Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2424_swa
Safari ya Mombasa Tulisafiri kwa treni ya SGR kutoka mji mkuu wa Nairobi kuelekea mji wa Mombasa. Ndani ya treni tuliweza kununua chai na vitafunio. Usafi wa treni ulikuwa wa hali ya juu na huduma kwa wateja ilipendeza. Njiani tuliona miji midogo midogo treni iliposimama kupokea abiria na kuwashusha wengine. Niliona miji kama Voi, Mtito Andei n.k. Tulipofika Mombasa tulishuka treni na kupokea mizigo yetu. Nje nilipigwa na mshangao kwani kulikuwa na joto nyingi sana. Nilianza kutokwa na jasho ingawa kulikuwa jioni. Tulichukua gari ya tuktuk hadi hoteli tuliyokuwa tumepangisha. Ndani ya hoteli tulijiburudisha kwa madafu baridi. Feni zote zilifunguliwa ili kupata nafuu kotokana na joto. Asubuhi iliyofuata tulienda kuiona bahari ya hindi. Tulienda upande wa ufuko wa Serena. Mchanga wake mweupe ulipendeza sana. Tuliogelea majini yaliyokuwa na joto kiasi na kutembea mchangani. Wachuuzi wa bidhaa mbalimbali walituzingira wakitaka tununue. Tuliamua kulipa mashua moja itupeleke ndani kidogo tukawaone samaki na wanyama wengine wa bahari. Tuilingia ndani ya mashua na kwenda kuwaona samaki wa baharini. Vijana walioongoza mashua walimwaga chakula majini kuwalisha samaki. Samaki wa rangi ya nili, rangi ya chungwa, wa manjano na nyeusi walitokea kula. Tulichangamka kweli kweli! Mashua ilitia nanga juu ya kisiwa kimoja kidogo sana. Hapo tulimwona kiti cha pweza tukamshika na kupigwa picha naye. Tulipewa vifaa mbali vya kuvaa halafu tukaingia majini kuogelea na samaki wa aina na rangi tofauti. Nilijaribu kuwashika lakini waliponyoka kila nilipofikiri nimefaulu. Siku iliyofuata tulienda kuiona ngome ya kristo iliyojengwa mwaka wa 1593. Ndani ya ngome tuliviona vitu vingi vya zamani kama ngoma, vichana, mashua na silaha za vita. Katika mji wa zamani tuliona milango spesheli iliyoundwa kwa ustadi. Pia tuliona barabara za zamani zilizokuwa nyembamba kupindukia. Mombasa kuna joto kwa hivyo mavazi yao ni mepesi na ya kulegea. Mama yangu alinunua vazi liitwalo dera. Naye baba akanunua kanzu. Minazi ilikua kwa wingi na nazi ziliuzwa kila pahali. Tulinunua nazi nyingi pamoja na madafu na chipsi za muhogo. Baadaye tulijiburudisha kwa soda za aina tofauti na tukala biriani kwa mchuzi wa mbuzi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Safari ya Mombasa Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Barabara za zamani zilikuwa vipi
{ "text": [ "nyembamba" ] }
2424_swa
Safari ya Mombasa Tulisafiri kwa treni ya SGR kutoka mji mkuu wa Nairobi kuelekea mji wa Mombasa. Ndani ya treni tuliweza kununua chai na vitafunio. Usafi wa treni ulikuwa wa hali ya juu na huduma kwa wateja ilipendeza. Njiani tuliona miji midogo midogo treni iliposimama kupokea abiria na kuwashusha wengine. Niliona miji kama Voi, Mtito Andei n.k. Tulipofika Mombasa tulishuka treni na kupokea mizigo yetu. Nje nilipigwa na mshangao kwani kulikuwa na joto nyingi sana. Nilianza kutokwa na jasho ingawa kulikuwa jioni. Tulichukua gari ya tuktuk hadi hoteli tuliyokuwa tumepangisha. Ndani ya hoteli tulijiburudisha kwa madafu baridi. Feni zote zilifunguliwa ili kupata nafuu kotokana na joto. Asubuhi iliyofuata tulienda kuiona bahari ya hindi. Tulienda upande wa ufuko wa Serena. Mchanga wake mweupe ulipendeza sana. Tuliogelea majini yaliyokuwa na joto kiasi na kutembea mchangani. Wachuuzi wa bidhaa mbalimbali walituzingira wakitaka tununue. Tuliamua kulipa mashua moja itupeleke ndani kidogo tukawaone samaki na wanyama wengine wa bahari. Tuilingia ndani ya mashua na kwenda kuwaona samaki wa baharini. Vijana walioongoza mashua walimwaga chakula majini kuwalisha samaki. Samaki wa rangi ya nili, rangi ya chungwa, wa manjano na nyeusi walitokea kula. Tulichangamka kweli kweli! Mashua ilitia nanga juu ya kisiwa kimoja kidogo sana. Hapo tulimwona kiti cha pweza tukamshika na kupigwa picha naye. Tulipewa vifaa mbali vya kuvaa halafu tukaingia majini kuogelea na samaki wa aina na rangi tofauti. Nilijaribu kuwashika lakini waliponyoka kila nilipofikiri nimefaulu. Siku iliyofuata tulienda kuiona ngome ya kristo iliyojengwa mwaka wa 1593. Ndani ya ngome tuliviona vitu vingi vya zamani kama ngoma, vichana, mashua na silaha za vita. Katika mji wa zamani tuliona milango spesheli iliyoundwa kwa ustadi. Pia tuliona barabara za zamani zilizokuwa nyembamba kupindukia. Mombasa kuna joto kwa hivyo mavazi yao ni mepesi na ya kulegea. Mama yangu alinunua vazi liitwalo dera. Naye baba akanunua kanzu. Minazi ilikua kwa wingi na nazi ziliuzwa kila pahali. Tulinunua nazi nyingi pamoja na madafu na chipsi za muhogo. Baadaye tulijiburudisha kwa soda za aina tofauti na tukala biriani kwa mchuzi wa mbuzi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Safari ya Mombasa Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona mavazi ya Mombasa ni mepesi
{ "text": [ "kuna joto" ] }
2427_swa
Sayari Jua ya Saba Hapo zamani za kale kulikuwa na sayari jua saba angani. Miale mikali ya sayari jua hizo iling'aa duniani hadi binadamu wakashindwa kuvumilia. Ndugu saba wa kabila la Munda waliamua kuziua sayari jua hizo. Walizirushia mishale lakini wakaweza kuziua sayari jua sita pekee. Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Baada ya sayari jua sita kuuawa, giza lilitanda kila mahali. Kwa sababu hiyo, paa hangeweza kumwona chui. Tembo walijikwaa kwenye miti na sungura wakatembea kwenye hatari ya simba. Wanyama wote walitaabika. Wanyama wote walikutana kutatua shida hii. Sungura alisema kwamba Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Wnayama walijiuliza, "Ni nani atakayeiita Sayari Jua hiyo irudi?" "Nitaiita irudi," alisema Simba, mfalme wa msitu huo. "Jua, jua, tafadhali usitutoroke. Rudi utuangazie." Simba alinguruma. Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza. Tembo naye akajaribu kuiita Sayari jua. Aliuinua mkonga wake na kupaaza sauti, "Jua, jua tafadhali rudi." Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza pia. Tausi Mrembo alicheza densi kidogo na kisha akajaribu kuiita Sayari Jua, "Jua, jua, tafadhali rudi." Sayari jua ilikataa kujitokeza. Wanyama wote waliita, lakini, Sayari Jua haikumsikiza yeyote. Jogoo alipojitokeza kuiita Sayari Jua, kila mmoja alimcheka. Simba, kama kiongozi mzuri, alisema, "Tumpeni Jogoo nafasi ajaribu kuiita Sayari Jua." Jogoo alisimama mbele ya wanyama wote, na taratibu akawika, "Kookoorikoo! Kookoorikoo!" Mara Sayari Jua ikaanza kuchomoza kutoka nyuma ya mlima. Wanyama wote walishangaa. Jogoo akawika tena kwa nguvu zaidi, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikachomoza hata zaidi. Jogoo akawika kwa mara ya tatu, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikapanda juu zaidi na kung'aa. Kukawa na mwangaza kila mahali. Wanyama wote na binadamu wakafurahi kuuona mwangaza. Wanyama waliwaomba binadamu wasiiue Sayari Jua. Tangu siku hiyo, jogoo huwika kila asubuhi. Nayo Sayari Jua isikiapo sauti ya jogoo, huchomoza na kuangaza dunia yote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sayari Jua ya Saba Author - Indian Folktale Translation - Kamundi Mutugi Illustration - Pratham Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Nini kiliwafanya binadamu kushindwa kuvumilia?
{ "text": [ "Miale mikali iliyong'aa duniani" ] }
2427_swa
Sayari Jua ya Saba Hapo zamani za kale kulikuwa na sayari jua saba angani. Miale mikali ya sayari jua hizo iling'aa duniani hadi binadamu wakashindwa kuvumilia. Ndugu saba wa kabila la Munda waliamua kuziua sayari jua hizo. Walizirushia mishale lakini wakaweza kuziua sayari jua sita pekee. Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Baada ya sayari jua sita kuuawa, giza lilitanda kila mahali. Kwa sababu hiyo, paa hangeweza kumwona chui. Tembo walijikwaa kwenye miti na sungura wakatembea kwenye hatari ya simba. Wanyama wote walitaabika. Wanyama wote walikutana kutatua shida hii. Sungura alisema kwamba Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Wnayama walijiuliza, "Ni nani atakayeiita Sayari Jua hiyo irudi?" "Nitaiita irudi," alisema Simba, mfalme wa msitu huo. "Jua, jua, tafadhali usitutoroke. Rudi utuangazie." Simba alinguruma. Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza. Tembo naye akajaribu kuiita Sayari jua. Aliuinua mkonga wake na kupaaza sauti, "Jua, jua tafadhali rudi." Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza pia. Tausi Mrembo alicheza densi kidogo na kisha akajaribu kuiita Sayari Jua, "Jua, jua, tafadhali rudi." Sayari jua ilikataa kujitokeza. Wanyama wote waliita, lakini, Sayari Jua haikumsikiza yeyote. Jogoo alipojitokeza kuiita Sayari Jua, kila mmoja alimcheka. Simba, kama kiongozi mzuri, alisema, "Tumpeni Jogoo nafasi ajaribu kuiita Sayari Jua." Jogoo alisimama mbele ya wanyama wote, na taratibu akawika, "Kookoorikoo! Kookoorikoo!" Mara Sayari Jua ikaanza kuchomoza kutoka nyuma ya mlima. Wanyama wote walishangaa. Jogoo akawika tena kwa nguvu zaidi, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikachomoza hata zaidi. Jogoo akawika kwa mara ya tatu, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikapanda juu zaidi na kung'aa. Kukawa na mwangaza kila mahali. Wanyama wote na binadamu wakafurahi kuuona mwangaza. Wanyama waliwaomba binadamu wasiiue Sayari Jua. Tangu siku hiyo, jogoo huwika kila asubuhi. Nayo Sayari Jua isikiapo sauti ya jogoo, huchomoza na kuangaza dunia yote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sayari Jua ya Saba Author - Indian Folktale Translation - Kamundi Mutugi Illustration - Pratham Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Taja sayari moja iliyokuwepo zamani?
{ "text": [ "Jua" ] }
2427_swa
Sayari Jua ya Saba Hapo zamani za kale kulikuwa na sayari jua saba angani. Miale mikali ya sayari jua hizo iling'aa duniani hadi binadamu wakashindwa kuvumilia. Ndugu saba wa kabila la Munda waliamua kuziua sayari jua hizo. Walizirushia mishale lakini wakaweza kuziua sayari jua sita pekee. Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Baada ya sayari jua sita kuuawa, giza lilitanda kila mahali. Kwa sababu hiyo, paa hangeweza kumwona chui. Tembo walijikwaa kwenye miti na sungura wakatembea kwenye hatari ya simba. Wanyama wote walitaabika. Wanyama wote walikutana kutatua shida hii. Sungura alisema kwamba Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Wnayama walijiuliza, "Ni nani atakayeiita Sayari Jua hiyo irudi?" "Nitaiita irudi," alisema Simba, mfalme wa msitu huo. "Jua, jua, tafadhali usitutoroke. Rudi utuangazie." Simba alinguruma. Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza. Tembo naye akajaribu kuiita Sayari jua. Aliuinua mkonga wake na kupaaza sauti, "Jua, jua tafadhali rudi." Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza pia. Tausi Mrembo alicheza densi kidogo na kisha akajaribu kuiita Sayari Jua, "Jua, jua, tafadhali rudi." Sayari jua ilikataa kujitokeza. Wanyama wote waliita, lakini, Sayari Jua haikumsikiza yeyote. Jogoo alipojitokeza kuiita Sayari Jua, kila mmoja alimcheka. Simba, kama kiongozi mzuri, alisema, "Tumpeni Jogoo nafasi ajaribu kuiita Sayari Jua." Jogoo alisimama mbele ya wanyama wote, na taratibu akawika, "Kookoorikoo! Kookoorikoo!" Mara Sayari Jua ikaanza kuchomoza kutoka nyuma ya mlima. Wanyama wote walishangaa. Jogoo akawika tena kwa nguvu zaidi, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikachomoza hata zaidi. Jogoo akawika kwa mara ya tatu, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikapanda juu zaidi na kung'aa. Kukawa na mwangaza kila mahali. Wanyama wote na binadamu wakafurahi kuuona mwangaza. Wanyama waliwaomba binadamu wasiiue Sayari Jua. Tangu siku hiyo, jogoo huwika kila asubuhi. Nayo Sayari Jua isikiapo sauti ya jogoo, huchomoza na kuangaza dunia yote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sayari Jua ya Saba Author - Indian Folktale Translation - Kamundi Mutugi Illustration - Pratham Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Ndugu Saba alirushia nini Sayari ili waziuwe?
{ "text": [ "Mishale" ] }
2427_swa
Sayari Jua ya Saba Hapo zamani za kale kulikuwa na sayari jua saba angani. Miale mikali ya sayari jua hizo iling'aa duniani hadi binadamu wakashindwa kuvumilia. Ndugu saba wa kabila la Munda waliamua kuziua sayari jua hizo. Walizirushia mishale lakini wakaweza kuziua sayari jua sita pekee. Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Baada ya sayari jua sita kuuawa, giza lilitanda kila mahali. Kwa sababu hiyo, paa hangeweza kumwona chui. Tembo walijikwaa kwenye miti na sungura wakatembea kwenye hatari ya simba. Wanyama wote walitaabika. Wanyama wote walikutana kutatua shida hii. Sungura alisema kwamba Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Wnayama walijiuliza, "Ni nani atakayeiita Sayari Jua hiyo irudi?" "Nitaiita irudi," alisema Simba, mfalme wa msitu huo. "Jua, jua, tafadhali usitutoroke. Rudi utuangazie." Simba alinguruma. Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza. Tembo naye akajaribu kuiita Sayari jua. Aliuinua mkonga wake na kupaaza sauti, "Jua, jua tafadhali rudi." Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza pia. Tausi Mrembo alicheza densi kidogo na kisha akajaribu kuiita Sayari Jua, "Jua, jua, tafadhali rudi." Sayari jua ilikataa kujitokeza. Wanyama wote waliita, lakini, Sayari Jua haikumsikiza yeyote. Jogoo alipojitokeza kuiita Sayari Jua, kila mmoja alimcheka. Simba, kama kiongozi mzuri, alisema, "Tumpeni Jogoo nafasi ajaribu kuiita Sayari Jua." Jogoo alisimama mbele ya wanyama wote, na taratibu akawika, "Kookoorikoo! Kookoorikoo!" Mara Sayari Jua ikaanza kuchomoza kutoka nyuma ya mlima. Wanyama wote walishangaa. Jogoo akawika tena kwa nguvu zaidi, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikachomoza hata zaidi. Jogoo akawika kwa mara ya tatu, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikapanda juu zaidi na kung'aa. Kukawa na mwangaza kila mahali. Wanyama wote na binadamu wakafurahi kuuona mwangaza. Wanyama waliwaomba binadamu wasiiue Sayari Jua. Tangu siku hiyo, jogoo huwika kila asubuhi. Nayo Sayari Jua isikiapo sauti ya jogoo, huchomoza na kuangaza dunia yote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sayari Jua ya Saba Author - Indian Folktale Translation - Kamundi Mutugi Illustration - Pratham Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Nini kilitokea baada ya Sayari Jua kuuawa?
{ "text": [ "Giza kilitanda kila mahali" ] }
2427_swa
Sayari Jua ya Saba Hapo zamani za kale kulikuwa na sayari jua saba angani. Miale mikali ya sayari jua hizo iling'aa duniani hadi binadamu wakashindwa kuvumilia. Ndugu saba wa kabila la Munda waliamua kuziua sayari jua hizo. Walizirushia mishale lakini wakaweza kuziua sayari jua sita pekee. Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Baada ya sayari jua sita kuuawa, giza lilitanda kila mahali. Kwa sababu hiyo, paa hangeweza kumwona chui. Tembo walijikwaa kwenye miti na sungura wakatembea kwenye hatari ya simba. Wanyama wote walitaabika. Wanyama wote walikutana kutatua shida hii. Sungura alisema kwamba Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha nyuma ya mlima. Wnayama walijiuliza, "Ni nani atakayeiita Sayari Jua hiyo irudi?" "Nitaiita irudi," alisema Simba, mfalme wa msitu huo. "Jua, jua, tafadhali usitutoroke. Rudi utuangazie." Simba alinguruma. Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza. Tembo naye akajaribu kuiita Sayari jua. Aliuinua mkonga wake na kupaaza sauti, "Jua, jua tafadhali rudi." Lakini, Sayari Jua ilikataa kumsikiliza pia. Tausi Mrembo alicheza densi kidogo na kisha akajaribu kuiita Sayari Jua, "Jua, jua, tafadhali rudi." Sayari jua ilikataa kujitokeza. Wanyama wote waliita, lakini, Sayari Jua haikumsikiza yeyote. Jogoo alipojitokeza kuiita Sayari Jua, kila mmoja alimcheka. Simba, kama kiongozi mzuri, alisema, "Tumpeni Jogoo nafasi ajaribu kuiita Sayari Jua." Jogoo alisimama mbele ya wanyama wote, na taratibu akawika, "Kookoorikoo! Kookoorikoo!" Mara Sayari Jua ikaanza kuchomoza kutoka nyuma ya mlima. Wanyama wote walishangaa. Jogoo akawika tena kwa nguvu zaidi, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikachomoza hata zaidi. Jogoo akawika kwa mara ya tatu, "Kookoorikoo!" Sayari Jua ikapanda juu zaidi na kung'aa. Kukawa na mwangaza kila mahali. Wanyama wote na binadamu wakafurahi kuuona mwangaza. Wanyama waliwaomba binadamu wasiiue Sayari Jua. Tangu siku hiyo, jogoo huwika kila asubuhi. Nayo Sayari Jua isikiapo sauti ya jogoo, huchomoza na kuangaza dunia yote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sayari Jua ya Saba Author - Indian Folktale Translation - Kamundi Mutugi Illustration - Pratham Books Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Sayari Jua ya saba ilikuwa imejificha wapi?
{ "text": [ "Nyuma ya mlima" ] }
2429_swa
Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Lina, Opondo, na Anton walikuwa wakifanya matayarisho ya kusherehekea kuzaliwa kwa Lina. Anton na Lina walitaka kuoka keki. Opondo alianza kusoma kitabu cha mapishi. "Hebu tuvichanganye viungo hivi katika bakuli kubwa," Lina alisema. Anton alivikoroga viungo vyote akasababisha mchafuko mkubwa. "Keki inaonekana kuwa nzito sasa," Opondo alisema. "Marafiki zako wamewasili," Opondo alimjulisha Lina. Anton alidhani kwamba zawadi ya kwanza ingekuwa nzito kwa sababu ilikuwa kubwa. Ulikuwa mto na ulikuwa mwepesi sana. Anton tena alifikiri kuwa zawadi itakayofuata ingekuwa nyepesi kwa sababu ilikuwa ndogo. Lilikuwa jiwe lililopakwa rangi na lilikuwa nzito sana. Watoto walisema kwamba kilo moja ya mawe ilikuwa na uzani sawa na kilo moja ya manyoya. Keki ya Lina iliungua. Lina alihuzunika sana. Shangazi Molly alimwuliza Anton, "Unadhani zawadi ya Lina itakuwa na uzito kiasi gani?" Anton alimjibu, "Nadhani itakuwa na uzito sawa na ile keki iliyoungua." Kila mmoja alisema, "Lina, tunakutakia siku ya kuzaliwa yenye furaha." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Matayarisho ya sherehe ya kuzaliwa yalikuwa ya nani?
{ "text": [ "Lina" ] }
2429_swa
Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Lina, Opondo, na Anton walikuwa wakifanya matayarisho ya kusherehekea kuzaliwa kwa Lina. Anton na Lina walitaka kuoka keki. Opondo alianza kusoma kitabu cha mapishi. "Hebu tuvichanganye viungo hivi katika bakuli kubwa," Lina alisema. Anton alivikoroga viungo vyote akasababisha mchafuko mkubwa. "Keki inaonekana kuwa nzito sasa," Opondo alisema. "Marafiki zako wamewasili," Opondo alimjulisha Lina. Anton alidhani kwamba zawadi ya kwanza ingekuwa nzito kwa sababu ilikuwa kubwa. Ulikuwa mto na ulikuwa mwepesi sana. Anton tena alifikiri kuwa zawadi itakayofuata ingekuwa nyepesi kwa sababu ilikuwa ndogo. Lilikuwa jiwe lililopakwa rangi na lilikuwa nzito sana. Watoto walisema kwamba kilo moja ya mawe ilikuwa na uzani sawa na kilo moja ya manyoya. Keki ya Lina iliungua. Lina alihuzunika sana. Shangazi Molly alimwuliza Anton, "Unadhani zawadi ya Lina itakuwa na uzito kiasi gani?" Anton alimjibu, "Nadhani itakuwa na uzito sawa na ile keki iliyoungua." Kila mmoja alisema, "Lina, tunakutakia siku ya kuzaliwa yenye furaha." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Opondo alianza kusoma kitabu kipi?
{ "text": [ "Cha mapishi" ] }
2429_swa
Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Lina, Opondo, na Anton walikuwa wakifanya matayarisho ya kusherehekea kuzaliwa kwa Lina. Anton na Lina walitaka kuoka keki. Opondo alianza kusoma kitabu cha mapishi. "Hebu tuvichanganye viungo hivi katika bakuli kubwa," Lina alisema. Anton alivikoroga viungo vyote akasababisha mchafuko mkubwa. "Keki inaonekana kuwa nzito sasa," Opondo alisema. "Marafiki zako wamewasili," Opondo alimjulisha Lina. Anton alidhani kwamba zawadi ya kwanza ingekuwa nzito kwa sababu ilikuwa kubwa. Ulikuwa mto na ulikuwa mwepesi sana. Anton tena alifikiri kuwa zawadi itakayofuata ingekuwa nyepesi kwa sababu ilikuwa ndogo. Lilikuwa jiwe lililopakwa rangi na lilikuwa nzito sana. Watoto walisema kwamba kilo moja ya mawe ilikuwa na uzani sawa na kilo moja ya manyoya. Keki ya Lina iliungua. Lina alihuzunika sana. Shangazi Molly alimwuliza Anton, "Unadhani zawadi ya Lina itakuwa na uzito kiasi gani?" Anton alimjibu, "Nadhani itakuwa na uzito sawa na ile keki iliyoungua." Kila mmoja alisema, "Lina, tunakutakia siku ya kuzaliwa yenye furaha." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Viungo vilichanganywa katika kifaa gani?
{ "text": [ "Bakuli" ] }
2429_swa
Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Lina, Opondo, na Anton walikuwa wakifanya matayarisho ya kusherehekea kuzaliwa kwa Lina. Anton na Lina walitaka kuoka keki. Opondo alianza kusoma kitabu cha mapishi. "Hebu tuvichanganye viungo hivi katika bakuli kubwa," Lina alisema. Anton alivikoroga viungo vyote akasababisha mchafuko mkubwa. "Keki inaonekana kuwa nzito sasa," Opondo alisema. "Marafiki zako wamewasili," Opondo alimjulisha Lina. Anton alidhani kwamba zawadi ya kwanza ingekuwa nzito kwa sababu ilikuwa kubwa. Ulikuwa mto na ulikuwa mwepesi sana. Anton tena alifikiri kuwa zawadi itakayofuata ingekuwa nyepesi kwa sababu ilikuwa ndogo. Lilikuwa jiwe lililopakwa rangi na lilikuwa nzito sana. Watoto walisema kwamba kilo moja ya mawe ilikuwa na uzani sawa na kilo moja ya manyoya. Keki ya Lina iliungua. Lina alihuzunika sana. Shangazi Molly alimwuliza Anton, "Unadhani zawadi ya Lina itakuwa na uzito kiasi gani?" Anton alimjibu, "Nadhani itakuwa na uzito sawa na ile keki iliyoungua." Kila mmoja alisema, "Lina, tunakutakia siku ya kuzaliwa yenye furaha." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alivikoroga viungo vyote?
{ "text": [ "Anto" ] }
2429_swa
Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Lina, Opondo, na Anton walikuwa wakifanya matayarisho ya kusherehekea kuzaliwa kwa Lina. Anton na Lina walitaka kuoka keki. Opondo alianza kusoma kitabu cha mapishi. "Hebu tuvichanganye viungo hivi katika bakuli kubwa," Lina alisema. Anton alivikoroga viungo vyote akasababisha mchafuko mkubwa. "Keki inaonekana kuwa nzito sasa," Opondo alisema. "Marafiki zako wamewasili," Opondo alimjulisha Lina. Anton alidhani kwamba zawadi ya kwanza ingekuwa nzito kwa sababu ilikuwa kubwa. Ulikuwa mto na ulikuwa mwepesi sana. Anton tena alifikiri kuwa zawadi itakayofuata ingekuwa nyepesi kwa sababu ilikuwa ndogo. Lilikuwa jiwe lililopakwa rangi na lilikuwa nzito sana. Watoto walisema kwamba kilo moja ya mawe ilikuwa na uzani sawa na kilo moja ya manyoya. Keki ya Lina iliungua. Lina alihuzunika sana. Shangazi Molly alimwuliza Anton, "Unadhani zawadi ya Lina itakuwa na uzito kiasi gani?" Anton alimjibu, "Nadhani itakuwa na uzito sawa na ile keki iliyoungua." Kila mmoja alisema, "Lina, tunakutakia siku ya kuzaliwa yenye furaha." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sherehe ya kuzaliwa kwa Lina asiyoitarajia Author - Leo Daly Translation - Ursula Nafula Illustration - Marleen Visser Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ukorogaji wa viungo vyote vilisababisha nini?
{ "text": [ "Mchafuko mkubwa" ] }
2430_swa
Siafu amwokoa Njiwa Ilikuwa siku yenye joto jingi. Siafu Mdogo hakuwa amepata maji kwa siku nyingi. Akawaza, "Ninahitaji tone moja tu la maji, hata kama litatoka kwenye jani." Umande wote ulikuwa umekauka. Hangepata hata tone moja la moja. Siafu Mdogo akalia sana, "Nisipokunywa maji, nitakufa. Lazima niufikie mto nilioelezwa." "Ati mtoni? Huko utakufa maji!" Kichakuro mmoja mwenye hekima alimwonya. Lakini, Siafu Mdogo hakujali. Kiu chake kiliongezeka. "Nitakufa iwapo sitakunywa maji sasa." Siafu Mdogo alienda kuutafuta mto alioambiwa juu yake. Alipitia kwenye nyasi na matawi yaliyokauka. Mara akasikia mngurumo wa mawimbi. Siafu Mdogo alifika mtoni akayanywa maji baridi. Alifurahi kukata kiu na hakuliona wimbi kubwa likija. Siafu Mdogo alijaribu kujishikilia kwenye nyasi kavu zilizokuwa zikielea. Lakini, alisombwa na maji. Siafu Mdogo alilia, "Jamani, nisaidieni." Njiwa Mweupe alikuja akamnyooshea tawi. Akasema, "Panda juu ya tawi haraka." Siafu Mdogo aliruka juu ya tawi na Njiwa Mweupe akamwokoa. Siafu Mdogo akasema, "Siondoki kabla sijamshukuru Njiwa. Nitasubiri hadi atakaporejea kunywa maji." Siku moja alipokuwa akimsubiri Njiwa Mweupe, Jona na Petro walikuja mtoni. Walikuwa wamebeba manati. "Yule Njiwa Mweupe ambaye huja hapa kunywa maji, tutamla jioni." Jona akawaza. Jona na Petro walijificha nyuma ya mimea kando ya mto. "Sitakubali wajanja hao wamuue yule Njiwa Mweupe. Lakini nitafanyaje? Mimi ni mdogo sana." Siafu aliwaza. Wakati huo huo Njiwa Mweupe aliruka kutoka mtini anywe maji. Jona na Petro walipima shabaha na kungoja kwa hamu. Siafu Mdogo alipata wazo. Aliurukia mguu wa Petro na kumuuma. Petro aliruka juu akalia kwa uchungu, "Waaa!" Aliyaachilia manati yake yakaanguka. Njiwa Mweupe alishtuka akaondoka. Hivyo ndivyo Siafu Mdogo alivyomwokoa Njiwa Mweupe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siafu amwokoa Njiwa Author - Kholeka Mabeta and Judith Baker Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani hakuwa amepata maji kwa siku nyingi
{ "text": [ "Siafu Mdogo" ] }
2430_swa
Siafu amwokoa Njiwa Ilikuwa siku yenye joto jingi. Siafu Mdogo hakuwa amepata maji kwa siku nyingi. Akawaza, "Ninahitaji tone moja tu la maji, hata kama litatoka kwenye jani." Umande wote ulikuwa umekauka. Hangepata hata tone moja la moja. Siafu Mdogo akalia sana, "Nisipokunywa maji, nitakufa. Lazima niufikie mto nilioelezwa." "Ati mtoni? Huko utakufa maji!" Kichakuro mmoja mwenye hekima alimwonya. Lakini, Siafu Mdogo hakujali. Kiu chake kiliongezeka. "Nitakufa iwapo sitakunywa maji sasa." Siafu Mdogo alienda kuutafuta mto alioambiwa juu yake. Alipitia kwenye nyasi na matawi yaliyokauka. Mara akasikia mngurumo wa mawimbi. Siafu Mdogo alifika mtoni akayanywa maji baridi. Alifurahi kukata kiu na hakuliona wimbi kubwa likija. Siafu Mdogo alijaribu kujishikilia kwenye nyasi kavu zilizokuwa zikielea. Lakini, alisombwa na maji. Siafu Mdogo alilia, "Jamani, nisaidieni." Njiwa Mweupe alikuja akamnyooshea tawi. Akasema, "Panda juu ya tawi haraka." Siafu Mdogo aliruka juu ya tawi na Njiwa Mweupe akamwokoa. Siafu Mdogo akasema, "Siondoki kabla sijamshukuru Njiwa. Nitasubiri hadi atakaporejea kunywa maji." Siku moja alipokuwa akimsubiri Njiwa Mweupe, Jona na Petro walikuja mtoni. Walikuwa wamebeba manati. "Yule Njiwa Mweupe ambaye huja hapa kunywa maji, tutamla jioni." Jona akawaza. Jona na Petro walijificha nyuma ya mimea kando ya mto. "Sitakubali wajanja hao wamuue yule Njiwa Mweupe. Lakini nitafanyaje? Mimi ni mdogo sana." Siafu aliwaza. Wakati huo huo Njiwa Mweupe aliruka kutoka mtini anywe maji. Jona na Petro walipima shabaha na kungoja kwa hamu. Siafu Mdogo alipata wazo. Aliurukia mguu wa Petro na kumuuma. Petro aliruka juu akalia kwa uchungu, "Waaa!" Aliyaachilia manati yake yakaanguka. Njiwa Mweupe alishtuka akaondoka. Hivyo ndivyo Siafu Mdogo alivyomwokoa Njiwa Mweupe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siafu amwokoa Njiwa Author - Kholeka Mabeta and Judith Baker Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Umande wote ulikuwa umefanyika nini
{ "text": [ "Ulikuwa umekauka" ] }
2430_swa
Siafu amwokoa Njiwa Ilikuwa siku yenye joto jingi. Siafu Mdogo hakuwa amepata maji kwa siku nyingi. Akawaza, "Ninahitaji tone moja tu la maji, hata kama litatoka kwenye jani." Umande wote ulikuwa umekauka. Hangepata hata tone moja la moja. Siafu Mdogo akalia sana, "Nisipokunywa maji, nitakufa. Lazima niufikie mto nilioelezwa." "Ati mtoni? Huko utakufa maji!" Kichakuro mmoja mwenye hekima alimwonya. Lakini, Siafu Mdogo hakujali. Kiu chake kiliongezeka. "Nitakufa iwapo sitakunywa maji sasa." Siafu Mdogo alienda kuutafuta mto alioambiwa juu yake. Alipitia kwenye nyasi na matawi yaliyokauka. Mara akasikia mngurumo wa mawimbi. Siafu Mdogo alifika mtoni akayanywa maji baridi. Alifurahi kukata kiu na hakuliona wimbi kubwa likija. Siafu Mdogo alijaribu kujishikilia kwenye nyasi kavu zilizokuwa zikielea. Lakini, alisombwa na maji. Siafu Mdogo alilia, "Jamani, nisaidieni." Njiwa Mweupe alikuja akamnyooshea tawi. Akasema, "Panda juu ya tawi haraka." Siafu Mdogo aliruka juu ya tawi na Njiwa Mweupe akamwokoa. Siafu Mdogo akasema, "Siondoki kabla sijamshukuru Njiwa. Nitasubiri hadi atakaporejea kunywa maji." Siku moja alipokuwa akimsubiri Njiwa Mweupe, Jona na Petro walikuja mtoni. Walikuwa wamebeba manati. "Yule Njiwa Mweupe ambaye huja hapa kunywa maji, tutamla jioni." Jona akawaza. Jona na Petro walijificha nyuma ya mimea kando ya mto. "Sitakubali wajanja hao wamuue yule Njiwa Mweupe. Lakini nitafanyaje? Mimi ni mdogo sana." Siafu aliwaza. Wakati huo huo Njiwa Mweupe aliruka kutoka mtini anywe maji. Jona na Petro walipima shabaha na kungoja kwa hamu. Siafu Mdogo alipata wazo. Aliurukia mguu wa Petro na kumuuma. Petro aliruka juu akalia kwa uchungu, "Waaa!" Aliyaachilia manati yake yakaanguka. Njiwa Mweupe alishtuka akaondoka. Hivyo ndivyo Siafu Mdogo alivyomwokoa Njiwa Mweupe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siafu amwokoa Njiwa Author - Kholeka Mabeta and Judith Baker Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Siafu mdogo angefanyika nini iwapo hangekunywa maji
{ "text": [ "Angekufa" ] }
2430_swa
Siafu amwokoa Njiwa Ilikuwa siku yenye joto jingi. Siafu Mdogo hakuwa amepata maji kwa siku nyingi. Akawaza, "Ninahitaji tone moja tu la maji, hata kama litatoka kwenye jani." Umande wote ulikuwa umekauka. Hangepata hata tone moja la moja. Siafu Mdogo akalia sana, "Nisipokunywa maji, nitakufa. Lazima niufikie mto nilioelezwa." "Ati mtoni? Huko utakufa maji!" Kichakuro mmoja mwenye hekima alimwonya. Lakini, Siafu Mdogo hakujali. Kiu chake kiliongezeka. "Nitakufa iwapo sitakunywa maji sasa." Siafu Mdogo alienda kuutafuta mto alioambiwa juu yake. Alipitia kwenye nyasi na matawi yaliyokauka. Mara akasikia mngurumo wa mawimbi. Siafu Mdogo alifika mtoni akayanywa maji baridi. Alifurahi kukata kiu na hakuliona wimbi kubwa likija. Siafu Mdogo alijaribu kujishikilia kwenye nyasi kavu zilizokuwa zikielea. Lakini, alisombwa na maji. Siafu Mdogo alilia, "Jamani, nisaidieni." Njiwa Mweupe alikuja akamnyooshea tawi. Akasema, "Panda juu ya tawi haraka." Siafu Mdogo aliruka juu ya tawi na Njiwa Mweupe akamwokoa. Siafu Mdogo akasema, "Siondoki kabla sijamshukuru Njiwa. Nitasubiri hadi atakaporejea kunywa maji." Siku moja alipokuwa akimsubiri Njiwa Mweupe, Jona na Petro walikuja mtoni. Walikuwa wamebeba manati. "Yule Njiwa Mweupe ambaye huja hapa kunywa maji, tutamla jioni." Jona akawaza. Jona na Petro walijificha nyuma ya mimea kando ya mto. "Sitakubali wajanja hao wamuue yule Njiwa Mweupe. Lakini nitafanyaje? Mimi ni mdogo sana." Siafu aliwaza. Wakati huo huo Njiwa Mweupe aliruka kutoka mtini anywe maji. Jona na Petro walipima shabaha na kungoja kwa hamu. Siafu Mdogo alipata wazo. Aliurukia mguu wa Petro na kumuuma. Petro aliruka juu akalia kwa uchungu, "Waaa!" Aliyaachilia manati yake yakaanguka. Njiwa Mweupe alishtuka akaondoka. Hivyo ndivyo Siafu Mdogo alivyomwokoa Njiwa Mweupe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siafu amwokoa Njiwa Author - Kholeka Mabeta and Judith Baker Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Siafu mdogo aliurukia mguu wa nani
{ "text": [ "Petro" ] }
2430_swa
Siafu amwokoa Njiwa Ilikuwa siku yenye joto jingi. Siafu Mdogo hakuwa amepata maji kwa siku nyingi. Akawaza, "Ninahitaji tone moja tu la maji, hata kama litatoka kwenye jani." Umande wote ulikuwa umekauka. Hangepata hata tone moja la moja. Siafu Mdogo akalia sana, "Nisipokunywa maji, nitakufa. Lazima niufikie mto nilioelezwa." "Ati mtoni? Huko utakufa maji!" Kichakuro mmoja mwenye hekima alimwonya. Lakini, Siafu Mdogo hakujali. Kiu chake kiliongezeka. "Nitakufa iwapo sitakunywa maji sasa." Siafu Mdogo alienda kuutafuta mto alioambiwa juu yake. Alipitia kwenye nyasi na matawi yaliyokauka. Mara akasikia mngurumo wa mawimbi. Siafu Mdogo alifika mtoni akayanywa maji baridi. Alifurahi kukata kiu na hakuliona wimbi kubwa likija. Siafu Mdogo alijaribu kujishikilia kwenye nyasi kavu zilizokuwa zikielea. Lakini, alisombwa na maji. Siafu Mdogo alilia, "Jamani, nisaidieni." Njiwa Mweupe alikuja akamnyooshea tawi. Akasema, "Panda juu ya tawi haraka." Siafu Mdogo aliruka juu ya tawi na Njiwa Mweupe akamwokoa. Siafu Mdogo akasema, "Siondoki kabla sijamshukuru Njiwa. Nitasubiri hadi atakaporejea kunywa maji." Siku moja alipokuwa akimsubiri Njiwa Mweupe, Jona na Petro walikuja mtoni. Walikuwa wamebeba manati. "Yule Njiwa Mweupe ambaye huja hapa kunywa maji, tutamla jioni." Jona akawaza. Jona na Petro walijificha nyuma ya mimea kando ya mto. "Sitakubali wajanja hao wamuue yule Njiwa Mweupe. Lakini nitafanyaje? Mimi ni mdogo sana." Siafu aliwaza. Wakati huo huo Njiwa Mweupe aliruka kutoka mtini anywe maji. Jona na Petro walipima shabaha na kungoja kwa hamu. Siafu Mdogo alipata wazo. Aliurukia mguu wa Petro na kumuuma. Petro aliruka juu akalia kwa uchungu, "Waaa!" Aliyaachilia manati yake yakaanguka. Njiwa Mweupe alishtuka akaondoka. Hivyo ndivyo Siafu Mdogo alivyomwokoa Njiwa Mweupe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siafu amwokoa Njiwa Author - Kholeka Mabeta and Judith Baker Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Siafu Mdogo alimwokoa nani
{ "text": [ "Njiwa Mweupe" ] }
2433_swa
Siku niliyokwenda Jijini Kituo cha basi cha kijiji chetu kilikuwa na shughuli nyingi. Basi zilijaza mizigo huku abiria wakizitafuta basi walizotaka kuabiri. Kondakta waliwaelekeza abiria kwenye basi zilizokwenda sehemu mbalimbali. Nilimsikia kondakta mmoja akiita kwa sauti, "Jiji! Jiji! Wanaokwenda magharibi!" Lile ndilo basi nililohitaji kuabiri kwa usafiri wangu. Basi la kwenda jijini lilikuwa karibu kujaa. Hata hivyo, watu zaidi walitaka kuingia. Baadhi yao walipakia mizigo chini ya basi. Wengine waliiweka ndani kwenye rafu. Baadhi ya abiria walishika tiketi zao huku wakitafuta viti vilivyokuwa wazi. Wanawake waliokuwa na watoto wachanga waliwatayarisha kwa safari hiyo itakayokuwa ndefu. Nilipenyeza ndani nikapata kiti karibu na dirisha. Abiria aliyeketi karibu nami alishika karatasi ya plastiki ya kijani kibichi. Alivaa viatu vilivyozeeka na koti kukuu. Nilitazama nje nikawaza, "Ninaondoka hapa mahali nilipolelewa nikienda kwenye jiji kubwa. Sijui ikiwa nitawahi kurudi hapa kijijini tena." Upakiaji mizigo ulikamilika na abiria wakawa wameketi. Wachuuzi walizidi kusukumana wakitaka kuuza bidhaa zao. Walitaja majina ya bidhaa walizouza kwa sauti ya juu. Maneno yao yalinifurahisha. Baadhi ya abiria walinunua vinywaji. Wengine walinunua vitavunaji vidogo na kutavuna. Wasiokuwa na hela, kama mimi, walitazama tu. Shughuli hizo zilikatizwa kwa mlio wa honi ya basi. Tulikuwa tayari kuondoka. Kondakta aliwataka wachuuzi wote washuke kutoka basini. Wachuuzi walisukumana kutoka nje. Wachache waliwarudisha abiria masalio ya hela zao. Wengine walifanya juhudi za mwisho kuuza bidhaa zao. Basi lilipoondoka kituoni, nilichungulia dirishani. Nilikitazama kituo hicho kilichojaa magari nikiwaza, "Pengine hii itakuwa mara yangu ya mwisho kukiona kituo hiki." Safari ilipoendelea, nilihisi joto jingi. Niliyafumba macho nikinuia kulala. Nilijiuliza maswali mengi. "Je, mamangu atakuwa salama? Je, sungura wangu watatufaidi? Je, ndugu yangu atakumbuka kunyunyizia maji miche ya miti yangu?" Njiani, nilikariri jina la mahali mjombangu aliishi kule jijini. Hatimaye, nilipatwa na usingizi. Baada ya saa tisa, niliamshwa kwa kelele nyingi. Kondakta alikuwa akiwaita abiria waliotaka kwenda kijijini kwetu. Nilichukua mkoba wangu mdogo nikaruka nje. Basi hilo lililokuwa likirudi lilikuwa linajaa upesi. Muda mfupi baadaye, lingeanza safari ya kwenda mashariki. La mhimu kwangu, lilikuwa kuanza kutafuta nyumba ya mjombangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyokwenda Jijini Author - Lesley Koyi and Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani waliwaelekeza abiria kwenye basi zilizokwenda sehemu mbalimbali
{ "text": [ "Kondakta" ] }
2433_swa
Siku niliyokwenda Jijini Kituo cha basi cha kijiji chetu kilikuwa na shughuli nyingi. Basi zilijaza mizigo huku abiria wakizitafuta basi walizotaka kuabiri. Kondakta waliwaelekeza abiria kwenye basi zilizokwenda sehemu mbalimbali. Nilimsikia kondakta mmoja akiita kwa sauti, "Jiji! Jiji! Wanaokwenda magharibi!" Lile ndilo basi nililohitaji kuabiri kwa usafiri wangu. Basi la kwenda jijini lilikuwa karibu kujaa. Hata hivyo, watu zaidi walitaka kuingia. Baadhi yao walipakia mizigo chini ya basi. Wengine waliiweka ndani kwenye rafu. Baadhi ya abiria walishika tiketi zao huku wakitafuta viti vilivyokuwa wazi. Wanawake waliokuwa na watoto wachanga waliwatayarisha kwa safari hiyo itakayokuwa ndefu. Nilipenyeza ndani nikapata kiti karibu na dirisha. Abiria aliyeketi karibu nami alishika karatasi ya plastiki ya kijani kibichi. Alivaa viatu vilivyozeeka na koti kukuu. Nilitazama nje nikawaza, "Ninaondoka hapa mahali nilipolelewa nikienda kwenye jiji kubwa. Sijui ikiwa nitawahi kurudi hapa kijijini tena." Upakiaji mizigo ulikamilika na abiria wakawa wameketi. Wachuuzi walizidi kusukumana wakitaka kuuza bidhaa zao. Walitaja majina ya bidhaa walizouza kwa sauti ya juu. Maneno yao yalinifurahisha. Baadhi ya abiria walinunua vinywaji. Wengine walinunua vitavunaji vidogo na kutavuna. Wasiokuwa na hela, kama mimi, walitazama tu. Shughuli hizo zilikatizwa kwa mlio wa honi ya basi. Tulikuwa tayari kuondoka. Kondakta aliwataka wachuuzi wote washuke kutoka basini. Wachuuzi walisukumana kutoka nje. Wachache waliwarudisha abiria masalio ya hela zao. Wengine walifanya juhudi za mwisho kuuza bidhaa zao. Basi lilipoondoka kituoni, nilichungulia dirishani. Nilikitazama kituo hicho kilichojaa magari nikiwaza, "Pengine hii itakuwa mara yangu ya mwisho kukiona kituo hiki." Safari ilipoendelea, nilihisi joto jingi. Niliyafumba macho nikinuia kulala. Nilijiuliza maswali mengi. "Je, mamangu atakuwa salama? Je, sungura wangu watatufaidi? Je, ndugu yangu atakumbuka kunyunyizia maji miche ya miti yangu?" Njiani, nilikariri jina la mahali mjombangu aliishi kule jijini. Hatimaye, nilipatwa na usingizi. Baada ya saa tisa, niliamshwa kwa kelele nyingi. Kondakta alikuwa akiwaita abiria waliotaka kwenda kijijini kwetu. Nilichukua mkoba wangu mdogo nikaruka nje. Basi hilo lililokuwa likirudi lilikuwa linajaa upesi. Muda mfupi baadaye, lingeanza safari ya kwenda mashariki. La mhimu kwangu, lilikuwa kuanza kutafuta nyumba ya mjombangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyokwenda Jijini Author - Lesley Koyi and Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baadhi ya abiria walinunua nini
{ "text": [ "vinywaji" ] }
2433_swa
Siku niliyokwenda Jijini Kituo cha basi cha kijiji chetu kilikuwa na shughuli nyingi. Basi zilijaza mizigo huku abiria wakizitafuta basi walizotaka kuabiri. Kondakta waliwaelekeza abiria kwenye basi zilizokwenda sehemu mbalimbali. Nilimsikia kondakta mmoja akiita kwa sauti, "Jiji! Jiji! Wanaokwenda magharibi!" Lile ndilo basi nililohitaji kuabiri kwa usafiri wangu. Basi la kwenda jijini lilikuwa karibu kujaa. Hata hivyo, watu zaidi walitaka kuingia. Baadhi yao walipakia mizigo chini ya basi. Wengine waliiweka ndani kwenye rafu. Baadhi ya abiria walishika tiketi zao huku wakitafuta viti vilivyokuwa wazi. Wanawake waliokuwa na watoto wachanga waliwatayarisha kwa safari hiyo itakayokuwa ndefu. Nilipenyeza ndani nikapata kiti karibu na dirisha. Abiria aliyeketi karibu nami alishika karatasi ya plastiki ya kijani kibichi. Alivaa viatu vilivyozeeka na koti kukuu. Nilitazama nje nikawaza, "Ninaondoka hapa mahali nilipolelewa nikienda kwenye jiji kubwa. Sijui ikiwa nitawahi kurudi hapa kijijini tena." Upakiaji mizigo ulikamilika na abiria wakawa wameketi. Wachuuzi walizidi kusukumana wakitaka kuuza bidhaa zao. Walitaja majina ya bidhaa walizouza kwa sauti ya juu. Maneno yao yalinifurahisha. Baadhi ya abiria walinunua vinywaji. Wengine walinunua vitavunaji vidogo na kutavuna. Wasiokuwa na hela, kama mimi, walitazama tu. Shughuli hizo zilikatizwa kwa mlio wa honi ya basi. Tulikuwa tayari kuondoka. Kondakta aliwataka wachuuzi wote washuke kutoka basini. Wachuuzi walisukumana kutoka nje. Wachache waliwarudisha abiria masalio ya hela zao. Wengine walifanya juhudi za mwisho kuuza bidhaa zao. Basi lilipoondoka kituoni, nilichungulia dirishani. Nilikitazama kituo hicho kilichojaa magari nikiwaza, "Pengine hii itakuwa mara yangu ya mwisho kukiona kituo hiki." Safari ilipoendelea, nilihisi joto jingi. Niliyafumba macho nikinuia kulala. Nilijiuliza maswali mengi. "Je, mamangu atakuwa salama? Je, sungura wangu watatufaidi? Je, ndugu yangu atakumbuka kunyunyizia maji miche ya miti yangu?" Njiani, nilikariri jina la mahali mjombangu aliishi kule jijini. Hatimaye, nilipatwa na usingizi. Baada ya saa tisa, niliamshwa kwa kelele nyingi. Kondakta alikuwa akiwaita abiria waliotaka kwenda kijijini kwetu. Nilichukua mkoba wangu mdogo nikaruka nje. Basi hilo lililokuwa likirudi lilikuwa linajaa upesi. Muda mfupi baadaye, lingeanza safari ya kwenda mashariki. La mhimu kwangu, lilikuwa kuanza kutafuta nyumba ya mjombangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyokwenda Jijini Author - Lesley Koyi and Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jiji ilikua inapatikana sehemu gani
{ "text": [ "magharibi" ] }
2433_swa
Siku niliyokwenda Jijini Kituo cha basi cha kijiji chetu kilikuwa na shughuli nyingi. Basi zilijaza mizigo huku abiria wakizitafuta basi walizotaka kuabiri. Kondakta waliwaelekeza abiria kwenye basi zilizokwenda sehemu mbalimbali. Nilimsikia kondakta mmoja akiita kwa sauti, "Jiji! Jiji! Wanaokwenda magharibi!" Lile ndilo basi nililohitaji kuabiri kwa usafiri wangu. Basi la kwenda jijini lilikuwa karibu kujaa. Hata hivyo, watu zaidi walitaka kuingia. Baadhi yao walipakia mizigo chini ya basi. Wengine waliiweka ndani kwenye rafu. Baadhi ya abiria walishika tiketi zao huku wakitafuta viti vilivyokuwa wazi. Wanawake waliokuwa na watoto wachanga waliwatayarisha kwa safari hiyo itakayokuwa ndefu. Nilipenyeza ndani nikapata kiti karibu na dirisha. Abiria aliyeketi karibu nami alishika karatasi ya plastiki ya kijani kibichi. Alivaa viatu vilivyozeeka na koti kukuu. Nilitazama nje nikawaza, "Ninaondoka hapa mahali nilipolelewa nikienda kwenye jiji kubwa. Sijui ikiwa nitawahi kurudi hapa kijijini tena." Upakiaji mizigo ulikamilika na abiria wakawa wameketi. Wachuuzi walizidi kusukumana wakitaka kuuza bidhaa zao. Walitaja majina ya bidhaa walizouza kwa sauti ya juu. Maneno yao yalinifurahisha. Baadhi ya abiria walinunua vinywaji. Wengine walinunua vitavunaji vidogo na kutavuna. Wasiokuwa na hela, kama mimi, walitazama tu. Shughuli hizo zilikatizwa kwa mlio wa honi ya basi. Tulikuwa tayari kuondoka. Kondakta aliwataka wachuuzi wote washuke kutoka basini. Wachuuzi walisukumana kutoka nje. Wachache waliwarudisha abiria masalio ya hela zao. Wengine walifanya juhudi za mwisho kuuza bidhaa zao. Basi lilipoondoka kituoni, nilichungulia dirishani. Nilikitazama kituo hicho kilichojaa magari nikiwaza, "Pengine hii itakuwa mara yangu ya mwisho kukiona kituo hiki." Safari ilipoendelea, nilihisi joto jingi. Niliyafumba macho nikinuia kulala. Nilijiuliza maswali mengi. "Je, mamangu atakuwa salama? Je, sungura wangu watatufaidi? Je, ndugu yangu atakumbuka kunyunyizia maji miche ya miti yangu?" Njiani, nilikariri jina la mahali mjombangu aliishi kule jijini. Hatimaye, nilipatwa na usingizi. Baada ya saa tisa, niliamshwa kwa kelele nyingi. Kondakta alikuwa akiwaita abiria waliotaka kwenda kijijini kwetu. Nilichukua mkoba wangu mdogo nikaruka nje. Basi hilo lililokuwa likirudi lilikuwa linajaa upesi. Muda mfupi baadaye, lingeanza safari ya kwenda mashariki. La mhimu kwangu, lilikuwa kuanza kutafuta nyumba ya mjombangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyokwenda Jijini Author - Lesley Koyi and Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wachuuzi walianza kushuka kwa basi lini
{ "text": [ "waliposkia honi ikilia" ] }
2433_swa
Siku niliyokwenda Jijini Kituo cha basi cha kijiji chetu kilikuwa na shughuli nyingi. Basi zilijaza mizigo huku abiria wakizitafuta basi walizotaka kuabiri. Kondakta waliwaelekeza abiria kwenye basi zilizokwenda sehemu mbalimbali. Nilimsikia kondakta mmoja akiita kwa sauti, "Jiji! Jiji! Wanaokwenda magharibi!" Lile ndilo basi nililohitaji kuabiri kwa usafiri wangu. Basi la kwenda jijini lilikuwa karibu kujaa. Hata hivyo, watu zaidi walitaka kuingia. Baadhi yao walipakia mizigo chini ya basi. Wengine waliiweka ndani kwenye rafu. Baadhi ya abiria walishika tiketi zao huku wakitafuta viti vilivyokuwa wazi. Wanawake waliokuwa na watoto wachanga waliwatayarisha kwa safari hiyo itakayokuwa ndefu. Nilipenyeza ndani nikapata kiti karibu na dirisha. Abiria aliyeketi karibu nami alishika karatasi ya plastiki ya kijani kibichi. Alivaa viatu vilivyozeeka na koti kukuu. Nilitazama nje nikawaza, "Ninaondoka hapa mahali nilipolelewa nikienda kwenye jiji kubwa. Sijui ikiwa nitawahi kurudi hapa kijijini tena." Upakiaji mizigo ulikamilika na abiria wakawa wameketi. Wachuuzi walizidi kusukumana wakitaka kuuza bidhaa zao. Walitaja majina ya bidhaa walizouza kwa sauti ya juu. Maneno yao yalinifurahisha. Baadhi ya abiria walinunua vinywaji. Wengine walinunua vitavunaji vidogo na kutavuna. Wasiokuwa na hela, kama mimi, walitazama tu. Shughuli hizo zilikatizwa kwa mlio wa honi ya basi. Tulikuwa tayari kuondoka. Kondakta aliwataka wachuuzi wote washuke kutoka basini. Wachuuzi walisukumana kutoka nje. Wachache waliwarudisha abiria masalio ya hela zao. Wengine walifanya juhudi za mwisho kuuza bidhaa zao. Basi lilipoondoka kituoni, nilichungulia dirishani. Nilikitazama kituo hicho kilichojaa magari nikiwaza, "Pengine hii itakuwa mara yangu ya mwisho kukiona kituo hiki." Safari ilipoendelea, nilihisi joto jingi. Niliyafumba macho nikinuia kulala. Nilijiuliza maswali mengi. "Je, mamangu atakuwa salama? Je, sungura wangu watatufaidi? Je, ndugu yangu atakumbuka kunyunyizia maji miche ya miti yangu?" Njiani, nilikariri jina la mahali mjombangu aliishi kule jijini. Hatimaye, nilipatwa na usingizi. Baada ya saa tisa, niliamshwa kwa kelele nyingi. Kondakta alikuwa akiwaita abiria waliotaka kwenda kijijini kwetu. Nilichukua mkoba wangu mdogo nikaruka nje. Basi hilo lililokuwa likirudi lilikuwa linajaa upesi. Muda mfupi baadaye, lingeanza safari ya kwenda mashariki. La mhimu kwangu, lilikuwa kuanza kutafuta nyumba ya mjombangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyokwenda Jijini Author - Lesley Koyi and Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Kondakta alitaka wachuuzi wote washuke kutoka basini
{ "text": [ "kwa kuwa mlio wa honi ulionyesha wako tayari kuondoka" ] }
2434_swa
Siku niliyopotea sokoni Mimi ninaishi katika kijiji cha Kakuma. Ni mahali pakavu penye miti ya miiba na joto jingi. Kakuma, kuna mbuzi wengi. Wenyeji wengi hupanda baiskeli. Sokoni kuna maduka machache madogo. Asubuhi moja, mamangu aliniita akasema, "Etabo, leo umefika umri wa miaka sita nasi tutakupa zawadi." Nilimwuliza kwa furaha, "Zawadi gani? Akajibu, "Utafuatana nasi kesho twende sokoni. Tutapanda basi." Hiyo ingekuwa safari yangu ya kwanza kwenda soko kubwa. Keshoye, tulikwenda kwenye kituo cha basi. Nilisimama kati ya mama na shangazi. Nilijisikia mdogo sana nikiwa kati yao. Nilikuwa nimevaa suruali mpya ya bluu na fulana nyekundu. Basi lilikuwa limejaa kwa hivyo ilibidi mama anipakate. Nililala njia nzima Kwa vile nilikuwa nimechoka sana kutokana na joto. Sikuona chochote. Jua lilikuwa limeanza kuchomoza tulipofika sokoni. Langoni, palikuwa na mama muuzaji wa nafaka. Pembeni, walikuwapo wanaume wawili waliokuwa wakiviandaa viazi vitamu. Upande wa pili, mama mmoja mfupi alishika helikopta ya rangi ya bluu iliyometameta. Nilipoina, niliita, "Mama, mama, tazama helikopta ile!" Katikati ya soko, kulikuwa na kibanda kikubwa. Matunda aina nyingi yaliuzwa pale. "Yanaitwaje matunda haya?" Nilimwuliza mama huku nikimwonyesha aina ambayo sikuwahi kuiona. Niliendelea kuuliza, "Na haya je?" Mama akajibu, "Haya ni matofaa." Kati ya matunda yote kibandani, nilipenda matofaa zaidi. Nilipotazama umbo na rangi yake, niliwazia utamu wake. "Tafadhali, ninunulie tofaa moja," nilimsihi mama. Pindi nilipopewa tofaa, niliuachilia mkono wa mama, nikalishika tunda kwa mikono miwili. Nililitafuna polepole nikaonja utamu wake. Nilikuwa sijawahi kulionja tunda tamu kama tofaa. Nilipomaliza kulila tofaa, niligeuka kuongea na mama, lakini hakuwepo! Nilimtafuta mahali tulipotoka, lakini sikumwona yeye wala shangazi. Nikamwuliza mama muuzaji nafaka, lakini hakujua walipokuwa. Nikaanza kulia. Baadaye, mama mmoja alinishika mkono na kuniongoza walipokuwa watoto wengine. Mzee mmoja mwenye ndevu aliniuliza, "Jina lako nani mwanangu?" Huku nikilia, nilimjibu, "E-ta-bo." Nilianza kujiuliza kama watoto pia huuzwa sokoni. Mara nikaacha kulia ili nione kama wanunuzi wa watoto walikuwepo chumbani mle. Baada ya muda alikuja mama mmoja akamchagua mmojawapo wa watoto. Nikawaza, "Mimi nikichaguliwa, sitarudi nyumbani tena?" Kisha nilimsikia yule mwanamume mwenye ndevu akiuliza, "Etabo yuko wapi?" Nililia zaidi nikisema, "Lakini mimi sitaki kwenda na wewe!" Nikatoroka. Walipolisikia jina langu likiitwa, mama na shangazi walikimbilia chumbani humo. "Etabo, Etabo." Iliita sauti niliyoitambua kuwa ya mamangu. Nilimkumbatia mamangu. Kisha shangazi akasema, "Etabo, tulikuwa tunakutafuta tukupe zawadi yako ya siku ya kuzaliwa." Aliitoa helikpta iliyometameta ya rangi ya bluu kutoka kwenye mfuko mkubwa alioubeba. "Hii hapa zawadi yako!" akasema mama. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyopotea sokoni Author - Timothy Kabare and Ursula Nafula Translation - Pete Mhunzi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Anaishi wapi
{ "text": [ "kijiji cha Kakuma" ] }
2434_swa
Siku niliyopotea sokoni Mimi ninaishi katika kijiji cha Kakuma. Ni mahali pakavu penye miti ya miiba na joto jingi. Kakuma, kuna mbuzi wengi. Wenyeji wengi hupanda baiskeli. Sokoni kuna maduka machache madogo. Asubuhi moja, mamangu aliniita akasema, "Etabo, leo umefika umri wa miaka sita nasi tutakupa zawadi." Nilimwuliza kwa furaha, "Zawadi gani? Akajibu, "Utafuatana nasi kesho twende sokoni. Tutapanda basi." Hiyo ingekuwa safari yangu ya kwanza kwenda soko kubwa. Keshoye, tulikwenda kwenye kituo cha basi. Nilisimama kati ya mama na shangazi. Nilijisikia mdogo sana nikiwa kati yao. Nilikuwa nimevaa suruali mpya ya bluu na fulana nyekundu. Basi lilikuwa limejaa kwa hivyo ilibidi mama anipakate. Nililala njia nzima Kwa vile nilikuwa nimechoka sana kutokana na joto. Sikuona chochote. Jua lilikuwa limeanza kuchomoza tulipofika sokoni. Langoni, palikuwa na mama muuzaji wa nafaka. Pembeni, walikuwapo wanaume wawili waliokuwa wakiviandaa viazi vitamu. Upande wa pili, mama mmoja mfupi alishika helikopta ya rangi ya bluu iliyometameta. Nilipoina, niliita, "Mama, mama, tazama helikopta ile!" Katikati ya soko, kulikuwa na kibanda kikubwa. Matunda aina nyingi yaliuzwa pale. "Yanaitwaje matunda haya?" Nilimwuliza mama huku nikimwonyesha aina ambayo sikuwahi kuiona. Niliendelea kuuliza, "Na haya je?" Mama akajibu, "Haya ni matofaa." Kati ya matunda yote kibandani, nilipenda matofaa zaidi. Nilipotazama umbo na rangi yake, niliwazia utamu wake. "Tafadhali, ninunulie tofaa moja," nilimsihi mama. Pindi nilipopewa tofaa, niliuachilia mkono wa mama, nikalishika tunda kwa mikono miwili. Nililitafuna polepole nikaonja utamu wake. Nilikuwa sijawahi kulionja tunda tamu kama tofaa. Nilipomaliza kulila tofaa, niligeuka kuongea na mama, lakini hakuwepo! Nilimtafuta mahali tulipotoka, lakini sikumwona yeye wala shangazi. Nikamwuliza mama muuzaji nafaka, lakini hakujua walipokuwa. Nikaanza kulia. Baadaye, mama mmoja alinishika mkono na kuniongoza walipokuwa watoto wengine. Mzee mmoja mwenye ndevu aliniuliza, "Jina lako nani mwanangu?" Huku nikilia, nilimjibu, "E-ta-bo." Nilianza kujiuliza kama watoto pia huuzwa sokoni. Mara nikaacha kulia ili nione kama wanunuzi wa watoto walikuwepo chumbani mle. Baada ya muda alikuja mama mmoja akamchagua mmojawapo wa watoto. Nikawaza, "Mimi nikichaguliwa, sitarudi nyumbani tena?" Kisha nilimsikia yule mwanamume mwenye ndevu akiuliza, "Etabo yuko wapi?" Nililia zaidi nikisema, "Lakini mimi sitaki kwenda na wewe!" Nikatoroka. Walipolisikia jina langu likiitwa, mama na shangazi walikimbilia chumbani humo. "Etabo, Etabo." Iliita sauti niliyoitambua kuwa ya mamangu. Nilimkumbatia mamangu. Kisha shangazi akasema, "Etabo, tulikuwa tunakutafuta tukupe zawadi yako ya siku ya kuzaliwa." Aliitoa helikpta iliyometameta ya rangi ya bluu kutoka kwenye mfuko mkubwa alioubeba. "Hii hapa zawadi yako!" akasema mama. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyopotea sokoni Author - Timothy Kabare and Ursula Nafula Translation - Pete Mhunzi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Etabo alikuwa amefika umri wa miaka mingapi
{ "text": [ "sita" ] }
2434_swa
Siku niliyopotea sokoni Mimi ninaishi katika kijiji cha Kakuma. Ni mahali pakavu penye miti ya miiba na joto jingi. Kakuma, kuna mbuzi wengi. Wenyeji wengi hupanda baiskeli. Sokoni kuna maduka machache madogo. Asubuhi moja, mamangu aliniita akasema, "Etabo, leo umefika umri wa miaka sita nasi tutakupa zawadi." Nilimwuliza kwa furaha, "Zawadi gani? Akajibu, "Utafuatana nasi kesho twende sokoni. Tutapanda basi." Hiyo ingekuwa safari yangu ya kwanza kwenda soko kubwa. Keshoye, tulikwenda kwenye kituo cha basi. Nilisimama kati ya mama na shangazi. Nilijisikia mdogo sana nikiwa kati yao. Nilikuwa nimevaa suruali mpya ya bluu na fulana nyekundu. Basi lilikuwa limejaa kwa hivyo ilibidi mama anipakate. Nililala njia nzima Kwa vile nilikuwa nimechoka sana kutokana na joto. Sikuona chochote. Jua lilikuwa limeanza kuchomoza tulipofika sokoni. Langoni, palikuwa na mama muuzaji wa nafaka. Pembeni, walikuwapo wanaume wawili waliokuwa wakiviandaa viazi vitamu. Upande wa pili, mama mmoja mfupi alishika helikopta ya rangi ya bluu iliyometameta. Nilipoina, niliita, "Mama, mama, tazama helikopta ile!" Katikati ya soko, kulikuwa na kibanda kikubwa. Matunda aina nyingi yaliuzwa pale. "Yanaitwaje matunda haya?" Nilimwuliza mama huku nikimwonyesha aina ambayo sikuwahi kuiona. Niliendelea kuuliza, "Na haya je?" Mama akajibu, "Haya ni matofaa." Kati ya matunda yote kibandani, nilipenda matofaa zaidi. Nilipotazama umbo na rangi yake, niliwazia utamu wake. "Tafadhali, ninunulie tofaa moja," nilimsihi mama. Pindi nilipopewa tofaa, niliuachilia mkono wa mama, nikalishika tunda kwa mikono miwili. Nililitafuna polepole nikaonja utamu wake. Nilikuwa sijawahi kulionja tunda tamu kama tofaa. Nilipomaliza kulila tofaa, niligeuka kuongea na mama, lakini hakuwepo! Nilimtafuta mahali tulipotoka, lakini sikumwona yeye wala shangazi. Nikamwuliza mama muuzaji nafaka, lakini hakujua walipokuwa. Nikaanza kulia. Baadaye, mama mmoja alinishika mkono na kuniongoza walipokuwa watoto wengine. Mzee mmoja mwenye ndevu aliniuliza, "Jina lako nani mwanangu?" Huku nikilia, nilimjibu, "E-ta-bo." Nilianza kujiuliza kama watoto pia huuzwa sokoni. Mara nikaacha kulia ili nione kama wanunuzi wa watoto walikuwepo chumbani mle. Baada ya muda alikuja mama mmoja akamchagua mmojawapo wa watoto. Nikawaza, "Mimi nikichaguliwa, sitarudi nyumbani tena?" Kisha nilimsikia yule mwanamume mwenye ndevu akiuliza, "Etabo yuko wapi?" Nililia zaidi nikisema, "Lakini mimi sitaki kwenda na wewe!" Nikatoroka. Walipolisikia jina langu likiitwa, mama na shangazi walikimbilia chumbani humo. "Etabo, Etabo." Iliita sauti niliyoitambua kuwa ya mamangu. Nilimkumbatia mamangu. Kisha shangazi akasema, "Etabo, tulikuwa tunakutafuta tukupe zawadi yako ya siku ya kuzaliwa." Aliitoa helikpta iliyometameta ya rangi ya bluu kutoka kwenye mfuko mkubwa alioubeba. "Hii hapa zawadi yako!" akasema mama. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyopotea sokoni Author - Timothy Kabare and Ursula Nafula Translation - Pete Mhunzi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ebo walipanda nini kuenda sokoni
{ "text": [ "basi" ] }
2434_swa
Siku niliyopotea sokoni Mimi ninaishi katika kijiji cha Kakuma. Ni mahali pakavu penye miti ya miiba na joto jingi. Kakuma, kuna mbuzi wengi. Wenyeji wengi hupanda baiskeli. Sokoni kuna maduka machache madogo. Asubuhi moja, mamangu aliniita akasema, "Etabo, leo umefika umri wa miaka sita nasi tutakupa zawadi." Nilimwuliza kwa furaha, "Zawadi gani? Akajibu, "Utafuatana nasi kesho twende sokoni. Tutapanda basi." Hiyo ingekuwa safari yangu ya kwanza kwenda soko kubwa. Keshoye, tulikwenda kwenye kituo cha basi. Nilisimama kati ya mama na shangazi. Nilijisikia mdogo sana nikiwa kati yao. Nilikuwa nimevaa suruali mpya ya bluu na fulana nyekundu. Basi lilikuwa limejaa kwa hivyo ilibidi mama anipakate. Nililala njia nzima Kwa vile nilikuwa nimechoka sana kutokana na joto. Sikuona chochote. Jua lilikuwa limeanza kuchomoza tulipofika sokoni. Langoni, palikuwa na mama muuzaji wa nafaka. Pembeni, walikuwapo wanaume wawili waliokuwa wakiviandaa viazi vitamu. Upande wa pili, mama mmoja mfupi alishika helikopta ya rangi ya bluu iliyometameta. Nilipoina, niliita, "Mama, mama, tazama helikopta ile!" Katikati ya soko, kulikuwa na kibanda kikubwa. Matunda aina nyingi yaliuzwa pale. "Yanaitwaje matunda haya?" Nilimwuliza mama huku nikimwonyesha aina ambayo sikuwahi kuiona. Niliendelea kuuliza, "Na haya je?" Mama akajibu, "Haya ni matofaa." Kati ya matunda yote kibandani, nilipenda matofaa zaidi. Nilipotazama umbo na rangi yake, niliwazia utamu wake. "Tafadhali, ninunulie tofaa moja," nilimsihi mama. Pindi nilipopewa tofaa, niliuachilia mkono wa mama, nikalishika tunda kwa mikono miwili. Nililitafuna polepole nikaonja utamu wake. Nilikuwa sijawahi kulionja tunda tamu kama tofaa. Nilipomaliza kulila tofaa, niligeuka kuongea na mama, lakini hakuwepo! Nilimtafuta mahali tulipotoka, lakini sikumwona yeye wala shangazi. Nikamwuliza mama muuzaji nafaka, lakini hakujua walipokuwa. Nikaanza kulia. Baadaye, mama mmoja alinishika mkono na kuniongoza walipokuwa watoto wengine. Mzee mmoja mwenye ndevu aliniuliza, "Jina lako nani mwanangu?" Huku nikilia, nilimjibu, "E-ta-bo." Nilianza kujiuliza kama watoto pia huuzwa sokoni. Mara nikaacha kulia ili nione kama wanunuzi wa watoto walikuwepo chumbani mle. Baada ya muda alikuja mama mmoja akamchagua mmojawapo wa watoto. Nikawaza, "Mimi nikichaguliwa, sitarudi nyumbani tena?" Kisha nilimsikia yule mwanamume mwenye ndevu akiuliza, "Etabo yuko wapi?" Nililia zaidi nikisema, "Lakini mimi sitaki kwenda na wewe!" Nikatoroka. Walipolisikia jina langu likiitwa, mama na shangazi walikimbilia chumbani humo. "Etabo, Etabo." Iliita sauti niliyoitambua kuwa ya mamangu. Nilimkumbatia mamangu. Kisha shangazi akasema, "Etabo, tulikuwa tunakutafuta tukupe zawadi yako ya siku ya kuzaliwa." Aliitoa helikpta iliyometameta ya rangi ya bluu kutoka kwenye mfuko mkubwa alioubeba. "Hii hapa zawadi yako!" akasema mama. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyopotea sokoni Author - Timothy Kabare and Ursula Nafula Translation - Pete Mhunzi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ebo alikula tunda gani sokoni
{ "text": [ "tofaa" ] }
2434_swa
Siku niliyopotea sokoni Mimi ninaishi katika kijiji cha Kakuma. Ni mahali pakavu penye miti ya miiba na joto jingi. Kakuma, kuna mbuzi wengi. Wenyeji wengi hupanda baiskeli. Sokoni kuna maduka machache madogo. Asubuhi moja, mamangu aliniita akasema, "Etabo, leo umefika umri wa miaka sita nasi tutakupa zawadi." Nilimwuliza kwa furaha, "Zawadi gani? Akajibu, "Utafuatana nasi kesho twende sokoni. Tutapanda basi." Hiyo ingekuwa safari yangu ya kwanza kwenda soko kubwa. Keshoye, tulikwenda kwenye kituo cha basi. Nilisimama kati ya mama na shangazi. Nilijisikia mdogo sana nikiwa kati yao. Nilikuwa nimevaa suruali mpya ya bluu na fulana nyekundu. Basi lilikuwa limejaa kwa hivyo ilibidi mama anipakate. Nililala njia nzima Kwa vile nilikuwa nimechoka sana kutokana na joto. Sikuona chochote. Jua lilikuwa limeanza kuchomoza tulipofika sokoni. Langoni, palikuwa na mama muuzaji wa nafaka. Pembeni, walikuwapo wanaume wawili waliokuwa wakiviandaa viazi vitamu. Upande wa pili, mama mmoja mfupi alishika helikopta ya rangi ya bluu iliyometameta. Nilipoina, niliita, "Mama, mama, tazama helikopta ile!" Katikati ya soko, kulikuwa na kibanda kikubwa. Matunda aina nyingi yaliuzwa pale. "Yanaitwaje matunda haya?" Nilimwuliza mama huku nikimwonyesha aina ambayo sikuwahi kuiona. Niliendelea kuuliza, "Na haya je?" Mama akajibu, "Haya ni matofaa." Kati ya matunda yote kibandani, nilipenda matofaa zaidi. Nilipotazama umbo na rangi yake, niliwazia utamu wake. "Tafadhali, ninunulie tofaa moja," nilimsihi mama. Pindi nilipopewa tofaa, niliuachilia mkono wa mama, nikalishika tunda kwa mikono miwili. Nililitafuna polepole nikaonja utamu wake. Nilikuwa sijawahi kulionja tunda tamu kama tofaa. Nilipomaliza kulila tofaa, niligeuka kuongea na mama, lakini hakuwepo! Nilimtafuta mahali tulipotoka, lakini sikumwona yeye wala shangazi. Nikamwuliza mama muuzaji nafaka, lakini hakujua walipokuwa. Nikaanza kulia. Baadaye, mama mmoja alinishika mkono na kuniongoza walipokuwa watoto wengine. Mzee mmoja mwenye ndevu aliniuliza, "Jina lako nani mwanangu?" Huku nikilia, nilimjibu, "E-ta-bo." Nilianza kujiuliza kama watoto pia huuzwa sokoni. Mara nikaacha kulia ili nione kama wanunuzi wa watoto walikuwepo chumbani mle. Baada ya muda alikuja mama mmoja akamchagua mmojawapo wa watoto. Nikawaza, "Mimi nikichaguliwa, sitarudi nyumbani tena?" Kisha nilimsikia yule mwanamume mwenye ndevu akiuliza, "Etabo yuko wapi?" Nililia zaidi nikisema, "Lakini mimi sitaki kwenda na wewe!" Nikatoroka. Walipolisikia jina langu likiitwa, mama na shangazi walikimbilia chumbani humo. "Etabo, Etabo." Iliita sauti niliyoitambua kuwa ya mamangu. Nilimkumbatia mamangu. Kisha shangazi akasema, "Etabo, tulikuwa tunakutafuta tukupe zawadi yako ya siku ya kuzaliwa." Aliitoa helikpta iliyometameta ya rangi ya bluu kutoka kwenye mfuko mkubwa alioubeba. "Hii hapa zawadi yako!" akasema mama. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku niliyopotea sokoni Author - Timothy Kabare and Ursula Nafula Translation - Pete Mhunzi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Ebo alipakatwa na mamake
{ "text": [ "basi lilikuwa limejaa" ] }
2435_swa
Siku tuliyouona upinde Jina langu ni Kobole. Ninaishi katika kijiji kiitwacho Mbalisana. Siku moja nilikuwa nikichuma matunda. Nilishuhudia jambo la kushangaza. Niliona mistari ya rangi tofauti angani. Niliyaangusha matunda niliyokuwa nimechuma. Kisha, nikakimbia kuwaambia watu nyumbani. Niliwapata wakiwa nje. Wote walitazama juu kwa mshangao. Nilisema kwa furaha, "Hii ni shuka maridadi." Neno alinipinga akisema, "La! Hizi ni rangi tofauti zinamwagika kutoka angani." Baadhi ya wanakijiji walikubaliana nami na wengine waliamini aliyosema Neno. Tulianza kubishana. Wakati huo, mgeni mmoja alitokea na kusema, "Mmekosea nyote." Tulipiga mayowe, "Ikiwa tumekosea, wewe tueleze ukweli." Yule mgeni alisema, "Mnachoshuhudia ni upinde. Kwani ninyi hamjawahi kuuona upinde?" Kwa mshangao zaidi, tulimjibu, "La! U-p-i-n-d-e ni nini?" Neno alimwuliza, "Je, huu upinde ni wetu? Tunaweza kuuweka hapa?" Hatukupata majibu kwa maswali yetu. Mgeni huyo alikuwa tayari ameenda zake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku tuliyouona upinde Author - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kombole anaishi wapi
{ "text": [ "Mbalisana" ] }
2435_swa
Siku tuliyouona upinde Jina langu ni Kobole. Ninaishi katika kijiji kiitwacho Mbalisana. Siku moja nilikuwa nikichuma matunda. Nilishuhudia jambo la kushangaza. Niliona mistari ya rangi tofauti angani. Niliyaangusha matunda niliyokuwa nimechuma. Kisha, nikakimbia kuwaambia watu nyumbani. Niliwapata wakiwa nje. Wote walitazama juu kwa mshangao. Nilisema kwa furaha, "Hii ni shuka maridadi." Neno alinipinga akisema, "La! Hizi ni rangi tofauti zinamwagika kutoka angani." Baadhi ya wanakijiji walikubaliana nami na wengine waliamini aliyosema Neno. Tulianza kubishana. Wakati huo, mgeni mmoja alitokea na kusema, "Mmekosea nyote." Tulipiga mayowe, "Ikiwa tumekosea, wewe tueleze ukweli." Yule mgeni alisema, "Mnachoshuhudia ni upinde. Kwani ninyi hamjawahi kuuona upinde?" Kwa mshangao zaidi, tulimjibu, "La! U-p-i-n-d-e ni nini?" Neno alimwuliza, "Je, huu upinde ni wetu? Tunaweza kuuweka hapa?" Hatukupata majibu kwa maswali yetu. Mgeni huyo alikuwa tayari ameenda zake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku tuliyouona upinde Author - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kombole alikuwa anachuma nini
{ "text": [ "Matunda" ] }
2435_swa
Siku tuliyouona upinde Jina langu ni Kobole. Ninaishi katika kijiji kiitwacho Mbalisana. Siku moja nilikuwa nikichuma matunda. Nilishuhudia jambo la kushangaza. Niliona mistari ya rangi tofauti angani. Niliyaangusha matunda niliyokuwa nimechuma. Kisha, nikakimbia kuwaambia watu nyumbani. Niliwapata wakiwa nje. Wote walitazama juu kwa mshangao. Nilisema kwa furaha, "Hii ni shuka maridadi." Neno alinipinga akisema, "La! Hizi ni rangi tofauti zinamwagika kutoka angani." Baadhi ya wanakijiji walikubaliana nami na wengine waliamini aliyosema Neno. Tulianza kubishana. Wakati huo, mgeni mmoja alitokea na kusema, "Mmekosea nyote." Tulipiga mayowe, "Ikiwa tumekosea, wewe tueleze ukweli." Yule mgeni alisema, "Mnachoshuhudia ni upinde. Kwani ninyi hamjawahi kuuona upinde?" Kwa mshangao zaidi, tulimjibu, "La! U-p-i-n-d-e ni nini?" Neno alimwuliza, "Je, huu upinde ni wetu? Tunaweza kuuweka hapa?" Hatukupata majibu kwa maswali yetu. Mgeni huyo alikuwa tayari ameenda zake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku tuliyouona upinde Author - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mgeni aliwaelezea walikuwa wakishuhudia nini
{ "text": [ "Upinde" ] }
2435_swa
Siku tuliyouona upinde Jina langu ni Kobole. Ninaishi katika kijiji kiitwacho Mbalisana. Siku moja nilikuwa nikichuma matunda. Nilishuhudia jambo la kushangaza. Niliona mistari ya rangi tofauti angani. Niliyaangusha matunda niliyokuwa nimechuma. Kisha, nikakimbia kuwaambia watu nyumbani. Niliwapata wakiwa nje. Wote walitazama juu kwa mshangao. Nilisema kwa furaha, "Hii ni shuka maridadi." Neno alinipinga akisema, "La! Hizi ni rangi tofauti zinamwagika kutoka angani." Baadhi ya wanakijiji walikubaliana nami na wengine waliamini aliyosema Neno. Tulianza kubishana. Wakati huo, mgeni mmoja alitokea na kusema, "Mmekosea nyote." Tulipiga mayowe, "Ikiwa tumekosea, wewe tueleze ukweli." Yule mgeni alisema, "Mnachoshuhudia ni upinde. Kwani ninyi hamjawahi kuuona upinde?" Kwa mshangao zaidi, tulimjibu, "La! U-p-i-n-d-e ni nini?" Neno alimwuliza, "Je, huu upinde ni wetu? Tunaweza kuuweka hapa?" Hatukupata majibu kwa maswali yetu. Mgeni huyo alikuwa tayari ameenda zake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku tuliyouona upinde Author - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliuliza kama upinde ni wao
{ "text": [ "Neno " ] }
2435_swa
Siku tuliyouona upinde Jina langu ni Kobole. Ninaishi katika kijiji kiitwacho Mbalisana. Siku moja nilikuwa nikichuma matunda. Nilishuhudia jambo la kushangaza. Niliona mistari ya rangi tofauti angani. Niliyaangusha matunda niliyokuwa nimechuma. Kisha, nikakimbia kuwaambia watu nyumbani. Niliwapata wakiwa nje. Wote walitazama juu kwa mshangao. Nilisema kwa furaha, "Hii ni shuka maridadi." Neno alinipinga akisema, "La! Hizi ni rangi tofauti zinamwagika kutoka angani." Baadhi ya wanakijiji walikubaliana nami na wengine waliamini aliyosema Neno. Tulianza kubishana. Wakati huo, mgeni mmoja alitokea na kusema, "Mmekosea nyote." Tulipiga mayowe, "Ikiwa tumekosea, wewe tueleze ukweli." Yule mgeni alisema, "Mnachoshuhudia ni upinde. Kwani ninyi hamjawahi kuuona upinde?" Kwa mshangao zaidi, tulimjibu, "La! U-p-i-n-d-e ni nini?" Neno alimwuliza, "Je, huu upinde ni wetu? Tunaweza kuuweka hapa?" Hatukupata majibu kwa maswali yetu. Mgeni huyo alikuwa tayari ameenda zake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku tuliyouona upinde Author - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini hawakupata jibu kutoka kwa mgeni
{ "text": [ "Kwa sababu upinde ulikuwa angani" ] }
2436_swa
Siku ya Betina Betina alikuwa amelalia mkeka wake. Alimsikiliza mamake akimsimulia hadithi aliyoipenda zaidi. Hadithi iliwahusu wanawake waliojulikana mle kijijini kwa mikeka na vikapu maridadi waliyotengeneza. Betina aliithamini zawadi ya mkeka aliyopewa na bibi alipohitimu umri wa miaka kumi. Betina aliposimama, mamake alitaka kuuweka makeka wake. Betina alisema, "Mama, usiukunje sasa. Hebu kwanza tutazame rangi na maumbo yaliyoko." Betina alizitaja rangi kwenye safu zote kutoka juu hadi chini, "Waridi, waridi, kijani, kijani, bluu, bluu, waridi, waridi, kijani, kijani." Ni sehemu gani ya mkeka ambapo muundo unabadilika? Betina aliukunjua mkeka. Maumbo mengi yalikuwa mistatili na mengine miraba. Alisema, "Ninajua njia rahisi ya kupata jumla ya maumbo yote. Si lazima kuhesabu kila umbo, bali unahesabu idadi ya maumbo yaliyo kwenye kila mstari." Je, unajua namna Betina anayahesabu maumbo hayo? Kuna jumla ya maumbo mangapi? Betina alikuwa na mkeka mwingine mdogo alioutumia kuketi nje. Huo ulikuwa na mistatili pekee. Betina anaweza kuwa ameifunika kwa mwili wake takriban mistatili mingapi? Takriban mistatili mingapi ambayo haijfafunikwa? Unaweza kutumia njia ya Betina ya haraka kupata mistatili mingapi ambayo mkeka huo unayo? Asubuhi moja, Betina alienda kumtembelea bibi. Aliwakuta wanawake kisimani wakiwa wamebeba maji vichwani. Alishangaa akataka kujua ni maji lita ngapi yaliyokuwa katika kila ndoo. Je, unafikiriaje? Betina alipowasili, bibi alimkaribisha, "Betina, furaha ilioje! Hiki ni kikapu kipya nilichotengeneza. Unakipenda?" Betina alimjibu, "Ninapenda rangi yake, lakini sipendi maumbo yaliyoko." Utawezaje kuchora maumbo yaliyoko kwenye kikapu hicho? Maumbo hayo yanafanana mraba au mstatili au umbo jingine tofauti? Alipokuwa akirudi nyumbani, Betina aliikosa njia. Hakujua alikokuwa kwa hivyo, aliketi chini ya mti kupumzika. Aliyatazama majani yakicheza juu yake kwenye matawi. Aliyaona maumbo tofauti yaliyosababishwa na mwangaza yakicheza kila mahali. Baadaye, alipatwa na usingizi mnono. Betina alipoamka, aliogopa. Alitaka kuwa nyumbani na mamake akipumzika kwenye makeka wake. Wakati huo huo, ndege mdogo wa rangi ya bluu alitua mtini. "Hujambo. Usiwe na wasiwasi, nitakusaidia ufike nyumbani. Nifuate," yule ndege alisema. Betina alishangaa kumsikia ndege akiongea. Betina alimfuata yule ndege hadi kwenye njia panda. Njia iligawika, moja ikienda kushoto na nyingine kulia. Je, aifuate njia gani? Betina alitazama juu. Iliwezekana kuwa yule ndege alikuwa amebeba mdomoni kipande cha mkeka wake! Ndege yule alikiangusha kile kipande kwenye njia iliyokwenda upande wa kulia, kisha akaenda zake. Betina aliifuata njia hiyo akapanda mlima na kushuka. Aliwasikia watu wakicheka na kuimba kijijini kwao. Betina alifurahi alipofika nyumbani salama. Mamake aliukunjua mkeka kisha akampa chakula. Betina aliyahesabu maumbo ya miraba yaliyokuwa kwenye mkeka kuhakikisha kwamba yalikuwa bado yako. Alikuwa na uhakika kwamba alikiona kipande cha mkeka kilichokuwa kimekatwa. Alijua hakuwa akiota. Ilikuwa kweli kuwa yule ndege mdogo alikuwa amemwokoa! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku ya Betina Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua amelalia mkeka
{ "text": [ "Betina" ] }
2436_swa
Siku ya Betina Betina alikuwa amelalia mkeka wake. Alimsikiliza mamake akimsimulia hadithi aliyoipenda zaidi. Hadithi iliwahusu wanawake waliojulikana mle kijijini kwa mikeka na vikapu maridadi waliyotengeneza. Betina aliithamini zawadi ya mkeka aliyopewa na bibi alipohitimu umri wa miaka kumi. Betina aliposimama, mamake alitaka kuuweka makeka wake. Betina alisema, "Mama, usiukunje sasa. Hebu kwanza tutazame rangi na maumbo yaliyoko." Betina alizitaja rangi kwenye safu zote kutoka juu hadi chini, "Waridi, waridi, kijani, kijani, bluu, bluu, waridi, waridi, kijani, kijani." Ni sehemu gani ya mkeka ambapo muundo unabadilika? Betina aliukunjua mkeka. Maumbo mengi yalikuwa mistatili na mengine miraba. Alisema, "Ninajua njia rahisi ya kupata jumla ya maumbo yote. Si lazima kuhesabu kila umbo, bali unahesabu idadi ya maumbo yaliyo kwenye kila mstari." Je, unajua namna Betina anayahesabu maumbo hayo? Kuna jumla ya maumbo mangapi? Betina alikuwa na mkeka mwingine mdogo alioutumia kuketi nje. Huo ulikuwa na mistatili pekee. Betina anaweza kuwa ameifunika kwa mwili wake takriban mistatili mingapi? Takriban mistatili mingapi ambayo haijfafunikwa? Unaweza kutumia njia ya Betina ya haraka kupata mistatili mingapi ambayo mkeka huo unayo? Asubuhi moja, Betina alienda kumtembelea bibi. Aliwakuta wanawake kisimani wakiwa wamebeba maji vichwani. Alishangaa akataka kujua ni maji lita ngapi yaliyokuwa katika kila ndoo. Je, unafikiriaje? Betina alipowasili, bibi alimkaribisha, "Betina, furaha ilioje! Hiki ni kikapu kipya nilichotengeneza. Unakipenda?" Betina alimjibu, "Ninapenda rangi yake, lakini sipendi maumbo yaliyoko." Utawezaje kuchora maumbo yaliyoko kwenye kikapu hicho? Maumbo hayo yanafanana mraba au mstatili au umbo jingine tofauti? Alipokuwa akirudi nyumbani, Betina aliikosa njia. Hakujua alikokuwa kwa hivyo, aliketi chini ya mti kupumzika. Aliyatazama majani yakicheza juu yake kwenye matawi. Aliyaona maumbo tofauti yaliyosababishwa na mwangaza yakicheza kila mahali. Baadaye, alipatwa na usingizi mnono. Betina alipoamka, aliogopa. Alitaka kuwa nyumbani na mamake akipumzika kwenye makeka wake. Wakati huo huo, ndege mdogo wa rangi ya bluu alitua mtini. "Hujambo. Usiwe na wasiwasi, nitakusaidia ufike nyumbani. Nifuate," yule ndege alisema. Betina alishangaa kumsikia ndege akiongea. Betina alimfuata yule ndege hadi kwenye njia panda. Njia iligawika, moja ikienda kushoto na nyingine kulia. Je, aifuate njia gani? Betina alitazama juu. Iliwezekana kuwa yule ndege alikuwa amebeba mdomoni kipande cha mkeka wake! Ndege yule alikiangusha kile kipande kwenye njia iliyokwenda upande wa kulia, kisha akaenda zake. Betina aliifuata njia hiyo akapanda mlima na kushuka. Aliwasikia watu wakicheka na kuimba kijijini kwao. Betina alifurahi alipofika nyumbani salama. Mamake aliukunjua mkeka kisha akampa chakula. Betina aliyahesabu maumbo ya miraba yaliyokuwa kwenye mkeka kuhakikisha kwamba yalikuwa bado yako. Alikuwa na uhakika kwamba alikiona kipande cha mkeka kilichokuwa kimekatwa. Alijua hakuwa akiota. Ilikuwa kweli kuwa yule ndege mdogo alikuwa amemwokoa! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku ya Betina Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ndege aliyetua kwa mti alikua wa rangi gani
{ "text": [ "rangi ya bluu" ] }
2436_swa
Siku ya Betina Betina alikuwa amelalia mkeka wake. Alimsikiliza mamake akimsimulia hadithi aliyoipenda zaidi. Hadithi iliwahusu wanawake waliojulikana mle kijijini kwa mikeka na vikapu maridadi waliyotengeneza. Betina aliithamini zawadi ya mkeka aliyopewa na bibi alipohitimu umri wa miaka kumi. Betina aliposimama, mamake alitaka kuuweka makeka wake. Betina alisema, "Mama, usiukunje sasa. Hebu kwanza tutazame rangi na maumbo yaliyoko." Betina alizitaja rangi kwenye safu zote kutoka juu hadi chini, "Waridi, waridi, kijani, kijani, bluu, bluu, waridi, waridi, kijani, kijani." Ni sehemu gani ya mkeka ambapo muundo unabadilika? Betina aliukunjua mkeka. Maumbo mengi yalikuwa mistatili na mengine miraba. Alisema, "Ninajua njia rahisi ya kupata jumla ya maumbo yote. Si lazima kuhesabu kila umbo, bali unahesabu idadi ya maumbo yaliyo kwenye kila mstari." Je, unajua namna Betina anayahesabu maumbo hayo? Kuna jumla ya maumbo mangapi? Betina alikuwa na mkeka mwingine mdogo alioutumia kuketi nje. Huo ulikuwa na mistatili pekee. Betina anaweza kuwa ameifunika kwa mwili wake takriban mistatili mingapi? Takriban mistatili mingapi ambayo haijfafunikwa? Unaweza kutumia njia ya Betina ya haraka kupata mistatili mingapi ambayo mkeka huo unayo? Asubuhi moja, Betina alienda kumtembelea bibi. Aliwakuta wanawake kisimani wakiwa wamebeba maji vichwani. Alishangaa akataka kujua ni maji lita ngapi yaliyokuwa katika kila ndoo. Je, unafikiriaje? Betina alipowasili, bibi alimkaribisha, "Betina, furaha ilioje! Hiki ni kikapu kipya nilichotengeneza. Unakipenda?" Betina alimjibu, "Ninapenda rangi yake, lakini sipendi maumbo yaliyoko." Utawezaje kuchora maumbo yaliyoko kwenye kikapu hicho? Maumbo hayo yanafanana mraba au mstatili au umbo jingine tofauti? Alipokuwa akirudi nyumbani, Betina aliikosa njia. Hakujua alikokuwa kwa hivyo, aliketi chini ya mti kupumzika. Aliyatazama majani yakicheza juu yake kwenye matawi. Aliyaona maumbo tofauti yaliyosababishwa na mwangaza yakicheza kila mahali. Baadaye, alipatwa na usingizi mnono. Betina alipoamka, aliogopa. Alitaka kuwa nyumbani na mamake akipumzika kwenye makeka wake. Wakati huo huo, ndege mdogo wa rangi ya bluu alitua mtini. "Hujambo. Usiwe na wasiwasi, nitakusaidia ufike nyumbani. Nifuate," yule ndege alisema. Betina alishangaa kumsikia ndege akiongea. Betina alimfuata yule ndege hadi kwenye njia panda. Njia iligawika, moja ikienda kushoto na nyingine kulia. Je, aifuate njia gani? Betina alitazama juu. Iliwezekana kuwa yule ndege alikuwa amebeba mdomoni kipande cha mkeka wake! Ndege yule alikiangusha kile kipande kwenye njia iliyokwenda upande wa kulia, kisha akaenda zake. Betina aliifuata njia hiyo akapanda mlima na kushuka. Aliwasikia watu wakicheka na kuimba kijijini kwao. Betina alifurahi alipofika nyumbani salama. Mamake aliukunjua mkeka kisha akampa chakula. Betina aliyahesabu maumbo ya miraba yaliyokuwa kwenye mkeka kuhakikisha kwamba yalikuwa bado yako. Alikuwa na uhakika kwamba alikiona kipande cha mkeka kilichokuwa kimekatwa. Alijua hakuwa akiota. Ilikuwa kweli kuwa yule ndege mdogo alikuwa amemwokoa! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku ya Betina Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ndege alikua amebeba nini mdomoni
{ "text": [ "kipande cha mkeka" ] }
2436_swa
Siku ya Betina Betina alikuwa amelalia mkeka wake. Alimsikiliza mamake akimsimulia hadithi aliyoipenda zaidi. Hadithi iliwahusu wanawake waliojulikana mle kijijini kwa mikeka na vikapu maridadi waliyotengeneza. Betina aliithamini zawadi ya mkeka aliyopewa na bibi alipohitimu umri wa miaka kumi. Betina aliposimama, mamake alitaka kuuweka makeka wake. Betina alisema, "Mama, usiukunje sasa. Hebu kwanza tutazame rangi na maumbo yaliyoko." Betina alizitaja rangi kwenye safu zote kutoka juu hadi chini, "Waridi, waridi, kijani, kijani, bluu, bluu, waridi, waridi, kijani, kijani." Ni sehemu gani ya mkeka ambapo muundo unabadilika? Betina aliukunjua mkeka. Maumbo mengi yalikuwa mistatili na mengine miraba. Alisema, "Ninajua njia rahisi ya kupata jumla ya maumbo yote. Si lazima kuhesabu kila umbo, bali unahesabu idadi ya maumbo yaliyo kwenye kila mstari." Je, unajua namna Betina anayahesabu maumbo hayo? Kuna jumla ya maumbo mangapi? Betina alikuwa na mkeka mwingine mdogo alioutumia kuketi nje. Huo ulikuwa na mistatili pekee. Betina anaweza kuwa ameifunika kwa mwili wake takriban mistatili mingapi? Takriban mistatili mingapi ambayo haijfafunikwa? Unaweza kutumia njia ya Betina ya haraka kupata mistatili mingapi ambayo mkeka huo unayo? Asubuhi moja, Betina alienda kumtembelea bibi. Aliwakuta wanawake kisimani wakiwa wamebeba maji vichwani. Alishangaa akataka kujua ni maji lita ngapi yaliyokuwa katika kila ndoo. Je, unafikiriaje? Betina alipowasili, bibi alimkaribisha, "Betina, furaha ilioje! Hiki ni kikapu kipya nilichotengeneza. Unakipenda?" Betina alimjibu, "Ninapenda rangi yake, lakini sipendi maumbo yaliyoko." Utawezaje kuchora maumbo yaliyoko kwenye kikapu hicho? Maumbo hayo yanafanana mraba au mstatili au umbo jingine tofauti? Alipokuwa akirudi nyumbani, Betina aliikosa njia. Hakujua alikokuwa kwa hivyo, aliketi chini ya mti kupumzika. Aliyatazama majani yakicheza juu yake kwenye matawi. Aliyaona maumbo tofauti yaliyosababishwa na mwangaza yakicheza kila mahali. Baadaye, alipatwa na usingizi mnono. Betina alipoamka, aliogopa. Alitaka kuwa nyumbani na mamake akipumzika kwenye makeka wake. Wakati huo huo, ndege mdogo wa rangi ya bluu alitua mtini. "Hujambo. Usiwe na wasiwasi, nitakusaidia ufike nyumbani. Nifuate," yule ndege alisema. Betina alishangaa kumsikia ndege akiongea. Betina alimfuata yule ndege hadi kwenye njia panda. Njia iligawika, moja ikienda kushoto na nyingine kulia. Je, aifuate njia gani? Betina alitazama juu. Iliwezekana kuwa yule ndege alikuwa amebeba mdomoni kipande cha mkeka wake! Ndege yule alikiangusha kile kipande kwenye njia iliyokwenda upande wa kulia, kisha akaenda zake. Betina aliifuata njia hiyo akapanda mlima na kushuka. Aliwasikia watu wakicheka na kuimba kijijini kwao. Betina alifurahi alipofika nyumbani salama. Mamake aliukunjua mkeka kisha akampa chakula. Betina aliyahesabu maumbo ya miraba yaliyokuwa kwenye mkeka kuhakikisha kwamba yalikuwa bado yako. Alikuwa na uhakika kwamba alikiona kipande cha mkeka kilichokuwa kimekatwa. Alijua hakuwa akiota. Ilikuwa kweli kuwa yule ndege mdogo alikuwa amemwokoa! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku ya Betina Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Betina alipewa zawadi ya mkeka lini
{ "text": [ "alipokua miaka kumi" ] }
2436_swa
Siku ya Betina Betina alikuwa amelalia mkeka wake. Alimsikiliza mamake akimsimulia hadithi aliyoipenda zaidi. Hadithi iliwahusu wanawake waliojulikana mle kijijini kwa mikeka na vikapu maridadi waliyotengeneza. Betina aliithamini zawadi ya mkeka aliyopewa na bibi alipohitimu umri wa miaka kumi. Betina aliposimama, mamake alitaka kuuweka makeka wake. Betina alisema, "Mama, usiukunje sasa. Hebu kwanza tutazame rangi na maumbo yaliyoko." Betina alizitaja rangi kwenye safu zote kutoka juu hadi chini, "Waridi, waridi, kijani, kijani, bluu, bluu, waridi, waridi, kijani, kijani." Ni sehemu gani ya mkeka ambapo muundo unabadilika? Betina aliukunjua mkeka. Maumbo mengi yalikuwa mistatili na mengine miraba. Alisema, "Ninajua njia rahisi ya kupata jumla ya maumbo yote. Si lazima kuhesabu kila umbo, bali unahesabu idadi ya maumbo yaliyo kwenye kila mstari." Je, unajua namna Betina anayahesabu maumbo hayo? Kuna jumla ya maumbo mangapi? Betina alikuwa na mkeka mwingine mdogo alioutumia kuketi nje. Huo ulikuwa na mistatili pekee. Betina anaweza kuwa ameifunika kwa mwili wake takriban mistatili mingapi? Takriban mistatili mingapi ambayo haijfafunikwa? Unaweza kutumia njia ya Betina ya haraka kupata mistatili mingapi ambayo mkeka huo unayo? Asubuhi moja, Betina alienda kumtembelea bibi. Aliwakuta wanawake kisimani wakiwa wamebeba maji vichwani. Alishangaa akataka kujua ni maji lita ngapi yaliyokuwa katika kila ndoo. Je, unafikiriaje? Betina alipowasili, bibi alimkaribisha, "Betina, furaha ilioje! Hiki ni kikapu kipya nilichotengeneza. Unakipenda?" Betina alimjibu, "Ninapenda rangi yake, lakini sipendi maumbo yaliyoko." Utawezaje kuchora maumbo yaliyoko kwenye kikapu hicho? Maumbo hayo yanafanana mraba au mstatili au umbo jingine tofauti? Alipokuwa akirudi nyumbani, Betina aliikosa njia. Hakujua alikokuwa kwa hivyo, aliketi chini ya mti kupumzika. Aliyatazama majani yakicheza juu yake kwenye matawi. Aliyaona maumbo tofauti yaliyosababishwa na mwangaza yakicheza kila mahali. Baadaye, alipatwa na usingizi mnono. Betina alipoamka, aliogopa. Alitaka kuwa nyumbani na mamake akipumzika kwenye makeka wake. Wakati huo huo, ndege mdogo wa rangi ya bluu alitua mtini. "Hujambo. Usiwe na wasiwasi, nitakusaidia ufike nyumbani. Nifuate," yule ndege alisema. Betina alishangaa kumsikia ndege akiongea. Betina alimfuata yule ndege hadi kwenye njia panda. Njia iligawika, moja ikienda kushoto na nyingine kulia. Je, aifuate njia gani? Betina alitazama juu. Iliwezekana kuwa yule ndege alikuwa amebeba mdomoni kipande cha mkeka wake! Ndege yule alikiangusha kile kipande kwenye njia iliyokwenda upande wa kulia, kisha akaenda zake. Betina aliifuata njia hiyo akapanda mlima na kushuka. Aliwasikia watu wakicheka na kuimba kijijini kwao. Betina alifurahi alipofika nyumbani salama. Mamake aliukunjua mkeka kisha akampa chakula. Betina aliyahesabu maumbo ya miraba yaliyokuwa kwenye mkeka kuhakikisha kwamba yalikuwa bado yako. Alikuwa na uhakika kwamba alikiona kipande cha mkeka kilichokuwa kimekatwa. Alijua hakuwa akiota. Ilikuwa kweli kuwa yule ndege mdogo alikuwa amemwokoa! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Siku ya Betina Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Betina alijua aje njia ya kufuata ili afike nyumbani
{ "text": [ "Ndege aliangusha kipande cha mkeka kwa njia ya kulia" ] }
2437_swa
Sima na Samaki Hapo zamani, Sima na Samaki waliishi katika kijiji kimoja. Urafiki ulianza kati yao. Samaki alimwambia rafiki yake Sima waende pamoja baharini waogelee. Walishika njia wakaenda baharini. Walipofika kando ya bahari, Samaki alimwambia Sima, "Mimi naingia majini kuoga," kisha akapiga mbizi. Baada ya kuogelea kwa muda mfupi, Samaki alimwambia Sima, "Sasa ni zamu yako kuogelea." Sima alimjibu, "Siwezi kuogelea. Nikiingia majini, nitazama halafu nitaumbuka." Samaki alimbembeleza Sima akisema, "Njoo ujaribu. Hutaumbuka na ukizama, nitakuokoa." Sima alikubali. Sima alipofika majini, alishindwa kuelea. Alimwita Samaki, "Njoo uniokoe," lakini Samaki hakumwokoa. Mtu mmoja alimsikia Samaki akilalamika kwamba hangeweza kumwoka Sima. Mtu huyo akamwuliza, "Kuna shida gani?" Samaki akasema, "Huyu mjinga ameingia majini na sasa anazama." Mtu huyo alimwokoa Sima. Sima alipotoka majini, alisema, "Samaki ni rafiki mbaya. Amenishawishi niogelee nami sijui kuogelea." Mtu huyo aliwaambia, "Hebu niwatatulie tatizo hili." Alikata Sima na Samaki, akala kwa fujo. Na huo ukawa mwisho wa ugomvi kati yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sima na Samaki Author - Melanie Bulouza Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alisema waende baharini kuogelea
{ "text": [ "Samaki" ] }
2437_swa
Sima na Samaki Hapo zamani, Sima na Samaki waliishi katika kijiji kimoja. Urafiki ulianza kati yao. Samaki alimwambia rafiki yake Sima waende pamoja baharini waogelee. Walishika njia wakaenda baharini. Walipofika kando ya bahari, Samaki alimwambia Sima, "Mimi naingia majini kuoga," kisha akapiga mbizi. Baada ya kuogelea kwa muda mfupi, Samaki alimwambia Sima, "Sasa ni zamu yako kuogelea." Sima alimjibu, "Siwezi kuogelea. Nikiingia majini, nitazama halafu nitaumbuka." Samaki alimbembeleza Sima akisema, "Njoo ujaribu. Hutaumbuka na ukizama, nitakuokoa." Sima alikubali. Sima alipofika majini, alishindwa kuelea. Alimwita Samaki, "Njoo uniokoe," lakini Samaki hakumwokoa. Mtu mmoja alimsikia Samaki akilalamika kwamba hangeweza kumwoka Sima. Mtu huyo akamwuliza, "Kuna shida gani?" Samaki akasema, "Huyu mjinga ameingia majini na sasa anazama." Mtu huyo alimwokoa Sima. Sima alipotoka majini, alisema, "Samaki ni rafiki mbaya. Amenishawishi niogelee nami sijui kuogelea." Mtu huyo aliwaambia, "Hebu niwatatulie tatizo hili." Alikata Sima na Samaki, akala kwa fujo. Na huo ukawa mwisho wa ugomvi kati yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sima na Samaki Author - Melanie Bulouza Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alishindwa kuelea majini
{ "text": [ "Sima" ] }
2437_swa
Sima na Samaki Hapo zamani, Sima na Samaki waliishi katika kijiji kimoja. Urafiki ulianza kati yao. Samaki alimwambia rafiki yake Sima waende pamoja baharini waogelee. Walishika njia wakaenda baharini. Walipofika kando ya bahari, Samaki alimwambia Sima, "Mimi naingia majini kuoga," kisha akapiga mbizi. Baada ya kuogelea kwa muda mfupi, Samaki alimwambia Sima, "Sasa ni zamu yako kuogelea." Sima alimjibu, "Siwezi kuogelea. Nikiingia majini, nitazama halafu nitaumbuka." Samaki alimbembeleza Sima akisema, "Njoo ujaribu. Hutaumbuka na ukizama, nitakuokoa." Sima alikubali. Sima alipofika majini, alishindwa kuelea. Alimwita Samaki, "Njoo uniokoe," lakini Samaki hakumwokoa. Mtu mmoja alimsikia Samaki akilalamika kwamba hangeweza kumwoka Sima. Mtu huyo akamwuliza, "Kuna shida gani?" Samaki akasema, "Huyu mjinga ameingia majini na sasa anazama." Mtu huyo alimwokoa Sima. Sima alipotoka majini, alisema, "Samaki ni rafiki mbaya. Amenishawishi niogelee nami sijui kuogelea." Mtu huyo aliwaambia, "Hebu niwatatulie tatizo hili." Alikata Sima na Samaki, akala kwa fujo. Na huo ukawa mwisho wa ugomvi kati yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sima na Samaki Author - Melanie Bulouza Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua rafiki mbaya
{ "text": [ "Samaki" ] }
2437_swa
Sima na Samaki Hapo zamani, Sima na Samaki waliishi katika kijiji kimoja. Urafiki ulianza kati yao. Samaki alimwambia rafiki yake Sima waende pamoja baharini waogelee. Walishika njia wakaenda baharini. Walipofika kando ya bahari, Samaki alimwambia Sima, "Mimi naingia majini kuoga," kisha akapiga mbizi. Baada ya kuogelea kwa muda mfupi, Samaki alimwambia Sima, "Sasa ni zamu yako kuogelea." Sima alimjibu, "Siwezi kuogelea. Nikiingia majini, nitazama halafu nitaumbuka." Samaki alimbembeleza Sima akisema, "Njoo ujaribu. Hutaumbuka na ukizama, nitakuokoa." Sima alikubali. Sima alipofika majini, alishindwa kuelea. Alimwita Samaki, "Njoo uniokoe," lakini Samaki hakumwokoa. Mtu mmoja alimsikia Samaki akilalamika kwamba hangeweza kumwoka Sima. Mtu huyo akamwuliza, "Kuna shida gani?" Samaki akasema, "Huyu mjinga ameingia majini na sasa anazama." Mtu huyo alimwokoa Sima. Sima alipotoka majini, alisema, "Samaki ni rafiki mbaya. Amenishawishi niogelee nami sijui kuogelea." Mtu huyo aliwaambia, "Hebu niwatatulie tatizo hili." Alikata Sima na Samaki, akala kwa fujo. Na huo ukawa mwisho wa ugomvi kati yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sima na Samaki Author - Melanie Bulouza Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sima alimwita samaki amuokoe lini
{ "text": [ "aliposhindwa kuelea" ] }
2437_swa
Sima na Samaki Hapo zamani, Sima na Samaki waliishi katika kijiji kimoja. Urafiki ulianza kati yao. Samaki alimwambia rafiki yake Sima waende pamoja baharini waogelee. Walishika njia wakaenda baharini. Walipofika kando ya bahari, Samaki alimwambia Sima, "Mimi naingia majini kuoga," kisha akapiga mbizi. Baada ya kuogelea kwa muda mfupi, Samaki alimwambia Sima, "Sasa ni zamu yako kuogelea." Sima alimjibu, "Siwezi kuogelea. Nikiingia majini, nitazama halafu nitaumbuka." Samaki alimbembeleza Sima akisema, "Njoo ujaribu. Hutaumbuka na ukizama, nitakuokoa." Sima alikubali. Sima alipofika majini, alishindwa kuelea. Alimwita Samaki, "Njoo uniokoe," lakini Samaki hakumwokoa. Mtu mmoja alimsikia Samaki akilalamika kwamba hangeweza kumwoka Sima. Mtu huyo akamwuliza, "Kuna shida gani?" Samaki akasema, "Huyu mjinga ameingia majini na sasa anazama." Mtu huyo alimwokoa Sima. Sima alipotoka majini, alisema, "Samaki ni rafiki mbaya. Amenishawishi niogelee nami sijui kuogelea." Mtu huyo aliwaambia, "Hebu niwatatulie tatizo hili." Alikata Sima na Samaki, akala kwa fujo. Na huo ukawa mwisho wa ugomvi kati yao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sima na Samaki Author - Melanie Bulouza Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Huyo mtu alitatua aje tatizo la Sima na Samaki
{ "text": [ "alikata Sima na Samaki akala kwa fujo" ] }
2438_swa
Simba Jike na Mbuni Mbuni na Simba Jike walikuwa marafiki wakati mmoja. Mbuni aliwalisha wanawe vyema. Walikuwa wenye afya nzuri. Watoto wa Simba Jike walikonda. Hawakupata chakula cha kutosha. Simba Jike alitamani vifaranga wa Mbuni kuwa wake. Siku moja, Mbuni alikwenda safari. Simba Jike alichukuwa vifaranga wake. Mbuni aliporudi, aliuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alimkuta Simba Jike na watoto wake. Simba Jike alimwambia, "Vifaranga ni wangu sasa. Wachukue wana simba." Mbuni alijiuliza, "Nitawapataje wanangu?" Mbuni aliitisha mkutana wa wanyama wote. Wanyama walifika kuhudhuria mkutano. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba Jike kujieleza. Wanyama wengi waliogopa kumulaumu Simba Jike. Kichakuro alisema, "Watoto wanaofanana na ndege, ni wa Mbuni." Baada ya kusema hivyo, Kichakuro alitoroka akaingia shimoni. Simba Jike alikasirika sana. Alirudi kwake na wana simba. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba Jike na Mbuni Author - Daniel Nanok Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simba jike alikua marafiki na nani?
{ "text": [ "Mbuni" ] }
2438_swa
Simba Jike na Mbuni Mbuni na Simba Jike walikuwa marafiki wakati mmoja. Mbuni aliwalisha wanawe vyema. Walikuwa wenye afya nzuri. Watoto wa Simba Jike walikonda. Hawakupata chakula cha kutosha. Simba Jike alitamani vifaranga wa Mbuni kuwa wake. Siku moja, Mbuni alikwenda safari. Simba Jike alichukuwa vifaranga wake. Mbuni aliporudi, aliuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alimkuta Simba Jike na watoto wake. Simba Jike alimwambia, "Vifaranga ni wangu sasa. Wachukue wana simba." Mbuni alijiuliza, "Nitawapataje wanangu?" Mbuni aliitisha mkutana wa wanyama wote. Wanyama walifika kuhudhuria mkutano. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba Jike kujieleza. Wanyama wengi waliogopa kumulaumu Simba Jike. Kichakuro alisema, "Watoto wanaofanana na ndege, ni wa Mbuni." Baada ya kusema hivyo, Kichakuro alitoroka akaingia shimoni. Simba Jike alikasirika sana. Alirudi kwake na wana simba. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba Jike na Mbuni Author - Daniel Nanok Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mnyama gani aliuliza Simba jike na Mbuni wajieleze mbele ya kikao?
{ "text": [ "Tembo" ] }
2438_swa
Simba Jike na Mbuni Mbuni na Simba Jike walikuwa marafiki wakati mmoja. Mbuni aliwalisha wanawe vyema. Walikuwa wenye afya nzuri. Watoto wa Simba Jike walikonda. Hawakupata chakula cha kutosha. Simba Jike alitamani vifaranga wa Mbuni kuwa wake. Siku moja, Mbuni alikwenda safari. Simba Jike alichukuwa vifaranga wake. Mbuni aliporudi, aliuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alimkuta Simba Jike na watoto wake. Simba Jike alimwambia, "Vifaranga ni wangu sasa. Wachukue wana simba." Mbuni alijiuliza, "Nitawapataje wanangu?" Mbuni aliitisha mkutana wa wanyama wote. Wanyama walifika kuhudhuria mkutano. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba Jike kujieleza. Wanyama wengi waliogopa kumulaumu Simba Jike. Kichakuro alisema, "Watoto wanaofanana na ndege, ni wa Mbuni." Baada ya kusema hivyo, Kichakuro alitoroka akaingia shimoni. Simba Jike alikasirika sana. Alirudi kwake na wana simba. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba Jike na Mbuni Author - Daniel Nanok Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alisema maneno haya,"Watoto wanaofanana na ndege ni wa Mbuni?"
{ "text": [ "Kichakuro" ] }
2438_swa
Simba Jike na Mbuni Mbuni na Simba Jike walikuwa marafiki wakati mmoja. Mbuni aliwalisha wanawe vyema. Walikuwa wenye afya nzuri. Watoto wa Simba Jike walikonda. Hawakupata chakula cha kutosha. Simba Jike alitamani vifaranga wa Mbuni kuwa wake. Siku moja, Mbuni alikwenda safari. Simba Jike alichukuwa vifaranga wake. Mbuni aliporudi, aliuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alimkuta Simba Jike na watoto wake. Simba Jike alimwambia, "Vifaranga ni wangu sasa. Wachukue wana simba." Mbuni alijiuliza, "Nitawapataje wanangu?" Mbuni aliitisha mkutana wa wanyama wote. Wanyama walifika kuhudhuria mkutano. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba Jike kujieleza. Wanyama wengi waliogopa kumulaumu Simba Jike. Kichakuro alisema, "Watoto wanaofanana na ndege, ni wa Mbuni." Baada ya kusema hivyo, Kichakuro alitoroka akaingia shimoni. Simba Jike alikasirika sana. Alirudi kwake na wana simba. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba Jike na Mbuni Author - Daniel Nanok Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliitisha mkutano wa wanyama wote?
{ "text": [ "Mbuni" ] }
2438_swa
Simba Jike na Mbuni Mbuni na Simba Jike walikuwa marafiki wakati mmoja. Mbuni aliwalisha wanawe vyema. Walikuwa wenye afya nzuri. Watoto wa Simba Jike walikonda. Hawakupata chakula cha kutosha. Simba Jike alitamani vifaranga wa Mbuni kuwa wake. Siku moja, Mbuni alikwenda safari. Simba Jike alichukuwa vifaranga wake. Mbuni aliporudi, aliuliza, "Watoto wangu wako wapi?" Mbuni alimkuta Simba Jike na watoto wake. Simba Jike alimwambia, "Vifaranga ni wangu sasa. Wachukue wana simba." Mbuni alijiuliza, "Nitawapataje wanangu?" Mbuni aliitisha mkutana wa wanyama wote. Wanyama walifika kuhudhuria mkutano. Tembo aliwauliza Mbuni na Simba Jike kujieleza. Wanyama wengi waliogopa kumulaumu Simba Jike. Kichakuro alisema, "Watoto wanaofanana na ndege, ni wa Mbuni." Baada ya kusema hivyo, Kichakuro alitoroka akaingia shimoni. Simba Jike alikasirika sana. Alirudi kwake na wana simba. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba Jike na Mbuni Author - Daniel Nanok Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbuni alipoenda safari nani alichukua watoto wake?
{ "text": [ "Simba jike" ] }
2439_swa
Simba na Ngiri Hapo zamani za kale, Simba alikuwa mwenye nguvu aliyeogopwa kuliko wanyama wote. Angeweza kuwashika wanyama wengine na kuwala. Asubuhi moja alipokuwa akitafuta kifungua kinywa, alinaswa katika mtego wa mwindaji. Simba alipiga mayowe kwa uchungu. Alivuta ili kujinasua kutoka mtegoni. Mtego ulinasa mguu zaidi kila alipovuta. Mwishowe, Simba alipokuwa amechoka na kuhisi uchungu, alikata tamaa. Siku zilivyopita ndivyo Simba alichomwa kwa jua. Alihisi njaa na kiu na wala hakuwa na mwokozi. Alipozidi kuwa mnyonge aliwaza, "Nitakufa kwa njaa na kiu." Asubuhi moja, Simba alisikia sauti kichakani. Alisikiliza na kuchunguza kwa karibu. Aliona Ngiri akitembea na mkwewe na watoto wakizungumza na kucheka. Ngiri na familia yake walikuwa wanaenda mtoni kunywa maji na kucheza topeni kabla ya jua kuwa kali. "Ngiri, tafadhali niokoe kutoka mtegoni." Simba alimsihi. "Kamwe sitakuokoa! Wewe mnyama katili. Nikikuokoa utanila mimi na familia yangu kama kifungua kinywa." "Naahidi kamwe sitatenda jambo ovu kama hilo. Tutakuwa marafiki ukiniokoa," Simba alisema. Ngiri alimwonea Simba huruma akasema, "Sifurahii ukihisi uchungu, kiu na kuwa karibu kufa kwa njaa." Kwa hivyo, alitumia pembe zake akavuta na kumwokoa Simba. Ngiri akampata rafiki mpya. Simba alisema, "Asante sana rafiki yangu kwa kuniokoa. Ninaenda kwa familia yangu sasa, kwa heri." "Nenda salama rafiki yangu," Ngiri alimjibu. Ngiri alifurahi kwamba Simba alikuwa rafiki yake. "Familia yangu haitamtoroka tena simba," aliwaza. Simba aliondoka akichechemea kwa unyonge. Alihisi njaa sana. Aliwaona watoto wa Ngiri wakicheza topeni. Alipowaangalia, alidondokwa na mate akafikiria, "Leo nina bahati." Simba alimwita Ngiri, rafikiye mpya, "Nilikuwa nimenaswa mtegoni kwa siku nyingi bila chakula. Sina nguvu za kuwinda kwa sasa. Naomba unipatie mmoja wa watoto wako kuwa kifungua kinywa changu?" Ngiri alishtuka akasema, "Nilikuokoa kutoka mtegoni na sasa unataka kuwala wanangu?" Simba alimjibu, "Nasikitika rafiki yangu, lakini nina njaa. Elewa kwamba ingawa mimi ni mnyonge sasa mimi ni mwenye nguvu kukuliko wewe." Simba alifungua kinywa chake na kuonyesha meno yake. "Usiponipatia mmoja wa watoto wako kwa hiari, mwenyewe nitamchukua mmoja," alinguruma. Ngiri alifahamu kuwa hakuwa na mbio wala nguvu za Simba. Hangeweza kuwalinda wanawe katika vita. "Nitakupatia mwanangu mmoja baada ya wewe kunionyesha jinsi ulivyonaswa mtegoni. Itanisaidia kumwokoa simba mwingine," Ngiri alisema. Simba hangeweza kusubiri kumla ngiri mchanga. Aliuweka mguu wake ndani ya mtego kumwonyesha rafiki yake jinsi alivyonaswa. "Ui!" Simba alinguruma. Ngiri alikaza mtego kwenye mguu wa simba akisema, "Aha! Nimekupata. Utakaa mtegoni kwa njaa na kiu tena. Tuone ikiwa meno yako makali na yenye nguvu yatakusaidia sasa." Mkewe Ngiri aliwaambia wanawe, "Kimbieni! Inueni mikia yenu ili baba yenu awaone mlipo." Watoto wa Ngiri walikimbia kichakani kwa kasi walivyoweza. Simba alihisi uchungu akamsihi Ngiri tena amsaidie, "Nitakufanyia lolote utakalo ukiniokoa." Ngiri hakumwamini Simba. Alimwambia, "La! Sitathubutu, wewe ni muongo! Nitawaonya wanyama wengine pia ili waepuke na ujanja wako." Ngiri aliwaona watoto wake na mama yao wakikimbia katika mstari mmoja. Waliinua mikia yao ili awaone. Ngiri alijiunga nao wakatorokea mahali pa usalama. Hii ndiyo sababu ngiri huinua mikia yao wanapokimbia kuhakikisha usalama wa kila mmoja wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba na Ngiri Author - South African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua mwenye nguvu na aliyeogopwa na wanyama wote?
{ "text": [ "Simba" ] }
2439_swa
Simba na Ngiri Hapo zamani za kale, Simba alikuwa mwenye nguvu aliyeogopwa kuliko wanyama wote. Angeweza kuwashika wanyama wengine na kuwala. Asubuhi moja alipokuwa akitafuta kifungua kinywa, alinaswa katika mtego wa mwindaji. Simba alipiga mayowe kwa uchungu. Alivuta ili kujinasua kutoka mtegoni. Mtego ulinasa mguu zaidi kila alipovuta. Mwishowe, Simba alipokuwa amechoka na kuhisi uchungu, alikata tamaa. Siku zilivyopita ndivyo Simba alichomwa kwa jua. Alihisi njaa na kiu na wala hakuwa na mwokozi. Alipozidi kuwa mnyonge aliwaza, "Nitakufa kwa njaa na kiu." Asubuhi moja, Simba alisikia sauti kichakani. Alisikiliza na kuchunguza kwa karibu. Aliona Ngiri akitembea na mkwewe na watoto wakizungumza na kucheka. Ngiri na familia yake walikuwa wanaenda mtoni kunywa maji na kucheza topeni kabla ya jua kuwa kali. "Ngiri, tafadhali niokoe kutoka mtegoni." Simba alimsihi. "Kamwe sitakuokoa! Wewe mnyama katili. Nikikuokoa utanila mimi na familia yangu kama kifungua kinywa." "Naahidi kamwe sitatenda jambo ovu kama hilo. Tutakuwa marafiki ukiniokoa," Simba alisema. Ngiri alimwonea Simba huruma akasema, "Sifurahii ukihisi uchungu, kiu na kuwa karibu kufa kwa njaa." Kwa hivyo, alitumia pembe zake akavuta na kumwokoa Simba. Ngiri akampata rafiki mpya. Simba alisema, "Asante sana rafiki yangu kwa kuniokoa. Ninaenda kwa familia yangu sasa, kwa heri." "Nenda salama rafiki yangu," Ngiri alimjibu. Ngiri alifurahi kwamba Simba alikuwa rafiki yake. "Familia yangu haitamtoroka tena simba," aliwaza. Simba aliondoka akichechemea kwa unyonge. Alihisi njaa sana. Aliwaona watoto wa Ngiri wakicheza topeni. Alipowaangalia, alidondokwa na mate akafikiria, "Leo nina bahati." Simba alimwita Ngiri, rafikiye mpya, "Nilikuwa nimenaswa mtegoni kwa siku nyingi bila chakula. Sina nguvu za kuwinda kwa sasa. Naomba unipatie mmoja wa watoto wako kuwa kifungua kinywa changu?" Ngiri alishtuka akasema, "Nilikuokoa kutoka mtegoni na sasa unataka kuwala wanangu?" Simba alimjibu, "Nasikitika rafiki yangu, lakini nina njaa. Elewa kwamba ingawa mimi ni mnyonge sasa mimi ni mwenye nguvu kukuliko wewe." Simba alifungua kinywa chake na kuonyesha meno yake. "Usiponipatia mmoja wa watoto wako kwa hiari, mwenyewe nitamchukua mmoja," alinguruma. Ngiri alifahamu kuwa hakuwa na mbio wala nguvu za Simba. Hangeweza kuwalinda wanawe katika vita. "Nitakupatia mwanangu mmoja baada ya wewe kunionyesha jinsi ulivyonaswa mtegoni. Itanisaidia kumwokoa simba mwingine," Ngiri alisema. Simba hangeweza kusubiri kumla ngiri mchanga. Aliuweka mguu wake ndani ya mtego kumwonyesha rafiki yake jinsi alivyonaswa. "Ui!" Simba alinguruma. Ngiri alikaza mtego kwenye mguu wa simba akisema, "Aha! Nimekupata. Utakaa mtegoni kwa njaa na kiu tena. Tuone ikiwa meno yako makali na yenye nguvu yatakusaidia sasa." Mkewe Ngiri aliwaambia wanawe, "Kimbieni! Inueni mikia yenu ili baba yenu awaone mlipo." Watoto wa Ngiri walikimbia kichakani kwa kasi walivyoweza. Simba alihisi uchungu akamsihi Ngiri tena amsaidie, "Nitakufanyia lolote utakalo ukiniokoa." Ngiri hakumwamini Simba. Alimwambia, "La! Sitathubutu, wewe ni muongo! Nitawaonya wanyama wengine pia ili waepuke na ujanja wako." Ngiri aliwaona watoto wake na mama yao wakikimbia katika mstari mmoja. Waliinua mikia yao ili awaone. Ngiri alijiunga nao wakatorokea mahali pa usalama. Hii ndiyo sababu ngiri huinua mikia yao wanapokimbia kuhakikisha usalama wa kila mmoja wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba na Ngiri Author - South African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simba alinaswa katika mtego wa nani?
{ "text": [ "Mwindaji" ] }
2439_swa
Simba na Ngiri Hapo zamani za kale, Simba alikuwa mwenye nguvu aliyeogopwa kuliko wanyama wote. Angeweza kuwashika wanyama wengine na kuwala. Asubuhi moja alipokuwa akitafuta kifungua kinywa, alinaswa katika mtego wa mwindaji. Simba alipiga mayowe kwa uchungu. Alivuta ili kujinasua kutoka mtegoni. Mtego ulinasa mguu zaidi kila alipovuta. Mwishowe, Simba alipokuwa amechoka na kuhisi uchungu, alikata tamaa. Siku zilivyopita ndivyo Simba alichomwa kwa jua. Alihisi njaa na kiu na wala hakuwa na mwokozi. Alipozidi kuwa mnyonge aliwaza, "Nitakufa kwa njaa na kiu." Asubuhi moja, Simba alisikia sauti kichakani. Alisikiliza na kuchunguza kwa karibu. Aliona Ngiri akitembea na mkwewe na watoto wakizungumza na kucheka. Ngiri na familia yake walikuwa wanaenda mtoni kunywa maji na kucheza topeni kabla ya jua kuwa kali. "Ngiri, tafadhali niokoe kutoka mtegoni." Simba alimsihi. "Kamwe sitakuokoa! Wewe mnyama katili. Nikikuokoa utanila mimi na familia yangu kama kifungua kinywa." "Naahidi kamwe sitatenda jambo ovu kama hilo. Tutakuwa marafiki ukiniokoa," Simba alisema. Ngiri alimwonea Simba huruma akasema, "Sifurahii ukihisi uchungu, kiu na kuwa karibu kufa kwa njaa." Kwa hivyo, alitumia pembe zake akavuta na kumwokoa Simba. Ngiri akampata rafiki mpya. Simba alisema, "Asante sana rafiki yangu kwa kuniokoa. Ninaenda kwa familia yangu sasa, kwa heri." "Nenda salama rafiki yangu," Ngiri alimjibu. Ngiri alifurahi kwamba Simba alikuwa rafiki yake. "Familia yangu haitamtoroka tena simba," aliwaza. Simba aliondoka akichechemea kwa unyonge. Alihisi njaa sana. Aliwaona watoto wa Ngiri wakicheza topeni. Alipowaangalia, alidondokwa na mate akafikiria, "Leo nina bahati." Simba alimwita Ngiri, rafikiye mpya, "Nilikuwa nimenaswa mtegoni kwa siku nyingi bila chakula. Sina nguvu za kuwinda kwa sasa. Naomba unipatie mmoja wa watoto wako kuwa kifungua kinywa changu?" Ngiri alishtuka akasema, "Nilikuokoa kutoka mtegoni na sasa unataka kuwala wanangu?" Simba alimjibu, "Nasikitika rafiki yangu, lakini nina njaa. Elewa kwamba ingawa mimi ni mnyonge sasa mimi ni mwenye nguvu kukuliko wewe." Simba alifungua kinywa chake na kuonyesha meno yake. "Usiponipatia mmoja wa watoto wako kwa hiari, mwenyewe nitamchukua mmoja," alinguruma. Ngiri alifahamu kuwa hakuwa na mbio wala nguvu za Simba. Hangeweza kuwalinda wanawe katika vita. "Nitakupatia mwanangu mmoja baada ya wewe kunionyesha jinsi ulivyonaswa mtegoni. Itanisaidia kumwokoa simba mwingine," Ngiri alisema. Simba hangeweza kusubiri kumla ngiri mchanga. Aliuweka mguu wake ndani ya mtego kumwonyesha rafiki yake jinsi alivyonaswa. "Ui!" Simba alinguruma. Ngiri alikaza mtego kwenye mguu wa simba akisema, "Aha! Nimekupata. Utakaa mtegoni kwa njaa na kiu tena. Tuone ikiwa meno yako makali na yenye nguvu yatakusaidia sasa." Mkewe Ngiri aliwaambia wanawe, "Kimbieni! Inueni mikia yenu ili baba yenu awaone mlipo." Watoto wa Ngiri walikimbia kichakani kwa kasi walivyoweza. Simba alihisi uchungu akamsihi Ngiri tena amsaidie, "Nitakufanyia lolote utakalo ukiniokoa." Ngiri hakumwamini Simba. Alimwambia, "La! Sitathubutu, wewe ni muongo! Nitawaonya wanyama wengine pia ili waepuke na ujanja wako." Ngiri aliwaona watoto wake na mama yao wakikimbia katika mstari mmoja. Waliinua mikia yao ili awaone. Ngiri alijiunga nao wakatorokea mahali pa usalama. Hii ndiyo sababu ngiri huinua mikia yao wanapokimbia kuhakikisha usalama wa kila mmoja wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba na Ngiri Author - South African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simba alijaribu kufanya nini ili kujinasua kutoka kwa mtego?
{ "text": [ "Allijivuta" ] }
2439_swa
Simba na Ngiri Hapo zamani za kale, Simba alikuwa mwenye nguvu aliyeogopwa kuliko wanyama wote. Angeweza kuwashika wanyama wengine na kuwala. Asubuhi moja alipokuwa akitafuta kifungua kinywa, alinaswa katika mtego wa mwindaji. Simba alipiga mayowe kwa uchungu. Alivuta ili kujinasua kutoka mtegoni. Mtego ulinasa mguu zaidi kila alipovuta. Mwishowe, Simba alipokuwa amechoka na kuhisi uchungu, alikata tamaa. Siku zilivyopita ndivyo Simba alichomwa kwa jua. Alihisi njaa na kiu na wala hakuwa na mwokozi. Alipozidi kuwa mnyonge aliwaza, "Nitakufa kwa njaa na kiu." Asubuhi moja, Simba alisikia sauti kichakani. Alisikiliza na kuchunguza kwa karibu. Aliona Ngiri akitembea na mkwewe na watoto wakizungumza na kucheka. Ngiri na familia yake walikuwa wanaenda mtoni kunywa maji na kucheza topeni kabla ya jua kuwa kali. "Ngiri, tafadhali niokoe kutoka mtegoni." Simba alimsihi. "Kamwe sitakuokoa! Wewe mnyama katili. Nikikuokoa utanila mimi na familia yangu kama kifungua kinywa." "Naahidi kamwe sitatenda jambo ovu kama hilo. Tutakuwa marafiki ukiniokoa," Simba alisema. Ngiri alimwonea Simba huruma akasema, "Sifurahii ukihisi uchungu, kiu na kuwa karibu kufa kwa njaa." Kwa hivyo, alitumia pembe zake akavuta na kumwokoa Simba. Ngiri akampata rafiki mpya. Simba alisema, "Asante sana rafiki yangu kwa kuniokoa. Ninaenda kwa familia yangu sasa, kwa heri." "Nenda salama rafiki yangu," Ngiri alimjibu. Ngiri alifurahi kwamba Simba alikuwa rafiki yake. "Familia yangu haitamtoroka tena simba," aliwaza. Simba aliondoka akichechemea kwa unyonge. Alihisi njaa sana. Aliwaona watoto wa Ngiri wakicheza topeni. Alipowaangalia, alidondokwa na mate akafikiria, "Leo nina bahati." Simba alimwita Ngiri, rafikiye mpya, "Nilikuwa nimenaswa mtegoni kwa siku nyingi bila chakula. Sina nguvu za kuwinda kwa sasa. Naomba unipatie mmoja wa watoto wako kuwa kifungua kinywa changu?" Ngiri alishtuka akasema, "Nilikuokoa kutoka mtegoni na sasa unataka kuwala wanangu?" Simba alimjibu, "Nasikitika rafiki yangu, lakini nina njaa. Elewa kwamba ingawa mimi ni mnyonge sasa mimi ni mwenye nguvu kukuliko wewe." Simba alifungua kinywa chake na kuonyesha meno yake. "Usiponipatia mmoja wa watoto wako kwa hiari, mwenyewe nitamchukua mmoja," alinguruma. Ngiri alifahamu kuwa hakuwa na mbio wala nguvu za Simba. Hangeweza kuwalinda wanawe katika vita. "Nitakupatia mwanangu mmoja baada ya wewe kunionyesha jinsi ulivyonaswa mtegoni. Itanisaidia kumwokoa simba mwingine," Ngiri alisema. Simba hangeweza kusubiri kumla ngiri mchanga. Aliuweka mguu wake ndani ya mtego kumwonyesha rafiki yake jinsi alivyonaswa. "Ui!" Simba alinguruma. Ngiri alikaza mtego kwenye mguu wa simba akisema, "Aha! Nimekupata. Utakaa mtegoni kwa njaa na kiu tena. Tuone ikiwa meno yako makali na yenye nguvu yatakusaidia sasa." Mkewe Ngiri aliwaambia wanawe, "Kimbieni! Inueni mikia yenu ili baba yenu awaone mlipo." Watoto wa Ngiri walikimbia kichakani kwa kasi walivyoweza. Simba alihisi uchungu akamsihi Ngiri tena amsaidie, "Nitakufanyia lolote utakalo ukiniokoa." Ngiri hakumwamini Simba. Alimwambia, "La! Sitathubutu, wewe ni muongo! Nitawaonya wanyama wengine pia ili waepuke na ujanja wako." Ngiri aliwaona watoto wake na mama yao wakikimbia katika mstari mmoja. Waliinua mikia yao ili awaone. Ngiri alijiunga nao wakatorokea mahali pa usalama. Hii ndiyo sababu ngiri huinua mikia yao wanapokimbia kuhakikisha usalama wa kila mmoja wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba na Ngiri Author - South African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simba aliona nani akitembea na kuzungumza na familia yake?
{ "text": [ "Ngiri" ] }
2439_swa
Simba na Ngiri Hapo zamani za kale, Simba alikuwa mwenye nguvu aliyeogopwa kuliko wanyama wote. Angeweza kuwashika wanyama wengine na kuwala. Asubuhi moja alipokuwa akitafuta kifungua kinywa, alinaswa katika mtego wa mwindaji. Simba alipiga mayowe kwa uchungu. Alivuta ili kujinasua kutoka mtegoni. Mtego ulinasa mguu zaidi kila alipovuta. Mwishowe, Simba alipokuwa amechoka na kuhisi uchungu, alikata tamaa. Siku zilivyopita ndivyo Simba alichomwa kwa jua. Alihisi njaa na kiu na wala hakuwa na mwokozi. Alipozidi kuwa mnyonge aliwaza, "Nitakufa kwa njaa na kiu." Asubuhi moja, Simba alisikia sauti kichakani. Alisikiliza na kuchunguza kwa karibu. Aliona Ngiri akitembea na mkwewe na watoto wakizungumza na kucheka. Ngiri na familia yake walikuwa wanaenda mtoni kunywa maji na kucheza topeni kabla ya jua kuwa kali. "Ngiri, tafadhali niokoe kutoka mtegoni." Simba alimsihi. "Kamwe sitakuokoa! Wewe mnyama katili. Nikikuokoa utanila mimi na familia yangu kama kifungua kinywa." "Naahidi kamwe sitatenda jambo ovu kama hilo. Tutakuwa marafiki ukiniokoa," Simba alisema. Ngiri alimwonea Simba huruma akasema, "Sifurahii ukihisi uchungu, kiu na kuwa karibu kufa kwa njaa." Kwa hivyo, alitumia pembe zake akavuta na kumwokoa Simba. Ngiri akampata rafiki mpya. Simba alisema, "Asante sana rafiki yangu kwa kuniokoa. Ninaenda kwa familia yangu sasa, kwa heri." "Nenda salama rafiki yangu," Ngiri alimjibu. Ngiri alifurahi kwamba Simba alikuwa rafiki yake. "Familia yangu haitamtoroka tena simba," aliwaza. Simba aliondoka akichechemea kwa unyonge. Alihisi njaa sana. Aliwaona watoto wa Ngiri wakicheza topeni. Alipowaangalia, alidondokwa na mate akafikiria, "Leo nina bahati." Simba alimwita Ngiri, rafikiye mpya, "Nilikuwa nimenaswa mtegoni kwa siku nyingi bila chakula. Sina nguvu za kuwinda kwa sasa. Naomba unipatie mmoja wa watoto wako kuwa kifungua kinywa changu?" Ngiri alishtuka akasema, "Nilikuokoa kutoka mtegoni na sasa unataka kuwala wanangu?" Simba alimjibu, "Nasikitika rafiki yangu, lakini nina njaa. Elewa kwamba ingawa mimi ni mnyonge sasa mimi ni mwenye nguvu kukuliko wewe." Simba alifungua kinywa chake na kuonyesha meno yake. "Usiponipatia mmoja wa watoto wako kwa hiari, mwenyewe nitamchukua mmoja," alinguruma. Ngiri alifahamu kuwa hakuwa na mbio wala nguvu za Simba. Hangeweza kuwalinda wanawe katika vita. "Nitakupatia mwanangu mmoja baada ya wewe kunionyesha jinsi ulivyonaswa mtegoni. Itanisaidia kumwokoa simba mwingine," Ngiri alisema. Simba hangeweza kusubiri kumla ngiri mchanga. Aliuweka mguu wake ndani ya mtego kumwonyesha rafiki yake jinsi alivyonaswa. "Ui!" Simba alinguruma. Ngiri alikaza mtego kwenye mguu wa simba akisema, "Aha! Nimekupata. Utakaa mtegoni kwa njaa na kiu tena. Tuone ikiwa meno yako makali na yenye nguvu yatakusaidia sasa." Mkewe Ngiri aliwaambia wanawe, "Kimbieni! Inueni mikia yenu ili baba yenu awaone mlipo." Watoto wa Ngiri walikimbia kichakani kwa kasi walivyoweza. Simba alihisi uchungu akamsihi Ngiri tena amsaidie, "Nitakufanyia lolote utakalo ukiniokoa." Ngiri hakumwamini Simba. Alimwambia, "La! Sitathubutu, wewe ni muongo! Nitawaonya wanyama wengine pia ili waepuke na ujanja wako." Ngiri aliwaona watoto wake na mama yao wakikimbia katika mstari mmoja. Waliinua mikia yao ili awaone. Ngiri alijiunga nao wakatorokea mahali pa usalama. Hii ndiyo sababu ngiri huinua mikia yao wanapokimbia kuhakikisha usalama wa kila mmoja wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simba na Ngiri Author - South African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Simba alitaka kumla nani kama kifungua kinywa chake?
{ "text": [ "Mmoja wa watoto wa Ngiri" ] }
2440_swa
Simbi ampata mama mpya Mama yake Simbi aliaga dunia. Simbi na baba yake walisaidiana. Siku moja, baba yake Simbi alikwenda nyumbani na mwanamke. Aliitwa Anita. Baba yake alimtaka Simbi kumkubali Anita kama mama yake. Simbi hakufurahi. Alipata faraja kwa kulishika blanketi la mama yake. Baba yake Simbi alienda kufanya kazi mbali. Anita na Simbi hawakufurahi. Anita alizoea kumpiga Simbi. Wakati mwingine, alimnyima chakula. Anita alimvuta Simbi kutoka kitandani. Blanketi la mama yake liliraruka. Simbi alitoroka nyumbani. Alilibeba lile blanketi pamoja na chakula. Alipanda akaketi juu ya mti. Alimwimbia mama yake wimbo. Mwanamke mmoja aliusikiliza wimbo huo kwa makini. Alifahamu kuwa Simbi ni mtoto wa ndugu yake. Simbi alienda na shangazi yake. Alikula na kulala vizuri. Baba aliporudi nyumbani, hakumkuta Simbi. "Unaweza kuishi na shangazi yako wakati wowote unapotaka." Baba alisema. Anita na Simbi walianza kupendana. Anita aliwapikia chakula. Simbi alijua angerudi nyumbani wakati wowote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simbi ampata mama mpya Author - Rukia Nantale Translation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliaga dunia
{ "text": [ "mama yake Simbi" ] }
2440_swa
Simbi ampata mama mpya Mama yake Simbi aliaga dunia. Simbi na baba yake walisaidiana. Siku moja, baba yake Simbi alikwenda nyumbani na mwanamke. Aliitwa Anita. Baba yake alimtaka Simbi kumkubali Anita kama mama yake. Simbi hakufurahi. Alipata faraja kwa kulishika blanketi la mama yake. Baba yake Simbi alienda kufanya kazi mbali. Anita na Simbi hawakufurahi. Anita alizoea kumpiga Simbi. Wakati mwingine, alimnyima chakula. Anita alimvuta Simbi kutoka kitandani. Blanketi la mama yake liliraruka. Simbi alitoroka nyumbani. Alilibeba lile blanketi pamoja na chakula. Alipanda akaketi juu ya mti. Alimwimbia mama yake wimbo. Mwanamke mmoja aliusikiliza wimbo huo kwa makini. Alifahamu kuwa Simbi ni mtoto wa ndugu yake. Simbi alienda na shangazi yake. Alikula na kulala vizuri. Baba aliporudi nyumbani, hakumkuta Simbi. "Unaweza kuishi na shangazi yako wakati wowote unapotaka." Baba alisema. Anita na Simbi walianza kupendana. Anita aliwapikia chakula. Simbi alijua angerudi nyumbani wakati wowote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simbi ampata mama mpya Author - Rukia Nantale Translation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba yake Simbi alikwenda nyumbani na nani
{ "text": [ "mwanamke aliyeitwa Anita" ] }
2440_swa
Simbi ampata mama mpya Mama yake Simbi aliaga dunia. Simbi na baba yake walisaidiana. Siku moja, baba yake Simbi alikwenda nyumbani na mwanamke. Aliitwa Anita. Baba yake alimtaka Simbi kumkubali Anita kama mama yake. Simbi hakufurahi. Alipata faraja kwa kulishika blanketi la mama yake. Baba yake Simbi alienda kufanya kazi mbali. Anita na Simbi hawakufurahi. Anita alizoea kumpiga Simbi. Wakati mwingine, alimnyima chakula. Anita alimvuta Simbi kutoka kitandani. Blanketi la mama yake liliraruka. Simbi alitoroka nyumbani. Alilibeba lile blanketi pamoja na chakula. Alipanda akaketi juu ya mti. Alimwimbia mama yake wimbo. Mwanamke mmoja aliusikiliza wimbo huo kwa makini. Alifahamu kuwa Simbi ni mtoto wa ndugu yake. Simbi alienda na shangazi yake. Alikula na kulala vizuri. Baba aliporudi nyumbani, hakumkuta Simbi. "Unaweza kuishi na shangazi yako wakati wowote unapotaka." Baba alisema. Anita na Simbi walianza kupendana. Anita aliwapikia chakula. Simbi alijua angerudi nyumbani wakati wowote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simbi ampata mama mpya Author - Rukia Nantale Translation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba alimtaka Simbi amkubali Anita kama nani
{ "text": [ "mama yake" ] }
2440_swa
Simbi ampata mama mpya Mama yake Simbi aliaga dunia. Simbi na baba yake walisaidiana. Siku moja, baba yake Simbi alikwenda nyumbani na mwanamke. Aliitwa Anita. Baba yake alimtaka Simbi kumkubali Anita kama mama yake. Simbi hakufurahi. Alipata faraja kwa kulishika blanketi la mama yake. Baba yake Simbi alienda kufanya kazi mbali. Anita na Simbi hawakufurahi. Anita alizoea kumpiga Simbi. Wakati mwingine, alimnyima chakula. Anita alimvuta Simbi kutoka kitandani. Blanketi la mama yake liliraruka. Simbi alitoroka nyumbani. Alilibeba lile blanketi pamoja na chakula. Alipanda akaketi juu ya mti. Alimwimbia mama yake wimbo. Mwanamke mmoja aliusikiliza wimbo huo kwa makini. Alifahamu kuwa Simbi ni mtoto wa ndugu yake. Simbi alienda na shangazi yake. Alikula na kulala vizuri. Baba aliporudi nyumbani, hakumkuta Simbi. "Unaweza kuishi na shangazi yako wakati wowote unapotaka." Baba alisema. Anita na Simbi walianza kupendana. Anita aliwapikia chakula. Simbi alijua angerudi nyumbani wakati wowote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simbi ampata mama mpya Author - Rukia Nantale Translation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni lini baba hakumkuta Simbi
{ "text": [ "aliporudi nyumbani" ] }
2440_swa
Simbi ampata mama mpya Mama yake Simbi aliaga dunia. Simbi na baba yake walisaidiana. Siku moja, baba yake Simbi alikwenda nyumbani na mwanamke. Aliitwa Anita. Baba yake alimtaka Simbi kumkubali Anita kama mama yake. Simbi hakufurahi. Alipata faraja kwa kulishika blanketi la mama yake. Baba yake Simbi alienda kufanya kazi mbali. Anita na Simbi hawakufurahi. Anita alizoea kumpiga Simbi. Wakati mwingine, alimnyima chakula. Anita alimvuta Simbi kutoka kitandani. Blanketi la mama yake liliraruka. Simbi alitoroka nyumbani. Alilibeba lile blanketi pamoja na chakula. Alipanda akaketi juu ya mti. Alimwimbia mama yake wimbo. Mwanamke mmoja aliusikiliza wimbo huo kwa makini. Alifahamu kuwa Simbi ni mtoto wa ndugu yake. Simbi alienda na shangazi yake. Alikula na kulala vizuri. Baba aliporudi nyumbani, hakumkuta Simbi. "Unaweza kuishi na shangazi yako wakati wowote unapotaka." Baba alisema. Anita na Simbi walianza kupendana. Anita aliwapikia chakula. Simbi alijua angerudi nyumbani wakati wowote. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Simbi ampata mama mpya Author - Rukia Nantale Translation - Ursula Nafula Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Simbi alitoroka nyumbani
{ "text": [ "Anita alizoea kumpiga na wakati mwingine kumnyima chakula" ] }
2444_swa
Sungura chini ya mti Sungura alikuwa amelala chini ya mtofaa. Tofaa lilianguka chini kutoka tawi moja. Sungura aliisikia sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!' Sungura aliamka, na bila kukawia, akaanza kukimbia mbio sana. Sungura alikutana na Kuku. "Mbona unakimbia?" Kuku alimwuliza. Sungura akamjibu, "Sijui. Nilisikia tu kitu kikianguka nayo sauti ikasema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Kuku alishituka akaanza kukimbia aliposikia maneno aliyosema Sungura. Walikutana na Mbwa akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Kuku akamjibu, "Sijui. Nilisikia Sungura akipiga makelele naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Mbwa akashangaa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Walikutana na Farasi akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Mbwa akamjibu, "Sijui. Nilisikia Kuku akisema hajui na wala Sungura hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Farasi naye akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa na Kuku. Walikutana na Punda akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Farasi alimjibu, "Sijui. Nilimsikia Mbwa akisema hajui. Yeye alimsikia Kuku ambaye hajui. Kuku naye alimsikia Sungura ambaye pia hajui. Sungura alisikia tu kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Basi Punda pia akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku na Farasi. Walikutana na Ng'ombe akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Punda alimjibu, "Sijui. Nilisikia alivyosema Farasi, naye hajui. Yeye alisikia Mbwa na Mbwa hajui. Alimsikia Kuku naye Kuku hajui. Alimsikia Sungura naye pia hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Ng'ombe akapata wasiwasi na akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku, Farasi na Punda. Walikutana na Paka akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Ng'ombe alijibu, "Sijui. Nilisikia tu alivyosema Punda naye hajui. Yeye alimsikia Farasi naye Farasi hajui. Alimsikia Mbwa ambaye hajui. Yeye alimsikia Kuku na Kuku hajui. Kuku alimsikia Sungura ambaye hajui ila alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Paka naye akaanza kukimbia pamoja na wanyama wengine. Walikutana na mvulana aliyekuwa amepanda baiskeli. Mvulana aliwauliza, "Mbona nyote mnakimbia?" Wanyama walimjibu, "Hatujui. Tulimsikia Sungura alivyosema naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Mvulana yule aliangua kicheko akasema, "Upepo uliangusha tofaa. Mimi ndiye nilisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura chini ya mti Author - Phumy Zikode Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alimwuliza sungura kwa nini alikuwa anakimbia
{ "text": [ "Kuku" ] }
2444_swa
Sungura chini ya mti Sungura alikuwa amelala chini ya mtofaa. Tofaa lilianguka chini kutoka tawi moja. Sungura aliisikia sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!' Sungura aliamka, na bila kukawia, akaanza kukimbia mbio sana. Sungura alikutana na Kuku. "Mbona unakimbia?" Kuku alimwuliza. Sungura akamjibu, "Sijui. Nilisikia tu kitu kikianguka nayo sauti ikasema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Kuku alishituka akaanza kukimbia aliposikia maneno aliyosema Sungura. Walikutana na Mbwa akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Kuku akamjibu, "Sijui. Nilisikia Sungura akipiga makelele naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Mbwa akashangaa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Walikutana na Farasi akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Mbwa akamjibu, "Sijui. Nilisikia Kuku akisema hajui na wala Sungura hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Farasi naye akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa na Kuku. Walikutana na Punda akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Farasi alimjibu, "Sijui. Nilimsikia Mbwa akisema hajui. Yeye alimsikia Kuku ambaye hajui. Kuku naye alimsikia Sungura ambaye pia hajui. Sungura alisikia tu kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Basi Punda pia akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku na Farasi. Walikutana na Ng'ombe akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Punda alimjibu, "Sijui. Nilisikia alivyosema Farasi, naye hajui. Yeye alisikia Mbwa na Mbwa hajui. Alimsikia Kuku naye Kuku hajui. Alimsikia Sungura naye pia hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Ng'ombe akapata wasiwasi na akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku, Farasi na Punda. Walikutana na Paka akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Ng'ombe alijibu, "Sijui. Nilisikia tu alivyosema Punda naye hajui. Yeye alimsikia Farasi naye Farasi hajui. Alimsikia Mbwa ambaye hajui. Yeye alimsikia Kuku na Kuku hajui. Kuku alimsikia Sungura ambaye hajui ila alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Paka naye akaanza kukimbia pamoja na wanyama wengine. Walikutana na mvulana aliyekuwa amepanda baiskeli. Mvulana aliwauliza, "Mbona nyote mnakimbia?" Wanyama walimjibu, "Hatujui. Tulimsikia Sungura alivyosema naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Mvulana yule aliangua kicheko akasema, "Upepo uliangusha tofaa. Mimi ndiye nilisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura chini ya mti Author - Phumy Zikode Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kuku na sungura walivyokuwa wanakimbia walikutana na mnyama yupi
{ "text": [ "Mbwa" ] }
2444_swa
Sungura chini ya mti Sungura alikuwa amelala chini ya mtofaa. Tofaa lilianguka chini kutoka tawi moja. Sungura aliisikia sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!' Sungura aliamka, na bila kukawia, akaanza kukimbia mbio sana. Sungura alikutana na Kuku. "Mbona unakimbia?" Kuku alimwuliza. Sungura akamjibu, "Sijui. Nilisikia tu kitu kikianguka nayo sauti ikasema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Kuku alishituka akaanza kukimbia aliposikia maneno aliyosema Sungura. Walikutana na Mbwa akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Kuku akamjibu, "Sijui. Nilisikia Sungura akipiga makelele naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Mbwa akashangaa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Walikutana na Farasi akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Mbwa akamjibu, "Sijui. Nilisikia Kuku akisema hajui na wala Sungura hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Farasi naye akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa na Kuku. Walikutana na Punda akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Farasi alimjibu, "Sijui. Nilimsikia Mbwa akisema hajui. Yeye alimsikia Kuku ambaye hajui. Kuku naye alimsikia Sungura ambaye pia hajui. Sungura alisikia tu kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Basi Punda pia akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku na Farasi. Walikutana na Ng'ombe akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Punda alimjibu, "Sijui. Nilisikia alivyosema Farasi, naye hajui. Yeye alisikia Mbwa na Mbwa hajui. Alimsikia Kuku naye Kuku hajui. Alimsikia Sungura naye pia hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Ng'ombe akapata wasiwasi na akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku, Farasi na Punda. Walikutana na Paka akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Ng'ombe alijibu, "Sijui. Nilisikia tu alivyosema Punda naye hajui. Yeye alimsikia Farasi naye Farasi hajui. Alimsikia Mbwa ambaye hajui. Yeye alimsikia Kuku na Kuku hajui. Kuku alimsikia Sungura ambaye hajui ila alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Paka naye akaanza kukimbia pamoja na wanyama wengine. Walikutana na mvulana aliyekuwa amepanda baiskeli. Mvulana aliwauliza, "Mbona nyote mnakimbia?" Wanyama walimjibu, "Hatujui. Tulimsikia Sungura alivyosema naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Mvulana yule aliangua kicheko akasema, "Upepo uliangusha tofaa. Mimi ndiye nilisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura chini ya mti Author - Phumy Zikode Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliyesema kimbia, upepo ulivyoangusha tofaa
{ "text": [ "Mvulana" ] }
2444_swa
Sungura chini ya mti Sungura alikuwa amelala chini ya mtofaa. Tofaa lilianguka chini kutoka tawi moja. Sungura aliisikia sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!' Sungura aliamka, na bila kukawia, akaanza kukimbia mbio sana. Sungura alikutana na Kuku. "Mbona unakimbia?" Kuku alimwuliza. Sungura akamjibu, "Sijui. Nilisikia tu kitu kikianguka nayo sauti ikasema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Kuku alishituka akaanza kukimbia aliposikia maneno aliyosema Sungura. Walikutana na Mbwa akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Kuku akamjibu, "Sijui. Nilisikia Sungura akipiga makelele naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Mbwa akashangaa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Walikutana na Farasi akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Mbwa akamjibu, "Sijui. Nilisikia Kuku akisema hajui na wala Sungura hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Farasi naye akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa na Kuku. Walikutana na Punda akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Farasi alimjibu, "Sijui. Nilimsikia Mbwa akisema hajui. Yeye alimsikia Kuku ambaye hajui. Kuku naye alimsikia Sungura ambaye pia hajui. Sungura alisikia tu kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Basi Punda pia akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku na Farasi. Walikutana na Ng'ombe akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Punda alimjibu, "Sijui. Nilisikia alivyosema Farasi, naye hajui. Yeye alisikia Mbwa na Mbwa hajui. Alimsikia Kuku naye Kuku hajui. Alimsikia Sungura naye pia hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Ng'ombe akapata wasiwasi na akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku, Farasi na Punda. Walikutana na Paka akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Ng'ombe alijibu, "Sijui. Nilisikia tu alivyosema Punda naye hajui. Yeye alimsikia Farasi naye Farasi hajui. Alimsikia Mbwa ambaye hajui. Yeye alimsikia Kuku na Kuku hajui. Kuku alimsikia Sungura ambaye hajui ila alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Paka naye akaanza kukimbia pamoja na wanyama wengine. Walikutana na mvulana aliyekuwa amepanda baiskeli. Mvulana aliwauliza, "Mbona nyote mnakimbia?" Wanyama walimjibu, "Hatujui. Tulimsikia Sungura alivyosema naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Mvulana yule aliangua kicheko akasema, "Upepo uliangusha tofaa. Mimi ndiye nilisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura chini ya mti Author - Phumy Zikode Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura aliandamana na wanyama wangapi akiwa katika harakati za kukimbia
{ "text": [ "Watano" ] }
2444_swa
Sungura chini ya mti Sungura alikuwa amelala chini ya mtofaa. Tofaa lilianguka chini kutoka tawi moja. Sungura aliisikia sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!' Sungura aliamka, na bila kukawia, akaanza kukimbia mbio sana. Sungura alikutana na Kuku. "Mbona unakimbia?" Kuku alimwuliza. Sungura akamjibu, "Sijui. Nilisikia tu kitu kikianguka nayo sauti ikasema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Kuku alishituka akaanza kukimbia aliposikia maneno aliyosema Sungura. Walikutana na Mbwa akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Kuku akamjibu, "Sijui. Nilisikia Sungura akipiga makelele naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Mbwa akashangaa akaanza kukimbia pamoja na Sungura na Kuku. Walikutana na Farasi akawauliza, "Mbona mnakimbia?" Mbwa akamjibu, "Sijui. Nilisikia Kuku akisema hajui na wala Sungura hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" Farasi naye akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa na Kuku. Walikutana na Punda akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Farasi alimjibu, "Sijui. Nilimsikia Mbwa akisema hajui. Yeye alimsikia Kuku ambaye hajui. Kuku naye alimsikia Sungura ambaye pia hajui. Sungura alisikia tu kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Basi Punda pia akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku na Farasi. Walikutana na Ng'ombe akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Punda alimjibu, "Sijui. Nilisikia alivyosema Farasi, naye hajui. Yeye alisikia Mbwa na Mbwa hajui. Alimsikia Kuku naye Kuku hajui. Alimsikia Sungura naye pia hajui. Sungura alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Ng'ombe akapata wasiwasi na akaanza kukimbia pamoja na Sungura, Mbwa, Kuku, Farasi na Punda. Walikutana na Paka akawauliza, "Kwa nini mnakimbia?" Ng'ombe alijibu, "Sijui. Nilisikia tu alivyosema Punda naye hajui. Yeye alimsikia Farasi naye Farasi hajui. Alimsikia Mbwa ambaye hajui. Yeye alimsikia Kuku na Kuku hajui. Kuku alimsikia Sungura ambaye hajui ila alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Paka naye akaanza kukimbia pamoja na wanyama wengine. Walikutana na mvulana aliyekuwa amepanda baiskeli. Mvulana aliwauliza, "Mbona nyote mnakimbia?" Wanyama walimjibu, "Hatujui. Tulimsikia Sungura alivyosema naye hajui. Alisikia kitu kikianguka na sauti ikisema, 'Kimbia, Sungura, kimbia!'" Mvulana yule aliangua kicheko akasema, "Upepo uliangusha tofaa. Mimi ndiye nilisema, 'Kimbia, Sungura kimbia!'" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura chini ya mti Author - Phumy Zikode Translation - Pete Mhunzi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura akianza kukimbia alikutana na ndege yupi
{ "text": [ "Kuku" ] }
2445_swa
Sungura Mjanja Siku moja Sungura alienda kutafuta chakula. Alikutana na Tembo akibeba asali mgongoni. Sungura alimwambia Tembo, "Tafadhali nibebe. Mimi ni mnyonge." Tembo alikubali Sungura akadakia mgongo wake. Sungura alianza kula asali ya Tembo! Asali ilianza kudondoka. Tembo alipouliza, Sungura alisema kuwa yalikuwa maji yaliyotoka kwenye kidonda chake. Waliufikia mto na kumkuta Kiboko akinywa maji. Sungura alitaka kujua kati ya Tembo na Kiboko, ni nani aliyekuwa na nguvu kumshinda mwingine. Walianza kubishana. Tembo alisema yeye ndiye mwenye nguvu zaidi naye Kiboko akasema ni yeye. Sungura alisema kuwa alijua jinsi ya kutambua aliyekuwa na nguvu zaidi. Aliwaambia wamsubiri. Sungura alirudi na kamba ndefu. Alimfunga Tembo kiunoni na kumwelekeza mbali na mto. Kisha Sungura akamfunga Kiboko kiunoni na kumuacha pale karibu na mto. Sungura alijificha mtini akawaambia, "Tayari! Moja, mbili, tatu! Vuta sasa!" Kiboko na Tembo walivutana. Tembo akamvuta Kiboko naye Kiboko akamvuta Tembo. Kiboko na Tembo wakavutana lakini, hakuna aliyeweza kushinda. Sungura aliendelea kula asali ya Tembo kule mtini. Alipomaliza kuila asali, aliikata kamba karibu sana na Kiboko. Tembo aliuangukia mti kwa kishindo. Sungura alimshangilia Kiboko akisema kwamba yeye ndiye mwenye nguvu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura Mjanja Author - Dan Kaasha Translation - Olenkotila Primary School Teachers Kajiado Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
nani alienda kutafuta chakula
{ "text": [ "Sungura" ] }
2445_swa
Sungura Mjanja Siku moja Sungura alienda kutafuta chakula. Alikutana na Tembo akibeba asali mgongoni. Sungura alimwambia Tembo, "Tafadhali nibebe. Mimi ni mnyonge." Tembo alikubali Sungura akadakia mgongo wake. Sungura alianza kula asali ya Tembo! Asali ilianza kudondoka. Tembo alipouliza, Sungura alisema kuwa yalikuwa maji yaliyotoka kwenye kidonda chake. Waliufikia mto na kumkuta Kiboko akinywa maji. Sungura alitaka kujua kati ya Tembo na Kiboko, ni nani aliyekuwa na nguvu kumshinda mwingine. Walianza kubishana. Tembo alisema yeye ndiye mwenye nguvu zaidi naye Kiboko akasema ni yeye. Sungura alisema kuwa alijua jinsi ya kutambua aliyekuwa na nguvu zaidi. Aliwaambia wamsubiri. Sungura alirudi na kamba ndefu. Alimfunga Tembo kiunoni na kumwelekeza mbali na mto. Kisha Sungura akamfunga Kiboko kiunoni na kumuacha pale karibu na mto. Sungura alijificha mtini akawaambia, "Tayari! Moja, mbili, tatu! Vuta sasa!" Kiboko na Tembo walivutana. Tembo akamvuta Kiboko naye Kiboko akamvuta Tembo. Kiboko na Tembo wakavutana lakini, hakuna aliyeweza kushinda. Sungura aliendelea kula asali ya Tembo kule mtini. Alipomaliza kuila asali, aliikata kamba karibu sana na Kiboko. Tembo aliuangukia mti kwa kishindo. Sungura alimshangilia Kiboko akisema kwamba yeye ndiye mwenye nguvu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura Mjanja Author - Dan Kaasha Translation - Olenkotila Primary School Teachers Kajiado Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
alikutana na Tembo akibeba nini mgongoni
{ "text": [ "asali" ] }
2445_swa
Sungura Mjanja Siku moja Sungura alienda kutafuta chakula. Alikutana na Tembo akibeba asali mgongoni. Sungura alimwambia Tembo, "Tafadhali nibebe. Mimi ni mnyonge." Tembo alikubali Sungura akadakia mgongo wake. Sungura alianza kula asali ya Tembo! Asali ilianza kudondoka. Tembo alipouliza, Sungura alisema kuwa yalikuwa maji yaliyotoka kwenye kidonda chake. Waliufikia mto na kumkuta Kiboko akinywa maji. Sungura alitaka kujua kati ya Tembo na Kiboko, ni nani aliyekuwa na nguvu kumshinda mwingine. Walianza kubishana. Tembo alisema yeye ndiye mwenye nguvu zaidi naye Kiboko akasema ni yeye. Sungura alisema kuwa alijua jinsi ya kutambua aliyekuwa na nguvu zaidi. Aliwaambia wamsubiri. Sungura alirudi na kamba ndefu. Alimfunga Tembo kiunoni na kumwelekeza mbali na mto. Kisha Sungura akamfunga Kiboko kiunoni na kumuacha pale karibu na mto. Sungura alijificha mtini akawaambia, "Tayari! Moja, mbili, tatu! Vuta sasa!" Kiboko na Tembo walivutana. Tembo akamvuta Kiboko naye Kiboko akamvuta Tembo. Kiboko na Tembo wakavutana lakini, hakuna aliyeweza kushinda. Sungura aliendelea kula asali ya Tembo kule mtini. Alipomaliza kuila asali, aliikata kamba karibu sana na Kiboko. Tembo aliuangukia mti kwa kishindo. Sungura alimshangilia Kiboko akisema kwamba yeye ndiye mwenye nguvu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura Mjanja Author - Dan Kaasha Translation - Olenkotila Primary School Teachers Kajiado Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
kiboko alikuwa akinywa nini
{ "text": [ "maji" ] }
2445_swa
Sungura Mjanja Siku moja Sungura alienda kutafuta chakula. Alikutana na Tembo akibeba asali mgongoni. Sungura alimwambia Tembo, "Tafadhali nibebe. Mimi ni mnyonge." Tembo alikubali Sungura akadakia mgongo wake. Sungura alianza kula asali ya Tembo! Asali ilianza kudondoka. Tembo alipouliza, Sungura alisema kuwa yalikuwa maji yaliyotoka kwenye kidonda chake. Waliufikia mto na kumkuta Kiboko akinywa maji. Sungura alitaka kujua kati ya Tembo na Kiboko, ni nani aliyekuwa na nguvu kumshinda mwingine. Walianza kubishana. Tembo alisema yeye ndiye mwenye nguvu zaidi naye Kiboko akasema ni yeye. Sungura alisema kuwa alijua jinsi ya kutambua aliyekuwa na nguvu zaidi. Aliwaambia wamsubiri. Sungura alirudi na kamba ndefu. Alimfunga Tembo kiunoni na kumwelekeza mbali na mto. Kisha Sungura akamfunga Kiboko kiunoni na kumuacha pale karibu na mto. Sungura alijificha mtini akawaambia, "Tayari! Moja, mbili, tatu! Vuta sasa!" Kiboko na Tembo walivutana. Tembo akamvuta Kiboko naye Kiboko akamvuta Tembo. Kiboko na Tembo wakavutana lakini, hakuna aliyeweza kushinda. Sungura aliendelea kula asali ya Tembo kule mtini. Alipomaliza kuila asali, aliikata kamba karibu sana na Kiboko. Tembo aliuangukia mti kwa kishindo. Sungura alimshangilia Kiboko akisema kwamba yeye ndiye mwenye nguvu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura Mjanja Author - Dan Kaasha Translation - Olenkotila Primary School Teachers Kajiado Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
sungura alirudi na kitu gani
{ "text": [ "kamba ndefu" ] }
2445_swa
Sungura Mjanja Siku moja Sungura alienda kutafuta chakula. Alikutana na Tembo akibeba asali mgongoni. Sungura alimwambia Tembo, "Tafadhali nibebe. Mimi ni mnyonge." Tembo alikubali Sungura akadakia mgongo wake. Sungura alianza kula asali ya Tembo! Asali ilianza kudondoka. Tembo alipouliza, Sungura alisema kuwa yalikuwa maji yaliyotoka kwenye kidonda chake. Waliufikia mto na kumkuta Kiboko akinywa maji. Sungura alitaka kujua kati ya Tembo na Kiboko, ni nani aliyekuwa na nguvu kumshinda mwingine. Walianza kubishana. Tembo alisema yeye ndiye mwenye nguvu zaidi naye Kiboko akasema ni yeye. Sungura alisema kuwa alijua jinsi ya kutambua aliyekuwa na nguvu zaidi. Aliwaambia wamsubiri. Sungura alirudi na kamba ndefu. Alimfunga Tembo kiunoni na kumwelekeza mbali na mto. Kisha Sungura akamfunga Kiboko kiunoni na kumuacha pale karibu na mto. Sungura alijificha mtini akawaambia, "Tayari! Moja, mbili, tatu! Vuta sasa!" Kiboko na Tembo walivutana. Tembo akamvuta Kiboko naye Kiboko akamvuta Tembo. Kiboko na Tembo wakavutana lakini, hakuna aliyeweza kushinda. Sungura aliendelea kula asali ya Tembo kule mtini. Alipomaliza kuila asali, aliikata kamba karibu sana na Kiboko. Tembo aliuangukia mti kwa kishindo. Sungura alimshangilia Kiboko akisema kwamba yeye ndiye mwenye nguvu zaidi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura Mjanja Author - Dan Kaasha Translation - Olenkotila Primary School Teachers Kajiado Illustration - Abraham Muzee Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
sungura alijificha wapi
{ "text": [ "mtini" ] }
2446_swa
Sungura na Fisi Hapo zamani Sungura na Fisi walikuwa marafiki wa chanda na pete. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Siku moja, Sungura alisema, "Rafiki, tuanze kulima pamoja ili tuwe tajiri." "Ah, kweli, tunaweza kupanda vyakula vingi na kuviuza," Fisi alimjibu. "Lakini, tutapanda nini?" Sungura aliuliza. Fisi alipendekeza wapande mahindi. Sungura alikubali kisha akamwambia Fisi kuwa wagawane majukumu. Sungura akasema, "Kazi yangu itakuwa kuwachunga ndege wasile mahindi." Fisi naye akasema kuwa kazi yake itakuwa kulima shamba, kupanda na kupalilia. Fisi alinung'unika kwamba alikuwa amepewa kazi nyingi. Sungura alisema kuwa kazi ya kuwafukuza ndege ndiyo ngumu zaidi na ya muhimu. Alisema, "Kazi yangu si rahisi. Nitakwea miti na kuwafukuza ndege mchana na usiku. Wewe huwezi kufanya hivyo." Fisi alikubaliana na Sungura. Alilima shamba peke yake. Baada ya kulima shamba lote, Fisi alipanda mahindi. Ilikuwa kazi nyingi kweli! Fisi alipokuwa akifanya kazi, Sungura aliketi na kuimba: Rafiki yangu ni mfanya kazi, mimi ni mwelekezi. Anafanya kazi kama trekta, mimi ni meneja. Udongo anaolima, milima anayolima, mbegu anazopanda, magugu anayokata, mahindi tunayovuna. Mahindi yalistawi. Sungura aliimba kwa furaha huku akiwafukuza ndege. Kazi yake ilikuwa rahisi. Hakutoa jasho hata kidogo. Walipokuwa tayari kuvuna, Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna kila kitu kinachomea juu ya udongo nawe utavuna kila kinachomea chini ya udongo." Fisi alidhani hilo lilikuwa wazo nzuri. Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna yangu kwanza kisha wewe uvune yako." Sungura alivuna mahindi yote na kuyahifadhi kwake. Fisi alienda kuvuna vitu vyote vilivyokuwa chini ya udongo. Hakupata mazao yoyote ila mizizi pekee. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alirejea nyumbani kwa hasira na vikapu tupu. Alimwambia Sungura, "Hebu rafiki yangu tulime pamoja mara nyingine." Fisi aliongeza kusema, "Mara hii nitavuna kila kinachomea juu ya ardhi nawe utavuna kila kinachomea chini ya ardhi." Sungura alikubali. Alisema kuwa badala ya kupanda mahindi ingekuwa heri kubadili na kupanda viazi. Fisi pia alisizitiza kwamba mara hiyo wote watalima, wapande na wavune pamoja. Sungura alikubali. Walifanya kazi shambani pamoja. Viazi vilipokuwa tayari, Sungura alimwambia Fisi kuvuna vyote vilivyomea juu ya udongo. Fisi alipata majani ya viazi pekee. Alirudi nyumbani na vikapu tupu. Sungura alivuna viazi vingi. Fisi alipoona mavuno ya Sungura, alimwuliza kwa hasira, "Mbona ulinidanganya?" Sungura alisema kuwa Fisi mwenyewe alichagua kuvuna vitu vilivyomea juu ya udongo. Fisi alikasirika mno. Alimfukuza Sungura kutaka kulipiza kisasi. Sungura alikimbia kwa kasi na kwenda zake. Tangu siku hiyo, Sungura na Fisi ni maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani walikua marafiki wa chanda na pete
{ "text": [ "Sungura na Fisi" ] }
2446_swa
Sungura na Fisi Hapo zamani Sungura na Fisi walikuwa marafiki wa chanda na pete. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Siku moja, Sungura alisema, "Rafiki, tuanze kulima pamoja ili tuwe tajiri." "Ah, kweli, tunaweza kupanda vyakula vingi na kuviuza," Fisi alimjibu. "Lakini, tutapanda nini?" Sungura aliuliza. Fisi alipendekeza wapande mahindi. Sungura alikubali kisha akamwambia Fisi kuwa wagawane majukumu. Sungura akasema, "Kazi yangu itakuwa kuwachunga ndege wasile mahindi." Fisi naye akasema kuwa kazi yake itakuwa kulima shamba, kupanda na kupalilia. Fisi alinung'unika kwamba alikuwa amepewa kazi nyingi. Sungura alisema kuwa kazi ya kuwafukuza ndege ndiyo ngumu zaidi na ya muhimu. Alisema, "Kazi yangu si rahisi. Nitakwea miti na kuwafukuza ndege mchana na usiku. Wewe huwezi kufanya hivyo." Fisi alikubaliana na Sungura. Alilima shamba peke yake. Baada ya kulima shamba lote, Fisi alipanda mahindi. Ilikuwa kazi nyingi kweli! Fisi alipokuwa akifanya kazi, Sungura aliketi na kuimba: Rafiki yangu ni mfanya kazi, mimi ni mwelekezi. Anafanya kazi kama trekta, mimi ni meneja. Udongo anaolima, milima anayolima, mbegu anazopanda, magugu anayokata, mahindi tunayovuna. Mahindi yalistawi. Sungura aliimba kwa furaha huku akiwafukuza ndege. Kazi yake ilikuwa rahisi. Hakutoa jasho hata kidogo. Walipokuwa tayari kuvuna, Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna kila kitu kinachomea juu ya udongo nawe utavuna kila kinachomea chini ya udongo." Fisi alidhani hilo lilikuwa wazo nzuri. Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna yangu kwanza kisha wewe uvune yako." Sungura alivuna mahindi yote na kuyahifadhi kwake. Fisi alienda kuvuna vitu vyote vilivyokuwa chini ya udongo. Hakupata mazao yoyote ila mizizi pekee. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alirejea nyumbani kwa hasira na vikapu tupu. Alimwambia Sungura, "Hebu rafiki yangu tulime pamoja mara nyingine." Fisi aliongeza kusema, "Mara hii nitavuna kila kinachomea juu ya ardhi nawe utavuna kila kinachomea chini ya ardhi." Sungura alikubali. Alisema kuwa badala ya kupanda mahindi ingekuwa heri kubadili na kupanda viazi. Fisi pia alisizitiza kwamba mara hiyo wote watalima, wapande na wavune pamoja. Sungura alikubali. Walifanya kazi shambani pamoja. Viazi vilipokuwa tayari, Sungura alimwambia Fisi kuvuna vyote vilivyomea juu ya udongo. Fisi alipata majani ya viazi pekee. Alirudi nyumbani na vikapu tupu. Sungura alivuna viazi vingi. Fisi alipoona mavuno ya Sungura, alimwuliza kwa hasira, "Mbona ulinidanganya?" Sungura alisema kuwa Fisi mwenyewe alichagua kuvuna vitu vilivyomea juu ya udongo. Fisi alikasirika mno. Alimfukuza Sungura kutaka kulipiza kisasi. Sungura alikimbia kwa kasi na kwenda zake. Tangu siku hiyo, Sungura na Fisi ni maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura na Fisi waliamua kupanda nini mara ya kwanza
{ "text": [ "mahindi" ] }
2446_swa
Sungura na Fisi Hapo zamani Sungura na Fisi walikuwa marafiki wa chanda na pete. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Siku moja, Sungura alisema, "Rafiki, tuanze kulima pamoja ili tuwe tajiri." "Ah, kweli, tunaweza kupanda vyakula vingi na kuviuza," Fisi alimjibu. "Lakini, tutapanda nini?" Sungura aliuliza. Fisi alipendekeza wapande mahindi. Sungura alikubali kisha akamwambia Fisi kuwa wagawane majukumu. Sungura akasema, "Kazi yangu itakuwa kuwachunga ndege wasile mahindi." Fisi naye akasema kuwa kazi yake itakuwa kulima shamba, kupanda na kupalilia. Fisi alinung'unika kwamba alikuwa amepewa kazi nyingi. Sungura alisema kuwa kazi ya kuwafukuza ndege ndiyo ngumu zaidi na ya muhimu. Alisema, "Kazi yangu si rahisi. Nitakwea miti na kuwafukuza ndege mchana na usiku. Wewe huwezi kufanya hivyo." Fisi alikubaliana na Sungura. Alilima shamba peke yake. Baada ya kulima shamba lote, Fisi alipanda mahindi. Ilikuwa kazi nyingi kweli! Fisi alipokuwa akifanya kazi, Sungura aliketi na kuimba: Rafiki yangu ni mfanya kazi, mimi ni mwelekezi. Anafanya kazi kama trekta, mimi ni meneja. Udongo anaolima, milima anayolima, mbegu anazopanda, magugu anayokata, mahindi tunayovuna. Mahindi yalistawi. Sungura aliimba kwa furaha huku akiwafukuza ndege. Kazi yake ilikuwa rahisi. Hakutoa jasho hata kidogo. Walipokuwa tayari kuvuna, Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna kila kitu kinachomea juu ya udongo nawe utavuna kila kinachomea chini ya udongo." Fisi alidhani hilo lilikuwa wazo nzuri. Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna yangu kwanza kisha wewe uvune yako." Sungura alivuna mahindi yote na kuyahifadhi kwake. Fisi alienda kuvuna vitu vyote vilivyokuwa chini ya udongo. Hakupata mazao yoyote ila mizizi pekee. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alirejea nyumbani kwa hasira na vikapu tupu. Alimwambia Sungura, "Hebu rafiki yangu tulime pamoja mara nyingine." Fisi aliongeza kusema, "Mara hii nitavuna kila kinachomea juu ya ardhi nawe utavuna kila kinachomea chini ya ardhi." Sungura alikubali. Alisema kuwa badala ya kupanda mahindi ingekuwa heri kubadili na kupanda viazi. Fisi pia alisizitiza kwamba mara hiyo wote watalima, wapande na wavune pamoja. Sungura alikubali. Walifanya kazi shambani pamoja. Viazi vilipokuwa tayari, Sungura alimwambia Fisi kuvuna vyote vilivyomea juu ya udongo. Fisi alipata majani ya viazi pekee. Alirudi nyumbani na vikapu tupu. Sungura alivuna viazi vingi. Fisi alipoona mavuno ya Sungura, alimwuliza kwa hasira, "Mbona ulinidanganya?" Sungura alisema kuwa Fisi mwenyewe alichagua kuvuna vitu vilivyomea juu ya udongo. Fisi alikasirika mno. Alimfukuza Sungura kutaka kulipiza kisasi. Sungura alikimbia kwa kasi na kwenda zake. Tangu siku hiyo, Sungura na Fisi ni maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kazi ya sungura kwa shamba ilikua nini
{ "text": [ "kuwafukuza ndege" ] }
2446_swa
Sungura na Fisi Hapo zamani Sungura na Fisi walikuwa marafiki wa chanda na pete. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Siku moja, Sungura alisema, "Rafiki, tuanze kulima pamoja ili tuwe tajiri." "Ah, kweli, tunaweza kupanda vyakula vingi na kuviuza," Fisi alimjibu. "Lakini, tutapanda nini?" Sungura aliuliza. Fisi alipendekeza wapande mahindi. Sungura alikubali kisha akamwambia Fisi kuwa wagawane majukumu. Sungura akasema, "Kazi yangu itakuwa kuwachunga ndege wasile mahindi." Fisi naye akasema kuwa kazi yake itakuwa kulima shamba, kupanda na kupalilia. Fisi alinung'unika kwamba alikuwa amepewa kazi nyingi. Sungura alisema kuwa kazi ya kuwafukuza ndege ndiyo ngumu zaidi na ya muhimu. Alisema, "Kazi yangu si rahisi. Nitakwea miti na kuwafukuza ndege mchana na usiku. Wewe huwezi kufanya hivyo." Fisi alikubaliana na Sungura. Alilima shamba peke yake. Baada ya kulima shamba lote, Fisi alipanda mahindi. Ilikuwa kazi nyingi kweli! Fisi alipokuwa akifanya kazi, Sungura aliketi na kuimba: Rafiki yangu ni mfanya kazi, mimi ni mwelekezi. Anafanya kazi kama trekta, mimi ni meneja. Udongo anaolima, milima anayolima, mbegu anazopanda, magugu anayokata, mahindi tunayovuna. Mahindi yalistawi. Sungura aliimba kwa furaha huku akiwafukuza ndege. Kazi yake ilikuwa rahisi. Hakutoa jasho hata kidogo. Walipokuwa tayari kuvuna, Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna kila kitu kinachomea juu ya udongo nawe utavuna kila kinachomea chini ya udongo." Fisi alidhani hilo lilikuwa wazo nzuri. Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna yangu kwanza kisha wewe uvune yako." Sungura alivuna mahindi yote na kuyahifadhi kwake. Fisi alienda kuvuna vitu vyote vilivyokuwa chini ya udongo. Hakupata mazao yoyote ila mizizi pekee. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alirejea nyumbani kwa hasira na vikapu tupu. Alimwambia Sungura, "Hebu rafiki yangu tulime pamoja mara nyingine." Fisi aliongeza kusema, "Mara hii nitavuna kila kinachomea juu ya ardhi nawe utavuna kila kinachomea chini ya ardhi." Sungura alikubali. Alisema kuwa badala ya kupanda mahindi ingekuwa heri kubadili na kupanda viazi. Fisi pia alisizitiza kwamba mara hiyo wote watalima, wapande na wavune pamoja. Sungura alikubali. Walifanya kazi shambani pamoja. Viazi vilipokuwa tayari, Sungura alimwambia Fisi kuvuna vyote vilivyomea juu ya udongo. Fisi alipata majani ya viazi pekee. Alirudi nyumbani na vikapu tupu. Sungura alivuna viazi vingi. Fisi alipoona mavuno ya Sungura, alimwuliza kwa hasira, "Mbona ulinidanganya?" Sungura alisema kuwa Fisi mwenyewe alichagua kuvuna vitu vilivyomea juu ya udongo. Fisi alikasirika mno. Alimfukuza Sungura kutaka kulipiza kisasi. Sungura alikimbia kwa kasi na kwenda zake. Tangu siku hiyo, Sungura na Fisi ni maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura alimwambia Fisi kuwa atavuna kinachomea juu ya udongo lini
{ "text": [ "walipokua tayari kuvuna" ] }
2446_swa
Sungura na Fisi Hapo zamani Sungura na Fisi walikuwa marafiki wa chanda na pete. Walifanya kazi na kucheza pamoja. Siku moja, Sungura alisema, "Rafiki, tuanze kulima pamoja ili tuwe tajiri." "Ah, kweli, tunaweza kupanda vyakula vingi na kuviuza," Fisi alimjibu. "Lakini, tutapanda nini?" Sungura aliuliza. Fisi alipendekeza wapande mahindi. Sungura alikubali kisha akamwambia Fisi kuwa wagawane majukumu. Sungura akasema, "Kazi yangu itakuwa kuwachunga ndege wasile mahindi." Fisi naye akasema kuwa kazi yake itakuwa kulima shamba, kupanda na kupalilia. Fisi alinung'unika kwamba alikuwa amepewa kazi nyingi. Sungura alisema kuwa kazi ya kuwafukuza ndege ndiyo ngumu zaidi na ya muhimu. Alisema, "Kazi yangu si rahisi. Nitakwea miti na kuwafukuza ndege mchana na usiku. Wewe huwezi kufanya hivyo." Fisi alikubaliana na Sungura. Alilima shamba peke yake. Baada ya kulima shamba lote, Fisi alipanda mahindi. Ilikuwa kazi nyingi kweli! Fisi alipokuwa akifanya kazi, Sungura aliketi na kuimba: Rafiki yangu ni mfanya kazi, mimi ni mwelekezi. Anafanya kazi kama trekta, mimi ni meneja. Udongo anaolima, milima anayolima, mbegu anazopanda, magugu anayokata, mahindi tunayovuna. Mahindi yalistawi. Sungura aliimba kwa furaha huku akiwafukuza ndege. Kazi yake ilikuwa rahisi. Hakutoa jasho hata kidogo. Walipokuwa tayari kuvuna, Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna kila kitu kinachomea juu ya udongo nawe utavuna kila kinachomea chini ya udongo." Fisi alidhani hilo lilikuwa wazo nzuri. Sungura alimwambia Fisi, "Nitavuna yangu kwanza kisha wewe uvune yako." Sungura alivuna mahindi yote na kuyahifadhi kwake. Fisi alienda kuvuna vitu vyote vilivyokuwa chini ya udongo. Hakupata mazao yoyote ila mizizi pekee. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alirejea nyumbani kwa hasira na vikapu tupu. Alimwambia Sungura, "Hebu rafiki yangu tulime pamoja mara nyingine." Fisi aliongeza kusema, "Mara hii nitavuna kila kinachomea juu ya ardhi nawe utavuna kila kinachomea chini ya ardhi." Sungura alikubali. Alisema kuwa badala ya kupanda mahindi ingekuwa heri kubadili na kupanda viazi. Fisi pia alisizitiza kwamba mara hiyo wote watalima, wapande na wavune pamoja. Sungura alikubali. Walifanya kazi shambani pamoja. Viazi vilipokuwa tayari, Sungura alimwambia Fisi kuvuna vyote vilivyomea juu ya udongo. Fisi alipata majani ya viazi pekee. Alirudi nyumbani na vikapu tupu. Sungura alivuna viazi vingi. Fisi alipoona mavuno ya Sungura, alimwuliza kwa hasira, "Mbona ulinidanganya?" Sungura alisema kuwa Fisi mwenyewe alichagua kuvuna vitu vilivyomea juu ya udongo. Fisi alikasirika mno. Alimfukuza Sungura kutaka kulipiza kisasi. Sungura alikimbia kwa kasi na kwenda zake. Tangu siku hiyo, Sungura na Fisi ni maadui. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi Author - Mutugi Kamundi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Sungura aliimba kwa furaha akiwafukuza ndege
{ "text": [ "kazi yake ilikua rahisi na hakutoa jasho hata kidogo" ] }
2447_swa
Sungura na Fisi wanapanda mimea Hapo zamani, Sungura na Fisi walikuwa marafiki wazuri. Sungura alimwambia Fisi, "Ningependa tulime pamoja." Sungura alionelea wapande mahindi na wagawane majukumu. Sungura alimwambia Fisi, "Kazi yangu ya kuwafukuza ndege ni ngumu." Fisi alikubali kulima shamba peke yake. Wakati Fisi aling'oa magugu, Sungura aliketi chini akiimba. Mahinid yalipokuwa tayari, Sungura alifurahi kuwafukuza ndege. Sungura alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo. Utavuna yaliyo chini." Sungura alivuna mahindi yote akahifadhi. Fisi alikuta mizizi tupu chini ya udongo. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alikasirika sana. Walipanda viazi. Fisi alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo." Walifanya kazi pamoja shambani wakiimba. Wakati wa kuvuna, Fisi alivuna majani ya viazi pekee. Sungura alivuna viazi vingi vikubwa akahifadhi. Fisi alimkimbiza Sungura akitaka kulipiza kisasi. Urafiki wao uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi wanapanda mimea Author - Mutugi Kamundi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani walikua marafiki
{ "text": [ "Sungura na Fisi" ] }
2447_swa
Sungura na Fisi wanapanda mimea Hapo zamani, Sungura na Fisi walikuwa marafiki wazuri. Sungura alimwambia Fisi, "Ningependa tulime pamoja." Sungura alionelea wapande mahindi na wagawane majukumu. Sungura alimwambia Fisi, "Kazi yangu ya kuwafukuza ndege ni ngumu." Fisi alikubali kulima shamba peke yake. Wakati Fisi aling'oa magugu, Sungura aliketi chini akiimba. Mahinid yalipokuwa tayari, Sungura alifurahi kuwafukuza ndege. Sungura alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo. Utavuna yaliyo chini." Sungura alivuna mahindi yote akahifadhi. Fisi alikuta mizizi tupu chini ya udongo. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alikasirika sana. Walipanda viazi. Fisi alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo." Walifanya kazi pamoja shambani wakiimba. Wakati wa kuvuna, Fisi alivuna majani ya viazi pekee. Sungura alivuna viazi vingi vikubwa akahifadhi. Fisi alimkimbiza Sungura akitaka kulipiza kisasi. Urafiki wao uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi wanapanda mimea Author - Mutugi Kamundi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alisema angependa walime
{ "text": [ "Sungura" ] }
2447_swa
Sungura na Fisi wanapanda mimea Hapo zamani, Sungura na Fisi walikuwa marafiki wazuri. Sungura alimwambia Fisi, "Ningependa tulime pamoja." Sungura alionelea wapande mahindi na wagawane majukumu. Sungura alimwambia Fisi, "Kazi yangu ya kuwafukuza ndege ni ngumu." Fisi alikubali kulima shamba peke yake. Wakati Fisi aling'oa magugu, Sungura aliketi chini akiimba. Mahinid yalipokuwa tayari, Sungura alifurahi kuwafukuza ndege. Sungura alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo. Utavuna yaliyo chini." Sungura alivuna mahindi yote akahifadhi. Fisi alikuta mizizi tupu chini ya udongo. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alikasirika sana. Walipanda viazi. Fisi alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo." Walifanya kazi pamoja shambani wakiimba. Wakati wa kuvuna, Fisi alivuna majani ya viazi pekee. Sungura alivuna viazi vingi vikubwa akahifadhi. Fisi alimkimbiza Sungura akitaka kulipiza kisasi. Urafiki wao uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi wanapanda mimea Author - Mutugi Kamundi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Walipanda nini mara ya kwanza
{ "text": [ "Mahindi" ] }
2447_swa
Sungura na Fisi wanapanda mimea Hapo zamani, Sungura na Fisi walikuwa marafiki wazuri. Sungura alimwambia Fisi, "Ningependa tulime pamoja." Sungura alionelea wapande mahindi na wagawane majukumu. Sungura alimwambia Fisi, "Kazi yangu ya kuwafukuza ndege ni ngumu." Fisi alikubali kulima shamba peke yake. Wakati Fisi aling'oa magugu, Sungura aliketi chini akiimba. Mahinid yalipokuwa tayari, Sungura alifurahi kuwafukuza ndege. Sungura alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo. Utavuna yaliyo chini." Sungura alivuna mahindi yote akahifadhi. Fisi alikuta mizizi tupu chini ya udongo. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alikasirika sana. Walipanda viazi. Fisi alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo." Walifanya kazi pamoja shambani wakiimba. Wakati wa kuvuna, Fisi alivuna majani ya viazi pekee. Sungura alivuna viazi vingi vikubwa akahifadhi. Fisi alimkimbiza Sungura akitaka kulipiza kisasi. Urafiki wao uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi wanapanda mimea Author - Mutugi Kamundi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura alisema atavuna yaliyo juu ya udongo lini
{ "text": [ "Mahindi yalipokuwa tayari" ] }
2447_swa
Sungura na Fisi wanapanda mimea Hapo zamani, Sungura na Fisi walikuwa marafiki wazuri. Sungura alimwambia Fisi, "Ningependa tulime pamoja." Sungura alionelea wapande mahindi na wagawane majukumu. Sungura alimwambia Fisi, "Kazi yangu ya kuwafukuza ndege ni ngumu." Fisi alikubali kulima shamba peke yake. Wakati Fisi aling'oa magugu, Sungura aliketi chini akiimba. Mahinid yalipokuwa tayari, Sungura alifurahi kuwafukuza ndege. Sungura alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo. Utavuna yaliyo chini." Sungura alivuna mahindi yote akahifadhi. Fisi alikuta mizizi tupu chini ya udongo. Fisi aligundua kwamba alikuwa amedanganywa. Alikasirika sana. Walipanda viazi. Fisi alisema, "Nitavuna yaliyo juu ya udongo." Walifanya kazi pamoja shambani wakiimba. Wakati wa kuvuna, Fisi alivuna majani ya viazi pekee. Sungura alivuna viazi vingi vikubwa akahifadhi. Fisi alimkimbiza Sungura akitaka kulipiza kisasi. Urafiki wao uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Fisi wanapanda mimea Author - Mutugi Kamundi Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Fisi alikasirika sana
{ "text": [ "aligundua kwamba alikuwa amedanganywa" ] }
2448_swa
Sungura na Kobe (Tena!) Je, unakumbuka Mbio Kuu zilizokuwa kati ya Sungura na Kobe? Kwa muda mrefu, hakuna yeyote katika miliki ya wanyama aliyeweza kuongea juu ya jambo tofauti ila zile Mbio Kuu na wapinzani wake wawili. Inajulikana kwamba Sungura alishindwa kwa kuwa mvivu na mwenye kujiamini zaidi. Vilevile, inajulikana kuwa Kobe alishinda kwa mwendo wake wa polepole na kwa kuwa imara. Wanyama wa pori walijua hili na wakaendelea kuwaheshimu wanyama hao wawili kwa kiwango sawa. Kobe na Sungura waliendelea kuwa marafiki. Kobe hakujivunia ushindi wake. Sungura, akifahamu kuwa alikuwa ameshindwa kwa uwazi, hakumshikia Kobe kisasi. Miezi mingi ilipita. Mfalme wa pori ambako Sungura na Kobe waliishi alikuwa na jambo muhimu alilotaka kujadiliana na mfalme wa pori jirani. Lakini mfalme wa kwanza hangeweza kuondoka pale wakati huo. Badala yake, aliwatuma Sungura na Kobe kumwakilishi kwa yule mfalme mwingine. Mmoja wenu angalau, atalazimika kwenda kwa ufalme jirani," aliamrisha mfalme wakati Sungura na Kobe walikuja mbele zake. "Ninataka mjadili mambo muhimu na mfalme wa huko, halafu mniletee ripoti kuhusu maoni na mawazo yake juu ya mambo hayo. Sasa, nendeni!" Alisema alipomaliza. Walipokuwa wakiondoka, aliongeza, "Kumbukeni, mna siku moja tu ya kukamilisha kazi hiyo." Barabara ya kwenda kwa ufalme jirani haikuwa laini wala rahisi. Ilijaa miiba. Vilevile, walilazimika kuvuka mito miwili iliyokuwa na mawe makubwa. Baada ya kuwaza kiasi, Sungura na Kobe waligundua kwamba hakuna mmoja wao ambaye angeweza kuitimiza ile kazi peke yake. Walilazimika kusafiri pamoja. Mpango ulikuwa kwamba Sungura ambebe Kobe watakapokuwa wakipita sehemu yenye miiba. Naye Kobe ambebe Sungura wakati watakapoavuka mito. Siku iliyofuata, walikusanya jumbe tofauti kutoka kwa mfalme wao na kujitayarisha kuondoka. Sungura alitembea kwa hatua refu refu akakamilisha mwendo wa kupita sehemu ya miiba kwa kasi. Kobe alijishikilia asije akaanguka na kupoteza maisha yake. Walipofikia mto, walibadilishana na Sungura akampanda Kobe mgongoni. Kobe aliogelea kutoka upande mmoja wa mto hadi mwingine kwa wepesi. Baada ya kuvuka mito yote miwili, haikuwachukua muda mrefu kufika katika ule ufalme jirani. Baada ya kujadiliana na yule mfalme jirani kwa urefu mambo yote kutoka kwa mfalme wao, Sungura na Kobe walikuwa tayari kuondoka. Safari ya kurudi ilikuwa nyororo na nyepesi kuliko ya kwenda kwani wote wawili walijua la kufanya. Sungura na Kobe walikuwa wamefanya kazi pamoja kwa maelewano makubwa hata wakamfikia mfalme wao mapema! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Kobe (Tena!) Author - Venkatramana Gowda and Divaspathy Hegde Translation - Brigid Simiyu Illustration - Padmanabha Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Sungura alikua marafiki na nani?
{ "text": [ "Kobe" ] }
2448_swa
Sungura na Kobe (Tena!) Je, unakumbuka Mbio Kuu zilizokuwa kati ya Sungura na Kobe? Kwa muda mrefu, hakuna yeyote katika miliki ya wanyama aliyeweza kuongea juu ya jambo tofauti ila zile Mbio Kuu na wapinzani wake wawili. Inajulikana kwamba Sungura alishindwa kwa kuwa mvivu na mwenye kujiamini zaidi. Vilevile, inajulikana kuwa Kobe alishinda kwa mwendo wake wa polepole na kwa kuwa imara. Wanyama wa pori walijua hili na wakaendelea kuwaheshimu wanyama hao wawili kwa kiwango sawa. Kobe na Sungura waliendelea kuwa marafiki. Kobe hakujivunia ushindi wake. Sungura, akifahamu kuwa alikuwa ameshindwa kwa uwazi, hakumshikia Kobe kisasi. Miezi mingi ilipita. Mfalme wa pori ambako Sungura na Kobe waliishi alikuwa na jambo muhimu alilotaka kujadiliana na mfalme wa pori jirani. Lakini mfalme wa kwanza hangeweza kuondoka pale wakati huo. Badala yake, aliwatuma Sungura na Kobe kumwakilishi kwa yule mfalme mwingine. Mmoja wenu angalau, atalazimika kwenda kwa ufalme jirani," aliamrisha mfalme wakati Sungura na Kobe walikuja mbele zake. "Ninataka mjadili mambo muhimu na mfalme wa huko, halafu mniletee ripoti kuhusu maoni na mawazo yake juu ya mambo hayo. Sasa, nendeni!" Alisema alipomaliza. Walipokuwa wakiondoka, aliongeza, "Kumbukeni, mna siku moja tu ya kukamilisha kazi hiyo." Barabara ya kwenda kwa ufalme jirani haikuwa laini wala rahisi. Ilijaa miiba. Vilevile, walilazimika kuvuka mito miwili iliyokuwa na mawe makubwa. Baada ya kuwaza kiasi, Sungura na Kobe waligundua kwamba hakuna mmoja wao ambaye angeweza kuitimiza ile kazi peke yake. Walilazimika kusafiri pamoja. Mpango ulikuwa kwamba Sungura ambebe Kobe watakapokuwa wakipita sehemu yenye miiba. Naye Kobe ambebe Sungura wakati watakapoavuka mito. Siku iliyofuata, walikusanya jumbe tofauti kutoka kwa mfalme wao na kujitayarisha kuondoka. Sungura alitembea kwa hatua refu refu akakamilisha mwendo wa kupita sehemu ya miiba kwa kasi. Kobe alijishikilia asije akaanguka na kupoteza maisha yake. Walipofikia mto, walibadilishana na Sungura akampanda Kobe mgongoni. Kobe aliogelea kutoka upande mmoja wa mto hadi mwingine kwa wepesi. Baada ya kuvuka mito yote miwili, haikuwachukua muda mrefu kufika katika ule ufalme jirani. Baada ya kujadiliana na yule mfalme jirani kwa urefu mambo yote kutoka kwa mfalme wao, Sungura na Kobe walikuwa tayari kuondoka. Safari ya kurudi ilikuwa nyororo na nyepesi kuliko ya kwenda kwani wote wawili walijua la kufanya. Sungura na Kobe walikuwa wamefanya kazi pamoja kwa maelewano makubwa hata wakamfikia mfalme wao mapema! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Kobe (Tena!) Author - Venkatramana Gowda and Divaspathy Hegde Translation - Brigid Simiyu Illustration - Padmanabha Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Barabara ya kuenda kwa mfalme jirani haikua laini ila ilikua imejaa nini?
{ "text": [ "Miiba" ] }
2448_swa
Sungura na Kobe (Tena!) Je, unakumbuka Mbio Kuu zilizokuwa kati ya Sungura na Kobe? Kwa muda mrefu, hakuna yeyote katika miliki ya wanyama aliyeweza kuongea juu ya jambo tofauti ila zile Mbio Kuu na wapinzani wake wawili. Inajulikana kwamba Sungura alishindwa kwa kuwa mvivu na mwenye kujiamini zaidi. Vilevile, inajulikana kuwa Kobe alishinda kwa mwendo wake wa polepole na kwa kuwa imara. Wanyama wa pori walijua hili na wakaendelea kuwaheshimu wanyama hao wawili kwa kiwango sawa. Kobe na Sungura waliendelea kuwa marafiki. Kobe hakujivunia ushindi wake. Sungura, akifahamu kuwa alikuwa ameshindwa kwa uwazi, hakumshikia Kobe kisasi. Miezi mingi ilipita. Mfalme wa pori ambako Sungura na Kobe waliishi alikuwa na jambo muhimu alilotaka kujadiliana na mfalme wa pori jirani. Lakini mfalme wa kwanza hangeweza kuondoka pale wakati huo. Badala yake, aliwatuma Sungura na Kobe kumwakilishi kwa yule mfalme mwingine. Mmoja wenu angalau, atalazimika kwenda kwa ufalme jirani," aliamrisha mfalme wakati Sungura na Kobe walikuja mbele zake. "Ninataka mjadili mambo muhimu na mfalme wa huko, halafu mniletee ripoti kuhusu maoni na mawazo yake juu ya mambo hayo. Sasa, nendeni!" Alisema alipomaliza. Walipokuwa wakiondoka, aliongeza, "Kumbukeni, mna siku moja tu ya kukamilisha kazi hiyo." Barabara ya kwenda kwa ufalme jirani haikuwa laini wala rahisi. Ilijaa miiba. Vilevile, walilazimika kuvuka mito miwili iliyokuwa na mawe makubwa. Baada ya kuwaza kiasi, Sungura na Kobe waligundua kwamba hakuna mmoja wao ambaye angeweza kuitimiza ile kazi peke yake. Walilazimika kusafiri pamoja. Mpango ulikuwa kwamba Sungura ambebe Kobe watakapokuwa wakipita sehemu yenye miiba. Naye Kobe ambebe Sungura wakati watakapoavuka mito. Siku iliyofuata, walikusanya jumbe tofauti kutoka kwa mfalme wao na kujitayarisha kuondoka. Sungura alitembea kwa hatua refu refu akakamilisha mwendo wa kupita sehemu ya miiba kwa kasi. Kobe alijishikilia asije akaanguka na kupoteza maisha yake. Walipofikia mto, walibadilishana na Sungura akampanda Kobe mgongoni. Kobe aliogelea kutoka upande mmoja wa mto hadi mwingine kwa wepesi. Baada ya kuvuka mito yote miwili, haikuwachukua muda mrefu kufika katika ule ufalme jirani. Baada ya kujadiliana na yule mfalme jirani kwa urefu mambo yote kutoka kwa mfalme wao, Sungura na Kobe walikuwa tayari kuondoka. Safari ya kurudi ilikuwa nyororo na nyepesi kuliko ya kwenda kwani wote wawili walijua la kufanya. Sungura na Kobe walikuwa wamefanya kazi pamoja kwa maelewano makubwa hata wakamfikia mfalme wao mapema! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Kobe (Tena!) Author - Venkatramana Gowda and Divaspathy Hegde Translation - Brigid Simiyu Illustration - Padmanabha Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Sungura na Kobe walipewa siku ngapi kukamilisha kazi?
{ "text": [ "Moja" ] }
2448_swa
Sungura na Kobe (Tena!) Je, unakumbuka Mbio Kuu zilizokuwa kati ya Sungura na Kobe? Kwa muda mrefu, hakuna yeyote katika miliki ya wanyama aliyeweza kuongea juu ya jambo tofauti ila zile Mbio Kuu na wapinzani wake wawili. Inajulikana kwamba Sungura alishindwa kwa kuwa mvivu na mwenye kujiamini zaidi. Vilevile, inajulikana kuwa Kobe alishinda kwa mwendo wake wa polepole na kwa kuwa imara. Wanyama wa pori walijua hili na wakaendelea kuwaheshimu wanyama hao wawili kwa kiwango sawa. Kobe na Sungura waliendelea kuwa marafiki. Kobe hakujivunia ushindi wake. Sungura, akifahamu kuwa alikuwa ameshindwa kwa uwazi, hakumshikia Kobe kisasi. Miezi mingi ilipita. Mfalme wa pori ambako Sungura na Kobe waliishi alikuwa na jambo muhimu alilotaka kujadiliana na mfalme wa pori jirani. Lakini mfalme wa kwanza hangeweza kuondoka pale wakati huo. Badala yake, aliwatuma Sungura na Kobe kumwakilishi kwa yule mfalme mwingine. Mmoja wenu angalau, atalazimika kwenda kwa ufalme jirani," aliamrisha mfalme wakati Sungura na Kobe walikuja mbele zake. "Ninataka mjadili mambo muhimu na mfalme wa huko, halafu mniletee ripoti kuhusu maoni na mawazo yake juu ya mambo hayo. Sasa, nendeni!" Alisema alipomaliza. Walipokuwa wakiondoka, aliongeza, "Kumbukeni, mna siku moja tu ya kukamilisha kazi hiyo." Barabara ya kwenda kwa ufalme jirani haikuwa laini wala rahisi. Ilijaa miiba. Vilevile, walilazimika kuvuka mito miwili iliyokuwa na mawe makubwa. Baada ya kuwaza kiasi, Sungura na Kobe waligundua kwamba hakuna mmoja wao ambaye angeweza kuitimiza ile kazi peke yake. Walilazimika kusafiri pamoja. Mpango ulikuwa kwamba Sungura ambebe Kobe watakapokuwa wakipita sehemu yenye miiba. Naye Kobe ambebe Sungura wakati watakapoavuka mito. Siku iliyofuata, walikusanya jumbe tofauti kutoka kwa mfalme wao na kujitayarisha kuondoka. Sungura alitembea kwa hatua refu refu akakamilisha mwendo wa kupita sehemu ya miiba kwa kasi. Kobe alijishikilia asije akaanguka na kupoteza maisha yake. Walipofikia mto, walibadilishana na Sungura akampanda Kobe mgongoni. Kobe aliogelea kutoka upande mmoja wa mto hadi mwingine kwa wepesi. Baada ya kuvuka mito yote miwili, haikuwachukua muda mrefu kufika katika ule ufalme jirani. Baada ya kujadiliana na yule mfalme jirani kwa urefu mambo yote kutoka kwa mfalme wao, Sungura na Kobe walikuwa tayari kuondoka. Safari ya kurudi ilikuwa nyororo na nyepesi kuliko ya kwenda kwani wote wawili walijua la kufanya. Sungura na Kobe walikuwa wamefanya kazi pamoja kwa maelewano makubwa hata wakamfikia mfalme wao mapema! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Kobe (Tena!) Author - Venkatramana Gowda and Divaspathy Hegde Translation - Brigid Simiyu Illustration - Padmanabha Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Kobe na Sungura kwa muda mrefu waliendelea kua?
{ "text": [ "Marafiki" ] }
2448_swa
Sungura na Kobe (Tena!) Je, unakumbuka Mbio Kuu zilizokuwa kati ya Sungura na Kobe? Kwa muda mrefu, hakuna yeyote katika miliki ya wanyama aliyeweza kuongea juu ya jambo tofauti ila zile Mbio Kuu na wapinzani wake wawili. Inajulikana kwamba Sungura alishindwa kwa kuwa mvivu na mwenye kujiamini zaidi. Vilevile, inajulikana kuwa Kobe alishinda kwa mwendo wake wa polepole na kwa kuwa imara. Wanyama wa pori walijua hili na wakaendelea kuwaheshimu wanyama hao wawili kwa kiwango sawa. Kobe na Sungura waliendelea kuwa marafiki. Kobe hakujivunia ushindi wake. Sungura, akifahamu kuwa alikuwa ameshindwa kwa uwazi, hakumshikia Kobe kisasi. Miezi mingi ilipita. Mfalme wa pori ambako Sungura na Kobe waliishi alikuwa na jambo muhimu alilotaka kujadiliana na mfalme wa pori jirani. Lakini mfalme wa kwanza hangeweza kuondoka pale wakati huo. Badala yake, aliwatuma Sungura na Kobe kumwakilishi kwa yule mfalme mwingine. Mmoja wenu angalau, atalazimika kwenda kwa ufalme jirani," aliamrisha mfalme wakati Sungura na Kobe walikuja mbele zake. "Ninataka mjadili mambo muhimu na mfalme wa huko, halafu mniletee ripoti kuhusu maoni na mawazo yake juu ya mambo hayo. Sasa, nendeni!" Alisema alipomaliza. Walipokuwa wakiondoka, aliongeza, "Kumbukeni, mna siku moja tu ya kukamilisha kazi hiyo." Barabara ya kwenda kwa ufalme jirani haikuwa laini wala rahisi. Ilijaa miiba. Vilevile, walilazimika kuvuka mito miwili iliyokuwa na mawe makubwa. Baada ya kuwaza kiasi, Sungura na Kobe waligundua kwamba hakuna mmoja wao ambaye angeweza kuitimiza ile kazi peke yake. Walilazimika kusafiri pamoja. Mpango ulikuwa kwamba Sungura ambebe Kobe watakapokuwa wakipita sehemu yenye miiba. Naye Kobe ambebe Sungura wakati watakapoavuka mito. Siku iliyofuata, walikusanya jumbe tofauti kutoka kwa mfalme wao na kujitayarisha kuondoka. Sungura alitembea kwa hatua refu refu akakamilisha mwendo wa kupita sehemu ya miiba kwa kasi. Kobe alijishikilia asije akaanguka na kupoteza maisha yake. Walipofikia mto, walibadilishana na Sungura akampanda Kobe mgongoni. Kobe aliogelea kutoka upande mmoja wa mto hadi mwingine kwa wepesi. Baada ya kuvuka mito yote miwili, haikuwachukua muda mrefu kufika katika ule ufalme jirani. Baada ya kujadiliana na yule mfalme jirani kwa urefu mambo yote kutoka kwa mfalme wao, Sungura na Kobe walikuwa tayari kuondoka. Safari ya kurudi ilikuwa nyororo na nyepesi kuliko ya kwenda kwani wote wawili walijua la kufanya. Sungura na Kobe walikuwa wamefanya kazi pamoja kwa maelewano makubwa hata wakamfikia mfalme wao mapema! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Kobe (Tena!) Author - Venkatramana Gowda and Divaspathy Hegde Translation - Brigid Simiyu Illustration - Padmanabha Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Inasemekana sungura alishindwa mbio kwa sababu gani?
{ "text": [ "Kwa kuwa mvivu na mwenye kujiamini zaidi" ] }
2449_swa
Sungura na Tembo (Tena!) Hapo zamani za kale, Tembo na Sungura walikuwa marafiki wakubwa sana. Walikuwa na ngamia, ng'ombe na kondoo wengi. Waliwalisha wanyama hao katika bonde la Kingilo. Wakati mwingine waliwapeleka milimani kulikokuwa na nyasi na maji kwa wingi. Wanyama walipokula, Sungura na Tembo walicheza. Walipenda sana kucheza mpira wa miguu. Kila walipocheza, Tembo aliingiza goli nyingi kumliko Sungura. Sungura alikasirishwa mno na hali hiyo. Siku moja Sungura alimwuliza Tembo, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mwingizaji goli maarufu?" Tembo alimjibu, "Ni miguu yangu minono." Siku iliyofuata, Sungura alipendekeza wawe na mashindano ya mbio. Tembo alikubali na wakaanza mbio. Sungura alishinda mbio zote. Tembo alikasirika. Hakuwahi kushindwa. Alimwuliza Sungura, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mkimbiaji maarufu?" Sungura alijibu, "Ni miguu yangu myembamba." Tembo alimwuliza, "Nitawezaje kupata miguu myembamba?" Sungura akamjibu, "Ni rahisi, nitakuonyesha. Tafuta kuni ukakoke moto." Tembo alizikusanya kuni akakoka moto mkubwa. Sungura akamwambia, "Sasa iweke miguu yako ndani ya moto." Tembo alifanya hivyo. Alipiga kelele, "Ninaungua! Ninaungua!" Sungura alifurahi. Alimhimiza Tembo aendelea hivyo hivyo. Alisema kuwa hivyo tu ndivyo miguu yake ingekuwa myembamba. Miguu ya Tembo ilijeruhiwa vibaya akaondoka motoni. Hakuweza kusimama kwa hivyo alilala chini. Tembo aliketi kwa siku nyingi kabla kuweza kusimama. Hatimaye, aliweza kuchechemea na kwenda nyumbani kwa familia yake. Sungura alimwomba Tembo msamaha. Hata hivyo, urafiki kati ya Tembo na Sungura uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Tembo (Tena!) Author - Agnes Gichaba Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tembo alikua marafiki wakubwa na nani?
{ "text": [ "Sungura" ] }
2449_swa
Sungura na Tembo (Tena!) Hapo zamani za kale, Tembo na Sungura walikuwa marafiki wakubwa sana. Walikuwa na ngamia, ng'ombe na kondoo wengi. Waliwalisha wanyama hao katika bonde la Kingilo. Wakati mwingine waliwapeleka milimani kulikokuwa na nyasi na maji kwa wingi. Wanyama walipokula, Sungura na Tembo walicheza. Walipenda sana kucheza mpira wa miguu. Kila walipocheza, Tembo aliingiza goli nyingi kumliko Sungura. Sungura alikasirishwa mno na hali hiyo. Siku moja Sungura alimwuliza Tembo, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mwingizaji goli maarufu?" Tembo alimjibu, "Ni miguu yangu minono." Siku iliyofuata, Sungura alipendekeza wawe na mashindano ya mbio. Tembo alikubali na wakaanza mbio. Sungura alishinda mbio zote. Tembo alikasirika. Hakuwahi kushindwa. Alimwuliza Sungura, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mkimbiaji maarufu?" Sungura alijibu, "Ni miguu yangu myembamba." Tembo alimwuliza, "Nitawezaje kupata miguu myembamba?" Sungura akamjibu, "Ni rahisi, nitakuonyesha. Tafuta kuni ukakoke moto." Tembo alizikusanya kuni akakoka moto mkubwa. Sungura akamwambia, "Sasa iweke miguu yako ndani ya moto." Tembo alifanya hivyo. Alipiga kelele, "Ninaungua! Ninaungua!" Sungura alifurahi. Alimhimiza Tembo aendelea hivyo hivyo. Alisema kuwa hivyo tu ndivyo miguu yake ingekuwa myembamba. Miguu ya Tembo ilijeruhiwa vibaya akaondoka motoni. Hakuweza kusimama kwa hivyo alilala chini. Tembo aliketi kwa siku nyingi kabla kuweza kusimama. Hatimaye, aliweza kuchechemea na kwenda nyumbani kwa familia yake. Sungura alimwomba Tembo msamaha. Hata hivyo, urafiki kati ya Tembo na Sungura uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Tembo (Tena!) Author - Agnes Gichaba Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tembo na Sungura walikua na ngamia,ng'ombe na nini?
{ "text": [ "Kondoo" ] }
2449_swa
Sungura na Tembo (Tena!) Hapo zamani za kale, Tembo na Sungura walikuwa marafiki wakubwa sana. Walikuwa na ngamia, ng'ombe na kondoo wengi. Waliwalisha wanyama hao katika bonde la Kingilo. Wakati mwingine waliwapeleka milimani kulikokuwa na nyasi na maji kwa wingi. Wanyama walipokula, Sungura na Tembo walicheza. Walipenda sana kucheza mpira wa miguu. Kila walipocheza, Tembo aliingiza goli nyingi kumliko Sungura. Sungura alikasirishwa mno na hali hiyo. Siku moja Sungura alimwuliza Tembo, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mwingizaji goli maarufu?" Tembo alimjibu, "Ni miguu yangu minono." Siku iliyofuata, Sungura alipendekeza wawe na mashindano ya mbio. Tembo alikubali na wakaanza mbio. Sungura alishinda mbio zote. Tembo alikasirika. Hakuwahi kushindwa. Alimwuliza Sungura, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mkimbiaji maarufu?" Sungura alijibu, "Ni miguu yangu myembamba." Tembo alimwuliza, "Nitawezaje kupata miguu myembamba?" Sungura akamjibu, "Ni rahisi, nitakuonyesha. Tafuta kuni ukakoke moto." Tembo alizikusanya kuni akakoka moto mkubwa. Sungura akamwambia, "Sasa iweke miguu yako ndani ya moto." Tembo alifanya hivyo. Alipiga kelele, "Ninaungua! Ninaungua!" Sungura alifurahi. Alimhimiza Tembo aendelea hivyo hivyo. Alisema kuwa hivyo tu ndivyo miguu yake ingekuwa myembamba. Miguu ya Tembo ilijeruhiwa vibaya akaondoka motoni. Hakuweza kusimama kwa hivyo alilala chini. Tembo aliketi kwa siku nyingi kabla kuweza kusimama. Hatimaye, aliweza kuchechemea na kwenda nyumbani kwa familia yake. Sungura alimwomba Tembo msamaha. Hata hivyo, urafiki kati ya Tembo na Sungura uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Tembo (Tena!) Author - Agnes Gichaba Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tembo na Sungura waliwalisha wanyama hao katika bonde lipi?
{ "text": [ "Kingilo" ] }
2449_swa
Sungura na Tembo (Tena!) Hapo zamani za kale, Tembo na Sungura walikuwa marafiki wakubwa sana. Walikuwa na ngamia, ng'ombe na kondoo wengi. Waliwalisha wanyama hao katika bonde la Kingilo. Wakati mwingine waliwapeleka milimani kulikokuwa na nyasi na maji kwa wingi. Wanyama walipokula, Sungura na Tembo walicheza. Walipenda sana kucheza mpira wa miguu. Kila walipocheza, Tembo aliingiza goli nyingi kumliko Sungura. Sungura alikasirishwa mno na hali hiyo. Siku moja Sungura alimwuliza Tembo, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mwingizaji goli maarufu?" Tembo alimjibu, "Ni miguu yangu minono." Siku iliyofuata, Sungura alipendekeza wawe na mashindano ya mbio. Tembo alikubali na wakaanza mbio. Sungura alishinda mbio zote. Tembo alikasirika. Hakuwahi kushindwa. Alimwuliza Sungura, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mkimbiaji maarufu?" Sungura alijibu, "Ni miguu yangu myembamba." Tembo alimwuliza, "Nitawezaje kupata miguu myembamba?" Sungura akamjibu, "Ni rahisi, nitakuonyesha. Tafuta kuni ukakoke moto." Tembo alizikusanya kuni akakoka moto mkubwa. Sungura akamwambia, "Sasa iweke miguu yako ndani ya moto." Tembo alifanya hivyo. Alipiga kelele, "Ninaungua! Ninaungua!" Sungura alifurahi. Alimhimiza Tembo aendelea hivyo hivyo. Alisema kuwa hivyo tu ndivyo miguu yake ingekuwa myembamba. Miguu ya Tembo ilijeruhiwa vibaya akaondoka motoni. Hakuweza kusimama kwa hivyo alilala chini. Tembo aliketi kwa siku nyingi kabla kuweza kusimama. Hatimaye, aliweza kuchechemea na kwenda nyumbani kwa familia yake. Sungura alimwomba Tembo msamaha. Hata hivyo, urafiki kati ya Tembo na Sungura uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Tembo (Tena!) Author - Agnes Gichaba Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua mwigizaji goli maarufu?
{ "text": [ "Tembo" ] }
2449_swa
Sungura na Tembo (Tena!) Hapo zamani za kale, Tembo na Sungura walikuwa marafiki wakubwa sana. Walikuwa na ngamia, ng'ombe na kondoo wengi. Waliwalisha wanyama hao katika bonde la Kingilo. Wakati mwingine waliwapeleka milimani kulikokuwa na nyasi na maji kwa wingi. Wanyama walipokula, Sungura na Tembo walicheza. Walipenda sana kucheza mpira wa miguu. Kila walipocheza, Tembo aliingiza goli nyingi kumliko Sungura. Sungura alikasirishwa mno na hali hiyo. Siku moja Sungura alimwuliza Tembo, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mwingizaji goli maarufu?" Tembo alimjibu, "Ni miguu yangu minono." Siku iliyofuata, Sungura alipendekeza wawe na mashindano ya mbio. Tembo alikubali na wakaanza mbio. Sungura alishinda mbio zote. Tembo alikasirika. Hakuwahi kushindwa. Alimwuliza Sungura, "Ni nini kinachokuwezesha kuwa mkimbiaji maarufu?" Sungura alijibu, "Ni miguu yangu myembamba." Tembo alimwuliza, "Nitawezaje kupata miguu myembamba?" Sungura akamjibu, "Ni rahisi, nitakuonyesha. Tafuta kuni ukakoke moto." Tembo alizikusanya kuni akakoka moto mkubwa. Sungura akamwambia, "Sasa iweke miguu yako ndani ya moto." Tembo alifanya hivyo. Alipiga kelele, "Ninaungua! Ninaungua!" Sungura alifurahi. Alimhimiza Tembo aendelea hivyo hivyo. Alisema kuwa hivyo tu ndivyo miguu yake ingekuwa myembamba. Miguu ya Tembo ilijeruhiwa vibaya akaondoka motoni. Hakuweza kusimama kwa hivyo alilala chini. Tembo aliketi kwa siku nyingi kabla kuweza kusimama. Hatimaye, aliweza kuchechemea na kwenda nyumbani kwa familia yake. Sungura alimwomba Tembo msamaha. Hata hivyo, urafiki kati ya Tembo na Sungura uliisha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Sungura na Tembo (Tena!) Author - Agnes Gichaba Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura na Tembo walipenda sana kucheza nini?
{ "text": [ "Mpira wa miguu" ] }
2451_swa
Tamara aanza kwenda shule Tamara alikuwa msichana wa miaka mitano. Aliishi na familia yake karibu na msitu wenye wanyama wakali. Tamara aliwatii wazazi wake. Aliwasaidia kuwachunga kondoo na mbuzi wao. Tamara alipenda kuwasikiliza ndege wakiimba. Walipoimba, aliwaiga huku akitunga nyimbo zake. Kwa sababu ya umri wake mdogo, Tamara hakuwa ameanza kwenda shule. Nashipae na Tasieku walikwenda kwa sababu walikuwa wakubwa. Nashipae, Tasieku na watoto wengine kutoka kijijini walienda pamoja asubuhi na kurudi jioni. Walikuwa wakibeba chakula katika mikebe midogo. Siku moja, Tamara alimwuliza mamake, "Je, nitaanza kwenda shule lini?" Mama alimjibu, "Utaenda hivi karibuni mwanangu mpendwa." Siku moja, chifu na wenzake walifika nyumbani kwa gari. Lilikuwa jukumu la chifu kuhakikisha kwamba watoto walienda shule walipofikisha umri uliokubaliwa. Watu waliamini kwamba mtoto akiweza kuunyoosha mkono wake kupita kichwani na kulishika sikio lake, mtoto huyo yuko tayari kuanza kwenda shule. Chifu alimwuliza Tamara, "Una umri wa miaka mingapi?" Tamara alimjibu, "Mitano." "Hebu tuone ikiwa unaweza kwenda shule," chifu alisema. Mmoja wa wanawake wale aliuchukua mkono wa kulia wa Tamara akauweka kichwani kwake. Tamara aliweza kulishika sikio lake la kushoto. Waliamua kwamba wakati ulikuwa umefika wa Tamara kuanza kuhudhuria shule. Angeanza kwenda shule iliyokuwa karibu na nyumbani kwao. Tamara alifurahi sana akawaza, "Nitajua kusoma na kuandika kama Nashipae na Tasieku wafanyavyo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tamara aanza kwenda shule Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tamara alikuwa na miaka mingapi
{ "text": [ "mitano" ] }
2451_swa
Tamara aanza kwenda shule Tamara alikuwa msichana wa miaka mitano. Aliishi na familia yake karibu na msitu wenye wanyama wakali. Tamara aliwatii wazazi wake. Aliwasaidia kuwachunga kondoo na mbuzi wao. Tamara alipenda kuwasikiliza ndege wakiimba. Walipoimba, aliwaiga huku akitunga nyimbo zake. Kwa sababu ya umri wake mdogo, Tamara hakuwa ameanza kwenda shule. Nashipae na Tasieku walikwenda kwa sababu walikuwa wakubwa. Nashipae, Tasieku na watoto wengine kutoka kijijini walienda pamoja asubuhi na kurudi jioni. Walikuwa wakibeba chakula katika mikebe midogo. Siku moja, Tamara alimwuliza mamake, "Je, nitaanza kwenda shule lini?" Mama alimjibu, "Utaenda hivi karibuni mwanangu mpendwa." Siku moja, chifu na wenzake walifika nyumbani kwa gari. Lilikuwa jukumu la chifu kuhakikisha kwamba watoto walienda shule walipofikisha umri uliokubaliwa. Watu waliamini kwamba mtoto akiweza kuunyoosha mkono wake kupita kichwani na kulishika sikio lake, mtoto huyo yuko tayari kuanza kwenda shule. Chifu alimwuliza Tamara, "Una umri wa miaka mingapi?" Tamara alimjibu, "Mitano." "Hebu tuone ikiwa unaweza kwenda shule," chifu alisema. Mmoja wa wanawake wale aliuchukua mkono wa kulia wa Tamara akauweka kichwani kwake. Tamara aliweza kulishika sikio lake la kushoto. Waliamua kwamba wakati ulikuwa umefika wa Tamara kuanza kuhudhuria shule. Angeanza kwenda shule iliyokuwa karibu na nyumbani kwao. Tamara alifurahi sana akawaza, "Nitajua kusoma na kuandika kama Nashipae na Tasieku wafanyavyo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tamara aanza kwenda shule Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tamara alipenda kuwasikiliza ndege wakifanya nini
{ "text": [ "wakiimba" ] }
2451_swa
Tamara aanza kwenda shule Tamara alikuwa msichana wa miaka mitano. Aliishi na familia yake karibu na msitu wenye wanyama wakali. Tamara aliwatii wazazi wake. Aliwasaidia kuwachunga kondoo na mbuzi wao. Tamara alipenda kuwasikiliza ndege wakiimba. Walipoimba, aliwaiga huku akitunga nyimbo zake. Kwa sababu ya umri wake mdogo, Tamara hakuwa ameanza kwenda shule. Nashipae na Tasieku walikwenda kwa sababu walikuwa wakubwa. Nashipae, Tasieku na watoto wengine kutoka kijijini walienda pamoja asubuhi na kurudi jioni. Walikuwa wakibeba chakula katika mikebe midogo. Siku moja, Tamara alimwuliza mamake, "Je, nitaanza kwenda shule lini?" Mama alimjibu, "Utaenda hivi karibuni mwanangu mpendwa." Siku moja, chifu na wenzake walifika nyumbani kwa gari. Lilikuwa jukumu la chifu kuhakikisha kwamba watoto walienda shule walipofikisha umri uliokubaliwa. Watu waliamini kwamba mtoto akiweza kuunyoosha mkono wake kupita kichwani na kulishika sikio lake, mtoto huyo yuko tayari kuanza kwenda shule. Chifu alimwuliza Tamara, "Una umri wa miaka mingapi?" Tamara alimjibu, "Mitano." "Hebu tuone ikiwa unaweza kwenda shule," chifu alisema. Mmoja wa wanawake wale aliuchukua mkono wa kulia wa Tamara akauweka kichwani kwake. Tamara aliweza kulishika sikio lake la kushoto. Waliamua kwamba wakati ulikuwa umefika wa Tamara kuanza kuhudhuria shule. Angeanza kwenda shule iliyokuwa karibu na nyumbani kwao. Tamara alifurahi sana akawaza, "Nitajua kusoma na kuandika kama Nashipae na Tasieku wafanyavyo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tamara aanza kwenda shule Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nashipae walirudi saa ngapi
{ "text": [ "jioni" ] }
2451_swa
Tamara aanza kwenda shule Tamara alikuwa msichana wa miaka mitano. Aliishi na familia yake karibu na msitu wenye wanyama wakali. Tamara aliwatii wazazi wake. Aliwasaidia kuwachunga kondoo na mbuzi wao. Tamara alipenda kuwasikiliza ndege wakiimba. Walipoimba, aliwaiga huku akitunga nyimbo zake. Kwa sababu ya umri wake mdogo, Tamara hakuwa ameanza kwenda shule. Nashipae na Tasieku walikwenda kwa sababu walikuwa wakubwa. Nashipae, Tasieku na watoto wengine kutoka kijijini walienda pamoja asubuhi na kurudi jioni. Walikuwa wakibeba chakula katika mikebe midogo. Siku moja, Tamara alimwuliza mamake, "Je, nitaanza kwenda shule lini?" Mama alimjibu, "Utaenda hivi karibuni mwanangu mpendwa." Siku moja, chifu na wenzake walifika nyumbani kwa gari. Lilikuwa jukumu la chifu kuhakikisha kwamba watoto walienda shule walipofikisha umri uliokubaliwa. Watu waliamini kwamba mtoto akiweza kuunyoosha mkono wake kupita kichwani na kulishika sikio lake, mtoto huyo yuko tayari kuanza kwenda shule. Chifu alimwuliza Tamara, "Una umri wa miaka mingapi?" Tamara alimjibu, "Mitano." "Hebu tuone ikiwa unaweza kwenda shule," chifu alisema. Mmoja wa wanawake wale aliuchukua mkono wa kulia wa Tamara akauweka kichwani kwake. Tamara aliweza kulishika sikio lake la kushoto. Waliamua kwamba wakati ulikuwa umefika wa Tamara kuanza kuhudhuria shule. Angeanza kwenda shule iliyokuwa karibu na nyumbani kwao. Tamara alifurahi sana akawaza, "Nitajua kusoma na kuandika kama Nashipae na Tasieku wafanyavyo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tamara aanza kwenda shule Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Walitumia nini kubeba chakula
{ "text": [ "mikebe midogo" ] }
2451_swa
Tamara aanza kwenda shule Tamara alikuwa msichana wa miaka mitano. Aliishi na familia yake karibu na msitu wenye wanyama wakali. Tamara aliwatii wazazi wake. Aliwasaidia kuwachunga kondoo na mbuzi wao. Tamara alipenda kuwasikiliza ndege wakiimba. Walipoimba, aliwaiga huku akitunga nyimbo zake. Kwa sababu ya umri wake mdogo, Tamara hakuwa ameanza kwenda shule. Nashipae na Tasieku walikwenda kwa sababu walikuwa wakubwa. Nashipae, Tasieku na watoto wengine kutoka kijijini walienda pamoja asubuhi na kurudi jioni. Walikuwa wakibeba chakula katika mikebe midogo. Siku moja, Tamara alimwuliza mamake, "Je, nitaanza kwenda shule lini?" Mama alimjibu, "Utaenda hivi karibuni mwanangu mpendwa." Siku moja, chifu na wenzake walifika nyumbani kwa gari. Lilikuwa jukumu la chifu kuhakikisha kwamba watoto walienda shule walipofikisha umri uliokubaliwa. Watu waliamini kwamba mtoto akiweza kuunyoosha mkono wake kupita kichwani na kulishika sikio lake, mtoto huyo yuko tayari kuanza kwenda shule. Chifu alimwuliza Tamara, "Una umri wa miaka mingapi?" Tamara alimjibu, "Mitano." "Hebu tuone ikiwa unaweza kwenda shule," chifu alisema. Mmoja wa wanawake wale aliuchukua mkono wa kulia wa Tamara akauweka kichwani kwake. Tamara aliweza kulishika sikio lake la kushoto. Waliamua kwamba wakati ulikuwa umefika wa Tamara kuanza kuhudhuria shule. Angeanza kwenda shule iliyokuwa karibu na nyumbani kwao. Tamara alifurahi sana akawaza, "Nitajua kusoma na kuandika kama Nashipae na Tasieku wafanyavyo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tamara aanza kwenda shule Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Tamara hakuwa ameanza kwenda shule
{ "text": [ "kwa sababu ya umri wake mdogo" ] }
2453_swa
Teksi ya Nanu Hujambo! Jina langu ni Nanu. Mimi na mamangu tunasubiri teksi ili twende nyumbani. Hapa nimesimama kwenye foleni. Mamangu ananiimbia wimbo. "Njoo Bwana Teksi kwani huoni! Twasubiri, mimi na Nanu!" Mwanamke aliye karibu nami anawapeleka kuku nyumbani. Watataga mayai ili ale. Wanaume hawa wanarudi kutoka kazini. Wanatabasamu. Nawasikia wakiimba, "Nanu mdogo, usiwe na wasiwasi. Teksi yaja kwa haraka." Mwanamke anapita akitembea. Yuko nadhifu sana. Viatu vyake si vizuri kweli! Vinatoa sauti, "Click, click, click. Click, click, click," anapotembea. Mwanamme huyo anauza vinywaji baridi. Napenda vinywaji baridi. Ni baridi na vitamu sana. Je, unavipenda? Hebu! Kuna wanawake wamebeba vichwani chakula chao cha jioni. Je, si wao ni werevu? Mwanamke huyo anasukwa nywele zake. Ataenda nje leo usiku na marafiki zake. Nimechoka sasa. Mamangu ananiweka mgongoni kwake nikapumzike. Anaimba, "Tafadhali Bwana Teksi, usichelewe. Gogo anasubiri kwenye lango kuu." Kuna rafiki yangu Tumi. Yeye pia anapumzika. Tutakuwa nyumbani hivi karibuni. Hapo juu ndege wanaruka kwenda nyumbani. Lazima wafike nyumbani kabla giza halijaingia. Mwanamke huyu ana vipuli maridadi. Nadhani alivinunua mjini leo. Nikiwa mkubwa, nitanunua vipuli vingi vyangu na vya mamangu. Mamangu anaanza kuchoka sasa. Ninamwimbia wimbo, "Tafadhali Bwana Teksi, njoo. Mimi na mamangu tunasubiri." Ngoja! Ninasikia teksi! Hii hapa inakuja! Hii ni teksi yetu kubwa nyekundu. Imekuja kunipeleka mimi na mamangu nyumbani. Nimefurahi sana! Kwaheri! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Teksi ya Nanu Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © Marion Drew 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini Nanu na mamake walikuwa wanasubiri
{ "text": [ "Teksi" ] }
2453_swa
Teksi ya Nanu Hujambo! Jina langu ni Nanu. Mimi na mamangu tunasubiri teksi ili twende nyumbani. Hapa nimesimama kwenye foleni. Mamangu ananiimbia wimbo. "Njoo Bwana Teksi kwani huoni! Twasubiri, mimi na Nanu!" Mwanamke aliye karibu nami anawapeleka kuku nyumbani. Watataga mayai ili ale. Wanaume hawa wanarudi kutoka kazini. Wanatabasamu. Nawasikia wakiimba, "Nanu mdogo, usiwe na wasiwasi. Teksi yaja kwa haraka." Mwanamke anapita akitembea. Yuko nadhifu sana. Viatu vyake si vizuri kweli! Vinatoa sauti, "Click, click, click. Click, click, click," anapotembea. Mwanamme huyo anauza vinywaji baridi. Napenda vinywaji baridi. Ni baridi na vitamu sana. Je, unavipenda? Hebu! Kuna wanawake wamebeba vichwani chakula chao cha jioni. Je, si wao ni werevu? Mwanamke huyo anasukwa nywele zake. Ataenda nje leo usiku na marafiki zake. Nimechoka sasa. Mamangu ananiweka mgongoni kwake nikapumzike. Anaimba, "Tafadhali Bwana Teksi, usichelewe. Gogo anasubiri kwenye lango kuu." Kuna rafiki yangu Tumi. Yeye pia anapumzika. Tutakuwa nyumbani hivi karibuni. Hapo juu ndege wanaruka kwenda nyumbani. Lazima wafike nyumbani kabla giza halijaingia. Mwanamke huyu ana vipuli maridadi. Nadhani alivinunua mjini leo. Nikiwa mkubwa, nitanunua vipuli vingi vyangu na vya mamangu. Mamangu anaanza kuchoka sasa. Ninamwimbia wimbo, "Tafadhali Bwana Teksi, njoo. Mimi na mamangu tunasubiri." Ngoja! Ninasikia teksi! Hii hapa inakuja! Hii ni teksi yetu kubwa nyekundu. Imekuja kunipeleka mimi na mamangu nyumbani. Nimefurahi sana! Kwaheri! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Teksi ya Nanu Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © Marion Drew 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni teksi ya rangi gani iliyowachukua Nanu na mamake
{ "text": [ "Nyekundu" ] }
2453_swa
Teksi ya Nanu Hujambo! Jina langu ni Nanu. Mimi na mamangu tunasubiri teksi ili twende nyumbani. Hapa nimesimama kwenye foleni. Mamangu ananiimbia wimbo. "Njoo Bwana Teksi kwani huoni! Twasubiri, mimi na Nanu!" Mwanamke aliye karibu nami anawapeleka kuku nyumbani. Watataga mayai ili ale. Wanaume hawa wanarudi kutoka kazini. Wanatabasamu. Nawasikia wakiimba, "Nanu mdogo, usiwe na wasiwasi. Teksi yaja kwa haraka." Mwanamke anapita akitembea. Yuko nadhifu sana. Viatu vyake si vizuri kweli! Vinatoa sauti, "Click, click, click. Click, click, click," anapotembea. Mwanamme huyo anauza vinywaji baridi. Napenda vinywaji baridi. Ni baridi na vitamu sana. Je, unavipenda? Hebu! Kuna wanawake wamebeba vichwani chakula chao cha jioni. Je, si wao ni werevu? Mwanamke huyo anasukwa nywele zake. Ataenda nje leo usiku na marafiki zake. Nimechoka sasa. Mamangu ananiweka mgongoni kwake nikapumzike. Anaimba, "Tafadhali Bwana Teksi, usichelewe. Gogo anasubiri kwenye lango kuu." Kuna rafiki yangu Tumi. Yeye pia anapumzika. Tutakuwa nyumbani hivi karibuni. Hapo juu ndege wanaruka kwenda nyumbani. Lazima wafike nyumbani kabla giza halijaingia. Mwanamke huyu ana vipuli maridadi. Nadhani alivinunua mjini leo. Nikiwa mkubwa, nitanunua vipuli vingi vyangu na vya mamangu. Mamangu anaanza kuchoka sasa. Ninamwimbia wimbo, "Tafadhali Bwana Teksi, njoo. Mimi na mamangu tunasubiri." Ngoja! Ninasikia teksi! Hii hapa inakuja! Hii ni teksi yetu kubwa nyekundu. Imekuja kunipeleka mimi na mamangu nyumbani. Nimefurahi sana! Kwaheri! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Teksi ya Nanu Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © Marion Drew 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Viatu alivyovaa mwanamke nadhifu vilikuwa vinatoa sauti gani
{ "text": [ "Click, click" ] }
2453_swa
Teksi ya Nanu Hujambo! Jina langu ni Nanu. Mimi na mamangu tunasubiri teksi ili twende nyumbani. Hapa nimesimama kwenye foleni. Mamangu ananiimbia wimbo. "Njoo Bwana Teksi kwani huoni! Twasubiri, mimi na Nanu!" Mwanamke aliye karibu nami anawapeleka kuku nyumbani. Watataga mayai ili ale. Wanaume hawa wanarudi kutoka kazini. Wanatabasamu. Nawasikia wakiimba, "Nanu mdogo, usiwe na wasiwasi. Teksi yaja kwa haraka." Mwanamke anapita akitembea. Yuko nadhifu sana. Viatu vyake si vizuri kweli! Vinatoa sauti, "Click, click, click. Click, click, click," anapotembea. Mwanamme huyo anauza vinywaji baridi. Napenda vinywaji baridi. Ni baridi na vitamu sana. Je, unavipenda? Hebu! Kuna wanawake wamebeba vichwani chakula chao cha jioni. Je, si wao ni werevu? Mwanamke huyo anasukwa nywele zake. Ataenda nje leo usiku na marafiki zake. Nimechoka sasa. Mamangu ananiweka mgongoni kwake nikapumzike. Anaimba, "Tafadhali Bwana Teksi, usichelewe. Gogo anasubiri kwenye lango kuu." Kuna rafiki yangu Tumi. Yeye pia anapumzika. Tutakuwa nyumbani hivi karibuni. Hapo juu ndege wanaruka kwenda nyumbani. Lazima wafike nyumbani kabla giza halijaingia. Mwanamke huyu ana vipuli maridadi. Nadhani alivinunua mjini leo. Nikiwa mkubwa, nitanunua vipuli vingi vyangu na vya mamangu. Mamangu anaanza kuchoka sasa. Ninamwimbia wimbo, "Tafadhali Bwana Teksi, njoo. Mimi na mamangu tunasubiri." Ngoja! Ninasikia teksi! Hii hapa inakuja! Hii ni teksi yetu kubwa nyekundu. Imekuja kunipeleka mimi na mamangu nyumbani. Nimefurahi sana! Kwaheri! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Teksi ya Nanu Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © Marion Drew 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwanamke aliyekuwa karibu na Nanu alikuwa na nini
{ "text": [ "Alikuwa na kuku akiwapeleka nyumbani wakatage mayai" ] }
2453_swa
Teksi ya Nanu Hujambo! Jina langu ni Nanu. Mimi na mamangu tunasubiri teksi ili twende nyumbani. Hapa nimesimama kwenye foleni. Mamangu ananiimbia wimbo. "Njoo Bwana Teksi kwani huoni! Twasubiri, mimi na Nanu!" Mwanamke aliye karibu nami anawapeleka kuku nyumbani. Watataga mayai ili ale. Wanaume hawa wanarudi kutoka kazini. Wanatabasamu. Nawasikia wakiimba, "Nanu mdogo, usiwe na wasiwasi. Teksi yaja kwa haraka." Mwanamke anapita akitembea. Yuko nadhifu sana. Viatu vyake si vizuri kweli! Vinatoa sauti, "Click, click, click. Click, click, click," anapotembea. Mwanamme huyo anauza vinywaji baridi. Napenda vinywaji baridi. Ni baridi na vitamu sana. Je, unavipenda? Hebu! Kuna wanawake wamebeba vichwani chakula chao cha jioni. Je, si wao ni werevu? Mwanamke huyo anasukwa nywele zake. Ataenda nje leo usiku na marafiki zake. Nimechoka sasa. Mamangu ananiweka mgongoni kwake nikapumzike. Anaimba, "Tafadhali Bwana Teksi, usichelewe. Gogo anasubiri kwenye lango kuu." Kuna rafiki yangu Tumi. Yeye pia anapumzika. Tutakuwa nyumbani hivi karibuni. Hapo juu ndege wanaruka kwenda nyumbani. Lazima wafike nyumbani kabla giza halijaingia. Mwanamke huyu ana vipuli maridadi. Nadhani alivinunua mjini leo. Nikiwa mkubwa, nitanunua vipuli vingi vyangu na vya mamangu. Mamangu anaanza kuchoka sasa. Ninamwimbia wimbo, "Tafadhali Bwana Teksi, njoo. Mimi na mamangu tunasubiri." Ngoja! Ninasikia teksi! Hii hapa inakuja! Hii ni teksi yetu kubwa nyekundu. Imekuja kunipeleka mimi na mamangu nyumbani. Nimefurahi sana! Kwaheri! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Teksi ya Nanu Author - Marion Drew Translation - Brigid Simiyu Illustration - Marion Drew Language - Kiswahili Level - First sentences © Marion Drew 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Vipuli alivyokuwa navyo mwanamke alikuwa amevinunua wapi
{ "text": [ "Mjini" ] }
2454_swa
Tembo Mdogo Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma. Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga. Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali. Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua. Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia." Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
nani alikuwa akitembea porini na mamake na dadake
{ "text": [ "Tembo Mdogo" ] }
2454_swa
Tembo Mdogo Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma. Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga. Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali. Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua. Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia." Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
kwa nini Tembo Mdogo hakusita kukubali
{ "text": [ "kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda" ] }
2454_swa
Tembo Mdogo Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma. Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga. Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali. Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua. Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia." Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
nani aliacha kila kitu
{ "text": [ "Panda" ] }