Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
2393_swa | Nyani walioenda huku na huko
Watu wa kijiji cha Udongo walikumbwa na matatizo mengi. Walihuzunika kwa sababu wanyama pori waliyahatarisha maisha yao.
Wanyama hao waliila mimea yao yote na kuwaiba watoto. Mahali hapo hapakuwa pazuri pa kuishi tena. Lakini, wangehamia wapi?
Watu wa familia moja walihamia milimani. Waliamini kuwa wangepata chakula huko.
Milimani, kulikuwa na vichaka, mapango na miti mingi. Walikula sungura na ndege.
Familia zingine ziliona jinsi familia ya milimani ilivyoishi vizuri. Mtu mmoja aliwashawishi, "Maisha ya milimani ni mazuri. Nanyi hamieni huku."
Familia zingine zilihamia milimani. Ziliishi mapangoni kulikokuwa na joto na usalama.
Watoto wa familia za milimani walizoe kupanda miti kutafuta matunda. Walining'inia kwenye matawi kama vile kima hufanya.
Kadri muda ulivyopita, ndivyo familia za milimani zilivyobadilika kimaumbile. Watoto wao walipunguza maongezi yao wakawa wanakoroma zaidi. Mapua ya watu wazima yalianza kuwa makubwa na waliota nywele zaidi kwenye miili yao.
Kila walipotazamana, waliona kwamba meno yao yaliendelea kuwa marefu. Walianza kutembea kwa miguu minne.
Waligeuka wakawa viumbe wapya wasiokuwa wameonekana pahali pale mbeleni. Wakaitwa nyani.
Mwanzoni, nyani hao waliishi kwa furaha. Badala ya kula sungura, walianza kuyala mabuu.
Walisahau jinsi ya kutembea wima kama ilivyokuwa awali. Wakavua nguo zao kwa sababu miili yao sasa ilikuwa imefunikwa kwa manyoya meusi.
Hata hivyo, walikumbuka kwamba walikuwa watu mbeleni. Walipoyaona mapua yao makubwa, walichekana.
Baadaye, walianza kukasirishwa na tabia zao wenyewe. Walipochekana, waliruka juu na chini kwa hasira. Vita vilizuka baina ya nyani hao wakalazimika kutawanyika.
Hiyo ndiyo sababu hata leo, nyani huishi katika makundi madogo na wala hawaishi kama taifa la nyani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyani walioenda huku na huko Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanyama pori waliyahatarisha maisha ya watu wa kijiji kipi | {
"text": [
"Udongo"
]
} |
2393_swa | Nyani walioenda huku na huko
Watu wa kijiji cha Udongo walikumbwa na matatizo mengi. Walihuzunika kwa sababu wanyama pori waliyahatarisha maisha yao.
Wanyama hao waliila mimea yao yote na kuwaiba watoto. Mahali hapo hapakuwa pazuri pa kuishi tena. Lakini, wangehamia wapi?
Watu wa familia moja walihamia milimani. Waliamini kuwa wangepata chakula huko.
Milimani, kulikuwa na vichaka, mapango na miti mingi. Walikula sungura na ndege.
Familia zingine ziliona jinsi familia ya milimani ilivyoishi vizuri. Mtu mmoja aliwashawishi, "Maisha ya milimani ni mazuri. Nanyi hamieni huku."
Familia zingine zilihamia milimani. Ziliishi mapangoni kulikokuwa na joto na usalama.
Watoto wa familia za milimani walizoe kupanda miti kutafuta matunda. Walining'inia kwenye matawi kama vile kima hufanya.
Kadri muda ulivyopita, ndivyo familia za milimani zilivyobadilika kimaumbile. Watoto wao walipunguza maongezi yao wakawa wanakoroma zaidi. Mapua ya watu wazima yalianza kuwa makubwa na waliota nywele zaidi kwenye miili yao.
Kila walipotazamana, waliona kwamba meno yao yaliendelea kuwa marefu. Walianza kutembea kwa miguu minne.
Waligeuka wakawa viumbe wapya wasiokuwa wameonekana pahali pale mbeleni. Wakaitwa nyani.
Mwanzoni, nyani hao waliishi kwa furaha. Badala ya kula sungura, walianza kuyala mabuu.
Walisahau jinsi ya kutembea wima kama ilivyokuwa awali. Wakavua nguo zao kwa sababu miili yao sasa ilikuwa imefunikwa kwa manyoya meusi.
Hata hivyo, walikumbuka kwamba walikuwa watu mbeleni. Walipoyaona mapua yao makubwa, walichekana.
Baadaye, walianza kukasirishwa na tabia zao wenyewe. Walipochekana, waliruka juu na chini kwa hasira. Vita vilizuka baina ya nyani hao wakalazimika kutawanyika.
Hiyo ndiyo sababu hata leo, nyani huishi katika makundi madogo na wala hawaishi kama taifa la nyani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyani walioenda huku na huko Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini watu(familia) kutoka milimani waliitwa nyani | {
"text": [
"Kwa kuwa walikuwa wanatembea kwa miguu minne"
]
} |
2394_swa | Nyota wa Soka
Miaka milioni moja iliyopita, kito cha soka kiliundwa. Kilipogunduliwa, watu walipigana kukimiliki kito hicho chenye nguvu.
Wakati wa vita vya soka vya kwanza vya dunia kito hicho kilipotea. Hakuna aliyeelewa. Muda ulipita. Kito hicho cha soka kilipatikana tu alipozaliwa nyota maarufu zaidi wa soka.
Si kitambo sana, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Daudi. Alitoka katika familia maskini.
Kabla babake Daudi kufariki, alimpatia mwanawe kito hicho cha soka. Mwanzoni, Daudi hakujua nguvu za kito hicho.
Daudi alikuwa bado kijana alipokitumia kito hicho kucheza soka. Hakuwa ameanza kwenda shuleni. Lakini, kwa nguvu za kito hicho, Daudi alishinda kila mechi aliyocheza na marafiki zake.
Daudi alitambua kuwa angeipatia familia yake fedha kwa kucheza soka. Angemfungulia mamake duka, na kuwapeleka kakake na dadake shule.
Daudi alijitokeza kuwa mchezaji wa soka maarufu zaidi aliyewahi kuonekana. Hata ilisemekana kwamba alitoka ulimwengu tofauti!
Daudi ni nyota wa soka ambaye hatasahaulika kamwe!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyota wa Soka Author - David J Maguruka Translation - Ursula Nafula Illustration - David J Maguruka Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | kito cha soka kiliundwa wakati gani | {
"text": [
"Miaka milioni moja iliyopita"
]
} |
2394_swa | Nyota wa Soka
Miaka milioni moja iliyopita, kito cha soka kiliundwa. Kilipogunduliwa, watu walipigana kukimiliki kito hicho chenye nguvu.
Wakati wa vita vya soka vya kwanza vya dunia kito hicho kilipotea. Hakuna aliyeelewa. Muda ulipita. Kito hicho cha soka kilipatikana tu alipozaliwa nyota maarufu zaidi wa soka.
Si kitambo sana, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Daudi. Alitoka katika familia maskini.
Kabla babake Daudi kufariki, alimpatia mwanawe kito hicho cha soka. Mwanzoni, Daudi hakujua nguvu za kito hicho.
Daudi alikuwa bado kijana alipokitumia kito hicho kucheza soka. Hakuwa ameanza kwenda shuleni. Lakini, kwa nguvu za kito hicho, Daudi alishinda kila mechi aliyocheza na marafiki zake.
Daudi alitambua kuwa angeipatia familia yake fedha kwa kucheza soka. Angemfungulia mamake duka, na kuwapeleka kakake na dadake shule.
Daudi alijitokeza kuwa mchezaji wa soka maarufu zaidi aliyewahi kuonekana. Hata ilisemekana kwamba alitoka ulimwengu tofauti!
Daudi ni nyota wa soka ambaye hatasahaulika kamwe!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyota wa Soka Author - David J Maguruka Translation - Ursula Nafula Illustration - David J Maguruka Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Daudi alitoka katika familia aina gani | {
"text": [
"maskini"
]
} |
2394_swa | Nyota wa Soka
Miaka milioni moja iliyopita, kito cha soka kiliundwa. Kilipogunduliwa, watu walipigana kukimiliki kito hicho chenye nguvu.
Wakati wa vita vya soka vya kwanza vya dunia kito hicho kilipotea. Hakuna aliyeelewa. Muda ulipita. Kito hicho cha soka kilipatikana tu alipozaliwa nyota maarufu zaidi wa soka.
Si kitambo sana, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Daudi. Alitoka katika familia maskini.
Kabla babake Daudi kufariki, alimpatia mwanawe kito hicho cha soka. Mwanzoni, Daudi hakujua nguvu za kito hicho.
Daudi alikuwa bado kijana alipokitumia kito hicho kucheza soka. Hakuwa ameanza kwenda shuleni. Lakini, kwa nguvu za kito hicho, Daudi alishinda kila mechi aliyocheza na marafiki zake.
Daudi alitambua kuwa angeipatia familia yake fedha kwa kucheza soka. Angemfungulia mamake duka, na kuwapeleka kakake na dadake shule.
Daudi alijitokeza kuwa mchezaji wa soka maarufu zaidi aliyewahi kuonekana. Hata ilisemekana kwamba alitoka ulimwengu tofauti!
Daudi ni nyota wa soka ambaye hatasahaulika kamwe!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyota wa Soka Author - David J Maguruka Translation - Ursula Nafula Illustration - David J Maguruka Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | nani nyota wa soka ambaye hatasahulika kamwe | {
"text": [
"Daudi"
]
} |
2394_swa | Nyota wa Soka
Miaka milioni moja iliyopita, kito cha soka kiliundwa. Kilipogunduliwa, watu walipigana kukimiliki kito hicho chenye nguvu.
Wakati wa vita vya soka vya kwanza vya dunia kito hicho kilipotea. Hakuna aliyeelewa. Muda ulipita. Kito hicho cha soka kilipatikana tu alipozaliwa nyota maarufu zaidi wa soka.
Si kitambo sana, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Daudi. Alitoka katika familia maskini.
Kabla babake Daudi kufariki, alimpatia mwanawe kito hicho cha soka. Mwanzoni, Daudi hakujua nguvu za kito hicho.
Daudi alikuwa bado kijana alipokitumia kito hicho kucheza soka. Hakuwa ameanza kwenda shuleni. Lakini, kwa nguvu za kito hicho, Daudi alishinda kila mechi aliyocheza na marafiki zake.
Daudi alitambua kuwa angeipatia familia yake fedha kwa kucheza soka. Angemfungulia mamake duka, na kuwapeleka kakake na dadake shule.
Daudi alijitokeza kuwa mchezaji wa soka maarufu zaidi aliyewahi kuonekana. Hata ilisemekana kwamba alitoka ulimwengu tofauti!
Daudi ni nyota wa soka ambaye hatasahaulika kamwe!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyota wa Soka Author - David J Maguruka Translation - Ursula Nafula Illustration - David J Maguruka Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | kwa nini Daudi alishinda kila mechi aliyocheza na marafiki zake | {
"text": [
"kwa sababu ya nguvu ya kito hicho"
]
} |
2394_swa | Nyota wa Soka
Miaka milioni moja iliyopita, kito cha soka kiliundwa. Kilipogunduliwa, watu walipigana kukimiliki kito hicho chenye nguvu.
Wakati wa vita vya soka vya kwanza vya dunia kito hicho kilipotea. Hakuna aliyeelewa. Muda ulipita. Kito hicho cha soka kilipatikana tu alipozaliwa nyota maarufu zaidi wa soka.
Si kitambo sana, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Daudi. Alitoka katika familia maskini.
Kabla babake Daudi kufariki, alimpatia mwanawe kito hicho cha soka. Mwanzoni, Daudi hakujua nguvu za kito hicho.
Daudi alikuwa bado kijana alipokitumia kito hicho kucheza soka. Hakuwa ameanza kwenda shuleni. Lakini, kwa nguvu za kito hicho, Daudi alishinda kila mechi aliyocheza na marafiki zake.
Daudi alitambua kuwa angeipatia familia yake fedha kwa kucheza soka. Angemfungulia mamake duka, na kuwapeleka kakake na dadake shule.
Daudi alijitokeza kuwa mchezaji wa soka maarufu zaidi aliyewahi kuonekana. Hata ilisemekana kwamba alitoka ulimwengu tofauti!
Daudi ni nyota wa soka ambaye hatasahaulika kamwe!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyota wa Soka Author - David J Maguruka Translation - Ursula Nafula Illustration - David J Maguruka Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | nani alimpatia Daudi kito cha soka | {
"text": [
"babake"
]
} |
2395_swa | Nyumba ya Kobe
Siku moja, Kobe alikuwa akitembea nyasini. Alichunguza mbele na kukodolea nyasi macho akamwona Konokono.
"Unatafuta nini?" Konokono alimwuliza. "Ninaitafuta nyumba yangu. Umeiona?"
Alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Konokono alipanda juu ya gamba la Kobe. Kobe alimbeba Konokono mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuiona.
Baada ya muda mfupi, walimwona Ndege. "Mnatafuta nini?" Ndege aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema. "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Ndege akajibu.
Ndege aliyapapatua mabawa yake na kupaa. "Unakwenda kwa kasi sana." Kobe alilalamika. Ndege akamwambia, "Samahani, wacha nami pia niruke juu ya gamba lako."
Kobe aliwabeba Konokono na Ndege juu ya gamba lake. Walitafuta bila kuona ishara ya nyumba ya Kobe.
Walipoendelea, walimwona Bunzi. "Mnatafuta nini?" Bunzi aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alijibu.
Bunzi alisema, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. Kobe aliwabeba Konokono, Ndege na Bunzi. Walitafuta, lakini hawakuona nyumba yoyote.
Hatua chache, walikutana na Panya. Alikuwa akitengeneza shada zuri la maua. "Unatafuta nini?" Panya aliuliza. "Natafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema.
Panya alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. "Subiri, siwezi kuacha maua yangu." Panya alijinyoosha, akayakusanya maua yake huku Kobe akimsubiri.
Kobe aliendelea kutembea akiwabeba Konokono, Ndege, Bunzi na Panya mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuipata nyumba ya Kobe. Upepo uliyapeperusha maua ya Panya. Kobe alikuwa amechoka sana. Akasema, "Ninyi ni wazito."
Upepo uliongezeka. Anga likabadilika likawa jeusi. "Ah, iwapi nyumba yangu?" Kobe aliuliza. Punde, radi ilinguruma milimani na umeme ukaangaza. Mara mvua ikaanza kunyesha. "Ah, iwapi nyumba ya Kobe?" Konokono, Ndege, Bunzi na Panya waliuliza.
Upepo ulizidi kuvuma na kuvuruga. Ghafla, upepo uliwapeperusha wote kutoka mgongoni mwa Kobe.
Mvua ya mawe ikaanza kunyesha. Kwa uoga, Kobe alijikunja na kuingia ndani ya gamba lake. Mle ndani mlikuwa joto. "Kumbe, hii ndiyo nyumba yangu!" Kobe aliwaza.
Konokono, Ndege, Bunzi na Panya walijikusanya chini ya gamba la Kobe. Wakatambua, "Ah, hii ndiyo nyumba ya Kobe!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumba ya Kobe Author - Maya Fowler Translation - Brigid Simiyu Illustration - Katrin Coetzer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Katrin Coetzer, Maya Fowler, Damian Gibbs, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org | Kobe alikuwa akitembea wapi? | {
"text": [
"Nyasini"
]
} |
2395_swa | Nyumba ya Kobe
Siku moja, Kobe alikuwa akitembea nyasini. Alichunguza mbele na kukodolea nyasi macho akamwona Konokono.
"Unatafuta nini?" Konokono alimwuliza. "Ninaitafuta nyumba yangu. Umeiona?"
Alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Konokono alipanda juu ya gamba la Kobe. Kobe alimbeba Konokono mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuiona.
Baada ya muda mfupi, walimwona Ndege. "Mnatafuta nini?" Ndege aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema. "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Ndege akajibu.
Ndege aliyapapatua mabawa yake na kupaa. "Unakwenda kwa kasi sana." Kobe alilalamika. Ndege akamwambia, "Samahani, wacha nami pia niruke juu ya gamba lako."
Kobe aliwabeba Konokono na Ndege juu ya gamba lake. Walitafuta bila kuona ishara ya nyumba ya Kobe.
Walipoendelea, walimwona Bunzi. "Mnatafuta nini?" Bunzi aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alijibu.
Bunzi alisema, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. Kobe aliwabeba Konokono, Ndege na Bunzi. Walitafuta, lakini hawakuona nyumba yoyote.
Hatua chache, walikutana na Panya. Alikuwa akitengeneza shada zuri la maua. "Unatafuta nini?" Panya aliuliza. "Natafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema.
Panya alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. "Subiri, siwezi kuacha maua yangu." Panya alijinyoosha, akayakusanya maua yake huku Kobe akimsubiri.
Kobe aliendelea kutembea akiwabeba Konokono, Ndege, Bunzi na Panya mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuipata nyumba ya Kobe. Upepo uliyapeperusha maua ya Panya. Kobe alikuwa amechoka sana. Akasema, "Ninyi ni wazito."
Upepo uliongezeka. Anga likabadilika likawa jeusi. "Ah, iwapi nyumba yangu?" Kobe aliuliza. Punde, radi ilinguruma milimani na umeme ukaangaza. Mara mvua ikaanza kunyesha. "Ah, iwapi nyumba ya Kobe?" Konokono, Ndege, Bunzi na Panya waliuliza.
Upepo ulizidi kuvuma na kuvuruga. Ghafla, upepo uliwapeperusha wote kutoka mgongoni mwa Kobe.
Mvua ya mawe ikaanza kunyesha. Kwa uoga, Kobe alijikunja na kuingia ndani ya gamba lake. Mle ndani mlikuwa joto. "Kumbe, hii ndiyo nyumba yangu!" Kobe aliwaza.
Konokono, Ndege, Bunzi na Panya walijikusanya chini ya gamba la Kobe. Wakatambua, "Ah, hii ndiyo nyumba ya Kobe!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumba ya Kobe Author - Maya Fowler Translation - Brigid Simiyu Illustration - Katrin Coetzer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Katrin Coetzer, Maya Fowler, Damian Gibbs, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org | Kobe alimwona nani mbele? | {
"text": [
"Konokono"
]
} |
2395_swa | Nyumba ya Kobe
Siku moja, Kobe alikuwa akitembea nyasini. Alichunguza mbele na kukodolea nyasi macho akamwona Konokono.
"Unatafuta nini?" Konokono alimwuliza. "Ninaitafuta nyumba yangu. Umeiona?"
Alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Konokono alipanda juu ya gamba la Kobe. Kobe alimbeba Konokono mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuiona.
Baada ya muda mfupi, walimwona Ndege. "Mnatafuta nini?" Ndege aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema. "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Ndege akajibu.
Ndege aliyapapatua mabawa yake na kupaa. "Unakwenda kwa kasi sana." Kobe alilalamika. Ndege akamwambia, "Samahani, wacha nami pia niruke juu ya gamba lako."
Kobe aliwabeba Konokono na Ndege juu ya gamba lake. Walitafuta bila kuona ishara ya nyumba ya Kobe.
Walipoendelea, walimwona Bunzi. "Mnatafuta nini?" Bunzi aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alijibu.
Bunzi alisema, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. Kobe aliwabeba Konokono, Ndege na Bunzi. Walitafuta, lakini hawakuona nyumba yoyote.
Hatua chache, walikutana na Panya. Alikuwa akitengeneza shada zuri la maua. "Unatafuta nini?" Panya aliuliza. "Natafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema.
Panya alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. "Subiri, siwezi kuacha maua yangu." Panya alijinyoosha, akayakusanya maua yake huku Kobe akimsubiri.
Kobe aliendelea kutembea akiwabeba Konokono, Ndege, Bunzi na Panya mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuipata nyumba ya Kobe. Upepo uliyapeperusha maua ya Panya. Kobe alikuwa amechoka sana. Akasema, "Ninyi ni wazito."
Upepo uliongezeka. Anga likabadilika likawa jeusi. "Ah, iwapi nyumba yangu?" Kobe aliuliza. Punde, radi ilinguruma milimani na umeme ukaangaza. Mara mvua ikaanza kunyesha. "Ah, iwapi nyumba ya Kobe?" Konokono, Ndege, Bunzi na Panya waliuliza.
Upepo ulizidi kuvuma na kuvuruga. Ghafla, upepo uliwapeperusha wote kutoka mgongoni mwa Kobe.
Mvua ya mawe ikaanza kunyesha. Kwa uoga, Kobe alijikunja na kuingia ndani ya gamba lake. Mle ndani mlikuwa joto. "Kumbe, hii ndiyo nyumba yangu!" Kobe aliwaza.
Konokono, Ndege, Bunzi na Panya walijikusanya chini ya gamba la Kobe. Wakatambua, "Ah, hii ndiyo nyumba ya Kobe!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumba ya Kobe Author - Maya Fowler Translation - Brigid Simiyu Illustration - Katrin Coetzer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Katrin Coetzer, Maya Fowler, Damian Gibbs, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org | Kobe alikuwa akitafuta nini? | {
"text": [
"Nyumba yake"
]
} |
2395_swa | Nyumba ya Kobe
Siku moja, Kobe alikuwa akitembea nyasini. Alichunguza mbele na kukodolea nyasi macho akamwona Konokono.
"Unatafuta nini?" Konokono alimwuliza. "Ninaitafuta nyumba yangu. Umeiona?"
Alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Konokono alipanda juu ya gamba la Kobe. Kobe alimbeba Konokono mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuiona.
Baada ya muda mfupi, walimwona Ndege. "Mnatafuta nini?" Ndege aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema. "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Ndege akajibu.
Ndege aliyapapatua mabawa yake na kupaa. "Unakwenda kwa kasi sana." Kobe alilalamika. Ndege akamwambia, "Samahani, wacha nami pia niruke juu ya gamba lako."
Kobe aliwabeba Konokono na Ndege juu ya gamba lake. Walitafuta bila kuona ishara ya nyumba ya Kobe.
Walipoendelea, walimwona Bunzi. "Mnatafuta nini?" Bunzi aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alijibu.
Bunzi alisema, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. Kobe aliwabeba Konokono, Ndege na Bunzi. Walitafuta, lakini hawakuona nyumba yoyote.
Hatua chache, walikutana na Panya. Alikuwa akitengeneza shada zuri la maua. "Unatafuta nini?" Panya aliuliza. "Natafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema.
Panya alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. "Subiri, siwezi kuacha maua yangu." Panya alijinyoosha, akayakusanya maua yake huku Kobe akimsubiri.
Kobe aliendelea kutembea akiwabeba Konokono, Ndege, Bunzi na Panya mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuipata nyumba ya Kobe. Upepo uliyapeperusha maua ya Panya. Kobe alikuwa amechoka sana. Akasema, "Ninyi ni wazito."
Upepo uliongezeka. Anga likabadilika likawa jeusi. "Ah, iwapi nyumba yangu?" Kobe aliuliza. Punde, radi ilinguruma milimani na umeme ukaangaza. Mara mvua ikaanza kunyesha. "Ah, iwapi nyumba ya Kobe?" Konokono, Ndege, Bunzi na Panya waliuliza.
Upepo ulizidi kuvuma na kuvuruga. Ghafla, upepo uliwapeperusha wote kutoka mgongoni mwa Kobe.
Mvua ya mawe ikaanza kunyesha. Kwa uoga, Kobe alijikunja na kuingia ndani ya gamba lake. Mle ndani mlikuwa joto. "Kumbe, hii ndiyo nyumba yangu!" Kobe aliwaza.
Konokono, Ndege, Bunzi na Panya walijikusanya chini ya gamba la Kobe. Wakatambua, "Ah, hii ndiyo nyumba ya Kobe!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumba ya Kobe Author - Maya Fowler Translation - Brigid Simiyu Illustration - Katrin Coetzer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Katrin Coetzer, Maya Fowler, Damian Gibbs, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org | Panya alikuwa akitengeneza nini? | {
"text": [
"Shada la maua"
]
} |
2395_swa | Nyumba ya Kobe
Siku moja, Kobe alikuwa akitembea nyasini. Alichunguza mbele na kukodolea nyasi macho akamwona Konokono.
"Unatafuta nini?" Konokono alimwuliza. "Ninaitafuta nyumba yangu. Umeiona?"
Alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Konokono alipanda juu ya gamba la Kobe. Kobe alimbeba Konokono mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuiona.
Baada ya muda mfupi, walimwona Ndege. "Mnatafuta nini?" Ndege aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema. "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Ndege akajibu.
Ndege aliyapapatua mabawa yake na kupaa. "Unakwenda kwa kasi sana." Kobe alilalamika. Ndege akamwambia, "Samahani, wacha nami pia niruke juu ya gamba lako."
Kobe aliwabeba Konokono na Ndege juu ya gamba lake. Walitafuta bila kuona ishara ya nyumba ya Kobe.
Walipoendelea, walimwona Bunzi. "Mnatafuta nini?" Bunzi aliwauliza. "Ninatafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alijibu.
Bunzi alisema, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. Kobe aliwabeba Konokono, Ndege na Bunzi. Walitafuta, lakini hawakuona nyumba yoyote.
Hatua chache, walikutana na Panya. Alikuwa akitengeneza shada zuri la maua. "Unatafuta nini?" Panya aliuliza. "Natafuta nyumba yangu. Umeiona?" Kobe alisema.
Panya alijibu, "La, sijaiona, lakini nitakusaidia kuitafuta!" Aliruka mgongoni mwa Kobe. "Subiri, siwezi kuacha maua yangu." Panya alijinyoosha, akayakusanya maua yake huku Kobe akimsubiri.
Kobe aliendelea kutembea akiwabeba Konokono, Ndege, Bunzi na Panya mgongoni mwake. Walitafuta, lakini hawakuipata nyumba ya Kobe. Upepo uliyapeperusha maua ya Panya. Kobe alikuwa amechoka sana. Akasema, "Ninyi ni wazito."
Upepo uliongezeka. Anga likabadilika likawa jeusi. "Ah, iwapi nyumba yangu?" Kobe aliuliza. Punde, radi ilinguruma milimani na umeme ukaangaza. Mara mvua ikaanza kunyesha. "Ah, iwapi nyumba ya Kobe?" Konokono, Ndege, Bunzi na Panya waliuliza.
Upepo ulizidi kuvuma na kuvuruga. Ghafla, upepo uliwapeperusha wote kutoka mgongoni mwa Kobe.
Mvua ya mawe ikaanza kunyesha. Kwa uoga, Kobe alijikunja na kuingia ndani ya gamba lake. Mle ndani mlikuwa joto. "Kumbe, hii ndiyo nyumba yangu!" Kobe aliwaza.
Konokono, Ndege, Bunzi na Panya walijikusanya chini ya gamba la Kobe. Wakatambua, "Ah, hii ndiyo nyumba ya Kobe!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumba ya Kobe Author - Maya Fowler Translation - Brigid Simiyu Illustration - Katrin Coetzer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Katrin Coetzer, Maya Fowler, Damian Gibbs, Bookdash.org and African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.bookdash.org | Nini iliondoa wanyama wote mgongoni mwa kobe? | {
"text": [
"Upepo"
]
} |
2396_swa | Nyumbu
Hapo zamani, kulikuwa na nyumbu mrembo. Aliitwa Waridi.
Farasi mwenye umbo zuri alisema, "Lazima nimwoe Waridi."
Farasi alimwambia Waridi, "Twende mtoni pamoja."
Farasi alimwuliza Waridi kuwa mke wake. Waridi alikubali.
Farasi alitaka kumfahamu Waridi zaidi. Alimwuliza, "Wazazi wako ni nani?"
Waridi alijibu, "Mama yangu anaishi katika ikulu ya mfalme."
"Dada yangu anaishi katika uwanja wa kanisa. Kwani humjui?"
Aliongeza, "Shangazi yangu mrembo anaishi na mzee wa kijiji."
Wakati huo, punda mzee alipita. Alikuwa babake Waridi.
Waridi hakumsalimu babake wala hakumtazama.
Punda yule mzee akauliza, "Kuna nini binti yangu?"
Farasi alimwuliza Waridi, "Huyu punda mjinga ni nani?"
Waridi alimjibu, "Mimi simjui."
Farasi alimpiga teke yule punda mzee.
Punda mzee alivunjika moyo. Alilia kisha akafa.
Waridi hakumheshimu babake. Hii ndiyo sababu nyumbu hawazai watoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumbu Author - Mesfin Habte-Mariam and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Nyumbu mrembo aliitwa nani | {
"text": [
"Waridi"
]
} |
2396_swa | Nyumbu
Hapo zamani, kulikuwa na nyumbu mrembo. Aliitwa Waridi.
Farasi mwenye umbo zuri alisema, "Lazima nimwoe Waridi."
Farasi alimwambia Waridi, "Twende mtoni pamoja."
Farasi alimwuliza Waridi kuwa mke wake. Waridi alikubali.
Farasi alitaka kumfahamu Waridi zaidi. Alimwuliza, "Wazazi wako ni nani?"
Waridi alijibu, "Mama yangu anaishi katika ikulu ya mfalme."
"Dada yangu anaishi katika uwanja wa kanisa. Kwani humjui?"
Aliongeza, "Shangazi yangu mrembo anaishi na mzee wa kijiji."
Wakati huo, punda mzee alipita. Alikuwa babake Waridi.
Waridi hakumsalimu babake wala hakumtazama.
Punda yule mzee akauliza, "Kuna nini binti yangu?"
Farasi alimwuliza Waridi, "Huyu punda mjinga ni nani?"
Waridi alimjibu, "Mimi simjui."
Farasi alimpiga teke yule punda mzee.
Punda mzee alivunjika moyo. Alilia kisha akafa.
Waridi hakumheshimu babake. Hii ndiyo sababu nyumbu hawazai watoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumbu Author - Mesfin Habte-Mariam and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Farasi mwenye umbo zuri alisema nini | {
"text": [
"Lazima nimwoe Waridi"
]
} |
2396_swa | Nyumbu
Hapo zamani, kulikuwa na nyumbu mrembo. Aliitwa Waridi.
Farasi mwenye umbo zuri alisema, "Lazima nimwoe Waridi."
Farasi alimwambia Waridi, "Twende mtoni pamoja."
Farasi alimwuliza Waridi kuwa mke wake. Waridi alikubali.
Farasi alitaka kumfahamu Waridi zaidi. Alimwuliza, "Wazazi wako ni nani?"
Waridi alijibu, "Mama yangu anaishi katika ikulu ya mfalme."
"Dada yangu anaishi katika uwanja wa kanisa. Kwani humjui?"
Aliongeza, "Shangazi yangu mrembo anaishi na mzee wa kijiji."
Wakati huo, punda mzee alipita. Alikuwa babake Waridi.
Waridi hakumsalimu babake wala hakumtazama.
Punda yule mzee akauliza, "Kuna nini binti yangu?"
Farasi alimwuliza Waridi, "Huyu punda mjinga ni nani?"
Waridi alimjibu, "Mimi simjui."
Farasi alimpiga teke yule punda mzee.
Punda mzee alivunjika moyo. Alilia kisha akafa.
Waridi hakumheshimu babake. Hii ndiyo sababu nyumbu hawazai watoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumbu Author - Mesfin Habte-Mariam and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Nani alitaka kumfahamu Waridi zaidi | {
"text": [
"Farasi"
]
} |
2396_swa | Nyumbu
Hapo zamani, kulikuwa na nyumbu mrembo. Aliitwa Waridi.
Farasi mwenye umbo zuri alisema, "Lazima nimwoe Waridi."
Farasi alimwambia Waridi, "Twende mtoni pamoja."
Farasi alimwuliza Waridi kuwa mke wake. Waridi alikubali.
Farasi alitaka kumfahamu Waridi zaidi. Alimwuliza, "Wazazi wako ni nani?"
Waridi alijibu, "Mama yangu anaishi katika ikulu ya mfalme."
"Dada yangu anaishi katika uwanja wa kanisa. Kwani humjui?"
Aliongeza, "Shangazi yangu mrembo anaishi na mzee wa kijiji."
Wakati huo, punda mzee alipita. Alikuwa babake Waridi.
Waridi hakumsalimu babake wala hakumtazama.
Punda yule mzee akauliza, "Kuna nini binti yangu?"
Farasi alimwuliza Waridi, "Huyu punda mjinga ni nani?"
Waridi alimjibu, "Mimi simjui."
Farasi alimpiga teke yule punda mzee.
Punda mzee alivunjika moyo. Alilia kisha akafa.
Waridi hakumheshimu babake. Hii ndiyo sababu nyumbu hawazai watoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumbu Author - Mesfin Habte-Mariam and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Nani alilia kisha akafa | {
"text": [
"Punda mzee"
]
} |
2396_swa | Nyumbu
Hapo zamani, kulikuwa na nyumbu mrembo. Aliitwa Waridi.
Farasi mwenye umbo zuri alisema, "Lazima nimwoe Waridi."
Farasi alimwambia Waridi, "Twende mtoni pamoja."
Farasi alimwuliza Waridi kuwa mke wake. Waridi alikubali.
Farasi alitaka kumfahamu Waridi zaidi. Alimwuliza, "Wazazi wako ni nani?"
Waridi alijibu, "Mama yangu anaishi katika ikulu ya mfalme."
"Dada yangu anaishi katika uwanja wa kanisa. Kwani humjui?"
Aliongeza, "Shangazi yangu mrembo anaishi na mzee wa kijiji."
Wakati huo, punda mzee alipita. Alikuwa babake Waridi.
Waridi hakumsalimu babake wala hakumtazama.
Punda yule mzee akauliza, "Kuna nini binti yangu?"
Farasi alimwuliza Waridi, "Huyu punda mjinga ni nani?"
Waridi alimjibu, "Mimi simjui."
Farasi alimpiga teke yule punda mzee.
Punda mzee alivunjika moyo. Alilia kisha akafa.
Waridi hakumheshimu babake. Hii ndiyo sababu nyumbu hawazai watoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyumbu Author - Mesfin Habte-Mariam and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini nyumbu hawazai watoto | {
"text": [
"Kwa sababu Waridi hakumheshimu babake"
]
} |
2399_swa | Pa Nase buibui, na wanawake
Hapo zamani, kulikuwa na buibui aliyeitwa Pa Nase. Alihisi njaa sana akaamua kutafuta chakula. Alienda kwa rafikiye aliyekuwa akimpa masaada. Lakini rafikiye hakuwa nyumbani.
Pa Nase, alikuwa na wazo tofauti la kuweza kupata chakula. Alikumbuka kuwa mle kijijini, kulikuwa na ghala ambamo wanawake wa kijijini walikuwa wakihifadhi chakula chao.
Alinyatia akaingia katika lile ghala na kuiba samaki na ndizi.
Alipokuwa njiani akirudi, watoto waliona namna alivyotembea kwa njia isiyokuwa ya kawaida. Wanawake walipojua, walimfuata Pa Nase kwa haraka.
Akiwa na mifuko iliyojaa, Pa Nase aliogopa akataka kukimbia. Wanawake walimshika wakaamua kumuadhibu.
"Hebu tumsagie kwenye lile jiwe la kijijini," Yalol, mmoja wa wanawake alipendekeza.
Pa Nase alicheka kwa sauti akasema, "Babu yangu huishi kwenye lile jiwe. Kunisagia pale ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliamua kutomsaga.
"Tumtupe motoni," Betty akasema. Pa Nase alicheka tena, akasema, "Bibi, yangu anayenipenda sana, ni mwenye mioto yote. Kunitupa motoni ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliudhika sana.
"Tukijaze kikapu matunda, tumweke ndani kisha tukitupe mtoni," Yabana alipendekeza. Pa Nase alilia, "Mkifanya hivyo, mtaniua." Wanawake walifurahi. Walikijaza kikapu matunda, wakamweka ndani kisha wakakitupa mtoni.
Pa Nase alipofika katikati ya mto, alisherehekea. Aliyachukua baadhi ya matunda na kuyala huku akiwacheka wale wanawake.
Wanawake wale walijua kuwa Pa Nase alikuwa amewadanganya. Walijaribu kumnasa, lakini hawakuweza kwani Pa Nase alisombwa haraka kwa maji.
Pa Nase alisahau kuwa kulikuwa na wavu sehemu ya chini ya mto. Alinaswa kwenye wavu ule akawa ametegwa. Hakuna aliyeenda kumsaidia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pa Nase buibui, na wanawake Author - Abdul Koroma Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pa Nase aliingia katika ghala na kuiba nini | {
"text": [
"samaki na ndizi"
]
} |
2399_swa | Pa Nase buibui, na wanawake
Hapo zamani, kulikuwa na buibui aliyeitwa Pa Nase. Alihisi njaa sana akaamua kutafuta chakula. Alienda kwa rafikiye aliyekuwa akimpa masaada. Lakini rafikiye hakuwa nyumbani.
Pa Nase, alikuwa na wazo tofauti la kuweza kupata chakula. Alikumbuka kuwa mle kijijini, kulikuwa na ghala ambamo wanawake wa kijijini walikuwa wakihifadhi chakula chao.
Alinyatia akaingia katika lile ghala na kuiba samaki na ndizi.
Alipokuwa njiani akirudi, watoto waliona namna alivyotembea kwa njia isiyokuwa ya kawaida. Wanawake walipojua, walimfuata Pa Nase kwa haraka.
Akiwa na mifuko iliyojaa, Pa Nase aliogopa akataka kukimbia. Wanawake walimshika wakaamua kumuadhibu.
"Hebu tumsagie kwenye lile jiwe la kijijini," Yalol, mmoja wa wanawake alipendekeza.
Pa Nase alicheka kwa sauti akasema, "Babu yangu huishi kwenye lile jiwe. Kunisagia pale ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliamua kutomsaga.
"Tumtupe motoni," Betty akasema. Pa Nase alicheka tena, akasema, "Bibi, yangu anayenipenda sana, ni mwenye mioto yote. Kunitupa motoni ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliudhika sana.
"Tukijaze kikapu matunda, tumweke ndani kisha tukitupe mtoni," Yabana alipendekeza. Pa Nase alilia, "Mkifanya hivyo, mtaniua." Wanawake walifurahi. Walikijaza kikapu matunda, wakamweka ndani kisha wakakitupa mtoni.
Pa Nase alipofika katikati ya mto, alisherehekea. Aliyachukua baadhi ya matunda na kuyala huku akiwacheka wale wanawake.
Wanawake wale walijua kuwa Pa Nase alikuwa amewadanganya. Walijaribu kumnasa, lakini hawakuweza kwani Pa Nase alisombwa haraka kwa maji.
Pa Nase alisahau kuwa kulikuwa na wavu sehemu ya chini ya mto. Alinaswa kwenye wavu ule akawa ametegwa. Hakuna aliyeenda kumsaidia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pa Nase buibui, na wanawake Author - Abdul Koroma Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alisema wamtupe Pa Nase motoni | {
"text": [
"Betty"
]
} |
2399_swa | Pa Nase buibui, na wanawake
Hapo zamani, kulikuwa na buibui aliyeitwa Pa Nase. Alihisi njaa sana akaamua kutafuta chakula. Alienda kwa rafikiye aliyekuwa akimpa masaada. Lakini rafikiye hakuwa nyumbani.
Pa Nase, alikuwa na wazo tofauti la kuweza kupata chakula. Alikumbuka kuwa mle kijijini, kulikuwa na ghala ambamo wanawake wa kijijini walikuwa wakihifadhi chakula chao.
Alinyatia akaingia katika lile ghala na kuiba samaki na ndizi.
Alipokuwa njiani akirudi, watoto waliona namna alivyotembea kwa njia isiyokuwa ya kawaida. Wanawake walipojua, walimfuata Pa Nase kwa haraka.
Akiwa na mifuko iliyojaa, Pa Nase aliogopa akataka kukimbia. Wanawake walimshika wakaamua kumuadhibu.
"Hebu tumsagie kwenye lile jiwe la kijijini," Yalol, mmoja wa wanawake alipendekeza.
Pa Nase alicheka kwa sauti akasema, "Babu yangu huishi kwenye lile jiwe. Kunisagia pale ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliamua kutomsaga.
"Tumtupe motoni," Betty akasema. Pa Nase alicheka tena, akasema, "Bibi, yangu anayenipenda sana, ni mwenye mioto yote. Kunitupa motoni ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliudhika sana.
"Tukijaze kikapu matunda, tumweke ndani kisha tukitupe mtoni," Yabana alipendekeza. Pa Nase alilia, "Mkifanya hivyo, mtaniua." Wanawake walifurahi. Walikijaza kikapu matunda, wakamweka ndani kisha wakakitupa mtoni.
Pa Nase alipofika katikati ya mto, alisherehekea. Aliyachukua baadhi ya matunda na kuyala huku akiwacheka wale wanawake.
Wanawake wale walijua kuwa Pa Nase alikuwa amewadanganya. Walijaribu kumnasa, lakini hawakuweza kwani Pa Nase alisombwa haraka kwa maji.
Pa Nase alisahau kuwa kulikuwa na wavu sehemu ya chini ya mto. Alinaswa kwenye wavu ule akawa ametegwa. Hakuna aliyeenda kumsaidia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pa Nase buibui, na wanawake Author - Abdul Koroma Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pa Nase aliwaambia ni nani huishi kwenye lile jiwe | {
"text": [
"Babu yake"
]
} |
2399_swa | Pa Nase buibui, na wanawake
Hapo zamani, kulikuwa na buibui aliyeitwa Pa Nase. Alihisi njaa sana akaamua kutafuta chakula. Alienda kwa rafikiye aliyekuwa akimpa masaada. Lakini rafikiye hakuwa nyumbani.
Pa Nase, alikuwa na wazo tofauti la kuweza kupata chakula. Alikumbuka kuwa mle kijijini, kulikuwa na ghala ambamo wanawake wa kijijini walikuwa wakihifadhi chakula chao.
Alinyatia akaingia katika lile ghala na kuiba samaki na ndizi.
Alipokuwa njiani akirudi, watoto waliona namna alivyotembea kwa njia isiyokuwa ya kawaida. Wanawake walipojua, walimfuata Pa Nase kwa haraka.
Akiwa na mifuko iliyojaa, Pa Nase aliogopa akataka kukimbia. Wanawake walimshika wakaamua kumuadhibu.
"Hebu tumsagie kwenye lile jiwe la kijijini," Yalol, mmoja wa wanawake alipendekeza.
Pa Nase alicheka kwa sauti akasema, "Babu yangu huishi kwenye lile jiwe. Kunisagia pale ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliamua kutomsaga.
"Tumtupe motoni," Betty akasema. Pa Nase alicheka tena, akasema, "Bibi, yangu anayenipenda sana, ni mwenye mioto yote. Kunitupa motoni ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliudhika sana.
"Tukijaze kikapu matunda, tumweke ndani kisha tukitupe mtoni," Yabana alipendekeza. Pa Nase alilia, "Mkifanya hivyo, mtaniua." Wanawake walifurahi. Walikijaza kikapu matunda, wakamweka ndani kisha wakakitupa mtoni.
Pa Nase alipofika katikati ya mto, alisherehekea. Aliyachukua baadhi ya matunda na kuyala huku akiwacheka wale wanawake.
Wanawake wale walijua kuwa Pa Nase alikuwa amewadanganya. Walijaribu kumnasa, lakini hawakuweza kwani Pa Nase alisombwa haraka kwa maji.
Pa Nase alisahau kuwa kulikuwa na wavu sehemu ya chini ya mto. Alinaswa kwenye wavu ule akawa ametegwa. Hakuna aliyeenda kumsaidia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pa Nase buibui, na wanawake Author - Abdul Koroma Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pa Nase aliiba samaki na ndizi lini | {
"text": [
"alipoingia katika ghala"
]
} |
2399_swa | Pa Nase buibui, na wanawake
Hapo zamani, kulikuwa na buibui aliyeitwa Pa Nase. Alihisi njaa sana akaamua kutafuta chakula. Alienda kwa rafikiye aliyekuwa akimpa masaada. Lakini rafikiye hakuwa nyumbani.
Pa Nase, alikuwa na wazo tofauti la kuweza kupata chakula. Alikumbuka kuwa mle kijijini, kulikuwa na ghala ambamo wanawake wa kijijini walikuwa wakihifadhi chakula chao.
Alinyatia akaingia katika lile ghala na kuiba samaki na ndizi.
Alipokuwa njiani akirudi, watoto waliona namna alivyotembea kwa njia isiyokuwa ya kawaida. Wanawake walipojua, walimfuata Pa Nase kwa haraka.
Akiwa na mifuko iliyojaa, Pa Nase aliogopa akataka kukimbia. Wanawake walimshika wakaamua kumuadhibu.
"Hebu tumsagie kwenye lile jiwe la kijijini," Yalol, mmoja wa wanawake alipendekeza.
Pa Nase alicheka kwa sauti akasema, "Babu yangu huishi kwenye lile jiwe. Kunisagia pale ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliamua kutomsaga.
"Tumtupe motoni," Betty akasema. Pa Nase alicheka tena, akasema, "Bibi, yangu anayenipenda sana, ni mwenye mioto yote. Kunitupa motoni ni kama kunituma nyumbani. Asanteni!" Wanawake waliudhika sana.
"Tukijaze kikapu matunda, tumweke ndani kisha tukitupe mtoni," Yabana alipendekeza. Pa Nase alilia, "Mkifanya hivyo, mtaniua." Wanawake walifurahi. Walikijaza kikapu matunda, wakamweka ndani kisha wakakitupa mtoni.
Pa Nase alipofika katikati ya mto, alisherehekea. Aliyachukua baadhi ya matunda na kuyala huku akiwacheka wale wanawake.
Wanawake wale walijua kuwa Pa Nase alikuwa amewadanganya. Walijaribu kumnasa, lakini hawakuweza kwani Pa Nase alisombwa haraka kwa maji.
Pa Nase alisahau kuwa kulikuwa na wavu sehemu ya chini ya mto. Alinaswa kwenye wavu ule akawa ametegwa. Hakuna aliyeenda kumsaidia.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pa Nase buibui, na wanawake Author - Abdul Koroma Translation - Ursula Nafula Illustration - Kenneth Boyowa Okitikpi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini wanawake walimfuata Pa Nase kwa haraka | {
"text": [
"kwa kuwa alitembea kwa njia isiyokuwa ya kawaida"
]
} |
2402_swa | Paka mwerevu na Mbwa mjinga
Hapo kale, kulikuwa na Paka mwerevu na Mbwa mjinga. Paka mwerevu aliishi vizuri katika nyumba ya kifahari. Mbwa mjinga alihisi njaa mtaani.
"Inawezekanaje familia tajiri kukuruhusu kuishi nyumbani kwao?" Mbwa mjinga alimwuliza yule Paka mwerevu kwa hasira.
Paka mwerevu alijibu, "Ninaishi na watu kwa sababu mimi ni nadhifu. Ninajua kuzika kinyesi changu. Nikihitaji chakula, mimi husema, miau."
"Je, mimi pia nikifanya hivyo wataniruhusu niishi nyumbani kwao?" Mbwa akamwuliza. Paka akajibu, "Ndiyo, fanya nilivyokueleza na watakuruhusu. Watakupatia chakula vilevile."
Kabla ya mazungumzo hayo, Mbwa mjinga alikuwa akitaka kumla Paka mwerevu. Baada ya mazungumzao, alisema, "Leo, sitakuumiza." Paka aliwaza, "Lo! Nimeponea chupuchupu. Sitaki kukutana naye tena."
Mbwa mjinga alifuata ushauri aliopewa na Paka mwerevu. Alikwenda nyumbani kwa tajiri akabweka kwa sauti pale mlangoni.
Mwenye nyumba alitoka akampiga kwa fimbo. "Huyu Paka amenidanganya. Nikimpata, nitamla." Mbwa mjinga alinung'unika.
Baadaye, Paka mwerevu alipokuwa akicheza nje ya nyumba, Mbwa mjinga alimwambia, "Wakati ule ulinidanganya. Nilibweke mlangoni ulivyonishauri na mwenye nyumba akanipiga. Sasa nitakula."
Paka mwerevu akamjibu, "Mbwa, nisikize. Ni sawa utanila. Lakini, kwanza niache nicheze. Mimi humuacha panya acheze kwanza ndivyo nimle."
Mbwa mjinga alimwuliza, "Panya huchezaje?" Paka akamjibu, "Mimi humwuliza ahesabu hadi tatu. Kisha humkamata anapokuwa anahesabu."
Basi Mbwa mjinga akamwacha Paka mwerevu huru. Kisha akamwambia ahesabu hadi tatu. Paka mwerevu alitoroka akapanda juu ya mti. Mbwa akamwita Paka mwerevu, "Shuka, rudi hapa uhesabu hadi tatu."
Paka mwerevu akamjibu, "Sikiza Mbwa, hutawahi kunishika tena. Mimi si mjinga. Unaweza kuhesabu hadi mia moja, elfu au milioni, lakini hutawahi kunipata tena!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka mwerevu na Mbwa mjinga Author - Solomon Abreha and Teki'a Gebrehiwot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbwa alihisi nini mtaani | {
"text": [
"Njaa"
]
} |
2402_swa | Paka mwerevu na Mbwa mjinga
Hapo kale, kulikuwa na Paka mwerevu na Mbwa mjinga. Paka mwerevu aliishi vizuri katika nyumba ya kifahari. Mbwa mjinga alihisi njaa mtaani.
"Inawezekanaje familia tajiri kukuruhusu kuishi nyumbani kwao?" Mbwa mjinga alimwuliza yule Paka mwerevu kwa hasira.
Paka mwerevu alijibu, "Ninaishi na watu kwa sababu mimi ni nadhifu. Ninajua kuzika kinyesi changu. Nikihitaji chakula, mimi husema, miau."
"Je, mimi pia nikifanya hivyo wataniruhusu niishi nyumbani kwao?" Mbwa akamwuliza. Paka akajibu, "Ndiyo, fanya nilivyokueleza na watakuruhusu. Watakupatia chakula vilevile."
Kabla ya mazungumzo hayo, Mbwa mjinga alikuwa akitaka kumla Paka mwerevu. Baada ya mazungumzao, alisema, "Leo, sitakuumiza." Paka aliwaza, "Lo! Nimeponea chupuchupu. Sitaki kukutana naye tena."
Mbwa mjinga alifuata ushauri aliopewa na Paka mwerevu. Alikwenda nyumbani kwa tajiri akabweka kwa sauti pale mlangoni.
Mwenye nyumba alitoka akampiga kwa fimbo. "Huyu Paka amenidanganya. Nikimpata, nitamla." Mbwa mjinga alinung'unika.
Baadaye, Paka mwerevu alipokuwa akicheza nje ya nyumba, Mbwa mjinga alimwambia, "Wakati ule ulinidanganya. Nilibweke mlangoni ulivyonishauri na mwenye nyumba akanipiga. Sasa nitakula."
Paka mwerevu akamjibu, "Mbwa, nisikize. Ni sawa utanila. Lakini, kwanza niache nicheze. Mimi humuacha panya acheze kwanza ndivyo nimle."
Mbwa mjinga alimwuliza, "Panya huchezaje?" Paka akamjibu, "Mimi humwuliza ahesabu hadi tatu. Kisha humkamata anapokuwa anahesabu."
Basi Mbwa mjinga akamwacha Paka mwerevu huru. Kisha akamwambia ahesabu hadi tatu. Paka mwerevu alitoroka akapanda juu ya mti. Mbwa akamwita Paka mwerevu, "Shuka, rudi hapa uhesabu hadi tatu."
Paka mwerevu akamjibu, "Sikiza Mbwa, hutawahi kunishika tena. Mimi si mjinga. Unaweza kuhesabu hadi mia moja, elfu au milioni, lakini hutawahi kunipata tena!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka mwerevu na Mbwa mjinga Author - Solomon Abreha and Teki'a Gebrehiwot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Paka mwerevu anajua kuzika nini | {
"text": [
"Kinyesi"
]
} |
2402_swa | Paka mwerevu na Mbwa mjinga
Hapo kale, kulikuwa na Paka mwerevu na Mbwa mjinga. Paka mwerevu aliishi vizuri katika nyumba ya kifahari. Mbwa mjinga alihisi njaa mtaani.
"Inawezekanaje familia tajiri kukuruhusu kuishi nyumbani kwao?" Mbwa mjinga alimwuliza yule Paka mwerevu kwa hasira.
Paka mwerevu alijibu, "Ninaishi na watu kwa sababu mimi ni nadhifu. Ninajua kuzika kinyesi changu. Nikihitaji chakula, mimi husema, miau."
"Je, mimi pia nikifanya hivyo wataniruhusu niishi nyumbani kwao?" Mbwa akamwuliza. Paka akajibu, "Ndiyo, fanya nilivyokueleza na watakuruhusu. Watakupatia chakula vilevile."
Kabla ya mazungumzo hayo, Mbwa mjinga alikuwa akitaka kumla Paka mwerevu. Baada ya mazungumzao, alisema, "Leo, sitakuumiza." Paka aliwaza, "Lo! Nimeponea chupuchupu. Sitaki kukutana naye tena."
Mbwa mjinga alifuata ushauri aliopewa na Paka mwerevu. Alikwenda nyumbani kwa tajiri akabweka kwa sauti pale mlangoni.
Mwenye nyumba alitoka akampiga kwa fimbo. "Huyu Paka amenidanganya. Nikimpata, nitamla." Mbwa mjinga alinung'unika.
Baadaye, Paka mwerevu alipokuwa akicheza nje ya nyumba, Mbwa mjinga alimwambia, "Wakati ule ulinidanganya. Nilibweke mlangoni ulivyonishauri na mwenye nyumba akanipiga. Sasa nitakula."
Paka mwerevu akamjibu, "Mbwa, nisikize. Ni sawa utanila. Lakini, kwanza niache nicheze. Mimi humuacha panya acheze kwanza ndivyo nimle."
Mbwa mjinga alimwuliza, "Panya huchezaje?" Paka akamjibu, "Mimi humwuliza ahesabu hadi tatu. Kisha humkamata anapokuwa anahesabu."
Basi Mbwa mjinga akamwacha Paka mwerevu huru. Kisha akamwambia ahesabu hadi tatu. Paka mwerevu alitoroka akapanda juu ya mti. Mbwa akamwita Paka mwerevu, "Shuka, rudi hapa uhesabu hadi tatu."
Paka mwerevu akamjibu, "Sikiza Mbwa, hutawahi kunishika tena. Mimi si mjinga. Unaweza kuhesabu hadi mia moja, elfu au milioni, lakini hutawahi kunipata tena!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka mwerevu na Mbwa mjinga Author - Solomon Abreha and Teki'a Gebrehiwot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mwenye nyumba alimpiga mbwa kwa nini | {
"text": [
"Fimbo"
]
} |
2402_swa | Paka mwerevu na Mbwa mjinga
Hapo kale, kulikuwa na Paka mwerevu na Mbwa mjinga. Paka mwerevu aliishi vizuri katika nyumba ya kifahari. Mbwa mjinga alihisi njaa mtaani.
"Inawezekanaje familia tajiri kukuruhusu kuishi nyumbani kwao?" Mbwa mjinga alimwuliza yule Paka mwerevu kwa hasira.
Paka mwerevu alijibu, "Ninaishi na watu kwa sababu mimi ni nadhifu. Ninajua kuzika kinyesi changu. Nikihitaji chakula, mimi husema, miau."
"Je, mimi pia nikifanya hivyo wataniruhusu niishi nyumbani kwao?" Mbwa akamwuliza. Paka akajibu, "Ndiyo, fanya nilivyokueleza na watakuruhusu. Watakupatia chakula vilevile."
Kabla ya mazungumzo hayo, Mbwa mjinga alikuwa akitaka kumla Paka mwerevu. Baada ya mazungumzao, alisema, "Leo, sitakuumiza." Paka aliwaza, "Lo! Nimeponea chupuchupu. Sitaki kukutana naye tena."
Mbwa mjinga alifuata ushauri aliopewa na Paka mwerevu. Alikwenda nyumbani kwa tajiri akabweka kwa sauti pale mlangoni.
Mwenye nyumba alitoka akampiga kwa fimbo. "Huyu Paka amenidanganya. Nikimpata, nitamla." Mbwa mjinga alinung'unika.
Baadaye, Paka mwerevu alipokuwa akicheza nje ya nyumba, Mbwa mjinga alimwambia, "Wakati ule ulinidanganya. Nilibweke mlangoni ulivyonishauri na mwenye nyumba akanipiga. Sasa nitakula."
Paka mwerevu akamjibu, "Mbwa, nisikize. Ni sawa utanila. Lakini, kwanza niache nicheze. Mimi humuacha panya acheze kwanza ndivyo nimle."
Mbwa mjinga alimwuliza, "Panya huchezaje?" Paka akamjibu, "Mimi humwuliza ahesabu hadi tatu. Kisha humkamata anapokuwa anahesabu."
Basi Mbwa mjinga akamwacha Paka mwerevu huru. Kisha akamwambia ahesabu hadi tatu. Paka mwerevu alitoroka akapanda juu ya mti. Mbwa akamwita Paka mwerevu, "Shuka, rudi hapa uhesabu hadi tatu."
Paka mwerevu akamjibu, "Sikiza Mbwa, hutawahi kunishika tena. Mimi si mjinga. Unaweza kuhesabu hadi mia moja, elfu au milioni, lakini hutawahi kunipata tena!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka mwerevu na Mbwa mjinga Author - Solomon Abreha and Teki'a Gebrehiwot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Paka humuuliza panya ahesabu hadi ngapi | {
"text": [
"Tatu"
]
} |
2402_swa | Paka mwerevu na Mbwa mjinga
Hapo kale, kulikuwa na Paka mwerevu na Mbwa mjinga. Paka mwerevu aliishi vizuri katika nyumba ya kifahari. Mbwa mjinga alihisi njaa mtaani.
"Inawezekanaje familia tajiri kukuruhusu kuishi nyumbani kwao?" Mbwa mjinga alimwuliza yule Paka mwerevu kwa hasira.
Paka mwerevu alijibu, "Ninaishi na watu kwa sababu mimi ni nadhifu. Ninajua kuzika kinyesi changu. Nikihitaji chakula, mimi husema, miau."
"Je, mimi pia nikifanya hivyo wataniruhusu niishi nyumbani kwao?" Mbwa akamwuliza. Paka akajibu, "Ndiyo, fanya nilivyokueleza na watakuruhusu. Watakupatia chakula vilevile."
Kabla ya mazungumzo hayo, Mbwa mjinga alikuwa akitaka kumla Paka mwerevu. Baada ya mazungumzao, alisema, "Leo, sitakuumiza." Paka aliwaza, "Lo! Nimeponea chupuchupu. Sitaki kukutana naye tena."
Mbwa mjinga alifuata ushauri aliopewa na Paka mwerevu. Alikwenda nyumbani kwa tajiri akabweka kwa sauti pale mlangoni.
Mwenye nyumba alitoka akampiga kwa fimbo. "Huyu Paka amenidanganya. Nikimpata, nitamla." Mbwa mjinga alinung'unika.
Baadaye, Paka mwerevu alipokuwa akicheza nje ya nyumba, Mbwa mjinga alimwambia, "Wakati ule ulinidanganya. Nilibweke mlangoni ulivyonishauri na mwenye nyumba akanipiga. Sasa nitakula."
Paka mwerevu akamjibu, "Mbwa, nisikize. Ni sawa utanila. Lakini, kwanza niache nicheze. Mimi humuacha panya acheze kwanza ndivyo nimle."
Mbwa mjinga alimwuliza, "Panya huchezaje?" Paka akamjibu, "Mimi humwuliza ahesabu hadi tatu. Kisha humkamata anapokuwa anahesabu."
Basi Mbwa mjinga akamwacha Paka mwerevu huru. Kisha akamwambia ahesabu hadi tatu. Paka mwerevu alitoroka akapanda juu ya mti. Mbwa akamwita Paka mwerevu, "Shuka, rudi hapa uhesabu hadi tatu."
Paka mwerevu akamjibu, "Sikiza Mbwa, hutawahi kunishika tena. Mimi si mjinga. Unaweza kuhesabu hadi mia moja, elfu au milioni, lakini hutawahi kunipata tena!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka mwerevu na Mbwa mjinga Author - Solomon Abreha and Teki'a Gebrehiwot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini paka alipanda juu ya mti | {
"text": [
"Asiliwe na panya"
]
} |
2403_swa | Paka na Mbwa na Yai
Huyu ni Paka. Huyu ni Mbwa.
Paka na Mbwa wanatembea. Wanatembea kijijini kwao.
Kisha wanaliona yai. Yai liko nyasini. Yai liko peke yake nyasini. Yai liko peke yake.
Paka na Mbwa wanamwendea ndege. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini ndege anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bundi. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bundi. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bundi anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bata bukini. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bata bukini. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bata bukini anasema, "La, hilo si yai langu. Waulize wale bata wawili. Labda yai ni lao."
Paka na Mbwa wanawaendea wale bata wawili. Wanawauliza, "Yai hili ni lenu?"
Lakini wale bata wawili wanasema, "La, hilo si yai letu." Halafu, yai linavunjika.
Wanamwona mjusi kwenye yai. Mjusi mtoto.
Mjusi mtoto anasema, "Mama yangu yuko wapi? Baba yangu yuko wapi? Wapi baba na mama yangu?" Paka na Mbwa wanampeleka mjusi mtoto kwa baba na mama yake.
Kwaheri Paka. Kwaheri Mbwa. Kwaheri Mjusi mtoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Mbwa na Yai Author - Elke and René Leisink Translation - Ursula Nafula Illustration - Elke and René Leisink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Paka na mbwa wanatembea wapi | {
"text": [
"Kijijini kwao"
]
} |
2403_swa | Paka na Mbwa na Yai
Huyu ni Paka. Huyu ni Mbwa.
Paka na Mbwa wanatembea. Wanatembea kijijini kwao.
Kisha wanaliona yai. Yai liko nyasini. Yai liko peke yake nyasini. Yai liko peke yake.
Paka na Mbwa wanamwendea ndege. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini ndege anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bundi. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bundi. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bundi anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bata bukini. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bata bukini. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bata bukini anasema, "La, hilo si yai langu. Waulize wale bata wawili. Labda yai ni lao."
Paka na Mbwa wanawaendea wale bata wawili. Wanawauliza, "Yai hili ni lenu?"
Lakini wale bata wawili wanasema, "La, hilo si yai letu." Halafu, yai linavunjika.
Wanamwona mjusi kwenye yai. Mjusi mtoto.
Mjusi mtoto anasema, "Mama yangu yuko wapi? Baba yangu yuko wapi? Wapi baba na mama yangu?" Paka na Mbwa wanampeleka mjusi mtoto kwa baba na mama yake.
Kwaheri Paka. Kwaheri Mbwa. Kwaheri Mjusi mtoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Mbwa na Yai Author - Elke and René Leisink Translation - Ursula Nafula Illustration - Elke and René Leisink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Yai liko wapi | {
"text": [
"Nyasini"
]
} |
2403_swa | Paka na Mbwa na Yai
Huyu ni Paka. Huyu ni Mbwa.
Paka na Mbwa wanatembea. Wanatembea kijijini kwao.
Kisha wanaliona yai. Yai liko nyasini. Yai liko peke yake nyasini. Yai liko peke yake.
Paka na Mbwa wanamwendea ndege. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini ndege anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bundi. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bundi. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bundi anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bata bukini. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bata bukini. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bata bukini anasema, "La, hilo si yai langu. Waulize wale bata wawili. Labda yai ni lao."
Paka na Mbwa wanawaendea wale bata wawili. Wanawauliza, "Yai hili ni lenu?"
Lakini wale bata wawili wanasema, "La, hilo si yai letu." Halafu, yai linavunjika.
Wanamwona mjusi kwenye yai. Mjusi mtoto.
Mjusi mtoto anasema, "Mama yangu yuko wapi? Baba yangu yuko wapi? Wapi baba na mama yangu?" Paka na Mbwa wanampeleka mjusi mtoto kwa baba na mama yake.
Kwaheri Paka. Kwaheri Mbwa. Kwaheri Mjusi mtoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Mbwa na Yai Author - Elke and René Leisink Translation - Ursula Nafula Illustration - Elke and René Leisink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanamwona nani kwenye yai | {
"text": [
"Mjusi"
]
} |
2403_swa | Paka na Mbwa na Yai
Huyu ni Paka. Huyu ni Mbwa.
Paka na Mbwa wanatembea. Wanatembea kijijini kwao.
Kisha wanaliona yai. Yai liko nyasini. Yai liko peke yake nyasini. Yai liko peke yake.
Paka na Mbwa wanamwendea ndege. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini ndege anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bundi. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bundi. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bundi anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bata bukini. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bata bukini. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bata bukini anasema, "La, hilo si yai langu. Waulize wale bata wawili. Labda yai ni lao."
Paka na Mbwa wanawaendea wale bata wawili. Wanawauliza, "Yai hili ni lenu?"
Lakini wale bata wawili wanasema, "La, hilo si yai letu." Halafu, yai linavunjika.
Wanamwona mjusi kwenye yai. Mjusi mtoto.
Mjusi mtoto anasema, "Mama yangu yuko wapi? Baba yangu yuko wapi? Wapi baba na mama yangu?" Paka na Mbwa wanampeleka mjusi mtoto kwa baba na mama yake.
Kwaheri Paka. Kwaheri Mbwa. Kwaheri Mjusi mtoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Mbwa na Yai Author - Elke and René Leisink Translation - Ursula Nafula Illustration - Elke and René Leisink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani wanampeleka mjusi mtoto kwa baba na mama yake | {
"text": [
"Paka na Mbwa"
]
} |
2403_swa | Paka na Mbwa na Yai
Huyu ni Paka. Huyu ni Mbwa.
Paka na Mbwa wanatembea. Wanatembea kijijini kwao.
Kisha wanaliona yai. Yai liko nyasini. Yai liko peke yake nyasini. Yai liko peke yake.
Paka na Mbwa wanamwendea ndege. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini ndege anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bundi. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bundi. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bundi anasema, "La, hilo si yai langu. Mwulize bata bukini. Labda yai ni lake."
Paka na Mbwa wanamwendea bata bukini. Wanamwuliza, "Yai hili ni lako?"
Lakini bata bukini anasema, "La, hilo si yai langu. Waulize wale bata wawili. Labda yai ni lao."
Paka na Mbwa wanawaendea wale bata wawili. Wanawauliza, "Yai hili ni lenu?"
Lakini wale bata wawili wanasema, "La, hilo si yai letu." Halafu, yai linavunjika.
Wanamwona mjusi kwenye yai. Mjusi mtoto.
Mjusi mtoto anasema, "Mama yangu yuko wapi? Baba yangu yuko wapi? Wapi baba na mama yangu?" Paka na Mbwa wanampeleka mjusi mtoto kwa baba na mama yake.
Kwaheri Paka. Kwaheri Mbwa. Kwaheri Mjusi mtoto.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Mbwa na Yai Author - Elke and René Leisink Translation - Ursula Nafula Illustration - Elke and René Leisink Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Yai linafanyika nini | {
"text": [
"Linavunjika"
]
} |
2404_swa | Paka na Panya
Hapo zamani za kale, paka na panya walikuwa marafiki. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Walioana na kuishi kwa furaha.
Siku moja, panya walisema kwa hofu, "Baadhi ya jamaa zetu wamepotea." "Sijamwona mjomba kwa muda," mmoja alisema. "Sijamwona shangazi," alisema mwingine. "Dadangu hayuko," alisema wa tatu. "Kakangu yuko wapi?" aliuliza wa nne.
Panya mmoja mzee alitikisa kichwa chake kwa huzuni akasema, "Marafiki wapendwa, nina habari mbaya. Paka wanatula. Ni lazima tuwe waangalifu. Hivi karibuni watatula sisi sote."
Panya waliingiwa na woga mwingi. Panya wa kike waliwaambia watoto wao, "Msiende nje. Kuweni waangalifu paka wasije wakawashika."
Panya wote walikuwa waangalifu sasa. Walikaa katika mashimo yao na wala hawakwenda nje.
Sasa paka walikuwa na wasiwasi pia. Walisema, "Je, panya wote wamekwenda wapi? Tunahisi njaa na hatuna chochote cha kula." "Wamejificha," paka mkubwa alisema. "Tunawezaje kuwakamata?"
Paka mwingine alisema, "Tutawauliza tupange ndoa kati yao nasi. Sherehe ya harusi itawaleta panya pamoja. Nasi tutawashika wote wakati mmoja tuwale!" "Hilo ni wazo zuri sana," paka walisema.
Basi, paka waliwatuma wazee wao kwenda kuwaona panya. "Tungependa tuwe na ndoa kati ya mmoja wa binti zenu na mmoja wa wavulana wetu," paka wazee waliwaambia panya.
Panya walisema, "Hatuwaamini. Mnataka kutula tu." Paka walijibu, "La! Sisi ni waaminifu na wenye mioyo safi. Tunataka tuwe marafiki. Hapo zamani wengine wetu waliwala, lakini hilo halifanyiki tena. Hatutawahi kuwala tena."
Panya walipowatazama paka, waliona kuwa wote walikuwa wakitabasamu. "Tumekubali ndoa ifanyike kati ya mmoja wa binti zetu na mmoja wa mvulana wenu," panya walisema.
Paka walienda nyumbani kwa furaha. "Siku ya harusi itakuwa nzuri sana," walisema huku wakilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa bado na wasiwasi mwingi. "Kaeni karibu na mashimo yenu," waliwaonya wanao. "Tazameni, paka wanakuja. Iwapo watakuwa wazuri kwetu, tutakuwa wazuri kwao. Lakini wakijaribu kutula, tutakuwa tayari kutoroka."
Paka walitokezea barabarani wakiimba wimbo wa harusi.
"Je, unayasikia maneno ya wimbo huo wanaoimba?" Panya mzee alimwuliza panya mchanga. "Ndiyo," panya mchanga alijibu. Wimbo ulisema, "Washikeni muwale wote! Washikeni muwale wote!"
"Basi ni lazima tuimbe pia," alisema panya mzee. Akaanza kuimba, "Kimbieni panya, kimbieni! Kimbieni panya, kimbieni!" Panya wote waliruka ndani ya mashimo yao wakajificha.
Paka waliwasili wakaulizana, "Je, yuko wapi Bi. Harusi?" Panya mzee alichomoza kichwa chake kutoka shimoni akawajibu, "Tumepata funzo. Maadui zako wakijifanya kuwa marafiki, ni lazima uwe tayari kutoroka."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Panya Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Nani walikuwa marafiki | {
"text": [
"Paka na panya"
]
} |
2404_swa | Paka na Panya
Hapo zamani za kale, paka na panya walikuwa marafiki. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Walioana na kuishi kwa furaha.
Siku moja, panya walisema kwa hofu, "Baadhi ya jamaa zetu wamepotea." "Sijamwona mjomba kwa muda," mmoja alisema. "Sijamwona shangazi," alisema mwingine. "Dadangu hayuko," alisema wa tatu. "Kakangu yuko wapi?" aliuliza wa nne.
Panya mmoja mzee alitikisa kichwa chake kwa huzuni akasema, "Marafiki wapendwa, nina habari mbaya. Paka wanatula. Ni lazima tuwe waangalifu. Hivi karibuni watatula sisi sote."
Panya waliingiwa na woga mwingi. Panya wa kike waliwaambia watoto wao, "Msiende nje. Kuweni waangalifu paka wasije wakawashika."
Panya wote walikuwa waangalifu sasa. Walikaa katika mashimo yao na wala hawakwenda nje.
Sasa paka walikuwa na wasiwasi pia. Walisema, "Je, panya wote wamekwenda wapi? Tunahisi njaa na hatuna chochote cha kula." "Wamejificha," paka mkubwa alisema. "Tunawezaje kuwakamata?"
Paka mwingine alisema, "Tutawauliza tupange ndoa kati yao nasi. Sherehe ya harusi itawaleta panya pamoja. Nasi tutawashika wote wakati mmoja tuwale!" "Hilo ni wazo zuri sana," paka walisema.
Basi, paka waliwatuma wazee wao kwenda kuwaona panya. "Tungependa tuwe na ndoa kati ya mmoja wa binti zenu na mmoja wa wavulana wetu," paka wazee waliwaambia panya.
Panya walisema, "Hatuwaamini. Mnataka kutula tu." Paka walijibu, "La! Sisi ni waaminifu na wenye mioyo safi. Tunataka tuwe marafiki. Hapo zamani wengine wetu waliwala, lakini hilo halifanyiki tena. Hatutawahi kuwala tena."
Panya walipowatazama paka, waliona kuwa wote walikuwa wakitabasamu. "Tumekubali ndoa ifanyike kati ya mmoja wa binti zetu na mmoja wa mvulana wenu," panya walisema.
Paka walienda nyumbani kwa furaha. "Siku ya harusi itakuwa nzuri sana," walisema huku wakilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa bado na wasiwasi mwingi. "Kaeni karibu na mashimo yenu," waliwaonya wanao. "Tazameni, paka wanakuja. Iwapo watakuwa wazuri kwetu, tutakuwa wazuri kwao. Lakini wakijaribu kutula, tutakuwa tayari kutoroka."
Paka walitokezea barabarani wakiimba wimbo wa harusi.
"Je, unayasikia maneno ya wimbo huo wanaoimba?" Panya mzee alimwuliza panya mchanga. "Ndiyo," panya mchanga alijibu. Wimbo ulisema, "Washikeni muwale wote! Washikeni muwale wote!"
"Basi ni lazima tuimbe pia," alisema panya mzee. Akaanza kuimba, "Kimbieni panya, kimbieni! Kimbieni panya, kimbieni!" Panya wote waliruka ndani ya mashimo yao wakajificha.
Paka waliwasili wakaulizana, "Je, yuko wapi Bi. Harusi?" Panya mzee alichomoza kichwa chake kutoka shimoni akawajibu, "Tumepata funzo. Maadui zako wakijifanya kuwa marafiki, ni lazima uwe tayari kutoroka."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Panya Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Panya waliingiwa na nini | {
"text": [
"Woga mwingi"
]
} |
2404_swa | Paka na Panya
Hapo zamani za kale, paka na panya walikuwa marafiki. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Walioana na kuishi kwa furaha.
Siku moja, panya walisema kwa hofu, "Baadhi ya jamaa zetu wamepotea." "Sijamwona mjomba kwa muda," mmoja alisema. "Sijamwona shangazi," alisema mwingine. "Dadangu hayuko," alisema wa tatu. "Kakangu yuko wapi?" aliuliza wa nne.
Panya mmoja mzee alitikisa kichwa chake kwa huzuni akasema, "Marafiki wapendwa, nina habari mbaya. Paka wanatula. Ni lazima tuwe waangalifu. Hivi karibuni watatula sisi sote."
Panya waliingiwa na woga mwingi. Panya wa kike waliwaambia watoto wao, "Msiende nje. Kuweni waangalifu paka wasije wakawashika."
Panya wote walikuwa waangalifu sasa. Walikaa katika mashimo yao na wala hawakwenda nje.
Sasa paka walikuwa na wasiwasi pia. Walisema, "Je, panya wote wamekwenda wapi? Tunahisi njaa na hatuna chochote cha kula." "Wamejificha," paka mkubwa alisema. "Tunawezaje kuwakamata?"
Paka mwingine alisema, "Tutawauliza tupange ndoa kati yao nasi. Sherehe ya harusi itawaleta panya pamoja. Nasi tutawashika wote wakati mmoja tuwale!" "Hilo ni wazo zuri sana," paka walisema.
Basi, paka waliwatuma wazee wao kwenda kuwaona panya. "Tungependa tuwe na ndoa kati ya mmoja wa binti zenu na mmoja wa wavulana wetu," paka wazee waliwaambia panya.
Panya walisema, "Hatuwaamini. Mnataka kutula tu." Paka walijibu, "La! Sisi ni waaminifu na wenye mioyo safi. Tunataka tuwe marafiki. Hapo zamani wengine wetu waliwala, lakini hilo halifanyiki tena. Hatutawahi kuwala tena."
Panya walipowatazama paka, waliona kuwa wote walikuwa wakitabasamu. "Tumekubali ndoa ifanyike kati ya mmoja wa binti zetu na mmoja wa mvulana wenu," panya walisema.
Paka walienda nyumbani kwa furaha. "Siku ya harusi itakuwa nzuri sana," walisema huku wakilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa bado na wasiwasi mwingi. "Kaeni karibu na mashimo yenu," waliwaonya wanao. "Tazameni, paka wanakuja. Iwapo watakuwa wazuri kwetu, tutakuwa wazuri kwao. Lakini wakijaribu kutula, tutakuwa tayari kutoroka."
Paka walitokezea barabarani wakiimba wimbo wa harusi.
"Je, unayasikia maneno ya wimbo huo wanaoimba?" Panya mzee alimwuliza panya mchanga. "Ndiyo," panya mchanga alijibu. Wimbo ulisema, "Washikeni muwale wote! Washikeni muwale wote!"
"Basi ni lazima tuimbe pia," alisema panya mzee. Akaanza kuimba, "Kimbieni panya, kimbieni! Kimbieni panya, kimbieni!" Panya wote waliruka ndani ya mashimo yao wakajificha.
Paka waliwasili wakaulizana, "Je, yuko wapi Bi. Harusi?" Panya mzee alichomoza kichwa chake kutoka shimoni akawajibu, "Tumepata funzo. Maadui zako wakijifanya kuwa marafiki, ni lazima uwe tayari kutoroka."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Panya Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Paka walitokezea barabarani wakiimba nini | {
"text": [
"Wimbo waharusi"
]
} |
2404_swa | Paka na Panya
Hapo zamani za kale, paka na panya walikuwa marafiki. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Walioana na kuishi kwa furaha.
Siku moja, panya walisema kwa hofu, "Baadhi ya jamaa zetu wamepotea." "Sijamwona mjomba kwa muda," mmoja alisema. "Sijamwona shangazi," alisema mwingine. "Dadangu hayuko," alisema wa tatu. "Kakangu yuko wapi?" aliuliza wa nne.
Panya mmoja mzee alitikisa kichwa chake kwa huzuni akasema, "Marafiki wapendwa, nina habari mbaya. Paka wanatula. Ni lazima tuwe waangalifu. Hivi karibuni watatula sisi sote."
Panya waliingiwa na woga mwingi. Panya wa kike waliwaambia watoto wao, "Msiende nje. Kuweni waangalifu paka wasije wakawashika."
Panya wote walikuwa waangalifu sasa. Walikaa katika mashimo yao na wala hawakwenda nje.
Sasa paka walikuwa na wasiwasi pia. Walisema, "Je, panya wote wamekwenda wapi? Tunahisi njaa na hatuna chochote cha kula." "Wamejificha," paka mkubwa alisema. "Tunawezaje kuwakamata?"
Paka mwingine alisema, "Tutawauliza tupange ndoa kati yao nasi. Sherehe ya harusi itawaleta panya pamoja. Nasi tutawashika wote wakati mmoja tuwale!" "Hilo ni wazo zuri sana," paka walisema.
Basi, paka waliwatuma wazee wao kwenda kuwaona panya. "Tungependa tuwe na ndoa kati ya mmoja wa binti zenu na mmoja wa wavulana wetu," paka wazee waliwaambia panya.
Panya walisema, "Hatuwaamini. Mnataka kutula tu." Paka walijibu, "La! Sisi ni waaminifu na wenye mioyo safi. Tunataka tuwe marafiki. Hapo zamani wengine wetu waliwala, lakini hilo halifanyiki tena. Hatutawahi kuwala tena."
Panya walipowatazama paka, waliona kuwa wote walikuwa wakitabasamu. "Tumekubali ndoa ifanyike kati ya mmoja wa binti zetu na mmoja wa mvulana wenu," panya walisema.
Paka walienda nyumbani kwa furaha. "Siku ya harusi itakuwa nzuri sana," walisema huku wakilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa bado na wasiwasi mwingi. "Kaeni karibu na mashimo yenu," waliwaonya wanao. "Tazameni, paka wanakuja. Iwapo watakuwa wazuri kwetu, tutakuwa wazuri kwao. Lakini wakijaribu kutula, tutakuwa tayari kutoroka."
Paka walitokezea barabarani wakiimba wimbo wa harusi.
"Je, unayasikia maneno ya wimbo huo wanaoimba?" Panya mzee alimwuliza panya mchanga. "Ndiyo," panya mchanga alijibu. Wimbo ulisema, "Washikeni muwale wote! Washikeni muwale wote!"
"Basi ni lazima tuimbe pia," alisema panya mzee. Akaanza kuimba, "Kimbieni panya, kimbieni! Kimbieni panya, kimbieni!" Panya wote waliruka ndani ya mashimo yao wakajificha.
Paka waliwasili wakaulizana, "Je, yuko wapi Bi. Harusi?" Panya mzee alichomoza kichwa chake kutoka shimoni akawajibu, "Tumepata funzo. Maadui zako wakijifanya kuwa marafiki, ni lazima uwe tayari kutoroka."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Panya Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Panya wote waliruka ndani ya nini | {
"text": [
"Mashimo yao"
]
} |
2404_swa | Paka na Panya
Hapo zamani za kale, paka na panya walikuwa marafiki. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Walioana na kuishi kwa furaha.
Siku moja, panya walisema kwa hofu, "Baadhi ya jamaa zetu wamepotea." "Sijamwona mjomba kwa muda," mmoja alisema. "Sijamwona shangazi," alisema mwingine. "Dadangu hayuko," alisema wa tatu. "Kakangu yuko wapi?" aliuliza wa nne.
Panya mmoja mzee alitikisa kichwa chake kwa huzuni akasema, "Marafiki wapendwa, nina habari mbaya. Paka wanatula. Ni lazima tuwe waangalifu. Hivi karibuni watatula sisi sote."
Panya waliingiwa na woga mwingi. Panya wa kike waliwaambia watoto wao, "Msiende nje. Kuweni waangalifu paka wasije wakawashika."
Panya wote walikuwa waangalifu sasa. Walikaa katika mashimo yao na wala hawakwenda nje.
Sasa paka walikuwa na wasiwasi pia. Walisema, "Je, panya wote wamekwenda wapi? Tunahisi njaa na hatuna chochote cha kula." "Wamejificha," paka mkubwa alisema. "Tunawezaje kuwakamata?"
Paka mwingine alisema, "Tutawauliza tupange ndoa kati yao nasi. Sherehe ya harusi itawaleta panya pamoja. Nasi tutawashika wote wakati mmoja tuwale!" "Hilo ni wazo zuri sana," paka walisema.
Basi, paka waliwatuma wazee wao kwenda kuwaona panya. "Tungependa tuwe na ndoa kati ya mmoja wa binti zenu na mmoja wa wavulana wetu," paka wazee waliwaambia panya.
Panya walisema, "Hatuwaamini. Mnataka kutula tu." Paka walijibu, "La! Sisi ni waaminifu na wenye mioyo safi. Tunataka tuwe marafiki. Hapo zamani wengine wetu waliwala, lakini hilo halifanyiki tena. Hatutawahi kuwala tena."
Panya walipowatazama paka, waliona kuwa wote walikuwa wakitabasamu. "Tumekubali ndoa ifanyike kati ya mmoja wa binti zetu na mmoja wa mvulana wenu," panya walisema.
Paka walienda nyumbani kwa furaha. "Siku ya harusi itakuwa nzuri sana," walisema huku wakilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa bado na wasiwasi mwingi. "Kaeni karibu na mashimo yenu," waliwaonya wanao. "Tazameni, paka wanakuja. Iwapo watakuwa wazuri kwetu, tutakuwa wazuri kwao. Lakini wakijaribu kutula, tutakuwa tayari kutoroka."
Paka walitokezea barabarani wakiimba wimbo wa harusi.
"Je, unayasikia maneno ya wimbo huo wanaoimba?" Panya mzee alimwuliza panya mchanga. "Ndiyo," panya mchanga alijibu. Wimbo ulisema, "Washikeni muwale wote! Washikeni muwale wote!"
"Basi ni lazima tuimbe pia," alisema panya mzee. Akaanza kuimba, "Kimbieni panya, kimbieni! Kimbieni panya, kimbieni!" Panya wote waliruka ndani ya mashimo yao wakajificha.
Paka waliwasili wakaulizana, "Je, yuko wapi Bi. Harusi?" Panya mzee alichomoza kichwa chake kutoka shimoni akawajibu, "Tumepata funzo. Maadui zako wakijifanya kuwa marafiki, ni lazima uwe tayari kutoroka."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka na Panya Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Maadui zako wakijifanya kuwa marafiki ni lazima ufanye nini | {
"text": [
"Uwe tayari kutoroka"
]
} |
2405_swa | Paka wa Selemeng
Selemeng anawapenda paka. Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Selemeng ana paka mmoja mweusi. Paka huyu anakula nyama nyingi.
Selemeng vilevile ana paka mmoja mnono. Paka huyu hula kila kitu.
Paka wa tatu, alipanda mtini na akakwama huko.
Selemeng alimfuata paka akakwama naye mtini. Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Selemeng pia ana paka wawili wavivu. Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Selemeng vilevile, ana paka watatu wanao shughuli nyingi. Usiku wanawashika panya jikoni.
Selemeng ana mbwa anayeitwa Lirafi. Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Paka wa Selemeng hawampendi Lirafi. Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Selemeng anapompata Lirafi, anamrudisha nyumbani. Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa. Hawataki kumwona tena.
Selemeng ana paka wangapi?
Selemeng ana mbwa wangapi? Lirafi yuko wapi sasa?
Nyumbani kwenu kuna paka wangapi? Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka wa Selemeng Author - Khothatso Ranoosi and Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://paleng.weebly.com/ | Selemeng anawapenda nani | {
"text": [
"paka"
]
} |
2405_swa | Paka wa Selemeng
Selemeng anawapenda paka. Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Selemeng ana paka mmoja mweusi. Paka huyu anakula nyama nyingi.
Selemeng vilevile ana paka mmoja mnono. Paka huyu hula kila kitu.
Paka wa tatu, alipanda mtini na akakwama huko.
Selemeng alimfuata paka akakwama naye mtini. Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Selemeng pia ana paka wawili wavivu. Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Selemeng vilevile, ana paka watatu wanao shughuli nyingi. Usiku wanawashika panya jikoni.
Selemeng ana mbwa anayeitwa Lirafi. Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Paka wa Selemeng hawampendi Lirafi. Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Selemeng anapompata Lirafi, anamrudisha nyumbani. Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa. Hawataki kumwona tena.
Selemeng ana paka wangapi?
Selemeng ana mbwa wangapi? Lirafi yuko wapi sasa?
Nyumbani kwenu kuna paka wangapi? Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka wa Selemeng Author - Khothatso Ranoosi and Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://paleng.weebly.com/ | Selemeng ana paka mmoja wa rangi gani | {
"text": [
"nyeusi"
]
} |
2405_swa | Paka wa Selemeng
Selemeng anawapenda paka. Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Selemeng ana paka mmoja mweusi. Paka huyu anakula nyama nyingi.
Selemeng vilevile ana paka mmoja mnono. Paka huyu hula kila kitu.
Paka wa tatu, alipanda mtini na akakwama huko.
Selemeng alimfuata paka akakwama naye mtini. Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Selemeng pia ana paka wawili wavivu. Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Selemeng vilevile, ana paka watatu wanao shughuli nyingi. Usiku wanawashika panya jikoni.
Selemeng ana mbwa anayeitwa Lirafi. Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Paka wa Selemeng hawampendi Lirafi. Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Selemeng anapompata Lirafi, anamrudisha nyumbani. Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa. Hawataki kumwona tena.
Selemeng ana paka wangapi?
Selemeng ana mbwa wangapi? Lirafi yuko wapi sasa?
Nyumbani kwenu kuna paka wangapi? Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka wa Selemeng Author - Khothatso Ranoosi and Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://paleng.weebly.com/ | Mbwa wake Selemeng anaitwa nani | {
"text": [
"Lirafi"
]
} |
2405_swa | Paka wa Selemeng
Selemeng anawapenda paka. Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Selemeng ana paka mmoja mweusi. Paka huyu anakula nyama nyingi.
Selemeng vilevile ana paka mmoja mnono. Paka huyu hula kila kitu.
Paka wa tatu, alipanda mtini na akakwama huko.
Selemeng alimfuata paka akakwama naye mtini. Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Selemeng pia ana paka wawili wavivu. Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Selemeng vilevile, ana paka watatu wanao shughuli nyingi. Usiku wanawashika panya jikoni.
Selemeng ana mbwa anayeitwa Lirafi. Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Paka wa Selemeng hawampendi Lirafi. Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Selemeng anapompata Lirafi, anamrudisha nyumbani. Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa. Hawataki kumwona tena.
Selemeng ana paka wangapi?
Selemeng ana mbwa wangapi? Lirafi yuko wapi sasa?
Nyumbani kwenu kuna paka wangapi? Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka wa Selemeng Author - Khothatso Ranoosi and Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://paleng.weebly.com/ | Lirafi hutoroka nyumbani lini | {
"text": [
"paka wanapomfukuza"
]
} |
2405_swa | Paka wa Selemeng
Selemeng anawapenda paka. Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Selemeng ana paka mmoja mweusi. Paka huyu anakula nyama nyingi.
Selemeng vilevile ana paka mmoja mnono. Paka huyu hula kila kitu.
Paka wa tatu, alipanda mtini na akakwama huko.
Selemeng alimfuata paka akakwama naye mtini. Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Selemeng pia ana paka wawili wavivu. Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Selemeng vilevile, ana paka watatu wanao shughuli nyingi. Usiku wanawashika panya jikoni.
Selemeng ana mbwa anayeitwa Lirafi. Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Paka wa Selemeng hawampendi Lirafi. Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Selemeng anapompata Lirafi, anamrudisha nyumbani. Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa. Hawataki kumwona tena.
Selemeng ana paka wangapi?
Selemeng ana mbwa wangapi? Lirafi yuko wapi sasa?
Nyumbani kwenu kuna paka wangapi? Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Paka wa Selemeng Author - Khothatso Ranoosi and Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://paleng.weebly.com/ | Kwa nini Lirafi ana huzuni | {
"text": [
"kwa sababu hana rafiki na paka wa Selemeng hawampendi"
]
} |
2406_swa | Panya
Hapo zamani, kulikuwa na panya wawili. Mmoja wao aliishi nyikani.
Panya mwingine aliishi katika nyumba.
Siku moja, panya aliyeishi katika nyumba alimwambia panya wa nyika, "Wewe chakula chako si kizuri, usingizi wako umejaa mang'amung'amu huku mvua ikikulowesha."
"Sisi tunalala fofofo katika nyumba za watemi. Tunakula vyakula vingi mno. Siku moja nitembelee ujionee fahari iliyopo," alisema panya wa nyumba. "Niko tayari usiku wa leo kama mrija unaosubiri kinywaji," akajibu panya wa nyika.
Wakati huo huo mwenye nyumba alikasirika ajabu akifoka matusi, "Panya hawa wanaokula chakula changu wataona cha mtema kuni!" Ndipo akawategea mtego uliojaa sukari.
Panya waliingia nyumbani kula vitamu vilivyokuwamo. Walikuwa wakicheka, "Chu. Chu. Chi. Chi. Che. Che!"
Walipoufikia mtego, panya wa nyumba alisema, "Wacha nionje sukari. Tazama vitamu vitamu tunavyokula hapa."
Lakini kabla panya hajapata kugusa sukari, mtego ukamnasa kichwa. Pa! Macho yake yakabubujika kama mbilingani.
Panya wa nyika akamtazama akiwa ameduwaa. Akasema, "Heee rafiki yangu, kitamu kipi ulichokula kikayafanya macho yabubujike?"
Lakini panya wa nyumba alishindwa kujibu.
Panya wa nyika akaondoka akikejeli, "Du! Umekula vizuri. Mimi siviwezi vitamu hivyo unavyojivunia."
Kuwepo nyumbani kulikochakaa mradi kwako, ni bora kuliko kuwepo nyumbani kuzuri sana ilhali ni nyumba ya jirani yako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Pete Mhunzi Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Walikuwa panya wangapi | {
"text": [
"wawili"
]
} |
2406_swa | Panya
Hapo zamani, kulikuwa na panya wawili. Mmoja wao aliishi nyikani.
Panya mwingine aliishi katika nyumba.
Siku moja, panya aliyeishi katika nyumba alimwambia panya wa nyika, "Wewe chakula chako si kizuri, usingizi wako umejaa mang'amung'amu huku mvua ikikulowesha."
"Sisi tunalala fofofo katika nyumba za watemi. Tunakula vyakula vingi mno. Siku moja nitembelee ujionee fahari iliyopo," alisema panya wa nyumba. "Niko tayari usiku wa leo kama mrija unaosubiri kinywaji," akajibu panya wa nyika.
Wakati huo huo mwenye nyumba alikasirika ajabu akifoka matusi, "Panya hawa wanaokula chakula changu wataona cha mtema kuni!" Ndipo akawategea mtego uliojaa sukari.
Panya waliingia nyumbani kula vitamu vilivyokuwamo. Walikuwa wakicheka, "Chu. Chu. Chi. Chi. Che. Che!"
Walipoufikia mtego, panya wa nyumba alisema, "Wacha nionje sukari. Tazama vitamu vitamu tunavyokula hapa."
Lakini kabla panya hajapata kugusa sukari, mtego ukamnasa kichwa. Pa! Macho yake yakabubujika kama mbilingani.
Panya wa nyika akamtazama akiwa ameduwaa. Akasema, "Heee rafiki yangu, kitamu kipi ulichokula kikayafanya macho yabubujike?"
Lakini panya wa nyumba alishindwa kujibu.
Panya wa nyika akaondoka akikejeli, "Du! Umekula vizuri. Mimi siviwezi vitamu hivyo unavyojivunia."
Kuwepo nyumbani kulikochakaa mradi kwako, ni bora kuliko kuwepo nyumbani kuzuri sana ilhali ni nyumba ya jirani yako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Pete Mhunzi Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Panya walilala vipi katika nyumba za watemi | {
"text": [
"fofofo"
]
} |
2406_swa | Panya
Hapo zamani, kulikuwa na panya wawili. Mmoja wao aliishi nyikani.
Panya mwingine aliishi katika nyumba.
Siku moja, panya aliyeishi katika nyumba alimwambia panya wa nyika, "Wewe chakula chako si kizuri, usingizi wako umejaa mang'amung'amu huku mvua ikikulowesha."
"Sisi tunalala fofofo katika nyumba za watemi. Tunakula vyakula vingi mno. Siku moja nitembelee ujionee fahari iliyopo," alisema panya wa nyumba. "Niko tayari usiku wa leo kama mrija unaosubiri kinywaji," akajibu panya wa nyika.
Wakati huo huo mwenye nyumba alikasirika ajabu akifoka matusi, "Panya hawa wanaokula chakula changu wataona cha mtema kuni!" Ndipo akawategea mtego uliojaa sukari.
Panya waliingia nyumbani kula vitamu vilivyokuwamo. Walikuwa wakicheka, "Chu. Chu. Chi. Chi. Che. Che!"
Walipoufikia mtego, panya wa nyumba alisema, "Wacha nionje sukari. Tazama vitamu vitamu tunavyokula hapa."
Lakini kabla panya hajapata kugusa sukari, mtego ukamnasa kichwa. Pa! Macho yake yakabubujika kama mbilingani.
Panya wa nyika akamtazama akiwa ameduwaa. Akasema, "Heee rafiki yangu, kitamu kipi ulichokula kikayafanya macho yabubujike?"
Lakini panya wa nyumba alishindwa kujibu.
Panya wa nyika akaondoka akikejeli, "Du! Umekula vizuri. Mimi siviwezi vitamu hivyo unavyojivunia."
Kuwepo nyumbani kulikochakaa mradi kwako, ni bora kuliko kuwepo nyumbani kuzuri sana ilhali ni nyumba ya jirani yako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Pete Mhunzi Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Mwenye nyumba alijaza nini kwenye mtego | {
"text": [
"sukari"
]
} |
2406_swa | Panya
Hapo zamani, kulikuwa na panya wawili. Mmoja wao aliishi nyikani.
Panya mwingine aliishi katika nyumba.
Siku moja, panya aliyeishi katika nyumba alimwambia panya wa nyika, "Wewe chakula chako si kizuri, usingizi wako umejaa mang'amung'amu huku mvua ikikulowesha."
"Sisi tunalala fofofo katika nyumba za watemi. Tunakula vyakula vingi mno. Siku moja nitembelee ujionee fahari iliyopo," alisema panya wa nyumba. "Niko tayari usiku wa leo kama mrija unaosubiri kinywaji," akajibu panya wa nyika.
Wakati huo huo mwenye nyumba alikasirika ajabu akifoka matusi, "Panya hawa wanaokula chakula changu wataona cha mtema kuni!" Ndipo akawategea mtego uliojaa sukari.
Panya waliingia nyumbani kula vitamu vilivyokuwamo. Walikuwa wakicheka, "Chu. Chu. Chi. Chi. Che. Che!"
Walipoufikia mtego, panya wa nyumba alisema, "Wacha nionje sukari. Tazama vitamu vitamu tunavyokula hapa."
Lakini kabla panya hajapata kugusa sukari, mtego ukamnasa kichwa. Pa! Macho yake yakabubujika kama mbilingani.
Panya wa nyika akamtazama akiwa ameduwaa. Akasema, "Heee rafiki yangu, kitamu kipi ulichokula kikayafanya macho yabubujike?"
Lakini panya wa nyumba alishindwa kujibu.
Panya wa nyika akaondoka akikejeli, "Du! Umekula vizuri. Mimi siviwezi vitamu hivyo unavyojivunia."
Kuwepo nyumbani kulikochakaa mradi kwako, ni bora kuliko kuwepo nyumbani kuzuri sana ilhali ni nyumba ya jirani yako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Pete Mhunzi Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Paka wa nyika alitembea mjini saa ngapi | {
"text": [
"usiku "
]
} |
2406_swa | Panya
Hapo zamani, kulikuwa na panya wawili. Mmoja wao aliishi nyikani.
Panya mwingine aliishi katika nyumba.
Siku moja, panya aliyeishi katika nyumba alimwambia panya wa nyika, "Wewe chakula chako si kizuri, usingizi wako umejaa mang'amung'amu huku mvua ikikulowesha."
"Sisi tunalala fofofo katika nyumba za watemi. Tunakula vyakula vingi mno. Siku moja nitembelee ujionee fahari iliyopo," alisema panya wa nyumba. "Niko tayari usiku wa leo kama mrija unaosubiri kinywaji," akajibu panya wa nyika.
Wakati huo huo mwenye nyumba alikasirika ajabu akifoka matusi, "Panya hawa wanaokula chakula changu wataona cha mtema kuni!" Ndipo akawategea mtego uliojaa sukari.
Panya waliingia nyumbani kula vitamu vilivyokuwamo. Walikuwa wakicheka, "Chu. Chu. Chi. Chi. Che. Che!"
Walipoufikia mtego, panya wa nyumba alisema, "Wacha nionje sukari. Tazama vitamu vitamu tunavyokula hapa."
Lakini kabla panya hajapata kugusa sukari, mtego ukamnasa kichwa. Pa! Macho yake yakabubujika kama mbilingani.
Panya wa nyika akamtazama akiwa ameduwaa. Akasema, "Heee rafiki yangu, kitamu kipi ulichokula kikayafanya macho yabubujike?"
Lakini panya wa nyumba alishindwa kujibu.
Panya wa nyika akaondoka akikejeli, "Du! Umekula vizuri. Mimi siviwezi vitamu hivyo unavyojivunia."
Kuwepo nyumbani kulikochakaa mradi kwako, ni bora kuliko kuwepo nyumbani kuzuri sana ilhali ni nyumba ya jirani yako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Pete Mhunzi Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Mbona macho ya panya yalibubujika kama mbilingani. | {
"text": [
"mtego ulimnasa kichwa"
]
} |
2407_swa | Panya
Hapo zamani za kale, palikuwa na panya wawili. Mmoja aliishi kichakani.
Panya yule mwingine aliishi nyumbani.
Panya aliyeishi nyumbani alimwambia aliyeishi kichakani, "Unakula na kulala vibaya. Sisi tunalala na kula vizuri."
"Njoo ututembelee siku moja ujionee." Panya aliyeishi nyumbani alisema. "Niko tayari kuja usiku wa leo." Panya aliyeishi kichakani alijibu.
Wakati huo, mwenye nyumba alikuwa amekasirika sana. Alisema, "Hawa panya wanaokula chakula changu wataona!" Aliweka mtego wa sukari.
Panya wale wawili waliingia mle nyumbani kula vinono. Walicheka, "Chuchuchichichech
Walipoufikia mtego, panya aliyeishi nyumbani alisema, "Hebu nionje hii sukari. Leo utajua vitamu tunavyokula hapa."
Lakini hata kabla ya panya kuonja sukari, mtego uliteguka, pa! Panya alishikwa shingoni. Macho yake yalivimba kama mbilingani.
Panya aliyeishi kichakani alitazama tu kwa mshangao. Alisema, "Rafiki yangu, ni vitamu gani ulivyokula vilivyoyafanya macho yako kuvimba?"
Lakini, panya aliyeishi nyumbani hakuweza kumjibu.
Panya aliyeishi kichakani aliondoka pale akisema, "Haa! Sitaweza kuvifurahia hivi vitamu anavyovisifu."
Heri nyumbani kwako kubaya kuliko kwa jirani kuzuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Brigid Simiyu Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First sentences © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Mwenye nyumba aliwawekea panya nini | {
"text": [
"mtego wa sukari"
]
} |
2407_swa | Panya
Hapo zamani za kale, palikuwa na panya wawili. Mmoja aliishi kichakani.
Panya yule mwingine aliishi nyumbani.
Panya aliyeishi nyumbani alimwambia aliyeishi kichakani, "Unakula na kulala vibaya. Sisi tunalala na kula vizuri."
"Njoo ututembelee siku moja ujionee." Panya aliyeishi nyumbani alisema. "Niko tayari kuja usiku wa leo." Panya aliyeishi kichakani alijibu.
Wakati huo, mwenye nyumba alikuwa amekasirika sana. Alisema, "Hawa panya wanaokula chakula changu wataona!" Aliweka mtego wa sukari.
Panya wale wawili waliingia mle nyumbani kula vinono. Walicheka, "Chuchuchichichech
Walipoufikia mtego, panya aliyeishi nyumbani alisema, "Hebu nionje hii sukari. Leo utajua vitamu tunavyokula hapa."
Lakini hata kabla ya panya kuonja sukari, mtego uliteguka, pa! Panya alishikwa shingoni. Macho yake yalivimba kama mbilingani.
Panya aliyeishi kichakani alitazama tu kwa mshangao. Alisema, "Rafiki yangu, ni vitamu gani ulivyokula vilivyoyafanya macho yako kuvimba?"
Lakini, panya aliyeishi nyumbani hakuweza kumjibu.
Panya aliyeishi kichakani aliondoka pale akisema, "Haa! Sitaweza kuvifurahia hivi vitamu anavyovisifu."
Heri nyumbani kwako kubaya kuliko kwa jirani kuzuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Brigid Simiyu Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First sentences © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Panya wale wawili waliingia nyumbani kufanya nini | {
"text": [
"kula vinono"
]
} |
2407_swa | Panya
Hapo zamani za kale, palikuwa na panya wawili. Mmoja aliishi kichakani.
Panya yule mwingine aliishi nyumbani.
Panya aliyeishi nyumbani alimwambia aliyeishi kichakani, "Unakula na kulala vibaya. Sisi tunalala na kula vizuri."
"Njoo ututembelee siku moja ujionee." Panya aliyeishi nyumbani alisema. "Niko tayari kuja usiku wa leo." Panya aliyeishi kichakani alijibu.
Wakati huo, mwenye nyumba alikuwa amekasirika sana. Alisema, "Hawa panya wanaokula chakula changu wataona!" Aliweka mtego wa sukari.
Panya wale wawili waliingia mle nyumbani kula vinono. Walicheka, "Chuchuchichichech
Walipoufikia mtego, panya aliyeishi nyumbani alisema, "Hebu nionje hii sukari. Leo utajua vitamu tunavyokula hapa."
Lakini hata kabla ya panya kuonja sukari, mtego uliteguka, pa! Panya alishikwa shingoni. Macho yake yalivimba kama mbilingani.
Panya aliyeishi kichakani alitazama tu kwa mshangao. Alisema, "Rafiki yangu, ni vitamu gani ulivyokula vilivyoyafanya macho yako kuvimba?"
Lakini, panya aliyeishi nyumbani hakuweza kumjibu.
Panya aliyeishi kichakani aliondoka pale akisema, "Haa! Sitaweza kuvifurahia hivi vitamu anavyovisifu."
Heri nyumbani kwako kubaya kuliko kwa jirani kuzuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Brigid Simiyu Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First sentences © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Ni panya yupi alitaka kuonja hiyo sukari | {
"text": [
"panya aliyeishi nyumbani"
]
} |
2407_swa | Panya
Hapo zamani za kale, palikuwa na panya wawili. Mmoja aliishi kichakani.
Panya yule mwingine aliishi nyumbani.
Panya aliyeishi nyumbani alimwambia aliyeishi kichakani, "Unakula na kulala vibaya. Sisi tunalala na kula vizuri."
"Njoo ututembelee siku moja ujionee." Panya aliyeishi nyumbani alisema. "Niko tayari kuja usiku wa leo." Panya aliyeishi kichakani alijibu.
Wakati huo, mwenye nyumba alikuwa amekasirika sana. Alisema, "Hawa panya wanaokula chakula changu wataona!" Aliweka mtego wa sukari.
Panya wale wawili waliingia mle nyumbani kula vinono. Walicheka, "Chuchuchichichech
Walipoufikia mtego, panya aliyeishi nyumbani alisema, "Hebu nionje hii sukari. Leo utajua vitamu tunavyokula hapa."
Lakini hata kabla ya panya kuonja sukari, mtego uliteguka, pa! Panya alishikwa shingoni. Macho yake yalivimba kama mbilingani.
Panya aliyeishi kichakani alitazama tu kwa mshangao. Alisema, "Rafiki yangu, ni vitamu gani ulivyokula vilivyoyafanya macho yako kuvimba?"
Lakini, panya aliyeishi nyumbani hakuweza kumjibu.
Panya aliyeishi kichakani aliondoka pale akisema, "Haa! Sitaweza kuvifurahia hivi vitamu anavyovisifu."
Heri nyumbani kwako kubaya kuliko kwa jirani kuzuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Brigid Simiyu Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First sentences © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Panya alishikwa shingoni lini | {
"text": [
"alipotaka kuonja sukari"
]
} |
2407_swa | Panya
Hapo zamani za kale, palikuwa na panya wawili. Mmoja aliishi kichakani.
Panya yule mwingine aliishi nyumbani.
Panya aliyeishi nyumbani alimwambia aliyeishi kichakani, "Unakula na kulala vibaya. Sisi tunalala na kula vizuri."
"Njoo ututembelee siku moja ujionee." Panya aliyeishi nyumbani alisema. "Niko tayari kuja usiku wa leo." Panya aliyeishi kichakani alijibu.
Wakati huo, mwenye nyumba alikuwa amekasirika sana. Alisema, "Hawa panya wanaokula chakula changu wataona!" Aliweka mtego wa sukari.
Panya wale wawili waliingia mle nyumbani kula vinono. Walicheka, "Chuchuchichichech
Walipoufikia mtego, panya aliyeishi nyumbani alisema, "Hebu nionje hii sukari. Leo utajua vitamu tunavyokula hapa."
Lakini hata kabla ya panya kuonja sukari, mtego uliteguka, pa! Panya alishikwa shingoni. Macho yake yalivimba kama mbilingani.
Panya aliyeishi kichakani alitazama tu kwa mshangao. Alisema, "Rafiki yangu, ni vitamu gani ulivyokula vilivyoyafanya macho yako kuvimba?"
Lakini, panya aliyeishi nyumbani hakuweza kumjibu.
Panya aliyeishi kichakani aliondoka pale akisema, "Haa! Sitaweza kuvifurahia hivi vitamu anavyovisifu."
Heri nyumbani kwako kubaya kuliko kwa jirani kuzuri.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya Author - Nambi Sseppuuya Community Resource Centre Translation - Brigid Simiyu Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First sentences © Text: Ugandan Community Libraries Association (Ugcla; Illusrations: African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Mbona mwenye nyumba alikua amekasirika | {
"text": [
"kwa kuwa panya walikua wakila chakula chake"
]
} |
2408_swa | Panya na Paka
Hapo zamani, paka na panya walikuwa marafiki.
Panya walianza kupoteza baadhi ya jamaa zao.
Panya mmoja mzee alisema, "Nadhani paka wanatula."
Akina mama waliwaambia watoto wao, "Kueni waangalifu. Msiende nje."
Panya wote walikuwa waangalifu. Waliketi ndani ya mashimo yao.
Paka walianza kuwa na njaa. Waliuliza, "Panya wako wapi?"
Paka waliwatembelea panya. Walitaka kupanga harusi kati yao.
Walisema, "Tungependa binti wenu mmoja aolewe kwa mvulana wetu."
Panya waliwaambia paka, "Mnadanganya. Mnataka kutula."
Mwishowe, walikubali kuwa na harusi kati ya wanao.
Paka walirudi nyumbani kwa furaha. Walilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa waangalifu sana.
Paka waliwasili wakiimba wimbo wa harusi.
Wimbo ulisema, "Washikeni muwale."
Panya mzee alianza kuimba, "Kimbieni, panya, kimbieni."
Panya mzee aliwaambia paka, "Sisi nanyi si marafiki."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya na Paka Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Paka walitaka kupanga harusi na nani | {
"text": [
"Panya"
]
} |
2408_swa | Panya na Paka
Hapo zamani, paka na panya walikuwa marafiki.
Panya walianza kupoteza baadhi ya jamaa zao.
Panya mmoja mzee alisema, "Nadhani paka wanatula."
Akina mama waliwaambia watoto wao, "Kueni waangalifu. Msiende nje."
Panya wote walikuwa waangalifu. Waliketi ndani ya mashimo yao.
Paka walianza kuwa na njaa. Waliuliza, "Panya wako wapi?"
Paka waliwatembelea panya. Walitaka kupanga harusi kati yao.
Walisema, "Tungependa binti wenu mmoja aolewe kwa mvulana wetu."
Panya waliwaambia paka, "Mnadanganya. Mnataka kutula."
Mwishowe, walikubali kuwa na harusi kati ya wanao.
Paka walirudi nyumbani kwa furaha. Walilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa waangalifu sana.
Paka waliwasili wakiimba wimbo wa harusi.
Wimbo ulisema, "Washikeni muwale."
Panya mzee alianza kuimba, "Kimbieni, panya, kimbieni."
Panya mzee aliwaambia paka, "Sisi nanyi si marafiki."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya na Paka Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Hapo zamani ni nani walikuwa marafiki na panya | {
"text": [
"Paka"
]
} |
2408_swa | Panya na Paka
Hapo zamani, paka na panya walikuwa marafiki.
Panya walianza kupoteza baadhi ya jamaa zao.
Panya mmoja mzee alisema, "Nadhani paka wanatula."
Akina mama waliwaambia watoto wao, "Kueni waangalifu. Msiende nje."
Panya wote walikuwa waangalifu. Waliketi ndani ya mashimo yao.
Paka walianza kuwa na njaa. Waliuliza, "Panya wako wapi?"
Paka waliwatembelea panya. Walitaka kupanga harusi kati yao.
Walisema, "Tungependa binti wenu mmoja aolewe kwa mvulana wetu."
Panya waliwaambia paka, "Mnadanganya. Mnataka kutula."
Mwishowe, walikubali kuwa na harusi kati ya wanao.
Paka walirudi nyumbani kwa furaha. Walilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa waangalifu sana.
Paka waliwasili wakiimba wimbo wa harusi.
Wimbo ulisema, "Washikeni muwale."
Panya mzee alianza kuimba, "Kimbieni, panya, kimbieni."
Panya mzee aliwaambia paka, "Sisi nanyi si marafiki."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya na Paka Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Panya huishi wapi | {
"text": [
"Mashimoni"
]
} |
2408_swa | Panya na Paka
Hapo zamani, paka na panya walikuwa marafiki.
Panya walianza kupoteza baadhi ya jamaa zao.
Panya mmoja mzee alisema, "Nadhani paka wanatula."
Akina mama waliwaambia watoto wao, "Kueni waangalifu. Msiende nje."
Panya wote walikuwa waangalifu. Waliketi ndani ya mashimo yao.
Paka walianza kuwa na njaa. Waliuliza, "Panya wako wapi?"
Paka waliwatembelea panya. Walitaka kupanga harusi kati yao.
Walisema, "Tungependa binti wenu mmoja aolewe kwa mvulana wetu."
Panya waliwaambia paka, "Mnadanganya. Mnataka kutula."
Mwishowe, walikubali kuwa na harusi kati ya wanao.
Paka walirudi nyumbani kwa furaha. Walilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa waangalifu sana.
Paka waliwasili wakiimba wimbo wa harusi.
Wimbo ulisema, "Washikeni muwale."
Panya mzee alianza kuimba, "Kimbieni, panya, kimbieni."
Panya mzee aliwaambia paka, "Sisi nanyi si marafiki."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya na Paka Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini paka walirudi nyumbani kwa furaha | {
"text": [
"Panya walikuwa wamekubali ombi la harusi kati ya wanao"
]
} |
2408_swa | Panya na Paka
Hapo zamani, paka na panya walikuwa marafiki.
Panya walianza kupoteza baadhi ya jamaa zao.
Panya mmoja mzee alisema, "Nadhani paka wanatula."
Akina mama waliwaambia watoto wao, "Kueni waangalifu. Msiende nje."
Panya wote walikuwa waangalifu. Waliketi ndani ya mashimo yao.
Paka walianza kuwa na njaa. Waliuliza, "Panya wako wapi?"
Paka waliwatembelea panya. Walitaka kupanga harusi kati yao.
Walisema, "Tungependa binti wenu mmoja aolewe kwa mvulana wetu."
Panya waliwaambia paka, "Mnadanganya. Mnataka kutula."
Mwishowe, walikubali kuwa na harusi kati ya wanao.
Paka walirudi nyumbani kwa furaha. Walilamba midomo yao.
Siku ya harusi, panya walikuwa waangalifu sana.
Paka waliwasili wakiimba wimbo wa harusi.
Wimbo ulisema, "Washikeni muwale."
Panya mzee alianza kuimba, "Kimbieni, panya, kimbieni."
Panya mzee aliwaambia paka, "Sisi nanyi si marafiki."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Panya na Paka Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | "Washikeni muwale",ni wimbo uliyoimbwa na kina nani siku ya harusi | {
"text": [
"Paka"
]
} |
2409_swa | Pembe ya Chifu
Chifu aliyeitwa Mfupi na Duara, alilia, "Nina tatizo kubwa sana."
"Nimeipoteza pembe yangu inayotumika wakati wa upanzi," Chifu Mfupi na Duara alisema.
"Nitaipata pembe yako. Nitaenda kuitafuta nyumbani kwa Mjomba Mstatili," Jojo alisema.
Jojo na Mjomba Mstatili walitafuta kila mahali lakini hawakuipata ile pembe.
"Nenda uone ikiwa Mama Pembetatu anayo ile pembe," Mjomba Mstatili alisema.
Jojo alifika nyumbani kwake akanywa maji baridi kabla kuendelea na safari.
Jojo alimtembelea Almasi na kumwuliza ikiwa angeweza kuambatana naye.
"Si mbali lakini nitatayarisha chakula kidogo ili tubebe," Almasi alisema.
Almasi na Jojo walipumzika na kula chakula chao chini ya mlima wa pembetatu.
Walipokuwa wamepanda nusu ya mlima, walimwona buibui na utando wa ajbu.
Jojo na Almasi walifika nyumbani kwa Mama Pembetatu
"Chifu hakuacha pembe yake hapa," Mama Pembetatu alisema.
Mama Pembetatu alijua mahali wangeipata ile pembe.
Ilikuwa jioni walipowasili nyumbani kwa Chifu Mfupi na Duara.
Mama Pembetatu alimwelekezea chifu kidole. "Umeifunga pembe yako kichwani."
Chifu Mfupi na Duara alimpa Jojo ile pembe kuipuliza. Wote walifurahi tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pembe ya Chifu Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Chifu aliitwa nani | {
"text": [
"Mfupi na Duara"
]
} |
2409_swa | Pembe ya Chifu
Chifu aliyeitwa Mfupi na Duara, alilia, "Nina tatizo kubwa sana."
"Nimeipoteza pembe yangu inayotumika wakati wa upanzi," Chifu Mfupi na Duara alisema.
"Nitaipata pembe yako. Nitaenda kuitafuta nyumbani kwa Mjomba Mstatili," Jojo alisema.
Jojo na Mjomba Mstatili walitafuta kila mahali lakini hawakuipata ile pembe.
"Nenda uone ikiwa Mama Pembetatu anayo ile pembe," Mjomba Mstatili alisema.
Jojo alifika nyumbani kwake akanywa maji baridi kabla kuendelea na safari.
Jojo alimtembelea Almasi na kumwuliza ikiwa angeweza kuambatana naye.
"Si mbali lakini nitatayarisha chakula kidogo ili tubebe," Almasi alisema.
Almasi na Jojo walipumzika na kula chakula chao chini ya mlima wa pembetatu.
Walipokuwa wamepanda nusu ya mlima, walimwona buibui na utando wa ajbu.
Jojo na Almasi walifika nyumbani kwa Mama Pembetatu
"Chifu hakuacha pembe yake hapa," Mama Pembetatu alisema.
Mama Pembetatu alijua mahali wangeipata ile pembe.
Ilikuwa jioni walipowasili nyumbani kwa Chifu Mfupi na Duara.
Mama Pembetatu alimwelekezea chifu kidole. "Umeifunga pembe yako kichwani."
Chifu Mfupi na Duara alimpa Jojo ile pembe kuipuliza. Wote walifurahi tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pembe ya Chifu Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Chifu alipoteza nini | {
"text": [
"pembe"
]
} |
2409_swa | Pembe ya Chifu
Chifu aliyeitwa Mfupi na Duara, alilia, "Nina tatizo kubwa sana."
"Nimeipoteza pembe yangu inayotumika wakati wa upanzi," Chifu Mfupi na Duara alisema.
"Nitaipata pembe yako. Nitaenda kuitafuta nyumbani kwa Mjomba Mstatili," Jojo alisema.
Jojo na Mjomba Mstatili walitafuta kila mahali lakini hawakuipata ile pembe.
"Nenda uone ikiwa Mama Pembetatu anayo ile pembe," Mjomba Mstatili alisema.
Jojo alifika nyumbani kwake akanywa maji baridi kabla kuendelea na safari.
Jojo alimtembelea Almasi na kumwuliza ikiwa angeweza kuambatana naye.
"Si mbali lakini nitatayarisha chakula kidogo ili tubebe," Almasi alisema.
Almasi na Jojo walipumzika na kula chakula chao chini ya mlima wa pembetatu.
Walipokuwa wamepanda nusu ya mlima, walimwona buibui na utando wa ajbu.
Jojo na Almasi walifika nyumbani kwa Mama Pembetatu
"Chifu hakuacha pembe yake hapa," Mama Pembetatu alisema.
Mama Pembetatu alijua mahali wangeipata ile pembe.
Ilikuwa jioni walipowasili nyumbani kwa Chifu Mfupi na Duara.
Mama Pembetatu alimwelekezea chifu kidole. "Umeifunga pembe yako kichwani."
Chifu Mfupi na Duara alimpa Jojo ile pembe kuipuliza. Wote walifurahi tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pembe ya Chifu Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pembe ya upanzi hutumika lini | {
"text": [
"wakati wa upanzi"
]
} |
2409_swa | Pembe ya Chifu
Chifu aliyeitwa Mfupi na Duara, alilia, "Nina tatizo kubwa sana."
"Nimeipoteza pembe yangu inayotumika wakati wa upanzi," Chifu Mfupi na Duara alisema.
"Nitaipata pembe yako. Nitaenda kuitafuta nyumbani kwa Mjomba Mstatili," Jojo alisema.
Jojo na Mjomba Mstatili walitafuta kila mahali lakini hawakuipata ile pembe.
"Nenda uone ikiwa Mama Pembetatu anayo ile pembe," Mjomba Mstatili alisema.
Jojo alifika nyumbani kwake akanywa maji baridi kabla kuendelea na safari.
Jojo alimtembelea Almasi na kumwuliza ikiwa angeweza kuambatana naye.
"Si mbali lakini nitatayarisha chakula kidogo ili tubebe," Almasi alisema.
Almasi na Jojo walipumzika na kula chakula chao chini ya mlima wa pembetatu.
Walipokuwa wamepanda nusu ya mlima, walimwona buibui na utando wa ajbu.
Jojo na Almasi walifika nyumbani kwa Mama Pembetatu
"Chifu hakuacha pembe yake hapa," Mama Pembetatu alisema.
Mama Pembetatu alijua mahali wangeipata ile pembe.
Ilikuwa jioni walipowasili nyumbani kwa Chifu Mfupi na Duara.
Mama Pembetatu alimwelekezea chifu kidole. "Umeifunga pembe yako kichwani."
Chifu Mfupi na Duara alimpa Jojo ile pembe kuipuliza. Wote walifurahi tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pembe ya Chifu Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Jojo alisema angeenda kuitafuta pembe wapi | {
"text": [
"nyumbani kwa Mjomba Msatili"
]
} |
2409_swa | Pembe ya Chifu
Chifu aliyeitwa Mfupi na Duara, alilia, "Nina tatizo kubwa sana."
"Nimeipoteza pembe yangu inayotumika wakati wa upanzi," Chifu Mfupi na Duara alisema.
"Nitaipata pembe yako. Nitaenda kuitafuta nyumbani kwa Mjomba Mstatili," Jojo alisema.
Jojo na Mjomba Mstatili walitafuta kila mahali lakini hawakuipata ile pembe.
"Nenda uone ikiwa Mama Pembetatu anayo ile pembe," Mjomba Mstatili alisema.
Jojo alifika nyumbani kwake akanywa maji baridi kabla kuendelea na safari.
Jojo alimtembelea Almasi na kumwuliza ikiwa angeweza kuambatana naye.
"Si mbali lakini nitatayarisha chakula kidogo ili tubebe," Almasi alisema.
Almasi na Jojo walipumzika na kula chakula chao chini ya mlima wa pembetatu.
Walipokuwa wamepanda nusu ya mlima, walimwona buibui na utando wa ajbu.
Jojo na Almasi walifika nyumbani kwa Mama Pembetatu
"Chifu hakuacha pembe yake hapa," Mama Pembetatu alisema.
Mama Pembetatu alijua mahali wangeipata ile pembe.
Ilikuwa jioni walipowasili nyumbani kwa Chifu Mfupi na Duara.
Mama Pembetatu alimwelekezea chifu kidole. "Umeifunga pembe yako kichwani."
Chifu Mfupi na Duara alimpa Jojo ile pembe kuipuliza. Wote walifurahi tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Pembe ya Chifu Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona Chifu Mfupi na Duara alimpa Jojo ile pembe | {
"text": [
"kuipuliza"
]
} |
2410_swa | Petro na mbwa wake
Hapo zamani, kulikuwa na mvulana kwa jina Petro. Alikuwa mwanafunzi mwerevu aliyeibuka wa kwanza darasani. Wazazi wake walijivunia kazi yake nzuri. Lakini, Petro alitamani kuwa na kaka, dada au hata kipenzi cha kucheza naye.
Siku moja, Petro alimwuliza mama, "Ninaweza kwenda nje kucheza? Nimekuwa nikisoma wakati huu wote. Ningependa sasa niende nicheze na marafiki zangu." Mamake alimjibu, "Ni sawa! Nenda, lakini usichelewe!"
Alipokuwa akienda uwanjani, Petro aliona jambo lisilokuwa la kawaida. Alimwona mbwa mdogo mwenye madoadoa. Mbwa huyo alikuwa amekwama shimoni na alikuwa ameogopa. "Usiwe na wasiwasi, sitakuumiza. Nitakusaidia," Petro alimwambia.
Petro alimtoa mbwa yule shimoni. Mbwa alibweka kwa furaha, akacheza cheza na kumlamba Petro. "Utakuwa mbwa wangu," Petro alisema kwa furaha.
Mbwa alikimbia akaenda mbali na Petro. Marafiki za Petro walipomwona mbwa akiwakaribia, walisema, "Mbwa huyu anaweza kutuuma." Walimpiga kwa mawe. Petro alipowaona, alikimbia akiwapigia kelele waache kufanya hivyo.
Marafiki wale hawakumsikia Petro. Mbwa alikimbia haraka alivyoweza ili kuyaokoa maisha yake. Alijificha ili wavulana wale waliokuwa wakimfukuza wasimwone. Hawakumpata.
Marafiki wa Petro walirudi uwanjani na kumkuta Petro akiwa analia. "Kuna nini?" mmoja wao aliuliza. "Mlimfukuza mbwa wangu!" Petro alieleza. Walishangaa na kusema, "Hatukujua kwamba yule alikuwa mbwa wako. Tunakuomba radhi. Twende tumtafute."
"Hakuna maana ya kufanya hivyo. Hatutawahi kumpata," Petro alisema kwa huzuni. "Ndiyo, tutampta. Amka twende, tutampata mbwa wako. Tusipoteze matumaini," marafiki zake walimfariji.
Petro na marafiki zake walimtafuta mbwa kwa muda mrefu hadi wakachoka. Hatimaye, Petro alisema, "Kuna sehemu moja ambapo anaweza kuwa amejificha. Tusipompata huko, sitamtafuta tena. Twendeni mtoni."
Mbwa alipowaona wavulana wakija, aliogopa tena. Aljaribu kuvuka mto lakini vilevile aliyaogopa maji. Alikuwa karibu kuruka majini, wakati Petro alisema, "Acha, usiruke!"
Mbwa alipogeuka na kumwona Petro, alimkimbilia. Petro alimkumbatia mbwa wake naye mbwa akamlamba usoni. "Rafiki yangu! Nilidhani kwamba umepotea kabisa!" Petro alilia.
Walipokuwa uwanjani, Petro aliwashauri marafiki zake. "Kabla ya kuamua kutenda jambo, tafadhali fikirieni kinachoweza kutokea. Mnaweza kuwaumiza wenzenu." Marafiki zake waliwaza juu ya maneno yake kisha wakasema, "Tusamehe. Mbwa huyu atakuwa rafiki yetu pia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Petro na mbwa wake Author - Bethelihem Waltenegus Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Hapo zamani kulikuwa na mvulana aliyeitwa | {
"text": [
"Petro"
]
} |
2410_swa | Petro na mbwa wake
Hapo zamani, kulikuwa na mvulana kwa jina Petro. Alikuwa mwanafunzi mwerevu aliyeibuka wa kwanza darasani. Wazazi wake walijivunia kazi yake nzuri. Lakini, Petro alitamani kuwa na kaka, dada au hata kipenzi cha kucheza naye.
Siku moja, Petro alimwuliza mama, "Ninaweza kwenda nje kucheza? Nimekuwa nikisoma wakati huu wote. Ningependa sasa niende nicheze na marafiki zangu." Mamake alimjibu, "Ni sawa! Nenda, lakini usichelewe!"
Alipokuwa akienda uwanjani, Petro aliona jambo lisilokuwa la kawaida. Alimwona mbwa mdogo mwenye madoadoa. Mbwa huyo alikuwa amekwama shimoni na alikuwa ameogopa. "Usiwe na wasiwasi, sitakuumiza. Nitakusaidia," Petro alimwambia.
Petro alimtoa mbwa yule shimoni. Mbwa alibweka kwa furaha, akacheza cheza na kumlamba Petro. "Utakuwa mbwa wangu," Petro alisema kwa furaha.
Mbwa alikimbia akaenda mbali na Petro. Marafiki za Petro walipomwona mbwa akiwakaribia, walisema, "Mbwa huyu anaweza kutuuma." Walimpiga kwa mawe. Petro alipowaona, alikimbia akiwapigia kelele waache kufanya hivyo.
Marafiki wale hawakumsikia Petro. Mbwa alikimbia haraka alivyoweza ili kuyaokoa maisha yake. Alijificha ili wavulana wale waliokuwa wakimfukuza wasimwone. Hawakumpata.
Marafiki wa Petro walirudi uwanjani na kumkuta Petro akiwa analia. "Kuna nini?" mmoja wao aliuliza. "Mlimfukuza mbwa wangu!" Petro alieleza. Walishangaa na kusema, "Hatukujua kwamba yule alikuwa mbwa wako. Tunakuomba radhi. Twende tumtafute."
"Hakuna maana ya kufanya hivyo. Hatutawahi kumpata," Petro alisema kwa huzuni. "Ndiyo, tutampta. Amka twende, tutampata mbwa wako. Tusipoteze matumaini," marafiki zake walimfariji.
Petro na marafiki zake walimtafuta mbwa kwa muda mrefu hadi wakachoka. Hatimaye, Petro alisema, "Kuna sehemu moja ambapo anaweza kuwa amejificha. Tusipompata huko, sitamtafuta tena. Twendeni mtoni."
Mbwa alipowaona wavulana wakija, aliogopa tena. Aljaribu kuvuka mto lakini vilevile aliyaogopa maji. Alikuwa karibu kuruka majini, wakati Petro alisema, "Acha, usiruke!"
Mbwa alipogeuka na kumwona Petro, alimkimbilia. Petro alimkumbatia mbwa wake naye mbwa akamlamba usoni. "Rafiki yangu! Nilidhani kwamba umepotea kabisa!" Petro alilia.
Walipokuwa uwanjani, Petro aliwashauri marafiki zake. "Kabla ya kuamua kutenda jambo, tafadhali fikirieni kinachoweza kutokea. Mnaweza kuwaumiza wenzenu." Marafiki zake waliwaza juu ya maneno yake kisha wakasema, "Tusamehe. Mbwa huyu atakuwa rafiki yetu pia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Petro na mbwa wake Author - Bethelihem Waltenegus Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Petro alimwona nani | {
"text": [
"Mbwa"
]
} |
2410_swa | Petro na mbwa wake
Hapo zamani, kulikuwa na mvulana kwa jina Petro. Alikuwa mwanafunzi mwerevu aliyeibuka wa kwanza darasani. Wazazi wake walijivunia kazi yake nzuri. Lakini, Petro alitamani kuwa na kaka, dada au hata kipenzi cha kucheza naye.
Siku moja, Petro alimwuliza mama, "Ninaweza kwenda nje kucheza? Nimekuwa nikisoma wakati huu wote. Ningependa sasa niende nicheze na marafiki zangu." Mamake alimjibu, "Ni sawa! Nenda, lakini usichelewe!"
Alipokuwa akienda uwanjani, Petro aliona jambo lisilokuwa la kawaida. Alimwona mbwa mdogo mwenye madoadoa. Mbwa huyo alikuwa amekwama shimoni na alikuwa ameogopa. "Usiwe na wasiwasi, sitakuumiza. Nitakusaidia," Petro alimwambia.
Petro alimtoa mbwa yule shimoni. Mbwa alibweka kwa furaha, akacheza cheza na kumlamba Petro. "Utakuwa mbwa wangu," Petro alisema kwa furaha.
Mbwa alikimbia akaenda mbali na Petro. Marafiki za Petro walipomwona mbwa akiwakaribia, walisema, "Mbwa huyu anaweza kutuuma." Walimpiga kwa mawe. Petro alipowaona, alikimbia akiwapigia kelele waache kufanya hivyo.
Marafiki wale hawakumsikia Petro. Mbwa alikimbia haraka alivyoweza ili kuyaokoa maisha yake. Alijificha ili wavulana wale waliokuwa wakimfukuza wasimwone. Hawakumpata.
Marafiki wa Petro walirudi uwanjani na kumkuta Petro akiwa analia. "Kuna nini?" mmoja wao aliuliza. "Mlimfukuza mbwa wangu!" Petro alieleza. Walishangaa na kusema, "Hatukujua kwamba yule alikuwa mbwa wako. Tunakuomba radhi. Twende tumtafute."
"Hakuna maana ya kufanya hivyo. Hatutawahi kumpata," Petro alisema kwa huzuni. "Ndiyo, tutampta. Amka twende, tutampata mbwa wako. Tusipoteze matumaini," marafiki zake walimfariji.
Petro na marafiki zake walimtafuta mbwa kwa muda mrefu hadi wakachoka. Hatimaye, Petro alisema, "Kuna sehemu moja ambapo anaweza kuwa amejificha. Tusipompata huko, sitamtafuta tena. Twendeni mtoni."
Mbwa alipowaona wavulana wakija, aliogopa tena. Aljaribu kuvuka mto lakini vilevile aliyaogopa maji. Alikuwa karibu kuruka majini, wakati Petro alisema, "Acha, usiruke!"
Mbwa alipogeuka na kumwona Petro, alimkimbilia. Petro alimkumbatia mbwa wake naye mbwa akamlamba usoni. "Rafiki yangu! Nilidhani kwamba umepotea kabisa!" Petro alilia.
Walipokuwa uwanjani, Petro aliwashauri marafiki zake. "Kabla ya kuamua kutenda jambo, tafadhali fikirieni kinachoweza kutokea. Mnaweza kuwaumiza wenzenu." Marafiki zake waliwaza juu ya maneno yake kisha wakasema, "Tusamehe. Mbwa huyu atakuwa rafiki yetu pia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Petro na mbwa wake Author - Bethelihem Waltenegus Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Marafiki wa Petro walimpiga mbwa na nini | {
"text": [
"Mawe"
]
} |
2410_swa | Petro na mbwa wake
Hapo zamani, kulikuwa na mvulana kwa jina Petro. Alikuwa mwanafunzi mwerevu aliyeibuka wa kwanza darasani. Wazazi wake walijivunia kazi yake nzuri. Lakini, Petro alitamani kuwa na kaka, dada au hata kipenzi cha kucheza naye.
Siku moja, Petro alimwuliza mama, "Ninaweza kwenda nje kucheza? Nimekuwa nikisoma wakati huu wote. Ningependa sasa niende nicheze na marafiki zangu." Mamake alimjibu, "Ni sawa! Nenda, lakini usichelewe!"
Alipokuwa akienda uwanjani, Petro aliona jambo lisilokuwa la kawaida. Alimwona mbwa mdogo mwenye madoadoa. Mbwa huyo alikuwa amekwama shimoni na alikuwa ameogopa. "Usiwe na wasiwasi, sitakuumiza. Nitakusaidia," Petro alimwambia.
Petro alimtoa mbwa yule shimoni. Mbwa alibweka kwa furaha, akacheza cheza na kumlamba Petro. "Utakuwa mbwa wangu," Petro alisema kwa furaha.
Mbwa alikimbia akaenda mbali na Petro. Marafiki za Petro walipomwona mbwa akiwakaribia, walisema, "Mbwa huyu anaweza kutuuma." Walimpiga kwa mawe. Petro alipowaona, alikimbia akiwapigia kelele waache kufanya hivyo.
Marafiki wale hawakumsikia Petro. Mbwa alikimbia haraka alivyoweza ili kuyaokoa maisha yake. Alijificha ili wavulana wale waliokuwa wakimfukuza wasimwone. Hawakumpata.
Marafiki wa Petro walirudi uwanjani na kumkuta Petro akiwa analia. "Kuna nini?" mmoja wao aliuliza. "Mlimfukuza mbwa wangu!" Petro alieleza. Walishangaa na kusema, "Hatukujua kwamba yule alikuwa mbwa wako. Tunakuomba radhi. Twende tumtafute."
"Hakuna maana ya kufanya hivyo. Hatutawahi kumpata," Petro alisema kwa huzuni. "Ndiyo, tutampta. Amka twende, tutampata mbwa wako. Tusipoteze matumaini," marafiki zake walimfariji.
Petro na marafiki zake walimtafuta mbwa kwa muda mrefu hadi wakachoka. Hatimaye, Petro alisema, "Kuna sehemu moja ambapo anaweza kuwa amejificha. Tusipompata huko, sitamtafuta tena. Twendeni mtoni."
Mbwa alipowaona wavulana wakija, aliogopa tena. Aljaribu kuvuka mto lakini vilevile aliyaogopa maji. Alikuwa karibu kuruka majini, wakati Petro alisema, "Acha, usiruke!"
Mbwa alipogeuka na kumwona Petro, alimkimbilia. Petro alimkumbatia mbwa wake naye mbwa akamlamba usoni. "Rafiki yangu! Nilidhani kwamba umepotea kabisa!" Petro alilia.
Walipokuwa uwanjani, Petro aliwashauri marafiki zake. "Kabla ya kuamua kutenda jambo, tafadhali fikirieni kinachoweza kutokea. Mnaweza kuwaumiza wenzenu." Marafiki zake waliwaza juu ya maneno yake kisha wakasema, "Tusamehe. Mbwa huyu atakuwa rafiki yetu pia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Petro na mbwa wake Author - Bethelihem Waltenegus Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nini ilipotea hadi Petro akalia | {
"text": [
"Mbwa"
]
} |
2410_swa | Petro na mbwa wake
Hapo zamani, kulikuwa na mvulana kwa jina Petro. Alikuwa mwanafunzi mwerevu aliyeibuka wa kwanza darasani. Wazazi wake walijivunia kazi yake nzuri. Lakini, Petro alitamani kuwa na kaka, dada au hata kipenzi cha kucheza naye.
Siku moja, Petro alimwuliza mama, "Ninaweza kwenda nje kucheza? Nimekuwa nikisoma wakati huu wote. Ningependa sasa niende nicheze na marafiki zangu." Mamake alimjibu, "Ni sawa! Nenda, lakini usichelewe!"
Alipokuwa akienda uwanjani, Petro aliona jambo lisilokuwa la kawaida. Alimwona mbwa mdogo mwenye madoadoa. Mbwa huyo alikuwa amekwama shimoni na alikuwa ameogopa. "Usiwe na wasiwasi, sitakuumiza. Nitakusaidia," Petro alimwambia.
Petro alimtoa mbwa yule shimoni. Mbwa alibweka kwa furaha, akacheza cheza na kumlamba Petro. "Utakuwa mbwa wangu," Petro alisema kwa furaha.
Mbwa alikimbia akaenda mbali na Petro. Marafiki za Petro walipomwona mbwa akiwakaribia, walisema, "Mbwa huyu anaweza kutuuma." Walimpiga kwa mawe. Petro alipowaona, alikimbia akiwapigia kelele waache kufanya hivyo.
Marafiki wale hawakumsikia Petro. Mbwa alikimbia haraka alivyoweza ili kuyaokoa maisha yake. Alijificha ili wavulana wale waliokuwa wakimfukuza wasimwone. Hawakumpata.
Marafiki wa Petro walirudi uwanjani na kumkuta Petro akiwa analia. "Kuna nini?" mmoja wao aliuliza. "Mlimfukuza mbwa wangu!" Petro alieleza. Walishangaa na kusema, "Hatukujua kwamba yule alikuwa mbwa wako. Tunakuomba radhi. Twende tumtafute."
"Hakuna maana ya kufanya hivyo. Hatutawahi kumpata," Petro alisema kwa huzuni. "Ndiyo, tutampta. Amka twende, tutampata mbwa wako. Tusipoteze matumaini," marafiki zake walimfariji.
Petro na marafiki zake walimtafuta mbwa kwa muda mrefu hadi wakachoka. Hatimaye, Petro alisema, "Kuna sehemu moja ambapo anaweza kuwa amejificha. Tusipompata huko, sitamtafuta tena. Twendeni mtoni."
Mbwa alipowaona wavulana wakija, aliogopa tena. Aljaribu kuvuka mto lakini vilevile aliyaogopa maji. Alikuwa karibu kuruka majini, wakati Petro alisema, "Acha, usiruke!"
Mbwa alipogeuka na kumwona Petro, alimkimbilia. Petro alimkumbatia mbwa wake naye mbwa akamlamba usoni. "Rafiki yangu! Nilidhani kwamba umepotea kabisa!" Petro alilia.
Walipokuwa uwanjani, Petro aliwashauri marafiki zake. "Kabla ya kuamua kutenda jambo, tafadhali fikirieni kinachoweza kutokea. Mnaweza kuwaumiza wenzenu." Marafiki zake waliwaza juu ya maneno yake kisha wakasema, "Tusamehe. Mbwa huyu atakuwa rafiki yetu pia."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Petro na mbwa wake Author - Bethelihem Waltenegus Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini marafiki wa Petro walisema wasamehewe | {
"text": [
"Kwa kumpiga mbwa kwa mawe"
]
} |
2415_swa | Rafiki ya Atieno
Kuliishi msichana mdogo katika kijiji kimoja karibu na ziwa. Aliitwa Atieno.
Babake Atieno alikuwa mvuvi mashuhuri. Alikuwa na mtumbwi wake wa kuvua samaki. Atieno alifurahi kwenda kuvua samaki na babake.
Atieno aliwatazama wavulana wakicheza mpira wa miguu. "Hebu nicheze nanyi," aliwashihi siku moja. Wavulana wale walimcheka, "Nenda ukacheze kidalipo na wasichana wenzako."
Wasichana nao walimwambia Atieno, "Miguu yako ni mirefu mno." Atieno alihuzunika. Atieno alianza kulichezea jua kila asubuhi. Jua likawa rafiki yake.
Siku moja, jua halikuchomoza. Jogoo hawakuwika, ndege hawakuimba na watoto hawakwenda shuleni. Hata babake hakwenda kuvua samaki. Atieno alihuzunika. "Wapi rafiki yangu jua? Kwa nini leo kuna giza?"
Atieno alienda kuwaambia watoto wengine namna alivyohuzunika. Lakini, walimcheka, "Labda jua limefariki. Au pengine limekutoroka." Atieno aliwajibu, "Jua ni rafiki yangu. Haliwezi kufa."
Atieno alihuzunika sana hata akakimbia kwenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kwa makosa nao ulikigonga kibuyu cha mafuta.
Atieno aliwaza, "Nitaucheza mpira huu hadi rafiki yangu jua litakaporudi." Aliuchukua mpira na kukimbia nao nje.
Atieno alipofika nje, aliuweka mpira chini akawaza, "Ninaweza kucheza kama wao wanavyocheza." Aliugonga mpira kwa nguvu ukaruka juu angani.
Kila mmoja akitazama juu, mpira ulitokomea kwenye mawingu mazito. Kulikuwa na kimya kikubwa.
Ghafla, mawingu yaliyokuwa mazito yalipungua na jua likatokezea. Kijiji hicho kikawa hai tena. Kila mmoja akajitayarisha kufanya kazi aliyozoea kufanya.
Atieno hakuweza kuamini kwamba alikuwa amelirejesha jua kijijini. Lakini zaidi ya yote, jua lilikuwa limerudi maishani mwake. Aliwaeleza watoto, "Jua ni rafiki yangu na limerudi."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki ya Atieno Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Atieno aliishi katika kijiji kilichokuwa wapi | {
"text": [
"karibu na Ziwa"
]
} |
2415_swa | Rafiki ya Atieno
Kuliishi msichana mdogo katika kijiji kimoja karibu na ziwa. Aliitwa Atieno.
Babake Atieno alikuwa mvuvi mashuhuri. Alikuwa na mtumbwi wake wa kuvua samaki. Atieno alifurahi kwenda kuvua samaki na babake.
Atieno aliwatazama wavulana wakicheza mpira wa miguu. "Hebu nicheze nanyi," aliwashihi siku moja. Wavulana wale walimcheka, "Nenda ukacheze kidalipo na wasichana wenzako."
Wasichana nao walimwambia Atieno, "Miguu yako ni mirefu mno." Atieno alihuzunika. Atieno alianza kulichezea jua kila asubuhi. Jua likawa rafiki yake.
Siku moja, jua halikuchomoza. Jogoo hawakuwika, ndege hawakuimba na watoto hawakwenda shuleni. Hata babake hakwenda kuvua samaki. Atieno alihuzunika. "Wapi rafiki yangu jua? Kwa nini leo kuna giza?"
Atieno alienda kuwaambia watoto wengine namna alivyohuzunika. Lakini, walimcheka, "Labda jua limefariki. Au pengine limekutoroka." Atieno aliwajibu, "Jua ni rafiki yangu. Haliwezi kufa."
Atieno alihuzunika sana hata akakimbia kwenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kwa makosa nao ulikigonga kibuyu cha mafuta.
Atieno aliwaza, "Nitaucheza mpira huu hadi rafiki yangu jua litakaporudi." Aliuchukua mpira na kukimbia nao nje.
Atieno alipofika nje, aliuweka mpira chini akawaza, "Ninaweza kucheza kama wao wanavyocheza." Aliugonga mpira kwa nguvu ukaruka juu angani.
Kila mmoja akitazama juu, mpira ulitokomea kwenye mawingu mazito. Kulikuwa na kimya kikubwa.
Ghafla, mawingu yaliyokuwa mazito yalipungua na jua likatokezea. Kijiji hicho kikawa hai tena. Kila mmoja akajitayarisha kufanya kazi aliyozoea kufanya.
Atieno hakuweza kuamini kwamba alikuwa amelirejesha jua kijijini. Lakini zaidi ya yote, jua lilikuwa limerudi maishani mwake. Aliwaeleza watoto, "Jua ni rafiki yangu na limerudi."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki ya Atieno Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kina nani walicheza mpira wa miguu | {
"text": [
"wavulana"
]
} |
2415_swa | Rafiki ya Atieno
Kuliishi msichana mdogo katika kijiji kimoja karibu na ziwa. Aliitwa Atieno.
Babake Atieno alikuwa mvuvi mashuhuri. Alikuwa na mtumbwi wake wa kuvua samaki. Atieno alifurahi kwenda kuvua samaki na babake.
Atieno aliwatazama wavulana wakicheza mpira wa miguu. "Hebu nicheze nanyi," aliwashihi siku moja. Wavulana wale walimcheka, "Nenda ukacheze kidalipo na wasichana wenzako."
Wasichana nao walimwambia Atieno, "Miguu yako ni mirefu mno." Atieno alihuzunika. Atieno alianza kulichezea jua kila asubuhi. Jua likawa rafiki yake.
Siku moja, jua halikuchomoza. Jogoo hawakuwika, ndege hawakuimba na watoto hawakwenda shuleni. Hata babake hakwenda kuvua samaki. Atieno alihuzunika. "Wapi rafiki yangu jua? Kwa nini leo kuna giza?"
Atieno alienda kuwaambia watoto wengine namna alivyohuzunika. Lakini, walimcheka, "Labda jua limefariki. Au pengine limekutoroka." Atieno aliwajibu, "Jua ni rafiki yangu. Haliwezi kufa."
Atieno alihuzunika sana hata akakimbia kwenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kwa makosa nao ulikigonga kibuyu cha mafuta.
Atieno aliwaza, "Nitaucheza mpira huu hadi rafiki yangu jua litakaporudi." Aliuchukua mpira na kukimbia nao nje.
Atieno alipofika nje, aliuweka mpira chini akawaza, "Ninaweza kucheza kama wao wanavyocheza." Aliugonga mpira kwa nguvu ukaruka juu angani.
Kila mmoja akitazama juu, mpira ulitokomea kwenye mawingu mazito. Kulikuwa na kimya kikubwa.
Ghafla, mawingu yaliyokuwa mazito yalipungua na jua likatokezea. Kijiji hicho kikawa hai tena. Kila mmoja akajitayarisha kufanya kazi aliyozoea kufanya.
Atieno hakuweza kuamini kwamba alikuwa amelirejesha jua kijijini. Lakini zaidi ya yote, jua lilikuwa limerudi maishani mwake. Aliwaeleza watoto, "Jua ni rafiki yangu na limerudi."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki ya Atieno Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Atieno alichezea jua lini | {
"text": [
"kila asubuhi"
]
} |
2415_swa | Rafiki ya Atieno
Kuliishi msichana mdogo katika kijiji kimoja karibu na ziwa. Aliitwa Atieno.
Babake Atieno alikuwa mvuvi mashuhuri. Alikuwa na mtumbwi wake wa kuvua samaki. Atieno alifurahi kwenda kuvua samaki na babake.
Atieno aliwatazama wavulana wakicheza mpira wa miguu. "Hebu nicheze nanyi," aliwashihi siku moja. Wavulana wale walimcheka, "Nenda ukacheze kidalipo na wasichana wenzako."
Wasichana nao walimwambia Atieno, "Miguu yako ni mirefu mno." Atieno alihuzunika. Atieno alianza kulichezea jua kila asubuhi. Jua likawa rafiki yake.
Siku moja, jua halikuchomoza. Jogoo hawakuwika, ndege hawakuimba na watoto hawakwenda shuleni. Hata babake hakwenda kuvua samaki. Atieno alihuzunika. "Wapi rafiki yangu jua? Kwa nini leo kuna giza?"
Atieno alienda kuwaambia watoto wengine namna alivyohuzunika. Lakini, walimcheka, "Labda jua limefariki. Au pengine limekutoroka." Atieno aliwajibu, "Jua ni rafiki yangu. Haliwezi kufa."
Atieno alihuzunika sana hata akakimbia kwenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kwa makosa nao ulikigonga kibuyu cha mafuta.
Atieno aliwaza, "Nitaucheza mpira huu hadi rafiki yangu jua litakaporudi." Aliuchukua mpira na kukimbia nao nje.
Atieno alipofika nje, aliuweka mpira chini akawaza, "Ninaweza kucheza kama wao wanavyocheza." Aliugonga mpira kwa nguvu ukaruka juu angani.
Kila mmoja akitazama juu, mpira ulitokomea kwenye mawingu mazito. Kulikuwa na kimya kikubwa.
Ghafla, mawingu yaliyokuwa mazito yalipungua na jua likatokezea. Kijiji hicho kikawa hai tena. Kila mmoja akajitayarisha kufanya kazi aliyozoea kufanya.
Atieno hakuweza kuamini kwamba alikuwa amelirejesha jua kijijini. Lakini zaidi ya yote, jua lilikuwa limerudi maishani mwake. Aliwaeleza watoto, "Jua ni rafiki yangu na limerudi."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki ya Atieno Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mpira ulitokomea wapi | {
"text": [
"kwenye mawingu mazito"
]
} |
2415_swa | Rafiki ya Atieno
Kuliishi msichana mdogo katika kijiji kimoja karibu na ziwa. Aliitwa Atieno.
Babake Atieno alikuwa mvuvi mashuhuri. Alikuwa na mtumbwi wake wa kuvua samaki. Atieno alifurahi kwenda kuvua samaki na babake.
Atieno aliwatazama wavulana wakicheza mpira wa miguu. "Hebu nicheze nanyi," aliwashihi siku moja. Wavulana wale walimcheka, "Nenda ukacheze kidalipo na wasichana wenzako."
Wasichana nao walimwambia Atieno, "Miguu yako ni mirefu mno." Atieno alihuzunika. Atieno alianza kulichezea jua kila asubuhi. Jua likawa rafiki yake.
Siku moja, jua halikuchomoza. Jogoo hawakuwika, ndege hawakuimba na watoto hawakwenda shuleni. Hata babake hakwenda kuvua samaki. Atieno alihuzunika. "Wapi rafiki yangu jua? Kwa nini leo kuna giza?"
Atieno alienda kuwaambia watoto wengine namna alivyohuzunika. Lakini, walimcheka, "Labda jua limefariki. Au pengine limekutoroka." Atieno aliwajibu, "Jua ni rafiki yangu. Haliwezi kufa."
Atieno alihuzunika sana hata akakimbia kwenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kwa makosa nao ulikigonga kibuyu cha mafuta.
Atieno aliwaza, "Nitaucheza mpira huu hadi rafiki yangu jua litakaporudi." Aliuchukua mpira na kukimbia nao nje.
Atieno alipofika nje, aliuweka mpira chini akawaza, "Ninaweza kucheza kama wao wanavyocheza." Aliugonga mpira kwa nguvu ukaruka juu angani.
Kila mmoja akitazama juu, mpira ulitokomea kwenye mawingu mazito. Kulikuwa na kimya kikubwa.
Ghafla, mawingu yaliyokuwa mazito yalipungua na jua likatokezea. Kijiji hicho kikawa hai tena. Kila mmoja akajitayarisha kufanya kazi aliyozoea kufanya.
Atieno hakuweza kuamini kwamba alikuwa amelirejesha jua kijijini. Lakini zaidi ya yote, jua lilikuwa limerudi maishani mwake. Aliwaeleza watoto, "Jua ni rafiki yangu na limerudi."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki ya Atieno Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona kijiji hicho kilikuwa hai tena | {
"text": [
"jua lilitokezea"
]
} |
2416_swa | Rafiki yangu, Adui yangu
Katika mtaa wa Mfalele, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Bobo. Aliishi na wazazi wake.
Bobo aliwaheshimu wazazi wake na watu wote mtaani kwao.
Jumatatu ni siku inayokuwa na shughuli nyingi pale mtaani. Watoto hujitayarisha kurudi shuleni baada ya wikendi. Siku moja Bobo alipokuwa njiani kwenda shule, alikutana na rafikiye, Jeuri.
Jeuri alipenda kupigana na kuwachokoza wengine. Mara nyingi alikosa kuhudhuria shule. Alikuwa mvulana mtundu aliyecheza Kamari na kuandamana na watu wengine waovu. Jeuri alimshawishi Bobo. Bobo hakupenda kuachwa na wavulana wengine. Polepole, alianza kuwa na tabia mbaya kama Jeuri.
Bobo alianza kuwachokoza watu. Pia, hakuwaheshimu wazazi wake na watu wengine. Alianza kulewa akashindwa kujitunza.
Bobo hakuyajali maisha yake. Aliambukizwa ugonjwa wa zinaa. Alipoanza kukonda, Jeuri alimfanya mzaha na kuukatiza urafiki wao. Wazazi wa Bobo walimhimiza aitembelea kliniki iliyokuwa karibu apate matibabu. Alitibiwa na akapata nafuu.
Bobo alitafakari juu ya maisha yake akaamua kubadilika. Aligundua kwamba alikuwa amefanya urafiki na adui. Alianza kutia bidii masomoni na kuwaomba msamaha wazazi wake na walimu.
Mwanzoni, Jeuri alikasirika alipomwana Bobo akibadilika na kuwa mwema. Baadaye, alianza kujutia tabia zake mbaya.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu, Adui yangu Author - Smangaliso Molebale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Thulani Mhlanga Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was selected as one of the 7 winning stories from the Writing in your mother tongue writing competition partnership between Saulsville Library and the African Storybook Initiative. | Katika mtaa wa Mfalele kulikuwa na mvulana aliyeitwa nani | {
"text": [
"Bobo"
]
} |
2416_swa | Rafiki yangu, Adui yangu
Katika mtaa wa Mfalele, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Bobo. Aliishi na wazazi wake.
Bobo aliwaheshimu wazazi wake na watu wote mtaani kwao.
Jumatatu ni siku inayokuwa na shughuli nyingi pale mtaani. Watoto hujitayarisha kurudi shuleni baada ya wikendi. Siku moja Bobo alipokuwa njiani kwenda shule, alikutana na rafikiye, Jeuri.
Jeuri alipenda kupigana na kuwachokoza wengine. Mara nyingi alikosa kuhudhuria shule. Alikuwa mvulana mtundu aliyecheza Kamari na kuandamana na watu wengine waovu. Jeuri alimshawishi Bobo. Bobo hakupenda kuachwa na wavulana wengine. Polepole, alianza kuwa na tabia mbaya kama Jeuri.
Bobo alianza kuwachokoza watu. Pia, hakuwaheshimu wazazi wake na watu wengine. Alianza kulewa akashindwa kujitunza.
Bobo hakuyajali maisha yake. Aliambukizwa ugonjwa wa zinaa. Alipoanza kukonda, Jeuri alimfanya mzaha na kuukatiza urafiki wao. Wazazi wa Bobo walimhimiza aitembelea kliniki iliyokuwa karibu apate matibabu. Alitibiwa na akapata nafuu.
Bobo alitafakari juu ya maisha yake akaamua kubadilika. Aligundua kwamba alikuwa amefanya urafiki na adui. Alianza kutia bidii masomoni na kuwaomba msamaha wazazi wake na walimu.
Mwanzoni, Jeuri alikasirika alipomwana Bobo akibadilika na kuwa mwema. Baadaye, alianza kujutia tabia zake mbaya.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu, Adui yangu Author - Smangaliso Molebale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Thulani Mhlanga Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was selected as one of the 7 winning stories from the Writing in your mother tongue writing competition partnership between Saulsville Library and the African Storybook Initiative. | Bobo aliishi na nani | {
"text": [
"Wazazi wake"
]
} |
2416_swa | Rafiki yangu, Adui yangu
Katika mtaa wa Mfalele, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Bobo. Aliishi na wazazi wake.
Bobo aliwaheshimu wazazi wake na watu wote mtaani kwao.
Jumatatu ni siku inayokuwa na shughuli nyingi pale mtaani. Watoto hujitayarisha kurudi shuleni baada ya wikendi. Siku moja Bobo alipokuwa njiani kwenda shule, alikutana na rafikiye, Jeuri.
Jeuri alipenda kupigana na kuwachokoza wengine. Mara nyingi alikosa kuhudhuria shule. Alikuwa mvulana mtundu aliyecheza Kamari na kuandamana na watu wengine waovu. Jeuri alimshawishi Bobo. Bobo hakupenda kuachwa na wavulana wengine. Polepole, alianza kuwa na tabia mbaya kama Jeuri.
Bobo alianza kuwachokoza watu. Pia, hakuwaheshimu wazazi wake na watu wengine. Alianza kulewa akashindwa kujitunza.
Bobo hakuyajali maisha yake. Aliambukizwa ugonjwa wa zinaa. Alipoanza kukonda, Jeuri alimfanya mzaha na kuukatiza urafiki wao. Wazazi wa Bobo walimhimiza aitembelea kliniki iliyokuwa karibu apate matibabu. Alitibiwa na akapata nafuu.
Bobo alitafakari juu ya maisha yake akaamua kubadilika. Aligundua kwamba alikuwa amefanya urafiki na adui. Alianza kutia bidii masomoni na kuwaomba msamaha wazazi wake na walimu.
Mwanzoni, Jeuri alikasirika alipomwana Bobo akibadilika na kuwa mwema. Baadaye, alianza kujutia tabia zake mbaya.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu, Adui yangu Author - Smangaliso Molebale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Thulani Mhlanga Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was selected as one of the 7 winning stories from the Writing in your mother tongue writing competition partnership between Saulsville Library and the African Storybook Initiative. | Bobo alitafakari juu ya maisha yake akaamua kufanya nini | {
"text": [
"Kubadilika"
]
} |
2416_swa | Rafiki yangu, Adui yangu
Katika mtaa wa Mfalele, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Bobo. Aliishi na wazazi wake.
Bobo aliwaheshimu wazazi wake na watu wote mtaani kwao.
Jumatatu ni siku inayokuwa na shughuli nyingi pale mtaani. Watoto hujitayarisha kurudi shuleni baada ya wikendi. Siku moja Bobo alipokuwa njiani kwenda shule, alikutana na rafikiye, Jeuri.
Jeuri alipenda kupigana na kuwachokoza wengine. Mara nyingi alikosa kuhudhuria shule. Alikuwa mvulana mtundu aliyecheza Kamari na kuandamana na watu wengine waovu. Jeuri alimshawishi Bobo. Bobo hakupenda kuachwa na wavulana wengine. Polepole, alianza kuwa na tabia mbaya kama Jeuri.
Bobo alianza kuwachokoza watu. Pia, hakuwaheshimu wazazi wake na watu wengine. Alianza kulewa akashindwa kujitunza.
Bobo hakuyajali maisha yake. Aliambukizwa ugonjwa wa zinaa. Alipoanza kukonda, Jeuri alimfanya mzaha na kuukatiza urafiki wao. Wazazi wa Bobo walimhimiza aitembelea kliniki iliyokuwa karibu apate matibabu. Alitibiwa na akapata nafuu.
Bobo alitafakari juu ya maisha yake akaamua kubadilika. Aligundua kwamba alikuwa amefanya urafiki na adui. Alianza kutia bidii masomoni na kuwaomba msamaha wazazi wake na walimu.
Mwanzoni, Jeuri alikasirika alipomwana Bobo akibadilika na kuwa mwema. Baadaye, alianza kujutia tabia zake mbaya.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu, Adui yangu Author - Smangaliso Molebale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Thulani Mhlanga Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was selected as one of the 7 winning stories from the Writing in your mother tongue writing competition partnership between Saulsville Library and the African Storybook Initiative. | Bobo aligundua kwamba amefanya urafiki na nani | {
"text": [
"Adui"
]
} |
2416_swa | Rafiki yangu, Adui yangu
Katika mtaa wa Mfalele, kulikuwa na mvulana aliyeitwa Bobo. Aliishi na wazazi wake.
Bobo aliwaheshimu wazazi wake na watu wote mtaani kwao.
Jumatatu ni siku inayokuwa na shughuli nyingi pale mtaani. Watoto hujitayarisha kurudi shuleni baada ya wikendi. Siku moja Bobo alipokuwa njiani kwenda shule, alikutana na rafikiye, Jeuri.
Jeuri alipenda kupigana na kuwachokoza wengine. Mara nyingi alikosa kuhudhuria shule. Alikuwa mvulana mtundu aliyecheza Kamari na kuandamana na watu wengine waovu. Jeuri alimshawishi Bobo. Bobo hakupenda kuachwa na wavulana wengine. Polepole, alianza kuwa na tabia mbaya kama Jeuri.
Bobo alianza kuwachokoza watu. Pia, hakuwaheshimu wazazi wake na watu wengine. Alianza kulewa akashindwa kujitunza.
Bobo hakuyajali maisha yake. Aliambukizwa ugonjwa wa zinaa. Alipoanza kukonda, Jeuri alimfanya mzaha na kuukatiza urafiki wao. Wazazi wa Bobo walimhimiza aitembelea kliniki iliyokuwa karibu apate matibabu. Alitibiwa na akapata nafuu.
Bobo alitafakari juu ya maisha yake akaamua kubadilika. Aligundua kwamba alikuwa amefanya urafiki na adui. Alianza kutia bidii masomoni na kuwaomba msamaha wazazi wake na walimu.
Mwanzoni, Jeuri alikasirika alipomwana Bobo akibadilika na kuwa mwema. Baadaye, alianza kujutia tabia zake mbaya.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu, Adui yangu Author - Smangaliso Molebale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Thulani Mhlanga Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was selected as one of the 7 winning stories from the Writing in your mother tongue writing competition partnership between Saulsville Library and the African Storybook Initiative. | Mbona Jeuri alikasirika | {
"text": [
"Kwa sababu alimwona Bobo akibadilika na kuwa mwema"
]
} |
2417_swa | Rafiki yangu Koko
Nilipokuwa wa umri wa miaka mitano, mjombangu alinipa zawadi ya mbwa mdogo wa wiki tatu! Siku mjomba aliniletea mbwa huyo, nilifurahi sana. Nilijua kuwa nilikuwa nimempata rafiki.
Nilipomweka chini, mjomba alinigeukia na kuniuliza, "Utamwitaje?" Nilimwangalia mbwa wangu kisha nikasema, "Ataitwa KoKo." Mjombangu alishangaa sana akaniuliza, "Mbona unamwita Koko?" "Kwa sababu rangi yake ni kama kakao," nilimjibu.
Nilimwuliza mjomba iwapo Koko alizaliwa peke yake. Mjomba alisema kwamba alikuwa na nduguye aliyemfanana kabisa. Nilienda kumwona nduguye Koko.
Koko alipomwona nduguye, alichangamka sana. Wawili hao waliweka vichwa vyao pamoja kama waliokuwa wakiongea.
Nilimwuliza mjomba ikiwa ningeweza kuishi na Koko na nduguye. Alisema, "Ni sawa wewe kuwaweka wote wawili. Lakini lazima uwalinde vizuri." Kila jioni, nilicheza nao na kuwafanyisha mazoezi.
Miezi michache baadaye, Koko na nduguye walikuwa wamekua wakubwa. Walikuwa wenye nguvu na afya. Singeweza kuwachunga peke yangu tena.
Nilimwuliza mjomba kumrudisha nduguye Koko kwake. Koko alipoachwa peke yake, alihuzunika mno. Alikuwa kama anayeniuliza, "Kwa nini ulifanya hivyo?"
Koko alikoma kucheza. Wakati mwingine alikataa kwenda nami matembezini akipendelea tu kulala nje ya nyumba yetu. Wakati mwingine alikula chakula kidogo sana. Nilikuwa na wasiwasi. Nilijiuliza vipi ningeweza kumsaidia Koko?
Siku moja mjombangu alitutembelea. Niliposikia sauti yake, nilienda haraka nje. Kabla ya kumwona, nilisikia mbwa wakibweka.
Nyuma ya jikoni, Koko na nduguye walikuwa wakicheza!
Nilifurahi sana hadi sikujua nimkumbatie nani kwanza, Koko au mjombangu. Nilijua kwamba Koko angerejelea ile hali yake ya kwaida. Tungeanza tena kufanya mazoezi pamoja!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu Koko Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Ursula Nafula Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Msimulizi alipata zawadi akiwa na umri wa miaka mingapi | {
"text": [
"Miaka mitano"
]
} |
2417_swa | Rafiki yangu Koko
Nilipokuwa wa umri wa miaka mitano, mjombangu alinipa zawadi ya mbwa mdogo wa wiki tatu! Siku mjomba aliniletea mbwa huyo, nilifurahi sana. Nilijua kuwa nilikuwa nimempata rafiki.
Nilipomweka chini, mjomba alinigeukia na kuniuliza, "Utamwitaje?" Nilimwangalia mbwa wangu kisha nikasema, "Ataitwa KoKo." Mjombangu alishangaa sana akaniuliza, "Mbona unamwita Koko?" "Kwa sababu rangi yake ni kama kakao," nilimjibu.
Nilimwuliza mjomba iwapo Koko alizaliwa peke yake. Mjomba alisema kwamba alikuwa na nduguye aliyemfanana kabisa. Nilienda kumwona nduguye Koko.
Koko alipomwona nduguye, alichangamka sana. Wawili hao waliweka vichwa vyao pamoja kama waliokuwa wakiongea.
Nilimwuliza mjomba ikiwa ningeweza kuishi na Koko na nduguye. Alisema, "Ni sawa wewe kuwaweka wote wawili. Lakini lazima uwalinde vizuri." Kila jioni, nilicheza nao na kuwafanyisha mazoezi.
Miezi michache baadaye, Koko na nduguye walikuwa wamekua wakubwa. Walikuwa wenye nguvu na afya. Singeweza kuwachunga peke yangu tena.
Nilimwuliza mjomba kumrudisha nduguye Koko kwake. Koko alipoachwa peke yake, alihuzunika mno. Alikuwa kama anayeniuliza, "Kwa nini ulifanya hivyo?"
Koko alikoma kucheza. Wakati mwingine alikataa kwenda nami matembezini akipendelea tu kulala nje ya nyumba yetu. Wakati mwingine alikula chakula kidogo sana. Nilikuwa na wasiwasi. Nilijiuliza vipi ningeweza kumsaidia Koko?
Siku moja mjombangu alitutembelea. Niliposikia sauti yake, nilienda haraka nje. Kabla ya kumwona, nilisikia mbwa wakibweka.
Nyuma ya jikoni, Koko na nduguye walikuwa wakicheza!
Nilifurahi sana hadi sikujua nimkumbatie nani kwanza, Koko au mjombangu. Nilijua kwamba Koko angerejelea ile hali yake ya kwaida. Tungeanza tena kufanya mazoezi pamoja!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu Koko Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Ursula Nafula Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini, koko mbwa alipewa jina hilo | {
"text": [
"Kwa sababu ya rangi yake ilikuwa kama kakao"
]
} |
2417_swa | Rafiki yangu Koko
Nilipokuwa wa umri wa miaka mitano, mjombangu alinipa zawadi ya mbwa mdogo wa wiki tatu! Siku mjomba aliniletea mbwa huyo, nilifurahi sana. Nilijua kuwa nilikuwa nimempata rafiki.
Nilipomweka chini, mjomba alinigeukia na kuniuliza, "Utamwitaje?" Nilimwangalia mbwa wangu kisha nikasema, "Ataitwa KoKo." Mjombangu alishangaa sana akaniuliza, "Mbona unamwita Koko?" "Kwa sababu rangi yake ni kama kakao," nilimjibu.
Nilimwuliza mjomba iwapo Koko alizaliwa peke yake. Mjomba alisema kwamba alikuwa na nduguye aliyemfanana kabisa. Nilienda kumwona nduguye Koko.
Koko alipomwona nduguye, alichangamka sana. Wawili hao waliweka vichwa vyao pamoja kama waliokuwa wakiongea.
Nilimwuliza mjomba ikiwa ningeweza kuishi na Koko na nduguye. Alisema, "Ni sawa wewe kuwaweka wote wawili. Lakini lazima uwalinde vizuri." Kila jioni, nilicheza nao na kuwafanyisha mazoezi.
Miezi michache baadaye, Koko na nduguye walikuwa wamekua wakubwa. Walikuwa wenye nguvu na afya. Singeweza kuwachunga peke yangu tena.
Nilimwuliza mjomba kumrudisha nduguye Koko kwake. Koko alipoachwa peke yake, alihuzunika mno. Alikuwa kama anayeniuliza, "Kwa nini ulifanya hivyo?"
Koko alikoma kucheza. Wakati mwingine alikataa kwenda nami matembezini akipendelea tu kulala nje ya nyumba yetu. Wakati mwingine alikula chakula kidogo sana. Nilikuwa na wasiwasi. Nilijiuliza vipi ningeweza kumsaidia Koko?
Siku moja mjombangu alitutembelea. Niliposikia sauti yake, nilienda haraka nje. Kabla ya kumwona, nilisikia mbwa wakibweka.
Nyuma ya jikoni, Koko na nduguye walikuwa wakicheza!
Nilifurahi sana hadi sikujua nimkumbatie nani kwanza, Koko au mjombangu. Nilijua kwamba Koko angerejelea ile hali yake ya kwaida. Tungeanza tena kufanya mazoezi pamoja!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu Koko Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Ursula Nafula Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Koko na nduguye walikua wakawa wakubwa baada ya miezi mingapi | {
"text": [
"Michache"
]
} |
2417_swa | Rafiki yangu Koko
Nilipokuwa wa umri wa miaka mitano, mjombangu alinipa zawadi ya mbwa mdogo wa wiki tatu! Siku mjomba aliniletea mbwa huyo, nilifurahi sana. Nilijua kuwa nilikuwa nimempata rafiki.
Nilipomweka chini, mjomba alinigeukia na kuniuliza, "Utamwitaje?" Nilimwangalia mbwa wangu kisha nikasema, "Ataitwa KoKo." Mjombangu alishangaa sana akaniuliza, "Mbona unamwita Koko?" "Kwa sababu rangi yake ni kama kakao," nilimjibu.
Nilimwuliza mjomba iwapo Koko alizaliwa peke yake. Mjomba alisema kwamba alikuwa na nduguye aliyemfanana kabisa. Nilienda kumwona nduguye Koko.
Koko alipomwona nduguye, alichangamka sana. Wawili hao waliweka vichwa vyao pamoja kama waliokuwa wakiongea.
Nilimwuliza mjomba ikiwa ningeweza kuishi na Koko na nduguye. Alisema, "Ni sawa wewe kuwaweka wote wawili. Lakini lazima uwalinde vizuri." Kila jioni, nilicheza nao na kuwafanyisha mazoezi.
Miezi michache baadaye, Koko na nduguye walikuwa wamekua wakubwa. Walikuwa wenye nguvu na afya. Singeweza kuwachunga peke yangu tena.
Nilimwuliza mjomba kumrudisha nduguye Koko kwake. Koko alipoachwa peke yake, alihuzunika mno. Alikuwa kama anayeniuliza, "Kwa nini ulifanya hivyo?"
Koko alikoma kucheza. Wakati mwingine alikataa kwenda nami matembezini akipendelea tu kulala nje ya nyumba yetu. Wakati mwingine alikula chakula kidogo sana. Nilikuwa na wasiwasi. Nilijiuliza vipi ningeweza kumsaidia Koko?
Siku moja mjombangu alitutembelea. Niliposikia sauti yake, nilienda haraka nje. Kabla ya kumwona, nilisikia mbwa wakibweka.
Nyuma ya jikoni, Koko na nduguye walikuwa wakicheza!
Nilifurahi sana hadi sikujua nimkumbatie nani kwanza, Koko au mjombangu. Nilijua kwamba Koko angerejelea ile hali yake ya kwaida. Tungeanza tena kufanya mazoezi pamoja!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu Koko Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Ursula Nafula Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nin koko alikataa kucheza | {
"text": [
"Kwa sababu aliachwa pekee yake"
]
} |
2417_swa | Rafiki yangu Koko
Nilipokuwa wa umri wa miaka mitano, mjombangu alinipa zawadi ya mbwa mdogo wa wiki tatu! Siku mjomba aliniletea mbwa huyo, nilifurahi sana. Nilijua kuwa nilikuwa nimempata rafiki.
Nilipomweka chini, mjomba alinigeukia na kuniuliza, "Utamwitaje?" Nilimwangalia mbwa wangu kisha nikasema, "Ataitwa KoKo." Mjombangu alishangaa sana akaniuliza, "Mbona unamwita Koko?" "Kwa sababu rangi yake ni kama kakao," nilimjibu.
Nilimwuliza mjomba iwapo Koko alizaliwa peke yake. Mjomba alisema kwamba alikuwa na nduguye aliyemfanana kabisa. Nilienda kumwona nduguye Koko.
Koko alipomwona nduguye, alichangamka sana. Wawili hao waliweka vichwa vyao pamoja kama waliokuwa wakiongea.
Nilimwuliza mjomba ikiwa ningeweza kuishi na Koko na nduguye. Alisema, "Ni sawa wewe kuwaweka wote wawili. Lakini lazima uwalinde vizuri." Kila jioni, nilicheza nao na kuwafanyisha mazoezi.
Miezi michache baadaye, Koko na nduguye walikuwa wamekua wakubwa. Walikuwa wenye nguvu na afya. Singeweza kuwachunga peke yangu tena.
Nilimwuliza mjomba kumrudisha nduguye Koko kwake. Koko alipoachwa peke yake, alihuzunika mno. Alikuwa kama anayeniuliza, "Kwa nini ulifanya hivyo?"
Koko alikoma kucheza. Wakati mwingine alikataa kwenda nami matembezini akipendelea tu kulala nje ya nyumba yetu. Wakati mwingine alikula chakula kidogo sana. Nilikuwa na wasiwasi. Nilijiuliza vipi ningeweza kumsaidia Koko?
Siku moja mjombangu alitutembelea. Niliposikia sauti yake, nilienda haraka nje. Kabla ya kumwona, nilisikia mbwa wakibweka.
Nyuma ya jikoni, Koko na nduguye walikuwa wakicheza!
Nilifurahi sana hadi sikujua nimkumbatie nani kwanza, Koko au mjombangu. Nilijua kwamba Koko angerejelea ile hali yake ya kwaida. Tungeanza tena kufanya mazoezi pamoja!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rafiki yangu Koko Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Ursula Nafula Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mjombake msimulizi alikuwa na mbwa wangapi | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
2419_swa | Rangi ya chungwa
Siku moja, mimi na babangu tulisafiri katika gari letu kwenda mjini. Tulisimama kwenye mzunguko tukisubiri taa zigeuke kijani.
Nilimwona mwanamke akitembea pembeni mwa barabara. Alivaa nguo ya kuvutia ya rangi ya chungwa.
Alikuwa amefunga kiunoni mshipi mkubwa mwekundu. Alipita katikati ya mvulana na mama aliyembeba mtoto mgongoni.
Alikipakata kibeti cha rangi ya chungwa. Alipita karibu na machungwa mengi yaliyokuwa yakiuzwa.
Miguuni, alivivaa viatu vya rangi ya chungwa vyenye visigino virefu. Nilitamani kuwa na viatu kama vyake.
Alikutana na msichana mdogo aliyekuwa akimtembeza mbwa wake. Alishtuka na kuzigusa nywele zake. zilikuwa zimefungwa kwa kibano cha rangi ya chungwa.
Alipokuwa akirekebisha kibano cha nywele, kibeti chake kilimponyoka. "Uuu," nilimhurumia.
Mwanamke huyo aliinama kukiokota kibeti chake.
Alipokuwa akikifuta kibeti chake vumbi, niliviona vipuli virefu vikubwa vyenye rangi ya chungwa. Sikuwa nimeviona vipuli maridadi kama hivyo!
Wakati huo, taa ziligeuka kijani nasi tuliendelea na safari yetu. Hata hivyo, mimi nilizidi kutazama nyuma.
Baba alipogundua, alitabasamu akaniuliza, "Ni nini unachotazama?"
Nilimjibu, "Mwanamke wa rangi ya chungwa." Nilikumbuka kwamba nguo yangu vilevile ilikuwa ya rangi ya chungwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rangi ya chungwa Author - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Msimulizi na babake walikuwa wanasafiri kwenda wapi | {
"text": [
"Mjini"
]
} |
2419_swa | Rangi ya chungwa
Siku moja, mimi na babangu tulisafiri katika gari letu kwenda mjini. Tulisimama kwenye mzunguko tukisubiri taa zigeuke kijani.
Nilimwona mwanamke akitembea pembeni mwa barabara. Alivaa nguo ya kuvutia ya rangi ya chungwa.
Alikuwa amefunga kiunoni mshipi mkubwa mwekundu. Alipita katikati ya mvulana na mama aliyembeba mtoto mgongoni.
Alikipakata kibeti cha rangi ya chungwa. Alipita karibu na machungwa mengi yaliyokuwa yakiuzwa.
Miguuni, alivivaa viatu vya rangi ya chungwa vyenye visigino virefu. Nilitamani kuwa na viatu kama vyake.
Alikutana na msichana mdogo aliyekuwa akimtembeza mbwa wake. Alishtuka na kuzigusa nywele zake. zilikuwa zimefungwa kwa kibano cha rangi ya chungwa.
Alipokuwa akirekebisha kibano cha nywele, kibeti chake kilimponyoka. "Uuu," nilimhurumia.
Mwanamke huyo aliinama kukiokota kibeti chake.
Alipokuwa akikifuta kibeti chake vumbi, niliviona vipuli virefu vikubwa vyenye rangi ya chungwa. Sikuwa nimeviona vipuli maridadi kama hivyo!
Wakati huo, taa ziligeuka kijani nasi tuliendelea na safari yetu. Hata hivyo, mimi nilizidi kutazama nyuma.
Baba alipogundua, alitabasamu akaniuliza, "Ni nini unachotazama?"
Nilimjibu, "Mwanamke wa rangi ya chungwa." Nilikumbuka kwamba nguo yangu vilevile ilikuwa ya rangi ya chungwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rangi ya chungwa Author - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mwanamke aliyeonekana na msimulizi alizivalia nguo za rangi gani | {
"text": [
"Rangi ya chungwa"
]
} |
2419_swa | Rangi ya chungwa
Siku moja, mimi na babangu tulisafiri katika gari letu kwenda mjini. Tulisimama kwenye mzunguko tukisubiri taa zigeuke kijani.
Nilimwona mwanamke akitembea pembeni mwa barabara. Alivaa nguo ya kuvutia ya rangi ya chungwa.
Alikuwa amefunga kiunoni mshipi mkubwa mwekundu. Alipita katikati ya mvulana na mama aliyembeba mtoto mgongoni.
Alikipakata kibeti cha rangi ya chungwa. Alipita karibu na machungwa mengi yaliyokuwa yakiuzwa.
Miguuni, alivivaa viatu vya rangi ya chungwa vyenye visigino virefu. Nilitamani kuwa na viatu kama vyake.
Alikutana na msichana mdogo aliyekuwa akimtembeza mbwa wake. Alishtuka na kuzigusa nywele zake. zilikuwa zimefungwa kwa kibano cha rangi ya chungwa.
Alipokuwa akirekebisha kibano cha nywele, kibeti chake kilimponyoka. "Uuu," nilimhurumia.
Mwanamke huyo aliinama kukiokota kibeti chake.
Alipokuwa akikifuta kibeti chake vumbi, niliviona vipuli virefu vikubwa vyenye rangi ya chungwa. Sikuwa nimeviona vipuli maridadi kama hivyo!
Wakati huo, taa ziligeuka kijani nasi tuliendelea na safari yetu. Hata hivyo, mimi nilizidi kutazama nyuma.
Baba alipogundua, alitabasamu akaniuliza, "Ni nini unachotazama?"
Nilimjibu, "Mwanamke wa rangi ya chungwa." Nilikumbuka kwamba nguo yangu vilevile ilikuwa ya rangi ya chungwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rangi ya chungwa Author - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Neno chungwa limetajwa mara ngapi | {
"text": [
"Sita"
]
} |
2419_swa | Rangi ya chungwa
Siku moja, mimi na babangu tulisafiri katika gari letu kwenda mjini. Tulisimama kwenye mzunguko tukisubiri taa zigeuke kijani.
Nilimwona mwanamke akitembea pembeni mwa barabara. Alivaa nguo ya kuvutia ya rangi ya chungwa.
Alikuwa amefunga kiunoni mshipi mkubwa mwekundu. Alipita katikati ya mvulana na mama aliyembeba mtoto mgongoni.
Alikipakata kibeti cha rangi ya chungwa. Alipita karibu na machungwa mengi yaliyokuwa yakiuzwa.
Miguuni, alivivaa viatu vya rangi ya chungwa vyenye visigino virefu. Nilitamani kuwa na viatu kama vyake.
Alikutana na msichana mdogo aliyekuwa akimtembeza mbwa wake. Alishtuka na kuzigusa nywele zake. zilikuwa zimefungwa kwa kibano cha rangi ya chungwa.
Alipokuwa akirekebisha kibano cha nywele, kibeti chake kilimponyoka. "Uuu," nilimhurumia.
Mwanamke huyo aliinama kukiokota kibeti chake.
Alipokuwa akikifuta kibeti chake vumbi, niliviona vipuli virefu vikubwa vyenye rangi ya chungwa. Sikuwa nimeviona vipuli maridadi kama hivyo!
Wakati huo, taa ziligeuka kijani nasi tuliendelea na safari yetu. Hata hivyo, mimi nilizidi kutazama nyuma.
Baba alipogundua, alitabasamu akaniuliza, "Ni nini unachotazama?"
Nilimjibu, "Mwanamke wa rangi ya chungwa." Nilikumbuka kwamba nguo yangu vilevile ilikuwa ya rangi ya chungwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rangi ya chungwa Author - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mshipi uliyofungwa kiunoni na mwanamke ulikuwa wa rangi gani | {
"text": [
"Mwekundu"
]
} |
2419_swa | Rangi ya chungwa
Siku moja, mimi na babangu tulisafiri katika gari letu kwenda mjini. Tulisimama kwenye mzunguko tukisubiri taa zigeuke kijani.
Nilimwona mwanamke akitembea pembeni mwa barabara. Alivaa nguo ya kuvutia ya rangi ya chungwa.
Alikuwa amefunga kiunoni mshipi mkubwa mwekundu. Alipita katikati ya mvulana na mama aliyembeba mtoto mgongoni.
Alikipakata kibeti cha rangi ya chungwa. Alipita karibu na machungwa mengi yaliyokuwa yakiuzwa.
Miguuni, alivivaa viatu vya rangi ya chungwa vyenye visigino virefu. Nilitamani kuwa na viatu kama vyake.
Alikutana na msichana mdogo aliyekuwa akimtembeza mbwa wake. Alishtuka na kuzigusa nywele zake. zilikuwa zimefungwa kwa kibano cha rangi ya chungwa.
Alipokuwa akirekebisha kibano cha nywele, kibeti chake kilimponyoka. "Uuu," nilimhurumia.
Mwanamke huyo aliinama kukiokota kibeti chake.
Alipokuwa akikifuta kibeti chake vumbi, niliviona vipuli virefu vikubwa vyenye rangi ya chungwa. Sikuwa nimeviona vipuli maridadi kama hivyo!
Wakati huo, taa ziligeuka kijani nasi tuliendelea na safari yetu. Hata hivyo, mimi nilizidi kutazama nyuma.
Baba alipogundua, alitabasamu akaniuliza, "Ni nini unachotazama?"
Nilimjibu, "Mwanamke wa rangi ya chungwa." Nilikumbuka kwamba nguo yangu vilevile ilikuwa ya rangi ya chungwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Rangi ya chungwa Author - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Msimulizi alitamani kuwa na viatu vipi | {
"text": [
"Viatu vyekundu vyenye visigino virefu"
]
} |
2421_swa | Refi awaosha kuku wake
Ilikuwa harusi ya kwanza katika familia ya Tenana. Refi alikuwa amechangamka sana. "Nitakuwa msaidizi wa Elsa nikiwa nimevaa nguo na viatu vipya!" Refi aliwaelezea kuku wake. Aliwaelezea kuku wake kila kitu. Babake alikuwa amempa kuku kama zawadi alipokuwa akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Refi aliwapenda sana.
"Refi, waondoshe hapo hao kuku wachafu!" Mamake alipiga kelele, "Siwataki popote karibu na hema la harusi."
Refi aliwafukuza kuku kutoka kwenye hema. "Tokeni enyi viumbe washienzi," alisema. "Singependa mliwe wakati wa harusi ya Elsa."
"Mama asema kwamba hii itakuwa harusi ya kufana zaidi katika kijiji cha Mailisaba," Refi aliwaambia kuku wake. "Pia anasema kwamba ninaweza kuwasaidia wasichana wale wakubwa kupika." Kuku hawakumsikiliza hata kidogo. "Refi!" Mamake alimwita kutoka ndani, "Tafadhali acha hao kuku. Njoo unichungie chungu!"
Mamake Refi alijivunia nyumba yake na alitaka iwe safi siku ya harusi. Alisafisha, akaosha na kusugua kila kilochokuwamo. Alipomaliza, hapakuwa na chembe cha vumbi popote. Kuku walipochokoa vichwa mlangoni, Mamake Refi alipiga mayowe, "Tokeni nje ninyi viumbe vyenye miguu na midomo michafu!"
Refi aliwafuata kuku wake hadi kwenye jua. "Mama anasema ukweli, mnaaibisha," aliwakemea. Refi alitabasamu kisha akaenda kujaza ndoo maji. Alikuwa na wakati mgumu kuwashika kuku wake. Hawakudhani kwamba ilikuwa jambo zuri wao kuoga.
Refi alimweka kuku wa kwanza ndani ya ndoo ya maji. "Kaa wima, ewe kiumbe shenzi," alipiga kelele. "Haitachukua muda mrefu kukuosha!"
Refi alipopangusa pua na macho ya kuku, ghafla kuku alikuwa dhaifu akaanguka kando ya ndoo. "Huu sio wakati wa kulala," Refi alisema. Alimtikisa kuku kwa nguvu ili maji yote yadondoke. Kisha akamlaza juu ya nyasi ili akauke. Kuku alitulia pale akiwa amelala.
Aliwaosha kuku wote wanane na kuwaweka mstari mmoja juu ya nyasi ili wakauke. Hakuna yeyote aliyepapatua hata unyoya mmoja. "Nitawaacha mlale kwa muda mfupi," Refi aliwaza. Alienda kukitazama chungu kilichokuwa mekoni.
Shangazi zake Refi, yaani Mama Netty na Mama Teddy, walikuwa wakitayarisha harusi ya Elsa. Walitakiwa kufanya matayarisho hayo kwa pamoja lakini hawakupendana hata kidogo.
Mama Netty aliwaona kuku wa Refi wakiwa wanakauka. "Hiki ni chakula kizuri kwangu. Nitawapeleka nyumbani!" Alijiambia. Alilichukua kanga lake na kuwafungia kuku wote mle ndani. Hakuna kuku hata mmoja aliyesonga. "Sawa kabisa!" Alitabasamu. "Sasa nitawaweka mahali ambapo Mamake Teddy hatawahi kuwapata." Alikiweka kifurushi hicho pembeni kati ya maboga."
Mama Teddy aliamua kutayarisha kitoweo alichokipenda. Alikwenda katika bustani ya maboga. Alikiona kifurushi cha Mama Netty chini ya mboga. Alipokifungua, kuku wote wanane walianguka nje. "Esh!" Alipiga kelele huku akiruka nyuma kwa mshangao. "Ah, ninyi ndio kuku wasafi kuliko wote! Mko tayari kwa chungu changu," aliwabembeleza. "Sasa nitawaficha wapi wapenzi wangu?" Mama Teddy alicheka. "Lazima nipate mahali pazuri kabisa," alisema huku akitembea nyumbani.
"Ninajua," alisema hatimaye, "Nitawaweka paani!" Mama Teddy alipanda juu akawaweka kuku katika mstari kwenye paa la nyumba ya nyasi.
Siku iliyofuata, jua lilichomoza kwa wakati mzuri kwa harusi. Refi alikuwa wa kwanza kuamka na kwenda kuwatazama kuku wake. Hakuwapata mahali alikuwa amewaweka. "Lazima wawe wamekauka vizuri kwa sasa. Nina hakika wameenda kutafuta kifungua kinywa chao," alisema.
Harusi ya Elsa ilikuwa ya kufana. Wale kuku hawakuamka kutoka paani. Kwa hivyo, hawakujiunga na wasichana wasaidizi wa bi- harusi walipoingia wakicheza. Hakuna kuku yeyote aliyetikisika wakati kwaya ya kanisa iliimba kwa sauti ya juu nyimbo nzuri za kuvutia. Walikuwa bado wanalala juu ya paa wakati Padre alihubiri. Hawakutikisa hata unyoya wakati nguruwe na babu yake Refi walipokoroma mahubiri yalipoendelea.
Hakuna hata mguu mmoja wa kuku uliotetemeka wakati kondoo waliranda na kuingia ndani ya hema wakiwa karibu kuangusha keki ya harusi. Wakati babake bwana harusi alipokuwa katikati ya hotuba yake ndipo mambo yalianza kubadilika paani.
Kuku wa kwanza aliyanyoosha mabawa yake na kuruka kwenye kifua cha Mamake Molly. Mama Teddy aliyekuwa amekaa karibu naye alianza kucheka. Kuku mwingine alirukia kitambaa kipya cha Mama Netty. Watu waliokuwa kwenye meza nyingine walizuia kicheko. Mwanamke aliyekaa karibu na Mama Netty aliweka kichwa chake chini ya meza, "Ai, aai, aaaaii, he, he, heeeeeeee!" Alicheka.
Wale kuku wote waliamua kujiunga na wale wawili wa kwanza. Hungeweza kumwona Mama Netty kwa sababu alikuwa amefunikwa na kuku hao wote!
Wageni walicheka kwa mayowe. Wanaume walilazimika kuzishika tumbo zao. Wanawake waliviringika katika viti vyao. Vijana walijishikilia kwa wenzao. Akina nyanya hawangeweza kupumua kwa ajili ya kucheka. Akina babu walitikisa fimbo zao. Halafu, shangazi hao wawili walitazamana wakaanza kucheka pia.
Mama Teddy aliufungua mdomo wake wazi kwa kicheko. Mama Netty alikirusha kichwa chake nyuma na kucheka hadi mashavu yakatikisika. Refi hakuamini!
Wageni wote walikubaliana kwamba hiyo ilikuwa harusi nzuri zaidi iliyowahi kufanyika kijijini Mailisaba. "Aa, mna bahati sana! Refi aliwaambia kuku wake alipokuwa anawaweka kwenye chumba chao usiku ule. "Mama anasema kuwa hatawahi kuwaweka kwenye chungu chake."
"Lakini, tazama jinsi mlivyo wachafu tena," aliwaambia. "Nadhani nitalazimika kuwaosha tena kesho!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Refi awaosha kuku wake Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ilikuwa harusi ya kwanza katika familia ya nani | {
"text": [
"Tenan"
]
} |
2421_swa | Refi awaosha kuku wake
Ilikuwa harusi ya kwanza katika familia ya Tenana. Refi alikuwa amechangamka sana. "Nitakuwa msaidizi wa Elsa nikiwa nimevaa nguo na viatu vipya!" Refi aliwaelezea kuku wake. Aliwaelezea kuku wake kila kitu. Babake alikuwa amempa kuku kama zawadi alipokuwa akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Refi aliwapenda sana.
"Refi, waondoshe hapo hao kuku wachafu!" Mamake alipiga kelele, "Siwataki popote karibu na hema la harusi."
Refi aliwafukuza kuku kutoka kwenye hema. "Tokeni enyi viumbe washienzi," alisema. "Singependa mliwe wakati wa harusi ya Elsa."
"Mama asema kwamba hii itakuwa harusi ya kufana zaidi katika kijiji cha Mailisaba," Refi aliwaambia kuku wake. "Pia anasema kwamba ninaweza kuwasaidia wasichana wale wakubwa kupika." Kuku hawakumsikiliza hata kidogo. "Refi!" Mamake alimwita kutoka ndani, "Tafadhali acha hao kuku. Njoo unichungie chungu!"
Mamake Refi alijivunia nyumba yake na alitaka iwe safi siku ya harusi. Alisafisha, akaosha na kusugua kila kilochokuwamo. Alipomaliza, hapakuwa na chembe cha vumbi popote. Kuku walipochokoa vichwa mlangoni, Mamake Refi alipiga mayowe, "Tokeni nje ninyi viumbe vyenye miguu na midomo michafu!"
Refi aliwafuata kuku wake hadi kwenye jua. "Mama anasema ukweli, mnaaibisha," aliwakemea. Refi alitabasamu kisha akaenda kujaza ndoo maji. Alikuwa na wakati mgumu kuwashika kuku wake. Hawakudhani kwamba ilikuwa jambo zuri wao kuoga.
Refi alimweka kuku wa kwanza ndani ya ndoo ya maji. "Kaa wima, ewe kiumbe shenzi," alipiga kelele. "Haitachukua muda mrefu kukuosha!"
Refi alipopangusa pua na macho ya kuku, ghafla kuku alikuwa dhaifu akaanguka kando ya ndoo. "Huu sio wakati wa kulala," Refi alisema. Alimtikisa kuku kwa nguvu ili maji yote yadondoke. Kisha akamlaza juu ya nyasi ili akauke. Kuku alitulia pale akiwa amelala.
Aliwaosha kuku wote wanane na kuwaweka mstari mmoja juu ya nyasi ili wakauke. Hakuna yeyote aliyepapatua hata unyoya mmoja. "Nitawaacha mlale kwa muda mfupi," Refi aliwaza. Alienda kukitazama chungu kilichokuwa mekoni.
Shangazi zake Refi, yaani Mama Netty na Mama Teddy, walikuwa wakitayarisha harusi ya Elsa. Walitakiwa kufanya matayarisho hayo kwa pamoja lakini hawakupendana hata kidogo.
Mama Netty aliwaona kuku wa Refi wakiwa wanakauka. "Hiki ni chakula kizuri kwangu. Nitawapeleka nyumbani!" Alijiambia. Alilichukua kanga lake na kuwafungia kuku wote mle ndani. Hakuna kuku hata mmoja aliyesonga. "Sawa kabisa!" Alitabasamu. "Sasa nitawaweka mahali ambapo Mamake Teddy hatawahi kuwapata." Alikiweka kifurushi hicho pembeni kati ya maboga."
Mama Teddy aliamua kutayarisha kitoweo alichokipenda. Alikwenda katika bustani ya maboga. Alikiona kifurushi cha Mama Netty chini ya mboga. Alipokifungua, kuku wote wanane walianguka nje. "Esh!" Alipiga kelele huku akiruka nyuma kwa mshangao. "Ah, ninyi ndio kuku wasafi kuliko wote! Mko tayari kwa chungu changu," aliwabembeleza. "Sasa nitawaficha wapi wapenzi wangu?" Mama Teddy alicheka. "Lazima nipate mahali pazuri kabisa," alisema huku akitembea nyumbani.
"Ninajua," alisema hatimaye, "Nitawaweka paani!" Mama Teddy alipanda juu akawaweka kuku katika mstari kwenye paa la nyumba ya nyasi.
Siku iliyofuata, jua lilichomoza kwa wakati mzuri kwa harusi. Refi alikuwa wa kwanza kuamka na kwenda kuwatazama kuku wake. Hakuwapata mahali alikuwa amewaweka. "Lazima wawe wamekauka vizuri kwa sasa. Nina hakika wameenda kutafuta kifungua kinywa chao," alisema.
Harusi ya Elsa ilikuwa ya kufana. Wale kuku hawakuamka kutoka paani. Kwa hivyo, hawakujiunga na wasichana wasaidizi wa bi- harusi walipoingia wakicheza. Hakuna kuku yeyote aliyetikisika wakati kwaya ya kanisa iliimba kwa sauti ya juu nyimbo nzuri za kuvutia. Walikuwa bado wanalala juu ya paa wakati Padre alihubiri. Hawakutikisa hata unyoya wakati nguruwe na babu yake Refi walipokoroma mahubiri yalipoendelea.
Hakuna hata mguu mmoja wa kuku uliotetemeka wakati kondoo waliranda na kuingia ndani ya hema wakiwa karibu kuangusha keki ya harusi. Wakati babake bwana harusi alipokuwa katikati ya hotuba yake ndipo mambo yalianza kubadilika paani.
Kuku wa kwanza aliyanyoosha mabawa yake na kuruka kwenye kifua cha Mamake Molly. Mama Teddy aliyekuwa amekaa karibu naye alianza kucheka. Kuku mwingine alirukia kitambaa kipya cha Mama Netty. Watu waliokuwa kwenye meza nyingine walizuia kicheko. Mwanamke aliyekaa karibu na Mama Netty aliweka kichwa chake chini ya meza, "Ai, aai, aaaaii, he, he, heeeeeeee!" Alicheka.
Wale kuku wote waliamua kujiunga na wale wawili wa kwanza. Hungeweza kumwona Mama Netty kwa sababu alikuwa amefunikwa na kuku hao wote!
Wageni walicheka kwa mayowe. Wanaume walilazimika kuzishika tumbo zao. Wanawake waliviringika katika viti vyao. Vijana walijishikilia kwa wenzao. Akina nyanya hawangeweza kupumua kwa ajili ya kucheka. Akina babu walitikisa fimbo zao. Halafu, shangazi hao wawili walitazamana wakaanza kucheka pia.
Mama Teddy aliufungua mdomo wake wazi kwa kicheko. Mama Netty alikirusha kichwa chake nyuma na kucheka hadi mashavu yakatikisika. Refi hakuamini!
Wageni wote walikubaliana kwamba hiyo ilikuwa harusi nzuri zaidi iliyowahi kufanyika kijijini Mailisaba. "Aa, mna bahati sana! Refi aliwaambia kuku wake alipokuwa anawaweka kwenye chumba chao usiku ule. "Mama anasema kuwa hatawahi kuwaweka kwenye chungu chake."
"Lakini, tazama jinsi mlivyo wachafu tena," aliwaambia. "Nadhani nitalazimika kuwaosha tena kesho!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Refi awaosha kuku wake Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliambiwa na mama awaondoe kuku wachafu | {
"text": [
"Refi"
]
} |
2421_swa | Refi awaosha kuku wake
Ilikuwa harusi ya kwanza katika familia ya Tenana. Refi alikuwa amechangamka sana. "Nitakuwa msaidizi wa Elsa nikiwa nimevaa nguo na viatu vipya!" Refi aliwaelezea kuku wake. Aliwaelezea kuku wake kila kitu. Babake alikuwa amempa kuku kama zawadi alipokuwa akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Refi aliwapenda sana.
"Refi, waondoshe hapo hao kuku wachafu!" Mamake alipiga kelele, "Siwataki popote karibu na hema la harusi."
Refi aliwafukuza kuku kutoka kwenye hema. "Tokeni enyi viumbe washienzi," alisema. "Singependa mliwe wakati wa harusi ya Elsa."
"Mama asema kwamba hii itakuwa harusi ya kufana zaidi katika kijiji cha Mailisaba," Refi aliwaambia kuku wake. "Pia anasema kwamba ninaweza kuwasaidia wasichana wale wakubwa kupika." Kuku hawakumsikiliza hata kidogo. "Refi!" Mamake alimwita kutoka ndani, "Tafadhali acha hao kuku. Njoo unichungie chungu!"
Mamake Refi alijivunia nyumba yake na alitaka iwe safi siku ya harusi. Alisafisha, akaosha na kusugua kila kilochokuwamo. Alipomaliza, hapakuwa na chembe cha vumbi popote. Kuku walipochokoa vichwa mlangoni, Mamake Refi alipiga mayowe, "Tokeni nje ninyi viumbe vyenye miguu na midomo michafu!"
Refi aliwafuata kuku wake hadi kwenye jua. "Mama anasema ukweli, mnaaibisha," aliwakemea. Refi alitabasamu kisha akaenda kujaza ndoo maji. Alikuwa na wakati mgumu kuwashika kuku wake. Hawakudhani kwamba ilikuwa jambo zuri wao kuoga.
Refi alimweka kuku wa kwanza ndani ya ndoo ya maji. "Kaa wima, ewe kiumbe shenzi," alipiga kelele. "Haitachukua muda mrefu kukuosha!"
Refi alipopangusa pua na macho ya kuku, ghafla kuku alikuwa dhaifu akaanguka kando ya ndoo. "Huu sio wakati wa kulala," Refi alisema. Alimtikisa kuku kwa nguvu ili maji yote yadondoke. Kisha akamlaza juu ya nyasi ili akauke. Kuku alitulia pale akiwa amelala.
Aliwaosha kuku wote wanane na kuwaweka mstari mmoja juu ya nyasi ili wakauke. Hakuna yeyote aliyepapatua hata unyoya mmoja. "Nitawaacha mlale kwa muda mfupi," Refi aliwaza. Alienda kukitazama chungu kilichokuwa mekoni.
Shangazi zake Refi, yaani Mama Netty na Mama Teddy, walikuwa wakitayarisha harusi ya Elsa. Walitakiwa kufanya matayarisho hayo kwa pamoja lakini hawakupendana hata kidogo.
Mama Netty aliwaona kuku wa Refi wakiwa wanakauka. "Hiki ni chakula kizuri kwangu. Nitawapeleka nyumbani!" Alijiambia. Alilichukua kanga lake na kuwafungia kuku wote mle ndani. Hakuna kuku hata mmoja aliyesonga. "Sawa kabisa!" Alitabasamu. "Sasa nitawaweka mahali ambapo Mamake Teddy hatawahi kuwapata." Alikiweka kifurushi hicho pembeni kati ya maboga."
Mama Teddy aliamua kutayarisha kitoweo alichokipenda. Alikwenda katika bustani ya maboga. Alikiona kifurushi cha Mama Netty chini ya mboga. Alipokifungua, kuku wote wanane walianguka nje. "Esh!" Alipiga kelele huku akiruka nyuma kwa mshangao. "Ah, ninyi ndio kuku wasafi kuliko wote! Mko tayari kwa chungu changu," aliwabembeleza. "Sasa nitawaficha wapi wapenzi wangu?" Mama Teddy alicheka. "Lazima nipate mahali pazuri kabisa," alisema huku akitembea nyumbani.
"Ninajua," alisema hatimaye, "Nitawaweka paani!" Mama Teddy alipanda juu akawaweka kuku katika mstari kwenye paa la nyumba ya nyasi.
Siku iliyofuata, jua lilichomoza kwa wakati mzuri kwa harusi. Refi alikuwa wa kwanza kuamka na kwenda kuwatazama kuku wake. Hakuwapata mahali alikuwa amewaweka. "Lazima wawe wamekauka vizuri kwa sasa. Nina hakika wameenda kutafuta kifungua kinywa chao," alisema.
Harusi ya Elsa ilikuwa ya kufana. Wale kuku hawakuamka kutoka paani. Kwa hivyo, hawakujiunga na wasichana wasaidizi wa bi- harusi walipoingia wakicheza. Hakuna kuku yeyote aliyetikisika wakati kwaya ya kanisa iliimba kwa sauti ya juu nyimbo nzuri za kuvutia. Walikuwa bado wanalala juu ya paa wakati Padre alihubiri. Hawakutikisa hata unyoya wakati nguruwe na babu yake Refi walipokoroma mahubiri yalipoendelea.
Hakuna hata mguu mmoja wa kuku uliotetemeka wakati kondoo waliranda na kuingia ndani ya hema wakiwa karibu kuangusha keki ya harusi. Wakati babake bwana harusi alipokuwa katikati ya hotuba yake ndipo mambo yalianza kubadilika paani.
Kuku wa kwanza aliyanyoosha mabawa yake na kuruka kwenye kifua cha Mamake Molly. Mama Teddy aliyekuwa amekaa karibu naye alianza kucheka. Kuku mwingine alirukia kitambaa kipya cha Mama Netty. Watu waliokuwa kwenye meza nyingine walizuia kicheko. Mwanamke aliyekaa karibu na Mama Netty aliweka kichwa chake chini ya meza, "Ai, aai, aaaaii, he, he, heeeeeeee!" Alicheka.
Wale kuku wote waliamua kujiunga na wale wawili wa kwanza. Hungeweza kumwona Mama Netty kwa sababu alikuwa amefunikwa na kuku hao wote!
Wageni walicheka kwa mayowe. Wanaume walilazimika kuzishika tumbo zao. Wanawake waliviringika katika viti vyao. Vijana walijishikilia kwa wenzao. Akina nyanya hawangeweza kupumua kwa ajili ya kucheka. Akina babu walitikisa fimbo zao. Halafu, shangazi hao wawili walitazamana wakaanza kucheka pia.
Mama Teddy aliufungua mdomo wake wazi kwa kicheko. Mama Netty alikirusha kichwa chake nyuma na kucheka hadi mashavu yakatikisika. Refi hakuamini!
Wageni wote walikubaliana kwamba hiyo ilikuwa harusi nzuri zaidi iliyowahi kufanyika kijijini Mailisaba. "Aa, mna bahati sana! Refi aliwaambia kuku wake alipokuwa anawaweka kwenye chumba chao usiku ule. "Mama anasema kuwa hatawahi kuwaweka kwenye chungu chake."
"Lakini, tazama jinsi mlivyo wachafu tena," aliwaambia. "Nadhani nitalazimika kuwaosha tena kesho!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Refi awaosha kuku wake Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mama Teddy aliwaweka kuku wapi | {
"text": [
"Paani"
]
} |
2421_swa | Refi awaosha kuku wake
Ilikuwa harusi ya kwanza katika familia ya Tenana. Refi alikuwa amechangamka sana. "Nitakuwa msaidizi wa Elsa nikiwa nimevaa nguo na viatu vipya!" Refi aliwaelezea kuku wake. Aliwaelezea kuku wake kila kitu. Babake alikuwa amempa kuku kama zawadi alipokuwa akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Refi aliwapenda sana.
"Refi, waondoshe hapo hao kuku wachafu!" Mamake alipiga kelele, "Siwataki popote karibu na hema la harusi."
Refi aliwafukuza kuku kutoka kwenye hema. "Tokeni enyi viumbe washienzi," alisema. "Singependa mliwe wakati wa harusi ya Elsa."
"Mama asema kwamba hii itakuwa harusi ya kufana zaidi katika kijiji cha Mailisaba," Refi aliwaambia kuku wake. "Pia anasema kwamba ninaweza kuwasaidia wasichana wale wakubwa kupika." Kuku hawakumsikiliza hata kidogo. "Refi!" Mamake alimwita kutoka ndani, "Tafadhali acha hao kuku. Njoo unichungie chungu!"
Mamake Refi alijivunia nyumba yake na alitaka iwe safi siku ya harusi. Alisafisha, akaosha na kusugua kila kilochokuwamo. Alipomaliza, hapakuwa na chembe cha vumbi popote. Kuku walipochokoa vichwa mlangoni, Mamake Refi alipiga mayowe, "Tokeni nje ninyi viumbe vyenye miguu na midomo michafu!"
Refi aliwafuata kuku wake hadi kwenye jua. "Mama anasema ukweli, mnaaibisha," aliwakemea. Refi alitabasamu kisha akaenda kujaza ndoo maji. Alikuwa na wakati mgumu kuwashika kuku wake. Hawakudhani kwamba ilikuwa jambo zuri wao kuoga.
Refi alimweka kuku wa kwanza ndani ya ndoo ya maji. "Kaa wima, ewe kiumbe shenzi," alipiga kelele. "Haitachukua muda mrefu kukuosha!"
Refi alipopangusa pua na macho ya kuku, ghafla kuku alikuwa dhaifu akaanguka kando ya ndoo. "Huu sio wakati wa kulala," Refi alisema. Alimtikisa kuku kwa nguvu ili maji yote yadondoke. Kisha akamlaza juu ya nyasi ili akauke. Kuku alitulia pale akiwa amelala.
Aliwaosha kuku wote wanane na kuwaweka mstari mmoja juu ya nyasi ili wakauke. Hakuna yeyote aliyepapatua hata unyoya mmoja. "Nitawaacha mlale kwa muda mfupi," Refi aliwaza. Alienda kukitazama chungu kilichokuwa mekoni.
Shangazi zake Refi, yaani Mama Netty na Mama Teddy, walikuwa wakitayarisha harusi ya Elsa. Walitakiwa kufanya matayarisho hayo kwa pamoja lakini hawakupendana hata kidogo.
Mama Netty aliwaona kuku wa Refi wakiwa wanakauka. "Hiki ni chakula kizuri kwangu. Nitawapeleka nyumbani!" Alijiambia. Alilichukua kanga lake na kuwafungia kuku wote mle ndani. Hakuna kuku hata mmoja aliyesonga. "Sawa kabisa!" Alitabasamu. "Sasa nitawaweka mahali ambapo Mamake Teddy hatawahi kuwapata." Alikiweka kifurushi hicho pembeni kati ya maboga."
Mama Teddy aliamua kutayarisha kitoweo alichokipenda. Alikwenda katika bustani ya maboga. Alikiona kifurushi cha Mama Netty chini ya mboga. Alipokifungua, kuku wote wanane walianguka nje. "Esh!" Alipiga kelele huku akiruka nyuma kwa mshangao. "Ah, ninyi ndio kuku wasafi kuliko wote! Mko tayari kwa chungu changu," aliwabembeleza. "Sasa nitawaficha wapi wapenzi wangu?" Mama Teddy alicheka. "Lazima nipate mahali pazuri kabisa," alisema huku akitembea nyumbani.
"Ninajua," alisema hatimaye, "Nitawaweka paani!" Mama Teddy alipanda juu akawaweka kuku katika mstari kwenye paa la nyumba ya nyasi.
Siku iliyofuata, jua lilichomoza kwa wakati mzuri kwa harusi. Refi alikuwa wa kwanza kuamka na kwenda kuwatazama kuku wake. Hakuwapata mahali alikuwa amewaweka. "Lazima wawe wamekauka vizuri kwa sasa. Nina hakika wameenda kutafuta kifungua kinywa chao," alisema.
Harusi ya Elsa ilikuwa ya kufana. Wale kuku hawakuamka kutoka paani. Kwa hivyo, hawakujiunga na wasichana wasaidizi wa bi- harusi walipoingia wakicheza. Hakuna kuku yeyote aliyetikisika wakati kwaya ya kanisa iliimba kwa sauti ya juu nyimbo nzuri za kuvutia. Walikuwa bado wanalala juu ya paa wakati Padre alihubiri. Hawakutikisa hata unyoya wakati nguruwe na babu yake Refi walipokoroma mahubiri yalipoendelea.
Hakuna hata mguu mmoja wa kuku uliotetemeka wakati kondoo waliranda na kuingia ndani ya hema wakiwa karibu kuangusha keki ya harusi. Wakati babake bwana harusi alipokuwa katikati ya hotuba yake ndipo mambo yalianza kubadilika paani.
Kuku wa kwanza aliyanyoosha mabawa yake na kuruka kwenye kifua cha Mamake Molly. Mama Teddy aliyekuwa amekaa karibu naye alianza kucheka. Kuku mwingine alirukia kitambaa kipya cha Mama Netty. Watu waliokuwa kwenye meza nyingine walizuia kicheko. Mwanamke aliyekaa karibu na Mama Netty aliweka kichwa chake chini ya meza, "Ai, aai, aaaaii, he, he, heeeeeeee!" Alicheka.
Wale kuku wote waliamua kujiunga na wale wawili wa kwanza. Hungeweza kumwona Mama Netty kwa sababu alikuwa amefunikwa na kuku hao wote!
Wageni walicheka kwa mayowe. Wanaume walilazimika kuzishika tumbo zao. Wanawake waliviringika katika viti vyao. Vijana walijishikilia kwa wenzao. Akina nyanya hawangeweza kupumua kwa ajili ya kucheka. Akina babu walitikisa fimbo zao. Halafu, shangazi hao wawili walitazamana wakaanza kucheka pia.
Mama Teddy aliufungua mdomo wake wazi kwa kicheko. Mama Netty alikirusha kichwa chake nyuma na kucheka hadi mashavu yakatikisika. Refi hakuamini!
Wageni wote walikubaliana kwamba hiyo ilikuwa harusi nzuri zaidi iliyowahi kufanyika kijijini Mailisaba. "Aa, mna bahati sana! Refi aliwaambia kuku wake alipokuwa anawaweka kwenye chumba chao usiku ule. "Mama anasema kuwa hatawahi kuwaweka kwenye chungu chake."
"Lakini, tazama jinsi mlivyo wachafu tena," aliwaambia. "Nadhani nitalazimika kuwaosha tena kesho!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Refi awaosha kuku wake Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kuku wa kwanza aliruka kwa kifua cha nani | {
"text": [
"Mamake Molly"
]
} |
2421_swa | Refi awaosha kuku wake
Ilikuwa harusi ya kwanza katika familia ya Tenana. Refi alikuwa amechangamka sana. "Nitakuwa msaidizi wa Elsa nikiwa nimevaa nguo na viatu vipya!" Refi aliwaelezea kuku wake. Aliwaelezea kuku wake kila kitu. Babake alikuwa amempa kuku kama zawadi alipokuwa akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Refi aliwapenda sana.
"Refi, waondoshe hapo hao kuku wachafu!" Mamake alipiga kelele, "Siwataki popote karibu na hema la harusi."
Refi aliwafukuza kuku kutoka kwenye hema. "Tokeni enyi viumbe washienzi," alisema. "Singependa mliwe wakati wa harusi ya Elsa."
"Mama asema kwamba hii itakuwa harusi ya kufana zaidi katika kijiji cha Mailisaba," Refi aliwaambia kuku wake. "Pia anasema kwamba ninaweza kuwasaidia wasichana wale wakubwa kupika." Kuku hawakumsikiliza hata kidogo. "Refi!" Mamake alimwita kutoka ndani, "Tafadhali acha hao kuku. Njoo unichungie chungu!"
Mamake Refi alijivunia nyumba yake na alitaka iwe safi siku ya harusi. Alisafisha, akaosha na kusugua kila kilochokuwamo. Alipomaliza, hapakuwa na chembe cha vumbi popote. Kuku walipochokoa vichwa mlangoni, Mamake Refi alipiga mayowe, "Tokeni nje ninyi viumbe vyenye miguu na midomo michafu!"
Refi aliwafuata kuku wake hadi kwenye jua. "Mama anasema ukweli, mnaaibisha," aliwakemea. Refi alitabasamu kisha akaenda kujaza ndoo maji. Alikuwa na wakati mgumu kuwashika kuku wake. Hawakudhani kwamba ilikuwa jambo zuri wao kuoga.
Refi alimweka kuku wa kwanza ndani ya ndoo ya maji. "Kaa wima, ewe kiumbe shenzi," alipiga kelele. "Haitachukua muda mrefu kukuosha!"
Refi alipopangusa pua na macho ya kuku, ghafla kuku alikuwa dhaifu akaanguka kando ya ndoo. "Huu sio wakati wa kulala," Refi alisema. Alimtikisa kuku kwa nguvu ili maji yote yadondoke. Kisha akamlaza juu ya nyasi ili akauke. Kuku alitulia pale akiwa amelala.
Aliwaosha kuku wote wanane na kuwaweka mstari mmoja juu ya nyasi ili wakauke. Hakuna yeyote aliyepapatua hata unyoya mmoja. "Nitawaacha mlale kwa muda mfupi," Refi aliwaza. Alienda kukitazama chungu kilichokuwa mekoni.
Shangazi zake Refi, yaani Mama Netty na Mama Teddy, walikuwa wakitayarisha harusi ya Elsa. Walitakiwa kufanya matayarisho hayo kwa pamoja lakini hawakupendana hata kidogo.
Mama Netty aliwaona kuku wa Refi wakiwa wanakauka. "Hiki ni chakula kizuri kwangu. Nitawapeleka nyumbani!" Alijiambia. Alilichukua kanga lake na kuwafungia kuku wote mle ndani. Hakuna kuku hata mmoja aliyesonga. "Sawa kabisa!" Alitabasamu. "Sasa nitawaweka mahali ambapo Mamake Teddy hatawahi kuwapata." Alikiweka kifurushi hicho pembeni kati ya maboga."
Mama Teddy aliamua kutayarisha kitoweo alichokipenda. Alikwenda katika bustani ya maboga. Alikiona kifurushi cha Mama Netty chini ya mboga. Alipokifungua, kuku wote wanane walianguka nje. "Esh!" Alipiga kelele huku akiruka nyuma kwa mshangao. "Ah, ninyi ndio kuku wasafi kuliko wote! Mko tayari kwa chungu changu," aliwabembeleza. "Sasa nitawaficha wapi wapenzi wangu?" Mama Teddy alicheka. "Lazima nipate mahali pazuri kabisa," alisema huku akitembea nyumbani.
"Ninajua," alisema hatimaye, "Nitawaweka paani!" Mama Teddy alipanda juu akawaweka kuku katika mstari kwenye paa la nyumba ya nyasi.
Siku iliyofuata, jua lilichomoza kwa wakati mzuri kwa harusi. Refi alikuwa wa kwanza kuamka na kwenda kuwatazama kuku wake. Hakuwapata mahali alikuwa amewaweka. "Lazima wawe wamekauka vizuri kwa sasa. Nina hakika wameenda kutafuta kifungua kinywa chao," alisema.
Harusi ya Elsa ilikuwa ya kufana. Wale kuku hawakuamka kutoka paani. Kwa hivyo, hawakujiunga na wasichana wasaidizi wa bi- harusi walipoingia wakicheza. Hakuna kuku yeyote aliyetikisika wakati kwaya ya kanisa iliimba kwa sauti ya juu nyimbo nzuri za kuvutia. Walikuwa bado wanalala juu ya paa wakati Padre alihubiri. Hawakutikisa hata unyoya wakati nguruwe na babu yake Refi walipokoroma mahubiri yalipoendelea.
Hakuna hata mguu mmoja wa kuku uliotetemeka wakati kondoo waliranda na kuingia ndani ya hema wakiwa karibu kuangusha keki ya harusi. Wakati babake bwana harusi alipokuwa katikati ya hotuba yake ndipo mambo yalianza kubadilika paani.
Kuku wa kwanza aliyanyoosha mabawa yake na kuruka kwenye kifua cha Mamake Molly. Mama Teddy aliyekuwa amekaa karibu naye alianza kucheka. Kuku mwingine alirukia kitambaa kipya cha Mama Netty. Watu waliokuwa kwenye meza nyingine walizuia kicheko. Mwanamke aliyekaa karibu na Mama Netty aliweka kichwa chake chini ya meza, "Ai, aai, aaaaii, he, he, heeeeeeee!" Alicheka.
Wale kuku wote waliamua kujiunga na wale wawili wa kwanza. Hungeweza kumwona Mama Netty kwa sababu alikuwa amefunikwa na kuku hao wote!
Wageni walicheka kwa mayowe. Wanaume walilazimika kuzishika tumbo zao. Wanawake waliviringika katika viti vyao. Vijana walijishikilia kwa wenzao. Akina nyanya hawangeweza kupumua kwa ajili ya kucheka. Akina babu walitikisa fimbo zao. Halafu, shangazi hao wawili walitazamana wakaanza kucheka pia.
Mama Teddy aliufungua mdomo wake wazi kwa kicheko. Mama Netty alikirusha kichwa chake nyuma na kucheka hadi mashavu yakatikisika. Refi hakuamini!
Wageni wote walikubaliana kwamba hiyo ilikuwa harusi nzuri zaidi iliyowahi kufanyika kijijini Mailisaba. "Aa, mna bahati sana! Refi aliwaambia kuku wake alipokuwa anawaweka kwenye chumba chao usiku ule. "Mama anasema kuwa hatawahi kuwaweka kwenye chungu chake."
"Lakini, tazama jinsi mlivyo wachafu tena," aliwaambia. "Nadhani nitalazimika kuwaosha tena kesho!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Refi awaosha kuku wake Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini wageni walicheka | {
"text": [
"Kwa vile Mama Netty alifunikwa na kuku wote"
]
} |
2422_swa | Robo za Bwana Hadaa
Ni karibu wakati wa mapumziko katika shule ya Msingi ya Siyafunda. Wamiliki wa maduka mawili yaliyo pale shuleni wanatayarisha chakula cha mchana ili kuwauzia wanafunzi wenye njaa.
Dukani kwa Bwana Mkweli mikate imekatwa tayari kutengeneza robo zitakazonunuliwa na wanafunzi. Anakata sehemu nyororo iliyo katikati kisha anaweka ndani mayai. Mkweli pia anaweka vijiko viwili vya kachumbari iliyotayarishwa na mkewe. Yeye hupenda kujigamba kwamba robo za mkate anazouza zina mayai ndani na juu kuna kachumbari!
Katika duka la Hadaa, mayai karibu yawe tayari, lakini bado anakata mikate kutengeneza robo. Ana wasiwasi kwa sababu biashara hayiendi vizuri dukani kwake. "Ilianza vizuri," Bwana Hadaa anawaza. "Lakini, sasa ninapata wateja wachache sana. Ingawa ninapunguza gharama yangu kwa kuikata mikate sehemu tano badala ya nne."
Jabu na Zorina wananunua chakula cha mchana. Zorina ananunua kutoka kwa Bwana Hadaa. Jabu naye ananunua kutoka kwa Bwana Mkweli. Jabu anaamini kuwa robo anazouza Bwana Mkweli zina mayai na kachumbari nyingi kuliko zile anazouza Bwana Hadaa.
Foleni iliyo nje ya duka la Bwana Mkweli ni ndefu zaidi. Zorina anamsubiri Jabu. Kisha marafiki hao wanaketi pamoja kwenye kivuli kufurahia robo zao za mkate.
Zorina anona kitu kinachomfanya aukunje uso wake. "Unatazama nini?" Jabu anauliza. Zorina anajibu, "Robo yako! Inaonekana kubwa kuliko yangu."
Wanazitazama robo zao kwa makini. Ni kweli kuwa robo ya Jabu ni kubwa kuliko ya Zorina. Zorina anasema, "Hakika, hapa kuna kitu kisicho sawa. Ama hii ndiyo sababu duka la Bwana Hadaa halina tena wateja wengi." Jabu anajibu, "Nilisikia kwamba baadhi ya watoto walimwona Bwana Hadaa akiukata mkate vipande vitano vya kutengeneza robo zake!"
Nora anawasikia Jabu na Zorina wakiongea naye anataka kujua tofauti ya kuukata mkate vipande vitano. Zorina na Jabu wanajibu pamoja, "Kipande cha robo tunachouziwa ni robo ya mkate!" Nora anaonekana kutoelewa, kwa hivyo, Zorina anamweleza, "Lazima mkate ukatwe vipande vinne vilivyo sawa ili kila kipande kiwe robo ya mkate mzima."
Nora amekasirika kwa sababu yeye pia hununua kwa Bwana Hadaa. "Kwa hivyo anatuibia, sivyo!" anasema kwa sauti kubwa. Zorina anaamua kurudi kwa Bwana Hadaa kulalamika. Anatembea huku amebeba robo ya mkate wake juu. Nora anamfuata nyuma haraka. Jabu anashusha pumzi kisha anawafuata marafiki zake.
Bwana Hadaa anaudhika anapoona kuwa wao sio wateja wapya. Anasema, "Hamjambo, tena, watoto. Je, niwasaidie namna gani?" Nora anamwuliza kwa ukali, "Bwana Hadaa, ulinipatia kipande nami nikakulipa pesa za robo. Lakini hii si robo," Nora anasema huku akiashiria kipande chake. "Ninataka robo ya mkate au unirejeshee pesa zangu," anasema kwa ukali.
"Je, ni kweli Bwana Hadaa? Umekuwa ukituhadaa!" Nora analia. Wakati huo baadhi ya watoto wamewafuata hadi pale dukani. Wao pia wanasikiliza shutuma anazopata Hadaa. Hadaa anawapungia mkano kwa madharau, "Ni nini hiki mnachosema kunihusu? Mimi si mtu wa aina hiyo! Ninataka mwondoke dukani kwangu mara moja!"
Zorina anasema kimya kimya, "Tutamwambia kila mtu kuhusu kile unachofanya. Ujumbe huo utaenea kama moto shuleni kote. Utalazimika kulifunga duka lako. Hakuna atakayenunua kutoka kwako!" Bwana Hadaa anawatazama watoto wale watatu wanaosimama mbele yake. Kisha anautazama umati unaoendelea kuongezeka nje ya duka lake.
Mwishowe, Bwana Hadaa anasema, "Vyema, nitakurejeshea pesa zako." Jabu anasema, "Pia, ahidi kwamba utaukata mkate vipande vinne kuzitengeneza robo." Bwana Hadaa anaahidi kwamba atafanya hivyo. Kisha anasafisha koo yake na kusema kwa sauti ili kila mmoja asikie, "Pia, ninaahidi kwamba nitaongeza kiasi cha kachumbari na mayai kwenye robo za mkate."
Bwana Hadaa kweli aliongeza kiasi cha mayai na kachumbari kwenye robo za mkate alizotengeneza. Baadaye, watoto zaidi walikuwa wakinunua kutoka kwake na duka lake lilianza kupata faida. Aliweza kumwajiri mtu wa kumsaidia.
Sasa, kuna ushindani mzuri kati ya Bwana Hadaa na Bwana Mkweli. Kila mtu anafurahi.
Andika tafsiri ya picha uionayo hapa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Robo za Bwana Hadaa Author - Lorato Trok Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani wananunua chakula cha mchana? | {
"text": [
"Jabu na Zorina"
]
} |
2422_swa | Robo za Bwana Hadaa
Ni karibu wakati wa mapumziko katika shule ya Msingi ya Siyafunda. Wamiliki wa maduka mawili yaliyo pale shuleni wanatayarisha chakula cha mchana ili kuwauzia wanafunzi wenye njaa.
Dukani kwa Bwana Mkweli mikate imekatwa tayari kutengeneza robo zitakazonunuliwa na wanafunzi. Anakata sehemu nyororo iliyo katikati kisha anaweka ndani mayai. Mkweli pia anaweka vijiko viwili vya kachumbari iliyotayarishwa na mkewe. Yeye hupenda kujigamba kwamba robo za mkate anazouza zina mayai ndani na juu kuna kachumbari!
Katika duka la Hadaa, mayai karibu yawe tayari, lakini bado anakata mikate kutengeneza robo. Ana wasiwasi kwa sababu biashara hayiendi vizuri dukani kwake. "Ilianza vizuri," Bwana Hadaa anawaza. "Lakini, sasa ninapata wateja wachache sana. Ingawa ninapunguza gharama yangu kwa kuikata mikate sehemu tano badala ya nne."
Jabu na Zorina wananunua chakula cha mchana. Zorina ananunua kutoka kwa Bwana Hadaa. Jabu naye ananunua kutoka kwa Bwana Mkweli. Jabu anaamini kuwa robo anazouza Bwana Mkweli zina mayai na kachumbari nyingi kuliko zile anazouza Bwana Hadaa.
Foleni iliyo nje ya duka la Bwana Mkweli ni ndefu zaidi. Zorina anamsubiri Jabu. Kisha marafiki hao wanaketi pamoja kwenye kivuli kufurahia robo zao za mkate.
Zorina anona kitu kinachomfanya aukunje uso wake. "Unatazama nini?" Jabu anauliza. Zorina anajibu, "Robo yako! Inaonekana kubwa kuliko yangu."
Wanazitazama robo zao kwa makini. Ni kweli kuwa robo ya Jabu ni kubwa kuliko ya Zorina. Zorina anasema, "Hakika, hapa kuna kitu kisicho sawa. Ama hii ndiyo sababu duka la Bwana Hadaa halina tena wateja wengi." Jabu anajibu, "Nilisikia kwamba baadhi ya watoto walimwona Bwana Hadaa akiukata mkate vipande vitano vya kutengeneza robo zake!"
Nora anawasikia Jabu na Zorina wakiongea naye anataka kujua tofauti ya kuukata mkate vipande vitano. Zorina na Jabu wanajibu pamoja, "Kipande cha robo tunachouziwa ni robo ya mkate!" Nora anaonekana kutoelewa, kwa hivyo, Zorina anamweleza, "Lazima mkate ukatwe vipande vinne vilivyo sawa ili kila kipande kiwe robo ya mkate mzima."
Nora amekasirika kwa sababu yeye pia hununua kwa Bwana Hadaa. "Kwa hivyo anatuibia, sivyo!" anasema kwa sauti kubwa. Zorina anaamua kurudi kwa Bwana Hadaa kulalamika. Anatembea huku amebeba robo ya mkate wake juu. Nora anamfuata nyuma haraka. Jabu anashusha pumzi kisha anawafuata marafiki zake.
Bwana Hadaa anaudhika anapoona kuwa wao sio wateja wapya. Anasema, "Hamjambo, tena, watoto. Je, niwasaidie namna gani?" Nora anamwuliza kwa ukali, "Bwana Hadaa, ulinipatia kipande nami nikakulipa pesa za robo. Lakini hii si robo," Nora anasema huku akiashiria kipande chake. "Ninataka robo ya mkate au unirejeshee pesa zangu," anasema kwa ukali.
"Je, ni kweli Bwana Hadaa? Umekuwa ukituhadaa!" Nora analia. Wakati huo baadhi ya watoto wamewafuata hadi pale dukani. Wao pia wanasikiliza shutuma anazopata Hadaa. Hadaa anawapungia mkano kwa madharau, "Ni nini hiki mnachosema kunihusu? Mimi si mtu wa aina hiyo! Ninataka mwondoke dukani kwangu mara moja!"
Zorina anasema kimya kimya, "Tutamwambia kila mtu kuhusu kile unachofanya. Ujumbe huo utaenea kama moto shuleni kote. Utalazimika kulifunga duka lako. Hakuna atakayenunua kutoka kwako!" Bwana Hadaa anawatazama watoto wale watatu wanaosimama mbele yake. Kisha anautazama umati unaoendelea kuongezeka nje ya duka lake.
Mwishowe, Bwana Hadaa anasema, "Vyema, nitakurejeshea pesa zako." Jabu anasema, "Pia, ahidi kwamba utaukata mkate vipande vinne kuzitengeneza robo." Bwana Hadaa anaahidi kwamba atafanya hivyo. Kisha anasafisha koo yake na kusema kwa sauti ili kila mmoja asikie, "Pia, ninaahidi kwamba nitaongeza kiasi cha kachumbari na mayai kwenye robo za mkate."
Bwana Hadaa kweli aliongeza kiasi cha mayai na kachumbari kwenye robo za mkate alizotengeneza. Baadaye, watoto zaidi walikuwa wakinunua kutoka kwake na duka lake lilianza kupata faida. Aliweza kumwajiri mtu wa kumsaidia.
Sasa, kuna ushindani mzuri kati ya Bwana Hadaa na Bwana Mkweli. Kila mtu anafurahi.
Andika tafsiri ya picha uionayo hapa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Robo za Bwana Hadaa Author - Lorato Trok Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanafunzi wenye njaa walinunua wapi chakula cha mchana? | {
"text": [
"Dukani"
]
} |
2422_swa | Robo za Bwana Hadaa
Ni karibu wakati wa mapumziko katika shule ya Msingi ya Siyafunda. Wamiliki wa maduka mawili yaliyo pale shuleni wanatayarisha chakula cha mchana ili kuwauzia wanafunzi wenye njaa.
Dukani kwa Bwana Mkweli mikate imekatwa tayari kutengeneza robo zitakazonunuliwa na wanafunzi. Anakata sehemu nyororo iliyo katikati kisha anaweka ndani mayai. Mkweli pia anaweka vijiko viwili vya kachumbari iliyotayarishwa na mkewe. Yeye hupenda kujigamba kwamba robo za mkate anazouza zina mayai ndani na juu kuna kachumbari!
Katika duka la Hadaa, mayai karibu yawe tayari, lakini bado anakata mikate kutengeneza robo. Ana wasiwasi kwa sababu biashara hayiendi vizuri dukani kwake. "Ilianza vizuri," Bwana Hadaa anawaza. "Lakini, sasa ninapata wateja wachache sana. Ingawa ninapunguza gharama yangu kwa kuikata mikate sehemu tano badala ya nne."
Jabu na Zorina wananunua chakula cha mchana. Zorina ananunua kutoka kwa Bwana Hadaa. Jabu naye ananunua kutoka kwa Bwana Mkweli. Jabu anaamini kuwa robo anazouza Bwana Mkweli zina mayai na kachumbari nyingi kuliko zile anazouza Bwana Hadaa.
Foleni iliyo nje ya duka la Bwana Mkweli ni ndefu zaidi. Zorina anamsubiri Jabu. Kisha marafiki hao wanaketi pamoja kwenye kivuli kufurahia robo zao za mkate.
Zorina anona kitu kinachomfanya aukunje uso wake. "Unatazama nini?" Jabu anauliza. Zorina anajibu, "Robo yako! Inaonekana kubwa kuliko yangu."
Wanazitazama robo zao kwa makini. Ni kweli kuwa robo ya Jabu ni kubwa kuliko ya Zorina. Zorina anasema, "Hakika, hapa kuna kitu kisicho sawa. Ama hii ndiyo sababu duka la Bwana Hadaa halina tena wateja wengi." Jabu anajibu, "Nilisikia kwamba baadhi ya watoto walimwona Bwana Hadaa akiukata mkate vipande vitano vya kutengeneza robo zake!"
Nora anawasikia Jabu na Zorina wakiongea naye anataka kujua tofauti ya kuukata mkate vipande vitano. Zorina na Jabu wanajibu pamoja, "Kipande cha robo tunachouziwa ni robo ya mkate!" Nora anaonekana kutoelewa, kwa hivyo, Zorina anamweleza, "Lazima mkate ukatwe vipande vinne vilivyo sawa ili kila kipande kiwe robo ya mkate mzima."
Nora amekasirika kwa sababu yeye pia hununua kwa Bwana Hadaa. "Kwa hivyo anatuibia, sivyo!" anasema kwa sauti kubwa. Zorina anaamua kurudi kwa Bwana Hadaa kulalamika. Anatembea huku amebeba robo ya mkate wake juu. Nora anamfuata nyuma haraka. Jabu anashusha pumzi kisha anawafuata marafiki zake.
Bwana Hadaa anaudhika anapoona kuwa wao sio wateja wapya. Anasema, "Hamjambo, tena, watoto. Je, niwasaidie namna gani?" Nora anamwuliza kwa ukali, "Bwana Hadaa, ulinipatia kipande nami nikakulipa pesa za robo. Lakini hii si robo," Nora anasema huku akiashiria kipande chake. "Ninataka robo ya mkate au unirejeshee pesa zangu," anasema kwa ukali.
"Je, ni kweli Bwana Hadaa? Umekuwa ukituhadaa!" Nora analia. Wakati huo baadhi ya watoto wamewafuata hadi pale dukani. Wao pia wanasikiliza shutuma anazopata Hadaa. Hadaa anawapungia mkano kwa madharau, "Ni nini hiki mnachosema kunihusu? Mimi si mtu wa aina hiyo! Ninataka mwondoke dukani kwangu mara moja!"
Zorina anasema kimya kimya, "Tutamwambia kila mtu kuhusu kile unachofanya. Ujumbe huo utaenea kama moto shuleni kote. Utalazimika kulifunga duka lako. Hakuna atakayenunua kutoka kwako!" Bwana Hadaa anawatazama watoto wale watatu wanaosimama mbele yake. Kisha anautazama umati unaoendelea kuongezeka nje ya duka lake.
Mwishowe, Bwana Hadaa anasema, "Vyema, nitakurejeshea pesa zako." Jabu anasema, "Pia, ahidi kwamba utaukata mkate vipande vinne kuzitengeneza robo." Bwana Hadaa anaahidi kwamba atafanya hivyo. Kisha anasafisha koo yake na kusema kwa sauti ili kila mmoja asikie, "Pia, ninaahidi kwamba nitaongeza kiasi cha kachumbari na mayai kwenye robo za mkate."
Bwana Hadaa kweli aliongeza kiasi cha mayai na kachumbari kwenye robo za mkate alizotengeneza. Baadaye, watoto zaidi walikuwa wakinunua kutoka kwake na duka lake lilianza kupata faida. Aliweza kumwajiri mtu wa kumsaidia.
Sasa, kuna ushindani mzuri kati ya Bwana Hadaa na Bwana Mkweli. Kila mtu anafurahi.
Andika tafsiri ya picha uionayo hapa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Robo za Bwana Hadaa Author - Lorato Trok Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alikuwa na biashara ambayo haikuenda vizuri? | {
"text": [
"Itadaa"
]
} |
2422_swa | Robo za Bwana Hadaa
Ni karibu wakati wa mapumziko katika shule ya Msingi ya Siyafunda. Wamiliki wa maduka mawili yaliyo pale shuleni wanatayarisha chakula cha mchana ili kuwauzia wanafunzi wenye njaa.
Dukani kwa Bwana Mkweli mikate imekatwa tayari kutengeneza robo zitakazonunuliwa na wanafunzi. Anakata sehemu nyororo iliyo katikati kisha anaweka ndani mayai. Mkweli pia anaweka vijiko viwili vya kachumbari iliyotayarishwa na mkewe. Yeye hupenda kujigamba kwamba robo za mkate anazouza zina mayai ndani na juu kuna kachumbari!
Katika duka la Hadaa, mayai karibu yawe tayari, lakini bado anakata mikate kutengeneza robo. Ana wasiwasi kwa sababu biashara hayiendi vizuri dukani kwake. "Ilianza vizuri," Bwana Hadaa anawaza. "Lakini, sasa ninapata wateja wachache sana. Ingawa ninapunguza gharama yangu kwa kuikata mikate sehemu tano badala ya nne."
Jabu na Zorina wananunua chakula cha mchana. Zorina ananunua kutoka kwa Bwana Hadaa. Jabu naye ananunua kutoka kwa Bwana Mkweli. Jabu anaamini kuwa robo anazouza Bwana Mkweli zina mayai na kachumbari nyingi kuliko zile anazouza Bwana Hadaa.
Foleni iliyo nje ya duka la Bwana Mkweli ni ndefu zaidi. Zorina anamsubiri Jabu. Kisha marafiki hao wanaketi pamoja kwenye kivuli kufurahia robo zao za mkate.
Zorina anona kitu kinachomfanya aukunje uso wake. "Unatazama nini?" Jabu anauliza. Zorina anajibu, "Robo yako! Inaonekana kubwa kuliko yangu."
Wanazitazama robo zao kwa makini. Ni kweli kuwa robo ya Jabu ni kubwa kuliko ya Zorina. Zorina anasema, "Hakika, hapa kuna kitu kisicho sawa. Ama hii ndiyo sababu duka la Bwana Hadaa halina tena wateja wengi." Jabu anajibu, "Nilisikia kwamba baadhi ya watoto walimwona Bwana Hadaa akiukata mkate vipande vitano vya kutengeneza robo zake!"
Nora anawasikia Jabu na Zorina wakiongea naye anataka kujua tofauti ya kuukata mkate vipande vitano. Zorina na Jabu wanajibu pamoja, "Kipande cha robo tunachouziwa ni robo ya mkate!" Nora anaonekana kutoelewa, kwa hivyo, Zorina anamweleza, "Lazima mkate ukatwe vipande vinne vilivyo sawa ili kila kipande kiwe robo ya mkate mzima."
Nora amekasirika kwa sababu yeye pia hununua kwa Bwana Hadaa. "Kwa hivyo anatuibia, sivyo!" anasema kwa sauti kubwa. Zorina anaamua kurudi kwa Bwana Hadaa kulalamika. Anatembea huku amebeba robo ya mkate wake juu. Nora anamfuata nyuma haraka. Jabu anashusha pumzi kisha anawafuata marafiki zake.
Bwana Hadaa anaudhika anapoona kuwa wao sio wateja wapya. Anasema, "Hamjambo, tena, watoto. Je, niwasaidie namna gani?" Nora anamwuliza kwa ukali, "Bwana Hadaa, ulinipatia kipande nami nikakulipa pesa za robo. Lakini hii si robo," Nora anasema huku akiashiria kipande chake. "Ninataka robo ya mkate au unirejeshee pesa zangu," anasema kwa ukali.
"Je, ni kweli Bwana Hadaa? Umekuwa ukituhadaa!" Nora analia. Wakati huo baadhi ya watoto wamewafuata hadi pale dukani. Wao pia wanasikiliza shutuma anazopata Hadaa. Hadaa anawapungia mkano kwa madharau, "Ni nini hiki mnachosema kunihusu? Mimi si mtu wa aina hiyo! Ninataka mwondoke dukani kwangu mara moja!"
Zorina anasema kimya kimya, "Tutamwambia kila mtu kuhusu kile unachofanya. Ujumbe huo utaenea kama moto shuleni kote. Utalazimika kulifunga duka lako. Hakuna atakayenunua kutoka kwako!" Bwana Hadaa anawatazama watoto wale watatu wanaosimama mbele yake. Kisha anautazama umati unaoendelea kuongezeka nje ya duka lake.
Mwishowe, Bwana Hadaa anasema, "Vyema, nitakurejeshea pesa zako." Jabu anasema, "Pia, ahidi kwamba utaukata mkate vipande vinne kuzitengeneza robo." Bwana Hadaa anaahidi kwamba atafanya hivyo. Kisha anasafisha koo yake na kusema kwa sauti ili kila mmoja asikie, "Pia, ninaahidi kwamba nitaongeza kiasi cha kachumbari na mayai kwenye robo za mkate."
Bwana Hadaa kweli aliongeza kiasi cha mayai na kachumbari kwenye robo za mkate alizotengeneza. Baadaye, watoto zaidi walikuwa wakinunua kutoka kwake na duka lake lilianza kupata faida. Aliweza kumwajiri mtu wa kumsaidia.
Sasa, kuna ushindani mzuri kati ya Bwana Hadaa na Bwana Mkweli. Kila mtu anafurahi.
Andika tafsiri ya picha uionayo hapa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Robo za Bwana Hadaa Author - Lorato Trok Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Jabu na Zorina walienda wapi kula mkate? | {
"text": [
"Kivulini"
]
} |
2422_swa | Robo za Bwana Hadaa
Ni karibu wakati wa mapumziko katika shule ya Msingi ya Siyafunda. Wamiliki wa maduka mawili yaliyo pale shuleni wanatayarisha chakula cha mchana ili kuwauzia wanafunzi wenye njaa.
Dukani kwa Bwana Mkweli mikate imekatwa tayari kutengeneza robo zitakazonunuliwa na wanafunzi. Anakata sehemu nyororo iliyo katikati kisha anaweka ndani mayai. Mkweli pia anaweka vijiko viwili vya kachumbari iliyotayarishwa na mkewe. Yeye hupenda kujigamba kwamba robo za mkate anazouza zina mayai ndani na juu kuna kachumbari!
Katika duka la Hadaa, mayai karibu yawe tayari, lakini bado anakata mikate kutengeneza robo. Ana wasiwasi kwa sababu biashara hayiendi vizuri dukani kwake. "Ilianza vizuri," Bwana Hadaa anawaza. "Lakini, sasa ninapata wateja wachache sana. Ingawa ninapunguza gharama yangu kwa kuikata mikate sehemu tano badala ya nne."
Jabu na Zorina wananunua chakula cha mchana. Zorina ananunua kutoka kwa Bwana Hadaa. Jabu naye ananunua kutoka kwa Bwana Mkweli. Jabu anaamini kuwa robo anazouza Bwana Mkweli zina mayai na kachumbari nyingi kuliko zile anazouza Bwana Hadaa.
Foleni iliyo nje ya duka la Bwana Mkweli ni ndefu zaidi. Zorina anamsubiri Jabu. Kisha marafiki hao wanaketi pamoja kwenye kivuli kufurahia robo zao za mkate.
Zorina anona kitu kinachomfanya aukunje uso wake. "Unatazama nini?" Jabu anauliza. Zorina anajibu, "Robo yako! Inaonekana kubwa kuliko yangu."
Wanazitazama robo zao kwa makini. Ni kweli kuwa robo ya Jabu ni kubwa kuliko ya Zorina. Zorina anasema, "Hakika, hapa kuna kitu kisicho sawa. Ama hii ndiyo sababu duka la Bwana Hadaa halina tena wateja wengi." Jabu anajibu, "Nilisikia kwamba baadhi ya watoto walimwona Bwana Hadaa akiukata mkate vipande vitano vya kutengeneza robo zake!"
Nora anawasikia Jabu na Zorina wakiongea naye anataka kujua tofauti ya kuukata mkate vipande vitano. Zorina na Jabu wanajibu pamoja, "Kipande cha robo tunachouziwa ni robo ya mkate!" Nora anaonekana kutoelewa, kwa hivyo, Zorina anamweleza, "Lazima mkate ukatwe vipande vinne vilivyo sawa ili kila kipande kiwe robo ya mkate mzima."
Nora amekasirika kwa sababu yeye pia hununua kwa Bwana Hadaa. "Kwa hivyo anatuibia, sivyo!" anasema kwa sauti kubwa. Zorina anaamua kurudi kwa Bwana Hadaa kulalamika. Anatembea huku amebeba robo ya mkate wake juu. Nora anamfuata nyuma haraka. Jabu anashusha pumzi kisha anawafuata marafiki zake.
Bwana Hadaa anaudhika anapoona kuwa wao sio wateja wapya. Anasema, "Hamjambo, tena, watoto. Je, niwasaidie namna gani?" Nora anamwuliza kwa ukali, "Bwana Hadaa, ulinipatia kipande nami nikakulipa pesa za robo. Lakini hii si robo," Nora anasema huku akiashiria kipande chake. "Ninataka robo ya mkate au unirejeshee pesa zangu," anasema kwa ukali.
"Je, ni kweli Bwana Hadaa? Umekuwa ukituhadaa!" Nora analia. Wakati huo baadhi ya watoto wamewafuata hadi pale dukani. Wao pia wanasikiliza shutuma anazopata Hadaa. Hadaa anawapungia mkano kwa madharau, "Ni nini hiki mnachosema kunihusu? Mimi si mtu wa aina hiyo! Ninataka mwondoke dukani kwangu mara moja!"
Zorina anasema kimya kimya, "Tutamwambia kila mtu kuhusu kile unachofanya. Ujumbe huo utaenea kama moto shuleni kote. Utalazimika kulifunga duka lako. Hakuna atakayenunua kutoka kwako!" Bwana Hadaa anawatazama watoto wale watatu wanaosimama mbele yake. Kisha anautazama umati unaoendelea kuongezeka nje ya duka lake.
Mwishowe, Bwana Hadaa anasema, "Vyema, nitakurejeshea pesa zako." Jabu anasema, "Pia, ahidi kwamba utaukata mkate vipande vinne kuzitengeneza robo." Bwana Hadaa anaahidi kwamba atafanya hivyo. Kisha anasafisha koo yake na kusema kwa sauti ili kila mmoja asikie, "Pia, ninaahidi kwamba nitaongeza kiasi cha kachumbari na mayai kwenye robo za mkate."
Bwana Hadaa kweli aliongeza kiasi cha mayai na kachumbari kwenye robo za mkate alizotengeneza. Baadaye, watoto zaidi walikuwa wakinunua kutoka kwake na duka lake lilianza kupata faida. Aliweza kumwajiri mtu wa kumsaidia.
Sasa, kuna ushindani mzuri kati ya Bwana Hadaa na Bwana Mkweli. Kila mtu anafurahi.
Andika tafsiri ya picha uionayo hapa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Robo za Bwana Hadaa Author - Lorato Trok Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Zorina anakunja uso? | {
"text": [
"Robo ya Jabu inaonekana kuwa mkubwa kuliko yake"
]
} |
2424_swa | Safari ya Mombasa
Tulisafiri kwa treni ya SGR kutoka mji mkuu wa Nairobi kuelekea mji wa Mombasa. Ndani ya treni tuliweza kununua chai na vitafunio. Usafi wa treni ulikuwa wa hali ya juu na huduma kwa wateja ilipendeza. Njiani tuliona miji midogo midogo treni iliposimama kupokea abiria na kuwashusha wengine. Niliona miji kama Voi, Mtito Andei n.k. Tulipofika Mombasa tulishuka treni na kupokea mizigo yetu. Nje nilipigwa na mshangao kwani kulikuwa na joto nyingi sana. Nilianza kutokwa na jasho ingawa kulikuwa jioni. Tulichukua gari ya tuktuk hadi hoteli tuliyokuwa tumepangisha. Ndani ya hoteli tulijiburudisha kwa madafu baridi. Feni zote zilifunguliwa ili kupata nafuu kotokana na joto. Asubuhi iliyofuata tulienda kuiona bahari ya hindi. Tulienda upande wa ufuko wa Serena. Mchanga wake mweupe ulipendeza sana. Tuliogelea majini yaliyokuwa na joto kiasi na kutembea mchangani. Wachuuzi wa bidhaa mbalimbali walituzingira wakitaka tununue. Tuliamua kulipa mashua moja itupeleke ndani kidogo tukawaone samaki na wanyama wengine wa bahari. Tuilingia ndani ya mashua na kwenda kuwaona samaki wa baharini. Vijana walioongoza mashua walimwaga chakula majini kuwalisha samaki. Samaki wa rangi ya nili, rangi ya chungwa, wa manjano na nyeusi walitokea kula. Tulichangamka kweli kweli! Mashua ilitia nanga juu ya kisiwa kimoja kidogo sana. Hapo tulimwona kiti cha pweza tukamshika na kupigwa picha naye. Tulipewa vifaa mbali vya kuvaa halafu tukaingia majini kuogelea na samaki wa aina na rangi tofauti. Nilijaribu kuwashika lakini waliponyoka kila nilipofikiri nimefaulu. Siku iliyofuata tulienda kuiona ngome ya kristo iliyojengwa mwaka wa 1593. Ndani ya ngome tuliviona vitu vingi vya zamani kama ngoma, vichana, mashua na silaha za vita. Katika mji wa zamani tuliona milango spesheli iliyoundwa kwa ustadi. Pia tuliona barabara za zamani zilizokuwa nyembamba kupindukia. Mombasa kuna joto kwa hivyo mavazi yao ni mepesi na ya kulegea. Mama yangu alinunua vazi liitwalo dera. Naye baba akanunua kanzu. Minazi ilikua kwa wingi na nazi ziliuzwa kila pahali. Tulinunua nazi nyingi pamoja na madafu na chipsi za muhogo. Baadaye tulijiburudisha kwa soda za aina tofauti na tukala biriani kwa mchuzi wa mbuzi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Safari ya Mombasa Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Walitumia nini kusafiri | {
"text": [
"treni ya SGR"
]
} |
2424_swa | Safari ya Mombasa
Tulisafiri kwa treni ya SGR kutoka mji mkuu wa Nairobi kuelekea mji wa Mombasa. Ndani ya treni tuliweza kununua chai na vitafunio. Usafi wa treni ulikuwa wa hali ya juu na huduma kwa wateja ilipendeza. Njiani tuliona miji midogo midogo treni iliposimama kupokea abiria na kuwashusha wengine. Niliona miji kama Voi, Mtito Andei n.k. Tulipofika Mombasa tulishuka treni na kupokea mizigo yetu. Nje nilipigwa na mshangao kwani kulikuwa na joto nyingi sana. Nilianza kutokwa na jasho ingawa kulikuwa jioni. Tulichukua gari ya tuktuk hadi hoteli tuliyokuwa tumepangisha. Ndani ya hoteli tulijiburudisha kwa madafu baridi. Feni zote zilifunguliwa ili kupata nafuu kotokana na joto. Asubuhi iliyofuata tulienda kuiona bahari ya hindi. Tulienda upande wa ufuko wa Serena. Mchanga wake mweupe ulipendeza sana. Tuliogelea majini yaliyokuwa na joto kiasi na kutembea mchangani. Wachuuzi wa bidhaa mbalimbali walituzingira wakitaka tununue. Tuliamua kulipa mashua moja itupeleke ndani kidogo tukawaone samaki na wanyama wengine wa bahari. Tuilingia ndani ya mashua na kwenda kuwaona samaki wa baharini. Vijana walioongoza mashua walimwaga chakula majini kuwalisha samaki. Samaki wa rangi ya nili, rangi ya chungwa, wa manjano na nyeusi walitokea kula. Tulichangamka kweli kweli! Mashua ilitia nanga juu ya kisiwa kimoja kidogo sana. Hapo tulimwona kiti cha pweza tukamshika na kupigwa picha naye. Tulipewa vifaa mbali vya kuvaa halafu tukaingia majini kuogelea na samaki wa aina na rangi tofauti. Nilijaribu kuwashika lakini waliponyoka kila nilipofikiri nimefaulu. Siku iliyofuata tulienda kuiona ngome ya kristo iliyojengwa mwaka wa 1593. Ndani ya ngome tuliviona vitu vingi vya zamani kama ngoma, vichana, mashua na silaha za vita. Katika mji wa zamani tuliona milango spesheli iliyoundwa kwa ustadi. Pia tuliona barabara za zamani zilizokuwa nyembamba kupindukia. Mombasa kuna joto kwa hivyo mavazi yao ni mepesi na ya kulegea. Mama yangu alinunua vazi liitwalo dera. Naye baba akanunua kanzu. Minazi ilikua kwa wingi na nazi ziliuzwa kila pahali. Tulinunua nazi nyingi pamoja na madafu na chipsi za muhogo. Baadaye tulijiburudisha kwa soda za aina tofauti na tukala biriani kwa mchuzi wa mbuzi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Safari ya Mombasa Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Walishuka treni walipofika wapi | {
"text": [
"Mombasa"
]
} |
2424_swa | Safari ya Mombasa
Tulisafiri kwa treni ya SGR kutoka mji mkuu wa Nairobi kuelekea mji wa Mombasa. Ndani ya treni tuliweza kununua chai na vitafunio. Usafi wa treni ulikuwa wa hali ya juu na huduma kwa wateja ilipendeza. Njiani tuliona miji midogo midogo treni iliposimama kupokea abiria na kuwashusha wengine. Niliona miji kama Voi, Mtito Andei n.k. Tulipofika Mombasa tulishuka treni na kupokea mizigo yetu. Nje nilipigwa na mshangao kwani kulikuwa na joto nyingi sana. Nilianza kutokwa na jasho ingawa kulikuwa jioni. Tulichukua gari ya tuktuk hadi hoteli tuliyokuwa tumepangisha. Ndani ya hoteli tulijiburudisha kwa madafu baridi. Feni zote zilifunguliwa ili kupata nafuu kotokana na joto. Asubuhi iliyofuata tulienda kuiona bahari ya hindi. Tulienda upande wa ufuko wa Serena. Mchanga wake mweupe ulipendeza sana. Tuliogelea majini yaliyokuwa na joto kiasi na kutembea mchangani. Wachuuzi wa bidhaa mbalimbali walituzingira wakitaka tununue. Tuliamua kulipa mashua moja itupeleke ndani kidogo tukawaone samaki na wanyama wengine wa bahari. Tuilingia ndani ya mashua na kwenda kuwaona samaki wa baharini. Vijana walioongoza mashua walimwaga chakula majini kuwalisha samaki. Samaki wa rangi ya nili, rangi ya chungwa, wa manjano na nyeusi walitokea kula. Tulichangamka kweli kweli! Mashua ilitia nanga juu ya kisiwa kimoja kidogo sana. Hapo tulimwona kiti cha pweza tukamshika na kupigwa picha naye. Tulipewa vifaa mbali vya kuvaa halafu tukaingia majini kuogelea na samaki wa aina na rangi tofauti. Nilijaribu kuwashika lakini waliponyoka kila nilipofikiri nimefaulu. Siku iliyofuata tulienda kuiona ngome ya kristo iliyojengwa mwaka wa 1593. Ndani ya ngome tuliviona vitu vingi vya zamani kama ngoma, vichana, mashua na silaha za vita. Katika mji wa zamani tuliona milango spesheli iliyoundwa kwa ustadi. Pia tuliona barabara za zamani zilizokuwa nyembamba kupindukia. Mombasa kuna joto kwa hivyo mavazi yao ni mepesi na ya kulegea. Mama yangu alinunua vazi liitwalo dera. Naye baba akanunua kanzu. Minazi ilikua kwa wingi na nazi ziliuzwa kila pahali. Tulinunua nazi nyingi pamoja na madafu na chipsi za muhogo. Baadaye tulijiburudisha kwa soda za aina tofauti na tukala biriani kwa mchuzi wa mbuzi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Safari ya Mombasa Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ngome ya Kristo ilijengwa lini | {
"text": [
"1593"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.