Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3147_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGJA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo au hata vyombo vya mawasiliano. Katika shule za sekondari teknolojia inatumika katika njia mbalimbali kama vile kufundisha na kadhalika. Teknolojia pia inaweza kutumiwa katika sekta nyingi kama hospitali, kituo cha polisi na hata nyumbani.
Wanafunzi wa sekondari wanatumia vyombo vya teknolojia kama vile vikokotoo. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kufanyia hisabati shule. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kwa sababu hupiga hesabu mara moja na hutumia wakati kidogo. Kikokotoo ni muhimu sana kwa wanafunzi.
Tarakilishi nayo inatumiwa na walimu na wanafunzi. Walimu huweka rekodi za wanafunzi kwenye tarakilishi. Wanafunzi nao husoma kwa kutumia tarakilishi na hutumia tarakilishi kwa kufanya utafiti wa mambo wanayofunzwa. Tarakilishi hufanya kazi haraka hata kushinda binadamu.
Shule nyingi za sekondari zina televisheni. Televisheni hutoa habari za kote duniani. Wanafunzi wanaweza kujua habari za kote duniani. Wanaweza kujua mambo ibuka katika jamii. Televisheni hutumiwa pamoja na kisengeretua ambacho hutumiwa kubadilisha idhaa za televisheni.
Teknolojia pia ina hasara zake. Wanafunzi hutumia tarakilishi za shule kwa kufanya utafiti wa mambo machafu katika jamii kama video za ngono. Wanafunzi hujifunza mambo mengi mabaya yasio na umuhimu wowote.
Vikokotoo navyo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu. Hawawezi kufanya hesabu bila kutumia kikokotoo. Pia tarakilishi huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hawaandiki nakala walizopewa na walimu wao bali kutaka kutumia tarakilishi. | Tarakilishi hufanya utafiti wa mambo machafu kama gani | {
"text": [
"Video za ngono"
]
} |
3147_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGJA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo au hata vyombo vya mawasiliano. Katika shule za sekondari teknolojia inatumika katika njia mbalimbali kama vile kufundisha na kadhalika. Teknolojia pia inaweza kutumiwa katika sekta nyingi kama hospitali, kituo cha polisi na hata nyumbani.
Wanafunzi wa sekondari wanatumia vyombo vya teknolojia kama vile vikokotoo. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kufanyia hisabati shule. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kwa sababu hupiga hesabu mara moja na hutumia wakati kidogo. Kikokotoo ni muhimu sana kwa wanafunzi.
Tarakilishi nayo inatumiwa na walimu na wanafunzi. Walimu huweka rekodi za wanafunzi kwenye tarakilishi. Wanafunzi nao husoma kwa kutumia tarakilishi na hutumia tarakilishi kwa kufanya utafiti wa mambo wanayofunzwa. Tarakilishi hufanya kazi haraka hata kushinda binadamu.
Shule nyingi za sekondari zina televisheni. Televisheni hutoa habari za kote duniani. Wanafunzi wanaweza kujua habari za kote duniani. Wanaweza kujua mambo ibuka katika jamii. Televisheni hutumiwa pamoja na kisengeretua ambacho hutumiwa kubadilisha idhaa za televisheni.
Teknolojia pia ina hasara zake. Wanafunzi hutumia tarakilishi za shule kwa kufanya utafiti wa mambo machafu katika jamii kama video za ngono. Wanafunzi hujifunza mambo mengi mabaya yasio na umuhimu wowote.
Vikokotoo navyo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu. Hawawezi kufanya hesabu bila kutumia kikokotoo. Pia tarakilishi huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hawaandiki nakala walizopewa na walimu wao bali kutaka kutumia tarakilishi. | Ni vipi vikokotoo hufanya wanafunzi wavivu | {
"text": [
"Hawawezi kufanya hesabu bila vikokotoo"
]
} |
3148_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa watu wasiposikiliza wavyele wao, huenda wakakutwa na makuu. Methali hii inapikika chungu kimoja na majuto ni mjukuu huja baadae.
Hapo zamani za kale paliishi baba, mama na mwanao. Bi na bwana Masudi walijaliwa na mtoto huyo pekee. Mwanao aliitwa Ali na alipendwa na jamii kwa sababu ya hulka yake njema. Hata walimu na wanafunzi walimpenda sana.
Alipofika darasa la saba, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mtundu na mtukutu mithili ya mkia wa mbuzi. Wavyele wake walimpa wasia ili abadilishe hulka yake lakini wapi. Ali alikuwa haambiliki wala hasemezeki. Alikua hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alianza kuvuta bangi na kutembea na watu wenye tabia zisizopendeza jamii. Walimu wake walimuadhibu kila kuchao lakini waligonga mwamba. Hakusikiliza wasia wao, akawa kama sikio la kufa lisilosikia dawa. Ali alikuwa hasikii ata kidogo. Alafu akaanza kuiba polepole pesa za kwao nyumbani, vyombo navyo vilimalizika kwa kuvipiga bei. Wazazi wake waliudhika sana kwa hilo. Shuleni alifukuzwa kwa sababu aliwapiga walimu na wanafunzi wenzake. Matendo yake yalikuwa yamevuka kiwango na kwa sababu ya hilo, wazazi wake wakamfukuza.
Ali akawa anazurura mitaani. Alikuwa mchafu na alinuka vibaya. Akaanza kuwaibia watu na akajulikana kama mwizi maarufu hapo mtaani. Yeye na genge lake waliwaibia watu kila siku. Watu walioishi kwenye mtaa huo walilalamika kila uchao. Siku moja walipokuwa wakitembea tembea wakipanga njama zao wasijue wanalopangiwa na majirani. Kumbe majirani waliamua kuwaitia afisa wa polisi na kuwaambia matatizo yanayowakumba kila uchao. Wazazi wa Ali ndio wakwanza waliowaeleza.
Wakawasaka wezi hao na wakawapata, Ali alilia kwa huzuni akiwaomba watu msamaha. Watu walikataa kata kata, akaenda kwa wazazi wake lakini hawakutaka kumsikiza. Walikamatwa na kupelekwa korokoroni. Hapo ndipo Ali alipokumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Ali alikuwa anazururazurura wapi | {
"text": [
"mitaani"
]
} |
3148_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa watu wasiposikiliza wavyele wao, huenda wakakutwa na makuu. Methali hii inapikika chungu kimoja na majuto ni mjukuu huja baadae.
Hapo zamani za kale paliishi baba, mama na mwanao. Bi na bwana Masudi walijaliwa na mtoto huyo pekee. Mwanao aliitwa Ali na alipendwa na jamii kwa sababu ya hulka yake njema. Hata walimu na wanafunzi walimpenda sana.
Alipofika darasa la saba, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mtundu na mtukutu mithili ya mkia wa mbuzi. Wavyele wake walimpa wasia ili abadilishe hulka yake lakini wapi. Ali alikuwa haambiliki wala hasemezeki. Alikua hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alianza kuvuta bangi na kutembea na watu wenye tabia zisizopendeza jamii. Walimu wake walimuadhibu kila kuchao lakini waligonga mwamba. Hakusikiliza wasia wao, akawa kama sikio la kufa lisilosikia dawa. Ali alikuwa hasikii ata kidogo. Alafu akaanza kuiba polepole pesa za kwao nyumbani, vyombo navyo vilimalizika kwa kuvipiga bei. Wazazi wake waliudhika sana kwa hilo. Shuleni alifukuzwa kwa sababu aliwapiga walimu na wanafunzi wenzake. Matendo yake yalikuwa yamevuka kiwango na kwa sababu ya hilo, wazazi wake wakamfukuza.
Ali akawa anazurura mitaani. Alikuwa mchafu na alinuka vibaya. Akaanza kuwaibia watu na akajulikana kama mwizi maarufu hapo mtaani. Yeye na genge lake waliwaibia watu kila siku. Watu walioishi kwenye mtaa huo walilalamika kila uchao. Siku moja walipokuwa wakitembea tembea wakipanga njama zao wasijue wanalopangiwa na majirani. Kumbe majirani waliamua kuwaitia afisa wa polisi na kuwaambia matatizo yanayowakumba kila uchao. Wazazi wa Ali ndio wakwanza waliowaeleza.
Wakawasaka wezi hao na wakawapata, Ali alilia kwa huzuni akiwaomba watu msamaha. Watu walikataa kata kata, akaenda kwa wazazi wake lakini hawakutaka kumsikiza. Walikamatwa na kupelekwa korokoroni. Hapo ndipo Ali alipokumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mtoto wa Bi. na Bw. Masudi aliitwa nani | {
"text": [
"Ali"
]
} |
3148_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa watu wasiposikiliza wavyele wao, huenda wakakutwa na makuu. Methali hii inapikika chungu kimoja na majuto ni mjukuu huja baadae.
Hapo zamani za kale paliishi baba, mama na mwanao. Bi na bwana Masudi walijaliwa na mtoto huyo pekee. Mwanao aliitwa Ali na alipendwa na jamii kwa sababu ya hulka yake njema. Hata walimu na wanafunzi walimpenda sana.
Alipofika darasa la saba, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mtundu na mtukutu mithili ya mkia wa mbuzi. Wavyele wake walimpa wasia ili abadilishe hulka yake lakini wapi. Ali alikuwa haambiliki wala hasemezeki. Alikua hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alianza kuvuta bangi na kutembea na watu wenye tabia zisizopendeza jamii. Walimu wake walimuadhibu kila kuchao lakini waligonga mwamba. Hakusikiliza wasia wao, akawa kama sikio la kufa lisilosikia dawa. Ali alikuwa hasikii ata kidogo. Alafu akaanza kuiba polepole pesa za kwao nyumbani, vyombo navyo vilimalizika kwa kuvipiga bei. Wazazi wake waliudhika sana kwa hilo. Shuleni alifukuzwa kwa sababu aliwapiga walimu na wanafunzi wenzake. Matendo yake yalikuwa yamevuka kiwango na kwa sababu ya hilo, wazazi wake wakamfukuza.
Ali akawa anazurura mitaani. Alikuwa mchafu na alinuka vibaya. Akaanza kuwaibia watu na akajulikana kama mwizi maarufu hapo mtaani. Yeye na genge lake waliwaibia watu kila siku. Watu walioishi kwenye mtaa huo walilalamika kila uchao. Siku moja walipokuwa wakitembea tembea wakipanga njama zao wasijue wanalopangiwa na majirani. Kumbe majirani waliamua kuwaitia afisa wa polisi na kuwaambia matatizo yanayowakumba kila uchao. Wazazi wa Ali ndio wakwanza waliowaeleza.
Wakawasaka wezi hao na wakawapata, Ali alilia kwa huzuni akiwaomba watu msamaha. Watu walikataa kata kata, akaenda kwa wazazi wake lakini hawakutaka kumsikiza. Walikamatwa na kupelekwa korokoroni. Hapo ndipo Ali alipokumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Walimu wa Ali walifanya nini kila uchao | {
"text": [
"walimuadhibu"
]
} |
3148_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa watu wasiposikiliza wavyele wao, huenda wakakutwa na makuu. Methali hii inapikika chungu kimoja na majuto ni mjukuu huja baadae.
Hapo zamani za kale paliishi baba, mama na mwanao. Bi na bwana Masudi walijaliwa na mtoto huyo pekee. Mwanao aliitwa Ali na alipendwa na jamii kwa sababu ya hulka yake njema. Hata walimu na wanafunzi walimpenda sana.
Alipofika darasa la saba, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mtundu na mtukutu mithili ya mkia wa mbuzi. Wavyele wake walimpa wasia ili abadilishe hulka yake lakini wapi. Ali alikuwa haambiliki wala hasemezeki. Alikua hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alianza kuvuta bangi na kutembea na watu wenye tabia zisizopendeza jamii. Walimu wake walimuadhibu kila kuchao lakini waligonga mwamba. Hakusikiliza wasia wao, akawa kama sikio la kufa lisilosikia dawa. Ali alikuwa hasikii ata kidogo. Alafu akaanza kuiba polepole pesa za kwao nyumbani, vyombo navyo vilimalizika kwa kuvipiga bei. Wazazi wake waliudhika sana kwa hilo. Shuleni alifukuzwa kwa sababu aliwapiga walimu na wanafunzi wenzake. Matendo yake yalikuwa yamevuka kiwango na kwa sababu ya hilo, wazazi wake wakamfukuza.
Ali akawa anazurura mitaani. Alikuwa mchafu na alinuka vibaya. Akaanza kuwaibia watu na akajulikana kama mwizi maarufu hapo mtaani. Yeye na genge lake waliwaibia watu kila siku. Watu walioishi kwenye mtaa huo walilalamika kila uchao. Siku moja walipokuwa wakitembea tembea wakipanga njama zao wasijue wanalopangiwa na majirani. Kumbe majirani waliamua kuwaitia afisa wa polisi na kuwaambia matatizo yanayowakumba kila uchao. Wazazi wa Ali ndio wakwanza waliowaeleza.
Wakawasaka wezi hao na wakawapata, Ali alilia kwa huzuni akiwaomba watu msamaha. Watu walikataa kata kata, akaenda kwa wazazi wake lakini hawakutaka kumsikiza. Walikamatwa na kupelekwa korokoroni. Hapo ndipo Ali alipokumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Ali aliiba pesa za wapi | {
"text": [
"kwao nyumbani"
]
} |
3148_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa watu wasiposikiliza wavyele wao, huenda wakakutwa na makuu. Methali hii inapikika chungu kimoja na majuto ni mjukuu huja baadae.
Hapo zamani za kale paliishi baba, mama na mwanao. Bi na bwana Masudi walijaliwa na mtoto huyo pekee. Mwanao aliitwa Ali na alipendwa na jamii kwa sababu ya hulka yake njema. Hata walimu na wanafunzi walimpenda sana.
Alipofika darasa la saba, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mtundu na mtukutu mithili ya mkia wa mbuzi. Wavyele wake walimpa wasia ili abadilishe hulka yake lakini wapi. Ali alikuwa haambiliki wala hasemezeki. Alikua hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Alianza kuvuta bangi na kutembea na watu wenye tabia zisizopendeza jamii. Walimu wake walimuadhibu kila kuchao lakini waligonga mwamba. Hakusikiliza wasia wao, akawa kama sikio la kufa lisilosikia dawa. Ali alikuwa hasikii ata kidogo. Alafu akaanza kuiba polepole pesa za kwao nyumbani, vyombo navyo vilimalizika kwa kuvipiga bei. Wazazi wake waliudhika sana kwa hilo. Shuleni alifukuzwa kwa sababu aliwapiga walimu na wanafunzi wenzake. Matendo yake yalikuwa yamevuka kiwango na kwa sababu ya hilo, wazazi wake wakamfukuza.
Ali akawa anazurura mitaani. Alikuwa mchafu na alinuka vibaya. Akaanza kuwaibia watu na akajulikana kama mwizi maarufu hapo mtaani. Yeye na genge lake waliwaibia watu kila siku. Watu walioishi kwenye mtaa huo walilalamika kila uchao. Siku moja walipokuwa wakitembea tembea wakipanga njama zao wasijue wanalopangiwa na majirani. Kumbe majirani waliamua kuwaitia afisa wa polisi na kuwaambia matatizo yanayowakumba kila uchao. Wazazi wa Ali ndio wakwanza waliowaeleza.
Wakawasaka wezi hao na wakawapata, Ali alilia kwa huzuni akiwaomba watu msamaha. Watu walikataa kata kata, akaenda kwa wazazi wake lakini hawakutaka kumsikiza. Walikamatwa na kupelekwa korokoroni. Hapo ndipo Ali alipokumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mbona alifukuzwa shuleni | {
"text": [
"aliwapiga walimu na wanafunzi wenzake"
]
} |
3149_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam, ni bayana kwamba teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari. Kila kitu kikiwa na uzuri ndani yake mna ubaya wake uliojificha. Mathalani chombo kama kikokotoo, kina wasaidia wanafunzi wengi wanapohitaji kuitumia. Wanafunzi au hata walimu hufanya hesabu zao kwa haraka kwa kutumia kikokotoo.
Vile vile teknolojia imeleta uburudishaji kwa watu wengi sana. Iwapo mtu ana mawazo yaliyomzoga kichwani mwake anaweza kuyaepuka kwa kusikiliza muziki au hata kutazama video. Baada ya kufanya yote haya mtu atapata afueni na kuwa mwepesi katika mwili wake. Hata mbali na kuondoa mawazo, insi anaweza kujipa mazoezi anapojihisi ana uchovu.
Aghalabu teknolojia imeleta urahisi wa mambo. Chombo kama vile tarakilishi imeweza kueneza habari kwa watu wengi kutumia muda kiduchu. Habari hizi ziwe nzuri au mbaya watu wengi huzipata kila wakati. Vile vile kuna jambo la dharura na lahitajika kutimizwa kwa wakati, basi ni nadra kushindwa. Hata karo za wanafunzi hutumwa mtandaoni ili kuwezesha kuhifadhi ngwenje za mtu ambazo alikuwa atumie kama nauli.
Teknolojia pia imeleta ajira. Walimu wameweza kupata ajira kutokana na ufundi walionao wa kutumia vyombo vya kisasa. Hata watu wengi hupata ajira za kuchapisha magazeti ambayo hupitisha habari kila pembe ya dunia. Kadhalika, chombo kama simu kimewawezesha wanafunzi kuweza kusoma kwa kutumia kifaa hicho. Endapo mtu yuko mbali na anahitaji kusoma basi hana budi kutumia simu.
Aha! Kama nilivyotanguliza mwanzo kuwa kila king'aacho kina ubaya wake. Iwapo kuna muziki kila mahali au mashine za kukatia miti karibu, huleta kelele. Kelele hilo huharibu masikio ya wanafunzi wanaposoma. Wanafunzi huanza kugonjeka na mwishowe huenda wakakosa kuelewa wanachokisoma.
Vyombo kama simu, tarakilishi, kipepesi na vinginevyo huleta madhara ya macho. Mtu akiwa na mazoea ya vitu vyenye mwangaza kama hivi huharibu macho. Kwa wanafunzi inakuwa kama adhabu kwao kwa sababu hawataweza kusoma vizuri, wala kuweza kuona vizuri.
Teknolojia vile vile imewafanya watu wengi kuhamia mijini kwani ndiko ambako teknolojia inakithiri kwa wingi. Wameyaacha mashamba yao ambayo wanaweza kupanda mimea na kuvuna chakula muda unapofika. Kando na hayo watu wameacha mila zao kwa sababu ya teknolojia iliyowateka watu akili zao.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya vijana wengi kuwa na tabia potovu. Wanapotazama video aina ainati, wanajikuta wakiingia na kuanza kufanya yafanywao humo ndani. Ndipo upatapo vijana wengi watumia mihadarati kama vile; pombe, sigara, bangi na vinginevyo. Kijana anaweza kuwa mtiifu kabla ya kutumia mihadarati lakini baada ya kujiunga, tabia hubadilika na kuwa mwenye beza kwa wakubwa na hata wadogo. Licha ya tatizo hilo, wasichana walio na umri mdogo hupata mimba za mapema. Hii teknolojia ndiyo iliyoleta haya. Vile vile simu ni chombo ambacho kililetwa ili kuwasiliana lakini karne ya sasa ni kama njia mojawapo ya kutafuta mpenzi. Watu wengi walio na simu hawaitumii kama ipasavyo bali kinyume chake. Ndipo upatapo mtu ana simu ila hajui kuitumia kama inavyotakikana. Na ndio mara nyingi watu wengi wameharibika maishani. | Wanafunzi na walimu hufanya hesabu haraka wakitumia nini? | {
"text": [
"Kikokotoo"
]
} |
3149_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam, ni bayana kwamba teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari. Kila kitu kikiwa na uzuri ndani yake mna ubaya wake uliojificha. Mathalani chombo kama kikokotoo, kina wasaidia wanafunzi wengi wanapohitaji kuitumia. Wanafunzi au hata walimu hufanya hesabu zao kwa haraka kwa kutumia kikokotoo.
Vile vile teknolojia imeleta uburudishaji kwa watu wengi sana. Iwapo mtu ana mawazo yaliyomzoga kichwani mwake anaweza kuyaepuka kwa kusikiliza muziki au hata kutazama video. Baada ya kufanya yote haya mtu atapata afueni na kuwa mwepesi katika mwili wake. Hata mbali na kuondoa mawazo, insi anaweza kujipa mazoezi anapojihisi ana uchovu.
Aghalabu teknolojia imeleta urahisi wa mambo. Chombo kama vile tarakilishi imeweza kueneza habari kwa watu wengi kutumia muda kiduchu. Habari hizi ziwe nzuri au mbaya watu wengi huzipata kila wakati. Vile vile kuna jambo la dharura na lahitajika kutimizwa kwa wakati, basi ni nadra kushindwa. Hata karo za wanafunzi hutumwa mtandaoni ili kuwezesha kuhifadhi ngwenje za mtu ambazo alikuwa atumie kama nauli.
Teknolojia pia imeleta ajira. Walimu wameweza kupata ajira kutokana na ufundi walionao wa kutumia vyombo vya kisasa. Hata watu wengi hupata ajira za kuchapisha magazeti ambayo hupitisha habari kila pembe ya dunia. Kadhalika, chombo kama simu kimewawezesha wanafunzi kuweza kusoma kwa kutumia kifaa hicho. Endapo mtu yuko mbali na anahitaji kusoma basi hana budi kutumia simu.
Aha! Kama nilivyotanguliza mwanzo kuwa kila king'aacho kina ubaya wake. Iwapo kuna muziki kila mahali au mashine za kukatia miti karibu, huleta kelele. Kelele hilo huharibu masikio ya wanafunzi wanaposoma. Wanafunzi huanza kugonjeka na mwishowe huenda wakakosa kuelewa wanachokisoma.
Vyombo kama simu, tarakilishi, kipepesi na vinginevyo huleta madhara ya macho. Mtu akiwa na mazoea ya vitu vyenye mwangaza kama hivi huharibu macho. Kwa wanafunzi inakuwa kama adhabu kwao kwa sababu hawataweza kusoma vizuri, wala kuweza kuona vizuri.
Teknolojia vile vile imewafanya watu wengi kuhamia mijini kwani ndiko ambako teknolojia inakithiri kwa wingi. Wameyaacha mashamba yao ambayo wanaweza kupanda mimea na kuvuna chakula muda unapofika. Kando na hayo watu wameacha mila zao kwa sababu ya teknolojia iliyowateka watu akili zao.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya vijana wengi kuwa na tabia potovu. Wanapotazama video aina ainati, wanajikuta wakiingia na kuanza kufanya yafanywao humo ndani. Ndipo upatapo vijana wengi watumia mihadarati kama vile; pombe, sigara, bangi na vinginevyo. Kijana anaweza kuwa mtiifu kabla ya kutumia mihadarati lakini baada ya kujiunga, tabia hubadilika na kuwa mwenye beza kwa wakubwa na hata wadogo. Licha ya tatizo hilo, wasichana walio na umri mdogo hupata mimba za mapema. Hii teknolojia ndiyo iliyoleta haya. Vile vile simu ni chombo ambacho kililetwa ili kuwasiliana lakini karne ya sasa ni kama njia mojawapo ya kutafuta mpenzi. Watu wengi walio na simu hawaitumii kama ipasavyo bali kinyume chake. Ndipo upatapo mtu ana simu ila hajui kuitumia kama inavyotakikana. Na ndio mara nyingi watu wengi wameharibika maishani. | Burudani ipi huimarisha jinsi mtu huhisi? | {
"text": [
"Muziki"
]
} |
3149_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam, ni bayana kwamba teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari. Kila kitu kikiwa na uzuri ndani yake mna ubaya wake uliojificha. Mathalani chombo kama kikokotoo, kina wasaidia wanafunzi wengi wanapohitaji kuitumia. Wanafunzi au hata walimu hufanya hesabu zao kwa haraka kwa kutumia kikokotoo.
Vile vile teknolojia imeleta uburudishaji kwa watu wengi sana. Iwapo mtu ana mawazo yaliyomzoga kichwani mwake anaweza kuyaepuka kwa kusikiliza muziki au hata kutazama video. Baada ya kufanya yote haya mtu atapata afueni na kuwa mwepesi katika mwili wake. Hata mbali na kuondoa mawazo, insi anaweza kujipa mazoezi anapojihisi ana uchovu.
Aghalabu teknolojia imeleta urahisi wa mambo. Chombo kama vile tarakilishi imeweza kueneza habari kwa watu wengi kutumia muda kiduchu. Habari hizi ziwe nzuri au mbaya watu wengi huzipata kila wakati. Vile vile kuna jambo la dharura na lahitajika kutimizwa kwa wakati, basi ni nadra kushindwa. Hata karo za wanafunzi hutumwa mtandaoni ili kuwezesha kuhifadhi ngwenje za mtu ambazo alikuwa atumie kama nauli.
Teknolojia pia imeleta ajira. Walimu wameweza kupata ajira kutokana na ufundi walionao wa kutumia vyombo vya kisasa. Hata watu wengi hupata ajira za kuchapisha magazeti ambayo hupitisha habari kila pembe ya dunia. Kadhalika, chombo kama simu kimewawezesha wanafunzi kuweza kusoma kwa kutumia kifaa hicho. Endapo mtu yuko mbali na anahitaji kusoma basi hana budi kutumia simu.
Aha! Kama nilivyotanguliza mwanzo kuwa kila king'aacho kina ubaya wake. Iwapo kuna muziki kila mahali au mashine za kukatia miti karibu, huleta kelele. Kelele hilo huharibu masikio ya wanafunzi wanaposoma. Wanafunzi huanza kugonjeka na mwishowe huenda wakakosa kuelewa wanachokisoma.
Vyombo kama simu, tarakilishi, kipepesi na vinginevyo huleta madhara ya macho. Mtu akiwa na mazoea ya vitu vyenye mwangaza kama hivi huharibu macho. Kwa wanafunzi inakuwa kama adhabu kwao kwa sababu hawataweza kusoma vizuri, wala kuweza kuona vizuri.
Teknolojia vile vile imewafanya watu wengi kuhamia mijini kwani ndiko ambako teknolojia inakithiri kwa wingi. Wameyaacha mashamba yao ambayo wanaweza kupanda mimea na kuvuna chakula muda unapofika. Kando na hayo watu wameacha mila zao kwa sababu ya teknolojia iliyowateka watu akili zao.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya vijana wengi kuwa na tabia potovu. Wanapotazama video aina ainati, wanajikuta wakiingia na kuanza kufanya yafanywao humo ndani. Ndipo upatapo vijana wengi watumia mihadarati kama vile; pombe, sigara, bangi na vinginevyo. Kijana anaweza kuwa mtiifu kabla ya kutumia mihadarati lakini baada ya kujiunga, tabia hubadilika na kuwa mwenye beza kwa wakubwa na hata wadogo. Licha ya tatizo hilo, wasichana walio na umri mdogo hupata mimba za mapema. Hii teknolojia ndiyo iliyoleta haya. Vile vile simu ni chombo ambacho kililetwa ili kuwasiliana lakini karne ya sasa ni kama njia mojawapo ya kutafuta mpenzi. Watu wengi walio na simu hawaitumii kama ipasavyo bali kinyume chake. Ndipo upatapo mtu ana simu ila hajui kuitumia kama inavyotakikana. Na ndio mara nyingi watu wengi wameharibika maishani. | Chombo kipi kinaweza kutuma habari kwa watu wengi? | {
"text": [
"Televisheni"
]
} |
3149_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam, ni bayana kwamba teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari. Kila kitu kikiwa na uzuri ndani yake mna ubaya wake uliojificha. Mathalani chombo kama kikokotoo, kina wasaidia wanafunzi wengi wanapohitaji kuitumia. Wanafunzi au hata walimu hufanya hesabu zao kwa haraka kwa kutumia kikokotoo.
Vile vile teknolojia imeleta uburudishaji kwa watu wengi sana. Iwapo mtu ana mawazo yaliyomzoga kichwani mwake anaweza kuyaepuka kwa kusikiliza muziki au hata kutazama video. Baada ya kufanya yote haya mtu atapata afueni na kuwa mwepesi katika mwili wake. Hata mbali na kuondoa mawazo, insi anaweza kujipa mazoezi anapojihisi ana uchovu.
Aghalabu teknolojia imeleta urahisi wa mambo. Chombo kama vile tarakilishi imeweza kueneza habari kwa watu wengi kutumia muda kiduchu. Habari hizi ziwe nzuri au mbaya watu wengi huzipata kila wakati. Vile vile kuna jambo la dharura na lahitajika kutimizwa kwa wakati, basi ni nadra kushindwa. Hata karo za wanafunzi hutumwa mtandaoni ili kuwezesha kuhifadhi ngwenje za mtu ambazo alikuwa atumie kama nauli.
Teknolojia pia imeleta ajira. Walimu wameweza kupata ajira kutokana na ufundi walionao wa kutumia vyombo vya kisasa. Hata watu wengi hupata ajira za kuchapisha magazeti ambayo hupitisha habari kila pembe ya dunia. Kadhalika, chombo kama simu kimewawezesha wanafunzi kuweza kusoma kwa kutumia kifaa hicho. Endapo mtu yuko mbali na anahitaji kusoma basi hana budi kutumia simu.
Aha! Kama nilivyotanguliza mwanzo kuwa kila king'aacho kina ubaya wake. Iwapo kuna muziki kila mahali au mashine za kukatia miti karibu, huleta kelele. Kelele hilo huharibu masikio ya wanafunzi wanaposoma. Wanafunzi huanza kugonjeka na mwishowe huenda wakakosa kuelewa wanachokisoma.
Vyombo kama simu, tarakilishi, kipepesi na vinginevyo huleta madhara ya macho. Mtu akiwa na mazoea ya vitu vyenye mwangaza kama hivi huharibu macho. Kwa wanafunzi inakuwa kama adhabu kwao kwa sababu hawataweza kusoma vizuri, wala kuweza kuona vizuri.
Teknolojia vile vile imewafanya watu wengi kuhamia mijini kwani ndiko ambako teknolojia inakithiri kwa wingi. Wameyaacha mashamba yao ambayo wanaweza kupanda mimea na kuvuna chakula muda unapofika. Kando na hayo watu wameacha mila zao kwa sababu ya teknolojia iliyowateka watu akili zao.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya vijana wengi kuwa na tabia potovu. Wanapotazama video aina ainati, wanajikuta wakiingia na kuanza kufanya yafanywao humo ndani. Ndipo upatapo vijana wengi watumia mihadarati kama vile; pombe, sigara, bangi na vinginevyo. Kijana anaweza kuwa mtiifu kabla ya kutumia mihadarati lakini baada ya kujiunga, tabia hubadilika na kuwa mwenye beza kwa wakubwa na hata wadogo. Licha ya tatizo hilo, wasichana walio na umri mdogo hupata mimba za mapema. Hii teknolojia ndiyo iliyoleta haya. Vile vile simu ni chombo ambacho kililetwa ili kuwasiliana lakini karne ya sasa ni kama njia mojawapo ya kutafuta mpenzi. Watu wengi walio na simu hawaitumii kama ipasavyo bali kinyume chake. Ndipo upatapo mtu ana simu ila hajui kuitumia kama inavyotakikana. Na ndio mara nyingi watu wengi wameharibika maishani. | Walimu wamepata nini kutokana na ujuzi wao wa kutumia teknolojia? | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
3149_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam, ni bayana kwamba teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari. Kila kitu kikiwa na uzuri ndani yake mna ubaya wake uliojificha. Mathalani chombo kama kikokotoo, kina wasaidia wanafunzi wengi wanapohitaji kuitumia. Wanafunzi au hata walimu hufanya hesabu zao kwa haraka kwa kutumia kikokotoo.
Vile vile teknolojia imeleta uburudishaji kwa watu wengi sana. Iwapo mtu ana mawazo yaliyomzoga kichwani mwake anaweza kuyaepuka kwa kusikiliza muziki au hata kutazama video. Baada ya kufanya yote haya mtu atapata afueni na kuwa mwepesi katika mwili wake. Hata mbali na kuondoa mawazo, insi anaweza kujipa mazoezi anapojihisi ana uchovu.
Aghalabu teknolojia imeleta urahisi wa mambo. Chombo kama vile tarakilishi imeweza kueneza habari kwa watu wengi kutumia muda kiduchu. Habari hizi ziwe nzuri au mbaya watu wengi huzipata kila wakati. Vile vile kuna jambo la dharura na lahitajika kutimizwa kwa wakati, basi ni nadra kushindwa. Hata karo za wanafunzi hutumwa mtandaoni ili kuwezesha kuhifadhi ngwenje za mtu ambazo alikuwa atumie kama nauli.
Teknolojia pia imeleta ajira. Walimu wameweza kupata ajira kutokana na ufundi walionao wa kutumia vyombo vya kisasa. Hata watu wengi hupata ajira za kuchapisha magazeti ambayo hupitisha habari kila pembe ya dunia. Kadhalika, chombo kama simu kimewawezesha wanafunzi kuweza kusoma kwa kutumia kifaa hicho. Endapo mtu yuko mbali na anahitaji kusoma basi hana budi kutumia simu.
Aha! Kama nilivyotanguliza mwanzo kuwa kila king'aacho kina ubaya wake. Iwapo kuna muziki kila mahali au mashine za kukatia miti karibu, huleta kelele. Kelele hilo huharibu masikio ya wanafunzi wanaposoma. Wanafunzi huanza kugonjeka na mwishowe huenda wakakosa kuelewa wanachokisoma.
Vyombo kama simu, tarakilishi, kipepesi na vinginevyo huleta madhara ya macho. Mtu akiwa na mazoea ya vitu vyenye mwangaza kama hivi huharibu macho. Kwa wanafunzi inakuwa kama adhabu kwao kwa sababu hawataweza kusoma vizuri, wala kuweza kuona vizuri.
Teknolojia vile vile imewafanya watu wengi kuhamia mijini kwani ndiko ambako teknolojia inakithiri kwa wingi. Wameyaacha mashamba yao ambayo wanaweza kupanda mimea na kuvuna chakula muda unapofika. Kando na hayo watu wameacha mila zao kwa sababu ya teknolojia iliyowateka watu akili zao.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya vijana wengi kuwa na tabia potovu. Wanapotazama video aina ainati, wanajikuta wakiingia na kuanza kufanya yafanywao humo ndani. Ndipo upatapo vijana wengi watumia mihadarati kama vile; pombe, sigara, bangi na vinginevyo. Kijana anaweza kuwa mtiifu kabla ya kutumia mihadarati lakini baada ya kujiunga, tabia hubadilika na kuwa mwenye beza kwa wakubwa na hata wadogo. Licha ya tatizo hilo, wasichana walio na umri mdogo hupata mimba za mapema. Hii teknolojia ndiyo iliyoleta haya. Vile vile simu ni chombo ambacho kililetwa ili kuwasiliana lakini karne ya sasa ni kama njia mojawapo ya kutafuta mpenzi. Watu wengi walio na simu hawaitumii kama ipasavyo bali kinyume chake. Ndipo upatapo mtu ana simu ila hajui kuitumia kama inavyotakikana. Na ndio mara nyingi watu wengi wameharibika maishani. | Mtu huharibika macho kivipi? | {
"text": [
"Mazoea ya kutumia simu na tarakilishi kwa muda murefu"
]
} |
3150_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Busara ya methali hii ni kwamba ina maana ya kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake au hata waliomzidi umri kuhusu jambo fulani na asipofuata , basi mwishowe hufikwa na
balaa. Methali hii inaoana na ya mkataa pema pabaya pamuita. Methali hii hutumiwa kuwaambia wale ambao hawasikilizi ya wakubwa wao. Wanapoambiwa waachane ha hili bali washike lile kwao waona ni kama dharubu. Hivyo basi waamua kuyafanya mambo kadri mtima wao unavyohitaji na mwishowe kuangukia pabaya.
Mwanaheri ni kijana wa umri wa makamo. Alikuwa mwenye busara, si kwa wakubwa tu hata kwa wadogo wake. Alikuwa na heshima kwa kila mmoja. Ama kweli Mwanaheri alisifika sana katika mtaa wao . Yeye ndiye aliyekuwa kijana aliyetumika nyumbani kwao. Isitoshe, aliwasaidia wazazi wake wawili waliompenda kwa dhati kazi za nyumbani. Aliendea maji, dukani na hata pia aliwapikia wazazi wake palipobudi.
Ghulamu huyu alisoma katika shule ya upili. Miaka ikapita baada ya wazazi wake kuona kuna mwana wao mfua dafu amebadilika. Mwanaheri alijiunga na kundi lililokuwa potovu. Kundi hili lilitumia aina ainati ya vileo na hata pia lilijihusisha na matendo yasiyokuwa ya haki. Shuleni walimu walilalamika dhidi ya tabia aliyokuwa nayo Mwanaheri. Yeye pamoja na kundi lake waliitiwa wazazi angalau awazungumzishe na kuepukana na mambo waliokuwa nayo. lla Siku zote sikio la kufa halisikii dawa. Yote yaliyonenwa ni kama kumpigia mbuzi gitaa.
Kiamboni, wazazi hawakusita kumuongelesha mtoto wao kwani ni haki kumrudi mtoto anapoenda segemnege. Mwanaheri mwanangu, mbona hivi lakini? Hivi unahitaji nani akuseme ndio uelewe mwanangu?" Sauti hii ilikuwa ya babake. Naye Mwanaheri alijisemea nafsini mwake, "Hivi huyu mzee ana nini na mimi? Au ni kamfungulia mashtaka kuwa hanitentendei haki. Aliendelea baba yake akisema, kumbuka kuna asiyesikia la hupatwa na makuu mwanangu, usije ukajuta baadaye. Mwanaheri kwake yalikuwa ni kama porojo tu alizonena baba yake mzazi.
Kijana huyu alianza kukuza tabia yake mbaya. Tangu alipokuwa mwenye kunywa na kulewa aliona bado hajatimiza malengo yake. Aliwapora watu alipotembea mtaani. Aliwanyang’anya nguo zao, pesa zao na pia alichukua vitu vilivyokuwa vya thamani na kuviuza ili kupata ngweje za kununua video.
Mwanaheri pamoja na genge lake waliamua kalivamia lorry lililobeba watalii. Waliwaticha kwa bunduki bandia na kumwamrisha dereva asimamishe gari lile. Fundi wa dereva ulidunda du!du!du! kiasi kwamba ulikaribia kuruka nje. Ulidunda kwa nguvu hata mtu aliyekuwa karibu
Vijana hawa hawakujua kuwa watalii wanaposafiri lazima waandamane guu kwa guu na askari watakao walinda kila waendapo. Ghafla bin vuu, jasho chembamba kiliwatiririka kutoka makuapani mwao. Walioshika bunduki bandia, waliamrishwa kulala chini mara hiyo hiyo. Naye Mwanaheri ambaye hakuwa na bunduki mkononi, aliamua kutoka mraba ili kutetea nafsi yake. Nao askari hawakutaka kushindwa, walimfatilia nyuma. Mwanaheri kote alikokimbilia.
Askari mwenye na ujasiri wa hali ya juu aliifyatua risasi na ikampata Mwanaheri kwenye muundi. Askari aliona haitoshi akaamua kumpa nyingine iliyomlenga tumboni na kupotelea humo. Aliwahiwa hospitalini baada ya yeye kupoteza fahamu. Mguu wake ulibidi kukatwa. Muda kiduchu hivi, aliamka na kujiona hali mbaya. Aliifikiria sauti nzito ya babake, “Kumbuka kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu. "Kila alipofikiria moyo ulimkereketa hata kuliko risasi aliyochapwa nayo. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Methali hii inatufunza kuwa tunapaswa kuyatilia maanani na kuyazingatia yote tunayoambiwa na wavyele wetu.
| Wavyele ni kina nani? | {
"text": [
"Wazazi"
]
} |
3150_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Busara ya methali hii ni kwamba ina maana ya kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake au hata waliomzidi umri kuhusu jambo fulani na asipofuata , basi mwishowe hufikwa na
balaa. Methali hii inaoana na ya mkataa pema pabaya pamuita. Methali hii hutumiwa kuwaambia wale ambao hawasikilizi ya wakubwa wao. Wanapoambiwa waachane ha hili bali washike lile kwao waona ni kama dharubu. Hivyo basi waamua kuyafanya mambo kadri mtima wao unavyohitaji na mwishowe kuangukia pabaya.
Mwanaheri ni kijana wa umri wa makamo. Alikuwa mwenye busara, si kwa wakubwa tu hata kwa wadogo wake. Alikuwa na heshima kwa kila mmoja. Ama kweli Mwanaheri alisifika sana katika mtaa wao . Yeye ndiye aliyekuwa kijana aliyetumika nyumbani kwao. Isitoshe, aliwasaidia wazazi wake wawili waliompenda kwa dhati kazi za nyumbani. Aliendea maji, dukani na hata pia aliwapikia wazazi wake palipobudi.
Ghulamu huyu alisoma katika shule ya upili. Miaka ikapita baada ya wazazi wake kuona kuna mwana wao mfua dafu amebadilika. Mwanaheri alijiunga na kundi lililokuwa potovu. Kundi hili lilitumia aina ainati ya vileo na hata pia lilijihusisha na matendo yasiyokuwa ya haki. Shuleni walimu walilalamika dhidi ya tabia aliyokuwa nayo Mwanaheri. Yeye pamoja na kundi lake waliitiwa wazazi angalau awazungumzishe na kuepukana na mambo waliokuwa nayo. lla Siku zote sikio la kufa halisikii dawa. Yote yaliyonenwa ni kama kumpigia mbuzi gitaa.
Kiamboni, wazazi hawakusita kumuongelesha mtoto wao kwani ni haki kumrudi mtoto anapoenda segemnege. Mwanaheri mwanangu, mbona hivi lakini? Hivi unahitaji nani akuseme ndio uelewe mwanangu?" Sauti hii ilikuwa ya babake. Naye Mwanaheri alijisemea nafsini mwake, "Hivi huyu mzee ana nini na mimi? Au ni kamfungulia mashtaka kuwa hanitentendei haki. Aliendelea baba yake akisema, kumbuka kuna asiyesikia la hupatwa na makuu mwanangu, usije ukajuta baadaye. Mwanaheri kwake yalikuwa ni kama porojo tu alizonena baba yake mzazi.
Kijana huyu alianza kukuza tabia yake mbaya. Tangu alipokuwa mwenye kunywa na kulewa aliona bado hajatimiza malengo yake. Aliwapora watu alipotembea mtaani. Aliwanyang’anya nguo zao, pesa zao na pia alichukua vitu vilivyokuwa vya thamani na kuviuza ili kupata ngweje za kununua video.
Mwanaheri pamoja na genge lake waliamua kalivamia lorry lililobeba watalii. Waliwaticha kwa bunduki bandia na kumwamrisha dereva asimamishe gari lile. Fundi wa dereva ulidunda du!du!du! kiasi kwamba ulikaribia kuruka nje. Ulidunda kwa nguvu hata mtu aliyekuwa karibu
Vijana hawa hawakujua kuwa watalii wanaposafiri lazima waandamane guu kwa guu na askari watakao walinda kila waendapo. Ghafla bin vuu, jasho chembamba kiliwatiririka kutoka makuapani mwao. Walioshika bunduki bandia, waliamrishwa kulala chini mara hiyo hiyo. Naye Mwanaheri ambaye hakuwa na bunduki mkononi, aliamua kutoka mraba ili kutetea nafsi yake. Nao askari hawakutaka kushindwa, walimfatilia nyuma. Mwanaheri kote alikokimbilia.
Askari mwenye na ujasiri wa hali ya juu aliifyatua risasi na ikampata Mwanaheri kwenye muundi. Askari aliona haitoshi akaamua kumpa nyingine iliyomlenga tumboni na kupotelea humo. Aliwahiwa hospitalini baada ya yeye kupoteza fahamu. Mguu wake ulibidi kukatwa. Muda kiduchu hivi, aliamka na kujiona hali mbaya. Aliifikiria sauti nzito ya babake, “Kumbuka kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu. "Kila alipofikiria moyo ulimkereketa hata kuliko risasi aliyochapwa nayo. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Methali hii inatufunza kuwa tunapaswa kuyatilia maanani na kuyazingatia yote tunayoambiwa na wavyele wetu.
| Nani alisifika sana kwenye mtaa wake? | {
"text": [
"Mwanaheri"
]
} |
3150_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Busara ya methali hii ni kwamba ina maana ya kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake au hata waliomzidi umri kuhusu jambo fulani na asipofuata , basi mwishowe hufikwa na
balaa. Methali hii inaoana na ya mkataa pema pabaya pamuita. Methali hii hutumiwa kuwaambia wale ambao hawasikilizi ya wakubwa wao. Wanapoambiwa waachane ha hili bali washike lile kwao waona ni kama dharubu. Hivyo basi waamua kuyafanya mambo kadri mtima wao unavyohitaji na mwishowe kuangukia pabaya.
Mwanaheri ni kijana wa umri wa makamo. Alikuwa mwenye busara, si kwa wakubwa tu hata kwa wadogo wake. Alikuwa na heshima kwa kila mmoja. Ama kweli Mwanaheri alisifika sana katika mtaa wao . Yeye ndiye aliyekuwa kijana aliyetumika nyumbani kwao. Isitoshe, aliwasaidia wazazi wake wawili waliompenda kwa dhati kazi za nyumbani. Aliendea maji, dukani na hata pia aliwapikia wazazi wake palipobudi.
Ghulamu huyu alisoma katika shule ya upili. Miaka ikapita baada ya wazazi wake kuona kuna mwana wao mfua dafu amebadilika. Mwanaheri alijiunga na kundi lililokuwa potovu. Kundi hili lilitumia aina ainati ya vileo na hata pia lilijihusisha na matendo yasiyokuwa ya haki. Shuleni walimu walilalamika dhidi ya tabia aliyokuwa nayo Mwanaheri. Yeye pamoja na kundi lake waliitiwa wazazi angalau awazungumzishe na kuepukana na mambo waliokuwa nayo. lla Siku zote sikio la kufa halisikii dawa. Yote yaliyonenwa ni kama kumpigia mbuzi gitaa.
Kiamboni, wazazi hawakusita kumuongelesha mtoto wao kwani ni haki kumrudi mtoto anapoenda segemnege. Mwanaheri mwanangu, mbona hivi lakini? Hivi unahitaji nani akuseme ndio uelewe mwanangu?" Sauti hii ilikuwa ya babake. Naye Mwanaheri alijisemea nafsini mwake, "Hivi huyu mzee ana nini na mimi? Au ni kamfungulia mashtaka kuwa hanitentendei haki. Aliendelea baba yake akisema, kumbuka kuna asiyesikia la hupatwa na makuu mwanangu, usije ukajuta baadaye. Mwanaheri kwake yalikuwa ni kama porojo tu alizonena baba yake mzazi.
Kijana huyu alianza kukuza tabia yake mbaya. Tangu alipokuwa mwenye kunywa na kulewa aliona bado hajatimiza malengo yake. Aliwapora watu alipotembea mtaani. Aliwanyang’anya nguo zao, pesa zao na pia alichukua vitu vilivyokuwa vya thamani na kuviuza ili kupata ngweje za kununua video.
Mwanaheri pamoja na genge lake waliamua kalivamia lorry lililobeba watalii. Waliwaticha kwa bunduki bandia na kumwamrisha dereva asimamishe gari lile. Fundi wa dereva ulidunda du!du!du! kiasi kwamba ulikaribia kuruka nje. Ulidunda kwa nguvu hata mtu aliyekuwa karibu
Vijana hawa hawakujua kuwa watalii wanaposafiri lazima waandamane guu kwa guu na askari watakao walinda kila waendapo. Ghafla bin vuu, jasho chembamba kiliwatiririka kutoka makuapani mwao. Walioshika bunduki bandia, waliamrishwa kulala chini mara hiyo hiyo. Naye Mwanaheri ambaye hakuwa na bunduki mkononi, aliamua kutoka mraba ili kutetea nafsi yake. Nao askari hawakutaka kushindwa, walimfatilia nyuma. Mwanaheri kote alikokimbilia.
Askari mwenye na ujasiri wa hali ya juu aliifyatua risasi na ikampata Mwanaheri kwenye muundi. Askari aliona haitoshi akaamua kumpa nyingine iliyomlenga tumboni na kupotelea humo. Aliwahiwa hospitalini baada ya yeye kupoteza fahamu. Mguu wake ulibidi kukatwa. Muda kiduchu hivi, aliamka na kujiona hali mbaya. Aliifikiria sauti nzito ya babake, “Kumbuka kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu. "Kila alipofikiria moyo ulimkereketa hata kuliko risasi aliyochapwa nayo. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Methali hii inatufunza kuwa tunapaswa kuyatilia maanani na kuyazingatia yote tunayoambiwa na wavyele wetu.
| Jina lingine la kijana ni lipi? | {
"text": [
"Ghulamu"
]
} |
3150_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Busara ya methali hii ni kwamba ina maana ya kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake au hata waliomzidi umri kuhusu jambo fulani na asipofuata , basi mwishowe hufikwa na
balaa. Methali hii inaoana na ya mkataa pema pabaya pamuita. Methali hii hutumiwa kuwaambia wale ambao hawasikilizi ya wakubwa wao. Wanapoambiwa waachane ha hili bali washike lile kwao waona ni kama dharubu. Hivyo basi waamua kuyafanya mambo kadri mtima wao unavyohitaji na mwishowe kuangukia pabaya.
Mwanaheri ni kijana wa umri wa makamo. Alikuwa mwenye busara, si kwa wakubwa tu hata kwa wadogo wake. Alikuwa na heshima kwa kila mmoja. Ama kweli Mwanaheri alisifika sana katika mtaa wao . Yeye ndiye aliyekuwa kijana aliyetumika nyumbani kwao. Isitoshe, aliwasaidia wazazi wake wawili waliompenda kwa dhati kazi za nyumbani. Aliendea maji, dukani na hata pia aliwapikia wazazi wake palipobudi.
Ghulamu huyu alisoma katika shule ya upili. Miaka ikapita baada ya wazazi wake kuona kuna mwana wao mfua dafu amebadilika. Mwanaheri alijiunga na kundi lililokuwa potovu. Kundi hili lilitumia aina ainati ya vileo na hata pia lilijihusisha na matendo yasiyokuwa ya haki. Shuleni walimu walilalamika dhidi ya tabia aliyokuwa nayo Mwanaheri. Yeye pamoja na kundi lake waliitiwa wazazi angalau awazungumzishe na kuepukana na mambo waliokuwa nayo. lla Siku zote sikio la kufa halisikii dawa. Yote yaliyonenwa ni kama kumpigia mbuzi gitaa.
Kiamboni, wazazi hawakusita kumuongelesha mtoto wao kwani ni haki kumrudi mtoto anapoenda segemnege. Mwanaheri mwanangu, mbona hivi lakini? Hivi unahitaji nani akuseme ndio uelewe mwanangu?" Sauti hii ilikuwa ya babake. Naye Mwanaheri alijisemea nafsini mwake, "Hivi huyu mzee ana nini na mimi? Au ni kamfungulia mashtaka kuwa hanitentendei haki. Aliendelea baba yake akisema, kumbuka kuna asiyesikia la hupatwa na makuu mwanangu, usije ukajuta baadaye. Mwanaheri kwake yalikuwa ni kama porojo tu alizonena baba yake mzazi.
Kijana huyu alianza kukuza tabia yake mbaya. Tangu alipokuwa mwenye kunywa na kulewa aliona bado hajatimiza malengo yake. Aliwapora watu alipotembea mtaani. Aliwanyang’anya nguo zao, pesa zao na pia alichukua vitu vilivyokuwa vya thamani na kuviuza ili kupata ngweje za kununua video.
Mwanaheri pamoja na genge lake waliamua kalivamia lorry lililobeba watalii. Waliwaticha kwa bunduki bandia na kumwamrisha dereva asimamishe gari lile. Fundi wa dereva ulidunda du!du!du! kiasi kwamba ulikaribia kuruka nje. Ulidunda kwa nguvu hata mtu aliyekuwa karibu
Vijana hawa hawakujua kuwa watalii wanaposafiri lazima waandamane guu kwa guu na askari watakao walinda kila waendapo. Ghafla bin vuu, jasho chembamba kiliwatiririka kutoka makuapani mwao. Walioshika bunduki bandia, waliamrishwa kulala chini mara hiyo hiyo. Naye Mwanaheri ambaye hakuwa na bunduki mkononi, aliamua kutoka mraba ili kutetea nafsi yake. Nao askari hawakutaka kushindwa, walimfatilia nyuma. Mwanaheri kote alikokimbilia.
Askari mwenye na ujasiri wa hali ya juu aliifyatua risasi na ikampata Mwanaheri kwenye muundi. Askari aliona haitoshi akaamua kumpa nyingine iliyomlenga tumboni na kupotelea humo. Aliwahiwa hospitalini baada ya yeye kupoteza fahamu. Mguu wake ulibidi kukatwa. Muda kiduchu hivi, aliamka na kujiona hali mbaya. Aliifikiria sauti nzito ya babake, “Kumbuka kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu. "Kila alipofikiria moyo ulimkereketa hata kuliko risasi aliyochapwa nayo. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Methali hii inatufunza kuwa tunapaswa kuyatilia maanani na kuyazingatia yote tunayoambiwa na wavyele wetu.
| Kiamboni ni wapi? | {
"text": [
"Nyumbani"
]
} |
3150_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Busara ya methali hii ni kwamba ina maana ya kuwa mtu anapoambiwa na wavyele wake au hata waliomzidi umri kuhusu jambo fulani na asipofuata , basi mwishowe hufikwa na
balaa. Methali hii inaoana na ya mkataa pema pabaya pamuita. Methali hii hutumiwa kuwaambia wale ambao hawasikilizi ya wakubwa wao. Wanapoambiwa waachane ha hili bali washike lile kwao waona ni kama dharubu. Hivyo basi waamua kuyafanya mambo kadri mtima wao unavyohitaji na mwishowe kuangukia pabaya.
Mwanaheri ni kijana wa umri wa makamo. Alikuwa mwenye busara, si kwa wakubwa tu hata kwa wadogo wake. Alikuwa na heshima kwa kila mmoja. Ama kweli Mwanaheri alisifika sana katika mtaa wao . Yeye ndiye aliyekuwa kijana aliyetumika nyumbani kwao. Isitoshe, aliwasaidia wazazi wake wawili waliompenda kwa dhati kazi za nyumbani. Aliendea maji, dukani na hata pia aliwapikia wazazi wake palipobudi.
Ghulamu huyu alisoma katika shule ya upili. Miaka ikapita baada ya wazazi wake kuona kuna mwana wao mfua dafu amebadilika. Mwanaheri alijiunga na kundi lililokuwa potovu. Kundi hili lilitumia aina ainati ya vileo na hata pia lilijihusisha na matendo yasiyokuwa ya haki. Shuleni walimu walilalamika dhidi ya tabia aliyokuwa nayo Mwanaheri. Yeye pamoja na kundi lake waliitiwa wazazi angalau awazungumzishe na kuepukana na mambo waliokuwa nayo. lla Siku zote sikio la kufa halisikii dawa. Yote yaliyonenwa ni kama kumpigia mbuzi gitaa.
Kiamboni, wazazi hawakusita kumuongelesha mtoto wao kwani ni haki kumrudi mtoto anapoenda segemnege. Mwanaheri mwanangu, mbona hivi lakini? Hivi unahitaji nani akuseme ndio uelewe mwanangu?" Sauti hii ilikuwa ya babake. Naye Mwanaheri alijisemea nafsini mwake, "Hivi huyu mzee ana nini na mimi? Au ni kamfungulia mashtaka kuwa hanitentendei haki. Aliendelea baba yake akisema, kumbuka kuna asiyesikia la hupatwa na makuu mwanangu, usije ukajuta baadaye. Mwanaheri kwake yalikuwa ni kama porojo tu alizonena baba yake mzazi.
Kijana huyu alianza kukuza tabia yake mbaya. Tangu alipokuwa mwenye kunywa na kulewa aliona bado hajatimiza malengo yake. Aliwapora watu alipotembea mtaani. Aliwanyang’anya nguo zao, pesa zao na pia alichukua vitu vilivyokuwa vya thamani na kuviuza ili kupata ngweje za kununua video.
Mwanaheri pamoja na genge lake waliamua kalivamia lorry lililobeba watalii. Waliwaticha kwa bunduki bandia na kumwamrisha dereva asimamishe gari lile. Fundi wa dereva ulidunda du!du!du! kiasi kwamba ulikaribia kuruka nje. Ulidunda kwa nguvu hata mtu aliyekuwa karibu
Vijana hawa hawakujua kuwa watalii wanaposafiri lazima waandamane guu kwa guu na askari watakao walinda kila waendapo. Ghafla bin vuu, jasho chembamba kiliwatiririka kutoka makuapani mwao. Walioshika bunduki bandia, waliamrishwa kulala chini mara hiyo hiyo. Naye Mwanaheri ambaye hakuwa na bunduki mkononi, aliamua kutoka mraba ili kutetea nafsi yake. Nao askari hawakutaka kushindwa, walimfatilia nyuma. Mwanaheri kote alikokimbilia.
Askari mwenye na ujasiri wa hali ya juu aliifyatua risasi na ikampata Mwanaheri kwenye muundi. Askari aliona haitoshi akaamua kumpa nyingine iliyomlenga tumboni na kupotelea humo. Aliwahiwa hospitalini baada ya yeye kupoteza fahamu. Mguu wake ulibidi kukatwa. Muda kiduchu hivi, aliamka na kujiona hali mbaya. Aliifikiria sauti nzito ya babake, “Kumbuka kuwa asiyesikia la mkuu hupatwa na makuu. "Kila alipofikiria moyo ulimkereketa hata kuliko risasi aliyochapwa nayo. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Methali hii inatufunza kuwa tunapaswa kuyatilia maanani na kuyazingatia yote tunayoambiwa na wavyele wetu.
| Vijana hufanya nini hadi wanvunjika guu? | {
"text": [
"Wasipowasikiza wakuu wao kama vile wazazi"
]
} |
3151_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mfumo wa kisasa ulio rahisisha mambo katika dunia hii ya leo. Mfumo huu umeleta faida na pia madhara yake kwani wale wengi wamefaidika nayo na wengine kwenda hasara nayo.
Teknolojia hii imeleta faida nyingi katika shule za sekondari kwa wanafunzi wanaosoma. Vile vile kuna madhara ambayo pia yamewekwa na teknolojia hii kwa mashule haya. Faida ya teknolojia moja wapo ni katika kusoma masomo yao. Kunao wale wanafunzi ambao wanasoma masomo yao kupitia tarakilishi ambazo ni mojawapo ya teknolojia. Wamerahisishiwa mambo kwani hakuna tena kuandika kila ubao bali wanatumia tarakilishi zao.
Faida nyingine ya teknolojia ya kisasa ni pale Serikali iliwapatia mashule tofauti tofauti mashine za kuchapisha makaratasi ya mtihani bila ya kwenda mbali kuchapisha makaratasi yale. Hili limerahisisha mambo sana hasa kwa wanafunzi na walimu kwani wanafunzi hupata mtihani wao kwa muda muafaka.
Faida nyingine ni pale majibu au rekodi za wanafunzi zimehifadhiwa katika tarakilishi hizo ambayo huwa haileti mchanganyiko wakati mwanafunzi fulani na matokeo yake yanatafutwa. Imerahisisha mambo bila kuchelewesha. Nyingine ni pale wanafunzi wameagizwa vikokotoo vya kufanya mtihani wa hesabu. Hii huwasaidia kupata majibu kwa haraka iwapo swali ni ngumu.
Vikokotoo hivi hasa hupatikana na wanafunzi. Wanafunzi pia hutumia simu au tarakilishi za walimu wao ili kufanya utafiti wa masomo fulani kama vile Biologia wa kujua mambo. Utafiti hufanywa kwa mitandao ya kijamii kama Yahoo, You Tube na kadhalika.
Vile vile kunazo hasara ambazo pia zimeletwa na teknolojia hii ya kisasa. Nayo mojawapo ni ile ambayo wanafunzi wa sekondari wamefikia umri wa kutumia simu hadi wanatumia simu hizo kuangalia picha mbaya mbaya za uchi na matusi. Wanafunzi hao huathirika sana na picha hizo za matusi na kuwafanya kudorora katika masomo yao kwa kufikiria picha ile.
Hasara nyingine nayo ni pale tarakilishi zetu zinapotumiwa vibaya na watu walio na ufuneli wa kutumia kusaka pesa kwa akaunti za watu na pesa kwa kutumia njia ya udanganyifu. Watu wale hujulikana kama majambazi. Hutumia tarakilishi hizi kuibia watu na kuwatia hasara. Hawa huwa watu waliokuwa na elimu nyingi ya kutumia tarakilishi.
Hasara nyingine ni kule kwa wanahabari wanatumia patakilishi hizo kutangaza habari zilizopokea nchini. Hili imeleta hasara na faida kwani hasara yake ni pale wanahabari wamekua na uvivu wa kuandika habari zao kwenye karatasi na ametegemea patakilishi zao Kurekodi habari zao humo ndani. Faida yake imerahisisha mambo kwa wanahabari mno. Wanahabari hawa kwani huanza mazoezi wakiwa katika shule za secondari mashuleni mwao,
Hasara nyingine ni pale tarakilishi au simu zinapotumiwa na watoto kucheza michezo ipatikanayo humo ndani ili kupitisha muda. Wanatokea kupenda kucheza michezo hiyo ni wanahini ambao bado wanasoma. Michezo hiyo huwazubaisha na kuwafanya kudhoora katika masomo yao kwani muda mwingi hupitisha na michezo hiyo ambayo huwa haiwapi faida zozote kwao. | Tekinolojia ni mfumo wa wakati up | {
"text": [
"Kisasa"
]
} |
3151_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mfumo wa kisasa ulio rahisisha mambo katika dunia hii ya leo. Mfumo huu umeleta faida na pia madhara yake kwani wale wengi wamefaidika nayo na wengine kwenda hasara nayo.
Teknolojia hii imeleta faida nyingi katika shule za sekondari kwa wanafunzi wanaosoma. Vile vile kuna madhara ambayo pia yamewekwa na teknolojia hii kwa mashule haya. Faida ya teknolojia moja wapo ni katika kusoma masomo yao. Kunao wale wanafunzi ambao wanasoma masomo yao kupitia tarakilishi ambazo ni mojawapo ya teknolojia. Wamerahisishiwa mambo kwani hakuna tena kuandika kila ubao bali wanatumia tarakilishi zao.
Faida nyingine ya teknolojia ya kisasa ni pale Serikali iliwapatia mashule tofauti tofauti mashine za kuchapisha makaratasi ya mtihani bila ya kwenda mbali kuchapisha makaratasi yale. Hili limerahisisha mambo sana hasa kwa wanafunzi na walimu kwani wanafunzi hupata mtihani wao kwa muda muafaka.
Faida nyingine ni pale majibu au rekodi za wanafunzi zimehifadhiwa katika tarakilishi hizo ambayo huwa haileti mchanganyiko wakati mwanafunzi fulani na matokeo yake yanatafutwa. Imerahisisha mambo bila kuchelewesha. Nyingine ni pale wanafunzi wameagizwa vikokotoo vya kufanya mtihani wa hesabu. Hii huwasaidia kupata majibu kwa haraka iwapo swali ni ngumu.
Vikokotoo hivi hasa hupatikana na wanafunzi. Wanafunzi pia hutumia simu au tarakilishi za walimu wao ili kufanya utafiti wa masomo fulani kama vile Biologia wa kujua mambo. Utafiti hufanywa kwa mitandao ya kijamii kama Yahoo, You Tube na kadhalika.
Vile vile kunazo hasara ambazo pia zimeletwa na teknolojia hii ya kisasa. Nayo mojawapo ni ile ambayo wanafunzi wa sekondari wamefikia umri wa kutumia simu hadi wanatumia simu hizo kuangalia picha mbaya mbaya za uchi na matusi. Wanafunzi hao huathirika sana na picha hizo za matusi na kuwafanya kudorora katika masomo yao kwa kufikiria picha ile.
Hasara nyingine nayo ni pale tarakilishi zetu zinapotumiwa vibaya na watu walio na ufuneli wa kutumia kusaka pesa kwa akaunti za watu na pesa kwa kutumia njia ya udanganyifu. Watu wale hujulikana kama majambazi. Hutumia tarakilishi hizi kuibia watu na kuwatia hasara. Hawa huwa watu waliokuwa na elimu nyingi ya kutumia tarakilishi.
Hasara nyingine ni kule kwa wanahabari wanatumia patakilishi hizo kutangaza habari zilizopokea nchini. Hili imeleta hasara na faida kwani hasara yake ni pale wanahabari wamekua na uvivu wa kuandika habari zao kwenye karatasi na ametegemea patakilishi zao Kurekodi habari zao humo ndani. Faida yake imerahisisha mambo kwa wanahabari mno. Wanahabari hawa kwani huanza mazoezi wakiwa katika shule za secondari mashuleni mwao,
Hasara nyingine ni pale tarakilishi au simu zinapotumiwa na watoto kucheza michezo ipatikanayo humo ndani ili kupitisha muda. Wanatokea kupenda kucheza michezo hiyo ni wanahini ambao bado wanasoma. Michezo hiyo huwazubaisha na kuwafanya kudhoora katika masomo yao kwani muda mwingi hupitisha na michezo hiyo ambayo huwa haiwapi faida zozote kwao. | Baadhi ya wanafunzi wanasoma kupitia nini | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3151_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mfumo wa kisasa ulio rahisisha mambo katika dunia hii ya leo. Mfumo huu umeleta faida na pia madhara yake kwani wale wengi wamefaidika nayo na wengine kwenda hasara nayo.
Teknolojia hii imeleta faida nyingi katika shule za sekondari kwa wanafunzi wanaosoma. Vile vile kuna madhara ambayo pia yamewekwa na teknolojia hii kwa mashule haya. Faida ya teknolojia moja wapo ni katika kusoma masomo yao. Kunao wale wanafunzi ambao wanasoma masomo yao kupitia tarakilishi ambazo ni mojawapo ya teknolojia. Wamerahisishiwa mambo kwani hakuna tena kuandika kila ubao bali wanatumia tarakilishi zao.
Faida nyingine ya teknolojia ya kisasa ni pale Serikali iliwapatia mashule tofauti tofauti mashine za kuchapisha makaratasi ya mtihani bila ya kwenda mbali kuchapisha makaratasi yale. Hili limerahisisha mambo sana hasa kwa wanafunzi na walimu kwani wanafunzi hupata mtihani wao kwa muda muafaka.
Faida nyingine ni pale majibu au rekodi za wanafunzi zimehifadhiwa katika tarakilishi hizo ambayo huwa haileti mchanganyiko wakati mwanafunzi fulani na matokeo yake yanatafutwa. Imerahisisha mambo bila kuchelewesha. Nyingine ni pale wanafunzi wameagizwa vikokotoo vya kufanya mtihani wa hesabu. Hii huwasaidia kupata majibu kwa haraka iwapo swali ni ngumu.
Vikokotoo hivi hasa hupatikana na wanafunzi. Wanafunzi pia hutumia simu au tarakilishi za walimu wao ili kufanya utafiti wa masomo fulani kama vile Biologia wa kujua mambo. Utafiti hufanywa kwa mitandao ya kijamii kama Yahoo, You Tube na kadhalika.
Vile vile kunazo hasara ambazo pia zimeletwa na teknolojia hii ya kisasa. Nayo mojawapo ni ile ambayo wanafunzi wa sekondari wamefikia umri wa kutumia simu hadi wanatumia simu hizo kuangalia picha mbaya mbaya za uchi na matusi. Wanafunzi hao huathirika sana na picha hizo za matusi na kuwafanya kudorora katika masomo yao kwa kufikiria picha ile.
Hasara nyingine nayo ni pale tarakilishi zetu zinapotumiwa vibaya na watu walio na ufuneli wa kutumia kusaka pesa kwa akaunti za watu na pesa kwa kutumia njia ya udanganyifu. Watu wale hujulikana kama majambazi. Hutumia tarakilishi hizi kuibia watu na kuwatia hasara. Hawa huwa watu waliokuwa na elimu nyingi ya kutumia tarakilishi.
Hasara nyingine ni kule kwa wanahabari wanatumia patakilishi hizo kutangaza habari zilizopokea nchini. Hili imeleta hasara na faida kwani hasara yake ni pale wanahabari wamekua na uvivu wa kuandika habari zao kwenye karatasi na ametegemea patakilishi zao Kurekodi habari zao humo ndani. Faida yake imerahisisha mambo kwa wanahabari mno. Wanahabari hawa kwani huanza mazoezi wakiwa katika shule za secondari mashuleni mwao,
Hasara nyingine ni pale tarakilishi au simu zinapotumiwa na watoto kucheza michezo ipatikanayo humo ndani ili kupitisha muda. Wanatokea kupenda kucheza michezo hiyo ni wanahini ambao bado wanasoma. Michezo hiyo huwazubaisha na kuwafanya kudhoora katika masomo yao kwani muda mwingi hupitisha na michezo hiyo ambayo huwa haiwapi faida zozote kwao. | Wanafunzi wanatumia nini kuangalia picha mbaya | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3151_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mfumo wa kisasa ulio rahisisha mambo katika dunia hii ya leo. Mfumo huu umeleta faida na pia madhara yake kwani wale wengi wamefaidika nayo na wengine kwenda hasara nayo.
Teknolojia hii imeleta faida nyingi katika shule za sekondari kwa wanafunzi wanaosoma. Vile vile kuna madhara ambayo pia yamewekwa na teknolojia hii kwa mashule haya. Faida ya teknolojia moja wapo ni katika kusoma masomo yao. Kunao wale wanafunzi ambao wanasoma masomo yao kupitia tarakilishi ambazo ni mojawapo ya teknolojia. Wamerahisishiwa mambo kwani hakuna tena kuandika kila ubao bali wanatumia tarakilishi zao.
Faida nyingine ya teknolojia ya kisasa ni pale Serikali iliwapatia mashule tofauti tofauti mashine za kuchapisha makaratasi ya mtihani bila ya kwenda mbali kuchapisha makaratasi yale. Hili limerahisisha mambo sana hasa kwa wanafunzi na walimu kwani wanafunzi hupata mtihani wao kwa muda muafaka.
Faida nyingine ni pale majibu au rekodi za wanafunzi zimehifadhiwa katika tarakilishi hizo ambayo huwa haileti mchanganyiko wakati mwanafunzi fulani na matokeo yake yanatafutwa. Imerahisisha mambo bila kuchelewesha. Nyingine ni pale wanafunzi wameagizwa vikokotoo vya kufanya mtihani wa hesabu. Hii huwasaidia kupata majibu kwa haraka iwapo swali ni ngumu.
Vikokotoo hivi hasa hupatikana na wanafunzi. Wanafunzi pia hutumia simu au tarakilishi za walimu wao ili kufanya utafiti wa masomo fulani kama vile Biologia wa kujua mambo. Utafiti hufanywa kwa mitandao ya kijamii kama Yahoo, You Tube na kadhalika.
Vile vile kunazo hasara ambazo pia zimeletwa na teknolojia hii ya kisasa. Nayo mojawapo ni ile ambayo wanafunzi wa sekondari wamefikia umri wa kutumia simu hadi wanatumia simu hizo kuangalia picha mbaya mbaya za uchi na matusi. Wanafunzi hao huathirika sana na picha hizo za matusi na kuwafanya kudorora katika masomo yao kwa kufikiria picha ile.
Hasara nyingine nayo ni pale tarakilishi zetu zinapotumiwa vibaya na watu walio na ufuneli wa kutumia kusaka pesa kwa akaunti za watu na pesa kwa kutumia njia ya udanganyifu. Watu wale hujulikana kama majambazi. Hutumia tarakilishi hizi kuibia watu na kuwatia hasara. Hawa huwa watu waliokuwa na elimu nyingi ya kutumia tarakilishi.
Hasara nyingine ni kule kwa wanahabari wanatumia patakilishi hizo kutangaza habari zilizopokea nchini. Hili imeleta hasara na faida kwani hasara yake ni pale wanahabari wamekua na uvivu wa kuandika habari zao kwenye karatasi na ametegemea patakilishi zao Kurekodi habari zao humo ndani. Faida yake imerahisisha mambo kwa wanahabari mno. Wanahabari hawa kwani huanza mazoezi wakiwa katika shule za secondari mashuleni mwao,
Hasara nyingine ni pale tarakilishi au simu zinapotumiwa na watoto kucheza michezo ipatikanayo humo ndani ili kupitisha muda. Wanatokea kupenda kucheza michezo hiyo ni wanahini ambao bado wanasoma. Michezo hiyo huwazubaisha na kuwafanya kudhoora katika masomo yao kwani muda mwingi hupitisha na michezo hiyo ambayo huwa haiwapi faida zozote kwao. | Wanahabari wanatumia nini kurekodi habari | {
"text": [
"Patakilishi"
]
} |
3151_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mfumo wa kisasa ulio rahisisha mambo katika dunia hii ya leo. Mfumo huu umeleta faida na pia madhara yake kwani wale wengi wamefaidika nayo na wengine kwenda hasara nayo.
Teknolojia hii imeleta faida nyingi katika shule za sekondari kwa wanafunzi wanaosoma. Vile vile kuna madhara ambayo pia yamewekwa na teknolojia hii kwa mashule haya. Faida ya teknolojia moja wapo ni katika kusoma masomo yao. Kunao wale wanafunzi ambao wanasoma masomo yao kupitia tarakilishi ambazo ni mojawapo ya teknolojia. Wamerahisishiwa mambo kwani hakuna tena kuandika kila ubao bali wanatumia tarakilishi zao.
Faida nyingine ya teknolojia ya kisasa ni pale Serikali iliwapatia mashule tofauti tofauti mashine za kuchapisha makaratasi ya mtihani bila ya kwenda mbali kuchapisha makaratasi yale. Hili limerahisisha mambo sana hasa kwa wanafunzi na walimu kwani wanafunzi hupata mtihani wao kwa muda muafaka.
Faida nyingine ni pale majibu au rekodi za wanafunzi zimehifadhiwa katika tarakilishi hizo ambayo huwa haileti mchanganyiko wakati mwanafunzi fulani na matokeo yake yanatafutwa. Imerahisisha mambo bila kuchelewesha. Nyingine ni pale wanafunzi wameagizwa vikokotoo vya kufanya mtihani wa hesabu. Hii huwasaidia kupata majibu kwa haraka iwapo swali ni ngumu.
Vikokotoo hivi hasa hupatikana na wanafunzi. Wanafunzi pia hutumia simu au tarakilishi za walimu wao ili kufanya utafiti wa masomo fulani kama vile Biologia wa kujua mambo. Utafiti hufanywa kwa mitandao ya kijamii kama Yahoo, You Tube na kadhalika.
Vile vile kunazo hasara ambazo pia zimeletwa na teknolojia hii ya kisasa. Nayo mojawapo ni ile ambayo wanafunzi wa sekondari wamefikia umri wa kutumia simu hadi wanatumia simu hizo kuangalia picha mbaya mbaya za uchi na matusi. Wanafunzi hao huathirika sana na picha hizo za matusi na kuwafanya kudorora katika masomo yao kwa kufikiria picha ile.
Hasara nyingine nayo ni pale tarakilishi zetu zinapotumiwa vibaya na watu walio na ufuneli wa kutumia kusaka pesa kwa akaunti za watu na pesa kwa kutumia njia ya udanganyifu. Watu wale hujulikana kama majambazi. Hutumia tarakilishi hizi kuibia watu na kuwatia hasara. Hawa huwa watu waliokuwa na elimu nyingi ya kutumia tarakilishi.
Hasara nyingine ni kule kwa wanahabari wanatumia patakilishi hizo kutangaza habari zilizopokea nchini. Hili imeleta hasara na faida kwani hasara yake ni pale wanahabari wamekua na uvivu wa kuandika habari zao kwenye karatasi na ametegemea patakilishi zao Kurekodi habari zao humo ndani. Faida yake imerahisisha mambo kwa wanahabari mno. Wanahabari hawa kwani huanza mazoezi wakiwa katika shule za secondari mashuleni mwao,
Hasara nyingine ni pale tarakilishi au simu zinapotumiwa na watoto kucheza michezo ipatikanayo humo ndani ili kupitisha muda. Wanatokea kupenda kucheza michezo hiyo ni wanahini ambao bado wanasoma. Michezo hiyo huwazubaisha na kuwafanya kudhoora katika masomo yao kwani muda mwingi hupitisha na michezo hiyo ambayo huwa haiwapi faida zozote kwao. | Kwa nini wanahabari hawaandiki habari kwa karatasi | {
"text": [
"Wanandika kwa kipatakilishi"
]
} |
3152_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam kweli hawakukosea wahenga waliposema ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. Hii ilikuwa na maana yake kwani walikua wanalenga watu baadhi ambao huwa hawasikilizi wazazi wao au wakuu wao na baadaye kujipata kwenye matatizo au huteleza.
Hapo zamani za kale palikuwa na binti mmoja aliyejulikana kama jina la Kidawa. Binti huyu alisikitika sana kwa sifa zake za urembo wa tausi. Hakika binti huyu alikua mrembo kupitiliza. Watu wengi walimsifia kwa urembo wake kwani alikuwa na rangi nzuri ya kama muingereza, shingo ya upanga na macho ya nurulaini. Binti huyu alikuwa na bahati ya mtende kwani vijana wengi walikuja kumletea pesa ya kumuona lakini pesa hizo zote alizikataa na kusema kwamba hataki kuolewa na watu maskini kwani yeye alikuwa mzuri na alifaa kuolewa na tajiri. Alizidi kuya na kiburi kwani alijigamba sana kuwa yeye ndio alikuwa maua kijiji hicho chote.
Hakumheshimu mkubwa wala mdogo wazazi wake pia aliwaona kama kinyesi kwenye kitambaa. Aliwacha kutembea na watoto wenzake wenye umri mmoja na kujitenga pekee yake. Hakutaka kuongozana nao kwani aliwadharau kupitiliza na kujitia hamnazo kucheza ngoma atakazo.
Siku nenda siku rudi tabia zake zilianza kudorora hadi hakukuwa na mtu wa kudhibiti kamwe kwani alianza kutoka nyumbani kwao usiku usiku kwenda mabaa kunywa vilevi na kurudi usiku wa manane akiwa amelewa pombe chakari hajijui wala hajitambui maskini.
Wazazi wake walijaribu juu chini kadri ya uwezo wao kumsihi lakini juhudi zao hazikufua dafu kwani maskio aliyaweka ntaa na akawa kiziwi. Hiyo ilikuwa tabia yake na mara nyingine huwa harudi nyumbani yeye hulala uko uko baa akizidiwa na ulevi. Alikua akitembea na kila mwanaume ili ampatie pesa za kutumia mahitaji yake ya urembo.
Alipoona hali si hali pale nyumbani na wazazi wake walikuwa wakimbania sana, aliamua kuondoka na kuhamia mjini. Huko alikuwa hapingwi na mtu yeyote wala kusumbuliwa. Wazazi wake walikuwa wanamtamani sana mwana wao. Walizidi kuteseka na kukonda kwa kumuuliza huku na kule lakini wapi. Hakuna juhudi yao iliyofua dafu kamwe. Aliamua kukaa na kusubiri neema ya mungu.
Kidawa alizidi kujienjoi na kujivinjari maisha mjini. Katika safari zake za kwenda baa usiku usiku alikuwa akieenda pekee yake, kumbe kulikuwa na vijana ambao walikuwa wamemtegea ili kumbaka. Kidawa hakuwa anajua lolote. Alipokuwa akishuka kwenye gari ambalo lilimshukisha kando ya baa yake ya kila siku, pindi tu alipotua akiaanza kutembea. Aliona vijana watatu wakija kumziba njia.
Vijana wale walimbeba juu juu kwa nguvu kwa pamoja na hatimaye kumbaka wote wawili. Kidawa alifanyiwa kitendo kile na hatimaye kuzimia. Alijikuta akiwa ameamkia hospitalini kwenye kitanda akiwa amelazwa. Daktari alikuja na kumwambia ya kwamba aliletwa pale na msamaria mwema na kufanyiwa huduma.
Madaktan wale walimuambia Kidawa kwamba alikuwa amebakwa na hatimaye kuathirika kwa ugonjwa wa ukimwi. Kidawa alishtuka na kwanza kulia. Daktari alimpa mahusia na kumwambia asikate tamaa kamwe kwani bado anaweza kuendelea kuishi. Safia aliamua kurudi nyumbani kwa wazazi wake na kuwaomba msamaha. Wazazi wake walimsamehe na kukubali ombi lake. Hii inatupa funzo ya kwamba wakubwa wanafaa kupewa heshima na sio kudharauliwa. | Binti Kidawa alisifika sana juu ya nini alilokuwa nalo? | {
"text": [
"Urembo"
]
} |
3152_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam kweli hawakukosea wahenga waliposema ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. Hii ilikuwa na maana yake kwani walikua wanalenga watu baadhi ambao huwa hawasikilizi wazazi wao au wakuu wao na baadaye kujipata kwenye matatizo au huteleza.
Hapo zamani za kale palikuwa na binti mmoja aliyejulikana kama jina la Kidawa. Binti huyu alisikitika sana kwa sifa zake za urembo wa tausi. Hakika binti huyu alikua mrembo kupitiliza. Watu wengi walimsifia kwa urembo wake kwani alikuwa na rangi nzuri ya kama muingereza, shingo ya upanga na macho ya nurulaini. Binti huyu alikuwa na bahati ya mtende kwani vijana wengi walikuja kumletea pesa ya kumuona lakini pesa hizo zote alizikataa na kusema kwamba hataki kuolewa na watu maskini kwani yeye alikuwa mzuri na alifaa kuolewa na tajiri. Alizidi kuya na kiburi kwani alijigamba sana kuwa yeye ndio alikuwa maua kijiji hicho chote.
Hakumheshimu mkubwa wala mdogo wazazi wake pia aliwaona kama kinyesi kwenye kitambaa. Aliwacha kutembea na watoto wenzake wenye umri mmoja na kujitenga pekee yake. Hakutaka kuongozana nao kwani aliwadharau kupitiliza na kujitia hamnazo kucheza ngoma atakazo.
Siku nenda siku rudi tabia zake zilianza kudorora hadi hakukuwa na mtu wa kudhibiti kamwe kwani alianza kutoka nyumbani kwao usiku usiku kwenda mabaa kunywa vilevi na kurudi usiku wa manane akiwa amelewa pombe chakari hajijui wala hajitambui maskini.
Wazazi wake walijaribu juu chini kadri ya uwezo wao kumsihi lakini juhudi zao hazikufua dafu kwani maskio aliyaweka ntaa na akawa kiziwi. Hiyo ilikuwa tabia yake na mara nyingine huwa harudi nyumbani yeye hulala uko uko baa akizidiwa na ulevi. Alikua akitembea na kila mwanaume ili ampatie pesa za kutumia mahitaji yake ya urembo.
Alipoona hali si hali pale nyumbani na wazazi wake walikuwa wakimbania sana, aliamua kuondoka na kuhamia mjini. Huko alikuwa hapingwi na mtu yeyote wala kusumbuliwa. Wazazi wake walikuwa wanamtamani sana mwana wao. Walizidi kuteseka na kukonda kwa kumuuliza huku na kule lakini wapi. Hakuna juhudi yao iliyofua dafu kamwe. Aliamua kukaa na kusubiri neema ya mungu.
Kidawa alizidi kujienjoi na kujivinjari maisha mjini. Katika safari zake za kwenda baa usiku usiku alikuwa akieenda pekee yake, kumbe kulikuwa na vijana ambao walikuwa wamemtegea ili kumbaka. Kidawa hakuwa anajua lolote. Alipokuwa akishuka kwenye gari ambalo lilimshukisha kando ya baa yake ya kila siku, pindi tu alipotua akiaanza kutembea. Aliona vijana watatu wakija kumziba njia.
Vijana wale walimbeba juu juu kwa nguvu kwa pamoja na hatimaye kumbaka wote wawili. Kidawa alifanyiwa kitendo kile na hatimaye kuzimia. Alijikuta akiwa ameamkia hospitalini kwenye kitanda akiwa amelazwa. Daktari alikuja na kumwambia ya kwamba aliletwa pale na msamaria mwema na kufanyiwa huduma.
Madaktan wale walimuambia Kidawa kwamba alikuwa amebakwa na hatimaye kuathirika kwa ugonjwa wa ukimwi. Kidawa alishtuka na kwanza kulia. Daktari alimpa mahusia na kumwambia asikate tamaa kamwe kwani bado anaweza kuendelea kuishi. Safia aliamua kurudi nyumbani kwa wazazi wake na kuwaomba msamaha. Wazazi wake walimsamehe na kukubali ombi lake. Hii inatupa funzo ya kwamba wakubwa wanafaa kupewa heshima na sio kudharauliwa. | Kidawa alikataa kuolewa na watu wa aina gani? | {
"text": [
"Maskini"
]
} |
3152_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam kweli hawakukosea wahenga waliposema ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. Hii ilikuwa na maana yake kwani walikua wanalenga watu baadhi ambao huwa hawasikilizi wazazi wao au wakuu wao na baadaye kujipata kwenye matatizo au huteleza.
Hapo zamani za kale palikuwa na binti mmoja aliyejulikana kama jina la Kidawa. Binti huyu alisikitika sana kwa sifa zake za urembo wa tausi. Hakika binti huyu alikua mrembo kupitiliza. Watu wengi walimsifia kwa urembo wake kwani alikuwa na rangi nzuri ya kama muingereza, shingo ya upanga na macho ya nurulaini. Binti huyu alikuwa na bahati ya mtende kwani vijana wengi walikuja kumletea pesa ya kumuona lakini pesa hizo zote alizikataa na kusema kwamba hataki kuolewa na watu maskini kwani yeye alikuwa mzuri na alifaa kuolewa na tajiri. Alizidi kuya na kiburi kwani alijigamba sana kuwa yeye ndio alikuwa maua kijiji hicho chote.
Hakumheshimu mkubwa wala mdogo wazazi wake pia aliwaona kama kinyesi kwenye kitambaa. Aliwacha kutembea na watoto wenzake wenye umri mmoja na kujitenga pekee yake. Hakutaka kuongozana nao kwani aliwadharau kupitiliza na kujitia hamnazo kucheza ngoma atakazo.
Siku nenda siku rudi tabia zake zilianza kudorora hadi hakukuwa na mtu wa kudhibiti kamwe kwani alianza kutoka nyumbani kwao usiku usiku kwenda mabaa kunywa vilevi na kurudi usiku wa manane akiwa amelewa pombe chakari hajijui wala hajitambui maskini.
Wazazi wake walijaribu juu chini kadri ya uwezo wao kumsihi lakini juhudi zao hazikufua dafu kwani maskio aliyaweka ntaa na akawa kiziwi. Hiyo ilikuwa tabia yake na mara nyingine huwa harudi nyumbani yeye hulala uko uko baa akizidiwa na ulevi. Alikua akitembea na kila mwanaume ili ampatie pesa za kutumia mahitaji yake ya urembo.
Alipoona hali si hali pale nyumbani na wazazi wake walikuwa wakimbania sana, aliamua kuondoka na kuhamia mjini. Huko alikuwa hapingwi na mtu yeyote wala kusumbuliwa. Wazazi wake walikuwa wanamtamani sana mwana wao. Walizidi kuteseka na kukonda kwa kumuuliza huku na kule lakini wapi. Hakuna juhudi yao iliyofua dafu kamwe. Aliamua kukaa na kusubiri neema ya mungu.
Kidawa alizidi kujienjoi na kujivinjari maisha mjini. Katika safari zake za kwenda baa usiku usiku alikuwa akieenda pekee yake, kumbe kulikuwa na vijana ambao walikuwa wamemtegea ili kumbaka. Kidawa hakuwa anajua lolote. Alipokuwa akishuka kwenye gari ambalo lilimshukisha kando ya baa yake ya kila siku, pindi tu alipotua akiaanza kutembea. Aliona vijana watatu wakija kumziba njia.
Vijana wale walimbeba juu juu kwa nguvu kwa pamoja na hatimaye kumbaka wote wawili. Kidawa alifanyiwa kitendo kile na hatimaye kuzimia. Alijikuta akiwa ameamkia hospitalini kwenye kitanda akiwa amelazwa. Daktari alikuja na kumwambia ya kwamba aliletwa pale na msamaria mwema na kufanyiwa huduma.
Madaktan wale walimuambia Kidawa kwamba alikuwa amebakwa na hatimaye kuathirika kwa ugonjwa wa ukimwi. Kidawa alishtuka na kwanza kulia. Daktari alimpa mahusia na kumwambia asikate tamaa kamwe kwani bado anaweza kuendelea kuishi. Safia aliamua kurudi nyumbani kwa wazazi wake na kuwaomba msamaha. Wazazi wake walimsamehe na kukubali ombi lake. Hii inatupa funzo ya kwamba wakubwa wanafaa kupewa heshima na sio kudharauliwa. | Kidawa aliwaona wazazi wake kama nini kwenye kitambaa? | {
"text": [
"Kinyesi"
]
} |
3152_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam kweli hawakukosea wahenga waliposema ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. Hii ilikuwa na maana yake kwani walikua wanalenga watu baadhi ambao huwa hawasikilizi wazazi wao au wakuu wao na baadaye kujipata kwenye matatizo au huteleza.
Hapo zamani za kale palikuwa na binti mmoja aliyejulikana kama jina la Kidawa. Binti huyu alisikitika sana kwa sifa zake za urembo wa tausi. Hakika binti huyu alikua mrembo kupitiliza. Watu wengi walimsifia kwa urembo wake kwani alikuwa na rangi nzuri ya kama muingereza, shingo ya upanga na macho ya nurulaini. Binti huyu alikuwa na bahati ya mtende kwani vijana wengi walikuja kumletea pesa ya kumuona lakini pesa hizo zote alizikataa na kusema kwamba hataki kuolewa na watu maskini kwani yeye alikuwa mzuri na alifaa kuolewa na tajiri. Alizidi kuya na kiburi kwani alijigamba sana kuwa yeye ndio alikuwa maua kijiji hicho chote.
Hakumheshimu mkubwa wala mdogo wazazi wake pia aliwaona kama kinyesi kwenye kitambaa. Aliwacha kutembea na watoto wenzake wenye umri mmoja na kujitenga pekee yake. Hakutaka kuongozana nao kwani aliwadharau kupitiliza na kujitia hamnazo kucheza ngoma atakazo.
Siku nenda siku rudi tabia zake zilianza kudorora hadi hakukuwa na mtu wa kudhibiti kamwe kwani alianza kutoka nyumbani kwao usiku usiku kwenda mabaa kunywa vilevi na kurudi usiku wa manane akiwa amelewa pombe chakari hajijui wala hajitambui maskini.
Wazazi wake walijaribu juu chini kadri ya uwezo wao kumsihi lakini juhudi zao hazikufua dafu kwani maskio aliyaweka ntaa na akawa kiziwi. Hiyo ilikuwa tabia yake na mara nyingine huwa harudi nyumbani yeye hulala uko uko baa akizidiwa na ulevi. Alikua akitembea na kila mwanaume ili ampatie pesa za kutumia mahitaji yake ya urembo.
Alipoona hali si hali pale nyumbani na wazazi wake walikuwa wakimbania sana, aliamua kuondoka na kuhamia mjini. Huko alikuwa hapingwi na mtu yeyote wala kusumbuliwa. Wazazi wake walikuwa wanamtamani sana mwana wao. Walizidi kuteseka na kukonda kwa kumuuliza huku na kule lakini wapi. Hakuna juhudi yao iliyofua dafu kamwe. Aliamua kukaa na kusubiri neema ya mungu.
Kidawa alizidi kujienjoi na kujivinjari maisha mjini. Katika safari zake za kwenda baa usiku usiku alikuwa akieenda pekee yake, kumbe kulikuwa na vijana ambao walikuwa wamemtegea ili kumbaka. Kidawa hakuwa anajua lolote. Alipokuwa akishuka kwenye gari ambalo lilimshukisha kando ya baa yake ya kila siku, pindi tu alipotua akiaanza kutembea. Aliona vijana watatu wakija kumziba njia.
Vijana wale walimbeba juu juu kwa nguvu kwa pamoja na hatimaye kumbaka wote wawili. Kidawa alifanyiwa kitendo kile na hatimaye kuzimia. Alijikuta akiwa ameamkia hospitalini kwenye kitanda akiwa amelazwa. Daktari alikuja na kumwambia ya kwamba aliletwa pale na msamaria mwema na kufanyiwa huduma.
Madaktan wale walimuambia Kidawa kwamba alikuwa amebakwa na hatimaye kuathirika kwa ugonjwa wa ukimwi. Kidawa alishtuka na kwanza kulia. Daktari alimpa mahusia na kumwambia asikate tamaa kamwe kwani bado anaweza kuendelea kuishi. Safia aliamua kurudi nyumbani kwa wazazi wake na kuwaomba msamaha. Wazazi wake walimsamehe na kukubali ombi lake. Hii inatupa funzo ya kwamba wakubwa wanafaa kupewa heshima na sio kudharauliwa. | Kidawa alitia nini kwenye maskio kadri asiwaheshimu wazazi wake? | {
"text": [
"Nta"
]
} |
3152_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam kweli hawakukosea wahenga waliposema ya kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika mguu. Hii ilikuwa na maana yake kwani walikua wanalenga watu baadhi ambao huwa hawasikilizi wazazi wao au wakuu wao na baadaye kujipata kwenye matatizo au huteleza.
Hapo zamani za kale palikuwa na binti mmoja aliyejulikana kama jina la Kidawa. Binti huyu alisikitika sana kwa sifa zake za urembo wa tausi. Hakika binti huyu alikua mrembo kupitiliza. Watu wengi walimsifia kwa urembo wake kwani alikuwa na rangi nzuri ya kama muingereza, shingo ya upanga na macho ya nurulaini. Binti huyu alikuwa na bahati ya mtende kwani vijana wengi walikuja kumletea pesa ya kumuona lakini pesa hizo zote alizikataa na kusema kwamba hataki kuolewa na watu maskini kwani yeye alikuwa mzuri na alifaa kuolewa na tajiri. Alizidi kuya na kiburi kwani alijigamba sana kuwa yeye ndio alikuwa maua kijiji hicho chote.
Hakumheshimu mkubwa wala mdogo wazazi wake pia aliwaona kama kinyesi kwenye kitambaa. Aliwacha kutembea na watoto wenzake wenye umri mmoja na kujitenga pekee yake. Hakutaka kuongozana nao kwani aliwadharau kupitiliza na kujitia hamnazo kucheza ngoma atakazo.
Siku nenda siku rudi tabia zake zilianza kudorora hadi hakukuwa na mtu wa kudhibiti kamwe kwani alianza kutoka nyumbani kwao usiku usiku kwenda mabaa kunywa vilevi na kurudi usiku wa manane akiwa amelewa pombe chakari hajijui wala hajitambui maskini.
Wazazi wake walijaribu juu chini kadri ya uwezo wao kumsihi lakini juhudi zao hazikufua dafu kwani maskio aliyaweka ntaa na akawa kiziwi. Hiyo ilikuwa tabia yake na mara nyingine huwa harudi nyumbani yeye hulala uko uko baa akizidiwa na ulevi. Alikua akitembea na kila mwanaume ili ampatie pesa za kutumia mahitaji yake ya urembo.
Alipoona hali si hali pale nyumbani na wazazi wake walikuwa wakimbania sana, aliamua kuondoka na kuhamia mjini. Huko alikuwa hapingwi na mtu yeyote wala kusumbuliwa. Wazazi wake walikuwa wanamtamani sana mwana wao. Walizidi kuteseka na kukonda kwa kumuuliza huku na kule lakini wapi. Hakuna juhudi yao iliyofua dafu kamwe. Aliamua kukaa na kusubiri neema ya mungu.
Kidawa alizidi kujienjoi na kujivinjari maisha mjini. Katika safari zake za kwenda baa usiku usiku alikuwa akieenda pekee yake, kumbe kulikuwa na vijana ambao walikuwa wamemtegea ili kumbaka. Kidawa hakuwa anajua lolote. Alipokuwa akishuka kwenye gari ambalo lilimshukisha kando ya baa yake ya kila siku, pindi tu alipotua akiaanza kutembea. Aliona vijana watatu wakija kumziba njia.
Vijana wale walimbeba juu juu kwa nguvu kwa pamoja na hatimaye kumbaka wote wawili. Kidawa alifanyiwa kitendo kile na hatimaye kuzimia. Alijikuta akiwa ameamkia hospitalini kwenye kitanda akiwa amelazwa. Daktari alikuja na kumwambia ya kwamba aliletwa pale na msamaria mwema na kufanyiwa huduma.
Madaktan wale walimuambia Kidawa kwamba alikuwa amebakwa na hatimaye kuathirika kwa ugonjwa wa ukimwi. Kidawa alishtuka na kwanza kulia. Daktari alimpa mahusia na kumwambia asikate tamaa kamwe kwani bado anaweza kuendelea kuishi. Safia aliamua kurudi nyumbani kwa wazazi wake na kuwaomba msamaha. Wazazi wake walimsamehe na kukubali ombi lake. Hii inatupa funzo ya kwamba wakubwa wanafaa kupewa heshima na sio kudharauliwa. | Methali iliyotumika imelenga kina nani? | {
"text": [
"Watu wasiosikiliza wazazi wao au wakuu wao"
]
} |
3153_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kuwa mtu asiposikiliza la wavyele hujuta mbeleni kwa maafa atakayo ya pata. Methali hii iko sawa na ile ya asiyesikia la mama hufunzwa na ulimwengu.
Methali hii hutumiwa kuonya watu ili waweze kubadilika. Wasipokubali kubadilika huwa wanapata maafa mbeleni.
Hapo kale paliishi mvulana mmoja aitwae Nyanje. Mvulana huyu alikuwa mtanashati na alisifika kitongojini mwao kwa uzuri na tabia njema. Mvulana huyo alikuwa na miraba minne na misuli iliyojaa.
Wasichana wengi walimtamani kwa uzuri wake. Nyanje alipotembea wasichana walijikata vidole kwa sababu alitembea kwa maringo na kudunda.
Kizuri hakikosi ila. Nyanje alikuwa na dharau na mabezo. Aliwabeza wasichana wote kitongoji mwao na hakutaka kujiunga na wanajamii wenzake. Alipofikia muda wa kuchukua jiko, aliwakata wasichana wote na kusema kuwa Nyanje bado hajaona wakumuoa.
Wazazi wa Nyanje walimkana mtoto wao na kumpa mawaidha. Lakini Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja msichana mmoja mrembo aitwae Karembe, alikuja kwa kina Nyanje na kuwaomba wazazi wa Nyanje waonge na Nyanje ili aweze kumuoa. Nyanje alikataa kata kata na kubeza msichana huyo.
Siku nyingi zikapita Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja kulikuwa na harusi kwenye kitongoje jirani. Nyanje aliamua kudamshi ili awaumize wasichana. Alipofika hapo harusi alitembea kwa midundo yake, wasichana walisimamia na kumsorora walitamani kuwa naye. Ghafla Nyanje alipokuwa akitembea tembea alimuona msichana mzuri, aliyeumbwa akaumbika alikuwa mwenye figa nane, aliacha midundo yake na kumkazania msichana huyo na kumwambia kuwa alikuwa amependa.
Msichana huyo alikubali na kumwambia nyanje kuwa anafaa waende kwao. Nyanje alikubali mara moja. Basi msichana huyo alimshika Nyanje mkono na kumwambia afumbe macho. Alipo fumbua macho alijipata katika ufoo wa bahari na hana nguo hata moja. Hapo ndipo alipojuwa kuwa alikuwa ni jini, Alikumbuka mamae aliyemkanya kila siku.
Alijua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Aliamua kurudi nyumbani na kukubali kumuoa Karembo. Kuanzia siku hiyo hakuwahi kumbeza au kumdharau mtu yeyote. | Hapo kale paliishi mvulana anayeitwa nani | {
"text": [
"Nyanje"
]
} |
3153_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kuwa mtu asiposikiliza la wavyele hujuta mbeleni kwa maafa atakayo ya pata. Methali hii iko sawa na ile ya asiyesikia la mama hufunzwa na ulimwengu.
Methali hii hutumiwa kuonya watu ili waweze kubadilika. Wasipokubali kubadilika huwa wanapata maafa mbeleni.
Hapo kale paliishi mvulana mmoja aitwae Nyanje. Mvulana huyu alikuwa mtanashati na alisifika kitongojini mwao kwa uzuri na tabia njema. Mvulana huyo alikuwa na miraba minne na misuli iliyojaa.
Wasichana wengi walimtamani kwa uzuri wake. Nyanje alipotembea wasichana walijikata vidole kwa sababu alitembea kwa maringo na kudunda.
Kizuri hakikosi ila. Nyanje alikuwa na dharau na mabezo. Aliwabeza wasichana wote kitongoji mwao na hakutaka kujiunga na wanajamii wenzake. Alipofikia muda wa kuchukua jiko, aliwakata wasichana wote na kusema kuwa Nyanje bado hajaona wakumuoa.
Wazazi wa Nyanje walimkana mtoto wao na kumpa mawaidha. Lakini Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja msichana mmoja mrembo aitwae Karembe, alikuja kwa kina Nyanje na kuwaomba wazazi wa Nyanje waonge na Nyanje ili aweze kumuoa. Nyanje alikataa kata kata na kubeza msichana huyo.
Siku nyingi zikapita Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja kulikuwa na harusi kwenye kitongoje jirani. Nyanje aliamua kudamshi ili awaumize wasichana. Alipofika hapo harusi alitembea kwa midundo yake, wasichana walisimamia na kumsorora walitamani kuwa naye. Ghafla Nyanje alipokuwa akitembea tembea alimuona msichana mzuri, aliyeumbwa akaumbika alikuwa mwenye figa nane, aliacha midundo yake na kumkazania msichana huyo na kumwambia kuwa alikuwa amependa.
Msichana huyo alikubali na kumwambia nyanje kuwa anafaa waende kwao. Nyanje alikubali mara moja. Basi msichana huyo alimshika Nyanje mkono na kumwambia afumbe macho. Alipo fumbua macho alijipata katika ufoo wa bahari na hana nguo hata moja. Hapo ndipo alipojuwa kuwa alikuwa ni jini, Alikumbuka mamae aliyemkanya kila siku.
Alijua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Aliamua kurudi nyumbani na kukubali kumuoa Karembo. Kuanzia siku hiyo hakuwahi kumbeza au kumdharau mtu yeyote. | Wasichana walimtamani Nyanje kwa nini | {
"text": [
"Uzuri"
]
} |
3153_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kuwa mtu asiposikiliza la wavyele hujuta mbeleni kwa maafa atakayo ya pata. Methali hii iko sawa na ile ya asiyesikia la mama hufunzwa na ulimwengu.
Methali hii hutumiwa kuonya watu ili waweze kubadilika. Wasipokubali kubadilika huwa wanapata maafa mbeleni.
Hapo kale paliishi mvulana mmoja aitwae Nyanje. Mvulana huyu alikuwa mtanashati na alisifika kitongojini mwao kwa uzuri na tabia njema. Mvulana huyo alikuwa na miraba minne na misuli iliyojaa.
Wasichana wengi walimtamani kwa uzuri wake. Nyanje alipotembea wasichana walijikata vidole kwa sababu alitembea kwa maringo na kudunda.
Kizuri hakikosi ila. Nyanje alikuwa na dharau na mabezo. Aliwabeza wasichana wote kitongoji mwao na hakutaka kujiunga na wanajamii wenzake. Alipofikia muda wa kuchukua jiko, aliwakata wasichana wote na kusema kuwa Nyanje bado hajaona wakumuoa.
Wazazi wa Nyanje walimkana mtoto wao na kumpa mawaidha. Lakini Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja msichana mmoja mrembo aitwae Karembe, alikuja kwa kina Nyanje na kuwaomba wazazi wa Nyanje waonge na Nyanje ili aweze kumuoa. Nyanje alikataa kata kata na kubeza msichana huyo.
Siku nyingi zikapita Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja kulikuwa na harusi kwenye kitongoje jirani. Nyanje aliamua kudamshi ili awaumize wasichana. Alipofika hapo harusi alitembea kwa midundo yake, wasichana walisimamia na kumsorora walitamani kuwa naye. Ghafla Nyanje alipokuwa akitembea tembea alimuona msichana mzuri, aliyeumbwa akaumbika alikuwa mwenye figa nane, aliacha midundo yake na kumkazania msichana huyo na kumwambia kuwa alikuwa amependa.
Msichana huyo alikubali na kumwambia nyanje kuwa anafaa waende kwao. Nyanje alikubali mara moja. Basi msichana huyo alimshika Nyanje mkono na kumwambia afumbe macho. Alipo fumbua macho alijipata katika ufoo wa bahari na hana nguo hata moja. Hapo ndipo alipojuwa kuwa alikuwa ni jini, Alikumbuka mamae aliyemkanya kila siku.
Alijua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Aliamua kurudi nyumbani na kukubali kumuoa Karembo. Kuanzia siku hiyo hakuwahi kumbeza au kumdharau mtu yeyote. | Nyanje aliwabeza nani | {
"text": [
"Wasichana"
]
} |
3153_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kuwa mtu asiposikiliza la wavyele hujuta mbeleni kwa maafa atakayo ya pata. Methali hii iko sawa na ile ya asiyesikia la mama hufunzwa na ulimwengu.
Methali hii hutumiwa kuonya watu ili waweze kubadilika. Wasipokubali kubadilika huwa wanapata maafa mbeleni.
Hapo kale paliishi mvulana mmoja aitwae Nyanje. Mvulana huyu alikuwa mtanashati na alisifika kitongojini mwao kwa uzuri na tabia njema. Mvulana huyo alikuwa na miraba minne na misuli iliyojaa.
Wasichana wengi walimtamani kwa uzuri wake. Nyanje alipotembea wasichana walijikata vidole kwa sababu alitembea kwa maringo na kudunda.
Kizuri hakikosi ila. Nyanje alikuwa na dharau na mabezo. Aliwabeza wasichana wote kitongoji mwao na hakutaka kujiunga na wanajamii wenzake. Alipofikia muda wa kuchukua jiko, aliwakata wasichana wote na kusema kuwa Nyanje bado hajaona wakumuoa.
Wazazi wa Nyanje walimkana mtoto wao na kumpa mawaidha. Lakini Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja msichana mmoja mrembo aitwae Karembe, alikuja kwa kina Nyanje na kuwaomba wazazi wa Nyanje waonge na Nyanje ili aweze kumuoa. Nyanje alikataa kata kata na kubeza msichana huyo.
Siku nyingi zikapita Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja kulikuwa na harusi kwenye kitongoje jirani. Nyanje aliamua kudamshi ili awaumize wasichana. Alipofika hapo harusi alitembea kwa midundo yake, wasichana walisimamia na kumsorora walitamani kuwa naye. Ghafla Nyanje alipokuwa akitembea tembea alimuona msichana mzuri, aliyeumbwa akaumbika alikuwa mwenye figa nane, aliacha midundo yake na kumkazania msichana huyo na kumwambia kuwa alikuwa amependa.
Msichana huyo alikubali na kumwambia nyanje kuwa anafaa waende kwao. Nyanje alikubali mara moja. Basi msichana huyo alimshika Nyanje mkono na kumwambia afumbe macho. Alipo fumbua macho alijipata katika ufoo wa bahari na hana nguo hata moja. Hapo ndipo alipojuwa kuwa alikuwa ni jini, Alikumbuka mamae aliyemkanya kila siku.
Alijua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Aliamua kurudi nyumbani na kukubali kumuoa Karembo. Kuanzia siku hiyo hakuwahi kumbeza au kumdharau mtu yeyote. | Nani walimkanya Nyanje | {
"text": [
"Wazazi"
]
} |
3153_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kuwa mtu asiposikiliza la wavyele hujuta mbeleni kwa maafa atakayo ya pata. Methali hii iko sawa na ile ya asiyesikia la mama hufunzwa na ulimwengu.
Methali hii hutumiwa kuonya watu ili waweze kubadilika. Wasipokubali kubadilika huwa wanapata maafa mbeleni.
Hapo kale paliishi mvulana mmoja aitwae Nyanje. Mvulana huyu alikuwa mtanashati na alisifika kitongojini mwao kwa uzuri na tabia njema. Mvulana huyo alikuwa na miraba minne na misuli iliyojaa.
Wasichana wengi walimtamani kwa uzuri wake. Nyanje alipotembea wasichana walijikata vidole kwa sababu alitembea kwa maringo na kudunda.
Kizuri hakikosi ila. Nyanje alikuwa na dharau na mabezo. Aliwabeza wasichana wote kitongoji mwao na hakutaka kujiunga na wanajamii wenzake. Alipofikia muda wa kuchukua jiko, aliwakata wasichana wote na kusema kuwa Nyanje bado hajaona wakumuoa.
Wazazi wa Nyanje walimkana mtoto wao na kumpa mawaidha. Lakini Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja msichana mmoja mrembo aitwae Karembe, alikuja kwa kina Nyanje na kuwaomba wazazi wa Nyanje waonge na Nyanje ili aweze kumuoa. Nyanje alikataa kata kata na kubeza msichana huyo.
Siku nyingi zikapita Nyanje alisimama na msimamo. Siku moja kulikuwa na harusi kwenye kitongoje jirani. Nyanje aliamua kudamshi ili awaumize wasichana. Alipofika hapo harusi alitembea kwa midundo yake, wasichana walisimamia na kumsorora walitamani kuwa naye. Ghafla Nyanje alipokuwa akitembea tembea alimuona msichana mzuri, aliyeumbwa akaumbika alikuwa mwenye figa nane, aliacha midundo yake na kumkazania msichana huyo na kumwambia kuwa alikuwa amependa.
Msichana huyo alikubali na kumwambia nyanje kuwa anafaa waende kwao. Nyanje alikubali mara moja. Basi msichana huyo alimshika Nyanje mkono na kumwambia afumbe macho. Alipo fumbua macho alijipata katika ufoo wa bahari na hana nguo hata moja. Hapo ndipo alipojuwa kuwa alikuwa ni jini, Alikumbuka mamae aliyemkanya kila siku.
Alijua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Aliamua kurudi nyumbani na kukubali kumuoa Karembo. Kuanzia siku hiyo hakuwahi kumbeza au kumdharau mtu yeyote. | Kwa nini Nyanje alijipata hana nguo hata moja | {
"text": [
"Alikuwa na jini"
]
} |
3154_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mfumo mpya wa kutumia sayansi na mawasiliano ilikujikuza kimaarifa. Teknolojia hii ni kama vile simu za mkononi, kompyuta, tarakilishi kikokotoo na kadhalika.
Teknolojia hii pia hutumiwa shuleni. Mfano simu hutumiwa shuleni kwa kusambaza ujumbe kwa kutumia mtandao kama vile kuna mkutano au shida yeyote iliyotokea ghafla. Pia wanafunzi wanaweza kutumia simu za walimu wao ili kuongea na wazazi wao. Maafa ya simu shuleni ni kama vile wanafunzi wengine wakipewa simu huenda mtandaoni na kuangalia filamu mbaya mbaya.
Kompyuta hutumiwa shuleni kama somo kufunza wanafunz.i Wanafunzi pia hutumia kompyuta kwa kuandikia ili waweze kusoma. Walimu pia hutumia kompyuta kwa kuweka data kama vile majibu ya mtihani ya wanafunzi wao. Maafa ya kompyuta huwafanya watu wawe wavivu kwa kufanya kazi za kuandika.
Tarakilishi hutumiwa na wanafunzi ili kutafuta masomo mtandaoni pia huweza kuweza kazi zao. Walimu huweza kutumia tarakilishi ili kuweka kazi (notes) zao ili waweze kuzihifadhi vizuri ili zisipote. Maafa ya tarakilishi ni kuwa mwanafunzi anaweza kuingia mtandaoni na kuangalia filamu zingine ambazo si masomo.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi ili kufanyia hisabati zozote na pia walimu wanaweza kutumia kikotoo ilikupigia hisabati maksi za wanafunzi wao ili wapate alama za kweli. Maafa yake huwafanya watu wawe wavivu kwa kupiga hesabu.
Teknolojia huathiri wanafunzi na walimu ambapo huwa wavivu ikiwasababu huwa wategemea mitandaoni tu, huwa hawajitumi. Teknolojia pia humuathiri mtu ili awe na mazoea kwa vite kama vile simu au televisheni. | Teknolojia ni mfumo mpya wa kutumia nini ili kujikuza kimaarifa | {
"text": [
"sayansi na mawasiliano"
]
} |
3154_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mfumo mpya wa kutumia sayansi na mawasiliano ilikujikuza kimaarifa. Teknolojia hii ni kama vile simu za mkononi, kompyuta, tarakilishi kikokotoo na kadhalika.
Teknolojia hii pia hutumiwa shuleni. Mfano simu hutumiwa shuleni kwa kusambaza ujumbe kwa kutumia mtandao kama vile kuna mkutano au shida yeyote iliyotokea ghafla. Pia wanafunzi wanaweza kutumia simu za walimu wao ili kuongea na wazazi wao. Maafa ya simu shuleni ni kama vile wanafunzi wengine wakipewa simu huenda mtandaoni na kuangalia filamu mbaya mbaya.
Kompyuta hutumiwa shuleni kama somo kufunza wanafunz.i Wanafunzi pia hutumia kompyuta kwa kuandikia ili waweze kusoma. Walimu pia hutumia kompyuta kwa kuweka data kama vile majibu ya mtihani ya wanafunzi wao. Maafa ya kompyuta huwafanya watu wawe wavivu kwa kufanya kazi za kuandika.
Tarakilishi hutumiwa na wanafunzi ili kutafuta masomo mtandaoni pia huweza kuweza kazi zao. Walimu huweza kutumia tarakilishi ili kuweka kazi (notes) zao ili waweze kuzihifadhi vizuri ili zisipote. Maafa ya tarakilishi ni kuwa mwanafunzi anaweza kuingia mtandaoni na kuangalia filamu zingine ambazo si masomo.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi ili kufanyia hisabati zozote na pia walimu wanaweza kutumia kikotoo ilikupigia hisabati maksi za wanafunzi wao ili wapate alama za kweli. Maafa yake huwafanya watu wawe wavivu kwa kupiga hesabu.
Teknolojia huathiri wanafunzi na walimu ambapo huwa wavivu ikiwasababu huwa wategemea mitandaoni tu, huwa hawajitumi. Teknolojia pia humuathiri mtu ili awe na mazoea kwa vite kama vile simu au televisheni. | Simu hutumiwa shuleni kufanya nini | {
"text": [
"kusambaza ujumbe"
]
} |
3154_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mfumo mpya wa kutumia sayansi na mawasiliano ilikujikuza kimaarifa. Teknolojia hii ni kama vile simu za mkononi, kompyuta, tarakilishi kikokotoo na kadhalika.
Teknolojia hii pia hutumiwa shuleni. Mfano simu hutumiwa shuleni kwa kusambaza ujumbe kwa kutumia mtandao kama vile kuna mkutano au shida yeyote iliyotokea ghafla. Pia wanafunzi wanaweza kutumia simu za walimu wao ili kuongea na wazazi wao. Maafa ya simu shuleni ni kama vile wanafunzi wengine wakipewa simu huenda mtandaoni na kuangalia filamu mbaya mbaya.
Kompyuta hutumiwa shuleni kama somo kufunza wanafunz.i Wanafunzi pia hutumia kompyuta kwa kuandikia ili waweze kusoma. Walimu pia hutumia kompyuta kwa kuweka data kama vile majibu ya mtihani ya wanafunzi wao. Maafa ya kompyuta huwafanya watu wawe wavivu kwa kufanya kazi za kuandika.
Tarakilishi hutumiwa na wanafunzi ili kutafuta masomo mtandaoni pia huweza kuweza kazi zao. Walimu huweza kutumia tarakilishi ili kuweka kazi (notes) zao ili waweze kuzihifadhi vizuri ili zisipote. Maafa ya tarakilishi ni kuwa mwanafunzi anaweza kuingia mtandaoni na kuangalia filamu zingine ambazo si masomo.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi ili kufanyia hisabati zozote na pia walimu wanaweza kutumia kikotoo ilikupigia hisabati maksi za wanafunzi wao ili wapate alama za kweli. Maafa yake huwafanya watu wawe wavivu kwa kupiga hesabu.
Teknolojia huathiri wanafunzi na walimu ambapo huwa wavivu ikiwasababu huwa wategemea mitandaoni tu, huwa hawajitumi. Teknolojia pia humuathiri mtu ili awe na mazoea kwa vite kama vile simu au televisheni. | Wanafunzi wanaweza kutumia simu za walimu wao kufanya nini | {
"text": [
"kuongea na wazazi"
]
} |
3154_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mfumo mpya wa kutumia sayansi na mawasiliano ilikujikuza kimaarifa. Teknolojia hii ni kama vile simu za mkononi, kompyuta, tarakilishi kikokotoo na kadhalika.
Teknolojia hii pia hutumiwa shuleni. Mfano simu hutumiwa shuleni kwa kusambaza ujumbe kwa kutumia mtandao kama vile kuna mkutano au shida yeyote iliyotokea ghafla. Pia wanafunzi wanaweza kutumia simu za walimu wao ili kuongea na wazazi wao. Maafa ya simu shuleni ni kama vile wanafunzi wengine wakipewa simu huenda mtandaoni na kuangalia filamu mbaya mbaya.
Kompyuta hutumiwa shuleni kama somo kufunza wanafunz.i Wanafunzi pia hutumia kompyuta kwa kuandikia ili waweze kusoma. Walimu pia hutumia kompyuta kwa kuweka data kama vile majibu ya mtihani ya wanafunzi wao. Maafa ya kompyuta huwafanya watu wawe wavivu kwa kufanya kazi za kuandika.
Tarakilishi hutumiwa na wanafunzi ili kutafuta masomo mtandaoni pia huweza kuweza kazi zao. Walimu huweza kutumia tarakilishi ili kuweka kazi (notes) zao ili waweze kuzihifadhi vizuri ili zisipote. Maafa ya tarakilishi ni kuwa mwanafunzi anaweza kuingia mtandaoni na kuangalia filamu zingine ambazo si masomo.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi ili kufanyia hisabati zozote na pia walimu wanaweza kutumia kikotoo ilikupigia hisabati maksi za wanafunzi wao ili wapate alama za kweli. Maafa yake huwafanya watu wawe wavivu kwa kupiga hesabu.
Teknolojia huathiri wanafunzi na walimu ambapo huwa wavivu ikiwasababu huwa wategemea mitandaoni tu, huwa hawajitumi. Teknolojia pia humuathiri mtu ili awe na mazoea kwa vite kama vile simu au televisheni. | Tarakilishi hutumiwa na waalimu lini | {
"text": [
"wanapohifadhi kazi zao"
]
} |
3154_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mfumo mpya wa kutumia sayansi na mawasiliano ilikujikuza kimaarifa. Teknolojia hii ni kama vile simu za mkononi, kompyuta, tarakilishi kikokotoo na kadhalika.
Teknolojia hii pia hutumiwa shuleni. Mfano simu hutumiwa shuleni kwa kusambaza ujumbe kwa kutumia mtandao kama vile kuna mkutano au shida yeyote iliyotokea ghafla. Pia wanafunzi wanaweza kutumia simu za walimu wao ili kuongea na wazazi wao. Maafa ya simu shuleni ni kama vile wanafunzi wengine wakipewa simu huenda mtandaoni na kuangalia filamu mbaya mbaya.
Kompyuta hutumiwa shuleni kama somo kufunza wanafunz.i Wanafunzi pia hutumia kompyuta kwa kuandikia ili waweze kusoma. Walimu pia hutumia kompyuta kwa kuweka data kama vile majibu ya mtihani ya wanafunzi wao. Maafa ya kompyuta huwafanya watu wawe wavivu kwa kufanya kazi za kuandika.
Tarakilishi hutumiwa na wanafunzi ili kutafuta masomo mtandaoni pia huweza kuweza kazi zao. Walimu huweza kutumia tarakilishi ili kuweka kazi (notes) zao ili waweze kuzihifadhi vizuri ili zisipote. Maafa ya tarakilishi ni kuwa mwanafunzi anaweza kuingia mtandaoni na kuangalia filamu zingine ambazo si masomo.
Kikokotoo hutumiwa na wanafunzi ili kufanyia hisabati zozote na pia walimu wanaweza kutumia kikotoo ilikupigia hisabati maksi za wanafunzi wao ili wapate alama za kweli. Maafa yake huwafanya watu wawe wavivu kwa kupiga hesabu.
Teknolojia huathiri wanafunzi na walimu ambapo huwa wavivu ikiwasababu huwa wategemea mitandaoni tu, huwa hawajitumi. Teknolojia pia humuathiri mtu ili awe na mazoea kwa vite kama vile simu au televisheni. | Teknolojia huathiri waalimu na wanafunzi aje | {
"text": [
"huwafanya wawe wavivu wanapotegemea mitandao na huwa hawajitumi"
]
} |
3156_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anayefanya maovu au aliyezoea kufanya maovu na kukanywa mara kadhaa ili kuyaacha maovu lakini mtu huyo hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini mwishowe ulimwengu humfunza na kuishia kujuta. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wanaoambiwa jambo na kuto litii.
Palikuwa na mvulana mmoja mtanashati aliyekuwa akisoma katika mojawapo ya shule za kitaifa. Alipenda kusoma hata matokeo yake yalithibitisha hilo. Walimu wengi walimsifia na pia wanafunzi. Alisifiwa kwa tabia yake nzuri aliyokuwa nayo. Katika darasa yeye ndiye aliongoza na alama ya juu ambayo iliwafurahisha walimu na hata wazazi wake.
Mvulana huyo alipewa sifa sana hata alikoishi. Majirani walimpenda kwa tabia na heshima aliyokuwa nayo. Sifa nyingi alizopewa mvulana huyu zilimfanya asahau wajibu wake katika masomo yake. Mvulana huyu tabia zake zili anza kubadilika. Tabia yake nzuri iligeuka kuwa mbaya na hata kudorora katika masomo yake. Alipokuwa shuleni, siku haikupita bila yeye kupatikana katika kesi yakuwa anapiga wenzake.
Walimu na hata wazazi wa mvulana huyu walishangazwa na tabia yake kwani hapo mwanzoni hakuwa hivyo. Walimu pamoja na wazazi waliitilia swala hilo maani na kufanya uchunguzi
ili kujua linalo msumbua mvulana huyo.
Baada ya siku kadhaa waligundua kuwa mvulana huyu alikuwa akijishugulisha na mihadarati. Mvulana huyu pia alijiunga na kundi linalojihusisha na maswala ya kuteka watu nyara na kutoa sehemu za mwili kama vile macho na hata figo.
Wazazi wake walihuzunika na kumketisha kitako ili kumuelezea madhara ya mihadarati na pia utekaji nyara ni kwenda kinyume na sheria. Mvulana huyu aliyapuuzia maneno
ya wazazi wake.
Siku moja mvulana huyu alikuwa na kundi lake. Kwa kawaida walikuwa watu katika shughuli zao za utekaji nyara. Nao mapolisi walikuwa wakiwasaka kwa muda mrefu. Kwa bahati mapolisi waliweza kuwashika lakini walijaribu kukimbia na mvulana huyo alibakia katika mikono ya polisi. Alichukuliwa na kutiwa mbaroni. Mvulana huyu alijutia kuto sikiliza maneno ya wazazi wake na kutumaini ya kwamba angeregesha siku nyuma kuyarekebisha makosa yake.
Hadithi hii inatufunza kuwa tunapo ambiwa jambo kwa kukusudiwa kurekebishwa, ina tupasa tulitilie jambo hilo maanani. | Kwa nini mvulana alisahau wajibu wake masomoni | {
"text": [
"Alipewa sifa nyingi sana jirani"
]
} |
3156_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anayefanya maovu au aliyezoea kufanya maovu na kukanywa mara kadhaa ili kuyaacha maovu lakini mtu huyo hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini mwishowe ulimwengu humfunza na kuishia kujuta. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wanaoambiwa jambo na kuto litii.
Palikuwa na mvulana mmoja mtanashati aliyekuwa akisoma katika mojawapo ya shule za kitaifa. Alipenda kusoma hata matokeo yake yalithibitisha hilo. Walimu wengi walimsifia na pia wanafunzi. Alisifiwa kwa tabia yake nzuri aliyokuwa nayo. Katika darasa yeye ndiye aliongoza na alama ya juu ambayo iliwafurahisha walimu na hata wazazi wake.
Mvulana huyo alipewa sifa sana hata alikoishi. Majirani walimpenda kwa tabia na heshima aliyokuwa nayo. Sifa nyingi alizopewa mvulana huyu zilimfanya asahau wajibu wake katika masomo yake. Mvulana huyu tabia zake zili anza kubadilika. Tabia yake nzuri iligeuka kuwa mbaya na hata kudorora katika masomo yake. Alipokuwa shuleni, siku haikupita bila yeye kupatikana katika kesi yakuwa anapiga wenzake.
Walimu na hata wazazi wa mvulana huyu walishangazwa na tabia yake kwani hapo mwanzoni hakuwa hivyo. Walimu pamoja na wazazi waliitilia swala hilo maani na kufanya uchunguzi
ili kujua linalo msumbua mvulana huyo.
Baada ya siku kadhaa waligundua kuwa mvulana huyu alikuwa akijishugulisha na mihadarati. Mvulana huyu pia alijiunga na kundi linalojihusisha na maswala ya kuteka watu nyara na kutoa sehemu za mwili kama vile macho na hata figo.
Wazazi wake walihuzunika na kumketisha kitako ili kumuelezea madhara ya mihadarati na pia utekaji nyara ni kwenda kinyume na sheria. Mvulana huyu aliyapuuzia maneno
ya wazazi wake.
Siku moja mvulana huyu alikuwa na kundi lake. Kwa kawaida walikuwa watu katika shughuli zao za utekaji nyara. Nao mapolisi walikuwa wakiwasaka kwa muda mrefu. Kwa bahati mapolisi waliweza kuwashika lakini walijaribu kukimbia na mvulana huyo alibakia katika mikono ya polisi. Alichukuliwa na kutiwa mbaroni. Mvulana huyu alijutia kuto sikiliza maneno ya wazazi wake na kutumaini ya kwamba angeregesha siku nyuma kuyarekebisha makosa yake.
Hadithi hii inatufunza kuwa tunapo ambiwa jambo kwa kukusudiwa kurekebishwa, ina tupasa tulitilie jambo hilo maanani. | Mvulana anayezungumziwa alijihusisha na kundi lipi | {
"text": [
"Lililowateka watu nyara na kutoa sehemu za mwili"
]
} |
3156_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anayefanya maovu au aliyezoea kufanya maovu na kukanywa mara kadhaa ili kuyaacha maovu lakini mtu huyo hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini mwishowe ulimwengu humfunza na kuishia kujuta. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wanaoambiwa jambo na kuto litii.
Palikuwa na mvulana mmoja mtanashati aliyekuwa akisoma katika mojawapo ya shule za kitaifa. Alipenda kusoma hata matokeo yake yalithibitisha hilo. Walimu wengi walimsifia na pia wanafunzi. Alisifiwa kwa tabia yake nzuri aliyokuwa nayo. Katika darasa yeye ndiye aliongoza na alama ya juu ambayo iliwafurahisha walimu na hata wazazi wake.
Mvulana huyo alipewa sifa sana hata alikoishi. Majirani walimpenda kwa tabia na heshima aliyokuwa nayo. Sifa nyingi alizopewa mvulana huyu zilimfanya asahau wajibu wake katika masomo yake. Mvulana huyu tabia zake zili anza kubadilika. Tabia yake nzuri iligeuka kuwa mbaya na hata kudorora katika masomo yake. Alipokuwa shuleni, siku haikupita bila yeye kupatikana katika kesi yakuwa anapiga wenzake.
Walimu na hata wazazi wa mvulana huyu walishangazwa na tabia yake kwani hapo mwanzoni hakuwa hivyo. Walimu pamoja na wazazi waliitilia swala hilo maani na kufanya uchunguzi
ili kujua linalo msumbua mvulana huyo.
Baada ya siku kadhaa waligundua kuwa mvulana huyu alikuwa akijishugulisha na mihadarati. Mvulana huyu pia alijiunga na kundi linalojihusisha na maswala ya kuteka watu nyara na kutoa sehemu za mwili kama vile macho na hata figo.
Wazazi wake walihuzunika na kumketisha kitako ili kumuelezea madhara ya mihadarati na pia utekaji nyara ni kwenda kinyume na sheria. Mvulana huyu aliyapuuzia maneno
ya wazazi wake.
Siku moja mvulana huyu alikuwa na kundi lake. Kwa kawaida walikuwa watu katika shughuli zao za utekaji nyara. Nao mapolisi walikuwa wakiwasaka kwa muda mrefu. Kwa bahati mapolisi waliweza kuwashika lakini walijaribu kukimbia na mvulana huyo alibakia katika mikono ya polisi. Alichukuliwa na kutiwa mbaroni. Mvulana huyu alijutia kuto sikiliza maneno ya wazazi wake na kutumaini ya kwamba angeregesha siku nyuma kuyarekebisha makosa yake.
Hadithi hii inatufunza kuwa tunapo ambiwa jambo kwa kukusudiwa kurekebishwa, ina tupasa tulitilie jambo hilo maanani. | Mvulana aliyetajwa alishikwa na nani | {
"text": [
"Polisi"
]
} |
3156_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anayefanya maovu au aliyezoea kufanya maovu na kukanywa mara kadhaa ili kuyaacha maovu lakini mtu huyo hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini mwishowe ulimwengu humfunza na kuishia kujuta. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wanaoambiwa jambo na kuto litii.
Palikuwa na mvulana mmoja mtanashati aliyekuwa akisoma katika mojawapo ya shule za kitaifa. Alipenda kusoma hata matokeo yake yalithibitisha hilo. Walimu wengi walimsifia na pia wanafunzi. Alisifiwa kwa tabia yake nzuri aliyokuwa nayo. Katika darasa yeye ndiye aliongoza na alama ya juu ambayo iliwafurahisha walimu na hata wazazi wake.
Mvulana huyo alipewa sifa sana hata alikoishi. Majirani walimpenda kwa tabia na heshima aliyokuwa nayo. Sifa nyingi alizopewa mvulana huyu zilimfanya asahau wajibu wake katika masomo yake. Mvulana huyu tabia zake zili anza kubadilika. Tabia yake nzuri iligeuka kuwa mbaya na hata kudorora katika masomo yake. Alipokuwa shuleni, siku haikupita bila yeye kupatikana katika kesi yakuwa anapiga wenzake.
Walimu na hata wazazi wa mvulana huyu walishangazwa na tabia yake kwani hapo mwanzoni hakuwa hivyo. Walimu pamoja na wazazi waliitilia swala hilo maani na kufanya uchunguzi
ili kujua linalo msumbua mvulana huyo.
Baada ya siku kadhaa waligundua kuwa mvulana huyu alikuwa akijishugulisha na mihadarati. Mvulana huyu pia alijiunga na kundi linalojihusisha na maswala ya kuteka watu nyara na kutoa sehemu za mwili kama vile macho na hata figo.
Wazazi wake walihuzunika na kumketisha kitako ili kumuelezea madhara ya mihadarati na pia utekaji nyara ni kwenda kinyume na sheria. Mvulana huyu aliyapuuzia maneno
ya wazazi wake.
Siku moja mvulana huyu alikuwa na kundi lake. Kwa kawaida walikuwa watu katika shughuli zao za utekaji nyara. Nao mapolisi walikuwa wakiwasaka kwa muda mrefu. Kwa bahati mapolisi waliweza kuwashika lakini walijaribu kukimbia na mvulana huyo alibakia katika mikono ya polisi. Alichukuliwa na kutiwa mbaroni. Mvulana huyu alijutia kuto sikiliza maneno ya wazazi wake na kutumaini ya kwamba angeregesha siku nyuma kuyarekebisha makosa yake.
Hadithi hii inatufunza kuwa tunapo ambiwa jambo kwa kukusudiwa kurekebishwa, ina tupasa tulitilie jambo hilo maanani. | Funzo lipi tunapata kutokana na taarifa hii | {
"text": [
"Tuwe wepesi wa kubadili na kurekebisha tabia zetu"
]
} |
3156_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu anayefanya maovu au aliyezoea kufanya maovu na kukanywa mara kadhaa ili kuyaacha maovu lakini mtu huyo hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini mwishowe ulimwengu humfunza na kuishia kujuta. Methali hii hutumiwa kuwaonya wale wanaoambiwa jambo na kuto litii.
Palikuwa na mvulana mmoja mtanashati aliyekuwa akisoma katika mojawapo ya shule za kitaifa. Alipenda kusoma hata matokeo yake yalithibitisha hilo. Walimu wengi walimsifia na pia wanafunzi. Alisifiwa kwa tabia yake nzuri aliyokuwa nayo. Katika darasa yeye ndiye aliongoza na alama ya juu ambayo iliwafurahisha walimu na hata wazazi wake.
Mvulana huyo alipewa sifa sana hata alikoishi. Majirani walimpenda kwa tabia na heshima aliyokuwa nayo. Sifa nyingi alizopewa mvulana huyu zilimfanya asahau wajibu wake katika masomo yake. Mvulana huyu tabia zake zili anza kubadilika. Tabia yake nzuri iligeuka kuwa mbaya na hata kudorora katika masomo yake. Alipokuwa shuleni, siku haikupita bila yeye kupatikana katika kesi yakuwa anapiga wenzake.
Walimu na hata wazazi wa mvulana huyu walishangazwa na tabia yake kwani hapo mwanzoni hakuwa hivyo. Walimu pamoja na wazazi waliitilia swala hilo maani na kufanya uchunguzi
ili kujua linalo msumbua mvulana huyo.
Baada ya siku kadhaa waligundua kuwa mvulana huyu alikuwa akijishugulisha na mihadarati. Mvulana huyu pia alijiunga na kundi linalojihusisha na maswala ya kuteka watu nyara na kutoa sehemu za mwili kama vile macho na hata figo.
Wazazi wake walihuzunika na kumketisha kitako ili kumuelezea madhara ya mihadarati na pia utekaji nyara ni kwenda kinyume na sheria. Mvulana huyu aliyapuuzia maneno
ya wazazi wake.
Siku moja mvulana huyu alikuwa na kundi lake. Kwa kawaida walikuwa watu katika shughuli zao za utekaji nyara. Nao mapolisi walikuwa wakiwasaka kwa muda mrefu. Kwa bahati mapolisi waliweza kuwashika lakini walijaribu kukimbia na mvulana huyo alibakia katika mikono ya polisi. Alichukuliwa na kutiwa mbaroni. Mvulana huyu alijutia kuto sikiliza maneno ya wazazi wake na kutumaini ya kwamba angeregesha siku nyuma kuyarekebisha makosa yake.
Hadithi hii inatufunza kuwa tunapo ambiwa jambo kwa kukusudiwa kurekebishwa, ina tupasa tulitilie jambo hilo maanani. | Mvulana mtanashati anayezungumziwa alipenda nini | {
"text": [
"Kusoma"
]
} |
3158_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba iwapo mtu anapofanya makosa, kisha akakanywa na wavyele wake kisha akayapuuzia mbali baadaye hujipata katika shida.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha/mambo wanayoambiwa na wavyele wao na kutia maanani.
Katika kijiji kimoja, kulitokea kijana mmoja ambaye alikuwa anaitwa Mashaka. Mashaka alikuwa mpole, mcha Mungu mwenye heshima kwa wavyele wake mcheshi na mwenye bidii. Katika masomo yake Mashaka alikuwa kidato cha nne katika shule ya kitaifa mjini Mombasa. Wazazi wake walimsifia kwa juhudi zake katika masomo yake na hata majirani. Mashaka alikuwa akiongoza katika darasa lake na alama ya B+
Mashaka alikuwa mtiifu kwa walimu wake, mwenye heshima na mwenye kujibu maswali ambayo mwalimu atakapouliza. Mashaka alikuwa akisudiana na wanafunzi wenzake walipokuwa na tatizo kidogo katika masomo yao. Mashaka alikuwa akidurusu usiku na mchana kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Ilipofika mwezi wa kumi, alikaribia kufanya mtihani wake wa mwisho wa kitaifa wa kidato cha nne. Wazazi na majirani wake walimshauri kuwa afanye mtihani wake vizuri. Mtihani wa kitaifa ni kama mtihani mengine ile. Mashaka alikuwa akimueka mungu wake mbele kwa jambo lolote atakalofanya.
Ilipowadia mtihani wake alifanya kwa umakini na kukumbuka maneno ya wavyele wake waliomwambia. Alifanya mtihani wake muda wa mwezi moja. Alipomaliza mtihani wake, alienda nyumbani na kusubiri majibu yake ya mtihani. Majibu ya mtihani wake ulikawia, kwa wiki tatu tu. Ya nne ilipofika majibu yao yalitangazwa kwenye runinga. Mashaka alipotazama majibu yake machozi ya furaha yalimtiririka tiriri. Mashaka alipata alama ya B+ Hakuamini machoni mwake kabisa. Shangwe na vigelegele vilienea hapo kwao nyumbani. Majirani na marafiki walikuja kumpa mkono wa heri.
Baada ya majibu hayo, alipata barua ya kujiunga na chuo kikuu cha Nairobi na kutimiza ndoto zake za maishani. Alipojiunga na chuo kikuu mambo yalianza kubadilika polepole Mashaka alijiunga na marafiki wabaya wa kuvuta bangi. Mashaka alikuwa akivuta bangi kila uchao mpaka ikafika kiwango yeye alikuwa haudhuri darasani na kukosa kufanya mitihani. Wazazi wake, walimkanya awachane na marafiki hao wapotevu lakini Mashaka hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alipuuzia maneno ya wazazi wake na kuendelea na tabia zizo hizo. Wazazi wake waliita mkutano wa familia kujadili matatizo ya Mashaka lakini wapi, hayakufua dafu. Mashaka hakutaka kusikia maneno ya wavyele wake mpaka ikafika wakati ambapo Mashaka anaitusi familia yake matusi makubwa makubwa.
Mwishowe Mashaka alishindwa kusoma na kutimiza ndoto yale ya maishani. Maisha yake yaliisha akizururazurura mtaani kama mbwa koko na kujitia shidani. | Mashaka aliongoza darasani kwa alama ipi | {
"text": [
"B+"
]
} |
3158_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba iwapo mtu anapofanya makosa, kisha akakanywa na wavyele wake kisha akayapuuzia mbali baadaye hujipata katika shida.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha/mambo wanayoambiwa na wavyele wao na kutia maanani.
Katika kijiji kimoja, kulitokea kijana mmoja ambaye alikuwa anaitwa Mashaka. Mashaka alikuwa mpole, mcha Mungu mwenye heshima kwa wavyele wake mcheshi na mwenye bidii. Katika masomo yake Mashaka alikuwa kidato cha nne katika shule ya kitaifa mjini Mombasa. Wazazi wake walimsifia kwa juhudi zake katika masomo yake na hata majirani. Mashaka alikuwa akiongoza katika darasa lake na alama ya B+
Mashaka alikuwa mtiifu kwa walimu wake, mwenye heshima na mwenye kujibu maswali ambayo mwalimu atakapouliza. Mashaka alikuwa akisudiana na wanafunzi wenzake walipokuwa na tatizo kidogo katika masomo yao. Mashaka alikuwa akidurusu usiku na mchana kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Ilipofika mwezi wa kumi, alikaribia kufanya mtihani wake wa mwisho wa kitaifa wa kidato cha nne. Wazazi na majirani wake walimshauri kuwa afanye mtihani wake vizuri. Mtihani wa kitaifa ni kama mtihani mengine ile. Mashaka alikuwa akimueka mungu wake mbele kwa jambo lolote atakalofanya.
Ilipowadia mtihani wake alifanya kwa umakini na kukumbuka maneno ya wavyele wake waliomwambia. Alifanya mtihani wake muda wa mwezi moja. Alipomaliza mtihani wake, alienda nyumbani na kusubiri majibu yake ya mtihani. Majibu ya mtihani wake ulikawia, kwa wiki tatu tu. Ya nne ilipofika majibu yao yalitangazwa kwenye runinga. Mashaka alipotazama majibu yake machozi ya furaha yalimtiririka tiriri. Mashaka alipata alama ya B+ Hakuamini machoni mwake kabisa. Shangwe na vigelegele vilienea hapo kwao nyumbani. Majirani na marafiki walikuja kumpa mkono wa heri.
Baada ya majibu hayo, alipata barua ya kujiunga na chuo kikuu cha Nairobi na kutimiza ndoto zake za maishani. Alipojiunga na chuo kikuu mambo yalianza kubadilika polepole Mashaka alijiunga na marafiki wabaya wa kuvuta bangi. Mashaka alikuwa akivuta bangi kila uchao mpaka ikafika kiwango yeye alikuwa haudhuri darasani na kukosa kufanya mitihani. Wazazi wake, walimkanya awachane na marafiki hao wapotevu lakini Mashaka hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alipuuzia maneno ya wazazi wake na kuendelea na tabia zizo hizo. Wazazi wake waliita mkutano wa familia kujadili matatizo ya Mashaka lakini wapi, hayakufua dafu. Mashaka hakutaka kusikia maneno ya wavyele wake mpaka ikafika wakati ambapo Mashaka anaitusi familia yake matusi makubwa makubwa.
Mwishowe Mashaka alishindwa kusoma na kutimiza ndoto yale ya maishani. Maisha yake yaliisha akizururazurura mtaani kama mbwa koko na kujitia shidani. | Kijiji kilichotajwa paliishi nani | {
"text": [
"Mashaka"
]
} |
3158_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba iwapo mtu anapofanya makosa, kisha akakanywa na wavyele wake kisha akayapuuzia mbali baadaye hujipata katika shida.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha/mambo wanayoambiwa na wavyele wao na kutia maanani.
Katika kijiji kimoja, kulitokea kijana mmoja ambaye alikuwa anaitwa Mashaka. Mashaka alikuwa mpole, mcha Mungu mwenye heshima kwa wavyele wake mcheshi na mwenye bidii. Katika masomo yake Mashaka alikuwa kidato cha nne katika shule ya kitaifa mjini Mombasa. Wazazi wake walimsifia kwa juhudi zake katika masomo yake na hata majirani. Mashaka alikuwa akiongoza katika darasa lake na alama ya B+
Mashaka alikuwa mtiifu kwa walimu wake, mwenye heshima na mwenye kujibu maswali ambayo mwalimu atakapouliza. Mashaka alikuwa akisudiana na wanafunzi wenzake walipokuwa na tatizo kidogo katika masomo yao. Mashaka alikuwa akidurusu usiku na mchana kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Ilipofika mwezi wa kumi, alikaribia kufanya mtihani wake wa mwisho wa kitaifa wa kidato cha nne. Wazazi na majirani wake walimshauri kuwa afanye mtihani wake vizuri. Mtihani wa kitaifa ni kama mtihani mengine ile. Mashaka alikuwa akimueka mungu wake mbele kwa jambo lolote atakalofanya.
Ilipowadia mtihani wake alifanya kwa umakini na kukumbuka maneno ya wavyele wake waliomwambia. Alifanya mtihani wake muda wa mwezi moja. Alipomaliza mtihani wake, alienda nyumbani na kusubiri majibu yake ya mtihani. Majibu ya mtihani wake ulikawia, kwa wiki tatu tu. Ya nne ilipofika majibu yao yalitangazwa kwenye runinga. Mashaka alipotazama majibu yake machozi ya furaha yalimtiririka tiriri. Mashaka alipata alama ya B+ Hakuamini machoni mwake kabisa. Shangwe na vigelegele vilienea hapo kwao nyumbani. Majirani na marafiki walikuja kumpa mkono wa heri.
Baada ya majibu hayo, alipata barua ya kujiunga na chuo kikuu cha Nairobi na kutimiza ndoto zake za maishani. Alipojiunga na chuo kikuu mambo yalianza kubadilika polepole Mashaka alijiunga na marafiki wabaya wa kuvuta bangi. Mashaka alikuwa akivuta bangi kila uchao mpaka ikafika kiwango yeye alikuwa haudhuri darasani na kukosa kufanya mitihani. Wazazi wake, walimkanya awachane na marafiki hao wapotevu lakini Mashaka hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alipuuzia maneno ya wazazi wake na kuendelea na tabia zizo hizo. Wazazi wake waliita mkutano wa familia kujadili matatizo ya Mashaka lakini wapi, hayakufua dafu. Mashaka hakutaka kusikia maneno ya wavyele wake mpaka ikafika wakati ambapo Mashaka anaitusi familia yake matusi makubwa makubwa.
Mwishowe Mashaka alishindwa kusoma na kutimiza ndoto yale ya maishani. Maisha yake yaliisha akizururazurura mtaani kama mbwa koko na kujitia shidani. | Mashaka alikuwa anadurusu SAA ngapi | {
"text": [
"Usiku na mchana"
]
} |
3158_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba iwapo mtu anapofanya makosa, kisha akakanywa na wavyele wake kisha akayapuuzia mbali baadaye hujipata katika shida.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha/mambo wanayoambiwa na wavyele wao na kutia maanani.
Katika kijiji kimoja, kulitokea kijana mmoja ambaye alikuwa anaitwa Mashaka. Mashaka alikuwa mpole, mcha Mungu mwenye heshima kwa wavyele wake mcheshi na mwenye bidii. Katika masomo yake Mashaka alikuwa kidato cha nne katika shule ya kitaifa mjini Mombasa. Wazazi wake walimsifia kwa juhudi zake katika masomo yake na hata majirani. Mashaka alikuwa akiongoza katika darasa lake na alama ya B+
Mashaka alikuwa mtiifu kwa walimu wake, mwenye heshima na mwenye kujibu maswali ambayo mwalimu atakapouliza. Mashaka alikuwa akisudiana na wanafunzi wenzake walipokuwa na tatizo kidogo katika masomo yao. Mashaka alikuwa akidurusu usiku na mchana kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Ilipofika mwezi wa kumi, alikaribia kufanya mtihani wake wa mwisho wa kitaifa wa kidato cha nne. Wazazi na majirani wake walimshauri kuwa afanye mtihani wake vizuri. Mtihani wa kitaifa ni kama mtihani mengine ile. Mashaka alikuwa akimueka mungu wake mbele kwa jambo lolote atakalofanya.
Ilipowadia mtihani wake alifanya kwa umakini na kukumbuka maneno ya wavyele wake waliomwambia. Alifanya mtihani wake muda wa mwezi moja. Alipomaliza mtihani wake, alienda nyumbani na kusubiri majibu yake ya mtihani. Majibu ya mtihani wake ulikawia, kwa wiki tatu tu. Ya nne ilipofika majibu yao yalitangazwa kwenye runinga. Mashaka alipotazama majibu yake machozi ya furaha yalimtiririka tiriri. Mashaka alipata alama ya B+ Hakuamini machoni mwake kabisa. Shangwe na vigelegele vilienea hapo kwao nyumbani. Majirani na marafiki walikuja kumpa mkono wa heri.
Baada ya majibu hayo, alipata barua ya kujiunga na chuo kikuu cha Nairobi na kutimiza ndoto zake za maishani. Alipojiunga na chuo kikuu mambo yalianza kubadilika polepole Mashaka alijiunga na marafiki wabaya wa kuvuta bangi. Mashaka alikuwa akivuta bangi kila uchao mpaka ikafika kiwango yeye alikuwa haudhuri darasani na kukosa kufanya mitihani. Wazazi wake, walimkanya awachane na marafiki hao wapotevu lakini Mashaka hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alipuuzia maneno ya wazazi wake na kuendelea na tabia zizo hizo. Wazazi wake waliita mkutano wa familia kujadili matatizo ya Mashaka lakini wapi, hayakufua dafu. Mashaka hakutaka kusikia maneno ya wavyele wake mpaka ikafika wakati ambapo Mashaka anaitusi familia yake matusi makubwa makubwa.
Mwishowe Mashaka alishindwa kusoma na kutimiza ndoto yale ya maishani. Maisha yake yaliisha akizururazurura mtaani kama mbwa koko na kujitia shidani. | Mashaka aliufanya mtihani wake mwezi upi | {
"text": [
"Mwezi wa kumi"
]
} |
3158_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba iwapo mtu anapofanya makosa, kisha akakanywa na wavyele wake kisha akayapuuzia mbali baadaye hujipata katika shida.
Matumizi ya methali hii ni kuwa watu wasikilize mawaidha/mambo wanayoambiwa na wavyele wao na kutia maanani.
Katika kijiji kimoja, kulitokea kijana mmoja ambaye alikuwa anaitwa Mashaka. Mashaka alikuwa mpole, mcha Mungu mwenye heshima kwa wavyele wake mcheshi na mwenye bidii. Katika masomo yake Mashaka alikuwa kidato cha nne katika shule ya kitaifa mjini Mombasa. Wazazi wake walimsifia kwa juhudi zake katika masomo yake na hata majirani. Mashaka alikuwa akiongoza katika darasa lake na alama ya B+
Mashaka alikuwa mtiifu kwa walimu wake, mwenye heshima na mwenye kujibu maswali ambayo mwalimu atakapouliza. Mashaka alikuwa akisudiana na wanafunzi wenzake walipokuwa na tatizo kidogo katika masomo yao. Mashaka alikuwa akidurusu usiku na mchana kwani mtaka cha mvunguni sharti ainame.
Ilipofika mwezi wa kumi, alikaribia kufanya mtihani wake wa mwisho wa kitaifa wa kidato cha nne. Wazazi na majirani wake walimshauri kuwa afanye mtihani wake vizuri. Mtihani wa kitaifa ni kama mtihani mengine ile. Mashaka alikuwa akimueka mungu wake mbele kwa jambo lolote atakalofanya.
Ilipowadia mtihani wake alifanya kwa umakini na kukumbuka maneno ya wavyele wake waliomwambia. Alifanya mtihani wake muda wa mwezi moja. Alipomaliza mtihani wake, alienda nyumbani na kusubiri majibu yake ya mtihani. Majibu ya mtihani wake ulikawia, kwa wiki tatu tu. Ya nne ilipofika majibu yao yalitangazwa kwenye runinga. Mashaka alipotazama majibu yake machozi ya furaha yalimtiririka tiriri. Mashaka alipata alama ya B+ Hakuamini machoni mwake kabisa. Shangwe na vigelegele vilienea hapo kwao nyumbani. Majirani na marafiki walikuja kumpa mkono wa heri.
Baada ya majibu hayo, alipata barua ya kujiunga na chuo kikuu cha Nairobi na kutimiza ndoto zake za maishani. Alipojiunga na chuo kikuu mambo yalianza kubadilika polepole Mashaka alijiunga na marafiki wabaya wa kuvuta bangi. Mashaka alikuwa akivuta bangi kila uchao mpaka ikafika kiwango yeye alikuwa haudhuri darasani na kukosa kufanya mitihani. Wazazi wake, walimkanya awachane na marafiki hao wapotevu lakini Mashaka hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alipuuzia maneno ya wazazi wake na kuendelea na tabia zizo hizo. Wazazi wake waliita mkutano wa familia kujadili matatizo ya Mashaka lakini wapi, hayakufua dafu. Mashaka hakutaka kusikia maneno ya wavyele wake mpaka ikafika wakati ambapo Mashaka anaitusi familia yake matusi makubwa makubwa.
Mwishowe Mashaka alishindwa kusoma na kutimiza ndoto yale ya maishani. Maisha yake yaliisha akizururazurura mtaani kama mbwa koko na kujitia shidani. | Majibu ya mtihani alioufanya Mashaka yalikawia kwa muda upi | {
"text": [
"Wiki tatu"
]
} |
3159_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE
Teknolojia ni maarifa yaliyovumbuliwa na kuwekwa katika mitambo ili kuwezesha shughuli fulani kufanyika. Mitambo hii ni kama vile tarakilishi, na rununu, na runinga ambazo hutumia umeme ili kupitisha kuwezesha kazi zao kama vile kupokea na kuwasilisha ujumbe sehemu tofauti tofauti.
Hali kadhalika, mitambo hii huwa na faida na madhara yake kama vile ifuatayo. Kurekodi ujumbe kwa muda mrefu. Mitambo kama vile tarakilishi huweka matokeo ya mitihani ya wanafunzi ambayo wazazi huonyeshwa pindi wanapowatembelea wana wao ili wapate kujua jinsi wanavyo endelea katika masomo yao.
Kutuma na kupokea ujumbe. Kwa mfano walimu huweza kutuma matokeo ya mitihani ya wanafunzi kwenye rununu za wazazi kabla ya wanafunzi wenyewe kuwasili nyumbani. Pia wanafunzi hupata fursa ya kuwasiliana na wazazi wao ambao wako nje ya nchi mtoto anayosomea.
Kufundishia watoto kwa kutumia video zilizo kwenye tarakilishi. Hii humuezesha mwanafunzi kuelewa zaidi na kupanua akili yake. Pia huifanya akili ya mwanafunzi kuchangamka na kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vilevile imewezesha ajira kwa watu ambao wanaujuzi kidogo ya masomo ya darasani.
Imeleta somo la tarakilishi shuleni. Somo hili hufunzwa ili kuwezesha wanafunzi kupata ujuzi wa jinsi ya kutumia mitambo hii. Inawezesha wanafunzi kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vile vile imewezesha ajira kwa watu ambao wana ujuzi kuu kwa kuwa walimu wa somo la tarakilishi shuleni humo. Hii inasaidia kuongezeka kwa pato la mtu ili kupunguza umaskini uliokithiri.
Baadhi ya madhara ya teknolojia ni kwamba imeleta utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa kuwa wanafunzi hutazama video chape ambazo husambazwa katika mitandao ya kijamii. Pindi mwanafunzi anapopata fursa ya kutazama uchafu huo ndipo akili yake inapotoka na kuwaza kuhusu kuchoma au kutoroka shule bila kujali watakayo kumbana nao mbeleni.
Ugonjwa wa macho umesabishwa na mwangaza mwingi unaotokana na kutazama rununu au tarakilishi kwa muda mrefu. Hali hii hupelekea macho kuuma na kumfanya mtu atumie miwani ambayo huenda bei yake ikawa ghali kiasi.
Uvumbuzi wa bidhaa ghushi. Bidhaa hizi huleta madhara mengi katika afya ya mtu. Mfano wa bidhaa hizi ni wali wa plastiki ambao hauivi na pia humfanya mtu kuharibika matumbo pindi anapokula wali huu. Hii imetokana na teknolojia ya viwandani ambapo plastiki inatumika kutengeneza wali. | Maarifa yayiyofumbuliwa huwekwa wapi | {
"text": [
"Mitambo"
]
} |
3159_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE
Teknolojia ni maarifa yaliyovumbuliwa na kuwekwa katika mitambo ili kuwezesha shughuli fulani kufanyika. Mitambo hii ni kama vile tarakilishi, na rununu, na runinga ambazo hutumia umeme ili kupitisha kuwezesha kazi zao kama vile kupokea na kuwasilisha ujumbe sehemu tofauti tofauti.
Hali kadhalika, mitambo hii huwa na faida na madhara yake kama vile ifuatayo. Kurekodi ujumbe kwa muda mrefu. Mitambo kama vile tarakilishi huweka matokeo ya mitihani ya wanafunzi ambayo wazazi huonyeshwa pindi wanapowatembelea wana wao ili wapate kujua jinsi wanavyo endelea katika masomo yao.
Kutuma na kupokea ujumbe. Kwa mfano walimu huweza kutuma matokeo ya mitihani ya wanafunzi kwenye rununu za wazazi kabla ya wanafunzi wenyewe kuwasili nyumbani. Pia wanafunzi hupata fursa ya kuwasiliana na wazazi wao ambao wako nje ya nchi mtoto anayosomea.
Kufundishia watoto kwa kutumia video zilizo kwenye tarakilishi. Hii humuezesha mwanafunzi kuelewa zaidi na kupanua akili yake. Pia huifanya akili ya mwanafunzi kuchangamka na kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vilevile imewezesha ajira kwa watu ambao wanaujuzi kidogo ya masomo ya darasani.
Imeleta somo la tarakilishi shuleni. Somo hili hufunzwa ili kuwezesha wanafunzi kupata ujuzi wa jinsi ya kutumia mitambo hii. Inawezesha wanafunzi kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vile vile imewezesha ajira kwa watu ambao wana ujuzi kuu kwa kuwa walimu wa somo la tarakilishi shuleni humo. Hii inasaidia kuongezeka kwa pato la mtu ili kupunguza umaskini uliokithiri.
Baadhi ya madhara ya teknolojia ni kwamba imeleta utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa kuwa wanafunzi hutazama video chape ambazo husambazwa katika mitandao ya kijamii. Pindi mwanafunzi anapopata fursa ya kutazama uchafu huo ndipo akili yake inapotoka na kuwaza kuhusu kuchoma au kutoroka shule bila kujali watakayo kumbana nao mbeleni.
Ugonjwa wa macho umesabishwa na mwangaza mwingi unaotokana na kutazama rununu au tarakilishi kwa muda mrefu. Hali hii hupelekea macho kuuma na kumfanya mtu atumie miwani ambayo huenda bei yake ikawa ghali kiasi.
Uvumbuzi wa bidhaa ghushi. Bidhaa hizi huleta madhara mengi katika afya ya mtu. Mfano wa bidhaa hizi ni wali wa plastiki ambao hauivi na pia humfanya mtu kuharibika matumbo pindi anapokula wali huu. Hii imetokana na teknolojia ya viwandani ambapo plastiki inatumika kutengeneza wali. | Mitambo ipi hurekodi ujumbe kwa muda mrefu | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3159_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE
Teknolojia ni maarifa yaliyovumbuliwa na kuwekwa katika mitambo ili kuwezesha shughuli fulani kufanyika. Mitambo hii ni kama vile tarakilishi, na rununu, na runinga ambazo hutumia umeme ili kupitisha kuwezesha kazi zao kama vile kupokea na kuwasilisha ujumbe sehemu tofauti tofauti.
Hali kadhalika, mitambo hii huwa na faida na madhara yake kama vile ifuatayo. Kurekodi ujumbe kwa muda mrefu. Mitambo kama vile tarakilishi huweka matokeo ya mitihani ya wanafunzi ambayo wazazi huonyeshwa pindi wanapowatembelea wana wao ili wapate kujua jinsi wanavyo endelea katika masomo yao.
Kutuma na kupokea ujumbe. Kwa mfano walimu huweza kutuma matokeo ya mitihani ya wanafunzi kwenye rununu za wazazi kabla ya wanafunzi wenyewe kuwasili nyumbani. Pia wanafunzi hupata fursa ya kuwasiliana na wazazi wao ambao wako nje ya nchi mtoto anayosomea.
Kufundishia watoto kwa kutumia video zilizo kwenye tarakilishi. Hii humuezesha mwanafunzi kuelewa zaidi na kupanua akili yake. Pia huifanya akili ya mwanafunzi kuchangamka na kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vilevile imewezesha ajira kwa watu ambao wanaujuzi kidogo ya masomo ya darasani.
Imeleta somo la tarakilishi shuleni. Somo hili hufunzwa ili kuwezesha wanafunzi kupata ujuzi wa jinsi ya kutumia mitambo hii. Inawezesha wanafunzi kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vile vile imewezesha ajira kwa watu ambao wana ujuzi kuu kwa kuwa walimu wa somo la tarakilishi shuleni humo. Hii inasaidia kuongezeka kwa pato la mtu ili kupunguza umaskini uliokithiri.
Baadhi ya madhara ya teknolojia ni kwamba imeleta utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa kuwa wanafunzi hutazama video chape ambazo husambazwa katika mitandao ya kijamii. Pindi mwanafunzi anapopata fursa ya kutazama uchafu huo ndipo akili yake inapotoka na kuwaza kuhusu kuchoma au kutoroka shule bila kujali watakayo kumbana nao mbeleni.
Ugonjwa wa macho umesabishwa na mwangaza mwingi unaotokana na kutazama rununu au tarakilishi kwa muda mrefu. Hali hii hupelekea macho kuuma na kumfanya mtu atumie miwani ambayo huenda bei yake ikawa ghali kiasi.
Uvumbuzi wa bidhaa ghushi. Bidhaa hizi huleta madhara mengi katika afya ya mtu. Mfano wa bidhaa hizi ni wali wa plastiki ambao hauivi na pia humfanya mtu kuharibika matumbo pindi anapokula wali huu. Hii imetokana na teknolojia ya viwandani ambapo plastiki inatumika kutengeneza wali. | Walimu hutuma matokeo kwa kutumia nini | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3159_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE
Teknolojia ni maarifa yaliyovumbuliwa na kuwekwa katika mitambo ili kuwezesha shughuli fulani kufanyika. Mitambo hii ni kama vile tarakilishi, na rununu, na runinga ambazo hutumia umeme ili kupitisha kuwezesha kazi zao kama vile kupokea na kuwasilisha ujumbe sehemu tofauti tofauti.
Hali kadhalika, mitambo hii huwa na faida na madhara yake kama vile ifuatayo. Kurekodi ujumbe kwa muda mrefu. Mitambo kama vile tarakilishi huweka matokeo ya mitihani ya wanafunzi ambayo wazazi huonyeshwa pindi wanapowatembelea wana wao ili wapate kujua jinsi wanavyo endelea katika masomo yao.
Kutuma na kupokea ujumbe. Kwa mfano walimu huweza kutuma matokeo ya mitihani ya wanafunzi kwenye rununu za wazazi kabla ya wanafunzi wenyewe kuwasili nyumbani. Pia wanafunzi hupata fursa ya kuwasiliana na wazazi wao ambao wako nje ya nchi mtoto anayosomea.
Kufundishia watoto kwa kutumia video zilizo kwenye tarakilishi. Hii humuezesha mwanafunzi kuelewa zaidi na kupanua akili yake. Pia huifanya akili ya mwanafunzi kuchangamka na kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vilevile imewezesha ajira kwa watu ambao wanaujuzi kidogo ya masomo ya darasani.
Imeleta somo la tarakilishi shuleni. Somo hili hufunzwa ili kuwezesha wanafunzi kupata ujuzi wa jinsi ya kutumia mitambo hii. Inawezesha wanafunzi kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vile vile imewezesha ajira kwa watu ambao wana ujuzi kuu kwa kuwa walimu wa somo la tarakilishi shuleni humo. Hii inasaidia kuongezeka kwa pato la mtu ili kupunguza umaskini uliokithiri.
Baadhi ya madhara ya teknolojia ni kwamba imeleta utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa kuwa wanafunzi hutazama video chape ambazo husambazwa katika mitandao ya kijamii. Pindi mwanafunzi anapopata fursa ya kutazama uchafu huo ndipo akili yake inapotoka na kuwaza kuhusu kuchoma au kutoroka shule bila kujali watakayo kumbana nao mbeleni.
Ugonjwa wa macho umesabishwa na mwangaza mwingi unaotokana na kutazama rununu au tarakilishi kwa muda mrefu. Hali hii hupelekea macho kuuma na kumfanya mtu atumie miwani ambayo huenda bei yake ikawa ghali kiasi.
Uvumbuzi wa bidhaa ghushi. Bidhaa hizi huleta madhara mengi katika afya ya mtu. Mfano wa bidhaa hizi ni wali wa plastiki ambao hauivi na pia humfanya mtu kuharibika matumbo pindi anapokula wali huu. Hii imetokana na teknolojia ya viwandani ambapo plastiki inatumika kutengeneza wali. | Ni nini husababisha ugonjwa wa macho | {
"text": [
"Mwangaza"
]
} |
3159_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE
Teknolojia ni maarifa yaliyovumbuliwa na kuwekwa katika mitambo ili kuwezesha shughuli fulani kufanyika. Mitambo hii ni kama vile tarakilishi, na rununu, na runinga ambazo hutumia umeme ili kupitisha kuwezesha kazi zao kama vile kupokea na kuwasilisha ujumbe sehemu tofauti tofauti.
Hali kadhalika, mitambo hii huwa na faida na madhara yake kama vile ifuatayo. Kurekodi ujumbe kwa muda mrefu. Mitambo kama vile tarakilishi huweka matokeo ya mitihani ya wanafunzi ambayo wazazi huonyeshwa pindi wanapowatembelea wana wao ili wapate kujua jinsi wanavyo endelea katika masomo yao.
Kutuma na kupokea ujumbe. Kwa mfano walimu huweza kutuma matokeo ya mitihani ya wanafunzi kwenye rununu za wazazi kabla ya wanafunzi wenyewe kuwasili nyumbani. Pia wanafunzi hupata fursa ya kuwasiliana na wazazi wao ambao wako nje ya nchi mtoto anayosomea.
Kufundishia watoto kwa kutumia video zilizo kwenye tarakilishi. Hii humuezesha mwanafunzi kuelewa zaidi na kupanua akili yake. Pia huifanya akili ya mwanafunzi kuchangamka na kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vilevile imewezesha ajira kwa watu ambao wanaujuzi kidogo ya masomo ya darasani.
Imeleta somo la tarakilishi shuleni. Somo hili hufunzwa ili kuwezesha wanafunzi kupata ujuzi wa jinsi ya kutumia mitambo hii. Inawezesha wanafunzi kupata ajira kutokana na kazi zinazopatikana mitandaoni. Vile vile imewezesha ajira kwa watu ambao wana ujuzi kuu kwa kuwa walimu wa somo la tarakilishi shuleni humo. Hii inasaidia kuongezeka kwa pato la mtu ili kupunguza umaskini uliokithiri.
Baadhi ya madhara ya teknolojia ni kwamba imeleta utovu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa kuwa wanafunzi hutazama video chape ambazo husambazwa katika mitandao ya kijamii. Pindi mwanafunzi anapopata fursa ya kutazama uchafu huo ndipo akili yake inapotoka na kuwaza kuhusu kuchoma au kutoroka shule bila kujali watakayo kumbana nao mbeleni.
Ugonjwa wa macho umesabishwa na mwangaza mwingi unaotokana na kutazama rununu au tarakilishi kwa muda mrefu. Hali hii hupelekea macho kuuma na kumfanya mtu atumie miwani ambayo huenda bei yake ikawa ghali kiasi.
Uvumbuzi wa bidhaa ghushi. Bidhaa hizi huleta madhara mengi katika afya ya mtu. Mfano wa bidhaa hizi ni wali wa plastiki ambao hauivi na pia humfanya mtu kuharibika matumbo pindi anapokula wali huu. Hii imetokana na teknolojia ya viwandani ambapo plastiki inatumika kutengeneza wali. | Tekinolojia hudhuru afya vipi | {
"text": [
"kwa kula mchele wa plastiki "
]
} |
3160_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Ni dhahiri kwamba kila kitu hasa kinachobuniwa na binadamu mara nyingi huleta faida. Lakini tusisahau kuwa hata faida inapokuwa nyingi hadi kufikia kiwango cha kufurika bado hasara itatafuta nafasi na kunyemelea.
Ukweli huu unajidhihirisha hasa katika teknolojia ya kisasa. Hii ni miongoni mwa yale mambo ambayo yalivumbuliwa na binadamu na. Ambaye alikuwa na malengo tofauti tofauti yatakayotekelezwa na teknolojia hii.
Sio kwamba teknolojia ni kifaa tu pekee, bali ni malengo tofauti tofauti yanayolengwa kwa kuyaendeleza maisha ya binadamu na hata kuyageuza ili kuyatofautisha na yale ya zamani. Hivyo basi inafahamika fika kwamba teknolojia inalenga kuendeleza maisha katika maeneo tofauti tofauti kama vile hospitalini, mijini, viwandani, shuleni n.k.
Shuleni imeweza kuleta faida nyingi hasa katika shule za sekondari, zikiwemo; Matumizi ya kompyuta, hiki ni kifaa ambacho ni muhimu na mara nyingi hutumika na walimu hata pamoja na wanafunzi kifaa hiki kimetekeleza majukumu mengi sana kama vile kulipa karo. Njia hii ya kulipa karo kutumia kompyuta hupunguza matatizo ya kupotea kwa pesa. Pia wanafunzi wanaweza kusomea kwa urahisi kinyume na kuandika ambako kungewapotezea muda mwingi.
Kifaa kingine ni tarakilishi. Hii pia hutekeleza majukumu tofauti tofauti ambayo hukaribiana na yale ya kompyuta. Pia kuna uvumbuzi wa umeme ambao umeenea katika shule tofauti tofauti. Umeme huu ni kama moyo ambao hutekeleza majukumu mengi na kukosekana kwake basi shughuli nyingi zinazotekelezwa na vifaa tofauti tofauti husimamishwa.
Vile vile pia teknolojia imeleta madhara mengi. Baadhi ya madhara ni, matumizi mabaya ya mitandao. Wanafunzi wanapofikia kiwango cha sekondari, wengi wao hutumia vifaa vya
teknolojia kama vile simu, runinga tarakilishi na kadhalika.
Wengi wao hutumia vifaa hivi katika njia inayowapotosha, kama vile kuona picha na video ambazo baadhi yao, zinahusisha sana masuala ya kimapenzi ambayo hutishia
kuyadororesha matokeo yao shuleni.
| Teknolojia ni miongoni mwa mambo yaliyovumbuliwa na nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
3160_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Ni dhahiri kwamba kila kitu hasa kinachobuniwa na binadamu mara nyingi huleta faida. Lakini tusisahau kuwa hata faida inapokuwa nyingi hadi kufikia kiwango cha kufurika bado hasara itatafuta nafasi na kunyemelea.
Ukweli huu unajidhihirisha hasa katika teknolojia ya kisasa. Hii ni miongoni mwa yale mambo ambayo yalivumbuliwa na binadamu na. Ambaye alikuwa na malengo tofauti tofauti yatakayotekelezwa na teknolojia hii.
Sio kwamba teknolojia ni kifaa tu pekee, bali ni malengo tofauti tofauti yanayolengwa kwa kuyaendeleza maisha ya binadamu na hata kuyageuza ili kuyatofautisha na yale ya zamani. Hivyo basi inafahamika fika kwamba teknolojia inalenga kuendeleza maisha katika maeneo tofauti tofauti kama vile hospitalini, mijini, viwandani, shuleni n.k.
Shuleni imeweza kuleta faida nyingi hasa katika shule za sekondari, zikiwemo; Matumizi ya kompyuta, hiki ni kifaa ambacho ni muhimu na mara nyingi hutumika na walimu hata pamoja na wanafunzi kifaa hiki kimetekeleza majukumu mengi sana kama vile kulipa karo. Njia hii ya kulipa karo kutumia kompyuta hupunguza matatizo ya kupotea kwa pesa. Pia wanafunzi wanaweza kusomea kwa urahisi kinyume na kuandika ambako kungewapotezea muda mwingi.
Kifaa kingine ni tarakilishi. Hii pia hutekeleza majukumu tofauti tofauti ambayo hukaribiana na yale ya kompyuta. Pia kuna uvumbuzi wa umeme ambao umeenea katika shule tofauti tofauti. Umeme huu ni kama moyo ambao hutekeleza majukumu mengi na kukosekana kwake basi shughuli nyingi zinazotekelezwa na vifaa tofauti tofauti husimamishwa.
Vile vile pia teknolojia imeleta madhara mengi. Baadhi ya madhara ni, matumizi mabaya ya mitandao. Wanafunzi wanapofikia kiwango cha sekondari, wengi wao hutumia vifaa vya
teknolojia kama vile simu, runinga tarakilishi na kadhalika.
Wengi wao hutumia vifaa hivi katika njia inayowapotosha, kama vile kuona picha na video ambazo baadhi yao, zinahusisha sana masuala ya kimapenzi ambayo hutishia
kuyadororesha matokeo yao shuleni.
| Teknolojia inalenga kuendeleza nini | {
"text": [
"Maisha"
]
} |
3160_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Ni dhahiri kwamba kila kitu hasa kinachobuniwa na binadamu mara nyingi huleta faida. Lakini tusisahau kuwa hata faida inapokuwa nyingi hadi kufikia kiwango cha kufurika bado hasara itatafuta nafasi na kunyemelea.
Ukweli huu unajidhihirisha hasa katika teknolojia ya kisasa. Hii ni miongoni mwa yale mambo ambayo yalivumbuliwa na binadamu na. Ambaye alikuwa na malengo tofauti tofauti yatakayotekelezwa na teknolojia hii.
Sio kwamba teknolojia ni kifaa tu pekee, bali ni malengo tofauti tofauti yanayolengwa kwa kuyaendeleza maisha ya binadamu na hata kuyageuza ili kuyatofautisha na yale ya zamani. Hivyo basi inafahamika fika kwamba teknolojia inalenga kuendeleza maisha katika maeneo tofauti tofauti kama vile hospitalini, mijini, viwandani, shuleni n.k.
Shuleni imeweza kuleta faida nyingi hasa katika shule za sekondari, zikiwemo; Matumizi ya kompyuta, hiki ni kifaa ambacho ni muhimu na mara nyingi hutumika na walimu hata pamoja na wanafunzi kifaa hiki kimetekeleza majukumu mengi sana kama vile kulipa karo. Njia hii ya kulipa karo kutumia kompyuta hupunguza matatizo ya kupotea kwa pesa. Pia wanafunzi wanaweza kusomea kwa urahisi kinyume na kuandika ambako kungewapotezea muda mwingi.
Kifaa kingine ni tarakilishi. Hii pia hutekeleza majukumu tofauti tofauti ambayo hukaribiana na yale ya kompyuta. Pia kuna uvumbuzi wa umeme ambao umeenea katika shule tofauti tofauti. Umeme huu ni kama moyo ambao hutekeleza majukumu mengi na kukosekana kwake basi shughuli nyingi zinazotekelezwa na vifaa tofauti tofauti husimamishwa.
Vile vile pia teknolojia imeleta madhara mengi. Baadhi ya madhara ni, matumizi mabaya ya mitandao. Wanafunzi wanapofikia kiwango cha sekondari, wengi wao hutumia vifaa vya
teknolojia kama vile simu, runinga tarakilishi na kadhalika.
Wengi wao hutumia vifaa hivi katika njia inayowapotosha, kama vile kuona picha na video ambazo baadhi yao, zinahusisha sana masuala ya kimapenzi ambayo hutishia
kuyadororesha matokeo yao shuleni.
| Tarakilishi hupunguza matatizo ya nini | {
"text": [
"Kupotea kwa pesa"
]
} |
3160_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Ni dhahiri kwamba kila kitu hasa kinachobuniwa na binadamu mara nyingi huleta faida. Lakini tusisahau kuwa hata faida inapokuwa nyingi hadi kufikia kiwango cha kufurika bado hasara itatafuta nafasi na kunyemelea.
Ukweli huu unajidhihirisha hasa katika teknolojia ya kisasa. Hii ni miongoni mwa yale mambo ambayo yalivumbuliwa na binadamu na. Ambaye alikuwa na malengo tofauti tofauti yatakayotekelezwa na teknolojia hii.
Sio kwamba teknolojia ni kifaa tu pekee, bali ni malengo tofauti tofauti yanayolengwa kwa kuyaendeleza maisha ya binadamu na hata kuyageuza ili kuyatofautisha na yale ya zamani. Hivyo basi inafahamika fika kwamba teknolojia inalenga kuendeleza maisha katika maeneo tofauti tofauti kama vile hospitalini, mijini, viwandani, shuleni n.k.
Shuleni imeweza kuleta faida nyingi hasa katika shule za sekondari, zikiwemo; Matumizi ya kompyuta, hiki ni kifaa ambacho ni muhimu na mara nyingi hutumika na walimu hata pamoja na wanafunzi kifaa hiki kimetekeleza majukumu mengi sana kama vile kulipa karo. Njia hii ya kulipa karo kutumia kompyuta hupunguza matatizo ya kupotea kwa pesa. Pia wanafunzi wanaweza kusomea kwa urahisi kinyume na kuandika ambako kungewapotezea muda mwingi.
Kifaa kingine ni tarakilishi. Hii pia hutekeleza majukumu tofauti tofauti ambayo hukaribiana na yale ya kompyuta. Pia kuna uvumbuzi wa umeme ambao umeenea katika shule tofauti tofauti. Umeme huu ni kama moyo ambao hutekeleza majukumu mengi na kukosekana kwake basi shughuli nyingi zinazotekelezwa na vifaa tofauti tofauti husimamishwa.
Vile vile pia teknolojia imeleta madhara mengi. Baadhi ya madhara ni, matumizi mabaya ya mitandao. Wanafunzi wanapofikia kiwango cha sekondari, wengi wao hutumia vifaa vya
teknolojia kama vile simu, runinga tarakilishi na kadhalika.
Wengi wao hutumia vifaa hivi katika njia inayowapotosha, kama vile kuona picha na video ambazo baadhi yao, zinahusisha sana masuala ya kimapenzi ambayo hutishia
kuyadororesha matokeo yao shuleni.
| Wengi wa wanafunzi hutumia vifaa hivi kwa njia gani | {
"text": [
"Inayowapotosha"
]
} |
3160_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Ni dhahiri kwamba kila kitu hasa kinachobuniwa na binadamu mara nyingi huleta faida. Lakini tusisahau kuwa hata faida inapokuwa nyingi hadi kufikia kiwango cha kufurika bado hasara itatafuta nafasi na kunyemelea.
Ukweli huu unajidhihirisha hasa katika teknolojia ya kisasa. Hii ni miongoni mwa yale mambo ambayo yalivumbuliwa na binadamu na. Ambaye alikuwa na malengo tofauti tofauti yatakayotekelezwa na teknolojia hii.
Sio kwamba teknolojia ni kifaa tu pekee, bali ni malengo tofauti tofauti yanayolengwa kwa kuyaendeleza maisha ya binadamu na hata kuyageuza ili kuyatofautisha na yale ya zamani. Hivyo basi inafahamika fika kwamba teknolojia inalenga kuendeleza maisha katika maeneo tofauti tofauti kama vile hospitalini, mijini, viwandani, shuleni n.k.
Shuleni imeweza kuleta faida nyingi hasa katika shule za sekondari, zikiwemo; Matumizi ya kompyuta, hiki ni kifaa ambacho ni muhimu na mara nyingi hutumika na walimu hata pamoja na wanafunzi kifaa hiki kimetekeleza majukumu mengi sana kama vile kulipa karo. Njia hii ya kulipa karo kutumia kompyuta hupunguza matatizo ya kupotea kwa pesa. Pia wanafunzi wanaweza kusomea kwa urahisi kinyume na kuandika ambako kungewapotezea muda mwingi.
Kifaa kingine ni tarakilishi. Hii pia hutekeleza majukumu tofauti tofauti ambayo hukaribiana na yale ya kompyuta. Pia kuna uvumbuzi wa umeme ambao umeenea katika shule tofauti tofauti. Umeme huu ni kama moyo ambao hutekeleza majukumu mengi na kukosekana kwake basi shughuli nyingi zinazotekelezwa na vifaa tofauti tofauti husimamishwa.
Vile vile pia teknolojia imeleta madhara mengi. Baadhi ya madhara ni, matumizi mabaya ya mitandao. Wanafunzi wanapofikia kiwango cha sekondari, wengi wao hutumia vifaa vya
teknolojia kama vile simu, runinga tarakilishi na kadhalika.
Wengi wao hutumia vifaa hivi katika njia inayowapotosha, kama vile kuona picha na video ambazo baadhi yao, zinahusisha sana masuala ya kimapenzi ambayo hutishia
kuyadororesha matokeo yao shuleni.
| Vifaa vya teknolojia ni kama gani | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3161_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mbinu au maarifa ya kisayansi inayowewa kwa vitu ili kuimarisha viwango vya vitu tofauti.Teknolojia ina upana sana kulingana na uchunguzi na matokeo yaliyotokea kutokana na kuimarika kwa teknolojia katika nchi tofauti tofauti. Teknolojia imeweza kuchangia pakubwa katika uendeleaji wa nchi na kuweza kujisimamia kivyake.
Katika sekta za kielimu teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na wanafunzi shuleni, kwani kupitia teknolojia ya kisasa uchunguzi uliofanyika ni kwamba mwanafunzi anaweza kudurusu masomo yake pasi na mwalimu kutumia vipakatalishi ambavyo vimeundwa kwa kazi
moja tu ambayo ni kuwaelimisha wanafunzi zaidi na hata kupita kiwango cha mwalimu.
Upande wa walimu, kazi yao imepunguzwa kwani sio lazima wanafunzi wakiwa darasani tu, ila kupitia teknolojia ya kisasa wengi wao hujirekodi wakiwa nyumbani kwao na kutumia wanafunzi kupitia simu zilizo ibuka kutokana na teknolojia hii ambayo ni ‘smartphone’ kuwafikia wanafunzi wake hata wakiwa likizoni. Masomo na ratiba yake kuendelea vilivyo kama desturi yao wakiwa shuleni.
Teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na kuwaondolea wanafunzi wa sekondari hofu ya kutambua ukweli zaidi katika uchunguzi wao wa vitu vinavyopatikana na kuwa na mifano iliwaweze kuelewa katika vitabu vyao. Wengi wao hufaidika kutokana na utandawazi ambayo ililetwa kutoka teknolojia hii kwa kuweza kuchunguza zaidi na zaidi kuhusu mambo tofauti tofauti.
Teknolojia imejenga maarifa katika maisha ya wanafunzi wa sekondari kupitia somo la kompyuta kililotokana na teknolojia kupitia kompyuta, wengi wao hujungeka kimaisha kwani wengi wanapohitimu katika shule zao, wengi hujaliwa kupata ajira haraka kwa sababu ya somo hilo la kompyuta. Wengi huwa na ujuzi wa kuzitumia vifaa hivyo aidha kampuni mingi na waajiri wengi huajira mtu aliye na ujuzi huo kisha waangalie mengine.
Teknolojia pia imevumbua utumiaji wa ubao unaotumia kalamu ya wino badala ya chaki na kutokana na hilo, limeweza kupunguza idadi ya wanafunzi na walimu wao kuugua magonjwa yanayosababishwa na utumiaji wa chaki.
Kando na faida zake, teknolojia imeweza kuleta madhara makubwa katika tabia za wanafunzi kwa sababu wengi wao hutumia simu zao kuingia kwa utandawazi na kuangalia video za watu wazima wakiwa uchi wakifanya tabia chafu na wengi wao huwa na uraibu huo mwishowe huishia kujaribu walichokiona.
Teknolojia pia imewakosanisha walimu na wanafunzi wa sekondari, kwani wengi wao huanza kuchunguzana kimaisha na katika maisha ya kisasa hakuna heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi eti kisa mwanafunzi anatumia simu ya bei ghali kuliko mwalimu ndio uchangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi wengi.
Wanafunzi wengi wa sekondari huishia kuacha masomo kutokana na mafunzo na wanayoyapata na kujaribu kuiga bila kudhani kama kuna madhara yatakayo wafika baadaye katika maisha ya usoni. Wengi wao hujiona kujua kuliko walimu na wazazi wao na ata huishia kuwatoa uhai kila wanapopingwa na hata kujitoa uhai kwa sababu ya kutoruhusiwa | Teknolojia ni mbinu au maarifa ya nini | {
"text": [
"Kisayansi"
]
} |
3161_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mbinu au maarifa ya kisayansi inayowewa kwa vitu ili kuimarisha viwango vya vitu tofauti.Teknolojia ina upana sana kulingana na uchunguzi na matokeo yaliyotokea kutokana na kuimarika kwa teknolojia katika nchi tofauti tofauti. Teknolojia imeweza kuchangia pakubwa katika uendeleaji wa nchi na kuweza kujisimamia kivyake.
Katika sekta za kielimu teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na wanafunzi shuleni, kwani kupitia teknolojia ya kisasa uchunguzi uliofanyika ni kwamba mwanafunzi anaweza kudurusu masomo yake pasi na mwalimu kutumia vipakatalishi ambavyo vimeundwa kwa kazi
moja tu ambayo ni kuwaelimisha wanafunzi zaidi na hata kupita kiwango cha mwalimu.
Upande wa walimu, kazi yao imepunguzwa kwani sio lazima wanafunzi wakiwa darasani tu, ila kupitia teknolojia ya kisasa wengi wao hujirekodi wakiwa nyumbani kwao na kutumia wanafunzi kupitia simu zilizo ibuka kutokana na teknolojia hii ambayo ni ‘smartphone’ kuwafikia wanafunzi wake hata wakiwa likizoni. Masomo na ratiba yake kuendelea vilivyo kama desturi yao wakiwa shuleni.
Teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na kuwaondolea wanafunzi wa sekondari hofu ya kutambua ukweli zaidi katika uchunguzi wao wa vitu vinavyopatikana na kuwa na mifano iliwaweze kuelewa katika vitabu vyao. Wengi wao hufaidika kutokana na utandawazi ambayo ililetwa kutoka teknolojia hii kwa kuweza kuchunguza zaidi na zaidi kuhusu mambo tofauti tofauti.
Teknolojia imejenga maarifa katika maisha ya wanafunzi wa sekondari kupitia somo la kompyuta kililotokana na teknolojia kupitia kompyuta, wengi wao hujungeka kimaisha kwani wengi wanapohitimu katika shule zao, wengi hujaliwa kupata ajira haraka kwa sababu ya somo hilo la kompyuta. Wengi huwa na ujuzi wa kuzitumia vifaa hivyo aidha kampuni mingi na waajiri wengi huajira mtu aliye na ujuzi huo kisha waangalie mengine.
Teknolojia pia imevumbua utumiaji wa ubao unaotumia kalamu ya wino badala ya chaki na kutokana na hilo, limeweza kupunguza idadi ya wanafunzi na walimu wao kuugua magonjwa yanayosababishwa na utumiaji wa chaki.
Kando na faida zake, teknolojia imeweza kuleta madhara makubwa katika tabia za wanafunzi kwa sababu wengi wao hutumia simu zao kuingia kwa utandawazi na kuangalia video za watu wazima wakiwa uchi wakifanya tabia chafu na wengi wao huwa na uraibu huo mwishowe huishia kujaribu walichokiona.
Teknolojia pia imewakosanisha walimu na wanafunzi wa sekondari, kwani wengi wao huanza kuchunguzana kimaisha na katika maisha ya kisasa hakuna heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi eti kisa mwanafunzi anatumia simu ya bei ghali kuliko mwalimu ndio uchangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi wengi.
Wanafunzi wengi wa sekondari huishia kuacha masomo kutokana na mafunzo na wanayoyapata na kujaribu kuiga bila kudhani kama kuna madhara yatakayo wafika baadaye katika maisha ya usoni. Wengi wao hujiona kujua kuliko walimu na wazazi wao na ata huishia kuwatoa uhai kila wanapopingwa na hata kujitoa uhai kwa sababu ya kutoruhusiwa | Teknolojia ni pana sana kulingana na nini | {
"text": [
"Uchunguzi"
]
} |
3161_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mbinu au maarifa ya kisayansi inayowewa kwa vitu ili kuimarisha viwango vya vitu tofauti.Teknolojia ina upana sana kulingana na uchunguzi na matokeo yaliyotokea kutokana na kuimarika kwa teknolojia katika nchi tofauti tofauti. Teknolojia imeweza kuchangia pakubwa katika uendeleaji wa nchi na kuweza kujisimamia kivyake.
Katika sekta za kielimu teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na wanafunzi shuleni, kwani kupitia teknolojia ya kisasa uchunguzi uliofanyika ni kwamba mwanafunzi anaweza kudurusu masomo yake pasi na mwalimu kutumia vipakatalishi ambavyo vimeundwa kwa kazi
moja tu ambayo ni kuwaelimisha wanafunzi zaidi na hata kupita kiwango cha mwalimu.
Upande wa walimu, kazi yao imepunguzwa kwani sio lazima wanafunzi wakiwa darasani tu, ila kupitia teknolojia ya kisasa wengi wao hujirekodi wakiwa nyumbani kwao na kutumia wanafunzi kupitia simu zilizo ibuka kutokana na teknolojia hii ambayo ni ‘smartphone’ kuwafikia wanafunzi wake hata wakiwa likizoni. Masomo na ratiba yake kuendelea vilivyo kama desturi yao wakiwa shuleni.
Teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na kuwaondolea wanafunzi wa sekondari hofu ya kutambua ukweli zaidi katika uchunguzi wao wa vitu vinavyopatikana na kuwa na mifano iliwaweze kuelewa katika vitabu vyao. Wengi wao hufaidika kutokana na utandawazi ambayo ililetwa kutoka teknolojia hii kwa kuweza kuchunguza zaidi na zaidi kuhusu mambo tofauti tofauti.
Teknolojia imejenga maarifa katika maisha ya wanafunzi wa sekondari kupitia somo la kompyuta kililotokana na teknolojia kupitia kompyuta, wengi wao hujungeka kimaisha kwani wengi wanapohitimu katika shule zao, wengi hujaliwa kupata ajira haraka kwa sababu ya somo hilo la kompyuta. Wengi huwa na ujuzi wa kuzitumia vifaa hivyo aidha kampuni mingi na waajiri wengi huajira mtu aliye na ujuzi huo kisha waangalie mengine.
Teknolojia pia imevumbua utumiaji wa ubao unaotumia kalamu ya wino badala ya chaki na kutokana na hilo, limeweza kupunguza idadi ya wanafunzi na walimu wao kuugua magonjwa yanayosababishwa na utumiaji wa chaki.
Kando na faida zake, teknolojia imeweza kuleta madhara makubwa katika tabia za wanafunzi kwa sababu wengi wao hutumia simu zao kuingia kwa utandawazi na kuangalia video za watu wazima wakiwa uchi wakifanya tabia chafu na wengi wao huwa na uraibu huo mwishowe huishia kujaribu walichokiona.
Teknolojia pia imewakosanisha walimu na wanafunzi wa sekondari, kwani wengi wao huanza kuchunguzana kimaisha na katika maisha ya kisasa hakuna heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi eti kisa mwanafunzi anatumia simu ya bei ghali kuliko mwalimu ndio uchangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi wengi.
Wanafunzi wengi wa sekondari huishia kuacha masomo kutokana na mafunzo na wanayoyapata na kujaribu kuiga bila kudhani kama kuna madhara yatakayo wafika baadaye katika maisha ya usoni. Wengi wao hujiona kujua kuliko walimu na wazazi wao na ata huishia kuwatoa uhai kila wanapopingwa na hata kujitoa uhai kwa sababu ya kutoruhusiwa | Katika sekta ya elimu teknolojia imerahisisha kazi ya nani | {
"text": [
"Walimu na wanafunzi"
]
} |
3161_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mbinu au maarifa ya kisayansi inayowewa kwa vitu ili kuimarisha viwango vya vitu tofauti.Teknolojia ina upana sana kulingana na uchunguzi na matokeo yaliyotokea kutokana na kuimarika kwa teknolojia katika nchi tofauti tofauti. Teknolojia imeweza kuchangia pakubwa katika uendeleaji wa nchi na kuweza kujisimamia kivyake.
Katika sekta za kielimu teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na wanafunzi shuleni, kwani kupitia teknolojia ya kisasa uchunguzi uliofanyika ni kwamba mwanafunzi anaweza kudurusu masomo yake pasi na mwalimu kutumia vipakatalishi ambavyo vimeundwa kwa kazi
moja tu ambayo ni kuwaelimisha wanafunzi zaidi na hata kupita kiwango cha mwalimu.
Upande wa walimu, kazi yao imepunguzwa kwani sio lazima wanafunzi wakiwa darasani tu, ila kupitia teknolojia ya kisasa wengi wao hujirekodi wakiwa nyumbani kwao na kutumia wanafunzi kupitia simu zilizo ibuka kutokana na teknolojia hii ambayo ni ‘smartphone’ kuwafikia wanafunzi wake hata wakiwa likizoni. Masomo na ratiba yake kuendelea vilivyo kama desturi yao wakiwa shuleni.
Teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na kuwaondolea wanafunzi wa sekondari hofu ya kutambua ukweli zaidi katika uchunguzi wao wa vitu vinavyopatikana na kuwa na mifano iliwaweze kuelewa katika vitabu vyao. Wengi wao hufaidika kutokana na utandawazi ambayo ililetwa kutoka teknolojia hii kwa kuweza kuchunguza zaidi na zaidi kuhusu mambo tofauti tofauti.
Teknolojia imejenga maarifa katika maisha ya wanafunzi wa sekondari kupitia somo la kompyuta kililotokana na teknolojia kupitia kompyuta, wengi wao hujungeka kimaisha kwani wengi wanapohitimu katika shule zao, wengi hujaliwa kupata ajira haraka kwa sababu ya somo hilo la kompyuta. Wengi huwa na ujuzi wa kuzitumia vifaa hivyo aidha kampuni mingi na waajiri wengi huajira mtu aliye na ujuzi huo kisha waangalie mengine.
Teknolojia pia imevumbua utumiaji wa ubao unaotumia kalamu ya wino badala ya chaki na kutokana na hilo, limeweza kupunguza idadi ya wanafunzi na walimu wao kuugua magonjwa yanayosababishwa na utumiaji wa chaki.
Kando na faida zake, teknolojia imeweza kuleta madhara makubwa katika tabia za wanafunzi kwa sababu wengi wao hutumia simu zao kuingia kwa utandawazi na kuangalia video za watu wazima wakiwa uchi wakifanya tabia chafu na wengi wao huwa na uraibu huo mwishowe huishia kujaribu walichokiona.
Teknolojia pia imewakosanisha walimu na wanafunzi wa sekondari, kwani wengi wao huanza kuchunguzana kimaisha na katika maisha ya kisasa hakuna heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi eti kisa mwanafunzi anatumia simu ya bei ghali kuliko mwalimu ndio uchangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi wengi.
Wanafunzi wengi wa sekondari huishia kuacha masomo kutokana na mafunzo na wanayoyapata na kujaribu kuiga bila kudhani kama kuna madhara yatakayo wafika baadaye katika maisha ya usoni. Wengi wao hujiona kujua kuliko walimu na wazazi wao na ata huishia kuwatoa uhai kila wanapopingwa na hata kujitoa uhai kwa sababu ya kutoruhusiwa | Teknolojia imewaondolea wanafunzi hofu ya nini | {
"text": [
"Kutambua ukweli zaidi"
]
} |
3161_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI
Teknolojia ni mbinu au maarifa ya kisayansi inayowewa kwa vitu ili kuimarisha viwango vya vitu tofauti.Teknolojia ina upana sana kulingana na uchunguzi na matokeo yaliyotokea kutokana na kuimarika kwa teknolojia katika nchi tofauti tofauti. Teknolojia imeweza kuchangia pakubwa katika uendeleaji wa nchi na kuweza kujisimamia kivyake.
Katika sekta za kielimu teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na wanafunzi shuleni, kwani kupitia teknolojia ya kisasa uchunguzi uliofanyika ni kwamba mwanafunzi anaweza kudurusu masomo yake pasi na mwalimu kutumia vipakatalishi ambavyo vimeundwa kwa kazi
moja tu ambayo ni kuwaelimisha wanafunzi zaidi na hata kupita kiwango cha mwalimu.
Upande wa walimu, kazi yao imepunguzwa kwani sio lazima wanafunzi wakiwa darasani tu, ila kupitia teknolojia ya kisasa wengi wao hujirekodi wakiwa nyumbani kwao na kutumia wanafunzi kupitia simu zilizo ibuka kutokana na teknolojia hii ambayo ni ‘smartphone’ kuwafikia wanafunzi wake hata wakiwa likizoni. Masomo na ratiba yake kuendelea vilivyo kama desturi yao wakiwa shuleni.
Teknolojia imerahisisha kazi ya walimu na kuwaondolea wanafunzi wa sekondari hofu ya kutambua ukweli zaidi katika uchunguzi wao wa vitu vinavyopatikana na kuwa na mifano iliwaweze kuelewa katika vitabu vyao. Wengi wao hufaidika kutokana na utandawazi ambayo ililetwa kutoka teknolojia hii kwa kuweza kuchunguza zaidi na zaidi kuhusu mambo tofauti tofauti.
Teknolojia imejenga maarifa katika maisha ya wanafunzi wa sekondari kupitia somo la kompyuta kililotokana na teknolojia kupitia kompyuta, wengi wao hujungeka kimaisha kwani wengi wanapohitimu katika shule zao, wengi hujaliwa kupata ajira haraka kwa sababu ya somo hilo la kompyuta. Wengi huwa na ujuzi wa kuzitumia vifaa hivyo aidha kampuni mingi na waajiri wengi huajira mtu aliye na ujuzi huo kisha waangalie mengine.
Teknolojia pia imevumbua utumiaji wa ubao unaotumia kalamu ya wino badala ya chaki na kutokana na hilo, limeweza kupunguza idadi ya wanafunzi na walimu wao kuugua magonjwa yanayosababishwa na utumiaji wa chaki.
Kando na faida zake, teknolojia imeweza kuleta madhara makubwa katika tabia za wanafunzi kwa sababu wengi wao hutumia simu zao kuingia kwa utandawazi na kuangalia video za watu wazima wakiwa uchi wakifanya tabia chafu na wengi wao huwa na uraibu huo mwishowe huishia kujaribu walichokiona.
Teknolojia pia imewakosanisha walimu na wanafunzi wa sekondari, kwani wengi wao huanza kuchunguzana kimaisha na katika maisha ya kisasa hakuna heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi eti kisa mwanafunzi anatumia simu ya bei ghali kuliko mwalimu ndio uchangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi wengi.
Wanafunzi wengi wa sekondari huishia kuacha masomo kutokana na mafunzo na wanayoyapata na kujaribu kuiga bila kudhani kama kuna madhara yatakayo wafika baadaye katika maisha ya usoni. Wengi wao hujiona kujua kuliko walimu na wazazi wao na ata huishia kuwatoa uhai kila wanapopingwa na hata kujitoa uhai kwa sababu ya kutoruhusiwa | Kando na faida zake teknolojia imeweza kuleta nini | {
"text": [
"Madhara makubwa"
]
} |
3162_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imekuza masomo hususan ya ngazi za juu ikiwemo sekondari na chuo kikuu. Wanafunzi wanaweza kuhudhuria masomo yao wakiwa mbali na shuleni kutumia mtandao. Masomo pia yameimarika. Wanafunzi wanaweza kujisomea wenyewe katika mtandao na kupata elimu iliyo ya kweli na iliyo sawa sawa na wanayoipata shuleni. Hivyo kazi ya walimu shuleni imerahisishwa.
Kutokana na teknolojia walimu hawana kazi ngumu ya kubeba vitabu vingi waingiapo darasani au kuhifadhi rekodi zao kwenye vitabu ambavyo mara nyingi hupotea ila hutumia kompyuta madarasani kufundisha na hata kuhifadhi nakala zao muhimu hivyo kuwa na hakikisho kuwa ziko salama. Mwalimu anaweza kuzipata kwa urahisi wakati wowote anapozihitaji.
Vikokotoo vinatumika na wanafunzi kuwarahisishia hisabati au masomo mengine yanayojumlisha tarakimu. Wanafunzi wamefaidika sana na kifaa hiki kwa kuwa kimefanya masomo yao kuwa rahisi na pia kupunguza muda waliokuwa wakitumia kufanyia mtihani walipokuwa wakitumia vidole kuhesabu au kutumia kalamu pekee.
Masomo ya sayansi yameendelea sana kwa kuwa na kompyuta wanaotumia kutafiti mambo ya kisayansi. Wanafunzi wanaelewa zaidi kwa kuona picha halisi katika kompyuta ya baadhi ya vipengele wanavyovisoma darasani. Mwanafunzi anapoiangalia picha hiyo ni vigumu kwake kuisahau kwani picha inamvuto fulani au pengine anapoangalia jinsi kitu fulani kinavyo tengenezwa akili yake hupanuka na kuelewa zaidi.
Kompyuta zilizoko mashuleni hupotosha wanafunzi wengi mno. Wanafunzi wanapoenda katika chumba cha kuhifadhi kompyuta bila ya taarifa ya mwalimu baadhi ya wanafunzi hutazama vipindi vinavyopotosha maadili ya jamii. Hivyo basi mwanafunzi aliyekuwa na tabia njema huzipata kabadilika polepole kwa yale anayoyatazama yana kita akilini mwake na kumbadilisha tabia.
Kamera za kusaka aina zinazowekwa shuleni hukuza usalama wa wanafunzi. Yapo mengi yanayoweza kufanyika shuleni, njema au baya bila ya walimu kufahamu lakini kutokana na kamera hizo usalama unaweza kuimarika zaidi kwa kuwa kila jambo linalotokea shuleni linanaswa kwa wakati.
Kuwepo kwa mashine za kuchapisha makaratasi kumesaidia katika kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule mwalimu anapohitaji hivyo kukuza elimu ya wanafunzi na kurahisisha kazi ambayo mwalimu angeifanya kuandika mitihani yote na kuisahihisha. Mashine hii pia inasaidia katika uchapishaji wa taratibu za shule ambazo husaidia kuendeleza shule kwa mpangilio.
Mashine kama vile vikokotoo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu darasani katika kufanya hisabati zozote kwa kuwa nadhana kuwa kikototoo kitawasaidia darasani. Hili lina wasababishia uvivu. Hili hata linawasababishia wanafunzi kusahau haraka. | Wanafunzi wanahudhuria masomo wakiwa mbali kwa kutumia nini | {
"text": [
"Mtandao"
]
} |
3162_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imekuza masomo hususan ya ngazi za juu ikiwemo sekondari na chuo kikuu. Wanafunzi wanaweza kuhudhuria masomo yao wakiwa mbali na shuleni kutumia mtandao. Masomo pia yameimarika. Wanafunzi wanaweza kujisomea wenyewe katika mtandao na kupata elimu iliyo ya kweli na iliyo sawa sawa na wanayoipata shuleni. Hivyo kazi ya walimu shuleni imerahisishwa.
Kutokana na teknolojia walimu hawana kazi ngumu ya kubeba vitabu vingi waingiapo darasani au kuhifadhi rekodi zao kwenye vitabu ambavyo mara nyingi hupotea ila hutumia kompyuta madarasani kufundisha na hata kuhifadhi nakala zao muhimu hivyo kuwa na hakikisho kuwa ziko salama. Mwalimu anaweza kuzipata kwa urahisi wakati wowote anapozihitaji.
Vikokotoo vinatumika na wanafunzi kuwarahisishia hisabati au masomo mengine yanayojumlisha tarakimu. Wanafunzi wamefaidika sana na kifaa hiki kwa kuwa kimefanya masomo yao kuwa rahisi na pia kupunguza muda waliokuwa wakitumia kufanyia mtihani walipokuwa wakitumia vidole kuhesabu au kutumia kalamu pekee.
Masomo ya sayansi yameendelea sana kwa kuwa na kompyuta wanaotumia kutafiti mambo ya kisayansi. Wanafunzi wanaelewa zaidi kwa kuona picha halisi katika kompyuta ya baadhi ya vipengele wanavyovisoma darasani. Mwanafunzi anapoiangalia picha hiyo ni vigumu kwake kuisahau kwani picha inamvuto fulani au pengine anapoangalia jinsi kitu fulani kinavyo tengenezwa akili yake hupanuka na kuelewa zaidi.
Kompyuta zilizoko mashuleni hupotosha wanafunzi wengi mno. Wanafunzi wanapoenda katika chumba cha kuhifadhi kompyuta bila ya taarifa ya mwalimu baadhi ya wanafunzi hutazama vipindi vinavyopotosha maadili ya jamii. Hivyo basi mwanafunzi aliyekuwa na tabia njema huzipata kabadilika polepole kwa yale anayoyatazama yana kita akilini mwake na kumbadilisha tabia.
Kamera za kusaka aina zinazowekwa shuleni hukuza usalama wa wanafunzi. Yapo mengi yanayoweza kufanyika shuleni, njema au baya bila ya walimu kufahamu lakini kutokana na kamera hizo usalama unaweza kuimarika zaidi kwa kuwa kila jambo linalotokea shuleni linanaswa kwa wakati.
Kuwepo kwa mashine za kuchapisha makaratasi kumesaidia katika kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule mwalimu anapohitaji hivyo kukuza elimu ya wanafunzi na kurahisisha kazi ambayo mwalimu angeifanya kuandika mitihani yote na kuisahihisha. Mashine hii pia inasaidia katika uchapishaji wa taratibu za shule ambazo husaidia kuendeleza shule kwa mpangilio.
Mashine kama vile vikokotoo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu darasani katika kufanya hisabati zozote kwa kuwa nadhana kuwa kikototoo kitawasaidia darasani. Hili lina wasababishia uvivu. Hili hata linawasababishia wanafunzi kusahau haraka. | Walimu wanatumia nini kuhifadhi nakala zao | {
"text": [
"Komputa"
]
} |
3162_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imekuza masomo hususan ya ngazi za juu ikiwemo sekondari na chuo kikuu. Wanafunzi wanaweza kuhudhuria masomo yao wakiwa mbali na shuleni kutumia mtandao. Masomo pia yameimarika. Wanafunzi wanaweza kujisomea wenyewe katika mtandao na kupata elimu iliyo ya kweli na iliyo sawa sawa na wanayoipata shuleni. Hivyo kazi ya walimu shuleni imerahisishwa.
Kutokana na teknolojia walimu hawana kazi ngumu ya kubeba vitabu vingi waingiapo darasani au kuhifadhi rekodi zao kwenye vitabu ambavyo mara nyingi hupotea ila hutumia kompyuta madarasani kufundisha na hata kuhifadhi nakala zao muhimu hivyo kuwa na hakikisho kuwa ziko salama. Mwalimu anaweza kuzipata kwa urahisi wakati wowote anapozihitaji.
Vikokotoo vinatumika na wanafunzi kuwarahisishia hisabati au masomo mengine yanayojumlisha tarakimu. Wanafunzi wamefaidika sana na kifaa hiki kwa kuwa kimefanya masomo yao kuwa rahisi na pia kupunguza muda waliokuwa wakitumia kufanyia mtihani walipokuwa wakitumia vidole kuhesabu au kutumia kalamu pekee.
Masomo ya sayansi yameendelea sana kwa kuwa na kompyuta wanaotumia kutafiti mambo ya kisayansi. Wanafunzi wanaelewa zaidi kwa kuona picha halisi katika kompyuta ya baadhi ya vipengele wanavyovisoma darasani. Mwanafunzi anapoiangalia picha hiyo ni vigumu kwake kuisahau kwani picha inamvuto fulani au pengine anapoangalia jinsi kitu fulani kinavyo tengenezwa akili yake hupanuka na kuelewa zaidi.
Kompyuta zilizoko mashuleni hupotosha wanafunzi wengi mno. Wanafunzi wanapoenda katika chumba cha kuhifadhi kompyuta bila ya taarifa ya mwalimu baadhi ya wanafunzi hutazama vipindi vinavyopotosha maadili ya jamii. Hivyo basi mwanafunzi aliyekuwa na tabia njema huzipata kabadilika polepole kwa yale anayoyatazama yana kita akilini mwake na kumbadilisha tabia.
Kamera za kusaka aina zinazowekwa shuleni hukuza usalama wa wanafunzi. Yapo mengi yanayoweza kufanyika shuleni, njema au baya bila ya walimu kufahamu lakini kutokana na kamera hizo usalama unaweza kuimarika zaidi kwa kuwa kila jambo linalotokea shuleni linanaswa kwa wakati.
Kuwepo kwa mashine za kuchapisha makaratasi kumesaidia katika kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule mwalimu anapohitaji hivyo kukuza elimu ya wanafunzi na kurahisisha kazi ambayo mwalimu angeifanya kuandika mitihani yote na kuisahihisha. Mashine hii pia inasaidia katika uchapishaji wa taratibu za shule ambazo husaidia kuendeleza shule kwa mpangilio.
Mashine kama vile vikokotoo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu darasani katika kufanya hisabati zozote kwa kuwa nadhana kuwa kikototoo kitawasaidia darasani. Hili lina wasababishia uvivu. Hili hata linawasababishia wanafunzi kusahau haraka. | Ni nini hutumiwa na wanafunzi kuwarahisishia hisabati kazi yao | {
"text": [
"Vikokotoo"
]
} |
3162_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imekuza masomo hususan ya ngazi za juu ikiwemo sekondari na chuo kikuu. Wanafunzi wanaweza kuhudhuria masomo yao wakiwa mbali na shuleni kutumia mtandao. Masomo pia yameimarika. Wanafunzi wanaweza kujisomea wenyewe katika mtandao na kupata elimu iliyo ya kweli na iliyo sawa sawa na wanayoipata shuleni. Hivyo kazi ya walimu shuleni imerahisishwa.
Kutokana na teknolojia walimu hawana kazi ngumu ya kubeba vitabu vingi waingiapo darasani au kuhifadhi rekodi zao kwenye vitabu ambavyo mara nyingi hupotea ila hutumia kompyuta madarasani kufundisha na hata kuhifadhi nakala zao muhimu hivyo kuwa na hakikisho kuwa ziko salama. Mwalimu anaweza kuzipata kwa urahisi wakati wowote anapozihitaji.
Vikokotoo vinatumika na wanafunzi kuwarahisishia hisabati au masomo mengine yanayojumlisha tarakimu. Wanafunzi wamefaidika sana na kifaa hiki kwa kuwa kimefanya masomo yao kuwa rahisi na pia kupunguza muda waliokuwa wakitumia kufanyia mtihani walipokuwa wakitumia vidole kuhesabu au kutumia kalamu pekee.
Masomo ya sayansi yameendelea sana kwa kuwa na kompyuta wanaotumia kutafiti mambo ya kisayansi. Wanafunzi wanaelewa zaidi kwa kuona picha halisi katika kompyuta ya baadhi ya vipengele wanavyovisoma darasani. Mwanafunzi anapoiangalia picha hiyo ni vigumu kwake kuisahau kwani picha inamvuto fulani au pengine anapoangalia jinsi kitu fulani kinavyo tengenezwa akili yake hupanuka na kuelewa zaidi.
Kompyuta zilizoko mashuleni hupotosha wanafunzi wengi mno. Wanafunzi wanapoenda katika chumba cha kuhifadhi kompyuta bila ya taarifa ya mwalimu baadhi ya wanafunzi hutazama vipindi vinavyopotosha maadili ya jamii. Hivyo basi mwanafunzi aliyekuwa na tabia njema huzipata kabadilika polepole kwa yale anayoyatazama yana kita akilini mwake na kumbadilisha tabia.
Kamera za kusaka aina zinazowekwa shuleni hukuza usalama wa wanafunzi. Yapo mengi yanayoweza kufanyika shuleni, njema au baya bila ya walimu kufahamu lakini kutokana na kamera hizo usalama unaweza kuimarika zaidi kwa kuwa kila jambo linalotokea shuleni linanaswa kwa wakati.
Kuwepo kwa mashine za kuchapisha makaratasi kumesaidia katika kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule mwalimu anapohitaji hivyo kukuza elimu ya wanafunzi na kurahisisha kazi ambayo mwalimu angeifanya kuandika mitihani yote na kuisahihisha. Mashine hii pia inasaidia katika uchapishaji wa taratibu za shule ambazo husaidia kuendeleza shule kwa mpangilio.
Mashine kama vile vikokotoo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu darasani katika kufanya hisabati zozote kwa kuwa nadhana kuwa kikototoo kitawasaidia darasani. Hili lina wasababishia uvivu. Hili hata linawasababishia wanafunzi kusahau haraka. | Ni nini husaidia kukuza usalama wa wanafunzi | {
"text": [
"Kamera"
]
} |
3162_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imekuza masomo hususan ya ngazi za juu ikiwemo sekondari na chuo kikuu. Wanafunzi wanaweza kuhudhuria masomo yao wakiwa mbali na shuleni kutumia mtandao. Masomo pia yameimarika. Wanafunzi wanaweza kujisomea wenyewe katika mtandao na kupata elimu iliyo ya kweli na iliyo sawa sawa na wanayoipata shuleni. Hivyo kazi ya walimu shuleni imerahisishwa.
Kutokana na teknolojia walimu hawana kazi ngumu ya kubeba vitabu vingi waingiapo darasani au kuhifadhi rekodi zao kwenye vitabu ambavyo mara nyingi hupotea ila hutumia kompyuta madarasani kufundisha na hata kuhifadhi nakala zao muhimu hivyo kuwa na hakikisho kuwa ziko salama. Mwalimu anaweza kuzipata kwa urahisi wakati wowote anapozihitaji.
Vikokotoo vinatumika na wanafunzi kuwarahisishia hisabati au masomo mengine yanayojumlisha tarakimu. Wanafunzi wamefaidika sana na kifaa hiki kwa kuwa kimefanya masomo yao kuwa rahisi na pia kupunguza muda waliokuwa wakitumia kufanyia mtihani walipokuwa wakitumia vidole kuhesabu au kutumia kalamu pekee.
Masomo ya sayansi yameendelea sana kwa kuwa na kompyuta wanaotumia kutafiti mambo ya kisayansi. Wanafunzi wanaelewa zaidi kwa kuona picha halisi katika kompyuta ya baadhi ya vipengele wanavyovisoma darasani. Mwanafunzi anapoiangalia picha hiyo ni vigumu kwake kuisahau kwani picha inamvuto fulani au pengine anapoangalia jinsi kitu fulani kinavyo tengenezwa akili yake hupanuka na kuelewa zaidi.
Kompyuta zilizoko mashuleni hupotosha wanafunzi wengi mno. Wanafunzi wanapoenda katika chumba cha kuhifadhi kompyuta bila ya taarifa ya mwalimu baadhi ya wanafunzi hutazama vipindi vinavyopotosha maadili ya jamii. Hivyo basi mwanafunzi aliyekuwa na tabia njema huzipata kabadilika polepole kwa yale anayoyatazama yana kita akilini mwake na kumbadilisha tabia.
Kamera za kusaka aina zinazowekwa shuleni hukuza usalama wa wanafunzi. Yapo mengi yanayoweza kufanyika shuleni, njema au baya bila ya walimu kufahamu lakini kutokana na kamera hizo usalama unaweza kuimarika zaidi kwa kuwa kila jambo linalotokea shuleni linanaswa kwa wakati.
Kuwepo kwa mashine za kuchapisha makaratasi kumesaidia katika kuchapisha mitihani ya wanafunzi wakati wowote ule mwalimu anapohitaji hivyo kukuza elimu ya wanafunzi na kurahisisha kazi ambayo mwalimu angeifanya kuandika mitihani yote na kuisahihisha. Mashine hii pia inasaidia katika uchapishaji wa taratibu za shule ambazo husaidia kuendeleza shule kwa mpangilio.
Mashine kama vile vikokotoo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu darasani katika kufanya hisabati zozote kwa kuwa nadhana kuwa kikototoo kitawasaidia darasani. Hili lina wasababishia uvivu. Hili hata linawasababishia wanafunzi kusahau haraka. | Ni vipi wanafunzi wamekuwa wavivu | {
"text": [
"Kwa kutumia vikokotoo"
]
} |
3163_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kompyuta au tarakilishi huwasaidia wanafunzi shuleni kuifanya kazi kwa walimu kuwa rahisi. Wanafunzi wanatumia tarakilishi kama chombo cha kujisomea masomo ya ziada baada ya mwalimu kutoka darasani. Humsaidia mwanafunzi kuperuzi na kuhakikisha kile ambacho amefundishwa na mwalimu amekishika na kukielewa.
Tarakilishi pia ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu wanafunzi wengine hutumia kuangalia picha chafu na pia hutumia kusikiliza nyimbo ambazo zinaweza kuharibu akili zao wakiwa shuleni. Wanafunzi wanatumia kuangalia picha chafu ambazo huwafanya wengine wakabadili mawazo ama kuwacha shule ama hata kuwa na ukosefu wa nidhamu kwa walimu na hata wanafunzi wenzake.
Kikokotoo pia humsaidia mwanafunzi wakati wa kufanya hisabati na hata masomo mengine yenye yanahusiana na chombo hicho. Humpatia mwanafunzi kazi rahisi kwake kwa sababu hapo atakuwa hatumii akili yake wala kutumia nguvu, ni kubonyeza hizo nambari uliopewa na kuleta majibu.
Kikokotoo kinauzwa bei ya juu ambayo mwanafunzi akinunua ni awe na pesa. Hapo huwa wanafunzi wengi wanakidhaifu wa kununua kifaa hicho kwa sababu ya pesa watakua hawanunui
inaonyesha wanafunzi watapata taabu wakati wa kufanya hisabati.
Tarakilishi ina madhara yake kwa sababu ni chombo ambacho kinahitaji umeme ndio kifanye kazi. Sasa kama hakuna umeme chombo hiki hakiwezi fanya kazi wala hata wanafunzi hawataweza kutumia. Walimu pia watapata shida au kazi yao kuwa ngumu kwa kufanya utafiti.
Kichapisho hutumiwa kwa kutoa makaratasi ya mitihani shuleni au hata barua. Husaidia wanafunzi kwa kuwaendea walimu na kuomba karatasi za marudio. Mwalimu hutumia kifaa hiki kwa kuchapisha karatasi za mitihani ama hata kutoa barua za shule.
Madhara ya kichapisho, kifaa hiki kinapo haribika walimu wanatumia pesa nyingi kukipeleka kwa fundi ama hata wakati wa kukinunua huwa bei yake si rahisi vile. Kifaa hiki huwafanya walimu kutafuta hela ndipo waende kununua.
Wanafunzi hutumia televisheni wakiwa shuleni, hio huwasaidia wakati wa mapumziko na hata kutunza akili. Televisheni huwafanya wanafunzi kutuliza akili na hata pia kuangilia taifa habari na kujua dunia iko vipi. Humsaidia mwanafunzi wakati wa kujiburudisha kama vile kusikiliza nyimbo na hata kuangalia nyimbo kutumia kifaa hicho.
Televisheni hii ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu kuna vipindi vingine huwa wanaonyesha mambo ambayo hayastahili kama vile kuna nyimbo zingine ambazo huwa kuna matusi ndani yake. Hii humfanya mwanafunzi kupotoka katika masomo yake na kufikiria nyimbo hizo wakati ukiwa darasani.
Wanafunzi wanaweza kutumia simu kusomea masomo mengine kwa simu tu. Kazi yake ni hutumiwa kusoma na hata kutafuta kwenye simu unaweza pata masomo mengine tofauti. Simu pia wanaweza kutumia kama kifaa cha mawasiliano kwa walimu na wanafunzi wakati wanataka masomo ya ziada.
Kutumia simu pia kuna madhara. Waweza kukosa namba ya mwalimu ama hata mawasiliano yakawa na shida kukawa hakuna netwaki haswa msimu wa mvua. Pia kuna simu zinauzwa kwa bei ya juu na huenda watu kukosa kununua kitu hicho.
Kuna kifaa kama vile projekta ambayo mwanafunzi hufanya kuunganisha nyaya za umeme na kuangalia pahali kama vile ubao ili anapofungua kama vile picha ama mtihani ipate kuonyeshwa kwa ubao ikiwa kwenye sehemu kubwa. Pale wanafunzi wanaweza kupata urahisi wa kusoma vizuri bila wasiwasi wowote kwasababu mwangaza utakuwa uko wa kutosha.
Projekta hakiwezi tumika wakati hakuna umeme. Pia kifaa hiki huwa cha bei ya juu kwa hivyo si rahisi kukinunua haswa kwa mwanafunzi ambapo hana pesa.
Madhara ya projekta, endapo kifaa hiki kitaharibika basi kunahitajika kiasi cha pesa ndiyo akitengeneze. Hapo pia kuna vifaa vingine huwa vinauzwa lakini si ya kisasa kwa hiyo inapaswa kabla ya kununua uwe mwangalifu usiharibu pesa zako. | Msamiati upi hutumika badala ya jina kompyuta? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3163_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kompyuta au tarakilishi huwasaidia wanafunzi shuleni kuifanya kazi kwa walimu kuwa rahisi. Wanafunzi wanatumia tarakilishi kama chombo cha kujisomea masomo ya ziada baada ya mwalimu kutoka darasani. Humsaidia mwanafunzi kuperuzi na kuhakikisha kile ambacho amefundishwa na mwalimu amekishika na kukielewa.
Tarakilishi pia ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu wanafunzi wengine hutumia kuangalia picha chafu na pia hutumia kusikiliza nyimbo ambazo zinaweza kuharibu akili zao wakiwa shuleni. Wanafunzi wanatumia kuangalia picha chafu ambazo huwafanya wengine wakabadili mawazo ama kuwacha shule ama hata kuwa na ukosefu wa nidhamu kwa walimu na hata wanafunzi wenzake.
Kikokotoo pia humsaidia mwanafunzi wakati wa kufanya hisabati na hata masomo mengine yenye yanahusiana na chombo hicho. Humpatia mwanafunzi kazi rahisi kwake kwa sababu hapo atakuwa hatumii akili yake wala kutumia nguvu, ni kubonyeza hizo nambari uliopewa na kuleta majibu.
Kikokotoo kinauzwa bei ya juu ambayo mwanafunzi akinunua ni awe na pesa. Hapo huwa wanafunzi wengi wanakidhaifu wa kununua kifaa hicho kwa sababu ya pesa watakua hawanunui
inaonyesha wanafunzi watapata taabu wakati wa kufanya hisabati.
Tarakilishi ina madhara yake kwa sababu ni chombo ambacho kinahitaji umeme ndio kifanye kazi. Sasa kama hakuna umeme chombo hiki hakiwezi fanya kazi wala hata wanafunzi hawataweza kutumia. Walimu pia watapata shida au kazi yao kuwa ngumu kwa kufanya utafiti.
Kichapisho hutumiwa kwa kutoa makaratasi ya mitihani shuleni au hata barua. Husaidia wanafunzi kwa kuwaendea walimu na kuomba karatasi za marudio. Mwalimu hutumia kifaa hiki kwa kuchapisha karatasi za mitihani ama hata kutoa barua za shule.
Madhara ya kichapisho, kifaa hiki kinapo haribika walimu wanatumia pesa nyingi kukipeleka kwa fundi ama hata wakati wa kukinunua huwa bei yake si rahisi vile. Kifaa hiki huwafanya walimu kutafuta hela ndipo waende kununua.
Wanafunzi hutumia televisheni wakiwa shuleni, hio huwasaidia wakati wa mapumziko na hata kutunza akili. Televisheni huwafanya wanafunzi kutuliza akili na hata pia kuangilia taifa habari na kujua dunia iko vipi. Humsaidia mwanafunzi wakati wa kujiburudisha kama vile kusikiliza nyimbo na hata kuangalia nyimbo kutumia kifaa hicho.
Televisheni hii ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu kuna vipindi vingine huwa wanaonyesha mambo ambayo hayastahili kama vile kuna nyimbo zingine ambazo huwa kuna matusi ndani yake. Hii humfanya mwanafunzi kupotoka katika masomo yake na kufikiria nyimbo hizo wakati ukiwa darasani.
Wanafunzi wanaweza kutumia simu kusomea masomo mengine kwa simu tu. Kazi yake ni hutumiwa kusoma na hata kutafuta kwenye simu unaweza pata masomo mengine tofauti. Simu pia wanaweza kutumia kama kifaa cha mawasiliano kwa walimu na wanafunzi wakati wanataka masomo ya ziada.
Kutumia simu pia kuna madhara. Waweza kukosa namba ya mwalimu ama hata mawasiliano yakawa na shida kukawa hakuna netwaki haswa msimu wa mvua. Pia kuna simu zinauzwa kwa bei ya juu na huenda watu kukosa kununua kitu hicho.
Kuna kifaa kama vile projekta ambayo mwanafunzi hufanya kuunganisha nyaya za umeme na kuangalia pahali kama vile ubao ili anapofungua kama vile picha ama mtihani ipate kuonyeshwa kwa ubao ikiwa kwenye sehemu kubwa. Pale wanafunzi wanaweza kupata urahisi wa kusoma vizuri bila wasiwasi wowote kwasababu mwangaza utakuwa uko wa kutosha.
Projekta hakiwezi tumika wakati hakuna umeme. Pia kifaa hiki huwa cha bei ya juu kwa hivyo si rahisi kukinunua haswa kwa mwanafunzi ambapo hana pesa.
Madhara ya projekta, endapo kifaa hiki kitaharibika basi kunahitajika kiasi cha pesa ndiyo akitengeneze. Hapo pia kuna vifaa vingine huwa vinauzwa lakini si ya kisasa kwa hiyo inapaswa kabla ya kununua uwe mwangalifu usiharibu pesa zako. | Chombo kipi hutumika kufanya hisabati shuleni? | {
"text": [
"Kikokotoo"
]
} |
3163_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kompyuta au tarakilishi huwasaidia wanafunzi shuleni kuifanya kazi kwa walimu kuwa rahisi. Wanafunzi wanatumia tarakilishi kama chombo cha kujisomea masomo ya ziada baada ya mwalimu kutoka darasani. Humsaidia mwanafunzi kuperuzi na kuhakikisha kile ambacho amefundishwa na mwalimu amekishika na kukielewa.
Tarakilishi pia ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu wanafunzi wengine hutumia kuangalia picha chafu na pia hutumia kusikiliza nyimbo ambazo zinaweza kuharibu akili zao wakiwa shuleni. Wanafunzi wanatumia kuangalia picha chafu ambazo huwafanya wengine wakabadili mawazo ama kuwacha shule ama hata kuwa na ukosefu wa nidhamu kwa walimu na hata wanafunzi wenzake.
Kikokotoo pia humsaidia mwanafunzi wakati wa kufanya hisabati na hata masomo mengine yenye yanahusiana na chombo hicho. Humpatia mwanafunzi kazi rahisi kwake kwa sababu hapo atakuwa hatumii akili yake wala kutumia nguvu, ni kubonyeza hizo nambari uliopewa na kuleta majibu.
Kikokotoo kinauzwa bei ya juu ambayo mwanafunzi akinunua ni awe na pesa. Hapo huwa wanafunzi wengi wanakidhaifu wa kununua kifaa hicho kwa sababu ya pesa watakua hawanunui
inaonyesha wanafunzi watapata taabu wakati wa kufanya hisabati.
Tarakilishi ina madhara yake kwa sababu ni chombo ambacho kinahitaji umeme ndio kifanye kazi. Sasa kama hakuna umeme chombo hiki hakiwezi fanya kazi wala hata wanafunzi hawataweza kutumia. Walimu pia watapata shida au kazi yao kuwa ngumu kwa kufanya utafiti.
Kichapisho hutumiwa kwa kutoa makaratasi ya mitihani shuleni au hata barua. Husaidia wanafunzi kwa kuwaendea walimu na kuomba karatasi za marudio. Mwalimu hutumia kifaa hiki kwa kuchapisha karatasi za mitihani ama hata kutoa barua za shule.
Madhara ya kichapisho, kifaa hiki kinapo haribika walimu wanatumia pesa nyingi kukipeleka kwa fundi ama hata wakati wa kukinunua huwa bei yake si rahisi vile. Kifaa hiki huwafanya walimu kutafuta hela ndipo waende kununua.
Wanafunzi hutumia televisheni wakiwa shuleni, hio huwasaidia wakati wa mapumziko na hata kutunza akili. Televisheni huwafanya wanafunzi kutuliza akili na hata pia kuangilia taifa habari na kujua dunia iko vipi. Humsaidia mwanafunzi wakati wa kujiburudisha kama vile kusikiliza nyimbo na hata kuangalia nyimbo kutumia kifaa hicho.
Televisheni hii ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu kuna vipindi vingine huwa wanaonyesha mambo ambayo hayastahili kama vile kuna nyimbo zingine ambazo huwa kuna matusi ndani yake. Hii humfanya mwanafunzi kupotoka katika masomo yake na kufikiria nyimbo hizo wakati ukiwa darasani.
Wanafunzi wanaweza kutumia simu kusomea masomo mengine kwa simu tu. Kazi yake ni hutumiwa kusoma na hata kutafuta kwenye simu unaweza pata masomo mengine tofauti. Simu pia wanaweza kutumia kama kifaa cha mawasiliano kwa walimu na wanafunzi wakati wanataka masomo ya ziada.
Kutumia simu pia kuna madhara. Waweza kukosa namba ya mwalimu ama hata mawasiliano yakawa na shida kukawa hakuna netwaki haswa msimu wa mvua. Pia kuna simu zinauzwa kwa bei ya juu na huenda watu kukosa kununua kitu hicho.
Kuna kifaa kama vile projekta ambayo mwanafunzi hufanya kuunganisha nyaya za umeme na kuangalia pahali kama vile ubao ili anapofungua kama vile picha ama mtihani ipate kuonyeshwa kwa ubao ikiwa kwenye sehemu kubwa. Pale wanafunzi wanaweza kupata urahisi wa kusoma vizuri bila wasiwasi wowote kwasababu mwangaza utakuwa uko wa kutosha.
Projekta hakiwezi tumika wakati hakuna umeme. Pia kifaa hiki huwa cha bei ya juu kwa hivyo si rahisi kukinunua haswa kwa mwanafunzi ambapo hana pesa.
Madhara ya projekta, endapo kifaa hiki kitaharibika basi kunahitajika kiasi cha pesa ndiyo akitengeneze. Hapo pia kuna vifaa vingine huwa vinauzwa lakini si ya kisasa kwa hiyo inapaswa kabla ya kununua uwe mwangalifu usiharibu pesa zako. | Tarakilishi kinahitaji nini ili kifanye kazi? | {
"text": [
"Umeme"
]
} |
3163_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kompyuta au tarakilishi huwasaidia wanafunzi shuleni kuifanya kazi kwa walimu kuwa rahisi. Wanafunzi wanatumia tarakilishi kama chombo cha kujisomea masomo ya ziada baada ya mwalimu kutoka darasani. Humsaidia mwanafunzi kuperuzi na kuhakikisha kile ambacho amefundishwa na mwalimu amekishika na kukielewa.
Tarakilishi pia ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu wanafunzi wengine hutumia kuangalia picha chafu na pia hutumia kusikiliza nyimbo ambazo zinaweza kuharibu akili zao wakiwa shuleni. Wanafunzi wanatumia kuangalia picha chafu ambazo huwafanya wengine wakabadili mawazo ama kuwacha shule ama hata kuwa na ukosefu wa nidhamu kwa walimu na hata wanafunzi wenzake.
Kikokotoo pia humsaidia mwanafunzi wakati wa kufanya hisabati na hata masomo mengine yenye yanahusiana na chombo hicho. Humpatia mwanafunzi kazi rahisi kwake kwa sababu hapo atakuwa hatumii akili yake wala kutumia nguvu, ni kubonyeza hizo nambari uliopewa na kuleta majibu.
Kikokotoo kinauzwa bei ya juu ambayo mwanafunzi akinunua ni awe na pesa. Hapo huwa wanafunzi wengi wanakidhaifu wa kununua kifaa hicho kwa sababu ya pesa watakua hawanunui
inaonyesha wanafunzi watapata taabu wakati wa kufanya hisabati.
Tarakilishi ina madhara yake kwa sababu ni chombo ambacho kinahitaji umeme ndio kifanye kazi. Sasa kama hakuna umeme chombo hiki hakiwezi fanya kazi wala hata wanafunzi hawataweza kutumia. Walimu pia watapata shida au kazi yao kuwa ngumu kwa kufanya utafiti.
Kichapisho hutumiwa kwa kutoa makaratasi ya mitihani shuleni au hata barua. Husaidia wanafunzi kwa kuwaendea walimu na kuomba karatasi za marudio. Mwalimu hutumia kifaa hiki kwa kuchapisha karatasi za mitihani ama hata kutoa barua za shule.
Madhara ya kichapisho, kifaa hiki kinapo haribika walimu wanatumia pesa nyingi kukipeleka kwa fundi ama hata wakati wa kukinunua huwa bei yake si rahisi vile. Kifaa hiki huwafanya walimu kutafuta hela ndipo waende kununua.
Wanafunzi hutumia televisheni wakiwa shuleni, hio huwasaidia wakati wa mapumziko na hata kutunza akili. Televisheni huwafanya wanafunzi kutuliza akili na hata pia kuangilia taifa habari na kujua dunia iko vipi. Humsaidia mwanafunzi wakati wa kujiburudisha kama vile kusikiliza nyimbo na hata kuangalia nyimbo kutumia kifaa hicho.
Televisheni hii ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu kuna vipindi vingine huwa wanaonyesha mambo ambayo hayastahili kama vile kuna nyimbo zingine ambazo huwa kuna matusi ndani yake. Hii humfanya mwanafunzi kupotoka katika masomo yake na kufikiria nyimbo hizo wakati ukiwa darasani.
Wanafunzi wanaweza kutumia simu kusomea masomo mengine kwa simu tu. Kazi yake ni hutumiwa kusoma na hata kutafuta kwenye simu unaweza pata masomo mengine tofauti. Simu pia wanaweza kutumia kama kifaa cha mawasiliano kwa walimu na wanafunzi wakati wanataka masomo ya ziada.
Kutumia simu pia kuna madhara. Waweza kukosa namba ya mwalimu ama hata mawasiliano yakawa na shida kukawa hakuna netwaki haswa msimu wa mvua. Pia kuna simu zinauzwa kwa bei ya juu na huenda watu kukosa kununua kitu hicho.
Kuna kifaa kama vile projekta ambayo mwanafunzi hufanya kuunganisha nyaya za umeme na kuangalia pahali kama vile ubao ili anapofungua kama vile picha ama mtihani ipate kuonyeshwa kwa ubao ikiwa kwenye sehemu kubwa. Pale wanafunzi wanaweza kupata urahisi wa kusoma vizuri bila wasiwasi wowote kwasababu mwangaza utakuwa uko wa kutosha.
Projekta hakiwezi tumika wakati hakuna umeme. Pia kifaa hiki huwa cha bei ya juu kwa hivyo si rahisi kukinunua haswa kwa mwanafunzi ambapo hana pesa.
Madhara ya projekta, endapo kifaa hiki kitaharibika basi kunahitajika kiasi cha pesa ndiyo akitengeneze. Hapo pia kuna vifaa vingine huwa vinauzwa lakini si ya kisasa kwa hiyo inapaswa kabla ya kununua uwe mwangalifu usiharibu pesa zako. | Walimu hutumia pesa nyingi kuchapisha mitihani wakati chombo kipi kimeharibika? | {
"text": [
"Kichapisho"
]
} |
3163_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kompyuta au tarakilishi huwasaidia wanafunzi shuleni kuifanya kazi kwa walimu kuwa rahisi. Wanafunzi wanatumia tarakilishi kama chombo cha kujisomea masomo ya ziada baada ya mwalimu kutoka darasani. Humsaidia mwanafunzi kuperuzi na kuhakikisha kile ambacho amefundishwa na mwalimu amekishika na kukielewa.
Tarakilishi pia ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu wanafunzi wengine hutumia kuangalia picha chafu na pia hutumia kusikiliza nyimbo ambazo zinaweza kuharibu akili zao wakiwa shuleni. Wanafunzi wanatumia kuangalia picha chafu ambazo huwafanya wengine wakabadili mawazo ama kuwacha shule ama hata kuwa na ukosefu wa nidhamu kwa walimu na hata wanafunzi wenzake.
Kikokotoo pia humsaidia mwanafunzi wakati wa kufanya hisabati na hata masomo mengine yenye yanahusiana na chombo hicho. Humpatia mwanafunzi kazi rahisi kwake kwa sababu hapo atakuwa hatumii akili yake wala kutumia nguvu, ni kubonyeza hizo nambari uliopewa na kuleta majibu.
Kikokotoo kinauzwa bei ya juu ambayo mwanafunzi akinunua ni awe na pesa. Hapo huwa wanafunzi wengi wanakidhaifu wa kununua kifaa hicho kwa sababu ya pesa watakua hawanunui
inaonyesha wanafunzi watapata taabu wakati wa kufanya hisabati.
Tarakilishi ina madhara yake kwa sababu ni chombo ambacho kinahitaji umeme ndio kifanye kazi. Sasa kama hakuna umeme chombo hiki hakiwezi fanya kazi wala hata wanafunzi hawataweza kutumia. Walimu pia watapata shida au kazi yao kuwa ngumu kwa kufanya utafiti.
Kichapisho hutumiwa kwa kutoa makaratasi ya mitihani shuleni au hata barua. Husaidia wanafunzi kwa kuwaendea walimu na kuomba karatasi za marudio. Mwalimu hutumia kifaa hiki kwa kuchapisha karatasi za mitihani ama hata kutoa barua za shule.
Madhara ya kichapisho, kifaa hiki kinapo haribika walimu wanatumia pesa nyingi kukipeleka kwa fundi ama hata wakati wa kukinunua huwa bei yake si rahisi vile. Kifaa hiki huwafanya walimu kutafuta hela ndipo waende kununua.
Wanafunzi hutumia televisheni wakiwa shuleni, hio huwasaidia wakati wa mapumziko na hata kutunza akili. Televisheni huwafanya wanafunzi kutuliza akili na hata pia kuangilia taifa habari na kujua dunia iko vipi. Humsaidia mwanafunzi wakati wa kujiburudisha kama vile kusikiliza nyimbo na hata kuangalia nyimbo kutumia kifaa hicho.
Televisheni hii ina madhara kwa wanafunzi kwa sababu kuna vipindi vingine huwa wanaonyesha mambo ambayo hayastahili kama vile kuna nyimbo zingine ambazo huwa kuna matusi ndani yake. Hii humfanya mwanafunzi kupotoka katika masomo yake na kufikiria nyimbo hizo wakati ukiwa darasani.
Wanafunzi wanaweza kutumia simu kusomea masomo mengine kwa simu tu. Kazi yake ni hutumiwa kusoma na hata kutafuta kwenye simu unaweza pata masomo mengine tofauti. Simu pia wanaweza kutumia kama kifaa cha mawasiliano kwa walimu na wanafunzi wakati wanataka masomo ya ziada.
Kutumia simu pia kuna madhara. Waweza kukosa namba ya mwalimu ama hata mawasiliano yakawa na shida kukawa hakuna netwaki haswa msimu wa mvua. Pia kuna simu zinauzwa kwa bei ya juu na huenda watu kukosa kununua kitu hicho.
Kuna kifaa kama vile projekta ambayo mwanafunzi hufanya kuunganisha nyaya za umeme na kuangalia pahali kama vile ubao ili anapofungua kama vile picha ama mtihani ipate kuonyeshwa kwa ubao ikiwa kwenye sehemu kubwa. Pale wanafunzi wanaweza kupata urahisi wa kusoma vizuri bila wasiwasi wowote kwasababu mwangaza utakuwa uko wa kutosha.
Projekta hakiwezi tumika wakati hakuna umeme. Pia kifaa hiki huwa cha bei ya juu kwa hivyo si rahisi kukinunua haswa kwa mwanafunzi ambapo hana pesa.
Madhara ya projekta, endapo kifaa hiki kitaharibika basi kunahitajika kiasi cha pesa ndiyo akitengeneze. Hapo pia kuna vifaa vingine huwa vinauzwa lakini si ya kisasa kwa hiyo inapaswa kabla ya kununua uwe mwangalifu usiharibu pesa zako. | Wanafunzi hutumia tarakilishi kufanyia nini? | {
"text": [
"Kusomea masomo ya ziada wasiyofunzwa na walimu"
]
} |
3164_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya swala ibuka katika iliyoleta jamii iliyoleta maendeleo katika sekta mbalimbali. Maendeleo haya ni pamoja na kuimarisha hali ya masomo shuleni kwa kusambaza tarakilishi na vitabu vya kudurusu. Pia vyombo vya mawasiliano kama vile simu ya mkononi, vyombo vya kusafiria na vile vinavyotumika hospitalini ni baadhi ya maendeleo kutokana na teknolojia.
Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi katika masomo. Wanafunzi wameweza kufaulu vizuri kutokana na maendeleo haya. Serikali imeweza kusambaza tarakilishi katika shule tofauti tofauti. Tarakilishi hizi husaidia wanafunzi kwa kuhifadhi data ya masomo. Pia huwasaidia iwapo wangetaka kufanya utafiti wa jambo fulani kuhusu masomo yao.
Walimu pia vile vile wamerahisishiwa kazi ya kuchora na kuandika ubaoni. Hii imewezeshwa na uwezo wa tarakilishi kwa kutumia projekta ili kuwasilisha ujumbe mwafaka unaojitokeza katika somo hilo. Hata hivyo, hii imesababisha wanafunzi kuwa watulivu darasani at kuliko kufundishwa kwa kuandikia ubaoni kwa sababu wanafunzi wengi wamezoea kutazama vipindi katika televisheni wakiwa kwao.
Teknolojia pia imesaidia katika usafiri. Walimu pamoja na wanafunziwanaosoma katika shule za kutwa wamewezeshwa kufika shuleni mapema. Hii ni kwa sababu wao huabiri vyombo vya usafiri na wengine wakitumia usafiri binafsi wanapoenda shuleni. Hivyo basi, hii imeweza kupunguza muda ambao ungetumika kutembea maili nyingi ili kufika shuleni.
Maendeleo yanayotokana na teknolojia pia yameweza kuboresha sekta ya usalama shuleni. Hii ni kutokana na kuibuka kwa kamera za usalama zinazoweza kurekodi na kuhifadhi video za kila kitu kinachoendelea hasa uhalifu. Kamera hizi zimeweza kusaidia kupunguza visa vya wanafunzi kutoroka shuleni, uvamizi na pia mambo haramu kama vile kutumia dawa za kulevya ambayo ni kinyume cha sheria za shule.
Hata hivyo, wanafunzi shuleni pia wameweza kuhakikishiwa matibabu bora iwapo wakiwa na ugonjwa. Hii ni kwa sababu hospitali zilizomo shuleni zimeimarishwa kwa kusambaziwa madawa yanayohitajika kutibu magonjwa tofauti tofauti. Hii imeweza kurahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu wao hutibiwa huku wakiendelea na masomo yao.
Aghalabu pia teknolojia imeleta madhara kadhaa shuleni. Mojawapo ya madhara haya ni kama vile wanafunzi kuanguka mitihani yao kwa sababu iwapo umeme utapotea basi shughuli za masomo zitazorota. Swala hili linatokana na utegemezi wa kiwango cha juu wa umeme katika shughuli hizo. Hivyo basi teknolojia hii haina manufaa kwa shule zilizo katika maeneo yenye shida ya umeme.
Licha ya hayo, teknolojia pia imechangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi hujishughulisha na mambo ambayo haya husiani na maswala ya elimu wanapotumia simu au tarakilishi zao shuleni. Wao huhifadhi video chafu kama vile za mapenzi, vita vinavyosababisha mauaji. Hii huathiri akili na mawazo yao na kutamani kujaribu mambo haya wakiwa shuleni.
| Ni nini huleta maendeleo katika sekta mbalimbali | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3164_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya swala ibuka katika iliyoleta jamii iliyoleta maendeleo katika sekta mbalimbali. Maendeleo haya ni pamoja na kuimarisha hali ya masomo shuleni kwa kusambaza tarakilishi na vitabu vya kudurusu. Pia vyombo vya mawasiliano kama vile simu ya mkononi, vyombo vya kusafiria na vile vinavyotumika hospitalini ni baadhi ya maendeleo kutokana na teknolojia.
Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi katika masomo. Wanafunzi wameweza kufaulu vizuri kutokana na maendeleo haya. Serikali imeweza kusambaza tarakilishi katika shule tofauti tofauti. Tarakilishi hizi husaidia wanafunzi kwa kuhifadhi data ya masomo. Pia huwasaidia iwapo wangetaka kufanya utafiti wa jambo fulani kuhusu masomo yao.
Walimu pia vile vile wamerahisishiwa kazi ya kuchora na kuandika ubaoni. Hii imewezeshwa na uwezo wa tarakilishi kwa kutumia projekta ili kuwasilisha ujumbe mwafaka unaojitokeza katika somo hilo. Hata hivyo, hii imesababisha wanafunzi kuwa watulivu darasani at kuliko kufundishwa kwa kuandikia ubaoni kwa sababu wanafunzi wengi wamezoea kutazama vipindi katika televisheni wakiwa kwao.
Teknolojia pia imesaidia katika usafiri. Walimu pamoja na wanafunziwanaosoma katika shule za kutwa wamewezeshwa kufika shuleni mapema. Hii ni kwa sababu wao huabiri vyombo vya usafiri na wengine wakitumia usafiri binafsi wanapoenda shuleni. Hivyo basi, hii imeweza kupunguza muda ambao ungetumika kutembea maili nyingi ili kufika shuleni.
Maendeleo yanayotokana na teknolojia pia yameweza kuboresha sekta ya usalama shuleni. Hii ni kutokana na kuibuka kwa kamera za usalama zinazoweza kurekodi na kuhifadhi video za kila kitu kinachoendelea hasa uhalifu. Kamera hizi zimeweza kusaidia kupunguza visa vya wanafunzi kutoroka shuleni, uvamizi na pia mambo haramu kama vile kutumia dawa za kulevya ambayo ni kinyume cha sheria za shule.
Hata hivyo, wanafunzi shuleni pia wameweza kuhakikishiwa matibabu bora iwapo wakiwa na ugonjwa. Hii ni kwa sababu hospitali zilizomo shuleni zimeimarishwa kwa kusambaziwa madawa yanayohitajika kutibu magonjwa tofauti tofauti. Hii imeweza kurahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu wao hutibiwa huku wakiendelea na masomo yao.
Aghalabu pia teknolojia imeleta madhara kadhaa shuleni. Mojawapo ya madhara haya ni kama vile wanafunzi kuanguka mitihani yao kwa sababu iwapo umeme utapotea basi shughuli za masomo zitazorota. Swala hili linatokana na utegemezi wa kiwango cha juu wa umeme katika shughuli hizo. Hivyo basi teknolojia hii haina manufaa kwa shule zilizo katika maeneo yenye shida ya umeme.
Licha ya hayo, teknolojia pia imechangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi hujishughulisha na mambo ambayo haya husiani na maswala ya elimu wanapotumia simu au tarakilishi zao shuleni. Wao huhifadhi video chafu kama vile za mapenzi, vita vinavyosababisha mauaji. Hii huathiri akili na mawazo yao na kutamani kujaribu mambo haya wakiwa shuleni.
| Ni shule gani tekinolojia imeleta manufaa mengigi | {
"text": [
"Sekondari"
]
} |
3164_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya swala ibuka katika iliyoleta jamii iliyoleta maendeleo katika sekta mbalimbali. Maendeleo haya ni pamoja na kuimarisha hali ya masomo shuleni kwa kusambaza tarakilishi na vitabu vya kudurusu. Pia vyombo vya mawasiliano kama vile simu ya mkononi, vyombo vya kusafiria na vile vinavyotumika hospitalini ni baadhi ya maendeleo kutokana na teknolojia.
Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi katika masomo. Wanafunzi wameweza kufaulu vizuri kutokana na maendeleo haya. Serikali imeweza kusambaza tarakilishi katika shule tofauti tofauti. Tarakilishi hizi husaidia wanafunzi kwa kuhifadhi data ya masomo. Pia huwasaidia iwapo wangetaka kufanya utafiti wa jambo fulani kuhusu masomo yao.
Walimu pia vile vile wamerahisishiwa kazi ya kuchora na kuandika ubaoni. Hii imewezeshwa na uwezo wa tarakilishi kwa kutumia projekta ili kuwasilisha ujumbe mwafaka unaojitokeza katika somo hilo. Hata hivyo, hii imesababisha wanafunzi kuwa watulivu darasani at kuliko kufundishwa kwa kuandikia ubaoni kwa sababu wanafunzi wengi wamezoea kutazama vipindi katika televisheni wakiwa kwao.
Teknolojia pia imesaidia katika usafiri. Walimu pamoja na wanafunziwanaosoma katika shule za kutwa wamewezeshwa kufika shuleni mapema. Hii ni kwa sababu wao huabiri vyombo vya usafiri na wengine wakitumia usafiri binafsi wanapoenda shuleni. Hivyo basi, hii imeweza kupunguza muda ambao ungetumika kutembea maili nyingi ili kufika shuleni.
Maendeleo yanayotokana na teknolojia pia yameweza kuboresha sekta ya usalama shuleni. Hii ni kutokana na kuibuka kwa kamera za usalama zinazoweza kurekodi na kuhifadhi video za kila kitu kinachoendelea hasa uhalifu. Kamera hizi zimeweza kusaidia kupunguza visa vya wanafunzi kutoroka shuleni, uvamizi na pia mambo haramu kama vile kutumia dawa za kulevya ambayo ni kinyume cha sheria za shule.
Hata hivyo, wanafunzi shuleni pia wameweza kuhakikishiwa matibabu bora iwapo wakiwa na ugonjwa. Hii ni kwa sababu hospitali zilizomo shuleni zimeimarishwa kwa kusambaziwa madawa yanayohitajika kutibu magonjwa tofauti tofauti. Hii imeweza kurahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu wao hutibiwa huku wakiendelea na masomo yao.
Aghalabu pia teknolojia imeleta madhara kadhaa shuleni. Mojawapo ya madhara haya ni kama vile wanafunzi kuanguka mitihani yao kwa sababu iwapo umeme utapotea basi shughuli za masomo zitazorota. Swala hili linatokana na utegemezi wa kiwango cha juu wa umeme katika shughuli hizo. Hivyo basi teknolojia hii haina manufaa kwa shule zilizo katika maeneo yenye shida ya umeme.
Licha ya hayo, teknolojia pia imechangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi hujishughulisha na mambo ambayo haya husiani na maswala ya elimu wanapotumia simu au tarakilishi zao shuleni. Wao huhifadhi video chafu kama vile za mapenzi, vita vinavyosababisha mauaji. Hii huathiri akili na mawazo yao na kutamani kujaribu mambo haya wakiwa shuleni.
| Ni nini huwezesha tarakilishi kuwasilisha ujumbe | {
"text": [
"Projekta"
]
} |
3164_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya swala ibuka katika iliyoleta jamii iliyoleta maendeleo katika sekta mbalimbali. Maendeleo haya ni pamoja na kuimarisha hali ya masomo shuleni kwa kusambaza tarakilishi na vitabu vya kudurusu. Pia vyombo vya mawasiliano kama vile simu ya mkononi, vyombo vya kusafiria na vile vinavyotumika hospitalini ni baadhi ya maendeleo kutokana na teknolojia.
Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi katika masomo. Wanafunzi wameweza kufaulu vizuri kutokana na maendeleo haya. Serikali imeweza kusambaza tarakilishi katika shule tofauti tofauti. Tarakilishi hizi husaidia wanafunzi kwa kuhifadhi data ya masomo. Pia huwasaidia iwapo wangetaka kufanya utafiti wa jambo fulani kuhusu masomo yao.
Walimu pia vile vile wamerahisishiwa kazi ya kuchora na kuandika ubaoni. Hii imewezeshwa na uwezo wa tarakilishi kwa kutumia projekta ili kuwasilisha ujumbe mwafaka unaojitokeza katika somo hilo. Hata hivyo, hii imesababisha wanafunzi kuwa watulivu darasani at kuliko kufundishwa kwa kuandikia ubaoni kwa sababu wanafunzi wengi wamezoea kutazama vipindi katika televisheni wakiwa kwao.
Teknolojia pia imesaidia katika usafiri. Walimu pamoja na wanafunziwanaosoma katika shule za kutwa wamewezeshwa kufika shuleni mapema. Hii ni kwa sababu wao huabiri vyombo vya usafiri na wengine wakitumia usafiri binafsi wanapoenda shuleni. Hivyo basi, hii imeweza kupunguza muda ambao ungetumika kutembea maili nyingi ili kufika shuleni.
Maendeleo yanayotokana na teknolojia pia yameweza kuboresha sekta ya usalama shuleni. Hii ni kutokana na kuibuka kwa kamera za usalama zinazoweza kurekodi na kuhifadhi video za kila kitu kinachoendelea hasa uhalifu. Kamera hizi zimeweza kusaidia kupunguza visa vya wanafunzi kutoroka shuleni, uvamizi na pia mambo haramu kama vile kutumia dawa za kulevya ambayo ni kinyume cha sheria za shule.
Hata hivyo, wanafunzi shuleni pia wameweza kuhakikishiwa matibabu bora iwapo wakiwa na ugonjwa. Hii ni kwa sababu hospitali zilizomo shuleni zimeimarishwa kwa kusambaziwa madawa yanayohitajika kutibu magonjwa tofauti tofauti. Hii imeweza kurahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu wao hutibiwa huku wakiendelea na masomo yao.
Aghalabu pia teknolojia imeleta madhara kadhaa shuleni. Mojawapo ya madhara haya ni kama vile wanafunzi kuanguka mitihani yao kwa sababu iwapo umeme utapotea basi shughuli za masomo zitazorota. Swala hili linatokana na utegemezi wa kiwango cha juu wa umeme katika shughuli hizo. Hivyo basi teknolojia hii haina manufaa kwa shule zilizo katika maeneo yenye shida ya umeme.
Licha ya hayo, teknolojia pia imechangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi hujishughulisha na mambo ambayo haya husiani na maswala ya elimu wanapotumia simu au tarakilishi zao shuleni. Wao huhifadhi video chafu kama vile za mapenzi, vita vinavyosababisha mauaji. Hii huathiri akili na mawazo yao na kutamani kujaribu mambo haya wakiwa shuleni.
| Ni vipi tekinolojia imeimarisha usalama shuleni | {
"text": [
"Kwa kamera za usalama"
]
} |
3164_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni mojawapo ya swala ibuka katika iliyoleta jamii iliyoleta maendeleo katika sekta mbalimbali. Maendeleo haya ni pamoja na kuimarisha hali ya masomo shuleni kwa kusambaza tarakilishi na vitabu vya kudurusu. Pia vyombo vya mawasiliano kama vile simu ya mkononi, vyombo vya kusafiria na vile vinavyotumika hospitalini ni baadhi ya maendeleo kutokana na teknolojia.
Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi katika masomo. Wanafunzi wameweza kufaulu vizuri kutokana na maendeleo haya. Serikali imeweza kusambaza tarakilishi katika shule tofauti tofauti. Tarakilishi hizi husaidia wanafunzi kwa kuhifadhi data ya masomo. Pia huwasaidia iwapo wangetaka kufanya utafiti wa jambo fulani kuhusu masomo yao.
Walimu pia vile vile wamerahisishiwa kazi ya kuchora na kuandika ubaoni. Hii imewezeshwa na uwezo wa tarakilishi kwa kutumia projekta ili kuwasilisha ujumbe mwafaka unaojitokeza katika somo hilo. Hata hivyo, hii imesababisha wanafunzi kuwa watulivu darasani at kuliko kufundishwa kwa kuandikia ubaoni kwa sababu wanafunzi wengi wamezoea kutazama vipindi katika televisheni wakiwa kwao.
Teknolojia pia imesaidia katika usafiri. Walimu pamoja na wanafunziwanaosoma katika shule za kutwa wamewezeshwa kufika shuleni mapema. Hii ni kwa sababu wao huabiri vyombo vya usafiri na wengine wakitumia usafiri binafsi wanapoenda shuleni. Hivyo basi, hii imeweza kupunguza muda ambao ungetumika kutembea maili nyingi ili kufika shuleni.
Maendeleo yanayotokana na teknolojia pia yameweza kuboresha sekta ya usalama shuleni. Hii ni kutokana na kuibuka kwa kamera za usalama zinazoweza kurekodi na kuhifadhi video za kila kitu kinachoendelea hasa uhalifu. Kamera hizi zimeweza kusaidia kupunguza visa vya wanafunzi kutoroka shuleni, uvamizi na pia mambo haramu kama vile kutumia dawa za kulevya ambayo ni kinyume cha sheria za shule.
Hata hivyo, wanafunzi shuleni pia wameweza kuhakikishiwa matibabu bora iwapo wakiwa na ugonjwa. Hii ni kwa sababu hospitali zilizomo shuleni zimeimarishwa kwa kusambaziwa madawa yanayohitajika kutibu magonjwa tofauti tofauti. Hii imeweza kurahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu wao hutibiwa huku wakiendelea na masomo yao.
Aghalabu pia teknolojia imeleta madhara kadhaa shuleni. Mojawapo ya madhara haya ni kama vile wanafunzi kuanguka mitihani yao kwa sababu iwapo umeme utapotea basi shughuli za masomo zitazorota. Swala hili linatokana na utegemezi wa kiwango cha juu wa umeme katika shughuli hizo. Hivyo basi teknolojia hii haina manufaa kwa shule zilizo katika maeneo yenye shida ya umeme.
Licha ya hayo, teknolojia pia imechangia pakubwa katika ukosefu wa nidhamu kwa wanafunzi. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanafunzi hujishughulisha na mambo ambayo haya husiani na maswala ya elimu wanapotumia simu au tarakilishi zao shuleni. Wao huhifadhi video chafu kama vile za mapenzi, vita vinavyosababisha mauaji. Hii huathiri akili na mawazo yao na kutamani kujaribu mambo haya wakiwa shuleni.
| Eleza vile teknolojia huzorotesha masomo | {
"text": [
"Iwapo umeme utapotea"
]
} |
3165_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umesaidia katika kustawi kwa masomo duniani ijapokuwa imeleta faida na madhara. Sasa dunia imekuwa kama kiganja cha mkono kwa sababu unaweza kusoma na mwenzako aliyembali zaidi bila ya shida yeyote. Wakati wa Corona, shule zilifungwa tukarudi nyumba nao walimu hawakuwa na budi ila kuamrisha wanafunzi wasome kupitia mitandao mbalimbali.
Teknolojia imesaidia wanafunzi kufanya utafiti katika kazi walizopewa na mwalimu. Teknolojia imebeba mambo mengi ndani yake. Kila somo utakalosoma utapata maandishi yamechapishwa na mwanafunzi mwenyewe atenge muda au kujitolea kufanya kazi hiyo ipasavyo. Mara nyingi shule zinapofungwa walimu hujipatia kazi ambazo hawajafundishwa tukafanye utafiti, tusome alafu tujibu maswali walivyotupatia. Maswali yenyewe huhitaji utafiti ambao ukiufanya kwenye vitabu ni nadra sana.
Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hili hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatakikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio kifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayochapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wana uwezo wa kulipa karo jya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Korona ililazimisha walimu kutumia njia ipi kufundisha? | {
"text": [
"Mtandao"
]
} |
3165_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umesaidia katika kustawi kwa masomo duniani ijapokuwa imeleta faida na madhara. Sasa dunia imekuwa kama kiganja cha mkono kwa sababu unaweza kusoma na mwenzako aliyembali zaidi bila ya shida yeyote. Wakati wa Corona, shule zilifungwa tukarudi nyumba nao walimu hawakuwa na budi ila kuamrisha wanafunzi wasome kupitia mitandao mbalimbali.
Teknolojia imesaidia wanafunzi kufanya utafiti katika kazi walizopewa na mwalimu. Teknolojia imebeba mambo mengi ndani yake. Kila somo utakalosoma utapata maandishi yamechapishwa na mwanafunzi mwenyewe atenge muda au kujitolea kufanya kazi hiyo ipasavyo. Mara nyingi shule zinapofungwa walimu hujipatia kazi ambazo hawajafundishwa tukafanye utafiti, tusome alafu tujibu maswali walivyotupatia. Maswali yenyewe huhitaji utafiti ambao ukiufanya kwenye vitabu ni nadra sana.
Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hili hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatakikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio kifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayochapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wana uwezo wa kulipa karo jya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Wanafunzi wanaweza kufanya nini kuhusu somo walilopewa na mwalimu? | {
"text": [
"Utafiti"
]
} |
3165_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umesaidia katika kustawi kwa masomo duniani ijapokuwa imeleta faida na madhara. Sasa dunia imekuwa kama kiganja cha mkono kwa sababu unaweza kusoma na mwenzako aliyembali zaidi bila ya shida yeyote. Wakati wa Corona, shule zilifungwa tukarudi nyumba nao walimu hawakuwa na budi ila kuamrisha wanafunzi wasome kupitia mitandao mbalimbali.
Teknolojia imesaidia wanafunzi kufanya utafiti katika kazi walizopewa na mwalimu. Teknolojia imebeba mambo mengi ndani yake. Kila somo utakalosoma utapata maandishi yamechapishwa na mwanafunzi mwenyewe atenge muda au kujitolea kufanya kazi hiyo ipasavyo. Mara nyingi shule zinapofungwa walimu hujipatia kazi ambazo hawajafundishwa tukafanye utafiti, tusome alafu tujibu maswali walivyotupatia. Maswali yenyewe huhitaji utafiti ambao ukiufanya kwenye vitabu ni nadra sana.
Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hili hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatakikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio kifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayochapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wana uwezo wa kulipa karo jya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Nini imewezesha makaratasi yachapishwe kwa kiwango chochote? | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3165_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umesaidia katika kustawi kwa masomo duniani ijapokuwa imeleta faida na madhara. Sasa dunia imekuwa kama kiganja cha mkono kwa sababu unaweza kusoma na mwenzako aliyembali zaidi bila ya shida yeyote. Wakati wa Corona, shule zilifungwa tukarudi nyumba nao walimu hawakuwa na budi ila kuamrisha wanafunzi wasome kupitia mitandao mbalimbali.
Teknolojia imesaidia wanafunzi kufanya utafiti katika kazi walizopewa na mwalimu. Teknolojia imebeba mambo mengi ndani yake. Kila somo utakalosoma utapata maandishi yamechapishwa na mwanafunzi mwenyewe atenge muda au kujitolea kufanya kazi hiyo ipasavyo. Mara nyingi shule zinapofungwa walimu hujipatia kazi ambazo hawajafundishwa tukafanye utafiti, tusome alafu tujibu maswali walivyotupatia. Maswali yenyewe huhitaji utafiti ambao ukiufanya kwenye vitabu ni nadra sana.
Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hili hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatakikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio kifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayochapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wana uwezo wa kulipa karo jya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Wazazi hupata nini kupitia mtandao kabla ya wanafunzi kufunga shule? | {
"text": [
"Matokeo"
]
} |
3165_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umesaidia katika kustawi kwa masomo duniani ijapokuwa imeleta faida na madhara. Sasa dunia imekuwa kama kiganja cha mkono kwa sababu unaweza kusoma na mwenzako aliyembali zaidi bila ya shida yeyote. Wakati wa Corona, shule zilifungwa tukarudi nyumba nao walimu hawakuwa na budi ila kuamrisha wanafunzi wasome kupitia mitandao mbalimbali.
Teknolojia imesaidia wanafunzi kufanya utafiti katika kazi walizopewa na mwalimu. Teknolojia imebeba mambo mengi ndani yake. Kila somo utakalosoma utapata maandishi yamechapishwa na mwanafunzi mwenyewe atenge muda au kujitolea kufanya kazi hiyo ipasavyo. Mara nyingi shule zinapofungwa walimu hujipatia kazi ambazo hawajafundishwa tukafanye utafiti, tusome alafu tujibu maswali walivyotupatia. Maswali yenyewe huhitaji utafiti ambao ukiufanya kwenye vitabu ni nadra sana.
Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hili hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatakikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio kifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayochapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wana uwezo wa kulipa karo jya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Dunia imekua kama kiganja cha mkono kivipi? | {
"text": [
"Wanafunzi wanaweza kusoma kwa pamoja licha ya umbali wa kimwili"
]
} |
3166_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Hakika ulimwengu wa kisasa umeimarika kiteknolojia. klakati wa kisasa si kama ule wa kale ukilinganisha kiteknolojia. Uvumbuzi wa teknolojia umeleta manufaa mengi katika jamii na hususan shule za sekondari. Wahenga hawakukosea walipolonga ya kwamba kizuri hakikosi kasoro. Licha ya manufaa ya teknolojia, inayo pia madhara yake tumbi tumbi.
Moja wapo ya manufaa ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba, wanafunzi hutumia tarakilishi kutaipu masomo yao. Hii hufanya mwanafunzi kutumia muda wake vizuri pasi na kuchoka kwani tarakilishi huwa na haraka kwa hivyo mwanafunzi hutumia tu muda kidogo.
Licha ya faida hio, tarakilishi ina madhara yake kwani mwanafunzi yule kwanza atakuwa mvivu wa kuandika masomo yake. Pili si wanafunzi wote hujihusisha na masomo wakati wa kuitumia tarakilishi, wako ambao hucheza michezo iliomo ndani ya tarakilishi ambapo hupoteza tu muda wao pasi na kusoma au kutaipu masomo yao.
Teknolojia pia imeimarisha uchapishaji wa karatasi katika shule za sekondari. Shule nyingi zina wanafunzi wengi sana. Walimu hawawezi andikia mtihani kwa mwanafunzi kwa sababu ni jambo la kuchosha. Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hii hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatikikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio ifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayo chapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wanauwezo wa kulipa karo ya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Ulimwengu wa kisasa umeimarika vipi | {
"text": [
"kiteknolojia"
]
} |
3166_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Hakika ulimwengu wa kisasa umeimarika kiteknolojia. klakati wa kisasa si kama ule wa kale ukilinganisha kiteknolojia. Uvumbuzi wa teknolojia umeleta manufaa mengi katika jamii na hususan shule za sekondari. Wahenga hawakukosea walipolonga ya kwamba kizuri hakikosi kasoro. Licha ya manufaa ya teknolojia, inayo pia madhara yake tumbi tumbi.
Moja wapo ya manufaa ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba, wanafunzi hutumia tarakilishi kutaipu masomo yao. Hii hufanya mwanafunzi kutumia muda wake vizuri pasi na kuchoka kwani tarakilishi huwa na haraka kwa hivyo mwanafunzi hutumia tu muda kidogo.
Licha ya faida hio, tarakilishi ina madhara yake kwani mwanafunzi yule kwanza atakuwa mvivu wa kuandika masomo yake. Pili si wanafunzi wote hujihusisha na masomo wakati wa kuitumia tarakilishi, wako ambao hucheza michezo iliomo ndani ya tarakilishi ambapo hupoteza tu muda wao pasi na kusoma au kutaipu masomo yao.
Teknolojia pia imeimarisha uchapishaji wa karatasi katika shule za sekondari. Shule nyingi zina wanafunzi wengi sana. Walimu hawawezi andikia mtihani kwa mwanafunzi kwa sababu ni jambo la kuchosha. Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hii hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatikikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio ifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayo chapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wanauwezo wa kulipa karo ya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Uvumbuzi wa teknolojia umeleta nini | {
"text": [
"manufaa"
]
} |
3166_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Hakika ulimwengu wa kisasa umeimarika kiteknolojia. klakati wa kisasa si kama ule wa kale ukilinganisha kiteknolojia. Uvumbuzi wa teknolojia umeleta manufaa mengi katika jamii na hususan shule za sekondari. Wahenga hawakukosea walipolonga ya kwamba kizuri hakikosi kasoro. Licha ya manufaa ya teknolojia, inayo pia madhara yake tumbi tumbi.
Moja wapo ya manufaa ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba, wanafunzi hutumia tarakilishi kutaipu masomo yao. Hii hufanya mwanafunzi kutumia muda wake vizuri pasi na kuchoka kwani tarakilishi huwa na haraka kwa hivyo mwanafunzi hutumia tu muda kidogo.
Licha ya faida hio, tarakilishi ina madhara yake kwani mwanafunzi yule kwanza atakuwa mvivu wa kuandika masomo yake. Pili si wanafunzi wote hujihusisha na masomo wakati wa kuitumia tarakilishi, wako ambao hucheza michezo iliomo ndani ya tarakilishi ambapo hupoteza tu muda wao pasi na kusoma au kutaipu masomo yao.
Teknolojia pia imeimarisha uchapishaji wa karatasi katika shule za sekondari. Shule nyingi zina wanafunzi wengi sana. Walimu hawawezi andikia mtihani kwa mwanafunzi kwa sababu ni jambo la kuchosha. Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hii hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatikikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio ifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayo chapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wanauwezo wa kulipa karo ya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Shule nyingi zina wanafunzi wangapi | {
"text": [
"wengi sana"
]
} |
3166_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Hakika ulimwengu wa kisasa umeimarika kiteknolojia. klakati wa kisasa si kama ule wa kale ukilinganisha kiteknolojia. Uvumbuzi wa teknolojia umeleta manufaa mengi katika jamii na hususan shule za sekondari. Wahenga hawakukosea walipolonga ya kwamba kizuri hakikosi kasoro. Licha ya manufaa ya teknolojia, inayo pia madhara yake tumbi tumbi.
Moja wapo ya manufaa ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba, wanafunzi hutumia tarakilishi kutaipu masomo yao. Hii hufanya mwanafunzi kutumia muda wake vizuri pasi na kuchoka kwani tarakilishi huwa na haraka kwa hivyo mwanafunzi hutumia tu muda kidogo.
Licha ya faida hio, tarakilishi ina madhara yake kwani mwanafunzi yule kwanza atakuwa mvivu wa kuandika masomo yake. Pili si wanafunzi wote hujihusisha na masomo wakati wa kuitumia tarakilishi, wako ambao hucheza michezo iliomo ndani ya tarakilishi ambapo hupoteza tu muda wao pasi na kusoma au kutaipu masomo yao.
Teknolojia pia imeimarisha uchapishaji wa karatasi katika shule za sekondari. Shule nyingi zina wanafunzi wengi sana. Walimu hawawezi andikia mtihani kwa mwanafunzi kwa sababu ni jambo la kuchosha. Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hii hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatikikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio ifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayo chapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wanauwezo wa kulipa karo ya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Teknolojia imeleta madhara mengi kwa wanafunzi gani | {
"text": [
"wa sekondari"
]
} |
3166_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Hakika ulimwengu wa kisasa umeimarika kiteknolojia. klakati wa kisasa si kama ule wa kale ukilinganisha kiteknolojia. Uvumbuzi wa teknolojia umeleta manufaa mengi katika jamii na hususan shule za sekondari. Wahenga hawakukosea walipolonga ya kwamba kizuri hakikosi kasoro. Licha ya manufaa ya teknolojia, inayo pia madhara yake tumbi tumbi.
Moja wapo ya manufaa ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba, wanafunzi hutumia tarakilishi kutaipu masomo yao. Hii hufanya mwanafunzi kutumia muda wake vizuri pasi na kuchoka kwani tarakilishi huwa na haraka kwa hivyo mwanafunzi hutumia tu muda kidogo.
Licha ya faida hio, tarakilishi ina madhara yake kwani mwanafunzi yule kwanza atakuwa mvivu wa kuandika masomo yake. Pili si wanafunzi wote hujihusisha na masomo wakati wa kuitumia tarakilishi, wako ambao hucheza michezo iliomo ndani ya tarakilishi ambapo hupoteza tu muda wao pasi na kusoma au kutaipu masomo yao.
Teknolojia pia imeimarisha uchapishaji wa karatasi katika shule za sekondari. Shule nyingi zina wanafunzi wengi sana. Walimu hawawezi andikia mtihani kwa mwanafunzi kwa sababu ni jambo la kuchosha. Hivyo basi teknolojia imevumbua mashine ya kuchapisha karatasi za kiwango chochote atakacho mtu. Tendo hii hufanyika katika kipindi kichache sana. Muda kidogo tu unatikikana kuchapisha karatasi hizo. Chombo hiki pia kinayo madhara yake. Kwanza inahitaji umeme ndio ifanye kazi na licha ya hilo yale makaratasi yanayo chapishwa hununuliwa kwa hivyo hufanya idadi ya karo kuongezeka. Si wazazi wote wanauwezo wa kulipa karo ya kiasi cha juu.
Kunazo pia kamera za ukutani (cctv) ambazo zimewekwa katika kila pembe ya shule kasoro mahala pa kujisaidia tu na pakuogea. Kamera zile humuonyesha mwalimu mkuu kila kinachoendelea katika maeneo yale hata akiwa mbali kiasi gani, yeye anaweza kuona kutumia simu yake ya mkononi.
Teknolojia pia imewezesha kutuma majibu ya mitihani inayofanywa na wanafunzi kwa wazazi. Majibu hayo hutumwa kabla mwanafunzi kupeleka karatasi yake ya majibu. Mbinu hii imepunguza kesi za wanafunzi kubadilisha majibu yao. Wako wanafunzi ambao wakiona hawajafaulu basi wao hupitia saiba na kuyabadilisha majibu yale.
Teknolojia pia imerahisisha kufanya utafiti wa jambo. Mwanafunzi au mwalimu anaweza taka kujuwa zaidi kuhusu jambo fulani, basi yeye anaeza tumia simu yake kama ni mwalimu au hata patakilishi au tarakilishi kutafuta maelezo zaidi ya jambo analolitaka .
Licha ya hayo, tarakilishi imeleta madhara mengi sana kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wamekuwa wavivu wa kuandika notsi zao. Wanategemea notsi kutoka kwa patakilishi au tarakilishi. Wanafunzi wamekuwa pia wavivu wa kufikiria jambo. Hao wakipata hata neno ambalo wanaeza fikiria na kupata jibu hawafikiri mbali, anakimbilia tu patakilishi ambayo itampa jibu kwa haraka. Hivyo basi wanafunzi wanakuwa wazembe wa kufikiria na kiwango cha kufikiria kinapungua.
| Mbona walimu hawawezi kumwandikia kila mwanafunzi mtihani | {
"text": [
"ni jambo la kuchosha"
]
} |
3167_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Swala la teknolojia katika masomo ya kisasa limekita kambi na kuwafurahisha watu wote kwa ujumla kwani watu wengi kutoka tabaka tofauti tofauti wameweza kupata manufaa mengi sana ambayo hayakuwepo hapo zamani.
Moja kwa moja tukienda katika swala la kufanya uchunguzi wa masomo ili tupate kupata maana fiche ya jambo fulani, watu huingia mtandaoni haswa wanafunzi wakiwa shuleni na muda si mchache wanaletewa maana zote na kuweza kupata jibu mwafaka licha ya wahenga kusema kuwa haraka haraka haina baraka bali teknolojia hii hutumika kurahisisha mambo kwa muda mfupi.
Teknolojia imegonga vichwa vya habari kwa kuwa rahisi na kumwezesha mwanafunzi kufanya uchunguzi wake kwa haraka. Kupitia kwa njia hii humwezesha mwanafunzi kutokuwa jinga kama dubu kwa sababu kwa utumizi mzuri wa teknolojia lazima uwe haraka na mwenye akili ya kufikiri mbali iwezekanavyo. Walimu hufurahishwa na wanafunzi hao kwa kuwa watakuwa na ubunifu wa hali ya juu.
Teknolojia katika shule za sekondari imewawezesha wanafunzi kujisajili na kuchagua vioo vikuu kama wasemavyo kwa kimombo ‘University'. Hii humrahisisha kazi mwanafunzi huyu kwa sababu wengi wao hupata tabu sana baada ya kufanya mtihani wao wa mwisho wa sekondari na kuanza kutafuta nafasi ambazo wenzao walitafuta kama bado wangali shuleni. Haya ndio mambo huwafanya wengine kusema kuwa, "ndivyo walivyo, eti nafasi zimeisha ilhali wanahongwa na hao wenye mali."
Chochote kile kipewacho sifa lazima pia kina kasoro, teknolojia hii inayosifiwa katika shule za sekondari nayo pia ina kasoro na majuto yake. Wanafunzi wengi wamejihusisha katika mambo ambayo hayastahili na hii ni baada ya kuona vitendo visivyostahili katika mitandaoni. Kwa kutumia tarakilishi, simu na televisheni. Vijana wengi wamefumaniwa na walimu wao katika mabweni yao wakishiriki tendo la ndoa. Hii imejenga uadui kati ya wanafunzi waliokuwa wameaminiwa na walimu wao kwa tabia nzuri.
Jambo lingine ni michezo isiyo kuwa ya maana na iliyojaa majuto mwishowe. Naikumbuka vizuri siku moja tukiwa gwarideni walimu walilazimika kumshugulikia msichana mmoja ambaye alijidunga kwa kisu tumboni. Hii ni baada ya yeye kujulishwa mchezo upatikanao mitandaoni unaoitwa kwenye lugha ya kimombo ‘Charlie charlie' na alipokuwa akijifurahisha na mchezo huo, ghafla bin vu alichukuwa kisu kilichokuwa mezani na kujidunga. Vijana wengi licha ya kuonywa, hao hujifungia na kufanya chochote watakacho bila ya kujali mathara yake ya baadae na dunia hii iliyojaa anasa na mashetani au mizimwi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika kudorora kwa afya ya wanafunzi kwa sababu wengi wao hushinda kwenye tarakilishi au simu wakipekuepekua na kudurusu alafu baadae magonjwa yasiyoeleweka yanaanza. Wanafunzi wengi shuleni huwa na shida ya macho kutokana na miayo itokayo kwenye vyombo hivi vya kusomea. Hii huwa gharama kwa mzazi kwa sababu analazimika kununua miwani ambayo kupatikana kwake ni ghali na uchochole limekithiri
na kukita kambi.
Mwisho kabisa ni kuwa teknolojia imechangia pakubwa katika ulevi na utumiaji wa madawa za kulevya miongoni mwa wanafunzi katika shule za sekondari. Wanafunzi hawa ambao huiga tabia za watu baada ya kuziona mtandaoni na baadae kuenda kinyume na matarajio ya jamii. Teknolojia kwa ujumla ina faida na hasara zake ambazo huweza kuathiri masomo ya mwanafunzi. | Wanafunzi wanaingia wapi kupata majibu | {
"text": [
"Mtandaoni"
]
} |
3167_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Swala la teknolojia katika masomo ya kisasa limekita kambi na kuwafurahisha watu wote kwa ujumla kwani watu wengi kutoka tabaka tofauti tofauti wameweza kupata manufaa mengi sana ambayo hayakuwepo hapo zamani.
Moja kwa moja tukienda katika swala la kufanya uchunguzi wa masomo ili tupate kupata maana fiche ya jambo fulani, watu huingia mtandaoni haswa wanafunzi wakiwa shuleni na muda si mchache wanaletewa maana zote na kuweza kupata jibu mwafaka licha ya wahenga kusema kuwa haraka haraka haina baraka bali teknolojia hii hutumika kurahisisha mambo kwa muda mfupi.
Teknolojia imegonga vichwa vya habari kwa kuwa rahisi na kumwezesha mwanafunzi kufanya uchunguzi wake kwa haraka. Kupitia kwa njia hii humwezesha mwanafunzi kutokuwa jinga kama dubu kwa sababu kwa utumizi mzuri wa teknolojia lazima uwe haraka na mwenye akili ya kufikiri mbali iwezekanavyo. Walimu hufurahishwa na wanafunzi hao kwa kuwa watakuwa na ubunifu wa hali ya juu.
Teknolojia katika shule za sekondari imewawezesha wanafunzi kujisajili na kuchagua vioo vikuu kama wasemavyo kwa kimombo ‘University'. Hii humrahisisha kazi mwanafunzi huyu kwa sababu wengi wao hupata tabu sana baada ya kufanya mtihani wao wa mwisho wa sekondari na kuanza kutafuta nafasi ambazo wenzao walitafuta kama bado wangali shuleni. Haya ndio mambo huwafanya wengine kusema kuwa, "ndivyo walivyo, eti nafasi zimeisha ilhali wanahongwa na hao wenye mali."
Chochote kile kipewacho sifa lazima pia kina kasoro, teknolojia hii inayosifiwa katika shule za sekondari nayo pia ina kasoro na majuto yake. Wanafunzi wengi wamejihusisha katika mambo ambayo hayastahili na hii ni baada ya kuona vitendo visivyostahili katika mitandaoni. Kwa kutumia tarakilishi, simu na televisheni. Vijana wengi wamefumaniwa na walimu wao katika mabweni yao wakishiriki tendo la ndoa. Hii imejenga uadui kati ya wanafunzi waliokuwa wameaminiwa na walimu wao kwa tabia nzuri.
Jambo lingine ni michezo isiyo kuwa ya maana na iliyojaa majuto mwishowe. Naikumbuka vizuri siku moja tukiwa gwarideni walimu walilazimika kumshugulikia msichana mmoja ambaye alijidunga kwa kisu tumboni. Hii ni baada ya yeye kujulishwa mchezo upatikanao mitandaoni unaoitwa kwenye lugha ya kimombo ‘Charlie charlie' na alipokuwa akijifurahisha na mchezo huo, ghafla bin vu alichukuwa kisu kilichokuwa mezani na kujidunga. Vijana wengi licha ya kuonywa, hao hujifungia na kufanya chochote watakacho bila ya kujali mathara yake ya baadae na dunia hii iliyojaa anasa na mashetani au mizimwi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika kudorora kwa afya ya wanafunzi kwa sababu wengi wao hushinda kwenye tarakilishi au simu wakipekuepekua na kudurusu alafu baadae magonjwa yasiyoeleweka yanaanza. Wanafunzi wengi shuleni huwa na shida ya macho kutokana na miayo itokayo kwenye vyombo hivi vya kusomea. Hii huwa gharama kwa mzazi kwa sababu analazimika kununua miwani ambayo kupatikana kwake ni ghali na uchochole limekithiri
na kukita kambi.
Mwisho kabisa ni kuwa teknolojia imechangia pakubwa katika ulevi na utumiaji wa madawa za kulevya miongoni mwa wanafunzi katika shule za sekondari. Wanafunzi hawa ambao huiga tabia za watu baada ya kuziona mtandaoni na baadae kuenda kinyume na matarajio ya jamii. Teknolojia kwa ujumla ina faida na hasara zake ambazo huweza kuathiri masomo ya mwanafunzi. | Ni nini husaidia kuchagua vyuo vikuu | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3167_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Swala la teknolojia katika masomo ya kisasa limekita kambi na kuwafurahisha watu wote kwa ujumla kwani watu wengi kutoka tabaka tofauti tofauti wameweza kupata manufaa mengi sana ambayo hayakuwepo hapo zamani.
Moja kwa moja tukienda katika swala la kufanya uchunguzi wa masomo ili tupate kupata maana fiche ya jambo fulani, watu huingia mtandaoni haswa wanafunzi wakiwa shuleni na muda si mchache wanaletewa maana zote na kuweza kupata jibu mwafaka licha ya wahenga kusema kuwa haraka haraka haina baraka bali teknolojia hii hutumika kurahisisha mambo kwa muda mfupi.
Teknolojia imegonga vichwa vya habari kwa kuwa rahisi na kumwezesha mwanafunzi kufanya uchunguzi wake kwa haraka. Kupitia kwa njia hii humwezesha mwanafunzi kutokuwa jinga kama dubu kwa sababu kwa utumizi mzuri wa teknolojia lazima uwe haraka na mwenye akili ya kufikiri mbali iwezekanavyo. Walimu hufurahishwa na wanafunzi hao kwa kuwa watakuwa na ubunifu wa hali ya juu.
Teknolojia katika shule za sekondari imewawezesha wanafunzi kujisajili na kuchagua vioo vikuu kama wasemavyo kwa kimombo ‘University'. Hii humrahisisha kazi mwanafunzi huyu kwa sababu wengi wao hupata tabu sana baada ya kufanya mtihani wao wa mwisho wa sekondari na kuanza kutafuta nafasi ambazo wenzao walitafuta kama bado wangali shuleni. Haya ndio mambo huwafanya wengine kusema kuwa, "ndivyo walivyo, eti nafasi zimeisha ilhali wanahongwa na hao wenye mali."
Chochote kile kipewacho sifa lazima pia kina kasoro, teknolojia hii inayosifiwa katika shule za sekondari nayo pia ina kasoro na majuto yake. Wanafunzi wengi wamejihusisha katika mambo ambayo hayastahili na hii ni baada ya kuona vitendo visivyostahili katika mitandaoni. Kwa kutumia tarakilishi, simu na televisheni. Vijana wengi wamefumaniwa na walimu wao katika mabweni yao wakishiriki tendo la ndoa. Hii imejenga uadui kati ya wanafunzi waliokuwa wameaminiwa na walimu wao kwa tabia nzuri.
Jambo lingine ni michezo isiyo kuwa ya maana na iliyojaa majuto mwishowe. Naikumbuka vizuri siku moja tukiwa gwarideni walimu walilazimika kumshugulikia msichana mmoja ambaye alijidunga kwa kisu tumboni. Hii ni baada ya yeye kujulishwa mchezo upatikanao mitandaoni unaoitwa kwenye lugha ya kimombo ‘Charlie charlie' na alipokuwa akijifurahisha na mchezo huo, ghafla bin vu alichukuwa kisu kilichokuwa mezani na kujidunga. Vijana wengi licha ya kuonywa, hao hujifungia na kufanya chochote watakacho bila ya kujali mathara yake ya baadae na dunia hii iliyojaa anasa na mashetani au mizimwi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika kudorora kwa afya ya wanafunzi kwa sababu wengi wao hushinda kwenye tarakilishi au simu wakipekuepekua na kudurusu alafu baadae magonjwa yasiyoeleweka yanaanza. Wanafunzi wengi shuleni huwa na shida ya macho kutokana na miayo itokayo kwenye vyombo hivi vya kusomea. Hii huwa gharama kwa mzazi kwa sababu analazimika kununua miwani ambayo kupatikana kwake ni ghali na uchochole limekithiri
na kukita kambi.
Mwisho kabisa ni kuwa teknolojia imechangia pakubwa katika ulevi na utumiaji wa madawa za kulevya miongoni mwa wanafunzi katika shule za sekondari. Wanafunzi hawa ambao huiga tabia za watu baada ya kuziona mtandaoni na baadae kuenda kinyume na matarajio ya jamii. Teknolojia kwa ujumla ina faida na hasara zake ambazo huweza kuathiri masomo ya mwanafunzi. | Wanafunzi wanafumaniwa wapi | {
"text": [
"Mabweni"
]
} |
3167_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Swala la teknolojia katika masomo ya kisasa limekita kambi na kuwafurahisha watu wote kwa ujumla kwani watu wengi kutoka tabaka tofauti tofauti wameweza kupata manufaa mengi sana ambayo hayakuwepo hapo zamani.
Moja kwa moja tukienda katika swala la kufanya uchunguzi wa masomo ili tupate kupata maana fiche ya jambo fulani, watu huingia mtandaoni haswa wanafunzi wakiwa shuleni na muda si mchache wanaletewa maana zote na kuweza kupata jibu mwafaka licha ya wahenga kusema kuwa haraka haraka haina baraka bali teknolojia hii hutumika kurahisisha mambo kwa muda mfupi.
Teknolojia imegonga vichwa vya habari kwa kuwa rahisi na kumwezesha mwanafunzi kufanya uchunguzi wake kwa haraka. Kupitia kwa njia hii humwezesha mwanafunzi kutokuwa jinga kama dubu kwa sababu kwa utumizi mzuri wa teknolojia lazima uwe haraka na mwenye akili ya kufikiri mbali iwezekanavyo. Walimu hufurahishwa na wanafunzi hao kwa kuwa watakuwa na ubunifu wa hali ya juu.
Teknolojia katika shule za sekondari imewawezesha wanafunzi kujisajili na kuchagua vioo vikuu kama wasemavyo kwa kimombo ‘University'. Hii humrahisisha kazi mwanafunzi huyu kwa sababu wengi wao hupata tabu sana baada ya kufanya mtihani wao wa mwisho wa sekondari na kuanza kutafuta nafasi ambazo wenzao walitafuta kama bado wangali shuleni. Haya ndio mambo huwafanya wengine kusema kuwa, "ndivyo walivyo, eti nafasi zimeisha ilhali wanahongwa na hao wenye mali."
Chochote kile kipewacho sifa lazima pia kina kasoro, teknolojia hii inayosifiwa katika shule za sekondari nayo pia ina kasoro na majuto yake. Wanafunzi wengi wamejihusisha katika mambo ambayo hayastahili na hii ni baada ya kuona vitendo visivyostahili katika mitandaoni. Kwa kutumia tarakilishi, simu na televisheni. Vijana wengi wamefumaniwa na walimu wao katika mabweni yao wakishiriki tendo la ndoa. Hii imejenga uadui kati ya wanafunzi waliokuwa wameaminiwa na walimu wao kwa tabia nzuri.
Jambo lingine ni michezo isiyo kuwa ya maana na iliyojaa majuto mwishowe. Naikumbuka vizuri siku moja tukiwa gwarideni walimu walilazimika kumshugulikia msichana mmoja ambaye alijidunga kwa kisu tumboni. Hii ni baada ya yeye kujulishwa mchezo upatikanao mitandaoni unaoitwa kwenye lugha ya kimombo ‘Charlie charlie' na alipokuwa akijifurahisha na mchezo huo, ghafla bin vu alichukuwa kisu kilichokuwa mezani na kujidunga. Vijana wengi licha ya kuonywa, hao hujifungia na kufanya chochote watakacho bila ya kujali mathara yake ya baadae na dunia hii iliyojaa anasa na mashetani au mizimwi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika kudorora kwa afya ya wanafunzi kwa sababu wengi wao hushinda kwenye tarakilishi au simu wakipekuepekua na kudurusu alafu baadae magonjwa yasiyoeleweka yanaanza. Wanafunzi wengi shuleni huwa na shida ya macho kutokana na miayo itokayo kwenye vyombo hivi vya kusomea. Hii huwa gharama kwa mzazi kwa sababu analazimika kununua miwani ambayo kupatikana kwake ni ghali na uchochole limekithiri
na kukita kambi.
Mwisho kabisa ni kuwa teknolojia imechangia pakubwa katika ulevi na utumiaji wa madawa za kulevya miongoni mwa wanafunzi katika shule za sekondari. Wanafunzi hawa ambao huiga tabia za watu baada ya kuziona mtandaoni na baadae kuenda kinyume na matarajio ya jamii. Teknolojia kwa ujumla ina faida na hasara zake ambazo huweza kuathiri masomo ya mwanafunzi. | Kijana alijidunga na nini | {
"text": [
"Kisu"
]
} |
3167_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Swala la teknolojia katika masomo ya kisasa limekita kambi na kuwafurahisha watu wote kwa ujumla kwani watu wengi kutoka tabaka tofauti tofauti wameweza kupata manufaa mengi sana ambayo hayakuwepo hapo zamani.
Moja kwa moja tukienda katika swala la kufanya uchunguzi wa masomo ili tupate kupata maana fiche ya jambo fulani, watu huingia mtandaoni haswa wanafunzi wakiwa shuleni na muda si mchache wanaletewa maana zote na kuweza kupata jibu mwafaka licha ya wahenga kusema kuwa haraka haraka haina baraka bali teknolojia hii hutumika kurahisisha mambo kwa muda mfupi.
Teknolojia imegonga vichwa vya habari kwa kuwa rahisi na kumwezesha mwanafunzi kufanya uchunguzi wake kwa haraka. Kupitia kwa njia hii humwezesha mwanafunzi kutokuwa jinga kama dubu kwa sababu kwa utumizi mzuri wa teknolojia lazima uwe haraka na mwenye akili ya kufikiri mbali iwezekanavyo. Walimu hufurahishwa na wanafunzi hao kwa kuwa watakuwa na ubunifu wa hali ya juu.
Teknolojia katika shule za sekondari imewawezesha wanafunzi kujisajili na kuchagua vioo vikuu kama wasemavyo kwa kimombo ‘University'. Hii humrahisisha kazi mwanafunzi huyu kwa sababu wengi wao hupata tabu sana baada ya kufanya mtihani wao wa mwisho wa sekondari na kuanza kutafuta nafasi ambazo wenzao walitafuta kama bado wangali shuleni. Haya ndio mambo huwafanya wengine kusema kuwa, "ndivyo walivyo, eti nafasi zimeisha ilhali wanahongwa na hao wenye mali."
Chochote kile kipewacho sifa lazima pia kina kasoro, teknolojia hii inayosifiwa katika shule za sekondari nayo pia ina kasoro na majuto yake. Wanafunzi wengi wamejihusisha katika mambo ambayo hayastahili na hii ni baada ya kuona vitendo visivyostahili katika mitandaoni. Kwa kutumia tarakilishi, simu na televisheni. Vijana wengi wamefumaniwa na walimu wao katika mabweni yao wakishiriki tendo la ndoa. Hii imejenga uadui kati ya wanafunzi waliokuwa wameaminiwa na walimu wao kwa tabia nzuri.
Jambo lingine ni michezo isiyo kuwa ya maana na iliyojaa majuto mwishowe. Naikumbuka vizuri siku moja tukiwa gwarideni walimu walilazimika kumshugulikia msichana mmoja ambaye alijidunga kwa kisu tumboni. Hii ni baada ya yeye kujulishwa mchezo upatikanao mitandaoni unaoitwa kwenye lugha ya kimombo ‘Charlie charlie' na alipokuwa akijifurahisha na mchezo huo, ghafla bin vu alichukuwa kisu kilichokuwa mezani na kujidunga. Vijana wengi licha ya kuonywa, hao hujifungia na kufanya chochote watakacho bila ya kujali mathara yake ya baadae na dunia hii iliyojaa anasa na mashetani au mizimwi.
Teknolojia imechangia pakubwa katika kudorora kwa afya ya wanafunzi kwa sababu wengi wao hushinda kwenye tarakilishi au simu wakipekuepekua na kudurusu alafu baadae magonjwa yasiyoeleweka yanaanza. Wanafunzi wengi shuleni huwa na shida ya macho kutokana na miayo itokayo kwenye vyombo hivi vya kusomea. Hii huwa gharama kwa mzazi kwa sababu analazimika kununua miwani ambayo kupatikana kwake ni ghali na uchochole limekithiri
na kukita kambi.
Mwisho kabisa ni kuwa teknolojia imechangia pakubwa katika ulevi na utumiaji wa madawa za kulevya miongoni mwa wanafunzi katika shule za sekondari. Wanafunzi hawa ambao huiga tabia za watu baada ya kuziona mtandaoni na baadae kuenda kinyume na matarajio ya jamii. Teknolojia kwa ujumla ina faida na hasara zake ambazo huweza kuathiri masomo ya mwanafunzi. | Tekinolojia imesababisha vipi shida ya macho | {
"text": [
"Kutokana na miale itokanayo na vyombo"
]
} |
3168_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa matumizi ya vitu kama vile mitambo au zana. Teknolojia imeleta manufaa makubwa mno katika maisha yetu hasa kwa watoto wa
sekondari na vile vile ina madhara yake kwani kizuri hakikosi mabaya yake.
Teknolojia imefanya mawasiliano kuboreka zaidi na kuwa rahisi kwani teknolojia imeleta matumizi ya rununu ya simu za mkononi. Zama za kale mawasiliano yalikuwa hayafanyiki kwa rahisi na haraka kwani watu wangetuma mkimbizi, upigaji wa ngoma au kutumia moshi. Lakini siku hizi mawasiliano ni ya haraka kwani simu inachukuwa sekunde kuongea na mtu hivyo kuokoa wakati.
Vile vile simu hizi zina madhara yake kwa watoto wetu wa sekondari kwani wengi hutumia simu kuingia mtandaoni na kuangalia picha mbaya mbaya za ponografia. Wengi wanapoangalia, picha hizi hutaka kuiga kinachoendelea katika rununu hiyo basi kuongoza visa vya kesi za ubakaji katika wanafunzi wetu.
Teknolojia pia imefanya usafiri kuwa mwepesi, rahisi na haraka. Zamani hakukuwa na vyombo vya usafiri. Watu wangetembea kiwango kikubwa na kirefu kwani hakukuwa na barabara wala matumizi ya maji lakini teknolojia imefanya kuwepo kwa barabara na pia wanafunzi wanaweza kufika shuleni kwa haraka.
Vile vile wanafunzi hawa wametumia umuhimu huu kufanya mambo maovu kwani mtu anaweza kuaga nyumbani kwao ama ametumwa dukani kisha kutumia chombo cha usafiri kwenda kwa wanaume iwapo ni msichana na kuongeza visa vya ujauzito katika shule za sekondari.
Teknolojia imewasaidia wanafunzi katika shule za sekondari kwa kuwa wanatumia tarakilishi na kompyuta. Matumizi haya hufanya elimu au vipindi kuenda haraka kwani mtu akitaka kuandika ujumbe flani au mpangilio wa ratiba ya kila siku anaihifadhi kwenye tarakilishi, ambapo pia kuna usalama wa hali ya juu.
Wanafunzi hutumia tarakilishi hizi kuingia mtandaoni na kuangalia nyimbo mpya zinazopotoka. Watu hufuatilia vipindi hivi na kutaka kuwa kama waimbaji wa nyimbo hizo. Maswala haya huwa sababisha wanafunzi wengi kuingia kwenye vikundi vya vyama vya kishetani kama vile illuminati.
Utambulishaji wa ubao mweupe pia imewasaidia wanafunzi kwani ubao huu unatumia kalamu za wino. Kitambo kulikuwa na utumiaji wa chaki tu uliosababisha wanafunzi homa isiyoisha na wengine kifua kikuu.Ubao huu pia madhara yake ni kwamba iwapo kalamu imekosa wino, basi ubao huu hauandikiki.
Teknolojia pia imeleta kuwepo kwa madawati yanayoweza kufungwa na vifuli ambapo madawati haya huzuia kosi zinazotokana na wezi kutoka kwa wanafunzi wenzao. Wengi hutumia madawati haya vibaya kwani wanafunzi hasa wasichana huficha vioo ndani ya madawati yao na kuvitoa wakati mwalimu anafundisha. | Kizuri hakina nini? | {
"text": [
"Ubaya"
]
} |
3168_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa matumizi ya vitu kama vile mitambo au zana. Teknolojia imeleta manufaa makubwa mno katika maisha yetu hasa kwa watoto wa
sekondari na vile vile ina madhara yake kwani kizuri hakikosi mabaya yake.
Teknolojia imefanya mawasiliano kuboreka zaidi na kuwa rahisi kwani teknolojia imeleta matumizi ya rununu ya simu za mkononi. Zama za kale mawasiliano yalikuwa hayafanyiki kwa rahisi na haraka kwani watu wangetuma mkimbizi, upigaji wa ngoma au kutumia moshi. Lakini siku hizi mawasiliano ni ya haraka kwani simu inachukuwa sekunde kuongea na mtu hivyo kuokoa wakati.
Vile vile simu hizi zina madhara yake kwa watoto wetu wa sekondari kwani wengi hutumia simu kuingia mtandaoni na kuangalia picha mbaya mbaya za ponografia. Wengi wanapoangalia, picha hizi hutaka kuiga kinachoendelea katika rununu hiyo basi kuongoza visa vya kesi za ubakaji katika wanafunzi wetu.
Teknolojia pia imefanya usafiri kuwa mwepesi, rahisi na haraka. Zamani hakukuwa na vyombo vya usafiri. Watu wangetembea kiwango kikubwa na kirefu kwani hakukuwa na barabara wala matumizi ya maji lakini teknolojia imefanya kuwepo kwa barabara na pia wanafunzi wanaweza kufika shuleni kwa haraka.
Vile vile wanafunzi hawa wametumia umuhimu huu kufanya mambo maovu kwani mtu anaweza kuaga nyumbani kwao ama ametumwa dukani kisha kutumia chombo cha usafiri kwenda kwa wanaume iwapo ni msichana na kuongeza visa vya ujauzito katika shule za sekondari.
Teknolojia imewasaidia wanafunzi katika shule za sekondari kwa kuwa wanatumia tarakilishi na kompyuta. Matumizi haya hufanya elimu au vipindi kuenda haraka kwani mtu akitaka kuandika ujumbe flani au mpangilio wa ratiba ya kila siku anaihifadhi kwenye tarakilishi, ambapo pia kuna usalama wa hali ya juu.
Wanafunzi hutumia tarakilishi hizi kuingia mtandaoni na kuangalia nyimbo mpya zinazopotoka. Watu hufuatilia vipindi hivi na kutaka kuwa kama waimbaji wa nyimbo hizo. Maswala haya huwa sababisha wanafunzi wengi kuingia kwenye vikundi vya vyama vya kishetani kama vile illuminati.
Utambulishaji wa ubao mweupe pia imewasaidia wanafunzi kwani ubao huu unatumia kalamu za wino. Kitambo kulikuwa na utumiaji wa chaki tu uliosababisha wanafunzi homa isiyoisha na wengine kifua kikuu.Ubao huu pia madhara yake ni kwamba iwapo kalamu imekosa wino, basi ubao huu hauandikiki.
Teknolojia pia imeleta kuwepo kwa madawati yanayoweza kufungwa na vifuli ambapo madawati haya huzuia kosi zinazotokana na wezi kutoka kwa wanafunzi wenzao. Wengi hutumia madawati haya vibaya kwani wanafunzi hasa wasichana huficha vioo ndani ya madawati yao na kuvitoa wakati mwalimu anafundisha. | Kifaa kipi kimeboresha mawasiliano? | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3168_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa matumizi ya vitu kama vile mitambo au zana. Teknolojia imeleta manufaa makubwa mno katika maisha yetu hasa kwa watoto wa
sekondari na vile vile ina madhara yake kwani kizuri hakikosi mabaya yake.
Teknolojia imefanya mawasiliano kuboreka zaidi na kuwa rahisi kwani teknolojia imeleta matumizi ya rununu ya simu za mkononi. Zama za kale mawasiliano yalikuwa hayafanyiki kwa rahisi na haraka kwani watu wangetuma mkimbizi, upigaji wa ngoma au kutumia moshi. Lakini siku hizi mawasiliano ni ya haraka kwani simu inachukuwa sekunde kuongea na mtu hivyo kuokoa wakati.
Vile vile simu hizi zina madhara yake kwa watoto wetu wa sekondari kwani wengi hutumia simu kuingia mtandaoni na kuangalia picha mbaya mbaya za ponografia. Wengi wanapoangalia, picha hizi hutaka kuiga kinachoendelea katika rununu hiyo basi kuongoza visa vya kesi za ubakaji katika wanafunzi wetu.
Teknolojia pia imefanya usafiri kuwa mwepesi, rahisi na haraka. Zamani hakukuwa na vyombo vya usafiri. Watu wangetembea kiwango kikubwa na kirefu kwani hakukuwa na barabara wala matumizi ya maji lakini teknolojia imefanya kuwepo kwa barabara na pia wanafunzi wanaweza kufika shuleni kwa haraka.
Vile vile wanafunzi hawa wametumia umuhimu huu kufanya mambo maovu kwani mtu anaweza kuaga nyumbani kwao ama ametumwa dukani kisha kutumia chombo cha usafiri kwenda kwa wanaume iwapo ni msichana na kuongeza visa vya ujauzito katika shule za sekondari.
Teknolojia imewasaidia wanafunzi katika shule za sekondari kwa kuwa wanatumia tarakilishi na kompyuta. Matumizi haya hufanya elimu au vipindi kuenda haraka kwani mtu akitaka kuandika ujumbe flani au mpangilio wa ratiba ya kila siku anaihifadhi kwenye tarakilishi, ambapo pia kuna usalama wa hali ya juu.
Wanafunzi hutumia tarakilishi hizi kuingia mtandaoni na kuangalia nyimbo mpya zinazopotoka. Watu hufuatilia vipindi hivi na kutaka kuwa kama waimbaji wa nyimbo hizo. Maswala haya huwa sababisha wanafunzi wengi kuingia kwenye vikundi vya vyama vya kishetani kama vile illuminati.
Utambulishaji wa ubao mweupe pia imewasaidia wanafunzi kwani ubao huu unatumia kalamu za wino. Kitambo kulikuwa na utumiaji wa chaki tu uliosababisha wanafunzi homa isiyoisha na wengine kifua kikuu.Ubao huu pia madhara yake ni kwamba iwapo kalamu imekosa wino, basi ubao huu hauandikiki.
Teknolojia pia imeleta kuwepo kwa madawati yanayoweza kufungwa na vifuli ambapo madawati haya huzuia kosi zinazotokana na wezi kutoka kwa wanafunzi wenzao. Wengi hutumia madawati haya vibaya kwani wanafunzi hasa wasichana huficha vioo ndani ya madawati yao na kuvitoa wakati mwalimu anafundisha. | Picha mbaya mbaya ambazo wanafunzi huangalia ni kama zipi? | {
"text": [
"Ponografia"
]
} |
3168_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa matumizi ya vitu kama vile mitambo au zana. Teknolojia imeleta manufaa makubwa mno katika maisha yetu hasa kwa watoto wa
sekondari na vile vile ina madhara yake kwani kizuri hakikosi mabaya yake.
Teknolojia imefanya mawasiliano kuboreka zaidi na kuwa rahisi kwani teknolojia imeleta matumizi ya rununu ya simu za mkononi. Zama za kale mawasiliano yalikuwa hayafanyiki kwa rahisi na haraka kwani watu wangetuma mkimbizi, upigaji wa ngoma au kutumia moshi. Lakini siku hizi mawasiliano ni ya haraka kwani simu inachukuwa sekunde kuongea na mtu hivyo kuokoa wakati.
Vile vile simu hizi zina madhara yake kwa watoto wetu wa sekondari kwani wengi hutumia simu kuingia mtandaoni na kuangalia picha mbaya mbaya za ponografia. Wengi wanapoangalia, picha hizi hutaka kuiga kinachoendelea katika rununu hiyo basi kuongoza visa vya kesi za ubakaji katika wanafunzi wetu.
Teknolojia pia imefanya usafiri kuwa mwepesi, rahisi na haraka. Zamani hakukuwa na vyombo vya usafiri. Watu wangetembea kiwango kikubwa na kirefu kwani hakukuwa na barabara wala matumizi ya maji lakini teknolojia imefanya kuwepo kwa barabara na pia wanafunzi wanaweza kufika shuleni kwa haraka.
Vile vile wanafunzi hawa wametumia umuhimu huu kufanya mambo maovu kwani mtu anaweza kuaga nyumbani kwao ama ametumwa dukani kisha kutumia chombo cha usafiri kwenda kwa wanaume iwapo ni msichana na kuongeza visa vya ujauzito katika shule za sekondari.
Teknolojia imewasaidia wanafunzi katika shule za sekondari kwa kuwa wanatumia tarakilishi na kompyuta. Matumizi haya hufanya elimu au vipindi kuenda haraka kwani mtu akitaka kuandika ujumbe flani au mpangilio wa ratiba ya kila siku anaihifadhi kwenye tarakilishi, ambapo pia kuna usalama wa hali ya juu.
Wanafunzi hutumia tarakilishi hizi kuingia mtandaoni na kuangalia nyimbo mpya zinazopotoka. Watu hufuatilia vipindi hivi na kutaka kuwa kama waimbaji wa nyimbo hizo. Maswala haya huwa sababisha wanafunzi wengi kuingia kwenye vikundi vya vyama vya kishetani kama vile illuminati.
Utambulishaji wa ubao mweupe pia imewasaidia wanafunzi kwani ubao huu unatumia kalamu za wino. Kitambo kulikuwa na utumiaji wa chaki tu uliosababisha wanafunzi homa isiyoisha na wengine kifua kikuu.Ubao huu pia madhara yake ni kwamba iwapo kalamu imekosa wino, basi ubao huu hauandikiki.
Teknolojia pia imeleta kuwepo kwa madawati yanayoweza kufungwa na vifuli ambapo madawati haya huzuia kosi zinazotokana na wezi kutoka kwa wanafunzi wenzao. Wengi hutumia madawati haya vibaya kwani wanafunzi hasa wasichana huficha vioo ndani ya madawati yao na kuvitoa wakati mwalimu anafundisha. | Teknolojia imeimarisha nini baina ya watu waliombali? | {
"text": [
"Usafiri"
]
} |
3168_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa matumizi ya vitu kama vile mitambo au zana. Teknolojia imeleta manufaa makubwa mno katika maisha yetu hasa kwa watoto wa
sekondari na vile vile ina madhara yake kwani kizuri hakikosi mabaya yake.
Teknolojia imefanya mawasiliano kuboreka zaidi na kuwa rahisi kwani teknolojia imeleta matumizi ya rununu ya simu za mkononi. Zama za kale mawasiliano yalikuwa hayafanyiki kwa rahisi na haraka kwani watu wangetuma mkimbizi, upigaji wa ngoma au kutumia moshi. Lakini siku hizi mawasiliano ni ya haraka kwani simu inachukuwa sekunde kuongea na mtu hivyo kuokoa wakati.
Vile vile simu hizi zina madhara yake kwa watoto wetu wa sekondari kwani wengi hutumia simu kuingia mtandaoni na kuangalia picha mbaya mbaya za ponografia. Wengi wanapoangalia, picha hizi hutaka kuiga kinachoendelea katika rununu hiyo basi kuongoza visa vya kesi za ubakaji katika wanafunzi wetu.
Teknolojia pia imefanya usafiri kuwa mwepesi, rahisi na haraka. Zamani hakukuwa na vyombo vya usafiri. Watu wangetembea kiwango kikubwa na kirefu kwani hakukuwa na barabara wala matumizi ya maji lakini teknolojia imefanya kuwepo kwa barabara na pia wanafunzi wanaweza kufika shuleni kwa haraka.
Vile vile wanafunzi hawa wametumia umuhimu huu kufanya mambo maovu kwani mtu anaweza kuaga nyumbani kwao ama ametumwa dukani kisha kutumia chombo cha usafiri kwenda kwa wanaume iwapo ni msichana na kuongeza visa vya ujauzito katika shule za sekondari.
Teknolojia imewasaidia wanafunzi katika shule za sekondari kwa kuwa wanatumia tarakilishi na kompyuta. Matumizi haya hufanya elimu au vipindi kuenda haraka kwani mtu akitaka kuandika ujumbe flani au mpangilio wa ratiba ya kila siku anaihifadhi kwenye tarakilishi, ambapo pia kuna usalama wa hali ya juu.
Wanafunzi hutumia tarakilishi hizi kuingia mtandaoni na kuangalia nyimbo mpya zinazopotoka. Watu hufuatilia vipindi hivi na kutaka kuwa kama waimbaji wa nyimbo hizo. Maswala haya huwa sababisha wanafunzi wengi kuingia kwenye vikundi vya vyama vya kishetani kama vile illuminati.
Utambulishaji wa ubao mweupe pia imewasaidia wanafunzi kwani ubao huu unatumia kalamu za wino. Kitambo kulikuwa na utumiaji wa chaki tu uliosababisha wanafunzi homa isiyoisha na wengine kifua kikuu.Ubao huu pia madhara yake ni kwamba iwapo kalamu imekosa wino, basi ubao huu hauandikiki.
Teknolojia pia imeleta kuwepo kwa madawati yanayoweza kufungwa na vifuli ambapo madawati haya huzuia kosi zinazotokana na wezi kutoka kwa wanafunzi wenzao. Wengi hutumia madawati haya vibaya kwani wanafunzi hasa wasichana huficha vioo ndani ya madawati yao na kuvitoa wakati mwalimu anafundisha. | Kina nani hushika ujauzito? | {
"text": [
"Wasichana"
]
} |
3169_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kwanza kabisa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari hasa wanaposoma. Wanafunzi hutumia kompyuta kufanya utafiti katika mambo wanayofanya ya kimasomo. Wanafunzi wanatumia kompyuta kutafuta mambo mbalimbali wasiyoyafahamu.
Faida nyingine ni kuwa wanafunzi wanatumia kompyuta wakati wa kusoma hata kama wako mbali na walimu wao. Hata wakati wa mapumziko wanafunzi huweza kuendelea na masomo yao wakiwa nyumbani katika mitandao ya kisasa.
Teknolojia imewawezesha walimu wa sekondari pia kuchapisha mitihani ya wanafunzi. Walimu huchapisha mitihani mara kwa mara na kuwapa wanafunzi ili kujua kama wanayofundishwa wanashika kwenye akili au wako shuleni kupitisha muda.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi wa sekondari kujua kufanya kazi tofauti tofauti kama ya uchapishaji. Pindi mwanafunzi anaposoma kompyuta basi baadaye humuezesha hata katika kutafuta kazi maana atakuwa anaijua jinsi kompyuta inavyotumika.
Vivyo hivyo teknolojia ina madhara katika shule za sekondari. Kwanza kabisa ni simu kati ya wanafunzi. Wanafunzi hutumia simu vibaya. Huchakura video mbaya mbaya ambazo huziangalia na kumpelekea mwanafunzi kushika tabia hiyo na huwa vigumu kuiacha. Kwa kimombo zinaitwa ‘ponographic films.’
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuwa wezi maana wanajua njia zote za kupitia katika M-pesa na jinsi ya kutoa, kusambaza pesa kutoka kwa mtu mwingine hadi kwenye simu zao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuanguka katika mitihani yao kwa sababu huwa hawana muda wa kudurusu vitabu vyao. Kila wanapopata nafasi ni simu au televisheni ambapo labda baada miaka minne mwanafunzi huanguka mtihani wake wa mwisho.
Teknolojia imewafanya hata wanafunzi wengi wa sekondari kuacha shule hasa wasichana. Mtoto wa kike anapopata fursa ya kuwa na simu basi hutumia vibaya kwa kuzungumza na watu wasio wa umri wake bora atumiwe pesa kwa M-pesa ambapo baada ya muda hivi, msichana anapachikwa mimba na inambidi kuacha shule ili alishughulikie kitoto chake.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kubadili hata mitindo yao ya mavazi. Wanafunzi wengi huiga jinsi watalii wanavyo vaa ili waonekane hawajaachwa nyuma pia. Hali hii imepelekea hata kuvunja kwa mila na desturi katika jamii tofauti tofauti.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika namna mbali mbali za mitindo maana wao wamezoea kompyuta tu. Hata bila kompyuta basi wanafunzi huboeka sana.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi wa sekondari kuwa wavivu na kuandika kazi wanapopewa na walimu wao maana wamezoea kutumia mitandao ya kisasa kama kompyuta.
0721620995 | Wanafunzi hujijuza mambo yanayoendelea kupitia nini? | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
3169_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kwanza kabisa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari hasa wanaposoma. Wanafunzi hutumia kompyuta kufanya utafiti katika mambo wanayofanya ya kimasomo. Wanafunzi wanatumia kompyuta kutafuta mambo mbalimbali wasiyoyafahamu.
Faida nyingine ni kuwa wanafunzi wanatumia kompyuta wakati wa kusoma hata kama wako mbali na walimu wao. Hata wakati wa mapumziko wanafunzi huweza kuendelea na masomo yao wakiwa nyumbani katika mitandao ya kisasa.
Teknolojia imewawezesha walimu wa sekondari pia kuchapisha mitihani ya wanafunzi. Walimu huchapisha mitihani mara kwa mara na kuwapa wanafunzi ili kujua kama wanayofundishwa wanashika kwenye akili au wako shuleni kupitisha muda.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi wa sekondari kujua kufanya kazi tofauti tofauti kama ya uchapishaji. Pindi mwanafunzi anaposoma kompyuta basi baadaye humuezesha hata katika kutafuta kazi maana atakuwa anaijua jinsi kompyuta inavyotumika.
Vivyo hivyo teknolojia ina madhara katika shule za sekondari. Kwanza kabisa ni simu kati ya wanafunzi. Wanafunzi hutumia simu vibaya. Huchakura video mbaya mbaya ambazo huziangalia na kumpelekea mwanafunzi kushika tabia hiyo na huwa vigumu kuiacha. Kwa kimombo zinaitwa ‘ponographic films.’
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuwa wezi maana wanajua njia zote za kupitia katika M-pesa na jinsi ya kutoa, kusambaza pesa kutoka kwa mtu mwingine hadi kwenye simu zao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuanguka katika mitihani yao kwa sababu huwa hawana muda wa kudurusu vitabu vyao. Kila wanapopata nafasi ni simu au televisheni ambapo labda baada miaka minne mwanafunzi huanguka mtihani wake wa mwisho.
Teknolojia imewafanya hata wanafunzi wengi wa sekondari kuacha shule hasa wasichana. Mtoto wa kike anapopata fursa ya kuwa na simu basi hutumia vibaya kwa kuzungumza na watu wasio wa umri wake bora atumiwe pesa kwa M-pesa ambapo baada ya muda hivi, msichana anapachikwa mimba na inambidi kuacha shule ili alishughulikie kitoto chake.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kubadili hata mitindo yao ya mavazi. Wanafunzi wengi huiga jinsi watalii wanavyo vaa ili waonekane hawajaachwa nyuma pia. Hali hii imepelekea hata kuvunja kwa mila na desturi katika jamii tofauti tofauti.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika namna mbali mbali za mitindo maana wao wamezoea kompyuta tu. Hata bila kompyuta basi wanafunzi huboeka sana.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi wa sekondari kuwa wavivu na kuandika kazi wanapopewa na walimu wao maana wamezoea kutumia mitandao ya kisasa kama kompyuta.
0721620995 | Walimu huwapa wanafunzi nini baada ya kuchapisha? | {
"text": [
"Mitihani"
]
} |
3169_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kwanza kabisa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari hasa wanaposoma. Wanafunzi hutumia kompyuta kufanya utafiti katika mambo wanayofanya ya kimasomo. Wanafunzi wanatumia kompyuta kutafuta mambo mbalimbali wasiyoyafahamu.
Faida nyingine ni kuwa wanafunzi wanatumia kompyuta wakati wa kusoma hata kama wako mbali na walimu wao. Hata wakati wa mapumziko wanafunzi huweza kuendelea na masomo yao wakiwa nyumbani katika mitandao ya kisasa.
Teknolojia imewawezesha walimu wa sekondari pia kuchapisha mitihani ya wanafunzi. Walimu huchapisha mitihani mara kwa mara na kuwapa wanafunzi ili kujua kama wanayofundishwa wanashika kwenye akili au wako shuleni kupitisha muda.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi wa sekondari kujua kufanya kazi tofauti tofauti kama ya uchapishaji. Pindi mwanafunzi anaposoma kompyuta basi baadaye humuezesha hata katika kutafuta kazi maana atakuwa anaijua jinsi kompyuta inavyotumika.
Vivyo hivyo teknolojia ina madhara katika shule za sekondari. Kwanza kabisa ni simu kati ya wanafunzi. Wanafunzi hutumia simu vibaya. Huchakura video mbaya mbaya ambazo huziangalia na kumpelekea mwanafunzi kushika tabia hiyo na huwa vigumu kuiacha. Kwa kimombo zinaitwa ‘ponographic films.’
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuwa wezi maana wanajua njia zote za kupitia katika M-pesa na jinsi ya kutoa, kusambaza pesa kutoka kwa mtu mwingine hadi kwenye simu zao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuanguka katika mitihani yao kwa sababu huwa hawana muda wa kudurusu vitabu vyao. Kila wanapopata nafasi ni simu au televisheni ambapo labda baada miaka minne mwanafunzi huanguka mtihani wake wa mwisho.
Teknolojia imewafanya hata wanafunzi wengi wa sekondari kuacha shule hasa wasichana. Mtoto wa kike anapopata fursa ya kuwa na simu basi hutumia vibaya kwa kuzungumza na watu wasio wa umri wake bora atumiwe pesa kwa M-pesa ambapo baada ya muda hivi, msichana anapachikwa mimba na inambidi kuacha shule ili alishughulikie kitoto chake.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kubadili hata mitindo yao ya mavazi. Wanafunzi wengi huiga jinsi watalii wanavyo vaa ili waonekane hawajaachwa nyuma pia. Hali hii imepelekea hata kuvunja kwa mila na desturi katika jamii tofauti tofauti.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika namna mbali mbali za mitindo maana wao wamezoea kompyuta tu. Hata bila kompyuta basi wanafunzi huboeka sana.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi wa sekondari kuwa wavivu na kuandika kazi wanapopewa na walimu wao maana wamezoea kutumia mitandao ya kisasa kama kompyuta.
0721620995 | Wanafunzi hujipiga nini kisha wanaweka katika mitandao? | {
"text": [
"Video"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.