipochoka alipumzika halafu baadaye alianza kukimbia tena. Lakini, hakuwaona mbwa wake. Opio alijipata katika kijiji tofauti. Alimwambia mwenye nyumba, "Nimechoka. Nahitaji kupumzika." Mtu yule alimjibu, "Unakaribishwa kupumzika hapa. Je, ungependa kunywa pombe kidogo?" Opio alikuwa na kiu. Aliinywa pombe kidogo kisha akalala. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Aliyafumba na kuyafumbua macho yake mara nyingi. Mwishowe, alimwambia mhisani wake, "Ulinipa kinywaji kibaya. Siwezi tena kuona sawasawa." Mwenye nyumba alimwambia, "Hukunywa kinywaji kibaya na macho yako ni sawasawa. Sasa hivi ni usiku. Kwani hujui usiku? Siku ikiisha, usiku hufuata." Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku akapendezwa sana nao. Alikaa hapo siku nyingine ili auone usiku ukiingia tena. Asubuhi iliyofuata, yule mtu alimweleza Opio, "Giza litakapoanza kuingia, anza kutembea ukienda kijijini kwenu. Ukitembea huku ukiangalia mbele usiku utakufuata. Ukiangalia nyuma usiku utapotea." Opio alifanya alivyoambiwa. Usiku huo alianza kutembea akielekea kijijini kwao. Alihisi giza likimfuata nyuma. Alikuwa na haja ya kuangalia nyuma lakini alijizuia. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa. Walimwuliza, "Huu ni ugonjwa gani uliotuletea? Ni nini hiki cheusi kinachokufuata?" Opio akawaeleza, "Ndugu zangu, kitu hiki cheusi kinachonifuata kinaitwa usiku. Mnavyoogopa ndivyo nilivyoogopa pia." Opio aliendelea kuwaeleza, "Ninyi vilevile mtaupenda usiku. Mwangaza ukija tutaweza kufanya kazi. Na usiku ukiingia tutapumzika." Na hivyo ndivyo majira ya usiku yalivyotambuliwa katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku uliingia kijijini kwa kina Opio Author - Robert Ekuka Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini wanakijiji walimwogopa Opio
{ "text": [ "Kwa vile alikuwa anafuatwa na usiku" ] }
2243_swa
Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Opio aliishi katika kijiji kisichokuwa na majira ya usiku. Watu walipochoka, walilala na kufanya kazi walipoamka. Siku moja Opio na mbwa wake walienda kuwinda. Mbwa walimfukuza paa naye Opio akawafuata. Mwishowe, hakuwaona tena. Opio alikimbia mpaka akachoka. Alikaribishwa na mtu mmoja aliyempa kileo kunywa. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Alimlalamikia mwenye nyumba, "Ulininywesha nini? Mbona sioni tena?" Mwenye nyumba alimwambia Opio, "Sasa ni usiku. Kwani hujui usiku?" Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku na mchana. Asubuhi, Opio alielezwa jinsi ya kuupeleka usiku kijijini kwao. Aliambiwa atembea kuelekea kwao bila kutazama nyuma. Usiku huo Opio alisafiri kwenda kijijini kwao akifuatwa na giza. Hakutazama nyuma. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa wakamwuliza, "Hiki ni kitu gani cheusi kilichokufuata?" Opio aliwaeleza, "Hili ni giza la usiku. Mwangaza huwa mchana." Opio aliendelea kuwaeleza, "Tutafanya kazi mchana na usiku tutapumzika." Na hivyo ndivyo usiku ulivyoingia katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Author - Robert Ekuka Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliishi katika kijiji kisichokuwa na majira ya usiku
{ "text": [ "Opio" ] }
2243_swa
Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Opio aliishi katika kijiji kisichokuwa na majira ya usiku. Watu walipochoka, walilala na kufanya kazi walipoamka. Siku moja Opio na mbwa wake walienda kuwinda. Mbwa walimfukuza paa naye Opio akawafuata. Mwishowe, hakuwaona tena. Opio alikimbia mpaka akachoka. Alikaribishwa na mtu mmoja aliyempa kileo kunywa. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Alimlalamikia mwenye nyumba, "Ulininywesha nini? Mbona sioni tena?" Mwenye nyumba alimwambia Opio, "Sasa ni usiku. Kwani hujui usiku?" Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku na mchana. Asubuhi, Opio alielezwa jinsi ya kuupeleka usiku kijijini kwao. Aliambiwa atembea kuelekea kwao bila kutazama nyuma. Usiku huo Opio alisafiri kwenda kijijini kwao akifuatwa na giza. Hakutazama nyuma. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa wakamwuliza, "Hiki ni kitu gani cheusi kilichokufuata?" Opio aliwaeleza, "Hili ni giza la usiku. Mwangaza huwa mchana." Opio aliendelea kuwaeleza, "Tutafanya kazi mchana na usiku tutapumzika." Na hivyo ndivyo usiku ulivyoingia katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Author - Robert Ekuka Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Opio na mbwa wake walienda wapi
{ "text": [ "Kuwinda" ] }
2243_swa
Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Opio aliishi katika kijiji kisichokuwa na majira ya usiku. Watu walipochoka, walilala na kufanya kazi walipoamka. Siku moja Opio na mbwa wake walienda kuwinda. Mbwa walimfukuza paa naye Opio akawafuata. Mwishowe, hakuwaona tena. Opio alikimbia mpaka akachoka. Alikaribishwa na mtu mmoja aliyempa kileo kunywa. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Alimlalamikia mwenye nyumba, "Ulininywesha nini? Mbona sioni tena?" Mwenye nyumba alimwambia Opio, "Sasa ni usiku. Kwani hujui usiku?" Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku na mchana. Asubuhi, Opio alielezwa jinsi ya kuupeleka usiku kijijini kwao. Aliambiwa atembea kuelekea kwao bila kutazama nyuma. Usiku huo Opio alisafiri kwenda kijijini kwao akifuatwa na giza. Hakutazama nyuma. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa wakamwuliza, "Hiki ni kitu gani cheusi kilichokufuata?" Opio aliwaeleza, "Hili ni giza la usiku. Mwangaza huwa mchana." Opio aliendelea kuwaeleza, "Tutafanya kazi mchana na usiku tutapumzika." Na hivyo ndivyo usiku ulivyoingia katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Author - Robert Ekuka Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Opio aliuliza maswali mengi kuhusu nini
{ "text": [ "Usiku na mchana" ] }
2243_swa
Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Opio aliishi katika kijiji kisichokuwa na majira ya usiku. Watu walipochoka, walilala na kufanya kazi walipoamka. Siku moja Opio na mbwa wake walienda kuwinda. Mbwa walimfukuza paa naye Opio akawafuata. Mwishowe, hakuwaona tena. Opio alikimbia mpaka akachoka. Alikaribishwa na mtu mmoja aliyempa kileo kunywa. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Alimlalamikia mwenye nyumba, "Ulininywesha nini? Mbona sioni tena?" Mwenye nyumba alimwambia Opio, "Sasa ni usiku. Kwani hujui usiku?" Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku na mchana. Asubuhi, Opio alielezwa jinsi ya kuupeleka usiku kijijini kwao. Aliambiwa atembea kuelekea kwao bila kutazama nyuma. Usiku huo Opio alisafiri kwenda kijijini kwao akifuatwa na giza. Hakutazama nyuma. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa wakamwuliza, "Hiki ni kitu gani cheusi kilichokufuata?" Opio aliwaeleza, "Hili ni giza la usiku. Mwangaza huwa mchana." Opio aliendelea kuwaeleza, "Tutafanya kazi mchana na usiku tutapumzika." Na hivyo ndivyo usiku ulivyoingia katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Author - Robert Ekuka Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Usiku uliingia katika kijiji cha kina nani
{ "text": [ "Opio" ] }
2243_swa
Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Opio aliishi katika kijiji kisichokuwa na majira ya usiku. Watu walipochoka, walilala na kufanya kazi walipoamka. Siku moja Opio na mbwa wake walienda kuwinda. Mbwa walimfukuza paa naye Opio akawafuata. Mwishowe, hakuwaona tena. Opio alikimbia mpaka akachoka. Alikaribishwa na mtu mmoja aliyempa kileo kunywa. Opio alipoamka, hakuweza kuona. Alimlalamikia mwenye nyumba, "Ulininywesha nini? Mbona sioni tena?" Mwenye nyumba alimwambia Opio, "Sasa ni usiku. Kwani hujui usiku?" Opio aliuliza maswali mengi kuhusu usiku na mchana. Asubuhi, Opio alielezwa jinsi ya kuupeleka usiku kijijini kwao. Aliambiwa atembea kuelekea kwao bila kutazama nyuma. Usiku huo Opio alisafiri kwenda kijijini kwao akifuatwa na giza. Hakutazama nyuma. Alipofika kijijini kwao, wanakijiji waliogopa wakamwuliza, "Hiki ni kitu gani cheusi kilichokufuata?" Opio aliwaeleza, "Hili ni giza la usiku. Mwangaza huwa mchana." Opio aliendelea kuwaeleza, "Tutafanya kazi mchana na usiku tutapumzika." Na hivyo ndivyo usiku ulivyoingia katika kijiji cha kina Opio. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jinsi usiku ulivyoingia kijijini Author - Robert Ekuka Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Watu walipochoka walifanya nini
{ "text": [ "Walilala" ] }
2245_swa
Jua, Mwezi, na Maji Miaka mingi iliyopita, Jua na Maji walikuwa marafiki. Wote waliishi duniani. Jua alipenda kumtembelea Maji mara kwa mara. Lakini, Maji hakuwahi kwenda kumtembelea Jua. Mwishowe, Jua alimwuliza Maji kwa nini hakuenda kumtembelea. Maji alijibu kwamba Jua ana nyumba ndogo sana. Alisema, "Nikija na familia yangu, tutakutupa nje." Maji alisema, "Ukitaka nikutembelee, jenga uwanja mkubwa. Watu wangu ni wengi mno. Wao huchukuwa nafasi kubwa." Jua alirudi nyumbani kwa mkewe, Mwezi. Mwezi alimsalimu kwa tabasamu kubwa. Kisha Jua akamwambia Mwezi kuhusu ahadi aliyompa Maji. Siku iliyofuata, Jua alianza kuandaa uwanja mkubwa ambamo angemtumbuiza rafiki yake, Maji. Uwanja ulipokuwa tayari, alimwalika Maji awatembelee. Maji alipofika, alimwuliza Jua iwapo ingekuwa salama yeye kuingia ndani. Jua alijibu, "Ndiyo, ingia rafiki yangu." Maji akaanza kutiririka ndani ya nyumba! Aliambatana na mamba, samaki, vyura, nyoka, konokono, na wanyama wote wa majini. Muda mfupi baadaye, Maji alifika magotini. Alimwuliza Jua iwapo bado ilikuwa salama. "Ndiyo," Jua alijibu tena. Jamaa wengine wengi wa Maji wakaendelea kuingia. Maji alifika kiwango cha upeo wa kichwa cha mtu. Alimwambia Jua, "Je, watu wangu zaidi wanaweza kuja?" Jua na Mwezi walijibu, "Ndiyo." Maji alitiririka ndani zaidi hadi Jua na Mwezi wakalazimika kuning'inia kwenye paa. 11 Watu wa Maji waliendelea kuingia hadi wakafika juu ya paa la nyumba. Jua na Mwezi walilazimika kwenda juu angani. Tangu wakati huo, Jua na Mwezi huishi angani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jua, Mwezi, na Maji Author - Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani Mke wake Jua
{ "text": [ "Mwezi" ] }
2245_swa
Jua, Mwezi, na Maji Miaka mingi iliyopita, Jua na Maji walikuwa marafiki. Wote waliishi duniani. Jua alipenda kumtembelea Maji mara kwa mara. Lakini, Maji hakuwahi kwenda kumtembelea Jua. Mwishowe, Jua alimwuliza Maji kwa nini hakuenda kumtembelea. Maji alijibu kwamba Jua ana nyumba ndogo sana. Alisema, "Nikija na familia yangu, tutakutupa nje." Maji alisema, "Ukitaka nikutembelee, jenga uwanja mkubwa. Watu wangu ni wengi mno. Wao huchukuwa nafasi kubwa." Jua alirudi nyumbani kwa mkewe, Mwezi. Mwezi alimsalimu kwa tabasamu kubwa. Kisha Jua akamwambia Mwezi kuhusu ahadi aliyompa Maji. Siku iliyofuata, Jua alianza kuandaa uwanja mkubwa ambamo angemtumbuiza rafiki yake, Maji. Uwanja ulipokuwa tayari, alimwalika Maji awatembelee. Maji alipofika, alimwuliza Jua iwapo ingekuwa salama yeye kuingia ndani. Jua alijibu, "Ndiyo, ingia rafiki yangu." Maji akaanza kutiririka ndani ya nyumba! Aliambatana na mamba, samaki, vyura, nyoka, konokono, na wanyama wote wa majini. Muda mfupi baadaye, Maji alifika magotini. Alimwuliza Jua iwapo bado ilikuwa salama. "Ndiyo," Jua alijibu tena. Jamaa wengine wengi wa Maji wakaendelea kuingia. Maji alifika kiwango cha upeo wa kichwa cha mtu. Alimwambia Jua, "Je, watu wangu zaidi wanaweza kuja?" Jua na Mwezi walijibu, "Ndiyo." Maji alitiririka ndani zaidi hadi Jua na Mwezi wakalazimika kuning'inia kwenye paa. 11 Watu wa Maji waliendelea kuingia hadi wakafika juu ya paa la nyumba. Jua na Mwezi walilazimika kwenda juu angani. Tangu wakati huo, Jua na Mwezi huishi angani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jua, Mwezi, na Maji Author - Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Maji alimwambia Jua akitaka amtembelee atengeneze nini
{ "text": [ "uwanja mkubwa" ] }
2245_swa
Jua, Mwezi, na Maji Miaka mingi iliyopita, Jua na Maji walikuwa marafiki. Wote waliishi duniani. Jua alipenda kumtembelea Maji mara kwa mara. Lakini, Maji hakuwahi kwenda kumtembelea Jua. Mwishowe, Jua alimwuliza Maji kwa nini hakuenda kumtembelea. Maji alijibu kwamba Jua ana nyumba ndogo sana. Alisema, "Nikija na familia yangu, tutakutupa nje." Maji alisema, "Ukitaka nikutembelee, jenga uwanja mkubwa. Watu wangu ni wengi mno. Wao huchukuwa nafasi kubwa." Jua alirudi nyumbani kwa mkewe, Mwezi. Mwezi alimsalimu kwa tabasamu kubwa. Kisha Jua akamwambia Mwezi kuhusu ahadi aliyompa Maji. Siku iliyofuata, Jua alianza kuandaa uwanja mkubwa ambamo angemtumbuiza rafiki yake, Maji. Uwanja ulipokuwa tayari, alimwalika Maji awatembelee. Maji alipofika, alimwuliza Jua iwapo ingekuwa salama yeye kuingia ndani. Jua alijibu, "Ndiyo, ingia rafiki yangu." Maji akaanza kutiririka ndani ya nyumba! Aliambatana na mamba, samaki, vyura, nyoka, konokono, na wanyama wote wa majini. Muda mfupi baadaye, Maji alifika magotini. Alimwuliza Jua iwapo bado ilikuwa salama. "Ndiyo," Jua alijibu tena. Jamaa wengine wengi wa Maji wakaendelea kuingia. Maji alifika kiwango cha upeo wa kichwa cha mtu. Alimwambia Jua, "Je, watu wangu zaidi wanaweza kuja?" Jua na Mwezi walijibu, "Ndiyo." Maji alitiririka ndani zaidi hadi Jua na Mwezi wakalazimika kuning'inia kwenye paa. 11 Watu wa Maji waliendelea kuingia hadi wakafika juu ya paa la nyumba. Jua na Mwezi walilazimika kwenda juu angani. Tangu wakati huo, Jua na Mwezi huishi angani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jua, Mwezi, na Maji Author - Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nini kililazimisha Jua na Mwezi kuning'inia kwenye paa
{ "text": [ "maji yalizidi kutiririka" ] }
2245_swa
Jua, Mwezi, na Maji Miaka mingi iliyopita, Jua na Maji walikuwa marafiki. Wote waliishi duniani. Jua alipenda kumtembelea Maji mara kwa mara. Lakini, Maji hakuwahi kwenda kumtembelea Jua. Mwishowe, Jua alimwuliza Maji kwa nini hakuenda kumtembelea. Maji alijibu kwamba Jua ana nyumba ndogo sana. Alisema, "Nikija na familia yangu, tutakutupa nje." Maji alisema, "Ukitaka nikutembelee, jenga uwanja mkubwa. Watu wangu ni wengi mno. Wao huchukuwa nafasi kubwa." Jua alirudi nyumbani kwa mkewe, Mwezi. Mwezi alimsalimu kwa tabasamu kubwa. Kisha Jua akamwambia Mwezi kuhusu ahadi aliyompa Maji. Siku iliyofuata, Jua alianza kuandaa uwanja mkubwa ambamo angemtumbuiza rafiki yake, Maji. Uwanja ulipokuwa tayari, alimwalika Maji awatembelee. Maji alipofika, alimwuliza Jua iwapo ingekuwa salama yeye kuingia ndani. Jua alijibu, "Ndiyo, ingia rafiki yangu." Maji akaanza kutiririka ndani ya nyumba! Aliambatana na mamba, samaki, vyura, nyoka, konokono, na wanyama wote wa majini. Muda mfupi baadaye, Maji alifika magotini. Alimwuliza Jua iwapo bado ilikuwa salama. "Ndiyo," Jua alijibu tena. Jamaa wengine wengi wa Maji wakaendelea kuingia. Maji alifika kiwango cha upeo wa kichwa cha mtu. Alimwambia Jua, "Je, watu wangu zaidi wanaweza kuja?" Jua na Mwezi walijibu, "Ndiyo." Maji alitiririka ndani zaidi hadi Jua na Mwezi wakalazimika kuning'inia kwenye paa. 11 Watu wa Maji waliendelea kuingia hadi wakafika juu ya paa la nyumba. Jua na Mwezi walilazimika kwenda juu angani. Tangu wakati huo, Jua na Mwezi huishi angani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jua, Mwezi, na Maji Author - Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jua alimwalika maji awatembelee lini
{ "text": [ "uwanja ulipokuwa tayari" ] }
2245_swa
Jua, Mwezi, na Maji Miaka mingi iliyopita, Jua na Maji walikuwa marafiki. Wote waliishi duniani. Jua alipenda kumtembelea Maji mara kwa mara. Lakini, Maji hakuwahi kwenda kumtembelea Jua. Mwishowe, Jua alimwuliza Maji kwa nini hakuenda kumtembelea. Maji alijibu kwamba Jua ana nyumba ndogo sana. Alisema, "Nikija na familia yangu, tutakutupa nje." Maji alisema, "Ukitaka nikutembelee, jenga uwanja mkubwa. Watu wangu ni wengi mno. Wao huchukuwa nafasi kubwa." Jua alirudi nyumbani kwa mkewe, Mwezi. Mwezi alimsalimu kwa tabasamu kubwa. Kisha Jua akamwambia Mwezi kuhusu ahadi aliyompa Maji. Siku iliyofuata, Jua alianza kuandaa uwanja mkubwa ambamo angemtumbuiza rafiki yake, Maji. Uwanja ulipokuwa tayari, alimwalika Maji awatembelee. Maji alipofika, alimwuliza Jua iwapo ingekuwa salama yeye kuingia ndani. Jua alijibu, "Ndiyo, ingia rafiki yangu." Maji akaanza kutiririka ndani ya nyumba! Aliambatana na mamba, samaki, vyura, nyoka, konokono, na wanyama wote wa majini. Muda mfupi baadaye, Maji alifika magotini. Alimwuliza Jua iwapo bado ilikuwa salama. "Ndiyo," Jua alijibu tena. Jamaa wengine wengi wa Maji wakaendelea kuingia. Maji alifika kiwango cha upeo wa kichwa cha mtu. Alimwambia Jua, "Je, watu wangu zaidi wanaweza kuja?" Jua na Mwezi walijibu, "Ndiyo." Maji alitiririka ndani zaidi hadi Jua na Mwezi wakalazimika kuning'inia kwenye paa. 11 Watu wa Maji waliendelea kuingia hadi wakafika juu ya paa la nyumba. Jua na Mwezi walilazimika kwenda juu angani. Tangu wakati huo, Jua na Mwezi huishi angani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jua, Mwezi, na Maji Author - Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Jua na Mwezi walilazimika kuenda juu angani
{ "text": [ "watu wa maji waliendelea kuingia hadi wakafika juu ya paa" ] }
2246_swa
JUA LA AJABU Happy zamani za kale,paliishi jua na mwezi wakiwa marafiki na Kila mtu alikua na siku zake za kutawala. Jua alikua akitawala mchana na mwezi usiku. Walikaa hiyvo mbila shida yoyote kwa muda mrefu. Siku moja jua alianza kunywa maji mengi masaa yake ya kutawala Hadi wanyama was majini wakaanza kulalamika. Mwezi kwa upande wake alikua anatawala vizuri sana hadi wanyama kaamua kumuuliza usaidizi. Mwezi alijaribu kuongea na jua lakini hakusikia, alipoona wanyama wa majini wanateseka sana karibu wafe, mwezi aliamua kumfunikia jua pole pole hadi maji yakaanza kuongezeka. Mwezi aliamua kuwa anakuja mapema hata kabla masaa yake ya kuingia hayajafika ili kumfunikia jua mapema. Maji yaliaza kurundi kuwa mengi na wanyama wakaanza kufurahia sana na kumpenda mwezi kuliko jua. Maji yalizindi na hata kufunika manyumba za binadamu na wanyama wa nchi kavu wakaanza kulalamika. Wote walikubalina kua na mazungumzo kati ya jua na mvua ili kutatua shida hili na wakasikiza wote jua na mwezi ni wa muhimu kwa maisha ya binadamu na wanyama. Kila mmoja alikua na wakati wake wa kutawala kama hapo mbeleni.Maisha yao yalirundi kuwa mazuri tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: JUA LA AJABU Author - Brian Mugambi Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jua alitawala lini
{ "text": [ "Mchana" ] }
2246_swa
JUA LA AJABU Happy zamani za kale,paliishi jua na mwezi wakiwa marafiki na Kila mtu alikua na siku zake za kutawala. Jua alikua akitawala mchana na mwezi usiku. Walikaa hiyvo mbila shida yoyote kwa muda mrefu. Siku moja jua alianza kunywa maji mengi masaa yake ya kutawala Hadi wanyama was majini wakaanza kulalamika. Mwezi kwa upande wake alikua anatawala vizuri sana hadi wanyama kaamua kumuuliza usaidizi. Mwezi alijaribu kuongea na jua lakini hakusikia, alipoona wanyama wa majini wanateseka sana karibu wafe, mwezi aliamua kumfunikia jua pole pole hadi maji yakaanza kuongezeka. Mwezi aliamua kuwa anakuja mapema hata kabla masaa yake ya kuingia hayajafika ili kumfunikia jua mapema. Maji yaliaza kurundi kuwa mengi na wanyama wakaanza kufurahia sana na kumpenda mwezi kuliko jua. Maji yalizindi na hata kufunika manyumba za binadamu na wanyama wa nchi kavu wakaanza kulalamika. Wote walikubalina kua na mazungumzo kati ya jua na mvua ili kutatua shida hili na wakasikiza wote jua na mwezi ni wa muhimu kwa maisha ya binadamu na wanyama. Kila mmoja alikua na wakati wake wa kutawala kama hapo mbeleni.Maisha yao yalirundi kuwa mazuri tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: JUA LA AJABU Author - Brian Mugambi Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jua alianza kunywa nini mengi
{ "text": [ "Maji" ] }
2246_swa
JUA LA AJABU Happy zamani za kale,paliishi jua na mwezi wakiwa marafiki na Kila mtu alikua na siku zake za kutawala. Jua alikua akitawala mchana na mwezi usiku. Walikaa hiyvo mbila shida yoyote kwa muda mrefu. Siku moja jua alianza kunywa maji mengi masaa yake ya kutawala Hadi wanyama was majini wakaanza kulalamika. Mwezi kwa upande wake alikua anatawala vizuri sana hadi wanyama kaamua kumuuliza usaidizi. Mwezi alijaribu kuongea na jua lakini hakusikia, alipoona wanyama wa majini wanateseka sana karibu wafe, mwezi aliamua kumfunikia jua pole pole hadi maji yakaanza kuongezeka. Mwezi aliamua kuwa anakuja mapema hata kabla masaa yake ya kuingia hayajafika ili kumfunikia jua mapema. Maji yaliaza kurundi kuwa mengi na wanyama wakaanza kufurahia sana na kumpenda mwezi kuliko jua. Maji yalizindi na hata kufunika manyumba za binadamu na wanyama wa nchi kavu wakaanza kulalamika. Wote walikubalina kua na mazungumzo kati ya jua na mvua ili kutatua shida hili na wakasikiza wote jua na mwezi ni wa muhimu kwa maisha ya binadamu na wanyama. Kila mmoja alikua na wakati wake wa kutawala kama hapo mbeleni.Maisha yao yalirundi kuwa mazuri tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: JUA LA AJABU Author - Brian Mugambi Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwezi aliamua kumfunikia nani
{ "text": [ "Jua" ] }
2246_swa
JUA LA AJABU Happy zamani za kale,paliishi jua na mwezi wakiwa marafiki na Kila mtu alikua na siku zake za kutawala. Jua alikua akitawala mchana na mwezi usiku. Walikaa hiyvo mbila shida yoyote kwa muda mrefu. Siku moja jua alianza kunywa maji mengi masaa yake ya kutawala Hadi wanyama was majini wakaanza kulalamika. Mwezi kwa upande wake alikua anatawala vizuri sana hadi wanyama kaamua kumuuliza usaidizi. Mwezi alijaribu kuongea na jua lakini hakusikia, alipoona wanyama wa majini wanateseka sana karibu wafe, mwezi aliamua kumfunikia jua pole pole hadi maji yakaanza kuongezeka. Mwezi aliamua kuwa anakuja mapema hata kabla masaa yake ya kuingia hayajafika ili kumfunikia jua mapema. Maji yaliaza kurundi kuwa mengi na wanyama wakaanza kufurahia sana na kumpenda mwezi kuliko jua. Maji yalizindi na hata kufunika manyumba za binadamu na wanyama wa nchi kavu wakaanza kulalamika. Wote walikubalina kua na mazungumzo kati ya jua na mvua ili kutatua shida hili na wakasikiza wote jua na mwezi ni wa muhimu kwa maisha ya binadamu na wanyama. Kila mmoja alikua na wakati wake wa kutawala kama hapo mbeleni.Maisha yao yalirundi kuwa mazuri tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: JUA LA AJABU Author - Brian Mugambi Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wanyama walimpenda nani
{ "text": [ "Mwezi" ] }
2246_swa
JUA LA AJABU Happy zamani za kale,paliishi jua na mwezi wakiwa marafiki na Kila mtu alikua na siku zake za kutawala. Jua alikua akitawala mchana na mwezi usiku. Walikaa hiyvo mbila shida yoyote kwa muda mrefu. Siku moja jua alianza kunywa maji mengi masaa yake ya kutawala Hadi wanyama was majini wakaanza kulalamika. Mwezi kwa upande wake alikua anatawala vizuri sana hadi wanyama kaamua kumuuliza usaidizi. Mwezi alijaribu kuongea na jua lakini hakusikia, alipoona wanyama wa majini wanateseka sana karibu wafe, mwezi aliamua kumfunikia jua pole pole hadi maji yakaanza kuongezeka. Mwezi aliamua kuwa anakuja mapema hata kabla masaa yake ya kuingia hayajafika ili kumfunikia jua mapema. Maji yaliaza kurundi kuwa mengi na wanyama wakaanza kufurahia sana na kumpenda mwezi kuliko jua. Maji yalizindi na hata kufunika manyumba za binadamu na wanyama wa nchi kavu wakaanza kulalamika. Wote walikubalina kua na mazungumzo kati ya jua na mvua ili kutatua shida hili na wakasikiza wote jua na mwezi ni wa muhimu kwa maisha ya binadamu na wanyama. Kila mmoja alikua na wakati wake wa kutawala kama hapo mbeleni.Maisha yao yalirundi kuwa mazuri tena. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: JUA LA AJABU Author - Brian Mugambi Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini wanyama walilalamika
{ "text": [ "Maji yalizidi na kufunika manyumba za binadamu" ] }
2247_swa
Juma anasema osha mikono yako! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Jina langu ni Juma na nina umri wa miaka kumi. Ninaishi na dadangu Zena aliye na umri wa miaka kumi na mitatu. Tunaishi na Mama, Baba, kaka yetu mdogo Ndolo, na mbwa wetu Bosko. Tangu korona ilipoingia, maisha yetu yamebadilika. Ni virusi vidogo lakini vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa sana. Mtu yeyote anaweza kuwa mgonjwa kutokana na korona. Nina huzuni kwa sababu siwezi kucheza na rafiki zangu. Ndolo ana huzuni kwa sababu hawezi kuwakumbatia rafiki zake. Zena pia ana huzuni kwa sababu hawezi kutumia rangi ya mdomo pamoja na rafiki zake. Mama anafanya kazi ya usafi hospitalini. Baba anauza matunda na mboga mjini. Kila asubuhi wanaenda kazini na Zena anatuangalia. Jirani wetu, Bibi, ni mkongwe sana na anaugua ugonjwa wa moyo. Hakuna aliye na ruhusa kumkaribia siku hizi. Virusi vya korona ni hatari kwa wazee. Hatutaki kumfanya awe mgonjwa. Mama anaporudi kutoka kazini, anaenda kumuangalia Bibi na kumpelekea matunda. Mama anamwachia matunda mlangoni kwa sababu hawezi kuingia ndani ya nyumba. Zena anaenda kuchota maji kutoka mifereji ya karibu kila asubuhi. Baadhi ya watu wanavaa barakoa wengine hawavai. Zena alijitengezea barakoa kwa kutumia kitambara. Anasafisha mikono yake nyumbani. Mama anatunyunyizia sanitaiza kwenye mikono. Kila usiku, Mama anatukumbusha: "Vaa barakoa safi kila siku. Osha mikono yako kwa sabuni kwa sekunde ishirini unapowasili popote. Funika mdomo na pua unapokohoa au unapopgia chafya." "Ndiyo, Mama!" tunasema. 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema osha mikono yako! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Juma ana umri wa miaka ngapi
{ "text": [ "kumi" ] }
2247_swa
Juma anasema osha mikono yako! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Jina langu ni Juma na nina umri wa miaka kumi. Ninaishi na dadangu Zena aliye na umri wa miaka kumi na mitatu. Tunaishi na Mama, Baba, kaka yetu mdogo Ndolo, na mbwa wetu Bosko. Tangu korona ilipoingia, maisha yetu yamebadilika. Ni virusi vidogo lakini vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa sana. Mtu yeyote anaweza kuwa mgonjwa kutokana na korona. Nina huzuni kwa sababu siwezi kucheza na rafiki zangu. Ndolo ana huzuni kwa sababu hawezi kuwakumbatia rafiki zake. Zena pia ana huzuni kwa sababu hawezi kutumia rangi ya mdomo pamoja na rafiki zake. Mama anafanya kazi ya usafi hospitalini. Baba anauza matunda na mboga mjini. Kila asubuhi wanaenda kazini na Zena anatuangalia. Jirani wetu, Bibi, ni mkongwe sana na anaugua ugonjwa wa moyo. Hakuna aliye na ruhusa kumkaribia siku hizi. Virusi vya korona ni hatari kwa wazee. Hatutaki kumfanya awe mgonjwa. Mama anaporudi kutoka kazini, anaenda kumuangalia Bibi na kumpelekea matunda. Mama anamwachia matunda mlangoni kwa sababu hawezi kuingia ndani ya nyumba. Zena anaenda kuchota maji kutoka mifereji ya karibu kila asubuhi. Baadhi ya watu wanavaa barakoa wengine hawavai. Zena alijitengezea barakoa kwa kutumia kitambara. Anasafisha mikono yake nyumbani. Mama anatunyunyizia sanitaiza kwenye mikono. Kila usiku, Mama anatukumbusha: "Vaa barakoa safi kila siku. Osha mikono yako kwa sabuni kwa sekunde ishirini unapowasili popote. Funika mdomo na pua unapokohoa au unapopgia chafya." "Ndiyo, Mama!" tunasema. 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema osha mikono yako! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Mbwa wa kina Juma anaitwa nani
{ "text": [ "Bosko" ] }
2247_swa
Juma anasema osha mikono yako! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Jina langu ni Juma na nina umri wa miaka kumi. Ninaishi na dadangu Zena aliye na umri wa miaka kumi na mitatu. Tunaishi na Mama, Baba, kaka yetu mdogo Ndolo, na mbwa wetu Bosko. Tangu korona ilipoingia, maisha yetu yamebadilika. Ni virusi vidogo lakini vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa sana. Mtu yeyote anaweza kuwa mgonjwa kutokana na korona. Nina huzuni kwa sababu siwezi kucheza na rafiki zangu. Ndolo ana huzuni kwa sababu hawezi kuwakumbatia rafiki zake. Zena pia ana huzuni kwa sababu hawezi kutumia rangi ya mdomo pamoja na rafiki zake. Mama anafanya kazi ya usafi hospitalini. Baba anauza matunda na mboga mjini. Kila asubuhi wanaenda kazini na Zena anatuangalia. Jirani wetu, Bibi, ni mkongwe sana na anaugua ugonjwa wa moyo. Hakuna aliye na ruhusa kumkaribia siku hizi. Virusi vya korona ni hatari kwa wazee. Hatutaki kumfanya awe mgonjwa. Mama anaporudi kutoka kazini, anaenda kumuangalia Bibi na kumpelekea matunda. Mama anamwachia matunda mlangoni kwa sababu hawezi kuingia ndani ya nyumba. Zena anaenda kuchota maji kutoka mifereji ya karibu kila asubuhi. Baadhi ya watu wanavaa barakoa wengine hawavai. Zena alijitengezea barakoa kwa kutumia kitambara. Anasafisha mikono yake nyumbani. Mama anatunyunyizia sanitaiza kwenye mikono. Kila usiku, Mama anatukumbusha: "Vaa barakoa safi kila siku. Osha mikono yako kwa sabuni kwa sekunde ishirini unapowasili popote. Funika mdomo na pua unapokohoa au unapopgia chafya." "Ndiyo, Mama!" tunasema. 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema osha mikono yako! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Nini imebadilisha maisha yetu
{ "text": [ "korona" ] }
2247_swa
Juma anasema osha mikono yako! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Jina langu ni Juma na nina umri wa miaka kumi. Ninaishi na dadangu Zena aliye na umri wa miaka kumi na mitatu. Tunaishi na Mama, Baba, kaka yetu mdogo Ndolo, na mbwa wetu Bosko. Tangu korona ilipoingia, maisha yetu yamebadilika. Ni virusi vidogo lakini vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa sana. Mtu yeyote anaweza kuwa mgonjwa kutokana na korona. Nina huzuni kwa sababu siwezi kucheza na rafiki zangu. Ndolo ana huzuni kwa sababu hawezi kuwakumbatia rafiki zake. Zena pia ana huzuni kwa sababu hawezi kutumia rangi ya mdomo pamoja na rafiki zake. Mama anafanya kazi ya usafi hospitalini. Baba anauza matunda na mboga mjini. Kila asubuhi wanaenda kazini na Zena anatuangalia. Jirani wetu, Bibi, ni mkongwe sana na anaugua ugonjwa wa moyo. Hakuna aliye na ruhusa kumkaribia siku hizi. Virusi vya korona ni hatari kwa wazee. Hatutaki kumfanya awe mgonjwa. Mama anaporudi kutoka kazini, anaenda kumuangalia Bibi na kumpelekea matunda. Mama anamwachia matunda mlangoni kwa sababu hawezi kuingia ndani ya nyumba. Zena anaenda kuchota maji kutoka mifereji ya karibu kila asubuhi. Baadhi ya watu wanavaa barakoa wengine hawavai. Zena alijitengezea barakoa kwa kutumia kitambara. Anasafisha mikono yake nyumbani. Mama anatunyunyizia sanitaiza kwenye mikono. Kila usiku, Mama anatukumbusha: "Vaa barakoa safi kila siku. Osha mikono yako kwa sabuni kwa sekunde ishirini unapowasili popote. Funika mdomo na pua unapokohoa au unapopgia chafya." "Ndiyo, Mama!" tunasema. 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema osha mikono yako! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Baadhi ya watu wanavaa nini
{ "text": [ "barakoa" ] }
2247_swa
Juma anasema osha mikono yako! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Jina langu ni Juma na nina umri wa miaka kumi. Ninaishi na dadangu Zena aliye na umri wa miaka kumi na mitatu. Tunaishi na Mama, Baba, kaka yetu mdogo Ndolo, na mbwa wetu Bosko. Tangu korona ilipoingia, maisha yetu yamebadilika. Ni virusi vidogo lakini vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa sana. Mtu yeyote anaweza kuwa mgonjwa kutokana na korona. Nina huzuni kwa sababu siwezi kucheza na rafiki zangu. Ndolo ana huzuni kwa sababu hawezi kuwakumbatia rafiki zake. Zena pia ana huzuni kwa sababu hawezi kutumia rangi ya mdomo pamoja na rafiki zake. Mama anafanya kazi ya usafi hospitalini. Baba anauza matunda na mboga mjini. Kila asubuhi wanaenda kazini na Zena anatuangalia. Jirani wetu, Bibi, ni mkongwe sana na anaugua ugonjwa wa moyo. Hakuna aliye na ruhusa kumkaribia siku hizi. Virusi vya korona ni hatari kwa wazee. Hatutaki kumfanya awe mgonjwa. Mama anaporudi kutoka kazini, anaenda kumuangalia Bibi na kumpelekea matunda. Mama anamwachia matunda mlangoni kwa sababu hawezi kuingia ndani ya nyumba. Zena anaenda kuchota maji kutoka mifereji ya karibu kila asubuhi. Baadhi ya watu wanavaa barakoa wengine hawavai. Zena alijitengezea barakoa kwa kutumia kitambara. Anasafisha mikono yake nyumbani. Mama anatunyunyizia sanitaiza kwenye mikono. Kila usiku, Mama anatukumbusha: "Vaa barakoa safi kila siku. Osha mikono yako kwa sabuni kwa sekunde ishirini unapowasili popote. Funika mdomo na pua unapokohoa au unapopgia chafya." "Ndiyo, Mama!" tunasema. 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema osha mikono yako! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Mbona Juma ana huzuni
{ "text": [ "kwa sababu hawezi kucheza na rafiki zake" ] }
2248_swa
Juma anasema vaa barakoa! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Siku moja, dada yangu Zena alikuwa na wazo hili. "Nitatengeza barakoa kwa kila asiyekuwa nayo kwenye jamii!" alisema. "Hilo ni wazo zuri! Wacha tuwaambie Mama na Baba watakaporudi nyumbani!" nilijibu. Mama na Baba waliporudi nyumbani, tuliwaambia kuhusu wazo la Zena. "Hilo ni wazo zuri mwanangu!" Baba alisema, na Mama akakubali. "Nitawauliza washiriki wa kanisa letu watupe vitambara vikusaidie kutengeneza barakoa. Hebu tumwulize Bibi asaidie pia." Siku iliyofuata wanawake wa kanisa walituletea vitambara vya rangi nyingi na mpira nyumbani kwetu. Zena alimuachia Bibi mfuko wa vitambara nje ya mlango wake pamoja na barua ya kumuomba amsaidie. Zena alianza kushona barakoa, mimi na Ndolo tukamtazama. Zena ni hodari sana kwa kushona. Alishona barakoa nyingi. Mimi na Ndolo tulihesabu barakoa, 1, 2, 3, 4, 5 halafu 20, 30, 40, 50, halafu,100! Zena na Bibi walishonea jamii barakoa nyingi! Tuliwasaidia! Mama na baba walikuwa wenye fahari. Siku iliyofuata, Baba na Mama hawakuenda kazini. Waliamua kugawanya barakoa nzuri za Zena na Bibi kwa wale ambao hawakuwa na barakoa. Zena alibeba sanitaiza ya Mama na kuwanyunyuzia watu. "Kumbuka kuosha barakoa yako kila siku," Mama alisema. Sasa Zena anapoenda kuchota maji, kila mtu amevaa barakoa. Kila mmoja anaonekana yuko salama. Baadaye, Mama aliuliza, "Wanangu, tunafanya nini baada ya kugusa kitu chochote?" "Tunaosha mikono yetu kwa maji na sabuni!" Ndolo alisema. "Au tunatumia sanitaiza," niliongeza. Mama alitabasamu, "Na tunavaa nini tukienda nje?" Sote tulipiga kilele, "Barakoa zetu!" 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema vaa barakoa! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Dadake aliitwa nani
{ "text": [ "Zena" ] }
2248_swa
Juma anasema vaa barakoa! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Siku moja, dada yangu Zena alikuwa na wazo hili. "Nitatengeza barakoa kwa kila asiyekuwa nayo kwenye jamii!" alisema. "Hilo ni wazo zuri! Wacha tuwaambie Mama na Baba watakaporudi nyumbani!" nilijibu. Mama na Baba waliporudi nyumbani, tuliwaambia kuhusu wazo la Zena. "Hilo ni wazo zuri mwanangu!" Baba alisema, na Mama akakubali. "Nitawauliza washiriki wa kanisa letu watupe vitambara vikusaidie kutengeneza barakoa. Hebu tumwulize Bibi asaidie pia." Siku iliyofuata wanawake wa kanisa walituletea vitambara vya rangi nyingi na mpira nyumbani kwetu. Zena alimuachia Bibi mfuko wa vitambara nje ya mlango wake pamoja na barua ya kumuomba amsaidie. Zena alianza kushona barakoa, mimi na Ndolo tukamtazama. Zena ni hodari sana kwa kushona. Alishona barakoa nyingi. Mimi na Ndolo tulihesabu barakoa, 1, 2, 3, 4, 5 halafu 20, 30, 40, 50, halafu,100! Zena na Bibi walishonea jamii barakoa nyingi! Tuliwasaidia! Mama na baba walikuwa wenye fahari. Siku iliyofuata, Baba na Mama hawakuenda kazini. Waliamua kugawanya barakoa nzuri za Zena na Bibi kwa wale ambao hawakuwa na barakoa. Zena alibeba sanitaiza ya Mama na kuwanyunyuzia watu. "Kumbuka kuosha barakoa yako kila siku," Mama alisema. Sasa Zena anapoenda kuchota maji, kila mtu amevaa barakoa. Kila mmoja anaonekana yuko salama. Baadaye, Mama aliuliza, "Wanangu, tunafanya nini baada ya kugusa kitu chochote?" "Tunaosha mikono yetu kwa maji na sabuni!" Ndolo alisema. "Au tunatumia sanitaiza," niliongeza. Mama alitabasamu, "Na tunavaa nini tukienda nje?" Sote tulipiga kilele, "Barakoa zetu!" 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema vaa barakoa! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Zena ni hodari sana katika nini
{ "text": [ "Kushona" ] }
2248_swa
Juma anasema vaa barakoa! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Siku moja, dada yangu Zena alikuwa na wazo hili. "Nitatengeza barakoa kwa kila asiyekuwa nayo kwenye jamii!" alisema. "Hilo ni wazo zuri! Wacha tuwaambie Mama na Baba watakaporudi nyumbani!" nilijibu. Mama na Baba waliporudi nyumbani, tuliwaambia kuhusu wazo la Zena. "Hilo ni wazo zuri mwanangu!" Baba alisema, na Mama akakubali. "Nitawauliza washiriki wa kanisa letu watupe vitambara vikusaidie kutengeneza barakoa. Hebu tumwulize Bibi asaidie pia." Siku iliyofuata wanawake wa kanisa walituletea vitambara vya rangi nyingi na mpira nyumbani kwetu. Zena alimuachia Bibi mfuko wa vitambara nje ya mlango wake pamoja na barua ya kumuomba amsaidie. Zena alianza kushona barakoa, mimi na Ndolo tukamtazama. Zena ni hodari sana kwa kushona. Alishona barakoa nyingi. Mimi na Ndolo tulihesabu barakoa, 1, 2, 3, 4, 5 halafu 20, 30, 40, 50, halafu,100! Zena na Bibi walishonea jamii barakoa nyingi! Tuliwasaidia! Mama na baba walikuwa wenye fahari. Siku iliyofuata, Baba na Mama hawakuenda kazini. Waliamua kugawanya barakoa nzuri za Zena na Bibi kwa wale ambao hawakuwa na barakoa. Zena alibeba sanitaiza ya Mama na kuwanyunyuzia watu. "Kumbuka kuosha barakoa yako kila siku," Mama alisema. Sasa Zena anapoenda kuchota maji, kila mtu amevaa barakoa. Kila mmoja anaonekana yuko salama. Baadaye, Mama aliuliza, "Wanangu, tunafanya nini baada ya kugusa kitu chochote?" "Tunaosha mikono yetu kwa maji na sabuni!" Ndolo alisema. "Au tunatumia sanitaiza," niliongeza. Mama alitabasamu, "Na tunavaa nini tukienda nje?" Sote tulipiga kilele, "Barakoa zetu!" 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema vaa barakoa! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Zena na Bibi walishonea jamii nini
{ "text": [ "Barakoa" ] }
2248_swa
Juma anasema vaa barakoa! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Siku moja, dada yangu Zena alikuwa na wazo hili. "Nitatengeza barakoa kwa kila asiyekuwa nayo kwenye jamii!" alisema. "Hilo ni wazo zuri! Wacha tuwaambie Mama na Baba watakaporudi nyumbani!" nilijibu. Mama na Baba waliporudi nyumbani, tuliwaambia kuhusu wazo la Zena. "Hilo ni wazo zuri mwanangu!" Baba alisema, na Mama akakubali. "Nitawauliza washiriki wa kanisa letu watupe vitambara vikusaidie kutengeneza barakoa. Hebu tumwulize Bibi asaidie pia." Siku iliyofuata wanawake wa kanisa walituletea vitambara vya rangi nyingi na mpira nyumbani kwetu. Zena alimuachia Bibi mfuko wa vitambara nje ya mlango wake pamoja na barua ya kumuomba amsaidie. Zena alianza kushona barakoa, mimi na Ndolo tukamtazama. Zena ni hodari sana kwa kushona. Alishona barakoa nyingi. Mimi na Ndolo tulihesabu barakoa, 1, 2, 3, 4, 5 halafu 20, 30, 40, 50, halafu,100! Zena na Bibi walishonea jamii barakoa nyingi! Tuliwasaidia! Mama na baba walikuwa wenye fahari. Siku iliyofuata, Baba na Mama hawakuenda kazini. Waliamua kugawanya barakoa nzuri za Zena na Bibi kwa wale ambao hawakuwa na barakoa. Zena alibeba sanitaiza ya Mama na kuwanyunyuzia watu. "Kumbuka kuosha barakoa yako kila siku," Mama alisema. Sasa Zena anapoenda kuchota maji, kila mtu amevaa barakoa. Kila mmoja anaonekana yuko salama. Baadaye, Mama aliuliza, "Wanangu, tunafanya nini baada ya kugusa kitu chochote?" "Tunaosha mikono yetu kwa maji na sabuni!" Ndolo alisema. "Au tunatumia sanitaiza," niliongeza. Mama alitabasamu, "Na tunavaa nini tukienda nje?" Sote tulipiga kilele, "Barakoa zetu!" 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema vaa barakoa! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Nani waligawanya barakoa
{ "text": [ "Baba na mama" ] }
2248_swa
Juma anasema vaa barakoa! Kwa ajili ya watoto katika kila nchi ya Afrika Siku moja, dada yangu Zena alikuwa na wazo hili. "Nitatengeza barakoa kwa kila asiyekuwa nayo kwenye jamii!" alisema. "Hilo ni wazo zuri! Wacha tuwaambie Mama na Baba watakaporudi nyumbani!" nilijibu. Mama na Baba waliporudi nyumbani, tuliwaambia kuhusu wazo la Zena. "Hilo ni wazo zuri mwanangu!" Baba alisema, na Mama akakubali. "Nitawauliza washiriki wa kanisa letu watupe vitambara vikusaidie kutengeneza barakoa. Hebu tumwulize Bibi asaidie pia." Siku iliyofuata wanawake wa kanisa walituletea vitambara vya rangi nyingi na mpira nyumbani kwetu. Zena alimuachia Bibi mfuko wa vitambara nje ya mlango wake pamoja na barua ya kumuomba amsaidie. Zena alianza kushona barakoa, mimi na Ndolo tukamtazama. Zena ni hodari sana kwa kushona. Alishona barakoa nyingi. Mimi na Ndolo tulihesabu barakoa, 1, 2, 3, 4, 5 halafu 20, 30, 40, 50, halafu,100! Zena na Bibi walishonea jamii barakoa nyingi! Tuliwasaidia! Mama na baba walikuwa wenye fahari. Siku iliyofuata, Baba na Mama hawakuenda kazini. Waliamua kugawanya barakoa nzuri za Zena na Bibi kwa wale ambao hawakuwa na barakoa. Zena alibeba sanitaiza ya Mama na kuwanyunyuzia watu. "Kumbuka kuosha barakoa yako kila siku," Mama alisema. Sasa Zena anapoenda kuchota maji, kila mtu amevaa barakoa. Kila mmoja anaonekana yuko salama. Baadaye, Mama aliuliza, "Wanangu, tunafanya nini baada ya kugusa kitu chochote?" "Tunaosha mikono yetu kwa maji na sabuni!" Ndolo alisema. "Au tunatumia sanitaiza," niliongeza. Mama alitabasamu, "Na tunavaa nini tukienda nje?" Sote tulipiga kilele, "Barakoa zetu!" 1. Osha mikono yako kwa maji. 2. Tumia sabuni kuosha mikono yako. 3. Osha kwa sekunde 20 au polepole hesabu kutoka 1 hadi 20. 4. Suuza mikono yako kwa maji. 5. Kausha mikono yako kwa taulo au tishu safi. 6. Sasa mikono yako ni safi! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Juma anasema vaa barakoa! Author - Nathi Ngubane Adaptation - African Storybook Illustration - Nathi Ngubane Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Nathi Ngubane, Azad Essa, Social Bandit Media, African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source https://sacoronavirus.co.za
Baada ya kugusa kitu mtu hufanyaje
{ "text": [ "Kuosha mikono kwa maji na sabuni" ] }
2249_swa
Jumamosi Alasiri Ilikuwa Jumamosi yenye joto jingi. Kila mtu alikuwa amenuna. "Betty, Mercy na Larry, nendeni nje mcheze! Siwataki hapa," mama aliwaambia watoto. "Twendeni mtoni. Kuna upepo mzuri huko." Larry alisema. "Mama alitukataza kuogelea mtoni," Betty alijibu. "Tutachezea tu karibu na maji," Larry alisema. Walipofika, kwanza walivua viatu vyao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Wakavua nguo zao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Waliiweka miguu yao majini kuifanya iwe baridi. Walirushiana maji. Punde kidogo walikuwa wameloa maji. "Aa, njoo! Hebu tuogelee. Mama hatajua," Mercy alisema. Waliogelea kwa muda mrefu wakasahau kuwa muda ulikuwa unapita. Jua lilipoanza kutua, walihisi baridi. Lakini je, nguo zao zilikuwa wapi? Walitazama chini ya miti. Wakatazama juu ya vichaka. Walitazama kila mahali. Hawakuona dalili ya nguo zao popote. Ng'ombe walikuwa wakila nyasi karibu na mto. Betty alisema, "Mwone yule ng'ombe! Ni nini hicho anachokula?" "Anakula ua jekundu," Larry alisema. "Sio ua jekundu. Ni shati lako." Mercy alipiga kelele. Walimwona ng'ombe mwingine akila kitu cha kisamwati. "Hiyo ni sketi yangu!" Betty alipiga kelele kwa hofu. Walirudi nyumbani wakiwa wamevaa suruali tu. "Ng'ombe walikula nguo zetu," walilia. Punde kidogo makalio yao yalikuwa na joto sana kwa kuadhibiwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi Alasiri Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliwahimiza watoto wengine waende mtoni kucheza?
{ "text": [ "Larry" ] }
2249_swa
Jumamosi Alasiri Ilikuwa Jumamosi yenye joto jingi. Kila mtu alikuwa amenuna. "Betty, Mercy na Larry, nendeni nje mcheze! Siwataki hapa," mama aliwaambia watoto. "Twendeni mtoni. Kuna upepo mzuri huko." Larry alisema. "Mama alitukataza kuogelea mtoni," Betty alijibu. "Tutachezea tu karibu na maji," Larry alisema. Walipofika, kwanza walivua viatu vyao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Wakavua nguo zao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Waliiweka miguu yao majini kuifanya iwe baridi. Walirushiana maji. Punde kidogo walikuwa wameloa maji. "Aa, njoo! Hebu tuogelee. Mama hatajua," Mercy alisema. Waliogelea kwa muda mrefu wakasahau kuwa muda ulikuwa unapita. Jua lilipoanza kutua, walihisi baridi. Lakini je, nguo zao zilikuwa wapi? Walitazama chini ya miti. Wakatazama juu ya vichaka. Walitazama kila mahali. Hawakuona dalili ya nguo zao popote. Ng'ombe walikuwa wakila nyasi karibu na mto. Betty alisema, "Mwone yule ng'ombe! Ni nini hicho anachokula?" "Anakula ua jekundu," Larry alisema. "Sio ua jekundu. Ni shati lako." Mercy alipiga kelele. Walimwona ng'ombe mwingine akila kitu cha kisamwati. "Hiyo ni sketi yangu!" Betty alipiga kelele kwa hofu. Walirudi nyumbani wakiwa wamevaa suruali tu. "Ng'ombe walikula nguo zetu," walilia. Punde kidogo makalio yao yalikuwa na joto sana kwa kuadhibiwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi Alasiri Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliwafukuza watoto nyumbani ili waende wakacheze?
{ "text": [ "Mama" ] }
2249_swa
Jumamosi Alasiri Ilikuwa Jumamosi yenye joto jingi. Kila mtu alikuwa amenuna. "Betty, Mercy na Larry, nendeni nje mcheze! Siwataki hapa," mama aliwaambia watoto. "Twendeni mtoni. Kuna upepo mzuri huko." Larry alisema. "Mama alitukataza kuogelea mtoni," Betty alijibu. "Tutachezea tu karibu na maji," Larry alisema. Walipofika, kwanza walivua viatu vyao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Wakavua nguo zao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Waliiweka miguu yao majini kuifanya iwe baridi. Walirushiana maji. Punde kidogo walikuwa wameloa maji. "Aa, njoo! Hebu tuogelee. Mama hatajua," Mercy alisema. Waliogelea kwa muda mrefu wakasahau kuwa muda ulikuwa unapita. Jua lilipoanza kutua, walihisi baridi. Lakini je, nguo zao zilikuwa wapi? Walitazama chini ya miti. Wakatazama juu ya vichaka. Walitazama kila mahali. Hawakuona dalili ya nguo zao popote. Ng'ombe walikuwa wakila nyasi karibu na mto. Betty alisema, "Mwone yule ng'ombe! Ni nini hicho anachokula?" "Anakula ua jekundu," Larry alisema. "Sio ua jekundu. Ni shati lako." Mercy alipiga kelele. Walimwona ng'ombe mwingine akila kitu cha kisamwati. "Hiyo ni sketi yangu!" Betty alipiga kelele kwa hofu. Walirudi nyumbani wakiwa wamevaa suruali tu. "Ng'ombe walikula nguo zetu," walilia. Punde kidogo makalio yao yalikuwa na joto sana kwa kuadhibiwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi Alasiri Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliwasihi watoto wengine kwamba waogelee?
{ "text": [ "Mercy" ] }