Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
2322_swa | Mti ulionusuru kijiji cha Balantu
"Shhhu!" Bibi alisema. "Kuna joto kali. Na chungu hiki ni kizito sana. Hebu tupumzike kidogo chini ya kivuli cha mti." Alijipangusa jasho usoni huku akiegemea mizizi ya mti. Sela naye alisimama huku ameushika huo mbuyu kwa mkono mmoja. Nduguye, Tovo, aliuzungukazunguka ule mbuyu akiangalia ukubwa wake. "Bibi, mbuyu huu ni mzee sana, sivyo?" "Ndiyo, Sela. Lakini sio mzee au mkubwa zaidi ya mbuyu ulio katika kijiji cha Balantu!" "Balantu? Kijiji hicho ki karibu?" Sela aliuliza. "Tafadhali tueleze kuhusu mti huo," Tovo alisema. "Basi ketini msikilize," Bibi alisema huku akianza kuwahadithia.
Katika kijiji cha Balantu kuliishi msichana aliyeitwa Hami. Siku moja, Hami na ndugu yake Angula, walienda kuchota maji. Hami alipokuwa akijaza chungu chake, Angula alimwona sungura. Alimkimbiza, lakini hakuweza kumshika. Sungura alikuwa na mbio kumshinda.
Chungu cha Hami kilijaa maji. Sasa alikuwa tayari kwenda nyumbani. Aliangalia kila upande akamkosa Angula. Hakujua alikokwenda. Aljiua kwamba hangeenda nyumbani bila nduguye mdogo. Alitazama kila mahali lakini hakumwona. Alipomtafuta, alimpata akiwa amelala kwenye nyasi nyuma ya kichuguu kikubwa. Alipokuwa anamkaribia, Angula alimwashiria kwamba anyamaze. Mbona anyamaze?
Karibu na pale kulikuwa na kundi la vijana. Walikuwa wamebeba mishale, nyuta na mikuki! Hami aliweza kusikia sauti zao. "Angula," Hami alimwita kwa sauti ya chini. "Wanaume hao ni wezi wa mifugo. Wamekuja kuiba ng'ombe wetu na kuchoma nyumba zetu. Njoo haraka. Lazima tukimbie nyumbani tukawatahadharishe wanakijiji." Basi waliondoka polepole kutoka eneo hilo kisha wakakimbia kwenda nyumbani.
Hami alimwita mjomba kwa sauti, "Mjomba, kimbia, kimbia! Kuna wanaume wamekuja kuiba ng'ombe na kuteketeza nyumba." Mjomba alimrudisha ng'ombe kijijini. Hami alimwita shangazi, "Shangazi, kimbia, kimbia!" Wanume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Shangazi alichukua jembe lake, akambeba mtoto aliyekuwa akilala kisha akurudi kijijini. Hami akamwona babu yake akiwa na punda wake. Akamwita kwa sauti, "Babu, kimbia, kimbia, wanaume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu." Babu alimpiga punda akaenda mbio kuelekea kijijini.
Hami na nduguye wakafika kijijini. Hami akawaita watu wote kwa sauti, "Kimbieni, kimbieni. Kuna wanaume wanaokuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Wanakijiji wakawa na hofu sana. Wakawa wamechanganyikiwa kama kundi la mchwa lililokanyagwa na ng'ombe. Hawakujua pa kujificha wala la kufanya. Wangewaficha ng'ombe wao wapi? Wangezificha nafaka zao wapi? Wangejificha wapi wao wenyewe? Hami aliogopa sana.
Akakumbuka mahali ambapo yeye na Angula walikuwa wakienda kucheza wakati mwingine. Mahali salama. Mahali pa siri.
"Ninapajua mahali ambapo sote tunaweza kujificha!" Lakini wanakijiji hawakumsikiliza. Walikuwa wakipiga kelele sana. Sasa angefanyaje ili wamsikilize? Unadhani Hami alifanya nini? Alichukua ngoma na kuipiga kwa nguvu kabisa. Bam! Bam! Bam! Boom! Boom! Boom! Wanakijiji wote walitulia. Hami akawaambia kwa sauti, "Ninajua mahali ambako tunaweza kujificha. Nifuateni."
Hami alimshika Angula mkono akasema, "Njoo tawapeleke wanakijiji kwenye mti wetu. Sote tutakuwa salama huko." Angula alitikisa kichwa. "Hapana, Hami. Mahali hapo ni siri yetu. Ulisema tusimwambie mtu yeyote." "Ndiyo", Hami akasema. "Ilikuwa siri yetu. Lakini sasa sote tuko hatarini."
Hami na Angula waliwaongoza wanakijiji. "Kwa nini unatuleta hapa? Hatuwezi kujificha hapa," walisema. Hami akamwita babake, "Nitakuonyesha." Hami na babake waliingia wakashuka ndani kupitia shimo dogo. Pale chini kulikuwa na uwazi mkubwa. "Lakini watu wote hawawezi kuingilia kwenye shimo dogo pale juu," babake alisema. "Hapana," Hami alisema. "Tutaleta shoka tutengenze mlango wa kuingilia hapa kwenye shina." Walitengeneza kiingilio shinani. Wanakijiji wakaleta vyakula na vyombo vya kupikia. Wote wakaingia ndani ya uwazi mkubwa wa mbuyu. La kushangaza ni kwamba kulikuwa na nafasi ya kuwatosha wote.
Wakati jua lilipotua na giza kutanda, kijiji kizima kilitulia tuli! Ulikuwa usiku wenye baridi. Wale wahalifu walitembea taratibu kuelekea kijijini. "Lazima wanakijiji wawe wamelala sasa," waliambiana. Nao wanakijiji walijificha ndani ya mti. Nini kingetokea? Walihisi baridi na woga. Hami akasema, "Kuna baridi sana. Tuwashe moto." Akachukua mawe mawili akayachua, moja juu ya jingine haraka haraka.
Baada ya muda mfupi, cheche za moto zikashika nyasi. Kisha moto mkubwa ukawaka wakaanza kuota.
Nje, wavamizi walizidi kukaribia. Ghafla, mmoja wao alipiga mayowe akionyesha mbuyu walimojificha. Ndimi za moto zilitoka mle. Macho makali yaliangaza kutoka mle. Moshi ulipaa angani. "Ni jinamizi kubwa!" Walilia kwa woga. Kwanza mvamizi mmoja aligeuka na kukimbia. Kisha mwengine, na mwengine. Hadi wote wakaenda zao. Watu wa kijiji cha Balantu wakaokolewa.
Bibi akanyamaza. Wakati huu wote Sela alikuwa anashikilia shina la mbuyu. "Kwa hivyo, ni mti huo uliowaokoa wanakijiji." Bibi akamaliza kuwahadithia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti ulionusuru kijiji cha Balantu Author - Karen von Wiese, Beryl Salt, Muhdni Grimwood and Barbara Meyerowitz Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Julia te Water Naude Language - Kiswahili Level - Read aloud © Karen Von Wiese, Beryl Salt, Mudhni Grimwood, Barbara Meyerowitz 1988 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyekuwa wa kwanza kuwaona vijana waliokuwa wamebeba mishale | {
"text": [
"Angula"
]
} |
2322_swa | Mti ulionusuru kijiji cha Balantu
"Shhhu!" Bibi alisema. "Kuna joto kali. Na chungu hiki ni kizito sana. Hebu tupumzike kidogo chini ya kivuli cha mti." Alijipangusa jasho usoni huku akiegemea mizizi ya mti. Sela naye alisimama huku ameushika huo mbuyu kwa mkono mmoja. Nduguye, Tovo, aliuzungukazunguka ule mbuyu akiangalia ukubwa wake. "Bibi, mbuyu huu ni mzee sana, sivyo?" "Ndiyo, Sela. Lakini sio mzee au mkubwa zaidi ya mbuyu ulio katika kijiji cha Balantu!" "Balantu? Kijiji hicho ki karibu?" Sela aliuliza. "Tafadhali tueleze kuhusu mti huo," Tovo alisema. "Basi ketini msikilize," Bibi alisema huku akianza kuwahadithia.
Katika kijiji cha Balantu kuliishi msichana aliyeitwa Hami. Siku moja, Hami na ndugu yake Angula, walienda kuchota maji. Hami alipokuwa akijaza chungu chake, Angula alimwona sungura. Alimkimbiza, lakini hakuweza kumshika. Sungura alikuwa na mbio kumshinda.
Chungu cha Hami kilijaa maji. Sasa alikuwa tayari kwenda nyumbani. Aliangalia kila upande akamkosa Angula. Hakujua alikokwenda. Aljiua kwamba hangeenda nyumbani bila nduguye mdogo. Alitazama kila mahali lakini hakumwona. Alipomtafuta, alimpata akiwa amelala kwenye nyasi nyuma ya kichuguu kikubwa. Alipokuwa anamkaribia, Angula alimwashiria kwamba anyamaze. Mbona anyamaze?
Karibu na pale kulikuwa na kundi la vijana. Walikuwa wamebeba mishale, nyuta na mikuki! Hami aliweza kusikia sauti zao. "Angula," Hami alimwita kwa sauti ya chini. "Wanaume hao ni wezi wa mifugo. Wamekuja kuiba ng'ombe wetu na kuchoma nyumba zetu. Njoo haraka. Lazima tukimbie nyumbani tukawatahadharishe wanakijiji." Basi waliondoka polepole kutoka eneo hilo kisha wakakimbia kwenda nyumbani.
Hami alimwita mjomba kwa sauti, "Mjomba, kimbia, kimbia! Kuna wanaume wamekuja kuiba ng'ombe na kuteketeza nyumba." Mjomba alimrudisha ng'ombe kijijini. Hami alimwita shangazi, "Shangazi, kimbia, kimbia!" Wanume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Shangazi alichukua jembe lake, akambeba mtoto aliyekuwa akilala kisha akurudi kijijini. Hami akamwona babu yake akiwa na punda wake. Akamwita kwa sauti, "Babu, kimbia, kimbia, wanaume wanakuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu." Babu alimpiga punda akaenda mbio kuelekea kijijini.
Hami na nduguye wakafika kijijini. Hami akawaita watu wote kwa sauti, "Kimbieni, kimbieni. Kuna wanaume wanaokuja kuiba ng'ombe wetu na kuteketeza nyumba zetu!" Wanakijiji wakawa na hofu sana. Wakawa wamechanganyikiwa kama kundi la mchwa lililokanyagwa na ng'ombe. Hawakujua pa kujificha wala la kufanya. Wangewaficha ng'ombe wao wapi? Wangezificha nafaka zao wapi? Wangejificha wapi wao wenyewe? Hami aliogopa sana.
Akakumbuka mahali ambapo yeye na Angula walikuwa wakienda kucheza wakati mwingine. Mahali salama. Mahali pa siri.
"Ninapajua mahali ambapo sote tunaweza kujificha!" Lakini wanakijiji hawakumsikiliza. Walikuwa wakipiga kelele sana. Sasa angefanyaje ili wamsikilize? Unadhani Hami alifanya nini? Alichukua ngoma na kuipiga kwa nguvu kabisa. Bam! Bam! Bam! Boom! Boom! Boom! Wanakijiji wote walitulia. Hami akawaambia kwa sauti, "Ninajua mahali ambako tunaweza kujificha. Nifuateni."
Hami alimshika Angula mkono akasema, "Njoo tawapeleke wanakijiji kwenye mti wetu. Sote tutakuwa salama huko." Angula alitikisa kichwa. "Hapana, Hami. Mahali hapo ni siri yetu. Ulisema tusimwambie mtu yeyote." "Ndiyo", Hami akasema. "Ilikuwa siri yetu. Lakini sasa sote tuko hatarini."
Hami na Angula waliwaongoza wanakijiji. "Kwa nini unatuleta hapa? Hatuwezi kujificha hapa," walisema. Hami akamwita babake, "Nitakuonyesha." Hami na babake waliingia wakashuka ndani kupitia shimo dogo. Pale chini kulikuwa na uwazi mkubwa. "Lakini watu wote hawawezi kuingilia kwenye shimo dogo pale juu," babake alisema. "Hapana," Hami alisema. "Tutaleta shoka tutengenze mlango wa kuingilia hapa kwenye shina." Walitengeneza kiingilio shinani. Wanakijiji wakaleta vyakula na vyombo vya kupikia. Wote wakaingia ndani ya uwazi mkubwa wa mbuyu. La kushangaza ni kwamba kulikuwa na nafasi ya kuwatosha wote.
Wakati jua lilipotua na giza kutanda, kijiji kizima kilitulia tuli! Ulikuwa usiku wenye baridi. Wale wahalifu walitembea taratibu kuelekea kijijini. "Lazima wanakijiji wawe wamelala sasa," waliambiana. Nao wanakijiji walijificha ndani ya mti. Nini kingetokea? Walihisi baridi na woga. Hami akasema, "Kuna baridi sana. Tuwashe moto." Akachukua mawe mawili akayachua, moja juu ya jingine haraka haraka.
Baada ya muda mfupi, cheche za moto zikashika nyasi. Kisha moto mkubwa ukawaka wakaanza kuota.
Nje, wavamizi walizidi kukaribia. Ghafla, mmoja wao alipiga mayowe akionyesha mbuyu walimojificha. Ndimi za moto zilitoka mle. Macho makali yaliangaza kutoka mle. Moshi ulipaa angani. "Ni jinamizi kubwa!" Walilia kwa woga. Kwanza mvamizi mmoja aligeuka na kukimbia. Kisha mwengine, na mwengine. Hadi wote wakaenda zao. Watu wa kijiji cha Balantu wakaokolewa.
Bibi akanyamaza. Wakati huu wote Sela alikuwa anashikilia shina la mbuyu. "Kwa hivyo, ni mti huo uliowaokoa wanakijiji." Bibi akamaliza kuwahadithia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti ulionusuru kijiji cha Balantu Author - Karen von Wiese, Beryl Salt, Muhdni Grimwood and Barbara Meyerowitz Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Julia te Water Naude Language - Kiswahili Level - Read aloud © Karen Von Wiese, Beryl Salt, Mudhni Grimwood, Barbara Meyerowitz 1988 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Hami alifanya nini ili wanakijiji wamsikilize | {
"text": [
"Alipiga ngoma kwa nguvu"
]
} |
2324_swa | Mti wenye amani
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Ayanda. Ayanda alikuwa mtoto wa pekee wa wazazi wake. Mamake na babake walitaka kutengana.
Ayanda aliamua kutoroka nyumbani. Alienda msituni kwa sababu hakujua kwingine kwa kwenda.
Mbwa mwitu alimfukuza Ayanda, kwa hivyo alipanda mti. Mbwa mwitu alijaribu kumuuma, kwa hivyo alipanda juu zaidi.
Akiwa juu ya mti, Ayanda aliliona jua nzuri. Alilipenda sana jua akaamua kukaa msituni.
Ayanda alipanda mti kila siku kuongea na jua. Jua likawa familia yake.
Siku moja, Ayanda alimwona mwanamume chini ya mti. Mwanamume huyo alikuwa babake. Ayanda alishuka chini na babake akamwelezea kwa nini alikuwa hapo.
Alisema, "Kitambo sana kabla hujazaliwa, mimi na mamako tulikuwa tukikutana hapa. Ni mahali pa pekee. " "Mimi na mamako tunapogombana, mimi hupanda mti huu ili nipate amani," babake Ayanda alisema.
Baada ya muda mfupi, mamake Ayanda pia alifika pale msituni. Alikuja kufanya amani na babake Ayanda. Huu ulikuwa mti wao wenye amani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti wenye amani Author - Mpumelelo Mlangeni, Tshiamo Msimanga and Tumi Mofokane Translation - Brigid Simiyu Illustration - Tshiamo Msimanga, Tumi Mofokane and Mpumelelo Mlangeni Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Msichana aliitwa nani | {
"text": [
"Ayanda"
]
} |
2324_swa | Mti wenye amani
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Ayanda. Ayanda alikuwa mtoto wa pekee wa wazazi wake. Mamake na babake walitaka kutengana.
Ayanda aliamua kutoroka nyumbani. Alienda msituni kwa sababu hakujua kwingine kwa kwenda.
Mbwa mwitu alimfukuza Ayanda, kwa hivyo alipanda mti. Mbwa mwitu alijaribu kumuuma, kwa hivyo alipanda juu zaidi.
Akiwa juu ya mti, Ayanda aliliona jua nzuri. Alilipenda sana jua akaamua kukaa msituni.
Ayanda alipanda mti kila siku kuongea na jua. Jua likawa familia yake.
Siku moja, Ayanda alimwona mwanamume chini ya mti. Mwanamume huyo alikuwa babake. Ayanda alishuka chini na babake akamwelezea kwa nini alikuwa hapo.
Alisema, "Kitambo sana kabla hujazaliwa, mimi na mamako tulikuwa tukikutana hapa. Ni mahali pa pekee. " "Mimi na mamako tunapogombana, mimi hupanda mti huu ili nipate amani," babake Ayanda alisema.
Baada ya muda mfupi, mamake Ayanda pia alifika pale msituni. Alikuja kufanya amani na babake Ayanda. Huu ulikuwa mti wao wenye amani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti wenye amani Author - Mpumelelo Mlangeni, Tshiamo Msimanga and Tumi Mofokane Translation - Brigid Simiyu Illustration - Tshiamo Msimanga, Tumi Mofokane and Mpumelelo Mlangeni Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ayanda alitaka kutoroka wapi | {
"text": [
"Nyumbani"
]
} |
2324_swa | Mti wenye amani
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Ayanda. Ayanda alikuwa mtoto wa pekee wa wazazi wake. Mamake na babake walitaka kutengana.
Ayanda aliamua kutoroka nyumbani. Alienda msituni kwa sababu hakujua kwingine kwa kwenda.
Mbwa mwitu alimfukuza Ayanda, kwa hivyo alipanda mti. Mbwa mwitu alijaribu kumuuma, kwa hivyo alipanda juu zaidi.
Akiwa juu ya mti, Ayanda aliliona jua nzuri. Alilipenda sana jua akaamua kukaa msituni.
Ayanda alipanda mti kila siku kuongea na jua. Jua likawa familia yake.
Siku moja, Ayanda alimwona mwanamume chini ya mti. Mwanamume huyo alikuwa babake. Ayanda alishuka chini na babake akamwelezea kwa nini alikuwa hapo.
Alisema, "Kitambo sana kabla hujazaliwa, mimi na mamako tulikuwa tukikutana hapa. Ni mahali pa pekee. " "Mimi na mamako tunapogombana, mimi hupanda mti huu ili nipate amani," babake Ayanda alisema.
Baada ya muda mfupi, mamake Ayanda pia alifika pale msituni. Alikuja kufanya amani na babake Ayanda. Huu ulikuwa mti wao wenye amani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti wenye amani Author - Mpumelelo Mlangeni, Tshiamo Msimanga and Tumi Mofokane Translation - Brigid Simiyu Illustration - Tshiamo Msimanga, Tumi Mofokane and Mpumelelo Mlangeni Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani alimfukuza Ayanda | {
"text": [
"Mbwa mwitu"
]
} |
2324_swa | Mti wenye amani
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Ayanda. Ayanda alikuwa mtoto wa pekee wa wazazi wake. Mamake na babake walitaka kutengana.
Ayanda aliamua kutoroka nyumbani. Alienda msituni kwa sababu hakujua kwingine kwa kwenda.
Mbwa mwitu alimfukuza Ayanda, kwa hivyo alipanda mti. Mbwa mwitu alijaribu kumuuma, kwa hivyo alipanda juu zaidi.
Akiwa juu ya mti, Ayanda aliliona jua nzuri. Alilipenda sana jua akaamua kukaa msituni.
Ayanda alipanda mti kila siku kuongea na jua. Jua likawa familia yake.
Siku moja, Ayanda alimwona mwanamume chini ya mti. Mwanamume huyo alikuwa babake. Ayanda alishuka chini na babake akamwelezea kwa nini alikuwa hapo.
Alisema, "Kitambo sana kabla hujazaliwa, mimi na mamako tulikuwa tukikutana hapa. Ni mahali pa pekee. " "Mimi na mamako tunapogombana, mimi hupanda mti huu ili nipate amani," babake Ayanda alisema.
Baada ya muda mfupi, mamake Ayanda pia alifika pale msituni. Alikuja kufanya amani na babake Ayanda. Huu ulikuwa mti wao wenye amani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti wenye amani Author - Mpumelelo Mlangeni, Tshiamo Msimanga and Tumi Mofokane Translation - Brigid Simiyu Illustration - Tshiamo Msimanga, Tumi Mofokane and Mpumelelo Mlangeni Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ayanda aliona nini chini ya mti | {
"text": [
"Babake"
]
} |
2324_swa | Mti wenye amani
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Ayanda. Ayanda alikuwa mtoto wa pekee wa wazazi wake. Mamake na babake walitaka kutengana.
Ayanda aliamua kutoroka nyumbani. Alienda msituni kwa sababu hakujua kwingine kwa kwenda.
Mbwa mwitu alimfukuza Ayanda, kwa hivyo alipanda mti. Mbwa mwitu alijaribu kumuuma, kwa hivyo alipanda juu zaidi.
Akiwa juu ya mti, Ayanda aliliona jua nzuri. Alilipenda sana jua akaamua kukaa msituni.
Ayanda alipanda mti kila siku kuongea na jua. Jua likawa familia yake.
Siku moja, Ayanda alimwona mwanamume chini ya mti. Mwanamume huyo alikuwa babake. Ayanda alishuka chini na babake akamwelezea kwa nini alikuwa hapo.
Alisema, "Kitambo sana kabla hujazaliwa, mimi na mamako tulikuwa tukikutana hapa. Ni mahali pa pekee. " "Mimi na mamako tunapogombana, mimi hupanda mti huu ili nipate amani," babake Ayanda alisema.
Baada ya muda mfupi, mamake Ayanda pia alifika pale msituni. Alikuja kufanya amani na babake Ayanda. Huu ulikuwa mti wao wenye amani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mti wenye amani Author - Mpumelelo Mlangeni, Tshiamo Msimanga and Tumi Mofokane Translation - Brigid Simiyu Illustration - Tshiamo Msimanga, Tumi Mofokane and Mpumelelo Mlangeni Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Babake Ayanda wanapogombana na mamke Ayanda anafanya nini | {
"text": [
"Anapanda mti ili apate amani"
]
} |
2325_swa | Mtoto aliyeleta
Akadeli alimbeba mtoto wake. Alikwenda msituni kuchuma matunda.
Alipata mti uliojaa matunda mabivu.
Akadeli alimlaza mtoto wake chini akapanda mti.
Jasusi mmoja kutoka kijiji jirani alipitia pale akamwona mtoto. Kwa mshangao, akajiuliza, "Mamake mtoto huyu yuko wapi?"
Jasusi yule alipochutama, sauti ya mikufu aliyoivaa shingoni mwake, ilimwamsha mtoto.
Alimwacha mtoto aichezee mikufu hiyo. Mtoto alicheza na kucheka.
Akadeli alitazama chini aone kilichomchekesha mtoto. Akamwona jasusi amechutama karibu na mtoto wake.
Hofu ilimwandama, akauangusha mfuko wake uliojaa matunda.
Jasusi yule alitazama juu akasema, "Usiogope. Ninacheza tu na mtoto wako mrembo."
Polepole, Akadeli akashuka kutoka mtini.
Jasusi akampa mtoto mkufu mmoja, akisema, "Hii ni zawadi yako."
Akamwambia Akadeli, "Mchukue mtoto na mkoba wako uende nyumbani. Mwambie mume wako ahamie sehemu yenye amani zaidi. Mtoto wako amenifanya nibadili nia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto aliyeleta Amani Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alimbeba mtoto wake | {
"text": [
"Akadeli"
]
} |
2325_swa | Mtoto aliyeleta
Akadeli alimbeba mtoto wake. Alikwenda msituni kuchuma matunda.
Alipata mti uliojaa matunda mabivu.
Akadeli alimlaza mtoto wake chini akapanda mti.
Jasusi mmoja kutoka kijiji jirani alipitia pale akamwona mtoto. Kwa mshangao, akajiuliza, "Mamake mtoto huyu yuko wapi?"
Jasusi yule alipochutama, sauti ya mikufu aliyoivaa shingoni mwake, ilimwamsha mtoto.
Alimwacha mtoto aichezee mikufu hiyo. Mtoto alicheza na kucheka.
Akadeli alitazama chini aone kilichomchekesha mtoto. Akamwona jasusi amechutama karibu na mtoto wake.
Hofu ilimwandama, akauangusha mfuko wake uliojaa matunda.
Jasusi yule alitazama juu akasema, "Usiogope. Ninacheza tu na mtoto wako mrembo."
Polepole, Akadeli akashuka kutoka mtini.
Jasusi akampa mtoto mkufu mmoja, akisema, "Hii ni zawadi yako."
Akamwambia Akadeli, "Mchukue mtoto na mkoba wako uende nyumbani. Mwambie mume wako ahamie sehemu yenye amani zaidi. Mtoto wako amenifanya nibadili nia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto aliyeleta Amani Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Akadeli alimlaza mtoto wapi | {
"text": [
"Chini"
]
} |
2325_swa | Mtoto aliyeleta
Akadeli alimbeba mtoto wake. Alikwenda msituni kuchuma matunda.
Alipata mti uliojaa matunda mabivu.
Akadeli alimlaza mtoto wake chini akapanda mti.
Jasusi mmoja kutoka kijiji jirani alipitia pale akamwona mtoto. Kwa mshangao, akajiuliza, "Mamake mtoto huyu yuko wapi?"
Jasusi yule alipochutama, sauti ya mikufu aliyoivaa shingoni mwake, ilimwamsha mtoto.
Alimwacha mtoto aichezee mikufu hiyo. Mtoto alicheza na kucheka.
Akadeli alitazama chini aone kilichomchekesha mtoto. Akamwona jasusi amechutama karibu na mtoto wake.
Hofu ilimwandama, akauangusha mfuko wake uliojaa matunda.
Jasusi yule alitazama juu akasema, "Usiogope. Ninacheza tu na mtoto wako mrembo."
Polepole, Akadeli akashuka kutoka mtini.
Jasusi akampa mtoto mkufu mmoja, akisema, "Hii ni zawadi yako."
Akamwambia Akadeli, "Mchukue mtoto na mkoba wako uende nyumbani. Mwambie mume wako ahamie sehemu yenye amani zaidi. Mtoto wako amenifanya nibadili nia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto aliyeleta Amani Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni sauti ya nini iliamsha mtoto | {
"text": [
"Mikufu"
]
} |
2325_swa | Mtoto aliyeleta
Akadeli alimbeba mtoto wake. Alikwenda msituni kuchuma matunda.
Alipata mti uliojaa matunda mabivu.
Akadeli alimlaza mtoto wake chini akapanda mti.
Jasusi mmoja kutoka kijiji jirani alipitia pale akamwona mtoto. Kwa mshangao, akajiuliza, "Mamake mtoto huyu yuko wapi?"
Jasusi yule alipochutama, sauti ya mikufu aliyoivaa shingoni mwake, ilimwamsha mtoto.
Alimwacha mtoto aichezee mikufu hiyo. Mtoto alicheza na kucheka.
Akadeli alitazama chini aone kilichomchekesha mtoto. Akamwona jasusi amechutama karibu na mtoto wake.
Hofu ilimwandama, akauangusha mfuko wake uliojaa matunda.
Jasusi yule alitazama juu akasema, "Usiogope. Ninacheza tu na mtoto wako mrembo."
Polepole, Akadeli akashuka kutoka mtini.
Jasusi akampa mtoto mkufu mmoja, akisema, "Hii ni zawadi yako."
Akamwambia Akadeli, "Mchukue mtoto na mkoba wako uende nyumbani. Mwambie mume wako ahamie sehemu yenye amani zaidi. Mtoto wako amenifanya nibadili nia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto aliyeleta Amani Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alishuka kutoka kwa mti polepole | {
"text": [
"Akadeli"
]
} |
2325_swa | Mtoto aliyeleta
Akadeli alimbeba mtoto wake. Alikwenda msituni kuchuma matunda.
Alipata mti uliojaa matunda mabivu.
Akadeli alimlaza mtoto wake chini akapanda mti.
Jasusi mmoja kutoka kijiji jirani alipitia pale akamwona mtoto. Kwa mshangao, akajiuliza, "Mamake mtoto huyu yuko wapi?"
Jasusi yule alipochutama, sauti ya mikufu aliyoivaa shingoni mwake, ilimwamsha mtoto.
Alimwacha mtoto aichezee mikufu hiyo. Mtoto alicheza na kucheka.
Akadeli alitazama chini aone kilichomchekesha mtoto. Akamwona jasusi amechutama karibu na mtoto wake.
Hofu ilimwandama, akauangusha mfuko wake uliojaa matunda.
Jasusi yule alitazama juu akasema, "Usiogope. Ninacheza tu na mtoto wako mrembo."
Polepole, Akadeli akashuka kutoka mtini.
Jasusi akampa mtoto mkufu mmoja, akisema, "Hii ni zawadi yako."
Akamwambia Akadeli, "Mchukue mtoto na mkoba wako uende nyumbani. Mwambie mume wako ahamie sehemu yenye amani zaidi. Mtoto wako amenifanya nibadili nia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto aliyeleta Amani Author - John Nga'sike Translation - Translators without Borders Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyefanya jasusi abadili nia | {
"text": [
"Mtoto wa Akadeli"
]
} |
2328_swa | Mtoto Punda
Siku moja, msichana mdogo aliona umbo la ajabu kwa umbali.
Umbo hilo lilipokaribia, aligundua kwamba lilikuwa mwanamke mja mzito.
Kwa ushupavu, msichana huyo alimkaribia yule mwanamke mja mzito. Jamaa zake wakasema, "Hatuna budi kumkaribisha akae nasi. Tutamlinda hadi atakapomzaa mtoto wake."
Baadaye, mama huyo alikuwa tayari kujifungua. Majirani wakashughulika. "Sukuma! Leta blanketi! Maji! Suukuumaaa!"
Mama alijifungua. Majirani walipomwona mtoto, wote walirudi nyuma kwa mshtuko. "Punda!"
Wakaanza kugombana. "Tulikubali kuwa tutamlinda huyu mama hadi atakapojifungua, na hivyo ndivyo tutakavyofanya," kiongozi wao alisema. "Hapana! Tukifanya hivyo tutapata bahati mbaya!" alisema jirani mwingine.
Mama yule alijikuta peke yake tena. Akajiuliza, "Nitafanyaje na mtoto huyu mwenye kunifedhehesha?"
Hatimaye, alikubali kuwa huyo ni mtoto wake na yeye ndiye mamake. Mtoto punda angalibaki alivyozaliwa, mambo yangekuwa tofauti.
Lakini, alikua, akakua, hadi mamake akashindwa kumbeba mgongoni. Mamake mara nyingi alichoka na kuvunjika moyo. Mara nyingine mtoto punda alimfanyisha kazi za kinyama.
Mtoto punda alikasirika akachanganyikiwa. Hangeweza kufanya lolote kama binadamu. Hakufanana na huyu wala yule. Alizidi kukasirika hadi siku moja akampiga mamake teke akaanguka chini.
Mtoto punda aliona aibu. Akakimbilia mbali kadiri alivyoweza.
Aliendelea kukimbia hadi usiku alipotambua kuwa amepotea. "Hi ho?" Alinong'ona gizani. "Hi ho?" Mwangwi ukamrudia. Alijikunja mahali akalala usingizi wa mang'amung'amu.
Kulipokucha, mtoto punda aliamka na kumkuta mzee wa ajabu akimtazama. Naye pia akamtazama mzee machoni kwa hisia za matumaini. Mzee akasema, "Njoo twende kwangu."
Mtoto punda alikubali mwaliko wa mzee huyo. Mzee alimfundisha njia nyingi za maisha. Mtoto punda alijifunza mengi.
Asubuhi moja, mzee alimwomba mtoto punda ambebe hadi kilele cha mlima.
Walipofika juu mawinguni, walilala. Mtoto punda akaota kuwa mamake alikuwa mgonjwa na alikuwa anamwita.
Alipoamka, mawingu yalikuwa yametoweka na mzee rafikiye alikuwa hayupo.
Hatimaye, mtoto punda alifahamu atakavyofanya.
Mtoto punda alirudi nyumbani akamkuta mamake amenuna. Mama na mtoto wake mpotevu walitazamana kwa muda mrefu. Halafu wakakumbiatiana bila legezo.
Mtoto punda na mamake waliishi pamoja kwa ushirikiano. Waliishi kwa furaha pamoja na majirani wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto Punda Author - Lindiwe Matshikiza Translation - Translators without Borders Illustration - Meghan Judge Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Lindiwe Matshikiza, Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.donkeychildprojects.org | Nani aliona umbo la ajabu | {
"text": [
"Msichana mdogo"
]
} |
2328_swa | Mtoto Punda
Siku moja, msichana mdogo aliona umbo la ajabu kwa umbali.
Umbo hilo lilipokaribia, aligundua kwamba lilikuwa mwanamke mja mzito.
Kwa ushupavu, msichana huyo alimkaribia yule mwanamke mja mzito. Jamaa zake wakasema, "Hatuna budi kumkaribisha akae nasi. Tutamlinda hadi atakapomzaa mtoto wake."
Baadaye, mama huyo alikuwa tayari kujifungua. Majirani wakashughulika. "Sukuma! Leta blanketi! Maji! Suukuumaaa!"
Mama alijifungua. Majirani walipomwona mtoto, wote walirudi nyuma kwa mshtuko. "Punda!"
Wakaanza kugombana. "Tulikubali kuwa tutamlinda huyu mama hadi atakapojifungua, na hivyo ndivyo tutakavyofanya," kiongozi wao alisema. "Hapana! Tukifanya hivyo tutapata bahati mbaya!" alisema jirani mwingine.
Mama yule alijikuta peke yake tena. Akajiuliza, "Nitafanyaje na mtoto huyu mwenye kunifedhehesha?"
Hatimaye, alikubali kuwa huyo ni mtoto wake na yeye ndiye mamake. Mtoto punda angalibaki alivyozaliwa, mambo yangekuwa tofauti.
Lakini, alikua, akakua, hadi mamake akashindwa kumbeba mgongoni. Mamake mara nyingi alichoka na kuvunjika moyo. Mara nyingine mtoto punda alimfanyisha kazi za kinyama.
Mtoto punda alikasirika akachanganyikiwa. Hangeweza kufanya lolote kama binadamu. Hakufanana na huyu wala yule. Alizidi kukasirika hadi siku moja akampiga mamake teke akaanguka chini.
Mtoto punda aliona aibu. Akakimbilia mbali kadiri alivyoweza.
Aliendelea kukimbia hadi usiku alipotambua kuwa amepotea. "Hi ho?" Alinong'ona gizani. "Hi ho?" Mwangwi ukamrudia. Alijikunja mahali akalala usingizi wa mang'amung'amu.
Kulipokucha, mtoto punda aliamka na kumkuta mzee wa ajabu akimtazama. Naye pia akamtazama mzee machoni kwa hisia za matumaini. Mzee akasema, "Njoo twende kwangu."
Mtoto punda alikubali mwaliko wa mzee huyo. Mzee alimfundisha njia nyingi za maisha. Mtoto punda alijifunza mengi.
Asubuhi moja, mzee alimwomba mtoto punda ambebe hadi kilele cha mlima.
Walipofika juu mawinguni, walilala. Mtoto punda akaota kuwa mamake alikuwa mgonjwa na alikuwa anamwita.
Alipoamka, mawingu yalikuwa yametoweka na mzee rafikiye alikuwa hayupo.
Hatimaye, mtoto punda alifahamu atakavyofanya.
Mtoto punda alirudi nyumbani akamkuta mamake amenuna. Mama na mtoto wake mpotevu walitazamana kwa muda mrefu. Halafu wakakumbiatiana bila legezo.
Mtoto punda na mamake waliishi pamoja kwa ushirikiano. Waliishi kwa furaha pamoja na majirani wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto Punda Author - Lindiwe Matshikiza Translation - Translators without Borders Illustration - Meghan Judge Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Lindiwe Matshikiza, Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.donkeychildprojects.org | Umbo lilipokaribia aligundua kwamba lilikuwa nini | {
"text": [
"Mwanamke mja mzito"
]
} |
2328_swa | Mtoto Punda
Siku moja, msichana mdogo aliona umbo la ajabu kwa umbali.
Umbo hilo lilipokaribia, aligundua kwamba lilikuwa mwanamke mja mzito.
Kwa ushupavu, msichana huyo alimkaribia yule mwanamke mja mzito. Jamaa zake wakasema, "Hatuna budi kumkaribisha akae nasi. Tutamlinda hadi atakapomzaa mtoto wake."
Baadaye, mama huyo alikuwa tayari kujifungua. Majirani wakashughulika. "Sukuma! Leta blanketi! Maji! Suukuumaaa!"
Mama alijifungua. Majirani walipomwona mtoto, wote walirudi nyuma kwa mshtuko. "Punda!"
Wakaanza kugombana. "Tulikubali kuwa tutamlinda huyu mama hadi atakapojifungua, na hivyo ndivyo tutakavyofanya," kiongozi wao alisema. "Hapana! Tukifanya hivyo tutapata bahati mbaya!" alisema jirani mwingine.
Mama yule alijikuta peke yake tena. Akajiuliza, "Nitafanyaje na mtoto huyu mwenye kunifedhehesha?"
Hatimaye, alikubali kuwa huyo ni mtoto wake na yeye ndiye mamake. Mtoto punda angalibaki alivyozaliwa, mambo yangekuwa tofauti.
Lakini, alikua, akakua, hadi mamake akashindwa kumbeba mgongoni. Mamake mara nyingi alichoka na kuvunjika moyo. Mara nyingine mtoto punda alimfanyisha kazi za kinyama.
Mtoto punda alikasirika akachanganyikiwa. Hangeweza kufanya lolote kama binadamu. Hakufanana na huyu wala yule. Alizidi kukasirika hadi siku moja akampiga mamake teke akaanguka chini.
Mtoto punda aliona aibu. Akakimbilia mbali kadiri alivyoweza.
Aliendelea kukimbia hadi usiku alipotambua kuwa amepotea. "Hi ho?" Alinong'ona gizani. "Hi ho?" Mwangwi ukamrudia. Alijikunja mahali akalala usingizi wa mang'amung'amu.
Kulipokucha, mtoto punda aliamka na kumkuta mzee wa ajabu akimtazama. Naye pia akamtazama mzee machoni kwa hisia za matumaini. Mzee akasema, "Njoo twende kwangu."
Mtoto punda alikubali mwaliko wa mzee huyo. Mzee alimfundisha njia nyingi za maisha. Mtoto punda alijifunza mengi.
Asubuhi moja, mzee alimwomba mtoto punda ambebe hadi kilele cha mlima.
Walipofika juu mawinguni, walilala. Mtoto punda akaota kuwa mamake alikuwa mgonjwa na alikuwa anamwita.
Alipoamka, mawingu yalikuwa yametoweka na mzee rafikiye alikuwa hayupo.
Hatimaye, mtoto punda alifahamu atakavyofanya.
Mtoto punda alirudi nyumbani akamkuta mamake amenuna. Mama na mtoto wake mpotevu walitazamana kwa muda mrefu. Halafu wakakumbiatiana bila legezo.
Mtoto punda na mamake waliishi pamoja kwa ushirikiano. Waliishi kwa furaha pamoja na majirani wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto Punda Author - Lindiwe Matshikiza Translation - Translators without Borders Illustration - Meghan Judge Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Lindiwe Matshikiza, Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.donkeychildprojects.org | Majirani walipomwona mtoto, wote walifanya nini | {
"text": [
"Walirudi nyuma"
]
} |
2328_swa | Mtoto Punda
Siku moja, msichana mdogo aliona umbo la ajabu kwa umbali.
Umbo hilo lilipokaribia, aligundua kwamba lilikuwa mwanamke mja mzito.
Kwa ushupavu, msichana huyo alimkaribia yule mwanamke mja mzito. Jamaa zake wakasema, "Hatuna budi kumkaribisha akae nasi. Tutamlinda hadi atakapomzaa mtoto wake."
Baadaye, mama huyo alikuwa tayari kujifungua. Majirani wakashughulika. "Sukuma! Leta blanketi! Maji! Suukuumaaa!"
Mama alijifungua. Majirani walipomwona mtoto, wote walirudi nyuma kwa mshtuko. "Punda!"
Wakaanza kugombana. "Tulikubali kuwa tutamlinda huyu mama hadi atakapojifungua, na hivyo ndivyo tutakavyofanya," kiongozi wao alisema. "Hapana! Tukifanya hivyo tutapata bahati mbaya!" alisema jirani mwingine.
Mama yule alijikuta peke yake tena. Akajiuliza, "Nitafanyaje na mtoto huyu mwenye kunifedhehesha?"
Hatimaye, alikubali kuwa huyo ni mtoto wake na yeye ndiye mamake. Mtoto punda angalibaki alivyozaliwa, mambo yangekuwa tofauti.
Lakini, alikua, akakua, hadi mamake akashindwa kumbeba mgongoni. Mamake mara nyingi alichoka na kuvunjika moyo. Mara nyingine mtoto punda alimfanyisha kazi za kinyama.
Mtoto punda alikasirika akachanganyikiwa. Hangeweza kufanya lolote kama binadamu. Hakufanana na huyu wala yule. Alizidi kukasirika hadi siku moja akampiga mamake teke akaanguka chini.
Mtoto punda aliona aibu. Akakimbilia mbali kadiri alivyoweza.
Aliendelea kukimbia hadi usiku alipotambua kuwa amepotea. "Hi ho?" Alinong'ona gizani. "Hi ho?" Mwangwi ukamrudia. Alijikunja mahali akalala usingizi wa mang'amung'amu.
Kulipokucha, mtoto punda aliamka na kumkuta mzee wa ajabu akimtazama. Naye pia akamtazama mzee machoni kwa hisia za matumaini. Mzee akasema, "Njoo twende kwangu."
Mtoto punda alikubali mwaliko wa mzee huyo. Mzee alimfundisha njia nyingi za maisha. Mtoto punda alijifunza mengi.
Asubuhi moja, mzee alimwomba mtoto punda ambebe hadi kilele cha mlima.
Walipofika juu mawinguni, walilala. Mtoto punda akaota kuwa mamake alikuwa mgonjwa na alikuwa anamwita.
Alipoamka, mawingu yalikuwa yametoweka na mzee rafikiye alikuwa hayupo.
Hatimaye, mtoto punda alifahamu atakavyofanya.
Mtoto punda alirudi nyumbani akamkuta mamake amenuna. Mama na mtoto wake mpotevu walitazamana kwa muda mrefu. Halafu wakakumbiatiana bila legezo.
Mtoto punda na mamake waliishi pamoja kwa ushirikiano. Waliishi kwa furaha pamoja na majirani wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto Punda Author - Lindiwe Matshikiza Translation - Translators without Borders Illustration - Meghan Judge Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Lindiwe Matshikiza, Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.donkeychildprojects.org | Nani alimwomba mtoto punda ambebe hadi kilele cha mlima | {
"text": [
"Mzee"
]
} |
2328_swa | Mtoto Punda
Siku moja, msichana mdogo aliona umbo la ajabu kwa umbali.
Umbo hilo lilipokaribia, aligundua kwamba lilikuwa mwanamke mja mzito.
Kwa ushupavu, msichana huyo alimkaribia yule mwanamke mja mzito. Jamaa zake wakasema, "Hatuna budi kumkaribisha akae nasi. Tutamlinda hadi atakapomzaa mtoto wake."
Baadaye, mama huyo alikuwa tayari kujifungua. Majirani wakashughulika. "Sukuma! Leta blanketi! Maji! Suukuumaaa!"
Mama alijifungua. Majirani walipomwona mtoto, wote walirudi nyuma kwa mshtuko. "Punda!"
Wakaanza kugombana. "Tulikubali kuwa tutamlinda huyu mama hadi atakapojifungua, na hivyo ndivyo tutakavyofanya," kiongozi wao alisema. "Hapana! Tukifanya hivyo tutapata bahati mbaya!" alisema jirani mwingine.
Mama yule alijikuta peke yake tena. Akajiuliza, "Nitafanyaje na mtoto huyu mwenye kunifedhehesha?"
Hatimaye, alikubali kuwa huyo ni mtoto wake na yeye ndiye mamake. Mtoto punda angalibaki alivyozaliwa, mambo yangekuwa tofauti.
Lakini, alikua, akakua, hadi mamake akashindwa kumbeba mgongoni. Mamake mara nyingi alichoka na kuvunjika moyo. Mara nyingine mtoto punda alimfanyisha kazi za kinyama.
Mtoto punda alikasirika akachanganyikiwa. Hangeweza kufanya lolote kama binadamu. Hakufanana na huyu wala yule. Alizidi kukasirika hadi siku moja akampiga mamake teke akaanguka chini.
Mtoto punda aliona aibu. Akakimbilia mbali kadiri alivyoweza.
Aliendelea kukimbia hadi usiku alipotambua kuwa amepotea. "Hi ho?" Alinong'ona gizani. "Hi ho?" Mwangwi ukamrudia. Alijikunja mahali akalala usingizi wa mang'amung'amu.
Kulipokucha, mtoto punda aliamka na kumkuta mzee wa ajabu akimtazama. Naye pia akamtazama mzee machoni kwa hisia za matumaini. Mzee akasema, "Njoo twende kwangu."
Mtoto punda alikubali mwaliko wa mzee huyo. Mzee alimfundisha njia nyingi za maisha. Mtoto punda alijifunza mengi.
Asubuhi moja, mzee alimwomba mtoto punda ambebe hadi kilele cha mlima.
Walipofika juu mawinguni, walilala. Mtoto punda akaota kuwa mamake alikuwa mgonjwa na alikuwa anamwita.
Alipoamka, mawingu yalikuwa yametoweka na mzee rafikiye alikuwa hayupo.
Hatimaye, mtoto punda alifahamu atakavyofanya.
Mtoto punda alirudi nyumbani akamkuta mamake amenuna. Mama na mtoto wake mpotevu walitazamana kwa muda mrefu. Halafu wakakumbiatiana bila legezo.
Mtoto punda na mamake waliishi pamoja kwa ushirikiano. Waliishi kwa furaha pamoja na majirani wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto Punda Author - Lindiwe Matshikiza Translation - Translators without Borders Illustration - Meghan Judge Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Lindiwe Matshikiza, Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.donkeychildprojects.org | Nani aliota kuwa mamake alikuwa mgonjwa na alikuwa anamwita | {
"text": [
"Mtoto punda"
]
} |
2329_swa | Mtoto wa Kima
Katika msitu wa Miwa, aliishi Kima mwenye huzuni. Kila alipozaa mtoto, aliaga dunia.
Uchungu wa kuwapoteza watoto ulimfanya Kima kuruka juu na chini. Angeruka kutoka tawi moja hadi nyingine huku akilia, "Kwi! Kwi! Kwi!"
Alihuzunika zaidi alipowaona kima wengine wakiwa na watoto wao.
Kima huyo alizoea kuketi juu ya tawi na ktazama juu! Siku zilivyopita, ndivyo Kima alilia zaidi na zaidi.
Baadaye, alimzaa mtoto mwingine. Aliamua kumpeleka njiani ili watu wote waliopita wamwone na kumtakia heri.
Siku moja, Kima alishuka kutoka mtini na kumweka mtoto wake njiani. Wakati huo, mwindaji mmoja alikuwa akirudi nyumbani. Alimwona mtoto wa Kima akilala kando ya njia.
Mwindaji huyo alimbeba mtoto wa Kima na kumpeleka nyumbani kwake. Alipofika, kila mmoja wa wanawe watatu alitaka kumbeba mtoto wa Kima.
Walicheza na kuimba: Mtupe juu! Mtupe chini! Nitupie mimi! Mtupie yeye! Walimtupa mtoto wa Kima kutoka kwa mmoja hadi kwa mwingine.
Walipokuwa wakicheza na mtoto wa Kima, mama Kima alijificha mtini na kuwatzama. Alihofia kwamba mwanawe angekufa kama vile wale wengine walivyokufa.
Mke wa mwindaji aliwaona wanawe wakicheza na yule mtoto wa Kima. Akasema, "Tahadharini wanangu! Hebu mleteni hapa. Mtamwangusha!"
Alimshika mtoto wa Kima na kumbariki.
Kisha mke wa mwindaji alimweka mtoto wa Kima chini. Mama Kima alimbeba mtoto wake kifuani akatowekea mtini. Hakumpoteza tena mtoto mwingine!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Kima Author - Wesley Kipkorir Rop Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni msitu gani ambao Kima aliishi | {
"text": [
"msitu wa miwa"
]
} |
2329_swa | Mtoto wa Kima
Katika msitu wa Miwa, aliishi Kima mwenye huzuni. Kila alipozaa mtoto, aliaga dunia.
Uchungu wa kuwapoteza watoto ulimfanya Kima kuruka juu na chini. Angeruka kutoka tawi moja hadi nyingine huku akilia, "Kwi! Kwi! Kwi!"
Alihuzunika zaidi alipowaona kima wengine wakiwa na watoto wao.
Kima huyo alizoea kuketi juu ya tawi na ktazama juu! Siku zilivyopita, ndivyo Kima alilia zaidi na zaidi.
Baadaye, alimzaa mtoto mwingine. Aliamua kumpeleka njiani ili watu wote waliopita wamwone na kumtakia heri.
Siku moja, Kima alishuka kutoka mtini na kumweka mtoto wake njiani. Wakati huo, mwindaji mmoja alikuwa akirudi nyumbani. Alimwona mtoto wa Kima akilala kando ya njia.
Mwindaji huyo alimbeba mtoto wa Kima na kumpeleka nyumbani kwake. Alipofika, kila mmoja wa wanawe watatu alitaka kumbeba mtoto wa Kima.
Walicheza na kuimba: Mtupe juu! Mtupe chini! Nitupie mimi! Mtupie yeye! Walimtupa mtoto wa Kima kutoka kwa mmoja hadi kwa mwingine.
Walipokuwa wakicheza na mtoto wa Kima, mama Kima alijificha mtini na kuwatzama. Alihofia kwamba mwanawe angekufa kama vile wale wengine walivyokufa.
Mke wa mwindaji aliwaona wanawe wakicheza na yule mtoto wa Kima. Akasema, "Tahadharini wanangu! Hebu mleteni hapa. Mtamwangusha!"
Alimshika mtoto wa Kima na kumbariki.
Kisha mke wa mwindaji alimweka mtoto wa Kima chini. Mama Kima alimbeba mtoto wake kifuani akatowekea mtini. Hakumpoteza tena mtoto mwingine!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Kima Author - Wesley Kipkorir Rop Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kima alimpeleka mtoto wake njiani ili waliopita wafanye nini | {
"text": [
"wamtakie heri"
]
} |
2329_swa | Mtoto wa Kima
Katika msitu wa Miwa, aliishi Kima mwenye huzuni. Kila alipozaa mtoto, aliaga dunia.
Uchungu wa kuwapoteza watoto ulimfanya Kima kuruka juu na chini. Angeruka kutoka tawi moja hadi nyingine huku akilia, "Kwi! Kwi! Kwi!"
Alihuzunika zaidi alipowaona kima wengine wakiwa na watoto wao.
Kima huyo alizoea kuketi juu ya tawi na ktazama juu! Siku zilivyopita, ndivyo Kima alilia zaidi na zaidi.
Baadaye, alimzaa mtoto mwingine. Aliamua kumpeleka njiani ili watu wote waliopita wamwone na kumtakia heri.
Siku moja, Kima alishuka kutoka mtini na kumweka mtoto wake njiani. Wakati huo, mwindaji mmoja alikuwa akirudi nyumbani. Alimwona mtoto wa Kima akilala kando ya njia.
Mwindaji huyo alimbeba mtoto wa Kima na kumpeleka nyumbani kwake. Alipofika, kila mmoja wa wanawe watatu alitaka kumbeba mtoto wa Kima.
Walicheza na kuimba: Mtupe juu! Mtupe chini! Nitupie mimi! Mtupie yeye! Walimtupa mtoto wa Kima kutoka kwa mmoja hadi kwa mwingine.
Walipokuwa wakicheza na mtoto wa Kima, mama Kima alijificha mtini na kuwatzama. Alihofia kwamba mwanawe angekufa kama vile wale wengine walivyokufa.
Mke wa mwindaji aliwaona wanawe wakicheza na yule mtoto wa Kima. Akasema, "Tahadharini wanangu! Hebu mleteni hapa. Mtamwangusha!"
Alimshika mtoto wa Kima na kumbariki.
Kisha mke wa mwindaji alimweka mtoto wa Kima chini. Mama Kima alimbeba mtoto wake kifuani akatowekea mtini. Hakumpoteza tena mtoto mwingine!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Kima Author - Wesley Kipkorir Rop Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani alimbeba mtoto wa Kima | {
"text": [
"mwindaji"
]
} |
2329_swa | Mtoto wa Kima
Katika msitu wa Miwa, aliishi Kima mwenye huzuni. Kila alipozaa mtoto, aliaga dunia.
Uchungu wa kuwapoteza watoto ulimfanya Kima kuruka juu na chini. Angeruka kutoka tawi moja hadi nyingine huku akilia, "Kwi! Kwi! Kwi!"
Alihuzunika zaidi alipowaona kima wengine wakiwa na watoto wao.
Kima huyo alizoea kuketi juu ya tawi na ktazama juu! Siku zilivyopita, ndivyo Kima alilia zaidi na zaidi.
Baadaye, alimzaa mtoto mwingine. Aliamua kumpeleka njiani ili watu wote waliopita wamwone na kumtakia heri.
Siku moja, Kima alishuka kutoka mtini na kumweka mtoto wake njiani. Wakati huo, mwindaji mmoja alikuwa akirudi nyumbani. Alimwona mtoto wa Kima akilala kando ya njia.
Mwindaji huyo alimbeba mtoto wa Kima na kumpeleka nyumbani kwake. Alipofika, kila mmoja wa wanawe watatu alitaka kumbeba mtoto wa Kima.
Walicheza na kuimba: Mtupe juu! Mtupe chini! Nitupie mimi! Mtupie yeye! Walimtupa mtoto wa Kima kutoka kwa mmoja hadi kwa mwingine.
Walipokuwa wakicheza na mtoto wa Kima, mama Kima alijificha mtini na kuwatzama. Alihofia kwamba mwanawe angekufa kama vile wale wengine walivyokufa.
Mke wa mwindaji aliwaona wanawe wakicheza na yule mtoto wa Kima. Akasema, "Tahadharini wanangu! Hebu mleteni hapa. Mtamwangusha!"
Alimshika mtoto wa Kima na kumbariki.
Kisha mke wa mwindaji alimweka mtoto wa Kima chini. Mama Kima alimbeba mtoto wake kifuani akatowekea mtini. Hakumpoteza tena mtoto mwingine!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Kima Author - Wesley Kipkorir Rop Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mtoto wa Kima alibebwa kutoka njiani lini | {
"text": [
"mwindaji alipokua akirudi"
]
} |
2329_swa | Mtoto wa Kima
Katika msitu wa Miwa, aliishi Kima mwenye huzuni. Kila alipozaa mtoto, aliaga dunia.
Uchungu wa kuwapoteza watoto ulimfanya Kima kuruka juu na chini. Angeruka kutoka tawi moja hadi nyingine huku akilia, "Kwi! Kwi! Kwi!"
Alihuzunika zaidi alipowaona kima wengine wakiwa na watoto wao.
Kima huyo alizoea kuketi juu ya tawi na ktazama juu! Siku zilivyopita, ndivyo Kima alilia zaidi na zaidi.
Baadaye, alimzaa mtoto mwingine. Aliamua kumpeleka njiani ili watu wote waliopita wamwone na kumtakia heri.
Siku moja, Kima alishuka kutoka mtini na kumweka mtoto wake njiani. Wakati huo, mwindaji mmoja alikuwa akirudi nyumbani. Alimwona mtoto wa Kima akilala kando ya njia.
Mwindaji huyo alimbeba mtoto wa Kima na kumpeleka nyumbani kwake. Alipofika, kila mmoja wa wanawe watatu alitaka kumbeba mtoto wa Kima.
Walicheza na kuimba: Mtupe juu! Mtupe chini! Nitupie mimi! Mtupie yeye! Walimtupa mtoto wa Kima kutoka kwa mmoja hadi kwa mwingine.
Walipokuwa wakicheza na mtoto wa Kima, mama Kima alijificha mtini na kuwatzama. Alihofia kwamba mwanawe angekufa kama vile wale wengine walivyokufa.
Mke wa mwindaji aliwaona wanawe wakicheza na yule mtoto wa Kima. Akasema, "Tahadharini wanangu! Hebu mleteni hapa. Mtamwangusha!"
Alimshika mtoto wa Kima na kumbariki.
Kisha mke wa mwindaji alimweka mtoto wa Kima chini. Mama Kima alimbeba mtoto wake kifuani akatowekea mtini. Hakumpoteza tena mtoto mwingine!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Kima Author - Wesley Kipkorir Rop Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Kima aliruka juu na chini akilia | {
"text": [
"alikua na uchungu wa kuwapoteza watoto"
]
} |
2330_swa | Mtoto wa miujiza
Hapo kale aliishi mzee mmoja aliyeitwa Lotum. Mkewe aliitwa Akiru. Lotum aliwafuga mbuzi, ngamia, ng'ombe na punda.
Waliishi kwa muda mrefu bila kujaliwa mtoto. Baadaye, Akiru alijifungua mtoto mrembo. Lotum alifurahi na kujivunia mkewe.
Siku moja, Akiru alimwacha mtoto nyumbani pekee ili aende kuwakama ng'ombe. Kwa kawaida, alimwachia kibuyu cha maziwa.
Kila alipoachwa nyumbani, mtoto angeamka na kunywa maziwa yote kisha aanze kulia. Mamake angekimbia chumbani kumtuliza.
Kila wakati Akiru alikipata kibuyu cha maziwa kikiwa kitupu. Alishangazwa sana asijue ni nani aliyeyanywa maziwa yote.
Baada ya muda, Akiru alimjulisha mumewe Lotum mambo hayo. Lotum akaamua kupeleleza.
Lotum alijificha chumbani humo. Mara alimwona mtoto akibugia kibuyu cha maziwa mdomoni. Alishangaa kumwona mtoto akiyanywa maziwa na kuyamaliza.
Lotum na mkewe waligundua haya. Waliamua kuondoka usiku mtoto alipokuwa amelala.
Walimwachia mtoto wao ng'ombe mmoja, ngamia mmoja na mbuzi mmoja.
Mtoto alipoamka alishangazwa na jinsi nyumba ilivyokuwa tulivu. Akawaona wanyama alioachiwa. Alikasirika na kuwaua ngamia na mbuzi. Hatimaye, alijitosa tumboni mwa ng'ombe.
Siku moja ng'ombe akiwa malishoni, mwanamume mmoja alimwona, akafikiria, "Nitamchinja ng'ombe huyu nipate kitoweo."
Mara akachomoa mkuki na kumfuma tumboni akafa. Alipokuwa akimchuna ngozi, alisikia sauti kutoka tumboni mwa ng'ombe, "Usiniumize, nimo humu!"
Mtoto huyo alitoka tumboni mwa ng'ombe na kujinatisha kwenye kichwa cha mwanamume huyo. Mwanamume alijawa na hofu akatoroka kabla ya kuila ile nyama.
Walipofika nyumbani, mtoto alijinasua na kukaa mwambani. Mwanamume alimchinjia mtoto kondoo dume aliyenona. Mtoto yule alikula, akashiba, akafurahi.
Usiku huo alitoweka asionekane tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa miujiza Author - Simon Ipoo and Jackline Akute Translation - Alice Edui Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mkewe Lotum aliitwa nani | {
"text": [
"Akiru"
]
} |
2330_swa | Mtoto wa miujiza
Hapo kale aliishi mzee mmoja aliyeitwa Lotum. Mkewe aliitwa Akiru. Lotum aliwafuga mbuzi, ngamia, ng'ombe na punda.
Waliishi kwa muda mrefu bila kujaliwa mtoto. Baadaye, Akiru alijifungua mtoto mrembo. Lotum alifurahi na kujivunia mkewe.
Siku moja, Akiru alimwacha mtoto nyumbani pekee ili aende kuwakama ng'ombe. Kwa kawaida, alimwachia kibuyu cha maziwa.
Kila alipoachwa nyumbani, mtoto angeamka na kunywa maziwa yote kisha aanze kulia. Mamake angekimbia chumbani kumtuliza.
Kila wakati Akiru alikipata kibuyu cha maziwa kikiwa kitupu. Alishangazwa sana asijue ni nani aliyeyanywa maziwa yote.
Baada ya muda, Akiru alimjulisha mumewe Lotum mambo hayo. Lotum akaamua kupeleleza.
Lotum alijificha chumbani humo. Mara alimwona mtoto akibugia kibuyu cha maziwa mdomoni. Alishangaa kumwona mtoto akiyanywa maziwa na kuyamaliza.
Lotum na mkewe waligundua haya. Waliamua kuondoka usiku mtoto alipokuwa amelala.
Walimwachia mtoto wao ng'ombe mmoja, ngamia mmoja na mbuzi mmoja.
Mtoto alipoamka alishangazwa na jinsi nyumba ilivyokuwa tulivu. Akawaona wanyama alioachiwa. Alikasirika na kuwaua ngamia na mbuzi. Hatimaye, alijitosa tumboni mwa ng'ombe.
Siku moja ng'ombe akiwa malishoni, mwanamume mmoja alimwona, akafikiria, "Nitamchinja ng'ombe huyu nipate kitoweo."
Mara akachomoa mkuki na kumfuma tumboni akafa. Alipokuwa akimchuna ngozi, alisikia sauti kutoka tumboni mwa ng'ombe, "Usiniumize, nimo humu!"
Mtoto huyo alitoka tumboni mwa ng'ombe na kujinatisha kwenye kichwa cha mwanamume huyo. Mwanamume alijawa na hofu akatoroka kabla ya kuila ile nyama.
Walipofika nyumbani, mtoto alijinasua na kukaa mwambani. Mwanamume alimchinjia mtoto kondoo dume aliyenona. Mtoto yule alikula, akashiba, akafurahi.
Usiku huo alitoweka asionekane tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa miujiza Author - Simon Ipoo and Jackline Akute Translation - Alice Edui Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Lotum na mkewe Akiru walijaliwa nini | {
"text": [
"Mtoto"
]
} |
2330_swa | Mtoto wa miujiza
Hapo kale aliishi mzee mmoja aliyeitwa Lotum. Mkewe aliitwa Akiru. Lotum aliwafuga mbuzi, ngamia, ng'ombe na punda.
Waliishi kwa muda mrefu bila kujaliwa mtoto. Baadaye, Akiru alijifungua mtoto mrembo. Lotum alifurahi na kujivunia mkewe.
Siku moja, Akiru alimwacha mtoto nyumbani pekee ili aende kuwakama ng'ombe. Kwa kawaida, alimwachia kibuyu cha maziwa.
Kila alipoachwa nyumbani, mtoto angeamka na kunywa maziwa yote kisha aanze kulia. Mamake angekimbia chumbani kumtuliza.
Kila wakati Akiru alikipata kibuyu cha maziwa kikiwa kitupu. Alishangazwa sana asijue ni nani aliyeyanywa maziwa yote.
Baada ya muda, Akiru alimjulisha mumewe Lotum mambo hayo. Lotum akaamua kupeleleza.
Lotum alijificha chumbani humo. Mara alimwona mtoto akibugia kibuyu cha maziwa mdomoni. Alishangaa kumwona mtoto akiyanywa maziwa na kuyamaliza.
Lotum na mkewe waligundua haya. Waliamua kuondoka usiku mtoto alipokuwa amelala.
Walimwachia mtoto wao ng'ombe mmoja, ngamia mmoja na mbuzi mmoja.
Mtoto alipoamka alishangazwa na jinsi nyumba ilivyokuwa tulivu. Akawaona wanyama alioachiwa. Alikasirika na kuwaua ngamia na mbuzi. Hatimaye, alijitosa tumboni mwa ng'ombe.
Siku moja ng'ombe akiwa malishoni, mwanamume mmoja alimwona, akafikiria, "Nitamchinja ng'ombe huyu nipate kitoweo."
Mara akachomoa mkuki na kumfuma tumboni akafa. Alipokuwa akimchuna ngozi, alisikia sauti kutoka tumboni mwa ng'ombe, "Usiniumize, nimo humu!"
Mtoto huyo alitoka tumboni mwa ng'ombe na kujinatisha kwenye kichwa cha mwanamume huyo. Mwanamume alijawa na hofu akatoroka kabla ya kuila ile nyama.
Walipofika nyumbani, mtoto alijinasua na kukaa mwambani. Mwanamume alimchinjia mtoto kondoo dume aliyenona. Mtoto yule alikula, akashiba, akafurahi.
Usiku huo alitoweka asionekane tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa miujiza Author - Simon Ipoo and Jackline Akute Translation - Alice Edui Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Akiru alimwachia mwanawe nini | {
"text": [
"Kibuyu cha maziwa"
]
} |
2330_swa | Mtoto wa miujiza
Hapo kale aliishi mzee mmoja aliyeitwa Lotum. Mkewe aliitwa Akiru. Lotum aliwafuga mbuzi, ngamia, ng'ombe na punda.
Waliishi kwa muda mrefu bila kujaliwa mtoto. Baadaye, Akiru alijifungua mtoto mrembo. Lotum alifurahi na kujivunia mkewe.
Siku moja, Akiru alimwacha mtoto nyumbani pekee ili aende kuwakama ng'ombe. Kwa kawaida, alimwachia kibuyu cha maziwa.
Kila alipoachwa nyumbani, mtoto angeamka na kunywa maziwa yote kisha aanze kulia. Mamake angekimbia chumbani kumtuliza.
Kila wakati Akiru alikipata kibuyu cha maziwa kikiwa kitupu. Alishangazwa sana asijue ni nani aliyeyanywa maziwa yote.
Baada ya muda, Akiru alimjulisha mumewe Lotum mambo hayo. Lotum akaamua kupeleleza.
Lotum alijificha chumbani humo. Mara alimwona mtoto akibugia kibuyu cha maziwa mdomoni. Alishangaa kumwona mtoto akiyanywa maziwa na kuyamaliza.
Lotum na mkewe waligundua haya. Waliamua kuondoka usiku mtoto alipokuwa amelala.
Walimwachia mtoto wao ng'ombe mmoja, ngamia mmoja na mbuzi mmoja.
Mtoto alipoamka alishangazwa na jinsi nyumba ilivyokuwa tulivu. Akawaona wanyama alioachiwa. Alikasirika na kuwaua ngamia na mbuzi. Hatimaye, alijitosa tumboni mwa ng'ombe.
Siku moja ng'ombe akiwa malishoni, mwanamume mmoja alimwona, akafikiria, "Nitamchinja ng'ombe huyu nipate kitoweo."
Mara akachomoa mkuki na kumfuma tumboni akafa. Alipokuwa akimchuna ngozi, alisikia sauti kutoka tumboni mwa ng'ombe, "Usiniumize, nimo humu!"
Mtoto huyo alitoka tumboni mwa ng'ombe na kujinatisha kwenye kichwa cha mwanamume huyo. Mwanamume alijawa na hofu akatoroka kabla ya kuila ile nyama.
Walipofika nyumbani, mtoto alijinasua na kukaa mwambani. Mwanamume alimchinjia mtoto kondoo dume aliyenona. Mtoto yule alikula, akashiba, akafurahi.
Usiku huo alitoweka asionekane tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa miujiza Author - Simon Ipoo and Jackline Akute Translation - Alice Edui Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliyemwaga maziwa kibuyuni | {
"text": [
"Mtoto"
]
} |
2330_swa | Mtoto wa miujiza
Hapo kale aliishi mzee mmoja aliyeitwa Lotum. Mkewe aliitwa Akiru. Lotum aliwafuga mbuzi, ngamia, ng'ombe na punda.
Waliishi kwa muda mrefu bila kujaliwa mtoto. Baadaye, Akiru alijifungua mtoto mrembo. Lotum alifurahi na kujivunia mkewe.
Siku moja, Akiru alimwacha mtoto nyumbani pekee ili aende kuwakama ng'ombe. Kwa kawaida, alimwachia kibuyu cha maziwa.
Kila alipoachwa nyumbani, mtoto angeamka na kunywa maziwa yote kisha aanze kulia. Mamake angekimbia chumbani kumtuliza.
Kila wakati Akiru alikipata kibuyu cha maziwa kikiwa kitupu. Alishangazwa sana asijue ni nani aliyeyanywa maziwa yote.
Baada ya muda, Akiru alimjulisha mumewe Lotum mambo hayo. Lotum akaamua kupeleleza.
Lotum alijificha chumbani humo. Mara alimwona mtoto akibugia kibuyu cha maziwa mdomoni. Alishangaa kumwona mtoto akiyanywa maziwa na kuyamaliza.
Lotum na mkewe waligundua haya. Waliamua kuondoka usiku mtoto alipokuwa amelala.
Walimwachia mtoto wao ng'ombe mmoja, ngamia mmoja na mbuzi mmoja.
Mtoto alipoamka alishangazwa na jinsi nyumba ilivyokuwa tulivu. Akawaona wanyama alioachiwa. Alikasirika na kuwaua ngamia na mbuzi. Hatimaye, alijitosa tumboni mwa ng'ombe.
Siku moja ng'ombe akiwa malishoni, mwanamume mmoja alimwona, akafikiria, "Nitamchinja ng'ombe huyu nipate kitoweo."
Mara akachomoa mkuki na kumfuma tumboni akafa. Alipokuwa akimchuna ngozi, alisikia sauti kutoka tumboni mwa ng'ombe, "Usiniumize, nimo humu!"
Mtoto huyo alitoka tumboni mwa ng'ombe na kujinatisha kwenye kichwa cha mwanamume huyo. Mwanamume alijawa na hofu akatoroka kabla ya kuila ile nyama.
Walipofika nyumbani, mtoto alijinasua na kukaa mwambani. Mwanamume alimchinjia mtoto kondoo dume aliyenona. Mtoto yule alikula, akashiba, akafurahi.
Usiku huo alitoweka asionekane tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa miujiza Author - Simon Ipoo and Jackline Akute Translation - Alice Edui Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mwanawe Lotum alienda wapi baada ya kuachwa na waziwe | {
"text": [
"Tumboni mwa ng'ombe"
]
} |
2331_swa | Mtoto wa Tembo Mdadisi
Twafahamu kuwa Tembo ana mkonga mrefu.
Zamani, pua la Tembo lilikuwa fupi na nono. Pua hilo lilionekana kama kiatu kilichopachikwa katikati ya uso wake.
Siku moja, Tembo alizaa mtoto aliyekuwa mdadisi sana. Alimwuliza swali kila mnyama aliyemuona.
Mtoto wa Tembo alimdadisi Twiga, "Kwa nini shingo yako ni ndefu?"
Pia alimdadisi Kifaru, "Kwa nini pembe yako ina ncha iliyochongoka sana?"
Mtoto wa Tembo pia alimdadisi Kiboko, "Kwa nini una macho mekundu?"
Alipomwona Mamba, alimdadisi, "Wewe hula nini?"
Mamake alimwonya, "Mwanangu, usiwaulize wanyama maswali kama hayo?" Mtoto wa Tembo alinuna akaenda kucheza.
Kunguru mwerevu akamwambia Mtoto wa Tembo, "Nifuate twende mtoni nikuonyeshe wanachokula mamba."
Mtoto wa Tembo akamfuata Kunguru hadi mtoni.
Alijipenyeza katikati ya mianzi kwenye ukingo wa mto. Akatazama majini kisha akauliza, "Mamba mwenyewe yuko wapi?"
Jiwe lililokuwa karibu na mto lilisema, "Hujambo?" "Sijambo. Unaweza kunieleza mamba hula nini jioni?" alijibu Mtoto wa Tembo.
Jiwe lilimjibu, "Hebu inama kidogo nikwambie wanachokula mamba." Mtoto wa Tembo aliinama chini karibu kabisa na lile jiwe.
Wakati huo huo pua la Mtoto wa Tembo lilikuwa kinywani mwa mamba. "Mamba ataila nyama yako leo," Kunguru mjanja akasema.
Mtoto wa Tembo akakita chini miguu yake yenye nguvu, akasimama imara akaanza kujivuta. Mamba hakuliachilia pua la Mtoto wa Tembo.
Pua la Mtoto wa Tembo likarefuka zaidi, kisha, puu! Mtoto wa Tembo akaanguka kichalichali.
Baada ya kukikosa chakula chake, mamba alizamia majini na kutokomea.
Mtoto wa Tembo alilitazama pua lake. Lilikuwa refu kama mkonga na hakuweza kuona lilipoishia.
Mkonga wake mrefu ulimwezesha kuchuma matunda yaliyokuwa kwenye matawi ya juu.
Pia, aliweza kuoga wakati wa joto kuutumia mkonga ule.
Hadi leo, tembo wote huwa na mikonga mirefu inayowafaidi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Tembo Mdadisi Author - Judith Baker and Lorato Trok Translation - Prisca Mdee Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Tembo ana nini | {
"text": [
"mkonga mrefu"
]
} |
2331_swa | Mtoto wa Tembo Mdadisi
Twafahamu kuwa Tembo ana mkonga mrefu.
Zamani, pua la Tembo lilikuwa fupi na nono. Pua hilo lilionekana kama kiatu kilichopachikwa katikati ya uso wake.
Siku moja, Tembo alizaa mtoto aliyekuwa mdadisi sana. Alimwuliza swali kila mnyama aliyemuona.
Mtoto wa Tembo alimdadisi Twiga, "Kwa nini shingo yako ni ndefu?"
Pia alimdadisi Kifaru, "Kwa nini pembe yako ina ncha iliyochongoka sana?"
Mtoto wa Tembo pia alimdadisi Kiboko, "Kwa nini una macho mekundu?"
Alipomwona Mamba, alimdadisi, "Wewe hula nini?"
Mamake alimwonya, "Mwanangu, usiwaulize wanyama maswali kama hayo?" Mtoto wa Tembo alinuna akaenda kucheza.
Kunguru mwerevu akamwambia Mtoto wa Tembo, "Nifuate twende mtoni nikuonyeshe wanachokula mamba."
Mtoto wa Tembo akamfuata Kunguru hadi mtoni.
Alijipenyeza katikati ya mianzi kwenye ukingo wa mto. Akatazama majini kisha akauliza, "Mamba mwenyewe yuko wapi?"
Jiwe lililokuwa karibu na mto lilisema, "Hujambo?" "Sijambo. Unaweza kunieleza mamba hula nini jioni?" alijibu Mtoto wa Tembo.
Jiwe lilimjibu, "Hebu inama kidogo nikwambie wanachokula mamba." Mtoto wa Tembo aliinama chini karibu kabisa na lile jiwe.
Wakati huo huo pua la Mtoto wa Tembo lilikuwa kinywani mwa mamba. "Mamba ataila nyama yako leo," Kunguru mjanja akasema.
Mtoto wa Tembo akakita chini miguu yake yenye nguvu, akasimama imara akaanza kujivuta. Mamba hakuliachilia pua la Mtoto wa Tembo.
Pua la Mtoto wa Tembo likarefuka zaidi, kisha, puu! Mtoto wa Tembo akaanguka kichalichali.
Baada ya kukikosa chakula chake, mamba alizamia majini na kutokomea.
Mtoto wa Tembo alilitazama pua lake. Lilikuwa refu kama mkonga na hakuweza kuona lilipoishia.
Mkonga wake mrefu ulimwezesha kuchuma matunda yaliyokuwa kwenye matawi ya juu.
Pia, aliweza kuoga wakati wa joto kuutumia mkonga ule.
Hadi leo, tembo wote huwa na mikonga mirefu inayowafaidi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Tembo Mdadisi Author - Judith Baker and Lorato Trok Translation - Prisca Mdee Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kunguru alimwambia mtoto wa tembo amfuate mtoni amuonyeshe nini | {
"text": [
"wanachokula mamba"
]
} |
2331_swa | Mtoto wa Tembo Mdadisi
Twafahamu kuwa Tembo ana mkonga mrefu.
Zamani, pua la Tembo lilikuwa fupi na nono. Pua hilo lilionekana kama kiatu kilichopachikwa katikati ya uso wake.
Siku moja, Tembo alizaa mtoto aliyekuwa mdadisi sana. Alimwuliza swali kila mnyama aliyemuona.
Mtoto wa Tembo alimdadisi Twiga, "Kwa nini shingo yako ni ndefu?"
Pia alimdadisi Kifaru, "Kwa nini pembe yako ina ncha iliyochongoka sana?"
Mtoto wa Tembo pia alimdadisi Kiboko, "Kwa nini una macho mekundu?"
Alipomwona Mamba, alimdadisi, "Wewe hula nini?"
Mamake alimwonya, "Mwanangu, usiwaulize wanyama maswali kama hayo?" Mtoto wa Tembo alinuna akaenda kucheza.
Kunguru mwerevu akamwambia Mtoto wa Tembo, "Nifuate twende mtoni nikuonyeshe wanachokula mamba."
Mtoto wa Tembo akamfuata Kunguru hadi mtoni.
Alijipenyeza katikati ya mianzi kwenye ukingo wa mto. Akatazama majini kisha akauliza, "Mamba mwenyewe yuko wapi?"
Jiwe lililokuwa karibu na mto lilisema, "Hujambo?" "Sijambo. Unaweza kunieleza mamba hula nini jioni?" alijibu Mtoto wa Tembo.
Jiwe lilimjibu, "Hebu inama kidogo nikwambie wanachokula mamba." Mtoto wa Tembo aliinama chini karibu kabisa na lile jiwe.
Wakati huo huo pua la Mtoto wa Tembo lilikuwa kinywani mwa mamba. "Mamba ataila nyama yako leo," Kunguru mjanja akasema.
Mtoto wa Tembo akakita chini miguu yake yenye nguvu, akasimama imara akaanza kujivuta. Mamba hakuliachilia pua la Mtoto wa Tembo.
Pua la Mtoto wa Tembo likarefuka zaidi, kisha, puu! Mtoto wa Tembo akaanguka kichalichali.
Baada ya kukikosa chakula chake, mamba alizamia majini na kutokomea.
Mtoto wa Tembo alilitazama pua lake. Lilikuwa refu kama mkonga na hakuweza kuona lilipoishia.
Mkonga wake mrefu ulimwezesha kuchuma matunda yaliyokuwa kwenye matawi ya juu.
Pia, aliweza kuoga wakati wa joto kuutumia mkonga ule.
Hadi leo, tembo wote huwa na mikonga mirefu inayowafaidi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Tembo Mdadisi Author - Judith Baker and Lorato Trok Translation - Prisca Mdee Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mkonga wake mrefu ulimwezesha kufanya nini | {
"text": [
"kuchuma matunda"
]
} |
2331_swa | Mtoto wa Tembo Mdadisi
Twafahamu kuwa Tembo ana mkonga mrefu.
Zamani, pua la Tembo lilikuwa fupi na nono. Pua hilo lilionekana kama kiatu kilichopachikwa katikati ya uso wake.
Siku moja, Tembo alizaa mtoto aliyekuwa mdadisi sana. Alimwuliza swali kila mnyama aliyemuona.
Mtoto wa Tembo alimdadisi Twiga, "Kwa nini shingo yako ni ndefu?"
Pia alimdadisi Kifaru, "Kwa nini pembe yako ina ncha iliyochongoka sana?"
Mtoto wa Tembo pia alimdadisi Kiboko, "Kwa nini una macho mekundu?"
Alipomwona Mamba, alimdadisi, "Wewe hula nini?"
Mamake alimwonya, "Mwanangu, usiwaulize wanyama maswali kama hayo?" Mtoto wa Tembo alinuna akaenda kucheza.
Kunguru mwerevu akamwambia Mtoto wa Tembo, "Nifuate twende mtoni nikuonyeshe wanachokula mamba."
Mtoto wa Tembo akamfuata Kunguru hadi mtoni.
Alijipenyeza katikati ya mianzi kwenye ukingo wa mto. Akatazama majini kisha akauliza, "Mamba mwenyewe yuko wapi?"
Jiwe lililokuwa karibu na mto lilisema, "Hujambo?" "Sijambo. Unaweza kunieleza mamba hula nini jioni?" alijibu Mtoto wa Tembo.
Jiwe lilimjibu, "Hebu inama kidogo nikwambie wanachokula mamba." Mtoto wa Tembo aliinama chini karibu kabisa na lile jiwe.
Wakati huo huo pua la Mtoto wa Tembo lilikuwa kinywani mwa mamba. "Mamba ataila nyama yako leo," Kunguru mjanja akasema.
Mtoto wa Tembo akakita chini miguu yake yenye nguvu, akasimama imara akaanza kujivuta. Mamba hakuliachilia pua la Mtoto wa Tembo.
Pua la Mtoto wa Tembo likarefuka zaidi, kisha, puu! Mtoto wa Tembo akaanguka kichalichali.
Baada ya kukikosa chakula chake, mamba alizamia majini na kutokomea.
Mtoto wa Tembo alilitazama pua lake. Lilikuwa refu kama mkonga na hakuweza kuona lilipoishia.
Mkonga wake mrefu ulimwezesha kuchuma matunda yaliyokuwa kwenye matawi ya juu.
Pia, aliweza kuoga wakati wa joto kuutumia mkonga ule.
Hadi leo, tembo wote huwa na mikonga mirefu inayowafaidi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Tembo Mdadisi Author - Judith Baker and Lorato Trok Translation - Prisca Mdee Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mamba alizama na kutokomea majini lini | {
"text": [
"alipokikosa chakula chake"
]
} |
2331_swa | Mtoto wa Tembo Mdadisi
Twafahamu kuwa Tembo ana mkonga mrefu.
Zamani, pua la Tembo lilikuwa fupi na nono. Pua hilo lilionekana kama kiatu kilichopachikwa katikati ya uso wake.
Siku moja, Tembo alizaa mtoto aliyekuwa mdadisi sana. Alimwuliza swali kila mnyama aliyemuona.
Mtoto wa Tembo alimdadisi Twiga, "Kwa nini shingo yako ni ndefu?"
Pia alimdadisi Kifaru, "Kwa nini pembe yako ina ncha iliyochongoka sana?"
Mtoto wa Tembo pia alimdadisi Kiboko, "Kwa nini una macho mekundu?"
Alipomwona Mamba, alimdadisi, "Wewe hula nini?"
Mamake alimwonya, "Mwanangu, usiwaulize wanyama maswali kama hayo?" Mtoto wa Tembo alinuna akaenda kucheza.
Kunguru mwerevu akamwambia Mtoto wa Tembo, "Nifuate twende mtoni nikuonyeshe wanachokula mamba."
Mtoto wa Tembo akamfuata Kunguru hadi mtoni.
Alijipenyeza katikati ya mianzi kwenye ukingo wa mto. Akatazama majini kisha akauliza, "Mamba mwenyewe yuko wapi?"
Jiwe lililokuwa karibu na mto lilisema, "Hujambo?" "Sijambo. Unaweza kunieleza mamba hula nini jioni?" alijibu Mtoto wa Tembo.
Jiwe lilimjibu, "Hebu inama kidogo nikwambie wanachokula mamba." Mtoto wa Tembo aliinama chini karibu kabisa na lile jiwe.
Wakati huo huo pua la Mtoto wa Tembo lilikuwa kinywani mwa mamba. "Mamba ataila nyama yako leo," Kunguru mjanja akasema.
Mtoto wa Tembo akakita chini miguu yake yenye nguvu, akasimama imara akaanza kujivuta. Mamba hakuliachilia pua la Mtoto wa Tembo.
Pua la Mtoto wa Tembo likarefuka zaidi, kisha, puu! Mtoto wa Tembo akaanguka kichalichali.
Baada ya kukikosa chakula chake, mamba alizamia majini na kutokomea.
Mtoto wa Tembo alilitazama pua lake. Lilikuwa refu kama mkonga na hakuweza kuona lilipoishia.
Mkonga wake mrefu ulimwezesha kuchuma matunda yaliyokuwa kwenye matawi ya juu.
Pia, aliweza kuoga wakati wa joto kuutumia mkonga ule.
Hadi leo, tembo wote huwa na mikonga mirefu inayowafaidi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtoto wa Tembo Mdadisi Author - Judith Baker and Lorato Trok Translation - Prisca Mdee Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mikonga mirefu ya tembo inawafaidi aje | {
"text": [
"wanautumia kuoga wakati wa joto na kuchuma matunda"
]
} |
2332_swa | Mtu na Simba
Hapo zamani za kale, palikuwa na mtu aliyekuwa akitembea kichakani. Ghafla, alimkuta Simba!
Ulikuwa msimu wa baridi. Simba alikuwa akipumzika kwenye nyasi fupi.
Makutano hayo yalitokea ghafla mtu huyo asijue la kufanya. Alijawa na woga.
Mwanzoni, Simba pia alishangaa na kuogopa kidogo. Lakini, mngurumo mkubwa ulisikika kutoka tumboni mwake kwani alikuwa na njaa.
Mtu yule alijikuta juu ya mti mrefu. Alianza kupiga mayowe.
Simba alilala chini ya mti akisubiri mlo. Muda ulipopita, Simba alijifanya kuwa analala usingizi.
Muda mfupi baadaye, mtu yule alilala usingizi. Aliamka tena na mwishoni alisinzia na kulala fofofo.
Aliporomoka kutoka juu na kumwangukia yule Simba aliyelala.
Wote waliamka wakiwa wamechanganyikiw na kuogopa. Simba alisahau mlo wake na kukimbilia usalama wake.
Mtu yule alianza kukimbia akielekea upande mmoja na Simba. Aligundua kwamba alikuwa akikimbia na Simba!
Kwa hivyo alibadilisha mwelekeo wake na kuepuka kuliwa na Simba!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtu na Simba Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Hélder de Paz Alexandre Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mtu aliyekuwa akitembea alimkuta nani kichakani | {
"text": [
"Simba"
]
} |
2332_swa | Mtu na Simba
Hapo zamani za kale, palikuwa na mtu aliyekuwa akitembea kichakani. Ghafla, alimkuta Simba!
Ulikuwa msimu wa baridi. Simba alikuwa akipumzika kwenye nyasi fupi.
Makutano hayo yalitokea ghafla mtu huyo asijue la kufanya. Alijawa na woga.
Mwanzoni, Simba pia alishangaa na kuogopa kidogo. Lakini, mngurumo mkubwa ulisikika kutoka tumboni mwake kwani alikuwa na njaa.
Mtu yule alijikuta juu ya mti mrefu. Alianza kupiga mayowe.
Simba alilala chini ya mti akisubiri mlo. Muda ulipopita, Simba alijifanya kuwa analala usingizi.
Muda mfupi baadaye, mtu yule alilala usingizi. Aliamka tena na mwishoni alisinzia na kulala fofofo.
Aliporomoka kutoka juu na kumwangukia yule Simba aliyelala.
Wote waliamka wakiwa wamechanganyikiw na kuogopa. Simba alisahau mlo wake na kukimbilia usalama wake.
Mtu yule alianza kukimbia akielekea upande mmoja na Simba. Aligundua kwamba alikuwa akikimbia na Simba!
Kwa hivyo alibadilisha mwelekeo wake na kuepuka kuliwa na Simba!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtu na Simba Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Hélder de Paz Alexandre Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini simba alikimbia | {
"text": [
"Alichanganikiwa baada ya kuangukiwa na mtu"
]
} |
2332_swa | Mtu na Simba
Hapo zamani za kale, palikuwa na mtu aliyekuwa akitembea kichakani. Ghafla, alimkuta Simba!
Ulikuwa msimu wa baridi. Simba alikuwa akipumzika kwenye nyasi fupi.
Makutano hayo yalitokea ghafla mtu huyo asijue la kufanya. Alijawa na woga.
Mwanzoni, Simba pia alishangaa na kuogopa kidogo. Lakini, mngurumo mkubwa ulisikika kutoka tumboni mwake kwani alikuwa na njaa.
Mtu yule alijikuta juu ya mti mrefu. Alianza kupiga mayowe.
Simba alilala chini ya mti akisubiri mlo. Muda ulipopita, Simba alijifanya kuwa analala usingizi.
Muda mfupi baadaye, mtu yule alilala usingizi. Aliamka tena na mwishoni alisinzia na kulala fofofo.
Aliporomoka kutoka juu na kumwangukia yule Simba aliyelala.
Wote waliamka wakiwa wamechanganyikiw na kuogopa. Simba alisahau mlo wake na kukimbilia usalama wake.
Mtu yule alianza kukimbia akielekea upande mmoja na Simba. Aligundua kwamba alikuwa akikimbia na Simba!
Kwa hivyo alibadilisha mwelekeo wake na kuepuka kuliwa na Simba!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtu na Simba Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Hélder de Paz Alexandre Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Simba alikuwa anapumzika kwenye nyasi fupi msimu upi | {
"text": [
"Msimu wa baridi"
]
} |
2332_swa | Mtu na Simba
Hapo zamani za kale, palikuwa na mtu aliyekuwa akitembea kichakani. Ghafla, alimkuta Simba!
Ulikuwa msimu wa baridi. Simba alikuwa akipumzika kwenye nyasi fupi.
Makutano hayo yalitokea ghafla mtu huyo asijue la kufanya. Alijawa na woga.
Mwanzoni, Simba pia alishangaa na kuogopa kidogo. Lakini, mngurumo mkubwa ulisikika kutoka tumboni mwake kwani alikuwa na njaa.
Mtu yule alijikuta juu ya mti mrefu. Alianza kupiga mayowe.
Simba alilala chini ya mti akisubiri mlo. Muda ulipopita, Simba alijifanya kuwa analala usingizi.
Muda mfupi baadaye, mtu yule alilala usingizi. Aliamka tena na mwishoni alisinzia na kulala fofofo.
Aliporomoka kutoka juu na kumwangukia yule Simba aliyelala.
Wote waliamka wakiwa wamechanganyikiw na kuogopa. Simba alisahau mlo wake na kukimbilia usalama wake.
Mtu yule alianza kukimbia akielekea upande mmoja na Simba. Aligundua kwamba alikuwa akikimbia na Simba!
Kwa hivyo alibadilisha mwelekeo wake na kuepuka kuliwa na Simba!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtu na Simba Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Hélder de Paz Alexandre Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini simba aliogopa | {
"text": [
"Ilikuwa ghafla kukuta na mtu kichakani"
]
} |
2332_swa | Mtu na Simba
Hapo zamani za kale, palikuwa na mtu aliyekuwa akitembea kichakani. Ghafla, alimkuta Simba!
Ulikuwa msimu wa baridi. Simba alikuwa akipumzika kwenye nyasi fupi.
Makutano hayo yalitokea ghafla mtu huyo asijue la kufanya. Alijawa na woga.
Mwanzoni, Simba pia alishangaa na kuogopa kidogo. Lakini, mngurumo mkubwa ulisikika kutoka tumboni mwake kwani alikuwa na njaa.
Mtu yule alijikuta juu ya mti mrefu. Alianza kupiga mayowe.
Simba alilala chini ya mti akisubiri mlo. Muda ulipopita, Simba alijifanya kuwa analala usingizi.
Muda mfupi baadaye, mtu yule alilala usingizi. Aliamka tena na mwishoni alisinzia na kulala fofofo.
Aliporomoka kutoka juu na kumwangukia yule Simba aliyelala.
Wote waliamka wakiwa wamechanganyikiw na kuogopa. Simba alisahau mlo wake na kukimbilia usalama wake.
Mtu yule alianza kukimbia akielekea upande mmoja na Simba. Aligundua kwamba alikuwa akikimbia na Simba!
Kwa hivyo alibadilisha mwelekeo wake na kuepuka kuliwa na Simba!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtu na Simba Author - Mozambican folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Hélder de Paz Alexandre Language - Kiswahili Level - First sentences © Mozambican Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Simba alifanya nini baada ya kuangukiwa na mtu | {
"text": [
"Alianza kukimbia"
]
} |
2333_swa | Mtumbwi wa Sarai
Mtumbwi wake ni mkubwa. Mtumbwi huo uko kando ya mto.
Baadhi ya wanawake wanafika mtoni. Mwanamke mmoja ana uteo wa matunda. Mwingine ana kuku. Mwingine ana mbuzi mmoja. Wa mwisho ana mbuzi wawili. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Kisha, wanaume wanafika. Mmoja ana samaki. Mwingine ana baiskeli. Mwingine ana gunia la mahindi.
Mwanamume mwingine ana magunia mawili ya mahindi. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anawajibu, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama pia wanakuja. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama wanaingia mtumbwini. Mbwa anaingia mtumbwini. Paka anaingia mtumbwini. Tumbili anaingia mtumbwini. Sungura anaingia mtumbwini. Kasa anaingia mtumbwini. Swara anaingia mtumbwini.
Tembo anawasili kando ya mto. Anauliza, "Nitavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingia mtumbwi wangu!" Tembo anaingia mtumbwini. Mtumbwi unafurika maji.
Salaala! Mtumbwi umepinduka!
Mtumbwi huu ni mdogo sana. Hauna nafasi ya kuwatosha wote.
Sarai anasema, "Hebu! Kwanza, nitawavukisha wanawake."
"Kisha niwavukishe wanaume," Sarai anasema tena.
"Hatimaye, nitawavukisha wanyama," Sarai anakamilisha maelezo yake. 12 Tembo anasema, "Heri nitembee tu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtumbwi wa Sarai Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Rachel Greer Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Book 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mtumbwi wa sarai uko wapi? | {
"text": [
"Kando ya mto"
]
} |
2333_swa | Mtumbwi wa Sarai
Mtumbwi wake ni mkubwa. Mtumbwi huo uko kando ya mto.
Baadhi ya wanawake wanafika mtoni. Mwanamke mmoja ana uteo wa matunda. Mwingine ana kuku. Mwingine ana mbuzi mmoja. Wa mwisho ana mbuzi wawili. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Kisha, wanaume wanafika. Mmoja ana samaki. Mwingine ana baiskeli. Mwingine ana gunia la mahindi.
Mwanamume mwingine ana magunia mawili ya mahindi. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anawajibu, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama pia wanakuja. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama wanaingia mtumbwini. Mbwa anaingia mtumbwini. Paka anaingia mtumbwini. Tumbili anaingia mtumbwini. Sungura anaingia mtumbwini. Kasa anaingia mtumbwini. Swara anaingia mtumbwini.
Tembo anawasili kando ya mto. Anauliza, "Nitavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingia mtumbwi wangu!" Tembo anaingia mtumbwini. Mtumbwi unafurika maji.
Salaala! Mtumbwi umepinduka!
Mtumbwi huu ni mdogo sana. Hauna nafasi ya kuwatosha wote.
Sarai anasema, "Hebu! Kwanza, nitawavukisha wanawake."
"Kisha niwavukishe wanaume," Sarai anasema tena.
"Hatimaye, nitawavukisha wanyama," Sarai anakamilisha maelezo yake. 12 Tembo anasema, "Heri nitembee tu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtumbwi wa Sarai Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Rachel Greer Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Book 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mtumbwi ni wa nani? | {
"text": [
"Sarai"
]
} |
2333_swa | Mtumbwi wa Sarai
Mtumbwi wake ni mkubwa. Mtumbwi huo uko kando ya mto.
Baadhi ya wanawake wanafika mtoni. Mwanamke mmoja ana uteo wa matunda. Mwingine ana kuku. Mwingine ana mbuzi mmoja. Wa mwisho ana mbuzi wawili. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Kisha, wanaume wanafika. Mmoja ana samaki. Mwingine ana baiskeli. Mwingine ana gunia la mahindi.
Mwanamume mwingine ana magunia mawili ya mahindi. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anawajibu, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama pia wanakuja. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama wanaingia mtumbwini. Mbwa anaingia mtumbwini. Paka anaingia mtumbwini. Tumbili anaingia mtumbwini. Sungura anaingia mtumbwini. Kasa anaingia mtumbwini. Swara anaingia mtumbwini.
Tembo anawasili kando ya mto. Anauliza, "Nitavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingia mtumbwi wangu!" Tembo anaingia mtumbwini. Mtumbwi unafurika maji.
Salaala! Mtumbwi umepinduka!
Mtumbwi huu ni mdogo sana. Hauna nafasi ya kuwatosha wote.
Sarai anasema, "Hebu! Kwanza, nitawavukisha wanawake."
"Kisha niwavukishe wanaume," Sarai anasema tena.
"Hatimaye, nitawavukisha wanyama," Sarai anakamilisha maelezo yake. 12 Tembo anasema, "Heri nitembee tu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtumbwi wa Sarai Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Rachel Greer Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Book 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Baadhi ya wanawake wamefika wapi? | {
"text": [
"Mtoni"
]
} |
2333_swa | Mtumbwi wa Sarai
Mtumbwi wake ni mkubwa. Mtumbwi huo uko kando ya mto.
Baadhi ya wanawake wanafika mtoni. Mwanamke mmoja ana uteo wa matunda. Mwingine ana kuku. Mwingine ana mbuzi mmoja. Wa mwisho ana mbuzi wawili. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Kisha, wanaume wanafika. Mmoja ana samaki. Mwingine ana baiskeli. Mwingine ana gunia la mahindi.
Mwanamume mwingine ana magunia mawili ya mahindi. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anawajibu, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama pia wanakuja. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama wanaingia mtumbwini. Mbwa anaingia mtumbwini. Paka anaingia mtumbwini. Tumbili anaingia mtumbwini. Sungura anaingia mtumbwini. Kasa anaingia mtumbwini. Swara anaingia mtumbwini.
Tembo anawasili kando ya mto. Anauliza, "Nitavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingia mtumbwi wangu!" Tembo anaingia mtumbwini. Mtumbwi unafurika maji.
Salaala! Mtumbwi umepinduka!
Mtumbwi huu ni mdogo sana. Hauna nafasi ya kuwatosha wote.
Sarai anasema, "Hebu! Kwanza, nitawavukisha wanawake."
"Kisha niwavukishe wanaume," Sarai anasema tena.
"Hatimaye, nitawavukisha wanyama," Sarai anakamilisha maelezo yake. 12 Tembo anasema, "Heri nitembee tu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtumbwi wa Sarai Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Rachel Greer Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Book 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanawake waliofika mtoni walikuwa wangapi? | {
"text": [
"Wanne"
]
} |
2333_swa | Mtumbwi wa Sarai
Mtumbwi wake ni mkubwa. Mtumbwi huo uko kando ya mto.
Baadhi ya wanawake wanafika mtoni. Mwanamke mmoja ana uteo wa matunda. Mwingine ana kuku. Mwingine ana mbuzi mmoja. Wa mwisho ana mbuzi wawili. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Kisha, wanaume wanafika. Mmoja ana samaki. Mwingine ana baiskeli. Mwingine ana gunia la mahindi.
Mwanamume mwingine ana magunia mawili ya mahindi. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anawajibu, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama pia wanakuja. Wanamwuliza Sarai, "Tutavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingieni mtumbwi wangu!"
Wanyama wanaingia mtumbwini. Mbwa anaingia mtumbwini. Paka anaingia mtumbwini. Tumbili anaingia mtumbwini. Sungura anaingia mtumbwini. Kasa anaingia mtumbwini. Swara anaingia mtumbwini.
Tembo anawasili kando ya mto. Anauliza, "Nitavukaje mto?" Sarai anasema, "Ingia mtumbwi wangu!" Tembo anaingia mtumbwini. Mtumbwi unafurika maji.
Salaala! Mtumbwi umepinduka!
Mtumbwi huu ni mdogo sana. Hauna nafasi ya kuwatosha wote.
Sarai anasema, "Hebu! Kwanza, nitawavukisha wanawake."
"Kisha niwavukishe wanaume," Sarai anasema tena.
"Hatimaye, nitawavukisha wanyama," Sarai anakamilisha maelezo yake. 12 Tembo anasema, "Heri nitembee tu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mtumbwi wa Sarai Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Rachel Greer Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Book 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanawake walikuwa wamebeba nini? | {
"text": [
"Kuku"
]
} |
2334_swa | Mulongo na Fisi
Palikuwa na msichana aliyeitwa Mulongo. Aliishi na wazazi wake karibu na kijiji cha Budongo. Siku moja mamake Mulongo alimtuma kuchota maji kisimani.
Njiani, alikutana na marafiki zake wakienda msituni kutafuta kuni. Mulongo alitaka kwenda nao. "Tafadhali, nisubirini hapa! Lazima nimchotee mama maji kwanza." Mulongo aliwasihi. Lakini marafiki zake hawakutaka kusubiri.
"Sawa, nitawakuta huko msituni!" Mulongo alisema huku akikimbia kwenda kumchotea mamake maji. Baadaye, alienda msituni kuwatafuta marafiki zake.
Alifuata njia iliyoelekea kwenye kijito. Upande mwingine wa kijito kulikuwa na njia nyingine ndogo kila mojawapo ikielekea upande tofauti. "Njia ipi marafiki zangu walifuata?" Mulongo alishangaa.
Aliichagua njia iliyokuwa pana kisha akatembea, na kutembea, lakini hakuwapata marafiki zake. Alichoka sana kwa hivyo alipopumzika chini ya mti. Alilala muda mfupi baadaye.
Mulongo alipoamka, ilikuwa giza. Gizani, macho ya manjano yalimulika. Alikuwa amezungukwa na fisi! Aliogopa asiweze hata kulia. Alijaribu kukimbia, lakini fisi walimzunguka wakionyesha wazi kuwa walikuwa na njaa.
"Usisonge," sauti ya fisi mkubwa zaidi ilisikika. "Ukikimbia, utaliwa!" "Tafadhali, niache niende nyumbani!" Mulongo aliwasihi.
Badala yake fisi walimpeleka Mulongo katika nyumba yao iliyokuwa msituni. Chumba hicho kichafu kilijaa mifupa na kelele za nzi. Mulongo alilala chini na kujifanya kuwa amepatwa usingizi.
Gizani, aliwasikia fisi wakiongea wenyewe kwa wenyewe. "Moto unaendelea vipi? Je, maji yanachemka?" Mmoja aliuliza." Mwingine aliJibu, "Kila kitu ni tayari. Nimlete sasa?" "Ndiyo, ndiyo! Tunahisi njaa!" Fisi wale wengine walinguruma.
Walikuwa karibu kumvuta Mulongo kumtoa chumbani wakati fisi mkubwa aliongea, "Fisi, subirini. Kumbuka kanuni ya kijiji. Hakuna fisi anayekubaliwa kula peke yake. Ni lazima tuialike jamii nzima kushiriki mlo."
Waliokwenda kuwaalika jamii, hawakurudi haraka. Yule fisi mkubwa alianza kusinzia na kukoroma pale mbele ya moto. Hii ilikuwa nafasi nzuri ya Mulongo kutoroka! Lakini angempitaje yule fisi? Umbo lake kubwa lilifunika sehemu yote ya mlango.
Njia ilikuwa ni moja tu. Alijihimiza na kurukia juu ya mgongo wa fisi kwa mara moja. Kisha, akakimbia, na kukimbia jinsi miguu yake ilivyomwezesha.
Wakati huo huo, fisi wale wengine walirudi na kuona kilichotokea. Walimfuata huku wakipiga kelele za hasira na gadhabu. Lakini, walikuwa wamechelewa.
Alipokaribia kijiji chake, wanakijiji walimtambua na kushangilia wakisema, "Mulongo, Mulongo anakuja, Mulongo anakuja." Wazazi wake walikimbia kumbusu huku wakishukuru Mungu kwa kumwokoa mototo wao, "Mulongo, tulidhani umekufa!"
Kutoka siku hiyo, Mulongo na watoto wengine hawakuwahi kururdi msituni peke yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mulongo na Fisi Author - Sarah Nangobi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mulongo aliishi na wazazi wake karibu na kijiji kipi | {
"text": [
"Budongo"
]
} |
2334_swa | Mulongo na Fisi
Palikuwa na msichana aliyeitwa Mulongo. Aliishi na wazazi wake karibu na kijiji cha Budongo. Siku moja mamake Mulongo alimtuma kuchota maji kisimani.
Njiani, alikutana na marafiki zake wakienda msituni kutafuta kuni. Mulongo alitaka kwenda nao. "Tafadhali, nisubirini hapa! Lazima nimchotee mama maji kwanza." Mulongo aliwasihi. Lakini marafiki zake hawakutaka kusubiri.
"Sawa, nitawakuta huko msituni!" Mulongo alisema huku akikimbia kwenda kumchotea mamake maji. Baadaye, alienda msituni kuwatafuta marafiki zake.
Alifuata njia iliyoelekea kwenye kijito. Upande mwingine wa kijito kulikuwa na njia nyingine ndogo kila mojawapo ikielekea upande tofauti. "Njia ipi marafiki zangu walifuata?" Mulongo alishangaa.
Aliichagua njia iliyokuwa pana kisha akatembea, na kutembea, lakini hakuwapata marafiki zake. Alichoka sana kwa hivyo alipopumzika chini ya mti. Alilala muda mfupi baadaye.
Mulongo alipoamka, ilikuwa giza. Gizani, macho ya manjano yalimulika. Alikuwa amezungukwa na fisi! Aliogopa asiweze hata kulia. Alijaribu kukimbia, lakini fisi walimzunguka wakionyesha wazi kuwa walikuwa na njaa.
"Usisonge," sauti ya fisi mkubwa zaidi ilisikika. "Ukikimbia, utaliwa!" "Tafadhali, niache niende nyumbani!" Mulongo aliwasihi.
Badala yake fisi walimpeleka Mulongo katika nyumba yao iliyokuwa msituni. Chumba hicho kichafu kilijaa mifupa na kelele za nzi. Mulongo alilala chini na kujifanya kuwa amepatwa usingizi.
Gizani, aliwasikia fisi wakiongea wenyewe kwa wenyewe. "Moto unaendelea vipi? Je, maji yanachemka?" Mmoja aliuliza." Mwingine aliJibu, "Kila kitu ni tayari. Nimlete sasa?" "Ndiyo, ndiyo! Tunahisi njaa!" Fisi wale wengine walinguruma.
Walikuwa karibu kumvuta Mulongo kumtoa chumbani wakati fisi mkubwa aliongea, "Fisi, subirini. Kumbuka kanuni ya kijiji. Hakuna fisi anayekubaliwa kula peke yake. Ni lazima tuialike jamii nzima kushiriki mlo."
Waliokwenda kuwaalika jamii, hawakurudi haraka. Yule fisi mkubwa alianza kusinzia na kukoroma pale mbele ya moto. Hii ilikuwa nafasi nzuri ya Mulongo kutoroka! Lakini angempitaje yule fisi? Umbo lake kubwa lilifunika sehemu yote ya mlango.
Njia ilikuwa ni moja tu. Alijihimiza na kurukia juu ya mgongo wa fisi kwa mara moja. Kisha, akakimbia, na kukimbia jinsi miguu yake ilivyomwezesha.
Wakati huo huo, fisi wale wengine walirudi na kuona kilichotokea. Walimfuata huku wakipiga kelele za hasira na gadhabu. Lakini, walikuwa wamechelewa.
Alipokaribia kijiji chake, wanakijiji walimtambua na kushangilia wakisema, "Mulongo, Mulongo anakuja, Mulongo anakuja." Wazazi wake walikimbia kumbusu huku wakishukuru Mungu kwa kumwokoa mototo wao, "Mulongo, tulidhani umekufa!"
Kutoka siku hiyo, Mulongo na watoto wengine hawakuwahi kururdi msituni peke yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mulongo na Fisi Author - Sarah Nangobi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mulongo alipokuwa njiani alikutana na marafiki wake wakienda kutafuta nini | {
"text": [
"Kuni"
]
} |
2334_swa | Mulongo na Fisi
Palikuwa na msichana aliyeitwa Mulongo. Aliishi na wazazi wake karibu na kijiji cha Budongo. Siku moja mamake Mulongo alimtuma kuchota maji kisimani.
Njiani, alikutana na marafiki zake wakienda msituni kutafuta kuni. Mulongo alitaka kwenda nao. "Tafadhali, nisubirini hapa! Lazima nimchotee mama maji kwanza." Mulongo aliwasihi. Lakini marafiki zake hawakutaka kusubiri.
"Sawa, nitawakuta huko msituni!" Mulongo alisema huku akikimbia kwenda kumchotea mamake maji. Baadaye, alienda msituni kuwatafuta marafiki zake.
Alifuata njia iliyoelekea kwenye kijito. Upande mwingine wa kijito kulikuwa na njia nyingine ndogo kila mojawapo ikielekea upande tofauti. "Njia ipi marafiki zangu walifuata?" Mulongo alishangaa.
Aliichagua njia iliyokuwa pana kisha akatembea, na kutembea, lakini hakuwapata marafiki zake. Alichoka sana kwa hivyo alipopumzika chini ya mti. Alilala muda mfupi baadaye.
Mulongo alipoamka, ilikuwa giza. Gizani, macho ya manjano yalimulika. Alikuwa amezungukwa na fisi! Aliogopa asiweze hata kulia. Alijaribu kukimbia, lakini fisi walimzunguka wakionyesha wazi kuwa walikuwa na njaa.
"Usisonge," sauti ya fisi mkubwa zaidi ilisikika. "Ukikimbia, utaliwa!" "Tafadhali, niache niende nyumbani!" Mulongo aliwasihi.
Badala yake fisi walimpeleka Mulongo katika nyumba yao iliyokuwa msituni. Chumba hicho kichafu kilijaa mifupa na kelele za nzi. Mulongo alilala chini na kujifanya kuwa amepatwa usingizi.
Gizani, aliwasikia fisi wakiongea wenyewe kwa wenyewe. "Moto unaendelea vipi? Je, maji yanachemka?" Mmoja aliuliza." Mwingine aliJibu, "Kila kitu ni tayari. Nimlete sasa?" "Ndiyo, ndiyo! Tunahisi njaa!" Fisi wale wengine walinguruma.
Walikuwa karibu kumvuta Mulongo kumtoa chumbani wakati fisi mkubwa aliongea, "Fisi, subirini. Kumbuka kanuni ya kijiji. Hakuna fisi anayekubaliwa kula peke yake. Ni lazima tuialike jamii nzima kushiriki mlo."
Waliokwenda kuwaalika jamii, hawakurudi haraka. Yule fisi mkubwa alianza kusinzia na kukoroma pale mbele ya moto. Hii ilikuwa nafasi nzuri ya Mulongo kutoroka! Lakini angempitaje yule fisi? Umbo lake kubwa lilifunika sehemu yote ya mlango.
Njia ilikuwa ni moja tu. Alijihimiza na kurukia juu ya mgongo wa fisi kwa mara moja. Kisha, akakimbia, na kukimbia jinsi miguu yake ilivyomwezesha.
Wakati huo huo, fisi wale wengine walirudi na kuona kilichotokea. Walimfuata huku wakipiga kelele za hasira na gadhabu. Lakini, walikuwa wamechelewa.
Alipokaribia kijiji chake, wanakijiji walimtambua na kushangilia wakisema, "Mulongo, Mulongo anakuja, Mulongo anakuja." Wazazi wake walikimbia kumbusu huku wakishukuru Mungu kwa kumwokoa mototo wao, "Mulongo, tulidhani umekufa!"
Kutoka siku hiyo, Mulongo na watoto wengine hawakuwahi kururdi msituni peke yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mulongo na Fisi Author - Sarah Nangobi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mulongo alipoamka alijipata amezungukwa na nini | {
"text": [
"Fisi"
]
} |
2334_swa | Mulongo na Fisi
Palikuwa na msichana aliyeitwa Mulongo. Aliishi na wazazi wake karibu na kijiji cha Budongo. Siku moja mamake Mulongo alimtuma kuchota maji kisimani.
Njiani, alikutana na marafiki zake wakienda msituni kutafuta kuni. Mulongo alitaka kwenda nao. "Tafadhali, nisubirini hapa! Lazima nimchotee mama maji kwanza." Mulongo aliwasihi. Lakini marafiki zake hawakutaka kusubiri.
"Sawa, nitawakuta huko msituni!" Mulongo alisema huku akikimbia kwenda kumchotea mamake maji. Baadaye, alienda msituni kuwatafuta marafiki zake.
Alifuata njia iliyoelekea kwenye kijito. Upande mwingine wa kijito kulikuwa na njia nyingine ndogo kila mojawapo ikielekea upande tofauti. "Njia ipi marafiki zangu walifuata?" Mulongo alishangaa.
Aliichagua njia iliyokuwa pana kisha akatembea, na kutembea, lakini hakuwapata marafiki zake. Alichoka sana kwa hivyo alipopumzika chini ya mti. Alilala muda mfupi baadaye.
Mulongo alipoamka, ilikuwa giza. Gizani, macho ya manjano yalimulika. Alikuwa amezungukwa na fisi! Aliogopa asiweze hata kulia. Alijaribu kukimbia, lakini fisi walimzunguka wakionyesha wazi kuwa walikuwa na njaa.
"Usisonge," sauti ya fisi mkubwa zaidi ilisikika. "Ukikimbia, utaliwa!" "Tafadhali, niache niende nyumbani!" Mulongo aliwasihi.
Badala yake fisi walimpeleka Mulongo katika nyumba yao iliyokuwa msituni. Chumba hicho kichafu kilijaa mifupa na kelele za nzi. Mulongo alilala chini na kujifanya kuwa amepatwa usingizi.
Gizani, aliwasikia fisi wakiongea wenyewe kwa wenyewe. "Moto unaendelea vipi? Je, maji yanachemka?" Mmoja aliuliza." Mwingine aliJibu, "Kila kitu ni tayari. Nimlete sasa?" "Ndiyo, ndiyo! Tunahisi njaa!" Fisi wale wengine walinguruma.
Walikuwa karibu kumvuta Mulongo kumtoa chumbani wakati fisi mkubwa aliongea, "Fisi, subirini. Kumbuka kanuni ya kijiji. Hakuna fisi anayekubaliwa kula peke yake. Ni lazima tuialike jamii nzima kushiriki mlo."
Waliokwenda kuwaalika jamii, hawakurudi haraka. Yule fisi mkubwa alianza kusinzia na kukoroma pale mbele ya moto. Hii ilikuwa nafasi nzuri ya Mulongo kutoroka! Lakini angempitaje yule fisi? Umbo lake kubwa lilifunika sehemu yote ya mlango.
Njia ilikuwa ni moja tu. Alijihimiza na kurukia juu ya mgongo wa fisi kwa mara moja. Kisha, akakimbia, na kukimbia jinsi miguu yake ilivyomwezesha.
Wakati huo huo, fisi wale wengine walirudi na kuona kilichotokea. Walimfuata huku wakipiga kelele za hasira na gadhabu. Lakini, walikuwa wamechelewa.
Alipokaribia kijiji chake, wanakijiji walimtambua na kushangilia wakisema, "Mulongo, Mulongo anakuja, Mulongo anakuja." Wazazi wake walikimbia kumbusu huku wakishukuru Mungu kwa kumwokoa mototo wao, "Mulongo, tulidhani umekufa!"
Kutoka siku hiyo, Mulongo na watoto wengine hawakuwahi kururdi msituni peke yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mulongo na Fisi Author - Sarah Nangobi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mulongo alijinusuru vipi kutoka katika chumba cha fisi | {
"text": [
"Kwa kumrukia mgongoni fisi mkubwa na kuanza mbio"
]
} |
2334_swa | Mulongo na Fisi
Palikuwa na msichana aliyeitwa Mulongo. Aliishi na wazazi wake karibu na kijiji cha Budongo. Siku moja mamake Mulongo alimtuma kuchota maji kisimani.
Njiani, alikutana na marafiki zake wakienda msituni kutafuta kuni. Mulongo alitaka kwenda nao. "Tafadhali, nisubirini hapa! Lazima nimchotee mama maji kwanza." Mulongo aliwasihi. Lakini marafiki zake hawakutaka kusubiri.
"Sawa, nitawakuta huko msituni!" Mulongo alisema huku akikimbia kwenda kumchotea mamake maji. Baadaye, alienda msituni kuwatafuta marafiki zake.
Alifuata njia iliyoelekea kwenye kijito. Upande mwingine wa kijito kulikuwa na njia nyingine ndogo kila mojawapo ikielekea upande tofauti. "Njia ipi marafiki zangu walifuata?" Mulongo alishangaa.
Aliichagua njia iliyokuwa pana kisha akatembea, na kutembea, lakini hakuwapata marafiki zake. Alichoka sana kwa hivyo alipopumzika chini ya mti. Alilala muda mfupi baadaye.
Mulongo alipoamka, ilikuwa giza. Gizani, macho ya manjano yalimulika. Alikuwa amezungukwa na fisi! Aliogopa asiweze hata kulia. Alijaribu kukimbia, lakini fisi walimzunguka wakionyesha wazi kuwa walikuwa na njaa.
"Usisonge," sauti ya fisi mkubwa zaidi ilisikika. "Ukikimbia, utaliwa!" "Tafadhali, niache niende nyumbani!" Mulongo aliwasihi.
Badala yake fisi walimpeleka Mulongo katika nyumba yao iliyokuwa msituni. Chumba hicho kichafu kilijaa mifupa na kelele za nzi. Mulongo alilala chini na kujifanya kuwa amepatwa usingizi.
Gizani, aliwasikia fisi wakiongea wenyewe kwa wenyewe. "Moto unaendelea vipi? Je, maji yanachemka?" Mmoja aliuliza." Mwingine aliJibu, "Kila kitu ni tayari. Nimlete sasa?" "Ndiyo, ndiyo! Tunahisi njaa!" Fisi wale wengine walinguruma.
Walikuwa karibu kumvuta Mulongo kumtoa chumbani wakati fisi mkubwa aliongea, "Fisi, subirini. Kumbuka kanuni ya kijiji. Hakuna fisi anayekubaliwa kula peke yake. Ni lazima tuialike jamii nzima kushiriki mlo."
Waliokwenda kuwaalika jamii, hawakurudi haraka. Yule fisi mkubwa alianza kusinzia na kukoroma pale mbele ya moto. Hii ilikuwa nafasi nzuri ya Mulongo kutoroka! Lakini angempitaje yule fisi? Umbo lake kubwa lilifunika sehemu yote ya mlango.
Njia ilikuwa ni moja tu. Alijihimiza na kurukia juu ya mgongo wa fisi kwa mara moja. Kisha, akakimbia, na kukimbia jinsi miguu yake ilivyomwezesha.
Wakati huo huo, fisi wale wengine walirudi na kuona kilichotokea. Walimfuata huku wakipiga kelele za hasira na gadhabu. Lakini, walikuwa wamechelewa.
Alipokaribia kijiji chake, wanakijiji walimtambua na kushangilia wakisema, "Mulongo, Mulongo anakuja, Mulongo anakuja." Wazazi wake walikimbia kumbusu huku wakishukuru Mungu kwa kumwokoa mototo wao, "Mulongo, tulidhani umekufa!"
Kutoka siku hiyo, Mulongo na watoto wengine hawakuwahi kururdi msituni peke yao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mulongo na Fisi Author - Sarah Nangobi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Chumba cha fisi kilijaa nini | {
"text": [
"Mifupa na kelele za nzi"
]
} |
2336_swa | Musau amwokoa babake
Musau aliishi na babake, Syonzola.
Syonzola alienda kunywa pombe kila usiku.
Aliporudi nyumbani, aliita, "Nisaidieni! Fisi ananiua."
Watu walipokimbia kumsaidia, hawakumwona fisi.
Syonzola alifanya hivyo kila usiku.
Kila mara, Musau aliamshwa na kelele za babake.
Fisi alimvamia Syonzola usiku mmoja.
Kama kawaida, Syonzola aliita, "Nisaidieni!" Lakini watu walisema, "Tumechoshwa na Syonzola. Anatudanganya tu."
Musau alingoja. Babake hakufika.
Musau aliwaza, "Labda ni kweli kuwa babangu yuko hatarini." 10 Musau alitoka nje mbio.
Aliita, "Baba! Baba!" Fisi alitoroka.
Kutoka siku hiyo, Syonzola alibadilika. Anawasimulia watoto hadithi.
Maswali: 1. Musau aliishi na nani? 2. Syonzola aliwadanganya wanakijiji kwa kufanya nini? 3. Kwa nini watu hawakumsaidia Syonzola alipovamiwa na fisi? 4. Hadithi hii inaonesha madhara gani ya pombe? Pombe ina madhara gani ambayo hayajaoneshwa katika hadithi hii?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Musau amwokoa babake Author - Kanyiva Sandi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Syonzola alikuwa babake nani | {
"text": [
"Musau"
]
} |
2336_swa | Musau amwokoa babake
Musau aliishi na babake, Syonzola.
Syonzola alienda kunywa pombe kila usiku.
Aliporudi nyumbani, aliita, "Nisaidieni! Fisi ananiua."
Watu walipokimbia kumsaidia, hawakumwona fisi.
Syonzola alifanya hivyo kila usiku.
Kila mara, Musau aliamshwa na kelele za babake.
Fisi alimvamia Syonzola usiku mmoja.
Kama kawaida, Syonzola aliita, "Nisaidieni!" Lakini watu walisema, "Tumechoshwa na Syonzola. Anatudanganya tu."
Musau alingoja. Babake hakufika.
Musau aliwaza, "Labda ni kweli kuwa babangu yuko hatarini." 10 Musau alitoka nje mbio.
Aliita, "Baba! Baba!" Fisi alitoroka.
Kutoka siku hiyo, Syonzola alibadilika. Anawasimulia watoto hadithi.
Maswali: 1. Musau aliishi na nani? 2. Syonzola aliwadanganya wanakijiji kwa kufanya nini? 3. Kwa nini watu hawakumsaidia Syonzola alipovamiwa na fisi? 4. Hadithi hii inaonesha madhara gani ya pombe? Pombe ina madhara gani ambayo hayajaoneshwa katika hadithi hii?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Musau amwokoa babake Author - Kanyiva Sandi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Syonzola alikuwa na mazoea gani | {
"text": [
"Kuitisha msaada, kuwa fisi alikuwa anamuua"
]
} |
2336_swa | Musau amwokoa babake
Musau aliishi na babake, Syonzola.
Syonzola alienda kunywa pombe kila usiku.
Aliporudi nyumbani, aliita, "Nisaidieni! Fisi ananiua."
Watu walipokimbia kumsaidia, hawakumwona fisi.
Syonzola alifanya hivyo kila usiku.
Kila mara, Musau aliamshwa na kelele za babake.
Fisi alimvamia Syonzola usiku mmoja.
Kama kawaida, Syonzola aliita, "Nisaidieni!" Lakini watu walisema, "Tumechoshwa na Syonzola. Anatudanganya tu."
Musau alingoja. Babake hakufika.
Musau aliwaza, "Labda ni kweli kuwa babangu yuko hatarini." 10 Musau alitoka nje mbio.
Aliita, "Baba! Baba!" Fisi alitoroka.
Kutoka siku hiyo, Syonzola alibadilika. Anawasimulia watoto hadithi.
Maswali: 1. Musau aliishi na nani? 2. Syonzola aliwadanganya wanakijiji kwa kufanya nini? 3. Kwa nini watu hawakumsaidia Syonzola alipovamiwa na fisi? 4. Hadithi hii inaonesha madhara gani ya pombe? Pombe ina madhara gani ambayo hayajaoneshwa katika hadithi hii?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Musau amwokoa babake Author - Kanyiva Sandi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Syonzola hakusaidiwa alipovamiwa na fisi | {
"text": [
"Watu walidhani anawadanganya"
]
} |
2336_swa | Musau amwokoa babake
Musau aliishi na babake, Syonzola.
Syonzola alienda kunywa pombe kila usiku.
Aliporudi nyumbani, aliita, "Nisaidieni! Fisi ananiua."
Watu walipokimbia kumsaidia, hawakumwona fisi.
Syonzola alifanya hivyo kila usiku.
Kila mara, Musau aliamshwa na kelele za babake.
Fisi alimvamia Syonzola usiku mmoja.
Kama kawaida, Syonzola aliita, "Nisaidieni!" Lakini watu walisema, "Tumechoshwa na Syonzola. Anatudanganya tu."
Musau alingoja. Babake hakufika.
Musau aliwaza, "Labda ni kweli kuwa babangu yuko hatarini." 10 Musau alitoka nje mbio.
Aliita, "Baba! Baba!" Fisi alitoroka.
Kutoka siku hiyo, Syonzola alibadilika. Anawasimulia watoto hadithi.
Maswali: 1. Musau aliishi na nani? 2. Syonzola aliwadanganya wanakijiji kwa kufanya nini? 3. Kwa nini watu hawakumsaidia Syonzola alipovamiwa na fisi? 4. Hadithi hii inaonesha madhara gani ya pombe? Pombe ina madhara gani ambayo hayajaoneshwa katika hadithi hii?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Musau amwokoa babake Author - Kanyiva Sandi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyemwokoa Syonzola aliposhambuliwa na fisi | {
"text": [
"Musau"
]
} |
2336_swa | Musau amwokoa babake
Musau aliishi na babake, Syonzola.
Syonzola alienda kunywa pombe kila usiku.
Aliporudi nyumbani, aliita, "Nisaidieni! Fisi ananiua."
Watu walipokimbia kumsaidia, hawakumwona fisi.
Syonzola alifanya hivyo kila usiku.
Kila mara, Musau aliamshwa na kelele za babake.
Fisi alimvamia Syonzola usiku mmoja.
Kama kawaida, Syonzola aliita, "Nisaidieni!" Lakini watu walisema, "Tumechoshwa na Syonzola. Anatudanganya tu."
Musau alingoja. Babake hakufika.
Musau aliwaza, "Labda ni kweli kuwa babangu yuko hatarini." 10 Musau alitoka nje mbio.
Aliita, "Baba! Baba!" Fisi alitoroka.
Kutoka siku hiyo, Syonzola alibadilika. Anawasimulia watoto hadithi.
Maswali: 1. Musau aliishi na nani? 2. Syonzola aliwadanganya wanakijiji kwa kufanya nini? 3. Kwa nini watu hawakumsaidia Syonzola alipovamiwa na fisi? 4. Hadithi hii inaonesha madhara gani ya pombe? Pombe ina madhara gani ambayo hayajaoneshwa katika hadithi hii?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Musau amwokoa babake Author - Kanyiva Sandi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kelele za Syonzola zilikuwa zinachangiwa na nini | {
"text": [
"Kunywa pombe"
]
} |
2337_swa | Mvulana aliyechukiwa na wote
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mvulana mwenye sura mbaya sana. Hakupendwa na yeyote, hata wazazi wake. Hata nyumbani, aliketi peke yake wengine walipotazama runinga.
Shuleni pia aliketi peke yake watoto wengine walipokuwa wakicheza.
Walipokwenda kuwaleta mifugo, yeye alitembea nyuma yao. Watoto wengine hawakutaka kutembea pamoja naye.
Alijua kuwa hakuna aliyemtaka wala kuzungumza naye. Siku moja aliamua kutoroka, lakini hakujua pa kwenda. Alitembea hadi kwenye msitu na kuanza kuogopa.
Alipokaribia msituni, alikutana na bibi mkongwe. Alikuwa mchafu na mwenye sura mbaya. Bi Kizee alimsalimia na kumwuliza, "Unafanya nini katika msitu huu wa kuogofya?" Mvulana alishangaa kuzungumziwa na Bi Kizee. "Ninakwenda popote. Hakuna yeyote anipendaye wala kunizungumzia," alimwambia Bi Kizee.
Bi Kizee alimwuliza ikiwa angehitaji usaidizi. "Ndiyo," alijibu haraka. Bi Kizee alimwambia, "Kabla sijakusaidia, nataka ulambe uso wangu hadi upendeze."
Mvulana alikubali kuulamba uso wa Bi Kizee yule ili asaidiwe. Aliulamba uso wa Bi Kizee kuanzia machoni, akamfuta kamasi puani na kumtoa nta masikioni. Aliulamba uso wa Bi Kizee hadi ukapendeza.
Uso wa Bi Kizee ulimetameta na akamshukuru. Alisema, "Humu msituni utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata."
Mvulana alitamani sana kuviona vitu vyote vya ajabu. Kabla hajaingia msituni, Bi Kizee alimwita, "Hebu, rudi hapa!" "Niko hapa!" mvulana alisema. Bi Kizee alimwuliza, "Ulisikia nilichosema? Msituni, utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na akakubaliwa kuingia msituni.
Alipoanza kukimbia kwenda msituni, alisikia sauti, "Wewe, rudi hapa!" mvulana hakujua alichotaka yule Bi Kizee. Akarudi. Bi Kizee alimwambia, "Sina hakika kama umenielewa. Nimesema, utapata vitu vingi vya ajabau msituni, lakini usichukuwe chochote ila mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na kisha akakimbilia msituni.
Mara tu alipoingia msituni, aliisikia sauti ya Bi Kizee tena, "Rudi hapa!" mvulana alijaribu kuipuuza, lakini sauti ikaendelea kumwita. Bi Kizee akasema, "Sina uhakika utatenda ninavyokwambia. Utapata vitu vingi vya ajabu msituni, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana alianza kuudhika na marudio haya. Alikimbia hadi msituni.
Mle msituni, aliliona bakuli lililojaa fedha tele. Alizichukuwa na kuziweka mfukoni. Mara akakumbuka alichoambiwa na Bi Kizee. Polepole, alizitoa fedha mfukoni na kuzirejesha kwenye bakuli.
Kisha akatazama karibu naye akaona nguo mpya nzuri. Akavua nguo alizokuwa nazo na kuvaa zile mpya. Halafu akakumbuka aliyoambiwa na Bi Kizee. Haraka, akazivua zile nguo mpya na kuvaa alizokuwa nazo.
Alipotazama hapo kando, aliuona mzizi! Ulikuwa umenyauka kutokana na jua. Akajiuliza, "Bi Kizee atafaidikaje na mzizi huu?" Juu ya mzizi, kulikuwa na bakuli la chakula kilichonukia. Mvulana akahisi njaa. Hakuweza kujizuia kukila.
Ghafla, akakumbuka alichoambiwa na yule Bi Kizee! Alikumbuka aliambiwa auchukuwe mzizi tu. Alianza kuutafuta mzizi, lakini hakuupata.
Akiwa ameudhika, alirudi kumwambia yule Bi Kizee kilichotokea. Bi Kizee tayari alikuwa ameenda zake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvulana aliyechukiwa na wote Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mvulana alipokaribia msituni alikutana na nani | {
"text": [
"bibi mkongwe"
]
} |
2337_swa | Mvulana aliyechukiwa na wote
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mvulana mwenye sura mbaya sana. Hakupendwa na yeyote, hata wazazi wake. Hata nyumbani, aliketi peke yake wengine walipotazama runinga.
Shuleni pia aliketi peke yake watoto wengine walipokuwa wakicheza.
Walipokwenda kuwaleta mifugo, yeye alitembea nyuma yao. Watoto wengine hawakutaka kutembea pamoja naye.
Alijua kuwa hakuna aliyemtaka wala kuzungumza naye. Siku moja aliamua kutoroka, lakini hakujua pa kwenda. Alitembea hadi kwenye msitu na kuanza kuogopa.
Alipokaribia msituni, alikutana na bibi mkongwe. Alikuwa mchafu na mwenye sura mbaya. Bi Kizee alimsalimia na kumwuliza, "Unafanya nini katika msitu huu wa kuogofya?" Mvulana alishangaa kuzungumziwa na Bi Kizee. "Ninakwenda popote. Hakuna yeyote anipendaye wala kunizungumzia," alimwambia Bi Kizee.
Bi Kizee alimwuliza ikiwa angehitaji usaidizi. "Ndiyo," alijibu haraka. Bi Kizee alimwambia, "Kabla sijakusaidia, nataka ulambe uso wangu hadi upendeze."
Mvulana alikubali kuulamba uso wa Bi Kizee yule ili asaidiwe. Aliulamba uso wa Bi Kizee kuanzia machoni, akamfuta kamasi puani na kumtoa nta masikioni. Aliulamba uso wa Bi Kizee hadi ukapendeza.
Uso wa Bi Kizee ulimetameta na akamshukuru. Alisema, "Humu msituni utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata."
Mvulana alitamani sana kuviona vitu vyote vya ajabu. Kabla hajaingia msituni, Bi Kizee alimwita, "Hebu, rudi hapa!" "Niko hapa!" mvulana alisema. Bi Kizee alimwuliza, "Ulisikia nilichosema? Msituni, utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na akakubaliwa kuingia msituni.
Alipoanza kukimbia kwenda msituni, alisikia sauti, "Wewe, rudi hapa!" mvulana hakujua alichotaka yule Bi Kizee. Akarudi. Bi Kizee alimwambia, "Sina hakika kama umenielewa. Nimesema, utapata vitu vingi vya ajabau msituni, lakini usichukuwe chochote ila mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na kisha akakimbilia msituni.
Mara tu alipoingia msituni, aliisikia sauti ya Bi Kizee tena, "Rudi hapa!" mvulana alijaribu kuipuuza, lakini sauti ikaendelea kumwita. Bi Kizee akasema, "Sina uhakika utatenda ninavyokwambia. Utapata vitu vingi vya ajabu msituni, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana alianza kuudhika na marudio haya. Alikimbia hadi msituni.
Mle msituni, aliliona bakuli lililojaa fedha tele. Alizichukuwa na kuziweka mfukoni. Mara akakumbuka alichoambiwa na Bi Kizee. Polepole, alizitoa fedha mfukoni na kuzirejesha kwenye bakuli.
Kisha akatazama karibu naye akaona nguo mpya nzuri. Akavua nguo alizokuwa nazo na kuvaa zile mpya. Halafu akakumbuka aliyoambiwa na Bi Kizee. Haraka, akazivua zile nguo mpya na kuvaa alizokuwa nazo.
Alipotazama hapo kando, aliuona mzizi! Ulikuwa umenyauka kutokana na jua. Akajiuliza, "Bi Kizee atafaidikaje na mzizi huu?" Juu ya mzizi, kulikuwa na bakuli la chakula kilichonukia. Mvulana akahisi njaa. Hakuweza kujizuia kukila.
Ghafla, akakumbuka alichoambiwa na yule Bi Kizee! Alikumbuka aliambiwa auchukuwe mzizi tu. Alianza kuutafuta mzizi, lakini hakuupata.
Akiwa ameudhika, alirudi kumwambia yule Bi Kizee kilichotokea. Bi Kizee tayari alikuwa ameenda zake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvulana aliyechukiwa na wote Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Bi Kizee aliwambia mvulana amfanyie nini kabla hajamsaidia | {
"text": [
"amlambe uso apendeze"
]
} |
2337_swa | Mvulana aliyechukiwa na wote
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mvulana mwenye sura mbaya sana. Hakupendwa na yeyote, hata wazazi wake. Hata nyumbani, aliketi peke yake wengine walipotazama runinga.
Shuleni pia aliketi peke yake watoto wengine walipokuwa wakicheza.
Walipokwenda kuwaleta mifugo, yeye alitembea nyuma yao. Watoto wengine hawakutaka kutembea pamoja naye.
Alijua kuwa hakuna aliyemtaka wala kuzungumza naye. Siku moja aliamua kutoroka, lakini hakujua pa kwenda. Alitembea hadi kwenye msitu na kuanza kuogopa.
Alipokaribia msituni, alikutana na bibi mkongwe. Alikuwa mchafu na mwenye sura mbaya. Bi Kizee alimsalimia na kumwuliza, "Unafanya nini katika msitu huu wa kuogofya?" Mvulana alishangaa kuzungumziwa na Bi Kizee. "Ninakwenda popote. Hakuna yeyote anipendaye wala kunizungumzia," alimwambia Bi Kizee.
Bi Kizee alimwuliza ikiwa angehitaji usaidizi. "Ndiyo," alijibu haraka. Bi Kizee alimwambia, "Kabla sijakusaidia, nataka ulambe uso wangu hadi upendeze."
Mvulana alikubali kuulamba uso wa Bi Kizee yule ili asaidiwe. Aliulamba uso wa Bi Kizee kuanzia machoni, akamfuta kamasi puani na kumtoa nta masikioni. Aliulamba uso wa Bi Kizee hadi ukapendeza.
Uso wa Bi Kizee ulimetameta na akamshukuru. Alisema, "Humu msituni utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata."
Mvulana alitamani sana kuviona vitu vyote vya ajabu. Kabla hajaingia msituni, Bi Kizee alimwita, "Hebu, rudi hapa!" "Niko hapa!" mvulana alisema. Bi Kizee alimwuliza, "Ulisikia nilichosema? Msituni, utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na akakubaliwa kuingia msituni.
Alipoanza kukimbia kwenda msituni, alisikia sauti, "Wewe, rudi hapa!" mvulana hakujua alichotaka yule Bi Kizee. Akarudi. Bi Kizee alimwambia, "Sina hakika kama umenielewa. Nimesema, utapata vitu vingi vya ajabau msituni, lakini usichukuwe chochote ila mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na kisha akakimbilia msituni.
Mara tu alipoingia msituni, aliisikia sauti ya Bi Kizee tena, "Rudi hapa!" mvulana alijaribu kuipuuza, lakini sauti ikaendelea kumwita. Bi Kizee akasema, "Sina uhakika utatenda ninavyokwambia. Utapata vitu vingi vya ajabu msituni, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana alianza kuudhika na marudio haya. Alikimbia hadi msituni.
Mle msituni, aliliona bakuli lililojaa fedha tele. Alizichukuwa na kuziweka mfukoni. Mara akakumbuka alichoambiwa na Bi Kizee. Polepole, alizitoa fedha mfukoni na kuzirejesha kwenye bakuli.
Kisha akatazama karibu naye akaona nguo mpya nzuri. Akavua nguo alizokuwa nazo na kuvaa zile mpya. Halafu akakumbuka aliyoambiwa na Bi Kizee. Haraka, akazivua zile nguo mpya na kuvaa alizokuwa nazo.
Alipotazama hapo kando, aliuona mzizi! Ulikuwa umenyauka kutokana na jua. Akajiuliza, "Bi Kizee atafaidikaje na mzizi huu?" Juu ya mzizi, kulikuwa na bakuli la chakula kilichonukia. Mvulana akahisi njaa. Hakuweza kujizuia kukila.
Ghafla, akakumbuka alichoambiwa na yule Bi Kizee! Alikumbuka aliambiwa auchukuwe mzizi tu. Alianza kuutafuta mzizi, lakini hakuupata.
Akiwa ameudhika, alirudi kumwambia yule Bi Kizee kilichotokea. Bi Kizee tayari alikuwa ameenda zake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvulana aliyechukiwa na wote Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nini kilifanya mvulana asipendwe na yeyote | {
"text": [
"alikuwa sura mbaya"
]
} |
2337_swa | Mvulana aliyechukiwa na wote
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mvulana mwenye sura mbaya sana. Hakupendwa na yeyote, hata wazazi wake. Hata nyumbani, aliketi peke yake wengine walipotazama runinga.
Shuleni pia aliketi peke yake watoto wengine walipokuwa wakicheza.
Walipokwenda kuwaleta mifugo, yeye alitembea nyuma yao. Watoto wengine hawakutaka kutembea pamoja naye.
Alijua kuwa hakuna aliyemtaka wala kuzungumza naye. Siku moja aliamua kutoroka, lakini hakujua pa kwenda. Alitembea hadi kwenye msitu na kuanza kuogopa.
Alipokaribia msituni, alikutana na bibi mkongwe. Alikuwa mchafu na mwenye sura mbaya. Bi Kizee alimsalimia na kumwuliza, "Unafanya nini katika msitu huu wa kuogofya?" Mvulana alishangaa kuzungumziwa na Bi Kizee. "Ninakwenda popote. Hakuna yeyote anipendaye wala kunizungumzia," alimwambia Bi Kizee.
Bi Kizee alimwuliza ikiwa angehitaji usaidizi. "Ndiyo," alijibu haraka. Bi Kizee alimwambia, "Kabla sijakusaidia, nataka ulambe uso wangu hadi upendeze."
Mvulana alikubali kuulamba uso wa Bi Kizee yule ili asaidiwe. Aliulamba uso wa Bi Kizee kuanzia machoni, akamfuta kamasi puani na kumtoa nta masikioni. Aliulamba uso wa Bi Kizee hadi ukapendeza.
Uso wa Bi Kizee ulimetameta na akamshukuru. Alisema, "Humu msituni utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata."
Mvulana alitamani sana kuviona vitu vyote vya ajabu. Kabla hajaingia msituni, Bi Kizee alimwita, "Hebu, rudi hapa!" "Niko hapa!" mvulana alisema. Bi Kizee alimwuliza, "Ulisikia nilichosema? Msituni, utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na akakubaliwa kuingia msituni.
Alipoanza kukimbia kwenda msituni, alisikia sauti, "Wewe, rudi hapa!" mvulana hakujua alichotaka yule Bi Kizee. Akarudi. Bi Kizee alimwambia, "Sina hakika kama umenielewa. Nimesema, utapata vitu vingi vya ajabau msituni, lakini usichukuwe chochote ila mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na kisha akakimbilia msituni.
Mara tu alipoingia msituni, aliisikia sauti ya Bi Kizee tena, "Rudi hapa!" mvulana alijaribu kuipuuza, lakini sauti ikaendelea kumwita. Bi Kizee akasema, "Sina uhakika utatenda ninavyokwambia. Utapata vitu vingi vya ajabu msituni, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana alianza kuudhika na marudio haya. Alikimbia hadi msituni.
Mle msituni, aliliona bakuli lililojaa fedha tele. Alizichukuwa na kuziweka mfukoni. Mara akakumbuka alichoambiwa na Bi Kizee. Polepole, alizitoa fedha mfukoni na kuzirejesha kwenye bakuli.
Kisha akatazama karibu naye akaona nguo mpya nzuri. Akavua nguo alizokuwa nazo na kuvaa zile mpya. Halafu akakumbuka aliyoambiwa na Bi Kizee. Haraka, akazivua zile nguo mpya na kuvaa alizokuwa nazo.
Alipotazama hapo kando, aliuona mzizi! Ulikuwa umenyauka kutokana na jua. Akajiuliza, "Bi Kizee atafaidikaje na mzizi huu?" Juu ya mzizi, kulikuwa na bakuli la chakula kilichonukia. Mvulana akahisi njaa. Hakuweza kujizuia kukila.
Ghafla, akakumbuka alichoambiwa na yule Bi Kizee! Alikumbuka aliambiwa auchukuwe mzizi tu. Alianza kuutafuta mzizi, lakini hakuupata.
Akiwa ameudhika, alirudi kumwambia yule Bi Kizee kilichotokea. Bi Kizee tayari alikuwa ameenda zake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvulana aliyechukiwa na wote Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mvulana alikutana na bibi mkongwe lini | {
"text": [
"alipokaribia msituni"
]
} |
2337_swa | Mvulana aliyechukiwa na wote
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mvulana mwenye sura mbaya sana. Hakupendwa na yeyote, hata wazazi wake. Hata nyumbani, aliketi peke yake wengine walipotazama runinga.
Shuleni pia aliketi peke yake watoto wengine walipokuwa wakicheza.
Walipokwenda kuwaleta mifugo, yeye alitembea nyuma yao. Watoto wengine hawakutaka kutembea pamoja naye.
Alijua kuwa hakuna aliyemtaka wala kuzungumza naye. Siku moja aliamua kutoroka, lakini hakujua pa kwenda. Alitembea hadi kwenye msitu na kuanza kuogopa.
Alipokaribia msituni, alikutana na bibi mkongwe. Alikuwa mchafu na mwenye sura mbaya. Bi Kizee alimsalimia na kumwuliza, "Unafanya nini katika msitu huu wa kuogofya?" Mvulana alishangaa kuzungumziwa na Bi Kizee. "Ninakwenda popote. Hakuna yeyote anipendaye wala kunizungumzia," alimwambia Bi Kizee.
Bi Kizee alimwuliza ikiwa angehitaji usaidizi. "Ndiyo," alijibu haraka. Bi Kizee alimwambia, "Kabla sijakusaidia, nataka ulambe uso wangu hadi upendeze."
Mvulana alikubali kuulamba uso wa Bi Kizee yule ili asaidiwe. Aliulamba uso wa Bi Kizee kuanzia machoni, akamfuta kamasi puani na kumtoa nta masikioni. Aliulamba uso wa Bi Kizee hadi ukapendeza.
Uso wa Bi Kizee ulimetameta na akamshukuru. Alisema, "Humu msituni utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata."
Mvulana alitamani sana kuviona vitu vyote vya ajabu. Kabla hajaingia msituni, Bi Kizee alimwita, "Hebu, rudi hapa!" "Niko hapa!" mvulana alisema. Bi Kizee alimwuliza, "Ulisikia nilichosema? Msituni, utapata vitu vingi vya ajabu, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na akakubaliwa kuingia msituni.
Alipoanza kukimbia kwenda msituni, alisikia sauti, "Wewe, rudi hapa!" mvulana hakujua alichotaka yule Bi Kizee. Akarudi. Bi Kizee alimwambia, "Sina hakika kama umenielewa. Nimesema, utapata vitu vingi vya ajabau msituni, lakini usichukuwe chochote ila mzizi utakaoupata." Mvulana aliitikia na kisha akakimbilia msituni.
Mara tu alipoingia msituni, aliisikia sauti ya Bi Kizee tena, "Rudi hapa!" mvulana alijaribu kuipuuza, lakini sauti ikaendelea kumwita. Bi Kizee akasema, "Sina uhakika utatenda ninavyokwambia. Utapata vitu vingi vya ajabu msituni, lakini usichukuwe chochote ila tu mzizi utakaoupata." Mvulana alianza kuudhika na marudio haya. Alikimbia hadi msituni.
Mle msituni, aliliona bakuli lililojaa fedha tele. Alizichukuwa na kuziweka mfukoni. Mara akakumbuka alichoambiwa na Bi Kizee. Polepole, alizitoa fedha mfukoni na kuzirejesha kwenye bakuli.
Kisha akatazama karibu naye akaona nguo mpya nzuri. Akavua nguo alizokuwa nazo na kuvaa zile mpya. Halafu akakumbuka aliyoambiwa na Bi Kizee. Haraka, akazivua zile nguo mpya na kuvaa alizokuwa nazo.
Alipotazama hapo kando, aliuona mzizi! Ulikuwa umenyauka kutokana na jua. Akajiuliza, "Bi Kizee atafaidikaje na mzizi huu?" Juu ya mzizi, kulikuwa na bakuli la chakula kilichonukia. Mvulana akahisi njaa. Hakuweza kujizuia kukila.
Ghafla, akakumbuka alichoambiwa na yule Bi Kizee! Alikumbuka aliambiwa auchukuwe mzizi tu. Alianza kuutafuta mzizi, lakini hakuupata.
Akiwa ameudhika, alirudi kumwambia yule Bi Kizee kilichotokea. Bi Kizee tayari alikuwa ameenda zake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvulana aliyechukiwa na wote Author - Phumy Zikode Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini mvulana hakujizuia kukila chakula | {
"text": [
"chakula hicho kilinukia na alikua akihisi njaa"
]
} |
2339_swa | Mvumilivu hula mbivu
Katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Abula. Abula hakupenda kusoma wala hata kufungua kitabu. Licha ya kuwa mwanafunzi mvivu alikuwa na tabia mbovu.
Abula alizoea kuiba pesa za mamake na kununua peremende. Hata mama alipozificha, Abula alizipata. Alipomaliza kula peremende, Abula angeenda kucheza na marafiki zake.
Baada ya muda, Abula aliacha kwenda shuleni. Alicheza mchana kutwa na kurudi nyumbani jioni. Mamake alipogundua jambo hilo, alikuwa na wasiwasi.
Alimwambia mumewe, "Mtoto wetu amekuwa mtukutu. Nadhani hata haendi shuleni. Pia ananiibia pesa." Baba aliwaza jinsi angembadilisha Abula tabia kwa njia mwafaka.
Alimwambia mkewe, "Wakati mwingine, zifiche pesa zako katika kurasa za kitabu. Kwa vile yeye hafungui vitabu, pesa zako zitakuwa salama pale."
Siku iliyofuata, Abula alitafuta pesa za mamake kila mahali lakini hakupata chochote. Aliamua kwenda soko iliyokuwa karibu kuona kama angepata pesa zozote.
Baba aliona kule Abula alikuwa akienda. Alisema, "Mwanangu, ninajua kwa nini unakwenda sokoni. Sasa rudi nyumbani ukatafute pesa kwenye vitabu."
Abula alishangaa, lakini alikwenda nyumbani akatafuta kwenye vitabu. Alizipata pesa ambazo mamake alikuwa ameficha.
Siku iliyofuata, Abula alitafuta tena kwenye vitabu. Lakini, hakuna pesa zozote zilizokuwa zimefichwa humo. Alimwuliza babake kwa nini hakupata pesa zozote kwenye vitabu.
Babake alitabasamu kisha akamjibu, "Mwanangu, je, ungependa kupata pesa nyingi za kununua vitu vingi vitamu?" Abula alimjibu, "Bila shaka, baba."
Babake alisema, "Nisikilize vizuri. Soma vitabu vyako na uhudhurie shule. Utapata zawadi nyingi kwenye vitabu. Usikate tamaa." Abula alijibu, "Lakini baba, kusoma ni kazi ngumu. Vitabu vinachosha mno!"
Baba aliwaza juu ya kumhamasisha mwanawe. Alimwambia Abula, "Hebu tusome pamoja. Nitakusaidia upate mali vitabuni." Abula alisoma kwa bidii. Mwishoni, alifaulu na kuishi maisha mazuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvumilivu hula mbivu Author - Abraham Bereket, Hardido Temesgen and Yohannes Firew Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani hakupenda kusoma wala kukifungua kitabu | {
"text": [
"Abula"
]
} |
2339_swa | Mvumilivu hula mbivu
Katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Abula. Abula hakupenda kusoma wala hata kufungua kitabu. Licha ya kuwa mwanafunzi mvivu alikuwa na tabia mbovu.
Abula alizoea kuiba pesa za mamake na kununua peremende. Hata mama alipozificha, Abula alizipata. Alipomaliza kula peremende, Abula angeenda kucheza na marafiki zake.
Baada ya muda, Abula aliacha kwenda shuleni. Alicheza mchana kutwa na kurudi nyumbani jioni. Mamake alipogundua jambo hilo, alikuwa na wasiwasi.
Alimwambia mumewe, "Mtoto wetu amekuwa mtukutu. Nadhani hata haendi shuleni. Pia ananiibia pesa." Baba aliwaza jinsi angembadilisha Abula tabia kwa njia mwafaka.
Alimwambia mkewe, "Wakati mwingine, zifiche pesa zako katika kurasa za kitabu. Kwa vile yeye hafungui vitabu, pesa zako zitakuwa salama pale."
Siku iliyofuata, Abula alitafuta pesa za mamake kila mahali lakini hakupata chochote. Aliamua kwenda soko iliyokuwa karibu kuona kama angepata pesa zozote.
Baba aliona kule Abula alikuwa akienda. Alisema, "Mwanangu, ninajua kwa nini unakwenda sokoni. Sasa rudi nyumbani ukatafute pesa kwenye vitabu."
Abula alishangaa, lakini alikwenda nyumbani akatafuta kwenye vitabu. Alizipata pesa ambazo mamake alikuwa ameficha.
Siku iliyofuata, Abula alitafuta tena kwenye vitabu. Lakini, hakuna pesa zozote zilizokuwa zimefichwa humo. Alimwuliza babake kwa nini hakupata pesa zozote kwenye vitabu.
Babake alitabasamu kisha akamjibu, "Mwanangu, je, ungependa kupata pesa nyingi za kununua vitu vingi vitamu?" Abula alimjibu, "Bila shaka, baba."
Babake alisema, "Nisikilize vizuri. Soma vitabu vyako na uhudhurie shule. Utapata zawadi nyingi kwenye vitabu. Usikate tamaa." Abula alijibu, "Lakini baba, kusoma ni kazi ngumu. Vitabu vinachosha mno!"
Baba aliwaza juu ya kumhamasisha mwanawe. Alimwambia Abula, "Hebu tusome pamoja. Nitakusaidia upate mali vitabuni." Abula alisoma kwa bidii. Mwishoni, alifaulu na kuishi maisha mazuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvumilivu hula mbivu Author - Abraham Bereket, Hardido Temesgen and Yohannes Firew Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Abula alinunua nini na pesa alizoiba kutoka kwa mamake | {
"text": [
"Peremende"
]
} |
2339_swa | Mvumilivu hula mbivu
Katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Abula. Abula hakupenda kusoma wala hata kufungua kitabu. Licha ya kuwa mwanafunzi mvivu alikuwa na tabia mbovu.
Abula alizoea kuiba pesa za mamake na kununua peremende. Hata mama alipozificha, Abula alizipata. Alipomaliza kula peremende, Abula angeenda kucheza na marafiki zake.
Baada ya muda, Abula aliacha kwenda shuleni. Alicheza mchana kutwa na kurudi nyumbani jioni. Mamake alipogundua jambo hilo, alikuwa na wasiwasi.
Alimwambia mumewe, "Mtoto wetu amekuwa mtukutu. Nadhani hata haendi shuleni. Pia ananiibia pesa." Baba aliwaza jinsi angembadilisha Abula tabia kwa njia mwafaka.
Alimwambia mkewe, "Wakati mwingine, zifiche pesa zako katika kurasa za kitabu. Kwa vile yeye hafungui vitabu, pesa zako zitakuwa salama pale."
Siku iliyofuata, Abula alitafuta pesa za mamake kila mahali lakini hakupata chochote. Aliamua kwenda soko iliyokuwa karibu kuona kama angepata pesa zozote.
Baba aliona kule Abula alikuwa akienda. Alisema, "Mwanangu, ninajua kwa nini unakwenda sokoni. Sasa rudi nyumbani ukatafute pesa kwenye vitabu."
Abula alishangaa, lakini alikwenda nyumbani akatafuta kwenye vitabu. Alizipata pesa ambazo mamake alikuwa ameficha.
Siku iliyofuata, Abula alitafuta tena kwenye vitabu. Lakini, hakuna pesa zozote zilizokuwa zimefichwa humo. Alimwuliza babake kwa nini hakupata pesa zozote kwenye vitabu.
Babake alitabasamu kisha akamjibu, "Mwanangu, je, ungependa kupata pesa nyingi za kununua vitu vingi vitamu?" Abula alimjibu, "Bila shaka, baba."
Babake alisema, "Nisikilize vizuri. Soma vitabu vyako na uhudhurie shule. Utapata zawadi nyingi kwenye vitabu. Usikate tamaa." Abula alijibu, "Lakini baba, kusoma ni kazi ngumu. Vitabu vinachosha mno!"
Baba aliwaza juu ya kumhamasisha mwanawe. Alimwambia Abula, "Hebu tusome pamoja. Nitakusaidia upate mali vitabuni." Abula alisoma kwa bidii. Mwishoni, alifaulu na kuishi maisha mazuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvumilivu hula mbivu Author - Abraham Bereket, Hardido Temesgen and Yohannes Firew Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni wazo lipi lilimjia babake Abula ambalo lingemrekebisha Abula | {
"text": [
"Mamake kuweka pesa kwenye vitabu"
]
} |
2339_swa | Mvumilivu hula mbivu
Katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Abula. Abula hakupenda kusoma wala hata kufungua kitabu. Licha ya kuwa mwanafunzi mvivu alikuwa na tabia mbovu.
Abula alizoea kuiba pesa za mamake na kununua peremende. Hata mama alipozificha, Abula alizipata. Alipomaliza kula peremende, Abula angeenda kucheza na marafiki zake.
Baada ya muda, Abula aliacha kwenda shuleni. Alicheza mchana kutwa na kurudi nyumbani jioni. Mamake alipogundua jambo hilo, alikuwa na wasiwasi.
Alimwambia mumewe, "Mtoto wetu amekuwa mtukutu. Nadhani hata haendi shuleni. Pia ananiibia pesa." Baba aliwaza jinsi angembadilisha Abula tabia kwa njia mwafaka.
Alimwambia mkewe, "Wakati mwingine, zifiche pesa zako katika kurasa za kitabu. Kwa vile yeye hafungui vitabu, pesa zako zitakuwa salama pale."
Siku iliyofuata, Abula alitafuta pesa za mamake kila mahali lakini hakupata chochote. Aliamua kwenda soko iliyokuwa karibu kuona kama angepata pesa zozote.
Baba aliona kule Abula alikuwa akienda. Alisema, "Mwanangu, ninajua kwa nini unakwenda sokoni. Sasa rudi nyumbani ukatafute pesa kwenye vitabu."
Abula alishangaa, lakini alikwenda nyumbani akatafuta kwenye vitabu. Alizipata pesa ambazo mamake alikuwa ameficha.
Siku iliyofuata, Abula alitafuta tena kwenye vitabu. Lakini, hakuna pesa zozote zilizokuwa zimefichwa humo. Alimwuliza babake kwa nini hakupata pesa zozote kwenye vitabu.
Babake alitabasamu kisha akamjibu, "Mwanangu, je, ungependa kupata pesa nyingi za kununua vitu vingi vitamu?" Abula alimjibu, "Bila shaka, baba."
Babake alisema, "Nisikilize vizuri. Soma vitabu vyako na uhudhurie shule. Utapata zawadi nyingi kwenye vitabu. Usikate tamaa." Abula alijibu, "Lakini baba, kusoma ni kazi ngumu. Vitabu vinachosha mno!"
Baba aliwaza juu ya kumhamasisha mwanawe. Alimwambia Abula, "Hebu tusome pamoja. Nitakusaidia upate mali vitabuni." Abula alisoma kwa bidii. Mwishoni, alifaulu na kuishi maisha mazuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvumilivu hula mbivu Author - Abraham Bereket, Hardido Temesgen and Yohannes Firew Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Abula alisema kuwa kusoma kulikuwa kazi ngumu | {
"text": [
"Kwa sababu alikuwa mvivu"
]
} |
2339_swa | Mvumilivu hula mbivu
Katika kijiji kimoja, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Abula. Abula hakupenda kusoma wala hata kufungua kitabu. Licha ya kuwa mwanafunzi mvivu alikuwa na tabia mbovu.
Abula alizoea kuiba pesa za mamake na kununua peremende. Hata mama alipozificha, Abula alizipata. Alipomaliza kula peremende, Abula angeenda kucheza na marafiki zake.
Baada ya muda, Abula aliacha kwenda shuleni. Alicheza mchana kutwa na kurudi nyumbani jioni. Mamake alipogundua jambo hilo, alikuwa na wasiwasi.
Alimwambia mumewe, "Mtoto wetu amekuwa mtukutu. Nadhani hata haendi shuleni. Pia ananiibia pesa." Baba aliwaza jinsi angembadilisha Abula tabia kwa njia mwafaka.
Alimwambia mkewe, "Wakati mwingine, zifiche pesa zako katika kurasa za kitabu. Kwa vile yeye hafungui vitabu, pesa zako zitakuwa salama pale."
Siku iliyofuata, Abula alitafuta pesa za mamake kila mahali lakini hakupata chochote. Aliamua kwenda soko iliyokuwa karibu kuona kama angepata pesa zozote.
Baba aliona kule Abula alikuwa akienda. Alisema, "Mwanangu, ninajua kwa nini unakwenda sokoni. Sasa rudi nyumbani ukatafute pesa kwenye vitabu."
Abula alishangaa, lakini alikwenda nyumbani akatafuta kwenye vitabu. Alizipata pesa ambazo mamake alikuwa ameficha.
Siku iliyofuata, Abula alitafuta tena kwenye vitabu. Lakini, hakuna pesa zozote zilizokuwa zimefichwa humo. Alimwuliza babake kwa nini hakupata pesa zozote kwenye vitabu.
Babake alitabasamu kisha akamjibu, "Mwanangu, je, ungependa kupata pesa nyingi za kununua vitu vingi vitamu?" Abula alimjibu, "Bila shaka, baba."
Babake alisema, "Nisikilize vizuri. Soma vitabu vyako na uhudhurie shule. Utapata zawadi nyingi kwenye vitabu. Usikate tamaa." Abula alijibu, "Lakini baba, kusoma ni kazi ngumu. Vitabu vinachosha mno!"
Baba aliwaza juu ya kumhamasisha mwanawe. Alimwambia Abula, "Hebu tusome pamoja. Nitakusaidia upate mali vitabuni." Abula alisoma kwa bidii. Mwishoni, alifaulu na kuishi maisha mazuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mvumilivu hula mbivu Author - Abraham Bereket, Hardido Temesgen and Yohannes Firew Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Baada ya Abula kukosa pesa alielekea wapi | {
"text": [
"Sokoni"
]
} |
2341_swa | Mwalimu Goso
Hapo zamani kulikuwa na mwalimu aliyeitwa Goso. Aliwafundishia wanafunzi chini ya mbuyu badala ya darasani.
Siku moja, paa alipanda juu ya mbuyu kuiba matunda. Alitikisa tawi la mbuyu na tunda moja likamwangukia Mwalimu Goso. Mwalimu Goso alifariki papo hapo.
Watoto walipofika chini ya mti walimpata mwalimu wao akiwa amekufa. Walihuzunika sana wakataka kujua kilichomuua Mwalimu Goso.
Waliushika upepo wa kusini, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, ukuta wa matope ungewezaje kunikinga?"
Walikwenda kwenye ukuta wa matope, "Ni wewe uliyekinga upepo wa kusini ulioangusha tunda, lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, panya angewezaje kutoboa shimo ubavuni mwangu?"
Walikwenda kwa panya, "Ni wewe uliyetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini panya alijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, paka angewezaje kunila?"
Walimwambia paka, "Ni wewe humla panya, anayetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini paka alijibu, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kufungwa kwa kamba?"
Waliiambia Kamba, "Ni wewe humfunga paka, ambaye hula panya anayetoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, uliokinga Upepo wa Kusini ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kamba ikasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kukatwa kwa kisu?"
Walikiambia kisu, "Ni wewe hukata Kamba, ambayo hufunga Paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kisu kilisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuchomwa kwa moto?"
Basi wakaenda kwa moto, "Ni wewe huchoma Kisu, kinachokata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Moto ulisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuzimwa na maji?"
Waliyaambia maji, "Ni wewe ambaye huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini maji yakasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kunywewa na ng'ombe?"
Walikwenda kwa ng'ombe, "Ni wewe ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini ng'ombe akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuumwa na mbung'o?"
Basi wakaenda kwa mbung'o, "Ni wewe ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Mbung'o akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuliwa na paa?"
Basi wakampata paa, "Ni wewe ambaye hula mbung'o, ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma Kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa."
Paa alishtuka kwamba alikuwa ametambulika. Kwa hivyo, hakuwa na cha kusema. Kisha watoto wakasema, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Ni wewe unayepaswa kuadhibiwa!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu Goso Author - Adapted from one of George W Bateman’s Zanzibar Tales Versioned by Mitugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © Adapted From One of George W Bateman’S Zanzibar Talestranslated By Mitugi Kamundi 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mwalimu aliitwa nani | {
"text": [
"Goso"
]
} |
2341_swa | Mwalimu Goso
Hapo zamani kulikuwa na mwalimu aliyeitwa Goso. Aliwafundishia wanafunzi chini ya mbuyu badala ya darasani.
Siku moja, paa alipanda juu ya mbuyu kuiba matunda. Alitikisa tawi la mbuyu na tunda moja likamwangukia Mwalimu Goso. Mwalimu Goso alifariki papo hapo.
Watoto walipofika chini ya mti walimpata mwalimu wao akiwa amekufa. Walihuzunika sana wakataka kujua kilichomuua Mwalimu Goso.
Waliushika upepo wa kusini, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, ukuta wa matope ungewezaje kunikinga?"
Walikwenda kwenye ukuta wa matope, "Ni wewe uliyekinga upepo wa kusini ulioangusha tunda, lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, panya angewezaje kutoboa shimo ubavuni mwangu?"
Walikwenda kwa panya, "Ni wewe uliyetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini panya alijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, paka angewezaje kunila?"
Walimwambia paka, "Ni wewe humla panya, anayetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini paka alijibu, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kufungwa kwa kamba?"
Waliiambia Kamba, "Ni wewe humfunga paka, ambaye hula panya anayetoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, uliokinga Upepo wa Kusini ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kamba ikasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kukatwa kwa kisu?"
Walikiambia kisu, "Ni wewe hukata Kamba, ambayo hufunga Paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kisu kilisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuchomwa kwa moto?"
Basi wakaenda kwa moto, "Ni wewe huchoma Kisu, kinachokata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Moto ulisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuzimwa na maji?"
Waliyaambia maji, "Ni wewe ambaye huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini maji yakasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kunywewa na ng'ombe?"
Walikwenda kwa ng'ombe, "Ni wewe ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini ng'ombe akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuumwa na mbung'o?"
Basi wakaenda kwa mbung'o, "Ni wewe ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Mbung'o akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuliwa na paa?"
Basi wakampata paa, "Ni wewe ambaye hula mbung'o, ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma Kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa."
Paa alishtuka kwamba alikuwa ametambulika. Kwa hivyo, hakuwa na cha kusema. Kisha watoto wakasema, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Ni wewe unayepaswa kuadhibiwa!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu Goso Author - Adapted from one of George W Bateman’s Zanzibar Tales Versioned by Mitugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © Adapted From One of George W Bateman’S Zanzibar Talestranslated By Mitugi Kamundi 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nini ilimwangukia Mwalimu Goso | {
"text": [
"Tunda"
]
} |
2341_swa | Mwalimu Goso
Hapo zamani kulikuwa na mwalimu aliyeitwa Goso. Aliwafundishia wanafunzi chini ya mbuyu badala ya darasani.
Siku moja, paa alipanda juu ya mbuyu kuiba matunda. Alitikisa tawi la mbuyu na tunda moja likamwangukia Mwalimu Goso. Mwalimu Goso alifariki papo hapo.
Watoto walipofika chini ya mti walimpata mwalimu wao akiwa amekufa. Walihuzunika sana wakataka kujua kilichomuua Mwalimu Goso.
Waliushika upepo wa kusini, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, ukuta wa matope ungewezaje kunikinga?"
Walikwenda kwenye ukuta wa matope, "Ni wewe uliyekinga upepo wa kusini ulioangusha tunda, lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, panya angewezaje kutoboa shimo ubavuni mwangu?"
Walikwenda kwa panya, "Ni wewe uliyetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini panya alijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, paka angewezaje kunila?"
Walimwambia paka, "Ni wewe humla panya, anayetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini paka alijibu, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kufungwa kwa kamba?"
Waliiambia Kamba, "Ni wewe humfunga paka, ambaye hula panya anayetoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, uliokinga Upepo wa Kusini ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kamba ikasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kukatwa kwa kisu?"
Walikiambia kisu, "Ni wewe hukata Kamba, ambayo hufunga Paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kisu kilisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuchomwa kwa moto?"
Basi wakaenda kwa moto, "Ni wewe huchoma Kisu, kinachokata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Moto ulisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuzimwa na maji?"
Waliyaambia maji, "Ni wewe ambaye huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini maji yakasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kunywewa na ng'ombe?"
Walikwenda kwa ng'ombe, "Ni wewe ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini ng'ombe akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuumwa na mbung'o?"
Basi wakaenda kwa mbung'o, "Ni wewe ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Mbung'o akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuliwa na paa?"
Basi wakampata paa, "Ni wewe ambaye hula mbung'o, ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma Kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa."
Paa alishtuka kwamba alikuwa ametambulika. Kwa hivyo, hakuwa na cha kusema. Kisha watoto wakasema, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Ni wewe unayepaswa kuadhibiwa!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu Goso Author - Adapted from one of George W Bateman’s Zanzibar Tales Versioned by Mitugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © Adapted From One of George W Bateman’S Zanzibar Talestranslated By Mitugi Kamundi 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nini hula paka | {
"text": [
"Panya"
]
} |
2341_swa | Mwalimu Goso
Hapo zamani kulikuwa na mwalimu aliyeitwa Goso. Aliwafundishia wanafunzi chini ya mbuyu badala ya darasani.
Siku moja, paa alipanda juu ya mbuyu kuiba matunda. Alitikisa tawi la mbuyu na tunda moja likamwangukia Mwalimu Goso. Mwalimu Goso alifariki papo hapo.
Watoto walipofika chini ya mti walimpata mwalimu wao akiwa amekufa. Walihuzunika sana wakataka kujua kilichomuua Mwalimu Goso.
Waliushika upepo wa kusini, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, ukuta wa matope ungewezaje kunikinga?"
Walikwenda kwenye ukuta wa matope, "Ni wewe uliyekinga upepo wa kusini ulioangusha tunda, lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, panya angewezaje kutoboa shimo ubavuni mwangu?"
Walikwenda kwa panya, "Ni wewe uliyetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini panya alijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, paka angewezaje kunila?"
Walimwambia paka, "Ni wewe humla panya, anayetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini paka alijibu, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kufungwa kwa kamba?"
Waliiambia Kamba, "Ni wewe humfunga paka, ambaye hula panya anayetoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, uliokinga Upepo wa Kusini ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kamba ikasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kukatwa kwa kisu?"
Walikiambia kisu, "Ni wewe hukata Kamba, ambayo hufunga Paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kisu kilisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuchomwa kwa moto?"
Basi wakaenda kwa moto, "Ni wewe huchoma Kisu, kinachokata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Moto ulisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuzimwa na maji?"
Waliyaambia maji, "Ni wewe ambaye huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini maji yakasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kunywewa na ng'ombe?"
Walikwenda kwa ng'ombe, "Ni wewe ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini ng'ombe akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuumwa na mbung'o?"
Basi wakaenda kwa mbung'o, "Ni wewe ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Mbung'o akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuliwa na paa?"
Basi wakampata paa, "Ni wewe ambaye hula mbung'o, ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma Kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa."
Paa alishtuka kwamba alikuwa ametambulika. Kwa hivyo, hakuwa na cha kusema. Kisha watoto wakasema, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Ni wewe unayepaswa kuadhibiwa!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu Goso Author - Adapted from one of George W Bateman’s Zanzibar Tales Versioned by Mitugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © Adapted From One of George W Bateman’S Zanzibar Talestranslated By Mitugi Kamundi 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani hunywa maji ya kuzima moto | {
"text": [
"Ng'ombe"
]
} |
2341_swa | Mwalimu Goso
Hapo zamani kulikuwa na mwalimu aliyeitwa Goso. Aliwafundishia wanafunzi chini ya mbuyu badala ya darasani.
Siku moja, paa alipanda juu ya mbuyu kuiba matunda. Alitikisa tawi la mbuyu na tunda moja likamwangukia Mwalimu Goso. Mwalimu Goso alifariki papo hapo.
Watoto walipofika chini ya mti walimpata mwalimu wao akiwa amekufa. Walihuzunika sana wakataka kujua kilichomuua Mwalimu Goso.
Waliushika upepo wa kusini, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, ukuta wa matope ungewezaje kunikinga?"
Walikwenda kwenye ukuta wa matope, "Ni wewe uliyekinga upepo wa kusini ulioangusha tunda, lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Upepo wa kusini ulijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, panya angewezaje kutoboa shimo ubavuni mwangu?"
Walikwenda kwa panya, "Ni wewe uliyetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini panya alijibu, "Ningekuwa na nguvu kiasi hicho, paka angewezaje kunila?"
Walimwambia paka, "Ni wewe humla panya, anayetoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini paka alijibu, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kufungwa kwa kamba?"
Waliiambia Kamba, "Ni wewe humfunga paka, ambaye hula panya anayetoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, uliokinga Upepo wa Kusini ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kamba ikasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kukatwa kwa kisu?"
Walikiambia kisu, "Ni wewe hukata Kamba, ambayo hufunga Paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo ubavuni mwa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ulioliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Kisu kilisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuchomwa kwa moto?"
Basi wakaenda kwa moto, "Ni wewe huchoma Kisu, kinachokata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa shimo kwenye ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda lililomwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Moto ulisema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuzimwa na maji?"
Waliyaambia maji, "Ni wewe ambaye huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini maji yakasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kunywewa na ng'ombe?"
Walikwenda kwa ng'ombe, "Ni wewe ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Lakini ng'ombe akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuumwa na mbung'o?"
Basi wakaenda kwa mbung'o, "Ni wewe ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma kisu, ambacho hukata Kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini, ambao uliangusha tunda ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa." Mbung'o akasema, "Ningekuwa na uwezo kiasi hicho, ningewezaje kuliwa na paa?"
Basi wakampata paa, "Ni wewe ambaye hula mbung'o, ambaye humwuma ng'ombe, ambaye hunywa maji, ambayo huzima moto, ambao huchoma Kisu, ambacho hukata kamba, ambayo hufunga paka, ambaye hula panya, ambaye hutoboa ukuta wa matope, ambao ulikinga upepo wa kusini ambao uliangusha tunda, ambalo lilimwangukia Mwalimu Goso. Hayo ni makosa makubwa."
Paa alishtuka kwamba alikuwa ametambulika. Kwa hivyo, hakuwa na cha kusema. Kisha watoto wakasema, "Ni wewe uliyeangusha tunda lililomgonga Mwalimu Goso. Ni wewe unayepaswa kuadhibiwa!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu Goso Author - Adapted from one of George W Bateman’s Zanzibar Tales Versioned by Mitugi Kamundi Illustration - Jemma Kahn Language - Kiswahili Level - Read aloud © Adapted From One of George W Bateman’S Zanzibar Talestranslated By Mitugi Kamundi 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyefaa kuadhibiwa kwa kifo cha Mwalimu Goso | {
"text": [
"Paa kwa vile aliangusha tunda lilomgonga Mwalimu Goso"
]
} |
2343_swa | Mwalimu wangu
Ninampenda mwalimu wangu.
Ni mwalimu mzuri, mvumilivu na mwenye huruma.
Amesuka nywele zake vizuri.
Ameweka shanga maridadi katika nywele zake.
Shanga zake ni za kijani, nyeupe, nyekundu, na manjano.
Mama, unaweza kuzisuka nywele zangu kama vile mwalimu wangu alivyosuka?
Nitakapokuwa mtu mzima, nitaweka shanga katika nywele zangu.
Nikikua, nitakuwa kama vile mwalimu wangu alivyo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu wangu Author - Zimbili Dlamini and Hlengiwe Zondi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Anampenda nani | {
"text": [
"mwalimu wake"
]
} |
2343_swa | Mwalimu wangu
Ninampenda mwalimu wangu.
Ni mwalimu mzuri, mvumilivu na mwenye huruma.
Amesuka nywele zake vizuri.
Ameweka shanga maridadi katika nywele zake.
Shanga zake ni za kijani, nyeupe, nyekundu, na manjano.
Mama, unaweza kuzisuka nywele zangu kama vile mwalimu wangu alivyosuka?
Nitakapokuwa mtu mzima, nitaweka shanga katika nywele zangu.
Nikikua, nitakuwa kama vile mwalimu wangu alivyo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu wangu Author - Zimbili Dlamini and Hlengiwe Zondi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ameweka nini katika nywele zake | {
"text": [
"shanga maridadi"
]
} |
2343_swa | Mwalimu wangu
Ninampenda mwalimu wangu.
Ni mwalimu mzuri, mvumilivu na mwenye huruma.
Amesuka nywele zake vizuri.
Ameweka shanga maridadi katika nywele zake.
Shanga zake ni za kijani, nyeupe, nyekundu, na manjano.
Mama, unaweza kuzisuka nywele zangu kama vile mwalimu wangu alivyosuka?
Nitakapokuwa mtu mzima, nitaweka shanga katika nywele zangu.
Nikikua, nitakuwa kama vile mwalimu wangu alivyo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu wangu Author - Zimbili Dlamini and Hlengiwe Zondi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Atakapokuwa mtu mzima atafanya nini | {
"text": [
"ataweka shanga katika nywele zake"
]
} |
2343_swa | Mwalimu wangu
Ninampenda mwalimu wangu.
Ni mwalimu mzuri, mvumilivu na mwenye huruma.
Amesuka nywele zake vizuri.
Ameweka shanga maridadi katika nywele zake.
Shanga zake ni za kijani, nyeupe, nyekundu, na manjano.
Mama, unaweza kuzisuka nywele zangu kama vile mwalimu wangu alivyosuka?
Nitakapokuwa mtu mzima, nitaweka shanga katika nywele zangu.
Nikikua, nitakuwa kama vile mwalimu wangu alivyo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu wangu Author - Zimbili Dlamini and Hlengiwe Zondi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Akikua atakuwa vipi | {
"text": [
"kama vile mwalimu wake alivyo"
]
} |
2343_swa | Mwalimu wangu
Ninampenda mwalimu wangu.
Ni mwalimu mzuri, mvumilivu na mwenye huruma.
Amesuka nywele zake vizuri.
Ameweka shanga maridadi katika nywele zake.
Shanga zake ni za kijani, nyeupe, nyekundu, na manjano.
Mama, unaweza kuzisuka nywele zangu kama vile mwalimu wangu alivyosuka?
Nitakapokuwa mtu mzima, nitaweka shanga katika nywele zangu.
Nikikua, nitakuwa kama vile mwalimu wangu alivyo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwalimu wangu Author - Zimbili Dlamini and Hlengiwe Zondi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Alitaka kusuka nywele zake vipi | {
"text": [
"kama vile mwalimu wake alivyosuka"
]
} |
2345_swa | Mwana wa Tumbili (Paka rangi)
Kwenye msitu wa Miwa paliishi tumbili aliyekuwa na huzuni sana. Kila alipozaa, mtoto wake alifariki.
Uchungu wa kufiliwa na watoto wake ulimfanya tumbili kuruka juu na chini. Tumbili huyu alikuwa akirukia tawi hili hadi kwenye lingine. Alipiga mayowe, "Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!"
Tumbili alikuwa na huzuni wakati wote. Huzuni wake ulimzidi haswa alipowaona akina mama tumbili wengine na watoto wao.
Tumbili mwenye huzuni alijiwayawaya huku na huku. Alijiwayawaya kwenye tawi hili na lile! Siku zilipita na tumbili alizidi kulia zaidi.
Halafu, alizaa tena. Aliamua kumpeleka mtoto wake njiani ili wapita njia wamwone na kumtakia heri.
Tumbili alishuka na kumweka mtotowe njiani. Wakati huo, mwindaji alikuwa akirejea nyumbani. Alimwona mtoto wa tumbili akilala kando ya njia.
Mwindaji alimbeba mwana tumbili hadi nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, wavulana wake watatu walifurahi kumwona mwana tumbili.
Watatu hao waliimba: Mrushe juu! Mrushe chini! Mrushe kwangu! Mrushe kwake! Mwana tumbili alirushwa kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Wavulana wale walipoendelea kucheza na mwana tumbili, mama tumbili alijificha mtini na kuangalia. Aliogopa kuwa mtoto huyu naye angefariki kama wengine.
Mara mke wa mwindaji aliwaona watoto wakicheza na tumbili mtoto. Aliwaonya, "Kuwa waangalifu! Hebu mlete hapa. Mtamwangusha!"
Alimchukuwa mwana tumbili mikononi mwake na kumbariki.
Alipomweka mwana tumbili chini, mama tumbili alikimbia kwa furaha. Alimbeba mwanawe kifuani na kwenda mtini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwana wa Tumbili (Paka rangi) Author - Wesley Kipkorir Rop Translation - Baraka Fatma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni msitu upi aliishi tumbili mwenye huzuni | {
"text": [
"Miwa"
]
} |
2345_swa | Mwana wa Tumbili (Paka rangi)
Kwenye msitu wa Miwa paliishi tumbili aliyekuwa na huzuni sana. Kila alipozaa, mtoto wake alifariki.
Uchungu wa kufiliwa na watoto wake ulimfanya tumbili kuruka juu na chini. Tumbili huyu alikuwa akirukia tawi hili hadi kwenye lingine. Alipiga mayowe, "Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!"
Tumbili alikuwa na huzuni wakati wote. Huzuni wake ulimzidi haswa alipowaona akina mama tumbili wengine na watoto wao.
Tumbili mwenye huzuni alijiwayawaya huku na huku. Alijiwayawaya kwenye tawi hili na lile! Siku zilipita na tumbili alizidi kulia zaidi.
Halafu, alizaa tena. Aliamua kumpeleka mtoto wake njiani ili wapita njia wamwone na kumtakia heri.
Tumbili alishuka na kumweka mtotowe njiani. Wakati huo, mwindaji alikuwa akirejea nyumbani. Alimwona mtoto wa tumbili akilala kando ya njia.
Mwindaji alimbeba mwana tumbili hadi nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, wavulana wake watatu walifurahi kumwona mwana tumbili.
Watatu hao waliimba: Mrushe juu! Mrushe chini! Mrushe kwangu! Mrushe kwake! Mwana tumbili alirushwa kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Wavulana wale walipoendelea kucheza na mwana tumbili, mama tumbili alijificha mtini na kuangalia. Aliogopa kuwa mtoto huyu naye angefariki kama wengine.
Mara mke wa mwindaji aliwaona watoto wakicheza na tumbili mtoto. Aliwaonya, "Kuwa waangalifu! Hebu mlete hapa. Mtamwangusha!"
Alimchukuwa mwana tumbili mikononi mwake na kumbariki.
Alipomweka mwana tumbili chini, mama tumbili alikimbia kwa furaha. Alimbeba mwanawe kifuani na kwenda mtini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwana wa Tumbili (Paka rangi) Author - Wesley Kipkorir Rop Translation - Baraka Fatma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Tumbili alipozaa tena alipeleka mtoto wapi | {
"text": [
"Njiani"
]
} |
2345_swa | Mwana wa Tumbili (Paka rangi)
Kwenye msitu wa Miwa paliishi tumbili aliyekuwa na huzuni sana. Kila alipozaa, mtoto wake alifariki.
Uchungu wa kufiliwa na watoto wake ulimfanya tumbili kuruka juu na chini. Tumbili huyu alikuwa akirukia tawi hili hadi kwenye lingine. Alipiga mayowe, "Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!"
Tumbili alikuwa na huzuni wakati wote. Huzuni wake ulimzidi haswa alipowaona akina mama tumbili wengine na watoto wao.
Tumbili mwenye huzuni alijiwayawaya huku na huku. Alijiwayawaya kwenye tawi hili na lile! Siku zilipita na tumbili alizidi kulia zaidi.
Halafu, alizaa tena. Aliamua kumpeleka mtoto wake njiani ili wapita njia wamwone na kumtakia heri.
Tumbili alishuka na kumweka mtotowe njiani. Wakati huo, mwindaji alikuwa akirejea nyumbani. Alimwona mtoto wa tumbili akilala kando ya njia.
Mwindaji alimbeba mwana tumbili hadi nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, wavulana wake watatu walifurahi kumwona mwana tumbili.
Watatu hao waliimba: Mrushe juu! Mrushe chini! Mrushe kwangu! Mrushe kwake! Mwana tumbili alirushwa kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Wavulana wale walipoendelea kucheza na mwana tumbili, mama tumbili alijificha mtini na kuangalia. Aliogopa kuwa mtoto huyu naye angefariki kama wengine.
Mara mke wa mwindaji aliwaona watoto wakicheza na tumbili mtoto. Aliwaonya, "Kuwa waangalifu! Hebu mlete hapa. Mtamwangusha!"
Alimchukuwa mwana tumbili mikononi mwake na kumbariki.
Alipomweka mwana tumbili chini, mama tumbili alikimbia kwa furaha. Alimbeba mwanawe kifuani na kwenda mtini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwana wa Tumbili (Paka rangi) Author - Wesley Kipkorir Rop Translation - Baraka Fatma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wavulana wa mwindaji walikuwa wangapi | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
2345_swa | Mwana wa Tumbili (Paka rangi)
Kwenye msitu wa Miwa paliishi tumbili aliyekuwa na huzuni sana. Kila alipozaa, mtoto wake alifariki.
Uchungu wa kufiliwa na watoto wake ulimfanya tumbili kuruka juu na chini. Tumbili huyu alikuwa akirukia tawi hili hadi kwenye lingine. Alipiga mayowe, "Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!"
Tumbili alikuwa na huzuni wakati wote. Huzuni wake ulimzidi haswa alipowaona akina mama tumbili wengine na watoto wao.
Tumbili mwenye huzuni alijiwayawaya huku na huku. Alijiwayawaya kwenye tawi hili na lile! Siku zilipita na tumbili alizidi kulia zaidi.
Halafu, alizaa tena. Aliamua kumpeleka mtoto wake njiani ili wapita njia wamwone na kumtakia heri.
Tumbili alishuka na kumweka mtotowe njiani. Wakati huo, mwindaji alikuwa akirejea nyumbani. Alimwona mtoto wa tumbili akilala kando ya njia.
Mwindaji alimbeba mwana tumbili hadi nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, wavulana wake watatu walifurahi kumwona mwana tumbili.
Watatu hao waliimba: Mrushe juu! Mrushe chini! Mrushe kwangu! Mrushe kwake! Mwana tumbili alirushwa kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Wavulana wale walipoendelea kucheza na mwana tumbili, mama tumbili alijificha mtini na kuangalia. Aliogopa kuwa mtoto huyu naye angefariki kama wengine.
Mara mke wa mwindaji aliwaona watoto wakicheza na tumbili mtoto. Aliwaonya, "Kuwa waangalifu! Hebu mlete hapa. Mtamwangusha!"
Alimchukuwa mwana tumbili mikononi mwake na kumbariki.
Alipomweka mwana tumbili chini, mama tumbili alikimbia kwa furaha. Alimbeba mwanawe kifuani na kwenda mtini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwana wa Tumbili (Paka rangi) Author - Wesley Kipkorir Rop Translation - Baraka Fatma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani alibariki tumbili | {
"text": [
"Mke wa mwindaji"
]
} |
2345_swa | Mwana wa Tumbili (Paka rangi)
Kwenye msitu wa Miwa paliishi tumbili aliyekuwa na huzuni sana. Kila alipozaa, mtoto wake alifariki.
Uchungu wa kufiliwa na watoto wake ulimfanya tumbili kuruka juu na chini. Tumbili huyu alikuwa akirukia tawi hili hadi kwenye lingine. Alipiga mayowe, "Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!"
Tumbili alikuwa na huzuni wakati wote. Huzuni wake ulimzidi haswa alipowaona akina mama tumbili wengine na watoto wao.
Tumbili mwenye huzuni alijiwayawaya huku na huku. Alijiwayawaya kwenye tawi hili na lile! Siku zilipita na tumbili alizidi kulia zaidi.
Halafu, alizaa tena. Aliamua kumpeleka mtoto wake njiani ili wapita njia wamwone na kumtakia heri.
Tumbili alishuka na kumweka mtotowe njiani. Wakati huo, mwindaji alikuwa akirejea nyumbani. Alimwona mtoto wa tumbili akilala kando ya njia.
Mwindaji alimbeba mwana tumbili hadi nyumbani kwake. Alipofika nyumbani, wavulana wake watatu walifurahi kumwona mwana tumbili.
Watatu hao waliimba: Mrushe juu! Mrushe chini! Mrushe kwangu! Mrushe kwake! Mwana tumbili alirushwa kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Wavulana wale walipoendelea kucheza na mwana tumbili, mama tumbili alijificha mtini na kuangalia. Aliogopa kuwa mtoto huyu naye angefariki kama wengine.
Mara mke wa mwindaji aliwaona watoto wakicheza na tumbili mtoto. Aliwaonya, "Kuwa waangalifu! Hebu mlete hapa. Mtamwangusha!"
Alimchukuwa mwana tumbili mikononi mwake na kumbariki.
Alipomweka mwana tumbili chini, mama tumbili alikimbia kwa furaha. Alimbeba mwanawe kifuani na kwenda mtini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwana wa Tumbili (Paka rangi) Author - Wesley Kipkorir Rop Translation - Baraka Fatma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini mamake tumbili alifurahi | {
"text": [
"Mtoto wake alibarikiwa na mke wa mwindaji"
]
} |
2346_swa | Mwanamke mlafi
Hapo kale, kulikuwa na mtu aliyeitwa Pepe. Aliishi katika mtaa wa Umoja. Pepe aliishi na mbwa wake katika chumba chake kidogo.
Siku moja Pepe alikuwa mgonjwa. Hakuwa na yeyote wa kumsaidia. Alipopata nafuu, aliamua kumwoa mwanamke aliyeishi hapo karibu.
Pepe aliwaalika marafiki na jamaa zake kuhudhuria harusi. Alichangamka sana akidhani kuwa amempata msaidizi.
Bi harusi alipatiwa vikapu vya wimbi, mikeka, ndizi, njugu, na zawadi nyingine.
Baada ya sherehe ya harusi, wageni waliondoka kurudi makwao. Pepe alikuwa tayari kuanza maisha mapya pamoja na mkewe na mbwa wake.
Siku iliyofuata, Pepe alimwandalia mkewe ndizi tamu, lakini alikataa kuzila.
Lakini Pepe alipokwenda kuwinda, mwanamke huyo alizila ndizi zote.
Baadaye Pepe aliporudi kutoka mawindoni alihisi njaa. Alitaka kuzila zile ndizi tamu. Mkewe alimwambia kuwa mbwa alizila zote!
Siku iliyofuata, Pepe alikwenda shambani. Aliporudi, alipata kuwa mkewe alikuwa ameila nyama yote. Hakumgawia hata mbwa.
Siku nyingine, Pepe alikwenda kumtembelea rafikiye. Aliporudi, mkewe alikuwa amezila njugu zote. Kikapu kilikuwa kitupu. Pepe alimkasirikia sana mkewe.
Pepe aligundua kuwa mwanamke huyo alikuwa na shida. Aliamua kumnasa. Aliweka maziwa katika chungu cha ajabu kisha akakiweka mvunguni. Akaondoka kwenda kuwinda.
Mwanamke alikiona chungu kilichokuwa kimejaa maziwa. Alikichukua akakiweka mdomoni. Aliyanywa maziwa yote huku mbwa akimtazama.
Kwa bahati mbaya, chungu kilikwama mdomoni. Alijaribu kukiondoa, lakini ilikuwa bure. Alipiga kelele na kuruka juu na chini. Chungu kilikwama pale pale. Mbwa alitazama haya yote.
Mbwa alikimbia kumtafuta Pepe. Alibweka, akabweka, akaruka juu na chini. Pepe alifahamu kuwa kulikuwa na jambo mbaya nyumbani.
Walikimbia pamoja kwenda nyumbani. Pepe alistaajabu kumpata mkewe na chungu mdomoni. Akamtazama kwa mshangao.
Pepe alimgusa mkewe kwenye shavu na chungu kikaanguka mara moja. Mwanamke huyo aliaibika sana akaamua kurudi kwa wazazi wake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamke mlafi Author - Alungho Rose and Annet Ssebaggala Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pepe aliishi na nani katika mtaa wa umoja | {
"text": [
"Mbwa wake"
]
} |
2346_swa | Mwanamke mlafi
Hapo kale, kulikuwa na mtu aliyeitwa Pepe. Aliishi katika mtaa wa Umoja. Pepe aliishi na mbwa wake katika chumba chake kidogo.
Siku moja Pepe alikuwa mgonjwa. Hakuwa na yeyote wa kumsaidia. Alipopata nafuu, aliamua kumwoa mwanamke aliyeishi hapo karibu.
Pepe aliwaalika marafiki na jamaa zake kuhudhuria harusi. Alichangamka sana akidhani kuwa amempata msaidizi.
Bi harusi alipatiwa vikapu vya wimbi, mikeka, ndizi, njugu, na zawadi nyingine.
Baada ya sherehe ya harusi, wageni waliondoka kurudi makwao. Pepe alikuwa tayari kuanza maisha mapya pamoja na mkewe na mbwa wake.
Siku iliyofuata, Pepe alimwandalia mkewe ndizi tamu, lakini alikataa kuzila.
Lakini Pepe alipokwenda kuwinda, mwanamke huyo alizila ndizi zote.
Baadaye Pepe aliporudi kutoka mawindoni alihisi njaa. Alitaka kuzila zile ndizi tamu. Mkewe alimwambia kuwa mbwa alizila zote!
Siku iliyofuata, Pepe alikwenda shambani. Aliporudi, alipata kuwa mkewe alikuwa ameila nyama yote. Hakumgawia hata mbwa.
Siku nyingine, Pepe alikwenda kumtembelea rafikiye. Aliporudi, mkewe alikuwa amezila njugu zote. Kikapu kilikuwa kitupu. Pepe alimkasirikia sana mkewe.
Pepe aligundua kuwa mwanamke huyo alikuwa na shida. Aliamua kumnasa. Aliweka maziwa katika chungu cha ajabu kisha akakiweka mvunguni. Akaondoka kwenda kuwinda.
Mwanamke alikiona chungu kilichokuwa kimejaa maziwa. Alikichukua akakiweka mdomoni. Aliyanywa maziwa yote huku mbwa akimtazama.
Kwa bahati mbaya, chungu kilikwama mdomoni. Alijaribu kukiondoa, lakini ilikuwa bure. Alipiga kelele na kuruka juu na chini. Chungu kilikwama pale pale. Mbwa alitazama haya yote.
Mbwa alikimbia kumtafuta Pepe. Alibweka, akabweka, akaruka juu na chini. Pepe alifahamu kuwa kulikuwa na jambo mbaya nyumbani.
Walikimbia pamoja kwenda nyumbani. Pepe alistaajabu kumpata mkewe na chungu mdomoni. Akamtazama kwa mshangao.
Pepe alimgusa mkewe kwenye shavu na chungu kikaanguka mara moja. Mwanamke huyo aliaibika sana akaamua kurudi kwa wazazi wake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamke mlafi Author - Alungho Rose and Annet Ssebaggala Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Bi harusi alipewa nini siku ya harusi | {
"text": [
"Vikapu vya wimbi, mikeka, ndizi na njugu"
]
} |
2346_swa | Mwanamke mlafi
Hapo kale, kulikuwa na mtu aliyeitwa Pepe. Aliishi katika mtaa wa Umoja. Pepe aliishi na mbwa wake katika chumba chake kidogo.
Siku moja Pepe alikuwa mgonjwa. Hakuwa na yeyote wa kumsaidia. Alipopata nafuu, aliamua kumwoa mwanamke aliyeishi hapo karibu.
Pepe aliwaalika marafiki na jamaa zake kuhudhuria harusi. Alichangamka sana akidhani kuwa amempata msaidizi.
Bi harusi alipatiwa vikapu vya wimbi, mikeka, ndizi, njugu, na zawadi nyingine.
Baada ya sherehe ya harusi, wageni waliondoka kurudi makwao. Pepe alikuwa tayari kuanza maisha mapya pamoja na mkewe na mbwa wake.
Siku iliyofuata, Pepe alimwandalia mkewe ndizi tamu, lakini alikataa kuzila.
Lakini Pepe alipokwenda kuwinda, mwanamke huyo alizila ndizi zote.
Baadaye Pepe aliporudi kutoka mawindoni alihisi njaa. Alitaka kuzila zile ndizi tamu. Mkewe alimwambia kuwa mbwa alizila zote!
Siku iliyofuata, Pepe alikwenda shambani. Aliporudi, alipata kuwa mkewe alikuwa ameila nyama yote. Hakumgawia hata mbwa.
Siku nyingine, Pepe alikwenda kumtembelea rafikiye. Aliporudi, mkewe alikuwa amezila njugu zote. Kikapu kilikuwa kitupu. Pepe alimkasirikia sana mkewe.
Pepe aligundua kuwa mwanamke huyo alikuwa na shida. Aliamua kumnasa. Aliweka maziwa katika chungu cha ajabu kisha akakiweka mvunguni. Akaondoka kwenda kuwinda.
Mwanamke alikiona chungu kilichokuwa kimejaa maziwa. Alikichukua akakiweka mdomoni. Aliyanywa maziwa yote huku mbwa akimtazama.
Kwa bahati mbaya, chungu kilikwama mdomoni. Alijaribu kukiondoa, lakini ilikuwa bure. Alipiga kelele na kuruka juu na chini. Chungu kilikwama pale pale. Mbwa alitazama haya yote.
Mbwa alikimbia kumtafuta Pepe. Alibweka, akabweka, akaruka juu na chini. Pepe alifahamu kuwa kulikuwa na jambo mbaya nyumbani.
Walikimbia pamoja kwenda nyumbani. Pepe alistaajabu kumpata mkewe na chungu mdomoni. Akamtazama kwa mshangao.
Pepe alimgusa mkewe kwenye shavu na chungu kikaanguka mara moja. Mwanamke huyo aliaibika sana akaamua kurudi kwa wazazi wake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamke mlafi Author - Alungho Rose and Annet Ssebaggala Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyekula njugu, pepe alipoenda kumtembelea rafikiye | {
"text": [
"Mkewe pepe"
]
} |
2346_swa | Mwanamke mlafi
Hapo kale, kulikuwa na mtu aliyeitwa Pepe. Aliishi katika mtaa wa Umoja. Pepe aliishi na mbwa wake katika chumba chake kidogo.
Siku moja Pepe alikuwa mgonjwa. Hakuwa na yeyote wa kumsaidia. Alipopata nafuu, aliamua kumwoa mwanamke aliyeishi hapo karibu.
Pepe aliwaalika marafiki na jamaa zake kuhudhuria harusi. Alichangamka sana akidhani kuwa amempata msaidizi.
Bi harusi alipatiwa vikapu vya wimbi, mikeka, ndizi, njugu, na zawadi nyingine.
Baada ya sherehe ya harusi, wageni waliondoka kurudi makwao. Pepe alikuwa tayari kuanza maisha mapya pamoja na mkewe na mbwa wake.
Siku iliyofuata, Pepe alimwandalia mkewe ndizi tamu, lakini alikataa kuzila.
Lakini Pepe alipokwenda kuwinda, mwanamke huyo alizila ndizi zote.
Baadaye Pepe aliporudi kutoka mawindoni alihisi njaa. Alitaka kuzila zile ndizi tamu. Mkewe alimwambia kuwa mbwa alizila zote!
Siku iliyofuata, Pepe alikwenda shambani. Aliporudi, alipata kuwa mkewe alikuwa ameila nyama yote. Hakumgawia hata mbwa.
Siku nyingine, Pepe alikwenda kumtembelea rafikiye. Aliporudi, mkewe alikuwa amezila njugu zote. Kikapu kilikuwa kitupu. Pepe alimkasirikia sana mkewe.
Pepe aligundua kuwa mwanamke huyo alikuwa na shida. Aliamua kumnasa. Aliweka maziwa katika chungu cha ajabu kisha akakiweka mvunguni. Akaondoka kwenda kuwinda.
Mwanamke alikiona chungu kilichokuwa kimejaa maziwa. Alikichukua akakiweka mdomoni. Aliyanywa maziwa yote huku mbwa akimtazama.
Kwa bahati mbaya, chungu kilikwama mdomoni. Alijaribu kukiondoa, lakini ilikuwa bure. Alipiga kelele na kuruka juu na chini. Chungu kilikwama pale pale. Mbwa alitazama haya yote.
Mbwa alikimbia kumtafuta Pepe. Alibweka, akabweka, akaruka juu na chini. Pepe alifahamu kuwa kulikuwa na jambo mbaya nyumbani.
Walikimbia pamoja kwenda nyumbani. Pepe alistaajabu kumpata mkewe na chungu mdomoni. Akamtazama kwa mshangao.
Pepe alimgusa mkewe kwenye shavu na chungu kikaanguka mara moja. Mwanamke huyo aliaibika sana akaamua kurudi kwa wazazi wake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamke mlafi Author - Alungho Rose and Annet Ssebaggala Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pepe alimnasa mkewe kutumia nini | {
"text": [
"Chungu cha ajabu"
]
} |
2346_swa | Mwanamke mlafi
Hapo kale, kulikuwa na mtu aliyeitwa Pepe. Aliishi katika mtaa wa Umoja. Pepe aliishi na mbwa wake katika chumba chake kidogo.
Siku moja Pepe alikuwa mgonjwa. Hakuwa na yeyote wa kumsaidia. Alipopata nafuu, aliamua kumwoa mwanamke aliyeishi hapo karibu.
Pepe aliwaalika marafiki na jamaa zake kuhudhuria harusi. Alichangamka sana akidhani kuwa amempata msaidizi.
Bi harusi alipatiwa vikapu vya wimbi, mikeka, ndizi, njugu, na zawadi nyingine.
Baada ya sherehe ya harusi, wageni waliondoka kurudi makwao. Pepe alikuwa tayari kuanza maisha mapya pamoja na mkewe na mbwa wake.
Siku iliyofuata, Pepe alimwandalia mkewe ndizi tamu, lakini alikataa kuzila.
Lakini Pepe alipokwenda kuwinda, mwanamke huyo alizila ndizi zote.
Baadaye Pepe aliporudi kutoka mawindoni alihisi njaa. Alitaka kuzila zile ndizi tamu. Mkewe alimwambia kuwa mbwa alizila zote!
Siku iliyofuata, Pepe alikwenda shambani. Aliporudi, alipata kuwa mkewe alikuwa ameila nyama yote. Hakumgawia hata mbwa.
Siku nyingine, Pepe alikwenda kumtembelea rafikiye. Aliporudi, mkewe alikuwa amezila njugu zote. Kikapu kilikuwa kitupu. Pepe alimkasirikia sana mkewe.
Pepe aligundua kuwa mwanamke huyo alikuwa na shida. Aliamua kumnasa. Aliweka maziwa katika chungu cha ajabu kisha akakiweka mvunguni. Akaondoka kwenda kuwinda.
Mwanamke alikiona chungu kilichokuwa kimejaa maziwa. Alikichukua akakiweka mdomoni. Aliyanywa maziwa yote huku mbwa akimtazama.
Kwa bahati mbaya, chungu kilikwama mdomoni. Alijaribu kukiondoa, lakini ilikuwa bure. Alipiga kelele na kuruka juu na chini. Chungu kilikwama pale pale. Mbwa alitazama haya yote.
Mbwa alikimbia kumtafuta Pepe. Alibweka, akabweka, akaruka juu na chini. Pepe alifahamu kuwa kulikuwa na jambo mbaya nyumbani.
Walikimbia pamoja kwenda nyumbani. Pepe alistaajabu kumpata mkewe na chungu mdomoni. Akamtazama kwa mshangao.
Pepe alimgusa mkewe kwenye shavu na chungu kikaanguka mara moja. Mwanamke huyo aliaibika sana akaamua kurudi kwa wazazi wake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamke mlafi Author - Alungho Rose and Annet Ssebaggala Translation - Brigid Simiyu Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyemfahamisha pepe kuwa nyumbani kulikuwa na shida | {
"text": [
"Mbwa wake"
]
} |
2348_swa | Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa
Munia aliishi na babu, bibi, shangazi na mjomba. Alifuga kuku, mbuzi, kondoo na nguruwe. Wote walikaa kwenye chumba kimoja. Kuku alikuwa na kitundu chake. Mbuzi, kondoo na nguruwe walifungwa pembeni. Bibi na babu walikuwa bado na afya nzuri. Shangazi na mjomba walisaidia kufanya kazi za pale nyumbani.
Hata hivyo, mambo yalibadilika miaka michache baadaye. Bibi na babu walizeeka na hawakuweza kusikia wala kuona vizuri. Shangaziye aliugua na hakuweza kusaidia katika usafi wa nyumba. Mjombake alilala wakati wote na hakusaidia katika shughuli za kuwalisha wanyama.
Wanyama walipiga kelele nyingi kwa sababu walikuwa na njaa. Nyumba pia ilijaa uchafu kwa sababu shangazi hakuweza kuisafisha. Munia alikuwa mchovu wakati wote kwa sababu alitoka kila siku kuwatafutia wote chakula.
Munia hakuweza kukabilina na hali hiyo tena. Aliwandea babu na bibi kuwauliza suluhisho. Lakini, alihuzunika sana kwa sababu aliondoka bila suluhisho kwani hawakuweza kumsikia. Shangaziye mgonjwa alisema, "Ninachohitaji ni kuweza kulala usiku na kuamka asubuhi."
Mjombake mzembe alisema, "Wauze wanyama hawa kisha uwape babu na bibi kileo. Watalala wakome kukusumbua." Munia alisema kwa hasira "Mjomba, unajua kwamba siwezi kuwauza wanyama hawa. Wao pekee ndio mali yangu."
Usiku mmoja, Munia hakupata usingizi. Alimkumbuka mtu mmoja aliyekuwa na busara. Mtu huyo aliaminika kuyajibu maswali yote na kusuluhisha matatizo yote. Munia aliwachukua wanyama wake akaenda nao kumtembelea mtu yule. Aliwafunga mbuzi, kondoo na nguruwe kwa Kamba kisha akambeba kuku.
Munia alifika nyumbani kwa mtu huyo akiwa amechoka na mwenye njaa sana. Baada ya kueleza shida yake, mtu huyo alisema, "Nitakusaidia, lakini ni sharti ufanye nikuambiavyo." Munia alijibu, "Nitafanya chochote kusuluhisha tatizo langu."
Mtu yule alimwambia, "Waache wanyama hapa kisha urudi nyumbani." Munia alisema, "Nimeishi na wanyama hawa kwa muda mrefu. Wao ndio mali pekee niliyo nayo."
Mtu akajibu, "Nilikuambia nitakusaidia lakini ni lazima ufanye nikuambiavyo." Kwa vile Munia alihitaji suluhisho kwa tatizo lake, aliwaacha wanyama akarudi nyumbani.
Nyumba yake ilikuwa na kimya kingi na ilikuwa tupu. Babu na bibi walilalamika kwamba hawakupata maziwa kutoka kwa mbuzi. Mjombake alisema, "Tumekuwa maskini sana, kila mtu anatucheka."
Munia hakuweza tena kuvumilia malalamishi yao. Pia, aliwakosa wanyama wake. Alirudi kwa mtu yule mwenye busara ili kumwuliza mawaidha. "Maisha yangu yamekuwa fotauti bila wanyama wangu. Jamaa zangu wanalalamika kila wakati."
Mtu yule alimwambia, "Nitakusaidia, lakini, ni lazima ufanye nikuambiavyo. Nenda nyumbani kisha uwatoe nje bibi na babu kutoka kwenye nyumba." Munia alimjibu, "Nitawezaje kufanya hivyo? Wao ni wavyele wangu na wananitegemea."
Mwishowe, Munia alienda nyumbani akafanya alivyoambiwa. Hakuweza kupata amani akilini mwake. Babu na bibi hawakuwa na mahali pa kuenda. Walirandaranda wakiangukia miti na kuhisi baridi usiku.
Shangaziye mgonjwa alilia akisema, "Tafadhali usinitupe nje." Mjombake mzembe alisema, "Sitaondoka kitandani usije ukanitupa nje pia."
Munia hakuweza kustahimili mambo haya hata kidogo. Alirudi kwa mtu mwenye busara akiwa amechanganyikiwa na mwenye hasira. Alimlilia akisema, "Mambo haya ni magumu sana kwa mtu mmoja. Nipe suluhisho bora zaidi."
Mtu mwenye busara alisema, "Hapa, wachukue wanyama wako na uwarudishe bibi na babu kwenye nyumba pia." Munia alifanya alivyoambiwa. Shangaziye alisema, "Nitasafisha nyumba kwa bidii." Mjombake aliacha kuwa mzembe akamsaidia Munia na kazi za nyumbani. Walikuwa na furaha tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa Author - Ursula Nafula Translation - Susan Kavaya Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Munia alifuga nini | {
"text": [
"Kuku, mbuzi, kondoo na nguruwe"
]
} |
2348_swa | Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa
Munia aliishi na babu, bibi, shangazi na mjomba. Alifuga kuku, mbuzi, kondoo na nguruwe. Wote walikaa kwenye chumba kimoja. Kuku alikuwa na kitundu chake. Mbuzi, kondoo na nguruwe walifungwa pembeni. Bibi na babu walikuwa bado na afya nzuri. Shangazi na mjomba walisaidia kufanya kazi za pale nyumbani.
Hata hivyo, mambo yalibadilika miaka michache baadaye. Bibi na babu walizeeka na hawakuweza kusikia wala kuona vizuri. Shangaziye aliugua na hakuweza kusaidia katika usafi wa nyumba. Mjombake alilala wakati wote na hakusaidia katika shughuli za kuwalisha wanyama.
Wanyama walipiga kelele nyingi kwa sababu walikuwa na njaa. Nyumba pia ilijaa uchafu kwa sababu shangazi hakuweza kuisafisha. Munia alikuwa mchovu wakati wote kwa sababu alitoka kila siku kuwatafutia wote chakula.
Munia hakuweza kukabilina na hali hiyo tena. Aliwandea babu na bibi kuwauliza suluhisho. Lakini, alihuzunika sana kwa sababu aliondoka bila suluhisho kwani hawakuweza kumsikia. Shangaziye mgonjwa alisema, "Ninachohitaji ni kuweza kulala usiku na kuamka asubuhi."
Mjombake mzembe alisema, "Wauze wanyama hawa kisha uwape babu na bibi kileo. Watalala wakome kukusumbua." Munia alisema kwa hasira "Mjomba, unajua kwamba siwezi kuwauza wanyama hawa. Wao pekee ndio mali yangu."
Usiku mmoja, Munia hakupata usingizi. Alimkumbuka mtu mmoja aliyekuwa na busara. Mtu huyo aliaminika kuyajibu maswali yote na kusuluhisha matatizo yote. Munia aliwachukua wanyama wake akaenda nao kumtembelea mtu yule. Aliwafunga mbuzi, kondoo na nguruwe kwa Kamba kisha akambeba kuku.
Munia alifika nyumbani kwa mtu huyo akiwa amechoka na mwenye njaa sana. Baada ya kueleza shida yake, mtu huyo alisema, "Nitakusaidia, lakini ni sharti ufanye nikuambiavyo." Munia alijibu, "Nitafanya chochote kusuluhisha tatizo langu."
Mtu yule alimwambia, "Waache wanyama hapa kisha urudi nyumbani." Munia alisema, "Nimeishi na wanyama hawa kwa muda mrefu. Wao ndio mali pekee niliyo nayo."
Mtu akajibu, "Nilikuambia nitakusaidia lakini ni lazima ufanye nikuambiavyo." Kwa vile Munia alihitaji suluhisho kwa tatizo lake, aliwaacha wanyama akarudi nyumbani.
Nyumba yake ilikuwa na kimya kingi na ilikuwa tupu. Babu na bibi walilalamika kwamba hawakupata maziwa kutoka kwa mbuzi. Mjombake alisema, "Tumekuwa maskini sana, kila mtu anatucheka."
Munia hakuweza tena kuvumilia malalamishi yao. Pia, aliwakosa wanyama wake. Alirudi kwa mtu yule mwenye busara ili kumwuliza mawaidha. "Maisha yangu yamekuwa fotauti bila wanyama wangu. Jamaa zangu wanalalamika kila wakati."
Mtu yule alimwambia, "Nitakusaidia, lakini, ni lazima ufanye nikuambiavyo. Nenda nyumbani kisha uwatoe nje bibi na babu kutoka kwenye nyumba." Munia alimjibu, "Nitawezaje kufanya hivyo? Wao ni wavyele wangu na wananitegemea."
Mwishowe, Munia alienda nyumbani akafanya alivyoambiwa. Hakuweza kupata amani akilini mwake. Babu na bibi hawakuwa na mahali pa kuenda. Walirandaranda wakiangukia miti na kuhisi baridi usiku.
Shangaziye mgonjwa alilia akisema, "Tafadhali usinitupe nje." Mjombake mzembe alisema, "Sitaondoka kitandani usije ukanitupa nje pia."
Munia hakuweza kustahimili mambo haya hata kidogo. Alirudi kwa mtu mwenye busara akiwa amechanganyikiwa na mwenye hasira. Alimlilia akisema, "Mambo haya ni magumu sana kwa mtu mmoja. Nipe suluhisho bora zaidi."
Mtu mwenye busara alisema, "Hapa, wachukue wanyama wako na uwarudishe bibi na babu kwenye nyumba pia." Munia alifanya alivyoambiwa. Shangaziye alisema, "Nitasafisha nyumba kwa bidii." Mjombake aliacha kuwa mzembe akamsaidia Munia na kazi za nyumbani. Walikuwa na furaha tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa Author - Ursula Nafula Translation - Susan Kavaya Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pendekezo la mjomba kwa Munia lilikuwa lipi kuhusu wanyama | {
"text": [
"Lilikuwa Munia kuwauza wanyama"
]
} |
2348_swa | Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa
Munia aliishi na babu, bibi, shangazi na mjomba. Alifuga kuku, mbuzi, kondoo na nguruwe. Wote walikaa kwenye chumba kimoja. Kuku alikuwa na kitundu chake. Mbuzi, kondoo na nguruwe walifungwa pembeni. Bibi na babu walikuwa bado na afya nzuri. Shangazi na mjomba walisaidia kufanya kazi za pale nyumbani.
Hata hivyo, mambo yalibadilika miaka michache baadaye. Bibi na babu walizeeka na hawakuweza kusikia wala kuona vizuri. Shangaziye aliugua na hakuweza kusaidia katika usafi wa nyumba. Mjombake alilala wakati wote na hakusaidia katika shughuli za kuwalisha wanyama.
Wanyama walipiga kelele nyingi kwa sababu walikuwa na njaa. Nyumba pia ilijaa uchafu kwa sababu shangazi hakuweza kuisafisha. Munia alikuwa mchovu wakati wote kwa sababu alitoka kila siku kuwatafutia wote chakula.
Munia hakuweza kukabilina na hali hiyo tena. Aliwandea babu na bibi kuwauliza suluhisho. Lakini, alihuzunika sana kwa sababu aliondoka bila suluhisho kwani hawakuweza kumsikia. Shangaziye mgonjwa alisema, "Ninachohitaji ni kuweza kulala usiku na kuamka asubuhi."
Mjombake mzembe alisema, "Wauze wanyama hawa kisha uwape babu na bibi kileo. Watalala wakome kukusumbua." Munia alisema kwa hasira "Mjomba, unajua kwamba siwezi kuwauza wanyama hawa. Wao pekee ndio mali yangu."
Usiku mmoja, Munia hakupata usingizi. Alimkumbuka mtu mmoja aliyekuwa na busara. Mtu huyo aliaminika kuyajibu maswali yote na kusuluhisha matatizo yote. Munia aliwachukua wanyama wake akaenda nao kumtembelea mtu yule. Aliwafunga mbuzi, kondoo na nguruwe kwa Kamba kisha akambeba kuku.
Munia alifika nyumbani kwa mtu huyo akiwa amechoka na mwenye njaa sana. Baada ya kueleza shida yake, mtu huyo alisema, "Nitakusaidia, lakini ni sharti ufanye nikuambiavyo." Munia alijibu, "Nitafanya chochote kusuluhisha tatizo langu."
Mtu yule alimwambia, "Waache wanyama hapa kisha urudi nyumbani." Munia alisema, "Nimeishi na wanyama hawa kwa muda mrefu. Wao ndio mali pekee niliyo nayo."
Mtu akajibu, "Nilikuambia nitakusaidia lakini ni lazima ufanye nikuambiavyo." Kwa vile Munia alihitaji suluhisho kwa tatizo lake, aliwaacha wanyama akarudi nyumbani.
Nyumba yake ilikuwa na kimya kingi na ilikuwa tupu. Babu na bibi walilalamika kwamba hawakupata maziwa kutoka kwa mbuzi. Mjombake alisema, "Tumekuwa maskini sana, kila mtu anatucheka."
Munia hakuweza tena kuvumilia malalamishi yao. Pia, aliwakosa wanyama wake. Alirudi kwa mtu yule mwenye busara ili kumwuliza mawaidha. "Maisha yangu yamekuwa fotauti bila wanyama wangu. Jamaa zangu wanalalamika kila wakati."
Mtu yule alimwambia, "Nitakusaidia, lakini, ni lazima ufanye nikuambiavyo. Nenda nyumbani kisha uwatoe nje bibi na babu kutoka kwenye nyumba." Munia alimjibu, "Nitawezaje kufanya hivyo? Wao ni wavyele wangu na wananitegemea."
Mwishowe, Munia alienda nyumbani akafanya alivyoambiwa. Hakuweza kupata amani akilini mwake. Babu na bibi hawakuwa na mahali pa kuenda. Walirandaranda wakiangukia miti na kuhisi baridi usiku.
Shangaziye mgonjwa alilia akisema, "Tafadhali usinitupe nje." Mjombake mzembe alisema, "Sitaondoka kitandani usije ukanitupa nje pia."
Munia hakuweza kustahimili mambo haya hata kidogo. Alirudi kwa mtu mwenye busara akiwa amechanganyikiwa na mwenye hasira. Alimlilia akisema, "Mambo haya ni magumu sana kwa mtu mmoja. Nipe suluhisho bora zaidi."
Mtu mwenye busara alisema, "Hapa, wachukue wanyama wako na uwarudishe bibi na babu kwenye nyumba pia." Munia alifanya alivyoambiwa. Shangaziye alisema, "Nitasafisha nyumba kwa bidii." Mjombake aliacha kuwa mzembe akamsaidia Munia na kazi za nyumbani. Walikuwa na furaha tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa Author - Ursula Nafula Translation - Susan Kavaya Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Babu na bibi walilalamika kuwa hawakupa nini kutoka kwa mbuzi | {
"text": [
"Maziwa"
]
} |
2348_swa | Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa
Munia aliishi na babu, bibi, shangazi na mjomba. Alifuga kuku, mbuzi, kondoo na nguruwe. Wote walikaa kwenye chumba kimoja. Kuku alikuwa na kitundu chake. Mbuzi, kondoo na nguruwe walifungwa pembeni. Bibi na babu walikuwa bado na afya nzuri. Shangazi na mjomba walisaidia kufanya kazi za pale nyumbani.
Hata hivyo, mambo yalibadilika miaka michache baadaye. Bibi na babu walizeeka na hawakuweza kusikia wala kuona vizuri. Shangaziye aliugua na hakuweza kusaidia katika usafi wa nyumba. Mjombake alilala wakati wote na hakusaidia katika shughuli za kuwalisha wanyama.
Wanyama walipiga kelele nyingi kwa sababu walikuwa na njaa. Nyumba pia ilijaa uchafu kwa sababu shangazi hakuweza kuisafisha. Munia alikuwa mchovu wakati wote kwa sababu alitoka kila siku kuwatafutia wote chakula.
Munia hakuweza kukabilina na hali hiyo tena. Aliwandea babu na bibi kuwauliza suluhisho. Lakini, alihuzunika sana kwa sababu aliondoka bila suluhisho kwani hawakuweza kumsikia. Shangaziye mgonjwa alisema, "Ninachohitaji ni kuweza kulala usiku na kuamka asubuhi."
Mjombake mzembe alisema, "Wauze wanyama hawa kisha uwape babu na bibi kileo. Watalala wakome kukusumbua." Munia alisema kwa hasira "Mjomba, unajua kwamba siwezi kuwauza wanyama hawa. Wao pekee ndio mali yangu."
Usiku mmoja, Munia hakupata usingizi. Alimkumbuka mtu mmoja aliyekuwa na busara. Mtu huyo aliaminika kuyajibu maswali yote na kusuluhisha matatizo yote. Munia aliwachukua wanyama wake akaenda nao kumtembelea mtu yule. Aliwafunga mbuzi, kondoo na nguruwe kwa Kamba kisha akambeba kuku.
Munia alifika nyumbani kwa mtu huyo akiwa amechoka na mwenye njaa sana. Baada ya kueleza shida yake, mtu huyo alisema, "Nitakusaidia, lakini ni sharti ufanye nikuambiavyo." Munia alijibu, "Nitafanya chochote kusuluhisha tatizo langu."
Mtu yule alimwambia, "Waache wanyama hapa kisha urudi nyumbani." Munia alisema, "Nimeishi na wanyama hawa kwa muda mrefu. Wao ndio mali pekee niliyo nayo."
Mtu akajibu, "Nilikuambia nitakusaidia lakini ni lazima ufanye nikuambiavyo." Kwa vile Munia alihitaji suluhisho kwa tatizo lake, aliwaacha wanyama akarudi nyumbani.
Nyumba yake ilikuwa na kimya kingi na ilikuwa tupu. Babu na bibi walilalamika kwamba hawakupata maziwa kutoka kwa mbuzi. Mjombake alisema, "Tumekuwa maskini sana, kila mtu anatucheka."
Munia hakuweza tena kuvumilia malalamishi yao. Pia, aliwakosa wanyama wake. Alirudi kwa mtu yule mwenye busara ili kumwuliza mawaidha. "Maisha yangu yamekuwa fotauti bila wanyama wangu. Jamaa zangu wanalalamika kila wakati."
Mtu yule alimwambia, "Nitakusaidia, lakini, ni lazima ufanye nikuambiavyo. Nenda nyumbani kisha uwatoe nje bibi na babu kutoka kwenye nyumba." Munia alimjibu, "Nitawezaje kufanya hivyo? Wao ni wavyele wangu na wananitegemea."
Mwishowe, Munia alienda nyumbani akafanya alivyoambiwa. Hakuweza kupata amani akilini mwake. Babu na bibi hawakuwa na mahali pa kuenda. Walirandaranda wakiangukia miti na kuhisi baridi usiku.
Shangaziye mgonjwa alilia akisema, "Tafadhali usinitupe nje." Mjombake mzembe alisema, "Sitaondoka kitandani usije ukanitupa nje pia."
Munia hakuweza kustahimili mambo haya hata kidogo. Alirudi kwa mtu mwenye busara akiwa amechanganyikiwa na mwenye hasira. Alimlilia akisema, "Mambo haya ni magumu sana kwa mtu mmoja. Nipe suluhisho bora zaidi."
Mtu mwenye busara alisema, "Hapa, wachukue wanyama wako na uwarudishe bibi na babu kwenye nyumba pia." Munia alifanya alivyoambiwa. Shangaziye alisema, "Nitasafisha nyumba kwa bidii." Mjombake aliacha kuwa mzembe akamsaidia Munia na kazi za nyumbani. Walikuwa na furaha tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa Author - Ursula Nafula Translation - Susan Kavaya Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Munia alimwendea nani kwa ushauri na wanyama wake | {
"text": [
"Mtu"
]
} |
2348_swa | Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa
Munia aliishi na babu, bibi, shangazi na mjomba. Alifuga kuku, mbuzi, kondoo na nguruwe. Wote walikaa kwenye chumba kimoja. Kuku alikuwa na kitundu chake. Mbuzi, kondoo na nguruwe walifungwa pembeni. Bibi na babu walikuwa bado na afya nzuri. Shangazi na mjomba walisaidia kufanya kazi za pale nyumbani.
Hata hivyo, mambo yalibadilika miaka michache baadaye. Bibi na babu walizeeka na hawakuweza kusikia wala kuona vizuri. Shangaziye aliugua na hakuweza kusaidia katika usafi wa nyumba. Mjombake alilala wakati wote na hakusaidia katika shughuli za kuwalisha wanyama.
Wanyama walipiga kelele nyingi kwa sababu walikuwa na njaa. Nyumba pia ilijaa uchafu kwa sababu shangazi hakuweza kuisafisha. Munia alikuwa mchovu wakati wote kwa sababu alitoka kila siku kuwatafutia wote chakula.
Munia hakuweza kukabilina na hali hiyo tena. Aliwandea babu na bibi kuwauliza suluhisho. Lakini, alihuzunika sana kwa sababu aliondoka bila suluhisho kwani hawakuweza kumsikia. Shangaziye mgonjwa alisema, "Ninachohitaji ni kuweza kulala usiku na kuamka asubuhi."
Mjombake mzembe alisema, "Wauze wanyama hawa kisha uwape babu na bibi kileo. Watalala wakome kukusumbua." Munia alisema kwa hasira "Mjomba, unajua kwamba siwezi kuwauza wanyama hawa. Wao pekee ndio mali yangu."
Usiku mmoja, Munia hakupata usingizi. Alimkumbuka mtu mmoja aliyekuwa na busara. Mtu huyo aliaminika kuyajibu maswali yote na kusuluhisha matatizo yote. Munia aliwachukua wanyama wake akaenda nao kumtembelea mtu yule. Aliwafunga mbuzi, kondoo na nguruwe kwa Kamba kisha akambeba kuku.
Munia alifika nyumbani kwa mtu huyo akiwa amechoka na mwenye njaa sana. Baada ya kueleza shida yake, mtu huyo alisema, "Nitakusaidia, lakini ni sharti ufanye nikuambiavyo." Munia alijibu, "Nitafanya chochote kusuluhisha tatizo langu."
Mtu yule alimwambia, "Waache wanyama hapa kisha urudi nyumbani." Munia alisema, "Nimeishi na wanyama hawa kwa muda mrefu. Wao ndio mali pekee niliyo nayo."
Mtu akajibu, "Nilikuambia nitakusaidia lakini ni lazima ufanye nikuambiavyo." Kwa vile Munia alihitaji suluhisho kwa tatizo lake, aliwaacha wanyama akarudi nyumbani.
Nyumba yake ilikuwa na kimya kingi na ilikuwa tupu. Babu na bibi walilalamika kwamba hawakupata maziwa kutoka kwa mbuzi. Mjombake alisema, "Tumekuwa maskini sana, kila mtu anatucheka."
Munia hakuweza tena kuvumilia malalamishi yao. Pia, aliwakosa wanyama wake. Alirudi kwa mtu yule mwenye busara ili kumwuliza mawaidha. "Maisha yangu yamekuwa fotauti bila wanyama wangu. Jamaa zangu wanalalamika kila wakati."
Mtu yule alimwambia, "Nitakusaidia, lakini, ni lazima ufanye nikuambiavyo. Nenda nyumbani kisha uwatoe nje bibi na babu kutoka kwenye nyumba." Munia alimjibu, "Nitawezaje kufanya hivyo? Wao ni wavyele wangu na wananitegemea."
Mwishowe, Munia alienda nyumbani akafanya alivyoambiwa. Hakuweza kupata amani akilini mwake. Babu na bibi hawakuwa na mahali pa kuenda. Walirandaranda wakiangukia miti na kuhisi baridi usiku.
Shangaziye mgonjwa alilia akisema, "Tafadhali usinitupe nje." Mjombake mzembe alisema, "Sitaondoka kitandani usije ukanitupa nje pia."
Munia hakuweza kustahimili mambo haya hata kidogo. Alirudi kwa mtu mwenye busara akiwa amechanganyikiwa na mwenye hasira. Alimlilia akisema, "Mambo haya ni magumu sana kwa mtu mmoja. Nipe suluhisho bora zaidi."
Mtu mwenye busara alisema, "Hapa, wachukue wanyama wako na uwarudishe bibi na babu kwenye nyumba pia." Munia alifanya alivyoambiwa. Shangaziye alisema, "Nitasafisha nyumba kwa bidii." Mjombake aliacha kuwa mzembe akamsaidia Munia na kazi za nyumbani. Walikuwa na furaha tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyekuwa na tatizo kubwa Author - Ursula Nafula Translation - Susan Kavaya Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Jamaa ya Munia ilijumuisha kina nani | {
"text": [
"Babu na bibi, shangazi na mjomba"
]
} |
2349_swa | Mwanamume aliyeota manyoya
Kulikuwa na tajiri aliyekuwa na wana wawili wa kiume. Kwenye wosia wake alitaka mwanawe wa kwanza arithi ng'ombe wake wote na wa pili, amrithi jogoo mmoja tu.
Baada ya tajiri kufa, mwanawe wa kwanza alirithi ng'ombe wote. Mwanawe wa pili alipewa jogoo mmoja tu.
Baada ya muda mchache, mwana wa kwanza ambaye alirithi mali yote, aliugua. Alienda kumwona mganga amsaidie kupata njia ya kupona. Mganga alisema, "Ni sharti umchinje jogoo mwenye rangi ya pekee."
Mwana huyo hakujua atakapopata jogoo mwenye rangi ya pekee hadi alipokumbuka kuwa nduguye alikuwa na mmoja. Aliwatuma watu kumchukua yule jogoo wa nduguye.
Kakake aliwaambia watu hao, "Mimi sina mali nyingine isipokuwa jogoo huyu tu. Lakini, iwapo jogoo huyu ataweza kumponya kakangu, basi ni bora kwangu kumpoteza jogoo huyu." Aliwapa jogoo wake kwa ukarimu.
Watu walimchinja jogoo na kumlisha kakake mgonjwa. Baadaye, kakake alipona.
Baada ya muda mfupi, kitu kisicho cha kawaida kilifanyika. Mwili wake ulianza kuota manyoya.
Hakuweza kuamini macho yake.
Alipokwenda kuwaona wazee, walisema, "Jambo hili limetokea kwa sababu ya laana. Hukumfanyia nduguyo haki. Umechukua ng'ombe wote na hata jogoo ambaye babako alimuachia. Ukitaka kupona, ni lazima nduguyo akusamehe."
Wazee waliendelea kusema, "Ni sharti tuichukue bangili hii tumpe nduguyo kama ishara ya msamaha. Iwapo ataitemea mate bangili hii, utapona."
Wazee walimpelekea ndugu mdogo bangili hiyo wakamwambia, "Itemee mate bangili hii umsamehe kaka yako." Nduguye maskini aliitemea mate bangili.
Kwa sababu hiyo, wazee waliamua kumpa nusu ya ng'ombe wa kakake tajiri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyeota manyoya Author - Worku Debele and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Tajiri alitaka mwana wa kwanza arithi nini | {
"text": [
"Ng'ombe"
]
} |
2349_swa | Mwanamume aliyeota manyoya
Kulikuwa na tajiri aliyekuwa na wana wawili wa kiume. Kwenye wosia wake alitaka mwanawe wa kwanza arithi ng'ombe wake wote na wa pili, amrithi jogoo mmoja tu.
Baada ya tajiri kufa, mwanawe wa kwanza alirithi ng'ombe wote. Mwanawe wa pili alipewa jogoo mmoja tu.
Baada ya muda mchache, mwana wa kwanza ambaye alirithi mali yote, aliugua. Alienda kumwona mganga amsaidie kupata njia ya kupona. Mganga alisema, "Ni sharti umchinje jogoo mwenye rangi ya pekee."
Mwana huyo hakujua atakapopata jogoo mwenye rangi ya pekee hadi alipokumbuka kuwa nduguye alikuwa na mmoja. Aliwatuma watu kumchukua yule jogoo wa nduguye.
Kakake aliwaambia watu hao, "Mimi sina mali nyingine isipokuwa jogoo huyu tu. Lakini, iwapo jogoo huyu ataweza kumponya kakangu, basi ni bora kwangu kumpoteza jogoo huyu." Aliwapa jogoo wake kwa ukarimu.
Watu walimchinja jogoo na kumlisha kakake mgonjwa. Baadaye, kakake alipona.
Baada ya muda mfupi, kitu kisicho cha kawaida kilifanyika. Mwili wake ulianza kuota manyoya.
Hakuweza kuamini macho yake.
Alipokwenda kuwaona wazee, walisema, "Jambo hili limetokea kwa sababu ya laana. Hukumfanyia nduguyo haki. Umechukua ng'ombe wote na hata jogoo ambaye babako alimuachia. Ukitaka kupona, ni lazima nduguyo akusamehe."
Wazee waliendelea kusema, "Ni sharti tuichukue bangili hii tumpe nduguyo kama ishara ya msamaha. Iwapo ataitemea mate bangili hii, utapona."
Wazee walimpelekea ndugu mdogo bangili hiyo wakamwambia, "Itemee mate bangili hii umsamehe kaka yako." Nduguye maskini aliitemea mate bangili.
Kwa sababu hiyo, wazee waliamua kumpa nusu ya ng'ombe wa kakake tajiri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyeota manyoya Author - Worku Debele and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Mwana wa kwanza alienda kumwona nani | {
"text": [
"Mganga"
]
} |
2349_swa | Mwanamume aliyeota manyoya
Kulikuwa na tajiri aliyekuwa na wana wawili wa kiume. Kwenye wosia wake alitaka mwanawe wa kwanza arithi ng'ombe wake wote na wa pili, amrithi jogoo mmoja tu.
Baada ya tajiri kufa, mwanawe wa kwanza alirithi ng'ombe wote. Mwanawe wa pili alipewa jogoo mmoja tu.
Baada ya muda mchache, mwana wa kwanza ambaye alirithi mali yote, aliugua. Alienda kumwona mganga amsaidie kupata njia ya kupona. Mganga alisema, "Ni sharti umchinje jogoo mwenye rangi ya pekee."
Mwana huyo hakujua atakapopata jogoo mwenye rangi ya pekee hadi alipokumbuka kuwa nduguye alikuwa na mmoja. Aliwatuma watu kumchukua yule jogoo wa nduguye.
Kakake aliwaambia watu hao, "Mimi sina mali nyingine isipokuwa jogoo huyu tu. Lakini, iwapo jogoo huyu ataweza kumponya kakangu, basi ni bora kwangu kumpoteza jogoo huyu." Aliwapa jogoo wake kwa ukarimu.
Watu walimchinja jogoo na kumlisha kakake mgonjwa. Baadaye, kakake alipona.
Baada ya muda mfupi, kitu kisicho cha kawaida kilifanyika. Mwili wake ulianza kuota manyoya.
Hakuweza kuamini macho yake.
Alipokwenda kuwaona wazee, walisema, "Jambo hili limetokea kwa sababu ya laana. Hukumfanyia nduguyo haki. Umechukua ng'ombe wote na hata jogoo ambaye babako alimuachia. Ukitaka kupona, ni lazima nduguyo akusamehe."
Wazee waliendelea kusema, "Ni sharti tuichukue bangili hii tumpe nduguyo kama ishara ya msamaha. Iwapo ataitemea mate bangili hii, utapona."
Wazee walimpelekea ndugu mdogo bangili hiyo wakamwambia, "Itemee mate bangili hii umsamehe kaka yako." Nduguye maskini aliitemea mate bangili.
Kwa sababu hiyo, wazee waliamua kumpa nusu ya ng'ombe wa kakake tajiri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyeota manyoya Author - Worku Debele and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Watu walimchinja nani | {
"text": [
"Jogoo"
]
} |
2349_swa | Mwanamume aliyeota manyoya
Kulikuwa na tajiri aliyekuwa na wana wawili wa kiume. Kwenye wosia wake alitaka mwanawe wa kwanza arithi ng'ombe wake wote na wa pili, amrithi jogoo mmoja tu.
Baada ya tajiri kufa, mwanawe wa kwanza alirithi ng'ombe wote. Mwanawe wa pili alipewa jogoo mmoja tu.
Baada ya muda mchache, mwana wa kwanza ambaye alirithi mali yote, aliugua. Alienda kumwona mganga amsaidie kupata njia ya kupona. Mganga alisema, "Ni sharti umchinje jogoo mwenye rangi ya pekee."
Mwana huyo hakujua atakapopata jogoo mwenye rangi ya pekee hadi alipokumbuka kuwa nduguye alikuwa na mmoja. Aliwatuma watu kumchukua yule jogoo wa nduguye.
Kakake aliwaambia watu hao, "Mimi sina mali nyingine isipokuwa jogoo huyu tu. Lakini, iwapo jogoo huyu ataweza kumponya kakangu, basi ni bora kwangu kumpoteza jogoo huyu." Aliwapa jogoo wake kwa ukarimu.
Watu walimchinja jogoo na kumlisha kakake mgonjwa. Baadaye, kakake alipona.
Baada ya muda mfupi, kitu kisicho cha kawaida kilifanyika. Mwili wake ulianza kuota manyoya.
Hakuweza kuamini macho yake.
Alipokwenda kuwaona wazee, walisema, "Jambo hili limetokea kwa sababu ya laana. Hukumfanyia nduguyo haki. Umechukua ng'ombe wote na hata jogoo ambaye babako alimuachia. Ukitaka kupona, ni lazima nduguyo akusamehe."
Wazee waliendelea kusema, "Ni sharti tuichukue bangili hii tumpe nduguyo kama ishara ya msamaha. Iwapo ataitemea mate bangili hii, utapona."
Wazee walimpelekea ndugu mdogo bangili hiyo wakamwambia, "Itemee mate bangili hii umsamehe kaka yako." Nduguye maskini aliitemea mate bangili.
Kwa sababu hiyo, wazee waliamua kumpa nusu ya ng'ombe wa kakake tajiri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyeota manyoya Author - Worku Debele and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Wazee walimpelekea ndugu mdogo nini | {
"text": [
"Bangili"
]
} |
2349_swa | Mwanamume aliyeota manyoya
Kulikuwa na tajiri aliyekuwa na wana wawili wa kiume. Kwenye wosia wake alitaka mwanawe wa kwanza arithi ng'ombe wake wote na wa pili, amrithi jogoo mmoja tu.
Baada ya tajiri kufa, mwanawe wa kwanza alirithi ng'ombe wote. Mwanawe wa pili alipewa jogoo mmoja tu.
Baada ya muda mchache, mwana wa kwanza ambaye alirithi mali yote, aliugua. Alienda kumwona mganga amsaidie kupata njia ya kupona. Mganga alisema, "Ni sharti umchinje jogoo mwenye rangi ya pekee."
Mwana huyo hakujua atakapopata jogoo mwenye rangi ya pekee hadi alipokumbuka kuwa nduguye alikuwa na mmoja. Aliwatuma watu kumchukua yule jogoo wa nduguye.
Kakake aliwaambia watu hao, "Mimi sina mali nyingine isipokuwa jogoo huyu tu. Lakini, iwapo jogoo huyu ataweza kumponya kakangu, basi ni bora kwangu kumpoteza jogoo huyu." Aliwapa jogoo wake kwa ukarimu.
Watu walimchinja jogoo na kumlisha kakake mgonjwa. Baadaye, kakake alipona.
Baada ya muda mfupi, kitu kisicho cha kawaida kilifanyika. Mwili wake ulianza kuota manyoya.
Hakuweza kuamini macho yake.
Alipokwenda kuwaona wazee, walisema, "Jambo hili limetokea kwa sababu ya laana. Hukumfanyia nduguyo haki. Umechukua ng'ombe wote na hata jogoo ambaye babako alimuachia. Ukitaka kupona, ni lazima nduguyo akusamehe."
Wazee waliendelea kusema, "Ni sharti tuichukue bangili hii tumpe nduguyo kama ishara ya msamaha. Iwapo ataitemea mate bangili hii, utapona."
Wazee walimpelekea ndugu mdogo bangili hiyo wakamwambia, "Itemee mate bangili hii umsamehe kaka yako." Nduguye maskini aliitemea mate bangili.
Kwa sababu hiyo, wazee waliamua kumpa nusu ya ng'ombe wa kakake tajiri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mwanamume aliyeota manyoya Author - Worku Debele and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini wazee walimpa ndugu mdogo nusu ya ng'ombe | {
"text": [
"Kwa vile alitemea bangili mate ili ndugu yake apone"
]
} |
2355_swa | Mzozo wa Fisi na Kima
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Fisi na Kima. Walikuwa na mzozo kati yao. Walienda kwa hakimu ili awasaidie kuusuluhisha.
Baada ya hakimu kusikiliza kesi yao, aliogopa kuamua. Aliwaza, "Nikimlaumu Fisi, atawala mifugo wangu. Nikimlaumu Kima, atayala mahindi yangu yote! Nifanyeje?"
Hakimu alitafakari juu ya kesi hiyo kisha akasema, "Naona vigumu kuiamua kesi hii peke yangu. Ipelekeni kwa wazee wa kijiji." Fisi na Kima walienda kwa wazee wa kijiji.
Waliwaeleza wazee wa kijiji kuhusu mzozo wao. Baadaa ya wazee wa kijiji kuwasikiliza, wao vilevile waliogopa kuiamua kesi ile.
Wazee wa kijiji walijua wakimuunga Kima mkono, Fisi atawala mifugo wao. Na wakimuunga Fisi mkono, Kima atayala mahindi yao. Wazee wa kijiji walimwambia Fisi na Kima kuwa kesi yao ilikuwa ngumu sana kuiamua.
Wazee walimkumbuka mwanamke mmoja fukara aliyeishi hapo kijijini. Yeye hangepoteza chochote kwa kuwa hakuwa na mifugo wala mahindi. Mmoja wao aliwaambia, "Mwanamke fukara ataweza kutoa uamuzi bila woga." Wakawaambia Fisi na Kima kwenda kwake.
Walipowasili kwa mwanamke yule fukara walisema, "Tuamulie mzozo wetu." Mwanamke fukara alikubali lakini, akataka kuongea na kila mmoja peke yake.
Mwanamke fukara alimwita Fisi kwanza akamwambia, "Wewe unaheshimika, ni mnyama mkubwa tena ni shujaa. Unawezaje kugombana na mnyama mdogo tena mjinga kama Kima?"
Mwanamke akaendelea kumwambia Fisi, "Watu wakisikia mzozo huu, watakudharau sana. Wacha kuzozana na Kima." Fisi alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Mwanamke fukara akamwita Kima akamwambia, "Wewe ni mwerevu na mrembo. Mbona unabishana na mnyama huyu mchafu, mwenye harufu mbaya anayekula vilivyooza. Watu watakufikiriaje wakisikia unazozana na huyu kiumbe mwenye sura mbaya?" Kima alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Baadaye, mwanamke fukara aliwaita wote akasema, "Kwa kuwa nyote mlikubali kuacha ugomvi kati yenu, ni lazima msameheane."
Kima na Fisi walisameheana wakasuluhisha mzozo wao. Watu kijijini waliposikia walishangaa. Mwanamke fukara aliwezaje kutatua shida iliyowashinda hakimu na wazee wa kijiji?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mzozo wa Fisi na Kima Author - Mulualem Daba Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Fisi na Kima walienda kwa nani | {
"text": [
"Wazee wa kijiji"
]
} |
2355_swa | Mzozo wa Fisi na Kima
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Fisi na Kima. Walikuwa na mzozo kati yao. Walienda kwa hakimu ili awasaidie kuusuluhisha.
Baada ya hakimu kusikiliza kesi yao, aliogopa kuamua. Aliwaza, "Nikimlaumu Fisi, atawala mifugo wangu. Nikimlaumu Kima, atayala mahindi yangu yote! Nifanyeje?"
Hakimu alitafakari juu ya kesi hiyo kisha akasema, "Naona vigumu kuiamua kesi hii peke yangu. Ipelekeni kwa wazee wa kijiji." Fisi na Kima walienda kwa wazee wa kijiji.
Waliwaeleza wazee wa kijiji kuhusu mzozo wao. Baadaa ya wazee wa kijiji kuwasikiliza, wao vilevile waliogopa kuiamua kesi ile.
Wazee wa kijiji walijua wakimuunga Kima mkono, Fisi atawala mifugo wao. Na wakimuunga Fisi mkono, Kima atayala mahindi yao. Wazee wa kijiji walimwambia Fisi na Kima kuwa kesi yao ilikuwa ngumu sana kuiamua.
Wazee walimkumbuka mwanamke mmoja fukara aliyeishi hapo kijijini. Yeye hangepoteza chochote kwa kuwa hakuwa na mifugo wala mahindi. Mmoja wao aliwaambia, "Mwanamke fukara ataweza kutoa uamuzi bila woga." Wakawaambia Fisi na Kima kwenda kwake.
Walipowasili kwa mwanamke yule fukara walisema, "Tuamulie mzozo wetu." Mwanamke fukara alikubali lakini, akataka kuongea na kila mmoja peke yake.
Mwanamke fukara alimwita Fisi kwanza akamwambia, "Wewe unaheshimika, ni mnyama mkubwa tena ni shujaa. Unawezaje kugombana na mnyama mdogo tena mjinga kama Kima?"
Mwanamke akaendelea kumwambia Fisi, "Watu wakisikia mzozo huu, watakudharau sana. Wacha kuzozana na Kima." Fisi alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Mwanamke fukara akamwita Kima akamwambia, "Wewe ni mwerevu na mrembo. Mbona unabishana na mnyama huyu mchafu, mwenye harufu mbaya anayekula vilivyooza. Watu watakufikiriaje wakisikia unazozana na huyu kiumbe mwenye sura mbaya?" Kima alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Baadaye, mwanamke fukara aliwaita wote akasema, "Kwa kuwa nyote mlikubali kuacha ugomvi kati yenu, ni lazima msameheane."
Kima na Fisi walisameheana wakasuluhisha mzozo wao. Watu kijijini waliposikia walishangaa. Mwanamke fukara aliwezaje kutatua shida iliyowashinda hakimu na wazee wa kijiji?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mzozo wa Fisi na Kima Author - Mulualem Daba Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Baada ya wazee wa kijiji kuwasikiliza, waliogopa kufanya nini | {
"text": [
"Kuiamua kesi"
]
} |
2355_swa | Mzozo wa Fisi na Kima
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Fisi na Kima. Walikuwa na mzozo kati yao. Walienda kwa hakimu ili awasaidie kuusuluhisha.
Baada ya hakimu kusikiliza kesi yao, aliogopa kuamua. Aliwaza, "Nikimlaumu Fisi, atawala mifugo wangu. Nikimlaumu Kima, atayala mahindi yangu yote! Nifanyeje?"
Hakimu alitafakari juu ya kesi hiyo kisha akasema, "Naona vigumu kuiamua kesi hii peke yangu. Ipelekeni kwa wazee wa kijiji." Fisi na Kima walienda kwa wazee wa kijiji.
Waliwaeleza wazee wa kijiji kuhusu mzozo wao. Baadaa ya wazee wa kijiji kuwasikiliza, wao vilevile waliogopa kuiamua kesi ile.
Wazee wa kijiji walijua wakimuunga Kima mkono, Fisi atawala mifugo wao. Na wakimuunga Fisi mkono, Kima atayala mahindi yao. Wazee wa kijiji walimwambia Fisi na Kima kuwa kesi yao ilikuwa ngumu sana kuiamua.
Wazee walimkumbuka mwanamke mmoja fukara aliyeishi hapo kijijini. Yeye hangepoteza chochote kwa kuwa hakuwa na mifugo wala mahindi. Mmoja wao aliwaambia, "Mwanamke fukara ataweza kutoa uamuzi bila woga." Wakawaambia Fisi na Kima kwenda kwake.
Walipowasili kwa mwanamke yule fukara walisema, "Tuamulie mzozo wetu." Mwanamke fukara alikubali lakini, akataka kuongea na kila mmoja peke yake.
Mwanamke fukara alimwita Fisi kwanza akamwambia, "Wewe unaheshimika, ni mnyama mkubwa tena ni shujaa. Unawezaje kugombana na mnyama mdogo tena mjinga kama Kima?"
Mwanamke akaendelea kumwambia Fisi, "Watu wakisikia mzozo huu, watakudharau sana. Wacha kuzozana na Kima." Fisi alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Mwanamke fukara akamwita Kima akamwambia, "Wewe ni mwerevu na mrembo. Mbona unabishana na mnyama huyu mchafu, mwenye harufu mbaya anayekula vilivyooza. Watu watakufikiriaje wakisikia unazozana na huyu kiumbe mwenye sura mbaya?" Kima alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Baadaye, mwanamke fukara aliwaita wote akasema, "Kwa kuwa nyote mlikubali kuacha ugomvi kati yenu, ni lazima msameheane."
Kima na Fisi walisameheana wakasuluhisha mzozo wao. Watu kijijini waliposikia walishangaa. Mwanamke fukara aliwezaje kutatua shida iliyowashinda hakimu na wazee wa kijiji?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mzozo wa Fisi na Kima Author - Mulualem Daba Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani angeweza kutoa uamuzi bila woga | {
"text": [
"Mwanamke fukara"
]
} |
2355_swa | Mzozo wa Fisi na Kima
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Fisi na Kima. Walikuwa na mzozo kati yao. Walienda kwa hakimu ili awasaidie kuusuluhisha.
Baada ya hakimu kusikiliza kesi yao, aliogopa kuamua. Aliwaza, "Nikimlaumu Fisi, atawala mifugo wangu. Nikimlaumu Kima, atayala mahindi yangu yote! Nifanyeje?"
Hakimu alitafakari juu ya kesi hiyo kisha akasema, "Naona vigumu kuiamua kesi hii peke yangu. Ipelekeni kwa wazee wa kijiji." Fisi na Kima walienda kwa wazee wa kijiji.
Waliwaeleza wazee wa kijiji kuhusu mzozo wao. Baadaa ya wazee wa kijiji kuwasikiliza, wao vilevile waliogopa kuiamua kesi ile.
Wazee wa kijiji walijua wakimuunga Kima mkono, Fisi atawala mifugo wao. Na wakimuunga Fisi mkono, Kima atayala mahindi yao. Wazee wa kijiji walimwambia Fisi na Kima kuwa kesi yao ilikuwa ngumu sana kuiamua.
Wazee walimkumbuka mwanamke mmoja fukara aliyeishi hapo kijijini. Yeye hangepoteza chochote kwa kuwa hakuwa na mifugo wala mahindi. Mmoja wao aliwaambia, "Mwanamke fukara ataweza kutoa uamuzi bila woga." Wakawaambia Fisi na Kima kwenda kwake.
Walipowasili kwa mwanamke yule fukara walisema, "Tuamulie mzozo wetu." Mwanamke fukara alikubali lakini, akataka kuongea na kila mmoja peke yake.
Mwanamke fukara alimwita Fisi kwanza akamwambia, "Wewe unaheshimika, ni mnyama mkubwa tena ni shujaa. Unawezaje kugombana na mnyama mdogo tena mjinga kama Kima?"
Mwanamke akaendelea kumwambia Fisi, "Watu wakisikia mzozo huu, watakudharau sana. Wacha kuzozana na Kima." Fisi alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Mwanamke fukara akamwita Kima akamwambia, "Wewe ni mwerevu na mrembo. Mbona unabishana na mnyama huyu mchafu, mwenye harufu mbaya anayekula vilivyooza. Watu watakufikiriaje wakisikia unazozana na huyu kiumbe mwenye sura mbaya?" Kima alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Baadaye, mwanamke fukara aliwaita wote akasema, "Kwa kuwa nyote mlikubali kuacha ugomvi kati yenu, ni lazima msameheane."
Kima na Fisi walisameheana wakasuluhisha mzozo wao. Watu kijijini waliposikia walishangaa. Mwanamke fukara aliwezaje kutatua shida iliyowashinda hakimu na wazee wa kijiji?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mzozo wa Fisi na Kima Author - Mulualem Daba Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Walipofika kwa mwanamke yule fukara walisema nini | {
"text": [
"Tuamulie mzozo wetu"
]
} |
2355_swa | Mzozo wa Fisi na Kima
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Fisi na Kima. Walikuwa na mzozo kati yao. Walienda kwa hakimu ili awasaidie kuusuluhisha.
Baada ya hakimu kusikiliza kesi yao, aliogopa kuamua. Aliwaza, "Nikimlaumu Fisi, atawala mifugo wangu. Nikimlaumu Kima, atayala mahindi yangu yote! Nifanyeje?"
Hakimu alitafakari juu ya kesi hiyo kisha akasema, "Naona vigumu kuiamua kesi hii peke yangu. Ipelekeni kwa wazee wa kijiji." Fisi na Kima walienda kwa wazee wa kijiji.
Waliwaeleza wazee wa kijiji kuhusu mzozo wao. Baadaa ya wazee wa kijiji kuwasikiliza, wao vilevile waliogopa kuiamua kesi ile.
Wazee wa kijiji walijua wakimuunga Kima mkono, Fisi atawala mifugo wao. Na wakimuunga Fisi mkono, Kima atayala mahindi yao. Wazee wa kijiji walimwambia Fisi na Kima kuwa kesi yao ilikuwa ngumu sana kuiamua.
Wazee walimkumbuka mwanamke mmoja fukara aliyeishi hapo kijijini. Yeye hangepoteza chochote kwa kuwa hakuwa na mifugo wala mahindi. Mmoja wao aliwaambia, "Mwanamke fukara ataweza kutoa uamuzi bila woga." Wakawaambia Fisi na Kima kwenda kwake.
Walipowasili kwa mwanamke yule fukara walisema, "Tuamulie mzozo wetu." Mwanamke fukara alikubali lakini, akataka kuongea na kila mmoja peke yake.
Mwanamke fukara alimwita Fisi kwanza akamwambia, "Wewe unaheshimika, ni mnyama mkubwa tena ni shujaa. Unawezaje kugombana na mnyama mdogo tena mjinga kama Kima?"
Mwanamke akaendelea kumwambia Fisi, "Watu wakisikia mzozo huu, watakudharau sana. Wacha kuzozana na Kima." Fisi alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Mwanamke fukara akamwita Kima akamwambia, "Wewe ni mwerevu na mrembo. Mbona unabishana na mnyama huyu mchafu, mwenye harufu mbaya anayekula vilivyooza. Watu watakufikiriaje wakisikia unazozana na huyu kiumbe mwenye sura mbaya?" Kima alikubali, "Unavyosema ni kweli. Nitaiacha kesi hii."
Baadaye, mwanamke fukara aliwaita wote akasema, "Kwa kuwa nyote mlikubali kuacha ugomvi kati yenu, ni lazima msameheane."
Kima na Fisi walisameheana wakasuluhisha mzozo wao. Watu kijijini waliposikia walishangaa. Mwanamke fukara aliwezaje kutatua shida iliyowashinda hakimu na wazee wa kijiji?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mzozo wa Fisi na Kima Author - Mulualem Daba Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona watu wa kijiji walishangaa | {
"text": [
"Kwa sababu mwanamke fukara aliweza kutatua shida iliyowashinda hakimu na wazee wa kijiji"
]
} |
2357_swa | Namorutunga
Zamani za kale, kulikuwa na kijiji kimoja katika Kaunti ya Turkana. Wanakijiji walikutana kila jioni kucheza ngoma ya kienyeji iitwayo edonga.
Wachezaji wa kijiji hicho walifahamika kila pahali. Walikuwa na ustadi mkubwa wa kucheza ngoma ya edonga.
Watu kutoka vijiji jirani walifika kijijini humo kucheza ngoma hiyo.
Siku moja, mgeni aliyeusikia umaarufu wa ngoma hiyo ya edonga, alituma mjumbe wake aende kuipeleleza.
Mjumbe alipofika, wanakijiji walijawa na hofu. Wakajiuliza, "Huyo mgeni ni nani? Mbona amemtuma mjumbe wake?" Wanakijiji walijitayarisha kama kawaida. Walimchinja mbuzi na kupika chakula kingi.
Vilevile walikutana wakaandaa kafara na kusubiri siku nzima hadi jioni ila mgeni hakufika.
Walicheza ngoma kama kawaida hadi usiku wa manane. Usiku huo kulikuwa na wachezaji ngoma wengi na kila mtu alikuwa amesisimka.
Kabla ya ngoma kuisha, mgeni alifika. Kwa mavazi alifanana na wanakijiji, kwa hivyo, hawakumtambua.
Alipopata nafasi ya kucheza ngoma, alijiunga na wanaume wengine. Ilionekana wazi kuwa alicheza tofauti na wenyeji.
Watu waliaanza kumcheka. Wachezaji wengine walicheka wakiwa wamepiga magoti. Wengine walikaa kitako. Wengine walianguka chini. Mgeni alikasirika alipochekwa. Akaamua kuwalaani.
Aliacha kucheza ngoma ghafla. Mara hiyo hiyo, kila mchezaji akabadilika kuwa jiwe. Waliolala, waliosimama, waliokaa kitako na waliopiga magoti, wote walibaki walivyokuwa. Kisha mgeni akatoweka kijijini.
Mawe hayo yamebaki mahali pale hadi wa leo. Saa za usiku husikika yakiimba na kucheza edonga. Hiyo ndiyo asili ya Namorutunga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namorutunga Author - Simon Ipoo Translation - Translators without Borders Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanakijiji walikutana kila jioni kucheza ngoma gani | {
"text": [
"edonga"
]
} |
2357_swa | Namorutunga
Zamani za kale, kulikuwa na kijiji kimoja katika Kaunti ya Turkana. Wanakijiji walikutana kila jioni kucheza ngoma ya kienyeji iitwayo edonga.
Wachezaji wa kijiji hicho walifahamika kila pahali. Walikuwa na ustadi mkubwa wa kucheza ngoma ya edonga.
Watu kutoka vijiji jirani walifika kijijini humo kucheza ngoma hiyo.
Siku moja, mgeni aliyeusikia umaarufu wa ngoma hiyo ya edonga, alituma mjumbe wake aende kuipeleleza.
Mjumbe alipofika, wanakijiji walijawa na hofu. Wakajiuliza, "Huyo mgeni ni nani? Mbona amemtuma mjumbe wake?" Wanakijiji walijitayarisha kama kawaida. Walimchinja mbuzi na kupika chakula kingi.
Vilevile walikutana wakaandaa kafara na kusubiri siku nzima hadi jioni ila mgeni hakufika.
Walicheza ngoma kama kawaida hadi usiku wa manane. Usiku huo kulikuwa na wachezaji ngoma wengi na kila mtu alikuwa amesisimka.
Kabla ya ngoma kuisha, mgeni alifika. Kwa mavazi alifanana na wanakijiji, kwa hivyo, hawakumtambua.
Alipopata nafasi ya kucheza ngoma, alijiunga na wanaume wengine. Ilionekana wazi kuwa alicheza tofauti na wenyeji.
Watu waliaanza kumcheka. Wachezaji wengine walicheka wakiwa wamepiga magoti. Wengine walikaa kitako. Wengine walianguka chini. Mgeni alikasirika alipochekwa. Akaamua kuwalaani.
Aliacha kucheza ngoma ghafla. Mara hiyo hiyo, kila mchezaji akabadilika kuwa jiwe. Waliolala, waliosimama, waliokaa kitako na waliopiga magoti, wote walibaki walivyokuwa. Kisha mgeni akatoweka kijijini.
Mawe hayo yamebaki mahali pale hadi wa leo. Saa za usiku husikika yakiimba na kucheza edonga. Hiyo ndiyo asili ya Namorutunga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namorutunga Author - Simon Ipoo Translation - Translators without Borders Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mgeni alituma nani aende kuipeleleza | {
"text": [
"mjumbe"
]
} |
2357_swa | Namorutunga
Zamani za kale, kulikuwa na kijiji kimoja katika Kaunti ya Turkana. Wanakijiji walikutana kila jioni kucheza ngoma ya kienyeji iitwayo edonga.
Wachezaji wa kijiji hicho walifahamika kila pahali. Walikuwa na ustadi mkubwa wa kucheza ngoma ya edonga.
Watu kutoka vijiji jirani walifika kijijini humo kucheza ngoma hiyo.
Siku moja, mgeni aliyeusikia umaarufu wa ngoma hiyo ya edonga, alituma mjumbe wake aende kuipeleleza.
Mjumbe alipofika, wanakijiji walijawa na hofu. Wakajiuliza, "Huyo mgeni ni nani? Mbona amemtuma mjumbe wake?" Wanakijiji walijitayarisha kama kawaida. Walimchinja mbuzi na kupika chakula kingi.
Vilevile walikutana wakaandaa kafara na kusubiri siku nzima hadi jioni ila mgeni hakufika.
Walicheza ngoma kama kawaida hadi usiku wa manane. Usiku huo kulikuwa na wachezaji ngoma wengi na kila mtu alikuwa amesisimka.
Kabla ya ngoma kuisha, mgeni alifika. Kwa mavazi alifanana na wanakijiji, kwa hivyo, hawakumtambua.
Alipopata nafasi ya kucheza ngoma, alijiunga na wanaume wengine. Ilionekana wazi kuwa alicheza tofauti na wenyeji.
Watu waliaanza kumcheka. Wachezaji wengine walicheka wakiwa wamepiga magoti. Wengine walikaa kitako. Wengine walianguka chini. Mgeni alikasirika alipochekwa. Akaamua kuwalaani.
Aliacha kucheza ngoma ghafla. Mara hiyo hiyo, kila mchezaji akabadilika kuwa jiwe. Waliolala, waliosimama, waliokaa kitako na waliopiga magoti, wote walibaki walivyokuwa. Kisha mgeni akatoweka kijijini.
Mawe hayo yamebaki mahali pale hadi wa leo. Saa za usiku husikika yakiimba na kucheza edonga. Hiyo ndiyo asili ya Namorutunga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namorutunga Author - Simon Ipoo Translation - Translators without Borders Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Walimsubiri mgeni hadi saa ngapi | {
"text": [
"jioni"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.