Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2282_swa
Matunda Hapo zamani, familia moja ilikuwa na mti wa matunda matamu yaliyowavutia wengi kutaka kuyaonja. Familia hiyo pia ilikuwa na binti mzuri mrembo. Urembo wake na tabia zake nzuri vilisifiwa na watu wengi. Alipokua mtu mzima, wanaume, vijana kwa wazee, walienda kwao wakiwa na nia ya kumposa. Wazazi wa yule msichana walifanya uamuzi. Mwanamume ambaye angeketi pale nyumbani siku nzima bila kula tunda lolote, angeozwa binti wao. Habari hiyo ilisambaa kijiji kizima. Mtu wa kwanza kufika alikuwa kiongozi wa wakulima wote kijijini. Alikuwa tajiri mwenye sura nzuri tena alikuwa angali kijana. Alikaribishwa akaandaliwa matunda. Lakini, kabla ya muda kupita, aliyala matunda kisha akaagwa akaenda zake. Aliyefuata alikuwa kiongozi wa wafugaji. Yeye pia alikuwa tajiri mwenye sura nzuri na alikuwa angali kijana. Msichana alipendezwa naye. Lakini alipoandaliwa matunda, aliyala mara moja. Yeye pia aliagwa akaenda zake. Wa tatu alikuwa na mashamba mengi, lakini, jeuri na mwenye sura mbaya. Msichana aliomba Mungu yule mtu ale matunda upesi ili aweze kwenda zake. Alipoandaliwa matunda, alikataa kula. Wakati ulipopita, msichana alimwomba ale. Ilipofika saa kumi, alizidiwa na njaa akala. Yeye pia aliagwa akaenda zake. Aliyefuata, alikuwa mzee mwenye sura mbaya, mlaji rushwa asiyekuwa na adabu. Hakupendwa na yeyote kijijini. Msichana alitumaini angekula moja kwa moja na kwenda zake. Alipoandaliwa matunda alikataa kula. Ilipofika saa kumi na mbili ya jioni, aliomba kwenda haja. Aliporudi, alinukia matunda huku midomo yake ikiwa na rangi nyekundu! Msichana alifarijika mzee alipoagwa na kwenda zake. Siku chache zilipita kisha mwana wa mfalme, aliyekuwa kijana, tajiri na mwenye sura ya kupendeza, alifika. Msichana alimtazama akapendezwa naye mno. Msichana alimpeleka faraghani akamwomba asile matunda. Alimwandalia matunda machache kuliko waliyoandaliwa waliomtangulia. Ilipofika adhuhuri, alikuwa amekwisha kula akaagwa. Msichana masikini alilia machozi ya hasira na hasara. Siku iliyofuata, mkulima masikini na mvivu alifika pale. Alikuwa mwenye sifa ya kubobea maneno ambayo yaliwafurahisha watu. Akafika akiwa na nia madhubuti kushinda. Msichana naye alimwandalia matunda mengi akamwomba ale aende zake. Alikataa kula. Msichana alisubiri kwa hofu. Saa sita alikuwa hajala. Ilipofika saa kumi, aliomba maji. Msichana alimwomba Mungu ale, lakini hilo halikutendeka. Wazazi wa yule msichana hawakuwa na budi ila kumkubali "yule mvivu." Msichana naye alitamani kunusurika na mtu yule, lakini wazazi hawakuweza kumsaidia. Walipokuwa njiani kwenda kwao nyumbani, mkulima alipiga makofi akiimba wimbo mzuri ambao uliwavutia watu waliokuwa barabarani. Miongoni mwa watu wale walikuwa watumishi wa mwana mfalme. Walimwita mkulima wakamhonga kwa pesa pamoja na ng'ombe mradi akubali kumwacha msichana. Bila kusita, akakubali pesa pamoja na ng'ombe akaenda zake peke yake. Watumishi wale walimvisha msichana libasi murua mno wakampeleka mpaka jumba kubwa la mfalme. Muda si mrefu, wazazi wake waliitwa na harusi ikaandaliwa. Niliwaacha wakisherehekea nami nikaja kuwahadithieni ninyi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Matunda Author - Shakira Bodio Translation - Translators without Borders Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wazazi wa msichana mrembo waliweka masharti gani kwa atakayemoa?
{ "text": [ "Mwanaume yeyote atakaenda kwao sile tunda " ] }
2282_swa
Matunda Hapo zamani, familia moja ilikuwa na mti wa matunda matamu yaliyowavutia wengi kutaka kuyaonja. Familia hiyo pia ilikuwa na binti mzuri mrembo. Urembo wake na tabia zake nzuri vilisifiwa na watu wengi. Alipokua mtu mzima, wanaume, vijana kwa wazee, walienda kwao wakiwa na nia ya kumposa. Wazazi wa yule msichana walifanya uamuzi. Mwanamume ambaye angeketi pale nyumbani siku nzima bila kula tunda lolote, angeozwa binti wao. Habari hiyo ilisambaa kijiji kizima. Mtu wa kwanza kufika alikuwa kiongozi wa wakulima wote kijijini. Alikuwa tajiri mwenye sura nzuri tena alikuwa angali kijana. Alikaribishwa akaandaliwa matunda. Lakini, kabla ya muda kupita, aliyala matunda kisha akaagwa akaenda zake. Aliyefuata alikuwa kiongozi wa wafugaji. Yeye pia alikuwa tajiri mwenye sura nzuri na alikuwa angali kijana. Msichana alipendezwa naye. Lakini alipoandaliwa matunda, aliyala mara moja. Yeye pia aliagwa akaenda zake. Wa tatu alikuwa na mashamba mengi, lakini, jeuri na mwenye sura mbaya. Msichana aliomba Mungu yule mtu ale matunda upesi ili aweze kwenda zake. Alipoandaliwa matunda, alikataa kula. Wakati ulipopita, msichana alimwomba ale. Ilipofika saa kumi, alizidiwa na njaa akala. Yeye pia aliagwa akaenda zake. Aliyefuata, alikuwa mzee mwenye sura mbaya, mlaji rushwa asiyekuwa na adabu. Hakupendwa na yeyote kijijini. Msichana alitumaini angekula moja kwa moja na kwenda zake. Alipoandaliwa matunda alikataa kula. Ilipofika saa kumi na mbili ya jioni, aliomba kwenda haja. Aliporudi, alinukia matunda huku midomo yake ikiwa na rangi nyekundu! Msichana alifarijika mzee alipoagwa na kwenda zake. Siku chache zilipita kisha mwana wa mfalme, aliyekuwa kijana, tajiri na mwenye sura ya kupendeza, alifika. Msichana alimtazama akapendezwa naye mno. Msichana alimpeleka faraghani akamwomba asile matunda. Alimwandalia matunda machache kuliko waliyoandaliwa waliomtangulia. Ilipofika adhuhuri, alikuwa amekwisha kula akaagwa. Msichana masikini alilia machozi ya hasira na hasara. Siku iliyofuata, mkulima masikini na mvivu alifika pale. Alikuwa mwenye sifa ya kubobea maneno ambayo yaliwafurahisha watu. Akafika akiwa na nia madhubuti kushinda. Msichana naye alimwandalia matunda mengi akamwomba ale aende zake. Alikataa kula. Msichana alisubiri kwa hofu. Saa sita alikuwa hajala. Ilipofika saa kumi, aliomba maji. Msichana alimwomba Mungu ale, lakini hilo halikutendeka. Wazazi wa yule msichana hawakuwa na budi ila kumkubali "yule mvivu." Msichana naye alitamani kunusurika na mtu yule, lakini wazazi hawakuweza kumsaidia. Walipokuwa njiani kwenda kwao nyumbani, mkulima alipiga makofi akiimba wimbo mzuri ambao uliwavutia watu waliokuwa barabarani. Miongoni mwa watu wale walikuwa watumishi wa mwana mfalme. Walimwita mkulima wakamhonga kwa pesa pamoja na ng'ombe mradi akubali kumwacha msichana. Bila kusita, akakubali pesa pamoja na ng'ombe akaenda zake peke yake. Watumishi wale walimvisha msichana libasi murua mno wakampeleka mpaka jumba kubwa la mfalme. Muda si mrefu, wazazi wake waliitwa na harusi ikaandaliwa. Niliwaacha wakisherehekea nami nikaja kuwahadithieni ninyi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Matunda Author - Shakira Bodio Translation - Translators without Borders Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini msichana aliozwa mwana we mfalme
{ "text": [ "Mwanaume aliyeozwa msichana alihongwa Kwa pesa na ng'ombe ili amwache" ] }
2284_swa
Mawaidha kutoka kwa Baba Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa na watoto wawili wa kiume. Siku moja, aliwaita akawaambia, "Wanangu, mimi ninakaribia kufa. Ningependa kuwaona mkiwa nyumbani kwenu kabla ya kifo changu. Ninawapa mwezi mmoja ili muweze kulishughulikia jambo hili. Rudini hapa baada ya mwezi." Wanawe hao wawili walitoka kwa kasi. Mwana wa kwanza alikwenda akakata miti akaanza kujijengea nyumba. Naye mwana wa pili alikwenda akaanza kujenga uhusiano maalum na watu kutoka familia mbali mbali. Alichukuliwa na watu tofauti kama mtoto wao wa kupanga. Baada ya mwezi mmoja, ndugu hao wawili walirudi kumwona baba yao. Baba yao alisema, "Je, mmeweza kujenga nyumba zenu?" Wote walimjibu, "Ndiyo, baba." Baba alikwenda na mwanawe wa kwanza. Aliona kwamba mwanawe alikuwa amejenga nyumba nyingi. Alitembea nje ya kila nyumba, akiuliza, "Je, kuna mtu yeyote ndani ya nyumba hii?" Naye mwanawe alimjibu, "La, baba." Waliitembelea kila nyumba na kila wakati baba alimwuliza mwanawe, "Je, kuna mtu yeyote kwenye nyumba hii?" Kila mara mwanawe alimjibu, "La, baba." Hatimaye, baba alihisi njaa kwa sababu hakumpata mtu yeyote wa kumpa chakula. Alisema, "Sawa, twende nyumbani." Waliondoka wakaenda nyumbani. Kaka wa pili aliwapeleka kwenye familia yake ya kwanza ya kupanga. Aliwajulisha kwa baba yake na kusema, "Hawa hapa ni baba na kaka zangu." Familia hii iliwapokea kwa furaha nyingi. Walichinja kondoo wakawatayarishia sherehe kubwa sana. Kisha walikwenda kwa familia ya pili aliyokuwa amepanga. Aliwajulisha pia kama baba na kaka zake. Waliwafanyia sherehe nyingine kubwa. Walikaribishwa katika kila familia ambako ndugu wa pili alikuwa amechukuliwa kama mwanao. Walikula wakashiba kisha wakaondoka wakarudi nyumbani. Baba alisema, "Hivi ndivyo nilivyokusudia, nilipowaambia mjitengenezee nyumba. Kuwa nyumbani hakumaanishi kuwa na nyumba nyingi au nyumba za bei ghali. Bali, ni kuwa na upendo, urafiki na uhusiano mwema na watu wengine." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mawaidha kutoka kwa Baba Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mwanamume alikuwa na watoto wangapi
{ "text": [ "Wawili" ] }
2284_swa
Mawaidha kutoka kwa Baba Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa na watoto wawili wa kiume. Siku moja, aliwaita akawaambia, "Wanangu, mimi ninakaribia kufa. Ningependa kuwaona mkiwa nyumbani kwenu kabla ya kifo changu. Ninawapa mwezi mmoja ili muweze kulishughulikia jambo hili. Rudini hapa baada ya mwezi." Wanawe hao wawili walitoka kwa kasi. Mwana wa kwanza alikwenda akakata miti akaanza kujijengea nyumba. Naye mwana wa pili alikwenda akaanza kujenga uhusiano maalum na watu kutoka familia mbali mbali. Alichukuliwa na watu tofauti kama mtoto wao wa kupanga. Baada ya mwezi mmoja, ndugu hao wawili walirudi kumwona baba yao. Baba yao alisema, "Je, mmeweza kujenga nyumba zenu?" Wote walimjibu, "Ndiyo, baba." Baba alikwenda na mwanawe wa kwanza. Aliona kwamba mwanawe alikuwa amejenga nyumba nyingi. Alitembea nje ya kila nyumba, akiuliza, "Je, kuna mtu yeyote ndani ya nyumba hii?" Naye mwanawe alimjibu, "La, baba." Waliitembelea kila nyumba na kila wakati baba alimwuliza mwanawe, "Je, kuna mtu yeyote kwenye nyumba hii?" Kila mara mwanawe alimjibu, "La, baba." Hatimaye, baba alihisi njaa kwa sababu hakumpata mtu yeyote wa kumpa chakula. Alisema, "Sawa, twende nyumbani." Waliondoka wakaenda nyumbani. Kaka wa pili aliwapeleka kwenye familia yake ya kwanza ya kupanga. Aliwajulisha kwa baba yake na kusema, "Hawa hapa ni baba na kaka zangu." Familia hii iliwapokea kwa furaha nyingi. Walichinja kondoo wakawatayarishia sherehe kubwa sana. Kisha walikwenda kwa familia ya pili aliyokuwa amepanga. Aliwajulisha pia kama baba na kaka zake. Waliwafanyia sherehe nyingine kubwa. Walikaribishwa katika kila familia ambako ndugu wa pili alikuwa amechukuliwa kama mwanao. Walikula wakashiba kisha wakaondoka wakarudi nyumbani. Baba alisema, "Hivi ndivyo nilivyokusudia, nilipowaambia mjitengenezee nyumba. Kuwa nyumbani hakumaanishi kuwa na nyumba nyingi au nyumba za bei ghali. Bali, ni kuwa na upendo, urafiki na uhusiano mwema na watu wengine." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mawaidha kutoka kwa Baba Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mwana wa kwanza alikwenda akakata nini
{ "text": [ "miti" ] }
2284_swa
Mawaidha kutoka kwa Baba Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa na watoto wawili wa kiume. Siku moja, aliwaita akawaambia, "Wanangu, mimi ninakaribia kufa. Ningependa kuwaona mkiwa nyumbani kwenu kabla ya kifo changu. Ninawapa mwezi mmoja ili muweze kulishughulikia jambo hili. Rudini hapa baada ya mwezi." Wanawe hao wawili walitoka kwa kasi. Mwana wa kwanza alikwenda akakata miti akaanza kujijengea nyumba. Naye mwana wa pili alikwenda akaanza kujenga uhusiano maalum na watu kutoka familia mbali mbali. Alichukuliwa na watu tofauti kama mtoto wao wa kupanga. Baada ya mwezi mmoja, ndugu hao wawili walirudi kumwona baba yao. Baba yao alisema, "Je, mmeweza kujenga nyumba zenu?" Wote walimjibu, "Ndiyo, baba." Baba alikwenda na mwanawe wa kwanza. Aliona kwamba mwanawe alikuwa amejenga nyumba nyingi. Alitembea nje ya kila nyumba, akiuliza, "Je, kuna mtu yeyote ndani ya nyumba hii?" Naye mwanawe alimjibu, "La, baba." Waliitembelea kila nyumba na kila wakati baba alimwuliza mwanawe, "Je, kuna mtu yeyote kwenye nyumba hii?" Kila mara mwanawe alimjibu, "La, baba." Hatimaye, baba alihisi njaa kwa sababu hakumpata mtu yeyote wa kumpa chakula. Alisema, "Sawa, twende nyumbani." Waliondoka wakaenda nyumbani. Kaka wa pili aliwapeleka kwenye familia yake ya kwanza ya kupanga. Aliwajulisha kwa baba yake na kusema, "Hawa hapa ni baba na kaka zangu." Familia hii iliwapokea kwa furaha nyingi. Walichinja kondoo wakawatayarishia sherehe kubwa sana. Kisha walikwenda kwa familia ya pili aliyokuwa amepanga. Aliwajulisha pia kama baba na kaka zake. Waliwafanyia sherehe nyingine kubwa. Walikaribishwa katika kila familia ambako ndugu wa pili alikuwa amechukuliwa kama mwanao. Walikula wakashiba kisha wakaondoka wakarudi nyumbani. Baba alisema, "Hivi ndivyo nilivyokusudia, nilipowaambia mjitengenezee nyumba. Kuwa nyumbani hakumaanishi kuwa na nyumba nyingi au nyumba za bei ghali. Bali, ni kuwa na upendo, urafiki na uhusiano mwema na watu wengine." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mawaidha kutoka kwa Baba Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Waliondoka wakaenda wapi
{ "text": [ "Nyumbani" ] }
2284_swa
Mawaidha kutoka kwa Baba Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa na watoto wawili wa kiume. Siku moja, aliwaita akawaambia, "Wanangu, mimi ninakaribia kufa. Ningependa kuwaona mkiwa nyumbani kwenu kabla ya kifo changu. Ninawapa mwezi mmoja ili muweze kulishughulikia jambo hili. Rudini hapa baada ya mwezi." Wanawe hao wawili walitoka kwa kasi. Mwana wa kwanza alikwenda akakata miti akaanza kujijengea nyumba. Naye mwana wa pili alikwenda akaanza kujenga uhusiano maalum na watu kutoka familia mbali mbali. Alichukuliwa na watu tofauti kama mtoto wao wa kupanga. Baada ya mwezi mmoja, ndugu hao wawili walirudi kumwona baba yao. Baba yao alisema, "Je, mmeweza kujenga nyumba zenu?" Wote walimjibu, "Ndiyo, baba." Baba alikwenda na mwanawe wa kwanza. Aliona kwamba mwanawe alikuwa amejenga nyumba nyingi. Alitembea nje ya kila nyumba, akiuliza, "Je, kuna mtu yeyote ndani ya nyumba hii?" Naye mwanawe alimjibu, "La, baba." Waliitembelea kila nyumba na kila wakati baba alimwuliza mwanawe, "Je, kuna mtu yeyote kwenye nyumba hii?" Kila mara mwanawe alimjibu, "La, baba." Hatimaye, baba alihisi njaa kwa sababu hakumpata mtu yeyote wa kumpa chakula. Alisema, "Sawa, twende nyumbani." Waliondoka wakaenda nyumbani. Kaka wa pili aliwapeleka kwenye familia yake ya kwanza ya kupanga. Aliwajulisha kwa baba yake na kusema, "Hawa hapa ni baba na kaka zangu." Familia hii iliwapokea kwa furaha nyingi. Walichinja kondoo wakawatayarishia sherehe kubwa sana. Kisha walikwenda kwa familia ya pili aliyokuwa amepanga. Aliwajulisha pia kama baba na kaka zake. Waliwafanyia sherehe nyingine kubwa. Walikaribishwa katika kila familia ambako ndugu wa pili alikuwa amechukuliwa kama mwanao. Walikula wakashiba kisha wakaondoka wakarudi nyumbani. Baba alisema, "Hivi ndivyo nilivyokusudia, nilipowaambia mjitengenezee nyumba. Kuwa nyumbani hakumaanishi kuwa na nyumba nyingi au nyumba za bei ghali. Bali, ni kuwa na upendo, urafiki na uhusiano mwema na watu wengine." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mawaidha kutoka kwa Baba Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Baba aliona kuwa mwanawe alikuwa amefanya nini
{ "text": [ "Amejenga nyumba nyingi" ] }
2284_swa
Mawaidha kutoka kwa Baba Hapo zamani za kale, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa na watoto wawili wa kiume. Siku moja, aliwaita akawaambia, "Wanangu, mimi ninakaribia kufa. Ningependa kuwaona mkiwa nyumbani kwenu kabla ya kifo changu. Ninawapa mwezi mmoja ili muweze kulishughulikia jambo hili. Rudini hapa baada ya mwezi." Wanawe hao wawili walitoka kwa kasi. Mwana wa kwanza alikwenda akakata miti akaanza kujijengea nyumba. Naye mwana wa pili alikwenda akaanza kujenga uhusiano maalum na watu kutoka familia mbali mbali. Alichukuliwa na watu tofauti kama mtoto wao wa kupanga. Baada ya mwezi mmoja, ndugu hao wawili walirudi kumwona baba yao. Baba yao alisema, "Je, mmeweza kujenga nyumba zenu?" Wote walimjibu, "Ndiyo, baba." Baba alikwenda na mwanawe wa kwanza. Aliona kwamba mwanawe alikuwa amejenga nyumba nyingi. Alitembea nje ya kila nyumba, akiuliza, "Je, kuna mtu yeyote ndani ya nyumba hii?" Naye mwanawe alimjibu, "La, baba." Waliitembelea kila nyumba na kila wakati baba alimwuliza mwanawe, "Je, kuna mtu yeyote kwenye nyumba hii?" Kila mara mwanawe alimjibu, "La, baba." Hatimaye, baba alihisi njaa kwa sababu hakumpata mtu yeyote wa kumpa chakula. Alisema, "Sawa, twende nyumbani." Waliondoka wakaenda nyumbani. Kaka wa pili aliwapeleka kwenye familia yake ya kwanza ya kupanga. Aliwajulisha kwa baba yake na kusema, "Hawa hapa ni baba na kaka zangu." Familia hii iliwapokea kwa furaha nyingi. Walichinja kondoo wakawatayarishia sherehe kubwa sana. Kisha walikwenda kwa familia ya pili aliyokuwa amepanga. Aliwajulisha pia kama baba na kaka zake. Waliwafanyia sherehe nyingine kubwa. Walikaribishwa katika kila familia ambako ndugu wa pili alikuwa amechukuliwa kama mwanao. Walikula wakashiba kisha wakaondoka wakarudi nyumbani. Baba alisema, "Hivi ndivyo nilivyokusudia, nilipowaambia mjitengenezee nyumba. Kuwa nyumbani hakumaanishi kuwa na nyumba nyingi au nyumba za bei ghali. Bali, ni kuwa na upendo, urafiki na uhusiano mwema na watu wengine." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mawaidha kutoka kwa Baba Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kwa nini baba alihisi njaa
{ "text": [ "Kwa sababu hakumpata mtu yeyote wa kumpa chakula" ] }
2285_swa
Mayai ya Mamba Siku moja, Mbwa aliyakuta mayai kando ya mto. Akajiuliza, "Mayai haya ni ya nani?" Mbwa aliyachukuwa yale mayai na kwenda nayo nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, aliyaweka karibu na moto ili yaangue. Mamba alikutana na Mbwa akamwuliza, "Umeyaona mayai yangu?" Mbwa akamjibu, "La." Mamba akatembea kila mahali akiuliza kila mnyama, "Umeyaona mayai yangu?" Kila mmoja alimjibu, "La." Mayai yale yaliangua moja baada ya nyingine. Mamba wachanga walianza kutambaa. Mbwa hakuwalisha wana mamba vizuri. Walihisi njaa kila wakati. Siku moja, Mamba aliwasikia wanawe wakilia. Alijua kwamba Mbwa ndiye aliyachukua mayai yake. Alimvamia Mbwa nyumbani kwake akamcharaza kwa mkia. Mbwa alitorokea dirishani. Mamba alimfukuza Mbwa akitaka kumwadhibu zaidi. Mbwa alimwambia Mamba, "Nisamehe! Sikujua kuwa mayai yalikuwa yako!" Mamba alimsamehe. Baadaye, aliwapeleka wanawe kuogelea kwa mara ya kwanza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mayai ya Mamba Author - Candiru Enzikuru Mary Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliyakuta mayai kando ya mto
{ "text": [ "Mbwa" ] }
2285_swa
Mayai ya Mamba Siku moja, Mbwa aliyakuta mayai kando ya mto. Akajiuliza, "Mayai haya ni ya nani?" Mbwa aliyachukuwa yale mayai na kwenda nayo nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, aliyaweka karibu na moto ili yaangue. Mamba alikutana na Mbwa akamwuliza, "Umeyaona mayai yangu?" Mbwa akamjibu, "La." Mamba akatembea kila mahali akiuliza kila mnyama, "Umeyaona mayai yangu?" Kila mmoja alimjibu, "La." Mayai yale yaliangua moja baada ya nyingine. Mamba wachanga walianza kutambaa. Mbwa hakuwalisha wana mamba vizuri. Walihisi njaa kila wakati. Siku moja, Mamba aliwasikia wanawe wakilia. Alijua kwamba Mbwa ndiye aliyachukua mayai yake. Alimvamia Mbwa nyumbani kwake akamcharaza kwa mkia. Mbwa alitorokea dirishani. Mamba alimfukuza Mbwa akitaka kumwadhibu zaidi. Mbwa alimwambia Mamba, "Nisamehe! Sikujua kuwa mayai yalikuwa yako!" Mamba alimsamehe. Baadaye, aliwapeleka wanawe kuogelea kwa mara ya kwanza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mayai ya Mamba Author - Candiru Enzikuru Mary Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini ilifanya Mbwa ayaweke mayai karibu na moto
{ "text": [ "ili yaangue" ] }
2285_swa
Mayai ya Mamba Siku moja, Mbwa aliyakuta mayai kando ya mto. Akajiuliza, "Mayai haya ni ya nani?" Mbwa aliyachukuwa yale mayai na kwenda nayo nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, aliyaweka karibu na moto ili yaangue. Mamba alikutana na Mbwa akamwuliza, "Umeyaona mayai yangu?" Mbwa akamjibu, "La." Mamba akatembea kila mahali akiuliza kila mnyama, "Umeyaona mayai yangu?" Kila mmoja alimjibu, "La." Mayai yale yaliangua moja baada ya nyingine. Mamba wachanga walianza kutambaa. Mbwa hakuwalisha wana mamba vizuri. Walihisi njaa kila wakati. Siku moja, Mamba aliwasikia wanawe wakilia. Alijua kwamba Mbwa ndiye aliyachukua mayai yake. Alimvamia Mbwa nyumbani kwake akamcharaza kwa mkia. Mbwa alitorokea dirishani. Mamba alimfukuza Mbwa akitaka kumwadhibu zaidi. Mbwa alimwambia Mamba, "Nisamehe! Sikujua kuwa mayai yalikuwa yako!" Mamba alimsamehe. Baadaye, aliwapeleka wanawe kuogelea kwa mara ya kwanza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mayai ya Mamba Author - Candiru Enzikuru Mary Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nini kilifanya wanawe Mamba kuhisi njaa kila wakati
{ "text": [ "hawakulishwa vizuri" ] }
2285_swa
Mayai ya Mamba Siku moja, Mbwa aliyakuta mayai kando ya mto. Akajiuliza, "Mayai haya ni ya nani?" Mbwa aliyachukuwa yale mayai na kwenda nayo nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, aliyaweka karibu na moto ili yaangue. Mamba alikutana na Mbwa akamwuliza, "Umeyaona mayai yangu?" Mbwa akamjibu, "La." Mamba akatembea kila mahali akiuliza kila mnyama, "Umeyaona mayai yangu?" Kila mmoja alimjibu, "La." Mayai yale yaliangua moja baada ya nyingine. Mamba wachanga walianza kutambaa. Mbwa hakuwalisha wana mamba vizuri. Walihisi njaa kila wakati. Siku moja, Mamba aliwasikia wanawe wakilia. Alijua kwamba Mbwa ndiye aliyachukua mayai yake. Alimvamia Mbwa nyumbani kwake akamcharaza kwa mkia. Mbwa alitorokea dirishani. Mamba alimfukuza Mbwa akitaka kumwadhibu zaidi. Mbwa alimwambia Mamba, "Nisamehe! Sikujua kuwa mayai yalikuwa yako!" Mamba alimsamehe. Baadaye, aliwapeleka wanawe kuogelea kwa mara ya kwanza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mayai ya Mamba Author - Candiru Enzikuru Mary Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mamba alijua Mbwa amewachukua wanawe lini
{ "text": [ "alipowasikia wakilia" ] }
2285_swa
Mayai ya Mamba Siku moja, Mbwa aliyakuta mayai kando ya mto. Akajiuliza, "Mayai haya ni ya nani?" Mbwa aliyachukuwa yale mayai na kwenda nayo nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, aliyaweka karibu na moto ili yaangue. Mamba alikutana na Mbwa akamwuliza, "Umeyaona mayai yangu?" Mbwa akamjibu, "La." Mamba akatembea kila mahali akiuliza kila mnyama, "Umeyaona mayai yangu?" Kila mmoja alimjibu, "La." Mayai yale yaliangua moja baada ya nyingine. Mamba wachanga walianza kutambaa. Mbwa hakuwalisha wana mamba vizuri. Walihisi njaa kila wakati. Siku moja, Mamba aliwasikia wanawe wakilia. Alijua kwamba Mbwa ndiye aliyachukua mayai yake. Alimvamia Mbwa nyumbani kwake akamcharaza kwa mkia. Mbwa alitorokea dirishani. Mamba alimfukuza Mbwa akitaka kumwadhibu zaidi. Mbwa alimwambia Mamba, "Nisamehe! Sikujua kuwa mayai yalikuwa yako!" Mamba alimsamehe. Baadaye, aliwapeleka wanawe kuogelea kwa mara ya kwanza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mayai ya Mamba Author - Candiru Enzikuru Mary Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mamba alimvamia Mbwa nyumbani mwake aje
{ "text": [ "kwa kumcharaza kwa mkia na kumfukuza ili amwadhibu zaidi" ] }
2286_swa
Mazishi ya Fisi Siku moja, mtoto wa fisi alifariki. Punda mmoja alikimbia kuwajulisha jamaa zake. Punda wengine waliuliza, "Mtoto wa fisi? Hiyo ni habari njema. Fisi wote ni maadui zetu." Punda mmoja mzee alisema, "Ndugu zangu, lazima tuhudhurie mazishi tuonyeshe heshima." Punda wengine wakauliza, "Eti nini? Tuhudhurie mazishi ya fisi? Hatutaki kwenda. Tunaogopa kuliwa na fisi." "Sikiliza. Tusipoenda, fisi watakasirika sana. Watakuwa na sababu ya kutufanya kitoweo chao." Punda mzee alisema. "Umesema ukweli. Lazima tuhudhurie mazishi ya fisi. Tukihudhuria, fisi watafurahi. Labda watakuwa marafiki zetu." Punda wengine walisema. Fisi waliwaona punda nje ya nyumba yao. "Mbona punda wako hapa? Wamekuja kutucheka?" Fisi walijiuliza. Punda walipowasikia fisi, waliogopa, wakaanza kuimba. Wimbo ulienda hivi: "Fisi wakubwa, mnawinda usiku kucha. Tunawasikia usiku wa manane. Meno yenu ni marefu. Macho yenu yanang'ara. Ingawa chakula chenu ni cheusi, kinyesi chenu ni rangi nyeupe. Sasa mmoja wenu amefariki!" Mjombake fisi aliyekufa pia akawajibu kwa wimbo: "Wimbo wenu ni mzuri. Maneno yenu ni matamu. Karibuni, wapendwa. Lakini mmetuletea nini cha kula? Fisi wana njaa. Wanahitaji nyama!" Punda sasa waliogopa sana. "Hebu tutoroke," mmoja wao alisema. Mwingine alijibu, "Hatuwezi. Fisi watatukimbiza." Punda mzee alishauri, "Tumekuja kuonyesha heshima zetu kwenu. Tunasikitika kwamba mtoto wenu amefariki. Tutaomba Mungu awafariji. Sasa lazima turudi nyumbani kwetu." Fisi walisema, "Subiri! Hamuwezi kuondoka. Lazima mtupatie kitu cha kula. Tukatieni midomo yenu." Punda waliangaliana. "Pengine tukiwakatia midomo yetu, watatuachilia twende." Waliwaza. Fisi walikata midomo ya punda wakala. Kwa mara nyingine, punda waliomba kuruhusiwa kuondoka. "Ndugu zangu, mtawaacha hawa punda waende? Waangalieni! Tunaweza kuyaona meno yao! Wanatucheka!" Fisi waliwarukia punda wakawaua halafu wakaanza kuwala. Kabla punda mzee kufa, aliwatazama fisi akasema, "Fisi waovu, tulikuja kwa wimbo kuwafariji lakini tulikosea! Mkiwa na njaa, msitafute sababu ya kuwala marafiki zenu!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mazishi ya Fisi Author - Elizabeth Laird and Yirga Ejigu Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini punda wengine walisema kifo cha mtoto wa fisi kilikuwa habari njema
{ "text": [ "Fisi walikuwa maadui na punda" ] }
2286_swa
Mazishi ya Fisi Siku moja, mtoto wa fisi alifariki. Punda mmoja alikimbia kuwajulisha jamaa zake. Punda wengine waliuliza, "Mtoto wa fisi? Hiyo ni habari njema. Fisi wote ni maadui zetu." Punda mmoja mzee alisema, "Ndugu zangu, lazima tuhudhurie mazishi tuonyeshe heshima." Punda wengine wakauliza, "Eti nini? Tuhudhurie mazishi ya fisi? Hatutaki kwenda. Tunaogopa kuliwa na fisi." "Sikiliza. Tusipoenda, fisi watakasirika sana. Watakuwa na sababu ya kutufanya kitoweo chao." Punda mzee alisema. "Umesema ukweli. Lazima tuhudhurie mazishi ya fisi. Tukihudhuria, fisi watafurahi. Labda watakuwa marafiki zetu." Punda wengine walisema. Fisi waliwaona punda nje ya nyumba yao. "Mbona punda wako hapa? Wamekuja kutucheka?" Fisi walijiuliza. Punda walipowasikia fisi, waliogopa, wakaanza kuimba. Wimbo ulienda hivi: "Fisi wakubwa, mnawinda usiku kucha. Tunawasikia usiku wa manane. Meno yenu ni marefu. Macho yenu yanang'ara. Ingawa chakula chenu ni cheusi, kinyesi chenu ni rangi nyeupe. Sasa mmoja wenu amefariki!" Mjombake fisi aliyekufa pia akawajibu kwa wimbo: "Wimbo wenu ni mzuri. Maneno yenu ni matamu. Karibuni, wapendwa. Lakini mmetuletea nini cha kula? Fisi wana njaa. Wanahitaji nyama!" Punda sasa waliogopa sana. "Hebu tutoroke," mmoja wao alisema. Mwingine alijibu, "Hatuwezi. Fisi watatukimbiza." Punda mzee alishauri, "Tumekuja kuonyesha heshima zetu kwenu. Tunasikitika kwamba mtoto wenu amefariki. Tutaomba Mungu awafariji. Sasa lazima turudi nyumbani kwetu." Fisi walisema, "Subiri! Hamuwezi kuondoka. Lazima mtupatie kitu cha kula. Tukatieni midomo yenu." Punda waliangaliana. "Pengine tukiwakatia midomo yetu, watatuachilia twende." Waliwaza. Fisi walikata midomo ya punda wakala. Kwa mara nyingine, punda waliomba kuruhusiwa kuondoka. "Ndugu zangu, mtawaacha hawa punda waende? Waangalieni! Tunaweza kuyaona meno yao! Wanatucheka!" Fisi waliwarukia punda wakawaua halafu wakaanza kuwala. Kabla punda mzee kufa, aliwatazama fisi akasema, "Fisi waovu, tulikuja kwa wimbo kuwafariji lakini tulikosea! Mkiwa na njaa, msitafute sababu ya kuwala marafiki zenu!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mazishi ya Fisi Author - Elizabeth Laird and Yirga Ejigu Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Punda kuhudhuria mazishi ya mtoto wa fisi ilikuwa kuonyesha nini
{ "text": [ "Heshima" ] }
2286_swa
Mazishi ya Fisi Siku moja, mtoto wa fisi alifariki. Punda mmoja alikimbia kuwajulisha jamaa zake. Punda wengine waliuliza, "Mtoto wa fisi? Hiyo ni habari njema. Fisi wote ni maadui zetu." Punda mmoja mzee alisema, "Ndugu zangu, lazima tuhudhurie mazishi tuonyeshe heshima." Punda wengine wakauliza, "Eti nini? Tuhudhurie mazishi ya fisi? Hatutaki kwenda. Tunaogopa kuliwa na fisi." "Sikiliza. Tusipoenda, fisi watakasirika sana. Watakuwa na sababu ya kutufanya kitoweo chao." Punda mzee alisema. "Umesema ukweli. Lazima tuhudhurie mazishi ya fisi. Tukihudhuria, fisi watafurahi. Labda watakuwa marafiki zetu." Punda wengine walisema. Fisi waliwaona punda nje ya nyumba yao. "Mbona punda wako hapa? Wamekuja kutucheka?" Fisi walijiuliza. Punda walipowasikia fisi, waliogopa, wakaanza kuimba. Wimbo ulienda hivi: "Fisi wakubwa, mnawinda usiku kucha. Tunawasikia usiku wa manane. Meno yenu ni marefu. Macho yenu yanang'ara. Ingawa chakula chenu ni cheusi, kinyesi chenu ni rangi nyeupe. Sasa mmoja wenu amefariki!" Mjombake fisi aliyekufa pia akawajibu kwa wimbo: "Wimbo wenu ni mzuri. Maneno yenu ni matamu. Karibuni, wapendwa. Lakini mmetuletea nini cha kula? Fisi wana njaa. Wanahitaji nyama!" Punda sasa waliogopa sana. "Hebu tutoroke," mmoja wao alisema. Mwingine alijibu, "Hatuwezi. Fisi watatukimbiza." Punda mzee alishauri, "Tumekuja kuonyesha heshima zetu kwenu. Tunasikitika kwamba mtoto wenu amefariki. Tutaomba Mungu awafariji. Sasa lazima turudi nyumbani kwetu." Fisi walisema, "Subiri! Hamuwezi kuondoka. Lazima mtupatie kitu cha kula. Tukatieni midomo yenu." Punda waliangaliana. "Pengine tukiwakatia midomo yetu, watatuachilia twende." Waliwaza. Fisi walikata midomo ya punda wakala. Kwa mara nyingine, punda waliomba kuruhusiwa kuondoka. "Ndugu zangu, mtawaacha hawa punda waende? Waangalieni! Tunaweza kuyaona meno yao! Wanatucheka!" Fisi waliwarukia punda wakawaua halafu wakaanza kuwala. Kabla punda mzee kufa, aliwatazama fisi akasema, "Fisi waovu, tulikuja kwa wimbo kuwafariji lakini tulikosea! Mkiwa na njaa, msitafute sababu ya kuwala marafiki zenu!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mazishi ya Fisi Author - Elizabeth Laird and Yirga Ejigu Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini punda waliimba wimbo
{ "text": [ "Ili kuwasifu fisi wasije wakawala" ] }
2286_swa
Mazishi ya Fisi Siku moja, mtoto wa fisi alifariki. Punda mmoja alikimbia kuwajulisha jamaa zake. Punda wengine waliuliza, "Mtoto wa fisi? Hiyo ni habari njema. Fisi wote ni maadui zetu." Punda mmoja mzee alisema, "Ndugu zangu, lazima tuhudhurie mazishi tuonyeshe heshima." Punda wengine wakauliza, "Eti nini? Tuhudhurie mazishi ya fisi? Hatutaki kwenda. Tunaogopa kuliwa na fisi." "Sikiliza. Tusipoenda, fisi watakasirika sana. Watakuwa na sababu ya kutufanya kitoweo chao." Punda mzee alisema. "Umesema ukweli. Lazima tuhudhurie mazishi ya fisi. Tukihudhuria, fisi watafurahi. Labda watakuwa marafiki zetu." Punda wengine walisema. Fisi waliwaona punda nje ya nyumba yao. "Mbona punda wako hapa? Wamekuja kutucheka?" Fisi walijiuliza. Punda walipowasikia fisi, waliogopa, wakaanza kuimba. Wimbo ulienda hivi: "Fisi wakubwa, mnawinda usiku kucha. Tunawasikia usiku wa manane. Meno yenu ni marefu. Macho yenu yanang'ara. Ingawa chakula chenu ni cheusi, kinyesi chenu ni rangi nyeupe. Sasa mmoja wenu amefariki!" Mjombake fisi aliyekufa pia akawajibu kwa wimbo: "Wimbo wenu ni mzuri. Maneno yenu ni matamu. Karibuni, wapendwa. Lakini mmetuletea nini cha kula? Fisi wana njaa. Wanahitaji nyama!" Punda sasa waliogopa sana. "Hebu tutoroke," mmoja wao alisema. Mwingine alijibu, "Hatuwezi. Fisi watatukimbiza." Punda mzee alishauri, "Tumekuja kuonyesha heshima zetu kwenu. Tunasikitika kwamba mtoto wenu amefariki. Tutaomba Mungu awafariji. Sasa lazima turudi nyumbani kwetu." Fisi walisema, "Subiri! Hamuwezi kuondoka. Lazima mtupatie kitu cha kula. Tukatieni midomo yenu." Punda waliangaliana. "Pengine tukiwakatia midomo yetu, watatuachilia twende." Waliwaza. Fisi walikata midomo ya punda wakala. Kwa mara nyingine, punda waliomba kuruhusiwa kuondoka. "Ndugu zangu, mtawaacha hawa punda waende? Waangalieni! Tunaweza kuyaona meno yao! Wanatucheka!" Fisi waliwarukia punda wakawaua halafu wakaanza kuwala. Kabla punda mzee kufa, aliwatazama fisi akasema, "Fisi waovu, tulikuja kwa wimbo kuwafariji lakini tulikosea! Mkiwa na njaa, msitafute sababu ya kuwala marafiki zenu!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mazishi ya Fisi Author - Elizabeth Laird and Yirga Ejigu Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliyekata midomo ya punda
{ "text": [ "Fisi" ] }
2286_swa
Mazishi ya Fisi Siku moja, mtoto wa fisi alifariki. Punda mmoja alikimbia kuwajulisha jamaa zake. Punda wengine waliuliza, "Mtoto wa fisi? Hiyo ni habari njema. Fisi wote ni maadui zetu." Punda mmoja mzee alisema, "Ndugu zangu, lazima tuhudhurie mazishi tuonyeshe heshima." Punda wengine wakauliza, "Eti nini? Tuhudhurie mazishi ya fisi? Hatutaki kwenda. Tunaogopa kuliwa na fisi." "Sikiliza. Tusipoenda, fisi watakasirika sana. Watakuwa na sababu ya kutufanya kitoweo chao." Punda mzee alisema. "Umesema ukweli. Lazima tuhudhurie mazishi ya fisi. Tukihudhuria, fisi watafurahi. Labda watakuwa marafiki zetu." Punda wengine walisema. Fisi waliwaona punda nje ya nyumba yao. "Mbona punda wako hapa? Wamekuja kutucheka?" Fisi walijiuliza. Punda walipowasikia fisi, waliogopa, wakaanza kuimba. Wimbo ulienda hivi: "Fisi wakubwa, mnawinda usiku kucha. Tunawasikia usiku wa manane. Meno yenu ni marefu. Macho yenu yanang'ara. Ingawa chakula chenu ni cheusi, kinyesi chenu ni rangi nyeupe. Sasa mmoja wenu amefariki!" Mjombake fisi aliyekufa pia akawajibu kwa wimbo: "Wimbo wenu ni mzuri. Maneno yenu ni matamu. Karibuni, wapendwa. Lakini mmetuletea nini cha kula? Fisi wana njaa. Wanahitaji nyama!" Punda sasa waliogopa sana. "Hebu tutoroke," mmoja wao alisema. Mwingine alijibu, "Hatuwezi. Fisi watatukimbiza." Punda mzee alishauri, "Tumekuja kuonyesha heshima zetu kwenu. Tunasikitika kwamba mtoto wenu amefariki. Tutaomba Mungu awafariji. Sasa lazima turudi nyumbani kwetu." Fisi walisema, "Subiri! Hamuwezi kuondoka. Lazima mtupatie kitu cha kula. Tukatieni midomo yenu." Punda waliangaliana. "Pengine tukiwakatia midomo yetu, watatuachilia twende." Waliwaza. Fisi walikata midomo ya punda wakala. Kwa mara nyingine, punda waliomba kuruhusiwa kuondoka. "Ndugu zangu, mtawaacha hawa punda waende? Waangalieni! Tunaweza kuyaona meno yao! Wanatucheka!" Fisi waliwarukia punda wakawaua halafu wakaanza kuwala. Kabla punda mzee kufa, aliwatazama fisi akasema, "Fisi waovu, tulikuja kwa wimbo kuwafariji lakini tulikosea! Mkiwa na njaa, msitafute sababu ya kuwala marafiki zenu!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mazishi ya Fisi Author - Elizabeth Laird and Yirga Ejigu Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baada ya punda kukatwa midomo ni kitu kipi kilionekana
{ "text": [ "Meno" ] }
2288_swa
Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Kadogo na Juma ni marafiki. Wanapenda kukimbia pamoja kila siku. Siku moja, Juma alisema, "Tukimbie kwa ajili ya bara letu, tuhimize umoja wa Afrika!" "Sawa, twende!" Kadogo alikubaliana naye. Waliamua kuibeba kurunzi ya umoja kwenye safari yao. Walianzia mbio hizo katika upande wa kusini jijini Cape Town. Kutoka Afrika Kusini, walielekea kaskazini kupitia magharibi mwa bara. Walipitia Namibia, Angola, Kongo na Cameroon. Waliamua kupumzika jijini Abuja. Wakimbiaji kutoka Afrika Magharibi walijiunga nao nchini Nigeria. Waliendelea pamoja wakiufuata Mto Niger. Walipofika Mali, walikumbwa na upepo mkali. Juma aliwashinda wote kwa nguvu. Alijitwika jukumu na kuwaongoza salama. Walipofika pwani ya Guinea, jijini Conakry, walikuwa wamejaa vumbi. Walienda kuogelea baharini. Baadaye waliamua kuendelea na mbio zao kwenda Morocco kupitia Senegal na Mauritania. Jijini Casablanca, wakimbiaji waliungana na vijana wenzao wakacheza ufukoni. Halafu, wakaelekea Afrika Kaskazini. Walikimbia kupitia Algeria na Libya wakapumzika Misiri ili wazitembelee piramidi. Baadaye, waligeuka kusini wakaufuata Mto Nile kuelekea Uganda. Walipita kwenye jangwa na mbuga za kitaifa. Vijana zaidi walijiunga nao jijini Kampala. Kutoka Kampala, kikundi hicho kilielekea pwani ya Kenya. Walipofika jijini Mombasa, waliketi ufukoni wakala wali wa nazi kwa samaki. Juma alisema, "Hebu tuipeleke kurunzi ya umoja Mlimani Kilimanjaro." Hata hivyo, Juma alikuwa amechoka. Walipokuwa njiani wakielekea Tanzania, alianguka chini. Wakimbiaji wenzake walizikatiza mbio zao wakarudi nyuma kumsaidia Juma. Juma alimpokeza Kadogo kurunzi akisema, "Ibebe kurunzi hii hadi Mlimani Kilimanjaro. Hakikisha umewasha mwale wa umoja wa Afrika." Watu waliwashangilia wakimbiaji wakisema, "Ninyi ni mashujaa wetu." Baada ya kuwasha mwale wa umoja Mlimani Kilimanjaro, walirejelea mbio kuelekea kusini mwa Afrika. Walipofika Malawi, walikatiza mbio zao. Wakaenda kuogelea katika Ziwa Malawi. Kadogo alimwambia Juma, "Tumekimbia kutoka kusini hadi kaskazini, mashariki hadi magharibi. Safari yetu inakaribia kukamilika." Hatimaye, wakimbiaji wa umoja waliibeba kurunzi yao hadi nchini Zimbabwe. Umati wa watu ulikusanyika pale kushuhudia jambo hilo. "Mbio zimefana kweli!" Alisema Juma huku akitabasamu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kadogo na Juma ni nini
{ "text": [ "Marafiki" ] }
2288_swa
Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Kadogo na Juma ni marafiki. Wanapenda kukimbia pamoja kila siku. Siku moja, Juma alisema, "Tukimbie kwa ajili ya bara letu, tuhimize umoja wa Afrika!" "Sawa, twende!" Kadogo alikubaliana naye. Waliamua kuibeba kurunzi ya umoja kwenye safari yao. Walianzia mbio hizo katika upande wa kusini jijini Cape Town. Kutoka Afrika Kusini, walielekea kaskazini kupitia magharibi mwa bara. Walipitia Namibia, Angola, Kongo na Cameroon. Waliamua kupumzika jijini Abuja. Wakimbiaji kutoka Afrika Magharibi walijiunga nao nchini Nigeria. Waliendelea pamoja wakiufuata Mto Niger. Walipofika Mali, walikumbwa na upepo mkali. Juma aliwashinda wote kwa nguvu. Alijitwika jukumu na kuwaongoza salama. Walipofika pwani ya Guinea, jijini Conakry, walikuwa wamejaa vumbi. Walienda kuogelea baharini. Baadaye waliamua kuendelea na mbio zao kwenda Morocco kupitia Senegal na Mauritania. Jijini Casablanca, wakimbiaji waliungana na vijana wenzao wakacheza ufukoni. Halafu, wakaelekea Afrika Kaskazini. Walikimbia kupitia Algeria na Libya wakapumzika Misiri ili wazitembelee piramidi. Baadaye, waligeuka kusini wakaufuata Mto Nile kuelekea Uganda. Walipita kwenye jangwa na mbuga za kitaifa. Vijana zaidi walijiunga nao jijini Kampala. Kutoka Kampala, kikundi hicho kilielekea pwani ya Kenya. Walipofika jijini Mombasa, waliketi ufukoni wakala wali wa nazi kwa samaki. Juma alisema, "Hebu tuipeleke kurunzi ya umoja Mlimani Kilimanjaro." Hata hivyo, Juma alikuwa amechoka. Walipokuwa njiani wakielekea Tanzania, alianguka chini. Wakimbiaji wenzake walizikatiza mbio zao wakarudi nyuma kumsaidia Juma. Juma alimpokeza Kadogo kurunzi akisema, "Ibebe kurunzi hii hadi Mlimani Kilimanjaro. Hakikisha umewasha mwale wa umoja wa Afrika." Watu waliwashangilia wakimbiaji wakisema, "Ninyi ni mashujaa wetu." Baada ya kuwasha mwale wa umoja Mlimani Kilimanjaro, walirejelea mbio kuelekea kusini mwa Afrika. Walipofika Malawi, walikatiza mbio zao. Wakaenda kuogelea katika Ziwa Malawi. Kadogo alimwambia Juma, "Tumekimbia kutoka kusini hadi kaskazini, mashariki hadi magharibi. Safari yetu inakaribia kukamilika." Hatimaye, wakimbiaji wa umoja waliibeba kurunzi yao hadi nchini Zimbabwe. Umati wa watu ulikusanyika pale kushuhudia jambo hilo. "Mbio zimefana kweli!" Alisema Juma huku akitabasamu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Juma na Kadogo walibeba nini
{ "text": [ "Kurunzi" ] }
2288_swa
Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Kadogo na Juma ni marafiki. Wanapenda kukimbia pamoja kila siku. Siku moja, Juma alisema, "Tukimbie kwa ajili ya bara letu, tuhimize umoja wa Afrika!" "Sawa, twende!" Kadogo alikubaliana naye. Waliamua kuibeba kurunzi ya umoja kwenye safari yao. Walianzia mbio hizo katika upande wa kusini jijini Cape Town. Kutoka Afrika Kusini, walielekea kaskazini kupitia magharibi mwa bara. Walipitia Namibia, Angola, Kongo na Cameroon. Waliamua kupumzika jijini Abuja. Wakimbiaji kutoka Afrika Magharibi walijiunga nao nchini Nigeria. Waliendelea pamoja wakiufuata Mto Niger. Walipofika Mali, walikumbwa na upepo mkali. Juma aliwashinda wote kwa nguvu. Alijitwika jukumu na kuwaongoza salama. Walipofika pwani ya Guinea, jijini Conakry, walikuwa wamejaa vumbi. Walienda kuogelea baharini. Baadaye waliamua kuendelea na mbio zao kwenda Morocco kupitia Senegal na Mauritania. Jijini Casablanca, wakimbiaji waliungana na vijana wenzao wakacheza ufukoni. Halafu, wakaelekea Afrika Kaskazini. Walikimbia kupitia Algeria na Libya wakapumzika Misiri ili wazitembelee piramidi. Baadaye, waligeuka kusini wakaufuata Mto Nile kuelekea Uganda. Walipita kwenye jangwa na mbuga za kitaifa. Vijana zaidi walijiunga nao jijini Kampala. Kutoka Kampala, kikundi hicho kilielekea pwani ya Kenya. Walipofika jijini Mombasa, waliketi ufukoni wakala wali wa nazi kwa samaki. Juma alisema, "Hebu tuipeleke kurunzi ya umoja Mlimani Kilimanjaro." Hata hivyo, Juma alikuwa amechoka. Walipokuwa njiani wakielekea Tanzania, alianguka chini. Wakimbiaji wenzake walizikatiza mbio zao wakarudi nyuma kumsaidia Juma. Juma alimpokeza Kadogo kurunzi akisema, "Ibebe kurunzi hii hadi Mlimani Kilimanjaro. Hakikisha umewasha mwale wa umoja wa Afrika." Watu waliwashangilia wakimbiaji wakisema, "Ninyi ni mashujaa wetu." Baada ya kuwasha mwale wa umoja Mlimani Kilimanjaro, walirejelea mbio kuelekea kusini mwa Afrika. Walipofika Malawi, walikatiza mbio zao. Wakaenda kuogelea katika Ziwa Malawi. Kadogo alimwambia Juma, "Tumekimbia kutoka kusini hadi kaskazini, mashariki hadi magharibi. Safari yetu inakaribia kukamilika." Hatimaye, wakimbiaji wa umoja waliibeba kurunzi yao hadi nchini Zimbabwe. Umati wa watu ulikusanyika pale kushuhudia jambo hilo. "Mbio zimefana kweli!" Alisema Juma huku akitabasamu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wakimbiaji kutoka Afrika magharibi walijiunga nao wapi
{ "text": [ "Nigeria" ] }
2288_swa
Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Kadogo na Juma ni marafiki. Wanapenda kukimbia pamoja kila siku. Siku moja, Juma alisema, "Tukimbie kwa ajili ya bara letu, tuhimize umoja wa Afrika!" "Sawa, twende!" Kadogo alikubaliana naye. Waliamua kuibeba kurunzi ya umoja kwenye safari yao. Walianzia mbio hizo katika upande wa kusini jijini Cape Town. Kutoka Afrika Kusini, walielekea kaskazini kupitia magharibi mwa bara. Walipitia Namibia, Angola, Kongo na Cameroon. Waliamua kupumzika jijini Abuja. Wakimbiaji kutoka Afrika Magharibi walijiunga nao nchini Nigeria. Waliendelea pamoja wakiufuata Mto Niger. Walipofika Mali, walikumbwa na upepo mkali. Juma aliwashinda wote kwa nguvu. Alijitwika jukumu na kuwaongoza salama. Walipofika pwani ya Guinea, jijini Conakry, walikuwa wamejaa vumbi. Walienda kuogelea baharini. Baadaye waliamua kuendelea na mbio zao kwenda Morocco kupitia Senegal na Mauritania. Jijini Casablanca, wakimbiaji waliungana na vijana wenzao wakacheza ufukoni. Halafu, wakaelekea Afrika Kaskazini. Walikimbia kupitia Algeria na Libya wakapumzika Misiri ili wazitembelee piramidi. Baadaye, waligeuka kusini wakaufuata Mto Nile kuelekea Uganda. Walipita kwenye jangwa na mbuga za kitaifa. Vijana zaidi walijiunga nao jijini Kampala. Kutoka Kampala, kikundi hicho kilielekea pwani ya Kenya. Walipofika jijini Mombasa, waliketi ufukoni wakala wali wa nazi kwa samaki. Juma alisema, "Hebu tuipeleke kurunzi ya umoja Mlimani Kilimanjaro." Hata hivyo, Juma alikuwa amechoka. Walipokuwa njiani wakielekea Tanzania, alianguka chini. Wakimbiaji wenzake walizikatiza mbio zao wakarudi nyuma kumsaidia Juma. Juma alimpokeza Kadogo kurunzi akisema, "Ibebe kurunzi hii hadi Mlimani Kilimanjaro. Hakikisha umewasha mwale wa umoja wa Afrika." Watu waliwashangilia wakimbiaji wakisema, "Ninyi ni mashujaa wetu." Baada ya kuwasha mwale wa umoja Mlimani Kilimanjaro, walirejelea mbio kuelekea kusini mwa Afrika. Walipofika Malawi, walikatiza mbio zao. Wakaenda kuogelea katika Ziwa Malawi. Kadogo alimwambia Juma, "Tumekimbia kutoka kusini hadi kaskazini, mashariki hadi magharibi. Safari yetu inakaribia kukamilika." Hatimaye, wakimbiaji wa umoja waliibeba kurunzi yao hadi nchini Zimbabwe. Umati wa watu ulikusanyika pale kushuhudia jambo hilo. "Mbio zimefana kweli!" Alisema Juma huku akitabasamu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Walikuwa wanaelekea wapi Juma alipoanguka chini
{ "text": [ "Tanzania" ] }
2288_swa
Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Kadogo na Juma ni marafiki. Wanapenda kukimbia pamoja kila siku. Siku moja, Juma alisema, "Tukimbie kwa ajili ya bara letu, tuhimize umoja wa Afrika!" "Sawa, twende!" Kadogo alikubaliana naye. Waliamua kuibeba kurunzi ya umoja kwenye safari yao. Walianzia mbio hizo katika upande wa kusini jijini Cape Town. Kutoka Afrika Kusini, walielekea kaskazini kupitia magharibi mwa bara. Walipitia Namibia, Angola, Kongo na Cameroon. Waliamua kupumzika jijini Abuja. Wakimbiaji kutoka Afrika Magharibi walijiunga nao nchini Nigeria. Waliendelea pamoja wakiufuata Mto Niger. Walipofika Mali, walikumbwa na upepo mkali. Juma aliwashinda wote kwa nguvu. Alijitwika jukumu na kuwaongoza salama. Walipofika pwani ya Guinea, jijini Conakry, walikuwa wamejaa vumbi. Walienda kuogelea baharini. Baadaye waliamua kuendelea na mbio zao kwenda Morocco kupitia Senegal na Mauritania. Jijini Casablanca, wakimbiaji waliungana na vijana wenzao wakacheza ufukoni. Halafu, wakaelekea Afrika Kaskazini. Walikimbia kupitia Algeria na Libya wakapumzika Misiri ili wazitembelee piramidi. Baadaye, waligeuka kusini wakaufuata Mto Nile kuelekea Uganda. Walipita kwenye jangwa na mbuga za kitaifa. Vijana zaidi walijiunga nao jijini Kampala. Kutoka Kampala, kikundi hicho kilielekea pwani ya Kenya. Walipofika jijini Mombasa, waliketi ufukoni wakala wali wa nazi kwa samaki. Juma alisema, "Hebu tuipeleke kurunzi ya umoja Mlimani Kilimanjaro." Hata hivyo, Juma alikuwa amechoka. Walipokuwa njiani wakielekea Tanzania, alianguka chini. Wakimbiaji wenzake walizikatiza mbio zao wakarudi nyuma kumsaidia Juma. Juma alimpokeza Kadogo kurunzi akisema, "Ibebe kurunzi hii hadi Mlimani Kilimanjaro. Hakikisha umewasha mwale wa umoja wa Afrika." Watu waliwashangilia wakimbiaji wakisema, "Ninyi ni mashujaa wetu." Baada ya kuwasha mwale wa umoja Mlimani Kilimanjaro, walirejelea mbio kuelekea kusini mwa Afrika. Walipofika Malawi, walikatiza mbio zao. Wakaenda kuogelea katika Ziwa Malawi. Kadogo alimwambia Juma, "Tumekimbia kutoka kusini hadi kaskazini, mashariki hadi magharibi. Safari yetu inakaribia kukamilika." Hatimaye, wakimbiaji wa umoja waliibeba kurunzi yao hadi nchini Zimbabwe. Umati wa watu ulikusanyika pale kushuhudia jambo hilo. "Mbio zimefana kweli!" Alisema Juma huku akitabasamu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbio kuhimiza umoja wa Afrika Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini wakimbiaji walikatiza mbio
{ "text": [ "Walirudi nyuma kumsaidia Juma " ] }
2290_swa
Mbuga ya Maasai Mara Tulianza safari yetu kutoka mji wa Nakuru. Tulipitia mji wa Naivasha na Mai Mahiu halafu tukaelekea Narok. Barabara zote kutoka Nakuru hadi Narok zimewekwwa lami. Kutoka Narok hadi Mbuga ya Maasai Mara ni kilomita themanini na nane. Barabara hii haina lami. Ilituchukua masaa mawili kwa sababu ya ubovu wa barabara. Ingawa ilituchukua muda mrefu kufika, nilifurahia safari kwani niliweza kuwaona wanyama wachache njiani. Niliwaona mbuni, nyumbu, twiga, pundamilia, kondoo na ng'ombe wa jamii ya Wamaasai. Tulipofika langoni, tulizingirwa na watu wengi waliokuwa wakiuza shanga na mapambo mengine. Tulinunua shanga za aina tofauti: za kuvaa shingoni, masikioni na mikononi. Pia, tulinunua viatu vya akala na shuka za kimasaai. Tulipofika mahali tulikuwa tumepanga kulala, tulionyeshwa hema yetu. Ilikuwa nzuri sana na yenye vitanda vilivyotandikwa shuka za kimaasai juu yake. Pia, kulikuwa na neti ya kuzuia mbu. Baada ya kuweka mizigo yetu, tulionyeshwa manyatta. Tuliingia ndani ya nyumba kadhaa na kuona jinsi Wamaasai wanavyoishi. Nilishangaa kuona nyumba zao ndogo na tofauti sana na za kisasa. Katika nyumba hizo ndogo, walikuwemo ndama pia. Sikuona vitanda vya kisasa ila ngozi ya ng'ombe na moto wa kufukuza baridi usiku. Walituimbia nyimbo zao za kitamaduni wakiwa wamevalia mavazi yao ya rangi nyekundu na shanga maridadi. Pia, walitufunza jinsi ya kuwasha moto bila kiberiti. Walisugua vijiti viwili pamoja mpaka moshi ukatoka. Tulirejea kwenye makazi yetu na kupata tumeandaliwa mlo. Baada ya kula, tulielekea kwenye hema zetu na kulala. Usiku wa manane tuligutushwa na mlio mkali wa kutisha. Baba alinieleza kuwa ulikuwa wa simba. Nilishikwa na wasiwasi na kumshika baba mkono. Alinifariji kwa kunieleza kuwa kuna walinda zamu ambao wangewafukuza simba. Baadaye, tulisikia fisi akilia kutoka mbali lakini kilio chake hakikutisha kama kile cha simba. Nilishikwa na usingizi nikalala mpaka kulipopambazuka. Asubuhi, tuliingia katika gari la mbugani na kuelekea kwenye nyika kutafuta wanyama. Tulifika pahali mto wa Mara ulipoonekana. Tuliwaona viboko katika mto wa Mara. Tulihesabu: mmoja, wawili, watatu…hadi thelathini. Walikuwa wametulia tuli wakiota jua. Baadaye, tuliarifiwa na madereva wengine kuwa simba walikuwa wameonekana. Tulitimua kuelekea tulikoelekezwa. Tuliwapata simba watano wakimrarua pundamilia. Nilihofu kwani gari letu lilikuwa paa wazi. Dereva alinituliza na kusema kuwa wasiposumbuliwa hawawezi kutudhuru. Ni kweli! Waliposhiba, walilala kando ya nyama iliyobaki. Hawakujali magari yaliyokuwa yamewazunguka. Tuliendelea na safari yetu ya kuwatafuta wanyama. Tulikutana na kundi la tembo waliokuwa wamepiga mstari wakivuka barabara. Dereva aliendesha kasi ili tukaribie tuwaone tembo vizuri. Tulishangaa tulipomwona tembo aliyekuwa mnene kuliko wote, akigeuka na kuanza kuja upande wetu mbio. Dereva alirudi nyuma upesi kama risasi. Nilipiga mayowe nikifikiri tungeangamia. Baada ya dakika chache, tembo aligeuka na kwenda kuwatafuta wenzake. Kumbe, tulimkasirisha kwa kelele za gari akafikiria sisi ni adui! Ghafla bila kutarajia, tulikutana na simba wawili. Dereva alituambia ni harusi. Alikuwa simba wa kiume na wa kike. Tulirejea makazi yetu kama tumechoka kabisa. Tulishika barabara na kurudi mjini Narok halafu tukachukua njia kuelekea Kisii. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuga ya Maasai Mara Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Barabara zote kutoka Nakuru hadi Narok zimewekwa nini
{ "text": [ "Lami" ] }
2290_swa
Mbuga ya Maasai Mara Tulianza safari yetu kutoka mji wa Nakuru. Tulipitia mji wa Naivasha na Mai Mahiu halafu tukaelekea Narok. Barabara zote kutoka Nakuru hadi Narok zimewekwwa lami. Kutoka Narok hadi Mbuga ya Maasai Mara ni kilomita themanini na nane. Barabara hii haina lami. Ilituchukua masaa mawili kwa sababu ya ubovu wa barabara. Ingawa ilituchukua muda mrefu kufika, nilifurahia safari kwani niliweza kuwaona wanyama wachache njiani. Niliwaona mbuni, nyumbu, twiga, pundamilia, kondoo na ng'ombe wa jamii ya Wamaasai. Tulipofika langoni, tulizingirwa na watu wengi waliokuwa wakiuza shanga na mapambo mengine. Tulinunua shanga za aina tofauti: za kuvaa shingoni, masikioni na mikononi. Pia, tulinunua viatu vya akala na shuka za kimasaai. Tulipofika mahali tulikuwa tumepanga kulala, tulionyeshwa hema yetu. Ilikuwa nzuri sana na yenye vitanda vilivyotandikwa shuka za kimaasai juu yake. Pia, kulikuwa na neti ya kuzuia mbu. Baada ya kuweka mizigo yetu, tulionyeshwa manyatta. Tuliingia ndani ya nyumba kadhaa na kuona jinsi Wamaasai wanavyoishi. Nilishangaa kuona nyumba zao ndogo na tofauti sana na za kisasa. Katika nyumba hizo ndogo, walikuwemo ndama pia. Sikuona vitanda vya kisasa ila ngozi ya ng'ombe na moto wa kufukuza baridi usiku. Walituimbia nyimbo zao za kitamaduni wakiwa wamevalia mavazi yao ya rangi nyekundu na shanga maridadi. Pia, walitufunza jinsi ya kuwasha moto bila kiberiti. Walisugua vijiti viwili pamoja mpaka moshi ukatoka. Tulirejea kwenye makazi yetu na kupata tumeandaliwa mlo. Baada ya kula, tulielekea kwenye hema zetu na kulala. Usiku wa manane tuligutushwa na mlio mkali wa kutisha. Baba alinieleza kuwa ulikuwa wa simba. Nilishikwa na wasiwasi na kumshika baba mkono. Alinifariji kwa kunieleza kuwa kuna walinda zamu ambao wangewafukuza simba. Baadaye, tulisikia fisi akilia kutoka mbali lakini kilio chake hakikutisha kama kile cha simba. Nilishikwa na usingizi nikalala mpaka kulipopambazuka. Asubuhi, tuliingia katika gari la mbugani na kuelekea kwenye nyika kutafuta wanyama. Tulifika pahali mto wa Mara ulipoonekana. Tuliwaona viboko katika mto wa Mara. Tulihesabu: mmoja, wawili, watatu…hadi thelathini. Walikuwa wametulia tuli wakiota jua. Baadaye, tuliarifiwa na madereva wengine kuwa simba walikuwa wameonekana. Tulitimua kuelekea tulikoelekezwa. Tuliwapata simba watano wakimrarua pundamilia. Nilihofu kwani gari letu lilikuwa paa wazi. Dereva alinituliza na kusema kuwa wasiposumbuliwa hawawezi kutudhuru. Ni kweli! Waliposhiba, walilala kando ya nyama iliyobaki. Hawakujali magari yaliyokuwa yamewazunguka. Tuliendelea na safari yetu ya kuwatafuta wanyama. Tulikutana na kundi la tembo waliokuwa wamepiga mstari wakivuka barabara. Dereva aliendesha kasi ili tukaribie tuwaone tembo vizuri. Tulishangaa tulipomwona tembo aliyekuwa mnene kuliko wote, akigeuka na kuanza kuja upande wetu mbio. Dereva alirudi nyuma upesi kama risasi. Nilipiga mayowe nikifikiri tungeangamia. Baada ya dakika chache, tembo aligeuka na kwenda kuwatafuta wenzake. Kumbe, tulimkasirisha kwa kelele za gari akafikiria sisi ni adui! Ghafla bila kutarajia, tulikutana na simba wawili. Dereva alituambia ni harusi. Alikuwa simba wa kiume na wa kike. Tulirejea makazi yetu kama tumechoka kabisa. Tulishika barabara na kurudi mjini Narok halafu tukachukua njia kuelekea Kisii. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuga ya Maasai Mara Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa hizo nyumba ndogo ni nini kilitumika kama vitanda
{ "text": [ "ngozi ya Ng'ombe" ] }
2290_swa
Mbuga ya Maasai Mara Tulianza safari yetu kutoka mji wa Nakuru. Tulipitia mji wa Naivasha na Mai Mahiu halafu tukaelekea Narok. Barabara zote kutoka Nakuru hadi Narok zimewekwwa lami. Kutoka Narok hadi Mbuga ya Maasai Mara ni kilomita themanini na nane. Barabara hii haina lami. Ilituchukua masaa mawili kwa sababu ya ubovu wa barabara. Ingawa ilituchukua muda mrefu kufika, nilifurahia safari kwani niliweza kuwaona wanyama wachache njiani. Niliwaona mbuni, nyumbu, twiga, pundamilia, kondoo na ng'ombe wa jamii ya Wamaasai. Tulipofika langoni, tulizingirwa na watu wengi waliokuwa wakiuza shanga na mapambo mengine. Tulinunua shanga za aina tofauti: za kuvaa shingoni, masikioni na mikononi. Pia, tulinunua viatu vya akala na shuka za kimasaai. Tulipofika mahali tulikuwa tumepanga kulala, tulionyeshwa hema yetu. Ilikuwa nzuri sana na yenye vitanda vilivyotandikwa shuka za kimaasai juu yake. Pia, kulikuwa na neti ya kuzuia mbu. Baada ya kuweka mizigo yetu, tulionyeshwa manyatta. Tuliingia ndani ya nyumba kadhaa na kuona jinsi Wamaasai wanavyoishi. Nilishangaa kuona nyumba zao ndogo na tofauti sana na za kisasa. Katika nyumba hizo ndogo, walikuwemo ndama pia. Sikuona vitanda vya kisasa ila ngozi ya ng'ombe na moto wa kufukuza baridi usiku. Walituimbia nyimbo zao za kitamaduni wakiwa wamevalia mavazi yao ya rangi nyekundu na shanga maridadi. Pia, walitufunza jinsi ya kuwasha moto bila kiberiti. Walisugua vijiti viwili pamoja mpaka moshi ukatoka. Tulirejea kwenye makazi yetu na kupata tumeandaliwa mlo. Baada ya kula, tulielekea kwenye hema zetu na kulala. Usiku wa manane tuligutushwa na mlio mkali wa kutisha. Baba alinieleza kuwa ulikuwa wa simba. Nilishikwa na wasiwasi na kumshika baba mkono. Alinifariji kwa kunieleza kuwa kuna walinda zamu ambao wangewafukuza simba. Baadaye, tulisikia fisi akilia kutoka mbali lakini kilio chake hakikutisha kama kile cha simba. Nilishikwa na usingizi nikalala mpaka kulipopambazuka. Asubuhi, tuliingia katika gari la mbugani na kuelekea kwenye nyika kutafuta wanyama. Tulifika pahali mto wa Mara ulipoonekana. Tuliwaona viboko katika mto wa Mara. Tulihesabu: mmoja, wawili, watatu…hadi thelathini. Walikuwa wametulia tuli wakiota jua. Baadaye, tuliarifiwa na madereva wengine kuwa simba walikuwa wameonekana. Tulitimua kuelekea tulikoelekezwa. Tuliwapata simba watano wakimrarua pundamilia. Nilihofu kwani gari letu lilikuwa paa wazi. Dereva alinituliza na kusema kuwa wasiposumbuliwa hawawezi kutudhuru. Ni kweli! Waliposhiba, walilala kando ya nyama iliyobaki. Hawakujali magari yaliyokuwa yamewazunguka. Tuliendelea na safari yetu ya kuwatafuta wanyama. Tulikutana na kundi la tembo waliokuwa wamepiga mstari wakivuka barabara. Dereva aliendesha kasi ili tukaribie tuwaone tembo vizuri. Tulishangaa tulipomwona tembo aliyekuwa mnene kuliko wote, akigeuka na kuanza kuja upande wetu mbio. Dereva alirudi nyuma upesi kama risasi. Nilipiga mayowe nikifikiri tungeangamia. Baada ya dakika chache, tembo aligeuka na kwenda kuwatafuta wenzake. Kumbe, tulimkasirisha kwa kelele za gari akafikiria sisi ni adui! Ghafla bila kutarajia, tulikutana na simba wawili. Dereva alituambia ni harusi. Alikuwa simba wa kiume na wa kike. Tulirejea makazi yetu kama tumechoka kabisa. Tulishika barabara na kurudi mjini Narok halafu tukachukua njia kuelekea Kisii. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuga ya Maasai Mara Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba alimweleza Njeri mlio mkali wa kutisha ulikua wa nani
{ "text": [ "ulikua wa Simba" ] }
2290_swa
Mbuga ya Maasai Mara Tulianza safari yetu kutoka mji wa Nakuru. Tulipitia mji wa Naivasha na Mai Mahiu halafu tukaelekea Narok. Barabara zote kutoka Nakuru hadi Narok zimewekwwa lami. Kutoka Narok hadi Mbuga ya Maasai Mara ni kilomita themanini na nane. Barabara hii haina lami. Ilituchukua masaa mawili kwa sababu ya ubovu wa barabara. Ingawa ilituchukua muda mrefu kufika, nilifurahia safari kwani niliweza kuwaona wanyama wachache njiani. Niliwaona mbuni, nyumbu, twiga, pundamilia, kondoo na ng'ombe wa jamii ya Wamaasai. Tulipofika langoni, tulizingirwa na watu wengi waliokuwa wakiuza shanga na mapambo mengine. Tulinunua shanga za aina tofauti: za kuvaa shingoni, masikioni na mikononi. Pia, tulinunua viatu vya akala na shuka za kimasaai. Tulipofika mahali tulikuwa tumepanga kulala, tulionyeshwa hema yetu. Ilikuwa nzuri sana na yenye vitanda vilivyotandikwa shuka za kimaasai juu yake. Pia, kulikuwa na neti ya kuzuia mbu. Baada ya kuweka mizigo yetu, tulionyeshwa manyatta. Tuliingia ndani ya nyumba kadhaa na kuona jinsi Wamaasai wanavyoishi. Nilishangaa kuona nyumba zao ndogo na tofauti sana na za kisasa. Katika nyumba hizo ndogo, walikuwemo ndama pia. Sikuona vitanda vya kisasa ila ngozi ya ng'ombe na moto wa kufukuza baridi usiku. Walituimbia nyimbo zao za kitamaduni wakiwa wamevalia mavazi yao ya rangi nyekundu na shanga maridadi. Pia, walitufunza jinsi ya kuwasha moto bila kiberiti. Walisugua vijiti viwili pamoja mpaka moshi ukatoka. Tulirejea kwenye makazi yetu na kupata tumeandaliwa mlo. Baada ya kula, tulielekea kwenye hema zetu na kulala. Usiku wa manane tuligutushwa na mlio mkali wa kutisha. Baba alinieleza kuwa ulikuwa wa simba. Nilishikwa na wasiwasi na kumshika baba mkono. Alinifariji kwa kunieleza kuwa kuna walinda zamu ambao wangewafukuza simba. Baadaye, tulisikia fisi akilia kutoka mbali lakini kilio chake hakikutisha kama kile cha simba. Nilishikwa na usingizi nikalala mpaka kulipopambazuka. Asubuhi, tuliingia katika gari la mbugani na kuelekea kwenye nyika kutafuta wanyama. Tulifika pahali mto wa Mara ulipoonekana. Tuliwaona viboko katika mto wa Mara. Tulihesabu: mmoja, wawili, watatu…hadi thelathini. Walikuwa wametulia tuli wakiota jua. Baadaye, tuliarifiwa na madereva wengine kuwa simba walikuwa wameonekana. Tulitimua kuelekea tulikoelekezwa. Tuliwapata simba watano wakimrarua pundamilia. Nilihofu kwani gari letu lilikuwa paa wazi. Dereva alinituliza na kusema kuwa wasiposumbuliwa hawawezi kutudhuru. Ni kweli! Waliposhiba, walilala kando ya nyama iliyobaki. Hawakujali magari yaliyokuwa yamewazunguka. Tuliendelea na safari yetu ya kuwatafuta wanyama. Tulikutana na kundi la tembo waliokuwa wamepiga mstari wakivuka barabara. Dereva aliendesha kasi ili tukaribie tuwaone tembo vizuri. Tulishangaa tulipomwona tembo aliyekuwa mnene kuliko wote, akigeuka na kuanza kuja upande wetu mbio. Dereva alirudi nyuma upesi kama risasi. Nilipiga mayowe nikifikiri tungeangamia. Baada ya dakika chache, tembo aligeuka na kwenda kuwatafuta wenzake. Kumbe, tulimkasirisha kwa kelele za gari akafikiria sisi ni adui! Ghafla bila kutarajia, tulikutana na simba wawili. Dereva alituambia ni harusi. Alikuwa simba wa kiume na wa kike. Tulirejea makazi yetu kama tumechoka kabisa. Tulishika barabara na kurudi mjini Narok halafu tukachukua njia kuelekea Kisii. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuga ya Maasai Mara Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni lini Njeri waligutushwa na mlio mkali wa kutisha
{ "text": [ "Usiku wa manane" ] }
2290_swa
Mbuga ya Maasai Mara Tulianza safari yetu kutoka mji wa Nakuru. Tulipitia mji wa Naivasha na Mai Mahiu halafu tukaelekea Narok. Barabara zote kutoka Nakuru hadi Narok zimewekwwa lami. Kutoka Narok hadi Mbuga ya Maasai Mara ni kilomita themanini na nane. Barabara hii haina lami. Ilituchukua masaa mawili kwa sababu ya ubovu wa barabara. Ingawa ilituchukua muda mrefu kufika, nilifurahia safari kwani niliweza kuwaona wanyama wachache njiani. Niliwaona mbuni, nyumbu, twiga, pundamilia, kondoo na ng'ombe wa jamii ya Wamaasai. Tulipofika langoni, tulizingirwa na watu wengi waliokuwa wakiuza shanga na mapambo mengine. Tulinunua shanga za aina tofauti: za kuvaa shingoni, masikioni na mikononi. Pia, tulinunua viatu vya akala na shuka za kimasaai. Tulipofika mahali tulikuwa tumepanga kulala, tulionyeshwa hema yetu. Ilikuwa nzuri sana na yenye vitanda vilivyotandikwa shuka za kimaasai juu yake. Pia, kulikuwa na neti ya kuzuia mbu. Baada ya kuweka mizigo yetu, tulionyeshwa manyatta. Tuliingia ndani ya nyumba kadhaa na kuona jinsi Wamaasai wanavyoishi. Nilishangaa kuona nyumba zao ndogo na tofauti sana na za kisasa. Katika nyumba hizo ndogo, walikuwemo ndama pia. Sikuona vitanda vya kisasa ila ngozi ya ng'ombe na moto wa kufukuza baridi usiku. Walituimbia nyimbo zao za kitamaduni wakiwa wamevalia mavazi yao ya rangi nyekundu na shanga maridadi. Pia, walitufunza jinsi ya kuwasha moto bila kiberiti. Walisugua vijiti viwili pamoja mpaka moshi ukatoka. Tulirejea kwenye makazi yetu na kupata tumeandaliwa mlo. Baada ya kula, tulielekea kwenye hema zetu na kulala. Usiku wa manane tuligutushwa na mlio mkali wa kutisha. Baba alinieleza kuwa ulikuwa wa simba. Nilishikwa na wasiwasi na kumshika baba mkono. Alinifariji kwa kunieleza kuwa kuna walinda zamu ambao wangewafukuza simba. Baadaye, tulisikia fisi akilia kutoka mbali lakini kilio chake hakikutisha kama kile cha simba. Nilishikwa na usingizi nikalala mpaka kulipopambazuka. Asubuhi, tuliingia katika gari la mbugani na kuelekea kwenye nyika kutafuta wanyama. Tulifika pahali mto wa Mara ulipoonekana. Tuliwaona viboko katika mto wa Mara. Tulihesabu: mmoja, wawili, watatu…hadi thelathini. Walikuwa wametulia tuli wakiota jua. Baadaye, tuliarifiwa na madereva wengine kuwa simba walikuwa wameonekana. Tulitimua kuelekea tulikoelekezwa. Tuliwapata simba watano wakimrarua pundamilia. Nilihofu kwani gari letu lilikuwa paa wazi. Dereva alinituliza na kusema kuwa wasiposumbuliwa hawawezi kutudhuru. Ni kweli! Waliposhiba, walilala kando ya nyama iliyobaki. Hawakujali magari yaliyokuwa yamewazunguka. Tuliendelea na safari yetu ya kuwatafuta wanyama. Tulikutana na kundi la tembo waliokuwa wamepiga mstari wakivuka barabara. Dereva aliendesha kasi ili tukaribie tuwaone tembo vizuri. Tulishangaa tulipomwona tembo aliyekuwa mnene kuliko wote, akigeuka na kuanza kuja upande wetu mbio. Dereva alirudi nyuma upesi kama risasi. Nilipiga mayowe nikifikiri tungeangamia. Baada ya dakika chache, tembo aligeuka na kwenda kuwatafuta wenzake. Kumbe, tulimkasirisha kwa kelele za gari akafikiria sisi ni adui! Ghafla bila kutarajia, tulikutana na simba wawili. Dereva alituambia ni harusi. Alikuwa simba wa kiume na wa kike. Tulirejea makazi yetu kama tumechoka kabisa. Tulishika barabara na kurudi mjini Narok halafu tukachukua njia kuelekea Kisii. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuga ya Maasai Mara Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Njeri alipiga mayowe akifikiri wataangamia
{ "text": [ "Tembo aliyekuwa mnene kwa wote aligeuka na kuja upande wao" ] }
2291_swa
Mbuni na Simba Mbuni na Simba walikuwa marafiki sana. Kila mmoja alikuwa na watoto wachanga. Mbuni aliwalisha watoto wake vizuri. Watoto wa Simba hawakupata chakula cha kutosha. Simba aliwaangalia vifaranga na kuwaza, "Hawa ni wazuri! Natamani wangekuwa wangu!" Wakati Mbuni alikuwa hayupo, Simba aliwachukua watoto wa Mbuni akaenda nao nyumbani kwake. Mbuni alirudi na kupata watoto wa Simba nyumbani kwake. Alifadhaika na kujiuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alikimbia nyumbani kwa Simba. Aliwapata wanawe wakiwa na Simba. Simba alikataa kuwarudisha watoto wa Mbuni. Alisema, "Hawa ni wangu sasa. Unaweza kuwachukua wangu." Mbuni alikasirika sana. "Nitafanyaje ili niwapate watoto wangu?" alijiwazia. Halafu alifikiri, "Ninajua nitakachokifanya. Nitawaita wanyama wote kwa mkutano." Wanyama walikubali kukutana. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba kuzungumza. Wanyama wengi waliogopa kumlaumu Simba. Mwishowe, Kichakuro alisimama na kusema, "Watoto ambao wanafanana na ndege ni wa Mbuni. Watoto ambao wana mikia ni wa Simba." Kichakuro alitorokea tunduni. Wanyama wote walishangilia. Simba alikasirika sana. Alienda nyumbani na watoto wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuni na Simba Author - Daniel Nanok Translation - Susan Kavaya Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbuni na Simba walikuwa nini
{ "text": [ "Marafiki" ] }
2291_swa
Mbuni na Simba Mbuni na Simba walikuwa marafiki sana. Kila mmoja alikuwa na watoto wachanga. Mbuni aliwalisha watoto wake vizuri. Watoto wa Simba hawakupata chakula cha kutosha. Simba aliwaangalia vifaranga na kuwaza, "Hawa ni wazuri! Natamani wangekuwa wangu!" Wakati Mbuni alikuwa hayupo, Simba aliwachukua watoto wa Mbuni akaenda nao nyumbani kwake. Mbuni alirudi na kupata watoto wa Simba nyumbani kwake. Alifadhaika na kujiuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alikimbia nyumbani kwa Simba. Aliwapata wanawe wakiwa na Simba. Simba alikataa kuwarudisha watoto wa Mbuni. Alisema, "Hawa ni wangu sasa. Unaweza kuwachukua wangu." Mbuni alikasirika sana. "Nitafanyaje ili niwapate watoto wangu?" alijiwazia. Halafu alifikiri, "Ninajua nitakachokifanya. Nitawaita wanyama wote kwa mkutano." Wanyama walikubali kukutana. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba kuzungumza. Wanyama wengi waliogopa kumlaumu Simba. Mwishowe, Kichakuro alisimama na kusema, "Watoto ambao wanafanana na ndege ni wa Mbuni. Watoto ambao wana mikia ni wa Simba." Kichakuro alitorokea tunduni. Wanyama wote walishangilia. Simba alikasirika sana. Alienda nyumbani na watoto wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuni na Simba Author - Daniel Nanok Translation - Susan Kavaya Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simba alitamani nini
{ "text": [ "vifaranga" ] }
2291_swa
Mbuni na Simba Mbuni na Simba walikuwa marafiki sana. Kila mmoja alikuwa na watoto wachanga. Mbuni aliwalisha watoto wake vizuri. Watoto wa Simba hawakupata chakula cha kutosha. Simba aliwaangalia vifaranga na kuwaza, "Hawa ni wazuri! Natamani wangekuwa wangu!" Wakati Mbuni alikuwa hayupo, Simba aliwachukua watoto wa Mbuni akaenda nao nyumbani kwake. Mbuni alirudi na kupata watoto wa Simba nyumbani kwake. Alifadhaika na kujiuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alikimbia nyumbani kwa Simba. Aliwapata wanawe wakiwa na Simba. Simba alikataa kuwarudisha watoto wa Mbuni. Alisema, "Hawa ni wangu sasa. Unaweza kuwachukua wangu." Mbuni alikasirika sana. "Nitafanyaje ili niwapate watoto wangu?" alijiwazia. Halafu alifikiri, "Ninajua nitakachokifanya. Nitawaita wanyama wote kwa mkutano." Wanyama walikubali kukutana. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba kuzungumza. Wanyama wengi waliogopa kumlaumu Simba. Mwishowe, Kichakuro alisimama na kusema, "Watoto ambao wanafanana na ndege ni wa Mbuni. Watoto ambao wana mikia ni wa Simba." Kichakuro alitorokea tunduni. Wanyama wote walishangilia. Simba alikasirika sana. Alienda nyumbani na watoto wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuni na Simba Author - Daniel Nanok Translation - Susan Kavaya Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliuliza Mbuni na simba kuzungumza
{ "text": [ "Tembo" ] }
2291_swa
Mbuni na Simba Mbuni na Simba walikuwa marafiki sana. Kila mmoja alikuwa na watoto wachanga. Mbuni aliwalisha watoto wake vizuri. Watoto wa Simba hawakupata chakula cha kutosha. Simba aliwaangalia vifaranga na kuwaza, "Hawa ni wazuri! Natamani wangekuwa wangu!" Wakati Mbuni alikuwa hayupo, Simba aliwachukua watoto wa Mbuni akaenda nao nyumbani kwake. Mbuni alirudi na kupata watoto wa Simba nyumbani kwake. Alifadhaika na kujiuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alikimbia nyumbani kwa Simba. Aliwapata wanawe wakiwa na Simba. Simba alikataa kuwarudisha watoto wa Mbuni. Alisema, "Hawa ni wangu sasa. Unaweza kuwachukua wangu." Mbuni alikasirika sana. "Nitafanyaje ili niwapate watoto wangu?" alijiwazia. Halafu alifikiri, "Ninajua nitakachokifanya. Nitawaita wanyama wote kwa mkutano." Wanyama walikubali kukutana. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba kuzungumza. Wanyama wengi waliogopa kumlaumu Simba. Mwishowe, Kichakuro alisimama na kusema, "Watoto ambao wanafanana na ndege ni wa Mbuni. Watoto ambao wana mikia ni wa Simba." Kichakuro alitorokea tunduni. Wanyama wote walishangilia. Simba alikasirika sana. Alienda nyumbani na watoto wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuni na Simba Author - Daniel Nanok Translation - Susan Kavaya Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kichakuro alitorokea wapi
{ "text": [ "Tunduni" ] }
2291_swa
Mbuni na Simba Mbuni na Simba walikuwa marafiki sana. Kila mmoja alikuwa na watoto wachanga. Mbuni aliwalisha watoto wake vizuri. Watoto wa Simba hawakupata chakula cha kutosha. Simba aliwaangalia vifaranga na kuwaza, "Hawa ni wazuri! Natamani wangekuwa wangu!" Wakati Mbuni alikuwa hayupo, Simba aliwachukua watoto wa Mbuni akaenda nao nyumbani kwake. Mbuni alirudi na kupata watoto wa Simba nyumbani kwake. Alifadhaika na kujiuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alikimbia nyumbani kwa Simba. Aliwapata wanawe wakiwa na Simba. Simba alikataa kuwarudisha watoto wa Mbuni. Alisema, "Hawa ni wangu sasa. Unaweza kuwachukua wangu." Mbuni alikasirika sana. "Nitafanyaje ili niwapate watoto wangu?" alijiwazia. Halafu alifikiri, "Ninajua nitakachokifanya. Nitawaita wanyama wote kwa mkutano." Wanyama walikubali kukutana. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba kuzungumza. Wanyama wengi waliogopa kumlaumu Simba. Mwishowe, Kichakuro alisimama na kusema, "Watoto ambao wanafanana na ndege ni wa Mbuni. Watoto ambao wana mikia ni wa Simba." Kichakuro alitorokea tunduni. Wanyama wote walishangilia. Simba alikasirika sana. Alienda nyumbani na watoto wake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuni na Simba Author - Daniel Nanok Translation - Susan Kavaya Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini simba alikasirika
{ "text": [ "Alienda nyumbani na watoto wake" ] }
2293_swa
Mbuzi, mfalme bandia Hapo zamani, kulikuwa na mbuzi aliyeitwa Ibego. Ibego alikuwa mfalme wa mifugo na ndege. Aliishi maisha mazuri. Siku moja, Ibego aliwaita mifugo wote na ndege mkutanoni. "Rafiki zangu, nimewaita kwa sababu niliota ndoto," Ibego alisema. Mifugo wote na ndege walimsikiliza mfalme wao kwa makini. "Niliota kuwa kulikuwa na njaa na ukosefu wa maji katika nchi yetu. Wengi wa jamaa zetu walifariki!" Mfalme alisema. Mifugo na ndege waliposikia ndoto ile, walijawa na hofu. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walikuwa na wazo. Walisema, "Kila mmoja wetu alete chakula kiwekwe katika hifadhi ya mfalme." Mifugo wote na ndege walikubaliana na wazo hilo. Mfalme alitoa sharti moja. Alisema, "Yeyote atakayekosa kuleta chakula, mtamfunga mumlete kwangu." Wakati wa mfalme Mbuzi kustaafu ulifika. Mifugo wote na ndege walikutana kumchagua mfalme mpya. Paka alichaguliwa kuwa mfalme wao mpya. Mbuzi hakumtambua Paka kama mfalme. Alisema, "Mimi ndiye mfalme na hakuna mwingine. Siwezi kumtii mwingine yeyote." Mifugo walipeleka chakula katika hifadhi ya mfalme wao mpya. Mbuzi hakupeleka chochote. Ng'ombe alisema, "Mbuzi alipokuwa mfalme, tulimtii. Hataki sasa kumtii mfalme wetu mpya. Tufanyeje?" Mifugo wote na ndege walikasirika. "Kwani anadhani yeye ni tofauti nasi?" Walinung'unika. Mbwa alisema, "Nilimsaidia alipokuwa mfalme. Sikuwa nikilala usiku. Kila wakati nilikuwa naye, tayari kumsaidia." Kondoo alisema, "Nilimpatia sufu yangu ili awafunike wanawe." Nguruwe naye alisema, "Alipokuwa mfalme, aliwaambia marafiki zake kuwa mimi ni mlafi. Lakini nilitumia muda mwingi kuitunza bustani yake na kupalilia mawele na mahindi." Kondoo aliuliza, "Eti alisema nini? Kwamba wewe ni mlafi? Alifikiri kuwa atakuwa mfalme milele? Lazima afahamu kuwa yeye si mfalme tena. Hata sijui kwa nini anafikiri kuwa yeye ni muhimu sana." Mifugo wote walicheka na kukubaliana kwamba lazima Mbuzi apeleke chakula kwa mfalme mpya. Mfalme Paka alimwamuru Mbuzi aende kwake. Mifugo walipoenda, walimkuta Mbuzi akistarehe. "Siendi kwa Paka. Hakuna mfalme mwingine ila mimi. Ukiwa mfalme, unasalia mflame," Mbuzi alisema kwa kiburi. "Basi tutakufunga kwa kamba tukupeleke kwa mfalme mpya," Kondoo alisema. Ng'ombe alimfunga Mbuzi akamvuta na kumpeleka kwa mfalme. Kondoo, Bata, Mbwa, Nguruwe na Jogoo walimshangilia Ng'ombe wakisema, "Mpeleke huyu mbuzi kaidi kwa mfalme mpya!" Tangu wakati huo, kila mbuzi hukataa kusonga anapovutwa. Hufikiri kuwa anapelekwa kwenye mahakama ya mfalme. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuzi, mfalme bandia Author - Alice Nakasango Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Mbuzi alikuwa anaitwa nani
{ "text": [ "Ibego" ] }
2293_swa
Mbuzi, mfalme bandia Hapo zamani, kulikuwa na mbuzi aliyeitwa Ibego. Ibego alikuwa mfalme wa mifugo na ndege. Aliishi maisha mazuri. Siku moja, Ibego aliwaita mifugo wote na ndege mkutanoni. "Rafiki zangu, nimewaita kwa sababu niliota ndoto," Ibego alisema. Mifugo wote na ndege walimsikiliza mfalme wao kwa makini. "Niliota kuwa kulikuwa na njaa na ukosefu wa maji katika nchi yetu. Wengi wa jamaa zetu walifariki!" Mfalme alisema. Mifugo na ndege waliposikia ndoto ile, walijawa na hofu. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walikuwa na wazo. Walisema, "Kila mmoja wetu alete chakula kiwekwe katika hifadhi ya mfalme." Mifugo wote na ndege walikubaliana na wazo hilo. Mfalme alitoa sharti moja. Alisema, "Yeyote atakayekosa kuleta chakula, mtamfunga mumlete kwangu." Wakati wa mfalme Mbuzi kustaafu ulifika. Mifugo wote na ndege walikutana kumchagua mfalme mpya. Paka alichaguliwa kuwa mfalme wao mpya. Mbuzi hakumtambua Paka kama mfalme. Alisema, "Mimi ndiye mfalme na hakuna mwingine. Siwezi kumtii mwingine yeyote." Mifugo walipeleka chakula katika hifadhi ya mfalme wao mpya. Mbuzi hakupeleka chochote. Ng'ombe alisema, "Mbuzi alipokuwa mfalme, tulimtii. Hataki sasa kumtii mfalme wetu mpya. Tufanyeje?" Mifugo wote na ndege walikasirika. "Kwani anadhani yeye ni tofauti nasi?" Walinung'unika. Mbwa alisema, "Nilimsaidia alipokuwa mfalme. Sikuwa nikilala usiku. Kila wakati nilikuwa naye, tayari kumsaidia." Kondoo alisema, "Nilimpatia sufu yangu ili awafunike wanawe." Nguruwe naye alisema, "Alipokuwa mfalme, aliwaambia marafiki zake kuwa mimi ni mlafi. Lakini nilitumia muda mwingi kuitunza bustani yake na kupalilia mawele na mahindi." Kondoo aliuliza, "Eti alisema nini? Kwamba wewe ni mlafi? Alifikiri kuwa atakuwa mfalme milele? Lazima afahamu kuwa yeye si mfalme tena. Hata sijui kwa nini anafikiri kuwa yeye ni muhimu sana." Mifugo wote walicheka na kukubaliana kwamba lazima Mbuzi apeleke chakula kwa mfalme mpya. Mfalme Paka alimwamuru Mbuzi aende kwake. Mifugo walipoenda, walimkuta Mbuzi akistarehe. "Siendi kwa Paka. Hakuna mfalme mwingine ila mimi. Ukiwa mfalme, unasalia mflame," Mbuzi alisema kwa kiburi. "Basi tutakufunga kwa kamba tukupeleke kwa mfalme mpya," Kondoo alisema. Ng'ombe alimfunga Mbuzi akamvuta na kumpeleka kwa mfalme. Kondoo, Bata, Mbwa, Nguruwe na Jogoo walimshangilia Ng'ombe wakisema, "Mpeleke huyu mbuzi kaidi kwa mfalme mpya!" Tangu wakati huo, kila mbuzi hukataa kusonga anapovutwa. Hufikiri kuwa anapelekwa kwenye mahakama ya mfalme. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuzi, mfalme bandia Author - Alice Nakasango Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Ibego alikuwa mfalme wa nini
{ "text": [ "mifugo na ndege" ] }
2293_swa
Mbuzi, mfalme bandia Hapo zamani, kulikuwa na mbuzi aliyeitwa Ibego. Ibego alikuwa mfalme wa mifugo na ndege. Aliishi maisha mazuri. Siku moja, Ibego aliwaita mifugo wote na ndege mkutanoni. "Rafiki zangu, nimewaita kwa sababu niliota ndoto," Ibego alisema. Mifugo wote na ndege walimsikiliza mfalme wao kwa makini. "Niliota kuwa kulikuwa na njaa na ukosefu wa maji katika nchi yetu. Wengi wa jamaa zetu walifariki!" Mfalme alisema. Mifugo na ndege waliposikia ndoto ile, walijawa na hofu. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walikuwa na wazo. Walisema, "Kila mmoja wetu alete chakula kiwekwe katika hifadhi ya mfalme." Mifugo wote na ndege walikubaliana na wazo hilo. Mfalme alitoa sharti moja. Alisema, "Yeyote atakayekosa kuleta chakula, mtamfunga mumlete kwangu." Wakati wa mfalme Mbuzi kustaafu ulifika. Mifugo wote na ndege walikutana kumchagua mfalme mpya. Paka alichaguliwa kuwa mfalme wao mpya. Mbuzi hakumtambua Paka kama mfalme. Alisema, "Mimi ndiye mfalme na hakuna mwingine. Siwezi kumtii mwingine yeyote." Mifugo walipeleka chakula katika hifadhi ya mfalme wao mpya. Mbuzi hakupeleka chochote. Ng'ombe alisema, "Mbuzi alipokuwa mfalme, tulimtii. Hataki sasa kumtii mfalme wetu mpya. Tufanyeje?" Mifugo wote na ndege walikasirika. "Kwani anadhani yeye ni tofauti nasi?" Walinung'unika. Mbwa alisema, "Nilimsaidia alipokuwa mfalme. Sikuwa nikilala usiku. Kila wakati nilikuwa naye, tayari kumsaidia." Kondoo alisema, "Nilimpatia sufu yangu ili awafunike wanawe." Nguruwe naye alisema, "Alipokuwa mfalme, aliwaambia marafiki zake kuwa mimi ni mlafi. Lakini nilitumia muda mwingi kuitunza bustani yake na kupalilia mawele na mahindi." Kondoo aliuliza, "Eti alisema nini? Kwamba wewe ni mlafi? Alifikiri kuwa atakuwa mfalme milele? Lazima afahamu kuwa yeye si mfalme tena. Hata sijui kwa nini anafikiri kuwa yeye ni muhimu sana." Mifugo wote walicheka na kukubaliana kwamba lazima Mbuzi apeleke chakula kwa mfalme mpya. Mfalme Paka alimwamuru Mbuzi aende kwake. Mifugo walipoenda, walimkuta Mbuzi akistarehe. "Siendi kwa Paka. Hakuna mfalme mwingine ila mimi. Ukiwa mfalme, unasalia mflame," Mbuzi alisema kwa kiburi. "Basi tutakufunga kwa kamba tukupeleke kwa mfalme mpya," Kondoo alisema. Ng'ombe alimfunga Mbuzi akamvuta na kumpeleka kwa mfalme. Kondoo, Bata, Mbwa, Nguruwe na Jogoo walimshangilia Ng'ombe wakisema, "Mpeleke huyu mbuzi kaidi kwa mfalme mpya!" Tangu wakati huo, kila mbuzi hukataa kusonga anapovutwa. Hufikiri kuwa anapelekwa kwenye mahakama ya mfalme. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuzi, mfalme bandia Author - Alice Nakasango Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Nani alichaguliwa kuwa mfalme mpya
{ "text": [ "Paka" ] }
2293_swa
Mbuzi, mfalme bandia Hapo zamani, kulikuwa na mbuzi aliyeitwa Ibego. Ibego alikuwa mfalme wa mifugo na ndege. Aliishi maisha mazuri. Siku moja, Ibego aliwaita mifugo wote na ndege mkutanoni. "Rafiki zangu, nimewaita kwa sababu niliota ndoto," Ibego alisema. Mifugo wote na ndege walimsikiliza mfalme wao kwa makini. "Niliota kuwa kulikuwa na njaa na ukosefu wa maji katika nchi yetu. Wengi wa jamaa zetu walifariki!" Mfalme alisema. Mifugo na ndege waliposikia ndoto ile, walijawa na hofu. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walikuwa na wazo. Walisema, "Kila mmoja wetu alete chakula kiwekwe katika hifadhi ya mfalme." Mifugo wote na ndege walikubaliana na wazo hilo. Mfalme alitoa sharti moja. Alisema, "Yeyote atakayekosa kuleta chakula, mtamfunga mumlete kwangu." Wakati wa mfalme Mbuzi kustaafu ulifika. Mifugo wote na ndege walikutana kumchagua mfalme mpya. Paka alichaguliwa kuwa mfalme wao mpya. Mbuzi hakumtambua Paka kama mfalme. Alisema, "Mimi ndiye mfalme na hakuna mwingine. Siwezi kumtii mwingine yeyote." Mifugo walipeleka chakula katika hifadhi ya mfalme wao mpya. Mbuzi hakupeleka chochote. Ng'ombe alisema, "Mbuzi alipokuwa mfalme, tulimtii. Hataki sasa kumtii mfalme wetu mpya. Tufanyeje?" Mifugo wote na ndege walikasirika. "Kwani anadhani yeye ni tofauti nasi?" Walinung'unika. Mbwa alisema, "Nilimsaidia alipokuwa mfalme. Sikuwa nikilala usiku. Kila wakati nilikuwa naye, tayari kumsaidia." Kondoo alisema, "Nilimpatia sufu yangu ili awafunike wanawe." Nguruwe naye alisema, "Alipokuwa mfalme, aliwaambia marafiki zake kuwa mimi ni mlafi. Lakini nilitumia muda mwingi kuitunza bustani yake na kupalilia mawele na mahindi." Kondoo aliuliza, "Eti alisema nini? Kwamba wewe ni mlafi? Alifikiri kuwa atakuwa mfalme milele? Lazima afahamu kuwa yeye si mfalme tena. Hata sijui kwa nini anafikiri kuwa yeye ni muhimu sana." Mifugo wote walicheka na kukubaliana kwamba lazima Mbuzi apeleke chakula kwa mfalme mpya. Mfalme Paka alimwamuru Mbuzi aende kwake. Mifugo walipoenda, walimkuta Mbuzi akistarehe. "Siendi kwa Paka. Hakuna mfalme mwingine ila mimi. Ukiwa mfalme, unasalia mflame," Mbuzi alisema kwa kiburi. "Basi tutakufunga kwa kamba tukupeleke kwa mfalme mpya," Kondoo alisema. Ng'ombe alimfunga Mbuzi akamvuta na kumpeleka kwa mfalme. Kondoo, Bata, Mbwa, Nguruwe na Jogoo walimshangilia Ng'ombe wakisema, "Mpeleke huyu mbuzi kaidi kwa mfalme mpya!" Tangu wakati huo, kila mbuzi hukataa kusonga anapovutwa. Hufikiri kuwa anapelekwa kwenye mahakama ya mfalme. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuzi, mfalme bandia Author - Alice Nakasango Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Ni lini mifugo wote na ndege walimchagua mfalme mpya
{ "text": [ "mfalme Mbuzi alipostaafu" ] }
2293_swa
Mbuzi, mfalme bandia Hapo zamani, kulikuwa na mbuzi aliyeitwa Ibego. Ibego alikuwa mfalme wa mifugo na ndege. Aliishi maisha mazuri. Siku moja, Ibego aliwaita mifugo wote na ndege mkutanoni. "Rafiki zangu, nimewaita kwa sababu niliota ndoto," Ibego alisema. Mifugo wote na ndege walimsikiliza mfalme wao kwa makini. "Niliota kuwa kulikuwa na njaa na ukosefu wa maji katika nchi yetu. Wengi wa jamaa zetu walifariki!" Mfalme alisema. Mifugo na ndege waliposikia ndoto ile, walijawa na hofu. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walikuwa na wazo. Walisema, "Kila mmoja wetu alete chakula kiwekwe katika hifadhi ya mfalme." Mifugo wote na ndege walikubaliana na wazo hilo. Mfalme alitoa sharti moja. Alisema, "Yeyote atakayekosa kuleta chakula, mtamfunga mumlete kwangu." Wakati wa mfalme Mbuzi kustaafu ulifika. Mifugo wote na ndege walikutana kumchagua mfalme mpya. Paka alichaguliwa kuwa mfalme wao mpya. Mbuzi hakumtambua Paka kama mfalme. Alisema, "Mimi ndiye mfalme na hakuna mwingine. Siwezi kumtii mwingine yeyote." Mifugo walipeleka chakula katika hifadhi ya mfalme wao mpya. Mbuzi hakupeleka chochote. Ng'ombe alisema, "Mbuzi alipokuwa mfalme, tulimtii. Hataki sasa kumtii mfalme wetu mpya. Tufanyeje?" Mifugo wote na ndege walikasirika. "Kwani anadhani yeye ni tofauti nasi?" Walinung'unika. Mbwa alisema, "Nilimsaidia alipokuwa mfalme. Sikuwa nikilala usiku. Kila wakati nilikuwa naye, tayari kumsaidia." Kondoo alisema, "Nilimpatia sufu yangu ili awafunike wanawe." Nguruwe naye alisema, "Alipokuwa mfalme, aliwaambia marafiki zake kuwa mimi ni mlafi. Lakini nilitumia muda mwingi kuitunza bustani yake na kupalilia mawele na mahindi." Kondoo aliuliza, "Eti alisema nini? Kwamba wewe ni mlafi? Alifikiri kuwa atakuwa mfalme milele? Lazima afahamu kuwa yeye si mfalme tena. Hata sijui kwa nini anafikiri kuwa yeye ni muhimu sana." Mifugo wote walicheka na kukubaliana kwamba lazima Mbuzi apeleke chakula kwa mfalme mpya. Mfalme Paka alimwamuru Mbuzi aende kwake. Mifugo walipoenda, walimkuta Mbuzi akistarehe. "Siendi kwa Paka. Hakuna mfalme mwingine ila mimi. Ukiwa mfalme, unasalia mflame," Mbuzi alisema kwa kiburi. "Basi tutakufunga kwa kamba tukupeleke kwa mfalme mpya," Kondoo alisema. Ng'ombe alimfunga Mbuzi akamvuta na kumpeleka kwa mfalme. Kondoo, Bata, Mbwa, Nguruwe na Jogoo walimshangilia Ng'ombe wakisema, "Mpeleke huyu mbuzi kaidi kwa mfalme mpya!" Tangu wakati huo, kila mbuzi hukataa kusonga anapovutwa. Hufikiri kuwa anapelekwa kwenye mahakama ya mfalme. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbuzi, mfalme bandia Author - Alice Nakasango Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org
Mbuzi hakumtambua paka kama mfalme kivipi
{ "text": [ "alisema kwamba yeye ndiye mfalme na hakuna mwingine atakayetii" ] }
2297_swa
Mbweha asiye na shukurani Mbweha alikuwa na njaa. Alienda kuwinda. Alimfukuza panya. Panya alijificha chini ya jiwe. Mbweha alichimba kumtoa panya. Jiwe liliangukia mguu wake. 3 Sungura alimsikia Mbweha akilia. Alikimbia kuona kilichotokea. Sungura alikubali kumsaidia Mbweha. Mbweha aliahidi kumpatia chakula. Sungura alilisukuma jiwe. Liliondoka kwenye mguu wa Mbweha. Sungura alimdai zawadi yake. Mbweha alitisha kumla Sungura! Walimtafuta mzee kuwaamulia kesi yao. Mbweha alitisha kumla yule mzee pia! Mzee alisema, "Hebu nione lile jiwe kabla kuamua." Mbweha na Sungura walimwonyesha mzee lile jiwe. Mbweha alieleza jinsi jiwe liliangukia mguu wake. Mzee alimwuliza Sungura, "Nionyeshe namna ulivyolisukuma jiwe." Sungura alilisukuma jiwe. Liliangukia mguu wa Mbweha. Mzee alisema, "Sasa ni sawa. Hebu twende nyumbani." Mzee na Sungura walienda zao. Mbweha aliachwa akiwa amenaswa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha asiye na shukurani Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Nani alikuwa na njaa
{ "text": [ "mbweha" ] }
2297_swa
Mbweha asiye na shukurani Mbweha alikuwa na njaa. Alienda kuwinda. Alimfukuza panya. Panya alijificha chini ya jiwe. Mbweha alichimba kumtoa panya. Jiwe liliangukia mguu wake. 3 Sungura alimsikia Mbweha akilia. Alikimbia kuona kilichotokea. Sungura alikubali kumsaidia Mbweha. Mbweha aliahidi kumpatia chakula. Sungura alilisukuma jiwe. Liliondoka kwenye mguu wa Mbweha. Sungura alimdai zawadi yake. Mbweha alitisha kumla Sungura! Walimtafuta mzee kuwaamulia kesi yao. Mbweha alitisha kumla yule mzee pia! Mzee alisema, "Hebu nione lile jiwe kabla kuamua." Mbweha na Sungura walimwonyesha mzee lile jiwe. Mbweha alieleza jinsi jiwe liliangukia mguu wake. Mzee alimwuliza Sungura, "Nionyeshe namna ulivyolisukuma jiwe." Sungura alilisukuma jiwe. Liliangukia mguu wa Mbweha. Mzee alisema, "Sasa ni sawa. Hebu twende nyumbani." Mzee na Sungura walienda zao. Mbweha aliachwa akiwa amenaswa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha asiye na shukurani Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Panya alijificha wapi
{ "text": [ "chini ya jiwe" ] }
2297_swa
Mbweha asiye na shukurani Mbweha alikuwa na njaa. Alienda kuwinda. Alimfukuza panya. Panya alijificha chini ya jiwe. Mbweha alichimba kumtoa panya. Jiwe liliangukia mguu wake. 3 Sungura alimsikia Mbweha akilia. Alikimbia kuona kilichotokea. Sungura alikubali kumsaidia Mbweha. Mbweha aliahidi kumpatia chakula. Sungura alilisukuma jiwe. Liliondoka kwenye mguu wa Mbweha. Sungura alimdai zawadi yake. Mbweha alitisha kumla Sungura! Walimtafuta mzee kuwaamulia kesi yao. Mbweha alitisha kumla yule mzee pia! Mzee alisema, "Hebu nione lile jiwe kabla kuamua." Mbweha na Sungura walimwonyesha mzee lile jiwe. Mbweha alieleza jinsi jiwe liliangukia mguu wake. Mzee alimwuliza Sungura, "Nionyeshe namna ulivyolisukuma jiwe." Sungura alilisukuma jiwe. Liliangukia mguu wa Mbweha. Mzee alisema, "Sasa ni sawa. Hebu twende nyumbani." Mzee na Sungura walienda zao. Mbweha aliachwa akiwa amenaswa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha asiye na shukurani Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Sungura alisikia nini
{ "text": [ "mbweha akilia" ] }
2297_swa
Mbweha asiye na shukurani Mbweha alikuwa na njaa. Alienda kuwinda. Alimfukuza panya. Panya alijificha chini ya jiwe. Mbweha alichimba kumtoa panya. Jiwe liliangukia mguu wake. 3 Sungura alimsikia Mbweha akilia. Alikimbia kuona kilichotokea. Sungura alikubali kumsaidia Mbweha. Mbweha aliahidi kumpatia chakula. Sungura alilisukuma jiwe. Liliondoka kwenye mguu wa Mbweha. Sungura alimdai zawadi yake. Mbweha alitisha kumla Sungura! Walimtafuta mzee kuwaamulia kesi yao. Mbweha alitisha kumla yule mzee pia! Mzee alisema, "Hebu nione lile jiwe kabla kuamua." Mbweha na Sungura walimwonyesha mzee lile jiwe. Mbweha alieleza jinsi jiwe liliangukia mguu wake. Mzee alimwuliza Sungura, "Nionyeshe namna ulivyolisukuma jiwe." Sungura alilisukuma jiwe. Liliangukia mguu wa Mbweha. Mzee alisema, "Sasa ni sawa. Hebu twende nyumbani." Mzee na Sungura walienda zao. Mbweha aliachwa akiwa amenaswa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha asiye na shukurani Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Walimtafuta mzee wa kufanya nini
{ "text": [ "kuwaamulia kesi yao" ] }
2297_swa
Mbweha asiye na shukurani Mbweha alikuwa na njaa. Alienda kuwinda. Alimfukuza panya. Panya alijificha chini ya jiwe. Mbweha alichimba kumtoa panya. Jiwe liliangukia mguu wake. 3 Sungura alimsikia Mbweha akilia. Alikimbia kuona kilichotokea. Sungura alikubali kumsaidia Mbweha. Mbweha aliahidi kumpatia chakula. Sungura alilisukuma jiwe. Liliondoka kwenye mguu wa Mbweha. Sungura alimdai zawadi yake. Mbweha alitisha kumla Sungura! Walimtafuta mzee kuwaamulia kesi yao. Mbweha alitisha kumla yule mzee pia! Mzee alisema, "Hebu nione lile jiwe kabla kuamua." Mbweha na Sungura walimwonyesha mzee lile jiwe. Mbweha alieleza jinsi jiwe liliangukia mguu wake. Mzee alimwuliza Sungura, "Nionyeshe namna ulivyolisukuma jiwe." Sungura alilisukuma jiwe. Liliangukia mguu wa Mbweha. Mzee alisema, "Sasa ni sawa. Hebu twende nyumbani." Mzee na Sungura walienda zao. Mbweha aliachwa akiwa amenaswa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha asiye na shukurani Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mbona sungura alikimbia
{ "text": [ "kuona kilichotendeka" ] }
2298_swa
Mbweha na Jua Hapo zamani, palikuwa na Mbweha. Alikuwa mvivu pia mjinga. Yeye na babake mzee waliishi jangwani Kalahari. Asubuhi moja, Mbweha mzee aliamka na kumpata mwanawe amelala juani. Kifungua kinywa hakikuwa tayari na mbuzi walikuwa bado zizini! "Wewe kijana mvivu sana! Nenda ukamtafute mke. Nimezeeka na siwezi kukukimu tena," babake alisema. Mbweha kijana aliruka juu na kuwapeleka mbuzi malishoni. Kichakani, aliona kitu kilichoangaza juu ya mwamba. Alipoukaribia mwamba ndipo mwangaza ulipozidi kupendeza. Labda huyu ndiye aliyekuwa mke wake! "Wewe ni mzuri mno," Mbweha kijana aliueleza mng'aro. "Lakini, wewe ni nani? Mbona uko peke yako?" "Mimi ni Jua," mng'aro ulijibu. "Familia yangu iliniacha hapa ilipohama. Haikutaka kunibeba maanake mimi ni moto sana." Mbweha alisema, "Lakini, wewe u mzuri sana! Mimi nitakubeba. Nitakupeleka nyumbani nikujulishe kwa babangu." "Ni sawa, unaweza kunibeba, lakini, usilalamike nikizidi kutoa joto usiloweza kuhimili," Jua lilisema. Mbweha kijana alienda nyumbani bila ngozi, manyoya mgongoni, wala mke. Babake Mbweha aliuuguza mgongo wa mwanawe kwa kutumia mafuta. Polepole, manyoya yaliota tena. Manyoya hayo mapya yalikuwa rangi tofauti na yale aliyozaliwa nayo. Rangi hizo tofauti zilimkumbusha Mbweha kila mara kutokuwa mjinga tena. Maelezo kuhusu hadithi: Katika mwaka wa 2005, mwanahadithi wa Naro kwa jina la Bega Cgaze kutoka Jangwa la Kalahari nchini Botswana alimsimulia Marlene Winberg hadithi hii ambaye anaielezea hapa. Hadithi inapatikana katika mitindo tofauti katika jamii nyingi za kiSan za Afrika ya Kusini. Inawaonya vijana wengi wa kiume dhidi ya kudanganywa na urembo wa kimwili wa wasichana, na inawaelezea wazazi kutowalazimisha watoto wao kuoa kwa ajili ya kupata msaada wa nyumbani. Vilevile inaonyesha nguvu za jua jangwani. Michoro imefanywa na Marlene na kufafanuliwa na Satsiri Winberg kupitia weledi wa kikundi cha Manyeka cha Kisanaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Jua Author - Traditional San story Translation - Brigid Simiyu Illustration - Manyeka Arts Trust Language - Kiswahili Level - Read aloud © Manyeka Arts Trust 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.manyeka.co.za
Mbweha na babake mzee waliishi wapi
{ "text": [ "jangwani kalahari" ] }
2298_swa
Mbweha na Jua Hapo zamani, palikuwa na Mbweha. Alikuwa mvivu pia mjinga. Yeye na babake mzee waliishi jangwani Kalahari. Asubuhi moja, Mbweha mzee aliamka na kumpata mwanawe amelala juani. Kifungua kinywa hakikuwa tayari na mbuzi walikuwa bado zizini! "Wewe kijana mvivu sana! Nenda ukamtafute mke. Nimezeeka na siwezi kukukimu tena," babake alisema. Mbweha kijana aliruka juu na kuwapeleka mbuzi malishoni. Kichakani, aliona kitu kilichoangaza juu ya mwamba. Alipoukaribia mwamba ndipo mwangaza ulipozidi kupendeza. Labda huyu ndiye aliyekuwa mke wake! "Wewe ni mzuri mno," Mbweha kijana aliueleza mng'aro. "Lakini, wewe ni nani? Mbona uko peke yako?" "Mimi ni Jua," mng'aro ulijibu. "Familia yangu iliniacha hapa ilipohama. Haikutaka kunibeba maanake mimi ni moto sana." Mbweha alisema, "Lakini, wewe u mzuri sana! Mimi nitakubeba. Nitakupeleka nyumbani nikujulishe kwa babangu." "Ni sawa, unaweza kunibeba, lakini, usilalamike nikizidi kutoa joto usiloweza kuhimili," Jua lilisema. Mbweha kijana alienda nyumbani bila ngozi, manyoya mgongoni, wala mke. Babake Mbweha aliuuguza mgongo wa mwanawe kwa kutumia mafuta. Polepole, manyoya yaliota tena. Manyoya hayo mapya yalikuwa rangi tofauti na yale aliyozaliwa nayo. Rangi hizo tofauti zilimkumbusha Mbweha kila mara kutokuwa mjinga tena. Maelezo kuhusu hadithi: Katika mwaka wa 2005, mwanahadithi wa Naro kwa jina la Bega Cgaze kutoka Jangwa la Kalahari nchini Botswana alimsimulia Marlene Winberg hadithi hii ambaye anaielezea hapa. Hadithi inapatikana katika mitindo tofauti katika jamii nyingi za kiSan za Afrika ya Kusini. Inawaonya vijana wengi wa kiume dhidi ya kudanganywa na urembo wa kimwili wa wasichana, na inawaelezea wazazi kutowalazimisha watoto wao kuoa kwa ajili ya kupata msaada wa nyumbani. Vilevile inaonyesha nguvu za jua jangwani. Michoro imefanywa na Marlene na kufafanuliwa na Satsiri Winberg kupitia weledi wa kikundi cha Manyeka cha Kisanaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Jua Author - Traditional San story Translation - Brigid Simiyu Illustration - Manyeka Arts Trust Language - Kiswahili Level - Read aloud © Manyeka Arts Trust 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.manyeka.co.za
Mbweha kijana aliwapeleka mbuzi wapi
{ "text": [ "malishoni" ] }
2298_swa
Mbweha na Jua Hapo zamani, palikuwa na Mbweha. Alikuwa mvivu pia mjinga. Yeye na babake mzee waliishi jangwani Kalahari. Asubuhi moja, Mbweha mzee aliamka na kumpata mwanawe amelala juani. Kifungua kinywa hakikuwa tayari na mbuzi walikuwa bado zizini! "Wewe kijana mvivu sana! Nenda ukamtafute mke. Nimezeeka na siwezi kukukimu tena," babake alisema. Mbweha kijana aliruka juu na kuwapeleka mbuzi malishoni. Kichakani, aliona kitu kilichoangaza juu ya mwamba. Alipoukaribia mwamba ndipo mwangaza ulipozidi kupendeza. Labda huyu ndiye aliyekuwa mke wake! "Wewe ni mzuri mno," Mbweha kijana aliueleza mng'aro. "Lakini, wewe ni nani? Mbona uko peke yako?" "Mimi ni Jua," mng'aro ulijibu. "Familia yangu iliniacha hapa ilipohama. Haikutaka kunibeba maanake mimi ni moto sana." Mbweha alisema, "Lakini, wewe u mzuri sana! Mimi nitakubeba. Nitakupeleka nyumbani nikujulishe kwa babangu." "Ni sawa, unaweza kunibeba, lakini, usilalamike nikizidi kutoa joto usiloweza kuhimili," Jua lilisema. Mbweha kijana alienda nyumbani bila ngozi, manyoya mgongoni, wala mke. Babake Mbweha aliuuguza mgongo wa mwanawe kwa kutumia mafuta. Polepole, manyoya yaliota tena. Manyoya hayo mapya yalikuwa rangi tofauti na yale aliyozaliwa nayo. Rangi hizo tofauti zilimkumbusha Mbweha kila mara kutokuwa mjinga tena. Maelezo kuhusu hadithi: Katika mwaka wa 2005, mwanahadithi wa Naro kwa jina la Bega Cgaze kutoka Jangwa la Kalahari nchini Botswana alimsimulia Marlene Winberg hadithi hii ambaye anaielezea hapa. Hadithi inapatikana katika mitindo tofauti katika jamii nyingi za kiSan za Afrika ya Kusini. Inawaonya vijana wengi wa kiume dhidi ya kudanganywa na urembo wa kimwili wa wasichana, na inawaelezea wazazi kutowalazimisha watoto wao kuoa kwa ajili ya kupata msaada wa nyumbani. Vilevile inaonyesha nguvu za jua jangwani. Michoro imefanywa na Marlene na kufafanuliwa na Satsiri Winberg kupitia weledi wa kikundi cha Manyeka cha Kisanaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Jua Author - Traditional San story Translation - Brigid Simiyu Illustration - Manyeka Arts Trust Language - Kiswahili Level - Read aloud © Manyeka Arts Trust 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.manyeka.co.za
Babake Mbweha aliuuguza mgongo wa mwanawe kwa kutumia nini
{ "text": [ "mafuta" ] }
2298_swa
Mbweha na Jua Hapo zamani, palikuwa na Mbweha. Alikuwa mvivu pia mjinga. Yeye na babake mzee waliishi jangwani Kalahari. Asubuhi moja, Mbweha mzee aliamka na kumpata mwanawe amelala juani. Kifungua kinywa hakikuwa tayari na mbuzi walikuwa bado zizini! "Wewe kijana mvivu sana! Nenda ukamtafute mke. Nimezeeka na siwezi kukukimu tena," babake alisema. Mbweha kijana aliruka juu na kuwapeleka mbuzi malishoni. Kichakani, aliona kitu kilichoangaza juu ya mwamba. Alipoukaribia mwamba ndipo mwangaza ulipozidi kupendeza. Labda huyu ndiye aliyekuwa mke wake! "Wewe ni mzuri mno," Mbweha kijana aliueleza mng'aro. "Lakini, wewe ni nani? Mbona uko peke yako?" "Mimi ni Jua," mng'aro ulijibu. "Familia yangu iliniacha hapa ilipohama. Haikutaka kunibeba maanake mimi ni moto sana." Mbweha alisema, "Lakini, wewe u mzuri sana! Mimi nitakubeba. Nitakupeleka nyumbani nikujulishe kwa babangu." "Ni sawa, unaweza kunibeba, lakini, usilalamike nikizidi kutoa joto usiloweza kuhimili," Jua lilisema. Mbweha kijana alienda nyumbani bila ngozi, manyoya mgongoni, wala mke. Babake Mbweha aliuuguza mgongo wa mwanawe kwa kutumia mafuta. Polepole, manyoya yaliota tena. Manyoya hayo mapya yalikuwa rangi tofauti na yale aliyozaliwa nayo. Rangi hizo tofauti zilimkumbusha Mbweha kila mara kutokuwa mjinga tena. Maelezo kuhusu hadithi: Katika mwaka wa 2005, mwanahadithi wa Naro kwa jina la Bega Cgaze kutoka Jangwa la Kalahari nchini Botswana alimsimulia Marlene Winberg hadithi hii ambaye anaielezea hapa. Hadithi inapatikana katika mitindo tofauti katika jamii nyingi za kiSan za Afrika ya Kusini. Inawaonya vijana wengi wa kiume dhidi ya kudanganywa na urembo wa kimwili wa wasichana, na inawaelezea wazazi kutowalazimisha watoto wao kuoa kwa ajili ya kupata msaada wa nyumbani. Vilevile inaonyesha nguvu za jua jangwani. Michoro imefanywa na Marlene na kufafanuliwa na Satsiri Winberg kupitia weledi wa kikundi cha Manyeka cha Kisanaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Jua Author - Traditional San story Translation - Brigid Simiyu Illustration - Manyeka Arts Trust Language - Kiswahili Level - Read aloud © Manyeka Arts Trust 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.manyeka.co.za
Manyoya mapya ya mbweha kijana yalikuwaje
{ "text": [ "rangi tofauti" ] }
2298_swa
Mbweha na Jua Hapo zamani, palikuwa na Mbweha. Alikuwa mvivu pia mjinga. Yeye na babake mzee waliishi jangwani Kalahari. Asubuhi moja, Mbweha mzee aliamka na kumpata mwanawe amelala juani. Kifungua kinywa hakikuwa tayari na mbuzi walikuwa bado zizini! "Wewe kijana mvivu sana! Nenda ukamtafute mke. Nimezeeka na siwezi kukukimu tena," babake alisema. Mbweha kijana aliruka juu na kuwapeleka mbuzi malishoni. Kichakani, aliona kitu kilichoangaza juu ya mwamba. Alipoukaribia mwamba ndipo mwangaza ulipozidi kupendeza. Labda huyu ndiye aliyekuwa mke wake! "Wewe ni mzuri mno," Mbweha kijana aliueleza mng'aro. "Lakini, wewe ni nani? Mbona uko peke yako?" "Mimi ni Jua," mng'aro ulijibu. "Familia yangu iliniacha hapa ilipohama. Haikutaka kunibeba maanake mimi ni moto sana." Mbweha alisema, "Lakini, wewe u mzuri sana! Mimi nitakubeba. Nitakupeleka nyumbani nikujulishe kwa babangu." "Ni sawa, unaweza kunibeba, lakini, usilalamike nikizidi kutoa joto usiloweza kuhimili," Jua lilisema. Mbweha kijana alienda nyumbani bila ngozi, manyoya mgongoni, wala mke. Babake Mbweha aliuuguza mgongo wa mwanawe kwa kutumia mafuta. Polepole, manyoya yaliota tena. Manyoya hayo mapya yalikuwa rangi tofauti na yale aliyozaliwa nayo. Rangi hizo tofauti zilimkumbusha Mbweha kila mara kutokuwa mjinga tena. Maelezo kuhusu hadithi: Katika mwaka wa 2005, mwanahadithi wa Naro kwa jina la Bega Cgaze kutoka Jangwa la Kalahari nchini Botswana alimsimulia Marlene Winberg hadithi hii ambaye anaielezea hapa. Hadithi inapatikana katika mitindo tofauti katika jamii nyingi za kiSan za Afrika ya Kusini. Inawaonya vijana wengi wa kiume dhidi ya kudanganywa na urembo wa kimwili wa wasichana, na inawaelezea wazazi kutowalazimisha watoto wao kuoa kwa ajili ya kupata msaada wa nyumbani. Vilevile inaonyesha nguvu za jua jangwani. Michoro imefanywa na Marlene na kufafanuliwa na Satsiri Winberg kupitia weledi wa kikundi cha Manyeka cha Kisanaa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Jua Author - Traditional San story Translation - Brigid Simiyu Illustration - Manyeka Arts Trust Language - Kiswahili Level - Read aloud © Manyeka Arts Trust 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.manyeka.co.za
Mbona familia ya jua haikutaka kumbeba
{ "text": [ "alikuwa moto sana" ] }
2299_swa
Mbweha na Sungura Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbweha aliyekuwa na njaa. Alijaribu kumshika panya, lakini panya alitoroka. Alijaribu kumfukuza kichakuro, lakini kichakuro pia alikimbia na kupanda juu ya mti. Kisha Mbweha akamwona panya mdogo aliyenona. Akawaza, "Huyu anafaa kuliwa." Panya alipomwona Mbweha, alikimbilia chini ya jiwe, akaruka shimoni mwake. Mbweha akawaza, "Ni lazima nichimbe nikamtoe panya huyu shimoni." Mbweha alikimbilia chini ya jiwe hilo kubwa akaanza kuchimba. Alichimba ndani zaidi hata jiwe likamwangukia mguuni. Alishindwa kuutoa mguu wake chini ya jiwe. Akapiga mayowe, "Nimenaswa! Nisaidie! Nisaidie!" Sungura alipomsikia Mbweha akilia, alikimbia na kumwuliza, "Una nini?" Mbweha akamjibu, "Nilikuwa nikiwinda panya kisha jiwe likaniangukia mguuni. Tafadhali mpendwa Sungura, nisaidie!" Sungura alimjibu, "Mmmh! Ningependa sana kukusaidia lakini, mimi ni mdogo na hafifu na jiwe hili ni kubwa. Itakuwa vigumu kwangu. Je, utanipa nini nikikusaidia?" Mbweha alilia aksema, "Jioni nitakupikia mlo uupendao. Utakula chakula kitamu kuliko vyote duniani." Sungura alimjibu, "Sawa, nitajaribu kukusaidia." Sungura alilisukuma jiwe, lakini, halikusonga hata kidogo. Akalisukuma tena na tena hadi likauondokea mguu wa Mbweha. Sungura akafurahi. Sungura akasema, "Nipe zawadi yangu." Mbweha akamwuliza, "Zawadi gani? Umenona na unatamanika." Sungura akamwuliza, "Si nimekusaidia? Wawezaje kutaka kunila?" Mbweha akajibu, "Mbweha hula sungura. Usibishane nami." Sungura akasema, "Hiyo si haki. Tuwatafute wazee watupe mawaidha yao." Sungura na Mbweha walimpata mzee mmoja. Sungura akasema, "Tafadhali tusaidie. Mbweha anataka kunila ilhali niliyaokoa maisha yake. Jiwe lilikuwa limemwangukia mguuni na hangeweza kujitoa. Aliniahidi chakula kitamu cha jioni. Nami nikalisukuma jiwe na kuliondoa mguuni pake. Sasa ameisahau ahadi yake." "Si sawa. Mbweha, kwani huna shukurani? Mwache Sungura aende zake," Mzee alinena. Mbweha alikifungua kinywa chake akamwonyesha Mzee meno yake marefu na makali. Kisha akasema, "Hapana! Sitamwachilia aende. Na usijaribu kunizuia au nitakukula wewe pia." Mzee aliogopa sana akasema, "Tafadhali usinile. Labda, nimefanya uamuzi usio sawa. Unayoyasema ni kweli. Siwezi kuamua ilhali sikuliona jiwe. Je, ni nini hasa kilichofanyika?" "Hilo ni jambo rahisi. Twende nikuonyeshe," Mbweha akasema. Mzee alikwenda pamoja na Mbweha na Sungura kuliona jiwe. Kisha akamwuliza Mbweha, "Kwani ulikuwa unafanya nini?" Mbweha akaeleza, "Panya niliyekuwa nikimwinda alitorokea shimoni. Nilipokuwa nikilichimba shimo hilo, jiwe liliniangukia mguuni." "Jiwe gani?" Mzee akauliza. "Jiwe hili," Mbweha akajibu. "Wewe ulikuwa wapi?" Mzee akauliza. "Nilikuwa hapa," Mbweha akasema huku akijilaza chini. Mzee alimtazama Sungura kisha akasema, "Wewe ni Sungura mdogo tu na hafifu. Siamini kuwa uliweza kulisongeza jiwe kubwa kama hili." "Lakini nililisongeza!" Sungura alilia. "Hebu nionyeshe," Mzee akasema. Sungura alisukuma akasukuma. Jiwe likaungukia mguu wa Mbweha tena. Mzee akauliza, "Hivi ndivyo ulivyompata Mbweha?" Sungura akaitikia kwa kichwa. Mzee akamwuliza Mbweha, "Je, Sungura alikupata katika hali hii?" Mbweha aliitikia kwa kichwa. Mzee akasema, "Vizuri. Hii ndiyo haki. Sungura, kimbia nenda zako nyumbani. Nami pia ninakwenda nyumbani." Basi, Mzee na Sungura wakaondoka. Wakamwacha Mbweha asiye na shukrani peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Sungura Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mbweha alijaribu kumshika nani
{ "text": [ "Panya" ] }
2299_swa
Mbweha na Sungura Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbweha aliyekuwa na njaa. Alijaribu kumshika panya, lakini panya alitoroka. Alijaribu kumfukuza kichakuro, lakini kichakuro pia alikimbia na kupanda juu ya mti. Kisha Mbweha akamwona panya mdogo aliyenona. Akawaza, "Huyu anafaa kuliwa." Panya alipomwona Mbweha, alikimbilia chini ya jiwe, akaruka shimoni mwake. Mbweha akawaza, "Ni lazima nichimbe nikamtoe panya huyu shimoni." Mbweha alikimbilia chini ya jiwe hilo kubwa akaanza kuchimba. Alichimba ndani zaidi hata jiwe likamwangukia mguuni. Alishindwa kuutoa mguu wake chini ya jiwe. Akapiga mayowe, "Nimenaswa! Nisaidie! Nisaidie!" Sungura alipomsikia Mbweha akilia, alikimbia na kumwuliza, "Una nini?" Mbweha akamjibu, "Nilikuwa nikiwinda panya kisha jiwe likaniangukia mguuni. Tafadhali mpendwa Sungura, nisaidie!" Sungura alimjibu, "Mmmh! Ningependa sana kukusaidia lakini, mimi ni mdogo na hafifu na jiwe hili ni kubwa. Itakuwa vigumu kwangu. Je, utanipa nini nikikusaidia?" Mbweha alilia aksema, "Jioni nitakupikia mlo uupendao. Utakula chakula kitamu kuliko vyote duniani." Sungura alimjibu, "Sawa, nitajaribu kukusaidia." Sungura alilisukuma jiwe, lakini, halikusonga hata kidogo. Akalisukuma tena na tena hadi likauondokea mguu wa Mbweha. Sungura akafurahi. Sungura akasema, "Nipe zawadi yangu." Mbweha akamwuliza, "Zawadi gani? Umenona na unatamanika." Sungura akamwuliza, "Si nimekusaidia? Wawezaje kutaka kunila?" Mbweha akajibu, "Mbweha hula sungura. Usibishane nami." Sungura akasema, "Hiyo si haki. Tuwatafute wazee watupe mawaidha yao." Sungura na Mbweha walimpata mzee mmoja. Sungura akasema, "Tafadhali tusaidie. Mbweha anataka kunila ilhali niliyaokoa maisha yake. Jiwe lilikuwa limemwangukia mguuni na hangeweza kujitoa. Aliniahidi chakula kitamu cha jioni. Nami nikalisukuma jiwe na kuliondoa mguuni pake. Sasa ameisahau ahadi yake." "Si sawa. Mbweha, kwani huna shukurani? Mwache Sungura aende zake," Mzee alinena. Mbweha alikifungua kinywa chake akamwonyesha Mzee meno yake marefu na makali. Kisha akasema, "Hapana! Sitamwachilia aende. Na usijaribu kunizuia au nitakukula wewe pia." Mzee aliogopa sana akasema, "Tafadhali usinile. Labda, nimefanya uamuzi usio sawa. Unayoyasema ni kweli. Siwezi kuamua ilhali sikuliona jiwe. Je, ni nini hasa kilichofanyika?" "Hilo ni jambo rahisi. Twende nikuonyeshe," Mbweha akasema. Mzee alikwenda pamoja na Mbweha na Sungura kuliona jiwe. Kisha akamwuliza Mbweha, "Kwani ulikuwa unafanya nini?" Mbweha akaeleza, "Panya niliyekuwa nikimwinda alitorokea shimoni. Nilipokuwa nikilichimba shimo hilo, jiwe liliniangukia mguuni." "Jiwe gani?" Mzee akauliza. "Jiwe hili," Mbweha akajibu. "Wewe ulikuwa wapi?" Mzee akauliza. "Nilikuwa hapa," Mbweha akasema huku akijilaza chini. Mzee alimtazama Sungura kisha akasema, "Wewe ni Sungura mdogo tu na hafifu. Siamini kuwa uliweza kulisongeza jiwe kubwa kama hili." "Lakini nililisongeza!" Sungura alilia. "Hebu nionyeshe," Mzee akasema. Sungura alisukuma akasukuma. Jiwe likaungukia mguu wa Mbweha tena. Mzee akauliza, "Hivi ndivyo ulivyompata Mbweha?" Sungura akaitikia kwa kichwa. Mzee akamwuliza Mbweha, "Je, Sungura alikupata katika hali hii?" Mbweha aliitikia kwa kichwa. Mzee akasema, "Vizuri. Hii ndiyo haki. Sungura, kimbia nenda zako nyumbani. Nami pia ninakwenda nyumbani." Basi, Mzee na Sungura wakaondoka. Wakamwacha Mbweha asiye na shukrani peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Sungura Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Lakini panya alifanya nini
{ "text": [ "alitoroka" ] }
2299_swa
Mbweha na Sungura Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbweha aliyekuwa na njaa. Alijaribu kumshika panya, lakini panya alitoroka. Alijaribu kumfukuza kichakuro, lakini kichakuro pia alikimbia na kupanda juu ya mti. Kisha Mbweha akamwona panya mdogo aliyenona. Akawaza, "Huyu anafaa kuliwa." Panya alipomwona Mbweha, alikimbilia chini ya jiwe, akaruka shimoni mwake. Mbweha akawaza, "Ni lazima nichimbe nikamtoe panya huyu shimoni." Mbweha alikimbilia chini ya jiwe hilo kubwa akaanza kuchimba. Alichimba ndani zaidi hata jiwe likamwangukia mguuni. Alishindwa kuutoa mguu wake chini ya jiwe. Akapiga mayowe, "Nimenaswa! Nisaidie! Nisaidie!" Sungura alipomsikia Mbweha akilia, alikimbia na kumwuliza, "Una nini?" Mbweha akamjibu, "Nilikuwa nikiwinda panya kisha jiwe likaniangukia mguuni. Tafadhali mpendwa Sungura, nisaidie!" Sungura alimjibu, "Mmmh! Ningependa sana kukusaidia lakini, mimi ni mdogo na hafifu na jiwe hili ni kubwa. Itakuwa vigumu kwangu. Je, utanipa nini nikikusaidia?" Mbweha alilia aksema, "Jioni nitakupikia mlo uupendao. Utakula chakula kitamu kuliko vyote duniani." Sungura alimjibu, "Sawa, nitajaribu kukusaidia." Sungura alilisukuma jiwe, lakini, halikusonga hata kidogo. Akalisukuma tena na tena hadi likauondokea mguu wa Mbweha. Sungura akafurahi. Sungura akasema, "Nipe zawadi yangu." Mbweha akamwuliza, "Zawadi gani? Umenona na unatamanika." Sungura akamwuliza, "Si nimekusaidia? Wawezaje kutaka kunila?" Mbweha akajibu, "Mbweha hula sungura. Usibishane nami." Sungura akasema, "Hiyo si haki. Tuwatafute wazee watupe mawaidha yao." Sungura na Mbweha walimpata mzee mmoja. Sungura akasema, "Tafadhali tusaidie. Mbweha anataka kunila ilhali niliyaokoa maisha yake. Jiwe lilikuwa limemwangukia mguuni na hangeweza kujitoa. Aliniahidi chakula kitamu cha jioni. Nami nikalisukuma jiwe na kuliondoa mguuni pake. Sasa ameisahau ahadi yake." "Si sawa. Mbweha, kwani huna shukurani? Mwache Sungura aende zake," Mzee alinena. Mbweha alikifungua kinywa chake akamwonyesha Mzee meno yake marefu na makali. Kisha akasema, "Hapana! Sitamwachilia aende. Na usijaribu kunizuia au nitakukula wewe pia." Mzee aliogopa sana akasema, "Tafadhali usinile. Labda, nimefanya uamuzi usio sawa. Unayoyasema ni kweli. Siwezi kuamua ilhali sikuliona jiwe. Je, ni nini hasa kilichofanyika?" "Hilo ni jambo rahisi. Twende nikuonyeshe," Mbweha akasema. Mzee alikwenda pamoja na Mbweha na Sungura kuliona jiwe. Kisha akamwuliza Mbweha, "Kwani ulikuwa unafanya nini?" Mbweha akaeleza, "Panya niliyekuwa nikimwinda alitorokea shimoni. Nilipokuwa nikilichimba shimo hilo, jiwe liliniangukia mguuni." "Jiwe gani?" Mzee akauliza. "Jiwe hili," Mbweha akajibu. "Wewe ulikuwa wapi?" Mzee akauliza. "Nilikuwa hapa," Mbweha akasema huku akijilaza chini. Mzee alimtazama Sungura kisha akasema, "Wewe ni Sungura mdogo tu na hafifu. Siamini kuwa uliweza kulisongeza jiwe kubwa kama hili." "Lakini nililisongeza!" Sungura alilia. "Hebu nionyeshe," Mzee akasema. Sungura alisukuma akasukuma. Jiwe likaungukia mguu wa Mbweha tena. Mzee akauliza, "Hivi ndivyo ulivyompata Mbweha?" Sungura akaitikia kwa kichwa. Mzee akamwuliza Mbweha, "Je, Sungura alikupata katika hali hii?" Mbweha aliitikia kwa kichwa. Mzee akasema, "Vizuri. Hii ndiyo haki. Sungura, kimbia nenda zako nyumbani. Nami pia ninakwenda nyumbani." Basi, Mzee na Sungura wakaondoka. Wakamwacha Mbweha asiye na shukrani peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Sungura Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Sungura alisukuma nini
{ "text": [ "jiwe" ] }
2299_swa
Mbweha na Sungura Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbweha aliyekuwa na njaa. Alijaribu kumshika panya, lakini panya alitoroka. Alijaribu kumfukuza kichakuro, lakini kichakuro pia alikimbia na kupanda juu ya mti. Kisha Mbweha akamwona panya mdogo aliyenona. Akawaza, "Huyu anafaa kuliwa." Panya alipomwona Mbweha, alikimbilia chini ya jiwe, akaruka shimoni mwake. Mbweha akawaza, "Ni lazima nichimbe nikamtoe panya huyu shimoni." Mbweha alikimbilia chini ya jiwe hilo kubwa akaanza kuchimba. Alichimba ndani zaidi hata jiwe likamwangukia mguuni. Alishindwa kuutoa mguu wake chini ya jiwe. Akapiga mayowe, "Nimenaswa! Nisaidie! Nisaidie!" Sungura alipomsikia Mbweha akilia, alikimbia na kumwuliza, "Una nini?" Mbweha akamjibu, "Nilikuwa nikiwinda panya kisha jiwe likaniangukia mguuni. Tafadhali mpendwa Sungura, nisaidie!" Sungura alimjibu, "Mmmh! Ningependa sana kukusaidia lakini, mimi ni mdogo na hafifu na jiwe hili ni kubwa. Itakuwa vigumu kwangu. Je, utanipa nini nikikusaidia?" Mbweha alilia aksema, "Jioni nitakupikia mlo uupendao. Utakula chakula kitamu kuliko vyote duniani." Sungura alimjibu, "Sawa, nitajaribu kukusaidia." Sungura alilisukuma jiwe, lakini, halikusonga hata kidogo. Akalisukuma tena na tena hadi likauondokea mguu wa Mbweha. Sungura akafurahi. Sungura akasema, "Nipe zawadi yangu." Mbweha akamwuliza, "Zawadi gani? Umenona na unatamanika." Sungura akamwuliza, "Si nimekusaidia? Wawezaje kutaka kunila?" Mbweha akajibu, "Mbweha hula sungura. Usibishane nami." Sungura akasema, "Hiyo si haki. Tuwatafute wazee watupe mawaidha yao." Sungura na Mbweha walimpata mzee mmoja. Sungura akasema, "Tafadhali tusaidie. Mbweha anataka kunila ilhali niliyaokoa maisha yake. Jiwe lilikuwa limemwangukia mguuni na hangeweza kujitoa. Aliniahidi chakula kitamu cha jioni. Nami nikalisukuma jiwe na kuliondoa mguuni pake. Sasa ameisahau ahadi yake." "Si sawa. Mbweha, kwani huna shukurani? Mwache Sungura aende zake," Mzee alinena. Mbweha alikifungua kinywa chake akamwonyesha Mzee meno yake marefu na makali. Kisha akasema, "Hapana! Sitamwachilia aende. Na usijaribu kunizuia au nitakukula wewe pia." Mzee aliogopa sana akasema, "Tafadhali usinile. Labda, nimefanya uamuzi usio sawa. Unayoyasema ni kweli. Siwezi kuamua ilhali sikuliona jiwe. Je, ni nini hasa kilichofanyika?" "Hilo ni jambo rahisi. Twende nikuonyeshe," Mbweha akasema. Mzee alikwenda pamoja na Mbweha na Sungura kuliona jiwe. Kisha akamwuliza Mbweha, "Kwani ulikuwa unafanya nini?" Mbweha akaeleza, "Panya niliyekuwa nikimwinda alitorokea shimoni. Nilipokuwa nikilichimba shimo hilo, jiwe liliniangukia mguuni." "Jiwe gani?" Mzee akauliza. "Jiwe hili," Mbweha akajibu. "Wewe ulikuwa wapi?" Mzee akauliza. "Nilikuwa hapa," Mbweha akasema huku akijilaza chini. Mzee alimtazama Sungura kisha akasema, "Wewe ni Sungura mdogo tu na hafifu. Siamini kuwa uliweza kulisongeza jiwe kubwa kama hili." "Lakini nililisongeza!" Sungura alilia. "Hebu nionyeshe," Mzee akasema. Sungura alisukuma akasukuma. Jiwe likaungukia mguu wa Mbweha tena. Mzee akauliza, "Hivi ndivyo ulivyompata Mbweha?" Sungura akaitikia kwa kichwa. Mzee akamwuliza Mbweha, "Je, Sungura alikupata katika hali hii?" Mbweha aliitikia kwa kichwa. Mzee akasema, "Vizuri. Hii ndiyo haki. Sungura, kimbia nenda zako nyumbani. Nami pia ninakwenda nyumbani." Basi, Mzee na Sungura wakaondoka. Wakamwacha Mbweha asiye na shukrani peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Sungura Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mzee na Sungura wakaondoka wakamwacha mbweha asiye na nini
{ "text": [ "shukrani" ] }
2299_swa
Mbweha na Sungura Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbweha aliyekuwa na njaa. Alijaribu kumshika panya, lakini panya alitoroka. Alijaribu kumfukuza kichakuro, lakini kichakuro pia alikimbia na kupanda juu ya mti. Kisha Mbweha akamwona panya mdogo aliyenona. Akawaza, "Huyu anafaa kuliwa." Panya alipomwona Mbweha, alikimbilia chini ya jiwe, akaruka shimoni mwake. Mbweha akawaza, "Ni lazima nichimbe nikamtoe panya huyu shimoni." Mbweha alikimbilia chini ya jiwe hilo kubwa akaanza kuchimba. Alichimba ndani zaidi hata jiwe likamwangukia mguuni. Alishindwa kuutoa mguu wake chini ya jiwe. Akapiga mayowe, "Nimenaswa! Nisaidie! Nisaidie!" Sungura alipomsikia Mbweha akilia, alikimbia na kumwuliza, "Una nini?" Mbweha akamjibu, "Nilikuwa nikiwinda panya kisha jiwe likaniangukia mguuni. Tafadhali mpendwa Sungura, nisaidie!" Sungura alimjibu, "Mmmh! Ningependa sana kukusaidia lakini, mimi ni mdogo na hafifu na jiwe hili ni kubwa. Itakuwa vigumu kwangu. Je, utanipa nini nikikusaidia?" Mbweha alilia aksema, "Jioni nitakupikia mlo uupendao. Utakula chakula kitamu kuliko vyote duniani." Sungura alimjibu, "Sawa, nitajaribu kukusaidia." Sungura alilisukuma jiwe, lakini, halikusonga hata kidogo. Akalisukuma tena na tena hadi likauondokea mguu wa Mbweha. Sungura akafurahi. Sungura akasema, "Nipe zawadi yangu." Mbweha akamwuliza, "Zawadi gani? Umenona na unatamanika." Sungura akamwuliza, "Si nimekusaidia? Wawezaje kutaka kunila?" Mbweha akajibu, "Mbweha hula sungura. Usibishane nami." Sungura akasema, "Hiyo si haki. Tuwatafute wazee watupe mawaidha yao." Sungura na Mbweha walimpata mzee mmoja. Sungura akasema, "Tafadhali tusaidie. Mbweha anataka kunila ilhali niliyaokoa maisha yake. Jiwe lilikuwa limemwangukia mguuni na hangeweza kujitoa. Aliniahidi chakula kitamu cha jioni. Nami nikalisukuma jiwe na kuliondoa mguuni pake. Sasa ameisahau ahadi yake." "Si sawa. Mbweha, kwani huna shukurani? Mwache Sungura aende zake," Mzee alinena. Mbweha alikifungua kinywa chake akamwonyesha Mzee meno yake marefu na makali. Kisha akasema, "Hapana! Sitamwachilia aende. Na usijaribu kunizuia au nitakukula wewe pia." Mzee aliogopa sana akasema, "Tafadhali usinile. Labda, nimefanya uamuzi usio sawa. Unayoyasema ni kweli. Siwezi kuamua ilhali sikuliona jiwe. Je, ni nini hasa kilichofanyika?" "Hilo ni jambo rahisi. Twende nikuonyeshe," Mbweha akasema. Mzee alikwenda pamoja na Mbweha na Sungura kuliona jiwe. Kisha akamwuliza Mbweha, "Kwani ulikuwa unafanya nini?" Mbweha akaeleza, "Panya niliyekuwa nikimwinda alitorokea shimoni. Nilipokuwa nikilichimba shimo hilo, jiwe liliniangukia mguuni." "Jiwe gani?" Mzee akauliza. "Jiwe hili," Mbweha akajibu. "Wewe ulikuwa wapi?" Mzee akauliza. "Nilikuwa hapa," Mbweha akasema huku akijilaza chini. Mzee alimtazama Sungura kisha akasema, "Wewe ni Sungura mdogo tu na hafifu. Siamini kuwa uliweza kulisongeza jiwe kubwa kama hili." "Lakini nililisongeza!" Sungura alilia. "Hebu nionyeshe," Mzee akasema. Sungura alisukuma akasukuma. Jiwe likaungukia mguu wa Mbweha tena. Mzee akauliza, "Hivi ndivyo ulivyompata Mbweha?" Sungura akaitikia kwa kichwa. Mzee akamwuliza Mbweha, "Je, Sungura alikupata katika hali hii?" Mbweha aliitikia kwa kichwa. Mzee akasema, "Vizuri. Hii ndiyo haki. Sungura, kimbia nenda zako nyumbani. Nami pia ninakwenda nyumbani." Basi, Mzee na Sungura wakaondoka. Wakamwacha Mbweha asiye na shukrani peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mbweha na Sungura Author - Mohammed Kuyu and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mbona panya alitoroka
{ "text": [ "kwa sababu mbweha alijaribu kumshika " ] }
2301_swa
Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Kuna mvulana anayeitwa Rodney. Anaishi na familia yake. Mamake ni Jemima na babake ni Mike. Dada zake ni Suzy na Lola. Rodney ni kitinda mimba. Rodney anapenda kucheza mchezo wa chesi. Anaupenda sana hata anapokuwa akicheza, haongei. Siku moja, Rodney alikuwa shuleni akicheza chesi. Aligundua kwamba mchezo wa chesi ungelinganishwa na familia yake. Mike ni Mfalme. Jemima ni Malkia, ndiyo sababu ana nguvu. Suzy na Lola ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu ni mdogo kwa wote. Baada ya kugundua hivyo, Rodney alikwenda nyumbani mbio kuwaelezea familia yake. Mwanzoni, wote walimcheka. Lakini, baadaye walielewa. Rodney aliwaelezea majukumu yao na kwa nini yeye alikuwa kitunda. Rodney alimwambia mamake kuwa yeye ni malkia, na kwamba babake ni mfalme. Dada zake ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu anapenda kutalii! Angechagua kuwa chochote alichotaka, hata kama angejinyima vitu fulani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Author - Jamie Luketa Translation - African Storybook Illustration - Jamie Luketa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mvulana aliitwa nani
{ "text": [ "Rodney" ] }
2301_swa
Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Kuna mvulana anayeitwa Rodney. Anaishi na familia yake. Mamake ni Jemima na babake ni Mike. Dada zake ni Suzy na Lola. Rodney ni kitinda mimba. Rodney anapenda kucheza mchezo wa chesi. Anaupenda sana hata anapokuwa akicheza, haongei. Siku moja, Rodney alikuwa shuleni akicheza chesi. Aligundua kwamba mchezo wa chesi ungelinganishwa na familia yake. Mike ni Mfalme. Jemima ni Malkia, ndiyo sababu ana nguvu. Suzy na Lola ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu ni mdogo kwa wote. Baada ya kugundua hivyo, Rodney alikwenda nyumbani mbio kuwaelezea familia yake. Mwanzoni, wote walimcheka. Lakini, baadaye walielewa. Rodney aliwaelezea majukumu yao na kwa nini yeye alikuwa kitunda. Rodney alimwambia mamake kuwa yeye ni malkia, na kwamba babake ni mfalme. Dada zake ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu anapenda kutalii! Angechagua kuwa chochote alichotaka, hata kama angejinyima vitu fulani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Author - Jamie Luketa Translation - African Storybook Illustration - Jamie Luketa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Rodney anapenda kucheza mchezo upi
{ "text": [ "Chesi" ] }
2301_swa
Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Kuna mvulana anayeitwa Rodney. Anaishi na familia yake. Mamake ni Jemima na babake ni Mike. Dada zake ni Suzy na Lola. Rodney ni kitinda mimba. Rodney anapenda kucheza mchezo wa chesi. Anaupenda sana hata anapokuwa akicheza, haongei. Siku moja, Rodney alikuwa shuleni akicheza chesi. Aligundua kwamba mchezo wa chesi ungelinganishwa na familia yake. Mike ni Mfalme. Jemima ni Malkia, ndiyo sababu ana nguvu. Suzy na Lola ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu ni mdogo kwa wote. Baada ya kugundua hivyo, Rodney alikwenda nyumbani mbio kuwaelezea familia yake. Mwanzoni, wote walimcheka. Lakini, baadaye walielewa. Rodney aliwaelezea majukumu yao na kwa nini yeye alikuwa kitunda. Rodney alimwambia mamake kuwa yeye ni malkia, na kwamba babake ni mfalme. Dada zake ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu anapenda kutalii! Angechagua kuwa chochote alichotaka, hata kama angejinyima vitu fulani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Author - Jamie Luketa Translation - African Storybook Illustration - Jamie Luketa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Rodney alimwambia mamake kuwa yeye ni nini
{ "text": [ "Malkia" ] }
2301_swa
Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Kuna mvulana anayeitwa Rodney. Anaishi na familia yake. Mamake ni Jemima na babake ni Mike. Dada zake ni Suzy na Lola. Rodney ni kitinda mimba. Rodney anapenda kucheza mchezo wa chesi. Anaupenda sana hata anapokuwa akicheza, haongei. Siku moja, Rodney alikuwa shuleni akicheza chesi. Aligundua kwamba mchezo wa chesi ungelinganishwa na familia yake. Mike ni Mfalme. Jemima ni Malkia, ndiyo sababu ana nguvu. Suzy na Lola ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu ni mdogo kwa wote. Baada ya kugundua hivyo, Rodney alikwenda nyumbani mbio kuwaelezea familia yake. Mwanzoni, wote walimcheka. Lakini, baadaye walielewa. Rodney aliwaelezea majukumu yao na kwa nini yeye alikuwa kitunda. Rodney alimwambia mamake kuwa yeye ni malkia, na kwamba babake ni mfalme. Dada zake ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu anapenda kutalii! Angechagua kuwa chochote alichotaka, hata kama angejinyima vitu fulani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Author - Jamie Luketa Translation - African Storybook Illustration - Jamie Luketa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Babake alikuwa nini
{ "text": [ "Mfalme" ] }
2301_swa
Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Kuna mvulana anayeitwa Rodney. Anaishi na familia yake. Mamake ni Jemima na babake ni Mike. Dada zake ni Suzy na Lola. Rodney ni kitinda mimba. Rodney anapenda kucheza mchezo wa chesi. Anaupenda sana hata anapokuwa akicheza, haongei. Siku moja, Rodney alikuwa shuleni akicheza chesi. Aligundua kwamba mchezo wa chesi ungelinganishwa na familia yake. Mike ni Mfalme. Jemima ni Malkia, ndiyo sababu ana nguvu. Suzy na Lola ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu ni mdogo kwa wote. Baada ya kugundua hivyo, Rodney alikwenda nyumbani mbio kuwaelezea familia yake. Mwanzoni, wote walimcheka. Lakini, baadaye walielewa. Rodney aliwaelezea majukumu yao na kwa nini yeye alikuwa kitunda. Rodney alimwambia mamake kuwa yeye ni malkia, na kwamba babake ni mfalme. Dada zake ni majamadari na maaskofu. Rodney ni kitunda kwa sababu anapenda kutalii! Angechagua kuwa chochote alichotaka, hata kama angejinyima vitu fulani. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchezo wa Chesi na majukumu ya familia Author - Jamie Luketa Translation - African Storybook Illustration - Jamie Luketa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Rodney ni kitinda mimba
{ "text": [ "Alipenda kutalii" ] }
2302_swa
Mchungaji Mchungaji hakuwa na nyasi za kuwalisha nguruwe, kondoo na mbuzi wake. Pia hakuwa na nafaka za kumlisha kuku. Vilevile hakuwa na zizi la kuwaweka mifgugo. Aliamua kuwauza ili wapate chakula na makazi bora. Alisema, "Ninaweza kuwauza kila mmoja robo." Lakini mnunuzi alitaka bei ya chini zaidi. Mnunuzi akasema, "Ninataka mbuzi peke yake." Mchungaji akajibu, "Wanyama hawa ni marafiki. Ningependa waishi pamoja." Basi Mchungaji akawauza kondoo, mbuzi na nguruwe kwa robo kila mmoja. Kisha akampatia mnunuzi kuku bila malipo. Alipokuwa akirudi nyumbani Mchungaji alikuwa na huzuni. Aligundua kwamba wale hawakuwa wanyama tu. Walikuwa marafiki zake pia. Alirudi akamrejeshea mnunuzi hela zake ili awachukue marafiki zake. "Wanyama hawa sasa ni wangu," mnunuzi alisema. "Sitaweza kukurudishia." Hata hivyo, mchungaji aliendelea kumsihi. "Nimegundua kwamba wao si wanyama tu bali ni marafiki zangu," mchungaji alisema. Mnunuzi aliuliza, "Mbona basi uliwauza?" Jirani aliwasikia wakibishana akasema, "Nenda ujenge zizi, utafute nyasi na nafaka. Halafu, unaweza kuwarejesha wanyama wako." Mchungaji aliwapenda sana wanyama wake. Alimrudishia mnunuzi hela zake. Aliwatengenezea zizi zuri akawapa nyasi na nafaka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchungaji Author - Beza Translation - Brigid Simiyu Illustration - Language - Kiswahili Level - First sentences © Bezawork Lindlöf 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbuzi, kondoo na nguruwe walifugwa na nani
{ "text": [ "Mchungaji" ] }
2302_swa
Mchungaji Mchungaji hakuwa na nyasi za kuwalisha nguruwe, kondoo na mbuzi wake. Pia hakuwa na nafaka za kumlisha kuku. Vilevile hakuwa na zizi la kuwaweka mifgugo. Aliamua kuwauza ili wapate chakula na makazi bora. Alisema, "Ninaweza kuwauza kila mmoja robo." Lakini mnunuzi alitaka bei ya chini zaidi. Mnunuzi akasema, "Ninataka mbuzi peke yake." Mchungaji akajibu, "Wanyama hawa ni marafiki. Ningependa waishi pamoja." Basi Mchungaji akawauza kondoo, mbuzi na nguruwe kwa robo kila mmoja. Kisha akampatia mnunuzi kuku bila malipo. Alipokuwa akirudi nyumbani Mchungaji alikuwa na huzuni. Aligundua kwamba wale hawakuwa wanyama tu. Walikuwa marafiki zake pia. Alirudi akamrejeshea mnunuzi hela zake ili awachukue marafiki zake. "Wanyama hawa sasa ni wangu," mnunuzi alisema. "Sitaweza kukurudishia." Hata hivyo, mchungaji aliendelea kumsihi. "Nimegundua kwamba wao si wanyama tu bali ni marafiki zangu," mchungaji alisema. Mnunuzi aliuliza, "Mbona basi uliwauza?" Jirani aliwasikia wakibishana akasema, "Nenda ujenge zizi, utafute nyasi na nafaka. Halafu, unaweza kuwarejesha wanyama wako." Mchungaji aliwapenda sana wanyama wake. Alimrudishia mnunuzi hela zake. Aliwatengenezea zizi zuri akawapa nyasi na nafaka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchungaji Author - Beza Translation - Brigid Simiyu Illustration - Language - Kiswahili Level - First sentences © Bezawork Lindlöf 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini mchungaji aliamua kuwauza wanyama wake na kuku
{ "text": [ "Hakukuwa na nyasi, zizi wala nafaka za kumlisha kuku" ] }
2302_swa
Mchungaji Mchungaji hakuwa na nyasi za kuwalisha nguruwe, kondoo na mbuzi wake. Pia hakuwa na nafaka za kumlisha kuku. Vilevile hakuwa na zizi la kuwaweka mifgugo. Aliamua kuwauza ili wapate chakula na makazi bora. Alisema, "Ninaweza kuwauza kila mmoja robo." Lakini mnunuzi alitaka bei ya chini zaidi. Mnunuzi akasema, "Ninataka mbuzi peke yake." Mchungaji akajibu, "Wanyama hawa ni marafiki. Ningependa waishi pamoja." Basi Mchungaji akawauza kondoo, mbuzi na nguruwe kwa robo kila mmoja. Kisha akampatia mnunuzi kuku bila malipo. Alipokuwa akirudi nyumbani Mchungaji alikuwa na huzuni. Aligundua kwamba wale hawakuwa wanyama tu. Walikuwa marafiki zake pia. Alirudi akamrejeshea mnunuzi hela zake ili awachukue marafiki zake. "Wanyama hawa sasa ni wangu," mnunuzi alisema. "Sitaweza kukurudishia." Hata hivyo, mchungaji aliendelea kumsihi. "Nimegundua kwamba wao si wanyama tu bali ni marafiki zangu," mchungaji alisema. Mnunuzi aliuliza, "Mbona basi uliwauza?" Jirani aliwasikia wakibishana akasema, "Nenda ujenge zizi, utafute nyasi na nafaka. Halafu, unaweza kuwarejesha wanyama wako." Mchungaji aliwapenda sana wanyama wake. Alimrudishia mnunuzi hela zake. Aliwatengenezea zizi zuri akawapa nyasi na nafaka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchungaji Author - Beza Translation - Brigid Simiyu Illustration - Language - Kiswahili Level - First sentences © Bezawork Lindlöf 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini mchungaji alitaka kurudishiwa wanyama wake
{ "text": [ "Yeye na wao walikuwa marafiki wa dhati" ] }
2302_swa
Mchungaji Mchungaji hakuwa na nyasi za kuwalisha nguruwe, kondoo na mbuzi wake. Pia hakuwa na nafaka za kumlisha kuku. Vilevile hakuwa na zizi la kuwaweka mifgugo. Aliamua kuwauza ili wapate chakula na makazi bora. Alisema, "Ninaweza kuwauza kila mmoja robo." Lakini mnunuzi alitaka bei ya chini zaidi. Mnunuzi akasema, "Ninataka mbuzi peke yake." Mchungaji akajibu, "Wanyama hawa ni marafiki. Ningependa waishi pamoja." Basi Mchungaji akawauza kondoo, mbuzi na nguruwe kwa robo kila mmoja. Kisha akampatia mnunuzi kuku bila malipo. Alipokuwa akirudi nyumbani Mchungaji alikuwa na huzuni. Aligundua kwamba wale hawakuwa wanyama tu. Walikuwa marafiki zake pia. Alirudi akamrejeshea mnunuzi hela zake ili awachukue marafiki zake. "Wanyama hawa sasa ni wangu," mnunuzi alisema. "Sitaweza kukurudishia." Hata hivyo, mchungaji aliendelea kumsihi. "Nimegundua kwamba wao si wanyama tu bali ni marafiki zangu," mchungaji alisema. Mnunuzi aliuliza, "Mbona basi uliwauza?" Jirani aliwasikia wakibishana akasema, "Nenda ujenge zizi, utafute nyasi na nafaka. Halafu, unaweza kuwarejesha wanyama wako." Mchungaji aliwapenda sana wanyama wake. Alimrudishia mnunuzi hela zake. Aliwatengenezea zizi zuri akawapa nyasi na nafaka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchungaji Author - Beza Translation - Brigid Simiyu Illustration - Language - Kiswahili Level - First sentences © Bezawork Lindlöf 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mchungaji aliambiwa kujenga nini ili arudishiwe wanyama wake
{ "text": [ "Zizi zuri" ] }
2302_swa
Mchungaji Mchungaji hakuwa na nyasi za kuwalisha nguruwe, kondoo na mbuzi wake. Pia hakuwa na nafaka za kumlisha kuku. Vilevile hakuwa na zizi la kuwaweka mifgugo. Aliamua kuwauza ili wapate chakula na makazi bora. Alisema, "Ninaweza kuwauza kila mmoja robo." Lakini mnunuzi alitaka bei ya chini zaidi. Mnunuzi akasema, "Ninataka mbuzi peke yake." Mchungaji akajibu, "Wanyama hawa ni marafiki. Ningependa waishi pamoja." Basi Mchungaji akawauza kondoo, mbuzi na nguruwe kwa robo kila mmoja. Kisha akampatia mnunuzi kuku bila malipo. Alipokuwa akirudi nyumbani Mchungaji alikuwa na huzuni. Aligundua kwamba wale hawakuwa wanyama tu. Walikuwa marafiki zake pia. Alirudi akamrejeshea mnunuzi hela zake ili awachukue marafiki zake. "Wanyama hawa sasa ni wangu," mnunuzi alisema. "Sitaweza kukurudishia." Hata hivyo, mchungaji aliendelea kumsihi. "Nimegundua kwamba wao si wanyama tu bali ni marafiki zangu," mchungaji alisema. Mnunuzi aliuliza, "Mbona basi uliwauza?" Jirani aliwasikia wakibishana akasema, "Nenda ujenge zizi, utafute nyasi na nafaka. Halafu, unaweza kuwarejesha wanyama wako." Mchungaji aliwapenda sana wanyama wake. Alimrudishia mnunuzi hela zake. Aliwatengenezea zizi zuri akawapa nyasi na nafaka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mchungaji Author - Beza Translation - Brigid Simiyu Illustration - Language - Kiswahili Level - First sentences © Bezawork Lindlöf 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mchungaji aliwauza wanyama hawa kila mmoja kwa kiasi kipi
{ "text": [ "Robo" ] }
2303_swa
Mdiria na bahari Kuliishi mfalme katika Kisiwa cha Rusinga. Mfalme huyo hakuwa amehisi maumivu maishani mwake. Hakuwahi hata dakika moja. Asubuhi moja mfalme alikiinamisha kichwa chake. Aliwaza namna maumivu yanavyokuwa. "Kuna watu wengi maskini katika ufalme wangu. Nitawezaje kuhisi maumivu yao?" alijiuliza. Mchana na usiku, alitamani kuhisi maumivu angalu mara moja tu. Usiku mmoja, aliota ndoto akasikia sauti ikisema, "Nimesikia matakwa yako. Utahisi maumivu." Sauti hiyo iliendelea, "Yajenge mashua kubwa saba ambamo utaweka mali na familia yako. Kisha safiri ukielekea upande wa kaskazini mwa Kisiwa cha Rusinga." Mfalme alifurahi sana. Muda mfupi baadaye, mashua saba yalijengwa na wakawa tayari kusafiri. Siku moja kabla ya safari, mfalme aliandaa sherehe. Kila mmoja alihudhuria. Chui, nyoka, sungura, konokono, ndege na hata siafu, wote walifika kwa sherehe. Mfalme aliwahotubia watu, "Mimi na familia yangu tunaondoka kwenda sehemu tofauti ya Kisiwa cha Rusinga. Tunataka kuhisi maumivu ambayo watu wengine huhisi." Watu walinong'onezana miongoni mwao. Wazee hawakumwamini. Lakini, ni nani angemhoji mfalme? Siku iliyofuata, mfalme na familia yake walisafiri. Kwa siku mbili, mashua yalipita majini. Anga lilikuwa wazi, bahari ilitulia na safari ilifurahisha. Lakini siku ya tatu, bahari ilichafuka. Anga lilibadilika likatanda mawingu. Walikumbwa na dhoruba kubwa. Mashua yalizama. Mfalme hakuweza kufanya lolote. Familia na mali yake ilipotelea baharini. Mfalme pekee alinusurika. Lakini, alikuwa amebadilika na kuwa mdiria. Mdiria aliruka akatua ukingoni mwa bahari. Alikuwa bado akitumaini kuipata familia na mali yake kutoka baharini. Mdiria alipiga mbizi baharini mara nyingi. Hakuweza kuiokoa familia yake au hata baadhi ya mali yake. "Kama ningejua, ningeyafurahia maisha yangu yalivyokuwa," alilia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mdiria na bahari Author - Peter Omoko Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mfalme hakuwa amehisi nini maishani mwake
{ "text": [ "maumivu" ] }
2303_swa
Mdiria na bahari Kuliishi mfalme katika Kisiwa cha Rusinga. Mfalme huyo hakuwa amehisi maumivu maishani mwake. Hakuwahi hata dakika moja. Asubuhi moja mfalme alikiinamisha kichwa chake. Aliwaza namna maumivu yanavyokuwa. "Kuna watu wengi maskini katika ufalme wangu. Nitawezaje kuhisi maumivu yao?" alijiuliza. Mchana na usiku, alitamani kuhisi maumivu angalu mara moja tu. Usiku mmoja, aliota ndoto akasikia sauti ikisema, "Nimesikia matakwa yako. Utahisi maumivu." Sauti hiyo iliendelea, "Yajenge mashua kubwa saba ambamo utaweka mali na familia yako. Kisha safiri ukielekea upande wa kaskazini mwa Kisiwa cha Rusinga." Mfalme alifurahi sana. Muda mfupi baadaye, mashua saba yalijengwa na wakawa tayari kusafiri. Siku moja kabla ya safari, mfalme aliandaa sherehe. Kila mmoja alihudhuria. Chui, nyoka, sungura, konokono, ndege na hata siafu, wote walifika kwa sherehe. Mfalme aliwahotubia watu, "Mimi na familia yangu tunaondoka kwenda sehemu tofauti ya Kisiwa cha Rusinga. Tunataka kuhisi maumivu ambayo watu wengine huhisi." Watu walinong'onezana miongoni mwao. Wazee hawakumwamini. Lakini, ni nani angemhoji mfalme? Siku iliyofuata, mfalme na familia yake walisafiri. Kwa siku mbili, mashua yalipita majini. Anga lilikuwa wazi, bahari ilitulia na safari ilifurahisha. Lakini siku ya tatu, bahari ilichafuka. Anga lilibadilika likatanda mawingu. Walikumbwa na dhoruba kubwa. Mashua yalizama. Mfalme hakuweza kufanya lolote. Familia na mali yake ilipotelea baharini. Mfalme pekee alinusurika. Lakini, alikuwa amebadilika na kuwa mdiria. Mdiria aliruka akatua ukingoni mwa bahari. Alikuwa bado akitumaini kuipata familia na mali yake kutoka baharini. Mdiria alipiga mbizi baharini mara nyingi. Hakuweza kuiokoa familia yake au hata baadhi ya mali yake. "Kama ningejua, ningeyafurahia maisha yangu yalivyokuwa," alilia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mdiria na bahari Author - Peter Omoko Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Siku moja kabla ya safari mfalme alifanya nini
{ "text": [ "aliandaa sherehe" ] }
2303_swa
Mdiria na bahari Kuliishi mfalme katika Kisiwa cha Rusinga. Mfalme huyo hakuwa amehisi maumivu maishani mwake. Hakuwahi hata dakika moja. Asubuhi moja mfalme alikiinamisha kichwa chake. Aliwaza namna maumivu yanavyokuwa. "Kuna watu wengi maskini katika ufalme wangu. Nitawezaje kuhisi maumivu yao?" alijiuliza. Mchana na usiku, alitamani kuhisi maumivu angalu mara moja tu. Usiku mmoja, aliota ndoto akasikia sauti ikisema, "Nimesikia matakwa yako. Utahisi maumivu." Sauti hiyo iliendelea, "Yajenge mashua kubwa saba ambamo utaweka mali na familia yako. Kisha safiri ukielekea upande wa kaskazini mwa Kisiwa cha Rusinga." Mfalme alifurahi sana. Muda mfupi baadaye, mashua saba yalijengwa na wakawa tayari kusafiri. Siku moja kabla ya safari, mfalme aliandaa sherehe. Kila mmoja alihudhuria. Chui, nyoka, sungura, konokono, ndege na hata siafu, wote walifika kwa sherehe. Mfalme aliwahotubia watu, "Mimi na familia yangu tunaondoka kwenda sehemu tofauti ya Kisiwa cha Rusinga. Tunataka kuhisi maumivu ambayo watu wengine huhisi." Watu walinong'onezana miongoni mwao. Wazee hawakumwamini. Lakini, ni nani angemhoji mfalme? Siku iliyofuata, mfalme na familia yake walisafiri. Kwa siku mbili, mashua yalipita majini. Anga lilikuwa wazi, bahari ilitulia na safari ilifurahisha. Lakini siku ya tatu, bahari ilichafuka. Anga lilibadilika likatanda mawingu. Walikumbwa na dhoruba kubwa. Mashua yalizama. Mfalme hakuweza kufanya lolote. Familia na mali yake ilipotelea baharini. Mfalme pekee alinusurika. Lakini, alikuwa amebadilika na kuwa mdiria. Mdiria aliruka akatua ukingoni mwa bahari. Alikuwa bado akitumaini kuipata familia na mali yake kutoka baharini. Mdiria alipiga mbizi baharini mara nyingi. Hakuweza kuiokoa familia yake au hata baadhi ya mali yake. "Kama ningejua, ningeyafurahia maisha yangu yalivyokuwa," alilia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mdiria na bahari Author - Peter Omoko Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini kilifanya mfalme na familia yake kuondoka
{ "text": [ "walitaka kuhisi maumivu" ] }
2303_swa
Mdiria na bahari Kuliishi mfalme katika Kisiwa cha Rusinga. Mfalme huyo hakuwa amehisi maumivu maishani mwake. Hakuwahi hata dakika moja. Asubuhi moja mfalme alikiinamisha kichwa chake. Aliwaza namna maumivu yanavyokuwa. "Kuna watu wengi maskini katika ufalme wangu. Nitawezaje kuhisi maumivu yao?" alijiuliza. Mchana na usiku, alitamani kuhisi maumivu angalu mara moja tu. Usiku mmoja, aliota ndoto akasikia sauti ikisema, "Nimesikia matakwa yako. Utahisi maumivu." Sauti hiyo iliendelea, "Yajenge mashua kubwa saba ambamo utaweka mali na familia yako. Kisha safiri ukielekea upande wa kaskazini mwa Kisiwa cha Rusinga." Mfalme alifurahi sana. Muda mfupi baadaye, mashua saba yalijengwa na wakawa tayari kusafiri. Siku moja kabla ya safari, mfalme aliandaa sherehe. Kila mmoja alihudhuria. Chui, nyoka, sungura, konokono, ndege na hata siafu, wote walifika kwa sherehe. Mfalme aliwahotubia watu, "Mimi na familia yangu tunaondoka kwenda sehemu tofauti ya Kisiwa cha Rusinga. Tunataka kuhisi maumivu ambayo watu wengine huhisi." Watu walinong'onezana miongoni mwao. Wazee hawakumwamini. Lakini, ni nani angemhoji mfalme? Siku iliyofuata, mfalme na familia yake walisafiri. Kwa siku mbili, mashua yalipita majini. Anga lilikuwa wazi, bahari ilitulia na safari ilifurahisha. Lakini siku ya tatu, bahari ilichafuka. Anga lilibadilika likatanda mawingu. Walikumbwa na dhoruba kubwa. Mashua yalizama. Mfalme hakuweza kufanya lolote. Familia na mali yake ilipotelea baharini. Mfalme pekee alinusurika. Lakini, alikuwa amebadilika na kuwa mdiria. Mdiria aliruka akatua ukingoni mwa bahari. Alikuwa bado akitumaini kuipata familia na mali yake kutoka baharini. Mdiria alipiga mbizi baharini mara nyingi. Hakuweza kuiokoa familia yake au hata baadhi ya mali yake. "Kama ningejua, ningeyafurahia maisha yangu yalivyokuwa," alilia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mdiria na bahari Author - Peter Omoko Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni lini mfalme alisikia sauti ikimwambia kwamba atahisi maumivu
{ "text": [ "alipoota ndoto usiku" ] }
2303_swa
Mdiria na bahari Kuliishi mfalme katika Kisiwa cha Rusinga. Mfalme huyo hakuwa amehisi maumivu maishani mwake. Hakuwahi hata dakika moja. Asubuhi moja mfalme alikiinamisha kichwa chake. Aliwaza namna maumivu yanavyokuwa. "Kuna watu wengi maskini katika ufalme wangu. Nitawezaje kuhisi maumivu yao?" alijiuliza. Mchana na usiku, alitamani kuhisi maumivu angalu mara moja tu. Usiku mmoja, aliota ndoto akasikia sauti ikisema, "Nimesikia matakwa yako. Utahisi maumivu." Sauti hiyo iliendelea, "Yajenge mashua kubwa saba ambamo utaweka mali na familia yako. Kisha safiri ukielekea upande wa kaskazini mwa Kisiwa cha Rusinga." Mfalme alifurahi sana. Muda mfupi baadaye, mashua saba yalijengwa na wakawa tayari kusafiri. Siku moja kabla ya safari, mfalme aliandaa sherehe. Kila mmoja alihudhuria. Chui, nyoka, sungura, konokono, ndege na hata siafu, wote walifika kwa sherehe. Mfalme aliwahotubia watu, "Mimi na familia yangu tunaondoka kwenda sehemu tofauti ya Kisiwa cha Rusinga. Tunataka kuhisi maumivu ambayo watu wengine huhisi." Watu walinong'onezana miongoni mwao. Wazee hawakumwamini. Lakini, ni nani angemhoji mfalme? Siku iliyofuata, mfalme na familia yake walisafiri. Kwa siku mbili, mashua yalipita majini. Anga lilikuwa wazi, bahari ilitulia na safari ilifurahisha. Lakini siku ya tatu, bahari ilichafuka. Anga lilibadilika likatanda mawingu. Walikumbwa na dhoruba kubwa. Mashua yalizama. Mfalme hakuweza kufanya lolote. Familia na mali yake ilipotelea baharini. Mfalme pekee alinusurika. Lakini, alikuwa amebadilika na kuwa mdiria. Mdiria aliruka akatua ukingoni mwa bahari. Alikuwa bado akitumaini kuipata familia na mali yake kutoka baharini. Mdiria alipiga mbizi baharini mara nyingi. Hakuweza kuiokoa familia yake au hata baadhi ya mali yake. "Kama ningejua, ningeyafurahia maisha yangu yalivyokuwa," alilia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mdiria na bahari Author - Peter Omoko Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini mfalme alisema kuwa angejua angefurahia maisha yake yalivyokua
{ "text": [ "hakuweza kuiokoa familia yake au mali yake" ] }
2308_swa
Mhogo na Mtende Hapo zamani, Mhogo na Mtende waliishi kijijini Koowa. Kama marafiki, walitembeleana kila siku. Walikuwa wakulima waliofanya kazi kwa bidii katika mashamba yao. Katika mwaka mmoja, kulikuwa na ukosefu wa mvua. Mimea yote ilikauka. Watu wakakosa chakula. Mhogo na Mtende waliamua kwenda kutafuta kazi katika kijiji tofauti. Wlimkuta mwanamke mmoja wakamsalimu, "Hujambo?" Aliitikia kisha akwauliza, "Mnakwenda wapi?" Mtende alimjibu, "Tunakwenda kutafuta kazi katika kijiji jirani." "Kazi gani mnayofanya?" Mwanamke yule aliuliza. Walijibu, "Tunaweza kuipa chakula familia yako na mifugo wako. Mwanamke alwauliza tena, "Mtahitaji nini kutupatia chakula hicho?" Walimjibu, "Tupe ardhi, maji na huduma nzuri." Mwanamke yule aliwapeleka nyumbani kwake. Alasiri moja, Mtende na Mhogo walibishana vikali. Mhogo alisema kuwa yeye alikuwa muhimu zaidi kuliko Mtende. Mtende naye akasema kuwa yeye alikuwa muhimu kuliko Mhogo. Mwanamke yule aliwasikia kutoka chumbani kwake. Alitoka nje na kwauliza, "Mbona mnabishana?" Mhogo alikuwa wa kwanza kuzungumza. "Mimi ni muhimu zaidi kuliko Mtende. Ninazaa mihogo mnayotumia kutengeneza fufu na unga wa mihogo." "Watu hupanda mashina yangu. Mifugo wenu hula majani na maganda yangu. Je, Mtende hufanya nini?" Mhogo aliuliza. Mtende alicheka, akatikisa kichwa chake kisha akasema, "Mwanamke wee, unaikumbuka supu ya tende unayofurahia sana? Hutoka kwa nani?" 10 "Mimi hutoa mafuta yanayotumiwa kukaanga samaki na nyama. Je, utawezaje kutayarisha kitoweo na mchuzi bila mafuta?" "Zaidi ya hayo, matawi yangu huezeka paa za vyumba vyenu na vibanda vya kupumzikia. Mnaburudika baada ya kazi kwa kuinywa kosha ninayotoa." "Isitoshe, fagio zinazotumiwa kufagia vyumba na uwanja wa nyumba zenu zinatoka kwangu," Mtende alimaliza kusema. "Hmmm!" Mwanamke alizusha pumzi. "Ni sawa marafiki, nimewasikia. Nitaitatua shida hii." "Ninyi nyote ni viumbe muhimu sana kwangu. Pamoja, mnatengeneza mlo mtamu wa fufu na supu ya tende!" mwanamke akasema. Mwanamke yule alitayarisha supu ya tende pamoja na fufu kutoka kwenye mihogo. Aliwaalika marafiki zake kula naye. Walifurahia chakula hicho sana. Tangu wakati huo, Mhogo na Mtende wamekuwa marafiki wakubwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mhogo na Mtende Author - Divine Apedo, Elizabeth Nkrumah and Georgina Abbey Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mhogo na Mtende waliishi katika kijiji kipi
{ "text": [ "Koowa" ] }
2308_swa
Mhogo na Mtende Hapo zamani, Mhogo na Mtende waliishi kijijini Koowa. Kama marafiki, walitembeleana kila siku. Walikuwa wakulima waliofanya kazi kwa bidii katika mashamba yao. Katika mwaka mmoja, kulikuwa na ukosefu wa mvua. Mimea yote ilikauka. Watu wakakosa chakula. Mhogo na Mtende waliamua kwenda kutafuta kazi katika kijiji tofauti. Wlimkuta mwanamke mmoja wakamsalimu, "Hujambo?" Aliitikia kisha akwauliza, "Mnakwenda wapi?" Mtende alimjibu, "Tunakwenda kutafuta kazi katika kijiji jirani." "Kazi gani mnayofanya?" Mwanamke yule aliuliza. Walijibu, "Tunaweza kuipa chakula familia yako na mifugo wako. Mwanamke alwauliza tena, "Mtahitaji nini kutupatia chakula hicho?" Walimjibu, "Tupe ardhi, maji na huduma nzuri." Mwanamke yule aliwapeleka nyumbani kwake. Alasiri moja, Mtende na Mhogo walibishana vikali. Mhogo alisema kuwa yeye alikuwa muhimu zaidi kuliko Mtende. Mtende naye akasema kuwa yeye alikuwa muhimu kuliko Mhogo. Mwanamke yule aliwasikia kutoka chumbani kwake. Alitoka nje na kwauliza, "Mbona mnabishana?" Mhogo alikuwa wa kwanza kuzungumza. "Mimi ni muhimu zaidi kuliko Mtende. Ninazaa mihogo mnayotumia kutengeneza fufu na unga wa mihogo." "Watu hupanda mashina yangu. Mifugo wenu hula majani na maganda yangu. Je, Mtende hufanya nini?" Mhogo aliuliza. Mtende alicheka, akatikisa kichwa chake kisha akasema, "Mwanamke wee, unaikumbuka supu ya tende unayofurahia sana? Hutoka kwa nani?" 10 "Mimi hutoa mafuta yanayotumiwa kukaanga samaki na nyama. Je, utawezaje kutayarisha kitoweo na mchuzi bila mafuta?" "Zaidi ya hayo, matawi yangu huezeka paa za vyumba vyenu na vibanda vya kupumzikia. Mnaburudika baada ya kazi kwa kuinywa kosha ninayotoa." "Isitoshe, fagio zinazotumiwa kufagia vyumba na uwanja wa nyumba zenu zinatoka kwangu," Mtende alimaliza kusema. "Hmmm!" Mwanamke alizusha pumzi. "Ni sawa marafiki, nimewasikia. Nitaitatua shida hii." "Ninyi nyote ni viumbe muhimu sana kwangu. Pamoja, mnatengeneza mlo mtamu wa fufu na supu ya tende!" mwanamke akasema. Mwanamke yule alitayarisha supu ya tende pamoja na fufu kutoka kwenye mihogo. Aliwaalika marafiki zake kula naye. Walifurahia chakula hicho sana. Tangu wakati huo, Mhogo na Mtende wamekuwa marafiki wakubwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mhogo na Mtende Author - Divine Apedo, Elizabeth Nkrumah and Georgina Abbey Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mtende na Mhogo walikuwa wanafanya kazi gani
{ "text": [ "Ukulima" ] }
2308_swa
Mhogo na Mtende Hapo zamani, Mhogo na Mtende waliishi kijijini Koowa. Kama marafiki, walitembeleana kila siku. Walikuwa wakulima waliofanya kazi kwa bidii katika mashamba yao. Katika mwaka mmoja, kulikuwa na ukosefu wa mvua. Mimea yote ilikauka. Watu wakakosa chakula. Mhogo na Mtende waliamua kwenda kutafuta kazi katika kijiji tofauti. Wlimkuta mwanamke mmoja wakamsalimu, "Hujambo?" Aliitikia kisha akwauliza, "Mnakwenda wapi?" Mtende alimjibu, "Tunakwenda kutafuta kazi katika kijiji jirani." "Kazi gani mnayofanya?" Mwanamke yule aliuliza. Walijibu, "Tunaweza kuipa chakula familia yako na mifugo wako. Mwanamke alwauliza tena, "Mtahitaji nini kutupatia chakula hicho?" Walimjibu, "Tupe ardhi, maji na huduma nzuri." Mwanamke yule aliwapeleka nyumbani kwake. Alasiri moja, Mtende na Mhogo walibishana vikali. Mhogo alisema kuwa yeye alikuwa muhimu zaidi kuliko Mtende. Mtende naye akasema kuwa yeye alikuwa muhimu kuliko Mhogo. Mwanamke yule aliwasikia kutoka chumbani kwake. Alitoka nje na kwauliza, "Mbona mnabishana?" Mhogo alikuwa wa kwanza kuzungumza. "Mimi ni muhimu zaidi kuliko Mtende. Ninazaa mihogo mnayotumia kutengeneza fufu na unga wa mihogo." "Watu hupanda mashina yangu. Mifugo wenu hula majani na maganda yangu. Je, Mtende hufanya nini?" Mhogo aliuliza. Mtende alicheka, akatikisa kichwa chake kisha akasema, "Mwanamke wee, unaikumbuka supu ya tende unayofurahia sana? Hutoka kwa nani?" 10 "Mimi hutoa mafuta yanayotumiwa kukaanga samaki na nyama. Je, utawezaje kutayarisha kitoweo na mchuzi bila mafuta?" "Zaidi ya hayo, matawi yangu huezeka paa za vyumba vyenu na vibanda vya kupumzikia. Mnaburudika baada ya kazi kwa kuinywa kosha ninayotoa." "Isitoshe, fagio zinazotumiwa kufagia vyumba na uwanja wa nyumba zenu zinatoka kwangu," Mtende alimaliza kusema. "Hmmm!" Mwanamke alizusha pumzi. "Ni sawa marafiki, nimewasikia. Nitaitatua shida hii." "Ninyi nyote ni viumbe muhimu sana kwangu. Pamoja, mnatengeneza mlo mtamu wa fufu na supu ya tende!" mwanamke akasema. Mwanamke yule alitayarisha supu ya tende pamoja na fufu kutoka kwenye mihogo. Aliwaalika marafiki zake kula naye. Walifurahia chakula hicho sana. Tangu wakati huo, Mhogo na Mtende wamekuwa marafiki wakubwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mhogo na Mtende Author - Divine Apedo, Elizabeth Nkrumah and Georgina Abbey Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mhogo na Mtende walikutana na nani walipokuwa safarini kwenda kijiji jirani kutafuta kazi
{ "text": [ "Mwanamke" ] }
2308_swa
Mhogo na Mtende Hapo zamani, Mhogo na Mtende waliishi kijijini Koowa. Kama marafiki, walitembeleana kila siku. Walikuwa wakulima waliofanya kazi kwa bidii katika mashamba yao. Katika mwaka mmoja, kulikuwa na ukosefu wa mvua. Mimea yote ilikauka. Watu wakakosa chakula. Mhogo na Mtende waliamua kwenda kutafuta kazi katika kijiji tofauti. Wlimkuta mwanamke mmoja wakamsalimu, "Hujambo?" Aliitikia kisha akwauliza, "Mnakwenda wapi?" Mtende alimjibu, "Tunakwenda kutafuta kazi katika kijiji jirani." "Kazi gani mnayofanya?" Mwanamke yule aliuliza. Walijibu, "Tunaweza kuipa chakula familia yako na mifugo wako. Mwanamke alwauliza tena, "Mtahitaji nini kutupatia chakula hicho?" Walimjibu, "Tupe ardhi, maji na huduma nzuri." Mwanamke yule aliwapeleka nyumbani kwake. Alasiri moja, Mtende na Mhogo walibishana vikali. Mhogo alisema kuwa yeye alikuwa muhimu zaidi kuliko Mtende. Mtende naye akasema kuwa yeye alikuwa muhimu kuliko Mhogo. Mwanamke yule aliwasikia kutoka chumbani kwake. Alitoka nje na kwauliza, "Mbona mnabishana?" Mhogo alikuwa wa kwanza kuzungumza. "Mimi ni muhimu zaidi kuliko Mtende. Ninazaa mihogo mnayotumia kutengeneza fufu na unga wa mihogo." "Watu hupanda mashina yangu. Mifugo wenu hula majani na maganda yangu. Je, Mtende hufanya nini?" Mhogo aliuliza. Mtende alicheka, akatikisa kichwa chake kisha akasema, "Mwanamke wee, unaikumbuka supu ya tende unayofurahia sana? Hutoka kwa nani?" 10 "Mimi hutoa mafuta yanayotumiwa kukaanga samaki na nyama. Je, utawezaje kutayarisha kitoweo na mchuzi bila mafuta?" "Zaidi ya hayo, matawi yangu huezeka paa za vyumba vyenu na vibanda vya kupumzikia. Mnaburudika baada ya kazi kwa kuinywa kosha ninayotoa." "Isitoshe, fagio zinazotumiwa kufagia vyumba na uwanja wa nyumba zenu zinatoka kwangu," Mtende alimaliza kusema. "Hmmm!" Mwanamke alizusha pumzi. "Ni sawa marafiki, nimewasikia. Nitaitatua shida hii." "Ninyi nyote ni viumbe muhimu sana kwangu. Pamoja, mnatengeneza mlo mtamu wa fufu na supu ya tende!" mwanamke akasema. Mwanamke yule alitayarisha supu ya tende pamoja na fufu kutoka kwenye mihogo. Aliwaalika marafiki zake kula naye. Walifurahia chakula hicho sana. Tangu wakati huo, Mhogo na Mtende wamekuwa marafiki wakubwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mhogo na Mtende Author - Divine Apedo, Elizabeth Nkrumah and Georgina Abbey Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Mhogo na Mtende walikuwa wanabishana
{ "text": [ " Kila mmoja alijiona wa muhimu kuliko mwengine" ] }
2308_swa
Mhogo na Mtende Hapo zamani, Mhogo na Mtende waliishi kijijini Koowa. Kama marafiki, walitembeleana kila siku. Walikuwa wakulima waliofanya kazi kwa bidii katika mashamba yao. Katika mwaka mmoja, kulikuwa na ukosefu wa mvua. Mimea yote ilikauka. Watu wakakosa chakula. Mhogo na Mtende waliamua kwenda kutafuta kazi katika kijiji tofauti. Wlimkuta mwanamke mmoja wakamsalimu, "Hujambo?" Aliitikia kisha akwauliza, "Mnakwenda wapi?" Mtende alimjibu, "Tunakwenda kutafuta kazi katika kijiji jirani." "Kazi gani mnayofanya?" Mwanamke yule aliuliza. Walijibu, "Tunaweza kuipa chakula familia yako na mifugo wako. Mwanamke alwauliza tena, "Mtahitaji nini kutupatia chakula hicho?" Walimjibu, "Tupe ardhi, maji na huduma nzuri." Mwanamke yule aliwapeleka nyumbani kwake. Alasiri moja, Mtende na Mhogo walibishana vikali. Mhogo alisema kuwa yeye alikuwa muhimu zaidi kuliko Mtende. Mtende naye akasema kuwa yeye alikuwa muhimu kuliko Mhogo. Mwanamke yule aliwasikia kutoka chumbani kwake. Alitoka nje na kwauliza, "Mbona mnabishana?" Mhogo alikuwa wa kwanza kuzungumza. "Mimi ni muhimu zaidi kuliko Mtende. Ninazaa mihogo mnayotumia kutengeneza fufu na unga wa mihogo." "Watu hupanda mashina yangu. Mifugo wenu hula majani na maganda yangu. Je, Mtende hufanya nini?" Mhogo aliuliza. Mtende alicheka, akatikisa kichwa chake kisha akasema, "Mwanamke wee, unaikumbuka supu ya tende unayofurahia sana? Hutoka kwa nani?" 10 "Mimi hutoa mafuta yanayotumiwa kukaanga samaki na nyama. Je, utawezaje kutayarisha kitoweo na mchuzi bila mafuta?" "Zaidi ya hayo, matawi yangu huezeka paa za vyumba vyenu na vibanda vya kupumzikia. Mnaburudika baada ya kazi kwa kuinywa kosha ninayotoa." "Isitoshe, fagio zinazotumiwa kufagia vyumba na uwanja wa nyumba zenu zinatoka kwangu," Mtende alimaliza kusema. "Hmmm!" Mwanamke alizusha pumzi. "Ni sawa marafiki, nimewasikia. Nitaitatua shida hii." "Ninyi nyote ni viumbe muhimu sana kwangu. Pamoja, mnatengeneza mlo mtamu wa fufu na supu ya tende!" mwanamke akasema. Mwanamke yule alitayarisha supu ya tende pamoja na fufu kutoka kwenye mihogo. Aliwaalika marafiki zake kula naye. Walifurahia chakula hicho sana. Tangu wakati huo, Mhogo na Mtende wamekuwa marafiki wakubwa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mhogo na Mtende Author - Divine Apedo, Elizabeth Nkrumah and Georgina Abbey Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Matawi ya Mtende yalitumika kufanya nini
{ "text": [ "Kuezeka paa za vyumba" ] }
2311_swa
Mke Mti Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyekuwa tajiri wa kila kitu. Alikuwa na shamba kubwa lenye rutuba, ng'ombe, na mbuzi. Lakini jinsi alivyozeeka ndivyo alivyohuzunika kwani hakuwa na mke. Siku moja alipokuwa chini ya mti, alipata wazo zuri sana. Aliona kuwa ikiwa hatapata mke, labda atajitengenezea mmoja. Alianza kazi ya kumchonga mke kutoka kwa gogo la mti. Alipomaliza kuchonga sanamu, aliyagusa macho nayo yakaanza kuona. Kisha aliipulizia pumzi sanamu ikawa hai. Akawa mwanamke mrembo zaidi ya wote aliowahi kuona. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba awe mkewe. Yule mume alimvisha kimori, shanga na mkufu wa kichwani, ishara kwamba alikuwa ameolewa. Kisha alimjengea nyumba akitumia matope na nyasi. "Ninakuomba kitu kimoja tu," mzee yule alisema. "Usimwambie mtu yeyote mahali ulikotoka." Lakini kabla ya kipindi kirefu, vijana kutoka kijiji jirani walianza kusema, "Inawezekanaje mzee kama huyu kumwoa msichana mrembo namna hii!" Basi wakaamua kumwiba msichana yule na kumpeleka kijijini kwao. Mkewe alipoibiwa, mzee huyo alihuzunika sana. Alihisi kwamba hangeishi bila mkewe. Akawaza, "Labda nikipata kitu chochote kutoka kwake, nitapata faraja." Aliwatuma njiwa wawili wakamtafute mkewe kisha wamwimbie na wampelekee kitu chochote kutoka kwa mkewe. Njiwa walipomwona, walimwimbia wimbo mtamu: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Aliwapa Kimori chake wakaruka, juu ya milima, juu ya mito, hadi wakarudi kwa mumewe. Mzee alipokea kimori akakiweka usoni mwake kwa furaha akapata faraja. Faraja hiyo haikudumu. Aliwatuma wale njiwa tena wakamwimbie mkewe: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Wakarudi wakiwa wamebeba mkufu uliokuwa ishara ya mwanamke aliyeolewa. Aliuchukua ule mkufu akapata faraja ya mke wake aliyekuwa katika kijiji cha watu wengine. Baada ya muda mfupi aliwaita njiwa tena akawatuma kwa mkewe tena wakamwimbie: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Turudishe kwa mumeo, Asije kukusahau. Walienda tena mara ya tatu wakatua mabegani mwake. Walipokuwa wakiimba, kila njiwa alikuwa akidona na kumng'oa jicho. Punde si punde, akageuka na kuwa sanamu. Miguu na mikono yake ilidondoka. Kichwa vilevile kilianguka. Akaanguka chini, pu! Mumewe alilisukuma lile gogo la sanamu mtoni. Akalisimamisha upande wa mizizi ukiwa majini. Na baada ya kupata maji na kupigwa na miale ya jua, lile gogo liliota majani tena kama zamani. Upepo unapovuma, majani yake hushusha pumzi kama vile mwanamke hushusha pumzi anapotamani kumwona mumewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mke Mti Author - Southern African Folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.youtube.com/watch?v=li8tkliflms
Hapo zamani paliishi mzee aliyekuwa tajiri wa nini
{ "text": [ "Kila kitu" ] }
2311_swa
Mke Mti Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyekuwa tajiri wa kila kitu. Alikuwa na shamba kubwa lenye rutuba, ng'ombe, na mbuzi. Lakini jinsi alivyozeeka ndivyo alivyohuzunika kwani hakuwa na mke. Siku moja alipokuwa chini ya mti, alipata wazo zuri sana. Aliona kuwa ikiwa hatapata mke, labda atajitengenezea mmoja. Alianza kazi ya kumchonga mke kutoka kwa gogo la mti. Alipomaliza kuchonga sanamu, aliyagusa macho nayo yakaanza kuona. Kisha aliipulizia pumzi sanamu ikawa hai. Akawa mwanamke mrembo zaidi ya wote aliowahi kuona. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba awe mkewe. Yule mume alimvisha kimori, shanga na mkufu wa kichwani, ishara kwamba alikuwa ameolewa. Kisha alimjengea nyumba akitumia matope na nyasi. "Ninakuomba kitu kimoja tu," mzee yule alisema. "Usimwambie mtu yeyote mahali ulikotoka." Lakini kabla ya kipindi kirefu, vijana kutoka kijiji jirani walianza kusema, "Inawezekanaje mzee kama huyu kumwoa msichana mrembo namna hii!" Basi wakaamua kumwiba msichana yule na kumpeleka kijijini kwao. Mkewe alipoibiwa, mzee huyo alihuzunika sana. Alihisi kwamba hangeishi bila mkewe. Akawaza, "Labda nikipata kitu chochote kutoka kwake, nitapata faraja." Aliwatuma njiwa wawili wakamtafute mkewe kisha wamwimbie na wampelekee kitu chochote kutoka kwa mkewe. Njiwa walipomwona, walimwimbia wimbo mtamu: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Aliwapa Kimori chake wakaruka, juu ya milima, juu ya mito, hadi wakarudi kwa mumewe. Mzee alipokea kimori akakiweka usoni mwake kwa furaha akapata faraja. Faraja hiyo haikudumu. Aliwatuma wale njiwa tena wakamwimbie mkewe: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Wakarudi wakiwa wamebeba mkufu uliokuwa ishara ya mwanamke aliyeolewa. Aliuchukua ule mkufu akapata faraja ya mke wake aliyekuwa katika kijiji cha watu wengine. Baada ya muda mfupi aliwaita njiwa tena akawatuma kwa mkewe tena wakamwimbie: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Turudishe kwa mumeo, Asije kukusahau. Walienda tena mara ya tatu wakatua mabegani mwake. Walipokuwa wakiimba, kila njiwa alikuwa akidona na kumng'oa jicho. Punde si punde, akageuka na kuwa sanamu. Miguu na mikono yake ilidondoka. Kichwa vilevile kilianguka. Akaanguka chini, pu! Mumewe alilisukuma lile gogo la sanamu mtoni. Akalisimamisha upande wa mizizi ukiwa majini. Na baada ya kupata maji na kupigwa na miale ya jua, lile gogo liliota majani tena kama zamani. Upepo unapovuma, majani yake hushusha pumzi kama vile mwanamke hushusha pumzi anapotamani kumwona mumewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mke Mti Author - Southern African Folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.youtube.com/watch?v=li8tkliflms
Alianza kazi ya nini
{ "text": [ "Kumchonga mke" ] }
2311_swa
Mke Mti Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyekuwa tajiri wa kila kitu. Alikuwa na shamba kubwa lenye rutuba, ng'ombe, na mbuzi. Lakini jinsi alivyozeeka ndivyo alivyohuzunika kwani hakuwa na mke. Siku moja alipokuwa chini ya mti, alipata wazo zuri sana. Aliona kuwa ikiwa hatapata mke, labda atajitengenezea mmoja. Alianza kazi ya kumchonga mke kutoka kwa gogo la mti. Alipomaliza kuchonga sanamu, aliyagusa macho nayo yakaanza kuona. Kisha aliipulizia pumzi sanamu ikawa hai. Akawa mwanamke mrembo zaidi ya wote aliowahi kuona. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba awe mkewe. Yule mume alimvisha kimori, shanga na mkufu wa kichwani, ishara kwamba alikuwa ameolewa. Kisha alimjengea nyumba akitumia matope na nyasi. "Ninakuomba kitu kimoja tu," mzee yule alisema. "Usimwambie mtu yeyote mahali ulikotoka." Lakini kabla ya kipindi kirefu, vijana kutoka kijiji jirani walianza kusema, "Inawezekanaje mzee kama huyu kumwoa msichana mrembo namna hii!" Basi wakaamua kumwiba msichana yule na kumpeleka kijijini kwao. Mkewe alipoibiwa, mzee huyo alihuzunika sana. Alihisi kwamba hangeishi bila mkewe. Akawaza, "Labda nikipata kitu chochote kutoka kwake, nitapata faraja." Aliwatuma njiwa wawili wakamtafute mkewe kisha wamwimbie na wampelekee kitu chochote kutoka kwa mkewe. Njiwa walipomwona, walimwimbia wimbo mtamu: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Aliwapa Kimori chake wakaruka, juu ya milima, juu ya mito, hadi wakarudi kwa mumewe. Mzee alipokea kimori akakiweka usoni mwake kwa furaha akapata faraja. Faraja hiyo haikudumu. Aliwatuma wale njiwa tena wakamwimbie mkewe: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Wakarudi wakiwa wamebeba mkufu uliokuwa ishara ya mwanamke aliyeolewa. Aliuchukua ule mkufu akapata faraja ya mke wake aliyekuwa katika kijiji cha watu wengine. Baada ya muda mfupi aliwaita njiwa tena akawatuma kwa mkewe tena wakamwimbie: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Turudishe kwa mumeo, Asije kukusahau. Walienda tena mara ya tatu wakatua mabegani mwake. Walipokuwa wakiimba, kila njiwa alikuwa akidona na kumng'oa jicho. Punde si punde, akageuka na kuwa sanamu. Miguu na mikono yake ilidondoka. Kichwa vilevile kilianguka. Akaanguka chini, pu! Mumewe alilisukuma lile gogo la sanamu mtoni. Akalisimamisha upande wa mizizi ukiwa majini. Na baada ya kupata maji na kupigwa na miale ya jua, lile gogo liliota majani tena kama zamani. Upepo unapovuma, majani yake hushusha pumzi kama vile mwanamke hushusha pumzi anapotamani kumwona mumewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mke Mti Author - Southern African Folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.youtube.com/watch?v=li8tkliflms
Kisha alimjengea nyumba akitumia nini
{ "text": [ "Matope na nyasi" ] }
2311_swa
Mke Mti Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyekuwa tajiri wa kila kitu. Alikuwa na shamba kubwa lenye rutuba, ng'ombe, na mbuzi. Lakini jinsi alivyozeeka ndivyo alivyohuzunika kwani hakuwa na mke. Siku moja alipokuwa chini ya mti, alipata wazo zuri sana. Aliona kuwa ikiwa hatapata mke, labda atajitengenezea mmoja. Alianza kazi ya kumchonga mke kutoka kwa gogo la mti. Alipomaliza kuchonga sanamu, aliyagusa macho nayo yakaanza kuona. Kisha aliipulizia pumzi sanamu ikawa hai. Akawa mwanamke mrembo zaidi ya wote aliowahi kuona. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba awe mkewe. Yule mume alimvisha kimori, shanga na mkufu wa kichwani, ishara kwamba alikuwa ameolewa. Kisha alimjengea nyumba akitumia matope na nyasi. "Ninakuomba kitu kimoja tu," mzee yule alisema. "Usimwambie mtu yeyote mahali ulikotoka." Lakini kabla ya kipindi kirefu, vijana kutoka kijiji jirani walianza kusema, "Inawezekanaje mzee kama huyu kumwoa msichana mrembo namna hii!" Basi wakaamua kumwiba msichana yule na kumpeleka kijijini kwao. Mkewe alipoibiwa, mzee huyo alihuzunika sana. Alihisi kwamba hangeishi bila mkewe. Akawaza, "Labda nikipata kitu chochote kutoka kwake, nitapata faraja." Aliwatuma njiwa wawili wakamtafute mkewe kisha wamwimbie na wampelekee kitu chochote kutoka kwa mkewe. Njiwa walipomwona, walimwimbia wimbo mtamu: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Aliwapa Kimori chake wakaruka, juu ya milima, juu ya mito, hadi wakarudi kwa mumewe. Mzee alipokea kimori akakiweka usoni mwake kwa furaha akapata faraja. Faraja hiyo haikudumu. Aliwatuma wale njiwa tena wakamwimbie mkewe: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Wakarudi wakiwa wamebeba mkufu uliokuwa ishara ya mwanamke aliyeolewa. Aliuchukua ule mkufu akapata faraja ya mke wake aliyekuwa katika kijiji cha watu wengine. Baada ya muda mfupi aliwaita njiwa tena akawatuma kwa mkewe tena wakamwimbie: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Turudishe kwa mumeo, Asije kukusahau. Walienda tena mara ya tatu wakatua mabegani mwake. Walipokuwa wakiimba, kila njiwa alikuwa akidona na kumng'oa jicho. Punde si punde, akageuka na kuwa sanamu. Miguu na mikono yake ilidondoka. Kichwa vilevile kilianguka. Akaanguka chini, pu! Mumewe alilisukuma lile gogo la sanamu mtoni. Akalisimamisha upande wa mizizi ukiwa majini. Na baada ya kupata maji na kupigwa na miale ya jua, lile gogo liliota majani tena kama zamani. Upepo unapovuma, majani yake hushusha pumzi kama vile mwanamke hushusha pumzi anapotamani kumwona mumewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mke Mti Author - Southern African Folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.youtube.com/watch?v=li8tkliflms
Aliwatuma njiwa wangapi
{ "text": [ "Wawili" ] }
2311_swa
Mke Mti Hapo zamani za kale, paliishi mzee aliyekuwa tajiri wa kila kitu. Alikuwa na shamba kubwa lenye rutuba, ng'ombe, na mbuzi. Lakini jinsi alivyozeeka ndivyo alivyohuzunika kwani hakuwa na mke. Siku moja alipokuwa chini ya mti, alipata wazo zuri sana. Aliona kuwa ikiwa hatapata mke, labda atajitengenezea mmoja. Alianza kazi ya kumchonga mke kutoka kwa gogo la mti. Alipomaliza kuchonga sanamu, aliyagusa macho nayo yakaanza kuona. Kisha aliipulizia pumzi sanamu ikawa hai. Akawa mwanamke mrembo zaidi ya wote aliowahi kuona. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba awe mkewe. Yule mume alimvisha kimori, shanga na mkufu wa kichwani, ishara kwamba alikuwa ameolewa. Kisha alimjengea nyumba akitumia matope na nyasi. "Ninakuomba kitu kimoja tu," mzee yule alisema. "Usimwambie mtu yeyote mahali ulikotoka." Lakini kabla ya kipindi kirefu, vijana kutoka kijiji jirani walianza kusema, "Inawezekanaje mzee kama huyu kumwoa msichana mrembo namna hii!" Basi wakaamua kumwiba msichana yule na kumpeleka kijijini kwao. Mkewe alipoibiwa, mzee huyo alihuzunika sana. Alihisi kwamba hangeishi bila mkewe. Akawaza, "Labda nikipata kitu chochote kutoka kwake, nitapata faraja." Aliwatuma njiwa wawili wakamtafute mkewe kisha wamwimbie na wampelekee kitu chochote kutoka kwa mkewe. Njiwa walipomwona, walimwimbia wimbo mtamu: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Aliwapa Kimori chake wakaruka, juu ya milima, juu ya mito, hadi wakarudi kwa mumewe. Mzee alipokea kimori akakiweka usoni mwake kwa furaha akapata faraja. Faraja hiyo haikudumu. Aliwatuma wale njiwa tena wakamwimbie mkewe: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Tukirudishe kwa mumeo, Asije akakusahau. Wakarudi wakiwa wamebeba mkufu uliokuwa ishara ya mwanamke aliyeolewa. Aliuchukua ule mkufu akapata faraja ya mke wake aliyekuwa katika kijiji cha watu wengine. Baada ya muda mfupi aliwaita njiwa tena akawatuma kwa mkewe tena wakamwimbie: Mke mti, mke mti, Mrembo kuliko wote, Tumetumwa na mumeo, Tunakujia kimori, Turudishe kwa mumeo, Asije kukusahau. Walienda tena mara ya tatu wakatua mabegani mwake. Walipokuwa wakiimba, kila njiwa alikuwa akidona na kumng'oa jicho. Punde si punde, akageuka na kuwa sanamu. Miguu na mikono yake ilidondoka. Kichwa vilevile kilianguka. Akaanguka chini, pu! Mumewe alilisukuma lile gogo la sanamu mtoni. Akalisimamisha upande wa mizizi ukiwa majini. Na baada ya kupata maji na kupigwa na miale ya jua, lile gogo liliota majani tena kama zamani. Upepo unapovuma, majani yake hushusha pumzi kama vile mwanamke hushusha pumzi anapotamani kumwona mumewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mke Mti Author - Southern African Folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.youtube.com/watch?v=li8tkliflms
Kwa nini mzee alihuzunika jinsi alivyozeeka
{ "text": [ "Kwa sababu hakuwa na mke" ] }
2313_swa
Mkeka wa Akai Akai alipokuwa mdogo, mamake alikuwa na mazoea ya kumlaza kwenye mkeka maridadi. Mkeka huo ulitengezwa na shangaziye Akai kwa majani ya mtende. Mkeka wa Akai ulikuwa na rangi za waridi, bluu na kijani kibichi. Ulikuwa tofauti na mikeka mingine aliyokuwa nayo mamake. Makazi ya kina Akai yalikuwa katika sehemu kavu, iliyojaa mawe na yenye joto. Kulikuwa na nge, buibui na nyoka pia. Akai hakuwahi kuumwa na viumbe hao hatari. "Huu mkeka wako wa kipekee hukukinga na hatari." Mamake alimwambia. Akai alikuwa mtoto mwerevu. Alijua mahali kilipokuwa kisima cha karibu. Vile vile alijua mahali ilipokuwa manyatta ya nyanyake. Mara kwa mara alienda kwa nyanyake kunywa maziwa ya ngamia. Siku moja, Akai aliondoka nyumbani kwenda kwa nyanyake. Alipotelea milimani, akaogopa. Aliamua kuketi chini ya mti wa edome kusubiri usaidizi. Muda mfupi baadaye, alilala akaota ndoto. Ndotoni, Akai alikuwa amelala kwenye mkeka wake kipekee. Bi kizee aliyefanana na nyanyake alikuwa akimchunga. Bi kizee huyo alitabasamu na kumpa maziwa. Akai alipounyoosha mkono wake kuyapokea, aliamka. Akai aliyafungua macho yake pole pole. Alitazama juu akamwona ndege mdogo wa rangi ya bluu kwenye tawi. Akai aliposimama, yule ndege alipapatisha mbawa zake kisha akamwongoza. Akai alimfuata. Akai alifika mahali penye njia panda. Yule ndege akakitupa kipande cha mkeka kilichofanana na ule wake. Akai alikichukua kipande hicho akakitazama kwa makini. Aliziona nyayo alizozifahamu kuwa za mamake. Baadaye, alikiona kisima walikochota maji. Akai hatimaye alifika nyumbani. Watu wote wa familia yake waliimba na kucheza kumkaribisha nyumbani. Walimchinjia mbuzi, wakachoma nyama na kusherehekea kurudi salama kwa mtoto wao. Akai aliukalia mkeka wake wa kipekee akila kipande kikubwa cha nyama. Akai alifurahi sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkeka wa Akai Author - Ursula Nafula Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Akai alipokuwa mdogo nani alikuwa na mazoea ya kumlaza kwenye mkeka
{ "text": [ "Mamake" ] }
2313_swa
Mkeka wa Akai Akai alipokuwa mdogo, mamake alikuwa na mazoea ya kumlaza kwenye mkeka maridadi. Mkeka huo ulitengezwa na shangaziye Akai kwa majani ya mtende. Mkeka wa Akai ulikuwa na rangi za waridi, bluu na kijani kibichi. Ulikuwa tofauti na mikeka mingine aliyokuwa nayo mamake. Makazi ya kina Akai yalikuwa katika sehemu kavu, iliyojaa mawe na yenye joto. Kulikuwa na nge, buibui na nyoka pia. Akai hakuwahi kuumwa na viumbe hao hatari. "Huu mkeka wako wa kipekee hukukinga na hatari." Mamake alimwambia. Akai alikuwa mtoto mwerevu. Alijua mahali kilipokuwa kisima cha karibu. Vile vile alijua mahali ilipokuwa manyatta ya nyanyake. Mara kwa mara alienda kwa nyanyake kunywa maziwa ya ngamia. Siku moja, Akai aliondoka nyumbani kwenda kwa nyanyake. Alipotelea milimani, akaogopa. Aliamua kuketi chini ya mti wa edome kusubiri usaidizi. Muda mfupi baadaye, alilala akaota ndoto. Ndotoni, Akai alikuwa amelala kwenye mkeka wake kipekee. Bi kizee aliyefanana na nyanyake alikuwa akimchunga. Bi kizee huyo alitabasamu na kumpa maziwa. Akai alipounyoosha mkono wake kuyapokea, aliamka. Akai aliyafungua macho yake pole pole. Alitazama juu akamwona ndege mdogo wa rangi ya bluu kwenye tawi. Akai aliposimama, yule ndege alipapatisha mbawa zake kisha akamwongoza. Akai alimfuata. Akai alifika mahali penye njia panda. Yule ndege akakitupa kipande cha mkeka kilichofanana na ule wake. Akai alikichukua kipande hicho akakitazama kwa makini. Aliziona nyayo alizozifahamu kuwa za mamake. Baadaye, alikiona kisima walikochota maji. Akai hatimaye alifika nyumbani. Watu wote wa familia yake waliimba na kucheza kumkaribisha nyumbani. Walimchinjia mbuzi, wakachoma nyama na kusherehekea kurudi salama kwa mtoto wao. Akai aliukalia mkeka wake wa kipekee akila kipande kikubwa cha nyama. Akai alifurahi sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkeka wa Akai Author - Ursula Nafula Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mkeka ulitengenezwa kwa majani ya nini
{ "text": [ "Mtende" ] }
2313_swa
Mkeka wa Akai Akai alipokuwa mdogo, mamake alikuwa na mazoea ya kumlaza kwenye mkeka maridadi. Mkeka huo ulitengezwa na shangaziye Akai kwa majani ya mtende. Mkeka wa Akai ulikuwa na rangi za waridi, bluu na kijani kibichi. Ulikuwa tofauti na mikeka mingine aliyokuwa nayo mamake. Makazi ya kina Akai yalikuwa katika sehemu kavu, iliyojaa mawe na yenye joto. Kulikuwa na nge, buibui na nyoka pia. Akai hakuwahi kuumwa na viumbe hao hatari. "Huu mkeka wako wa kipekee hukukinga na hatari." Mamake alimwambia. Akai alikuwa mtoto mwerevu. Alijua mahali kilipokuwa kisima cha karibu. Vile vile alijua mahali ilipokuwa manyatta ya nyanyake. Mara kwa mara alienda kwa nyanyake kunywa maziwa ya ngamia. Siku moja, Akai aliondoka nyumbani kwenda kwa nyanyake. Alipotelea milimani, akaogopa. Aliamua kuketi chini ya mti wa edome kusubiri usaidizi. Muda mfupi baadaye, alilala akaota ndoto. Ndotoni, Akai alikuwa amelala kwenye mkeka wake kipekee. Bi kizee aliyefanana na nyanyake alikuwa akimchunga. Bi kizee huyo alitabasamu na kumpa maziwa. Akai alipounyoosha mkono wake kuyapokea, aliamka. Akai aliyafungua macho yake pole pole. Alitazama juu akamwona ndege mdogo wa rangi ya bluu kwenye tawi. Akai aliposimama, yule ndege alipapatisha mbawa zake kisha akamwongoza. Akai alimfuata. Akai alifika mahali penye njia panda. Yule ndege akakitupa kipande cha mkeka kilichofanana na ule wake. Akai alikichukua kipande hicho akakitazama kwa makini. Aliziona nyayo alizozifahamu kuwa za mamake. Baadaye, alikiona kisima walikochota maji. Akai hatimaye alifika nyumbani. Watu wote wa familia yake waliimba na kucheza kumkaribisha nyumbani. Walimchinjia mbuzi, wakachoma nyama na kusherehekea kurudi salama kwa mtoto wao. Akai aliukalia mkeka wake wa kipekee akila kipande kikubwa cha nyama. Akai alifurahi sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkeka wa Akai Author - Ursula Nafula Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa mtoto mwerevu
{ "text": [ "Akai" ] }
2313_swa
Mkeka wa Akai Akai alipokuwa mdogo, mamake alikuwa na mazoea ya kumlaza kwenye mkeka maridadi. Mkeka huo ulitengezwa na shangaziye Akai kwa majani ya mtende. Mkeka wa Akai ulikuwa na rangi za waridi, bluu na kijani kibichi. Ulikuwa tofauti na mikeka mingine aliyokuwa nayo mamake. Makazi ya kina Akai yalikuwa katika sehemu kavu, iliyojaa mawe na yenye joto. Kulikuwa na nge, buibui na nyoka pia. Akai hakuwahi kuumwa na viumbe hao hatari. "Huu mkeka wako wa kipekee hukukinga na hatari." Mamake alimwambia. Akai alikuwa mtoto mwerevu. Alijua mahali kilipokuwa kisima cha karibu. Vile vile alijua mahali ilipokuwa manyatta ya nyanyake. Mara kwa mara alienda kwa nyanyake kunywa maziwa ya ngamia. Siku moja, Akai aliondoka nyumbani kwenda kwa nyanyake. Alipotelea milimani, akaogopa. Aliamua kuketi chini ya mti wa edome kusubiri usaidizi. Muda mfupi baadaye, alilala akaota ndoto. Ndotoni, Akai alikuwa amelala kwenye mkeka wake kipekee. Bi kizee aliyefanana na nyanyake alikuwa akimchunga. Bi kizee huyo alitabasamu na kumpa maziwa. Akai alipounyoosha mkono wake kuyapokea, aliamka. Akai aliyafungua macho yake pole pole. Alitazama juu akamwona ndege mdogo wa rangi ya bluu kwenye tawi. Akai aliposimama, yule ndege alipapatisha mbawa zake kisha akamwongoza. Akai alimfuata. Akai alifika mahali penye njia panda. Yule ndege akakitupa kipande cha mkeka kilichofanana na ule wake. Akai alikichukua kipande hicho akakitazama kwa makini. Aliziona nyayo alizozifahamu kuwa za mamake. Baadaye, alikiona kisima walikochota maji. Akai hatimaye alifika nyumbani. Watu wote wa familia yake waliimba na kucheza kumkaribisha nyumbani. Walimchinjia mbuzi, wakachoma nyama na kusherehekea kurudi salama kwa mtoto wao. Akai aliukalia mkeka wake wa kipekee akila kipande kikubwa cha nyama. Akai alifurahi sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkeka wa Akai Author - Ursula Nafula Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Akai aliondoka nyumbani kwenda kwa nani
{ "text": [ "Nyanyake" ] }
2313_swa
Mkeka wa Akai Akai alipokuwa mdogo, mamake alikuwa na mazoea ya kumlaza kwenye mkeka maridadi. Mkeka huo ulitengezwa na shangaziye Akai kwa majani ya mtende. Mkeka wa Akai ulikuwa na rangi za waridi, bluu na kijani kibichi. Ulikuwa tofauti na mikeka mingine aliyokuwa nayo mamake. Makazi ya kina Akai yalikuwa katika sehemu kavu, iliyojaa mawe na yenye joto. Kulikuwa na nge, buibui na nyoka pia. Akai hakuwahi kuumwa na viumbe hao hatari. "Huu mkeka wako wa kipekee hukukinga na hatari." Mamake alimwambia. Akai alikuwa mtoto mwerevu. Alijua mahali kilipokuwa kisima cha karibu. Vile vile alijua mahali ilipokuwa manyatta ya nyanyake. Mara kwa mara alienda kwa nyanyake kunywa maziwa ya ngamia. Siku moja, Akai aliondoka nyumbani kwenda kwa nyanyake. Alipotelea milimani, akaogopa. Aliamua kuketi chini ya mti wa edome kusubiri usaidizi. Muda mfupi baadaye, alilala akaota ndoto. Ndotoni, Akai alikuwa amelala kwenye mkeka wake kipekee. Bi kizee aliyefanana na nyanyake alikuwa akimchunga. Bi kizee huyo alitabasamu na kumpa maziwa. Akai alipounyoosha mkono wake kuyapokea, aliamka. Akai aliyafungua macho yake pole pole. Alitazama juu akamwona ndege mdogo wa rangi ya bluu kwenye tawi. Akai aliposimama, yule ndege alipapatisha mbawa zake kisha akamwongoza. Akai alimfuata. Akai alifika mahali penye njia panda. Yule ndege akakitupa kipande cha mkeka kilichofanana na ule wake. Akai alikichukua kipande hicho akakitazama kwa makini. Aliziona nyayo alizozifahamu kuwa za mamake. Baadaye, alikiona kisima walikochota maji. Akai hatimaye alifika nyumbani. Watu wote wa familia yake waliimba na kucheza kumkaribisha nyumbani. Walimchinjia mbuzi, wakachoma nyama na kusherehekea kurudi salama kwa mtoto wao. Akai aliukalia mkeka wake wa kipekee akila kipande kikubwa cha nyama. Akai alifurahi sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkeka wa Akai Author - Ursula Nafula Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini watu wote wa familia yake waliimba
{ "text": [ "Ili kumkaribisha nyumbani" ] }
2314_swa
Mkoba uzungumzao Hapo zamani za kale aliishi jitu jike lililoitwa Motio. Siku moja lilipokuwa likitembea kando mwa ziwa liliwaona wasichana watatu, Lisa, Vera na Elsa. Likawauliza, "Ni nani kati yenu anayependwa na wazazi wote wawili?" Lisa alijibu kwanza, akasema, "Mamangu hunipenda zaidi." Vera naye akasema, "Babangu hunipenda zaidi." Elsa akasema, "Baba na mama wananipenda sawa." Motio alimwambia Elsa amfuate akamsaidie kuliinua tita la kuni. Elsa alimfuata Motio bila kuogopa. Walipotembea hatua chache, Elsa alimwuliza Motio, "Zi wapi kuni zako nikusaidie?" Motio akajibu, "Ziko karibu na ile miti." Walipofika hapo, Elsa akamwuliza Motio tena, "Zi wapi kuni zako?" Motio akajibu, "Haziko mbali kutoka hapa." Walipokuwa wakitembea, walikutana na mwanamume. Mwanamume huyo alimwuliza Motio, "Mtoto wako anaitwaje?" Motio akajibu, "Anaitwa Mkoba Uzungumzao." Elsa aliimba kwa sauti: Mimi kamwe si mkoba. Mkoba hauongei. Ninaitwa Elsa. Lo! Nyumbani, kuna Mama nimpendaye, Baba nimpendaye, Kata nilinywealo maziwa. Mwanamume huyo alipousikia wimbo wa Elsa, alimhurumia, akamwuliza amwelezee juu ya wazazi wake. Alimnusuru kutoka kwa Motio na kumrudisha kwa babake na mamake. Wazazi wake walimshukuru mwanamume huyo na wakaishi kwa furaha na mtoto wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkoba uzungumzao Author - Caroline Lentupuru Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jitu jike liliitwa nani
{ "text": [ "Motio" ] }
2314_swa
Mkoba uzungumzao Hapo zamani za kale aliishi jitu jike lililoitwa Motio. Siku moja lilipokuwa likitembea kando mwa ziwa liliwaona wasichana watatu, Lisa, Vera na Elsa. Likawauliza, "Ni nani kati yenu anayependwa na wazazi wote wawili?" Lisa alijibu kwanza, akasema, "Mamangu hunipenda zaidi." Vera naye akasema, "Babangu hunipenda zaidi." Elsa akasema, "Baba na mama wananipenda sawa." Motio alimwambia Elsa amfuate akamsaidie kuliinua tita la kuni. Elsa alimfuata Motio bila kuogopa. Walipotembea hatua chache, Elsa alimwuliza Motio, "Zi wapi kuni zako nikusaidie?" Motio akajibu, "Ziko karibu na ile miti." Walipofika hapo, Elsa akamwuliza Motio tena, "Zi wapi kuni zako?" Motio akajibu, "Haziko mbali kutoka hapa." Walipokuwa wakitembea, walikutana na mwanamume. Mwanamume huyo alimwuliza Motio, "Mtoto wako anaitwaje?" Motio akajibu, "Anaitwa Mkoba Uzungumzao." Elsa aliimba kwa sauti: Mimi kamwe si mkoba. Mkoba hauongei. Ninaitwa Elsa. Lo! Nyumbani, kuna Mama nimpendaye, Baba nimpendaye, Kata nilinywealo maziwa. Mwanamume huyo alipousikia wimbo wa Elsa, alimhurumia, akamwuliza amwelezee juu ya wazazi wake. Alimnusuru kutoka kwa Motio na kumrudisha kwa babake na mamake. Wazazi wake walimshukuru mwanamume huyo na wakaishi kwa furaha na mtoto wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkoba uzungumzao Author - Caroline Lentupuru Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Motio aliambia nani amfuate
{ "text": [ "Elsa" ] }
2314_swa
Mkoba uzungumzao Hapo zamani za kale aliishi jitu jike lililoitwa Motio. Siku moja lilipokuwa likitembea kando mwa ziwa liliwaona wasichana watatu, Lisa, Vera na Elsa. Likawauliza, "Ni nani kati yenu anayependwa na wazazi wote wawili?" Lisa alijibu kwanza, akasema, "Mamangu hunipenda zaidi." Vera naye akasema, "Babangu hunipenda zaidi." Elsa akasema, "Baba na mama wananipenda sawa." Motio alimwambia Elsa amfuate akamsaidie kuliinua tita la kuni. Elsa alimfuata Motio bila kuogopa. Walipotembea hatua chache, Elsa alimwuliza Motio, "Zi wapi kuni zako nikusaidie?" Motio akajibu, "Ziko karibu na ile miti." Walipofika hapo, Elsa akamwuliza Motio tena, "Zi wapi kuni zako?" Motio akajibu, "Haziko mbali kutoka hapa." Walipokuwa wakitembea, walikutana na mwanamume. Mwanamume huyo alimwuliza Motio, "Mtoto wako anaitwaje?" Motio akajibu, "Anaitwa Mkoba Uzungumzao." Elsa aliimba kwa sauti: Mimi kamwe si mkoba. Mkoba hauongei. Ninaitwa Elsa. Lo! Nyumbani, kuna Mama nimpendaye, Baba nimpendaye, Kata nilinywealo maziwa. Mwanamume huyo alipousikia wimbo wa Elsa, alimhurumia, akamwuliza amwelezee juu ya wazazi wake. Alimnusuru kutoka kwa Motio na kumrudisha kwa babake na mamake. Wazazi wake walimshukuru mwanamume huyo na wakaishi kwa furaha na mtoto wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkoba uzungumzao Author - Caroline Lentupuru Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Elsa na Motio walipokuwa wanatembea walikutana na nani
{ "text": [ " Mwanamume" ] }
2314_swa
Mkoba uzungumzao Hapo zamani za kale aliishi jitu jike lililoitwa Motio. Siku moja lilipokuwa likitembea kando mwa ziwa liliwaona wasichana watatu, Lisa, Vera na Elsa. Likawauliza, "Ni nani kati yenu anayependwa na wazazi wote wawili?" Lisa alijibu kwanza, akasema, "Mamangu hunipenda zaidi." Vera naye akasema, "Babangu hunipenda zaidi." Elsa akasema, "Baba na mama wananipenda sawa." Motio alimwambia Elsa amfuate akamsaidie kuliinua tita la kuni. Elsa alimfuata Motio bila kuogopa. Walipotembea hatua chache, Elsa alimwuliza Motio, "Zi wapi kuni zako nikusaidie?" Motio akajibu, "Ziko karibu na ile miti." Walipofika hapo, Elsa akamwuliza Motio tena, "Zi wapi kuni zako?" Motio akajibu, "Haziko mbali kutoka hapa." Walipokuwa wakitembea, walikutana na mwanamume. Mwanamume huyo alimwuliza Motio, "Mtoto wako anaitwaje?" Motio akajibu, "Anaitwa Mkoba Uzungumzao." Elsa aliimba kwa sauti: Mimi kamwe si mkoba. Mkoba hauongei. Ninaitwa Elsa. Lo! Nyumbani, kuna Mama nimpendaye, Baba nimpendaye, Kata nilinywealo maziwa. Mwanamume huyo alipousikia wimbo wa Elsa, alimhurumia, akamwuliza amwelezee juu ya wazazi wake. Alimnusuru kutoka kwa Motio na kumrudisha kwa babake na mamake. Wazazi wake walimshukuru mwanamume huyo na wakaishi kwa furaha na mtoto wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkoba uzungumzao Author - Caroline Lentupuru Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliimba kwa sauti
{ "text": [ "Elsa" ] }
2314_swa
Mkoba uzungumzao Hapo zamani za kale aliishi jitu jike lililoitwa Motio. Siku moja lilipokuwa likitembea kando mwa ziwa liliwaona wasichana watatu, Lisa, Vera na Elsa. Likawauliza, "Ni nani kati yenu anayependwa na wazazi wote wawili?" Lisa alijibu kwanza, akasema, "Mamangu hunipenda zaidi." Vera naye akasema, "Babangu hunipenda zaidi." Elsa akasema, "Baba na mama wananipenda sawa." Motio alimwambia Elsa amfuate akamsaidie kuliinua tita la kuni. Elsa alimfuata Motio bila kuogopa. Walipotembea hatua chache, Elsa alimwuliza Motio, "Zi wapi kuni zako nikusaidie?" Motio akajibu, "Ziko karibu na ile miti." Walipofika hapo, Elsa akamwuliza Motio tena, "Zi wapi kuni zako?" Motio akajibu, "Haziko mbali kutoka hapa." Walipokuwa wakitembea, walikutana na mwanamume. Mwanamume huyo alimwuliza Motio, "Mtoto wako anaitwaje?" Motio akajibu, "Anaitwa Mkoba Uzungumzao." Elsa aliimba kwa sauti: Mimi kamwe si mkoba. Mkoba hauongei. Ninaitwa Elsa. Lo! Nyumbani, kuna Mama nimpendaye, Baba nimpendaye, Kata nilinywealo maziwa. Mwanamume huyo alipousikia wimbo wa Elsa, alimhurumia, akamwuliza amwelezee juu ya wazazi wake. Alimnusuru kutoka kwa Motio na kumrudisha kwa babake na mamake. Wazazi wake walimshukuru mwanamume huyo na wakaishi kwa furaha na mtoto wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mkoba uzungumzao Author - Caroline Lentupuru Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini wazaazi wa Elsa walimshukuru mwanamume
{ "text": [ "Alimnusuru Elsa kutoka kwa Motio" ] }
2316_swa
Moto, Maji, Ukweli na Uongo Zamani, Moto, Maji, Ukweli na Uongo walikuwa marafiki. Uongo hakufurahia urafiki huo. Alitafuta njia ya kuuvunja. Siku moja Uongo alisema, "Tuitafute nchi huru ili kila mmoja wetu amiliki ufalme wake." Walikubaliana wakaanza kutafuta nchi huru. Uongo alimwambia Maji, "Moto ni adui yetu mkubwa. Yeye huunguza kila kitu. Tutafute ufalme ambako Moto hatakuweko." Maji akauliza, "Tutafanyaje?" Uongo akamjibu, "Ni wazi kwamba tutamuua. Ni wewe tu uliye na uwezo wa kufanya hivyo. Atakapokuwa ameketi chini, jimwagilie kwake umharibu!" Maji alisema, "Nikifanya hivyo nitaenea kila mahali. Sitaweza kujikusanya tena." Uongo alisema, "Hilo si tatizo. Nitayaweka mawe chini yakuzuie kuenea, kisha nitakukusanya tena." Uongo alifanya hivyo. Moto alipokuwa ameketi chini, Maji alijimwaga kwake bila Moto kujua. Kupitia njia hiyo, Uongo aliweza kumwangamiza Moto. Yeye na Maji waliendelea na safari yao. Baada ya muda, Uongo alimwambia Maji, "Hebu keti juu ya ukingo huu ili uyafurahie mandhari haya." Maji alipokuwa ameketi chini, Uongo aliyaondosha mawe yaliyomzingira. Maji alimwagika akatapakaa kila mahali. Huo ndio ulikuwa mwisho wake. Sasa Uongo alilazimika kumwangamiza Ukweli. Walipofika kwenye mlima mkubwa, Uongo alimweleza Ukweli asubiri chini ya mlima. Kisha Uongo akalisukuma jiwe kubwa kutoka juu kumwangamiza Ukweli. Jiwe lilipoporomoka chini, almasi, dhahabu na vito tofauti vya thamani vilipatikana. Ukweli aliweza kujivuta na kutoka chini ya jiwe lililokuwa limevunjika. Uongo alishuka chini kutazama mwili wa Ukweli. Badala yake, aliona vito vya thamani. Akauliza, "Vito hivi vimetoka wapi?" Ukweli alijibu, "Jiwe liliponiangukia, vito hivi vilimwagika." Uongo pia alitaka vito hivyo vya thamani. Alisema, "Nitaenda chini ya mlima nawe uende juu uliangushe jiwe jingine kubwa." Basi, Ukweli akapanda juu ya mlima akalisukuma chini lili jiwe kubwa. Jiwe hilo lilimwangukia Uongo kichwani. Akafa papo hapo. Hata hivyo, Uongo hubishana na Ukweli kila siku. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Moto, Maji, Ukweli na Uongo Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Ni nani alitaka kuvunja urafiki
{ "text": [ "Uongo" ] }
2316_swa
Moto, Maji, Ukweli na Uongo Zamani, Moto, Maji, Ukweli na Uongo walikuwa marafiki. Uongo hakufurahia urafiki huo. Alitafuta njia ya kuuvunja. Siku moja Uongo alisema, "Tuitafute nchi huru ili kila mmoja wetu amiliki ufalme wake." Walikubaliana wakaanza kutafuta nchi huru. Uongo alimwambia Maji, "Moto ni adui yetu mkubwa. Yeye huunguza kila kitu. Tutafute ufalme ambako Moto hatakuweko." Maji akauliza, "Tutafanyaje?" Uongo akamjibu, "Ni wazi kwamba tutamuua. Ni wewe tu uliye na uwezo wa kufanya hivyo. Atakapokuwa ameketi chini, jimwagilie kwake umharibu!" Maji alisema, "Nikifanya hivyo nitaenea kila mahali. Sitaweza kujikusanya tena." Uongo alisema, "Hilo si tatizo. Nitayaweka mawe chini yakuzuie kuenea, kisha nitakukusanya tena." Uongo alifanya hivyo. Moto alipokuwa ameketi chini, Maji alijimwaga kwake bila Moto kujua. Kupitia njia hiyo, Uongo aliweza kumwangamiza Moto. Yeye na Maji waliendelea na safari yao. Baada ya muda, Uongo alimwambia Maji, "Hebu keti juu ya ukingo huu ili uyafurahie mandhari haya." Maji alipokuwa ameketi chini, Uongo aliyaondosha mawe yaliyomzingira. Maji alimwagika akatapakaa kila mahali. Huo ndio ulikuwa mwisho wake. Sasa Uongo alilazimika kumwangamiza Ukweli. Walipofika kwenye mlima mkubwa, Uongo alimweleza Ukweli asubiri chini ya mlima. Kisha Uongo akalisukuma jiwe kubwa kutoka juu kumwangamiza Ukweli. Jiwe lilipoporomoka chini, almasi, dhahabu na vito tofauti vya thamani vilipatikana. Ukweli aliweza kujivuta na kutoka chini ya jiwe lililokuwa limevunjika. Uongo alishuka chini kutazama mwili wa Ukweli. Badala yake, aliona vito vya thamani. Akauliza, "Vito hivi vimetoka wapi?" Ukweli alijibu, "Jiwe liliponiangukia, vito hivi vilimwagika." Uongo pia alitaka vito hivyo vya thamani. Alisema, "Nitaenda chini ya mlima nawe uende juu uliangushe jiwe jingine kubwa." Basi, Ukweli akapanda juu ya mlima akalisukuma chini lili jiwe kubwa. Jiwe hilo lilimwangukia Uongo kichwani. Akafa papo hapo. Hata hivyo, Uongo hubishana na Ukweli kila siku. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Moto, Maji, Ukweli na Uongo Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Nani alisema watafute nchi huru
{ "text": [ "Uongo" ] }
2316_swa
Moto, Maji, Ukweli na Uongo Zamani, Moto, Maji, Ukweli na Uongo walikuwa marafiki. Uongo hakufurahia urafiki huo. Alitafuta njia ya kuuvunja. Siku moja Uongo alisema, "Tuitafute nchi huru ili kila mmoja wetu amiliki ufalme wake." Walikubaliana wakaanza kutafuta nchi huru. Uongo alimwambia Maji, "Moto ni adui yetu mkubwa. Yeye huunguza kila kitu. Tutafute ufalme ambako Moto hatakuweko." Maji akauliza, "Tutafanyaje?" Uongo akamjibu, "Ni wazi kwamba tutamuua. Ni wewe tu uliye na uwezo wa kufanya hivyo. Atakapokuwa ameketi chini, jimwagilie kwake umharibu!" Maji alisema, "Nikifanya hivyo nitaenea kila mahali. Sitaweza kujikusanya tena." Uongo alisema, "Hilo si tatizo. Nitayaweka mawe chini yakuzuie kuenea, kisha nitakukusanya tena." Uongo alifanya hivyo. Moto alipokuwa ameketi chini, Maji alijimwaga kwake bila Moto kujua. Kupitia njia hiyo, Uongo aliweza kumwangamiza Moto. Yeye na Maji waliendelea na safari yao. Baada ya muda, Uongo alimwambia Maji, "Hebu keti juu ya ukingo huu ili uyafurahie mandhari haya." Maji alipokuwa ameketi chini, Uongo aliyaondosha mawe yaliyomzingira. Maji alimwagika akatapakaa kila mahali. Huo ndio ulikuwa mwisho wake. Sasa Uongo alilazimika kumwangamiza Ukweli. Walipofika kwenye mlima mkubwa, Uongo alimweleza Ukweli asubiri chini ya mlima. Kisha Uongo akalisukuma jiwe kubwa kutoka juu kumwangamiza Ukweli. Jiwe lilipoporomoka chini, almasi, dhahabu na vito tofauti vya thamani vilipatikana. Ukweli aliweza kujivuta na kutoka chini ya jiwe lililokuwa limevunjika. Uongo alishuka chini kutazama mwili wa Ukweli. Badala yake, aliona vito vya thamani. Akauliza, "Vito hivi vimetoka wapi?" Ukweli alijibu, "Jiwe liliponiangukia, vito hivi vilimwagika." Uongo pia alitaka vito hivyo vya thamani. Alisema, "Nitaenda chini ya mlima nawe uende juu uliangushe jiwe jingine kubwa." Basi, Ukweli akapanda juu ya mlima akalisukuma chini lili jiwe kubwa. Jiwe hilo lilimwangukia Uongo kichwani. Akafa papo hapo. Hata hivyo, Uongo hubishana na Ukweli kila siku. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Moto, Maji, Ukweli na Uongo Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Ni nini Uongo alitaka Maji afanye kumwangamiza Moto
{ "text": [ "Maji ajimwagilie kwake" ] }
2316_swa
Moto, Maji, Ukweli na Uongo Zamani, Moto, Maji, Ukweli na Uongo walikuwa marafiki. Uongo hakufurahia urafiki huo. Alitafuta njia ya kuuvunja. Siku moja Uongo alisema, "Tuitafute nchi huru ili kila mmoja wetu amiliki ufalme wake." Walikubaliana wakaanza kutafuta nchi huru. Uongo alimwambia Maji, "Moto ni adui yetu mkubwa. Yeye huunguza kila kitu. Tutafute ufalme ambako Moto hatakuweko." Maji akauliza, "Tutafanyaje?" Uongo akamjibu, "Ni wazi kwamba tutamuua. Ni wewe tu uliye na uwezo wa kufanya hivyo. Atakapokuwa ameketi chini, jimwagilie kwake umharibu!" Maji alisema, "Nikifanya hivyo nitaenea kila mahali. Sitaweza kujikusanya tena." Uongo alisema, "Hilo si tatizo. Nitayaweka mawe chini yakuzuie kuenea, kisha nitakukusanya tena." Uongo alifanya hivyo. Moto alipokuwa ameketi chini, Maji alijimwaga kwake bila Moto kujua. Kupitia njia hiyo, Uongo aliweza kumwangamiza Moto. Yeye na Maji waliendelea na safari yao. Baada ya muda, Uongo alimwambia Maji, "Hebu keti juu ya ukingo huu ili uyafurahie mandhari haya." Maji alipokuwa ameketi chini, Uongo aliyaondosha mawe yaliyomzingira. Maji alimwagika akatapakaa kila mahali. Huo ndio ulikuwa mwisho wake. Sasa Uongo alilazimika kumwangamiza Ukweli. Walipofika kwenye mlima mkubwa, Uongo alimweleza Ukweli asubiri chini ya mlima. Kisha Uongo akalisukuma jiwe kubwa kutoka juu kumwangamiza Ukweli. Jiwe lilipoporomoka chini, almasi, dhahabu na vito tofauti vya thamani vilipatikana. Ukweli aliweza kujivuta na kutoka chini ya jiwe lililokuwa limevunjika. Uongo alishuka chini kutazama mwili wa Ukweli. Badala yake, aliona vito vya thamani. Akauliza, "Vito hivi vimetoka wapi?" Ukweli alijibu, "Jiwe liliponiangukia, vito hivi vilimwagika." Uongo pia alitaka vito hivyo vya thamani. Alisema, "Nitaenda chini ya mlima nawe uende juu uliangushe jiwe jingine kubwa." Basi, Ukweli akapanda juu ya mlima akalisukuma chini lili jiwe kubwa. Jiwe hilo lilimwangukia Uongo kichwani. Akafa papo hapo. Hata hivyo, Uongo hubishana na Ukweli kila siku. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Moto, Maji, Ukweli na Uongo Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Ni lini ndio ulikua mwisho wa Maji
{ "text": [ "Uongo alipoyaoondosha mawe" ] }
2316_swa
Moto, Maji, Ukweli na Uongo Zamani, Moto, Maji, Ukweli na Uongo walikuwa marafiki. Uongo hakufurahia urafiki huo. Alitafuta njia ya kuuvunja. Siku moja Uongo alisema, "Tuitafute nchi huru ili kila mmoja wetu amiliki ufalme wake." Walikubaliana wakaanza kutafuta nchi huru. Uongo alimwambia Maji, "Moto ni adui yetu mkubwa. Yeye huunguza kila kitu. Tutafute ufalme ambako Moto hatakuweko." Maji akauliza, "Tutafanyaje?" Uongo akamjibu, "Ni wazi kwamba tutamuua. Ni wewe tu uliye na uwezo wa kufanya hivyo. Atakapokuwa ameketi chini, jimwagilie kwake umharibu!" Maji alisema, "Nikifanya hivyo nitaenea kila mahali. Sitaweza kujikusanya tena." Uongo alisema, "Hilo si tatizo. Nitayaweka mawe chini yakuzuie kuenea, kisha nitakukusanya tena." Uongo alifanya hivyo. Moto alipokuwa ameketi chini, Maji alijimwaga kwake bila Moto kujua. Kupitia njia hiyo, Uongo aliweza kumwangamiza Moto. Yeye na Maji waliendelea na safari yao. Baada ya muda, Uongo alimwambia Maji, "Hebu keti juu ya ukingo huu ili uyafurahie mandhari haya." Maji alipokuwa ameketi chini, Uongo aliyaondosha mawe yaliyomzingira. Maji alimwagika akatapakaa kila mahali. Huo ndio ulikuwa mwisho wake. Sasa Uongo alilazimika kumwangamiza Ukweli. Walipofika kwenye mlima mkubwa, Uongo alimweleza Ukweli asubiri chini ya mlima. Kisha Uongo akalisukuma jiwe kubwa kutoka juu kumwangamiza Ukweli. Jiwe lilipoporomoka chini, almasi, dhahabu na vito tofauti vya thamani vilipatikana. Ukweli aliweza kujivuta na kutoka chini ya jiwe lililokuwa limevunjika. Uongo alishuka chini kutazama mwili wa Ukweli. Badala yake, aliona vito vya thamani. Akauliza, "Vito hivi vimetoka wapi?" Ukweli alijibu, "Jiwe liliponiangukia, vito hivi vilimwagika." Uongo pia alitaka vito hivyo vya thamani. Alisema, "Nitaenda chini ya mlima nawe uende juu uliangushe jiwe jingine kubwa." Basi, Ukweli akapanda juu ya mlima akalisukuma chini lili jiwe kubwa. Jiwe hilo lilimwangukia Uongo kichwani. Akafa papo hapo. Hata hivyo, Uongo hubishana na Ukweli kila siku. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Moto, Maji, Ukweli na Uongo Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kwa nini Uongo alimweleza Ukweli asubiri chini ya mlima
{ "text": [ "alitaka kumwangamiza Ukweli kwa kulisukuma jiwe kubwa kutoka juu" ] }
2319_swa
Msichana aliyenuka Bahati alikuwa msichana mrembo na nyanyake alimpenda sana. Nyanyake alitumia muda mrefu kumshonea Bahati sketi ya kuvutia. Bahati alipenda sana kuivaa sketi ile. Wasichana wengine kijijini walimwonea wivu Bahati kwa sababu ya sketi hiyo. Walipanga kuificha. Lakini, ilikuwa vigumu kuichukua sketi hiyo akiwa ameivaa. Asubuhi moja wasichana hao walimwalika Bahati aende kuogelea nao katika mto uliokuwa karibu. Walizivua nguo zao na kuziacha ukingoni ili zisitote. Kisha wakajitosa majini na kurushiana maji kwa muda. Baada ya muda, walitosheka kuogelea. Kiongozi wa wasichana wenye wivu, aliirusha sketi ya Bahati majini, karibu na sehemu iliyokuwa na nyoka mkubwa. Halafu wasichana hao waliondoka na kumuacha Bahati akilia kando ya mto. Mara yule nyoka mkubwa akamsikia akilia. Alijichomoza na kumwona Bahati mrembo. Nyoka huyo alimmeza Bahati pamoja na ile sketi. Nyoka yule hakuipenda ladha ya sketi, akaitema. Kwa bahati, akamtema Bahati pia. Bahati alilala ukingoni mwa mto huku amejifunika kwa sketi yake. Alikuwa amepakwa tope la kunata kutoka tumboni mwa nyoka. Tope hilo lilinuka fee. Baadaye, Bahati aliivaa sketi yake iliyonuka na kukimbilia nyumbani. Alipofika nyumbani, aliimba: Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Miye nanuka fee. Mama alipousikia wimbo wa Bahati, alimjibu: Nenda zako Bahati, unanuka; Nenda zako Bahati, unanuka; Bahati, unanuka fee. Bahati alihuzunika sana. Akakimbilia kwa mjombake na shangaziye. Walimsikia akiimba: Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Miye ninanuka fee. Shangazi na mjomba walimjibu: Nenda Bahati, unanuka; Nenda Bahati, unanuka; Nenda! Nenda! Unanuka fee. Bahati alibaki na wazo moja tu, kukimbilia nyumbani kwa nyanyake. Lakini, moyo wake ulikuwa mzito. Alijua hakuna aliyemtaka msichana aliyenuka fee. Bahati alikuwa amekosea. Nyanyake hakumfukuza. Nyanya alimwosha, akaiosha sketi yake, akahakikisha kila kitu kilinukia. Kutoka wakati huo, Bahati aliishi na nyanyake. Siku moja mvulana tajiri sana alitaka kumwoa Bahati. Wazazi wa Bahati walipofahamishwa kuhusu jambo hilo, walitaka arudi kuishi nao. Bahati alikumbuka jinsi walivyomchukia aliponuka fee. Aliwaambia, "Sitawahi kurudi nyumbani kwenu tena. Lazima wazazi wawapende watoto wao hata wakinuka." Badala yake Bahati alimwalika nyanyake aende akaishi naye nyumbani mwa mvulana tajiri. Nyanyake alifurahi sana, na wakaishi maisha raha mstarehe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Msichana aliyenuka Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa msichana mrembo
{ "text": [ "Bahati" ] }
2319_swa
Msichana aliyenuka Bahati alikuwa msichana mrembo na nyanyake alimpenda sana. Nyanyake alitumia muda mrefu kumshonea Bahati sketi ya kuvutia. Bahati alipenda sana kuivaa sketi ile. Wasichana wengine kijijini walimwonea wivu Bahati kwa sababu ya sketi hiyo. Walipanga kuificha. Lakini, ilikuwa vigumu kuichukua sketi hiyo akiwa ameivaa. Asubuhi moja wasichana hao walimwalika Bahati aende kuogelea nao katika mto uliokuwa karibu. Walizivua nguo zao na kuziacha ukingoni ili zisitote. Kisha wakajitosa majini na kurushiana maji kwa muda. Baada ya muda, walitosheka kuogelea. Kiongozi wa wasichana wenye wivu, aliirusha sketi ya Bahati majini, karibu na sehemu iliyokuwa na nyoka mkubwa. Halafu wasichana hao waliondoka na kumuacha Bahati akilia kando ya mto. Mara yule nyoka mkubwa akamsikia akilia. Alijichomoza na kumwona Bahati mrembo. Nyoka huyo alimmeza Bahati pamoja na ile sketi. Nyoka yule hakuipenda ladha ya sketi, akaitema. Kwa bahati, akamtema Bahati pia. Bahati alilala ukingoni mwa mto huku amejifunika kwa sketi yake. Alikuwa amepakwa tope la kunata kutoka tumboni mwa nyoka. Tope hilo lilinuka fee. Baadaye, Bahati aliivaa sketi yake iliyonuka na kukimbilia nyumbani. Alipofika nyumbani, aliimba: Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Miye nanuka fee. Mama alipousikia wimbo wa Bahati, alimjibu: Nenda zako Bahati, unanuka; Nenda zako Bahati, unanuka; Bahati, unanuka fee. Bahati alihuzunika sana. Akakimbilia kwa mjombake na shangaziye. Walimsikia akiimba: Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Miye ninanuka fee. Shangazi na mjomba walimjibu: Nenda Bahati, unanuka; Nenda Bahati, unanuka; Nenda! Nenda! Unanuka fee. Bahati alibaki na wazo moja tu, kukimbilia nyumbani kwa nyanyake. Lakini, moyo wake ulikuwa mzito. Alijua hakuna aliyemtaka msichana aliyenuka fee. Bahati alikuwa amekosea. Nyanyake hakumfukuza. Nyanya alimwosha, akaiosha sketi yake, akahakikisha kila kitu kilinukia. Kutoka wakati huo, Bahati aliishi na nyanyake. Siku moja mvulana tajiri sana alitaka kumwoa Bahati. Wazazi wa Bahati walipofahamishwa kuhusu jambo hilo, walitaka arudi kuishi nao. Bahati alikumbuka jinsi walivyomchukia aliponuka fee. Aliwaambia, "Sitawahi kurudi nyumbani kwenu tena. Lazima wazazi wawapende watoto wao hata wakinuka." Badala yake Bahati alimwalika nyanyake aende akaishi naye nyumbani mwa mvulana tajiri. Nyanyake alifurahi sana, na wakaishi maisha raha mstarehe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Msichana aliyenuka Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nyanyake alimshonea Bahati nini
{ "text": [ "Sketi" ] }
2319_swa
Msichana aliyenuka Bahati alikuwa msichana mrembo na nyanyake alimpenda sana. Nyanyake alitumia muda mrefu kumshonea Bahati sketi ya kuvutia. Bahati alipenda sana kuivaa sketi ile. Wasichana wengine kijijini walimwonea wivu Bahati kwa sababu ya sketi hiyo. Walipanga kuificha. Lakini, ilikuwa vigumu kuichukua sketi hiyo akiwa ameivaa. Asubuhi moja wasichana hao walimwalika Bahati aende kuogelea nao katika mto uliokuwa karibu. Walizivua nguo zao na kuziacha ukingoni ili zisitote. Kisha wakajitosa majini na kurushiana maji kwa muda. Baada ya muda, walitosheka kuogelea. Kiongozi wa wasichana wenye wivu, aliirusha sketi ya Bahati majini, karibu na sehemu iliyokuwa na nyoka mkubwa. Halafu wasichana hao waliondoka na kumuacha Bahati akilia kando ya mto. Mara yule nyoka mkubwa akamsikia akilia. Alijichomoza na kumwona Bahati mrembo. Nyoka huyo alimmeza Bahati pamoja na ile sketi. Nyoka yule hakuipenda ladha ya sketi, akaitema. Kwa bahati, akamtema Bahati pia. Bahati alilala ukingoni mwa mto huku amejifunika kwa sketi yake. Alikuwa amepakwa tope la kunata kutoka tumboni mwa nyoka. Tope hilo lilinuka fee. Baadaye, Bahati aliivaa sketi yake iliyonuka na kukimbilia nyumbani. Alipofika nyumbani, aliimba: Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Miye nanuka fee. Mama alipousikia wimbo wa Bahati, alimjibu: Nenda zako Bahati, unanuka; Nenda zako Bahati, unanuka; Bahati, unanuka fee. Bahati alihuzunika sana. Akakimbilia kwa mjombake na shangaziye. Walimsikia akiimba: Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Miye ninanuka fee. Shangazi na mjomba walimjibu: Nenda Bahati, unanuka; Nenda Bahati, unanuka; Nenda! Nenda! Unanuka fee. Bahati alibaki na wazo moja tu, kukimbilia nyumbani kwa nyanyake. Lakini, moyo wake ulikuwa mzito. Alijua hakuna aliyemtaka msichana aliyenuka fee. Bahati alikuwa amekosea. Nyanyake hakumfukuza. Nyanya alimwosha, akaiosha sketi yake, akahakikisha kila kitu kilinukia. Kutoka wakati huo, Bahati aliishi na nyanyake. Siku moja mvulana tajiri sana alitaka kumwoa Bahati. Wazazi wa Bahati walipofahamishwa kuhusu jambo hilo, walitaka arudi kuishi nao. Bahati alikumbuka jinsi walivyomchukia aliponuka fee. Aliwaambia, "Sitawahi kurudi nyumbani kwenu tena. Lazima wazazi wawapende watoto wao hata wakinuka." Badala yake Bahati alimwalika nyanyake aende akaishi naye nyumbani mwa mvulana tajiri. Nyanyake alifurahi sana, na wakaishi maisha raha mstarehe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Msichana aliyenuka Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wasichana walimwonea nini bahati
{ "text": [ "Wivu" ] }
2319_swa
Msichana aliyenuka Bahati alikuwa msichana mrembo na nyanyake alimpenda sana. Nyanyake alitumia muda mrefu kumshonea Bahati sketi ya kuvutia. Bahati alipenda sana kuivaa sketi ile. Wasichana wengine kijijini walimwonea wivu Bahati kwa sababu ya sketi hiyo. Walipanga kuificha. Lakini, ilikuwa vigumu kuichukua sketi hiyo akiwa ameivaa. Asubuhi moja wasichana hao walimwalika Bahati aende kuogelea nao katika mto uliokuwa karibu. Walizivua nguo zao na kuziacha ukingoni ili zisitote. Kisha wakajitosa majini na kurushiana maji kwa muda. Baada ya muda, walitosheka kuogelea. Kiongozi wa wasichana wenye wivu, aliirusha sketi ya Bahati majini, karibu na sehemu iliyokuwa na nyoka mkubwa. Halafu wasichana hao waliondoka na kumuacha Bahati akilia kando ya mto. Mara yule nyoka mkubwa akamsikia akilia. Alijichomoza na kumwona Bahati mrembo. Nyoka huyo alimmeza Bahati pamoja na ile sketi. Nyoka yule hakuipenda ladha ya sketi, akaitema. Kwa bahati, akamtema Bahati pia. Bahati alilala ukingoni mwa mto huku amejifunika kwa sketi yake. Alikuwa amepakwa tope la kunata kutoka tumboni mwa nyoka. Tope hilo lilinuka fee. Baadaye, Bahati aliivaa sketi yake iliyonuka na kukimbilia nyumbani. Alipofika nyumbani, aliimba: Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Miye nanuka fee. Mama alipousikia wimbo wa Bahati, alimjibu: Nenda zako Bahati, unanuka; Nenda zako Bahati, unanuka; Bahati, unanuka fee. Bahati alihuzunika sana. Akakimbilia kwa mjombake na shangaziye. Walimsikia akiimba: Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Miye ninanuka fee. Shangazi na mjomba walimjibu: Nenda Bahati, unanuka; Nenda Bahati, unanuka; Nenda! Nenda! Unanuka fee. Bahati alibaki na wazo moja tu, kukimbilia nyumbani kwa nyanyake. Lakini, moyo wake ulikuwa mzito. Alijua hakuna aliyemtaka msichana aliyenuka fee. Bahati alikuwa amekosea. Nyanyake hakumfukuza. Nyanya alimwosha, akaiosha sketi yake, akahakikisha kila kitu kilinukia. Kutoka wakati huo, Bahati aliishi na nyanyake. Siku moja mvulana tajiri sana alitaka kumwoa Bahati. Wazazi wa Bahati walipofahamishwa kuhusu jambo hilo, walitaka arudi kuishi nao. Bahati alikumbuka jinsi walivyomchukia aliponuka fee. Aliwaambia, "Sitawahi kurudi nyumbani kwenu tena. Lazima wazazi wawapende watoto wao hata wakinuka." Badala yake Bahati alimwalika nyanyake aende akaishi naye nyumbani mwa mvulana tajiri. Nyanyake alifurahi sana, na wakaishi maisha raha mstarehe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Msichana aliyenuka Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bahati alilala ukingoni wa wapi
{ "text": [ "mto" ] }
2319_swa
Msichana aliyenuka Bahati alikuwa msichana mrembo na nyanyake alimpenda sana. Nyanyake alitumia muda mrefu kumshonea Bahati sketi ya kuvutia. Bahati alipenda sana kuivaa sketi ile. Wasichana wengine kijijini walimwonea wivu Bahati kwa sababu ya sketi hiyo. Walipanga kuificha. Lakini, ilikuwa vigumu kuichukua sketi hiyo akiwa ameivaa. Asubuhi moja wasichana hao walimwalika Bahati aende kuogelea nao katika mto uliokuwa karibu. Walizivua nguo zao na kuziacha ukingoni ili zisitote. Kisha wakajitosa majini na kurushiana maji kwa muda. Baada ya muda, walitosheka kuogelea. Kiongozi wa wasichana wenye wivu, aliirusha sketi ya Bahati majini, karibu na sehemu iliyokuwa na nyoka mkubwa. Halafu wasichana hao waliondoka na kumuacha Bahati akilia kando ya mto. Mara yule nyoka mkubwa akamsikia akilia. Alijichomoza na kumwona Bahati mrembo. Nyoka huyo alimmeza Bahati pamoja na ile sketi. Nyoka yule hakuipenda ladha ya sketi, akaitema. Kwa bahati, akamtema Bahati pia. Bahati alilala ukingoni mwa mto huku amejifunika kwa sketi yake. Alikuwa amepakwa tope la kunata kutoka tumboni mwa nyoka. Tope hilo lilinuka fee. Baadaye, Bahati aliivaa sketi yake iliyonuka na kukimbilia nyumbani. Alipofika nyumbani, aliimba: Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Mama, nifungulie mlango, miye nanuka; Miye nanuka fee. Mama alipousikia wimbo wa Bahati, alimjibu: Nenda zako Bahati, unanuka; Nenda zako Bahati, unanuka; Bahati, unanuka fee. Bahati alihuzunika sana. Akakimbilia kwa mjombake na shangaziye. Walimsikia akiimba: Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Nifungulieni mlango, miye ninanuka; Miye ninanuka fee. Shangazi na mjomba walimjibu: Nenda Bahati, unanuka; Nenda Bahati, unanuka; Nenda! Nenda! Unanuka fee. Bahati alibaki na wazo moja tu, kukimbilia nyumbani kwa nyanyake. Lakini, moyo wake ulikuwa mzito. Alijua hakuna aliyemtaka msichana aliyenuka fee. Bahati alikuwa amekosea. Nyanyake hakumfukuza. Nyanya alimwosha, akaiosha sketi yake, akahakikisha kila kitu kilinukia. Kutoka wakati huo, Bahati aliishi na nyanyake. Siku moja mvulana tajiri sana alitaka kumwoa Bahati. Wazazi wa Bahati walipofahamishwa kuhusu jambo hilo, walitaka arudi kuishi nao. Bahati alikumbuka jinsi walivyomchukia aliponuka fee. Aliwaambia, "Sitawahi kurudi nyumbani kwenu tena. Lazima wazazi wawapende watoto wao hata wakinuka." Badala yake Bahati alimwalika nyanyake aende akaishi naye nyumbani mwa mvulana tajiri. Nyanyake alifurahi sana, na wakaishi maisha raha mstarehe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Msichana aliyenuka Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini bahati hakutaka kurudi nyumbani
{ "text": [ "Kwa sababu alinuka fee" ] }
2322_swa
Mti ulionusuru kijiji cha Balantu "Shhhu!" Bibi alisema. "Kuna joto kali. Na chungu hiki ni kizito sana. Hebu tupumzike kidogo chini ya kivuli cha mti." Alijipangusa jasho usoni huku akiegemea mizizi ya mti. Sela naye alisimama huku ameushika huo mbuyu kwa mkono mmoja. Nduguye, Tovo, aliuzungukazunguka ule mbuyu akiangalia ukubwa wake. "Bibi, mbuyu huu ni mzee sana, sivyo?" "Ndiyo, Sela. Lakini sio mzee au mkubwa zaidi ya mbuyu ulio katika kijiji cha Balantu!" "Balantu? Kijiji hicho ki karibu?" Sela aliuliza. "Tafadhali tueleze kuhusu mti huo," Tovo alisema. "Basi ketini msikilize," Bibi alisema huku akianza kuwahadithia. Katika kijiji cha Balantu kuliishi msichana aliyeitwa Hami. Siku moja, Hami na ndugu yake Angula, walienda kuchota maji. Hami alipokuwa akijaza chungu chake, Angula alimwona sungura. Alimkimbiza, lakini hakuweza kumshika. Sungura alikuwa na mbio kumshinda. Chungu cha Hami kilijaa maji. Sasa alikuwa tayari kwenda nyumbani. Aliangalia kila upande akamkosa Angula. Hakujua alikokwenda. Aljiua kwamba hangeenda nyumbani bila nduguye mdogo. Alitazama kila mahali lakini hakumwona. Alipomtafuta, alimpata akiwa amelala kwenye nyasi nyuma ya kichuguu kikubwa. Alipokuwa anamkaribia, Angula alimwashiria kwamba anyamaze. Mbona anyamaze? Karibu na pale kulikuwa na kundi la vijana. Walikuwa wamebeba mishale, nyuta na mikuki! Hami aliweza kusikia sauti zao. "Angula," Hami alimwita kwa sauti ya chini. "Wanaume hao ni wezi wa mifugo. Wamekuja kuiba ng'ombe wetu na kuchoma nyumba zetu. Njoo haraka. Lazima tukimbie nyumbani tukawatahadharishe wanakijiji." Basi waliondoka polepole kutoka eneo hilo kisha wakakimbia kwenda nyumbani. Hami alimwita mjomba kwa sauti, "Mjomba, kimbia, kimbia! Kuna wanaume wamekuja kuiba ng'ombe na kuteketeza nyumba." Mjomba alimrudisha ng'ombe kijijini. Hami alimwita shangazi, "Shangazi, kimbia, kimbia!" Wanume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Shangazi alichukua jembe lake, akambeba mtoto aliyekuwa akilala kisha akurudi kijijini. Hami akamwona babu yake akiwa na punda wake. Akamwita kwa sauti, "Babu, kimbia, kimbia, wanaume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu." Babu alimpiga punda akaenda mbio kuelekea kijijini. Hami na nduguye wakafika kijijini. Hami akawaita watu wote kwa sauti, "Kimbieni, kimbieni. Kuna wanaume wanaokuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Wanakijiji wakawa na hofu sana. Wakawa wamechanganyikiwa kama kundi la mchwa lililokanyagwa na ng'ombe. Hawakujua pa kujificha wala la kufanya. Wangewaficha ng'ombe wao wapi? Wangezificha nafaka zao wapi? Wangejificha wapi wao wenyewe? Hami aliogopa sana. Akakumbuka mahali ambapo yeye na Angula walikuwa wakienda kucheza wakati mwingine. Mahali salama. Mahali pa siri. "Ninapajua mahali ambapo sote tunaweza kujificha!" Lakini wanakijiji hawakumsikiliza. Walikuwa wakipiga kelele sana. Sasa angefanyaje ili wamsikilize? Unadhani Hami alifanya nini? Alichukua ngoma na kuipiga kwa nguvu kabisa. Bam! Bam! Bam! Boom! Boom! Boom! Wanakijiji wote walitulia. Hami akawaambia kwa sauti, "Ninajua mahali ambako tunaweza kujificha. Nifuateni." Hami alimshika Angula mkono akasema, "Njoo tawapeleke wanakijiji kwenye mti wetu. Sote tutakuwa salama huko." Angula alitikisa kichwa. "Hapana, Hami. Mahali hapo ni siri yetu. Ulisema tusimwambie mtu yeyote." "Ndiyo", Hami akasema. "Ilikuwa siri yetu. Lakini sasa sote tuko hatarini." Hami na Angula waliwaongoza wanakijiji. "Kwa nini unatuleta hapa? Hatuwezi kujificha hapa," walisema. Hami akamwita babake, "Nitakuonyesha." Hami na babake waliingia wakashuka ndani kupitia shimo dogo. Pale chini kulikuwa na uwazi mkubwa. "Lakini watu wote hawawezi kuingilia kwenye shimo dogo pale juu," babake alisema. "Hapana," Hami alisema. "Tutaleta shoka tutengenze mlango wa kuingilia hapa kwenye shina." Walitengeneza kiingilio shinani. Wanakijiji wakaleta vyakula na vyombo vya kupikia. Wote wakaingia ndani ya uwazi mkubwa wa mbuyu. La kushangaza ni kwamba kulikuwa na nafasi ya kuwatosha wote. Wakati jua lilipotua na giza kutanda, kijiji kizima kilitulia tuli! Ulikuwa usiku wenye baridi. Wale wahalifu walitembea taratibu kuelekea kijijini. "Lazima wanakijiji wawe wamelala sasa," waliambiana. Nao wanakijiji walijificha ndani ya mti. Nini kingetokea? Walihisi baridi na woga. Hami akasema, "Kuna baridi sana. Tuwashe moto." Akachukua mawe mawili akayachua, moja juu ya jingine haraka haraka. Baada ya muda mfupi, cheche za moto zikashika nyasi. Kisha moto mkubwa ukawaka wakaanza kuota. Nje, wavamizi walizidi kukaribia. Ghafla, mmoja wao alipiga mayowe akionyesha mbuyu walimojificha. Ndimi za moto zilitoka mle. Macho makali yaliangaza kutoka mle. Moshi ulipaa angani. "Ni jinamizi kubwa!" Walilia kwa woga. Kwanza mvamizi mmoja aligeuka na kukimbia. Kisha mwengine, na mwengine. Hadi wote wakaenda zao. Watu wa kijiji cha Balantu wakaokolewa. Bibi akanyamaza. Wakati huu wote Sela alikuwa anashikilia shina la mbuyu. "Kwa hivyo, ni mti huo uliowaokoa wanakijiji." Bibi akamaliza kuwahadithia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti ulionusuru kijiji cha Balantu Author - Karen von Wiese, Beryl Salt, Muhdni Grimwood and Barbara Meyerowitz Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Julia te Water Naude Language - Kiswahili Level - Read aloud © Karen Von Wiese, Beryl Salt, Mudhni Grimwood, Barbara Meyerowitz 1988 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Hami aliishi katika kijiji kipi
{ "text": [ "Balantu" ] }
2322_swa
Mti ulionusuru kijiji cha Balantu "Shhhu!" Bibi alisema. "Kuna joto kali. Na chungu hiki ni kizito sana. Hebu tupumzike kidogo chini ya kivuli cha mti." Alijipangusa jasho usoni huku akiegemea mizizi ya mti. Sela naye alisimama huku ameushika huo mbuyu kwa mkono mmoja. Nduguye, Tovo, aliuzungukazunguka ule mbuyu akiangalia ukubwa wake. "Bibi, mbuyu huu ni mzee sana, sivyo?" "Ndiyo, Sela. Lakini sio mzee au mkubwa zaidi ya mbuyu ulio katika kijiji cha Balantu!" "Balantu? Kijiji hicho ki karibu?" Sela aliuliza. "Tafadhali tueleze kuhusu mti huo," Tovo alisema. "Basi ketini msikilize," Bibi alisema huku akianza kuwahadithia. Katika kijiji cha Balantu kuliishi msichana aliyeitwa Hami. Siku moja, Hami na ndugu yake Angula, walienda kuchota maji. Hami alipokuwa akijaza chungu chake, Angula alimwona sungura. Alimkimbiza, lakini hakuweza kumshika. Sungura alikuwa na mbio kumshinda. Chungu cha Hami kilijaa maji. Sasa alikuwa tayari kwenda nyumbani. Aliangalia kila upande akamkosa Angula. Hakujua alikokwenda. Aljiua kwamba hangeenda nyumbani bila nduguye mdogo. Alitazama kila mahali lakini hakumwona. Alipomtafuta, alimpata akiwa amelala kwenye nyasi nyuma ya kichuguu kikubwa. Alipokuwa anamkaribia, Angula alimwashiria kwamba anyamaze. Mbona anyamaze? Karibu na pale kulikuwa na kundi la vijana. Walikuwa wamebeba mishale, nyuta na mikuki! Hami aliweza kusikia sauti zao. "Angula," Hami alimwita kwa sauti ya chini. "Wanaume hao ni wezi wa mifugo. Wamekuja kuiba ng'ombe wetu na kuchoma nyumba zetu. Njoo haraka. Lazima tukimbie nyumbani tukawatahadharishe wanakijiji." Basi waliondoka polepole kutoka eneo hilo kisha wakakimbia kwenda nyumbani. Hami alimwita mjomba kwa sauti, "Mjomba, kimbia, kimbia! Kuna wanaume wamekuja kuiba ng'ombe na kuteketeza nyumba." Mjomba alimrudisha ng'ombe kijijini. Hami alimwita shangazi, "Shangazi, kimbia, kimbia!" Wanume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Shangazi alichukua jembe lake, akambeba mtoto aliyekuwa akilala kisha akurudi kijijini. Hami akamwona babu yake akiwa na punda wake. Akamwita kwa sauti, "Babu, kimbia, kimbia, wanaume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu." Babu alimpiga punda akaenda mbio kuelekea kijijini. Hami na nduguye wakafika kijijini. Hami akawaita watu wote kwa sauti, "Kimbieni, kimbieni. Kuna wanaume wanaokuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Wanakijiji wakawa na hofu sana. Wakawa wamechanganyikiwa kama kundi la mchwa lililokanyagwa na ng'ombe. Hawakujua pa kujificha wala la kufanya. Wangewaficha ng'ombe wao wapi? Wangezificha nafaka zao wapi? Wangejificha wapi wao wenyewe? Hami aliogopa sana. Akakumbuka mahali ambapo yeye na Angula walikuwa wakienda kucheza wakati mwingine. Mahali salama. Mahali pa siri. "Ninapajua mahali ambapo sote tunaweza kujificha!" Lakini wanakijiji hawakumsikiliza. Walikuwa wakipiga kelele sana. Sasa angefanyaje ili wamsikilize? Unadhani Hami alifanya nini? Alichukua ngoma na kuipiga kwa nguvu kabisa. Bam! Bam! Bam! Boom! Boom! Boom! Wanakijiji wote walitulia. Hami akawaambia kwa sauti, "Ninajua mahali ambako tunaweza kujificha. Nifuateni." Hami alimshika Angula mkono akasema, "Njoo tawapeleke wanakijiji kwenye mti wetu. Sote tutakuwa salama huko." Angula alitikisa kichwa. "Hapana, Hami. Mahali hapo ni siri yetu. Ulisema tusimwambie mtu yeyote." "Ndiyo", Hami akasema. "Ilikuwa siri yetu. Lakini sasa sote tuko hatarini." Hami na Angula waliwaongoza wanakijiji. "Kwa nini unatuleta hapa? Hatuwezi kujificha hapa," walisema. Hami akamwita babake, "Nitakuonyesha." Hami na babake waliingia wakashuka ndani kupitia shimo dogo. Pale chini kulikuwa na uwazi mkubwa. "Lakini watu wote hawawezi kuingilia kwenye shimo dogo pale juu," babake alisema. "Hapana," Hami alisema. "Tutaleta shoka tutengenze mlango wa kuingilia hapa kwenye shina." Walitengeneza kiingilio shinani. Wanakijiji wakaleta vyakula na vyombo vya kupikia. Wote wakaingia ndani ya uwazi mkubwa wa mbuyu. La kushangaza ni kwamba kulikuwa na nafasi ya kuwatosha wote. Wakati jua lilipotua na giza kutanda, kijiji kizima kilitulia tuli! Ulikuwa usiku wenye baridi. Wale wahalifu walitembea taratibu kuelekea kijijini. "Lazima wanakijiji wawe wamelala sasa," waliambiana. Nao wanakijiji walijificha ndani ya mti. Nini kingetokea? Walihisi baridi na woga. Hami akasema, "Kuna baridi sana. Tuwashe moto." Akachukua mawe mawili akayachua, moja juu ya jingine haraka haraka. Baada ya muda mfupi, cheche za moto zikashika nyasi. Kisha moto mkubwa ukawaka wakaanza kuota. Nje, wavamizi walizidi kukaribia. Ghafla, mmoja wao alipiga mayowe akionyesha mbuyu walimojificha. Ndimi za moto zilitoka mle. Macho makali yaliangaza kutoka mle. Moshi ulipaa angani. "Ni jinamizi kubwa!" Walilia kwa woga. Kwanza mvamizi mmoja aligeuka na kukimbia. Kisha mwengine, na mwengine. Hadi wote wakaenda zao. Watu wa kijiji cha Balantu wakaokolewa. Bibi akanyamaza. Wakati huu wote Sela alikuwa anashikilia shina la mbuyu. "Kwa hivyo, ni mti huo uliowaokoa wanakijiji." Bibi akamaliza kuwahadithia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti ulionusuru kijiji cha Balantu Author - Karen von Wiese, Beryl Salt, Muhdni Grimwood and Barbara Meyerowitz Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Julia te Water Naude Language - Kiswahili Level - Read aloud © Karen Von Wiese, Beryl Salt, Mudhni Grimwood, Barbara Meyerowitz 1988 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani waliwataarifu wanakijiji kuhusu ujio wa wanaume kijijini
{ "text": [ "Angula na Hami" ] }
2322_swa
Mti ulionusuru kijiji cha Balantu "Shhhu!" Bibi alisema. "Kuna joto kali. Na chungu hiki ni kizito sana. Hebu tupumzike kidogo chini ya kivuli cha mti." Alijipangusa jasho usoni huku akiegemea mizizi ya mti. Sela naye alisimama huku ameushika huo mbuyu kwa mkono mmoja. Nduguye, Tovo, aliuzungukazunguka ule mbuyu akiangalia ukubwa wake. "Bibi, mbuyu huu ni mzee sana, sivyo?" "Ndiyo, Sela. Lakini sio mzee au mkubwa zaidi ya mbuyu ulio katika kijiji cha Balantu!" "Balantu? Kijiji hicho ki karibu?" Sela aliuliza. "Tafadhali tueleze kuhusu mti huo," Tovo alisema. "Basi ketini msikilize," Bibi alisema huku akianza kuwahadithia. Katika kijiji cha Balantu kuliishi msichana aliyeitwa Hami. Siku moja, Hami na ndugu yake Angula, walienda kuchota maji. Hami alipokuwa akijaza chungu chake, Angula alimwona sungura. Alimkimbiza, lakini hakuweza kumshika. Sungura alikuwa na mbio kumshinda. Chungu cha Hami kilijaa maji. Sasa alikuwa tayari kwenda nyumbani. Aliangalia kila upande akamkosa Angula. Hakujua alikokwenda. Aljiua kwamba hangeenda nyumbani bila nduguye mdogo. Alitazama kila mahali lakini hakumwona. Alipomtafuta, alimpata akiwa amelala kwenye nyasi nyuma ya kichuguu kikubwa. Alipokuwa anamkaribia, Angula alimwashiria kwamba anyamaze. Mbona anyamaze? Karibu na pale kulikuwa na kundi la vijana. Walikuwa wamebeba mishale, nyuta na mikuki! Hami aliweza kusikia sauti zao. "Angula," Hami alimwita kwa sauti ya chini. "Wanaume hao ni wezi wa mifugo. Wamekuja kuiba ng'ombe wetu na kuchoma nyumba zetu. Njoo haraka. Lazima tukimbie nyumbani tukawatahadharishe wanakijiji." Basi waliondoka polepole kutoka eneo hilo kisha wakakimbia kwenda nyumbani. Hami alimwita mjomba kwa sauti, "Mjomba, kimbia, kimbia! Kuna wanaume wamekuja kuiba ng'ombe na kuteketeza nyumba." Mjomba alimrudisha ng'ombe kijijini. Hami alimwita shangazi, "Shangazi, kimbia, kimbia!" Wanume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Shangazi alichukua jembe lake, akambeba mtoto aliyekuwa akilala kisha akurudi kijijini. Hami akamwona babu yake akiwa na punda wake. Akamwita kwa sauti, "Babu, kimbia, kimbia, wanaume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu." Babu alimpiga punda akaenda mbio kuelekea kijijini. Hami na nduguye wakafika kijijini. Hami akawaita watu wote kwa sauti, "Kimbieni, kimbieni. Kuna wanaume wanaokuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Wanakijiji wakawa na hofu sana. Wakawa wamechanganyikiwa kama kundi la mchwa lililokanyagwa na ng'ombe. Hawakujua pa kujificha wala la kufanya. Wangewaficha ng'ombe wao wapi? Wangezificha nafaka zao wapi? Wangejificha wapi wao wenyewe? Hami aliogopa sana. Akakumbuka mahali ambapo yeye na Angula walikuwa wakienda kucheza wakati mwingine. Mahali salama. Mahali pa siri. "Ninapajua mahali ambapo sote tunaweza kujificha!" Lakini wanakijiji hawakumsikiliza. Walikuwa wakipiga kelele sana. Sasa angefanyaje ili wamsikilize? Unadhani Hami alifanya nini? Alichukua ngoma na kuipiga kwa nguvu kabisa. Bam! Bam! Bam! Boom! Boom! Boom! Wanakijiji wote walitulia. Hami akawaambia kwa sauti, "Ninajua mahali ambako tunaweza kujificha. Nifuateni." Hami alimshika Angula mkono akasema, "Njoo tawapeleke wanakijiji kwenye mti wetu. Sote tutakuwa salama huko." Angula alitikisa kichwa. "Hapana, Hami. Mahali hapo ni siri yetu. Ulisema tusimwambie mtu yeyote." "Ndiyo", Hami akasema. "Ilikuwa siri yetu. Lakini sasa sote tuko hatarini." Hami na Angula waliwaongoza wanakijiji. "Kwa nini unatuleta hapa? Hatuwezi kujificha hapa," walisema. Hami akamwita babake, "Nitakuonyesha." Hami na babake waliingia wakashuka ndani kupitia shimo dogo. Pale chini kulikuwa na uwazi mkubwa. "Lakini watu wote hawawezi kuingilia kwenye shimo dogo pale juu," babake alisema. "Hapana," Hami alisema. "Tutaleta shoka tutengenze mlango wa kuingilia hapa kwenye shina." Walitengeneza kiingilio shinani. Wanakijiji wakaleta vyakula na vyombo vya kupikia. Wote wakaingia ndani ya uwazi mkubwa wa mbuyu. La kushangaza ni kwamba kulikuwa na nafasi ya kuwatosha wote. Wakati jua lilipotua na giza kutanda, kijiji kizima kilitulia tuli! Ulikuwa usiku wenye baridi. Wale wahalifu walitembea taratibu kuelekea kijijini. "Lazima wanakijiji wawe wamelala sasa," waliambiana. Nao wanakijiji walijificha ndani ya mti. Nini kingetokea? Walihisi baridi na woga. Hami akasema, "Kuna baridi sana. Tuwashe moto." Akachukua mawe mawili akayachua, moja juu ya jingine haraka haraka. Baada ya muda mfupi, cheche za moto zikashika nyasi. Kisha moto mkubwa ukawaka wakaanza kuota. Nje, wavamizi walizidi kukaribia. Ghafla, mmoja wao alipiga mayowe akionyesha mbuyu walimojificha. Ndimi za moto zilitoka mle. Macho makali yaliangaza kutoka mle. Moshi ulipaa angani. "Ni jinamizi kubwa!" Walilia kwa woga. Kwanza mvamizi mmoja aligeuka na kukimbia. Kisha mwengine, na mwengine. Hadi wote wakaenda zao. Watu wa kijiji cha Balantu wakaokolewa. Bibi akanyamaza. Wakati huu wote Sela alikuwa anashikilia shina la mbuyu. "Kwa hivyo, ni mti huo uliowaokoa wanakijiji." Bibi akamaliza kuwahadithia. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti ulionusuru kijiji cha Balantu Author - Karen von Wiese, Beryl Salt, Muhdni Grimwood and Barbara Meyerowitz Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Julia te Water Naude Language - Kiswahili Level - Read aloud © Karen Von Wiese, Beryl Salt, Mudhni Grimwood, Barbara Meyerowitz 1988 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni mti upi uliwaokoa wanakijiji
{ "text": [ "Mbuyu" ] }