Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2982_swa
Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya .......... Jumamosi. Niliamka wakati ndege walikuwa wakiimbe kina sauti zao nzuri kuikaribisha siku. Nilienda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliogeuza mwili wangu kuwa mikunga ya baharini. Nilipotoka kwenye bafu nilirudi chumbani mwangu,Kuvalia nguo lililokuwa kwenye kitanda.Kisha kuvalishwa viatu vyenye visigino vya juu. Nilienda kwenye chumba cha upodozi kupodolewa. Nilipomaliza kujianda nilienda sebuleni, nikakuta vyakula vimeandaliwa kochokocho.Nilianza kuondondokwa na mate kama fisi mlafi. Kwa sababu tulikuwa tumechelewa tulikula kama wanaisraeli walipokuwa wakijitayarisha kutoka Misri.Tuliingia kwenye gari Tulipofika kanisani halaiki ny watu walikuwa wamefurika furi furi. mlolongo wa magari ulikuwa kutoka barabara kuu Nilikuwa nimejawa na furaha kama tasa aliyetunukiwa pacha siku ya idd. Nilishuka taratibu kwenye gari na kwenda madhabauni nilitembea kwa madaha ya tausi . Nilianza kumtafuta kijana barubaru mtanashati kwa macho yangu ya gololí. Nilipofika kwenye altari tuliwashara mshuma na tulivalishana pete. Kuimba kwa furaha. Tulirejea kwenye gari na kwenda pahali pakujivinjari - Tulipofika tulikaribishwa na wimbo kila mtu alichezo wimbo huo. Mwimbaji tuliyemwalika aliimba vizuri sana .Alituimbia wimbo na kutuzawadi tulienda mahali kukula chakula. Nilijitilia wali,chapati vibanzi na mchuzi. Chakula hiyo ilikuwa tamu kama halua. Wazazi wetu waliamka kutupongeza na kutupa mawaidha ya ndoa.Ilipofikoausiku kulijaa giza totoro. Ilifika wakati wa kukata keki tuliukata na kuumpa kila mmoja aliyekuwa hapo. Tulipiga picha na kuzawadiwa na marafiki na jamma zetu.Nilienda nikabadilisha viatu vyenye kisigino ya juu zilikuwa zimenichosha siku kadhani e tulikuwa tusafiri kwa ndege twende Ethiopia. Baadaye nilenda kupanda kumuga mama na baba yangu. Nilihisi mtu ananitingisa kwa funjo akisema “Zuhura! Zuhura! Zuhura! Amka , unafanya nini chini?” Mama aliniuliza . Kufumba na kufumbua macho nilijikuta sakafuni chumbani mwangu lo! Hayo yote yalikuwa ndoto tu.
Nilipotoka kwenye bafu nilirudi wapi
{ "text": [ "Chumbani mwangu" ] }
2982_swa
Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya .......... Jumamosi. Niliamka wakati ndege walikuwa wakiimbe kina sauti zao nzuri kuikaribisha siku. Nilienda hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliogeuza mwili wangu kuwa mikunga ya baharini. Nilipotoka kwenye bafu nilirudi chumbani mwangu,Kuvalia nguo lililokuwa kwenye kitanda.Kisha kuvalishwa viatu vyenye visigino vya juu. Nilienda kwenye chumba cha upodozi kupodolewa. Nilipomaliza kujianda nilienda sebuleni, nikakuta vyakula vimeandaliwa kochokocho.Nilianza kuondondokwa na mate kama fisi mlafi. Kwa sababu tulikuwa tumechelewa tulikula kama wanaisraeli walipokuwa wakijitayarisha kutoka Misri.Tuliingia kwenye gari Tulipofika kanisani halaiki ny watu walikuwa wamefurika furi furi. mlolongo wa magari ulikuwa kutoka barabara kuu Nilikuwa nimejawa na furaha kama tasa aliyetunukiwa pacha siku ya idd. Nilishuka taratibu kwenye gari na kwenda madhabauni nilitembea kwa madaha ya tausi . Nilianza kumtafuta kijana barubaru mtanashati kwa macho yangu ya gololí. Nilipofika kwenye altari tuliwashara mshuma na tulivalishana pete. Kuimba kwa furaha. Tulirejea kwenye gari na kwenda pahali pakujivinjari - Tulipofika tulikaribishwa na wimbo kila mtu alichezo wimbo huo. Mwimbaji tuliyemwalika aliimba vizuri sana .Alituimbia wimbo na kutuzawadi tulienda mahali kukula chakula. Nilijitilia wali,chapati vibanzi na mchuzi. Chakula hiyo ilikuwa tamu kama halua. Wazazi wetu waliamka kutupongeza na kutupa mawaidha ya ndoa.Ilipofikoausiku kulijaa giza totoro. Ilifika wakati wa kukata keki tuliukata na kuumpa kila mmoja aliyekuwa hapo. Tulipiga picha na kuzawadiwa na marafiki na jamma zetu.Nilienda nikabadilisha viatu vyenye kisigino ya juu zilikuwa zimenichosha siku kadhani e tulikuwa tusafiri kwa ndege twende Ethiopia. Baadaye nilenda kupanda kumuga mama na baba yangu. Nilihisi mtu ananitingisa kwa funjo akisema “Zuhura! Zuhura! Zuhura! Amka , unafanya nini chini?” Mama aliniuliza . Kufumba na kufumbua macho nilijikuta sakafuni chumbani mwangu lo! Hayo yote yalikuwa ndoto tu.
Nilienda kwenye jumba la nini kupodolewa
{ "text": [ "Laupodozi" ] }
2983_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya.. Jumanne asubuhi nilipoamshwa na sauti nyororo yenye kumtoa nyoka pangoni. Nilitembea mwendo wa aste aste kuelekea hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliyofanua mwili wangu kuwa mikunga. Nilielekea chumbani mwangu na kuvalia nguo zangu. Nikelekea jikoni na kutayarisha kiamsha kinywa tukanywa chai kwa mandazi. Kwa kuwa wohenga na wahengusi haimkukosea unalipolonga kuwa siku njema huonekona asubuhi. Ilikuwa ni siku ya kusherekea jamaa yetu. Tulikuna tukiende kwa wazazi wa wazazi wetu. Mimi na familia yangu tulitumia gari la moshi kusafiri: Siku iliyofika ndo tulifika kwa nyanya yetu. Tulipata kuwa kina ami na wajomba wetu walikuwa wenmefika salama salmini. Tulipata ami zetu wakitayarisha vuakula tofauti tofauti. Wengine wetu tulikuwa tukicheza wengine wakiwa wanafanya vitu vyao. Vitu vilikuwa vimepambwa vikapambika. Kulikuwa Kumewekwa maua kulikuwa na tenti ambazo zilikuwa zimerembeshwa kwa puto. Nyimbo zilikuwa zimewekwa kwa sauti ya juu. Nilimwaga mate kwa harufu iliyonukia. Baada ya kucheza tulienda kula. Meza ilikuwa imeandaliwa na vyakula vingi hadi nikashindwa kuchagua cha kula. Niliamua kula hadi nikawa tumbo karai Tulijitayarisha kusafiri kwetu kwa sababu hakukua na nafasi yakutosha ha tunge lala pomoja . Nyanya alitupa mahindi, miwa, mihogo natukaenda. Tulingoja gari la moshi tulirudi kwa furaha. Tulikuwa tumechoka.
Msimulizi alienda wapi kutayarisha kiamshakinywa
{ "text": [ "Jikoni" ] }
2983_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya.. Jumanne asubuhi nilipoamshwa na sauti nyororo yenye kumtoa nyoka pangoni. Nilitembea mwendo wa aste aste kuelekea hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliyofanua mwili wangu kuwa mikunga. Nilielekea chumbani mwangu na kuvalia nguo zangu. Nikelekea jikoni na kutayarisha kiamsha kinywa tukanywa chai kwa mandazi. Kwa kuwa wohenga na wahengusi haimkukosea unalipolonga kuwa siku njema huonekona asubuhi. Ilikuwa ni siku ya kusherekea jamaa yetu. Tulikuna tukiende kwa wazazi wa wazazi wetu. Mimi na familia yangu tulitumia gari la moshi kusafiri: Siku iliyofika ndo tulifika kwa nyanya yetu. Tulipata kuwa kina ami na wajomba wetu walikuwa wenmefika salama salmini. Tulipata ami zetu wakitayarisha vuakula tofauti tofauti. Wengine wetu tulikuwa tukicheza wengine wakiwa wanafanya vitu vyao. Vitu vilikuwa vimepambwa vikapambika. Kulikuwa Kumewekwa maua kulikuwa na tenti ambazo zilikuwa zimerembeshwa kwa puto. Nyimbo zilikuwa zimewekwa kwa sauti ya juu. Nilimwaga mate kwa harufu iliyonukia. Baada ya kucheza tulienda kula. Meza ilikuwa imeandaliwa na vyakula vingi hadi nikashindwa kuchagua cha kula. Niliamua kula hadi nikawa tumbo karai Tulijitayarisha kusafiri kwetu kwa sababu hakukua na nafasi yakutosha ha tunge lala pomoja . Nyanya alitupa mahindi, miwa, mihogo natukaenda. Tulingoja gari la moshi tulirudi kwa furaha. Tulikuwa tumechoka.
Msimulizi alitumia usafiri upi kwenda kwa wazazi wake
{ "text": [ "Garimoshi" ] }
2983_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya.. Jumanne asubuhi nilipoamshwa na sauti nyororo yenye kumtoa nyoka pangoni. Nilitembea mwendo wa aste aste kuelekea hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliyofanua mwili wangu kuwa mikunga. Nilielekea chumbani mwangu na kuvalia nguo zangu. Nikelekea jikoni na kutayarisha kiamsha kinywa tukanywa chai kwa mandazi. Kwa kuwa wohenga na wahengusi haimkukosea unalipolonga kuwa siku njema huonekona asubuhi. Ilikuwa ni siku ya kusherekea jamaa yetu. Tulikuna tukiende kwa wazazi wa wazazi wetu. Mimi na familia yangu tulitumia gari la moshi kusafiri: Siku iliyofika ndo tulifika kwa nyanya yetu. Tulipata kuwa kina ami na wajomba wetu walikuwa wenmefika salama salmini. Tulipata ami zetu wakitayarisha vuakula tofauti tofauti. Wengine wetu tulikuwa tukicheza wengine wakiwa wanafanya vitu vyao. Vitu vilikuwa vimepambwa vikapambika. Kulikuwa Kumewekwa maua kulikuwa na tenti ambazo zilikuwa zimerembeshwa kwa puto. Nyimbo zilikuwa zimewekwa kwa sauti ya juu. Nilimwaga mate kwa harufu iliyonukia. Baada ya kucheza tulienda kula. Meza ilikuwa imeandaliwa na vyakula vingi hadi nikashindwa kuchagua cha kula. Niliamua kula hadi nikawa tumbo karai Tulijitayarisha kusafiri kwetu kwa sababu hakukua na nafasi yakutosha ha tunge lala pomoja . Nyanya alitupa mahindi, miwa, mihogo natukaenda. Tulingoja gari la moshi tulirudi kwa furaha. Tulikuwa tumechoka.
Msimulizi alitangulizwa na kina nani kufika kwa wazazi wake
{ "text": [ "Ami na mjomba" ] }
2983_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya.. Jumanne asubuhi nilipoamshwa na sauti nyororo yenye kumtoa nyoka pangoni. Nilitembea mwendo wa aste aste kuelekea hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliyofanua mwili wangu kuwa mikunga. Nilielekea chumbani mwangu na kuvalia nguo zangu. Nikelekea jikoni na kutayarisha kiamsha kinywa tukanywa chai kwa mandazi. Kwa kuwa wohenga na wahengusi haimkukosea unalipolonga kuwa siku njema huonekona asubuhi. Ilikuwa ni siku ya kusherekea jamaa yetu. Tulikuna tukiende kwa wazazi wa wazazi wetu. Mimi na familia yangu tulitumia gari la moshi kusafiri: Siku iliyofika ndo tulifika kwa nyanya yetu. Tulipata kuwa kina ami na wajomba wetu walikuwa wenmefika salama salmini. Tulipata ami zetu wakitayarisha vuakula tofauti tofauti. Wengine wetu tulikuwa tukicheza wengine wakiwa wanafanya vitu vyao. Vitu vilikuwa vimepambwa vikapambika. Kulikuwa Kumewekwa maua kulikuwa na tenti ambazo zilikuwa zimerembeshwa kwa puto. Nyimbo zilikuwa zimewekwa kwa sauti ya juu. Nilimwaga mate kwa harufu iliyonukia. Baada ya kucheza tulienda kula. Meza ilikuwa imeandaliwa na vyakula vingi hadi nikashindwa kuchagua cha kula. Niliamua kula hadi nikawa tumbo karai Tulijitayarisha kusafiri kwetu kwa sababu hakukua na nafasi yakutosha ha tunge lala pomoja . Nyanya alitupa mahindi, miwa, mihogo natukaenda. Tulingoja gari la moshi tulirudi kwa furaha. Tulikuwa tumechoka.
Msimulizi alipewa nini na nyanyake
{ "text": [ "Mahindi, muwa na mihogo" ] }
2983_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya.. Jumanne asubuhi nilipoamshwa na sauti nyororo yenye kumtoa nyoka pangoni. Nilitembea mwendo wa aste aste kuelekea hamamuni mwa chura kutoa uchafu uliyofanua mwili wangu kuwa mikunga. Nilielekea chumbani mwangu na kuvalia nguo zangu. Nikelekea jikoni na kutayarisha kiamsha kinywa tukanywa chai kwa mandazi. Kwa kuwa wohenga na wahengusi haimkukosea unalipolonga kuwa siku njema huonekona asubuhi. Ilikuwa ni siku ya kusherekea jamaa yetu. Tulikuna tukiende kwa wazazi wa wazazi wetu. Mimi na familia yangu tulitumia gari la moshi kusafiri: Siku iliyofika ndo tulifika kwa nyanya yetu. Tulipata kuwa kina ami na wajomba wetu walikuwa wenmefika salama salmini. Tulipata ami zetu wakitayarisha vuakula tofauti tofauti. Wengine wetu tulikuwa tukicheza wengine wakiwa wanafanya vitu vyao. Vitu vilikuwa vimepambwa vikapambika. Kulikuwa Kumewekwa maua kulikuwa na tenti ambazo zilikuwa zimerembeshwa kwa puto. Nyimbo zilikuwa zimewekwa kwa sauti ya juu. Nilimwaga mate kwa harufu iliyonukia. Baada ya kucheza tulienda kula. Meza ilikuwa imeandaliwa na vyakula vingi hadi nikashindwa kuchagua cha kula. Niliamua kula hadi nikawa tumbo karai Tulijitayarisha kusafiri kwetu kwa sababu hakukua na nafasi yakutosha ha tunge lala pomoja . Nyanya alitupa mahindi, miwa, mihogo natukaenda. Tulingoja gari la moshi tulirudi kwa furaha. Tulikuwa tumechoka.
Msimulizi alienda wapi kutoa uchafu
{ "text": [ "Hamamuni" ] }
2988_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Nilikuwa mojawapo wa wanafunzi wa darasa la nane. Nilifahamu kuwa mitihani wetu wakitaifa ulikuwa umekaribia. Nilizidi kutía bidii za mchwa masomoni. Waama, chanda chema huvishwa pete. Siku zilipoendelea kusonga mimi na rafiki wangu wa chanda na pete tulisaidiana katika masomoni: Tulikuwa tumejipanga kwa mtihani wetu wa kitaifa. Tulikuwa dhari bila shari wala swali. Siku tuliokuwa tumeingoja kwa hamu na gamu uliwadiai-Tuliketi Sako kwa bako na kuchambua karatasi la kwanza ambalo ilikula hisabati. Nilikuwa na furaha kama tasa aliyejifungua pacha siku ya Idd. Tulipomaliza mitihaní hatukuwa na budi ila kutulia tuli! na kuyagojea matokeo yetu. Mtondo ilipofika, habari njema zilinifikia kutoka kwake rafiki yangu wa dhati. Alinifahamisha kuwa tulikuwa wa kwanza katika eneo nzima. Machozí ya furaha yalinidondoka dondondo kuniwacha na nambari kumi na moja Nilijawa na furaha kama mapambaziko hata hivyo tulimshukuru Jalali kwa makuu.Ama kwa kuwa mungu si mfaki ila hamuachi mcha wake.Akina mama wakijiji walitubeba juu kama mgomba wa ndizi huku Shangwe kelele na nderemo zikisikika. Tuliítwa shule nzuri. Kitu kilichoni furahisha tulikuwa tumeitwa shule moja na sadfa wangu.Tulibidi tumetulia hadi mwaka uliofuata ili tujiunge na shule ya upili. Siku moja mimi na Sadfa wangu dhairi shairi tuliamua tukatembe mtoni uliokuwa nyuma ya nyumba yetu .Tulitembea kwa mwendo wa aste aste huku nikinywa maji baridi Shadidi kama barafu.Hali ya anga ilikuwa ina pendeza: Tuliketi na kubunia urembo wa taifa letu. Punde si punde. Sikuamini macho yangu.Rafiki yangu niliyemuamini kama bibilia alitaka kutamatisha maisha yangu-Alikuwa ameweka bunduki kichwani mwangu. Maswali yalinijaa lakini majibu yalinitoroka Bahati nzuri palitokea mzee mmoja. Mzee huyo alijaribu kumnyanganya rafiki yangu bunduki lakini alikataa kata! Kata! Nilikuwa kiguu na njia hadi kijijini kutafuta usaidizi lakini lo!. Rafiki yangu alimpiga mzee huyo risasi ya kichwa. Mzee huyo alianguka mchanganí pu! na kufariki.Nilisadiki kuwa heri rafiki muovu kuliko rafiki mpendwa Hapo ndipo nilipojua pia rafiki yako anaweza kukudhuru.
Msimulizi alikuwa mojawapo wa wanafunzi wa darasa lipi
{ "text": [ "La nane" ] }
2988_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Nilikuwa mojawapo wa wanafunzi wa darasa la nane. Nilifahamu kuwa mitihani wetu wakitaifa ulikuwa umekaribia. Nilizidi kutía bidii za mchwa masomoni. Waama, chanda chema huvishwa pete. Siku zilipoendelea kusonga mimi na rafiki wangu wa chanda na pete tulisaidiana katika masomoni: Tulikuwa tumejipanga kwa mtihani wetu wa kitaifa. Tulikuwa dhari bila shari wala swali. Siku tuliokuwa tumeingoja kwa hamu na gamu uliwadiai-Tuliketi Sako kwa bako na kuchambua karatasi la kwanza ambalo ilikula hisabati. Nilikuwa na furaha kama tasa aliyejifungua pacha siku ya Idd. Tulipomaliza mitihaní hatukuwa na budi ila kutulia tuli! na kuyagojea matokeo yetu. Mtondo ilipofika, habari njema zilinifikia kutoka kwake rafiki yangu wa dhati. Alinifahamisha kuwa tulikuwa wa kwanza katika eneo nzima. Machozí ya furaha yalinidondoka dondondo kuniwacha na nambari kumi na moja Nilijawa na furaha kama mapambaziko hata hivyo tulimshukuru Jalali kwa makuu.Ama kwa kuwa mungu si mfaki ila hamuachi mcha wake.Akina mama wakijiji walitubeba juu kama mgomba wa ndizi huku Shangwe kelele na nderemo zikisikika. Tuliítwa shule nzuri. Kitu kilichoni furahisha tulikuwa tumeitwa shule moja na sadfa wangu.Tulibidi tumetulia hadi mwaka uliofuata ili tujiunge na shule ya upili. Siku moja mimi na Sadfa wangu dhairi shairi tuliamua tukatembe mtoni uliokuwa nyuma ya nyumba yetu .Tulitembea kwa mwendo wa aste aste huku nikinywa maji baridi Shadidi kama barafu.Hali ya anga ilikuwa ina pendeza: Tuliketi na kubunia urembo wa taifa letu. Punde si punde. Sikuamini macho yangu.Rafiki yangu niliyemuamini kama bibilia alitaka kutamatisha maisha yangu-Alikuwa ameweka bunduki kichwani mwangu. Maswali yalinijaa lakini majibu yalinitoroka Bahati nzuri palitokea mzee mmoja. Mzee huyo alijaribu kumnyanganya rafiki yangu bunduki lakini alikataa kata! Kata! Nilikuwa kiguu na njia hadi kijijini kutafuta usaidizi lakini lo!. Rafiki yangu alimpiga mzee huyo risasi ya kichwa. Mzee huyo alianguka mchanganí pu! na kufariki.Nilisadiki kuwa heri rafiki muovu kuliko rafiki mpendwa Hapo ndipo nilipojua pia rafiki yako anaweza kukudhuru.
Karatasi iliyochambuliwa na msimulizi ilikuwa ipi
{ "text": [ "Hisabati" ] }
2988_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Nilikuwa mojawapo wa wanafunzi wa darasa la nane. Nilifahamu kuwa mitihani wetu wakitaifa ulikuwa umekaribia. Nilizidi kutía bidii za mchwa masomoni. Waama, chanda chema huvishwa pete. Siku zilipoendelea kusonga mimi na rafiki wangu wa chanda na pete tulisaidiana katika masomoni: Tulikuwa tumejipanga kwa mtihani wetu wa kitaifa. Tulikuwa dhari bila shari wala swali. Siku tuliokuwa tumeingoja kwa hamu na gamu uliwadiai-Tuliketi Sako kwa bako na kuchambua karatasi la kwanza ambalo ilikula hisabati. Nilikuwa na furaha kama tasa aliyejifungua pacha siku ya Idd. Tulipomaliza mitihaní hatukuwa na budi ila kutulia tuli! na kuyagojea matokeo yetu. Mtondo ilipofika, habari njema zilinifikia kutoka kwake rafiki yangu wa dhati. Alinifahamisha kuwa tulikuwa wa kwanza katika eneo nzima. Machozí ya furaha yalinidondoka dondondo kuniwacha na nambari kumi na moja Nilijawa na furaha kama mapambaziko hata hivyo tulimshukuru Jalali kwa makuu.Ama kwa kuwa mungu si mfaki ila hamuachi mcha wake.Akina mama wakijiji walitubeba juu kama mgomba wa ndizi huku Shangwe kelele na nderemo zikisikika. Tuliítwa shule nzuri. Kitu kilichoni furahisha tulikuwa tumeitwa shule moja na sadfa wangu.Tulibidi tumetulia hadi mwaka uliofuata ili tujiunge na shule ya upili. Siku moja mimi na Sadfa wangu dhairi shairi tuliamua tukatembe mtoni uliokuwa nyuma ya nyumba yetu .Tulitembea kwa mwendo wa aste aste huku nikinywa maji baridi Shadidi kama barafu.Hali ya anga ilikuwa ina pendeza: Tuliketi na kubunia urembo wa taifa letu. Punde si punde. Sikuamini macho yangu.Rafiki yangu niliyemuamini kama bibilia alitaka kutamatisha maisha yangu-Alikuwa ameweka bunduki kichwani mwangu. Maswali yalinijaa lakini majibu yalinitoroka Bahati nzuri palitokea mzee mmoja. Mzee huyo alijaribu kumnyanganya rafiki yangu bunduki lakini alikataa kata! Kata! Nilikuwa kiguu na njia hadi kijijini kutafuta usaidizi lakini lo!. Rafiki yangu alimpiga mzee huyo risasi ya kichwa. Mzee huyo alianguka mchanganí pu! na kufariki.Nilisadiki kuwa heri rafiki muovu kuliko rafiki mpendwa Hapo ndipo nilipojua pia rafiki yako anaweza kukudhuru.
Nani alimfahamisha msimulizi kuwa walikuwa wa kwanza katika eneo zima
{ "text": [ "Rafiki yake" ] }
2988_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Nilikuwa mojawapo wa wanafunzi wa darasa la nane. Nilifahamu kuwa mitihani wetu wakitaifa ulikuwa umekaribia. Nilizidi kutía bidii za mchwa masomoni. Waama, chanda chema huvishwa pete. Siku zilipoendelea kusonga mimi na rafiki wangu wa chanda na pete tulisaidiana katika masomoni: Tulikuwa tumejipanga kwa mtihani wetu wa kitaifa. Tulikuwa dhari bila shari wala swali. Siku tuliokuwa tumeingoja kwa hamu na gamu uliwadiai-Tuliketi Sako kwa bako na kuchambua karatasi la kwanza ambalo ilikula hisabati. Nilikuwa na furaha kama tasa aliyejifungua pacha siku ya Idd. Tulipomaliza mitihaní hatukuwa na budi ila kutulia tuli! na kuyagojea matokeo yetu. Mtondo ilipofika, habari njema zilinifikia kutoka kwake rafiki yangu wa dhati. Alinifahamisha kuwa tulikuwa wa kwanza katika eneo nzima. Machozí ya furaha yalinidondoka dondondo kuniwacha na nambari kumi na moja Nilijawa na furaha kama mapambaziko hata hivyo tulimshukuru Jalali kwa makuu.Ama kwa kuwa mungu si mfaki ila hamuachi mcha wake.Akina mama wakijiji walitubeba juu kama mgomba wa ndizi huku Shangwe kelele na nderemo zikisikika. Tuliítwa shule nzuri. Kitu kilichoni furahisha tulikuwa tumeitwa shule moja na sadfa wangu.Tulibidi tumetulia hadi mwaka uliofuata ili tujiunge na shule ya upili. Siku moja mimi na Sadfa wangu dhairi shairi tuliamua tukatembe mtoni uliokuwa nyuma ya nyumba yetu .Tulitembea kwa mwendo wa aste aste huku nikinywa maji baridi Shadidi kama barafu.Hali ya anga ilikuwa ina pendeza: Tuliketi na kubunia urembo wa taifa letu. Punde si punde. Sikuamini macho yangu.Rafiki yangu niliyemuamini kama bibilia alitaka kutamatisha maisha yangu-Alikuwa ameweka bunduki kichwani mwangu. Maswali yalinijaa lakini majibu yalinitoroka Bahati nzuri palitokea mzee mmoja. Mzee huyo alijaribu kumnyanganya rafiki yangu bunduki lakini alikataa kata! Kata! Nilikuwa kiguu na njia hadi kijijini kutafuta usaidizi lakini lo!. Rafiki yangu alimpiga mzee huyo risasi ya kichwa. Mzee huyo alianguka mchanganí pu! na kufariki.Nilisadiki kuwa heri rafiki muovu kuliko rafiki mpendwa Hapo ndipo nilipojua pia rafiki yako anaweza kukudhuru.
Nani alimpiga mzee risasi ya kichwa
{ "text": [ "Rafikiye msimulizi" ] }
2988_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Nilikuwa mojawapo wa wanafunzi wa darasa la nane. Nilifahamu kuwa mitihani wetu wakitaifa ulikuwa umekaribia. Nilizidi kutía bidii za mchwa masomoni. Waama, chanda chema huvishwa pete. Siku zilipoendelea kusonga mimi na rafiki wangu wa chanda na pete tulisaidiana katika masomoni: Tulikuwa tumejipanga kwa mtihani wetu wa kitaifa. Tulikuwa dhari bila shari wala swali. Siku tuliokuwa tumeingoja kwa hamu na gamu uliwadiai-Tuliketi Sako kwa bako na kuchambua karatasi la kwanza ambalo ilikula hisabati. Nilikuwa na furaha kama tasa aliyejifungua pacha siku ya Idd. Tulipomaliza mitihaní hatukuwa na budi ila kutulia tuli! na kuyagojea matokeo yetu. Mtondo ilipofika, habari njema zilinifikia kutoka kwake rafiki yangu wa dhati. Alinifahamisha kuwa tulikuwa wa kwanza katika eneo nzima. Machozí ya furaha yalinidondoka dondondo kuniwacha na nambari kumi na moja Nilijawa na furaha kama mapambaziko hata hivyo tulimshukuru Jalali kwa makuu.Ama kwa kuwa mungu si mfaki ila hamuachi mcha wake.Akina mama wakijiji walitubeba juu kama mgomba wa ndizi huku Shangwe kelele na nderemo zikisikika. Tuliítwa shule nzuri. Kitu kilichoni furahisha tulikuwa tumeitwa shule moja na sadfa wangu.Tulibidi tumetulia hadi mwaka uliofuata ili tujiunge na shule ya upili. Siku moja mimi na Sadfa wangu dhairi shairi tuliamua tukatembe mtoni uliokuwa nyuma ya nyumba yetu .Tulitembea kwa mwendo wa aste aste huku nikinywa maji baridi Shadidi kama barafu.Hali ya anga ilikuwa ina pendeza: Tuliketi na kubunia urembo wa taifa letu. Punde si punde. Sikuamini macho yangu.Rafiki yangu niliyemuamini kama bibilia alitaka kutamatisha maisha yangu-Alikuwa ameweka bunduki kichwani mwangu. Maswali yalinijaa lakini majibu yalinitoroka Bahati nzuri palitokea mzee mmoja. Mzee huyo alijaribu kumnyanganya rafiki yangu bunduki lakini alikataa kata! Kata! Nilikuwa kiguu na njia hadi kijijini kutafuta usaidizi lakini lo!. Rafiki yangu alimpiga mzee huyo risasi ya kichwa. Mzee huyo alianguka mchanganí pu! na kufariki.Nilisadiki kuwa heri rafiki muovu kuliko rafiki mpendwa Hapo ndipo nilipojua pia rafiki yako anaweza kukudhuru.
Msimulizi na rafikiye walibebwa juu na kina mama kama nini
{ "text": [ "Mgomba wa ndizi" ] }
2989_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. likuwa siku ya likizo ya Ao riti nilipomtembelea rafiki yangu Aisha niilikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota magego na segego katika shamba ya kula nyama choma. Rariki yangu kweli alikuwo Kidosho mrembo sana sina budi kuwopigia wohenga wetu saluti Kwa kuwa hawakuluchana nywele kwa mfupa wa ngiri walipo nena kuwa penyeurembo pana urimbo. Aisha alikuwa mkono birika hang ewasaidia wenzake aka Kuwapo lolote walichochote alikuwa mwizi hodari alikuwa akiiba vitu za wengine bila woo kuiva-Nilioribu kumkumbusha kuwa Siku za mwizi ndizo arubaini lakini yeye hakulari lolote. Nijaribu kufikiria kwanini alikuwa kichwa kikubwa lakini sikulipota libu-Aisha alihikaribisha kwao kwa mikono mireau. Mama yake Bi-sura alikuwa amekianda chakula Kweli Kitamu kama haluta. Kisha mama yake aliingia kwende matwana yo kumsafirisha mpaka kazini. Tulipomaliza kushtaki njaa, Aisha alinishika mkono na kuniambia twende tukatembe kitongoji kingine cha huruma. Nami nikomfuato nyuma na tukaandamana kama kiguu na njia. Huko kijijini tulipatano na mwanamke mmoja aliyekuwa ameheshimika kitongoji hicho cha huruma. Punde si punde Aisha alikichukia kibeti cha mwanamke huo na kukimbio nacho. Nilifuata Aisha kwa mbio. Nilikiombia hadi viouu vera vikokota kukibeba kiwiliwili chonau. "Mshike , Mshike shikeni huyo Mwici amepotea na kibeti changu mshikeni, mama huyo alipiga mayowe. Tulikimbia na kukimbia hodi tukachoka wanakijiji walikimbia hadi wakatushika. Aisha aliziweka pesa zilizomo kibetini mfukoni mwa suruali niliyoiva kama sijui. Wanakijiji walitutisha mpaka Aisho akawapa kibenti. Aliulizwa kwanini aliiba akasema mimi ndiwe nilikichukua kibeti hicho. Walitafuta pesa hizo Zilizo ndani mpaka wakizipata surualini yangu. Nilijaribu kujitetea lakini lo! ho kutaka kunisikiliza niliyoyasema. Wanakijiji waliita polisi na nikashikwa na kupelekwa kortini. Uamuzi ulitolewa na jaji na nita funguliwa mashtaka. Sasa ninahukumu miaka mwongo gerezani. Hapo ndipo nilipogundua methali isemayo mla nawe
Mwandishi alimtembelea rafiki yake mwezi upi?
{ "text": [ "Aprili" ] }
2989_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. likuwa siku ya likizo ya Ao riti nilipomtembelea rafiki yangu Aisha niilikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota magego na segego katika shamba ya kula nyama choma. Rariki yangu kweli alikuwo Kidosho mrembo sana sina budi kuwopigia wohenga wetu saluti Kwa kuwa hawakuluchana nywele kwa mfupa wa ngiri walipo nena kuwa penyeurembo pana urimbo. Aisha alikuwa mkono birika hang ewasaidia wenzake aka Kuwapo lolote walichochote alikuwa mwizi hodari alikuwa akiiba vitu za wengine bila woo kuiva-Nilioribu kumkumbusha kuwa Siku za mwizi ndizo arubaini lakini yeye hakulari lolote. Nijaribu kufikiria kwanini alikuwa kichwa kikubwa lakini sikulipota libu-Aisha alihikaribisha kwao kwa mikono mireau. Mama yake Bi-sura alikuwa amekianda chakula Kweli Kitamu kama haluta. Kisha mama yake aliingia kwende matwana yo kumsafirisha mpaka kazini. Tulipomaliza kushtaki njaa, Aisha alinishika mkono na kuniambia twende tukatembe kitongoji kingine cha huruma. Nami nikomfuato nyuma na tukaandamana kama kiguu na njia. Huko kijijini tulipatano na mwanamke mmoja aliyekuwa ameheshimika kitongoji hicho cha huruma. Punde si punde Aisha alikichukia kibeti cha mwanamke huo na kukimbio nacho. Nilifuata Aisha kwa mbio. Nilikiombia hadi viouu vera vikokota kukibeba kiwiliwili chonau. "Mshike , Mshike shikeni huyo Mwici amepotea na kibeti changu mshikeni, mama huyo alipiga mayowe. Tulikimbia na kukimbia hodi tukachoka wanakijiji walikimbia hadi wakatushika. Aisha aliziweka pesa zilizomo kibetini mfukoni mwa suruali niliyoiva kama sijui. Wanakijiji walitutisha mpaka Aisho akawapa kibenti. Aliulizwa kwanini aliiba akasema mimi ndiwe nilikichukua kibeti hicho. Walitafuta pesa hizo Zilizo ndani mpaka wakizipata surualini yangu. Nilijaribu kujitetea lakini lo! ho kutaka kunisikiliza niliyoyasema. Wanakijiji waliita polisi na nikashikwa na kupelekwa kortini. Uamuzi ulitolewa na jaji na nita funguliwa mashtaka. Sasa ninahukumu miaka mwongo gerezani. Hapo ndipo nilipogundua methali isemayo mla nawe
Mwandishi alifurahi kama mtu yupi alipoenda kumtembelea rafiki yake?
{ "text": [ "Kibogoyo aliyeota meno" ] }
2989_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. likuwa siku ya likizo ya Ao riti nilipomtembelea rafiki yangu Aisha niilikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota magego na segego katika shamba ya kula nyama choma. Rariki yangu kweli alikuwo Kidosho mrembo sana sina budi kuwopigia wohenga wetu saluti Kwa kuwa hawakuluchana nywele kwa mfupa wa ngiri walipo nena kuwa penyeurembo pana urimbo. Aisha alikuwa mkono birika hang ewasaidia wenzake aka Kuwapo lolote walichochote alikuwa mwizi hodari alikuwa akiiba vitu za wengine bila woo kuiva-Nilioribu kumkumbusha kuwa Siku za mwizi ndizo arubaini lakini yeye hakulari lolote. Nijaribu kufikiria kwanini alikuwa kichwa kikubwa lakini sikulipota libu-Aisha alihikaribisha kwao kwa mikono mireau. Mama yake Bi-sura alikuwa amekianda chakula Kweli Kitamu kama haluta. Kisha mama yake aliingia kwende matwana yo kumsafirisha mpaka kazini. Tulipomaliza kushtaki njaa, Aisha alinishika mkono na kuniambia twende tukatembe kitongoji kingine cha huruma. Nami nikomfuato nyuma na tukaandamana kama kiguu na njia. Huko kijijini tulipatano na mwanamke mmoja aliyekuwa ameheshimika kitongoji hicho cha huruma. Punde si punde Aisha alikichukia kibeti cha mwanamke huo na kukimbio nacho. Nilifuata Aisha kwa mbio. Nilikiombia hadi viouu vera vikokota kukibeba kiwiliwili chonau. "Mshike , Mshike shikeni huyo Mwici amepotea na kibeti changu mshikeni, mama huyo alipiga mayowe. Tulikimbia na kukimbia hodi tukachoka wanakijiji walikimbia hadi wakatushika. Aisha aliziweka pesa zilizomo kibetini mfukoni mwa suruali niliyoiva kama sijui. Wanakijiji walitutisha mpaka Aisho akawapa kibenti. Aliulizwa kwanini aliiba akasema mimi ndiwe nilikichukua kibeti hicho. Walitafuta pesa hizo Zilizo ndani mpaka wakizipata surualini yangu. Nilijaribu kujitetea lakini lo! ho kutaka kunisikiliza niliyoyasema. Wanakijiji waliita polisi na nikashikwa na kupelekwa kortini. Uamuzi ulitolewa na jaji na nita funguliwa mashtaka. Sasa ninahukumu miaka mwongo gerezani. Hapo ndipo nilipogundua methali isemayo mla nawe
Penye urembo pana nini?
{ "text": [ "Urimbo" ] }
2989_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. likuwa siku ya likizo ya Ao riti nilipomtembelea rafiki yangu Aisha niilikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota magego na segego katika shamba ya kula nyama choma. Rariki yangu kweli alikuwo Kidosho mrembo sana sina budi kuwopigia wohenga wetu saluti Kwa kuwa hawakuluchana nywele kwa mfupa wa ngiri walipo nena kuwa penyeurembo pana urimbo. Aisha alikuwa mkono birika hang ewasaidia wenzake aka Kuwapo lolote walichochote alikuwa mwizi hodari alikuwa akiiba vitu za wengine bila woo kuiva-Nilioribu kumkumbusha kuwa Siku za mwizi ndizo arubaini lakini yeye hakulari lolote. Nijaribu kufikiria kwanini alikuwa kichwa kikubwa lakini sikulipota libu-Aisha alihikaribisha kwao kwa mikono mireau. Mama yake Bi-sura alikuwa amekianda chakula Kweli Kitamu kama haluta. Kisha mama yake aliingia kwende matwana yo kumsafirisha mpaka kazini. Tulipomaliza kushtaki njaa, Aisha alinishika mkono na kuniambia twende tukatembe kitongoji kingine cha huruma. Nami nikomfuato nyuma na tukaandamana kama kiguu na njia. Huko kijijini tulipatano na mwanamke mmoja aliyekuwa ameheshimika kitongoji hicho cha huruma. Punde si punde Aisha alikichukia kibeti cha mwanamke huo na kukimbio nacho. Nilifuata Aisha kwa mbio. Nilikiombia hadi viouu vera vikokota kukibeba kiwiliwili chonau. "Mshike , Mshike shikeni huyo Mwici amepotea na kibeti changu mshikeni, mama huyo alipiga mayowe. Tulikimbia na kukimbia hodi tukachoka wanakijiji walikimbia hadi wakatushika. Aisha aliziweka pesa zilizomo kibetini mfukoni mwa suruali niliyoiva kama sijui. Wanakijiji walitutisha mpaka Aisho akawapa kibenti. Aliulizwa kwanini aliiba akasema mimi ndiwe nilikichukua kibeti hicho. Walitafuta pesa hizo Zilizo ndani mpaka wakizipata surualini yangu. Nilijaribu kujitetea lakini lo! ho kutaka kunisikiliza niliyoyasema. Wanakijiji waliita polisi na nikashikwa na kupelekwa kortini. Uamuzi ulitolewa na jaji na nita funguliwa mashtaka. Sasa ninahukumu miaka mwongo gerezani. Hapo ndipo nilipogundua methali isemayo mla nawe
Rafiki ya mwandishi aliitwaje?
{ "text": [ "Aisha" ] }
2989_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. likuwa siku ya likizo ya Ao riti nilipomtembelea rafiki yangu Aisha niilikuwa na furaha kama kibogoyo aliyeota magego na segego katika shamba ya kula nyama choma. Rariki yangu kweli alikuwo Kidosho mrembo sana sina budi kuwopigia wohenga wetu saluti Kwa kuwa hawakuluchana nywele kwa mfupa wa ngiri walipo nena kuwa penyeurembo pana urimbo. Aisha alikuwa mkono birika hang ewasaidia wenzake aka Kuwapo lolote walichochote alikuwa mwizi hodari alikuwa akiiba vitu za wengine bila woo kuiva-Nilioribu kumkumbusha kuwa Siku za mwizi ndizo arubaini lakini yeye hakulari lolote. Nijaribu kufikiria kwanini alikuwa kichwa kikubwa lakini sikulipota libu-Aisha alihikaribisha kwao kwa mikono mireau. Mama yake Bi-sura alikuwa amekianda chakula Kweli Kitamu kama haluta. Kisha mama yake aliingia kwende matwana yo kumsafirisha mpaka kazini. Tulipomaliza kushtaki njaa, Aisha alinishika mkono na kuniambia twende tukatembe kitongoji kingine cha huruma. Nami nikomfuato nyuma na tukaandamana kama kiguu na njia. Huko kijijini tulipatano na mwanamke mmoja aliyekuwa ameheshimika kitongoji hicho cha huruma. Punde si punde Aisha alikichukia kibeti cha mwanamke huo na kukimbio nacho. Nilifuata Aisha kwa mbio. Nilikiombia hadi viouu vera vikokota kukibeba kiwiliwili chonau. "Mshike , Mshike shikeni huyo Mwici amepotea na kibeti changu mshikeni, mama huyo alipiga mayowe. Tulikimbia na kukimbia hodi tukachoka wanakijiji walikimbia hadi wakatushika. Aisha aliziweka pesa zilizomo kibetini mfukoni mwa suruali niliyoiva kama sijui. Wanakijiji walitutisha mpaka Aisho akawapa kibenti. Aliulizwa kwanini aliiba akasema mimi ndiwe nilikichukua kibeti hicho. Walitafuta pesa hizo Zilizo ndani mpaka wakizipata surualini yangu. Nilijaribu kujitetea lakini lo! ho kutaka kunisikiliza niliyoyasema. Wanakijiji waliita polisi na nikashikwa na kupelekwa kortini. Uamuzi ulitolewa na jaji na nita funguliwa mashtaka. Sasa ninahukumu miaka mwongo gerezani. Hapo ndipo nilipogundua methali isemayo mla nawe
Mamake Aisha alikuwa ameeanda nini mwandishi alipofika nyumbani?
{ "text": [ "Chakula kitamu" ] }
3018_swa
Utajiri wa kuku unaweza kupatikana kwa kufanya mambo ya kawaida ila kwa malengo Jinsi ya kupata vifaranga 100 kwa kuku 5 ndani ya wiki saba MFUGAJI wa kuku wa kienyeji Nicodemus Mung'ali wa kijiji cha Kokotoni, Kilifi akiwalisha kuku wake wa kienyeji. Kwa mbinu rahisi, waweza kupata kuku mia mbili kwa kufuga kuku watano katika muda wa miezi sita. Hili laweza kuonekana kama mzaha, lakini hebu anza na kuku watano tumajike wenye rika/umri mmoja (au wanaokaribiana). Watunze vizuri kwa kuwapatia chakula kilicho na mchanganyiko kamili wa viini lishe vinavyotakiwa katika mwili wa kuku. Wawekee na jogoo mmoja mzuri wa kienyeji/kizungu/chotara. Wanapoanza kutagacwatarishie napoanza mahali pazuri/kiota kizuri cha kutagia na kuatamia kwa kuwajengea viota ndani ya banda. Hakikisha mahali hapo hapavuji wala hapapati unyevu nyevu wala joto kali sana. Hakikisha mahali hapo pana usalama wa kutosha, mavicheche hali wanyama hatari kama vicheche, pakashume, nyoka hawawezi kufika. Kuku wakiendelea kutaga na sasaukaona wanakaribia kuatamia, anza kuchagua aina ya mayai unayotaka kuku wako walalie. Hii inamaanisha kuwa; ukichagua mayai makubwamakubwa hayo yanakuwa na vifaranga majogoo na mayai madogomadogo mara nyingi huwa ni ya vifaranga wa kike. Acha kuwawekea mayai ya mviringo kama mpira! Hakikisha kuku wote wanasubiria na ili walalie/waatamie kwa pamoja. Weka mayai 12 hadi 15 kwa kila kiota cha kuku mmoja kulingana na umbo la kuku wako. Kuku anaweza kutaga hadi mayai 30 kwa kila msimu wa kutaga unapofika. Unaweza kutumia mayai machache kati ya 30 kwa kumuatamishia kuku wako huku mayai mengine yakisubiri awamu ya pili ya kuatamiwa. Kwa mfano ukiwawekea kuku wako hao watano mayai 12 kila mmoja yatakuwa mayai 60. Kwa kawaida kuku huatamia/hulalia mayai kwa siku 19 hadi 21/24 tu hadi anapototoa vifaranga. Hakikisha unawawekea kuku walioatamia chakula chenye viini lishe vya kutosha na maji mengi karibu na viota vyao ili wakitoka kwenye viota vyao wale chakula mara moja na kunywa maji kisha warudi haraka kwenye mayai yao. Hii itasaidia kuangua mayai yote 12/15 bila kuharibu yai hata moja. Au hata yakiharibika basi hayataharibika mengi kama ukiacha kuwawekea chakula waende huko nje na kuchelewa kurudi kwenye mayai yao. Wakati ukisubiria siku hizo 21/24 anza kujenga kibanda kidogo ndani ya banda kubwa ulilojenga awali au jikoni au andaa boksi kubwa na gumu kwa ajili ya kutunzia vifaranga watakaoanguliwa ndani ya siku 21/24 zijazo. Baada ya kuku hao 5 kuangua vifaranga wako 60 hapo ndipo kazi kubwa ya kulea vifaranga inapoanza. Elewa kuwa ili upate mafanikio haraka hakikisha kuwa kazi ya kulea vifaranga inakuwa yako na siyo ya kuku! Kwanza, unatakiwa kuondoa na kuchoma moto kufukia mabaki yote ya mayai na kuboresha usafi wa banda lote ili kuepusha magonjwa kama vile kuharisha, viroboto, papasi na kadhalika. Hapo unaweza kuwatoa vifaranga wako wote 60 mmojammoja kadri wanavyoanguliwa hadi kufikia kifaranga wa mwisho, yaani yule wa 60 na kuwaweka katika kibanda kidogo/boksi ulichokijenga na kuwawekea mayai mengine mama zao (yale 15/18 kati ya 30 uliyoyabakiza) ili waatamie tena kwa siku 21 hadi 24 zingine. Unapotoa kifaranga kutoka kwa kuku aliyeatamia humfanya kuku yule ashindwe kutoka kwenye mayai maana hana mtoto wa kulea. Akimaliza kuangua mayai yote na ukamwekea mengine ni rahisi kwake kuendelea kuatamia maana atasubiri kupata vifaranga na ndipo atajikuta amelalia kwa siku 21 zingine bila wasiwasi. Kwa kufanya hivyo utakuwa tayari umejipatia vifaranga/kuku zaidi ya 100 ndani ya wiki 7 tu! Sasa unatakiwa kuwajali sana kuku hawa wanaolalia kwa mara ya pili kwa kuwapa chakula cha kutosha, maji, majani, mchicha, mchunga ili wapate vitamini na madini mengine muhimu kwa afya zao. Fanya hivyo hata watakapokuwa wametotoa na ukawanyang'anya vifaranga. Hii itawasaidia ili wasinyonyoke sana manyoya maana kuku wengi hunyonyoka manyoya wanapoatamia. Kwa kufanya hivi, kuku wako watakaa kwa wiki 2 hadi 3 bila vifaranga na kisha wataanza kutaga tena na kuatamia kama mwanzo. Vifaranga wako hakikisha unawatengenezea chumba chao kidogo ndani ya banda kubwa/jikoni, kisha wawekee chanzo chochote cha joto kama vile; taa ya chemli/jiko la mkaa/vizinga vya moto nk ili wasiathiriwe na baridi hasa wakati wa usiku.
Koo huwekwa pamoja na jogoo yupi?
{ "text": [ "Chotara" ] }
3018_swa
Utajiri wa kuku unaweza kupatikana kwa kufanya mambo ya kawaida ila kwa malengo Jinsi ya kupata vifaranga 100 kwa kuku 5 ndani ya wiki saba MFUGAJI wa kuku wa kienyeji Nicodemus Mung'ali wa kijiji cha Kokotoni, Kilifi akiwalisha kuku wake wa kienyeji. Kwa mbinu rahisi, waweza kupata kuku mia mbili kwa kufuga kuku watano katika muda wa miezi sita. Hili laweza kuonekana kama mzaha, lakini hebu anza na kuku watano tumajike wenye rika/umri mmoja (au wanaokaribiana). Watunze vizuri kwa kuwapatia chakula kilicho na mchanganyiko kamili wa viini lishe vinavyotakiwa katika mwili wa kuku. Wawekee na jogoo mmoja mzuri wa kienyeji/kizungu/chotara. Wanapoanza kutagacwatarishie napoanza mahali pazuri/kiota kizuri cha kutagia na kuatamia kwa kuwajengea viota ndani ya banda. Hakikisha mahali hapo hapavuji wala hapapati unyevu nyevu wala joto kali sana. Hakikisha mahali hapo pana usalama wa kutosha, mavicheche hali wanyama hatari kama vicheche, pakashume, nyoka hawawezi kufika. Kuku wakiendelea kutaga na sasaukaona wanakaribia kuatamia, anza kuchagua aina ya mayai unayotaka kuku wako walalie. Hii inamaanisha kuwa; ukichagua mayai makubwamakubwa hayo yanakuwa na vifaranga majogoo na mayai madogomadogo mara nyingi huwa ni ya vifaranga wa kike. Acha kuwawekea mayai ya mviringo kama mpira! Hakikisha kuku wote wanasubiria na ili walalie/waatamie kwa pamoja. Weka mayai 12 hadi 15 kwa kila kiota cha kuku mmoja kulingana na umbo la kuku wako. Kuku anaweza kutaga hadi mayai 30 kwa kila msimu wa kutaga unapofika. Unaweza kutumia mayai machache kati ya 30 kwa kumuatamishia kuku wako huku mayai mengine yakisubiri awamu ya pili ya kuatamiwa. Kwa mfano ukiwawekea kuku wako hao watano mayai 12 kila mmoja yatakuwa mayai 60. Kwa kawaida kuku huatamia/hulalia mayai kwa siku 19 hadi 21/24 tu hadi anapototoa vifaranga. Hakikisha unawawekea kuku walioatamia chakula chenye viini lishe vya kutosha na maji mengi karibu na viota vyao ili wakitoka kwenye viota vyao wale chakula mara moja na kunywa maji kisha warudi haraka kwenye mayai yao. Hii itasaidia kuangua mayai yote 12/15 bila kuharibu yai hata moja. Au hata yakiharibika basi hayataharibika mengi kama ukiacha kuwawekea chakula waende huko nje na kuchelewa kurudi kwenye mayai yao. Wakati ukisubiria siku hizo 21/24 anza kujenga kibanda kidogo ndani ya banda kubwa ulilojenga awali au jikoni au andaa boksi kubwa na gumu kwa ajili ya kutunzia vifaranga watakaoanguliwa ndani ya siku 21/24 zijazo. Baada ya kuku hao 5 kuangua vifaranga wako 60 hapo ndipo kazi kubwa ya kulea vifaranga inapoanza. Elewa kuwa ili upate mafanikio haraka hakikisha kuwa kazi ya kulea vifaranga inakuwa yako na siyo ya kuku! Kwanza, unatakiwa kuondoa na kuchoma moto kufukia mabaki yote ya mayai na kuboresha usafi wa banda lote ili kuepusha magonjwa kama vile kuharisha, viroboto, papasi na kadhalika. Hapo unaweza kuwatoa vifaranga wako wote 60 mmojammoja kadri wanavyoanguliwa hadi kufikia kifaranga wa mwisho, yaani yule wa 60 na kuwaweka katika kibanda kidogo/boksi ulichokijenga na kuwawekea mayai mengine mama zao (yale 15/18 kati ya 30 uliyoyabakiza) ili waatamie tena kwa siku 21 hadi 24 zingine. Unapotoa kifaranga kutoka kwa kuku aliyeatamia humfanya kuku yule ashindwe kutoka kwenye mayai maana hana mtoto wa kulea. Akimaliza kuangua mayai yote na ukamwekea mengine ni rahisi kwake kuendelea kuatamia maana atasubiri kupata vifaranga na ndipo atajikuta amelalia kwa siku 21 zingine bila wasiwasi. Kwa kufanya hivyo utakuwa tayari umejipatia vifaranga/kuku zaidi ya 100 ndani ya wiki 7 tu! Sasa unatakiwa kuwajali sana kuku hawa wanaolalia kwa mara ya pili kwa kuwapa chakula cha kutosha, maji, majani, mchicha, mchunga ili wapate vitamini na madini mengine muhimu kwa afya zao. Fanya hivyo hata watakapokuwa wametotoa na ukawanyang'anya vifaranga. Hii itawasaidia ili wasinyonyoke sana manyoya maana kuku wengi hunyonyoka manyoya wanapoatamia. Kwa kufanya hivi, kuku wako watakaa kwa wiki 2 hadi 3 bila vifaranga na kisha wataanza kutaga tena na kuatamia kama mwanzo. Vifaranga wako hakikisha unawatengenezea chumba chao kidogo ndani ya banda kubwa/jikoni, kisha wawekee chanzo chochote cha joto kama vile; taa ya chemli/jiko la mkaa/vizinga vya moto nk ili wasiathiriwe na baridi hasa wakati wa usiku.
Kuku hutagia na kuatamia wapi?
{ "text": [ "Koitani" ] }
3018_swa
Utajiri wa kuku unaweza kupatikana kwa kufanya mambo ya kawaida ila kwa malengo Jinsi ya kupata vifaranga 100 kwa kuku 5 ndani ya wiki saba MFUGAJI wa kuku wa kienyeji Nicodemus Mung'ali wa kijiji cha Kokotoni, Kilifi akiwalisha kuku wake wa kienyeji. Kwa mbinu rahisi, waweza kupata kuku mia mbili kwa kufuga kuku watano katika muda wa miezi sita. Hili laweza kuonekana kama mzaha, lakini hebu anza na kuku watano tumajike wenye rika/umri mmoja (au wanaokaribiana). Watunze vizuri kwa kuwapatia chakula kilicho na mchanganyiko kamili wa viini lishe vinavyotakiwa katika mwili wa kuku. Wawekee na jogoo mmoja mzuri wa kienyeji/kizungu/chotara. Wanapoanza kutagacwatarishie napoanza mahali pazuri/kiota kizuri cha kutagia na kuatamia kwa kuwajengea viota ndani ya banda. Hakikisha mahali hapo hapavuji wala hapapati unyevu nyevu wala joto kali sana. Hakikisha mahali hapo pana usalama wa kutosha, mavicheche hali wanyama hatari kama vicheche, pakashume, nyoka hawawezi kufika. Kuku wakiendelea kutaga na sasaukaona wanakaribia kuatamia, anza kuchagua aina ya mayai unayotaka kuku wako walalie. Hii inamaanisha kuwa; ukichagua mayai makubwamakubwa hayo yanakuwa na vifaranga majogoo na mayai madogomadogo mara nyingi huwa ni ya vifaranga wa kike. Acha kuwawekea mayai ya mviringo kama mpira! Hakikisha kuku wote wanasubiria na ili walalie/waatamie kwa pamoja. Weka mayai 12 hadi 15 kwa kila kiota cha kuku mmoja kulingana na umbo la kuku wako. Kuku anaweza kutaga hadi mayai 30 kwa kila msimu wa kutaga unapofika. Unaweza kutumia mayai machache kati ya 30 kwa kumuatamishia kuku wako huku mayai mengine yakisubiri awamu ya pili ya kuatamiwa. Kwa mfano ukiwawekea kuku wako hao watano mayai 12 kila mmoja yatakuwa mayai 60. Kwa kawaida kuku huatamia/hulalia mayai kwa siku 19 hadi 21/24 tu hadi anapototoa vifaranga. Hakikisha unawawekea kuku walioatamia chakula chenye viini lishe vya kutosha na maji mengi karibu na viota vyao ili wakitoka kwenye viota vyao wale chakula mara moja na kunywa maji kisha warudi haraka kwenye mayai yao. Hii itasaidia kuangua mayai yote 12/15 bila kuharibu yai hata moja. Au hata yakiharibika basi hayataharibika mengi kama ukiacha kuwawekea chakula waende huko nje na kuchelewa kurudi kwenye mayai yao. Wakati ukisubiria siku hizo 21/24 anza kujenga kibanda kidogo ndani ya banda kubwa ulilojenga awali au jikoni au andaa boksi kubwa na gumu kwa ajili ya kutunzia vifaranga watakaoanguliwa ndani ya siku 21/24 zijazo. Baada ya kuku hao 5 kuangua vifaranga wako 60 hapo ndipo kazi kubwa ya kulea vifaranga inapoanza. Elewa kuwa ili upate mafanikio haraka hakikisha kuwa kazi ya kulea vifaranga inakuwa yako na siyo ya kuku! Kwanza, unatakiwa kuondoa na kuchoma moto kufukia mabaki yote ya mayai na kuboresha usafi wa banda lote ili kuepusha magonjwa kama vile kuharisha, viroboto, papasi na kadhalika. Hapo unaweza kuwatoa vifaranga wako wote 60 mmojammoja kadri wanavyoanguliwa hadi kufikia kifaranga wa mwisho, yaani yule wa 60 na kuwaweka katika kibanda kidogo/boksi ulichokijenga na kuwawekea mayai mengine mama zao (yale 15/18 kati ya 30 uliyoyabakiza) ili waatamie tena kwa siku 21 hadi 24 zingine. Unapotoa kifaranga kutoka kwa kuku aliyeatamia humfanya kuku yule ashindwe kutoka kwenye mayai maana hana mtoto wa kulea. Akimaliza kuangua mayai yote na ukamwekea mengine ni rahisi kwake kuendelea kuatamia maana atasubiri kupata vifaranga na ndipo atajikuta amelalia kwa siku 21 zingine bila wasiwasi. Kwa kufanya hivyo utakuwa tayari umejipatia vifaranga/kuku zaidi ya 100 ndani ya wiki 7 tu! Sasa unatakiwa kuwajali sana kuku hawa wanaolalia kwa mara ya pili kwa kuwapa chakula cha kutosha, maji, majani, mchicha, mchunga ili wapate vitamini na madini mengine muhimu kwa afya zao. Fanya hivyo hata watakapokuwa wametotoa na ukawanyang'anya vifaranga. Hii itawasaidia ili wasinyonyoke sana manyoya maana kuku wengi hunyonyoka manyoya wanapoatamia. Kwa kufanya hivi, kuku wako watakaa kwa wiki 2 hadi 3 bila vifaranga na kisha wataanza kutaga tena na kuatamia kama mwanzo. Vifaranga wako hakikisha unawatengenezea chumba chao kidogo ndani ya banda kubwa/jikoni, kisha wawekee chanzo chochote cha joto kama vile; taa ya chemli/jiko la mkaa/vizinga vya moto nk ili wasiathiriwe na baridi hasa wakati wa usiku.
Mayai gani mazuri ya kuatamia kisha yatoe jogoo
{ "text": [ "Mayai makubwa makubwa" ] }
3018_swa
Utajiri wa kuku unaweza kupatikana kwa kufanya mambo ya kawaida ila kwa malengo Jinsi ya kupata vifaranga 100 kwa kuku 5 ndani ya wiki saba MFUGAJI wa kuku wa kienyeji Nicodemus Mung'ali wa kijiji cha Kokotoni, Kilifi akiwalisha kuku wake wa kienyeji. Kwa mbinu rahisi, waweza kupata kuku mia mbili kwa kufuga kuku watano katika muda wa miezi sita. Hili laweza kuonekana kama mzaha, lakini hebu anza na kuku watano tumajike wenye rika/umri mmoja (au wanaokaribiana). Watunze vizuri kwa kuwapatia chakula kilicho na mchanganyiko kamili wa viini lishe vinavyotakiwa katika mwili wa kuku. Wawekee na jogoo mmoja mzuri wa kienyeji/kizungu/chotara. Wanapoanza kutagacwatarishie napoanza mahali pazuri/kiota kizuri cha kutagia na kuatamia kwa kuwajengea viota ndani ya banda. Hakikisha mahali hapo hapavuji wala hapapati unyevu nyevu wala joto kali sana. Hakikisha mahali hapo pana usalama wa kutosha, mavicheche hali wanyama hatari kama vicheche, pakashume, nyoka hawawezi kufika. Kuku wakiendelea kutaga na sasaukaona wanakaribia kuatamia, anza kuchagua aina ya mayai unayotaka kuku wako walalie. Hii inamaanisha kuwa; ukichagua mayai makubwamakubwa hayo yanakuwa na vifaranga majogoo na mayai madogomadogo mara nyingi huwa ni ya vifaranga wa kike. Acha kuwawekea mayai ya mviringo kama mpira! Hakikisha kuku wote wanasubiria na ili walalie/waatamie kwa pamoja. Weka mayai 12 hadi 15 kwa kila kiota cha kuku mmoja kulingana na umbo la kuku wako. Kuku anaweza kutaga hadi mayai 30 kwa kila msimu wa kutaga unapofika. Unaweza kutumia mayai machache kati ya 30 kwa kumuatamishia kuku wako huku mayai mengine yakisubiri awamu ya pili ya kuatamiwa. Kwa mfano ukiwawekea kuku wako hao watano mayai 12 kila mmoja yatakuwa mayai 60. Kwa kawaida kuku huatamia/hulalia mayai kwa siku 19 hadi 21/24 tu hadi anapototoa vifaranga. Hakikisha unawawekea kuku walioatamia chakula chenye viini lishe vya kutosha na maji mengi karibu na viota vyao ili wakitoka kwenye viota vyao wale chakula mara moja na kunywa maji kisha warudi haraka kwenye mayai yao. Hii itasaidia kuangua mayai yote 12/15 bila kuharibu yai hata moja. Au hata yakiharibika basi hayataharibika mengi kama ukiacha kuwawekea chakula waende huko nje na kuchelewa kurudi kwenye mayai yao. Wakati ukisubiria siku hizo 21/24 anza kujenga kibanda kidogo ndani ya banda kubwa ulilojenga awali au jikoni au andaa boksi kubwa na gumu kwa ajili ya kutunzia vifaranga watakaoanguliwa ndani ya siku 21/24 zijazo. Baada ya kuku hao 5 kuangua vifaranga wako 60 hapo ndipo kazi kubwa ya kulea vifaranga inapoanza. Elewa kuwa ili upate mafanikio haraka hakikisha kuwa kazi ya kulea vifaranga inakuwa yako na siyo ya kuku! Kwanza, unatakiwa kuondoa na kuchoma moto kufukia mabaki yote ya mayai na kuboresha usafi wa banda lote ili kuepusha magonjwa kama vile kuharisha, viroboto, papasi na kadhalika. Hapo unaweza kuwatoa vifaranga wako wote 60 mmojammoja kadri wanavyoanguliwa hadi kufikia kifaranga wa mwisho, yaani yule wa 60 na kuwaweka katika kibanda kidogo/boksi ulichokijenga na kuwawekea mayai mengine mama zao (yale 15/18 kati ya 30 uliyoyabakiza) ili waatamie tena kwa siku 21 hadi 24 zingine. Unapotoa kifaranga kutoka kwa kuku aliyeatamia humfanya kuku yule ashindwe kutoka kwenye mayai maana hana mtoto wa kulea. Akimaliza kuangua mayai yote na ukamwekea mengine ni rahisi kwake kuendelea kuatamia maana atasubiri kupata vifaranga na ndipo atajikuta amelalia kwa siku 21 zingine bila wasiwasi. Kwa kufanya hivyo utakuwa tayari umejipatia vifaranga/kuku zaidi ya 100 ndani ya wiki 7 tu! Sasa unatakiwa kuwajali sana kuku hawa wanaolalia kwa mara ya pili kwa kuwapa chakula cha kutosha, maji, majani, mchicha, mchunga ili wapate vitamini na madini mengine muhimu kwa afya zao. Fanya hivyo hata watakapokuwa wametotoa na ukawanyang'anya vifaranga. Hii itawasaidia ili wasinyonyoke sana manyoya maana kuku wengi hunyonyoka manyoya wanapoatamia. Kwa kufanya hivi, kuku wako watakaa kwa wiki 2 hadi 3 bila vifaranga na kisha wataanza kutaga tena na kuatamia kama mwanzo. Vifaranga wako hakikisha unawatengenezea chumba chao kidogo ndani ya banda kubwa/jikoni, kisha wawekee chanzo chochote cha joto kama vile; taa ya chemli/jiko la mkaa/vizinga vya moto nk ili wasiathiriwe na baridi hasa wakati wa usiku.
Mwandishi anapendekeza kutamishia kuku mayai mangapi kulingana na umbo la kuku?
{ "text": [ "Mayai kati ya 12 hadi 15" ] }
3018_swa
Utajiri wa kuku unaweza kupatikana kwa kufanya mambo ya kawaida ila kwa malengo Jinsi ya kupata vifaranga 100 kwa kuku 5 ndani ya wiki saba MFUGAJI wa kuku wa kienyeji Nicodemus Mung'ali wa kijiji cha Kokotoni, Kilifi akiwalisha kuku wake wa kienyeji. Kwa mbinu rahisi, waweza kupata kuku mia mbili kwa kufuga kuku watano katika muda wa miezi sita. Hili laweza kuonekana kama mzaha, lakini hebu anza na kuku watano tumajike wenye rika/umri mmoja (au wanaokaribiana). Watunze vizuri kwa kuwapatia chakula kilicho na mchanganyiko kamili wa viini lishe vinavyotakiwa katika mwili wa kuku. Wawekee na jogoo mmoja mzuri wa kienyeji/kizungu/chotara. Wanapoanza kutagacwatarishie napoanza mahali pazuri/kiota kizuri cha kutagia na kuatamia kwa kuwajengea viota ndani ya banda. Hakikisha mahali hapo hapavuji wala hapapati unyevu nyevu wala joto kali sana. Hakikisha mahali hapo pana usalama wa kutosha, mavicheche hali wanyama hatari kama vicheche, pakashume, nyoka hawawezi kufika. Kuku wakiendelea kutaga na sasaukaona wanakaribia kuatamia, anza kuchagua aina ya mayai unayotaka kuku wako walalie. Hii inamaanisha kuwa; ukichagua mayai makubwamakubwa hayo yanakuwa na vifaranga majogoo na mayai madogomadogo mara nyingi huwa ni ya vifaranga wa kike. Acha kuwawekea mayai ya mviringo kama mpira! Hakikisha kuku wote wanasubiria na ili walalie/waatamie kwa pamoja. Weka mayai 12 hadi 15 kwa kila kiota cha kuku mmoja kulingana na umbo la kuku wako. Kuku anaweza kutaga hadi mayai 30 kwa kila msimu wa kutaga unapofika. Unaweza kutumia mayai machache kati ya 30 kwa kumuatamishia kuku wako huku mayai mengine yakisubiri awamu ya pili ya kuatamiwa. Kwa mfano ukiwawekea kuku wako hao watano mayai 12 kila mmoja yatakuwa mayai 60. Kwa kawaida kuku huatamia/hulalia mayai kwa siku 19 hadi 21/24 tu hadi anapototoa vifaranga. Hakikisha unawawekea kuku walioatamia chakula chenye viini lishe vya kutosha na maji mengi karibu na viota vyao ili wakitoka kwenye viota vyao wale chakula mara moja na kunywa maji kisha warudi haraka kwenye mayai yao. Hii itasaidia kuangua mayai yote 12/15 bila kuharibu yai hata moja. Au hata yakiharibika basi hayataharibika mengi kama ukiacha kuwawekea chakula waende huko nje na kuchelewa kurudi kwenye mayai yao. Wakati ukisubiria siku hizo 21/24 anza kujenga kibanda kidogo ndani ya banda kubwa ulilojenga awali au jikoni au andaa boksi kubwa na gumu kwa ajili ya kutunzia vifaranga watakaoanguliwa ndani ya siku 21/24 zijazo. Baada ya kuku hao 5 kuangua vifaranga wako 60 hapo ndipo kazi kubwa ya kulea vifaranga inapoanza. Elewa kuwa ili upate mafanikio haraka hakikisha kuwa kazi ya kulea vifaranga inakuwa yako na siyo ya kuku! Kwanza, unatakiwa kuondoa na kuchoma moto kufukia mabaki yote ya mayai na kuboresha usafi wa banda lote ili kuepusha magonjwa kama vile kuharisha, viroboto, papasi na kadhalika. Hapo unaweza kuwatoa vifaranga wako wote 60 mmojammoja kadri wanavyoanguliwa hadi kufikia kifaranga wa mwisho, yaani yule wa 60 na kuwaweka katika kibanda kidogo/boksi ulichokijenga na kuwawekea mayai mengine mama zao (yale 15/18 kati ya 30 uliyoyabakiza) ili waatamie tena kwa siku 21 hadi 24 zingine. Unapotoa kifaranga kutoka kwa kuku aliyeatamia humfanya kuku yule ashindwe kutoka kwenye mayai maana hana mtoto wa kulea. Akimaliza kuangua mayai yote na ukamwekea mengine ni rahisi kwake kuendelea kuatamia maana atasubiri kupata vifaranga na ndipo atajikuta amelalia kwa siku 21 zingine bila wasiwasi. Kwa kufanya hivyo utakuwa tayari umejipatia vifaranga/kuku zaidi ya 100 ndani ya wiki 7 tu! Sasa unatakiwa kuwajali sana kuku hawa wanaolalia kwa mara ya pili kwa kuwapa chakula cha kutosha, maji, majani, mchicha, mchunga ili wapate vitamini na madini mengine muhimu kwa afya zao. Fanya hivyo hata watakapokuwa wametotoa na ukawanyang'anya vifaranga. Hii itawasaidia ili wasinyonyoke sana manyoya maana kuku wengi hunyonyoka manyoya wanapoatamia. Kwa kufanya hivi, kuku wako watakaa kwa wiki 2 hadi 3 bila vifaranga na kisha wataanza kutaga tena na kuatamia kama mwanzo. Vifaranga wako hakikisha unawatengenezea chumba chao kidogo ndani ya banda kubwa/jikoni, kisha wawekee chanzo chochote cha joto kama vile; taa ya chemli/jiko la mkaa/vizinga vya moto nk ili wasiathiriwe na baridi hasa wakati wa usiku.
Kwa kawaida kuku huatamia kwa muda wa siku ngapi?
{ "text": [ "19 hadi 21/24" ] }
3020_swa
NASAHA YA KIBIASHARA Hakuna ujanja, kuweka akiba ndio njia rahisi ya kupata mtaji Roger Wekhomba ambaye ni mwekezaji katika biashara ya uongezaji thamani mazao ya kilimo na mimea alipoingilia shughuli hiyo alikuwa na kizingiti kimoja tu; ukosefu wa fedha kuafikia malengo yake. Maarifa na ujuzi, alikuwa nayo ila mtaji - fedha ama mali inayotumika kuanzishia au kupanulia biashara au shughuli yoyote ile kujiimarisha kimapato na kimaendeleo ilikuwa balaa bin belua. Ni kizingiti ambacho vijana wenye talanta mbalimbali na maono kinazidi kuwakera na kuzima ndoto zao. Hata hivyo, uwekaji akiba, kulingana na wataalamu wa masuala ya fedha na biashara ni mojawapo ya suluhu kufanikisha azma yoyote ya uwekezaji. Benki, vyama vya ushirika (Sacco) na makundi, ni baadhi ya mashirika ya kifedha yanayotoa huduma za uwekaji fedha, ambazo huzaa faida na pia kutoa mikopo kwa wafanyabiashara. Anderson Kimathi, mtaalamu na meneja wa Chama cha Ushirika cha Southern Star, tawi la Githurai, Nairobi anaungama kuwa wafanyabiashara wengi hasa wateja wa Sacco hiyo wameimarika kupitia uwekaji akiba na ununuzi wa hisa, kisha wanapata mikopo. "Zaidi ya asilimia 90 ya wateja wetu ni SMEs, ambao huweka akiba ya hadi Sh20 kwa siku," anasema. Kuanzisha biashara au kuingilia kilimo, kulingana na mtaalamu huyo si lazima mwanzilishi awe na maelfu au mamilioni ya pesa. "Ukiwa na hata chini ya Sh5,000, unaweza kuingilia biashara ya uuzaji wa nguo, uipalilie polepole,” Kimathi aelezea. Anaongeza kusema: “Tuna wateja wanachama waliotangulia kwa mkopo wa chini kidogo na sasa biashara zao zina thamani ya maelfu na mamilioni ya pesa.” Akitoa mfano wa Sacco ya Southern Star ambayo imekuwa ikitoa huduma za fedha kwa takriban miaka 25 nchini, Kimathi anasema ili kujisajili unahitaji Sh300 pekee na nakala ya kitambulisho cha kitaifa. Sh200, anasema ni pesa za usajili kufungua akaunti na Sh100 zinasimamia hisa moja, (bei ya hisa moja). Ni muhimu kutaja kuwa akiba unayoweka inaendelea kuzaa faida, kwa mujibu wa kanuni za chama cha ushirika au benki. "Ili kupata mkopo unahitaji kuwa umeweka akiba na kununua hisa kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Kiwango cha mikopo hutathminiwa kwa hisa, ambapo unapaswa kuwa na hisa zenye thamani zaidi ya Sh5,000," afafanua. Kuwa mwanachama, unaweza kujiunga binafsi au kwa kundi la watu kadhaa. Ili kupata mkopo au ufadhili wa biashara, mteja binafsi kwenye kundi anazidishiwa mara nne ya akiba yake, cha kitaifa wanachama wenza wakiwa ndio dhamana yake. Southern Star hutoza riba ya asilimia 12 kwa mwaka, katika mkopo.
Roger alikosa nini kuafiki malengo yake
{ "text": [ "fedha" ] }
3020_swa
NASAHA YA KIBIASHARA Hakuna ujanja, kuweka akiba ndio njia rahisi ya kupata mtaji Roger Wekhomba ambaye ni mwekezaji katika biashara ya uongezaji thamani mazao ya kilimo na mimea alipoingilia shughuli hiyo alikuwa na kizingiti kimoja tu; ukosefu wa fedha kuafikia malengo yake. Maarifa na ujuzi, alikuwa nayo ila mtaji - fedha ama mali inayotumika kuanzishia au kupanulia biashara au shughuli yoyote ile kujiimarisha kimapato na kimaendeleo ilikuwa balaa bin belua. Ni kizingiti ambacho vijana wenye talanta mbalimbali na maono kinazidi kuwakera na kuzima ndoto zao. Hata hivyo, uwekaji akiba, kulingana na wataalamu wa masuala ya fedha na biashara ni mojawapo ya suluhu kufanikisha azma yoyote ya uwekezaji. Benki, vyama vya ushirika (Sacco) na makundi, ni baadhi ya mashirika ya kifedha yanayotoa huduma za uwekaji fedha, ambazo huzaa faida na pia kutoa mikopo kwa wafanyabiashara. Anderson Kimathi, mtaalamu na meneja wa Chama cha Ushirika cha Southern Star, tawi la Githurai, Nairobi anaungama kuwa wafanyabiashara wengi hasa wateja wa Sacco hiyo wameimarika kupitia uwekaji akiba na ununuzi wa hisa, kisha wanapata mikopo. "Zaidi ya asilimia 90 ya wateja wetu ni SMEs, ambao huweka akiba ya hadi Sh20 kwa siku," anasema. Kuanzisha biashara au kuingilia kilimo, kulingana na mtaalamu huyo si lazima mwanzilishi awe na maelfu au mamilioni ya pesa. "Ukiwa na hata chini ya Sh5,000, unaweza kuingilia biashara ya uuzaji wa nguo, uipalilie polepole,” Kimathi aelezea. Anaongeza kusema: “Tuna wateja wanachama waliotangulia kwa mkopo wa chini kidogo na sasa biashara zao zina thamani ya maelfu na mamilioni ya pesa.” Akitoa mfano wa Sacco ya Southern Star ambayo imekuwa ikitoa huduma za fedha kwa takriban miaka 25 nchini, Kimathi anasema ili kujisajili unahitaji Sh300 pekee na nakala ya kitambulisho cha kitaifa. Sh200, anasema ni pesa za usajili kufungua akaunti na Sh100 zinasimamia hisa moja, (bei ya hisa moja). Ni muhimu kutaja kuwa akiba unayoweka inaendelea kuzaa faida, kwa mujibu wa kanuni za chama cha ushirika au benki. "Ili kupata mkopo unahitaji kuwa umeweka akiba na kununua hisa kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Kiwango cha mikopo hutathminiwa kwa hisa, ambapo unapaswa kuwa na hisa zenye thamani zaidi ya Sh5,000," afafanua. Kuwa mwanachama, unaweza kujiunga binafsi au kwa kundi la watu kadhaa. Ili kupata mkopo au ufadhili wa biashara, mteja binafsi kwenye kundi anazidishiwa mara nne ya akiba yake, cha kitaifa wanachama wenza wakiwa ndio dhamana yake. Southern Star hutoza riba ya asilimia 12 kwa mwaka, katika mkopo.
Ndoto za nani zimezikwa na ukosefu wa fedha
{ "text": [ "vijana" ] }
3020_swa
NASAHA YA KIBIASHARA Hakuna ujanja, kuweka akiba ndio njia rahisi ya kupata mtaji Roger Wekhomba ambaye ni mwekezaji katika biashara ya uongezaji thamani mazao ya kilimo na mimea alipoingilia shughuli hiyo alikuwa na kizingiti kimoja tu; ukosefu wa fedha kuafikia malengo yake. Maarifa na ujuzi, alikuwa nayo ila mtaji - fedha ama mali inayotumika kuanzishia au kupanulia biashara au shughuli yoyote ile kujiimarisha kimapato na kimaendeleo ilikuwa balaa bin belua. Ni kizingiti ambacho vijana wenye talanta mbalimbali na maono kinazidi kuwakera na kuzima ndoto zao. Hata hivyo, uwekaji akiba, kulingana na wataalamu wa masuala ya fedha na biashara ni mojawapo ya suluhu kufanikisha azma yoyote ya uwekezaji. Benki, vyama vya ushirika (Sacco) na makundi, ni baadhi ya mashirika ya kifedha yanayotoa huduma za uwekaji fedha, ambazo huzaa faida na pia kutoa mikopo kwa wafanyabiashara. Anderson Kimathi, mtaalamu na meneja wa Chama cha Ushirika cha Southern Star, tawi la Githurai, Nairobi anaungama kuwa wafanyabiashara wengi hasa wateja wa Sacco hiyo wameimarika kupitia uwekaji akiba na ununuzi wa hisa, kisha wanapata mikopo. "Zaidi ya asilimia 90 ya wateja wetu ni SMEs, ambao huweka akiba ya hadi Sh20 kwa siku," anasema. Kuanzisha biashara au kuingilia kilimo, kulingana na mtaalamu huyo si lazima mwanzilishi awe na maelfu au mamilioni ya pesa. "Ukiwa na hata chini ya Sh5,000, unaweza kuingilia biashara ya uuzaji wa nguo, uipalilie polepole,” Kimathi aelezea. Anaongeza kusema: “Tuna wateja wanachama waliotangulia kwa mkopo wa chini kidogo na sasa biashara zao zina thamani ya maelfu na mamilioni ya pesa.” Akitoa mfano wa Sacco ya Southern Star ambayo imekuwa ikitoa huduma za fedha kwa takriban miaka 25 nchini, Kimathi anasema ili kujisajili unahitaji Sh300 pekee na nakala ya kitambulisho cha kitaifa. Sh200, anasema ni pesa za usajili kufungua akaunti na Sh100 zinasimamia hisa moja, (bei ya hisa moja). Ni muhimu kutaja kuwa akiba unayoweka inaendelea kuzaa faida, kwa mujibu wa kanuni za chama cha ushirika au benki. "Ili kupata mkopo unahitaji kuwa umeweka akiba na kununua hisa kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Kiwango cha mikopo hutathminiwa kwa hisa, ambapo unapaswa kuwa na hisa zenye thamani zaidi ya Sh5,000," afafanua. Kuwa mwanachama, unaweza kujiunga binafsi au kwa kundi la watu kadhaa. Ili kupata mkopo au ufadhili wa biashara, mteja binafsi kwenye kundi anazidishiwa mara nne ya akiba yake, cha kitaifa wanachama wenza wakiwa ndio dhamana yake. Southern Star hutoza riba ya asilimia 12 kwa mwaka, katika mkopo.
Benki hutoa mikopo kwa nani?
{ "text": [ "wafanyabiashara" ] }
3020_swa
NASAHA YA KIBIASHARA Hakuna ujanja, kuweka akiba ndio njia rahisi ya kupata mtaji Roger Wekhomba ambaye ni mwekezaji katika biashara ya uongezaji thamani mazao ya kilimo na mimea alipoingilia shughuli hiyo alikuwa na kizingiti kimoja tu; ukosefu wa fedha kuafikia malengo yake. Maarifa na ujuzi, alikuwa nayo ila mtaji - fedha ama mali inayotumika kuanzishia au kupanulia biashara au shughuli yoyote ile kujiimarisha kimapato na kimaendeleo ilikuwa balaa bin belua. Ni kizingiti ambacho vijana wenye talanta mbalimbali na maono kinazidi kuwakera na kuzima ndoto zao. Hata hivyo, uwekaji akiba, kulingana na wataalamu wa masuala ya fedha na biashara ni mojawapo ya suluhu kufanikisha azma yoyote ya uwekezaji. Benki, vyama vya ushirika (Sacco) na makundi, ni baadhi ya mashirika ya kifedha yanayotoa huduma za uwekaji fedha, ambazo huzaa faida na pia kutoa mikopo kwa wafanyabiashara. Anderson Kimathi, mtaalamu na meneja wa Chama cha Ushirika cha Southern Star, tawi la Githurai, Nairobi anaungama kuwa wafanyabiashara wengi hasa wateja wa Sacco hiyo wameimarika kupitia uwekaji akiba na ununuzi wa hisa, kisha wanapata mikopo. "Zaidi ya asilimia 90 ya wateja wetu ni SMEs, ambao huweka akiba ya hadi Sh20 kwa siku," anasema. Kuanzisha biashara au kuingilia kilimo, kulingana na mtaalamu huyo si lazima mwanzilishi awe na maelfu au mamilioni ya pesa. "Ukiwa na hata chini ya Sh5,000, unaweza kuingilia biashara ya uuzaji wa nguo, uipalilie polepole,” Kimathi aelezea. Anaongeza kusema: “Tuna wateja wanachama waliotangulia kwa mkopo wa chini kidogo na sasa biashara zao zina thamani ya maelfu na mamilioni ya pesa.” Akitoa mfano wa Sacco ya Southern Star ambayo imekuwa ikitoa huduma za fedha kwa takriban miaka 25 nchini, Kimathi anasema ili kujisajili unahitaji Sh300 pekee na nakala ya kitambulisho cha kitaifa. Sh200, anasema ni pesa za usajili kufungua akaunti na Sh100 zinasimamia hisa moja, (bei ya hisa moja). Ni muhimu kutaja kuwa akiba unayoweka inaendelea kuzaa faida, kwa mujibu wa kanuni za chama cha ushirika au benki. "Ili kupata mkopo unahitaji kuwa umeweka akiba na kununua hisa kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Kiwango cha mikopo hutathminiwa kwa hisa, ambapo unapaswa kuwa na hisa zenye thamani zaidi ya Sh5,000," afafanua. Kuwa mwanachama, unaweza kujiunga binafsi au kwa kundi la watu kadhaa. Ili kupata mkopo au ufadhili wa biashara, mteja binafsi kwenye kundi anazidishiwa mara nne ya akiba yake, cha kitaifa wanachama wenza wakiwa ndio dhamana yake. Southern Star hutoza riba ya asilimia 12 kwa mwaka, katika mkopo.
Sh200 ni pesa za usajili kufungua nini
{ "text": [ "akaunti" ] }
3020_swa
NASAHA YA KIBIASHARA Hakuna ujanja, kuweka akiba ndio njia rahisi ya kupata mtaji Roger Wekhomba ambaye ni mwekezaji katika biashara ya uongezaji thamani mazao ya kilimo na mimea alipoingilia shughuli hiyo alikuwa na kizingiti kimoja tu; ukosefu wa fedha kuafikia malengo yake. Maarifa na ujuzi, alikuwa nayo ila mtaji - fedha ama mali inayotumika kuanzishia au kupanulia biashara au shughuli yoyote ile kujiimarisha kimapato na kimaendeleo ilikuwa balaa bin belua. Ni kizingiti ambacho vijana wenye talanta mbalimbali na maono kinazidi kuwakera na kuzima ndoto zao. Hata hivyo, uwekaji akiba, kulingana na wataalamu wa masuala ya fedha na biashara ni mojawapo ya suluhu kufanikisha azma yoyote ya uwekezaji. Benki, vyama vya ushirika (Sacco) na makundi, ni baadhi ya mashirika ya kifedha yanayotoa huduma za uwekaji fedha, ambazo huzaa faida na pia kutoa mikopo kwa wafanyabiashara. Anderson Kimathi, mtaalamu na meneja wa Chama cha Ushirika cha Southern Star, tawi la Githurai, Nairobi anaungama kuwa wafanyabiashara wengi hasa wateja wa Sacco hiyo wameimarika kupitia uwekaji akiba na ununuzi wa hisa, kisha wanapata mikopo. "Zaidi ya asilimia 90 ya wateja wetu ni SMEs, ambao huweka akiba ya hadi Sh20 kwa siku," anasema. Kuanzisha biashara au kuingilia kilimo, kulingana na mtaalamu huyo si lazima mwanzilishi awe na maelfu au mamilioni ya pesa. "Ukiwa na hata chini ya Sh5,000, unaweza kuingilia biashara ya uuzaji wa nguo, uipalilie polepole,” Kimathi aelezea. Anaongeza kusema: “Tuna wateja wanachama waliotangulia kwa mkopo wa chini kidogo na sasa biashara zao zina thamani ya maelfu na mamilioni ya pesa.” Akitoa mfano wa Sacco ya Southern Star ambayo imekuwa ikitoa huduma za fedha kwa takriban miaka 25 nchini, Kimathi anasema ili kujisajili unahitaji Sh300 pekee na nakala ya kitambulisho cha kitaifa. Sh200, anasema ni pesa za usajili kufungua akaunti na Sh100 zinasimamia hisa moja, (bei ya hisa moja). Ni muhimu kutaja kuwa akiba unayoweka inaendelea kuzaa faida, kwa mujibu wa kanuni za chama cha ushirika au benki. "Ili kupata mkopo unahitaji kuwa umeweka akiba na kununua hisa kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Kiwango cha mikopo hutathminiwa kwa hisa, ambapo unapaswa kuwa na hisa zenye thamani zaidi ya Sh5,000," afafanua. Kuwa mwanachama, unaweza kujiunga binafsi au kwa kundi la watu kadhaa. Ili kupata mkopo au ufadhili wa biashara, mteja binafsi kwenye kundi anazidishiwa mara nne ya akiba yake, cha kitaifa wanachama wenza wakiwa ndio dhamana yake. Southern Star hutoza riba ya asilimia 12 kwa mwaka, katika mkopo.
Nini hutumika kutathmini kiwango cha mkopo
{ "text": [ "hisa" ] }
3022_swa
Licha ya umri wake, yeye mchoraji mtajika Unapomuona kwa mara ya kwanza, umri wake utakuhadaa kwamba hajishughulishi na mambo mengi ila kupumzika wakati mwingi. Lakini la hasha, Samuel Kibii Martim, mwenye umri wa miaka 68 ana kipaji maalum cha sanaa na ufundi. Alianza kazi hii mwaka wa 1965 na kufikia sasa ameifanya kwa muda wa miaka 55. Martim wa kijiji cha Mauche kaunti ndogo ya Njoro, anatambulika na wakazi wa kijiji chake kwa jina la utani ‘Gachie’ kwa sababu amezingirwa na majirani wa jamii ya Agikuyu. Nyumbani kwake kumejaa michoro na mambo tofauti ya kaunti mbalimbali, serikali kuu, umbo maalumu za mamlaka. Vyombo za vyumba vya habari vikiwemo televisheni na redio pamoja na zile za watu mashauri. Kulingana naye, alianza kazi ya sanaa na ufundi akiwa miaka 13 baada kukatiza masomo yake akiwa darasa la tano. “Nilihisi kuwa na msukumo fulani wakati nilipokuwa shuleni. Mara nyingi nilijipata nikichora sura ya wenzangu na hata walimu darasani. Nilipofika darasa la tano, hamu ya vitabu iliisha na hapo ndipo nilikatiza masomo na kuanza kazi ya sanaa na ufundi nyumbani kwetu Kaunti ya Bomet, akasema.” Aongeza kuwa huongozwa na kipaji alichonacho na kila anapoona mchoro fulani haswa anapotembea, mara moja yeye hufikiria jinsi atakavyouchonga kwa mbao ili kupata picha halisi ya mchoro huo. Kazi hii imemwezesha kuwa makini kwa kila jambo analolifanya ili asivunje uhusiano wake na wateja wake. Aidha licha ya umri wake, Martim hufuatilia kwa karibu masuala yanayojiri kwa mtandao wa kijamii na tovuti mbalimbali. “Nilijisajili katika mtandao wa Facebook miaka mingi iliyopita na hapo ndipo mara nyingi hupata kujua yanayojiri. “Huwa nafuatilia masuala ya kaunti mbalimbali na kupata kujua pembo wanazotumia. Masuala hayo hunipa mwanga jinsi ya kuchonga na rangi ya kutumia ili kuchonga picha sawia na ninavyoona,” akaeleza. Martim anasema kazi yake huhitaji vifaa kama vile mbao, panga, chuma kilichonolewa upande mmoja, nyundo, rangi na gamu itumikayo kwa vifaa vya mbao. Nembo kama vile zile za serikali ya Kenya, humchukua muda wa siku tatu kukamilisha. “Sanaa na fundi huhitaji muda na pia kuwa makini sana. Huwezi kuchanganya kazi hii na nyingine kwa sababu hutapata picha kamili inavyohitajika,” akasema kazi hiyo aliyoianza kwa sh3000, sasa hivi imemwezesha kupata riziki na kujiendeleza kama mkulima hodari. Nembo ya chumba cha habari yeye huuza kati ya sh20,000 na sh30,000 huku ile ya serikali ikiuzwa kwa sh50,000. Picha zilizochongwa, za watu mashuhuri huuzwa kati ya sh10,000 na sh15,000 na fimbo za mamlaka ikiuzwa kwa sh25,000. Kama mkulima anapanada viazi, nyanya na mboga ambazo huuza kwa soko Molo, Njoro na Nakuru mjini. “Mke wangu ndiye meneja mkuu wa kilimo biashara. Huhakikisha kuwa shamba imelimwa, mboga zimepandwa na kupata maji ya kutosha huku mimi nikifanya kazi hii ili kumpiga jeki,” akaeleza. Martim pia anafuga mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi na kondoo. Wakati wa kampeni, Martim alisema kazi yake hunoga kwa sababu hupata nafasi ya kukutana na wanasiasa miongoni mwa watu mashuhuri ambao huridhishwa na kazi yake. “Baada ya kampeni, mapato huwa chini na biashara kuwa mbovu,” akasema. Baadhi ya changamoto anazopitia kazini mwake ni kama vile, kupata mbao haswa wakati huu ambapo serikali inatilia mkazo marufuku ya ukataji miti na soko. Kupata atakayekuuzia mbao siku hizi ni vigumu sana. Na ndio maana imebidi bei iwe juu kidogo ili kunisaidia kukidhi gharama. Soko pia lina changamoto zake. Huku mashinani ninajulikana lakini kupata ambaye anahitaji bidhaa hizi ni vigumu. Wengi hulia hali mbaya ya uchumi,” akaeleza. Siku zijazo asema anatazamia kupata vijana ambao watajitolea kupata mafunzo ya kazi anayoifanya ili kuendeleza na kupata riziki yao ya kila siku.
Samuel Kibii alianza kazi hii lini
{ "text": [ "mwaka wa 1965" ] }
3022_swa
Licha ya umri wake, yeye mchoraji mtajika Unapomuona kwa mara ya kwanza, umri wake utakuhadaa kwamba hajishughulishi na mambo mengi ila kupumzika wakati mwingi. Lakini la hasha, Samuel Kibii Martim, mwenye umri wa miaka 68 ana kipaji maalum cha sanaa na ufundi. Alianza kazi hii mwaka wa 1965 na kufikia sasa ameifanya kwa muda wa miaka 55. Martim wa kijiji cha Mauche kaunti ndogo ya Njoro, anatambulika na wakazi wa kijiji chake kwa jina la utani ‘Gachie’ kwa sababu amezingirwa na majirani wa jamii ya Agikuyu. Nyumbani kwake kumejaa michoro na mambo tofauti ya kaunti mbalimbali, serikali kuu, umbo maalumu za mamlaka. Vyombo za vyumba vya habari vikiwemo televisheni na redio pamoja na zile za watu mashauri. Kulingana naye, alianza kazi ya sanaa na ufundi akiwa miaka 13 baada kukatiza masomo yake akiwa darasa la tano. “Nilihisi kuwa na msukumo fulani wakati nilipokuwa shuleni. Mara nyingi nilijipata nikichora sura ya wenzangu na hata walimu darasani. Nilipofika darasa la tano, hamu ya vitabu iliisha na hapo ndipo nilikatiza masomo na kuanza kazi ya sanaa na ufundi nyumbani kwetu Kaunti ya Bomet, akasema.” Aongeza kuwa huongozwa na kipaji alichonacho na kila anapoona mchoro fulani haswa anapotembea, mara moja yeye hufikiria jinsi atakavyouchonga kwa mbao ili kupata picha halisi ya mchoro huo. Kazi hii imemwezesha kuwa makini kwa kila jambo analolifanya ili asivunje uhusiano wake na wateja wake. Aidha licha ya umri wake, Martim hufuatilia kwa karibu masuala yanayojiri kwa mtandao wa kijamii na tovuti mbalimbali. “Nilijisajili katika mtandao wa Facebook miaka mingi iliyopita na hapo ndipo mara nyingi hupata kujua yanayojiri. “Huwa nafuatilia masuala ya kaunti mbalimbali na kupata kujua pembo wanazotumia. Masuala hayo hunipa mwanga jinsi ya kuchonga na rangi ya kutumia ili kuchonga picha sawia na ninavyoona,” akaeleza. Martim anasema kazi yake huhitaji vifaa kama vile mbao, panga, chuma kilichonolewa upande mmoja, nyundo, rangi na gamu itumikayo kwa vifaa vya mbao. Nembo kama vile zile za serikali ya Kenya, humchukua muda wa siku tatu kukamilisha. “Sanaa na fundi huhitaji muda na pia kuwa makini sana. Huwezi kuchanganya kazi hii na nyingine kwa sababu hutapata picha kamili inavyohitajika,” akasema kazi hiyo aliyoianza kwa sh3000, sasa hivi imemwezesha kupata riziki na kujiendeleza kama mkulima hodari. Nembo ya chumba cha habari yeye huuza kati ya sh20,000 na sh30,000 huku ile ya serikali ikiuzwa kwa sh50,000. Picha zilizochongwa, za watu mashuhuri huuzwa kati ya sh10,000 na sh15,000 na fimbo za mamlaka ikiuzwa kwa sh25,000. Kama mkulima anapanada viazi, nyanya na mboga ambazo huuza kwa soko Molo, Njoro na Nakuru mjini. “Mke wangu ndiye meneja mkuu wa kilimo biashara. Huhakikisha kuwa shamba imelimwa, mboga zimepandwa na kupata maji ya kutosha huku mimi nikifanya kazi hii ili kumpiga jeki,” akaeleza. Martim pia anafuga mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi na kondoo. Wakati wa kampeni, Martim alisema kazi yake hunoga kwa sababu hupata nafasi ya kukutana na wanasiasa miongoni mwa watu mashuhuri ambao huridhishwa na kazi yake. “Baada ya kampeni, mapato huwa chini na biashara kuwa mbovu,” akasema. Baadhi ya changamoto anazopitia kazini mwake ni kama vile, kupata mbao haswa wakati huu ambapo serikali inatilia mkazo marufuku ya ukataji miti na soko. Kupata atakayekuuzia mbao siku hizi ni vigumu sana. Na ndio maana imebidi bei iwe juu kidogo ili kunisaidia kukidhi gharama. Soko pia lina changamoto zake. Huku mashinani ninajulikana lakini kupata ambaye anahitaji bidhaa hizi ni vigumu. Wengi hulia hali mbaya ya uchumi,” akaeleza. Siku zijazo asema anatazamia kupata vijana ambao watajitolea kupata mafunzo ya kazi anayoifanya ili kuendeleza na kupata riziki yao ya kila siku.
Samuel huwa makini ili asivunje uhusiano wake na nani
{ "text": [ "wateja wake" ] }
3022_swa
Licha ya umri wake, yeye mchoraji mtajika Unapomuona kwa mara ya kwanza, umri wake utakuhadaa kwamba hajishughulishi na mambo mengi ila kupumzika wakati mwingi. Lakini la hasha, Samuel Kibii Martim, mwenye umri wa miaka 68 ana kipaji maalum cha sanaa na ufundi. Alianza kazi hii mwaka wa 1965 na kufikia sasa ameifanya kwa muda wa miaka 55. Martim wa kijiji cha Mauche kaunti ndogo ya Njoro, anatambulika na wakazi wa kijiji chake kwa jina la utani ‘Gachie’ kwa sababu amezingirwa na majirani wa jamii ya Agikuyu. Nyumbani kwake kumejaa michoro na mambo tofauti ya kaunti mbalimbali, serikali kuu, umbo maalumu za mamlaka. Vyombo za vyumba vya habari vikiwemo televisheni na redio pamoja na zile za watu mashauri. Kulingana naye, alianza kazi ya sanaa na ufundi akiwa miaka 13 baada kukatiza masomo yake akiwa darasa la tano. “Nilihisi kuwa na msukumo fulani wakati nilipokuwa shuleni. Mara nyingi nilijipata nikichora sura ya wenzangu na hata walimu darasani. Nilipofika darasa la tano, hamu ya vitabu iliisha na hapo ndipo nilikatiza masomo na kuanza kazi ya sanaa na ufundi nyumbani kwetu Kaunti ya Bomet, akasema.” Aongeza kuwa huongozwa na kipaji alichonacho na kila anapoona mchoro fulani haswa anapotembea, mara moja yeye hufikiria jinsi atakavyouchonga kwa mbao ili kupata picha halisi ya mchoro huo. Kazi hii imemwezesha kuwa makini kwa kila jambo analolifanya ili asivunje uhusiano wake na wateja wake. Aidha licha ya umri wake, Martim hufuatilia kwa karibu masuala yanayojiri kwa mtandao wa kijamii na tovuti mbalimbali. “Nilijisajili katika mtandao wa Facebook miaka mingi iliyopita na hapo ndipo mara nyingi hupata kujua yanayojiri. “Huwa nafuatilia masuala ya kaunti mbalimbali na kupata kujua pembo wanazotumia. Masuala hayo hunipa mwanga jinsi ya kuchonga na rangi ya kutumia ili kuchonga picha sawia na ninavyoona,” akaeleza. Martim anasema kazi yake huhitaji vifaa kama vile mbao, panga, chuma kilichonolewa upande mmoja, nyundo, rangi na gamu itumikayo kwa vifaa vya mbao. Nembo kama vile zile za serikali ya Kenya, humchukua muda wa siku tatu kukamilisha. “Sanaa na fundi huhitaji muda na pia kuwa makini sana. Huwezi kuchanganya kazi hii na nyingine kwa sababu hutapata picha kamili inavyohitajika,” akasema kazi hiyo aliyoianza kwa sh3000, sasa hivi imemwezesha kupata riziki na kujiendeleza kama mkulima hodari. Nembo ya chumba cha habari yeye huuza kati ya sh20,000 na sh30,000 huku ile ya serikali ikiuzwa kwa sh50,000. Picha zilizochongwa, za watu mashuhuri huuzwa kati ya sh10,000 na sh15,000 na fimbo za mamlaka ikiuzwa kwa sh25,000. Kama mkulima anapanada viazi, nyanya na mboga ambazo huuza kwa soko Molo, Njoro na Nakuru mjini. “Mke wangu ndiye meneja mkuu wa kilimo biashara. Huhakikisha kuwa shamba imelimwa, mboga zimepandwa na kupata maji ya kutosha huku mimi nikifanya kazi hii ili kumpiga jeki,” akaeleza. Martim pia anafuga mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi na kondoo. Wakati wa kampeni, Martim alisema kazi yake hunoga kwa sababu hupata nafasi ya kukutana na wanasiasa miongoni mwa watu mashuhuri ambao huridhishwa na kazi yake. “Baada ya kampeni, mapato huwa chini na biashara kuwa mbovu,” akasema. Baadhi ya changamoto anazopitia kazini mwake ni kama vile, kupata mbao haswa wakati huu ambapo serikali inatilia mkazo marufuku ya ukataji miti na soko. Kupata atakayekuuzia mbao siku hizi ni vigumu sana. Na ndio maana imebidi bei iwe juu kidogo ili kunisaidia kukidhi gharama. Soko pia lina changamoto zake. Huku mashinani ninajulikana lakini kupata ambaye anahitaji bidhaa hizi ni vigumu. Wengi hulia hali mbaya ya uchumi,” akaeleza. Siku zijazo asema anatazamia kupata vijana ambao watajitolea kupata mafunzo ya kazi anayoifanya ili kuendeleza na kupata riziki yao ya kila siku.
Alijisajili lini katika mtandao wa Facebook
{ "text": [ "miaka mingi iliyopita" ] }
3022_swa
Licha ya umri wake, yeye mchoraji mtajika Unapomuona kwa mara ya kwanza, umri wake utakuhadaa kwamba hajishughulishi na mambo mengi ila kupumzika wakati mwingi. Lakini la hasha, Samuel Kibii Martim, mwenye umri wa miaka 68 ana kipaji maalum cha sanaa na ufundi. Alianza kazi hii mwaka wa 1965 na kufikia sasa ameifanya kwa muda wa miaka 55. Martim wa kijiji cha Mauche kaunti ndogo ya Njoro, anatambulika na wakazi wa kijiji chake kwa jina la utani ‘Gachie’ kwa sababu amezingirwa na majirani wa jamii ya Agikuyu. Nyumbani kwake kumejaa michoro na mambo tofauti ya kaunti mbalimbali, serikali kuu, umbo maalumu za mamlaka. Vyombo za vyumba vya habari vikiwemo televisheni na redio pamoja na zile za watu mashauri. Kulingana naye, alianza kazi ya sanaa na ufundi akiwa miaka 13 baada kukatiza masomo yake akiwa darasa la tano. “Nilihisi kuwa na msukumo fulani wakati nilipokuwa shuleni. Mara nyingi nilijipata nikichora sura ya wenzangu na hata walimu darasani. Nilipofika darasa la tano, hamu ya vitabu iliisha na hapo ndipo nilikatiza masomo na kuanza kazi ya sanaa na ufundi nyumbani kwetu Kaunti ya Bomet, akasema.” Aongeza kuwa huongozwa na kipaji alichonacho na kila anapoona mchoro fulani haswa anapotembea, mara moja yeye hufikiria jinsi atakavyouchonga kwa mbao ili kupata picha halisi ya mchoro huo. Kazi hii imemwezesha kuwa makini kwa kila jambo analolifanya ili asivunje uhusiano wake na wateja wake. Aidha licha ya umri wake, Martim hufuatilia kwa karibu masuala yanayojiri kwa mtandao wa kijamii na tovuti mbalimbali. “Nilijisajili katika mtandao wa Facebook miaka mingi iliyopita na hapo ndipo mara nyingi hupata kujua yanayojiri. “Huwa nafuatilia masuala ya kaunti mbalimbali na kupata kujua pembo wanazotumia. Masuala hayo hunipa mwanga jinsi ya kuchonga na rangi ya kutumia ili kuchonga picha sawia na ninavyoona,” akaeleza. Martim anasema kazi yake huhitaji vifaa kama vile mbao, panga, chuma kilichonolewa upande mmoja, nyundo, rangi na gamu itumikayo kwa vifaa vya mbao. Nembo kama vile zile za serikali ya Kenya, humchukua muda wa siku tatu kukamilisha. “Sanaa na fundi huhitaji muda na pia kuwa makini sana. Huwezi kuchanganya kazi hii na nyingine kwa sababu hutapata picha kamili inavyohitajika,” akasema kazi hiyo aliyoianza kwa sh3000, sasa hivi imemwezesha kupata riziki na kujiendeleza kama mkulima hodari. Nembo ya chumba cha habari yeye huuza kati ya sh20,000 na sh30,000 huku ile ya serikali ikiuzwa kwa sh50,000. Picha zilizochongwa, za watu mashuhuri huuzwa kati ya sh10,000 na sh15,000 na fimbo za mamlaka ikiuzwa kwa sh25,000. Kama mkulima anapanada viazi, nyanya na mboga ambazo huuza kwa soko Molo, Njoro na Nakuru mjini. “Mke wangu ndiye meneja mkuu wa kilimo biashara. Huhakikisha kuwa shamba imelimwa, mboga zimepandwa na kupata maji ya kutosha huku mimi nikifanya kazi hii ili kumpiga jeki,” akaeleza. Martim pia anafuga mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi na kondoo. Wakati wa kampeni, Martim alisema kazi yake hunoga kwa sababu hupata nafasi ya kukutana na wanasiasa miongoni mwa watu mashuhuri ambao huridhishwa na kazi yake. “Baada ya kampeni, mapato huwa chini na biashara kuwa mbovu,” akasema. Baadhi ya changamoto anazopitia kazini mwake ni kama vile, kupata mbao haswa wakati huu ambapo serikali inatilia mkazo marufuku ya ukataji miti na soko. Kupata atakayekuuzia mbao siku hizi ni vigumu sana. Na ndio maana imebidi bei iwe juu kidogo ili kunisaidia kukidhi gharama. Soko pia lina changamoto zake. Huku mashinani ninajulikana lakini kupata ambaye anahitaji bidhaa hizi ni vigumu. Wengi hulia hali mbaya ya uchumi,” akaeleza. Siku zijazo asema anatazamia kupata vijana ambao watajitolea kupata mafunzo ya kazi anayoifanya ili kuendeleza na kupata riziki yao ya kila siku.
Mke wake huhakikisha kuwa nini limelimwa
{ "text": [ "shamba" ] }
3022_swa
Licha ya umri wake, yeye mchoraji mtajika Unapomuona kwa mara ya kwanza, umri wake utakuhadaa kwamba hajishughulishi na mambo mengi ila kupumzika wakati mwingi. Lakini la hasha, Samuel Kibii Martim, mwenye umri wa miaka 68 ana kipaji maalum cha sanaa na ufundi. Alianza kazi hii mwaka wa 1965 na kufikia sasa ameifanya kwa muda wa miaka 55. Martim wa kijiji cha Mauche kaunti ndogo ya Njoro, anatambulika na wakazi wa kijiji chake kwa jina la utani ‘Gachie’ kwa sababu amezingirwa na majirani wa jamii ya Agikuyu. Nyumbani kwake kumejaa michoro na mambo tofauti ya kaunti mbalimbali, serikali kuu, umbo maalumu za mamlaka. Vyombo za vyumba vya habari vikiwemo televisheni na redio pamoja na zile za watu mashauri. Kulingana naye, alianza kazi ya sanaa na ufundi akiwa miaka 13 baada kukatiza masomo yake akiwa darasa la tano. “Nilihisi kuwa na msukumo fulani wakati nilipokuwa shuleni. Mara nyingi nilijipata nikichora sura ya wenzangu na hata walimu darasani. Nilipofika darasa la tano, hamu ya vitabu iliisha na hapo ndipo nilikatiza masomo na kuanza kazi ya sanaa na ufundi nyumbani kwetu Kaunti ya Bomet, akasema.” Aongeza kuwa huongozwa na kipaji alichonacho na kila anapoona mchoro fulani haswa anapotembea, mara moja yeye hufikiria jinsi atakavyouchonga kwa mbao ili kupata picha halisi ya mchoro huo. Kazi hii imemwezesha kuwa makini kwa kila jambo analolifanya ili asivunje uhusiano wake na wateja wake. Aidha licha ya umri wake, Martim hufuatilia kwa karibu masuala yanayojiri kwa mtandao wa kijamii na tovuti mbalimbali. “Nilijisajili katika mtandao wa Facebook miaka mingi iliyopita na hapo ndipo mara nyingi hupata kujua yanayojiri. “Huwa nafuatilia masuala ya kaunti mbalimbali na kupata kujua pembo wanazotumia. Masuala hayo hunipa mwanga jinsi ya kuchonga na rangi ya kutumia ili kuchonga picha sawia na ninavyoona,” akaeleza. Martim anasema kazi yake huhitaji vifaa kama vile mbao, panga, chuma kilichonolewa upande mmoja, nyundo, rangi na gamu itumikayo kwa vifaa vya mbao. Nembo kama vile zile za serikali ya Kenya, humchukua muda wa siku tatu kukamilisha. “Sanaa na fundi huhitaji muda na pia kuwa makini sana. Huwezi kuchanganya kazi hii na nyingine kwa sababu hutapata picha kamili inavyohitajika,” akasema kazi hiyo aliyoianza kwa sh3000, sasa hivi imemwezesha kupata riziki na kujiendeleza kama mkulima hodari. Nembo ya chumba cha habari yeye huuza kati ya sh20,000 na sh30,000 huku ile ya serikali ikiuzwa kwa sh50,000. Picha zilizochongwa, za watu mashuhuri huuzwa kati ya sh10,000 na sh15,000 na fimbo za mamlaka ikiuzwa kwa sh25,000. Kama mkulima anapanada viazi, nyanya na mboga ambazo huuza kwa soko Molo, Njoro na Nakuru mjini. “Mke wangu ndiye meneja mkuu wa kilimo biashara. Huhakikisha kuwa shamba imelimwa, mboga zimepandwa na kupata maji ya kutosha huku mimi nikifanya kazi hii ili kumpiga jeki,” akaeleza. Martim pia anafuga mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi na kondoo. Wakati wa kampeni, Martim alisema kazi yake hunoga kwa sababu hupata nafasi ya kukutana na wanasiasa miongoni mwa watu mashuhuri ambao huridhishwa na kazi yake. “Baada ya kampeni, mapato huwa chini na biashara kuwa mbovu,” akasema. Baadhi ya changamoto anazopitia kazini mwake ni kama vile, kupata mbao haswa wakati huu ambapo serikali inatilia mkazo marufuku ya ukataji miti na soko. Kupata atakayekuuzia mbao siku hizi ni vigumu sana. Na ndio maana imebidi bei iwe juu kidogo ili kunisaidia kukidhi gharama. Soko pia lina changamoto zake. Huku mashinani ninajulikana lakini kupata ambaye anahitaji bidhaa hizi ni vigumu. Wengi hulia hali mbaya ya uchumi,” akaeleza. Siku zijazo asema anatazamia kupata vijana ambao watajitolea kupata mafunzo ya kazi anayoifanya ili kuendeleza na kupata riziki yao ya kila siku.
Lini mapato huwa chini na biashara kuwa mbovu
{ "text": [ "baada ya kampeni" ] }
3023_swa
Hili ndilo chimbuko la mzozo wa uongozi Chuo Kikuu cha Nairobi Mzozo wa uongozi unaokumba Chuo Kikuu cha Nairobi (UON) wakati huu unachochewa na udhaifu wa kisheria na vuta nikuvute kuhusu udhibiti wa sifa na mali, mapato na ruzuku ya mabilioni ya fedha ambayo chuo hicho hupokea kila mwaka. Mnamo 2016, ripoti ya aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Matumizi ya Fedha Serikalini Edward Ouko ilionyesha kuwa taasisi hii ilikuwa ikimiliki mali ya thamani ya Sh100.7 bilioni.Wakati huo, chuo hiki kilikuwa kikichuma mapato ya kima cha Sh13.3 bilioni kwa mwaka kando na mgao kutoka serikali kuu. Isitoshe, katika mwaka wa kifedha wa 2017/2018 chuo kikuu cha Nairobi ilipokea Sh2.5 bilioni kama ruzuku za kufadhili miradi ya maendeleo kutoka hazina ya kitaifa. Na ilikusanya jumla ya Sh604 milioni kupitia karo za wanafunzi. Kwa wastani, naibu Chansela wa chuo hiki hisimamia bajeti ya kaunti ya Nairobi ambayo ndio hupokea mgao mkubwa zaidi kutoka Hazina ya Kitaifa kuliko kaunti zingine 46. Tawakimu hizi ndizo zinaifanya UoN kuwa chuo kikuu tajiri zaidi nchini Kenya na katika ukanda wa Afrika Mashariki. Na kwa msingi ya hadhi, chuo hiki, kinacho anzishwa mnamo 1970,kiliorodheshwa na shirika la Webometrics kuwa bora zaidi mwaka jana na kuipiku Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda ambacho ni kongwe zaidi Afrika Mashariki. Na katika ngazi ya bara Afrika chuo hiki kiliorodheshwa nambari tisa. Aidha ni miongoni mwa vyuo vikuu 1,000 bora duniani katika nambari 990 katika orodha iliyojumuisha vyuo vikuu bora Amerika kama vile Havard, Stanford na Massachusetts Institute of Technology(MIT) Hata hivyo, wakati huu UoN inapitia changamoto kubwa ya kifedha huku ikizongwa na mzigo wa madeni ya kima cha Sh5 bilioni na migomo ya kila mara ya wahadhiri na wafanyakazi wengine. Wadadisi wanasema kuwa ni hadhi hii na rasilimali ambayo kimsingi husimamiwa na Afisi ya Naibu Chansela inayopelekea uteuzi wa mshikilizi wa cheo hicho kuvutia ushindani mkubwa. “Na hii ndio maana Serikali Kuu na haswa afisi ya rais hutaka kuwa na usemi kuhusu uteuzi wa Naibu Chansela na nyadhifa zingine za juu katika chuo hiki,” anasema Dkt Okwatch Abagi. Wiki jana Waziri wa Elimu Profesa George Magoha alibatilisha uteuzi wa Profesa Stephen Gitahi Kiama kuwa naibu Chansela mpya akidai shughuli ya uteuzi uteuzi haikuendeshwa kulingana na taratibu zifaazo. Kwa mujibu wa Waziri huyo Baraza Simamizi la Chuo hicho lilifanya uteuzi huo pasi na kufanya mashauriano naye “kwa kina”. Ndiposa akalivunjilia mbali barraza hilo lililoongozwa na Profesa Julia Ojiambo. Lakini baadaye Profesa Magoha alidai kuwa alichukua hatua hiyo kutokana na agizo la Rais Uhuru Kenyatta. Na hapa inadhihirika wazi kuwa wazi kuwa serikali kuu imeyapokonya mabaraza ya vyuo viku vya umma uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo hivyo. Lakini hali hii imechangiwa na sheria ambayo rais Kenyatta alitia saini Januari mwaka jana. Sheria hiyo iliifanyia marekebisho Sheria ya Usimamizi wa Vyuo Vikuu ya 2012 n kuyapokonya mabaraza ya vyuo vikuu uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo vikuu. Badala yake sheria hii mpya inasema mabaraza ya vyuo vikuu vya umma yanapasa kuteua wasimamizi wa taasisi hizo “kwa ushauriano wa waziri wa Elimu na baada ya Tume ya Utumishi kwa Umma (PSC) kuendesha mchakato wa uteuzi.” Japo , Profesa Kiama aliibuka kuwa bora zaidi kulingana na matokeo yaliyotolewa na PSC, Waziri Magoha anashikilia kuwa hakuridhishwa na ushauri aliopata kutoka kwa baraza la Profesa Ojiambo. Japo suala hilo liko mahakamani, wahisika wote wanapaswa kusuluhisha mzozo huu kwa haraka ili kuokoa hadhi ya chuo hiki.
Mkaguzi mkuu wa matumizi ya fedha serikalini alikua nani
{ "text": [ "Edward Ouko" ] }
3023_swa
Hili ndilo chimbuko la mzozo wa uongozi Chuo Kikuu cha Nairobi Mzozo wa uongozi unaokumba Chuo Kikuu cha Nairobi (UON) wakati huu unachochewa na udhaifu wa kisheria na vuta nikuvute kuhusu udhibiti wa sifa na mali, mapato na ruzuku ya mabilioni ya fedha ambayo chuo hicho hupokea kila mwaka. Mnamo 2016, ripoti ya aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Matumizi ya Fedha Serikalini Edward Ouko ilionyesha kuwa taasisi hii ilikuwa ikimiliki mali ya thamani ya Sh100.7 bilioni.Wakati huo, chuo hiki kilikuwa kikichuma mapato ya kima cha Sh13.3 bilioni kwa mwaka kando na mgao kutoka serikali kuu. Isitoshe, katika mwaka wa kifedha wa 2017/2018 chuo kikuu cha Nairobi ilipokea Sh2.5 bilioni kama ruzuku za kufadhili miradi ya maendeleo kutoka hazina ya kitaifa. Na ilikusanya jumla ya Sh604 milioni kupitia karo za wanafunzi. Kwa wastani, naibu Chansela wa chuo hiki hisimamia bajeti ya kaunti ya Nairobi ambayo ndio hupokea mgao mkubwa zaidi kutoka Hazina ya Kitaifa kuliko kaunti zingine 46. Tawakimu hizi ndizo zinaifanya UoN kuwa chuo kikuu tajiri zaidi nchini Kenya na katika ukanda wa Afrika Mashariki. Na kwa msingi ya hadhi, chuo hiki, kinacho anzishwa mnamo 1970,kiliorodheshwa na shirika la Webometrics kuwa bora zaidi mwaka jana na kuipiku Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda ambacho ni kongwe zaidi Afrika Mashariki. Na katika ngazi ya bara Afrika chuo hiki kiliorodheshwa nambari tisa. Aidha ni miongoni mwa vyuo vikuu 1,000 bora duniani katika nambari 990 katika orodha iliyojumuisha vyuo vikuu bora Amerika kama vile Havard, Stanford na Massachusetts Institute of Technology(MIT) Hata hivyo, wakati huu UoN inapitia changamoto kubwa ya kifedha huku ikizongwa na mzigo wa madeni ya kima cha Sh5 bilioni na migomo ya kila mara ya wahadhiri na wafanyakazi wengine. Wadadisi wanasema kuwa ni hadhi hii na rasilimali ambayo kimsingi husimamiwa na Afisi ya Naibu Chansela inayopelekea uteuzi wa mshikilizi wa cheo hicho kuvutia ushindani mkubwa. “Na hii ndio maana Serikali Kuu na haswa afisi ya rais hutaka kuwa na usemi kuhusu uteuzi wa Naibu Chansela na nyadhifa zingine za juu katika chuo hiki,” anasema Dkt Okwatch Abagi. Wiki jana Waziri wa Elimu Profesa George Magoha alibatilisha uteuzi wa Profesa Stephen Gitahi Kiama kuwa naibu Chansela mpya akidai shughuli ya uteuzi uteuzi haikuendeshwa kulingana na taratibu zifaazo. Kwa mujibu wa Waziri huyo Baraza Simamizi la Chuo hicho lilifanya uteuzi huo pasi na kufanya mashauriano naye “kwa kina”. Ndiposa akalivunjilia mbali barraza hilo lililoongozwa na Profesa Julia Ojiambo. Lakini baadaye Profesa Magoha alidai kuwa alichukua hatua hiyo kutokana na agizo la Rais Uhuru Kenyatta. Na hapa inadhihirika wazi kuwa wazi kuwa serikali kuu imeyapokonya mabaraza ya vyuo viku vya umma uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo hivyo. Lakini hali hii imechangiwa na sheria ambayo rais Kenyatta alitia saini Januari mwaka jana. Sheria hiyo iliifanyia marekebisho Sheria ya Usimamizi wa Vyuo Vikuu ya 2012 n kuyapokonya mabaraza ya vyuo vikuu uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo vikuu. Badala yake sheria hii mpya inasema mabaraza ya vyuo vikuu vya umma yanapasa kuteua wasimamizi wa taasisi hizo “kwa ushauriano wa waziri wa Elimu na baada ya Tume ya Utumishi kwa Umma (PSC) kuendesha mchakato wa uteuzi.” Japo , Profesa Kiama aliibuka kuwa bora zaidi kulingana na matokeo yaliyotolewa na PSC, Waziri Magoha anashikilia kuwa hakuridhishwa na ushauri aliopata kutoka kwa baraza la Profesa Ojiambo. Japo suala hilo liko mahakamani, wahisika wote wanapaswa kusuluhisha mzozo huu kwa haraka ili kuokoa hadhi ya chuo hiki.
Wakati huo chuo hicho kilikua kikichuma nini
{ "text": [ "mapato ya kima" ] }
3023_swa
Hili ndilo chimbuko la mzozo wa uongozi Chuo Kikuu cha Nairobi Mzozo wa uongozi unaokumba Chuo Kikuu cha Nairobi (UON) wakati huu unachochewa na udhaifu wa kisheria na vuta nikuvute kuhusu udhibiti wa sifa na mali, mapato na ruzuku ya mabilioni ya fedha ambayo chuo hicho hupokea kila mwaka. Mnamo 2016, ripoti ya aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Matumizi ya Fedha Serikalini Edward Ouko ilionyesha kuwa taasisi hii ilikuwa ikimiliki mali ya thamani ya Sh100.7 bilioni.Wakati huo, chuo hiki kilikuwa kikichuma mapato ya kima cha Sh13.3 bilioni kwa mwaka kando na mgao kutoka serikali kuu. Isitoshe, katika mwaka wa kifedha wa 2017/2018 chuo kikuu cha Nairobi ilipokea Sh2.5 bilioni kama ruzuku za kufadhili miradi ya maendeleo kutoka hazina ya kitaifa. Na ilikusanya jumla ya Sh604 milioni kupitia karo za wanafunzi. Kwa wastani, naibu Chansela wa chuo hiki hisimamia bajeti ya kaunti ya Nairobi ambayo ndio hupokea mgao mkubwa zaidi kutoka Hazina ya Kitaifa kuliko kaunti zingine 46. Tawakimu hizi ndizo zinaifanya UoN kuwa chuo kikuu tajiri zaidi nchini Kenya na katika ukanda wa Afrika Mashariki. Na kwa msingi ya hadhi, chuo hiki, kinacho anzishwa mnamo 1970,kiliorodheshwa na shirika la Webometrics kuwa bora zaidi mwaka jana na kuipiku Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda ambacho ni kongwe zaidi Afrika Mashariki. Na katika ngazi ya bara Afrika chuo hiki kiliorodheshwa nambari tisa. Aidha ni miongoni mwa vyuo vikuu 1,000 bora duniani katika nambari 990 katika orodha iliyojumuisha vyuo vikuu bora Amerika kama vile Havard, Stanford na Massachusetts Institute of Technology(MIT) Hata hivyo, wakati huu UoN inapitia changamoto kubwa ya kifedha huku ikizongwa na mzigo wa madeni ya kima cha Sh5 bilioni na migomo ya kila mara ya wahadhiri na wafanyakazi wengine. Wadadisi wanasema kuwa ni hadhi hii na rasilimali ambayo kimsingi husimamiwa na Afisi ya Naibu Chansela inayopelekea uteuzi wa mshikilizi wa cheo hicho kuvutia ushindani mkubwa. “Na hii ndio maana Serikali Kuu na haswa afisi ya rais hutaka kuwa na usemi kuhusu uteuzi wa Naibu Chansela na nyadhifa zingine za juu katika chuo hiki,” anasema Dkt Okwatch Abagi. Wiki jana Waziri wa Elimu Profesa George Magoha alibatilisha uteuzi wa Profesa Stephen Gitahi Kiama kuwa naibu Chansela mpya akidai shughuli ya uteuzi uteuzi haikuendeshwa kulingana na taratibu zifaazo. Kwa mujibu wa Waziri huyo Baraza Simamizi la Chuo hicho lilifanya uteuzi huo pasi na kufanya mashauriano naye “kwa kina”. Ndiposa akalivunjilia mbali barraza hilo lililoongozwa na Profesa Julia Ojiambo. Lakini baadaye Profesa Magoha alidai kuwa alichukua hatua hiyo kutokana na agizo la Rais Uhuru Kenyatta. Na hapa inadhihirika wazi kuwa wazi kuwa serikali kuu imeyapokonya mabaraza ya vyuo viku vya umma uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo hivyo. Lakini hali hii imechangiwa na sheria ambayo rais Kenyatta alitia saini Januari mwaka jana. Sheria hiyo iliifanyia marekebisho Sheria ya Usimamizi wa Vyuo Vikuu ya 2012 n kuyapokonya mabaraza ya vyuo vikuu uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo vikuu. Badala yake sheria hii mpya inasema mabaraza ya vyuo vikuu vya umma yanapasa kuteua wasimamizi wa taasisi hizo “kwa ushauriano wa waziri wa Elimu na baada ya Tume ya Utumishi kwa Umma (PSC) kuendesha mchakato wa uteuzi.” Japo , Profesa Kiama aliibuka kuwa bora zaidi kulingana na matokeo yaliyotolewa na PSC, Waziri Magoha anashikilia kuwa hakuridhishwa na ushauri aliopata kutoka kwa baraza la Profesa Ojiambo. Japo suala hilo liko mahakamani, wahisika wote wanapaswa kusuluhisha mzozo huu kwa haraka ili kuokoa hadhi ya chuo hiki.
Nani husimamia bajeti ya kima cha sh20 bilioni kila mwaka
{ "text": [ "Naibu Chansela" ] }
3023_swa
Hili ndilo chimbuko la mzozo wa uongozi Chuo Kikuu cha Nairobi Mzozo wa uongozi unaokumba Chuo Kikuu cha Nairobi (UON) wakati huu unachochewa na udhaifu wa kisheria na vuta nikuvute kuhusu udhibiti wa sifa na mali, mapato na ruzuku ya mabilioni ya fedha ambayo chuo hicho hupokea kila mwaka. Mnamo 2016, ripoti ya aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Matumizi ya Fedha Serikalini Edward Ouko ilionyesha kuwa taasisi hii ilikuwa ikimiliki mali ya thamani ya Sh100.7 bilioni.Wakati huo, chuo hiki kilikuwa kikichuma mapato ya kima cha Sh13.3 bilioni kwa mwaka kando na mgao kutoka serikali kuu. Isitoshe, katika mwaka wa kifedha wa 2017/2018 chuo kikuu cha Nairobi ilipokea Sh2.5 bilioni kama ruzuku za kufadhili miradi ya maendeleo kutoka hazina ya kitaifa. Na ilikusanya jumla ya Sh604 milioni kupitia karo za wanafunzi. Kwa wastani, naibu Chansela wa chuo hiki hisimamia bajeti ya kaunti ya Nairobi ambayo ndio hupokea mgao mkubwa zaidi kutoka Hazina ya Kitaifa kuliko kaunti zingine 46. Tawakimu hizi ndizo zinaifanya UoN kuwa chuo kikuu tajiri zaidi nchini Kenya na katika ukanda wa Afrika Mashariki. Na kwa msingi ya hadhi, chuo hiki, kinacho anzishwa mnamo 1970,kiliorodheshwa na shirika la Webometrics kuwa bora zaidi mwaka jana na kuipiku Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda ambacho ni kongwe zaidi Afrika Mashariki. Na katika ngazi ya bara Afrika chuo hiki kiliorodheshwa nambari tisa. Aidha ni miongoni mwa vyuo vikuu 1,000 bora duniani katika nambari 990 katika orodha iliyojumuisha vyuo vikuu bora Amerika kama vile Havard, Stanford na Massachusetts Institute of Technology(MIT) Hata hivyo, wakati huu UoN inapitia changamoto kubwa ya kifedha huku ikizongwa na mzigo wa madeni ya kima cha Sh5 bilioni na migomo ya kila mara ya wahadhiri na wafanyakazi wengine. Wadadisi wanasema kuwa ni hadhi hii na rasilimali ambayo kimsingi husimamiwa na Afisi ya Naibu Chansela inayopelekea uteuzi wa mshikilizi wa cheo hicho kuvutia ushindani mkubwa. “Na hii ndio maana Serikali Kuu na haswa afisi ya rais hutaka kuwa na usemi kuhusu uteuzi wa Naibu Chansela na nyadhifa zingine za juu katika chuo hiki,” anasema Dkt Okwatch Abagi. Wiki jana Waziri wa Elimu Profesa George Magoha alibatilisha uteuzi wa Profesa Stephen Gitahi Kiama kuwa naibu Chansela mpya akidai shughuli ya uteuzi uteuzi haikuendeshwa kulingana na taratibu zifaazo. Kwa mujibu wa Waziri huyo Baraza Simamizi la Chuo hicho lilifanya uteuzi huo pasi na kufanya mashauriano naye “kwa kina”. Ndiposa akalivunjilia mbali barraza hilo lililoongozwa na Profesa Julia Ojiambo. Lakini baadaye Profesa Magoha alidai kuwa alichukua hatua hiyo kutokana na agizo la Rais Uhuru Kenyatta. Na hapa inadhihirika wazi kuwa wazi kuwa serikali kuu imeyapokonya mabaraza ya vyuo viku vya umma uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo hivyo. Lakini hali hii imechangiwa na sheria ambayo rais Kenyatta alitia saini Januari mwaka jana. Sheria hiyo iliifanyia marekebisho Sheria ya Usimamizi wa Vyuo Vikuu ya 2012 n kuyapokonya mabaraza ya vyuo vikuu uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo vikuu. Badala yake sheria hii mpya inasema mabaraza ya vyuo vikuu vya umma yanapasa kuteua wasimamizi wa taasisi hizo “kwa ushauriano wa waziri wa Elimu na baada ya Tume ya Utumishi kwa Umma (PSC) kuendesha mchakato wa uteuzi.” Japo , Profesa Kiama aliibuka kuwa bora zaidi kulingana na matokeo yaliyotolewa na PSC, Waziri Magoha anashikilia kuwa hakuridhishwa na ushauri aliopata kutoka kwa baraza la Profesa Ojiambo. Japo suala hilo liko mahakamani, wahisika wote wanapaswa kusuluhisha mzozo huu kwa haraka ili kuokoa hadhi ya chuo hiki.
Ni chuo gani tajiri zaidi nchini Kenya
{ "text": [ "UoN" ] }
3023_swa
Hili ndilo chimbuko la mzozo wa uongozi Chuo Kikuu cha Nairobi Mzozo wa uongozi unaokumba Chuo Kikuu cha Nairobi (UON) wakati huu unachochewa na udhaifu wa kisheria na vuta nikuvute kuhusu udhibiti wa sifa na mali, mapato na ruzuku ya mabilioni ya fedha ambayo chuo hicho hupokea kila mwaka. Mnamo 2016, ripoti ya aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Matumizi ya Fedha Serikalini Edward Ouko ilionyesha kuwa taasisi hii ilikuwa ikimiliki mali ya thamani ya Sh100.7 bilioni.Wakati huo, chuo hiki kilikuwa kikichuma mapato ya kima cha Sh13.3 bilioni kwa mwaka kando na mgao kutoka serikali kuu. Isitoshe, katika mwaka wa kifedha wa 2017/2018 chuo kikuu cha Nairobi ilipokea Sh2.5 bilioni kama ruzuku za kufadhili miradi ya maendeleo kutoka hazina ya kitaifa. Na ilikusanya jumla ya Sh604 milioni kupitia karo za wanafunzi. Kwa wastani, naibu Chansela wa chuo hiki hisimamia bajeti ya kaunti ya Nairobi ambayo ndio hupokea mgao mkubwa zaidi kutoka Hazina ya Kitaifa kuliko kaunti zingine 46. Tawakimu hizi ndizo zinaifanya UoN kuwa chuo kikuu tajiri zaidi nchini Kenya na katika ukanda wa Afrika Mashariki. Na kwa msingi ya hadhi, chuo hiki, kinacho anzishwa mnamo 1970,kiliorodheshwa na shirika la Webometrics kuwa bora zaidi mwaka jana na kuipiku Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda ambacho ni kongwe zaidi Afrika Mashariki. Na katika ngazi ya bara Afrika chuo hiki kiliorodheshwa nambari tisa. Aidha ni miongoni mwa vyuo vikuu 1,000 bora duniani katika nambari 990 katika orodha iliyojumuisha vyuo vikuu bora Amerika kama vile Havard, Stanford na Massachusetts Institute of Technology(MIT) Hata hivyo, wakati huu UoN inapitia changamoto kubwa ya kifedha huku ikizongwa na mzigo wa madeni ya kima cha Sh5 bilioni na migomo ya kila mara ya wahadhiri na wafanyakazi wengine. Wadadisi wanasema kuwa ni hadhi hii na rasilimali ambayo kimsingi husimamiwa na Afisi ya Naibu Chansela inayopelekea uteuzi wa mshikilizi wa cheo hicho kuvutia ushindani mkubwa. “Na hii ndio maana Serikali Kuu na haswa afisi ya rais hutaka kuwa na usemi kuhusu uteuzi wa Naibu Chansela na nyadhifa zingine za juu katika chuo hiki,” anasema Dkt Okwatch Abagi. Wiki jana Waziri wa Elimu Profesa George Magoha alibatilisha uteuzi wa Profesa Stephen Gitahi Kiama kuwa naibu Chansela mpya akidai shughuli ya uteuzi uteuzi haikuendeshwa kulingana na taratibu zifaazo. Kwa mujibu wa Waziri huyo Baraza Simamizi la Chuo hicho lilifanya uteuzi huo pasi na kufanya mashauriano naye “kwa kina”. Ndiposa akalivunjilia mbali barraza hilo lililoongozwa na Profesa Julia Ojiambo. Lakini baadaye Profesa Magoha alidai kuwa alichukua hatua hiyo kutokana na agizo la Rais Uhuru Kenyatta. Na hapa inadhihirika wazi kuwa wazi kuwa serikali kuu imeyapokonya mabaraza ya vyuo viku vya umma uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo hivyo. Lakini hali hii imechangiwa na sheria ambayo rais Kenyatta alitia saini Januari mwaka jana. Sheria hiyo iliifanyia marekebisho Sheria ya Usimamizi wa Vyuo Vikuu ya 2012 n kuyapokonya mabaraza ya vyuo vikuu uhuru wa kuteua wasimamizi wa vyuo vikuu. Badala yake sheria hii mpya inasema mabaraza ya vyuo vikuu vya umma yanapasa kuteua wasimamizi wa taasisi hizo “kwa ushauriano wa waziri wa Elimu na baada ya Tume ya Utumishi kwa Umma (PSC) kuendesha mchakato wa uteuzi.” Japo , Profesa Kiama aliibuka kuwa bora zaidi kulingana na matokeo yaliyotolewa na PSC, Waziri Magoha anashikilia kuwa hakuridhishwa na ushauri aliopata kutoka kwa baraza la Profesa Ojiambo. Japo suala hilo liko mahakamani, wahisika wote wanapaswa kusuluhisha mzozo huu kwa haraka ili kuokoa hadhi ya chuo hiki.
Baraza hilo lililovunjwa liliongozwa na nani
{ "text": [ "Profesa Julia Ojiambo" ] }
3024_swa
Ngoma za mwaribe na lelemama zipambavyo mandhari ya uswahilini Mwaribe haswa ni ngoma ya Kiswahili lakini huchezwa na makabila kadhaa. Kawaida huchezwa na wanaume na wanawake. Waume wakiwa upande mmoja na wake wakiwa upande mwingine wakiwa wameangaliana uso kwa uso.Ngoma zinaotumika ni za kwaida lakini hutumika na msondo (msondo ni ngoma ndefu) mwenye kupiga huwa amesimama na ngoma ameitia katikati ya miguu ikizuiliwa na magoti mawili. Pia hutumika na zumari.Ngoma ikianza kuchezwa na watu hucheza na kuimba mwanamke huja katikati akicheza kwa muda kisha akaenda upande wa wanaume akamtoa mwanamume kucheza naye, watacheza pamoja kwa muda pale katikati. Kisha yule mume atamtoa mwanamke mwingine naye watacheza pamoja kwa muda pale kati kisha yule mke atamtoa mwanamume mwingine na wataendelea kucheza na yule mwanamke wa kwanza atatoka katikati ya uwanja. Mwanamke wa pili atacheza kwa muda wa baadaye kumtoa mwanamume mwengine msitari wa waume na ngoma kuendelea. Ngoma itaendelea hivi hadi kuvunjika. Lelemama nayo ni ngoma ya kina mama inayochezwa juu ya mabao na kwa kutumia mbiu. Hii pia ni ngoma ambayo huchezwa na Wabajuni, Waswahili na wazaliwa wa Kiarabu. Ngoma hii sana huchezwa siku za harusi. Pia hii inategemea uwezo wa mtu anayecheza au anayeandaa harusi, yaani kucheza kwa siku moja au tatu au zaidi lakini hazipitishi saba. Ngoma yenyewe huchezwa na wanawake wanaovaa kanga pekee. Kanga ndio nguo rasmi ya kucheza lelemama, kawaida lelemama huchezwa ndani ya ua yaani boma lijengwe kwa makuti wanaohudhuria ni wanawake pengine isipokuwa wale wapigaji ngoma huwa waume. Lelemama huchezwa na wanawake wakiwa juu ya mabao wakiwa wamevalia leso zao (kanga) zilizo safi na mara nyingi huvaa sare, wachezaji huwa wamejipamba kwa vilua, mashada ya asmini yaliofungwa vichwani. Kila mchezaji huwa ana vigongo viwili ambavyo urefu ni kama inchi 6. Lemamama huchezwa kwa makini na kuyumba yumba kulia na kushoto kwa kufuata mlio wa ngoma, lelemama pia huchezwa kwa makini na utulivu wa hali ya juu. Wanawake wengine huwa wamekaa chini kwenye majamvi wakipiga makofi na kuimba wakifuata sauti ya zumari au tarumbeta.
Mwaribe huchezwa na jinsia zipi
{ "text": [ "Kike na kiume" ] }
3024_swa
Ngoma za mwaribe na lelemama zipambavyo mandhari ya uswahilini Mwaribe haswa ni ngoma ya Kiswahili lakini huchezwa na makabila kadhaa. Kawaida huchezwa na wanaume na wanawake. Waume wakiwa upande mmoja na wake wakiwa upande mwingine wakiwa wameangaliana uso kwa uso.Ngoma zinaotumika ni za kwaida lakini hutumika na msondo (msondo ni ngoma ndefu) mwenye kupiga huwa amesimama na ngoma ameitia katikati ya miguu ikizuiliwa na magoti mawili. Pia hutumika na zumari.Ngoma ikianza kuchezwa na watu hucheza na kuimba mwanamke huja katikati akicheza kwa muda kisha akaenda upande wa wanaume akamtoa mwanamume kucheza naye, watacheza pamoja kwa muda pale katikati. Kisha yule mume atamtoa mwanamke mwingine naye watacheza pamoja kwa muda pale kati kisha yule mke atamtoa mwanamume mwingine na wataendelea kucheza na yule mwanamke wa kwanza atatoka katikati ya uwanja. Mwanamke wa pili atacheza kwa muda wa baadaye kumtoa mwanamume mwengine msitari wa waume na ngoma kuendelea. Ngoma itaendelea hivi hadi kuvunjika. Lelemama nayo ni ngoma ya kina mama inayochezwa juu ya mabao na kwa kutumia mbiu. Hii pia ni ngoma ambayo huchezwa na Wabajuni, Waswahili na wazaliwa wa Kiarabu. Ngoma hii sana huchezwa siku za harusi. Pia hii inategemea uwezo wa mtu anayecheza au anayeandaa harusi, yaani kucheza kwa siku moja au tatu au zaidi lakini hazipitishi saba. Ngoma yenyewe huchezwa na wanawake wanaovaa kanga pekee. Kanga ndio nguo rasmi ya kucheza lelemama, kawaida lelemama huchezwa ndani ya ua yaani boma lijengwe kwa makuti wanaohudhuria ni wanawake pengine isipokuwa wale wapigaji ngoma huwa waume. Lelemama huchezwa na wanawake wakiwa juu ya mabao wakiwa wamevalia leso zao (kanga) zilizo safi na mara nyingi huvaa sare, wachezaji huwa wamejipamba kwa vilua, mashada ya asmini yaliofungwa vichwani. Kila mchezaji huwa ana vigongo viwili ambavyo urefu ni kama inchi 6. Lemamama huchezwa kwa makini na kuyumba yumba kulia na kushoto kwa kufuata mlio wa ngoma, lelemama pia huchezwa kwa makini na utulivu wa hali ya juu. Wanawake wengine huwa wamekaa chini kwenye majamvi wakipiga makofi na kuimba wakifuata sauti ya zumari au tarumbeta.
Ngoma ya msondo hutumika pamoja na ala ipi
{ "text": [ "Zumari" ] }
3024_swa
Ngoma za mwaribe na lelemama zipambavyo mandhari ya uswahilini Mwaribe haswa ni ngoma ya Kiswahili lakini huchezwa na makabila kadhaa. Kawaida huchezwa na wanaume na wanawake. Waume wakiwa upande mmoja na wake wakiwa upande mwingine wakiwa wameangaliana uso kwa uso.Ngoma zinaotumika ni za kwaida lakini hutumika na msondo (msondo ni ngoma ndefu) mwenye kupiga huwa amesimama na ngoma ameitia katikati ya miguu ikizuiliwa na magoti mawili. Pia hutumika na zumari.Ngoma ikianza kuchezwa na watu hucheza na kuimba mwanamke huja katikati akicheza kwa muda kisha akaenda upande wa wanaume akamtoa mwanamume kucheza naye, watacheza pamoja kwa muda pale katikati. Kisha yule mume atamtoa mwanamke mwingine naye watacheza pamoja kwa muda pale kati kisha yule mke atamtoa mwanamume mwingine na wataendelea kucheza na yule mwanamke wa kwanza atatoka katikati ya uwanja. Mwanamke wa pili atacheza kwa muda wa baadaye kumtoa mwanamume mwengine msitari wa waume na ngoma kuendelea. Ngoma itaendelea hivi hadi kuvunjika. Lelemama nayo ni ngoma ya kina mama inayochezwa juu ya mabao na kwa kutumia mbiu. Hii pia ni ngoma ambayo huchezwa na Wabajuni, Waswahili na wazaliwa wa Kiarabu. Ngoma hii sana huchezwa siku za harusi. Pia hii inategemea uwezo wa mtu anayecheza au anayeandaa harusi, yaani kucheza kwa siku moja au tatu au zaidi lakini hazipitishi saba. Ngoma yenyewe huchezwa na wanawake wanaovaa kanga pekee. Kanga ndio nguo rasmi ya kucheza lelemama, kawaida lelemama huchezwa ndani ya ua yaani boma lijengwe kwa makuti wanaohudhuria ni wanawake pengine isipokuwa wale wapigaji ngoma huwa waume. Lelemama huchezwa na wanawake wakiwa juu ya mabao wakiwa wamevalia leso zao (kanga) zilizo safi na mara nyingi huvaa sare, wachezaji huwa wamejipamba kwa vilua, mashada ya asmini yaliofungwa vichwani. Kila mchezaji huwa ana vigongo viwili ambavyo urefu ni kama inchi 6. Lemamama huchezwa kwa makini na kuyumba yumba kulia na kushoto kwa kufuata mlio wa ngoma, lelemama pia huchezwa kwa makini na utulivu wa hali ya juu. Wanawake wengine huwa wamekaa chini kwenye majamvi wakipiga makofi na kuimba wakifuata sauti ya zumari au tarumbeta.
Lelemama ni ngoma ya kina nani
{ "text": [ "Mama" ] }
3024_swa
Ngoma za mwaribe na lelemama zipambavyo mandhari ya uswahilini Mwaribe haswa ni ngoma ya Kiswahili lakini huchezwa na makabila kadhaa. Kawaida huchezwa na wanaume na wanawake. Waume wakiwa upande mmoja na wake wakiwa upande mwingine wakiwa wameangaliana uso kwa uso.Ngoma zinaotumika ni za kwaida lakini hutumika na msondo (msondo ni ngoma ndefu) mwenye kupiga huwa amesimama na ngoma ameitia katikati ya miguu ikizuiliwa na magoti mawili. Pia hutumika na zumari.Ngoma ikianza kuchezwa na watu hucheza na kuimba mwanamke huja katikati akicheza kwa muda kisha akaenda upande wa wanaume akamtoa mwanamume kucheza naye, watacheza pamoja kwa muda pale katikati. Kisha yule mume atamtoa mwanamke mwingine naye watacheza pamoja kwa muda pale kati kisha yule mke atamtoa mwanamume mwingine na wataendelea kucheza na yule mwanamke wa kwanza atatoka katikati ya uwanja. Mwanamke wa pili atacheza kwa muda wa baadaye kumtoa mwanamume mwengine msitari wa waume na ngoma kuendelea. Ngoma itaendelea hivi hadi kuvunjika. Lelemama nayo ni ngoma ya kina mama inayochezwa juu ya mabao na kwa kutumia mbiu. Hii pia ni ngoma ambayo huchezwa na Wabajuni, Waswahili na wazaliwa wa Kiarabu. Ngoma hii sana huchezwa siku za harusi. Pia hii inategemea uwezo wa mtu anayecheza au anayeandaa harusi, yaani kucheza kwa siku moja au tatu au zaidi lakini hazipitishi saba. Ngoma yenyewe huchezwa na wanawake wanaovaa kanga pekee. Kanga ndio nguo rasmi ya kucheza lelemama, kawaida lelemama huchezwa ndani ya ua yaani boma lijengwe kwa makuti wanaohudhuria ni wanawake pengine isipokuwa wale wapigaji ngoma huwa waume. Lelemama huchezwa na wanawake wakiwa juu ya mabao wakiwa wamevalia leso zao (kanga) zilizo safi na mara nyingi huvaa sare, wachezaji huwa wamejipamba kwa vilua, mashada ya asmini yaliofungwa vichwani. Kila mchezaji huwa ana vigongo viwili ambavyo urefu ni kama inchi 6. Lemamama huchezwa kwa makini na kuyumba yumba kulia na kushoto kwa kufuata mlio wa ngoma, lelemama pia huchezwa kwa makini na utulivu wa hali ya juu. Wanawake wengine huwa wamekaa chini kwenye majamvi wakipiga makofi na kuimba wakifuata sauti ya zumari au tarumbeta.
Wabajuni na waswahili hucheza ngoma ipi
{ "text": [ "Lelemama" ] }
3024_swa
Ngoma za mwaribe na lelemama zipambavyo mandhari ya uswahilini Mwaribe haswa ni ngoma ya Kiswahili lakini huchezwa na makabila kadhaa. Kawaida huchezwa na wanaume na wanawake. Waume wakiwa upande mmoja na wake wakiwa upande mwingine wakiwa wameangaliana uso kwa uso.Ngoma zinaotumika ni za kwaida lakini hutumika na msondo (msondo ni ngoma ndefu) mwenye kupiga huwa amesimama na ngoma ameitia katikati ya miguu ikizuiliwa na magoti mawili. Pia hutumika na zumari.Ngoma ikianza kuchezwa na watu hucheza na kuimba mwanamke huja katikati akicheza kwa muda kisha akaenda upande wa wanaume akamtoa mwanamume kucheza naye, watacheza pamoja kwa muda pale katikati. Kisha yule mume atamtoa mwanamke mwingine naye watacheza pamoja kwa muda pale kati kisha yule mke atamtoa mwanamume mwingine na wataendelea kucheza na yule mwanamke wa kwanza atatoka katikati ya uwanja. Mwanamke wa pili atacheza kwa muda wa baadaye kumtoa mwanamume mwengine msitari wa waume na ngoma kuendelea. Ngoma itaendelea hivi hadi kuvunjika. Lelemama nayo ni ngoma ya kina mama inayochezwa juu ya mabao na kwa kutumia mbiu. Hii pia ni ngoma ambayo huchezwa na Wabajuni, Waswahili na wazaliwa wa Kiarabu. Ngoma hii sana huchezwa siku za harusi. Pia hii inategemea uwezo wa mtu anayecheza au anayeandaa harusi, yaani kucheza kwa siku moja au tatu au zaidi lakini hazipitishi saba. Ngoma yenyewe huchezwa na wanawake wanaovaa kanga pekee. Kanga ndio nguo rasmi ya kucheza lelemama, kawaida lelemama huchezwa ndani ya ua yaani boma lijengwe kwa makuti wanaohudhuria ni wanawake pengine isipokuwa wale wapigaji ngoma huwa waume. Lelemama huchezwa na wanawake wakiwa juu ya mabao wakiwa wamevalia leso zao (kanga) zilizo safi na mara nyingi huvaa sare, wachezaji huwa wamejipamba kwa vilua, mashada ya asmini yaliofungwa vichwani. Kila mchezaji huwa ana vigongo viwili ambavyo urefu ni kama inchi 6. Lemamama huchezwa kwa makini na kuyumba yumba kulia na kushoto kwa kufuata mlio wa ngoma, lelemama pia huchezwa kwa makini na utulivu wa hali ya juu. Wanawake wengine huwa wamekaa chini kwenye majamvi wakipiga makofi na kuimba wakifuata sauti ya zumari au tarumbeta.
Nguo rasmi ya kucheza lelemama ni ipi
{ "text": [ "Kanga" ] }
3025_swa
Sauti ya Mkereketwa. Visa tele vya uhitaji wa karo kwa wale wanaoingia kidato cha kwanza vinatisha. Katika muda wa wiki hizi mbili usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza unaendelea katika shule mbalimbali za upili nchini. Katika usajili huu, vyombo vya habari vinaendelea kuangazia visa mbalimbali vya wanafunzi wenye uhitaji kwelikweli ambao yaelekea wakikosa kusaidiwa, huenda wakaishia kutojiunga na shule za upili kabisa. Inasikitisha kwamba katika huu uhitaji, kumekuwa na wazazi ambao kabisa hawakuweza hata kugharamia sare za watoto. Ninawashukuru Wakenya ambao kama kawaida wamejitokeza kutoka sehemu mbalimbali kuwaisaidia watoto hawa. Kusema la kweli, hali hii inaibua maswali mengi sana. Hivi je, ni hali ya umaskini ambayo imeongezeka sana nchini? Wazazi wa watoto hawa ambao wamekuwa nao miaka hiyo yote wakashuhudia watoto wao wakielekea kufanikiwa katika mitihani, walikuwa wanajipanga kivyovyote kwa ajili ya elimu ya watoto wao? Kisha je, sasa hivi kuna mashirika mengi ya kudhamini elimu ya watoto kutoka kwa familia zisizojiweza, inawezekanaje kwamba watoto hawa wote walio na uhitaji wa wazi, visa vyao havikuweza kuchukuliwa kwa uzito na mashirika haya? Na mwisho je, mbona wazazi wa watoto hawa wasihiari kuwaruhusu watoto wao kusomea katika shule za kutwa za karibu na nyumbani ambazo asilimia kubwa ya karo inashughulikiwa na serikali? Hali hii bila shaka inapaswa kuufikirisha sana uongozi wa taifa hili kuhusu mustakabali wa elimu nchini. Mambo ni tofauti kabisa na yalivyokuwa enzi za kusoma kwetu. Mzazi alijua kwamba lilikuwa jukumu lake kumsomesha mwanawe. Kwa maana hii, angejikakamua kadiri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba mwanawe alikuwa shuleni hata kama ni kumtafutia ya kutwa karibu na nyumbani. Sijui kama mio wa mashirikika na udhamini wa aina mbalimbali umechangia katika kulegea kwa wazazi katika kuyatekeleza majukumu haya yao. Ikiwa hali hii ni zao la ongezeko maskini, serikali ina kazi hata zaidi kuhakikisha ongezeko la mapato katika maisha ya wazazi wa watoto hawa. Isitoshe, ni lazima mashinka haya yanayodhamini elimu ya watoto yabadili mbinu za kuwasajili watoto wa kusaidiwa, ili visa vinavyostahili viwe ndivyo vinavyoshughulikiwa, Hivi sasa kampeni zimeshika kasi za kuhakikisha kwamba wanafunzi wote waliofanya mtihani wa KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza. La kusikitisha hata hivyo ni kwamba, shule nyingi hazijawa na miundombinu ya kutosha kuwapa wanafunzi hawa wote nafasi. Hii ndiyo sababu, lile azimio lililoanzishwa na serikali la kuweka vitengo vya kutwa katika baadhi ya shule za kitaifa na kimaeneo lingetiliwa maanani sana. Angalau lingepunguza tatizo mbalo linadhihirika la idadi kubwa na nafasi finyu katika mabweni.
Kuna nani ambao hawakuweza kugharamia sare za watoto
{ "text": [ "Wazazi" ] }
3025_swa
Sauti ya Mkereketwa. Visa tele vya uhitaji wa karo kwa wale wanaoingia kidato cha kwanza vinatisha. Katika muda wa wiki hizi mbili usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza unaendelea katika shule mbalimbali za upili nchini. Katika usajili huu, vyombo vya habari vinaendelea kuangazia visa mbalimbali vya wanafunzi wenye uhitaji kwelikweli ambao yaelekea wakikosa kusaidiwa, huenda wakaishia kutojiunga na shule za upili kabisa. Inasikitisha kwamba katika huu uhitaji, kumekuwa na wazazi ambao kabisa hawakuweza hata kugharamia sare za watoto. Ninawashukuru Wakenya ambao kama kawaida wamejitokeza kutoka sehemu mbalimbali kuwaisaidia watoto hawa. Kusema la kweli, hali hii inaibua maswali mengi sana. Hivi je, ni hali ya umaskini ambayo imeongezeka sana nchini? Wazazi wa watoto hawa ambao wamekuwa nao miaka hiyo yote wakashuhudia watoto wao wakielekea kufanikiwa katika mitihani, walikuwa wanajipanga kivyovyote kwa ajili ya elimu ya watoto wao? Kisha je, sasa hivi kuna mashirika mengi ya kudhamini elimu ya watoto kutoka kwa familia zisizojiweza, inawezekanaje kwamba watoto hawa wote walio na uhitaji wa wazi, visa vyao havikuweza kuchukuliwa kwa uzito na mashirika haya? Na mwisho je, mbona wazazi wa watoto hawa wasihiari kuwaruhusu watoto wao kusomea katika shule za kutwa za karibu na nyumbani ambazo asilimia kubwa ya karo inashughulikiwa na serikali? Hali hii bila shaka inapaswa kuufikirisha sana uongozi wa taifa hili kuhusu mustakabali wa elimu nchini. Mambo ni tofauti kabisa na yalivyokuwa enzi za kusoma kwetu. Mzazi alijua kwamba lilikuwa jukumu lake kumsomesha mwanawe. Kwa maana hii, angejikakamua kadiri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba mwanawe alikuwa shuleni hata kama ni kumtafutia ya kutwa karibu na nyumbani. Sijui kama mio wa mashirikika na udhamini wa aina mbalimbali umechangia katika kulegea kwa wazazi katika kuyatekeleza majukumu haya yao. Ikiwa hali hii ni zao la ongezeko maskini, serikali ina kazi hata zaidi kuhakikisha ongezeko la mapato katika maisha ya wazazi wa watoto hawa. Isitoshe, ni lazima mashinka haya yanayodhamini elimu ya watoto yabadili mbinu za kuwasajili watoto wa kusaidiwa, ili visa vinavyostahili viwe ndivyo vinavyoshughulikiwa, Hivi sasa kampeni zimeshika kasi za kuhakikisha kwamba wanafunzi wote waliofanya mtihani wa KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza. La kusikitisha hata hivyo ni kwamba, shule nyingi hazijawa na miundombinu ya kutosha kuwapa wanafunzi hawa wote nafasi. Hii ndiyo sababu, lile azimio lililoanzishwa na serikali la kuweka vitengo vya kutwa katika baadhi ya shule za kitaifa na kimaeneo lingetiliwa maanani sana. Angalau lingepunguza tatizo mbalo linadhihirika la idadi kubwa na nafasi finyu katika mabweni.
Nani alijua kuwa lilikuwa jukumu lake kumsomesha mwanawe
{ "text": [ "Mzazi" ] }
3025_swa
Sauti ya Mkereketwa. Visa tele vya uhitaji wa karo kwa wale wanaoingia kidato cha kwanza vinatisha. Katika muda wa wiki hizi mbili usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza unaendelea katika shule mbalimbali za upili nchini. Katika usajili huu, vyombo vya habari vinaendelea kuangazia visa mbalimbali vya wanafunzi wenye uhitaji kwelikweli ambao yaelekea wakikosa kusaidiwa, huenda wakaishia kutojiunga na shule za upili kabisa. Inasikitisha kwamba katika huu uhitaji, kumekuwa na wazazi ambao kabisa hawakuweza hata kugharamia sare za watoto. Ninawashukuru Wakenya ambao kama kawaida wamejitokeza kutoka sehemu mbalimbali kuwaisaidia watoto hawa. Kusema la kweli, hali hii inaibua maswali mengi sana. Hivi je, ni hali ya umaskini ambayo imeongezeka sana nchini? Wazazi wa watoto hawa ambao wamekuwa nao miaka hiyo yote wakashuhudia watoto wao wakielekea kufanikiwa katika mitihani, walikuwa wanajipanga kivyovyote kwa ajili ya elimu ya watoto wao? Kisha je, sasa hivi kuna mashirika mengi ya kudhamini elimu ya watoto kutoka kwa familia zisizojiweza, inawezekanaje kwamba watoto hawa wote walio na uhitaji wa wazi, visa vyao havikuweza kuchukuliwa kwa uzito na mashirika haya? Na mwisho je, mbona wazazi wa watoto hawa wasihiari kuwaruhusu watoto wao kusomea katika shule za kutwa za karibu na nyumbani ambazo asilimia kubwa ya karo inashughulikiwa na serikali? Hali hii bila shaka inapaswa kuufikirisha sana uongozi wa taifa hili kuhusu mustakabali wa elimu nchini. Mambo ni tofauti kabisa na yalivyokuwa enzi za kusoma kwetu. Mzazi alijua kwamba lilikuwa jukumu lake kumsomesha mwanawe. Kwa maana hii, angejikakamua kadiri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba mwanawe alikuwa shuleni hata kama ni kumtafutia ya kutwa karibu na nyumbani. Sijui kama mio wa mashirikika na udhamini wa aina mbalimbali umechangia katika kulegea kwa wazazi katika kuyatekeleza majukumu haya yao. Ikiwa hali hii ni zao la ongezeko maskini, serikali ina kazi hata zaidi kuhakikisha ongezeko la mapato katika maisha ya wazazi wa watoto hawa. Isitoshe, ni lazima mashinka haya yanayodhamini elimu ya watoto yabadili mbinu za kuwasajili watoto wa kusaidiwa, ili visa vinavyostahili viwe ndivyo vinavyoshughulikiwa, Hivi sasa kampeni zimeshika kasi za kuhakikisha kwamba wanafunzi wote waliofanya mtihani wa KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza. La kusikitisha hata hivyo ni kwamba, shule nyingi hazijawa na miundombinu ya kutosha kuwapa wanafunzi hawa wote nafasi. Hii ndiyo sababu, lile azimio lililoanzishwa na serikali la kuweka vitengo vya kutwa katika baadhi ya shule za kitaifa na kimaeneo lingetiliwa maanani sana. Angalau lingepunguza tatizo mbalo linadhihirika la idadi kubwa na nafasi finyu katika mabweni.
Ni nini zimeshika kasi
{ "text": [ "Kampeni" ] }
3025_swa
Sauti ya Mkereketwa. Visa tele vya uhitaji wa karo kwa wale wanaoingia kidato cha kwanza vinatisha. Katika muda wa wiki hizi mbili usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza unaendelea katika shule mbalimbali za upili nchini. Katika usajili huu, vyombo vya habari vinaendelea kuangazia visa mbalimbali vya wanafunzi wenye uhitaji kwelikweli ambao yaelekea wakikosa kusaidiwa, huenda wakaishia kutojiunga na shule za upili kabisa. Inasikitisha kwamba katika huu uhitaji, kumekuwa na wazazi ambao kabisa hawakuweza hata kugharamia sare za watoto. Ninawashukuru Wakenya ambao kama kawaida wamejitokeza kutoka sehemu mbalimbali kuwaisaidia watoto hawa. Kusema la kweli, hali hii inaibua maswali mengi sana. Hivi je, ni hali ya umaskini ambayo imeongezeka sana nchini? Wazazi wa watoto hawa ambao wamekuwa nao miaka hiyo yote wakashuhudia watoto wao wakielekea kufanikiwa katika mitihani, walikuwa wanajipanga kivyovyote kwa ajili ya elimu ya watoto wao? Kisha je, sasa hivi kuna mashirika mengi ya kudhamini elimu ya watoto kutoka kwa familia zisizojiweza, inawezekanaje kwamba watoto hawa wote walio na uhitaji wa wazi, visa vyao havikuweza kuchukuliwa kwa uzito na mashirika haya? Na mwisho je, mbona wazazi wa watoto hawa wasihiari kuwaruhusu watoto wao kusomea katika shule za kutwa za karibu na nyumbani ambazo asilimia kubwa ya karo inashughulikiwa na serikali? Hali hii bila shaka inapaswa kuufikirisha sana uongozi wa taifa hili kuhusu mustakabali wa elimu nchini. Mambo ni tofauti kabisa na yalivyokuwa enzi za kusoma kwetu. Mzazi alijua kwamba lilikuwa jukumu lake kumsomesha mwanawe. Kwa maana hii, angejikakamua kadiri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba mwanawe alikuwa shuleni hata kama ni kumtafutia ya kutwa karibu na nyumbani. Sijui kama mio wa mashirikika na udhamini wa aina mbalimbali umechangia katika kulegea kwa wazazi katika kuyatekeleza majukumu haya yao. Ikiwa hali hii ni zao la ongezeko maskini, serikali ina kazi hata zaidi kuhakikisha ongezeko la mapato katika maisha ya wazazi wa watoto hawa. Isitoshe, ni lazima mashinka haya yanayodhamini elimu ya watoto yabadili mbinu za kuwasajili watoto wa kusaidiwa, ili visa vinavyostahili viwe ndivyo vinavyoshughulikiwa, Hivi sasa kampeni zimeshika kasi za kuhakikisha kwamba wanafunzi wote waliofanya mtihani wa KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza. La kusikitisha hata hivyo ni kwamba, shule nyingi hazijawa na miundombinu ya kutosha kuwapa wanafunzi hawa wote nafasi. Hii ndiyo sababu, lile azimio lililoanzishwa na serikali la kuweka vitengo vya kutwa katika baadhi ya shule za kitaifa na kimaeneo lingetiliwa maanani sana. Angalau lingepunguza tatizo mbalo linadhihirika la idadi kubwa na nafasi finyu katika mabweni.
Shule nyingi hazijawa na nini ya kutosha kuwapa wanafunzi nafasi
{ "text": [ "Miundombinu" ] }
3025_swa
Sauti ya Mkereketwa. Visa tele vya uhitaji wa karo kwa wale wanaoingia kidato cha kwanza vinatisha. Katika muda wa wiki hizi mbili usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza unaendelea katika shule mbalimbali za upili nchini. Katika usajili huu, vyombo vya habari vinaendelea kuangazia visa mbalimbali vya wanafunzi wenye uhitaji kwelikweli ambao yaelekea wakikosa kusaidiwa, huenda wakaishia kutojiunga na shule za upili kabisa. Inasikitisha kwamba katika huu uhitaji, kumekuwa na wazazi ambao kabisa hawakuweza hata kugharamia sare za watoto. Ninawashukuru Wakenya ambao kama kawaida wamejitokeza kutoka sehemu mbalimbali kuwaisaidia watoto hawa. Kusema la kweli, hali hii inaibua maswali mengi sana. Hivi je, ni hali ya umaskini ambayo imeongezeka sana nchini? Wazazi wa watoto hawa ambao wamekuwa nao miaka hiyo yote wakashuhudia watoto wao wakielekea kufanikiwa katika mitihani, walikuwa wanajipanga kivyovyote kwa ajili ya elimu ya watoto wao? Kisha je, sasa hivi kuna mashirika mengi ya kudhamini elimu ya watoto kutoka kwa familia zisizojiweza, inawezekanaje kwamba watoto hawa wote walio na uhitaji wa wazi, visa vyao havikuweza kuchukuliwa kwa uzito na mashirika haya? Na mwisho je, mbona wazazi wa watoto hawa wasihiari kuwaruhusu watoto wao kusomea katika shule za kutwa za karibu na nyumbani ambazo asilimia kubwa ya karo inashughulikiwa na serikali? Hali hii bila shaka inapaswa kuufikirisha sana uongozi wa taifa hili kuhusu mustakabali wa elimu nchini. Mambo ni tofauti kabisa na yalivyokuwa enzi za kusoma kwetu. Mzazi alijua kwamba lilikuwa jukumu lake kumsomesha mwanawe. Kwa maana hii, angejikakamua kadiri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba mwanawe alikuwa shuleni hata kama ni kumtafutia ya kutwa karibu na nyumbani. Sijui kama mio wa mashirikika na udhamini wa aina mbalimbali umechangia katika kulegea kwa wazazi katika kuyatekeleza majukumu haya yao. Ikiwa hali hii ni zao la ongezeko maskini, serikali ina kazi hata zaidi kuhakikisha ongezeko la mapato katika maisha ya wazazi wa watoto hawa. Isitoshe, ni lazima mashinka haya yanayodhamini elimu ya watoto yabadili mbinu za kuwasajili watoto wa kusaidiwa, ili visa vinavyostahili viwe ndivyo vinavyoshughulikiwa, Hivi sasa kampeni zimeshika kasi za kuhakikisha kwamba wanafunzi wote waliofanya mtihani wa KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza. La kusikitisha hata hivyo ni kwamba, shule nyingi hazijawa na miundombinu ya kutosha kuwapa wanafunzi hawa wote nafasi. Hii ndiyo sababu, lile azimio lililoanzishwa na serikali la kuweka vitengo vya kutwa katika baadhi ya shule za kitaifa na kimaeneo lingetiliwa maanani sana. Angalau lingepunguza tatizo mbalo linadhihirika la idadi kubwa na nafasi finyu katika mabweni.
Azimio lilianzishwa na nani la kuweka vitengo vya kutwa katika baadhi ya shule za kitaifa
{ "text": [ "Serikali" ] }
3028_swa
Uzoefu wake katika ukulima umemsaidia kuajiriwa na shirika Wilson Ruwarandu. 40. ni mkulima wa eneo la Utange jijini Mombasa, mwenye tajriba si haba katika nyanja za ukulima na ufugaji. Maishani mwake, Ruwarandu hajawahi kuajiriwa licha ya kuhojiwa mara si moja na waajiri wa kampuni mbalimbali sawa na mashirika ya umma na kibinafsi. Kutokana na uzoefu wa ukulima uliompa umaarufu, Wilson Ruwarandu sasa anajivunia jitihada zake za kustawisha mazao kwenye shamba la shirika la Manzoor Outreach Program For Orphans and Vulnerable (MOPOV). “Sikuajiriwa maishani mwangu, nimekuwa tu mkulima na mfugaji," anaambia Akilimali alipohojiwa shambani mwa mwajiri wake. "Maafisa wa MOPOV wanaofadhili wa na shirika la Furaha Water Projects (FWP) walipenda kazi yangu ya ukulima, wakaniambia wanatafuta mkulima uwezo wa kuboresha shamba wa lao kwa ukulima wa mazao ya vyakula," anaelezea Ruwarandu. "Nilishauriana nao hadi tulipofikia makubaliano ya uajiri," asema. Shirika la MOPOV ambalo lina makao yake katika eneo la Tudor, lilianza shughuli mseto za ukulima na ufugaji katika eneo la Utange, lakini halikupata mtu mwenye uwezo wa kuboresha ardhi yao. "Walinileta hapa kushuhudia kilimo chao cha mazao mseto sawa na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa wa mayai na nyama," Ruwarandu asimulia. "Nilitumia mbinu na akili yangu yote kuhakikisha MOPOV inafaulu katika malengo yake," aelezea. Mara tu baada ya kuwekeana mkataba wa ustawishaji kilimo kwenye shamba hilo la shirika, Ruwarandu alianza kupanga mikakati endelezi ya ukulima mseto. "Nilipanga jinsi ya kushirikisha mazao mbalimbali kwenye ardhi hii, nikanunua mbegu na kuanza mchakato wa upanzi niseto huku nikitumia mabomba ya unyunyizaji," aarifu Ruwarandu. Miongoni mwa mazao anayoshughulikia ni mboga za kunde, sukumawiki, maharagwe, vitunguu na nyanya. "Nalimia pia mahindi na mihogo sawa na kuangalia ustawi wa miti ya matunda ya mifenesi," adokezea zaidi. Akilimali imebaini kuwa, shirika la MOPOV hutegemea ufadhili wa shirika kuu la Furaha Water Water Projects (FWP). Hata hivyo, Wilson anakiri kuwa shughuli za ukulima na ufugaji haziwezi pekee yake ila hushirikiana na wenzake walioajiriwa miaka saba iliyopita. "Nikija hapa niliwakuta wenzangu wawili nikawa wa tatu. Walikuwa wamepiga hatua kubwa ila nilipoingia utendakazi ukapanuka zaidi," anadokeza mkulima huyu. Shirika la Furaha Water Projects (FWP) linahudumia watoto mayatima kutoka jamii za Waislamu wasiokuwa na uwezo. Tayari FWP imefaulu pakubwa katika kuboresha elimu kwa watoto mayatima sawa na wengine kutoka jamii ambazo hazijiwezi kimaisha. Shirika la MOPOV lilipoingia na kushirikiana na Furaha Water Project, lilihakikisha elimu bora kwa walengwa, hali iliyofanya shughuli zote kuimarika sawa na ongezeko la watoto mayatima na wasiokuwa na uwezo katika jamii. Miongoni mwa miradi inayotegeme na MOPOV chini ya ufadhili wa Furaha Water Projects (FWP) ni ukulima, ufugaji na hivi karibuni mradi wa majumba yenye vyumba vya kukodisha.
Ruwarandu ni mkulima wa eneo upi?
{ "text": [ "Utange, jijini Mombasa" ] }
3028_swa
Uzoefu wake katika ukulima umemsaidia kuajiriwa na shirika Wilson Ruwarandu. 40. ni mkulima wa eneo la Utange jijini Mombasa, mwenye tajriba si haba katika nyanja za ukulima na ufugaji. Maishani mwake, Ruwarandu hajawahi kuajiriwa licha ya kuhojiwa mara si moja na waajiri wa kampuni mbalimbali sawa na mashirika ya umma na kibinafsi. Kutokana na uzoefu wa ukulima uliompa umaarufu, Wilson Ruwarandu sasa anajivunia jitihada zake za kustawisha mazao kwenye shamba la shirika la Manzoor Outreach Program For Orphans and Vulnerable (MOPOV). “Sikuajiriwa maishani mwangu, nimekuwa tu mkulima na mfugaji," anaambia Akilimali alipohojiwa shambani mwa mwajiri wake. "Maafisa wa MOPOV wanaofadhili wa na shirika la Furaha Water Projects (FWP) walipenda kazi yangu ya ukulima, wakaniambia wanatafuta mkulima uwezo wa kuboresha shamba wa lao kwa ukulima wa mazao ya vyakula," anaelezea Ruwarandu. "Nilishauriana nao hadi tulipofikia makubaliano ya uajiri," asema. Shirika la MOPOV ambalo lina makao yake katika eneo la Tudor, lilianza shughuli mseto za ukulima na ufugaji katika eneo la Utange, lakini halikupata mtu mwenye uwezo wa kuboresha ardhi yao. "Walinileta hapa kushuhudia kilimo chao cha mazao mseto sawa na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa wa mayai na nyama," Ruwarandu asimulia. "Nilitumia mbinu na akili yangu yote kuhakikisha MOPOV inafaulu katika malengo yake," aelezea. Mara tu baada ya kuwekeana mkataba wa ustawishaji kilimo kwenye shamba hilo la shirika, Ruwarandu alianza kupanga mikakati endelezi ya ukulima mseto. "Nilipanga jinsi ya kushirikisha mazao mbalimbali kwenye ardhi hii, nikanunua mbegu na kuanza mchakato wa upanzi niseto huku nikitumia mabomba ya unyunyizaji," aarifu Ruwarandu. Miongoni mwa mazao anayoshughulikia ni mboga za kunde, sukumawiki, maharagwe, vitunguu na nyanya. "Nalimia pia mahindi na mihogo sawa na kuangalia ustawi wa miti ya matunda ya mifenesi," adokezea zaidi. Akilimali imebaini kuwa, shirika la MOPOV hutegemea ufadhili wa shirika kuu la Furaha Water Water Projects (FWP). Hata hivyo, Wilson anakiri kuwa shughuli za ukulima na ufugaji haziwezi pekee yake ila hushirikiana na wenzake walioajiriwa miaka saba iliyopita. "Nikija hapa niliwakuta wenzangu wawili nikawa wa tatu. Walikuwa wamepiga hatua kubwa ila nilipoingia utendakazi ukapanuka zaidi," anadokeza mkulima huyu. Shirika la Furaha Water Projects (FWP) linahudumia watoto mayatima kutoka jamii za Waislamu wasiokuwa na uwezo. Tayari FWP imefaulu pakubwa katika kuboresha elimu kwa watoto mayatima sawa na wengine kutoka jamii ambazo hazijiwezi kimaisha. Shirika la MOPOV lilipoingia na kushirikiana na Furaha Water Project, lilihakikisha elimu bora kwa walengwa, hali iliyofanya shughuli zote kuimarika sawa na ongezeko la watoto mayatima na wasiokuwa na uwezo katika jamii. Miongoni mwa miradi inayotegeme na MOPOV chini ya ufadhili wa Furaha Water Projects (FWP) ni ukulima, ufugaji na hivi karibuni mradi wa majumba yenye vyumba vya kukodisha.
Ni nani walimhoji Ruwarandu?
{ "text": [ "Kampuni na mashirika ya umma na kibinafsi" ] }
3028_swa
Uzoefu wake katika ukulima umemsaidia kuajiriwa na shirika Wilson Ruwarandu. 40. ni mkulima wa eneo la Utange jijini Mombasa, mwenye tajriba si haba katika nyanja za ukulima na ufugaji. Maishani mwake, Ruwarandu hajawahi kuajiriwa licha ya kuhojiwa mara si moja na waajiri wa kampuni mbalimbali sawa na mashirika ya umma na kibinafsi. Kutokana na uzoefu wa ukulima uliompa umaarufu, Wilson Ruwarandu sasa anajivunia jitihada zake za kustawisha mazao kwenye shamba la shirika la Manzoor Outreach Program For Orphans and Vulnerable (MOPOV). “Sikuajiriwa maishani mwangu, nimekuwa tu mkulima na mfugaji," anaambia Akilimali alipohojiwa shambani mwa mwajiri wake. "Maafisa wa MOPOV wanaofadhili wa na shirika la Furaha Water Projects (FWP) walipenda kazi yangu ya ukulima, wakaniambia wanatafuta mkulima uwezo wa kuboresha shamba wa lao kwa ukulima wa mazao ya vyakula," anaelezea Ruwarandu. "Nilishauriana nao hadi tulipofikia makubaliano ya uajiri," asema. Shirika la MOPOV ambalo lina makao yake katika eneo la Tudor, lilianza shughuli mseto za ukulima na ufugaji katika eneo la Utange, lakini halikupata mtu mwenye uwezo wa kuboresha ardhi yao. "Walinileta hapa kushuhudia kilimo chao cha mazao mseto sawa na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa wa mayai na nyama," Ruwarandu asimulia. "Nilitumia mbinu na akili yangu yote kuhakikisha MOPOV inafaulu katika malengo yake," aelezea. Mara tu baada ya kuwekeana mkataba wa ustawishaji kilimo kwenye shamba hilo la shirika, Ruwarandu alianza kupanga mikakati endelezi ya ukulima mseto. "Nilipanga jinsi ya kushirikisha mazao mbalimbali kwenye ardhi hii, nikanunua mbegu na kuanza mchakato wa upanzi niseto huku nikitumia mabomba ya unyunyizaji," aarifu Ruwarandu. Miongoni mwa mazao anayoshughulikia ni mboga za kunde, sukumawiki, maharagwe, vitunguu na nyanya. "Nalimia pia mahindi na mihogo sawa na kuangalia ustawi wa miti ya matunda ya mifenesi," adokezea zaidi. Akilimali imebaini kuwa, shirika la MOPOV hutegemea ufadhili wa shirika kuu la Furaha Water Water Projects (FWP). Hata hivyo, Wilson anakiri kuwa shughuli za ukulima na ufugaji haziwezi pekee yake ila hushirikiana na wenzake walioajiriwa miaka saba iliyopita. "Nikija hapa niliwakuta wenzangu wawili nikawa wa tatu. Walikuwa wamepiga hatua kubwa ila nilipoingia utendakazi ukapanuka zaidi," anadokeza mkulima huyu. Shirika la Furaha Water Projects (FWP) linahudumia watoto mayatima kutoka jamii za Waislamu wasiokuwa na uwezo. Tayari FWP imefaulu pakubwa katika kuboresha elimu kwa watoto mayatima sawa na wengine kutoka jamii ambazo hazijiwezi kimaisha. Shirika la MOPOV lilipoingia na kushirikiana na Furaha Water Project, lilihakikisha elimu bora kwa walengwa, hali iliyofanya shughuli zote kuimarika sawa na ongezeko la watoto mayatima na wasiokuwa na uwezo katika jamii. Miongoni mwa miradi inayotegeme na MOPOV chini ya ufadhili wa Furaha Water Projects (FWP) ni ukulima, ufugaji na hivi karibuni mradi wa majumba yenye vyumba vya kukodisha.
Uzoefu wa ukulima umemfaidi Ruwarandu vipi?
{ "text": [ "Ameajiriwa katika shamba la shirika la MOPOV" ] }
3028_swa
Uzoefu wake katika ukulima umemsaidia kuajiriwa na shirika Wilson Ruwarandu. 40. ni mkulima wa eneo la Utange jijini Mombasa, mwenye tajriba si haba katika nyanja za ukulima na ufugaji. Maishani mwake, Ruwarandu hajawahi kuajiriwa licha ya kuhojiwa mara si moja na waajiri wa kampuni mbalimbali sawa na mashirika ya umma na kibinafsi. Kutokana na uzoefu wa ukulima uliompa umaarufu, Wilson Ruwarandu sasa anajivunia jitihada zake za kustawisha mazao kwenye shamba la shirika la Manzoor Outreach Program For Orphans and Vulnerable (MOPOV). “Sikuajiriwa maishani mwangu, nimekuwa tu mkulima na mfugaji," anaambia Akilimali alipohojiwa shambani mwa mwajiri wake. "Maafisa wa MOPOV wanaofadhili wa na shirika la Furaha Water Projects (FWP) walipenda kazi yangu ya ukulima, wakaniambia wanatafuta mkulima uwezo wa kuboresha shamba wa lao kwa ukulima wa mazao ya vyakula," anaelezea Ruwarandu. "Nilishauriana nao hadi tulipofikia makubaliano ya uajiri," asema. Shirika la MOPOV ambalo lina makao yake katika eneo la Tudor, lilianza shughuli mseto za ukulima na ufugaji katika eneo la Utange, lakini halikupata mtu mwenye uwezo wa kuboresha ardhi yao. "Walinileta hapa kushuhudia kilimo chao cha mazao mseto sawa na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa wa mayai na nyama," Ruwarandu asimulia. "Nilitumia mbinu na akili yangu yote kuhakikisha MOPOV inafaulu katika malengo yake," aelezea. Mara tu baada ya kuwekeana mkataba wa ustawishaji kilimo kwenye shamba hilo la shirika, Ruwarandu alianza kupanga mikakati endelezi ya ukulima mseto. "Nilipanga jinsi ya kushirikisha mazao mbalimbali kwenye ardhi hii, nikanunua mbegu na kuanza mchakato wa upanzi niseto huku nikitumia mabomba ya unyunyizaji," aarifu Ruwarandu. Miongoni mwa mazao anayoshughulikia ni mboga za kunde, sukumawiki, maharagwe, vitunguu na nyanya. "Nalimia pia mahindi na mihogo sawa na kuangalia ustawi wa miti ya matunda ya mifenesi," adokezea zaidi. Akilimali imebaini kuwa, shirika la MOPOV hutegemea ufadhili wa shirika kuu la Furaha Water Water Projects (FWP). Hata hivyo, Wilson anakiri kuwa shughuli za ukulima na ufugaji haziwezi pekee yake ila hushirikiana na wenzake walioajiriwa miaka saba iliyopita. "Nikija hapa niliwakuta wenzangu wawili nikawa wa tatu. Walikuwa wamepiga hatua kubwa ila nilipoingia utendakazi ukapanuka zaidi," anadokeza mkulima huyu. Shirika la Furaha Water Projects (FWP) linahudumia watoto mayatima kutoka jamii za Waislamu wasiokuwa na uwezo. Tayari FWP imefaulu pakubwa katika kuboresha elimu kwa watoto mayatima sawa na wengine kutoka jamii ambazo hazijiwezi kimaisha. Shirika la MOPOV lilipoingia na kushirikiana na Furaha Water Project, lilihakikisha elimu bora kwa walengwa, hali iliyofanya shughuli zote kuimarika sawa na ongezeko la watoto mayatima na wasiokuwa na uwezo katika jamii. Miongoni mwa miradi inayotegeme na MOPOV chini ya ufadhili wa Furaha Water Projects (FWP) ni ukulima, ufugaji na hivi karibuni mradi wa majumba yenye vyumba vya kukodisha.
Maafisa wa MOPOV wanafadhiliwa na shirika lipi?
{ "text": [ "Furaha Water Projects (FWP)" ] }
3028_swa
Uzoefu wake katika ukulima umemsaidia kuajiriwa na shirika Wilson Ruwarandu. 40. ni mkulima wa eneo la Utange jijini Mombasa, mwenye tajriba si haba katika nyanja za ukulima na ufugaji. Maishani mwake, Ruwarandu hajawahi kuajiriwa licha ya kuhojiwa mara si moja na waajiri wa kampuni mbalimbali sawa na mashirika ya umma na kibinafsi. Kutokana na uzoefu wa ukulima uliompa umaarufu, Wilson Ruwarandu sasa anajivunia jitihada zake za kustawisha mazao kwenye shamba la shirika la Manzoor Outreach Program For Orphans and Vulnerable (MOPOV). “Sikuajiriwa maishani mwangu, nimekuwa tu mkulima na mfugaji," anaambia Akilimali alipohojiwa shambani mwa mwajiri wake. "Maafisa wa MOPOV wanaofadhili wa na shirika la Furaha Water Projects (FWP) walipenda kazi yangu ya ukulima, wakaniambia wanatafuta mkulima uwezo wa kuboresha shamba wa lao kwa ukulima wa mazao ya vyakula," anaelezea Ruwarandu. "Nilishauriana nao hadi tulipofikia makubaliano ya uajiri," asema. Shirika la MOPOV ambalo lina makao yake katika eneo la Tudor, lilianza shughuli mseto za ukulima na ufugaji katika eneo la Utange, lakini halikupata mtu mwenye uwezo wa kuboresha ardhi yao. "Walinileta hapa kushuhudia kilimo chao cha mazao mseto sawa na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa wa mayai na nyama," Ruwarandu asimulia. "Nilitumia mbinu na akili yangu yote kuhakikisha MOPOV inafaulu katika malengo yake," aelezea. Mara tu baada ya kuwekeana mkataba wa ustawishaji kilimo kwenye shamba hilo la shirika, Ruwarandu alianza kupanga mikakati endelezi ya ukulima mseto. "Nilipanga jinsi ya kushirikisha mazao mbalimbali kwenye ardhi hii, nikanunua mbegu na kuanza mchakato wa upanzi niseto huku nikitumia mabomba ya unyunyizaji," aarifu Ruwarandu. Miongoni mwa mazao anayoshughulikia ni mboga za kunde, sukumawiki, maharagwe, vitunguu na nyanya. "Nalimia pia mahindi na mihogo sawa na kuangalia ustawi wa miti ya matunda ya mifenesi," adokezea zaidi. Akilimali imebaini kuwa, shirika la MOPOV hutegemea ufadhili wa shirika kuu la Furaha Water Water Projects (FWP). Hata hivyo, Wilson anakiri kuwa shughuli za ukulima na ufugaji haziwezi pekee yake ila hushirikiana na wenzake walioajiriwa miaka saba iliyopita. "Nikija hapa niliwakuta wenzangu wawili nikawa wa tatu. Walikuwa wamepiga hatua kubwa ila nilipoingia utendakazi ukapanuka zaidi," anadokeza mkulima huyu. Shirika la Furaha Water Projects (FWP) linahudumia watoto mayatima kutoka jamii za Waislamu wasiokuwa na uwezo. Tayari FWP imefaulu pakubwa katika kuboresha elimu kwa watoto mayatima sawa na wengine kutoka jamii ambazo hazijiwezi kimaisha. Shirika la MOPOV lilipoingia na kushirikiana na Furaha Water Project, lilihakikisha elimu bora kwa walengwa, hali iliyofanya shughuli zote kuimarika sawa na ongezeko la watoto mayatima na wasiokuwa na uwezo katika jamii. Miongoni mwa miradi inayotegeme na MOPOV chini ya ufadhili wa Furaha Water Projects (FWP) ni ukulima, ufugaji na hivi karibuni mradi wa majumba yenye vyumba vya kukodisha.
Shirika la MOPOV lina makao yake wapi?
{ "text": [ "Eneo la Tudor" ] }
3029_swa
Ni wiki tatu tangu muhula wa kwanza kung'oa nanga. Wanafunzi wa kidato cha kwanza walizidi kuwasili katika shule ya upili ya Sidindi. Mwaka huu ungekuwa wa aina yake katika shule hii maarufu wilayani. Zaidi ya wanafunzi mia mbili na hamsini wameshasajiliwa. Isitoshe, wapo wengine zaidi ya hamsini waliofika kuuliza nafasi. Ilitarajiwa kuwa mwaka huu, idadi ya wanafunzi katika kidato cha kwanza ingezidi mia tatu. Wingi huu wa wanafunzi ulimfurahisha sana mwalimu mkuu. Habali wala kubali changamoto ambazo tayari zilikuwa zimeanza kudhihirishwa na wanafunzi waliokwishasajiliwa. Baadhi yao hawakuweza kuandika majina yao wenyewe sikwambü kutunga sentensi sahili sahihi. Wengine hawakujua ni nini kiliwapeleka shuleni. Wao waliitikia tu mwito wa serikali kwamba asilimia mia ya watahiniwa. wa mtihani wa darasa la nane walipaswa Walimu wa Sidindi walijua faida zilizo kujiunga na kidato cha kwanza. Walikuwa fichika katika majukumu ya kuwa mlezi wa pale kudhihirisha kuwa serikali yao. Ingawa baadhi walijifanya kutoya fu ilikuwa na nia nzuri kwa wanafunzi wa taka majukumu haya, wengi wao waliku nchi yao, na kwa vile penye nia pana njia, wa wale wasemwao kuwa na kisebusebu walimu walipaswa kuitafuta njia hii kwani na kijoyo ki papo. serikali ilikwishaidhihirisha nia. Walimu walezi wa madarasa ndio tu Jambo moja halikumwelea mwalimu waliokuwa na ruhusa ya kuwapigia simu pengo. Alishangaa ni kwa nini hakuteuli- wazazi wa wanafunzi katika madarasa a kuwa mmoja wa walimu wasimamizi yao, Simu hizi zote zilikuwa za kuwataka madarasa haya ya kidato cha kwanza. wazazi wawatumie wana wao pesa. afasi tele zimejitokeza na sikukuu japo palikuwa na wazazi watundu wal- teuliwa katika nafasi yoyote?" tuma pesa kidogo na hata wengine watu majina ya waliopaswa alikuwa na mazoea mabaya ya kuwatumia simu...asante', hawa wasumbufu walikuwa wachache. Wengi walituma pesa za mwanafunzi pamoja na kitu kidogo juu kwa ajili ya mwalimu. Kitu kidogo kutoka kwa wazazi kadhaa kilikuwa kitu kikubwa hatimaye. · "Nashangaa vijana wa juzi wanateuliwa kuwa walezi wa madarasa huku vigogo kama mimi tukipuuzwa!" Pengo alimlalamikia mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu alimkumbusha Pengo kuhusu karatasi za majibu ya mitihani ya wanafunzi zilizosahaulika kwenye kituo cha magari zikaletwa na mama wa duka. "ulezi unahitaji umakinifu!" alimjuza.
Ni wiki tatu tangu nini kung'oa nanga
{ "text": [ "muhula" ] }
3029_swa
Ni wiki tatu tangu muhula wa kwanza kung'oa nanga. Wanafunzi wa kidato cha kwanza walizidi kuwasili katika shule ya upili ya Sidindi. Mwaka huu ungekuwa wa aina yake katika shule hii maarufu wilayani. Zaidi ya wanafunzi mia mbili na hamsini wameshasajiliwa. Isitoshe, wapo wengine zaidi ya hamsini waliofika kuuliza nafasi. Ilitarajiwa kuwa mwaka huu, idadi ya wanafunzi katika kidato cha kwanza ingezidi mia tatu. Wingi huu wa wanafunzi ulimfurahisha sana mwalimu mkuu. Habali wala kubali changamoto ambazo tayari zilikuwa zimeanza kudhihirishwa na wanafunzi waliokwishasajiliwa. Baadhi yao hawakuweza kuandika majina yao wenyewe sikwambü kutunga sentensi sahili sahihi. Wengine hawakujua ni nini kiliwapeleka shuleni. Wao waliitikia tu mwito wa serikali kwamba asilimia mia ya watahiniwa. wa mtihani wa darasa la nane walipaswa Walimu wa Sidindi walijua faida zilizo kujiunga na kidato cha kwanza. Walikuwa fichika katika majukumu ya kuwa mlezi wa pale kudhihirisha kuwa serikali yao. Ingawa baadhi walijifanya kutoya fu ilikuwa na nia nzuri kwa wanafunzi wa taka majukumu haya, wengi wao waliku nchi yao, na kwa vile penye nia pana njia, wa wale wasemwao kuwa na kisebusebu walimu walipaswa kuitafuta njia hii kwani na kijoyo ki papo. serikali ilikwishaidhihirisha nia. Walimu walezi wa madarasa ndio tu Jambo moja halikumwelea mwalimu waliokuwa na ruhusa ya kuwapigia simu pengo. Alishangaa ni kwa nini hakuteuli- wazazi wa wanafunzi katika madarasa a kuwa mmoja wa walimu wasimamizi yao, Simu hizi zote zilikuwa za kuwataka madarasa haya ya kidato cha kwanza. wazazi wawatumie wana wao pesa. afasi tele zimejitokeza na sikukuu japo palikuwa na wazazi watundu wal- teuliwa katika nafasi yoyote?" tuma pesa kidogo na hata wengine watu majina ya waliopaswa alikuwa na mazoea mabaya ya kuwatumia simu...asante', hawa wasumbufu walikuwa wachache. Wengi walituma pesa za mwanafunzi pamoja na kitu kidogo juu kwa ajili ya mwalimu. Kitu kidogo kutoka kwa wazazi kadhaa kilikuwa kitu kikubwa hatimaye. · "Nashangaa vijana wa juzi wanateuliwa kuwa walezi wa madarasa huku vigogo kama mimi tukipuuzwa!" Pengo alimlalamikia mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu alimkumbusha Pengo kuhusu karatasi za majibu ya mitihani ya wanafunzi zilizosahaulika kwenye kituo cha magari zikaletwa na mama wa duka. "ulezi unahitaji umakinifu!" alimjuza.
Nani alifurahishwa na wingi wa wanafunzi
{ "text": [ "mwalimu mkuu" ] }
3029_swa
Ni wiki tatu tangu muhula wa kwanza kung'oa nanga. Wanafunzi wa kidato cha kwanza walizidi kuwasili katika shule ya upili ya Sidindi. Mwaka huu ungekuwa wa aina yake katika shule hii maarufu wilayani. Zaidi ya wanafunzi mia mbili na hamsini wameshasajiliwa. Isitoshe, wapo wengine zaidi ya hamsini waliofika kuuliza nafasi. Ilitarajiwa kuwa mwaka huu, idadi ya wanafunzi katika kidato cha kwanza ingezidi mia tatu. Wingi huu wa wanafunzi ulimfurahisha sana mwalimu mkuu. Habali wala kubali changamoto ambazo tayari zilikuwa zimeanza kudhihirishwa na wanafunzi waliokwishasajiliwa. Baadhi yao hawakuweza kuandika majina yao wenyewe sikwambü kutunga sentensi sahili sahihi. Wengine hawakujua ni nini kiliwapeleka shuleni. Wao waliitikia tu mwito wa serikali kwamba asilimia mia ya watahiniwa. wa mtihani wa darasa la nane walipaswa Walimu wa Sidindi walijua faida zilizo kujiunga na kidato cha kwanza. Walikuwa fichika katika majukumu ya kuwa mlezi wa pale kudhihirisha kuwa serikali yao. Ingawa baadhi walijifanya kutoya fu ilikuwa na nia nzuri kwa wanafunzi wa taka majukumu haya, wengi wao waliku nchi yao, na kwa vile penye nia pana njia, wa wale wasemwao kuwa na kisebusebu walimu walipaswa kuitafuta njia hii kwani na kijoyo ki papo. serikali ilikwishaidhihirisha nia. Walimu walezi wa madarasa ndio tu Jambo moja halikumwelea mwalimu waliokuwa na ruhusa ya kuwapigia simu pengo. Alishangaa ni kwa nini hakuteuli- wazazi wa wanafunzi katika madarasa a kuwa mmoja wa walimu wasimamizi yao, Simu hizi zote zilikuwa za kuwataka madarasa haya ya kidato cha kwanza. wazazi wawatumie wana wao pesa. afasi tele zimejitokeza na sikukuu japo palikuwa na wazazi watundu wal- teuliwa katika nafasi yoyote?" tuma pesa kidogo na hata wengine watu majina ya waliopaswa alikuwa na mazoea mabaya ya kuwatumia simu...asante', hawa wasumbufu walikuwa wachache. Wengi walituma pesa za mwanafunzi pamoja na kitu kidogo juu kwa ajili ya mwalimu. Kitu kidogo kutoka kwa wazazi kadhaa kilikuwa kitu kikubwa hatimaye. · "Nashangaa vijana wa juzi wanateuliwa kuwa walezi wa madarasa huku vigogo kama mimi tukipuuzwa!" Pengo alimlalamikia mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu alimkumbusha Pengo kuhusu karatasi za majibu ya mitihani ya wanafunzi zilizosahaulika kwenye kituo cha magari zikaletwa na mama wa duka. "ulezi unahitaji umakinifu!" alimjuza.
Nani alishangaa kukosa kuteuliwa kama mwalimu msimamizi
{ "text": [ "mwalimu Pengo" ] }
3029_swa
Ni wiki tatu tangu muhula wa kwanza kung'oa nanga. Wanafunzi wa kidato cha kwanza walizidi kuwasili katika shule ya upili ya Sidindi. Mwaka huu ungekuwa wa aina yake katika shule hii maarufu wilayani. Zaidi ya wanafunzi mia mbili na hamsini wameshasajiliwa. Isitoshe, wapo wengine zaidi ya hamsini waliofika kuuliza nafasi. Ilitarajiwa kuwa mwaka huu, idadi ya wanafunzi katika kidato cha kwanza ingezidi mia tatu. Wingi huu wa wanafunzi ulimfurahisha sana mwalimu mkuu. Habali wala kubali changamoto ambazo tayari zilikuwa zimeanza kudhihirishwa na wanafunzi waliokwishasajiliwa. Baadhi yao hawakuweza kuandika majina yao wenyewe sikwambü kutunga sentensi sahili sahihi. Wengine hawakujua ni nini kiliwapeleka shuleni. Wao waliitikia tu mwito wa serikali kwamba asilimia mia ya watahiniwa. wa mtihani wa darasa la nane walipaswa Walimu wa Sidindi walijua faida zilizo kujiunga na kidato cha kwanza. Walikuwa fichika katika majukumu ya kuwa mlezi wa pale kudhihirisha kuwa serikali yao. Ingawa baadhi walijifanya kutoya fu ilikuwa na nia nzuri kwa wanafunzi wa taka majukumu haya, wengi wao waliku nchi yao, na kwa vile penye nia pana njia, wa wale wasemwao kuwa na kisebusebu walimu walipaswa kuitafuta njia hii kwani na kijoyo ki papo. serikali ilikwishaidhihirisha nia. Walimu walezi wa madarasa ndio tu Jambo moja halikumwelea mwalimu waliokuwa na ruhusa ya kuwapigia simu pengo. Alishangaa ni kwa nini hakuteuli- wazazi wa wanafunzi katika madarasa a kuwa mmoja wa walimu wasimamizi yao, Simu hizi zote zilikuwa za kuwataka madarasa haya ya kidato cha kwanza. wazazi wawatumie wana wao pesa. afasi tele zimejitokeza na sikukuu japo palikuwa na wazazi watundu wal- teuliwa katika nafasi yoyote?" tuma pesa kidogo na hata wengine watu majina ya waliopaswa alikuwa na mazoea mabaya ya kuwatumia simu...asante', hawa wasumbufu walikuwa wachache. Wengi walituma pesa za mwanafunzi pamoja na kitu kidogo juu kwa ajili ya mwalimu. Kitu kidogo kutoka kwa wazazi kadhaa kilikuwa kitu kikubwa hatimaye. · "Nashangaa vijana wa juzi wanateuliwa kuwa walezi wa madarasa huku vigogo kama mimi tukipuuzwa!" Pengo alimlalamikia mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu alimkumbusha Pengo kuhusu karatasi za majibu ya mitihani ya wanafunzi zilizosahaulika kwenye kituo cha magari zikaletwa na mama wa duka. "ulezi unahitaji umakinifu!" alimjuza.
Simu ni za kuwataka wazazi watume nini
{ "text": [ "pesa" ] }
3029_swa
Ni wiki tatu tangu muhula wa kwanza kung'oa nanga. Wanafunzi wa kidato cha kwanza walizidi kuwasili katika shule ya upili ya Sidindi. Mwaka huu ungekuwa wa aina yake katika shule hii maarufu wilayani. Zaidi ya wanafunzi mia mbili na hamsini wameshasajiliwa. Isitoshe, wapo wengine zaidi ya hamsini waliofika kuuliza nafasi. Ilitarajiwa kuwa mwaka huu, idadi ya wanafunzi katika kidato cha kwanza ingezidi mia tatu. Wingi huu wa wanafunzi ulimfurahisha sana mwalimu mkuu. Habali wala kubali changamoto ambazo tayari zilikuwa zimeanza kudhihirishwa na wanafunzi waliokwishasajiliwa. Baadhi yao hawakuweza kuandika majina yao wenyewe sikwambü kutunga sentensi sahili sahihi. Wengine hawakujua ni nini kiliwapeleka shuleni. Wao waliitikia tu mwito wa serikali kwamba asilimia mia ya watahiniwa. wa mtihani wa darasa la nane walipaswa Walimu wa Sidindi walijua faida zilizo kujiunga na kidato cha kwanza. Walikuwa fichika katika majukumu ya kuwa mlezi wa pale kudhihirisha kuwa serikali yao. Ingawa baadhi walijifanya kutoya fu ilikuwa na nia nzuri kwa wanafunzi wa taka majukumu haya, wengi wao waliku nchi yao, na kwa vile penye nia pana njia, wa wale wasemwao kuwa na kisebusebu walimu walipaswa kuitafuta njia hii kwani na kijoyo ki papo. serikali ilikwishaidhihirisha nia. Walimu walezi wa madarasa ndio tu Jambo moja halikumwelea mwalimu waliokuwa na ruhusa ya kuwapigia simu pengo. Alishangaa ni kwa nini hakuteuli- wazazi wa wanafunzi katika madarasa a kuwa mmoja wa walimu wasimamizi yao, Simu hizi zote zilikuwa za kuwataka madarasa haya ya kidato cha kwanza. wazazi wawatumie wana wao pesa. afasi tele zimejitokeza na sikukuu japo palikuwa na wazazi watundu wal- teuliwa katika nafasi yoyote?" tuma pesa kidogo na hata wengine watu majina ya waliopaswa alikuwa na mazoea mabaya ya kuwatumia simu...asante', hawa wasumbufu walikuwa wachache. Wengi walituma pesa za mwanafunzi pamoja na kitu kidogo juu kwa ajili ya mwalimu. Kitu kidogo kutoka kwa wazazi kadhaa kilikuwa kitu kikubwa hatimaye. · "Nashangaa vijana wa juzi wanateuliwa kuwa walezi wa madarasa huku vigogo kama mimi tukipuuzwa!" Pengo alimlalamikia mwalimu mkuu. Mwalimu mkuu alimkumbusha Pengo kuhusu karatasi za majibu ya mitihani ya wanafunzi zilizosahaulika kwenye kituo cha magari zikaletwa na mama wa duka. "ulezi unahitaji umakinifu!" alimjuza.
Ulezi unahitaji nini
{ "text": [ "umakinifu" ] }
3032_swa
Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika viwanda, Kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia huwa na faida na hasara nyingi katika wanafunzi wa shule za Sekondari. Hivyo basi, faida za teknolojia ni kama zifuatazo. Mojawapo ya faida hizo ni hurahisisha kazi za wanafunzi wa sekondari kwa kutumia kokotoo kufanya hesabu ngumu na pia ‘kudownload’ masomo kwa kutumia simu na vipepesi vyao. Hii hurahisisha kazi na masomo magumu. Faida nyingine ni kwamba wale wanafunzi wasio kuwa na uwezo wa kuandika kutumia mikono yao, (wasiojiweza au walemavu) hutumia teknolojia ili kuendelea na maisha yao vizuri. Wao hutumia tarakilishi, vipepesi, simu na “braille”. Pia teknolojia imewezesha usalama katika Shule ya sekondari kwa kuwekeza kamera za usalama kila pembe ya shule. Hii hudumisha adabu na nidhamu kwa wanafunzi. Hii teknolojia ya kuwekeza kamera kila pembe ni ya muhimu sana. Hoja ni kwamba teknolojia huwezesha wanajamii kupata ajira. Hii hupunguza vijana kurandaranda ovyo mtaani bila sababu yoyote. Kwa mfano, kijana aliyemaliza kusoma shule ya sekondari, anaweza kwenda kusoma ufundi wa teknolojia kama vile, kusomea kompyuta. Hii hufungua nafasi za ajira kwa wengi. Pia teknolojia hupunguza kutumia wakati mingi kuandikia nakala. Hata hivyo, teknolojia pia ina madhara yake kama ilivyo na faida. Mojawapo ya madhara hayo ni hupotosha wanafunzi wa Sekondari kwa kutumia simu na vipepevi vyao. Wanafunzi hao hutumia vifaa hivyo kuangalia video chape na hivi hufanya wawe wenye utovu wa adabu kwa wenzao shuleni wazazi na hata walimu wao. Teknolojia pia huwezesha mwanafunzi kuwa na ugonjwa wa macho. Kutumia hivi vifaa vyenye mwangaza kama vile simu, tarakilishi, vipepesi, kipakaralishi huaribu macho yao. Vifaa vingi vya teknolojia ni vya bei ghali na sio rahisi kununua. Hii huweza na kuzindua wizi katika jamii ya shule. Inaweza kusababisha mtu kumwibia mwanafunzi mwenzake pesa ili kupata simu. Kwa sababu ya hiyo, kutaongeza kesi za utovu wa nidhamu shuleni na kusababisha vurugu na utengano wa wanafunzi shuleni. Madhara nyingine ya teknolojia ni kuwa sauti kubwa za televisheni na redio husababisha kelele nyingi. Kelele nyingi huweza kusababisha magongwa na hata kutoelewana na wengine. Kwa mfano, mwanafunzi anayedurusu masomo yake huhitaji mazingira yasiyokuwa na kelele na dhiki. Je, kukiwa na kelele nyingi kutoka kwa mwanafunzi mwenzake, si kutakuwa na vurugu baina yao? Madhara nyngine ni kwamba teknolojia imezindua mambo maovu kama vile kutumia dawa za kulevya, ujambazi n.k. Wanafunzi wengi wa shule za sekondari hutumia dawa za kulevya kwa sababu ya uzinduzi wa teknolojia na hata pia presha kutoka kwa rafiki zao. Ujambazi nao umekithiri katika kila pembe ya dunia. Sisi wenyewe tunaweza kuzuia madhara hayo. Teknolojia pia imejenga pakubwa katika maisha yetu Kwa hivyo, tutumie vizuri na pia kujilinda sisi wenyewe.
Nini hutumiwa kufanya hesabu ngumu
{ "text": [ "kokotoo" ] }
3032_swa
Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika viwanda, Kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia huwa na faida na hasara nyingi katika wanafunzi wa shule za Sekondari. Hivyo basi, faida za teknolojia ni kama zifuatazo. Mojawapo ya faida hizo ni hurahisisha kazi za wanafunzi wa sekondari kwa kutumia kokotoo kufanya hesabu ngumu na pia ‘kudownload’ masomo kwa kutumia simu na vipepesi vyao. Hii hurahisisha kazi na masomo magumu. Faida nyingine ni kwamba wale wanafunzi wasio kuwa na uwezo wa kuandika kutumia mikono yao, (wasiojiweza au walemavu) hutumia teknolojia ili kuendelea na maisha yao vizuri. Wao hutumia tarakilishi, vipepesi, simu na “braille”. Pia teknolojia imewezesha usalama katika Shule ya sekondari kwa kuwekeza kamera za usalama kila pembe ya shule. Hii hudumisha adabu na nidhamu kwa wanafunzi. Hii teknolojia ya kuwekeza kamera kila pembe ni ya muhimu sana. Hoja ni kwamba teknolojia huwezesha wanajamii kupata ajira. Hii hupunguza vijana kurandaranda ovyo mtaani bila sababu yoyote. Kwa mfano, kijana aliyemaliza kusoma shule ya sekondari, anaweza kwenda kusoma ufundi wa teknolojia kama vile, kusomea kompyuta. Hii hufungua nafasi za ajira kwa wengi. Pia teknolojia hupunguza kutumia wakati mingi kuandikia nakala. Hata hivyo, teknolojia pia ina madhara yake kama ilivyo na faida. Mojawapo ya madhara hayo ni hupotosha wanafunzi wa Sekondari kwa kutumia simu na vipepevi vyao. Wanafunzi hao hutumia vifaa hivyo kuangalia video chape na hivi hufanya wawe wenye utovu wa adabu kwa wenzao shuleni wazazi na hata walimu wao. Teknolojia pia huwezesha mwanafunzi kuwa na ugonjwa wa macho. Kutumia hivi vifaa vyenye mwangaza kama vile simu, tarakilishi, vipepesi, kipakaralishi huaribu macho yao. Vifaa vingi vya teknolojia ni vya bei ghali na sio rahisi kununua. Hii huweza na kuzindua wizi katika jamii ya shule. Inaweza kusababisha mtu kumwibia mwanafunzi mwenzake pesa ili kupata simu. Kwa sababu ya hiyo, kutaongeza kesi za utovu wa nidhamu shuleni na kusababisha vurugu na utengano wa wanafunzi shuleni. Madhara nyingine ya teknolojia ni kuwa sauti kubwa za televisheni na redio husababisha kelele nyingi. Kelele nyingi huweza kusababisha magongwa na hata kutoelewana na wengine. Kwa mfano, mwanafunzi anayedurusu masomo yake huhitaji mazingira yasiyokuwa na kelele na dhiki. Je, kukiwa na kelele nyingi kutoka kwa mwanafunzi mwenzake, si kutakuwa na vurugu baina yao? Madhara nyngine ni kwamba teknolojia imezindua mambo maovu kama vile kutumia dawa za kulevya, ujambazi n.k. Wanafunzi wengi wa shule za sekondari hutumia dawa za kulevya kwa sababu ya uzinduzi wa teknolojia na hata pia presha kutoka kwa rafiki zao. Ujambazi nao umekithiri katika kila pembe ya dunia. Sisi wenyewe tunaweza kuzuia madhara hayo. Teknolojia pia imejenga pakubwa katika maisha yetu Kwa hivyo, tutumie vizuri na pia kujilinda sisi wenyewe.
Teknolojia imewezesha usalama shuleni kwa kuweka nini
{ "text": [ "kamera" ] }
3032_swa
Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika viwanda, Kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia huwa na faida na hasara nyingi katika wanafunzi wa shule za Sekondari. Hivyo basi, faida za teknolojia ni kama zifuatazo. Mojawapo ya faida hizo ni hurahisisha kazi za wanafunzi wa sekondari kwa kutumia kokotoo kufanya hesabu ngumu na pia ‘kudownload’ masomo kwa kutumia simu na vipepesi vyao. Hii hurahisisha kazi na masomo magumu. Faida nyingine ni kwamba wale wanafunzi wasio kuwa na uwezo wa kuandika kutumia mikono yao, (wasiojiweza au walemavu) hutumia teknolojia ili kuendelea na maisha yao vizuri. Wao hutumia tarakilishi, vipepesi, simu na “braille”. Pia teknolojia imewezesha usalama katika Shule ya sekondari kwa kuwekeza kamera za usalama kila pembe ya shule. Hii hudumisha adabu na nidhamu kwa wanafunzi. Hii teknolojia ya kuwekeza kamera kila pembe ni ya muhimu sana. Hoja ni kwamba teknolojia huwezesha wanajamii kupata ajira. Hii hupunguza vijana kurandaranda ovyo mtaani bila sababu yoyote. Kwa mfano, kijana aliyemaliza kusoma shule ya sekondari, anaweza kwenda kusoma ufundi wa teknolojia kama vile, kusomea kompyuta. Hii hufungua nafasi za ajira kwa wengi. Pia teknolojia hupunguza kutumia wakati mingi kuandikia nakala. Hata hivyo, teknolojia pia ina madhara yake kama ilivyo na faida. Mojawapo ya madhara hayo ni hupotosha wanafunzi wa Sekondari kwa kutumia simu na vipepevi vyao. Wanafunzi hao hutumia vifaa hivyo kuangalia video chape na hivi hufanya wawe wenye utovu wa adabu kwa wenzao shuleni wazazi na hata walimu wao. Teknolojia pia huwezesha mwanafunzi kuwa na ugonjwa wa macho. Kutumia hivi vifaa vyenye mwangaza kama vile simu, tarakilishi, vipepesi, kipakaralishi huaribu macho yao. Vifaa vingi vya teknolojia ni vya bei ghali na sio rahisi kununua. Hii huweza na kuzindua wizi katika jamii ya shule. Inaweza kusababisha mtu kumwibia mwanafunzi mwenzake pesa ili kupata simu. Kwa sababu ya hiyo, kutaongeza kesi za utovu wa nidhamu shuleni na kusababisha vurugu na utengano wa wanafunzi shuleni. Madhara nyingine ya teknolojia ni kuwa sauti kubwa za televisheni na redio husababisha kelele nyingi. Kelele nyingi huweza kusababisha magongwa na hata kutoelewana na wengine. Kwa mfano, mwanafunzi anayedurusu masomo yake huhitaji mazingira yasiyokuwa na kelele na dhiki. Je, kukiwa na kelele nyingi kutoka kwa mwanafunzi mwenzake, si kutakuwa na vurugu baina yao? Madhara nyngine ni kwamba teknolojia imezindua mambo maovu kama vile kutumia dawa za kulevya, ujambazi n.k. Wanafunzi wengi wa shule za sekondari hutumia dawa za kulevya kwa sababu ya uzinduzi wa teknolojia na hata pia presha kutoka kwa rafiki zao. Ujambazi nao umekithiri katika kila pembe ya dunia. Sisi wenyewe tunaweza kuzuia madhara hayo. Teknolojia pia imejenga pakubwa katika maisha yetu Kwa hivyo, tutumie vizuri na pia kujilinda sisi wenyewe.
Ni nini madhara ya televisheni na redio
{ "text": [ "sauti kubwa" ] }
3032_swa
Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika viwanda, Kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia huwa na faida na hasara nyingi katika wanafunzi wa shule za Sekondari. Hivyo basi, faida za teknolojia ni kama zifuatazo. Mojawapo ya faida hizo ni hurahisisha kazi za wanafunzi wa sekondari kwa kutumia kokotoo kufanya hesabu ngumu na pia ‘kudownload’ masomo kwa kutumia simu na vipepesi vyao. Hii hurahisisha kazi na masomo magumu. Faida nyingine ni kwamba wale wanafunzi wasio kuwa na uwezo wa kuandika kutumia mikono yao, (wasiojiweza au walemavu) hutumia teknolojia ili kuendelea na maisha yao vizuri. Wao hutumia tarakilishi, vipepesi, simu na “braille”. Pia teknolojia imewezesha usalama katika Shule ya sekondari kwa kuwekeza kamera za usalama kila pembe ya shule. Hii hudumisha adabu na nidhamu kwa wanafunzi. Hii teknolojia ya kuwekeza kamera kila pembe ni ya muhimu sana. Hoja ni kwamba teknolojia huwezesha wanajamii kupata ajira. Hii hupunguza vijana kurandaranda ovyo mtaani bila sababu yoyote. Kwa mfano, kijana aliyemaliza kusoma shule ya sekondari, anaweza kwenda kusoma ufundi wa teknolojia kama vile, kusomea kompyuta. Hii hufungua nafasi za ajira kwa wengi. Pia teknolojia hupunguza kutumia wakati mingi kuandikia nakala. Hata hivyo, teknolojia pia ina madhara yake kama ilivyo na faida. Mojawapo ya madhara hayo ni hupotosha wanafunzi wa Sekondari kwa kutumia simu na vipepevi vyao. Wanafunzi hao hutumia vifaa hivyo kuangalia video chape na hivi hufanya wawe wenye utovu wa adabu kwa wenzao shuleni wazazi na hata walimu wao. Teknolojia pia huwezesha mwanafunzi kuwa na ugonjwa wa macho. Kutumia hivi vifaa vyenye mwangaza kama vile simu, tarakilishi, vipepesi, kipakaralishi huaribu macho yao. Vifaa vingi vya teknolojia ni vya bei ghali na sio rahisi kununua. Hii huweza na kuzindua wizi katika jamii ya shule. Inaweza kusababisha mtu kumwibia mwanafunzi mwenzake pesa ili kupata simu. Kwa sababu ya hiyo, kutaongeza kesi za utovu wa nidhamu shuleni na kusababisha vurugu na utengano wa wanafunzi shuleni. Madhara nyingine ya teknolojia ni kuwa sauti kubwa za televisheni na redio husababisha kelele nyingi. Kelele nyingi huweza kusababisha magongwa na hata kutoelewana na wengine. Kwa mfano, mwanafunzi anayedurusu masomo yake huhitaji mazingira yasiyokuwa na kelele na dhiki. Je, kukiwa na kelele nyingi kutoka kwa mwanafunzi mwenzake, si kutakuwa na vurugu baina yao? Madhara nyngine ni kwamba teknolojia imezindua mambo maovu kama vile kutumia dawa za kulevya, ujambazi n.k. Wanafunzi wengi wa shule za sekondari hutumia dawa za kulevya kwa sababu ya uzinduzi wa teknolojia na hata pia presha kutoka kwa rafiki zao. Ujambazi nao umekithiri katika kila pembe ya dunia. Sisi wenyewe tunaweza kuzuia madhara hayo. Teknolojia pia imejenga pakubwa katika maisha yetu Kwa hivyo, tutumie vizuri na pia kujilinda sisi wenyewe.
Ni lini mwanafunzi anaweza kudurusu masomo yake vizuri
{ "text": [ "wakati hakuna kelele" ] }
3032_swa
Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika viwanda, Kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia huwa na faida na hasara nyingi katika wanafunzi wa shule za Sekondari. Hivyo basi, faida za teknolojia ni kama zifuatazo. Mojawapo ya faida hizo ni hurahisisha kazi za wanafunzi wa sekondari kwa kutumia kokotoo kufanya hesabu ngumu na pia ‘kudownload’ masomo kwa kutumia simu na vipepesi vyao. Hii hurahisisha kazi na masomo magumu. Faida nyingine ni kwamba wale wanafunzi wasio kuwa na uwezo wa kuandika kutumia mikono yao, (wasiojiweza au walemavu) hutumia teknolojia ili kuendelea na maisha yao vizuri. Wao hutumia tarakilishi, vipepesi, simu na “braille”. Pia teknolojia imewezesha usalama katika Shule ya sekondari kwa kuwekeza kamera za usalama kila pembe ya shule. Hii hudumisha adabu na nidhamu kwa wanafunzi. Hii teknolojia ya kuwekeza kamera kila pembe ni ya muhimu sana. Hoja ni kwamba teknolojia huwezesha wanajamii kupata ajira. Hii hupunguza vijana kurandaranda ovyo mtaani bila sababu yoyote. Kwa mfano, kijana aliyemaliza kusoma shule ya sekondari, anaweza kwenda kusoma ufundi wa teknolojia kama vile, kusomea kompyuta. Hii hufungua nafasi za ajira kwa wengi. Pia teknolojia hupunguza kutumia wakati mingi kuandikia nakala. Hata hivyo, teknolojia pia ina madhara yake kama ilivyo na faida. Mojawapo ya madhara hayo ni hupotosha wanafunzi wa Sekondari kwa kutumia simu na vipepevi vyao. Wanafunzi hao hutumia vifaa hivyo kuangalia video chape na hivi hufanya wawe wenye utovu wa adabu kwa wenzao shuleni wazazi na hata walimu wao. Teknolojia pia huwezesha mwanafunzi kuwa na ugonjwa wa macho. Kutumia hivi vifaa vyenye mwangaza kama vile simu, tarakilishi, vipepesi, kipakaralishi huaribu macho yao. Vifaa vingi vya teknolojia ni vya bei ghali na sio rahisi kununua. Hii huweza na kuzindua wizi katika jamii ya shule. Inaweza kusababisha mtu kumwibia mwanafunzi mwenzake pesa ili kupata simu. Kwa sababu ya hiyo, kutaongeza kesi za utovu wa nidhamu shuleni na kusababisha vurugu na utengano wa wanafunzi shuleni. Madhara nyingine ya teknolojia ni kuwa sauti kubwa za televisheni na redio husababisha kelele nyingi. Kelele nyingi huweza kusababisha magongwa na hata kutoelewana na wengine. Kwa mfano, mwanafunzi anayedurusu masomo yake huhitaji mazingira yasiyokuwa na kelele na dhiki. Je, kukiwa na kelele nyingi kutoka kwa mwanafunzi mwenzake, si kutakuwa na vurugu baina yao? Madhara nyngine ni kwamba teknolojia imezindua mambo maovu kama vile kutumia dawa za kulevya, ujambazi n.k. Wanafunzi wengi wa shule za sekondari hutumia dawa za kulevya kwa sababu ya uzinduzi wa teknolojia na hata pia presha kutoka kwa rafiki zao. Ujambazi nao umekithiri katika kila pembe ya dunia. Sisi wenyewe tunaweza kuzuia madhara hayo. Teknolojia pia imejenga pakubwa katika maisha yetu Kwa hivyo, tutumie vizuri na pia kujilinda sisi wenyewe.
Teknolojia imepoteza kivipi wanafunzi wa sekondary
{ "text": [ "wanafunzi wameweza kupoteza nidhamu kwa kutumia kuona video chafu" ] }
3033_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana busara iliyofichika katika methali hii ni kuwa mtu akikataa kuzingana maonyo na tahadhari za wakuu wake ambao wamekula chumvi si haba, bila shaka hufika siku ambapo atadhurika. Madhara yatakayompata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari za wakuu wake. Sengo alikuwa kijana mwenye umri wa makamo takriban kumi na nane. Alikuwa amelelewa kwa mapenzi ya dhati kutoka kwa wavyele wake, kwani chochote alichokitaka alikipata bila hata taabu nyingi. Wazazi wake walifanya kadri iwezekanavyo kumkidhi Sengo na maisha mazuri na ya kumfaidi yeye mwenyewe. Sengo mwenyewe alikuwa mwana mzuri nyumbani hata shuleni. Wakubwa kwa wadogo wote walimsifia. Wahenga walisema hakuna kizuri kisichokua na doa. Alipokuwa katika kidato cha tatu kwenye shule ya magwiji wa jamii iliyoitwa Tumaini Moyo, alijiunga na kundi la wavulana waliopotoka. Mabarobaro hao walikuwa na tabia potovu na zisizotakikana katika jamii yao ya shule na hata nyumbani Wavulana hao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Vijana hao walikuwa wakitumia mihadarati kama vile bangi, miraa na uvutaji wa sigara na hata pia unywaji wa pombe shuleni, walimu na wanafunzi walimkanya sana Sengo kutokana na vijana hao Ila Sengo alikuwa mwenye sikio la kufa lisitosikia dawa. Ilifikia wakati hadi mwalimu mkuu aliwaita wazazi wake Sengo. Aliwaelezea hao madhara ya mwana wao kuwafuata vijana hao potovu. Wazazi wake waliyatilia maanani nasaha waliyopewa na mwalimu mkuu. walimwitisha Sengo na kumkalisha chini na wakamwambia. Alianza baba mtu, “Sengo mwanangu, hebu sikiliza . Sisi ni wazazi wako na tunakupenda. Tumeliona jua likichomoza na kutua kabla yako. Tumeona na tumeshuhudia mengi. Tabia zako zitakupeleka pabaya na yafaa ubadilike ili uone mengi.” Ila huyo mwana aliyekuwa akiambiwa alisema kimoyomoyo,"Kwa nini hawa wanaiingilia maisha yangu, hawajui mimi sasa ni mtu mzima ninayeweza kufanya chochote nitakacho. Maisha yangu ni yangu, sitaki kuzuiliwa.” Wazazi walipoona kuwa Sengo ni sikio la kufa lisilosikia dawa walimwacha afanye alichotaka. Walionelea wamwache sababu alikuwa akiwapanda kichwani. Lakini walimwoonya kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wakati huo, Sengo alikuwa ameacha shule na kujiunga na kundi harari lililokuwa likiwapora watu mtaani. Siku moja walipangana kwenda kuiba kwenye benki kuu ya Jiji la Tumaini Moyo. Walikuwa na bunduki bandia. Walielekea benki wakiwa na ujasiri wa kupora pesa zote benki. Ila hayo yote hawakujua kwamba siku za mwizi ni arobaini. Walipofika hapo wali wavamia wananchi waliokuwa kwenye benki. Walimpiga risasi askari aliyekuwa akilinda kwenye lango kuu la benki hiyo. Kwani wasilolijua ni kama usiku wa giza. Kumbe ndani ya benki hiyo kulikuwa na askari waliokuwa wameletwa ili wapambane na mafisadi hao. Kumbe kwenye genge hilo hatari mlikuwa na askari kanzu wa kisiri. Aliwafahamisha askari wenzake na kujitayarisha na mapema. Waliduwaa na kustahamaki. Jasho yaliwatiririka tiriri kwenye mapaji ya nyuso zao. Walitetemeka na wakajaribu kutoroka ila Sengo aliyekuwa na bahati mbaya, alilengwa risasi ya mguu. Baada ya wiki moja, wote walikuwa wameshtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano. Ukweli wa maneno haya ulimchoma zaidi kuliko risasi iliyomfanya akatwe mguu. Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. ya
Mtu akikataa kuzingatia maonyo na tahadhari atafanyika nini
{ "text": [ "Atadhurika" ] }
3033_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana busara iliyofichika katika methali hii ni kuwa mtu akikataa kuzingana maonyo na tahadhari za wakuu wake ambao wamekula chumvi si haba, bila shaka hufika siku ambapo atadhurika. Madhara yatakayompata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari za wakuu wake. Sengo alikuwa kijana mwenye umri wa makamo takriban kumi na nane. Alikuwa amelelewa kwa mapenzi ya dhati kutoka kwa wavyele wake, kwani chochote alichokitaka alikipata bila hata taabu nyingi. Wazazi wake walifanya kadri iwezekanavyo kumkidhi Sengo na maisha mazuri na ya kumfaidi yeye mwenyewe. Sengo mwenyewe alikuwa mwana mzuri nyumbani hata shuleni. Wakubwa kwa wadogo wote walimsifia. Wahenga walisema hakuna kizuri kisichokua na doa. Alipokuwa katika kidato cha tatu kwenye shule ya magwiji wa jamii iliyoitwa Tumaini Moyo, alijiunga na kundi la wavulana waliopotoka. Mabarobaro hao walikuwa na tabia potovu na zisizotakikana katika jamii yao ya shule na hata nyumbani Wavulana hao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Vijana hao walikuwa wakitumia mihadarati kama vile bangi, miraa na uvutaji wa sigara na hata pia unywaji wa pombe shuleni, walimu na wanafunzi walimkanya sana Sengo kutokana na vijana hao Ila Sengo alikuwa mwenye sikio la kufa lisitosikia dawa. Ilifikia wakati hadi mwalimu mkuu aliwaita wazazi wake Sengo. Aliwaelezea hao madhara ya mwana wao kuwafuata vijana hao potovu. Wazazi wake waliyatilia maanani nasaha waliyopewa na mwalimu mkuu. walimwitisha Sengo na kumkalisha chini na wakamwambia. Alianza baba mtu, “Sengo mwanangu, hebu sikiliza . Sisi ni wazazi wako na tunakupenda. Tumeliona jua likichomoza na kutua kabla yako. Tumeona na tumeshuhudia mengi. Tabia zako zitakupeleka pabaya na yafaa ubadilike ili uone mengi.” Ila huyo mwana aliyekuwa akiambiwa alisema kimoyomoyo,"Kwa nini hawa wanaiingilia maisha yangu, hawajui mimi sasa ni mtu mzima ninayeweza kufanya chochote nitakacho. Maisha yangu ni yangu, sitaki kuzuiliwa.” Wazazi walipoona kuwa Sengo ni sikio la kufa lisilosikia dawa walimwacha afanye alichotaka. Walionelea wamwache sababu alikuwa akiwapanda kichwani. Lakini walimwoonya kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wakati huo, Sengo alikuwa ameacha shule na kujiunga na kundi harari lililokuwa likiwapora watu mtaani. Siku moja walipangana kwenda kuiba kwenye benki kuu ya Jiji la Tumaini Moyo. Walikuwa na bunduki bandia. Walielekea benki wakiwa na ujasiri wa kupora pesa zote benki. Ila hayo yote hawakujua kwamba siku za mwizi ni arobaini. Walipofika hapo wali wavamia wananchi waliokuwa kwenye benki. Walimpiga risasi askari aliyekuwa akilinda kwenye lango kuu la benki hiyo. Kwani wasilolijua ni kama usiku wa giza. Kumbe ndani ya benki hiyo kulikuwa na askari waliokuwa wameletwa ili wapambane na mafisadi hao. Kumbe kwenye genge hilo hatari mlikuwa na askari kanzu wa kisiri. Aliwafahamisha askari wenzake na kujitayarisha na mapema. Waliduwaa na kustahamaki. Jasho yaliwatiririka tiriri kwenye mapaji ya nyuso zao. Walitetemeka na wakajaribu kutoroka ila Sengo aliyekuwa na bahati mbaya, alilengwa risasi ya mguu. Baada ya wiki moja, wote walikuwa wameshtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano. Ukweli wa maneno haya ulimchoma zaidi kuliko risasi iliyomfanya akatwe mguu. Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. ya
Nani alikuwa mwana mzuri
{ "text": [ "Sengo" ] }
3033_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana busara iliyofichika katika methali hii ni kuwa mtu akikataa kuzingana maonyo na tahadhari za wakuu wake ambao wamekula chumvi si haba, bila shaka hufika siku ambapo atadhurika. Madhara yatakayompata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari za wakuu wake. Sengo alikuwa kijana mwenye umri wa makamo takriban kumi na nane. Alikuwa amelelewa kwa mapenzi ya dhati kutoka kwa wavyele wake, kwani chochote alichokitaka alikipata bila hata taabu nyingi. Wazazi wake walifanya kadri iwezekanavyo kumkidhi Sengo na maisha mazuri na ya kumfaidi yeye mwenyewe. Sengo mwenyewe alikuwa mwana mzuri nyumbani hata shuleni. Wakubwa kwa wadogo wote walimsifia. Wahenga walisema hakuna kizuri kisichokua na doa. Alipokuwa katika kidato cha tatu kwenye shule ya magwiji wa jamii iliyoitwa Tumaini Moyo, alijiunga na kundi la wavulana waliopotoka. Mabarobaro hao walikuwa na tabia potovu na zisizotakikana katika jamii yao ya shule na hata nyumbani Wavulana hao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Vijana hao walikuwa wakitumia mihadarati kama vile bangi, miraa na uvutaji wa sigara na hata pia unywaji wa pombe shuleni, walimu na wanafunzi walimkanya sana Sengo kutokana na vijana hao Ila Sengo alikuwa mwenye sikio la kufa lisitosikia dawa. Ilifikia wakati hadi mwalimu mkuu aliwaita wazazi wake Sengo. Aliwaelezea hao madhara ya mwana wao kuwafuata vijana hao potovu. Wazazi wake waliyatilia maanani nasaha waliyopewa na mwalimu mkuu. walimwitisha Sengo na kumkalisha chini na wakamwambia. Alianza baba mtu, “Sengo mwanangu, hebu sikiliza . Sisi ni wazazi wako na tunakupenda. Tumeliona jua likichomoza na kutua kabla yako. Tumeona na tumeshuhudia mengi. Tabia zako zitakupeleka pabaya na yafaa ubadilike ili uone mengi.” Ila huyo mwana aliyekuwa akiambiwa alisema kimoyomoyo,"Kwa nini hawa wanaiingilia maisha yangu, hawajui mimi sasa ni mtu mzima ninayeweza kufanya chochote nitakacho. Maisha yangu ni yangu, sitaki kuzuiliwa.” Wazazi walipoona kuwa Sengo ni sikio la kufa lisilosikia dawa walimwacha afanye alichotaka. Walionelea wamwache sababu alikuwa akiwapanda kichwani. Lakini walimwoonya kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wakati huo, Sengo alikuwa ameacha shule na kujiunga na kundi harari lililokuwa likiwapora watu mtaani. Siku moja walipangana kwenda kuiba kwenye benki kuu ya Jiji la Tumaini Moyo. Walikuwa na bunduki bandia. Walielekea benki wakiwa na ujasiri wa kupora pesa zote benki. Ila hayo yote hawakujua kwamba siku za mwizi ni arobaini. Walipofika hapo wali wavamia wananchi waliokuwa kwenye benki. Walimpiga risasi askari aliyekuwa akilinda kwenye lango kuu la benki hiyo. Kwani wasilolijua ni kama usiku wa giza. Kumbe ndani ya benki hiyo kulikuwa na askari waliokuwa wameletwa ili wapambane na mafisadi hao. Kumbe kwenye genge hilo hatari mlikuwa na askari kanzu wa kisiri. Aliwafahamisha askari wenzake na kujitayarisha na mapema. Waliduwaa na kustahamaki. Jasho yaliwatiririka tiriri kwenye mapaji ya nyuso zao. Walitetemeka na wakajaribu kutoroka ila Sengo aliyekuwa na bahati mbaya, alilengwa risasi ya mguu. Baada ya wiki moja, wote walikuwa wameshtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano. Ukweli wa maneno haya ulimchoma zaidi kuliko risasi iliyomfanya akatwe mguu. Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. ya
Hakuna kizuri kisichokuwa na nini
{ "text": [ "Doa" ] }
3033_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana busara iliyofichika katika methali hii ni kuwa mtu akikataa kuzingana maonyo na tahadhari za wakuu wake ambao wamekula chumvi si haba, bila shaka hufika siku ambapo atadhurika. Madhara yatakayompata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari za wakuu wake. Sengo alikuwa kijana mwenye umri wa makamo takriban kumi na nane. Alikuwa amelelewa kwa mapenzi ya dhati kutoka kwa wavyele wake, kwani chochote alichokitaka alikipata bila hata taabu nyingi. Wazazi wake walifanya kadri iwezekanavyo kumkidhi Sengo na maisha mazuri na ya kumfaidi yeye mwenyewe. Sengo mwenyewe alikuwa mwana mzuri nyumbani hata shuleni. Wakubwa kwa wadogo wote walimsifia. Wahenga walisema hakuna kizuri kisichokua na doa. Alipokuwa katika kidato cha tatu kwenye shule ya magwiji wa jamii iliyoitwa Tumaini Moyo, alijiunga na kundi la wavulana waliopotoka. Mabarobaro hao walikuwa na tabia potovu na zisizotakikana katika jamii yao ya shule na hata nyumbani Wavulana hao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Vijana hao walikuwa wakitumia mihadarati kama vile bangi, miraa na uvutaji wa sigara na hata pia unywaji wa pombe shuleni, walimu na wanafunzi walimkanya sana Sengo kutokana na vijana hao Ila Sengo alikuwa mwenye sikio la kufa lisitosikia dawa. Ilifikia wakati hadi mwalimu mkuu aliwaita wazazi wake Sengo. Aliwaelezea hao madhara ya mwana wao kuwafuata vijana hao potovu. Wazazi wake waliyatilia maanani nasaha waliyopewa na mwalimu mkuu. walimwitisha Sengo na kumkalisha chini na wakamwambia. Alianza baba mtu, “Sengo mwanangu, hebu sikiliza . Sisi ni wazazi wako na tunakupenda. Tumeliona jua likichomoza na kutua kabla yako. Tumeona na tumeshuhudia mengi. Tabia zako zitakupeleka pabaya na yafaa ubadilike ili uone mengi.” Ila huyo mwana aliyekuwa akiambiwa alisema kimoyomoyo,"Kwa nini hawa wanaiingilia maisha yangu, hawajui mimi sasa ni mtu mzima ninayeweza kufanya chochote nitakacho. Maisha yangu ni yangu, sitaki kuzuiliwa.” Wazazi walipoona kuwa Sengo ni sikio la kufa lisilosikia dawa walimwacha afanye alichotaka. Walionelea wamwache sababu alikuwa akiwapanda kichwani. Lakini walimwoonya kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wakati huo, Sengo alikuwa ameacha shule na kujiunga na kundi harari lililokuwa likiwapora watu mtaani. Siku moja walipangana kwenda kuiba kwenye benki kuu ya Jiji la Tumaini Moyo. Walikuwa na bunduki bandia. Walielekea benki wakiwa na ujasiri wa kupora pesa zote benki. Ila hayo yote hawakujua kwamba siku za mwizi ni arobaini. Walipofika hapo wali wavamia wananchi waliokuwa kwenye benki. Walimpiga risasi askari aliyekuwa akilinda kwenye lango kuu la benki hiyo. Kwani wasilolijua ni kama usiku wa giza. Kumbe ndani ya benki hiyo kulikuwa na askari waliokuwa wameletwa ili wapambane na mafisadi hao. Kumbe kwenye genge hilo hatari mlikuwa na askari kanzu wa kisiri. Aliwafahamisha askari wenzake na kujitayarisha na mapema. Waliduwaa na kustahamaki. Jasho yaliwatiririka tiriri kwenye mapaji ya nyuso zao. Walitetemeka na wakajaribu kutoroka ila Sengo aliyekuwa na bahati mbaya, alilengwa risasi ya mguu. Baada ya wiki moja, wote walikuwa wameshtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano. Ukweli wa maneno haya ulimchoma zaidi kuliko risasi iliyomfanya akatwe mguu. Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. ya
Siku moja walipangana kwenda kuiba wapi
{ "text": [ "Kwenye benki kuu" ] }
3033_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Maana busara iliyofichika katika methali hii ni kuwa mtu akikataa kuzingana maonyo na tahadhari za wakuu wake ambao wamekula chumvi si haba, bila shaka hufika siku ambapo atadhurika. Madhara yatakayompata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari za wakuu wake. Sengo alikuwa kijana mwenye umri wa makamo takriban kumi na nane. Alikuwa amelelewa kwa mapenzi ya dhati kutoka kwa wavyele wake, kwani chochote alichokitaka alikipata bila hata taabu nyingi. Wazazi wake walifanya kadri iwezekanavyo kumkidhi Sengo na maisha mazuri na ya kumfaidi yeye mwenyewe. Sengo mwenyewe alikuwa mwana mzuri nyumbani hata shuleni. Wakubwa kwa wadogo wote walimsifia. Wahenga walisema hakuna kizuri kisichokua na doa. Alipokuwa katika kidato cha tatu kwenye shule ya magwiji wa jamii iliyoitwa Tumaini Moyo, alijiunga na kundi la wavulana waliopotoka. Mabarobaro hao walikuwa na tabia potovu na zisizotakikana katika jamii yao ya shule na hata nyumbani Wavulana hao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Vijana hao walikuwa wakitumia mihadarati kama vile bangi, miraa na uvutaji wa sigara na hata pia unywaji wa pombe shuleni, walimu na wanafunzi walimkanya sana Sengo kutokana na vijana hao Ila Sengo alikuwa mwenye sikio la kufa lisitosikia dawa. Ilifikia wakati hadi mwalimu mkuu aliwaita wazazi wake Sengo. Aliwaelezea hao madhara ya mwana wao kuwafuata vijana hao potovu. Wazazi wake waliyatilia maanani nasaha waliyopewa na mwalimu mkuu. walimwitisha Sengo na kumkalisha chini na wakamwambia. Alianza baba mtu, “Sengo mwanangu, hebu sikiliza . Sisi ni wazazi wako na tunakupenda. Tumeliona jua likichomoza na kutua kabla yako. Tumeona na tumeshuhudia mengi. Tabia zako zitakupeleka pabaya na yafaa ubadilike ili uone mengi.” Ila huyo mwana aliyekuwa akiambiwa alisema kimoyomoyo,"Kwa nini hawa wanaiingilia maisha yangu, hawajui mimi sasa ni mtu mzima ninayeweza kufanya chochote nitakacho. Maisha yangu ni yangu, sitaki kuzuiliwa.” Wazazi walipoona kuwa Sengo ni sikio la kufa lisilosikia dawa walimwacha afanye alichotaka. Walionelea wamwache sababu alikuwa akiwapanda kichwani. Lakini walimwoonya kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wakati huo, Sengo alikuwa ameacha shule na kujiunga na kundi harari lililokuwa likiwapora watu mtaani. Siku moja walipangana kwenda kuiba kwenye benki kuu ya Jiji la Tumaini Moyo. Walikuwa na bunduki bandia. Walielekea benki wakiwa na ujasiri wa kupora pesa zote benki. Ila hayo yote hawakujua kwamba siku za mwizi ni arobaini. Walipofika hapo wali wavamia wananchi waliokuwa kwenye benki. Walimpiga risasi askari aliyekuwa akilinda kwenye lango kuu la benki hiyo. Kwani wasilolijua ni kama usiku wa giza. Kumbe ndani ya benki hiyo kulikuwa na askari waliokuwa wameletwa ili wapambane na mafisadi hao. Kumbe kwenye genge hilo hatari mlikuwa na askari kanzu wa kisiri. Aliwafahamisha askari wenzake na kujitayarisha na mapema. Waliduwaa na kustahamaki. Jasho yaliwatiririka tiriri kwenye mapaji ya nyuso zao. Walitetemeka na wakajaribu kutoroka ila Sengo aliyekuwa na bahati mbaya, alilengwa risasi ya mguu. Baada ya wiki moja, wote walikuwa wameshtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano. Ukweli wa maneno haya ulimchoma zaidi kuliko risasi iliyomfanya akatwe mguu. Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. ya
Mbona wazazi wa Sengo walimwacha afanye alilotaka
{ "text": [ "Kwa sababu waliona kuwa Sengo ni sikio la kufa lisilosikia dawa" ] }
3034_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maana ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu, zana au mitambo katika kiwanda au mawasiliano teknolojia kea ujumla ina faida na madhara mengi mno. Tunapoangazia kikotoo kimesaidia wanafunzi kukokotoa hesabu kwe umakini na ubora ulio na hali ya juu Imechangia sana kwenye sekta ya hesabu kwani pia hutumika kulinda muda. Vilevile kikotoo kimemfanya mwanatunzi wa sekondari kuwa wavivu. Teknolojia moja kwa moja ni kompyuta ambayo ni kifaa au chombo muhimu sana shuleni hutumika kutolea makaratasi ya mitihani, kupanga bajeti ya shule na mengineyo. Kompyuta pia humsaidia mwanafunzi kufanya utafiti wa maswali asiyoelewa. Vilevile imeleta madhara ya macho miongoni mwa wanafunzi hivi kwamba wazazi wengi hug?ramika kutafutia wana wao. Uvumbuzi wa jenereta amechangia katika uimarikaji wa masomo ya wanafunzi. Wanafunzi wa shule za bueni huendelea na masomo yao hata umeme unapopotea. Ingawaje hupigia wanafunzi kelele. Simu imeathiri pakubwa wanafunzi wa sekondari kiasi cha kuwa wale waliopo shule za kutula hukosa kusoma na kufanya kazi za nyumbani wanazopewa na mwalimu. Simu pia huwaaribu vijana kwa kuangalia sinema mbalimbali manazozitari mitandaoni. Sinema hizo huwa na mafunzo mabaya kwa wanafunzi. Huathiri asilimia kubwa ya akili. Vilevile simu hio imekuwa na faida kwa kuitazama kwa upande wa pili. Humsaidia mwanafunzi kupata masomo yanayo peperushwa moja kwa moja mitandaoni hivyo basi kumsaidia kupata alichokikosa shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi kufura kichwa na kujifanya wamebobeakwani siku hizi wanafunzi hawachapwi shuleni. Hii ni kulingana na Waziri wa elimu Dkt. George Magoha baada ya kubaini kwamba shule nyingi nchini hupiga wanafunzi mithili ya mbwa aliyeingia msikitini.
Nini kimesaidia wanafunzi kukokotoa hesabu kwa umakini
{ "text": [ "kikotoo" ] }
3034_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maana ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu, zana au mitambo katika kiwanda au mawasiliano teknolojia kea ujumla ina faida na madhara mengi mno. Tunapoangazia kikotoo kimesaidia wanafunzi kukokotoa hesabu kwe umakini na ubora ulio na hali ya juu Imechangia sana kwenye sekta ya hesabu kwani pia hutumika kulinda muda. Vilevile kikotoo kimemfanya mwanatunzi wa sekondari kuwa wavivu. Teknolojia moja kwa moja ni kompyuta ambayo ni kifaa au chombo muhimu sana shuleni hutumika kutolea makaratasi ya mitihani, kupanga bajeti ya shule na mengineyo. Kompyuta pia humsaidia mwanafunzi kufanya utafiti wa maswali asiyoelewa. Vilevile imeleta madhara ya macho miongoni mwa wanafunzi hivi kwamba wazazi wengi hug?ramika kutafutia wana wao. Uvumbuzi wa jenereta amechangia katika uimarikaji wa masomo ya wanafunzi. Wanafunzi wa shule za bueni huendelea na masomo yao hata umeme unapopotea. Ingawaje hupigia wanafunzi kelele. Simu imeathiri pakubwa wanafunzi wa sekondari kiasi cha kuwa wale waliopo shule za kutula hukosa kusoma na kufanya kazi za nyumbani wanazopewa na mwalimu. Simu pia huwaaribu vijana kwa kuangalia sinema mbalimbali manazozitari mitandaoni. Sinema hizo huwa na mafunzo mabaya kwa wanafunzi. Huathiri asilimia kubwa ya akili. Vilevile simu hio imekuwa na faida kwa kuitazama kwa upande wa pili. Humsaidia mwanafunzi kupata masomo yanayo peperushwa moja kwa moja mitandaoni hivyo basi kumsaidia kupata alichokikosa shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi kufura kichwa na kujifanya wamebobeakwani siku hizi wanafunzi hawachapwi shuleni. Hii ni kulingana na Waziri wa elimu Dkt. George Magoha baada ya kubaini kwamba shule nyingi nchini hupiga wanafunzi mithili ya mbwa aliyeingia msikitini.
Nini hutumika kutolea makaratasi ya mitihani
{ "text": [ "kompyuta" ] }
3034_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maana ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu, zana au mitambo katika kiwanda au mawasiliano teknolojia kea ujumla ina faida na madhara mengi mno. Tunapoangazia kikotoo kimesaidia wanafunzi kukokotoa hesabu kwe umakini na ubora ulio na hali ya juu Imechangia sana kwenye sekta ya hesabu kwani pia hutumika kulinda muda. Vilevile kikotoo kimemfanya mwanatunzi wa sekondari kuwa wavivu. Teknolojia moja kwa moja ni kompyuta ambayo ni kifaa au chombo muhimu sana shuleni hutumika kutolea makaratasi ya mitihani, kupanga bajeti ya shule na mengineyo. Kompyuta pia humsaidia mwanafunzi kufanya utafiti wa maswali asiyoelewa. Vilevile imeleta madhara ya macho miongoni mwa wanafunzi hivi kwamba wazazi wengi hug?ramika kutafutia wana wao. Uvumbuzi wa jenereta amechangia katika uimarikaji wa masomo ya wanafunzi. Wanafunzi wa shule za bueni huendelea na masomo yao hata umeme unapopotea. Ingawaje hupigia wanafunzi kelele. Simu imeathiri pakubwa wanafunzi wa sekondari kiasi cha kuwa wale waliopo shule za kutula hukosa kusoma na kufanya kazi za nyumbani wanazopewa na mwalimu. Simu pia huwaaribu vijana kwa kuangalia sinema mbalimbali manazozitari mitandaoni. Sinema hizo huwa na mafunzo mabaya kwa wanafunzi. Huathiri asilimia kubwa ya akili. Vilevile simu hio imekuwa na faida kwa kuitazama kwa upande wa pili. Humsaidia mwanafunzi kupata masomo yanayo peperushwa moja kwa moja mitandaoni hivyo basi kumsaidia kupata alichokikosa shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi kufura kichwa na kujifanya wamebobeakwani siku hizi wanafunzi hawachapwi shuleni. Hii ni kulingana na Waziri wa elimu Dkt. George Magoha baada ya kubaini kwamba shule nyingi nchini hupiga wanafunzi mithili ya mbwa aliyeingia msikitini.
Ni nani waziri wa Elimu
{ "text": [ "Dkt.George Magokha" ] }
3034_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maana ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu, zana au mitambo katika kiwanda au mawasiliano teknolojia kea ujumla ina faida na madhara mengi mno. Tunapoangazia kikotoo kimesaidia wanafunzi kukokotoa hesabu kwe umakini na ubora ulio na hali ya juu Imechangia sana kwenye sekta ya hesabu kwani pia hutumika kulinda muda. Vilevile kikotoo kimemfanya mwanatunzi wa sekondari kuwa wavivu. Teknolojia moja kwa moja ni kompyuta ambayo ni kifaa au chombo muhimu sana shuleni hutumika kutolea makaratasi ya mitihani, kupanga bajeti ya shule na mengineyo. Kompyuta pia humsaidia mwanafunzi kufanya utafiti wa maswali asiyoelewa. Vilevile imeleta madhara ya macho miongoni mwa wanafunzi hivi kwamba wazazi wengi hug?ramika kutafutia wana wao. Uvumbuzi wa jenereta amechangia katika uimarikaji wa masomo ya wanafunzi. Wanafunzi wa shule za bueni huendelea na masomo yao hata umeme unapopotea. Ingawaje hupigia wanafunzi kelele. Simu imeathiri pakubwa wanafunzi wa sekondari kiasi cha kuwa wale waliopo shule za kutula hukosa kusoma na kufanya kazi za nyumbani wanazopewa na mwalimu. Simu pia huwaaribu vijana kwa kuangalia sinema mbalimbali manazozitari mitandaoni. Sinema hizo huwa na mafunzo mabaya kwa wanafunzi. Huathiri asilimia kubwa ya akili. Vilevile simu hio imekuwa na faida kwa kuitazama kwa upande wa pili. Humsaidia mwanafunzi kupata masomo yanayo peperushwa moja kwa moja mitandaoni hivyo basi kumsaidia kupata alichokikosa shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi kufura kichwa na kujifanya wamebobeakwani siku hizi wanafunzi hawachapwi shuleni. Hii ni kulingana na Waziri wa elimu Dkt. George Magoha baada ya kubaini kwamba shule nyingi nchini hupiga wanafunzi mithili ya mbwa aliyeingia msikitini.
Jenereta hutumika katika shule za bweni lini
{ "text": [ "umeme unapopotea" ] }
3034_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maana ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu, zana au mitambo katika kiwanda au mawasiliano teknolojia kea ujumla ina faida na madhara mengi mno. Tunapoangazia kikotoo kimesaidia wanafunzi kukokotoa hesabu kwe umakini na ubora ulio na hali ya juu Imechangia sana kwenye sekta ya hesabu kwani pia hutumika kulinda muda. Vilevile kikotoo kimemfanya mwanatunzi wa sekondari kuwa wavivu. Teknolojia moja kwa moja ni kompyuta ambayo ni kifaa au chombo muhimu sana shuleni hutumika kutolea makaratasi ya mitihani, kupanga bajeti ya shule na mengineyo. Kompyuta pia humsaidia mwanafunzi kufanya utafiti wa maswali asiyoelewa. Vilevile imeleta madhara ya macho miongoni mwa wanafunzi hivi kwamba wazazi wengi hug?ramika kutafutia wana wao. Uvumbuzi wa jenereta amechangia katika uimarikaji wa masomo ya wanafunzi. Wanafunzi wa shule za bueni huendelea na masomo yao hata umeme unapopotea. Ingawaje hupigia wanafunzi kelele. Simu imeathiri pakubwa wanafunzi wa sekondari kiasi cha kuwa wale waliopo shule za kutula hukosa kusoma na kufanya kazi za nyumbani wanazopewa na mwalimu. Simu pia huwaaribu vijana kwa kuangalia sinema mbalimbali manazozitari mitandaoni. Sinema hizo huwa na mafunzo mabaya kwa wanafunzi. Huathiri asilimia kubwa ya akili. Vilevile simu hio imekuwa na faida kwa kuitazama kwa upande wa pili. Humsaidia mwanafunzi kupata masomo yanayo peperushwa moja kwa moja mitandaoni hivyo basi kumsaidia kupata alichokikosa shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi kufura kichwa na kujifanya wamebobeakwani siku hizi wanafunzi hawachapwi shuleni. Hii ni kulingana na Waziri wa elimu Dkt. George Magoha baada ya kubaini kwamba shule nyingi nchini hupiga wanafunzi mithili ya mbwa aliyeingia msikitini.
Simu imemsaidia vipi mwanafunzi wa shule
{ "text": [ "mwanafunzi anaweza kupata mafunzo mtandaoni anayokosa shuleni" ] }
3035_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatuonyesha maana wazi ya kwamba anaeyedharau wavyele lipo litakujamfika na atahitaji msamaha. Asiyesikia la mkuu huja juta baadae. Methali hii pia humithilishwa na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Methali hii hutumika kumuonya mtu dhidi ya kitu alichoambiwa lakini hataki kusikia. Methali hii hutumika hususan kumuambia mtu kitu chenye ashaonywa na hataki kusikia. Nakumbuka siku hiyo vizuri kama jana ingawaje ilipita miaka mitatu iliopita. Ilikuwa siku ya ijumaa Rais wa Jamhuri ya Kenya alipotangaza hali ya dharura. Katika hotuba yake aliyotoa siku hiyo ilikuwa pamoja na kwa nchi yetu imekumbwa na tandavu la janga la Corona .Akinakili kuwa ugonjwa huo ni hatari na tukifanya mchezo tutapoteza wananchi wengi. Hivyo basi akasema kuwa kila mtu azingatie umbali wa kilomita moja na watu wote wawe ndani ya nyumba kabla ya saa moja. Vilevile akaongezea kuomba watu wavae vitamuua. Mwendo wa saa kumi na mbili na nusu hivi mama aliamuru kila mtu aingie ndani na tufunge mlango. Mimi na kaka yangu tulitaka kwenda nje kucheza mpira na marafiki. Tulitoroka na kufunga mlango Tulielekea uwanjani na kucheza. Tulicheza na tukajisahau hadi ikafika saa moja na robo. Ghafla kama ajali tulisikia mlio wa bunduki ikielekezwa penye tulikiwa. Tulipopepesa na kupepesuka, tuliwaona wametuzingira. Tulijaribu kuhepa lakini tulipokua kwenye harakati za kuhepa kaka yangu aliingia kwenye shimo refu tusijue la kufanya. Wale askari walirusha mawe. Jiwe lilinigonga kwenye utosi na nikavuja damu. Nililia kwa uchungu na majuto mengi. Askari wale walikuja kumtoa kaka yangu kwenye shimo. Tuliruhusiwa kwenda nyumbani na tukaambiwa tusirudie. Nilitembea nikimwaga damu. Niliachwa na donda kubwa nisijue la kumwambia mama. Nilibaki na alama kwenye paji. Naam hapo ndipo nilipoamini kuna majuto ni mjukuu huja baadae kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Methali hii hutumika kufanya nini
{ "text": [ "kumuonya mtu" ] }
3035_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatuonyesha maana wazi ya kwamba anaeyedharau wavyele lipo litakujamfika na atahitaji msamaha. Asiyesikia la mkuu huja juta baadae. Methali hii pia humithilishwa na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Methali hii hutumika kumuonya mtu dhidi ya kitu alichoambiwa lakini hataki kusikia. Methali hii hutumika hususan kumuambia mtu kitu chenye ashaonywa na hataki kusikia. Nakumbuka siku hiyo vizuri kama jana ingawaje ilipita miaka mitatu iliopita. Ilikuwa siku ya ijumaa Rais wa Jamhuri ya Kenya alipotangaza hali ya dharura. Katika hotuba yake aliyotoa siku hiyo ilikuwa pamoja na kwa nchi yetu imekumbwa na tandavu la janga la Corona .Akinakili kuwa ugonjwa huo ni hatari na tukifanya mchezo tutapoteza wananchi wengi. Hivyo basi akasema kuwa kila mtu azingatie umbali wa kilomita moja na watu wote wawe ndani ya nyumba kabla ya saa moja. Vilevile akaongezea kuomba watu wavae vitamuua. Mwendo wa saa kumi na mbili na nusu hivi mama aliamuru kila mtu aingie ndani na tufunge mlango. Mimi na kaka yangu tulitaka kwenda nje kucheza mpira na marafiki. Tulitoroka na kufunga mlango Tulielekea uwanjani na kucheza. Tulicheza na tukajisahau hadi ikafika saa moja na robo. Ghafla kama ajali tulisikia mlio wa bunduki ikielekezwa penye tulikiwa. Tulipopepesa na kupepesuka, tuliwaona wametuzingira. Tulijaribu kuhepa lakini tulipokua kwenye harakati za kuhepa kaka yangu aliingia kwenye shimo refu tusijue la kufanya. Wale askari walirusha mawe. Jiwe lilinigonga kwenye utosi na nikavuja damu. Nililia kwa uchungu na majuto mengi. Askari wale walikuja kumtoa kaka yangu kwenye shimo. Tuliruhusiwa kwenda nyumbani na tukaambiwa tusirudie. Nilitembea nikimwaga damu. Niliachwa na donda kubwa nisijue la kumwambia mama. Nilibaki na alama kwenye paji. Naam hapo ndipo nilipoamini kuna majuto ni mjukuu huja baadae kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nchi ilikua imekumbwa na nini
{ "text": [ "janga la Corona" ] }
3035_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatuonyesha maana wazi ya kwamba anaeyedharau wavyele lipo litakujamfika na atahitaji msamaha. Asiyesikia la mkuu huja juta baadae. Methali hii pia humithilishwa na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Methali hii hutumika kumuonya mtu dhidi ya kitu alichoambiwa lakini hataki kusikia. Methali hii hutumika hususan kumuambia mtu kitu chenye ashaonywa na hataki kusikia. Nakumbuka siku hiyo vizuri kama jana ingawaje ilipita miaka mitatu iliopita. Ilikuwa siku ya ijumaa Rais wa Jamhuri ya Kenya alipotangaza hali ya dharura. Katika hotuba yake aliyotoa siku hiyo ilikuwa pamoja na kwa nchi yetu imekumbwa na tandavu la janga la Corona .Akinakili kuwa ugonjwa huo ni hatari na tukifanya mchezo tutapoteza wananchi wengi. Hivyo basi akasema kuwa kila mtu azingatie umbali wa kilomita moja na watu wote wawe ndani ya nyumba kabla ya saa moja. Vilevile akaongezea kuomba watu wavae vitamuua. Mwendo wa saa kumi na mbili na nusu hivi mama aliamuru kila mtu aingie ndani na tufunge mlango. Mimi na kaka yangu tulitaka kwenda nje kucheza mpira na marafiki. Tulitoroka na kufunga mlango Tulielekea uwanjani na kucheza. Tulicheza na tukajisahau hadi ikafika saa moja na robo. Ghafla kama ajali tulisikia mlio wa bunduki ikielekezwa penye tulikiwa. Tulipopepesa na kupepesuka, tuliwaona wametuzingira. Tulijaribu kuhepa lakini tulipokua kwenye harakati za kuhepa kaka yangu aliingia kwenye shimo refu tusijue la kufanya. Wale askari walirusha mawe. Jiwe lilinigonga kwenye utosi na nikavuja damu. Nililia kwa uchungu na majuto mengi. Askari wale walikuja kumtoa kaka yangu kwenye shimo. Tuliruhusiwa kwenda nyumbani na tukaambiwa tusirudie. Nilitembea nikimwaga damu. Niliachwa na donda kubwa nisijue la kumwambia mama. Nilibaki na alama kwenye paji. Naam hapo ndipo nilipoamini kuna majuto ni mjukuu huja baadae kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Rais alisema ugonjwa huo ni hatari wakifanya mchezo watafanya nini
{ "text": [ "watapoteza wananchi wengi" ] }
3035_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatuonyesha maana wazi ya kwamba anaeyedharau wavyele lipo litakujamfika na atahitaji msamaha. Asiyesikia la mkuu huja juta baadae. Methali hii pia humithilishwa na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Methali hii hutumika kumuonya mtu dhidi ya kitu alichoambiwa lakini hataki kusikia. Methali hii hutumika hususan kumuambia mtu kitu chenye ashaonywa na hataki kusikia. Nakumbuka siku hiyo vizuri kama jana ingawaje ilipita miaka mitatu iliopita. Ilikuwa siku ya ijumaa Rais wa Jamhuri ya Kenya alipotangaza hali ya dharura. Katika hotuba yake aliyotoa siku hiyo ilikuwa pamoja na kwa nchi yetu imekumbwa na tandavu la janga la Corona .Akinakili kuwa ugonjwa huo ni hatari na tukifanya mchezo tutapoteza wananchi wengi. Hivyo basi akasema kuwa kila mtu azingatie umbali wa kilomita moja na watu wote wawe ndani ya nyumba kabla ya saa moja. Vilevile akaongezea kuomba watu wavae vitamuua. Mwendo wa saa kumi na mbili na nusu hivi mama aliamuru kila mtu aingie ndani na tufunge mlango. Mimi na kaka yangu tulitaka kwenda nje kucheza mpira na marafiki. Tulitoroka na kufunga mlango Tulielekea uwanjani na kucheza. Tulicheza na tukajisahau hadi ikafika saa moja na robo. Ghafla kama ajali tulisikia mlio wa bunduki ikielekezwa penye tulikiwa. Tulipopepesa na kupepesuka, tuliwaona wametuzingira. Tulijaribu kuhepa lakini tulipokua kwenye harakati za kuhepa kaka yangu aliingia kwenye shimo refu tusijue la kufanya. Wale askari walirusha mawe. Jiwe lilinigonga kwenye utosi na nikavuja damu. Nililia kwa uchungu na majuto mengi. Askari wale walikuja kumtoa kaka yangu kwenye shimo. Tuliruhusiwa kwenda nyumbani na tukaambiwa tusirudie. Nilitembea nikimwaga damu. Niliachwa na donda kubwa nisijue la kumwambia mama. Nilibaki na alama kwenye paji. Naam hapo ndipo nilipoamini kuna majuto ni mjukuu huja baadae kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Rais alitangaza hali ya dharura lini
{ "text": [ "siku ya ijumaa" ] }
3035_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatuonyesha maana wazi ya kwamba anaeyedharau wavyele lipo litakujamfika na atahitaji msamaha. Asiyesikia la mkuu huja juta baadae. Methali hii pia humithilishwa na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Methali hii hutumika kumuonya mtu dhidi ya kitu alichoambiwa lakini hataki kusikia. Methali hii hutumika hususan kumuambia mtu kitu chenye ashaonywa na hataki kusikia. Nakumbuka siku hiyo vizuri kama jana ingawaje ilipita miaka mitatu iliopita. Ilikuwa siku ya ijumaa Rais wa Jamhuri ya Kenya alipotangaza hali ya dharura. Katika hotuba yake aliyotoa siku hiyo ilikuwa pamoja na kwa nchi yetu imekumbwa na tandavu la janga la Corona .Akinakili kuwa ugonjwa huo ni hatari na tukifanya mchezo tutapoteza wananchi wengi. Hivyo basi akasema kuwa kila mtu azingatie umbali wa kilomita moja na watu wote wawe ndani ya nyumba kabla ya saa moja. Vilevile akaongezea kuomba watu wavae vitamuua. Mwendo wa saa kumi na mbili na nusu hivi mama aliamuru kila mtu aingie ndani na tufunge mlango. Mimi na kaka yangu tulitaka kwenda nje kucheza mpira na marafiki. Tulitoroka na kufunga mlango Tulielekea uwanjani na kucheza. Tulicheza na tukajisahau hadi ikafika saa moja na robo. Ghafla kama ajali tulisikia mlio wa bunduki ikielekezwa penye tulikiwa. Tulipopepesa na kupepesuka, tuliwaona wametuzingira. Tulijaribu kuhepa lakini tulipokua kwenye harakati za kuhepa kaka yangu aliingia kwenye shimo refu tusijue la kufanya. Wale askari walirusha mawe. Jiwe lilinigonga kwenye utosi na nikavuja damu. Nililia kwa uchungu na majuto mengi. Askari wale walikuja kumtoa kaka yangu kwenye shimo. Tuliruhusiwa kwenda nyumbani na tukaambiwa tusirudie. Nilitembea nikimwaga damu. Niliachwa na donda kubwa nisijue la kumwambia mama. Nilibaki na alama kwenye paji. Naam hapo ndipo nilipoamini kuna majuto ni mjukuu huja baadae kwani asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kwa nini Saumu alilia kwa uchungu na majuto mengi
{ "text": [ "askari walirusha jiwe likamgonga kwenye utosi akaanza kuvuja damu" ] }
3036_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na viwanda, vilimo, ufundi au njia na mawasiliano. Teknolojia imesaidia sana katika shule za sekondari kuwa kupitia matumizi ya vikokotoo ambavyo vimerahisha usomaji wao. Hii inadhirika kwa kutofautisha masomo ya zamani ambapo watu hawakuruhusiwa kutumia vikotoo. Vimepunguza wakati wa kufanya hisabati. Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi ambayo inazo kila ncha za masomo na kuwawezesha wanafunzi kujifunza zaidi katika kudurusu kwao. Hii inawasaidia wanafunzi sana fika serikali kuhimiza wazazi kuwanunulia wana wao. Teknolojia vilevile imepews kipau mbele kwa kuwasaidia wanafunzi, kwa mfano, matumizi ya simu. Simu ina mambo mengi kuhusiana na masomo. Mwanafunzi anaweza kutumia wakati wowote ule na pia mahali popote pale kwa wepesi wake. Vimanda vilevile vimesaidia wanafunzi kama njia mojawapo ya teknolojia. Vimeendeleza uchapishaji wa masomo katika karatasi anuwai na kusambaza kwa wanafunzi ambapo wanafunzi hawa hufaidi mengi na kuishukuru pakubwa teknolojia iliyoenea na kusambaa kote. Kwa kweli kizuri hakikosi ila zake. Teknolojia inazo ila tofauti zinazowaathiri wanafunzi wa sekondari. Hii inafuatiliwa na utumizi wa simu. Simu kama teknolojia, wanafunzi huitumia kwa njia mbalimbali zinazowasaidia na hata zinazowapa idadi kubwa ya wanafunzi kujiingiza katika mambo machafu yasiyotajika kupitia simu na kudoroka katika masomo. Tarakilishi vilevile imeleta athari kwa wanafunzi kwani hutumia muda mwingi kutumia tarakilishi. Wanafunzi hawa huwa na madhara ya macho na kulalamika sana. Mwangaza mwingi kutokana na tarakilishi bila ya mapumziko huelekea na kutimu kuwa yameharibika. Kwa kufuatia faida na madhara ya teknolgiau kwa wanafunzi, Mwanafunzi anafaa kuzingatia ni jinsi gani ya kuzuia jumuia ya haya yote.Wanafunzi wanahitajika kuitumia vyema na uadilifu teknolojia.
Nini kimesaidia wanafunzi kupunguza wakati wa kufanya hisabati
{ "text": [ "kikotoo" ] }
3036_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na viwanda, vilimo, ufundi au njia na mawasiliano. Teknolojia imesaidia sana katika shule za sekondari kuwa kupitia matumizi ya vikokotoo ambavyo vimerahisha usomaji wao. Hii inadhirika kwa kutofautisha masomo ya zamani ambapo watu hawakuruhusiwa kutumia vikotoo. Vimepunguza wakati wa kufanya hisabati. Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi ambayo inazo kila ncha za masomo na kuwawezesha wanafunzi kujifunza zaidi katika kudurusu kwao. Hii inawasaidia wanafunzi sana fika serikali kuhimiza wazazi kuwanunulia wana wao. Teknolojia vilevile imepews kipau mbele kwa kuwasaidia wanafunzi, kwa mfano, matumizi ya simu. Simu ina mambo mengi kuhusiana na masomo. Mwanafunzi anaweza kutumia wakati wowote ule na pia mahali popote pale kwa wepesi wake. Vimanda vilevile vimesaidia wanafunzi kama njia mojawapo ya teknolojia. Vimeendeleza uchapishaji wa masomo katika karatasi anuwai na kusambaza kwa wanafunzi ambapo wanafunzi hawa hufaidi mengi na kuishukuru pakubwa teknolojia iliyoenea na kusambaa kote. Kwa kweli kizuri hakikosi ila zake. Teknolojia inazo ila tofauti zinazowaathiri wanafunzi wa sekondari. Hii inafuatiliwa na utumizi wa simu. Simu kama teknolojia, wanafunzi huitumia kwa njia mbalimbali zinazowasaidia na hata zinazowapa idadi kubwa ya wanafunzi kujiingiza katika mambo machafu yasiyotajika kupitia simu na kudoroka katika masomo. Tarakilishi vilevile imeleta athari kwa wanafunzi kwani hutumia muda mwingi kutumia tarakilishi. Wanafunzi hawa huwa na madhara ya macho na kulalamika sana. Mwangaza mwingi kutokana na tarakilishi bila ya mapumziko huelekea na kutimu kuwa yameharibika. Kwa kufuatia faida na madhara ya teknolgiau kwa wanafunzi, Mwanafunzi anafaa kuzingatia ni jinsi gani ya kuzuia jumuia ya haya yote.Wanafunzi wanahitajika kuitumia vyema na uadilifu teknolojia.
Nini hutumika kuwasaidia wanafunzi wakati wa kudurusu
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3036_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na viwanda, vilimo, ufundi au njia na mawasiliano. Teknolojia imesaidia sana katika shule za sekondari kuwa kupitia matumizi ya vikokotoo ambavyo vimerahisha usomaji wao. Hii inadhirika kwa kutofautisha masomo ya zamani ambapo watu hawakuruhusiwa kutumia vikotoo. Vimepunguza wakati wa kufanya hisabati. Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi ambayo inazo kila ncha za masomo na kuwawezesha wanafunzi kujifunza zaidi katika kudurusu kwao. Hii inawasaidia wanafunzi sana fika serikali kuhimiza wazazi kuwanunulia wana wao. Teknolojia vilevile imepews kipau mbele kwa kuwasaidia wanafunzi, kwa mfano, matumizi ya simu. Simu ina mambo mengi kuhusiana na masomo. Mwanafunzi anaweza kutumia wakati wowote ule na pia mahali popote pale kwa wepesi wake. Vimanda vilevile vimesaidia wanafunzi kama njia mojawapo ya teknolojia. Vimeendeleza uchapishaji wa masomo katika karatasi anuwai na kusambaza kwa wanafunzi ambapo wanafunzi hawa hufaidi mengi na kuishukuru pakubwa teknolojia iliyoenea na kusambaa kote. Kwa kweli kizuri hakikosi ila zake. Teknolojia inazo ila tofauti zinazowaathiri wanafunzi wa sekondari. Hii inafuatiliwa na utumizi wa simu. Simu kama teknolojia, wanafunzi huitumia kwa njia mbalimbali zinazowasaidia na hata zinazowapa idadi kubwa ya wanafunzi kujiingiza katika mambo machafu yasiyotajika kupitia simu na kudoroka katika masomo. Tarakilishi vilevile imeleta athari kwa wanafunzi kwani hutumia muda mwingi kutumia tarakilishi. Wanafunzi hawa huwa na madhara ya macho na kulalamika sana. Mwangaza mwingi kutokana na tarakilishi bila ya mapumziko huelekea na kutimu kuwa yameharibika. Kwa kufuatia faida na madhara ya teknolgiau kwa wanafunzi, Mwanafunzi anafaa kuzingatia ni jinsi gani ya kuzuia jumuia ya haya yote.Wanafunzi wanahitajika kuitumia vyema na uadilifu teknolojia.
Nini kimesaidia uchapishaji na usambazaji wa makaratasi kwa wanafunzi
{ "text": [ "viwanda " ] }
3036_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na viwanda, vilimo, ufundi au njia na mawasiliano. Teknolojia imesaidia sana katika shule za sekondari kuwa kupitia matumizi ya vikokotoo ambavyo vimerahisha usomaji wao. Hii inadhirika kwa kutofautisha masomo ya zamani ambapo watu hawakuruhusiwa kutumia vikotoo. Vimepunguza wakati wa kufanya hisabati. Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi ambayo inazo kila ncha za masomo na kuwawezesha wanafunzi kujifunza zaidi katika kudurusu kwao. Hii inawasaidia wanafunzi sana fika serikali kuhimiza wazazi kuwanunulia wana wao. Teknolojia vilevile imepews kipau mbele kwa kuwasaidia wanafunzi, kwa mfano, matumizi ya simu. Simu ina mambo mengi kuhusiana na masomo. Mwanafunzi anaweza kutumia wakati wowote ule na pia mahali popote pale kwa wepesi wake. Vimanda vilevile vimesaidia wanafunzi kama njia mojawapo ya teknolojia. Vimeendeleza uchapishaji wa masomo katika karatasi anuwai na kusambaza kwa wanafunzi ambapo wanafunzi hawa hufaidi mengi na kuishukuru pakubwa teknolojia iliyoenea na kusambaa kote. Kwa kweli kizuri hakikosi ila zake. Teknolojia inazo ila tofauti zinazowaathiri wanafunzi wa sekondari. Hii inafuatiliwa na utumizi wa simu. Simu kama teknolojia, wanafunzi huitumia kwa njia mbalimbali zinazowasaidia na hata zinazowapa idadi kubwa ya wanafunzi kujiingiza katika mambo machafu yasiyotajika kupitia simu na kudoroka katika masomo. Tarakilishi vilevile imeleta athari kwa wanafunzi kwani hutumia muda mwingi kutumia tarakilishi. Wanafunzi hawa huwa na madhara ya macho na kulalamika sana. Mwangaza mwingi kutokana na tarakilishi bila ya mapumziko huelekea na kutimu kuwa yameharibika. Kwa kufuatia faida na madhara ya teknolgiau kwa wanafunzi, Mwanafunzi anafaa kuzingatia ni jinsi gani ya kuzuia jumuia ya haya yote.Wanafunzi wanahitajika kuitumia vyema na uadilifu teknolojia.
Ni lini mwanafunzi anaweza kutumia simu
{ "text": [ "wakati wowote ule" ] }
3036_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na viwanda, vilimo, ufundi au njia na mawasiliano. Teknolojia imesaidia sana katika shule za sekondari kuwa kupitia matumizi ya vikokotoo ambavyo vimerahisha usomaji wao. Hii inadhirika kwa kutofautisha masomo ya zamani ambapo watu hawakuruhusiwa kutumia vikotoo. Vimepunguza wakati wa kufanya hisabati. Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi ambayo inazo kila ncha za masomo na kuwawezesha wanafunzi kujifunza zaidi katika kudurusu kwao. Hii inawasaidia wanafunzi sana fika serikali kuhimiza wazazi kuwanunulia wana wao. Teknolojia vilevile imepews kipau mbele kwa kuwasaidia wanafunzi, kwa mfano, matumizi ya simu. Simu ina mambo mengi kuhusiana na masomo. Mwanafunzi anaweza kutumia wakati wowote ule na pia mahali popote pale kwa wepesi wake. Vimanda vilevile vimesaidia wanafunzi kama njia mojawapo ya teknolojia. Vimeendeleza uchapishaji wa masomo katika karatasi anuwai na kusambaza kwa wanafunzi ambapo wanafunzi hawa hufaidi mengi na kuishukuru pakubwa teknolojia iliyoenea na kusambaa kote. Kwa kweli kizuri hakikosi ila zake. Teknolojia inazo ila tofauti zinazowaathiri wanafunzi wa sekondari. Hii inafuatiliwa na utumizi wa simu. Simu kama teknolojia, wanafunzi huitumia kwa njia mbalimbali zinazowasaidia na hata zinazowapa idadi kubwa ya wanafunzi kujiingiza katika mambo machafu yasiyotajika kupitia simu na kudoroka katika masomo. Tarakilishi vilevile imeleta athari kwa wanafunzi kwani hutumia muda mwingi kutumia tarakilishi. Wanafunzi hawa huwa na madhara ya macho na kulalamika sana. Mwangaza mwingi kutokana na tarakilishi bila ya mapumziko huelekea na kutimu kuwa yameharibika. Kwa kufuatia faida na madhara ya teknolgiau kwa wanafunzi, Mwanafunzi anafaa kuzingatia ni jinsi gani ya kuzuia jumuia ya haya yote.Wanafunzi wanahitajika kuitumia vyema na uadilifu teknolojia.
Tarakilishi huleta athari kwa wanafunzi aje
{ "text": [ "wanapotumia kwa muda mrefu huo mwangaza uwaletea madhara ya macho" ] }
3037_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa unaposusia maoni ya wavya wako mwishoni huenda ukajuta. Methali hii imetumika kuwaonya walio na tabia nyeti zisizo wapendeza wavyele wao. Halma msichana wa miaka kumi na miwili alkuwa mwana wa Dodi. Halma alikuwa na urembo wa kuvutia kwa watu wengi. Alijaliwa na macho ya gololi. Mwenye shingo ya upanga miguu ya cherehani na kiuno cha nyigu. Alikuwa mrembo si haba. Halma alijaliwa pia kupata akili nyepesi ya kuelewa darasani. Walimu walimfiaia Halma kushinda wazazi wake. Ama kweli, Halma alikuwa mzuri hana doa. Halma alisomea shule ya mbali ambayo ilimgharimu kupanda basi kuelekea shuleni kila siku. Wazazi wa Halma wamalifurahi kwa matokeo ya mwana wao kwani walielewa la kwamba kuzaa mwana si pato ni kumvyeleza. Walifurahishwa na jinsi alivyojituma katika kuwasaidia wazazi wake. Halma aliendelea hivyo huku sifa zikimfuata unyo unyo kwa ukarimu wake. Siku zilizidi kusonga, Halma akazidi kukua na urembo ukazidi kuning’inia. Halma akaufanya mtihani wake wa Kitaifa. Sifa zake zilizidi kuenea kwani tabia zake zilikuwa zakuigwa. Wazazi wake walijitayarisha mapema ili kuingia shule ya upili kuendeleza masomo yake. Jioni moja wakiwa mezani kula chajio, Halma aliufungua runinga na kusikiliza habari. Masikio yaliwasimama tisti na macho pima mbele kutoka alipoona habari za majibu ya mtihani wa kitaifa. Kelele za vicheko ghafla zilisikika walipoona halma ni mojawapo wa washindi. Watu walimshangilia na kumlaki Halma. Wazazi wa Halma wakajikaza hadi akaenda chuo kikuu. Furaha iliyoje? Halma ajiunga kidato cha kwanza baada ya sherehe hizo. Alifurahi sana kwani ilikuwa nadra kwa wasichana kuendelea na masomo yao hadi mwisho. Kwake ilikuwa kama ndoto. Halma alishikana na marafiki anwai katika shule hiyo, wakubwa kwa wadogo kwani alikuwa msichana mpole. Muda ulizidi kusonga na mambo yakazidi kubadilika, marafiki aliowathamini walimwendea kinyume. Walimdadisi Halma kutumia unga mweupe. Halma alijaribu kuwaepuka lakini aliambulia patupu. Alijikuta mtegoni. Halma alikuwa njia panda na akashindwa afuate lipi. Alijikuta mkono kushoto. Aliendelea kutumia unga kichichini akisahau kwamba ananijichimbia kaburi mwenyewe. Halma alianza kudorora katika masomo walimu walijiuliza na kufuatilia lakini hakutoa suluhisho lolote. Marafiki waliokuwa na fununu walimshauri kabla imuathiri zaidi. Lakini ilikuwa kama kumpigia mbuzi gitaa. Halma ilifika zamu yake ya kuuwani unga ili agawie wenzake. Alitoroka shuleni ili kutafuta unga huo. Ama kweli bahati haikuwa juu yake kwani alishikwa na polisi na kutiwa ndani. Wazazi wake walipata habari na wakabaki midomo wazi. Maisha yake yaliishia huko. Methali hii inatuhimiza kuwa sisi tuwe wasikivu na kuyatilia maanani mambo tunayoambiwa na wavyele wetu, kwani muiba wa kujichoma hauambiwi pole.
Halma alikuwa mwana wa nani
{ "text": [ "Dodi" ] }
3037_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa unaposusia maoni ya wavya wako mwishoni huenda ukajuta. Methali hii imetumika kuwaonya walio na tabia nyeti zisizo wapendeza wavyele wao. Halma msichana wa miaka kumi na miwili alkuwa mwana wa Dodi. Halma alikuwa na urembo wa kuvutia kwa watu wengi. Alijaliwa na macho ya gololi. Mwenye shingo ya upanga miguu ya cherehani na kiuno cha nyigu. Alikuwa mrembo si haba. Halma alijaliwa pia kupata akili nyepesi ya kuelewa darasani. Walimu walimfiaia Halma kushinda wazazi wake. Ama kweli, Halma alikuwa mzuri hana doa. Halma alisomea shule ya mbali ambayo ilimgharimu kupanda basi kuelekea shuleni kila siku. Wazazi wa Halma wamalifurahi kwa matokeo ya mwana wao kwani walielewa la kwamba kuzaa mwana si pato ni kumvyeleza. Walifurahishwa na jinsi alivyojituma katika kuwasaidia wazazi wake. Halma aliendelea hivyo huku sifa zikimfuata unyo unyo kwa ukarimu wake. Siku zilizidi kusonga, Halma akazidi kukua na urembo ukazidi kuning’inia. Halma akaufanya mtihani wake wa Kitaifa. Sifa zake zilizidi kuenea kwani tabia zake zilikuwa zakuigwa. Wazazi wake walijitayarisha mapema ili kuingia shule ya upili kuendeleza masomo yake. Jioni moja wakiwa mezani kula chajio, Halma aliufungua runinga na kusikiliza habari. Masikio yaliwasimama tisti na macho pima mbele kutoka alipoona habari za majibu ya mtihani wa kitaifa. Kelele za vicheko ghafla zilisikika walipoona halma ni mojawapo wa washindi. Watu walimshangilia na kumlaki Halma. Wazazi wa Halma wakajikaza hadi akaenda chuo kikuu. Furaha iliyoje? Halma ajiunga kidato cha kwanza baada ya sherehe hizo. Alifurahi sana kwani ilikuwa nadra kwa wasichana kuendelea na masomo yao hadi mwisho. Kwake ilikuwa kama ndoto. Halma alishikana na marafiki anwai katika shule hiyo, wakubwa kwa wadogo kwani alikuwa msichana mpole. Muda ulizidi kusonga na mambo yakazidi kubadilika, marafiki aliowathamini walimwendea kinyume. Walimdadisi Halma kutumia unga mweupe. Halma alijaribu kuwaepuka lakini aliambulia patupu. Alijikuta mtegoni. Halma alikuwa njia panda na akashindwa afuate lipi. Alijikuta mkono kushoto. Aliendelea kutumia unga kichichini akisahau kwamba ananijichimbia kaburi mwenyewe. Halma alianza kudorora katika masomo walimu walijiuliza na kufuatilia lakini hakutoa suluhisho lolote. Marafiki waliokuwa na fununu walimshauri kabla imuathiri zaidi. Lakini ilikuwa kama kumpigia mbuzi gitaa. Halma ilifika zamu yake ya kuuwani unga ili agawie wenzake. Alitoroka shuleni ili kutafuta unga huo. Ama kweli bahati haikuwa juu yake kwani alishikwa na polisi na kutiwa ndani. Wazazi wake walipata habari na wakabaki midomo wazi. Maisha yake yaliishia huko. Methali hii inatuhimiza kuwa sisi tuwe wasikivu na kuyatilia maanani mambo tunayoambiwa na wavyele wetu, kwani muiba wa kujichoma hauambiwi pole.
Nani alikuwa na urembo wa kuvutia watu wengi
{ "text": [ "Halma" ] }
3037_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa unaposusia maoni ya wavya wako mwishoni huenda ukajuta. Methali hii imetumika kuwaonya walio na tabia nyeti zisizo wapendeza wavyele wao. Halma msichana wa miaka kumi na miwili alkuwa mwana wa Dodi. Halma alikuwa na urembo wa kuvutia kwa watu wengi. Alijaliwa na macho ya gololi. Mwenye shingo ya upanga miguu ya cherehani na kiuno cha nyigu. Alikuwa mrembo si haba. Halma alijaliwa pia kupata akili nyepesi ya kuelewa darasani. Walimu walimfiaia Halma kushinda wazazi wake. Ama kweli, Halma alikuwa mzuri hana doa. Halma alisomea shule ya mbali ambayo ilimgharimu kupanda basi kuelekea shuleni kila siku. Wazazi wa Halma wamalifurahi kwa matokeo ya mwana wao kwani walielewa la kwamba kuzaa mwana si pato ni kumvyeleza. Walifurahishwa na jinsi alivyojituma katika kuwasaidia wazazi wake. Halma aliendelea hivyo huku sifa zikimfuata unyo unyo kwa ukarimu wake. Siku zilizidi kusonga, Halma akazidi kukua na urembo ukazidi kuning’inia. Halma akaufanya mtihani wake wa Kitaifa. Sifa zake zilizidi kuenea kwani tabia zake zilikuwa zakuigwa. Wazazi wake walijitayarisha mapema ili kuingia shule ya upili kuendeleza masomo yake. Jioni moja wakiwa mezani kula chajio, Halma aliufungua runinga na kusikiliza habari. Masikio yaliwasimama tisti na macho pima mbele kutoka alipoona habari za majibu ya mtihani wa kitaifa. Kelele za vicheko ghafla zilisikika walipoona halma ni mojawapo wa washindi. Watu walimshangilia na kumlaki Halma. Wazazi wa Halma wakajikaza hadi akaenda chuo kikuu. Furaha iliyoje? Halma ajiunga kidato cha kwanza baada ya sherehe hizo. Alifurahi sana kwani ilikuwa nadra kwa wasichana kuendelea na masomo yao hadi mwisho. Kwake ilikuwa kama ndoto. Halma alishikana na marafiki anwai katika shule hiyo, wakubwa kwa wadogo kwani alikuwa msichana mpole. Muda ulizidi kusonga na mambo yakazidi kubadilika, marafiki aliowathamini walimwendea kinyume. Walimdadisi Halma kutumia unga mweupe. Halma alijaribu kuwaepuka lakini aliambulia patupu. Alijikuta mtegoni. Halma alikuwa njia panda na akashindwa afuate lipi. Alijikuta mkono kushoto. Aliendelea kutumia unga kichichini akisahau kwamba ananijichimbia kaburi mwenyewe. Halma alianza kudorora katika masomo walimu walijiuliza na kufuatilia lakini hakutoa suluhisho lolote. Marafiki waliokuwa na fununu walimshauri kabla imuathiri zaidi. Lakini ilikuwa kama kumpigia mbuzi gitaa. Halma ilifika zamu yake ya kuuwani unga ili agawie wenzake. Alitoroka shuleni ili kutafuta unga huo. Ama kweli bahati haikuwa juu yake kwani alishikwa na polisi na kutiwa ndani. Wazazi wake walipata habari na wakabaki midomo wazi. Maisha yake yaliishia huko. Methali hii inatuhimiza kuwa sisi tuwe wasikivu na kuyatilia maanani mambo tunayoambiwa na wavyele wetu, kwani muiba wa kujichoma hauambiwi pole.
Wazazi wa Halima walijitayarisha mapema ili kuingia wapi
{ "text": [ "Shule ya upili" ] }
3037_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa unaposusia maoni ya wavya wako mwishoni huenda ukajuta. Methali hii imetumika kuwaonya walio na tabia nyeti zisizo wapendeza wavyele wao. Halma msichana wa miaka kumi na miwili alkuwa mwana wa Dodi. Halma alikuwa na urembo wa kuvutia kwa watu wengi. Alijaliwa na macho ya gololi. Mwenye shingo ya upanga miguu ya cherehani na kiuno cha nyigu. Alikuwa mrembo si haba. Halma alijaliwa pia kupata akili nyepesi ya kuelewa darasani. Walimu walimfiaia Halma kushinda wazazi wake. Ama kweli, Halma alikuwa mzuri hana doa. Halma alisomea shule ya mbali ambayo ilimgharimu kupanda basi kuelekea shuleni kila siku. Wazazi wa Halma wamalifurahi kwa matokeo ya mwana wao kwani walielewa la kwamba kuzaa mwana si pato ni kumvyeleza. Walifurahishwa na jinsi alivyojituma katika kuwasaidia wazazi wake. Halma aliendelea hivyo huku sifa zikimfuata unyo unyo kwa ukarimu wake. Siku zilizidi kusonga, Halma akazidi kukua na urembo ukazidi kuning’inia. Halma akaufanya mtihani wake wa Kitaifa. Sifa zake zilizidi kuenea kwani tabia zake zilikuwa zakuigwa. Wazazi wake walijitayarisha mapema ili kuingia shule ya upili kuendeleza masomo yake. Jioni moja wakiwa mezani kula chajio, Halma aliufungua runinga na kusikiliza habari. Masikio yaliwasimama tisti na macho pima mbele kutoka alipoona habari za majibu ya mtihani wa kitaifa. Kelele za vicheko ghafla zilisikika walipoona halma ni mojawapo wa washindi. Watu walimshangilia na kumlaki Halma. Wazazi wa Halma wakajikaza hadi akaenda chuo kikuu. Furaha iliyoje? Halma ajiunga kidato cha kwanza baada ya sherehe hizo. Alifurahi sana kwani ilikuwa nadra kwa wasichana kuendelea na masomo yao hadi mwisho. Kwake ilikuwa kama ndoto. Halma alishikana na marafiki anwai katika shule hiyo, wakubwa kwa wadogo kwani alikuwa msichana mpole. Muda ulizidi kusonga na mambo yakazidi kubadilika, marafiki aliowathamini walimwendea kinyume. Walimdadisi Halma kutumia unga mweupe. Halma alijaribu kuwaepuka lakini aliambulia patupu. Alijikuta mtegoni. Halma alikuwa njia panda na akashindwa afuate lipi. Alijikuta mkono kushoto. Aliendelea kutumia unga kichichini akisahau kwamba ananijichimbia kaburi mwenyewe. Halma alianza kudorora katika masomo walimu walijiuliza na kufuatilia lakini hakutoa suluhisho lolote. Marafiki waliokuwa na fununu walimshauri kabla imuathiri zaidi. Lakini ilikuwa kama kumpigia mbuzi gitaa. Halma ilifika zamu yake ya kuuwani unga ili agawie wenzake. Alitoroka shuleni ili kutafuta unga huo. Ama kweli bahati haikuwa juu yake kwani alishikwa na polisi na kutiwa ndani. Wazazi wake walipata habari na wakabaki midomo wazi. Maisha yake yaliishia huko. Methali hii inatuhimiza kuwa sisi tuwe wasikivu na kuyatilia maanani mambo tunayoambiwa na wavyele wetu, kwani muiba wa kujichoma hauambiwi pole.
Mwiba wa kujichoma hauambiwi nini
{ "text": [ "Pole" ] }
3037_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa unaposusia maoni ya wavya wako mwishoni huenda ukajuta. Methali hii imetumika kuwaonya walio na tabia nyeti zisizo wapendeza wavyele wao. Halma msichana wa miaka kumi na miwili alkuwa mwana wa Dodi. Halma alikuwa na urembo wa kuvutia kwa watu wengi. Alijaliwa na macho ya gololi. Mwenye shingo ya upanga miguu ya cherehani na kiuno cha nyigu. Alikuwa mrembo si haba. Halma alijaliwa pia kupata akili nyepesi ya kuelewa darasani. Walimu walimfiaia Halma kushinda wazazi wake. Ama kweli, Halma alikuwa mzuri hana doa. Halma alisomea shule ya mbali ambayo ilimgharimu kupanda basi kuelekea shuleni kila siku. Wazazi wa Halma wamalifurahi kwa matokeo ya mwana wao kwani walielewa la kwamba kuzaa mwana si pato ni kumvyeleza. Walifurahishwa na jinsi alivyojituma katika kuwasaidia wazazi wake. Halma aliendelea hivyo huku sifa zikimfuata unyo unyo kwa ukarimu wake. Siku zilizidi kusonga, Halma akazidi kukua na urembo ukazidi kuning’inia. Halma akaufanya mtihani wake wa Kitaifa. Sifa zake zilizidi kuenea kwani tabia zake zilikuwa zakuigwa. Wazazi wake walijitayarisha mapema ili kuingia shule ya upili kuendeleza masomo yake. Jioni moja wakiwa mezani kula chajio, Halma aliufungua runinga na kusikiliza habari. Masikio yaliwasimama tisti na macho pima mbele kutoka alipoona habari za majibu ya mtihani wa kitaifa. Kelele za vicheko ghafla zilisikika walipoona halma ni mojawapo wa washindi. Watu walimshangilia na kumlaki Halma. Wazazi wa Halma wakajikaza hadi akaenda chuo kikuu. Furaha iliyoje? Halma ajiunga kidato cha kwanza baada ya sherehe hizo. Alifurahi sana kwani ilikuwa nadra kwa wasichana kuendelea na masomo yao hadi mwisho. Kwake ilikuwa kama ndoto. Halma alishikana na marafiki anwai katika shule hiyo, wakubwa kwa wadogo kwani alikuwa msichana mpole. Muda ulizidi kusonga na mambo yakazidi kubadilika, marafiki aliowathamini walimwendea kinyume. Walimdadisi Halma kutumia unga mweupe. Halma alijaribu kuwaepuka lakini aliambulia patupu. Alijikuta mtegoni. Halma alikuwa njia panda na akashindwa afuate lipi. Alijikuta mkono kushoto. Aliendelea kutumia unga kichichini akisahau kwamba ananijichimbia kaburi mwenyewe. Halma alianza kudorora katika masomo walimu walijiuliza na kufuatilia lakini hakutoa suluhisho lolote. Marafiki waliokuwa na fununu walimshauri kabla imuathiri zaidi. Lakini ilikuwa kama kumpigia mbuzi gitaa. Halma ilifika zamu yake ya kuuwani unga ili agawie wenzake. Alitoroka shuleni ili kutafuta unga huo. Ama kweli bahati haikuwa juu yake kwani alishikwa na polisi na kutiwa ndani. Wazazi wake walipata habari na wakabaki midomo wazi. Maisha yake yaliishia huko. Methali hii inatuhimiza kuwa sisi tuwe wasikivu na kuyatilia maanani mambo tunayoambiwa na wavyele wetu, kwani muiba wa kujichoma hauambiwi pole.
Mbona sifa za Halma zilizidi kuenea
{ "text": [ "Kwa sababu tabia zake zilikuwa za kuigwa" ] }
3038_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mitandao ya kisasa inayotumiwa kila pembe ya dunia ili kurahisisha kazi. Kwanza kabisa tungeanza na faida ya teknolojia katika shule za sekondari. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta manufaa mengi kwa upande wa masomo. Wanafunzi wengi hutumia kompyuta katika masomo yao ili kuweza kujua mengi. Vilevile imewafanya wanafunzi wengi kuimarika katika elimu kwa kutumia teknolojia. Walimu pia hutumia teknolojia kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao kwani imeleta manufaa makubwa na urahishaji wa kazi shuleni.Vile vile teknolojia imefanya wanafunzi pamoja na wanalimu kufanya kazi zao na kumaliza kazi zao kwa wepesi na haraka. Kwani wanafunzi wanapotumia kompyuta huweza kujuwa mengi kwani inawaletea habari kamili na zaidi wasizojuwa. Kwa upande mwingine teknolojia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Kwanza kabisa imewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika kazi zao. Imewafanya pia kutotumia akili zao kwa undani kwani wanapotumia teknolojia kama vile kompyuta huwa na habari zote. Hivyo basi wanafunzi wengi hukimbilia kwenye kompyuta na kufanya kazi zao haraka haraka. Imewafanya kuzembea katika masomo vilevile kuangalia picha mbaya mbaya zisizofaa kwa wanafunzi. Isitoshe vitabu pia ni mojawapo ya teknolojia ambapo hapo awali watu walikuwa hawatumii vitabu ilhali sasa wanafunzi hutumia vitabu vya kila aina na vilivyochorwa picha mbaya mbaya. Imewafanya wanafunzi kuharibika sana kwa kufuatilia teknolojia ya kisasa. Walimu huonelea kuwa ni urahishaji wa masomo kwa wanafunzi lakini pia wanafunzi huzembea sana. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi kutofuatilia sana masomo ya vitabu na uandikaji kwani huonelea ni rahisi kutumia kompyuta badala ya kuandika na kuhifadhi kwa matumizi ya baadae ilhali kompyuta zinaweza kufutika na kukosa kusoma baadae. Vilevile walimu wengi hutumia simu zaoza mkononi ili kufundishia wanafunzi hivyo basi imeathiri kwasababu wakati mwingine simu huisha moto na wanafunzi kukosa masomo kwani baadhi ya walimu hawaandiki “ Notes" bali hutumia simu zao. Kwa upande mwingine wanafunzi wengi hutumia simu zao kuingia "Facebook, Twitter" na makundi mengine mengi kwenye simu na hivyo huwaathiri kwasababu wengi wao hukosa kufikiria masomo na kufuatilia sana mambo ya kiteknolojia na hivyo huwafanya wanafunzi haswa wa sekondari kuzorota masomoni. Wakati mwingine wanafunzi hukosa kusoma somo la kutumia tarakilishi au kompyuta kwa ukosefu wa umeme na hivyo huwafanya wanafunzi kulikosa somo hilo mpaka umeme utakapo rudi na hivyo huwafanya wanafunzi kutoendelea masomoni.
Walimu na wanafunzi hutumia teknolojia wakiwa wapi?
{ "text": [ "Darasani" ] }
3038_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mitandao ya kisasa inayotumiwa kila pembe ya dunia ili kurahisisha kazi. Kwanza kabisa tungeanza na faida ya teknolojia katika shule za sekondari. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta manufaa mengi kwa upande wa masomo. Wanafunzi wengi hutumia kompyuta katika masomo yao ili kuweza kujua mengi. Vilevile imewafanya wanafunzi wengi kuimarika katika elimu kwa kutumia teknolojia. Walimu pia hutumia teknolojia kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao kwani imeleta manufaa makubwa na urahishaji wa kazi shuleni.Vile vile teknolojia imefanya wanafunzi pamoja na wanalimu kufanya kazi zao na kumaliza kazi zao kwa wepesi na haraka. Kwani wanafunzi wanapotumia kompyuta huweza kujuwa mengi kwani inawaletea habari kamili na zaidi wasizojuwa. Kwa upande mwingine teknolojia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Kwanza kabisa imewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika kazi zao. Imewafanya pia kutotumia akili zao kwa undani kwani wanapotumia teknolojia kama vile kompyuta huwa na habari zote. Hivyo basi wanafunzi wengi hukimbilia kwenye kompyuta na kufanya kazi zao haraka haraka. Imewafanya kuzembea katika masomo vilevile kuangalia picha mbaya mbaya zisizofaa kwa wanafunzi. Isitoshe vitabu pia ni mojawapo ya teknolojia ambapo hapo awali watu walikuwa hawatumii vitabu ilhali sasa wanafunzi hutumia vitabu vya kila aina na vilivyochorwa picha mbaya mbaya. Imewafanya wanafunzi kuharibika sana kwa kufuatilia teknolojia ya kisasa. Walimu huonelea kuwa ni urahishaji wa masomo kwa wanafunzi lakini pia wanafunzi huzembea sana. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi kutofuatilia sana masomo ya vitabu na uandikaji kwani huonelea ni rahisi kutumia kompyuta badala ya kuandika na kuhifadhi kwa matumizi ya baadae ilhali kompyuta zinaweza kufutika na kukosa kusoma baadae. Vilevile walimu wengi hutumia simu zaoza mkononi ili kufundishia wanafunzi hivyo basi imeathiri kwasababu wakati mwingine simu huisha moto na wanafunzi kukosa masomo kwani baadhi ya walimu hawaandiki “ Notes" bali hutumia simu zao. Kwa upande mwingine wanafunzi wengi hutumia simu zao kuingia "Facebook, Twitter" na makundi mengine mengi kwenye simu na hivyo huwaathiri kwasababu wengi wao hukosa kufikiria masomo na kufuatilia sana mambo ya kiteknolojia na hivyo huwafanya wanafunzi haswa wa sekondari kuzorota masomoni. Wakati mwingine wanafunzi hukosa kusoma somo la kutumia tarakilishi au kompyuta kwa ukosefu wa umeme na hivyo huwafanya wanafunzi kulikosa somo hilo mpaka umeme utakapo rudi na hivyo huwafanya wanafunzi kutoendelea masomoni.
Kazi ya walimu imerahisishwa na kuwepo kwa nini?
{ "text": [ "Teknolojia" ] }
3038_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mitandao ya kisasa inayotumiwa kila pembe ya dunia ili kurahisisha kazi. Kwanza kabisa tungeanza na faida ya teknolojia katika shule za sekondari. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta manufaa mengi kwa upande wa masomo. Wanafunzi wengi hutumia kompyuta katika masomo yao ili kuweza kujua mengi. Vilevile imewafanya wanafunzi wengi kuimarika katika elimu kwa kutumia teknolojia. Walimu pia hutumia teknolojia kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao kwani imeleta manufaa makubwa na urahishaji wa kazi shuleni.Vile vile teknolojia imefanya wanafunzi pamoja na wanalimu kufanya kazi zao na kumaliza kazi zao kwa wepesi na haraka. Kwani wanafunzi wanapotumia kompyuta huweza kujuwa mengi kwani inawaletea habari kamili na zaidi wasizojuwa. Kwa upande mwingine teknolojia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Kwanza kabisa imewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika kazi zao. Imewafanya pia kutotumia akili zao kwa undani kwani wanapotumia teknolojia kama vile kompyuta huwa na habari zote. Hivyo basi wanafunzi wengi hukimbilia kwenye kompyuta na kufanya kazi zao haraka haraka. Imewafanya kuzembea katika masomo vilevile kuangalia picha mbaya mbaya zisizofaa kwa wanafunzi. Isitoshe vitabu pia ni mojawapo ya teknolojia ambapo hapo awali watu walikuwa hawatumii vitabu ilhali sasa wanafunzi hutumia vitabu vya kila aina na vilivyochorwa picha mbaya mbaya. Imewafanya wanafunzi kuharibika sana kwa kufuatilia teknolojia ya kisasa. Walimu huonelea kuwa ni urahishaji wa masomo kwa wanafunzi lakini pia wanafunzi huzembea sana. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi kutofuatilia sana masomo ya vitabu na uandikaji kwani huonelea ni rahisi kutumia kompyuta badala ya kuandika na kuhifadhi kwa matumizi ya baadae ilhali kompyuta zinaweza kufutika na kukosa kusoma baadae. Vilevile walimu wengi hutumia simu zaoza mkononi ili kufundishia wanafunzi hivyo basi imeathiri kwasababu wakati mwingine simu huisha moto na wanafunzi kukosa masomo kwani baadhi ya walimu hawaandiki “ Notes" bali hutumia simu zao. Kwa upande mwingine wanafunzi wengi hutumia simu zao kuingia "Facebook, Twitter" na makundi mengine mengi kwenye simu na hivyo huwaathiri kwasababu wengi wao hukosa kufikiria masomo na kufuatilia sana mambo ya kiteknolojia na hivyo huwafanya wanafunzi haswa wa sekondari kuzorota masomoni. Wakati mwingine wanafunzi hukosa kusoma somo la kutumia tarakilishi au kompyuta kwa ukosefu wa umeme na hivyo huwafanya wanafunzi kulikosa somo hilo mpaka umeme utakapo rudi na hivyo huwafanya wanafunzi kutoendelea masomoni.
Kifaa kinachotumiwa kuingia kwenye mtandao kinaitwaje?
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3038_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mitandao ya kisasa inayotumiwa kila pembe ya dunia ili kurahisisha kazi. Kwanza kabisa tungeanza na faida ya teknolojia katika shule za sekondari. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta manufaa mengi kwa upande wa masomo. Wanafunzi wengi hutumia kompyuta katika masomo yao ili kuweza kujua mengi. Vilevile imewafanya wanafunzi wengi kuimarika katika elimu kwa kutumia teknolojia. Walimu pia hutumia teknolojia kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao kwani imeleta manufaa makubwa na urahishaji wa kazi shuleni.Vile vile teknolojia imefanya wanafunzi pamoja na wanalimu kufanya kazi zao na kumaliza kazi zao kwa wepesi na haraka. Kwani wanafunzi wanapotumia kompyuta huweza kujuwa mengi kwani inawaletea habari kamili na zaidi wasizojuwa. Kwa upande mwingine teknolojia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Kwanza kabisa imewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika kazi zao. Imewafanya pia kutotumia akili zao kwa undani kwani wanapotumia teknolojia kama vile kompyuta huwa na habari zote. Hivyo basi wanafunzi wengi hukimbilia kwenye kompyuta na kufanya kazi zao haraka haraka. Imewafanya kuzembea katika masomo vilevile kuangalia picha mbaya mbaya zisizofaa kwa wanafunzi. Isitoshe vitabu pia ni mojawapo ya teknolojia ambapo hapo awali watu walikuwa hawatumii vitabu ilhali sasa wanafunzi hutumia vitabu vya kila aina na vilivyochorwa picha mbaya mbaya. Imewafanya wanafunzi kuharibika sana kwa kufuatilia teknolojia ya kisasa. Walimu huonelea kuwa ni urahishaji wa masomo kwa wanafunzi lakini pia wanafunzi huzembea sana. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi kutofuatilia sana masomo ya vitabu na uandikaji kwani huonelea ni rahisi kutumia kompyuta badala ya kuandika na kuhifadhi kwa matumizi ya baadae ilhali kompyuta zinaweza kufutika na kukosa kusoma baadae. Vilevile walimu wengi hutumia simu zaoza mkononi ili kufundishia wanafunzi hivyo basi imeathiri kwasababu wakati mwingine simu huisha moto na wanafunzi kukosa masomo kwani baadhi ya walimu hawaandiki “ Notes" bali hutumia simu zao. Kwa upande mwingine wanafunzi wengi hutumia simu zao kuingia "Facebook, Twitter" na makundi mengine mengi kwenye simu na hivyo huwaathiri kwasababu wengi wao hukosa kufikiria masomo na kufuatilia sana mambo ya kiteknolojia na hivyo huwafanya wanafunzi haswa wa sekondari kuzorota masomoni. Wakati mwingine wanafunzi hukosa kusoma somo la kutumia tarakilishi au kompyuta kwa ukosefu wa umeme na hivyo huwafanya wanafunzi kulikosa somo hilo mpaka umeme utakapo rudi na hivyo huwafanya wanafunzi kutoendelea masomoni.
Wanafunzi hutumia teknolojia kutazama nini kwenye mtandao?
{ "text": [ "Video" ] }
3038_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mitandao ya kisasa inayotumiwa kila pembe ya dunia ili kurahisisha kazi. Kwanza kabisa tungeanza na faida ya teknolojia katika shule za sekondari. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta manufaa mengi kwa upande wa masomo. Wanafunzi wengi hutumia kompyuta katika masomo yao ili kuweza kujua mengi. Vilevile imewafanya wanafunzi wengi kuimarika katika elimu kwa kutumia teknolojia. Walimu pia hutumia teknolojia kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao kwani imeleta manufaa makubwa na urahishaji wa kazi shuleni.Vile vile teknolojia imefanya wanafunzi pamoja na wanalimu kufanya kazi zao na kumaliza kazi zao kwa wepesi na haraka. Kwani wanafunzi wanapotumia kompyuta huweza kujuwa mengi kwani inawaletea habari kamili na zaidi wasizojuwa. Kwa upande mwingine teknolojia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Kwanza kabisa imewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika kazi zao. Imewafanya pia kutotumia akili zao kwa undani kwani wanapotumia teknolojia kama vile kompyuta huwa na habari zote. Hivyo basi wanafunzi wengi hukimbilia kwenye kompyuta na kufanya kazi zao haraka haraka. Imewafanya kuzembea katika masomo vilevile kuangalia picha mbaya mbaya zisizofaa kwa wanafunzi. Isitoshe vitabu pia ni mojawapo ya teknolojia ambapo hapo awali watu walikuwa hawatumii vitabu ilhali sasa wanafunzi hutumia vitabu vya kila aina na vilivyochorwa picha mbaya mbaya. Imewafanya wanafunzi kuharibika sana kwa kufuatilia teknolojia ya kisasa. Walimu huonelea kuwa ni urahishaji wa masomo kwa wanafunzi lakini pia wanafunzi huzembea sana. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi kutofuatilia sana masomo ya vitabu na uandikaji kwani huonelea ni rahisi kutumia kompyuta badala ya kuandika na kuhifadhi kwa matumizi ya baadae ilhali kompyuta zinaweza kufutika na kukosa kusoma baadae. Vilevile walimu wengi hutumia simu zaoza mkononi ili kufundishia wanafunzi hivyo basi imeathiri kwasababu wakati mwingine simu huisha moto na wanafunzi kukosa masomo kwani baadhi ya walimu hawaandiki “ Notes" bali hutumia simu zao. Kwa upande mwingine wanafunzi wengi hutumia simu zao kuingia "Facebook, Twitter" na makundi mengine mengi kwenye simu na hivyo huwaathiri kwasababu wengi wao hukosa kufikiria masomo na kufuatilia sana mambo ya kiteknolojia na hivyo huwafanya wanafunzi haswa wa sekondari kuzorota masomoni. Wakati mwingine wanafunzi hukosa kusoma somo la kutumia tarakilishi au kompyuta kwa ukosefu wa umeme na hivyo huwafanya wanafunzi kulikosa somo hilo mpaka umeme utakapo rudi na hivyo huwafanya wanafunzi kutoendelea masomoni.
Kifaa kipi hutumika kuimarisha mawasiliano?
{ "text": [ "Simu ya mkono" ] }
3039_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Naam, Ashua alikuwa msichana mwema na mwenye kuigii mfano katika kitongoji chao. Alikuwa ni msichana aliyejulikana kwa tabia zake nzuri. Alikuwa mrembo, mwenye umbo la haiba, macho ya kikombe na shingo ya upanga. Wazazi wake walifurahi ju nina tasa alibahatika kupata watoto pacha. Ashua alisifiwa kila pembe ya dunia kwani chenye sifa kipewe sifa. Ashua alikuwa gwiji masomoni, alikuwa akifaulu kila baada ya mtihani. Wazazi wake walizidi kumjaza pumzi kila uchao. Walimu wake walimpa nasaha kila wakati. Naye alizidi kufanya bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate ili kufaulu katika maisha yake kwani alitaka kuwa daktari mkuu na hivyo basi alihitajika kujikaza kisabuni kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hayawi hayawi huwa, Ashua alipofikia kidato cha tatu, alianza kubadilika kwani alikuwa mumunye kuharibikia ukubwani. Waledi wake walimpa nasaha lakini alikuwa sikio la kufa ambalo siku zote halisikii dawa. Sifa zote ziliadimika. Furaha kwa wazazi na walimu wake ziligeuka na kuwa raraha. Naam mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Naam yajapo yapokee. Ashua alianza kuwatukana wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana. Heshima si utumwa lakini kwake ilikuwa utumwa. Waledi wake hawakujua wafanyeje kwani hawakufua dafu kumpa nasahamwana wao Ashua. Kwani yalikuwa yameshamwagika na yasingeweza kuzoleka. Waledi wake kwa kuona hivyo waliamua kumtupa jongoo na mti wake kwani kitumbua kilikuwa tayari kishaingia mchanga na hivyo basi kisingeweza kulika. Ashua alikuwa akihangaika kila pembe ya dunia kama mbwa koko asiyejua analolitafuta. Diskoni hakukosa, mavazi mabaya alivaa. Aliona kana kwamba dunia ni yake kwani alisahau kuwa dunia ni mti mkavu binadamu siuegemee. Wana Kitongoji walishangaa na kubungaangaa kama aliyeona mabaki ya Adam na Hawa kwa kuona mabadiliko ya ghafla kwa Ashua. Kila walipojaribu kumnasihi Ashua, alikataa kata kata na kuwajibu kwa ukali, “Haya ni yangu mwayatakiani?” Wazee walishindwaa la kusema na kumuacha ngoma aicheze peke yake. Kwani hakutaka kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Yamkini, mtoto akililia wembe mpe. Ashua aliachiwa ulimwengu na kila mtu alisahau kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ashua aliendelea kutambaa na ulimwengu kila siku kiguu na njia. “Jamani Ashua.” Hilo ndilo neno lililokuwa vinywani mwa wanakijiji. Lakini yeye aliona ni sawa yake yalimwendea. Ashua alisahau kuwa dunia ni mduara huzunguka kama pia. Alianza biashara ya nipe nikupe ili ajipatie pesa za haraka kweli usilolijua ni usiku wa giza. Ashua kwa kuona hiyo mavuno mazuri alifurahi sana. Yaumu mosi alijikuta mchovu na dalili nyingi za ugonjwa. Aliamua kwenda hospitali ili kujua zaidi nini kilichokuwa kikimsumbua. Daktari alimtibu na majibu yaliyotoka kwa kweli Ashua alikuwa na ukimwi. "Mungu wangu, ni balaa gani hili.” Ashua hakujua alie wala acheke. Kwani mavuno alikuwa ameshayapata. Alibaki kuduwaa. Mzungu wa reli asijue la kufanya llimbidi asubirie tu kifo kwani Ukimwi ulikuwa ushammaliza. Alikuwa kakonde ha kukondeana kama ng'onda. Hapo ndipo alipobaini ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alikuwa mwema na wa kupigiwa mfano
{ "text": [ "Ashua" ] }
3039_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Naam, Ashua alikuwa msichana mwema na mwenye kuigii mfano katika kitongoji chao. Alikuwa ni msichana aliyejulikana kwa tabia zake nzuri. Alikuwa mrembo, mwenye umbo la haiba, macho ya kikombe na shingo ya upanga. Wazazi wake walifurahi ju nina tasa alibahatika kupata watoto pacha. Ashua alisifiwa kila pembe ya dunia kwani chenye sifa kipewe sifa. Ashua alikuwa gwiji masomoni, alikuwa akifaulu kila baada ya mtihani. Wazazi wake walizidi kumjaza pumzi kila uchao. Walimu wake walimpa nasaha kila wakati. Naye alizidi kufanya bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate ili kufaulu katika maisha yake kwani alitaka kuwa daktari mkuu na hivyo basi alihitajika kujikaza kisabuni kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hayawi hayawi huwa, Ashua alipofikia kidato cha tatu, alianza kubadilika kwani alikuwa mumunye kuharibikia ukubwani. Waledi wake walimpa nasaha lakini alikuwa sikio la kufa ambalo siku zote halisikii dawa. Sifa zote ziliadimika. Furaha kwa wazazi na walimu wake ziligeuka na kuwa raraha. Naam mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Naam yajapo yapokee. Ashua alianza kuwatukana wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana. Heshima si utumwa lakini kwake ilikuwa utumwa. Waledi wake hawakujua wafanyeje kwani hawakufua dafu kumpa nasahamwana wao Ashua. Kwani yalikuwa yameshamwagika na yasingeweza kuzoleka. Waledi wake kwa kuona hivyo waliamua kumtupa jongoo na mti wake kwani kitumbua kilikuwa tayari kishaingia mchanga na hivyo basi kisingeweza kulika. Ashua alikuwa akihangaika kila pembe ya dunia kama mbwa koko asiyejua analolitafuta. Diskoni hakukosa, mavazi mabaya alivaa. Aliona kana kwamba dunia ni yake kwani alisahau kuwa dunia ni mti mkavu binadamu siuegemee. Wana Kitongoji walishangaa na kubungaangaa kama aliyeona mabaki ya Adam na Hawa kwa kuona mabadiliko ya ghafla kwa Ashua. Kila walipojaribu kumnasihi Ashua, alikataa kata kata na kuwajibu kwa ukali, “Haya ni yangu mwayatakiani?” Wazee walishindwaa la kusema na kumuacha ngoma aicheze peke yake. Kwani hakutaka kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Yamkini, mtoto akililia wembe mpe. Ashua aliachiwa ulimwengu na kila mtu alisahau kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ashua aliendelea kutambaa na ulimwengu kila siku kiguu na njia. “Jamani Ashua.” Hilo ndilo neno lililokuwa vinywani mwa wanakijiji. Lakini yeye aliona ni sawa yake yalimwendea. Ashua alisahau kuwa dunia ni mduara huzunguka kama pia. Alianza biashara ya nipe nikupe ili ajipatie pesa za haraka kweli usilolijua ni usiku wa giza. Ashua kwa kuona hiyo mavuno mazuri alifurahi sana. Yaumu mosi alijikuta mchovu na dalili nyingi za ugonjwa. Aliamua kwenda hospitali ili kujua zaidi nini kilichokuwa kikimsumbua. Daktari alimtibu na majibu yaliyotoka kwa kweli Ashua alikuwa na ukimwi. "Mungu wangu, ni balaa gani hili.” Ashua hakujua alie wala acheke. Kwani mavuno alikuwa ameshayapata. Alibaki kuduwaa. Mzungu wa reli asijue la kufanya llimbidi asubirie tu kifo kwani Ukimwi ulikuwa ushammaliza. Alikuwa kakonde ha kukondeana kama ng'onda. Hapo ndipo alipobaini ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ashua alikuwa gwiji wapi
{ "text": [ "Masomoni" ] }
3039_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Naam, Ashua alikuwa msichana mwema na mwenye kuigii mfano katika kitongoji chao. Alikuwa ni msichana aliyejulikana kwa tabia zake nzuri. Alikuwa mrembo, mwenye umbo la haiba, macho ya kikombe na shingo ya upanga. Wazazi wake walifurahi ju nina tasa alibahatika kupata watoto pacha. Ashua alisifiwa kila pembe ya dunia kwani chenye sifa kipewe sifa. Ashua alikuwa gwiji masomoni, alikuwa akifaulu kila baada ya mtihani. Wazazi wake walizidi kumjaza pumzi kila uchao. Walimu wake walimpa nasaha kila wakati. Naye alizidi kufanya bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate ili kufaulu katika maisha yake kwani alitaka kuwa daktari mkuu na hivyo basi alihitajika kujikaza kisabuni kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hayawi hayawi huwa, Ashua alipofikia kidato cha tatu, alianza kubadilika kwani alikuwa mumunye kuharibikia ukubwani. Waledi wake walimpa nasaha lakini alikuwa sikio la kufa ambalo siku zote halisikii dawa. Sifa zote ziliadimika. Furaha kwa wazazi na walimu wake ziligeuka na kuwa raraha. Naam mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Naam yajapo yapokee. Ashua alianza kuwatukana wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana. Heshima si utumwa lakini kwake ilikuwa utumwa. Waledi wake hawakujua wafanyeje kwani hawakufua dafu kumpa nasahamwana wao Ashua. Kwani yalikuwa yameshamwagika na yasingeweza kuzoleka. Waledi wake kwa kuona hivyo waliamua kumtupa jongoo na mti wake kwani kitumbua kilikuwa tayari kishaingia mchanga na hivyo basi kisingeweza kulika. Ashua alikuwa akihangaika kila pembe ya dunia kama mbwa koko asiyejua analolitafuta. Diskoni hakukosa, mavazi mabaya alivaa. Aliona kana kwamba dunia ni yake kwani alisahau kuwa dunia ni mti mkavu binadamu siuegemee. Wana Kitongoji walishangaa na kubungaangaa kama aliyeona mabaki ya Adam na Hawa kwa kuona mabadiliko ya ghafla kwa Ashua. Kila walipojaribu kumnasihi Ashua, alikataa kata kata na kuwajibu kwa ukali, “Haya ni yangu mwayatakiani?” Wazee walishindwaa la kusema na kumuacha ngoma aicheze peke yake. Kwani hakutaka kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Yamkini, mtoto akililia wembe mpe. Ashua aliachiwa ulimwengu na kila mtu alisahau kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ashua aliendelea kutambaa na ulimwengu kila siku kiguu na njia. “Jamani Ashua.” Hilo ndilo neno lililokuwa vinywani mwa wanakijiji. Lakini yeye aliona ni sawa yake yalimwendea. Ashua alisahau kuwa dunia ni mduara huzunguka kama pia. Alianza biashara ya nipe nikupe ili ajipatie pesa za haraka kweli usilolijua ni usiku wa giza. Ashua kwa kuona hiyo mavuno mazuri alifurahi sana. Yaumu mosi alijikuta mchovu na dalili nyingi za ugonjwa. Aliamua kwenda hospitali ili kujua zaidi nini kilichokuwa kikimsumbua. Daktari alimtibu na majibu yaliyotoka kwa kweli Ashua alikuwa na ukimwi. "Mungu wangu, ni balaa gani hili.” Ashua hakujua alie wala acheke. Kwani mavuno alikuwa ameshayapata. Alibaki kuduwaa. Mzungu wa reli asijue la kufanya llimbidi asubirie tu kifo kwani Ukimwi ulikuwa ushammaliza. Alikuwa kakonde ha kukondeana kama ng'onda. Hapo ndipo alipobaini ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ashua aliharibika akiwa kidato kipi
{ "text": [ "Tatu" ] }
3039_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Naam, Ashua alikuwa msichana mwema na mwenye kuigii mfano katika kitongoji chao. Alikuwa ni msichana aliyejulikana kwa tabia zake nzuri. Alikuwa mrembo, mwenye umbo la haiba, macho ya kikombe na shingo ya upanga. Wazazi wake walifurahi ju nina tasa alibahatika kupata watoto pacha. Ashua alisifiwa kila pembe ya dunia kwani chenye sifa kipewe sifa. Ashua alikuwa gwiji masomoni, alikuwa akifaulu kila baada ya mtihani. Wazazi wake walizidi kumjaza pumzi kila uchao. Walimu wake walimpa nasaha kila wakati. Naye alizidi kufanya bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate ili kufaulu katika maisha yake kwani alitaka kuwa daktari mkuu na hivyo basi alihitajika kujikaza kisabuni kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hayawi hayawi huwa, Ashua alipofikia kidato cha tatu, alianza kubadilika kwani alikuwa mumunye kuharibikia ukubwani. Waledi wake walimpa nasaha lakini alikuwa sikio la kufa ambalo siku zote halisikii dawa. Sifa zote ziliadimika. Furaha kwa wazazi na walimu wake ziligeuka na kuwa raraha. Naam mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Naam yajapo yapokee. Ashua alianza kuwatukana wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana. Heshima si utumwa lakini kwake ilikuwa utumwa. Waledi wake hawakujua wafanyeje kwani hawakufua dafu kumpa nasahamwana wao Ashua. Kwani yalikuwa yameshamwagika na yasingeweza kuzoleka. Waledi wake kwa kuona hivyo waliamua kumtupa jongoo na mti wake kwani kitumbua kilikuwa tayari kishaingia mchanga na hivyo basi kisingeweza kulika. Ashua alikuwa akihangaika kila pembe ya dunia kama mbwa koko asiyejua analolitafuta. Diskoni hakukosa, mavazi mabaya alivaa. Aliona kana kwamba dunia ni yake kwani alisahau kuwa dunia ni mti mkavu binadamu siuegemee. Wana Kitongoji walishangaa na kubungaangaa kama aliyeona mabaki ya Adam na Hawa kwa kuona mabadiliko ya ghafla kwa Ashua. Kila walipojaribu kumnasihi Ashua, alikataa kata kata na kuwajibu kwa ukali, “Haya ni yangu mwayatakiani?” Wazee walishindwaa la kusema na kumuacha ngoma aicheze peke yake. Kwani hakutaka kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Yamkini, mtoto akililia wembe mpe. Ashua aliachiwa ulimwengu na kila mtu alisahau kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ashua aliendelea kutambaa na ulimwengu kila siku kiguu na njia. “Jamani Ashua.” Hilo ndilo neno lililokuwa vinywani mwa wanakijiji. Lakini yeye aliona ni sawa yake yalimwendea. Ashua alisahau kuwa dunia ni mduara huzunguka kama pia. Alianza biashara ya nipe nikupe ili ajipatie pesa za haraka kweli usilolijua ni usiku wa giza. Ashua kwa kuona hiyo mavuno mazuri alifurahi sana. Yaumu mosi alijikuta mchovu na dalili nyingi za ugonjwa. Aliamua kwenda hospitali ili kujua zaidi nini kilichokuwa kikimsumbua. Daktari alimtibu na majibu yaliyotoka kwa kweli Ashua alikuwa na ukimwi. "Mungu wangu, ni balaa gani hili.” Ashua hakujua alie wala acheke. Kwani mavuno alikuwa ameshayapata. Alibaki kuduwaa. Mzungu wa reli asijue la kufanya llimbidi asubirie tu kifo kwani Ukimwi ulikuwa ushammaliza. Alikuwa kakonde ha kukondeana kama ng'onda. Hapo ndipo alipobaini ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ashua aliachiwa nini na kila mtu
{ "text": [ "Ulimwengu" ] }
3039_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Naam, Ashua alikuwa msichana mwema na mwenye kuigii mfano katika kitongoji chao. Alikuwa ni msichana aliyejulikana kwa tabia zake nzuri. Alikuwa mrembo, mwenye umbo la haiba, macho ya kikombe na shingo ya upanga. Wazazi wake walifurahi ju nina tasa alibahatika kupata watoto pacha. Ashua alisifiwa kila pembe ya dunia kwani chenye sifa kipewe sifa. Ashua alikuwa gwiji masomoni, alikuwa akifaulu kila baada ya mtihani. Wazazi wake walizidi kumjaza pumzi kila uchao. Walimu wake walimpa nasaha kila wakati. Naye alizidi kufanya bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate ili kufaulu katika maisha yake kwani alitaka kuwa daktari mkuu na hivyo basi alihitajika kujikaza kisabuni kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame. Hayawi hayawi huwa, Ashua alipofikia kidato cha tatu, alianza kubadilika kwani alikuwa mumunye kuharibikia ukubwani. Waledi wake walimpa nasaha lakini alikuwa sikio la kufa ambalo siku zote halisikii dawa. Sifa zote ziliadimika. Furaha kwa wazazi na walimu wake ziligeuka na kuwa raraha. Naam mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Naam yajapo yapokee. Ashua alianza kuwatukana wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana. Heshima si utumwa lakini kwake ilikuwa utumwa. Waledi wake hawakujua wafanyeje kwani hawakufua dafu kumpa nasahamwana wao Ashua. Kwani yalikuwa yameshamwagika na yasingeweza kuzoleka. Waledi wake kwa kuona hivyo waliamua kumtupa jongoo na mti wake kwani kitumbua kilikuwa tayari kishaingia mchanga na hivyo basi kisingeweza kulika. Ashua alikuwa akihangaika kila pembe ya dunia kama mbwa koko asiyejua analolitafuta. Diskoni hakukosa, mavazi mabaya alivaa. Aliona kana kwamba dunia ni yake kwani alisahau kuwa dunia ni mti mkavu binadamu siuegemee. Wana Kitongoji walishangaa na kubungaangaa kama aliyeona mabaki ya Adam na Hawa kwa kuona mabadiliko ya ghafla kwa Ashua. Kila walipojaribu kumnasihi Ashua, alikataa kata kata na kuwajibu kwa ukali, “Haya ni yangu mwayatakiani?” Wazee walishindwaa la kusema na kumuacha ngoma aicheze peke yake. Kwani hakutaka kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Yamkini, mtoto akililia wembe mpe. Ashua aliachiwa ulimwengu na kila mtu alisahau kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ashua aliendelea kutambaa na ulimwengu kila siku kiguu na njia. “Jamani Ashua.” Hilo ndilo neno lililokuwa vinywani mwa wanakijiji. Lakini yeye aliona ni sawa yake yalimwendea. Ashua alisahau kuwa dunia ni mduara huzunguka kama pia. Alianza biashara ya nipe nikupe ili ajipatie pesa za haraka kweli usilolijua ni usiku wa giza. Ashua kwa kuona hiyo mavuno mazuri alifurahi sana. Yaumu mosi alijikuta mchovu na dalili nyingi za ugonjwa. Aliamua kwenda hospitali ili kujua zaidi nini kilichokuwa kikimsumbua. Daktari alimtibu na majibu yaliyotoka kwa kweli Ashua alikuwa na ukimwi. "Mungu wangu, ni balaa gani hili.” Ashua hakujua alie wala acheke. Kwani mavuno alikuwa ameshayapata. Alibaki kuduwaa. Mzungu wa reli asijue la kufanya llimbidi asubirie tu kifo kwani Ukimwi ulikuwa ushammaliza. Alikuwa kakonde ha kukondeana kama ng'onda. Hapo ndipo alipobaini ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kwa nini Ashua aliugua ugonjwa wa ukimwi
{ "text": [ "Aliingia katika biashara ya nipe nikupe" ] }
3040_swa
FAIDA NA MADHARA ZA TEKINOLO GOA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni vyombo ambavyo vilitolewa ili kurahisisha mambo. Teknolojia ni kama vile simu, redio, runinga, kompyuta na vingineyo. Teknolojia iko na faida na pia madhara yake. Kwanza nitaanza kuzungumzia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Ningependa kuzungumzia juu ya kompyuta. Wanafunzi wengi walipokuwa shule za msingi walikuwa hawajui kutumia kompyuta lakini walimu walikaa na kumua kuwapa somo la kompyuta. Walimu hutumia kompyuta ili kuwatumia ujumbe wazazi kwa jumla kama kuna mkutano. Pili, walimu hutumia kompyuta kutungia wanafunzi mitihani. Vilevile wanafunzi hufundishwa kuweka ujumbe ndani ya kompyuta. Komputo pia huwa rekodi za majibu ya mitihani ya wanafunzi. Pili ninazungumzia juu ya televisheni. Televisheni hutumiwa na wanafunzi kusikiza taarifa kila siku ili wajue kinachoendelea nchini Kenya. Televisheni huonyesha vitendo vinavyofanyika kwa mfano kunao kundi la watu wameiba mahali flani, wanafunzi hutazamana pia wanaogopa kuibiana. Kunayo madhara pia kama vile wanafunzi hutumia kompyuta kuangalia ponografia badala ya kusoma. Hiyo husababisha baadhi ya wanafunzi kufanya vitendo ovu kama vile ngono na zinginezo. Wanafunzi pia hutumia kompyuta kuangalia watu wakiuwana na kupigana na hiyo ilisababisha baadhi ya wasichana katika shule ya Tsunza kupigana hadi moja akapoteza fahamu papo hapo. Pili ni televisheni. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamekuwa wezi hodari kwa kutazama wezi televisheni wanavyo iba na kuhepa au kukimbia. Wanafunzi huangalia nyimbo za mapenzi hadi wanajisahau katika masomo. Kwa mfano wanafunzi walipokuwa kidato cha kwanza, walikuwa wakipita vizuri sana lakini walipoanza kutazama mambo hayo, walianza kuanguka mtihani. Hiyo ilisababisha kuanguka tha kwa shule na matokeo yalikuwa hayaridhishi wazazi na hata walimu. Waziri wa elimu bwana magoha aliamua kuita mkutano wa walimu hapo jijini Mombasa ili kuwapa maelekezo jinsi watavyotumia teknolojia hizo kwa wanafunzi. Waziri mkuu, bwana Magoha aliwaambia kuwa wasiruhusu mwanafunzi yeyote atumie kompyuta au kufungua televisheni bila mwalimu. Walimu wanastahili kuwekwakwa kila zamu ili wanafunzi wanapotumia teknolojia wawe pamoja nao.
Redio, simu na runinga ni mojawapo ya uvumbuzi unaotokana na nini
{ "text": [ "Teknolojia" ] }
3040_swa
FAIDA NA MADHARA ZA TEKINOLO GOA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni vyombo ambavyo vilitolewa ili kurahisisha mambo. Teknolojia ni kama vile simu, redio, runinga, kompyuta na vingineyo. Teknolojia iko na faida na pia madhara yake. Kwanza nitaanza kuzungumzia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Ningependa kuzungumzia juu ya kompyuta. Wanafunzi wengi walipokuwa shule za msingi walikuwa hawajui kutumia kompyuta lakini walimu walikaa na kumua kuwapa somo la kompyuta. Walimu hutumia kompyuta ili kuwatumia ujumbe wazazi kwa jumla kama kuna mkutano. Pili, walimu hutumia kompyuta kutungia wanafunzi mitihani. Vilevile wanafunzi hufundishwa kuweka ujumbe ndani ya kompyuta. Komputo pia huwa rekodi za majibu ya mitihani ya wanafunzi. Pili ninazungumzia juu ya televisheni. Televisheni hutumiwa na wanafunzi kusikiza taarifa kila siku ili wajue kinachoendelea nchini Kenya. Televisheni huonyesha vitendo vinavyofanyika kwa mfano kunao kundi la watu wameiba mahali flani, wanafunzi hutazamana pia wanaogopa kuibiana. Kunayo madhara pia kama vile wanafunzi hutumia kompyuta kuangalia ponografia badala ya kusoma. Hiyo husababisha baadhi ya wanafunzi kufanya vitendo ovu kama vile ngono na zinginezo. Wanafunzi pia hutumia kompyuta kuangalia watu wakiuwana na kupigana na hiyo ilisababisha baadhi ya wasichana katika shule ya Tsunza kupigana hadi moja akapoteza fahamu papo hapo. Pili ni televisheni. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamekuwa wezi hodari kwa kutazama wezi televisheni wanavyo iba na kuhepa au kukimbia. Wanafunzi huangalia nyimbo za mapenzi hadi wanajisahau katika masomo. Kwa mfano wanafunzi walipokuwa kidato cha kwanza, walikuwa wakipita vizuri sana lakini walipoanza kutazama mambo hayo, walianza kuanguka mtihani. Hiyo ilisababisha kuanguka tha kwa shule na matokeo yalikuwa hayaridhishi wazazi na hata walimu. Waziri wa elimu bwana magoha aliamua kuita mkutano wa walimu hapo jijini Mombasa ili kuwapa maelekezo jinsi watavyotumia teknolojia hizo kwa wanafunzi. Waziri mkuu, bwana Magoha aliwaambia kuwa wasiruhusu mwanafunzi yeyote atumie kompyuta au kufungua televisheni bila mwalimu. Walimu wanastahili kuwekwakwa kila zamu ili wanafunzi wanapotumia teknolojia wawe pamoja nao.
Walimu hutumia nini kujulisha wazazi ikiwa kuna mkutano
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
3040_swa
FAIDA NA MADHARA ZA TEKINOLO GOA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni vyombo ambavyo vilitolewa ili kurahisisha mambo. Teknolojia ni kama vile simu, redio, runinga, kompyuta na vingineyo. Teknolojia iko na faida na pia madhara yake. Kwanza nitaanza kuzungumzia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Ningependa kuzungumzia juu ya kompyuta. Wanafunzi wengi walipokuwa shule za msingi walikuwa hawajui kutumia kompyuta lakini walimu walikaa na kumua kuwapa somo la kompyuta. Walimu hutumia kompyuta ili kuwatumia ujumbe wazazi kwa jumla kama kuna mkutano. Pili, walimu hutumia kompyuta kutungia wanafunzi mitihani. Vilevile wanafunzi hufundishwa kuweka ujumbe ndani ya kompyuta. Komputo pia huwa rekodi za majibu ya mitihani ya wanafunzi. Pili ninazungumzia juu ya televisheni. Televisheni hutumiwa na wanafunzi kusikiza taarifa kila siku ili wajue kinachoendelea nchini Kenya. Televisheni huonyesha vitendo vinavyofanyika kwa mfano kunao kundi la watu wameiba mahali flani, wanafunzi hutazamana pia wanaogopa kuibiana. Kunayo madhara pia kama vile wanafunzi hutumia kompyuta kuangalia ponografia badala ya kusoma. Hiyo husababisha baadhi ya wanafunzi kufanya vitendo ovu kama vile ngono na zinginezo. Wanafunzi pia hutumia kompyuta kuangalia watu wakiuwana na kupigana na hiyo ilisababisha baadhi ya wasichana katika shule ya Tsunza kupigana hadi moja akapoteza fahamu papo hapo. Pili ni televisheni. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamekuwa wezi hodari kwa kutazama wezi televisheni wanavyo iba na kuhepa au kukimbia. Wanafunzi huangalia nyimbo za mapenzi hadi wanajisahau katika masomo. Kwa mfano wanafunzi walipokuwa kidato cha kwanza, walikuwa wakipita vizuri sana lakini walipoanza kutazama mambo hayo, walianza kuanguka mtihani. Hiyo ilisababisha kuanguka tha kwa shule na matokeo yalikuwa hayaridhishi wazazi na hata walimu. Waziri wa elimu bwana magoha aliamua kuita mkutano wa walimu hapo jijini Mombasa ili kuwapa maelekezo jinsi watavyotumia teknolojia hizo kwa wanafunzi. Waziri mkuu, bwana Magoha aliwaambia kuwa wasiruhusu mwanafunzi yeyote atumie kompyuta au kufungua televisheni bila mwalimu. Walimu wanastahili kuwekwakwa kila zamu ili wanafunzi wanapotumia teknolojia wawe pamoja nao.
Wanafunzi hutumia nini kusikiliza taarifa nchini Kenya
{ "text": [ "Televisheni" ] }