Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3107_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZASEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya kitu kama vile zana au mitambo katika viwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta faida na madhara katika shule za sekondari. Uwepo wa teknolojia katika shule za sekondari umerahisisha mambo kwani wanafunzi wana uwezo wa kutumia vikokotoo wanapofanya kazi zao za darasani. Kwa upande mwingine, wanafunzi wamekuwa wavivu sana kwani hawang’ang’ani wala hawamalizi kazi zao. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi waburudike kwani wengi huekewa televisheni na kuonyeshwa video na nyimbo zinazowaburudisha. Nyimbo hizo huwafanya kuwa wachangamfu. Kwa kutoona faida hii, wanafunzi wameamua kuweka nyimbo chafu na kuona video mbaya zinzaowaharibu. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kupata masomo ya mitandaoni ili kuongeza ujuzi walio nao. Licha ya kuongeza ujuzi, hata kukitokea janga lisilowawezesha kwenda shuleni, wao huweza kusoma wakiwa nyumbani. Licha ya faida hiyo, wanafunzi wameamua kutafuta mambo yasiyowahusu na yaliyowazidi umri katika mitandao hiyo. Wanafunzi wameletewa masomo ya tarakilishi ambayo huwawezesha kujua mambo mengo tofauti ya nchini na ya nje ya nchi. Wanafunzi. hao wameamua kufanya utafiti kuhusu jinsi ya kutoroka shuleni na kuiba vitu ofisini, hi huchangia utovu wa nidhamu. Wanafunzi wamefanyiwa mambo kuwa rahisi. Pia katika upande wa kununua vitu kwa kutumia mtandao kama vile viatu vya shule, mabegi na hata sare za shule. Lakini kwa upande mwingine, wanafunzi wamesababisha kutumika vibaya kwa fedha za wazazi wao. Simu zilizo shuleni ambazo ni za walimu huwasaidia sana wanafunzi wanapotaka kuzungumza na wazazi wao. Pia wanapotaka kuenda nyumbani, hupata nauli kutumia simu hizo. Kwa sababu wazazi hawajui nambari za walimu wote wa shuleni, mara nyingi wao hudanganywa na wakora na kuwapora pesa zao.
Wanafunzi wanaweza kununua viatu vya shule kupitia nini?
{ "text": [ "Mtandao" ] }
3107_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZASEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya kitu kama vile zana au mitambo katika viwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta faida na madhara katika shule za sekondari. Uwepo wa teknolojia katika shule za sekondari umerahisisha mambo kwani wanafunzi wana uwezo wa kutumia vikokotoo wanapofanya kazi zao za darasani. Kwa upande mwingine, wanafunzi wamekuwa wavivu sana kwani hawang’ang’ani wala hawamalizi kazi zao. Teknolojia pia imewafanya wanafunzi waburudike kwani wengi huekewa televisheni na kuonyeshwa video na nyimbo zinazowaburudisha. Nyimbo hizo huwafanya kuwa wachangamfu. Kwa kutoona faida hii, wanafunzi wameamua kuweka nyimbo chafu na kuona video mbaya zinzaowaharibu. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kupata masomo ya mitandaoni ili kuongeza ujuzi walio nao. Licha ya kuongeza ujuzi, hata kukitokea janga lisilowawezesha kwenda shuleni, wao huweza kusoma wakiwa nyumbani. Licha ya faida hiyo, wanafunzi wameamua kutafuta mambo yasiyowahusu na yaliyowazidi umri katika mitandao hiyo. Wanafunzi wameletewa masomo ya tarakilishi ambayo huwawezesha kujua mambo mengo tofauti ya nchini na ya nje ya nchi. Wanafunzi. hao wameamua kufanya utafiti kuhusu jinsi ya kutoroka shuleni na kuiba vitu ofisini, hi huchangia utovu wa nidhamu. Wanafunzi wamefanyiwa mambo kuwa rahisi. Pia katika upande wa kununua vitu kwa kutumia mtandao kama vile viatu vya shule, mabegi na hata sare za shule. Lakini kwa upande mwingine, wanafunzi wamesababisha kutumika vibaya kwa fedha za wazazi wao. Simu zilizo shuleni ambazo ni za walimu huwasaidia sana wanafunzi wanapotaka kuzungumza na wazazi wao. Pia wanapotaka kuenda nyumbani, hupata nauli kutumia simu hizo. Kwa sababu wazazi hawajui nambari za walimu wote wa shuleni, mara nyingi wao hudanganywa na wakora na kuwapora pesa zao.
Somo la tarakilishi linawezesha wanafunzi kufanya nini?
{ "text": [ "Kufanya utafiti kuhusu swala lolote" ] }
3108_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii humaanisha kuwa mtu anapopewa mawaidha alafu akose kuyatilia maanani, mwishowe hujuta. Methali hii inawiana na ile ya mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumiwa kwa wale ambao huambiwa mambo na wavyele wao na kisha kuwabeza kwa bezo. Ndipo hapo wanajipata pabaya, wanaona yao hayawaendelei. Bijuma alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya mapozi, sauti ya kumtoa nyoka pangoni, mwenye mwendo wa madaha na kiuno cha nyigu. Aliishi katika kijiji cha Mamboleo, alikuwa ni wa kipekee. Alikuwa ni msichana msomi na mwenye bidii. Kila msichana kijijini kwao alitamani kuwa kama yeye kwa sababu ya hulka zake. Alipokuwa shule ya msingi alikuwa mpole kwa kila mtu na mwenye haya hata ungekutana naye njiani ungemmezea mate. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana hata kuliko wazazi waliosema walibarikiwa na malaika. Alipomaliza shule ya msingi na kujiunga na kidato cha kwanza, tabia yake ilianza kubadilika kwani shule aliyokuwa akisoma ya upili ilikuwa ya kutwa. Akaanza tabia ambayo hakuwa nayo kamwe. Kutoka shule kwake si kwa kawaida. Alikuwa akichelewa shuleni mara anaaga kwenda shuleni halafu haendi huko. Siku moja, alitoka nyumbani kwenda shuleni kwa kuungana na wanake kujumuika kusoma. Lakini hatima yake haukuwa ya kwenda shuleni kwa sababu alijiona na kujikuta na pia alikuwa akisumbuliwa na mwanamume mmoja ambaye alikuwa ni mwalimu shuleni mwao. Hapo alifunga safari yake kwenda nyumbani kwa huyo mwalimu akashinda kutwa huko usiku hakurudi nyumbani. Akaanza kutafutwa na wazazi wake ila Bijuma hakupatikana popote. Asubuhi alirudi nyumbani na kujitayarisha na kwenda shuleni. Alipofika shuleni walimu walimhoji na walimwona kwa mtazamo wake alikuwa amebadilika, si yule Bijuma mpole. Basi alionywa na walimu wake ila hayakumwingia kwa sababu alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hiyo aliendelea nayo mpaka akawa uwanja wa majaribio. Kwake yeye, aliona sawa kwa kuwa alikuwa akipata pesa hapo. Siku moja alipata jibaba moja. Hapo alipatikana akiwa mahututi. Wazazi wake walishangaa ni vipi Bijuma alipataka kwenye jumba la starehe iwapo wao walijua kuwa alienda shuleni. Alikuwa amepigwa kwa chupa kichwa na akashikwa na kizunguzungu. Alijaribu kuvuka barabara na akashindwa na kugongwa na gari na akafa hapo kwa hapo. Angeyasikia yale ailiyokuwa akiambiwa asingefikia hapo.
Bijuma aliishi katika kijiji kipi
{ "text": [ "Mamboleo" ] }
3108_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii humaanisha kuwa mtu anapopewa mawaidha alafu akose kuyatilia maanani, mwishowe hujuta. Methali hii inawiana na ile ya mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumiwa kwa wale ambao huambiwa mambo na wavyele wao na kisha kuwabeza kwa bezo. Ndipo hapo wanajipata pabaya, wanaona yao hayawaendelei. Bijuma alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya mapozi, sauti ya kumtoa nyoka pangoni, mwenye mwendo wa madaha na kiuno cha nyigu. Aliishi katika kijiji cha Mamboleo, alikuwa ni wa kipekee. Alikuwa ni msichana msomi na mwenye bidii. Kila msichana kijijini kwao alitamani kuwa kama yeye kwa sababu ya hulka zake. Alipokuwa shule ya msingi alikuwa mpole kwa kila mtu na mwenye haya hata ungekutana naye njiani ungemmezea mate. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana hata kuliko wazazi waliosema walibarikiwa na malaika. Alipomaliza shule ya msingi na kujiunga na kidato cha kwanza, tabia yake ilianza kubadilika kwani shule aliyokuwa akisoma ya upili ilikuwa ya kutwa. Akaanza tabia ambayo hakuwa nayo kamwe. Kutoka shule kwake si kwa kawaida. Alikuwa akichelewa shuleni mara anaaga kwenda shuleni halafu haendi huko. Siku moja, alitoka nyumbani kwenda shuleni kwa kuungana na wanake kujumuika kusoma. Lakini hatima yake haukuwa ya kwenda shuleni kwa sababu alijiona na kujikuta na pia alikuwa akisumbuliwa na mwanamume mmoja ambaye alikuwa ni mwalimu shuleni mwao. Hapo alifunga safari yake kwenda nyumbani kwa huyo mwalimu akashinda kutwa huko usiku hakurudi nyumbani. Akaanza kutafutwa na wazazi wake ila Bijuma hakupatikana popote. Asubuhi alirudi nyumbani na kujitayarisha na kwenda shuleni. Alipofika shuleni walimu walimhoji na walimwona kwa mtazamo wake alikuwa amebadilika, si yule Bijuma mpole. Basi alionywa na walimu wake ila hayakumwingia kwa sababu alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hiyo aliendelea nayo mpaka akawa uwanja wa majaribio. Kwake yeye, aliona sawa kwa kuwa alikuwa akipata pesa hapo. Siku moja alipata jibaba moja. Hapo alipatikana akiwa mahututi. Wazazi wake walishangaa ni vipi Bijuma alipataka kwenye jumba la starehe iwapo wao walijua kuwa alienda shuleni. Alikuwa amepigwa kwa chupa kichwa na akashikwa na kizunguzungu. Alijaribu kuvuka barabara na akashindwa na kugongwa na gari na akafa hapo kwa hapo. Angeyasikia yale ailiyokuwa akiambiwa asingefikia hapo.
Bijuma alisumbuliwa na nani shuleni mwao
{ "text": [ "Mwalimu" ] }
3108_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii humaanisha kuwa mtu anapopewa mawaidha alafu akose kuyatilia maanani, mwishowe hujuta. Methali hii inawiana na ile ya mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumiwa kwa wale ambao huambiwa mambo na wavyele wao na kisha kuwabeza kwa bezo. Ndipo hapo wanajipata pabaya, wanaona yao hayawaendelei. Bijuma alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya mapozi, sauti ya kumtoa nyoka pangoni, mwenye mwendo wa madaha na kiuno cha nyigu. Aliishi katika kijiji cha Mamboleo, alikuwa ni wa kipekee. Alikuwa ni msichana msomi na mwenye bidii. Kila msichana kijijini kwao alitamani kuwa kama yeye kwa sababu ya hulka zake. Alipokuwa shule ya msingi alikuwa mpole kwa kila mtu na mwenye haya hata ungekutana naye njiani ungemmezea mate. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana hata kuliko wazazi waliosema walibarikiwa na malaika. Alipomaliza shule ya msingi na kujiunga na kidato cha kwanza, tabia yake ilianza kubadilika kwani shule aliyokuwa akisoma ya upili ilikuwa ya kutwa. Akaanza tabia ambayo hakuwa nayo kamwe. Kutoka shule kwake si kwa kawaida. Alikuwa akichelewa shuleni mara anaaga kwenda shuleni halafu haendi huko. Siku moja, alitoka nyumbani kwenda shuleni kwa kuungana na wanake kujumuika kusoma. Lakini hatima yake haukuwa ya kwenda shuleni kwa sababu alijiona na kujikuta na pia alikuwa akisumbuliwa na mwanamume mmoja ambaye alikuwa ni mwalimu shuleni mwao. Hapo alifunga safari yake kwenda nyumbani kwa huyo mwalimu akashinda kutwa huko usiku hakurudi nyumbani. Akaanza kutafutwa na wazazi wake ila Bijuma hakupatikana popote. Asubuhi alirudi nyumbani na kujitayarisha na kwenda shuleni. Alipofika shuleni walimu walimhoji na walimwona kwa mtazamo wake alikuwa amebadilika, si yule Bijuma mpole. Basi alionywa na walimu wake ila hayakumwingia kwa sababu alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hiyo aliendelea nayo mpaka akawa uwanja wa majaribio. Kwake yeye, aliona sawa kwa kuwa alikuwa akipata pesa hapo. Siku moja alipata jibaba moja. Hapo alipatikana akiwa mahututi. Wazazi wake walishangaa ni vipi Bijuma alipataka kwenye jumba la starehe iwapo wao walijua kuwa alienda shuleni. Alikuwa amepigwa kwa chupa kichwa na akashikwa na kizunguzungu. Alijaribu kuvuka barabara na akashindwa na kugongwa na gari na akafa hapo kwa hapo. Angeyasikia yale ailiyokuwa akiambiwa asingefikia hapo.
Bijuma alionywa na nani
{ "text": [ "Walimu" ] }
3108_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii humaanisha kuwa mtu anapopewa mawaidha alafu akose kuyatilia maanani, mwishowe hujuta. Methali hii inawiana na ile ya mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumiwa kwa wale ambao huambiwa mambo na wavyele wao na kisha kuwabeza kwa bezo. Ndipo hapo wanajipata pabaya, wanaona yao hayawaendelei. Bijuma alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya mapozi, sauti ya kumtoa nyoka pangoni, mwenye mwendo wa madaha na kiuno cha nyigu. Aliishi katika kijiji cha Mamboleo, alikuwa ni wa kipekee. Alikuwa ni msichana msomi na mwenye bidii. Kila msichana kijijini kwao alitamani kuwa kama yeye kwa sababu ya hulka zake. Alipokuwa shule ya msingi alikuwa mpole kwa kila mtu na mwenye haya hata ungekutana naye njiani ungemmezea mate. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana hata kuliko wazazi waliosema walibarikiwa na malaika. Alipomaliza shule ya msingi na kujiunga na kidato cha kwanza, tabia yake ilianza kubadilika kwani shule aliyokuwa akisoma ya upili ilikuwa ya kutwa. Akaanza tabia ambayo hakuwa nayo kamwe. Kutoka shule kwake si kwa kawaida. Alikuwa akichelewa shuleni mara anaaga kwenda shuleni halafu haendi huko. Siku moja, alitoka nyumbani kwenda shuleni kwa kuungana na wanake kujumuika kusoma. Lakini hatima yake haukuwa ya kwenda shuleni kwa sababu alijiona na kujikuta na pia alikuwa akisumbuliwa na mwanamume mmoja ambaye alikuwa ni mwalimu shuleni mwao. Hapo alifunga safari yake kwenda nyumbani kwa huyo mwalimu akashinda kutwa huko usiku hakurudi nyumbani. Akaanza kutafutwa na wazazi wake ila Bijuma hakupatikana popote. Asubuhi alirudi nyumbani na kujitayarisha na kwenda shuleni. Alipofika shuleni walimu walimhoji na walimwona kwa mtazamo wake alikuwa amebadilika, si yule Bijuma mpole. Basi alionywa na walimu wake ila hayakumwingia kwa sababu alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hiyo aliendelea nayo mpaka akawa uwanja wa majaribio. Kwake yeye, aliona sawa kwa kuwa alikuwa akipata pesa hapo. Siku moja alipata jibaba moja. Hapo alipatikana akiwa mahututi. Wazazi wake walishangaa ni vipi Bijuma alipataka kwenye jumba la starehe iwapo wao walijua kuwa alienda shuleni. Alikuwa amepigwa kwa chupa kichwa na akashikwa na kizunguzungu. Alijaribu kuvuka barabara na akashindwa na kugongwa na gari na akafa hapo kwa hapo. Angeyasikia yale ailiyokuwa akiambiwa asingefikia hapo.
Nani walimuonya Bijuma
{ "text": [ "Walimu" ] }
3108_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii humaanisha kuwa mtu anapopewa mawaidha alafu akose kuyatilia maanani, mwishowe hujuta. Methali hii inawiana na ile ya mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumiwa kwa wale ambao huambiwa mambo na wavyele wao na kisha kuwabeza kwa bezo. Ndipo hapo wanajipata pabaya, wanaona yao hayawaendelei. Bijuma alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya mapozi, sauti ya kumtoa nyoka pangoni, mwenye mwendo wa madaha na kiuno cha nyigu. Aliishi katika kijiji cha Mamboleo, alikuwa ni wa kipekee. Alikuwa ni msichana msomi na mwenye bidii. Kila msichana kijijini kwao alitamani kuwa kama yeye kwa sababu ya hulka zake. Alipokuwa shule ya msingi alikuwa mpole kwa kila mtu na mwenye haya hata ungekutana naye njiani ungemmezea mate. Walimu na wanafunzi wenzake walimpenda sana hata kuliko wazazi waliosema walibarikiwa na malaika. Alipomaliza shule ya msingi na kujiunga na kidato cha kwanza, tabia yake ilianza kubadilika kwani shule aliyokuwa akisoma ya upili ilikuwa ya kutwa. Akaanza tabia ambayo hakuwa nayo kamwe. Kutoka shule kwake si kwa kawaida. Alikuwa akichelewa shuleni mara anaaga kwenda shuleni halafu haendi huko. Siku moja, alitoka nyumbani kwenda shuleni kwa kuungana na wanake kujumuika kusoma. Lakini hatima yake haukuwa ya kwenda shuleni kwa sababu alijiona na kujikuta na pia alikuwa akisumbuliwa na mwanamume mmoja ambaye alikuwa ni mwalimu shuleni mwao. Hapo alifunga safari yake kwenda nyumbani kwa huyo mwalimu akashinda kutwa huko usiku hakurudi nyumbani. Akaanza kutafutwa na wazazi wake ila Bijuma hakupatikana popote. Asubuhi alirudi nyumbani na kujitayarisha na kwenda shuleni. Alipofika shuleni walimu walimhoji na walimwona kwa mtazamo wake alikuwa amebadilika, si yule Bijuma mpole. Basi alionywa na walimu wake ila hayakumwingia kwa sababu alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hiyo aliendelea nayo mpaka akawa uwanja wa majaribio. Kwake yeye, aliona sawa kwa kuwa alikuwa akipata pesa hapo. Siku moja alipata jibaba moja. Hapo alipatikana akiwa mahututi. Wazazi wake walishangaa ni vipi Bijuma alipataka kwenye jumba la starehe iwapo wao walijua kuwa alienda shuleni. Alikuwa amepigwa kwa chupa kichwa na akashikwa na kizunguzungu. Alijaribu kuvuka barabara na akashindwa na kugongwa na gari na akafa hapo kwa hapo. Angeyasikia yale ailiyokuwa akiambiwa asingefikia hapo.
Kwa nini Bijuma alikufa
{ "text": [ "Alipigwa na gari" ] }
3109_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia. Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa uasalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu. Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali. Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu waasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo. Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi. Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema. Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule.
Tekinolojia ni elimu ya nini
{ "text": [ "Kisayansi" ] }
3109_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia. Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa uasalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu. Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali. Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu waasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo. Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi. Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema. Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule.
Wanafunzi wanatumia kikokotoo kufanya nini
{ "text": [ "Hesabu" ] }
3109_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia. Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa uasalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu. Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali. Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu waasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo. Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi. Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema. Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule.
Raisi Uhuru Kenyatta alipeana nini
{ "text": [ "Vipakatilishi" ] }
3109_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia. Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa uasalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu. Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali. Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu waasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo. Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi. Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema. Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule.
Watu hutumia nini kulipa karo
{ "text": [ "ATM" ] }
3109_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia katika shule za upili ina faida nyingi sana. Mfano, tarakilishi huwa inatumika kuchapisha karatasi za mitihani mbalimbali. Hutumia muda mchache sana katika uchapishaji. Fauka ya hayo, huwa inatumika kueka jumbe mbalimbali shuleni. Inasaidia sana kusambaza ujumbe kwa wazazi au watu fulani utakaotoka shuleni. Tarakilishi huwa inatumika kurekodi na kuhifadhi majibu ya mtihani wanafunzi watakayofanya kwa muda mrefu. Inawasaidia wanafunzi kwa kujua mambo mbalimbali kwenye tarakilishi na kujua kuitumia. Katika shule za upili, umeme husaidia sana kwani kazi za shule mbalimbali haziwezi kufanyika bila umeme. Kama vile kuchapisha mitihani, wanafunzi wanao soma kutumia tarakilishi na vifaa vinginevyo. Hutumika kwa uasalama. Bila umeme usiku, watu na wanyama wabaya wanaweza kuvamia. Pia hutumiwa na wanafunzi katika kudurusu masomo yao usiku. Katika usafiri, husaidia wanafunzi katika kuwasili mapema sana shuleni. Magari husaidia wanafunzi kujua sehemu mbalimbali nchini kwa kupitia michezo, kutembelea wanyama, vilabu mbalimbali na kadhalka. Magari yanawasaidia wanafunzi shuleni kwa mfano mwanafunzi atakapopata ajali kwa dharura na hakuna hospitali karibu, huchukua muda mfupi sana kwa mgonjwa kupata matibabu. Runinga inwasaidia wanafunzi kuwa wachangamfu kutokana na kazi za hapa na hapa shuleni. Huwaburudisha wanafunzi na kuondoa zile fikra mbaya ambazo zinaweza kuwaathiri. Inawasaidia wanafunzi kujua mambo tofauti tofauti nchini mwetu. Simu hutumiwa na wanafunzi kuongea na wazazi wao. Hutumiwa kutuma ujumbe fulani kwa wazazi au watu kutoka sehemu mbalimbali. Tarakilishi huwa na madhara mengi sana. Mara nyingi wazazi hawapati ujumbe wowote utakao toka shuleni. Wakati mwingine, jumbe hutumwa na kuwafikia watu waasiofaa au wasiohusika na jumbe hizo. Umeme nao unaathiri sana wanafunzi. Kunao wanafunzi wengi ambao wana shida za macho. Wanafunzi hawa wakati mwingi hulalamikia mwangaza mwingi. Matumizi ya simu kwa wanafunzi huwa na madhara mengi sana. Wanafunzi wengi wanadanganya walimu kwamba wanataka kuzungumza na wazazi wao lakini badala ya kuwapigia wazazi wao huwa wanaongea na rafiki zao mambo mengine tofauti. Hili husababisha wanafunzi kutoroka shuleni na hata kupata mimba za mapema. Usafiri wa kila siku kwenda shule huwafanya wanafunzi kuanguka mtihani kwani wao hutumia muda muda mwingi wakisafiri kwenda shule.
Kwa nini mtu humaliza hela alizonazo
{ "text": [ "Kwa kuwa na ATM" ] }
3110_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa watu waliosikia yale wanafunzwa na wakubwa wao, wale waliowazidi maarifa hufikwa na matatizo. Methali hii huwasihi watu kutilia maanani ushauri wa wazazi wao au waliowazidi maarifa. Methali hii ina maana sawa na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wale wasiofwata maagizo na ushauri wa wavyele huwa hawana chao bali huyaona makuu. Watu huachiwa dunia iwafunze somo na dunia ni mti mkavu ukiegemea unavunjika. Wao hupata taabu maisha yao yote mpaka watakapozingatia yale walioambiwa. Palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Shruti. Shruti alikuwa msichana mrembo kama mbega. Mungu alimuumba akaumbika. Alikuwa na macho ya gololi, meno meupe ya mchele yalibandike kwenye ufizi mweusi, alikuwa na ngozi yenye rangi ya maji ya kunde. Alikuwa msichana mwenye tabia nzuri, watu wote mtaani kwao walimsifia. Shule alikuwa akipita vizuri mitihani yake, walimu wake walimpenda sana. Kwa kweli, kizuri hupewa sifa! Marafiki zake walijivunia kuwa na rafiki kama yeye kwani aliwasaidia hata kwenye masomo. Yeye alikuwa na moyo safi na mweupe kama pamba. Yeye alikuwa mtoto wakujituma na mwenye bidii kwani mgagaa na upwa hali wali mkavu na anayechumia juani hulia kivulini naye alifaulu vizuri. Hawakukosea waliposema mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tabia ya Shruti ilianza kubadilika, watu walishangazwa sana na tabia yake. Haikuwa kawaida yake kujibu watu kwa ujeuri wala kuanguka shuleni. Walimu wake walilalamika kwa wazazi wake kuhusu tabia yake ngumu ya ujeuri na hata kutofanya kazi ya ziada. Shruti hakuwaheshimu wazazi wake kamwe, aliwajibu walipojaribu kumkanya. Wakati mwingine hakwenda shule, walimu walishangaa na kuwaarifu wazazi wake. Walipochunguza, walikuta kuwa alikua amajiunga na makundi ya kuuza na kutumia dawa za kulevya. Wazazi wake walisononeka sana. Wazazi wake walilia kwa uchungu na kumuuliza Mungu kwani walikosea wapi kwenye malezi yao. Shruti hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Siku hiyo, walipanga na rafiki zake kwenda Zanzibar kwa meli. Wazazi wake walimkanya lakini hakusikia. Shruti alikataa na akaamua kuchukua uamuzi wake na kwenda. Wazazi wake wakawa wamejawa na hofu tele, walimuomba Mungu apate kusafiri salama. Mara tu alipofika muda wa saa kumi na mbili, wazazi hawa wakiwa wamekaa sebuleni wakitazama runinga, waliona ajali ya meli imetokea na watu wote waliokuwa ndani ya chombo hicho waliaga dunia. Kwa kweli, asiyesikia la wavyele huona makuu na Shruti alipatwa na kifo ambacho hakuweza kukiepuka.
Nywele za Shruti zilikuwa zenye rangi gani
{ "text": [ "Nyeusi tititi" ] }
3110_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa watu waliosikia yale wanafunzwa na wakubwa wao, wale waliowazidi maarifa hufikwa na matatizo. Methali hii huwasihi watu kutilia maanani ushauri wa wazazi wao au waliowazidi maarifa. Methali hii ina maana sawa na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wale wasiofwata maagizo na ushauri wa wavyele huwa hawana chao bali huyaona makuu. Watu huachiwa dunia iwafunze somo na dunia ni mti mkavu ukiegemea unavunjika. Wao hupata taabu maisha yao yote mpaka watakapozingatia yale walioambiwa. Palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Shruti. Shruti alikuwa msichana mrembo kama mbega. Mungu alimuumba akaumbika. Alikuwa na macho ya gololi, meno meupe ya mchele yalibandike kwenye ufizi mweusi, alikuwa na ngozi yenye rangi ya maji ya kunde. Alikuwa msichana mwenye tabia nzuri, watu wote mtaani kwao walimsifia. Shule alikuwa akipita vizuri mitihani yake, walimu wake walimpenda sana. Kwa kweli, kizuri hupewa sifa! Marafiki zake walijivunia kuwa na rafiki kama yeye kwani aliwasaidia hata kwenye masomo. Yeye alikuwa na moyo safi na mweupe kama pamba. Yeye alikuwa mtoto wakujituma na mwenye bidii kwani mgagaa na upwa hali wali mkavu na anayechumia juani hulia kivulini naye alifaulu vizuri. Hawakukosea waliposema mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tabia ya Shruti ilianza kubadilika, watu walishangazwa sana na tabia yake. Haikuwa kawaida yake kujibu watu kwa ujeuri wala kuanguka shuleni. Walimu wake walilalamika kwa wazazi wake kuhusu tabia yake ngumu ya ujeuri na hata kutofanya kazi ya ziada. Shruti hakuwaheshimu wazazi wake kamwe, aliwajibu walipojaribu kumkanya. Wakati mwingine hakwenda shule, walimu walishangaa na kuwaarifu wazazi wake. Walipochunguza, walikuta kuwa alikua amajiunga na makundi ya kuuza na kutumia dawa za kulevya. Wazazi wake walisononeka sana. Wazazi wake walilia kwa uchungu na kumuuliza Mungu kwani walikosea wapi kwenye malezi yao. Shruti hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Siku hiyo, walipanga na rafiki zake kwenda Zanzibar kwa meli. Wazazi wake walimkanya lakini hakusikia. Shruti alikataa na akaamua kuchukua uamuzi wake na kwenda. Wazazi wake wakawa wamejawa na hofu tele, walimuomba Mungu apate kusafiri salama. Mara tu alipofika muda wa saa kumi na mbili, wazazi hawa wakiwa wamekaa sebuleni wakitazama runinga, waliona ajali ya meli imetokea na watu wote waliokuwa ndani ya chombo hicho waliaga dunia. Kwa kweli, asiyesikia la wavyele huona makuu na Shruti alipatwa na kifo ambacho hakuweza kukiepuka.
Shruti alikuwa na moyo upi
{ "text": [ "Msafi na mweupe kama pamba" ] }
3110_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa watu waliosikia yale wanafunzwa na wakubwa wao, wale waliowazidi maarifa hufikwa na matatizo. Methali hii huwasihi watu kutilia maanani ushauri wa wazazi wao au waliowazidi maarifa. Methali hii ina maana sawa na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wale wasiofwata maagizo na ushauri wa wavyele huwa hawana chao bali huyaona makuu. Watu huachiwa dunia iwafunze somo na dunia ni mti mkavu ukiegemea unavunjika. Wao hupata taabu maisha yao yote mpaka watakapozingatia yale walioambiwa. Palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Shruti. Shruti alikuwa msichana mrembo kama mbega. Mungu alimuumba akaumbika. Alikuwa na macho ya gololi, meno meupe ya mchele yalibandike kwenye ufizi mweusi, alikuwa na ngozi yenye rangi ya maji ya kunde. Alikuwa msichana mwenye tabia nzuri, watu wote mtaani kwao walimsifia. Shule alikuwa akipita vizuri mitihani yake, walimu wake walimpenda sana. Kwa kweli, kizuri hupewa sifa! Marafiki zake walijivunia kuwa na rafiki kama yeye kwani aliwasaidia hata kwenye masomo. Yeye alikuwa na moyo safi na mweupe kama pamba. Yeye alikuwa mtoto wakujituma na mwenye bidii kwani mgagaa na upwa hali wali mkavu na anayechumia juani hulia kivulini naye alifaulu vizuri. Hawakukosea waliposema mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tabia ya Shruti ilianza kubadilika, watu walishangazwa sana na tabia yake. Haikuwa kawaida yake kujibu watu kwa ujeuri wala kuanguka shuleni. Walimu wake walilalamika kwa wazazi wake kuhusu tabia yake ngumu ya ujeuri na hata kutofanya kazi ya ziada. Shruti hakuwaheshimu wazazi wake kamwe, aliwajibu walipojaribu kumkanya. Wakati mwingine hakwenda shule, walimu walishangaa na kuwaarifu wazazi wake. Walipochunguza, walikuta kuwa alikua amajiunga na makundi ya kuuza na kutumia dawa za kulevya. Wazazi wake walisononeka sana. Wazazi wake walilia kwa uchungu na kumuuliza Mungu kwani walikosea wapi kwenye malezi yao. Shruti hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Siku hiyo, walipanga na rafiki zake kwenda Zanzibar kwa meli. Wazazi wake walimkanya lakini hakusikia. Shruti alikataa na akaamua kuchukua uamuzi wake na kwenda. Wazazi wake wakawa wamejawa na hofu tele, walimuomba Mungu apate kusafiri salama. Mara tu alipofika muda wa saa kumi na mbili, wazazi hawa wakiwa wamekaa sebuleni wakitazama runinga, waliona ajali ya meli imetokea na watu wote waliokuwa ndani ya chombo hicho waliaga dunia. Kwa kweli, asiyesikia la wavyele huona makuu na Shruti alipatwa na kifo ambacho hakuweza kukiepuka.
Walimu walilalamika kuwa Shruti alikuwa na tabia gani
{ "text": [ "Ngumu ya ujeuri" ] }
3110_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa watu waliosikia yale wanafunzwa na wakubwa wao, wale waliowazidi maarifa hufikwa na matatizo. Methali hii huwasihi watu kutilia maanani ushauri wa wazazi wao au waliowazidi maarifa. Methali hii ina maana sawa na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wale wasiofwata maagizo na ushauri wa wavyele huwa hawana chao bali huyaona makuu. Watu huachiwa dunia iwafunze somo na dunia ni mti mkavu ukiegemea unavunjika. Wao hupata taabu maisha yao yote mpaka watakapozingatia yale walioambiwa. Palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Shruti. Shruti alikuwa msichana mrembo kama mbega. Mungu alimuumba akaumbika. Alikuwa na macho ya gololi, meno meupe ya mchele yalibandike kwenye ufizi mweusi, alikuwa na ngozi yenye rangi ya maji ya kunde. Alikuwa msichana mwenye tabia nzuri, watu wote mtaani kwao walimsifia. Shule alikuwa akipita vizuri mitihani yake, walimu wake walimpenda sana. Kwa kweli, kizuri hupewa sifa! Marafiki zake walijivunia kuwa na rafiki kama yeye kwani aliwasaidia hata kwenye masomo. Yeye alikuwa na moyo safi na mweupe kama pamba. Yeye alikuwa mtoto wakujituma na mwenye bidii kwani mgagaa na upwa hali wali mkavu na anayechumia juani hulia kivulini naye alifaulu vizuri. Hawakukosea waliposema mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tabia ya Shruti ilianza kubadilika, watu walishangazwa sana na tabia yake. Haikuwa kawaida yake kujibu watu kwa ujeuri wala kuanguka shuleni. Walimu wake walilalamika kwa wazazi wake kuhusu tabia yake ngumu ya ujeuri na hata kutofanya kazi ya ziada. Shruti hakuwaheshimu wazazi wake kamwe, aliwajibu walipojaribu kumkanya. Wakati mwingine hakwenda shule, walimu walishangaa na kuwaarifu wazazi wake. Walipochunguza, walikuta kuwa alikua amajiunga na makundi ya kuuza na kutumia dawa za kulevya. Wazazi wake walisononeka sana. Wazazi wake walilia kwa uchungu na kumuuliza Mungu kwani walikosea wapi kwenye malezi yao. Shruti hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Siku hiyo, walipanga na rafiki zake kwenda Zanzibar kwa meli. Wazazi wake walimkanya lakini hakusikia. Shruti alikataa na akaamua kuchukua uamuzi wake na kwenda. Wazazi wake wakawa wamejawa na hofu tele, walimuomba Mungu apate kusafiri salama. Mara tu alipofika muda wa saa kumi na mbili, wazazi hawa wakiwa wamekaa sebuleni wakitazama runinga, waliona ajali ya meli imetokea na watu wote waliokuwa ndani ya chombo hicho waliaga dunia. Kwa kweli, asiyesikia la wavyele huona makuu na Shruti alipatwa na kifo ambacho hakuweza kukiepuka.
Shruti alipokosa kufika shuleni njiani alijiunga na makundi gani
{ "text": [ "Makundi ya uuzaji na utumiaji wa dawa za kulevya" ] }
3110_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa watu waliosikia yale wanafunzwa na wakubwa wao, wale waliowazidi maarifa hufikwa na matatizo. Methali hii huwasihi watu kutilia maanani ushauri wa wazazi wao au waliowazidi maarifa. Methali hii ina maana sawa na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wale wasiofwata maagizo na ushauri wa wavyele huwa hawana chao bali huyaona makuu. Watu huachiwa dunia iwafunze somo na dunia ni mti mkavu ukiegemea unavunjika. Wao hupata taabu maisha yao yote mpaka watakapozingatia yale walioambiwa. Palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Shruti. Shruti alikuwa msichana mrembo kama mbega. Mungu alimuumba akaumbika. Alikuwa na macho ya gololi, meno meupe ya mchele yalibandike kwenye ufizi mweusi, alikuwa na ngozi yenye rangi ya maji ya kunde. Alikuwa msichana mwenye tabia nzuri, watu wote mtaani kwao walimsifia. Shule alikuwa akipita vizuri mitihani yake, walimu wake walimpenda sana. Kwa kweli, kizuri hupewa sifa! Marafiki zake walijivunia kuwa na rafiki kama yeye kwani aliwasaidia hata kwenye masomo. Yeye alikuwa na moyo safi na mweupe kama pamba. Yeye alikuwa mtoto wakujituma na mwenye bidii kwani mgagaa na upwa hali wali mkavu na anayechumia juani hulia kivulini naye alifaulu vizuri. Hawakukosea waliposema mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tabia ya Shruti ilianza kubadilika, watu walishangazwa sana na tabia yake. Haikuwa kawaida yake kujibu watu kwa ujeuri wala kuanguka shuleni. Walimu wake walilalamika kwa wazazi wake kuhusu tabia yake ngumu ya ujeuri na hata kutofanya kazi ya ziada. Shruti hakuwaheshimu wazazi wake kamwe, aliwajibu walipojaribu kumkanya. Wakati mwingine hakwenda shule, walimu walishangaa na kuwaarifu wazazi wake. Walipochunguza, walikuta kuwa alikua amajiunga na makundi ya kuuza na kutumia dawa za kulevya. Wazazi wake walisononeka sana. Wazazi wake walilia kwa uchungu na kumuuliza Mungu kwani walikosea wapi kwenye malezi yao. Shruti hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Siku hiyo, walipanga na rafiki zake kwenda Zanzibar kwa meli. Wazazi wake walimkanya lakini hakusikia. Shruti alikataa na akaamua kuchukua uamuzi wake na kwenda. Wazazi wake wakawa wamejawa na hofu tele, walimuomba Mungu apate kusafiri salama. Mara tu alipofika muda wa saa kumi na mbili, wazazi hawa wakiwa wamekaa sebuleni wakitazama runinga, waliona ajali ya meli imetokea na watu wote waliokuwa ndani ya chombo hicho waliaga dunia. Kwa kweli, asiyesikia la wavyele huona makuu na Shruti alipatwa na kifo ambacho hakuweza kukiepuka.
Shruti alikumbana na kifo akiwa katika chombo kipi cha usafiri
{ "text": [ "Meli" ] }
3111_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hisabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zina nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapotafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hisabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Ni nini huhifadhi ujumbe muhimu
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3111_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hisabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zina nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapotafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hisabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Shule nyingi hutumia umeme kupata nini
{ "text": [ "Mwangaza" ] }
3111_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hisabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zina nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapotafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hisabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Wanafunzi wanatumia nini kupata masomo popote
{ "text": [ "Simu" ] }
3111_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hisabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zina nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapotafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hisabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Nani hutumia simu kuangalia picha mbaya
{ "text": [ "Wanafunzi" ] }
3111_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hisabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zina nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapotafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hisabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Ni nini wajibu wa wazazi
{ "text": [ "Kujua watoto wanafanya kwa simu" ] }
3112_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Kauli hii hutumiwa kwa wale wasiosikiliza wakionywa ili kurekebisha mienendo yao. Ni dhahiri shairi kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu kwani waliotuzidi maarifa au umri wameona mengi na wanajua madhara ya mambo mengi tunayoyafanya. Hapo kale palikua na binti mmoja aliyeitwa Chaurembo, binti huyo alikuwa mrembo kama jina lake linavyosema. Wengi walimsifu kwa uzuri wake, wengine walisema kuwa Mungu alichukua muda kumuumba, tena kwa umakini. Rangi yake kama maji ya kunde ilingaa, umbo lake la kupendeza na sauti yake ya upole. Binti huyu aliishi na wazazi wake akiwa tegemeo kwao. Aliwasaidia na kutia bidii sana masomoni. Alipofikia darasa la saba, hulka zake zilianza kubadilika, alionekana mwenye kujua mengi katika maisha. Alianza kujiunga na makundi ya wasichana ambao tabia zao hazikupendeza yeyote kamwe. Tabia za kwenda ngoma wakati wa usiku bila ruhusa ya mzazi. Wazazi wake hawakuchelewa kumrekebisha kwani walijua fika kwamba samaki mkunje angali mbichi. Chaurembo aliamua kuyatupilia mbali masomo na kuishi maisha yasiyompendeza mja yeyote. Wazazi wake waliamua kukata tamaa kwani wahenga hawakukosea waliposema hakuna refu lisilokuwa na mwisho. Wazazi wake walijipa moyo wakisema maneno haya. Ama kweli, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Sijui niseme uzuri wake ndio ulimfanya kufanya haya yote, alijiona mzuri kuliko kila mtu. Chaurembo alijihusisha na mahusiano yasiokuwa na msingi wowote. Ilikua ni sikitiko kwa kila mtu. Baada ya miezi kadhaa, Chaurembo alionekana amenyamaza sana, alikuwa anaugua magonjwa mbalimbali. Wazazi wake walimpeleka hospitali ili apate matibabu. Daktari alipompima, alipatikana kuwa na ugonjwa wa ukimwi pamoja na ujauzito. Mama yake alimtazama kwa huzuni mwana wake. Daktari aliamua kuwashauri, lakini ushauri wake ungesaidia nini? Maji yakimwagika hayazoleki. Chaurembo alitamani dunia ipasuke immeze mzima. Alikumbuka ushauri wote ambao alipewa lakini akapuuza. Alikumbuka methali ambayo mama yake alikuwa akimwambia kila wakati, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ulimwengu ulikuwa umemfunza funzo kubwa sana.
Chaurembo alikua wa jinsia ipi?
{ "text": [ "Kike" ] }
3112_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Kauli hii hutumiwa kwa wale wasiosikiliza wakionywa ili kurekebisha mienendo yao. Ni dhahiri shairi kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu kwani waliotuzidi maarifa au umri wameona mengi na wanajua madhara ya mambo mengi tunayoyafanya. Hapo kale palikua na binti mmoja aliyeitwa Chaurembo, binti huyo alikuwa mrembo kama jina lake linavyosema. Wengi walimsifu kwa uzuri wake, wengine walisema kuwa Mungu alichukua muda kumuumba, tena kwa umakini. Rangi yake kama maji ya kunde ilingaa, umbo lake la kupendeza na sauti yake ya upole. Binti huyu aliishi na wazazi wake akiwa tegemeo kwao. Aliwasaidia na kutia bidii sana masomoni. Alipofikia darasa la saba, hulka zake zilianza kubadilika, alionekana mwenye kujua mengi katika maisha. Alianza kujiunga na makundi ya wasichana ambao tabia zao hazikupendeza yeyote kamwe. Tabia za kwenda ngoma wakati wa usiku bila ruhusa ya mzazi. Wazazi wake hawakuchelewa kumrekebisha kwani walijua fika kwamba samaki mkunje angali mbichi. Chaurembo aliamua kuyatupilia mbali masomo na kuishi maisha yasiyompendeza mja yeyote. Wazazi wake waliamua kukata tamaa kwani wahenga hawakukosea waliposema hakuna refu lisilokuwa na mwisho. Wazazi wake walijipa moyo wakisema maneno haya. Ama kweli, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Sijui niseme uzuri wake ndio ulimfanya kufanya haya yote, alijiona mzuri kuliko kila mtu. Chaurembo alijihusisha na mahusiano yasiokuwa na msingi wowote. Ilikua ni sikitiko kwa kila mtu. Baada ya miezi kadhaa, Chaurembo alionekana amenyamaza sana, alikuwa anaugua magonjwa mbalimbali. Wazazi wake walimpeleka hospitali ili apate matibabu. Daktari alipompima, alipatikana kuwa na ugonjwa wa ukimwi pamoja na ujauzito. Mama yake alimtazama kwa huzuni mwana wake. Daktari aliamua kuwashauri, lakini ushauri wake ungesaidia nini? Maji yakimwagika hayazoleki. Chaurembo alitamani dunia ipasuke immeze mzima. Alikumbuka ushauri wote ambao alipewa lakini akapuuza. Alikumbuka methali ambayo mama yake alikuwa akimwambia kila wakati, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ulimwengu ulikuwa umemfunza funzo kubwa sana.
Sauti yake Chaurembo ilikua ya aina gani?
{ "text": [ "Ya upole" ] }
3112_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Kauli hii hutumiwa kwa wale wasiosikiliza wakionywa ili kurekebisha mienendo yao. Ni dhahiri shairi kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu kwani waliotuzidi maarifa au umri wameona mengi na wanajua madhara ya mambo mengi tunayoyafanya. Hapo kale palikua na binti mmoja aliyeitwa Chaurembo, binti huyo alikuwa mrembo kama jina lake linavyosema. Wengi walimsifu kwa uzuri wake, wengine walisema kuwa Mungu alichukua muda kumuumba, tena kwa umakini. Rangi yake kama maji ya kunde ilingaa, umbo lake la kupendeza na sauti yake ya upole. Binti huyu aliishi na wazazi wake akiwa tegemeo kwao. Aliwasaidia na kutia bidii sana masomoni. Alipofikia darasa la saba, hulka zake zilianza kubadilika, alionekana mwenye kujua mengi katika maisha. Alianza kujiunga na makundi ya wasichana ambao tabia zao hazikupendeza yeyote kamwe. Tabia za kwenda ngoma wakati wa usiku bila ruhusa ya mzazi. Wazazi wake hawakuchelewa kumrekebisha kwani walijua fika kwamba samaki mkunje angali mbichi. Chaurembo aliamua kuyatupilia mbali masomo na kuishi maisha yasiyompendeza mja yeyote. Wazazi wake waliamua kukata tamaa kwani wahenga hawakukosea waliposema hakuna refu lisilokuwa na mwisho. Wazazi wake walijipa moyo wakisema maneno haya. Ama kweli, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Sijui niseme uzuri wake ndio ulimfanya kufanya haya yote, alijiona mzuri kuliko kila mtu. Chaurembo alijihusisha na mahusiano yasiokuwa na msingi wowote. Ilikua ni sikitiko kwa kila mtu. Baada ya miezi kadhaa, Chaurembo alionekana amenyamaza sana, alikuwa anaugua magonjwa mbalimbali. Wazazi wake walimpeleka hospitali ili apate matibabu. Daktari alipompima, alipatikana kuwa na ugonjwa wa ukimwi pamoja na ujauzito. Mama yake alimtazama kwa huzuni mwana wake. Daktari aliamua kuwashauri, lakini ushauri wake ungesaidia nini? Maji yakimwagika hayazoleki. Chaurembo alitamani dunia ipasuke immeze mzima. Alikumbuka ushauri wote ambao alipewa lakini akapuuza. Alikumbuka methali ambayo mama yake alikuwa akimwambia kila wakati, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ulimwengu ulikuwa umemfunza funzo kubwa sana.
Chaurembo alienda kusakata nini wakati wa usiku?
{ "text": [ "Ngoma" ] }
3112_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Kauli hii hutumiwa kwa wale wasiosikiliza wakionywa ili kurekebisha mienendo yao. Ni dhahiri shairi kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu kwani waliotuzidi maarifa au umri wameona mengi na wanajua madhara ya mambo mengi tunayoyafanya. Hapo kale palikua na binti mmoja aliyeitwa Chaurembo, binti huyo alikuwa mrembo kama jina lake linavyosema. Wengi walimsifu kwa uzuri wake, wengine walisema kuwa Mungu alichukua muda kumuumba, tena kwa umakini. Rangi yake kama maji ya kunde ilingaa, umbo lake la kupendeza na sauti yake ya upole. Binti huyu aliishi na wazazi wake akiwa tegemeo kwao. Aliwasaidia na kutia bidii sana masomoni. Alipofikia darasa la saba, hulka zake zilianza kubadilika, alionekana mwenye kujua mengi katika maisha. Alianza kujiunga na makundi ya wasichana ambao tabia zao hazikupendeza yeyote kamwe. Tabia za kwenda ngoma wakati wa usiku bila ruhusa ya mzazi. Wazazi wake hawakuchelewa kumrekebisha kwani walijua fika kwamba samaki mkunje angali mbichi. Chaurembo aliamua kuyatupilia mbali masomo na kuishi maisha yasiyompendeza mja yeyote. Wazazi wake waliamua kukata tamaa kwani wahenga hawakukosea waliposema hakuna refu lisilokuwa na mwisho. Wazazi wake walijipa moyo wakisema maneno haya. Ama kweli, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Sijui niseme uzuri wake ndio ulimfanya kufanya haya yote, alijiona mzuri kuliko kila mtu. Chaurembo alijihusisha na mahusiano yasiokuwa na msingi wowote. Ilikua ni sikitiko kwa kila mtu. Baada ya miezi kadhaa, Chaurembo alionekana amenyamaza sana, alikuwa anaugua magonjwa mbalimbali. Wazazi wake walimpeleka hospitali ili apate matibabu. Daktari alipompima, alipatikana kuwa na ugonjwa wa ukimwi pamoja na ujauzito. Mama yake alimtazama kwa huzuni mwana wake. Daktari aliamua kuwashauri, lakini ushauri wake ungesaidia nini? Maji yakimwagika hayazoleki. Chaurembo alitamani dunia ipasuke immeze mzima. Alikumbuka ushauri wote ambao alipewa lakini akapuuza. Alikumbuka methali ambayo mama yake alikuwa akimwambia kila wakati, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ulimwengu ulikuwa umemfunza funzo kubwa sana.
Samaki mkunje ikiwa katika hali gani?
{ "text": [ "Mbichi" ] }
3112_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Kauli hii hutumiwa kwa wale wasiosikiliza wakionywa ili kurekebisha mienendo yao. Ni dhahiri shairi kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu kwani waliotuzidi maarifa au umri wameona mengi na wanajua madhara ya mambo mengi tunayoyafanya. Hapo kale palikua na binti mmoja aliyeitwa Chaurembo, binti huyo alikuwa mrembo kama jina lake linavyosema. Wengi walimsifu kwa uzuri wake, wengine walisema kuwa Mungu alichukua muda kumuumba, tena kwa umakini. Rangi yake kama maji ya kunde ilingaa, umbo lake la kupendeza na sauti yake ya upole. Binti huyu aliishi na wazazi wake akiwa tegemeo kwao. Aliwasaidia na kutia bidii sana masomoni. Alipofikia darasa la saba, hulka zake zilianza kubadilika, alionekana mwenye kujua mengi katika maisha. Alianza kujiunga na makundi ya wasichana ambao tabia zao hazikupendeza yeyote kamwe. Tabia za kwenda ngoma wakati wa usiku bila ruhusa ya mzazi. Wazazi wake hawakuchelewa kumrekebisha kwani walijua fika kwamba samaki mkunje angali mbichi. Chaurembo aliamua kuyatupilia mbali masomo na kuishi maisha yasiyompendeza mja yeyote. Wazazi wake waliamua kukata tamaa kwani wahenga hawakukosea waliposema hakuna refu lisilokuwa na mwisho. Wazazi wake walijipa moyo wakisema maneno haya. Ama kweli, mgema akisifiwa, tembo hulitia maji. Sijui niseme uzuri wake ndio ulimfanya kufanya haya yote, alijiona mzuri kuliko kila mtu. Chaurembo alijihusisha na mahusiano yasiokuwa na msingi wowote. Ilikua ni sikitiko kwa kila mtu. Baada ya miezi kadhaa, Chaurembo alionekana amenyamaza sana, alikuwa anaugua magonjwa mbalimbali. Wazazi wake walimpeleka hospitali ili apate matibabu. Daktari alipompima, alipatikana kuwa na ugonjwa wa ukimwi pamoja na ujauzito. Mama yake alimtazama kwa huzuni mwana wake. Daktari aliamua kuwashauri, lakini ushauri wake ungesaidia nini? Maji yakimwagika hayazoleki. Chaurembo alitamani dunia ipasuke immeze mzima. Alikumbuka ushauri wote ambao alipewa lakini akapuuza. Alikumbuka methali ambayo mama yake alikuwa akimwambia kila wakati, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ulimwengu ulikuwa umemfunza funzo kubwa sana.
Wahenga hawakukosea waliposema nini?
{ "text": [ "Mtoto akililia wembe mpe" ] }
3113_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari vile vile pia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisabati. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kujifunza kutumia runinga na redio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasaidia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknolojia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika yao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchukuwa muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na redio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika nakala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Tekinolojia ni maarifa ya nini
{ "text": [ "Sayansi" ] }
3113_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari vile vile pia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisabati. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kujifunza kutumia runinga na redio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasaidia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknolojia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika yao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchukuwa muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na redio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika nakala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Wanafunzi wanatumia nini katika hisabati
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3113_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari vile vile pia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisabati. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kujifunza kutumia runinga na redio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasaidia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknolojia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika yao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchukuwa muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na redio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika nakala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Ni nini imewasaidia wanafunzi kufanya utafiti
{ "text": [ "Simu" ] }
3113_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari vile vile pia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisabati. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kujifunza kutumia runinga na redio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasaidia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknolojia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika yao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchukuwa muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na redio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika nakala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Ni nini imewaharibu wanafunzi macho
{ "text": [ "Runinga" ] }
3113_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari vile vile pia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisabati. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kujifunza kutumia runinga na redio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasaidia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknolojia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika yao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchukuwa muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na redio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika nakala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Kwa nini wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia
{ "text": [ "Kwa kutumia redio na televisheni" ] }
3114_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Hamida alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya ninja. Umbo lake zuri liliwavutia wengi. Uso wake ulikuwa uking'ara kama mbalamwezi. Licha ya umbo na uzuri wake, alikuwa msichana mwenye tabia nzuri. Wazazi wake walikuwa maskini hawakuwa na kazi wala bazi. Kazi yao ilikuwa ya kijungu jiko. Ilikuwa ni nadra kwa kina Hamida kuwaka moto. Hata hivyo, licha ya umasikini wao, walimfunza mtoto wao jinsi ya kuishi na watu kwa tabia nzuri. Shuleni, walimu na wanafunzi walimpenda Hamida. Alikuwa kidosho aliyekuwa akifanya bidii masomoni Alikuwa akiwasaidia wenzake wakiwa na shida nao wanafunzi walimpenda sana na kusaidiana naye. Hakusita kuwauliza walimu wake maswali alipokuwa na shida yoyote. Hamida alikuwa mfano mwema kwa jamii nzima. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga, mumunye huharibikia ukubwani. Hamida alipofika darasa la sita, mienendo yake ilibadilika ghafla. Alikuwa haambiliki hasemezeki. Alianza kuvuta mkia darasani. Hakuwasikiliza walimu walipomkanya. Hamida alishikana na kundi la wasichana waliokuwa na tabia mbaya. Hakuwa akiwaheshimu wazazi wake. Alikuwa akirudi nyumbani usiku huku akiwa amelewa. Hamida na wenzake walikuwa wakienda kwenye vilabu na kunywa vileo. Huko kwenye vilabu, walikuwa wanakunywa pombe na kulewa chakari. Mwishowe waliishia kufanya mapenzi na wanaume waliokuwa nao. Walimu walipoona maji yamezidi unga, waliona heri wawaite wazazi wa Hamida. Walipoitwa, walielezewa mambo anayofanya mwana wao. Wazazi wake walisema kuwa tabia hiyo pia waliona imechipuka kwa mwana wao. Wakaafikiana kuwa wamuite na wamuongeleshe. Hamida alipofika ofisini, hakuwasalimia hata waliokuwa mle ndani. Aliingia na kuketi bila hata ruhusa. Wazazi wake na walimu walibaki kuduwaa. Alikuwa Hamida mwingine si yule aliyekuwa na adabu na heshima. Alipoketi aliwaambia wazazi na walimu wake shida yao. Walikuwa hawana budi ila kusema. Wazazi wake walimeza mate machungu. Mwalimu mkuu alianza kumwelezea kilichofanya hadi akaitwa. Alimsikiliza kwa makini. Alipomaliza Hamida alitamka mbele ya wazazi wake na walimu kuwa wasifuatilie maisha yake, kila mtu apambane na hali yake. Machozi yaliwatiririka wazazi wake mara mbili mbili. Walihuzunika sana kuona jinsi mtoto wao alivyoharibika. Wote hawakuwa na budi ila kumwacha dunia imtawale. Kila mtu aliacha ulimwengu umfunze. Baada ya hayo yote Hamida alitoka ofisini na kwenda zake. Wazazi wake pia walitoka na kwenda manzilini kwao. Baada ya hapo, Hamida alienda kwao na kuchukua nguo zake na kusema kuwa anawaachia kinyumba chao kibovu na anaenda kuishi mjini raha mstarehe. Hamida pia aliacha kuenda shuleni. Alishikana na marafiki zake na hao wakaenda kuponda mali. Walipofika mjini, Hamida alipata mzee na kumwambia kuwa angependa awe mkewe. Kwa kuwa mzee alikuwa ana pesa marafiki zake walimwambia amkubalie. Naye hakusita, akamkubalia na kwenda kwake. Alipofika kwa mzee yule, alijiona yuko peponi. Nyumbani mle mlikuwa na kila kitu. Baada ya mwezi mmoja, mwanamume yule aliaga dunia. Hamida akabaki mjane. Mali ambayo alikuwa nayo mwanamume yule ilikuwa si ya halali. Wenye mali walijitokeza na kuchukua mali yao. Habiba alibaki akiwa hana mbele wala nyuma. Alipowapigia maswahiba wake aliwakosa. Hamida na alishikwa na ugonjwa. Hatimaye akaona heri aende hospitali . Alipofika hospitali daktari alimtibu na akapatikana alikuwa na ugonjwa hatari usio na tiba wa ukimwi. Kumbe yule mwanamume aliyekufa alikuwa anaugua ukimwi. Marafiki zake walikuwa wanalifahamu hilo lakini hawakumwambia. Hamida alijuta lakini majuto ni mjukuu huna baadae. Wahenga hawakukosea waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Baada ya kutoka hospitali, Hamida alirejea kwao. Wazazi wake walikua wameaga dunia. Hamida alikuwa amekonda kama sindano. Alikuwa na majonzi chungu nzima. Habiba alijuta kwa kuwasikiliza marafiki zake na kupuuza ushauri wa wavyele. Kwa sababu ya kudhoofika na kukosa chakula, Habiba alifuata njia iyo hiyo. Alifuata wazazi wake na mwanamume wake. Habiba aliaga dunia. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alikuwa msichana mrembo
{ "text": [ "Hamida" ] }
3114_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Hamida alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya ninja. Umbo lake zuri liliwavutia wengi. Uso wake ulikuwa uking'ara kama mbalamwezi. Licha ya umbo na uzuri wake, alikuwa msichana mwenye tabia nzuri. Wazazi wake walikuwa maskini hawakuwa na kazi wala bazi. Kazi yao ilikuwa ya kijungu jiko. Ilikuwa ni nadra kwa kina Hamida kuwaka moto. Hata hivyo, licha ya umasikini wao, walimfunza mtoto wao jinsi ya kuishi na watu kwa tabia nzuri. Shuleni, walimu na wanafunzi walimpenda Hamida. Alikuwa kidosho aliyekuwa akifanya bidii masomoni Alikuwa akiwasaidia wenzake wakiwa na shida nao wanafunzi walimpenda sana na kusaidiana naye. Hakusita kuwauliza walimu wake maswali alipokuwa na shida yoyote. Hamida alikuwa mfano mwema kwa jamii nzima. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga, mumunye huharibikia ukubwani. Hamida alipofika darasa la sita, mienendo yake ilibadilika ghafla. Alikuwa haambiliki hasemezeki. Alianza kuvuta mkia darasani. Hakuwasikiliza walimu walipomkanya. Hamida alishikana na kundi la wasichana waliokuwa na tabia mbaya. Hakuwa akiwaheshimu wazazi wake. Alikuwa akirudi nyumbani usiku huku akiwa amelewa. Hamida na wenzake walikuwa wakienda kwenye vilabu na kunywa vileo. Huko kwenye vilabu, walikuwa wanakunywa pombe na kulewa chakari. Mwishowe waliishia kufanya mapenzi na wanaume waliokuwa nao. Walimu walipoona maji yamezidi unga, waliona heri wawaite wazazi wa Hamida. Walipoitwa, walielezewa mambo anayofanya mwana wao. Wazazi wake walisema kuwa tabia hiyo pia waliona imechipuka kwa mwana wao. Wakaafikiana kuwa wamuite na wamuongeleshe. Hamida alipofika ofisini, hakuwasalimia hata waliokuwa mle ndani. Aliingia na kuketi bila hata ruhusa. Wazazi wake na walimu walibaki kuduwaa. Alikuwa Hamida mwingine si yule aliyekuwa na adabu na heshima. Alipoketi aliwaambia wazazi na walimu wake shida yao. Walikuwa hawana budi ila kusema. Wazazi wake walimeza mate machungu. Mwalimu mkuu alianza kumwelezea kilichofanya hadi akaitwa. Alimsikiliza kwa makini. Alipomaliza Hamida alitamka mbele ya wazazi wake na walimu kuwa wasifuatilie maisha yake, kila mtu apambane na hali yake. Machozi yaliwatiririka wazazi wake mara mbili mbili. Walihuzunika sana kuona jinsi mtoto wao alivyoharibika. Wote hawakuwa na budi ila kumwacha dunia imtawale. Kila mtu aliacha ulimwengu umfunze. Baada ya hayo yote Hamida alitoka ofisini na kwenda zake. Wazazi wake pia walitoka na kwenda manzilini kwao. Baada ya hapo, Hamida alienda kwao na kuchukua nguo zake na kusema kuwa anawaachia kinyumba chao kibovu na anaenda kuishi mjini raha mstarehe. Hamida pia aliacha kuenda shuleni. Alishikana na marafiki zake na hao wakaenda kuponda mali. Walipofika mjini, Hamida alipata mzee na kumwambia kuwa angependa awe mkewe. Kwa kuwa mzee alikuwa ana pesa marafiki zake walimwambia amkubalie. Naye hakusita, akamkubalia na kwenda kwake. Alipofika kwa mzee yule, alijiona yuko peponi. Nyumbani mle mlikuwa na kila kitu. Baada ya mwezi mmoja, mwanamume yule aliaga dunia. Hamida akabaki mjane. Mali ambayo alikuwa nayo mwanamume yule ilikuwa si ya halali. Wenye mali walijitokeza na kuchukua mali yao. Habiba alibaki akiwa hana mbele wala nyuma. Alipowapigia maswahiba wake aliwakosa. Hamida na alishikwa na ugonjwa. Hatimaye akaona heri aende hospitali . Alipofika hospitali daktari alimtibu na akapatikana alikuwa na ugonjwa hatari usio na tiba wa ukimwi. Kumbe yule mwanamume aliyekufa alikuwa anaugua ukimwi. Marafiki zake walikuwa wanalifahamu hilo lakini hawakumwambia. Hamida alijuta lakini majuto ni mjukuu huna baadae. Wahenga hawakukosea waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Baada ya kutoka hospitali, Hamida alirejea kwao. Wazazi wake walikua wameaga dunia. Hamida alikuwa amekonda kama sindano. Alikuwa na majonzi chungu nzima. Habiba alijuta kwa kuwasikiliza marafiki zake na kupuuza ushauri wa wavyele. Kwa sababu ya kudhoofika na kukosa chakula, Habiba alifuata njia iyo hiyo. Alifuata wazazi wake na mwanamume wake. Habiba aliaga dunia. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nini kiliwavutia watu wengi
{ "text": [ "Umbo lake zuri" ] }
3114_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Hamida alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya ninja. Umbo lake zuri liliwavutia wengi. Uso wake ulikuwa uking'ara kama mbalamwezi. Licha ya umbo na uzuri wake, alikuwa msichana mwenye tabia nzuri. Wazazi wake walikuwa maskini hawakuwa na kazi wala bazi. Kazi yao ilikuwa ya kijungu jiko. Ilikuwa ni nadra kwa kina Hamida kuwaka moto. Hata hivyo, licha ya umasikini wao, walimfunza mtoto wao jinsi ya kuishi na watu kwa tabia nzuri. Shuleni, walimu na wanafunzi walimpenda Hamida. Alikuwa kidosho aliyekuwa akifanya bidii masomoni Alikuwa akiwasaidia wenzake wakiwa na shida nao wanafunzi walimpenda sana na kusaidiana naye. Hakusita kuwauliza walimu wake maswali alipokuwa na shida yoyote. Hamida alikuwa mfano mwema kwa jamii nzima. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga, mumunye huharibikia ukubwani. Hamida alipofika darasa la sita, mienendo yake ilibadilika ghafla. Alikuwa haambiliki hasemezeki. Alianza kuvuta mkia darasani. Hakuwasikiliza walimu walipomkanya. Hamida alishikana na kundi la wasichana waliokuwa na tabia mbaya. Hakuwa akiwaheshimu wazazi wake. Alikuwa akirudi nyumbani usiku huku akiwa amelewa. Hamida na wenzake walikuwa wakienda kwenye vilabu na kunywa vileo. Huko kwenye vilabu, walikuwa wanakunywa pombe na kulewa chakari. Mwishowe waliishia kufanya mapenzi na wanaume waliokuwa nao. Walimu walipoona maji yamezidi unga, waliona heri wawaite wazazi wa Hamida. Walipoitwa, walielezewa mambo anayofanya mwana wao. Wazazi wake walisema kuwa tabia hiyo pia waliona imechipuka kwa mwana wao. Wakaafikiana kuwa wamuite na wamuongeleshe. Hamida alipofika ofisini, hakuwasalimia hata waliokuwa mle ndani. Aliingia na kuketi bila hata ruhusa. Wazazi wake na walimu walibaki kuduwaa. Alikuwa Hamida mwingine si yule aliyekuwa na adabu na heshima. Alipoketi aliwaambia wazazi na walimu wake shida yao. Walikuwa hawana budi ila kusema. Wazazi wake walimeza mate machungu. Mwalimu mkuu alianza kumwelezea kilichofanya hadi akaitwa. Alimsikiliza kwa makini. Alipomaliza Hamida alitamka mbele ya wazazi wake na walimu kuwa wasifuatilie maisha yake, kila mtu apambane na hali yake. Machozi yaliwatiririka wazazi wake mara mbili mbili. Walihuzunika sana kuona jinsi mtoto wao alivyoharibika. Wote hawakuwa na budi ila kumwacha dunia imtawale. Kila mtu aliacha ulimwengu umfunze. Baada ya hayo yote Hamida alitoka ofisini na kwenda zake. Wazazi wake pia walitoka na kwenda manzilini kwao. Baada ya hapo, Hamida alienda kwao na kuchukua nguo zake na kusema kuwa anawaachia kinyumba chao kibovu na anaenda kuishi mjini raha mstarehe. Hamida pia aliacha kuenda shuleni. Alishikana na marafiki zake na hao wakaenda kuponda mali. Walipofika mjini, Hamida alipata mzee na kumwambia kuwa angependa awe mkewe. Kwa kuwa mzee alikuwa ana pesa marafiki zake walimwambia amkubalie. Naye hakusita, akamkubalia na kwenda kwake. Alipofika kwa mzee yule, alijiona yuko peponi. Nyumbani mle mlikuwa na kila kitu. Baada ya mwezi mmoja, mwanamume yule aliaga dunia. Hamida akabaki mjane. Mali ambayo alikuwa nayo mwanamume yule ilikuwa si ya halali. Wenye mali walijitokeza na kuchukua mali yao. Habiba alibaki akiwa hana mbele wala nyuma. Alipowapigia maswahiba wake aliwakosa. Hamida na alishikwa na ugonjwa. Hatimaye akaona heri aende hospitali . Alipofika hospitali daktari alimtibu na akapatikana alikuwa na ugonjwa hatari usio na tiba wa ukimwi. Kumbe yule mwanamume aliyekufa alikuwa anaugua ukimwi. Marafiki zake walikuwa wanalifahamu hilo lakini hawakumwambia. Hamida alijuta lakini majuto ni mjukuu huna baadae. Wahenga hawakukosea waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Baada ya kutoka hospitali, Hamida alirejea kwao. Wazazi wake walikua wameaga dunia. Hamida alikuwa amekonda kama sindano. Alikuwa na majonzi chungu nzima. Habiba alijuta kwa kuwasikiliza marafiki zake na kupuuza ushauri wa wavyele. Kwa sababu ya kudhoofika na kukosa chakula, Habiba alifuata njia iyo hiyo. Alifuata wazazi wake na mwanamume wake. Habiba aliaga dunia. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ilikuwa nadra kwa kina Hamida kuwaka nini
{ "text": [ "Moto" ] }
3114_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Hamida alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya ninja. Umbo lake zuri liliwavutia wengi. Uso wake ulikuwa uking'ara kama mbalamwezi. Licha ya umbo na uzuri wake, alikuwa msichana mwenye tabia nzuri. Wazazi wake walikuwa maskini hawakuwa na kazi wala bazi. Kazi yao ilikuwa ya kijungu jiko. Ilikuwa ni nadra kwa kina Hamida kuwaka moto. Hata hivyo, licha ya umasikini wao, walimfunza mtoto wao jinsi ya kuishi na watu kwa tabia nzuri. Shuleni, walimu na wanafunzi walimpenda Hamida. Alikuwa kidosho aliyekuwa akifanya bidii masomoni Alikuwa akiwasaidia wenzake wakiwa na shida nao wanafunzi walimpenda sana na kusaidiana naye. Hakusita kuwauliza walimu wake maswali alipokuwa na shida yoyote. Hamida alikuwa mfano mwema kwa jamii nzima. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga, mumunye huharibikia ukubwani. Hamida alipofika darasa la sita, mienendo yake ilibadilika ghafla. Alikuwa haambiliki hasemezeki. Alianza kuvuta mkia darasani. Hakuwasikiliza walimu walipomkanya. Hamida alishikana na kundi la wasichana waliokuwa na tabia mbaya. Hakuwa akiwaheshimu wazazi wake. Alikuwa akirudi nyumbani usiku huku akiwa amelewa. Hamida na wenzake walikuwa wakienda kwenye vilabu na kunywa vileo. Huko kwenye vilabu, walikuwa wanakunywa pombe na kulewa chakari. Mwishowe waliishia kufanya mapenzi na wanaume waliokuwa nao. Walimu walipoona maji yamezidi unga, waliona heri wawaite wazazi wa Hamida. Walipoitwa, walielezewa mambo anayofanya mwana wao. Wazazi wake walisema kuwa tabia hiyo pia waliona imechipuka kwa mwana wao. Wakaafikiana kuwa wamuite na wamuongeleshe. Hamida alipofika ofisini, hakuwasalimia hata waliokuwa mle ndani. Aliingia na kuketi bila hata ruhusa. Wazazi wake na walimu walibaki kuduwaa. Alikuwa Hamida mwingine si yule aliyekuwa na adabu na heshima. Alipoketi aliwaambia wazazi na walimu wake shida yao. Walikuwa hawana budi ila kusema. Wazazi wake walimeza mate machungu. Mwalimu mkuu alianza kumwelezea kilichofanya hadi akaitwa. Alimsikiliza kwa makini. Alipomaliza Hamida alitamka mbele ya wazazi wake na walimu kuwa wasifuatilie maisha yake, kila mtu apambane na hali yake. Machozi yaliwatiririka wazazi wake mara mbili mbili. Walihuzunika sana kuona jinsi mtoto wao alivyoharibika. Wote hawakuwa na budi ila kumwacha dunia imtawale. Kila mtu aliacha ulimwengu umfunze. Baada ya hayo yote Hamida alitoka ofisini na kwenda zake. Wazazi wake pia walitoka na kwenda manzilini kwao. Baada ya hapo, Hamida alienda kwao na kuchukua nguo zake na kusema kuwa anawaachia kinyumba chao kibovu na anaenda kuishi mjini raha mstarehe. Hamida pia aliacha kuenda shuleni. Alishikana na marafiki zake na hao wakaenda kuponda mali. Walipofika mjini, Hamida alipata mzee na kumwambia kuwa angependa awe mkewe. Kwa kuwa mzee alikuwa ana pesa marafiki zake walimwambia amkubalie. Naye hakusita, akamkubalia na kwenda kwake. Alipofika kwa mzee yule, alijiona yuko peponi. Nyumbani mle mlikuwa na kila kitu. Baada ya mwezi mmoja, mwanamume yule aliaga dunia. Hamida akabaki mjane. Mali ambayo alikuwa nayo mwanamume yule ilikuwa si ya halali. Wenye mali walijitokeza na kuchukua mali yao. Habiba alibaki akiwa hana mbele wala nyuma. Alipowapigia maswahiba wake aliwakosa. Hamida na alishikwa na ugonjwa. Hatimaye akaona heri aende hospitali . Alipofika hospitali daktari alimtibu na akapatikana alikuwa na ugonjwa hatari usio na tiba wa ukimwi. Kumbe yule mwanamume aliyekufa alikuwa anaugua ukimwi. Marafiki zake walikuwa wanalifahamu hilo lakini hawakumwambia. Hamida alijuta lakini majuto ni mjukuu huna baadae. Wahenga hawakukosea waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Baada ya kutoka hospitali, Hamida alirejea kwao. Wazazi wake walikua wameaga dunia. Hamida alikuwa amekonda kama sindano. Alikuwa na majonzi chungu nzima. Habiba alijuta kwa kuwasikiliza marafiki zake na kupuuza ushauri wa wavyele. Kwa sababu ya kudhoofika na kukosa chakula, Habiba alifuata njia iyo hiyo. Alifuata wazazi wake na mwanamume wake. Habiba aliaga dunia. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hamida alikuwa nini kwa jamii nzima
{ "text": [ "Mfano mwema" ] }
3114_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Hamida alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya ninja. Umbo lake zuri liliwavutia wengi. Uso wake ulikuwa uking'ara kama mbalamwezi. Licha ya umbo na uzuri wake, alikuwa msichana mwenye tabia nzuri. Wazazi wake walikuwa maskini hawakuwa na kazi wala bazi. Kazi yao ilikuwa ya kijungu jiko. Ilikuwa ni nadra kwa kina Hamida kuwaka moto. Hata hivyo, licha ya umasikini wao, walimfunza mtoto wao jinsi ya kuishi na watu kwa tabia nzuri. Shuleni, walimu na wanafunzi walimpenda Hamida. Alikuwa kidosho aliyekuwa akifanya bidii masomoni Alikuwa akiwasaidia wenzake wakiwa na shida nao wanafunzi walimpenda sana na kusaidiana naye. Hakusita kuwauliza walimu wake maswali alipokuwa na shida yoyote. Hamida alikuwa mfano mwema kwa jamii nzima. Wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga, mumunye huharibikia ukubwani. Hamida alipofika darasa la sita, mienendo yake ilibadilika ghafla. Alikuwa haambiliki hasemezeki. Alianza kuvuta mkia darasani. Hakuwasikiliza walimu walipomkanya. Hamida alishikana na kundi la wasichana waliokuwa na tabia mbaya. Hakuwa akiwaheshimu wazazi wake. Alikuwa akirudi nyumbani usiku huku akiwa amelewa. Hamida na wenzake walikuwa wakienda kwenye vilabu na kunywa vileo. Huko kwenye vilabu, walikuwa wanakunywa pombe na kulewa chakari. Mwishowe waliishia kufanya mapenzi na wanaume waliokuwa nao. Walimu walipoona maji yamezidi unga, waliona heri wawaite wazazi wa Hamida. Walipoitwa, walielezewa mambo anayofanya mwana wao. Wazazi wake walisema kuwa tabia hiyo pia waliona imechipuka kwa mwana wao. Wakaafikiana kuwa wamuite na wamuongeleshe. Hamida alipofika ofisini, hakuwasalimia hata waliokuwa mle ndani. Aliingia na kuketi bila hata ruhusa. Wazazi wake na walimu walibaki kuduwaa. Alikuwa Hamida mwingine si yule aliyekuwa na adabu na heshima. Alipoketi aliwaambia wazazi na walimu wake shida yao. Walikuwa hawana budi ila kusema. Wazazi wake walimeza mate machungu. Mwalimu mkuu alianza kumwelezea kilichofanya hadi akaitwa. Alimsikiliza kwa makini. Alipomaliza Hamida alitamka mbele ya wazazi wake na walimu kuwa wasifuatilie maisha yake, kila mtu apambane na hali yake. Machozi yaliwatiririka wazazi wake mara mbili mbili. Walihuzunika sana kuona jinsi mtoto wao alivyoharibika. Wote hawakuwa na budi ila kumwacha dunia imtawale. Kila mtu aliacha ulimwengu umfunze. Baada ya hayo yote Hamida alitoka ofisini na kwenda zake. Wazazi wake pia walitoka na kwenda manzilini kwao. Baada ya hapo, Hamida alienda kwao na kuchukua nguo zake na kusema kuwa anawaachia kinyumba chao kibovu na anaenda kuishi mjini raha mstarehe. Hamida pia aliacha kuenda shuleni. Alishikana na marafiki zake na hao wakaenda kuponda mali. Walipofika mjini, Hamida alipata mzee na kumwambia kuwa angependa awe mkewe. Kwa kuwa mzee alikuwa ana pesa marafiki zake walimwambia amkubalie. Naye hakusita, akamkubalia na kwenda kwake. Alipofika kwa mzee yule, alijiona yuko peponi. Nyumbani mle mlikuwa na kila kitu. Baada ya mwezi mmoja, mwanamume yule aliaga dunia. Hamida akabaki mjane. Mali ambayo alikuwa nayo mwanamume yule ilikuwa si ya halali. Wenye mali walijitokeza na kuchukua mali yao. Habiba alibaki akiwa hana mbele wala nyuma. Alipowapigia maswahiba wake aliwakosa. Hamida na alishikwa na ugonjwa. Hatimaye akaona heri aende hospitali . Alipofika hospitali daktari alimtibu na akapatikana alikuwa na ugonjwa hatari usio na tiba wa ukimwi. Kumbe yule mwanamume aliyekufa alikuwa anaugua ukimwi. Marafiki zake walikuwa wanalifahamu hilo lakini hawakumwambia. Hamida alijuta lakini majuto ni mjukuu huna baadae. Wahenga hawakukosea waliposema mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani. Baada ya kutoka hospitali, Hamida alirejea kwao. Wazazi wake walikua wameaga dunia. Hamida alikuwa amekonda kama sindano. Alikuwa na majonzi chungu nzima. Habiba alijuta kwa kuwasikiliza marafiki zake na kupuuza ushauri wa wavyele. Kwa sababu ya kudhoofika na kukosa chakula, Habiba alifuata njia iyo hiyo. Alifuata wazazi wake na mwanamume wake. Habiba aliaga dunia. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kwa nini alifuata njia iyo hiyo waliyofuata wazazi wake na mwanamume wake
{ "text": [ "Kwa sababu ya kudhoofika na kukosa chakula" ] }
3115_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi katika ufundi, mitambo au njia za mawasiliano. Kuna aina ainati za teknolojia kama vile tarakilishi, kikokotoo, runinga simu, redio na kadhalika. Vyombo hivi hutumiwa na watu mbalimbali kutegemea na matumizi yake. Aidha, kuna faida na madhara ya teknolojia si kwa jinsi inavyotumika. Tukiangazia kwenye faida za teknolojia, tunapata faida chekwa chekwa kutokana na mitambo hiyo. Faida ya kwanza, teknolojia husaidia kwenye elimu. Kwanza wanafunzi huweza kujisomea wenyewe wakiwa likizoni. Hivyo basi inawapelekea kudurusu masomo tofauti kupitia tarakilishi zao nyumbani. Wanafunzi wengine huweza kutumia simu katika kufanya kazi zao za ziada na kujikumbusha mengi ambayo hawana elimu nayo. Vilevile, uvumbuzi kama wa runinga umenufaisha wanafunzi wengi ambao kwao wanaweza kukimiliki kifaa hiki. Runinga huonyesha vipindi maalum vya kuelimisha ambapo wanafunzi wanaweza kufuatilia na kujijuza mengi. Wanafunzi wanaweza kuulizana maswali na kunakili yanayofundishwa kwenye tamthilia hiyo wanayoiangazia. Pili, uvumbuzi huu wa kisayansi umeweza kurahisisha mawasiliano baina ya wanafunzi. Endapo wanafunzi wanataka kufahamiana zaidi kuhusu hali zao nyumbani, kutaniana na kupiga soga, wanaweza kutumia simu ambazo huwawezesha kuwasiliana. Hata hivyo wanafunzi wanaweza kujiburudisha kupitia simu hizi kwa kusikiliza muziki, kutazama tamthilia tofauti, kutazama vichekesho ambavyo ndani yake mna mafunzo mengi kuhusiana na umri wao. Tamthilia hizo huwapelekea wanafunzi kupanuka kimawazo na kuiga mienendo tofauti tofauti. Tatu, sayansi hii imeweza kurahisisha taaluma za kazi katika shule. Walimu wanaweza kutumia simu au tarakilishi katika kupeana nakala zao za masomo kwa wanafunzi bila ya kuhangaika kuandika ubaoni. Vile vile, majibu ya wanafunzi yamerahisishwa kwani yamehifadhiwa kwenye tarakilishi na bila kutumia karatasi zaidi ya moja katika kunakili wanafunzi. Hata hivyo imewezesha katika kupanga ratiba ya masomo kwa wanafunzi. Mbali na faida za teknolojia, tunaweza tukapata madhara yake. Kwanza teknolojia imeleta uraibu miongoni mwa wanafunzi. Wanafunzi siku hizi wameathiriwa sana na utumizi wa mitambo hii. Wanafunzi wamejihusisha sana na utumizi wa simu, tarakilishi ambapo inapelekea kusahau masomo yao. Uraibu huu unawapelekea wanafunzi kuweza kubeba mitambo hii kama vile simu shuleni ili kujiendeleza na utumiaji wao. Hivyo basi wasaa mwingi wa kusoma wanautumia katika mitambo hii. Teknolojia huchangia katika kupelekea wanafunzi kuigiza tamthilia ambazo zina utovu wa nidhamu. Wanafunzi wameweza kujiingiza katika mitandao kama vile uso kitabu maarufu kama ‘Facebook’ na kuangazia humo kwenye mitandao hii. Wanafunzi hujikita na kuanza kuitumia pasi na ipasavyo. Pia wanafunzi wanatumia taslimu za pesa nyingi katika kufungulia mitandao hii na hivyo kuwasumbua wazazi wao kuwatumia pesa. Tatu, bila kusahau. teknolojia imewezesha wanafunzi kutazama tamthilia za anasa potovu ambazo huwalenga wanafunzi katika kujiingiza kwenye anasa hizo. Wanafunzi hujikita sana na anasa hizi pasi na kuzingatia masomo yao. Muda mwingi wanautumia katika mambo mabovu na yasiyo na maana. Naam, lau kama wanafunzi wataitumia mitambo hii kwa ufasaha, basi bila shaka wataweza kusonga mbele na kunufaika zaidi katika masomo yao.
kuna aina ngapi za teknolojia
{ "text": [ "ainati" ] }
3115_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi katika ufundi, mitambo au njia za mawasiliano. Kuna aina ainati za teknolojia kama vile tarakilishi, kikokotoo, runinga simu, redio na kadhalika. Vyombo hivi hutumiwa na watu mbalimbali kutegemea na matumizi yake. Aidha, kuna faida na madhara ya teknolojia si kwa jinsi inavyotumika. Tukiangazia kwenye faida za teknolojia, tunapata faida chekwa chekwa kutokana na mitambo hiyo. Faida ya kwanza, teknolojia husaidia kwenye elimu. Kwanza wanafunzi huweza kujisomea wenyewe wakiwa likizoni. Hivyo basi inawapelekea kudurusu masomo tofauti kupitia tarakilishi zao nyumbani. Wanafunzi wengine huweza kutumia simu katika kufanya kazi zao za ziada na kujikumbusha mengi ambayo hawana elimu nayo. Vilevile, uvumbuzi kama wa runinga umenufaisha wanafunzi wengi ambao kwao wanaweza kukimiliki kifaa hiki. Runinga huonyesha vipindi maalum vya kuelimisha ambapo wanafunzi wanaweza kufuatilia na kujijuza mengi. Wanafunzi wanaweza kuulizana maswali na kunakili yanayofundishwa kwenye tamthilia hiyo wanayoiangazia. Pili, uvumbuzi huu wa kisayansi umeweza kurahisisha mawasiliano baina ya wanafunzi. Endapo wanafunzi wanataka kufahamiana zaidi kuhusu hali zao nyumbani, kutaniana na kupiga soga, wanaweza kutumia simu ambazo huwawezesha kuwasiliana. Hata hivyo wanafunzi wanaweza kujiburudisha kupitia simu hizi kwa kusikiliza muziki, kutazama tamthilia tofauti, kutazama vichekesho ambavyo ndani yake mna mafunzo mengi kuhusiana na umri wao. Tamthilia hizo huwapelekea wanafunzi kupanuka kimawazo na kuiga mienendo tofauti tofauti. Tatu, sayansi hii imeweza kurahisisha taaluma za kazi katika shule. Walimu wanaweza kutumia simu au tarakilishi katika kupeana nakala zao za masomo kwa wanafunzi bila ya kuhangaika kuandika ubaoni. Vile vile, majibu ya wanafunzi yamerahisishwa kwani yamehifadhiwa kwenye tarakilishi na bila kutumia karatasi zaidi ya moja katika kunakili wanafunzi. Hata hivyo imewezesha katika kupanga ratiba ya masomo kwa wanafunzi. Mbali na faida za teknolojia, tunaweza tukapata madhara yake. Kwanza teknolojia imeleta uraibu miongoni mwa wanafunzi. Wanafunzi siku hizi wameathiriwa sana na utumizi wa mitambo hii. Wanafunzi wamejihusisha sana na utumizi wa simu, tarakilishi ambapo inapelekea kusahau masomo yao. Uraibu huu unawapelekea wanafunzi kuweza kubeba mitambo hii kama vile simu shuleni ili kujiendeleza na utumiaji wao. Hivyo basi wasaa mwingi wa kusoma wanautumia katika mitambo hii. Teknolojia huchangia katika kupelekea wanafunzi kuigiza tamthilia ambazo zina utovu wa nidhamu. Wanafunzi wameweza kujiingiza katika mitandao kama vile uso kitabu maarufu kama ‘Facebook’ na kuangazia humo kwenye mitandao hii. Wanafunzi hujikita na kuanza kuitumia pasi na ipasavyo. Pia wanafunzi wanatumia taslimu za pesa nyingi katika kufungulia mitandao hii na hivyo kuwasumbua wazazi wao kuwatumia pesa. Tatu, bila kusahau. teknolojia imewezesha wanafunzi kutazama tamthilia za anasa potovu ambazo huwalenga wanafunzi katika kujiingiza kwenye anasa hizo. Wanafunzi hujikita sana na anasa hizi pasi na kuzingatia masomo yao. Muda mwingi wanautumia katika mambo mabovu na yasiyo na maana. Naam, lau kama wanafunzi wataitumia mitambo hii kwa ufasaha, basi bila shaka wataweza kusonga mbele na kunufaika zaidi katika masomo yao.
Nani hujisomea wenyewe wakiwa likizoni
{ "text": [ "wanafunzi" ] }
3115_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi katika ufundi, mitambo au njia za mawasiliano. Kuna aina ainati za teknolojia kama vile tarakilishi, kikokotoo, runinga simu, redio na kadhalika. Vyombo hivi hutumiwa na watu mbalimbali kutegemea na matumizi yake. Aidha, kuna faida na madhara ya teknolojia si kwa jinsi inavyotumika. Tukiangazia kwenye faida za teknolojia, tunapata faida chekwa chekwa kutokana na mitambo hiyo. Faida ya kwanza, teknolojia husaidia kwenye elimu. Kwanza wanafunzi huweza kujisomea wenyewe wakiwa likizoni. Hivyo basi inawapelekea kudurusu masomo tofauti kupitia tarakilishi zao nyumbani. Wanafunzi wengine huweza kutumia simu katika kufanya kazi zao za ziada na kujikumbusha mengi ambayo hawana elimu nayo. Vilevile, uvumbuzi kama wa runinga umenufaisha wanafunzi wengi ambao kwao wanaweza kukimiliki kifaa hiki. Runinga huonyesha vipindi maalum vya kuelimisha ambapo wanafunzi wanaweza kufuatilia na kujijuza mengi. Wanafunzi wanaweza kuulizana maswali na kunakili yanayofundishwa kwenye tamthilia hiyo wanayoiangazia. Pili, uvumbuzi huu wa kisayansi umeweza kurahisisha mawasiliano baina ya wanafunzi. Endapo wanafunzi wanataka kufahamiana zaidi kuhusu hali zao nyumbani, kutaniana na kupiga soga, wanaweza kutumia simu ambazo huwawezesha kuwasiliana. Hata hivyo wanafunzi wanaweza kujiburudisha kupitia simu hizi kwa kusikiliza muziki, kutazama tamthilia tofauti, kutazama vichekesho ambavyo ndani yake mna mafunzo mengi kuhusiana na umri wao. Tamthilia hizo huwapelekea wanafunzi kupanuka kimawazo na kuiga mienendo tofauti tofauti. Tatu, sayansi hii imeweza kurahisisha taaluma za kazi katika shule. Walimu wanaweza kutumia simu au tarakilishi katika kupeana nakala zao za masomo kwa wanafunzi bila ya kuhangaika kuandika ubaoni. Vile vile, majibu ya wanafunzi yamerahisishwa kwani yamehifadhiwa kwenye tarakilishi na bila kutumia karatasi zaidi ya moja katika kunakili wanafunzi. Hata hivyo imewezesha katika kupanga ratiba ya masomo kwa wanafunzi. Mbali na faida za teknolojia, tunaweza tukapata madhara yake. Kwanza teknolojia imeleta uraibu miongoni mwa wanafunzi. Wanafunzi siku hizi wameathiriwa sana na utumizi wa mitambo hii. Wanafunzi wamejihusisha sana na utumizi wa simu, tarakilishi ambapo inapelekea kusahau masomo yao. Uraibu huu unawapelekea wanafunzi kuweza kubeba mitambo hii kama vile simu shuleni ili kujiendeleza na utumiaji wao. Hivyo basi wasaa mwingi wa kusoma wanautumia katika mitambo hii. Teknolojia huchangia katika kupelekea wanafunzi kuigiza tamthilia ambazo zina utovu wa nidhamu. Wanafunzi wameweza kujiingiza katika mitandao kama vile uso kitabu maarufu kama ‘Facebook’ na kuangazia humo kwenye mitandao hii. Wanafunzi hujikita na kuanza kuitumia pasi na ipasavyo. Pia wanafunzi wanatumia taslimu za pesa nyingi katika kufungulia mitandao hii na hivyo kuwasumbua wazazi wao kuwatumia pesa. Tatu, bila kusahau. teknolojia imewezesha wanafunzi kutazama tamthilia za anasa potovu ambazo huwalenga wanafunzi katika kujiingiza kwenye anasa hizo. Wanafunzi hujikita sana na anasa hizi pasi na kuzingatia masomo yao. Muda mwingi wanautumia katika mambo mabovu na yasiyo na maana. Naam, lau kama wanafunzi wataitumia mitambo hii kwa ufasaha, basi bila shaka wataweza kusonga mbele na kunufaika zaidi katika masomo yao.
Wanafunzi hutumia nini kudurusu masomo wakiwa nyumbani
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3115_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi katika ufundi, mitambo au njia za mawasiliano. Kuna aina ainati za teknolojia kama vile tarakilishi, kikokotoo, runinga simu, redio na kadhalika. Vyombo hivi hutumiwa na watu mbalimbali kutegemea na matumizi yake. Aidha, kuna faida na madhara ya teknolojia si kwa jinsi inavyotumika. Tukiangazia kwenye faida za teknolojia, tunapata faida chekwa chekwa kutokana na mitambo hiyo. Faida ya kwanza, teknolojia husaidia kwenye elimu. Kwanza wanafunzi huweza kujisomea wenyewe wakiwa likizoni. Hivyo basi inawapelekea kudurusu masomo tofauti kupitia tarakilishi zao nyumbani. Wanafunzi wengine huweza kutumia simu katika kufanya kazi zao za ziada na kujikumbusha mengi ambayo hawana elimu nayo. Vilevile, uvumbuzi kama wa runinga umenufaisha wanafunzi wengi ambao kwao wanaweza kukimiliki kifaa hiki. Runinga huonyesha vipindi maalum vya kuelimisha ambapo wanafunzi wanaweza kufuatilia na kujijuza mengi. Wanafunzi wanaweza kuulizana maswali na kunakili yanayofundishwa kwenye tamthilia hiyo wanayoiangazia. Pili, uvumbuzi huu wa kisayansi umeweza kurahisisha mawasiliano baina ya wanafunzi. Endapo wanafunzi wanataka kufahamiana zaidi kuhusu hali zao nyumbani, kutaniana na kupiga soga, wanaweza kutumia simu ambazo huwawezesha kuwasiliana. Hata hivyo wanafunzi wanaweza kujiburudisha kupitia simu hizi kwa kusikiliza muziki, kutazama tamthilia tofauti, kutazama vichekesho ambavyo ndani yake mna mafunzo mengi kuhusiana na umri wao. Tamthilia hizo huwapelekea wanafunzi kupanuka kimawazo na kuiga mienendo tofauti tofauti. Tatu, sayansi hii imeweza kurahisisha taaluma za kazi katika shule. Walimu wanaweza kutumia simu au tarakilishi katika kupeana nakala zao za masomo kwa wanafunzi bila ya kuhangaika kuandika ubaoni. Vile vile, majibu ya wanafunzi yamerahisishwa kwani yamehifadhiwa kwenye tarakilishi na bila kutumia karatasi zaidi ya moja katika kunakili wanafunzi. Hata hivyo imewezesha katika kupanga ratiba ya masomo kwa wanafunzi. Mbali na faida za teknolojia, tunaweza tukapata madhara yake. Kwanza teknolojia imeleta uraibu miongoni mwa wanafunzi. Wanafunzi siku hizi wameathiriwa sana na utumizi wa mitambo hii. Wanafunzi wamejihusisha sana na utumizi wa simu, tarakilishi ambapo inapelekea kusahau masomo yao. Uraibu huu unawapelekea wanafunzi kuweza kubeba mitambo hii kama vile simu shuleni ili kujiendeleza na utumiaji wao. Hivyo basi wasaa mwingi wa kusoma wanautumia katika mitambo hii. Teknolojia huchangia katika kupelekea wanafunzi kuigiza tamthilia ambazo zina utovu wa nidhamu. Wanafunzi wameweza kujiingiza katika mitandao kama vile uso kitabu maarufu kama ‘Facebook’ na kuangazia humo kwenye mitandao hii. Wanafunzi hujikita na kuanza kuitumia pasi na ipasavyo. Pia wanafunzi wanatumia taslimu za pesa nyingi katika kufungulia mitandao hii na hivyo kuwasumbua wazazi wao kuwatumia pesa. Tatu, bila kusahau. teknolojia imewezesha wanafunzi kutazama tamthilia za anasa potovu ambazo huwalenga wanafunzi katika kujiingiza kwenye anasa hizo. Wanafunzi hujikita sana na anasa hizi pasi na kuzingatia masomo yao. Muda mwingi wanautumia katika mambo mabovu na yasiyo na maana. Naam, lau kama wanafunzi wataitumia mitambo hii kwa ufasaha, basi bila shaka wataweza kusonga mbele na kunufaika zaidi katika masomo yao.
Wanafunzi hutumia pesa ngapi mitandaoni
{ "text": [ "nyingi" ] }
3115_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi katika ufundi, mitambo au njia za mawasiliano. Kuna aina ainati za teknolojia kama vile tarakilishi, kikokotoo, runinga simu, redio na kadhalika. Vyombo hivi hutumiwa na watu mbalimbali kutegemea na matumizi yake. Aidha, kuna faida na madhara ya teknolojia si kwa jinsi inavyotumika. Tukiangazia kwenye faida za teknolojia, tunapata faida chekwa chekwa kutokana na mitambo hiyo. Faida ya kwanza, teknolojia husaidia kwenye elimu. Kwanza wanafunzi huweza kujisomea wenyewe wakiwa likizoni. Hivyo basi inawapelekea kudurusu masomo tofauti kupitia tarakilishi zao nyumbani. Wanafunzi wengine huweza kutumia simu katika kufanya kazi zao za ziada na kujikumbusha mengi ambayo hawana elimu nayo. Vilevile, uvumbuzi kama wa runinga umenufaisha wanafunzi wengi ambao kwao wanaweza kukimiliki kifaa hiki. Runinga huonyesha vipindi maalum vya kuelimisha ambapo wanafunzi wanaweza kufuatilia na kujijuza mengi. Wanafunzi wanaweza kuulizana maswali na kunakili yanayofundishwa kwenye tamthilia hiyo wanayoiangazia. Pili, uvumbuzi huu wa kisayansi umeweza kurahisisha mawasiliano baina ya wanafunzi. Endapo wanafunzi wanataka kufahamiana zaidi kuhusu hali zao nyumbani, kutaniana na kupiga soga, wanaweza kutumia simu ambazo huwawezesha kuwasiliana. Hata hivyo wanafunzi wanaweza kujiburudisha kupitia simu hizi kwa kusikiliza muziki, kutazama tamthilia tofauti, kutazama vichekesho ambavyo ndani yake mna mafunzo mengi kuhusiana na umri wao. Tamthilia hizo huwapelekea wanafunzi kupanuka kimawazo na kuiga mienendo tofauti tofauti. Tatu, sayansi hii imeweza kurahisisha taaluma za kazi katika shule. Walimu wanaweza kutumia simu au tarakilishi katika kupeana nakala zao za masomo kwa wanafunzi bila ya kuhangaika kuandika ubaoni. Vile vile, majibu ya wanafunzi yamerahisishwa kwani yamehifadhiwa kwenye tarakilishi na bila kutumia karatasi zaidi ya moja katika kunakili wanafunzi. Hata hivyo imewezesha katika kupanga ratiba ya masomo kwa wanafunzi. Mbali na faida za teknolojia, tunaweza tukapata madhara yake. Kwanza teknolojia imeleta uraibu miongoni mwa wanafunzi. Wanafunzi siku hizi wameathiriwa sana na utumizi wa mitambo hii. Wanafunzi wamejihusisha sana na utumizi wa simu, tarakilishi ambapo inapelekea kusahau masomo yao. Uraibu huu unawapelekea wanafunzi kuweza kubeba mitambo hii kama vile simu shuleni ili kujiendeleza na utumiaji wao. Hivyo basi wasaa mwingi wa kusoma wanautumia katika mitambo hii. Teknolojia huchangia katika kupelekea wanafunzi kuigiza tamthilia ambazo zina utovu wa nidhamu. Wanafunzi wameweza kujiingiza katika mitandao kama vile uso kitabu maarufu kama ‘Facebook’ na kuangazia humo kwenye mitandao hii. Wanafunzi hujikita na kuanza kuitumia pasi na ipasavyo. Pia wanafunzi wanatumia taslimu za pesa nyingi katika kufungulia mitandao hii na hivyo kuwasumbua wazazi wao kuwatumia pesa. Tatu, bila kusahau. teknolojia imewezesha wanafunzi kutazama tamthilia za anasa potovu ambazo huwalenga wanafunzi katika kujiingiza kwenye anasa hizo. Wanafunzi hujikita sana na anasa hizi pasi na kuzingatia masomo yao. Muda mwingi wanautumia katika mambo mabovu na yasiyo na maana. Naam, lau kama wanafunzi wataitumia mitambo hii kwa ufasaha, basi bila shaka wataweza kusonga mbele na kunufaika zaidi katika masomo yao.
Mbona wanafunzi hubeba simu shuleni
{ "text": [ "ili kujiendeleza na utumiaji wao" ] }
3116_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii ina maana kuwa mtu akidharau na kupuuza anayoambiwa na wavyele wake basi huenda akapata majuto na hata kuangamia. Methali nyingine inayolandana na hii ni mkataa pema pabaya panamuita. Methali hii hutumiwa kuwaonya watu ambao wanakaidi na wasiosikia ya wavyele wao na kutoyatilia maanani. Pia hutumiwa kuwaonya watu wanaodharau nasaha kutoka kwa waliowazidi umri kwani siku zote sikio halipiti kichwa. Neema alikuwa banati wakupendeza kijijini kwao. Alikuwa kaumbwa kaumbika. Mwenye macho ya vikombe, pua ya kiture, shingo ya upanga, kiuno cha bunzi ambacho alikinengua kama maji kwenye bakuli. Alipofungua mdomo wake kutabasamu, meno yake meupe kama theluji yalikuwa yamepangwa kama lulu katika chaza. Nadhani Mungu alichukua siku ayami kumuumba. Naam, vyote ving'aavyo si dhahabu. Maghulamu wote walimkugunia mate Neema. Naye hakusita kwani siku zote kizuri hakikosi ila. Tabia za Neema hazikulingana na uzuri wake kabisa. Baada ya kuvunja ungo, Neema alianza kuwa kichwa maji. Alijiona yeye na hakuna aliye tamani kumshinda. Neema alianza kuandamana na watu vichwa maji. Kwa kuwa maji hufuata mkondo, naye Neema aliamua kufuata rubua. Waama bendera hufuata upepo. Neema alijiingiza katika dawa za kulevya na kuwa mraibu. Wazazi wake walimsihi dhidi ya tabia hiyo lakini waliambulia patupu. Neema hakusikia la mwadhini wala mchota maji msikitini kwa kuwa penye wazee hapaharibiki neno, wazazi wake waliamua kuwaita wazee wa kijiji na kunasiwa lakini wapi. Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Neema alizidi kunywa pombe kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya na hata kufikia kiwango cha kusagana. Hali hii iliendelea kwa miaka kadhaa huku akiwa ameyaacha masomo yake. Ina, lenye mwanzo halikosi mwisho na maji yalikuwa yamezidi unga. Neema alianza kudhoofika na hali yake ikaanza kudidimia. Alikuwa amenyea kama kifaranga aliyeloa maji. Neema alianza kujuta lakini msiba wa kujitakia hauambiwi pole. Naam, majuto ni mjukuu huja baadaye. Alilia sana lakini kilio chake hakikufua dafu. Aliyakumbuka ya wazazi wake pale alipokuwa kama gofu la mtu kitandani kwake. Wazazi wake walikuwa wamemzunguka pembe zote kumtazama Neema. Walitamani kucheka na kulia mtawalia jamani si makubwa hayo? Taarifa kwa daktari ilisema kuwa Neema alikuwa ameharibika mapafu na figo. Hivyo basi yalikuwa yameoza kutokana na sigara na dawa alizokuwa akizitumia. Kisa hiki kinawahimiza vijana kama wenye tabia za Neema wasidhubutu kuwadharau wazee wao. Huenda wakapata majuto maishani.
Ni nani aliyependeza kijijini kwao
{ "text": [ "Neema" ] }
3116_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii ina maana kuwa mtu akidharau na kupuuza anayoambiwa na wavyele wake basi huenda akapata majuto na hata kuangamia. Methali nyingine inayolandana na hii ni mkataa pema pabaya panamuita. Methali hii hutumiwa kuwaonya watu ambao wanakaidi na wasiosikia ya wavyele wao na kutoyatilia maanani. Pia hutumiwa kuwaonya watu wanaodharau nasaha kutoka kwa waliowazidi umri kwani siku zote sikio halipiti kichwa. Neema alikuwa banati wakupendeza kijijini kwao. Alikuwa kaumbwa kaumbika. Mwenye macho ya vikombe, pua ya kiture, shingo ya upanga, kiuno cha bunzi ambacho alikinengua kama maji kwenye bakuli. Alipofungua mdomo wake kutabasamu, meno yake meupe kama theluji yalikuwa yamepangwa kama lulu katika chaza. Nadhani Mungu alichukua siku ayami kumuumba. Naam, vyote ving'aavyo si dhahabu. Maghulamu wote walimkugunia mate Neema. Naye hakusita kwani siku zote kizuri hakikosi ila. Tabia za Neema hazikulingana na uzuri wake kabisa. Baada ya kuvunja ungo, Neema alianza kuwa kichwa maji. Alijiona yeye na hakuna aliye tamani kumshinda. Neema alianza kuandamana na watu vichwa maji. Kwa kuwa maji hufuata mkondo, naye Neema aliamua kufuata rubua. Waama bendera hufuata upepo. Neema alijiingiza katika dawa za kulevya na kuwa mraibu. Wazazi wake walimsihi dhidi ya tabia hiyo lakini waliambulia patupu. Neema hakusikia la mwadhini wala mchota maji msikitini kwa kuwa penye wazee hapaharibiki neno, wazazi wake waliamua kuwaita wazee wa kijiji na kunasiwa lakini wapi. Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Neema alizidi kunywa pombe kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya na hata kufikia kiwango cha kusagana. Hali hii iliendelea kwa miaka kadhaa huku akiwa ameyaacha masomo yake. Ina, lenye mwanzo halikosi mwisho na maji yalikuwa yamezidi unga. Neema alianza kudhoofika na hali yake ikaanza kudidimia. Alikuwa amenyea kama kifaranga aliyeloa maji. Neema alianza kujuta lakini msiba wa kujitakia hauambiwi pole. Naam, majuto ni mjukuu huja baadaye. Alilia sana lakini kilio chake hakikufua dafu. Aliyakumbuka ya wazazi wake pale alipokuwa kama gofu la mtu kitandani kwake. Wazazi wake walikuwa wamemzunguka pembe zote kumtazama Neema. Walitamani kucheka na kulia mtawalia jamani si makubwa hayo? Taarifa kwa daktari ilisema kuwa Neema alikuwa ameharibika mapafu na figo. Hivyo basi yalikuwa yameoza kutokana na sigara na dawa alizokuwa akizitumia. Kisa hiki kinawahimiza vijana kama wenye tabia za Neema wasidhubutu kuwadharau wazee wao. Huenda wakapata majuto maishani.
Kwa nini maghulamu walimgugunia mate Neema
{ "text": [ "Alikuwa mrembo sana" ] }
3116_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii ina maana kuwa mtu akidharau na kupuuza anayoambiwa na wavyele wake basi huenda akapata majuto na hata kuangamia. Methali nyingine inayolandana na hii ni mkataa pema pabaya panamuita. Methali hii hutumiwa kuwaonya watu ambao wanakaidi na wasiosikia ya wavyele wao na kutoyatilia maanani. Pia hutumiwa kuwaonya watu wanaodharau nasaha kutoka kwa waliowazidi umri kwani siku zote sikio halipiti kichwa. Neema alikuwa banati wakupendeza kijijini kwao. Alikuwa kaumbwa kaumbika. Mwenye macho ya vikombe, pua ya kiture, shingo ya upanga, kiuno cha bunzi ambacho alikinengua kama maji kwenye bakuli. Alipofungua mdomo wake kutabasamu, meno yake meupe kama theluji yalikuwa yamepangwa kama lulu katika chaza. Nadhani Mungu alichukua siku ayami kumuumba. Naam, vyote ving'aavyo si dhahabu. Maghulamu wote walimkugunia mate Neema. Naye hakusita kwani siku zote kizuri hakikosi ila. Tabia za Neema hazikulingana na uzuri wake kabisa. Baada ya kuvunja ungo, Neema alianza kuwa kichwa maji. Alijiona yeye na hakuna aliye tamani kumshinda. Neema alianza kuandamana na watu vichwa maji. Kwa kuwa maji hufuata mkondo, naye Neema aliamua kufuata rubua. Waama bendera hufuata upepo. Neema alijiingiza katika dawa za kulevya na kuwa mraibu. Wazazi wake walimsihi dhidi ya tabia hiyo lakini waliambulia patupu. Neema hakusikia la mwadhini wala mchota maji msikitini kwa kuwa penye wazee hapaharibiki neno, wazazi wake waliamua kuwaita wazee wa kijiji na kunasiwa lakini wapi. Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Neema alizidi kunywa pombe kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya na hata kufikia kiwango cha kusagana. Hali hii iliendelea kwa miaka kadhaa huku akiwa ameyaacha masomo yake. Ina, lenye mwanzo halikosi mwisho na maji yalikuwa yamezidi unga. Neema alianza kudhoofika na hali yake ikaanza kudidimia. Alikuwa amenyea kama kifaranga aliyeloa maji. Neema alianza kujuta lakini msiba wa kujitakia hauambiwi pole. Naam, majuto ni mjukuu huja baadaye. Alilia sana lakini kilio chake hakikufua dafu. Aliyakumbuka ya wazazi wake pale alipokuwa kama gofu la mtu kitandani kwake. Wazazi wake walikuwa wamemzunguka pembe zote kumtazama Neema. Walitamani kucheka na kulia mtawalia jamani si makubwa hayo? Taarifa kwa daktari ilisema kuwa Neema alikuwa ameharibika mapafu na figo. Hivyo basi yalikuwa yameoza kutokana na sigara na dawa alizokuwa akizitumia. Kisa hiki kinawahimiza vijana kama wenye tabia za Neema wasidhubutu kuwadharau wazee wao. Huenda wakapata majuto maishani.
Neema aliingilia tabia zipi baada ya kuwashinda wazazi
{ "text": [ "Tabia ya kuvuta sigara na kunywa pombe" ] }
3116_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii ina maana kuwa mtu akidharau na kupuuza anayoambiwa na wavyele wake basi huenda akapata majuto na hata kuangamia. Methali nyingine inayolandana na hii ni mkataa pema pabaya panamuita. Methali hii hutumiwa kuwaonya watu ambao wanakaidi na wasiosikia ya wavyele wao na kutoyatilia maanani. Pia hutumiwa kuwaonya watu wanaodharau nasaha kutoka kwa waliowazidi umri kwani siku zote sikio halipiti kichwa. Neema alikuwa banati wakupendeza kijijini kwao. Alikuwa kaumbwa kaumbika. Mwenye macho ya vikombe, pua ya kiture, shingo ya upanga, kiuno cha bunzi ambacho alikinengua kama maji kwenye bakuli. Alipofungua mdomo wake kutabasamu, meno yake meupe kama theluji yalikuwa yamepangwa kama lulu katika chaza. Nadhani Mungu alichukua siku ayami kumuumba. Naam, vyote ving'aavyo si dhahabu. Maghulamu wote walimkugunia mate Neema. Naye hakusita kwani siku zote kizuri hakikosi ila. Tabia za Neema hazikulingana na uzuri wake kabisa. Baada ya kuvunja ungo, Neema alianza kuwa kichwa maji. Alijiona yeye na hakuna aliye tamani kumshinda. Neema alianza kuandamana na watu vichwa maji. Kwa kuwa maji hufuata mkondo, naye Neema aliamua kufuata rubua. Waama bendera hufuata upepo. Neema alijiingiza katika dawa za kulevya na kuwa mraibu. Wazazi wake walimsihi dhidi ya tabia hiyo lakini waliambulia patupu. Neema hakusikia la mwadhini wala mchota maji msikitini kwa kuwa penye wazee hapaharibiki neno, wazazi wake waliamua kuwaita wazee wa kijiji na kunasiwa lakini wapi. Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Neema alizidi kunywa pombe kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya na hata kufikia kiwango cha kusagana. Hali hii iliendelea kwa miaka kadhaa huku akiwa ameyaacha masomo yake. Ina, lenye mwanzo halikosi mwisho na maji yalikuwa yamezidi unga. Neema alianza kudhoofika na hali yake ikaanza kudidimia. Alikuwa amenyea kama kifaranga aliyeloa maji. Neema alianza kujuta lakini msiba wa kujitakia hauambiwi pole. Naam, majuto ni mjukuu huja baadaye. Alilia sana lakini kilio chake hakikufua dafu. Aliyakumbuka ya wazazi wake pale alipokuwa kama gofu la mtu kitandani kwake. Wazazi wake walikuwa wamemzunguka pembe zote kumtazama Neema. Walitamani kucheka na kulia mtawalia jamani si makubwa hayo? Taarifa kwa daktari ilisema kuwa Neema alikuwa ameharibika mapafu na figo. Hivyo basi yalikuwa yameoza kutokana na sigara na dawa alizokuwa akizitumia. Kisa hiki kinawahimiza vijana kama wenye tabia za Neema wasidhubutu kuwadharau wazee wao. Huenda wakapata majuto maishani.
Taarifa ya daktari ilibainisha nini
{ "text": [ "Neema alikuwa ameharibikiwa figo na mapafu" ] }
3116_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii ina maana kuwa mtu akidharau na kupuuza anayoambiwa na wavyele wake basi huenda akapata majuto na hata kuangamia. Methali nyingine inayolandana na hii ni mkataa pema pabaya panamuita. Methali hii hutumiwa kuwaonya watu ambao wanakaidi na wasiosikia ya wavyele wao na kutoyatilia maanani. Pia hutumiwa kuwaonya watu wanaodharau nasaha kutoka kwa waliowazidi umri kwani siku zote sikio halipiti kichwa. Neema alikuwa banati wakupendeza kijijini kwao. Alikuwa kaumbwa kaumbika. Mwenye macho ya vikombe, pua ya kiture, shingo ya upanga, kiuno cha bunzi ambacho alikinengua kama maji kwenye bakuli. Alipofungua mdomo wake kutabasamu, meno yake meupe kama theluji yalikuwa yamepangwa kama lulu katika chaza. Nadhani Mungu alichukua siku ayami kumuumba. Naam, vyote ving'aavyo si dhahabu. Maghulamu wote walimkugunia mate Neema. Naye hakusita kwani siku zote kizuri hakikosi ila. Tabia za Neema hazikulingana na uzuri wake kabisa. Baada ya kuvunja ungo, Neema alianza kuwa kichwa maji. Alijiona yeye na hakuna aliye tamani kumshinda. Neema alianza kuandamana na watu vichwa maji. Kwa kuwa maji hufuata mkondo, naye Neema aliamua kufuata rubua. Waama bendera hufuata upepo. Neema alijiingiza katika dawa za kulevya na kuwa mraibu. Wazazi wake walimsihi dhidi ya tabia hiyo lakini waliambulia patupu. Neema hakusikia la mwadhini wala mchota maji msikitini kwa kuwa penye wazee hapaharibiki neno, wazazi wake waliamua kuwaita wazee wa kijiji na kunasiwa lakini wapi. Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Neema alizidi kunywa pombe kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya na hata kufikia kiwango cha kusagana. Hali hii iliendelea kwa miaka kadhaa huku akiwa ameyaacha masomo yake. Ina, lenye mwanzo halikosi mwisho na maji yalikuwa yamezidi unga. Neema alianza kudhoofika na hali yake ikaanza kudidimia. Alikuwa amenyea kama kifaranga aliyeloa maji. Neema alianza kujuta lakini msiba wa kujitakia hauambiwi pole. Naam, majuto ni mjukuu huja baadaye. Alilia sana lakini kilio chake hakikufua dafu. Aliyakumbuka ya wazazi wake pale alipokuwa kama gofu la mtu kitandani kwake. Wazazi wake walikuwa wamemzunguka pembe zote kumtazama Neema. Walitamani kucheka na kulia mtawalia jamani si makubwa hayo? Taarifa kwa daktari ilisema kuwa Neema alikuwa ameharibika mapafu na figo. Hivyo basi yalikuwa yameoza kutokana na sigara na dawa alizokuwa akizitumia. Kisa hiki kinawahimiza vijana kama wenye tabia za Neema wasidhubutu kuwadharau wazee wao. Huenda wakapata majuto maishani.
Taarifa hii inawafunza vijana nini
{ "text": [ "Wasiudharau wosia wa wazazi kamwe" ] }
3117_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama, wepesi wa elimu. Hii inajitokeza sana kwa elimu ya kisasa. Ambapo elimu imerahisishwa kwa kutumia teknolojia. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi kwa kutumia vikokotoo, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapofanya hisabati. Vikokotoo vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na simu. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati wa korona, ambapo wanafunzi walikazionilas kubaki nyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kina changia uzembe
Teknolojia ni elimu inayohusu uundaji wa nini
{ "text": [ "mitambo" ] }
3117_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama, wepesi wa elimu. Hii inajitokeza sana kwa elimu ya kisasa. Ambapo elimu imerahisishwa kwa kutumia teknolojia. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi kwa kutumia vikokotoo, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapofanya hisabati. Vikokotoo vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na simu. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati wa korona, ambapo wanafunzi walikazionilas kubaki nyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kina changia uzembe
Wanafunzi hawatafutani na nani
{ "text": [ "mwalimu" ] }
3117_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama, wepesi wa elimu. Hii inajitokeza sana kwa elimu ya kisasa. Ambapo elimu imerahisishwa kwa kutumia teknolojia. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi kwa kutumia vikokotoo, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapofanya hisabati. Vikokotoo vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na simu. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati wa korona, ambapo wanafunzi walikazionilas kubaki nyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kina changia uzembe
Wanafunzi hufanyaje wakiona video
{ "text": [ "huigiza" ] }
3117_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama, wepesi wa elimu. Hii inajitokeza sana kwa elimu ya kisasa. Ambapo elimu imerahisishwa kwa kutumia teknolojia. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi kwa kutumia vikokotoo, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapofanya hisabati. Vikokotoo vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na simu. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati wa korona, ambapo wanafunzi walikazionilas kubaki nyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kina changia uzembe
Wanafunzi wameweza kuwasiliana na jamaa ambao wako wapi
{ "text": [ "nyumbani" ] }
3117_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kama, wepesi wa elimu. Hii inajitokeza sana kwa elimu ya kisasa. Ambapo elimu imerahisishwa kwa kutumia teknolojia. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi kwa kutumia vikokotoo, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapofanya hisabati. Vikokotoo vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na simu. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati wa korona, ambapo wanafunzi walikazionilas kubaki nyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kina changia uzembe
Mbona wanafunzi wengine huingia na simu shuleni
{ "text": [ "ili awe akiongea na marafiki zake" ] }
3118_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii hutumiwa kuonya watu ambao hawapendi kusikia au kuonywa kuhusu jambo fulani. Juma alikuwa mtoto wa pekee katika familia yao. Mama na baba yake walimpenda na hata kumpeleka shule nzuri aliyeichagua mwenyewe. Juma alikuwa mtoto mwenye nidhamu. Alikuwa mtoto aliyependwa na kila mtu si walimu, si wanafunzi, wote wakubwa kwa wadogo. Alifanya vyema katika mtihani wake wa mwisho wa kidato cha nne na kujiunga na chuo kikuu. Baada ya muda, Juma aliweza kupata marafiki ambao walisikika au kujulikana kwa tabia zao mbaya. Baadhi ya wanafunzi wenzake walimkanya kuhusu hao marafiki zake lakini Juma hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alibakia kusema tu wao ni wao na yeye ni yeye. Hakufahamu ya kuwa mtembea na mhalifu pia yeye ni mhalifu. Kadiri miaka ilivyokwenda Juma naye alibadilika. Matokeo yake yalikuwa hayavutii. Tabia yake ilibadilika, hakuwa Juma yule wa kwanza ambae alipendwa na kila mtu. Alikuwa Juma aliyeogopewa na kuchukiwa na wanafunzi wenzake. Walimu kuona hivi, waliamua kumfwatilia Juma. Waligundua kuwa Juma alijiunga na kikundi cha wanafunzi wasio kuwa na nidhamu. Wanafunzi hao walikuwa wakitumia madawa ya kulevya. Walijaribu kumuita Juma kumketisha chini na kumweleza kuhusu madhara ya dawa hizo lakini alitia masikio pamba. Wazazi wake Juma wakaitwa ili waje waongee na mtoto wao lakini Juma hakuwatazama wazazi wake. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Juma alifukuzwa shule na ikawa sasa makaazi yake ni mtaani. Kwa kuwa alikuwa mraibu wa dawa za kulevya alishindwa au hakuweza kukaa bila hizo dawa. Aliamua kuiba ili apate pesa za kununua dawa hizo. Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini. Juma alishikwa akiiba. Aliadhibiwa vikali mno hadi kupoteza fahamu. Alipozinduka alipata amelala kwenye kitanda. Alikuwa hospitali. Madaktari walisema kuwa maisha yake yalikuwa hatarini. Mwili wake haukuwa hauna nguvu. Damu ilichanganyika na dawa alizokuwa anatumia. Juma alitamani siku zirudi nyuma ili abadilishe mienendo yake, lakini wapi. Kwani maji yakishamwagika hayazoleki. Alijuta kwa kutowasikiliza wazazi wake. Kwa kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye na asiyesikia la mkuu havunjika guu.
Asiyesikia la mkuu huvunjika nini
{ "text": [ "Guu" ] }
3118_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii hutumiwa kuonya watu ambao hawapendi kusikia au kuonywa kuhusu jambo fulani. Juma alikuwa mtoto wa pekee katika familia yao. Mama na baba yake walimpenda na hata kumpeleka shule nzuri aliyeichagua mwenyewe. Juma alikuwa mtoto mwenye nidhamu. Alikuwa mtoto aliyependwa na kila mtu si walimu, si wanafunzi, wote wakubwa kwa wadogo. Alifanya vyema katika mtihani wake wa mwisho wa kidato cha nne na kujiunga na chuo kikuu. Baada ya muda, Juma aliweza kupata marafiki ambao walisikika au kujulikana kwa tabia zao mbaya. Baadhi ya wanafunzi wenzake walimkanya kuhusu hao marafiki zake lakini Juma hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alibakia kusema tu wao ni wao na yeye ni yeye. Hakufahamu ya kuwa mtembea na mhalifu pia yeye ni mhalifu. Kadiri miaka ilivyokwenda Juma naye alibadilika. Matokeo yake yalikuwa hayavutii. Tabia yake ilibadilika, hakuwa Juma yule wa kwanza ambae alipendwa na kila mtu. Alikuwa Juma aliyeogopewa na kuchukiwa na wanafunzi wenzake. Walimu kuona hivi, waliamua kumfwatilia Juma. Waligundua kuwa Juma alijiunga na kikundi cha wanafunzi wasio kuwa na nidhamu. Wanafunzi hao walikuwa wakitumia madawa ya kulevya. Walijaribu kumuita Juma kumketisha chini na kumweleza kuhusu madhara ya dawa hizo lakini alitia masikio pamba. Wazazi wake Juma wakaitwa ili waje waongee na mtoto wao lakini Juma hakuwatazama wazazi wake. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Juma alifukuzwa shule na ikawa sasa makaazi yake ni mtaani. Kwa kuwa alikuwa mraibu wa dawa za kulevya alishindwa au hakuweza kukaa bila hizo dawa. Aliamua kuiba ili apate pesa za kununua dawa hizo. Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini. Juma alishikwa akiiba. Aliadhibiwa vikali mno hadi kupoteza fahamu. Alipozinduka alipata amelala kwenye kitanda. Alikuwa hospitali. Madaktari walisema kuwa maisha yake yalikuwa hatarini. Mwili wake haukuwa hauna nguvu. Damu ilichanganyika na dawa alizokuwa anatumia. Juma alitamani siku zirudi nyuma ili abadilishe mienendo yake, lakini wapi. Kwani maji yakishamwagika hayazoleki. Alijuta kwa kutowasikiliza wazazi wake. Kwa kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye na asiyesikia la mkuu havunjika guu.
Methali hii hutumika kufanya nini
{ "text": [ "Kuonya watu" ] }
3118_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii hutumiwa kuonya watu ambao hawapendi kusikia au kuonywa kuhusu jambo fulani. Juma alikuwa mtoto wa pekee katika familia yao. Mama na baba yake walimpenda na hata kumpeleka shule nzuri aliyeichagua mwenyewe. Juma alikuwa mtoto mwenye nidhamu. Alikuwa mtoto aliyependwa na kila mtu si walimu, si wanafunzi, wote wakubwa kwa wadogo. Alifanya vyema katika mtihani wake wa mwisho wa kidato cha nne na kujiunga na chuo kikuu. Baada ya muda, Juma aliweza kupata marafiki ambao walisikika au kujulikana kwa tabia zao mbaya. Baadhi ya wanafunzi wenzake walimkanya kuhusu hao marafiki zake lakini Juma hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alibakia kusema tu wao ni wao na yeye ni yeye. Hakufahamu ya kuwa mtembea na mhalifu pia yeye ni mhalifu. Kadiri miaka ilivyokwenda Juma naye alibadilika. Matokeo yake yalikuwa hayavutii. Tabia yake ilibadilika, hakuwa Juma yule wa kwanza ambae alipendwa na kila mtu. Alikuwa Juma aliyeogopewa na kuchukiwa na wanafunzi wenzake. Walimu kuona hivi, waliamua kumfwatilia Juma. Waligundua kuwa Juma alijiunga na kikundi cha wanafunzi wasio kuwa na nidhamu. Wanafunzi hao walikuwa wakitumia madawa ya kulevya. Walijaribu kumuita Juma kumketisha chini na kumweleza kuhusu madhara ya dawa hizo lakini alitia masikio pamba. Wazazi wake Juma wakaitwa ili waje waongee na mtoto wao lakini Juma hakuwatazama wazazi wake. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Juma alifukuzwa shule na ikawa sasa makaazi yake ni mtaani. Kwa kuwa alikuwa mraibu wa dawa za kulevya alishindwa au hakuweza kukaa bila hizo dawa. Aliamua kuiba ili apate pesa za kununua dawa hizo. Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini. Juma alishikwa akiiba. Aliadhibiwa vikali mno hadi kupoteza fahamu. Alipozinduka alipata amelala kwenye kitanda. Alikuwa hospitali. Madaktari walisema kuwa maisha yake yalikuwa hatarini. Mwili wake haukuwa hauna nguvu. Damu ilichanganyika na dawa alizokuwa anatumia. Juma alitamani siku zirudi nyuma ili abadilishe mienendo yake, lakini wapi. Kwani maji yakishamwagika hayazoleki. Alijuta kwa kutowasikiliza wazazi wake. Kwa kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye na asiyesikia la mkuu havunjika guu.
Nani alikuwa mtoto wa pekee
{ "text": [ "Juma" ] }
3118_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii hutumiwa kuonya watu ambao hawapendi kusikia au kuonywa kuhusu jambo fulani. Juma alikuwa mtoto wa pekee katika familia yao. Mama na baba yake walimpenda na hata kumpeleka shule nzuri aliyeichagua mwenyewe. Juma alikuwa mtoto mwenye nidhamu. Alikuwa mtoto aliyependwa na kila mtu si walimu, si wanafunzi, wote wakubwa kwa wadogo. Alifanya vyema katika mtihani wake wa mwisho wa kidato cha nne na kujiunga na chuo kikuu. Baada ya muda, Juma aliweza kupata marafiki ambao walisikika au kujulikana kwa tabia zao mbaya. Baadhi ya wanafunzi wenzake walimkanya kuhusu hao marafiki zake lakini Juma hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alibakia kusema tu wao ni wao na yeye ni yeye. Hakufahamu ya kuwa mtembea na mhalifu pia yeye ni mhalifu. Kadiri miaka ilivyokwenda Juma naye alibadilika. Matokeo yake yalikuwa hayavutii. Tabia yake ilibadilika, hakuwa Juma yule wa kwanza ambae alipendwa na kila mtu. Alikuwa Juma aliyeogopewa na kuchukiwa na wanafunzi wenzake. Walimu kuona hivi, waliamua kumfwatilia Juma. Waligundua kuwa Juma alijiunga na kikundi cha wanafunzi wasio kuwa na nidhamu. Wanafunzi hao walikuwa wakitumia madawa ya kulevya. Walijaribu kumuita Juma kumketisha chini na kumweleza kuhusu madhara ya dawa hizo lakini alitia masikio pamba. Wazazi wake Juma wakaitwa ili waje waongee na mtoto wao lakini Juma hakuwatazama wazazi wake. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Juma alifukuzwa shule na ikawa sasa makaazi yake ni mtaani. Kwa kuwa alikuwa mraibu wa dawa za kulevya alishindwa au hakuweza kukaa bila hizo dawa. Aliamua kuiba ili apate pesa za kununua dawa hizo. Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini. Juma alishikwa akiiba. Aliadhibiwa vikali mno hadi kupoteza fahamu. Alipozinduka alipata amelala kwenye kitanda. Alikuwa hospitali. Madaktari walisema kuwa maisha yake yalikuwa hatarini. Mwili wake haukuwa hauna nguvu. Damu ilichanganyika na dawa alizokuwa anatumia. Juma alitamani siku zirudi nyuma ili abadilishe mienendo yake, lakini wapi. Kwani maji yakishamwagika hayazoleki. Alijuta kwa kutowasikiliza wazazi wake. Kwa kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye na asiyesikia la mkuu havunjika guu.
Baadhi ya wanafunzi wenzake walimkanya kuhusu nani
{ "text": [ "Hao marafiki zake" ] }
3118_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii hutumiwa kuonya watu ambao hawapendi kusikia au kuonywa kuhusu jambo fulani. Juma alikuwa mtoto wa pekee katika familia yao. Mama na baba yake walimpenda na hata kumpeleka shule nzuri aliyeichagua mwenyewe. Juma alikuwa mtoto mwenye nidhamu. Alikuwa mtoto aliyependwa na kila mtu si walimu, si wanafunzi, wote wakubwa kwa wadogo. Alifanya vyema katika mtihani wake wa mwisho wa kidato cha nne na kujiunga na chuo kikuu. Baada ya muda, Juma aliweza kupata marafiki ambao walisikika au kujulikana kwa tabia zao mbaya. Baadhi ya wanafunzi wenzake walimkanya kuhusu hao marafiki zake lakini Juma hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alibakia kusema tu wao ni wao na yeye ni yeye. Hakufahamu ya kuwa mtembea na mhalifu pia yeye ni mhalifu. Kadiri miaka ilivyokwenda Juma naye alibadilika. Matokeo yake yalikuwa hayavutii. Tabia yake ilibadilika, hakuwa Juma yule wa kwanza ambae alipendwa na kila mtu. Alikuwa Juma aliyeogopewa na kuchukiwa na wanafunzi wenzake. Walimu kuona hivi, waliamua kumfwatilia Juma. Waligundua kuwa Juma alijiunga na kikundi cha wanafunzi wasio kuwa na nidhamu. Wanafunzi hao walikuwa wakitumia madawa ya kulevya. Walijaribu kumuita Juma kumketisha chini na kumweleza kuhusu madhara ya dawa hizo lakini alitia masikio pamba. Wazazi wake Juma wakaitwa ili waje waongee na mtoto wao lakini Juma hakuwatazama wazazi wake. Wazazi wake waliamua kumuachia dunia kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Juma alifukuzwa shule na ikawa sasa makaazi yake ni mtaani. Kwa kuwa alikuwa mraibu wa dawa za kulevya alishindwa au hakuweza kukaa bila hizo dawa. Aliamua kuiba ili apate pesa za kununua dawa hizo. Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini. Juma alishikwa akiiba. Aliadhibiwa vikali mno hadi kupoteza fahamu. Alipozinduka alipata amelala kwenye kitanda. Alikuwa hospitali. Madaktari walisema kuwa maisha yake yalikuwa hatarini. Mwili wake haukuwa hauna nguvu. Damu ilichanganyika na dawa alizokuwa anatumia. Juma alitamani siku zirudi nyuma ili abadilishe mienendo yake, lakini wapi. Kwani maji yakishamwagika hayazoleki. Alijuta kwa kutowasikiliza wazazi wake. Kwa kweli majuto ni mjukuu na huja baadaye na asiyesikia la mkuu havunjika guu.
Kwa nini Juma alitamani siku zirudi nyuma
{ "text": [ "Ili abadilishe mienendo yake" ] }
3119_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia na ukuaji wa hali ya maisha kutokea kitambo hadi sasa? Teknolojia ina faida nyingi na pia madhara mengi. Faida za teknolojia katika shule ya sekondari ni kama; wepesi wa hali ya elimu. Hii ni kwa sababu elimu ya sasa imerahisishwa kwa sababu ya teknolojia. Teknolojia imewafaa wengi katika shule za sekondari. Teknolojia imefanya wanafunzi kuweza kusoma kwa rahisi. Kama vile wakati shule zilipofungwa, wanafunzi waliweza kutumia teknolojia na wakasoma kupitia runinga na simu. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuendelea na silabasi yao kwa kutumia teknolojia. Hata hivyo, tehnolojia imewafanya wanafunzi kujua mambo mengi ambayo walikuwa hawayajui. Pia teknolojia imewasaidia wanafunzi wa sekondari kurahisisha masomo yao. Kifaa kama kikokotoo kimerahisisha somo la hisabati. Pia katika somo la tarakilishi, kimefanya wanafunzi kujua jinsi zinatumiwa. Hata hivyo, teknolojia imewafanya wanafunzi kupata habari kwa njia rahisi. Yaani, wanafunzi hasa walio shule za bweni wanapata habari wasizozijua kwa kupitia runinga. Teknolojia imewafanya wengi kujua habari wasizozijua kama vile habari za magonjwa. Teknolojia pia imewafanya walimu kuweza kusaka kazi za wanafunzi kwa kupitia simu. Teknolojia imewafaa wanafunzi kama vile mitihani yao huchapishwa kwa kupitia kichapishaji. Wanafunzi hata wakiwa wengi kiasi gani wanauwezo wa kupata mitihani kwa haraka kwa sababu ya kichapishi. Teknolojia hufanya watu kusoma kwenye mitandao kama vile kwenye stesheni za elimu. Stesheni hizo zinasaidia wanafunzi kupata elimu hasa kwa yale mambo ambayo hawakuelewa walipofundishwa na walimu wao. Hivyo basi, wanafunzi hupata kuelewa zaidi kazi ile inayofundishwa. Teknolojia imefanya uwepesi sana katika sekta ya elimu. Teknolojia imesuluhisha mambo mengi kwenye wanafunzi. Teknolojia huwafanya walimu kupata habari za kutoka kwa mwalimu mkuu haraka kama vile mikutano. Ni rahisi kwa walimu kupata habari kama kuna mkutano kwa kutumia njia ya simu. Teknolojia pia ina madhara yake. Kwanza, teknolojia kwa kupitia simu imeharibu wanafunzi kwa sababu wanafunzi hawa watatumia simu hizi kuangalia picha chafu kwenye mitandao na hilo linaathiri wanafunzi kwenye elimu yao. Akili za wanafunzi huharibika na kupotoka kwa sababu ya zile picha. Pili, teknolojia inaathiri wanafunzi kwa sababu kikokotoo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hasa kwenye hisabati. Wanafunzi wanaona ni mateso kufikiria kutumia akili zao kwa sababu wanajua kuwa vikokotoo vitakavyo wafanyia hesabu zile. Hapo ndipo utakapopata kuwa wanafunzi wanategemea sana vikokotoo. Teknolojia kupitia tarakilishi imewaathiri wanafunzi kwa sababu wanafunzi wanatumia tarakilishi kwa njia potovu. Kwa sababu hiyo, wanafunzi hawaa watakuwa na utovu wa nidhamu. Wanafunzi wanatumia mitandao kwa njia mbaya. Hapo ndipo utapata kuwa watoto wadogo wana utovu wa nidhamu. Nne, mitandao ya facebook na twitter imeharibu wanafunzi. Wanafunzi wanaingia kwenye mtandao na kuangalia vitu vilivyotumwa visivyo vya umri wao. Watoto hawa kwenye akili zao watakuwa na mambo mengi yanayowapita umri. Teknolojia hapo itakuwa imeathiri sana hasahasa wanafunzi walio sekondari. Tano, teknolojia imeleta video na kwa sababu hiyo, wanafunzi wanaosoma shule za kutwa wanapoteza muda wao kuangalia video zisizo na mafunzo. Na yale wanayoyaona mle watataka kuiga na wengine huishilia kuwa, wezi na pia majambazi. Wanafunzi hawa wanaishilia kuwa watu wasio maana.
Teknolojia imerahihisha nini katika shule
{ "text": [ "Mafunzo kupitia runinga na simu" ] }
3119_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia na ukuaji wa hali ya maisha kutokea kitambo hadi sasa? Teknolojia ina faida nyingi na pia madhara mengi. Faida za teknolojia katika shule ya sekondari ni kama; wepesi wa hali ya elimu. Hii ni kwa sababu elimu ya sasa imerahisishwa kwa sababu ya teknolojia. Teknolojia imewafaa wengi katika shule za sekondari. Teknolojia imefanya wanafunzi kuweza kusoma kwa rahisi. Kama vile wakati shule zilipofungwa, wanafunzi waliweza kutumia teknolojia na wakasoma kupitia runinga na simu. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuendelea na silabasi yao kwa kutumia teknolojia. Hata hivyo, tehnolojia imewafanya wanafunzi kujua mambo mengi ambayo walikuwa hawayajui. Pia teknolojia imewasaidia wanafunzi wa sekondari kurahisisha masomo yao. Kifaa kama kikokotoo kimerahisisha somo la hisabati. Pia katika somo la tarakilishi, kimefanya wanafunzi kujua jinsi zinatumiwa. Hata hivyo, teknolojia imewafanya wanafunzi kupata habari kwa njia rahisi. Yaani, wanafunzi hasa walio shule za bweni wanapata habari wasizozijua kwa kupitia runinga. Teknolojia imewafanya wengi kujua habari wasizozijua kama vile habari za magonjwa. Teknolojia pia imewafanya walimu kuweza kusaka kazi za wanafunzi kwa kupitia simu. Teknolojia imewafaa wanafunzi kama vile mitihani yao huchapishwa kwa kupitia kichapishaji. Wanafunzi hata wakiwa wengi kiasi gani wanauwezo wa kupata mitihani kwa haraka kwa sababu ya kichapishi. Teknolojia hufanya watu kusoma kwenye mitandao kama vile kwenye stesheni za elimu. Stesheni hizo zinasaidia wanafunzi kupata elimu hasa kwa yale mambo ambayo hawakuelewa walipofundishwa na walimu wao. Hivyo basi, wanafunzi hupata kuelewa zaidi kazi ile inayofundishwa. Teknolojia imefanya uwepesi sana katika sekta ya elimu. Teknolojia imesuluhisha mambo mengi kwenye wanafunzi. Teknolojia huwafanya walimu kupata habari za kutoka kwa mwalimu mkuu haraka kama vile mikutano. Ni rahisi kwa walimu kupata habari kama kuna mkutano kwa kutumia njia ya simu. Teknolojia pia ina madhara yake. Kwanza, teknolojia kwa kupitia simu imeharibu wanafunzi kwa sababu wanafunzi hawa watatumia simu hizi kuangalia picha chafu kwenye mitandao na hilo linaathiri wanafunzi kwenye elimu yao. Akili za wanafunzi huharibika na kupotoka kwa sababu ya zile picha. Pili, teknolojia inaathiri wanafunzi kwa sababu kikokotoo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hasa kwenye hisabati. Wanafunzi wanaona ni mateso kufikiria kutumia akili zao kwa sababu wanajua kuwa vikokotoo vitakavyo wafanyia hesabu zile. Hapo ndipo utakapopata kuwa wanafunzi wanategemea sana vikokotoo. Teknolojia kupitia tarakilishi imewaathiri wanafunzi kwa sababu wanafunzi wanatumia tarakilishi kwa njia potovu. Kwa sababu hiyo, wanafunzi hawaa watakuwa na utovu wa nidhamu. Wanafunzi wanatumia mitandao kwa njia mbaya. Hapo ndipo utapata kuwa watoto wadogo wana utovu wa nidhamu. Nne, mitandao ya facebook na twitter imeharibu wanafunzi. Wanafunzi wanaingia kwenye mtandao na kuangalia vitu vilivyotumwa visivyo vya umri wao. Watoto hawa kwenye akili zao watakuwa na mambo mengi yanayowapita umri. Teknolojia hapo itakuwa imeathiri sana hasahasa wanafunzi walio sekondari. Tano, teknolojia imeleta video na kwa sababu hiyo, wanafunzi wanaosoma shule za kutwa wanapoteza muda wao kuangalia video zisizo na mafunzo. Na yale wanayoyaona mle watataka kuiga na wengine huishilia kuwa, wezi na pia majambazi. Wanafunzi hawa wanaishilia kuwa watu wasio maana.
Teknolojia imerahihisha kuendelezwa kwa nini
{ "text": [ "Silabasi shuleni" ] }
3119_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia na ukuaji wa hali ya maisha kutokea kitambo hadi sasa? Teknolojia ina faida nyingi na pia madhara mengi. Faida za teknolojia katika shule ya sekondari ni kama; wepesi wa hali ya elimu. Hii ni kwa sababu elimu ya sasa imerahisishwa kwa sababu ya teknolojia. Teknolojia imewafaa wengi katika shule za sekondari. Teknolojia imefanya wanafunzi kuweza kusoma kwa rahisi. Kama vile wakati shule zilipofungwa, wanafunzi waliweza kutumia teknolojia na wakasoma kupitia runinga na simu. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuendelea na silabasi yao kwa kutumia teknolojia. Hata hivyo, tehnolojia imewafanya wanafunzi kujua mambo mengi ambayo walikuwa hawayajui. Pia teknolojia imewasaidia wanafunzi wa sekondari kurahisisha masomo yao. Kifaa kama kikokotoo kimerahisisha somo la hisabati. Pia katika somo la tarakilishi, kimefanya wanafunzi kujua jinsi zinatumiwa. Hata hivyo, teknolojia imewafanya wanafunzi kupata habari kwa njia rahisi. Yaani, wanafunzi hasa walio shule za bweni wanapata habari wasizozijua kwa kupitia runinga. Teknolojia imewafanya wengi kujua habari wasizozijua kama vile habari za magonjwa. Teknolojia pia imewafanya walimu kuweza kusaka kazi za wanafunzi kwa kupitia simu. Teknolojia imewafaa wanafunzi kama vile mitihani yao huchapishwa kwa kupitia kichapishaji. Wanafunzi hata wakiwa wengi kiasi gani wanauwezo wa kupata mitihani kwa haraka kwa sababu ya kichapishi. Teknolojia hufanya watu kusoma kwenye mitandao kama vile kwenye stesheni za elimu. Stesheni hizo zinasaidia wanafunzi kupata elimu hasa kwa yale mambo ambayo hawakuelewa walipofundishwa na walimu wao. Hivyo basi, wanafunzi hupata kuelewa zaidi kazi ile inayofundishwa. Teknolojia imefanya uwepesi sana katika sekta ya elimu. Teknolojia imesuluhisha mambo mengi kwenye wanafunzi. Teknolojia huwafanya walimu kupata habari za kutoka kwa mwalimu mkuu haraka kama vile mikutano. Ni rahisi kwa walimu kupata habari kama kuna mkutano kwa kutumia njia ya simu. Teknolojia pia ina madhara yake. Kwanza, teknolojia kwa kupitia simu imeharibu wanafunzi kwa sababu wanafunzi hawa watatumia simu hizi kuangalia picha chafu kwenye mitandao na hilo linaathiri wanafunzi kwenye elimu yao. Akili za wanafunzi huharibika na kupotoka kwa sababu ya zile picha. Pili, teknolojia inaathiri wanafunzi kwa sababu kikokotoo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hasa kwenye hisabati. Wanafunzi wanaona ni mateso kufikiria kutumia akili zao kwa sababu wanajua kuwa vikokotoo vitakavyo wafanyia hesabu zile. Hapo ndipo utakapopata kuwa wanafunzi wanategemea sana vikokotoo. Teknolojia kupitia tarakilishi imewaathiri wanafunzi kwa sababu wanafunzi wanatumia tarakilishi kwa njia potovu. Kwa sababu hiyo, wanafunzi hawaa watakuwa na utovu wa nidhamu. Wanafunzi wanatumia mitandao kwa njia mbaya. Hapo ndipo utapata kuwa watoto wadogo wana utovu wa nidhamu. Nne, mitandao ya facebook na twitter imeharibu wanafunzi. Wanafunzi wanaingia kwenye mtandao na kuangalia vitu vilivyotumwa visivyo vya umri wao. Watoto hawa kwenye akili zao watakuwa na mambo mengi yanayowapita umri. Teknolojia hapo itakuwa imeathiri sana hasahasa wanafunzi walio sekondari. Tano, teknolojia imeleta video na kwa sababu hiyo, wanafunzi wanaosoma shule za kutwa wanapoteza muda wao kuangalia video zisizo na mafunzo. Na yale wanayoyaona mle watataka kuiga na wengine huishilia kuwa, wezi na pia majambazi. Wanafunzi hawa wanaishilia kuwa watu wasio maana.
Teknolojia imewezesha watu kupata nini kutoka stesheni
{ "text": [ "Elimu" ] }
3119_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia na ukuaji wa hali ya maisha kutokea kitambo hadi sasa? Teknolojia ina faida nyingi na pia madhara mengi. Faida za teknolojia katika shule ya sekondari ni kama; wepesi wa hali ya elimu. Hii ni kwa sababu elimu ya sasa imerahisishwa kwa sababu ya teknolojia. Teknolojia imewafaa wengi katika shule za sekondari. Teknolojia imefanya wanafunzi kuweza kusoma kwa rahisi. Kama vile wakati shule zilipofungwa, wanafunzi waliweza kutumia teknolojia na wakasoma kupitia runinga na simu. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuendelea na silabasi yao kwa kutumia teknolojia. Hata hivyo, tehnolojia imewafanya wanafunzi kujua mambo mengi ambayo walikuwa hawayajui. Pia teknolojia imewasaidia wanafunzi wa sekondari kurahisisha masomo yao. Kifaa kama kikokotoo kimerahisisha somo la hisabati. Pia katika somo la tarakilishi, kimefanya wanafunzi kujua jinsi zinatumiwa. Hata hivyo, teknolojia imewafanya wanafunzi kupata habari kwa njia rahisi. Yaani, wanafunzi hasa walio shule za bweni wanapata habari wasizozijua kwa kupitia runinga. Teknolojia imewafanya wengi kujua habari wasizozijua kama vile habari za magonjwa. Teknolojia pia imewafanya walimu kuweza kusaka kazi za wanafunzi kwa kupitia simu. Teknolojia imewafaa wanafunzi kama vile mitihani yao huchapishwa kwa kupitia kichapishaji. Wanafunzi hata wakiwa wengi kiasi gani wanauwezo wa kupata mitihani kwa haraka kwa sababu ya kichapishi. Teknolojia hufanya watu kusoma kwenye mitandao kama vile kwenye stesheni za elimu. Stesheni hizo zinasaidia wanafunzi kupata elimu hasa kwa yale mambo ambayo hawakuelewa walipofundishwa na walimu wao. Hivyo basi, wanafunzi hupata kuelewa zaidi kazi ile inayofundishwa. Teknolojia imefanya uwepesi sana katika sekta ya elimu. Teknolojia imesuluhisha mambo mengi kwenye wanafunzi. Teknolojia huwafanya walimu kupata habari za kutoka kwa mwalimu mkuu haraka kama vile mikutano. Ni rahisi kwa walimu kupata habari kama kuna mkutano kwa kutumia njia ya simu. Teknolojia pia ina madhara yake. Kwanza, teknolojia kwa kupitia simu imeharibu wanafunzi kwa sababu wanafunzi hawa watatumia simu hizi kuangalia picha chafu kwenye mitandao na hilo linaathiri wanafunzi kwenye elimu yao. Akili za wanafunzi huharibika na kupotoka kwa sababu ya zile picha. Pili, teknolojia inaathiri wanafunzi kwa sababu kikokotoo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hasa kwenye hisabati. Wanafunzi wanaona ni mateso kufikiria kutumia akili zao kwa sababu wanajua kuwa vikokotoo vitakavyo wafanyia hesabu zile. Hapo ndipo utakapopata kuwa wanafunzi wanategemea sana vikokotoo. Teknolojia kupitia tarakilishi imewaathiri wanafunzi kwa sababu wanafunzi wanatumia tarakilishi kwa njia potovu. Kwa sababu hiyo, wanafunzi hawaa watakuwa na utovu wa nidhamu. Wanafunzi wanatumia mitandao kwa njia mbaya. Hapo ndipo utapata kuwa watoto wadogo wana utovu wa nidhamu. Nne, mitandao ya facebook na twitter imeharibu wanafunzi. Wanafunzi wanaingia kwenye mtandao na kuangalia vitu vilivyotumwa visivyo vya umri wao. Watoto hawa kwenye akili zao watakuwa na mambo mengi yanayowapita umri. Teknolojia hapo itakuwa imeathiri sana hasahasa wanafunzi walio sekondari. Tano, teknolojia imeleta video na kwa sababu hiyo, wanafunzi wanaosoma shule za kutwa wanapoteza muda wao kuangalia video zisizo na mafunzo. Na yale wanayoyaona mle watataka kuiga na wengine huishilia kuwa, wezi na pia majambazi. Wanafunzi hawa wanaishilia kuwa watu wasio maana.
Teknolojia kupitia vikokotoo imechangia wanafunzi kuwa na nini
{ "text": [ "Uvivu wa kufikiria" ] }
3119_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia na ukuaji wa hali ya maisha kutokea kitambo hadi sasa? Teknolojia ina faida nyingi na pia madhara mengi. Faida za teknolojia katika shule ya sekondari ni kama; wepesi wa hali ya elimu. Hii ni kwa sababu elimu ya sasa imerahisishwa kwa sababu ya teknolojia. Teknolojia imewafaa wengi katika shule za sekondari. Teknolojia imefanya wanafunzi kuweza kusoma kwa rahisi. Kama vile wakati shule zilipofungwa, wanafunzi waliweza kutumia teknolojia na wakasoma kupitia runinga na simu. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuendelea na silabasi yao kwa kutumia teknolojia. Hata hivyo, tehnolojia imewafanya wanafunzi kujua mambo mengi ambayo walikuwa hawayajui. Pia teknolojia imewasaidia wanafunzi wa sekondari kurahisisha masomo yao. Kifaa kama kikokotoo kimerahisisha somo la hisabati. Pia katika somo la tarakilishi, kimefanya wanafunzi kujua jinsi zinatumiwa. Hata hivyo, teknolojia imewafanya wanafunzi kupata habari kwa njia rahisi. Yaani, wanafunzi hasa walio shule za bweni wanapata habari wasizozijua kwa kupitia runinga. Teknolojia imewafanya wengi kujua habari wasizozijua kama vile habari za magonjwa. Teknolojia pia imewafanya walimu kuweza kusaka kazi za wanafunzi kwa kupitia simu. Teknolojia imewafaa wanafunzi kama vile mitihani yao huchapishwa kwa kupitia kichapishaji. Wanafunzi hata wakiwa wengi kiasi gani wanauwezo wa kupata mitihani kwa haraka kwa sababu ya kichapishi. Teknolojia hufanya watu kusoma kwenye mitandao kama vile kwenye stesheni za elimu. Stesheni hizo zinasaidia wanafunzi kupata elimu hasa kwa yale mambo ambayo hawakuelewa walipofundishwa na walimu wao. Hivyo basi, wanafunzi hupata kuelewa zaidi kazi ile inayofundishwa. Teknolojia imefanya uwepesi sana katika sekta ya elimu. Teknolojia imesuluhisha mambo mengi kwenye wanafunzi. Teknolojia huwafanya walimu kupata habari za kutoka kwa mwalimu mkuu haraka kama vile mikutano. Ni rahisi kwa walimu kupata habari kama kuna mkutano kwa kutumia njia ya simu. Teknolojia pia ina madhara yake. Kwanza, teknolojia kwa kupitia simu imeharibu wanafunzi kwa sababu wanafunzi hawa watatumia simu hizi kuangalia picha chafu kwenye mitandao na hilo linaathiri wanafunzi kwenye elimu yao. Akili za wanafunzi huharibika na kupotoka kwa sababu ya zile picha. Pili, teknolojia inaathiri wanafunzi kwa sababu kikokotoo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hasa kwenye hisabati. Wanafunzi wanaona ni mateso kufikiria kutumia akili zao kwa sababu wanajua kuwa vikokotoo vitakavyo wafanyia hesabu zile. Hapo ndipo utakapopata kuwa wanafunzi wanategemea sana vikokotoo. Teknolojia kupitia tarakilishi imewaathiri wanafunzi kwa sababu wanafunzi wanatumia tarakilishi kwa njia potovu. Kwa sababu hiyo, wanafunzi hawaa watakuwa na utovu wa nidhamu. Wanafunzi wanatumia mitandao kwa njia mbaya. Hapo ndipo utapata kuwa watoto wadogo wana utovu wa nidhamu. Nne, mitandao ya facebook na twitter imeharibu wanafunzi. Wanafunzi wanaingia kwenye mtandao na kuangalia vitu vilivyotumwa visivyo vya umri wao. Watoto hawa kwenye akili zao watakuwa na mambo mengi yanayowapita umri. Teknolojia hapo itakuwa imeathiri sana hasahasa wanafunzi walio sekondari. Tano, teknolojia imeleta video na kwa sababu hiyo, wanafunzi wanaosoma shule za kutwa wanapoteza muda wao kuangalia video zisizo na mafunzo. Na yale wanayoyaona mle watataka kuiga na wengine huishilia kuwa, wezi na pia majambazi. Wanafunzi hawa wanaishilia kuwa watu wasio maana.
Ni tabia ipi imechangiwa na teknolojia miongoni mwa wanafunzi
{ "text": [ "Wizi na ujambazi" ] }
3120_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Katika kijiji kimoja paliishi mvulana aliyeitwa Mashaka. Mashaka alikuwa kijana mzuri mwenye bidii kwenye masomo yake. Mashaka alikuwa wembe kwenye masomo yake. Wazazi wake walimpenda kama chanda na pete. Walikuwa wakijikaza kisabuni ili waweze kumtendea kila kitu anachotaka. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana. Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kusherekea. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kijiji kimoja paliishi kijana aliyeitwa nani
{ "text": [ "Mashaka" ] }
3120_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Katika kijiji kimoja paliishi mvulana aliyeitwa Mashaka. Mashaka alikuwa kijana mzuri mwenye bidii kwenye masomo yake. Mashaka alikuwa wembe kwenye masomo yake. Wazazi wake walimpenda kama chanda na pete. Walikuwa wakijikaza kisabuni ili waweze kumtendea kila kitu anachotaka. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana. Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kusherekea. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mashaka alikuwa wa ngapi darasani
{ "text": [ "Kwanza" ] }
3120_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Katika kijiji kimoja paliishi mvulana aliyeitwa Mashaka. Mashaka alikuwa kijana mzuri mwenye bidii kwenye masomo yake. Mashaka alikuwa wembe kwenye masomo yake. Wazazi wake walimpenda kama chanda na pete. Walikuwa wakijikaza kisabuni ili waweze kumtendea kila kitu anachotaka. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana. Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kusherekea. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mashaka alikuwa mwanafunzi bora katika kaunti ipi
{ "text": [ "Kwale" ] }
3120_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Katika kijiji kimoja paliishi mvulana aliyeitwa Mashaka. Mashaka alikuwa kijana mzuri mwenye bidii kwenye masomo yake. Mashaka alikuwa wembe kwenye masomo yake. Wazazi wake walimpenda kama chanda na pete. Walikuwa wakijikaza kisabuni ili waweze kumtendea kila kitu anachotaka. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana. Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kusherekea. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mashaka alipata shule ya upili ipi
{ "text": [ "Starehe" ] }
3120_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Katika kijiji kimoja paliishi mvulana aliyeitwa Mashaka. Mashaka alikuwa kijana mzuri mwenye bidii kwenye masomo yake. Mashaka alikuwa wembe kwenye masomo yake. Wazazi wake walimpenda kama chanda na pete. Walikuwa wakijikaza kisabuni ili waweze kumtendea kila kitu anachotaka. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana. Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kusherekea. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kwa nini Mashaka aliaga dunia
{ "text": [ "Alionekana akiiba runinga" ] }
3121_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia imeleta faida za kimaarifa kama vile urahisishaji wa kulima, ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kutumia rununu. Katika shule za sekondari, teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu na hata wanafunzi kwa kuanzishwa kwa kusoma kutumia tarakilishi. Sasa hivi, walimu hawana haja ya kubeba vitabu kila wanapoenda darasani wakifundisha, ila wao hubeba tarakilishi zao tu ambazo pia zimewapumzisha kuandika kabla ya kuja darasani ili kupata uchambuzi zaidi kuhusu kile anachotaka kufunza. Wanachotakiwa kufanya ni kuchapisha kile wanachotaka kukifundisha katika mtandao. Ama kweli faida za teknolojia ni nyingi kuliko madhara yake. Miongoni mwa faida ni kama vile kusambaza ujumbe fulani ulio muhimu kutumia simu ya mkononi, redio, runinga na hata tarakilishi ambapo vyote hivyo ni rahisi mno kuvipata. Katika madhara, teknolojia imeleta mafunzo ambayo huleta hatari kama vile utengenezaji wa vilipuzi kama vile mabomu, makombora na vinginevyo. Zinatengenezwa kama zana za vita ila mara nyingi hutumika kwa kulipiza kisasi baina ya kundi moja na lingine. Kutokana na simu, kumeundwa mitandao ya aina mbalimbali ambayo huwaharibu sana vijana kwa kuwapumbaza video chafu ambazo hazina mafunzo. Hii huwafanya vijana wengi kutoroka shuleni na kwenda kufanya mambo machafu kama vile wizi, ubakaji na hata kushurutisha vijana wengine na kuwaingiza kwa yale wanayoyafanya. Hii huleta mwelekeo mwovu katika jamii.
Nini hutumiwa kutuma ujumbe kwa mtu mmoja hadi mwingine
{ "text": [ "rununu" ] }
3121_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia imeleta faida za kimaarifa kama vile urahisishaji wa kulima, ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kutumia rununu. Katika shule za sekondari, teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu na hata wanafunzi kwa kuanzishwa kwa kusoma kutumia tarakilishi. Sasa hivi, walimu hawana haja ya kubeba vitabu kila wanapoenda darasani wakifundisha, ila wao hubeba tarakilishi zao tu ambazo pia zimewapumzisha kuandika kabla ya kuja darasani ili kupata uchambuzi zaidi kuhusu kile anachotaka kufunza. Wanachotakiwa kufanya ni kuchapisha kile wanachotaka kukifundisha katika mtandao. Ama kweli faida za teknolojia ni nyingi kuliko madhara yake. Miongoni mwa faida ni kama vile kusambaza ujumbe fulani ulio muhimu kutumia simu ya mkononi, redio, runinga na hata tarakilishi ambapo vyote hivyo ni rahisi mno kuvipata. Katika madhara, teknolojia imeleta mafunzo ambayo huleta hatari kama vile utengenezaji wa vilipuzi kama vile mabomu, makombora na vinginevyo. Zinatengenezwa kama zana za vita ila mara nyingi hutumika kwa kulipiza kisasi baina ya kundi moja na lingine. Kutokana na simu, kumeundwa mitandao ya aina mbalimbali ambayo huwaharibu sana vijana kwa kuwapumbaza video chafu ambazo hazina mafunzo. Hii huwafanya vijana wengi kutoroka shuleni na kwenda kufanya mambo machafu kama vile wizi, ubakaji na hata kushurutisha vijana wengine na kuwaingiza kwa yale wanayoyafanya. Hii huleta mwelekeo mwovu katika jamii.
Waalimu hutumia nini kuchapisha wanachofunza kwa mtandao
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3121_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia imeleta faida za kimaarifa kama vile urahisishaji wa kulima, ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kutumia rununu. Katika shule za sekondari, teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu na hata wanafunzi kwa kuanzishwa kwa kusoma kutumia tarakilishi. Sasa hivi, walimu hawana haja ya kubeba vitabu kila wanapoenda darasani wakifundisha, ila wao hubeba tarakilishi zao tu ambazo pia zimewapumzisha kuandika kabla ya kuja darasani ili kupata uchambuzi zaidi kuhusu kile anachotaka kufunza. Wanachotakiwa kufanya ni kuchapisha kile wanachotaka kukifundisha katika mtandao. Ama kweli faida za teknolojia ni nyingi kuliko madhara yake. Miongoni mwa faida ni kama vile kusambaza ujumbe fulani ulio muhimu kutumia simu ya mkononi, redio, runinga na hata tarakilishi ambapo vyote hivyo ni rahisi mno kuvipata. Katika madhara, teknolojia imeleta mafunzo ambayo huleta hatari kama vile utengenezaji wa vilipuzi kama vile mabomu, makombora na vinginevyo. Zinatengenezwa kama zana za vita ila mara nyingi hutumika kwa kulipiza kisasi baina ya kundi moja na lingine. Kutokana na simu, kumeundwa mitandao ya aina mbalimbali ambayo huwaharibu sana vijana kwa kuwapumbaza video chafu ambazo hazina mafunzo. Hii huwafanya vijana wengi kutoroka shuleni na kwenda kufanya mambo machafu kama vile wizi, ubakaji na hata kushurutisha vijana wengine na kuwaingiza kwa yale wanayoyafanya. Hii huleta mwelekeo mwovu katika jamii.
Wanafunzi husoma wakitumia nini
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3121_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia imeleta faida za kimaarifa kama vile urahisishaji wa kulima, ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kutumia rununu. Katika shule za sekondari, teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu na hata wanafunzi kwa kuanzishwa kwa kusoma kutumia tarakilishi. Sasa hivi, walimu hawana haja ya kubeba vitabu kila wanapoenda darasani wakifundisha, ila wao hubeba tarakilishi zao tu ambazo pia zimewapumzisha kuandika kabla ya kuja darasani ili kupata uchambuzi zaidi kuhusu kile anachotaka kufunza. Wanachotakiwa kufanya ni kuchapisha kile wanachotaka kukifundisha katika mtandao. Ama kweli faida za teknolojia ni nyingi kuliko madhara yake. Miongoni mwa faida ni kama vile kusambaza ujumbe fulani ulio muhimu kutumia simu ya mkononi, redio, runinga na hata tarakilishi ambapo vyote hivyo ni rahisi mno kuvipata. Katika madhara, teknolojia imeleta mafunzo ambayo huleta hatari kama vile utengenezaji wa vilipuzi kama vile mabomu, makombora na vinginevyo. Zinatengenezwa kama zana za vita ila mara nyingi hutumika kwa kulipiza kisasi baina ya kundi moja na lingine. Kutokana na simu, kumeundwa mitandao ya aina mbalimbali ambayo huwaharibu sana vijana kwa kuwapumbaza video chafu ambazo hazina mafunzo. Hii huwafanya vijana wengi kutoroka shuleni na kwenda kufanya mambo machafu kama vile wizi, ubakaji na hata kushurutisha vijana wengine na kuwaingiza kwa yale wanayoyafanya. Hii huleta mwelekeo mwovu katika jamii.
Vijana hujihusisha na matendo machafu kama wizi lini
{ "text": [ "wanapoziona video chafu" ] }
3121_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo kama vile kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia imeleta faida za kimaarifa kama vile urahisishaji wa kulima, ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kutumia rununu. Katika shule za sekondari, teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu na hata wanafunzi kwa kuanzishwa kwa kusoma kutumia tarakilishi. Sasa hivi, walimu hawana haja ya kubeba vitabu kila wanapoenda darasani wakifundisha, ila wao hubeba tarakilishi zao tu ambazo pia zimewapumzisha kuandika kabla ya kuja darasani ili kupata uchambuzi zaidi kuhusu kile anachotaka kufunza. Wanachotakiwa kufanya ni kuchapisha kile wanachotaka kukifundisha katika mtandao. Ama kweli faida za teknolojia ni nyingi kuliko madhara yake. Miongoni mwa faida ni kama vile kusambaza ujumbe fulani ulio muhimu kutumia simu ya mkononi, redio, runinga na hata tarakilishi ambapo vyote hivyo ni rahisi mno kuvipata. Katika madhara, teknolojia imeleta mafunzo ambayo huleta hatari kama vile utengenezaji wa vilipuzi kama vile mabomu, makombora na vinginevyo. Zinatengenezwa kama zana za vita ila mara nyingi hutumika kwa kulipiza kisasi baina ya kundi moja na lingine. Kutokana na simu, kumeundwa mitandao ya aina mbalimbali ambayo huwaharibu sana vijana kwa kuwapumbaza video chafu ambazo hazina mafunzo. Hii huwafanya vijana wengi kutoroka shuleni na kwenda kufanya mambo machafu kama vile wizi, ubakaji na hata kushurutisha vijana wengine na kuwaingiza kwa yale wanayoyafanya. Hii huleta mwelekeo mwovu katika jamii.
Matumizi ya teknolojia yamesababisha madhara aje
{ "text": [ "utengenezaji wa vilipuzi umetumika kueneza vita baina ya makundi" ] }
3122_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote asiyependa kuwasikiliza wakuu wake mwishowe atapatwa na makuu ambayo yakamfanya aishi kujutia maisha yake. Methali hii huenda sambamba na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Naam, hapo jadi na jududi aliondokea msichana mmoja katika kitongoji cha Mwemakweli katika jiji lenye wenyeji tajika. Msichana huyo alikuwa akiitwa Kazuri na alikuwa kama jina lake lilivyosema. Kwa kweli, chema hakidumu walivyonena wahenga. Msichana huyu kama lilivyo jina lake ndivyo alivyokuwa. Alikuwa mrembo mwenye umbo la kuvutia, shingo ya upanga na uso wa mdoli. Kijiji hicho kilimtazama msichana huyo kwa jicho la husda. Hakuna aliyemtakia mema msichana huyo kwani uzuri wake uliwatamanisha hadi wazazi wengine walitamani awe mwana wao. Udhaifu wa Kazuri ni kuwa hakupenda kuwasikiliza wazazi wake wala mkubwa wake yeyote yule. Hakupenda kuambiwa ukweli kwamba lipi la kufanywa na lipi lisifanywe. Kazuri hakuwapa wazazi wake hata dakika moja ya kuwasikiliza ili kupata wasia wao. Alichokifanya ni kuwapuuza tu. Kazuri alikuwa msichana mwenye bidii shuleni licha ya tabia mbovu alizokuwa nazo. Kama walivyonuna wahenga kwamba Mola hamtupi mja wake, Kazuri alihitimu darasa la nane na alama tajika na nzuri. Aliibuka nambari moja shuleni kwao. Hili lilimfanya Kazuri kuzidisha kiburi chake akawa hata salamu kwake ni gharama. Kazuri aliendelea kutosikiliza wakuu wake na kama wahenga walivyokithiri kwamba kilicho na mwanzo kina mwisho. Kazuri aliendelea hivi mwishowe makuu yakamkuta. Alianza kuugua ugonjwa usiojulikana baada ya kuwatoroka wazaziwe na kuanza maisha mapya. Wazazi wake hawakujishughulisha kamwe kwani hata yeye hakujishughulisha kwao. Kazuri aliendelea kuugua hadi mwisho akafa. Laiti Kazuri angeliwasikiliza wazazi wake haya yote yasingali mkuta. Hii inatufunza kwamba siku zote tunatakiwa kuwasikiliza na kuwaheshimu wazazi wetu.
Chema hakifanyi nini
{ "text": [ "Hakidumu" ] }
3122_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote asiyependa kuwasikiliza wakuu wake mwishowe atapatwa na makuu ambayo yakamfanya aishi kujutia maisha yake. Methali hii huenda sambamba na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Naam, hapo jadi na jududi aliondokea msichana mmoja katika kitongoji cha Mwemakweli katika jiji lenye wenyeji tajika. Msichana huyo alikuwa akiitwa Kazuri na alikuwa kama jina lake lilivyosema. Kwa kweli, chema hakidumu walivyonena wahenga. Msichana huyu kama lilivyo jina lake ndivyo alivyokuwa. Alikuwa mrembo mwenye umbo la kuvutia, shingo ya upanga na uso wa mdoli. Kijiji hicho kilimtazama msichana huyo kwa jicho la husda. Hakuna aliyemtakia mema msichana huyo kwani uzuri wake uliwatamanisha hadi wazazi wengine walitamani awe mwana wao. Udhaifu wa Kazuri ni kuwa hakupenda kuwasikiliza wazazi wake wala mkubwa wake yeyote yule. Hakupenda kuambiwa ukweli kwamba lipi la kufanywa na lipi lisifanywe. Kazuri hakuwapa wazazi wake hata dakika moja ya kuwasikiliza ili kupata wasia wao. Alichokifanya ni kuwapuuza tu. Kazuri alikuwa msichana mwenye bidii shuleni licha ya tabia mbovu alizokuwa nazo. Kama walivyonuna wahenga kwamba Mola hamtupi mja wake, Kazuri alihitimu darasa la nane na alama tajika na nzuri. Aliibuka nambari moja shuleni kwao. Hili lilimfanya Kazuri kuzidisha kiburi chake akawa hata salamu kwake ni gharama. Kazuri aliendelea kutosikiliza wakuu wake na kama wahenga walivyokithiri kwamba kilicho na mwanzo kina mwisho. Kazuri aliendelea hivi mwishowe makuu yakamkuta. Alianza kuugua ugonjwa usiojulikana baada ya kuwatoroka wazaziwe na kuanza maisha mapya. Wazazi wake hawakujishughulisha kamwe kwani hata yeye hakujishughulisha kwao. Kazuri aliendelea kuugua hadi mwisho akafa. Laiti Kazuri angeliwasikiliza wazazi wake haya yote yasingali mkuta. Hii inatufunza kwamba siku zote tunatakiwa kuwasikiliza na kuwaheshimu wazazi wetu.
Msichana kazuri hakupenda kuwasikiliza kina nani
{ "text": [ "Wazazi wake" ] }
3122_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote asiyependa kuwasikiliza wakuu wake mwishowe atapatwa na makuu ambayo yakamfanya aishi kujutia maisha yake. Methali hii huenda sambamba na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Naam, hapo jadi na jududi aliondokea msichana mmoja katika kitongoji cha Mwemakweli katika jiji lenye wenyeji tajika. Msichana huyo alikuwa akiitwa Kazuri na alikuwa kama jina lake lilivyosema. Kwa kweli, chema hakidumu walivyonena wahenga. Msichana huyu kama lilivyo jina lake ndivyo alivyokuwa. Alikuwa mrembo mwenye umbo la kuvutia, shingo ya upanga na uso wa mdoli. Kijiji hicho kilimtazama msichana huyo kwa jicho la husda. Hakuna aliyemtakia mema msichana huyo kwani uzuri wake uliwatamanisha hadi wazazi wengine walitamani awe mwana wao. Udhaifu wa Kazuri ni kuwa hakupenda kuwasikiliza wazazi wake wala mkubwa wake yeyote yule. Hakupenda kuambiwa ukweli kwamba lipi la kufanywa na lipi lisifanywe. Kazuri hakuwapa wazazi wake hata dakika moja ya kuwasikiliza ili kupata wasia wao. Alichokifanya ni kuwapuuza tu. Kazuri alikuwa msichana mwenye bidii shuleni licha ya tabia mbovu alizokuwa nazo. Kama walivyonuna wahenga kwamba Mola hamtupi mja wake, Kazuri alihitimu darasa la nane na alama tajika na nzuri. Aliibuka nambari moja shuleni kwao. Hili lilimfanya Kazuri kuzidisha kiburi chake akawa hata salamu kwake ni gharama. Kazuri aliendelea kutosikiliza wakuu wake na kama wahenga walivyokithiri kwamba kilicho na mwanzo kina mwisho. Kazuri aliendelea hivi mwishowe makuu yakamkuta. Alianza kuugua ugonjwa usiojulikana baada ya kuwatoroka wazaziwe na kuanza maisha mapya. Wazazi wake hawakujishughulisha kamwe kwani hata yeye hakujishughulisha kwao. Kazuri aliendelea kuugua hadi mwisho akafa. Laiti Kazuri angeliwasikiliza wazazi wake haya yote yasingali mkuta. Hii inatufunza kwamba siku zote tunatakiwa kuwasikiliza na kuwaheshimu wazazi wetu.
Nani alikuwa msichana mwenye bidii shuleni licha ya tabia mbovu
{ "text": [ "Kazuri" ] }
3122_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote asiyependa kuwasikiliza wakuu wake mwishowe atapatwa na makuu ambayo yakamfanya aishi kujutia maisha yake. Methali hii huenda sambamba na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Naam, hapo jadi na jududi aliondokea msichana mmoja katika kitongoji cha Mwemakweli katika jiji lenye wenyeji tajika. Msichana huyo alikuwa akiitwa Kazuri na alikuwa kama jina lake lilivyosema. Kwa kweli, chema hakidumu walivyonena wahenga. Msichana huyu kama lilivyo jina lake ndivyo alivyokuwa. Alikuwa mrembo mwenye umbo la kuvutia, shingo ya upanga na uso wa mdoli. Kijiji hicho kilimtazama msichana huyo kwa jicho la husda. Hakuna aliyemtakia mema msichana huyo kwani uzuri wake uliwatamanisha hadi wazazi wengine walitamani awe mwana wao. Udhaifu wa Kazuri ni kuwa hakupenda kuwasikiliza wazazi wake wala mkubwa wake yeyote yule. Hakupenda kuambiwa ukweli kwamba lipi la kufanywa na lipi lisifanywe. Kazuri hakuwapa wazazi wake hata dakika moja ya kuwasikiliza ili kupata wasia wao. Alichokifanya ni kuwapuuza tu. Kazuri alikuwa msichana mwenye bidii shuleni licha ya tabia mbovu alizokuwa nazo. Kama walivyonuna wahenga kwamba Mola hamtupi mja wake, Kazuri alihitimu darasa la nane na alama tajika na nzuri. Aliibuka nambari moja shuleni kwao. Hili lilimfanya Kazuri kuzidisha kiburi chake akawa hata salamu kwake ni gharama. Kazuri aliendelea kutosikiliza wakuu wake na kama wahenga walivyokithiri kwamba kilicho na mwanzo kina mwisho. Kazuri aliendelea hivi mwishowe makuu yakamkuta. Alianza kuugua ugonjwa usiojulikana baada ya kuwatoroka wazaziwe na kuanza maisha mapya. Wazazi wake hawakujishughulisha kamwe kwani hata yeye hakujishughulisha kwao. Kazuri aliendelea kuugua hadi mwisho akafa. Laiti Kazuri angeliwasikiliza wazazi wake haya yote yasingali mkuta. Hii inatufunza kwamba siku zote tunatakiwa kuwasikiliza na kuwaheshimu wazazi wetu.
Siku zote tunatakiwa kuwasikiliza na kuwaheshimu kina nani
{ "text": [ "Wazazi wetu" ] }
3122_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote asiyependa kuwasikiliza wakuu wake mwishowe atapatwa na makuu ambayo yakamfanya aishi kujutia maisha yake. Methali hii huenda sambamba na ile isemayo kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Naam, hapo jadi na jududi aliondokea msichana mmoja katika kitongoji cha Mwemakweli katika jiji lenye wenyeji tajika. Msichana huyo alikuwa akiitwa Kazuri na alikuwa kama jina lake lilivyosema. Kwa kweli, chema hakidumu walivyonena wahenga. Msichana huyu kama lilivyo jina lake ndivyo alivyokuwa. Alikuwa mrembo mwenye umbo la kuvutia, shingo ya upanga na uso wa mdoli. Kijiji hicho kilimtazama msichana huyo kwa jicho la husda. Hakuna aliyemtakia mema msichana huyo kwani uzuri wake uliwatamanisha hadi wazazi wengine walitamani awe mwana wao. Udhaifu wa Kazuri ni kuwa hakupenda kuwasikiliza wazazi wake wala mkubwa wake yeyote yule. Hakupenda kuambiwa ukweli kwamba lipi la kufanywa na lipi lisifanywe. Kazuri hakuwapa wazazi wake hata dakika moja ya kuwasikiliza ili kupata wasia wao. Alichokifanya ni kuwapuuza tu. Kazuri alikuwa msichana mwenye bidii shuleni licha ya tabia mbovu alizokuwa nazo. Kama walivyonuna wahenga kwamba Mola hamtupi mja wake, Kazuri alihitimu darasa la nane na alama tajika na nzuri. Aliibuka nambari moja shuleni kwao. Hili lilimfanya Kazuri kuzidisha kiburi chake akawa hata salamu kwake ni gharama. Kazuri aliendelea kutosikiliza wakuu wake na kama wahenga walivyokithiri kwamba kilicho na mwanzo kina mwisho. Kazuri aliendelea hivi mwishowe makuu yakamkuta. Alianza kuugua ugonjwa usiojulikana baada ya kuwatoroka wazaziwe na kuanza maisha mapya. Wazazi wake hawakujishughulisha kamwe kwani hata yeye hakujishughulisha kwao. Kazuri aliendelea kuugua hadi mwisho akafa. Laiti Kazuri angeliwasikiliza wazazi wake haya yote yasingali mkuta. Hii inatufunza kwamba siku zote tunatakiwa kuwasikiliza na kuwaheshimu wazazi wetu.
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani
{ "text": [ "Ulimwengu" ] }
3123_swa
ASIVESKIYA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa asiyesikiliza wakuu hufikiwa na makuu. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Hapo jadi, palishi kijana mmoja aliyeitwa Mhepa. Aliishi katika mtaa wa Lituko. Alisoma katika shule ya upili ya Madongo poromoka na alikua katika kidato cha nne. Mhepa alikuwa na tabia ya kutoroka shule. Walimu na wazazi waliungana ili kumkomesha tabia yake mabaya lakini masikio yake aliyatia pamba. Hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Mitihani ilikuwa inapiga hodi na kila mwanafunzi alikuwa ametulia tuli darasani. Mara upepo mwanana ukapeperusha sauti ya mzika kutoka mbali. Masikio ya Mhepa yakunasa mdundo huo na kumtia mshawasha wa kutoroka. Akadanganya kiranja wa shule kuwa hajihisi vizuri na kupewa ruhusa kurudi katika bweni. Alijaribu kukatazwa lakini hakusikia, ama kweli, sikio la kufa halisikii dawa. Alitoweka na kuelekea kulikotoka mziki huo. Mhepa alishikwa na mdundo wa mziki kiasi cha kujirusha juu na chini mithili ya nyati akimbiaye kwenye mbuga ya Tsavo. Katika harakati zake za kupiga densi, alimkanyaga jamaa mmoja aliyekuwa mfupi kama nyundo.
Mhepa aliishi katika mtaa gani
{ "text": [ "Vituko" ] }
3123_swa
ASIVESKIYA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa asiyesikiliza wakuu hufikiwa na makuu. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Hapo jadi, palishi kijana mmoja aliyeitwa Mhepa. Aliishi katika mtaa wa Lituko. Alisoma katika shule ya upili ya Madongo poromoka na alikua katika kidato cha nne. Mhepa alikuwa na tabia ya kutoroka shule. Walimu na wazazi waliungana ili kumkomesha tabia yake mabaya lakini masikio yake aliyatia pamba. Hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Mitihani ilikuwa inapiga hodi na kila mwanafunzi alikuwa ametulia tuli darasani. Mara upepo mwanana ukapeperusha sauti ya mzika kutoka mbali. Masikio ya Mhepa yakunasa mdundo huo na kumtia mshawasha wa kutoroka. Akadanganya kiranja wa shule kuwa hajihisi vizuri na kupewa ruhusa kurudi katika bweni. Alijaribu kukatazwa lakini hakusikia, ama kweli, sikio la kufa halisikii dawa. Alitoweka na kuelekea kulikotoka mziki huo. Mhepa alishikwa na mdundo wa mziki kiasi cha kujirusha juu na chini mithili ya nyati akimbiaye kwenye mbuga ya Tsavo. Katika harakati zake za kupiga densi, alimkanyaga jamaa mmoja aliyekuwa mfupi kama nyundo.
Masikio ya Mhepa yalinasa nini
{ "text": [ "Mdundo" ] }
3123_swa
ASIVESKIYA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa asiyesikiliza wakuu hufikiwa na makuu. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Hapo jadi, palishi kijana mmoja aliyeitwa Mhepa. Aliishi katika mtaa wa Lituko. Alisoma katika shule ya upili ya Madongo poromoka na alikua katika kidato cha nne. Mhepa alikuwa na tabia ya kutoroka shule. Walimu na wazazi waliungana ili kumkomesha tabia yake mabaya lakini masikio yake aliyatia pamba. Hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Mitihani ilikuwa inapiga hodi na kila mwanafunzi alikuwa ametulia tuli darasani. Mara upepo mwanana ukapeperusha sauti ya mzika kutoka mbali. Masikio ya Mhepa yakunasa mdundo huo na kumtia mshawasha wa kutoroka. Akadanganya kiranja wa shule kuwa hajihisi vizuri na kupewa ruhusa kurudi katika bweni. Alijaribu kukatazwa lakini hakusikia, ama kweli, sikio la kufa halisikii dawa. Alitoweka na kuelekea kulikotoka mziki huo. Mhepa alishikwa na mdundo wa mziki kiasi cha kujirusha juu na chini mithili ya nyati akimbiaye kwenye mbuga ya Tsavo. Katika harakati zake za kupiga densi, alimkanyaga jamaa mmoja aliyekuwa mfupi kama nyundo.
Ni nini hakisikii dawa
{ "text": [ "Sikio la kufa" ] }
3123_swa
ASIVESKIYA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa asiyesikiliza wakuu hufikiwa na makuu. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Hapo jadi, palishi kijana mmoja aliyeitwa Mhepa. Aliishi katika mtaa wa Lituko. Alisoma katika shule ya upili ya Madongo poromoka na alikua katika kidato cha nne. Mhepa alikuwa na tabia ya kutoroka shule. Walimu na wazazi waliungana ili kumkomesha tabia yake mabaya lakini masikio yake aliyatia pamba. Hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Mitihani ilikuwa inapiga hodi na kila mwanafunzi alikuwa ametulia tuli darasani. Mara upepo mwanana ukapeperusha sauti ya mzika kutoka mbali. Masikio ya Mhepa yakunasa mdundo huo na kumtia mshawasha wa kutoroka. Akadanganya kiranja wa shule kuwa hajihisi vizuri na kupewa ruhusa kurudi katika bweni. Alijaribu kukatazwa lakini hakusikia, ama kweli, sikio la kufa halisikii dawa. Alitoweka na kuelekea kulikotoka mziki huo. Mhepa alishikwa na mdundo wa mziki kiasi cha kujirusha juu na chini mithili ya nyati akimbiaye kwenye mbuga ya Tsavo. Katika harakati zake za kupiga densi, alimkanyaga jamaa mmoja aliyekuwa mfupi kama nyundo.
Nani aliamua kujitambulisha kuwa alikuwa mwanafunzi
{ "text": [ "Mhepa" ] }
3123_swa
ASIVESKIYA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa asiyesikiliza wakuu hufikiwa na makuu. Methali hii ina maana sawa na ile isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Hapo jadi, palishi kijana mmoja aliyeitwa Mhepa. Aliishi katika mtaa wa Lituko. Alisoma katika shule ya upili ya Madongo poromoka na alikua katika kidato cha nne. Mhepa alikuwa na tabia ya kutoroka shule. Walimu na wazazi waliungana ili kumkomesha tabia yake mabaya lakini masikio yake aliyatia pamba. Hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Mitihani ilikuwa inapiga hodi na kila mwanafunzi alikuwa ametulia tuli darasani. Mara upepo mwanana ukapeperusha sauti ya mzika kutoka mbali. Masikio ya Mhepa yakunasa mdundo huo na kumtia mshawasha wa kutoroka. Akadanganya kiranja wa shule kuwa hajihisi vizuri na kupewa ruhusa kurudi katika bweni. Alijaribu kukatazwa lakini hakusikia, ama kweli, sikio la kufa halisikii dawa. Alitoweka na kuelekea kulikotoka mziki huo. Mhepa alishikwa na mdundo wa mziki kiasi cha kujirusha juu na chini mithili ya nyati akimbiaye kwenye mbuga ya Tsavo. Katika harakati zake za kupiga densi, alimkanyaga jamaa mmoja aliyekuwa mfupi kama nyundo.
Mbona wengi walishangaa
{ "text": [ "Kwa sababu walimuona kibete akimwangusha kijana mwenye tumbo kubwa" ] }
3124_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo. Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana. Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine. Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki. Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo: Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi sahii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali. Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi. Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea. Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
Kifaa kipi hutumika na wanafunzi katika somo la hisabati
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3124_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo. Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana. Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine. Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki. Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo: Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi sahii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali. Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi. Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea. Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
Teknolojia imerahihisha nini baina ya mwalimu na mwanafunzi
{ "text": [ "Mawasiliano" ] }
3124_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo. Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana. Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine. Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki. Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo: Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi sahii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali. Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi. Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea. Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
Kutumia teknolojia walimu wanaweza chapisha nini kuonyesha historia na kumbukizi shuleni
{ "text": [ "Gazeti" ] }
3124_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo. Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana. Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine. Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki. Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo: Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi sahii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali. Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi. Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea. Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
Ni madhara gani teknolojia imewaletea wanafunzi kupitia simu
{ "text": [ "Wanafunzi kuwa bongolala" ] }
3124_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia imesaidia katika kufanya utafiti. Hii ni kwa sababu wanafunzi na hata walimu wanaweza kutumia mitandao ili kutafiti mambo yanayowakanganya. Hili limesaidia kupunguza mikururo ya vitabu vya kufanya utafiti kwa utumizi wa mitambo kama vile kompyuta, kipakatalishi na mengineyo. Teknolojia pia imerahisisha masomo kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo katika somo la hisabati na mengineyo ili kukomboa wakati. Hivyo basi, wanafunzi hawana haja ya kufanya kazi mara nyingi kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo kinachofanya kazi kuwa kasi sana. Licha ya haya, teknolojia pia imerahisisha uhifadhi wa data katika shule. Hapo mwanzo ofisi zilijaa makaratasi na madaftari mengi ya data mbalimbali lakini sasa kompyuta imerahisisha kazi kwani data yoyote inaweza kuhifadhiwa hapo na ikawa salama bila ya kuharibika au kuibiwa na mtu mwingine. Pia teknolojia imesaidia katika kupiga chapa karatasi za shule bila ya haja ya kwenda nje ya shule kutimiza mahitaji haya. Walimu pia wanaweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule bila ya shida yoyote. Hii ni kwa sababu ya mitambo ya kisasa ambayo imekuwa ya muhimu sana katika shule za sekondari. Kichapishi pia kinaweza kutumika kuchapisha makaratasi muhimu ya shule kama vile ripoti za wanafunzi. Projekta pia inaweza kutumika katika kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi hivyo basi imeweza kurahisisha kazi kwani ni mwangaza tu pekeake unaohitajika kutumia chombo hiki. Kila jembe halikosi dosari. Licha ya faida zote, teknolojia pia ina madhara mbalimbali kwa walimu na hata wanafunzi. Baadhi ya madhara ni kama yafuatayo: Teknolojia imesababisha wanafunzi kuzembea. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kikokotoo. Wanafunzi wengi sahii hawawezi kufikiria kwani wamezoea kutumia vikokotoo katika kufanya hisabati na kazi zingine mbalimbali. Teknolojia pia imesababisha utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Wanafunzi badala ya kutumia rununu na kompyuta katika masomo, wengi wao wanazitumia kuangalia video za uchi. Hivyo basi imesababisha udororaji wa nidhamu kwa wanafunzi. Katika uhifadhi wa data, kompyuta inaweza kukataa kufanya kazi yenyewe. Hii inasababisha data yote kupotea na hata mambo yote muhimu kuhusu shule yanaweza kupotea. Vyombo vingi vya teknolojia hutumia umeme. Hii ni dhahiri kuwa umeme unapopotea hakuna kazi yoyote ambayo inaweza kufanyika. Hii inasababisha uzembe katika kazi kwani watu wengi wamezoea kutumia vyombo umeme hivyo basi hakuna kazi inayoweza kufanyika.
Teknolojia kupitia televisheni imefanya wengi kuiga tabia zipi za kigeni
{ "text": [ "Mavazi na lugha" ] }
3125_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Juma cha upande ndilo jina alilopewa na wanakijiji cha Mtema kuni. Juma cha upande alizaliwa na bwana na Bi Baraka. Punde tu alipozaliwa, wazazi wake walipatwa na ajali mbaya barabarani walipokuwa kwenye pilka pilka zao za kusaka tonge. Baada ya mazishi ya wapendanao, Juma alichukuliwa na kulelewa na nyanya yake. Mbali na uchochule na ufukara Juma hakukosa malezi yaliyostahili. Nyanya alijitahidi kwa udi na uvumba kumfundisha Juma. Pindi alipoingia kidato cha kwanza, Juma alijiunga na kundi la vijana wenye tabia mbaya. Akawa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Aliwaibia walimu na hata wanagenzi wenzake. Kijijini kote alisifika kwa wizi wa kuku na mbuzi. Nyanza yake alimshauri awache tabia hiyo lakini wapi maneno yake yaligonga mwamba. Walimu na washauri mbalimbali waliitwa kumshauri Juma cha upande lakini nani asiyejua kuna sikio la kufa halisikii dawa. Nyanya yake alipoona maji yamezidi unga, alimuachia Maulana. Naye Juma alijiona gwiji na mbobeaji katika wizi. Yeye na kikundi chake waliamua kuitendea haki benki moja kuu kitongojini pale. Aise mpango ulipangwa ukapangika. Juma cha upande ndiye aliyekuwa mlinda lango. Siku iliyongojwa kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Mnamo wa saa nane usiku, walilinyemelea jumba la pesa. Kwa bahati nzuri walifanikiwa kuwapa dosi ya kulala walinzi wote. Kwa bahati mbaya wote waliingia ndani kwenye sefu iliyokuwa na manoti mengi sana. Bila Juma cha upande kulinda lango, hawakujua kuwa walinzi wale waliamka. Siku za mwizi ni arobaini, zile dawa zilisha nguvu na wale walinzi waliamka. Genge lile liliona cha mtema kuni, wakaamua miguu niponye. Wenzake Juma cha upande walinusurika lakini Juma cha upande alipigwa risasi na kuanguka mchangani tifu. Wasamaria wema walimchukua na kumpeleka hospitalini kwa matibabu. Hakuna msiba usiokua na mwenzake. Mkono na mguu wa Juma cha upande ulikatwa ili kunusuru maisha yake. Alipewa kigurudumu kilichomsaidia kutembea. Aliporudi nyumbani, alikuta nyanyake kipenzi alikua ameaga dunia. Juma alibubujikwa na machozi asijue afanye nini. Alitamani kurudisha mkondo wa saa nyuma ili ayasikilize mawaidha ya nyanya yake. Hapo ndipo alipogundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na ninaye hufunzwa na ulimwengu.
Juma cha Upande alipewa jina na wanakijiji wa wapi
{ "text": [ "Cha mtema kuni" ] }
3125_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Juma cha upande ndilo jina alilopewa na wanakijiji cha Mtema kuni. Juma cha upande alizaliwa na bwana na Bi Baraka. Punde tu alipozaliwa, wazazi wake walipatwa na ajali mbaya barabarani walipokuwa kwenye pilka pilka zao za kusaka tonge. Baada ya mazishi ya wapendanao, Juma alichukuliwa na kulelewa na nyanya yake. Mbali na uchochule na ufukara Juma hakukosa malezi yaliyostahili. Nyanya alijitahidi kwa udi na uvumba kumfundisha Juma. Pindi alipoingia kidato cha kwanza, Juma alijiunga na kundi la vijana wenye tabia mbaya. Akawa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Aliwaibia walimu na hata wanagenzi wenzake. Kijijini kote alisifika kwa wizi wa kuku na mbuzi. Nyanza yake alimshauri awache tabia hiyo lakini wapi maneno yake yaligonga mwamba. Walimu na washauri mbalimbali waliitwa kumshauri Juma cha upande lakini nani asiyejua kuna sikio la kufa halisikii dawa. Nyanya yake alipoona maji yamezidi unga, alimuachia Maulana. Naye Juma alijiona gwiji na mbobeaji katika wizi. Yeye na kikundi chake waliamua kuitendea haki benki moja kuu kitongojini pale. Aise mpango ulipangwa ukapangika. Juma cha upande ndiye aliyekuwa mlinda lango. Siku iliyongojwa kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Mnamo wa saa nane usiku, walilinyemelea jumba la pesa. Kwa bahati nzuri walifanikiwa kuwapa dosi ya kulala walinzi wote. Kwa bahati mbaya wote waliingia ndani kwenye sefu iliyokuwa na manoti mengi sana. Bila Juma cha upande kulinda lango, hawakujua kuwa walinzi wale waliamka. Siku za mwizi ni arobaini, zile dawa zilisha nguvu na wale walinzi waliamka. Genge lile liliona cha mtema kuni, wakaamua miguu niponye. Wenzake Juma cha upande walinusurika lakini Juma cha upande alipigwa risasi na kuanguka mchangani tifu. Wasamaria wema walimchukua na kumpeleka hospitalini kwa matibabu. Hakuna msiba usiokua na mwenzake. Mkono na mguu wa Juma cha upande ulikatwa ili kunusuru maisha yake. Alipewa kigurudumu kilichomsaidia kutembea. Aliporudi nyumbani, alikuta nyanyake kipenzi alikua ameaga dunia. Juma alibubujikwa na machozi asijue afanye nini. Alitamani kurudisha mkondo wa saa nyuma ili ayasikilize mawaidha ya nyanya yake. Hapo ndipo alipogundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na ninaye hufunzwa na ulimwengu.
Juma alilelewa na nani baada ya mazishi
{ "text": [ "Nyanyake" ] }
3125_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Juma cha upande ndilo jina alilopewa na wanakijiji cha Mtema kuni. Juma cha upande alizaliwa na bwana na Bi Baraka. Punde tu alipozaliwa, wazazi wake walipatwa na ajali mbaya barabarani walipokuwa kwenye pilka pilka zao za kusaka tonge. Baada ya mazishi ya wapendanao, Juma alichukuliwa na kulelewa na nyanya yake. Mbali na uchochule na ufukara Juma hakukosa malezi yaliyostahili. Nyanya alijitahidi kwa udi na uvumba kumfundisha Juma. Pindi alipoingia kidato cha kwanza, Juma alijiunga na kundi la vijana wenye tabia mbaya. Akawa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Aliwaibia walimu na hata wanagenzi wenzake. Kijijini kote alisifika kwa wizi wa kuku na mbuzi. Nyanza yake alimshauri awache tabia hiyo lakini wapi maneno yake yaligonga mwamba. Walimu na washauri mbalimbali waliitwa kumshauri Juma cha upande lakini nani asiyejua kuna sikio la kufa halisikii dawa. Nyanya yake alipoona maji yamezidi unga, alimuachia Maulana. Naye Juma alijiona gwiji na mbobeaji katika wizi. Yeye na kikundi chake waliamua kuitendea haki benki moja kuu kitongojini pale. Aise mpango ulipangwa ukapangika. Juma cha upande ndiye aliyekuwa mlinda lango. Siku iliyongojwa kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Mnamo wa saa nane usiku, walilinyemelea jumba la pesa. Kwa bahati nzuri walifanikiwa kuwapa dosi ya kulala walinzi wote. Kwa bahati mbaya wote waliingia ndani kwenye sefu iliyokuwa na manoti mengi sana. Bila Juma cha upande kulinda lango, hawakujua kuwa walinzi wale waliamka. Siku za mwizi ni arobaini, zile dawa zilisha nguvu na wale walinzi waliamka. Genge lile liliona cha mtema kuni, wakaamua miguu niponye. Wenzake Juma cha upande walinusurika lakini Juma cha upande alipigwa risasi na kuanguka mchangani tifu. Wasamaria wema walimchukua na kumpeleka hospitalini kwa matibabu. Hakuna msiba usiokua na mwenzake. Mkono na mguu wa Juma cha upande ulikatwa ili kunusuru maisha yake. Alipewa kigurudumu kilichomsaidia kutembea. Aliporudi nyumbani, alikuta nyanyake kipenzi alikua ameaga dunia. Juma alibubujikwa na machozi asijue afanye nini. Alitamani kurudisha mkondo wa saa nyuma ili ayasikilize mawaidha ya nyanya yake. Hapo ndipo alipogundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na ninaye hufunzwa na ulimwengu.
Juma na kikundi chake waliamua kuiba wapi
{ "text": [ "Benki" ] }
3125_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Juma cha upande ndilo jina alilopewa na wanakijiji cha Mtema kuni. Juma cha upande alizaliwa na bwana na Bi Baraka. Punde tu alipozaliwa, wazazi wake walipatwa na ajali mbaya barabarani walipokuwa kwenye pilka pilka zao za kusaka tonge. Baada ya mazishi ya wapendanao, Juma alichukuliwa na kulelewa na nyanya yake. Mbali na uchochule na ufukara Juma hakukosa malezi yaliyostahili. Nyanya alijitahidi kwa udi na uvumba kumfundisha Juma. Pindi alipoingia kidato cha kwanza, Juma alijiunga na kundi la vijana wenye tabia mbaya. Akawa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Aliwaibia walimu na hata wanagenzi wenzake. Kijijini kote alisifika kwa wizi wa kuku na mbuzi. Nyanza yake alimshauri awache tabia hiyo lakini wapi maneno yake yaligonga mwamba. Walimu na washauri mbalimbali waliitwa kumshauri Juma cha upande lakini nani asiyejua kuna sikio la kufa halisikii dawa. Nyanya yake alipoona maji yamezidi unga, alimuachia Maulana. Naye Juma alijiona gwiji na mbobeaji katika wizi. Yeye na kikundi chake waliamua kuitendea haki benki moja kuu kitongojini pale. Aise mpango ulipangwa ukapangika. Juma cha upande ndiye aliyekuwa mlinda lango. Siku iliyongojwa kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Mnamo wa saa nane usiku, walilinyemelea jumba la pesa. Kwa bahati nzuri walifanikiwa kuwapa dosi ya kulala walinzi wote. Kwa bahati mbaya wote waliingia ndani kwenye sefu iliyokuwa na manoti mengi sana. Bila Juma cha upande kulinda lango, hawakujua kuwa walinzi wale waliamka. Siku za mwizi ni arobaini, zile dawa zilisha nguvu na wale walinzi waliamka. Genge lile liliona cha mtema kuni, wakaamua miguu niponye. Wenzake Juma cha upande walinusurika lakini Juma cha upande alipigwa risasi na kuanguka mchangani tifu. Wasamaria wema walimchukua na kumpeleka hospitalini kwa matibabu. Hakuna msiba usiokua na mwenzake. Mkono na mguu wa Juma cha upande ulikatwa ili kunusuru maisha yake. Alipewa kigurudumu kilichomsaidia kutembea. Aliporudi nyumbani, alikuta nyanyake kipenzi alikua ameaga dunia. Juma alibubujikwa na machozi asijue afanye nini. Alitamani kurudisha mkondo wa saa nyuma ili ayasikilize mawaidha ya nyanya yake. Hapo ndipo alipogundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na ninaye hufunzwa na ulimwengu.
Siku za mwizi ni ngapi
{ "text": [ "Arobaini" ] }
3125_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Juma cha upande ndilo jina alilopewa na wanakijiji cha Mtema kuni. Juma cha upande alizaliwa na bwana na Bi Baraka. Punde tu alipozaliwa, wazazi wake walipatwa na ajali mbaya barabarani walipokuwa kwenye pilka pilka zao za kusaka tonge. Baada ya mazishi ya wapendanao, Juma alichukuliwa na kulelewa na nyanya yake. Mbali na uchochule na ufukara Juma hakukosa malezi yaliyostahili. Nyanya alijitahidi kwa udi na uvumba kumfundisha Juma. Pindi alipoingia kidato cha kwanza, Juma alijiunga na kundi la vijana wenye tabia mbaya. Akawa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Aliwaibia walimu na hata wanagenzi wenzake. Kijijini kote alisifika kwa wizi wa kuku na mbuzi. Nyanza yake alimshauri awache tabia hiyo lakini wapi maneno yake yaligonga mwamba. Walimu na washauri mbalimbali waliitwa kumshauri Juma cha upande lakini nani asiyejua kuna sikio la kufa halisikii dawa. Nyanya yake alipoona maji yamezidi unga, alimuachia Maulana. Naye Juma alijiona gwiji na mbobeaji katika wizi. Yeye na kikundi chake waliamua kuitendea haki benki moja kuu kitongojini pale. Aise mpango ulipangwa ukapangika. Juma cha upande ndiye aliyekuwa mlinda lango. Siku iliyongojwa kwa hamu na ghamu hatimaye iliwadia. Mnamo wa saa nane usiku, walilinyemelea jumba la pesa. Kwa bahati nzuri walifanikiwa kuwapa dosi ya kulala walinzi wote. Kwa bahati mbaya wote waliingia ndani kwenye sefu iliyokuwa na manoti mengi sana. Bila Juma cha upande kulinda lango, hawakujua kuwa walinzi wale waliamka. Siku za mwizi ni arobaini, zile dawa zilisha nguvu na wale walinzi waliamka. Genge lile liliona cha mtema kuni, wakaamua miguu niponye. Wenzake Juma cha upande walinusurika lakini Juma cha upande alipigwa risasi na kuanguka mchangani tifu. Wasamaria wema walimchukua na kumpeleka hospitalini kwa matibabu. Hakuna msiba usiokua na mwenzake. Mkono na mguu wa Juma cha upande ulikatwa ili kunusuru maisha yake. Alipewa kigurudumu kilichomsaidia kutembea. Aliporudi nyumbani, alikuta nyanyake kipenzi alikua ameaga dunia. Juma alibubujikwa na machozi asijue afanye nini. Alitamani kurudisha mkondo wa saa nyuma ili ayasikilize mawaidha ya nyanya yake. Hapo ndipo alipogundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyefunzwa na ninaye hufunzwa na ulimwengu.
Kwa nini nyanya aliaga dunia
{ "text": [ "Kutokana na mshtuko" ] }
3126_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Eleni in ODA ou inimestele nitrid Fleknologia imerahisisha mambo mengi katika sekta za elimu nasa kic Ka shule za upili. Kwa mfano shule nyingi za sekondan' mara nying huna na ujumla wa wanafunzi takribani elfu moja na kadhalka ka hali hii utapata ni vigumu walimu kuwakimu wanafunzi moto asa katika kutunga mtihani ail mitihania On Hivyo basi teknologia huwa na faida kubwa sana katika maene haya Vyombo kama vile tarakilishi hutumika utungaji wa miti ani ya wanafunzi wote tima muda kiduchu.lig hutumika katilat Dom Kuyar bhiodi matokeo ya hana fiunzi kuulasa mbazia wazazi na na Awhi katika ujumbe wowote ule kama vile suala la kara ibusanifichu N O kaupitia teknologjia kuuldfinia ulazazi ambao walijiunga ama ullak katina mitandao. Hivyo tekindlojia imeranisha kazi ya kuandika barua na kuwapa wanafunzi kuwafanya lallkata rauonde LE Ina masomo ya ili kufikisha ijumbe kwa wazazi. Katiga kuwafundisha wanafunzi tavanilishi imetumika hasa k tika somo la kompyuta. Wanafunzi wanafunzilla jinsi ya kutimi kompyuta Televisheni zinatumika shuleni hasa shule za upil Ramseto ili kupitisha ujumbe ama taung'amua habari zasilan li tokra inchini. Wakacti ulatu wanakusanyika katika mikutano au sherehe za mo 20 kipaza sauti hutumika kuongeza sauti katika kupitisha y mbe ama kuendesha ratiba katika kongamano hilo.. Licha ya faida zote hizo, pia teknolojia imeleta madhara mengi sana atika shule za sekondari Zimetetea watu kuwa wavivu. kuna mtu hawezi kurere di otti au kutunga mtihani bila zaralilisha hat katika kufundisha jinsi ya kutumia kompyuta utapata mullim matokea M IYY on WIRAMANMASHLEARNIM ALANL ni vigumu kutumia uandishi wa vitabu mpaka kompyuta Mbali na uvivu teknolojia inanithali mtu aliye elimika katika ki Inganisha na kutumia mitambo. Pia hutumika manari penyo na að umeme Hivyo mitambo ya teknolojia haiwezi kutumika seh mu zisizo na nguvu ad imbire. A Katika utumiaji wa tarakilishi umpulatia ualimu na wanafu ho ulivu. Hivyo wanafunzi hawa urzi kuandika awlau hifadl maabala. Klomafunzi wakribani asilimia usini na tisa wam Ezama katil Fotoa somo la tarakilishi na Kulyadharau masomo mengine Hive yo w mesahau kwamba kinga na kinga nclips moto huwa til INFO . maana kulia wanafunzi wamubarau Kulamba kufaulu masom ti suuri mulas ni lazima tulayatilia maanani na waupanya bidan DON kwa masomo wsteinbio Di Wisme von Liclia ya kubobea katika somo la tarakilishi au la kiteknolo Nantida juana funzi hutumia tarakilishi kula kuziangalia picha zi NDM Prngono a na Acusikiliza nyimbo wakati hay ung kina kuu bo wang ustadi mulingi kumuko mulalimutan Di ODLU SA NAINEN Ümumi osa A DINGAR und GOLD Lou d on vallas la natura
Nini hutumiwa kutunga mitihani
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3126_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Eleni in ODA ou inimestele nitrid Fleknologia imerahisisha mambo mengi katika sekta za elimu nasa kic Ka shule za upili. Kwa mfano shule nyingi za sekondan' mara nying huna na ujumla wa wanafunzi takribani elfu moja na kadhalka ka hali hii utapata ni vigumu walimu kuwakimu wanafunzi moto asa katika kutunga mtihani ail mitihania On Hivyo basi teknologia huwa na faida kubwa sana katika maene haya Vyombo kama vile tarakilishi hutumika utungaji wa miti ani ya wanafunzi wote tima muda kiduchu.lig hutumika katilat Dom Kuyar bhiodi matokeo ya hana fiunzi kuulasa mbazia wazazi na na Awhi katika ujumbe wowote ule kama vile suala la kara ibusanifichu N O kaupitia teknologjia kuuldfinia ulazazi ambao walijiunga ama ullak katina mitandao. Hivyo tekindlojia imeranisha kazi ya kuandika barua na kuwapa wanafunzi kuwafanya lallkata rauonde LE Ina masomo ya ili kufikisha ijumbe kwa wazazi. Katiga kuwafundisha wanafunzi tavanilishi imetumika hasa k tika somo la kompyuta. Wanafunzi wanafunzilla jinsi ya kutimi kompyuta Televisheni zinatumika shuleni hasa shule za upil Ramseto ili kupitisha ujumbe ama taung'amua habari zasilan li tokra inchini. Wakacti ulatu wanakusanyika katika mikutano au sherehe za mo 20 kipaza sauti hutumika kuongeza sauti katika kupitisha y mbe ama kuendesha ratiba katika kongamano hilo.. Licha ya faida zote hizo, pia teknolojia imeleta madhara mengi sana atika shule za sekondari Zimetetea watu kuwa wavivu. kuna mtu hawezi kurere di otti au kutunga mtihani bila zaralilisha hat katika kufundisha jinsi ya kutumia kompyuta utapata mullim matokea M IYY on WIRAMANMASHLEARNIM ALANL ni vigumu kutumia uandishi wa vitabu mpaka kompyuta Mbali na uvivu teknolojia inanithali mtu aliye elimika katika ki Inganisha na kutumia mitambo. Pia hutumika manari penyo na að umeme Hivyo mitambo ya teknolojia haiwezi kutumika seh mu zisizo na nguvu ad imbire. A Katika utumiaji wa tarakilishi umpulatia ualimu na wanafu ho ulivu. Hivyo wanafunzi hawa urzi kuandika awlau hifadl maabala. Klomafunzi wakribani asilimia usini na tisa wam Ezama katil Fotoa somo la tarakilishi na Kulyadharau masomo mengine Hive yo w mesahau kwamba kinga na kinga nclips moto huwa til INFO . maana kulia wanafunzi wamubarau Kulamba kufaulu masom ti suuri mulas ni lazima tulayatilia maanani na waupanya bidan DON kwa masomo wsteinbio Di Wisme von Liclia ya kubobea katika somo la tarakilishi au la kiteknolo Nantida juana funzi hutumia tarakilishi kula kuziangalia picha zi NDM Prngono a na Acusikiliza nyimbo wakati hay ung kina kuu bo wang ustadi mulingi kumuko mulalimutan Di ODLU SA NAINEN Ümumi osa A DINGAR und GOLD Lou d on vallas la natura
Nini hutumiwa kupitisha ujumbe kwa mikutano
{ "text": [ "kipaza sauti" ] }
3126_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Eleni in ODA ou inimestele nitrid Fleknologia imerahisisha mambo mengi katika sekta za elimu nasa kic Ka shule za upili. Kwa mfano shule nyingi za sekondan' mara nying huna na ujumla wa wanafunzi takribani elfu moja na kadhalka ka hali hii utapata ni vigumu walimu kuwakimu wanafunzi moto asa katika kutunga mtihani ail mitihania On Hivyo basi teknologia huwa na faida kubwa sana katika maene haya Vyombo kama vile tarakilishi hutumika utungaji wa miti ani ya wanafunzi wote tima muda kiduchu.lig hutumika katilat Dom Kuyar bhiodi matokeo ya hana fiunzi kuulasa mbazia wazazi na na Awhi katika ujumbe wowote ule kama vile suala la kara ibusanifichu N O kaupitia teknologjia kuuldfinia ulazazi ambao walijiunga ama ullak katina mitandao. Hivyo tekindlojia imeranisha kazi ya kuandika barua na kuwapa wanafunzi kuwafanya lallkata rauonde LE Ina masomo ya ili kufikisha ijumbe kwa wazazi. Katiga kuwafundisha wanafunzi tavanilishi imetumika hasa k tika somo la kompyuta. Wanafunzi wanafunzilla jinsi ya kutimi kompyuta Televisheni zinatumika shuleni hasa shule za upil Ramseto ili kupitisha ujumbe ama taung'amua habari zasilan li tokra inchini. Wakacti ulatu wanakusanyika katika mikutano au sherehe za mo 20 kipaza sauti hutumika kuongeza sauti katika kupitisha y mbe ama kuendesha ratiba katika kongamano hilo.. Licha ya faida zote hizo, pia teknolojia imeleta madhara mengi sana atika shule za sekondari Zimetetea watu kuwa wavivu. kuna mtu hawezi kurere di otti au kutunga mtihani bila zaralilisha hat katika kufundisha jinsi ya kutumia kompyuta utapata mullim matokea M IYY on WIRAMANMASHLEARNIM ALANL ni vigumu kutumia uandishi wa vitabu mpaka kompyuta Mbali na uvivu teknolojia inanithali mtu aliye elimika katika ki Inganisha na kutumia mitambo. Pia hutumika manari penyo na að umeme Hivyo mitambo ya teknolojia haiwezi kutumika seh mu zisizo na nguvu ad imbire. A Katika utumiaji wa tarakilishi umpulatia ualimu na wanafu ho ulivu. Hivyo wanafunzi hawa urzi kuandika awlau hifadl maabala. Klomafunzi wakribani asilimia usini na tisa wam Ezama katil Fotoa somo la tarakilishi na Kulyadharau masomo mengine Hive yo w mesahau kwamba kinga na kinga nclips moto huwa til INFO . maana kulia wanafunzi wamubarau Kulamba kufaulu masom ti suuri mulas ni lazima tulayatilia maanani na waupanya bidan DON kwa masomo wsteinbio Di Wisme von Liclia ya kubobea katika somo la tarakilishi au la kiteknolo Nantida juana funzi hutumia tarakilishi kula kuziangalia picha zi NDM Prngono a na Acusikiliza nyimbo wakati hay ung kina kuu bo wang ustadi mulingi kumuko mulalimutan Di ODLU SA NAINEN Ümumi osa A DINGAR und GOLD Lou d on vallas la natura
Mitambo ya teknolojia haiwezi tumika pasipo na nini
{ "text": [ "nguvu za umeme" ] }
3126_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Eleni in ODA ou inimestele nitrid Fleknologia imerahisisha mambo mengi katika sekta za elimu nasa kic Ka shule za upili. Kwa mfano shule nyingi za sekondan' mara nying huna na ujumla wa wanafunzi takribani elfu moja na kadhalka ka hali hii utapata ni vigumu walimu kuwakimu wanafunzi moto asa katika kutunga mtihani ail mitihania On Hivyo basi teknologia huwa na faida kubwa sana katika maene haya Vyombo kama vile tarakilishi hutumika utungaji wa miti ani ya wanafunzi wote tima muda kiduchu.lig hutumika katilat Dom Kuyar bhiodi matokeo ya hana fiunzi kuulasa mbazia wazazi na na Awhi katika ujumbe wowote ule kama vile suala la kara ibusanifichu N O kaupitia teknologjia kuuldfinia ulazazi ambao walijiunga ama ullak katina mitandao. Hivyo tekindlojia imeranisha kazi ya kuandika barua na kuwapa wanafunzi kuwafanya lallkata rauonde LE Ina masomo ya ili kufikisha ijumbe kwa wazazi. Katiga kuwafundisha wanafunzi tavanilishi imetumika hasa k tika somo la kompyuta. Wanafunzi wanafunzilla jinsi ya kutimi kompyuta Televisheni zinatumika shuleni hasa shule za upil Ramseto ili kupitisha ujumbe ama taung'amua habari zasilan li tokra inchini. Wakacti ulatu wanakusanyika katika mikutano au sherehe za mo 20 kipaza sauti hutumika kuongeza sauti katika kupitisha y mbe ama kuendesha ratiba katika kongamano hilo.. Licha ya faida zote hizo, pia teknolojia imeleta madhara mengi sana atika shule za sekondari Zimetetea watu kuwa wavivu. kuna mtu hawezi kurere di otti au kutunga mtihani bila zaralilisha hat katika kufundisha jinsi ya kutumia kompyuta utapata mullim matokea M IYY on WIRAMANMASHLEARNIM ALANL ni vigumu kutumia uandishi wa vitabu mpaka kompyuta Mbali na uvivu teknolojia inanithali mtu aliye elimika katika ki Inganisha na kutumia mitambo. Pia hutumika manari penyo na að umeme Hivyo mitambo ya teknolojia haiwezi kutumika seh mu zisizo na nguvu ad imbire. A Katika utumiaji wa tarakilishi umpulatia ualimu na wanafu ho ulivu. Hivyo wanafunzi hawa urzi kuandika awlau hifadl maabala. Klomafunzi wakribani asilimia usini na tisa wam Ezama katil Fotoa somo la tarakilishi na Kulyadharau masomo mengine Hive yo w mesahau kwamba kinga na kinga nclips moto huwa til INFO . maana kulia wanafunzi wamubarau Kulamba kufaulu masom ti suuri mulas ni lazima tulayatilia maanani na waupanya bidan DON kwa masomo wsteinbio Di Wisme von Liclia ya kubobea katika somo la tarakilishi au la kiteknolo Nantida juana funzi hutumia tarakilishi kula kuziangalia picha zi NDM Prngono a na Acusikiliza nyimbo wakati hay ung kina kuu bo wang ustadi mulingi kumuko mulalimutan Di ODLU SA NAINEN Ümumi osa A DINGAR und GOLD Lou d on vallas la natura
Wanafunzi hutumia tarakilishi kwa njia isiyofaa lini
{ "text": [ "wakati mwalimu hayuko" ] }
3126_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Eleni in ODA ou inimestele nitrid Fleknologia imerahisisha mambo mengi katika sekta za elimu nasa kic Ka shule za upili. Kwa mfano shule nyingi za sekondan' mara nying huna na ujumla wa wanafunzi takribani elfu moja na kadhalka ka hali hii utapata ni vigumu walimu kuwakimu wanafunzi moto asa katika kutunga mtihani ail mitihania On Hivyo basi teknologia huwa na faida kubwa sana katika maene haya Vyombo kama vile tarakilishi hutumika utungaji wa miti ani ya wanafunzi wote tima muda kiduchu.lig hutumika katilat Dom Kuyar bhiodi matokeo ya hana fiunzi kuulasa mbazia wazazi na na Awhi katika ujumbe wowote ule kama vile suala la kara ibusanifichu N O kaupitia teknologjia kuuldfinia ulazazi ambao walijiunga ama ullak katina mitandao. Hivyo tekindlojia imeranisha kazi ya kuandika barua na kuwapa wanafunzi kuwafanya lallkata rauonde LE Ina masomo ya ili kufikisha ijumbe kwa wazazi. Katiga kuwafundisha wanafunzi tavanilishi imetumika hasa k tika somo la kompyuta. Wanafunzi wanafunzilla jinsi ya kutimi kompyuta Televisheni zinatumika shuleni hasa shule za upil Ramseto ili kupitisha ujumbe ama taung'amua habari zasilan li tokra inchini. Wakacti ulatu wanakusanyika katika mikutano au sherehe za mo 20 kipaza sauti hutumika kuongeza sauti katika kupitisha y mbe ama kuendesha ratiba katika kongamano hilo.. Licha ya faida zote hizo, pia teknolojia imeleta madhara mengi sana atika shule za sekondari Zimetetea watu kuwa wavivu. kuna mtu hawezi kurere di otti au kutunga mtihani bila zaralilisha hat katika kufundisha jinsi ya kutumia kompyuta utapata mullim matokea M IYY on WIRAMANMASHLEARNIM ALANL ni vigumu kutumia uandishi wa vitabu mpaka kompyuta Mbali na uvivu teknolojia inanithali mtu aliye elimika katika ki Inganisha na kutumia mitambo. Pia hutumika manari penyo na að umeme Hivyo mitambo ya teknolojia haiwezi kutumika seh mu zisizo na nguvu ad imbire. A Katika utumiaji wa tarakilishi umpulatia ualimu na wanafu ho ulivu. Hivyo wanafunzi hawa urzi kuandika awlau hifadl maabala. Klomafunzi wakribani asilimia usini na tisa wam Ezama katil Fotoa somo la tarakilishi na Kulyadharau masomo mengine Hive yo w mesahau kwamba kinga na kinga nclips moto huwa til INFO . maana kulia wanafunzi wamubarau Kulamba kufaulu masom ti suuri mulas ni lazima tulayatilia maanani na waupanya bidan DON kwa masomo wsteinbio Di Wisme von Liclia ya kubobea katika somo la tarakilishi au la kiteknolo Nantida juana funzi hutumia tarakilishi kula kuziangalia picha zi NDM Prngono a na Acusikiliza nyimbo wakati hay ung kina kuu bo wang ustadi mulingi kumuko mulalimutan Di ODLU SA NAINEN Ümumi osa A DINGAR und GOLD Lou d on vallas la natura
Utumizi wa tarakilishi umewasaidia aje wazazi
{ "text": [ "wanaweza kupata ujumbe wa wanafunzi wao kupitia mtandao" ] }
3127_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa yule asiyeyasikia maneno ya waliotangulia mwishowe hupatwa na taabu. Hutumiwa kwIa wale watu ambao hawataki kusikia wala kuyafuata maneno wanayoambiwa na wakubwa wao. Methali hii inafanana na ile isemayo mkataa pema, pabaya panamuita. Katika kitongoji kimoja kati cha Mkanyeni, palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Tabasamu. Tabasamu alikuwa msichana mrembo sana, aliyeumbwa akaumbika. Urembo ulikuwa mithili wa malaika. Shingo yake ya upanga, ngozi yake ilimeremeta kama mbalamwezi. Kila aliyemuona Tabasamu alimsifia kwa maumbile yake. Licha ya urembo, pia tabia zake ziliwapendeza. Baada ya muda si mfupi, Tabasamu alianza kugeuka katika tabia zake kama kinyonga. Alikuwa akiondoka nyumbani kwao asubuhi na kurudi nyumbani saa mbili usiku. Mama yake alijaribu kumkanya pinde tu alipoona mabadiliko katika mienendo ya mwanawe kwani alijua vyema kuwa chuma kikunje kingali moto. Lakini bidii zake ziliambulia patupu. Watu mtaani walianza kujiuliza wao kama je, huyu ni Tabasamu aliyekuwa msichana mzuri wa tabia hadi urembo? Ama kweli, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Baada ya muda mchache, Tabasamu alianza kuwa na ishara za kutisha. Alikuwa anatapika hapa na hapa, kuchagua vyakula, kuumwa na kichwa kila asubuhi na pia tumbo lilianza kufura. Mbali na dalili zote hizo, pia alianza kukohoa na kukondeana kama ngonda. Wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga, uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kwani wazazi wake walimpeleka hospitalini kufanyiwa uchunguzi. Matokeo yaliwatia kiwewe Tabasamu pamoja na wazazi wake. Tabasamu alipatikana ni mjamzito na licha ya ujauzito, pia alikua na ugonjwa wa ukimwi. Tabasamu alitaharuki na kuanguka chini mfano wa mtu aliyetekwa na upepo mkali. Ama kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Madaktari wawili walimkimbia wakamuinua na kumpeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi. Walimfanyia tena uchunguzi na wakapata kuwa alikuwa na shinikizo la damu. Baada ya muda kidogo Tabasamu aliaga dunia. Hadithi hii inatumika kuwafunza hao ambao wanaifanya dunia kuwa rafiki pasi na kujua kuwa wavyele hawakukosea waliposema ya kuwa dunia ni kitu dhaifu, kiumbe sijitetee na hata wanapokanywa hao huwa sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
Tabasamu aliishi katika kitongoji kipi
{ "text": [ "Mkanyeni" ] }
3127_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa yule asiyeyasikia maneno ya waliotangulia mwishowe hupatwa na taabu. Hutumiwa kwIa wale watu ambao hawataki kusikia wala kuyafuata maneno wanayoambiwa na wakubwa wao. Methali hii inafanana na ile isemayo mkataa pema, pabaya panamuita. Katika kitongoji kimoja kati cha Mkanyeni, palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Tabasamu. Tabasamu alikuwa msichana mrembo sana, aliyeumbwa akaumbika. Urembo ulikuwa mithili wa malaika. Shingo yake ya upanga, ngozi yake ilimeremeta kama mbalamwezi. Kila aliyemuona Tabasamu alimsifia kwa maumbile yake. Licha ya urembo, pia tabia zake ziliwapendeza. Baada ya muda si mfupi, Tabasamu alianza kugeuka katika tabia zake kama kinyonga. Alikuwa akiondoka nyumbani kwao asubuhi na kurudi nyumbani saa mbili usiku. Mama yake alijaribu kumkanya pinde tu alipoona mabadiliko katika mienendo ya mwanawe kwani alijua vyema kuwa chuma kikunje kingali moto. Lakini bidii zake ziliambulia patupu. Watu mtaani walianza kujiuliza wao kama je, huyu ni Tabasamu aliyekuwa msichana mzuri wa tabia hadi urembo? Ama kweli, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Baada ya muda mchache, Tabasamu alianza kuwa na ishara za kutisha. Alikuwa anatapika hapa na hapa, kuchagua vyakula, kuumwa na kichwa kila asubuhi na pia tumbo lilianza kufura. Mbali na dalili zote hizo, pia alianza kukohoa na kukondeana kama ngonda. Wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga, uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kwani wazazi wake walimpeleka hospitalini kufanyiwa uchunguzi. Matokeo yaliwatia kiwewe Tabasamu pamoja na wazazi wake. Tabasamu alipatikana ni mjamzito na licha ya ujauzito, pia alikua na ugonjwa wa ukimwi. Tabasamu alitaharuki na kuanguka chini mfano wa mtu aliyetekwa na upepo mkali. Ama kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Madaktari wawili walimkimbia wakamuinua na kumpeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi. Walimfanyia tena uchunguzi na wakapata kuwa alikuwa na shinikizo la damu. Baada ya muda kidogo Tabasamu aliaga dunia. Hadithi hii inatumika kuwafunza hao ambao wanaifanya dunia kuwa rafiki pasi na kujua kuwa wavyele hawakukosea waliposema ya kuwa dunia ni kitu dhaifu, kiumbe sijitetee na hata wanapokanywa hao huwa sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
Urembo wa Tabasamu ulimithilishwa na nini
{ "text": [ "Malaika" ] }
3127_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa yule asiyeyasikia maneno ya waliotangulia mwishowe hupatwa na taabu. Hutumiwa kwIa wale watu ambao hawataki kusikia wala kuyafuata maneno wanayoambiwa na wakubwa wao. Methali hii inafanana na ile isemayo mkataa pema, pabaya panamuita. Katika kitongoji kimoja kati cha Mkanyeni, palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Tabasamu. Tabasamu alikuwa msichana mrembo sana, aliyeumbwa akaumbika. Urembo ulikuwa mithili wa malaika. Shingo yake ya upanga, ngozi yake ilimeremeta kama mbalamwezi. Kila aliyemuona Tabasamu alimsifia kwa maumbile yake. Licha ya urembo, pia tabia zake ziliwapendeza. Baada ya muda si mfupi, Tabasamu alianza kugeuka katika tabia zake kama kinyonga. Alikuwa akiondoka nyumbani kwao asubuhi na kurudi nyumbani saa mbili usiku. Mama yake alijaribu kumkanya pinde tu alipoona mabadiliko katika mienendo ya mwanawe kwani alijua vyema kuwa chuma kikunje kingali moto. Lakini bidii zake ziliambulia patupu. Watu mtaani walianza kujiuliza wao kama je, huyu ni Tabasamu aliyekuwa msichana mzuri wa tabia hadi urembo? Ama kweli, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Baada ya muda mchache, Tabasamu alianza kuwa na ishara za kutisha. Alikuwa anatapika hapa na hapa, kuchagua vyakula, kuumwa na kichwa kila asubuhi na pia tumbo lilianza kufura. Mbali na dalili zote hizo, pia alianza kukohoa na kukondeana kama ngonda. Wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga, uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kwani wazazi wake walimpeleka hospitalini kufanyiwa uchunguzi. Matokeo yaliwatia kiwewe Tabasamu pamoja na wazazi wake. Tabasamu alipatikana ni mjamzito na licha ya ujauzito, pia alikua na ugonjwa wa ukimwi. Tabasamu alitaharuki na kuanguka chini mfano wa mtu aliyetekwa na upepo mkali. Ama kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Madaktari wawili walimkimbia wakamuinua na kumpeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi. Walimfanyia tena uchunguzi na wakapata kuwa alikuwa na shinikizo la damu. Baada ya muda kidogo Tabasamu aliaga dunia. Hadithi hii inatumika kuwafunza hao ambao wanaifanya dunia kuwa rafiki pasi na kujua kuwa wavyele hawakukosea waliposema ya kuwa dunia ni kitu dhaifu, kiumbe sijitetee na hata wanapokanywa hao huwa sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
Dalili alizokuwa nazo Tabasamu zilikuwa ni za nini
{ "text": [ "Uja uzito na virusi vya Ukimwi" ] }