Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3083_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha mja yeyote asiyesikiliza mawaidha au nasaha za wayele wake, hukumbwa na dhoruba.
Inatumika kuwaonya wale wanaopuuza ushauri na nasaha za walio juu yao.
Mkadi ni ghulamu mwenye umri wa miaka thenashara. Alizaliwa na kulelewa katika familia yenye pato la heri. Alipata malezi mema kutoka kwa wazazi wangu. Hakuna chochote alichokitoji akakikosa. Fauku ya hayo, kijana huyu alikuwa wembe masomoni. Hakuna aliye mpiku kijana huyu darasani.
Naam wahenga hawa kwenda mrama waliponena kwamba si vyote ving'avyo ni dhahabu. Tabia za kijana huyu zilikunuka fe! Mambo aliyoyafanya Mkadi ni shetani tu aliyeweza kuyafanya. Jambo hilo halikuwafurahisha wazazi wake. Walijaribu kwa jino na ukucha kumrudi mwango lakini wapi. Sikio la kufa halisikii dawa. Mkadi aliyatia masikio yake nta na kutosikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alishikana na kundi la vijana afriti kijiti.
Waliomuelewa vizuri kijana huyu walimtambua tatizo lake. Tabia hii yake mbaya ilitokana na ugwiji wake masomoni uliomfanya ajivike ujeuri. Walimu wake walimpo nasaha. Wanafunzi wenzake walio ona dalili za maporomoka ya maadili walijaribu kumsaidia ila juhudi zao ziliambulia patupu. Mkadi aliamua kulivaa joho la ujeuri.
Mkataa pema pabaya pamngoja na mwiba wa kujichoma mwenyewe hauna kilio. Siku moja Mkadi alifikwa na mashaka baada ya kumdharau mkuu wa polisi. Jumatatu hiyo asubuhi ilikuwa siku ya chete. Alienda Cheteni na kutokana na tamaa yake alimbakura muuza vibeti cheni yake ya dhahabu aliyokuwa amevaa shingoni· Jambo hili halikumfurahisha na alifululiza hadi kituo cha polisi kumshtaki Mkadi. Baada ya muda wa kelbu kukalia mkia wake, Mkadi alikuwa kashatiwa nguvuni.
Huko mahakamani ghulamu huyu alitoa cheche za matusi. Mkuu wa polisi aliamrisha Mkadi apewe kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kutoa matusi mbele ya koti. Hapo ndipo nilijifunza asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Mkadi alipewa kifungo cha miaka mingapi gerezani | {
"text": [
"miwili"
]
} |
3083_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha mja yeyote asiyesikiliza mawaidha au nasaha za wayele wake, hukumbwa na dhoruba.
Inatumika kuwaonya wale wanaopuuza ushauri na nasaha za walio juu yao.
Mkadi ni ghulamu mwenye umri wa miaka thenashara. Alizaliwa na kulelewa katika familia yenye pato la heri. Alipata malezi mema kutoka kwa wazazi wangu. Hakuna chochote alichokitoji akakikosa. Fauku ya hayo, kijana huyu alikuwa wembe masomoni. Hakuna aliye mpiku kijana huyu darasani.
Naam wahenga hawa kwenda mrama waliponena kwamba si vyote ving'avyo ni dhahabu. Tabia za kijana huyu zilikunuka fe! Mambo aliyoyafanya Mkadi ni shetani tu aliyeweza kuyafanya. Jambo hilo halikuwafurahisha wazazi wake. Walijaribu kwa jino na ukucha kumrudi mwango lakini wapi. Sikio la kufa halisikii dawa. Mkadi aliyatia masikio yake nta na kutosikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alishikana na kundi la vijana afriti kijiti.
Waliomuelewa vizuri kijana huyu walimtambua tatizo lake. Tabia hii yake mbaya ilitokana na ugwiji wake masomoni uliomfanya ajivike ujeuri. Walimu wake walimpo nasaha. Wanafunzi wenzake walio ona dalili za maporomoka ya maadili walijaribu kumsaidia ila juhudi zao ziliambulia patupu. Mkadi aliamua kulivaa joho la ujeuri.
Mkataa pema pabaya pamngoja na mwiba wa kujichoma mwenyewe hauna kilio. Siku moja Mkadi alifikwa na mashaka baada ya kumdharau mkuu wa polisi. Jumatatu hiyo asubuhi ilikuwa siku ya chete. Alienda Cheteni na kutokana na tamaa yake alimbakura muuza vibeti cheni yake ya dhahabu aliyokuwa amevaa shingoni· Jambo hili halikumfurahisha na alifululiza hadi kituo cha polisi kumshtaki Mkadi. Baada ya muda wa kelbu kukalia mkia wake, Mkadi alikuwa kashatiwa nguvuni.
Huko mahakamani ghulamu huyu alitoa cheche za matusi. Mkuu wa polisi aliamrisha Mkadi apewe kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kutoa matusi mbele ya koti. Hapo ndipo nilijifunza asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Mbona Mkadi alimbakura muuza vibeti cheni | {
"text": [
"kutokana na tamaa yake"
]
} |
3086_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa iwapo mtu anafanya kosa au makosa kisha akakanywa na wakuu wake kisha akayapuuza, baadaye hujipata kwenye shida. Methali hii imelingana na ile isemayo majuto ni mjukuu huja baadaye.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha ya wavyele wao na wayatilie maanani na kuyafuata mawaidha hayo .
Katika kitongoji cha Bokole paliishi familia ya watu. Kwa kweli familia hiyo jaali jala aliyajalia utajiri wa hali ya juu kwani walikuwa na vyote vya muhimu walivyohitaji katika maisha yao. Kwenye familia hiyo mtoto aliyekopolewa alikuwa mmoja wetu. Mtoto alipewa jina Mapenzi alipozalina na wazazi wake walimpenda zaidi ya kumpenda. Mapenzi alilelewa kwa mapenzi ya dhati.
Naam! Miezi ilivunja unga na kuunda miaka ambapo Mapenzi alipelekwa Chekechea. Mapenzi alisoma kwa bidii na alipenda sana shuleni kwani hakuwahi kukosa wala kutoroka shule. Mapenzi baada ya kuvunja ungo akiwa katika darasa la sita, tabia zake bado zilikuwa za kupigiwa mfano kwani alikuwa wembe masomoni.
Mapenzi alipobisha hodi darasa la saba tabia zake zilianaa kubadilika na kuwa kama kinyonga. Wanafunzi wenzake walitaka kuandamana naye kudurusu naye lakini alijiona mjuaji na kuwapa kisogo. Walimu wake waliingilia kati lakini ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi zeze. Kwanza Mapenzi alianza kukosa kuhudhuria masomo katika vipindi vya walimu fulana akijiambia yeye ni kila kitu bila mwalimu. Walimu waliendelea kumsihi na kumpa mawaidha ingawa atabadili nia yake lakini ngo!
Wanafunzi wenzake waling’ang’ana na kutia bidii masomoni wakiamini kwamba bidii hulipa. Wanafunzi waliketia mtihani wa mwisho wa muhula katika darasa hilo lakini baadaye Mapenzi alipewa visogo na wanafunzi wenzake kwani alianza kiza katika mtihani huo. Mapenzi hakukata tamaa, alijipa moyo lakini mambo yalibaki kuwa vivyo hivyo hata baada ya kurudi na kujiunga na darasa la nane. Wanafunzi wenzake walimsaili ajiunge uhusiano na wanafunzi wenzake katika kudurusu lakini sikio la kufa halisikii dawa.
Mapenzi aliona wakati wa kufanya mtihani wa mwisho ni muda mrefu na kutimiza malengo yake. Shuleni humo alizidi kuwa mkia la mbuzi na ilipofikia mtihani wa kitaifa katika darasa la nane, waliketia mtihani huo lakini majibu yalipotokea Mapenzi alikuwa anashikilia mkia kwani alikuwa wa mwisho katika darasa lake. Binadamu anatakiwa kuwa msikivu na mnyenyekevu na asipuuze na kuwadharau wavyele wake na watu wote wanaotoa ushauri kwani binadamu hajaumbwa akaumbika.
| Katika kitongoji cha Bokole paliishi familia ya watu wangapi | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
3086_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa iwapo mtu anafanya kosa au makosa kisha akakanywa na wakuu wake kisha akayapuuza, baadaye hujipata kwenye shida. Methali hii imelingana na ile isemayo majuto ni mjukuu huja baadaye.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha ya wavyele wao na wayatilie maanani na kuyafuata mawaidha hayo .
Katika kitongoji cha Bokole paliishi familia ya watu. Kwa kweli familia hiyo jaali jala aliyajalia utajiri wa hali ya juu kwani walikuwa na vyote vya muhimu walivyohitaji katika maisha yao. Kwenye familia hiyo mtoto aliyekopolewa alikuwa mmoja wetu. Mtoto alipewa jina Mapenzi alipozalina na wazazi wake walimpenda zaidi ya kumpenda. Mapenzi alilelewa kwa mapenzi ya dhati.
Naam! Miezi ilivunja unga na kuunda miaka ambapo Mapenzi alipelekwa Chekechea. Mapenzi alisoma kwa bidii na alipenda sana shuleni kwani hakuwahi kukosa wala kutoroka shule. Mapenzi baada ya kuvunja ungo akiwa katika darasa la sita, tabia zake bado zilikuwa za kupigiwa mfano kwani alikuwa wembe masomoni.
Mapenzi alipobisha hodi darasa la saba tabia zake zilianaa kubadilika na kuwa kama kinyonga. Wanafunzi wenzake walitaka kuandamana naye kudurusu naye lakini alijiona mjuaji na kuwapa kisogo. Walimu wake waliingilia kati lakini ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi zeze. Kwanza Mapenzi alianza kukosa kuhudhuria masomo katika vipindi vya walimu fulana akijiambia yeye ni kila kitu bila mwalimu. Walimu waliendelea kumsihi na kumpa mawaidha ingawa atabadili nia yake lakini ngo!
Wanafunzi wenzake waling’ang’ana na kutia bidii masomoni wakiamini kwamba bidii hulipa. Wanafunzi waliketia mtihani wa mwisho wa muhula katika darasa hilo lakini baadaye Mapenzi alipewa visogo na wanafunzi wenzake kwani alianza kiza katika mtihani huo. Mapenzi hakukata tamaa, alijipa moyo lakini mambo yalibaki kuwa vivyo hivyo hata baada ya kurudi na kujiunga na darasa la nane. Wanafunzi wenzake walimsaili ajiunge uhusiano na wanafunzi wenzake katika kudurusu lakini sikio la kufa halisikii dawa.
Mapenzi aliona wakati wa kufanya mtihani wa mwisho ni muda mrefu na kutimiza malengo yake. Shuleni humo alizidi kuwa mkia la mbuzi na ilipofikia mtihani wa kitaifa katika darasa la nane, waliketia mtihani huo lakini majibu yalipotokea Mapenzi alikuwa anashikilia mkia kwani alikuwa wa mwisho katika darasa lake. Binadamu anatakiwa kuwa msikivu na mnyenyekevu na asipuuze na kuwadharau wavyele wake na watu wote wanaotoa ushauri kwani binadamu hajaumbwa akaumbika.
| Mtoto alipewa jina gani | {
"text": [
"Mapenzi"
]
} |
3086_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa iwapo mtu anafanya kosa au makosa kisha akakanywa na wakuu wake kisha akayapuuza, baadaye hujipata kwenye shida. Methali hii imelingana na ile isemayo majuto ni mjukuu huja baadaye.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha ya wavyele wao na wayatilie maanani na kuyafuata mawaidha hayo .
Katika kitongoji cha Bokole paliishi familia ya watu. Kwa kweli familia hiyo jaali jala aliyajalia utajiri wa hali ya juu kwani walikuwa na vyote vya muhimu walivyohitaji katika maisha yao. Kwenye familia hiyo mtoto aliyekopolewa alikuwa mmoja wetu. Mtoto alipewa jina Mapenzi alipozalina na wazazi wake walimpenda zaidi ya kumpenda. Mapenzi alilelewa kwa mapenzi ya dhati.
Naam! Miezi ilivunja unga na kuunda miaka ambapo Mapenzi alipelekwa Chekechea. Mapenzi alisoma kwa bidii na alipenda sana shuleni kwani hakuwahi kukosa wala kutoroka shule. Mapenzi baada ya kuvunja ungo akiwa katika darasa la sita, tabia zake bado zilikuwa za kupigiwa mfano kwani alikuwa wembe masomoni.
Mapenzi alipobisha hodi darasa la saba tabia zake zilianaa kubadilika na kuwa kama kinyonga. Wanafunzi wenzake walitaka kuandamana naye kudurusu naye lakini alijiona mjuaji na kuwapa kisogo. Walimu wake waliingilia kati lakini ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi zeze. Kwanza Mapenzi alianza kukosa kuhudhuria masomo katika vipindi vya walimu fulana akijiambia yeye ni kila kitu bila mwalimu. Walimu waliendelea kumsihi na kumpa mawaidha ingawa atabadili nia yake lakini ngo!
Wanafunzi wenzake waling’ang’ana na kutia bidii masomoni wakiamini kwamba bidii hulipa. Wanafunzi waliketia mtihani wa mwisho wa muhula katika darasa hilo lakini baadaye Mapenzi alipewa visogo na wanafunzi wenzake kwani alianza kiza katika mtihani huo. Mapenzi hakukata tamaa, alijipa moyo lakini mambo yalibaki kuwa vivyo hivyo hata baada ya kurudi na kujiunga na darasa la nane. Wanafunzi wenzake walimsaili ajiunge uhusiano na wanafunzi wenzake katika kudurusu lakini sikio la kufa halisikii dawa.
Mapenzi aliona wakati wa kufanya mtihani wa mwisho ni muda mrefu na kutimiza malengo yake. Shuleni humo alizidi kuwa mkia la mbuzi na ilipofikia mtihani wa kitaifa katika darasa la nane, waliketia mtihani huo lakini majibu yalipotokea Mapenzi alikuwa anashikilia mkia kwani alikuwa wa mwisho katika darasa lake. Binadamu anatakiwa kuwa msikivu na mnyenyekevu na asipuuze na kuwadharau wavyele wake na watu wote wanaotoa ushauri kwani binadamu hajaumbwa akaumbika.
| Nani alilelewa kwa mapenzi ya dhati | {
"text": [
"Mapenzi"
]
} |
3086_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa iwapo mtu anafanya kosa au makosa kisha akakanywa na wakuu wake kisha akayapuuza, baadaye hujipata kwenye shida. Methali hii imelingana na ile isemayo majuto ni mjukuu huja baadaye.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha ya wavyele wao na wayatilie maanani na kuyafuata mawaidha hayo .
Katika kitongoji cha Bokole paliishi familia ya watu. Kwa kweli familia hiyo jaali jala aliyajalia utajiri wa hali ya juu kwani walikuwa na vyote vya muhimu walivyohitaji katika maisha yao. Kwenye familia hiyo mtoto aliyekopolewa alikuwa mmoja wetu. Mtoto alipewa jina Mapenzi alipozalina na wazazi wake walimpenda zaidi ya kumpenda. Mapenzi alilelewa kwa mapenzi ya dhati.
Naam! Miezi ilivunja unga na kuunda miaka ambapo Mapenzi alipelekwa Chekechea. Mapenzi alisoma kwa bidii na alipenda sana shuleni kwani hakuwahi kukosa wala kutoroka shule. Mapenzi baada ya kuvunja ungo akiwa katika darasa la sita, tabia zake bado zilikuwa za kupigiwa mfano kwani alikuwa wembe masomoni.
Mapenzi alipobisha hodi darasa la saba tabia zake zilianaa kubadilika na kuwa kama kinyonga. Wanafunzi wenzake walitaka kuandamana naye kudurusu naye lakini alijiona mjuaji na kuwapa kisogo. Walimu wake waliingilia kati lakini ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi zeze. Kwanza Mapenzi alianza kukosa kuhudhuria masomo katika vipindi vya walimu fulana akijiambia yeye ni kila kitu bila mwalimu. Walimu waliendelea kumsihi na kumpa mawaidha ingawa atabadili nia yake lakini ngo!
Wanafunzi wenzake waling’ang’ana na kutia bidii masomoni wakiamini kwamba bidii hulipa. Wanafunzi waliketia mtihani wa mwisho wa muhula katika darasa hilo lakini baadaye Mapenzi alipewa visogo na wanafunzi wenzake kwani alianza kiza katika mtihani huo. Mapenzi hakukata tamaa, alijipa moyo lakini mambo yalibaki kuwa vivyo hivyo hata baada ya kurudi na kujiunga na darasa la nane. Wanafunzi wenzake walimsaili ajiunge uhusiano na wanafunzi wenzake katika kudurusu lakini sikio la kufa halisikii dawa.
Mapenzi aliona wakati wa kufanya mtihani wa mwisho ni muda mrefu na kutimiza malengo yake. Shuleni humo alizidi kuwa mkia la mbuzi na ilipofikia mtihani wa kitaifa katika darasa la nane, waliketia mtihani huo lakini majibu yalipotokea Mapenzi alikuwa anashikilia mkia kwani alikuwa wa mwisho katika darasa lake. Binadamu anatakiwa kuwa msikivu na mnyenyekevu na asipuuze na kuwadharau wavyele wake na watu wote wanaotoa ushauri kwani binadamu hajaumbwa akaumbika.
| Walimu waliendelea kumsihi na kumpa nini | {
"text": [
"Mawaidha"
]
} |
3086_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa iwapo mtu anafanya kosa au makosa kisha akakanywa na wakuu wake kisha akayapuuza, baadaye hujipata kwenye shida. Methali hii imelingana na ile isemayo majuto ni mjukuu huja baadaye.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha ya wavyele wao na wayatilie maanani na kuyafuata mawaidha hayo .
Katika kitongoji cha Bokole paliishi familia ya watu. Kwa kweli familia hiyo jaali jala aliyajalia utajiri wa hali ya juu kwani walikuwa na vyote vya muhimu walivyohitaji katika maisha yao. Kwenye familia hiyo mtoto aliyekopolewa alikuwa mmoja wetu. Mtoto alipewa jina Mapenzi alipozalina na wazazi wake walimpenda zaidi ya kumpenda. Mapenzi alilelewa kwa mapenzi ya dhati.
Naam! Miezi ilivunja unga na kuunda miaka ambapo Mapenzi alipelekwa Chekechea. Mapenzi alisoma kwa bidii na alipenda sana shuleni kwani hakuwahi kukosa wala kutoroka shule. Mapenzi baada ya kuvunja ungo akiwa katika darasa la sita, tabia zake bado zilikuwa za kupigiwa mfano kwani alikuwa wembe masomoni.
Mapenzi alipobisha hodi darasa la saba tabia zake zilianaa kubadilika na kuwa kama kinyonga. Wanafunzi wenzake walitaka kuandamana naye kudurusu naye lakini alijiona mjuaji na kuwapa kisogo. Walimu wake waliingilia kati lakini ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi zeze. Kwanza Mapenzi alianza kukosa kuhudhuria masomo katika vipindi vya walimu fulana akijiambia yeye ni kila kitu bila mwalimu. Walimu waliendelea kumsihi na kumpa mawaidha ingawa atabadili nia yake lakini ngo!
Wanafunzi wenzake waling’ang’ana na kutia bidii masomoni wakiamini kwamba bidii hulipa. Wanafunzi waliketia mtihani wa mwisho wa muhula katika darasa hilo lakini baadaye Mapenzi alipewa visogo na wanafunzi wenzake kwani alianza kiza katika mtihani huo. Mapenzi hakukata tamaa, alijipa moyo lakini mambo yalibaki kuwa vivyo hivyo hata baada ya kurudi na kujiunga na darasa la nane. Wanafunzi wenzake walimsaili ajiunge uhusiano na wanafunzi wenzake katika kudurusu lakini sikio la kufa halisikii dawa.
Mapenzi aliona wakati wa kufanya mtihani wa mwisho ni muda mrefu na kutimiza malengo yake. Shuleni humo alizidi kuwa mkia la mbuzi na ilipofikia mtihani wa kitaifa katika darasa la nane, waliketia mtihani huo lakini majibu yalipotokea Mapenzi alikuwa anashikilia mkia kwani alikuwa wa mwisho katika darasa lake. Binadamu anatakiwa kuwa msikivu na mnyenyekevu na asipuuze na kuwadharau wavyele wake na watu wote wanaotoa ushauri kwani binadamu hajaumbwa akaumbika.
| Nani anatakiwa kuwa msikivu na mnyenyekevu | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
3087_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hila imetumiwa inamaanisha kuwa mtu hasa watoto wanapoambiwa hathari au madhara
ya jambo fulani ambalo ni baya kwake ama huenda likamletea madhara ni lazima alitilie maanani. Iwapo mtu huyo atapuuzia basi huenda akapatwa na janga fulani baadaye ambapo huenda likamthuru.
Hivyo basi, methali hii inadhihirisha msichana ambaye alijulikana kama Zuhura. Kama jina linavyodhihirisha Zuhura alikuwa mrembo na mwenye tabia nzuri kijijini kote. Zuhura alipojiunga na shule ya msingi alikuwa wembe masomoni. Wanafunzi wenzake aidha walimsifu kutoka kwa wazazi wake.
Kama ada Zuhura aliwaongoza wenzake katika kila mitihani alioufanya. Sifa ghaya zilimiminika kutoka kwa walimu na wazazi wake pia. Wanafunzi wenzake walianza kumuonea gere katika jitihada zake. Walimuacha Zuhura kwa kuvunja urafiki na yeye kwa kusingizia kuwa akiwaonyesha mabego wenzake. Zuhura hakujali yote aliyoambiwa bali alizidi kujizatiti na masomoni.
Walipofanya mtihani wake wa darasa la nane, Zuhura alikuwa miongoni mwa wanafunzi bora nchini. Baada ya muda fulani Zuhura alijiunga katika kidato cha kwanza. Walimu walimpokea kwa furaha ghaya kwani walijua kuwa walimpata mwanafunzi aliyekuwa tumaini la shule yao. Kila mmoja aliyeziona alama za shule ya msingi aliachwa kinywa wazi. Wanafunzi wenzake aidha walisifu shule aliyotoka. Tayari wanalikuja jina lake kwa kuwa lilikuwa limechapishwa
magazetini.
Waama mgema ukimsifu tembo hulitia maji. Zuhura alipojua kuwa alimiminiwa sifa kochokocho alianza kujishawa na kutembea mabega juu. Alianza kulegeza kamba kwani alijua kuwa masomo yalikuwa sawa na yale ya shule ya msingi. Alijiunga na kikundi cha wasichana ambao walikuwa wakivuta bangi shuleni.
Matokeo yake yalianza kudidimia bila ya kujua. Walimu walimfatilia ili kujua tatizo lakini alikiri kuwa hakuwa na tatizo lolote. Wanafunzi wenzake wakiendelea kujizatiti. Jinsi muhula ilivyoyoyoma aliendelea kudorora. Hatimaye alididimia dididi. Miaka ilizidi kusonga hadi akafika kidato cha nne. Hapa ndipo ilipodhihirishwa kuwa Zuhura, alikuwa amebadilika kabisa. Aliamini kuwa werevu wake ungemsaidia kusoma katika muhula wa mwisho na kuwapiga mwereka wenzake.
Alipofika muhula wa tatu, alijaribu kusoma vitabu vya kawaida lakini yalikuwemo yalikuwa kitendawili. Akagundua kuwa maelezo ya walimu na wazazi wake yalikuwa yaelekeza mwanafunzi. Hapakuwa na muda ya kuwaendea walimu. Mtihani ulimgubiki. Matokeo yake yalikuwa sawasawa matendo yake. Matokeo yalipotangazwa Zuhura alikuwa akishikilia mkia. Yamkini asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Huyo msichana aliitwa nani | {
"text": [
"Zuhura"
]
} |
3087_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hila imetumiwa inamaanisha kuwa mtu hasa watoto wanapoambiwa hathari au madhara
ya jambo fulani ambalo ni baya kwake ama huenda likamletea madhara ni lazima alitilie maanani. Iwapo mtu huyo atapuuzia basi huenda akapatwa na janga fulani baadaye ambapo huenda likamthuru.
Hivyo basi, methali hii inadhihirisha msichana ambaye alijulikana kama Zuhura. Kama jina linavyodhihirisha Zuhura alikuwa mrembo na mwenye tabia nzuri kijijini kote. Zuhura alipojiunga na shule ya msingi alikuwa wembe masomoni. Wanafunzi wenzake aidha walimsifu kutoka kwa wazazi wake.
Kama ada Zuhura aliwaongoza wenzake katika kila mitihani alioufanya. Sifa ghaya zilimiminika kutoka kwa walimu na wazazi wake pia. Wanafunzi wenzake walianza kumuonea gere katika jitihada zake. Walimuacha Zuhura kwa kuvunja urafiki na yeye kwa kusingizia kuwa akiwaonyesha mabego wenzake. Zuhura hakujali yote aliyoambiwa bali alizidi kujizatiti na masomoni.
Walipofanya mtihani wake wa darasa la nane, Zuhura alikuwa miongoni mwa wanafunzi bora nchini. Baada ya muda fulani Zuhura alijiunga katika kidato cha kwanza. Walimu walimpokea kwa furaha ghaya kwani walijua kuwa walimpata mwanafunzi aliyekuwa tumaini la shule yao. Kila mmoja aliyeziona alama za shule ya msingi aliachwa kinywa wazi. Wanafunzi wenzake aidha walisifu shule aliyotoka. Tayari wanalikuja jina lake kwa kuwa lilikuwa limechapishwa
magazetini.
Waama mgema ukimsifu tembo hulitia maji. Zuhura alipojua kuwa alimiminiwa sifa kochokocho alianza kujishawa na kutembea mabega juu. Alianza kulegeza kamba kwani alijua kuwa masomo yalikuwa sawa na yale ya shule ya msingi. Alijiunga na kikundi cha wasichana ambao walikuwa wakivuta bangi shuleni.
Matokeo yake yalianza kudidimia bila ya kujua. Walimu walimfatilia ili kujua tatizo lakini alikiri kuwa hakuwa na tatizo lolote. Wanafunzi wenzake wakiendelea kujizatiti. Jinsi muhula ilivyoyoyoma aliendelea kudorora. Hatimaye alididimia dididi. Miaka ilizidi kusonga hadi akafika kidato cha nne. Hapa ndipo ilipodhihirishwa kuwa Zuhura, alikuwa amebadilika kabisa. Aliamini kuwa werevu wake ungemsaidia kusoma katika muhula wa mwisho na kuwapiga mwereka wenzake.
Alipofika muhula wa tatu, alijaribu kusoma vitabu vya kawaida lakini yalikuwemo yalikuwa kitendawili. Akagundua kuwa maelezo ya walimu na wazazi wake yalikuwa yaelekeza mwanafunzi. Hapakuwa na muda ya kuwaendea walimu. Mtihani ulimgubiki. Matokeo yake yalikuwa sawasawa matendo yake. Matokeo yalipotangazwa Zuhura alikuwa akishikilia mkia. Yamkini asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Zuhura alijiunga na kikundi kigani cha wasichana | {
"text": [
"waliokua wakivuta bangi"
]
} |
3087_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hila imetumiwa inamaanisha kuwa mtu hasa watoto wanapoambiwa hathari au madhara
ya jambo fulani ambalo ni baya kwake ama huenda likamletea madhara ni lazima alitilie maanani. Iwapo mtu huyo atapuuzia basi huenda akapatwa na janga fulani baadaye ambapo huenda likamthuru.
Hivyo basi, methali hii inadhihirisha msichana ambaye alijulikana kama Zuhura. Kama jina linavyodhihirisha Zuhura alikuwa mrembo na mwenye tabia nzuri kijijini kote. Zuhura alipojiunga na shule ya msingi alikuwa wembe masomoni. Wanafunzi wenzake aidha walimsifu kutoka kwa wazazi wake.
Kama ada Zuhura aliwaongoza wenzake katika kila mitihani alioufanya. Sifa ghaya zilimiminika kutoka kwa walimu na wazazi wake pia. Wanafunzi wenzake walianza kumuonea gere katika jitihada zake. Walimuacha Zuhura kwa kuvunja urafiki na yeye kwa kusingizia kuwa akiwaonyesha mabego wenzake. Zuhura hakujali yote aliyoambiwa bali alizidi kujizatiti na masomoni.
Walipofanya mtihani wake wa darasa la nane, Zuhura alikuwa miongoni mwa wanafunzi bora nchini. Baada ya muda fulani Zuhura alijiunga katika kidato cha kwanza. Walimu walimpokea kwa furaha ghaya kwani walijua kuwa walimpata mwanafunzi aliyekuwa tumaini la shule yao. Kila mmoja aliyeziona alama za shule ya msingi aliachwa kinywa wazi. Wanafunzi wenzake aidha walisifu shule aliyotoka. Tayari wanalikuja jina lake kwa kuwa lilikuwa limechapishwa
magazetini.
Waama mgema ukimsifu tembo hulitia maji. Zuhura alipojua kuwa alimiminiwa sifa kochokocho alianza kujishawa na kutembea mabega juu. Alianza kulegeza kamba kwani alijua kuwa masomo yalikuwa sawa na yale ya shule ya msingi. Alijiunga na kikundi cha wasichana ambao walikuwa wakivuta bangi shuleni.
Matokeo yake yalianza kudidimia bila ya kujua. Walimu walimfatilia ili kujua tatizo lakini alikiri kuwa hakuwa na tatizo lolote. Wanafunzi wenzake wakiendelea kujizatiti. Jinsi muhula ilivyoyoyoma aliendelea kudorora. Hatimaye alididimia dididi. Miaka ilizidi kusonga hadi akafika kidato cha nne. Hapa ndipo ilipodhihirishwa kuwa Zuhura, alikuwa amebadilika kabisa. Aliamini kuwa werevu wake ungemsaidia kusoma katika muhula wa mwisho na kuwapiga mwereka wenzake.
Alipofika muhula wa tatu, alijaribu kusoma vitabu vya kawaida lakini yalikuwemo yalikuwa kitendawili. Akagundua kuwa maelezo ya walimu na wazazi wake yalikuwa yaelekeza mwanafunzi. Hapakuwa na muda ya kuwaendea walimu. Mtihani ulimgubiki. Matokeo yake yalikuwa sawasawa matendo yake. Matokeo yalipotangazwa Zuhura alikuwa akishikilia mkia. Yamkini asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Nani alikua miongoni wa wanafunzi bora inchini | {
"text": [
"zuhura"
]
} |
3087_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hila imetumiwa inamaanisha kuwa mtu hasa watoto wanapoambiwa hathari au madhara
ya jambo fulani ambalo ni baya kwake ama huenda likamletea madhara ni lazima alitilie maanani. Iwapo mtu huyo atapuuzia basi huenda akapatwa na janga fulani baadaye ambapo huenda likamthuru.
Hivyo basi, methali hii inadhihirisha msichana ambaye alijulikana kama Zuhura. Kama jina linavyodhihirisha Zuhura alikuwa mrembo na mwenye tabia nzuri kijijini kote. Zuhura alipojiunga na shule ya msingi alikuwa wembe masomoni. Wanafunzi wenzake aidha walimsifu kutoka kwa wazazi wake.
Kama ada Zuhura aliwaongoza wenzake katika kila mitihani alioufanya. Sifa ghaya zilimiminika kutoka kwa walimu na wazazi wake pia. Wanafunzi wenzake walianza kumuonea gere katika jitihada zake. Walimuacha Zuhura kwa kuvunja urafiki na yeye kwa kusingizia kuwa akiwaonyesha mabego wenzake. Zuhura hakujali yote aliyoambiwa bali alizidi kujizatiti na masomoni.
Walipofanya mtihani wake wa darasa la nane, Zuhura alikuwa miongoni mwa wanafunzi bora nchini. Baada ya muda fulani Zuhura alijiunga katika kidato cha kwanza. Walimu walimpokea kwa furaha ghaya kwani walijua kuwa walimpata mwanafunzi aliyekuwa tumaini la shule yao. Kila mmoja aliyeziona alama za shule ya msingi aliachwa kinywa wazi. Wanafunzi wenzake aidha walisifu shule aliyotoka. Tayari wanalikuja jina lake kwa kuwa lilikuwa limechapishwa
magazetini.
Waama mgema ukimsifu tembo hulitia maji. Zuhura alipojua kuwa alimiminiwa sifa kochokocho alianza kujishawa na kutembea mabega juu. Alianza kulegeza kamba kwani alijua kuwa masomo yalikuwa sawa na yale ya shule ya msingi. Alijiunga na kikundi cha wasichana ambao walikuwa wakivuta bangi shuleni.
Matokeo yake yalianza kudidimia bila ya kujua. Walimu walimfatilia ili kujua tatizo lakini alikiri kuwa hakuwa na tatizo lolote. Wanafunzi wenzake wakiendelea kujizatiti. Jinsi muhula ilivyoyoyoma aliendelea kudorora. Hatimaye alididimia dididi. Miaka ilizidi kusonga hadi akafika kidato cha nne. Hapa ndipo ilipodhihirishwa kuwa Zuhura, alikuwa amebadilika kabisa. Aliamini kuwa werevu wake ungemsaidia kusoma katika muhula wa mwisho na kuwapiga mwereka wenzake.
Alipofika muhula wa tatu, alijaribu kusoma vitabu vya kawaida lakini yalikuwemo yalikuwa kitendawili. Akagundua kuwa maelezo ya walimu na wazazi wake yalikuwa yaelekeza mwanafunzi. Hapakuwa na muda ya kuwaendea walimu. Mtihani ulimgubiki. Matokeo yake yalikuwa sawasawa matendo yake. Matokeo yalipotangazwa Zuhura alikuwa akishikilia mkia. Yamkini asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Zuhura alianza kulegeza kamba lini | {
"text": [
"alipomiminiwa sifa kochokocho"
]
} |
3087_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hila imetumiwa inamaanisha kuwa mtu hasa watoto wanapoambiwa hathari au madhara
ya jambo fulani ambalo ni baya kwake ama huenda likamletea madhara ni lazima alitilie maanani. Iwapo mtu huyo atapuuzia basi huenda akapatwa na janga fulani baadaye ambapo huenda likamthuru.
Hivyo basi, methali hii inadhihirisha msichana ambaye alijulikana kama Zuhura. Kama jina linavyodhihirisha Zuhura alikuwa mrembo na mwenye tabia nzuri kijijini kote. Zuhura alipojiunga na shule ya msingi alikuwa wembe masomoni. Wanafunzi wenzake aidha walimsifu kutoka kwa wazazi wake.
Kama ada Zuhura aliwaongoza wenzake katika kila mitihani alioufanya. Sifa ghaya zilimiminika kutoka kwa walimu na wazazi wake pia. Wanafunzi wenzake walianza kumuonea gere katika jitihada zake. Walimuacha Zuhura kwa kuvunja urafiki na yeye kwa kusingizia kuwa akiwaonyesha mabego wenzake. Zuhura hakujali yote aliyoambiwa bali alizidi kujizatiti na masomoni.
Walipofanya mtihani wake wa darasa la nane, Zuhura alikuwa miongoni mwa wanafunzi bora nchini. Baada ya muda fulani Zuhura alijiunga katika kidato cha kwanza. Walimu walimpokea kwa furaha ghaya kwani walijua kuwa walimpata mwanafunzi aliyekuwa tumaini la shule yao. Kila mmoja aliyeziona alama za shule ya msingi aliachwa kinywa wazi. Wanafunzi wenzake aidha walisifu shule aliyotoka. Tayari wanalikuja jina lake kwa kuwa lilikuwa limechapishwa
magazetini.
Waama mgema ukimsifu tembo hulitia maji. Zuhura alipojua kuwa alimiminiwa sifa kochokocho alianza kujishawa na kutembea mabega juu. Alianza kulegeza kamba kwani alijua kuwa masomo yalikuwa sawa na yale ya shule ya msingi. Alijiunga na kikundi cha wasichana ambao walikuwa wakivuta bangi shuleni.
Matokeo yake yalianza kudidimia bila ya kujua. Walimu walimfatilia ili kujua tatizo lakini alikiri kuwa hakuwa na tatizo lolote. Wanafunzi wenzake wakiendelea kujizatiti. Jinsi muhula ilivyoyoyoma aliendelea kudorora. Hatimaye alididimia dididi. Miaka ilizidi kusonga hadi akafika kidato cha nne. Hapa ndipo ilipodhihirishwa kuwa Zuhura, alikuwa amebadilika kabisa. Aliamini kuwa werevu wake ungemsaidia kusoma katika muhula wa mwisho na kuwapiga mwereka wenzake.
Alipofika muhula wa tatu, alijaribu kusoma vitabu vya kawaida lakini yalikuwemo yalikuwa kitendawili. Akagundua kuwa maelezo ya walimu na wazazi wake yalikuwa yaelekeza mwanafunzi. Hapakuwa na muda ya kuwaendea walimu. Mtihani ulimgubiki. Matokeo yake yalikuwa sawasawa matendo yake. Matokeo yalipotangazwa Zuhura alikuwa akishikilia mkia. Yamkini asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Kwa nini Zuhura alilegeza kamba | {
"text": [
"alijua masomo yalikua kama yale ya shule ya msingi"
]
} |
3088_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kwa elimu ya kisasa. Teknolojia imesaidia Wanafunzi wengi nchini kuendeleza masomo yao vizuri. Wanafunzi wengi wamekuwa wakisoma kwa mitandao wakati wowote. Kwa sababu hii wanafunzi wengi wamekuwa wakipita mitihani yao kwa sababu huwa wanatambua mengi zaidi kuliko yafunzwayo na mwalimu.
Hii imewawezesha wanafunzi walemavu pia kuendeleza masomo kwa kutumia mashine ambazo huwasaidia wakati wanaposoma, mfano vipofu. Teknolojia pia imewawezesha na kuwasaidia wanafunzi kupita mtihani kwa sababu ya kutungiwa mitihani wa hapa na pale. Teknolojia imesaidia pia kwa kupungua kwa wizi baina ya wanafunzi wenyewe.
Shule nyingi za sekondari ziko na televisheni maalum ambazo huwekwa wakati wowote mwanafunzi anapojaribu kumuibia mwenzake, huwa wanaonekana kwa kutumia televisheni hizo. Hii imesaidia sana katika shule nyingi.
Vile vile teknolojia ina madhara mengi kwa wanafunzi. Kwa mfano, baadhi ya wanafunzi wakati
wa kuingia shule huwa wanabeba simu. Wakati wa usiku ambapo watu wanaenda kwa malazi katika mabweni, wanafunzi hao huwa wanaingia kwenye mitandao huku wengine wakiwa wamelala. Kwa sababu hiyo wanafunzi wengi huwa hutoka shule kwa sababu ya kuanguka au kufeli mtihani.
Teknolojia ina madhara kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwanunulia vifaa kama vile kikokotoo. Kwa sababu hiyo wanafunzi hawa hufeli mtihani kwa kukosa vifaa hivyo. | Teknolojia ipi imewasaidia wanafunzi kusoma kila wakati? | {
"text": [
"Mtandao"
]
} |
3088_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kwa elimu ya kisasa. Teknolojia imesaidia Wanafunzi wengi nchini kuendeleza masomo yao vizuri. Wanafunzi wengi wamekuwa wakisoma kwa mitandao wakati wowote. Kwa sababu hii wanafunzi wengi wamekuwa wakipita mitihani yao kwa sababu huwa wanatambua mengi zaidi kuliko yafunzwayo na mwalimu.
Hii imewawezesha wanafunzi walemavu pia kuendeleza masomo kwa kutumia mashine ambazo huwasaidia wakati wanaposoma, mfano vipofu. Teknolojia pia imewawezesha na kuwasaidia wanafunzi kupita mtihani kwa sababu ya kutungiwa mitihani wa hapa na pale. Teknolojia imesaidia pia kwa kupungua kwa wizi baina ya wanafunzi wenyewe.
Shule nyingi za sekondari ziko na televisheni maalum ambazo huwekwa wakati wowote mwanafunzi anapojaribu kumuibia mwenzake, huwa wanaonekana kwa kutumia televisheni hizo. Hii imesaidia sana katika shule nyingi.
Vile vile teknolojia ina madhara mengi kwa wanafunzi. Kwa mfano, baadhi ya wanafunzi wakati
wa kuingia shule huwa wanabeba simu. Wakati wa usiku ambapo watu wanaenda kwa malazi katika mabweni, wanafunzi hao huwa wanaingia kwenye mitandao huku wengine wakiwa wamelala. Kwa sababu hiyo wanafunzi wengi huwa hutoka shule kwa sababu ya kuanguka au kufeli mtihani.
Teknolojia ina madhara kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwanunulia vifaa kama vile kikokotoo. Kwa sababu hiyo wanafunzi hawa hufeli mtihani kwa kukosa vifaa hivyo. | Nini baina ya wanafunzi imepungua kwa sababu ya teknolojia? | {
"text": [
"Wizi"
]
} |
3088_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kwa elimu ya kisasa. Teknolojia imesaidia Wanafunzi wengi nchini kuendeleza masomo yao vizuri. Wanafunzi wengi wamekuwa wakisoma kwa mitandao wakati wowote. Kwa sababu hii wanafunzi wengi wamekuwa wakipita mitihani yao kwa sababu huwa wanatambua mengi zaidi kuliko yafunzwayo na mwalimu.
Hii imewawezesha wanafunzi walemavu pia kuendeleza masomo kwa kutumia mashine ambazo huwasaidia wakati wanaposoma, mfano vipofu. Teknolojia pia imewawezesha na kuwasaidia wanafunzi kupita mtihani kwa sababu ya kutungiwa mitihani wa hapa na pale. Teknolojia imesaidia pia kwa kupungua kwa wizi baina ya wanafunzi wenyewe.
Shule nyingi za sekondari ziko na televisheni maalum ambazo huwekwa wakati wowote mwanafunzi anapojaribu kumuibia mwenzake, huwa wanaonekana kwa kutumia televisheni hizo. Hii imesaidia sana katika shule nyingi.
Vile vile teknolojia ina madhara mengi kwa wanafunzi. Kwa mfano, baadhi ya wanafunzi wakati
wa kuingia shule huwa wanabeba simu. Wakati wa usiku ambapo watu wanaenda kwa malazi katika mabweni, wanafunzi hao huwa wanaingia kwenye mitandao huku wengine wakiwa wamelala. Kwa sababu hiyo wanafunzi wengi huwa hutoka shule kwa sababu ya kuanguka au kufeli mtihani.
Teknolojia ina madhara kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwanunulia vifaa kama vile kikokotoo. Kwa sababu hiyo wanafunzi hawa hufeli mtihani kwa kukosa vifaa hivyo. | Wanafunzi hujiburudisha na kifaa kipi shuleni? | {
"text": [
"Televisheni"
]
} |
3088_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kwa elimu ya kisasa. Teknolojia imesaidia Wanafunzi wengi nchini kuendeleza masomo yao vizuri. Wanafunzi wengi wamekuwa wakisoma kwa mitandao wakati wowote. Kwa sababu hii wanafunzi wengi wamekuwa wakipita mitihani yao kwa sababu huwa wanatambua mengi zaidi kuliko yafunzwayo na mwalimu.
Hii imewawezesha wanafunzi walemavu pia kuendeleza masomo kwa kutumia mashine ambazo huwasaidia wakati wanaposoma, mfano vipofu. Teknolojia pia imewawezesha na kuwasaidia wanafunzi kupita mtihani kwa sababu ya kutungiwa mitihani wa hapa na pale. Teknolojia imesaidia pia kwa kupungua kwa wizi baina ya wanafunzi wenyewe.
Shule nyingi za sekondari ziko na televisheni maalum ambazo huwekwa wakati wowote mwanafunzi anapojaribu kumuibia mwenzake, huwa wanaonekana kwa kutumia televisheni hizo. Hii imesaidia sana katika shule nyingi.
Vile vile teknolojia ina madhara mengi kwa wanafunzi. Kwa mfano, baadhi ya wanafunzi wakati
wa kuingia shule huwa wanabeba simu. Wakati wa usiku ambapo watu wanaenda kwa malazi katika mabweni, wanafunzi hao huwa wanaingia kwenye mitandao huku wengine wakiwa wamelala. Kwa sababu hiyo wanafunzi wengi huwa hutoka shule kwa sababu ya kuanguka au kufeli mtihani.
Teknolojia ina madhara kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwanunulia vifaa kama vile kikokotoo. Kwa sababu hiyo wanafunzi hawa hufeli mtihani kwa kukosa vifaa hivyo. | Wanafunzi maskini hufeli somo la hisabati kwa kukosa kifaa ipi? | {
"text": [
"Kikokotoo"
]
} |
3088_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kwa elimu ya kisasa. Teknolojia imesaidia Wanafunzi wengi nchini kuendeleza masomo yao vizuri. Wanafunzi wengi wamekuwa wakisoma kwa mitandao wakati wowote. Kwa sababu hii wanafunzi wengi wamekuwa wakipita mitihani yao kwa sababu huwa wanatambua mengi zaidi kuliko yafunzwayo na mwalimu.
Hii imewawezesha wanafunzi walemavu pia kuendeleza masomo kwa kutumia mashine ambazo huwasaidia wakati wanaposoma, mfano vipofu. Teknolojia pia imewawezesha na kuwasaidia wanafunzi kupita mtihani kwa sababu ya kutungiwa mitihani wa hapa na pale. Teknolojia imesaidia pia kwa kupungua kwa wizi baina ya wanafunzi wenyewe.
Shule nyingi za sekondari ziko na televisheni maalum ambazo huwekwa wakati wowote mwanafunzi anapojaribu kumuibia mwenzake, huwa wanaonekana kwa kutumia televisheni hizo. Hii imesaidia sana katika shule nyingi.
Vile vile teknolojia ina madhara mengi kwa wanafunzi. Kwa mfano, baadhi ya wanafunzi wakati
wa kuingia shule huwa wanabeba simu. Wakati wa usiku ambapo watu wanaenda kwa malazi katika mabweni, wanafunzi hao huwa wanaingia kwenye mitandao huku wengine wakiwa wamelala. Kwa sababu hiyo wanafunzi wengi huwa hutoka shule kwa sababu ya kuanguka au kufeli mtihani.
Teknolojia ina madhara kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwanunulia vifaa kama vile kikokotoo. Kwa sababu hiyo wanafunzi hawa hufeli mtihani kwa kukosa vifaa hivyo. | Wanafunzi hufeli mitihani kwa sababu ipi? | {
"text": [
"Kutumia wakati mwingi kwenye mtandao"
]
} |
3089_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii humaanisha kuwa asiyesikia lawavyele wake basi huenda akapata matokeo yake baadaye. Amina alikuwa msichana pekee katika familia ya bi Asili na bwana Almasi. Amina alilelewa maisha mazuri na wazazi wake. Amina aliumbwa akaumbika, kiuno chake kilikuwa cha nyigu, shingo ya upanga na miguu yake ni kama cherehani. Amina alikuwa mwenye kusaidia wazazi wake. Aliwatii wazazi na hata majirani. Alikuwa msichana mwenye kusifika mtaa kote.
Amina alisomea shule ya msingi na alikuwa mwenye kutia bidii kila mara yeye huwa kichwa. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana kwa bidii zake na kutii kwake. Anapoingia darasani yeye hunyamaza mwalimu asipokuwa darasani. Bi Asili na bwana Almasi walikuwa wenye kumzawadi mwanao anapopita mtihani.
Msichana huyu alimaliza mtihani wake wa kitaifa na matokeo yalipotoka Amina alikuwa akiongoza na alama mia nne na hamsini. Familia ya bwana Almasi walifurahi kupindukia pamoja na wakubwa kutoka maeneo mbalimbali. Mwalimu mkuu aliamua kumlipia karo kutoka kidato cha kwanza hadi kwa nne.
Amina alijiunga na shule ya upili. Muda si muda walifanya mtihani wa kufunga shule naye alizoa alama ya A. Kadri siku zinavyosonga, Amina alianza kudidimia katika masomo. Walimu walitaka kujua sababu ananguka mtihani hakuwa na jibu lolote. Amina alianza kutotii walimu na hata wanafunzi wenzake. Mwalimu wake wa darasa aliamua kumuita kuwaita wazazi wake.
Amina aliitwa na kuulizwa maswali na papo hapo Amina alitoka nje ya ofisi.
Wazazi waliamua kurudi nyumbani. Amina alipofunga shule alirudi nyumbani na muda si muda shule zilifunguliwa na aliamua kuwambia wazazi wake kuwa hatarudi shule tena. Wazazi wak? walimpa faida ya masomo lakini Amina alitia nta kwenye masikio yake. Wazazi waling’ang’ana lakini wapi, hawakufua dafu.
Amina aliamua kwenda kazini. Wazazi wake walibaki tu kuangalia wasiwe na la kufanya. Baada ya miezi tatu hivi Amina alirudi nyumbani akiwa amekonda na kukondeana. Wazazi wake waliamua kumpeleka hospitalini. Alipofanyiwa vipimo alipatikana akiwa na ukimwi na daktari alisema ameshafika mwisho. Waliamua kurudi nyumbani. Amina alijuta sana na hapo ndipo alipojua kuwa majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo.
Baada ya wiki moja, Amina aliaga dunia na familia iliomboleza na hapo ndipo wengi wetu walijiwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Hii imetolewa kwa wale wasiotii wavyele wao. | Asiyesikia la mkuu huvunjika nini | {
"text": [
"Mguu"
]
} |
3089_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii humaanisha kuwa asiyesikia lawavyele wake basi huenda akapata matokeo yake baadaye. Amina alikuwa msichana pekee katika familia ya bi Asili na bwana Almasi. Amina alilelewa maisha mazuri na wazazi wake. Amina aliumbwa akaumbika, kiuno chake kilikuwa cha nyigu, shingo ya upanga na miguu yake ni kama cherehani. Amina alikuwa mwenye kusaidia wazazi wake. Aliwatii wazazi na hata majirani. Alikuwa msichana mwenye kusifika mtaa kote.
Amina alisomea shule ya msingi na alikuwa mwenye kutia bidii kila mara yeye huwa kichwa. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana kwa bidii zake na kutii kwake. Anapoingia darasani yeye hunyamaza mwalimu asipokuwa darasani. Bi Asili na bwana Almasi walikuwa wenye kumzawadi mwanao anapopita mtihani.
Msichana huyu alimaliza mtihani wake wa kitaifa na matokeo yalipotoka Amina alikuwa akiongoza na alama mia nne na hamsini. Familia ya bwana Almasi walifurahi kupindukia pamoja na wakubwa kutoka maeneo mbalimbali. Mwalimu mkuu aliamua kumlipia karo kutoka kidato cha kwanza hadi kwa nne.
Amina alijiunga na shule ya upili. Muda si muda walifanya mtihani wa kufunga shule naye alizoa alama ya A. Kadri siku zinavyosonga, Amina alianza kudidimia katika masomo. Walimu walitaka kujua sababu ananguka mtihani hakuwa na jibu lolote. Amina alianza kutotii walimu na hata wanafunzi wenzake. Mwalimu wake wa darasa aliamua kumuita kuwaita wazazi wake.
Amina aliitwa na kuulizwa maswali na papo hapo Amina alitoka nje ya ofisi.
Wazazi waliamua kurudi nyumbani. Amina alipofunga shule alirudi nyumbani na muda si muda shule zilifunguliwa na aliamua kuwambia wazazi wake kuwa hatarudi shule tena. Wazazi wak? walimpa faida ya masomo lakini Amina alitia nta kwenye masikio yake. Wazazi waling’ang’ana lakini wapi, hawakufua dafu.
Amina aliamua kwenda kazini. Wazazi wake walibaki tu kuangalia wasiwe na la kufanya. Baada ya miezi tatu hivi Amina alirudi nyumbani akiwa amekonda na kukondeana. Wazazi wake waliamua kumpeleka hospitalini. Alipofanyiwa vipimo alipatikana akiwa na ukimwi na daktari alisema ameshafika mwisho. Waliamua kurudi nyumbani. Amina alijuta sana na hapo ndipo alipojua kuwa majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo.
Baada ya wiki moja, Amina aliaga dunia na familia iliomboleza na hapo ndipo wengi wetu walijiwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Hii imetolewa kwa wale wasiotii wavyele wao. | Nani alikuwa msichana wa pekee | {
"text": [
"Amina"
]
} |
3089_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii humaanisha kuwa asiyesikia lawavyele wake basi huenda akapata matokeo yake baadaye. Amina alikuwa msichana pekee katika familia ya bi Asili na bwana Almasi. Amina alilelewa maisha mazuri na wazazi wake. Amina aliumbwa akaumbika, kiuno chake kilikuwa cha nyigu, shingo ya upanga na miguu yake ni kama cherehani. Amina alikuwa mwenye kusaidia wazazi wake. Aliwatii wazazi na hata majirani. Alikuwa msichana mwenye kusifika mtaa kote.
Amina alisomea shule ya msingi na alikuwa mwenye kutia bidii kila mara yeye huwa kichwa. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana kwa bidii zake na kutii kwake. Anapoingia darasani yeye hunyamaza mwalimu asipokuwa darasani. Bi Asili na bwana Almasi walikuwa wenye kumzawadi mwanao anapopita mtihani.
Msichana huyu alimaliza mtihani wake wa kitaifa na matokeo yalipotoka Amina alikuwa akiongoza na alama mia nne na hamsini. Familia ya bwana Almasi walifurahi kupindukia pamoja na wakubwa kutoka maeneo mbalimbali. Mwalimu mkuu aliamua kumlipia karo kutoka kidato cha kwanza hadi kwa nne.
Amina alijiunga na shule ya upili. Muda si muda walifanya mtihani wa kufunga shule naye alizoa alama ya A. Kadri siku zinavyosonga, Amina alianza kudidimia katika masomo. Walimu walitaka kujua sababu ananguka mtihani hakuwa na jibu lolote. Amina alianza kutotii walimu na hata wanafunzi wenzake. Mwalimu wake wa darasa aliamua kumuita kuwaita wazazi wake.
Amina aliitwa na kuulizwa maswali na papo hapo Amina alitoka nje ya ofisi.
Wazazi waliamua kurudi nyumbani. Amina alipofunga shule alirudi nyumbani na muda si muda shule zilifunguliwa na aliamua kuwambia wazazi wake kuwa hatarudi shule tena. Wazazi wak? walimpa faida ya masomo lakini Amina alitia nta kwenye masikio yake. Wazazi waling’ang’ana lakini wapi, hawakufua dafu.
Amina aliamua kwenda kazini. Wazazi wake walibaki tu kuangalia wasiwe na la kufanya. Baada ya miezi tatu hivi Amina alirudi nyumbani akiwa amekonda na kukondeana. Wazazi wake waliamua kumpeleka hospitalini. Alipofanyiwa vipimo alipatikana akiwa na ukimwi na daktari alisema ameshafika mwisho. Waliamua kurudi nyumbani. Amina alijuta sana na hapo ndipo alipojua kuwa majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo.
Baada ya wiki moja, Amina aliaga dunia na familia iliomboleza na hapo ndipo wengi wetu walijiwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Hii imetolewa kwa wale wasiotii wavyele wao. | Amina alikuwa anawasaidia nani | {
"text": [
"Wazazi wake"
]
} |
3089_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii humaanisha kuwa asiyesikia lawavyele wake basi huenda akapata matokeo yake baadaye. Amina alikuwa msichana pekee katika familia ya bi Asili na bwana Almasi. Amina alilelewa maisha mazuri na wazazi wake. Amina aliumbwa akaumbika, kiuno chake kilikuwa cha nyigu, shingo ya upanga na miguu yake ni kama cherehani. Amina alikuwa mwenye kusaidia wazazi wake. Aliwatii wazazi na hata majirani. Alikuwa msichana mwenye kusifika mtaa kote.
Amina alisomea shule ya msingi na alikuwa mwenye kutia bidii kila mara yeye huwa kichwa. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana kwa bidii zake na kutii kwake. Anapoingia darasani yeye hunyamaza mwalimu asipokuwa darasani. Bi Asili na bwana Almasi walikuwa wenye kumzawadi mwanao anapopita mtihani.
Msichana huyu alimaliza mtihani wake wa kitaifa na matokeo yalipotoka Amina alikuwa akiongoza na alama mia nne na hamsini. Familia ya bwana Almasi walifurahi kupindukia pamoja na wakubwa kutoka maeneo mbalimbali. Mwalimu mkuu aliamua kumlipia karo kutoka kidato cha kwanza hadi kwa nne.
Amina alijiunga na shule ya upili. Muda si muda walifanya mtihani wa kufunga shule naye alizoa alama ya A. Kadri siku zinavyosonga, Amina alianza kudidimia katika masomo. Walimu walitaka kujua sababu ananguka mtihani hakuwa na jibu lolote. Amina alianza kutotii walimu na hata wanafunzi wenzake. Mwalimu wake wa darasa aliamua kumuita kuwaita wazazi wake.
Amina aliitwa na kuulizwa maswali na papo hapo Amina alitoka nje ya ofisi.
Wazazi waliamua kurudi nyumbani. Amina alipofunga shule alirudi nyumbani na muda si muda shule zilifunguliwa na aliamua kuwambia wazazi wake kuwa hatarudi shule tena. Wazazi wak? walimpa faida ya masomo lakini Amina alitia nta kwenye masikio yake. Wazazi waling’ang’ana lakini wapi, hawakufua dafu.
Amina aliamua kwenda kazini. Wazazi wake walibaki tu kuangalia wasiwe na la kufanya. Baada ya miezi tatu hivi Amina alirudi nyumbani akiwa amekonda na kukondeana. Wazazi wake waliamua kumpeleka hospitalini. Alipofanyiwa vipimo alipatikana akiwa na ukimwi na daktari alisema ameshafika mwisho. Waliamua kurudi nyumbani. Amina alijuta sana na hapo ndipo alipojua kuwa majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo.
Baada ya wiki moja, Amina aliaga dunia na familia iliomboleza na hapo ndipo wengi wetu walijiwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Hii imetolewa kwa wale wasiotii wavyele wao. | Nani aliamua kumlipia karo kutoka kidato cha kwanza hadi cha nne | {
"text": [
"Mwalimu mkuu"
]
} |
3089_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii humaanisha kuwa asiyesikia lawavyele wake basi huenda akapata matokeo yake baadaye. Amina alikuwa msichana pekee katika familia ya bi Asili na bwana Almasi. Amina alilelewa maisha mazuri na wazazi wake. Amina aliumbwa akaumbika, kiuno chake kilikuwa cha nyigu, shingo ya upanga na miguu yake ni kama cherehani. Amina alikuwa mwenye kusaidia wazazi wake. Aliwatii wazazi na hata majirani. Alikuwa msichana mwenye kusifika mtaa kote.
Amina alisomea shule ya msingi na alikuwa mwenye kutia bidii kila mara yeye huwa kichwa. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana kwa bidii zake na kutii kwake. Anapoingia darasani yeye hunyamaza mwalimu asipokuwa darasani. Bi Asili na bwana Almasi walikuwa wenye kumzawadi mwanao anapopita mtihani.
Msichana huyu alimaliza mtihani wake wa kitaifa na matokeo yalipotoka Amina alikuwa akiongoza na alama mia nne na hamsini. Familia ya bwana Almasi walifurahi kupindukia pamoja na wakubwa kutoka maeneo mbalimbali. Mwalimu mkuu aliamua kumlipia karo kutoka kidato cha kwanza hadi kwa nne.
Amina alijiunga na shule ya upili. Muda si muda walifanya mtihani wa kufunga shule naye alizoa alama ya A. Kadri siku zinavyosonga, Amina alianza kudidimia katika masomo. Walimu walitaka kujua sababu ananguka mtihani hakuwa na jibu lolote. Amina alianza kutotii walimu na hata wanafunzi wenzake. Mwalimu wake wa darasa aliamua kumuita kuwaita wazazi wake.
Amina aliitwa na kuulizwa maswali na papo hapo Amina alitoka nje ya ofisi.
Wazazi waliamua kurudi nyumbani. Amina alipofunga shule alirudi nyumbani na muda si muda shule zilifunguliwa na aliamua kuwambia wazazi wake kuwa hatarudi shule tena. Wazazi wak? walimpa faida ya masomo lakini Amina alitia nta kwenye masikio yake. Wazazi waling’ang’ana lakini wapi, hawakufua dafu.
Amina aliamua kwenda kazini. Wazazi wake walibaki tu kuangalia wasiwe na la kufanya. Baada ya miezi tatu hivi Amina alirudi nyumbani akiwa amekonda na kukondeana. Wazazi wake waliamua kumpeleka hospitalini. Alipofanyiwa vipimo alipatikana akiwa na ukimwi na daktari alisema ameshafika mwisho. Waliamua kurudi nyumbani. Amina alijuta sana na hapo ndipo alipojua kuwa majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo.
Baada ya wiki moja, Amina aliaga dunia na familia iliomboleza na hapo ndipo wengi wetu walijiwa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Hii imetolewa kwa wale wasiotii wavyele wao. | Kwa nini walimu na wanafunzi walimpenda sana Amina | {
"text": [
"Kwa sababu ya bidii zake na utii"
]
} |
3090_swa | INSHA: FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia imeweza kutumiwa na walimu shule kwa kuwafundisha wanafunzi wa sekondari kupitia runinga. Njia hii imewafanya wanafunzi wengi kufaulu vyema masomoni na kuibuka kipau mbele kwani kuelewa rahisi anapofundishwa. Pia njia hii imewaza kupotosha sana wengine ambao hawategi masikio yao ndi ili kumsikiza mwalimu anapofundisha bali hao hupiga gumzo.
Baadhi ya wanafunzi wanapoenda kusoma somo la historia kwa kutumia kompyuta. Ili kupata maelezo zaidi au kupata historia zilizohifadhiwa ndani ya kompyuta lakini wengine huangalia video za mapenzi.
Runinga hutumiwa na walimu shuleni wakati mwanafunzi anapotaka kuzungumza na wazazi wake ilikuwajulia hali na pia mwalimu hutumia humfahamisha mzazi jinsi mtoto wake anavyoendelea kimasomo au iwapo anataka mzazi aweze kufika shule ilikuonana ana kwa ana kuzungumza kinagauba jinsi watakavyo msaidia mtoto ili kufanya vyema kimasomo. Baadhi ya wanafunzi wamepotoka sana kimasomo kwani wanatumia rununu kwa njia zisizostahili.
Baadhi ya walimu wameweza kupata kazi zao kupitia taarifa mbalimbali zitokazo kwenye rununu, televisheni na kadhalika . Hii imewafanikisha wenye teknolojia na pia imewafanya walimu wengine kukosa kazi kwa kutopata taarifa hizo kutokana na ukosefu wa teknolojia,
Wanafunzi pia vilevile hutumia rununu ili kufanya kazi zao za ziada na pia kusoma. Kunao wanafunzi vichwa maji ambao hawasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani hawa hutumia rununu hizo kupata marafiki yaani mpenzi. Hii imechangia sana wanafunzi kuacha shule na kuolewa.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi shuleni na pia walimu kufanya hesabu. Kikokotoo huweza kumsaidia mwanafunzi kwa kupata jibu sahihi linalotakikana kwa muda mfupi kwani hii huwa njia rahisi sana. Baadhi ya wanafunzi wasiojuwa kutumia kikokotoo huweza kuiona chombo ambacho hakina maana kwao.
| Wanafunzi wameweza kufunzwa shuleni kupitia nini | {
"text": [
"runinga"
]
} |
3090_swa | INSHA: FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia imeweza kutumiwa na walimu shule kwa kuwafundisha wanafunzi wa sekondari kupitia runinga. Njia hii imewafanya wanafunzi wengi kufaulu vyema masomoni na kuibuka kipau mbele kwani kuelewa rahisi anapofundishwa. Pia njia hii imewaza kupotosha sana wengine ambao hawategi masikio yao ndi ili kumsikiza mwalimu anapofundisha bali hao hupiga gumzo.
Baadhi ya wanafunzi wanapoenda kusoma somo la historia kwa kutumia kompyuta. Ili kupata maelezo zaidi au kupata historia zilizohifadhiwa ndani ya kompyuta lakini wengine huangalia video za mapenzi.
Runinga hutumiwa na walimu shuleni wakati mwanafunzi anapotaka kuzungumza na wazazi wake ilikuwajulia hali na pia mwalimu hutumia humfahamisha mzazi jinsi mtoto wake anavyoendelea kimasomo au iwapo anataka mzazi aweze kufika shule ilikuonana ana kwa ana kuzungumza kinagauba jinsi watakavyo msaidia mtoto ili kufanya vyema kimasomo. Baadhi ya wanafunzi wamepotoka sana kimasomo kwani wanatumia rununu kwa njia zisizostahili.
Baadhi ya walimu wameweza kupata kazi zao kupitia taarifa mbalimbali zitokazo kwenye rununu, televisheni na kadhalika . Hii imewafanikisha wenye teknolojia na pia imewafanya walimu wengine kukosa kazi kwa kutopata taarifa hizo kutokana na ukosefu wa teknolojia,
Wanafunzi pia vilevile hutumia rununu ili kufanya kazi zao za ziada na pia kusoma. Kunao wanafunzi vichwa maji ambao hawasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani hawa hutumia rununu hizo kupata marafiki yaani mpenzi. Hii imechangia sana wanafunzi kuacha shule na kuolewa.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi shuleni na pia walimu kufanya hesabu. Kikokotoo huweza kumsaidia mwanafunzi kwa kupata jibu sahihi linalotakikana kwa muda mfupi kwani hii huwa njia rahisi sana. Baadhi ya wanafunzi wasiojuwa kutumia kikokotoo huweza kuiona chombo ambacho hakina maana kwao.
| Nini hutumiwa kuhifadhi masomo kama historia | {
"text": [
"kompyuta"
]
} |
3090_swa | INSHA: FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia imeweza kutumiwa na walimu shule kwa kuwafundisha wanafunzi wa sekondari kupitia runinga. Njia hii imewafanya wanafunzi wengi kufaulu vyema masomoni na kuibuka kipau mbele kwani kuelewa rahisi anapofundishwa. Pia njia hii imewaza kupotosha sana wengine ambao hawategi masikio yao ndi ili kumsikiza mwalimu anapofundisha bali hao hupiga gumzo.
Baadhi ya wanafunzi wanapoenda kusoma somo la historia kwa kutumia kompyuta. Ili kupata maelezo zaidi au kupata historia zilizohifadhiwa ndani ya kompyuta lakini wengine huangalia video za mapenzi.
Runinga hutumiwa na walimu shuleni wakati mwanafunzi anapotaka kuzungumza na wazazi wake ilikuwajulia hali na pia mwalimu hutumia humfahamisha mzazi jinsi mtoto wake anavyoendelea kimasomo au iwapo anataka mzazi aweze kufika shule ilikuonana ana kwa ana kuzungumza kinagauba jinsi watakavyo msaidia mtoto ili kufanya vyema kimasomo. Baadhi ya wanafunzi wamepotoka sana kimasomo kwani wanatumia rununu kwa njia zisizostahili.
Baadhi ya walimu wameweza kupata kazi zao kupitia taarifa mbalimbali zitokazo kwenye rununu, televisheni na kadhalika . Hii imewafanikisha wenye teknolojia na pia imewafanya walimu wengine kukosa kazi kwa kutopata taarifa hizo kutokana na ukosefu wa teknolojia,
Wanafunzi pia vilevile hutumia rununu ili kufanya kazi zao za ziada na pia kusoma. Kunao wanafunzi vichwa maji ambao hawasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani hawa hutumia rununu hizo kupata marafiki yaani mpenzi. Hii imechangia sana wanafunzi kuacha shule na kuolewa.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi shuleni na pia walimu kufanya hesabu. Kikokotoo huweza kumsaidia mwanafunzi kwa kupata jibu sahihi linalotakikana kwa muda mfupi kwani hii huwa njia rahisi sana. Baadhi ya wanafunzi wasiojuwa kutumia kikokotoo huweza kuiona chombo ambacho hakina maana kwao.
| Nini hutumiwa wakati mwanafunzi anataka kuongelesha mzazi wake | {
"text": [
"rununu"
]
} |
3090_swa | INSHA: FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia imeweza kutumiwa na walimu shule kwa kuwafundisha wanafunzi wa sekondari kupitia runinga. Njia hii imewafanya wanafunzi wengi kufaulu vyema masomoni na kuibuka kipau mbele kwani kuelewa rahisi anapofundishwa. Pia njia hii imewaza kupotosha sana wengine ambao hawategi masikio yao ndi ili kumsikiza mwalimu anapofundisha bali hao hupiga gumzo.
Baadhi ya wanafunzi wanapoenda kusoma somo la historia kwa kutumia kompyuta. Ili kupata maelezo zaidi au kupata historia zilizohifadhiwa ndani ya kompyuta lakini wengine huangalia video za mapenzi.
Runinga hutumiwa na walimu shuleni wakati mwanafunzi anapotaka kuzungumza na wazazi wake ilikuwajulia hali na pia mwalimu hutumia humfahamisha mzazi jinsi mtoto wake anavyoendelea kimasomo au iwapo anataka mzazi aweze kufika shule ilikuonana ana kwa ana kuzungumza kinagauba jinsi watakavyo msaidia mtoto ili kufanya vyema kimasomo. Baadhi ya wanafunzi wamepotoka sana kimasomo kwani wanatumia rununu kwa njia zisizostahili.
Baadhi ya walimu wameweza kupata kazi zao kupitia taarifa mbalimbali zitokazo kwenye rununu, televisheni na kadhalika . Hii imewafanikisha wenye teknolojia na pia imewafanya walimu wengine kukosa kazi kwa kutopata taarifa hizo kutokana na ukosefu wa teknolojia,
Wanafunzi pia vilevile hutumia rununu ili kufanya kazi zao za ziada na pia kusoma. Kunao wanafunzi vichwa maji ambao hawasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani hawa hutumia rununu hizo kupata marafiki yaani mpenzi. Hii imechangia sana wanafunzi kuacha shule na kuolewa.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi shuleni na pia walimu kufanya hesabu. Kikokotoo huweza kumsaidia mwanafunzi kwa kupata jibu sahihi linalotakikana kwa muda mfupi kwani hii huwa njia rahisi sana. Baadhi ya wanafunzi wasiojuwa kutumia kikokotoo huweza kuiona chombo ambacho hakina maana kwao.
| Wanafunzi vilevile hutumia rununu lini | {
"text": [
"wanapofanya kazi zao"
]
} |
3090_swa | INSHA: FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia imeweza kutumiwa na walimu shule kwa kuwafundisha wanafunzi wa sekondari kupitia runinga. Njia hii imewafanya wanafunzi wengi kufaulu vyema masomoni na kuibuka kipau mbele kwani kuelewa rahisi anapofundishwa. Pia njia hii imewaza kupotosha sana wengine ambao hawategi masikio yao ndi ili kumsikiza mwalimu anapofundisha bali hao hupiga gumzo.
Baadhi ya wanafunzi wanapoenda kusoma somo la historia kwa kutumia kompyuta. Ili kupata maelezo zaidi au kupata historia zilizohifadhiwa ndani ya kompyuta lakini wengine huangalia video za mapenzi.
Runinga hutumiwa na walimu shuleni wakati mwanafunzi anapotaka kuzungumza na wazazi wake ilikuwajulia hali na pia mwalimu hutumia humfahamisha mzazi jinsi mtoto wake anavyoendelea kimasomo au iwapo anataka mzazi aweze kufika shule ilikuonana ana kwa ana kuzungumza kinagauba jinsi watakavyo msaidia mtoto ili kufanya vyema kimasomo. Baadhi ya wanafunzi wamepotoka sana kimasomo kwani wanatumia rununu kwa njia zisizostahili.
Baadhi ya walimu wameweza kupata kazi zao kupitia taarifa mbalimbali zitokazo kwenye rununu, televisheni na kadhalika . Hii imewafanikisha wenye teknolojia na pia imewafanya walimu wengine kukosa kazi kwa kutopata taarifa hizo kutokana na ukosefu wa teknolojia,
Wanafunzi pia vilevile hutumia rununu ili kufanya kazi zao za ziada na pia kusoma. Kunao wanafunzi vichwa maji ambao hawasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani hawa hutumia rununu hizo kupata marafiki yaani mpenzi. Hii imechangia sana wanafunzi kuacha shule na kuolewa.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi shuleni na pia walimu kufanya hesabu. Kikokotoo huweza kumsaidia mwanafunzi kwa kupata jibu sahihi linalotakikana kwa muda mfupi kwani hii huwa njia rahisi sana. Baadhi ya wanafunzi wasiojuwa kutumia kikokotoo huweza kuiona chombo ambacho hakina maana kwao.
| Kikotoo husaidia walimu na wanafunzi aje | {
"text": [
"wanaweza kutumia kupata majibu sahihi kwa muda mfupi"
]
} |
3091_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.
Methali hii inamaanisha kwamba iwapo kuna insi ambaye anaonywa dhidi ya kufanya jambo ambalo halina mwelekeo mazuri kwa maisha yake na kukataa kata kata kubadili mwenendo wake basi hana budi mtu huyo kuachwa kukabili maisha yake mwenyewe.
Methali hii ni sawiya na methali zingine kama vile methali ya; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe.
Razia alikuwa msichana mrembo na mwenye umbo la kuvutia sana na urembo wake ulifananishwa kama hurulaini wa peponi. Razia alipendwa sana na nina yake na kumfanya nina yake rafiki yake wa chanda na pete. Baba yake Razia hakuupenda uhusiano baina ya Razia na mama yake.
Baba yake Razia alikuwa akilalamika kila siku kuwa tabia zake Razia hazikumpendeza. Alikuwa akifanya juhudi za mchwa wajengao vichuguu kwa mate na kumshauri kwani siku zote jungu kuu halikosi ukoko.
Razia hakufanya vizuri katika masomo kwani hakuona umuhimu wowote wa masomo hivyo basi tumaini lake lilikuwa la kuolewa. Razia alikuwa msichana asiyependa kufanya kazi nyumbani na hata shambani na pia alipeana kisingizi cha kuwa yeye alikuwa ni msichana mrembo na angeolewa na mwanaume yeyote.
Siku moja. Razia alitoka kwenda katika pilka pilka zake za hapa na pale. Hii ilikuwa tabia yake kwani tabia ni nguzo. Kwenye safari zake, Razia kwa bahati mbaya aliliona jijanadume lenye miraba minne, yaani lipandikizi la mtu likikuja anakoelekea.
Razia, ghafla bin vuu, alishtuka na kuanza kulia kwi kwi, huku machozi yake yakimtiririka tiriri. Alikuwa akitetemeka kama kifaranga aliyenyeshewa na mvua, kwani tayari jitu lile lilikuwa limemshika kwa mkono mmoja. Jitu lile lilimbaka Razia bila ya kumwonea huruma na kumuacha akiwa anachungulia kaburi.
Razia alipatikana na kijana mmoja ambaye walisoma shule moja. Kijana huyo kwa jina Hamisi, alimsaidia na kumpeleka kwenye zahanati iliyokuwa karibu. Wazazi wa Razia walifahamishwa na kufika hospitalini alikokuwa amelazwa. Baada ya vipimo vyote kufanywa, Razia alipatikana kuwa ameambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Alijuta sana kwa kutomsikiliza baba yake, lakini majuto ni mjukuu huja baadaye.
Katika kisa hiki tunajifunza kuwa tunapaswa kuwathamini wazazi wetu wote wawili na kufuata ushauri wao kwani wametuzidi maarifa. Ama kweli ukikiuka ushauri wao utaona kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. | Asiyeskia la mkuu huvunjika nini? | {
"text": [
"Mguu"
]
} |
3091_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.
Methali hii inamaanisha kwamba iwapo kuna insi ambaye anaonywa dhidi ya kufanya jambo ambalo halina mwelekeo mazuri kwa maisha yake na kukataa kata kata kubadili mwenendo wake basi hana budi mtu huyo kuachwa kukabili maisha yake mwenyewe.
Methali hii ni sawiya na methali zingine kama vile methali ya; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe.
Razia alikuwa msichana mrembo na mwenye umbo la kuvutia sana na urembo wake ulifananishwa kama hurulaini wa peponi. Razia alipendwa sana na nina yake na kumfanya nina yake rafiki yake wa chanda na pete. Baba yake Razia hakuupenda uhusiano baina ya Razia na mama yake.
Baba yake Razia alikuwa akilalamika kila siku kuwa tabia zake Razia hazikumpendeza. Alikuwa akifanya juhudi za mchwa wajengao vichuguu kwa mate na kumshauri kwani siku zote jungu kuu halikosi ukoko.
Razia hakufanya vizuri katika masomo kwani hakuona umuhimu wowote wa masomo hivyo basi tumaini lake lilikuwa la kuolewa. Razia alikuwa msichana asiyependa kufanya kazi nyumbani na hata shambani na pia alipeana kisingizi cha kuwa yeye alikuwa ni msichana mrembo na angeolewa na mwanaume yeyote.
Siku moja. Razia alitoka kwenda katika pilka pilka zake za hapa na pale. Hii ilikuwa tabia yake kwani tabia ni nguzo. Kwenye safari zake, Razia kwa bahati mbaya aliliona jijanadume lenye miraba minne, yaani lipandikizi la mtu likikuja anakoelekea.
Razia, ghafla bin vuu, alishtuka na kuanza kulia kwi kwi, huku machozi yake yakimtiririka tiriri. Alikuwa akitetemeka kama kifaranga aliyenyeshewa na mvua, kwani tayari jitu lile lilikuwa limemshika kwa mkono mmoja. Jitu lile lilimbaka Razia bila ya kumwonea huruma na kumuacha akiwa anachungulia kaburi.
Razia alipatikana na kijana mmoja ambaye walisoma shule moja. Kijana huyo kwa jina Hamisi, alimsaidia na kumpeleka kwenye zahanati iliyokuwa karibu. Wazazi wa Razia walifahamishwa na kufika hospitalini alikokuwa amelazwa. Baada ya vipimo vyote kufanywa, Razia alipatikana kuwa ameambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Alijuta sana kwa kutomsikiliza baba yake, lakini majuto ni mjukuu huja baadaye.
Katika kisa hiki tunajifunza kuwa tunapaswa kuwathamini wazazi wetu wote wawili na kufuata ushauri wao kwani wametuzidi maarifa. Ama kweli ukikiuka ushauri wao utaona kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. | Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani? | {
"text": [
"Ulimwengu"
]
} |
3091_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.
Methali hii inamaanisha kwamba iwapo kuna insi ambaye anaonywa dhidi ya kufanya jambo ambalo halina mwelekeo mazuri kwa maisha yake na kukataa kata kata kubadili mwenendo wake basi hana budi mtu huyo kuachwa kukabili maisha yake mwenyewe.
Methali hii ni sawiya na methali zingine kama vile methali ya; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe.
Razia alikuwa msichana mrembo na mwenye umbo la kuvutia sana na urembo wake ulifananishwa kama hurulaini wa peponi. Razia alipendwa sana na nina yake na kumfanya nina yake rafiki yake wa chanda na pete. Baba yake Razia hakuupenda uhusiano baina ya Razia na mama yake.
Baba yake Razia alikuwa akilalamika kila siku kuwa tabia zake Razia hazikumpendeza. Alikuwa akifanya juhudi za mchwa wajengao vichuguu kwa mate na kumshauri kwani siku zote jungu kuu halikosi ukoko.
Razia hakufanya vizuri katika masomo kwani hakuona umuhimu wowote wa masomo hivyo basi tumaini lake lilikuwa la kuolewa. Razia alikuwa msichana asiyependa kufanya kazi nyumbani na hata shambani na pia alipeana kisingizi cha kuwa yeye alikuwa ni msichana mrembo na angeolewa na mwanaume yeyote.
Siku moja. Razia alitoka kwenda katika pilka pilka zake za hapa na pale. Hii ilikuwa tabia yake kwani tabia ni nguzo. Kwenye safari zake, Razia kwa bahati mbaya aliliona jijanadume lenye miraba minne, yaani lipandikizi la mtu likikuja anakoelekea.
Razia, ghafla bin vuu, alishtuka na kuanza kulia kwi kwi, huku machozi yake yakimtiririka tiriri. Alikuwa akitetemeka kama kifaranga aliyenyeshewa na mvua, kwani tayari jitu lile lilikuwa limemshika kwa mkono mmoja. Jitu lile lilimbaka Razia bila ya kumwonea huruma na kumuacha akiwa anachungulia kaburi.
Razia alipatikana na kijana mmoja ambaye walisoma shule moja. Kijana huyo kwa jina Hamisi, alimsaidia na kumpeleka kwenye zahanati iliyokuwa karibu. Wazazi wa Razia walifahamishwa na kufika hospitalini alikokuwa amelazwa. Baada ya vipimo vyote kufanywa, Razia alipatikana kuwa ameambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Alijuta sana kwa kutomsikiliza baba yake, lakini majuto ni mjukuu huja baadaye.
Katika kisa hiki tunajifunza kuwa tunapaswa kuwathamini wazazi wetu wote wawili na kufuata ushauri wao kwani wametuzidi maarifa. Ama kweli ukikiuka ushauri wao utaona kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. | Mchwa hujenga vichuguu wakitumia nini? | {
"text": [
"Mate"
]
} |
3091_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.
Methali hii inamaanisha kwamba iwapo kuna insi ambaye anaonywa dhidi ya kufanya jambo ambalo halina mwelekeo mazuri kwa maisha yake na kukataa kata kata kubadili mwenendo wake basi hana budi mtu huyo kuachwa kukabili maisha yake mwenyewe.
Methali hii ni sawiya na methali zingine kama vile methali ya; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe.
Razia alikuwa msichana mrembo na mwenye umbo la kuvutia sana na urembo wake ulifananishwa kama hurulaini wa peponi. Razia alipendwa sana na nina yake na kumfanya nina yake rafiki yake wa chanda na pete. Baba yake Razia hakuupenda uhusiano baina ya Razia na mama yake.
Baba yake Razia alikuwa akilalamika kila siku kuwa tabia zake Razia hazikumpendeza. Alikuwa akifanya juhudi za mchwa wajengao vichuguu kwa mate na kumshauri kwani siku zote jungu kuu halikosi ukoko.
Razia hakufanya vizuri katika masomo kwani hakuona umuhimu wowote wa masomo hivyo basi tumaini lake lilikuwa la kuolewa. Razia alikuwa msichana asiyependa kufanya kazi nyumbani na hata shambani na pia alipeana kisingizi cha kuwa yeye alikuwa ni msichana mrembo na angeolewa na mwanaume yeyote.
Siku moja. Razia alitoka kwenda katika pilka pilka zake za hapa na pale. Hii ilikuwa tabia yake kwani tabia ni nguzo. Kwenye safari zake, Razia kwa bahati mbaya aliliona jijanadume lenye miraba minne, yaani lipandikizi la mtu likikuja anakoelekea.
Razia, ghafla bin vuu, alishtuka na kuanza kulia kwi kwi, huku machozi yake yakimtiririka tiriri. Alikuwa akitetemeka kama kifaranga aliyenyeshewa na mvua, kwani tayari jitu lile lilikuwa limemshika kwa mkono mmoja. Jitu lile lilimbaka Razia bila ya kumwonea huruma na kumuacha akiwa anachungulia kaburi.
Razia alipatikana na kijana mmoja ambaye walisoma shule moja. Kijana huyo kwa jina Hamisi, alimsaidia na kumpeleka kwenye zahanati iliyokuwa karibu. Wazazi wa Razia walifahamishwa na kufika hospitalini alikokuwa amelazwa. Baada ya vipimo vyote kufanywa, Razia alipatikana kuwa ameambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Alijuta sana kwa kutomsikiliza baba yake, lakini majuto ni mjukuu huja baadaye.
Katika kisa hiki tunajifunza kuwa tunapaswa kuwathamini wazazi wetu wote wawili na kufuata ushauri wao kwani wametuzidi maarifa. Ama kweli ukikiuka ushauri wao utaona kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. | Razia alitamani nini baada ya kufeli masomoni? | {
"text": [
"Kuolewa"
]
} |
3091_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.
Methali hii inamaanisha kwamba iwapo kuna insi ambaye anaonywa dhidi ya kufanya jambo ambalo halina mwelekeo mazuri kwa maisha yake na kukataa kata kata kubadili mwenendo wake basi hana budi mtu huyo kuachwa kukabili maisha yake mwenyewe.
Methali hii ni sawiya na methali zingine kama vile methali ya; Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe.
Razia alikuwa msichana mrembo na mwenye umbo la kuvutia sana na urembo wake ulifananishwa kama hurulaini wa peponi. Razia alipendwa sana na nina yake na kumfanya nina yake rafiki yake wa chanda na pete. Baba yake Razia hakuupenda uhusiano baina ya Razia na mama yake.
Baba yake Razia alikuwa akilalamika kila siku kuwa tabia zake Razia hazikumpendeza. Alikuwa akifanya juhudi za mchwa wajengao vichuguu kwa mate na kumshauri kwani siku zote jungu kuu halikosi ukoko.
Razia hakufanya vizuri katika masomo kwani hakuona umuhimu wowote wa masomo hivyo basi tumaini lake lilikuwa la kuolewa. Razia alikuwa msichana asiyependa kufanya kazi nyumbani na hata shambani na pia alipeana kisingizi cha kuwa yeye alikuwa ni msichana mrembo na angeolewa na mwanaume yeyote.
Siku moja. Razia alitoka kwenda katika pilka pilka zake za hapa na pale. Hii ilikuwa tabia yake kwani tabia ni nguzo. Kwenye safari zake, Razia kwa bahati mbaya aliliona jijanadume lenye miraba minne, yaani lipandikizi la mtu likikuja anakoelekea.
Razia, ghafla bin vuu, alishtuka na kuanza kulia kwi kwi, huku machozi yake yakimtiririka tiriri. Alikuwa akitetemeka kama kifaranga aliyenyeshewa na mvua, kwani tayari jitu lile lilikuwa limemshika kwa mkono mmoja. Jitu lile lilimbaka Razia bila ya kumwonea huruma na kumuacha akiwa anachungulia kaburi.
Razia alipatikana na kijana mmoja ambaye walisoma shule moja. Kijana huyo kwa jina Hamisi, alimsaidia na kumpeleka kwenye zahanati iliyokuwa karibu. Wazazi wa Razia walifahamishwa na kufika hospitalini alikokuwa amelazwa. Baada ya vipimo vyote kufanywa, Razia alipatikana kuwa ameambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Alijuta sana kwa kutomsikiliza baba yake, lakini majuto ni mjukuu huja baadaye.
Katika kisa hiki tunajifunza kuwa tunapaswa kuwathamini wazazi wetu wote wawili na kufuata ushauri wao kwani wametuzidi maarifa. Ama kweli ukikiuka ushauri wao utaona kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. | Razia alikua nani? | {
"text": [
"Msichana mrembo mwenye umbo la kuvutia"
]
} |
3093_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia.
Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa usalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu.
Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali.
Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu wasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo.
Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi.
Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema.
Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule. | Nini hutumiwa kuchapisha makaratasi ya mitihani | {
"text": [
"tarakilishi"
]
} |
3093_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia.
Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa usalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu.
Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali.
Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu wasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo.
Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi.
Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema.
Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule. | Nini hutumika kuhifadhi na kurekodi majibu ya mitihani | {
"text": [
"tarakilishi"
]
} |
3093_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia.
Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa usalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu.
Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali.
Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu wasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo.
Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi.
Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema.
Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule. | Nini hutumiwa na wanafunzi kuwasiliana na wazazi wao | {
"text": [
"simu"
]
} |
3093_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia.
Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa usalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu.
Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali.
Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu wasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo.
Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi.
Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema.
Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule. | Wanafunzi hufanya kuanguka mtihani lini | {
"text": [
"wanapowasili kama wamechelewa"
]
} |
3093_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia.
Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa usalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu.
Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali.
Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu wasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo.
Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi.
Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema.
Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule. | Umeme unaathiri kivipi wanafunzi | {
"text": [
"kuna wale wenye shida ya macho hulalamika mwangaza ukiwa mwingi"
]
} |
3094_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Methali hii yenye falsafa belele na uhondo tosha ina maana ya kwamba mtu anaposhauriwa na watu waliomzidi umri au wazazi wake kuhusu athari mbaya asimadharau. Watu wengine wanaposhauriwa na wazazi wao, huwa na ugomvi na kutoyatilia maanani maneno wanayoambiwa. Aidha, lisani hii ina landana kenyekenye na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mengulu alilipata jina hili kwa maringo yake. Alikuwa mwenye kiuno cha nyigu, mabega ya kuchuchumaa, miguu ya cherehani na macho yaliyo meremeta metu metu kama mbalamwezi. Uzuri wake ungedhani Mola alichukua siku kumi kumuumba. Hata kipofu angedhani uzuri wake ulikuwa wa milioni kumi.
Mengulu alikuwa kifua mbele hadi darasa la saba. Alikuwa mwenye bidii masomoni, aliwaheshimu wazazi wake na walimu shuleni. Aliwaheshimu wakubwa kwa wadogo. Kwani wazee wa busara na tabasuri hawakuenda upogo waliposema chenye sifa kipewe sifa. Wazazi wake walikuwa na bidii za mchwa wajengao vichuguu vyao kwa mate kumlipia karo mtoto wao.
Mengulu alipofika muhula wa pili katika darasa la saba, alianza kubadili tabia kwani nyakanga wa kale waligonga ndipo wapoamba, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alijiunga na rafiki mbaya. Mengulu alipendana na rafiki yake kufa kuzikana. Walimu na wazazi walijaribu kwa udi na ubani kumkanya Mengulu aepukane na rafiki huyo. Mengulu hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini.
Kwani ilikuwa ni sawasawa na kumpigia mbuzi gitaa mcheza ngoma nani? Ama kweli Mengulu ajiunga kwenye kaburi la sahau na kusahau kuna magonjwa hatari. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia mtoto wao. Ama kweli dunia ni mwendo wa ngisi, waambavyo wanamantiki na wanatiki.
Mengulu alijiunga kwenye mapenzi na rafiki yake. Mwia si mwia, Mengulu alianza kuota vipele mwili mzima. Rafiki yake alikuwa na virusi vya ukimwi. Alipogundua kwamba rafiki yake alikuwa akiugua virusi vya ukimwi, alianza kulia kwa uchungu sana lakini kilio si dawa, dawa ya moto ni moto chambilecho mikota wa lugha.
Mengulu alikonda na kukondeana kama sindano. Alianza kujuta na kuyakumbuka maneno ya wazazi wake na walimu. Lakini mikota wa lugha hawakuenda nje ya kanuni za sheria waliposema ya kwamba, majuto ni mjukuu huja baadaye. Ugonjwa ulimchukuwa Mengulu na akawa hasemeki wala hasemezeki. Baada ya siku kadhaa ugonjwa ulimzidi na akapelekwa hospitali. Ghafla bin vu! Mengulu alikata kamba na kuiacha dunia.
Mengulu aliwapa wanakijiji funzo la kwamba uwaheshimu watu waliokuzidi umri na kuepukana na marafiki wabaya. Kwani kunabaadhi ya vijana waliokuwa karibu kusombwa na hali ya Mengulu. Watoto wadogo wanahimizwa kuwaheshimu wavyele wao kwani heshima ni muhimu sana. | Mengulu alipokuwa darasa la saba alikuwa na sifa zipi | {
"text": [
"Bidii na heshima"
]
} |
3094_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Methali hii yenye falsafa belele na uhondo tosha ina maana ya kwamba mtu anaposhauriwa na watu waliomzidi umri au wazazi wake kuhusu athari mbaya asimadharau. Watu wengine wanaposhauriwa na wazazi wao, huwa na ugomvi na kutoyatilia maanani maneno wanayoambiwa. Aidha, lisani hii ina landana kenyekenye na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mengulu alilipata jina hili kwa maringo yake. Alikuwa mwenye kiuno cha nyigu, mabega ya kuchuchumaa, miguu ya cherehani na macho yaliyo meremeta metu metu kama mbalamwezi. Uzuri wake ungedhani Mola alichukua siku kumi kumuumba. Hata kipofu angedhani uzuri wake ulikuwa wa milioni kumi.
Mengulu alikuwa kifua mbele hadi darasa la saba. Alikuwa mwenye bidii masomoni, aliwaheshimu wazazi wake na walimu shuleni. Aliwaheshimu wakubwa kwa wadogo. Kwani wazee wa busara na tabasuri hawakuenda upogo waliposema chenye sifa kipewe sifa. Wazazi wake walikuwa na bidii za mchwa wajengao vichuguu vyao kwa mate kumlipia karo mtoto wao.
Mengulu alipofika muhula wa pili katika darasa la saba, alianza kubadili tabia kwani nyakanga wa kale waligonga ndipo wapoamba, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alijiunga na rafiki mbaya. Mengulu alipendana na rafiki yake kufa kuzikana. Walimu na wazazi walijaribu kwa udi na ubani kumkanya Mengulu aepukane na rafiki huyo. Mengulu hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini.
Kwani ilikuwa ni sawasawa na kumpigia mbuzi gitaa mcheza ngoma nani? Ama kweli Mengulu ajiunga kwenye kaburi la sahau na kusahau kuna magonjwa hatari. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia mtoto wao. Ama kweli dunia ni mwendo wa ngisi, waambavyo wanamantiki na wanatiki.
Mengulu alijiunga kwenye mapenzi na rafiki yake. Mwia si mwia, Mengulu alianza kuota vipele mwili mzima. Rafiki yake alikuwa na virusi vya ukimwi. Alipogundua kwamba rafiki yake alikuwa akiugua virusi vya ukimwi, alianza kulia kwa uchungu sana lakini kilio si dawa, dawa ya moto ni moto chambilecho mikota wa lugha.
Mengulu alikonda na kukondeana kama sindano. Alianza kujuta na kuyakumbuka maneno ya wazazi wake na walimu. Lakini mikota wa lugha hawakuenda nje ya kanuni za sheria waliposema ya kwamba, majuto ni mjukuu huja baadaye. Ugonjwa ulimchukuwa Mengulu na akawa hasemeki wala hasemezeki. Baada ya siku kadhaa ugonjwa ulimzidi na akapelekwa hospitali. Ghafla bin vu! Mengulu alikata kamba na kuiacha dunia.
Mengulu aliwapa wanakijiji funzo la kwamba uwaheshimu watu waliokuzidi umri na kuepukana na marafiki wabaya. Kwani kunabaadhi ya vijana waliokuwa karibu kusombwa na hali ya Mengulu. Watoto wadogo wanahimizwa kuwaheshimu wavyele wao kwani heshima ni muhimu sana. | Tabia za Mengulu zilibadilika akiwa katika muhula upi | {
"text": [
"Pili"
]
} |
3094_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Methali hii yenye falsafa belele na uhondo tosha ina maana ya kwamba mtu anaposhauriwa na watu waliomzidi umri au wazazi wake kuhusu athari mbaya asimadharau. Watu wengine wanaposhauriwa na wazazi wao, huwa na ugomvi na kutoyatilia maanani maneno wanayoambiwa. Aidha, lisani hii ina landana kenyekenye na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mengulu alilipata jina hili kwa maringo yake. Alikuwa mwenye kiuno cha nyigu, mabega ya kuchuchumaa, miguu ya cherehani na macho yaliyo meremeta metu metu kama mbalamwezi. Uzuri wake ungedhani Mola alichukua siku kumi kumuumba. Hata kipofu angedhani uzuri wake ulikuwa wa milioni kumi.
Mengulu alikuwa kifua mbele hadi darasa la saba. Alikuwa mwenye bidii masomoni, aliwaheshimu wazazi wake na walimu shuleni. Aliwaheshimu wakubwa kwa wadogo. Kwani wazee wa busara na tabasuri hawakuenda upogo waliposema chenye sifa kipewe sifa. Wazazi wake walikuwa na bidii za mchwa wajengao vichuguu vyao kwa mate kumlipia karo mtoto wao.
Mengulu alipofika muhula wa pili katika darasa la saba, alianza kubadili tabia kwani nyakanga wa kale waligonga ndipo wapoamba, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alijiunga na rafiki mbaya. Mengulu alipendana na rafiki yake kufa kuzikana. Walimu na wazazi walijaribu kwa udi na ubani kumkanya Mengulu aepukane na rafiki huyo. Mengulu hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini.
Kwani ilikuwa ni sawasawa na kumpigia mbuzi gitaa mcheza ngoma nani? Ama kweli Mengulu ajiunga kwenye kaburi la sahau na kusahau kuna magonjwa hatari. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia mtoto wao. Ama kweli dunia ni mwendo wa ngisi, waambavyo wanamantiki na wanatiki.
Mengulu alijiunga kwenye mapenzi na rafiki yake. Mwia si mwia, Mengulu alianza kuota vipele mwili mzima. Rafiki yake alikuwa na virusi vya ukimwi. Alipogundua kwamba rafiki yake alikuwa akiugua virusi vya ukimwi, alianza kulia kwa uchungu sana lakini kilio si dawa, dawa ya moto ni moto chambilecho mikota wa lugha.
Mengulu alikonda na kukondeana kama sindano. Alianza kujuta na kuyakumbuka maneno ya wazazi wake na walimu. Lakini mikota wa lugha hawakuenda nje ya kanuni za sheria waliposema ya kwamba, majuto ni mjukuu huja baadaye. Ugonjwa ulimchukuwa Mengulu na akawa hasemeki wala hasemezeki. Baada ya siku kadhaa ugonjwa ulimzidi na akapelekwa hospitali. Ghafla bin vu! Mengulu alikata kamba na kuiacha dunia.
Mengulu aliwapa wanakijiji funzo la kwamba uwaheshimu watu waliokuzidi umri na kuepukana na marafiki wabaya. Kwani kunabaadhi ya vijana waliokuwa karibu kusombwa na hali ya Mengulu. Watoto wadogo wanahimizwa kuwaheshimu wavyele wao kwani heshima ni muhimu sana. | Rafiki yake Mengulu alikuwa na ugonjwa upi | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
3094_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Methali hii yenye falsafa belele na uhondo tosha ina maana ya kwamba mtu anaposhauriwa na watu waliomzidi umri au wazazi wake kuhusu athari mbaya asimadharau. Watu wengine wanaposhauriwa na wazazi wao, huwa na ugomvi na kutoyatilia maanani maneno wanayoambiwa. Aidha, lisani hii ina landana kenyekenye na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mengulu alilipata jina hili kwa maringo yake. Alikuwa mwenye kiuno cha nyigu, mabega ya kuchuchumaa, miguu ya cherehani na macho yaliyo meremeta metu metu kama mbalamwezi. Uzuri wake ungedhani Mola alichukua siku kumi kumuumba. Hata kipofu angedhani uzuri wake ulikuwa wa milioni kumi.
Mengulu alikuwa kifua mbele hadi darasa la saba. Alikuwa mwenye bidii masomoni, aliwaheshimu wazazi wake na walimu shuleni. Aliwaheshimu wakubwa kwa wadogo. Kwani wazee wa busara na tabasuri hawakuenda upogo waliposema chenye sifa kipewe sifa. Wazazi wake walikuwa na bidii za mchwa wajengao vichuguu vyao kwa mate kumlipia karo mtoto wao.
Mengulu alipofika muhula wa pili katika darasa la saba, alianza kubadili tabia kwani nyakanga wa kale waligonga ndipo wapoamba, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alijiunga na rafiki mbaya. Mengulu alipendana na rafiki yake kufa kuzikana. Walimu na wazazi walijaribu kwa udi na ubani kumkanya Mengulu aepukane na rafiki huyo. Mengulu hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini.
Kwani ilikuwa ni sawasawa na kumpigia mbuzi gitaa mcheza ngoma nani? Ama kweli Mengulu ajiunga kwenye kaburi la sahau na kusahau kuna magonjwa hatari. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia mtoto wao. Ama kweli dunia ni mwendo wa ngisi, waambavyo wanamantiki na wanatiki.
Mengulu alijiunga kwenye mapenzi na rafiki yake. Mwia si mwia, Mengulu alianza kuota vipele mwili mzima. Rafiki yake alikuwa na virusi vya ukimwi. Alipogundua kwamba rafiki yake alikuwa akiugua virusi vya ukimwi, alianza kulia kwa uchungu sana lakini kilio si dawa, dawa ya moto ni moto chambilecho mikota wa lugha.
Mengulu alikonda na kukondeana kama sindano. Alianza kujuta na kuyakumbuka maneno ya wazazi wake na walimu. Lakini mikota wa lugha hawakuenda nje ya kanuni za sheria waliposema ya kwamba, majuto ni mjukuu huja baadaye. Ugonjwa ulimchukuwa Mengulu na akawa hasemeki wala hasemezeki. Baada ya siku kadhaa ugonjwa ulimzidi na akapelekwa hospitali. Ghafla bin vu! Mengulu alikata kamba na kuiacha dunia.
Mengulu aliwapa wanakijiji funzo la kwamba uwaheshimu watu waliokuzidi umri na kuepukana na marafiki wabaya. Kwani kunabaadhi ya vijana waliokuwa karibu kusombwa na hali ya Mengulu. Watoto wadogo wanahimizwa kuwaheshimu wavyele wao kwani heshima ni muhimu sana. | Kutokana na Mengulu tunajifunza nini | {
"text": [
"Tuwaheshima wavyele pamoja na ushauri wao"
]
} |
3094_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Methali hii yenye falsafa belele na uhondo tosha ina maana ya kwamba mtu anaposhauriwa na watu waliomzidi umri au wazazi wake kuhusu athari mbaya asimadharau. Watu wengine wanaposhauriwa na wazazi wao, huwa na ugomvi na kutoyatilia maanani maneno wanayoambiwa. Aidha, lisani hii ina landana kenyekenye na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mengulu alilipata jina hili kwa maringo yake. Alikuwa mwenye kiuno cha nyigu, mabega ya kuchuchumaa, miguu ya cherehani na macho yaliyo meremeta metu metu kama mbalamwezi. Uzuri wake ungedhani Mola alichukua siku kumi kumuumba. Hata kipofu angedhani uzuri wake ulikuwa wa milioni kumi.
Mengulu alikuwa kifua mbele hadi darasa la saba. Alikuwa mwenye bidii masomoni, aliwaheshimu wazazi wake na walimu shuleni. Aliwaheshimu wakubwa kwa wadogo. Kwani wazee wa busara na tabasuri hawakuenda upogo waliposema chenye sifa kipewe sifa. Wazazi wake walikuwa na bidii za mchwa wajengao vichuguu vyao kwa mate kumlipia karo mtoto wao.
Mengulu alipofika muhula wa pili katika darasa la saba, alianza kubadili tabia kwani nyakanga wa kale waligonga ndipo wapoamba, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alijiunga na rafiki mbaya. Mengulu alipendana na rafiki yake kufa kuzikana. Walimu na wazazi walijaribu kwa udi na ubani kumkanya Mengulu aepukane na rafiki huyo. Mengulu hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini.
Kwani ilikuwa ni sawasawa na kumpigia mbuzi gitaa mcheza ngoma nani? Ama kweli Mengulu ajiunga kwenye kaburi la sahau na kusahau kuna magonjwa hatari. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia mtoto wao. Ama kweli dunia ni mwendo wa ngisi, waambavyo wanamantiki na wanatiki.
Mengulu alijiunga kwenye mapenzi na rafiki yake. Mwia si mwia, Mengulu alianza kuota vipele mwili mzima. Rafiki yake alikuwa na virusi vya ukimwi. Alipogundua kwamba rafiki yake alikuwa akiugua virusi vya ukimwi, alianza kulia kwa uchungu sana lakini kilio si dawa, dawa ya moto ni moto chambilecho mikota wa lugha.
Mengulu alikonda na kukondeana kama sindano. Alianza kujuta na kuyakumbuka maneno ya wazazi wake na walimu. Lakini mikota wa lugha hawakuenda nje ya kanuni za sheria waliposema ya kwamba, majuto ni mjukuu huja baadaye. Ugonjwa ulimchukuwa Mengulu na akawa hasemeki wala hasemezeki. Baada ya siku kadhaa ugonjwa ulimzidi na akapelekwa hospitali. Ghafla bin vu! Mengulu alikata kamba na kuiacha dunia.
Mengulu aliwapa wanakijiji funzo la kwamba uwaheshimu watu waliokuzidi umri na kuepukana na marafiki wabaya. Kwani kunabaadhi ya vijana waliokuwa karibu kusombwa na hali ya Mengulu. Watoto wadogo wanahimizwa kuwaheshimu wavyele wao kwani heshima ni muhimu sana. | Kwa nini wazazi wa Mengulu walitupa jongoo na mti wake | {
"text": [
"Kwa sababu Mengulu hakuwambilika wala kusemezeka"
]
} |
3095_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye.
Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendeleza masomo yao.
Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha masomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi.
Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo.
Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao huvutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo.
Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanaharibu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao.
Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi. | Teknolojia imevumbua simu itumikayo na wanafunzi kusoma mitandaoni wakiwa wapi | {
"text": [
"Nyumbani"
]
} |
3095_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye.
Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendeleza masomo yao.
Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha masomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi.
Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo.
Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao huvutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo.
Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanaharibu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao.
Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi. | Kando na Hisabati kikokotoo pia hutumika wapi | {
"text": [
"Katika somo la sayansi"
]
} |
3095_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye.
Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendeleza masomo yao.
Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha masomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi.
Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo.
Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao huvutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo.
Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanaharibu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao.
Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi. | Kikokotoo kimechangia madhara gani miongoni mwa wanafunzi | {
"text": [
"Madhara ya uvivu"
]
} |
3095_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye.
Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendeleza masomo yao.
Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha masomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi.
Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo.
Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao huvutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo.
Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanaharibu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao.
Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi. | Ni jinsia ipi imeathirika sana kwa ujio wa teknolojia | {
"text": [
"Kike, kupachikwa mimba"
]
} |
3095_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye.
Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendeleza masomo yao.
Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha masomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi.
Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo.
Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao huvutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo.
Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanaharibu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa.
Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao.
Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi. | Ni kundi lipi la uhalifu linaweza kuwashawishi wanafunzi kujiunga nao kutumia teknolojia | {
"text": [
"Alshabab"
]
} |
3096_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Rukia alikuwa msichana mrembo na mwenye kutamanisha wengi. Urembo wake uliwanyima baadhi ya wanaume usingizi. Macho yake mazuri, yalitoka akikuangalia utadhani anakuita. Sura yake iling’ara kama kioo juani. Kiuno chake kilichongwa kikachongeka. Kifuani, dodo zake zilisimama tisti kama matunda kwenye barabara. Nywele zake laini ziliangukia mabegani. Ama kweli, Mungu alimpa urembo si haba.
Shuleni, Rukia alipendwa na wengi, kuaanzia walimu hadi wanafunzi. Tabia zake zilikuwa za kupigiwa mfano. Alisifiwa na wingi kwa urembo na tabia zake. Wazazi wake walimpenda kupita kiasi na hata alipochokozwa na wenzake, waliwakemea na kuwakashifu vibaya.
Kadiri ya miaka iliposonga, tabia ya Rukia ilianza kubadilika. Kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege ya soksi za kiwete walipolonga kuwa, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Rukia alianza kubadilika kwa haraka sana kama moto unavyochoma kwenye kichake kikavu. Alianza kuwadharau wazazi na hata walimu wake shuleni. Hakutaka kuskia la mwadhini wala la mteka maji
msikitini. Alikataa kusikia katakata kwani sikio la kufa haliskii dawa.
Wazazi wake waliamua kumwacha kwani, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Rukia alianza kujiingiza katika mambo ya mapenzi. Kwake, ilikuwa vigumu kuacha kwani mchovya asali hachovyi mara moja. Ilikuwa ni mazoea yake na asingeweza kuacha. Siku zilizidi kusonga bila huruma. Naye Rukia alizidi kuzama katika mapenzi. Laiti angalijua yatakayotokea, asingalikubali kamwe kujihusisha katika mapenzi.
Watu kijijini mwao walianza kumsema vibaya lakini ilikuwa kazi bure, hiyo ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi zeze acheze. Rukia akitaka kutimiza msemo wa “ponda raha kufa kwaja.” Rukia alipozama katika mapenzi aliamua kuacha shule na hata hakulala nyumbani kwao. Wazazi wake hawakuwa na la kusema ila tu kungojea matokeo. Lisemwalo lipo, na kama halipo laja. Rukia alianza kwenda kwa disko wakati wa usiku na aliporudi nyumbani alikuwa amelewa chopi!
Baada ya miezi mitatu hivi, Rukia akaanza kuwa mgonjwa. Hofu ilianza kumuingia nu akaamua kuwaeleza wazazi wake kinagaubaga. Wazazi wake walimpeleka hospitalini na baada ya vipimo, Rukia alibainika kuwa ameambukizwa virusi vya ukimwi. Machozi michirizi michirizi yalimtiririka huku yakiunda nambari kumi na moja mashavuni mwake. Wazazi wake walibaki wameduwaa kama mzungu wa reli wakiwa hawana la kusema. Rukia alitamani ardhi ipasuke immeze mzima mzima. Wazazi wake waliamua kuyapokea matokeo ya mtoto wao kwani, maji yakimwagika huyazoleki.
Rukia alikonda na kukondeana akabaki mifupa mikavu. Walioambiwa kuhusu hali yake walitaharuki kwa vishindo. Baada ya siku chache, marafiki na majirani wakapata habari kuwa Rukia amesafiri jongemeo. Wazazi wake wilitetemeka kama ya mpunga kondeni wasijue wakimbilie wapi. Mipango ya mazishi ilipangwa ili kumzika Rukia. Alipoletwa nyumbani kwao, watu walibaki midomo wazi kutokana na jinsi Rukia alivyokonda. Hawakuwa na la kufanya ila tu kukubali matokeo kwani waliamini kuwa, Rukia aliamua kujitoa na hatimaye dunia ilimpokea kwa mikono miwili.
Wazazi wake walijua kuwa, maji ukiyavulia, sharti uyaoge na tayari Rukia alikuwa kishaaga. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Urembo wa Rukia uliwanyima kina nani usingizi | {
"text": [
"Baadhi ya majanadume"
]
} |
3096_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Rukia alikuwa msichana mrembo na mwenye kutamanisha wengi. Urembo wake uliwanyima baadhi ya wanaume usingizi. Macho yake mazuri, yalitoka akikuangalia utadhani anakuita. Sura yake iling’ara kama kioo juani. Kiuno chake kilichongwa kikachongeka. Kifuani, dodo zake zilisimama tisti kama matunda kwenye barabara. Nywele zake laini ziliangukia mabegani. Ama kweli, Mungu alimpa urembo si haba.
Shuleni, Rukia alipendwa na wengi, kuaanzia walimu hadi wanafunzi. Tabia zake zilikuwa za kupigiwa mfano. Alisifiwa na wingi kwa urembo na tabia zake. Wazazi wake walimpenda kupita kiasi na hata alipochokozwa na wenzake, waliwakemea na kuwakashifu vibaya.
Kadiri ya miaka iliposonga, tabia ya Rukia ilianza kubadilika. Kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege ya soksi za kiwete walipolonga kuwa, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Rukia alianza kubadilika kwa haraka sana kama moto unavyochoma kwenye kichake kikavu. Alianza kuwadharau wazazi na hata walimu wake shuleni. Hakutaka kuskia la mwadhini wala la mteka maji
msikitini. Alikataa kusikia katakata kwani sikio la kufa haliskii dawa.
Wazazi wake waliamua kumwacha kwani, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Rukia alianza kujiingiza katika mambo ya mapenzi. Kwake, ilikuwa vigumu kuacha kwani mchovya asali hachovyi mara moja. Ilikuwa ni mazoea yake na asingeweza kuacha. Siku zilizidi kusonga bila huruma. Naye Rukia alizidi kuzama katika mapenzi. Laiti angalijua yatakayotokea, asingalikubali kamwe kujihusisha katika mapenzi.
Watu kijijini mwao walianza kumsema vibaya lakini ilikuwa kazi bure, hiyo ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi zeze acheze. Rukia akitaka kutimiza msemo wa “ponda raha kufa kwaja.” Rukia alipozama katika mapenzi aliamua kuacha shule na hata hakulala nyumbani kwao. Wazazi wake hawakuwa na la kusema ila tu kungojea matokeo. Lisemwalo lipo, na kama halipo laja. Rukia alianza kwenda kwa disko wakati wa usiku na aliporudi nyumbani alikuwa amelewa chopi!
Baada ya miezi mitatu hivi, Rukia akaanza kuwa mgonjwa. Hofu ilianza kumuingia nu akaamua kuwaeleza wazazi wake kinagaubaga. Wazazi wake walimpeleka hospitalini na baada ya vipimo, Rukia alibainika kuwa ameambukizwa virusi vya ukimwi. Machozi michirizi michirizi yalimtiririka huku yakiunda nambari kumi na moja mashavuni mwake. Wazazi wake walibaki wameduwaa kama mzungu wa reli wakiwa hawana la kusema. Rukia alitamani ardhi ipasuke immeze mzima mzima. Wazazi wake waliamua kuyapokea matokeo ya mtoto wao kwani, maji yakimwagika huyazoleki.
Rukia alikonda na kukondeana akabaki mifupa mikavu. Walioambiwa kuhusu hali yake walitaharuki kwa vishindo. Baada ya siku chache, marafiki na majirani wakapata habari kuwa Rukia amesafiri jongemeo. Wazazi wake wilitetemeka kama ya mpunga kondeni wasijue wakimbilie wapi. Mipango ya mazishi ilipangwa ili kumzika Rukia. Alipoletwa nyumbani kwao, watu walibaki midomo wazi kutokana na jinsi Rukia alivyokonda. Hawakuwa na la kufanya ila tu kukubali matokeo kwani waliamini kuwa, Rukia aliamua kujitoa na hatimaye dunia ilimpokea kwa mikono miwili.
Wazazi wake walijua kuwa, maji ukiyavulia, sharti uyaoge na tayari Rukia alikuwa kishaaga. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Tabia za Rukia zilipoanza kubadilika aliwadharau kina nani | {
"text": [
"Wazazi na walimu shuleni"
]
} |
3096_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Rukia alikuwa msichana mrembo na mwenye kutamanisha wengi. Urembo wake uliwanyima baadhi ya wanaume usingizi. Macho yake mazuri, yalitoka akikuangalia utadhani anakuita. Sura yake iling’ara kama kioo juani. Kiuno chake kilichongwa kikachongeka. Kifuani, dodo zake zilisimama tisti kama matunda kwenye barabara. Nywele zake laini ziliangukia mabegani. Ama kweli, Mungu alimpa urembo si haba.
Shuleni, Rukia alipendwa na wengi, kuaanzia walimu hadi wanafunzi. Tabia zake zilikuwa za kupigiwa mfano. Alisifiwa na wingi kwa urembo na tabia zake. Wazazi wake walimpenda kupita kiasi na hata alipochokozwa na wenzake, waliwakemea na kuwakashifu vibaya.
Kadiri ya miaka iliposonga, tabia ya Rukia ilianza kubadilika. Kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege ya soksi za kiwete walipolonga kuwa, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Rukia alianza kubadilika kwa haraka sana kama moto unavyochoma kwenye kichake kikavu. Alianza kuwadharau wazazi na hata walimu wake shuleni. Hakutaka kuskia la mwadhini wala la mteka maji
msikitini. Alikataa kusikia katakata kwani sikio la kufa haliskii dawa.
Wazazi wake waliamua kumwacha kwani, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Rukia alianza kujiingiza katika mambo ya mapenzi. Kwake, ilikuwa vigumu kuacha kwani mchovya asali hachovyi mara moja. Ilikuwa ni mazoea yake na asingeweza kuacha. Siku zilizidi kusonga bila huruma. Naye Rukia alizidi kuzama katika mapenzi. Laiti angalijua yatakayotokea, asingalikubali kamwe kujihusisha katika mapenzi.
Watu kijijini mwao walianza kumsema vibaya lakini ilikuwa kazi bure, hiyo ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi zeze acheze. Rukia akitaka kutimiza msemo wa “ponda raha kufa kwaja.” Rukia alipozama katika mapenzi aliamua kuacha shule na hata hakulala nyumbani kwao. Wazazi wake hawakuwa na la kusema ila tu kungojea matokeo. Lisemwalo lipo, na kama halipo laja. Rukia alianza kwenda kwa disko wakati wa usiku na aliporudi nyumbani alikuwa amelewa chopi!
Baada ya miezi mitatu hivi, Rukia akaanza kuwa mgonjwa. Hofu ilianza kumuingia nu akaamua kuwaeleza wazazi wake kinagaubaga. Wazazi wake walimpeleka hospitalini na baada ya vipimo, Rukia alibainika kuwa ameambukizwa virusi vya ukimwi. Machozi michirizi michirizi yalimtiririka huku yakiunda nambari kumi na moja mashavuni mwake. Wazazi wake walibaki wameduwaa kama mzungu wa reli wakiwa hawana la kusema. Rukia alitamani ardhi ipasuke immeze mzima mzima. Wazazi wake waliamua kuyapokea matokeo ya mtoto wao kwani, maji yakimwagika huyazoleki.
Rukia alikonda na kukondeana akabaki mifupa mikavu. Walioambiwa kuhusu hali yake walitaharuki kwa vishindo. Baada ya siku chache, marafiki na majirani wakapata habari kuwa Rukia amesafiri jongemeo. Wazazi wake wilitetemeka kama ya mpunga kondeni wasijue wakimbilie wapi. Mipango ya mazishi ilipangwa ili kumzika Rukia. Alipoletwa nyumbani kwao, watu walibaki midomo wazi kutokana na jinsi Rukia alivyokonda. Hawakuwa na la kufanya ila tu kukubali matokeo kwani waliamini kuwa, Rukia aliamua kujitoa na hatimaye dunia ilimpokea kwa mikono miwili.
Wazazi wake walijua kuwa, maji ukiyavulia, sharti uyaoge na tayari Rukia alikuwa kishaaga. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Rukia alianza kuwa mgonjwa baada ya miezi mingapi | {
"text": [
"Mitatu"
]
} |
3096_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Rukia alikuwa msichana mrembo na mwenye kutamanisha wengi. Urembo wake uliwanyima baadhi ya wanaume usingizi. Macho yake mazuri, yalitoka akikuangalia utadhani anakuita. Sura yake iling’ara kama kioo juani. Kiuno chake kilichongwa kikachongeka. Kifuani, dodo zake zilisimama tisti kama matunda kwenye barabara. Nywele zake laini ziliangukia mabegani. Ama kweli, Mungu alimpa urembo si haba.
Shuleni, Rukia alipendwa na wengi, kuaanzia walimu hadi wanafunzi. Tabia zake zilikuwa za kupigiwa mfano. Alisifiwa na wingi kwa urembo na tabia zake. Wazazi wake walimpenda kupita kiasi na hata alipochokozwa na wenzake, waliwakemea na kuwakashifu vibaya.
Kadiri ya miaka iliposonga, tabia ya Rukia ilianza kubadilika. Kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege ya soksi za kiwete walipolonga kuwa, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Rukia alianza kubadilika kwa haraka sana kama moto unavyochoma kwenye kichake kikavu. Alianza kuwadharau wazazi na hata walimu wake shuleni. Hakutaka kuskia la mwadhini wala la mteka maji
msikitini. Alikataa kusikia katakata kwani sikio la kufa haliskii dawa.
Wazazi wake waliamua kumwacha kwani, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Rukia alianza kujiingiza katika mambo ya mapenzi. Kwake, ilikuwa vigumu kuacha kwani mchovya asali hachovyi mara moja. Ilikuwa ni mazoea yake na asingeweza kuacha. Siku zilizidi kusonga bila huruma. Naye Rukia alizidi kuzama katika mapenzi. Laiti angalijua yatakayotokea, asingalikubali kamwe kujihusisha katika mapenzi.
Watu kijijini mwao walianza kumsema vibaya lakini ilikuwa kazi bure, hiyo ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi zeze acheze. Rukia akitaka kutimiza msemo wa “ponda raha kufa kwaja.” Rukia alipozama katika mapenzi aliamua kuacha shule na hata hakulala nyumbani kwao. Wazazi wake hawakuwa na la kusema ila tu kungojea matokeo. Lisemwalo lipo, na kama halipo laja. Rukia alianza kwenda kwa disko wakati wa usiku na aliporudi nyumbani alikuwa amelewa chopi!
Baada ya miezi mitatu hivi, Rukia akaanza kuwa mgonjwa. Hofu ilianza kumuingia nu akaamua kuwaeleza wazazi wake kinagaubaga. Wazazi wake walimpeleka hospitalini na baada ya vipimo, Rukia alibainika kuwa ameambukizwa virusi vya ukimwi. Machozi michirizi michirizi yalimtiririka huku yakiunda nambari kumi na moja mashavuni mwake. Wazazi wake walibaki wameduwaa kama mzungu wa reli wakiwa hawana la kusema. Rukia alitamani ardhi ipasuke immeze mzima mzima. Wazazi wake waliamua kuyapokea matokeo ya mtoto wao kwani, maji yakimwagika huyazoleki.
Rukia alikonda na kukondeana akabaki mifupa mikavu. Walioambiwa kuhusu hali yake walitaharuki kwa vishindo. Baada ya siku chache, marafiki na majirani wakapata habari kuwa Rukia amesafiri jongemeo. Wazazi wake wilitetemeka kama ya mpunga kondeni wasijue wakimbilie wapi. Mipango ya mazishi ilipangwa ili kumzika Rukia. Alipoletwa nyumbani kwao, watu walibaki midomo wazi kutokana na jinsi Rukia alivyokonda. Hawakuwa na la kufanya ila tu kukubali matokeo kwani waliamini kuwa, Rukia aliamua kujitoa na hatimaye dunia ilimpokea kwa mikono miwili.
Wazazi wake walijua kuwa, maji ukiyavulia, sharti uyaoge na tayari Rukia alikuwa kishaaga. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Rukia alivyopimwa ilibainika kuwa alikuwa na nini | {
"text": [
"Virusi vya ukimwi"
]
} |
3096_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Rukia alikuwa msichana mrembo na mwenye kutamanisha wengi. Urembo wake uliwanyima baadhi ya wanaume usingizi. Macho yake mazuri, yalitoka akikuangalia utadhani anakuita. Sura yake iling’ara kama kioo juani. Kiuno chake kilichongwa kikachongeka. Kifuani, dodo zake zilisimama tisti kama matunda kwenye barabara. Nywele zake laini ziliangukia mabegani. Ama kweli, Mungu alimpa urembo si haba.
Shuleni, Rukia alipendwa na wengi, kuaanzia walimu hadi wanafunzi. Tabia zake zilikuwa za kupigiwa mfano. Alisifiwa na wingi kwa urembo na tabia zake. Wazazi wake walimpenda kupita kiasi na hata alipochokozwa na wenzake, waliwakemea na kuwakashifu vibaya.
Kadiri ya miaka iliposonga, tabia ya Rukia ilianza kubadilika. Kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege ya soksi za kiwete walipolonga kuwa, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Rukia alianza kubadilika kwa haraka sana kama moto unavyochoma kwenye kichake kikavu. Alianza kuwadharau wazazi na hata walimu wake shuleni. Hakutaka kuskia la mwadhini wala la mteka maji
msikitini. Alikataa kusikia katakata kwani sikio la kufa haliskii dawa.
Wazazi wake waliamua kumwacha kwani, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Rukia alianza kujiingiza katika mambo ya mapenzi. Kwake, ilikuwa vigumu kuacha kwani mchovya asali hachovyi mara moja. Ilikuwa ni mazoea yake na asingeweza kuacha. Siku zilizidi kusonga bila huruma. Naye Rukia alizidi kuzama katika mapenzi. Laiti angalijua yatakayotokea, asingalikubali kamwe kujihusisha katika mapenzi.
Watu kijijini mwao walianza kumsema vibaya lakini ilikuwa kazi bure, hiyo ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi zeze acheze. Rukia akitaka kutimiza msemo wa “ponda raha kufa kwaja.” Rukia alipozama katika mapenzi aliamua kuacha shule na hata hakulala nyumbani kwao. Wazazi wake hawakuwa na la kusema ila tu kungojea matokeo. Lisemwalo lipo, na kama halipo laja. Rukia alianza kwenda kwa disko wakati wa usiku na aliporudi nyumbani alikuwa amelewa chopi!
Baada ya miezi mitatu hivi, Rukia akaanza kuwa mgonjwa. Hofu ilianza kumuingia nu akaamua kuwaeleza wazazi wake kinagaubaga. Wazazi wake walimpeleka hospitalini na baada ya vipimo, Rukia alibainika kuwa ameambukizwa virusi vya ukimwi. Machozi michirizi michirizi yalimtiririka huku yakiunda nambari kumi na moja mashavuni mwake. Wazazi wake walibaki wameduwaa kama mzungu wa reli wakiwa hawana la kusema. Rukia alitamani ardhi ipasuke immeze mzima mzima. Wazazi wake waliamua kuyapokea matokeo ya mtoto wao kwani, maji yakimwagika huyazoleki.
Rukia alikonda na kukondeana akabaki mifupa mikavu. Walioambiwa kuhusu hali yake walitaharuki kwa vishindo. Baada ya siku chache, marafiki na majirani wakapata habari kuwa Rukia amesafiri jongemeo. Wazazi wake wilitetemeka kama ya mpunga kondeni wasijue wakimbilie wapi. Mipango ya mazishi ilipangwa ili kumzika Rukia. Alipoletwa nyumbani kwao, watu walibaki midomo wazi kutokana na jinsi Rukia alivyokonda. Hawakuwa na la kufanya ila tu kukubali matokeo kwani waliamini kuwa, Rukia aliamua kujitoa na hatimaye dunia ilimpokea kwa mikono miwili.
Wazazi wake walijua kuwa, maji ukiyavulia, sharti uyaoge na tayari Rukia alikuwa kishaaga. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Rukia, baada ya kusafiri jongomeo alipelekwa wapi kuzikwa | {
"text": [
"Nyumbani kwao"
]
} |
3097_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Teknolojia imekuwa ikitumiwa na watu kidogo lakini kwa sasa watu wengi wanatumia mitambo ya kisasa kama vile kompyuta, kikokotoo na vingine. Vifaa hivi vina faida nyingi katika maisha ya kisasa na pia havikosi madhara yake ambayo watu wengi hawayafahamu.
Mitambo ya kisasa ina faida nyingi, ya kwanza ni kuwa imepunguza ulipishaji wa pesa kwa sababu watu hawana haja ya kupanga mlolongo ili walipe pesa ya karo au bidhaa. Siku hizi kompyuta hutumiwa ili kulipa fedha hizo na kurahisisha kazi.
Kifaa kama vile ATM husaidia mteja kupata huduma kwa haraka. Mteja anaweza kupata hela zake wakati anapohitaji kama vile, mwalimu anapohitaji pesa ili ajihudumie katika matatizo yake. Hii imeleta kuhifadhi wakati wake kwa kuhudumiwa haraka katika ATM.
Kifaa kingine kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi katika hisabati na masomo mengine ya kisayansi ila kusaidia katika kupata majibu ya hisabati. Hii imeleta faida ya kufaulu kwa wanafunzi katika masomo haya ya kisayansi. Hivyo basi wanafunzi hutumia muda kidogo wa kufanya masomo haya.
Kompyuta imeleta faida ya kuweka majibu na pia kuweka taarifa ambayo inaweza kutumikaa wakati wowote inapohitajika. Kompyuta imewezesha kupunguza kazi za kuandika na hata kupunguza uchafu kwani karatasi nyingi huleta uchafu ofisini au hata darasani. Kuandika kwenye karatasi pia kunaweza kusababisha kupotea kwa ujumbe.
Ingawa teknolojia ina faida, kuna madhara yake ambayo watu wengi hawajafahamu. Watu wengi huchukulia mchezo madhara haya lakini huleta madhara makubwa kwa jamii au kwa watu wengi. ATM, ambacho ni kifaa kinachotumiwa shuleni ili kulipa karo, kina madhara kama vile wizi wa pesa hizo.
Madhara ya tarakilishi ni kuwa mtu anapotumia kifaa hiki kwa muda mrefu humletea matatizo kama ya macho. Hili huleta madhara kwa afya ya mtu binafsi. Pia kuweka pesa kunaweza kusababisha uharibifu wa kitu, unaweza kuhitaji fedha za dharura ili kuendeleza kitu na mara unajikuta umeharibiwa na jambo fulani.
Utumizi wa kikokotoo unawezamfanya mwanafunzi kuanguka mtihani kwa kutozingatia masharti na matumizi yake. Hili huweza kuleta madhara ya kujutia na hatimaye kujutia baada ya kutofua dafu katika mtihani wake. Mwanafunzi anaweza kujutia maisha yake kwa kutopata kazi na hatimaye jamii nzima huathirika.
| Teknolojia inahusu uundaji wa nini | {
"text": [
"mitambo"
]
} |
3097_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Teknolojia imekuwa ikitumiwa na watu kidogo lakini kwa sasa watu wengi wanatumia mitambo ya kisasa kama vile kompyuta, kikokotoo na vingine. Vifaa hivi vina faida nyingi katika maisha ya kisasa na pia havikosi madhara yake ambayo watu wengi hawayafahamu.
Mitambo ya kisasa ina faida nyingi, ya kwanza ni kuwa imepunguza ulipishaji wa pesa kwa sababu watu hawana haja ya kupanga mlolongo ili walipe pesa ya karo au bidhaa. Siku hizi kompyuta hutumiwa ili kulipa fedha hizo na kurahisisha kazi.
Kifaa kama vile ATM husaidia mteja kupata huduma kwa haraka. Mteja anaweza kupata hela zake wakati anapohitaji kama vile, mwalimu anapohitaji pesa ili ajihudumie katika matatizo yake. Hii imeleta kuhifadhi wakati wake kwa kuhudumiwa haraka katika ATM.
Kifaa kingine kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi katika hisabati na masomo mengine ya kisayansi ila kusaidia katika kupata majibu ya hisabati. Hii imeleta faida ya kufaulu kwa wanafunzi katika masomo haya ya kisayansi. Hivyo basi wanafunzi hutumia muda kidogo wa kufanya masomo haya.
Kompyuta imeleta faida ya kuweka majibu na pia kuweka taarifa ambayo inaweza kutumikaa wakati wowote inapohitajika. Kompyuta imewezesha kupunguza kazi za kuandika na hata kupunguza uchafu kwani karatasi nyingi huleta uchafu ofisini au hata darasani. Kuandika kwenye karatasi pia kunaweza kusababisha kupotea kwa ujumbe.
Ingawa teknolojia ina faida, kuna madhara yake ambayo watu wengi hawajafahamu. Watu wengi huchukulia mchezo madhara haya lakini huleta madhara makubwa kwa jamii au kwa watu wengi. ATM, ambacho ni kifaa kinachotumiwa shuleni ili kulipa karo, kina madhara kama vile wizi wa pesa hizo.
Madhara ya tarakilishi ni kuwa mtu anapotumia kifaa hiki kwa muda mrefu humletea matatizo kama ya macho. Hili huleta madhara kwa afya ya mtu binafsi. Pia kuweka pesa kunaweza kusababisha uharibifu wa kitu, unaweza kuhitaji fedha za dharura ili kuendeleza kitu na mara unajikuta umeharibiwa na jambo fulani.
Utumizi wa kikokotoo unawezamfanya mwanafunzi kuanguka mtihani kwa kutozingatia masharti na matumizi yake. Hili huweza kuleta madhara ya kujutia na hatimaye kujutia baada ya kutofua dafu katika mtihani wake. Mwanafunzi anaweza kujutia maisha yake kwa kutopata kazi na hatimaye jamii nzima huathirika.
| Watu wangapi wanatumia mitambo ya kisasa | {
"text": [
"wengi"
]
} |
3097_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Teknolojia imekuwa ikitumiwa na watu kidogo lakini kwa sasa watu wengi wanatumia mitambo ya kisasa kama vile kompyuta, kikokotoo na vingine. Vifaa hivi vina faida nyingi katika maisha ya kisasa na pia havikosi madhara yake ambayo watu wengi hawayafahamu.
Mitambo ya kisasa ina faida nyingi, ya kwanza ni kuwa imepunguza ulipishaji wa pesa kwa sababu watu hawana haja ya kupanga mlolongo ili walipe pesa ya karo au bidhaa. Siku hizi kompyuta hutumiwa ili kulipa fedha hizo na kurahisisha kazi.
Kifaa kama vile ATM husaidia mteja kupata huduma kwa haraka. Mteja anaweza kupata hela zake wakati anapohitaji kama vile, mwalimu anapohitaji pesa ili ajihudumie katika matatizo yake. Hii imeleta kuhifadhi wakati wake kwa kuhudumiwa haraka katika ATM.
Kifaa kingine kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi katika hisabati na masomo mengine ya kisayansi ila kusaidia katika kupata majibu ya hisabati. Hii imeleta faida ya kufaulu kwa wanafunzi katika masomo haya ya kisayansi. Hivyo basi wanafunzi hutumia muda kidogo wa kufanya masomo haya.
Kompyuta imeleta faida ya kuweka majibu na pia kuweka taarifa ambayo inaweza kutumikaa wakati wowote inapohitajika. Kompyuta imewezesha kupunguza kazi za kuandika na hata kupunguza uchafu kwani karatasi nyingi huleta uchafu ofisini au hata darasani. Kuandika kwenye karatasi pia kunaweza kusababisha kupotea kwa ujumbe.
Ingawa teknolojia ina faida, kuna madhara yake ambayo watu wengi hawajafahamu. Watu wengi huchukulia mchezo madhara haya lakini huleta madhara makubwa kwa jamii au kwa watu wengi. ATM, ambacho ni kifaa kinachotumiwa shuleni ili kulipa karo, kina madhara kama vile wizi wa pesa hizo.
Madhara ya tarakilishi ni kuwa mtu anapotumia kifaa hiki kwa muda mrefu humletea matatizo kama ya macho. Hili huleta madhara kwa afya ya mtu binafsi. Pia kuweka pesa kunaweza kusababisha uharibifu wa kitu, unaweza kuhitaji fedha za dharura ili kuendeleza kitu na mara unajikuta umeharibiwa na jambo fulani.
Utumizi wa kikokotoo unawezamfanya mwanafunzi kuanguka mtihani kwa kutozingatia masharti na matumizi yake. Hili huweza kuleta madhara ya kujutia na hatimaye kujutia baada ya kutofua dafu katika mtihani wake. Mwanafunzi anaweza kujutia maisha yake kwa kutopata kazi na hatimaye jamii nzima huathirika.
| Matumizi ya tarakilishi huletea nini matatizo | {
"text": [
"macho"
]
} |
3097_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Teknolojia imekuwa ikitumiwa na watu kidogo lakini kwa sasa watu wengi wanatumia mitambo ya kisasa kama vile kompyuta, kikokotoo na vingine. Vifaa hivi vina faida nyingi katika maisha ya kisasa na pia havikosi madhara yake ambayo watu wengi hawayafahamu.
Mitambo ya kisasa ina faida nyingi, ya kwanza ni kuwa imepunguza ulipishaji wa pesa kwa sababu watu hawana haja ya kupanga mlolongo ili walipe pesa ya karo au bidhaa. Siku hizi kompyuta hutumiwa ili kulipa fedha hizo na kurahisisha kazi.
Kifaa kama vile ATM husaidia mteja kupata huduma kwa haraka. Mteja anaweza kupata hela zake wakati anapohitaji kama vile, mwalimu anapohitaji pesa ili ajihudumie katika matatizo yake. Hii imeleta kuhifadhi wakati wake kwa kuhudumiwa haraka katika ATM.
Kifaa kingine kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi katika hisabati na masomo mengine ya kisayansi ila kusaidia katika kupata majibu ya hisabati. Hii imeleta faida ya kufaulu kwa wanafunzi katika masomo haya ya kisayansi. Hivyo basi wanafunzi hutumia muda kidogo wa kufanya masomo haya.
Kompyuta imeleta faida ya kuweka majibu na pia kuweka taarifa ambayo inaweza kutumikaa wakati wowote inapohitajika. Kompyuta imewezesha kupunguza kazi za kuandika na hata kupunguza uchafu kwani karatasi nyingi huleta uchafu ofisini au hata darasani. Kuandika kwenye karatasi pia kunaweza kusababisha kupotea kwa ujumbe.
Ingawa teknolojia ina faida, kuna madhara yake ambayo watu wengi hawajafahamu. Watu wengi huchukulia mchezo madhara haya lakini huleta madhara makubwa kwa jamii au kwa watu wengi. ATM, ambacho ni kifaa kinachotumiwa shuleni ili kulipa karo, kina madhara kama vile wizi wa pesa hizo.
Madhara ya tarakilishi ni kuwa mtu anapotumia kifaa hiki kwa muda mrefu humletea matatizo kama ya macho. Hili huleta madhara kwa afya ya mtu binafsi. Pia kuweka pesa kunaweza kusababisha uharibifu wa kitu, unaweza kuhitaji fedha za dharura ili kuendeleza kitu na mara unajikuta umeharibiwa na jambo fulani.
Utumizi wa kikokotoo unawezamfanya mwanafunzi kuanguka mtihani kwa kutozingatia masharti na matumizi yake. Hili huweza kuleta madhara ya kujutia na hatimaye kujutia baada ya kutofua dafu katika mtihani wake. Mwanafunzi anaweza kujutia maisha yake kwa kutopata kazi na hatimaye jamii nzima huathirika.
| Nani huanguka mtihani kwa kutozingatia masharti | {
"text": [
"mwanafunzi"
]
} |
3097_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Teknolojia imekuwa ikitumiwa na watu kidogo lakini kwa sasa watu wengi wanatumia mitambo ya kisasa kama vile kompyuta, kikokotoo na vingine. Vifaa hivi vina faida nyingi katika maisha ya kisasa na pia havikosi madhara yake ambayo watu wengi hawayafahamu.
Mitambo ya kisasa ina faida nyingi, ya kwanza ni kuwa imepunguza ulipishaji wa pesa kwa sababu watu hawana haja ya kupanga mlolongo ili walipe pesa ya karo au bidhaa. Siku hizi kompyuta hutumiwa ili kulipa fedha hizo na kurahisisha kazi.
Kifaa kama vile ATM husaidia mteja kupata huduma kwa haraka. Mteja anaweza kupata hela zake wakati anapohitaji kama vile, mwalimu anapohitaji pesa ili ajihudumie katika matatizo yake. Hii imeleta kuhifadhi wakati wake kwa kuhudumiwa haraka katika ATM.
Kifaa kingine kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi katika hisabati na masomo mengine ya kisayansi ila kusaidia katika kupata majibu ya hisabati. Hii imeleta faida ya kufaulu kwa wanafunzi katika masomo haya ya kisayansi. Hivyo basi wanafunzi hutumia muda kidogo wa kufanya masomo haya.
Kompyuta imeleta faida ya kuweka majibu na pia kuweka taarifa ambayo inaweza kutumikaa wakati wowote inapohitajika. Kompyuta imewezesha kupunguza kazi za kuandika na hata kupunguza uchafu kwani karatasi nyingi huleta uchafu ofisini au hata darasani. Kuandika kwenye karatasi pia kunaweza kusababisha kupotea kwa ujumbe.
Ingawa teknolojia ina faida, kuna madhara yake ambayo watu wengi hawajafahamu. Watu wengi huchukulia mchezo madhara haya lakini huleta madhara makubwa kwa jamii au kwa watu wengi. ATM, ambacho ni kifaa kinachotumiwa shuleni ili kulipa karo, kina madhara kama vile wizi wa pesa hizo.
Madhara ya tarakilishi ni kuwa mtu anapotumia kifaa hiki kwa muda mrefu humletea matatizo kama ya macho. Hili huleta madhara kwa afya ya mtu binafsi. Pia kuweka pesa kunaweza kusababisha uharibifu wa kitu, unaweza kuhitaji fedha za dharura ili kuendeleza kitu na mara unajikuta umeharibiwa na jambo fulani.
Utumizi wa kikokotoo unawezamfanya mwanafunzi kuanguka mtihani kwa kutozingatia masharti na matumizi yake. Hili huweza kuleta madhara ya kujutia na hatimaye kujutia baada ya kutofua dafu katika mtihani wake. Mwanafunzi anaweza kujutia maisha yake kwa kutopata kazi na hatimaye jamii nzima huathirika.
| Mbona mwanafunzi anaweza kujutia maisha yake | {
"text": [
"kwa kutopata kazi"
]
} |
3098_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anapoambiwa maneno ambayo yanaweza kumletea madhara na wavyele wake, basi asipoyashikilia na kuyasikiliza mwishowe hujutia kwa kumletea hasara katika maisha yake. Methali hii hutumiwa kuwaelimisha na kuwaonya vijana walio na tabia ya kupuuza wasia wa wavyele wao.
Penina alikuwa msichana mzuri mwenye umbo la twiga . Alikuwa mzuri wa umbo na pia tabia. Licha ya wazazi wake kumsifia, walimu na majirani pia walimsifia. Penina alikuwa na tabia za kuiga, mwenye bidii hata katika masomo. Wazazi walisahau kwamba ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka. Wazazi hawa hawakuchukua jukumu la kumrekebisha mtoto wao hata alipokosea.
Wazazi hawa walichojua ni kuwa, mtoto wao alikuwa mwadilifu na hakuwa na doa, alikuwa safi. Walimu nao shuleni hawakukumbuka kuwa, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Wazazi wake walijisifu kwa kupata mtoto mwenye tabia njema na kila mahali alipokwenda walisimulia tabia nzuri za mtoto wao.
Penina alikuwa mtu mwenye maringo na alikuwa akipata sifa kutoka kwa watu wa kijiji. Penina alikuwa mtu wa kupigiwa mfano na kila mtu alikuwa akimpenda kwa tabia na mienendo yake. Penina alikuwa na rafiki chungu nzima, walikuwa hawapungui hapo nyumbani, wake kwa waume, waliokuja kutafuta msaada wa kimasomo na hata kutafuta suluhisho ya matatizo yao.
Baada ya muda kidogo, sifa za Penina zilianza kupungua. Penina alijiunga na watu wenye tabia za kishetani Penina alianza kugeuza mienendo yake na kuwa mtu mbaya. Penina alikuwa akiwajibu watu chochote kile bila ya kuchunga midomo yake. Rafiki zake walianza kutengana naye. Mama yake alipomhoji mwanawe, alimfokea kwa kumwambia, “kwani unafikiri mimi siwezi kujichunga?”
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, majirani wao walijiambia. Baada ya miezi kidogo, Penina aliona afya yake imeanza kubadilika. Alisahau kwamba mchovya asali haachi kuchovya. Alijisemea mwenyewe, “ponda raha kufa kwaja.” Penina alianza kukonda na kukondeana na baada ya muda, alijikuta kuwa ameambukizwa Ukimwi.
Alipoanza matibabu hakufua dafu, kwani virusi vilikuwa vimemaliza kazi yake. Baada ya wiki mbili alikuwa amelala kitandani na akafa. Wazazi wake walijuta kwa kutomrekebisha mtoto wao wakati uliofaa.
Methali hii inatufunza kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake, ni lazima awaheshimu. Pia inatufunza kuwa, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Kwani, wazazi wa Penina hawakumkanya mtoto wao. Pia mtoto hufuata kisogo cha nina na mzazi anafaa awe mwadilifu ili aonyeshe mfano bora kwa watoto wake.
| Mtu asiyesikiza wavyele wake mwishowe hujiletea nini | {
"text": [
"hasara"
]
} |
3098_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anapoambiwa maneno ambayo yanaweza kumletea madhara na wavyele wake, basi asipoyashikilia na kuyasikiliza mwishowe hujutia kwa kumletea hasara katika maisha yake. Methali hii hutumiwa kuwaelimisha na kuwaonya vijana walio na tabia ya kupuuza wasia wa wavyele wao.
Penina alikuwa msichana mzuri mwenye umbo la twiga . Alikuwa mzuri wa umbo na pia tabia. Licha ya wazazi wake kumsifia, walimu na majirani pia walimsifia. Penina alikuwa na tabia za kuiga, mwenye bidii hata katika masomo. Wazazi walisahau kwamba ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka. Wazazi hawa hawakuchukua jukumu la kumrekebisha mtoto wao hata alipokosea.
Wazazi hawa walichojua ni kuwa, mtoto wao alikuwa mwadilifu na hakuwa na doa, alikuwa safi. Walimu nao shuleni hawakukumbuka kuwa, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Wazazi wake walijisifu kwa kupata mtoto mwenye tabia njema na kila mahali alipokwenda walisimulia tabia nzuri za mtoto wao.
Penina alikuwa mtu mwenye maringo na alikuwa akipata sifa kutoka kwa watu wa kijiji. Penina alikuwa mtu wa kupigiwa mfano na kila mtu alikuwa akimpenda kwa tabia na mienendo yake. Penina alikuwa na rafiki chungu nzima, walikuwa hawapungui hapo nyumbani, wake kwa waume, waliokuja kutafuta msaada wa kimasomo na hata kutafuta suluhisho ya matatizo yao.
Baada ya muda kidogo, sifa za Penina zilianza kupungua. Penina alijiunga na watu wenye tabia za kishetani Penina alianza kugeuza mienendo yake na kuwa mtu mbaya. Penina alikuwa akiwajibu watu chochote kile bila ya kuchunga midomo yake. Rafiki zake walianza kutengana naye. Mama yake alipomhoji mwanawe, alimfokea kwa kumwambia, “kwani unafikiri mimi siwezi kujichunga?”
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, majirani wao walijiambia. Baada ya miezi kidogo, Penina aliona afya yake imeanza kubadilika. Alisahau kwamba mchovya asali haachi kuchovya. Alijisemea mwenyewe, “ponda raha kufa kwaja.” Penina alianza kukonda na kukondeana na baada ya muda, alijikuta kuwa ameambukizwa Ukimwi.
Alipoanza matibabu hakufua dafu, kwani virusi vilikuwa vimemaliza kazi yake. Baada ya wiki mbili alikuwa amelala kitandani na akafa. Wazazi wake walijuta kwa kutomrekebisha mtoto wao wakati uliofaa.
Methali hii inatufunza kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake, ni lazima awaheshimu. Pia inatufunza kuwa, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Kwani, wazazi wa Penina hawakumkanya mtoto wao. Pia mtoto hufuata kisogo cha nina na mzazi anafaa awe mwadilifu ili aonyeshe mfano bora kwa watoto wake.
| Meyhali hii huwaonya nani | {
"text": [
"vijana"
]
} |
3098_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anapoambiwa maneno ambayo yanaweza kumletea madhara na wavyele wake, basi asipoyashikilia na kuyasikiliza mwishowe hujutia kwa kumletea hasara katika maisha yake. Methali hii hutumiwa kuwaelimisha na kuwaonya vijana walio na tabia ya kupuuza wasia wa wavyele wao.
Penina alikuwa msichana mzuri mwenye umbo la twiga . Alikuwa mzuri wa umbo na pia tabia. Licha ya wazazi wake kumsifia, walimu na majirani pia walimsifia. Penina alikuwa na tabia za kuiga, mwenye bidii hata katika masomo. Wazazi walisahau kwamba ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka. Wazazi hawa hawakuchukua jukumu la kumrekebisha mtoto wao hata alipokosea.
Wazazi hawa walichojua ni kuwa, mtoto wao alikuwa mwadilifu na hakuwa na doa, alikuwa safi. Walimu nao shuleni hawakukumbuka kuwa, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Wazazi wake walijisifu kwa kupata mtoto mwenye tabia njema na kila mahali alipokwenda walisimulia tabia nzuri za mtoto wao.
Penina alikuwa mtu mwenye maringo na alikuwa akipata sifa kutoka kwa watu wa kijiji. Penina alikuwa mtu wa kupigiwa mfano na kila mtu alikuwa akimpenda kwa tabia na mienendo yake. Penina alikuwa na rafiki chungu nzima, walikuwa hawapungui hapo nyumbani, wake kwa waume, waliokuja kutafuta msaada wa kimasomo na hata kutafuta suluhisho ya matatizo yao.
Baada ya muda kidogo, sifa za Penina zilianza kupungua. Penina alijiunga na watu wenye tabia za kishetani Penina alianza kugeuza mienendo yake na kuwa mtu mbaya. Penina alikuwa akiwajibu watu chochote kile bila ya kuchunga midomo yake. Rafiki zake walianza kutengana naye. Mama yake alipomhoji mwanawe, alimfokea kwa kumwambia, “kwani unafikiri mimi siwezi kujichunga?”
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, majirani wao walijiambia. Baada ya miezi kidogo, Penina aliona afya yake imeanza kubadilika. Alisahau kwamba mchovya asali haachi kuchovya. Alijisemea mwenyewe, “ponda raha kufa kwaja.” Penina alianza kukonda na kukondeana na baada ya muda, alijikuta kuwa ameambukizwa Ukimwi.
Alipoanza matibabu hakufua dafu, kwani virusi vilikuwa vimemaliza kazi yake. Baada ya wiki mbili alikuwa amelala kitandani na akafa. Wazazi wake walijuta kwa kutomrekebisha mtoto wao wakati uliofaa.
Methali hii inatufunza kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake, ni lazima awaheshimu. Pia inatufunza kuwa, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Kwani, wazazi wa Penina hawakumkanya mtoto wao. Pia mtoto hufuata kisogo cha nina na mzazi anafaa awe mwadilifu ili aonyeshe mfano bora kwa watoto wake.
| Nani alikuwa na umbo la twiga | {
"text": [
"Penina"
]
} |
3098_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anapoambiwa maneno ambayo yanaweza kumletea madhara na wavyele wake, basi asipoyashikilia na kuyasikiliza mwishowe hujutia kwa kumletea hasara katika maisha yake. Methali hii hutumiwa kuwaelimisha na kuwaonya vijana walio na tabia ya kupuuza wasia wa wavyele wao.
Penina alikuwa msichana mzuri mwenye umbo la twiga . Alikuwa mzuri wa umbo na pia tabia. Licha ya wazazi wake kumsifia, walimu na majirani pia walimsifia. Penina alikuwa na tabia za kuiga, mwenye bidii hata katika masomo. Wazazi walisahau kwamba ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka. Wazazi hawa hawakuchukua jukumu la kumrekebisha mtoto wao hata alipokosea.
Wazazi hawa walichojua ni kuwa, mtoto wao alikuwa mwadilifu na hakuwa na doa, alikuwa safi. Walimu nao shuleni hawakukumbuka kuwa, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Wazazi wake walijisifu kwa kupata mtoto mwenye tabia njema na kila mahali alipokwenda walisimulia tabia nzuri za mtoto wao.
Penina alikuwa mtu mwenye maringo na alikuwa akipata sifa kutoka kwa watu wa kijiji. Penina alikuwa mtu wa kupigiwa mfano na kila mtu alikuwa akimpenda kwa tabia na mienendo yake. Penina alikuwa na rafiki chungu nzima, walikuwa hawapungui hapo nyumbani, wake kwa waume, waliokuja kutafuta msaada wa kimasomo na hata kutafuta suluhisho ya matatizo yao.
Baada ya muda kidogo, sifa za Penina zilianza kupungua. Penina alijiunga na watu wenye tabia za kishetani Penina alianza kugeuza mienendo yake na kuwa mtu mbaya. Penina alikuwa akiwajibu watu chochote kile bila ya kuchunga midomo yake. Rafiki zake walianza kutengana naye. Mama yake alipomhoji mwanawe, alimfokea kwa kumwambia, “kwani unafikiri mimi siwezi kujichunga?”
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, majirani wao walijiambia. Baada ya miezi kidogo, Penina aliona afya yake imeanza kubadilika. Alisahau kwamba mchovya asali haachi kuchovya. Alijisemea mwenyewe, “ponda raha kufa kwaja.” Penina alianza kukonda na kukondeana na baada ya muda, alijikuta kuwa ameambukizwa Ukimwi.
Alipoanza matibabu hakufua dafu, kwani virusi vilikuwa vimemaliza kazi yake. Baada ya wiki mbili alikuwa amelala kitandani na akafa. Wazazi wake walijuta kwa kutomrekebisha mtoto wao wakati uliofaa.
Methali hii inatufunza kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake, ni lazima awaheshimu. Pia inatufunza kuwa, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Kwani, wazazi wa Penina hawakumkanya mtoto wao. Pia mtoto hufuata kisogo cha nina na mzazi anafaa awe mwadilifu ili aonyeshe mfano bora kwa watoto wake.
| Ngoma hupasuka ikifanyaje | {
"text": [
"ikilia sana"
]
} |
3098_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anapoambiwa maneno ambayo yanaweza kumletea madhara na wavyele wake, basi asipoyashikilia na kuyasikiliza mwishowe hujutia kwa kumletea hasara katika maisha yake. Methali hii hutumiwa kuwaelimisha na kuwaonya vijana walio na tabia ya kupuuza wasia wa wavyele wao.
Penina alikuwa msichana mzuri mwenye umbo la twiga . Alikuwa mzuri wa umbo na pia tabia. Licha ya wazazi wake kumsifia, walimu na majirani pia walimsifia. Penina alikuwa na tabia za kuiga, mwenye bidii hata katika masomo. Wazazi walisahau kwamba ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka. Wazazi hawa hawakuchukua jukumu la kumrekebisha mtoto wao hata alipokosea.
Wazazi hawa walichojua ni kuwa, mtoto wao alikuwa mwadilifu na hakuwa na doa, alikuwa safi. Walimu nao shuleni hawakukumbuka kuwa, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Wazazi wake walijisifu kwa kupata mtoto mwenye tabia njema na kila mahali alipokwenda walisimulia tabia nzuri za mtoto wao.
Penina alikuwa mtu mwenye maringo na alikuwa akipata sifa kutoka kwa watu wa kijiji. Penina alikuwa mtu wa kupigiwa mfano na kila mtu alikuwa akimpenda kwa tabia na mienendo yake. Penina alikuwa na rafiki chungu nzima, walikuwa hawapungui hapo nyumbani, wake kwa waume, waliokuja kutafuta msaada wa kimasomo na hata kutafuta suluhisho ya matatizo yao.
Baada ya muda kidogo, sifa za Penina zilianza kupungua. Penina alijiunga na watu wenye tabia za kishetani Penina alianza kugeuza mienendo yake na kuwa mtu mbaya. Penina alikuwa akiwajibu watu chochote kile bila ya kuchunga midomo yake. Rafiki zake walianza kutengana naye. Mama yake alipomhoji mwanawe, alimfokea kwa kumwambia, “kwani unafikiri mimi siwezi kujichunga?”
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, majirani wao walijiambia. Baada ya miezi kidogo, Penina aliona afya yake imeanza kubadilika. Alisahau kwamba mchovya asali haachi kuchovya. Alijisemea mwenyewe, “ponda raha kufa kwaja.” Penina alianza kukonda na kukondeana na baada ya muda, alijikuta kuwa ameambukizwa Ukimwi.
Alipoanza matibabu hakufua dafu, kwani virusi vilikuwa vimemaliza kazi yake. Baada ya wiki mbili alikuwa amelala kitandani na akafa. Wazazi wake walijuta kwa kutomrekebisha mtoto wao wakati uliofaa.
Methali hii inatufunza kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake, ni lazima awaheshimu. Pia inatufunza kuwa, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Kwani, wazazi wa Penina hawakumkanya mtoto wao. Pia mtoto hufuata kisogo cha nina na mzazi anafaa awe mwadilifu ili aonyeshe mfano bora kwa watoto wake.
| Mbona Penina alipoanza matibabu hakufua dafu | {
"text": [
"virusi vilikuwa vimemaliza kazi yake"
]
} |
3099_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUKE ZA SEKONDARI
Katika shule za upili teknolojia imeleta faida nyingi sana. Kwa mfano, tarakilishi zinatumika katika masomo na kurahisisha masomo. Tarakilishi zimefanya kazi kuwa rahisi kama vile kuchapisha karatasi tofauti.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya.
| Ni vipi teknolojia imerahihisha kazi shuleni | {
"text": [
"Inatumika katika kuchapisha karatasi nyingi za mitihani"
]
} |
3099_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUKE ZA SEKONDARI
Katika shule za upili teknolojia imeleta faida nyingi sana. Kwa mfano, tarakilishi zinatumika katika masomo na kurahisisha masomo. Tarakilishi zimefanya kazi kuwa rahisi kama vile kuchapisha karatasi tofauti.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya.
| Teknolojia imechangia ajira kivipi | {
"text": [
"Kupitia tarakishi, wananchi wengi wamepata kuajiriwa"
]
} |
3099_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUKE ZA SEKONDARI
Katika shule za upili teknolojia imeleta faida nyingi sana. Kwa mfano, tarakilishi zinatumika katika masomo na kurahisisha masomo. Tarakilishi zimefanya kazi kuwa rahisi kama vile kuchapisha karatasi tofauti.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya.
| Teknolojia imevumbua simu ambayo hutumika kufanya nini shuleni | {
"text": [
"Hurahihisha mazungumzo baina ya wazazi na walimu"
]
} |
3099_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUKE ZA SEKONDARI
Katika shule za upili teknolojia imeleta faida nyingi sana. Kwa mfano, tarakilishi zinatumika katika masomo na kurahisisha masomo. Tarakilishi zimefanya kazi kuwa rahisi kama vile kuchapisha karatasi tofauti.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya.
| Ni kipi kilichoma nyumba za jamii kilipokosa kwenda sawa | {
"text": [
"Umeme"
]
} |
3099_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUKE ZA SEKONDARI
Katika shule za upili teknolojia imeleta faida nyingi sana. Kwa mfano, tarakilishi zinatumika katika masomo na kurahisisha masomo. Tarakilishi zimefanya kazi kuwa rahisi kama vile kuchapisha karatasi tofauti.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya.
| Taja faida moja ya teknolojia | {
"text": [
"Uvumbuzi wa tarakilishi ambayo ina manufaa mengi shuleni"
]
} |
3101_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu utumiaji wa mitambo. Teknolojia imeziathiri shule nyingi kimasomo na kisha kiufundi. Kuna mitambo mbalimbali inayopatikana shuleni. Mitambo hii huwa na madhara na faida zake. Mitambo hii ni kama vile kikokotoo, tarakilishi na simu.
Mtambo wa tarakilishi huwa na faida nyingi shuleni kama vile, mtambo huu hutumika kuweka rekodi za shule. Jambo hili humurahisishia mtu kupata na kutafuta vitu. Tarakilishi pia huweka rekodi za wanafunzi kwa mfano, huweka alama za kila mwanafunzi ambaye atafanya mtihani. Chombo hiki kina uwezo wa kufanya hesabu na kazi nyingi kwa kasi.
Mtambo kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi pamoja na walimu shuleni. Kifaa hiki hutumika katika kufanya hesabu kwa kasi. Jambo hili humwezesha mwanafunzi kuhifadhi muda wake vizuri ukilinganisha na kufanya kwa akili. Pia walimu shuleni hutumia kikokotoo kufanya hesabu zao. Pia hutumika katika shule kufanyia hesabu za pesa ofisini.
Simu nayo imeleta faida nyingi hasa kwa wanafunzi. Kwanza mwanafunzi anaweza kutumia simu katika kudurusu kwake. Hapa humpata mwanafunzi kutafuta maswali kwenye mtandao na kufanya mazoezi. Pia, mwanafunzi hutumia simu katika kufanya hesabu. Kwenye simu pia kuna kikokotoo ambacho hutumiwa katika hesabu masomoni au hata ofisini. Simu pia imewarahisishia kazi walimu kwani hutumia mitandao ya simu kuwatumia wanafunzi mazoezi na hata pia kwa kazi nyingine kama vile za kuandika. Pia shuleni, simu imetumika katika mawasiliano baina ya wazazi na wanafunzi na hata pia wazazi na walimu. Jambo hili limewezesha urahisi wa ujumbe kutoka shuleni kwani hata katika mikutano mikuu ya shule, walimu hutumia simu zao kuwatumia wazazi kwenye mtandao.
Chombo kama vile televisheni hutumika shuleni kuangalia habari zinazoendelea ulimwenguni. Pia katika televisheni, huwa kuna masomo ambayo hufunzwa na walimu kutoka sehemu mbalimbali. Pia katika televisheni, kuna ushawishaji wa mambo tofauti tofauti kama vile ushawishi kuhusu jinsi ambavyo shule zinaweza kuzingatia ili ziweze kujiendeleza kimasomo.
Mbali na faida zote hizo, sayansi hii imeleta madhara mengi katika shule za sekondari. Tukiangazia chombo kama vile simu: simu imewaharibu wanafunzi wengi sana kimasomo. Mfano, wanafunzi hutengeza makundi yao katika mitandao na kisha katika makundi hayo, hakuna mambo yanayoendelea kuhusu masomo bali tu ni uposhaji baina yao. Maneno yanayotumika ni maneno ya matusi matupu tu.
Kikokotoo pia hakiachwi nyuma, chombo hiki kimesababisha uvivu kwa wanafunzi kwani hawawezi kufikiri sana kwa kuwa wamezoea kufanya kazi kwa kutumia kikokotoo. Televisheni pia imesababisha wanafunzi wengi kuangalia filamu za ngono, jambo ambalo limewafanya wanafunzi wengi kushiriki katika mambo mabaya. | Elimu ya sayansi inayohusu utumiaji wa mitambo huitwa nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3101_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu utumiaji wa mitambo. Teknolojia imeziathiri shule nyingi kimasomo na kisha kiufundi. Kuna mitambo mbalimbali inayopatikana shuleni. Mitambo hii huwa na madhara na faida zake. Mitambo hii ni kama vile kikokotoo, tarakilishi na simu.
Mtambo wa tarakilishi huwa na faida nyingi shuleni kama vile, mtambo huu hutumika kuweka rekodi za shule. Jambo hili humurahisishia mtu kupata na kutafuta vitu. Tarakilishi pia huweka rekodi za wanafunzi kwa mfano, huweka alama za kila mwanafunzi ambaye atafanya mtihani. Chombo hiki kina uwezo wa kufanya hesabu na kazi nyingi kwa kasi.
Mtambo kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi pamoja na walimu shuleni. Kifaa hiki hutumika katika kufanya hesabu kwa kasi. Jambo hili humwezesha mwanafunzi kuhifadhi muda wake vizuri ukilinganisha na kufanya kwa akili. Pia walimu shuleni hutumia kikokotoo kufanya hesabu zao. Pia hutumika katika shule kufanyia hesabu za pesa ofisini.
Simu nayo imeleta faida nyingi hasa kwa wanafunzi. Kwanza mwanafunzi anaweza kutumia simu katika kudurusu kwake. Hapa humpata mwanafunzi kutafuta maswali kwenye mtandao na kufanya mazoezi. Pia, mwanafunzi hutumia simu katika kufanya hesabu. Kwenye simu pia kuna kikokotoo ambacho hutumiwa katika hesabu masomoni au hata ofisini. Simu pia imewarahisishia kazi walimu kwani hutumia mitandao ya simu kuwatumia wanafunzi mazoezi na hata pia kwa kazi nyingine kama vile za kuandika. Pia shuleni, simu imetumika katika mawasiliano baina ya wazazi na wanafunzi na hata pia wazazi na walimu. Jambo hili limewezesha urahisi wa ujumbe kutoka shuleni kwani hata katika mikutano mikuu ya shule, walimu hutumia simu zao kuwatumia wazazi kwenye mtandao.
Chombo kama vile televisheni hutumika shuleni kuangalia habari zinazoendelea ulimwenguni. Pia katika televisheni, huwa kuna masomo ambayo hufunzwa na walimu kutoka sehemu mbalimbali. Pia katika televisheni, kuna ushawishaji wa mambo tofauti tofauti kama vile ushawishi kuhusu jinsi ambavyo shule zinaweza kuzingatia ili ziweze kujiendeleza kimasomo.
Mbali na faida zote hizo, sayansi hii imeleta madhara mengi katika shule za sekondari. Tukiangazia chombo kama vile simu: simu imewaharibu wanafunzi wengi sana kimasomo. Mfano, wanafunzi hutengeza makundi yao katika mitandao na kisha katika makundi hayo, hakuna mambo yanayoendelea kuhusu masomo bali tu ni uposhaji baina yao. Maneno yanayotumika ni maneno ya matusi matupu tu.
Kikokotoo pia hakiachwi nyuma, chombo hiki kimesababisha uvivu kwa wanafunzi kwani hawawezi kufikiri sana kwa kuwa wamezoea kufanya kazi kwa kutumia kikokotoo. Televisheni pia imesababisha wanafunzi wengi kuangalia filamu za ngono, jambo ambalo limewafanya wanafunzi wengi kushiriki katika mambo mabaya. | Mtambo wa tarakilishi huwa na faida nyingi wapi | {
"text": [
"Shuleni"
]
} |
3101_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu utumiaji wa mitambo. Teknolojia imeziathiri shule nyingi kimasomo na kisha kiufundi. Kuna mitambo mbalimbali inayopatikana shuleni. Mitambo hii huwa na madhara na faida zake. Mitambo hii ni kama vile kikokotoo, tarakilishi na simu.
Mtambo wa tarakilishi huwa na faida nyingi shuleni kama vile, mtambo huu hutumika kuweka rekodi za shule. Jambo hili humurahisishia mtu kupata na kutafuta vitu. Tarakilishi pia huweka rekodi za wanafunzi kwa mfano, huweka alama za kila mwanafunzi ambaye atafanya mtihani. Chombo hiki kina uwezo wa kufanya hesabu na kazi nyingi kwa kasi.
Mtambo kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi pamoja na walimu shuleni. Kifaa hiki hutumika katika kufanya hesabu kwa kasi. Jambo hili humwezesha mwanafunzi kuhifadhi muda wake vizuri ukilinganisha na kufanya kwa akili. Pia walimu shuleni hutumia kikokotoo kufanya hesabu zao. Pia hutumika katika shule kufanyia hesabu za pesa ofisini.
Simu nayo imeleta faida nyingi hasa kwa wanafunzi. Kwanza mwanafunzi anaweza kutumia simu katika kudurusu kwake. Hapa humpata mwanafunzi kutafuta maswali kwenye mtandao na kufanya mazoezi. Pia, mwanafunzi hutumia simu katika kufanya hesabu. Kwenye simu pia kuna kikokotoo ambacho hutumiwa katika hesabu masomoni au hata ofisini. Simu pia imewarahisishia kazi walimu kwani hutumia mitandao ya simu kuwatumia wanafunzi mazoezi na hata pia kwa kazi nyingine kama vile za kuandika. Pia shuleni, simu imetumika katika mawasiliano baina ya wazazi na wanafunzi na hata pia wazazi na walimu. Jambo hili limewezesha urahisi wa ujumbe kutoka shuleni kwani hata katika mikutano mikuu ya shule, walimu hutumia simu zao kuwatumia wazazi kwenye mtandao.
Chombo kama vile televisheni hutumika shuleni kuangalia habari zinazoendelea ulimwenguni. Pia katika televisheni, huwa kuna masomo ambayo hufunzwa na walimu kutoka sehemu mbalimbali. Pia katika televisheni, kuna ushawishaji wa mambo tofauti tofauti kama vile ushawishi kuhusu jinsi ambavyo shule zinaweza kuzingatia ili ziweze kujiendeleza kimasomo.
Mbali na faida zote hizo, sayansi hii imeleta madhara mengi katika shule za sekondari. Tukiangazia chombo kama vile simu: simu imewaharibu wanafunzi wengi sana kimasomo. Mfano, wanafunzi hutengeza makundi yao katika mitandao na kisha katika makundi hayo, hakuna mambo yanayoendelea kuhusu masomo bali tu ni uposhaji baina yao. Maneno yanayotumika ni maneno ya matusi matupu tu.
Kikokotoo pia hakiachwi nyuma, chombo hiki kimesababisha uvivu kwa wanafunzi kwani hawawezi kufikiri sana kwa kuwa wamezoea kufanya kazi kwa kutumia kikokotoo. Televisheni pia imesababisha wanafunzi wengi kuangalia filamu za ngono, jambo ambalo limewafanya wanafunzi wengi kushiriki katika mambo mabaya. | Ni mtambo upi unaotumiwa kuwekea rekodi za shule | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3101_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu utumiaji wa mitambo. Teknolojia imeziathiri shule nyingi kimasomo na kisha kiufundi. Kuna mitambo mbalimbali inayopatikana shuleni. Mitambo hii huwa na madhara na faida zake. Mitambo hii ni kama vile kikokotoo, tarakilishi na simu.
Mtambo wa tarakilishi huwa na faida nyingi shuleni kama vile, mtambo huu hutumika kuweka rekodi za shule. Jambo hili humurahisishia mtu kupata na kutafuta vitu. Tarakilishi pia huweka rekodi za wanafunzi kwa mfano, huweka alama za kila mwanafunzi ambaye atafanya mtihani. Chombo hiki kina uwezo wa kufanya hesabu na kazi nyingi kwa kasi.
Mtambo kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi pamoja na walimu shuleni. Kifaa hiki hutumika katika kufanya hesabu kwa kasi. Jambo hili humwezesha mwanafunzi kuhifadhi muda wake vizuri ukilinganisha na kufanya kwa akili. Pia walimu shuleni hutumia kikokotoo kufanya hesabu zao. Pia hutumika katika shule kufanyia hesabu za pesa ofisini.
Simu nayo imeleta faida nyingi hasa kwa wanafunzi. Kwanza mwanafunzi anaweza kutumia simu katika kudurusu kwake. Hapa humpata mwanafunzi kutafuta maswali kwenye mtandao na kufanya mazoezi. Pia, mwanafunzi hutumia simu katika kufanya hesabu. Kwenye simu pia kuna kikokotoo ambacho hutumiwa katika hesabu masomoni au hata ofisini. Simu pia imewarahisishia kazi walimu kwani hutumia mitandao ya simu kuwatumia wanafunzi mazoezi na hata pia kwa kazi nyingine kama vile za kuandika. Pia shuleni, simu imetumika katika mawasiliano baina ya wazazi na wanafunzi na hata pia wazazi na walimu. Jambo hili limewezesha urahisi wa ujumbe kutoka shuleni kwani hata katika mikutano mikuu ya shule, walimu hutumia simu zao kuwatumia wazazi kwenye mtandao.
Chombo kama vile televisheni hutumika shuleni kuangalia habari zinazoendelea ulimwenguni. Pia katika televisheni, huwa kuna masomo ambayo hufunzwa na walimu kutoka sehemu mbalimbali. Pia katika televisheni, kuna ushawishaji wa mambo tofauti tofauti kama vile ushawishi kuhusu jinsi ambavyo shule zinaweza kuzingatia ili ziweze kujiendeleza kimasomo.
Mbali na faida zote hizo, sayansi hii imeleta madhara mengi katika shule za sekondari. Tukiangazia chombo kama vile simu: simu imewaharibu wanafunzi wengi sana kimasomo. Mfano, wanafunzi hutengeza makundi yao katika mitandao na kisha katika makundi hayo, hakuna mambo yanayoendelea kuhusu masomo bali tu ni uposhaji baina yao. Maneno yanayotumika ni maneno ya matusi matupu tu.
Kikokotoo pia hakiachwi nyuma, chombo hiki kimesababisha uvivu kwa wanafunzi kwani hawawezi kufikiri sana kwa kuwa wamezoea kufanya kazi kwa kutumia kikokotoo. Televisheni pia imesababisha wanafunzi wengi kuangalia filamu za ngono, jambo ambalo limewafanya wanafunzi wengi kushiriki katika mambo mabaya. | Simu imeleta faida nyingi hasa kwa nani | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
3101_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu utumiaji wa mitambo. Teknolojia imeziathiri shule nyingi kimasomo na kisha kiufundi. Kuna mitambo mbalimbali inayopatikana shuleni. Mitambo hii huwa na madhara na faida zake. Mitambo hii ni kama vile kikokotoo, tarakilishi na simu.
Mtambo wa tarakilishi huwa na faida nyingi shuleni kama vile, mtambo huu hutumika kuweka rekodi za shule. Jambo hili humurahisishia mtu kupata na kutafuta vitu. Tarakilishi pia huweka rekodi za wanafunzi kwa mfano, huweka alama za kila mwanafunzi ambaye atafanya mtihani. Chombo hiki kina uwezo wa kufanya hesabu na kazi nyingi kwa kasi.
Mtambo kama vile kikokotoo hutumiwa na wanafunzi pamoja na walimu shuleni. Kifaa hiki hutumika katika kufanya hesabu kwa kasi. Jambo hili humwezesha mwanafunzi kuhifadhi muda wake vizuri ukilinganisha na kufanya kwa akili. Pia walimu shuleni hutumia kikokotoo kufanya hesabu zao. Pia hutumika katika shule kufanyia hesabu za pesa ofisini.
Simu nayo imeleta faida nyingi hasa kwa wanafunzi. Kwanza mwanafunzi anaweza kutumia simu katika kudurusu kwake. Hapa humpata mwanafunzi kutafuta maswali kwenye mtandao na kufanya mazoezi. Pia, mwanafunzi hutumia simu katika kufanya hesabu. Kwenye simu pia kuna kikokotoo ambacho hutumiwa katika hesabu masomoni au hata ofisini. Simu pia imewarahisishia kazi walimu kwani hutumia mitandao ya simu kuwatumia wanafunzi mazoezi na hata pia kwa kazi nyingine kama vile za kuandika. Pia shuleni, simu imetumika katika mawasiliano baina ya wazazi na wanafunzi na hata pia wazazi na walimu. Jambo hili limewezesha urahisi wa ujumbe kutoka shuleni kwani hata katika mikutano mikuu ya shule, walimu hutumia simu zao kuwatumia wazazi kwenye mtandao.
Chombo kama vile televisheni hutumika shuleni kuangalia habari zinazoendelea ulimwenguni. Pia katika televisheni, huwa kuna masomo ambayo hufunzwa na walimu kutoka sehemu mbalimbali. Pia katika televisheni, kuna ushawishaji wa mambo tofauti tofauti kama vile ushawishi kuhusu jinsi ambavyo shule zinaweza kuzingatia ili ziweze kujiendeleza kimasomo.
Mbali na faida zote hizo, sayansi hii imeleta madhara mengi katika shule za sekondari. Tukiangazia chombo kama vile simu: simu imewaharibu wanafunzi wengi sana kimasomo. Mfano, wanafunzi hutengeza makundi yao katika mitandao na kisha katika makundi hayo, hakuna mambo yanayoendelea kuhusu masomo bali tu ni uposhaji baina yao. Maneno yanayotumika ni maneno ya matusi matupu tu.
Kikokotoo pia hakiachwi nyuma, chombo hiki kimesababisha uvivu kwa wanafunzi kwani hawawezi kufikiri sana kwa kuwa wamezoea kufanya kazi kwa kutumia kikokotoo. Televisheni pia imesababisha wanafunzi wengi kuangalia filamu za ngono, jambo ambalo limewafanya wanafunzi wengi kushiriki katika mambo mabaya. | Nini kimewaharibu wanafunzi wengi kimasomo | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3102_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana inayofichuka katika methali hii ni kwamba mtu asiposikiliza tahadhari na maonyo kutoka kwa wakuu wake ambao wamekula chumvi, basi litakalompata analitatua yeye mwenyewe.
Madhara haya yanatokana na mambo ambayo ametahadharishwa. Methali hii inaweza kulinganishwa na msiba wa kujitakia hauambiwi pole.
Natasha alikuwa msichana wa Bw. Kitime na Bi Ziporah. Msichana huyu alilelewa na wazazi wake kwa udi na uvumba. Wazazi wa Natasha hawakuwa tajiri wala masikini. Walitumia mapato yao kutimiza malezi ya mtoto wao.
Natasha alikuwa msichana mrembo, mwenye umbo la malaika. Msichana huyu alikuwa na kiuno cha kinu. Alikuwa na macho ya gololi miguu ya miche.
Wazazi wake walimsomesha mtoto wao katika shule ya msingi ambayo ilikuwa shule ya kimaarifa nchi nzima. Shule hii ilisifika kwa uhodari wake wa kimasomo. Natasha alikuwa bingwa darasani. Natasha alipofika darasa la nane, aliibuka kuwa wa kwanza katika mtihani wa kitaifa akiwa na alama ya mia nne hamsini na tatu juu ya mia tano. Jambo hili lilifanya familia nzima kufurahi sana. Wazazi wake nao walijitayarisha kwa mtoto wao kujiunga na kidato cha kwanza.
Basi ilipofika Januari, Natasha alijiunga na shule ya wasichana ya Nyahururu. Wazazi wake hawakuchoka kumhimiza mtoto wao kufanya bidii masomoni. Walimuonya dhidi ya kutangamana na marafiki. Walimuonya aweze kujiepusha na marafiki wabaya ambao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji kisimani.
Baada ya miezi mitatu shuleni, Natasha alijiunga na kikosi cha wasichana watundu shuleni. Wasichana huwa walikuwa wakitumia dawa za kulevya. Walimsihi Natasha kujiunga nao kwani wenyewe walidhania kuwa kikosi hicho kiliwakuza kiakili na kimaarifa.
Natasha aliporudi nyumbani kwa likizo ya mwezi wa nne, alikuwa amebadilika kimienendo na tabia. Ukarimu wake na umaarifu wake ulikuwa hauko tena. Wazazi wake walijaribu kumnasihi lakini sikio la kufa halisikii dawa. Natasha hakuwasikia wazazi wake wala kutilia maanani wasihi wa wazazi wake.
Baada ya likizo kuisha, Natasha alirudi shuleni kwa kuendelea na masomo. Tabia zao ziliendelea kama ilivyo desturi yao. Mwalimu mkuu hakuridhika na tabia zao. Aliwafukuza shuleni wanafunzi hawa. Kikundi cha wanafunzi hawa kilibaki kuranda randa mjini kama mbwa koko asiyekuwa na kwao. Wao walisubiri tu jioni ifike ili wavamie vibanda vya watu na kuiba vitu.
Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena, siku za mwizi ni arobaini. Siku moja, Natasha na wenzake walivamia duka moja la bwenyenye pale mtaani. Kusudi yao ilikuwa ni kuiba pesa zote zilizokua kwenye duka lile.
Kwa bahati mbaya, askari wa pale dukani alikuwa macho. Pindi tu walipovamia duka lile, alipiga simu kwa kikosi cha polisi. Gari la polisi lilifika muda usiyo mrefu baadaye. Walizunguka duka lile lilovamiwa na wasichana wale. Wasichana hawa hawakuwa na la kufanya ila tu mguu niponye. Walitoka ghafla huku roho zao zikiwa mikononi.
Miongoni mwa wasichana wale, kulikuwa na msichana mmoja ambaye alikuwa kiongozi wao. Msichana huyu alipigwa risasi na kufariki papo hapo. Natasha naye alijaribu zake hamsini hakini kwa bahati mbaya alipigwa risasi moja kwenye mguu. Alilia kwa uchungu kwa jambo lilomfikia. Aliyakumbuka maneno ya wazazi wake ama kwa kweli mwana mskivu haambiwi mara mbili. Methali hii inatufunza kwamba tusikilize wavyele wetu kwani wasia wao ndio mwangaza kwetu. | Mwiba wa kujidunga huambiwi nini? | {
"text": [
"Pole"
]
} |
3102_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana inayofichuka katika methali hii ni kwamba mtu asiposikiliza tahadhari na maonyo kutoka kwa wakuu wake ambao wamekula chumvi, basi litakalompata analitatua yeye mwenyewe.
Madhara haya yanatokana na mambo ambayo ametahadharishwa. Methali hii inaweza kulinganishwa na msiba wa kujitakia hauambiwi pole.
Natasha alikuwa msichana wa Bw. Kitime na Bi Ziporah. Msichana huyu alilelewa na wazazi wake kwa udi na uvumba. Wazazi wa Natasha hawakuwa tajiri wala masikini. Walitumia mapato yao kutimiza malezi ya mtoto wao.
Natasha alikuwa msichana mrembo, mwenye umbo la malaika. Msichana huyu alikuwa na kiuno cha kinu. Alikuwa na macho ya gololi miguu ya miche.
Wazazi wake walimsomesha mtoto wao katika shule ya msingi ambayo ilikuwa shule ya kimaarifa nchi nzima. Shule hii ilisifika kwa uhodari wake wa kimasomo. Natasha alikuwa bingwa darasani. Natasha alipofika darasa la nane, aliibuka kuwa wa kwanza katika mtihani wa kitaifa akiwa na alama ya mia nne hamsini na tatu juu ya mia tano. Jambo hili lilifanya familia nzima kufurahi sana. Wazazi wake nao walijitayarisha kwa mtoto wao kujiunga na kidato cha kwanza.
Basi ilipofika Januari, Natasha alijiunga na shule ya wasichana ya Nyahururu. Wazazi wake hawakuchoka kumhimiza mtoto wao kufanya bidii masomoni. Walimuonya dhidi ya kutangamana na marafiki. Walimuonya aweze kujiepusha na marafiki wabaya ambao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji kisimani.
Baada ya miezi mitatu shuleni, Natasha alijiunga na kikosi cha wasichana watundu shuleni. Wasichana huwa walikuwa wakitumia dawa za kulevya. Walimsihi Natasha kujiunga nao kwani wenyewe walidhania kuwa kikosi hicho kiliwakuza kiakili na kimaarifa.
Natasha aliporudi nyumbani kwa likizo ya mwezi wa nne, alikuwa amebadilika kimienendo na tabia. Ukarimu wake na umaarifu wake ulikuwa hauko tena. Wazazi wake walijaribu kumnasihi lakini sikio la kufa halisikii dawa. Natasha hakuwasikia wazazi wake wala kutilia maanani wasihi wa wazazi wake.
Baada ya likizo kuisha, Natasha alirudi shuleni kwa kuendelea na masomo. Tabia zao ziliendelea kama ilivyo desturi yao. Mwalimu mkuu hakuridhika na tabia zao. Aliwafukuza shuleni wanafunzi hawa. Kikundi cha wanafunzi hawa kilibaki kuranda randa mjini kama mbwa koko asiyekuwa na kwao. Wao walisubiri tu jioni ifike ili wavamie vibanda vya watu na kuiba vitu.
Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena, siku za mwizi ni arobaini. Siku moja, Natasha na wenzake walivamia duka moja la bwenyenye pale mtaani. Kusudi yao ilikuwa ni kuiba pesa zote zilizokua kwenye duka lile.
Kwa bahati mbaya, askari wa pale dukani alikuwa macho. Pindi tu walipovamia duka lile, alipiga simu kwa kikosi cha polisi. Gari la polisi lilifika muda usiyo mrefu baadaye. Walizunguka duka lile lilovamiwa na wasichana wale. Wasichana hawa hawakuwa na la kufanya ila tu mguu niponye. Walitoka ghafla huku roho zao zikiwa mikononi.
Miongoni mwa wasichana wale, kulikuwa na msichana mmoja ambaye alikuwa kiongozi wao. Msichana huyu alipigwa risasi na kufariki papo hapo. Natasha naye alijaribu zake hamsini hakini kwa bahati mbaya alipigwa risasi moja kwenye mguu. Alilia kwa uchungu kwa jambo lilomfikia. Aliyakumbuka maneno ya wazazi wake ama kwa kweli mwana mskivu haambiwi mara mbili. Methali hii inatufunza kwamba tusikilize wavyele wetu kwani wasia wao ndio mwangaza kwetu. | Umbo la Natasha lilikua lipi? | {
"text": [
"La malkia"
]
} |
3102_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana inayofichuka katika methali hii ni kwamba mtu asiposikiliza tahadhari na maonyo kutoka kwa wakuu wake ambao wamekula chumvi, basi litakalompata analitatua yeye mwenyewe.
Madhara haya yanatokana na mambo ambayo ametahadharishwa. Methali hii inaweza kulinganishwa na msiba wa kujitakia hauambiwi pole.
Natasha alikuwa msichana wa Bw. Kitime na Bi Ziporah. Msichana huyu alilelewa na wazazi wake kwa udi na uvumba. Wazazi wa Natasha hawakuwa tajiri wala masikini. Walitumia mapato yao kutimiza malezi ya mtoto wao.
Natasha alikuwa msichana mrembo, mwenye umbo la malaika. Msichana huyu alikuwa na kiuno cha kinu. Alikuwa na macho ya gololi miguu ya miche.
Wazazi wake walimsomesha mtoto wao katika shule ya msingi ambayo ilikuwa shule ya kimaarifa nchi nzima. Shule hii ilisifika kwa uhodari wake wa kimasomo. Natasha alikuwa bingwa darasani. Natasha alipofika darasa la nane, aliibuka kuwa wa kwanza katika mtihani wa kitaifa akiwa na alama ya mia nne hamsini na tatu juu ya mia tano. Jambo hili lilifanya familia nzima kufurahi sana. Wazazi wake nao walijitayarisha kwa mtoto wao kujiunga na kidato cha kwanza.
Basi ilipofika Januari, Natasha alijiunga na shule ya wasichana ya Nyahururu. Wazazi wake hawakuchoka kumhimiza mtoto wao kufanya bidii masomoni. Walimuonya dhidi ya kutangamana na marafiki. Walimuonya aweze kujiepusha na marafiki wabaya ambao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji kisimani.
Baada ya miezi mitatu shuleni, Natasha alijiunga na kikosi cha wasichana watundu shuleni. Wasichana huwa walikuwa wakitumia dawa za kulevya. Walimsihi Natasha kujiunga nao kwani wenyewe walidhania kuwa kikosi hicho kiliwakuza kiakili na kimaarifa.
Natasha aliporudi nyumbani kwa likizo ya mwezi wa nne, alikuwa amebadilika kimienendo na tabia. Ukarimu wake na umaarifu wake ulikuwa hauko tena. Wazazi wake walijaribu kumnasihi lakini sikio la kufa halisikii dawa. Natasha hakuwasikia wazazi wake wala kutilia maanani wasihi wa wazazi wake.
Baada ya likizo kuisha, Natasha alirudi shuleni kwa kuendelea na masomo. Tabia zao ziliendelea kama ilivyo desturi yao. Mwalimu mkuu hakuridhika na tabia zao. Aliwafukuza shuleni wanafunzi hawa. Kikundi cha wanafunzi hawa kilibaki kuranda randa mjini kama mbwa koko asiyekuwa na kwao. Wao walisubiri tu jioni ifike ili wavamie vibanda vya watu na kuiba vitu.
Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena, siku za mwizi ni arobaini. Siku moja, Natasha na wenzake walivamia duka moja la bwenyenye pale mtaani. Kusudi yao ilikuwa ni kuiba pesa zote zilizokua kwenye duka lile.
Kwa bahati mbaya, askari wa pale dukani alikuwa macho. Pindi tu walipovamia duka lile, alipiga simu kwa kikosi cha polisi. Gari la polisi lilifika muda usiyo mrefu baadaye. Walizunguka duka lile lilovamiwa na wasichana wale. Wasichana hawa hawakuwa na la kufanya ila tu mguu niponye. Walitoka ghafla huku roho zao zikiwa mikononi.
Miongoni mwa wasichana wale, kulikuwa na msichana mmoja ambaye alikuwa kiongozi wao. Msichana huyu alipigwa risasi na kufariki papo hapo. Natasha naye alijaribu zake hamsini hakini kwa bahati mbaya alipigwa risasi moja kwenye mguu. Alilia kwa uchungu kwa jambo lilomfikia. Aliyakumbuka maneno ya wazazi wake ama kwa kweli mwana mskivu haambiwi mara mbili. Methali hii inatufunza kwamba tusikilize wavyele wetu kwani wasia wao ndio mwangaza kwetu. | Chuo lake Natasha lilisifika kwa uhodari upi? | {
"text": [
"Kimasomo"
]
} |
3102_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana inayofichuka katika methali hii ni kwamba mtu asiposikiliza tahadhari na maonyo kutoka kwa wakuu wake ambao wamekula chumvi, basi litakalompata analitatua yeye mwenyewe.
Madhara haya yanatokana na mambo ambayo ametahadharishwa. Methali hii inaweza kulinganishwa na msiba wa kujitakia hauambiwi pole.
Natasha alikuwa msichana wa Bw. Kitime na Bi Ziporah. Msichana huyu alilelewa na wazazi wake kwa udi na uvumba. Wazazi wa Natasha hawakuwa tajiri wala masikini. Walitumia mapato yao kutimiza malezi ya mtoto wao.
Natasha alikuwa msichana mrembo, mwenye umbo la malaika. Msichana huyu alikuwa na kiuno cha kinu. Alikuwa na macho ya gololi miguu ya miche.
Wazazi wake walimsomesha mtoto wao katika shule ya msingi ambayo ilikuwa shule ya kimaarifa nchi nzima. Shule hii ilisifika kwa uhodari wake wa kimasomo. Natasha alikuwa bingwa darasani. Natasha alipofika darasa la nane, aliibuka kuwa wa kwanza katika mtihani wa kitaifa akiwa na alama ya mia nne hamsini na tatu juu ya mia tano. Jambo hili lilifanya familia nzima kufurahi sana. Wazazi wake nao walijitayarisha kwa mtoto wao kujiunga na kidato cha kwanza.
Basi ilipofika Januari, Natasha alijiunga na shule ya wasichana ya Nyahururu. Wazazi wake hawakuchoka kumhimiza mtoto wao kufanya bidii masomoni. Walimuonya dhidi ya kutangamana na marafiki. Walimuonya aweze kujiepusha na marafiki wabaya ambao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji kisimani.
Baada ya miezi mitatu shuleni, Natasha alijiunga na kikosi cha wasichana watundu shuleni. Wasichana huwa walikuwa wakitumia dawa za kulevya. Walimsihi Natasha kujiunga nao kwani wenyewe walidhania kuwa kikosi hicho kiliwakuza kiakili na kimaarifa.
Natasha aliporudi nyumbani kwa likizo ya mwezi wa nne, alikuwa amebadilika kimienendo na tabia. Ukarimu wake na umaarifu wake ulikuwa hauko tena. Wazazi wake walijaribu kumnasihi lakini sikio la kufa halisikii dawa. Natasha hakuwasikia wazazi wake wala kutilia maanani wasihi wa wazazi wake.
Baada ya likizo kuisha, Natasha alirudi shuleni kwa kuendelea na masomo. Tabia zao ziliendelea kama ilivyo desturi yao. Mwalimu mkuu hakuridhika na tabia zao. Aliwafukuza shuleni wanafunzi hawa. Kikundi cha wanafunzi hawa kilibaki kuranda randa mjini kama mbwa koko asiyekuwa na kwao. Wao walisubiri tu jioni ifike ili wavamie vibanda vya watu na kuiba vitu.
Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena, siku za mwizi ni arobaini. Siku moja, Natasha na wenzake walivamia duka moja la bwenyenye pale mtaani. Kusudi yao ilikuwa ni kuiba pesa zote zilizokua kwenye duka lile.
Kwa bahati mbaya, askari wa pale dukani alikuwa macho. Pindi tu walipovamia duka lile, alipiga simu kwa kikosi cha polisi. Gari la polisi lilifika muda usiyo mrefu baadaye. Walizunguka duka lile lilovamiwa na wasichana wale. Wasichana hawa hawakuwa na la kufanya ila tu mguu niponye. Walitoka ghafla huku roho zao zikiwa mikononi.
Miongoni mwa wasichana wale, kulikuwa na msichana mmoja ambaye alikuwa kiongozi wao. Msichana huyu alipigwa risasi na kufariki papo hapo. Natasha naye alijaribu zake hamsini hakini kwa bahati mbaya alipigwa risasi moja kwenye mguu. Alilia kwa uchungu kwa jambo lilomfikia. Aliyakumbuka maneno ya wazazi wake ama kwa kweli mwana mskivu haambiwi mara mbili. Methali hii inatufunza kwamba tusikilize wavyele wetu kwani wasia wao ndio mwangaza kwetu. | Siku za mwizi ni ngapi? | {
"text": [
"Arubaini"
]
} |
3102_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Maana inayofichuka katika methali hii ni kwamba mtu asiposikiliza tahadhari na maonyo kutoka kwa wakuu wake ambao wamekula chumvi, basi litakalompata analitatua yeye mwenyewe.
Madhara haya yanatokana na mambo ambayo ametahadharishwa. Methali hii inaweza kulinganishwa na msiba wa kujitakia hauambiwi pole.
Natasha alikuwa msichana wa Bw. Kitime na Bi Ziporah. Msichana huyu alilelewa na wazazi wake kwa udi na uvumba. Wazazi wa Natasha hawakuwa tajiri wala masikini. Walitumia mapato yao kutimiza malezi ya mtoto wao.
Natasha alikuwa msichana mrembo, mwenye umbo la malaika. Msichana huyu alikuwa na kiuno cha kinu. Alikuwa na macho ya gololi miguu ya miche.
Wazazi wake walimsomesha mtoto wao katika shule ya msingi ambayo ilikuwa shule ya kimaarifa nchi nzima. Shule hii ilisifika kwa uhodari wake wa kimasomo. Natasha alikuwa bingwa darasani. Natasha alipofika darasa la nane, aliibuka kuwa wa kwanza katika mtihani wa kitaifa akiwa na alama ya mia nne hamsini na tatu juu ya mia tano. Jambo hili lilifanya familia nzima kufurahi sana. Wazazi wake nao walijitayarisha kwa mtoto wao kujiunga na kidato cha kwanza.
Basi ilipofika Januari, Natasha alijiunga na shule ya wasichana ya Nyahururu. Wazazi wake hawakuchoka kumhimiza mtoto wao kufanya bidii masomoni. Walimuonya dhidi ya kutangamana na marafiki. Walimuonya aweze kujiepusha na marafiki wabaya ambao hawakusikia la mwadhini wala la mteka maji kisimani.
Baada ya miezi mitatu shuleni, Natasha alijiunga na kikosi cha wasichana watundu shuleni. Wasichana huwa walikuwa wakitumia dawa za kulevya. Walimsihi Natasha kujiunga nao kwani wenyewe walidhania kuwa kikosi hicho kiliwakuza kiakili na kimaarifa.
Natasha aliporudi nyumbani kwa likizo ya mwezi wa nne, alikuwa amebadilika kimienendo na tabia. Ukarimu wake na umaarifu wake ulikuwa hauko tena. Wazazi wake walijaribu kumnasihi lakini sikio la kufa halisikii dawa. Natasha hakuwasikia wazazi wake wala kutilia maanani wasihi wa wazazi wake.
Baada ya likizo kuisha, Natasha alirudi shuleni kwa kuendelea na masomo. Tabia zao ziliendelea kama ilivyo desturi yao. Mwalimu mkuu hakuridhika na tabia zao. Aliwafukuza shuleni wanafunzi hawa. Kikundi cha wanafunzi hawa kilibaki kuranda randa mjini kama mbwa koko asiyekuwa na kwao. Wao walisubiri tu jioni ifike ili wavamie vibanda vya watu na kuiba vitu.
Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa waliponena, siku za mwizi ni arobaini. Siku moja, Natasha na wenzake walivamia duka moja la bwenyenye pale mtaani. Kusudi yao ilikuwa ni kuiba pesa zote zilizokua kwenye duka lile.
Kwa bahati mbaya, askari wa pale dukani alikuwa macho. Pindi tu walipovamia duka lile, alipiga simu kwa kikosi cha polisi. Gari la polisi lilifika muda usiyo mrefu baadaye. Walizunguka duka lile lilovamiwa na wasichana wale. Wasichana hawa hawakuwa na la kufanya ila tu mguu niponye. Walitoka ghafla huku roho zao zikiwa mikononi.
Miongoni mwa wasichana wale, kulikuwa na msichana mmoja ambaye alikuwa kiongozi wao. Msichana huyu alipigwa risasi na kufariki papo hapo. Natasha naye alijaribu zake hamsini hakini kwa bahati mbaya alipigwa risasi moja kwenye mguu. Alilia kwa uchungu kwa jambo lilomfikia. Aliyakumbuka maneno ya wazazi wake ama kwa kweli mwana mskivu haambiwi mara mbili. Methali hii inatufunza kwamba tusikilize wavyele wetu kwani wasia wao ndio mwangaza kwetu. | Wazazi wake Natasha waliitwaje? | {
"text": [
"Bwana Kitime na Bi Ziporah"
]
} |
3103_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni hali ambayo vitu vipya huundwa au kuongezwa ubora kwa jambo au kitu fulani. Mpaka sasa, teknolojia imeweza kusaidia katika sekta mbali mbali kama vile nyumbani, kazini, maofisini na hata pia katika sekta ya elimu.
Katika sekta ya elimu, teknolojia imeweza kusaidia katika njia mbali mbali ili kuwezesha ubora wa kupata elimu kwa njia ya urahisi. Wazazi na walimu na hata pia serikali imewezesha utumizi wa teknolojia katika masomo. Hii inatumika haswa katika shule za sekondari.
Walimu wengi wa shule za sekondari wanajikita sana katika utumiaji wa teknolojia ili kuendeleza masomo, kwa mfano walimu wanaweza kutumia simu zao ili waweze kufanya utafiti wa swali fulani ambalo labda linaleta utatanishi. Hii inaweza kuwasaidia wanafunzi kwani maswali yao yanaweza kujibiwa kwa njia rahisi. Walimu pia wanaweza kuwasilisha namba zao za simu kwa wanafunzi wake ili pindi kuzukapo maswali ndani au kipindi cha likizo waweze kujibiwa.
Wazazi wenye uwezo wameweza kuwanunulia wana wao tarakilishi ambazo wanaweza kuzitumia pindi wanapotaka kusoma. Wanafunzi wanaweza kufuatilia masomo mitandaoni tofauti tofauti kama vile kuangalia vitabu kama vile kigogo.
Mbali na masomo wanafunzi pia wanaweza kukuza talanta kupitia mitandao. Wengine wanaweza kukuza akili zao. Mwanafunzi anaweza kupata habari tofauti kutoka sehemu tofauti tofauti ambazo pengine zinaweza kumsaidia wakati wa mbeleni.
Teknolojia haijasaidia tu kwani pia kuna madhara mengi ambayo imeweza kuleta. Madhara haya yanaweza kuathiri wanafunzi moja kwa moja au kupitia njia zingine. Kupitia idadi ya wanafunzi wanao athirika na teknolojia inasemekana kuwa wengi ni wanafunzi wa sekondari.
Katika teknolojia kuna mitandao ya aina tofauti ambayo huleta madhara, kwani mwanafunzi hususan wa jinsia ya kike anaweza kuharibu maisha yake. Hii inaweza kuwa kwa kupachikwa mimba. Wanafunzi wanaweza kupata marafiki kupitia mitandao ambao pengine wanaweza kuwa hawana nia nzuri kwao.
Wanafunzi walio na simu zilizo na mitandao watakuwa wakitumia muda mwingi mitandaoni. Wengine wanaweza kulala wakiwa wamechelewa ilhali muda huo wangetumia kudurusu vitabu vyao.
Wanafunzi hawaharibiwi tu na simu, televisheni pia njia ya kiteknolojia inayowafanya wanafunzi wa sekondari kutazama vipindi visivyo vya umri wao. Hii itawafanya kuiga tabia za waigizaji wa vipindi hivi. Wazazi wanafaa kuangalia mienendo ya watoto wao. | Nini imeweza kusaidia katika sekta mbalimbali | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3103_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni hali ambayo vitu vipya huundwa au kuongezwa ubora kwa jambo au kitu fulani. Mpaka sasa, teknolojia imeweza kusaidia katika sekta mbali mbali kama vile nyumbani, kazini, maofisini na hata pia katika sekta ya elimu.
Katika sekta ya elimu, teknolojia imeweza kusaidia katika njia mbali mbali ili kuwezesha ubora wa kupata elimu kwa njia ya urahisi. Wazazi na walimu na hata pia serikali imewezesha utumizi wa teknolojia katika masomo. Hii inatumika haswa katika shule za sekondari.
Walimu wengi wa shule za sekondari wanajikita sana katika utumiaji wa teknolojia ili kuendeleza masomo, kwa mfano walimu wanaweza kutumia simu zao ili waweze kufanya utafiti wa swali fulani ambalo labda linaleta utatanishi. Hii inaweza kuwasaidia wanafunzi kwani maswali yao yanaweza kujibiwa kwa njia rahisi. Walimu pia wanaweza kuwasilisha namba zao za simu kwa wanafunzi wake ili pindi kuzukapo maswali ndani au kipindi cha likizo waweze kujibiwa.
Wazazi wenye uwezo wameweza kuwanunulia wana wao tarakilishi ambazo wanaweza kuzitumia pindi wanapotaka kusoma. Wanafunzi wanaweza kufuatilia masomo mitandaoni tofauti tofauti kama vile kuangalia vitabu kama vile kigogo.
Mbali na masomo wanafunzi pia wanaweza kukuza talanta kupitia mitandao. Wengine wanaweza kukuza akili zao. Mwanafunzi anaweza kupata habari tofauti kutoka sehemu tofauti tofauti ambazo pengine zinaweza kumsaidia wakati wa mbeleni.
Teknolojia haijasaidia tu kwani pia kuna madhara mengi ambayo imeweza kuleta. Madhara haya yanaweza kuathiri wanafunzi moja kwa moja au kupitia njia zingine. Kupitia idadi ya wanafunzi wanao athirika na teknolojia inasemekana kuwa wengi ni wanafunzi wa sekondari.
Katika teknolojia kuna mitandao ya aina tofauti ambayo huleta madhara, kwani mwanafunzi hususan wa jinsia ya kike anaweza kuharibu maisha yake. Hii inaweza kuwa kwa kupachikwa mimba. Wanafunzi wanaweza kupata marafiki kupitia mitandao ambao pengine wanaweza kuwa hawana nia nzuri kwao.
Wanafunzi walio na simu zilizo na mitandao watakuwa wakitumia muda mwingi mitandaoni. Wengine wanaweza kulala wakiwa wamechelewa ilhali muda huo wangetumia kudurusu vitabu vyao.
Wanafunzi hawaharibiwi tu na simu, televisheni pia njia ya kiteknolojia inayowafanya wanafunzi wa sekondari kutazama vipindi visivyo vya umri wao. Hii itawafanya kuiga tabia za waigizaji wa vipindi hivi. Wazazi wanafaa kuangalia mienendo ya watoto wao. | Nani wamenunulia watoto wao tarakilishi | {
"text": [
"wazazi"
]
} |
3103_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni hali ambayo vitu vipya huundwa au kuongezwa ubora kwa jambo au kitu fulani. Mpaka sasa, teknolojia imeweza kusaidia katika sekta mbali mbali kama vile nyumbani, kazini, maofisini na hata pia katika sekta ya elimu.
Katika sekta ya elimu, teknolojia imeweza kusaidia katika njia mbali mbali ili kuwezesha ubora wa kupata elimu kwa njia ya urahisi. Wazazi na walimu na hata pia serikali imewezesha utumizi wa teknolojia katika masomo. Hii inatumika haswa katika shule za sekondari.
Walimu wengi wa shule za sekondari wanajikita sana katika utumiaji wa teknolojia ili kuendeleza masomo, kwa mfano walimu wanaweza kutumia simu zao ili waweze kufanya utafiti wa swali fulani ambalo labda linaleta utatanishi. Hii inaweza kuwasaidia wanafunzi kwani maswali yao yanaweza kujibiwa kwa njia rahisi. Walimu pia wanaweza kuwasilisha namba zao za simu kwa wanafunzi wake ili pindi kuzukapo maswali ndani au kipindi cha likizo waweze kujibiwa.
Wazazi wenye uwezo wameweza kuwanunulia wana wao tarakilishi ambazo wanaweza kuzitumia pindi wanapotaka kusoma. Wanafunzi wanaweza kufuatilia masomo mitandaoni tofauti tofauti kama vile kuangalia vitabu kama vile kigogo.
Mbali na masomo wanafunzi pia wanaweza kukuza talanta kupitia mitandao. Wengine wanaweza kukuza akili zao. Mwanafunzi anaweza kupata habari tofauti kutoka sehemu tofauti tofauti ambazo pengine zinaweza kumsaidia wakati wa mbeleni.
Teknolojia haijasaidia tu kwani pia kuna madhara mengi ambayo imeweza kuleta. Madhara haya yanaweza kuathiri wanafunzi moja kwa moja au kupitia njia zingine. Kupitia idadi ya wanafunzi wanao athirika na teknolojia inasemekana kuwa wengi ni wanafunzi wa sekondari.
Katika teknolojia kuna mitandao ya aina tofauti ambayo huleta madhara, kwani mwanafunzi hususan wa jinsia ya kike anaweza kuharibu maisha yake. Hii inaweza kuwa kwa kupachikwa mimba. Wanafunzi wanaweza kupata marafiki kupitia mitandao ambao pengine wanaweza kuwa hawana nia nzuri kwao.
Wanafunzi walio na simu zilizo na mitandao watakuwa wakitumia muda mwingi mitandaoni. Wengine wanaweza kulala wakiwa wamechelewa ilhali muda huo wangetumia kudurusu vitabu vyao.
Wanafunzi hawaharibiwi tu na simu, televisheni pia njia ya kiteknolojia inayowafanya wanafunzi wa sekondari kutazama vipindi visivyo vya umri wao. Hii itawafanya kuiga tabia za waigizaji wa vipindi hivi. Wazazi wanafaa kuangalia mienendo ya watoto wao. | Wanafunzi wanaweza kufatilizia masomo wapi | {
"text": [
"mitandaoni"
]
} |
3103_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni hali ambayo vitu vipya huundwa au kuongezwa ubora kwa jambo au kitu fulani. Mpaka sasa, teknolojia imeweza kusaidia katika sekta mbali mbali kama vile nyumbani, kazini, maofisini na hata pia katika sekta ya elimu.
Katika sekta ya elimu, teknolojia imeweza kusaidia katika njia mbali mbali ili kuwezesha ubora wa kupata elimu kwa njia ya urahisi. Wazazi na walimu na hata pia serikali imewezesha utumizi wa teknolojia katika masomo. Hii inatumika haswa katika shule za sekondari.
Walimu wengi wa shule za sekondari wanajikita sana katika utumiaji wa teknolojia ili kuendeleza masomo, kwa mfano walimu wanaweza kutumia simu zao ili waweze kufanya utafiti wa swali fulani ambalo labda linaleta utatanishi. Hii inaweza kuwasaidia wanafunzi kwani maswali yao yanaweza kujibiwa kwa njia rahisi. Walimu pia wanaweza kuwasilisha namba zao za simu kwa wanafunzi wake ili pindi kuzukapo maswali ndani au kipindi cha likizo waweze kujibiwa.
Wazazi wenye uwezo wameweza kuwanunulia wana wao tarakilishi ambazo wanaweza kuzitumia pindi wanapotaka kusoma. Wanafunzi wanaweza kufuatilia masomo mitandaoni tofauti tofauti kama vile kuangalia vitabu kama vile kigogo.
Mbali na masomo wanafunzi pia wanaweza kukuza talanta kupitia mitandao. Wengine wanaweza kukuza akili zao. Mwanafunzi anaweza kupata habari tofauti kutoka sehemu tofauti tofauti ambazo pengine zinaweza kumsaidia wakati wa mbeleni.
Teknolojia haijasaidia tu kwani pia kuna madhara mengi ambayo imeweza kuleta. Madhara haya yanaweza kuathiri wanafunzi moja kwa moja au kupitia njia zingine. Kupitia idadi ya wanafunzi wanao athirika na teknolojia inasemekana kuwa wengi ni wanafunzi wa sekondari.
Katika teknolojia kuna mitandao ya aina tofauti ambayo huleta madhara, kwani mwanafunzi hususan wa jinsia ya kike anaweza kuharibu maisha yake. Hii inaweza kuwa kwa kupachikwa mimba. Wanafunzi wanaweza kupata marafiki kupitia mitandao ambao pengine wanaweza kuwa hawana nia nzuri kwao.
Wanafunzi walio na simu zilizo na mitandao watakuwa wakitumia muda mwingi mitandaoni. Wengine wanaweza kulala wakiwa wamechelewa ilhali muda huo wangetumia kudurusu vitabu vyao.
Wanafunzi hawaharibiwi tu na simu, televisheni pia njia ya kiteknolojia inayowafanya wanafunzi wa sekondari kutazama vipindi visivyo vya umri wao. Hii itawafanya kuiga tabia za waigizaji wa vipindi hivi. Wazazi wanafaa kuangalia mienendo ya watoto wao. | Ni wanafunzi gani wameathirika zaidi na teknolojia | {
"text": [
"wa sekondari"
]
} |
3103_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni hali ambayo vitu vipya huundwa au kuongezwa ubora kwa jambo au kitu fulani. Mpaka sasa, teknolojia imeweza kusaidia katika sekta mbali mbali kama vile nyumbani, kazini, maofisini na hata pia katika sekta ya elimu.
Katika sekta ya elimu, teknolojia imeweza kusaidia katika njia mbali mbali ili kuwezesha ubora wa kupata elimu kwa njia ya urahisi. Wazazi na walimu na hata pia serikali imewezesha utumizi wa teknolojia katika masomo. Hii inatumika haswa katika shule za sekondari.
Walimu wengi wa shule za sekondari wanajikita sana katika utumiaji wa teknolojia ili kuendeleza masomo, kwa mfano walimu wanaweza kutumia simu zao ili waweze kufanya utafiti wa swali fulani ambalo labda linaleta utatanishi. Hii inaweza kuwasaidia wanafunzi kwani maswali yao yanaweza kujibiwa kwa njia rahisi. Walimu pia wanaweza kuwasilisha namba zao za simu kwa wanafunzi wake ili pindi kuzukapo maswali ndani au kipindi cha likizo waweze kujibiwa.
Wazazi wenye uwezo wameweza kuwanunulia wana wao tarakilishi ambazo wanaweza kuzitumia pindi wanapotaka kusoma. Wanafunzi wanaweza kufuatilia masomo mitandaoni tofauti tofauti kama vile kuangalia vitabu kama vile kigogo.
Mbali na masomo wanafunzi pia wanaweza kukuza talanta kupitia mitandao. Wengine wanaweza kukuza akili zao. Mwanafunzi anaweza kupata habari tofauti kutoka sehemu tofauti tofauti ambazo pengine zinaweza kumsaidia wakati wa mbeleni.
Teknolojia haijasaidia tu kwani pia kuna madhara mengi ambayo imeweza kuleta. Madhara haya yanaweza kuathiri wanafunzi moja kwa moja au kupitia njia zingine. Kupitia idadi ya wanafunzi wanao athirika na teknolojia inasemekana kuwa wengi ni wanafunzi wa sekondari.
Katika teknolojia kuna mitandao ya aina tofauti ambayo huleta madhara, kwani mwanafunzi hususan wa jinsia ya kike anaweza kuharibu maisha yake. Hii inaweza kuwa kwa kupachikwa mimba. Wanafunzi wanaweza kupata marafiki kupitia mitandao ambao pengine wanaweza kuwa hawana nia nzuri kwao.
Wanafunzi walio na simu zilizo na mitandao watakuwa wakitumia muda mwingi mitandaoni. Wengine wanaweza kulala wakiwa wamechelewa ilhali muda huo wangetumia kudurusu vitabu vyao.
Wanafunzi hawaharibiwi tu na simu, televisheni pia njia ya kiteknolojia inayowafanya wanafunzi wa sekondari kutazama vipindi visivyo vya umri wao. Hii itawafanya kuiga tabia za waigizaji wa vipindi hivi. Wazazi wanafaa kuangalia mienendo ya watoto wao. | Simu za walimu husaidia wanafunzi vipi | {
"text": [
"maswali yao yanaweza kujibiwa katika njia rahisi"
]
} |
3104_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Hii methali inamaanisha kuwa mtoto asiyetaka kusikiliza maneno au kufuata mafunzo ya wazazi wake au mtu aliyempita umri, huweza kupata majuto au shida humtokea baadaye. Methali hii imetumika katika jamii ili kuweza kuwahamasisha watoto kusikiza maneno ya wazazi wao. Pia inaweza kuwafunza na kuwapa onyo wasiopenda kusikiliza mafunzo na maneno ya wazazi wao kuwa mwishowe ni dhiki, shida na majuto ndio hufuata.
Subira rafiki yangu wa chanda na pete sitowahi msahau kamwe. Subira alikuwa moja wa marafiki niliyeweza kucheza naye kutoka utotoni wangu. Kila ninapomkumbuka, machozi hunitiririka. Nakumbuka mengi kumhusu, alivyotembea kwa maringo kama tausi. Macho yake makubwa na pia yaling'ara kama hurulaini. Alipoyatikisa macho yake kwa maringo, ungetamani aweze kukuangalia. Ngozi yake ilikuwa ya rangi ya maji ya kunde na laini. Nje na ndani ya kijiji aliweza kufahamika kwa sura yake ya upole na nzuri. Subira alikuwa tu kama vile jina lake lilivyoashiria kwa kuwa alikuwa mwenye subira. Watu wengi walipenda kutangamana naye na hata pia kutaka wawe marafiki. Kama mtoto na msichana wa dini ya kiisilamu, aliweza kufuata kanuni na maadili ya dini. Wazazi wake waliweza kumshukuru mungu kwa kuwapa mtoto mzuri na mwenye heshima. Jinsi alivyozidi kukua ndivyo alizidi kujifunza mambo mengi sio tu ya shuleni hata pia ya kidunia. Masomoni, alikuwa gwiji wao kila wakati walipofanya mtihani. Mungu aliweza kumjalia na kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Alama alizopata zilikuwa za kutegemewa kwani juhudi zake kwa masomo zilikuwa zenye kutabirika.
Alipojiunga na kidato cha pili, Subira alianza kubadilika. Alianza kuonyesha dharau kwa wadogo na wakubwa zake. Baada ya siku chache hivi, alianza kuonekana na makundi ya wasichana waliojulikana kuwa na tabia chafu zinazokera jamii. Fununu zilienea katika kijiji. Siku moja alipokuwa katika harakati ya kujiandaa kwenda safari zake, mama yake alikataa kumruhusu aende kutembea kwani mdomo siri ya gunda, na kama mzazi aliweza kujua kwamba tabia za mwanawe zilikuwa zimebedilika. Mamake Subira alijaribu kumweleza mwana kuhusu uchafu alioufanya haukuwa mzuri lakini Subira aliweza kunyanyua sauti yake kwa mamake na kuanza kumfokea kwa maneno makali. Hili lilimkera na akaamua kumwachia dunia iweze kupambana naye.
Miaka mitatu imepita na Subira wa sasa sio yule wa zamani kwani dunia imemfunza. Mishipa yake ya mwili inaonekana na lile umbo lake zuri limepotea. Haikuchukuwa muda mrefu kabla yake kuaga dunia. Kabla ya kufa, aliweza kunihusia kuwa niweze kusikiliza wazazi wangu na kuwa alijutia yale yote aliyofanya. | Nani huwezakupata majuto asiposikiliza wazazi | {
"text": [
"mtoto"
]
} |
3104_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Hii methali inamaanisha kuwa mtoto asiyetaka kusikiliza maneno au kufuata mafunzo ya wazazi wake au mtu aliyempita umri, huweza kupata majuto au shida humtokea baadaye. Methali hii imetumika katika jamii ili kuweza kuwahamasisha watoto kusikiza maneno ya wazazi wao. Pia inaweza kuwafunza na kuwapa onyo wasiopenda kusikiliza mafunzo na maneno ya wazazi wao kuwa mwishowe ni dhiki, shida na majuto ndio hufuata.
Subira rafiki yangu wa chanda na pete sitowahi msahau kamwe. Subira alikuwa moja wa marafiki niliyeweza kucheza naye kutoka utotoni wangu. Kila ninapomkumbuka, machozi hunitiririka. Nakumbuka mengi kumhusu, alivyotembea kwa maringo kama tausi. Macho yake makubwa na pia yaling'ara kama hurulaini. Alipoyatikisa macho yake kwa maringo, ungetamani aweze kukuangalia. Ngozi yake ilikuwa ya rangi ya maji ya kunde na laini. Nje na ndani ya kijiji aliweza kufahamika kwa sura yake ya upole na nzuri. Subira alikuwa tu kama vile jina lake lilivyoashiria kwa kuwa alikuwa mwenye subira. Watu wengi walipenda kutangamana naye na hata pia kutaka wawe marafiki. Kama mtoto na msichana wa dini ya kiisilamu, aliweza kufuata kanuni na maadili ya dini. Wazazi wake waliweza kumshukuru mungu kwa kuwapa mtoto mzuri na mwenye heshima. Jinsi alivyozidi kukua ndivyo alizidi kujifunza mambo mengi sio tu ya shuleni hata pia ya kidunia. Masomoni, alikuwa gwiji wao kila wakati walipofanya mtihani. Mungu aliweza kumjalia na kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Alama alizopata zilikuwa za kutegemewa kwani juhudi zake kwa masomo zilikuwa zenye kutabirika.
Alipojiunga na kidato cha pili, Subira alianza kubadilika. Alianza kuonyesha dharau kwa wadogo na wakubwa zake. Baada ya siku chache hivi, alianza kuonekana na makundi ya wasichana waliojulikana kuwa na tabia chafu zinazokera jamii. Fununu zilienea katika kijiji. Siku moja alipokuwa katika harakati ya kujiandaa kwenda safari zake, mama yake alikataa kumruhusu aende kutembea kwani mdomo siri ya gunda, na kama mzazi aliweza kujua kwamba tabia za mwanawe zilikuwa zimebedilika. Mamake Subira alijaribu kumweleza mwana kuhusu uchafu alioufanya haukuwa mzuri lakini Subira aliweza kunyanyua sauti yake kwa mamake na kuanza kumfokea kwa maneno makali. Hili lilimkera na akaamua kumwachia dunia iweze kupambana naye.
Miaka mitatu imepita na Subira wa sasa sio yule wa zamani kwani dunia imemfunza. Mishipa yake ya mwili inaonekana na lile umbo lake zuri limepotea. Haikuchukuwa muda mrefu kabla yake kuaga dunia. Kabla ya kufa, aliweza kunihusia kuwa niweze kusikiliza wazazi wangu na kuwa alijutia yale yote aliyofanya. | Methali hii huhamasisha watoto kusikiza nini | {
"text": [
"maneno ya wazazi wao"
]
} |
3104_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Hii methali inamaanisha kuwa mtoto asiyetaka kusikiliza maneno au kufuata mafunzo ya wazazi wake au mtu aliyempita umri, huweza kupata majuto au shida humtokea baadaye. Methali hii imetumika katika jamii ili kuweza kuwahamasisha watoto kusikiza maneno ya wazazi wao. Pia inaweza kuwafunza na kuwapa onyo wasiopenda kusikiliza mafunzo na maneno ya wazazi wao kuwa mwishowe ni dhiki, shida na majuto ndio hufuata.
Subira rafiki yangu wa chanda na pete sitowahi msahau kamwe. Subira alikuwa moja wa marafiki niliyeweza kucheza naye kutoka utotoni wangu. Kila ninapomkumbuka, machozi hunitiririka. Nakumbuka mengi kumhusu, alivyotembea kwa maringo kama tausi. Macho yake makubwa na pia yaling'ara kama hurulaini. Alipoyatikisa macho yake kwa maringo, ungetamani aweze kukuangalia. Ngozi yake ilikuwa ya rangi ya maji ya kunde na laini. Nje na ndani ya kijiji aliweza kufahamika kwa sura yake ya upole na nzuri. Subira alikuwa tu kama vile jina lake lilivyoashiria kwa kuwa alikuwa mwenye subira. Watu wengi walipenda kutangamana naye na hata pia kutaka wawe marafiki. Kama mtoto na msichana wa dini ya kiisilamu, aliweza kufuata kanuni na maadili ya dini. Wazazi wake waliweza kumshukuru mungu kwa kuwapa mtoto mzuri na mwenye heshima. Jinsi alivyozidi kukua ndivyo alizidi kujifunza mambo mengi sio tu ya shuleni hata pia ya kidunia. Masomoni, alikuwa gwiji wao kila wakati walipofanya mtihani. Mungu aliweza kumjalia na kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Alama alizopata zilikuwa za kutegemewa kwani juhudi zake kwa masomo zilikuwa zenye kutabirika.
Alipojiunga na kidato cha pili, Subira alianza kubadilika. Alianza kuonyesha dharau kwa wadogo na wakubwa zake. Baada ya siku chache hivi, alianza kuonekana na makundi ya wasichana waliojulikana kuwa na tabia chafu zinazokera jamii. Fununu zilienea katika kijiji. Siku moja alipokuwa katika harakati ya kujiandaa kwenda safari zake, mama yake alikataa kumruhusu aende kutembea kwani mdomo siri ya gunda, na kama mzazi aliweza kujua kwamba tabia za mwanawe zilikuwa zimebedilika. Mamake Subira alijaribu kumweleza mwana kuhusu uchafu alioufanya haukuwa mzuri lakini Subira aliweza kunyanyua sauti yake kwa mamake na kuanza kumfokea kwa maneno makali. Hili lilimkera na akaamua kumwachia dunia iweze kupambana naye.
Miaka mitatu imepita na Subira wa sasa sio yule wa zamani kwani dunia imemfunza. Mishipa yake ya mwili inaonekana na lile umbo lake zuri limepotea. Haikuchukuwa muda mrefu kabla yake kuaga dunia. Kabla ya kufa, aliweza kunihusia kuwa niweze kusikiliza wazazi wangu na kuwa alijutia yale yote aliyofanya. | Rafiki yake wa chanda na pete anaitwa nani | {
"text": [
"Subira"
]
} |
3104_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Hii methali inamaanisha kuwa mtoto asiyetaka kusikiliza maneno au kufuata mafunzo ya wazazi wake au mtu aliyempita umri, huweza kupata majuto au shida humtokea baadaye. Methali hii imetumika katika jamii ili kuweza kuwahamasisha watoto kusikiza maneno ya wazazi wao. Pia inaweza kuwafunza na kuwapa onyo wasiopenda kusikiliza mafunzo na maneno ya wazazi wao kuwa mwishowe ni dhiki, shida na majuto ndio hufuata.
Subira rafiki yangu wa chanda na pete sitowahi msahau kamwe. Subira alikuwa moja wa marafiki niliyeweza kucheza naye kutoka utotoni wangu. Kila ninapomkumbuka, machozi hunitiririka. Nakumbuka mengi kumhusu, alivyotembea kwa maringo kama tausi. Macho yake makubwa na pia yaling'ara kama hurulaini. Alipoyatikisa macho yake kwa maringo, ungetamani aweze kukuangalia. Ngozi yake ilikuwa ya rangi ya maji ya kunde na laini. Nje na ndani ya kijiji aliweza kufahamika kwa sura yake ya upole na nzuri. Subira alikuwa tu kama vile jina lake lilivyoashiria kwa kuwa alikuwa mwenye subira. Watu wengi walipenda kutangamana naye na hata pia kutaka wawe marafiki. Kama mtoto na msichana wa dini ya kiisilamu, aliweza kufuata kanuni na maadili ya dini. Wazazi wake waliweza kumshukuru mungu kwa kuwapa mtoto mzuri na mwenye heshima. Jinsi alivyozidi kukua ndivyo alizidi kujifunza mambo mengi sio tu ya shuleni hata pia ya kidunia. Masomoni, alikuwa gwiji wao kila wakati walipofanya mtihani. Mungu aliweza kumjalia na kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Alama alizopata zilikuwa za kutegemewa kwani juhudi zake kwa masomo zilikuwa zenye kutabirika.
Alipojiunga na kidato cha pili, Subira alianza kubadilika. Alianza kuonyesha dharau kwa wadogo na wakubwa zake. Baada ya siku chache hivi, alianza kuonekana na makundi ya wasichana waliojulikana kuwa na tabia chafu zinazokera jamii. Fununu zilienea katika kijiji. Siku moja alipokuwa katika harakati ya kujiandaa kwenda safari zake, mama yake alikataa kumruhusu aende kutembea kwani mdomo siri ya gunda, na kama mzazi aliweza kujua kwamba tabia za mwanawe zilikuwa zimebedilika. Mamake Subira alijaribu kumweleza mwana kuhusu uchafu alioufanya haukuwa mzuri lakini Subira aliweza kunyanyua sauti yake kwa mamake na kuanza kumfokea kwa maneno makali. Hili lilimkera na akaamua kumwachia dunia iweze kupambana naye.
Miaka mitatu imepita na Subira wa sasa sio yule wa zamani kwani dunia imemfunza. Mishipa yake ya mwili inaonekana na lile umbo lake zuri limepotea. Haikuchukuwa muda mrefu kabla yake kuaga dunia. Kabla ya kufa, aliweza kunihusia kuwa niweze kusikiliza wazazi wangu na kuwa alijutia yale yote aliyofanya. | Subira alifahamika wapi | {
"text": [
"nje na ndani ya kijiji"
]
} |
3104_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Hii methali inamaanisha kuwa mtoto asiyetaka kusikiliza maneno au kufuata mafunzo ya wazazi wake au mtu aliyempita umri, huweza kupata majuto au shida humtokea baadaye. Methali hii imetumika katika jamii ili kuweza kuwahamasisha watoto kusikiza maneno ya wazazi wao. Pia inaweza kuwafunza na kuwapa onyo wasiopenda kusikiliza mafunzo na maneno ya wazazi wao kuwa mwishowe ni dhiki, shida na majuto ndio hufuata.
Subira rafiki yangu wa chanda na pete sitowahi msahau kamwe. Subira alikuwa moja wa marafiki niliyeweza kucheza naye kutoka utotoni wangu. Kila ninapomkumbuka, machozi hunitiririka. Nakumbuka mengi kumhusu, alivyotembea kwa maringo kama tausi. Macho yake makubwa na pia yaling'ara kama hurulaini. Alipoyatikisa macho yake kwa maringo, ungetamani aweze kukuangalia. Ngozi yake ilikuwa ya rangi ya maji ya kunde na laini. Nje na ndani ya kijiji aliweza kufahamika kwa sura yake ya upole na nzuri. Subira alikuwa tu kama vile jina lake lilivyoashiria kwa kuwa alikuwa mwenye subira. Watu wengi walipenda kutangamana naye na hata pia kutaka wawe marafiki. Kama mtoto na msichana wa dini ya kiisilamu, aliweza kufuata kanuni na maadili ya dini. Wazazi wake waliweza kumshukuru mungu kwa kuwapa mtoto mzuri na mwenye heshima. Jinsi alivyozidi kukua ndivyo alizidi kujifunza mambo mengi sio tu ya shuleni hata pia ya kidunia. Masomoni, alikuwa gwiji wao kila wakati walipofanya mtihani. Mungu aliweza kumjalia na kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Alama alizopata zilikuwa za kutegemewa kwani juhudi zake kwa masomo zilikuwa zenye kutabirika.
Alipojiunga na kidato cha pili, Subira alianza kubadilika. Alianza kuonyesha dharau kwa wadogo na wakubwa zake. Baada ya siku chache hivi, alianza kuonekana na makundi ya wasichana waliojulikana kuwa na tabia chafu zinazokera jamii. Fununu zilienea katika kijiji. Siku moja alipokuwa katika harakati ya kujiandaa kwenda safari zake, mama yake alikataa kumruhusu aende kutembea kwani mdomo siri ya gunda, na kama mzazi aliweza kujua kwamba tabia za mwanawe zilikuwa zimebedilika. Mamake Subira alijaribu kumweleza mwana kuhusu uchafu alioufanya haukuwa mzuri lakini Subira aliweza kunyanyua sauti yake kwa mamake na kuanza kumfokea kwa maneno makali. Hili lilimkera na akaamua kumwachia dunia iweze kupambana naye.
Miaka mitatu imepita na Subira wa sasa sio yule wa zamani kwani dunia imemfunza. Mishipa yake ya mwili inaonekana na lile umbo lake zuri limepotea. Haikuchukuwa muda mrefu kabla yake kuaga dunia. Kabla ya kufa, aliweza kunihusia kuwa niweze kusikiliza wazazi wangu na kuwa alijutia yale yote aliyofanya. | Mbona historia ya Subira imekuwa hadithi | {
"text": [
"ili wengine wasiweze kurejelea"
]
} |
3105_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Mwanzo kabisa teknolojia ina maanisha kuwa ni maarifa ya kisayansi, katika mitambo, vyombo na zama katika viwanda kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Mifano ya teknolojia ni kama simu, hutumiwa kwa mambo mengi sana kama vile mawasiliano na mtu wa mbali. Siku hizi, mitindo imebadilika. Watu wanaweza kupigiana simu na kuonana uso kwa uso.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya. | Teknolojia inamaanisha nini | {
"text": [
"Maarifa ya sayansi"
]
} |
3105_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Mwanzo kabisa teknolojia ina maanisha kuwa ni maarifa ya kisayansi, katika mitambo, vyombo na zama katika viwanda kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Mifano ya teknolojia ni kama simu, hutumiwa kwa mambo mengi sana kama vile mawasiliano na mtu wa mbali. Siku hizi, mitindo imebadilika. Watu wanaweza kupigiana simu na kuonana uso kwa uso.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya. | Mifano ya teknolojia ni kama nini | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3105_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Mwanzo kabisa teknolojia ina maanisha kuwa ni maarifa ya kisayansi, katika mitambo, vyombo na zama katika viwanda kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Mifano ya teknolojia ni kama simu, hutumiwa kwa mambo mengi sana kama vile mawasiliano na mtu wa mbali. Siku hizi, mitindo imebadilika. Watu wanaweza kupigiana simu na kuonana uso kwa uso.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya. | Ni nini mojawapo ya faida ya teknolojia | {
"text": [
"Huelimisha"
]
} |
3105_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Mwanzo kabisa teknolojia ina maanisha kuwa ni maarifa ya kisayansi, katika mitambo, vyombo na zama katika viwanda kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Mifano ya teknolojia ni kama simu, hutumiwa kwa mambo mengi sana kama vile mawasiliano na mtu wa mbali. Siku hizi, mitindo imebadilika. Watu wanaweza kupigiana simu na kuonana uso kwa uso.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya. | Wanafunzi hutumia nini wakati wanapofanya hesabu | {
"text": [
"Kokotoo"
]
} |
3105_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Mwanzo kabisa teknolojia ina maanisha kuwa ni maarifa ya kisayansi, katika mitambo, vyombo na zama katika viwanda kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Mifano ya teknolojia ni kama simu, hutumiwa kwa mambo mengi sana kama vile mawasiliano na mtu wa mbali. Siku hizi, mitindo imebadilika. Watu wanaweza kupigiana simu na kuonana uso kwa uso.
Moja ya faida za teknolojia ni kuwa huelimisha, kama vile wanafunzi wengi wanapokwenda kwa mapumziko yao ya ghafla au mapumziko ya kawaida tu. Wanafunzi wengi hutumia rununu au tarakilishi kuendelea na masomo yao.
Aina nyingine ya teknolojia ni matumizi ya kikokotoo. Wanafunzi wengi hutumia wakati wanapofanyia hesabu katika mitihani yao. Husaidia wanapokua wamepewa hesabu kubwa na ngumu.
Aina ya tatu ni matumizi ya tarakilishi. Hapo zamani, kulikuwa hakuna masomo ya kusomea tarakilishi, lakini siku hizi kumeendelea yapo. Katika shule zingine, somo la tarakilishi ni la lazima. Huwasaidia wanafunzi wengi ambao ndoto zao ni kufanya kazi ofisini.
Aina nyingine ni televisheni. Televisheni ni aina moja ya teknolojia ambayo imewasaidia wanafunzi wengi sana kupata habari za hapa na pale huwaeleza wanafunzi matukio yaliyotukia, yatakayotukia na yanayotukia. Pia huwapa motisha wanafunzi wengi kuwa na hamu ya kutimiza ndoto za usoni hasa wanaotaka kuwa wanahabari.
Aina nyingine ni kipakatalishi. Hiki ni chombo kinachotumiwa kama simu ya pili. Walimu na wanafunzi pia hutumia kipakatalishi ili kujisomea wao wenyewe.
Lakini, katika aina hizi za teknolojia, kila moja ina madhara yake. Moja ni kumfanya mtu awe na uraibu ambao hawezi kuiacha kwa hali yoyote ile. Madhara mengine ni mambo ya anasa kama vile wanafunzi wengi huingizwa katika mitandao na kuangalia picha chafu, ponografia, hii huwafanya wanafunzi kukosa adabu na haya. | Mojawapo ya madhara ya teknolojia ni kuwa humfanya mtu awe na nini | {
"text": [
"Uraibu"
]
} |
3106_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha ya kwamba mtu asiyesikia maneno ya wavyele au wakubwa zake anapokwenda mrama huumia mwenyewe. Methali hii hutumiwa kuwafunza wale watu wasioskia wanayoambiwa na wakubwa wao na kufuata anasa za duniani na mwishowe huathirika wao wenyewe. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Katika kijiji kimoja cha Dzikotso Dzinyau, msichana Amina alijulikana kijiji kizima. Si kwa urembo peke yake tu bali pia kwa tabia zake. Alikuwa msichana mrembo, hata kungekuwa na mashindano angeibuka mshindi. Alikuwa msichana mwerevu pia. Urembo wake alipambwa na shingo ya upanga. Alipewa umbo la kadri, urefu wa kiasi na rangi ya maji ya kunde. Alikuwa na macho ya pozi na uso wa mviringo. Mwendo wake ulikuwa wa hatua za kuhesabu na mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba aliyepewa kapewa huwezi kumpokonya.
Alipofikia darasa la nane, kusubiria mtihani wako wa kitaifa , tabia zake zilibadilika ghafla kwa sababu ya sifa alizope wa kwa urembo wake. Wazazi wake waliompenda kwa hali na mali walimkanya kwa tabia hizo lakini hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Walimu nao hawakuachwa nyuma kwa kumuonya na tabia hizo.
Alizoea tabia ya kutoroka shuleni na nyumbani, alikuwa mtovu wa nidhamu. Hakuheshimu wakubwa wala wadogo, alimjibu mtu yeyote atakavyo hakujali ni mzee wala ni mtoto. Baada ya muda kupita, wazazi wake walikuwa wameshamwachia mwenyezi Mungu. Alikuwa na dalili za ujauzito. Mama yake siku moja alimuuliza ikiwa ana mimba au la, lakini alikana tena kwa ukali ili asijulikane kuwa anadanganya.
Miezi mitatu ilipita ndipo alipojulikana kuwa alikuwa na ujauzito na hakuwa na lolote la kufanya maana alielezwa aachane na tabia zile na hakusikia. Mtihani wa kitaifa uliwadia na aliufanya lakini hakufaulu kama wazazi wake walivyotarajia. Alibaki kulia na kujuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadaye.
Katika hadithi hii, tunafunzwa kuwa tusiwe wenye kuasi wavyele wetu wakati wanapotuasia mambo ambayo hatujui maafa yake. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mtu asiyesikia maneno ya wavyele wake hufanya nini | {
"text": [
"huumia"
]
} |
3106_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha ya kwamba mtu asiyesikia maneno ya wavyele au wakubwa zake anapokwenda mrama huumia mwenyewe. Methali hii hutumiwa kuwafunza wale watu wasioskia wanayoambiwa na wakubwa wao na kufuata anasa za duniani na mwishowe huathirika wao wenyewe. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Katika kijiji kimoja cha Dzikotso Dzinyau, msichana Amina alijulikana kijiji kizima. Si kwa urembo peke yake tu bali pia kwa tabia zake. Alikuwa msichana mrembo, hata kungekuwa na mashindano angeibuka mshindi. Alikuwa msichana mwerevu pia. Urembo wake alipambwa na shingo ya upanga. Alipewa umbo la kadri, urefu wa kiasi na rangi ya maji ya kunde. Alikuwa na macho ya pozi na uso wa mviringo. Mwendo wake ulikuwa wa hatua za kuhesabu na mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba aliyepewa kapewa huwezi kumpokonya.
Alipofikia darasa la nane, kusubiria mtihani wako wa kitaifa , tabia zake zilibadilika ghafla kwa sababu ya sifa alizope wa kwa urembo wake. Wazazi wake waliompenda kwa hali na mali walimkanya kwa tabia hizo lakini hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Walimu nao hawakuachwa nyuma kwa kumuonya na tabia hizo.
Alizoea tabia ya kutoroka shuleni na nyumbani, alikuwa mtovu wa nidhamu. Hakuheshimu wakubwa wala wadogo, alimjibu mtu yeyote atakavyo hakujali ni mzee wala ni mtoto. Baada ya muda kupita, wazazi wake walikuwa wameshamwachia mwenyezi Mungu. Alikuwa na dalili za ujauzito. Mama yake siku moja alimuuliza ikiwa ana mimba au la, lakini alikana tena kwa ukali ili asijulikane kuwa anadanganya.
Miezi mitatu ilipita ndipo alipojulikana kuwa alikuwa na ujauzito na hakuwa na lolote la kufanya maana alielezwa aachane na tabia zile na hakusikia. Mtihani wa kitaifa uliwadia na aliufanya lakini hakufaulu kama wazazi wake walivyotarajia. Alibaki kulia na kujuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadaye.
Katika hadithi hii, tunafunzwa kuwa tusiwe wenye kuasi wavyele wetu wakati wanapotuasia mambo ambayo hatujui maafa yake. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Amina aliishi wapi | {
"text": [
"Dzikotso Dzinyau"
]
} |
3106_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha ya kwamba mtu asiyesikia maneno ya wavyele au wakubwa zake anapokwenda mrama huumia mwenyewe. Methali hii hutumiwa kuwafunza wale watu wasioskia wanayoambiwa na wakubwa wao na kufuata anasa za duniani na mwishowe huathirika wao wenyewe. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Katika kijiji kimoja cha Dzikotso Dzinyau, msichana Amina alijulikana kijiji kizima. Si kwa urembo peke yake tu bali pia kwa tabia zake. Alikuwa msichana mrembo, hata kungekuwa na mashindano angeibuka mshindi. Alikuwa msichana mwerevu pia. Urembo wake alipambwa na shingo ya upanga. Alipewa umbo la kadri, urefu wa kiasi na rangi ya maji ya kunde. Alikuwa na macho ya pozi na uso wa mviringo. Mwendo wake ulikuwa wa hatua za kuhesabu na mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba aliyepewa kapewa huwezi kumpokonya.
Alipofikia darasa la nane, kusubiria mtihani wako wa kitaifa , tabia zake zilibadilika ghafla kwa sababu ya sifa alizope wa kwa urembo wake. Wazazi wake waliompenda kwa hali na mali walimkanya kwa tabia hizo lakini hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Walimu nao hawakuachwa nyuma kwa kumuonya na tabia hizo.
Alizoea tabia ya kutoroka shuleni na nyumbani, alikuwa mtovu wa nidhamu. Hakuheshimu wakubwa wala wadogo, alimjibu mtu yeyote atakavyo hakujali ni mzee wala ni mtoto. Baada ya muda kupita, wazazi wake walikuwa wameshamwachia mwenyezi Mungu. Alikuwa na dalili za ujauzito. Mama yake siku moja alimuuliza ikiwa ana mimba au la, lakini alikana tena kwa ukali ili asijulikane kuwa anadanganya.
Miezi mitatu ilipita ndipo alipojulikana kuwa alikuwa na ujauzito na hakuwa na lolote la kufanya maana alielezwa aachane na tabia zile na hakusikia. Mtihani wa kitaifa uliwadia na aliufanya lakini hakufaulu kama wazazi wake walivyotarajia. Alibaki kulia na kujuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadaye.
Katika hadithi hii, tunafunzwa kuwa tusiwe wenye kuasi wavyele wetu wakati wanapotuasia mambo ambayo hatujui maafa yake. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Amina alikuwa na rangi gani | {
"text": [
"ya maji ya kunde"
]
} |
3106_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha ya kwamba mtu asiyesikia maneno ya wavyele au wakubwa zake anapokwenda mrama huumia mwenyewe. Methali hii hutumiwa kuwafunza wale watu wasioskia wanayoambiwa na wakubwa wao na kufuata anasa za duniani na mwishowe huathirika wao wenyewe. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Katika kijiji kimoja cha Dzikotso Dzinyau, msichana Amina alijulikana kijiji kizima. Si kwa urembo peke yake tu bali pia kwa tabia zake. Alikuwa msichana mrembo, hata kungekuwa na mashindano angeibuka mshindi. Alikuwa msichana mwerevu pia. Urembo wake alipambwa na shingo ya upanga. Alipewa umbo la kadri, urefu wa kiasi na rangi ya maji ya kunde. Alikuwa na macho ya pozi na uso wa mviringo. Mwendo wake ulikuwa wa hatua za kuhesabu na mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba aliyepewa kapewa huwezi kumpokonya.
Alipofikia darasa la nane, kusubiria mtihani wako wa kitaifa , tabia zake zilibadilika ghafla kwa sababu ya sifa alizope wa kwa urembo wake. Wazazi wake waliompenda kwa hali na mali walimkanya kwa tabia hizo lakini hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Walimu nao hawakuachwa nyuma kwa kumuonya na tabia hizo.
Alizoea tabia ya kutoroka shuleni na nyumbani, alikuwa mtovu wa nidhamu. Hakuheshimu wakubwa wala wadogo, alimjibu mtu yeyote atakavyo hakujali ni mzee wala ni mtoto. Baada ya muda kupita, wazazi wake walikuwa wameshamwachia mwenyezi Mungu. Alikuwa na dalili za ujauzito. Mama yake siku moja alimuuliza ikiwa ana mimba au la, lakini alikana tena kwa ukali ili asijulikane kuwa anadanganya.
Miezi mitatu ilipita ndipo alipojulikana kuwa alikuwa na ujauzito na hakuwa na lolote la kufanya maana alielezwa aachane na tabia zile na hakusikia. Mtihani wa kitaifa uliwadia na aliufanya lakini hakufaulu kama wazazi wake walivyotarajia. Alibaki kulia na kujuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadaye.
Katika hadithi hii, tunafunzwa kuwa tusiwe wenye kuasi wavyele wetu wakati wanapotuasia mambo ambayo hatujui maafa yake. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Amina alizua tabia ipi | {
"text": [
"ya kutoroka shuleni"
]
} |
3106_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha ya kwamba mtu asiyesikia maneno ya wavyele au wakubwa zake anapokwenda mrama huumia mwenyewe. Methali hii hutumiwa kuwafunza wale watu wasioskia wanayoambiwa na wakubwa wao na kufuata anasa za duniani na mwishowe huathirika wao wenyewe. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Katika kijiji kimoja cha Dzikotso Dzinyau, msichana Amina alijulikana kijiji kizima. Si kwa urembo peke yake tu bali pia kwa tabia zake. Alikuwa msichana mrembo, hata kungekuwa na mashindano angeibuka mshindi. Alikuwa msichana mwerevu pia. Urembo wake alipambwa na shingo ya upanga. Alipewa umbo la kadri, urefu wa kiasi na rangi ya maji ya kunde. Alikuwa na macho ya pozi na uso wa mviringo. Mwendo wake ulikuwa wa hatua za kuhesabu na mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Wahenga hawakukosea waliponena ya kwamba aliyepewa kapewa huwezi kumpokonya.
Alipofikia darasa la nane, kusubiria mtihani wako wa kitaifa , tabia zake zilibadilika ghafla kwa sababu ya sifa alizope wa kwa urembo wake. Wazazi wake waliompenda kwa hali na mali walimkanya kwa tabia hizo lakini hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Walimu nao hawakuachwa nyuma kwa kumuonya na tabia hizo.
Alizoea tabia ya kutoroka shuleni na nyumbani, alikuwa mtovu wa nidhamu. Hakuheshimu wakubwa wala wadogo, alimjibu mtu yeyote atakavyo hakujali ni mzee wala ni mtoto. Baada ya muda kupita, wazazi wake walikuwa wameshamwachia mwenyezi Mungu. Alikuwa na dalili za ujauzito. Mama yake siku moja alimuuliza ikiwa ana mimba au la, lakini alikana tena kwa ukali ili asijulikane kuwa anadanganya.
Miezi mitatu ilipita ndipo alipojulikana kuwa alikuwa na ujauzito na hakuwa na lolote la kufanya maana alielezwa aachane na tabia zile na hakusikia. Mtihani wa kitaifa uliwadia na aliufanya lakini hakufaulu kama wazazi wake walivyotarajia. Alibaki kulia na kujuta majuto ya mjukuu ambayo huja baadaye.
Katika hadithi hii, tunafunzwa kuwa tusiwe wenye kuasi wavyele wetu wakati wanapotuasia mambo ambayo hatujui maafa yake. Ama kweli, asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mbona Amina alikana uja uzito kwa ukali | {
"text": [
"ili asije akajulikana anadanganya"
]
} |
3107_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZASEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya kitu kama vile zana au mitambo katika viwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta faida na madhara katika shule za sekondari.
Uwepo wa teknolojia katika shule za sekondari umerahisisha mambo kwani wanafunzi wana uwezo wa kutumia vikokotoo wanapofanya kazi zao za darasani. Kwa upande mwingine,
wanafunzi wamekuwa wavivu sana kwani hawang’ang’ani wala hawamalizi kazi zao. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi waburudike kwani wengi huekewa televisheni na kuonyeshwa video na nyimbo zinazowaburudisha. Nyimbo hizo huwafanya kuwa wachangamfu. Kwa kutoona faida hii, wanafunzi wameamua kuweka nyimbo chafu na kuona video mbaya zinzaowaharibu.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi kupata masomo ya mitandaoni ili kuongeza ujuzi walio nao. Licha ya kuongeza ujuzi, hata kukitokea janga lisilowawezesha kwenda shuleni, wao huweza kusoma wakiwa nyumbani. Licha ya faida hiyo, wanafunzi wameamua kutafuta mambo yasiyowahusu na yaliyowazidi umri katika mitandao hiyo. Wanafunzi wameletewa masomo ya tarakilishi ambayo huwawezesha kujua mambo mengo tofauti ya nchini na ya nje ya nchi. Wanafunzi. hao wameamua kufanya utafiti kuhusu jinsi ya kutoroka shuleni na kuiba vitu ofisini, hi huchangia utovu wa nidhamu.
Wanafunzi wamefanyiwa mambo kuwa rahisi. Pia katika upande wa kununua vitu kwa kutumia mtandao kama vile viatu vya shule, mabegi na hata sare za shule. Lakini kwa upande mwingine, wanafunzi wamesababisha kutumika vibaya kwa fedha za wazazi wao. Simu zilizo shuleni ambazo ni za walimu huwasaidia sana wanafunzi wanapotaka kuzungumza na wazazi wao. Pia wanapotaka kuenda nyumbani, hupata nauli kutumia simu hizo. Kwa sababu wazazi hawajui nambari za walimu wote wa shuleni, mara nyingi wao hudanganywa na wakora na kuwapora pesa zao. | Katika kila faida kuna nini? | {
"text": [
"Madhara"
]
} |
3107_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZASEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya kitu kama vile zana au mitambo katika viwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta faida na madhara katika shule za sekondari.
Uwepo wa teknolojia katika shule za sekondari umerahisisha mambo kwani wanafunzi wana uwezo wa kutumia vikokotoo wanapofanya kazi zao za darasani. Kwa upande mwingine,
wanafunzi wamekuwa wavivu sana kwani hawang’ang’ani wala hawamalizi kazi zao. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi waburudike kwani wengi huekewa televisheni na kuonyeshwa video na nyimbo zinazowaburudisha. Nyimbo hizo huwafanya kuwa wachangamfu. Kwa kutoona faida hii, wanafunzi wameamua kuweka nyimbo chafu na kuona video mbaya zinzaowaharibu.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi kupata masomo ya mitandaoni ili kuongeza ujuzi walio nao. Licha ya kuongeza ujuzi, hata kukitokea janga lisilowawezesha kwenda shuleni, wao huweza kusoma wakiwa nyumbani. Licha ya faida hiyo, wanafunzi wameamua kutafuta mambo yasiyowahusu na yaliyowazidi umri katika mitandao hiyo. Wanafunzi wameletewa masomo ya tarakilishi ambayo huwawezesha kujua mambo mengo tofauti ya nchini na ya nje ya nchi. Wanafunzi. hao wameamua kufanya utafiti kuhusu jinsi ya kutoroka shuleni na kuiba vitu ofisini, hi huchangia utovu wa nidhamu.
Wanafunzi wamefanyiwa mambo kuwa rahisi. Pia katika upande wa kununua vitu kwa kutumia mtandao kama vile viatu vya shule, mabegi na hata sare za shule. Lakini kwa upande mwingine, wanafunzi wamesababisha kutumika vibaya kwa fedha za wazazi wao. Simu zilizo shuleni ambazo ni za walimu huwasaidia sana wanafunzi wanapotaka kuzungumza na wazazi wao. Pia wanapotaka kuenda nyumbani, hupata nauli kutumia simu hizo. Kwa sababu wazazi hawajui nambari za walimu wote wa shuleni, mara nyingi wao hudanganywa na wakora na kuwapora pesa zao. | Wanafunzi wanaweza kutumia kifaa kipi wanapofanya kazi darasani? | {
"text": [
"Kikokotozi"
]
} |
3107_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZASEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya kitu kama vile zana au mitambo katika viwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta faida na madhara katika shule za sekondari.
Uwepo wa teknolojia katika shule za sekondari umerahisisha mambo kwani wanafunzi wana uwezo wa kutumia vikokotoo wanapofanya kazi zao za darasani. Kwa upande mwingine,
wanafunzi wamekuwa wavivu sana kwani hawang’ang’ani wala hawamalizi kazi zao. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi waburudike kwani wengi huekewa televisheni na kuonyeshwa video na nyimbo zinazowaburudisha. Nyimbo hizo huwafanya kuwa wachangamfu. Kwa kutoona faida hii, wanafunzi wameamua kuweka nyimbo chafu na kuona video mbaya zinzaowaharibu.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi kupata masomo ya mitandaoni ili kuongeza ujuzi walio nao. Licha ya kuongeza ujuzi, hata kukitokea janga lisilowawezesha kwenda shuleni, wao huweza kusoma wakiwa nyumbani. Licha ya faida hiyo, wanafunzi wameamua kutafuta mambo yasiyowahusu na yaliyowazidi umri katika mitandao hiyo. Wanafunzi wameletewa masomo ya tarakilishi ambayo huwawezesha kujua mambo mengo tofauti ya nchini na ya nje ya nchi. Wanafunzi. hao wameamua kufanya utafiti kuhusu jinsi ya kutoroka shuleni na kuiba vitu ofisini, hi huchangia utovu wa nidhamu.
Wanafunzi wamefanyiwa mambo kuwa rahisi. Pia katika upande wa kununua vitu kwa kutumia mtandao kama vile viatu vya shule, mabegi na hata sare za shule. Lakini kwa upande mwingine, wanafunzi wamesababisha kutumika vibaya kwa fedha za wazazi wao. Simu zilizo shuleni ambazo ni za walimu huwasaidia sana wanafunzi wanapotaka kuzungumza na wazazi wao. Pia wanapotaka kuenda nyumbani, hupata nauli kutumia simu hizo. Kwa sababu wazazi hawajui nambari za walimu wote wa shuleni, mara nyingi wao hudanganywa na wakora na kuwapora pesa zao. | Wanafunzi hujiburudisha shuleni kwa kutazama nini? | {
"text": [
"Televisheni"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.