Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3040_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKINOLO GOA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vyombo ambavyo vilitolewa ili kurahisisha mambo. Teknolojia ni kama vile simu, redio, runinga, kompyuta na vingineyo. Teknolojia iko na faida na pia madhara yake.
Kwanza nitaanza kuzungumzia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Ningependa kuzungumzia juu ya kompyuta. Wanafunzi wengi walipokuwa shule za msingi walikuwa hawajui kutumia kompyuta lakini walimu walikaa na kumua kuwapa somo la kompyuta. Walimu hutumia kompyuta ili kuwatumia ujumbe wazazi kwa jumla kama kuna mkutano. Pili, walimu hutumia kompyuta kutungia wanafunzi mitihani. Vilevile wanafunzi hufundishwa kuweka ujumbe ndani ya kompyuta. Komputo pia huwa rekodi za majibu ya mitihani ya wanafunzi.
Pili ninazungumzia juu ya televisheni. Televisheni hutumiwa na wanafunzi kusikiza taarifa kila siku ili wajue kinachoendelea nchini Kenya. Televisheni huonyesha vitendo vinavyofanyika kwa mfano kunao kundi la watu wameiba mahali flani, wanafunzi hutazamana pia wanaogopa kuibiana.
Kunayo madhara pia kama vile wanafunzi hutumia kompyuta kuangalia ponografia badala ya kusoma. Hiyo husababisha baadhi ya wanafunzi kufanya vitendo ovu kama vile ngono na zinginezo. Wanafunzi pia hutumia kompyuta kuangalia watu wakiuwana na kupigana na hiyo ilisababisha baadhi ya wasichana katika shule ya Tsunza kupigana hadi moja akapoteza fahamu papo hapo.
Pili ni televisheni. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamekuwa wezi hodari kwa kutazama wezi televisheni wanavyo iba na kuhepa au kukimbia. Wanafunzi huangalia nyimbo za mapenzi hadi wanajisahau katika masomo. Kwa mfano wanafunzi walipokuwa kidato cha kwanza, walikuwa wakipita vizuri sana lakini walipoanza kutazama mambo hayo, walianza kuanguka mtihani. Hiyo ilisababisha kuanguka tha kwa shule na matokeo yalikuwa hayaridhishi wazazi na hata walimu.
Waziri wa elimu bwana magoha aliamua kuita mkutano wa walimu hapo jijini Mombasa ili kuwapa maelekezo jinsi watavyotumia teknolojia hizo kwa wanafunzi. Waziri mkuu, bwana Magoha aliwaambia kuwa wasiruhusu mwanafunzi yeyote atumie kompyuta au kufungua televisheni bila mwalimu. Walimu wanastahili kuwekwakwa kila zamu ili wanafunzi wanapotumia teknolojia wawe pamoja nao. | Ni vipi teknolojia huchangia wizi | {
"text": [
"Kupitia kanda za video zinazoonyesha jinsi wezi wanavyoiba na kuhepa bila kugunduliwa"
]
} |
3040_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKINOLO GOA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vyombo ambavyo vilitolewa ili kurahisisha mambo. Teknolojia ni kama vile simu, redio, runinga, kompyuta na vingineyo. Teknolojia iko na faida na pia madhara yake.
Kwanza nitaanza kuzungumzia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Ningependa kuzungumzia juu ya kompyuta. Wanafunzi wengi walipokuwa shule za msingi walikuwa hawajui kutumia kompyuta lakini walimu walikaa na kumua kuwapa somo la kompyuta. Walimu hutumia kompyuta ili kuwatumia ujumbe wazazi kwa jumla kama kuna mkutano. Pili, walimu hutumia kompyuta kutungia wanafunzi mitihani. Vilevile wanafunzi hufundishwa kuweka ujumbe ndani ya kompyuta. Komputo pia huwa rekodi za majibu ya mitihani ya wanafunzi.
Pili ninazungumzia juu ya televisheni. Televisheni hutumiwa na wanafunzi kusikiza taarifa kila siku ili wajue kinachoendelea nchini Kenya. Televisheni huonyesha vitendo vinavyofanyika kwa mfano kunao kundi la watu wameiba mahali flani, wanafunzi hutazamana pia wanaogopa kuibiana.
Kunayo madhara pia kama vile wanafunzi hutumia kompyuta kuangalia ponografia badala ya kusoma. Hiyo husababisha baadhi ya wanafunzi kufanya vitendo ovu kama vile ngono na zinginezo. Wanafunzi pia hutumia kompyuta kuangalia watu wakiuwana na kupigana na hiyo ilisababisha baadhi ya wasichana katika shule ya Tsunza kupigana hadi moja akapoteza fahamu papo hapo.
Pili ni televisheni. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamekuwa wezi hodari kwa kutazama wezi televisheni wanavyo iba na kuhepa au kukimbia. Wanafunzi huangalia nyimbo za mapenzi hadi wanajisahau katika masomo. Kwa mfano wanafunzi walipokuwa kidato cha kwanza, walikuwa wakipita vizuri sana lakini walipoanza kutazama mambo hayo, walianza kuanguka mtihani. Hiyo ilisababisha kuanguka tha kwa shule na matokeo yalikuwa hayaridhishi wazazi na hata walimu.
Waziri wa elimu bwana magoha aliamua kuita mkutano wa walimu hapo jijini Mombasa ili kuwapa maelekezo jinsi watavyotumia teknolojia hizo kwa wanafunzi. Waziri mkuu, bwana Magoha aliwaambia kuwa wasiruhusu mwanafunzi yeyote atumie kompyuta au kufungua televisheni bila mwalimu. Walimu wanastahili kuwekwakwa kila zamu ili wanafunzi wanapotumia teknolojia wawe pamoja nao. | Ni nani aliyeitisha mkutano ulioyohusu matumizi ya teknolojia Mombasa | {
"text": [
"Waziri wa elimu bwana Magoha"
]
} |
3041_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo mazingira na tabia za walimwengu zinavyozidi kubadilika mara kwa mara. Tunapata kuwa zamani wakati wa mababu na nyanya zetu kulikuwa hakuna vitu vya kutumia umeme kama vile tarakilishi. Wakati huu kama ninavyo ongea, mabadiliko haya yamekuwa na faida na hata pia gross madhara yake.
Katika shule zetu za sekondari za siku hizi, kumekuwa na utumiaji wa mitandao ambapo kumekuwa na faida na madhara yake. Mojawapo ya faida zilizoibuka ni kama vile, umeweza kuleta urahisi katika masomo ya wanafunzi. Mbali na wanafunzi kusoma madarasani au kufunzwa, unapata kwamba mwanafunzi anaweza kusoma kutumia simu za mkono ambapo anaweza kusoma mpaka zaidi.
Kupitia teknolojia wanafunzi na hata walimu wanaweza kuangalia taarifa ya habari, vipindi na hata michezo. Vilevile wanafunzi wameweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kufanya biashara kupitia mitandaoni na kujiendeleza kimaisha. Kupiga simu za mkono kumeibuka kokotoo ambazo kwamba zinafanya jukumu kubwa kufika masomo ya mwanafunzi kwenye kufanya hesabu za shule za sekondari.Kwa ajili hiyo wanafunzi wamekuwa na ujuzi wa kufanya hesabu kwa urahisi.
Teknologia imeweza kuleta kazi kwa vijana katika sehemu tofauti kama vile kazi ya mweka azina katika benki anafaa kuwa amesomea jinsi ya kutumia tarakilishi. Kwa ajili hiyo imeweza kuibua maendeleo kemkem katika jamii.
Kwa upande mwingine, teknolojia imeleta madhara mengi mno hasa kwa wanafunzi si wakubwa si wadogo. kwa jamii yetu ya leo wanafunzi wanaangalia mpaka mambo ya mapenzi kwa simu wakidai wanacheza michezo ya bunduki. Teknologia imefanya watu kuingia katika kufanya biashara za haramu kama vile kuuza dawa za kulevya, kufanya ujambazi na hata kuiba watu na kuuza vitu vyao vya ndani. | Kifaa kipi hutumia nguvu za umeme? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3041_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo mazingira na tabia za walimwengu zinavyozidi kubadilika mara kwa mara. Tunapata kuwa zamani wakati wa mababu na nyanya zetu kulikuwa hakuna vitu vya kutumia umeme kama vile tarakilishi. Wakati huu kama ninavyo ongea, mabadiliko haya yamekuwa na faida na hata pia gross madhara yake.
Katika shule zetu za sekondari za siku hizi, kumekuwa na utumiaji wa mitandao ambapo kumekuwa na faida na madhara yake. Mojawapo ya faida zilizoibuka ni kama vile, umeweza kuleta urahisi katika masomo ya wanafunzi. Mbali na wanafunzi kusoma madarasani au kufunzwa, unapata kwamba mwanafunzi anaweza kusoma kutumia simu za mkono ambapo anaweza kusoma mpaka zaidi.
Kupitia teknolojia wanafunzi na hata walimu wanaweza kuangalia taarifa ya habari, vipindi na hata michezo. Vilevile wanafunzi wameweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kufanya biashara kupitia mitandaoni na kujiendeleza kimaisha. Kupiga simu za mkono kumeibuka kokotoo ambazo kwamba zinafanya jukumu kubwa kufika masomo ya mwanafunzi kwenye kufanya hesabu za shule za sekondari.Kwa ajili hiyo wanafunzi wamekuwa na ujuzi wa kufanya hesabu kwa urahisi.
Teknologia imeweza kuleta kazi kwa vijana katika sehemu tofauti kama vile kazi ya mweka azina katika benki anafaa kuwa amesomea jinsi ya kutumia tarakilishi. Kwa ajili hiyo imeweza kuibua maendeleo kemkem katika jamii.
Kwa upande mwingine, teknolojia imeleta madhara mengi mno hasa kwa wanafunzi si wakubwa si wadogo. kwa jamii yetu ya leo wanafunzi wanaangalia mpaka mambo ya mapenzi kwa simu wakidai wanacheza michezo ya bunduki. Teknologia imefanya watu kuingia katika kufanya biashara za haramu kama vile kuuza dawa za kulevya, kufanya ujambazi na hata kuiba watu na kuuza vitu vyao vya ndani. | Wanafunzi hutumia nini kusoma? | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3041_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo mazingira na tabia za walimwengu zinavyozidi kubadilika mara kwa mara. Tunapata kuwa zamani wakati wa mababu na nyanya zetu kulikuwa hakuna vitu vya kutumia umeme kama vile tarakilishi. Wakati huu kama ninavyo ongea, mabadiliko haya yamekuwa na faida na hata pia gross madhara yake.
Katika shule zetu za sekondari za siku hizi, kumekuwa na utumiaji wa mitandao ambapo kumekuwa na faida na madhara yake. Mojawapo ya faida zilizoibuka ni kama vile, umeweza kuleta urahisi katika masomo ya wanafunzi. Mbali na wanafunzi kusoma madarasani au kufunzwa, unapata kwamba mwanafunzi anaweza kusoma kutumia simu za mkono ambapo anaweza kusoma mpaka zaidi.
Kupitia teknolojia wanafunzi na hata walimu wanaweza kuangalia taarifa ya habari, vipindi na hata michezo. Vilevile wanafunzi wameweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kufanya biashara kupitia mitandaoni na kujiendeleza kimaisha. Kupiga simu za mkono kumeibuka kokotoo ambazo kwamba zinafanya jukumu kubwa kufika masomo ya mwanafunzi kwenye kufanya hesabu za shule za sekondari.Kwa ajili hiyo wanafunzi wamekuwa na ujuzi wa kufanya hesabu kwa urahisi.
Teknologia imeweza kuleta kazi kwa vijana katika sehemu tofauti kama vile kazi ya mweka azina katika benki anafaa kuwa amesomea jinsi ya kutumia tarakilishi. Kwa ajili hiyo imeweza kuibua maendeleo kemkem katika jamii.
Kwa upande mwingine, teknolojia imeleta madhara mengi mno hasa kwa wanafunzi si wakubwa si wadogo. kwa jamii yetu ya leo wanafunzi wanaangalia mpaka mambo ya mapenzi kwa simu wakidai wanacheza michezo ya bunduki. Teknologia imefanya watu kuingia katika kufanya biashara za haramu kama vile kuuza dawa za kulevya, kufanya ujambazi na hata kuiba watu na kuuza vitu vyao vya ndani. | Walimu hutazama taarifa za habari kupitia chombo kipi? | {
"text": [
"Runinga"
]
} |
3041_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo mazingira na tabia za walimwengu zinavyozidi kubadilika mara kwa mara. Tunapata kuwa zamani wakati wa mababu na nyanya zetu kulikuwa hakuna vitu vya kutumia umeme kama vile tarakilishi. Wakati huu kama ninavyo ongea, mabadiliko haya yamekuwa na faida na hata pia gross madhara yake.
Katika shule zetu za sekondari za siku hizi, kumekuwa na utumiaji wa mitandao ambapo kumekuwa na faida na madhara yake. Mojawapo ya faida zilizoibuka ni kama vile, umeweza kuleta urahisi katika masomo ya wanafunzi. Mbali na wanafunzi kusoma madarasani au kufunzwa, unapata kwamba mwanafunzi anaweza kusoma kutumia simu za mkono ambapo anaweza kusoma mpaka zaidi.
Kupitia teknolojia wanafunzi na hata walimu wanaweza kuangalia taarifa ya habari, vipindi na hata michezo. Vilevile wanafunzi wameweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kufanya biashara kupitia mitandaoni na kujiendeleza kimaisha. Kupiga simu za mkono kumeibuka kokotoo ambazo kwamba zinafanya jukumu kubwa kufika masomo ya mwanafunzi kwenye kufanya hesabu za shule za sekondari.Kwa ajili hiyo wanafunzi wamekuwa na ujuzi wa kufanya hesabu kwa urahisi.
Teknologia imeweza kuleta kazi kwa vijana katika sehemu tofauti kama vile kazi ya mweka azina katika benki anafaa kuwa amesomea jinsi ya kutumia tarakilishi. Kwa ajili hiyo imeweza kuibua maendeleo kemkem katika jamii.
Kwa upande mwingine, teknolojia imeleta madhara mengi mno hasa kwa wanafunzi si wakubwa si wadogo. kwa jamii yetu ya leo wanafunzi wanaangalia mpaka mambo ya mapenzi kwa simu wakidai wanacheza michezo ya bunduki. Teknologia imefanya watu kuingia katika kufanya biashara za haramu kama vile kuuza dawa za kulevya, kufanya ujambazi na hata kuiba watu na kuuza vitu vyao vya ndani. | Ili kuajiriwa kwenye benki, vijana wanapaswa kufahamu nini? | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3041_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo mazingira na tabia za walimwengu zinavyozidi kubadilika mara kwa mara. Tunapata kuwa zamani wakati wa mababu na nyanya zetu kulikuwa hakuna vitu vya kutumia umeme kama vile tarakilishi. Wakati huu kama ninavyo ongea, mabadiliko haya yamekuwa na faida na hata pia gross madhara yake.
Katika shule zetu za sekondari za siku hizi, kumekuwa na utumiaji wa mitandao ambapo kumekuwa na faida na madhara yake. Mojawapo ya faida zilizoibuka ni kama vile, umeweza kuleta urahisi katika masomo ya wanafunzi. Mbali na wanafunzi kusoma madarasani au kufunzwa, unapata kwamba mwanafunzi anaweza kusoma kutumia simu za mkono ambapo anaweza kusoma mpaka zaidi.
Kupitia teknolojia wanafunzi na hata walimu wanaweza kuangalia taarifa ya habari, vipindi na hata michezo. Vilevile wanafunzi wameweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kufanya biashara kupitia mitandaoni na kujiendeleza kimaisha. Kupiga simu za mkono kumeibuka kokotoo ambazo kwamba zinafanya jukumu kubwa kufika masomo ya mwanafunzi kwenye kufanya hesabu za shule za sekondari.Kwa ajili hiyo wanafunzi wamekuwa na ujuzi wa kufanya hesabu kwa urahisi.
Teknologia imeweza kuleta kazi kwa vijana katika sehemu tofauti kama vile kazi ya mweka azina katika benki anafaa kuwa amesomea jinsi ya kutumia tarakilishi. Kwa ajili hiyo imeweza kuibua maendeleo kemkem katika jamii.
Kwa upande mwingine, teknolojia imeleta madhara mengi mno hasa kwa wanafunzi si wakubwa si wadogo. kwa jamii yetu ya leo wanafunzi wanaangalia mpaka mambo ya mapenzi kwa simu wakidai wanacheza michezo ya bunduki. Teknologia imefanya watu kuingia katika kufanya biashara za haramu kama vile kuuza dawa za kulevya, kufanya ujambazi na hata kuiba watu na kuuza vitu vyao vya ndani. | Nani wameathirika sana na teknolojia? | {
"text": [
"Vijana wa kizazi kipya"
]
} |
3042_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Msemo huu umejikita sana kwa kuwakanya au kufunza vijana sana sana katika kufanya mambo yasiyofaa katika jamii. Vilevile msemo huu una maana ya kuwa iwapo mtoto atakanywa na wavyele wake na akatae kusikiliza anayoamrishwa na wakubwa wake, basi kitakacho mkuta asilaumu mtu yeyote.
Hidaya alikuwa msichana wa kuigwa na wasichana wote, kwani alikuwa na tabia, uvuvi, umbile ambayo hakuna ambaye angefananishwa naye ispokuwa malaika wa mungu pekee. Kuanzia masomo yake ya msingi hadi kufikia masomo ya sekondari. Hidaya alikuwa msichana mwenye sifa kedekede kutoka kwa walimu, wanafunzi, wanajamii na hata wazazi wake.
Wahenga hawakukosea waliponena kwamba kibaya hujitembeza na kizuri hujiuza. Hakuna mahali popote ambapo Hidaya alipita bila kupewa sifa kupindukia, hata hivyo chenye sifa kipe sifa. Wanajamii walitimiza hilo bila kizuizi.
Nimesadikia kwa ule msemo uliosema kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka. Haikuwa muda mrefu ambapo Hidaya alianza kuonekana vizuri vile alivyo. Alianza kuonyesha
tabia ambazo hazipendezi kwa macho ya wakubwa wake, kwani ndipo watu walipo amini msemo ambao unasema kuwa umdhaniaye ndiye huwa siye. Kwa kuwa alikuwa akitenda vitendo visivyoelezeka. Aliwatia wazazi wake aibu mpaka walikuwa na aibu hadi ya kwenda kwa jirani kwa dharura yoyote ile.
Hidaya alikuwa halali nyumbani, vilevile akaanza kuvaa mavazi yasiyo na heshima hata mbele ya mungu. Aliacha kufanya ibada akisingizia kuwa yuko kwenye damu zake za hedhi. Wazazi wake kwa kweli walijaribu vile wangeweza ili tu mwana wao arudi kama vile alivyo kuwa mwanzo. Lakini wapi, bidii zao za mchwa ziligonga mwamba na hazikusaidia hata chembe.
Haikutosha, Hidaya alianza tabia ya kuingia kwenye nyumba ya wanaume kama anaonekana na jamii nzima bila hata chembe ya haya usoni mwake. Wake kwa wazee walimkanya na wakaendelea kumkanya kila uchao, lakini wapi, kwani sikio la kufa halisikii dawa. Walimwengu walishindwa kumrekebisha na waka muacha aendelee na vitendo vyake vichafu. Wazazi wake walibaki wakimuangalia kwa macho bila ya kumwambia chochote bali walichobaki nacho nikumsikitia binti yao.
Muda haukupita sana alipogundulika kwamba Hidaya yuko kitandani hali maututi akiumwa kwa ugonjwa usiojulikana umetoka wapi. Watu walipochunguza kwa kina, alikuwa akiugua kwa ugonjwa wa kusababishwa na kufanya ngono sana na kutoa mimba ovyo ovyo ukiwa umri mdogo. Baada ya masaa fulani, Hidaya aliaga dunia na watu wakamzika kwa majonzi mengi mno, hasa wazazi wake.
Hadithi hii inawafunza wale ambao wanapenda kukimbilia mambo kama wakati bado na ungali mtoto mdogo. Katika kijiji hicho, wasichana walijifunza na waliokuwa wakifanya hivyo wakaacha na wakaishi kwa furaha. | Ni msichana yupi alikuwa wa kuigwa na wengine wote | {
"text": [
"Hidaya"
]
} |
3042_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Msemo huu umejikita sana kwa kuwakanya au kufunza vijana sana sana katika kufanya mambo yasiyofaa katika jamii. Vilevile msemo huu una maana ya kuwa iwapo mtoto atakanywa na wavyele wake na akatae kusikiliza anayoamrishwa na wakubwa wake, basi kitakacho mkuta asilaumu mtu yeyote.
Hidaya alikuwa msichana wa kuigwa na wasichana wote, kwani alikuwa na tabia, uvuvi, umbile ambayo hakuna ambaye angefananishwa naye ispokuwa malaika wa mungu pekee. Kuanzia masomo yake ya msingi hadi kufikia masomo ya sekondari. Hidaya alikuwa msichana mwenye sifa kedekede kutoka kwa walimu, wanafunzi, wanajamii na hata wazazi wake.
Wahenga hawakukosea waliponena kwamba kibaya hujitembeza na kizuri hujiuza. Hakuna mahali popote ambapo Hidaya alipita bila kupewa sifa kupindukia, hata hivyo chenye sifa kipe sifa. Wanajamii walitimiza hilo bila kizuizi.
Nimesadikia kwa ule msemo uliosema kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka. Haikuwa muda mrefu ambapo Hidaya alianza kuonekana vizuri vile alivyo. Alianza kuonyesha
tabia ambazo hazipendezi kwa macho ya wakubwa wake, kwani ndipo watu walipo amini msemo ambao unasema kuwa umdhaniaye ndiye huwa siye. Kwa kuwa alikuwa akitenda vitendo visivyoelezeka. Aliwatia wazazi wake aibu mpaka walikuwa na aibu hadi ya kwenda kwa jirani kwa dharura yoyote ile.
Hidaya alikuwa halali nyumbani, vilevile akaanza kuvaa mavazi yasiyo na heshima hata mbele ya mungu. Aliacha kufanya ibada akisingizia kuwa yuko kwenye damu zake za hedhi. Wazazi wake kwa kweli walijaribu vile wangeweza ili tu mwana wao arudi kama vile alivyo kuwa mwanzo. Lakini wapi, bidii zao za mchwa ziligonga mwamba na hazikusaidia hata chembe.
Haikutosha, Hidaya alianza tabia ya kuingia kwenye nyumba ya wanaume kama anaonekana na jamii nzima bila hata chembe ya haya usoni mwake. Wake kwa wazee walimkanya na wakaendelea kumkanya kila uchao, lakini wapi, kwani sikio la kufa halisikii dawa. Walimwengu walishindwa kumrekebisha na waka muacha aendelee na vitendo vyake vichafu. Wazazi wake walibaki wakimuangalia kwa macho bila ya kumwambia chochote bali walichobaki nacho nikumsikitia binti yao.
Muda haukupita sana alipogundulika kwamba Hidaya yuko kitandani hali maututi akiumwa kwa ugonjwa usiojulikana umetoka wapi. Watu walipochunguza kwa kina, alikuwa akiugua kwa ugonjwa wa kusababishwa na kufanya ngono sana na kutoa mimba ovyo ovyo ukiwa umri mdogo. Baada ya masaa fulani, Hidaya aliaga dunia na watu wakamzika kwa majonzi mengi mno, hasa wazazi wake.
Hadithi hii inawafunza wale ambao wanapenda kukimbilia mambo kama wakati bado na ungali mtoto mdogo. Katika kijiji hicho, wasichana walijifunza na waliokuwa wakifanya hivyo wakaacha na wakaishi kwa furaha. | Hidaya alikuwa na umbile zuri lililomithilishwa na nini | {
"text": [
"Malaika wa Mungu"
]
} |
3042_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Msemo huu umejikita sana kwa kuwakanya au kufunza vijana sana sana katika kufanya mambo yasiyofaa katika jamii. Vilevile msemo huu una maana ya kuwa iwapo mtoto atakanywa na wavyele wake na akatae kusikiliza anayoamrishwa na wakubwa wake, basi kitakacho mkuta asilaumu mtu yeyote.
Hidaya alikuwa msichana wa kuigwa na wasichana wote, kwani alikuwa na tabia, uvuvi, umbile ambayo hakuna ambaye angefananishwa naye ispokuwa malaika wa mungu pekee. Kuanzia masomo yake ya msingi hadi kufikia masomo ya sekondari. Hidaya alikuwa msichana mwenye sifa kedekede kutoka kwa walimu, wanafunzi, wanajamii na hata wazazi wake.
Wahenga hawakukosea waliponena kwamba kibaya hujitembeza na kizuri hujiuza. Hakuna mahali popote ambapo Hidaya alipita bila kupewa sifa kupindukia, hata hivyo chenye sifa kipe sifa. Wanajamii walitimiza hilo bila kizuizi.
Nimesadikia kwa ule msemo uliosema kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka. Haikuwa muda mrefu ambapo Hidaya alianza kuonekana vizuri vile alivyo. Alianza kuonyesha
tabia ambazo hazipendezi kwa macho ya wakubwa wake, kwani ndipo watu walipo amini msemo ambao unasema kuwa umdhaniaye ndiye huwa siye. Kwa kuwa alikuwa akitenda vitendo visivyoelezeka. Aliwatia wazazi wake aibu mpaka walikuwa na aibu hadi ya kwenda kwa jirani kwa dharura yoyote ile.
Hidaya alikuwa halali nyumbani, vilevile akaanza kuvaa mavazi yasiyo na heshima hata mbele ya mungu. Aliacha kufanya ibada akisingizia kuwa yuko kwenye damu zake za hedhi. Wazazi wake kwa kweli walijaribu vile wangeweza ili tu mwana wao arudi kama vile alivyo kuwa mwanzo. Lakini wapi, bidii zao za mchwa ziligonga mwamba na hazikusaidia hata chembe.
Haikutosha, Hidaya alianza tabia ya kuingia kwenye nyumba ya wanaume kama anaonekana na jamii nzima bila hata chembe ya haya usoni mwake. Wake kwa wazee walimkanya na wakaendelea kumkanya kila uchao, lakini wapi, kwani sikio la kufa halisikii dawa. Walimwengu walishindwa kumrekebisha na waka muacha aendelee na vitendo vyake vichafu. Wazazi wake walibaki wakimuangalia kwa macho bila ya kumwambia chochote bali walichobaki nacho nikumsikitia binti yao.
Muda haukupita sana alipogundulika kwamba Hidaya yuko kitandani hali maututi akiumwa kwa ugonjwa usiojulikana umetoka wapi. Watu walipochunguza kwa kina, alikuwa akiugua kwa ugonjwa wa kusababishwa na kufanya ngono sana na kutoa mimba ovyo ovyo ukiwa umri mdogo. Baada ya masaa fulani, Hidaya aliaga dunia na watu wakamzika kwa majonzi mengi mno, hasa wazazi wake.
Hadithi hii inawafunza wale ambao wanapenda kukimbilia mambo kama wakati bado na ungali mtoto mdogo. Katika kijiji hicho, wasichana walijifunza na waliokuwa wakifanya hivyo wakaacha na wakaishi kwa furaha. | Hidaya alisingizia nini alipokataa kufanya ibada | {
"text": [
"Damu ya hedhi"
]
} |
3042_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Msemo huu umejikita sana kwa kuwakanya au kufunza vijana sana sana katika kufanya mambo yasiyofaa katika jamii. Vilevile msemo huu una maana ya kuwa iwapo mtoto atakanywa na wavyele wake na akatae kusikiliza anayoamrishwa na wakubwa wake, basi kitakacho mkuta asilaumu mtu yeyote.
Hidaya alikuwa msichana wa kuigwa na wasichana wote, kwani alikuwa na tabia, uvuvi, umbile ambayo hakuna ambaye angefananishwa naye ispokuwa malaika wa mungu pekee. Kuanzia masomo yake ya msingi hadi kufikia masomo ya sekondari. Hidaya alikuwa msichana mwenye sifa kedekede kutoka kwa walimu, wanafunzi, wanajamii na hata wazazi wake.
Wahenga hawakukosea waliponena kwamba kibaya hujitembeza na kizuri hujiuza. Hakuna mahali popote ambapo Hidaya alipita bila kupewa sifa kupindukia, hata hivyo chenye sifa kipe sifa. Wanajamii walitimiza hilo bila kizuizi.
Nimesadikia kwa ule msemo uliosema kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka. Haikuwa muda mrefu ambapo Hidaya alianza kuonekana vizuri vile alivyo. Alianza kuonyesha
tabia ambazo hazipendezi kwa macho ya wakubwa wake, kwani ndipo watu walipo amini msemo ambao unasema kuwa umdhaniaye ndiye huwa siye. Kwa kuwa alikuwa akitenda vitendo visivyoelezeka. Aliwatia wazazi wake aibu mpaka walikuwa na aibu hadi ya kwenda kwa jirani kwa dharura yoyote ile.
Hidaya alikuwa halali nyumbani, vilevile akaanza kuvaa mavazi yasiyo na heshima hata mbele ya mungu. Aliacha kufanya ibada akisingizia kuwa yuko kwenye damu zake za hedhi. Wazazi wake kwa kweli walijaribu vile wangeweza ili tu mwana wao arudi kama vile alivyo kuwa mwanzo. Lakini wapi, bidii zao za mchwa ziligonga mwamba na hazikusaidia hata chembe.
Haikutosha, Hidaya alianza tabia ya kuingia kwenye nyumba ya wanaume kama anaonekana na jamii nzima bila hata chembe ya haya usoni mwake. Wake kwa wazee walimkanya na wakaendelea kumkanya kila uchao, lakini wapi, kwani sikio la kufa halisikii dawa. Walimwengu walishindwa kumrekebisha na waka muacha aendelee na vitendo vyake vichafu. Wazazi wake walibaki wakimuangalia kwa macho bila ya kumwambia chochote bali walichobaki nacho nikumsikitia binti yao.
Muda haukupita sana alipogundulika kwamba Hidaya yuko kitandani hali maututi akiumwa kwa ugonjwa usiojulikana umetoka wapi. Watu walipochunguza kwa kina, alikuwa akiugua kwa ugonjwa wa kusababishwa na kufanya ngono sana na kutoa mimba ovyo ovyo ukiwa umri mdogo. Baada ya masaa fulani, Hidaya aliaga dunia na watu wakamzika kwa majonzi mengi mno, hasa wazazi wake.
Hadithi hii inawafunza wale ambao wanapenda kukimbilia mambo kama wakati bado na ungali mtoto mdogo. Katika kijiji hicho, wasichana walijifunza na waliokuwa wakifanya hivyo wakaacha na wakaishi kwa furaha. | Kwa nini Hidaya alikuwa hali mahututi | {
"text": [
"Alikuwa na ugonjwa usiojulikana na ilisemekana alikuwa ametoa mimba ovyo ovyo"
]
} |
3042_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Msemo huu umejikita sana kwa kuwakanya au kufunza vijana sana sana katika kufanya mambo yasiyofaa katika jamii. Vilevile msemo huu una maana ya kuwa iwapo mtoto atakanywa na wavyele wake na akatae kusikiliza anayoamrishwa na wakubwa wake, basi kitakacho mkuta asilaumu mtu yeyote.
Hidaya alikuwa msichana wa kuigwa na wasichana wote, kwani alikuwa na tabia, uvuvi, umbile ambayo hakuna ambaye angefananishwa naye ispokuwa malaika wa mungu pekee. Kuanzia masomo yake ya msingi hadi kufikia masomo ya sekondari. Hidaya alikuwa msichana mwenye sifa kedekede kutoka kwa walimu, wanafunzi, wanajamii na hata wazazi wake.
Wahenga hawakukosea waliponena kwamba kibaya hujitembeza na kizuri hujiuza. Hakuna mahali popote ambapo Hidaya alipita bila kupewa sifa kupindukia, hata hivyo chenye sifa kipe sifa. Wanajamii walitimiza hilo bila kizuizi.
Nimesadikia kwa ule msemo uliosema kuwa ngoma ikipigwa sana hupasuka. Haikuwa muda mrefu ambapo Hidaya alianza kuonekana vizuri vile alivyo. Alianza kuonyesha
tabia ambazo hazipendezi kwa macho ya wakubwa wake, kwani ndipo watu walipo amini msemo ambao unasema kuwa umdhaniaye ndiye huwa siye. Kwa kuwa alikuwa akitenda vitendo visivyoelezeka. Aliwatia wazazi wake aibu mpaka walikuwa na aibu hadi ya kwenda kwa jirani kwa dharura yoyote ile.
Hidaya alikuwa halali nyumbani, vilevile akaanza kuvaa mavazi yasiyo na heshima hata mbele ya mungu. Aliacha kufanya ibada akisingizia kuwa yuko kwenye damu zake za hedhi. Wazazi wake kwa kweli walijaribu vile wangeweza ili tu mwana wao arudi kama vile alivyo kuwa mwanzo. Lakini wapi, bidii zao za mchwa ziligonga mwamba na hazikusaidia hata chembe.
Haikutosha, Hidaya alianza tabia ya kuingia kwenye nyumba ya wanaume kama anaonekana na jamii nzima bila hata chembe ya haya usoni mwake. Wake kwa wazee walimkanya na wakaendelea kumkanya kila uchao, lakini wapi, kwani sikio la kufa halisikii dawa. Walimwengu walishindwa kumrekebisha na waka muacha aendelee na vitendo vyake vichafu. Wazazi wake walibaki wakimuangalia kwa macho bila ya kumwambia chochote bali walichobaki nacho nikumsikitia binti yao.
Muda haukupita sana alipogundulika kwamba Hidaya yuko kitandani hali maututi akiumwa kwa ugonjwa usiojulikana umetoka wapi. Watu walipochunguza kwa kina, alikuwa akiugua kwa ugonjwa wa kusababishwa na kufanya ngono sana na kutoa mimba ovyo ovyo ukiwa umri mdogo. Baada ya masaa fulani, Hidaya aliaga dunia na watu wakamzika kwa majonzi mengi mno, hasa wazazi wake.
Hadithi hii inawafunza wale ambao wanapenda kukimbilia mambo kama wakati bado na ungali mtoto mdogo. Katika kijiji hicho, wasichana walijifunza na waliokuwa wakifanya hivyo wakaacha na wakaishi kwa furaha. | Ni funzo lipi linajitokeza kulingana na taarifa | {
"text": [
"Tujiepushe na mambo ya utu uzima tungali wadogo"
]
} |
3043_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida kemkem katika nchi yetu ambapo imeweza kutusaidia sana katika sekta ya elimu haswa katika shule za upili. Shule za sekondari zimeimarika katika mambo ya kiteknolojia na kufanya usomaji wanafunzi kuwa rahisi sana. Kuibuka kwa
machine kama tarakilishi imefanya ufundishaji kwa walimu kuwa rahisi, kwani hawapati tena dhiki za kutafuta vitabu tofauti tofauti ili kupata maelezo ya masomo na na kisha kufundisha. Bali sasa hivi maelezo yote yanaweza kupatikana katika tarakilishi ya mwalimu na kuwa rahisi kwake kufundisha.
Teknolojia hio hio imetuletea madhara kwani katika ufundishaji wa walimu na tarakilishi,
inawafanya walimu wengi kuwa wavivu na kukosa kujishuhulisha kutafuta maelezo ya masomo kwenye vitabu na mwisho mwalimu huyo anaweza kutoa maelezo yaliyo koseka au pia kutoa maelezo machache. Mwalimu atakuwa anazingatia maelezo yale yaliyo katika tarakilishi tu bila kufafanua maelezo mengine.
Teknolojia ya kisasa pia imetuletea machine ya kuchapisha ambapo zimeweza kusaidia pakubwa shuleni. Machine hizi zimefanya kazi kuwa rahisi kwani walimu wameweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao muda wowote. Na si mtihani tu bali hata makaratasi na ata vyeti muhimu vinavyofaa kutumika shuleni humo. Wanafunzi wa sekondari huwa ni wa kufanya mitihani kwa wingi kwa hivyo basi imekuwa rahisi kwao kwani hawahitaji tena kununua mitihani kutoka nje ya shule. Kwani sasa hivi mitihani inaweza kupitikana humo humo shuleni bila ata kugharamia.
Vile vile imetuletea maafa mengi kwa kutuharibia wanafunzi kwani unaeza pata wanafunzi wakijaribu kuiba mtihani na kwenda kuchapisha nje ya shule na kisha kuudurusu ndio ata mtihani huo ukiletwa awe ashaudurusu na anaweza kupita na kufaulu vizuri ambapo hawajui kuwa wanajipotosha sana. Wanafunzi wa karne ya sasa wameharibiwa na teknolojia yetu mpya.
Teknolojia imetuletea rununu inajulikana sana kama simu ya mkononi. Katika shule za sekondari walimu na hata wanafunzi katika baadhi ya shule humiliki rununu zao wenyewe. Wanafunzi hao huruhusiwa kuja na rununu shuleni ili kuwasaidia wao kwani masomo mengi ya kisasa yanasomeka mtandaoni sana sana kujulikana kama 'online classes’. Masomo haya yamenufaisha wengi na kufanya masomo kuwa rahisi kwa watu wengi sana. Kwani mwanafunzi anaweza kusoma wakati wowote na huhifadhi mambo mengi mno ambapo mwanafunzi huyo anaweza kujisomea baadaye akiwa peke yake.
Lakini rununu hizo hizo zinazotumika na wanafunzi zimeleta madhara yake. Rununu hizo
Zimefanya wanafunzi wa kisasa kuwa wavivu mno kutotaka kujishuhulisha na kufikiria wala kujisomea zaidi katika vitabu vyao. Wanafunzi wengine hutumia rununu hizo kwa mambo yasiyohusiana na masomo kabisa na kufanya wanafunzi hao kupotoka na kufikiria uovu tu.
Teknolojia imetuwezesha kuwa hata na televisheni katika shule za sekondari hususan shule za mabweni. Hii huwasaidia kuweza kuangalia habari na kujua nchi yetu inavyoendelea katika sekta mbalimbali kama sekta ya afya, ukulima, maji na kadhalika. Hii huwasaidia wanafunzi kwani mitihani mingi huletwa kutokana na mambo yanayoendelea nchini haswa katika somo la Kiingereza na Kiswahili hivyo basi huwa rahisi kwao kuelewa na kuweza kuyajibu maswali yanavyotakikana tena kwa majibu mwafaka. Kwa sababu tayari wanajua kinacho ongelelewa ni nini. | Nini imeleta faida kem kem katika nchi yetu | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3043_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida kemkem katika nchi yetu ambapo imeweza kutusaidia sana katika sekta ya elimu haswa katika shule za upili. Shule za sekondari zimeimarika katika mambo ya kiteknolojia na kufanya usomaji wanafunzi kuwa rahisi sana. Kuibuka kwa
machine kama tarakilishi imefanya ufundishaji kwa walimu kuwa rahisi, kwani hawapati tena dhiki za kutafuta vitabu tofauti tofauti ili kupata maelezo ya masomo na na kisha kufundisha. Bali sasa hivi maelezo yote yanaweza kupatikana katika tarakilishi ya mwalimu na kuwa rahisi kwake kufundisha.
Teknolojia hio hio imetuletea madhara kwani katika ufundishaji wa walimu na tarakilishi,
inawafanya walimu wengi kuwa wavivu na kukosa kujishuhulisha kutafuta maelezo ya masomo kwenye vitabu na mwisho mwalimu huyo anaweza kutoa maelezo yaliyo koseka au pia kutoa maelezo machache. Mwalimu atakuwa anazingatia maelezo yale yaliyo katika tarakilishi tu bila kufafanua maelezo mengine.
Teknolojia ya kisasa pia imetuletea machine ya kuchapisha ambapo zimeweza kusaidia pakubwa shuleni. Machine hizi zimefanya kazi kuwa rahisi kwani walimu wameweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao muda wowote. Na si mtihani tu bali hata makaratasi na ata vyeti muhimu vinavyofaa kutumika shuleni humo. Wanafunzi wa sekondari huwa ni wa kufanya mitihani kwa wingi kwa hivyo basi imekuwa rahisi kwao kwani hawahitaji tena kununua mitihani kutoka nje ya shule. Kwani sasa hivi mitihani inaweza kupitikana humo humo shuleni bila ata kugharamia.
Vile vile imetuletea maafa mengi kwa kutuharibia wanafunzi kwani unaeza pata wanafunzi wakijaribu kuiba mtihani na kwenda kuchapisha nje ya shule na kisha kuudurusu ndio ata mtihani huo ukiletwa awe ashaudurusu na anaweza kupita na kufaulu vizuri ambapo hawajui kuwa wanajipotosha sana. Wanafunzi wa karne ya sasa wameharibiwa na teknolojia yetu mpya.
Teknolojia imetuletea rununu inajulikana sana kama simu ya mkononi. Katika shule za sekondari walimu na hata wanafunzi katika baadhi ya shule humiliki rununu zao wenyewe. Wanafunzi hao huruhusiwa kuja na rununu shuleni ili kuwasaidia wao kwani masomo mengi ya kisasa yanasomeka mtandaoni sana sana kujulikana kama 'online classes’. Masomo haya yamenufaisha wengi na kufanya masomo kuwa rahisi kwa watu wengi sana. Kwani mwanafunzi anaweza kusoma wakati wowote na huhifadhi mambo mengi mno ambapo mwanafunzi huyo anaweza kujisomea baadaye akiwa peke yake.
Lakini rununu hizo hizo zinazotumika na wanafunzi zimeleta madhara yake. Rununu hizo
Zimefanya wanafunzi wa kisasa kuwa wavivu mno kutotaka kujishuhulisha na kufikiria wala kujisomea zaidi katika vitabu vyao. Wanafunzi wengine hutumia rununu hizo kwa mambo yasiyohusiana na masomo kabisa na kufanya wanafunzi hao kupotoka na kufikiria uovu tu.
Teknolojia imetuwezesha kuwa hata na televisheni katika shule za sekondari hususan shule za mabweni. Hii huwasaidia kuweza kuangalia habari na kujua nchi yetu inavyoendelea katika sekta mbalimbali kama sekta ya afya, ukulima, maji na kadhalika. Hii huwasaidia wanafunzi kwani mitihani mingi huletwa kutokana na mambo yanayoendelea nchini haswa katika somo la Kiingereza na Kiswahili hivyo basi huwa rahisi kwao kuelewa na kuweza kuyajibu maswali yanavyotakikana tena kwa majibu mwafaka. Kwa sababu tayari wanajua kinacho ongelelewa ni nini. | Walimu wanatumia mashini kuchapisha mitihani lini | {
"text": [
"muda wowote"
]
} |
3043_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida kemkem katika nchi yetu ambapo imeweza kutusaidia sana katika sekta ya elimu haswa katika shule za upili. Shule za sekondari zimeimarika katika mambo ya kiteknolojia na kufanya usomaji wanafunzi kuwa rahisi sana. Kuibuka kwa
machine kama tarakilishi imefanya ufundishaji kwa walimu kuwa rahisi, kwani hawapati tena dhiki za kutafuta vitabu tofauti tofauti ili kupata maelezo ya masomo na na kisha kufundisha. Bali sasa hivi maelezo yote yanaweza kupatikana katika tarakilishi ya mwalimu na kuwa rahisi kwake kufundisha.
Teknolojia hio hio imetuletea madhara kwani katika ufundishaji wa walimu na tarakilishi,
inawafanya walimu wengi kuwa wavivu na kukosa kujishuhulisha kutafuta maelezo ya masomo kwenye vitabu na mwisho mwalimu huyo anaweza kutoa maelezo yaliyo koseka au pia kutoa maelezo machache. Mwalimu atakuwa anazingatia maelezo yale yaliyo katika tarakilishi tu bila kufafanua maelezo mengine.
Teknolojia ya kisasa pia imetuletea machine ya kuchapisha ambapo zimeweza kusaidia pakubwa shuleni. Machine hizi zimefanya kazi kuwa rahisi kwani walimu wameweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao muda wowote. Na si mtihani tu bali hata makaratasi na ata vyeti muhimu vinavyofaa kutumika shuleni humo. Wanafunzi wa sekondari huwa ni wa kufanya mitihani kwa wingi kwa hivyo basi imekuwa rahisi kwao kwani hawahitaji tena kununua mitihani kutoka nje ya shule. Kwani sasa hivi mitihani inaweza kupitikana humo humo shuleni bila ata kugharamia.
Vile vile imetuletea maafa mengi kwa kutuharibia wanafunzi kwani unaeza pata wanafunzi wakijaribu kuiba mtihani na kwenda kuchapisha nje ya shule na kisha kuudurusu ndio ata mtihani huo ukiletwa awe ashaudurusu na anaweza kupita na kufaulu vizuri ambapo hawajui kuwa wanajipotosha sana. Wanafunzi wa karne ya sasa wameharibiwa na teknolojia yetu mpya.
Teknolojia imetuletea rununu inajulikana sana kama simu ya mkononi. Katika shule za sekondari walimu na hata wanafunzi katika baadhi ya shule humiliki rununu zao wenyewe. Wanafunzi hao huruhusiwa kuja na rununu shuleni ili kuwasaidia wao kwani masomo mengi ya kisasa yanasomeka mtandaoni sana sana kujulikana kama 'online classes’. Masomo haya yamenufaisha wengi na kufanya masomo kuwa rahisi kwa watu wengi sana. Kwani mwanafunzi anaweza kusoma wakati wowote na huhifadhi mambo mengi mno ambapo mwanafunzi huyo anaweza kujisomea baadaye akiwa peke yake.
Lakini rununu hizo hizo zinazotumika na wanafunzi zimeleta madhara yake. Rununu hizo
Zimefanya wanafunzi wa kisasa kuwa wavivu mno kutotaka kujishuhulisha na kufikiria wala kujisomea zaidi katika vitabu vyao. Wanafunzi wengine hutumia rununu hizo kwa mambo yasiyohusiana na masomo kabisa na kufanya wanafunzi hao kupotoka na kufikiria uovu tu.
Teknolojia imetuwezesha kuwa hata na televisheni katika shule za sekondari hususan shule za mabweni. Hii huwasaidia kuweza kuangalia habari na kujua nchi yetu inavyoendelea katika sekta mbalimbali kama sekta ya afya, ukulima, maji na kadhalika. Hii huwasaidia wanafunzi kwani mitihani mingi huletwa kutokana na mambo yanayoendelea nchini haswa katika somo la Kiingereza na Kiswahili hivyo basi huwa rahisi kwao kuelewa na kuweza kuyajibu maswali yanavyotakikana tena kwa majibu mwafaka. Kwa sababu tayari wanajua kinacho ongelelewa ni nini. | Wanafunzi huiba mitihani na kwenda kuichapisha wapi | {
"text": [
"nje ya shule"
]
} |
3043_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida kemkem katika nchi yetu ambapo imeweza kutusaidia sana katika sekta ya elimu haswa katika shule za upili. Shule za sekondari zimeimarika katika mambo ya kiteknolojia na kufanya usomaji wanafunzi kuwa rahisi sana. Kuibuka kwa
machine kama tarakilishi imefanya ufundishaji kwa walimu kuwa rahisi, kwani hawapati tena dhiki za kutafuta vitabu tofauti tofauti ili kupata maelezo ya masomo na na kisha kufundisha. Bali sasa hivi maelezo yote yanaweza kupatikana katika tarakilishi ya mwalimu na kuwa rahisi kwake kufundisha.
Teknolojia hio hio imetuletea madhara kwani katika ufundishaji wa walimu na tarakilishi,
inawafanya walimu wengi kuwa wavivu na kukosa kujishuhulisha kutafuta maelezo ya masomo kwenye vitabu na mwisho mwalimu huyo anaweza kutoa maelezo yaliyo koseka au pia kutoa maelezo machache. Mwalimu atakuwa anazingatia maelezo yale yaliyo katika tarakilishi tu bila kufafanua maelezo mengine.
Teknolojia ya kisasa pia imetuletea machine ya kuchapisha ambapo zimeweza kusaidia pakubwa shuleni. Machine hizi zimefanya kazi kuwa rahisi kwani walimu wameweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao muda wowote. Na si mtihani tu bali hata makaratasi na ata vyeti muhimu vinavyofaa kutumika shuleni humo. Wanafunzi wa sekondari huwa ni wa kufanya mitihani kwa wingi kwa hivyo basi imekuwa rahisi kwao kwani hawahitaji tena kununua mitihani kutoka nje ya shule. Kwani sasa hivi mitihani inaweza kupitikana humo humo shuleni bila ata kugharamia.
Vile vile imetuletea maafa mengi kwa kutuharibia wanafunzi kwani unaeza pata wanafunzi wakijaribu kuiba mtihani na kwenda kuchapisha nje ya shule na kisha kuudurusu ndio ata mtihani huo ukiletwa awe ashaudurusu na anaweza kupita na kufaulu vizuri ambapo hawajui kuwa wanajipotosha sana. Wanafunzi wa karne ya sasa wameharibiwa na teknolojia yetu mpya.
Teknolojia imetuletea rununu inajulikana sana kama simu ya mkononi. Katika shule za sekondari walimu na hata wanafunzi katika baadhi ya shule humiliki rununu zao wenyewe. Wanafunzi hao huruhusiwa kuja na rununu shuleni ili kuwasaidia wao kwani masomo mengi ya kisasa yanasomeka mtandaoni sana sana kujulikana kama 'online classes’. Masomo haya yamenufaisha wengi na kufanya masomo kuwa rahisi kwa watu wengi sana. Kwani mwanafunzi anaweza kusoma wakati wowote na huhifadhi mambo mengi mno ambapo mwanafunzi huyo anaweza kujisomea baadaye akiwa peke yake.
Lakini rununu hizo hizo zinazotumika na wanafunzi zimeleta madhara yake. Rununu hizo
Zimefanya wanafunzi wa kisasa kuwa wavivu mno kutotaka kujishuhulisha na kufikiria wala kujisomea zaidi katika vitabu vyao. Wanafunzi wengine hutumia rununu hizo kwa mambo yasiyohusiana na masomo kabisa na kufanya wanafunzi hao kupotoka na kufikiria uovu tu.
Teknolojia imetuwezesha kuwa hata na televisheni katika shule za sekondari hususan shule za mabweni. Hii huwasaidia kuweza kuangalia habari na kujua nchi yetu inavyoendelea katika sekta mbalimbali kama sekta ya afya, ukulima, maji na kadhalika. Hii huwasaidia wanafunzi kwani mitihani mingi huletwa kutokana na mambo yanayoendelea nchini haswa katika somo la Kiingereza na Kiswahili hivyo basi huwa rahisi kwao kuelewa na kuweza kuyajibu maswali yanavyotakikana tena kwa majibu mwafaka. Kwa sababu tayari wanajua kinacho ongelelewa ni nini. | Wanafunzi gani wameharibiwa na teknolojia mpya | {
"text": [
"wa karne ya sasa"
]
} |
3043_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida kemkem katika nchi yetu ambapo imeweza kutusaidia sana katika sekta ya elimu haswa katika shule za upili. Shule za sekondari zimeimarika katika mambo ya kiteknolojia na kufanya usomaji wanafunzi kuwa rahisi sana. Kuibuka kwa
machine kama tarakilishi imefanya ufundishaji kwa walimu kuwa rahisi, kwani hawapati tena dhiki za kutafuta vitabu tofauti tofauti ili kupata maelezo ya masomo na na kisha kufundisha. Bali sasa hivi maelezo yote yanaweza kupatikana katika tarakilishi ya mwalimu na kuwa rahisi kwake kufundisha.
Teknolojia hio hio imetuletea madhara kwani katika ufundishaji wa walimu na tarakilishi,
inawafanya walimu wengi kuwa wavivu na kukosa kujishuhulisha kutafuta maelezo ya masomo kwenye vitabu na mwisho mwalimu huyo anaweza kutoa maelezo yaliyo koseka au pia kutoa maelezo machache. Mwalimu atakuwa anazingatia maelezo yale yaliyo katika tarakilishi tu bila kufafanua maelezo mengine.
Teknolojia ya kisasa pia imetuletea machine ya kuchapisha ambapo zimeweza kusaidia pakubwa shuleni. Machine hizi zimefanya kazi kuwa rahisi kwani walimu wameweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao muda wowote. Na si mtihani tu bali hata makaratasi na ata vyeti muhimu vinavyofaa kutumika shuleni humo. Wanafunzi wa sekondari huwa ni wa kufanya mitihani kwa wingi kwa hivyo basi imekuwa rahisi kwao kwani hawahitaji tena kununua mitihani kutoka nje ya shule. Kwani sasa hivi mitihani inaweza kupitikana humo humo shuleni bila ata kugharamia.
Vile vile imetuletea maafa mengi kwa kutuharibia wanafunzi kwani unaeza pata wanafunzi wakijaribu kuiba mtihani na kwenda kuchapisha nje ya shule na kisha kuudurusu ndio ata mtihani huo ukiletwa awe ashaudurusu na anaweza kupita na kufaulu vizuri ambapo hawajui kuwa wanajipotosha sana. Wanafunzi wa karne ya sasa wameharibiwa na teknolojia yetu mpya.
Teknolojia imetuletea rununu inajulikana sana kama simu ya mkononi. Katika shule za sekondari walimu na hata wanafunzi katika baadhi ya shule humiliki rununu zao wenyewe. Wanafunzi hao huruhusiwa kuja na rununu shuleni ili kuwasaidia wao kwani masomo mengi ya kisasa yanasomeka mtandaoni sana sana kujulikana kama 'online classes’. Masomo haya yamenufaisha wengi na kufanya masomo kuwa rahisi kwa watu wengi sana. Kwani mwanafunzi anaweza kusoma wakati wowote na huhifadhi mambo mengi mno ambapo mwanafunzi huyo anaweza kujisomea baadaye akiwa peke yake.
Lakini rununu hizo hizo zinazotumika na wanafunzi zimeleta madhara yake. Rununu hizo
Zimefanya wanafunzi wa kisasa kuwa wavivu mno kutotaka kujishuhulisha na kufikiria wala kujisomea zaidi katika vitabu vyao. Wanafunzi wengine hutumia rununu hizo kwa mambo yasiyohusiana na masomo kabisa na kufanya wanafunzi hao kupotoka na kufikiria uovu tu.
Teknolojia imetuwezesha kuwa hata na televisheni katika shule za sekondari hususan shule za mabweni. Hii huwasaidia kuweza kuangalia habari na kujua nchi yetu inavyoendelea katika sekta mbalimbali kama sekta ya afya, ukulima, maji na kadhalika. Hii huwasaidia wanafunzi kwani mitihani mingi huletwa kutokana na mambo yanayoendelea nchini haswa katika somo la Kiingereza na Kiswahili hivyo basi huwa rahisi kwao kuelewa na kuweza kuyajibu maswali yanavyotakikana tena kwa majibu mwafaka. Kwa sababu tayari wanajua kinacho ongelelewa ni nini. | Mbona wanafunzi huruhusiwa kuja na rununu shuleni | {
"text": [
"ili kuwasaidia"
]
} |
3044_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha yule ambaye huwa hasikilizi maonyo ya wavyele wake, mwisho humkuta ya kumkuta. Methali hia pia inaweza kufananishwa na methali isemayo, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, Maimuna alikuwa msichana wa kidato cha kwanza. Mwana huyu alikuwa ametoka katika familia ya kibwenye ambapo yeye alikuwa akipata kila akitakacho. Minghairi ya hayo, alikuwa msichana mrembo mwenye umbo zuri. Hivyo basi kutokana na sifa zake hizi alijulikana kijiji kizima kama msichana wa kipekee.
Shuleni, Maimuna hakujishuhulisha na masomo kwani alidai kuwa alihitaji elimu kidogo tu ili atoe ujinga ila hakusoma kwa ajili ya kupata kazi. Wanafunzi wenzake wali mshauri kila uchao lakini maneno yao yaliambulia patupu. Kwani yaliingia katika sikio la kushoto na kutokea sikio la kulia. Kila baada mitihani ya majaribio wazazi wakewaliitwa shuleni ili kumrai mtoto wao kuhusiana na matokeo yake. Lakini kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Maimuna alidai kuwa wazazi wake walikuwa na mali nyingi, hivyo wangepata urithi wake kwa kuwa yeye alikuwa mtoto wa pekee. Siku moja Maimuna alipokuwa shuleni aliarifiwa kuwa nyumbani kumetokea mkasa. Hivyo basi aliarifiwa kuwa alihitajika nyumbani. Maimuna alipofika nyumbani, alipata nyumba yao yote imeteketea kwa moto. Kuona hivyo Maimuna alizirai kwa sababu mali yao yote ilikuwa imepotea.
Maimuna alijuta japo kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Hakuwa na paku tegemea kwani masomo yake alikuwa ameshaya poteza.
Hivyo basi tunapaswa kusikiza maoni ya wavyele wetu ili tusije tukajutia baadaye. | Maimuna alikuwa kidato kipi | {
"text": [
"Kwanza"
]
} |
3044_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha yule ambaye huwa hasikilizi maonyo ya wavyele wake, mwisho humkuta ya kumkuta. Methali hia pia inaweza kufananishwa na methali isemayo, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, Maimuna alikuwa msichana wa kidato cha kwanza. Mwana huyu alikuwa ametoka katika familia ya kibwenye ambapo yeye alikuwa akipata kila akitakacho. Minghairi ya hayo, alikuwa msichana mrembo mwenye umbo zuri. Hivyo basi kutokana na sifa zake hizi alijulikana kijiji kizima kama msichana wa kipekee.
Shuleni, Maimuna hakujishuhulisha na masomo kwani alidai kuwa alihitaji elimu kidogo tu ili atoe ujinga ila hakusoma kwa ajili ya kupata kazi. Wanafunzi wenzake wali mshauri kila uchao lakini maneno yao yaliambulia patupu. Kwani yaliingia katika sikio la kushoto na kutokea sikio la kulia. Kila baada mitihani ya majaribio wazazi wakewaliitwa shuleni ili kumrai mtoto wao kuhusiana na matokeo yake. Lakini kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Maimuna alidai kuwa wazazi wake walikuwa na mali nyingi, hivyo wangepata urithi wake kwa kuwa yeye alikuwa mtoto wa pekee. Siku moja Maimuna alipokuwa shuleni aliarifiwa kuwa nyumbani kumetokea mkasa. Hivyo basi aliarifiwa kuwa alihitajika nyumbani. Maimuna alipofika nyumbani, alipata nyumba yao yote imeteketea kwa moto. Kuona hivyo Maimuna alizirai kwa sababu mali yao yote ilikuwa imepotea.
Maimuna alijuta japo kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Hakuwa na paku tegemea kwani masomo yake alikuwa ameshaya poteza.
Hivyo basi tunapaswa kusikiza maoni ya wavyele wetu ili tusije tukajutia baadaye. | Maimuna hakujishughulisha na nini | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
3044_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha yule ambaye huwa hasikilizi maonyo ya wavyele wake, mwisho humkuta ya kumkuta. Methali hia pia inaweza kufananishwa na methali isemayo, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, Maimuna alikuwa msichana wa kidato cha kwanza. Mwana huyu alikuwa ametoka katika familia ya kibwenye ambapo yeye alikuwa akipata kila akitakacho. Minghairi ya hayo, alikuwa msichana mrembo mwenye umbo zuri. Hivyo basi kutokana na sifa zake hizi alijulikana kijiji kizima kama msichana wa kipekee.
Shuleni, Maimuna hakujishuhulisha na masomo kwani alidai kuwa alihitaji elimu kidogo tu ili atoe ujinga ila hakusoma kwa ajili ya kupata kazi. Wanafunzi wenzake wali mshauri kila uchao lakini maneno yao yaliambulia patupu. Kwani yaliingia katika sikio la kushoto na kutokea sikio la kulia. Kila baada mitihani ya majaribio wazazi wakewaliitwa shuleni ili kumrai mtoto wao kuhusiana na matokeo yake. Lakini kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Maimuna alidai kuwa wazazi wake walikuwa na mali nyingi, hivyo wangepata urithi wake kwa kuwa yeye alikuwa mtoto wa pekee. Siku moja Maimuna alipokuwa shuleni aliarifiwa kuwa nyumbani kumetokea mkasa. Hivyo basi aliarifiwa kuwa alihitajika nyumbani. Maimuna alipofika nyumbani, alipata nyumba yao yote imeteketea kwa moto. Kuona hivyo Maimuna alizirai kwa sababu mali yao yote ilikuwa imepotea.
Maimuna alijuta japo kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Hakuwa na paku tegemea kwani masomo yake alikuwa ameshaya poteza.
Hivyo basi tunapaswa kusikiza maoni ya wavyele wetu ili tusije tukajutia baadaye. | Maimuna aliarifiwa nyumbani kumetokea nini | {
"text": [
"Mkasa"
]
} |
3044_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha yule ambaye huwa hasikilizi maonyo ya wavyele wake, mwisho humkuta ya kumkuta. Methali hia pia inaweza kufananishwa na methali isemayo, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, Maimuna alikuwa msichana wa kidato cha kwanza. Mwana huyu alikuwa ametoka katika familia ya kibwenye ambapo yeye alikuwa akipata kila akitakacho. Minghairi ya hayo, alikuwa msichana mrembo mwenye umbo zuri. Hivyo basi kutokana na sifa zake hizi alijulikana kijiji kizima kama msichana wa kipekee.
Shuleni, Maimuna hakujishuhulisha na masomo kwani alidai kuwa alihitaji elimu kidogo tu ili atoe ujinga ila hakusoma kwa ajili ya kupata kazi. Wanafunzi wenzake wali mshauri kila uchao lakini maneno yao yaliambulia patupu. Kwani yaliingia katika sikio la kushoto na kutokea sikio la kulia. Kila baada mitihani ya majaribio wazazi wakewaliitwa shuleni ili kumrai mtoto wao kuhusiana na matokeo yake. Lakini kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Maimuna alidai kuwa wazazi wake walikuwa na mali nyingi, hivyo wangepata urithi wake kwa kuwa yeye alikuwa mtoto wa pekee. Siku moja Maimuna alipokuwa shuleni aliarifiwa kuwa nyumbani kumetokea mkasa. Hivyo basi aliarifiwa kuwa alihitajika nyumbani. Maimuna alipofika nyumbani, alipata nyumba yao yote imeteketea kwa moto. Kuona hivyo Maimuna alizirai kwa sababu mali yao yote ilikuwa imepotea.
Maimuna alijuta japo kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Hakuwa na paku tegemea kwani masomo yake alikuwa ameshaya poteza.
Hivyo basi tunapaswa kusikiza maoni ya wavyele wetu ili tusije tukajutia baadaye. | Maimuna alipata nyumba yao imefanya nini | {
"text": [
"Imeteketea"
]
} |
3044_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha yule ambaye huwa hasikilizi maonyo ya wavyele wake, mwisho humkuta ya kumkuta. Methali hia pia inaweza kufananishwa na methali isemayo, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, Maimuna alikuwa msichana wa kidato cha kwanza. Mwana huyu alikuwa ametoka katika familia ya kibwenye ambapo yeye alikuwa akipata kila akitakacho. Minghairi ya hayo, alikuwa msichana mrembo mwenye umbo zuri. Hivyo basi kutokana na sifa zake hizi alijulikana kijiji kizima kama msichana wa kipekee.
Shuleni, Maimuna hakujishuhulisha na masomo kwani alidai kuwa alihitaji elimu kidogo tu ili atoe ujinga ila hakusoma kwa ajili ya kupata kazi. Wanafunzi wenzake wali mshauri kila uchao lakini maneno yao yaliambulia patupu. Kwani yaliingia katika sikio la kushoto na kutokea sikio la kulia. Kila baada mitihani ya majaribio wazazi wakewaliitwa shuleni ili kumrai mtoto wao kuhusiana na matokeo yake. Lakini kwa kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Maimuna alidai kuwa wazazi wake walikuwa na mali nyingi, hivyo wangepata urithi wake kwa kuwa yeye alikuwa mtoto wa pekee. Siku moja Maimuna alipokuwa shuleni aliarifiwa kuwa nyumbani kumetokea mkasa. Hivyo basi aliarifiwa kuwa alihitajika nyumbani. Maimuna alipofika nyumbani, alipata nyumba yao yote imeteketea kwa moto. Kuona hivyo Maimuna alizirai kwa sababu mali yao yote ilikuwa imepotea.
Maimuna alijuta japo kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye. Hakuwa na paku tegemea kwani masomo yake alikuwa ameshaya poteza.
Hivyo basi tunapaswa kusikiza maoni ya wavyele wetu ili tusije tukajutia baadaye. | Kwa nini Maimuna alijuta | {
"text": [
"Kwa vile aliyapoteza masomo yake"
]
} |
3045_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari tunapata ya kwamba teknolojia imesaidia shule nyingi kama vile kuendeleza masomo ya madarasa ya kawaida wakitumia teknolojia. Tena teknolojia inasaida shule kwa kupiga chapa mtihani ambayo umeraisisha kazi kwa walimu.
Teknolojia tena husaidia watoto pia wanapokuwa nyumbani wakati wa likizo wakisomeshwa na . walimu wao kupitia teknolojia na hata pia kupewa mitihani na kusahishiwa na mwalimu kutoa majibu kutumia teknolojia. Teknolojia imesaidia sana shule za sekondari ambazo zisizojulikana kwa vile bado ziko katika kiwango ya chini kujulikana kupitia teknolojia.
Teknolojia imefanya shule za sekondari siku hiar kuendelea kwa sababu pesa hulipwa kutumia teknolojia ambayo hakuwezi kuwa na uwizi wa pesa au kule kwa kutumia pesa vibaya na mwalimu mkuu na hata wengine kama sekretari. Pia teknolojia imesaidia shule za sekondari kulipa madeni yao kwa kukopa kutumia teknolojia
Teknolojia imeipa shule nyingi jina nzuri kwa kuwa wanafunzi katika shule nyingi huiba mitihani (KCSE). Kutumia teknolojia na kupata jina nzuri kwamba shule ina mafunzo mema ingawa wanaiba mitihani.
Teknolojia pia ina maadhara yake kwa sababu wapata shule nyingi siku hizi watoto wanakatwa katika mtihani mkuu na kusoma miaka mingi shule kwa sababu ya kuiba mitihani na hata shule yenyewe pia hupata jina mbaya kwa watoto kuanguka mtihani.
Teknolojia imepatikana kuharibu watoto washule ya sekondari kwa sababu wanatumia teknolojia kwa njia isiyo sawa kama vile wanaingia kwa makundi ya wavuta bangi, kundi ya wanaokunywa pombe na hata kuingiliana na mapenzi ya mapema kupitia kutumia teknolojia. Teknolojia pia imefanya watoto wengi kuacha shule na kuajiriwa kazi zisizojaa kama vile kufanya kazi za nyumba, mtoto wa miaka kumi na mitatu. | Upigaji chapa umeimarishwa na nini? | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3045_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari tunapata ya kwamba teknolojia imesaidia shule nyingi kama vile kuendeleza masomo ya madarasa ya kawaida wakitumia teknolojia. Tena teknolojia inasaida shule kwa kupiga chapa mtihani ambayo umeraisisha kazi kwa walimu.
Teknolojia tena husaidia watoto pia wanapokuwa nyumbani wakati wa likizo wakisomeshwa na . walimu wao kupitia teknolojia na hata pia kupewa mitihani na kusahishiwa na mwalimu kutoa majibu kutumia teknolojia. Teknolojia imesaidia sana shule za sekondari ambazo zisizojulikana kwa vile bado ziko katika kiwango ya chini kujulikana kupitia teknolojia.
Teknolojia imefanya shule za sekondari siku hiar kuendelea kwa sababu pesa hulipwa kutumia teknolojia ambayo hakuwezi kuwa na uwizi wa pesa au kule kwa kutumia pesa vibaya na mwalimu mkuu na hata wengine kama sekretari. Pia teknolojia imesaidia shule za sekondari kulipa madeni yao kwa kukopa kutumia teknolojia
Teknolojia imeipa shule nyingi jina nzuri kwa kuwa wanafunzi katika shule nyingi huiba mitihani (KCSE). Kutumia teknolojia na kupata jina nzuri kwamba shule ina mafunzo mema ingawa wanaiba mitihani.
Teknolojia pia ina maadhara yake kwa sababu wapata shule nyingi siku hizi watoto wanakatwa katika mtihani mkuu na kusoma miaka mingi shule kwa sababu ya kuiba mitihani na hata shule yenyewe pia hupata jina mbaya kwa watoto kuanguka mtihani.
Teknolojia imepatikana kuharibu watoto washule ya sekondari kwa sababu wanatumia teknolojia kwa njia isiyo sawa kama vile wanaingia kwa makundi ya wavuta bangi, kundi ya wanaokunywa pombe na hata kuingiliana na mapenzi ya mapema kupitia kutumia teknolojia. Teknolojia pia imefanya watoto wengi kuacha shule na kuajiriwa kazi zisizojaa kama vile kufanya kazi za nyumba, mtoto wa miaka kumi na mitatu. | Wanafunzi hutumia teknolojia kukuza nini wakiwa shuleni? | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
3045_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari tunapata ya kwamba teknolojia imesaidia shule nyingi kama vile kuendeleza masomo ya madarasa ya kawaida wakitumia teknolojia. Tena teknolojia inasaida shule kwa kupiga chapa mtihani ambayo umeraisisha kazi kwa walimu.
Teknolojia tena husaidia watoto pia wanapokuwa nyumbani wakati wa likizo wakisomeshwa na . walimu wao kupitia teknolojia na hata pia kupewa mitihani na kusahishiwa na mwalimu kutoa majibu kutumia teknolojia. Teknolojia imesaidia sana shule za sekondari ambazo zisizojulikana kwa vile bado ziko katika kiwango ya chini kujulikana kupitia teknolojia.
Teknolojia imefanya shule za sekondari siku hiar kuendelea kwa sababu pesa hulipwa kutumia teknolojia ambayo hakuwezi kuwa na uwizi wa pesa au kule kwa kutumia pesa vibaya na mwalimu mkuu na hata wengine kama sekretari. Pia teknolojia imesaidia shule za sekondari kulipa madeni yao kwa kukopa kutumia teknolojia
Teknolojia imeipa shule nyingi jina nzuri kwa kuwa wanafunzi katika shule nyingi huiba mitihani (KCSE). Kutumia teknolojia na kupata jina nzuri kwamba shule ina mafunzo mema ingawa wanaiba mitihani.
Teknolojia pia ina maadhara yake kwa sababu wapata shule nyingi siku hizi watoto wanakatwa katika mtihani mkuu na kusoma miaka mingi shule kwa sababu ya kuiba mitihani na hata shule yenyewe pia hupata jina mbaya kwa watoto kuanguka mtihani.
Teknolojia imepatikana kuharibu watoto washule ya sekondari kwa sababu wanatumia teknolojia kwa njia isiyo sawa kama vile wanaingia kwa makundi ya wavuta bangi, kundi ya wanaokunywa pombe na hata kuingiliana na mapenzi ya mapema kupitia kutumia teknolojia. Teknolojia pia imefanya watoto wengi kuacha shule na kuajiriwa kazi zisizojaa kama vile kufanya kazi za nyumba, mtoto wa miaka kumi na mitatu. | Kina nani hulipia wanafunzi nafasi ya kutumia teknolojia wakiwa shuleni? | {
"text": [
"Wazazi"
]
} |
3045_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari tunapata ya kwamba teknolojia imesaidia shule nyingi kama vile kuendeleza masomo ya madarasa ya kawaida wakitumia teknolojia. Tena teknolojia inasaida shule kwa kupiga chapa mtihani ambayo umeraisisha kazi kwa walimu.
Teknolojia tena husaidia watoto pia wanapokuwa nyumbani wakati wa likizo wakisomeshwa na . walimu wao kupitia teknolojia na hata pia kupewa mitihani na kusahishiwa na mwalimu kutoa majibu kutumia teknolojia. Teknolojia imesaidia sana shule za sekondari ambazo zisizojulikana kwa vile bado ziko katika kiwango ya chini kujulikana kupitia teknolojia.
Teknolojia imefanya shule za sekondari siku hiar kuendelea kwa sababu pesa hulipwa kutumia teknolojia ambayo hakuwezi kuwa na uwizi wa pesa au kule kwa kutumia pesa vibaya na mwalimu mkuu na hata wengine kama sekretari. Pia teknolojia imesaidia shule za sekondari kulipa madeni yao kwa kukopa kutumia teknolojia
Teknolojia imeipa shule nyingi jina nzuri kwa kuwa wanafunzi katika shule nyingi huiba mitihani (KCSE). Kutumia teknolojia na kupata jina nzuri kwamba shule ina mafunzo mema ingawa wanaiba mitihani.
Teknolojia pia ina maadhara yake kwa sababu wapata shule nyingi siku hizi watoto wanakatwa katika mtihani mkuu na kusoma miaka mingi shule kwa sababu ya kuiba mitihani na hata shule yenyewe pia hupata jina mbaya kwa watoto kuanguka mtihani.
Teknolojia imepatikana kuharibu watoto washule ya sekondari kwa sababu wanatumia teknolojia kwa njia isiyo sawa kama vile wanaingia kwa makundi ya wavuta bangi, kundi ya wanaokunywa pombe na hata kuingiliana na mapenzi ya mapema kupitia kutumia teknolojia. Teknolojia pia imefanya watoto wengi kuacha shule na kuajiriwa kazi zisizojaa kama vile kufanya kazi za nyumba, mtoto wa miaka kumi na mitatu. | Mtihani wa kitaifa katika shule za upili huitwaje? | {
"text": [
"KCSE"
]
} |
3045_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari tunapata ya kwamba teknolojia imesaidia shule nyingi kama vile kuendeleza masomo ya madarasa ya kawaida wakitumia teknolojia. Tena teknolojia inasaida shule kwa kupiga chapa mtihani ambayo umeraisisha kazi kwa walimu.
Teknolojia tena husaidia watoto pia wanapokuwa nyumbani wakati wa likizo wakisomeshwa na . walimu wao kupitia teknolojia na hata pia kupewa mitihani na kusahishiwa na mwalimu kutoa majibu kutumia teknolojia. Teknolojia imesaidia sana shule za sekondari ambazo zisizojulikana kwa vile bado ziko katika kiwango ya chini kujulikana kupitia teknolojia.
Teknolojia imefanya shule za sekondari siku hiar kuendelea kwa sababu pesa hulipwa kutumia teknolojia ambayo hakuwezi kuwa na uwizi wa pesa au kule kwa kutumia pesa vibaya na mwalimu mkuu na hata wengine kama sekretari. Pia teknolojia imesaidia shule za sekondari kulipa madeni yao kwa kukopa kutumia teknolojia
Teknolojia imeipa shule nyingi jina nzuri kwa kuwa wanafunzi katika shule nyingi huiba mitihani (KCSE). Kutumia teknolojia na kupata jina nzuri kwamba shule ina mafunzo mema ingawa wanaiba mitihani.
Teknolojia pia ina maadhara yake kwa sababu wapata shule nyingi siku hizi watoto wanakatwa katika mtihani mkuu na kusoma miaka mingi shule kwa sababu ya kuiba mitihani na hata shule yenyewe pia hupata jina mbaya kwa watoto kuanguka mtihani.
Teknolojia imepatikana kuharibu watoto washule ya sekondari kwa sababu wanatumia teknolojia kwa njia isiyo sawa kama vile wanaingia kwa makundi ya wavuta bangi, kundi ya wanaokunywa pombe na hata kuingiliana na mapenzi ya mapema kupitia kutumia teknolojia. Teknolojia pia imefanya watoto wengi kuacha shule na kuajiriwa kazi zisizojaa kama vile kufanya kazi za nyumba, mtoto wa miaka kumi na mitatu. | Wanafunzi hutumia teknolojia kutazama nini kwenye simu? | {
"text": [
"Video vichafu visivyofaa"
]
} |
3046_swa | FAIDA NA HASARA YA TECHNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Technologia imeweza kuleta maendeleo bora na zaidi katika shule za sekondari. Kwanza kabisa, imeweza kuimarisha kilimo ambapo wanafunzi wanasoma jinsi ya kulima na kukuza mazao. Masomo ya kilimo imeweza kusaidia wanafunzi wengi wanaomaliza masomo ya sekondari kuenda kuboresha na kujikuza kupitia kilimo.
Teknolojia imesaidia shule za sekondari kuwasilisha ujumbe kwa haraka kwa kutumia vyombo vya mitambo kama vile kuhifadhi matokeo ya wanafunzi katika kompyuta na nakala mbalimbali ambazo walimu hutumia kufundisha wanafunzi. Vyombo hivyo vya mitambo vimesaidia sana. Hii ni baada ya wanafunzi kutopelekea wazazi wao majibu ya mitihani hivyo basi majibu kutumwa kwa wazazi kutumia vyombo vya mitambo pasipo wanafunzi kujua.
Pia teknolojia imeweza kuboresha mtambo mbalimbali kama vile masomo ya kompyuta na kufanya utafiti zaidi ambapo wanafunzi huweza kubobea kupitia komputa hii baada ya kufundishwa katika shule na kujikimu kimaishaha. Technolojia hizi zimesardia wanafunzi na hata walimu kwa jumla na kuleta maendeleo shuleni na hata kimaisha.
Aidha, kuna madhara mbalimbali ambayo teknolojia imeweza kuathiri kama vile vyombo vya mawasiliano. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wameweza kupotoshwa na teknolojia ya kisasa kama vile wanafunzi kuweza kubeba simu shuleni ambapo ni kinyume na sheria za shule. Wanapobeba simu hizo hamna kitu ya maana wanayoweza kutumia ispokuwa kuangalia picha chafu zilizomo simuni. Hii ni njia ya mojawapo ya kepkupotoka kimaadili kwa wanafunzi.
Madhara mengine mengi ni pamoja na starehe nyingi wanazopewa wanafunzi wakiwa shuleni. Wanafunzi wengi katika shule za upili wameharibika na kupotoka kimaadili kupitia makundi mabaya shuleni na hii huletwa na utofauti wa uchumi. Sababu kuu ni kuwa shuleni wako wanafunzi tofauti tofauti maskini na tajiri.
Pia teknolojia imeweza kuhamasisha usalama kupitia umeme ambayo imewafanya wanafunzi kujihisi na usalama wa kutosha wakiwa shuleni hasa hasa shule za mabueni. Usalama ni muhimu kwani huweza kumpa mtu uhuru wa kuishi mahali.
Vile vile pia imeweza kuleta ulinzi kupitia kamera za usalama shuleni kuchunguza kinachoendelea shuleni. Hii imeweza kufanya kupungua kwa utovu wa nidhamu shuleni kwani
Ni mojawapo ya sheria shuleni.
Technolojia pia imeweza kuleta mifumo tofauti tofauti shuleni ambayo imekuwa kama madhara kwa wanafunzi wasio na uwezo wa kufahamu mamboleo kama vile televisheni ambayo imewafanya wengi kutozingatia masomo yao vyema. Kwani wengi wao hutumia muda huo visivyo kwa kweli Ina Kujipata katika makundi mabaya yakupotosha akili na kufeli mitihani yao ambapo si kawaida. | Ni nini imeleta maendeleo bora katika shule za sekondari | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3046_swa | FAIDA NA HASARA YA TECHNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Technologia imeweza kuleta maendeleo bora na zaidi katika shule za sekondari. Kwanza kabisa, imeweza kuimarisha kilimo ambapo wanafunzi wanasoma jinsi ya kulima na kukuza mazao. Masomo ya kilimo imeweza kusaidia wanafunzi wengi wanaomaliza masomo ya sekondari kuenda kuboresha na kujikuza kupitia kilimo.
Teknolojia imesaidia shule za sekondari kuwasilisha ujumbe kwa haraka kwa kutumia vyombo vya mitambo kama vile kuhifadhi matokeo ya wanafunzi katika kompyuta na nakala mbalimbali ambazo walimu hutumia kufundisha wanafunzi. Vyombo hivyo vya mitambo vimesaidia sana. Hii ni baada ya wanafunzi kutopelekea wazazi wao majibu ya mitihani hivyo basi majibu kutumwa kwa wazazi kutumia vyombo vya mitambo pasipo wanafunzi kujua.
Pia teknolojia imeweza kuboresha mtambo mbalimbali kama vile masomo ya kompyuta na kufanya utafiti zaidi ambapo wanafunzi huweza kubobea kupitia komputa hii baada ya kufundishwa katika shule na kujikimu kimaishaha. Technolojia hizi zimesardia wanafunzi na hata walimu kwa jumla na kuleta maendeleo shuleni na hata kimaisha.
Aidha, kuna madhara mbalimbali ambayo teknolojia imeweza kuathiri kama vile vyombo vya mawasiliano. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wameweza kupotoshwa na teknolojia ya kisasa kama vile wanafunzi kuweza kubeba simu shuleni ambapo ni kinyume na sheria za shule. Wanapobeba simu hizo hamna kitu ya maana wanayoweza kutumia ispokuwa kuangalia picha chafu zilizomo simuni. Hii ni njia ya mojawapo ya kepkupotoka kimaadili kwa wanafunzi.
Madhara mengine mengi ni pamoja na starehe nyingi wanazopewa wanafunzi wakiwa shuleni. Wanafunzi wengi katika shule za upili wameharibika na kupotoka kimaadili kupitia makundi mabaya shuleni na hii huletwa na utofauti wa uchumi. Sababu kuu ni kuwa shuleni wako wanafunzi tofauti tofauti maskini na tajiri.
Pia teknolojia imeweza kuhamasisha usalama kupitia umeme ambayo imewafanya wanafunzi kujihisi na usalama wa kutosha wakiwa shuleni hasa hasa shule za mabueni. Usalama ni muhimu kwani huweza kumpa mtu uhuru wa kuishi mahali.
Vile vile pia imeweza kuleta ulinzi kupitia kamera za usalama shuleni kuchunguza kinachoendelea shuleni. Hii imeweza kufanya kupungua kwa utovu wa nidhamu shuleni kwani
Ni mojawapo ya sheria shuleni.
Technolojia pia imeweza kuleta mifumo tofauti tofauti shuleni ambayo imekuwa kama madhara kwa wanafunzi wasio na uwezo wa kufahamu mamboleo kama vile televisheni ambayo imewafanya wengi kutozingatia masomo yao vyema. Kwani wengi wao hutumia muda huo visivyo kwa kweli Ina Kujipata katika makundi mabaya yakupotosha akili na kufeli mitihani yao ambapo si kawaida. | Matokea hutumwa pasipo nani kujua | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
3046_swa | FAIDA NA HASARA YA TECHNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Technologia imeweza kuleta maendeleo bora na zaidi katika shule za sekondari. Kwanza kabisa, imeweza kuimarisha kilimo ambapo wanafunzi wanasoma jinsi ya kulima na kukuza mazao. Masomo ya kilimo imeweza kusaidia wanafunzi wengi wanaomaliza masomo ya sekondari kuenda kuboresha na kujikuza kupitia kilimo.
Teknolojia imesaidia shule za sekondari kuwasilisha ujumbe kwa haraka kwa kutumia vyombo vya mitambo kama vile kuhifadhi matokeo ya wanafunzi katika kompyuta na nakala mbalimbali ambazo walimu hutumia kufundisha wanafunzi. Vyombo hivyo vya mitambo vimesaidia sana. Hii ni baada ya wanafunzi kutopelekea wazazi wao majibu ya mitihani hivyo basi majibu kutumwa kwa wazazi kutumia vyombo vya mitambo pasipo wanafunzi kujua.
Pia teknolojia imeweza kuboresha mtambo mbalimbali kama vile masomo ya kompyuta na kufanya utafiti zaidi ambapo wanafunzi huweza kubobea kupitia komputa hii baada ya kufundishwa katika shule na kujikimu kimaishaha. Technolojia hizi zimesardia wanafunzi na hata walimu kwa jumla na kuleta maendeleo shuleni na hata kimaisha.
Aidha, kuna madhara mbalimbali ambayo teknolojia imeweza kuathiri kama vile vyombo vya mawasiliano. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wameweza kupotoshwa na teknolojia ya kisasa kama vile wanafunzi kuweza kubeba simu shuleni ambapo ni kinyume na sheria za shule. Wanapobeba simu hizo hamna kitu ya maana wanayoweza kutumia ispokuwa kuangalia picha chafu zilizomo simuni. Hii ni njia ya mojawapo ya kepkupotoka kimaadili kwa wanafunzi.
Madhara mengine mengi ni pamoja na starehe nyingi wanazopewa wanafunzi wakiwa shuleni. Wanafunzi wengi katika shule za upili wameharibika na kupotoka kimaadili kupitia makundi mabaya shuleni na hii huletwa na utofauti wa uchumi. Sababu kuu ni kuwa shuleni wako wanafunzi tofauti tofauti maskini na tajiri.
Pia teknolojia imeweza kuhamasisha usalama kupitia umeme ambayo imewafanya wanafunzi kujihisi na usalama wa kutosha wakiwa shuleni hasa hasa shule za mabueni. Usalama ni muhimu kwani huweza kumpa mtu uhuru wa kuishi mahali.
Vile vile pia imeweza kuleta ulinzi kupitia kamera za usalama shuleni kuchunguza kinachoendelea shuleni. Hii imeweza kufanya kupungua kwa utovu wa nidhamu shuleni kwani
Ni mojawapo ya sheria shuleni.
Technolojia pia imeweza kuleta mifumo tofauti tofauti shuleni ambayo imekuwa kama madhara kwa wanafunzi wasio na uwezo wa kufahamu mamboleo kama vile televisheni ambayo imewafanya wengi kutozingatia masomo yao vyema. Kwani wengi wao hutumia muda huo visivyo kwa kweli Ina Kujipata katika makundi mabaya yakupotosha akili na kufeli mitihani yao ambapo si kawaida. | Tekinolojia imeboresha somo lipi | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
3046_swa | FAIDA NA HASARA YA TECHNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Technologia imeweza kuleta maendeleo bora na zaidi katika shule za sekondari. Kwanza kabisa, imeweza kuimarisha kilimo ambapo wanafunzi wanasoma jinsi ya kulima na kukuza mazao. Masomo ya kilimo imeweza kusaidia wanafunzi wengi wanaomaliza masomo ya sekondari kuenda kuboresha na kujikuza kupitia kilimo.
Teknolojia imesaidia shule za sekondari kuwasilisha ujumbe kwa haraka kwa kutumia vyombo vya mitambo kama vile kuhifadhi matokeo ya wanafunzi katika kompyuta na nakala mbalimbali ambazo walimu hutumia kufundisha wanafunzi. Vyombo hivyo vya mitambo vimesaidia sana. Hii ni baada ya wanafunzi kutopelekea wazazi wao majibu ya mitihani hivyo basi majibu kutumwa kwa wazazi kutumia vyombo vya mitambo pasipo wanafunzi kujua.
Pia teknolojia imeweza kuboresha mtambo mbalimbali kama vile masomo ya kompyuta na kufanya utafiti zaidi ambapo wanafunzi huweza kubobea kupitia komputa hii baada ya kufundishwa katika shule na kujikimu kimaishaha. Technolojia hizi zimesardia wanafunzi na hata walimu kwa jumla na kuleta maendeleo shuleni na hata kimaisha.
Aidha, kuna madhara mbalimbali ambayo teknolojia imeweza kuathiri kama vile vyombo vya mawasiliano. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wameweza kupotoshwa na teknolojia ya kisasa kama vile wanafunzi kuweza kubeba simu shuleni ambapo ni kinyume na sheria za shule. Wanapobeba simu hizo hamna kitu ya maana wanayoweza kutumia ispokuwa kuangalia picha chafu zilizomo simuni. Hii ni njia ya mojawapo ya kepkupotoka kimaadili kwa wanafunzi.
Madhara mengine mengi ni pamoja na starehe nyingi wanazopewa wanafunzi wakiwa shuleni. Wanafunzi wengi katika shule za upili wameharibika na kupotoka kimaadili kupitia makundi mabaya shuleni na hii huletwa na utofauti wa uchumi. Sababu kuu ni kuwa shuleni wako wanafunzi tofauti tofauti maskini na tajiri.
Pia teknolojia imeweza kuhamasisha usalama kupitia umeme ambayo imewafanya wanafunzi kujihisi na usalama wa kutosha wakiwa shuleni hasa hasa shule za mabueni. Usalama ni muhimu kwani huweza kumpa mtu uhuru wa kuishi mahali.
Vile vile pia imeweza kuleta ulinzi kupitia kamera za usalama shuleni kuchunguza kinachoendelea shuleni. Hii imeweza kufanya kupungua kwa utovu wa nidhamu shuleni kwani
Ni mojawapo ya sheria shuleni.
Technolojia pia imeweza kuleta mifumo tofauti tofauti shuleni ambayo imekuwa kama madhara kwa wanafunzi wasio na uwezo wa kufahamu mamboleo kama vile televisheni ambayo imewafanya wengi kutozingatia masomo yao vyema. Kwani wengi wao hutumia muda huo visivyo kwa kweli Ina Kujipata katika makundi mabaya yakupotosha akili na kufeli mitihani yao ambapo si kawaida. | Wanafunzi wanabeba nini kinyume na sheria | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3046_swa | FAIDA NA HASARA YA TECHNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Technologia imeweza kuleta maendeleo bora na zaidi katika shule za sekondari. Kwanza kabisa, imeweza kuimarisha kilimo ambapo wanafunzi wanasoma jinsi ya kulima na kukuza mazao. Masomo ya kilimo imeweza kusaidia wanafunzi wengi wanaomaliza masomo ya sekondari kuenda kuboresha na kujikuza kupitia kilimo.
Teknolojia imesaidia shule za sekondari kuwasilisha ujumbe kwa haraka kwa kutumia vyombo vya mitambo kama vile kuhifadhi matokeo ya wanafunzi katika kompyuta na nakala mbalimbali ambazo walimu hutumia kufundisha wanafunzi. Vyombo hivyo vya mitambo vimesaidia sana. Hii ni baada ya wanafunzi kutopelekea wazazi wao majibu ya mitihani hivyo basi majibu kutumwa kwa wazazi kutumia vyombo vya mitambo pasipo wanafunzi kujua.
Pia teknolojia imeweza kuboresha mtambo mbalimbali kama vile masomo ya kompyuta na kufanya utafiti zaidi ambapo wanafunzi huweza kubobea kupitia komputa hii baada ya kufundishwa katika shule na kujikimu kimaishaha. Technolojia hizi zimesardia wanafunzi na hata walimu kwa jumla na kuleta maendeleo shuleni na hata kimaisha.
Aidha, kuna madhara mbalimbali ambayo teknolojia imeweza kuathiri kama vile vyombo vya mawasiliano. Wanafunzi wengi katika shule za sekondari wameweza kupotoshwa na teknolojia ya kisasa kama vile wanafunzi kuweza kubeba simu shuleni ambapo ni kinyume na sheria za shule. Wanapobeba simu hizo hamna kitu ya maana wanayoweza kutumia ispokuwa kuangalia picha chafu zilizomo simuni. Hii ni njia ya mojawapo ya kepkupotoka kimaadili kwa wanafunzi.
Madhara mengine mengi ni pamoja na starehe nyingi wanazopewa wanafunzi wakiwa shuleni. Wanafunzi wengi katika shule za upili wameharibika na kupotoka kimaadili kupitia makundi mabaya shuleni na hii huletwa na utofauti wa uchumi. Sababu kuu ni kuwa shuleni wako wanafunzi tofauti tofauti maskini na tajiri.
Pia teknolojia imeweza kuhamasisha usalama kupitia umeme ambayo imewafanya wanafunzi kujihisi na usalama wa kutosha wakiwa shuleni hasa hasa shule za mabueni. Usalama ni muhimu kwani huweza kumpa mtu uhuru wa kuishi mahali.
Vile vile pia imeweza kuleta ulinzi kupitia kamera za usalama shuleni kuchunguza kinachoendelea shuleni. Hii imeweza kufanya kupungua kwa utovu wa nidhamu shuleni kwani
Ni mojawapo ya sheria shuleni.
Technolojia pia imeweza kuleta mifumo tofauti tofauti shuleni ambayo imekuwa kama madhara kwa wanafunzi wasio na uwezo wa kufahamu mamboleo kama vile televisheni ambayo imewafanya wengi kutozingatia masomo yao vyema. Kwani wengi wao hutumia muda huo visivyo kwa kweli Ina Kujipata katika makundi mabaya yakupotosha akili na kufeli mitihani yao ambapo si kawaida. | Ni vipi walimu watawachunguza wanafunzi shuleni | {
"text": [
"Kwa kutumia kamera za usalama"
]
} |
3047_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi inayohusisha ufundi wa mitambo kama vile televisheni, rununu, tarakilishi na kadhalika. Karne ya sasa kila mtu hutumia mitambo hili ili kuendeleza kazi zao tofauti tofauti. Asiyekuwa na ujuzi wa teknolojia huonekana kuwa mzuka kwani mambo siku hizi ni ya kidijitali. Teknolojia hutumika sanasana katika shule za sekondari na huwa na faida nyingi mno.
Faida ya kwanza ni kuwa hurahisishia wanafunzi katika kufanya hesabu zao. Takribani shule zote za sekondari hakukosi mwanafunzi kuwa na kokotoo ambayo husaidia sana katika kujumuisha na kuondoa badala ya kutumia mkono. Kifaa hiki hukuza ujuzi kwa wanagenzi kwa hamna ya kutumia kwani hutumika kila mahali kama vile dukani ambapo mtu hawezi ajiriwa kama hana ujuzi.
Pia teknolojia imesaidia pakubwa wanagenzi katika masomo ya sayansi ambayo hayawezi tekelezwa bila kuhakikisha kutumia mitambo tofauti tofauti. Vifaa kama mikroskopi ni muhimu sana katika somo la bayolojia ambayo hutumika kufanya utafiti au kuhakikisha kuhusu jambo fulani. Isitoshe, katika mitihani ya kawaida na hata wa kidato cha nne, maswali
tofauti tofauti huletwa kuhusu vifaa hivi aidha uchore au utoe umuhimu wake.
Vilevile teknolojia kuletwa katika shule za sekondari ni jambo la busara sana kwani hupelekea wanafunzi wengi kusomea masoma kama vile kompyuta. Somo hili husaidia kukuuza kipajicha kujua kutumia vizuri na baadae kupata kazi katika kampuni fulani. Hasa hasa kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kufanya mengi hujiunga na somo hili ili apate kujua mawili matatu.
Kila kilicho bora hakikosi kuwa na madhara. Teknolojia hii ya kisasa pia imezusha madhara kwa vijana wengi lakini hasa hasa wanaosoma shule. Kifaa kiitwacho rununu ndio mtambo unaotumika na wanafunzi. Rununu ni kifaa ambacho hutumika kuwasiliana na mtu aliyekuwa mbali kwa kuongea au kuandika na kutuma ujumbe. Takriban kila mwanagenzi aliyekuwa shuleni hakosi kuwa na mtandao.
Madhara yake ni kuwa hufanya wanagenzi kutazama picha chafu ambazo hutumwa mtandaoni na watu aina tofauti tofauti. Picha hizi hupelekea wengi kuwa na tabia mbovu na kufanya wengi kuwa na ile hamu ya kuigiza vitendo hivyo ndiposa kunakuwa na magonjwa kama vile ukimwi unaoathiri vijana kwa wingi na pia kuzidi kwa mimba za mapema.
Vilevile mitandao hii hupotosha wanafunzi kiakili kwa kutotaka kufikiria majibu badala yake wanafanya utafiti mtandaoni kutafuta majibu ya maswali wanayopewa. Hili ni tatizo kubwa sana ambalo linafaa kuzingatiwa kwa wanafunzi. Pia mitambo hili hufanya wanafunzi kupotoka kitabia na kuwa watu wasioeleweka.
Ni wajibu wa wazazi na walimu kuwa waangalifu wakihusisha wanafunzi kutumia vifaa hivi wakiwa shuleni kwani wengine badala ya kufanya walichoagizwa, wao hutekeleza majukumu mengine. Serikali haikuwa na makosa kuvumbua utimizi huu katika shule za sekondari kwani zimesaidia pakubwa mno. Kwa karne ya sasa bila teknolojia maisha hayaendi sambamba.
| Tekinolojia ni maarifa ya nini | {
"text": [
"Sayansi"
]
} |
3047_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi inayohusisha ufundi wa mitambo kama vile televisheni, rununu, tarakilishi na kadhalika. Karne ya sasa kila mtu hutumia mitambo hili ili kuendeleza kazi zao tofauti tofauti. Asiyekuwa na ujuzi wa teknolojia huonekana kuwa mzuka kwani mambo siku hizi ni ya kidijitali. Teknolojia hutumika sanasana katika shule za sekondari na huwa na faida nyingi mno.
Faida ya kwanza ni kuwa hurahisishia wanafunzi katika kufanya hesabu zao. Takribani shule zote za sekondari hakukosi mwanafunzi kuwa na kokotoo ambayo husaidia sana katika kujumuisha na kuondoa badala ya kutumia mkono. Kifaa hiki hukuza ujuzi kwa wanagenzi kwa hamna ya kutumia kwani hutumika kila mahali kama vile dukani ambapo mtu hawezi ajiriwa kama hana ujuzi.
Pia teknolojia imesaidia pakubwa wanagenzi katika masomo ya sayansi ambayo hayawezi tekelezwa bila kuhakikisha kutumia mitambo tofauti tofauti. Vifaa kama mikroskopi ni muhimu sana katika somo la bayolojia ambayo hutumika kufanya utafiti au kuhakikisha kuhusu jambo fulani. Isitoshe, katika mitihani ya kawaida na hata wa kidato cha nne, maswali
tofauti tofauti huletwa kuhusu vifaa hivi aidha uchore au utoe umuhimu wake.
Vilevile teknolojia kuletwa katika shule za sekondari ni jambo la busara sana kwani hupelekea wanafunzi wengi kusomea masoma kama vile kompyuta. Somo hili husaidia kukuuza kipajicha kujua kutumia vizuri na baadae kupata kazi katika kampuni fulani. Hasa hasa kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kufanya mengi hujiunga na somo hili ili apate kujua mawili matatu.
Kila kilicho bora hakikosi kuwa na madhara. Teknolojia hii ya kisasa pia imezusha madhara kwa vijana wengi lakini hasa hasa wanaosoma shule. Kifaa kiitwacho rununu ndio mtambo unaotumika na wanafunzi. Rununu ni kifaa ambacho hutumika kuwasiliana na mtu aliyekuwa mbali kwa kuongea au kuandika na kutuma ujumbe. Takriban kila mwanagenzi aliyekuwa shuleni hakosi kuwa na mtandao.
Madhara yake ni kuwa hufanya wanagenzi kutazama picha chafu ambazo hutumwa mtandaoni na watu aina tofauti tofauti. Picha hizi hupelekea wengi kuwa na tabia mbovu na kufanya wengi kuwa na ile hamu ya kuigiza vitendo hivyo ndiposa kunakuwa na magonjwa kama vile ukimwi unaoathiri vijana kwa wingi na pia kuzidi kwa mimba za mapema.
Vilevile mitandao hii hupotosha wanafunzi kiakili kwa kutotaka kufikiria majibu badala yake wanafanya utafiti mtandaoni kutafuta majibu ya maswali wanayopewa. Hili ni tatizo kubwa sana ambalo linafaa kuzingatiwa kwa wanafunzi. Pia mitambo hili hufanya wanafunzi kupotoka kitabia na kuwa watu wasioeleweka.
Ni wajibu wa wazazi na walimu kuwa waangalifu wakihusisha wanafunzi kutumia vifaa hivi wakiwa shuleni kwani wengine badala ya kufanya walichoagizwa, wao hutekeleza majukumu mengine. Serikali haikuwa na makosa kuvumbua utimizi huu katika shule za sekondari kwani zimesaidia pakubwa mno. Kwa karne ya sasa bila teknolojia maisha hayaendi sambamba.
| Ni nini imesaidia sana wanagenzi katika somo la sayansi | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3047_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi inayohusisha ufundi wa mitambo kama vile televisheni, rununu, tarakilishi na kadhalika. Karne ya sasa kila mtu hutumia mitambo hili ili kuendeleza kazi zao tofauti tofauti. Asiyekuwa na ujuzi wa teknolojia huonekana kuwa mzuka kwani mambo siku hizi ni ya kidijitali. Teknolojia hutumika sanasana katika shule za sekondari na huwa na faida nyingi mno.
Faida ya kwanza ni kuwa hurahisishia wanafunzi katika kufanya hesabu zao. Takribani shule zote za sekondari hakukosi mwanafunzi kuwa na kokotoo ambayo husaidia sana katika kujumuisha na kuondoa badala ya kutumia mkono. Kifaa hiki hukuza ujuzi kwa wanagenzi kwa hamna ya kutumia kwani hutumika kila mahali kama vile dukani ambapo mtu hawezi ajiriwa kama hana ujuzi.
Pia teknolojia imesaidia pakubwa wanagenzi katika masomo ya sayansi ambayo hayawezi tekelezwa bila kuhakikisha kutumia mitambo tofauti tofauti. Vifaa kama mikroskopi ni muhimu sana katika somo la bayolojia ambayo hutumika kufanya utafiti au kuhakikisha kuhusu jambo fulani. Isitoshe, katika mitihani ya kawaida na hata wa kidato cha nne, maswali
tofauti tofauti huletwa kuhusu vifaa hivi aidha uchore au utoe umuhimu wake.
Vilevile teknolojia kuletwa katika shule za sekondari ni jambo la busara sana kwani hupelekea wanafunzi wengi kusomea masoma kama vile kompyuta. Somo hili husaidia kukuuza kipajicha kujua kutumia vizuri na baadae kupata kazi katika kampuni fulani. Hasa hasa kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kufanya mengi hujiunga na somo hili ili apate kujua mawili matatu.
Kila kilicho bora hakikosi kuwa na madhara. Teknolojia hii ya kisasa pia imezusha madhara kwa vijana wengi lakini hasa hasa wanaosoma shule. Kifaa kiitwacho rununu ndio mtambo unaotumika na wanafunzi. Rununu ni kifaa ambacho hutumika kuwasiliana na mtu aliyekuwa mbali kwa kuongea au kuandika na kutuma ujumbe. Takriban kila mwanagenzi aliyekuwa shuleni hakosi kuwa na mtandao.
Madhara yake ni kuwa hufanya wanagenzi kutazama picha chafu ambazo hutumwa mtandaoni na watu aina tofauti tofauti. Picha hizi hupelekea wengi kuwa na tabia mbovu na kufanya wengi kuwa na ile hamu ya kuigiza vitendo hivyo ndiposa kunakuwa na magonjwa kama vile ukimwi unaoathiri vijana kwa wingi na pia kuzidi kwa mimba za mapema.
Vilevile mitandao hii hupotosha wanafunzi kiakili kwa kutotaka kufikiria majibu badala yake wanafanya utafiti mtandaoni kutafuta majibu ya maswali wanayopewa. Hili ni tatizo kubwa sana ambalo linafaa kuzingatiwa kwa wanafunzi. Pia mitambo hili hufanya wanafunzi kupotoka kitabia na kuwa watu wasioeleweka.
Ni wajibu wa wazazi na walimu kuwa waangalifu wakihusisha wanafunzi kutumia vifaa hivi wakiwa shuleni kwani wengine badala ya kufanya walichoagizwa, wao hutekeleza majukumu mengine. Serikali haikuwa na makosa kuvumbua utimizi huu katika shule za sekondari kwani zimesaidia pakubwa mno. Kwa karne ya sasa bila teknolojia maisha hayaendi sambamba.
| Somo la kompyuta husaidia kukuza nini | {
"text": [
"Vipaji"
]
} |
3047_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi inayohusisha ufundi wa mitambo kama vile televisheni, rununu, tarakilishi na kadhalika. Karne ya sasa kila mtu hutumia mitambo hili ili kuendeleza kazi zao tofauti tofauti. Asiyekuwa na ujuzi wa teknolojia huonekana kuwa mzuka kwani mambo siku hizi ni ya kidijitali. Teknolojia hutumika sanasana katika shule za sekondari na huwa na faida nyingi mno.
Faida ya kwanza ni kuwa hurahisishia wanafunzi katika kufanya hesabu zao. Takribani shule zote za sekondari hakukosi mwanafunzi kuwa na kokotoo ambayo husaidia sana katika kujumuisha na kuondoa badala ya kutumia mkono. Kifaa hiki hukuza ujuzi kwa wanagenzi kwa hamna ya kutumia kwani hutumika kila mahali kama vile dukani ambapo mtu hawezi ajiriwa kama hana ujuzi.
Pia teknolojia imesaidia pakubwa wanagenzi katika masomo ya sayansi ambayo hayawezi tekelezwa bila kuhakikisha kutumia mitambo tofauti tofauti. Vifaa kama mikroskopi ni muhimu sana katika somo la bayolojia ambayo hutumika kufanya utafiti au kuhakikisha kuhusu jambo fulani. Isitoshe, katika mitihani ya kawaida na hata wa kidato cha nne, maswali
tofauti tofauti huletwa kuhusu vifaa hivi aidha uchore au utoe umuhimu wake.
Vilevile teknolojia kuletwa katika shule za sekondari ni jambo la busara sana kwani hupelekea wanafunzi wengi kusomea masoma kama vile kompyuta. Somo hili husaidia kukuuza kipajicha kujua kutumia vizuri na baadae kupata kazi katika kampuni fulani. Hasa hasa kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kufanya mengi hujiunga na somo hili ili apate kujua mawili matatu.
Kila kilicho bora hakikosi kuwa na madhara. Teknolojia hii ya kisasa pia imezusha madhara kwa vijana wengi lakini hasa hasa wanaosoma shule. Kifaa kiitwacho rununu ndio mtambo unaotumika na wanafunzi. Rununu ni kifaa ambacho hutumika kuwasiliana na mtu aliyekuwa mbali kwa kuongea au kuandika na kutuma ujumbe. Takriban kila mwanagenzi aliyekuwa shuleni hakosi kuwa na mtandao.
Madhara yake ni kuwa hufanya wanagenzi kutazama picha chafu ambazo hutumwa mtandaoni na watu aina tofauti tofauti. Picha hizi hupelekea wengi kuwa na tabia mbovu na kufanya wengi kuwa na ile hamu ya kuigiza vitendo hivyo ndiposa kunakuwa na magonjwa kama vile ukimwi unaoathiri vijana kwa wingi na pia kuzidi kwa mimba za mapema.
Vilevile mitandao hii hupotosha wanafunzi kiakili kwa kutotaka kufikiria majibu badala yake wanafanya utafiti mtandaoni kutafuta majibu ya maswali wanayopewa. Hili ni tatizo kubwa sana ambalo linafaa kuzingatiwa kwa wanafunzi. Pia mitambo hili hufanya wanafunzi kupotoka kitabia na kuwa watu wasioeleweka.
Ni wajibu wa wazazi na walimu kuwa waangalifu wakihusisha wanafunzi kutumia vifaa hivi wakiwa shuleni kwani wengine badala ya kufanya walichoagizwa, wao hutekeleza majukumu mengine. Serikali haikuwa na makosa kuvumbua utimizi huu katika shule za sekondari kwani zimesaidia pakubwa mno. Kwa karne ya sasa bila teknolojia maisha hayaendi sambamba.
| Ni kifaa kipi hutumiwa katika kuwasiliana | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3047_swa |
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi inayohusisha ufundi wa mitambo kama vile televisheni, rununu, tarakilishi na kadhalika. Karne ya sasa kila mtu hutumia mitambo hili ili kuendeleza kazi zao tofauti tofauti. Asiyekuwa na ujuzi wa teknolojia huonekana kuwa mzuka kwani mambo siku hizi ni ya kidijitali. Teknolojia hutumika sanasana katika shule za sekondari na huwa na faida nyingi mno.
Faida ya kwanza ni kuwa hurahisishia wanafunzi katika kufanya hesabu zao. Takribani shule zote za sekondari hakukosi mwanafunzi kuwa na kokotoo ambayo husaidia sana katika kujumuisha na kuondoa badala ya kutumia mkono. Kifaa hiki hukuza ujuzi kwa wanagenzi kwa hamna ya kutumia kwani hutumika kila mahali kama vile dukani ambapo mtu hawezi ajiriwa kama hana ujuzi.
Pia teknolojia imesaidia pakubwa wanagenzi katika masomo ya sayansi ambayo hayawezi tekelezwa bila kuhakikisha kutumia mitambo tofauti tofauti. Vifaa kama mikroskopi ni muhimu sana katika somo la bayolojia ambayo hutumika kufanya utafiti au kuhakikisha kuhusu jambo fulani. Isitoshe, katika mitihani ya kawaida na hata wa kidato cha nne, maswali
tofauti tofauti huletwa kuhusu vifaa hivi aidha uchore au utoe umuhimu wake.
Vilevile teknolojia kuletwa katika shule za sekondari ni jambo la busara sana kwani hupelekea wanafunzi wengi kusomea masoma kama vile kompyuta. Somo hili husaidia kukuuza kipajicha kujua kutumia vizuri na baadae kupata kazi katika kampuni fulani. Hasa hasa kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kufanya mengi hujiunga na somo hili ili apate kujua mawili matatu.
Kila kilicho bora hakikosi kuwa na madhara. Teknolojia hii ya kisasa pia imezusha madhara kwa vijana wengi lakini hasa hasa wanaosoma shule. Kifaa kiitwacho rununu ndio mtambo unaotumika na wanafunzi. Rununu ni kifaa ambacho hutumika kuwasiliana na mtu aliyekuwa mbali kwa kuongea au kuandika na kutuma ujumbe. Takriban kila mwanagenzi aliyekuwa shuleni hakosi kuwa na mtandao.
Madhara yake ni kuwa hufanya wanagenzi kutazama picha chafu ambazo hutumwa mtandaoni na watu aina tofauti tofauti. Picha hizi hupelekea wengi kuwa na tabia mbovu na kufanya wengi kuwa na ile hamu ya kuigiza vitendo hivyo ndiposa kunakuwa na magonjwa kama vile ukimwi unaoathiri vijana kwa wingi na pia kuzidi kwa mimba za mapema.
Vilevile mitandao hii hupotosha wanafunzi kiakili kwa kutotaka kufikiria majibu badala yake wanafanya utafiti mtandaoni kutafuta majibu ya maswali wanayopewa. Hili ni tatizo kubwa sana ambalo linafaa kuzingatiwa kwa wanafunzi. Pia mitambo hili hufanya wanafunzi kupotoka kitabia na kuwa watu wasioeleweka.
Ni wajibu wa wazazi na walimu kuwa waangalifu wakihusisha wanafunzi kutumia vifaa hivi wakiwa shuleni kwani wengine badala ya kufanya walichoagizwa, wao hutekeleza majukumu mengine. Serikali haikuwa na makosa kuvumbua utimizi huu katika shule za sekondari kwani zimesaidia pakubwa mno. Kwa karne ya sasa bila teknolojia maisha hayaendi sambamba.
| Walimu wanafaa kuwa waangalifu na wanafunzi kwa nini | {
"text": [
"Wanafunzi wengine hutekeleza mengine badala ya maagizo"
]
} |
3048_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari na kuimarisha walimu na wanafunzi katika njia za usomaji. Moja wapo ni matumizi ya kompyuta. Kompyuta imerahisisha masomo na shughuli nyingine kufanyika kwa njia ya haraka.
Wanafunzi wanaweza kusoma bila ya kufundishwa na mwalimu darasani na akaelewa kwa kutumia tarakilishi, rununu na venginevyo. Wanafunzi wanaweza kufanya masomo yao kwa kupitia tarakilishi kama vile kufanya hisabati, kufanya masomo ya kisayansi na hata somo la kompyuta. Hazi ni faida nzuri kwa wanafunzi katika maisha yao.
Teknolojia pia imerahisisha usafiri wa haraka. Walimu wanafika shuleni mapema kwa kuwa na vyombo vya kusafiria vya kibinafsi. Hii imepunguza kuchelewa kwa walimu, kufika kuchelewa au kukosa shule. Teknolojia imepunguza kuchelewa kwa walimu katika shule za sekondari kwani vyombo vya usafiri vimekuwa vingi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika shule za sekondari, imeimarisha nafasi kubwa katika masomo hasa katika masomo ya kisayansi kama vile biolojia, kwa kutumia mitambo ya kisayansi kama vile mikroskopi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia vitu vidogo vidogo visivyoweza hivi hivi kwenye mwili. His ni faida kubwa kwa wanafunzi.
Wanafunzi wanaweza kusoma kupitia rununu hatakama wanafunar hawako shuleni. Masomo yote anaweza kuyapata kwa kutumia mitambo ya kiteknolojia. Pia vilevile walimu wamerahisishiwa kazi ya kuchapisha mitihani kwa kutumia taipreta ambayo inaweza kutoa makaratasi mia na zaidi kwa nusu saa.
Kusema kweli, hakuna kizuri kisicho kuwa na ubaya wake. Vile vile teknolojia imeleta madhara kwa shule za sekondari. Walimu wamekuwa wazembe kwa kutumia mitandao kufundisha. Walimu wanakosa shule na kutuma kazi kwenye mitandao wanafunzi wafanye ilhali hawajafunzwa.
Wanafunzi wanatumia rununu na televisheni au runinga vibaya kwa kuangalia Picha chafu chafu, kama vile picha za mapenzi ambazo hawastahili kuangalia na kuangalia runinga na kuiga mitindo mibaya ambayo haina manufaa katika maisha yao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuacha shule na kwenda mitaani kutafuta pesa na kununua mihadarati ambayo ni hatari katika maisha yao. Wengine huwa wezi ili wapate pesa za kununua nguo mbaya mbaya ambazo huona watu huvaa kwenye runinga na hao huiga mitindo hiyo. Hili limefanya wanafunzi wengi kuacha shule na wasichana kudanganywa na kupachikwa mimba za mapema pasipo wakati wao. Wasichana wengi wameacha shule na kufanya ukahaba
ili wapate pesa na kununua mavazi ambayo ni nusu uchi. | Nini imeleta faida nyingi katika shule za sekondari | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3048_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari na kuimarisha walimu na wanafunzi katika njia za usomaji. Moja wapo ni matumizi ya kompyuta. Kompyuta imerahisisha masomo na shughuli nyingine kufanyika kwa njia ya haraka.
Wanafunzi wanaweza kusoma bila ya kufundishwa na mwalimu darasani na akaelewa kwa kutumia tarakilishi, rununu na venginevyo. Wanafunzi wanaweza kufanya masomo yao kwa kupitia tarakilishi kama vile kufanya hisabati, kufanya masomo ya kisayansi na hata somo la kompyuta. Hazi ni faida nzuri kwa wanafunzi katika maisha yao.
Teknolojia pia imerahisisha usafiri wa haraka. Walimu wanafika shuleni mapema kwa kuwa na vyombo vya kusafiria vya kibinafsi. Hii imepunguza kuchelewa kwa walimu, kufika kuchelewa au kukosa shule. Teknolojia imepunguza kuchelewa kwa walimu katika shule za sekondari kwani vyombo vya usafiri vimekuwa vingi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika shule za sekondari, imeimarisha nafasi kubwa katika masomo hasa katika masomo ya kisayansi kama vile biolojia, kwa kutumia mitambo ya kisayansi kama vile mikroskopi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia vitu vidogo vidogo visivyoweza hivi hivi kwenye mwili. His ni faida kubwa kwa wanafunzi.
Wanafunzi wanaweza kusoma kupitia rununu hatakama wanafunar hawako shuleni. Masomo yote anaweza kuyapata kwa kutumia mitambo ya kiteknolojia. Pia vilevile walimu wamerahisishiwa kazi ya kuchapisha mitihani kwa kutumia taipreta ambayo inaweza kutoa makaratasi mia na zaidi kwa nusu saa.
Kusema kweli, hakuna kizuri kisicho kuwa na ubaya wake. Vile vile teknolojia imeleta madhara kwa shule za sekondari. Walimu wamekuwa wazembe kwa kutumia mitandao kufundisha. Walimu wanakosa shule na kutuma kazi kwenye mitandao wanafunzi wafanye ilhali hawajafunzwa.
Wanafunzi wanatumia rununu na televisheni au runinga vibaya kwa kuangalia Picha chafu chafu, kama vile picha za mapenzi ambazo hawastahili kuangalia na kuangalia runinga na kuiga mitindo mibaya ambayo haina manufaa katika maisha yao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuacha shule na kwenda mitaani kutafuta pesa na kununua mihadarati ambayo ni hatari katika maisha yao. Wengine huwa wezi ili wapate pesa za kununua nguo mbaya mbaya ambazo huona watu huvaa kwenye runinga na hao huiga mitindo hiyo. Hili limefanya wanafunzi wengi kuacha shule na wasichana kudanganywa na kupachikwa mimba za mapema pasipo wakati wao. Wasichana wengi wameacha shule na kufanya ukahaba
ili wapate pesa na kununua mavazi ambayo ni nusu uchi. | Kompyuta husaidia shughuli kufanyika vipi | {
"text": [
"kwa njia ya haraka"
]
} |
3048_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari na kuimarisha walimu na wanafunzi katika njia za usomaji. Moja wapo ni matumizi ya kompyuta. Kompyuta imerahisisha masomo na shughuli nyingine kufanyika kwa njia ya haraka.
Wanafunzi wanaweza kusoma bila ya kufundishwa na mwalimu darasani na akaelewa kwa kutumia tarakilishi, rununu na venginevyo. Wanafunzi wanaweza kufanya masomo yao kwa kupitia tarakilishi kama vile kufanya hisabati, kufanya masomo ya kisayansi na hata somo la kompyuta. Hazi ni faida nzuri kwa wanafunzi katika maisha yao.
Teknolojia pia imerahisisha usafiri wa haraka. Walimu wanafika shuleni mapema kwa kuwa na vyombo vya kusafiria vya kibinafsi. Hii imepunguza kuchelewa kwa walimu, kufika kuchelewa au kukosa shule. Teknolojia imepunguza kuchelewa kwa walimu katika shule za sekondari kwani vyombo vya usafiri vimekuwa vingi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika shule za sekondari, imeimarisha nafasi kubwa katika masomo hasa katika masomo ya kisayansi kama vile biolojia, kwa kutumia mitambo ya kisayansi kama vile mikroskopi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia vitu vidogo vidogo visivyoweza hivi hivi kwenye mwili. His ni faida kubwa kwa wanafunzi.
Wanafunzi wanaweza kusoma kupitia rununu hatakama wanafunar hawako shuleni. Masomo yote anaweza kuyapata kwa kutumia mitambo ya kiteknolojia. Pia vilevile walimu wamerahisishiwa kazi ya kuchapisha mitihani kwa kutumia taipreta ambayo inaweza kutoa makaratasi mia na zaidi kwa nusu saa.
Kusema kweli, hakuna kizuri kisicho kuwa na ubaya wake. Vile vile teknolojia imeleta madhara kwa shule za sekondari. Walimu wamekuwa wazembe kwa kutumia mitandao kufundisha. Walimu wanakosa shule na kutuma kazi kwenye mitandao wanafunzi wafanye ilhali hawajafunzwa.
Wanafunzi wanatumia rununu na televisheni au runinga vibaya kwa kuangalia Picha chafu chafu, kama vile picha za mapenzi ambazo hawastahili kuangalia na kuangalia runinga na kuiga mitindo mibaya ambayo haina manufaa katika maisha yao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuacha shule na kwenda mitaani kutafuta pesa na kununua mihadarati ambayo ni hatari katika maisha yao. Wengine huwa wezi ili wapate pesa za kununua nguo mbaya mbaya ambazo huona watu huvaa kwenye runinga na hao huiga mitindo hiyo. Hili limefanya wanafunzi wengi kuacha shule na wasichana kudanganywa na kupachikwa mimba za mapema pasipo wakati wao. Wasichana wengi wameacha shule na kufanya ukahaba
ili wapate pesa na kununua mavazi ambayo ni nusu uchi. | Taipreta inaweza kutoa karatasi ngapi kwa nusu saa | {
"text": [
"mia na zaidi"
]
} |
3048_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari na kuimarisha walimu na wanafunzi katika njia za usomaji. Moja wapo ni matumizi ya kompyuta. Kompyuta imerahisisha masomo na shughuli nyingine kufanyika kwa njia ya haraka.
Wanafunzi wanaweza kusoma bila ya kufundishwa na mwalimu darasani na akaelewa kwa kutumia tarakilishi, rununu na venginevyo. Wanafunzi wanaweza kufanya masomo yao kwa kupitia tarakilishi kama vile kufanya hisabati, kufanya masomo ya kisayansi na hata somo la kompyuta. Hazi ni faida nzuri kwa wanafunzi katika maisha yao.
Teknolojia pia imerahisisha usafiri wa haraka. Walimu wanafika shuleni mapema kwa kuwa na vyombo vya kusafiria vya kibinafsi. Hii imepunguza kuchelewa kwa walimu, kufika kuchelewa au kukosa shule. Teknolojia imepunguza kuchelewa kwa walimu katika shule za sekondari kwani vyombo vya usafiri vimekuwa vingi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika shule za sekondari, imeimarisha nafasi kubwa katika masomo hasa katika masomo ya kisayansi kama vile biolojia, kwa kutumia mitambo ya kisayansi kama vile mikroskopi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia vitu vidogo vidogo visivyoweza hivi hivi kwenye mwili. His ni faida kubwa kwa wanafunzi.
Wanafunzi wanaweza kusoma kupitia rununu hatakama wanafunar hawako shuleni. Masomo yote anaweza kuyapata kwa kutumia mitambo ya kiteknolojia. Pia vilevile walimu wamerahisishiwa kazi ya kuchapisha mitihani kwa kutumia taipreta ambayo inaweza kutoa makaratasi mia na zaidi kwa nusu saa.
Kusema kweli, hakuna kizuri kisicho kuwa na ubaya wake. Vile vile teknolojia imeleta madhara kwa shule za sekondari. Walimu wamekuwa wazembe kwa kutumia mitandao kufundisha. Walimu wanakosa shule na kutuma kazi kwenye mitandao wanafunzi wafanye ilhali hawajafunzwa.
Wanafunzi wanatumia rununu na televisheni au runinga vibaya kwa kuangalia Picha chafu chafu, kama vile picha za mapenzi ambazo hawastahili kuangalia na kuangalia runinga na kuiga mitindo mibaya ambayo haina manufaa katika maisha yao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuacha shule na kwenda mitaani kutafuta pesa na kununua mihadarati ambayo ni hatari katika maisha yao. Wengine huwa wezi ili wapate pesa za kununua nguo mbaya mbaya ambazo huona watu huvaa kwenye runinga na hao huiga mitindo hiyo. Hili limefanya wanafunzi wengi kuacha shule na wasichana kudanganywa na kupachikwa mimba za mapema pasipo wakati wao. Wasichana wengi wameacha shule na kufanya ukahaba
ili wapate pesa na kununua mavazi ambayo ni nusu uchi. | Wanafunzi wanapoacha shule huenda mitaani kufanya nini | {
"text": [
"kutafuta pesa"
]
} |
3048_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari na kuimarisha walimu na wanafunzi katika njia za usomaji. Moja wapo ni matumizi ya kompyuta. Kompyuta imerahisisha masomo na shughuli nyingine kufanyika kwa njia ya haraka.
Wanafunzi wanaweza kusoma bila ya kufundishwa na mwalimu darasani na akaelewa kwa kutumia tarakilishi, rununu na venginevyo. Wanafunzi wanaweza kufanya masomo yao kwa kupitia tarakilishi kama vile kufanya hisabati, kufanya masomo ya kisayansi na hata somo la kompyuta. Hazi ni faida nzuri kwa wanafunzi katika maisha yao.
Teknolojia pia imerahisisha usafiri wa haraka. Walimu wanafika shuleni mapema kwa kuwa na vyombo vya kusafiria vya kibinafsi. Hii imepunguza kuchelewa kwa walimu, kufika kuchelewa au kukosa shule. Teknolojia imepunguza kuchelewa kwa walimu katika shule za sekondari kwani vyombo vya usafiri vimekuwa vingi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika shule za sekondari, imeimarisha nafasi kubwa katika masomo hasa katika masomo ya kisayansi kama vile biolojia, kwa kutumia mitambo ya kisayansi kama vile mikroskopi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia vitu vidogo vidogo visivyoweza hivi hivi kwenye mwili. His ni faida kubwa kwa wanafunzi.
Wanafunzi wanaweza kusoma kupitia rununu hatakama wanafunar hawako shuleni. Masomo yote anaweza kuyapata kwa kutumia mitambo ya kiteknolojia. Pia vilevile walimu wamerahisishiwa kazi ya kuchapisha mitihani kwa kutumia taipreta ambayo inaweza kutoa makaratasi mia na zaidi kwa nusu saa.
Kusema kweli, hakuna kizuri kisicho kuwa na ubaya wake. Vile vile teknolojia imeleta madhara kwa shule za sekondari. Walimu wamekuwa wazembe kwa kutumia mitandao kufundisha. Walimu wanakosa shule na kutuma kazi kwenye mitandao wanafunzi wafanye ilhali hawajafunzwa.
Wanafunzi wanatumia rununu na televisheni au runinga vibaya kwa kuangalia Picha chafu chafu, kama vile picha za mapenzi ambazo hawastahili kuangalia na kuangalia runinga na kuiga mitindo mibaya ambayo haina manufaa katika maisha yao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuacha shule na kwenda mitaani kutafuta pesa na kununua mihadarati ambayo ni hatari katika maisha yao. Wengine huwa wezi ili wapate pesa za kununua nguo mbaya mbaya ambazo huona watu huvaa kwenye runinga na hao huiga mitindo hiyo. Hili limefanya wanafunzi wengi kuacha shule na wasichana kudanganywa na kupachikwa mimba za mapema pasipo wakati wao. Wasichana wengi wameacha shule na kufanya ukahaba
ili wapate pesa na kununua mavazi ambayo ni nusu uchi. | Mbona walimu wamekuwa wazembe | {
"text": [
"kwa kutumia mitandao kufundisha"
]
} |
3049_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyonena wahenga na wahengua ya kwamba kizuri hakikosi ila na hivyo basi teknolojia iliyoletwa na wanasayansi imeweza kutusaidia pakubwa na pia imetuharibu sana. Teknolojia ni uvumbuzi wa maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu.
Hivi sasa tunaweza kupata madawa hospitalini kupitia teknolojia. Wanafunzi shuleni wameweza kusomea vitabu vilivyochapichwa kupitia mashine ya teknolojia ya karne hii. Wanafunzi wa shule za sekondari wanaweza kufanya masomo yao ya sayansi kwani kemikali wanazozihitaji zinaweza kutengenezwa kutokana na teknolojia iliyovumbuliwa . Hivyo basi wanafunzi wengi huweza kupita mitihani wao na kuwa madaktari siku zijazo.
Bila kuwasahau walimu na baadhi ya wafanyakazi katika shule hizo. Watu hao pia wamesaidika sana kutokana na teknolojia. Baadhi ya walimu wameekewa tarakilishi katika ofisi zao ili kuweza kurekodi na kufanya uchunguzi juu ya somo fulani. Mwalimu mkuu naye pia anaweza kutumia teknolojia pale anapoeka "CCTV kamera" nakuona namo shule yake inavyoendelea na pia hutumika kama kifaa cha usalama.
Kutokana na hayo nina imani ya kuwa teknolojia njema kabisa inawasaidia watu na wana wetu masomoni na hata walimu katika kufundisha. Pia tunaona kuwa teknolojia imefanya jambo la
usalama kuwa kazi rahisi katika shule zetu za mabweni.
Kama nilivyosema mwanzo ya kuwa kizuri hakikosi ila kwani teknolojia hiyo hiyo imeleta madhara mengi haswa zaidi kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi siku hizi hawataki kutumia akili zaokufikiria . Hao hutumia rununu na tarakilishi kufanya uchunguzi wa somo fulani wanapopewa kazi. Hii imewaathiri pakubwa ndiposa kufeli mitihani yao.
Baadhi ya wanafunzi hutumia rununu au runinga kuangalia mambo machafu ya mapenzi yanayowapelekea hao kuenda kuyafanya na mwishowe kupachikwa mimba za mapema. Baada ya mimba, hununua dawa za kisasa zinazotengenezwa na kemikali ili kuziavya mimba zao na mwishowe hupoteza uhai au kuleta madhara mbeleni. Teknolojia imetuletea, balaa kwa wanao wetu kwani sasa hakuna mwana asiyejua kutumia rununu hata aliyezaliwa leo.
Wazazi wanaonekana washamba ilhali hao ndio waliuona dunia wakwanza. Wanafunzi wa shule ya sekondari wanatakiwa kuwa makini na jinsi wanavyotumia teknolojia kwani wanaeza kuharibu maisha yao. Maji yakimwagika hayazoleki kama wahenga walivyosema. Wanafunzi wajitume na wajifunze kufikiria. Waache kutumia kemikali zitakazo waathiri mbeleni.d na Teknolojia ni njema hivyo basi angalia, je, wewe imekuathiri ama imekusaidia? Kama imekuathiri basi jiepuche nayo au utafute mbinu mzuri itakayokusaidia kimasomo au kikazi.
| Kizuri hakikosi nini? | {
"text": [
"Ila"
]
} |
3049_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyonena wahenga na wahengua ya kwamba kizuri hakikosi ila na hivyo basi teknolojia iliyoletwa na wanasayansi imeweza kutusaidia pakubwa na pia imetuharibu sana. Teknolojia ni uvumbuzi wa maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu.
Hivi sasa tunaweza kupata madawa hospitalini kupitia teknolojia. Wanafunzi shuleni wameweza kusomea vitabu vilivyochapichwa kupitia mashine ya teknolojia ya karne hii. Wanafunzi wa shule za sekondari wanaweza kufanya masomo yao ya sayansi kwani kemikali wanazozihitaji zinaweza kutengenezwa kutokana na teknolojia iliyovumbuliwa . Hivyo basi wanafunzi wengi huweza kupita mitihani wao na kuwa madaktari siku zijazo.
Bila kuwasahau walimu na baadhi ya wafanyakazi katika shule hizo. Watu hao pia wamesaidika sana kutokana na teknolojia. Baadhi ya walimu wameekewa tarakilishi katika ofisi zao ili kuweza kurekodi na kufanya uchunguzi juu ya somo fulani. Mwalimu mkuu naye pia anaweza kutumia teknolojia pale anapoeka "CCTV kamera" nakuona namo shule yake inavyoendelea na pia hutumika kama kifaa cha usalama.
Kutokana na hayo nina imani ya kuwa teknolojia njema kabisa inawasaidia watu na wana wetu masomoni na hata walimu katika kufundisha. Pia tunaona kuwa teknolojia imefanya jambo la
usalama kuwa kazi rahisi katika shule zetu za mabweni.
Kama nilivyosema mwanzo ya kuwa kizuri hakikosi ila kwani teknolojia hiyo hiyo imeleta madhara mengi haswa zaidi kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi siku hizi hawataki kutumia akili zaokufikiria . Hao hutumia rununu na tarakilishi kufanya uchunguzi wa somo fulani wanapopewa kazi. Hii imewaathiri pakubwa ndiposa kufeli mitihani yao.
Baadhi ya wanafunzi hutumia rununu au runinga kuangalia mambo machafu ya mapenzi yanayowapelekea hao kuenda kuyafanya na mwishowe kupachikwa mimba za mapema. Baada ya mimba, hununua dawa za kisasa zinazotengenezwa na kemikali ili kuziavya mimba zao na mwishowe hupoteza uhai au kuleta madhara mbeleni. Teknolojia imetuletea, balaa kwa wanao wetu kwani sasa hakuna mwana asiyejua kutumia rununu hata aliyezaliwa leo.
Wazazi wanaonekana washamba ilhali hao ndio waliuona dunia wakwanza. Wanafunzi wa shule ya sekondari wanatakiwa kuwa makini na jinsi wanavyotumia teknolojia kwani wanaeza kuharibu maisha yao. Maji yakimwagika hayazoleki kama wahenga walivyosema. Wanafunzi wajitume na wajifunze kufikiria. Waache kutumia kemikali zitakazo waathiri mbeleni.d na Teknolojia ni njema hivyo basi angalia, je, wewe imekuathiri ama imekusaidia? Kama imekuathiri basi jiepuche nayo au utafute mbinu mzuri itakayokusaidia kimasomo au kikazi.
| Teknolojia ni uvumbuzi wa kina nani? | {
"text": [
"Wanasayansi"
]
} |
3049_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyonena wahenga na wahengua ya kwamba kizuri hakikosi ila na hivyo basi teknolojia iliyoletwa na wanasayansi imeweza kutusaidia pakubwa na pia imetuharibu sana. Teknolojia ni uvumbuzi wa maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu.
Hivi sasa tunaweza kupata madawa hospitalini kupitia teknolojia. Wanafunzi shuleni wameweza kusomea vitabu vilivyochapichwa kupitia mashine ya teknolojia ya karne hii. Wanafunzi wa shule za sekondari wanaweza kufanya masomo yao ya sayansi kwani kemikali wanazozihitaji zinaweza kutengenezwa kutokana na teknolojia iliyovumbuliwa . Hivyo basi wanafunzi wengi huweza kupita mitihani wao na kuwa madaktari siku zijazo.
Bila kuwasahau walimu na baadhi ya wafanyakazi katika shule hizo. Watu hao pia wamesaidika sana kutokana na teknolojia. Baadhi ya walimu wameekewa tarakilishi katika ofisi zao ili kuweza kurekodi na kufanya uchunguzi juu ya somo fulani. Mwalimu mkuu naye pia anaweza kutumia teknolojia pale anapoeka "CCTV kamera" nakuona namo shule yake inavyoendelea na pia hutumika kama kifaa cha usalama.
Kutokana na hayo nina imani ya kuwa teknolojia njema kabisa inawasaidia watu na wana wetu masomoni na hata walimu katika kufundisha. Pia tunaona kuwa teknolojia imefanya jambo la
usalama kuwa kazi rahisi katika shule zetu za mabweni.
Kama nilivyosema mwanzo ya kuwa kizuri hakikosi ila kwani teknolojia hiyo hiyo imeleta madhara mengi haswa zaidi kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi siku hizi hawataki kutumia akili zaokufikiria . Hao hutumia rununu na tarakilishi kufanya uchunguzi wa somo fulani wanapopewa kazi. Hii imewaathiri pakubwa ndiposa kufeli mitihani yao.
Baadhi ya wanafunzi hutumia rununu au runinga kuangalia mambo machafu ya mapenzi yanayowapelekea hao kuenda kuyafanya na mwishowe kupachikwa mimba za mapema. Baada ya mimba, hununua dawa za kisasa zinazotengenezwa na kemikali ili kuziavya mimba zao na mwishowe hupoteza uhai au kuleta madhara mbeleni. Teknolojia imetuletea, balaa kwa wanao wetu kwani sasa hakuna mwana asiyejua kutumia rununu hata aliyezaliwa leo.
Wazazi wanaonekana washamba ilhali hao ndio waliuona dunia wakwanza. Wanafunzi wa shule ya sekondari wanatakiwa kuwa makini na jinsi wanavyotumia teknolojia kwani wanaeza kuharibu maisha yao. Maji yakimwagika hayazoleki kama wahenga walivyosema. Wanafunzi wajitume na wajifunze kufikiria. Waache kutumia kemikali zitakazo waathiri mbeleni.d na Teknolojia ni njema hivyo basi angalia, je, wewe imekuathiri ama imekusaidia? Kama imekuathiri basi jiepuche nayo au utafute mbinu mzuri itakayokusaidia kimasomo au kikazi.
| Madawa hupatikana wapi? | {
"text": [
"Hospitalini"
]
} |
3049_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyonena wahenga na wahengua ya kwamba kizuri hakikosi ila na hivyo basi teknolojia iliyoletwa na wanasayansi imeweza kutusaidia pakubwa na pia imetuharibu sana. Teknolojia ni uvumbuzi wa maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu.
Hivi sasa tunaweza kupata madawa hospitalini kupitia teknolojia. Wanafunzi shuleni wameweza kusomea vitabu vilivyochapichwa kupitia mashine ya teknolojia ya karne hii. Wanafunzi wa shule za sekondari wanaweza kufanya masomo yao ya sayansi kwani kemikali wanazozihitaji zinaweza kutengenezwa kutokana na teknolojia iliyovumbuliwa . Hivyo basi wanafunzi wengi huweza kupita mitihani wao na kuwa madaktari siku zijazo.
Bila kuwasahau walimu na baadhi ya wafanyakazi katika shule hizo. Watu hao pia wamesaidika sana kutokana na teknolojia. Baadhi ya walimu wameekewa tarakilishi katika ofisi zao ili kuweza kurekodi na kufanya uchunguzi juu ya somo fulani. Mwalimu mkuu naye pia anaweza kutumia teknolojia pale anapoeka "CCTV kamera" nakuona namo shule yake inavyoendelea na pia hutumika kama kifaa cha usalama.
Kutokana na hayo nina imani ya kuwa teknolojia njema kabisa inawasaidia watu na wana wetu masomoni na hata walimu katika kufundisha. Pia tunaona kuwa teknolojia imefanya jambo la
usalama kuwa kazi rahisi katika shule zetu za mabweni.
Kama nilivyosema mwanzo ya kuwa kizuri hakikosi ila kwani teknolojia hiyo hiyo imeleta madhara mengi haswa zaidi kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi siku hizi hawataki kutumia akili zaokufikiria . Hao hutumia rununu na tarakilishi kufanya uchunguzi wa somo fulani wanapopewa kazi. Hii imewaathiri pakubwa ndiposa kufeli mitihani yao.
Baadhi ya wanafunzi hutumia rununu au runinga kuangalia mambo machafu ya mapenzi yanayowapelekea hao kuenda kuyafanya na mwishowe kupachikwa mimba za mapema. Baada ya mimba, hununua dawa za kisasa zinazotengenezwa na kemikali ili kuziavya mimba zao na mwishowe hupoteza uhai au kuleta madhara mbeleni. Teknolojia imetuletea, balaa kwa wanao wetu kwani sasa hakuna mwana asiyejua kutumia rununu hata aliyezaliwa leo.
Wazazi wanaonekana washamba ilhali hao ndio waliuona dunia wakwanza. Wanafunzi wa shule ya sekondari wanatakiwa kuwa makini na jinsi wanavyotumia teknolojia kwani wanaeza kuharibu maisha yao. Maji yakimwagika hayazoleki kama wahenga walivyosema. Wanafunzi wajitume na wajifunze kufikiria. Waache kutumia kemikali zitakazo waathiri mbeleni.d na Teknolojia ni njema hivyo basi angalia, je, wewe imekuathiri ama imekusaidia? Kama imekuathiri basi jiepuche nayo au utafute mbinu mzuri itakayokusaidia kimasomo au kikazi.
| Walimu wamewekewa nini katika ofisi zao? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3049_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyonena wahenga na wahengua ya kwamba kizuri hakikosi ila na hivyo basi teknolojia iliyoletwa na wanasayansi imeweza kutusaidia pakubwa na pia imetuharibu sana. Teknolojia ni uvumbuzi wa maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu.
Hivi sasa tunaweza kupata madawa hospitalini kupitia teknolojia. Wanafunzi shuleni wameweza kusomea vitabu vilivyochapichwa kupitia mashine ya teknolojia ya karne hii. Wanafunzi wa shule za sekondari wanaweza kufanya masomo yao ya sayansi kwani kemikali wanazozihitaji zinaweza kutengenezwa kutokana na teknolojia iliyovumbuliwa . Hivyo basi wanafunzi wengi huweza kupita mitihani wao na kuwa madaktari siku zijazo.
Bila kuwasahau walimu na baadhi ya wafanyakazi katika shule hizo. Watu hao pia wamesaidika sana kutokana na teknolojia. Baadhi ya walimu wameekewa tarakilishi katika ofisi zao ili kuweza kurekodi na kufanya uchunguzi juu ya somo fulani. Mwalimu mkuu naye pia anaweza kutumia teknolojia pale anapoeka "CCTV kamera" nakuona namo shule yake inavyoendelea na pia hutumika kama kifaa cha usalama.
Kutokana na hayo nina imani ya kuwa teknolojia njema kabisa inawasaidia watu na wana wetu masomoni na hata walimu katika kufundisha. Pia tunaona kuwa teknolojia imefanya jambo la
usalama kuwa kazi rahisi katika shule zetu za mabweni.
Kama nilivyosema mwanzo ya kuwa kizuri hakikosi ila kwani teknolojia hiyo hiyo imeleta madhara mengi haswa zaidi kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi siku hizi hawataki kutumia akili zaokufikiria . Hao hutumia rununu na tarakilishi kufanya uchunguzi wa somo fulani wanapopewa kazi. Hii imewaathiri pakubwa ndiposa kufeli mitihani yao.
Baadhi ya wanafunzi hutumia rununu au runinga kuangalia mambo machafu ya mapenzi yanayowapelekea hao kuenda kuyafanya na mwishowe kupachikwa mimba za mapema. Baada ya mimba, hununua dawa za kisasa zinazotengenezwa na kemikali ili kuziavya mimba zao na mwishowe hupoteza uhai au kuleta madhara mbeleni. Teknolojia imetuletea, balaa kwa wanao wetu kwani sasa hakuna mwana asiyejua kutumia rununu hata aliyezaliwa leo.
Wazazi wanaonekana washamba ilhali hao ndio waliuona dunia wakwanza. Wanafunzi wa shule ya sekondari wanatakiwa kuwa makini na jinsi wanavyotumia teknolojia kwani wanaeza kuharibu maisha yao. Maji yakimwagika hayazoleki kama wahenga walivyosema. Wanafunzi wajitume na wajifunze kufikiria. Waache kutumia kemikali zitakazo waathiri mbeleni.d na Teknolojia ni njema hivyo basi angalia, je, wewe imekuathiri ama imekusaidia? Kama imekuathiri basi jiepuche nayo au utafute mbinu mzuri itakayokusaidia kimasomo au kikazi.
| Vijana wengi hutazama video za aina gani kwenye rununu? | {
"text": [
"Mapenzi baina ya watu"
]
} |
3050_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia sana katika sekta ya elimu hasa katika shule za sekondari.
Mosi kabisa teknolojia imemfanya mwanafunzi awe na uwezo wa kufanya uchunguzi kwa mambo asiyoyajua na kumpa uwezo wa kuendeleza kisomo chake. Hii hunufaisha wale wanafunzi walio katika chama cha wanasayansi wadogo.
Teknolojia pia imerahisisha kazi ya mwalimu ya kufunza. Mfano, mwalimu anaweza kutumia ili kuwafunza wanafunzi wake.
Teknolojia imesaidia katika uwekaji wa taarifa muhimu za shule na hata kuweka matokeo ya watoto ya mitihani. Na kama maelezo yanatakikana kuhusu shule, hupatikana kwa urahisi. Pia matokeo ya mwanafunzi yote huwa yamehifadhiwa katika tarakilishi. Hii ni teknolojia.
Teknolojia imesaidia katika kuonyesha jinsi pesa katika shule ya sekondari inavyotumika kwani habari hizo huwa zimehifadhiwa.
Vile vile teknolojia ina madhara yake kama vile, wanafunzi wanapoenda ‘Lab’ kwenda kufundishwa jinsi ya kutumia tarakilishi, wengi wao hujihusisha na tabia potovu kama vile kuangalia ponographia.
Teknolojia imemfanya mwanafunzi kutokuwa na uwezo wa kufikiria kwani kila kitu kimerahisishwa kwake kwa kutumia kama vile tarakilishi au kifaa chochote kile.
Habari zilizowekwa katika tarakilishi huenda zikapotea.Kupata habari hizo huwa ni ngumu sana. Hii humfanya, mfano, mwalimu kuwa na wakati mgumu katika ufundishaji kama alitegemea teknolojia sana.
Uwezo wa shule za sekondari kununua vifaa vya teknolojia huwa chini kwani vifaa hivi ni ghali sana na huhitaji watu waliosomea kuvitumia kwani pia gharama ya kutengeneza viharibikapo huwa juu.
Teknolojia husaidia shule zilizoendelea peke yake zenye uwezo kununua vifaa kama vile kompyuta n.k. | Nini imerahisisha kazi ya mwalimu ya kufunza | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3050_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia sana katika sekta ya elimu hasa katika shule za sekondari.
Mosi kabisa teknolojia imemfanya mwanafunzi awe na uwezo wa kufanya uchunguzi kwa mambo asiyoyajua na kumpa uwezo wa kuendeleza kisomo chake. Hii hunufaisha wale wanafunzi walio katika chama cha wanasayansi wadogo.
Teknolojia pia imerahisisha kazi ya mwalimu ya kufunza. Mfano, mwalimu anaweza kutumia ili kuwafunza wanafunzi wake.
Teknolojia imesaidia katika uwekaji wa taarifa muhimu za shule na hata kuweka matokeo ya watoto ya mitihani. Na kama maelezo yanatakikana kuhusu shule, hupatikana kwa urahisi. Pia matokeo ya mwanafunzi yote huwa yamehifadhiwa katika tarakilishi. Hii ni teknolojia.
Teknolojia imesaidia katika kuonyesha jinsi pesa katika shule ya sekondari inavyotumika kwani habari hizo huwa zimehifadhiwa.
Vile vile teknolojia ina madhara yake kama vile, wanafunzi wanapoenda ‘Lab’ kwenda kufundishwa jinsi ya kutumia tarakilishi, wengi wao hujihusisha na tabia potovu kama vile kuangalia ponographia.
Teknolojia imemfanya mwanafunzi kutokuwa na uwezo wa kufikiria kwani kila kitu kimerahisishwa kwake kwa kutumia kama vile tarakilishi au kifaa chochote kile.
Habari zilizowekwa katika tarakilishi huenda zikapotea.Kupata habari hizo huwa ni ngumu sana. Hii humfanya, mfano, mwalimu kuwa na wakati mgumu katika ufundishaji kama alitegemea teknolojia sana.
Uwezo wa shule za sekondari kununua vifaa vya teknolojia huwa chini kwani vifaa hivi ni ghali sana na huhitaji watu waliosomea kuvitumia kwani pia gharama ya kutengeneza viharibikapo huwa juu.
Teknolojia husaidia shule zilizoendelea peke yake zenye uwezo kununua vifaa kama vile kompyuta n.k. | Teknolojia imemsaidia mwanafunzi aweze kuendeleza nini | {
"text": [
"kisomo chake"
]
} |
3050_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia sana katika sekta ya elimu hasa katika shule za sekondari.
Mosi kabisa teknolojia imemfanya mwanafunzi awe na uwezo wa kufanya uchunguzi kwa mambo asiyoyajua na kumpa uwezo wa kuendeleza kisomo chake. Hii hunufaisha wale wanafunzi walio katika chama cha wanasayansi wadogo.
Teknolojia pia imerahisisha kazi ya mwalimu ya kufunza. Mfano, mwalimu anaweza kutumia ili kuwafunza wanafunzi wake.
Teknolojia imesaidia katika uwekaji wa taarifa muhimu za shule na hata kuweka matokeo ya watoto ya mitihani. Na kama maelezo yanatakikana kuhusu shule, hupatikana kwa urahisi. Pia matokeo ya mwanafunzi yote huwa yamehifadhiwa katika tarakilishi. Hii ni teknolojia.
Teknolojia imesaidia katika kuonyesha jinsi pesa katika shule ya sekondari inavyotumika kwani habari hizo huwa zimehifadhiwa.
Vile vile teknolojia ina madhara yake kama vile, wanafunzi wanapoenda ‘Lab’ kwenda kufundishwa jinsi ya kutumia tarakilishi, wengi wao hujihusisha na tabia potovu kama vile kuangalia ponographia.
Teknolojia imemfanya mwanafunzi kutokuwa na uwezo wa kufikiria kwani kila kitu kimerahisishwa kwake kwa kutumia kama vile tarakilishi au kifaa chochote kile.
Habari zilizowekwa katika tarakilishi huenda zikapotea.Kupata habari hizo huwa ni ngumu sana. Hii humfanya, mfano, mwalimu kuwa na wakati mgumu katika ufundishaji kama alitegemea teknolojia sana.
Uwezo wa shule za sekondari kununua vifaa vya teknolojia huwa chini kwani vifaa hivi ni ghali sana na huhitaji watu waliosomea kuvitumia kwani pia gharama ya kutengeneza viharibikapo huwa juu.
Teknolojia husaidia shule zilizoendelea peke yake zenye uwezo kununua vifaa kama vile kompyuta n.k. | Teknolojia husaidia wanafunzi katika chama gani | {
"text": [
"cha wanasayansi wadogo"
]
} |
3050_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia sana katika sekta ya elimu hasa katika shule za sekondari.
Mosi kabisa teknolojia imemfanya mwanafunzi awe na uwezo wa kufanya uchunguzi kwa mambo asiyoyajua na kumpa uwezo wa kuendeleza kisomo chake. Hii hunufaisha wale wanafunzi walio katika chama cha wanasayansi wadogo.
Teknolojia pia imerahisisha kazi ya mwalimu ya kufunza. Mfano, mwalimu anaweza kutumia ili kuwafunza wanafunzi wake.
Teknolojia imesaidia katika uwekaji wa taarifa muhimu za shule na hata kuweka matokeo ya watoto ya mitihani. Na kama maelezo yanatakikana kuhusu shule, hupatikana kwa urahisi. Pia matokeo ya mwanafunzi yote huwa yamehifadhiwa katika tarakilishi. Hii ni teknolojia.
Teknolojia imesaidia katika kuonyesha jinsi pesa katika shule ya sekondari inavyotumika kwani habari hizo huwa zimehifadhiwa.
Vile vile teknolojia ina madhara yake kama vile, wanafunzi wanapoenda ‘Lab’ kwenda kufundishwa jinsi ya kutumia tarakilishi, wengi wao hujihusisha na tabia potovu kama vile kuangalia ponographia.
Teknolojia imemfanya mwanafunzi kutokuwa na uwezo wa kufikiria kwani kila kitu kimerahisishwa kwake kwa kutumia kama vile tarakilishi au kifaa chochote kile.
Habari zilizowekwa katika tarakilishi huenda zikapotea.Kupata habari hizo huwa ni ngumu sana. Hii humfanya, mfano, mwalimu kuwa na wakati mgumu katika ufundishaji kama alitegemea teknolojia sana.
Uwezo wa shule za sekondari kununua vifaa vya teknolojia huwa chini kwani vifaa hivi ni ghali sana na huhitaji watu waliosomea kuvitumia kwani pia gharama ya kutengeneza viharibikapo huwa juu.
Teknolojia husaidia shule zilizoendelea peke yake zenye uwezo kununua vifaa kama vile kompyuta n.k. | Teknolojia hutumika kuonyesha jinsi nini zinatumika katika shule | {
"text": [
"pesa"
]
} |
3050_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia sana katika sekta ya elimu hasa katika shule za sekondari.
Mosi kabisa teknolojia imemfanya mwanafunzi awe na uwezo wa kufanya uchunguzi kwa mambo asiyoyajua na kumpa uwezo wa kuendeleza kisomo chake. Hii hunufaisha wale wanafunzi walio katika chama cha wanasayansi wadogo.
Teknolojia pia imerahisisha kazi ya mwalimu ya kufunza. Mfano, mwalimu anaweza kutumia ili kuwafunza wanafunzi wake.
Teknolojia imesaidia katika uwekaji wa taarifa muhimu za shule na hata kuweka matokeo ya watoto ya mitihani. Na kama maelezo yanatakikana kuhusu shule, hupatikana kwa urahisi. Pia matokeo ya mwanafunzi yote huwa yamehifadhiwa katika tarakilishi. Hii ni teknolojia.
Teknolojia imesaidia katika kuonyesha jinsi pesa katika shule ya sekondari inavyotumika kwani habari hizo huwa zimehifadhiwa.
Vile vile teknolojia ina madhara yake kama vile, wanafunzi wanapoenda ‘Lab’ kwenda kufundishwa jinsi ya kutumia tarakilishi, wengi wao hujihusisha na tabia potovu kama vile kuangalia ponographia.
Teknolojia imemfanya mwanafunzi kutokuwa na uwezo wa kufikiria kwani kila kitu kimerahisishwa kwake kwa kutumia kama vile tarakilishi au kifaa chochote kile.
Habari zilizowekwa katika tarakilishi huenda zikapotea.Kupata habari hizo huwa ni ngumu sana. Hii humfanya, mfano, mwalimu kuwa na wakati mgumu katika ufundishaji kama alitegemea teknolojia sana.
Uwezo wa shule za sekondari kununua vifaa vya teknolojia huwa chini kwani vifaa hivi ni ghali sana na huhitaji watu waliosomea kuvitumia kwani pia gharama ya kutengeneza viharibikapo huwa juu.
Teknolojia husaidia shule zilizoendelea peke yake zenye uwezo kununua vifaa kama vile kompyuta n.k. | Vipi teknolojia imemfanya mwanafunzi kutokuwa na uwezo wa kufikiri | {
"text": [
"kila kitu kimerahisishwa kwake"
]
} |
3051_swa | FAIDA NA HASARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni swala ibuka ambalo limeleta hasara pamoja na faida katika shule za sekondari. Wanagenzi pamoja na walimu wanafaidika kutokana na teknolojia.
Walimu wanafaidika vilivyo kutokana na teknolojia kama wamepunguziwa mzigo wa kubeba vitabu hadi darasani. Simu inaweza kuhifadhi mambo takribani kila kitu kilicho kwenye vitabu na hata mambo mengine. Walimu wakifika darasani, basi ni kufungua simu na kuenda mahala kuna nakala ya majibu endapo anahitaji kupa majibu kwa wanafunzi kama wamefanya zoezi fulani.
Kazi yao imefanywa rahisi kwa kutumia teknolojia kutoa karatasi endapo mwalimu anataka karatasi za wanafunzi wengi. Isingekuwa teknolojia basi tungalikuwa bado tunatumia njia ya kuandikia karatasi baada ya nyingine hadi mtihani na wanagenzi takriban wanafunzi mia mbili, hivyo basi' imerahisishwa na teknolojia.
Walimu na wanafunzi wanaweza kutumia simu au hata tarakilishi kufanya utafiti wa hali ya juu na kupata vitu vya ukweli. Kuna mambo ambayo yanahitaji utafiti wa hali ya juu endapo hayajachapishwa kwenye vitabu vya wanafunzi.
Kunaye nayo makongamano ya kisayansi yanayohitaji. Wanafunzi huja na njia ambapo labda wanataka kutengeneza kitu fulani kutokana na chengine na amesahau vitu vinavyotakikana basi wangenzi na walimu hao wanaweza kufanya utafiti kuhusu huo jambo. Shule nyingine hutumia CCTV kama askari yake kwani hiyo ni iwashwe na ifanye kazi yake bila kuchoka wala kulala.
Shule za wasichana au wavulana peke yake huwa kuna mambo yanayoendelea ambayo hayaridhishi, hivyo basi washikadau wanakubaliana kuwa CCTV ina punguza au hata kuwafanya waasitende mambo hayo.
Teknolojia mechangia katika ukosefu wa nidhamu baina ya wanafunzi na walimu. Wanafunzi wengi wamezorota katika sekta ya masomo kwa sababu wanaposhika simu zao wakiwa nyumbani kwao huwa hawazitumii ipasavyo bali hukosea nidhamu zao. Wazazi wanaweza wakaongea kuhusu simu hizo na hata wale watoto hawatasikia la wazazi wao.
Teknolojia imechangia wanafunzi! na walimu kuwa wavivu wakati ifikapo wa kufikiria. Wanafunzi wengi hutegemea simu ili kutafuta mambo mengi na kufanya hesabu zao hivyo vizuri. Akili zao haziwezi kufikiria kwa kutegemea simu. | Utafiti umerahihishwa kutokana na ujio wa nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3051_swa | FAIDA NA HASARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni swala ibuka ambalo limeleta hasara pamoja na faida katika shule za sekondari. Wanagenzi pamoja na walimu wanafaidika kutokana na teknolojia.
Walimu wanafaidika vilivyo kutokana na teknolojia kama wamepunguziwa mzigo wa kubeba vitabu hadi darasani. Simu inaweza kuhifadhi mambo takribani kila kitu kilicho kwenye vitabu na hata mambo mengine. Walimu wakifika darasani, basi ni kufungua simu na kuenda mahala kuna nakala ya majibu endapo anahitaji kupa majibu kwa wanafunzi kama wamefanya zoezi fulani.
Kazi yao imefanywa rahisi kwa kutumia teknolojia kutoa karatasi endapo mwalimu anataka karatasi za wanafunzi wengi. Isingekuwa teknolojia basi tungalikuwa bado tunatumia njia ya kuandikia karatasi baada ya nyingine hadi mtihani na wanagenzi takriban wanafunzi mia mbili, hivyo basi' imerahisishwa na teknolojia.
Walimu na wanafunzi wanaweza kutumia simu au hata tarakilishi kufanya utafiti wa hali ya juu na kupata vitu vya ukweli. Kuna mambo ambayo yanahitaji utafiti wa hali ya juu endapo hayajachapishwa kwenye vitabu vya wanafunzi.
Kunaye nayo makongamano ya kisayansi yanayohitaji. Wanafunzi huja na njia ambapo labda wanataka kutengeneza kitu fulani kutokana na chengine na amesahau vitu vinavyotakikana basi wangenzi na walimu hao wanaweza kufanya utafiti kuhusu huo jambo. Shule nyingine hutumia CCTV kama askari yake kwani hiyo ni iwashwe na ifanye kazi yake bila kuchoka wala kulala.
Shule za wasichana au wavulana peke yake huwa kuna mambo yanayoendelea ambayo hayaridhishi, hivyo basi washikadau wanakubaliana kuwa CCTV ina punguza au hata kuwafanya waasitende mambo hayo.
Teknolojia mechangia katika ukosefu wa nidhamu baina ya wanafunzi na walimu. Wanafunzi wengi wamezorota katika sekta ya masomo kwa sababu wanaposhika simu zao wakiwa nyumbani kwao huwa hawazitumii ipasavyo bali hukosea nidhamu zao. Wazazi wanaweza wakaongea kuhusu simu hizo na hata wale watoto hawatasikia la wazazi wao.
Teknolojia imechangia wanafunzi! na walimu kuwa wavivu wakati ifikapo wa kufikiria. Wanafunzi wengi hutegemea simu ili kutafuta mambo mengi na kufanya hesabu zao hivyo vizuri. Akili zao haziwezi kufikiria kwa kutegemea simu. | Ni kipi kimewapunguzia walimu mzigo wa kubeba vitabu hadi darasani | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3051_swa | FAIDA NA HASARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni swala ibuka ambalo limeleta hasara pamoja na faida katika shule za sekondari. Wanagenzi pamoja na walimu wanafaidika kutokana na teknolojia.
Walimu wanafaidika vilivyo kutokana na teknolojia kama wamepunguziwa mzigo wa kubeba vitabu hadi darasani. Simu inaweza kuhifadhi mambo takribani kila kitu kilicho kwenye vitabu na hata mambo mengine. Walimu wakifika darasani, basi ni kufungua simu na kuenda mahala kuna nakala ya majibu endapo anahitaji kupa majibu kwa wanafunzi kama wamefanya zoezi fulani.
Kazi yao imefanywa rahisi kwa kutumia teknolojia kutoa karatasi endapo mwalimu anataka karatasi za wanafunzi wengi. Isingekuwa teknolojia basi tungalikuwa bado tunatumia njia ya kuandikia karatasi baada ya nyingine hadi mtihani na wanagenzi takriban wanafunzi mia mbili, hivyo basi' imerahisishwa na teknolojia.
Walimu na wanafunzi wanaweza kutumia simu au hata tarakilishi kufanya utafiti wa hali ya juu na kupata vitu vya ukweli. Kuna mambo ambayo yanahitaji utafiti wa hali ya juu endapo hayajachapishwa kwenye vitabu vya wanafunzi.
Kunaye nayo makongamano ya kisayansi yanayohitaji. Wanafunzi huja na njia ambapo labda wanataka kutengeneza kitu fulani kutokana na chengine na amesahau vitu vinavyotakikana basi wangenzi na walimu hao wanaweza kufanya utafiti kuhusu huo jambo. Shule nyingine hutumia CCTV kama askari yake kwani hiyo ni iwashwe na ifanye kazi yake bila kuchoka wala kulala.
Shule za wasichana au wavulana peke yake huwa kuna mambo yanayoendelea ambayo hayaridhishi, hivyo basi washikadau wanakubaliana kuwa CCTV ina punguza au hata kuwafanya waasitende mambo hayo.
Teknolojia mechangia katika ukosefu wa nidhamu baina ya wanafunzi na walimu. Wanafunzi wengi wamezorota katika sekta ya masomo kwa sababu wanaposhika simu zao wakiwa nyumbani kwao huwa hawazitumii ipasavyo bali hukosea nidhamu zao. Wazazi wanaweza wakaongea kuhusu simu hizo na hata wale watoto hawatasikia la wazazi wao.
Teknolojia imechangia wanafunzi! na walimu kuwa wavivu wakati ifikapo wa kufikiria. Wanafunzi wengi hutegemea simu ili kutafuta mambo mengi na kufanya hesabu zao hivyo vizuri. Akili zao haziwezi kufikiria kwa kutegemea simu. | Ni kifaa kipi hutumika kama askari asiyelala shuleni | {
"text": [
"CCTV"
]
} |
3051_swa | FAIDA NA HASARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni swala ibuka ambalo limeleta hasara pamoja na faida katika shule za sekondari. Wanagenzi pamoja na walimu wanafaidika kutokana na teknolojia.
Walimu wanafaidika vilivyo kutokana na teknolojia kama wamepunguziwa mzigo wa kubeba vitabu hadi darasani. Simu inaweza kuhifadhi mambo takribani kila kitu kilicho kwenye vitabu na hata mambo mengine. Walimu wakifika darasani, basi ni kufungua simu na kuenda mahala kuna nakala ya majibu endapo anahitaji kupa majibu kwa wanafunzi kama wamefanya zoezi fulani.
Kazi yao imefanywa rahisi kwa kutumia teknolojia kutoa karatasi endapo mwalimu anataka karatasi za wanafunzi wengi. Isingekuwa teknolojia basi tungalikuwa bado tunatumia njia ya kuandikia karatasi baada ya nyingine hadi mtihani na wanagenzi takriban wanafunzi mia mbili, hivyo basi' imerahisishwa na teknolojia.
Walimu na wanafunzi wanaweza kutumia simu au hata tarakilishi kufanya utafiti wa hali ya juu na kupata vitu vya ukweli. Kuna mambo ambayo yanahitaji utafiti wa hali ya juu endapo hayajachapishwa kwenye vitabu vya wanafunzi.
Kunaye nayo makongamano ya kisayansi yanayohitaji. Wanafunzi huja na njia ambapo labda wanataka kutengeneza kitu fulani kutokana na chengine na amesahau vitu vinavyotakikana basi wangenzi na walimu hao wanaweza kufanya utafiti kuhusu huo jambo. Shule nyingine hutumia CCTV kama askari yake kwani hiyo ni iwashwe na ifanye kazi yake bila kuchoka wala kulala.
Shule za wasichana au wavulana peke yake huwa kuna mambo yanayoendelea ambayo hayaridhishi, hivyo basi washikadau wanakubaliana kuwa CCTV ina punguza au hata kuwafanya waasitende mambo hayo.
Teknolojia mechangia katika ukosefu wa nidhamu baina ya wanafunzi na walimu. Wanafunzi wengi wamezorota katika sekta ya masomo kwa sababu wanaposhika simu zao wakiwa nyumbani kwao huwa hawazitumii ipasavyo bali hukosea nidhamu zao. Wazazi wanaweza wakaongea kuhusu simu hizo na hata wale watoto hawatasikia la wazazi wao.
Teknolojia imechangia wanafunzi! na walimu kuwa wavivu wakati ifikapo wa kufikiria. Wanafunzi wengi hutegemea simu ili kutafuta mambo mengi na kufanya hesabu zao hivyo vizuri. Akili zao haziwezi kufikiria kwa kutegemea simu. | Ukosefu wa nidhamu miongoni mwa wanafunzi umechangiwa na nini | {
"text": [
"Teknolojia kupitia simu"
]
} |
3051_swa | FAIDA NA HASARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni swala ibuka ambalo limeleta hasara pamoja na faida katika shule za sekondari. Wanagenzi pamoja na walimu wanafaidika kutokana na teknolojia.
Walimu wanafaidika vilivyo kutokana na teknolojia kama wamepunguziwa mzigo wa kubeba vitabu hadi darasani. Simu inaweza kuhifadhi mambo takribani kila kitu kilicho kwenye vitabu na hata mambo mengine. Walimu wakifika darasani, basi ni kufungua simu na kuenda mahala kuna nakala ya majibu endapo anahitaji kupa majibu kwa wanafunzi kama wamefanya zoezi fulani.
Kazi yao imefanywa rahisi kwa kutumia teknolojia kutoa karatasi endapo mwalimu anataka karatasi za wanafunzi wengi. Isingekuwa teknolojia basi tungalikuwa bado tunatumia njia ya kuandikia karatasi baada ya nyingine hadi mtihani na wanagenzi takriban wanafunzi mia mbili, hivyo basi' imerahisishwa na teknolojia.
Walimu na wanafunzi wanaweza kutumia simu au hata tarakilishi kufanya utafiti wa hali ya juu na kupata vitu vya ukweli. Kuna mambo ambayo yanahitaji utafiti wa hali ya juu endapo hayajachapishwa kwenye vitabu vya wanafunzi.
Kunaye nayo makongamano ya kisayansi yanayohitaji. Wanafunzi huja na njia ambapo labda wanataka kutengeneza kitu fulani kutokana na chengine na amesahau vitu vinavyotakikana basi wangenzi na walimu hao wanaweza kufanya utafiti kuhusu huo jambo. Shule nyingine hutumia CCTV kama askari yake kwani hiyo ni iwashwe na ifanye kazi yake bila kuchoka wala kulala.
Shule za wasichana au wavulana peke yake huwa kuna mambo yanayoendelea ambayo hayaridhishi, hivyo basi washikadau wanakubaliana kuwa CCTV ina punguza au hata kuwafanya waasitende mambo hayo.
Teknolojia mechangia katika ukosefu wa nidhamu baina ya wanafunzi na walimu. Wanafunzi wengi wamezorota katika sekta ya masomo kwa sababu wanaposhika simu zao wakiwa nyumbani kwao huwa hawazitumii ipasavyo bali hukosea nidhamu zao. Wazazi wanaweza wakaongea kuhusu simu hizo na hata wale watoto hawatasikia la wazazi wao.
Teknolojia imechangia wanafunzi! na walimu kuwa wavivu wakati ifikapo wa kufikiria. Wanafunzi wengi hutegemea simu ili kutafuta mambo mengi na kufanya hesabu zao hivyo vizuri. Akili zao haziwezi kufikiria kwa kutegemea simu. | Ni athari gani imechangiwa na teknolojia miongoni mwa wanafunzi na walimu | {
"text": [
"Uvivu wa kufikiri mambo bila simu"
]
} |
3052_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya ubunifu ambao umeimarisha kazi na shughuli tofauti tofauti kama vile katika shule. Katika ubunifu huo kuna faida na madhara yake. Baadhi ya faida hizo ni kama vile inasaidia katika kufanya utafiti, kurahisisha baadhi ya masomo kama vile hisabati, kuchapisha mitihani, kutumia printa na kadhalika.
Imedhihirishwa kwamba tarakilishi inaweza kumsaidia mwalimu vile vile hata mwanafunzi. Tarakilishi hiyo inaweza kumfaidi kwa mengi kama vile kufanya utafiti kwenye mtandao na kupata la ziada. Licha ya kufanya utafiti pia anaweza kuhifadhi mambo yaliyo na umuhimu kwenye tarakilishi ili viweze kumsaidia nyakati zengine pindi anapozihitaji.
Aidha, teknolojia imerahisisha somo la hisabati. Somo hilo limerahisishwa vipi? Wanasayansi walibuni kifaa kinachoitwa kokotoo. Kikokotoo kinatumika kufanya na kupata majibu ya hisabati kwa urahisi na haraka.
Vilevile, imerahisisha walimu katika uchapishaji wa karatasi za mtihani kwa kutumia printa. Printa inaweza kuchapisha karatasi zaidi ya elfu moja kwa muda mchache sana. Hivyo basi imerahisisha kazi katika shule za sekondari.
Kizuri hakikosi ila hivyo basi teknolojia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. Baadhi ya wanafunzi hutumia simu za mkono majumbani kwao wakiashiria kuzitumia kufanya utafiti ila huzitumia visivyo. Wanafunzi hao hutumia simu hizo kuangalia picha na filamu za ngono na kuwapotosha.
Pia, imewafanya wanafunzi katika shule za sekondari kuwa wavivu, kwani hawatumii akili zao kukamilisha na kusoma hisabati. Wametegemea sana utumiaji wa kikokotoo na kueneza uvivu katika masomo hilo na kuleta madhara kwa wanafunzi.
Teknolojia imedhihirishwa kuwa na faida nyingi kuliko madhara katika shule za sekondari. Shule hizo zimeweza kuimarika kwa faida hizo chache. Athari zake ni chache na athari hizo zinaweza zikarekebishwa panaporekebishika. | Kifaa kipi hutumika katika somo la hisabati? | {
"text": [
"Kikokotoo"
]
} |
3052_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya ubunifu ambao umeimarisha kazi na shughuli tofauti tofauti kama vile katika shule. Katika ubunifu huo kuna faida na madhara yake. Baadhi ya faida hizo ni kama vile inasaidia katika kufanya utafiti, kurahisisha baadhi ya masomo kama vile hisabati, kuchapisha mitihani, kutumia printa na kadhalika.
Imedhihirishwa kwamba tarakilishi inaweza kumsaidia mwalimu vile vile hata mwanafunzi. Tarakilishi hiyo inaweza kumfaidi kwa mengi kama vile kufanya utafiti kwenye mtandao na kupata la ziada. Licha ya kufanya utafiti pia anaweza kuhifadhi mambo yaliyo na umuhimu kwenye tarakilishi ili viweze kumsaidia nyakati zengine pindi anapozihitaji.
Aidha, teknolojia imerahisisha somo la hisabati. Somo hilo limerahisishwa vipi? Wanasayansi walibuni kifaa kinachoitwa kokotoo. Kikokotoo kinatumika kufanya na kupata majibu ya hisabati kwa urahisi na haraka.
Vilevile, imerahisisha walimu katika uchapishaji wa karatasi za mtihani kwa kutumia printa. Printa inaweza kuchapisha karatasi zaidi ya elfu moja kwa muda mchache sana. Hivyo basi imerahisisha kazi katika shule za sekondari.
Kizuri hakikosi ila hivyo basi teknolojia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. Baadhi ya wanafunzi hutumia simu za mkono majumbani kwao wakiashiria kuzitumia kufanya utafiti ila huzitumia visivyo. Wanafunzi hao hutumia simu hizo kuangalia picha na filamu za ngono na kuwapotosha.
Pia, imewafanya wanafunzi katika shule za sekondari kuwa wavivu, kwani hawatumii akili zao kukamilisha na kusoma hisabati. Wametegemea sana utumiaji wa kikokotoo na kueneza uvivu katika masomo hilo na kuleta madhara kwa wanafunzi.
Teknolojia imedhihirishwa kuwa na faida nyingi kuliko madhara katika shule za sekondari. Shule hizo zimeweza kuimarika kwa faida hizo chache. Athari zake ni chache na athari hizo zinaweza zikarekebishwa panaporekebishika. | Kifaa kinachotumika kuandika nakala za kidijitali huitwaje? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3052_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya ubunifu ambao umeimarisha kazi na shughuli tofauti tofauti kama vile katika shule. Katika ubunifu huo kuna faida na madhara yake. Baadhi ya faida hizo ni kama vile inasaidia katika kufanya utafiti, kurahisisha baadhi ya masomo kama vile hisabati, kuchapisha mitihani, kutumia printa na kadhalika.
Imedhihirishwa kwamba tarakilishi inaweza kumsaidia mwalimu vile vile hata mwanafunzi. Tarakilishi hiyo inaweza kumfaidi kwa mengi kama vile kufanya utafiti kwenye mtandao na kupata la ziada. Licha ya kufanya utafiti pia anaweza kuhifadhi mambo yaliyo na umuhimu kwenye tarakilishi ili viweze kumsaidia nyakati zengine pindi anapozihitaji.
Aidha, teknolojia imerahisisha somo la hisabati. Somo hilo limerahisishwa vipi? Wanasayansi walibuni kifaa kinachoitwa kokotoo. Kikokotoo kinatumika kufanya na kupata majibu ya hisabati kwa urahisi na haraka.
Vilevile, imerahisisha walimu katika uchapishaji wa karatasi za mtihani kwa kutumia printa. Printa inaweza kuchapisha karatasi zaidi ya elfu moja kwa muda mchache sana. Hivyo basi imerahisisha kazi katika shule za sekondari.
Kizuri hakikosi ila hivyo basi teknolojia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. Baadhi ya wanafunzi hutumia simu za mkono majumbani kwao wakiashiria kuzitumia kufanya utafiti ila huzitumia visivyo. Wanafunzi hao hutumia simu hizo kuangalia picha na filamu za ngono na kuwapotosha.
Pia, imewafanya wanafunzi katika shule za sekondari kuwa wavivu, kwani hawatumii akili zao kukamilisha na kusoma hisabati. Wametegemea sana utumiaji wa kikokotoo na kueneza uvivu katika masomo hilo na kuleta madhara kwa wanafunzi.
Teknolojia imedhihirishwa kuwa na faida nyingi kuliko madhara katika shule za sekondari. Shule hizo zimeweza kuimarika kwa faida hizo chache. Athari zake ni chache na athari hizo zinaweza zikarekebishwa panaporekebishika. | Kizuri hakikosi nini? | {
"text": [
"Ila"
]
} |
3052_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya ubunifu ambao umeimarisha kazi na shughuli tofauti tofauti kama vile katika shule. Katika ubunifu huo kuna faida na madhara yake. Baadhi ya faida hizo ni kama vile inasaidia katika kufanya utafiti, kurahisisha baadhi ya masomo kama vile hisabati, kuchapisha mitihani, kutumia printa na kadhalika.
Imedhihirishwa kwamba tarakilishi inaweza kumsaidia mwalimu vile vile hata mwanafunzi. Tarakilishi hiyo inaweza kumfaidi kwa mengi kama vile kufanya utafiti kwenye mtandao na kupata la ziada. Licha ya kufanya utafiti pia anaweza kuhifadhi mambo yaliyo na umuhimu kwenye tarakilishi ili viweze kumsaidia nyakati zengine pindi anapozihitaji.
Aidha, teknolojia imerahisisha somo la hisabati. Somo hilo limerahisishwa vipi? Wanasayansi walibuni kifaa kinachoitwa kokotoo. Kikokotoo kinatumika kufanya na kupata majibu ya hisabati kwa urahisi na haraka.
Vilevile, imerahisisha walimu katika uchapishaji wa karatasi za mtihani kwa kutumia printa. Printa inaweza kuchapisha karatasi zaidi ya elfu moja kwa muda mchache sana. Hivyo basi imerahisisha kazi katika shule za sekondari.
Kizuri hakikosi ila hivyo basi teknolojia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. Baadhi ya wanafunzi hutumia simu za mkono majumbani kwao wakiashiria kuzitumia kufanya utafiti ila huzitumia visivyo. Wanafunzi hao hutumia simu hizo kuangalia picha na filamu za ngono na kuwapotosha.
Pia, imewafanya wanafunzi katika shule za sekondari kuwa wavivu, kwani hawatumii akili zao kukamilisha na kusoma hisabati. Wametegemea sana utumiaji wa kikokotoo na kueneza uvivu katika masomo hilo na kuleta madhara kwa wanafunzi.
Teknolojia imedhihirishwa kuwa na faida nyingi kuliko madhara katika shule za sekondari. Shule hizo zimeweza kuimarika kwa faida hizo chache. Athari zake ni chache na athari hizo zinaweza zikarekebishwa panaporekebishika. | Uchapishaji wa nakala za mitihani hufanywa na kifaa kipi? | {
"text": [
"Printa"
]
} |
3052_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya ubunifu ambao umeimarisha kazi na shughuli tofauti tofauti kama vile katika shule. Katika ubunifu huo kuna faida na madhara yake. Baadhi ya faida hizo ni kama vile inasaidia katika kufanya utafiti, kurahisisha baadhi ya masomo kama vile hisabati, kuchapisha mitihani, kutumia printa na kadhalika.
Imedhihirishwa kwamba tarakilishi inaweza kumsaidia mwalimu vile vile hata mwanafunzi. Tarakilishi hiyo inaweza kumfaidi kwa mengi kama vile kufanya utafiti kwenye mtandao na kupata la ziada. Licha ya kufanya utafiti pia anaweza kuhifadhi mambo yaliyo na umuhimu kwenye tarakilishi ili viweze kumsaidia nyakati zengine pindi anapozihitaji.
Aidha, teknolojia imerahisisha somo la hisabati. Somo hilo limerahisishwa vipi? Wanasayansi walibuni kifaa kinachoitwa kokotoo. Kikokotoo kinatumika kufanya na kupata majibu ya hisabati kwa urahisi na haraka.
Vilevile, imerahisisha walimu katika uchapishaji wa karatasi za mtihani kwa kutumia printa. Printa inaweza kuchapisha karatasi zaidi ya elfu moja kwa muda mchache sana. Hivyo basi imerahisisha kazi katika shule za sekondari.
Kizuri hakikosi ila hivyo basi teknolojia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. Baadhi ya wanafunzi hutumia simu za mkono majumbani kwao wakiashiria kuzitumia kufanya utafiti ila huzitumia visivyo. Wanafunzi hao hutumia simu hizo kuangalia picha na filamu za ngono na kuwapotosha.
Pia, imewafanya wanafunzi katika shule za sekondari kuwa wavivu, kwani hawatumii akili zao kukamilisha na kusoma hisabati. Wametegemea sana utumiaji wa kikokotoo na kueneza uvivu katika masomo hilo na kuleta madhara kwa wanafunzi.
Teknolojia imedhihirishwa kuwa na faida nyingi kuliko madhara katika shule za sekondari. Shule hizo zimeweza kuimarika kwa faida hizo chache. Athari zake ni chache na athari hizo zinaweza zikarekebishwa panaporekebishika. | Teknolojia imewasaidia walimu kufanya nini? | {
"text": [
"Utafiti wa lugha ya Kiswahili"
]
} |
3054_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika matumizi ya teknolojia imeweza kuwanufaisha wanafunzi katika kuendeleza
masomo vyema hasa katika shule za upili. Wanafunzi hawa wanaweza kudurusu kutumia rununu ambapo hupata maswali mbalimbali kutoka kwa shule zingine tofauti tofauti na kuyapitia na kukuza kiwango chao cha elimu.
Isitoshe, wanafunzi wanaweza kutumia televisheni katika kuendeleza masomo yao. Wanatumia televisheni kutazama vipindi vya masomo fulani kutoka kwa wanafunzi na walimu wa shule tofauti. Hili huwasaidia sana wanafunzi kuyatambua mambo ambayo walimu wao hawakuwa wamewafundisha na pia kuyaeleza zaidi maswala ambayo walikuwa wamesha ya pitia na walimu wao shuleni kwao.
Licha ya hayo, wanafunzi wanatumia mtandao wa kisasa katika kudurusu masomo yao. Walimu kutoka shule tofauti tofauti hukusanya maswali ya masomo mbalimbali na kuyatuma kwenye mitandao hiyo nao wanafunzi huweza kuyapitia maswali hayo kwa wakati wowote na hili huchangia matokeo bora ya wanafunzi hawa.
Wanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi katika kudurusu masomo yao. Huweza kupata maswali mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti kama maudhui mbalimbali na kufunza mengi kupitia kifaa hicho. Pia huweza kuyatambua mambo ambayo hawakuwa wamefunzwa na walimu wa shuleni.
Wanafunzi pia huweza kutumia kipakatalishi katika kuendeleza masomo yao. Huweza kusoma mambo mbalimbali kwa wakati wowote kwa sababu haweza kukibeba kifaa hiki popote waendapo na kuwapunguzia wanafunzi kazi ya kuandika kwa kuweza kuhifadhi kazi yao katika chombo hiki.
Licha ya kuwa simu inaweza kuwaendeleza wanafunzi kimasomo pia ina madhara yake ambapo wanafunzi wengine hujifanya wanasoma na kuwafurahisha walimu bali huwa ni kinaya. Hutumia simu kuwasiliana na marafiki wao hadi usiku wa manane. Pia huweza kutazama na kusikiliza nyimbo za wasanii wa kisasa ambazo mara nyingi huwa hazina mafunzo. Wanafunzi wanatumia televisheni vibaya badala ya kutumia kutazama vipindi vya elimu na vyenye mafunzo. Wanafunzi hawa hutumia hii televisheni kutazama picha za matusi ambazo huishia kuwapotosha badala ya kuwajenga kimasomo. Hupoteza yao mema na kuiga mambo wanayoyatazama katika vipindi hivyo.
Wanafunzi pia hutumia kipakatalishi kwa mambo yasiyo ya kimsingi na kuyasahau masomo yao na kuiga mifano wanayoitazama katika chombo hiki. | Wanafunzi wameweza kudurusu kupitia nini | {
"text": [
"kutumia rununu"
]
} |
3054_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika matumizi ya teknolojia imeweza kuwanufaisha wanafunzi katika kuendeleza
masomo vyema hasa katika shule za upili. Wanafunzi hawa wanaweza kudurusu kutumia rununu ambapo hupata maswali mbalimbali kutoka kwa shule zingine tofauti tofauti na kuyapitia na kukuza kiwango chao cha elimu.
Isitoshe, wanafunzi wanaweza kutumia televisheni katika kuendeleza masomo yao. Wanatumia televisheni kutazama vipindi vya masomo fulani kutoka kwa wanafunzi na walimu wa shule tofauti. Hili huwasaidia sana wanafunzi kuyatambua mambo ambayo walimu wao hawakuwa wamewafundisha na pia kuyaeleza zaidi maswala ambayo walikuwa wamesha ya pitia na walimu wao shuleni kwao.
Licha ya hayo, wanafunzi wanatumia mtandao wa kisasa katika kudurusu masomo yao. Walimu kutoka shule tofauti tofauti hukusanya maswali ya masomo mbalimbali na kuyatuma kwenye mitandao hiyo nao wanafunzi huweza kuyapitia maswali hayo kwa wakati wowote na hili huchangia matokeo bora ya wanafunzi hawa.
Wanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi katika kudurusu masomo yao. Huweza kupata maswali mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti kama maudhui mbalimbali na kufunza mengi kupitia kifaa hicho. Pia huweza kuyatambua mambo ambayo hawakuwa wamefunzwa na walimu wa shuleni.
Wanafunzi pia huweza kutumia kipakatalishi katika kuendeleza masomo yao. Huweza kusoma mambo mbalimbali kwa wakati wowote kwa sababu haweza kukibeba kifaa hiki popote waendapo na kuwapunguzia wanafunzi kazi ya kuandika kwa kuweza kuhifadhi kazi yao katika chombo hiki.
Licha ya kuwa simu inaweza kuwaendeleza wanafunzi kimasomo pia ina madhara yake ambapo wanafunzi wengine hujifanya wanasoma na kuwafurahisha walimu bali huwa ni kinaya. Hutumia simu kuwasiliana na marafiki wao hadi usiku wa manane. Pia huweza kutazama na kusikiliza nyimbo za wasanii wa kisasa ambazo mara nyingi huwa hazina mafunzo. Wanafunzi wanatumia televisheni vibaya badala ya kutumia kutazama vipindi vya elimu na vyenye mafunzo. Wanafunzi hawa hutumia hii televisheni kutazama picha za matusi ambazo huishia kuwapotosha badala ya kuwajenga kimasomo. Hupoteza yao mema na kuiga mambo wanayoyatazama katika vipindi hivyo.
Wanafunzi pia hutumia kipakatalishi kwa mambo yasiyo ya kimsingi na kuyasahau masomo yao na kuiga mifano wanayoitazama katika chombo hiki. | Wanafunzi wanaweza kutumia nini kuendeleza masomo yao | {
"text": [
"Televisheni"
]
} |
3054_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika matumizi ya teknolojia imeweza kuwanufaisha wanafunzi katika kuendeleza
masomo vyema hasa katika shule za upili. Wanafunzi hawa wanaweza kudurusu kutumia rununu ambapo hupata maswali mbalimbali kutoka kwa shule zingine tofauti tofauti na kuyapitia na kukuza kiwango chao cha elimu.
Isitoshe, wanafunzi wanaweza kutumia televisheni katika kuendeleza masomo yao. Wanatumia televisheni kutazama vipindi vya masomo fulani kutoka kwa wanafunzi na walimu wa shule tofauti. Hili huwasaidia sana wanafunzi kuyatambua mambo ambayo walimu wao hawakuwa wamewafundisha na pia kuyaeleza zaidi maswala ambayo walikuwa wamesha ya pitia na walimu wao shuleni kwao.
Licha ya hayo, wanafunzi wanatumia mtandao wa kisasa katika kudurusu masomo yao. Walimu kutoka shule tofauti tofauti hukusanya maswali ya masomo mbalimbali na kuyatuma kwenye mitandao hiyo nao wanafunzi huweza kuyapitia maswali hayo kwa wakati wowote na hili huchangia matokeo bora ya wanafunzi hawa.
Wanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi katika kudurusu masomo yao. Huweza kupata maswali mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti kama maudhui mbalimbali na kufunza mengi kupitia kifaa hicho. Pia huweza kuyatambua mambo ambayo hawakuwa wamefunzwa na walimu wa shuleni.
Wanafunzi pia huweza kutumia kipakatalishi katika kuendeleza masomo yao. Huweza kusoma mambo mbalimbali kwa wakati wowote kwa sababu haweza kukibeba kifaa hiki popote waendapo na kuwapunguzia wanafunzi kazi ya kuandika kwa kuweza kuhifadhi kazi yao katika chombo hiki.
Licha ya kuwa simu inaweza kuwaendeleza wanafunzi kimasomo pia ina madhara yake ambapo wanafunzi wengine hujifanya wanasoma na kuwafurahisha walimu bali huwa ni kinaya. Hutumia simu kuwasiliana na marafiki wao hadi usiku wa manane. Pia huweza kutazama na kusikiliza nyimbo za wasanii wa kisasa ambazo mara nyingi huwa hazina mafunzo. Wanafunzi wanatumia televisheni vibaya badala ya kutumia kutazama vipindi vya elimu na vyenye mafunzo. Wanafunzi hawa hutumia hii televisheni kutazama picha za matusi ambazo huishia kuwapotosha badala ya kuwajenga kimasomo. Hupoteza yao mema na kuiga mambo wanayoyatazama katika vipindi hivyo.
Wanafunzi pia hutumia kipakatalishi kwa mambo yasiyo ya kimsingi na kuyasahau masomo yao na kuiga mifano wanayoitazama katika chombo hiki. | kifaa gani mwanafunzi anaweza tembea nacho popote na kuhifadhia kazi | {
"text": [
"kipakatalishi"
]
} |
3054_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika matumizi ya teknolojia imeweza kuwanufaisha wanafunzi katika kuendeleza
masomo vyema hasa katika shule za upili. Wanafunzi hawa wanaweza kudurusu kutumia rununu ambapo hupata maswali mbalimbali kutoka kwa shule zingine tofauti tofauti na kuyapitia na kukuza kiwango chao cha elimu.
Isitoshe, wanafunzi wanaweza kutumia televisheni katika kuendeleza masomo yao. Wanatumia televisheni kutazama vipindi vya masomo fulani kutoka kwa wanafunzi na walimu wa shule tofauti. Hili huwasaidia sana wanafunzi kuyatambua mambo ambayo walimu wao hawakuwa wamewafundisha na pia kuyaeleza zaidi maswala ambayo walikuwa wamesha ya pitia na walimu wao shuleni kwao.
Licha ya hayo, wanafunzi wanatumia mtandao wa kisasa katika kudurusu masomo yao. Walimu kutoka shule tofauti tofauti hukusanya maswali ya masomo mbalimbali na kuyatuma kwenye mitandao hiyo nao wanafunzi huweza kuyapitia maswali hayo kwa wakati wowote na hili huchangia matokeo bora ya wanafunzi hawa.
Wanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi katika kudurusu masomo yao. Huweza kupata maswali mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti kama maudhui mbalimbali na kufunza mengi kupitia kifaa hicho. Pia huweza kuyatambua mambo ambayo hawakuwa wamefunzwa na walimu wa shuleni.
Wanafunzi pia huweza kutumia kipakatalishi katika kuendeleza masomo yao. Huweza kusoma mambo mbalimbali kwa wakati wowote kwa sababu haweza kukibeba kifaa hiki popote waendapo na kuwapunguzia wanafunzi kazi ya kuandika kwa kuweza kuhifadhi kazi yao katika chombo hiki.
Licha ya kuwa simu inaweza kuwaendeleza wanafunzi kimasomo pia ina madhara yake ambapo wanafunzi wengine hujifanya wanasoma na kuwafurahisha walimu bali huwa ni kinaya. Hutumia simu kuwasiliana na marafiki wao hadi usiku wa manane. Pia huweza kutazama na kusikiliza nyimbo za wasanii wa kisasa ambazo mara nyingi huwa hazina mafunzo. Wanafunzi wanatumia televisheni vibaya badala ya kutumia kutazama vipindi vya elimu na vyenye mafunzo. Wanafunzi hawa hutumia hii televisheni kutazama picha za matusi ambazo huishia kuwapotosha badala ya kuwajenga kimasomo. Hupoteza yao mema na kuiga mambo wanayoyatazama katika vipindi hivyo.
Wanafunzi pia hutumia kipakatalishi kwa mambo yasiyo ya kimsingi na kuyasahau masomo yao na kuiga mifano wanayoitazama katika chombo hiki. | Ni lini wanafunzi wengine hujifanya wanasoma na kuwafurahisha waalimu | {
"text": [
"wanapotumia simu kuwasiliana"
]
} |
3054_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika matumizi ya teknolojia imeweza kuwanufaisha wanafunzi katika kuendeleza
masomo vyema hasa katika shule za upili. Wanafunzi hawa wanaweza kudurusu kutumia rununu ambapo hupata maswali mbalimbali kutoka kwa shule zingine tofauti tofauti na kuyapitia na kukuza kiwango chao cha elimu.
Isitoshe, wanafunzi wanaweza kutumia televisheni katika kuendeleza masomo yao. Wanatumia televisheni kutazama vipindi vya masomo fulani kutoka kwa wanafunzi na walimu wa shule tofauti. Hili huwasaidia sana wanafunzi kuyatambua mambo ambayo walimu wao hawakuwa wamewafundisha na pia kuyaeleza zaidi maswala ambayo walikuwa wamesha ya pitia na walimu wao shuleni kwao.
Licha ya hayo, wanafunzi wanatumia mtandao wa kisasa katika kudurusu masomo yao. Walimu kutoka shule tofauti tofauti hukusanya maswali ya masomo mbalimbali na kuyatuma kwenye mitandao hiyo nao wanafunzi huweza kuyapitia maswali hayo kwa wakati wowote na hili huchangia matokeo bora ya wanafunzi hawa.
Wanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi katika kudurusu masomo yao. Huweza kupata maswali mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti kama maudhui mbalimbali na kufunza mengi kupitia kifaa hicho. Pia huweza kuyatambua mambo ambayo hawakuwa wamefunzwa na walimu wa shuleni.
Wanafunzi pia huweza kutumia kipakatalishi katika kuendeleza masomo yao. Huweza kusoma mambo mbalimbali kwa wakati wowote kwa sababu haweza kukibeba kifaa hiki popote waendapo na kuwapunguzia wanafunzi kazi ya kuandika kwa kuweza kuhifadhi kazi yao katika chombo hiki.
Licha ya kuwa simu inaweza kuwaendeleza wanafunzi kimasomo pia ina madhara yake ambapo wanafunzi wengine hujifanya wanasoma na kuwafurahisha walimu bali huwa ni kinaya. Hutumia simu kuwasiliana na marafiki wao hadi usiku wa manane. Pia huweza kutazama na kusikiliza nyimbo za wasanii wa kisasa ambazo mara nyingi huwa hazina mafunzo. Wanafunzi wanatumia televisheni vibaya badala ya kutumia kutazama vipindi vya elimu na vyenye mafunzo. Wanafunzi hawa hutumia hii televisheni kutazama picha za matusi ambazo huishia kuwapotosha badala ya kuwajenga kimasomo. Hupoteza yao mema na kuiga mambo wanayoyatazama katika vipindi hivyo.
Wanafunzi pia hutumia kipakatalishi kwa mambo yasiyo ya kimsingi na kuyasahau masomo yao na kuiga mifano wanayoitazama katika chombo hiki. | Wanafunzi wanatumia televisheni vibaya aje | {
"text": [
"wanaitumia kutazama picha za matusi ambazo huishia kuwapoteza"
]
} |
3055_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo.
Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana.
Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine.
Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki.
Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo:
Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi saa hii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali.
Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi.
Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea.
Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
| Ni nini husaidia kufanya utafiti | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3055_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo.
Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana.
Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine.
Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki.
Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo:
Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi saa hii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali.
Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi.
Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea.
Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
| Tekinolojia imerahisisha nini kwa wanafunzi | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
3055_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo.
Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana.
Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine.
Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki.
Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo:
Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi saa hii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali.
Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi.
Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea.
Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
| Tekinolojia imerahisisha uhifadhi wa nini | {
"text": [
"Data"
]
} |
3055_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo.
Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana.
Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine.
Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki.
Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo:
Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi saa hii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali.
Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi.
Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea.
Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
| Tekinolojia imesababisha wanafunzi kufanya nini | {
"text": [
"Kuzembea"
]
} |
3055_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo.
Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana.
Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine.
Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki.
Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo:
Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi saa hii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali.
Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi.
Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea.
Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
| Ni vipi tekinolojia imesababisha utovu wa nidhamu | {
"text": [
"Wanafunzi wanaangalia video za uchi"
]
} |
3057_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya sayansi katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Vile vile teknolojia imeleta vitu viwili katika shule za sekondari na ni faida na madhara. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama zifuatazo;
Faida ya kwanza, teknolojia katika shule za sekondari imerahisisha kazi ya kuchapisha mitihani. Katika kuchapishwa kutolewa kwa mitihani, walimu wanapata afueni kwa kutumia nguvu zao nyingi na muda wao kwa kuchapisha mitihani licha ya sasa, ambapo tarakilishi imeleta urahisi wa mambo kwao.
Faida ya pili, teknolojia imechanga pakubwa kwa kilimo na wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamejihusisha na kilimo. Shule nyingi huwa na somo la Kilimo ambapo ni jitihada za walimu kwa wanafunzi watoe mazao bora. Kwa teknolojia imerahisisha mambo kwa kuleta vifaa vinavyotumia nguvu za umeme. Vilevile dawa za kunyunyuzia mimea ni za minerali ambazo hufanya mimea kunawiri vizuri licha ya wao kujitumikisha.
Faida ya tatu, teknolojia imerahisisha mawasiliano katika shule za sekondari. Kwa mfano, mwanafunzi huweza kumbwa na jambo ambalo walimu wasiwe na uwezo wa kumsaidia. Kwa sababu teknolojia imezimbua rununu basi huwapigia wazazi wao au hata ambulensi na kuokolewa katika hatari walizokuwanazo.
Vile vile teknolojia imechangia pabaya au imeleta madhara katika shule za sekondari kama vile vifo vingi vya wanafunzi na hata wafanyakazi wa shuleni. Wanafunzi wengi hujihusisha na vyombo vya umeme ambapo wengi wao hukosa umakini na kugusa vifaa hivyo au soketi kwa mikono yao ambapo wakati mwingine huwa na maji. Utokea kuwashoti na zimewauwa wanafunzi au hata wengine huwa hali maututi hospitalini. | Kazi ya kuchapisha mitihani inafanywa na nini | {
"text": [
"tarakilishi"
]
} |
3057_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya sayansi katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Vile vile teknolojia imeleta vitu viwili katika shule za sekondari na ni faida na madhara. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama zifuatazo;
Faida ya kwanza, teknolojia katika shule za sekondari imerahisisha kazi ya kuchapisha mitihani. Katika kuchapishwa kutolewa kwa mitihani, walimu wanapata afueni kwa kutumia nguvu zao nyingi na muda wao kwa kuchapisha mitihani licha ya sasa, ambapo tarakilishi imeleta urahisi wa mambo kwao.
Faida ya pili, teknolojia imechanga pakubwa kwa kilimo na wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamejihusisha na kilimo. Shule nyingi huwa na somo la Kilimo ambapo ni jitihada za walimu kwa wanafunzi watoe mazao bora. Kwa teknolojia imerahisisha mambo kwa kuleta vifaa vinavyotumia nguvu za umeme. Vilevile dawa za kunyunyuzia mimea ni za minerali ambazo hufanya mimea kunawiri vizuri licha ya wao kujitumikisha.
Faida ya tatu, teknolojia imerahisisha mawasiliano katika shule za sekondari. Kwa mfano, mwanafunzi huweza kumbwa na jambo ambalo walimu wasiwe na uwezo wa kumsaidia. Kwa sababu teknolojia imezimbua rununu basi huwapigia wazazi wao au hata ambulensi na kuokolewa katika hatari walizokuwanazo.
Vile vile teknolojia imechangia pabaya au imeleta madhara katika shule za sekondari kama vile vifo vingi vya wanafunzi na hata wafanyakazi wa shuleni. Wanafunzi wengi hujihusisha na vyombo vya umeme ambapo wengi wao hukosa umakini na kugusa vifaa hivyo au soketi kwa mikono yao ambapo wakati mwingine huwa na maji. Utokea kuwashoti na zimewauwa wanafunzi au hata wengine huwa hali maututi hospitalini. | Nini hufanya mimea kunawiri vizuri | {
"text": [
"dawa za kunyunyizia"
]
} |
3057_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya sayansi katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Vile vile teknolojia imeleta vitu viwili katika shule za sekondari na ni faida na madhara. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama zifuatazo;
Faida ya kwanza, teknolojia katika shule za sekondari imerahisisha kazi ya kuchapisha mitihani. Katika kuchapishwa kutolewa kwa mitihani, walimu wanapata afueni kwa kutumia nguvu zao nyingi na muda wao kwa kuchapisha mitihani licha ya sasa, ambapo tarakilishi imeleta urahisi wa mambo kwao.
Faida ya pili, teknolojia imechanga pakubwa kwa kilimo na wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamejihusisha na kilimo. Shule nyingi huwa na somo la Kilimo ambapo ni jitihada za walimu kwa wanafunzi watoe mazao bora. Kwa teknolojia imerahisisha mambo kwa kuleta vifaa vinavyotumia nguvu za umeme. Vilevile dawa za kunyunyuzia mimea ni za minerali ambazo hufanya mimea kunawiri vizuri licha ya wao kujitumikisha.
Faida ya tatu, teknolojia imerahisisha mawasiliano katika shule za sekondari. Kwa mfano, mwanafunzi huweza kumbwa na jambo ambalo walimu wasiwe na uwezo wa kumsaidia. Kwa sababu teknolojia imezimbua rununu basi huwapigia wazazi wao au hata ambulensi na kuokolewa katika hatari walizokuwanazo.
Vile vile teknolojia imechangia pabaya au imeleta madhara katika shule za sekondari kama vile vifo vingi vya wanafunzi na hata wafanyakazi wa shuleni. Wanafunzi wengi hujihusisha na vyombo vya umeme ambapo wengi wao hukosa umakini na kugusa vifaa hivyo au soketi kwa mikono yao ambapo wakati mwingine huwa na maji. Utokea kuwashoti na zimewauwa wanafunzi au hata wengine huwa hali maututi hospitalini. | Mwanafunzi akiwa na jambo anaweza wasiliana na mzazi kupitia nini | {
"text": [
"rununu"
]
} |
3057_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya sayansi katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Vile vile teknolojia imeleta vitu viwili katika shule za sekondari na ni faida na madhara. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama zifuatazo;
Faida ya kwanza, teknolojia katika shule za sekondari imerahisisha kazi ya kuchapisha mitihani. Katika kuchapishwa kutolewa kwa mitihani, walimu wanapata afueni kwa kutumia nguvu zao nyingi na muda wao kwa kuchapisha mitihani licha ya sasa, ambapo tarakilishi imeleta urahisi wa mambo kwao.
Faida ya pili, teknolojia imechanga pakubwa kwa kilimo na wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamejihusisha na kilimo. Shule nyingi huwa na somo la Kilimo ambapo ni jitihada za walimu kwa wanafunzi watoe mazao bora. Kwa teknolojia imerahisisha mambo kwa kuleta vifaa vinavyotumia nguvu za umeme. Vilevile dawa za kunyunyuzia mimea ni za minerali ambazo hufanya mimea kunawiri vizuri licha ya wao kujitumikisha.
Faida ya tatu, teknolojia imerahisisha mawasiliano katika shule za sekondari. Kwa mfano, mwanafunzi huweza kumbwa na jambo ambalo walimu wasiwe na uwezo wa kumsaidia. Kwa sababu teknolojia imezimbua rununu basi huwapigia wazazi wao au hata ambulensi na kuokolewa katika hatari walizokuwanazo.
Vile vile teknolojia imechangia pabaya au imeleta madhara katika shule za sekondari kama vile vifo vingi vya wanafunzi na hata wafanyakazi wa shuleni. Wanafunzi wengi hujihusisha na vyombo vya umeme ambapo wengi wao hukosa umakini na kugusa vifaa hivyo au soketi kwa mikono yao ambapo wakati mwingine huwa na maji. Utokea kuwashoti na zimewauwa wanafunzi au hata wengine huwa hali maututi hospitalini. | Tarakilishi hutumika shuleni lini | {
"text": [
"mitihani inapotolewa"
]
} |
3057_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya sayansi katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Vile vile teknolojia imeleta vitu viwili katika shule za sekondari na ni faida na madhara. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama zifuatazo;
Faida ya kwanza, teknolojia katika shule za sekondari imerahisisha kazi ya kuchapisha mitihani. Katika kuchapishwa kutolewa kwa mitihani, walimu wanapata afueni kwa kutumia nguvu zao nyingi na muda wao kwa kuchapisha mitihani licha ya sasa, ambapo tarakilishi imeleta urahisi wa mambo kwao.
Faida ya pili, teknolojia imechanga pakubwa kwa kilimo na wanafunzi wengi katika shule za sekondari wamejihusisha na kilimo. Shule nyingi huwa na somo la Kilimo ambapo ni jitihada za walimu kwa wanafunzi watoe mazao bora. Kwa teknolojia imerahisisha mambo kwa kuleta vifaa vinavyotumia nguvu za umeme. Vilevile dawa za kunyunyuzia mimea ni za minerali ambazo hufanya mimea kunawiri vizuri licha ya wao kujitumikisha.
Faida ya tatu, teknolojia imerahisisha mawasiliano katika shule za sekondari. Kwa mfano, mwanafunzi huweza kumbwa na jambo ambalo walimu wasiwe na uwezo wa kumsaidia. Kwa sababu teknolojia imezimbua rununu basi huwapigia wazazi wao au hata ambulensi na kuokolewa katika hatari walizokuwanazo.
Vile vile teknolojia imechangia pabaya au imeleta madhara katika shule za sekondari kama vile vifo vingi vya wanafunzi na hata wafanyakazi wa shuleni. Wanafunzi wengi hujihusisha na vyombo vya umeme ambapo wengi wao hukosa umakini na kugusa vifaa hivyo au soketi kwa mikono yao ambapo wakati mwingine huwa na maji. Utokea kuwashoti na zimewauwa wanafunzi au hata wengine huwa hali maututi hospitalini. | Teknolojia imerahisisha mawasiliano katika shule kivipi | {
"text": [
"kupitia rununu mwanafunzi anaweza wasiliana na mzazi kwa urahisi"
]
} |
3058_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni umaarufu wa kisayansi hususan katika matumizi ya vitu mbalimbali. Baadhi ya shule nyingi nchini Kenya zimetumia mkondo mpya wa kisayansi katika kuendeleza
shughuli zao za masomo, hosahosa shule za sekondari.Teknolojia imeweza kurahisisha masomo ya sekondari katika njia tofauti tofauti.
Mojawapo ya faida ambayo teknolojia imeleta katika shule za sekondari ni utumiaji wa kompyuta shuleni. Naam wanafunzi huweza kudurusu kutumia kompyuta zao ambapo hufanya utafiti zaidi kuhusiana na somo fulani hivyo basi kuelewa vizuri katika masomo yake kwani majibu ya maswali hupata kwa urahisi.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa imeweza kuendeleza masomo kutumia njia ya intaneti. Katika kipindi cha likizo wanafunzi huendelea na silabasi yao. Hapo walimu hufundisha wanafunzi kama kawaida kutumia njia ya intaneti.
Vile vile teknolojia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi. Walimu huhifadhi data muhimu katika masomo tarakilishi. Hivyo huwezesha kufundisha wanafunzi pasipo na vigezo vyovyote. Hata hivyo wanafunzi nao wamekabidhiwa vifaa hivyo katika utumiaji wao wenyewe ambapo huendeleza shughuli zao za masomo kwa urahisi.
Licha ya hayo, baadhi ya shule za sekondari zimeweza kutumia televisheni. Hali hii huburudisha wanafunzi na hutuliza akili zao kwani hufikiria zaidi. Pia wanafunzi kwa walimu hasa katika shule za bweni huona matukio mbalimbali yanayotokea nchini hivyo basi huelimika kutokana na mengi.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho kasoro kwani kuna madhara mbalimbali yanayotokana na teknolojia. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi huwa wazembe mno hivyo basi kutegemea kompyuta katika masomo. Mwanafunzi hawezi kufikiria zaidi kuhusiana na suala fulani ili kutoa jibu mwafaka.
Pindi wanafunzi wanapokuwa likizoni ni wachache mno wanao saidika masomoni kupitia intaneti. Hii inatokana katika hali tofauti za maisha kwani vidole vya mwanadamu havíko sawa. Wengi wao wasiomudu huzoroteka katika masomo na huenda wasiyaangazie masomo kwa kiwango mwafaka.
Nikitamatisha, televisheni hupoteza muda mwingi kwani wanafunzi ambapo wangetumia muda huo kudurusu. Hata hivyo wanafunzi hao hao wanaweza kujihusisha na tabia chafu kutokana na filamu mbali mbali zitazamwazo.
Mbali na madhara hayo teknolojia, imeweza kuinua kiwango cha elimu kwa asilimia kikubwa kupelekea masomo urahisi. | Faida iliyoletwa na teknolojia katika shule ya sekondari ni ipi | {
"text": [
"Utumiaji wa kompyuta kwa kudurusu na kufanya utafiti"
]
} |
3058_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni umaarufu wa kisayansi hususan katika matumizi ya vitu mbalimbali. Baadhi ya shule nyingi nchini Kenya zimetumia mkondo mpya wa kisayansi katika kuendeleza
shughuli zao za masomo, hosahosa shule za sekondari.Teknolojia imeweza kurahisisha masomo ya sekondari katika njia tofauti tofauti.
Mojawapo ya faida ambayo teknolojia imeleta katika shule za sekondari ni utumiaji wa kompyuta shuleni. Naam wanafunzi huweza kudurusu kutumia kompyuta zao ambapo hufanya utafiti zaidi kuhusiana na somo fulani hivyo basi kuelewa vizuri katika masomo yake kwani majibu ya maswali hupata kwa urahisi.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa imeweza kuendeleza masomo kutumia njia ya intaneti. Katika kipindi cha likizo wanafunzi huendelea na silabasi yao. Hapo walimu hufundisha wanafunzi kama kawaida kutumia njia ya intaneti.
Vile vile teknolojia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi. Walimu huhifadhi data muhimu katika masomo tarakilishi. Hivyo huwezesha kufundisha wanafunzi pasipo na vigezo vyovyote. Hata hivyo wanafunzi nao wamekabidhiwa vifaa hivyo katika utumiaji wao wenyewe ambapo huendeleza shughuli zao za masomo kwa urahisi.
Licha ya hayo, baadhi ya shule za sekondari zimeweza kutumia televisheni. Hali hii huburudisha wanafunzi na hutuliza akili zao kwani hufikiria zaidi. Pia wanafunzi kwa walimu hasa katika shule za bweni huona matukio mbalimbali yanayotokea nchini hivyo basi huelimika kutokana na mengi.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho kasoro kwani kuna madhara mbalimbali yanayotokana na teknolojia. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi huwa wazembe mno hivyo basi kutegemea kompyuta katika masomo. Mwanafunzi hawezi kufikiria zaidi kuhusiana na suala fulani ili kutoa jibu mwafaka.
Pindi wanafunzi wanapokuwa likizoni ni wachache mno wanao saidika masomoni kupitia intaneti. Hii inatokana katika hali tofauti za maisha kwani vidole vya mwanadamu havíko sawa. Wengi wao wasiomudu huzoroteka katika masomo na huenda wasiyaangazie masomo kwa kiwango mwafaka.
Nikitamatisha, televisheni hupoteza muda mwingi kwani wanafunzi ambapo wangetumia muda huo kudurusu. Hata hivyo wanafunzi hao hao wanaweza kujihusisha na tabia chafu kutokana na filamu mbali mbali zitazamwazo.
Mbali na madhara hayo teknolojia, imeweza kuinua kiwango cha elimu kwa asilimia kikubwa kupelekea masomo urahisi. | Teknolojia imechangia uvumbuzi wa chombo kipi | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3058_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni umaarufu wa kisayansi hususan katika matumizi ya vitu mbalimbali. Baadhi ya shule nyingi nchini Kenya zimetumia mkondo mpya wa kisayansi katika kuendeleza
shughuli zao za masomo, hosahosa shule za sekondari.Teknolojia imeweza kurahisisha masomo ya sekondari katika njia tofauti tofauti.
Mojawapo ya faida ambayo teknolojia imeleta katika shule za sekondari ni utumiaji wa kompyuta shuleni. Naam wanafunzi huweza kudurusu kutumia kompyuta zao ambapo hufanya utafiti zaidi kuhusiana na somo fulani hivyo basi kuelewa vizuri katika masomo yake kwani majibu ya maswali hupata kwa urahisi.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa imeweza kuendeleza masomo kutumia njia ya intaneti. Katika kipindi cha likizo wanafunzi huendelea na silabasi yao. Hapo walimu hufundisha wanafunzi kama kawaida kutumia njia ya intaneti.
Vile vile teknolojia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi. Walimu huhifadhi data muhimu katika masomo tarakilishi. Hivyo huwezesha kufundisha wanafunzi pasipo na vigezo vyovyote. Hata hivyo wanafunzi nao wamekabidhiwa vifaa hivyo katika utumiaji wao wenyewe ambapo huendeleza shughuli zao za masomo kwa urahisi.
Licha ya hayo, baadhi ya shule za sekondari zimeweza kutumia televisheni. Hali hii huburudisha wanafunzi na hutuliza akili zao kwani hufikiria zaidi. Pia wanafunzi kwa walimu hasa katika shule za bweni huona matukio mbalimbali yanayotokea nchini hivyo basi huelimika kutokana na mengi.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho kasoro kwani kuna madhara mbalimbali yanayotokana na teknolojia. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi huwa wazembe mno hivyo basi kutegemea kompyuta katika masomo. Mwanafunzi hawezi kufikiria zaidi kuhusiana na suala fulani ili kutoa jibu mwafaka.
Pindi wanafunzi wanapokuwa likizoni ni wachache mno wanao saidika masomoni kupitia intaneti. Hii inatokana katika hali tofauti za maisha kwani vidole vya mwanadamu havíko sawa. Wengi wao wasiomudu huzoroteka katika masomo na huenda wasiyaangazie masomo kwa kiwango mwafaka.
Nikitamatisha, televisheni hupoteza muda mwingi kwani wanafunzi ambapo wangetumia muda huo kudurusu. Hata hivyo wanafunzi hao hao wanaweza kujihusisha na tabia chafu kutokana na filamu mbali mbali zitazamwazo.
Mbali na madhara hayo teknolojia, imeweza kuinua kiwango cha elimu kwa asilimia kikubwa kupelekea masomo urahisi. | Ni chombo kipi hutumika kutuliza akili za wanafunzi shuleni kwa njia kuburudika | {
"text": [
"Televisheni"
]
} |
3058_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni umaarufu wa kisayansi hususan katika matumizi ya vitu mbalimbali. Baadhi ya shule nyingi nchini Kenya zimetumia mkondo mpya wa kisayansi katika kuendeleza
shughuli zao za masomo, hosahosa shule za sekondari.Teknolojia imeweza kurahisisha masomo ya sekondari katika njia tofauti tofauti.
Mojawapo ya faida ambayo teknolojia imeleta katika shule za sekondari ni utumiaji wa kompyuta shuleni. Naam wanafunzi huweza kudurusu kutumia kompyuta zao ambapo hufanya utafiti zaidi kuhusiana na somo fulani hivyo basi kuelewa vizuri katika masomo yake kwani majibu ya maswali hupata kwa urahisi.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa imeweza kuendeleza masomo kutumia njia ya intaneti. Katika kipindi cha likizo wanafunzi huendelea na silabasi yao. Hapo walimu hufundisha wanafunzi kama kawaida kutumia njia ya intaneti.
Vile vile teknolojia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi. Walimu huhifadhi data muhimu katika masomo tarakilishi. Hivyo huwezesha kufundisha wanafunzi pasipo na vigezo vyovyote. Hata hivyo wanafunzi nao wamekabidhiwa vifaa hivyo katika utumiaji wao wenyewe ambapo huendeleza shughuli zao za masomo kwa urahisi.
Licha ya hayo, baadhi ya shule za sekondari zimeweza kutumia televisheni. Hali hii huburudisha wanafunzi na hutuliza akili zao kwani hufikiria zaidi. Pia wanafunzi kwa walimu hasa katika shule za bweni huona matukio mbalimbali yanayotokea nchini hivyo basi huelimika kutokana na mengi.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho kasoro kwani kuna madhara mbalimbali yanayotokana na teknolojia. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi huwa wazembe mno hivyo basi kutegemea kompyuta katika masomo. Mwanafunzi hawezi kufikiria zaidi kuhusiana na suala fulani ili kutoa jibu mwafaka.
Pindi wanafunzi wanapokuwa likizoni ni wachache mno wanao saidika masomoni kupitia intaneti. Hii inatokana katika hali tofauti za maisha kwani vidole vya mwanadamu havíko sawa. Wengi wao wasiomudu huzoroteka katika masomo na huenda wasiyaangazie masomo kwa kiwango mwafaka.
Nikitamatisha, televisheni hupoteza muda mwingi kwani wanafunzi ambapo wangetumia muda huo kudurusu. Hata hivyo wanafunzi hao hao wanaweza kujihusisha na tabia chafu kutokana na filamu mbali mbali zitazamwazo.
Mbali na madhara hayo teknolojia, imeweza kuinua kiwango cha elimu kwa asilimia kikubwa kupelekea masomo urahisi. | Teknolojia imeleta madhara gani kwa wanafunzi | {
"text": [
"Imewafanya kuwa wazembe mno"
]
} |
3058_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni umaarufu wa kisayansi hususan katika matumizi ya vitu mbalimbali. Baadhi ya shule nyingi nchini Kenya zimetumia mkondo mpya wa kisayansi katika kuendeleza
shughuli zao za masomo, hosahosa shule za sekondari.Teknolojia imeweza kurahisisha masomo ya sekondari katika njia tofauti tofauti.
Mojawapo ya faida ambayo teknolojia imeleta katika shule za sekondari ni utumiaji wa kompyuta shuleni. Naam wanafunzi huweza kudurusu kutumia kompyuta zao ambapo hufanya utafiti zaidi kuhusiana na somo fulani hivyo basi kuelewa vizuri katika masomo yake kwani majibu ya maswali hupata kwa urahisi.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa imeweza kuendeleza masomo kutumia njia ya intaneti. Katika kipindi cha likizo wanafunzi huendelea na silabasi yao. Hapo walimu hufundisha wanafunzi kama kawaida kutumia njia ya intaneti.
Vile vile teknolojia imeleta uvumbuzi wa tarakilishi. Walimu huhifadhi data muhimu katika masomo tarakilishi. Hivyo huwezesha kufundisha wanafunzi pasipo na vigezo vyovyote. Hata hivyo wanafunzi nao wamekabidhiwa vifaa hivyo katika utumiaji wao wenyewe ambapo huendeleza shughuli zao za masomo kwa urahisi.
Licha ya hayo, baadhi ya shule za sekondari zimeweza kutumia televisheni. Hali hii huburudisha wanafunzi na hutuliza akili zao kwani hufikiria zaidi. Pia wanafunzi kwa walimu hasa katika shule za bweni huona matukio mbalimbali yanayotokea nchini hivyo basi huelimika kutokana na mengi.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho kasoro kwani kuna madhara mbalimbali yanayotokana na teknolojia. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi huwa wazembe mno hivyo basi kutegemea kompyuta katika masomo. Mwanafunzi hawezi kufikiria zaidi kuhusiana na suala fulani ili kutoa jibu mwafaka.
Pindi wanafunzi wanapokuwa likizoni ni wachache mno wanao saidika masomoni kupitia intaneti. Hii inatokana katika hali tofauti za maisha kwani vidole vya mwanadamu havíko sawa. Wengi wao wasiomudu huzoroteka katika masomo na huenda wasiyaangazie masomo kwa kiwango mwafaka.
Nikitamatisha, televisheni hupoteza muda mwingi kwani wanafunzi ambapo wangetumia muda huo kudurusu. Hata hivyo wanafunzi hao hao wanaweza kujihusisha na tabia chafu kutokana na filamu mbali mbali zitazamwazo.
Mbali na madhara hayo teknolojia, imeweza kuinua kiwango cha elimu kwa asilimia kikubwa kupelekea masomo urahisi. | Wanafunzi hutumia nini kufanya utafiti mtandaoni | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
3059_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya mitambo mbalimbali. Teknolojia hii imeleta faida mbalimbali kwa kurahisisha kazi tofauti tofauti katika matumizi ya elimu na vilevile kutuletea madhara kwa wanafunzi wanotumia teknolojia kusoma masomo yao.
Faida ya kwanza tunayoipata ni kutumia tarakilishi kwa njia ya kusoma masomo mbalimbali ambapo wanafunzi hutumia kutafuta mambo mbalimbali ili kupata amri kujua kina cha kitu flani. Husaidia wanafunzi kwa kuongeza elimu yao kichwani na kujua mengi kuhusiana na masomo. Vile vile teknolojia zimeharibu wanafunzi na tarakilishi sana hata kutumia akili zao kufikiria.
Teknolojia imerahisisha wanafunzi kusoma kupotea njia ya mawasiliano ambapo mwanafunzi anaweza kusoma popote alipo. Imepunguza gharama za tiketi za wanafunzi wanapokuwa likizoni kwenda kutafuta masomo ya ziada kwa walimu kwani sasa hivi wanafunzi wanafundishwa kupitia njia ya mawasiliano. Halikadhalika teknolojia imewarudisha baadhi ya wanafunzi nyuma na kuwazorotesha kwa kutumia vyombo hivi kuangalia video zisizofaa kutazamwa.
Teknolojia zimewafanya baadhi ya wanafunzi kutoka shuleni kwa kufuata mambo yanayo onyeshwa katika video mbalimbali.Wanafunzi wamejiingiza katika kutumia mihadarati mbalimbali kwa kuona kuwa ni starehe.
Teknolojia imerahisisha masomo ya hisabati kwa kutumia kokotoo ambapo imeleta au imefanya wanafunzi kutotumia akili zao kwa kufanya hesabu mbalimbali ambapo inawaathiri wanafunzi kwa kutegemea kokotoo. Teknolojia imeleta faida ya kulipia karo wanafunzi wetu ambapo inawafanya kutotumwa nyumbani karo kila siku na kuwarudisha nyuma katika masomo yao.
Aidha teknolojia imesawazisha mambo ya kuandika ambapo wanafunzi hutumia mashine mbalimbali kuandika masomo mbalimbali. Vile vile imewafanya wanafunzi kusaidiana ki mawazo mbalimbali katika mitandao ama simu. Imewawezesha kufikia katika malengo yao kwa kusaidiwa kimawazo mbalimbali.
Aidha teknolojia imeleta madhara ambapo baadhi ya wanafunzi hupotoshana kifikra na kuangfamiza wengine kupitia malengo yao ambapo hii inaleta wanafunzi kuacha shule na kujiunga na marafiki wabaya. | Nini imerahisisha kazi tofauti | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3059_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya mitambo mbalimbali. Teknolojia hii imeleta faida mbalimbali kwa kurahisisha kazi tofauti tofauti katika matumizi ya elimu na vilevile kutuletea madhara kwa wanafunzi wanotumia teknolojia kusoma masomo yao.
Faida ya kwanza tunayoipata ni kutumia tarakilishi kwa njia ya kusoma masomo mbalimbali ambapo wanafunzi hutumia kutafuta mambo mbalimbali ili kupata amri kujua kina cha kitu flani. Husaidia wanafunzi kwa kuongeza elimu yao kichwani na kujua mengi kuhusiana na masomo. Vile vile teknolojia zimeharibu wanafunzi na tarakilishi sana hata kutumia akili zao kufikiria.
Teknolojia imerahisisha wanafunzi kusoma kupotea njia ya mawasiliano ambapo mwanafunzi anaweza kusoma popote alipo. Imepunguza gharama za tiketi za wanafunzi wanapokuwa likizoni kwenda kutafuta masomo ya ziada kwa walimu kwani sasa hivi wanafunzi wanafundishwa kupitia njia ya mawasiliano. Halikadhalika teknolojia imewarudisha baadhi ya wanafunzi nyuma na kuwazorotesha kwa kutumia vyombo hivi kuangalia video zisizofaa kutazamwa.
Teknolojia zimewafanya baadhi ya wanafunzi kutoka shuleni kwa kufuata mambo yanayo onyeshwa katika video mbalimbali.Wanafunzi wamejiingiza katika kutumia mihadarati mbalimbali kwa kuona kuwa ni starehe.
Teknolojia imerahisisha masomo ya hisabati kwa kutumia kokotoo ambapo imeleta au imefanya wanafunzi kutotumia akili zao kwa kufanya hesabu mbalimbali ambapo inawaathiri wanafunzi kwa kutegemea kokotoo. Teknolojia imeleta faida ya kulipia karo wanafunzi wetu ambapo inawafanya kutotumwa nyumbani karo kila siku na kuwarudisha nyuma katika masomo yao.
Aidha teknolojia imesawazisha mambo ya kuandika ambapo wanafunzi hutumia mashine mbalimbali kuandika masomo mbalimbali. Vile vile imewafanya wanafunzi kusaidiana ki mawazo mbalimbali katika mitandao ama simu. Imewawezesha kufikia katika malengo yao kwa kusaidiwa kimawazo mbalimbali.
Aidha teknolojia imeleta madhara ambapo baadhi ya wanafunzi hupotoshana kifikra na kuangfamiza wengine kupitia malengo yao ambapo hii inaleta wanafunzi kuacha shule na kujiunga na marafiki wabaya. | Teknolojia imemsaidia mwanafunzi kusomea wapi | {
"text": [
"popote alipo"
]
} |
3059_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya mitambo mbalimbali. Teknolojia hii imeleta faida mbalimbali kwa kurahisisha kazi tofauti tofauti katika matumizi ya elimu na vilevile kutuletea madhara kwa wanafunzi wanotumia teknolojia kusoma masomo yao.
Faida ya kwanza tunayoipata ni kutumia tarakilishi kwa njia ya kusoma masomo mbalimbali ambapo wanafunzi hutumia kutafuta mambo mbalimbali ili kupata amri kujua kina cha kitu flani. Husaidia wanafunzi kwa kuongeza elimu yao kichwani na kujua mengi kuhusiana na masomo. Vile vile teknolojia zimeharibu wanafunzi na tarakilishi sana hata kutumia akili zao kufikiria.
Teknolojia imerahisisha wanafunzi kusoma kupotea njia ya mawasiliano ambapo mwanafunzi anaweza kusoma popote alipo. Imepunguza gharama za tiketi za wanafunzi wanapokuwa likizoni kwenda kutafuta masomo ya ziada kwa walimu kwani sasa hivi wanafunzi wanafundishwa kupitia njia ya mawasiliano. Halikadhalika teknolojia imewarudisha baadhi ya wanafunzi nyuma na kuwazorotesha kwa kutumia vyombo hivi kuangalia video zisizofaa kutazamwa.
Teknolojia zimewafanya baadhi ya wanafunzi kutoka shuleni kwa kufuata mambo yanayo onyeshwa katika video mbalimbali.Wanafunzi wamejiingiza katika kutumia mihadarati mbalimbali kwa kuona kuwa ni starehe.
Teknolojia imerahisisha masomo ya hisabati kwa kutumia kokotoo ambapo imeleta au imefanya wanafunzi kutotumia akili zao kwa kufanya hesabu mbalimbali ambapo inawaathiri wanafunzi kwa kutegemea kokotoo. Teknolojia imeleta faida ya kulipia karo wanafunzi wetu ambapo inawafanya kutotumwa nyumbani karo kila siku na kuwarudisha nyuma katika masomo yao.
Aidha teknolojia imesawazisha mambo ya kuandika ambapo wanafunzi hutumia mashine mbalimbali kuandika masomo mbalimbali. Vile vile imewafanya wanafunzi kusaidiana ki mawazo mbalimbali katika mitandao ama simu. Imewawezesha kufikia katika malengo yao kwa kusaidiwa kimawazo mbalimbali.
Aidha teknolojia imeleta madhara ambapo baadhi ya wanafunzi hupotoshana kifikra na kuangfamiza wengine kupitia malengo yao ambapo hii inaleta wanafunzi kuacha shule na kujiunga na marafiki wabaya. | Masomo ya Hisabati yamerahisishwa kwa matumizi ya nini | {
"text": [
"vikokotoo"
]
} |
3059_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya mitambo mbalimbali. Teknolojia hii imeleta faida mbalimbali kwa kurahisisha kazi tofauti tofauti katika matumizi ya elimu na vilevile kutuletea madhara kwa wanafunzi wanotumia teknolojia kusoma masomo yao.
Faida ya kwanza tunayoipata ni kutumia tarakilishi kwa njia ya kusoma masomo mbalimbali ambapo wanafunzi hutumia kutafuta mambo mbalimbali ili kupata amri kujua kina cha kitu flani. Husaidia wanafunzi kwa kuongeza elimu yao kichwani na kujua mengi kuhusiana na masomo. Vile vile teknolojia zimeharibu wanafunzi na tarakilishi sana hata kutumia akili zao kufikiria.
Teknolojia imerahisisha wanafunzi kusoma kupotea njia ya mawasiliano ambapo mwanafunzi anaweza kusoma popote alipo. Imepunguza gharama za tiketi za wanafunzi wanapokuwa likizoni kwenda kutafuta masomo ya ziada kwa walimu kwani sasa hivi wanafunzi wanafundishwa kupitia njia ya mawasiliano. Halikadhalika teknolojia imewarudisha baadhi ya wanafunzi nyuma na kuwazorotesha kwa kutumia vyombo hivi kuangalia video zisizofaa kutazamwa.
Teknolojia zimewafanya baadhi ya wanafunzi kutoka shuleni kwa kufuata mambo yanayo onyeshwa katika video mbalimbali.Wanafunzi wamejiingiza katika kutumia mihadarati mbalimbali kwa kuona kuwa ni starehe.
Teknolojia imerahisisha masomo ya hisabati kwa kutumia kokotoo ambapo imeleta au imefanya wanafunzi kutotumia akili zao kwa kufanya hesabu mbalimbali ambapo inawaathiri wanafunzi kwa kutegemea kokotoo. Teknolojia imeleta faida ya kulipia karo wanafunzi wetu ambapo inawafanya kutotumwa nyumbani karo kila siku na kuwarudisha nyuma katika masomo yao.
Aidha teknolojia imesawazisha mambo ya kuandika ambapo wanafunzi hutumia mashine mbalimbali kuandika masomo mbalimbali. Vile vile imewafanya wanafunzi kusaidiana ki mawazo mbalimbali katika mitandao ama simu. Imewawezesha kufikia katika malengo yao kwa kusaidiwa kimawazo mbalimbali.
Aidha teknolojia imeleta madhara ambapo baadhi ya wanafunzi hupotoshana kifikra na kuangfamiza wengine kupitia malengo yao ambapo hii inaleta wanafunzi kuacha shule na kujiunga na marafiki wabaya. | Wanafunzi wanaona kama mihadarati inaleta nini | {
"text": [
"starehe"
]
} |
3059_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi katika matumizi ya mitambo mbalimbali. Teknolojia hii imeleta faida mbalimbali kwa kurahisisha kazi tofauti tofauti katika matumizi ya elimu na vilevile kutuletea madhara kwa wanafunzi wanotumia teknolojia kusoma masomo yao.
Faida ya kwanza tunayoipata ni kutumia tarakilishi kwa njia ya kusoma masomo mbalimbali ambapo wanafunzi hutumia kutafuta mambo mbalimbali ili kupata amri kujua kina cha kitu flani. Husaidia wanafunzi kwa kuongeza elimu yao kichwani na kujua mengi kuhusiana na masomo. Vile vile teknolojia zimeharibu wanafunzi na tarakilishi sana hata kutumia akili zao kufikiria.
Teknolojia imerahisisha wanafunzi kusoma kupotea njia ya mawasiliano ambapo mwanafunzi anaweza kusoma popote alipo. Imepunguza gharama za tiketi za wanafunzi wanapokuwa likizoni kwenda kutafuta masomo ya ziada kwa walimu kwani sasa hivi wanafunzi wanafundishwa kupitia njia ya mawasiliano. Halikadhalika teknolojia imewarudisha baadhi ya wanafunzi nyuma na kuwazorotesha kwa kutumia vyombo hivi kuangalia video zisizofaa kutazamwa.
Teknolojia zimewafanya baadhi ya wanafunzi kutoka shuleni kwa kufuata mambo yanayo onyeshwa katika video mbalimbali.Wanafunzi wamejiingiza katika kutumia mihadarati mbalimbali kwa kuona kuwa ni starehe.
Teknolojia imerahisisha masomo ya hisabati kwa kutumia kokotoo ambapo imeleta au imefanya wanafunzi kutotumia akili zao kwa kufanya hesabu mbalimbali ambapo inawaathiri wanafunzi kwa kutegemea kokotoo. Teknolojia imeleta faida ya kulipia karo wanafunzi wetu ambapo inawafanya kutotumwa nyumbani karo kila siku na kuwarudisha nyuma katika masomo yao.
Aidha teknolojia imesawazisha mambo ya kuandika ambapo wanafunzi hutumia mashine mbalimbali kuandika masomo mbalimbali. Vile vile imewafanya wanafunzi kusaidiana ki mawazo mbalimbali katika mitandao ama simu. Imewawezesha kufikia katika malengo yao kwa kusaidiwa kimawazo mbalimbali.
Aidha teknolojia imeleta madhara ambapo baadhi ya wanafunzi hupotoshana kifikra na kuangfamiza wengine kupitia malengo yao ambapo hii inaleta wanafunzi kuacha shule na kujiunga na marafiki wabaya. | Teknolojia zimewafanyaje wanafunzi kutoka shuleni | {
"text": [
"kwa kufuata mambo yanayoonyeshwa katika video mbalimbali"
]
} |
3061_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Tunavyojua hapa duniani ni kuwa hakuna zuri lisilokuwa na ubaya. Vilevile kama vitu vingine vyote hapa duniani, teknolojia ina faida zake na madhara zake. Teknolojia inatumika kote duniani na hivi basi tunaeza sema imewafaidi wengi na kuwaathiri wengi.
Teknolojia husaidia kuwasilisha mawasiliano kati ya wanafunzi walio katika shule mbalimbali hivyo huwawezesha kujuliana hali na kuzungumza kwa pamoja kuhusu masuala ya masomo.
Aghalabu wanafunzi wengi hutumia mifumo ya teknolojia kama vile tarakilishi na simu kudurusu masomo yao ya ziada. Wakati mwingine katika shule za sekondari za bueni hujiburudisha kupitia televisheni au redio ili kupumzisha akili zao na
Walimu pia hufaidika kwa kuweza kawasiliana kupitia intaneti. Teknolojia pia inawaelimisha wanafunzi katika masomo mengine kwa mfano wanapopelekwa katika maabara wanapata kuelimika kuhusu kemikali zinazotumika huko. Huwaelimisha kuhusu maisha yanavyoendelea huko nje wanapoona taarifa kwenye runinga.
Husaidia pia kukuza maadili. Teknolojia pia iliweza kuibua mbinu za kufanya na kutatua
masomo ya hisabati koa kuzindua kikokotoa.
Kama tunavyojua pia kila zuri lina baya lake. Wanafunzi wengine wanatumia tarakilishi na simu kutazama filamu chafu zinazowafanya wawe na maadili mabaya.
Kuibuka kwa matumizi ya kikokotoa kimewafanya wanafunzi wengine kuzembea sana. Vinawafanya wanafunzi kufikiria sana wakati wa kufanya hisabati.
Wakati mwingine wanafunzi wanapoachwa pekee yao bila kuongozwa na kusimamiwa, wanapoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia. Wakati mwingine tarakilishi hatumika kuchapisha maelezo. Hii huwafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Teknolojia pia imeibua intaneti ambayo watu wengine wanatumia kawalaghai na kuwaibia wananchi kupitia mtandao.
Inasisitizwa kwamba wanafunzi wapate kuelimishwa kuhusu faida za teknolojia na kuongea dhidi ya madhara zake. | Teknolojia inatumika wapi | {
"text": [
"Kote duniani"
]
} |
3061_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Tunavyojua hapa duniani ni kuwa hakuna zuri lisilokuwa na ubaya. Vilevile kama vitu vingine vyote hapa duniani, teknolojia ina faida zake na madhara zake. Teknolojia inatumika kote duniani na hivi basi tunaeza sema imewafaidi wengi na kuwaathiri wengi.
Teknolojia husaidia kuwasilisha mawasiliano kati ya wanafunzi walio katika shule mbalimbali hivyo huwawezesha kujuliana hali na kuzungumza kwa pamoja kuhusu masuala ya masomo.
Aghalabu wanafunzi wengi hutumia mifumo ya teknolojia kama vile tarakilishi na simu kudurusu masomo yao ya ziada. Wakati mwingine katika shule za sekondari za bueni hujiburudisha kupitia televisheni au redio ili kupumzisha akili zao na
Walimu pia hufaidika kwa kuweza kawasiliana kupitia intaneti. Teknolojia pia inawaelimisha wanafunzi katika masomo mengine kwa mfano wanapopelekwa katika maabara wanapata kuelimika kuhusu kemikali zinazotumika huko. Huwaelimisha kuhusu maisha yanavyoendelea huko nje wanapoona taarifa kwenye runinga.
Husaidia pia kukuza maadili. Teknolojia pia iliweza kuibua mbinu za kufanya na kutatua
masomo ya hisabati koa kuzindua kikokotoa.
Kama tunavyojua pia kila zuri lina baya lake. Wanafunzi wengine wanatumia tarakilishi na simu kutazama filamu chafu zinazowafanya wawe na maadili mabaya.
Kuibuka kwa matumizi ya kikokotoa kimewafanya wanafunzi wengine kuzembea sana. Vinawafanya wanafunzi kufikiria sana wakati wa kufanya hisabati.
Wakati mwingine wanafunzi wanapoachwa pekee yao bila kuongozwa na kusimamiwa, wanapoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia. Wakati mwingine tarakilishi hatumika kuchapisha maelezo. Hii huwafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Teknolojia pia imeibua intaneti ambayo watu wengine wanatumia kawalaghai na kuwaibia wananchi kupitia mtandao.
Inasisitizwa kwamba wanafunzi wapate kuelimishwa kuhusu faida za teknolojia na kuongea dhidi ya madhara zake. | Teknolojia hutumika kuwasilisha nini | {
"text": [
"Mawasiliano"
]
} |
3061_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Tunavyojua hapa duniani ni kuwa hakuna zuri lisilokuwa na ubaya. Vilevile kama vitu vingine vyote hapa duniani, teknolojia ina faida zake na madhara zake. Teknolojia inatumika kote duniani na hivi basi tunaeza sema imewafaidi wengi na kuwaathiri wengi.
Teknolojia husaidia kuwasilisha mawasiliano kati ya wanafunzi walio katika shule mbalimbali hivyo huwawezesha kujuliana hali na kuzungumza kwa pamoja kuhusu masuala ya masomo.
Aghalabu wanafunzi wengi hutumia mifumo ya teknolojia kama vile tarakilishi na simu kudurusu masomo yao ya ziada. Wakati mwingine katika shule za sekondari za bueni hujiburudisha kupitia televisheni au redio ili kupumzisha akili zao na
Walimu pia hufaidika kwa kuweza kawasiliana kupitia intaneti. Teknolojia pia inawaelimisha wanafunzi katika masomo mengine kwa mfano wanapopelekwa katika maabara wanapata kuelimika kuhusu kemikali zinazotumika huko. Huwaelimisha kuhusu maisha yanavyoendelea huko nje wanapoona taarifa kwenye runinga.
Husaidia pia kukuza maadili. Teknolojia pia iliweza kuibua mbinu za kufanya na kutatua
masomo ya hisabati koa kuzindua kikokotoa.
Kama tunavyojua pia kila zuri lina baya lake. Wanafunzi wengine wanatumia tarakilishi na simu kutazama filamu chafu zinazowafanya wawe na maadili mabaya.
Kuibuka kwa matumizi ya kikokotoa kimewafanya wanafunzi wengine kuzembea sana. Vinawafanya wanafunzi kufikiria sana wakati wa kufanya hisabati.
Wakati mwingine wanafunzi wanapoachwa pekee yao bila kuongozwa na kusimamiwa, wanapoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia. Wakati mwingine tarakilishi hatumika kuchapisha maelezo. Hii huwafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Teknolojia pia imeibua intaneti ambayo watu wengine wanatumia kawalaghai na kuwaibia wananchi kupitia mtandao.
Inasisitizwa kwamba wanafunzi wapate kuelimishwa kuhusu faida za teknolojia na kuongea dhidi ya madhara zake. | Ni teknolojia ipi wanafunzi hutumia katika kuduusu masomo ya ziada | {
"text": [
"Tarakilishi na simu"
]
} |
3061_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Tunavyojua hapa duniani ni kuwa hakuna zuri lisilokuwa na ubaya. Vilevile kama vitu vingine vyote hapa duniani, teknolojia ina faida zake na madhara zake. Teknolojia inatumika kote duniani na hivi basi tunaeza sema imewafaidi wengi na kuwaathiri wengi.
Teknolojia husaidia kuwasilisha mawasiliano kati ya wanafunzi walio katika shule mbalimbali hivyo huwawezesha kujuliana hali na kuzungumza kwa pamoja kuhusu masuala ya masomo.
Aghalabu wanafunzi wengi hutumia mifumo ya teknolojia kama vile tarakilishi na simu kudurusu masomo yao ya ziada. Wakati mwingine katika shule za sekondari za bueni hujiburudisha kupitia televisheni au redio ili kupumzisha akili zao na
Walimu pia hufaidika kwa kuweza kawasiliana kupitia intaneti. Teknolojia pia inawaelimisha wanafunzi katika masomo mengine kwa mfano wanapopelekwa katika maabara wanapata kuelimika kuhusu kemikali zinazotumika huko. Huwaelimisha kuhusu maisha yanavyoendelea huko nje wanapoona taarifa kwenye runinga.
Husaidia pia kukuza maadili. Teknolojia pia iliweza kuibua mbinu za kufanya na kutatua
masomo ya hisabati koa kuzindua kikokotoa.
Kama tunavyojua pia kila zuri lina baya lake. Wanafunzi wengine wanatumia tarakilishi na simu kutazama filamu chafu zinazowafanya wawe na maadili mabaya.
Kuibuka kwa matumizi ya kikokotoa kimewafanya wanafunzi wengine kuzembea sana. Vinawafanya wanafunzi kufikiria sana wakati wa kufanya hisabati.
Wakati mwingine wanafunzi wanapoachwa pekee yao bila kuongozwa na kusimamiwa, wanapoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia. Wakati mwingine tarakilishi hatumika kuchapisha maelezo. Hii huwafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Teknolojia pia imeibua intaneti ambayo watu wengine wanatumia kawalaghai na kuwaibia wananchi kupitia mtandao.
Inasisitizwa kwamba wanafunzi wapate kuelimishwa kuhusu faida za teknolojia na kuongea dhidi ya madhara zake. | Teknolojia pia huwaelimisha kina nani | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
3061_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Tunavyojua hapa duniani ni kuwa hakuna zuri lisilokuwa na ubaya. Vilevile kama vitu vingine vyote hapa duniani, teknolojia ina faida zake na madhara zake. Teknolojia inatumika kote duniani na hivi basi tunaeza sema imewafaidi wengi na kuwaathiri wengi.
Teknolojia husaidia kuwasilisha mawasiliano kati ya wanafunzi walio katika shule mbalimbali hivyo huwawezesha kujuliana hali na kuzungumza kwa pamoja kuhusu masuala ya masomo.
Aghalabu wanafunzi wengi hutumia mifumo ya teknolojia kama vile tarakilishi na simu kudurusu masomo yao ya ziada. Wakati mwingine katika shule za sekondari za bueni hujiburudisha kupitia televisheni au redio ili kupumzisha akili zao na
Walimu pia hufaidika kwa kuweza kawasiliana kupitia intaneti. Teknolojia pia inawaelimisha wanafunzi katika masomo mengine kwa mfano wanapopelekwa katika maabara wanapata kuelimika kuhusu kemikali zinazotumika huko. Huwaelimisha kuhusu maisha yanavyoendelea huko nje wanapoona taarifa kwenye runinga.
Husaidia pia kukuza maadili. Teknolojia pia iliweza kuibua mbinu za kufanya na kutatua
masomo ya hisabati koa kuzindua kikokotoa.
Kama tunavyojua pia kila zuri lina baya lake. Wanafunzi wengine wanatumia tarakilishi na simu kutazama filamu chafu zinazowafanya wawe na maadili mabaya.
Kuibuka kwa matumizi ya kikokotoa kimewafanya wanafunzi wengine kuzembea sana. Vinawafanya wanafunzi kufikiria sana wakati wa kufanya hisabati.
Wakati mwingine wanafunzi wanapoachwa pekee yao bila kuongozwa na kusimamiwa, wanapoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia. Wakati mwingine tarakilishi hatumika kuchapisha maelezo. Hii huwafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Teknolojia pia imeibua intaneti ambayo watu wengine wanatumia kawalaghai na kuwaibia wananchi kupitia mtandao.
Inasisitizwa kwamba wanafunzi wapate kuelimishwa kuhusu faida za teknolojia na kuongea dhidi ya madhara zake. | Kwa nini wanafunzi hujiburudisha kupitia kwa televisheni | {
"text": [
"Ili kupumzisha akili zao"
]
} |
3062_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Pia, teknolojia inaweza kutumika shuleni ili kuboresha kazi. Katika shule za sekondari, teknolojia huwa na faida chungu nzima kwani hurahisisha kazi za walimu na pia vivyo hivyo huwa na madhara yake .
Teknolojia imerahisisha kazi ya mhazini katika shule Ia sekondari kwani hutumia kompyuta kuzihesabu karo na fedha za shule kwa njia ya urahisi. Jambo hili limemfanya kufanya kazi yake bila kuwa na makosa yoyote na kuifanya shule iendeleze programu zake kwa urahisi.
Matumizi ya kamera za usalama shuleni imeifanya shule hii kuwa na usalama wa kutosha kwani picha na video mbalimbali zinanatwa kwa urahisi ili kuimarisha usalama. Jambo hili limezifanya shule za sekondari kuwa na usalama wa kutosha kwani wanafunzi wanaokuwa na tabia potovu, utumiaji wa mihadarati, hunaswa kwa urahisi.
Fotokopia imerahirisha kazi za mtahini kwani anaweza kutoa fotokopi ya mitihani kwa urahisi wakati moja. Kazi hii imeimarisha jambo la wanafunzi kudurusu kwani wanapata maswali na maelezo kwa wingi. Kudurusu kwao huwafanya kutia bidii na pia kufaulu katika mitihani
yao.
Kompyuta katika shule za upili huweza kuhifadhi ujumbe kwa muda mrefu bila kupata virusi kwani huwa na kumbukumbu nzuri. Jambo hili limefanya ofisi za shule ya upili kuwa safi kwani idadi ya mafaili yamepungua.
Vivyo hivyo, teknolojia pia imewafanya walimu na wanafunzi kuwa wazembe kwani hutegemea kazi ya tarakilishi na kikokotoo badala ya kuzitumia akili zao.
Vifaa vingine (fotokopia) vinapotumika hutoa sauti ambayo hufanya mazingira ya mwanafunzi kuharibiwa kwani huwafanya kutomakinika katika masomo yao.
Televisheni katika shule za pili hufanya wanafunzi kuwa na uzoefu ambapo kila mara watakuwa hawamakiniki katika masomo yao. | Kazi ya walimu na wanafunzi huhifandhiwa kenye kifaa kipi? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3062_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Pia, teknolojia inaweza kutumika shuleni ili kuboresha kazi. Katika shule za sekondari, teknolojia huwa na faida chungu nzima kwani hurahisisha kazi za walimu na pia vivyo hivyo huwa na madhara yake .
Teknolojia imerahisisha kazi ya mhazini katika shule Ia sekondari kwani hutumia kompyuta kuzihesabu karo na fedha za shule kwa njia ya urahisi. Jambo hili limemfanya kufanya kazi yake bila kuwa na makosa yoyote na kuifanya shule iendeleze programu zake kwa urahisi.
Matumizi ya kamera za usalama shuleni imeifanya shule hii kuwa na usalama wa kutosha kwani picha na video mbalimbali zinanatwa kwa urahisi ili kuimarisha usalama. Jambo hili limezifanya shule za sekondari kuwa na usalama wa kutosha kwani wanafunzi wanaokuwa na tabia potovu, utumiaji wa mihadarati, hunaswa kwa urahisi.
Fotokopia imerahirisha kazi za mtahini kwani anaweza kutoa fotokopi ya mitihani kwa urahisi wakati moja. Kazi hii imeimarisha jambo la wanafunzi kudurusu kwani wanapata maswali na maelezo kwa wingi. Kudurusu kwao huwafanya kutia bidii na pia kufaulu katika mitihani
yao.
Kompyuta katika shule za upili huweza kuhifadhi ujumbe kwa muda mrefu bila kupata virusi kwani huwa na kumbukumbu nzuri. Jambo hili limefanya ofisi za shule ya upili kuwa safi kwani idadi ya mafaili yamepungua.
Vivyo hivyo, teknolojia pia imewafanya walimu na wanafunzi kuwa wazembe kwani hutegemea kazi ya tarakilishi na kikokotoo badala ya kuzitumia akili zao.
Vifaa vingine (fotokopia) vinapotumika hutoa sauti ambayo hufanya mazingira ya mwanafunzi kuharibiwa kwani huwafanya kutomakinika katika masomo yao.
Televisheni katika shule za pili hufanya wanafunzi kuwa na uzoefu ambapo kila mara watakuwa hawamakiniki katika masomo yao. | Njia za mawasiliano zimeimarishwa kupitia nini? | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3062_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Pia, teknolojia inaweza kutumika shuleni ili kuboresha kazi. Katika shule za sekondari, teknolojia huwa na faida chungu nzima kwani hurahisisha kazi za walimu na pia vivyo hivyo huwa na madhara yake .
Teknolojia imerahisisha kazi ya mhazini katika shule Ia sekondari kwani hutumia kompyuta kuzihesabu karo na fedha za shule kwa njia ya urahisi. Jambo hili limemfanya kufanya kazi yake bila kuwa na makosa yoyote na kuifanya shule iendeleze programu zake kwa urahisi.
Matumizi ya kamera za usalama shuleni imeifanya shule hii kuwa na usalama wa kutosha kwani picha na video mbalimbali zinanatwa kwa urahisi ili kuimarisha usalama. Jambo hili limezifanya shule za sekondari kuwa na usalama wa kutosha kwani wanafunzi wanaokuwa na tabia potovu, utumiaji wa mihadarati, hunaswa kwa urahisi.
Fotokopia imerahirisha kazi za mtahini kwani anaweza kutoa fotokopi ya mitihani kwa urahisi wakati moja. Kazi hii imeimarisha jambo la wanafunzi kudurusu kwani wanapata maswali na maelezo kwa wingi. Kudurusu kwao huwafanya kutia bidii na pia kufaulu katika mitihani
yao.
Kompyuta katika shule za upili huweza kuhifadhi ujumbe kwa muda mrefu bila kupata virusi kwani huwa na kumbukumbu nzuri. Jambo hili limefanya ofisi za shule ya upili kuwa safi kwani idadi ya mafaili yamepungua.
Vivyo hivyo, teknolojia pia imewafanya walimu na wanafunzi kuwa wazembe kwani hutegemea kazi ya tarakilishi na kikokotoo badala ya kuzitumia akili zao.
Vifaa vingine (fotokopia) vinapotumika hutoa sauti ambayo hufanya mazingira ya mwanafunzi kuharibiwa kwani huwafanya kutomakinika katika masomo yao.
Televisheni katika shule za pili hufanya wanafunzi kuwa na uzoefu ambapo kila mara watakuwa hawamakiniki katika masomo yao. | Mhazini katika shule hutumia nini kuhesabu karo? | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
3062_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Pia, teknolojia inaweza kutumika shuleni ili kuboresha kazi. Katika shule za sekondari, teknolojia huwa na faida chungu nzima kwani hurahisisha kazi za walimu na pia vivyo hivyo huwa na madhara yake .
Teknolojia imerahisisha kazi ya mhazini katika shule Ia sekondari kwani hutumia kompyuta kuzihesabu karo na fedha za shule kwa njia ya urahisi. Jambo hili limemfanya kufanya kazi yake bila kuwa na makosa yoyote na kuifanya shule iendeleze programu zake kwa urahisi.
Matumizi ya kamera za usalama shuleni imeifanya shule hii kuwa na usalama wa kutosha kwani picha na video mbalimbali zinanatwa kwa urahisi ili kuimarisha usalama. Jambo hili limezifanya shule za sekondari kuwa na usalama wa kutosha kwani wanafunzi wanaokuwa na tabia potovu, utumiaji wa mihadarati, hunaswa kwa urahisi.
Fotokopia imerahirisha kazi za mtahini kwani anaweza kutoa fotokopi ya mitihani kwa urahisi wakati moja. Kazi hii imeimarisha jambo la wanafunzi kudurusu kwani wanapata maswali na maelezo kwa wingi. Kudurusu kwao huwafanya kutia bidii na pia kufaulu katika mitihani
yao.
Kompyuta katika shule za upili huweza kuhifadhi ujumbe kwa muda mrefu bila kupata virusi kwani huwa na kumbukumbu nzuri. Jambo hili limefanya ofisi za shule ya upili kuwa safi kwani idadi ya mafaili yamepungua.
Vivyo hivyo, teknolojia pia imewafanya walimu na wanafunzi kuwa wazembe kwani hutegemea kazi ya tarakilishi na kikokotoo badala ya kuzitumia akili zao.
Vifaa vingine (fotokopia) vinapotumika hutoa sauti ambayo hufanya mazingira ya mwanafunzi kuharibiwa kwani huwafanya kutomakinika katika masomo yao.
Televisheni katika shule za pili hufanya wanafunzi kuwa na uzoefu ambapo kila mara watakuwa hawamakiniki katika masomo yao. | Kifaa kipi hupiga mtu picha? | {
"text": [
"Kamera"
]
} |
3062_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Pia, teknolojia inaweza kutumika shuleni ili kuboresha kazi. Katika shule za sekondari, teknolojia huwa na faida chungu nzima kwani hurahisisha kazi za walimu na pia vivyo hivyo huwa na madhara yake .
Teknolojia imerahisisha kazi ya mhazini katika shule Ia sekondari kwani hutumia kompyuta kuzihesabu karo na fedha za shule kwa njia ya urahisi. Jambo hili limemfanya kufanya kazi yake bila kuwa na makosa yoyote na kuifanya shule iendeleze programu zake kwa urahisi.
Matumizi ya kamera za usalama shuleni imeifanya shule hii kuwa na usalama wa kutosha kwani picha na video mbalimbali zinanatwa kwa urahisi ili kuimarisha usalama. Jambo hili limezifanya shule za sekondari kuwa na usalama wa kutosha kwani wanafunzi wanaokuwa na tabia potovu, utumiaji wa mihadarati, hunaswa kwa urahisi.
Fotokopia imerahirisha kazi za mtahini kwani anaweza kutoa fotokopi ya mitihani kwa urahisi wakati moja. Kazi hii imeimarisha jambo la wanafunzi kudurusu kwani wanapata maswali na maelezo kwa wingi. Kudurusu kwao huwafanya kutia bidii na pia kufaulu katika mitihani
yao.
Kompyuta katika shule za upili huweza kuhifadhi ujumbe kwa muda mrefu bila kupata virusi kwani huwa na kumbukumbu nzuri. Jambo hili limefanya ofisi za shule ya upili kuwa safi kwani idadi ya mafaili yamepungua.
Vivyo hivyo, teknolojia pia imewafanya walimu na wanafunzi kuwa wazembe kwani hutegemea kazi ya tarakilishi na kikokotoo badala ya kuzitumia akili zao.
Vifaa vingine (fotokopia) vinapotumika hutoa sauti ambayo hufanya mazingira ya mwanafunzi kuharibiwa kwani huwafanya kutomakinika katika masomo yao.
Televisheni katika shule za pili hufanya wanafunzi kuwa na uzoefu ambapo kila mara watakuwa hawamakiniki katika masomo yao. | Teknolojia ni maarifa ya kina nani? | {
"text": [
"Wanasayansi na wanateknolojia"
]
} |
3063_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam! Wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga methali isemayo vyote ving'aavyo si dhahabu. Hii ni wazi kama mchana kwani teknolojia una faida sana na watu wengi hupenda kuitumia lakini hata hivyo haikosi kasoro kwani pia ina madhara.
Teknologia husaidia sana katika shule za sekondari. Kama vile walimu hutumia tarakilishi ili kuhifadhi masomo yote anayofundisha. Kupitia hii njia, walimu wamepumzishwa kazi ya kubeba vitabu aina ainati wanapotaka kwenda kufundisha.
Kwa upande mwengine tarakilishi hizi hutumiwa vibaya na walimu. Wakati ambapo walimu hutakikana kusahihisha vitabu vya wanafunzi ama kufanya jambo lolote kuhusiana na elimu walimu hutumia wakati huo kuchezea tarakilishi kwa kuangalia sinema au kuangalia mambo ya kuburudisha katika mitandao.
Teknologia pia imesaidia wanafunzi kuburudisha akili. Wanafunzi huburudikia kwa nyimbo na muziki. Mwanafunzi huburudika kwani huwa akili zimechoka sana baada ya kupambana na masomo. Kwa upande mwingine viburudisho hivi huwa na madhara.
Wanafunzi huwa wanaanza kuangalia sinema zilizojaa uchafu. Na baada ya hapo wanafunzi watataka kujaribu na kuigiza walichokiona. Na hivyo basi wanapoenda nyumbani kwa mapumziko, wanafunzi waliokuwa na adabu wataanza kuonyesha mabadiliko.
Vilevile, teknologia imesaidia wanafunzi hususan walio katika shule za mabweni kuweza kuwasiliana na wazazi wao. Wanapokuwa shuleni wanaweza kufahamu ni nini kinachoendelea nyumbani kwao.
Kwa upande mwingine, wanafunzi makurutu hubeba rununu shuleni. Rununu hizo huzitumia vibaya kwa kuingia kwenye mitandao na kutazama yanayoendelea badala
ya kudurusu vitabu vyao. Vile vile wanafunzi hao wanapokesha na simu huwa wanaambulia kusinzia darasani na kupitwa na mengi walimu wanapofundisha. | Ni nani amepumzishwa na teknolojia kubeba vitabu akienda kufundisha | {
"text": [
"Mwalimu"
]
} |
3063_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam! Wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga methali isemayo vyote ving'aavyo si dhahabu. Hii ni wazi kama mchana kwani teknolojia una faida sana na watu wengi hupenda kuitumia lakini hata hivyo haikosi kasoro kwani pia ina madhara.
Teknologia husaidia sana katika shule za sekondari. Kama vile walimu hutumia tarakilishi ili kuhifadhi masomo yote anayofundisha. Kupitia hii njia, walimu wamepumzishwa kazi ya kubeba vitabu aina ainati wanapotaka kwenda kufundisha.
Kwa upande mwengine tarakilishi hizi hutumiwa vibaya na walimu. Wakati ambapo walimu hutakikana kusahihisha vitabu vya wanafunzi ama kufanya jambo lolote kuhusiana na elimu walimu hutumia wakati huo kuchezea tarakilishi kwa kuangalia sinema au kuangalia mambo ya kuburudisha katika mitandao.
Teknologia pia imesaidia wanafunzi kuburudisha akili. Wanafunzi huburudikia kwa nyimbo na muziki. Mwanafunzi huburudika kwani huwa akili zimechoka sana baada ya kupambana na masomo. Kwa upande mwingine viburudisho hivi huwa na madhara.
Wanafunzi huwa wanaanza kuangalia sinema zilizojaa uchafu. Na baada ya hapo wanafunzi watataka kujaribu na kuigiza walichokiona. Na hivyo basi wanapoenda nyumbani kwa mapumziko, wanafunzi waliokuwa na adabu wataanza kuonyesha mabadiliko.
Vilevile, teknologia imesaidia wanafunzi hususan walio katika shule za mabweni kuweza kuwasiliana na wazazi wao. Wanapokuwa shuleni wanaweza kufahamu ni nini kinachoendelea nyumbani kwao.
Kwa upande mwingine, wanafunzi makurutu hubeba rununu shuleni. Rununu hizo huzitumia vibaya kwa kuingia kwenye mitandao na kutazama yanayoendelea badala
ya kudurusu vitabu vyao. Vile vile wanafunzi hao wanapokesha na simu huwa wanaambulia kusinzia darasani na kupitwa na mengi walimu wanapofundisha. | Teknolojia imewawezesha wanafunzi kuburudika kwa nini | {
"text": [
"Nyimbo na muziki"
]
} |
3063_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam! Wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga methali isemayo vyote ving'aavyo si dhahabu. Hii ni wazi kama mchana kwani teknolojia una faida sana na watu wengi hupenda kuitumia lakini hata hivyo haikosi kasoro kwani pia ina madhara.
Teknologia husaidia sana katika shule za sekondari. Kama vile walimu hutumia tarakilishi ili kuhifadhi masomo yote anayofundisha. Kupitia hii njia, walimu wamepumzishwa kazi ya kubeba vitabu aina ainati wanapotaka kwenda kufundisha.
Kwa upande mwengine tarakilishi hizi hutumiwa vibaya na walimu. Wakati ambapo walimu hutakikana kusahihisha vitabu vya wanafunzi ama kufanya jambo lolote kuhusiana na elimu walimu hutumia wakati huo kuchezea tarakilishi kwa kuangalia sinema au kuangalia mambo ya kuburudisha katika mitandao.
Teknologia pia imesaidia wanafunzi kuburudisha akili. Wanafunzi huburudikia kwa nyimbo na muziki. Mwanafunzi huburudika kwani huwa akili zimechoka sana baada ya kupambana na masomo. Kwa upande mwingine viburudisho hivi huwa na madhara.
Wanafunzi huwa wanaanza kuangalia sinema zilizojaa uchafu. Na baada ya hapo wanafunzi watataka kujaribu na kuigiza walichokiona. Na hivyo basi wanapoenda nyumbani kwa mapumziko, wanafunzi waliokuwa na adabu wataanza kuonyesha mabadiliko.
Vilevile, teknologia imesaidia wanafunzi hususan walio katika shule za mabweni kuweza kuwasiliana na wazazi wao. Wanapokuwa shuleni wanaweza kufahamu ni nini kinachoendelea nyumbani kwao.
Kwa upande mwingine, wanafunzi makurutu hubeba rununu shuleni. Rununu hizo huzitumia vibaya kwa kuingia kwenye mitandao na kutazama yanayoendelea badala
ya kudurusu vitabu vyao. Vile vile wanafunzi hao wanapokesha na simu huwa wanaambulia kusinzia darasani na kupitwa na mengi walimu wanapofundisha. | Kwa nini wanafunzi hupitwa na mengi darasani | {
"text": [
"Wakati huo huwa wanasinzia wakifunzwa na mwalimu"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.