Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
2506_swa | Wayan na kasa
Ursula Nafula
Fabianus Bayu
Kiswahili
Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari.
Watu wa hapo waliamini kwamba mtu
anapokufa, yeye hurudi baharini.
Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi.
Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini
walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati.
Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila
mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki.
Wayan alijifunza kuvua samaki wakati
kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi.
Kulikuwa na samaki wachache, na
walikuwa wadogo kila mara.
Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu,
ingawa walikuwa baharini siku nzima.
Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka
za plastiki zilitupwa mchangani.
Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari.
Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona.
Siku moja, Wayan alipokuwa akivua
samaki, dhoruba ilianza kuvuma.
Akasongwa kwa mawimbi.
Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang.
Nitakusaidia, panda mgongoni
kwangu," Kasa akasema.
"Labda unaweza kunisaidia. Babu
yangu ni mgonjwa sana na hakuna
anayejua la kufanya."
Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana
na alikuwa na shida ya kupumua.
Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema,
"Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!"
Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia.
Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa
limekwama kwenye koo la babu lilitoka!
Babu alianza kupumua kwa urahisi
zaidi. Bintang akamwambia Wayan,
"Nitakupeleka kwa kasa wengine."
Walienda katika Hospitali
iliyowahudumia Kasa. "Ni nini
kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza.
"Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi
kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza.
Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu
wasitupe plastiki ardhini wala majini."
Wayan aliahidi kwamba angefanya
alivyoweza kusaidia. Bintang
alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake.
Wayan aligundua kuwa wanakijiji
walihitaji kusafisha bahari na fuo.
Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa.
Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan.
Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana
juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake.
Watu walikubaliana kupiga marufuku
majani ya plastiki, chupa za plastiki na
mifuko ya plastiki.
Walikubaliana kutupa takataka zao
kwenye mapipa ya takataka tu, na
kuacha kuchoma na kuzika plastiki.
Waliamua kuacha kuvua hadi bahari
itakapokuwa safi.
Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi
zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa.
Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa
uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa
kutokana na kula samaki wagonjwa.
Wayan alijifunza kwamba bahari
inapochafuliwa, sisi sote tunateseka.
Inapokuwa safi, sote tunafurahi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wayan na kasa
Author - Yvette Bezuidenhout
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Fabianus Bayu
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2019
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.wayan.blue
| Wayan alipokua anavua samaki nini ilivuma | {
"text": [
"Dhoruba"
]
} |
2506_swa | Wayan na kasa
Ursula Nafula
Fabianus Bayu
Kiswahili
Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari.
Watu wa hapo waliamini kwamba mtu
anapokufa, yeye hurudi baharini.
Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi.
Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini
walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati.
Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila
mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki.
Wayan alijifunza kuvua samaki wakati
kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi.
Kulikuwa na samaki wachache, na
walikuwa wadogo kila mara.
Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu,
ingawa walikuwa baharini siku nzima.
Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka
za plastiki zilitupwa mchangani.
Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari.
Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona.
Siku moja, Wayan alipokuwa akivua
samaki, dhoruba ilianza kuvuma.
Akasongwa kwa mawimbi.
Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang.
Nitakusaidia, panda mgongoni
kwangu," Kasa akasema.
"Labda unaweza kunisaidia. Babu
yangu ni mgonjwa sana na hakuna
anayejua la kufanya."
Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana
na alikuwa na shida ya kupumua.
Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema,
"Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!"
Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia.
Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa
limekwama kwenye koo la babu lilitoka!
Babu alianza kupumua kwa urahisi
zaidi. Bintang akamwambia Wayan,
"Nitakupeleka kwa kasa wengine."
Walienda katika Hospitali
iliyowahudumia Kasa. "Ni nini
kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza.
"Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi
kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza.
Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu
wasitupe plastiki ardhini wala majini."
Wayan aliahidi kwamba angefanya
alivyoweza kusaidia. Bintang
alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake.
Wayan aligundua kuwa wanakijiji
walihitaji kusafisha bahari na fuo.
Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa.
Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan.
Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana
juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake.
Watu walikubaliana kupiga marufuku
majani ya plastiki, chupa za plastiki na
mifuko ya plastiki.
Walikubaliana kutupa takataka zao
kwenye mapipa ya takataka tu, na
kuacha kuchoma na kuzika plastiki.
Waliamua kuacha kuvua hadi bahari
itakapokuwa safi.
Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi
zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa.
Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa
uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa
kutokana na kula samaki wagonjwa.
Wayan alijifunza kwamba bahari
inapochafuliwa, sisi sote tunateseka.
Inapokuwa safi, sote tunafurahi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wayan na kasa
Author - Yvette Bezuidenhout
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Fabianus Bayu
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2019
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.wayan.blue
| Kwa nini watu wasitupe plastiki | {
"text": [
"Watu watakula wakidhani ni chakula"
]
} |
2508_swa | Wimbo wa Sakima
Ursula Nafula
Peris Wachuka
Kiswahili
Sakima aliishi na wazazi
wake na dada yake
mwenye umri wa miaka
minne.
Waliishi katika shamba la
mtu tajiri.
Nyumba yao ya nyasi
ilikuwa mwisho wa safu ya
miti iliyopendeza.
Sakima alipokuwa na umri
wa miaka mitatu, aliugua
na kupoteza uwezo wa
kuona.
Hata hivyo, Sakima
alikuwa na vipaji vya
kipekee.
Sakima alitenda mambo
mengi ambayo wavulana
wengine wa umri wake
hawakufanya.
Kwa mfano, angeketi na
watu wazima na
kujadiliana nao.
Wazazi wa Sakima
walifanya kazi katika
nyumba ya yule tajiri.
Waliondoka nyumbani
asubuhi na mapema na
kurudi jioni.
Sakima aliachwa na
dadake.
Sakima alipenda kuimba
nyimbo sana.
Siku moja mamake
alimwuliza, "Sakima,
unajifunza nyimbo hizi
kutoka wapi?"
Sakima alimjibu, "Nazisikia
akilini mwangu kisha
naziimba."
Mama hakumwelewa
mwanake.
Sakima alipenda
kumwimbia dadake, hasa
alipohisi njaa.
Dadake alimsikiliza na
kucheza.
"Tafadhali Sakima, niimbie
tena," dada yake
angemsihi.
Sakima angekubali na
kumwiimbia mara
nyingine.
Jioni moja, wazazi wake
waliporudi nyumbani,
walikuwa kimya sana.
Sakima alijua kwamba
lazima kulikuwa na tukio
baya.
"Kuna shida gani, mama,
baba?" Sakima aliwauliza.
Sakima aligundua
kwamba mwana wa tajiri
wao alikuwa amepotea.
Tajiri alikuwa
amehuzunika na kuhisi
upweke mkubwa.
"Labda atafurahi tena
nikimwimbia," Sakima
aliwaambia wazazi wake.
Wazazi wake walidharau
wazo lake. "Yeye ni tajiri.
Wewe ni mvulana
asiyeona. Wimbo wako
utamsaidiaje?"
Hata hivyo, Sakima
hakukata tamaa.
Dada yake vilevile alimpa
moyo, "Nyimbo za Sakima
hunituliza mimi nikiwa na
njaa. Zitamtuliza tajiri pia."
Siku iliyofuata, Sakima
alimwambia dadake
amwongoze hadi kwenye
nyumba ya yule tajiri.
Alisimama chini ya dirisha
moja na kuanza kuimba
wimbo wake alioupenda.
Polepole, kichwa cha yule
tajiri kilianza kuonekana
dirishani.
Wafanyakazi wote
waliacha kazi zao
wakamsikiliza Sakima.
Hata hivyo, mwanamme
mmoja alisema, "Hakuna
aliyefaulu kumtuliza
bwana. Je, huyu mvulana
asiyeona ataweza
kumtuliza?"
Sakima alipomaliza
kuimba wimbo wake
alianza kuondoka.
Tajiri alitoka nje kwa
haraka na kusema,
"Tafadhali, imba wimbo
wako tena."
Wakati huo huo, watu
wawili walikuja wakiwa
wamembeba mtu kwenye
machela.
Walikuwa wamemkuta
mwana wa tajiri akiwa
amechapwa na kuachwa
kando ya barabara.
Tajiri alifurahi sana
kumwona mwanawe tena.
Alimzawadi Sakima kwa
kumliwaza.
Aliwapeleka mwanawe na
Sakima hosipitalini ili
Sakima aweze kusaidiwa
kuona tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wimbo wa Sakima
Author - Ursula Nafula
Illustration - Peris Wachuka
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sakima aliugua na kupoteza uwezo wa kuona akiwa na umri wa miaka mingapi? | {
"text": [
"Mitatu"
]
} |
2508_swa | Wimbo wa Sakima
Ursula Nafula
Peris Wachuka
Kiswahili
Sakima aliishi na wazazi
wake na dada yake
mwenye umri wa miaka
minne.
Waliishi katika shamba la
mtu tajiri.
Nyumba yao ya nyasi
ilikuwa mwisho wa safu ya
miti iliyopendeza.
Sakima alipokuwa na umri
wa miaka mitatu, aliugua
na kupoteza uwezo wa
kuona.
Hata hivyo, Sakima
alikuwa na vipaji vya
kipekee.
Sakima alitenda mambo
mengi ambayo wavulana
wengine wa umri wake
hawakufanya.
Kwa mfano, angeketi na
watu wazima na
kujadiliana nao.
Wazazi wa Sakima
walifanya kazi katika
nyumba ya yule tajiri.
Waliondoka nyumbani
asubuhi na mapema na
kurudi jioni.
Sakima aliachwa na
dadake.
Sakima alipenda kuimba
nyimbo sana.
Siku moja mamake
alimwuliza, "Sakima,
unajifunza nyimbo hizi
kutoka wapi?"
Sakima alimjibu, "Nazisikia
akilini mwangu kisha
naziimba."
Mama hakumwelewa
mwanake.
Sakima alipenda
kumwimbia dadake, hasa
alipohisi njaa.
Dadake alimsikiliza na
kucheza.
"Tafadhali Sakima, niimbie
tena," dada yake
angemsihi.
Sakima angekubali na
kumwiimbia mara
nyingine.
Jioni moja, wazazi wake
waliporudi nyumbani,
walikuwa kimya sana.
Sakima alijua kwamba
lazima kulikuwa na tukio
baya.
"Kuna shida gani, mama,
baba?" Sakima aliwauliza.
Sakima aligundua
kwamba mwana wa tajiri
wao alikuwa amepotea.
Tajiri alikuwa
amehuzunika na kuhisi
upweke mkubwa.
"Labda atafurahi tena
nikimwimbia," Sakima
aliwaambia wazazi wake.
Wazazi wake walidharau
wazo lake. "Yeye ni tajiri.
Wewe ni mvulana
asiyeona. Wimbo wako
utamsaidiaje?"
Hata hivyo, Sakima
hakukata tamaa.
Dada yake vilevile alimpa
moyo, "Nyimbo za Sakima
hunituliza mimi nikiwa na
njaa. Zitamtuliza tajiri pia."
Siku iliyofuata, Sakima
alimwambia dadake
amwongoze hadi kwenye
nyumba ya yule tajiri.
Alisimama chini ya dirisha
moja na kuanza kuimba
wimbo wake alioupenda.
Polepole, kichwa cha yule
tajiri kilianza kuonekana
dirishani.
Wafanyakazi wote
waliacha kazi zao
wakamsikiliza Sakima.
Hata hivyo, mwanamme
mmoja alisema, "Hakuna
aliyefaulu kumtuliza
bwana. Je, huyu mvulana
asiyeona ataweza
kumtuliza?"
Sakima alipomaliza
kuimba wimbo wake
alianza kuondoka.
Tajiri alitoka nje kwa
haraka na kusema,
"Tafadhali, imba wimbo
wako tena."
Wakati huo huo, watu
wawili walikuja wakiwa
wamembeba mtu kwenye
machela.
Walikuwa wamemkuta
mwana wa tajiri akiwa
amechapwa na kuachwa
kando ya barabara.
Tajiri alifurahi sana
kumwona mwanawe tena.
Alimzawadi Sakima kwa
kumliwaza.
Aliwapeleka mwanawe na
Sakima hosipitalini ili
Sakima aweze kusaidiwa
kuona tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wimbo wa Sakima
Author - Ursula Nafula
Illustration - Peris Wachuka
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sakima alikpenda kufanya nini? | {
"text": [
"Kuimba"
]
} |
2508_swa | Wimbo wa Sakima
Ursula Nafula
Peris Wachuka
Kiswahili
Sakima aliishi na wazazi
wake na dada yake
mwenye umri wa miaka
minne.
Waliishi katika shamba la
mtu tajiri.
Nyumba yao ya nyasi
ilikuwa mwisho wa safu ya
miti iliyopendeza.
Sakima alipokuwa na umri
wa miaka mitatu, aliugua
na kupoteza uwezo wa
kuona.
Hata hivyo, Sakima
alikuwa na vipaji vya
kipekee.
Sakima alitenda mambo
mengi ambayo wavulana
wengine wa umri wake
hawakufanya.
Kwa mfano, angeketi na
watu wazima na
kujadiliana nao.
Wazazi wa Sakima
walifanya kazi katika
nyumba ya yule tajiri.
Waliondoka nyumbani
asubuhi na mapema na
kurudi jioni.
Sakima aliachwa na
dadake.
Sakima alipenda kuimba
nyimbo sana.
Siku moja mamake
alimwuliza, "Sakima,
unajifunza nyimbo hizi
kutoka wapi?"
Sakima alimjibu, "Nazisikia
akilini mwangu kisha
naziimba."
Mama hakumwelewa
mwanake.
Sakima alipenda
kumwimbia dadake, hasa
alipohisi njaa.
Dadake alimsikiliza na
kucheza.
"Tafadhali Sakima, niimbie
tena," dada yake
angemsihi.
Sakima angekubali na
kumwiimbia mara
nyingine.
Jioni moja, wazazi wake
waliporudi nyumbani,
walikuwa kimya sana.
Sakima alijua kwamba
lazima kulikuwa na tukio
baya.
"Kuna shida gani, mama,
baba?" Sakima aliwauliza.
Sakima aligundua
kwamba mwana wa tajiri
wao alikuwa amepotea.
Tajiri alikuwa
amehuzunika na kuhisi
upweke mkubwa.
"Labda atafurahi tena
nikimwimbia," Sakima
aliwaambia wazazi wake.
Wazazi wake walidharau
wazo lake. "Yeye ni tajiri.
Wewe ni mvulana
asiyeona. Wimbo wako
utamsaidiaje?"
Hata hivyo, Sakima
hakukata tamaa.
Dada yake vilevile alimpa
moyo, "Nyimbo za Sakima
hunituliza mimi nikiwa na
njaa. Zitamtuliza tajiri pia."
Siku iliyofuata, Sakima
alimwambia dadake
amwongoze hadi kwenye
nyumba ya yule tajiri.
Alisimama chini ya dirisha
moja na kuanza kuimba
wimbo wake alioupenda.
Polepole, kichwa cha yule
tajiri kilianza kuonekana
dirishani.
Wafanyakazi wote
waliacha kazi zao
wakamsikiliza Sakima.
Hata hivyo, mwanamme
mmoja alisema, "Hakuna
aliyefaulu kumtuliza
bwana. Je, huyu mvulana
asiyeona ataweza
kumtuliza?"
Sakima alipomaliza
kuimba wimbo wake
alianza kuondoka.
Tajiri alitoka nje kwa
haraka na kusema,
"Tafadhali, imba wimbo
wako tena."
Wakati huo huo, watu
wawili walikuja wakiwa
wamembeba mtu kwenye
machela.
Walikuwa wamemkuta
mwana wa tajiri akiwa
amechapwa na kuachwa
kando ya barabara.
Tajiri alifurahi sana
kumwona mwanawe tena.
Alimzawadi Sakima kwa
kumliwaza.
Aliwapeleka mwanawe na
Sakima hosipitalini ili
Sakima aweze kusaidiwa
kuona tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wimbo wa Sakima
Author - Ursula Nafula
Illustration - Peris Wachuka
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Wazazi wa Sakima walifanya kazi katika nyumba ya nani? | {
"text": [
"Tajiri"
]
} |
2508_swa | Wimbo wa Sakima
Ursula Nafula
Peris Wachuka
Kiswahili
Sakima aliishi na wazazi
wake na dada yake
mwenye umri wa miaka
minne.
Waliishi katika shamba la
mtu tajiri.
Nyumba yao ya nyasi
ilikuwa mwisho wa safu ya
miti iliyopendeza.
Sakima alipokuwa na umri
wa miaka mitatu, aliugua
na kupoteza uwezo wa
kuona.
Hata hivyo, Sakima
alikuwa na vipaji vya
kipekee.
Sakima alitenda mambo
mengi ambayo wavulana
wengine wa umri wake
hawakufanya.
Kwa mfano, angeketi na
watu wazima na
kujadiliana nao.
Wazazi wa Sakima
walifanya kazi katika
nyumba ya yule tajiri.
Waliondoka nyumbani
asubuhi na mapema na
kurudi jioni.
Sakima aliachwa na
dadake.
Sakima alipenda kuimba
nyimbo sana.
Siku moja mamake
alimwuliza, "Sakima,
unajifunza nyimbo hizi
kutoka wapi?"
Sakima alimjibu, "Nazisikia
akilini mwangu kisha
naziimba."
Mama hakumwelewa
mwanake.
Sakima alipenda
kumwimbia dadake, hasa
alipohisi njaa.
Dadake alimsikiliza na
kucheza.
"Tafadhali Sakima, niimbie
tena," dada yake
angemsihi.
Sakima angekubali na
kumwiimbia mara
nyingine.
Jioni moja, wazazi wake
waliporudi nyumbani,
walikuwa kimya sana.
Sakima alijua kwamba
lazima kulikuwa na tukio
baya.
"Kuna shida gani, mama,
baba?" Sakima aliwauliza.
Sakima aligundua
kwamba mwana wa tajiri
wao alikuwa amepotea.
Tajiri alikuwa
amehuzunika na kuhisi
upweke mkubwa.
"Labda atafurahi tena
nikimwimbia," Sakima
aliwaambia wazazi wake.
Wazazi wake walidharau
wazo lake. "Yeye ni tajiri.
Wewe ni mvulana
asiyeona. Wimbo wako
utamsaidiaje?"
Hata hivyo, Sakima
hakukata tamaa.
Dada yake vilevile alimpa
moyo, "Nyimbo za Sakima
hunituliza mimi nikiwa na
njaa. Zitamtuliza tajiri pia."
Siku iliyofuata, Sakima
alimwambia dadake
amwongoze hadi kwenye
nyumba ya yule tajiri.
Alisimama chini ya dirisha
moja na kuanza kuimba
wimbo wake alioupenda.
Polepole, kichwa cha yule
tajiri kilianza kuonekana
dirishani.
Wafanyakazi wote
waliacha kazi zao
wakamsikiliza Sakima.
Hata hivyo, mwanamme
mmoja alisema, "Hakuna
aliyefaulu kumtuliza
bwana. Je, huyu mvulana
asiyeona ataweza
kumtuliza?"
Sakima alipomaliza
kuimba wimbo wake
alianza kuondoka.
Tajiri alitoka nje kwa
haraka na kusema,
"Tafadhali, imba wimbo
wako tena."
Wakati huo huo, watu
wawili walikuja wakiwa
wamembeba mtu kwenye
machela.
Walikuwa wamemkuta
mwana wa tajiri akiwa
amechapwa na kuachwa
kando ya barabara.
Tajiri alifurahi sana
kumwona mwanawe tena.
Alimzawadi Sakima kwa
kumliwaza.
Aliwapeleka mwanawe na
Sakima hosipitalini ili
Sakima aweze kusaidiwa
kuona tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wimbo wa Sakima
Author - Ursula Nafula
Illustration - Peris Wachuka
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sakima ana ndugu wangapi? | {
"text": [
"Mmoja"
]
} |
2508_swa | Wimbo wa Sakima
Ursula Nafula
Peris Wachuka
Kiswahili
Sakima aliishi na wazazi
wake na dada yake
mwenye umri wa miaka
minne.
Waliishi katika shamba la
mtu tajiri.
Nyumba yao ya nyasi
ilikuwa mwisho wa safu ya
miti iliyopendeza.
Sakima alipokuwa na umri
wa miaka mitatu, aliugua
na kupoteza uwezo wa
kuona.
Hata hivyo, Sakima
alikuwa na vipaji vya
kipekee.
Sakima alitenda mambo
mengi ambayo wavulana
wengine wa umri wake
hawakufanya.
Kwa mfano, angeketi na
watu wazima na
kujadiliana nao.
Wazazi wa Sakima
walifanya kazi katika
nyumba ya yule tajiri.
Waliondoka nyumbani
asubuhi na mapema na
kurudi jioni.
Sakima aliachwa na
dadake.
Sakima alipenda kuimba
nyimbo sana.
Siku moja mamake
alimwuliza, "Sakima,
unajifunza nyimbo hizi
kutoka wapi?"
Sakima alimjibu, "Nazisikia
akilini mwangu kisha
naziimba."
Mama hakumwelewa
mwanake.
Sakima alipenda
kumwimbia dadake, hasa
alipohisi njaa.
Dadake alimsikiliza na
kucheza.
"Tafadhali Sakima, niimbie
tena," dada yake
angemsihi.
Sakima angekubali na
kumwiimbia mara
nyingine.
Jioni moja, wazazi wake
waliporudi nyumbani,
walikuwa kimya sana.
Sakima alijua kwamba
lazima kulikuwa na tukio
baya.
"Kuna shida gani, mama,
baba?" Sakima aliwauliza.
Sakima aligundua
kwamba mwana wa tajiri
wao alikuwa amepotea.
Tajiri alikuwa
amehuzunika na kuhisi
upweke mkubwa.
"Labda atafurahi tena
nikimwimbia," Sakima
aliwaambia wazazi wake.
Wazazi wake walidharau
wazo lake. "Yeye ni tajiri.
Wewe ni mvulana
asiyeona. Wimbo wako
utamsaidiaje?"
Hata hivyo, Sakima
hakukata tamaa.
Dada yake vilevile alimpa
moyo, "Nyimbo za Sakima
hunituliza mimi nikiwa na
njaa. Zitamtuliza tajiri pia."
Siku iliyofuata, Sakima
alimwambia dadake
amwongoze hadi kwenye
nyumba ya yule tajiri.
Alisimama chini ya dirisha
moja na kuanza kuimba
wimbo wake alioupenda.
Polepole, kichwa cha yule
tajiri kilianza kuonekana
dirishani.
Wafanyakazi wote
waliacha kazi zao
wakamsikiliza Sakima.
Hata hivyo, mwanamme
mmoja alisema, "Hakuna
aliyefaulu kumtuliza
bwana. Je, huyu mvulana
asiyeona ataweza
kumtuliza?"
Sakima alipomaliza
kuimba wimbo wake
alianza kuondoka.
Tajiri alitoka nje kwa
haraka na kusema,
"Tafadhali, imba wimbo
wako tena."
Wakati huo huo, watu
wawili walikuja wakiwa
wamembeba mtu kwenye
machela.
Walikuwa wamemkuta
mwana wa tajiri akiwa
amechapwa na kuachwa
kando ya barabara.
Tajiri alifurahi sana
kumwona mwanawe tena.
Alimzawadi Sakima kwa
kumliwaza.
Aliwapeleka mwanawe na
Sakima hosipitalini ili
Sakima aweze kusaidiwa
kuona tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wimbo wa Sakima
Author - Ursula Nafula
Illustration - Peris Wachuka
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sakima aliweza kujadiliana na watu wa aina gani? | {
"text": [
"Wazima waliomshinda miaka"
]
} |
2511_swa | Zawadi ya Sisanda
Ursula Nafula
Kiswahili
Sisanda ni msichana wa umri wa miaka minane. Kila siku anapotoka shule, anavua sare, anakula chakula cha mchana kisha yeye na babu yake wanacheza mchezo waupendao. Wanafurahia sana kucheza hadi Sisanda hataki kuacha. Babu anamkumbusha kuwa angependa kuwa meneja wa benki atakapokuwa mkubwa.
Babu anamwuliza kwa utani, "Utawezaje kuwa meneja wa benki usipokwenda shule ya upili?"
Sisanda anacheka tu. "Nitamaliza masomo ya shule ya upili na hata niende chuo kikuu. Hiyo ndiyo sababu ninatia bidii sana masomoni!"
Sisanda ni mrefu kwa umri wake. Anafuata urefu wa babake. Anamfanana mamake kwa uso wake ulio mfiringo na kwa tabasamu yake. Kila siku wazazi wake huamka mapema na kwenda wanakofanya kazi kwenye hifadhi ya wanyama iliyo karibu. Wakati Sisanda na rafiki zake wanapoanza kwenda shule, mabasi huwa tayari yamewafikisha watalii kwenye hifadhi hiyo ya wanyama.
Maadhimisho ya kuzaliwa kwake iliyopita, Sisanda aliandaliwa sherehe maalum. Wazazi walipata ruhusa ya kuandaa sherehe hiyo katika hifadhi ya wanyama. Twiga walivutiwa sana na watu waliofika kwa sherehe hiyo. Waliyanyoosha mashingo yao marefu wakaiona sherehe vizuri na kutaka kuptata sehemu ya keki! Sisanda aliwapenda twiga zaidi ya wanyama wote kwa ajili ya upole na utulivu wao. Angewatazama kwa siku nzima.
Ijumaa moja, babake Sisanda alikuja nyumbani mapema kutoka kazini. Alionekana kuwa mwenye hasira. Sisanda alimwuliza, "Baba, kuna nini kibaya?" Babake alieleza, "Leo, kundi la nyuki lilimuuma mama twiga. Kichwa chake kilivimba hadi macho yake ya kupendeza yakazibwa. Tulijaribu kumwokoa, lakini ilikuwa bure. Alikufa. Kinachohuzunisha zaidi ni kwamba alikuwa na ndama mchanga ambaye bado anamhitaji."
"Ah, la!" Sisanda alianza kulia. "Heri ningeweza kumsaidia. Labda yule ndama vilevile analia kama mimi." Sisanda alilia kwa muda mrefu. Mamake alijaribu kumfariji. Alimsomea hadithi moja zaidi wakati wa kulala ili aweze kusahau angalau kidogo uchungu aliokuwa nao kumhusu yule ndama. Hatimaye, Sisanda alipatwa na usingizi huku akisikiliza sauti ya mamake.
Asubuhi iliyofuata Sisanda alikuwa na wazo! Alimwuliza babake, "Ninaweza kwenda kufanya kazi nawe leo? Ningependa kumpelekea mtoto twiga zawadi." Wazazi wake walitazamana kisha wakatabasamu, "Ndiyo, bila shaka, unaweza kuja nasi."
Siku hiyo ilikuwa yenye joto na mawingu. Kila kitu katika hifadhi ya wanyama kilitulia. Sisanda alisema, "Nadhani hakuna jua leo kwa sababu ya huzuni wa mtoto twiga." Tembo mkubwa aliitazama familia hiyo ikipita. Mamake Sisanda alisema, "Labda anashangaa kwa nini msichana mdogo anaenda kufanya kazi na wazazi wake." Sisanda aliitkia kwa kichwa. "Atashangaa atakapogundua," Sisanda aliwaza.
Walimpata mtoto twiga akiwa peke yake. Alilegeza shingo lake refu na kuinama. Macho yake makubwa yalipumbaa. Sisanda alisimama aliufungua mkoba wake akatoa kitabu. Wazazi wake walishangaa alipoanza kumsomea mtoto twiga. Mtoto twiga aligeuza kichwa chake akatazama kulikotoka sauti ya Sisanda akasikiliza kama aliyelewa kila neno. Mwanzoni, wazazi walidhani kumsomea twiga ni jambo la ajabu, lakini walibadili mawazo yao walipomwona mtoto twiga akitulia.
"Hadithi yangu ilimfariji," Sisanda alimwambia babu yake alipofika nyumbani. Sisanda alienda kumtembelea mtoto twiga kila alasiri na wakati wa wikendi. Kila alipoenda, alibeba hadithi tofauti kumsomea. Marafiki hao wawili walionekana vizuri pamoja hata watalii waliopita waliwapiga picha.
Polepole, mtoto twiga alianza kupata nguvu. Watu waliofanya kazi katika hafidhi hiyo walimlinda vizuri. Upendo kutoka kwa rafiki yake Sisanda, ulifanya miujiza. Siku moja meneja wa hifadhi alimwuliza Sisanda ampatie rafiki yake mpya jina. "Furaha ni jina nzuri," Sisanda alisema.
Siku iliyofuata meneja wa hifadhi alimpigia simu mwalimu wa Sisanda. Akawaalika wanafunzi wa darasa la Sisanda kumtembelea Furaha. Mtoto twiga alikuwa amekua mrefu na mwenye nguvu katika muda wa miezi mitatu tangu Sisanda alipomtembelea mara ya kwanza.
Siku ya matembezi, wanafunzi 40 wa darasa la 3 walisubiri kwa hamu kufunguliwa kwa lango la hifadhi. Sisanda aliwaongoza wote wakaenda kumwona Furaha. Wengine walimtazama yule twiga mrefu kwa mshangao. Wengine walicheka kwa woga. Mwalimu wao, Bi Keziah, alitabasamu tu.
"Sisanda, rafiki yako ni mrembo. Umemsaidia sana," mwalimu alisema.
"Anaitwaje?" Mvulana mmoja aliuliza. "Anaitwa Furaha," Sisanda alimjibu. Bi Keziah alisema, "Bila shaka anafurahi."
Watoto waliketi chini wakamsikiliza Sisanda akisoma hadithi aliyomsomea Furaha siku aliyomtembelea mara ya kwanza. Meneja wa hifadhi alipiga picha. Baadhi ya watalii waliopita pia walipiga picha. Mpiga picha kutoka gazeti moja vilevile alipiga picha. Aliwaahidi kuwa picha yao ingechapishwa katika gazeti la mtaa wao hivi karibuni. Kila mmoja alishangilia.
Ilikuwa zawadi ya kipekee! Sisanda kusoma hadithi ili kumponya rafiki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Zawadi ya Sisanda
Author - Gcina Mhlophe
Translation - Ursula Nafula
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© Text: Gcina Mhlophe; Illustrations: Jiggs Snaddon-Wood 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sisanda ana umri gani | {
"text": [
"Miaka minane"
]
} |
2511_swa | Zawadi ya Sisanda
Ursula Nafula
Kiswahili
Sisanda ni msichana wa umri wa miaka minane. Kila siku anapotoka shule, anavua sare, anakula chakula cha mchana kisha yeye na babu yake wanacheza mchezo waupendao. Wanafurahia sana kucheza hadi Sisanda hataki kuacha. Babu anamkumbusha kuwa angependa kuwa meneja wa benki atakapokuwa mkubwa.
Babu anamwuliza kwa utani, "Utawezaje kuwa meneja wa benki usipokwenda shule ya upili?"
Sisanda anacheka tu. "Nitamaliza masomo ya shule ya upili na hata niende chuo kikuu. Hiyo ndiyo sababu ninatia bidii sana masomoni!"
Sisanda ni mrefu kwa umri wake. Anafuata urefu wa babake. Anamfanana mamake kwa uso wake ulio mfiringo na kwa tabasamu yake. Kila siku wazazi wake huamka mapema na kwenda wanakofanya kazi kwenye hifadhi ya wanyama iliyo karibu. Wakati Sisanda na rafiki zake wanapoanza kwenda shule, mabasi huwa tayari yamewafikisha watalii kwenye hifadhi hiyo ya wanyama.
Maadhimisho ya kuzaliwa kwake iliyopita, Sisanda aliandaliwa sherehe maalum. Wazazi walipata ruhusa ya kuandaa sherehe hiyo katika hifadhi ya wanyama. Twiga walivutiwa sana na watu waliofika kwa sherehe hiyo. Waliyanyoosha mashingo yao marefu wakaiona sherehe vizuri na kutaka kuptata sehemu ya keki! Sisanda aliwapenda twiga zaidi ya wanyama wote kwa ajili ya upole na utulivu wao. Angewatazama kwa siku nzima.
Ijumaa moja, babake Sisanda alikuja nyumbani mapema kutoka kazini. Alionekana kuwa mwenye hasira. Sisanda alimwuliza, "Baba, kuna nini kibaya?" Babake alieleza, "Leo, kundi la nyuki lilimuuma mama twiga. Kichwa chake kilivimba hadi macho yake ya kupendeza yakazibwa. Tulijaribu kumwokoa, lakini ilikuwa bure. Alikufa. Kinachohuzunisha zaidi ni kwamba alikuwa na ndama mchanga ambaye bado anamhitaji."
"Ah, la!" Sisanda alianza kulia. "Heri ningeweza kumsaidia. Labda yule ndama vilevile analia kama mimi." Sisanda alilia kwa muda mrefu. Mamake alijaribu kumfariji. Alimsomea hadithi moja zaidi wakati wa kulala ili aweze kusahau angalau kidogo uchungu aliokuwa nao kumhusu yule ndama. Hatimaye, Sisanda alipatwa na usingizi huku akisikiliza sauti ya mamake.
Asubuhi iliyofuata Sisanda alikuwa na wazo! Alimwuliza babake, "Ninaweza kwenda kufanya kazi nawe leo? Ningependa kumpelekea mtoto twiga zawadi." Wazazi wake walitazamana kisha wakatabasamu, "Ndiyo, bila shaka, unaweza kuja nasi."
Siku hiyo ilikuwa yenye joto na mawingu. Kila kitu katika hifadhi ya wanyama kilitulia. Sisanda alisema, "Nadhani hakuna jua leo kwa sababu ya huzuni wa mtoto twiga." Tembo mkubwa aliitazama familia hiyo ikipita. Mamake Sisanda alisema, "Labda anashangaa kwa nini msichana mdogo anaenda kufanya kazi na wazazi wake." Sisanda aliitkia kwa kichwa. "Atashangaa atakapogundua," Sisanda aliwaza.
Walimpata mtoto twiga akiwa peke yake. Alilegeza shingo lake refu na kuinama. Macho yake makubwa yalipumbaa. Sisanda alisimama aliufungua mkoba wake akatoa kitabu. Wazazi wake walishangaa alipoanza kumsomea mtoto twiga. Mtoto twiga aligeuza kichwa chake akatazama kulikotoka sauti ya Sisanda akasikiliza kama aliyelewa kila neno. Mwanzoni, wazazi walidhani kumsomea twiga ni jambo la ajabu, lakini walibadili mawazo yao walipomwona mtoto twiga akitulia.
"Hadithi yangu ilimfariji," Sisanda alimwambia babu yake alipofika nyumbani. Sisanda alienda kumtembelea mtoto twiga kila alasiri na wakati wa wikendi. Kila alipoenda, alibeba hadithi tofauti kumsomea. Marafiki hao wawili walionekana vizuri pamoja hata watalii waliopita waliwapiga picha.
Polepole, mtoto twiga alianza kupata nguvu. Watu waliofanya kazi katika hafidhi hiyo walimlinda vizuri. Upendo kutoka kwa rafiki yake Sisanda, ulifanya miujiza. Siku moja meneja wa hifadhi alimwuliza Sisanda ampatie rafiki yake mpya jina. "Furaha ni jina nzuri," Sisanda alisema.
Siku iliyofuata meneja wa hifadhi alimpigia simu mwalimu wa Sisanda. Akawaalika wanafunzi wa darasa la Sisanda kumtembelea Furaha. Mtoto twiga alikuwa amekua mrefu na mwenye nguvu katika muda wa miezi mitatu tangu Sisanda alipomtembelea mara ya kwanza.
Siku ya matembezi, wanafunzi 40 wa darasa la 3 walisubiri kwa hamu kufunguliwa kwa lango la hifadhi. Sisanda aliwaongoza wote wakaenda kumwona Furaha. Wengine walimtazama yule twiga mrefu kwa mshangao. Wengine walicheka kwa woga. Mwalimu wao, Bi Keziah, alitabasamu tu.
"Sisanda, rafiki yako ni mrembo. Umemsaidia sana," mwalimu alisema.
"Anaitwaje?" Mvulana mmoja aliuliza. "Anaitwa Furaha," Sisanda alimjibu. Bi Keziah alisema, "Bila shaka anafurahi."
Watoto waliketi chini wakamsikiliza Sisanda akisoma hadithi aliyomsomea Furaha siku aliyomtembelea mara ya kwanza. Meneja wa hifadhi alipiga picha. Baadhi ya watalii waliopita pia walipiga picha. Mpiga picha kutoka gazeti moja vilevile alipiga picha. Aliwaahidi kuwa picha yao ingechapishwa katika gazeti la mtaa wao hivi karibuni. Kila mmoja alishangilia.
Ilikuwa zawadi ya kipekee! Sisanda kusoma hadithi ili kumponya rafiki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Zawadi ya Sisanda
Author - Gcina Mhlophe
Translation - Ursula Nafula
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© Text: Gcina Mhlophe; Illustrations: Jiggs Snaddon-Wood 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nani aliye mrefu kwa umri wake | {
"text": [
"Sisanda"
]
} |
2511_swa | Zawadi ya Sisanda
Ursula Nafula
Kiswahili
Sisanda ni msichana wa umri wa miaka minane. Kila siku anapotoka shule, anavua sare, anakula chakula cha mchana kisha yeye na babu yake wanacheza mchezo waupendao. Wanafurahia sana kucheza hadi Sisanda hataki kuacha. Babu anamkumbusha kuwa angependa kuwa meneja wa benki atakapokuwa mkubwa.
Babu anamwuliza kwa utani, "Utawezaje kuwa meneja wa benki usipokwenda shule ya upili?"
Sisanda anacheka tu. "Nitamaliza masomo ya shule ya upili na hata niende chuo kikuu. Hiyo ndiyo sababu ninatia bidii sana masomoni!"
Sisanda ni mrefu kwa umri wake. Anafuata urefu wa babake. Anamfanana mamake kwa uso wake ulio mfiringo na kwa tabasamu yake. Kila siku wazazi wake huamka mapema na kwenda wanakofanya kazi kwenye hifadhi ya wanyama iliyo karibu. Wakati Sisanda na rafiki zake wanapoanza kwenda shule, mabasi huwa tayari yamewafikisha watalii kwenye hifadhi hiyo ya wanyama.
Maadhimisho ya kuzaliwa kwake iliyopita, Sisanda aliandaliwa sherehe maalum. Wazazi walipata ruhusa ya kuandaa sherehe hiyo katika hifadhi ya wanyama. Twiga walivutiwa sana na watu waliofika kwa sherehe hiyo. Waliyanyoosha mashingo yao marefu wakaiona sherehe vizuri na kutaka kuptata sehemu ya keki! Sisanda aliwapenda twiga zaidi ya wanyama wote kwa ajili ya upole na utulivu wao. Angewatazama kwa siku nzima.
Ijumaa moja, babake Sisanda alikuja nyumbani mapema kutoka kazini. Alionekana kuwa mwenye hasira. Sisanda alimwuliza, "Baba, kuna nini kibaya?" Babake alieleza, "Leo, kundi la nyuki lilimuuma mama twiga. Kichwa chake kilivimba hadi macho yake ya kupendeza yakazibwa. Tulijaribu kumwokoa, lakini ilikuwa bure. Alikufa. Kinachohuzunisha zaidi ni kwamba alikuwa na ndama mchanga ambaye bado anamhitaji."
"Ah, la!" Sisanda alianza kulia. "Heri ningeweza kumsaidia. Labda yule ndama vilevile analia kama mimi." Sisanda alilia kwa muda mrefu. Mamake alijaribu kumfariji. Alimsomea hadithi moja zaidi wakati wa kulala ili aweze kusahau angalau kidogo uchungu aliokuwa nao kumhusu yule ndama. Hatimaye, Sisanda alipatwa na usingizi huku akisikiliza sauti ya mamake.
Asubuhi iliyofuata Sisanda alikuwa na wazo! Alimwuliza babake, "Ninaweza kwenda kufanya kazi nawe leo? Ningependa kumpelekea mtoto twiga zawadi." Wazazi wake walitazamana kisha wakatabasamu, "Ndiyo, bila shaka, unaweza kuja nasi."
Siku hiyo ilikuwa yenye joto na mawingu. Kila kitu katika hifadhi ya wanyama kilitulia. Sisanda alisema, "Nadhani hakuna jua leo kwa sababu ya huzuni wa mtoto twiga." Tembo mkubwa aliitazama familia hiyo ikipita. Mamake Sisanda alisema, "Labda anashangaa kwa nini msichana mdogo anaenda kufanya kazi na wazazi wake." Sisanda aliitkia kwa kichwa. "Atashangaa atakapogundua," Sisanda aliwaza.
Walimpata mtoto twiga akiwa peke yake. Alilegeza shingo lake refu na kuinama. Macho yake makubwa yalipumbaa. Sisanda alisimama aliufungua mkoba wake akatoa kitabu. Wazazi wake walishangaa alipoanza kumsomea mtoto twiga. Mtoto twiga aligeuza kichwa chake akatazama kulikotoka sauti ya Sisanda akasikiliza kama aliyelewa kila neno. Mwanzoni, wazazi walidhani kumsomea twiga ni jambo la ajabu, lakini walibadili mawazo yao walipomwona mtoto twiga akitulia.
"Hadithi yangu ilimfariji," Sisanda alimwambia babu yake alipofika nyumbani. Sisanda alienda kumtembelea mtoto twiga kila alasiri na wakati wa wikendi. Kila alipoenda, alibeba hadithi tofauti kumsomea. Marafiki hao wawili walionekana vizuri pamoja hata watalii waliopita waliwapiga picha.
Polepole, mtoto twiga alianza kupata nguvu. Watu waliofanya kazi katika hafidhi hiyo walimlinda vizuri. Upendo kutoka kwa rafiki yake Sisanda, ulifanya miujiza. Siku moja meneja wa hifadhi alimwuliza Sisanda ampatie rafiki yake mpya jina. "Furaha ni jina nzuri," Sisanda alisema.
Siku iliyofuata meneja wa hifadhi alimpigia simu mwalimu wa Sisanda. Akawaalika wanafunzi wa darasa la Sisanda kumtembelea Furaha. Mtoto twiga alikuwa amekua mrefu na mwenye nguvu katika muda wa miezi mitatu tangu Sisanda alipomtembelea mara ya kwanza.
Siku ya matembezi, wanafunzi 40 wa darasa la 3 walisubiri kwa hamu kufunguliwa kwa lango la hifadhi. Sisanda aliwaongoza wote wakaenda kumwona Furaha. Wengine walimtazama yule twiga mrefu kwa mshangao. Wengine walicheka kwa woga. Mwalimu wao, Bi Keziah, alitabasamu tu.
"Sisanda, rafiki yako ni mrembo. Umemsaidia sana," mwalimu alisema.
"Anaitwaje?" Mvulana mmoja aliuliza. "Anaitwa Furaha," Sisanda alimjibu. Bi Keziah alisema, "Bila shaka anafurahi."
Watoto waliketi chini wakamsikiliza Sisanda akisoma hadithi aliyomsomea Furaha siku aliyomtembelea mara ya kwanza. Meneja wa hifadhi alipiga picha. Baadhi ya watalii waliopita pia walipiga picha. Mpiga picha kutoka gazeti moja vilevile alipiga picha. Aliwaahidi kuwa picha yao ingechapishwa katika gazeti la mtaa wao hivi karibuni. Kila mmoja alishangilia.
Ilikuwa zawadi ya kipekee! Sisanda kusoma hadithi ili kumponya rafiki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Zawadi ya Sisanda
Author - Gcina Mhlophe
Translation - Ursula Nafula
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© Text: Gcina Mhlophe; Illustrations: Jiggs Snaddon-Wood 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kundi la nyuki lilimuuma nani | {
"text": [
"Mama twiga"
]
} |
2511_swa | Zawadi ya Sisanda
Ursula Nafula
Kiswahili
Sisanda ni msichana wa umri wa miaka minane. Kila siku anapotoka shule, anavua sare, anakula chakula cha mchana kisha yeye na babu yake wanacheza mchezo waupendao. Wanafurahia sana kucheza hadi Sisanda hataki kuacha. Babu anamkumbusha kuwa angependa kuwa meneja wa benki atakapokuwa mkubwa.
Babu anamwuliza kwa utani, "Utawezaje kuwa meneja wa benki usipokwenda shule ya upili?"
Sisanda anacheka tu. "Nitamaliza masomo ya shule ya upili na hata niende chuo kikuu. Hiyo ndiyo sababu ninatia bidii sana masomoni!"
Sisanda ni mrefu kwa umri wake. Anafuata urefu wa babake. Anamfanana mamake kwa uso wake ulio mfiringo na kwa tabasamu yake. Kila siku wazazi wake huamka mapema na kwenda wanakofanya kazi kwenye hifadhi ya wanyama iliyo karibu. Wakati Sisanda na rafiki zake wanapoanza kwenda shule, mabasi huwa tayari yamewafikisha watalii kwenye hifadhi hiyo ya wanyama.
Maadhimisho ya kuzaliwa kwake iliyopita, Sisanda aliandaliwa sherehe maalum. Wazazi walipata ruhusa ya kuandaa sherehe hiyo katika hifadhi ya wanyama. Twiga walivutiwa sana na watu waliofika kwa sherehe hiyo. Waliyanyoosha mashingo yao marefu wakaiona sherehe vizuri na kutaka kuptata sehemu ya keki! Sisanda aliwapenda twiga zaidi ya wanyama wote kwa ajili ya upole na utulivu wao. Angewatazama kwa siku nzima.
Ijumaa moja, babake Sisanda alikuja nyumbani mapema kutoka kazini. Alionekana kuwa mwenye hasira. Sisanda alimwuliza, "Baba, kuna nini kibaya?" Babake alieleza, "Leo, kundi la nyuki lilimuuma mama twiga. Kichwa chake kilivimba hadi macho yake ya kupendeza yakazibwa. Tulijaribu kumwokoa, lakini ilikuwa bure. Alikufa. Kinachohuzunisha zaidi ni kwamba alikuwa na ndama mchanga ambaye bado anamhitaji."
"Ah, la!" Sisanda alianza kulia. "Heri ningeweza kumsaidia. Labda yule ndama vilevile analia kama mimi." Sisanda alilia kwa muda mrefu. Mamake alijaribu kumfariji. Alimsomea hadithi moja zaidi wakati wa kulala ili aweze kusahau angalau kidogo uchungu aliokuwa nao kumhusu yule ndama. Hatimaye, Sisanda alipatwa na usingizi huku akisikiliza sauti ya mamake.
Asubuhi iliyofuata Sisanda alikuwa na wazo! Alimwuliza babake, "Ninaweza kwenda kufanya kazi nawe leo? Ningependa kumpelekea mtoto twiga zawadi." Wazazi wake walitazamana kisha wakatabasamu, "Ndiyo, bila shaka, unaweza kuja nasi."
Siku hiyo ilikuwa yenye joto na mawingu. Kila kitu katika hifadhi ya wanyama kilitulia. Sisanda alisema, "Nadhani hakuna jua leo kwa sababu ya huzuni wa mtoto twiga." Tembo mkubwa aliitazama familia hiyo ikipita. Mamake Sisanda alisema, "Labda anashangaa kwa nini msichana mdogo anaenda kufanya kazi na wazazi wake." Sisanda aliitkia kwa kichwa. "Atashangaa atakapogundua," Sisanda aliwaza.
Walimpata mtoto twiga akiwa peke yake. Alilegeza shingo lake refu na kuinama. Macho yake makubwa yalipumbaa. Sisanda alisimama aliufungua mkoba wake akatoa kitabu. Wazazi wake walishangaa alipoanza kumsomea mtoto twiga. Mtoto twiga aligeuza kichwa chake akatazama kulikotoka sauti ya Sisanda akasikiliza kama aliyelewa kila neno. Mwanzoni, wazazi walidhani kumsomea twiga ni jambo la ajabu, lakini walibadili mawazo yao walipomwona mtoto twiga akitulia.
"Hadithi yangu ilimfariji," Sisanda alimwambia babu yake alipofika nyumbani. Sisanda alienda kumtembelea mtoto twiga kila alasiri na wakati wa wikendi. Kila alipoenda, alibeba hadithi tofauti kumsomea. Marafiki hao wawili walionekana vizuri pamoja hata watalii waliopita waliwapiga picha.
Polepole, mtoto twiga alianza kupata nguvu. Watu waliofanya kazi katika hafidhi hiyo walimlinda vizuri. Upendo kutoka kwa rafiki yake Sisanda, ulifanya miujiza. Siku moja meneja wa hifadhi alimwuliza Sisanda ampatie rafiki yake mpya jina. "Furaha ni jina nzuri," Sisanda alisema.
Siku iliyofuata meneja wa hifadhi alimpigia simu mwalimu wa Sisanda. Akawaalika wanafunzi wa darasa la Sisanda kumtembelea Furaha. Mtoto twiga alikuwa amekua mrefu na mwenye nguvu katika muda wa miezi mitatu tangu Sisanda alipomtembelea mara ya kwanza.
Siku ya matembezi, wanafunzi 40 wa darasa la 3 walisubiri kwa hamu kufunguliwa kwa lango la hifadhi. Sisanda aliwaongoza wote wakaenda kumwona Furaha. Wengine walimtazama yule twiga mrefu kwa mshangao. Wengine walicheka kwa woga. Mwalimu wao, Bi Keziah, alitabasamu tu.
"Sisanda, rafiki yako ni mrembo. Umemsaidia sana," mwalimu alisema.
"Anaitwaje?" Mvulana mmoja aliuliza. "Anaitwa Furaha," Sisanda alimjibu. Bi Keziah alisema, "Bila shaka anafurahi."
Watoto waliketi chini wakamsikiliza Sisanda akisoma hadithi aliyomsomea Furaha siku aliyomtembelea mara ya kwanza. Meneja wa hifadhi alipiga picha. Baadhi ya watalii waliopita pia walipiga picha. Mpiga picha kutoka gazeti moja vilevile alipiga picha. Aliwaahidi kuwa picha yao ingechapishwa katika gazeti la mtaa wao hivi karibuni. Kila mmoja alishangilia.
Ilikuwa zawadi ya kipekee! Sisanda kusoma hadithi ili kumponya rafiki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Zawadi ya Sisanda
Author - Gcina Mhlophe
Translation - Ursula Nafula
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© Text: Gcina Mhlophe; Illustrations: Jiggs Snaddon-Wood 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mwalimu wao Bi Keziah alifanya nini | {
"text": [
"Alitabasamu"
]
} |
2511_swa | Zawadi ya Sisanda
Ursula Nafula
Kiswahili
Sisanda ni msichana wa umri wa miaka minane. Kila siku anapotoka shule, anavua sare, anakula chakula cha mchana kisha yeye na babu yake wanacheza mchezo waupendao. Wanafurahia sana kucheza hadi Sisanda hataki kuacha. Babu anamkumbusha kuwa angependa kuwa meneja wa benki atakapokuwa mkubwa.
Babu anamwuliza kwa utani, "Utawezaje kuwa meneja wa benki usipokwenda shule ya upili?"
Sisanda anacheka tu. "Nitamaliza masomo ya shule ya upili na hata niende chuo kikuu. Hiyo ndiyo sababu ninatia bidii sana masomoni!"
Sisanda ni mrefu kwa umri wake. Anafuata urefu wa babake. Anamfanana mamake kwa uso wake ulio mfiringo na kwa tabasamu yake. Kila siku wazazi wake huamka mapema na kwenda wanakofanya kazi kwenye hifadhi ya wanyama iliyo karibu. Wakati Sisanda na rafiki zake wanapoanza kwenda shule, mabasi huwa tayari yamewafikisha watalii kwenye hifadhi hiyo ya wanyama.
Maadhimisho ya kuzaliwa kwake iliyopita, Sisanda aliandaliwa sherehe maalum. Wazazi walipata ruhusa ya kuandaa sherehe hiyo katika hifadhi ya wanyama. Twiga walivutiwa sana na watu waliofika kwa sherehe hiyo. Waliyanyoosha mashingo yao marefu wakaiona sherehe vizuri na kutaka kuptata sehemu ya keki! Sisanda aliwapenda twiga zaidi ya wanyama wote kwa ajili ya upole na utulivu wao. Angewatazama kwa siku nzima.
Ijumaa moja, babake Sisanda alikuja nyumbani mapema kutoka kazini. Alionekana kuwa mwenye hasira. Sisanda alimwuliza, "Baba, kuna nini kibaya?" Babake alieleza, "Leo, kundi la nyuki lilimuuma mama twiga. Kichwa chake kilivimba hadi macho yake ya kupendeza yakazibwa. Tulijaribu kumwokoa, lakini ilikuwa bure. Alikufa. Kinachohuzunisha zaidi ni kwamba alikuwa na ndama mchanga ambaye bado anamhitaji."
"Ah, la!" Sisanda alianza kulia. "Heri ningeweza kumsaidia. Labda yule ndama vilevile analia kama mimi." Sisanda alilia kwa muda mrefu. Mamake alijaribu kumfariji. Alimsomea hadithi moja zaidi wakati wa kulala ili aweze kusahau angalau kidogo uchungu aliokuwa nao kumhusu yule ndama. Hatimaye, Sisanda alipatwa na usingizi huku akisikiliza sauti ya mamake.
Asubuhi iliyofuata Sisanda alikuwa na wazo! Alimwuliza babake, "Ninaweza kwenda kufanya kazi nawe leo? Ningependa kumpelekea mtoto twiga zawadi." Wazazi wake walitazamana kisha wakatabasamu, "Ndiyo, bila shaka, unaweza kuja nasi."
Siku hiyo ilikuwa yenye joto na mawingu. Kila kitu katika hifadhi ya wanyama kilitulia. Sisanda alisema, "Nadhani hakuna jua leo kwa sababu ya huzuni wa mtoto twiga." Tembo mkubwa aliitazama familia hiyo ikipita. Mamake Sisanda alisema, "Labda anashangaa kwa nini msichana mdogo anaenda kufanya kazi na wazazi wake." Sisanda aliitkia kwa kichwa. "Atashangaa atakapogundua," Sisanda aliwaza.
Walimpata mtoto twiga akiwa peke yake. Alilegeza shingo lake refu na kuinama. Macho yake makubwa yalipumbaa. Sisanda alisimama aliufungua mkoba wake akatoa kitabu. Wazazi wake walishangaa alipoanza kumsomea mtoto twiga. Mtoto twiga aligeuza kichwa chake akatazama kulikotoka sauti ya Sisanda akasikiliza kama aliyelewa kila neno. Mwanzoni, wazazi walidhani kumsomea twiga ni jambo la ajabu, lakini walibadili mawazo yao walipomwona mtoto twiga akitulia.
"Hadithi yangu ilimfariji," Sisanda alimwambia babu yake alipofika nyumbani. Sisanda alienda kumtembelea mtoto twiga kila alasiri na wakati wa wikendi. Kila alipoenda, alibeba hadithi tofauti kumsomea. Marafiki hao wawili walionekana vizuri pamoja hata watalii waliopita waliwapiga picha.
Polepole, mtoto twiga alianza kupata nguvu. Watu waliofanya kazi katika hafidhi hiyo walimlinda vizuri. Upendo kutoka kwa rafiki yake Sisanda, ulifanya miujiza. Siku moja meneja wa hifadhi alimwuliza Sisanda ampatie rafiki yake mpya jina. "Furaha ni jina nzuri," Sisanda alisema.
Siku iliyofuata meneja wa hifadhi alimpigia simu mwalimu wa Sisanda. Akawaalika wanafunzi wa darasa la Sisanda kumtembelea Furaha. Mtoto twiga alikuwa amekua mrefu na mwenye nguvu katika muda wa miezi mitatu tangu Sisanda alipomtembelea mara ya kwanza.
Siku ya matembezi, wanafunzi 40 wa darasa la 3 walisubiri kwa hamu kufunguliwa kwa lango la hifadhi. Sisanda aliwaongoza wote wakaenda kumwona Furaha. Wengine walimtazama yule twiga mrefu kwa mshangao. Wengine walicheka kwa woga. Mwalimu wao, Bi Keziah, alitabasamu tu.
"Sisanda, rafiki yako ni mrembo. Umemsaidia sana," mwalimu alisema.
"Anaitwaje?" Mvulana mmoja aliuliza. "Anaitwa Furaha," Sisanda alimjibu. Bi Keziah alisema, "Bila shaka anafurahi."
Watoto waliketi chini wakamsikiliza Sisanda akisoma hadithi aliyomsomea Furaha siku aliyomtembelea mara ya kwanza. Meneja wa hifadhi alipiga picha. Baadhi ya watalii waliopita pia walipiga picha. Mpiga picha kutoka gazeti moja vilevile alipiga picha. Aliwaahidi kuwa picha yao ingechapishwa katika gazeti la mtaa wao hivi karibuni. Kila mmoja alishangilia.
Ilikuwa zawadi ya kipekee! Sisanda kusoma hadithi ili kumponya rafiki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Zawadi ya Sisanda
Author - Gcina Mhlophe
Translation - Ursula Nafula
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© Text: Gcina Mhlophe; Illustrations: Jiggs Snaddon-Wood 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwa nini Sisanda aliwapenda twiga zaidi ya wanyama wote | {
"text": [
"Kwa ajili ya upole na utulivu wao"
]
} |
2512_swa | Ziara ya Mombasa
Naomi Karimi
Abraham Muzee
Kiswahili
Kim na binamu yake Caro,
wilipanga kwenda
Mombasa kumtembelea
shangazi yao. Siku ya
safari waliamka mapema
kujitayalisha.
Walikuwa wandamane na
mjomba wao Sifa. Saa
mbili kasororobo, mlango
ukabishwa. Kim alikimbia
kuufungua.
"Mjomba Sifa, karibu sana!
Tuko tayari," Kim
alimwamkua.
"Samahani sitaweza
kufunga Safari leo.Nina
Jambo la tharura
sana.Nitawapeleka katika
kituo cha Gari moshi
harafu shangazi wenu
atawasubili stasheni
Mombasa.
Walifika katika stesheni ya
Gari moshi ya Nairobi na
kuabili gari hilo.Baada ya
muda mfupi,garimoshi
liliondoka kwenye stesheni
kwa mwendo wa
Kasi.wakampungia mkono
mjomba wao Tobiko
wakiwa na furaha tele.
Baada ya muda wa masaa
matatu hivi safarini
muhudumu aliwapakulia
chakula cha mchana.Ni
raha iliyoje kuandaliwa
chakula ndani ya
garimoshi.Kim na Caro
walicheza mchezo wa kadi
Safarini huku wakipanga
maeneo watakayozulu
walifika Mombasa.
Walifika Mombasa
jioni.Shangazi yao alikuwa
amewasubili karibu na
lango lakuondoka
stesheni.Shangazi
aliwapeleka nyumbani
kwake.
Kesho yake Baada ya
kuoga waliondoka kuzulu
Fort Jesus ambapo
waliona ngome na vitu za
zamani sana.
Waliona sanamu za
waswahili na kisima cha
zamani kilichotumiwa na
wareno.Pia waliona
chumba mahalumu
kilichotumika kama
ngeleza na wakoloni.
Ilipofika saa saba mchana
walienda kula chamcha
kisha wakaelekea Bamburi
kwa matembezi ya
msituni.Msituni
walimuona kobe mkubwa
sana mwenye miaka zaidi
ya mia moja.wakapigwa
picha naye.Pia waliwaona
pundamilia sungura na
twiga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziara ya Mombasa
Author - Naomi Karimi
Illustration - Abraham Muzee and Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni kina nani waliandaa safari ya kwenda Mombasa | {
"text": [
"Kim na Caro"
]
} |
2512_swa | Ziara ya Mombasa
Naomi Karimi
Abraham Muzee
Kiswahili
Kim na binamu yake Caro,
wilipanga kwenda
Mombasa kumtembelea
shangazi yao. Siku ya
safari waliamka mapema
kujitayalisha.
Walikuwa wandamane na
mjomba wao Sifa. Saa
mbili kasororobo, mlango
ukabishwa. Kim alikimbia
kuufungua.
"Mjomba Sifa, karibu sana!
Tuko tayari," Kim
alimwamkua.
"Samahani sitaweza
kufunga Safari leo.Nina
Jambo la tharura
sana.Nitawapeleka katika
kituo cha Gari moshi
harafu shangazi wenu
atawasubili stasheni
Mombasa.
Walifika katika stesheni ya
Gari moshi ya Nairobi na
kuabili gari hilo.Baada ya
muda mfupi,garimoshi
liliondoka kwenye stesheni
kwa mwendo wa
Kasi.wakampungia mkono
mjomba wao Tobiko
wakiwa na furaha tele.
Baada ya muda wa masaa
matatu hivi safarini
muhudumu aliwapakulia
chakula cha mchana.Ni
raha iliyoje kuandaliwa
chakula ndani ya
garimoshi.Kim na Caro
walicheza mchezo wa kadi
Safarini huku wakipanga
maeneo watakayozulu
walifika Mombasa.
Walifika Mombasa
jioni.Shangazi yao alikuwa
amewasubili karibu na
lango lakuondoka
stesheni.Shangazi
aliwapeleka nyumbani
kwake.
Kesho yake Baada ya
kuoga waliondoka kuzulu
Fort Jesus ambapo
waliona ngome na vitu za
zamani sana.
Waliona sanamu za
waswahili na kisima cha
zamani kilichotumiwa na
wareno.Pia waliona
chumba mahalumu
kilichotumika kama
ngeleza na wakoloni.
Ilipofika saa saba mchana
walienda kula chamcha
kisha wakaelekea Bamburi
kwa matembezi ya
msituni.Msituni
walimuona kobe mkubwa
sana mwenye miaka zaidi
ya mia moja.wakapigwa
picha naye.Pia waliwaona
pundamilia sungura na
twiga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziara ya Mombasa
Author - Naomi Karimi
Illustration - Abraham Muzee and Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni nani aliubisha mlango SAA mbili kasorobo | {
"text": [
"Mjomba Sifa"
]
} |
2512_swa | Ziara ya Mombasa
Naomi Karimi
Abraham Muzee
Kiswahili
Kim na binamu yake Caro,
wilipanga kwenda
Mombasa kumtembelea
shangazi yao. Siku ya
safari waliamka mapema
kujitayalisha.
Walikuwa wandamane na
mjomba wao Sifa. Saa
mbili kasororobo, mlango
ukabishwa. Kim alikimbia
kuufungua.
"Mjomba Sifa, karibu sana!
Tuko tayari," Kim
alimwamkua.
"Samahani sitaweza
kufunga Safari leo.Nina
Jambo la tharura
sana.Nitawapeleka katika
kituo cha Gari moshi
harafu shangazi wenu
atawasubili stasheni
Mombasa.
Walifika katika stesheni ya
Gari moshi ya Nairobi na
kuabili gari hilo.Baada ya
muda mfupi,garimoshi
liliondoka kwenye stesheni
kwa mwendo wa
Kasi.wakampungia mkono
mjomba wao Tobiko
wakiwa na furaha tele.
Baada ya muda wa masaa
matatu hivi safarini
muhudumu aliwapakulia
chakula cha mchana.Ni
raha iliyoje kuandaliwa
chakula ndani ya
garimoshi.Kim na Caro
walicheza mchezo wa kadi
Safarini huku wakipanga
maeneo watakayozulu
walifika Mombasa.
Walifika Mombasa
jioni.Shangazi yao alikuwa
amewasubili karibu na
lango lakuondoka
stesheni.Shangazi
aliwapeleka nyumbani
kwake.
Kesho yake Baada ya
kuoga waliondoka kuzulu
Fort Jesus ambapo
waliona ngome na vitu za
zamani sana.
Waliona sanamu za
waswahili na kisima cha
zamani kilichotumiwa na
wareno.Pia waliona
chumba mahalumu
kilichotumika kama
ngeleza na wakoloni.
Ilipofika saa saba mchana
walienda kula chamcha
kisha wakaelekea Bamburi
kwa matembezi ya
msituni.Msituni
walimuona kobe mkubwa
sana mwenye miaka zaidi
ya mia moja.wakapigwa
picha naye.Pia waliwaona
pundamilia sungura na
twiga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziara ya Mombasa
Author - Naomi Karimi
Illustration - Abraham Muzee and Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kim na Caro walicheza mchezo upi wakiwa safarini | {
"text": [
"Mchezo wa kadi"
]
} |
2512_swa | Ziara ya Mombasa
Naomi Karimi
Abraham Muzee
Kiswahili
Kim na binamu yake Caro,
wilipanga kwenda
Mombasa kumtembelea
shangazi yao. Siku ya
safari waliamka mapema
kujitayalisha.
Walikuwa wandamane na
mjomba wao Sifa. Saa
mbili kasororobo, mlango
ukabishwa. Kim alikimbia
kuufungua.
"Mjomba Sifa, karibu sana!
Tuko tayari," Kim
alimwamkua.
"Samahani sitaweza
kufunga Safari leo.Nina
Jambo la tharura
sana.Nitawapeleka katika
kituo cha Gari moshi
harafu shangazi wenu
atawasubili stasheni
Mombasa.
Walifika katika stesheni ya
Gari moshi ya Nairobi na
kuabili gari hilo.Baada ya
muda mfupi,garimoshi
liliondoka kwenye stesheni
kwa mwendo wa
Kasi.wakampungia mkono
mjomba wao Tobiko
wakiwa na furaha tele.
Baada ya muda wa masaa
matatu hivi safarini
muhudumu aliwapakulia
chakula cha mchana.Ni
raha iliyoje kuandaliwa
chakula ndani ya
garimoshi.Kim na Caro
walicheza mchezo wa kadi
Safarini huku wakipanga
maeneo watakayozulu
walifika Mombasa.
Walifika Mombasa
jioni.Shangazi yao alikuwa
amewasubili karibu na
lango lakuondoka
stesheni.Shangazi
aliwapeleka nyumbani
kwake.
Kesho yake Baada ya
kuoga waliondoka kuzulu
Fort Jesus ambapo
waliona ngome na vitu za
zamani sana.
Waliona sanamu za
waswahili na kisima cha
zamani kilichotumiwa na
wareno.Pia waliona
chumba mahalumu
kilichotumika kama
ngeleza na wakoloni.
Ilipofika saa saba mchana
walienda kula chamcha
kisha wakaelekea Bamburi
kwa matembezi ya
msituni.Msituni
walimuona kobe mkubwa
sana mwenye miaka zaidi
ya mia moja.wakapigwa
picha naye.Pia waliwaona
pundamilia sungura na
twiga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziara ya Mombasa
Author - Naomi Karimi
Illustration - Abraham Muzee and Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kim na Caro walikuwa wanaenda kumtembelea nani Mombasa | {
"text": [
"Shangazi "
]
} |
2512_swa | Ziara ya Mombasa
Naomi Karimi
Abraham Muzee
Kiswahili
Kim na binamu yake Caro,
wilipanga kwenda
Mombasa kumtembelea
shangazi yao. Siku ya
safari waliamka mapema
kujitayalisha.
Walikuwa wandamane na
mjomba wao Sifa. Saa
mbili kasororobo, mlango
ukabishwa. Kim alikimbia
kuufungua.
"Mjomba Sifa, karibu sana!
Tuko tayari," Kim
alimwamkua.
"Samahani sitaweza
kufunga Safari leo.Nina
Jambo la tharura
sana.Nitawapeleka katika
kituo cha Gari moshi
harafu shangazi wenu
atawasubili stasheni
Mombasa.
Walifika katika stesheni ya
Gari moshi ya Nairobi na
kuabili gari hilo.Baada ya
muda mfupi,garimoshi
liliondoka kwenye stesheni
kwa mwendo wa
Kasi.wakampungia mkono
mjomba wao Tobiko
wakiwa na furaha tele.
Baada ya muda wa masaa
matatu hivi safarini
muhudumu aliwapakulia
chakula cha mchana.Ni
raha iliyoje kuandaliwa
chakula ndani ya
garimoshi.Kim na Caro
walicheza mchezo wa kadi
Safarini huku wakipanga
maeneo watakayozulu
walifika Mombasa.
Walifika Mombasa
jioni.Shangazi yao alikuwa
amewasubili karibu na
lango lakuondoka
stesheni.Shangazi
aliwapeleka nyumbani
kwake.
Kesho yake Baada ya
kuoga waliondoka kuzulu
Fort Jesus ambapo
waliona ngome na vitu za
zamani sana.
Waliona sanamu za
waswahili na kisima cha
zamani kilichotumiwa na
wareno.Pia waliona
chumba mahalumu
kilichotumika kama
ngeleza na wakoloni.
Ilipofika saa saba mchana
walienda kula chamcha
kisha wakaelekea Bamburi
kwa matembezi ya
msituni.Msituni
walimuona kobe mkubwa
sana mwenye miaka zaidi
ya mia moja.wakapigwa
picha naye.Pia waliwaona
pundamilia sungura na
twiga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziara ya Mombasa
Author - Naomi Karimi
Illustration - Abraham Muzee and Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Caro na Kim walitumia chombo kipi cha usafiri kuelekea Mombasa | {
"text": [
"Garimoshi"
]
} |
2513_swa | Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Njeri Wachira
Kiswahili
Tulipotaka kuona ziwa la
Bogoria ilitubidi tuchukue
gari kutoka Nairobi na
kusafiri kilomita mia tatu.
Barabara ilikuwa ya lami
kwa hivyo tulisafiri upesi.
Magari hayakuwa mengi
kutoka mji wa Nakuru.
Njiani tuliweza kuona
wanyama kama nyoka na
kobe wakivuka barabara.
Pia tuliona miti ya aina ya
mishita na miamba njiani.
Mshita una miiba mingi
sana.
Tulipofika kwenye ziwa
tulilipa ada langoni na
kuingia.
Nilishangaa sana kuona
aina nyingine ya miti
iliyokua kwa wingi; miti ya
pilipili.
Pia niliona nyumba kubwa
ya mchwa ambayo sikuwa
nimeiona.
Ndani ya mbuga niliona
nyumba zingine nyingi za
mchwa.
Kwanza tulienda kwenye
ziwa kuwaona heroe
ambao walirembesha ziwa
kwa rangi yao ya waridi.
Halafu tulienda kwenye
chemichemi zenye maji
moto. Nilipoambiwa kuwa
maji yaliyokuwa yakiruka
yalikuwa moto sikuamini.
Nildhani ni utani tu.
Mjomba alitoa mayai ya
kuku na kuyaweka ndani
ya maji yaliyokuwa karibu
na chemichemi. Alingoja
kama dakika ishirini kisha
akanipa yai moja nile.
Nilitoa maganda yake
nikijihadhari ili
nisimwagikiwe na yai.
Lakini lo!
Nilipata kuwa yai lilikuwa
limeiva.
Nikala huku nikitabasamu
kwa mshangao.
Mwishowe tuliangalia
waimbaji Wakitugeni
wakiimba nyimbo zao za
kitamaduni.
Walitukaribisha kujiunga
nao na tukashika mikuki,
ngao na pembe.
Mwisho
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nini kilifanya usafiri ukawa upesi | {
"text": [
"barabara ya lami"
]
} |
2513_swa | Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Njeri Wachira
Kiswahili
Tulipotaka kuona ziwa la
Bogoria ilitubidi tuchukue
gari kutoka Nairobi na
kusafiri kilomita mia tatu.
Barabara ilikuwa ya lami
kwa hivyo tulisafiri upesi.
Magari hayakuwa mengi
kutoka mji wa Nakuru.
Njiani tuliweza kuona
wanyama kama nyoka na
kobe wakivuka barabara.
Pia tuliona miti ya aina ya
mishita na miamba njiani.
Mshita una miiba mingi
sana.
Tulipofika kwenye ziwa
tulilipa ada langoni na
kuingia.
Nilishangaa sana kuona
aina nyingine ya miti
iliyokua kwa wingi; miti ya
pilipili.
Pia niliona nyumba kubwa
ya mchwa ambayo sikuwa
nimeiona.
Ndani ya mbuga niliona
nyumba zingine nyingi za
mchwa.
Kwanza tulienda kwenye
ziwa kuwaona heroe
ambao walirembesha ziwa
kwa rangi yao ya waridi.
Halafu tulienda kwenye
chemichemi zenye maji
moto. Nilipoambiwa kuwa
maji yaliyokuwa yakiruka
yalikuwa moto sikuamini.
Nildhani ni utani tu.
Mjomba alitoa mayai ya
kuku na kuyaweka ndani
ya maji yaliyokuwa karibu
na chemichemi. Alingoja
kama dakika ishirini kisha
akanipa yai moja nile.
Nilitoa maganda yake
nikijihadhari ili
nisimwagikiwe na yai.
Lakini lo!
Nilipata kuwa yai lilikuwa
limeiva.
Nikala huku nikitabasamu
kwa mshangao.
Mwishowe tuliangalia
waimbaji Wakitugeni
wakiimba nyimbo zao za
kitamaduni.
Walitukaribisha kujiunga
nao na tukashika mikuki,
ngao na pembe.
Mwisho
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni wanyama wagani walionekana wakivuka barabara | {
"text": [
"nyoka na kobe"
]
} |
2513_swa | Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Njeri Wachira
Kiswahili
Tulipotaka kuona ziwa la
Bogoria ilitubidi tuchukue
gari kutoka Nairobi na
kusafiri kilomita mia tatu.
Barabara ilikuwa ya lami
kwa hivyo tulisafiri upesi.
Magari hayakuwa mengi
kutoka mji wa Nakuru.
Njiani tuliweza kuona
wanyama kama nyoka na
kobe wakivuka barabara.
Pia tuliona miti ya aina ya
mishita na miamba njiani.
Mshita una miiba mingi
sana.
Tulipofika kwenye ziwa
tulilipa ada langoni na
kuingia.
Nilishangaa sana kuona
aina nyingine ya miti
iliyokua kwa wingi; miti ya
pilipili.
Pia niliona nyumba kubwa
ya mchwa ambayo sikuwa
nimeiona.
Ndani ya mbuga niliona
nyumba zingine nyingi za
mchwa.
Kwanza tulienda kwenye
ziwa kuwaona heroe
ambao walirembesha ziwa
kwa rangi yao ya waridi.
Halafu tulienda kwenye
chemichemi zenye maji
moto. Nilipoambiwa kuwa
maji yaliyokuwa yakiruka
yalikuwa moto sikuamini.
Nildhani ni utani tu.
Mjomba alitoa mayai ya
kuku na kuyaweka ndani
ya maji yaliyokuwa karibu
na chemichemi. Alingoja
kama dakika ishirini kisha
akanipa yai moja nile.
Nilitoa maganda yake
nikijihadhari ili
nisimwagikiwe na yai.
Lakini lo!
Nilipata kuwa yai lilikuwa
limeiva.
Nikala huku nikitabasamu
kwa mshangao.
Mwishowe tuliangalia
waimbaji Wakitugeni
wakiimba nyimbo zao za
kitamaduni.
Walitukaribisha kujiunga
nao na tukashika mikuki,
ngao na pembe.
Mwisho
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni aina gani ya miti ilionekana njiani | {
"text": [
"mishita na miamba"
]
} |
2513_swa | Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Njeri Wachira
Kiswahili
Tulipotaka kuona ziwa la
Bogoria ilitubidi tuchukue
gari kutoka Nairobi na
kusafiri kilomita mia tatu.
Barabara ilikuwa ya lami
kwa hivyo tulisafiri upesi.
Magari hayakuwa mengi
kutoka mji wa Nakuru.
Njiani tuliweza kuona
wanyama kama nyoka na
kobe wakivuka barabara.
Pia tuliona miti ya aina ya
mishita na miamba njiani.
Mshita una miiba mingi
sana.
Tulipofika kwenye ziwa
tulilipa ada langoni na
kuingia.
Nilishangaa sana kuona
aina nyingine ya miti
iliyokua kwa wingi; miti ya
pilipili.
Pia niliona nyumba kubwa
ya mchwa ambayo sikuwa
nimeiona.
Ndani ya mbuga niliona
nyumba zingine nyingi za
mchwa.
Kwanza tulienda kwenye
ziwa kuwaona heroe
ambao walirembesha ziwa
kwa rangi yao ya waridi.
Halafu tulienda kwenye
chemichemi zenye maji
moto. Nilipoambiwa kuwa
maji yaliyokuwa yakiruka
yalikuwa moto sikuamini.
Nildhani ni utani tu.
Mjomba alitoa mayai ya
kuku na kuyaweka ndani
ya maji yaliyokuwa karibu
na chemichemi. Alingoja
kama dakika ishirini kisha
akanipa yai moja nile.
Nilitoa maganda yake
nikijihadhari ili
nisimwagikiwe na yai.
Lakini lo!
Nilipata kuwa yai lilikuwa
limeiva.
Nikala huku nikitabasamu
kwa mshangao.
Mwishowe tuliangalia
waimbaji Wakitugeni
wakiimba nyimbo zao za
kitamaduni.
Walitukaribisha kujiunga
nao na tukashika mikuki,
ngao na pembe.
Mwisho
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Ni lini Njeri walilipa ada langoni na kuingia | {
"text": [
"walipofika kwenye ziwa"
]
} |
2513_swa | Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Njeri Wachira
Kiswahili
Tulipotaka kuona ziwa la
Bogoria ilitubidi tuchukue
gari kutoka Nairobi na
kusafiri kilomita mia tatu.
Barabara ilikuwa ya lami
kwa hivyo tulisafiri upesi.
Magari hayakuwa mengi
kutoka mji wa Nakuru.
Njiani tuliweza kuona
wanyama kama nyoka na
kobe wakivuka barabara.
Pia tuliona miti ya aina ya
mishita na miamba njiani.
Mshita una miiba mingi
sana.
Tulipofika kwenye ziwa
tulilipa ada langoni na
kuingia.
Nilishangaa sana kuona
aina nyingine ya miti
iliyokua kwa wingi; miti ya
pilipili.
Pia niliona nyumba kubwa
ya mchwa ambayo sikuwa
nimeiona.
Ndani ya mbuga niliona
nyumba zingine nyingi za
mchwa.
Kwanza tulienda kwenye
ziwa kuwaona heroe
ambao walirembesha ziwa
kwa rangi yao ya waridi.
Halafu tulienda kwenye
chemichemi zenye maji
moto. Nilipoambiwa kuwa
maji yaliyokuwa yakiruka
yalikuwa moto sikuamini.
Nildhani ni utani tu.
Mjomba alitoa mayai ya
kuku na kuyaweka ndani
ya maji yaliyokuwa karibu
na chemichemi. Alingoja
kama dakika ishirini kisha
akanipa yai moja nile.
Nilitoa maganda yake
nikijihadhari ili
nisimwagikiwe na yai.
Lakini lo!
Nilipata kuwa yai lilikuwa
limeiva.
Nikala huku nikitabasamu
kwa mshangao.
Mwishowe tuliangalia
waimbaji Wakitugeni
wakiimba nyimbo zao za
kitamaduni.
Walitukaribisha kujiunga
nao na tukashika mikuki,
ngao na pembe.
Mwisho
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Bogoria na Chemichemi
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwa nini Njeri alistaajabu kwa mshangao | {
"text": [
"akitoa maganda ya yai alidhani atamwagikiwa nalo lakini lilikua limeiva"
]
} |
2514_swa | Ziwa la Nakuru
Njeri Wachira
Kiswahili
Nilipokuwa mdogo
nilienda kuwatembelea
babu na nyanya yangu.
Waliishi Katika nchi ya
Kenya mji mmoja onaitwa
Nakuru.
Tulipanda ndege kutoka
mji wa Melbourne hadi
Dubai.
Pale Dubai tulichukua
ndege ya kutupeleka
mpaka mji mkuu wa
Kenya; Nairobi.
Baada ya masaa matano
tulitua katika uwanja wa
ndege wa Jomo Kenyatta.
Familia yetu kubwa
ilitungoja. Shangazi,
wajomba, nyanya, babu
na binamu wote walifika
kutukaribisha.
Walisema, "Karibu Kenya".
Babu alitubeba kwa gari
lake hadi mji wa Nakuru.
Njiani tuliwaona swara,
pundamilia na nyani
wakila nyasi mwituni.
Babu aliahidi kunipeleka
katika ziwa la Nakuru
kuwaona wanyama zaidi.
Niliona miti mingi ambayo
sikuweza kuiona Australia.
Ilikuwa mirefu na yenye
miiba. Babu alinieleza
inaitwa mishita.
Usiku huo sikulala usingizi.
Nilikuwa na hamu ya
kuona wanyama wengine.
Nilipoamka nilipewa
kiamsha kinywa na
nyanya na kisha tukaanza
safari.
Tulipofika kwenye lango la
ziwa la Nakuru tuliwaona
ngiri, pundamilia na nyani.
Tulilipa ada na
kufunguliwa lango kisha
tukatumbukia ndani ya
msitu.
Tulipofika kwenye ziwa,
nilitishika kwa urembo
niliouona.
Sehemu kubwa ilikuwa
kama bustani la maua ya
waridi.
Heroe walikuwa wengi
kupindukia.
Kwa mbali tuliwaona
viboko wawili majini.
Tulitumia darubini ili
kuona vizuri.
Tuliona kundi la twiga
wakitembea. Nilipendezwa
sana na ngozi yao.
Ilikuwa na maumbo ya
kupendeza.
Kisha tuliwaona vifaru.
Nilihofu kwa sababu ya
hadithi nilizokuwa
nimesikia kuhusu vifaru.
Lakini waliendelea kulala.
Kundi la nyati lilivuka
barabara tuliyokuwa
tukipitia. Nilijawa na
wasiwasi lakini nyati
walipita na kuendelea na
safari yao.
Tulimwona simba
aliyekuwa amelala
mwambani.
Tulichungulia kwa mbali
kwani tulimwogopa.
Tuliporudi nyumbani
tulipata nyanya
ametuandalia chakula
kingi na kitamu.
Mezani palikuwa na
chapati, wali wa
kukaangwa, kuku
wakuokwa, mboga za aina
tofauti na vinywaji.
Nilikula, nikashiba na
usiku huo nikalala fofofo.
Mwisho.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Nakuru
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Babu aliwabeba kwa gari lake hadi wapi | {
"text": [
"Nakuru"
]
} |
2514_swa | Ziwa la Nakuru
Njeri Wachira
Kiswahili
Nilipokuwa mdogo
nilienda kuwatembelea
babu na nyanya yangu.
Waliishi Katika nchi ya
Kenya mji mmoja onaitwa
Nakuru.
Tulipanda ndege kutoka
mji wa Melbourne hadi
Dubai.
Pale Dubai tulichukua
ndege ya kutupeleka
mpaka mji mkuu wa
Kenya; Nairobi.
Baada ya masaa matano
tulitua katika uwanja wa
ndege wa Jomo Kenyatta.
Familia yetu kubwa
ilitungoja. Shangazi,
wajomba, nyanya, babu
na binamu wote walifika
kutukaribisha.
Walisema, "Karibu Kenya".
Babu alitubeba kwa gari
lake hadi mji wa Nakuru.
Njiani tuliwaona swara,
pundamilia na nyani
wakila nyasi mwituni.
Babu aliahidi kunipeleka
katika ziwa la Nakuru
kuwaona wanyama zaidi.
Niliona miti mingi ambayo
sikuweza kuiona Australia.
Ilikuwa mirefu na yenye
miiba. Babu alinieleza
inaitwa mishita.
Usiku huo sikulala usingizi.
Nilikuwa na hamu ya
kuona wanyama wengine.
Nilipoamka nilipewa
kiamsha kinywa na
nyanya na kisha tukaanza
safari.
Tulipofika kwenye lango la
ziwa la Nakuru tuliwaona
ngiri, pundamilia na nyani.
Tulilipa ada na
kufunguliwa lango kisha
tukatumbukia ndani ya
msitu.
Tulipofika kwenye ziwa,
nilitishika kwa urembo
niliouona.
Sehemu kubwa ilikuwa
kama bustani la maua ya
waridi.
Heroe walikuwa wengi
kupindukia.
Kwa mbali tuliwaona
viboko wawili majini.
Tulitumia darubini ili
kuona vizuri.
Tuliona kundi la twiga
wakitembea. Nilipendezwa
sana na ngozi yao.
Ilikuwa na maumbo ya
kupendeza.
Kisha tuliwaona vifaru.
Nilihofu kwa sababu ya
hadithi nilizokuwa
nimesikia kuhusu vifaru.
Lakini waliendelea kulala.
Kundi la nyati lilivuka
barabara tuliyokuwa
tukipitia. Nilijawa na
wasiwasi lakini nyati
walipita na kuendelea na
safari yao.
Tulimwona simba
aliyekuwa amelala
mwambani.
Tulichungulia kwa mbali
kwani tulimwogopa.
Tuliporudi nyumbani
tulipata nyanya
ametuandalia chakula
kingi na kitamu.
Mezani palikuwa na
chapati, wali wa
kukaangwa, kuku
wakuokwa, mboga za aina
tofauti na vinywaji.
Nilikula, nikashiba na
usiku huo nikalala fofofo.
Mwisho.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Nakuru
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Waliona viboko wangapi majini | {
"text": [
"wawili"
]
} |
2514_swa | Ziwa la Nakuru
Njeri Wachira
Kiswahili
Nilipokuwa mdogo
nilienda kuwatembelea
babu na nyanya yangu.
Waliishi Katika nchi ya
Kenya mji mmoja onaitwa
Nakuru.
Tulipanda ndege kutoka
mji wa Melbourne hadi
Dubai.
Pale Dubai tulichukua
ndege ya kutupeleka
mpaka mji mkuu wa
Kenya; Nairobi.
Baada ya masaa matano
tulitua katika uwanja wa
ndege wa Jomo Kenyatta.
Familia yetu kubwa
ilitungoja. Shangazi,
wajomba, nyanya, babu
na binamu wote walifika
kutukaribisha.
Walisema, "Karibu Kenya".
Babu alitubeba kwa gari
lake hadi mji wa Nakuru.
Njiani tuliwaona swara,
pundamilia na nyani
wakila nyasi mwituni.
Babu aliahidi kunipeleka
katika ziwa la Nakuru
kuwaona wanyama zaidi.
Niliona miti mingi ambayo
sikuweza kuiona Australia.
Ilikuwa mirefu na yenye
miiba. Babu alinieleza
inaitwa mishita.
Usiku huo sikulala usingizi.
Nilikuwa na hamu ya
kuona wanyama wengine.
Nilipoamka nilipewa
kiamsha kinywa na
nyanya na kisha tukaanza
safari.
Tulipofika kwenye lango la
ziwa la Nakuru tuliwaona
ngiri, pundamilia na nyani.
Tulilipa ada na
kufunguliwa lango kisha
tukatumbukia ndani ya
msitu.
Tulipofika kwenye ziwa,
nilitishika kwa urembo
niliouona.
Sehemu kubwa ilikuwa
kama bustani la maua ya
waridi.
Heroe walikuwa wengi
kupindukia.
Kwa mbali tuliwaona
viboko wawili majini.
Tulitumia darubini ili
kuona vizuri.
Tuliona kundi la twiga
wakitembea. Nilipendezwa
sana na ngozi yao.
Ilikuwa na maumbo ya
kupendeza.
Kisha tuliwaona vifaru.
Nilihofu kwa sababu ya
hadithi nilizokuwa
nimesikia kuhusu vifaru.
Lakini waliendelea kulala.
Kundi la nyati lilivuka
barabara tuliyokuwa
tukipitia. Nilijawa na
wasiwasi lakini nyati
walipita na kuendelea na
safari yao.
Tulimwona simba
aliyekuwa amelala
mwambani.
Tulichungulia kwa mbali
kwani tulimwogopa.
Tuliporudi nyumbani
tulipata nyanya
ametuandalia chakula
kingi na kitamu.
Mezani palikuwa na
chapati, wali wa
kukaangwa, kuku
wakuokwa, mboga za aina
tofauti na vinywaji.
Nilikula, nikashiba na
usiku huo nikalala fofofo.
Mwisho.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Nakuru
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Walitua lini katika uwanja wa ndege | {
"text": [
"baada ya masaa matano"
]
} |
2514_swa | Ziwa la Nakuru
Njeri Wachira
Kiswahili
Nilipokuwa mdogo
nilienda kuwatembelea
babu na nyanya yangu.
Waliishi Katika nchi ya
Kenya mji mmoja onaitwa
Nakuru.
Tulipanda ndege kutoka
mji wa Melbourne hadi
Dubai.
Pale Dubai tulichukua
ndege ya kutupeleka
mpaka mji mkuu wa
Kenya; Nairobi.
Baada ya masaa matano
tulitua katika uwanja wa
ndege wa Jomo Kenyatta.
Familia yetu kubwa
ilitungoja. Shangazi,
wajomba, nyanya, babu
na binamu wote walifika
kutukaribisha.
Walisema, "Karibu Kenya".
Babu alitubeba kwa gari
lake hadi mji wa Nakuru.
Njiani tuliwaona swara,
pundamilia na nyani
wakila nyasi mwituni.
Babu aliahidi kunipeleka
katika ziwa la Nakuru
kuwaona wanyama zaidi.
Niliona miti mingi ambayo
sikuweza kuiona Australia.
Ilikuwa mirefu na yenye
miiba. Babu alinieleza
inaitwa mishita.
Usiku huo sikulala usingizi.
Nilikuwa na hamu ya
kuona wanyama wengine.
Nilipoamka nilipewa
kiamsha kinywa na
nyanya na kisha tukaanza
safari.
Tulipofika kwenye lango la
ziwa la Nakuru tuliwaona
ngiri, pundamilia na nyani.
Tulilipa ada na
kufunguliwa lango kisha
tukatumbukia ndani ya
msitu.
Tulipofika kwenye ziwa,
nilitishika kwa urembo
niliouona.
Sehemu kubwa ilikuwa
kama bustani la maua ya
waridi.
Heroe walikuwa wengi
kupindukia.
Kwa mbali tuliwaona
viboko wawili majini.
Tulitumia darubini ili
kuona vizuri.
Tuliona kundi la twiga
wakitembea. Nilipendezwa
sana na ngozi yao.
Ilikuwa na maumbo ya
kupendeza.
Kisha tuliwaona vifaru.
Nilihofu kwa sababu ya
hadithi nilizokuwa
nimesikia kuhusu vifaru.
Lakini waliendelea kulala.
Kundi la nyati lilivuka
barabara tuliyokuwa
tukipitia. Nilijawa na
wasiwasi lakini nyati
walipita na kuendelea na
safari yao.
Tulimwona simba
aliyekuwa amelala
mwambani.
Tulichungulia kwa mbali
kwani tulimwogopa.
Tuliporudi nyumbani
tulipata nyanya
ametuandalia chakula
kingi na kitamu.
Mezani palikuwa na
chapati, wali wa
kukaangwa, kuku
wakuokwa, mboga za aina
tofauti na vinywaji.
Nilikula, nikashiba na
usiku huo nikalala fofofo.
Mwisho.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Nakuru
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Simba alikuwa amelala wapi | {
"text": [
"mwambani"
]
} |
2514_swa | Ziwa la Nakuru
Njeri Wachira
Kiswahili
Nilipokuwa mdogo
nilienda kuwatembelea
babu na nyanya yangu.
Waliishi Katika nchi ya
Kenya mji mmoja onaitwa
Nakuru.
Tulipanda ndege kutoka
mji wa Melbourne hadi
Dubai.
Pale Dubai tulichukua
ndege ya kutupeleka
mpaka mji mkuu wa
Kenya; Nairobi.
Baada ya masaa matano
tulitua katika uwanja wa
ndege wa Jomo Kenyatta.
Familia yetu kubwa
ilitungoja. Shangazi,
wajomba, nyanya, babu
na binamu wote walifika
kutukaribisha.
Walisema, "Karibu Kenya".
Babu alitubeba kwa gari
lake hadi mji wa Nakuru.
Njiani tuliwaona swara,
pundamilia na nyani
wakila nyasi mwituni.
Babu aliahidi kunipeleka
katika ziwa la Nakuru
kuwaona wanyama zaidi.
Niliona miti mingi ambayo
sikuweza kuiona Australia.
Ilikuwa mirefu na yenye
miiba. Babu alinieleza
inaitwa mishita.
Usiku huo sikulala usingizi.
Nilikuwa na hamu ya
kuona wanyama wengine.
Nilipoamka nilipewa
kiamsha kinywa na
nyanya na kisha tukaanza
safari.
Tulipofika kwenye lango la
ziwa la Nakuru tuliwaona
ngiri, pundamilia na nyani.
Tulilipa ada na
kufunguliwa lango kisha
tukatumbukia ndani ya
msitu.
Tulipofika kwenye ziwa,
nilitishika kwa urembo
niliouona.
Sehemu kubwa ilikuwa
kama bustani la maua ya
waridi.
Heroe walikuwa wengi
kupindukia.
Kwa mbali tuliwaona
viboko wawili majini.
Tulitumia darubini ili
kuona vizuri.
Tuliona kundi la twiga
wakitembea. Nilipendezwa
sana na ngozi yao.
Ilikuwa na maumbo ya
kupendeza.
Kisha tuliwaona vifaru.
Nilihofu kwa sababu ya
hadithi nilizokuwa
nimesikia kuhusu vifaru.
Lakini waliendelea kulala.
Kundi la nyati lilivuka
barabara tuliyokuwa
tukipitia. Nilijawa na
wasiwasi lakini nyati
walipita na kuendelea na
safari yao.
Tulimwona simba
aliyekuwa amelala
mwambani.
Tulichungulia kwa mbali
kwani tulimwogopa.
Tuliporudi nyumbani
tulipata nyanya
ametuandalia chakula
kingi na kitamu.
Mezani palikuwa na
chapati, wali wa
kukaangwa, kuku
wakuokwa, mboga za aina
tofauti na vinywaji.
Nilikula, nikashiba na
usiku huo nikalala fofofo.
Mwisho.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ziwa la Nakuru
Author - Njeri Wachira
Illustration -
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2021
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mbona usiku huo hakulala usingizi | {
"text": [
"alikuwa na hamu ya kuwaona wanyama wengine"
]
} |
2516_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili kama lugha, inazungumziwa na mataifa kadha wa kadha zinazopatikana barani Afrika Mashariki hasa Kenya na Tanzania. Pana njia mengi za kuimarisha lugha hii nchini Kenya na ulimwenguni kama vile;
Mafunzo maalum Serikali ya Kenya inaweza pea wananchi wake mafunzo ya lugha ya Kiswahili ili waweze kuboresha matamshi yao na hata kwa wakati wanaokuja nchini humu. Kupitia mbinu hii, lugha itaweza kuenea nchini zima na hata ulimwenguni.
Pili ni kwa kutumia nyimbo. Watunzi wa nyimbo na wale wasanii wanaoimba wanaweza kutunga nyimbo na kuiimba kwa lugha ya kiswahili ili wakati wananchi wanaposkia wanaweza kupata msamiati mengi na kuboresha uwezo wao wa kujieleza katika kutumia lugha.
Tatu ni kwa kutenga siku kadhaa ziweze kuwa siku maalum za kuzungumza Kiswahili kama vile Ijumaa. Katiba ya Kenya ikiweza kubadilishwa ama kuongezewa kuwa siku hiyo ikaweza kuwa siku ya lugha moja, na iwe ya Kiswahili tu, wananchi wakifuata uimarishaji wa Kiswahili utawezwa kutimuizwa.
Nne ni kwa uchapishaji wa gazeti za Kiswahili. Gazeti kama vile The Standard na Daily Nation ikiweza pia kuchapisha gazeti zenginezo kwa kutumia lugha ya Kiswahili, wale wanaosoma wataweza kupata ubunifu mzuri wa lugha hio na pia kuendelea kueneza lugha ya Kiswahili nchini zingine.
Lengine ni kwa kuweka mashindano ya Kiswahili katika majimbo tofauti tofauti nchini kwa mfano shuleni. Hii itawezesha wanafunzi kuweza kutunga na kuimba mitungo yao mbele ya hadhira na hii inakuza ubunifu wao na pia hadhira inapata kuweza kujua mengine mapya ya Kiswahili. Huu ni mfumo rahisi na la uhakikisho wa kueneza Kiswahili ulimwenguni na nchini Kenya.
La sita ni kwa kutangaza habari kutumia lugha ya Kiswahili Stesheni za televisheni na redio zinazoeneza habari kuhusu nchi zikiweza kuzipitisha kwa lugha ya Kiswahili. Wasikilizaji wa habari hizo wanapata kuelewa zaidi lugha hii na kueneza zaidi.
Saba ni kwa kupitia mijadala wakati wabunge wanapoenda kujadili swala zitakazoweza kuwasudi wakenya. Wanapaswa kujadili kwa lugha ya Kitaifa ili wakaweze kuboresha mazungumzo yao na hata wale wanaowaona nyumbani kupata kufaidika.
Nane ni wakati Rais wa Jamhuri ya Kenya anapotaka kuwahotibia wakenya. Anapotumia lugha ya Kiswahili kuwasilisha ujumbe wake, watu wanaotoka maeneo mbali mbali nchini Kenya wataweza kupata ujumbe wake na hata kuboresha maongezi yao ya Kiswahili.
Tisa na la maana tena zaidi, ni kuwa Kiswahili kubaki na kusalia kama lughaya taifa. Hii inadumiza ugonjwa na hata inawezesha wananchi kuzungumza kwa lugha hio na hata kwa hiari yao. Uimarishaji wa lugha hii inapitakana ulimwenguni na nchini.
Kumi na la mwisho ni utamaduni wa Kiswahili. Wakati jamii mbali mbali zinapowekeza utamaduni wao wa kutumia lugha ya Kiswahili na zinaeneza ujumbe sawasawa, lugha hii inazidi kuimarika si tu nchini bali pia ulimwenguni wakati tunapotembelana na watalii kuona mazingira na wanyama pori wa Kenya.
Kwa kweli, Kiswahili itasalia kuwa lugha ya wananchi wa Kenya inayoeleza tamaduni na masilahi ya wakenya. | Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika mataifa gani Afrika Mashariki | {
"text": [
"Kenya na Tanzania"
]
} |
2516_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili kama lugha, inazungumziwa na mataifa kadha wa kadha zinazopatikana barani Afrika Mashariki hasa Kenya na Tanzania. Pana njia mengi za kuimarisha lugha hii nchini Kenya na ulimwenguni kama vile;
Mafunzo maalum Serikali ya Kenya inaweza pea wananchi wake mafunzo ya lugha ya Kiswahili ili waweze kuboresha matamshi yao na hata kwa wakati wanaokuja nchini humu. Kupitia mbinu hii, lugha itaweza kuenea nchini zima na hata ulimwenguni.
Pili ni kwa kutumia nyimbo. Watunzi wa nyimbo na wale wasanii wanaoimba wanaweza kutunga nyimbo na kuiimba kwa lugha ya kiswahili ili wakati wananchi wanaposkia wanaweza kupata msamiati mengi na kuboresha uwezo wao wa kujieleza katika kutumia lugha.
Tatu ni kwa kutenga siku kadhaa ziweze kuwa siku maalum za kuzungumza Kiswahili kama vile Ijumaa. Katiba ya Kenya ikiweza kubadilishwa ama kuongezewa kuwa siku hiyo ikaweza kuwa siku ya lugha moja, na iwe ya Kiswahili tu, wananchi wakifuata uimarishaji wa Kiswahili utawezwa kutimuizwa.
Nne ni kwa uchapishaji wa gazeti za Kiswahili. Gazeti kama vile The Standard na Daily Nation ikiweza pia kuchapisha gazeti zenginezo kwa kutumia lugha ya Kiswahili, wale wanaosoma wataweza kupata ubunifu mzuri wa lugha hio na pia kuendelea kueneza lugha ya Kiswahili nchini zingine.
Lengine ni kwa kuweka mashindano ya Kiswahili katika majimbo tofauti tofauti nchini kwa mfano shuleni. Hii itawezesha wanafunzi kuweza kutunga na kuimba mitungo yao mbele ya hadhira na hii inakuza ubunifu wao na pia hadhira inapata kuweza kujua mengine mapya ya Kiswahili. Huu ni mfumo rahisi na la uhakikisho wa kueneza Kiswahili ulimwenguni na nchini Kenya.
La sita ni kwa kutangaza habari kutumia lugha ya Kiswahili Stesheni za televisheni na redio zinazoeneza habari kuhusu nchi zikiweza kuzipitisha kwa lugha ya Kiswahili. Wasikilizaji wa habari hizo wanapata kuelewa zaidi lugha hii na kueneza zaidi.
Saba ni kwa kupitia mijadala wakati wabunge wanapoenda kujadili swala zitakazoweza kuwasudi wakenya. Wanapaswa kujadili kwa lugha ya Kitaifa ili wakaweze kuboresha mazungumzo yao na hata wale wanaowaona nyumbani kupata kufaidika.
Nane ni wakati Rais wa Jamhuri ya Kenya anapotaka kuwahotibia wakenya. Anapotumia lugha ya Kiswahili kuwasilisha ujumbe wake, watu wanaotoka maeneo mbali mbali nchini Kenya wataweza kupata ujumbe wake na hata kuboresha maongezi yao ya Kiswahili.
Tisa na la maana tena zaidi, ni kuwa Kiswahili kubaki na kusalia kama lughaya taifa. Hii inadumiza ugonjwa na hata inawezesha wananchi kuzungumza kwa lugha hio na hata kwa hiari yao. Uimarishaji wa lugha hii inapitakana ulimwenguni na nchini.
Kumi na la mwisho ni utamaduni wa Kiswahili. Wakati jamii mbali mbali zinapowekeza utamaduni wao wa kutumia lugha ya Kiswahili na zinaeneza ujumbe sawasawa, lugha hii inazidi kuimarika si tu nchini bali pia ulimwenguni wakati tunapotembelana na watalii kuona mazingira na wanyama pori wa Kenya.
Kwa kweli, Kiswahili itasalia kuwa lugha ya wananchi wa Kenya inayoeleza tamaduni na masilahi ya wakenya. | Njia mojawapo ya kuimarisha lugha ni ipi | {
"text": [
"Wasanii kutunga na kuimba nyimbo katika lugha ya Kiswahili"
]
} |
2516_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili kama lugha, inazungumziwa na mataifa kadha wa kadha zinazopatikana barani Afrika Mashariki hasa Kenya na Tanzania. Pana njia mengi za kuimarisha lugha hii nchini Kenya na ulimwenguni kama vile;
Mafunzo maalum Serikali ya Kenya inaweza pea wananchi wake mafunzo ya lugha ya Kiswahili ili waweze kuboresha matamshi yao na hata kwa wakati wanaokuja nchini humu. Kupitia mbinu hii, lugha itaweza kuenea nchini zima na hata ulimwenguni.
Pili ni kwa kutumia nyimbo. Watunzi wa nyimbo na wale wasanii wanaoimba wanaweza kutunga nyimbo na kuiimba kwa lugha ya kiswahili ili wakati wananchi wanaposkia wanaweza kupata msamiati mengi na kuboresha uwezo wao wa kujieleza katika kutumia lugha.
Tatu ni kwa kutenga siku kadhaa ziweze kuwa siku maalum za kuzungumza Kiswahili kama vile Ijumaa. Katiba ya Kenya ikiweza kubadilishwa ama kuongezewa kuwa siku hiyo ikaweza kuwa siku ya lugha moja, na iwe ya Kiswahili tu, wananchi wakifuata uimarishaji wa Kiswahili utawezwa kutimuizwa.
Nne ni kwa uchapishaji wa gazeti za Kiswahili. Gazeti kama vile The Standard na Daily Nation ikiweza pia kuchapisha gazeti zenginezo kwa kutumia lugha ya Kiswahili, wale wanaosoma wataweza kupata ubunifu mzuri wa lugha hio na pia kuendelea kueneza lugha ya Kiswahili nchini zingine.
Lengine ni kwa kuweka mashindano ya Kiswahili katika majimbo tofauti tofauti nchini kwa mfano shuleni. Hii itawezesha wanafunzi kuweza kutunga na kuimba mitungo yao mbele ya hadhira na hii inakuza ubunifu wao na pia hadhira inapata kuweza kujua mengine mapya ya Kiswahili. Huu ni mfumo rahisi na la uhakikisho wa kueneza Kiswahili ulimwenguni na nchini Kenya.
La sita ni kwa kutangaza habari kutumia lugha ya Kiswahili Stesheni za televisheni na redio zinazoeneza habari kuhusu nchi zikiweza kuzipitisha kwa lugha ya Kiswahili. Wasikilizaji wa habari hizo wanapata kuelewa zaidi lugha hii na kueneza zaidi.
Saba ni kwa kupitia mijadala wakati wabunge wanapoenda kujadili swala zitakazoweza kuwasudi wakenya. Wanapaswa kujadili kwa lugha ya Kitaifa ili wakaweze kuboresha mazungumzo yao na hata wale wanaowaona nyumbani kupata kufaidika.
Nane ni wakati Rais wa Jamhuri ya Kenya anapotaka kuwahotibia wakenya. Anapotumia lugha ya Kiswahili kuwasilisha ujumbe wake, watu wanaotoka maeneo mbali mbali nchini Kenya wataweza kupata ujumbe wake na hata kuboresha maongezi yao ya Kiswahili.
Tisa na la maana tena zaidi, ni kuwa Kiswahili kubaki na kusalia kama lughaya taifa. Hii inadumiza ugonjwa na hata inawezesha wananchi kuzungumza kwa lugha hio na hata kwa hiari yao. Uimarishaji wa lugha hii inapitakana ulimwenguni na nchini.
Kumi na la mwisho ni utamaduni wa Kiswahili. Wakati jamii mbali mbali zinapowekeza utamaduni wao wa kutumia lugha ya Kiswahili na zinaeneza ujumbe sawasawa, lugha hii inazidi kuimarika si tu nchini bali pia ulimwenguni wakati tunapotembelana na watalii kuona mazingira na wanyama pori wa Kenya.
Kwa kweli, Kiswahili itasalia kuwa lugha ya wananchi wa Kenya inayoeleza tamaduni na masilahi ya wakenya. | Ni njia ipi ya nne inawezatumika kuimarisha lugha ya Kiswahili | {
"text": [
"Uchapishaji wa magazeti katika lugha ya Kiswahili"
]
} |
2516_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili kama lugha, inazungumziwa na mataifa kadha wa kadha zinazopatikana barani Afrika Mashariki hasa Kenya na Tanzania. Pana njia mengi za kuimarisha lugha hii nchini Kenya na ulimwenguni kama vile;
Mafunzo maalum Serikali ya Kenya inaweza pea wananchi wake mafunzo ya lugha ya Kiswahili ili waweze kuboresha matamshi yao na hata kwa wakati wanaokuja nchini humu. Kupitia mbinu hii, lugha itaweza kuenea nchini zima na hata ulimwenguni.
Pili ni kwa kutumia nyimbo. Watunzi wa nyimbo na wale wasanii wanaoimba wanaweza kutunga nyimbo na kuiimba kwa lugha ya kiswahili ili wakati wananchi wanaposkia wanaweza kupata msamiati mengi na kuboresha uwezo wao wa kujieleza katika kutumia lugha.
Tatu ni kwa kutenga siku kadhaa ziweze kuwa siku maalum za kuzungumza Kiswahili kama vile Ijumaa. Katiba ya Kenya ikiweza kubadilishwa ama kuongezewa kuwa siku hiyo ikaweza kuwa siku ya lugha moja, na iwe ya Kiswahili tu, wananchi wakifuata uimarishaji wa Kiswahili utawezwa kutimuizwa.
Nne ni kwa uchapishaji wa gazeti za Kiswahili. Gazeti kama vile The Standard na Daily Nation ikiweza pia kuchapisha gazeti zenginezo kwa kutumia lugha ya Kiswahili, wale wanaosoma wataweza kupata ubunifu mzuri wa lugha hio na pia kuendelea kueneza lugha ya Kiswahili nchini zingine.
Lengine ni kwa kuweka mashindano ya Kiswahili katika majimbo tofauti tofauti nchini kwa mfano shuleni. Hii itawezesha wanafunzi kuweza kutunga na kuimba mitungo yao mbele ya hadhira na hii inakuza ubunifu wao na pia hadhira inapata kuweza kujua mengine mapya ya Kiswahili. Huu ni mfumo rahisi na la uhakikisho wa kueneza Kiswahili ulimwenguni na nchini Kenya.
La sita ni kwa kutangaza habari kutumia lugha ya Kiswahili Stesheni za televisheni na redio zinazoeneza habari kuhusu nchi zikiweza kuzipitisha kwa lugha ya Kiswahili. Wasikilizaji wa habari hizo wanapata kuelewa zaidi lugha hii na kueneza zaidi.
Saba ni kwa kupitia mijadala wakati wabunge wanapoenda kujadili swala zitakazoweza kuwasudi wakenya. Wanapaswa kujadili kwa lugha ya Kitaifa ili wakaweze kuboresha mazungumzo yao na hata wale wanaowaona nyumbani kupata kufaidika.
Nane ni wakati Rais wa Jamhuri ya Kenya anapotaka kuwahotibia wakenya. Anapotumia lugha ya Kiswahili kuwasilisha ujumbe wake, watu wanaotoka maeneo mbali mbali nchini Kenya wataweza kupata ujumbe wake na hata kuboresha maongezi yao ya Kiswahili.
Tisa na la maana tena zaidi, ni kuwa Kiswahili kubaki na kusalia kama lughaya taifa. Hii inadumiza ugonjwa na hata inawezesha wananchi kuzungumza kwa lugha hio na hata kwa hiari yao. Uimarishaji wa lugha hii inapitakana ulimwenguni na nchini.
Kumi na la mwisho ni utamaduni wa Kiswahili. Wakati jamii mbali mbali zinapowekeza utamaduni wao wa kutumia lugha ya Kiswahili na zinaeneza ujumbe sawasawa, lugha hii inazidi kuimarika si tu nchini bali pia ulimwenguni wakati tunapotembelana na watalii kuona mazingira na wanyama pori wa Kenya.
Kwa kweli, Kiswahili itasalia kuwa lugha ya wananchi wa Kenya inayoeleza tamaduni na masilahi ya wakenya. | Kiswahili kitasalia kuwa nini | {
"text": [
"Lugha itakayoeleza tamaduni na maslahi ya wakenya"
]
} |
2516_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili kama lugha, inazungumziwa na mataifa kadha wa kadha zinazopatikana barani Afrika Mashariki hasa Kenya na Tanzania. Pana njia mengi za kuimarisha lugha hii nchini Kenya na ulimwenguni kama vile;
Mafunzo maalum Serikali ya Kenya inaweza pea wananchi wake mafunzo ya lugha ya Kiswahili ili waweze kuboresha matamshi yao na hata kwa wakati wanaokuja nchini humu. Kupitia mbinu hii, lugha itaweza kuenea nchini zima na hata ulimwenguni.
Pili ni kwa kutumia nyimbo. Watunzi wa nyimbo na wale wasanii wanaoimba wanaweza kutunga nyimbo na kuiimba kwa lugha ya kiswahili ili wakati wananchi wanaposkia wanaweza kupata msamiati mengi na kuboresha uwezo wao wa kujieleza katika kutumia lugha.
Tatu ni kwa kutenga siku kadhaa ziweze kuwa siku maalum za kuzungumza Kiswahili kama vile Ijumaa. Katiba ya Kenya ikiweza kubadilishwa ama kuongezewa kuwa siku hiyo ikaweza kuwa siku ya lugha moja, na iwe ya Kiswahili tu, wananchi wakifuata uimarishaji wa Kiswahili utawezwa kutimuizwa.
Nne ni kwa uchapishaji wa gazeti za Kiswahili. Gazeti kama vile The Standard na Daily Nation ikiweza pia kuchapisha gazeti zenginezo kwa kutumia lugha ya Kiswahili, wale wanaosoma wataweza kupata ubunifu mzuri wa lugha hio na pia kuendelea kueneza lugha ya Kiswahili nchini zingine.
Lengine ni kwa kuweka mashindano ya Kiswahili katika majimbo tofauti tofauti nchini kwa mfano shuleni. Hii itawezesha wanafunzi kuweza kutunga na kuimba mitungo yao mbele ya hadhira na hii inakuza ubunifu wao na pia hadhira inapata kuweza kujua mengine mapya ya Kiswahili. Huu ni mfumo rahisi na la uhakikisho wa kueneza Kiswahili ulimwenguni na nchini Kenya.
La sita ni kwa kutangaza habari kutumia lugha ya Kiswahili Stesheni za televisheni na redio zinazoeneza habari kuhusu nchi zikiweza kuzipitisha kwa lugha ya Kiswahili. Wasikilizaji wa habari hizo wanapata kuelewa zaidi lugha hii na kueneza zaidi.
Saba ni kwa kupitia mijadala wakati wabunge wanapoenda kujadili swala zitakazoweza kuwasudi wakenya. Wanapaswa kujadili kwa lugha ya Kitaifa ili wakaweze kuboresha mazungumzo yao na hata wale wanaowaona nyumbani kupata kufaidika.
Nane ni wakati Rais wa Jamhuri ya Kenya anapotaka kuwahotibia wakenya. Anapotumia lugha ya Kiswahili kuwasilisha ujumbe wake, watu wanaotoka maeneo mbali mbali nchini Kenya wataweza kupata ujumbe wake na hata kuboresha maongezi yao ya Kiswahili.
Tisa na la maana tena zaidi, ni kuwa Kiswahili kubaki na kusalia kama lughaya taifa. Hii inadumiza ugonjwa na hata inawezesha wananchi kuzungumza kwa lugha hio na hata kwa hiari yao. Uimarishaji wa lugha hii inapitakana ulimwenguni na nchini.
Kumi na la mwisho ni utamaduni wa Kiswahili. Wakati jamii mbali mbali zinapowekeza utamaduni wao wa kutumia lugha ya Kiswahili na zinaeneza ujumbe sawasawa, lugha hii inazidi kuimarika si tu nchini bali pia ulimwenguni wakati tunapotembelana na watalii kuona mazingira na wanyama pori wa Kenya.
Kwa kweli, Kiswahili itasalia kuwa lugha ya wananchi wa Kenya inayoeleza tamaduni na masilahi ya wakenya. | Ni siku ipi kwa wiki inapendekezwa kutengwa kuwa ya kuzungumza Kiswahili | {
"text": [
"Ijumaa"
]
} |
2517_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha ambazo zinaenziwa nchi Kenya. Kiswahili huwezesha watu kutoka maeneo mbalimbali kuweza kuwasiliana na hata kuikuza kama lugha ya taifa. Kuimarisha lugha ya Kiswahili kutaweza kufanya maendeleo mengi katika nchi yetu na hata ulimwenguni. Shuleni wanafunzi wanafaa wapewe na serikali vitabu aina ainati vya Kiswahili ndiposa waweze kuvidurusu na kubobea katika lugha ya Kiswahili. Inafaa walimu watenge rika moja katika wiki ambayo kila mwanagenzi atafaa aongee lugha sanifu ya Kiswahili. Inafaa wanagenzi wafunzwe umuhimu wa Kiswahili ndiposa waweze kulienzi.
Mtandaoni, inafaa lugha ya Kiswahili itumike kwa wingi ili watu katika nchi zingine waweze kulifahamu lugha ya Kiswahili. Watu ambao wamebobea katika lugha ya Kiswahili inabidi wawafunze wale ambao bado wanatatizo la kulizungumza. Wananchi wanabidi wajikaze kisabuni ili wazungumze kwa lugha sanifu ya Kiswahili.
Mheshimiwa rais anafaa kusaidia watu kukuza talanta zao hasa wale wenye uwezo wa kutunga mashairi, kuandika vitabu vya hadithi mbalimbali na kadhalika. Hii itawapa watu wengine motisha ya kubobea hasa wakati ambapo watakuwa wanasikiliza hayo mashairi. Biashara zinazoendelea ulimwenguni zinabidi zifanyike kwa lugha ya kiswahili. Kwa kufanya hivyo, lugha Kiswahili itaweza kuimarika ulimwenguni kwa sababu siku zitakapozidi kwenda watu ambao hawafahamu lugha ya Kiswahili wataweza kufahamu. Watu katika nchi za kigeni wataweza kulienzi lugha ya Kiswahili.
Wananchi kwa bidii wafanye Kiswahili iwe lugha ya kimataifa ambayo itaweza kuzungumzwa na watu wengi. Inabidi vyuo mbalimbali vya kufunza lugha ya Kiswahili viundwe, ili wananchi waweze kufunzwa lugha ya Kiswahili. Kwa kufanya haya yote lugha ya Kiswahili itaimarishwa ulimwenguni. | Lugha gani huwezesha watu kutoka maeneo mbalimbali kuwasiliana | {
"text": [
"Kiswahili"
]
} |
2517_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha ambazo zinaenziwa nchi Kenya. Kiswahili huwezesha watu kutoka maeneo mbalimbali kuweza kuwasiliana na hata kuikuza kama lugha ya taifa. Kuimarisha lugha ya Kiswahili kutaweza kufanya maendeleo mengi katika nchi yetu na hata ulimwenguni. Shuleni wanafunzi wanafaa wapewe na serikali vitabu aina ainati vya Kiswahili ndiposa waweze kuvidurusu na kubobea katika lugha ya Kiswahili. Inafaa walimu watenge rika moja katika wiki ambayo kila mwanagenzi atafaa aongee lugha sanifu ya Kiswahili. Inafaa wanagenzi wafunzwe umuhimu wa Kiswahili ndiposa waweze kulienzi.
Mtandaoni, inafaa lugha ya Kiswahili itumike kwa wingi ili watu katika nchi zingine waweze kulifahamu lugha ya Kiswahili. Watu ambao wamebobea katika lugha ya Kiswahili inabidi wawafunze wale ambao bado wanatatizo la kulizungumza. Wananchi wanabidi wajikaze kisabuni ili wazungumze kwa lugha sanifu ya Kiswahili.
Mheshimiwa rais anafaa kusaidia watu kukuza talanta zao hasa wale wenye uwezo wa kutunga mashairi, kuandika vitabu vya hadithi mbalimbali na kadhalika. Hii itawapa watu wengine motisha ya kubobea hasa wakati ambapo watakuwa wanasikiliza hayo mashairi. Biashara zinazoendelea ulimwenguni zinabidi zifanyike kwa lugha ya kiswahili. Kwa kufanya hivyo, lugha Kiswahili itaweza kuimarika ulimwenguni kwa sababu siku zitakapozidi kwenda watu ambao hawafahamu lugha ya Kiswahili wataweza kufahamu. Watu katika nchi za kigeni wataweza kulienzi lugha ya Kiswahili.
Wananchi kwa bidii wafanye Kiswahili iwe lugha ya kimataifa ambayo itaweza kuzungumzwa na watu wengi. Inabidi vyuo mbalimbali vya kufunza lugha ya Kiswahili viundwe, ili wananchi waweze kufunzwa lugha ya Kiswahili. Kwa kufanya haya yote lugha ya Kiswahili itaimarishwa ulimwenguni. | Serikali inafaa iwape wanafunzi vitabu wapi | {
"text": [
"shuleni"
]
} |
2517_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha ambazo zinaenziwa nchi Kenya. Kiswahili huwezesha watu kutoka maeneo mbalimbali kuweza kuwasiliana na hata kuikuza kama lugha ya taifa. Kuimarisha lugha ya Kiswahili kutaweza kufanya maendeleo mengi katika nchi yetu na hata ulimwenguni. Shuleni wanafunzi wanafaa wapewe na serikali vitabu aina ainati vya Kiswahili ndiposa waweze kuvidurusu na kubobea katika lugha ya Kiswahili. Inafaa walimu watenge rika moja katika wiki ambayo kila mwanagenzi atafaa aongee lugha sanifu ya Kiswahili. Inafaa wanagenzi wafunzwe umuhimu wa Kiswahili ndiposa waweze kulienzi.
Mtandaoni, inafaa lugha ya Kiswahili itumike kwa wingi ili watu katika nchi zingine waweze kulifahamu lugha ya Kiswahili. Watu ambao wamebobea katika lugha ya Kiswahili inabidi wawafunze wale ambao bado wanatatizo la kulizungumza. Wananchi wanabidi wajikaze kisabuni ili wazungumze kwa lugha sanifu ya Kiswahili.
Mheshimiwa rais anafaa kusaidia watu kukuza talanta zao hasa wale wenye uwezo wa kutunga mashairi, kuandika vitabu vya hadithi mbalimbali na kadhalika. Hii itawapa watu wengine motisha ya kubobea hasa wakati ambapo watakuwa wanasikiliza hayo mashairi. Biashara zinazoendelea ulimwenguni zinabidi zifanyike kwa lugha ya kiswahili. Kwa kufanya hivyo, lugha Kiswahili itaweza kuimarika ulimwenguni kwa sababu siku zitakapozidi kwenda watu ambao hawafahamu lugha ya Kiswahili wataweza kufahamu. Watu katika nchi za kigeni wataweza kulienzi lugha ya Kiswahili.
Wananchi kwa bidii wafanye Kiswahili iwe lugha ya kimataifa ambayo itaweza kuzungumzwa na watu wengi. Inabidi vyuo mbalimbali vya kufunza lugha ya Kiswahili viundwe, ili wananchi waweze kufunzwa lugha ya Kiswahili. Kwa kufanya haya yote lugha ya Kiswahili itaimarishwa ulimwenguni. | Walimu watenge siku ngapi za kuzungumza Kiswahili | {
"text": [
"moja"
]
} |
2517_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha ambazo zinaenziwa nchi Kenya. Kiswahili huwezesha watu kutoka maeneo mbalimbali kuweza kuwasiliana na hata kuikuza kama lugha ya taifa. Kuimarisha lugha ya Kiswahili kutaweza kufanya maendeleo mengi katika nchi yetu na hata ulimwenguni. Shuleni wanafunzi wanafaa wapewe na serikali vitabu aina ainati vya Kiswahili ndiposa waweze kuvidurusu na kubobea katika lugha ya Kiswahili. Inafaa walimu watenge rika moja katika wiki ambayo kila mwanagenzi atafaa aongee lugha sanifu ya Kiswahili. Inafaa wanagenzi wafunzwe umuhimu wa Kiswahili ndiposa waweze kulienzi.
Mtandaoni, inafaa lugha ya Kiswahili itumike kwa wingi ili watu katika nchi zingine waweze kulifahamu lugha ya Kiswahili. Watu ambao wamebobea katika lugha ya Kiswahili inabidi wawafunze wale ambao bado wanatatizo la kulizungumza. Wananchi wanabidi wajikaze kisabuni ili wazungumze kwa lugha sanifu ya Kiswahili.
Mheshimiwa rais anafaa kusaidia watu kukuza talanta zao hasa wale wenye uwezo wa kutunga mashairi, kuandika vitabu vya hadithi mbalimbali na kadhalika. Hii itawapa watu wengine motisha ya kubobea hasa wakati ambapo watakuwa wanasikiliza hayo mashairi. Biashara zinazoendelea ulimwenguni zinabidi zifanyike kwa lugha ya kiswahili. Kwa kufanya hivyo, lugha Kiswahili itaweza kuimarika ulimwenguni kwa sababu siku zitakapozidi kwenda watu ambao hawafahamu lugha ya Kiswahili wataweza kufahamu. Watu katika nchi za kigeni wataweza kulienzi lugha ya Kiswahili.
Wananchi kwa bidii wafanye Kiswahili iwe lugha ya kimataifa ambayo itaweza kuzungumzwa na watu wengi. Inabidi vyuo mbalimbali vya kufunza lugha ya Kiswahili viundwe, ili wananchi waweze kufunzwa lugha ya Kiswahili. Kwa kufanya haya yote lugha ya Kiswahili itaimarishwa ulimwenguni. | Rais anafaa kusaidia watu kukuza nini | {
"text": [
"talanta zao"
]
} |
2517_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha ambazo zinaenziwa nchi Kenya. Kiswahili huwezesha watu kutoka maeneo mbalimbali kuweza kuwasiliana na hata kuikuza kama lugha ya taifa. Kuimarisha lugha ya Kiswahili kutaweza kufanya maendeleo mengi katika nchi yetu na hata ulimwenguni. Shuleni wanafunzi wanafaa wapewe na serikali vitabu aina ainati vya Kiswahili ndiposa waweze kuvidurusu na kubobea katika lugha ya Kiswahili. Inafaa walimu watenge rika moja katika wiki ambayo kila mwanagenzi atafaa aongee lugha sanifu ya Kiswahili. Inafaa wanagenzi wafunzwe umuhimu wa Kiswahili ndiposa waweze kulienzi.
Mtandaoni, inafaa lugha ya Kiswahili itumike kwa wingi ili watu katika nchi zingine waweze kulifahamu lugha ya Kiswahili. Watu ambao wamebobea katika lugha ya Kiswahili inabidi wawafunze wale ambao bado wanatatizo la kulizungumza. Wananchi wanabidi wajikaze kisabuni ili wazungumze kwa lugha sanifu ya Kiswahili.
Mheshimiwa rais anafaa kusaidia watu kukuza talanta zao hasa wale wenye uwezo wa kutunga mashairi, kuandika vitabu vya hadithi mbalimbali na kadhalika. Hii itawapa watu wengine motisha ya kubobea hasa wakati ambapo watakuwa wanasikiliza hayo mashairi. Biashara zinazoendelea ulimwenguni zinabidi zifanyike kwa lugha ya kiswahili. Kwa kufanya hivyo, lugha Kiswahili itaweza kuimarika ulimwenguni kwa sababu siku zitakapozidi kwenda watu ambao hawafahamu lugha ya Kiswahili wataweza kufahamu. Watu katika nchi za kigeni wataweza kulienzi lugha ya Kiswahili.
Wananchi kwa bidii wafanye Kiswahili iwe lugha ya kimataifa ambayo itaweza kuzungumzwa na watu wengi. Inabidi vyuo mbalimbali vya kufunza lugha ya Kiswahili viundwe, ili wananchi waweze kufunzwa lugha ya Kiswahili. Kwa kufanya haya yote lugha ya Kiswahili itaimarishwa ulimwenguni. | Mbona inafaa Kiswahili kitumike mitandaoni | {
"text": [
"ili watu katika nchi zingine waweze kuifahamu"
]
} |
2518_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIKINGA NA KUEPUKA GONJWA SUGU LA CORONA
Waziri wa afya pamoja na naibu wake, wageni waheshimiwa, mwalimu mkuu pamoja na naibu wake, walimu pamoja na wanafunzi wenzangu hujambo? Nina imani nyote mu buheri wa afya na nitaanza kuwakaribisha nyote kuidhinisha siku hii jinsi ilivyopendekezana na idara ya Afya. Mimi ninaitwa Rian Musungu, mwanafunzi wa kidato cha nne magharibi na ninafurahia kuwakaribisha nyote. Ninapoanza kwa kuangazia mada ya leo.
Naam, wananchi wazalendo wenzangu jinsi mnavyofahamu kwamba ugonjwa hili lipo na linaangamiza mioyo ya watu kila uchao. Ni lazima pia na sisi tuangalie jinsi au mbinu za kutuepusha kutokana na janga hili. Kitu cha kwanza ambacho tunahitaji kukifanya na ni jukumu la kila mmoja ni kuomba, tunapootangamana kwa pamoja pengine ni kwa sherehe, tunastahili tuwe umbali wa mita moja na nusu baina au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Tukilizingatia hili, hakika tutapunguza uenezi wa janga hili sugu.
Licha ya hayo, ndugu zangu tunatakikana kunawa mikono yetu kwa maji yanayotiririka kwa mifereji kwa muda wa sekunde kumi na tano ukitumia sabuni. Jinsi mnavyofahamu janga hili linasababishwa na vijidudu vidogo vinavyojulikana kama Covid 19, sabuni imetibiwa na una uwezo wa kuviua vijidudu hivi na ndio maana mimi ninawashauri wenzangu, tuweze kunawa mikono yetu kila mara.
Ni lazima pia tuweze kufahamu dalili za Corona. Miongoni mwazo ni kuwangwa kwa kichwa, kukohoa na kuhisi joto jingi mwilini kuliko kawaida. Mimi ninawashauri iwapo utaweza kuona au kugundua dalili yoyote kati ya hizo, basi kimbia katika chuo cha afya kilioko karibu nawe. Ukifika pale utapatana na daktari ambaye ataweza kutuelekeza vilivyo. Na inafaa ikumbukwe si lazima awe ni wewe umegunduliwa dalili hizi, inaweza kuwa ni jirani, rafiki ama ata mmoja wa familia yako na itakuwa vyema ukimwelekeza vyema ili apokee ushauri wa daktari.
Wananchi watukufu wa nchi ya kenya, ningependa kuongezea kwa kusema kuwa ni jukumu la kila mmoja wetu aweze kufunga au kuvaa barakoa. Hii inasaidia kuenezwa kwa gonjwa hili kupitia kwa manyunyu ya mate yanayosababishwa na kikoozi, hewa itokayo masafuni iliyo chafu au yenye vijidudu vya gonjwa hili. Kwa hivyo ni muhimu sana kila mmoja afunge barakoa yake kuzuia maeneo zaidi ya gonjwa hili. Nitasisitiza kwamba unapofunga barakoa, hakikisha kwamba umefunga mdomo na pua lako liko ndani ya barakoa hiyo.
Nikimalizia, ninataka kumtambua waziri wetu mtukufu pamoja na wageni wote kufika mahali hapa kukuidhirisha siku hii. Wanafunzi, walimu na mwalimu wetu mkuu kwa kusaidiana ili siku iwe ya ufanisi jinsi ilivyo. Mwisho kabisa, ninamshukuru kila mmoja aliyesikiliza na kunipa fursa hii. Ninashukuru sana na nyote muwe na siku njema. | Rian Musumbi yuko katika kidato kipi | {
"text": [
"cha nne"
]
} |
2518_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIKINGA NA KUEPUKA GONJWA SUGU LA CORONA
Waziri wa afya pamoja na naibu wake, wageni waheshimiwa, mwalimu mkuu pamoja na naibu wake, walimu pamoja na wanafunzi wenzangu hujambo? Nina imani nyote mu buheri wa afya na nitaanza kuwakaribisha nyote kuidhinisha siku hii jinsi ilivyopendekezana na idara ya Afya. Mimi ninaitwa Rian Musungu, mwanafunzi wa kidato cha nne magharibi na ninafurahia kuwakaribisha nyote. Ninapoanza kwa kuangazia mada ya leo.
Naam, wananchi wazalendo wenzangu jinsi mnavyofahamu kwamba ugonjwa hili lipo na linaangamiza mioyo ya watu kila uchao. Ni lazima pia na sisi tuangalie jinsi au mbinu za kutuepusha kutokana na janga hili. Kitu cha kwanza ambacho tunahitaji kukifanya na ni jukumu la kila mmoja ni kuomba, tunapootangamana kwa pamoja pengine ni kwa sherehe, tunastahili tuwe umbali wa mita moja na nusu baina au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Tukilizingatia hili, hakika tutapunguza uenezi wa janga hili sugu.
Licha ya hayo, ndugu zangu tunatakikana kunawa mikono yetu kwa maji yanayotiririka kwa mifereji kwa muda wa sekunde kumi na tano ukitumia sabuni. Jinsi mnavyofahamu janga hili linasababishwa na vijidudu vidogo vinavyojulikana kama Covid 19, sabuni imetibiwa na una uwezo wa kuviua vijidudu hivi na ndio maana mimi ninawashauri wenzangu, tuweze kunawa mikono yetu kila mara.
Ni lazima pia tuweze kufahamu dalili za Corona. Miongoni mwazo ni kuwangwa kwa kichwa, kukohoa na kuhisi joto jingi mwilini kuliko kawaida. Mimi ninawashauri iwapo utaweza kuona au kugundua dalili yoyote kati ya hizo, basi kimbia katika chuo cha afya kilioko karibu nawe. Ukifika pale utapatana na daktari ambaye ataweza kutuelekeza vilivyo. Na inafaa ikumbukwe si lazima awe ni wewe umegunduliwa dalili hizi, inaweza kuwa ni jirani, rafiki ama ata mmoja wa familia yako na itakuwa vyema ukimwelekeza vyema ili apokee ushauri wa daktari.
Wananchi watukufu wa nchi ya kenya, ningependa kuongezea kwa kusema kuwa ni jukumu la kila mmoja wetu aweze kufunga au kuvaa barakoa. Hii inasaidia kuenezwa kwa gonjwa hili kupitia kwa manyunyu ya mate yanayosababishwa na kikoozi, hewa itokayo masafuni iliyo chafu au yenye vijidudu vya gonjwa hili. Kwa hivyo ni muhimu sana kila mmoja afunge barakoa yake kuzuia maeneo zaidi ya gonjwa hili. Nitasisitiza kwamba unapofunga barakoa, hakikisha kwamba umefunga mdomo na pua lako liko ndani ya barakoa hiyo.
Nikimalizia, ninataka kumtambua waziri wetu mtukufu pamoja na wageni wote kufika mahali hapa kukuidhirisha siku hii. Wanafunzi, walimu na mwalimu wetu mkuu kwa kusaidiana ili siku iwe ya ufanisi jinsi ilivyo. Mwisho kabisa, ninamshukuru kila mmoja aliyesikiliza na kunipa fursa hii. Ninashukuru sana na nyote muwe na siku njema. | Tunapotangamana tunastahili tuwe umbali upi | {
"text": [
"mita moja na nusu"
]
} |
2518_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIKINGA NA KUEPUKA GONJWA SUGU LA CORONA
Waziri wa afya pamoja na naibu wake, wageni waheshimiwa, mwalimu mkuu pamoja na naibu wake, walimu pamoja na wanafunzi wenzangu hujambo? Nina imani nyote mu buheri wa afya na nitaanza kuwakaribisha nyote kuidhinisha siku hii jinsi ilivyopendekezana na idara ya Afya. Mimi ninaitwa Rian Musungu, mwanafunzi wa kidato cha nne magharibi na ninafurahia kuwakaribisha nyote. Ninapoanza kwa kuangazia mada ya leo.
Naam, wananchi wazalendo wenzangu jinsi mnavyofahamu kwamba ugonjwa hili lipo na linaangamiza mioyo ya watu kila uchao. Ni lazima pia na sisi tuangalie jinsi au mbinu za kutuepusha kutokana na janga hili. Kitu cha kwanza ambacho tunahitaji kukifanya na ni jukumu la kila mmoja ni kuomba, tunapootangamana kwa pamoja pengine ni kwa sherehe, tunastahili tuwe umbali wa mita moja na nusu baina au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Tukilizingatia hili, hakika tutapunguza uenezi wa janga hili sugu.
Licha ya hayo, ndugu zangu tunatakikana kunawa mikono yetu kwa maji yanayotiririka kwa mifereji kwa muda wa sekunde kumi na tano ukitumia sabuni. Jinsi mnavyofahamu janga hili linasababishwa na vijidudu vidogo vinavyojulikana kama Covid 19, sabuni imetibiwa na una uwezo wa kuviua vijidudu hivi na ndio maana mimi ninawashauri wenzangu, tuweze kunawa mikono yetu kila mara.
Ni lazima pia tuweze kufahamu dalili za Corona. Miongoni mwazo ni kuwangwa kwa kichwa, kukohoa na kuhisi joto jingi mwilini kuliko kawaida. Mimi ninawashauri iwapo utaweza kuona au kugundua dalili yoyote kati ya hizo, basi kimbia katika chuo cha afya kilioko karibu nawe. Ukifika pale utapatana na daktari ambaye ataweza kutuelekeza vilivyo. Na inafaa ikumbukwe si lazima awe ni wewe umegunduliwa dalili hizi, inaweza kuwa ni jirani, rafiki ama ata mmoja wa familia yako na itakuwa vyema ukimwelekeza vyema ili apokee ushauri wa daktari.
Wananchi watukufu wa nchi ya kenya, ningependa kuongezea kwa kusema kuwa ni jukumu la kila mmoja wetu aweze kufunga au kuvaa barakoa. Hii inasaidia kuenezwa kwa gonjwa hili kupitia kwa manyunyu ya mate yanayosababishwa na kikoozi, hewa itokayo masafuni iliyo chafu au yenye vijidudu vya gonjwa hili. Kwa hivyo ni muhimu sana kila mmoja afunge barakoa yake kuzuia maeneo zaidi ya gonjwa hili. Nitasisitiza kwamba unapofunga barakoa, hakikisha kwamba umefunga mdomo na pua lako liko ndani ya barakoa hiyo.
Nikimalizia, ninataka kumtambua waziri wetu mtukufu pamoja na wageni wote kufika mahali hapa kukuidhirisha siku hii. Wanafunzi, walimu na mwalimu wetu mkuu kwa kusaidiana ili siku iwe ya ufanisi jinsi ilivyo. Mwisho kabisa, ninamshukuru kila mmoja aliyesikiliza na kunipa fursa hii. Ninashukuru sana na nyote muwe na siku njema. | Tunatakiwa kunawa mikono kwa muda gani | {
"text": [
"sekunde kumi na tano"
]
} |
2518_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIKINGA NA KUEPUKA GONJWA SUGU LA CORONA
Waziri wa afya pamoja na naibu wake, wageni waheshimiwa, mwalimu mkuu pamoja na naibu wake, walimu pamoja na wanafunzi wenzangu hujambo? Nina imani nyote mu buheri wa afya na nitaanza kuwakaribisha nyote kuidhinisha siku hii jinsi ilivyopendekezana na idara ya Afya. Mimi ninaitwa Rian Musungu, mwanafunzi wa kidato cha nne magharibi na ninafurahia kuwakaribisha nyote. Ninapoanza kwa kuangazia mada ya leo.
Naam, wananchi wazalendo wenzangu jinsi mnavyofahamu kwamba ugonjwa hili lipo na linaangamiza mioyo ya watu kila uchao. Ni lazima pia na sisi tuangalie jinsi au mbinu za kutuepusha kutokana na janga hili. Kitu cha kwanza ambacho tunahitaji kukifanya na ni jukumu la kila mmoja ni kuomba, tunapootangamana kwa pamoja pengine ni kwa sherehe, tunastahili tuwe umbali wa mita moja na nusu baina au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Tukilizingatia hili, hakika tutapunguza uenezi wa janga hili sugu.
Licha ya hayo, ndugu zangu tunatakikana kunawa mikono yetu kwa maji yanayotiririka kwa mifereji kwa muda wa sekunde kumi na tano ukitumia sabuni. Jinsi mnavyofahamu janga hili linasababishwa na vijidudu vidogo vinavyojulikana kama Covid 19, sabuni imetibiwa na una uwezo wa kuviua vijidudu hivi na ndio maana mimi ninawashauri wenzangu, tuweze kunawa mikono yetu kila mara.
Ni lazima pia tuweze kufahamu dalili za Corona. Miongoni mwazo ni kuwangwa kwa kichwa, kukohoa na kuhisi joto jingi mwilini kuliko kawaida. Mimi ninawashauri iwapo utaweza kuona au kugundua dalili yoyote kati ya hizo, basi kimbia katika chuo cha afya kilioko karibu nawe. Ukifika pale utapatana na daktari ambaye ataweza kutuelekeza vilivyo. Na inafaa ikumbukwe si lazima awe ni wewe umegunduliwa dalili hizi, inaweza kuwa ni jirani, rafiki ama ata mmoja wa familia yako na itakuwa vyema ukimwelekeza vyema ili apokee ushauri wa daktari.
Wananchi watukufu wa nchi ya kenya, ningependa kuongezea kwa kusema kuwa ni jukumu la kila mmoja wetu aweze kufunga au kuvaa barakoa. Hii inasaidia kuenezwa kwa gonjwa hili kupitia kwa manyunyu ya mate yanayosababishwa na kikoozi, hewa itokayo masafuni iliyo chafu au yenye vijidudu vya gonjwa hili. Kwa hivyo ni muhimu sana kila mmoja afunge barakoa yake kuzuia maeneo zaidi ya gonjwa hili. Nitasisitiza kwamba unapofunga barakoa, hakikisha kwamba umefunga mdomo na pua lako liko ndani ya barakoa hiyo.
Nikimalizia, ninataka kumtambua waziri wetu mtukufu pamoja na wageni wote kufika mahali hapa kukuidhirisha siku hii. Wanafunzi, walimu na mwalimu wetu mkuu kwa kusaidiana ili siku iwe ya ufanisi jinsi ilivyo. Mwisho kabisa, ninamshukuru kila mmoja aliyesikiliza na kunipa fursa hii. Ninashukuru sana na nyote muwe na siku njema. | Ni lazima tufahamu dalili za nini | {
"text": [
"Corona"
]
} |
2518_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIKINGA NA KUEPUKA GONJWA SUGU LA CORONA
Waziri wa afya pamoja na naibu wake, wageni waheshimiwa, mwalimu mkuu pamoja na naibu wake, walimu pamoja na wanafunzi wenzangu hujambo? Nina imani nyote mu buheri wa afya na nitaanza kuwakaribisha nyote kuidhinisha siku hii jinsi ilivyopendekezana na idara ya Afya. Mimi ninaitwa Rian Musungu, mwanafunzi wa kidato cha nne magharibi na ninafurahia kuwakaribisha nyote. Ninapoanza kwa kuangazia mada ya leo.
Naam, wananchi wazalendo wenzangu jinsi mnavyofahamu kwamba ugonjwa hili lipo na linaangamiza mioyo ya watu kila uchao. Ni lazima pia na sisi tuangalie jinsi au mbinu za kutuepusha kutokana na janga hili. Kitu cha kwanza ambacho tunahitaji kukifanya na ni jukumu la kila mmoja ni kuomba, tunapootangamana kwa pamoja pengine ni kwa sherehe, tunastahili tuwe umbali wa mita moja na nusu baina au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Tukilizingatia hili, hakika tutapunguza uenezi wa janga hili sugu.
Licha ya hayo, ndugu zangu tunatakikana kunawa mikono yetu kwa maji yanayotiririka kwa mifereji kwa muda wa sekunde kumi na tano ukitumia sabuni. Jinsi mnavyofahamu janga hili linasababishwa na vijidudu vidogo vinavyojulikana kama Covid 19, sabuni imetibiwa na una uwezo wa kuviua vijidudu hivi na ndio maana mimi ninawashauri wenzangu, tuweze kunawa mikono yetu kila mara.
Ni lazima pia tuweze kufahamu dalili za Corona. Miongoni mwazo ni kuwangwa kwa kichwa, kukohoa na kuhisi joto jingi mwilini kuliko kawaida. Mimi ninawashauri iwapo utaweza kuona au kugundua dalili yoyote kati ya hizo, basi kimbia katika chuo cha afya kilioko karibu nawe. Ukifika pale utapatana na daktari ambaye ataweza kutuelekeza vilivyo. Na inafaa ikumbukwe si lazima awe ni wewe umegunduliwa dalili hizi, inaweza kuwa ni jirani, rafiki ama ata mmoja wa familia yako na itakuwa vyema ukimwelekeza vyema ili apokee ushauri wa daktari.
Wananchi watukufu wa nchi ya kenya, ningependa kuongezea kwa kusema kuwa ni jukumu la kila mmoja wetu aweze kufunga au kuvaa barakoa. Hii inasaidia kuenezwa kwa gonjwa hili kupitia kwa manyunyu ya mate yanayosababishwa na kikoozi, hewa itokayo masafuni iliyo chafu au yenye vijidudu vya gonjwa hili. Kwa hivyo ni muhimu sana kila mmoja afunge barakoa yake kuzuia maeneo zaidi ya gonjwa hili. Nitasisitiza kwamba unapofunga barakoa, hakikisha kwamba umefunga mdomo na pua lako liko ndani ya barakoa hiyo.
Nikimalizia, ninataka kumtambua waziri wetu mtukufu pamoja na wageni wote kufika mahali hapa kukuidhirisha siku hii. Wanafunzi, walimu na mwalimu wetu mkuu kwa kusaidiana ili siku iwe ya ufanisi jinsi ilivyo. Mwisho kabisa, ninamshukuru kila mmoja aliyesikiliza na kunipa fursa hii. Ninashukuru sana na nyote muwe na siku njema. | Mbona ni muhimu kila mtu kufunga barakoa yake | {
"text": [
"kuzuia maenezo zaidi ya gonjwa hili"
]
} |
2519_swa | Michezo mingi katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa kupitia njia mbalimbali. Michezo kama ya kandanda na mipira ya vikapu inapaswa kuwa imearika. Ni kati ya ile michezo ambayo haijapewa kipaumbele katika nchi ya Kenya.
Kwanza ili kuweza kuimarisha mchezo wa kandanda katika nchi ya Kenya, serikali ya Kenya inapaswa kutoa kiwango fulani cha pesa kupitia kwa waziri wa michezo ya nchi. Waziri wa michezo anapaswa kuhakikisha kuwa viwanja za mipira zimeweza kujengwa na hata zile zilizojengwa hapo awali zinapaswa kuimarishwa. Hili linaweza kuwasaidia wachezaji kwa kufanya mazoezi na hata pia kuwapa motisha. Ili waweze pia kutia bidii za mchwa serikali inapaswa kuwalipa mishahara ya kiwango kilicho afadhali wengi wao hupewa mshahara duni na hili huchangia kutoimarisha mchezo wa kandanda kwa kuwa wengi wa wachezaji hujiuzuru. Waswahili walisema kuwa mkono mtupu haulambwi.
Pili ni kuwa ili kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya, wakenya wanapaswa kuchangia kushabiki katika michezo za nyumbani. Mara kwa mara wakenya wengi wamekuwa wakishabikia mpira wa nchi za ughaibuni na kutoshughulika na kushabikia mpira au michezo za nyumbani. Wakenya wakiweze kushabiki na kuchangia kwa kuwa mashabiki katika michezo za nyumbani, wanaweza kuwafanya wachezaji wa michezo tofauti nchini kuwa na motisha wa kucheza na hata kufanya vizuri. Hili linaweza kuimarisha michezo nchi ya Kenya kwa kuwa wachezaji wanaweza kufanya mazoezi kwa kutumia vifaa vya mchezo vinavyoimarika na wanaweza kuboresha talanta yao ya michezo.
Njia ya nne ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa serikali inapaswa kuongea na vijana na walio na talanta kupitia mitangazo na mitandao ili waweze kuwapa motisha ya kuweza kujihusisha na michezo wanaozipenda na zile ambazo wanaweza kufanya vizuri.
Hili linaweza kuwaokoa vijana wengi kutokana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo imeathiri wengi wao kwa sasa. Vijana wakiweza kujihusisha na michezo wataweza kwa kiwango fulani kujiadhiri na utumiaji wa dawa za kulevya. Hili litaimarisha mchezo nchini Kenya kwa kuwa vijana wataweza kujiunga na kuweza kucheza michezo tofauti tofauti na hakutakuwa na upungufu wa wachezaji.
Njia ya tano ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa wizara ya michezo inapaswa kutengeneza mashindano mengine kando na ya mchezo wa mpira. Anaweza kutengeneza mashindano ya mpira wa vikapu na pia voliboli. Washindi wanapaswa kutozwa zawadi kutokana na bidii zao. Wachezaji wataweza kutia bidii na kuweza kufanya mazoezi ili waweze kuibuka kuwa washindi na ili kuwafanya kuwa na furaha riboribo. Wachezaji wa timu tofauti huweza kucheza kwa bidii ili waweze kutuzwa kuwa kati ya wachezaji bora.
Michezo katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa na kuweza kuwa kati ya shughuli zinazopewa kipaumbele nchini. Ili kuweza kuimarisha talanta ya vijana wengi michezo inapaswa kuimarishwa. | Serikali inapaswa kutoa kiwango fulani cha pesa kupitia nani | {
"text": [
"waziri wa michezo"
]
} |
2519_swa | Michezo mingi katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa kupitia njia mbalimbali. Michezo kama ya kandanda na mipira ya vikapu inapaswa kuwa imearika. Ni kati ya ile michezo ambayo haijapewa kipaumbele katika nchi ya Kenya.
Kwanza ili kuweza kuimarisha mchezo wa kandanda katika nchi ya Kenya, serikali ya Kenya inapaswa kutoa kiwango fulani cha pesa kupitia kwa waziri wa michezo ya nchi. Waziri wa michezo anapaswa kuhakikisha kuwa viwanja za mipira zimeweza kujengwa na hata zile zilizojengwa hapo awali zinapaswa kuimarishwa. Hili linaweza kuwasaidia wachezaji kwa kufanya mazoezi na hata pia kuwapa motisha. Ili waweze pia kutia bidii za mchwa serikali inapaswa kuwalipa mishahara ya kiwango kilicho afadhali wengi wao hupewa mshahara duni na hili huchangia kutoimarisha mchezo wa kandanda kwa kuwa wengi wa wachezaji hujiuzuru. Waswahili walisema kuwa mkono mtupu haulambwi.
Pili ni kuwa ili kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya, wakenya wanapaswa kuchangia kushabiki katika michezo za nyumbani. Mara kwa mara wakenya wengi wamekuwa wakishabikia mpira wa nchi za ughaibuni na kutoshughulika na kushabikia mpira au michezo za nyumbani. Wakenya wakiweze kushabiki na kuchangia kwa kuwa mashabiki katika michezo za nyumbani, wanaweza kuwafanya wachezaji wa michezo tofauti nchini kuwa na motisha wa kucheza na hata kufanya vizuri. Hili linaweza kuimarisha michezo nchi ya Kenya kwa kuwa wachezaji wanaweza kufanya mazoezi kwa kutumia vifaa vya mchezo vinavyoimarika na wanaweza kuboresha talanta yao ya michezo.
Njia ya nne ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa serikali inapaswa kuongea na vijana na walio na talanta kupitia mitangazo na mitandao ili waweze kuwapa motisha ya kuweza kujihusisha na michezo wanaozipenda na zile ambazo wanaweza kufanya vizuri.
Hili linaweza kuwaokoa vijana wengi kutokana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo imeathiri wengi wao kwa sasa. Vijana wakiweza kujihusisha na michezo wataweza kwa kiwango fulani kujiadhiri na utumiaji wa dawa za kulevya. Hili litaimarisha mchezo nchini Kenya kwa kuwa vijana wataweza kujiunga na kuweza kucheza michezo tofauti tofauti na hakutakuwa na upungufu wa wachezaji.
Njia ya tano ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa wizara ya michezo inapaswa kutengeneza mashindano mengine kando na ya mchezo wa mpira. Anaweza kutengeneza mashindano ya mpira wa vikapu na pia voliboli. Washindi wanapaswa kutozwa zawadi kutokana na bidii zao. Wachezaji wataweza kutia bidii na kuweza kufanya mazoezi ili waweze kuibuka kuwa washindi na ili kuwafanya kuwa na furaha riboribo. Wachezaji wa timu tofauti huweza kucheza kwa bidii ili waweze kutuzwa kuwa kati ya wachezaji bora.
Michezo katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa na kuweza kuwa kati ya shughuli zinazopewa kipaumbele nchini. Ili kuweza kuimarisha talanta ya vijana wengi michezo inapaswa kuimarishwa. | Uimarishaji wa viwanja utafanya wachezaji wafanye nini | {
"text": [
"wafanye mazoezi/wapate motisha "
]
} |
2519_swa | Michezo mingi katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa kupitia njia mbalimbali. Michezo kama ya kandanda na mipira ya vikapu inapaswa kuwa imearika. Ni kati ya ile michezo ambayo haijapewa kipaumbele katika nchi ya Kenya.
Kwanza ili kuweza kuimarisha mchezo wa kandanda katika nchi ya Kenya, serikali ya Kenya inapaswa kutoa kiwango fulani cha pesa kupitia kwa waziri wa michezo ya nchi. Waziri wa michezo anapaswa kuhakikisha kuwa viwanja za mipira zimeweza kujengwa na hata zile zilizojengwa hapo awali zinapaswa kuimarishwa. Hili linaweza kuwasaidia wachezaji kwa kufanya mazoezi na hata pia kuwapa motisha. Ili waweze pia kutia bidii za mchwa serikali inapaswa kuwalipa mishahara ya kiwango kilicho afadhali wengi wao hupewa mshahara duni na hili huchangia kutoimarisha mchezo wa kandanda kwa kuwa wengi wa wachezaji hujiuzuru. Waswahili walisema kuwa mkono mtupu haulambwi.
Pili ni kuwa ili kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya, wakenya wanapaswa kuchangia kushabiki katika michezo za nyumbani. Mara kwa mara wakenya wengi wamekuwa wakishabikia mpira wa nchi za ughaibuni na kutoshughulika na kushabikia mpira au michezo za nyumbani. Wakenya wakiweze kushabiki na kuchangia kwa kuwa mashabiki katika michezo za nyumbani, wanaweza kuwafanya wachezaji wa michezo tofauti nchini kuwa na motisha wa kucheza na hata kufanya vizuri. Hili linaweza kuimarisha michezo nchi ya Kenya kwa kuwa wachezaji wanaweza kufanya mazoezi kwa kutumia vifaa vya mchezo vinavyoimarika na wanaweza kuboresha talanta yao ya michezo.
Njia ya nne ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa serikali inapaswa kuongea na vijana na walio na talanta kupitia mitangazo na mitandao ili waweze kuwapa motisha ya kuweza kujihusisha na michezo wanaozipenda na zile ambazo wanaweza kufanya vizuri.
Hili linaweza kuwaokoa vijana wengi kutokana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo imeathiri wengi wao kwa sasa. Vijana wakiweza kujihusisha na michezo wataweza kwa kiwango fulani kujiadhiri na utumiaji wa dawa za kulevya. Hili litaimarisha mchezo nchini Kenya kwa kuwa vijana wataweza kujiunga na kuweza kucheza michezo tofauti tofauti na hakutakuwa na upungufu wa wachezaji.
Njia ya tano ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa wizara ya michezo inapaswa kutengeneza mashindano mengine kando na ya mchezo wa mpira. Anaweza kutengeneza mashindano ya mpira wa vikapu na pia voliboli. Washindi wanapaswa kutozwa zawadi kutokana na bidii zao. Wachezaji wataweza kutia bidii na kuweza kufanya mazoezi ili waweze kuibuka kuwa washindi na ili kuwafanya kuwa na furaha riboribo. Wachezaji wa timu tofauti huweza kucheza kwa bidii ili waweze kutuzwa kuwa kati ya wachezaji bora.
Michezo katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa na kuweza kuwa kati ya shughuli zinazopewa kipaumbele nchini. Ili kuweza kuimarisha talanta ya vijana wengi michezo inapaswa kuimarishwa. | Wengi wao hupewa mishahara gani | {
"text": [
"duni"
]
} |
2519_swa | Michezo mingi katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa kupitia njia mbalimbali. Michezo kama ya kandanda na mipira ya vikapu inapaswa kuwa imearika. Ni kati ya ile michezo ambayo haijapewa kipaumbele katika nchi ya Kenya.
Kwanza ili kuweza kuimarisha mchezo wa kandanda katika nchi ya Kenya, serikali ya Kenya inapaswa kutoa kiwango fulani cha pesa kupitia kwa waziri wa michezo ya nchi. Waziri wa michezo anapaswa kuhakikisha kuwa viwanja za mipira zimeweza kujengwa na hata zile zilizojengwa hapo awali zinapaswa kuimarishwa. Hili linaweza kuwasaidia wachezaji kwa kufanya mazoezi na hata pia kuwapa motisha. Ili waweze pia kutia bidii za mchwa serikali inapaswa kuwalipa mishahara ya kiwango kilicho afadhali wengi wao hupewa mshahara duni na hili huchangia kutoimarisha mchezo wa kandanda kwa kuwa wengi wa wachezaji hujiuzuru. Waswahili walisema kuwa mkono mtupu haulambwi.
Pili ni kuwa ili kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya, wakenya wanapaswa kuchangia kushabiki katika michezo za nyumbani. Mara kwa mara wakenya wengi wamekuwa wakishabikia mpira wa nchi za ughaibuni na kutoshughulika na kushabikia mpira au michezo za nyumbani. Wakenya wakiweze kushabiki na kuchangia kwa kuwa mashabiki katika michezo za nyumbani, wanaweza kuwafanya wachezaji wa michezo tofauti nchini kuwa na motisha wa kucheza na hata kufanya vizuri. Hili linaweza kuimarisha michezo nchi ya Kenya kwa kuwa wachezaji wanaweza kufanya mazoezi kwa kutumia vifaa vya mchezo vinavyoimarika na wanaweza kuboresha talanta yao ya michezo.
Njia ya nne ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa serikali inapaswa kuongea na vijana na walio na talanta kupitia mitangazo na mitandao ili waweze kuwapa motisha ya kuweza kujihusisha na michezo wanaozipenda na zile ambazo wanaweza kufanya vizuri.
Hili linaweza kuwaokoa vijana wengi kutokana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo imeathiri wengi wao kwa sasa. Vijana wakiweza kujihusisha na michezo wataweza kwa kiwango fulani kujiadhiri na utumiaji wa dawa za kulevya. Hili litaimarisha mchezo nchini Kenya kwa kuwa vijana wataweza kujiunga na kuweza kucheza michezo tofauti tofauti na hakutakuwa na upungufu wa wachezaji.
Njia ya tano ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa wizara ya michezo inapaswa kutengeneza mashindano mengine kando na ya mchezo wa mpira. Anaweza kutengeneza mashindano ya mpira wa vikapu na pia voliboli. Washindi wanapaswa kutozwa zawadi kutokana na bidii zao. Wachezaji wataweza kutia bidii na kuweza kufanya mazoezi ili waweze kuibuka kuwa washindi na ili kuwafanya kuwa na furaha riboribo. Wachezaji wa timu tofauti huweza kucheza kwa bidii ili waweze kutuzwa kuwa kati ya wachezaji bora.
Michezo katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa na kuweza kuwa kati ya shughuli zinazopewa kipaumbele nchini. Ili kuweza kuimarisha talanta ya vijana wengi michezo inapaswa kuimarishwa. | Wachezaji wengi hujiuzuru lini | {
"text": [
"wanapolipwa mishahara duni"
]
} |
2519_swa | Michezo mingi katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa kupitia njia mbalimbali. Michezo kama ya kandanda na mipira ya vikapu inapaswa kuwa imearika. Ni kati ya ile michezo ambayo haijapewa kipaumbele katika nchi ya Kenya.
Kwanza ili kuweza kuimarisha mchezo wa kandanda katika nchi ya Kenya, serikali ya Kenya inapaswa kutoa kiwango fulani cha pesa kupitia kwa waziri wa michezo ya nchi. Waziri wa michezo anapaswa kuhakikisha kuwa viwanja za mipira zimeweza kujengwa na hata zile zilizojengwa hapo awali zinapaswa kuimarishwa. Hili linaweza kuwasaidia wachezaji kwa kufanya mazoezi na hata pia kuwapa motisha. Ili waweze pia kutia bidii za mchwa serikali inapaswa kuwalipa mishahara ya kiwango kilicho afadhali wengi wao hupewa mshahara duni na hili huchangia kutoimarisha mchezo wa kandanda kwa kuwa wengi wa wachezaji hujiuzuru. Waswahili walisema kuwa mkono mtupu haulambwi.
Pili ni kuwa ili kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya, wakenya wanapaswa kuchangia kushabiki katika michezo za nyumbani. Mara kwa mara wakenya wengi wamekuwa wakishabikia mpira wa nchi za ughaibuni na kutoshughulika na kushabikia mpira au michezo za nyumbani. Wakenya wakiweze kushabiki na kuchangia kwa kuwa mashabiki katika michezo za nyumbani, wanaweza kuwafanya wachezaji wa michezo tofauti nchini kuwa na motisha wa kucheza na hata kufanya vizuri. Hili linaweza kuimarisha michezo nchi ya Kenya kwa kuwa wachezaji wanaweza kufanya mazoezi kwa kutumia vifaa vya mchezo vinavyoimarika na wanaweza kuboresha talanta yao ya michezo.
Njia ya nne ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa serikali inapaswa kuongea na vijana na walio na talanta kupitia mitangazo na mitandao ili waweze kuwapa motisha ya kuweza kujihusisha na michezo wanaozipenda na zile ambazo wanaweza kufanya vizuri.
Hili linaweza kuwaokoa vijana wengi kutokana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo imeathiri wengi wao kwa sasa. Vijana wakiweza kujihusisha na michezo wataweza kwa kiwango fulani kujiadhiri na utumiaji wa dawa za kulevya. Hili litaimarisha mchezo nchini Kenya kwa kuwa vijana wataweza kujiunga na kuweza kucheza michezo tofauti tofauti na hakutakuwa na upungufu wa wachezaji.
Njia ya tano ya kuimarisha michezo katika nchi ya Kenya ni kuwa wizara ya michezo inapaswa kutengeneza mashindano mengine kando na ya mchezo wa mpira. Anaweza kutengeneza mashindano ya mpira wa vikapu na pia voliboli. Washindi wanapaswa kutozwa zawadi kutokana na bidii zao. Wachezaji wataweza kutia bidii na kuweza kufanya mazoezi ili waweze kuibuka kuwa washindi na ili kuwafanya kuwa na furaha riboribo. Wachezaji wa timu tofauti huweza kucheza kwa bidii ili waweze kutuzwa kuwa kati ya wachezaji bora.
Michezo katika nchi ya Kenya inaweza kuimarishwa na kuweza kuwa kati ya shughuli zinazopewa kipaumbele nchini. Ili kuweza kuimarisha talanta ya vijana wengi michezo inapaswa kuimarishwa. | Mbona serikali inapaswa kuongea na vijana kupitia matangazo na mitandao | {
"text": [
"ili kuweza kuwapa motisha ya kuweza kujihusisha na michezo wanayopenda"
]
} |
2521_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU NJIA YA KUIMARISHA AMANI SHULENI
(Mwanafunzi anabisha langu la idara ya kiswahili na mwalimu anamkaribisha)
Mwalimu : Karibu.
Mwanafunzi : Shikamoo mwalimu?
Mwalimu : Marahaba James.
James: Nimefahamishwa ya kwamba ulikuwa unaniita.
Mwalimu : Naam, kulikuwa na jambo ambalo nilikua nataka tuzungumzie kwa sababu ni la dharura.
James : Jambo hilo ni lipi?
Mwalimu : Ni mambo ambayo tunaweza kuzingatia ili kuimarisha amani baina ya
wanafunzi shuleni.
James : Naam, mambo hayo yataweza kusaidia.
Mwalimu : Jambo la kwanza ni kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa kudumisha
amani shuleni
James : Kudumisha amani itawawezesha wanafunzi kuwa na urafiki na pasi kutozusha rabsha.
Mwalimu : Wanafunzi pia hawataweza kupigana ambapo kupigana kwao kutaleta ukosefu wa amani baina ya wanafunzi.
James : Jambo lingine pia ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafuata sheria
ya shule na atakaye vunja aadhibiwe vilivyo.
Mwalimu : Hiyo pia ni jambo la busara kwa sababu wanafunzi wataweza kudumisha amani na ushirikiano shuleni.
James : Jambo lingine linaweza kuwa lipi?
Mwalimu : Wakati wanafunzi wanazua rubsha shuleni wengine hawatakuwa na amani na sababu ya kuzua rabsha ni labda juu ya matatizo madogomadogo. Kwa hivyo wanafunzi wanafaa kujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni.
James: Naam, wanafunzi wanapozua rabsha na kuharibu vitu shuleni ni tu ndio watakao gharamia yale yote ambao wameharibu na wazazi wao ndio watakao umia na iwapo watujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni huenda hawatujaribu tena.
Mwalimu : Wanafunzi pia wanafaa kuwapenda walimu wao kwa sababu hakuna mwalimu anaye na chuki na mwanafunzi yeyote. Walimu huwaadhibu wanafunzi kuwarekebisha tabia yao.
James : Naam, kuna wanafunzi ambao huwa chukia walimu wao kwa sababu walimu hao wamewaadhibu au kuwapa kazi kama kupasua kuni, kulima, kufyeka na nyinginezo.
Mwalimu: Kuna jambo lingine?
James : Nikidhani hamna, asante kwa kunijulisha njia ambayo tutazingatia kuimarisha amani. Mwalimu: Karibu James.
James (akiondoka) Mungu akubariki.
Mwalimu : kwaheri ya kuonana.
(James anaondoka na kamwacha mwalimu kwa mawazo) | Mazungumzo haya ni baina ya nani na nani | {
"text": [
"Mwalimu na James"
]
} |
2521_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU NJIA YA KUIMARISHA AMANI SHULENI
(Mwanafunzi anabisha langu la idara ya kiswahili na mwalimu anamkaribisha)
Mwalimu : Karibu.
Mwanafunzi : Shikamoo mwalimu?
Mwalimu : Marahaba James.
James: Nimefahamishwa ya kwamba ulikuwa unaniita.
Mwalimu : Naam, kulikuwa na jambo ambalo nilikua nataka tuzungumzie kwa sababu ni la dharura.
James : Jambo hilo ni lipi?
Mwalimu : Ni mambo ambayo tunaweza kuzingatia ili kuimarisha amani baina ya
wanafunzi shuleni.
James : Naam, mambo hayo yataweza kusaidia.
Mwalimu : Jambo la kwanza ni kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa kudumisha
amani shuleni
James : Kudumisha amani itawawezesha wanafunzi kuwa na urafiki na pasi kutozusha rabsha.
Mwalimu : Wanafunzi pia hawataweza kupigana ambapo kupigana kwao kutaleta ukosefu wa amani baina ya wanafunzi.
James : Jambo lingine pia ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafuata sheria
ya shule na atakaye vunja aadhibiwe vilivyo.
Mwalimu : Hiyo pia ni jambo la busara kwa sababu wanafunzi wataweza kudumisha amani na ushirikiano shuleni.
James : Jambo lingine linaweza kuwa lipi?
Mwalimu : Wakati wanafunzi wanazua rubsha shuleni wengine hawatakuwa na amani na sababu ya kuzua rabsha ni labda juu ya matatizo madogomadogo. Kwa hivyo wanafunzi wanafaa kujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni.
James: Naam, wanafunzi wanapozua rabsha na kuharibu vitu shuleni ni tu ndio watakao gharamia yale yote ambao wameharibu na wazazi wao ndio watakao umia na iwapo watujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni huenda hawatujaribu tena.
Mwalimu : Wanafunzi pia wanafaa kuwapenda walimu wao kwa sababu hakuna mwalimu anaye na chuki na mwanafunzi yeyote. Walimu huwaadhibu wanafunzi kuwarekebisha tabia yao.
James : Naam, kuna wanafunzi ambao huwa chukia walimu wao kwa sababu walimu hao wamewaadhibu au kuwapa kazi kama kupasua kuni, kulima, kufyeka na nyinginezo.
Mwalimu: Kuna jambo lingine?
James : Nikidhani hamna, asante kwa kunijulisha njia ambayo tutazingatia kuimarisha amani. Mwalimu: Karibu James.
James (akiondoka) Mungu akubariki.
Mwalimu : kwaheri ya kuonana.
(James anaondoka na kamwacha mwalimu kwa mawazo) | Lengo la James kuitwa lilikuwa lipi | {
"text": [
"Kujadili jinsi ya kuimarisha amani shuleni"
]
} |
2521_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU NJIA YA KUIMARISHA AMANI SHULENI
(Mwanafunzi anabisha langu la idara ya kiswahili na mwalimu anamkaribisha)
Mwalimu : Karibu.
Mwanafunzi : Shikamoo mwalimu?
Mwalimu : Marahaba James.
James: Nimefahamishwa ya kwamba ulikuwa unaniita.
Mwalimu : Naam, kulikuwa na jambo ambalo nilikua nataka tuzungumzie kwa sababu ni la dharura.
James : Jambo hilo ni lipi?
Mwalimu : Ni mambo ambayo tunaweza kuzingatia ili kuimarisha amani baina ya
wanafunzi shuleni.
James : Naam, mambo hayo yataweza kusaidia.
Mwalimu : Jambo la kwanza ni kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa kudumisha
amani shuleni
James : Kudumisha amani itawawezesha wanafunzi kuwa na urafiki na pasi kutozusha rabsha.
Mwalimu : Wanafunzi pia hawataweza kupigana ambapo kupigana kwao kutaleta ukosefu wa amani baina ya wanafunzi.
James : Jambo lingine pia ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafuata sheria
ya shule na atakaye vunja aadhibiwe vilivyo.
Mwalimu : Hiyo pia ni jambo la busara kwa sababu wanafunzi wataweza kudumisha amani na ushirikiano shuleni.
James : Jambo lingine linaweza kuwa lipi?
Mwalimu : Wakati wanafunzi wanazua rubsha shuleni wengine hawatakuwa na amani na sababu ya kuzua rabsha ni labda juu ya matatizo madogomadogo. Kwa hivyo wanafunzi wanafaa kujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni.
James: Naam, wanafunzi wanapozua rabsha na kuharibu vitu shuleni ni tu ndio watakao gharamia yale yote ambao wameharibu na wazazi wao ndio watakao umia na iwapo watujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni huenda hawatujaribu tena.
Mwalimu : Wanafunzi pia wanafaa kuwapenda walimu wao kwa sababu hakuna mwalimu anaye na chuki na mwanafunzi yeyote. Walimu huwaadhibu wanafunzi kuwarekebisha tabia yao.
James : Naam, kuna wanafunzi ambao huwa chukia walimu wao kwa sababu walimu hao wamewaadhibu au kuwapa kazi kama kupasua kuni, kulima, kufyeka na nyinginezo.
Mwalimu: Kuna jambo lingine?
James : Nikidhani hamna, asante kwa kunijulisha njia ambayo tutazingatia kuimarisha amani. Mwalimu: Karibu James.
James (akiondoka) Mungu akubariki.
Mwalimu : kwaheri ya kuonana.
(James anaondoka na kamwacha mwalimu kwa mawazo) | Wanafunzi wakizua rabsha na kuharibu vitu shuleni ni kina nani watagharimia | {
"text": [
"Wazazi wa hao wanafunzi"
]
} |
2521_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU NJIA YA KUIMARISHA AMANI SHULENI
(Mwanafunzi anabisha langu la idara ya kiswahili na mwalimu anamkaribisha)
Mwalimu : Karibu.
Mwanafunzi : Shikamoo mwalimu?
Mwalimu : Marahaba James.
James: Nimefahamishwa ya kwamba ulikuwa unaniita.
Mwalimu : Naam, kulikuwa na jambo ambalo nilikua nataka tuzungumzie kwa sababu ni la dharura.
James : Jambo hilo ni lipi?
Mwalimu : Ni mambo ambayo tunaweza kuzingatia ili kuimarisha amani baina ya
wanafunzi shuleni.
James : Naam, mambo hayo yataweza kusaidia.
Mwalimu : Jambo la kwanza ni kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa kudumisha
amani shuleni
James : Kudumisha amani itawawezesha wanafunzi kuwa na urafiki na pasi kutozusha rabsha.
Mwalimu : Wanafunzi pia hawataweza kupigana ambapo kupigana kwao kutaleta ukosefu wa amani baina ya wanafunzi.
James : Jambo lingine pia ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafuata sheria
ya shule na atakaye vunja aadhibiwe vilivyo.
Mwalimu : Hiyo pia ni jambo la busara kwa sababu wanafunzi wataweza kudumisha amani na ushirikiano shuleni.
James : Jambo lingine linaweza kuwa lipi?
Mwalimu : Wakati wanafunzi wanazua rubsha shuleni wengine hawatakuwa na amani na sababu ya kuzua rabsha ni labda juu ya matatizo madogomadogo. Kwa hivyo wanafunzi wanafaa kujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni.
James: Naam, wanafunzi wanapozua rabsha na kuharibu vitu shuleni ni tu ndio watakao gharamia yale yote ambao wameharibu na wazazi wao ndio watakao umia na iwapo watujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni huenda hawatujaribu tena.
Mwalimu : Wanafunzi pia wanafaa kuwapenda walimu wao kwa sababu hakuna mwalimu anaye na chuki na mwanafunzi yeyote. Walimu huwaadhibu wanafunzi kuwarekebisha tabia yao.
James : Naam, kuna wanafunzi ambao huwa chukia walimu wao kwa sababu walimu hao wamewaadhibu au kuwapa kazi kama kupasua kuni, kulima, kufyeka na nyinginezo.
Mwalimu: Kuna jambo lingine?
James : Nikidhani hamna, asante kwa kunijulisha njia ambayo tutazingatia kuimarisha amani. Mwalimu: Karibu James.
James (akiondoka) Mungu akubariki.
Mwalimu : kwaheri ya kuonana.
(James anaondoka na kamwacha mwalimu kwa mawazo) | Kwa nini walimu huwadhibu wanafunzi | {
"text": [
"Ili kuwarekebisha tabia zao"
]
} |
2521_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI KUHUSU NJIA YA KUIMARISHA AMANI SHULENI
(Mwanafunzi anabisha langu la idara ya kiswahili na mwalimu anamkaribisha)
Mwalimu : Karibu.
Mwanafunzi : Shikamoo mwalimu?
Mwalimu : Marahaba James.
James: Nimefahamishwa ya kwamba ulikuwa unaniita.
Mwalimu : Naam, kulikuwa na jambo ambalo nilikua nataka tuzungumzie kwa sababu ni la dharura.
James : Jambo hilo ni lipi?
Mwalimu : Ni mambo ambayo tunaweza kuzingatia ili kuimarisha amani baina ya
wanafunzi shuleni.
James : Naam, mambo hayo yataweza kusaidia.
Mwalimu : Jambo la kwanza ni kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa kudumisha
amani shuleni
James : Kudumisha amani itawawezesha wanafunzi kuwa na urafiki na pasi kutozusha rabsha.
Mwalimu : Wanafunzi pia hawataweza kupigana ambapo kupigana kwao kutaleta ukosefu wa amani baina ya wanafunzi.
James : Jambo lingine pia ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafuata sheria
ya shule na atakaye vunja aadhibiwe vilivyo.
Mwalimu : Hiyo pia ni jambo la busara kwa sababu wanafunzi wataweza kudumisha amani na ushirikiano shuleni.
James : Jambo lingine linaweza kuwa lipi?
Mwalimu : Wakati wanafunzi wanazua rubsha shuleni wengine hawatakuwa na amani na sababu ya kuzua rabsha ni labda juu ya matatizo madogomadogo. Kwa hivyo wanafunzi wanafaa kujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni.
James: Naam, wanafunzi wanapozua rabsha na kuharibu vitu shuleni ni tu ndio watakao gharamia yale yote ambao wameharibu na wazazi wao ndio watakao umia na iwapo watujulishwa madhara ya kuzua rabsha shuleni huenda hawatujaribu tena.
Mwalimu : Wanafunzi pia wanafaa kuwapenda walimu wao kwa sababu hakuna mwalimu anaye na chuki na mwanafunzi yeyote. Walimu huwaadhibu wanafunzi kuwarekebisha tabia yao.
James : Naam, kuna wanafunzi ambao huwa chukia walimu wao kwa sababu walimu hao wamewaadhibu au kuwapa kazi kama kupasua kuni, kulima, kufyeka na nyinginezo.
Mwalimu: Kuna jambo lingine?
James : Nikidhani hamna, asante kwa kunijulisha njia ambayo tutazingatia kuimarisha amani. Mwalimu: Karibu James.
James (akiondoka) Mungu akubariki.
Mwalimu : kwaheri ya kuonana.
(James anaondoka na kamwacha mwalimu kwa mawazo) | Mazungumzo haya yalifanyika wapi | {
"text": [
"Katika idara ya Kiswahili"
]
} |
2522_swa | Katika nchi hii ya Kenya, kiwango kikubwa cha ardhi kimetengwa na wananchi kwa ajili ya kilimo. Hii imesaidia pakubwa kuiendeleza nchi kwa njia mbalimbali. Njia ya kwanza ni kuwa mimea kama miwa ikipandwa hutumiwa viwandani kutengeneza bidhaa nyingi kama vile sukari ambayo huuzwa kwa nchi jirani na hii huleta pesa za kigeni nchini.
Kilimo pia kimeleta maendeleo kupitia ujengaji wa barabara ambazo hutumiwa kusafiri mazao sokoni au viwandani. Kupitia kilimo vijana wengi wamepata kazi hii imepunguza uhalifu na umaskini nchini kwa kuwa si kila mtu anategemea serikali bali watu wanajitegemea kupitia kilimo. Kilimo pia kimeleta uendeleaji na uzinduaji wa vyombo au vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile matrakta ambayo hutengenezwa nchini na kuuzwa katika nchi zingine. Kilimo pia kimeendeleza uuzaji wa mbolea za kizungu nchini. Hii imesaidia kwani kampuni zinazouza mbolea hulipa ushuru.
Kilimo cha wanyama kimechangia makubwa kwani wanyama hawa huchinjwa na kupakiwa kwenye mikebe na kuuzwa katika nchi zingine. | Ardhi imetengwa kwa minajili ya nini | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
2522_swa | Katika nchi hii ya Kenya, kiwango kikubwa cha ardhi kimetengwa na wananchi kwa ajili ya kilimo. Hii imesaidia pakubwa kuiendeleza nchi kwa njia mbalimbali. Njia ya kwanza ni kuwa mimea kama miwa ikipandwa hutumiwa viwandani kutengeneza bidhaa nyingi kama vile sukari ambayo huuzwa kwa nchi jirani na hii huleta pesa za kigeni nchini.
Kilimo pia kimeleta maendeleo kupitia ujengaji wa barabara ambazo hutumiwa kusafiri mazao sokoni au viwandani. Kupitia kilimo vijana wengi wamepata kazi hii imepunguza uhalifu na umaskini nchini kwa kuwa si kila mtu anategemea serikali bali watu wanajitegemea kupitia kilimo. Kilimo pia kimeleta uendeleaji na uzinduaji wa vyombo au vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile matrakta ambayo hutengenezwa nchini na kuuzwa katika nchi zingine. Kilimo pia kimeendeleza uuzaji wa mbolea za kizungu nchini. Hii imesaidia kwani kampuni zinazouza mbolea hulipa ushuru.
Kilimo cha wanyama kimechangia makubwa kwani wanyama hawa huchinjwa na kupakiwa kwenye mikebe na kuuzwa katika nchi zingine. | Kilimo kimeleta maendeleo kama ujenzi wa nini | {
"text": [
"Barabara"
]
} |
2522_swa | Katika nchi hii ya Kenya, kiwango kikubwa cha ardhi kimetengwa na wananchi kwa ajili ya kilimo. Hii imesaidia pakubwa kuiendeleza nchi kwa njia mbalimbali. Njia ya kwanza ni kuwa mimea kama miwa ikipandwa hutumiwa viwandani kutengeneza bidhaa nyingi kama vile sukari ambayo huuzwa kwa nchi jirani na hii huleta pesa za kigeni nchini.
Kilimo pia kimeleta maendeleo kupitia ujengaji wa barabara ambazo hutumiwa kusafiri mazao sokoni au viwandani. Kupitia kilimo vijana wengi wamepata kazi hii imepunguza uhalifu na umaskini nchini kwa kuwa si kila mtu anategemea serikali bali watu wanajitegemea kupitia kilimo. Kilimo pia kimeleta uendeleaji na uzinduaji wa vyombo au vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile matrakta ambayo hutengenezwa nchini na kuuzwa katika nchi zingine. Kilimo pia kimeendeleza uuzaji wa mbolea za kizungu nchini. Hii imesaidia kwani kampuni zinazouza mbolea hulipa ushuru.
Kilimo cha wanyama kimechangia makubwa kwani wanyama hawa huchinjwa na kupakiwa kwenye mikebe na kuuzwa katika nchi zingine. | Watu wanajitegemea kupitia nini | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
2522_swa | Katika nchi hii ya Kenya, kiwango kikubwa cha ardhi kimetengwa na wananchi kwa ajili ya kilimo. Hii imesaidia pakubwa kuiendeleza nchi kwa njia mbalimbali. Njia ya kwanza ni kuwa mimea kama miwa ikipandwa hutumiwa viwandani kutengeneza bidhaa nyingi kama vile sukari ambayo huuzwa kwa nchi jirani na hii huleta pesa za kigeni nchini.
Kilimo pia kimeleta maendeleo kupitia ujengaji wa barabara ambazo hutumiwa kusafiri mazao sokoni au viwandani. Kupitia kilimo vijana wengi wamepata kazi hii imepunguza uhalifu na umaskini nchini kwa kuwa si kila mtu anategemea serikali bali watu wanajitegemea kupitia kilimo. Kilimo pia kimeleta uendeleaji na uzinduaji wa vyombo au vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile matrakta ambayo hutengenezwa nchini na kuuzwa katika nchi zingine. Kilimo pia kimeendeleza uuzaji wa mbolea za kizungu nchini. Hii imesaidia kwani kampuni zinazouza mbolea hulipa ushuru.
Kilimo cha wanyama kimechangia makubwa kwani wanyama hawa huchinjwa na kupakiwa kwenye mikebe na kuuzwa katika nchi zingine. | Ni nini huchinjwa na nyama kuwekwa kwa mikebe | {
"text": [
"Wanyama"
]
} |
2522_swa | Katika nchi hii ya Kenya, kiwango kikubwa cha ardhi kimetengwa na wananchi kwa ajili ya kilimo. Hii imesaidia pakubwa kuiendeleza nchi kwa njia mbalimbali. Njia ya kwanza ni kuwa mimea kama miwa ikipandwa hutumiwa viwandani kutengeneza bidhaa nyingi kama vile sukari ambayo huuzwa kwa nchi jirani na hii huleta pesa za kigeni nchini.
Kilimo pia kimeleta maendeleo kupitia ujengaji wa barabara ambazo hutumiwa kusafiri mazao sokoni au viwandani. Kupitia kilimo vijana wengi wamepata kazi hii imepunguza uhalifu na umaskini nchini kwa kuwa si kila mtu anategemea serikali bali watu wanajitegemea kupitia kilimo. Kilimo pia kimeleta uendeleaji na uzinduaji wa vyombo au vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile matrakta ambayo hutengenezwa nchini na kuuzwa katika nchi zingine. Kilimo pia kimeendeleza uuzaji wa mbolea za kizungu nchini. Hii imesaidia kwani kampuni zinazouza mbolea hulipa ushuru.
Kilimo cha wanyama kimechangia makubwa kwani wanyama hawa huchinjwa na kupakiwa kwenye mikebe na kuuzwa katika nchi zingine. | Kwa nini miji mingi imekua | {
"text": [
"Kupitia kwa kilimo"
]
} |
2523_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMI NCHINI
Siasa mbaya ina athari nyingi sana hasa kwa wananchi. Mwaka uliopita vifo vingi vilivyorekodiwa, vilitokana na siasa mbaya za migawanyiko ambayo iliwaathiri wengi mpaka leo hii.
Vifo ni mojawapo ya athari za siasa za migawanyiko ambayo huleta vita vya kikabila. Asilimia kubwa ya watu iliyoripotiwa katika gazeti ya Taifa Leo waliweza kupoteza maisha yao mwaka jana. Kando na hayo, mali yenye thamani ya milioni sita iliweza kuharibiwa. Jambo hili limeweza kuliimeza nchi kiuchumi.
Jambo jingine linalosababishwa na siasa za migawanyiko ni ubaguzi wakati wa kugawa rasilimali katika magatuzi nchini. Viongozi wengi kutokana na siasa za migawanyiko wameweza kupeleka rasilimali nyingi katika magatuzi ambazo ni za makabila yao na kuwacha magatuzi mengine yateseke kutokana na rasilimali kidogo ambayo huibusha visa kama vile vya ukosefu wa chakula na maji.
Jambo jingine ni kupoteza undugu na umoja miongoni mwa wananchi. Jambo hili huwafanya wananchi kukosa kusaidiana na hata visa vya wizi na mazozano kuongezeka kwani huwafanya wananchi kuonana kama maadui. Kutokana na hilo kuendelea kwa nchi itakuwa vigumu kwani nchi haiwezi kuendelea pasipo na umoja miongoni mwa wananchi.
Kupoteza kazi pia ni athari ya siasa za migawanyiko kwani mameneja wa kampuni na viwanda watawafuta watu ambao sio wao kisiasa ambalo huwafanya wengi kukosa mahitaji yao ya kimsingi na hata watu wengi kushindwa kuikimu familia yake ambalo pia hufanya familia nyingi kutengana.
Uharibifu wa mali pia hutokana na siasa za migawanyiko kwani vita vinapozuka miongoni mwa wananchi, hawa wananchi wengi huaribu mali. Kwa mara nyingi hao huvichoma vibanda na hata maduka makuu. Siasa za migawanyiko yaanza kuangamizwa iwapo watakuza umoja na undugu. Iwapo viongozi watakuja pamoja na kuweka tofauti zao za kikabila kando, wataweza kuikuza nchi na maendeleo yataweza kufanyika kwani watu wataweza kufanya kazi na kuweka kando mabadiliko yao.
Hili litaweza kufutilia mbali visa vya wizi na vita pamoja na vita vya kikabila kwani wananchi watapendana. | Mwaka uliopita visa vingi vilitokana na nini | {
"text": [
"siasa mbaya"
]
} |
2523_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMI NCHINI
Siasa mbaya ina athari nyingi sana hasa kwa wananchi. Mwaka uliopita vifo vingi vilivyorekodiwa, vilitokana na siasa mbaya za migawanyiko ambayo iliwaathiri wengi mpaka leo hii.
Vifo ni mojawapo ya athari za siasa za migawanyiko ambayo huleta vita vya kikabila. Asilimia kubwa ya watu iliyoripotiwa katika gazeti ya Taifa Leo waliweza kupoteza maisha yao mwaka jana. Kando na hayo, mali yenye thamani ya milioni sita iliweza kuharibiwa. Jambo hili limeweza kuliimeza nchi kiuchumi.
Jambo jingine linalosababishwa na siasa za migawanyiko ni ubaguzi wakati wa kugawa rasilimali katika magatuzi nchini. Viongozi wengi kutokana na siasa za migawanyiko wameweza kupeleka rasilimali nyingi katika magatuzi ambazo ni za makabila yao na kuwacha magatuzi mengine yateseke kutokana na rasilimali kidogo ambayo huibusha visa kama vile vya ukosefu wa chakula na maji.
Jambo jingine ni kupoteza undugu na umoja miongoni mwa wananchi. Jambo hili huwafanya wananchi kukosa kusaidiana na hata visa vya wizi na mazozano kuongezeka kwani huwafanya wananchi kuonana kama maadui. Kutokana na hilo kuendelea kwa nchi itakuwa vigumu kwani nchi haiwezi kuendelea pasipo na umoja miongoni mwa wananchi.
Kupoteza kazi pia ni athari ya siasa za migawanyiko kwani mameneja wa kampuni na viwanda watawafuta watu ambao sio wao kisiasa ambalo huwafanya wengi kukosa mahitaji yao ya kimsingi na hata watu wengi kushindwa kuikimu familia yake ambalo pia hufanya familia nyingi kutengana.
Uharibifu wa mali pia hutokana na siasa za migawanyiko kwani vita vinapozuka miongoni mwa wananchi, hawa wananchi wengi huaribu mali. Kwa mara nyingi hao huvichoma vibanda na hata maduka makuu. Siasa za migawanyiko yaanza kuangamizwa iwapo watakuza umoja na undugu. Iwapo viongozi watakuja pamoja na kuweka tofauti zao za kikabila kando, wataweza kuikuza nchi na maendeleo yataweza kufanyika kwani watu wataweza kufanya kazi na kuweka kando mabadiliko yao.
Hili litaweza kufutilia mbali visa vya wizi na vita pamoja na vita vya kikabila kwani wananchi watapendana. | Mali iliyoweza kuharibiwa ilikuwa na thamani gani | {
"text": [
"milioni sita"
]
} |
2523_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMI NCHINI
Siasa mbaya ina athari nyingi sana hasa kwa wananchi. Mwaka uliopita vifo vingi vilivyorekodiwa, vilitokana na siasa mbaya za migawanyiko ambayo iliwaathiri wengi mpaka leo hii.
Vifo ni mojawapo ya athari za siasa za migawanyiko ambayo huleta vita vya kikabila. Asilimia kubwa ya watu iliyoripotiwa katika gazeti ya Taifa Leo waliweza kupoteza maisha yao mwaka jana. Kando na hayo, mali yenye thamani ya milioni sita iliweza kuharibiwa. Jambo hili limeweza kuliimeza nchi kiuchumi.
Jambo jingine linalosababishwa na siasa za migawanyiko ni ubaguzi wakati wa kugawa rasilimali katika magatuzi nchini. Viongozi wengi kutokana na siasa za migawanyiko wameweza kupeleka rasilimali nyingi katika magatuzi ambazo ni za makabila yao na kuwacha magatuzi mengine yateseke kutokana na rasilimali kidogo ambayo huibusha visa kama vile vya ukosefu wa chakula na maji.
Jambo jingine ni kupoteza undugu na umoja miongoni mwa wananchi. Jambo hili huwafanya wananchi kukosa kusaidiana na hata visa vya wizi na mazozano kuongezeka kwani huwafanya wananchi kuonana kama maadui. Kutokana na hilo kuendelea kwa nchi itakuwa vigumu kwani nchi haiwezi kuendelea pasipo na umoja miongoni mwa wananchi.
Kupoteza kazi pia ni athari ya siasa za migawanyiko kwani mameneja wa kampuni na viwanda watawafuta watu ambao sio wao kisiasa ambalo huwafanya wengi kukosa mahitaji yao ya kimsingi na hata watu wengi kushindwa kuikimu familia yake ambalo pia hufanya familia nyingi kutengana.
Uharibifu wa mali pia hutokana na siasa za migawanyiko kwani vita vinapozuka miongoni mwa wananchi, hawa wananchi wengi huaribu mali. Kwa mara nyingi hao huvichoma vibanda na hata maduka makuu. Siasa za migawanyiko yaanza kuangamizwa iwapo watakuza umoja na undugu. Iwapo viongozi watakuja pamoja na kuweka tofauti zao za kikabila kando, wataweza kuikuza nchi na maendeleo yataweza kufanyika kwani watu wataweza kufanya kazi na kuweka kando mabadiliko yao.
Hili litaweza kufutilia mbali visa vya wizi na vita pamoja na vita vya kikabila kwani wananchi watapendana. | Jambo gani husaidia nchi kuendelea | {
"text": [
"umoja"
]
} |
2523_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMI NCHINI
Siasa mbaya ina athari nyingi sana hasa kwa wananchi. Mwaka uliopita vifo vingi vilivyorekodiwa, vilitokana na siasa mbaya za migawanyiko ambayo iliwaathiri wengi mpaka leo hii.
Vifo ni mojawapo ya athari za siasa za migawanyiko ambayo huleta vita vya kikabila. Asilimia kubwa ya watu iliyoripotiwa katika gazeti ya Taifa Leo waliweza kupoteza maisha yao mwaka jana. Kando na hayo, mali yenye thamani ya milioni sita iliweza kuharibiwa. Jambo hili limeweza kuliimeza nchi kiuchumi.
Jambo jingine linalosababishwa na siasa za migawanyiko ni ubaguzi wakati wa kugawa rasilimali katika magatuzi nchini. Viongozi wengi kutokana na siasa za migawanyiko wameweza kupeleka rasilimali nyingi katika magatuzi ambazo ni za makabila yao na kuwacha magatuzi mengine yateseke kutokana na rasilimali kidogo ambayo huibusha visa kama vile vya ukosefu wa chakula na maji.
Jambo jingine ni kupoteza undugu na umoja miongoni mwa wananchi. Jambo hili huwafanya wananchi kukosa kusaidiana na hata visa vya wizi na mazozano kuongezeka kwani huwafanya wananchi kuonana kama maadui. Kutokana na hilo kuendelea kwa nchi itakuwa vigumu kwani nchi haiwezi kuendelea pasipo na umoja miongoni mwa wananchi.
Kupoteza kazi pia ni athari ya siasa za migawanyiko kwani mameneja wa kampuni na viwanda watawafuta watu ambao sio wao kisiasa ambalo huwafanya wengi kukosa mahitaji yao ya kimsingi na hata watu wengi kushindwa kuikimu familia yake ambalo pia hufanya familia nyingi kutengana.
Uharibifu wa mali pia hutokana na siasa za migawanyiko kwani vita vinapozuka miongoni mwa wananchi, hawa wananchi wengi huaribu mali. Kwa mara nyingi hao huvichoma vibanda na hata maduka makuu. Siasa za migawanyiko yaanza kuangamizwa iwapo watakuza umoja na undugu. Iwapo viongozi watakuja pamoja na kuweka tofauti zao za kikabila kando, wataweza kuikuza nchi na maendeleo yataweza kufanyika kwani watu wataweza kufanya kazi na kuweka kando mabadiliko yao.
Hili litaweza kufutilia mbali visa vya wizi na vita pamoja na vita vya kikabila kwani wananchi watapendana. | Nani huharibu mali | {
"text": [
"wananchi"
]
} |
2523_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMI NCHINI
Siasa mbaya ina athari nyingi sana hasa kwa wananchi. Mwaka uliopita vifo vingi vilivyorekodiwa, vilitokana na siasa mbaya za migawanyiko ambayo iliwaathiri wengi mpaka leo hii.
Vifo ni mojawapo ya athari za siasa za migawanyiko ambayo huleta vita vya kikabila. Asilimia kubwa ya watu iliyoripotiwa katika gazeti ya Taifa Leo waliweza kupoteza maisha yao mwaka jana. Kando na hayo, mali yenye thamani ya milioni sita iliweza kuharibiwa. Jambo hili limeweza kuliimeza nchi kiuchumi.
Jambo jingine linalosababishwa na siasa za migawanyiko ni ubaguzi wakati wa kugawa rasilimali katika magatuzi nchini. Viongozi wengi kutokana na siasa za migawanyiko wameweza kupeleka rasilimali nyingi katika magatuzi ambazo ni za makabila yao na kuwacha magatuzi mengine yateseke kutokana na rasilimali kidogo ambayo huibusha visa kama vile vya ukosefu wa chakula na maji.
Jambo jingine ni kupoteza undugu na umoja miongoni mwa wananchi. Jambo hili huwafanya wananchi kukosa kusaidiana na hata visa vya wizi na mazozano kuongezeka kwani huwafanya wananchi kuonana kama maadui. Kutokana na hilo kuendelea kwa nchi itakuwa vigumu kwani nchi haiwezi kuendelea pasipo na umoja miongoni mwa wananchi.
Kupoteza kazi pia ni athari ya siasa za migawanyiko kwani mameneja wa kampuni na viwanda watawafuta watu ambao sio wao kisiasa ambalo huwafanya wengi kukosa mahitaji yao ya kimsingi na hata watu wengi kushindwa kuikimu familia yake ambalo pia hufanya familia nyingi kutengana.
Uharibifu wa mali pia hutokana na siasa za migawanyiko kwani vita vinapozuka miongoni mwa wananchi, hawa wananchi wengi huaribu mali. Kwa mara nyingi hao huvichoma vibanda na hata maduka makuu. Siasa za migawanyiko yaanza kuangamizwa iwapo watakuza umoja na undugu. Iwapo viongozi watakuja pamoja na kuweka tofauti zao za kikabila kando, wataweza kuikuza nchi na maendeleo yataweza kufanyika kwani watu wataweza kufanya kazi na kuweka kando mabadiliko yao.
Hili litaweza kufutilia mbali visa vya wizi na vita pamoja na vita vya kikabila kwani wananchi watapendana. | Mbona wananchi hukosa kusaidiana | {
"text": [
"kupoteza udugu na umoja"
]
} |
2524_swa | UIMARISHAJI WA BIASHARA NCHINI KENYA
Katika kuimarisha biashara nchini mwetu Kenya, serikali inapopunguza ushuru kwa wanaofanya biashara. Kupitia njia hii wanabiashara wengi wa hapo nchini na hata kutoka nchi zo mbali wataweza kuja kufanya biashara humu nchini. Kuja kwao kutaleta manufaa mengi sana kwa kuwa bidhaa katika masoko yetu yataongezeka. Kupitia njia italeta maendeleo nchini mwetu sana, hivyo basi biashara nchini itaimarika na kwenye kiwango cha juu.
Serikali pia ikiweza kujenga viwanda ambavyo vitatengeneza bidhaa zetu humu nchini. Kufanya hivi kutapunguza kutegemea bidhaa kutoka nchi za ugenini. Kupitia katika viwanda hivi, bidhaa zetu zitanunuliwa na wananchi wetu na hivyo biashara kuimarika. Mbali na biashara kuimarika, wananchi wetu wataweza kujiendeleza kimaisha kupitia viwanda hivi kwa ajira walizozipata.
Tunaweza pia unda miungano ya kibiashara nchini mwetu. Miungano hivi vitaweza kusimamia na kuongeza biashara nchini mwetu. Kupitia miungano hizi tunaeza uza bidhaa zetu kwa soko la mataifa bila ya kudaiwa na wanabiashara wengine. Njia hii itaweza kuimarisha biashara nchini kwa kuwa wanabiashara watatia bidii kuimarisha bidhaa zao ili ziweze kuuzwa kwa wateja wao.
Kuwepo kwa miundo msingi kama vile mabarabara ambavyo yatatumika kusafirisha bidhaa kwa muda uliohitajika. Miundo msingi hayo pia yanaweza wa unganisha wanabiashara wa miji tofauti hivyo basi kuendeleza biashara zao bila shida yoyote ile. Hata hivyo, biashara ya nchi yetu itaweza kuimarika kwa kasi sana.
Ujenzi wa masoko katika kila eneo la nchi. Kupitia kwa masoko hayo wanabiashara watakusanyika mahali pamoja na kuuza bidhaa zao. Kupitia masoko, wananchi wataweza kuja kwa wingi kwa sababu vitu wanavyohitaji watavipata mahali pale. Itakuwa rahisi kwao kuweza kununua bidhaa za aina zozote na hivyo biashara itaimarika katika eneo tajika. Masoko haya yakijengwa yataimarisha biashara nchini.
Kuwepo kwa makampuni au benki ambazo zitawakopesha wanabiashara pesa za kuanzia biashara zao kupitia kwa njia hii wanabiashara wengi wataweza kusaidika na hivyo kufanya biashara ambazo zitawaletea faida ambazo watalipa deni zao. Mikopo hizi pia zitawafanya wawe na bidii wa kibiashara ili waweze kulipa deni na hivyo kuleta bidhaa zenye viwango vya juu katika masomo. Hivyo basi kuimarisha biashara nchini mwetu.
Serikali pia inajaa kudhibiti bidhaa vinavyoingia nchini mwetu. Hii itasaidia kwa sababu wananchi wengi wananunua bidhaa vya kutoka nje ya nchi na kuacha vya hapa kwetu Kenya. Kwa hivyo itawabidi wananchi waanze kununua bidhaa zetu na kuwacha za kigeni ambazo ni bei kali. Kupitia njia hii biashara nchini mwetu itaweza kuongezaka mno.
Kuwepo na amani nchini mwetu pia kutaweza kuimarisha biashara nchini. Hii ni kwa sababu wanabiashara wataweza kuuza bidhaa zao bila shaka lolote la uvamizi na wizi wa mali zao wataweza kuuza mali zao katika mazingira mazuri sana na kuweza kuimarisha biashara zao. | Katika kuimarisha biashara nchini Kenya Serikali inafaa ipunguze nini | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
2524_swa | UIMARISHAJI WA BIASHARA NCHINI KENYA
Katika kuimarisha biashara nchini mwetu Kenya, serikali inapopunguza ushuru kwa wanaofanya biashara. Kupitia njia hii wanabiashara wengi wa hapo nchini na hata kutoka nchi zo mbali wataweza kuja kufanya biashara humu nchini. Kuja kwao kutaleta manufaa mengi sana kwa kuwa bidhaa katika masoko yetu yataongezeka. Kupitia njia italeta maendeleo nchini mwetu sana, hivyo basi biashara nchini itaimarika na kwenye kiwango cha juu.
Serikali pia ikiweza kujenga viwanda ambavyo vitatengeneza bidhaa zetu humu nchini. Kufanya hivi kutapunguza kutegemea bidhaa kutoka nchi za ugenini. Kupitia katika viwanda hivi, bidhaa zetu zitanunuliwa na wananchi wetu na hivyo biashara kuimarika. Mbali na biashara kuimarika, wananchi wetu wataweza kujiendeleza kimaisha kupitia viwanda hivi kwa ajira walizozipata.
Tunaweza pia unda miungano ya kibiashara nchini mwetu. Miungano hivi vitaweza kusimamia na kuongeza biashara nchini mwetu. Kupitia miungano hizi tunaeza uza bidhaa zetu kwa soko la mataifa bila ya kudaiwa na wanabiashara wengine. Njia hii itaweza kuimarisha biashara nchini kwa kuwa wanabiashara watatia bidii kuimarisha bidhaa zao ili ziweze kuuzwa kwa wateja wao.
Kuwepo kwa miundo msingi kama vile mabarabara ambavyo yatatumika kusafirisha bidhaa kwa muda uliohitajika. Miundo msingi hayo pia yanaweza wa unganisha wanabiashara wa miji tofauti hivyo basi kuendeleza biashara zao bila shida yoyote ile. Hata hivyo, biashara ya nchi yetu itaweza kuimarika kwa kasi sana.
Ujenzi wa masoko katika kila eneo la nchi. Kupitia kwa masoko hayo wanabiashara watakusanyika mahali pamoja na kuuza bidhaa zao. Kupitia masoko, wananchi wataweza kuja kwa wingi kwa sababu vitu wanavyohitaji watavipata mahali pale. Itakuwa rahisi kwao kuweza kununua bidhaa za aina zozote na hivyo biashara itaimarika katika eneo tajika. Masoko haya yakijengwa yataimarisha biashara nchini.
Kuwepo kwa makampuni au benki ambazo zitawakopesha wanabiashara pesa za kuanzia biashara zao kupitia kwa njia hii wanabiashara wengi wataweza kusaidika na hivyo kufanya biashara ambazo zitawaletea faida ambazo watalipa deni zao. Mikopo hizi pia zitawafanya wawe na bidii wa kibiashara ili waweze kulipa deni na hivyo kuleta bidhaa zenye viwango vya juu katika masomo. Hivyo basi kuimarisha biashara nchini mwetu.
Serikali pia inajaa kudhibiti bidhaa vinavyoingia nchini mwetu. Hii itasaidia kwa sababu wananchi wengi wananunua bidhaa vya kutoka nje ya nchi na kuacha vya hapa kwetu Kenya. Kwa hivyo itawabidi wananchi waanze kununua bidhaa zetu na kuwacha za kigeni ambazo ni bei kali. Kupitia njia hii biashara nchini mwetu itaweza kuongezaka mno.
Kuwepo na amani nchini mwetu pia kutaweza kuimarisha biashara nchini. Hii ni kwa sababu wanabiashara wataweza kuuza bidhaa zao bila shaka lolote la uvamizi na wizi wa mali zao wataweza kuuza mali zao katika mazingira mazuri sana na kuweza kuimarisha biashara zao. | Viwanda ambavyo vitatengeneza bidhaa nchini vitapunguza kutegemea bidhaa kutoka wapi | {
"text": [
"Nchi za ugenini"
]
} |
2524_swa | UIMARISHAJI WA BIASHARA NCHINI KENYA
Katika kuimarisha biashara nchini mwetu Kenya, serikali inapopunguza ushuru kwa wanaofanya biashara. Kupitia njia hii wanabiashara wengi wa hapo nchini na hata kutoka nchi zo mbali wataweza kuja kufanya biashara humu nchini. Kuja kwao kutaleta manufaa mengi sana kwa kuwa bidhaa katika masoko yetu yataongezeka. Kupitia njia italeta maendeleo nchini mwetu sana, hivyo basi biashara nchini itaimarika na kwenye kiwango cha juu.
Serikali pia ikiweza kujenga viwanda ambavyo vitatengeneza bidhaa zetu humu nchini. Kufanya hivi kutapunguza kutegemea bidhaa kutoka nchi za ugenini. Kupitia katika viwanda hivi, bidhaa zetu zitanunuliwa na wananchi wetu na hivyo biashara kuimarika. Mbali na biashara kuimarika, wananchi wetu wataweza kujiendeleza kimaisha kupitia viwanda hivi kwa ajira walizozipata.
Tunaweza pia unda miungano ya kibiashara nchini mwetu. Miungano hivi vitaweza kusimamia na kuongeza biashara nchini mwetu. Kupitia miungano hizi tunaeza uza bidhaa zetu kwa soko la mataifa bila ya kudaiwa na wanabiashara wengine. Njia hii itaweza kuimarisha biashara nchini kwa kuwa wanabiashara watatia bidii kuimarisha bidhaa zao ili ziweze kuuzwa kwa wateja wao.
Kuwepo kwa miundo msingi kama vile mabarabara ambavyo yatatumika kusafirisha bidhaa kwa muda uliohitajika. Miundo msingi hayo pia yanaweza wa unganisha wanabiashara wa miji tofauti hivyo basi kuendeleza biashara zao bila shida yoyote ile. Hata hivyo, biashara ya nchi yetu itaweza kuimarika kwa kasi sana.
Ujenzi wa masoko katika kila eneo la nchi. Kupitia kwa masoko hayo wanabiashara watakusanyika mahali pamoja na kuuza bidhaa zao. Kupitia masoko, wananchi wataweza kuja kwa wingi kwa sababu vitu wanavyohitaji watavipata mahali pale. Itakuwa rahisi kwao kuweza kununua bidhaa za aina zozote na hivyo biashara itaimarika katika eneo tajika. Masoko haya yakijengwa yataimarisha biashara nchini.
Kuwepo kwa makampuni au benki ambazo zitawakopesha wanabiashara pesa za kuanzia biashara zao kupitia kwa njia hii wanabiashara wengi wataweza kusaidika na hivyo kufanya biashara ambazo zitawaletea faida ambazo watalipa deni zao. Mikopo hizi pia zitawafanya wawe na bidii wa kibiashara ili waweze kulipa deni na hivyo kuleta bidhaa zenye viwango vya juu katika masomo. Hivyo basi kuimarisha biashara nchini mwetu.
Serikali pia inajaa kudhibiti bidhaa vinavyoingia nchini mwetu. Hii itasaidia kwa sababu wananchi wengi wananunua bidhaa vya kutoka nje ya nchi na kuacha vya hapa kwetu Kenya. Kwa hivyo itawabidi wananchi waanze kununua bidhaa zetu na kuwacha za kigeni ambazo ni bei kali. Kupitia njia hii biashara nchini mwetu itaweza kuongezaka mno.
Kuwepo na amani nchini mwetu pia kutaweza kuimarisha biashara nchini. Hii ni kwa sababu wanabiashara wataweza kuuza bidhaa zao bila shaka lolote la uvamizi na wizi wa mali zao wataweza kuuza mali zao katika mazingira mazuri sana na kuweza kuimarisha biashara zao. | Mbali na biashara kuimarika, nani wataweza kujiendeleza kimaisha | {
"text": [
"Wananchi wetu"
]
} |
2524_swa | UIMARISHAJI WA BIASHARA NCHINI KENYA
Katika kuimarisha biashara nchini mwetu Kenya, serikali inapopunguza ushuru kwa wanaofanya biashara. Kupitia njia hii wanabiashara wengi wa hapo nchini na hata kutoka nchi zo mbali wataweza kuja kufanya biashara humu nchini. Kuja kwao kutaleta manufaa mengi sana kwa kuwa bidhaa katika masoko yetu yataongezeka. Kupitia njia italeta maendeleo nchini mwetu sana, hivyo basi biashara nchini itaimarika na kwenye kiwango cha juu.
Serikali pia ikiweza kujenga viwanda ambavyo vitatengeneza bidhaa zetu humu nchini. Kufanya hivi kutapunguza kutegemea bidhaa kutoka nchi za ugenini. Kupitia katika viwanda hivi, bidhaa zetu zitanunuliwa na wananchi wetu na hivyo biashara kuimarika. Mbali na biashara kuimarika, wananchi wetu wataweza kujiendeleza kimaisha kupitia viwanda hivi kwa ajira walizozipata.
Tunaweza pia unda miungano ya kibiashara nchini mwetu. Miungano hivi vitaweza kusimamia na kuongeza biashara nchini mwetu. Kupitia miungano hizi tunaeza uza bidhaa zetu kwa soko la mataifa bila ya kudaiwa na wanabiashara wengine. Njia hii itaweza kuimarisha biashara nchini kwa kuwa wanabiashara watatia bidii kuimarisha bidhaa zao ili ziweze kuuzwa kwa wateja wao.
Kuwepo kwa miundo msingi kama vile mabarabara ambavyo yatatumika kusafirisha bidhaa kwa muda uliohitajika. Miundo msingi hayo pia yanaweza wa unganisha wanabiashara wa miji tofauti hivyo basi kuendeleza biashara zao bila shida yoyote ile. Hata hivyo, biashara ya nchi yetu itaweza kuimarika kwa kasi sana.
Ujenzi wa masoko katika kila eneo la nchi. Kupitia kwa masoko hayo wanabiashara watakusanyika mahali pamoja na kuuza bidhaa zao. Kupitia masoko, wananchi wataweza kuja kwa wingi kwa sababu vitu wanavyohitaji watavipata mahali pale. Itakuwa rahisi kwao kuweza kununua bidhaa za aina zozote na hivyo biashara itaimarika katika eneo tajika. Masoko haya yakijengwa yataimarisha biashara nchini.
Kuwepo kwa makampuni au benki ambazo zitawakopesha wanabiashara pesa za kuanzia biashara zao kupitia kwa njia hii wanabiashara wengi wataweza kusaidika na hivyo kufanya biashara ambazo zitawaletea faida ambazo watalipa deni zao. Mikopo hizi pia zitawafanya wawe na bidii wa kibiashara ili waweze kulipa deni na hivyo kuleta bidhaa zenye viwango vya juu katika masomo. Hivyo basi kuimarisha biashara nchini mwetu.
Serikali pia inajaa kudhibiti bidhaa vinavyoingia nchini mwetu. Hii itasaidia kwa sababu wananchi wengi wananunua bidhaa vya kutoka nje ya nchi na kuacha vya hapa kwetu Kenya. Kwa hivyo itawabidi wananchi waanze kununua bidhaa zetu na kuwacha za kigeni ambazo ni bei kali. Kupitia njia hii biashara nchini mwetu itaweza kuongezaka mno.
Kuwepo na amani nchini mwetu pia kutaweza kuimarisha biashara nchini. Hii ni kwa sababu wanabiashara wataweza kuuza bidhaa zao bila shaka lolote la uvamizi na wizi wa mali zao wataweza kuuza mali zao katika mazingira mazuri sana na kuweza kuimarisha biashara zao. | Wataweza kuuza mali yao katika mazingira gani | {
"text": [
"mazuri"
]
} |
2524_swa | UIMARISHAJI WA BIASHARA NCHINI KENYA
Katika kuimarisha biashara nchini mwetu Kenya, serikali inapopunguza ushuru kwa wanaofanya biashara. Kupitia njia hii wanabiashara wengi wa hapo nchini na hata kutoka nchi zo mbali wataweza kuja kufanya biashara humu nchini. Kuja kwao kutaleta manufaa mengi sana kwa kuwa bidhaa katika masoko yetu yataongezeka. Kupitia njia italeta maendeleo nchini mwetu sana, hivyo basi biashara nchini itaimarika na kwenye kiwango cha juu.
Serikali pia ikiweza kujenga viwanda ambavyo vitatengeneza bidhaa zetu humu nchini. Kufanya hivi kutapunguza kutegemea bidhaa kutoka nchi za ugenini. Kupitia katika viwanda hivi, bidhaa zetu zitanunuliwa na wananchi wetu na hivyo biashara kuimarika. Mbali na biashara kuimarika, wananchi wetu wataweza kujiendeleza kimaisha kupitia viwanda hivi kwa ajira walizozipata.
Tunaweza pia unda miungano ya kibiashara nchini mwetu. Miungano hivi vitaweza kusimamia na kuongeza biashara nchini mwetu. Kupitia miungano hizi tunaeza uza bidhaa zetu kwa soko la mataifa bila ya kudaiwa na wanabiashara wengine. Njia hii itaweza kuimarisha biashara nchini kwa kuwa wanabiashara watatia bidii kuimarisha bidhaa zao ili ziweze kuuzwa kwa wateja wao.
Kuwepo kwa miundo msingi kama vile mabarabara ambavyo yatatumika kusafirisha bidhaa kwa muda uliohitajika. Miundo msingi hayo pia yanaweza wa unganisha wanabiashara wa miji tofauti hivyo basi kuendeleza biashara zao bila shida yoyote ile. Hata hivyo, biashara ya nchi yetu itaweza kuimarika kwa kasi sana.
Ujenzi wa masoko katika kila eneo la nchi. Kupitia kwa masoko hayo wanabiashara watakusanyika mahali pamoja na kuuza bidhaa zao. Kupitia masoko, wananchi wataweza kuja kwa wingi kwa sababu vitu wanavyohitaji watavipata mahali pale. Itakuwa rahisi kwao kuweza kununua bidhaa za aina zozote na hivyo biashara itaimarika katika eneo tajika. Masoko haya yakijengwa yataimarisha biashara nchini.
Kuwepo kwa makampuni au benki ambazo zitawakopesha wanabiashara pesa za kuanzia biashara zao kupitia kwa njia hii wanabiashara wengi wataweza kusaidika na hivyo kufanya biashara ambazo zitawaletea faida ambazo watalipa deni zao. Mikopo hizi pia zitawafanya wawe na bidii wa kibiashara ili waweze kulipa deni na hivyo kuleta bidhaa zenye viwango vya juu katika masomo. Hivyo basi kuimarisha biashara nchini mwetu.
Serikali pia inajaa kudhibiti bidhaa vinavyoingia nchini mwetu. Hii itasaidia kwa sababu wananchi wengi wananunua bidhaa vya kutoka nje ya nchi na kuacha vya hapa kwetu Kenya. Kwa hivyo itawabidi wananchi waanze kununua bidhaa zetu na kuwacha za kigeni ambazo ni bei kali. Kupitia njia hii biashara nchini mwetu itaweza kuongezaka mno.
Kuwepo na amani nchini mwetu pia kutaweza kuimarisha biashara nchini. Hii ni kwa sababu wanabiashara wataweza kuuza bidhaa zao bila shaka lolote la uvamizi na wizi wa mali zao wataweza kuuza mali zao katika mazingira mazuri sana na kuweza kuimarisha biashara zao. | Kuwepo kwa amani nchini kutaweza kuimarisha biashara nama gani | {
"text": [
"Wanabiashara wataweza kuuza bidhaa zao bila shaka "
]
} |
2526_swa | UMUHIMU WA KILIMO
Kilimo huimarisha maisha ya binadamu kupitia njia kama kilimo ni nguzo kuu ya kazi kwa kuwa wakulima wengi wana faidi kutoka kwa upandaji na uuzaji wa mimea kama vile nyanya, vitunguu na hivyo kuinua maisha yao.
Kilimo pia inasaidia katika ukuzaji wa vyakula ambavyo kinamsaidia binadamu ili apate shibe.
Kutokana na uuzaji wa mimea kama vile maua, matunda na kwenye nchi nyingine inasaidia katika kupata fedha za kigeni ambazo unatumika katika ujenzi wa nchi kama vile ujengaji wa barabara na hata viwanda vigeni nchini, hivyo kuongeza ukuaji wa viwanda hivyo.
Kutokana na ukuuzaji wa nyama ya mifugo kama vile nyama ya ng'ombe, mbuzi au kondoo unainua maisha ya binadamu ya kwa kuwa uuzaji huo unachangia kupata kwa hela ambazo zinatumika kujisaidia maishani. Ukulima pia ni nyenzo ya kuleta watu pamoja. Hili linatokana na nchi yetu ikiungana na nchi nyingine katika biashara ya mifugo na mimea inaleta watu pamoja na hivyo basi itachangia ushirikiano katika kusuluhisha matatizo yanayoikumba nchi fulani kama vile njaa, ukosaji wa hela na kuimarisha nchi.
Ukulima unasaidia katika utunzaji wa mazingira kwa mfano upandaji wa miti unasaidia kuimarisha rutuba ya mchanga kwa kuwa miti hutumika kama vizingiti baridi.
Ukulima pia unasaidia serikali kwa kuwa mimea zinapouzwa ushuru hukatwa katika kila mimea hivyo basi inasaidia katika ukuzaji wa taifa na hivyo basi taifa litaweza kukumbana na matukio yanayohusu taifa kama vile ugonjwa ambapo kupitia kwa ushuru huo serikali itaweza kujenga hospitali.
Ng'ombe pia hutoa kinyesi ambacho hutumiwa kama mbolea katika upandaji wa vyakula hivyo basi kuongeza ukuzaji wa mimea kwa kuwa mbolea hiyo hiyo huimarisha rutuba ya udongo.
Ukulima pia unachangia katika utoaji wa umeme kwa mfano kinyesi cha ng'ombe hutumika katika "biogas" hivyo kupunguza matumizi mabaya ya umeme.
Kutokana na upataji wa pesa za kigeni inasaidia katika kuekeza pesa ambazo zingetumika kununulia vitu katika nchi za kigeni, zinatumika katika matumizi mengine.
Ukulima wa mahindi pia unasaidia kutoa kwa chakula kwa mifugo na hivyo kuimarisha ukuaji wa wanyama kama vile ng’ombe.
Ukulima pia inasaidia kwenye viwanda kwa sababu kutokana na matunda tunapata sharubati ambapo inasaidia katika ukuaji wa viwanda vya sharubati hizi. | Nini huimarisha maisha ya binadamu | {
"text": [
"kilimo"
]
} |
2526_swa | UMUHIMU WA KILIMO
Kilimo huimarisha maisha ya binadamu kupitia njia kama kilimo ni nguzo kuu ya kazi kwa kuwa wakulima wengi wana faidi kutoka kwa upandaji na uuzaji wa mimea kama vile nyanya, vitunguu na hivyo kuinua maisha yao.
Kilimo pia inasaidia katika ukuzaji wa vyakula ambavyo kinamsaidia binadamu ili apate shibe.
Kutokana na uuzaji wa mimea kama vile maua, matunda na kwenye nchi nyingine inasaidia katika kupata fedha za kigeni ambazo unatumika katika ujenzi wa nchi kama vile ujengaji wa barabara na hata viwanda vigeni nchini, hivyo kuongeza ukuaji wa viwanda hivyo.
Kutokana na ukuuzaji wa nyama ya mifugo kama vile nyama ya ng'ombe, mbuzi au kondoo unainua maisha ya binadamu ya kwa kuwa uuzaji huo unachangia kupata kwa hela ambazo zinatumika kujisaidia maishani. Ukulima pia ni nyenzo ya kuleta watu pamoja. Hili linatokana na nchi yetu ikiungana na nchi nyingine katika biashara ya mifugo na mimea inaleta watu pamoja na hivyo basi itachangia ushirikiano katika kusuluhisha matatizo yanayoikumba nchi fulani kama vile njaa, ukosaji wa hela na kuimarisha nchi.
Ukulima unasaidia katika utunzaji wa mazingira kwa mfano upandaji wa miti unasaidia kuimarisha rutuba ya mchanga kwa kuwa miti hutumika kama vizingiti baridi.
Ukulima pia unasaidia serikali kwa kuwa mimea zinapouzwa ushuru hukatwa katika kila mimea hivyo basi inasaidia katika ukuzaji wa taifa na hivyo basi taifa litaweza kukumbana na matukio yanayohusu taifa kama vile ugonjwa ambapo kupitia kwa ushuru huo serikali itaweza kujenga hospitali.
Ng'ombe pia hutoa kinyesi ambacho hutumiwa kama mbolea katika upandaji wa vyakula hivyo basi kuongeza ukuzaji wa mimea kwa kuwa mbolea hiyo hiyo huimarisha rutuba ya udongo.
Ukulima pia unachangia katika utoaji wa umeme kwa mfano kinyesi cha ng'ombe hutumika katika "biogas" hivyo kupunguza matumizi mabaya ya umeme.
Kutokana na upataji wa pesa za kigeni inasaidia katika kuekeza pesa ambazo zingetumika kununulia vitu katika nchi za kigeni, zinatumika katika matumizi mengine.
Ukulima wa mahindi pia unasaidia kutoa kwa chakula kwa mifugo na hivyo kuimarisha ukuaji wa wanyama kama vile ng’ombe.
Ukulima pia inasaidia kwenye viwanda kwa sababu kutokana na matunda tunapata sharubati ambapo inasaidia katika ukuaji wa viwanda vya sharubati hizi. | Nini huimarisha rutuba ya mchanga | {
"text": [
"upandaji wa miti"
]
} |
2526_swa | UMUHIMU WA KILIMO
Kilimo huimarisha maisha ya binadamu kupitia njia kama kilimo ni nguzo kuu ya kazi kwa kuwa wakulima wengi wana faidi kutoka kwa upandaji na uuzaji wa mimea kama vile nyanya, vitunguu na hivyo kuinua maisha yao.
Kilimo pia inasaidia katika ukuzaji wa vyakula ambavyo kinamsaidia binadamu ili apate shibe.
Kutokana na uuzaji wa mimea kama vile maua, matunda na kwenye nchi nyingine inasaidia katika kupata fedha za kigeni ambazo unatumika katika ujenzi wa nchi kama vile ujengaji wa barabara na hata viwanda vigeni nchini, hivyo kuongeza ukuaji wa viwanda hivyo.
Kutokana na ukuuzaji wa nyama ya mifugo kama vile nyama ya ng'ombe, mbuzi au kondoo unainua maisha ya binadamu ya kwa kuwa uuzaji huo unachangia kupata kwa hela ambazo zinatumika kujisaidia maishani. Ukulima pia ni nyenzo ya kuleta watu pamoja. Hili linatokana na nchi yetu ikiungana na nchi nyingine katika biashara ya mifugo na mimea inaleta watu pamoja na hivyo basi itachangia ushirikiano katika kusuluhisha matatizo yanayoikumba nchi fulani kama vile njaa, ukosaji wa hela na kuimarisha nchi.
Ukulima unasaidia katika utunzaji wa mazingira kwa mfano upandaji wa miti unasaidia kuimarisha rutuba ya mchanga kwa kuwa miti hutumika kama vizingiti baridi.
Ukulima pia unasaidia serikali kwa kuwa mimea zinapouzwa ushuru hukatwa katika kila mimea hivyo basi inasaidia katika ukuzaji wa taifa na hivyo basi taifa litaweza kukumbana na matukio yanayohusu taifa kama vile ugonjwa ambapo kupitia kwa ushuru huo serikali itaweza kujenga hospitali.
Ng'ombe pia hutoa kinyesi ambacho hutumiwa kama mbolea katika upandaji wa vyakula hivyo basi kuongeza ukuzaji wa mimea kwa kuwa mbolea hiyo hiyo huimarisha rutuba ya udongo.
Ukulima pia unachangia katika utoaji wa umeme kwa mfano kinyesi cha ng'ombe hutumika katika "biogas" hivyo kupunguza matumizi mabaya ya umeme.
Kutokana na upataji wa pesa za kigeni inasaidia katika kuekeza pesa ambazo zingetumika kununulia vitu katika nchi za kigeni, zinatumika katika matumizi mengine.
Ukulima wa mahindi pia unasaidia kutoa kwa chakula kwa mifugo na hivyo kuimarisha ukuaji wa wanyama kama vile ng’ombe.
Ukulima pia inasaidia kwenye viwanda kwa sababu kutokana na matunda tunapata sharubati ambapo inasaidia katika ukuaji wa viwanda vya sharubati hizi. | Kinyesi cha ng'ombe hutumika vipi | {
"text": [
"kama mbolea"
]
} |
2526_swa | UMUHIMU WA KILIMO
Kilimo huimarisha maisha ya binadamu kupitia njia kama kilimo ni nguzo kuu ya kazi kwa kuwa wakulima wengi wana faidi kutoka kwa upandaji na uuzaji wa mimea kama vile nyanya, vitunguu na hivyo kuinua maisha yao.
Kilimo pia inasaidia katika ukuzaji wa vyakula ambavyo kinamsaidia binadamu ili apate shibe.
Kutokana na uuzaji wa mimea kama vile maua, matunda na kwenye nchi nyingine inasaidia katika kupata fedha za kigeni ambazo unatumika katika ujenzi wa nchi kama vile ujengaji wa barabara na hata viwanda vigeni nchini, hivyo kuongeza ukuaji wa viwanda hivyo.
Kutokana na ukuuzaji wa nyama ya mifugo kama vile nyama ya ng'ombe, mbuzi au kondoo unainua maisha ya binadamu ya kwa kuwa uuzaji huo unachangia kupata kwa hela ambazo zinatumika kujisaidia maishani. Ukulima pia ni nyenzo ya kuleta watu pamoja. Hili linatokana na nchi yetu ikiungana na nchi nyingine katika biashara ya mifugo na mimea inaleta watu pamoja na hivyo basi itachangia ushirikiano katika kusuluhisha matatizo yanayoikumba nchi fulani kama vile njaa, ukosaji wa hela na kuimarisha nchi.
Ukulima unasaidia katika utunzaji wa mazingira kwa mfano upandaji wa miti unasaidia kuimarisha rutuba ya mchanga kwa kuwa miti hutumika kama vizingiti baridi.
Ukulima pia unasaidia serikali kwa kuwa mimea zinapouzwa ushuru hukatwa katika kila mimea hivyo basi inasaidia katika ukuzaji wa taifa na hivyo basi taifa litaweza kukumbana na matukio yanayohusu taifa kama vile ugonjwa ambapo kupitia kwa ushuru huo serikali itaweza kujenga hospitali.
Ng'ombe pia hutoa kinyesi ambacho hutumiwa kama mbolea katika upandaji wa vyakula hivyo basi kuongeza ukuzaji wa mimea kwa kuwa mbolea hiyo hiyo huimarisha rutuba ya udongo.
Ukulima pia unachangia katika utoaji wa umeme kwa mfano kinyesi cha ng'ombe hutumika katika "biogas" hivyo kupunguza matumizi mabaya ya umeme.
Kutokana na upataji wa pesa za kigeni inasaidia katika kuekeza pesa ambazo zingetumika kununulia vitu katika nchi za kigeni, zinatumika katika matumizi mengine.
Ukulima wa mahindi pia unasaidia kutoa kwa chakula kwa mifugo na hivyo kuimarisha ukuaji wa wanyama kama vile ng’ombe.
Ukulima pia inasaidia kwenye viwanda kwa sababu kutokana na matunda tunapata sharubati ambapo inasaidia katika ukuaji wa viwanda vya sharubati hizi. | Nchi huungana katika biashara gani | {
"text": [
"ya mifugo na mimea"
]
} |
2526_swa | UMUHIMU WA KILIMO
Kilimo huimarisha maisha ya binadamu kupitia njia kama kilimo ni nguzo kuu ya kazi kwa kuwa wakulima wengi wana faidi kutoka kwa upandaji na uuzaji wa mimea kama vile nyanya, vitunguu na hivyo kuinua maisha yao.
Kilimo pia inasaidia katika ukuzaji wa vyakula ambavyo kinamsaidia binadamu ili apate shibe.
Kutokana na uuzaji wa mimea kama vile maua, matunda na kwenye nchi nyingine inasaidia katika kupata fedha za kigeni ambazo unatumika katika ujenzi wa nchi kama vile ujengaji wa barabara na hata viwanda vigeni nchini, hivyo kuongeza ukuaji wa viwanda hivyo.
Kutokana na ukuuzaji wa nyama ya mifugo kama vile nyama ya ng'ombe, mbuzi au kondoo unainua maisha ya binadamu ya kwa kuwa uuzaji huo unachangia kupata kwa hela ambazo zinatumika kujisaidia maishani. Ukulima pia ni nyenzo ya kuleta watu pamoja. Hili linatokana na nchi yetu ikiungana na nchi nyingine katika biashara ya mifugo na mimea inaleta watu pamoja na hivyo basi itachangia ushirikiano katika kusuluhisha matatizo yanayoikumba nchi fulani kama vile njaa, ukosaji wa hela na kuimarisha nchi.
Ukulima unasaidia katika utunzaji wa mazingira kwa mfano upandaji wa miti unasaidia kuimarisha rutuba ya mchanga kwa kuwa miti hutumika kama vizingiti baridi.
Ukulima pia unasaidia serikali kwa kuwa mimea zinapouzwa ushuru hukatwa katika kila mimea hivyo basi inasaidia katika ukuzaji wa taifa na hivyo basi taifa litaweza kukumbana na matukio yanayohusu taifa kama vile ugonjwa ambapo kupitia kwa ushuru huo serikali itaweza kujenga hospitali.
Ng'ombe pia hutoa kinyesi ambacho hutumiwa kama mbolea katika upandaji wa vyakula hivyo basi kuongeza ukuzaji wa mimea kwa kuwa mbolea hiyo hiyo huimarisha rutuba ya udongo.
Ukulima pia unachangia katika utoaji wa umeme kwa mfano kinyesi cha ng'ombe hutumika katika "biogas" hivyo kupunguza matumizi mabaya ya umeme.
Kutokana na upataji wa pesa za kigeni inasaidia katika kuekeza pesa ambazo zingetumika kununulia vitu katika nchi za kigeni, zinatumika katika matumizi mengine.
Ukulima wa mahindi pia unasaidia kutoa kwa chakula kwa mifugo na hivyo kuimarisha ukuaji wa wanyama kama vile ng’ombe.
Ukulima pia inasaidia kwenye viwanda kwa sababu kutokana na matunda tunapata sharubati ambapo inasaidia katika ukuaji wa viwanda vya sharubati hizi. | Mimea husaidiaje katika ukuaji wa taifa | {
"text": [
"Mimea inapouzwa ushuru hukatwa katika kila mmea"
]
} |
2527_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo hutumiwa kama njia mwafaka nchini za kuimarisha talanta za vijana wengi nchini. Kuna aina mingi za michezo kama vile michezo ya mipira, riadha, mchezo wa vikapu
nakadhalika. Michezo hii pia huhitaji kuimarishwa kupitia mbinu kadhaa.
Kwanza kabisa viwanja vya kuchezea michezo hii vinafaa kujengwa kwa wingi. Kwa mfano maeneo ya mashinani yanafaa kutengenezewa viwanja ambavyo vita waruhusu vijana chipukizi kuonyesha talanta walizo nazo kupitia kwa mpira na michezo mingineyo. Hivyo basi nchi ya Kenya kupitia kwa serikali kuu ibuni mbinu mwafaka za kuunda viwanja. Hili likizingatiwa basi michezo nchini humu itaimarika vilivyo.
Viongozi nchini Kenya watumie rasilimali vyema katika michezo. Hili linawezekana kupitia kuwanunulia wachezaji vifaa kama vile jezi, dalugha, mipira nakadhaliki. Vifaa hivi ziandamane na tuzo zuri za kawazawadi wote wanaohusika katika michezo hii. La muhimu ni timu zinazoibuka mabingwa zituzwe na kuhimizwa kutia bidii ili kupanda viwango vya juu. Vilevile shule ziandae siku maalum za kushiriki katika michezo. Hata hivyo si wanafunzi wote waliobahatika katika masomo bali pia wanatalanta mbalimbali kupitia michezo tofauti tofauti. Aidha, shule ziwape wanafunzi nafasi maalum za kufanya mazoezi kabla ya kushiriki katika mashindano haya. Wale wanaoibuka washindi wakati wa mapambano haya watuzwe na kuendelea mpaka ngazi za juu ikiwezekana kupewa vyeti kati michezo.
Pia serikali ya Kenya kupitia kwa runinga ipeperushe moja kwa moja michezo hii na hata kutangazwa kwenye redio. Hili linapozingatiwa wananchi watapata kuwapa hamu wachezaji walioko nchini. Pia wachezaji wengi watapata motisha kwa hivyo watatia bidii michezoni ili waweze kutambulika kama wenzao. Hili likizingatiwa michezo katika nchi ya Kenya itaimarika. Makocha wenye tajriba ya juu ikiwezekana waliohitimu katika vyuo vikuu watumiwe katika kuwanoa na kuwapa makali wachezaji. Kwa mfano makocha wa kandanda watumiwe kuendeleza timu za kitaifa nchini. Bila kusahau ligi kuu ya soko itiliwe maanani. Na pia wanariadha wapewe mbinu mwafaka za kufanya mazoezi yao. Hata hivyo wataanza kung'aa katika michuano mbalimbali hivyo basi kuimarisha michezo.
Michezo ikiimarishwa basi wachezaji watapata kutambua talanta walizo nazo na hivyo kujituma vilivyo kujitambulisha. | Michezo huimarisha nini miongoni mwa vijana? | {
"text": [
"Talanta"
]
} |
2527_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo hutumiwa kama njia mwafaka nchini za kuimarisha talanta za vijana wengi nchini. Kuna aina mingi za michezo kama vile michezo ya mipira, riadha, mchezo wa vikapu
nakadhalika. Michezo hii pia huhitaji kuimarishwa kupitia mbinu kadhaa.
Kwanza kabisa viwanja vya kuchezea michezo hii vinafaa kujengwa kwa wingi. Kwa mfano maeneo ya mashinani yanafaa kutengenezewa viwanja ambavyo vita waruhusu vijana chipukizi kuonyesha talanta walizo nazo kupitia kwa mpira na michezo mingineyo. Hivyo basi nchi ya Kenya kupitia kwa serikali kuu ibuni mbinu mwafaka za kuunda viwanja. Hili likizingatiwa basi michezo nchini humu itaimarika vilivyo.
Viongozi nchini Kenya watumie rasilimali vyema katika michezo. Hili linawezekana kupitia kuwanunulia wachezaji vifaa kama vile jezi, dalugha, mipira nakadhaliki. Vifaa hivi ziandamane na tuzo zuri za kawazawadi wote wanaohusika katika michezo hii. La muhimu ni timu zinazoibuka mabingwa zituzwe na kuhimizwa kutia bidii ili kupanda viwango vya juu. Vilevile shule ziandae siku maalum za kushiriki katika michezo. Hata hivyo si wanafunzi wote waliobahatika katika masomo bali pia wanatalanta mbalimbali kupitia michezo tofauti tofauti. Aidha, shule ziwape wanafunzi nafasi maalum za kufanya mazoezi kabla ya kushiriki katika mashindano haya. Wale wanaoibuka washindi wakati wa mapambano haya watuzwe na kuendelea mpaka ngazi za juu ikiwezekana kupewa vyeti kati michezo.
Pia serikali ya Kenya kupitia kwa runinga ipeperushe moja kwa moja michezo hii na hata kutangazwa kwenye redio. Hili linapozingatiwa wananchi watapata kuwapa hamu wachezaji walioko nchini. Pia wachezaji wengi watapata motisha kwa hivyo watatia bidii michezoni ili waweze kutambulika kama wenzao. Hili likizingatiwa michezo katika nchi ya Kenya itaimarika. Makocha wenye tajriba ya juu ikiwezekana waliohitimu katika vyuo vikuu watumiwe katika kuwanoa na kuwapa makali wachezaji. Kwa mfano makocha wa kandanda watumiwe kuendeleza timu za kitaifa nchini. Bila kusahau ligi kuu ya soko itiliwe maanani. Na pia wanariadha wapewe mbinu mwafaka za kufanya mazoezi yao. Hata hivyo wataanza kung'aa katika michuano mbalimbali hivyo basi kuimarisha michezo.
Michezo ikiimarishwa basi wachezaji watapata kutambua talanta walizo nazo na hivyo kujituma vilivyo kujitambulisha. | Aina moja ya michezo ni ipi? | {
"text": [
"Riadha"
]
} |
2527_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo hutumiwa kama njia mwafaka nchini za kuimarisha talanta za vijana wengi nchini. Kuna aina mingi za michezo kama vile michezo ya mipira, riadha, mchezo wa vikapu
nakadhalika. Michezo hii pia huhitaji kuimarishwa kupitia mbinu kadhaa.
Kwanza kabisa viwanja vya kuchezea michezo hii vinafaa kujengwa kwa wingi. Kwa mfano maeneo ya mashinani yanafaa kutengenezewa viwanja ambavyo vita waruhusu vijana chipukizi kuonyesha talanta walizo nazo kupitia kwa mpira na michezo mingineyo. Hivyo basi nchi ya Kenya kupitia kwa serikali kuu ibuni mbinu mwafaka za kuunda viwanja. Hili likizingatiwa basi michezo nchini humu itaimarika vilivyo.
Viongozi nchini Kenya watumie rasilimali vyema katika michezo. Hili linawezekana kupitia kuwanunulia wachezaji vifaa kama vile jezi, dalugha, mipira nakadhaliki. Vifaa hivi ziandamane na tuzo zuri za kawazawadi wote wanaohusika katika michezo hii. La muhimu ni timu zinazoibuka mabingwa zituzwe na kuhimizwa kutia bidii ili kupanda viwango vya juu. Vilevile shule ziandae siku maalum za kushiriki katika michezo. Hata hivyo si wanafunzi wote waliobahatika katika masomo bali pia wanatalanta mbalimbali kupitia michezo tofauti tofauti. Aidha, shule ziwape wanafunzi nafasi maalum za kufanya mazoezi kabla ya kushiriki katika mashindano haya. Wale wanaoibuka washindi wakati wa mapambano haya watuzwe na kuendelea mpaka ngazi za juu ikiwezekana kupewa vyeti kati michezo.
Pia serikali ya Kenya kupitia kwa runinga ipeperushe moja kwa moja michezo hii na hata kutangazwa kwenye redio. Hili linapozingatiwa wananchi watapata kuwapa hamu wachezaji walioko nchini. Pia wachezaji wengi watapata motisha kwa hivyo watatia bidii michezoni ili waweze kutambulika kama wenzao. Hili likizingatiwa michezo katika nchi ya Kenya itaimarika. Makocha wenye tajriba ya juu ikiwezekana waliohitimu katika vyuo vikuu watumiwe katika kuwanoa na kuwapa makali wachezaji. Kwa mfano makocha wa kandanda watumiwe kuendeleza timu za kitaifa nchini. Bila kusahau ligi kuu ya soko itiliwe maanani. Na pia wanariadha wapewe mbinu mwafaka za kufanya mazoezi yao. Hata hivyo wataanza kung'aa katika michuano mbalimbali hivyo basi kuimarisha michezo.
Michezo ikiimarishwa basi wachezaji watapata kutambua talanta walizo nazo na hivyo kujituma vilivyo kujitambulisha. | Michezo hufanyika wapi? | {
"text": [
"Uwanjani"
]
} |
2527_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo hutumiwa kama njia mwafaka nchini za kuimarisha talanta za vijana wengi nchini. Kuna aina mingi za michezo kama vile michezo ya mipira, riadha, mchezo wa vikapu
nakadhalika. Michezo hii pia huhitaji kuimarishwa kupitia mbinu kadhaa.
Kwanza kabisa viwanja vya kuchezea michezo hii vinafaa kujengwa kwa wingi. Kwa mfano maeneo ya mashinani yanafaa kutengenezewa viwanja ambavyo vita waruhusu vijana chipukizi kuonyesha talanta walizo nazo kupitia kwa mpira na michezo mingineyo. Hivyo basi nchi ya Kenya kupitia kwa serikali kuu ibuni mbinu mwafaka za kuunda viwanja. Hili likizingatiwa basi michezo nchini humu itaimarika vilivyo.
Viongozi nchini Kenya watumie rasilimali vyema katika michezo. Hili linawezekana kupitia kuwanunulia wachezaji vifaa kama vile jezi, dalugha, mipira nakadhaliki. Vifaa hivi ziandamane na tuzo zuri za kawazawadi wote wanaohusika katika michezo hii. La muhimu ni timu zinazoibuka mabingwa zituzwe na kuhimizwa kutia bidii ili kupanda viwango vya juu. Vilevile shule ziandae siku maalum za kushiriki katika michezo. Hata hivyo si wanafunzi wote waliobahatika katika masomo bali pia wanatalanta mbalimbali kupitia michezo tofauti tofauti. Aidha, shule ziwape wanafunzi nafasi maalum za kufanya mazoezi kabla ya kushiriki katika mashindano haya. Wale wanaoibuka washindi wakati wa mapambano haya watuzwe na kuendelea mpaka ngazi za juu ikiwezekana kupewa vyeti kati michezo.
Pia serikali ya Kenya kupitia kwa runinga ipeperushe moja kwa moja michezo hii na hata kutangazwa kwenye redio. Hili linapozingatiwa wananchi watapata kuwapa hamu wachezaji walioko nchini. Pia wachezaji wengi watapata motisha kwa hivyo watatia bidii michezoni ili waweze kutambulika kama wenzao. Hili likizingatiwa michezo katika nchi ya Kenya itaimarika. Makocha wenye tajriba ya juu ikiwezekana waliohitimu katika vyuo vikuu watumiwe katika kuwanoa na kuwapa makali wachezaji. Kwa mfano makocha wa kandanda watumiwe kuendeleza timu za kitaifa nchini. Bila kusahau ligi kuu ya soko itiliwe maanani. Na pia wanariadha wapewe mbinu mwafaka za kufanya mazoezi yao. Hata hivyo wataanza kung'aa katika michuano mbalimbali hivyo basi kuimarisha michezo.
Michezo ikiimarishwa basi wachezaji watapata kutambua talanta walizo nazo na hivyo kujituma vilivyo kujitambulisha. | Baada ya ushindi, wachezaji hupewa nini? | {
"text": [
"Tuzo"
]
} |
2527_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo hutumiwa kama njia mwafaka nchini za kuimarisha talanta za vijana wengi nchini. Kuna aina mingi za michezo kama vile michezo ya mipira, riadha, mchezo wa vikapu
nakadhalika. Michezo hii pia huhitaji kuimarishwa kupitia mbinu kadhaa.
Kwanza kabisa viwanja vya kuchezea michezo hii vinafaa kujengwa kwa wingi. Kwa mfano maeneo ya mashinani yanafaa kutengenezewa viwanja ambavyo vita waruhusu vijana chipukizi kuonyesha talanta walizo nazo kupitia kwa mpira na michezo mingineyo. Hivyo basi nchi ya Kenya kupitia kwa serikali kuu ibuni mbinu mwafaka za kuunda viwanja. Hili likizingatiwa basi michezo nchini humu itaimarika vilivyo.
Viongozi nchini Kenya watumie rasilimali vyema katika michezo. Hili linawezekana kupitia kuwanunulia wachezaji vifaa kama vile jezi, dalugha, mipira nakadhaliki. Vifaa hivi ziandamane na tuzo zuri za kawazawadi wote wanaohusika katika michezo hii. La muhimu ni timu zinazoibuka mabingwa zituzwe na kuhimizwa kutia bidii ili kupanda viwango vya juu. Vilevile shule ziandae siku maalum za kushiriki katika michezo. Hata hivyo si wanafunzi wote waliobahatika katika masomo bali pia wanatalanta mbalimbali kupitia michezo tofauti tofauti. Aidha, shule ziwape wanafunzi nafasi maalum za kufanya mazoezi kabla ya kushiriki katika mashindano haya. Wale wanaoibuka washindi wakati wa mapambano haya watuzwe na kuendelea mpaka ngazi za juu ikiwezekana kupewa vyeti kati michezo.
Pia serikali ya Kenya kupitia kwa runinga ipeperushe moja kwa moja michezo hii na hata kutangazwa kwenye redio. Hili linapozingatiwa wananchi watapata kuwapa hamu wachezaji walioko nchini. Pia wachezaji wengi watapata motisha kwa hivyo watatia bidii michezoni ili waweze kutambulika kama wenzao. Hili likizingatiwa michezo katika nchi ya Kenya itaimarika. Makocha wenye tajriba ya juu ikiwezekana waliohitimu katika vyuo vikuu watumiwe katika kuwanoa na kuwapa makali wachezaji. Kwa mfano makocha wa kandanda watumiwe kuendeleza timu za kitaifa nchini. Bila kusahau ligi kuu ya soko itiliwe maanani. Na pia wanariadha wapewe mbinu mwafaka za kufanya mazoezi yao. Hata hivyo wataanza kung'aa katika michuano mbalimbali hivyo basi kuimarisha michezo.
Michezo ikiimarishwa basi wachezaji watapata kutambua talanta walizo nazo na hivyo kujituma vilivyo kujitambulisha. | Watu wengi hutazama michezo kupitia chombo kipi? | {
"text": [
"Runinga, kama vile kandanda"
]
} |
2528_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KUHUSU NJIA ZA KUKABILIANA NA UGONJWA WA UKIMWI
Hapa ni katika hospitali ya kuziKagonjwa. Shughuli zinaendelea vizun hadi pale ambapo anawasili Msundo ambaye alikuwa ameomba nafasi ili wawe na mazungumzo baina yake na Daktari Sugu. Anawasili akiwa amevalia suti lake la bei ghali na viatu vilivyoundwa kutoka nchi ya Ughaibuni na mazungumzo yanaanza.
Msundo: Habari.
Dakian Sugu: Njema, labda yako. (kwa furaha huku akimwonyesha kiti) karibu kiti ndio hicho.
Msundo : Asante sana daktari. Lililonileta hapa ni kuzungumzia kuhusu njia za kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi kwa kuwa ugonjwa huu umekuwa kero kwa watu wengi haswa vijana. Daktari Sugu : Njia ya kwanza ni kuhakikisha kuwa watu wanaojiingiza katika uhusiano wameoana. Hili litazuia ugonjwa huu kwani kujihusisha na tabia kama hizo ukiwa bado mdogo linamfanya mtu awe na ule uzoefu wa kimapenzi na ikiwa mmoja kati yao ana virusi vile basi ni rahisi kwa yule mwingine kupata pia.
Msundo : Asante sana kwa wazo nzuri daktari (akimpigia makofi). Naona kuwa pia lazima mtu aende apimwe ili kujua hali yake ya kirusi kabla ya kujihusisha kimapenzi na mwenzake. Hili litaonyesha ikiwa mmoja wao ana kirusi hicho na watapewa mawaidha jinsi ya kujilinda wao wenyewe.
Daktari Suqu : (Huku akisafisha koo) Wale walio nao kujitokeza ili wapewe ushauri.
Msundo : Lakini daktari kuna wale ambao wanaogopa. Je hawa tuwashauri vipi?
Daktari Sugu : Wahamasishwe kupitia njia mbalimbali kwamba sio kila mtu wa ukimwi hufa. Kwamba waambiwe kuwa kuna madawa ambayo yametolewa na yanaweza kupunguza
maradhi hayo na mtu ataishi akiwa mzima.
Msundo : Kuna wale ambao wanaambiwa na wenzao kuwa wamekonda mithili ya nyonda. Hawa naweza kuwaambia kuwa waje wapewe dawa na watumie vyakula kwa kuwajenga kimwili haswa vitamini ndiposa wawe na afya nzuri.
Daktari Sugu : Watu huwa wanaweza hata kuishi kwa miaka mingi ikiwa watatumia maagizo ya waliyopewa.
Msundo : Uaminifu katika ndoa ni jambo zuri kwani mtu akianza kutoka nje ya ndoa yake anaweza kwenda kupata ukimwi huko nje ikiwa ataenda kujihusisha kimapenzi naye na labda yuko na ugonjwa huo. Kwa hivyo ni bora watu kuaminiana ili kupunguza msambao
wa ugonjwa hili.
Daktari Sugu: Fauka ya hayo watu wanafaa kuhamasishwa kupitia njia mbalimbali kama vile kupitia matangazo au maandishi na fomu hizo kupitishwa kwa watu mbalimbali ili kuzisoma. Yafaa wakita fomu hizi na matangazo yawe na njia tulizoongelea hapo awali za kuangamiza ugonjwa huo.
Msundo : (Akinyosha mguu kidogo na kuchukua maji na kunywa) Jambo lingine ni kuwa lazima watu wenye ukimwi wapendwe na wahimizwe kila siku wazidi kutumia madawa na kwamba wataishi vyema. Kuna wale ambao wakimwona mtu akiwa na ugonjwa huo wanamtenga nao
na pia hawapendi awe na vifaa kama vile kisu, wembe na sindano wakitumia kwa kuwa wanahofia wakienda kuzichurua watapata ugonjwa huo.
Daktari Sugu : Njia za kukabiliana na Ukimwi ziko mikononi mwetu wenyewe.
Msondo : Asante kwa kuchukua muda wako ili tujadiliane kuhusu ugonjwa huu ambao unawezwa kukomeshwa. Mungu akubariki na akupe nguvu za kuwatibu watu.
Daktari Sugu : Asante na uwe na siku njema. (Anaondoka na kuingia katika
gari lake) | Hapa ni katika hospitali gani | {
"text": [
"Kuzikagonjwa"
]
} |
2528_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KUHUSU NJIA ZA KUKABILIANA NA UGONJWA WA UKIMWI
Hapa ni katika hospitali ya kuziKagonjwa. Shughuli zinaendelea vizun hadi pale ambapo anawasili Msundo ambaye alikuwa ameomba nafasi ili wawe na mazungumzo baina yake na Daktari Sugu. Anawasili akiwa amevalia suti lake la bei ghali na viatu vilivyoundwa kutoka nchi ya Ughaibuni na mazungumzo yanaanza.
Msundo: Habari.
Dakian Sugu: Njema, labda yako. (kwa furaha huku akimwonyesha kiti) karibu kiti ndio hicho.
Msundo : Asante sana daktari. Lililonileta hapa ni kuzungumzia kuhusu njia za kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi kwa kuwa ugonjwa huu umekuwa kero kwa watu wengi haswa vijana. Daktari Sugu : Njia ya kwanza ni kuhakikisha kuwa watu wanaojiingiza katika uhusiano wameoana. Hili litazuia ugonjwa huu kwani kujihusisha na tabia kama hizo ukiwa bado mdogo linamfanya mtu awe na ule uzoefu wa kimapenzi na ikiwa mmoja kati yao ana virusi vile basi ni rahisi kwa yule mwingine kupata pia.
Msundo : Asante sana kwa wazo nzuri daktari (akimpigia makofi). Naona kuwa pia lazima mtu aende apimwe ili kujua hali yake ya kirusi kabla ya kujihusisha kimapenzi na mwenzake. Hili litaonyesha ikiwa mmoja wao ana kirusi hicho na watapewa mawaidha jinsi ya kujilinda wao wenyewe.
Daktari Suqu : (Huku akisafisha koo) Wale walio nao kujitokeza ili wapewe ushauri.
Msundo : Lakini daktari kuna wale ambao wanaogopa. Je hawa tuwashauri vipi?
Daktari Sugu : Wahamasishwe kupitia njia mbalimbali kwamba sio kila mtu wa ukimwi hufa. Kwamba waambiwe kuwa kuna madawa ambayo yametolewa na yanaweza kupunguza
maradhi hayo na mtu ataishi akiwa mzima.
Msundo : Kuna wale ambao wanaambiwa na wenzao kuwa wamekonda mithili ya nyonda. Hawa naweza kuwaambia kuwa waje wapewe dawa na watumie vyakula kwa kuwajenga kimwili haswa vitamini ndiposa wawe na afya nzuri.
Daktari Sugu : Watu huwa wanaweza hata kuishi kwa miaka mingi ikiwa watatumia maagizo ya waliyopewa.
Msundo : Uaminifu katika ndoa ni jambo zuri kwani mtu akianza kutoka nje ya ndoa yake anaweza kwenda kupata ukimwi huko nje ikiwa ataenda kujihusisha kimapenzi naye na labda yuko na ugonjwa huo. Kwa hivyo ni bora watu kuaminiana ili kupunguza msambao
wa ugonjwa hili.
Daktari Sugu: Fauka ya hayo watu wanafaa kuhamasishwa kupitia njia mbalimbali kama vile kupitia matangazo au maandishi na fomu hizo kupitishwa kwa watu mbalimbali ili kuzisoma. Yafaa wakita fomu hizi na matangazo yawe na njia tulizoongelea hapo awali za kuangamiza ugonjwa huo.
Msundo : (Akinyosha mguu kidogo na kuchukua maji na kunywa) Jambo lingine ni kuwa lazima watu wenye ukimwi wapendwe na wahimizwe kila siku wazidi kutumia madawa na kwamba wataishi vyema. Kuna wale ambao wakimwona mtu akiwa na ugonjwa huo wanamtenga nao
na pia hawapendi awe na vifaa kama vile kisu, wembe na sindano wakitumia kwa kuwa wanahofia wakienda kuzichurua watapata ugonjwa huo.
Daktari Sugu : Njia za kukabiliana na Ukimwi ziko mikononi mwetu wenyewe.
Msondo : Asante kwa kuchukua muda wako ili tujadiliane kuhusu ugonjwa huu ambao unawezwa kukomeshwa. Mungu akubariki na akupe nguvu za kuwatibu watu.
Daktari Sugu : Asante na uwe na siku njema. (Anaondoka na kuingia katika
gari lake) | Shughuli zinaendelea vipi | {
"text": [
"Vizuri"
]
} |
2528_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KUHUSU NJIA ZA KUKABILIANA NA UGONJWA WA UKIMWI
Hapa ni katika hospitali ya kuziKagonjwa. Shughuli zinaendelea vizun hadi pale ambapo anawasili Msundo ambaye alikuwa ameomba nafasi ili wawe na mazungumzo baina yake na Daktari Sugu. Anawasili akiwa amevalia suti lake la bei ghali na viatu vilivyoundwa kutoka nchi ya Ughaibuni na mazungumzo yanaanza.
Msundo: Habari.
Dakian Sugu: Njema, labda yako. (kwa furaha huku akimwonyesha kiti) karibu kiti ndio hicho.
Msundo : Asante sana daktari. Lililonileta hapa ni kuzungumzia kuhusu njia za kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi kwa kuwa ugonjwa huu umekuwa kero kwa watu wengi haswa vijana. Daktari Sugu : Njia ya kwanza ni kuhakikisha kuwa watu wanaojiingiza katika uhusiano wameoana. Hili litazuia ugonjwa huu kwani kujihusisha na tabia kama hizo ukiwa bado mdogo linamfanya mtu awe na ule uzoefu wa kimapenzi na ikiwa mmoja kati yao ana virusi vile basi ni rahisi kwa yule mwingine kupata pia.
Msundo : Asante sana kwa wazo nzuri daktari (akimpigia makofi). Naona kuwa pia lazima mtu aende apimwe ili kujua hali yake ya kirusi kabla ya kujihusisha kimapenzi na mwenzake. Hili litaonyesha ikiwa mmoja wao ana kirusi hicho na watapewa mawaidha jinsi ya kujilinda wao wenyewe.
Daktari Suqu : (Huku akisafisha koo) Wale walio nao kujitokeza ili wapewe ushauri.
Msundo : Lakini daktari kuna wale ambao wanaogopa. Je hawa tuwashauri vipi?
Daktari Sugu : Wahamasishwe kupitia njia mbalimbali kwamba sio kila mtu wa ukimwi hufa. Kwamba waambiwe kuwa kuna madawa ambayo yametolewa na yanaweza kupunguza
maradhi hayo na mtu ataishi akiwa mzima.
Msundo : Kuna wale ambao wanaambiwa na wenzao kuwa wamekonda mithili ya nyonda. Hawa naweza kuwaambia kuwa waje wapewe dawa na watumie vyakula kwa kuwajenga kimwili haswa vitamini ndiposa wawe na afya nzuri.
Daktari Sugu : Watu huwa wanaweza hata kuishi kwa miaka mingi ikiwa watatumia maagizo ya waliyopewa.
Msundo : Uaminifu katika ndoa ni jambo zuri kwani mtu akianza kutoka nje ya ndoa yake anaweza kwenda kupata ukimwi huko nje ikiwa ataenda kujihusisha kimapenzi naye na labda yuko na ugonjwa huo. Kwa hivyo ni bora watu kuaminiana ili kupunguza msambao
wa ugonjwa hili.
Daktari Sugu: Fauka ya hayo watu wanafaa kuhamasishwa kupitia njia mbalimbali kama vile kupitia matangazo au maandishi na fomu hizo kupitishwa kwa watu mbalimbali ili kuzisoma. Yafaa wakita fomu hizi na matangazo yawe na njia tulizoongelea hapo awali za kuangamiza ugonjwa huo.
Msundo : (Akinyosha mguu kidogo na kuchukua maji na kunywa) Jambo lingine ni kuwa lazima watu wenye ukimwi wapendwe na wahimizwe kila siku wazidi kutumia madawa na kwamba wataishi vyema. Kuna wale ambao wakimwona mtu akiwa na ugonjwa huo wanamtenga nao
na pia hawapendi awe na vifaa kama vile kisu, wembe na sindano wakitumia kwa kuwa wanahofia wakienda kuzichurua watapata ugonjwa huo.
Daktari Sugu : Njia za kukabiliana na Ukimwi ziko mikononi mwetu wenyewe.
Msondo : Asante kwa kuchukua muda wako ili tujadiliane kuhusu ugonjwa huu ambao unawezwa kukomeshwa. Mungu akubariki na akupe nguvu za kuwatibu watu.
Daktari Sugu : Asante na uwe na siku njema. (Anaondoka na kuingia katika
gari lake) | Ugonjwa huu umekuwa kero kwa watu gani | {
"text": [
"Wengi"
]
} |
2528_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KUHUSU NJIA ZA KUKABILIANA NA UGONJWA WA UKIMWI
Hapa ni katika hospitali ya kuziKagonjwa. Shughuli zinaendelea vizun hadi pale ambapo anawasili Msundo ambaye alikuwa ameomba nafasi ili wawe na mazungumzo baina yake na Daktari Sugu. Anawasili akiwa amevalia suti lake la bei ghali na viatu vilivyoundwa kutoka nchi ya Ughaibuni na mazungumzo yanaanza.
Msundo: Habari.
Dakian Sugu: Njema, labda yako. (kwa furaha huku akimwonyesha kiti) karibu kiti ndio hicho.
Msundo : Asante sana daktari. Lililonileta hapa ni kuzungumzia kuhusu njia za kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi kwa kuwa ugonjwa huu umekuwa kero kwa watu wengi haswa vijana. Daktari Sugu : Njia ya kwanza ni kuhakikisha kuwa watu wanaojiingiza katika uhusiano wameoana. Hili litazuia ugonjwa huu kwani kujihusisha na tabia kama hizo ukiwa bado mdogo linamfanya mtu awe na ule uzoefu wa kimapenzi na ikiwa mmoja kati yao ana virusi vile basi ni rahisi kwa yule mwingine kupata pia.
Msundo : Asante sana kwa wazo nzuri daktari (akimpigia makofi). Naona kuwa pia lazima mtu aende apimwe ili kujua hali yake ya kirusi kabla ya kujihusisha kimapenzi na mwenzake. Hili litaonyesha ikiwa mmoja wao ana kirusi hicho na watapewa mawaidha jinsi ya kujilinda wao wenyewe.
Daktari Suqu : (Huku akisafisha koo) Wale walio nao kujitokeza ili wapewe ushauri.
Msundo : Lakini daktari kuna wale ambao wanaogopa. Je hawa tuwashauri vipi?
Daktari Sugu : Wahamasishwe kupitia njia mbalimbali kwamba sio kila mtu wa ukimwi hufa. Kwamba waambiwe kuwa kuna madawa ambayo yametolewa na yanaweza kupunguza
maradhi hayo na mtu ataishi akiwa mzima.
Msundo : Kuna wale ambao wanaambiwa na wenzao kuwa wamekonda mithili ya nyonda. Hawa naweza kuwaambia kuwa waje wapewe dawa na watumie vyakula kwa kuwajenga kimwili haswa vitamini ndiposa wawe na afya nzuri.
Daktari Sugu : Watu huwa wanaweza hata kuishi kwa miaka mingi ikiwa watatumia maagizo ya waliyopewa.
Msundo : Uaminifu katika ndoa ni jambo zuri kwani mtu akianza kutoka nje ya ndoa yake anaweza kwenda kupata ukimwi huko nje ikiwa ataenda kujihusisha kimapenzi naye na labda yuko na ugonjwa huo. Kwa hivyo ni bora watu kuaminiana ili kupunguza msambao
wa ugonjwa hili.
Daktari Sugu: Fauka ya hayo watu wanafaa kuhamasishwa kupitia njia mbalimbali kama vile kupitia matangazo au maandishi na fomu hizo kupitishwa kwa watu mbalimbali ili kuzisoma. Yafaa wakita fomu hizi na matangazo yawe na njia tulizoongelea hapo awali za kuangamiza ugonjwa huo.
Msundo : (Akinyosha mguu kidogo na kuchukua maji na kunywa) Jambo lingine ni kuwa lazima watu wenye ukimwi wapendwe na wahimizwe kila siku wazidi kutumia madawa na kwamba wataishi vyema. Kuna wale ambao wakimwona mtu akiwa na ugonjwa huo wanamtenga nao
na pia hawapendi awe na vifaa kama vile kisu, wembe na sindano wakitumia kwa kuwa wanahofia wakienda kuzichurua watapata ugonjwa huo.
Daktari Sugu : Njia za kukabiliana na Ukimwi ziko mikononi mwetu wenyewe.
Msondo : Asante kwa kuchukua muda wako ili tujadiliane kuhusu ugonjwa huu ambao unawezwa kukomeshwa. Mungu akubariki na akupe nguvu za kuwatibu watu.
Daktari Sugu : Asante na uwe na siku njema. (Anaondoka na kuingia katika
gari lake) | Mbona lazima kila mtu aende apimwe | {
"text": [
"Ili kujua hali yake"
]
} |
2528_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KUHUSU NJIA ZA KUKABILIANA NA UGONJWA WA UKIMWI
Hapa ni katika hospitali ya kuziKagonjwa. Shughuli zinaendelea vizun hadi pale ambapo anawasili Msundo ambaye alikuwa ameomba nafasi ili wawe na mazungumzo baina yake na Daktari Sugu. Anawasili akiwa amevalia suti lake la bei ghali na viatu vilivyoundwa kutoka nchi ya Ughaibuni na mazungumzo yanaanza.
Msundo: Habari.
Dakian Sugu: Njema, labda yako. (kwa furaha huku akimwonyesha kiti) karibu kiti ndio hicho.
Msundo : Asante sana daktari. Lililonileta hapa ni kuzungumzia kuhusu njia za kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi kwa kuwa ugonjwa huu umekuwa kero kwa watu wengi haswa vijana. Daktari Sugu : Njia ya kwanza ni kuhakikisha kuwa watu wanaojiingiza katika uhusiano wameoana. Hili litazuia ugonjwa huu kwani kujihusisha na tabia kama hizo ukiwa bado mdogo linamfanya mtu awe na ule uzoefu wa kimapenzi na ikiwa mmoja kati yao ana virusi vile basi ni rahisi kwa yule mwingine kupata pia.
Msundo : Asante sana kwa wazo nzuri daktari (akimpigia makofi). Naona kuwa pia lazima mtu aende apimwe ili kujua hali yake ya kirusi kabla ya kujihusisha kimapenzi na mwenzake. Hili litaonyesha ikiwa mmoja wao ana kirusi hicho na watapewa mawaidha jinsi ya kujilinda wao wenyewe.
Daktari Suqu : (Huku akisafisha koo) Wale walio nao kujitokeza ili wapewe ushauri.
Msundo : Lakini daktari kuna wale ambao wanaogopa. Je hawa tuwashauri vipi?
Daktari Sugu : Wahamasishwe kupitia njia mbalimbali kwamba sio kila mtu wa ukimwi hufa. Kwamba waambiwe kuwa kuna madawa ambayo yametolewa na yanaweza kupunguza
maradhi hayo na mtu ataishi akiwa mzima.
Msundo : Kuna wale ambao wanaambiwa na wenzao kuwa wamekonda mithili ya nyonda. Hawa naweza kuwaambia kuwa waje wapewe dawa na watumie vyakula kwa kuwajenga kimwili haswa vitamini ndiposa wawe na afya nzuri.
Daktari Sugu : Watu huwa wanaweza hata kuishi kwa miaka mingi ikiwa watatumia maagizo ya waliyopewa.
Msundo : Uaminifu katika ndoa ni jambo zuri kwani mtu akianza kutoka nje ya ndoa yake anaweza kwenda kupata ukimwi huko nje ikiwa ataenda kujihusisha kimapenzi naye na labda yuko na ugonjwa huo. Kwa hivyo ni bora watu kuaminiana ili kupunguza msambao
wa ugonjwa hili.
Daktari Sugu: Fauka ya hayo watu wanafaa kuhamasishwa kupitia njia mbalimbali kama vile kupitia matangazo au maandishi na fomu hizo kupitishwa kwa watu mbalimbali ili kuzisoma. Yafaa wakita fomu hizi na matangazo yawe na njia tulizoongelea hapo awali za kuangamiza ugonjwa huo.
Msundo : (Akinyosha mguu kidogo na kuchukua maji na kunywa) Jambo lingine ni kuwa lazima watu wenye ukimwi wapendwe na wahimizwe kila siku wazidi kutumia madawa na kwamba wataishi vyema. Kuna wale ambao wakimwona mtu akiwa na ugonjwa huo wanamtenga nao
na pia hawapendi awe na vifaa kama vile kisu, wembe na sindano wakitumia kwa kuwa wanahofia wakienda kuzichurua watapata ugonjwa huo.
Daktari Sugu : Njia za kukabiliana na Ukimwi ziko mikononi mwetu wenyewe.
Msondo : Asante kwa kuchukua muda wako ili tujadiliane kuhusu ugonjwa huu ambao unawezwa kukomeshwa. Mungu akubariki na akupe nguvu za kuwatibu watu.
Daktari Sugu : Asante na uwe na siku njema. (Anaondoka na kuingia katika
gari lake) | Ni lazima watu wenye ukimwi wapendwe na wafanyiwe nini kila siku | {
"text": [
"Wahimizwe"
]
} |
2529_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA NCHINI KUHUSU MBINU ZA KUIMARISHA USALAMA
“Wananchi wa eneo la Chapakazi hamjambo? Mimi ni waziri wa usalama nchini, leo nimeona niwatembelee kuwahimiza umuhimu wa usalama. Kwanza kabisa namshukuru Maulana kwa kutuwezesha kufika leo hii na pia kutuwezesha kukutana. Mimi naitwa Njoro Hodari.
Wiki chache zilizopita nimekuwa nikisikia na kuona kwenye televisheni eneo hili likihusika katika migogoro. Migogoro hiyo niliona ikisababisha vifo, majeraha, kupoteza mali mbalimbali, kupoteza ardhi kutokana na vita vilivyokuwa vikiendelea. Sina budi kuwaambia kuwa taifa halijengeki kwa vita kwani mhenga hakukosea aliposema mpiga ngumi ukuta huumizi mkonowe aidha mchimba kisima huingia mwenyewe.
Mimi kivyangu naona ili kumaliza vita eneo hili, serikali inafaa kugawia wananchi wa eneo hilo mashamba na kuwapa hatimiliki ya ardhi zao ili kupunguza mvutano wa wananchi kutokana na ardhi.
Mbinu ya pili ya kuimarisha usalama eneo hili, serikali ihakikishe ugawaji sawa wa rasilimali kwa wananchi ili kupunguza chuki baina ya watu walio na rasilimali nyingi na wale walio nayo chache.
Bila shaka serikali itenge siku ya wanachapakazi ili kuwaeleza umuhimu wa mshikamano na umoja baina ya matabaka ya juu na ya chini pia baina ya jamii zinazoishi mahali hapa kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, aidha kidole kimoja hakivunji chawa.
Ya nne serikali ihimize wanasiasa watumie lugha ya kuunganisha wananchi wa Chapakazi badala ya kuwatawanyisha wananchi na kusababisha chuki baina yao kwani akili ni nywele kila mtu anazake.
Pia naona kinachosababisha utengano hapa ni utofauti uliopo baina ya dini ya waislamu na wakristo. Hawa wanadini hawaheshimu mila za kila dini bila shaka kusababisha chuki baina yao. Serikali inafaa kuwahimiza wananchi hawa umuhimu wa kutangamana.
Hadi nyingi wananchi wa Chapakazi mjikaze katika kuimarisha usalama baina yenu. Kwa sababu mkiwa na usalama eneo hili mtaendelea kiuchumi si kuimarika kwa biashara, ukulima na bila shaka uhusiano wenu utaimarika. Asante kwa kuwa wasikivu na wavumilivu. Mungu awalinde, kwaherini.” | Vifo vilisababishwa na nini | {
"text": [
"migogoro"
]
} |
2529_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA NCHINI KUHUSU MBINU ZA KUIMARISHA USALAMA
“Wananchi wa eneo la Chapakazi hamjambo? Mimi ni waziri wa usalama nchini, leo nimeona niwatembelee kuwahimiza umuhimu wa usalama. Kwanza kabisa namshukuru Maulana kwa kutuwezesha kufika leo hii na pia kutuwezesha kukutana. Mimi naitwa Njoro Hodari.
Wiki chache zilizopita nimekuwa nikisikia na kuona kwenye televisheni eneo hili likihusika katika migogoro. Migogoro hiyo niliona ikisababisha vifo, majeraha, kupoteza mali mbalimbali, kupoteza ardhi kutokana na vita vilivyokuwa vikiendelea. Sina budi kuwaambia kuwa taifa halijengeki kwa vita kwani mhenga hakukosea aliposema mpiga ngumi ukuta huumizi mkonowe aidha mchimba kisima huingia mwenyewe.
Mimi kivyangu naona ili kumaliza vita eneo hili, serikali inafaa kugawia wananchi wa eneo hilo mashamba na kuwapa hatimiliki ya ardhi zao ili kupunguza mvutano wa wananchi kutokana na ardhi.
Mbinu ya pili ya kuimarisha usalama eneo hili, serikali ihakikishe ugawaji sawa wa rasilimali kwa wananchi ili kupunguza chuki baina ya watu walio na rasilimali nyingi na wale walio nayo chache.
Bila shaka serikali itenge siku ya wanachapakazi ili kuwaeleza umuhimu wa mshikamano na umoja baina ya matabaka ya juu na ya chini pia baina ya jamii zinazoishi mahali hapa kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, aidha kidole kimoja hakivunji chawa.
Ya nne serikali ihimize wanasiasa watumie lugha ya kuunganisha wananchi wa Chapakazi badala ya kuwatawanyisha wananchi na kusababisha chuki baina yao kwani akili ni nywele kila mtu anazake.
Pia naona kinachosababisha utengano hapa ni utofauti uliopo baina ya dini ya waislamu na wakristo. Hawa wanadini hawaheshimu mila za kila dini bila shaka kusababisha chuki baina yao. Serikali inafaa kuwahimiza wananchi hawa umuhimu wa kutangamana.
Hadi nyingi wananchi wa Chapakazi mjikaze katika kuimarisha usalama baina yenu. Kwa sababu mkiwa na usalama eneo hili mtaendelea kiuchumi si kuimarika kwa biashara, ukulima na bila shaka uhusiano wenu utaimarika. Asante kwa kuwa wasikivu na wavumilivu. Mungu awalinde, kwaherini.” | Umoja ni nguvu, utengano ni nini | {
"text": [
"udhaifu"
]
} |
2529_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA NCHINI KUHUSU MBINU ZA KUIMARISHA USALAMA
“Wananchi wa eneo la Chapakazi hamjambo? Mimi ni waziri wa usalama nchini, leo nimeona niwatembelee kuwahimiza umuhimu wa usalama. Kwanza kabisa namshukuru Maulana kwa kutuwezesha kufika leo hii na pia kutuwezesha kukutana. Mimi naitwa Njoro Hodari.
Wiki chache zilizopita nimekuwa nikisikia na kuona kwenye televisheni eneo hili likihusika katika migogoro. Migogoro hiyo niliona ikisababisha vifo, majeraha, kupoteza mali mbalimbali, kupoteza ardhi kutokana na vita vilivyokuwa vikiendelea. Sina budi kuwaambia kuwa taifa halijengeki kwa vita kwani mhenga hakukosea aliposema mpiga ngumi ukuta huumizi mkonowe aidha mchimba kisima huingia mwenyewe.
Mimi kivyangu naona ili kumaliza vita eneo hili, serikali inafaa kugawia wananchi wa eneo hilo mashamba na kuwapa hatimiliki ya ardhi zao ili kupunguza mvutano wa wananchi kutokana na ardhi.
Mbinu ya pili ya kuimarisha usalama eneo hili, serikali ihakikishe ugawaji sawa wa rasilimali kwa wananchi ili kupunguza chuki baina ya watu walio na rasilimali nyingi na wale walio nayo chache.
Bila shaka serikali itenge siku ya wanachapakazi ili kuwaeleza umuhimu wa mshikamano na umoja baina ya matabaka ya juu na ya chini pia baina ya jamii zinazoishi mahali hapa kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, aidha kidole kimoja hakivunji chawa.
Ya nne serikali ihimize wanasiasa watumie lugha ya kuunganisha wananchi wa Chapakazi badala ya kuwatawanyisha wananchi na kusababisha chuki baina yao kwani akili ni nywele kila mtu anazake.
Pia naona kinachosababisha utengano hapa ni utofauti uliopo baina ya dini ya waislamu na wakristo. Hawa wanadini hawaheshimu mila za kila dini bila shaka kusababisha chuki baina yao. Serikali inafaa kuwahimiza wananchi hawa umuhimu wa kutangamana.
Hadi nyingi wananchi wa Chapakazi mjikaze katika kuimarisha usalama baina yenu. Kwa sababu mkiwa na usalama eneo hili mtaendelea kiuchumi si kuimarika kwa biashara, ukulima na bila shaka uhusiano wenu utaimarika. Asante kwa kuwa wasikivu na wavumilivu. Mungu awalinde, kwaherini.” | serikali inafaa kuwahimiza wananchi umuhimu wa nini | {
"text": [
"kutangamana"
]
} |
2529_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA NCHINI KUHUSU MBINU ZA KUIMARISHA USALAMA
“Wananchi wa eneo la Chapakazi hamjambo? Mimi ni waziri wa usalama nchini, leo nimeona niwatembelee kuwahimiza umuhimu wa usalama. Kwanza kabisa namshukuru Maulana kwa kutuwezesha kufika leo hii na pia kutuwezesha kukutana. Mimi naitwa Njoro Hodari.
Wiki chache zilizopita nimekuwa nikisikia na kuona kwenye televisheni eneo hili likihusika katika migogoro. Migogoro hiyo niliona ikisababisha vifo, majeraha, kupoteza mali mbalimbali, kupoteza ardhi kutokana na vita vilivyokuwa vikiendelea. Sina budi kuwaambia kuwa taifa halijengeki kwa vita kwani mhenga hakukosea aliposema mpiga ngumi ukuta huumizi mkonowe aidha mchimba kisima huingia mwenyewe.
Mimi kivyangu naona ili kumaliza vita eneo hili, serikali inafaa kugawia wananchi wa eneo hilo mashamba na kuwapa hatimiliki ya ardhi zao ili kupunguza mvutano wa wananchi kutokana na ardhi.
Mbinu ya pili ya kuimarisha usalama eneo hili, serikali ihakikishe ugawaji sawa wa rasilimali kwa wananchi ili kupunguza chuki baina ya watu walio na rasilimali nyingi na wale walio nayo chache.
Bila shaka serikali itenge siku ya wanachapakazi ili kuwaeleza umuhimu wa mshikamano na umoja baina ya matabaka ya juu na ya chini pia baina ya jamii zinazoishi mahali hapa kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, aidha kidole kimoja hakivunji chawa.
Ya nne serikali ihimize wanasiasa watumie lugha ya kuunganisha wananchi wa Chapakazi badala ya kuwatawanyisha wananchi na kusababisha chuki baina yao kwani akili ni nywele kila mtu anazake.
Pia naona kinachosababisha utengano hapa ni utofauti uliopo baina ya dini ya waislamu na wakristo. Hawa wanadini hawaheshimu mila za kila dini bila shaka kusababisha chuki baina yao. Serikali inafaa kuwahimiza wananchi hawa umuhimu wa kutangamana.
Hadi nyingi wananchi wa Chapakazi mjikaze katika kuimarisha usalama baina yenu. Kwa sababu mkiwa na usalama eneo hili mtaendelea kiuchumi si kuimarika kwa biashara, ukulima na bila shaka uhusiano wenu utaimarika. Asante kwa kuwa wasikivu na wavumilivu. Mungu awalinde, kwaherini.” | Mimi naitwa nani | {
"text": [
"Njoro Hodari"
]
} |
2529_swa | HOTUBA YA WAZIRI WA USALAMA NCHINI KUHUSU MBINU ZA KUIMARISHA USALAMA
“Wananchi wa eneo la Chapakazi hamjambo? Mimi ni waziri wa usalama nchini, leo nimeona niwatembelee kuwahimiza umuhimu wa usalama. Kwanza kabisa namshukuru Maulana kwa kutuwezesha kufika leo hii na pia kutuwezesha kukutana. Mimi naitwa Njoro Hodari.
Wiki chache zilizopita nimekuwa nikisikia na kuona kwenye televisheni eneo hili likihusika katika migogoro. Migogoro hiyo niliona ikisababisha vifo, majeraha, kupoteza mali mbalimbali, kupoteza ardhi kutokana na vita vilivyokuwa vikiendelea. Sina budi kuwaambia kuwa taifa halijengeki kwa vita kwani mhenga hakukosea aliposema mpiga ngumi ukuta huumizi mkonowe aidha mchimba kisima huingia mwenyewe.
Mimi kivyangu naona ili kumaliza vita eneo hili, serikali inafaa kugawia wananchi wa eneo hilo mashamba na kuwapa hatimiliki ya ardhi zao ili kupunguza mvutano wa wananchi kutokana na ardhi.
Mbinu ya pili ya kuimarisha usalama eneo hili, serikali ihakikishe ugawaji sawa wa rasilimali kwa wananchi ili kupunguza chuki baina ya watu walio na rasilimali nyingi na wale walio nayo chache.
Bila shaka serikali itenge siku ya wanachapakazi ili kuwaeleza umuhimu wa mshikamano na umoja baina ya matabaka ya juu na ya chini pia baina ya jamii zinazoishi mahali hapa kwani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, aidha kidole kimoja hakivunji chawa.
Ya nne serikali ihimize wanasiasa watumie lugha ya kuunganisha wananchi wa Chapakazi badala ya kuwatawanyisha wananchi na kusababisha chuki baina yao kwani akili ni nywele kila mtu anazake.
Pia naona kinachosababisha utengano hapa ni utofauti uliopo baina ya dini ya waislamu na wakristo. Hawa wanadini hawaheshimu mila za kila dini bila shaka kusababisha chuki baina yao. Serikali inafaa kuwahimiza wananchi hawa umuhimu wa kutangamana.
Hadi nyingi wananchi wa Chapakazi mjikaze katika kuimarisha usalama baina yenu. Kwa sababu mkiwa na usalama eneo hili mtaendelea kiuchumi si kuimarika kwa biashara, ukulima na bila shaka uhusiano wenu utaimarika. Asante kwa kuwa wasikivu na wavumilivu. Mungu awalinde, kwaherini.” | Kwa nini serikali ihakikishe ugawaji sawa wa rasilmali | {
"text": [
"ili kupunguza chuki baina ya watu walio na rasilmali nyingi na wale walio na chache"
]
} |
2530_swa | JINSI YA KUIMARISHA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zimehanikiza sehemu ya Afrika Mashariki. Ni lugha ambayo inatambulika vyema wapo mtu atafuata zile kanuni za lugha na kuzungumza kiswahili chake vyema. Kiswahili kinaweza kuimarishwa kupitia njia zifuatazo ili kiweze kudumu zaidi na kuendelea.
Moja, vipindi vya kufunza Kiswahili katika vyuo vya Kenya viweze kuongezwa. Vipindi hivi vikiongezwa basi wanafunzi watapata muda mwingi wa kusoma Kiswahili wakifunzwa na walimu na wataweza kuelewa vyema zaidi hivyo kukuza lugha hii ya Kiswahili. Walimu watapata pia fursa ya kuwaelimisha wanafunzi zaidi kwa kuwa muda utakuwepo.
Pili, wakati wa sherehe za kitaifa kama vile Mashujaa, Kiswahili kiweze kuzungumzwa siku hiyo yote ili tuweze kukienzi na kukiendeleza. Viongozi wetu wakiongoza hafla kama hizi na waweze kuzungumza Kiswahili ambacho ni sanifu, basi wakazi wataweza kujifunza kutokana nao hivyo kuimarisha Kiswahili.
Tatu, walimu wa Kiswahili na fasihi waweze kuongozwa ili wawe wengi. Vyuo vikuu vitoe au kuelimisha walimu wengi wa Kiswahili. Walimu wa Kiswahili wakiwa kwa wingi, basi shule zote nchini zitaweza kupata fursa au nafasi sawa katika kufunza lugha ya Kiswahili. Wanafunzi hawatakosa mwalimu wa kuwafunza hivyo watafunzwa na Kiswahili kitakuzwa.
Nne, Biashara kufadhiliwa kutoka nchi moja hadi nyingine hasa zile nchi ambazo zinazungumza na zile ambazo hazifahamu Kiswahili. Watu wa nchi moja wanaposafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kwa shughuli za kibiashara wanaweza kufunza wale wengine ambao hawafahamu kuzungumza Kiswahili vyema. Mfano mtu mmoja akitoka Kenya aelekee kule Kongo ambako hawaelewi au kuzungumza Kiswahili vizuri basi mja huyu anaweza kuwafunza au kuwasaidia wale ambao hawazungumzi kiswahili vyema.
Tano, kupitia kwa hafla za michezo, watu wanaweza kutangamana na kupunguza kwa maana mawasiliano yao yakiwa kwa lugha ya Kiswahili basi shughuli hizi zitasaidia watu kujifunza moja au mbili kutokana na Kiswahili kinachozungumzwa. Hafla kama hizi iruhusiwe tu lugha ya Kiswahili kuzungumzwa.
Sita, maktaba yaongezwe nakala za Kiswahili ili kusoma na kufanya utafiti wa Kiswahili uweze kurahisishwa. Vitabu vikiongezwa makala ya Kiswahili basi utambuzi wa kukisoma na kutambua misamiati mingi ya kiswahili hivyo kuimarisha Kiswahili.
Saba, wahariri wa vitabu na waandishi wa vitabu waweze kutuzwa wanapotua au kuandika baadhi ya vitabu vya Kiswahili. Hili itaimarisha Kiswahili kwa kuwa kila moja atakuwa na hata ari ya kufahamu kiswahili ili aweze kutuzwa pia naye hivyo bali Kiswahili kimarishwe.
Nane, kupitia katika vipindi vya televisheni, vipindi ambavyo vinaonyeshwa kwenye runinga vinaweza kupitisha ujumbe wa kuwaelimisha watu lugha ya Kiswahili kama vile michezo ya kuigiza kwenye runinga iweze kufanywa kwa lugha ya Kiswahili. Watu wengi wanaweza kusikiliza na kutazama hayo kuimarisha Kiswahili chao. | Kiswahili kinazungumzwa sehemu gani ya Afrika? | {
"text": [
"Mashariki"
]
} |
2530_swa | JINSI YA KUIMARISHA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zimehanikiza sehemu ya Afrika Mashariki. Ni lugha ambayo inatambulika vyema wapo mtu atafuata zile kanuni za lugha na kuzungumza kiswahili chake vyema. Kiswahili kinaweza kuimarishwa kupitia njia zifuatazo ili kiweze kudumu zaidi na kuendelea.
Moja, vipindi vya kufunza Kiswahili katika vyuo vya Kenya viweze kuongezwa. Vipindi hivi vikiongezwa basi wanafunzi watapata muda mwingi wa kusoma Kiswahili wakifunzwa na walimu na wataweza kuelewa vyema zaidi hivyo kukuza lugha hii ya Kiswahili. Walimu watapata pia fursa ya kuwaelimisha wanafunzi zaidi kwa kuwa muda utakuwepo.
Pili, wakati wa sherehe za kitaifa kama vile Mashujaa, Kiswahili kiweze kuzungumzwa siku hiyo yote ili tuweze kukienzi na kukiendeleza. Viongozi wetu wakiongoza hafla kama hizi na waweze kuzungumza Kiswahili ambacho ni sanifu, basi wakazi wataweza kujifunza kutokana nao hivyo kuimarisha Kiswahili.
Tatu, walimu wa Kiswahili na fasihi waweze kuongozwa ili wawe wengi. Vyuo vikuu vitoe au kuelimisha walimu wengi wa Kiswahili. Walimu wa Kiswahili wakiwa kwa wingi, basi shule zote nchini zitaweza kupata fursa au nafasi sawa katika kufunza lugha ya Kiswahili. Wanafunzi hawatakosa mwalimu wa kuwafunza hivyo watafunzwa na Kiswahili kitakuzwa.
Nne, Biashara kufadhiliwa kutoka nchi moja hadi nyingine hasa zile nchi ambazo zinazungumza na zile ambazo hazifahamu Kiswahili. Watu wa nchi moja wanaposafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kwa shughuli za kibiashara wanaweza kufunza wale wengine ambao hawafahamu kuzungumza Kiswahili vyema. Mfano mtu mmoja akitoka Kenya aelekee kule Kongo ambako hawaelewi au kuzungumza Kiswahili vizuri basi mja huyu anaweza kuwafunza au kuwasaidia wale ambao hawazungumzi kiswahili vyema.
Tano, kupitia kwa hafla za michezo, watu wanaweza kutangamana na kupunguza kwa maana mawasiliano yao yakiwa kwa lugha ya Kiswahili basi shughuli hizi zitasaidia watu kujifunza moja au mbili kutokana na Kiswahili kinachozungumzwa. Hafla kama hizi iruhusiwe tu lugha ya Kiswahili kuzungumzwa.
Sita, maktaba yaongezwe nakala za Kiswahili ili kusoma na kufanya utafiti wa Kiswahili uweze kurahisishwa. Vitabu vikiongezwa makala ya Kiswahili basi utambuzi wa kukisoma na kutambua misamiati mingi ya kiswahili hivyo kuimarisha Kiswahili.
Saba, wahariri wa vitabu na waandishi wa vitabu waweze kutuzwa wanapotua au kuandika baadhi ya vitabu vya Kiswahili. Hili itaimarisha Kiswahili kwa kuwa kila moja atakuwa na hata ari ya kufahamu kiswahili ili aweze kutuzwa pia naye hivyo bali Kiswahili kimarishwe.
Nane, kupitia katika vipindi vya televisheni, vipindi ambavyo vinaonyeshwa kwenye runinga vinaweza kupitisha ujumbe wa kuwaelimisha watu lugha ya Kiswahili kama vile michezo ya kuigiza kwenye runinga iweze kufanywa kwa lugha ya Kiswahili. Watu wengi wanaweza kusikiliza na kutazama hayo kuimarisha Kiswahili chao. | Vipindi vya kusoma Kiswahili vinafaa kuongezewa nini? | {
"text": [
"Muda"
]
} |
2530_swa | JINSI YA KUIMARISHA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zimehanikiza sehemu ya Afrika Mashariki. Ni lugha ambayo inatambulika vyema wapo mtu atafuata zile kanuni za lugha na kuzungumza kiswahili chake vyema. Kiswahili kinaweza kuimarishwa kupitia njia zifuatazo ili kiweze kudumu zaidi na kuendelea.
Moja, vipindi vya kufunza Kiswahili katika vyuo vya Kenya viweze kuongezwa. Vipindi hivi vikiongezwa basi wanafunzi watapata muda mwingi wa kusoma Kiswahili wakifunzwa na walimu na wataweza kuelewa vyema zaidi hivyo kukuza lugha hii ya Kiswahili. Walimu watapata pia fursa ya kuwaelimisha wanafunzi zaidi kwa kuwa muda utakuwepo.
Pili, wakati wa sherehe za kitaifa kama vile Mashujaa, Kiswahili kiweze kuzungumzwa siku hiyo yote ili tuweze kukienzi na kukiendeleza. Viongozi wetu wakiongoza hafla kama hizi na waweze kuzungumza Kiswahili ambacho ni sanifu, basi wakazi wataweza kujifunza kutokana nao hivyo kuimarisha Kiswahili.
Tatu, walimu wa Kiswahili na fasihi waweze kuongozwa ili wawe wengi. Vyuo vikuu vitoe au kuelimisha walimu wengi wa Kiswahili. Walimu wa Kiswahili wakiwa kwa wingi, basi shule zote nchini zitaweza kupata fursa au nafasi sawa katika kufunza lugha ya Kiswahili. Wanafunzi hawatakosa mwalimu wa kuwafunza hivyo watafunzwa na Kiswahili kitakuzwa.
Nne, Biashara kufadhiliwa kutoka nchi moja hadi nyingine hasa zile nchi ambazo zinazungumza na zile ambazo hazifahamu Kiswahili. Watu wa nchi moja wanaposafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kwa shughuli za kibiashara wanaweza kufunza wale wengine ambao hawafahamu kuzungumza Kiswahili vyema. Mfano mtu mmoja akitoka Kenya aelekee kule Kongo ambako hawaelewi au kuzungumza Kiswahili vizuri basi mja huyu anaweza kuwafunza au kuwasaidia wale ambao hawazungumzi kiswahili vyema.
Tano, kupitia kwa hafla za michezo, watu wanaweza kutangamana na kupunguza kwa maana mawasiliano yao yakiwa kwa lugha ya Kiswahili basi shughuli hizi zitasaidia watu kujifunza moja au mbili kutokana na Kiswahili kinachozungumzwa. Hafla kama hizi iruhusiwe tu lugha ya Kiswahili kuzungumzwa.
Sita, maktaba yaongezwe nakala za Kiswahili ili kusoma na kufanya utafiti wa Kiswahili uweze kurahisishwa. Vitabu vikiongezwa makala ya Kiswahili basi utambuzi wa kukisoma na kutambua misamiati mingi ya kiswahili hivyo kuimarisha Kiswahili.
Saba, wahariri wa vitabu na waandishi wa vitabu waweze kutuzwa wanapotua au kuandika baadhi ya vitabu vya Kiswahili. Hili itaimarisha Kiswahili kwa kuwa kila moja atakuwa na hata ari ya kufahamu kiswahili ili aweze kutuzwa pia naye hivyo bali Kiswahili kimarishwe.
Nane, kupitia katika vipindi vya televisheni, vipindi ambavyo vinaonyeshwa kwenye runinga vinaweza kupitisha ujumbe wa kuwaelimisha watu lugha ya Kiswahili kama vile michezo ya kuigiza kwenye runinga iweze kufanywa kwa lugha ya Kiswahili. Watu wengi wanaweza kusikiliza na kutazama hayo kuimarisha Kiswahili chao. | Watu wagani wanafaa kuzungumza Kiswahili wakati wa sherehr za kitaifa? | {
"text": [
"Viongozi"
]
} |
2530_swa | JINSI YA KUIMARISHA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zimehanikiza sehemu ya Afrika Mashariki. Ni lugha ambayo inatambulika vyema wapo mtu atafuata zile kanuni za lugha na kuzungumza kiswahili chake vyema. Kiswahili kinaweza kuimarishwa kupitia njia zifuatazo ili kiweze kudumu zaidi na kuendelea.
Moja, vipindi vya kufunza Kiswahili katika vyuo vya Kenya viweze kuongezwa. Vipindi hivi vikiongezwa basi wanafunzi watapata muda mwingi wa kusoma Kiswahili wakifunzwa na walimu na wataweza kuelewa vyema zaidi hivyo kukuza lugha hii ya Kiswahili. Walimu watapata pia fursa ya kuwaelimisha wanafunzi zaidi kwa kuwa muda utakuwepo.
Pili, wakati wa sherehe za kitaifa kama vile Mashujaa, Kiswahili kiweze kuzungumzwa siku hiyo yote ili tuweze kukienzi na kukiendeleza. Viongozi wetu wakiongoza hafla kama hizi na waweze kuzungumza Kiswahili ambacho ni sanifu, basi wakazi wataweza kujifunza kutokana nao hivyo kuimarisha Kiswahili.
Tatu, walimu wa Kiswahili na fasihi waweze kuongozwa ili wawe wengi. Vyuo vikuu vitoe au kuelimisha walimu wengi wa Kiswahili. Walimu wa Kiswahili wakiwa kwa wingi, basi shule zote nchini zitaweza kupata fursa au nafasi sawa katika kufunza lugha ya Kiswahili. Wanafunzi hawatakosa mwalimu wa kuwafunza hivyo watafunzwa na Kiswahili kitakuzwa.
Nne, Biashara kufadhiliwa kutoka nchi moja hadi nyingine hasa zile nchi ambazo zinazungumza na zile ambazo hazifahamu Kiswahili. Watu wa nchi moja wanaposafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kwa shughuli za kibiashara wanaweza kufunza wale wengine ambao hawafahamu kuzungumza Kiswahili vyema. Mfano mtu mmoja akitoka Kenya aelekee kule Kongo ambako hawaelewi au kuzungumza Kiswahili vizuri basi mja huyu anaweza kuwafunza au kuwasaidia wale ambao hawazungumzi kiswahili vyema.
Tano, kupitia kwa hafla za michezo, watu wanaweza kutangamana na kupunguza kwa maana mawasiliano yao yakiwa kwa lugha ya Kiswahili basi shughuli hizi zitasaidia watu kujifunza moja au mbili kutokana na Kiswahili kinachozungumzwa. Hafla kama hizi iruhusiwe tu lugha ya Kiswahili kuzungumzwa.
Sita, maktaba yaongezwe nakala za Kiswahili ili kusoma na kufanya utafiti wa Kiswahili uweze kurahisishwa. Vitabu vikiongezwa makala ya Kiswahili basi utambuzi wa kukisoma na kutambua misamiati mingi ya kiswahili hivyo kuimarisha Kiswahili.
Saba, wahariri wa vitabu na waandishi wa vitabu waweze kutuzwa wanapotua au kuandika baadhi ya vitabu vya Kiswahili. Hili itaimarisha Kiswahili kwa kuwa kila moja atakuwa na hata ari ya kufahamu kiswahili ili aweze kutuzwa pia naye hivyo bali Kiswahili kimarishwe.
Nane, kupitia katika vipindi vya televisheni, vipindi ambavyo vinaonyeshwa kwenye runinga vinaweza kupitisha ujumbe wa kuwaelimisha watu lugha ya Kiswahili kama vile michezo ya kuigiza kwenye runinga iweze kufanywa kwa lugha ya Kiswahili. Watu wengi wanaweza kusikiliza na kutazama hayo kuimarisha Kiswahili chao. | Nchi ipi ingine kinaanza kuzungumza Kiswahili? | {
"text": [
"Kongo"
]
} |
2530_swa | JINSI YA KUIMARISHA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zimehanikiza sehemu ya Afrika Mashariki. Ni lugha ambayo inatambulika vyema wapo mtu atafuata zile kanuni za lugha na kuzungumza kiswahili chake vyema. Kiswahili kinaweza kuimarishwa kupitia njia zifuatazo ili kiweze kudumu zaidi na kuendelea.
Moja, vipindi vya kufunza Kiswahili katika vyuo vya Kenya viweze kuongezwa. Vipindi hivi vikiongezwa basi wanafunzi watapata muda mwingi wa kusoma Kiswahili wakifunzwa na walimu na wataweza kuelewa vyema zaidi hivyo kukuza lugha hii ya Kiswahili. Walimu watapata pia fursa ya kuwaelimisha wanafunzi zaidi kwa kuwa muda utakuwepo.
Pili, wakati wa sherehe za kitaifa kama vile Mashujaa, Kiswahili kiweze kuzungumzwa siku hiyo yote ili tuweze kukienzi na kukiendeleza. Viongozi wetu wakiongoza hafla kama hizi na waweze kuzungumza Kiswahili ambacho ni sanifu, basi wakazi wataweza kujifunza kutokana nao hivyo kuimarisha Kiswahili.
Tatu, walimu wa Kiswahili na fasihi waweze kuongozwa ili wawe wengi. Vyuo vikuu vitoe au kuelimisha walimu wengi wa Kiswahili. Walimu wa Kiswahili wakiwa kwa wingi, basi shule zote nchini zitaweza kupata fursa au nafasi sawa katika kufunza lugha ya Kiswahili. Wanafunzi hawatakosa mwalimu wa kuwafunza hivyo watafunzwa na Kiswahili kitakuzwa.
Nne, Biashara kufadhiliwa kutoka nchi moja hadi nyingine hasa zile nchi ambazo zinazungumza na zile ambazo hazifahamu Kiswahili. Watu wa nchi moja wanaposafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kwa shughuli za kibiashara wanaweza kufunza wale wengine ambao hawafahamu kuzungumza Kiswahili vyema. Mfano mtu mmoja akitoka Kenya aelekee kule Kongo ambako hawaelewi au kuzungumza Kiswahili vizuri basi mja huyu anaweza kuwafunza au kuwasaidia wale ambao hawazungumzi kiswahili vyema.
Tano, kupitia kwa hafla za michezo, watu wanaweza kutangamana na kupunguza kwa maana mawasiliano yao yakiwa kwa lugha ya Kiswahili basi shughuli hizi zitasaidia watu kujifunza moja au mbili kutokana na Kiswahili kinachozungumzwa. Hafla kama hizi iruhusiwe tu lugha ya Kiswahili kuzungumzwa.
Sita, maktaba yaongezwe nakala za Kiswahili ili kusoma na kufanya utafiti wa Kiswahili uweze kurahisishwa. Vitabu vikiongezwa makala ya Kiswahili basi utambuzi wa kukisoma na kutambua misamiati mingi ya kiswahili hivyo kuimarisha Kiswahili.
Saba, wahariri wa vitabu na waandishi wa vitabu waweze kutuzwa wanapotua au kuandika baadhi ya vitabu vya Kiswahili. Hili itaimarisha Kiswahili kwa kuwa kila moja atakuwa na hata ari ya kufahamu kiswahili ili aweze kutuzwa pia naye hivyo bali Kiswahili kimarishwe.
Nane, kupitia katika vipindi vya televisheni, vipindi ambavyo vinaonyeshwa kwenye runinga vinaweza kupitisha ujumbe wa kuwaelimisha watu lugha ya Kiswahili kama vile michezo ya kuigiza kwenye runinga iweze kufanywa kwa lugha ya Kiswahili. Watu wengi wanaweza kusikiliza na kutazama hayo kuimarisha Kiswahili chao. | Vijana wanaweza kukuza Kiswahili kupitia njia ipi? | {
"text": [
"Michezo na sanaa mbalimbali"
]
} |
2531_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lugha inayotumiwa na watu wengi nchini Kenya na ulimwenguni. Imewekwa kama lugha ya taifa nchini Kenya na Tanzania. Ili kuimarisha lugha hii na kufanya isife, njia na mikakati inafaa kuwekwa ili kuikuza. Zifuatazo ni baadhi ya
njia zinazofaa kutiliwa maanani.
Kwanza wizara ya elimu katika nchi mbalimbali inafaa lihakikishe kuwa lugha ya Kiswahili inafunzwa kwa shule zote. Hili jambo litasaidia kuikuza maana watu wengi watajifunza lugha hiyo na kuitumia wakati ambapo wanawasiliana. Pia itafanya lugha ya Kiswahili kuenea maeneo mbalimbali nchini. Jambo hili litasaidia maana watu wengi na wanafunzi watajifunza kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili na hivyo itachangia kuimarisha lugha.
Wizara ya Elimu kuhakikisha kuwa shule zina walimu wa Kiswahili na wawe wakutosha. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana wanafunzi watapata fursa ya kujifunza jinsi ya kuongea kusoma na kuandika lugha. Walimu wa kiswahili wakipungua shuleni, itasababisha kufa kwa lugha ya Kiswahili maana wanafunzi hawata pata nafasi ya kujifunza lugha.
Vyama vya Kiswahili kuundwa shuleni na nchini ili kuimarisha lugha ya Kiswahili. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana vyama hivi vitatembea katika maeneo mbalimbali na kuwajulisha watu umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili na hilo litasababisha kuenea kwa lugha ya kiswahili katika nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali kote ulimwenguni. Lugha ya Kiswahili kutumiwa katika biashara. Hili jambo litapelekea kuenea kwa lugha ya Kiswahili maana wanabiashara wataitumia kama lugha ya biashara. Watu wa kabila na nchi mbalimbali wakitumia lugha hii kuendesha biashara itakuza lugha ya Kiswahili na kuifanya ienee maeneo mbalimbali.
Somo la Kiswahili liwe miongoni mwa masomo ambayo yanafunzwa vyuo. Kwa vile wanafunzi wa vyuo vikuu wanatoka maeneo mbalimbali na nchi zingine, kufunza kwa lugha ya Kiswahili kwa vyuo hivyo kutaimarisha lugha ambapo watu watajifunza mengi kuhusu lugha hiyo. Matumizi ya lugha ya mitaani kutupiliwa mbali maana lugha hiyo huchangia kufa kwa lugha ya Kiswahili kwa sababu watu wengi hutaka kutumia lugha hiyo kwa mawasiliano jambo ambalo linafisha lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo matumizi ya lugha ya mtaani yakitupiliwa mbali, itakuza na kuimarisha lugha ya Kiswahili.
Serikali kuhimiza matumizi ya lugha ya Kiswahili katika uandishi wa barua rasmi. Mtu anapo andika barua kwa Kampuni fulani ili apate kuajiriwa yafaa pia atumie lugha ya Kiswahili maana mara nyingi lugha ya Kiingereza ndio ndiyo inayotumika kwa hivyo waikitimiza matumizi ya lugha ya kiswahili katika uandishi wa barua rasmi itaimarisha lugha ya Kiswahili.
Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika bungeni na wakati mtu anapo hotubia jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana watu watakuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, lugha ya Kiswahili ni lugha bora na rahisi kuelewa. Kwa hivyo ni jukumu la kila mtu kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inaimarishwa kwa kutumiwa jinsi ipasavyo kwa mazungumzo na hata uandishi. | Nchi ipi inatambua Kiswahili kama lugha ya taifa? | {
"text": [
"Tanzania"
]
} |
2531_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lugha inayotumiwa na watu wengi nchini Kenya na ulimwenguni. Imewekwa kama lugha ya taifa nchini Kenya na Tanzania. Ili kuimarisha lugha hii na kufanya isife, njia na mikakati inafaa kuwekwa ili kuikuza. Zifuatazo ni baadhi ya
njia zinazofaa kutiliwa maanani.
Kwanza wizara ya elimu katika nchi mbalimbali inafaa lihakikishe kuwa lugha ya Kiswahili inafunzwa kwa shule zote. Hili jambo litasaidia kuikuza maana watu wengi watajifunza lugha hiyo na kuitumia wakati ambapo wanawasiliana. Pia itafanya lugha ya Kiswahili kuenea maeneo mbalimbali nchini. Jambo hili litasaidia maana watu wengi na wanafunzi watajifunza kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili na hivyo itachangia kuimarisha lugha.
Wizara ya Elimu kuhakikisha kuwa shule zina walimu wa Kiswahili na wawe wakutosha. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana wanafunzi watapata fursa ya kujifunza jinsi ya kuongea kusoma na kuandika lugha. Walimu wa kiswahili wakipungua shuleni, itasababisha kufa kwa lugha ya Kiswahili maana wanafunzi hawata pata nafasi ya kujifunza lugha.
Vyama vya Kiswahili kuundwa shuleni na nchini ili kuimarisha lugha ya Kiswahili. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana vyama hivi vitatembea katika maeneo mbalimbali na kuwajulisha watu umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili na hilo litasababisha kuenea kwa lugha ya kiswahili katika nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali kote ulimwenguni. Lugha ya Kiswahili kutumiwa katika biashara. Hili jambo litapelekea kuenea kwa lugha ya Kiswahili maana wanabiashara wataitumia kama lugha ya biashara. Watu wa kabila na nchi mbalimbali wakitumia lugha hii kuendesha biashara itakuza lugha ya Kiswahili na kuifanya ienee maeneo mbalimbali.
Somo la Kiswahili liwe miongoni mwa masomo ambayo yanafunzwa vyuo. Kwa vile wanafunzi wa vyuo vikuu wanatoka maeneo mbalimbali na nchi zingine, kufunza kwa lugha ya Kiswahili kwa vyuo hivyo kutaimarisha lugha ambapo watu watajifunza mengi kuhusu lugha hiyo. Matumizi ya lugha ya mitaani kutupiliwa mbali maana lugha hiyo huchangia kufa kwa lugha ya Kiswahili kwa sababu watu wengi hutaka kutumia lugha hiyo kwa mawasiliano jambo ambalo linafisha lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo matumizi ya lugha ya mtaani yakitupiliwa mbali, itakuza na kuimarisha lugha ya Kiswahili.
Serikali kuhimiza matumizi ya lugha ya Kiswahili katika uandishi wa barua rasmi. Mtu anapo andika barua kwa Kampuni fulani ili apate kuajiriwa yafaa pia atumie lugha ya Kiswahili maana mara nyingi lugha ya Kiingereza ndio ndiyo inayotumika kwa hivyo waikitimiza matumizi ya lugha ya kiswahili katika uandishi wa barua rasmi itaimarisha lugha ya Kiswahili.
Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika bungeni na wakati mtu anapo hotubia jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana watu watakuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, lugha ya Kiswahili ni lugha bora na rahisi kuelewa. Kwa hivyo ni jukumu la kila mtu kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inaimarishwa kwa kutumiwa jinsi ipasavyo kwa mazungumzo na hata uandishi. | Wizara ipi inashughulikia maswala ya kukuza lugha ya Kiswahili? | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
2531_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lugha inayotumiwa na watu wengi nchini Kenya na ulimwenguni. Imewekwa kama lugha ya taifa nchini Kenya na Tanzania. Ili kuimarisha lugha hii na kufanya isife, njia na mikakati inafaa kuwekwa ili kuikuza. Zifuatazo ni baadhi ya
njia zinazofaa kutiliwa maanani.
Kwanza wizara ya elimu katika nchi mbalimbali inafaa lihakikishe kuwa lugha ya Kiswahili inafunzwa kwa shule zote. Hili jambo litasaidia kuikuza maana watu wengi watajifunza lugha hiyo na kuitumia wakati ambapo wanawasiliana. Pia itafanya lugha ya Kiswahili kuenea maeneo mbalimbali nchini. Jambo hili litasaidia maana watu wengi na wanafunzi watajifunza kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili na hivyo itachangia kuimarisha lugha.
Wizara ya Elimu kuhakikisha kuwa shule zina walimu wa Kiswahili na wawe wakutosha. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana wanafunzi watapata fursa ya kujifunza jinsi ya kuongea kusoma na kuandika lugha. Walimu wa kiswahili wakipungua shuleni, itasababisha kufa kwa lugha ya Kiswahili maana wanafunzi hawata pata nafasi ya kujifunza lugha.
Vyama vya Kiswahili kuundwa shuleni na nchini ili kuimarisha lugha ya Kiswahili. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana vyama hivi vitatembea katika maeneo mbalimbali na kuwajulisha watu umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili na hilo litasababisha kuenea kwa lugha ya kiswahili katika nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali kote ulimwenguni. Lugha ya Kiswahili kutumiwa katika biashara. Hili jambo litapelekea kuenea kwa lugha ya Kiswahili maana wanabiashara wataitumia kama lugha ya biashara. Watu wa kabila na nchi mbalimbali wakitumia lugha hii kuendesha biashara itakuza lugha ya Kiswahili na kuifanya ienee maeneo mbalimbali.
Somo la Kiswahili liwe miongoni mwa masomo ambayo yanafunzwa vyuo. Kwa vile wanafunzi wa vyuo vikuu wanatoka maeneo mbalimbali na nchi zingine, kufunza kwa lugha ya Kiswahili kwa vyuo hivyo kutaimarisha lugha ambapo watu watajifunza mengi kuhusu lugha hiyo. Matumizi ya lugha ya mitaani kutupiliwa mbali maana lugha hiyo huchangia kufa kwa lugha ya Kiswahili kwa sababu watu wengi hutaka kutumia lugha hiyo kwa mawasiliano jambo ambalo linafisha lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo matumizi ya lugha ya mtaani yakitupiliwa mbali, itakuza na kuimarisha lugha ya Kiswahili.
Serikali kuhimiza matumizi ya lugha ya Kiswahili katika uandishi wa barua rasmi. Mtu anapo andika barua kwa Kampuni fulani ili apate kuajiriwa yafaa pia atumie lugha ya Kiswahili maana mara nyingi lugha ya Kiingereza ndio ndiyo inayotumika kwa hivyo waikitimiza matumizi ya lugha ya kiswahili katika uandishi wa barua rasmi itaimarisha lugha ya Kiswahili.
Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika bungeni na wakati mtu anapo hotubia jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana watu watakuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, lugha ya Kiswahili ni lugha bora na rahisi kuelewa. Kwa hivyo ni jukumu la kila mtu kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inaimarishwa kwa kutumiwa jinsi ipasavyo kwa mazungumzo na hata uandishi. | Kina nani hufunza Kiswahili shuleni? | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
2531_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lugha inayotumiwa na watu wengi nchini Kenya na ulimwenguni. Imewekwa kama lugha ya taifa nchini Kenya na Tanzania. Ili kuimarisha lugha hii na kufanya isife, njia na mikakati inafaa kuwekwa ili kuikuza. Zifuatazo ni baadhi ya
njia zinazofaa kutiliwa maanani.
Kwanza wizara ya elimu katika nchi mbalimbali inafaa lihakikishe kuwa lugha ya Kiswahili inafunzwa kwa shule zote. Hili jambo litasaidia kuikuza maana watu wengi watajifunza lugha hiyo na kuitumia wakati ambapo wanawasiliana. Pia itafanya lugha ya Kiswahili kuenea maeneo mbalimbali nchini. Jambo hili litasaidia maana watu wengi na wanafunzi watajifunza kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili na hivyo itachangia kuimarisha lugha.
Wizara ya Elimu kuhakikisha kuwa shule zina walimu wa Kiswahili na wawe wakutosha. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana wanafunzi watapata fursa ya kujifunza jinsi ya kuongea kusoma na kuandika lugha. Walimu wa kiswahili wakipungua shuleni, itasababisha kufa kwa lugha ya Kiswahili maana wanafunzi hawata pata nafasi ya kujifunza lugha.
Vyama vya Kiswahili kuundwa shuleni na nchini ili kuimarisha lugha ya Kiswahili. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana vyama hivi vitatembea katika maeneo mbalimbali na kuwajulisha watu umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili na hilo litasababisha kuenea kwa lugha ya kiswahili katika nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali kote ulimwenguni. Lugha ya Kiswahili kutumiwa katika biashara. Hili jambo litapelekea kuenea kwa lugha ya Kiswahili maana wanabiashara wataitumia kama lugha ya biashara. Watu wa kabila na nchi mbalimbali wakitumia lugha hii kuendesha biashara itakuza lugha ya Kiswahili na kuifanya ienee maeneo mbalimbali.
Somo la Kiswahili liwe miongoni mwa masomo ambayo yanafunzwa vyuo. Kwa vile wanafunzi wa vyuo vikuu wanatoka maeneo mbalimbali na nchi zingine, kufunza kwa lugha ya Kiswahili kwa vyuo hivyo kutaimarisha lugha ambapo watu watajifunza mengi kuhusu lugha hiyo. Matumizi ya lugha ya mitaani kutupiliwa mbali maana lugha hiyo huchangia kufa kwa lugha ya Kiswahili kwa sababu watu wengi hutaka kutumia lugha hiyo kwa mawasiliano jambo ambalo linafisha lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo matumizi ya lugha ya mtaani yakitupiliwa mbali, itakuza na kuimarisha lugha ya Kiswahili.
Serikali kuhimiza matumizi ya lugha ya Kiswahili katika uandishi wa barua rasmi. Mtu anapo andika barua kwa Kampuni fulani ili apate kuajiriwa yafaa pia atumie lugha ya Kiswahili maana mara nyingi lugha ya Kiingereza ndio ndiyo inayotumika kwa hivyo waikitimiza matumizi ya lugha ya kiswahili katika uandishi wa barua rasmi itaimarisha lugha ya Kiswahili.
Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika bungeni na wakati mtu anapo hotubia jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana watu watakuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, lugha ya Kiswahili ni lugha bora na rahisi kuelewa. Kwa hivyo ni jukumu la kila mtu kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inaimarishwa kwa kutumiwa jinsi ipasavyo kwa mazungumzo na hata uandishi. | Shule hukuza lugha ya Kiswahili kupitia njia ipi? | {
"text": [
"Vilabu"
]
} |
2531_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lugha inayotumiwa na watu wengi nchini Kenya na ulimwenguni. Imewekwa kama lugha ya taifa nchini Kenya na Tanzania. Ili kuimarisha lugha hii na kufanya isife, njia na mikakati inafaa kuwekwa ili kuikuza. Zifuatazo ni baadhi ya
njia zinazofaa kutiliwa maanani.
Kwanza wizara ya elimu katika nchi mbalimbali inafaa lihakikishe kuwa lugha ya Kiswahili inafunzwa kwa shule zote. Hili jambo litasaidia kuikuza maana watu wengi watajifunza lugha hiyo na kuitumia wakati ambapo wanawasiliana. Pia itafanya lugha ya Kiswahili kuenea maeneo mbalimbali nchini. Jambo hili litasaidia maana watu wengi na wanafunzi watajifunza kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili na hivyo itachangia kuimarisha lugha.
Wizara ya Elimu kuhakikisha kuwa shule zina walimu wa Kiswahili na wawe wakutosha. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana wanafunzi watapata fursa ya kujifunza jinsi ya kuongea kusoma na kuandika lugha. Walimu wa kiswahili wakipungua shuleni, itasababisha kufa kwa lugha ya Kiswahili maana wanafunzi hawata pata nafasi ya kujifunza lugha.
Vyama vya Kiswahili kuundwa shuleni na nchini ili kuimarisha lugha ya Kiswahili. Jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana vyama hivi vitatembea katika maeneo mbalimbali na kuwajulisha watu umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili na hilo litasababisha kuenea kwa lugha ya kiswahili katika nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali kote ulimwenguni. Lugha ya Kiswahili kutumiwa katika biashara. Hili jambo litapelekea kuenea kwa lugha ya Kiswahili maana wanabiashara wataitumia kama lugha ya biashara. Watu wa kabila na nchi mbalimbali wakitumia lugha hii kuendesha biashara itakuza lugha ya Kiswahili na kuifanya ienee maeneo mbalimbali.
Somo la Kiswahili liwe miongoni mwa masomo ambayo yanafunzwa vyuo. Kwa vile wanafunzi wa vyuo vikuu wanatoka maeneo mbalimbali na nchi zingine, kufunza kwa lugha ya Kiswahili kwa vyuo hivyo kutaimarisha lugha ambapo watu watajifunza mengi kuhusu lugha hiyo. Matumizi ya lugha ya mitaani kutupiliwa mbali maana lugha hiyo huchangia kufa kwa lugha ya Kiswahili kwa sababu watu wengi hutaka kutumia lugha hiyo kwa mawasiliano jambo ambalo linafisha lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo matumizi ya lugha ya mtaani yakitupiliwa mbali, itakuza na kuimarisha lugha ya Kiswahili.
Serikali kuhimiza matumizi ya lugha ya Kiswahili katika uandishi wa barua rasmi. Mtu anapo andika barua kwa Kampuni fulani ili apate kuajiriwa yafaa pia atumie lugha ya Kiswahili maana mara nyingi lugha ya Kiingereza ndio ndiyo inayotumika kwa hivyo waikitimiza matumizi ya lugha ya kiswahili katika uandishi wa barua rasmi itaimarisha lugha ya Kiswahili.
Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika bungeni na wakati mtu anapo hotubia jambo hili litaimarisha lugha ya Kiswahili maana watu watakuwa na uzoefu wa kutumia lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, lugha ya Kiswahili ni lugha bora na rahisi kuelewa. Kwa hivyo ni jukumu la kila mtu kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inaimarishwa kwa kutumiwa jinsi ipasavyo kwa mazungumzo na hata uandishi. | Sekta ipi inaweza saidia kuimarika kwa Kiswahili? | {
"text": [
"Biashara wakati wa ubadilishanaji wa bidhaa"
]
} |
2532_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU BONFACE NA MWANAFUNZI DONBELL KUHUSU NJIA ZA KUIMARISHA MATOKEO SHULENI
(Mwalimu mkuu Bwana Bonface Wakhungu yumo ndani ya ofisi saa tatu unusu asubuhi. Anachukua simu yake ya mkononi kisha kumpigia katibu wake. Punde si punde mlango unabishwa baada ya muda usiokuwa mrefu. Kumbe katibu alikuwa amemkubalisha mwanafunzi kuingia ili wawere kuonana na mwalimu mkuu)
Mwalimu Mkuu : Karibu ndani (Ananena huku akiangalia mkononi mwake ili aisome saa yake) Mwanafunzi: Asante sana mwalimu. (huku akiinama kuonyesha heshima) Nilipata habari kuwa ulikuwa unataka mazungumzo nami kuhusu jinsi za kuimarisha matokeo bora shuleni. Ninafurahi sana kuwa hapa.
Mwalimu Mkuu : Naam, murwa kabisa. (Akimnyoshea mkono kumsalimia) Ninaona uketi chini ili tuanze kilichotuleta hapa.
Mwanafunzi : Asante. (akiketi kwa taratibu) Naam, kuna njia mbali mbali za kuboresha matokeo yetu na njia moja kulingana nami ni kuweza kuongeza muda wa madarasa ya jioni ili kuweza kuwapa walimu kadha wa kadha pamoja na wanafunzi kutimiza malengo yao kimaisha na kimasomo. Kulingana na shule yetu inapofika saa tatu unusu wanafunzi wote huwa wanayaacha madarasa yao nakuelekea kwenye bweni ilhali wanaporudi wanafukuzwa na walinzi warudi mabwenini.
Mwalimu Mkuu : Safi kabisa nami pia ninaonelea iwapo tunaweza kuanzisha mpango wa kuwa zawadi wanafunzi kama wewe wanaofanya mitihani yao vyema na kupita. Ninaona kama kufanya hivyo kutawapa wanafunzi motisha ya kufanya bidii masomoni.
Mwanafunzi : Pia hio ni mbinu mojawapo inayoweza kutiliwa mkazo. Na-a-a-a mwalimu vipi tukisema kuwa tuweze kutunga masomo fulani ili wanafunzi wa kidato cha 2mpaka 4 wawe wakiweza kwenda kwenye maktaba na kudurusu vitabu tofauti tofauti hivyo tutakuwa tunawapa fursa ya kufanya utafiti wakutosha hivyo basi matokeo yetu bilashaka yataimarika.
Mwalimu Mkuu : Naam nimekuskiza. Tunaweza pia kuweka ratiba za siku fulani kwa muhula uwe siku ya kiswahili na siku ya kizungu na masomo mengine ili kuruhusu kupata mafunzo zaidi juu ya masomo hayo.
Mwanafunzi : Maoni yangu pia nilionelea kuwa tunaweza mara kwa mara kuleta na kuweka kwa mpango vitu kama mitihani ya dharura mara kwa mara hasa kwa wana kidato cha nne ili kuongeza kiwango chao cha kusoma na kuelewa mambo.
Mwalimu Mkuu : Asante sana, ninaona kwamba muda unatupa kisogo (Akisimama na kunyosha mkono wake ili kunisalimia kunipa kwaheri) Tutaweza kupatana tena siku nyingine baada ya mtihani wa ndani na kuzungumza mengi.
Mwanafunzi : (huku akiondoka) Asante sana mwalimu mkuu, siku njema. Nitapatikana iwapo utanihitaji.
Mwalimu Mkuu : Haya, sawa sawa, asante siku njema pia nawe. | Nani alikuwa ofisini wakati wa saa tatu unusu asubuhi | {
"text": [
"Mwalimu Mkuu"
]
} |
2532_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU BONFACE NA MWANAFUNZI DONBELL KUHUSU NJIA ZA KUIMARISHA MATOKEO SHULENI
(Mwalimu mkuu Bwana Bonface Wakhungu yumo ndani ya ofisi saa tatu unusu asubuhi. Anachukua simu yake ya mkononi kisha kumpigia katibu wake. Punde si punde mlango unabishwa baada ya muda usiokuwa mrefu. Kumbe katibu alikuwa amemkubalisha mwanafunzi kuingia ili wawere kuonana na mwalimu mkuu)
Mwalimu Mkuu : Karibu ndani (Ananena huku akiangalia mkononi mwake ili aisome saa yake) Mwanafunzi: Asante sana mwalimu. (huku akiinama kuonyesha heshima) Nilipata habari kuwa ulikuwa unataka mazungumzo nami kuhusu jinsi za kuimarisha matokeo bora shuleni. Ninafurahi sana kuwa hapa.
Mwalimu Mkuu : Naam, murwa kabisa. (Akimnyoshea mkono kumsalimia) Ninaona uketi chini ili tuanze kilichotuleta hapa.
Mwanafunzi : Asante. (akiketi kwa taratibu) Naam, kuna njia mbali mbali za kuboresha matokeo yetu na njia moja kulingana nami ni kuweza kuongeza muda wa madarasa ya jioni ili kuweza kuwapa walimu kadha wa kadha pamoja na wanafunzi kutimiza malengo yao kimaisha na kimasomo. Kulingana na shule yetu inapofika saa tatu unusu wanafunzi wote huwa wanayaacha madarasa yao nakuelekea kwenye bweni ilhali wanaporudi wanafukuzwa na walinzi warudi mabwenini.
Mwalimu Mkuu : Safi kabisa nami pia ninaonelea iwapo tunaweza kuanzisha mpango wa kuwa zawadi wanafunzi kama wewe wanaofanya mitihani yao vyema na kupita. Ninaona kama kufanya hivyo kutawapa wanafunzi motisha ya kufanya bidii masomoni.
Mwanafunzi : Pia hio ni mbinu mojawapo inayoweza kutiliwa mkazo. Na-a-a-a mwalimu vipi tukisema kuwa tuweze kutunga masomo fulani ili wanafunzi wa kidato cha 2mpaka 4 wawe wakiweza kwenda kwenye maktaba na kudurusu vitabu tofauti tofauti hivyo tutakuwa tunawapa fursa ya kufanya utafiti wakutosha hivyo basi matokeo yetu bilashaka yataimarika.
Mwalimu Mkuu : Naam nimekuskiza. Tunaweza pia kuweka ratiba za siku fulani kwa muhula uwe siku ya kiswahili na siku ya kizungu na masomo mengine ili kuruhusu kupata mafunzo zaidi juu ya masomo hayo.
Mwanafunzi : Maoni yangu pia nilionelea kuwa tunaweza mara kwa mara kuleta na kuweka kwa mpango vitu kama mitihani ya dharura mara kwa mara hasa kwa wana kidato cha nne ili kuongeza kiwango chao cha kusoma na kuelewa mambo.
Mwalimu Mkuu : Asante sana, ninaona kwamba muda unatupa kisogo (Akisimama na kunyosha mkono wake ili kunisalimia kunipa kwaheri) Tutaweza kupatana tena siku nyingine baada ya mtihani wa ndani na kuzungumza mengi.
Mwanafunzi : (huku akiondoka) Asante sana mwalimu mkuu, siku njema. Nitapatikana iwapo utanihitaji.
Mwalimu Mkuu : Haya, sawa sawa, asante siku njema pia nawe. | Alimpigia nani simu | {
"text": [
"Katibu wake"
]
} |
2532_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU BONFACE NA MWANAFUNZI DONBELL KUHUSU NJIA ZA KUIMARISHA MATOKEO SHULENI
(Mwalimu mkuu Bwana Bonface Wakhungu yumo ndani ya ofisi saa tatu unusu asubuhi. Anachukua simu yake ya mkononi kisha kumpigia katibu wake. Punde si punde mlango unabishwa baada ya muda usiokuwa mrefu. Kumbe katibu alikuwa amemkubalisha mwanafunzi kuingia ili wawere kuonana na mwalimu mkuu)
Mwalimu Mkuu : Karibu ndani (Ananena huku akiangalia mkononi mwake ili aisome saa yake) Mwanafunzi: Asante sana mwalimu. (huku akiinama kuonyesha heshima) Nilipata habari kuwa ulikuwa unataka mazungumzo nami kuhusu jinsi za kuimarisha matokeo bora shuleni. Ninafurahi sana kuwa hapa.
Mwalimu Mkuu : Naam, murwa kabisa. (Akimnyoshea mkono kumsalimia) Ninaona uketi chini ili tuanze kilichotuleta hapa.
Mwanafunzi : Asante. (akiketi kwa taratibu) Naam, kuna njia mbali mbali za kuboresha matokeo yetu na njia moja kulingana nami ni kuweza kuongeza muda wa madarasa ya jioni ili kuweza kuwapa walimu kadha wa kadha pamoja na wanafunzi kutimiza malengo yao kimaisha na kimasomo. Kulingana na shule yetu inapofika saa tatu unusu wanafunzi wote huwa wanayaacha madarasa yao nakuelekea kwenye bweni ilhali wanaporudi wanafukuzwa na walinzi warudi mabwenini.
Mwalimu Mkuu : Safi kabisa nami pia ninaonelea iwapo tunaweza kuanzisha mpango wa kuwa zawadi wanafunzi kama wewe wanaofanya mitihani yao vyema na kupita. Ninaona kama kufanya hivyo kutawapa wanafunzi motisha ya kufanya bidii masomoni.
Mwanafunzi : Pia hio ni mbinu mojawapo inayoweza kutiliwa mkazo. Na-a-a-a mwalimu vipi tukisema kuwa tuweze kutunga masomo fulani ili wanafunzi wa kidato cha 2mpaka 4 wawe wakiweza kwenda kwenye maktaba na kudurusu vitabu tofauti tofauti hivyo tutakuwa tunawapa fursa ya kufanya utafiti wakutosha hivyo basi matokeo yetu bilashaka yataimarika.
Mwalimu Mkuu : Naam nimekuskiza. Tunaweza pia kuweka ratiba za siku fulani kwa muhula uwe siku ya kiswahili na siku ya kizungu na masomo mengine ili kuruhusu kupata mafunzo zaidi juu ya masomo hayo.
Mwanafunzi : Maoni yangu pia nilionelea kuwa tunaweza mara kwa mara kuleta na kuweka kwa mpango vitu kama mitihani ya dharura mara kwa mara hasa kwa wana kidato cha nne ili kuongeza kiwango chao cha kusoma na kuelewa mambo.
Mwalimu Mkuu : Asante sana, ninaona kwamba muda unatupa kisogo (Akisimama na kunyosha mkono wake ili kunisalimia kunipa kwaheri) Tutaweza kupatana tena siku nyingine baada ya mtihani wa ndani na kuzungumza mengi.
Mwanafunzi : (huku akiondoka) Asante sana mwalimu mkuu, siku njema. Nitapatikana iwapo utanihitaji.
Mwalimu Mkuu : Haya, sawa sawa, asante siku njema pia nawe. | Katibu alikuwa amemkubalia nani kuingia ili aonane na mwalimu mkuu | {
"text": [
"Mwanafunzi"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.