Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2951_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Mbona aliingiza kitu ndani ya miili yao
{ "text": [ "ili wakiweza kutoroka itamwambia mahali wako" ] }
2951_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Waliingizwa kwenye gari lenye rangi gani
{ "text": [ "jeusi" ] }
2952_swa
MATOKEO YA MTIHANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwaza namna, siku ambayo ilifuata ingekuwa. Kwa kweli waganga na waganguzi hawakukosea waliponena “siku njema huonekana asubuhi”, Nilivyotoka kitandani moyo wangu ulidunda du du du . Nilishuka vidato vya ngazi.hadi sebuleni nilipompata mama ameketi kitini Alivyonio alijawa na furaha 'furifuri. Alikuwa akibonyeza runinga. Matokeo ya K.C.P.E yalikuwa yametoke. Tulisubiri kwa hamu na ghamu kungoja matokeo yangu niliposikia jina langu nilijawa na furaha riboribo. “Brianna Eboso alama mia nne thelathini na tatu Nilijibwaga chini na kutoa machozi. Machozi ya furaha yalinitiririka tiriri. Nina yangu alilia pamoja nami. Masinge Duni alama mia moja na moja. Niliposikia hilo jina nilishtuka kama mja aliyemwona Osama mwenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama.Rafiki yangu Masinge alikuwa msichana mwenye bidii sana. Saa zingine tulikuwa tukishinda katika mtihani. Alianza kutosikiliza walimu na akaanza kushuka masomoni. Kama angesoma kwa bidii, angefaulu kwa mitihani ilhali hakusoma. Kwa yale alilotenda, hayakumbuki vile alipokuwa akisoma, pale alipochawa alitenda unyama na akaona ni sawa. Mtenda Jakitendewa, anasema kaonewa. Wavyele wake walijaribu kumrekebisha lakini alikuwa bure bilashi. Aliungana na marafiki wake wengine na kazi yao ilikuwa kupiga ngumzo kwa maana masomo yalikuwa ya upuzi. Saa hi hana kazi wala bazi. Alikuwa akirandaranda ja kelbukoko aliyefukuzwa kwao. Juu ya hayo alikuwa na watoto sita waliomgojea kila siku wakitaka chakula. Matendo hurudi nyuma. Atendaye hurudiwa.Masinge aligeuka kuwa mtundu. Alibishana na wakubwa wake walipomwadhibu. Alisema kuwa hata asiposoma bado angefaulu. Kwa hivyo, aliketi sako kwa bako kwani shetani alikuwa akimwambia afanye hivyo vyote. Maisha yake yalienda shoro bin shoro. Kila siku alishikwa na wasiwasi kama mwasi aliyetokwa waasi wenye kisasi. Maji yakipwa humwagika mwa! Na katu yakimwagika hayazoleki. Hakusoma. Yeye alikuwa haanbiliki wala hasemezeki. Mimi niko katika shule ya Alliance Girls High school" Masinge hajulikani pahali alipoenda. Watoto wake pia hawajulikani kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea kusema Cha mkufuu mwanafuu ha akila hucha mwanafuu mwanafuu mkufuu hu akila ha.
Usiku wote sikupata hata lepe la nini
{ "text": [ "Usingizi" ] }
2952_swa
MATOKEO YA MTIHANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwaza namna, siku ambayo ilifuata ingekuwa. Kwa kweli waganga na waganguzi hawakukosea waliponena “siku njema huonekana asubuhi”, Nilivyotoka kitandani moyo wangu ulidunda du du du . Nilishuka vidato vya ngazi.hadi sebuleni nilipompata mama ameketi kitini Alivyonio alijawa na furaha 'furifuri. Alikuwa akibonyeza runinga. Matokeo ya K.C.P.E yalikuwa yametoke. Tulisubiri kwa hamu na ghamu kungoja matokeo yangu niliposikia jina langu nilijawa na furaha riboribo. “Brianna Eboso alama mia nne thelathini na tatu Nilijibwaga chini na kutoa machozi. Machozi ya furaha yalinitiririka tiriri. Nina yangu alilia pamoja nami. Masinge Duni alama mia moja na moja. Niliposikia hilo jina nilishtuka kama mja aliyemwona Osama mwenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama.Rafiki yangu Masinge alikuwa msichana mwenye bidii sana. Saa zingine tulikuwa tukishinda katika mtihani. Alianza kutosikiliza walimu na akaanza kushuka masomoni. Kama angesoma kwa bidii, angefaulu kwa mitihani ilhali hakusoma. Kwa yale alilotenda, hayakumbuki vile alipokuwa akisoma, pale alipochawa alitenda unyama na akaona ni sawa. Mtenda Jakitendewa, anasema kaonewa. Wavyele wake walijaribu kumrekebisha lakini alikuwa bure bilashi. Aliungana na marafiki wake wengine na kazi yao ilikuwa kupiga ngumzo kwa maana masomo yalikuwa ya upuzi. Saa hi hana kazi wala bazi. Alikuwa akirandaranda ja kelbukoko aliyefukuzwa kwao. Juu ya hayo alikuwa na watoto sita waliomgojea kila siku wakitaka chakula. Matendo hurudi nyuma. Atendaye hurudiwa.Masinge aligeuka kuwa mtundu. Alibishana na wakubwa wake walipomwadhibu. Alisema kuwa hata asiposoma bado angefaulu. Kwa hivyo, aliketi sako kwa bako kwani shetani alikuwa akimwambia afanye hivyo vyote. Maisha yake yalienda shoro bin shoro. Kila siku alishikwa na wasiwasi kama mwasi aliyetokwa waasi wenye kisasi. Maji yakipwa humwagika mwa! Na katu yakimwagika hayazoleki. Hakusoma. Yeye alikuwa haanbiliki wala hasemezeki. Mimi niko katika shule ya Alliance Girls High school" Masinge hajulikani pahali alipoenda. Watoto wake pia hawajulikani kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea kusema Cha mkufuu mwanafuu ha akila hucha mwanafuu mwanafuu mkufuu hu akila ha.
Siku njema huonekana lini
{ "text": [ "Asubuhi" ] }
2952_swa
MATOKEO YA MTIHANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwaza namna, siku ambayo ilifuata ingekuwa. Kwa kweli waganga na waganguzi hawakukosea waliponena “siku njema huonekana asubuhi”, Nilivyotoka kitandani moyo wangu ulidunda du du du . Nilishuka vidato vya ngazi.hadi sebuleni nilipompata mama ameketi kitini Alivyonio alijawa na furaha 'furifuri. Alikuwa akibonyeza runinga. Matokeo ya K.C.P.E yalikuwa yametoke. Tulisubiri kwa hamu na ghamu kungoja matokeo yangu niliposikia jina langu nilijawa na furaha riboribo. “Brianna Eboso alama mia nne thelathini na tatu Nilijibwaga chini na kutoa machozi. Machozi ya furaha yalinitiririka tiriri. Nina yangu alilia pamoja nami. Masinge Duni alama mia moja na moja. Niliposikia hilo jina nilishtuka kama mja aliyemwona Osama mwenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama.Rafiki yangu Masinge alikuwa msichana mwenye bidii sana. Saa zingine tulikuwa tukishinda katika mtihani. Alianza kutosikiliza walimu na akaanza kushuka masomoni. Kama angesoma kwa bidii, angefaulu kwa mitihani ilhali hakusoma. Kwa yale alilotenda, hayakumbuki vile alipokuwa akisoma, pale alipochawa alitenda unyama na akaona ni sawa. Mtenda Jakitendewa, anasema kaonewa. Wavyele wake walijaribu kumrekebisha lakini alikuwa bure bilashi. Aliungana na marafiki wake wengine na kazi yao ilikuwa kupiga ngumzo kwa maana masomo yalikuwa ya upuzi. Saa hi hana kazi wala bazi. Alikuwa akirandaranda ja kelbukoko aliyefukuzwa kwao. Juu ya hayo alikuwa na watoto sita waliomgojea kila siku wakitaka chakula. Matendo hurudi nyuma. Atendaye hurudiwa.Masinge aligeuka kuwa mtundu. Alibishana na wakubwa wake walipomwadhibu. Alisema kuwa hata asiposoma bado angefaulu. Kwa hivyo, aliketi sako kwa bako kwani shetani alikuwa akimwambia afanye hivyo vyote. Maisha yake yalienda shoro bin shoro. Kila siku alishikwa na wasiwasi kama mwasi aliyetokwa waasi wenye kisasi. Maji yakipwa humwagika mwa! Na katu yakimwagika hayazoleki. Hakusoma. Yeye alikuwa haanbiliki wala hasemezeki. Mimi niko katika shule ya Alliance Girls High school" Masinge hajulikani pahali alipoenda. Watoto wake pia hawajulikani kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea kusema Cha mkufuu mwanafuu ha akila hucha mwanafuu mwanafuu mkufuu hu akila ha.
Tulisubiri kwa hamu na nini
{ "text": [ "Ghamu" ] }
2952_swa
MATOKEO YA MTIHANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwaza namna, siku ambayo ilifuata ingekuwa. Kwa kweli waganga na waganguzi hawakukosea waliponena “siku njema huonekana asubuhi”, Nilivyotoka kitandani moyo wangu ulidunda du du du . Nilishuka vidato vya ngazi.hadi sebuleni nilipompata mama ameketi kitini Alivyonio alijawa na furaha 'furifuri. Alikuwa akibonyeza runinga. Matokeo ya K.C.P.E yalikuwa yametoke. Tulisubiri kwa hamu na ghamu kungoja matokeo yangu niliposikia jina langu nilijawa na furaha riboribo. “Brianna Eboso alama mia nne thelathini na tatu Nilijibwaga chini na kutoa machozi. Machozi ya furaha yalinitiririka tiriri. Nina yangu alilia pamoja nami. Masinge Duni alama mia moja na moja. Niliposikia hilo jina nilishtuka kama mja aliyemwona Osama mwenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama.Rafiki yangu Masinge alikuwa msichana mwenye bidii sana. Saa zingine tulikuwa tukishinda katika mtihani. Alianza kutosikiliza walimu na akaanza kushuka masomoni. Kama angesoma kwa bidii, angefaulu kwa mitihani ilhali hakusoma. Kwa yale alilotenda, hayakumbuki vile alipokuwa akisoma, pale alipochawa alitenda unyama na akaona ni sawa. Mtenda Jakitendewa, anasema kaonewa. Wavyele wake walijaribu kumrekebisha lakini alikuwa bure bilashi. Aliungana na marafiki wake wengine na kazi yao ilikuwa kupiga ngumzo kwa maana masomo yalikuwa ya upuzi. Saa hi hana kazi wala bazi. Alikuwa akirandaranda ja kelbukoko aliyefukuzwa kwao. Juu ya hayo alikuwa na watoto sita waliomgojea kila siku wakitaka chakula. Matendo hurudi nyuma. Atendaye hurudiwa.Masinge aligeuka kuwa mtundu. Alibishana na wakubwa wake walipomwadhibu. Alisema kuwa hata asiposoma bado angefaulu. Kwa hivyo, aliketi sako kwa bako kwani shetani alikuwa akimwambia afanye hivyo vyote. Maisha yake yalienda shoro bin shoro. Kila siku alishikwa na wasiwasi kama mwasi aliyetokwa waasi wenye kisasi. Maji yakipwa humwagika mwa! Na katu yakimwagika hayazoleki. Hakusoma. Yeye alikuwa haanbiliki wala hasemezeki. Mimi niko katika shule ya Alliance Girls High school" Masinge hajulikani pahali alipoenda. Watoto wake pia hawajulikani kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea kusema Cha mkufuu mwanafuu ha akila hucha mwanafuu mwanafuu mkufuu hu akila ha.
Nani alikuwa msichana mwenye bidii sana
{ "text": [ "Rafiki yangu Masinge" ] }
2952_swa
MATOKEO YA MTIHANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwaza namna, siku ambayo ilifuata ingekuwa. Kwa kweli waganga na waganguzi hawakukosea waliponena “siku njema huonekana asubuhi”, Nilivyotoka kitandani moyo wangu ulidunda du du du . Nilishuka vidato vya ngazi.hadi sebuleni nilipompata mama ameketi kitini Alivyonio alijawa na furaha 'furifuri. Alikuwa akibonyeza runinga. Matokeo ya K.C.P.E yalikuwa yametoke. Tulisubiri kwa hamu na ghamu kungoja matokeo yangu niliposikia jina langu nilijawa na furaha riboribo. “Brianna Eboso alama mia nne thelathini na tatu Nilijibwaga chini na kutoa machozi. Machozi ya furaha yalinitiririka tiriri. Nina yangu alilia pamoja nami. Masinge Duni alama mia moja na moja. Niliposikia hilo jina nilishtuka kama mja aliyemwona Osama mwenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama.Rafiki yangu Masinge alikuwa msichana mwenye bidii sana. Saa zingine tulikuwa tukishinda katika mtihani. Alianza kutosikiliza walimu na akaanza kushuka masomoni. Kama angesoma kwa bidii, angefaulu kwa mitihani ilhali hakusoma. Kwa yale alilotenda, hayakumbuki vile alipokuwa akisoma, pale alipochawa alitenda unyama na akaona ni sawa. Mtenda Jakitendewa, anasema kaonewa. Wavyele wake walijaribu kumrekebisha lakini alikuwa bure bilashi. Aliungana na marafiki wake wengine na kazi yao ilikuwa kupiga ngumzo kwa maana masomo yalikuwa ya upuzi. Saa hi hana kazi wala bazi. Alikuwa akirandaranda ja kelbukoko aliyefukuzwa kwao. Juu ya hayo alikuwa na watoto sita waliomgojea kila siku wakitaka chakula. Matendo hurudi nyuma. Atendaye hurudiwa.Masinge aligeuka kuwa mtundu. Alibishana na wakubwa wake walipomwadhibu. Alisema kuwa hata asiposoma bado angefaulu. Kwa hivyo, aliketi sako kwa bako kwani shetani alikuwa akimwambia afanye hivyo vyote. Maisha yake yalienda shoro bin shoro. Kila siku alishikwa na wasiwasi kama mwasi aliyetokwa waasi wenye kisasi. Maji yakipwa humwagika mwa! Na katu yakimwagika hayazoleki. Hakusoma. Yeye alikuwa haanbiliki wala hasemezeki. Mimi niko katika shule ya Alliance Girls High school" Masinge hajulikani pahali alipoenda. Watoto wake pia hawajulikani kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea kusema Cha mkufuu mwanafuu ha akila hucha mwanafuu mwanafuu mkufuu hu akila ha.
Mtenda akitendewa anasema nini
{ "text": [ "Kaonewa" ] }
2953_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi - Niliwaza nakuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa mapambano na mwalimu wa hesabati na kiswahili Sikua nimemaliza maswali waliotupea, nilitetemeka kwenye kitanda na pia siku beba vitabu vya hesabati wala vya Kiswahili.Asubuhi ilifika na nikaabiri basi la shule. Basi lilifika kwa haraka sana. Nilipotembea kuelekea darasani nikakuta mwalimu wa hesabati na akaniuliza “Je umefanua hesabati yangu?" Nikajibu kwa haraka “Naam!” Nikafika darasani na kuduwaa mwalimu wa kiswahili alipo. Jasho jembamba lilianza kunitiririka tiririri. Bila hata kuketi kwenye kiti, Niliweka mkoba kwenye nyuma ya kiti na kusumbuka kupata kitabu. Mbele ya hata nipate kitabu, mwalimu wa hesabati aliingia nakuuliza vilabu vya hesabati. Wakati mwalimu alikuwa anachukua vitabu, nikauliza sahnibu wangu “umemaliza maswali ya hesabati?” Akanijibu “Lazima unakumbuka wakati sikumaliza na niliodhibiwa na mwalimu na hapo uligunduwa 'Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mwalimu alirejesha vitabu na kwenda ofisini nilitetemeka teteme kwani unga unauzito kuliko maji, ilikuwa wakati wa kiswahili na mwalimu akasema “Kama ulifanya kazi yangu simama na kama hukufanua kazi yangu keti chini? Nilifanya kusimama tena Mwalimu alisema “Peana kitabu chako kwa yule unayeketi naye.” Nilipeana na nikakumbuka kwenye kitabu yangu kuna maandishi ya Kimombo yalikuwa ni maandishi "Pretenders are worse than murderers" Nikakumbuka pintu nampea kitabu alikuwa mtu mwenye mdomo kabisa, kisha akaona hakuna maandishi ya kazi tuliopewa na akainua mkono na kunishtaki kwenye mwalimu , Kwa hiyo,.. wakati mwalimu alikuwa ni wanafunzi Mwalimu aliniuliza unataka nikuekele wapi viboko?" Nikatetemeka kutetemeka nilijua leo nitaumia kuumia . Mwalimu Akasema "Acheni hesabu mpaka mfano, moja mbili tatu nne.. tano " Sikumbuki alifikisha nambari gani katika kuhesabu viboko baadaye aliendelea kusema "lala chini!” Nilitoka darasani nikilia kwa machozi yanayoweza kujaza beseni. Jioni yalijiri na nilisahau kuwa sikupeleka kitabu na hesabu Mwalimu wa hesabati alinita kwenye ofisi lakini sikua pekee yangu. Manafunzi yalikuwa amenishataki alikuwa na mimi. Tulihaadhibu na kuelekea nyumbani kwa machozi. Nilipofika nyumbani baba akaniuliza “kwa nini unalia?” nikamjibu “Mwalimu aliniadhibu” Baba akauliza “Kwa nini?" Nami nikajibu “kwa sababu sikufanya kazi yake?” “Mmh haukufanya kazi ya Mwalimu.” Nilimwona baba akitoa bakora yake tayari kuniwekelea zake.
Ingekuwa nini na walimu wa Hisabati na Kiswahili
{ "text": [ "mapambano" ] }
2953_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi - Niliwaza nakuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa mapambano na mwalimu wa hesabati na kiswahili Sikua nimemaliza maswali waliotupea, nilitetemeka kwenye kitanda na pia siku beba vitabu vya hesabati wala vya Kiswahili.Asubuhi ilifika na nikaabiri basi la shule. Basi lilifika kwa haraka sana. Nilipotembea kuelekea darasani nikakuta mwalimu wa hesabati na akaniuliza “Je umefanua hesabati yangu?" Nikajibu kwa haraka “Naam!” Nikafika darasani na kuduwaa mwalimu wa kiswahili alipo. Jasho jembamba lilianza kunitiririka tiririri. Bila hata kuketi kwenye kiti, Niliweka mkoba kwenye nyuma ya kiti na kusumbuka kupata kitabu. Mbele ya hata nipate kitabu, mwalimu wa hesabati aliingia nakuuliza vilabu vya hesabati. Wakati mwalimu alikuwa anachukua vitabu, nikauliza sahnibu wangu “umemaliza maswali ya hesabati?” Akanijibu “Lazima unakumbuka wakati sikumaliza na niliodhibiwa na mwalimu na hapo uligunduwa 'Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mwalimu alirejesha vitabu na kwenda ofisini nilitetemeka teteme kwani unga unauzito kuliko maji, ilikuwa wakati wa kiswahili na mwalimu akasema “Kama ulifanya kazi yangu simama na kama hukufanua kazi yangu keti chini? Nilifanya kusimama tena Mwalimu alisema “Peana kitabu chako kwa yule unayeketi naye.” Nilipeana na nikakumbuka kwenye kitabu yangu kuna maandishi ya Kimombo yalikuwa ni maandishi "Pretenders are worse than murderers" Nikakumbuka pintu nampea kitabu alikuwa mtu mwenye mdomo kabisa, kisha akaona hakuna maandishi ya kazi tuliopewa na akainua mkono na kunishtaki kwenye mwalimu , Kwa hiyo,.. wakati mwalimu alikuwa ni wanafunzi Mwalimu aliniuliza unataka nikuekele wapi viboko?" Nikatetemeka kutetemeka nilijua leo nitaumia kuumia . Mwalimu Akasema "Acheni hesabu mpaka mfano, moja mbili tatu nne.. tano " Sikumbuki alifikisha nambari gani katika kuhesabu viboko baadaye aliendelea kusema "lala chini!” Nilitoka darasani nikilia kwa machozi yanayoweza kujaza beseni. Jioni yalijiri na nilisahau kuwa sikupeleka kitabu na hesabu Mwalimu wa hesabati alinita kwenye ofisi lakini sikua pekee yangu. Manafunzi yalikuwa amenishataki alikuwa na mimi. Tulihaadhibu na kuelekea nyumbani kwa machozi. Nilipofika nyumbani baba akaniuliza “kwa nini unalia?” nikamjibu “Mwalimu aliniadhibu” Baba akauliza “Kwa nini?" Nami nikajibu “kwa sababu sikufanya kazi yake?” “Mmh haukufanya kazi ya Mwalimu.” Nilimwona baba akitoa bakora yake tayari kuniwekelea zake.
Asubuhi aliabiri gari gani
{ "text": [ "la shule" ] }
2953_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi - Niliwaza nakuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa mapambano na mwalimu wa hesabati na kiswahili Sikua nimemaliza maswali waliotupea, nilitetemeka kwenye kitanda na pia siku beba vitabu vya hesabati wala vya Kiswahili.Asubuhi ilifika na nikaabiri basi la shule. Basi lilifika kwa haraka sana. Nilipotembea kuelekea darasani nikakuta mwalimu wa hesabati na akaniuliza “Je umefanua hesabati yangu?" Nikajibu kwa haraka “Naam!” Nikafika darasani na kuduwaa mwalimu wa kiswahili alipo. Jasho jembamba lilianza kunitiririka tiririri. Bila hata kuketi kwenye kiti, Niliweka mkoba kwenye nyuma ya kiti na kusumbuka kupata kitabu. Mbele ya hata nipate kitabu, mwalimu wa hesabati aliingia nakuuliza vilabu vya hesabati. Wakati mwalimu alikuwa anachukua vitabu, nikauliza sahnibu wangu “umemaliza maswali ya hesabati?” Akanijibu “Lazima unakumbuka wakati sikumaliza na niliodhibiwa na mwalimu na hapo uligunduwa 'Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mwalimu alirejesha vitabu na kwenda ofisini nilitetemeka teteme kwani unga unauzito kuliko maji, ilikuwa wakati wa kiswahili na mwalimu akasema “Kama ulifanya kazi yangu simama na kama hukufanua kazi yangu keti chini? Nilifanya kusimama tena Mwalimu alisema “Peana kitabu chako kwa yule unayeketi naye.” Nilipeana na nikakumbuka kwenye kitabu yangu kuna maandishi ya Kimombo yalikuwa ni maandishi "Pretenders are worse than murderers" Nikakumbuka pintu nampea kitabu alikuwa mtu mwenye mdomo kabisa, kisha akaona hakuna maandishi ya kazi tuliopewa na akainua mkono na kunishtaki kwenye mwalimu , Kwa hiyo,.. wakati mwalimu alikuwa ni wanafunzi Mwalimu aliniuliza unataka nikuekele wapi viboko?" Nikatetemeka kutetemeka nilijua leo nitaumia kuumia . Mwalimu Akasema "Acheni hesabu mpaka mfano, moja mbili tatu nne.. tano " Sikumbuki alifikisha nambari gani katika kuhesabu viboko baadaye aliendelea kusema "lala chini!” Nilitoka darasani nikilia kwa machozi yanayoweza kujaza beseni. Jioni yalijiri na nilisahau kuwa sikupeleka kitabu na hesabu Mwalimu wa hesabati alinita kwenye ofisi lakini sikua pekee yangu. Manafunzi yalikuwa amenishataki alikuwa na mimi. Tulihaadhibu na kuelekea nyumbani kwa machozi. Nilipofika nyumbani baba akaniuliza “kwa nini unalia?” nikamjibu “Mwalimu aliniadhibu” Baba akauliza “Kwa nini?" Nami nikajibu “kwa sababu sikufanya kazi yake?” “Mmh haukufanya kazi ya Mwalimu.” Nilimwona baba akitoa bakora yake tayari kuniwekelea zake.
Nani alirejesha vitabu
{ "text": [ "mwalimu" ] }
2953_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi - Niliwaza nakuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa mapambano na mwalimu wa hesabati na kiswahili Sikua nimemaliza maswali waliotupea, nilitetemeka kwenye kitanda na pia siku beba vitabu vya hesabati wala vya Kiswahili.Asubuhi ilifika na nikaabiri basi la shule. Basi lilifika kwa haraka sana. Nilipotembea kuelekea darasani nikakuta mwalimu wa hesabati na akaniuliza “Je umefanua hesabati yangu?" Nikajibu kwa haraka “Naam!” Nikafika darasani na kuduwaa mwalimu wa kiswahili alipo. Jasho jembamba lilianza kunitiririka tiririri. Bila hata kuketi kwenye kiti, Niliweka mkoba kwenye nyuma ya kiti na kusumbuka kupata kitabu. Mbele ya hata nipate kitabu, mwalimu wa hesabati aliingia nakuuliza vilabu vya hesabati. Wakati mwalimu alikuwa anachukua vitabu, nikauliza sahnibu wangu “umemaliza maswali ya hesabati?” Akanijibu “Lazima unakumbuka wakati sikumaliza na niliodhibiwa na mwalimu na hapo uligunduwa 'Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mwalimu alirejesha vitabu na kwenda ofisini nilitetemeka teteme kwani unga unauzito kuliko maji, ilikuwa wakati wa kiswahili na mwalimu akasema “Kama ulifanya kazi yangu simama na kama hukufanua kazi yangu keti chini? Nilifanya kusimama tena Mwalimu alisema “Peana kitabu chako kwa yule unayeketi naye.” Nilipeana na nikakumbuka kwenye kitabu yangu kuna maandishi ya Kimombo yalikuwa ni maandishi "Pretenders are worse than murderers" Nikakumbuka pintu nampea kitabu alikuwa mtu mwenye mdomo kabisa, kisha akaona hakuna maandishi ya kazi tuliopewa na akainua mkono na kunishtaki kwenye mwalimu , Kwa hiyo,.. wakati mwalimu alikuwa ni wanafunzi Mwalimu aliniuliza unataka nikuekele wapi viboko?" Nikatetemeka kutetemeka nilijua leo nitaumia kuumia . Mwalimu Akasema "Acheni hesabu mpaka mfano, moja mbili tatu nne.. tano " Sikumbuki alifikisha nambari gani katika kuhesabu viboko baadaye aliendelea kusema "lala chini!” Nilitoka darasani nikilia kwa machozi yanayoweza kujaza beseni. Jioni yalijiri na nilisahau kuwa sikupeleka kitabu na hesabu Mwalimu wa hesabati alinita kwenye ofisi lakini sikua pekee yangu. Manafunzi yalikuwa amenishataki alikuwa na mimi. Tulihaadhibu na kuelekea nyumbani kwa machozi. Nilipofika nyumbani baba akaniuliza “kwa nini unalia?” nikamjibu “Mwalimu aliniadhibu” Baba akauliza “Kwa nini?" Nami nikajibu “kwa sababu sikufanya kazi yake?” “Mmh haukufanya kazi ya Mwalimu.” Nilimwona baba akitoa bakora yake tayari kuniwekelea zake.
Mbona alilia alipokuwa akielekea nyumbani
{ "text": [ "mwalimu alimuadhibu" ] }
2953_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi - Niliwaza nakuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa mapambano na mwalimu wa hesabati na kiswahili Sikua nimemaliza maswali waliotupea, nilitetemeka kwenye kitanda na pia siku beba vitabu vya hesabati wala vya Kiswahili.Asubuhi ilifika na nikaabiri basi la shule. Basi lilifika kwa haraka sana. Nilipotembea kuelekea darasani nikakuta mwalimu wa hesabati na akaniuliza “Je umefanua hesabati yangu?" Nikajibu kwa haraka “Naam!” Nikafika darasani na kuduwaa mwalimu wa kiswahili alipo. Jasho jembamba lilianza kunitiririka tiririri. Bila hata kuketi kwenye kiti, Niliweka mkoba kwenye nyuma ya kiti na kusumbuka kupata kitabu. Mbele ya hata nipate kitabu, mwalimu wa hesabati aliingia nakuuliza vilabu vya hesabati. Wakati mwalimu alikuwa anachukua vitabu, nikauliza sahnibu wangu “umemaliza maswali ya hesabati?” Akanijibu “Lazima unakumbuka wakati sikumaliza na niliodhibiwa na mwalimu na hapo uligunduwa 'Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.” Mwalimu alirejesha vitabu na kwenda ofisini nilitetemeka teteme kwani unga unauzito kuliko maji, ilikuwa wakati wa kiswahili na mwalimu akasema “Kama ulifanya kazi yangu simama na kama hukufanua kazi yangu keti chini? Nilifanya kusimama tena Mwalimu alisema “Peana kitabu chako kwa yule unayeketi naye.” Nilipeana na nikakumbuka kwenye kitabu yangu kuna maandishi ya Kimombo yalikuwa ni maandishi "Pretenders are worse than murderers" Nikakumbuka pintu nampea kitabu alikuwa mtu mwenye mdomo kabisa, kisha akaona hakuna maandishi ya kazi tuliopewa na akainua mkono na kunishtaki kwenye mwalimu , Kwa hiyo,.. wakati mwalimu alikuwa ni wanafunzi Mwalimu aliniuliza unataka nikuekele wapi viboko?" Nikatetemeka kutetemeka nilijua leo nitaumia kuumia . Mwalimu Akasema "Acheni hesabu mpaka mfano, moja mbili tatu nne.. tano " Sikumbuki alifikisha nambari gani katika kuhesabu viboko baadaye aliendelea kusema "lala chini!” Nilitoka darasani nikilia kwa machozi yanayoweza kujaza beseni. Jioni yalijiri na nilisahau kuwa sikupeleka kitabu na hesabu Mwalimu wa hesabati alinita kwenye ofisi lakini sikua pekee yangu. Manafunzi yalikuwa amenishataki alikuwa na mimi. Tulihaadhibu na kuelekea nyumbani kwa machozi. Nilipofika nyumbani baba akaniuliza “kwa nini unalia?” nikamjibu “Mwalimu aliniadhibu” Baba akauliza “Kwa nini?" Nami nikajibu “kwa sababu sikufanya kazi yake?” “Mmh haukufanya kazi ya Mwalimu.” Nilimwona baba akitoa bakora yake tayari kuniwekelea zake.
Lini alisahau kuwa hakupeleka kitabu cha Hesabu
{ "text": [ "jioni" ] }
2954_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo Ulikuliwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa nimelala niliposikia mayowe niliamka nikiwa nimeshutu kama mja aliyemwaona Osama , wenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama. Nilitaka nje nikaona walikua ni wezi walikiwa kwa nyumba ya jirani yangu. Wezi hawa waliba televisheni vyombo vya kupitia chakula. Ama kweli Siku za mwizi ni arobaini kulikuwa na mtoto aliyeitwa Katola. Katola alikuwa mwenye nidhamu sana. Siku moja baba yake Katola aliugua ugonjwa wa Saratani. Hakuishi muda mrefu alifariki Mama yake Katola aliyeitwa Maria hakuweza kumgonga mtoto wake. Siku moja katola alijiunga na genge la wezi ambao walipanga waliibia mzee moja aliyekuwa maskini hohe hahe, hao walimwambia awape simu na atoe pesa zake. Mzee huyo alipiga mayowe wezi! wezi! Halaiti ya watu walikusanyika wakiulizana nini ni mbaya mzee huyo aliwaambia kuwa wezi walikuja na wakamwibia na wakaenda zao Wezi hao walipata askari polisi Walikamatwa na kupigwa na viatu waliovalia - Walipotoka waliambiwa ya kwamba wakiiba tena watafungwa jela gerezani kwa muda wa maiaka Kumi na nane . Tangu siku hiyo wezi hawa walienda katika kanisa na wakaombewa na hawajawahi kuibia mtu katika maisha yao lakini tena walijiunga na genge la wezi hii ndio ilifanya wakauliwa na askari kwa sababu hawakutilia maanani kile walichoambiwa na polisi ndio maana walifariki. Baada ya hayo yote nilipigia mama yake simu,nikamwambia kisa ambacho kilikuwa kikitendeka akasema huo ni uwongo mtupu.
Wakati upi wa usiku ndio mwandishi alisikia mayowe?
{ "text": [ "Usiku wa manane" ] }
2954_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo Ulikuliwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa nimelala niliposikia mayowe niliamka nikiwa nimeshutu kama mja aliyemwaona Osama , wenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama. Nilitaka nje nikaona walikua ni wezi walikiwa kwa nyumba ya jirani yangu. Wezi hawa waliba televisheni vyombo vya kupitia chakula. Ama kweli Siku za mwizi ni arobaini kulikuwa na mtoto aliyeitwa Katola. Katola alikuwa mwenye nidhamu sana. Siku moja baba yake Katola aliugua ugonjwa wa Saratani. Hakuishi muda mrefu alifariki Mama yake Katola aliyeitwa Maria hakuweza kumgonga mtoto wake. Siku moja katola alijiunga na genge la wezi ambao walipanga waliibia mzee moja aliyekuwa maskini hohe hahe, hao walimwambia awape simu na atoe pesa zake. Mzee huyo alipiga mayowe wezi! wezi! Halaiti ya watu walikusanyika wakiulizana nini ni mbaya mzee huyo aliwaambia kuwa wezi walikuja na wakamwibia na wakaenda zao Wezi hao walipata askari polisi Walikamatwa na kupigwa na viatu waliovalia - Walipotoka waliambiwa ya kwamba wakiiba tena watafungwa jela gerezani kwa muda wa maiaka Kumi na nane . Tangu siku hiyo wezi hawa walienda katika kanisa na wakaombewa na hawajawahi kuibia mtu katika maisha yao lakini tena walijiunga na genge la wezi hii ndio ilifanya wakauliwa na askari kwa sababu hawakutilia maanani kile walichoambiwa na polisi ndio maana walifariki. Baada ya hayo yote nilipigia mama yake simu,nikamwambia kisa ambacho kilikuwa kikitendeka akasema huo ni uwongo mtupu.
Nani walikuwa kwenye nyumba ya jirani usiku wa manane?
{ "text": [ "Wezi" ] }
2954_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo Ulikuliwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa nimelala niliposikia mayowe niliamka nikiwa nimeshutu kama mja aliyemwaona Osama , wenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama. Nilitaka nje nikaona walikua ni wezi walikiwa kwa nyumba ya jirani yangu. Wezi hawa waliba televisheni vyombo vya kupitia chakula. Ama kweli Siku za mwizi ni arobaini kulikuwa na mtoto aliyeitwa Katola. Katola alikuwa mwenye nidhamu sana. Siku moja baba yake Katola aliugua ugonjwa wa Saratani. Hakuishi muda mrefu alifariki Mama yake Katola aliyeitwa Maria hakuweza kumgonga mtoto wake. Siku moja katola alijiunga na genge la wezi ambao walipanga waliibia mzee moja aliyekuwa maskini hohe hahe, hao walimwambia awape simu na atoe pesa zake. Mzee huyo alipiga mayowe wezi! wezi! Halaiti ya watu walikusanyika wakiulizana nini ni mbaya mzee huyo aliwaambia kuwa wezi walikuja na wakamwibia na wakaenda zao Wezi hao walipata askari polisi Walikamatwa na kupigwa na viatu waliovalia - Walipotoka waliambiwa ya kwamba wakiiba tena watafungwa jela gerezani kwa muda wa maiaka Kumi na nane . Tangu siku hiyo wezi hawa walienda katika kanisa na wakaombewa na hawajawahi kuibia mtu katika maisha yao lakini tena walijiunga na genge la wezi hii ndio ilifanya wakauliwa na askari kwa sababu hawakutilia maanani kile walichoambiwa na polisi ndio maana walifariki. Baada ya hayo yote nilipigia mama yake simu,nikamwambia kisa ambacho kilikuwa kikitendeka akasema huo ni uwongo mtupu.
Siku za mwizi ni ngapi?
{ "text": [ "Arubaini" ] }
2954_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo Ulikuliwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa nimelala niliposikia mayowe niliamka nikiwa nimeshutu kama mja aliyemwaona Osama , wenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama. Nilitaka nje nikaona walikua ni wezi walikiwa kwa nyumba ya jirani yangu. Wezi hawa waliba televisheni vyombo vya kupitia chakula. Ama kweli Siku za mwizi ni arobaini kulikuwa na mtoto aliyeitwa Katola. Katola alikuwa mwenye nidhamu sana. Siku moja baba yake Katola aliugua ugonjwa wa Saratani. Hakuishi muda mrefu alifariki Mama yake Katola aliyeitwa Maria hakuweza kumgonga mtoto wake. Siku moja katola alijiunga na genge la wezi ambao walipanga waliibia mzee moja aliyekuwa maskini hohe hahe, hao walimwambia awape simu na atoe pesa zake. Mzee huyo alipiga mayowe wezi! wezi! Halaiti ya watu walikusanyika wakiulizana nini ni mbaya mzee huyo aliwaambia kuwa wezi walikuja na wakamwibia na wakaenda zao Wezi hao walipata askari polisi Walikamatwa na kupigwa na viatu waliovalia - Walipotoka waliambiwa ya kwamba wakiiba tena watafungwa jela gerezani kwa muda wa maiaka Kumi na nane . Tangu siku hiyo wezi hawa walienda katika kanisa na wakaombewa na hawajawahi kuibia mtu katika maisha yao lakini tena walijiunga na genge la wezi hii ndio ilifanya wakauliwa na askari kwa sababu hawakutilia maanani kile walichoambiwa na polisi ndio maana walifariki. Baada ya hayo yote nilipigia mama yake simu,nikamwambia kisa ambacho kilikuwa kikitendeka akasema huo ni uwongo mtupu.
Nini kilimfanyikia babake mtoto Katola?
{ "text": [ "Aliaga dunia" ] }
2954_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo Ulikuliwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa nimelala niliposikia mayowe niliamka nikiwa nimeshutu kama mja aliyemwaona Osama , wenye uhasama usiokoma hadi siku ya kiama. Nilitaka nje nikaona walikua ni wezi walikiwa kwa nyumba ya jirani yangu. Wezi hawa waliba televisheni vyombo vya kupitia chakula. Ama kweli Siku za mwizi ni arobaini kulikuwa na mtoto aliyeitwa Katola. Katola alikuwa mwenye nidhamu sana. Siku moja baba yake Katola aliugua ugonjwa wa Saratani. Hakuishi muda mrefu alifariki Mama yake Katola aliyeitwa Maria hakuweza kumgonga mtoto wake. Siku moja katola alijiunga na genge la wezi ambao walipanga waliibia mzee moja aliyekuwa maskini hohe hahe, hao walimwambia awape simu na atoe pesa zake. Mzee huyo alipiga mayowe wezi! wezi! Halaiti ya watu walikusanyika wakiulizana nini ni mbaya mzee huyo aliwaambia kuwa wezi walikuja na wakamwibia na wakaenda zao Wezi hao walipata askari polisi Walikamatwa na kupigwa na viatu waliovalia - Walipotoka waliambiwa ya kwamba wakiiba tena watafungwa jela gerezani kwa muda wa maiaka Kumi na nane . Tangu siku hiyo wezi hawa walienda katika kanisa na wakaombewa na hawajawahi kuibia mtu katika maisha yao lakini tena walijiunga na genge la wezi hii ndio ilifanya wakauliwa na askari kwa sababu hawakutilia maanani kile walichoambiwa na polisi ndio maana walifariki. Baada ya hayo yote nilipigia mama yake simu,nikamwambia kisa ambacho kilikuwa kikitendeka akasema huo ni uwongo mtupu.
Katola alijiunga na kina nani?
{ "text": [ "Genge la wezi" ] }
2956_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa sikupatwa na usingizi ilinibidi niweze kufungulia runinga niweke kipindi ni kipendacho lakini nilipoweka nilipata muziki na nyibo iliyokuwa ikiimba ilinifurahisha niliongeza sauti nilisikia mlango umebishwa sikuwa natarajia kuwa na mgeni usiku huu wa manane nilizima runinga na kuchungulia kwenye pazia nilimuona jirani yangu akiwa amesimama mlangoni nilipata kummuliza nini mbaya naye akaniuliza nini kinachoendelea, sikujibu Niliingia kwenye blanketi na kunyamaza kimiya na kushikwa na usingizi wa pono nililala. kwa masekunde kadha kulikucha. Asubuhi na mapema nilikimbia sebuleni na kuliza mama kama nijiadae kwa safari. “Tunaondoka” Mama alienieleza nami sikupoteza secunde hata moja alichukua maji baridi na kuingia bafuni nilichukua dakika chache kuoga nilijisungua na kungara kweli kweli. Nilitoka bafuni na kuelekea katika chumba changu cha kulala na kutazama nguo yangu niliyoipenda sana nguo yenyewe ilikuwa safi nilivaa kwa haraka na kwenda kupiga meno mswaki nilikuwa nimeng’ara kweli kweli nilipoteremka vidato vya ngazi nilikutana na baba yangu akiwa amevali nguo maridadi kweli kweli na alipokuwa alipanda vidato Vya ngazi' ungethani kweli ye ni sultan mwenye. Tulikubaliana tupatane sebuleni sisi sote nilielekea pale na kunywa kiamsha kinywa nikiwangoja kwa hamu na gama alipowadia Tulingoa nanga kuanza safari kweli wahenga walisema safari ya kesha huandaliwa leo tulipitia katika kituo cha mafuta .Basi liliwekwa na tukaendelea na safari yeta tulifika kwenye kanisaa kubwa la katoliki tulipoingia niliona mapambo ya mau mazuri , puto na nyinginezo zilizokuwa zikimetameta tulingia na kiketi chini mahubiri alianza kuhubiri. Neno la Mungu. Bwana harusi aliweza kuwadia muda usio mrefu alijieleza kwa majina na mahali anapoishi punde si punde nilisikia mlio wa magari uliokuwa ukilia kwa sauti ya juu nilishindwa kilicho kuwa kinaendelea lakini mlolongo wa magari ulipowadia niliona kwa umbali kuwa alikuwa bi Harusi alipofika na kushushuwa kutoka kwenye gari watu walishangilia kwa shangwe na vigelegele. Bi harusi alipoingia kanisani bwana harusi aliweza kumkimbilia kama simba anvyomrukia swara na kumkumbatia na kumvalisha pete na walipata kuombewa na mhubiri. Saa ya kula iliwadai na nilikimbia kuwekewa chakula siku hiyo nilikula sana tumbo ikwa ni karai.
Mwandishi aliamka usiku kutazama nini?
{ "text": [ "Runinga" ] }
2956_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa sikupatwa na usingizi ilinibidi niweze kufungulia runinga niweke kipindi ni kipendacho lakini nilipoweka nilipata muziki na nyibo iliyokuwa ikiimba ilinifurahisha niliongeza sauti nilisikia mlango umebishwa sikuwa natarajia kuwa na mgeni usiku huu wa manane nilizima runinga na kuchungulia kwenye pazia nilimuona jirani yangu akiwa amesimama mlangoni nilipata kummuliza nini mbaya naye akaniuliza nini kinachoendelea, sikujibu Niliingia kwenye blanketi na kunyamaza kimiya na kushikwa na usingizi wa pono nililala. kwa masekunde kadha kulikucha. Asubuhi na mapema nilikimbia sebuleni na kuliza mama kama nijiadae kwa safari. “Tunaondoka” Mama alienieleza nami sikupoteza secunde hata moja alichukua maji baridi na kuingia bafuni nilichukua dakika chache kuoga nilijisungua na kungara kweli kweli. Nilitoka bafuni na kuelekea katika chumba changu cha kulala na kutazama nguo yangu niliyoipenda sana nguo yenyewe ilikuwa safi nilivaa kwa haraka na kwenda kupiga meno mswaki nilikuwa nimeng’ara kweli kweli nilipoteremka vidato vya ngazi nilikutana na baba yangu akiwa amevali nguo maridadi kweli kweli na alipokuwa alipanda vidato Vya ngazi' ungethani kweli ye ni sultan mwenye. Tulikubaliana tupatane sebuleni sisi sote nilielekea pale na kunywa kiamsha kinywa nikiwangoja kwa hamu na gama alipowadia Tulingoa nanga kuanza safari kweli wahenga walisema safari ya kesha huandaliwa leo tulipitia katika kituo cha mafuta .Basi liliwekwa na tukaendelea na safari yeta tulifika kwenye kanisaa kubwa la katoliki tulipoingia niliona mapambo ya mau mazuri , puto na nyinginezo zilizokuwa zikimetameta tulingia na kiketi chini mahubiri alianza kuhubiri. Neno la Mungu. Bwana harusi aliweza kuwadia muda usio mrefu alijieleza kwa majina na mahali anapoishi punde si punde nilisikia mlio wa magari uliokuwa ukilia kwa sauti ya juu nilishindwa kilicho kuwa kinaendelea lakini mlolongo wa magari ulipowadia niliona kwa umbali kuwa alikuwa bi Harusi alipofika na kushushuwa kutoka kwenye gari watu walishangilia kwa shangwe na vigelegele. Bi harusi alipoingia kanisani bwana harusi aliweza kumkimbilia kama simba anvyomrukia swara na kumkumbatia na kumvalisha pete na walipata kuombewa na mhubiri. Saa ya kula iliwadai na nilikimbia kuwekewa chakula siku hiyo nilikula sana tumbo ikwa ni karai.
Nani alikuja kumtembelea mwandishi wakati wa usiku?
{ "text": [ "Jirani" ] }
2956_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa sikupatwa na usingizi ilinibidi niweze kufungulia runinga niweke kipindi ni kipendacho lakini nilipoweka nilipata muziki na nyibo iliyokuwa ikiimba ilinifurahisha niliongeza sauti nilisikia mlango umebishwa sikuwa natarajia kuwa na mgeni usiku huu wa manane nilizima runinga na kuchungulia kwenye pazia nilimuona jirani yangu akiwa amesimama mlangoni nilipata kummuliza nini mbaya naye akaniuliza nini kinachoendelea, sikujibu Niliingia kwenye blanketi na kunyamaza kimiya na kushikwa na usingizi wa pono nililala. kwa masekunde kadha kulikucha. Asubuhi na mapema nilikimbia sebuleni na kuliza mama kama nijiadae kwa safari. “Tunaondoka” Mama alienieleza nami sikupoteza secunde hata moja alichukua maji baridi na kuingia bafuni nilichukua dakika chache kuoga nilijisungua na kungara kweli kweli. Nilitoka bafuni na kuelekea katika chumba changu cha kulala na kutazama nguo yangu niliyoipenda sana nguo yenyewe ilikuwa safi nilivaa kwa haraka na kwenda kupiga meno mswaki nilikuwa nimeng’ara kweli kweli nilipoteremka vidato vya ngazi nilikutana na baba yangu akiwa amevali nguo maridadi kweli kweli na alipokuwa alipanda vidato Vya ngazi' ungethani kweli ye ni sultan mwenye. Tulikubaliana tupatane sebuleni sisi sote nilielekea pale na kunywa kiamsha kinywa nikiwangoja kwa hamu na gama alipowadia Tulingoa nanga kuanza safari kweli wahenga walisema safari ya kesha huandaliwa leo tulipitia katika kituo cha mafuta .Basi liliwekwa na tukaendelea na safari yeta tulifika kwenye kanisaa kubwa la katoliki tulipoingia niliona mapambo ya mau mazuri , puto na nyinginezo zilizokuwa zikimetameta tulingia na kiketi chini mahubiri alianza kuhubiri. Neno la Mungu. Bwana harusi aliweza kuwadia muda usio mrefu alijieleza kwa majina na mahali anapoishi punde si punde nilisikia mlio wa magari uliokuwa ukilia kwa sauti ya juu nilishindwa kilicho kuwa kinaendelea lakini mlolongo wa magari ulipowadia niliona kwa umbali kuwa alikuwa bi Harusi alipofika na kushushuwa kutoka kwenye gari watu walishangilia kwa shangwe na vigelegele. Bi harusi alipoingia kanisani bwana harusi aliweza kumkimbilia kama simba anvyomrukia swara na kumkumbatia na kumvalisha pete na walipata kuombewa na mhubiri. Saa ya kula iliwadai na nilikimbia kuwekewa chakula siku hiyo nilikula sana tumbo ikwa ni karai.
Nini kilimfanya mwandishi akose usingizi?
{ "text": [ "Mawazo kuhusu siku itakayofuata" ] }
2956_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa sikupatwa na usingizi ilinibidi niweze kufungulia runinga niweke kipindi ni kipendacho lakini nilipoweka nilipata muziki na nyibo iliyokuwa ikiimba ilinifurahisha niliongeza sauti nilisikia mlango umebishwa sikuwa natarajia kuwa na mgeni usiku huu wa manane nilizima runinga na kuchungulia kwenye pazia nilimuona jirani yangu akiwa amesimama mlangoni nilipata kummuliza nini mbaya naye akaniuliza nini kinachoendelea, sikujibu Niliingia kwenye blanketi na kunyamaza kimiya na kushikwa na usingizi wa pono nililala. kwa masekunde kadha kulikucha. Asubuhi na mapema nilikimbia sebuleni na kuliza mama kama nijiadae kwa safari. “Tunaondoka” Mama alienieleza nami sikupoteza secunde hata moja alichukua maji baridi na kuingia bafuni nilichukua dakika chache kuoga nilijisungua na kungara kweli kweli. Nilitoka bafuni na kuelekea katika chumba changu cha kulala na kutazama nguo yangu niliyoipenda sana nguo yenyewe ilikuwa safi nilivaa kwa haraka na kwenda kupiga meno mswaki nilikuwa nimeng’ara kweli kweli nilipoteremka vidato vya ngazi nilikutana na baba yangu akiwa amevali nguo maridadi kweli kweli na alipokuwa alipanda vidato Vya ngazi' ungethani kweli ye ni sultan mwenye. Tulikubaliana tupatane sebuleni sisi sote nilielekea pale na kunywa kiamsha kinywa nikiwangoja kwa hamu na gama alipowadia Tulingoa nanga kuanza safari kweli wahenga walisema safari ya kesha huandaliwa leo tulipitia katika kituo cha mafuta .Basi liliwekwa na tukaendelea na safari yeta tulifika kwenye kanisaa kubwa la katoliki tulipoingia niliona mapambo ya mau mazuri , puto na nyinginezo zilizokuwa zikimetameta tulingia na kiketi chini mahubiri alianza kuhubiri. Neno la Mungu. Bwana harusi aliweza kuwadia muda usio mrefu alijieleza kwa majina na mahali anapoishi punde si punde nilisikia mlio wa magari uliokuwa ukilia kwa sauti ya juu nilishindwa kilicho kuwa kinaendelea lakini mlolongo wa magari ulipowadia niliona kwa umbali kuwa alikuwa bi Harusi alipofika na kushushuwa kutoka kwenye gari watu walishangilia kwa shangwe na vigelegele. Bi harusi alipoingia kanisani bwana harusi aliweza kumkimbilia kama simba anvyomrukia swara na kumkumbatia na kumvalisha pete na walipata kuombewa na mhubiri. Saa ya kula iliwadai na nilikimbia kuwekewa chakula siku hiyo nilikula sana tumbo ikwa ni karai.
Mwandishi alimuuliza nani kama safari yao bado iko?
{ "text": [ "Mamake" ] }
2956_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa sikupatwa na usingizi ilinibidi niweze kufungulia runinga niweke kipindi ni kipendacho lakini nilipoweka nilipata muziki na nyibo iliyokuwa ikiimba ilinifurahisha niliongeza sauti nilisikia mlango umebishwa sikuwa natarajia kuwa na mgeni usiku huu wa manane nilizima runinga na kuchungulia kwenye pazia nilimuona jirani yangu akiwa amesimama mlangoni nilipata kummuliza nini mbaya naye akaniuliza nini kinachoendelea, sikujibu Niliingia kwenye blanketi na kunyamaza kimiya na kushikwa na usingizi wa pono nililala. kwa masekunde kadha kulikucha. Asubuhi na mapema nilikimbia sebuleni na kuliza mama kama nijiadae kwa safari. “Tunaondoka” Mama alienieleza nami sikupoteza secunde hata moja alichukua maji baridi na kuingia bafuni nilichukua dakika chache kuoga nilijisungua na kungara kweli kweli. Nilitoka bafuni na kuelekea katika chumba changu cha kulala na kutazama nguo yangu niliyoipenda sana nguo yenyewe ilikuwa safi nilivaa kwa haraka na kwenda kupiga meno mswaki nilikuwa nimeng’ara kweli kweli nilipoteremka vidato vya ngazi nilikutana na baba yangu akiwa amevali nguo maridadi kweli kweli na alipokuwa alipanda vidato Vya ngazi' ungethani kweli ye ni sultan mwenye. Tulikubaliana tupatane sebuleni sisi sote nilielekea pale na kunywa kiamsha kinywa nikiwangoja kwa hamu na gama alipowadia Tulingoa nanga kuanza safari kweli wahenga walisema safari ya kesha huandaliwa leo tulipitia katika kituo cha mafuta .Basi liliwekwa na tukaendelea na safari yeta tulifika kwenye kanisaa kubwa la katoliki tulipoingia niliona mapambo ya mau mazuri , puto na nyinginezo zilizokuwa zikimetameta tulingia na kiketi chini mahubiri alianza kuhubiri. Neno la Mungu. Bwana harusi aliweza kuwadia muda usio mrefu alijieleza kwa majina na mahali anapoishi punde si punde nilisikia mlio wa magari uliokuwa ukilia kwa sauti ya juu nilishindwa kilicho kuwa kinaendelea lakini mlolongo wa magari ulipowadia niliona kwa umbali kuwa alikuwa bi Harusi alipofika na kushushuwa kutoka kwenye gari watu walishangilia kwa shangwe na vigelegele. Bi harusi alipoingia kanisani bwana harusi aliweza kumkimbilia kama simba anvyomrukia swara na kumkumbatia na kumvalisha pete na walipata kuombewa na mhubiri. Saa ya kula iliwadai na nilikimbia kuwekewa chakula siku hiyo nilikula sana tumbo ikwa ni karai.
Mwandishi alipenda nguo ipi sana?
{ "text": [ "Suti yake" ] }
2957_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia moyowe. Moto ulikuwa unawake mkubwa Stima ilishinda kupotea potea. Kulikuwa kunanyesha mvua kubwa. Miti ilikuwa inaanguka, Nyumba zilibebwa kubebwa. Mti wa stima ulianguko kijijini maji ilipitia juu ya stima ziliendelea kuanguka moja moja. Moja iliangukia nyumba ya jirani. Nyumba ya jirani ilishika moto niliskia mayowe kutoka kila pahali kijijini ulipigwa. Mama na Baba waliamka na wakakamata beseni ya maji baridi kama barafu kwenda kuizima moto na kuokoa wenye walikuwa ndani. Kulikuwa na ghulamu wawili na shangazi yao. Mama aliokoa shangazi na baba ghulamu. Nyumba yao iliwaka moto mkubwa ilichomeka mpaka chini, baba alipotoka na ghulamu hao wawili walipotoka nje na baba moja wao alizama majini akapelekwa nayo alikuwa wa miaka kumi. Huyo mwingine alikuwa na miaka kumi na tano. Aliambiwa kamauna nguvu nyingi aenda. Baba alimwendea kifungo mimba na kifungua mimba alienda. Maji iliteremka hadi mtoni. Mama naye walipita maji na kupanda Miti walikuwa wamekunywa maji kama samaki anayekuta. Mimi nilitoka kwenye nyumba na kuwafuata niliweza kuwafikia naye Baba aliweza kumshika kifunga mimba walikuwa wanakaribia mtoa .Mvua ilisimama lakini maji yalikuwa mengi kama ya bahari Baba aliamua kupanda na maji hiyo mpaka afike kwenye gorofo la kituo cha Polisi! Wenye kijiji nao walijipanga na kubeba watoto wao, mali yoa na viginevyo. Pia wao walipanda miti. Maji yalianza kupungua mpaka yakaisha. Familia za kijiji zote zilikuwa sawa. Kulianza kukuchana jua kuchmoza. Wazazi na watoto wao wachanga wali huzunika watalala wapi takulia wapi. Watoto wachanga wali baki na mama zo wale wakubwa walienda kutafuta pahali hakuna mvua au baridi. Walibadilisha maisha kutoka hiyo siku & Walibomoa manyumba yao yote na kutumia hayo matofari Kujenga nyumba zingine.
Moto ulikuwa unawaka saa ngapi
{ "text": [ "Usiku wa manane" ] }
2957_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia moyowe. Moto ulikuwa unawake mkubwa Stima ilishinda kupotea potea. Kulikuwa kunanyesha mvua kubwa. Miti ilikuwa inaanguka, Nyumba zilibebwa kubebwa. Mti wa stima ulianguko kijijini maji ilipitia juu ya stima ziliendelea kuanguka moja moja. Moja iliangukia nyumba ya jirani. Nyumba ya jirani ilishika moto niliskia mayowe kutoka kila pahali kijijini ulipigwa. Mama na Baba waliamka na wakakamata beseni ya maji baridi kama barafu kwenda kuizima moto na kuokoa wenye walikuwa ndani. Kulikuwa na ghulamu wawili na shangazi yao. Mama aliokoa shangazi na baba ghulamu. Nyumba yao iliwaka moto mkubwa ilichomeka mpaka chini, baba alipotoka na ghulamu hao wawili walipotoka nje na baba moja wao alizama majini akapelekwa nayo alikuwa wa miaka kumi. Huyo mwingine alikuwa na miaka kumi na tano. Aliambiwa kamauna nguvu nyingi aenda. Baba alimwendea kifungo mimba na kifungua mimba alienda. Maji iliteremka hadi mtoni. Mama naye walipita maji na kupanda Miti walikuwa wamekunywa maji kama samaki anayekuta. Mimi nilitoka kwenye nyumba na kuwafuata niliweza kuwafikia naye Baba aliweza kumshika kifunga mimba walikuwa wanakaribia mtoa .Mvua ilisimama lakini maji yalikuwa mengi kama ya bahari Baba aliamua kupanda na maji hiyo mpaka afike kwenye gorofo la kituo cha Polisi! Wenye kijiji nao walijipanga na kubeba watoto wao, mali yoa na viginevyo. Pia wao walipanda miti. Maji yalianza kupungua mpaka yakaisha. Familia za kijiji zote zilikuwa sawa. Kulianza kukuchana jua kuchmoza. Wazazi na watoto wao wachanga wali huzunika watalala wapi takulia wapi. Watoto wachanga wali baki na mama zo wale wakubwa walienda kutafuta pahali hakuna mvua au baridi. Walibadilisha maisha kutoka hiyo siku & Walibomoa manyumba yao yote na kutumia hayo matofari Kujenga nyumba zingine.
Nyumba ya nani ilishika moto
{ "text": [ "Ya jirani" ] }
2957_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia moyowe. Moto ulikuwa unawake mkubwa Stima ilishinda kupotea potea. Kulikuwa kunanyesha mvua kubwa. Miti ilikuwa inaanguka, Nyumba zilibebwa kubebwa. Mti wa stima ulianguko kijijini maji ilipitia juu ya stima ziliendelea kuanguka moja moja. Moja iliangukia nyumba ya jirani. Nyumba ya jirani ilishika moto niliskia mayowe kutoka kila pahali kijijini ulipigwa. Mama na Baba waliamka na wakakamata beseni ya maji baridi kama barafu kwenda kuizima moto na kuokoa wenye walikuwa ndani. Kulikuwa na ghulamu wawili na shangazi yao. Mama aliokoa shangazi na baba ghulamu. Nyumba yao iliwaka moto mkubwa ilichomeka mpaka chini, baba alipotoka na ghulamu hao wawili walipotoka nje na baba moja wao alizama majini akapelekwa nayo alikuwa wa miaka kumi. Huyo mwingine alikuwa na miaka kumi na tano. Aliambiwa kamauna nguvu nyingi aenda. Baba alimwendea kifungo mimba na kifungua mimba alienda. Maji iliteremka hadi mtoni. Mama naye walipita maji na kupanda Miti walikuwa wamekunywa maji kama samaki anayekuta. Mimi nilitoka kwenye nyumba na kuwafuata niliweza kuwafikia naye Baba aliweza kumshika kifunga mimba walikuwa wanakaribia mtoa .Mvua ilisimama lakini maji yalikuwa mengi kama ya bahari Baba aliamua kupanda na maji hiyo mpaka afike kwenye gorofo la kituo cha Polisi! Wenye kijiji nao walijipanga na kubeba watoto wao, mali yoa na viginevyo. Pia wao walipanda miti. Maji yalianza kupungua mpaka yakaisha. Familia za kijiji zote zilikuwa sawa. Kulianza kukuchana jua kuchmoza. Wazazi na watoto wao wachanga wali huzunika watalala wapi takulia wapi. Watoto wachanga wali baki na mama zo wale wakubwa walienda kutafuta pahali hakuna mvua au baridi. Walibadilisha maisha kutoka hiyo siku & Walibomoa manyumba yao yote na kutumia hayo matofari Kujenga nyumba zingine.
Nani alimwokoa shangazi
{ "text": [ "Mama" ] }
2957_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia moyowe. Moto ulikuwa unawake mkubwa Stima ilishinda kupotea potea. Kulikuwa kunanyesha mvua kubwa. Miti ilikuwa inaanguka, Nyumba zilibebwa kubebwa. Mti wa stima ulianguko kijijini maji ilipitia juu ya stima ziliendelea kuanguka moja moja. Moja iliangukia nyumba ya jirani. Nyumba ya jirani ilishika moto niliskia mayowe kutoka kila pahali kijijini ulipigwa. Mama na Baba waliamka na wakakamata beseni ya maji baridi kama barafu kwenda kuizima moto na kuokoa wenye walikuwa ndani. Kulikuwa na ghulamu wawili na shangazi yao. Mama aliokoa shangazi na baba ghulamu. Nyumba yao iliwaka moto mkubwa ilichomeka mpaka chini, baba alipotoka na ghulamu hao wawili walipotoka nje na baba moja wao alizama majini akapelekwa nayo alikuwa wa miaka kumi. Huyo mwingine alikuwa na miaka kumi na tano. Aliambiwa kamauna nguvu nyingi aenda. Baba alimwendea kifungo mimba na kifungua mimba alienda. Maji iliteremka hadi mtoni. Mama naye walipita maji na kupanda Miti walikuwa wamekunywa maji kama samaki anayekuta. Mimi nilitoka kwenye nyumba na kuwafuata niliweza kuwafikia naye Baba aliweza kumshika kifunga mimba walikuwa wanakaribia mtoa .Mvua ilisimama lakini maji yalikuwa mengi kama ya bahari Baba aliamua kupanda na maji hiyo mpaka afike kwenye gorofo la kituo cha Polisi! Wenye kijiji nao walijipanga na kubeba watoto wao, mali yoa na viginevyo. Pia wao walipanda miti. Maji yalianza kupungua mpaka yakaisha. Familia za kijiji zote zilikuwa sawa. Kulianza kukuchana jua kuchmoza. Wazazi na watoto wao wachanga wali huzunika watalala wapi takulia wapi. Watoto wachanga wali baki na mama zo wale wakubwa walienda kutafuta pahali hakuna mvua au baridi. Walibadilisha maisha kutoka hiyo siku & Walibomoa manyumba yao yote na kutumia hayo matofari Kujenga nyumba zingine.
Watoto wachanga walibaki na nani
{ "text": [ "Mama zao" ] }
2957_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia moyowe. Moto ulikuwa unawake mkubwa Stima ilishinda kupotea potea. Kulikuwa kunanyesha mvua kubwa. Miti ilikuwa inaanguka, Nyumba zilibebwa kubebwa. Mti wa stima ulianguko kijijini maji ilipitia juu ya stima ziliendelea kuanguka moja moja. Moja iliangukia nyumba ya jirani. Nyumba ya jirani ilishika moto niliskia mayowe kutoka kila pahali kijijini ulipigwa. Mama na Baba waliamka na wakakamata beseni ya maji baridi kama barafu kwenda kuizima moto na kuokoa wenye walikuwa ndani. Kulikuwa na ghulamu wawili na shangazi yao. Mama aliokoa shangazi na baba ghulamu. Nyumba yao iliwaka moto mkubwa ilichomeka mpaka chini, baba alipotoka na ghulamu hao wawili walipotoka nje na baba moja wao alizama majini akapelekwa nayo alikuwa wa miaka kumi. Huyo mwingine alikuwa na miaka kumi na tano. Aliambiwa kamauna nguvu nyingi aenda. Baba alimwendea kifungo mimba na kifungua mimba alienda. Maji iliteremka hadi mtoni. Mama naye walipita maji na kupanda Miti walikuwa wamekunywa maji kama samaki anayekuta. Mimi nilitoka kwenye nyumba na kuwafuata niliweza kuwafikia naye Baba aliweza kumshika kifunga mimba walikuwa wanakaribia mtoa .Mvua ilisimama lakini maji yalikuwa mengi kama ya bahari Baba aliamua kupanda na maji hiyo mpaka afike kwenye gorofo la kituo cha Polisi! Wenye kijiji nao walijipanga na kubeba watoto wao, mali yoa na viginevyo. Pia wao walipanda miti. Maji yalianza kupungua mpaka yakaisha. Familia za kijiji zote zilikuwa sawa. Kulianza kukuchana jua kuchmoza. Wazazi na watoto wao wachanga wali huzunika watalala wapi takulia wapi. Watoto wachanga wali baki na mama zo wale wakubwa walienda kutafuta pahali hakuna mvua au baridi. Walibadilisha maisha kutoka hiyo siku & Walibomoa manyumba yao yote na kutumia hayo matofari Kujenga nyumba zingine.
Nghulamu aliyepelekwa na maji alikuwa na miaka mingapi
{ "text": [ "Kumi" ] }
2958_swa
USIKU WA KUOGOFYA Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Nilitoka kitandani haraka na kutega sikio langu Mayowe niliyoyaskia. Yalinifanya nijue mambo hayakuwa yameenda vizuri Kábla mba unipe kisogo nilivaa mavazi yangu. Sikusahau kuchukua Kurunzi yenye mwanga Mkali kama wa Jua Maana kulikuwa na giza totoro Siku Sahau kubeba silaha ya Kujikinga Nilivaa viatu vyangu na kufungua mlango kwa utaratibu. Nilipo karibia katika nyumba ya sahibu yangu Maria ndivyo nilivyoyasikia mayowe yalivyozidi Baada ya kusikia mayowe walijitokeza kwenda kuwasaidia Kweli ulikuwa umati wa watu Genge la wezi waliwashabulia familia ya kina maria, Mambo yalitumbukia nyongo. Lo Do! Alikuwa mwanaume mwenye tumbo La Kiriba: Alipowasili kwa Sahibu yangu alimgonga baba yake maria. Babake sahibu wangu alikufa Hapo ndipo mayowe yalipotokea.. Lo! Alipotaka kutoka ali adimika kama wali wa daku Bonge la mtu alitokea miangoni na kumshika Mtu huyo alikuwa Simbábuka maana alimshika muuwaji na kumpiga.Lo! Mtu huyo alifanana na baba ya Maria mithili ya shilingi kwa ya pili Muaji alilia kwi kwi kama kitoto Kidogo huku akiomba msamaha. Muaji alipiga moyo konde na kuamka na kuanza kumshabulia kaka ya baba Maria lakini wapi alichapua kama darama maana . Kaka yake baba Maria alikuwa balozi, alijulikana kama pesa. Maria alitulizwa na kwambiwa atulie tuli. Punde si punde maafisa wa polisi waliwasili. Muaji aliweka roho mkononi. Alibebwa na kushikwa ki! na kula kalenda. Kweli alingia katika kaburi ya majuto. Mamake Maria alilia kwa uchungu. Mamake maria alianguka na kuzima zi! Kweli wahenga hawakutulamba mgongo waliposema dunia ni rendile, hukana mbele na nyuma. Maria aliachwa na kuwa yatima. Alikuwa na machozi ya kuwapoteza wazazi wote wawili kwa mara moja. Kweli ulikuwa usiku wa kuogofia.
Usiku wa manane mwandishi aliskia nini
{ "text": [ "mayowe" ] }
2958_swa
USIKU WA KUOGOFYA Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Nilitoka kitandani haraka na kutega sikio langu Mayowe niliyoyaskia. Yalinifanya nijue mambo hayakuwa yameenda vizuri Kábla mba unipe kisogo nilivaa mavazi yangu. Sikusahau kuchukua Kurunzi yenye mwanga Mkali kama wa Jua Maana kulikuwa na giza totoro Siku Sahau kubeba silaha ya Kujikinga Nilivaa viatu vyangu na kufungua mlango kwa utaratibu. Nilipo karibia katika nyumba ya sahibu yangu Maria ndivyo nilivyoyasikia mayowe yalivyozidi Baada ya kusikia mayowe walijitokeza kwenda kuwasaidia Kweli ulikuwa umati wa watu Genge la wezi waliwashabulia familia ya kina maria, Mambo yalitumbukia nyongo. Lo Do! Alikuwa mwanaume mwenye tumbo La Kiriba: Alipowasili kwa Sahibu yangu alimgonga baba yake maria. Babake sahibu wangu alikufa Hapo ndipo mayowe yalipotokea.. Lo! Alipotaka kutoka ali adimika kama wali wa daku Bonge la mtu alitokea miangoni na kumshika Mtu huyo alikuwa Simbábuka maana alimshika muuwaji na kumpiga.Lo! Mtu huyo alifanana na baba ya Maria mithili ya shilingi kwa ya pili Muaji alilia kwi kwi kama kitoto Kidogo huku akiomba msamaha. Muaji alipiga moyo konde na kuamka na kuanza kumshabulia kaka ya baba Maria lakini wapi alichapua kama darama maana . Kaka yake baba Maria alikuwa balozi, alijulikana kama pesa. Maria alitulizwa na kwambiwa atulie tuli. Punde si punde maafisa wa polisi waliwasili. Muaji aliweka roho mkononi. Alibebwa na kushikwa ki! na kula kalenda. Kweli alingia katika kaburi ya majuto. Mamake Maria alilia kwa uchungu. Mamake maria alianguka na kuzima zi! Kweli wahenga hawakutulamba mgongo waliposema dunia ni rendile, hukana mbele na nyuma. Maria aliachwa na kuwa yatima. Alikuwa na machozi ya kuwapoteza wazazi wote wawili kwa mara moja. Kweli ulikuwa usiku wa kuogofia.
Hakusahau kuchukua nini
{ "text": [ "Kurunzi" ] }
2958_swa
USIKU WA KUOGOFYA Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Nilitoka kitandani haraka na kutega sikio langu Mayowe niliyoyaskia. Yalinifanya nijue mambo hayakuwa yameenda vizuri Kábla mba unipe kisogo nilivaa mavazi yangu. Sikusahau kuchukua Kurunzi yenye mwanga Mkali kama wa Jua Maana kulikuwa na giza totoro Siku Sahau kubeba silaha ya Kujikinga Nilivaa viatu vyangu na kufungua mlango kwa utaratibu. Nilipo karibia katika nyumba ya sahibu yangu Maria ndivyo nilivyoyasikia mayowe yalivyozidi Baada ya kusikia mayowe walijitokeza kwenda kuwasaidia Kweli ulikuwa umati wa watu Genge la wezi waliwashabulia familia ya kina maria, Mambo yalitumbukia nyongo. Lo Do! Alikuwa mwanaume mwenye tumbo La Kiriba: Alipowasili kwa Sahibu yangu alimgonga baba yake maria. Babake sahibu wangu alikufa Hapo ndipo mayowe yalipotokea.. Lo! Alipotaka kutoka ali adimika kama wali wa daku Bonge la mtu alitokea miangoni na kumshika Mtu huyo alikuwa Simbábuka maana alimshika muuwaji na kumpiga.Lo! Mtu huyo alifanana na baba ya Maria mithili ya shilingi kwa ya pili Muaji alilia kwi kwi kama kitoto Kidogo huku akiomba msamaha. Muaji alipiga moyo konde na kuamka na kuanza kumshabulia kaka ya baba Maria lakini wapi alichapua kama darama maana . Kaka yake baba Maria alikuwa balozi, alijulikana kama pesa. Maria alitulizwa na kwambiwa atulie tuli. Punde si punde maafisa wa polisi waliwasili. Muaji aliweka roho mkononi. Alibebwa na kushikwa ki! na kula kalenda. Kweli alingia katika kaburi ya majuto. Mamake Maria alilia kwa uchungu. Mamake maria alianguka na kuzima zi! Kweli wahenga hawakutulamba mgongo waliposema dunia ni rendile, hukana mbele na nyuma. Maria aliachwa na kuwa yatima. Alikuwa na machozi ya kuwapoteza wazazi wote wawili kwa mara moja. Kweli ulikuwa usiku wa kuogofia.
Genge la wezi lilishambulia familia ya akina nani
{ "text": [ "Maria" ] }
2958_swa
USIKU WA KUOGOFYA Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Nilitoka kitandani haraka na kutega sikio langu Mayowe niliyoyaskia. Yalinifanya nijue mambo hayakuwa yameenda vizuri Kábla mba unipe kisogo nilivaa mavazi yangu. Sikusahau kuchukua Kurunzi yenye mwanga Mkali kama wa Jua Maana kulikuwa na giza totoro Siku Sahau kubeba silaha ya Kujikinga Nilivaa viatu vyangu na kufungua mlango kwa utaratibu. Nilipo karibia katika nyumba ya sahibu yangu Maria ndivyo nilivyoyasikia mayowe yalivyozidi Baada ya kusikia mayowe walijitokeza kwenda kuwasaidia Kweli ulikuwa umati wa watu Genge la wezi waliwashabulia familia ya kina maria, Mambo yalitumbukia nyongo. Lo Do! Alikuwa mwanaume mwenye tumbo La Kiriba: Alipowasili kwa Sahibu yangu alimgonga baba yake maria. Babake sahibu wangu alikufa Hapo ndipo mayowe yalipotokea.. Lo! Alipotaka kutoka ali adimika kama wali wa daku Bonge la mtu alitokea miangoni na kumshika Mtu huyo alikuwa Simbábuka maana alimshika muuwaji na kumpiga.Lo! Mtu huyo alifanana na baba ya Maria mithili ya shilingi kwa ya pili Muaji alilia kwi kwi kama kitoto Kidogo huku akiomba msamaha. Muaji alipiga moyo konde na kuamka na kuanza kumshabulia kaka ya baba Maria lakini wapi alichapua kama darama maana . Kaka yake baba Maria alikuwa balozi, alijulikana kama pesa. Maria alitulizwa na kwambiwa atulie tuli. Punde si punde maafisa wa polisi waliwasili. Muaji aliweka roho mkononi. Alibebwa na kushikwa ki! na kula kalenda. Kweli alingia katika kaburi ya majuto. Mamake Maria alilia kwa uchungu. Mamake maria alianguka na kuzima zi! Kweli wahenga hawakutulamba mgongo waliposema dunia ni rendile, hukana mbele na nyuma. Maria aliachwa na kuwa yatima. Alikuwa na machozi ya kuwapoteza wazazi wote wawili kwa mara moja. Kweli ulikuwa usiku wa kuogofia.
mayowe yaliskika lini
{ "text": [ "usiku wa manane" ] }
2958_swa
USIKU WA KUOGOFYA Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Nilitoka kitandani haraka na kutega sikio langu Mayowe niliyoyaskia. Yalinifanya nijue mambo hayakuwa yameenda vizuri Kábla mba unipe kisogo nilivaa mavazi yangu. Sikusahau kuchukua Kurunzi yenye mwanga Mkali kama wa Jua Maana kulikuwa na giza totoro Siku Sahau kubeba silaha ya Kujikinga Nilivaa viatu vyangu na kufungua mlango kwa utaratibu. Nilipo karibia katika nyumba ya sahibu yangu Maria ndivyo nilivyoyasikia mayowe yalivyozidi Baada ya kusikia mayowe walijitokeza kwenda kuwasaidia Kweli ulikuwa umati wa watu Genge la wezi waliwashabulia familia ya kina maria, Mambo yalitumbukia nyongo. Lo Do! Alikuwa mwanaume mwenye tumbo La Kiriba: Alipowasili kwa Sahibu yangu alimgonga baba yake maria. Babake sahibu wangu alikufa Hapo ndipo mayowe yalipotokea.. Lo! Alipotaka kutoka ali adimika kama wali wa daku Bonge la mtu alitokea miangoni na kumshika Mtu huyo alikuwa Simbábuka maana alimshika muuwaji na kumpiga.Lo! Mtu huyo alifanana na baba ya Maria mithili ya shilingi kwa ya pili Muaji alilia kwi kwi kama kitoto Kidogo huku akiomba msamaha. Muaji alipiga moyo konde na kuamka na kuanza kumshabulia kaka ya baba Maria lakini wapi alichapua kama darama maana . Kaka yake baba Maria alikuwa balozi, alijulikana kama pesa. Maria alitulizwa na kwambiwa atulie tuli. Punde si punde maafisa wa polisi waliwasili. Muaji aliweka roho mkononi. Alibebwa na kushikwa ki! na kula kalenda. Kweli alingia katika kaburi ya majuto. Mamake Maria alilia kwa uchungu. Mamake maria alianguka na kuzima zi! Kweli wahenga hawakutulamba mgongo waliposema dunia ni rendile, hukana mbele na nyuma. Maria aliachwa na kuwa yatima. Alikuwa na machozi ya kuwapoteza wazazi wote wawili kwa mara moja. Kweli ulikuwa usiku wa kuogofia.
Mbona mayowe yalitokea
{ "text": [ "hii ni kwa sababu babake maria alikufa" ] }
2959_swa
USIKU WAKUTISHA Ulikuwa usiku wa manane niposikia mayowe. Undwee huo ulikua ukiloka kwenye jumba la mzee mmoja aliyeitwa Mzee Tumbojoto Nilikimbia wanguwangu nikikumbuka mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo . Niupata, umati wa watu umesanyika kwenye lango kuu Mzee Tumbojoto pamoja na mkewe aliyeitwe Asha walikuwa ndani ya jumba hilo Zainabu bintiye tumbojoto alikuwa ndani ya chumba. Nilisindria kwenye umati wa watu kutaka kuona kilichokuwa kikiendelea. Nilipokaribia nili waona baraza la wazee ndani humo wakiongea kuhusu kisa kilichokuwa kikiendelea kaka yangu Muski aliwasili na kunuliza kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alitoka nje ya jumba, mama yangu alitembea asteaste! Kumuulizo, kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alimwita mama kando na kumwelezea kilichokuwa kikiendelea. Walipomaliza mama ashutuka kwa mshangao Muski akamuuliza mama “ Mama nini kinacho endelea” Mama akakimya kwa sekunde moja. Mama alipotuambio, tulipigwa na butwaa Tuliangaliana kwa macho, za huruma Nilipata nafasi kuingia katika jumba hilo umiliona Kuwa Mzee Tumbojoto alikuwa na kidonda kubwa iliyonifanya nihisi uchungu. Nilimuhurimia bawabu huyo, bila shake hipokuwa nikiangalia aangalia niliambiwa nisiende kwenye chumba Kilichokuwa na mlango jeupe kama theluni. Niliambiwa chumba hicho kilukuwa na joka Kubwa aina ya Anakonda Nilishuka kama mja aliyemwona, Osama mwenye huasana usickoma hadi siku yakiama Shahibu, wangu Zainabu lalikuwa na wasiwasi kama mwasi aliyetoroka waasi wenye Nilijaribu kumrai, rafiki yangu lakini alimeza mshumari. Mama alijaribu kumdekeza bi Asha kwa majonzi aliyo nayo. Mzee Tumbo joto alikuwa akilala usingizi. wa pono, aliposikia kitu kikimguza miguuni akaona joka jeusi tititi kikitaka kumuuma alipiga unyende lakini joka hilo lenye sumu lini muuma kwenye paja lake. Alishiwa na nguvu Bi Asha alipokuwa akingia kumpelekea mumewe maji akanywe aliona joka hilo mayowe akisema Saidia Saidia! Mzee Jumbojoto alibaki kwenye giza totoro ndani ya chumba Mwana mumu mmoja alijitokeza kwenda kumwokoa mzee Tumbojoto alienda kwa utaratibu hali kwenye lango la chumba hilo aliufungua akaakisha kuruna kumulika akaliona joka hilo. likuwa limejikunja chini ya kitanda ambacho mzee Tumbojoto alikua analala. Joka lilikuwalimetulia, mwanamune huyo alienda akambeba mzee Tumbojoto kwenye bega na kutoka naye punde si punde alipoenda kufunga mlango joka lilimuuma kwenye mkono wake wakulia Mamaye, Zanabi aliwaita wagungo wawili waje wamtibu mumewe. Mwanamume yule alikuwa msamaria mwema Asha akaniambia kwa machozi. Mzee Tumbojoto alitibiwa akini alipiteza goko yake .
Mayowe yalitoka katika nyumba ya mzee yupi
{ "text": [ "Tumbojoto" ] }
2959_swa
USIKU WAKUTISHA Ulikuwa usiku wa manane niposikia mayowe. Undwee huo ulikua ukiloka kwenye jumba la mzee mmoja aliyeitwa Mzee Tumbojoto Nilikimbia wanguwangu nikikumbuka mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo . Niupata, umati wa watu umesanyika kwenye lango kuu Mzee Tumbojoto pamoja na mkewe aliyeitwe Asha walikuwa ndani ya jumba hilo Zainabu bintiye tumbojoto alikuwa ndani ya chumba. Nilisindria kwenye umati wa watu kutaka kuona kilichokuwa kikiendelea. Nilipokaribia nili waona baraza la wazee ndani humo wakiongea kuhusu kisa kilichokuwa kikiendelea kaka yangu Muski aliwasili na kunuliza kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alitoka nje ya jumba, mama yangu alitembea asteaste! Kumuulizo, kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alimwita mama kando na kumwelezea kilichokuwa kikiendelea. Walipomaliza mama ashutuka kwa mshangao Muski akamuuliza mama “ Mama nini kinacho endelea” Mama akakimya kwa sekunde moja. Mama alipotuambio, tulipigwa na butwaa Tuliangaliana kwa macho, za huruma Nilipata nafasi kuingia katika jumba hilo umiliona Kuwa Mzee Tumbojoto alikuwa na kidonda kubwa iliyonifanya nihisi uchungu. Nilimuhurimia bawabu huyo, bila shake hipokuwa nikiangalia aangalia niliambiwa nisiende kwenye chumba Kilichokuwa na mlango jeupe kama theluni. Niliambiwa chumba hicho kilukuwa na joka Kubwa aina ya Anakonda Nilishuka kama mja aliyemwona, Osama mwenye huasana usickoma hadi siku yakiama Shahibu, wangu Zainabu lalikuwa na wasiwasi kama mwasi aliyetoroka waasi wenye Nilijaribu kumrai, rafiki yangu lakini alimeza mshumari. Mama alijaribu kumdekeza bi Asha kwa majonzi aliyo nayo. Mzee Tumbo joto alikuwa akilala usingizi. wa pono, aliposikia kitu kikimguza miguuni akaona joka jeusi tititi kikitaka kumuuma alipiga unyende lakini joka hilo lenye sumu lini muuma kwenye paja lake. Alishiwa na nguvu Bi Asha alipokuwa akingia kumpelekea mumewe maji akanywe aliona joka hilo mayowe akisema Saidia Saidia! Mzee Jumbojoto alibaki kwenye giza totoro ndani ya chumba Mwana mumu mmoja alijitokeza kwenda kumwokoa mzee Tumbojoto alienda kwa utaratibu hali kwenye lango la chumba hilo aliufungua akaakisha kuruna kumulika akaliona joka hilo. likuwa limejikunja chini ya kitanda ambacho mzee Tumbojoto alikua analala. Joka lilikuwalimetulia, mwanamune huyo alienda akambeba mzee Tumbojoto kwenye bega na kutoka naye punde si punde alipoenda kufunga mlango joka lilimuuma kwenye mkono wake wakulia Mamaye, Zanabi aliwaita wagungo wawili waje wamtibu mumewe. Mwanamume yule alikuwa msamaria mwema Asha akaniambia kwa machozi. Mzee Tumbojoto alitibiwa akini alipiteza goko yake .
Msimulizi aliyasikia mayowe saa ngapi
{ "text": [ "Usiku wa manane" ] }
2959_swa
USIKU WAKUTISHA Ulikuwa usiku wa manane niposikia mayowe. Undwee huo ulikua ukiloka kwenye jumba la mzee mmoja aliyeitwa Mzee Tumbojoto Nilikimbia wanguwangu nikikumbuka mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo . Niupata, umati wa watu umesanyika kwenye lango kuu Mzee Tumbojoto pamoja na mkewe aliyeitwe Asha walikuwa ndani ya jumba hilo Zainabu bintiye tumbojoto alikuwa ndani ya chumba. Nilisindria kwenye umati wa watu kutaka kuona kilichokuwa kikiendelea. Nilipokaribia nili waona baraza la wazee ndani humo wakiongea kuhusu kisa kilichokuwa kikiendelea kaka yangu Muski aliwasili na kunuliza kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alitoka nje ya jumba, mama yangu alitembea asteaste! Kumuulizo, kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alimwita mama kando na kumwelezea kilichokuwa kikiendelea. Walipomaliza mama ashutuka kwa mshangao Muski akamuuliza mama “ Mama nini kinacho endelea” Mama akakimya kwa sekunde moja. Mama alipotuambio, tulipigwa na butwaa Tuliangaliana kwa macho, za huruma Nilipata nafasi kuingia katika jumba hilo umiliona Kuwa Mzee Tumbojoto alikuwa na kidonda kubwa iliyonifanya nihisi uchungu. Nilimuhurimia bawabu huyo, bila shake hipokuwa nikiangalia aangalia niliambiwa nisiende kwenye chumba Kilichokuwa na mlango jeupe kama theluni. Niliambiwa chumba hicho kilukuwa na joka Kubwa aina ya Anakonda Nilishuka kama mja aliyemwona, Osama mwenye huasana usickoma hadi siku yakiama Shahibu, wangu Zainabu lalikuwa na wasiwasi kama mwasi aliyetoroka waasi wenye Nilijaribu kumrai, rafiki yangu lakini alimeza mshumari. Mama alijaribu kumdekeza bi Asha kwa majonzi aliyo nayo. Mzee Tumbo joto alikuwa akilala usingizi. wa pono, aliposikia kitu kikimguza miguuni akaona joka jeusi tititi kikitaka kumuuma alipiga unyende lakini joka hilo lenye sumu lini muuma kwenye paja lake. Alishiwa na nguvu Bi Asha alipokuwa akingia kumpelekea mumewe maji akanywe aliona joka hilo mayowe akisema Saidia Saidia! Mzee Jumbojoto alibaki kwenye giza totoro ndani ya chumba Mwana mumu mmoja alijitokeza kwenda kumwokoa mzee Tumbojoto alienda kwa utaratibu hali kwenye lango la chumba hilo aliufungua akaakisha kuruna kumulika akaliona joka hilo. likuwa limejikunja chini ya kitanda ambacho mzee Tumbojoto alikua analala. Joka lilikuwalimetulia, mwanamune huyo alienda akambeba mzee Tumbojoto kwenye bega na kutoka naye punde si punde alipoenda kufunga mlango joka lilimuuma kwenye mkono wake wakulia Mamaye, Zanabi aliwaita wagungo wawili waje wamtibu mumewe. Mwanamume yule alikuwa msamaria mwema Asha akaniambia kwa machozi. Mzee Tumbojoto alitibiwa akini alipiteza goko yake .
Mkewe Tumbojoto aliitwa nani
{ "text": [ "Asha" ] }
2959_swa
USIKU WAKUTISHA Ulikuwa usiku wa manane niposikia mayowe. Undwee huo ulikua ukiloka kwenye jumba la mzee mmoja aliyeitwa Mzee Tumbojoto Nilikimbia wanguwangu nikikumbuka mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo . Niupata, umati wa watu umesanyika kwenye lango kuu Mzee Tumbojoto pamoja na mkewe aliyeitwe Asha walikuwa ndani ya jumba hilo Zainabu bintiye tumbojoto alikuwa ndani ya chumba. Nilisindria kwenye umati wa watu kutaka kuona kilichokuwa kikiendelea. Nilipokaribia nili waona baraza la wazee ndani humo wakiongea kuhusu kisa kilichokuwa kikiendelea kaka yangu Muski aliwasili na kunuliza kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alitoka nje ya jumba, mama yangu alitembea asteaste! Kumuulizo, kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alimwita mama kando na kumwelezea kilichokuwa kikiendelea. Walipomaliza mama ashutuka kwa mshangao Muski akamuuliza mama “ Mama nini kinacho endelea” Mama akakimya kwa sekunde moja. Mama alipotuambio, tulipigwa na butwaa Tuliangaliana kwa macho, za huruma Nilipata nafasi kuingia katika jumba hilo umiliona Kuwa Mzee Tumbojoto alikuwa na kidonda kubwa iliyonifanya nihisi uchungu. Nilimuhurimia bawabu huyo, bila shake hipokuwa nikiangalia aangalia niliambiwa nisiende kwenye chumba Kilichokuwa na mlango jeupe kama theluni. Niliambiwa chumba hicho kilukuwa na joka Kubwa aina ya Anakonda Nilishuka kama mja aliyemwona, Osama mwenye huasana usickoma hadi siku yakiama Shahibu, wangu Zainabu lalikuwa na wasiwasi kama mwasi aliyetoroka waasi wenye Nilijaribu kumrai, rafiki yangu lakini alimeza mshumari. Mama alijaribu kumdekeza bi Asha kwa majonzi aliyo nayo. Mzee Tumbo joto alikuwa akilala usingizi. wa pono, aliposikia kitu kikimguza miguuni akaona joka jeusi tititi kikitaka kumuuma alipiga unyende lakini joka hilo lenye sumu lini muuma kwenye paja lake. Alishiwa na nguvu Bi Asha alipokuwa akingia kumpelekea mumewe maji akanywe aliona joka hilo mayowe akisema Saidia Saidia! Mzee Jumbojoto alibaki kwenye giza totoro ndani ya chumba Mwana mumu mmoja alijitokeza kwenda kumwokoa mzee Tumbojoto alienda kwa utaratibu hali kwenye lango la chumba hilo aliufungua akaakisha kuruna kumulika akaliona joka hilo. likuwa limejikunja chini ya kitanda ambacho mzee Tumbojoto alikua analala. Joka lilikuwalimetulia, mwanamune huyo alienda akambeba mzee Tumbojoto kwenye bega na kutoka naye punde si punde alipoenda kufunga mlango joka lilimuuma kwenye mkono wake wakulia Mamaye, Zanabi aliwaita wagungo wawili waje wamtibu mumewe. Mwanamume yule alikuwa msamaria mwema Asha akaniambia kwa machozi. Mzee Tumbojoto alitibiwa akini alipiteza goko yake .
Mzee Tumbojoto na Asha walikuwa na binti aliyeitwa nani
{ "text": [ "Zainabu" ] }
2959_swa
USIKU WAKUTISHA Ulikuwa usiku wa manane niposikia mayowe. Undwee huo ulikua ukiloka kwenye jumba la mzee mmoja aliyeitwa Mzee Tumbojoto Nilikimbia wanguwangu nikikumbuka mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo . Niupata, umati wa watu umesanyika kwenye lango kuu Mzee Tumbojoto pamoja na mkewe aliyeitwe Asha walikuwa ndani ya jumba hilo Zainabu bintiye tumbojoto alikuwa ndani ya chumba. Nilisindria kwenye umati wa watu kutaka kuona kilichokuwa kikiendelea. Nilipokaribia nili waona baraza la wazee ndani humo wakiongea kuhusu kisa kilichokuwa kikiendelea kaka yangu Muski aliwasili na kunuliza kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alitoka nje ya jumba, mama yangu alitembea asteaste! Kumuulizo, kilichokuwa kikiendelea Bi Asha alimwita mama kando na kumwelezea kilichokuwa kikiendelea. Walipomaliza mama ashutuka kwa mshangao Muski akamuuliza mama “ Mama nini kinacho endelea” Mama akakimya kwa sekunde moja. Mama alipotuambio, tulipigwa na butwaa Tuliangaliana kwa macho, za huruma Nilipata nafasi kuingia katika jumba hilo umiliona Kuwa Mzee Tumbojoto alikuwa na kidonda kubwa iliyonifanya nihisi uchungu. Nilimuhurimia bawabu huyo, bila shake hipokuwa nikiangalia aangalia niliambiwa nisiende kwenye chumba Kilichokuwa na mlango jeupe kama theluni. Niliambiwa chumba hicho kilukuwa na joka Kubwa aina ya Anakonda Nilishuka kama mja aliyemwona, Osama mwenye huasana usickoma hadi siku yakiama Shahibu, wangu Zainabu lalikuwa na wasiwasi kama mwasi aliyetoroka waasi wenye Nilijaribu kumrai, rafiki yangu lakini alimeza mshumari. Mama alijaribu kumdekeza bi Asha kwa majonzi aliyo nayo. Mzee Tumbo joto alikuwa akilala usingizi. wa pono, aliposikia kitu kikimguza miguuni akaona joka jeusi tititi kikitaka kumuuma alipiga unyende lakini joka hilo lenye sumu lini muuma kwenye paja lake. Alishiwa na nguvu Bi Asha alipokuwa akingia kumpelekea mumewe maji akanywe aliona joka hilo mayowe akisema Saidia Saidia! Mzee Jumbojoto alibaki kwenye giza totoro ndani ya chumba Mwana mumu mmoja alijitokeza kwenda kumwokoa mzee Tumbojoto alienda kwa utaratibu hali kwenye lango la chumba hilo aliufungua akaakisha kuruna kumulika akaliona joka hilo. likuwa limejikunja chini ya kitanda ambacho mzee Tumbojoto alikua analala. Joka lilikuwalimetulia, mwanamune huyo alienda akambeba mzee Tumbojoto kwenye bega na kutoka naye punde si punde alipoenda kufunga mlango joka lilimuuma kwenye mkono wake wakulia Mamaye, Zanabi aliwaita wagungo wawili waje wamtibu mumewe. Mwanamume yule alikuwa msamaria mwema Asha akaniambia kwa machozi. Mzee Tumbojoto alitibiwa akini alipiteza goko yake .
Joka lilikuwa kwenye chumba kilichokuwa na mlango wa rangi gani
{ "text": [ "Nyeupe" ] }
2960_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingekuwa aje kwa sababu nilikuwa nimepoteza pesa ambao wavyele wangu walikuwa wamenipa. Nilikuwa na wasiwasi kama mtu aliyeona nyoka. Niliwaza na kuwazua vile ambavyo wavyele wangu wangenifanyia, kwasababu walikuwa wamesafiri na siku ambayo itakayo fuata ndipo walikuwa wakirejea nyumbani. Niliwakaribisha nyumbani nikiwa na furaha na busara tele lakini moyoni nilikuwa nimejaa huzuni kama watu waliooana mwishwe kuachana Kumbuka wahenga walisema kuwa hasira hasara. Nilipowakaribisha nyumbani niliwapa chai kwa mandao na vinginevyo. Walipomaliza kunywa chai mama yangu aliniuliza vile ambvyo nilikuwa naendelea nikamwabia si mbaya vile kwa sababu wala kunywa kwa siku tatu. Baba akaniuliza mbona hujala kwa siku tatu na nilikupa elfu tatu ili ikushikilie baada ya sisi kuondoka Nilimwambia baba kwamba pesa ambazo alinipa nilipoteza nikazitafuta kila mahali lakini sikupata. Baba yangu alielekea chumbani mwake na Kuuchukua kiboko ili anicharaze lakini mama yangu alimwambia kuwa asinicharaze Kwa sababu pia yeye ashawahi kupoteza pesa jumba hili na hakulipata. Mama akasema Kuwa jumba hili la hitaji maombi kwasabababu hata ukiacha shilingi ishirini kwende msalani hautazipata pesa hizo. Siku iliyofuta Baba yangu alita Mhubirí katika nyumba yetu ili aliombe ndio tujuee nini ambayo inaendelea nyumbani yetu . yule mhubiri alisema kuwa katika jumba hili Kuna pepo ambayo haiwataki mema katika familia yetu na pia inakusanya pesa Mama yangu alianzisha mkutano na kina mama wenzake kuwa kila Alhamisí na Jumanne wawe wakikusanyika kwetu na kufanya maombi ili hilo pepo litoke katika jume letu Hiyo siku niligunza methali ambayitakayo sema mtaka yote hukosa yote na pia mtoto akililia wembe mpe:
Kwa nini msimulizi aliwaza na kuwazua
{ "text": [ "Alikuwa amepoteza hela" ] }
2960_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingekuwa aje kwa sababu nilikuwa nimepoteza pesa ambao wavyele wangu walikuwa wamenipa. Nilikuwa na wasiwasi kama mtu aliyeona nyoka. Niliwaza na kuwazua vile ambavyo wavyele wangu wangenifanyia, kwasababu walikuwa wamesafiri na siku ambayo itakayo fuata ndipo walikuwa wakirejea nyumbani. Niliwakaribisha nyumbani nikiwa na furaha na busara tele lakini moyoni nilikuwa nimejaa huzuni kama watu waliooana mwishwe kuachana Kumbuka wahenga walisema kuwa hasira hasara. Nilipowakaribisha nyumbani niliwapa chai kwa mandao na vinginevyo. Walipomaliza kunywa chai mama yangu aliniuliza vile ambvyo nilikuwa naendelea nikamwabia si mbaya vile kwa sababu wala kunywa kwa siku tatu. Baba akaniuliza mbona hujala kwa siku tatu na nilikupa elfu tatu ili ikushikilie baada ya sisi kuondoka Nilimwambia baba kwamba pesa ambazo alinipa nilipoteza nikazitafuta kila mahali lakini sikupata. Baba yangu alielekea chumbani mwake na Kuuchukua kiboko ili anicharaze lakini mama yangu alimwambia kuwa asinicharaze Kwa sababu pia yeye ashawahi kupoteza pesa jumba hili na hakulipata. Mama akasema Kuwa jumba hili la hitaji maombi kwasabababu hata ukiacha shilingi ishirini kwende msalani hautazipata pesa hizo. Siku iliyofuta Baba yangu alita Mhubirí katika nyumba yetu ili aliombe ndio tujuee nini ambayo inaendelea nyumbani yetu . yule mhubiri alisema kuwa katika jumba hili Kuna pepo ambayo haiwataki mema katika familia yetu na pia inakusanya pesa Mama yangu alianzisha mkutano na kina mama wenzake kuwa kila Alhamisí na Jumanne wawe wakikusanyika kwetu na kufanya maombi ili hilo pepo litoke katika jume letu Hiyo siku niligunza methali ambayitakayo sema mtaka yote hukosa yote na pia mtoto akililia wembe mpe:
Nani aliyekuwa amempa msimulizi pesa
{ "text": [ "Wavyele wake" ] }
2960_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingekuwa aje kwa sababu nilikuwa nimepoteza pesa ambao wavyele wangu walikuwa wamenipa. Nilikuwa na wasiwasi kama mtu aliyeona nyoka. Niliwaza na kuwazua vile ambavyo wavyele wangu wangenifanyia, kwasababu walikuwa wamesafiri na siku ambayo itakayo fuata ndipo walikuwa wakirejea nyumbani. Niliwakaribisha nyumbani nikiwa na furaha na busara tele lakini moyoni nilikuwa nimejaa huzuni kama watu waliooana mwishwe kuachana Kumbuka wahenga walisema kuwa hasira hasara. Nilipowakaribisha nyumbani niliwapa chai kwa mandao na vinginevyo. Walipomaliza kunywa chai mama yangu aliniuliza vile ambvyo nilikuwa naendelea nikamwabia si mbaya vile kwa sababu wala kunywa kwa siku tatu. Baba akaniuliza mbona hujala kwa siku tatu na nilikupa elfu tatu ili ikushikilie baada ya sisi kuondoka Nilimwambia baba kwamba pesa ambazo alinipa nilipoteza nikazitafuta kila mahali lakini sikupata. Baba yangu alielekea chumbani mwake na Kuuchukua kiboko ili anicharaze lakini mama yangu alimwambia kuwa asinicharaze Kwa sababu pia yeye ashawahi kupoteza pesa jumba hili na hakulipata. Mama akasema Kuwa jumba hili la hitaji maombi kwasabababu hata ukiacha shilingi ishirini kwende msalani hautazipata pesa hizo. Siku iliyofuta Baba yangu alita Mhubirí katika nyumba yetu ili aliombe ndio tujuee nini ambayo inaendelea nyumbani yetu . yule mhubiri alisema kuwa katika jumba hili Kuna pepo ambayo haiwataki mema katika familia yetu na pia inakusanya pesa Mama yangu alianzisha mkutano na kina mama wenzake kuwa kila Alhamisí na Jumanne wawe wakikusanyika kwetu na kufanya maombi ili hilo pepo litoke katika jume letu Hiyo siku niligunza methali ambayitakayo sema mtaka yote hukosa yote na pia mtoto akililia wembe mpe:
Msimulizi aliwapa nini wavyele wake baada ya kuwakaribisha
{ "text": [ "Chai kwa mandazi" ] }
2960_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingekuwa aje kwa sababu nilikuwa nimepoteza pesa ambao wavyele wangu walikuwa wamenipa. Nilikuwa na wasiwasi kama mtu aliyeona nyoka. Niliwaza na kuwazua vile ambavyo wavyele wangu wangenifanyia, kwasababu walikuwa wamesafiri na siku ambayo itakayo fuata ndipo walikuwa wakirejea nyumbani. Niliwakaribisha nyumbani nikiwa na furaha na busara tele lakini moyoni nilikuwa nimejaa huzuni kama watu waliooana mwishwe kuachana Kumbuka wahenga walisema kuwa hasira hasara. Nilipowakaribisha nyumbani niliwapa chai kwa mandao na vinginevyo. Walipomaliza kunywa chai mama yangu aliniuliza vile ambvyo nilikuwa naendelea nikamwabia si mbaya vile kwa sababu wala kunywa kwa siku tatu. Baba akaniuliza mbona hujala kwa siku tatu na nilikupa elfu tatu ili ikushikilie baada ya sisi kuondoka Nilimwambia baba kwamba pesa ambazo alinipa nilipoteza nikazitafuta kila mahali lakini sikupata. Baba yangu alielekea chumbani mwake na Kuuchukua kiboko ili anicharaze lakini mama yangu alimwambia kuwa asinicharaze Kwa sababu pia yeye ashawahi kupoteza pesa jumba hili na hakulipata. Mama akasema Kuwa jumba hili la hitaji maombi kwasabababu hata ukiacha shilingi ishirini kwende msalani hautazipata pesa hizo. Siku iliyofuta Baba yangu alita Mhubirí katika nyumba yetu ili aliombe ndio tujuee nini ambayo inaendelea nyumbani yetu . yule mhubiri alisema kuwa katika jumba hili Kuna pepo ambayo haiwataki mema katika familia yetu na pia inakusanya pesa Mama yangu alianzisha mkutano na kina mama wenzake kuwa kila Alhamisí na Jumanne wawe wakikusanyika kwetu na kufanya maombi ili hilo pepo litoke katika jume letu Hiyo siku niligunza methali ambayitakayo sema mtaka yote hukosa yote na pia mtoto akililia wembe mpe:
Kiasi kipi cha pesa msimulizi alipewa
{ "text": [ "Elfu tatu" ] }
2960_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingekuwa aje kwa sababu nilikuwa nimepoteza pesa ambao wavyele wangu walikuwa wamenipa. Nilikuwa na wasiwasi kama mtu aliyeona nyoka. Niliwaza na kuwazua vile ambavyo wavyele wangu wangenifanyia, kwasababu walikuwa wamesafiri na siku ambayo itakayo fuata ndipo walikuwa wakirejea nyumbani. Niliwakaribisha nyumbani nikiwa na furaha na busara tele lakini moyoni nilikuwa nimejaa huzuni kama watu waliooana mwishwe kuachana Kumbuka wahenga walisema kuwa hasira hasara. Nilipowakaribisha nyumbani niliwapa chai kwa mandao na vinginevyo. Walipomaliza kunywa chai mama yangu aliniuliza vile ambvyo nilikuwa naendelea nikamwabia si mbaya vile kwa sababu wala kunywa kwa siku tatu. Baba akaniuliza mbona hujala kwa siku tatu na nilikupa elfu tatu ili ikushikilie baada ya sisi kuondoka Nilimwambia baba kwamba pesa ambazo alinipa nilipoteza nikazitafuta kila mahali lakini sikupata. Baba yangu alielekea chumbani mwake na Kuuchukua kiboko ili anicharaze lakini mama yangu alimwambia kuwa asinicharaze Kwa sababu pia yeye ashawahi kupoteza pesa jumba hili na hakulipata. Mama akasema Kuwa jumba hili la hitaji maombi kwasabababu hata ukiacha shilingi ishirini kwende msalani hautazipata pesa hizo. Siku iliyofuta Baba yangu alita Mhubirí katika nyumba yetu ili aliombe ndio tujuee nini ambayo inaendelea nyumbani yetu . yule mhubiri alisema kuwa katika jumba hili Kuna pepo ambayo haiwataki mema katika familia yetu na pia inakusanya pesa Mama yangu alianzisha mkutano na kina mama wenzake kuwa kila Alhamisí na Jumanne wawe wakikusanyika kwetu na kufanya maombi ili hilo pepo litoke katika jume letu Hiyo siku niligunza methali ambayitakayo sema mtaka yote hukosa yote na pia mtoto akililia wembe mpe:
Msimulizi alikuwa hajala kwa siku ngapi
{ "text": [ "Tatu" ] }
2962_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingehuwa ulikuwa tunafaa kuiana mtihani wetu wa kitaifa. Ilikuwa mwezi wa Decemba tarehe kumi na mbili. Nilikuwa katika darasa la nane. Nilikuwa msichana mwerevu sana na Katika Kila mtihani ningeka nambari ya kwanza au nambari ya pili. Nilikuwa nikijuli hana kama sahibu wa kila mwalimu shuleni. pia nilikuwa nikijulikana kama msichana mcheshi sana. Usiku huo nilisoma kwa hamu na ghamu ilinisifeli bali nifaulu Katika mtihani wa kitaifa. Ilipofika siku ya kuanza mtihani, niliamka mafungulia ng'ombe, nilioga Ruta maji fufutende , kisha nikauvalia sare yangu na kakimbia kwa kasi kuenda darasani ilinianze kusoma. Niliomba kwanza ili Mola anijalie Katika mtihani huu. Nilianza kusoma hisabati, kish Kiingereza_tena nikamalizia na Kiswahili. Ilipofika saa kumi na mbili na nusue masahibu na alianza kuingia darasani pamoja na mwalimi akiwafuata nyuma. Alikuwa mwalimu wetu wa hisabati mwalimu phillip, Alianza kwa salam akisema hamjambo wanafunzi hatimaye ninajua mnakumbuka kuwa mnaanza mtihani wengu wa kitai leo. Ninawahimiza mutie bidii nikama kwamba huu ni mlihani ambao itatuonesha kama mume kuwa mkisoma. Katika hizi miaka kumi na moja. Lakini ninamatumaini kwamba mtafaulu kama mlivyo fanya katika mtihani tuliofanya wa majaribio. Lakini mkumbuke methali inayosema samaki akisifiwa tembo hutia maji. Sisi sote tuliyatia hayo maanan. Mtihan ilipofika Tulike ti chini na tukaanza kuifanya. Tulianza na hisabati kisha Kiingereza na tukamalizia na insko. Siku iliyofuata tulianza na sayansi,kiswahil na tukamaliza na insha ya Kiingereza-Ilifika sik ya tatu yaani siku ya mwisho iliyobaki tukaimalize intihani wa kitaifa. Ilikuwa tufanya sosholoja na Somo la Dini. Hizi mtihani miwili zingeweza kuongeza alama zetu katika huu mtihani ilitufaulu rauda. Tulimaliza mtihani yetu na kurudi makwetu tukingoia alama zetu zitokee. Ilipofika wiki ya pili baada ya kuukamilisha mtihani zetu, tulizipata alama zetu.Nilikuwa nambari ya pili katika inchi yetu ya Kenya na alama mia me sitini na sita. Nilikuwa na furaha furiri kwani nilikuwa nimeitwa Katika shule ya kitaifa ya 'Kenya high high school. Ilikuwa shule ambayo inajulikana sana inchini Kenya. Nilimshukuru Mola kwa kunijalia ina kuniwezesha kupita mitihani yangu. Mola asifiwe.
Usiku wote hakupata lepe la nini
{ "text": [ "Usingizi" ] }
2962_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingehuwa ulikuwa tunafaa kuiana mtihani wetu wa kitaifa. Ilikuwa mwezi wa Decemba tarehe kumi na mbili. Nilikuwa katika darasa la nane. Nilikuwa msichana mwerevu sana na Katika Kila mtihani ningeka nambari ya kwanza au nambari ya pili. Nilikuwa nikijuli hana kama sahibu wa kila mwalimu shuleni. pia nilikuwa nikijulikana kama msichana mcheshi sana. Usiku huo nilisoma kwa hamu na ghamu ilinisifeli bali nifaulu Katika mtihani wa kitaifa. Ilipofika siku ya kuanza mtihani, niliamka mafungulia ng'ombe, nilioga Ruta maji fufutende , kisha nikauvalia sare yangu na kakimbia kwa kasi kuenda darasani ilinianze kusoma. Niliomba kwanza ili Mola anijalie Katika mtihani huu. Nilianza kusoma hisabati, kish Kiingereza_tena nikamalizia na Kiswahili. Ilipofika saa kumi na mbili na nusue masahibu na alianza kuingia darasani pamoja na mwalimi akiwafuata nyuma. Alikuwa mwalimu wetu wa hisabati mwalimu phillip, Alianza kwa salam akisema hamjambo wanafunzi hatimaye ninajua mnakumbuka kuwa mnaanza mtihani wengu wa kitai leo. Ninawahimiza mutie bidii nikama kwamba huu ni mlihani ambao itatuonesha kama mume kuwa mkisoma. Katika hizi miaka kumi na moja. Lakini ninamatumaini kwamba mtafaulu kama mlivyo fanya katika mtihani tuliofanya wa majaribio. Lakini mkumbuke methali inayosema samaki akisifiwa tembo hutia maji. Sisi sote tuliyatia hayo maanan. Mtihan ilipofika Tulike ti chini na tukaanza kuifanya. Tulianza na hisabati kisha Kiingereza na tukamalizia na insko. Siku iliyofuata tulianza na sayansi,kiswahil na tukamaliza na insha ya Kiingereza-Ilifika sik ya tatu yaani siku ya mwisho iliyobaki tukaimalize intihani wa kitaifa. Ilikuwa tufanya sosholoja na Somo la Dini. Hizi mtihani miwili zingeweza kuongeza alama zetu katika huu mtihani ilitufaulu rauda. Tulimaliza mtihani yetu na kurudi makwetu tukingoia alama zetu zitokee. Ilipofika wiki ya pili baada ya kuukamilisha mtihani zetu, tulizipata alama zetu.Nilikuwa nambari ya pili katika inchi yetu ya Kenya na alama mia me sitini na sita. Nilikuwa na furaha furiri kwani nilikuwa nimeitwa Katika shule ya kitaifa ya 'Kenya high high school. Ilikuwa shule ambayo inajulikana sana inchini Kenya. Nilimshukuru Mola kwa kunijalia ina kuniwezesha kupita mitihani yangu. Mola asifiwe.
Siku ya kuanza mtihani alioga na maji gani
{ "text": [ "fufutende" ] }
2962_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingehuwa ulikuwa tunafaa kuiana mtihani wetu wa kitaifa. Ilikuwa mwezi wa Decemba tarehe kumi na mbili. Nilikuwa katika darasa la nane. Nilikuwa msichana mwerevu sana na Katika Kila mtihani ningeka nambari ya kwanza au nambari ya pili. Nilikuwa nikijuli hana kama sahibu wa kila mwalimu shuleni. pia nilikuwa nikijulikana kama msichana mcheshi sana. Usiku huo nilisoma kwa hamu na ghamu ilinisifeli bali nifaulu Katika mtihani wa kitaifa. Ilipofika siku ya kuanza mtihani, niliamka mafungulia ng'ombe, nilioga Ruta maji fufutende , kisha nikauvalia sare yangu na kakimbia kwa kasi kuenda darasani ilinianze kusoma. Niliomba kwanza ili Mola anijalie Katika mtihani huu. Nilianza kusoma hisabati, kish Kiingereza_tena nikamalizia na Kiswahili. Ilipofika saa kumi na mbili na nusue masahibu na alianza kuingia darasani pamoja na mwalimi akiwafuata nyuma. Alikuwa mwalimu wetu wa hisabati mwalimu phillip, Alianza kwa salam akisema hamjambo wanafunzi hatimaye ninajua mnakumbuka kuwa mnaanza mtihani wengu wa kitai leo. Ninawahimiza mutie bidii nikama kwamba huu ni mlihani ambao itatuonesha kama mume kuwa mkisoma. Katika hizi miaka kumi na moja. Lakini ninamatumaini kwamba mtafaulu kama mlivyo fanya katika mtihani tuliofanya wa majaribio. Lakini mkumbuke methali inayosema samaki akisifiwa tembo hutia maji. Sisi sote tuliyatia hayo maanan. Mtihan ilipofika Tulike ti chini na tukaanza kuifanya. Tulianza na hisabati kisha Kiingereza na tukamalizia na insko. Siku iliyofuata tulianza na sayansi,kiswahil na tukamaliza na insha ya Kiingereza-Ilifika sik ya tatu yaani siku ya mwisho iliyobaki tukaimalize intihani wa kitaifa. Ilikuwa tufanya sosholoja na Somo la Dini. Hizi mtihani miwili zingeweza kuongeza alama zetu katika huu mtihani ilitufaulu rauda. Tulimaliza mtihani yetu na kurudi makwetu tukingoia alama zetu zitokee. Ilipofika wiki ya pili baada ya kuukamilisha mtihani zetu, tulizipata alama zetu.Nilikuwa nambari ya pili katika inchi yetu ya Kenya na alama mia me sitini na sita. Nilikuwa na furaha furiri kwani nilikuwa nimeitwa Katika shule ya kitaifa ya 'Kenya high high school. Ilikuwa shule ambayo inajulikana sana inchini Kenya. Nilimshukuru Mola kwa kunijalia ina kuniwezesha kupita mitihani yangu. Mola asifiwe.
Masahibu wake walianza kuingia wapi
{ "text": [ "Darasani" ] }
2962_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingehuwa ulikuwa tunafaa kuiana mtihani wetu wa kitaifa. Ilikuwa mwezi wa Decemba tarehe kumi na mbili. Nilikuwa katika darasa la nane. Nilikuwa msichana mwerevu sana na Katika Kila mtihani ningeka nambari ya kwanza au nambari ya pili. Nilikuwa nikijuli hana kama sahibu wa kila mwalimu shuleni. pia nilikuwa nikijulikana kama msichana mcheshi sana. Usiku huo nilisoma kwa hamu na ghamu ilinisifeli bali nifaulu Katika mtihani wa kitaifa. Ilipofika siku ya kuanza mtihani, niliamka mafungulia ng'ombe, nilioga Ruta maji fufutende , kisha nikauvalia sare yangu na kakimbia kwa kasi kuenda darasani ilinianze kusoma. Niliomba kwanza ili Mola anijalie Katika mtihani huu. Nilianza kusoma hisabati, kish Kiingereza_tena nikamalizia na Kiswahili. Ilipofika saa kumi na mbili na nusue masahibu na alianza kuingia darasani pamoja na mwalimi akiwafuata nyuma. Alikuwa mwalimu wetu wa hisabati mwalimu phillip, Alianza kwa salam akisema hamjambo wanafunzi hatimaye ninajua mnakumbuka kuwa mnaanza mtihani wengu wa kitai leo. Ninawahimiza mutie bidii nikama kwamba huu ni mlihani ambao itatuonesha kama mume kuwa mkisoma. Katika hizi miaka kumi na moja. Lakini ninamatumaini kwamba mtafaulu kama mlivyo fanya katika mtihani tuliofanya wa majaribio. Lakini mkumbuke methali inayosema samaki akisifiwa tembo hutia maji. Sisi sote tuliyatia hayo maanan. Mtihan ilipofika Tulike ti chini na tukaanza kuifanya. Tulianza na hisabati kisha Kiingereza na tukamalizia na insko. Siku iliyofuata tulianza na sayansi,kiswahil na tukamaliza na insha ya Kiingereza-Ilifika sik ya tatu yaani siku ya mwisho iliyobaki tukaimalize intihani wa kitaifa. Ilikuwa tufanya sosholoja na Somo la Dini. Hizi mtihani miwili zingeweza kuongeza alama zetu katika huu mtihani ilitufaulu rauda. Tulimaliza mtihani yetu na kurudi makwetu tukingoia alama zetu zitokee. Ilipofika wiki ya pili baada ya kuukamilisha mtihani zetu, tulizipata alama zetu.Nilikuwa nambari ya pili katika inchi yetu ya Kenya na alama mia me sitini na sita. Nilikuwa na furaha furiri kwani nilikuwa nimeitwa Katika shule ya kitaifa ya 'Kenya high high school. Ilikuwa shule ambayo inajulikana sana inchini Kenya. Nilimshukuru Mola kwa kunijalia ina kuniwezesha kupita mitihani yangu. Mola asifiwe.
Walianza na mtihani upi
{ "text": [ "Hisabati" ] }
2962_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna Siku ambayo ilifuata ingehuwa ulikuwa tunafaa kuiana mtihani wetu wa kitaifa. Ilikuwa mwezi wa Decemba tarehe kumi na mbili. Nilikuwa katika darasa la nane. Nilikuwa msichana mwerevu sana na Katika Kila mtihani ningeka nambari ya kwanza au nambari ya pili. Nilikuwa nikijuli hana kama sahibu wa kila mwalimu shuleni. pia nilikuwa nikijulikana kama msichana mcheshi sana. Usiku huo nilisoma kwa hamu na ghamu ilinisifeli bali nifaulu Katika mtihani wa kitaifa. Ilipofika siku ya kuanza mtihani, niliamka mafungulia ng'ombe, nilioga Ruta maji fufutende , kisha nikauvalia sare yangu na kakimbia kwa kasi kuenda darasani ilinianze kusoma. Niliomba kwanza ili Mola anijalie Katika mtihani huu. Nilianza kusoma hisabati, kish Kiingereza_tena nikamalizia na Kiswahili. Ilipofika saa kumi na mbili na nusue masahibu na alianza kuingia darasani pamoja na mwalimi akiwafuata nyuma. Alikuwa mwalimu wetu wa hisabati mwalimu phillip, Alianza kwa salam akisema hamjambo wanafunzi hatimaye ninajua mnakumbuka kuwa mnaanza mtihani wengu wa kitai leo. Ninawahimiza mutie bidii nikama kwamba huu ni mlihani ambao itatuonesha kama mume kuwa mkisoma. Katika hizi miaka kumi na moja. Lakini ninamatumaini kwamba mtafaulu kama mlivyo fanya katika mtihani tuliofanya wa majaribio. Lakini mkumbuke methali inayosema samaki akisifiwa tembo hutia maji. Sisi sote tuliyatia hayo maanan. Mtihan ilipofika Tulike ti chini na tukaanza kuifanya. Tulianza na hisabati kisha Kiingereza na tukamalizia na insko. Siku iliyofuata tulianza na sayansi,kiswahil na tukamaliza na insha ya Kiingereza-Ilifika sik ya tatu yaani siku ya mwisho iliyobaki tukaimalize intihani wa kitaifa. Ilikuwa tufanya sosholoja na Somo la Dini. Hizi mtihani miwili zingeweza kuongeza alama zetu katika huu mtihani ilitufaulu rauda. Tulimaliza mtihani yetu na kurudi makwetu tukingoia alama zetu zitokee. Ilipofika wiki ya pili baada ya kuukamilisha mtihani zetu, tulizipata alama zetu.Nilikuwa nambari ya pili katika inchi yetu ya Kenya na alama mia me sitini na sita. Nilikuwa na furaha furiri kwani nilikuwa nimeitwa Katika shule ya kitaifa ya 'Kenya high high school. Ilikuwa shule ambayo inajulikana sana inchini Kenya. Nilimshukuru Mola kwa kunijalia ina kuniwezesha kupita mitihani yangu. Mola asifiwe.
Kwa nini alikuwa na furaha furifuri
{ "text": [ "Alikuwa wa pili nchini na alama mia nne sitini" ] }
2963_swa
SIKU YA MICHEZO Usiku wote sikupata hata Lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa, kwa sababu shuleni tulikuwa na mashindano katika michezo. Asubuhi yake niliamka mapema na kujitayarisha kuenda shuleni. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Nilipofika shuleni nilipata imepambwa ikapambika. Tenti zilikuwa zimewekwa, maua pia viti. Nilienda darasani nikapata watu wakijitagarisha kufanya mazoezi kabla michezo hazijaanza, naminikawafuata . Tulianza na mazoezi ya mchezo wa kandanda. Baada ya hiyo, tulisikia honi ilikuwa shule moja, ambayo tungeshindana nayo. Hatukuweza Kuendelea na, mazoezi kwa sababu wangejua vile tungecheza Mashule ambao tulikuwa tukishindana nao ilikuwa, "Laiser hill", Majuto na Mariakani Wote walifika salama salmini. Tulianza na mchezo wa mpira wa wavu na tulishindwa na moja . Pili tulienda kwa mchezo wa kuogelea tulikuwa na watu wawili waliokuwa wakishiriki mchezo huo, licha ya hayo shule yetu ilishinda. Baada ya hizo michezo tulienda kupumzika, darasani. Mchezo wa tatu ulikuwa mpira wa kikapu ,katika huu mchezo hatukupata mshindi kwa sababu tulipata matokeo sawa. Tulich?za tena na shule yetu ilishinda. Tulichukuwa mapumziko tukaenda kula chakua cha mchana. Wapishi walikuwa wameandaa vyakula vingi kama vile pilau, wali wa nazi, mahamri, biryani, chapati, mandazi, na mengineo. Baada ya masaa mawili kupita tulirudi kucheza. Tulianza na mchezo wa kukimbia, Wachezaji walikuwa wanakimbia kilomita mbili na kurudi, wa kwanza kurudi ndio mshindi. Walipokuwa wanakimbia, kamera ilikwa ikinawafuata bega kwa bega.Lakini shule nyingine ilitushinda. Tukaenda kwa mchezo wa Raga ambao ni unahitaji wachezaji wenye nguvu ili kufaulu katika mchezo huu.Wachezaji wengi waliumia, lakini shule yetu ilibuka washindi .Baada ya hayo tulienda kwa mchezo wa kandanda , mchezo ninayoupenda sana. Tulicheza kati ya shule zote na tulipata kuibuka washindi . Mwalimu mkuu alihesabu na kutuambia washindi ni Shule yetu. Tulipewa medali kila mtu aliyecheza alipata na kufurahi Shule zingine zilitufurahia Siku hiyo nilirudi nyumbani kama nimejaa uchovu, nilijirusha kitandani na kulala fofofo!.
Nini kilimfanya mwandishi kukosa usingizi?
{ "text": [ "Mawazo" ] }
2963_swa
SIKU YA MICHEZO Usiku wote sikupata hata Lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa, kwa sababu shuleni tulikuwa na mashindano katika michezo. Asubuhi yake niliamka mapema na kujitayarisha kuenda shuleni. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Nilipofika shuleni nilipata imepambwa ikapambika. Tenti zilikuwa zimewekwa, maua pia viti. Nilienda darasani nikapata watu wakijitagarisha kufanya mazoezi kabla michezo hazijaanza, naminikawafuata . Tulianza na mazoezi ya mchezo wa kandanda. Baada ya hiyo, tulisikia honi ilikuwa shule moja, ambayo tungeshindana nayo. Hatukuweza Kuendelea na, mazoezi kwa sababu wangejua vile tungecheza Mashule ambao tulikuwa tukishindana nao ilikuwa, "Laiser hill", Majuto na Mariakani Wote walifika salama salmini. Tulianza na mchezo wa mpira wa wavu na tulishindwa na moja . Pili tulienda kwa mchezo wa kuogelea tulikuwa na watu wawili waliokuwa wakishiriki mchezo huo, licha ya hayo shule yetu ilishinda. Baada ya hizo michezo tulienda kupumzika, darasani. Mchezo wa tatu ulikuwa mpira wa kikapu ,katika huu mchezo hatukupata mshindi kwa sababu tulipata matokeo sawa. Tulich?za tena na shule yetu ilishinda. Tulichukuwa mapumziko tukaenda kula chakua cha mchana. Wapishi walikuwa wameandaa vyakula vingi kama vile pilau, wali wa nazi, mahamri, biryani, chapati, mandazi, na mengineo. Baada ya masaa mawili kupita tulirudi kucheza. Tulianza na mchezo wa kukimbia, Wachezaji walikuwa wanakimbia kilomita mbili na kurudi, wa kwanza kurudi ndio mshindi. Walipokuwa wanakimbia, kamera ilikwa ikinawafuata bega kwa bega.Lakini shule nyingine ilitushinda. Tukaenda kwa mchezo wa Raga ambao ni unahitaji wachezaji wenye nguvu ili kufaulu katika mchezo huu.Wachezaji wengi waliumia, lakini shule yetu ilibuka washindi .Baada ya hayo tulienda kwa mchezo wa kandanda , mchezo ninayoupenda sana. Tulicheza kati ya shule zote na tulipata kuibuka washindi . Mwalimu mkuu alihesabu na kutuambia washindi ni Shule yetu. Tulipewa medali kila mtu aliyecheza alipata na kufurahi Shule zingine zilitufurahia Siku hiyo nilirudi nyumbani kama nimejaa uchovu, nilijirusha kitandani na kulala fofofo!.
Michezo shuleni ilikuwa inafanyika siku gani?
{ "text": [ "Ijumaa" ] }
2963_swa
SIKU YA MICHEZO Usiku wote sikupata hata Lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa, kwa sababu shuleni tulikuwa na mashindano katika michezo. Asubuhi yake niliamka mapema na kujitayarisha kuenda shuleni. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Nilipofika shuleni nilipata imepambwa ikapambika. Tenti zilikuwa zimewekwa, maua pia viti. Nilienda darasani nikapata watu wakijitagarisha kufanya mazoezi kabla michezo hazijaanza, naminikawafuata . Tulianza na mazoezi ya mchezo wa kandanda. Baada ya hiyo, tulisikia honi ilikuwa shule moja, ambayo tungeshindana nayo. Hatukuweza Kuendelea na, mazoezi kwa sababu wangejua vile tungecheza Mashule ambao tulikuwa tukishindana nao ilikuwa, "Laiser hill", Majuto na Mariakani Wote walifika salama salmini. Tulianza na mchezo wa mpira wa wavu na tulishindwa na moja . Pili tulienda kwa mchezo wa kuogelea tulikuwa na watu wawili waliokuwa wakishiriki mchezo huo, licha ya hayo shule yetu ilishinda. Baada ya hizo michezo tulienda kupumzika, darasani. Mchezo wa tatu ulikuwa mpira wa kikapu ,katika huu mchezo hatukupata mshindi kwa sababu tulipata matokeo sawa. Tulich?za tena na shule yetu ilishinda. Tulichukuwa mapumziko tukaenda kula chakua cha mchana. Wapishi walikuwa wameandaa vyakula vingi kama vile pilau, wali wa nazi, mahamri, biryani, chapati, mandazi, na mengineo. Baada ya masaa mawili kupita tulirudi kucheza. Tulianza na mchezo wa kukimbia, Wachezaji walikuwa wanakimbia kilomita mbili na kurudi, wa kwanza kurudi ndio mshindi. Walipokuwa wanakimbia, kamera ilikwa ikinawafuata bega kwa bega.Lakini shule nyingine ilitushinda. Tukaenda kwa mchezo wa Raga ambao ni unahitaji wachezaji wenye nguvu ili kufaulu katika mchezo huu.Wachezaji wengi waliumia, lakini shule yetu ilibuka washindi .Baada ya hayo tulienda kwa mchezo wa kandanda , mchezo ninayoupenda sana. Tulicheza kati ya shule zote na tulipata kuibuka washindi . Mwalimu mkuu alihesabu na kutuambia washindi ni Shule yetu. Tulipewa medali kila mtu aliyecheza alipata na kufurahi Shule zingine zilitufurahia Siku hiyo nilirudi nyumbani kama nimejaa uchovu, nilijirusha kitandani na kulala fofofo!.
Mwandishi na darasa lake walianza mazoezi ya mchezo upi?
{ "text": [ "Kandanda" ] }
2963_swa
SIKU YA MICHEZO Usiku wote sikupata hata Lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa, kwa sababu shuleni tulikuwa na mashindano katika michezo. Asubuhi yake niliamka mapema na kujitayarisha kuenda shuleni. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Nilipofika shuleni nilipata imepambwa ikapambika. Tenti zilikuwa zimewekwa, maua pia viti. Nilienda darasani nikapata watu wakijitagarisha kufanya mazoezi kabla michezo hazijaanza, naminikawafuata . Tulianza na mazoezi ya mchezo wa kandanda. Baada ya hiyo, tulisikia honi ilikuwa shule moja, ambayo tungeshindana nayo. Hatukuweza Kuendelea na, mazoezi kwa sababu wangejua vile tungecheza Mashule ambao tulikuwa tukishindana nao ilikuwa, "Laiser hill", Majuto na Mariakani Wote walifika salama salmini. Tulianza na mchezo wa mpira wa wavu na tulishindwa na moja . Pili tulienda kwa mchezo wa kuogelea tulikuwa na watu wawili waliokuwa wakishiriki mchezo huo, licha ya hayo shule yetu ilishinda. Baada ya hizo michezo tulienda kupumzika, darasani. Mchezo wa tatu ulikuwa mpira wa kikapu ,katika huu mchezo hatukupata mshindi kwa sababu tulipata matokeo sawa. Tulich?za tena na shule yetu ilishinda. Tulichukuwa mapumziko tukaenda kula chakua cha mchana. Wapishi walikuwa wameandaa vyakula vingi kama vile pilau, wali wa nazi, mahamri, biryani, chapati, mandazi, na mengineo. Baada ya masaa mawili kupita tulirudi kucheza. Tulianza na mchezo wa kukimbia, Wachezaji walikuwa wanakimbia kilomita mbili na kurudi, wa kwanza kurudi ndio mshindi. Walipokuwa wanakimbia, kamera ilikwa ikinawafuata bega kwa bega.Lakini shule nyingine ilitushinda. Tukaenda kwa mchezo wa Raga ambao ni unahitaji wachezaji wenye nguvu ili kufaulu katika mchezo huu.Wachezaji wengi waliumia, lakini shule yetu ilibuka washindi .Baada ya hayo tulienda kwa mchezo wa kandanda , mchezo ninayoupenda sana. Tulicheza kati ya shule zote na tulipata kuibuka washindi . Mwalimu mkuu alihesabu na kutuambia washindi ni Shule yetu. Tulipewa medali kila mtu aliyecheza alipata na kufurahi Shule zingine zilitufurahia Siku hiyo nilirudi nyumbani kama nimejaa uchovu, nilijirusha kitandani na kulala fofofo!.
Mwandishi alikuwa anashindana na shule ipi?
{ "text": [ "Laiser Hill" ] }
2963_swa
SIKU YA MICHEZO Usiku wote sikupata hata Lepe la usingizi niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa, kwa sababu shuleni tulikuwa na mashindano katika michezo. Asubuhi yake niliamka mapema na kujitayarisha kuenda shuleni. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa. Nilipofika shuleni nilipata imepambwa ikapambika. Tenti zilikuwa zimewekwa, maua pia viti. Nilienda darasani nikapata watu wakijitagarisha kufanya mazoezi kabla michezo hazijaanza, naminikawafuata . Tulianza na mazoezi ya mchezo wa kandanda. Baada ya hiyo, tulisikia honi ilikuwa shule moja, ambayo tungeshindana nayo. Hatukuweza Kuendelea na, mazoezi kwa sababu wangejua vile tungecheza Mashule ambao tulikuwa tukishindana nao ilikuwa, "Laiser hill", Majuto na Mariakani Wote walifika salama salmini. Tulianza na mchezo wa mpira wa wavu na tulishindwa na moja . Pili tulienda kwa mchezo wa kuogelea tulikuwa na watu wawili waliokuwa wakishiriki mchezo huo, licha ya hayo shule yetu ilishinda. Baada ya hizo michezo tulienda kupumzika, darasani. Mchezo wa tatu ulikuwa mpira wa kikapu ,katika huu mchezo hatukupata mshindi kwa sababu tulipata matokeo sawa. Tulich?za tena na shule yetu ilishinda. Tulichukuwa mapumziko tukaenda kula chakua cha mchana. Wapishi walikuwa wameandaa vyakula vingi kama vile pilau, wali wa nazi, mahamri, biryani, chapati, mandazi, na mengineo. Baada ya masaa mawili kupita tulirudi kucheza. Tulianza na mchezo wa kukimbia, Wachezaji walikuwa wanakimbia kilomita mbili na kurudi, wa kwanza kurudi ndio mshindi. Walipokuwa wanakimbia, kamera ilikwa ikinawafuata bega kwa bega.Lakini shule nyingine ilitushinda. Tukaenda kwa mchezo wa Raga ambao ni unahitaji wachezaji wenye nguvu ili kufaulu katika mchezo huu.Wachezaji wengi waliumia, lakini shule yetu ilibuka washindi .Baada ya hayo tulienda kwa mchezo wa kandanda , mchezo ninayoupenda sana. Tulicheza kati ya shule zote na tulipata kuibuka washindi . Mwalimu mkuu alihesabu na kutuambia washindi ni Shule yetu. Tulipewa medali kila mtu aliyecheza alipata na kufurahi Shule zingine zilitufurahia Siku hiyo nilirudi nyumbani kama nimejaa uchovu, nilijirusha kitandani na kulala fofofo!.
Shule ya mwandishi ilifanya vipi katika mchezo wa voliboli?
{ "text": [ "Ilishindwa" ] }
2964_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwa na Kowazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa Sautifulani ilikuwa ikisikika hote. Niliamua kwenda Kuchunguza kilichotoa sauti hiyo. Nilianda mana na kaka yangu; ambaye alikuwa akitazamana na rununu. Sauti hiyo ilikuwa ikinichemsha bongo kwamuda mrefu. Nilijiambia, wasemao leo ni leo na wa kesho huzikwa katika kaburi la sahau. Tulipofika nje, sauti ulisikika kutoka kondeni, nilite mbea asteaste nikiacha kaka nyuma. Niliona mja akiwa Kwenye kilele cha mti wa maparachichi, huku akila maparachichi kwa pupa. "Wewe, nimekushika leo, wewe. mwizi!" nilinena. Wasemavyo waganga na waganguzi, haba na haba hujaza kibaba, aliibaiba na sasa nilikuwa nimemkamata. Adinasi gule aliposikia nikipiga mdomo, aliamua kuruka kutoka juu hadi chini Jambo alilolis hau ni Kowa, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Yeye alichupa na kisha kuanguka ardhini pu! Nilipiga mbio hadi alipokuwa na Kuminua hanga hanga. Majirani walisikia sauti yake na kuja kama swara. Mtu yule alipowaona, alianza kupiga unyende. Aliambia kila mtu kuwa nilimvunja mguu na mikono na hakuwa amefanya chochote. Licha ya hayo alisema Kuwa alikuwa amekuja kuona baba yangu. Umati wa wato ulinibeba hobelahobela mithili ya gunia ya viazi Kalinipeleka katika kituo cha polisi na kunishtaki makosa ya kufanya mwenzangu unyama. Nilivumilia Kila kitu walichosema na kumeza mate machungu huku nikiweka ubongoni methali isemayo, mstahimilivu hula mbiwa Polisi walinitupa gerezani bila kufikia mara mbili. Waliniacha huku nikizana Katika bahari ya huzuni. Nilikaa huko siku kadhaa, familia yangu ilikuwa inaniunga mkono. Walisema kuwa wangeni toa huko. Nilipig dua nisi nipeleke mahakamani. Siku hiyo, polisi mmoja alikuja kwangu na kunitoa gerezani. Alinipeleka moja ku moja hadi garini. Hapo ndipo nigundua kuwa mambo yali huwa yameenda miama. Nilitetemeka. Tulifika mahakamani nami Kuelekezwa Kizimbani. Mahuluki walioniunga mkono walikuwa familia yangu. Waliamini kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifa Wakili yangu alikuwa Ajuza Matebe Mwikali, alijulikan kama pesa kwa busara noh verevu wake. Hakimu alianzisha koti na mshtaki akaanza kutoa maoni yake | Alieleza mambo yote aliyoambia majirani. Alipokuwa akieleza, Ajuza Matebe na kaka yangu walienda kanda na kuanza kuongea mambo yeo. Mimi niliwaomini. Sikuwa na wasiwasi kwa kuwa siku za mwizi ni arubaini. Mshtaki na wakili yake walipofika . tamati wa maneno yao, nilipewa nafasi ya kuongea. Nilihan hia hakimu kila kite Kilichotendeka. Wakili yangu alianza - na kuulizia mavazi mshtaki alivaa siku hiyo. Alipopewa, ali nusio na kumpa jaji anuse pia. Alishangaa kama nja aliyepotez pesa. Nguo zilirukia.... maparachichi! Kila mahuluki alipana macho yake sawa sawa na yale ya Kinyonga. Hakimo alisema kuwa angehitaji kitu kingine ili atuamini, na hap ndipo Kaka alitokea na kuonyesha hakimu picha ya mtu yule akiwa mtini Hapo papo, mshtaki alikula kalenda. Familia yangu ilifurahia na kojowa na furaha tele. Kaka alitueleza kuwa alisikia nikiongea kwa sauti siku hiyo naye akaja na kupiga picha. Nimshuhuru kaka sana. Haka aliye na wasiwasi ya kutoshinda maadamu, mola haachi mja wake. Sote tulisherekea na kujua kuwa mwenda tezi na omo hurejelea ngamani.
Usiku wote sikupata hata lepe la nini
{ "text": [ "Usingizi" ] }
2964_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwa na Kowazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa Sautifulani ilikuwa ikisikika hote. Niliamua kwenda Kuchunguza kilichotoa sauti hiyo. Nilianda mana na kaka yangu; ambaye alikuwa akitazamana na rununu. Sauti hiyo ilikuwa ikinichemsha bongo kwamuda mrefu. Nilijiambia, wasemao leo ni leo na wa kesho huzikwa katika kaburi la sahau. Tulipofika nje, sauti ulisikika kutoka kondeni, nilite mbea asteaste nikiacha kaka nyuma. Niliona mja akiwa Kwenye kilele cha mti wa maparachichi, huku akila maparachichi kwa pupa. "Wewe, nimekushika leo, wewe. mwizi!" nilinena. Wasemavyo waganga na waganguzi, haba na haba hujaza kibaba, aliibaiba na sasa nilikuwa nimemkamata. Adinasi gule aliposikia nikipiga mdomo, aliamua kuruka kutoka juu hadi chini Jambo alilolis hau ni Kowa, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Yeye alichupa na kisha kuanguka ardhini pu! Nilipiga mbio hadi alipokuwa na Kuminua hanga hanga. Majirani walisikia sauti yake na kuja kama swara. Mtu yule alipowaona, alianza kupiga unyende. Aliambia kila mtu kuwa nilimvunja mguu na mikono na hakuwa amefanya chochote. Licha ya hayo alisema Kuwa alikuwa amekuja kuona baba yangu. Umati wa wato ulinibeba hobelahobela mithili ya gunia ya viazi Kalinipeleka katika kituo cha polisi na kunishtaki makosa ya kufanya mwenzangu unyama. Nilivumilia Kila kitu walichosema na kumeza mate machungu huku nikiweka ubongoni methali isemayo, mstahimilivu hula mbiwa Polisi walinitupa gerezani bila kufikia mara mbili. Waliniacha huku nikizana Katika bahari ya huzuni. Nilikaa huko siku kadhaa, familia yangu ilikuwa inaniunga mkono. Walisema kuwa wangeni toa huko. Nilipig dua nisi nipeleke mahakamani. Siku hiyo, polisi mmoja alikuja kwangu na kunitoa gerezani. Alinipeleka moja ku moja hadi garini. Hapo ndipo nigundua kuwa mambo yali huwa yameenda miama. Nilitetemeka. Tulifika mahakamani nami Kuelekezwa Kizimbani. Mahuluki walioniunga mkono walikuwa familia yangu. Waliamini kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifa Wakili yangu alikuwa Ajuza Matebe Mwikali, alijulikan kama pesa kwa busara noh verevu wake. Hakimu alianzisha koti na mshtaki akaanza kutoa maoni yake | Alieleza mambo yote aliyoambia majirani. Alipokuwa akieleza, Ajuza Matebe na kaka yangu walienda kanda na kuanza kuongea mambo yeo. Mimi niliwaomini. Sikuwa na wasiwasi kwa kuwa siku za mwizi ni arubaini. Mshtaki na wakili yake walipofika . tamati wa maneno yao, nilipewa nafasi ya kuongea. Nilihan hia hakimu kila kite Kilichotendeka. Wakili yangu alianza - na kuulizia mavazi mshtaki alivaa siku hiyo. Alipopewa, ali nusio na kumpa jaji anuse pia. Alishangaa kama nja aliyepotez pesa. Nguo zilirukia.... maparachichi! Kila mahuluki alipana macho yake sawa sawa na yale ya Kinyonga. Hakimo alisema kuwa angehitaji kitu kingine ili atuamini, na hap ndipo Kaka alitokea na kuonyesha hakimu picha ya mtu yule akiwa mtini Hapo papo, mshtaki alikula kalenda. Familia yangu ilifurahia na kojowa na furaha tele. Kaka alitueleza kuwa alisikia nikiongea kwa sauti siku hiyo naye akaja na kupiga picha. Nimshuhuru kaka sana. Haka aliye na wasiwasi ya kutoshinda maadamu, mola haachi mja wake. Sote tulisherekea na kujua kuwa mwenda tezi na omo hurejelea ngamani.
Nini kilikuwa kikisikika kote
{ "text": [ "Sauti fulani" ] }
2964_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwa na Kowazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa Sautifulani ilikuwa ikisikika hote. Niliamua kwenda Kuchunguza kilichotoa sauti hiyo. Nilianda mana na kaka yangu; ambaye alikuwa akitazamana na rununu. Sauti hiyo ilikuwa ikinichemsha bongo kwamuda mrefu. Nilijiambia, wasemao leo ni leo na wa kesho huzikwa katika kaburi la sahau. Tulipofika nje, sauti ulisikika kutoka kondeni, nilite mbea asteaste nikiacha kaka nyuma. Niliona mja akiwa Kwenye kilele cha mti wa maparachichi, huku akila maparachichi kwa pupa. "Wewe, nimekushika leo, wewe. mwizi!" nilinena. Wasemavyo waganga na waganguzi, haba na haba hujaza kibaba, aliibaiba na sasa nilikuwa nimemkamata. Adinasi gule aliposikia nikipiga mdomo, aliamua kuruka kutoka juu hadi chini Jambo alilolis hau ni Kowa, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Yeye alichupa na kisha kuanguka ardhini pu! Nilipiga mbio hadi alipokuwa na Kuminua hanga hanga. Majirani walisikia sauti yake na kuja kama swara. Mtu yule alipowaona, alianza kupiga unyende. Aliambia kila mtu kuwa nilimvunja mguu na mikono na hakuwa amefanya chochote. Licha ya hayo alisema Kuwa alikuwa amekuja kuona baba yangu. Umati wa wato ulinibeba hobelahobela mithili ya gunia ya viazi Kalinipeleka katika kituo cha polisi na kunishtaki makosa ya kufanya mwenzangu unyama. Nilivumilia Kila kitu walichosema na kumeza mate machungu huku nikiweka ubongoni methali isemayo, mstahimilivu hula mbiwa Polisi walinitupa gerezani bila kufikia mara mbili. Waliniacha huku nikizana Katika bahari ya huzuni. Nilikaa huko siku kadhaa, familia yangu ilikuwa inaniunga mkono. Walisema kuwa wangeni toa huko. Nilipig dua nisi nipeleke mahakamani. Siku hiyo, polisi mmoja alikuja kwangu na kunitoa gerezani. Alinipeleka moja ku moja hadi garini. Hapo ndipo nigundua kuwa mambo yali huwa yameenda miama. Nilitetemeka. Tulifika mahakamani nami Kuelekezwa Kizimbani. Mahuluki walioniunga mkono walikuwa familia yangu. Waliamini kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifa Wakili yangu alikuwa Ajuza Matebe Mwikali, alijulikan kama pesa kwa busara noh verevu wake. Hakimu alianzisha koti na mshtaki akaanza kutoa maoni yake | Alieleza mambo yote aliyoambia majirani. Alipokuwa akieleza, Ajuza Matebe na kaka yangu walienda kanda na kuanza kuongea mambo yeo. Mimi niliwaomini. Sikuwa na wasiwasi kwa kuwa siku za mwizi ni arubaini. Mshtaki na wakili yake walipofika . tamati wa maneno yao, nilipewa nafasi ya kuongea. Nilihan hia hakimu kila kite Kilichotendeka. Wakili yangu alianza - na kuulizia mavazi mshtaki alivaa siku hiyo. Alipopewa, ali nusio na kumpa jaji anuse pia. Alishangaa kama nja aliyepotez pesa. Nguo zilirukia.... maparachichi! Kila mahuluki alipana macho yake sawa sawa na yale ya Kinyonga. Hakimo alisema kuwa angehitaji kitu kingine ili atuamini, na hap ndipo Kaka alitokea na kuonyesha hakimu picha ya mtu yule akiwa mtini Hapo papo, mshtaki alikula kalenda. Familia yangu ilifurahia na kojowa na furaha tele. Kaka alitueleza kuwa alisikia nikiongea kwa sauti siku hiyo naye akaja na kupiga picha. Nimshuhuru kaka sana. Haka aliye na wasiwasi ya kutoshinda maadamu, mola haachi mja wake. Sote tulisherekea na kujua kuwa mwenda tezi na omo hurejelea ngamani.
Niliamua kwenda kuchunguza nini
{ "text": [ "Kilichotoa sauti hiyo" ] }
2964_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwa na Kowazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa Sautifulani ilikuwa ikisikika hote. Niliamua kwenda Kuchunguza kilichotoa sauti hiyo. Nilianda mana na kaka yangu; ambaye alikuwa akitazamana na rununu. Sauti hiyo ilikuwa ikinichemsha bongo kwamuda mrefu. Nilijiambia, wasemao leo ni leo na wa kesho huzikwa katika kaburi la sahau. Tulipofika nje, sauti ulisikika kutoka kondeni, nilite mbea asteaste nikiacha kaka nyuma. Niliona mja akiwa Kwenye kilele cha mti wa maparachichi, huku akila maparachichi kwa pupa. "Wewe, nimekushika leo, wewe. mwizi!" nilinena. Wasemavyo waganga na waganguzi, haba na haba hujaza kibaba, aliibaiba na sasa nilikuwa nimemkamata. Adinasi gule aliposikia nikipiga mdomo, aliamua kuruka kutoka juu hadi chini Jambo alilolis hau ni Kowa, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Yeye alichupa na kisha kuanguka ardhini pu! Nilipiga mbio hadi alipokuwa na Kuminua hanga hanga. Majirani walisikia sauti yake na kuja kama swara. Mtu yule alipowaona, alianza kupiga unyende. Aliambia kila mtu kuwa nilimvunja mguu na mikono na hakuwa amefanya chochote. Licha ya hayo alisema Kuwa alikuwa amekuja kuona baba yangu. Umati wa wato ulinibeba hobelahobela mithili ya gunia ya viazi Kalinipeleka katika kituo cha polisi na kunishtaki makosa ya kufanya mwenzangu unyama. Nilivumilia Kila kitu walichosema na kumeza mate machungu huku nikiweka ubongoni methali isemayo, mstahimilivu hula mbiwa Polisi walinitupa gerezani bila kufikia mara mbili. Waliniacha huku nikizana Katika bahari ya huzuni. Nilikaa huko siku kadhaa, familia yangu ilikuwa inaniunga mkono. Walisema kuwa wangeni toa huko. Nilipig dua nisi nipeleke mahakamani. Siku hiyo, polisi mmoja alikuja kwangu na kunitoa gerezani. Alinipeleka moja ku moja hadi garini. Hapo ndipo nigundua kuwa mambo yali huwa yameenda miama. Nilitetemeka. Tulifika mahakamani nami Kuelekezwa Kizimbani. Mahuluki walioniunga mkono walikuwa familia yangu. Waliamini kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifa Wakili yangu alikuwa Ajuza Matebe Mwikali, alijulikan kama pesa kwa busara noh verevu wake. Hakimu alianzisha koti na mshtaki akaanza kutoa maoni yake | Alieleza mambo yote aliyoambia majirani. Alipokuwa akieleza, Ajuza Matebe na kaka yangu walienda kanda na kuanza kuongea mambo yeo. Mimi niliwaomini. Sikuwa na wasiwasi kwa kuwa siku za mwizi ni arubaini. Mshtaki na wakili yake walipofika . tamati wa maneno yao, nilipewa nafasi ya kuongea. Nilihan hia hakimu kila kite Kilichotendeka. Wakili yangu alianza - na kuulizia mavazi mshtaki alivaa siku hiyo. Alipopewa, ali nusio na kumpa jaji anuse pia. Alishangaa kama nja aliyepotez pesa. Nguo zilirukia.... maparachichi! Kila mahuluki alipana macho yake sawa sawa na yale ya Kinyonga. Hakimo alisema kuwa angehitaji kitu kingine ili atuamini, na hap ndipo Kaka alitokea na kuonyesha hakimu picha ya mtu yule akiwa mtini Hapo papo, mshtaki alikula kalenda. Familia yangu ilifurahia na kojowa na furaha tele. Kaka alitueleza kuwa alisikia nikiongea kwa sauti siku hiyo naye akaja na kupiga picha. Nimshuhuru kaka sana. Haka aliye na wasiwasi ya kutoshinda maadamu, mola haachi mja wake. Sote tulisherekea na kujua kuwa mwenda tezi na omo hurejelea ngamani.
Sautyi ilisikika kutoka kondeni tulipofika wapi
{ "text": [ "Nje" ] }
2964_swa
Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwa na Kowazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa Sautifulani ilikuwa ikisikika hote. Niliamua kwenda Kuchunguza kilichotoa sauti hiyo. Nilianda mana na kaka yangu; ambaye alikuwa akitazamana na rununu. Sauti hiyo ilikuwa ikinichemsha bongo kwamuda mrefu. Nilijiambia, wasemao leo ni leo na wa kesho huzikwa katika kaburi la sahau. Tulipofika nje, sauti ulisikika kutoka kondeni, nilite mbea asteaste nikiacha kaka nyuma. Niliona mja akiwa Kwenye kilele cha mti wa maparachichi, huku akila maparachichi kwa pupa. "Wewe, nimekushika leo, wewe. mwizi!" nilinena. Wasemavyo waganga na waganguzi, haba na haba hujaza kibaba, aliibaiba na sasa nilikuwa nimemkamata. Adinasi gule aliposikia nikipiga mdomo, aliamua kuruka kutoka juu hadi chini Jambo alilolis hau ni Kowa, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Yeye alichupa na kisha kuanguka ardhini pu! Nilipiga mbio hadi alipokuwa na Kuminua hanga hanga. Majirani walisikia sauti yake na kuja kama swara. Mtu yule alipowaona, alianza kupiga unyende. Aliambia kila mtu kuwa nilimvunja mguu na mikono na hakuwa amefanya chochote. Licha ya hayo alisema Kuwa alikuwa amekuja kuona baba yangu. Umati wa wato ulinibeba hobelahobela mithili ya gunia ya viazi Kalinipeleka katika kituo cha polisi na kunishtaki makosa ya kufanya mwenzangu unyama. Nilivumilia Kila kitu walichosema na kumeza mate machungu huku nikiweka ubongoni methali isemayo, mstahimilivu hula mbiwa Polisi walinitupa gerezani bila kufikia mara mbili. Waliniacha huku nikizana Katika bahari ya huzuni. Nilikaa huko siku kadhaa, familia yangu ilikuwa inaniunga mkono. Walisema kuwa wangeni toa huko. Nilipig dua nisi nipeleke mahakamani. Siku hiyo, polisi mmoja alikuja kwangu na kunitoa gerezani. Alinipeleka moja ku moja hadi garini. Hapo ndipo nigundua kuwa mambo yali huwa yameenda miama. Nilitetemeka. Tulifika mahakamani nami Kuelekezwa Kizimbani. Mahuluki walioniunga mkono walikuwa familia yangu. Waliamini kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifa Wakili yangu alikuwa Ajuza Matebe Mwikali, alijulikan kama pesa kwa busara noh verevu wake. Hakimu alianzisha koti na mshtaki akaanza kutoa maoni yake | Alieleza mambo yote aliyoambia majirani. Alipokuwa akieleza, Ajuza Matebe na kaka yangu walienda kanda na kuanza kuongea mambo yeo. Mimi niliwaomini. Sikuwa na wasiwasi kwa kuwa siku za mwizi ni arubaini. Mshtaki na wakili yake walipofika . tamati wa maneno yao, nilipewa nafasi ya kuongea. Nilihan hia hakimu kila kite Kilichotendeka. Wakili yangu alianza - na kuulizia mavazi mshtaki alivaa siku hiyo. Alipopewa, ali nusio na kumpa jaji anuse pia. Alishangaa kama nja aliyepotez pesa. Nguo zilirukia.... maparachichi! Kila mahuluki alipana macho yake sawa sawa na yale ya Kinyonga. Hakimo alisema kuwa angehitaji kitu kingine ili atuamini, na hap ndipo Kaka alitokea na kuonyesha hakimu picha ya mtu yule akiwa mtini Hapo papo, mshtaki alikula kalenda. Familia yangu ilifurahia na kojowa na furaha tele. Kaka alitueleza kuwa alisikia nikiongea kwa sauti siku hiyo naye akaja na kupiga picha. Nimshuhuru kaka sana. Haka aliye na wasiwasi ya kutoshinda maadamu, mola haachi mja wake. Sote tulisherekea na kujua kuwa mwenda tezi na omo hurejelea ngamani.
Majirani walisikia sautiyake na kuja kama nini
{ "text": [ "Swara" ] }
2965_swa
Siku Ambayo Sitawahi Sahau Usiku wote sikupata kope la usingizie. Nikiwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Ulikuwa Alhamisi jioni wakati nilikumbuka kuwa siku iliyofuata ilikuwa siku ambayo ilikiwa umepamba moto Niliwaza sana hata sikupata usingizi kwa sababu nilikuwa nime furahi sana. Asubuhi ilipofika niliitayarisha kuenda kuoga ambayo ilichukia dakika ishirini tu na baada ya kutoka bafuni nilikuwa na nukia sana.Nilvaa nguo ambayo sijawahi kuivaa Hiyo siku nilingara sana ungeniona ungethani mimi ni mtoto wa Sultan. Nilienda kunywa kiamsha kinywa ambayo nina yangu alikuwa ameitayarisha ambayo ilikuwa chai kwa mkate ilikuwa tamu ungeionja ungedhani imepikwa na mpishi wa Amerika. Baadaye nilisugua meno kutumia mwaski na kutumia maji yenye timewe kwa chumvi. Baada ya hapo niliaga mama yangu kwaheri nikamwambia tuonane jioni naye akaniaga safari njema. Nilikimbia kwa kasi sana hadi sikuweza kusimama. Nilianguka mchangani tifu nilisimama tena nikaangui majini Chubwi Sikuweza kutembea kwa sababu nilikuwa nimeloa maji mwili yote. Ilibidi nisaidiwe na rafiki yangu alianguka majini kwa sababu sikujua kuogela. Rafiki yangu naye aliangia chubwi kwa maji akijaribu kuniinua kwa sababu nilimuvuta naye akaanguka kwa maji. Wakati nilizidi nyumbani nina yangu aliniuliza mbona umeloa maji. Nilimwambia kwa sababu nilianguka majini alicheka kwi! Kwi! akaniambia nenda nikabadilishe nguo hizo nizioshe, ili zikauke nje wakati kuna jua Aliniambia nioge kwa sababu nilikuwa nimeanguka kwa maji machafu. Nilioga nikawa safi sana. Nilivaa nguo iliyopendeza na kuenda kula chakula cha jioni ambayo ilikuwa wali kwa nyama ilikuwa tamu sana. Baada ya kumaliza nilienda kitandani kupumzika kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na pia nilikuwa nimeumia baada ya kupiga mawe nikaumia mkono.
Ilikuwa lini alipokumbuka siku iliyofuata
{ "text": [ "Alhamisi" ] }
2965_swa
Siku Ambayo Sitawahi Sahau Usiku wote sikupata kope la usingizie. Nikiwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Ulikuwa Alhamisi jioni wakati nilikumbuka kuwa siku iliyofuata ilikuwa siku ambayo ilikiwa umepamba moto Niliwaza sana hata sikupata usingizi kwa sababu nilikuwa nime furahi sana. Asubuhi ilipofika niliitayarisha kuenda kuoga ambayo ilichukia dakika ishirini tu na baada ya kutoka bafuni nilikuwa na nukia sana.Nilvaa nguo ambayo sijawahi kuivaa Hiyo siku nilingara sana ungeniona ungethani mimi ni mtoto wa Sultan. Nilienda kunywa kiamsha kinywa ambayo nina yangu alikuwa ameitayarisha ambayo ilikuwa chai kwa mkate ilikuwa tamu ungeionja ungedhani imepikwa na mpishi wa Amerika. Baadaye nilisugua meno kutumia mwaski na kutumia maji yenye timewe kwa chumvi. Baada ya hapo niliaga mama yangu kwaheri nikamwambia tuonane jioni naye akaniaga safari njema. Nilikimbia kwa kasi sana hadi sikuweza kusimama. Nilianguka mchangani tifu nilisimama tena nikaangui majini Chubwi Sikuweza kutembea kwa sababu nilikuwa nimeloa maji mwili yote. Ilibidi nisaidiwe na rafiki yangu alianguka majini kwa sababu sikujua kuogela. Rafiki yangu naye aliangia chubwi kwa maji akijaribu kuniinua kwa sababu nilimuvuta naye akaanguka kwa maji. Wakati nilizidi nyumbani nina yangu aliniuliza mbona umeloa maji. Nilimwambia kwa sababu nilianguka majini alicheka kwi! Kwi! akaniambia nenda nikabadilishe nguo hizo nizioshe, ili zikauke nje wakati kuna jua Aliniambia nioge kwa sababu nilikuwa nimeanguka kwa maji machafu. Nilioga nikawa safi sana. Nilivaa nguo iliyopendeza na kuenda kula chakula cha jioni ambayo ilikuwa wali kwa nyama ilikuwa tamu sana. Baada ya kumaliza nilienda kitandani kupumzika kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na pia nilikuwa nimeumia baada ya kupiga mawe nikaumia mkono.
Siku hiyo aling'ara sana ungedhani ni mtoto wa nani
{ "text": [ "Sultan" ] }
2965_swa
Siku Ambayo Sitawahi Sahau Usiku wote sikupata kope la usingizie. Nikiwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Ulikuwa Alhamisi jioni wakati nilikumbuka kuwa siku iliyofuata ilikuwa siku ambayo ilikiwa umepamba moto Niliwaza sana hata sikupata usingizi kwa sababu nilikuwa nime furahi sana. Asubuhi ilipofika niliitayarisha kuenda kuoga ambayo ilichukia dakika ishirini tu na baada ya kutoka bafuni nilikuwa na nukia sana.Nilvaa nguo ambayo sijawahi kuivaa Hiyo siku nilingara sana ungeniona ungethani mimi ni mtoto wa Sultan. Nilienda kunywa kiamsha kinywa ambayo nina yangu alikuwa ameitayarisha ambayo ilikuwa chai kwa mkate ilikuwa tamu ungeionja ungedhani imepikwa na mpishi wa Amerika. Baadaye nilisugua meno kutumia mwaski na kutumia maji yenye timewe kwa chumvi. Baada ya hapo niliaga mama yangu kwaheri nikamwambia tuonane jioni naye akaniaga safari njema. Nilikimbia kwa kasi sana hadi sikuweza kusimama. Nilianguka mchangani tifu nilisimama tena nikaangui majini Chubwi Sikuweza kutembea kwa sababu nilikuwa nimeloa maji mwili yote. Ilibidi nisaidiwe na rafiki yangu alianguka majini kwa sababu sikujua kuogela. Rafiki yangu naye aliangia chubwi kwa maji akijaribu kuniinua kwa sababu nilimuvuta naye akaanguka kwa maji. Wakati nilizidi nyumbani nina yangu aliniuliza mbona umeloa maji. Nilimwambia kwa sababu nilianguka majini alicheka kwi! Kwi! akaniambia nenda nikabadilishe nguo hizo nizioshe, ili zikauke nje wakati kuna jua Aliniambia nioge kwa sababu nilikuwa nimeanguka kwa maji machafu. Nilioga nikawa safi sana. Nilivaa nguo iliyopendeza na kuenda kula chakula cha jioni ambayo ilikuwa wali kwa nyama ilikuwa tamu sana. Baada ya kumaliza nilienda kitandani kupumzika kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na pia nilikuwa nimeumia baada ya kupiga mawe nikaumia mkono.
Kwa nini hakuweza kutembea
{ "text": [ "alilowa maji mwili wote" ] }
2965_swa
Siku Ambayo Sitawahi Sahau Usiku wote sikupata kope la usingizie. Nikiwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Ulikuwa Alhamisi jioni wakati nilikumbuka kuwa siku iliyofuata ilikuwa siku ambayo ilikiwa umepamba moto Niliwaza sana hata sikupata usingizi kwa sababu nilikuwa nime furahi sana. Asubuhi ilipofika niliitayarisha kuenda kuoga ambayo ilichukia dakika ishirini tu na baada ya kutoka bafuni nilikuwa na nukia sana.Nilvaa nguo ambayo sijawahi kuivaa Hiyo siku nilingara sana ungeniona ungethani mimi ni mtoto wa Sultan. Nilienda kunywa kiamsha kinywa ambayo nina yangu alikuwa ameitayarisha ambayo ilikuwa chai kwa mkate ilikuwa tamu ungeionja ungedhani imepikwa na mpishi wa Amerika. Baadaye nilisugua meno kutumia mwaski na kutumia maji yenye timewe kwa chumvi. Baada ya hapo niliaga mama yangu kwaheri nikamwambia tuonane jioni naye akaniaga safari njema. Nilikimbia kwa kasi sana hadi sikuweza kusimama. Nilianguka mchangani tifu nilisimama tena nikaangui majini Chubwi Sikuweza kutembea kwa sababu nilikuwa nimeloa maji mwili yote. Ilibidi nisaidiwe na rafiki yangu alianguka majini kwa sababu sikujua kuogela. Rafiki yangu naye aliangia chubwi kwa maji akijaribu kuniinua kwa sababu nilimuvuta naye akaanguka kwa maji. Wakati nilizidi nyumbani nina yangu aliniuliza mbona umeloa maji. Nilimwambia kwa sababu nilianguka majini alicheka kwi! Kwi! akaniambia nenda nikabadilishe nguo hizo nizioshe, ili zikauke nje wakati kuna jua Aliniambia nioge kwa sababu nilikuwa nimeanguka kwa maji machafu. Nilioga nikawa safi sana. Nilivaa nguo iliyopendeza na kuenda kula chakula cha jioni ambayo ilikuwa wali kwa nyama ilikuwa tamu sana. Baada ya kumaliza nilienda kitandani kupumzika kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na pia nilikuwa nimeumia baada ya kupiga mawe nikaumia mkono.
Nina yake alimwambia aende akabadilishe nini
{ "text": [ "nguo" ] }
2965_swa
Siku Ambayo Sitawahi Sahau Usiku wote sikupata kope la usingizie. Nikiwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Ulikuwa Alhamisi jioni wakati nilikumbuka kuwa siku iliyofuata ilikuwa siku ambayo ilikiwa umepamba moto Niliwaza sana hata sikupata usingizi kwa sababu nilikuwa nime furahi sana. Asubuhi ilipofika niliitayarisha kuenda kuoga ambayo ilichukia dakika ishirini tu na baada ya kutoka bafuni nilikuwa na nukia sana.Nilvaa nguo ambayo sijawahi kuivaa Hiyo siku nilingara sana ungeniona ungethani mimi ni mtoto wa Sultan. Nilienda kunywa kiamsha kinywa ambayo nina yangu alikuwa ameitayarisha ambayo ilikuwa chai kwa mkate ilikuwa tamu ungeionja ungedhani imepikwa na mpishi wa Amerika. Baadaye nilisugua meno kutumia mwaski na kutumia maji yenye timewe kwa chumvi. Baada ya hapo niliaga mama yangu kwaheri nikamwambia tuonane jioni naye akaniaga safari njema. Nilikimbia kwa kasi sana hadi sikuweza kusimama. Nilianguka mchangani tifu nilisimama tena nikaangui majini Chubwi Sikuweza kutembea kwa sababu nilikuwa nimeloa maji mwili yote. Ilibidi nisaidiwe na rafiki yangu alianguka majini kwa sababu sikujua kuogela. Rafiki yangu naye aliangia chubwi kwa maji akijaribu kuniinua kwa sababu nilimuvuta naye akaanguka kwa maji. Wakati nilizidi nyumbani nina yangu aliniuliza mbona umeloa maji. Nilimwambia kwa sababu nilianguka majini alicheka kwi! Kwi! akaniambia nenda nikabadilishe nguo hizo nizioshe, ili zikauke nje wakati kuna jua Aliniambia nioge kwa sababu nilikuwa nimeanguka kwa maji machafu. Nilioga nikawa safi sana. Nilivaa nguo iliyopendeza na kuenda kula chakula cha jioni ambayo ilikuwa wali kwa nyama ilikuwa tamu sana. Baada ya kumaliza nilienda kitandani kupumzika kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na pia nilikuwa nimeumia baada ya kupiga mawe nikaumia mkono.
Aliambiwa aoge kwani alikuwa ameanguka kwa maji gani
{ "text": [ "machafu" ] }
2967_swa
WIZI KWA JIRANI YANGU Ulikuwa usivu wa manane niliposikia mayowe Mayowe yaliyopiga younikalsha Kutoka kwenye ubwabwa wa mwana mtamu lilitoka kitandani bila hata kuua nilistuka kupatce Jiran, yangu chenbiwa na majambo Kila pahali paukuwa giza bila kuvaa viatu, nilikimbia kadri nilivyoweza hadi kwenye kituo cha polisi. Kama ilivyo kawaida walipopata habari hizo, bila kupoteza wakati hurika, tulipata tayari majambazi. walikwisha mteka nyara. Kwa kweli wahenga hawakuk waliposema Jambo usiloluua ni usiku wa giza hama Jirani huyo angefunga mlango hang eibiwa Plaukupita muda mrefu kama suapigiwa simu na kuambiwa Kama unamtaka Jirani yako akiwa uhai, njoo pahali fulani na we peke yako. Niliwafahamisha wanapolisi kisirisiri. Baada ya. lisali mala kupita tuliandamana hadi tulipoagana tukutane haikuwa mbali hapo nyuma ya nyumba yetu humbe bila kufikiria mara mbili ilikuwa uongo mtupu. Ndipo nilipakumbuka nikimwona jambazi mme akiwa amebeba maji hurudi upande huo mwingine, tulipata nyumba ya jirani yetu ikiwa inawaka moto Majirani hao wengine walitoka nje na mtungi wakianza kumwaga maji. Tulitanbu hadi moto kuzimika. Ndipo polisi wananza hutafutana na malambazi hao. Kwa Kweli, Jambazi hawezi kua wizi, bila silaha. Mao polisi hawezs enda vita bila bunduki: polisi na majambazi wakaanza kupiga marisasi huhu watu wakitarokea upande mwingine. Kwa bahati mbaya jambazi mmoja apyekupa mweusi tititi! Alipigwa risasi na huiaga dunia. Kwa bahati mzuri hunaye mtu aliyepiga kwenye kituo cha wanapolisi. Kila mtu alilala Chini na huongolea amri hutoka kwa wanopolis karapons ndio ambao walio ongezeka ndio walisaidice kukamata madambazi has Punde tu uyalipofika malam baza! was fungwa pingu mkononi hadi kwenye kituo cha wanapolis, Girdhi huyo alandamana nao alihuenda kuandikisha sentensi kwa wizi, kifo na kuchoma nyumba. Kulingana na mambo yavyopigwa mistari na serekali ni kuwa ukipatikana na kesi huwa umeua unafungwa kifungu ya maisha. Majambazi hao walifungwa maisha. Ama kweli wahenga hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliposema eti siku za mwizi ni arubaini.
Ulikuwa wakati gani niliposikia mayowe
{ "text": [ "Usiku wa manane" ] }
2967_swa
WIZI KWA JIRANI YANGU Ulikuwa usivu wa manane niliposikia mayowe Mayowe yaliyopiga younikalsha Kutoka kwenye ubwabwa wa mwana mtamu lilitoka kitandani bila hata kuua nilistuka kupatce Jiran, yangu chenbiwa na majambo Kila pahali paukuwa giza bila kuvaa viatu, nilikimbia kadri nilivyoweza hadi kwenye kituo cha polisi. Kama ilivyo kawaida walipopata habari hizo, bila kupoteza wakati hurika, tulipata tayari majambazi. walikwisha mteka nyara. Kwa kweli wahenga hawakuk waliposema Jambo usiloluua ni usiku wa giza hama Jirani huyo angefunga mlango hang eibiwa Plaukupita muda mrefu kama suapigiwa simu na kuambiwa Kama unamtaka Jirani yako akiwa uhai, njoo pahali fulani na we peke yako. Niliwafahamisha wanapolisi kisirisiri. Baada ya. lisali mala kupita tuliandamana hadi tulipoagana tukutane haikuwa mbali hapo nyuma ya nyumba yetu humbe bila kufikiria mara mbili ilikuwa uongo mtupu. Ndipo nilipakumbuka nikimwona jambazi mme akiwa amebeba maji hurudi upande huo mwingine, tulipata nyumba ya jirani yetu ikiwa inawaka moto Majirani hao wengine walitoka nje na mtungi wakianza kumwaga maji. Tulitanbu hadi moto kuzimika. Ndipo polisi wananza hutafutana na malambazi hao. Kwa Kweli, Jambazi hawezi kua wizi, bila silaha. Mao polisi hawezs enda vita bila bunduki: polisi na majambazi wakaanza kupiga marisasi huhu watu wakitarokea upande mwingine. Kwa bahati mbaya jambazi mmoja apyekupa mweusi tititi! Alipigwa risasi na huiaga dunia. Kwa bahati mzuri hunaye mtu aliyepiga kwenye kituo cha wanapolisi. Kila mtu alilala Chini na huongolea amri hutoka kwa wanopolis karapons ndio ambao walio ongezeka ndio walisaidice kukamata madambazi has Punde tu uyalipofika malam baza! was fungwa pingu mkononi hadi kwenye kituo cha wanapolis, Girdhi huyo alandamana nao alihuenda kuandikisha sentensi kwa wizi, kifo na kuchoma nyumba. Kulingana na mambo yavyopigwa mistari na serekali ni kuwa ukipatikana na kesi huwa umeua unafungwa kifungu ya maisha. Majambazi hao walifungwa maisha. Ama kweli wahenga hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliposema eti siku za mwizi ni arubaini.
Nilitoka wapi bila hata kujua
{ "text": [ "Kitandani" ] }
2967_swa
WIZI KWA JIRANI YANGU Ulikuwa usivu wa manane niliposikia mayowe Mayowe yaliyopiga younikalsha Kutoka kwenye ubwabwa wa mwana mtamu lilitoka kitandani bila hata kuua nilistuka kupatce Jiran, yangu chenbiwa na majambo Kila pahali paukuwa giza bila kuvaa viatu, nilikimbia kadri nilivyoweza hadi kwenye kituo cha polisi. Kama ilivyo kawaida walipopata habari hizo, bila kupoteza wakati hurika, tulipata tayari majambazi. walikwisha mteka nyara. Kwa kweli wahenga hawakuk waliposema Jambo usiloluua ni usiku wa giza hama Jirani huyo angefunga mlango hang eibiwa Plaukupita muda mrefu kama suapigiwa simu na kuambiwa Kama unamtaka Jirani yako akiwa uhai, njoo pahali fulani na we peke yako. Niliwafahamisha wanapolisi kisirisiri. Baada ya. lisali mala kupita tuliandamana hadi tulipoagana tukutane haikuwa mbali hapo nyuma ya nyumba yetu humbe bila kufikiria mara mbili ilikuwa uongo mtupu. Ndipo nilipakumbuka nikimwona jambazi mme akiwa amebeba maji hurudi upande huo mwingine, tulipata nyumba ya jirani yetu ikiwa inawaka moto Majirani hao wengine walitoka nje na mtungi wakianza kumwaga maji. Tulitanbu hadi moto kuzimika. Ndipo polisi wananza hutafutana na malambazi hao. Kwa Kweli, Jambazi hawezi kua wizi, bila silaha. Mao polisi hawezs enda vita bila bunduki: polisi na majambazi wakaanza kupiga marisasi huhu watu wakitarokea upande mwingine. Kwa bahati mbaya jambazi mmoja apyekupa mweusi tititi! Alipigwa risasi na huiaga dunia. Kwa bahati mzuri hunaye mtu aliyepiga kwenye kituo cha wanapolisi. Kila mtu alilala Chini na huongolea amri hutoka kwa wanopolis karapons ndio ambao walio ongezeka ndio walisaidice kukamata madambazi has Punde tu uyalipofika malam baza! was fungwa pingu mkononi hadi kwenye kituo cha wanapolis, Girdhi huyo alandamana nao alihuenda kuandikisha sentensi kwa wizi, kifo na kuchoma nyumba. Kulingana na mambo yavyopigwa mistari na serekali ni kuwa ukipatikana na kesi huwa umeua unafungwa kifungu ya maisha. Majambazi hao walifungwa maisha. Ama kweli wahenga hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliposema eti siku za mwizi ni arubaini.
Nani alikuwa akiibiwa na majambazi
{ "text": [ "Jirani yangu" ] }
2967_swa
WIZI KWA JIRANI YANGU Ulikuwa usivu wa manane niliposikia mayowe Mayowe yaliyopiga younikalsha Kutoka kwenye ubwabwa wa mwana mtamu lilitoka kitandani bila hata kuua nilistuka kupatce Jiran, yangu chenbiwa na majambo Kila pahali paukuwa giza bila kuvaa viatu, nilikimbia kadri nilivyoweza hadi kwenye kituo cha polisi. Kama ilivyo kawaida walipopata habari hizo, bila kupoteza wakati hurika, tulipata tayari majambazi. walikwisha mteka nyara. Kwa kweli wahenga hawakuk waliposema Jambo usiloluua ni usiku wa giza hama Jirani huyo angefunga mlango hang eibiwa Plaukupita muda mrefu kama suapigiwa simu na kuambiwa Kama unamtaka Jirani yako akiwa uhai, njoo pahali fulani na we peke yako. Niliwafahamisha wanapolisi kisirisiri. Baada ya. lisali mala kupita tuliandamana hadi tulipoagana tukutane haikuwa mbali hapo nyuma ya nyumba yetu humbe bila kufikiria mara mbili ilikuwa uongo mtupu. Ndipo nilipakumbuka nikimwona jambazi mme akiwa amebeba maji hurudi upande huo mwingine, tulipata nyumba ya jirani yetu ikiwa inawaka moto Majirani hao wengine walitoka nje na mtungi wakianza kumwaga maji. Tulitanbu hadi moto kuzimika. Ndipo polisi wananza hutafutana na malambazi hao. Kwa Kweli, Jambazi hawezi kua wizi, bila silaha. Mao polisi hawezs enda vita bila bunduki: polisi na majambazi wakaanza kupiga marisasi huhu watu wakitarokea upande mwingine. Kwa bahati mbaya jambazi mmoja apyekupa mweusi tititi! Alipigwa risasi na huiaga dunia. Kwa bahati mzuri hunaye mtu aliyepiga kwenye kituo cha wanapolisi. Kila mtu alilala Chini na huongolea amri hutoka kwa wanopolis karapons ndio ambao walio ongezeka ndio walisaidice kukamata madambazi has Punde tu uyalipofika malam baza! was fungwa pingu mkononi hadi kwenye kituo cha wanapolis, Girdhi huyo alandamana nao alihuenda kuandikisha sentensi kwa wizi, kifo na kuchoma nyumba. Kulingana na mambo yavyopigwa mistari na serekali ni kuwa ukipatikana na kesi huwa umeua unafungwa kifungu ya maisha. Majambazi hao walifungwa maisha. Ama kweli wahenga hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliposema eti siku za mwizi ni arubaini.
Tulipata nani tayari walikwisha mteka nyara
{ "text": [ "Majambazi" ] }
2967_swa
WIZI KWA JIRANI YANGU Ulikuwa usivu wa manane niliposikia mayowe Mayowe yaliyopiga younikalsha Kutoka kwenye ubwabwa wa mwana mtamu lilitoka kitandani bila hata kuua nilistuka kupatce Jiran, yangu chenbiwa na majambo Kila pahali paukuwa giza bila kuvaa viatu, nilikimbia kadri nilivyoweza hadi kwenye kituo cha polisi. Kama ilivyo kawaida walipopata habari hizo, bila kupoteza wakati hurika, tulipata tayari majambazi. walikwisha mteka nyara. Kwa kweli wahenga hawakuk waliposema Jambo usiloluua ni usiku wa giza hama Jirani huyo angefunga mlango hang eibiwa Plaukupita muda mrefu kama suapigiwa simu na kuambiwa Kama unamtaka Jirani yako akiwa uhai, njoo pahali fulani na we peke yako. Niliwafahamisha wanapolisi kisirisiri. Baada ya. lisali mala kupita tuliandamana hadi tulipoagana tukutane haikuwa mbali hapo nyuma ya nyumba yetu humbe bila kufikiria mara mbili ilikuwa uongo mtupu. Ndipo nilipakumbuka nikimwona jambazi mme akiwa amebeba maji hurudi upande huo mwingine, tulipata nyumba ya jirani yetu ikiwa inawaka moto Majirani hao wengine walitoka nje na mtungi wakianza kumwaga maji. Tulitanbu hadi moto kuzimika. Ndipo polisi wananza hutafutana na malambazi hao. Kwa Kweli, Jambazi hawezi kua wizi, bila silaha. Mao polisi hawezs enda vita bila bunduki: polisi na majambazi wakaanza kupiga marisasi huhu watu wakitarokea upande mwingine. Kwa bahati mbaya jambazi mmoja apyekupa mweusi tititi! Alipigwa risasi na huiaga dunia. Kwa bahati mzuri hunaye mtu aliyepiga kwenye kituo cha wanapolisi. Kila mtu alilala Chini na huongolea amri hutoka kwa wanopolis karapons ndio ambao walio ongezeka ndio walisaidice kukamata madambazi has Punde tu uyalipofika malam baza! was fungwa pingu mkononi hadi kwenye kituo cha wanapolis, Girdhi huyo alandamana nao alihuenda kuandikisha sentensi kwa wizi, kifo na kuchoma nyumba. Kulingana na mambo yavyopigwa mistari na serekali ni kuwa ukipatikana na kesi huwa umeua unafungwa kifungu ya maisha. Majambazi hao walifungwa maisha. Ama kweli wahenga hawakutupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliposema eti siku za mwizi ni arubaini.
Niliwafahamisha polisi vipi
{ "text": [ "Kisirisiri" ] }
2971_swa
SAFARI KUELEKEA MASHINANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Maana tungesafari kuelekea mashinani. Kufumba na kufumbua macho kulikucha. Kweli wahenga walivyosema kuwa siku njema huonekana asubuhi maana jua ilichomoza kwa mwangaza mkali. Nilienda na kukoga kwa maji baridi shabibi nilitetemeka teteme! kama kuku aliletoroka kichinjioni. Nilirudi chumbani na kujikwatua kwatu kwatu.Nilirudi kupiga mswaki. Meno yangu ilkawa meupe kama maziwa. Nilinga kama nyota wa angani. Tulienda sebuleni knuywa kiamsha kinywa. Kulikuwa na mapochopocho ya Vyakula. Vyakula hivyo vilikuwa tele.Tulikula mahamri, Vitumbua na mandazi kwa chai ya mkanda.Licha ya hayo na matunda kama vile chungwa, ndizi na tikiti maji. Baba alivalia shati la theluje na kaptura nyeusi kama makaa - Mama naye rinda nyekundu mithili ya damu walinga kama mwezi.Niliingia garini na kutulia tuli! Kabla mba utupe kisogo mjakazi alileta mizigo na kuweka kwenye buti la gari. Mananaye na baba wakaja natuwaaga wajakazi na kutoa nanga ilikuwa safari ndefu sana. Baba aliendesha gari kwa kasi ya umeme. Punde si punde tulifika mashinani nyanya alituongoja kwa hamu na gamu alikuwa na furaha furi! furi! Mjakazi wake alianda chakula cha mchana. Nyanya alikuwa na maneno mengi Mithilli ya chiriku - Nilikuwa nimechoka hoi! Nilikijaza chakula na kikamwagika mwa! Niliendea kingine na kukikula fyu!. Nilishiba na kuheshimu kope kwa lisaaa limoja . Nyanya alinipeleka nyuma ya nyumba nilishanga na kuduwa kama nimemuona Shetani! Niliona mimea mingi ya rangi ya kijani. Tuliyavuna na kuyabeba kwenda navyo nyumbani. Tulingoa nanga na kurudi nyumbani. Tulienda nyumbani mwetu na kumsifu nyanyagu. Wahenga hawakutulamba migongo walivyosema Asifuye mvua imemea maana anayesifu jambo lolote lazima awe ameshiriki na kuona uzuri wake.
Usiku wote sikupata nini
{ "text": [ "Lepe la usingizi" ] }
2971_swa
SAFARI KUELEKEA MASHINANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Maana tungesafari kuelekea mashinani. Kufumba na kufumbua macho kulikucha. Kweli wahenga walivyosema kuwa siku njema huonekana asubuhi maana jua ilichomoza kwa mwangaza mkali. Nilienda na kukoga kwa maji baridi shabibi nilitetemeka teteme! kama kuku aliletoroka kichinjioni. Nilirudi chumbani na kujikwatua kwatu kwatu.Nilirudi kupiga mswaki. Meno yangu ilkawa meupe kama maziwa. Nilinga kama nyota wa angani. Tulienda sebuleni knuywa kiamsha kinywa. Kulikuwa na mapochopocho ya Vyakula. Vyakula hivyo vilikuwa tele.Tulikula mahamri, Vitumbua na mandazi kwa chai ya mkanda.Licha ya hayo na matunda kama vile chungwa, ndizi na tikiti maji. Baba alivalia shati la theluje na kaptura nyeusi kama makaa - Mama naye rinda nyekundu mithili ya damu walinga kama mwezi.Niliingia garini na kutulia tuli! Kabla mba utupe kisogo mjakazi alileta mizigo na kuweka kwenye buti la gari. Mananaye na baba wakaja natuwaaga wajakazi na kutoa nanga ilikuwa safari ndefu sana. Baba aliendesha gari kwa kasi ya umeme. Punde si punde tulifika mashinani nyanya alituongoja kwa hamu na gamu alikuwa na furaha furi! furi! Mjakazi wake alianda chakula cha mchana. Nyanya alikuwa na maneno mengi Mithilli ya chiriku - Nilikuwa nimechoka hoi! Nilikijaza chakula na kikamwagika mwa! Niliendea kingine na kukikula fyu!. Nilishiba na kuheshimu kope kwa lisaaa limoja . Nyanya alinipeleka nyuma ya nyumba nilishanga na kuduwa kama nimemuona Shetani! Niliona mimea mingi ya rangi ya kijani. Tuliyavuna na kuyabeba kwenda navyo nyumbani. Tulingoa nanga na kurudi nyumbani. Tulienda nyumbani mwetu na kumsifu nyanyagu. Wahenga hawakutulamba migongo walivyosema Asifuye mvua imemea maana anayesifu jambo lolote lazima awe ameshiriki na kuona uzuri wake.
Niliwaza na kufanya nini
{ "text": [ "Kuwazua" ] }
2971_swa
SAFARI KUELEKEA MASHINANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Maana tungesafari kuelekea mashinani. Kufumba na kufumbua macho kulikucha. Kweli wahenga walivyosema kuwa siku njema huonekana asubuhi maana jua ilichomoza kwa mwangaza mkali. Nilienda na kukoga kwa maji baridi shabibi nilitetemeka teteme! kama kuku aliletoroka kichinjioni. Nilirudi chumbani na kujikwatua kwatu kwatu.Nilirudi kupiga mswaki. Meno yangu ilkawa meupe kama maziwa. Nilinga kama nyota wa angani. Tulienda sebuleni knuywa kiamsha kinywa. Kulikuwa na mapochopocho ya Vyakula. Vyakula hivyo vilikuwa tele.Tulikula mahamri, Vitumbua na mandazi kwa chai ya mkanda.Licha ya hayo na matunda kama vile chungwa, ndizi na tikiti maji. Baba alivalia shati la theluje na kaptura nyeusi kama makaa - Mama naye rinda nyekundu mithili ya damu walinga kama mwezi.Niliingia garini na kutulia tuli! Kabla mba utupe kisogo mjakazi alileta mizigo na kuweka kwenye buti la gari. Mananaye na baba wakaja natuwaaga wajakazi na kutoa nanga ilikuwa safari ndefu sana. Baba aliendesha gari kwa kasi ya umeme. Punde si punde tulifika mashinani nyanya alituongoja kwa hamu na gamu alikuwa na furaha furi! furi! Mjakazi wake alianda chakula cha mchana. Nyanya alikuwa na maneno mengi Mithilli ya chiriku - Nilikuwa nimechoka hoi! Nilikijaza chakula na kikamwagika mwa! Niliendea kingine na kukikula fyu!. Nilishiba na kuheshimu kope kwa lisaaa limoja . Nyanya alinipeleka nyuma ya nyumba nilishanga na kuduwa kama nimemuona Shetani! Niliona mimea mingi ya rangi ya kijani. Tuliyavuna na kuyabeba kwenda navyo nyumbani. Tulingoa nanga na kurudi nyumbani. Tulienda nyumbani mwetu na kumsifu nyanyagu. Wahenga hawakutulamba migongo walivyosema Asifuye mvua imemea maana anayesifu jambo lolote lazima awe ameshiriki na kuona uzuri wake.
Wahenga walisema siku njema huonekana lini
{ "text": [ "Asubuhi" ] }
2971_swa
SAFARI KUELEKEA MASHINANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Maana tungesafari kuelekea mashinani. Kufumba na kufumbua macho kulikucha. Kweli wahenga walivyosema kuwa siku njema huonekana asubuhi maana jua ilichomoza kwa mwangaza mkali. Nilienda na kukoga kwa maji baridi shabibi nilitetemeka teteme! kama kuku aliletoroka kichinjioni. Nilirudi chumbani na kujikwatua kwatu kwatu.Nilirudi kupiga mswaki. Meno yangu ilkawa meupe kama maziwa. Nilinga kama nyota wa angani. Tulienda sebuleni knuywa kiamsha kinywa. Kulikuwa na mapochopocho ya Vyakula. Vyakula hivyo vilikuwa tele.Tulikula mahamri, Vitumbua na mandazi kwa chai ya mkanda.Licha ya hayo na matunda kama vile chungwa, ndizi na tikiti maji. Baba alivalia shati la theluje na kaptura nyeusi kama makaa - Mama naye rinda nyekundu mithili ya damu walinga kama mwezi.Niliingia garini na kutulia tuli! Kabla mba utupe kisogo mjakazi alileta mizigo na kuweka kwenye buti la gari. Mananaye na baba wakaja natuwaaga wajakazi na kutoa nanga ilikuwa safari ndefu sana. Baba aliendesha gari kwa kasi ya umeme. Punde si punde tulifika mashinani nyanya alituongoja kwa hamu na gamu alikuwa na furaha furi! furi! Mjakazi wake alianda chakula cha mchana. Nyanya alikuwa na maneno mengi Mithilli ya chiriku - Nilikuwa nimechoka hoi! Nilikijaza chakula na kikamwagika mwa! Niliendea kingine na kukikula fyu!. Nilishiba na kuheshimu kope kwa lisaaa limoja . Nyanya alinipeleka nyuma ya nyumba nilishanga na kuduwa kama nimemuona Shetani! Niliona mimea mingi ya rangi ya kijani. Tuliyavuna na kuyabeba kwenda navyo nyumbani. Tulingoa nanga na kurudi nyumbani. Tulienda nyumbani mwetu na kumsifu nyanyagu. Wahenga hawakutulamba migongo walivyosema Asifuye mvua imemea maana anayesifu jambo lolote lazima awe ameshiriki na kuona uzuri wake.
Nini kilichomoza kwa mwangaza mkuu
{ "text": [ "Jua" ] }
2971_swa
SAFARI KUELEKEA MASHINANI Usiku wote sikupata hata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Maana tungesafari kuelekea mashinani. Kufumba na kufumbua macho kulikucha. Kweli wahenga walivyosema kuwa siku njema huonekana asubuhi maana jua ilichomoza kwa mwangaza mkali. Nilienda na kukoga kwa maji baridi shabibi nilitetemeka teteme! kama kuku aliletoroka kichinjioni. Nilirudi chumbani na kujikwatua kwatu kwatu.Nilirudi kupiga mswaki. Meno yangu ilkawa meupe kama maziwa. Nilinga kama nyota wa angani. Tulienda sebuleni knuywa kiamsha kinywa. Kulikuwa na mapochopocho ya Vyakula. Vyakula hivyo vilikuwa tele.Tulikula mahamri, Vitumbua na mandazi kwa chai ya mkanda.Licha ya hayo na matunda kama vile chungwa, ndizi na tikiti maji. Baba alivalia shati la theluje na kaptura nyeusi kama makaa - Mama naye rinda nyekundu mithili ya damu walinga kama mwezi.Niliingia garini na kutulia tuli! Kabla mba utupe kisogo mjakazi alileta mizigo na kuweka kwenye buti la gari. Mananaye na baba wakaja natuwaaga wajakazi na kutoa nanga ilikuwa safari ndefu sana. Baba aliendesha gari kwa kasi ya umeme. Punde si punde tulifika mashinani nyanya alituongoja kwa hamu na gamu alikuwa na furaha furi! furi! Mjakazi wake alianda chakula cha mchana. Nyanya alikuwa na maneno mengi Mithilli ya chiriku - Nilikuwa nimechoka hoi! Nilikijaza chakula na kikamwagika mwa! Niliendea kingine na kukikula fyu!. Nilishiba na kuheshimu kope kwa lisaaa limoja . Nyanya alinipeleka nyuma ya nyumba nilishanga na kuduwa kama nimemuona Shetani! Niliona mimea mingi ya rangi ya kijani. Tuliyavuna na kuyabeba kwenda navyo nyumbani. Tulingoa nanga na kurudi nyumbani. Tulienda nyumbani mwetu na kumsifu nyanyagu. Wahenga hawakutulamba migongo walivyosema Asifuye mvua imemea maana anayesifu jambo lolote lazima awe ameshiriki na kuona uzuri wake.
Tulienda sebuleni kufanya nini
{ "text": [ "Kula kiamsha kinywa" ] }
2972_swa
MKASA WA MOTO Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo.... Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe.... nilishtuka to kuamka kwa malazi imbio sano. "Mini mbaya wewe?" Mama aliniuliza. Nilimjibu hivi nina sikia mayowe huko nje. Mama alitoka mbia na kuenda kuangalia haraka sana. Mama alipofika huko kwa jirani alisikia jirani akipiga mayowe hivi Ui! Ui! Ui! Mnisaidie. Mama alipoingia kwa nyumba ya jirani alipata jirani akilia sana akiomba msada wake. Mama alimhurumia sana. Hiyo siku alikuwa mtoto wa mama huyo alikua amechomeka mkono wake Mama alipomulize alisema hivi nikikua nina shemshia mama chakula. Mama aliwauliza kwani wewe mama haunge kuchemsha chai? Huyo mama alimjibu hapana siyo hivyo akiwa analia kwa hasira yeye alikua analala akambia mtoto njaa inamuma. Lakini mtoto alitoka peke yake akaenda kushemsha chai. Jirani hakumwambia chochote alijitoa ati anaenda kuchemsha chai ndiyo akijichomeka kwa moto. Alianguka kwa moto alipokua akitoa chai. Huku mwenye alimtuma baba yake alimkataza asiende kwa moto. Hakusikia la baba yake .Baba yeke akamwambia mfano moja chenye kinasema hivi asiye sikia la mkuu havunjika guu. Hakusikia alikua na haraka sana. Baba akamwambia hivi haraka haraka aina baraka pole pole ndio mwendo. Aliingia kwa jikoni na kujifungia ndani akawasha moto. Ndio hivyo akachomeka vibaya sana. Mama alimchuka na kumpeleka hospitalini walikimbia naye hadi hospitalini walipo fika huko alingizwa ndani w wakanza kumtibu walitoa mkono hiyo lenye ilikuo kimechome akatengenezwa mkono wake alihisi uchungu sana. Alirudi akakumbuka peke yake akisema na moyo hivi. Asiye funzwa na wazazi wake hufunzwa na ulimwengu. Akasema tena vile baba alinikataza ningejua ringe Sikia Baba aliniambia Hasiye Skia you Mkuu huvunjika qu na pol pole ndio mwendo. Angejua, angesikia, hangepata hiyo uchungu. Wazazi wake walilia sana na huruma. Daktari . alitaka pesa nyingi sana lakini wananchi wal Insidia na pesa kidogo kidogo - Akatoa nayo mtoto hospitalini.
Ulikuwa wakati gani niliposikia mayowe
{ "text": [ "Usiku wa manane" ] }
2972_swa
MKASA WA MOTO Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo.... Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe.... nilishtuka to kuamka kwa malazi imbio sano. "Mini mbaya wewe?" Mama aliniuliza. Nilimjibu hivi nina sikia mayowe huko nje. Mama alitoka mbia na kuenda kuangalia haraka sana. Mama alipofika huko kwa jirani alisikia jirani akipiga mayowe hivi Ui! Ui! Ui! Mnisaidie. Mama alipoingia kwa nyumba ya jirani alipata jirani akilia sana akiomba msada wake. Mama alimhurumia sana. Hiyo siku alikuwa mtoto wa mama huyo alikua amechomeka mkono wake Mama alipomulize alisema hivi nikikua nina shemshia mama chakula. Mama aliwauliza kwani wewe mama haunge kuchemsha chai? Huyo mama alimjibu hapana siyo hivyo akiwa analia kwa hasira yeye alikua analala akambia mtoto njaa inamuma. Lakini mtoto alitoka peke yake akaenda kushemsha chai. Jirani hakumwambia chochote alijitoa ati anaenda kuchemsha chai ndiyo akijichomeka kwa moto. Alianguka kwa moto alipokua akitoa chai. Huku mwenye alimtuma baba yake alimkataza asiende kwa moto. Hakusikia la baba yake .Baba yeke akamwambia mfano moja chenye kinasema hivi asiye sikia la mkuu havunjika guu. Hakusikia alikua na haraka sana. Baba akamwambia hivi haraka haraka aina baraka pole pole ndio mwendo. Aliingia kwa jikoni na kujifungia ndani akawasha moto. Ndio hivyo akachomeka vibaya sana. Mama alimchuka na kumpeleka hospitalini walikimbia naye hadi hospitalini walipo fika huko alingizwa ndani w wakanza kumtibu walitoa mkono hiyo lenye ilikuo kimechome akatengenezwa mkono wake alihisi uchungu sana. Alirudi akakumbuka peke yake akisema na moyo hivi. Asiye funzwa na wazazi wake hufunzwa na ulimwengu. Akasema tena vile baba alinikataza ningejua ringe Sikia Baba aliniambia Hasiye Skia you Mkuu huvunjika qu na pol pole ndio mwendo. Angejua, angesikia, hangepata hiyo uchungu. Wazazi wake walilia sana na huruma. Daktari . alitaka pesa nyingi sana lakini wananchi wal Insidia na pesa kidogo kidogo - Akatoa nayo mtoto hospitalini.
Nani alitoka mbio na kuenda kuangalia haraka
{ "text": [ "Mama" ] }
2972_swa
MKASA WA MOTO Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo.... Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe.... nilishtuka to kuamka kwa malazi imbio sano. "Mini mbaya wewe?" Mama aliniuliza. Nilimjibu hivi nina sikia mayowe huko nje. Mama alitoka mbia na kuenda kuangalia haraka sana. Mama alipofika huko kwa jirani alisikia jirani akipiga mayowe hivi Ui! Ui! Ui! Mnisaidie. Mama alipoingia kwa nyumba ya jirani alipata jirani akilia sana akiomba msada wake. Mama alimhurumia sana. Hiyo siku alikuwa mtoto wa mama huyo alikua amechomeka mkono wake Mama alipomulize alisema hivi nikikua nina shemshia mama chakula. Mama aliwauliza kwani wewe mama haunge kuchemsha chai? Huyo mama alimjibu hapana siyo hivyo akiwa analia kwa hasira yeye alikua analala akambia mtoto njaa inamuma. Lakini mtoto alitoka peke yake akaenda kushemsha chai. Jirani hakumwambia chochote alijitoa ati anaenda kuchemsha chai ndiyo akijichomeka kwa moto. Alianguka kwa moto alipokua akitoa chai. Huku mwenye alimtuma baba yake alimkataza asiende kwa moto. Hakusikia la baba yake .Baba yeke akamwambia mfano moja chenye kinasema hivi asiye sikia la mkuu havunjika guu. Hakusikia alikua na haraka sana. Baba akamwambia hivi haraka haraka aina baraka pole pole ndio mwendo. Aliingia kwa jikoni na kujifungia ndani akawasha moto. Ndio hivyo akachomeka vibaya sana. Mama alimchuka na kumpeleka hospitalini walikimbia naye hadi hospitalini walipo fika huko alingizwa ndani w wakanza kumtibu walitoa mkono hiyo lenye ilikuo kimechome akatengenezwa mkono wake alihisi uchungu sana. Alirudi akakumbuka peke yake akisema na moyo hivi. Asiye funzwa na wazazi wake hufunzwa na ulimwengu. Akasema tena vile baba alinikataza ningejua ringe Sikia Baba aliniambia Hasiye Skia you Mkuu huvunjika qu na pol pole ndio mwendo. Angejua, angesikia, hangepata hiyo uchungu. Wazazi wake walilia sana na huruma. Daktari . alitaka pesa nyingi sana lakini wananchi wal Insidia na pesa kidogo kidogo - Akatoa nayo mtoto hospitalini.
jirani alikuwa akifanya nini
{ "text": [ "Alikuwa akipiga mayowe" ] }
2972_swa
MKASA WA MOTO Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo.... Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe.... nilishtuka to kuamka kwa malazi imbio sano. "Mini mbaya wewe?" Mama aliniuliza. Nilimjibu hivi nina sikia mayowe huko nje. Mama alitoka mbia na kuenda kuangalia haraka sana. Mama alipofika huko kwa jirani alisikia jirani akipiga mayowe hivi Ui! Ui! Ui! Mnisaidie. Mama alipoingia kwa nyumba ya jirani alipata jirani akilia sana akiomba msada wake. Mama alimhurumia sana. Hiyo siku alikuwa mtoto wa mama huyo alikua amechomeka mkono wake Mama alipomulize alisema hivi nikikua nina shemshia mama chakula. Mama aliwauliza kwani wewe mama haunge kuchemsha chai? Huyo mama alimjibu hapana siyo hivyo akiwa analia kwa hasira yeye alikua analala akambia mtoto njaa inamuma. Lakini mtoto alitoka peke yake akaenda kushemsha chai. Jirani hakumwambia chochote alijitoa ati anaenda kuchemsha chai ndiyo akijichomeka kwa moto. Alianguka kwa moto alipokua akitoa chai. Huku mwenye alimtuma baba yake alimkataza asiende kwa moto. Hakusikia la baba yake .Baba yeke akamwambia mfano moja chenye kinasema hivi asiye sikia la mkuu havunjika guu. Hakusikia alikua na haraka sana. Baba akamwambia hivi haraka haraka aina baraka pole pole ndio mwendo. Aliingia kwa jikoni na kujifungia ndani akawasha moto. Ndio hivyo akachomeka vibaya sana. Mama alimchuka na kumpeleka hospitalini walikimbia naye hadi hospitalini walipo fika huko alingizwa ndani w wakanza kumtibu walitoa mkono hiyo lenye ilikuo kimechome akatengenezwa mkono wake alihisi uchungu sana. Alirudi akakumbuka peke yake akisema na moyo hivi. Asiye funzwa na wazazi wake hufunzwa na ulimwengu. Akasema tena vile baba alinikataza ningejua ringe Sikia Baba aliniambia Hasiye Skia you Mkuu huvunjika qu na pol pole ndio mwendo. Angejua, angesikia, hangepata hiyo uchungu. Wazazi wake walilia sana na huruma. Daktari . alitaka pesa nyingi sana lakini wananchi wal Insidia na pesa kidogo kidogo - Akatoa nayo mtoto hospitalini.
Mtoto wa jirani alikuwa amechomeka wapi
{ "text": [ "Mkono" ] }
2972_swa
MKASA WA MOTO Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo.... Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe.... nilishtuka to kuamka kwa malazi imbio sano. "Mini mbaya wewe?" Mama aliniuliza. Nilimjibu hivi nina sikia mayowe huko nje. Mama alitoka mbia na kuenda kuangalia haraka sana. Mama alipofika huko kwa jirani alisikia jirani akipiga mayowe hivi Ui! Ui! Ui! Mnisaidie. Mama alipoingia kwa nyumba ya jirani alipata jirani akilia sana akiomba msada wake. Mama alimhurumia sana. Hiyo siku alikuwa mtoto wa mama huyo alikua amechomeka mkono wake Mama alipomulize alisema hivi nikikua nina shemshia mama chakula. Mama aliwauliza kwani wewe mama haunge kuchemsha chai? Huyo mama alimjibu hapana siyo hivyo akiwa analia kwa hasira yeye alikua analala akambia mtoto njaa inamuma. Lakini mtoto alitoka peke yake akaenda kushemsha chai. Jirani hakumwambia chochote alijitoa ati anaenda kuchemsha chai ndiyo akijichomeka kwa moto. Alianguka kwa moto alipokua akitoa chai. Huku mwenye alimtuma baba yake alimkataza asiende kwa moto. Hakusikia la baba yake .Baba yeke akamwambia mfano moja chenye kinasema hivi asiye sikia la mkuu havunjika guu. Hakusikia alikua na haraka sana. Baba akamwambia hivi haraka haraka aina baraka pole pole ndio mwendo. Aliingia kwa jikoni na kujifungia ndani akawasha moto. Ndio hivyo akachomeka vibaya sana. Mama alimchuka na kumpeleka hospitalini walikimbia naye hadi hospitalini walipo fika huko alingizwa ndani w wakanza kumtibu walitoa mkono hiyo lenye ilikuo kimechome akatengenezwa mkono wake alihisi uchungu sana. Alirudi akakumbuka peke yake akisema na moyo hivi. Asiye funzwa na wazazi wake hufunzwa na ulimwengu. Akasema tena vile baba alinikataza ningejua ringe Sikia Baba aliniambia Hasiye Skia you Mkuu huvunjika qu na pol pole ndio mwendo. Angejua, angesikia, hangepata hiyo uchungu. Wazazi wake walilia sana na huruma. Daktari . alitaka pesa nyingi sana lakini wananchi wal Insidia na pesa kidogo kidogo - Akatoa nayo mtoto hospitalini.
nani alitoka peke yake na kuenda kuchemsha chai
{ "text": [ "Mtoto" ] }
2973_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya ......... Jumamosi Mwaka elfu mbili kumi na tano siku ya ishirini na tatu. Ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu kila mtu alikuwa ameiongoja siku hiyo kwa hamu na ghamu. Dada yangu kwanza ndiye alikuwa akisubiri sana. Tulikuwa tumeipanga hiyo siku miezi miwili sasa. Tuliamka afajiri na mapema wakati ndege palikuwa wakiimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Nilitembea mwendo wa aste aste kwenda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliongeza mwili wangu kuwa mkunga ya baharini. Nilioga na kurudi chumbani mwangu kuvalia nguo zangu. Baada ya kuvaa nguo nilikumbuka ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu. Nilikimbia chumbani mwake kumwamsha. Baada ya kuamka alienda kuoga. Alirudi chumbani mwake kuvalia vazi la harusi lilikuwa nyeupe pe! pe ! pe!, viatu vya visigino vya juu na kupodolewa.Tulienda kupata kiamsha kinywa chetu. Yaya wetu alikuwa amekitengeneza na kilikuwa kitamu - Dada yangu alikuwa amejawa na furaha tele. Baada ya kupata kiamsha kinywa chetu tulingia kwa gari. Gari ambayo dada yangu alikuwa ndani lilikuwa kubwa na refu. Tulipofika kanisani mlolongo wa magari ulikuwa ukitufuata. Tulipata watu kama wameshafika Nina yangu alikuja kusaidia dada yangu kutoka kwa gari.- Ndani kulikuwa kumepambwa na maua ya rangi ya nyekundu na ya nyeupe- Dada yangu alikuwa akitamani baba yetu awe hapa aone. Lakini baba yetu alikuwa marehemu. Mchumba wa dada yangu alikuwa akimngoja madhabahuni. Nina yetu na mimi tulimpeleke mpaka kwake. Alikuwa na tabasamu usoni na alikuwa analia. Lakini zilikuwa machozi ya furaha. Baada ya kutoka kanisani. Tulienda pahali tulikua kukata keki. Palikuwa panaitwa Asia Gardens - Tulifika huko saa nane no kasorobo. Huko tulikuwa tufanye vitu vingi sana. Kwanza tulianza na kula. Tilikula vihanzi, nyama choma, pilau na vyakula vinginevyo. Baada ya kula dada yangu na bwana yake waliletewa zawadi .Wengine walitoa pesa wengine zawadi Baada ya hayo mama yangu alitowa hotuba. Hotuba yako ilikuwa ya kusaidia dada yangu na bwana yake kuishi pamoja kwa amani. - Muda ambao kila mtu alikuwa anangojea ilifika. Walileta keki. Keki ilikuwa ya rangi nyeupe na hudhurungi ilikuwa tamu sana. Baada ya kula keki kila mtu alirudi kwao. Hiyo ilikuwa siku mzuri sana.
Mwandishi alikuwa anahudhuria nini siku ya Jumamosi?
{ "text": [ "Harusi" ] }
2973_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya ......... Jumamosi Mwaka elfu mbili kumi na tano siku ya ishirini na tatu. Ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu kila mtu alikuwa ameiongoja siku hiyo kwa hamu na ghamu. Dada yangu kwanza ndiye alikuwa akisubiri sana. Tulikuwa tumeipanga hiyo siku miezi miwili sasa. Tuliamka afajiri na mapema wakati ndege palikuwa wakiimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Nilitembea mwendo wa aste aste kwenda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliongeza mwili wangu kuwa mkunga ya baharini. Nilioga na kurudi chumbani mwangu kuvalia nguo zangu. Baada ya kuvaa nguo nilikumbuka ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu. Nilikimbia chumbani mwake kumwamsha. Baada ya kuamka alienda kuoga. Alirudi chumbani mwake kuvalia vazi la harusi lilikuwa nyeupe pe! pe ! pe!, viatu vya visigino vya juu na kupodolewa.Tulienda kupata kiamsha kinywa chetu. Yaya wetu alikuwa amekitengeneza na kilikuwa kitamu - Dada yangu alikuwa amejawa na furaha tele. Baada ya kupata kiamsha kinywa chetu tulingia kwa gari. Gari ambayo dada yangu alikuwa ndani lilikuwa kubwa na refu. Tulipofika kanisani mlolongo wa magari ulikuwa ukitufuata. Tulipata watu kama wameshafika Nina yangu alikuja kusaidia dada yangu kutoka kwa gari.- Ndani kulikuwa kumepambwa na maua ya rangi ya nyekundu na ya nyeupe- Dada yangu alikuwa akitamani baba yetu awe hapa aone. Lakini baba yetu alikuwa marehemu. Mchumba wa dada yangu alikuwa akimngoja madhabahuni. Nina yetu na mimi tulimpeleke mpaka kwake. Alikuwa na tabasamu usoni na alikuwa analia. Lakini zilikuwa machozi ya furaha. Baada ya kutoka kanisani. Tulienda pahali tulikua kukata keki. Palikuwa panaitwa Asia Gardens - Tulifika huko saa nane no kasorobo. Huko tulikuwa tufanye vitu vingi sana. Kwanza tulianza na kula. Tilikula vihanzi, nyama choma, pilau na vyakula vinginevyo. Baada ya kula dada yangu na bwana yake waliletewa zawadi .Wengine walitoa pesa wengine zawadi Baada ya hayo mama yangu alitowa hotuba. Hotuba yako ilikuwa ya kusaidia dada yangu na bwana yake kuishi pamoja kwa amani. - Muda ambao kila mtu alikuwa anangojea ilifika. Walileta keki. Keki ilikuwa ya rangi nyeupe na hudhurungi ilikuwa tamu sana. Baada ya kula keki kila mtu alirudi kwao. Hiyo ilikuwa siku mzuri sana.
Ilichukua muda gani kupanga harusi?
{ "text": [ "Mieze miwili" ] }
2973_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya ......... Jumamosi Mwaka elfu mbili kumi na tano siku ya ishirini na tatu. Ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu kila mtu alikuwa ameiongoja siku hiyo kwa hamu na ghamu. Dada yangu kwanza ndiye alikuwa akisubiri sana. Tulikuwa tumeipanga hiyo siku miezi miwili sasa. Tuliamka afajiri na mapema wakati ndege palikuwa wakiimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Nilitembea mwendo wa aste aste kwenda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliongeza mwili wangu kuwa mkunga ya baharini. Nilioga na kurudi chumbani mwangu kuvalia nguo zangu. Baada ya kuvaa nguo nilikumbuka ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu. Nilikimbia chumbani mwake kumwamsha. Baada ya kuamka alienda kuoga. Alirudi chumbani mwake kuvalia vazi la harusi lilikuwa nyeupe pe! pe ! pe!, viatu vya visigino vya juu na kupodolewa.Tulienda kupata kiamsha kinywa chetu. Yaya wetu alikuwa amekitengeneza na kilikuwa kitamu - Dada yangu alikuwa amejawa na furaha tele. Baada ya kupata kiamsha kinywa chetu tulingia kwa gari. Gari ambayo dada yangu alikuwa ndani lilikuwa kubwa na refu. Tulipofika kanisani mlolongo wa magari ulikuwa ukitufuata. Tulipata watu kama wameshafika Nina yangu alikuja kusaidia dada yangu kutoka kwa gari.- Ndani kulikuwa kumepambwa na maua ya rangi ya nyekundu na ya nyeupe- Dada yangu alikuwa akitamani baba yetu awe hapa aone. Lakini baba yetu alikuwa marehemu. Mchumba wa dada yangu alikuwa akimngoja madhabahuni. Nina yetu na mimi tulimpeleke mpaka kwake. Alikuwa na tabasamu usoni na alikuwa analia. Lakini zilikuwa machozi ya furaha. Baada ya kutoka kanisani. Tulienda pahali tulikua kukata keki. Palikuwa panaitwa Asia Gardens - Tulifika huko saa nane no kasorobo. Huko tulikuwa tufanye vitu vingi sana. Kwanza tulianza na kula. Tilikula vihanzi, nyama choma, pilau na vyakula vinginevyo. Baada ya kula dada yangu na bwana yake waliletewa zawadi .Wengine walitoa pesa wengine zawadi Baada ya hayo mama yangu alitowa hotuba. Hotuba yako ilikuwa ya kusaidia dada yangu na bwana yake kuishi pamoja kwa amani. - Muda ambao kila mtu alikuwa anangojea ilifika. Walileta keki. Keki ilikuwa ya rangi nyeupe na hudhurungi ilikuwa tamu sana. Baada ya kula keki kila mtu alirudi kwao. Hiyo ilikuwa siku mzuri sana.
Harusi ilikuwa inafanyika wapi?
{ "text": [ "Kanisani" ] }
2973_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya ......... Jumamosi Mwaka elfu mbili kumi na tano siku ya ishirini na tatu. Ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu kila mtu alikuwa ameiongoja siku hiyo kwa hamu na ghamu. Dada yangu kwanza ndiye alikuwa akisubiri sana. Tulikuwa tumeipanga hiyo siku miezi miwili sasa. Tuliamka afajiri na mapema wakati ndege palikuwa wakiimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Nilitembea mwendo wa aste aste kwenda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliongeza mwili wangu kuwa mkunga ya baharini. Nilioga na kurudi chumbani mwangu kuvalia nguo zangu. Baada ya kuvaa nguo nilikumbuka ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu. Nilikimbia chumbani mwake kumwamsha. Baada ya kuamka alienda kuoga. Alirudi chumbani mwake kuvalia vazi la harusi lilikuwa nyeupe pe! pe ! pe!, viatu vya visigino vya juu na kupodolewa.Tulienda kupata kiamsha kinywa chetu. Yaya wetu alikuwa amekitengeneza na kilikuwa kitamu - Dada yangu alikuwa amejawa na furaha tele. Baada ya kupata kiamsha kinywa chetu tulingia kwa gari. Gari ambayo dada yangu alikuwa ndani lilikuwa kubwa na refu. Tulipofika kanisani mlolongo wa magari ulikuwa ukitufuata. Tulipata watu kama wameshafika Nina yangu alikuja kusaidia dada yangu kutoka kwa gari.- Ndani kulikuwa kumepambwa na maua ya rangi ya nyekundu na ya nyeupe- Dada yangu alikuwa akitamani baba yetu awe hapa aone. Lakini baba yetu alikuwa marehemu. Mchumba wa dada yangu alikuwa akimngoja madhabahuni. Nina yetu na mimi tulimpeleke mpaka kwake. Alikuwa na tabasamu usoni na alikuwa analia. Lakini zilikuwa machozi ya furaha. Baada ya kutoka kanisani. Tulienda pahali tulikua kukata keki. Palikuwa panaitwa Asia Gardens - Tulifika huko saa nane no kasorobo. Huko tulikuwa tufanye vitu vingi sana. Kwanza tulianza na kula. Tilikula vihanzi, nyama choma, pilau na vyakula vinginevyo. Baada ya kula dada yangu na bwana yake waliletewa zawadi .Wengine walitoa pesa wengine zawadi Baada ya hayo mama yangu alitowa hotuba. Hotuba yako ilikuwa ya kusaidia dada yangu na bwana yake kuishi pamoja kwa amani. - Muda ambao kila mtu alikuwa anangojea ilifika. Walileta keki. Keki ilikuwa ya rangi nyeupe na hudhurungi ilikuwa tamu sana. Baada ya kula keki kila mtu alirudi kwao. Hiyo ilikuwa siku mzuri sana.
Kanisa ilikuwa imepambwa na maua ya rangi gani?
{ "text": [ "Nyekundu na nyeupe" ] }
2973_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya ......... Jumamosi Mwaka elfu mbili kumi na tano siku ya ishirini na tatu. Ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu kila mtu alikuwa ameiongoja siku hiyo kwa hamu na ghamu. Dada yangu kwanza ndiye alikuwa akisubiri sana. Tulikuwa tumeipanga hiyo siku miezi miwili sasa. Tuliamka afajiri na mapema wakati ndege palikuwa wakiimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Nilitembea mwendo wa aste aste kwenda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliongeza mwili wangu kuwa mkunga ya baharini. Nilioga na kurudi chumbani mwangu kuvalia nguo zangu. Baada ya kuvaa nguo nilikumbuka ilikuwa siku ya harusi ya dada yangu. Nilikimbia chumbani mwake kumwamsha. Baada ya kuamka alienda kuoga. Alirudi chumbani mwake kuvalia vazi la harusi lilikuwa nyeupe pe! pe ! pe!, viatu vya visigino vya juu na kupodolewa.Tulienda kupata kiamsha kinywa chetu. Yaya wetu alikuwa amekitengeneza na kilikuwa kitamu - Dada yangu alikuwa amejawa na furaha tele. Baada ya kupata kiamsha kinywa chetu tulingia kwa gari. Gari ambayo dada yangu alikuwa ndani lilikuwa kubwa na refu. Tulipofika kanisani mlolongo wa magari ulikuwa ukitufuata. Tulipata watu kama wameshafika Nina yangu alikuja kusaidia dada yangu kutoka kwa gari.- Ndani kulikuwa kumepambwa na maua ya rangi ya nyekundu na ya nyeupe- Dada yangu alikuwa akitamani baba yetu awe hapa aone. Lakini baba yetu alikuwa marehemu. Mchumba wa dada yangu alikuwa akimngoja madhabahuni. Nina yetu na mimi tulimpeleke mpaka kwake. Alikuwa na tabasamu usoni na alikuwa analia. Lakini zilikuwa machozi ya furaha. Baada ya kutoka kanisani. Tulienda pahali tulikua kukata keki. Palikuwa panaitwa Asia Gardens - Tulifika huko saa nane no kasorobo. Huko tulikuwa tufanye vitu vingi sana. Kwanza tulianza na kula. Tilikula vihanzi, nyama choma, pilau na vyakula vinginevyo. Baada ya kula dada yangu na bwana yake waliletewa zawadi .Wengine walitoa pesa wengine zawadi Baada ya hayo mama yangu alitowa hotuba. Hotuba yako ilikuwa ya kusaidia dada yangu na bwana yake kuishi pamoja kwa amani. - Muda ambao kila mtu alikuwa anangojea ilifika. Walileta keki. Keki ilikuwa ya rangi nyeupe na hudhurungi ilikuwa tamu sana. Baada ya kula keki kila mtu alirudi kwao. Hiyo ilikuwa siku mzuri sana.
Nani alimsaidai dadake mwandishi kutoka kwenye gari?
{ "text": [ "Mama yake" ] }
2975_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe we nilishikwa na butwaa na kuelekea mahalí ambapo mayowe hayo yalikuwa yakitoka. Nilipofika hapo nilipata kuwa nyumba ambazo zilikuweko zilikuwa zimechomeka kwa sababu kuna watu ambao walikuwa wamsababisha moto huo. Watu ambao walikuwa hapo walikuwa wanajaribu kuuzima moto huo walikuwa wanaenda mtoni kuchota maji ili wauzime moto. Kina mama nao walikuwa wanapiga mayowe. Kwani nyumba zao zilikuwa zikiteketea. Wavulana ambao walikuwemo walikimbia mrama, ungefikri walikuwa wamemwona Osama mwenye uhasama usiso koma mpaka siku ya kiama. Punde si punde kikosi cha wazimamoto walifika na kuuzima moto na pia kunawale ambao walikuwa wakingia katika nyumba hizo na kuchukua vitu ambayo havijateketea bali na ni vitu vidogo tu ndivyo havikutekelea. Polisi wakaitwa ili wachunguze ni nani aliyesababisha hayo yote. Walisema kuwa uchunguzi utaanza siku itakayo fuata kumbuka wahenga walisema siku za mwizi ni arobaini na pia yote yongaa'yo Si dhahabu. Uchunguzi ukaanza kufanywa ili wapate ni nani aliyesababisha kitendo hicho kifanyike ihalí kuna kina mama ambao walikuwa wajawazito na hawaiwezi kwa sababu wamevuta ndani moshi na si mzuri kwa afya yao na watoto. wengine wamelala hospitalini kwa sababu wamejaa moshi mwilini mwao. Walipofanya uchunguzi walipata ni mzee mmoja aitwaye Kilambi alikuwa anataka kuagamiza wanakijiji ili akuwe yeye ndiye mwenye hilo kijiji lakini hakufaulu. Wanapolisi walitumwa waende wakamlete kwenye kituo cha polisi ili andike mashtaka yake na aeleze mbona alifanya kitendo hicho. Alianza kupinga akisema kuwa siye lakini moyoni mwake ilikuwa ni yeye kwasababu alikuwa anataka kuwa na mahari mingi katika kijiji hicho. Alionyeshwa picha ambazo zilikuwa zikisemekana ni yeye. Alipelekwa kotinna Jaji akasema kuwa afungwe gerezani kwa miaka na mikaka ishirini ili alipe kwa wale watu ambao nyumba zao zilikuwa zimeteketea. Tukumbuke wahenga walisema Mpanda farasi wawili hupasuka msamba na Hayawi hayawi huwa na yasiyokuwa yakawa
Nyumba zilifanya nini
{ "text": [ "zilichomeka" ] }
2975_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe we nilishikwa na butwaa na kuelekea mahalí ambapo mayowe hayo yalikuwa yakitoka. Nilipofika hapo nilipata kuwa nyumba ambazo zilikuweko zilikuwa zimechomeka kwa sababu kuna watu ambao walikuwa wamsababisha moto huo. Watu ambao walikuwa hapo walikuwa wanajaribu kuuzima moto huo walikuwa wanaenda mtoni kuchota maji ili wauzime moto. Kina mama nao walikuwa wanapiga mayowe. Kwani nyumba zao zilikuwa zikiteketea. Wavulana ambao walikuwemo walikimbia mrama, ungefikri walikuwa wamemwona Osama mwenye uhasama usiso koma mpaka siku ya kiama. Punde si punde kikosi cha wazimamoto walifika na kuuzima moto na pia kunawale ambao walikuwa wakingia katika nyumba hizo na kuchukua vitu ambayo havijateketea bali na ni vitu vidogo tu ndivyo havikutekelea. Polisi wakaitwa ili wachunguze ni nani aliyesababisha hayo yote. Walisema kuwa uchunguzi utaanza siku itakayo fuata kumbuka wahenga walisema siku za mwizi ni arobaini na pia yote yongaa'yo Si dhahabu. Uchunguzi ukaanza kufanywa ili wapate ni nani aliyesababisha kitendo hicho kifanyike ihalí kuna kina mama ambao walikuwa wajawazito na hawaiwezi kwa sababu wamevuta ndani moshi na si mzuri kwa afya yao na watoto. wengine wamelala hospitalini kwa sababu wamejaa moshi mwilini mwao. Walipofanya uchunguzi walipata ni mzee mmoja aitwaye Kilambi alikuwa anataka kuagamiza wanakijiji ili akuwe yeye ndiye mwenye hilo kijiji lakini hakufaulu. Wanapolisi walitumwa waende wakamlete kwenye kituo cha polisi ili andike mashtaka yake na aeleze mbona alifanya kitendo hicho. Alianza kupinga akisema kuwa siye lakini moyoni mwake ilikuwa ni yeye kwasababu alikuwa anataka kuwa na mahari mingi katika kijiji hicho. Alionyeshwa picha ambazo zilikuwa zikisemekana ni yeye. Alipelekwa kotinna Jaji akasema kuwa afungwe gerezani kwa miaka na mikaka ishirini ili alipe kwa wale watu ambao nyumba zao zilikuwa zimeteketea. Tukumbuke wahenga walisema Mpanda farasi wawili hupasuka msamba na Hayawi hayawi huwa na yasiyokuwa yakawa
Nani walikuwa wanajaribu kuizima
{ "text": [ "Watu" ] }
2975_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe we nilishikwa na butwaa na kuelekea mahalí ambapo mayowe hayo yalikuwa yakitoka. Nilipofika hapo nilipata kuwa nyumba ambazo zilikuweko zilikuwa zimechomeka kwa sababu kuna watu ambao walikuwa wamsababisha moto huo. Watu ambao walikuwa hapo walikuwa wanajaribu kuuzima moto huo walikuwa wanaenda mtoni kuchota maji ili wauzime moto. Kina mama nao walikuwa wanapiga mayowe. Kwani nyumba zao zilikuwa zikiteketea. Wavulana ambao walikuwemo walikimbia mrama, ungefikri walikuwa wamemwona Osama mwenye uhasama usiso koma mpaka siku ya kiama. Punde si punde kikosi cha wazimamoto walifika na kuuzima moto na pia kunawale ambao walikuwa wakingia katika nyumba hizo na kuchukua vitu ambayo havijateketea bali na ni vitu vidogo tu ndivyo havikutekelea. Polisi wakaitwa ili wachunguze ni nani aliyesababisha hayo yote. Walisema kuwa uchunguzi utaanza siku itakayo fuata kumbuka wahenga walisema siku za mwizi ni arobaini na pia yote yongaa'yo Si dhahabu. Uchunguzi ukaanza kufanywa ili wapate ni nani aliyesababisha kitendo hicho kifanyike ihalí kuna kina mama ambao walikuwa wajawazito na hawaiwezi kwa sababu wamevuta ndani moshi na si mzuri kwa afya yao na watoto. wengine wamelala hospitalini kwa sababu wamejaa moshi mwilini mwao. Walipofanya uchunguzi walipata ni mzee mmoja aitwaye Kilambi alikuwa anataka kuagamiza wanakijiji ili akuwe yeye ndiye mwenye hilo kijiji lakini hakufaulu. Wanapolisi walitumwa waende wakamlete kwenye kituo cha polisi ili andike mashtaka yake na aeleze mbona alifanya kitendo hicho. Alianza kupinga akisema kuwa siye lakini moyoni mwake ilikuwa ni yeye kwasababu alikuwa anataka kuwa na mahari mingi katika kijiji hicho. Alionyeshwa picha ambazo zilikuwa zikisemekana ni yeye. Alipelekwa kotinna Jaji akasema kuwa afungwe gerezani kwa miaka na mikaka ishirini ili alipe kwa wale watu ambao nyumba zao zilikuwa zimeteketea. Tukumbuke wahenga walisema Mpanda farasi wawili hupasuka msamba na Hayawi hayawi huwa na yasiyokuwa yakawa
Watu gani walifika
{ "text": [ "Zima moto" ] }
2975_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe we nilishikwa na butwaa na kuelekea mahalí ambapo mayowe hayo yalikuwa yakitoka. Nilipofika hapo nilipata kuwa nyumba ambazo zilikuweko zilikuwa zimechomeka kwa sababu kuna watu ambao walikuwa wamsababisha moto huo. Watu ambao walikuwa hapo walikuwa wanajaribu kuuzima moto huo walikuwa wanaenda mtoni kuchota maji ili wauzime moto. Kina mama nao walikuwa wanapiga mayowe. Kwani nyumba zao zilikuwa zikiteketea. Wavulana ambao walikuwemo walikimbia mrama, ungefikri walikuwa wamemwona Osama mwenye uhasama usiso koma mpaka siku ya kiama. Punde si punde kikosi cha wazimamoto walifika na kuuzima moto na pia kunawale ambao walikuwa wakingia katika nyumba hizo na kuchukua vitu ambayo havijateketea bali na ni vitu vidogo tu ndivyo havikutekelea. Polisi wakaitwa ili wachunguze ni nani aliyesababisha hayo yote. Walisema kuwa uchunguzi utaanza siku itakayo fuata kumbuka wahenga walisema siku za mwizi ni arobaini na pia yote yongaa'yo Si dhahabu. Uchunguzi ukaanza kufanywa ili wapate ni nani aliyesababisha kitendo hicho kifanyike ihalí kuna kina mama ambao walikuwa wajawazito na hawaiwezi kwa sababu wamevuta ndani moshi na si mzuri kwa afya yao na watoto. wengine wamelala hospitalini kwa sababu wamejaa moshi mwilini mwao. Walipofanya uchunguzi walipata ni mzee mmoja aitwaye Kilambi alikuwa anataka kuagamiza wanakijiji ili akuwe yeye ndiye mwenye hilo kijiji lakini hakufaulu. Wanapolisi walitumwa waende wakamlete kwenye kituo cha polisi ili andike mashtaka yake na aeleze mbona alifanya kitendo hicho. Alianza kupinga akisema kuwa siye lakini moyoni mwake ilikuwa ni yeye kwasababu alikuwa anataka kuwa na mahari mingi katika kijiji hicho. Alionyeshwa picha ambazo zilikuwa zikisemekana ni yeye. Alipelekwa kotinna Jaji akasema kuwa afungwe gerezani kwa miaka na mikaka ishirini ili alipe kwa wale watu ambao nyumba zao zilikuwa zimeteketea. Tukumbuke wahenga walisema Mpanda farasi wawili hupasuka msamba na Hayawi hayawi huwa na yasiyokuwa yakawa
Siku za mwizi ni ngapi
{ "text": [ "Arobaini" ] }
2975_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe we nilishikwa na butwaa na kuelekea mahalí ambapo mayowe hayo yalikuwa yakitoka. Nilipofika hapo nilipata kuwa nyumba ambazo zilikuweko zilikuwa zimechomeka kwa sababu kuna watu ambao walikuwa wamsababisha moto huo. Watu ambao walikuwa hapo walikuwa wanajaribu kuuzima moto huo walikuwa wanaenda mtoni kuchota maji ili wauzime moto. Kina mama nao walikuwa wanapiga mayowe. Kwani nyumba zao zilikuwa zikiteketea. Wavulana ambao walikuwemo walikimbia mrama, ungefikri walikuwa wamemwona Osama mwenye uhasama usiso koma mpaka siku ya kiama. Punde si punde kikosi cha wazimamoto walifika na kuuzima moto na pia kunawale ambao walikuwa wakingia katika nyumba hizo na kuchukua vitu ambayo havijateketea bali na ni vitu vidogo tu ndivyo havikutekelea. Polisi wakaitwa ili wachunguze ni nani aliyesababisha hayo yote. Walisema kuwa uchunguzi utaanza siku itakayo fuata kumbuka wahenga walisema siku za mwizi ni arobaini na pia yote yongaa'yo Si dhahabu. Uchunguzi ukaanza kufanywa ili wapate ni nani aliyesababisha kitendo hicho kifanyike ihalí kuna kina mama ambao walikuwa wajawazito na hawaiwezi kwa sababu wamevuta ndani moshi na si mzuri kwa afya yao na watoto. wengine wamelala hospitalini kwa sababu wamejaa moshi mwilini mwao. Walipofanya uchunguzi walipata ni mzee mmoja aitwaye Kilambi alikuwa anataka kuagamiza wanakijiji ili akuwe yeye ndiye mwenye hilo kijiji lakini hakufaulu. Wanapolisi walitumwa waende wakamlete kwenye kituo cha polisi ili andike mashtaka yake na aeleze mbona alifanya kitendo hicho. Alianza kupinga akisema kuwa siye lakini moyoni mwake ilikuwa ni yeye kwasababu alikuwa anataka kuwa na mahari mingi katika kijiji hicho. Alionyeshwa picha ambazo zilikuwa zikisemekana ni yeye. Alipelekwa kotinna Jaji akasema kuwa afungwe gerezani kwa miaka na mikaka ishirini ili alipe kwa wale watu ambao nyumba zao zilikuwa zimeteketea. Tukumbuke wahenga walisema Mpanda farasi wawili hupasuka msamba na Hayawi hayawi huwa na yasiyokuwa yakawa
Kwa nini Kitambi alichoma kijiji
{ "text": [ "Alitaka kijiji kiwe chake" ] }
2976_swa
SIKU SITASAHAU MAISHANI MWANGU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe nje ya nyumba, Moyo wangu ulianza kudunda du!du!du! hapo, nikijaribu kuangalia ni nini inayofanyika huo usiku Åla! nilipogundua macho niliona watu wakubwa na macho yanayokondelewa nje. Mayowe yalizidi kelele watu wanakimbia hapa kule wakilia kwi!kwi!kwi! Licha ya hayo nilisikia mlango ukigongwa ni kama ndovu linajaribu kuingia ndani ya nyumba. Nilipojan kuchungulia ni nini uliogongagonga mlango ovyo. Salale! nilishtuka moyo ukizidi kudunda. Ulikuwa mwamume aliye na bunduki mkononi akibisha mlango kwa nguvu na hasira. Ilinibidi nisifungue mlango huo nikijua kwamba mamba hayapo mazuri. Nilizima taa vyote nyumbani nikijua atadhani kuwa hakuna mtu nyumbani. Nilitembea polepole kama kobe nikienda kujificha kwenye kabati kubwa ulio nyumbani mwetu. Baada ya dakika ishirini nilijikuta kwamba nilikuwa nimelala fofofo, kwani usingizi alinibeba mpwito mpwito. Nilijaribu kutoka kwenye kabati lilo hilo. Nijaribu kugundua, " Kwani kumenyamazaje hivi ? nilijiuliza. Nje ulinyamaza zi na haukuwa na mayowe yeyote yaliyosikika. Nilipokaribia mlangoni nilisikia mashangwe ya furaha na buraha. Nishangaa kwani haya ni hasara ya aina gani. Niljaribu kuenda nje nione ni sherehe aina gani leo Nilichungulia mara kwa mara kujua kama yule mume bado yupo. Nilipogundua hayupo niliondoka nje nilimwona rafikiye pia akichezacheza na furaha. Nilipomuuliza ni nini uliofanyika, aliniambia “Kulikuwa na watu wanaokaa sura mbovu, ninashuku ni wezi, walikuja nyumbani wa kila mtu kujini, Walitaka kuua kila mtu kijijini, watu walitoka nyumba mwao na mayowe wakikimbia huku na kule muda si muda Wababa na vijana kijijini walichukua visu na mapanga, mrenge na vinginevyo. Walikimbia wote wakijaribu kuwaua hao wezi. Hapo ndipo tulisikia gari la polisi likija kijijini watu walianza kucheza na furaha na buraha wakicheza ala za muziki na kuimba nyimbo za kufurahisha, wezi walichukuliwa wote na kupelekwa gerezani. Rafikiye alisema. Aah! ndiyo kwa maani kulikuwa na mtu alikuja kubisha mlango wa nyumba yetu Sasa kuanzia hapo sisi sote tulisheherekea pamoja kwa shangwe.
Nani aligonga mlango wa msimulizi
{ "text": [ "Mwanamume" ] }
2976_swa
SIKU SITASAHAU MAISHANI MWANGU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe nje ya nyumba, Moyo wangu ulianza kudunda du!du!du! hapo, nikijaribu kuangalia ni nini inayofanyika huo usiku Åla! nilipogundua macho niliona watu wakubwa na macho yanayokondelewa nje. Mayowe yalizidi kelele watu wanakimbia hapa kule wakilia kwi!kwi!kwi! Licha ya hayo nilisikia mlango ukigongwa ni kama ndovu linajaribu kuingia ndani ya nyumba. Nilipojan kuchungulia ni nini uliogongagonga mlango ovyo. Salale! nilishtuka moyo ukizidi kudunda. Ulikuwa mwamume aliye na bunduki mkononi akibisha mlango kwa nguvu na hasira. Ilinibidi nisifungue mlango huo nikijua kwamba mamba hayapo mazuri. Nilizima taa vyote nyumbani nikijua atadhani kuwa hakuna mtu nyumbani. Nilitembea polepole kama kobe nikienda kujificha kwenye kabati kubwa ulio nyumbani mwetu. Baada ya dakika ishirini nilijikuta kwamba nilikuwa nimelala fofofo, kwani usingizi alinibeba mpwito mpwito. Nilijaribu kutoka kwenye kabati lilo hilo. Nijaribu kugundua, " Kwani kumenyamazaje hivi ? nilijiuliza. Nje ulinyamaza zi na haukuwa na mayowe yeyote yaliyosikika. Nilipokaribia mlangoni nilisikia mashangwe ya furaha na buraha. Nishangaa kwani haya ni hasara ya aina gani. Niljaribu kuenda nje nione ni sherehe aina gani leo Nilichungulia mara kwa mara kujua kama yule mume bado yupo. Nilipogundua hayupo niliondoka nje nilimwona rafikiye pia akichezacheza na furaha. Nilipomuuliza ni nini uliofanyika, aliniambia “Kulikuwa na watu wanaokaa sura mbovu, ninashuku ni wezi, walikuja nyumbani wa kila mtu kujini, Walitaka kuua kila mtu kijijini, watu walitoka nyumba mwao na mayowe wakikimbia huku na kule muda si muda Wababa na vijana kijijini walichukua visu na mapanga, mrenge na vinginevyo. Walikimbia wote wakijaribu kuwaua hao wezi. Hapo ndipo tulisikia gari la polisi likija kijijini watu walianza kucheza na furaha na buraha wakicheza ala za muziki na kuimba nyimbo za kufurahisha, wezi walichukuliwa wote na kupelekwa gerezani. Rafikiye alisema. Aah! ndiyo kwa maani kulikuwa na mtu alikuja kubisha mlango wa nyumba yetu Sasa kuanzia hapo sisi sote tulisheherekea pamoja kwa shangwe.
Mwanamume ailyegonga mlango alikuwa na nini mkononi
{ "text": [ "Bunduki" ] }
2976_swa
SIKU SITASAHAU MAISHANI MWANGU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe nje ya nyumba, Moyo wangu ulianza kudunda du!du!du! hapo, nikijaribu kuangalia ni nini inayofanyika huo usiku Åla! nilipogundua macho niliona watu wakubwa na macho yanayokondelewa nje. Mayowe yalizidi kelele watu wanakimbia hapa kule wakilia kwi!kwi!kwi! Licha ya hayo nilisikia mlango ukigongwa ni kama ndovu linajaribu kuingia ndani ya nyumba. Nilipojan kuchungulia ni nini uliogongagonga mlango ovyo. Salale! nilishtuka moyo ukizidi kudunda. Ulikuwa mwamume aliye na bunduki mkononi akibisha mlango kwa nguvu na hasira. Ilinibidi nisifungue mlango huo nikijua kwamba mamba hayapo mazuri. Nilizima taa vyote nyumbani nikijua atadhani kuwa hakuna mtu nyumbani. Nilitembea polepole kama kobe nikienda kujificha kwenye kabati kubwa ulio nyumbani mwetu. Baada ya dakika ishirini nilijikuta kwamba nilikuwa nimelala fofofo, kwani usingizi alinibeba mpwito mpwito. Nilijaribu kutoka kwenye kabati lilo hilo. Nijaribu kugundua, " Kwani kumenyamazaje hivi ? nilijiuliza. Nje ulinyamaza zi na haukuwa na mayowe yeyote yaliyosikika. Nilipokaribia mlangoni nilisikia mashangwe ya furaha na buraha. Nishangaa kwani haya ni hasara ya aina gani. Niljaribu kuenda nje nione ni sherehe aina gani leo Nilichungulia mara kwa mara kujua kama yule mume bado yupo. Nilipogundua hayupo niliondoka nje nilimwona rafikiye pia akichezacheza na furaha. Nilipomuuliza ni nini uliofanyika, aliniambia “Kulikuwa na watu wanaokaa sura mbovu, ninashuku ni wezi, walikuja nyumbani wa kila mtu kujini, Walitaka kuua kila mtu kijijini, watu walitoka nyumba mwao na mayowe wakikimbia huku na kule muda si muda Wababa na vijana kijijini walichukua visu na mapanga, mrenge na vinginevyo. Walikimbia wote wakijaribu kuwaua hao wezi. Hapo ndipo tulisikia gari la polisi likija kijijini watu walianza kucheza na furaha na buraha wakicheza ala za muziki na kuimba nyimbo za kufurahisha, wezi walichukuliwa wote na kupelekwa gerezani. Rafikiye alisema. Aah! ndiyo kwa maani kulikuwa na mtu alikuja kubisha mlango wa nyumba yetu Sasa kuanzia hapo sisi sote tulisheherekea pamoja kwa shangwe.
Msimulizi alitembea polepole kama mnyama yupi akienda kujificha
{ "text": [ "Kobe" ] }
2976_swa
SIKU SITASAHAU MAISHANI MWANGU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe nje ya nyumba, Moyo wangu ulianza kudunda du!du!du! hapo, nikijaribu kuangalia ni nini inayofanyika huo usiku Åla! nilipogundua macho niliona watu wakubwa na macho yanayokondelewa nje. Mayowe yalizidi kelele watu wanakimbia hapa kule wakilia kwi!kwi!kwi! Licha ya hayo nilisikia mlango ukigongwa ni kama ndovu linajaribu kuingia ndani ya nyumba. Nilipojan kuchungulia ni nini uliogongagonga mlango ovyo. Salale! nilishtuka moyo ukizidi kudunda. Ulikuwa mwamume aliye na bunduki mkononi akibisha mlango kwa nguvu na hasira. Ilinibidi nisifungue mlango huo nikijua kwamba mamba hayapo mazuri. Nilizima taa vyote nyumbani nikijua atadhani kuwa hakuna mtu nyumbani. Nilitembea polepole kama kobe nikienda kujificha kwenye kabati kubwa ulio nyumbani mwetu. Baada ya dakika ishirini nilijikuta kwamba nilikuwa nimelala fofofo, kwani usingizi alinibeba mpwito mpwito. Nilijaribu kutoka kwenye kabati lilo hilo. Nijaribu kugundua, " Kwani kumenyamazaje hivi ? nilijiuliza. Nje ulinyamaza zi na haukuwa na mayowe yeyote yaliyosikika. Nilipokaribia mlangoni nilisikia mashangwe ya furaha na buraha. Nishangaa kwani haya ni hasara ya aina gani. Niljaribu kuenda nje nione ni sherehe aina gani leo Nilichungulia mara kwa mara kujua kama yule mume bado yupo. Nilipogundua hayupo niliondoka nje nilimwona rafikiye pia akichezacheza na furaha. Nilipomuuliza ni nini uliofanyika, aliniambia “Kulikuwa na watu wanaokaa sura mbovu, ninashuku ni wezi, walikuja nyumbani wa kila mtu kujini, Walitaka kuua kila mtu kijijini, watu walitoka nyumba mwao na mayowe wakikimbia huku na kule muda si muda Wababa na vijana kijijini walichukua visu na mapanga, mrenge na vinginevyo. Walikimbia wote wakijaribu kuwaua hao wezi. Hapo ndipo tulisikia gari la polisi likija kijijini watu walianza kucheza na furaha na buraha wakicheza ala za muziki na kuimba nyimbo za kufurahisha, wezi walichukuliwa wote na kupelekwa gerezani. Rafikiye alisema. Aah! ndiyo kwa maani kulikuwa na mtu alikuja kubisha mlango wa nyumba yetu Sasa kuanzia hapo sisi sote tulisheherekea pamoja kwa shangwe.
Msimulizi alilala baada ya dakika ngapi
{ "text": [ "Ishirini" ] }
2976_swa
SIKU SITASAHAU MAISHANI MWANGU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe nje ya nyumba, Moyo wangu ulianza kudunda du!du!du! hapo, nikijaribu kuangalia ni nini inayofanyika huo usiku Åla! nilipogundua macho niliona watu wakubwa na macho yanayokondelewa nje. Mayowe yalizidi kelele watu wanakimbia hapa kule wakilia kwi!kwi!kwi! Licha ya hayo nilisikia mlango ukigongwa ni kama ndovu linajaribu kuingia ndani ya nyumba. Nilipojan kuchungulia ni nini uliogongagonga mlango ovyo. Salale! nilishtuka moyo ukizidi kudunda. Ulikuwa mwamume aliye na bunduki mkononi akibisha mlango kwa nguvu na hasira. Ilinibidi nisifungue mlango huo nikijua kwamba mamba hayapo mazuri. Nilizima taa vyote nyumbani nikijua atadhani kuwa hakuna mtu nyumbani. Nilitembea polepole kama kobe nikienda kujificha kwenye kabati kubwa ulio nyumbani mwetu. Baada ya dakika ishirini nilijikuta kwamba nilikuwa nimelala fofofo, kwani usingizi alinibeba mpwito mpwito. Nilijaribu kutoka kwenye kabati lilo hilo. Nijaribu kugundua, " Kwani kumenyamazaje hivi ? nilijiuliza. Nje ulinyamaza zi na haukuwa na mayowe yeyote yaliyosikika. Nilipokaribia mlangoni nilisikia mashangwe ya furaha na buraha. Nishangaa kwani haya ni hasara ya aina gani. Niljaribu kuenda nje nione ni sherehe aina gani leo Nilichungulia mara kwa mara kujua kama yule mume bado yupo. Nilipogundua hayupo niliondoka nje nilimwona rafikiye pia akichezacheza na furaha. Nilipomuuliza ni nini uliofanyika, aliniambia “Kulikuwa na watu wanaokaa sura mbovu, ninashuku ni wezi, walikuja nyumbani wa kila mtu kujini, Walitaka kuua kila mtu kijijini, watu walitoka nyumba mwao na mayowe wakikimbia huku na kule muda si muda Wababa na vijana kijijini walichukua visu na mapanga, mrenge na vinginevyo. Walikimbia wote wakijaribu kuwaua hao wezi. Hapo ndipo tulisikia gari la polisi likija kijijini watu walianza kucheza na furaha na buraha wakicheza ala za muziki na kuimba nyimbo za kufurahisha, wezi walichukuliwa wote na kupelekwa gerezani. Rafikiye alisema. Aah! ndiyo kwa maani kulikuwa na mtu alikuja kubisha mlango wa nyumba yetu Sasa kuanzia hapo sisi sote tulisheherekea pamoja kwa shangwe.
Nani waliwachukua wezi wakawapeka gerezani
{ "text": [ "Polisi" ] }
2977_swa
Ilikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... nilikuyu ha Kurupu puruku kutoka ulilini na kwenda mwendo wa kasi hadi nje. Niliona gari jeupe lililofanana ndovu “Nisaidie, nisaidie tafadhali!" unyende ulisikika Niliingiwa na wasiwasi kama mwasi aliyevunja sheria kadhaa. Jirani walianza kuwasha stima nao majambazi Kwenda zao. Niliweza kukumbuka nambari ya rejesta ya gari hilo. Niliamua kungoja machweo ili niseme nilichokijua. Wasem wazee wenye busara, hayawi hayawi huwa yasiyokuwa yakawa, jambozi mmoja alini kamata na kunielekeza msituni Msitu huo ulikuwa na wanyamapori aina aina. Kusudi yake ga kunielekeza huko sikojua. Alinifunga mtini na kuniacha hapo. Baada ya dakika thelathini hapo. Adinasi mwenye nywele Kokakoo, ndevu zilizojaa usoni na kuteremka mpaka shingoni na macho mawenge alini karibia huku alicheka. Nilipiga dua kwa mwenyezi Rahibu anisaidie: Mja yule alinifungua Kutoka mtini na Kunisihi nimfuate. Hapo papo, nijua Kuwa mungu haachi mja wake. Tulitembe na kuingia ndani ya msitu huo. Punde si punde nilianguka majanini Kacha!, na kuvutwa juu kwa kamba, huku nikiwa sijielewi. Nilisalimu amri na kubaki papo hapo. Mja. yule alianza kucheka na kutoa sauti kubwa sana. Kide Kidogo, wenzake wakatokea Kusini, magharibi, kushoto, pande zote. Sikujuala kutenda. Moyo wangu ulidunda kama ngoma zichezwazo katika ndoa. Muda uliyoyoma na tukasikia watu wakisorota Kichakani. Wenye walitokea walikuwa polisi. Koliniokoa na kisha kuwafukuza wale watu. Walioneka Kuwa majamba. Nilirudishwa nyumbani. Hapo nilipata mama na baba wakiwa wamejaza na huzuni. Niliwakumbatia sawa sawa. Baada ya hayo yote, nilienda kwenye kituo cha polisi na kuwapa habari nilizoona awali. Niliwaeleza nambari ya rejesta ya gari hilo na vinginevyo. Siku iliyofuata, nilienda na polisi mahali ambapo walipata gari hilo. Waliwatia gerezani waliopatikana kuwa na kosa na walioibwa walirudishwa mastakimuni pao. Polisi walinipa shukran na kunipa zawadi, kwa Kuwa, Chanda chema huvikwa pete! Nilijulikana kama pesa pote nilipoenda. Kilichofanyikia jambazi wale ni hadithi ya siku nyingine. Waligundua kuwa siku za mwizi ni arubaini na ajizi ni nyumba ya njaa, moadamu walifaa kukaa gerezani miaka na mikaka.
Gari lilikua rangi gani
{ "text": [ "jeupe" ] }
2977_swa
Ilikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... nilikuyu ha Kurupu puruku kutoka ulilini na kwenda mwendo wa kasi hadi nje. Niliona gari jeupe lililofanana ndovu “Nisaidie, nisaidie tafadhali!" unyende ulisikika Niliingiwa na wasiwasi kama mwasi aliyevunja sheria kadhaa. Jirani walianza kuwasha stima nao majambazi Kwenda zao. Niliweza kukumbuka nambari ya rejesta ya gari hilo. Niliamua kungoja machweo ili niseme nilichokijua. Wasem wazee wenye busara, hayawi hayawi huwa yasiyokuwa yakawa, jambozi mmoja alini kamata na kunielekeza msituni Msitu huo ulikuwa na wanyamapori aina aina. Kusudi yake ga kunielekeza huko sikojua. Alinifunga mtini na kuniacha hapo. Baada ya dakika thelathini hapo. Adinasi mwenye nywele Kokakoo, ndevu zilizojaa usoni na kuteremka mpaka shingoni na macho mawenge alini karibia huku alicheka. Nilipiga dua kwa mwenyezi Rahibu anisaidie: Mja yule alinifungua Kutoka mtini na Kunisihi nimfuate. Hapo papo, nijua Kuwa mungu haachi mja wake. Tulitembe na kuingia ndani ya msitu huo. Punde si punde nilianguka majanini Kacha!, na kuvutwa juu kwa kamba, huku nikiwa sijielewi. Nilisalimu amri na kubaki papo hapo. Mja. yule alianza kucheka na kutoa sauti kubwa sana. Kide Kidogo, wenzake wakatokea Kusini, magharibi, kushoto, pande zote. Sikujuala kutenda. Moyo wangu ulidunda kama ngoma zichezwazo katika ndoa. Muda uliyoyoma na tukasikia watu wakisorota Kichakani. Wenye walitokea walikuwa polisi. Koliniokoa na kisha kuwafukuza wale watu. Walioneka Kuwa majamba. Nilirudishwa nyumbani. Hapo nilipata mama na baba wakiwa wamejaza na huzuni. Niliwakumbatia sawa sawa. Baada ya hayo yote, nilienda kwenye kituo cha polisi na kuwapa habari nilizoona awali. Niliwaeleza nambari ya rejesta ya gari hilo na vinginevyo. Siku iliyofuata, nilienda na polisi mahali ambapo walipata gari hilo. Waliwatia gerezani waliopatikana kuwa na kosa na walioibwa walirudishwa mastakimuni pao. Polisi walinipa shukran na kunipa zawadi, kwa Kuwa, Chanda chema huvikwa pete! Nilijulikana kama pesa pote nilipoenda. Kilichofanyikia jambazi wale ni hadithi ya siku nyingine. Waligundua kuwa siku za mwizi ni arubaini na ajizi ni nyumba ya njaa, moadamu walifaa kukaa gerezani miaka na mikaka.
Gari jeupe lilifanana nini
{ "text": [ "ndovu" ] }
2977_swa
Ilikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... nilikuyu ha Kurupu puruku kutoka ulilini na kwenda mwendo wa kasi hadi nje. Niliona gari jeupe lililofanana ndovu “Nisaidie, nisaidie tafadhali!" unyende ulisikika Niliingiwa na wasiwasi kama mwasi aliyevunja sheria kadhaa. Jirani walianza kuwasha stima nao majambazi Kwenda zao. Niliweza kukumbuka nambari ya rejesta ya gari hilo. Niliamua kungoja machweo ili niseme nilichokijua. Wasem wazee wenye busara, hayawi hayawi huwa yasiyokuwa yakawa, jambozi mmoja alini kamata na kunielekeza msituni Msitu huo ulikuwa na wanyamapori aina aina. Kusudi yake ga kunielekeza huko sikojua. Alinifunga mtini na kuniacha hapo. Baada ya dakika thelathini hapo. Adinasi mwenye nywele Kokakoo, ndevu zilizojaa usoni na kuteremka mpaka shingoni na macho mawenge alini karibia huku alicheka. Nilipiga dua kwa mwenyezi Rahibu anisaidie: Mja yule alinifungua Kutoka mtini na Kunisihi nimfuate. Hapo papo, nijua Kuwa mungu haachi mja wake. Tulitembe na kuingia ndani ya msitu huo. Punde si punde nilianguka majanini Kacha!, na kuvutwa juu kwa kamba, huku nikiwa sijielewi. Nilisalimu amri na kubaki papo hapo. Mja. yule alianza kucheka na kutoa sauti kubwa sana. Kide Kidogo, wenzake wakatokea Kusini, magharibi, kushoto, pande zote. Sikujuala kutenda. Moyo wangu ulidunda kama ngoma zichezwazo katika ndoa. Muda uliyoyoma na tukasikia watu wakisorota Kichakani. Wenye walitokea walikuwa polisi. Koliniokoa na kisha kuwafukuza wale watu. Walioneka Kuwa majamba. Nilirudishwa nyumbani. Hapo nilipata mama na baba wakiwa wamejaza na huzuni. Niliwakumbatia sawa sawa. Baada ya hayo yote, nilienda kwenye kituo cha polisi na kuwapa habari nilizoona awali. Niliwaeleza nambari ya rejesta ya gari hilo na vinginevyo. Siku iliyofuata, nilienda na polisi mahali ambapo walipata gari hilo. Waliwatia gerezani waliopatikana kuwa na kosa na walioibwa walirudishwa mastakimuni pao. Polisi walinipa shukran na kunipa zawadi, kwa Kuwa, Chanda chema huvikwa pete! Nilijulikana kama pesa pote nilipoenda. Kilichofanyikia jambazi wale ni hadithi ya siku nyingine. Waligundua kuwa siku za mwizi ni arubaini na ajizi ni nyumba ya njaa, moadamu walifaa kukaa gerezani miaka na mikaka.
Mwandishi aliweza kukumbuka nini
{ "text": [ "nambari ya regista" ] }
2977_swa
Ilikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... nilikuyu ha Kurupu puruku kutoka ulilini na kwenda mwendo wa kasi hadi nje. Niliona gari jeupe lililofanana ndovu “Nisaidie, nisaidie tafadhali!" unyende ulisikika Niliingiwa na wasiwasi kama mwasi aliyevunja sheria kadhaa. Jirani walianza kuwasha stima nao majambazi Kwenda zao. Niliweza kukumbuka nambari ya rejesta ya gari hilo. Niliamua kungoja machweo ili niseme nilichokijua. Wasem wazee wenye busara, hayawi hayawi huwa yasiyokuwa yakawa, jambozi mmoja alini kamata na kunielekeza msituni Msitu huo ulikuwa na wanyamapori aina aina. Kusudi yake ga kunielekeza huko sikojua. Alinifunga mtini na kuniacha hapo. Baada ya dakika thelathini hapo. Adinasi mwenye nywele Kokakoo, ndevu zilizojaa usoni na kuteremka mpaka shingoni na macho mawenge alini karibia huku alicheka. Nilipiga dua kwa mwenyezi Rahibu anisaidie: Mja yule alinifungua Kutoka mtini na Kunisihi nimfuate. Hapo papo, nijua Kuwa mungu haachi mja wake. Tulitembe na kuingia ndani ya msitu huo. Punde si punde nilianguka majanini Kacha!, na kuvutwa juu kwa kamba, huku nikiwa sijielewi. Nilisalimu amri na kubaki papo hapo. Mja. yule alianza kucheka na kutoa sauti kubwa sana. Kide Kidogo, wenzake wakatokea Kusini, magharibi, kushoto, pande zote. Sikujuala kutenda. Moyo wangu ulidunda kama ngoma zichezwazo katika ndoa. Muda uliyoyoma na tukasikia watu wakisorota Kichakani. Wenye walitokea walikuwa polisi. Koliniokoa na kisha kuwafukuza wale watu. Walioneka Kuwa majamba. Nilirudishwa nyumbani. Hapo nilipata mama na baba wakiwa wamejaza na huzuni. Niliwakumbatia sawa sawa. Baada ya hayo yote, nilienda kwenye kituo cha polisi na kuwapa habari nilizoona awali. Niliwaeleza nambari ya rejesta ya gari hilo na vinginevyo. Siku iliyofuata, nilienda na polisi mahali ambapo walipata gari hilo. Waliwatia gerezani waliopatikana kuwa na kosa na walioibwa walirudishwa mastakimuni pao. Polisi walinipa shukran na kunipa zawadi, kwa Kuwa, Chanda chema huvikwa pete! Nilijulikana kama pesa pote nilipoenda. Kilichofanyikia jambazi wale ni hadithi ya siku nyingine. Waligundua kuwa siku za mwizi ni arubaini na ajizi ni nyumba ya njaa, moadamu walifaa kukaa gerezani miaka na mikaka.
Mwandishi alielekezwa kwenye msitu na jambazi lini
{ "text": [ "alipokamatwa na yeye" ] }
2977_swa
Ilikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... nilikuyu ha Kurupu puruku kutoka ulilini na kwenda mwendo wa kasi hadi nje. Niliona gari jeupe lililofanana ndovu “Nisaidie, nisaidie tafadhali!" unyende ulisikika Niliingiwa na wasiwasi kama mwasi aliyevunja sheria kadhaa. Jirani walianza kuwasha stima nao majambazi Kwenda zao. Niliweza kukumbuka nambari ya rejesta ya gari hilo. Niliamua kungoja machweo ili niseme nilichokijua. Wasem wazee wenye busara, hayawi hayawi huwa yasiyokuwa yakawa, jambozi mmoja alini kamata na kunielekeza msituni Msitu huo ulikuwa na wanyamapori aina aina. Kusudi yake ga kunielekeza huko sikojua. Alinifunga mtini na kuniacha hapo. Baada ya dakika thelathini hapo. Adinasi mwenye nywele Kokakoo, ndevu zilizojaa usoni na kuteremka mpaka shingoni na macho mawenge alini karibia huku alicheka. Nilipiga dua kwa mwenyezi Rahibu anisaidie: Mja yule alinifungua Kutoka mtini na Kunisihi nimfuate. Hapo papo, nijua Kuwa mungu haachi mja wake. Tulitembe na kuingia ndani ya msitu huo. Punde si punde nilianguka majanini Kacha!, na kuvutwa juu kwa kamba, huku nikiwa sijielewi. Nilisalimu amri na kubaki papo hapo. Mja. yule alianza kucheka na kutoa sauti kubwa sana. Kide Kidogo, wenzake wakatokea Kusini, magharibi, kushoto, pande zote. Sikujuala kutenda. Moyo wangu ulidunda kama ngoma zichezwazo katika ndoa. Muda uliyoyoma na tukasikia watu wakisorota Kichakani. Wenye walitokea walikuwa polisi. Koliniokoa na kisha kuwafukuza wale watu. Walioneka Kuwa majamba. Nilirudishwa nyumbani. Hapo nilipata mama na baba wakiwa wamejaza na huzuni. Niliwakumbatia sawa sawa. Baada ya hayo yote, nilienda kwenye kituo cha polisi na kuwapa habari nilizoona awali. Niliwaeleza nambari ya rejesta ya gari hilo na vinginevyo. Siku iliyofuata, nilienda na polisi mahali ambapo walipata gari hilo. Waliwatia gerezani waliopatikana kuwa na kosa na walioibwa walirudishwa mastakimuni pao. Polisi walinipa shukran na kunipa zawadi, kwa Kuwa, Chanda chema huvikwa pete! Nilijulikana kama pesa pote nilipoenda. Kilichofanyikia jambazi wale ni hadithi ya siku nyingine. Waligundua kuwa siku za mwizi ni arubaini na ajizi ni nyumba ya njaa, moadamu walifaa kukaa gerezani miaka na mikaka.
Mbona moyo wa mwandishi ulidunda kama ngoma
{ "text": [ "kwa sababu wenzake huyo jambazi walianza kutokea pande zote" ] }
2982_swa
Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya .......... Jumamosi. Niliamka wakati ndege walikuwa wakiimbe kina sauti zao nzuri kuikaribisha siku. Nilienda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliogeuza mwili wangu kuwa mikunga ya baharini. Nilipotoka kwenye bafu nilirudi chumbani mwangu,Kuvalia nguo lililokuwa kwenye kitanda.Kisha kuvalishwa viatu vyenye visigino vya juu. Nilienda kwenye chumba cha upodozi kupodolewa. Nilipomaliza kujianda nilienda sebuleni, nikakuta vyakula vimeandaliwa kochokocho.Nilianza kuondondokwa na mate kama fisi mlafi. Kwa sababu tulikuwa tumechelewa tulikula kama wanaisraeli walipokuwa wakijitayarisha kutoka Misri.Tuliingia kwenye gari Tulipofika kanisani halaiki ny watu walikuwa wamefurika furi furi. mlolongo wa magari ulikuwa kutoka barabara kuu Nilikuwa nimejawa na furaha kama tasa aliyetunukiwa pacha siku ya idd. Nilishuka taratibu kwenye gari na kwenda madhabauni nilitembea kwa madaha ya tausi . Nilianza kumtafuta kijana barubaru mtanashati kwa macho yangu ya gololí. Nilipofika kwenye altari tuliwashara mshuma na tulivalishana pete. Kuimba kwa furaha. Tulirejea kwenye gari na kwenda pahali pakujivinjari - Tulipofika tulikaribishwa na wimbo kila mtu alichezo wimbo huo. Mwimbaji tuliyemwalika aliimba vizuri sana .Alituimbia wimbo na kutuzawadi tulienda mahali kukula chakula. Nilijitilia wali,chapati vibanzi na mchuzi. Chakula hiyo ilikuwa tamu kama halua. Wazazi wetu waliamka kutupongeza na kutupa mawaidha ya ndoa.Ilipofikoausiku kulijaa giza totoro. Ilifika wakati wa kukata keki tuliukata na kuumpa kila mmoja aliyekuwa hapo. Tulipiga picha na kuzawadiwa na marafiki na jamma zetu.Nilienda nikabadilisha viatu vyenye kisigino ya juu zilikuwa zimenichosha siku kadhani e tulikuwa tusafiri kwa ndege twende Ethiopia. Baadaye nilenda kupanda kumuga mama na baba yangu. Nilihisi mtu ananitingisa kwa funjo akisema “Zuhura! Zuhura! Zuhura! Amka , unafanya nini chini?” Mama aliniuliza . Kufumba na kufumbua macho nilijikuta sakafuni chumbani mwangu lo! Hayo yote yalikuwa ndoto tu.
Nilifanya nini wakati ndege walikuwa wakiimba
{ "text": [ "Niliamka" ] }
2982_swa
Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya .......... Jumamosi. Niliamka wakati ndege walikuwa wakiimbe kina sauti zao nzuri kuikaribisha siku. Nilienda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliogeuza mwili wangu kuwa mikunga ya baharini. Nilipotoka kwenye bafu nilirudi chumbani mwangu,Kuvalia nguo lililokuwa kwenye kitanda.Kisha kuvalishwa viatu vyenye visigino vya juu. Nilienda kwenye chumba cha upodozi kupodolewa. Nilipomaliza kujianda nilienda sebuleni, nikakuta vyakula vimeandaliwa kochokocho.Nilianza kuondondokwa na mate kama fisi mlafi. Kwa sababu tulikuwa tumechelewa tulikula kama wanaisraeli walipokuwa wakijitayarisha kutoka Misri.Tuliingia kwenye gari Tulipofika kanisani halaiki ny watu walikuwa wamefurika furi furi. mlolongo wa magari ulikuwa kutoka barabara kuu Nilikuwa nimejawa na furaha kama tasa aliyetunukiwa pacha siku ya idd. Nilishuka taratibu kwenye gari na kwenda madhabauni nilitembea kwa madaha ya tausi . Nilianza kumtafuta kijana barubaru mtanashati kwa macho yangu ya gololí. Nilipofika kwenye altari tuliwashara mshuma na tulivalishana pete. Kuimba kwa furaha. Tulirejea kwenye gari na kwenda pahali pakujivinjari - Tulipofika tulikaribishwa na wimbo kila mtu alichezo wimbo huo. Mwimbaji tuliyemwalika aliimba vizuri sana .Alituimbia wimbo na kutuzawadi tulienda mahali kukula chakula. Nilijitilia wali,chapati vibanzi na mchuzi. Chakula hiyo ilikuwa tamu kama halua. Wazazi wetu waliamka kutupongeza na kutupa mawaidha ya ndoa.Ilipofikoausiku kulijaa giza totoro. Ilifika wakati wa kukata keki tuliukata na kuumpa kila mmoja aliyekuwa hapo. Tulipiga picha na kuzawadiwa na marafiki na jamma zetu.Nilienda nikabadilisha viatu vyenye kisigino ya juu zilikuwa zimenichosha siku kadhani e tulikuwa tusafiri kwa ndege twende Ethiopia. Baadaye nilenda kupanda kumuga mama na baba yangu. Nilihisi mtu ananitingisa kwa funjo akisema “Zuhura! Zuhura! Zuhura! Amka , unafanya nini chini?” Mama aliniuliza . Kufumba na kufumbua macho nilijikuta sakafuni chumbani mwangu lo! Hayo yote yalikuwa ndoto tu.
Nani walikuwa wakiimba kwa sauti zao nzuri
{ "text": [ "Ndege" ] }
2982_swa
Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya .......... Jumamosi. Niliamka wakati ndege walikuwa wakiimbe kina sauti zao nzuri kuikaribisha siku. Nilienda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliogeuza mwili wangu kuwa mikunga ya baharini. Nilipotoka kwenye bafu nilirudi chumbani mwangu,Kuvalia nguo lililokuwa kwenye kitanda.Kisha kuvalishwa viatu vyenye visigino vya juu. Nilienda kwenye chumba cha upodozi kupodolewa. Nilipomaliza kujianda nilienda sebuleni, nikakuta vyakula vimeandaliwa kochokocho.Nilianza kuondondokwa na mate kama fisi mlafi. Kwa sababu tulikuwa tumechelewa tulikula kama wanaisraeli walipokuwa wakijitayarisha kutoka Misri.Tuliingia kwenye gari Tulipofika kanisani halaiki ny watu walikuwa wamefurika furi furi. mlolongo wa magari ulikuwa kutoka barabara kuu Nilikuwa nimejawa na furaha kama tasa aliyetunukiwa pacha siku ya idd. Nilishuka taratibu kwenye gari na kwenda madhabauni nilitembea kwa madaha ya tausi . Nilianza kumtafuta kijana barubaru mtanashati kwa macho yangu ya gololí. Nilipofika kwenye altari tuliwashara mshuma na tulivalishana pete. Kuimba kwa furaha. Tulirejea kwenye gari na kwenda pahali pakujivinjari - Tulipofika tulikaribishwa na wimbo kila mtu alichezo wimbo huo. Mwimbaji tuliyemwalika aliimba vizuri sana .Alituimbia wimbo na kutuzawadi tulienda mahali kukula chakula. Nilijitilia wali,chapati vibanzi na mchuzi. Chakula hiyo ilikuwa tamu kama halua. Wazazi wetu waliamka kutupongeza na kutupa mawaidha ya ndoa.Ilipofikoausiku kulijaa giza totoro. Ilifika wakati wa kukata keki tuliukata na kuumpa kila mmoja aliyekuwa hapo. Tulipiga picha na kuzawadiwa na marafiki na jamma zetu.Nilienda nikabadilisha viatu vyenye kisigino ya juu zilikuwa zimenichosha siku kadhani e tulikuwa tusafiri kwa ndege twende Ethiopia. Baadaye nilenda kupanda kumuga mama na baba yangu. Nilihisi mtu ananitingisa kwa funjo akisema “Zuhura! Zuhura! Zuhura! Amka , unafanya nini chini?” Mama aliniuliza . Kufumba na kufumbua macho nilijikuta sakafuni chumbani mwangu lo! Hayo yote yalikuwa ndoto tu.
Ndege walikuwa wakiimba kwa sauti zao nzuri kuikaribisha nini
{ "text": [ "Siku" ] }