Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3169_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kwanza kabisa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari hasa wanaposoma. Wanafunzi hutumia kompyuta kufanya utafiti katika mambo wanayofanya ya kimasomo. Wanafunzi wanatumia kompyuta kutafuta mambo mbalimbali wasiyoyafahamu.
Faida nyingine ni kuwa wanafunzi wanatumia kompyuta wakati wa kusoma hata kama wako mbali na walimu wao. Hata wakati wa mapumziko wanafunzi huweza kuendelea na masomo yao wakiwa nyumbani katika mitandao ya kisasa.
Teknolojia imewawezesha walimu wa sekondari pia kuchapisha mitihani ya wanafunzi. Walimu huchapisha mitihani mara kwa mara na kuwapa wanafunzi ili kujua kama wanayofundishwa wanashika kwenye akili au wako shuleni kupitisha muda.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi wa sekondari kujua kufanya kazi tofauti tofauti kama ya uchapishaji. Pindi mwanafunzi anaposoma kompyuta basi baadaye humuezesha hata katika kutafuta kazi maana atakuwa anaijua jinsi kompyuta inavyotumika.
Vivyo hivyo teknolojia ina madhara katika shule za sekondari. Kwanza kabisa ni simu kati ya wanafunzi. Wanafunzi hutumia simu vibaya. Huchakura video mbaya mbaya ambazo huziangalia na kumpelekea mwanafunzi kushika tabia hiyo na huwa vigumu kuiacha. Kwa kimombo zinaitwa ‘ponographic films.’
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuwa wezi maana wanajua njia zote za kupitia katika M-pesa na jinsi ya kutoa, kusambaza pesa kutoka kwa mtu mwingine hadi kwenye simu zao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuanguka katika mitihani yao kwa sababu huwa hawana muda wa kudurusu vitabu vyao. Kila wanapopata nafasi ni simu au televisheni ambapo labda baada miaka minne mwanafunzi huanguka mtihani wake wa mwisho.
Teknolojia imewafanya hata wanafunzi wengi wa sekondari kuacha shule hasa wasichana. Mtoto wa kike anapopata fursa ya kuwa na simu basi hutumia vibaya kwa kuzungumza na watu wasio wa umri wake bora atumiwe pesa kwa M-pesa ambapo baada ya muda hivi, msichana anapachikwa mimba na inambidi kuacha shule ili alishughulikie kitoto chake.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kubadili hata mitindo yao ya mavazi. Wanafunzi wengi huiga jinsi watalii wanavyo vaa ili waonekane hawajaachwa nyuma pia. Hali hii imepelekea hata kuvunja kwa mila na desturi katika jamii tofauti tofauti.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika namna mbali mbali za mitindo maana wao wamezoea kompyuta tu. Hata bila kompyuta basi wanafunzi huboeka sana.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi wa sekondari kuwa wavivu na kuandika kazi wanapopewa na walimu wao maana wamezoea kutumia mitandao ya kisasa kama kompyuta.
0721620995 | Pesa za kidijitali hutumwa kupitia nini? | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3169_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kwanza kabisa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari hasa wanaposoma. Wanafunzi hutumia kompyuta kufanya utafiti katika mambo wanayofanya ya kimasomo. Wanafunzi wanatumia kompyuta kutafuta mambo mbalimbali wasiyoyafahamu.
Faida nyingine ni kuwa wanafunzi wanatumia kompyuta wakati wa kusoma hata kama wako mbali na walimu wao. Hata wakati wa mapumziko wanafunzi huweza kuendelea na masomo yao wakiwa nyumbani katika mitandao ya kisasa.
Teknolojia imewawezesha walimu wa sekondari pia kuchapisha mitihani ya wanafunzi. Walimu huchapisha mitihani mara kwa mara na kuwapa wanafunzi ili kujua kama wanayofundishwa wanashika kwenye akili au wako shuleni kupitisha muda.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi wa sekondari kujua kufanya kazi tofauti tofauti kama ya uchapishaji. Pindi mwanafunzi anaposoma kompyuta basi baadaye humuezesha hata katika kutafuta kazi maana atakuwa anaijua jinsi kompyuta inavyotumika.
Vivyo hivyo teknolojia ina madhara katika shule za sekondari. Kwanza kabisa ni simu kati ya wanafunzi. Wanafunzi hutumia simu vibaya. Huchakura video mbaya mbaya ambazo huziangalia na kumpelekea mwanafunzi kushika tabia hiyo na huwa vigumu kuiacha. Kwa kimombo zinaitwa ‘ponographic films.’
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuwa wezi maana wanajua njia zote za kupitia katika M-pesa na jinsi ya kutoa, kusambaza pesa kutoka kwa mtu mwingine hadi kwenye simu zao.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kuanguka katika mitihani yao kwa sababu huwa hawana muda wa kudurusu vitabu vyao. Kila wanapopata nafasi ni simu au televisheni ambapo labda baada miaka minne mwanafunzi huanguka mtihani wake wa mwisho.
Teknolojia imewafanya hata wanafunzi wengi wa sekondari kuacha shule hasa wasichana. Mtoto wa kike anapopata fursa ya kuwa na simu basi hutumia vibaya kwa kuzungumza na watu wasio wa umri wake bora atumiwe pesa kwa M-pesa ambapo baada ya muda hivi, msichana anapachikwa mimba na inambidi kuacha shule ili alishughulikie kitoto chake.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kubadili hata mitindo yao ya mavazi. Wanafunzi wengi huiga jinsi watalii wanavyo vaa ili waonekane hawajaachwa nyuma pia. Hali hii imepelekea hata kuvunja kwa mila na desturi katika jamii tofauti tofauti.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika namna mbali mbali za mitindo maana wao wamezoea kompyuta tu. Hata bila kompyuta basi wanafunzi huboeka sana.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wengi wa sekondari kuwa wavivu na kuandika kazi wanapopewa na walimu wao maana wamezoea kutumia mitandao ya kisasa kama kompyuta.
0721620995 | Wanafunzi huendeleza masomo yao kivipi wakiwa mbali na walimu? | {
"text": [
"Wanatumia komputa kupata rekodi za masomo"
]
} |
3170_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mitambo ili kurahisisha kazi. Mifano yake ni kama vile rununu, runinga, tarakilishi na vinginevyo vingi. Kwenye simu kuna mitandao ambayo watu huwasiliana hata ukiwa mbali au nje ya nchi.
Faida za teknolojia ni nyingi mno. Shuleni teknolojia husaidia sana walimu kwa kazi wanazo zifanya. Katika shule za sekondari kunapatikana tarakilishi ambazo walimu wanaweka rekodi zao. Pia wanatumia kuchapa na kutuma barua, kutayarisha mishahara ya wafanyakazi, kupanga ratiba za masomo, mawasiliano kupitia mdahalishi.
Shuleni kuna fotokopi ambazo zinazotumika kutoa fotokopi ya karatasi ya mitihani, majibu ya wanafunzi, barua za habari kuwapelekea wazazi na kutoa ratiba za masomo au vipindi vya masomo. Shuleni pia kunapatikana runinga ambazo walimu na pia wanafunzi wanatumia kutazama taarifa za habari. Kunamo pia simu ambazo zinatumika kwa mawasiliano. Wanafunzi nao huwa na simu pia ambazo wenyewe wanawasiliana.
Simu pia inaweza kutumika kuhifadhi data na pia kuhifadhi pesa. Si hivyo tu, bali pia simu inaweza kutuma habari.
Shuleni pia kunapatikana genereta ambayo inatumika kutoa umeme wakati umeme wa stima umeenda. Hii inawawezesha wanafunzi kusoma bila kusita kila changamoto za umeme. Shuleni pia kunapatikana kikokotoo ambacho kinatumika kuongeza, kuondoa na kuzidisha katika hisabati. Chombo hivi hurahisishia wanajamii kazi na kuwatunzia wakati.
Naam, vyombo hivi kwa kweli ni vizuri na wahenga hawakukosea walipo longa ulongi ulongao kuna kizuri hakikosi ila na kitanda usichokilalia hujui kunguni wake. Wanafunzi hasa wa shule za sekondari wanajipendekeza sana wakati wa usafiri. Utamkuta mwanafunzi hawezi kutembea kwa miguu mahala au kwenda shuleni bila gari au bodaboda. Hii inawafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Wanafunzi wote jinsia mbili wanapotoka hasa wanapojiunga na mitandao katika rununu au simu zao wakidai kuwa huu ndio mfumo mpya wa maisha wanaharibika kiakili, wanazorota masomoni na pia wanakuwa wapotovu wa nidhamu. Wanafunzi kama hawa huwa hawasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini kwani hudai kwamba maisha wanayafahamu.
Teknolojia katika upande wa sekta ya usafiri kunapatikana ajali ovyo kwa kutozingatia alama za barabarani. Hivyo basi husababisha maafa ya maisha ya watu katika u??nd? wa matumizi ?? rununu au simu vile vile vijana, wanafunzi, wanajifunza ujambazi kupitia mitandao ya jamii. Hii inasababisha ukora, ubakaji, uvutaji bangi au sigara, umalaya na utapeli. Vilevile baadhi ya walimu na hata wanafunzi huitumia njia ya mtandao kudanganya ni kupora au kuiba. | Uvumbuzi wa mitambo mbalimbali umechangiwa na nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3170_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mitambo ili kurahisisha kazi. Mifano yake ni kama vile rununu, runinga, tarakilishi na vinginevyo vingi. Kwenye simu kuna mitandao ambayo watu huwasiliana hata ukiwa mbali au nje ya nchi.
Faida za teknolojia ni nyingi mno. Shuleni teknolojia husaidia sana walimu kwa kazi wanazo zifanya. Katika shule za sekondari kunapatikana tarakilishi ambazo walimu wanaweka rekodi zao. Pia wanatumia kuchapa na kutuma barua, kutayarisha mishahara ya wafanyakazi, kupanga ratiba za masomo, mawasiliano kupitia mdahalishi.
Shuleni kuna fotokopi ambazo zinazotumika kutoa fotokopi ya karatasi ya mitihani, majibu ya wanafunzi, barua za habari kuwapelekea wazazi na kutoa ratiba za masomo au vipindi vya masomo. Shuleni pia kunapatikana runinga ambazo walimu na pia wanafunzi wanatumia kutazama taarifa za habari. Kunamo pia simu ambazo zinatumika kwa mawasiliano. Wanafunzi nao huwa na simu pia ambazo wenyewe wanawasiliana.
Simu pia inaweza kutumika kuhifadhi data na pia kuhifadhi pesa. Si hivyo tu, bali pia simu inaweza kutuma habari.
Shuleni pia kunapatikana genereta ambayo inatumika kutoa umeme wakati umeme wa stima umeenda. Hii inawawezesha wanafunzi kusoma bila kusita kila changamoto za umeme. Shuleni pia kunapatikana kikokotoo ambacho kinatumika kuongeza, kuondoa na kuzidisha katika hisabati. Chombo hivi hurahisishia wanajamii kazi na kuwatunzia wakati.
Naam, vyombo hivi kwa kweli ni vizuri na wahenga hawakukosea walipo longa ulongi ulongao kuna kizuri hakikosi ila na kitanda usichokilalia hujui kunguni wake. Wanafunzi hasa wa shule za sekondari wanajipendekeza sana wakati wa usafiri. Utamkuta mwanafunzi hawezi kutembea kwa miguu mahala au kwenda shuleni bila gari au bodaboda. Hii inawafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Wanafunzi wote jinsia mbili wanapotoka hasa wanapojiunga na mitandao katika rununu au simu zao wakidai kuwa huu ndio mfumo mpya wa maisha wanaharibika kiakili, wanazorota masomoni na pia wanakuwa wapotovu wa nidhamu. Wanafunzi kama hawa huwa hawasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini kwani hudai kwamba maisha wanayafahamu.
Teknolojia katika upande wa sekta ya usafiri kunapatikana ajali ovyo kwa kutozingatia alama za barabarani. Hivyo basi husababisha maafa ya maisha ya watu katika u??nd? wa matumizi ?? rununu au simu vile vile vijana, wanafunzi, wanajifunza ujambazi kupitia mitandao ya jamii. Hii inasababisha ukora, ubakaji, uvutaji bangi au sigara, umalaya na utapeli. Vilevile baadhi ya walimu na hata wanafunzi huitumia njia ya mtandao kudanganya ni kupora au kuiba. | Faida mojawapo ya teknolojia hupatikana katika shule ipi | {
"text": [
"Ya upili"
]
} |
3170_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mitambo ili kurahisisha kazi. Mifano yake ni kama vile rununu, runinga, tarakilishi na vinginevyo vingi. Kwenye simu kuna mitandao ambayo watu huwasiliana hata ukiwa mbali au nje ya nchi.
Faida za teknolojia ni nyingi mno. Shuleni teknolojia husaidia sana walimu kwa kazi wanazo zifanya. Katika shule za sekondari kunapatikana tarakilishi ambazo walimu wanaweka rekodi zao. Pia wanatumia kuchapa na kutuma barua, kutayarisha mishahara ya wafanyakazi, kupanga ratiba za masomo, mawasiliano kupitia mdahalishi.
Shuleni kuna fotokopi ambazo zinazotumika kutoa fotokopi ya karatasi ya mitihani, majibu ya wanafunzi, barua za habari kuwapelekea wazazi na kutoa ratiba za masomo au vipindi vya masomo. Shuleni pia kunapatikana runinga ambazo walimu na pia wanafunzi wanatumia kutazama taarifa za habari. Kunamo pia simu ambazo zinatumika kwa mawasiliano. Wanafunzi nao huwa na simu pia ambazo wenyewe wanawasiliana.
Simu pia inaweza kutumika kuhifadhi data na pia kuhifadhi pesa. Si hivyo tu, bali pia simu inaweza kutuma habari.
Shuleni pia kunapatikana genereta ambayo inatumika kutoa umeme wakati umeme wa stima umeenda. Hii inawawezesha wanafunzi kusoma bila kusita kila changamoto za umeme. Shuleni pia kunapatikana kikokotoo ambacho kinatumika kuongeza, kuondoa na kuzidisha katika hisabati. Chombo hivi hurahisishia wanajamii kazi na kuwatunzia wakati.
Naam, vyombo hivi kwa kweli ni vizuri na wahenga hawakukosea walipo longa ulongi ulongao kuna kizuri hakikosi ila na kitanda usichokilalia hujui kunguni wake. Wanafunzi hasa wa shule za sekondari wanajipendekeza sana wakati wa usafiri. Utamkuta mwanafunzi hawezi kutembea kwa miguu mahala au kwenda shuleni bila gari au bodaboda. Hii inawafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Wanafunzi wote jinsia mbili wanapotoka hasa wanapojiunga na mitandao katika rununu au simu zao wakidai kuwa huu ndio mfumo mpya wa maisha wanaharibika kiakili, wanazorota masomoni na pia wanakuwa wapotovu wa nidhamu. Wanafunzi kama hawa huwa hawasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini kwani hudai kwamba maisha wanayafahamu.
Teknolojia katika upande wa sekta ya usafiri kunapatikana ajali ovyo kwa kutozingatia alama za barabarani. Hivyo basi husababisha maafa ya maisha ya watu katika u??nd? wa matumizi ?? rununu au simu vile vile vijana, wanafunzi, wanajifunza ujambazi kupitia mitandao ya jamii. Hii inasababisha ukora, ubakaji, uvutaji bangi au sigara, umalaya na utapeli. Vilevile baadhi ya walimu na hata wanafunzi huitumia njia ya mtandao kudanganya ni kupora au kuiba. | Genereta ni chombo kilitumika kutoa nini | {
"text": [
"Umeme"
]
} |
3170_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mitambo ili kurahisisha kazi. Mifano yake ni kama vile rununu, runinga, tarakilishi na vinginevyo vingi. Kwenye simu kuna mitandao ambayo watu huwasiliana hata ukiwa mbali au nje ya nchi.
Faida za teknolojia ni nyingi mno. Shuleni teknolojia husaidia sana walimu kwa kazi wanazo zifanya. Katika shule za sekondari kunapatikana tarakilishi ambazo walimu wanaweka rekodi zao. Pia wanatumia kuchapa na kutuma barua, kutayarisha mishahara ya wafanyakazi, kupanga ratiba za masomo, mawasiliano kupitia mdahalishi.
Shuleni kuna fotokopi ambazo zinazotumika kutoa fotokopi ya karatasi ya mitihani, majibu ya wanafunzi, barua za habari kuwapelekea wazazi na kutoa ratiba za masomo au vipindi vya masomo. Shuleni pia kunapatikana runinga ambazo walimu na pia wanafunzi wanatumia kutazama taarifa za habari. Kunamo pia simu ambazo zinatumika kwa mawasiliano. Wanafunzi nao huwa na simu pia ambazo wenyewe wanawasiliana.
Simu pia inaweza kutumika kuhifadhi data na pia kuhifadhi pesa. Si hivyo tu, bali pia simu inaweza kutuma habari.
Shuleni pia kunapatikana genereta ambayo inatumika kutoa umeme wakati umeme wa stima umeenda. Hii inawawezesha wanafunzi kusoma bila kusita kila changamoto za umeme. Shuleni pia kunapatikana kikokotoo ambacho kinatumika kuongeza, kuondoa na kuzidisha katika hisabati. Chombo hivi hurahisishia wanajamii kazi na kuwatunzia wakati.
Naam, vyombo hivi kwa kweli ni vizuri na wahenga hawakukosea walipo longa ulongi ulongao kuna kizuri hakikosi ila na kitanda usichokilalia hujui kunguni wake. Wanafunzi hasa wa shule za sekondari wanajipendekeza sana wakati wa usafiri. Utamkuta mwanafunzi hawezi kutembea kwa miguu mahala au kwenda shuleni bila gari au bodaboda. Hii inawafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Wanafunzi wote jinsia mbili wanapotoka hasa wanapojiunga na mitandao katika rununu au simu zao wakidai kuwa huu ndio mfumo mpya wa maisha wanaharibika kiakili, wanazorota masomoni na pia wanakuwa wapotovu wa nidhamu. Wanafunzi kama hawa huwa hawasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini kwani hudai kwamba maisha wanayafahamu.
Teknolojia katika upande wa sekta ya usafiri kunapatikana ajali ovyo kwa kutozingatia alama za barabarani. Hivyo basi husababisha maafa ya maisha ya watu katika u??nd? wa matumizi ?? rununu au simu vile vile vijana, wanafunzi, wanajifunza ujambazi kupitia mitandao ya jamii. Hii inasababisha ukora, ubakaji, uvutaji bangi au sigara, umalaya na utapeli. Vilevile baadhi ya walimu na hata wanafunzi huitumia njia ya mtandao kudanganya ni kupora au kuiba. | Ni uovu upi unaosababishwa na teknolojia | {
"text": [
"Ubakaji na ukora"
]
} |
3170_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mitambo ili kurahisisha kazi. Mifano yake ni kama vile rununu, runinga, tarakilishi na vinginevyo vingi. Kwenye simu kuna mitandao ambayo watu huwasiliana hata ukiwa mbali au nje ya nchi.
Faida za teknolojia ni nyingi mno. Shuleni teknolojia husaidia sana walimu kwa kazi wanazo zifanya. Katika shule za sekondari kunapatikana tarakilishi ambazo walimu wanaweka rekodi zao. Pia wanatumia kuchapa na kutuma barua, kutayarisha mishahara ya wafanyakazi, kupanga ratiba za masomo, mawasiliano kupitia mdahalishi.
Shuleni kuna fotokopi ambazo zinazotumika kutoa fotokopi ya karatasi ya mitihani, majibu ya wanafunzi, barua za habari kuwapelekea wazazi na kutoa ratiba za masomo au vipindi vya masomo. Shuleni pia kunapatikana runinga ambazo walimu na pia wanafunzi wanatumia kutazama taarifa za habari. Kunamo pia simu ambazo zinatumika kwa mawasiliano. Wanafunzi nao huwa na simu pia ambazo wenyewe wanawasiliana.
Simu pia inaweza kutumika kuhifadhi data na pia kuhifadhi pesa. Si hivyo tu, bali pia simu inaweza kutuma habari.
Shuleni pia kunapatikana genereta ambayo inatumika kutoa umeme wakati umeme wa stima umeenda. Hii inawawezesha wanafunzi kusoma bila kusita kila changamoto za umeme. Shuleni pia kunapatikana kikokotoo ambacho kinatumika kuongeza, kuondoa na kuzidisha katika hisabati. Chombo hivi hurahisishia wanajamii kazi na kuwatunzia wakati.
Naam, vyombo hivi kwa kweli ni vizuri na wahenga hawakukosea walipo longa ulongi ulongao kuna kizuri hakikosi ila na kitanda usichokilalia hujui kunguni wake. Wanafunzi hasa wa shule za sekondari wanajipendekeza sana wakati wa usafiri. Utamkuta mwanafunzi hawezi kutembea kwa miguu mahala au kwenda shuleni bila gari au bodaboda. Hii inawafanya wanafunzi kuwa wavivu.
Wanafunzi wote jinsia mbili wanapotoka hasa wanapojiunga na mitandao katika rununu au simu zao wakidai kuwa huu ndio mfumo mpya wa maisha wanaharibika kiakili, wanazorota masomoni na pia wanakuwa wapotovu wa nidhamu. Wanafunzi kama hawa huwa hawasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini kwani hudai kwamba maisha wanayafahamu.
Teknolojia katika upande wa sekta ya usafiri kunapatikana ajali ovyo kwa kutozingatia alama za barabarani. Hivyo basi husababisha maafa ya maisha ya watu katika u??nd? wa matumizi ?? rununu au simu vile vile vijana, wanafunzi, wanajifunza ujambazi kupitia mitandao ya jamii. Hii inasababisha ukora, ubakaji, uvutaji bangi au sigara, umalaya na utapeli. Vilevile baadhi ya walimu na hata wanafunzi huitumia njia ya mtandao kudanganya ni kupora au kuiba. | Teknolojia imechangia nini miongoni mwa wanafunzi | {
"text": [
"Hulka ya uvivu"
]
} |
3171_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Wahenga walinena kuwa jambo usilolijua ni usiku wa giza. Maisha haya yalienda sako kwa bako na msichana mmoja katika maeneo ya kitongoji chetu. Alikuwa msichana mrembo mno hakuna mfano.
Ama kweli hawakukosea mababu zetu walipoulumba ulumbi ulumbao kuwa kizuri hakikosi ila. Msichana huyo aliuchukulia urembo wake kama njia mojawapo ya kupata senti. Yaani msichana huyu alikuwa kahaba. Shuleni walimu wake walimshauri kuachana na mambo haya ya kidunia ambayo ni maovu, kwani yatamletea matatizo makubwa mno. Wanafunzi wenzake pia walimshauri vile vile ila yeye alikuwa na ulimi wa upanga.
Wakati wa likizo ya Disemba ukiwadia, kila mmoja alienda makwao. Msichana huyo aliitumia nafasi hii kama kawaida yake. Kwa kweli msichana huyo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Kwani alitia masikio pamba. Wazazi walimkanya ya kutosha mpaka wakachoka. Walimhurumia sana mwanao kwa mambo ya kishetani na uhayawani. Walibaki kusema kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Siku na masiku zikaisha. Msichana huyo alianza kudhohofika kiafya. Hali yake ikawa si nzuri tena. Kazi yake ikamshinda kuendeleza. Wazazi wake walimpeleka hospitalini kupata matibabu kusema kweli ugonjwa aliokuwa nayo haukuwa wa mchezo. Aliumwa sana. Wazazi walishindwa kufahamu maradhi kama hayo yaliyo mkumba mtoto wao kwani ugonjwa huo haukusikia dawa, mganga wala mganguzi. Hali yake haikuwa hata na alama ya kupata afueni.
Wazazi wake wafanye nini tena. Mambo yalizidi kuharibika. Msichana huyo alikuwa kama sindano. Hana tena maringo na majivuno. Naam, msichana huyo aliyavuka maji asiyoweza kuyaogelea. Madaktari walifanya uchunguzi wa kutosha kilichobaki tu ni kupimwa virusi vya Ukimwi. Iliwabidi wampime kama ingawa anasumbuliwa na virusi vya Ukimwi. Ukweli ni kwamba waligundua kuwa anaugua ugonjwa sugu, ukimwi.
Wazazi wake walilia mno huku mashavu yamewafura kama maandazi moto. Madaktari walimpa huduma ya hali ya juu kwani huu haukua ugonjwa wa mchezo. Alikuwa anachungulia
Kaburi. Baada ya matibabu ya kutosha alianza kupata afueni. Macho yalimfunguka na kutazama ulimwengu kwa machungu. Alilia sana, lakini hii haikuwa dawa kwani mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na majuto ni mjukuu kwani huja kinyume.
Msichana huyo alipewa madawa ya kutumia. Akapewa maagizo yake na matumizi yake. Kwa kweli, msichana huyo alipata mafunzo ndani ya ugonjwa lililomkabili. Ingawa sasa amejipatia ugonjwa sugu la milele maishani mwake. Naam msiba wa kujitakia hauna kilio na mkataa pema pabaya panamuita.
| Msichana alitumia urembo kupata nini | {
"text": [
"Senti"
]
} |
3171_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Wahenga walinena kuwa jambo usilolijua ni usiku wa giza. Maisha haya yalienda sako kwa bako na msichana mmoja katika maeneo ya kitongoji chetu. Alikuwa msichana mrembo mno hakuna mfano.
Ama kweli hawakukosea mababu zetu walipoulumba ulumbi ulumbao kuwa kizuri hakikosi ila. Msichana huyo aliuchukulia urembo wake kama njia mojawapo ya kupata senti. Yaani msichana huyu alikuwa kahaba. Shuleni walimu wake walimshauri kuachana na mambo haya ya kidunia ambayo ni maovu, kwani yatamletea matatizo makubwa mno. Wanafunzi wenzake pia walimshauri vile vile ila yeye alikuwa na ulimi wa upanga.
Wakati wa likizo ya Disemba ukiwadia, kila mmoja alienda makwao. Msichana huyo aliitumia nafasi hii kama kawaida yake. Kwa kweli msichana huyo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Kwani alitia masikio pamba. Wazazi walimkanya ya kutosha mpaka wakachoka. Walimhurumia sana mwanao kwa mambo ya kishetani na uhayawani. Walibaki kusema kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Siku na masiku zikaisha. Msichana huyo alianza kudhohofika kiafya. Hali yake ikawa si nzuri tena. Kazi yake ikamshinda kuendeleza. Wazazi wake walimpeleka hospitalini kupata matibabu kusema kweli ugonjwa aliokuwa nayo haukuwa wa mchezo. Aliumwa sana. Wazazi walishindwa kufahamu maradhi kama hayo yaliyo mkumba mtoto wao kwani ugonjwa huo haukusikia dawa, mganga wala mganguzi. Hali yake haikuwa hata na alama ya kupata afueni.
Wazazi wake wafanye nini tena. Mambo yalizidi kuharibika. Msichana huyo alikuwa kama sindano. Hana tena maringo na majivuno. Naam, msichana huyo aliyavuka maji asiyoweza kuyaogelea. Madaktari walifanya uchunguzi wa kutosha kilichobaki tu ni kupimwa virusi vya Ukimwi. Iliwabidi wampime kama ingawa anasumbuliwa na virusi vya Ukimwi. Ukweli ni kwamba waligundua kuwa anaugua ugonjwa sugu, ukimwi.
Wazazi wake walilia mno huku mashavu yamewafura kama maandazi moto. Madaktari walimpa huduma ya hali ya juu kwani huu haukua ugonjwa wa mchezo. Alikuwa anachungulia
Kaburi. Baada ya matibabu ya kutosha alianza kupata afueni. Macho yalimfunguka na kutazama ulimwengu kwa machungu. Alilia sana, lakini hii haikuwa dawa kwani mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na majuto ni mjukuu kwani huja kinyume.
Msichana huyo alipewa madawa ya kutumia. Akapewa maagizo yake na matumizi yake. Kwa kweli, msichana huyo alipata mafunzo ndani ya ugonjwa lililomkabili. Ingawa sasa amejipatia ugonjwa sugu la milele maishani mwake. Naam msiba wa kujitakia hauna kilio na mkataa pema pabaya panamuita.
| Wakati wa likizo gani kila mmoja alienda makwao | {
"text": [
"Disemba"
]
} |
3171_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Wahenga walinena kuwa jambo usilolijua ni usiku wa giza. Maisha haya yalienda sako kwa bako na msichana mmoja katika maeneo ya kitongoji chetu. Alikuwa msichana mrembo mno hakuna mfano.
Ama kweli hawakukosea mababu zetu walipoulumba ulumbi ulumbao kuwa kizuri hakikosi ila. Msichana huyo aliuchukulia urembo wake kama njia mojawapo ya kupata senti. Yaani msichana huyu alikuwa kahaba. Shuleni walimu wake walimshauri kuachana na mambo haya ya kidunia ambayo ni maovu, kwani yatamletea matatizo makubwa mno. Wanafunzi wenzake pia walimshauri vile vile ila yeye alikuwa na ulimi wa upanga.
Wakati wa likizo ya Disemba ukiwadia, kila mmoja alienda makwao. Msichana huyo aliitumia nafasi hii kama kawaida yake. Kwa kweli msichana huyo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Kwani alitia masikio pamba. Wazazi walimkanya ya kutosha mpaka wakachoka. Walimhurumia sana mwanao kwa mambo ya kishetani na uhayawani. Walibaki kusema kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Siku na masiku zikaisha. Msichana huyo alianza kudhohofika kiafya. Hali yake ikawa si nzuri tena. Kazi yake ikamshinda kuendeleza. Wazazi wake walimpeleka hospitalini kupata matibabu kusema kweli ugonjwa aliokuwa nayo haukuwa wa mchezo. Aliumwa sana. Wazazi walishindwa kufahamu maradhi kama hayo yaliyo mkumba mtoto wao kwani ugonjwa huo haukusikia dawa, mganga wala mganguzi. Hali yake haikuwa hata na alama ya kupata afueni.
Wazazi wake wafanye nini tena. Mambo yalizidi kuharibika. Msichana huyo alikuwa kama sindano. Hana tena maringo na majivuno. Naam, msichana huyo aliyavuka maji asiyoweza kuyaogelea. Madaktari walifanya uchunguzi wa kutosha kilichobaki tu ni kupimwa virusi vya Ukimwi. Iliwabidi wampime kama ingawa anasumbuliwa na virusi vya Ukimwi. Ukweli ni kwamba waligundua kuwa anaugua ugonjwa sugu, ukimwi.
Wazazi wake walilia mno huku mashavu yamewafura kama maandazi moto. Madaktari walimpa huduma ya hali ya juu kwani huu haukua ugonjwa wa mchezo. Alikuwa anachungulia
Kaburi. Baada ya matibabu ya kutosha alianza kupata afueni. Macho yalimfunguka na kutazama ulimwengu kwa machungu. Alilia sana, lakini hii haikuwa dawa kwani mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na majuto ni mjukuu kwani huja kinyume.
Msichana huyo alipewa madawa ya kutumia. Akapewa maagizo yake na matumizi yake. Kwa kweli, msichana huyo alipata mafunzo ndani ya ugonjwa lililomkabili. Ingawa sasa amejipatia ugonjwa sugu la milele maishani mwake. Naam msiba wa kujitakia hauna kilio na mkataa pema pabaya panamuita.
| Wazazi walimpeleka wapi kupata matibabu | {
"text": [
"Hospitalini"
]
} |
3171_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Wahenga walinena kuwa jambo usilolijua ni usiku wa giza. Maisha haya yalienda sako kwa bako na msichana mmoja katika maeneo ya kitongoji chetu. Alikuwa msichana mrembo mno hakuna mfano.
Ama kweli hawakukosea mababu zetu walipoulumba ulumbi ulumbao kuwa kizuri hakikosi ila. Msichana huyo aliuchukulia urembo wake kama njia mojawapo ya kupata senti. Yaani msichana huyu alikuwa kahaba. Shuleni walimu wake walimshauri kuachana na mambo haya ya kidunia ambayo ni maovu, kwani yatamletea matatizo makubwa mno. Wanafunzi wenzake pia walimshauri vile vile ila yeye alikuwa na ulimi wa upanga.
Wakati wa likizo ya Disemba ukiwadia, kila mmoja alienda makwao. Msichana huyo aliitumia nafasi hii kama kawaida yake. Kwa kweli msichana huyo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Kwani alitia masikio pamba. Wazazi walimkanya ya kutosha mpaka wakachoka. Walimhurumia sana mwanao kwa mambo ya kishetani na uhayawani. Walibaki kusema kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Siku na masiku zikaisha. Msichana huyo alianza kudhohofika kiafya. Hali yake ikawa si nzuri tena. Kazi yake ikamshinda kuendeleza. Wazazi wake walimpeleka hospitalini kupata matibabu kusema kweli ugonjwa aliokuwa nayo haukuwa wa mchezo. Aliumwa sana. Wazazi walishindwa kufahamu maradhi kama hayo yaliyo mkumba mtoto wao kwani ugonjwa huo haukusikia dawa, mganga wala mganguzi. Hali yake haikuwa hata na alama ya kupata afueni.
Wazazi wake wafanye nini tena. Mambo yalizidi kuharibika. Msichana huyo alikuwa kama sindano. Hana tena maringo na majivuno. Naam, msichana huyo aliyavuka maji asiyoweza kuyaogelea. Madaktari walifanya uchunguzi wa kutosha kilichobaki tu ni kupimwa virusi vya Ukimwi. Iliwabidi wampime kama ingawa anasumbuliwa na virusi vya Ukimwi. Ukweli ni kwamba waligundua kuwa anaugua ugonjwa sugu, ukimwi.
Wazazi wake walilia mno huku mashavu yamewafura kama maandazi moto. Madaktari walimpa huduma ya hali ya juu kwani huu haukua ugonjwa wa mchezo. Alikuwa anachungulia
Kaburi. Baada ya matibabu ya kutosha alianza kupata afueni. Macho yalimfunguka na kutazama ulimwengu kwa machungu. Alilia sana, lakini hii haikuwa dawa kwani mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na majuto ni mjukuu kwani huja kinyume.
Msichana huyo alipewa madawa ya kutumia. Akapewa maagizo yake na matumizi yake. Kwa kweli, msichana huyo alipata mafunzo ndani ya ugonjwa lililomkabili. Ingawa sasa amejipatia ugonjwa sugu la milele maishani mwake. Naam msiba wa kujitakia hauna kilio na mkataa pema pabaya panamuita.
| Msichana alikuwa anaugua gonjwa lipi | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
3171_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Wahenga walinena kuwa jambo usilolijua ni usiku wa giza. Maisha haya yalienda sako kwa bako na msichana mmoja katika maeneo ya kitongoji chetu. Alikuwa msichana mrembo mno hakuna mfano.
Ama kweli hawakukosea mababu zetu walipoulumba ulumbi ulumbao kuwa kizuri hakikosi ila. Msichana huyo aliuchukulia urembo wake kama njia mojawapo ya kupata senti. Yaani msichana huyu alikuwa kahaba. Shuleni walimu wake walimshauri kuachana na mambo haya ya kidunia ambayo ni maovu, kwani yatamletea matatizo makubwa mno. Wanafunzi wenzake pia walimshauri vile vile ila yeye alikuwa na ulimi wa upanga.
Wakati wa likizo ya Disemba ukiwadia, kila mmoja alienda makwao. Msichana huyo aliitumia nafasi hii kama kawaida yake. Kwa kweli msichana huyo hakusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Kwani alitia masikio pamba. Wazazi walimkanya ya kutosha mpaka wakachoka. Walimhurumia sana mwanao kwa mambo ya kishetani na uhayawani. Walibaki kusema kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Siku na masiku zikaisha. Msichana huyo alianza kudhohofika kiafya. Hali yake ikawa si nzuri tena. Kazi yake ikamshinda kuendeleza. Wazazi wake walimpeleka hospitalini kupata matibabu kusema kweli ugonjwa aliokuwa nayo haukuwa wa mchezo. Aliumwa sana. Wazazi walishindwa kufahamu maradhi kama hayo yaliyo mkumba mtoto wao kwani ugonjwa huo haukusikia dawa, mganga wala mganguzi. Hali yake haikuwa hata na alama ya kupata afueni.
Wazazi wake wafanye nini tena. Mambo yalizidi kuharibika. Msichana huyo alikuwa kama sindano. Hana tena maringo na majivuno. Naam, msichana huyo aliyavuka maji asiyoweza kuyaogelea. Madaktari walifanya uchunguzi wa kutosha kilichobaki tu ni kupimwa virusi vya Ukimwi. Iliwabidi wampime kama ingawa anasumbuliwa na virusi vya Ukimwi. Ukweli ni kwamba waligundua kuwa anaugua ugonjwa sugu, ukimwi.
Wazazi wake walilia mno huku mashavu yamewafura kama maandazi moto. Madaktari walimpa huduma ya hali ya juu kwani huu haukua ugonjwa wa mchezo. Alikuwa anachungulia
Kaburi. Baada ya matibabu ya kutosha alianza kupata afueni. Macho yalimfunguka na kutazama ulimwengu kwa machungu. Alilia sana, lakini hii haikuwa dawa kwani mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na majuto ni mjukuu kwani huja kinyume.
Msichana huyo alipewa madawa ya kutumia. Akapewa maagizo yake na matumizi yake. Kwa kweli, msichana huyo alipata mafunzo ndani ya ugonjwa lililomkabili. Ingawa sasa amejipatia ugonjwa sugu la milele maishani mwake. Naam msiba wa kujitakia hauna kilio na mkataa pema pabaya panamuita.
| Kwa nini msichana alitazama ulimwengu kwa machungu | {
"text": [
"Alikuwa anaugua ukimwi"
]
} |
3172_swa | FAIDA YA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kwa mfano zana au mitambo. Ama kweli uvumbuzi wa teknolojia imeleta manufaa mengi kwa mfano wanafunzi wa sekondari hutumia kikokotoo kufanya hisabati kwa urahisi na haraka. Pia imeleta madhara kwani wanafunzi hawapendi kujichokesha kufanya hisabati na pia hawataki kufikiria.
Mbali na kikokotoo, pia kuna uvumbuzi wa tarakilishi ambayo pia vile vile imeleta manufaa kama vile wanafunzi wanatumia tarakilishi kusoma na pia hata kutafuta maneno magumu kutumia intaneti. Hata hivyo wanafunzi wanatumia tarakilishi kutazama mambo machafu machafu na kusikiliza nyimbo mbaya ambazo zinawafunza maadili mabaya.
Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile magari, pikipiki. Vyombo vya usafiri vimefanya usafiri kuwa rahisi kwani mtu anaweza kusafiri sehemu za mbali kwa muda mfupi. Vile vile vyombo hivi vya usafiri vimeleta madhara kwa wanajamii kwani vimewafanya watu wengi kuwa wavivu ukilinganisha na maisha ya zamani ambapo mababu zetu walisafiri kilomita nyingi kwa kutumia miguu.
Mbali na usafiri, kuna uvumbuzi wa mtambo wa ATM ambao umerahisisha shughuli za wateja wanaotaka huduma na benki. ATM imemwezesha mteja kupata huduma azitakazo wakati wowote bora tu awe na kadi maalumu ya benki hiyo. Mteja pia anaweza kuweka pesa kwenye akaunti yake au ya mtu mwingine vilevile mtambo wa ATM pia umeleta madhara kama vile wakora huwavamia wateja wanaotumia huduma za ATM.
Mbali na hayo teknolojia pia nayo imeleta umarishaji katika sekta ya afya. Kwani mitambo inayotumiwa kuonyesha sehemu za ndani za viumbe. Viungo vinaonekana hai na hivyo kuimarisha huduma kwa madaktari. Vile vile uvumbuzi huu umefanya matibabu kuwa ghali sana. | Kikokotoo kimeleta madhara gani kwa wanafunzi | {
"text": [
"Kimepunguza uwezo wa wanafunzi kufikiria"
]
} |
3172_swa | FAIDA YA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kwa mfano zana au mitambo. Ama kweli uvumbuzi wa teknolojia imeleta manufaa mengi kwa mfano wanafunzi wa sekondari hutumia kikokotoo kufanya hisabati kwa urahisi na haraka. Pia imeleta madhara kwani wanafunzi hawapendi kujichokesha kufanya hisabati na pia hawataki kufikiria.
Mbali na kikokotoo, pia kuna uvumbuzi wa tarakilishi ambayo pia vile vile imeleta manufaa kama vile wanafunzi wanatumia tarakilishi kusoma na pia hata kutafuta maneno magumu kutumia intaneti. Hata hivyo wanafunzi wanatumia tarakilishi kutazama mambo machafu machafu na kusikiliza nyimbo mbaya ambazo zinawafunza maadili mabaya.
Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile magari, pikipiki. Vyombo vya usafiri vimefanya usafiri kuwa rahisi kwani mtu anaweza kusafiri sehemu za mbali kwa muda mfupi. Vile vile vyombo hivi vya usafiri vimeleta madhara kwa wanajamii kwani vimewafanya watu wengi kuwa wavivu ukilinganisha na maisha ya zamani ambapo mababu zetu walisafiri kilomita nyingi kwa kutumia miguu.
Mbali na usafiri, kuna uvumbuzi wa mtambo wa ATM ambao umerahisisha shughuli za wateja wanaotaka huduma na benki. ATM imemwezesha mteja kupata huduma azitakazo wakati wowote bora tu awe na kadi maalumu ya benki hiyo. Mteja pia anaweza kuweka pesa kwenye akaunti yake au ya mtu mwingine vilevile mtambo wa ATM pia umeleta madhara kama vile wakora huwavamia wateja wanaotumia huduma za ATM.
Mbali na hayo teknolojia pia nayo imeleta umarishaji katika sekta ya afya. Kwani mitambo inayotumiwa kuonyesha sehemu za ndani za viumbe. Viungo vinaonekana hai na hivyo kuimarisha huduma kwa madaktari. Vile vile uvumbuzi huu umefanya matibabu kuwa ghali sana. | Teknolojia imechangia uvumbuzi wa nini | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3172_swa | FAIDA YA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kwa mfano zana au mitambo. Ama kweli uvumbuzi wa teknolojia imeleta manufaa mengi kwa mfano wanafunzi wa sekondari hutumia kikokotoo kufanya hisabati kwa urahisi na haraka. Pia imeleta madhara kwani wanafunzi hawapendi kujichokesha kufanya hisabati na pia hawataki kufikiria.
Mbali na kikokotoo, pia kuna uvumbuzi wa tarakilishi ambayo pia vile vile imeleta manufaa kama vile wanafunzi wanatumia tarakilishi kusoma na pia hata kutafuta maneno magumu kutumia intaneti. Hata hivyo wanafunzi wanatumia tarakilishi kutazama mambo machafu machafu na kusikiliza nyimbo mbaya ambazo zinawafunza maadili mabaya.
Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile magari, pikipiki. Vyombo vya usafiri vimefanya usafiri kuwa rahisi kwani mtu anaweza kusafiri sehemu za mbali kwa muda mfupi. Vile vile vyombo hivi vya usafiri vimeleta madhara kwa wanajamii kwani vimewafanya watu wengi kuwa wavivu ukilinganisha na maisha ya zamani ambapo mababu zetu walisafiri kilomita nyingi kwa kutumia miguu.
Mbali na usafiri, kuna uvumbuzi wa mtambo wa ATM ambao umerahisisha shughuli za wateja wanaotaka huduma na benki. ATM imemwezesha mteja kupata huduma azitakazo wakati wowote bora tu awe na kadi maalumu ya benki hiyo. Mteja pia anaweza kuweka pesa kwenye akaunti yake au ya mtu mwingine vilevile mtambo wa ATM pia umeleta madhara kama vile wakora huwavamia wateja wanaotumia huduma za ATM.
Mbali na hayo teknolojia pia nayo imeleta umarishaji katika sekta ya afya. Kwani mitambo inayotumiwa kuonyesha sehemu za ndani za viumbe. Viungo vinaonekana hai na hivyo kuimarisha huduma kwa madaktari. Vile vile uvumbuzi huu umefanya matibabu kuwa ghali sana. | Teknolojia imerahihisha usafiri kwa kuvumbua chombo kipi | {
"text": [
"Gari, pikipiki"
]
} |
3172_swa | FAIDA YA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kwa mfano zana au mitambo. Ama kweli uvumbuzi wa teknolojia imeleta manufaa mengi kwa mfano wanafunzi wa sekondari hutumia kikokotoo kufanya hisabati kwa urahisi na haraka. Pia imeleta madhara kwani wanafunzi hawapendi kujichokesha kufanya hisabati na pia hawataki kufikiria.
Mbali na kikokotoo, pia kuna uvumbuzi wa tarakilishi ambayo pia vile vile imeleta manufaa kama vile wanafunzi wanatumia tarakilishi kusoma na pia hata kutafuta maneno magumu kutumia intaneti. Hata hivyo wanafunzi wanatumia tarakilishi kutazama mambo machafu machafu na kusikiliza nyimbo mbaya ambazo zinawafunza maadili mabaya.
Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile magari, pikipiki. Vyombo vya usafiri vimefanya usafiri kuwa rahisi kwani mtu anaweza kusafiri sehemu za mbali kwa muda mfupi. Vile vile vyombo hivi vya usafiri vimeleta madhara kwa wanajamii kwani vimewafanya watu wengi kuwa wavivu ukilinganisha na maisha ya zamani ambapo mababu zetu walisafiri kilomita nyingi kwa kutumia miguu.
Mbali na usafiri, kuna uvumbuzi wa mtambo wa ATM ambao umerahisisha shughuli za wateja wanaotaka huduma na benki. ATM imemwezesha mteja kupata huduma azitakazo wakati wowote bora tu awe na kadi maalumu ya benki hiyo. Mteja pia anaweza kuweka pesa kwenye akaunti yake au ya mtu mwingine vilevile mtambo wa ATM pia umeleta madhara kama vile wakora huwavamia wateja wanaotumia huduma za ATM.
Mbali na hayo teknolojia pia nayo imeleta umarishaji katika sekta ya afya. Kwani mitambo inayotumiwa kuonyesha sehemu za ndani za viumbe. Viungo vinaonekana hai na hivyo kuimarisha huduma kwa madaktari. Vile vile uvumbuzi huu umefanya matibabu kuwa ghali sana. | ATM imerahihisha huduma za nini | {
"text": [
"Benki"
]
} |
3172_swa | FAIDA YA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kwa mfano zana au mitambo. Ama kweli uvumbuzi wa teknolojia imeleta manufaa mengi kwa mfano wanafunzi wa sekondari hutumia kikokotoo kufanya hisabati kwa urahisi na haraka. Pia imeleta madhara kwani wanafunzi hawapendi kujichokesha kufanya hisabati na pia hawataki kufikiria.
Mbali na kikokotoo, pia kuna uvumbuzi wa tarakilishi ambayo pia vile vile imeleta manufaa kama vile wanafunzi wanatumia tarakilishi kusoma na pia hata kutafuta maneno magumu kutumia intaneti. Hata hivyo wanafunzi wanatumia tarakilishi kutazama mambo machafu machafu na kusikiliza nyimbo mbaya ambazo zinawafunza maadili mabaya.
Teknolojia pia imeleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile magari, pikipiki. Vyombo vya usafiri vimefanya usafiri kuwa rahisi kwani mtu anaweza kusafiri sehemu za mbali kwa muda mfupi. Vile vile vyombo hivi vya usafiri vimeleta madhara kwa wanajamii kwani vimewafanya watu wengi kuwa wavivu ukilinganisha na maisha ya zamani ambapo mababu zetu walisafiri kilomita nyingi kwa kutumia miguu.
Mbali na usafiri, kuna uvumbuzi wa mtambo wa ATM ambao umerahisisha shughuli za wateja wanaotaka huduma na benki. ATM imemwezesha mteja kupata huduma azitakazo wakati wowote bora tu awe na kadi maalumu ya benki hiyo. Mteja pia anaweza kuweka pesa kwenye akaunti yake au ya mtu mwingine vilevile mtambo wa ATM pia umeleta madhara kama vile wakora huwavamia wateja wanaotumia huduma za ATM.
Mbali na hayo teknolojia pia nayo imeleta umarishaji katika sekta ya afya. Kwani mitambo inayotumiwa kuonyesha sehemu za ndani za viumbe. Viungo vinaonekana hai na hivyo kuimarisha huduma kwa madaktari. Vile vile uvumbuzi huu umefanya matibabu kuwa ghali sana. | Matibabu kuwa ghali kumechangiwa na nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3173_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam, katika mtaa mmoja wa walalahoi paliishi mvulana mmoja mtanashati aliyeitwa Mashaka pamoja na wazazi wake Bw na Bi Tabu. Mashaka alikuwa kipenzi cha wazazi wake kwani licha ya kuwa alikuwa mtoto wa kipekee wa wazazi wake alikuwa pia na hulka njema. Shuleni alikuwa wembe kwani siku zote aliibuka kuwa mshindi masomoni na kwa sababu ya hiyo alipendwa sana na walimu wake.
Mashaka alikuwa pia kipenzi cha wanafunzi wenzake kwani wengi walimpenda kwa tabia zake nzuri. Mashaka alifanya bidii masomoni na kujikaza kisabuni licha ya kutoka katika familia ya wachochole kwani alifahamu fika kuwa mchumia juani hulia kivulini. Baada ya Mashaka kujiunga na shule ya upili, tabia yake ilianza kubadilika kabisa. Alijiona kuwa amekuwa mtu mzima.
Mashaka alijiunga na vikundi vya watu wenye tabia mbaya hata kuliko shetani kwa mfano utumiaji wa mihadarati. Wazazi wake walipomuona mwana wao amejiunga na vikundi vibaya walijaribu kumuonya lakini hakusikia. Walimu na Wanafunzi wenzake pia walijaribu kumpa shauri lakini wapi, ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi gita kwani alitia pamba masikioni. Hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Alipoingia kidato cha pili Mashaka aliamua kuacha shule na kuingilia kazi ya kuuza mihadarati. Usiku ulipofika mashaka na rafiki zake walisimama vichochoroni na kanyang'anya watu pesa zao na hata mizigo. Kibaya zaidi waliwakata mapanga wanaume na kuwabaka wanawake. Kadri miaka ilivyoendelea kupita, Mashaka aliinukia kuwa jambazi sugu. Yeye na wahalifu wenzake walianza kuiba katika maduka makubwa makubwa na hata benki.
Majambazi hawa waligonga vichwa vya habari na polisi kwani walitafutwa pande zote za nchi. Picha zao zilienezwa maeneo yote. Baada ya kuona kuwa wanasakwa, waliamua kuhamia nchi nyingine mbali . Lakini kwa bahati mbaya walikutana na jeshi la polisi tayari ilikuwa limewatangulia. Mashaka na rafiki zake walikimbizana na polisi lakini siku ya nyani kufa ikifika miti yote huteleza kwani waliona wengine mbele yao.
Mashaka alipoona rafiki zake wakibwagwa, alianza kutafakari maneno ya hayati wazazi wake ambao waliiaga dunia kutonana na shida za maisha. Alitamani ardhi ipasuke immeze lakini wapi. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Kijana mtanashati alikuwa anaitwa nani | {
"text": [
"Mashaka"
]
} |
3173_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam, katika mtaa mmoja wa walalahoi paliishi mvulana mmoja mtanashati aliyeitwa Mashaka pamoja na wazazi wake Bw na Bi Tabu. Mashaka alikuwa kipenzi cha wazazi wake kwani licha ya kuwa alikuwa mtoto wa kipekee wa wazazi wake alikuwa pia na hulka njema. Shuleni alikuwa wembe kwani siku zote aliibuka kuwa mshindi masomoni na kwa sababu ya hiyo alipendwa sana na walimu wake.
Mashaka alikuwa pia kipenzi cha wanafunzi wenzake kwani wengi walimpenda kwa tabia zake nzuri. Mashaka alifanya bidii masomoni na kujikaza kisabuni licha ya kutoka katika familia ya wachochole kwani alifahamu fika kuwa mchumia juani hulia kivulini. Baada ya Mashaka kujiunga na shule ya upili, tabia yake ilianza kubadilika kabisa. Alijiona kuwa amekuwa mtu mzima.
Mashaka alijiunga na vikundi vya watu wenye tabia mbaya hata kuliko shetani kwa mfano utumiaji wa mihadarati. Wazazi wake walipomuona mwana wao amejiunga na vikundi vibaya walijaribu kumuonya lakini hakusikia. Walimu na Wanafunzi wenzake pia walijaribu kumpa shauri lakini wapi, ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi gita kwani alitia pamba masikioni. Hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Alipoingia kidato cha pili Mashaka aliamua kuacha shule na kuingilia kazi ya kuuza mihadarati. Usiku ulipofika mashaka na rafiki zake walisimama vichochoroni na kanyang'anya watu pesa zao na hata mizigo. Kibaya zaidi waliwakata mapanga wanaume na kuwabaka wanawake. Kadri miaka ilivyoendelea kupita, Mashaka aliinukia kuwa jambazi sugu. Yeye na wahalifu wenzake walianza kuiba katika maduka makubwa makubwa na hata benki.
Majambazi hawa waligonga vichwa vya habari na polisi kwani walitafutwa pande zote za nchi. Picha zao zilienezwa maeneo yote. Baada ya kuona kuwa wanasakwa, waliamua kuhamia nchi nyingine mbali . Lakini kwa bahati mbaya walikutana na jeshi la polisi tayari ilikuwa limewatangulia. Mashaka na rafiki zake walikimbizana na polisi lakini siku ya nyani kufa ikifika miti yote huteleza kwani waliona wengine mbele yao.
Mashaka alipoona rafiki zake wakibwagwa, alianza kutafakari maneno ya hayati wazazi wake ambao waliiaga dunia kutonana na shida za maisha. Alitamani ardhi ipasuke immeze lakini wapi. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mashaka alijiunga na watu wenye tabia ipi | {
"text": [
"Mbaya"
]
} |
3173_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam, katika mtaa mmoja wa walalahoi paliishi mvulana mmoja mtanashati aliyeitwa Mashaka pamoja na wazazi wake Bw na Bi Tabu. Mashaka alikuwa kipenzi cha wazazi wake kwani licha ya kuwa alikuwa mtoto wa kipekee wa wazazi wake alikuwa pia na hulka njema. Shuleni alikuwa wembe kwani siku zote aliibuka kuwa mshindi masomoni na kwa sababu ya hiyo alipendwa sana na walimu wake.
Mashaka alikuwa pia kipenzi cha wanafunzi wenzake kwani wengi walimpenda kwa tabia zake nzuri. Mashaka alifanya bidii masomoni na kujikaza kisabuni licha ya kutoka katika familia ya wachochole kwani alifahamu fika kuwa mchumia juani hulia kivulini. Baada ya Mashaka kujiunga na shule ya upili, tabia yake ilianza kubadilika kabisa. Alijiona kuwa amekuwa mtu mzima.
Mashaka alijiunga na vikundi vya watu wenye tabia mbaya hata kuliko shetani kwa mfano utumiaji wa mihadarati. Wazazi wake walipomuona mwana wao amejiunga na vikundi vibaya walijaribu kumuonya lakini hakusikia. Walimu na Wanafunzi wenzake pia walijaribu kumpa shauri lakini wapi, ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi gita kwani alitia pamba masikioni. Hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Alipoingia kidato cha pili Mashaka aliamua kuacha shule na kuingilia kazi ya kuuza mihadarati. Usiku ulipofika mashaka na rafiki zake walisimama vichochoroni na kanyang'anya watu pesa zao na hata mizigo. Kibaya zaidi waliwakata mapanga wanaume na kuwabaka wanawake. Kadri miaka ilivyoendelea kupita, Mashaka aliinukia kuwa jambazi sugu. Yeye na wahalifu wenzake walianza kuiba katika maduka makubwa makubwa na hata benki.
Majambazi hawa waligonga vichwa vya habari na polisi kwani walitafutwa pande zote za nchi. Picha zao zilienezwa maeneo yote. Baada ya kuona kuwa wanasakwa, waliamua kuhamia nchi nyingine mbali . Lakini kwa bahati mbaya walikutana na jeshi la polisi tayari ilikuwa limewatangulia. Mashaka na rafiki zake walikimbizana na polisi lakini siku ya nyani kufa ikifika miti yote huteleza kwani waliona wengine mbele yao.
Mashaka alipoona rafiki zake wakibwagwa, alianza kutafakari maneno ya hayati wazazi wake ambao waliiaga dunia kutonana na shida za maisha. Alitamani ardhi ipasuke immeze lakini wapi. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mashaka alianza kuuza nini | {
"text": [
"Mihadarati"
]
} |
3173_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam, katika mtaa mmoja wa walalahoi paliishi mvulana mmoja mtanashati aliyeitwa Mashaka pamoja na wazazi wake Bw na Bi Tabu. Mashaka alikuwa kipenzi cha wazazi wake kwani licha ya kuwa alikuwa mtoto wa kipekee wa wazazi wake alikuwa pia na hulka njema. Shuleni alikuwa wembe kwani siku zote aliibuka kuwa mshindi masomoni na kwa sababu ya hiyo alipendwa sana na walimu wake.
Mashaka alikuwa pia kipenzi cha wanafunzi wenzake kwani wengi walimpenda kwa tabia zake nzuri. Mashaka alifanya bidii masomoni na kujikaza kisabuni licha ya kutoka katika familia ya wachochole kwani alifahamu fika kuwa mchumia juani hulia kivulini. Baada ya Mashaka kujiunga na shule ya upili, tabia yake ilianza kubadilika kabisa. Alijiona kuwa amekuwa mtu mzima.
Mashaka alijiunga na vikundi vya watu wenye tabia mbaya hata kuliko shetani kwa mfano utumiaji wa mihadarati. Wazazi wake walipomuona mwana wao amejiunga na vikundi vibaya walijaribu kumuonya lakini hakusikia. Walimu na Wanafunzi wenzake pia walijaribu kumpa shauri lakini wapi, ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi gita kwani alitia pamba masikioni. Hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Alipoingia kidato cha pili Mashaka aliamua kuacha shule na kuingilia kazi ya kuuza mihadarati. Usiku ulipofika mashaka na rafiki zake walisimama vichochoroni na kanyang'anya watu pesa zao na hata mizigo. Kibaya zaidi waliwakata mapanga wanaume na kuwabaka wanawake. Kadri miaka ilivyoendelea kupita, Mashaka aliinukia kuwa jambazi sugu. Yeye na wahalifu wenzake walianza kuiba katika maduka makubwa makubwa na hata benki.
Majambazi hawa waligonga vichwa vya habari na polisi kwani walitafutwa pande zote za nchi. Picha zao zilienezwa maeneo yote. Baada ya kuona kuwa wanasakwa, waliamua kuhamia nchi nyingine mbali . Lakini kwa bahati mbaya walikutana na jeshi la polisi tayari ilikuwa limewatangulia. Mashaka na rafiki zake walikimbizana na polisi lakini siku ya nyani kufa ikifika miti yote huteleza kwani waliona wengine mbele yao.
Mashaka alipoona rafiki zake wakibwagwa, alianza kutafakari maneno ya hayati wazazi wake ambao waliiaga dunia kutonana na shida za maisha. Alitamani ardhi ipasuke immeze lakini wapi. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Mashaka na rafiki zake walikimbizana na nani | {
"text": [
"Polisi"
]
} |
3173_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Naam, katika mtaa mmoja wa walalahoi paliishi mvulana mmoja mtanashati aliyeitwa Mashaka pamoja na wazazi wake Bw na Bi Tabu. Mashaka alikuwa kipenzi cha wazazi wake kwani licha ya kuwa alikuwa mtoto wa kipekee wa wazazi wake alikuwa pia na hulka njema. Shuleni alikuwa wembe kwani siku zote aliibuka kuwa mshindi masomoni na kwa sababu ya hiyo alipendwa sana na walimu wake.
Mashaka alikuwa pia kipenzi cha wanafunzi wenzake kwani wengi walimpenda kwa tabia zake nzuri. Mashaka alifanya bidii masomoni na kujikaza kisabuni licha ya kutoka katika familia ya wachochole kwani alifahamu fika kuwa mchumia juani hulia kivulini. Baada ya Mashaka kujiunga na shule ya upili, tabia yake ilianza kubadilika kabisa. Alijiona kuwa amekuwa mtu mzima.
Mashaka alijiunga na vikundi vya watu wenye tabia mbaya hata kuliko shetani kwa mfano utumiaji wa mihadarati. Wazazi wake walipomuona mwana wao amejiunga na vikundi vibaya walijaribu kumuonya lakini hakusikia. Walimu na Wanafunzi wenzake pia walijaribu kumpa shauri lakini wapi, ilikuwa ni kama kumpigia mbuzi gita kwani alitia pamba masikioni. Hakuskia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Alipoingia kidato cha pili Mashaka aliamua kuacha shule na kuingilia kazi ya kuuza mihadarati. Usiku ulipofika mashaka na rafiki zake walisimama vichochoroni na kanyang'anya watu pesa zao na hata mizigo. Kibaya zaidi waliwakata mapanga wanaume na kuwabaka wanawake. Kadri miaka ilivyoendelea kupita, Mashaka aliinukia kuwa jambazi sugu. Yeye na wahalifu wenzake walianza kuiba katika maduka makubwa makubwa na hata benki.
Majambazi hawa waligonga vichwa vya habari na polisi kwani walitafutwa pande zote za nchi. Picha zao zilienezwa maeneo yote. Baada ya kuona kuwa wanasakwa, waliamua kuhamia nchi nyingine mbali . Lakini kwa bahati mbaya walikutana na jeshi la polisi tayari ilikuwa limewatangulia. Mashaka na rafiki zake walikimbizana na polisi lakini siku ya nyani kufa ikifika miti yote huteleza kwani waliona wengine mbele yao.
Mashaka alipoona rafiki zake wakibwagwa, alianza kutafakari maneno ya hayati wazazi wake ambao waliiaga dunia kutonana na shida za maisha. Alitamani ardhi ipasuke immeze lakini wapi. Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. | Wazazi wa mashaka waliaga kutokana na nini | {
"text": [
"Shida za maisha"
]
} |
3174_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imetuletea faida nyingi sana katika shule yetu. Kwanza imerahisisha masomo na hakuna cha kupinga hili. Sababu ya kusema hivo ni kwamba hakuna siku ata moja wanafunzi watakosa kuingia darasani au walimu wakose kuhudhuria vipindi vyao vya ziada kisa hakuna stima, huo ni uongo. Wakati inapokata tu, jenereta inachukuwa mkondo wake papo hapo na wanafunzi huendeleza masomo yao kama kawaida. Hivyo basi inachangia kupita kwa wanafunzi katika mitihani yao.
Pia teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu. Ziko tarakilishi ambazo walimu hutumia kupata maelezo zaidi kuhusu jambo lililokosa uhakika. Kisha wako tayari kutoa mitihani midogo midogo inayo kutathmini mahali tulipo kwa kutumia mitambo ainati kama printa na mengineyo. Pia wanafunzi wamerahisishiwa kazi katika baadhi ya masomo. Kwa mfano hisabati kwa kutumia kikokotoo ambapo humsaidia mwanafunzi kurahisisha kazi zake za kufanya hesabu. Teknolojia pia imesaidia kwa masomo ya moja kwa moja ya mitandaoni ambapo wanafunzi wanaweza kuuliza maswali na kupata kujibiwa au kuletewa maswali waeze kujibu na baadaye kusahihishiwa na kujitathmini mahali walimo.
Fauka ya hayo teknolojia imetuwezesha katika shule yetu kupunguza wizi maana kuna ulinzi unaotokana na televisheni hizi huweza kueleza vyote vinavyotokea aidha vizuri au vibaya. Hivyo basi kuika shule yetu mbali na majanga ya wizi ambao huendelea katika shule jirani.
Upande wa pili kitu kizuri hakikosi madhara yake. Teknolojia imeleta madhara mengi ivo katika shule zetu. Kwanza imeendeleza uhalifu katika udanganyaji wa mitihani ambapo wanafunzi wengi wametumia tarakilishi kupata majibu ya mitihani au hata vifaa vingine vya mawasiliano. Wanafunzi wengi wanapita mitihani yao ya sekondari na kupata vyuo vikuu ambapo hawafanyi vizuri hivo basi kuelekea nyuma wakati wanaporudia, hujirudisha nyuma wenyewe.
Teknolojia pia imeleta madhara kwa mazingira kama vile kelele. Wakati stima inapopotea na kuwaka kwa jenereta, kuna kelele fulani inayotoka ambayo huharibu mazingira kama
vile kukosesha mwanafunzi kuzingatia zile kelele na pia kuwafanya wanafunzi kushiriki vizuri katika masomo yao. Ngurumo inayotoka pia huharibu maskio ya watu kwa wale walio na ugonjwa wa masikio.
Pia teknolojia imechangia kwa adabu za wanafunzi kuzorota katika shule. Wanafunzi huweza kuangalia televisheni shuleni hadi usiku kisha wanafunzi huenda kusinzia darasani na walimu waingiapo darasani, wanafunzi hukosa maelezo muhimu ya walimu wao. | Teknolojia imetuletea nini katika shule yetu | {
"text": [
"faida nyingi"
]
} |
3174_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imetuletea faida nyingi sana katika shule yetu. Kwanza imerahisisha masomo na hakuna cha kupinga hili. Sababu ya kusema hivo ni kwamba hakuna siku ata moja wanafunzi watakosa kuingia darasani au walimu wakose kuhudhuria vipindi vyao vya ziada kisa hakuna stima, huo ni uongo. Wakati inapokata tu, jenereta inachukuwa mkondo wake papo hapo na wanafunzi huendeleza masomo yao kama kawaida. Hivyo basi inachangia kupita kwa wanafunzi katika mitihani yao.
Pia teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu. Ziko tarakilishi ambazo walimu hutumia kupata maelezo zaidi kuhusu jambo lililokosa uhakika. Kisha wako tayari kutoa mitihani midogo midogo inayo kutathmini mahali tulipo kwa kutumia mitambo ainati kama printa na mengineyo. Pia wanafunzi wamerahisishiwa kazi katika baadhi ya masomo. Kwa mfano hisabati kwa kutumia kikokotoo ambapo humsaidia mwanafunzi kurahisisha kazi zake za kufanya hesabu. Teknolojia pia imesaidia kwa masomo ya moja kwa moja ya mitandaoni ambapo wanafunzi wanaweza kuuliza maswali na kupata kujibiwa au kuletewa maswali waeze kujibu na baadaye kusahihishiwa na kujitathmini mahali walimo.
Fauka ya hayo teknolojia imetuwezesha katika shule yetu kupunguza wizi maana kuna ulinzi unaotokana na televisheni hizi huweza kueleza vyote vinavyotokea aidha vizuri au vibaya. Hivyo basi kuika shule yetu mbali na majanga ya wizi ambao huendelea katika shule jirani.
Upande wa pili kitu kizuri hakikosi madhara yake. Teknolojia imeleta madhara mengi ivo katika shule zetu. Kwanza imeendeleza uhalifu katika udanganyaji wa mitihani ambapo wanafunzi wengi wametumia tarakilishi kupata majibu ya mitihani au hata vifaa vingine vya mawasiliano. Wanafunzi wengi wanapita mitihani yao ya sekondari na kupata vyuo vikuu ambapo hawafanyi vizuri hivo basi kuelekea nyuma wakati wanaporudia, hujirudisha nyuma wenyewe.
Teknolojia pia imeleta madhara kwa mazingira kama vile kelele. Wakati stima inapopotea na kuwaka kwa jenereta, kuna kelele fulani inayotoka ambayo huharibu mazingira kama
vile kukosesha mwanafunzi kuzingatia zile kelele na pia kuwafanya wanafunzi kushiriki vizuri katika masomo yao. Ngurumo inayotoka pia huharibu maskio ya watu kwa wale walio na ugonjwa wa masikio.
Pia teknolojia imechangia kwa adabu za wanafunzi kuzorota katika shule. Wanafunzi huweza kuangalia televisheni shuleni hadi usiku kisha wanafunzi huenda kusinzia darasani na walimu waingiapo darasani, wanafunzi hukosa maelezo muhimu ya walimu wao. | Teknolojia huchangia katika kupita kwa wanafunzi katika nini | {
"text": [
"Mitihani yao"
]
} |
3174_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imetuletea faida nyingi sana katika shule yetu. Kwanza imerahisisha masomo na hakuna cha kupinga hili. Sababu ya kusema hivo ni kwamba hakuna siku ata moja wanafunzi watakosa kuingia darasani au walimu wakose kuhudhuria vipindi vyao vya ziada kisa hakuna stima, huo ni uongo. Wakati inapokata tu, jenereta inachukuwa mkondo wake papo hapo na wanafunzi huendeleza masomo yao kama kawaida. Hivyo basi inachangia kupita kwa wanafunzi katika mitihani yao.
Pia teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu. Ziko tarakilishi ambazo walimu hutumia kupata maelezo zaidi kuhusu jambo lililokosa uhakika. Kisha wako tayari kutoa mitihani midogo midogo inayo kutathmini mahali tulipo kwa kutumia mitambo ainati kama printa na mengineyo. Pia wanafunzi wamerahisishiwa kazi katika baadhi ya masomo. Kwa mfano hisabati kwa kutumia kikokotoo ambapo humsaidia mwanafunzi kurahisisha kazi zake za kufanya hesabu. Teknolojia pia imesaidia kwa masomo ya moja kwa moja ya mitandaoni ambapo wanafunzi wanaweza kuuliza maswali na kupata kujibiwa au kuletewa maswali waeze kujibu na baadaye kusahihishiwa na kujitathmini mahali walimo.
Fauka ya hayo teknolojia imetuwezesha katika shule yetu kupunguza wizi maana kuna ulinzi unaotokana na televisheni hizi huweza kueleza vyote vinavyotokea aidha vizuri au vibaya. Hivyo basi kuika shule yetu mbali na majanga ya wizi ambao huendelea katika shule jirani.
Upande wa pili kitu kizuri hakikosi madhara yake. Teknolojia imeleta madhara mengi ivo katika shule zetu. Kwanza imeendeleza uhalifu katika udanganyaji wa mitihani ambapo wanafunzi wengi wametumia tarakilishi kupata majibu ya mitihani au hata vifaa vingine vya mawasiliano. Wanafunzi wengi wanapita mitihani yao ya sekondari na kupata vyuo vikuu ambapo hawafanyi vizuri hivo basi kuelekea nyuma wakati wanaporudia, hujirudisha nyuma wenyewe.
Teknolojia pia imeleta madhara kwa mazingira kama vile kelele. Wakati stima inapopotea na kuwaka kwa jenereta, kuna kelele fulani inayotoka ambayo huharibu mazingira kama
vile kukosesha mwanafunzi kuzingatia zile kelele na pia kuwafanya wanafunzi kushiriki vizuri katika masomo yao. Ngurumo inayotoka pia huharibu maskio ya watu kwa wale walio na ugonjwa wa masikio.
Pia teknolojia imechangia kwa adabu za wanafunzi kuzorota katika shule. Wanafunzi huweza kuangalia televisheni shuleni hadi usiku kisha wanafunzi huenda kusinzia darasani na walimu waingiapo darasani, wanafunzi hukosa maelezo muhimu ya walimu wao. | Teknolojia imerahisisha kazi kwa nani | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
3174_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imetuletea faida nyingi sana katika shule yetu. Kwanza imerahisisha masomo na hakuna cha kupinga hili. Sababu ya kusema hivo ni kwamba hakuna siku ata moja wanafunzi watakosa kuingia darasani au walimu wakose kuhudhuria vipindi vyao vya ziada kisa hakuna stima, huo ni uongo. Wakati inapokata tu, jenereta inachukuwa mkondo wake papo hapo na wanafunzi huendeleza masomo yao kama kawaida. Hivyo basi inachangia kupita kwa wanafunzi katika mitihani yao.
Pia teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu. Ziko tarakilishi ambazo walimu hutumia kupata maelezo zaidi kuhusu jambo lililokosa uhakika. Kisha wako tayari kutoa mitihani midogo midogo inayo kutathmini mahali tulipo kwa kutumia mitambo ainati kama printa na mengineyo. Pia wanafunzi wamerahisishiwa kazi katika baadhi ya masomo. Kwa mfano hisabati kwa kutumia kikokotoo ambapo humsaidia mwanafunzi kurahisisha kazi zake za kufanya hesabu. Teknolojia pia imesaidia kwa masomo ya moja kwa moja ya mitandaoni ambapo wanafunzi wanaweza kuuliza maswali na kupata kujibiwa au kuletewa maswali waeze kujibu na baadaye kusahihishiwa na kujitathmini mahali walimo.
Fauka ya hayo teknolojia imetuwezesha katika shule yetu kupunguza wizi maana kuna ulinzi unaotokana na televisheni hizi huweza kueleza vyote vinavyotokea aidha vizuri au vibaya. Hivyo basi kuika shule yetu mbali na majanga ya wizi ambao huendelea katika shule jirani.
Upande wa pili kitu kizuri hakikosi madhara yake. Teknolojia imeleta madhara mengi ivo katika shule zetu. Kwanza imeendeleza uhalifu katika udanganyaji wa mitihani ambapo wanafunzi wengi wametumia tarakilishi kupata majibu ya mitihani au hata vifaa vingine vya mawasiliano. Wanafunzi wengi wanapita mitihani yao ya sekondari na kupata vyuo vikuu ambapo hawafanyi vizuri hivo basi kuelekea nyuma wakati wanaporudia, hujirudisha nyuma wenyewe.
Teknolojia pia imeleta madhara kwa mazingira kama vile kelele. Wakati stima inapopotea na kuwaka kwa jenereta, kuna kelele fulani inayotoka ambayo huharibu mazingira kama
vile kukosesha mwanafunzi kuzingatia zile kelele na pia kuwafanya wanafunzi kushiriki vizuri katika masomo yao. Ngurumo inayotoka pia huharibu maskio ya watu kwa wale walio na ugonjwa wa masikio.
Pia teknolojia imechangia kwa adabu za wanafunzi kuzorota katika shule. Wanafunzi huweza kuangalia televisheni shuleni hadi usiku kisha wanafunzi huenda kusinzia darasani na walimu waingiapo darasani, wanafunzi hukosa maelezo muhimu ya walimu wao. | Walimu hutumia vipi tarakilishi | {
"text": [
"Kupata maelezo zaidi"
]
} |
3174_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imetuletea faida nyingi sana katika shule yetu. Kwanza imerahisisha masomo na hakuna cha kupinga hili. Sababu ya kusema hivo ni kwamba hakuna siku ata moja wanafunzi watakosa kuingia darasani au walimu wakose kuhudhuria vipindi vyao vya ziada kisa hakuna stima, huo ni uongo. Wakati inapokata tu, jenereta inachukuwa mkondo wake papo hapo na wanafunzi huendeleza masomo yao kama kawaida. Hivyo basi inachangia kupita kwa wanafunzi katika mitihani yao.
Pia teknolojia imerahisisha kazi kwa walimu. Ziko tarakilishi ambazo walimu hutumia kupata maelezo zaidi kuhusu jambo lililokosa uhakika. Kisha wako tayari kutoa mitihani midogo midogo inayo kutathmini mahali tulipo kwa kutumia mitambo ainati kama printa na mengineyo. Pia wanafunzi wamerahisishiwa kazi katika baadhi ya masomo. Kwa mfano hisabati kwa kutumia kikokotoo ambapo humsaidia mwanafunzi kurahisisha kazi zake za kufanya hesabu. Teknolojia pia imesaidia kwa masomo ya moja kwa moja ya mitandaoni ambapo wanafunzi wanaweza kuuliza maswali na kupata kujibiwa au kuletewa maswali waeze kujibu na baadaye kusahihishiwa na kujitathmini mahali walimo.
Fauka ya hayo teknolojia imetuwezesha katika shule yetu kupunguza wizi maana kuna ulinzi unaotokana na televisheni hizi huweza kueleza vyote vinavyotokea aidha vizuri au vibaya. Hivyo basi kuika shule yetu mbali na majanga ya wizi ambao huendelea katika shule jirani.
Upande wa pili kitu kizuri hakikosi madhara yake. Teknolojia imeleta madhara mengi ivo katika shule zetu. Kwanza imeendeleza uhalifu katika udanganyaji wa mitihani ambapo wanafunzi wengi wametumia tarakilishi kupata majibu ya mitihani au hata vifaa vingine vya mawasiliano. Wanafunzi wengi wanapita mitihani yao ya sekondari na kupata vyuo vikuu ambapo hawafanyi vizuri hivo basi kuelekea nyuma wakati wanaporudia, hujirudisha nyuma wenyewe.
Teknolojia pia imeleta madhara kwa mazingira kama vile kelele. Wakati stima inapopotea na kuwaka kwa jenereta, kuna kelele fulani inayotoka ambayo huharibu mazingira kama
vile kukosesha mwanafunzi kuzingatia zile kelele na pia kuwafanya wanafunzi kushiriki vizuri katika masomo yao. Ngurumo inayotoka pia huharibu maskio ya watu kwa wale walio na ugonjwa wa masikio.
Pia teknolojia imechangia kwa adabu za wanafunzi kuzorota katika shule. Wanafunzi huweza kuangalia televisheni shuleni hadi usiku kisha wanafunzi huenda kusinzia darasani na walimu waingiapo darasani, wanafunzi hukosa maelezo muhimu ya walimu wao. | Teknolojia imeendeleza udanganyifu katika mitihani kwa namna gani | {
"text": [
"Wanafunzi wengi hutumia tarakilishi kupata majibuya mitihani"
]
} |
3175_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya juu ya methali hii ni kwamba yeyote atakaye kaidi ya wavyele wake au wakubwa wao huenda wakafikiwa na makubwa baadaye. Maana ya ndani ya methali hii ni kwamba yeyote anaye puuzia maneno ya wavyele wake au watangulizi basi huenda wakapata hasara mbeleni mwa maisha yao.
Methali hii inaweza kutumiwa kwa watu wanaopuuzia wanayoambiwa na wavyele au watangulizi wake. Methali hii inaoana ni ile isemayo kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, paliondokea binti mmoja aliyeitwa Chaurembo kama jina lake ilivyo sadifisha, kidosho huyu alikuwa mrembo sana ambapo kila aliyemuona alimmezea mate. Binti huyu alikuwa akiishi na wavyele wake ambao walikuwa wakimpenda sana kwa kuwa walikuwa wamebarikiwa na mwana mmoja tu. Walimdekeza na kumpenda kupita kiasi hivyo basi alikuwa na tabia za kuudhi maana alikuwa haskii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Licha ya mapenzi yote aliyopewa na wazazi, alikuwa hawaheshimu katu.
Siku moja Chaurembo aliaga wazazi wake kuwa aliomba kwenda kesha kwa jirani. Wazazi walimwambia kuwa asiende lakini yeye ni nani, sikio la kufa. Hivyo basi usiku alipobisha hodi aliacha wavyele wake wakiwa wamelala yeye pole pole kama kinyonga akafungua mlango na kubana kwa nje. Aliondoka apo mbio kama risasi kisha akaelekea kesha hiyo aliyokuwa ametahadharishwa kutoenda. Alicheza, akalewa na ilipofika saa kumi na mbili asubuhi ya kufungulia ng'ombe akaenda nyumbani unyounyo.
Kwa kweli usilolijua ni usiku wa giza. Alipofika kitongoji kwao hakuamini macho yake. Kwanza nyumba yao ilikuwa inazimwa kutokana na nguvu zilizo za umeme. Kufika karibu alianza kulia kwikwikwi nasra atoe machozi ya damu. Alivyouliza mahali wazazi wake walikuwa alienda moja kwa moja hadi hospitali ili awaone wazazi wake waliokuwa wamejeruhiwa vibaya. Kumuona mamake alilia sana na kukosa la kufanya. Kufikia wakati huo babake alikuwa tayari ametangulia mbele za haki.
Hilo pia lilimzidisha majonzi zaidi na kuingiwa na hasira zaidi asijue la kufanya. Baada ya saa za kuhesabika, mamake alipata ufahamu na kumuita mwanawe na kumwambia kuwa alichofanya hakikuwa kitu kizuri kufunga mlango kwa nje kwa hakika tungekuwa tumeponea lila tungetoka na wapi? Chaurembo alitiririkwa na machozi zaidi na kubakia zii kama maji ya mtungi. Alimwambia mwanawe akae na amani maana yeye hakudhani kunusurika. Chaurembo alilia sana kumfanya ninaye pia machozi yamdondoke. Baada ya muda mfupi ninaye alimwambia kwaheri kisha akanyaza. Chaurembo alilia sana na kulaumu nafsi yake.
Maisha yalimkalia magumu baada ya mazishi kisha akawaza angewasikia wavyele wake yote yasingetokea. Hakuwa na nyumba ya kulala wala mahali pa kula. Alichokipata ndicho kilichoingia kinywani. Methali hii inatufunza kuwa tunafaa kuwa na heshima na adabu kwa wavyele na watu wote kwa jumla. Chaurembo angesikia ya wavyele wale kutoenda kesha kwa kweli pengine wangefungua mlango na kunusuru maisha yao. | Binti huyo aliitwa nani | {
"text": [
"chaurembo"
]
} |
3175_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya juu ya methali hii ni kwamba yeyote atakaye kaidi ya wavyele wake au wakubwa wao huenda wakafikiwa na makubwa baadaye. Maana ya ndani ya methali hii ni kwamba yeyote anaye puuzia maneno ya wavyele wake au watangulizi basi huenda wakapata hasara mbeleni mwa maisha yao.
Methali hii inaweza kutumiwa kwa watu wanaopuuzia wanayoambiwa na wavyele au watangulizi wake. Methali hii inaoana ni ile isemayo kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, paliondokea binti mmoja aliyeitwa Chaurembo kama jina lake ilivyo sadifisha, kidosho huyu alikuwa mrembo sana ambapo kila aliyemuona alimmezea mate. Binti huyu alikuwa akiishi na wavyele wake ambao walikuwa wakimpenda sana kwa kuwa walikuwa wamebarikiwa na mwana mmoja tu. Walimdekeza na kumpenda kupita kiasi hivyo basi alikuwa na tabia za kuudhi maana alikuwa haskii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Licha ya mapenzi yote aliyopewa na wazazi, alikuwa hawaheshimu katu.
Siku moja Chaurembo aliaga wazazi wake kuwa aliomba kwenda kesha kwa jirani. Wazazi walimwambia kuwa asiende lakini yeye ni nani, sikio la kufa. Hivyo basi usiku alipobisha hodi aliacha wavyele wake wakiwa wamelala yeye pole pole kama kinyonga akafungua mlango na kubana kwa nje. Aliondoka apo mbio kama risasi kisha akaelekea kesha hiyo aliyokuwa ametahadharishwa kutoenda. Alicheza, akalewa na ilipofika saa kumi na mbili asubuhi ya kufungulia ng'ombe akaenda nyumbani unyounyo.
Kwa kweli usilolijua ni usiku wa giza. Alipofika kitongoji kwao hakuamini macho yake. Kwanza nyumba yao ilikuwa inazimwa kutokana na nguvu zilizo za umeme. Kufika karibu alianza kulia kwikwikwi nasra atoe machozi ya damu. Alivyouliza mahali wazazi wake walikuwa alienda moja kwa moja hadi hospitali ili awaone wazazi wake waliokuwa wamejeruhiwa vibaya. Kumuona mamake alilia sana na kukosa la kufanya. Kufikia wakati huo babake alikuwa tayari ametangulia mbele za haki.
Hilo pia lilimzidisha majonzi zaidi na kuingiwa na hasira zaidi asijue la kufanya. Baada ya saa za kuhesabika, mamake alipata ufahamu na kumuita mwanawe na kumwambia kuwa alichofanya hakikuwa kitu kizuri kufunga mlango kwa nje kwa hakika tungekuwa tumeponea lila tungetoka na wapi? Chaurembo alitiririkwa na machozi zaidi na kubakia zii kama maji ya mtungi. Alimwambia mwanawe akae na amani maana yeye hakudhani kunusurika. Chaurembo alilia sana kumfanya ninaye pia machozi yamdondoke. Baada ya muda mfupi ninaye alimwambia kwaheri kisha akanyaza. Chaurembo alilia sana na kulaumu nafsi yake.
Maisha yalimkalia magumu baada ya mazishi kisha akawaza angewasikia wavyele wake yote yasingetokea. Hakuwa na nyumba ya kulala wala mahali pa kula. Alichokipata ndicho kilichoingia kinywani. Methali hii inatufunza kuwa tunafaa kuwa na heshima na adabu kwa wavyele na watu wote kwa jumla. Chaurembo angesikia ya wavyele wale kutoenda kesha kwa kweli pengine wangefungua mlango na kunusuru maisha yao. | Kila aliyemuona Chaurembo alifanya nini | {
"text": [
"alimeza mate"
]
} |
3175_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya juu ya methali hii ni kwamba yeyote atakaye kaidi ya wavyele wake au wakubwa wao huenda wakafikiwa na makubwa baadaye. Maana ya ndani ya methali hii ni kwamba yeyote anaye puuzia maneno ya wavyele wake au watangulizi basi huenda wakapata hasara mbeleni mwa maisha yao.
Methali hii inaweza kutumiwa kwa watu wanaopuuzia wanayoambiwa na wavyele au watangulizi wake. Methali hii inaoana ni ile isemayo kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, paliondokea binti mmoja aliyeitwa Chaurembo kama jina lake ilivyo sadifisha, kidosho huyu alikuwa mrembo sana ambapo kila aliyemuona alimmezea mate. Binti huyu alikuwa akiishi na wavyele wake ambao walikuwa wakimpenda sana kwa kuwa walikuwa wamebarikiwa na mwana mmoja tu. Walimdekeza na kumpenda kupita kiasi hivyo basi alikuwa na tabia za kuudhi maana alikuwa haskii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Licha ya mapenzi yote aliyopewa na wazazi, alikuwa hawaheshimu katu.
Siku moja Chaurembo aliaga wazazi wake kuwa aliomba kwenda kesha kwa jirani. Wazazi walimwambia kuwa asiende lakini yeye ni nani, sikio la kufa. Hivyo basi usiku alipobisha hodi aliacha wavyele wake wakiwa wamelala yeye pole pole kama kinyonga akafungua mlango na kubana kwa nje. Aliondoka apo mbio kama risasi kisha akaelekea kesha hiyo aliyokuwa ametahadharishwa kutoenda. Alicheza, akalewa na ilipofika saa kumi na mbili asubuhi ya kufungulia ng'ombe akaenda nyumbani unyounyo.
Kwa kweli usilolijua ni usiku wa giza. Alipofika kitongoji kwao hakuamini macho yake. Kwanza nyumba yao ilikuwa inazimwa kutokana na nguvu zilizo za umeme. Kufika karibu alianza kulia kwikwikwi nasra atoe machozi ya damu. Alivyouliza mahali wazazi wake walikuwa alienda moja kwa moja hadi hospitali ili awaone wazazi wake waliokuwa wamejeruhiwa vibaya. Kumuona mamake alilia sana na kukosa la kufanya. Kufikia wakati huo babake alikuwa tayari ametangulia mbele za haki.
Hilo pia lilimzidisha majonzi zaidi na kuingiwa na hasira zaidi asijue la kufanya. Baada ya saa za kuhesabika, mamake alipata ufahamu na kumuita mwanawe na kumwambia kuwa alichofanya hakikuwa kitu kizuri kufunga mlango kwa nje kwa hakika tungekuwa tumeponea lila tungetoka na wapi? Chaurembo alitiririkwa na machozi zaidi na kubakia zii kama maji ya mtungi. Alimwambia mwanawe akae na amani maana yeye hakudhani kunusurika. Chaurembo alilia sana kumfanya ninaye pia machozi yamdondoke. Baada ya muda mfupi ninaye alimwambia kwaheri kisha akanyaza. Chaurembo alilia sana na kulaumu nafsi yake.
Maisha yalimkalia magumu baada ya mazishi kisha akawaza angewasikia wavyele wake yote yasingetokea. Hakuwa na nyumba ya kulala wala mahali pa kula. Alichokipata ndicho kilichoingia kinywani. Methali hii inatufunza kuwa tunafaa kuwa na heshima na adabu kwa wavyele na watu wote kwa jumla. Chaurembo angesikia ya wavyele wale kutoenda kesha kwa kweli pengine wangefungua mlango na kunusuru maisha yao. | Licha ya mapenzi yote aliyopewa na wazazi alikuwa hafanyi nini | {
"text": [
"hawaheshimu"
]
} |
3175_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya juu ya methali hii ni kwamba yeyote atakaye kaidi ya wavyele wake au wakubwa wao huenda wakafikiwa na makubwa baadaye. Maana ya ndani ya methali hii ni kwamba yeyote anaye puuzia maneno ya wavyele wake au watangulizi basi huenda wakapata hasara mbeleni mwa maisha yao.
Methali hii inaweza kutumiwa kwa watu wanaopuuzia wanayoambiwa na wavyele au watangulizi wake. Methali hii inaoana ni ile isemayo kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, paliondokea binti mmoja aliyeitwa Chaurembo kama jina lake ilivyo sadifisha, kidosho huyu alikuwa mrembo sana ambapo kila aliyemuona alimmezea mate. Binti huyu alikuwa akiishi na wavyele wake ambao walikuwa wakimpenda sana kwa kuwa walikuwa wamebarikiwa na mwana mmoja tu. Walimdekeza na kumpenda kupita kiasi hivyo basi alikuwa na tabia za kuudhi maana alikuwa haskii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Licha ya mapenzi yote aliyopewa na wazazi, alikuwa hawaheshimu katu.
Siku moja Chaurembo aliaga wazazi wake kuwa aliomba kwenda kesha kwa jirani. Wazazi walimwambia kuwa asiende lakini yeye ni nani, sikio la kufa. Hivyo basi usiku alipobisha hodi aliacha wavyele wake wakiwa wamelala yeye pole pole kama kinyonga akafungua mlango na kubana kwa nje. Aliondoka apo mbio kama risasi kisha akaelekea kesha hiyo aliyokuwa ametahadharishwa kutoenda. Alicheza, akalewa na ilipofika saa kumi na mbili asubuhi ya kufungulia ng'ombe akaenda nyumbani unyounyo.
Kwa kweli usilolijua ni usiku wa giza. Alipofika kitongoji kwao hakuamini macho yake. Kwanza nyumba yao ilikuwa inazimwa kutokana na nguvu zilizo za umeme. Kufika karibu alianza kulia kwikwikwi nasra atoe machozi ya damu. Alivyouliza mahali wazazi wake walikuwa alienda moja kwa moja hadi hospitali ili awaone wazazi wake waliokuwa wamejeruhiwa vibaya. Kumuona mamake alilia sana na kukosa la kufanya. Kufikia wakati huo babake alikuwa tayari ametangulia mbele za haki.
Hilo pia lilimzidisha majonzi zaidi na kuingiwa na hasira zaidi asijue la kufanya. Baada ya saa za kuhesabika, mamake alipata ufahamu na kumuita mwanawe na kumwambia kuwa alichofanya hakikuwa kitu kizuri kufunga mlango kwa nje kwa hakika tungekuwa tumeponea lila tungetoka na wapi? Chaurembo alitiririkwa na machozi zaidi na kubakia zii kama maji ya mtungi. Alimwambia mwanawe akae na amani maana yeye hakudhani kunusurika. Chaurembo alilia sana kumfanya ninaye pia machozi yamdondoke. Baada ya muda mfupi ninaye alimwambia kwaheri kisha akanyaza. Chaurembo alilia sana na kulaumu nafsi yake.
Maisha yalimkalia magumu baada ya mazishi kisha akawaza angewasikia wavyele wake yote yasingetokea. Hakuwa na nyumba ya kulala wala mahali pa kula. Alichokipata ndicho kilichoingia kinywani. Methali hii inatufunza kuwa tunafaa kuwa na heshima na adabu kwa wavyele na watu wote kwa jumla. Chaurembo angesikia ya wavyele wale kutoenda kesha kwa kweli pengine wangefungua mlango na kunusuru maisha yao. | Ni lini Chaurembo alifunga mlango kutoka nje | {
"text": [
"alipokua akienda kesha"
]
} |
3175_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya juu ya methali hii ni kwamba yeyote atakaye kaidi ya wavyele wake au wakubwa wao huenda wakafikiwa na makubwa baadaye. Maana ya ndani ya methali hii ni kwamba yeyote anaye puuzia maneno ya wavyele wake au watangulizi basi huenda wakapata hasara mbeleni mwa maisha yao.
Methali hii inaweza kutumiwa kwa watu wanaopuuzia wanayoambiwa na wavyele au watangulizi wake. Methali hii inaoana ni ile isemayo kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Naam, paliondokea binti mmoja aliyeitwa Chaurembo kama jina lake ilivyo sadifisha, kidosho huyu alikuwa mrembo sana ambapo kila aliyemuona alimmezea mate. Binti huyu alikuwa akiishi na wavyele wake ambao walikuwa wakimpenda sana kwa kuwa walikuwa wamebarikiwa na mwana mmoja tu. Walimdekeza na kumpenda kupita kiasi hivyo basi alikuwa na tabia za kuudhi maana alikuwa haskii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Licha ya mapenzi yote aliyopewa na wazazi, alikuwa hawaheshimu katu.
Siku moja Chaurembo aliaga wazazi wake kuwa aliomba kwenda kesha kwa jirani. Wazazi walimwambia kuwa asiende lakini yeye ni nani, sikio la kufa. Hivyo basi usiku alipobisha hodi aliacha wavyele wake wakiwa wamelala yeye pole pole kama kinyonga akafungua mlango na kubana kwa nje. Aliondoka apo mbio kama risasi kisha akaelekea kesha hiyo aliyokuwa ametahadharishwa kutoenda. Alicheza, akalewa na ilipofika saa kumi na mbili asubuhi ya kufungulia ng'ombe akaenda nyumbani unyounyo.
Kwa kweli usilolijua ni usiku wa giza. Alipofika kitongoji kwao hakuamini macho yake. Kwanza nyumba yao ilikuwa inazimwa kutokana na nguvu zilizo za umeme. Kufika karibu alianza kulia kwikwikwi nasra atoe machozi ya damu. Alivyouliza mahali wazazi wake walikuwa alienda moja kwa moja hadi hospitali ili awaone wazazi wake waliokuwa wamejeruhiwa vibaya. Kumuona mamake alilia sana na kukosa la kufanya. Kufikia wakati huo babake alikuwa tayari ametangulia mbele za haki.
Hilo pia lilimzidisha majonzi zaidi na kuingiwa na hasira zaidi asijue la kufanya. Baada ya saa za kuhesabika, mamake alipata ufahamu na kumuita mwanawe na kumwambia kuwa alichofanya hakikuwa kitu kizuri kufunga mlango kwa nje kwa hakika tungekuwa tumeponea lila tungetoka na wapi? Chaurembo alitiririkwa na machozi zaidi na kubakia zii kama maji ya mtungi. Alimwambia mwanawe akae na amani maana yeye hakudhani kunusurika. Chaurembo alilia sana kumfanya ninaye pia machozi yamdondoke. Baada ya muda mfupi ninaye alimwambia kwaheri kisha akanyaza. Chaurembo alilia sana na kulaumu nafsi yake.
Maisha yalimkalia magumu baada ya mazishi kisha akawaza angewasikia wavyele wake yote yasingetokea. Hakuwa na nyumba ya kulala wala mahali pa kula. Alichokipata ndicho kilichoingia kinywani. Methali hii inatufunza kuwa tunafaa kuwa na heshima na adabu kwa wavyele na watu wote kwa jumla. Chaurembo angesikia ya wavyele wale kutoenda kesha kwa kweli pengine wangefungua mlango na kunusuru maisha yao. | Kwa nini mamake alimwambia alichofanya hakikua kitu kizuri | {
"text": [
"kwa sababu chaurembo alifunga mlango kutoka nje na hivyo hawangejiokoa"
]
} |
3176_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisasa yaliyoamishwa ili kuimarisha wakati kulingana na wakati wa kale. Kwa kweli teknolojia imechangia pakubwa sana katika sekta ya elimu na duni ya kisasa. Imeleta faida vile vile na madhara yake.
Teknolojia imewezesha shule za sekondari kuwa na vikokotoo. Vikokotoo vimesaidia sana wanafunzi wengi kufanya hesabu kubwa kubwa kwa haraka mno. Imerahisisha wanafunzi kufanya hesabu za kuchanganya kwa makini. Vilevile vikokotoo hivyo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu. Mwanafunzi anapokosa kikokotoo basi huchukua muda mrefu kukamilisha hesabu aliyokuwa akiifanya ilhali zamani wanafunzi hawakutumia vifaa hivyo.
Kunao uvumbuzi wa genereta mashuleni ambapo imewezesha kuwepo kwa umeme wakati kama umeme wenyewe umepotea. Huwawezesha wanafunzi kutokosa mwangaza wa kusoma. Hata hivyo genereta hizo mbali na kuleta mwangaza, pia husababisha kelele wakati inapoguruma. Hivyo basi kusababisha kutokuwa makini wakati wanaposoma.
Kuna tarakilishi na pakatalishi ambazo zimetambulishwa kwa mashule. Tarakilishi hizi huwafanya wanafunzi kuhifadhi nakala zao kusomea. Hii huwasaidia kwa sababu si rahisi kupotea na kukurukakara. Hii pia ni changamoto kwamba kuna wanafunzi ambao hawaishi kwenye mabweni. Hivyo basi si rahisi kubeba vipakatalishi hivyo nyumbani na pia kuwafanya kutosoma. Pia huwa wavivu kubeba na kuandika nakala hizo.
Wanafunzi wengine wanaoishi nje ya mabweni hutumia pikipiki kufikaa haraka shuleni. Mataksi hayo na mapikipiki hayo huwawezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati unaofaa.
Waendeshaji pikipiki hao vile vile wameanza kujihusisha kimapenzi na wanafunzi na mara nyingine huwabaka wanafunzi hao.
Wanafunzi hasaa walio nje ya mabweni huwa na simu ambazo husaidia wakati wa mawasiliano. Pia simu zimewawezesha kusoma kupitia mitandao kama vile YouTube, Twitter, Google na zinginezo. Hii huwasaidia kutosahau wanachofunzwa shuleni kwa kudurusu. Mara nyingine, hujizoesha simu hizi kufikia kiwango kwamba zinawaharibu macho na pia hutumia simu hizo kutazama video ambazo zina mambo ya kichafu na ngono. Hivyo basi kuharibika akili na kuanza kufikiria mambo mengine ambayo haifai.
Shule za sekondari mara nyingi kunakuwepo na wanafunzi wanaofanya somo la ukulima. Hivyo basi walimu wao huleta mashini ilikulima mahala pa kutumiwa. Hii huwarahisishia kazi na kudumisha muda. Vilevile mashini hizi huwadekeza wanafunzi na kuwafanya mabwege. Mara nyingi, tingatinga wakati zinapofanya kazi hunguruma na kutoa kelele ambazo huwatatiza wanafunzi na kuwafanya kukosa makini wakati wa darasa. | Nini imechangia pakubwa katika sekta ya elimu | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3176_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisasa yaliyoamishwa ili kuimarisha wakati kulingana na wakati wa kale. Kwa kweli teknolojia imechangia pakubwa sana katika sekta ya elimu na duni ya kisasa. Imeleta faida vile vile na madhara yake.
Teknolojia imewezesha shule za sekondari kuwa na vikokotoo. Vikokotoo vimesaidia sana wanafunzi wengi kufanya hesabu kubwa kubwa kwa haraka mno. Imerahisisha wanafunzi kufanya hesabu za kuchanganya kwa makini. Vilevile vikokotoo hivyo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu. Mwanafunzi anapokosa kikokotoo basi huchukua muda mrefu kukamilisha hesabu aliyokuwa akiifanya ilhali zamani wanafunzi hawakutumia vifaa hivyo.
Kunao uvumbuzi wa genereta mashuleni ambapo imewezesha kuwepo kwa umeme wakati kama umeme wenyewe umepotea. Huwawezesha wanafunzi kutokosa mwangaza wa kusoma. Hata hivyo genereta hizo mbali na kuleta mwangaza, pia husababisha kelele wakati inapoguruma. Hivyo basi kusababisha kutokuwa makini wakati wanaposoma.
Kuna tarakilishi na pakatalishi ambazo zimetambulishwa kwa mashule. Tarakilishi hizi huwafanya wanafunzi kuhifadhi nakala zao kusomea. Hii huwasaidia kwa sababu si rahisi kupotea na kukurukakara. Hii pia ni changamoto kwamba kuna wanafunzi ambao hawaishi kwenye mabweni. Hivyo basi si rahisi kubeba vipakatalishi hivyo nyumbani na pia kuwafanya kutosoma. Pia huwa wavivu kubeba na kuandika nakala hizo.
Wanafunzi wengine wanaoishi nje ya mabweni hutumia pikipiki kufikaa haraka shuleni. Mataksi hayo na mapikipiki hayo huwawezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati unaofaa.
Waendeshaji pikipiki hao vile vile wameanza kujihusisha kimapenzi na wanafunzi na mara nyingine huwabaka wanafunzi hao.
Wanafunzi hasaa walio nje ya mabweni huwa na simu ambazo husaidia wakati wa mawasiliano. Pia simu zimewawezesha kusoma kupitia mitandao kama vile YouTube, Twitter, Google na zinginezo. Hii huwasaidia kutosahau wanachofunzwa shuleni kwa kudurusu. Mara nyingine, hujizoesha simu hizi kufikia kiwango kwamba zinawaharibu macho na pia hutumia simu hizo kutazama video ambazo zina mambo ya kichafu na ngono. Hivyo basi kuharibika akili na kuanza kufikiria mambo mengine ambayo haifai.
Shule za sekondari mara nyingi kunakuwepo na wanafunzi wanaofanya somo la ukulima. Hivyo basi walimu wao huleta mashini ilikulima mahala pa kutumiwa. Hii huwarahisishia kazi na kudumisha muda. Vilevile mashini hizi huwadekeza wanafunzi na kuwafanya mabwege. Mara nyingi, tingatinga wakati zinapofanya kazi hunguruma na kutoa kelele ambazo huwatatiza wanafunzi na kuwafanya kukosa makini wakati wa darasa. | Vikokotoo vimewafanya nani kuwa wavivu | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
3176_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisasa yaliyoamishwa ili kuimarisha wakati kulingana na wakati wa kale. Kwa kweli teknolojia imechangia pakubwa sana katika sekta ya elimu na duni ya kisasa. Imeleta faida vile vile na madhara yake.
Teknolojia imewezesha shule za sekondari kuwa na vikokotoo. Vikokotoo vimesaidia sana wanafunzi wengi kufanya hesabu kubwa kubwa kwa haraka mno. Imerahisisha wanafunzi kufanya hesabu za kuchanganya kwa makini. Vilevile vikokotoo hivyo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu. Mwanafunzi anapokosa kikokotoo basi huchukua muda mrefu kukamilisha hesabu aliyokuwa akiifanya ilhali zamani wanafunzi hawakutumia vifaa hivyo.
Kunao uvumbuzi wa genereta mashuleni ambapo imewezesha kuwepo kwa umeme wakati kama umeme wenyewe umepotea. Huwawezesha wanafunzi kutokosa mwangaza wa kusoma. Hata hivyo genereta hizo mbali na kuleta mwangaza, pia husababisha kelele wakati inapoguruma. Hivyo basi kusababisha kutokuwa makini wakati wanaposoma.
Kuna tarakilishi na pakatalishi ambazo zimetambulishwa kwa mashule. Tarakilishi hizi huwafanya wanafunzi kuhifadhi nakala zao kusomea. Hii huwasaidia kwa sababu si rahisi kupotea na kukurukakara. Hii pia ni changamoto kwamba kuna wanafunzi ambao hawaishi kwenye mabweni. Hivyo basi si rahisi kubeba vipakatalishi hivyo nyumbani na pia kuwafanya kutosoma. Pia huwa wavivu kubeba na kuandika nakala hizo.
Wanafunzi wengine wanaoishi nje ya mabweni hutumia pikipiki kufikaa haraka shuleni. Mataksi hayo na mapikipiki hayo huwawezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati unaofaa.
Waendeshaji pikipiki hao vile vile wameanza kujihusisha kimapenzi na wanafunzi na mara nyingine huwabaka wanafunzi hao.
Wanafunzi hasaa walio nje ya mabweni huwa na simu ambazo husaidia wakati wa mawasiliano. Pia simu zimewawezesha kusoma kupitia mitandao kama vile YouTube, Twitter, Google na zinginezo. Hii huwasaidia kutosahau wanachofunzwa shuleni kwa kudurusu. Mara nyingine, hujizoesha simu hizi kufikia kiwango kwamba zinawaharibu macho na pia hutumia simu hizo kutazama video ambazo zina mambo ya kichafu na ngono. Hivyo basi kuharibika akili na kuanza kufikiria mambo mengine ambayo haifai.
Shule za sekondari mara nyingi kunakuwepo na wanafunzi wanaofanya somo la ukulima. Hivyo basi walimu wao huleta mashini ilikulima mahala pa kutumiwa. Hii huwarahisishia kazi na kudumisha muda. Vilevile mashini hizi huwadekeza wanafunzi na kuwafanya mabwege. Mara nyingi, tingatinga wakati zinapofanya kazi hunguruma na kutoa kelele ambazo huwatatiza wanafunzi na kuwafanya kukosa makini wakati wa darasa. | Lini wanafunzi hawakutumia vifaa hivyo | {
"text": [
"zamani"
]
} |
3176_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisasa yaliyoamishwa ili kuimarisha wakati kulingana na wakati wa kale. Kwa kweli teknolojia imechangia pakubwa sana katika sekta ya elimu na duni ya kisasa. Imeleta faida vile vile na madhara yake.
Teknolojia imewezesha shule za sekondari kuwa na vikokotoo. Vikokotoo vimesaidia sana wanafunzi wengi kufanya hesabu kubwa kubwa kwa haraka mno. Imerahisisha wanafunzi kufanya hesabu za kuchanganya kwa makini. Vilevile vikokotoo hivyo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu. Mwanafunzi anapokosa kikokotoo basi huchukua muda mrefu kukamilisha hesabu aliyokuwa akiifanya ilhali zamani wanafunzi hawakutumia vifaa hivyo.
Kunao uvumbuzi wa genereta mashuleni ambapo imewezesha kuwepo kwa umeme wakati kama umeme wenyewe umepotea. Huwawezesha wanafunzi kutokosa mwangaza wa kusoma. Hata hivyo genereta hizo mbali na kuleta mwangaza, pia husababisha kelele wakati inapoguruma. Hivyo basi kusababisha kutokuwa makini wakati wanaposoma.
Kuna tarakilishi na pakatalishi ambazo zimetambulishwa kwa mashule. Tarakilishi hizi huwafanya wanafunzi kuhifadhi nakala zao kusomea. Hii huwasaidia kwa sababu si rahisi kupotea na kukurukakara. Hii pia ni changamoto kwamba kuna wanafunzi ambao hawaishi kwenye mabweni. Hivyo basi si rahisi kubeba vipakatalishi hivyo nyumbani na pia kuwafanya kutosoma. Pia huwa wavivu kubeba na kuandika nakala hizo.
Wanafunzi wengine wanaoishi nje ya mabweni hutumia pikipiki kufikaa haraka shuleni. Mataksi hayo na mapikipiki hayo huwawezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati unaofaa.
Waendeshaji pikipiki hao vile vile wameanza kujihusisha kimapenzi na wanafunzi na mara nyingine huwabaka wanafunzi hao.
Wanafunzi hasaa walio nje ya mabweni huwa na simu ambazo husaidia wakati wa mawasiliano. Pia simu zimewawezesha kusoma kupitia mitandao kama vile YouTube, Twitter, Google na zinginezo. Hii huwasaidia kutosahau wanachofunzwa shuleni kwa kudurusu. Mara nyingine, hujizoesha simu hizi kufikia kiwango kwamba zinawaharibu macho na pia hutumia simu hizo kutazama video ambazo zina mambo ya kichafu na ngono. Hivyo basi kuharibika akili na kuanza kufikiria mambo mengine ambayo haifai.
Shule za sekondari mara nyingi kunakuwepo na wanafunzi wanaofanya somo la ukulima. Hivyo basi walimu wao huleta mashini ilikulima mahala pa kutumiwa. Hii huwarahisishia kazi na kudumisha muda. Vilevile mashini hizi huwadekeza wanafunzi na kuwafanya mabwege. Mara nyingi, tingatinga wakati zinapofanya kazi hunguruma na kutoa kelele ambazo huwatatiza wanafunzi na kuwafanya kukosa makini wakati wa darasa. | Genereta husababisha nini inaponguruma | {
"text": [
"kelele"
]
} |
3176_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisasa yaliyoamishwa ili kuimarisha wakati kulingana na wakati wa kale. Kwa kweli teknolojia imechangia pakubwa sana katika sekta ya elimu na duni ya kisasa. Imeleta faida vile vile na madhara yake.
Teknolojia imewezesha shule za sekondari kuwa na vikokotoo. Vikokotoo vimesaidia sana wanafunzi wengi kufanya hesabu kubwa kubwa kwa haraka mno. Imerahisisha wanafunzi kufanya hesabu za kuchanganya kwa makini. Vilevile vikokotoo hivyo vimewafanya wanafunzi kuwa wavivu. Mwanafunzi anapokosa kikokotoo basi huchukua muda mrefu kukamilisha hesabu aliyokuwa akiifanya ilhali zamani wanafunzi hawakutumia vifaa hivyo.
Kunao uvumbuzi wa genereta mashuleni ambapo imewezesha kuwepo kwa umeme wakati kama umeme wenyewe umepotea. Huwawezesha wanafunzi kutokosa mwangaza wa kusoma. Hata hivyo genereta hizo mbali na kuleta mwangaza, pia husababisha kelele wakati inapoguruma. Hivyo basi kusababisha kutokuwa makini wakati wanaposoma.
Kuna tarakilishi na pakatalishi ambazo zimetambulishwa kwa mashule. Tarakilishi hizi huwafanya wanafunzi kuhifadhi nakala zao kusomea. Hii huwasaidia kwa sababu si rahisi kupotea na kukurukakara. Hii pia ni changamoto kwamba kuna wanafunzi ambao hawaishi kwenye mabweni. Hivyo basi si rahisi kubeba vipakatalishi hivyo nyumbani na pia kuwafanya kutosoma. Pia huwa wavivu kubeba na kuandika nakala hizo.
Wanafunzi wengine wanaoishi nje ya mabweni hutumia pikipiki kufikaa haraka shuleni. Mataksi hayo na mapikipiki hayo huwawezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati unaofaa.
Waendeshaji pikipiki hao vile vile wameanza kujihusisha kimapenzi na wanafunzi na mara nyingine huwabaka wanafunzi hao.
Wanafunzi hasaa walio nje ya mabweni huwa na simu ambazo husaidia wakati wa mawasiliano. Pia simu zimewawezesha kusoma kupitia mitandao kama vile YouTube, Twitter, Google na zinginezo. Hii huwasaidia kutosahau wanachofunzwa shuleni kwa kudurusu. Mara nyingine, hujizoesha simu hizi kufikia kiwango kwamba zinawaharibu macho na pia hutumia simu hizo kutazama video ambazo zina mambo ya kichafu na ngono. Hivyo basi kuharibika akili na kuanza kufikiria mambo mengine ambayo haifai.
Shule za sekondari mara nyingi kunakuwepo na wanafunzi wanaofanya somo la ukulima. Hivyo basi walimu wao huleta mashini ilikulima mahala pa kutumiwa. Hii huwarahisishia kazi na kudumisha muda. Vilevile mashini hizi huwadekeza wanafunzi na kuwafanya mabwege. Mara nyingi, tingatinga wakati zinapofanya kazi hunguruma na kutoa kelele ambazo huwatatiza wanafunzi na kuwafanya kukosa makini wakati wa darasa. | Mbona walimu huleta mashine | {
"text": [
"ili kulima mahala pa kutumiwa"
]
} |
3177_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba mtu kama siku zote hatilii maanani ushauri wa mkubwa wake basi huwa anaishia kujutia maishani. Hutumika sanasana kuwaonya watu kuwacha tabia zao mbaya zitakazo kuja kuwaharibia maisha mbeleni.
Palitokea mtoto mmoja wa kiume kwa jina Tim. Tim alikuwa mvulana wa kipekee, macho yake, yalitegezeka kana kwamba alikuwa akisinta, Alikuwa mweupe kama hurulaini, urefu wake ulivutia wanawake wengi. Alikuwa amejaa miraba minne ingawaje alikuwa bado mdogo. Nywele zake ziling’aa na nyeusi kana kwamba alitumia kemikali.
Tim alipendwa sana na jamii na alisifiwa kila kona ya kijiji kwa uzuri wake na utendaji wake kazi. Mama yake hata hivyo bila kuachwa nyuma alikuwa wa kwanza kama mfuko wa shati kumsifi mwanawe. Wasichana wengi vile vile walipenda kujipitishapitisha mbele yake lakini kama wanavyosema wahenga kwamba chema chajiuza kibaya cha jitembeza. Tim hakuwahi kuwamezea mate.
Siku zote wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa, kilicho safi hakikosi doa na mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tim alianza kujihusisha na kundi la vijana waliokuwa kazi yao kubwa ni kuiba. Vijana hao walipenda kuiba na waliwatatiza wanakijiji mahala walipokuwa wanakaa.
Tim pamoja na wenzake walipenda kutumia madawa ya kulevya na kila mara walilewa chakari. Wazazi wake Tim walihuzunika sana kwa sababu mwana wao mpendwa sana alijiweka kuwa kichwa maji. Hata hivyo, licha ya kuhuzunika, walimpa ushauri mara kwa mara na kumwambia awachane na kundi linampotosha.
Wanajamii walimpenda sana na walimuita na kumueleza athari ya mambo anayofanya lakini ukweli ni kwamba sikio la Tim lilikuwa limejazwa uchafu na sidhani alikuwa tayari kutoa uchafu huo. Tim hakuwahi hata siku moja kuyatilia maanani maneno ya wakubwa wake.
Siku moja wakati wa mchana mvulana mmoja alikuwa maji kunde, mfupi ma mnene kidogo na alikuwa na masikio yalisimama tisti, alikuja mbio hadi pale wazazi wa Tim walipokuwa wamekaa. Alikuwa anahema ni kana kwamba alikuwa injini bovu. Wazazi wake Tim walishangaa wasijuwe kilichokuwa kikiendelea. Mvulana yule alisema kwa hamaki kuwa anauliwa, twende tukamsaidie.
Wazazi wake Tim bila kuelewa ni nini waliondoka kwa upesi na kumfuata kijana yule. Walifika kwa barabara na kupata watu wengi wamerundikana pamoja. Walipenyezapenyeza na kuingia kwenye sisisi hiyo. Maskini wa mungu! Alikuwa amelala chini akidhini dakika chache zilibakia akate roho. Wazazi wake walilia sana na Tim neno la mwisho alilosema ni, “Nisameheni wazazi wangu.” Kwa kweli asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu. Hadithi hii inatusaidia kujua kwamba ni vizuri kusikia mahusia ya wakubwa wako pamoja na wadogo wako sababu tusije kujutia mbeleni. | Tabia mbaya huharibia watu nini | {
"text": [
"maisha"
]
} |
3177_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba mtu kama siku zote hatilii maanani ushauri wa mkubwa wake basi huwa anaishia kujutia maishani. Hutumika sanasana kuwaonya watu kuwacha tabia zao mbaya zitakazo kuja kuwaharibia maisha mbeleni.
Palitokea mtoto mmoja wa kiume kwa jina Tim. Tim alikuwa mvulana wa kipekee, macho yake, yalitegezeka kana kwamba alikuwa akisinta, Alikuwa mweupe kama hurulaini, urefu wake ulivutia wanawake wengi. Alikuwa amejaa miraba minne ingawaje alikuwa bado mdogo. Nywele zake ziling’aa na nyeusi kana kwamba alitumia kemikali.
Tim alipendwa sana na jamii na alisifiwa kila kona ya kijiji kwa uzuri wake na utendaji wake kazi. Mama yake hata hivyo bila kuachwa nyuma alikuwa wa kwanza kama mfuko wa shati kumsifi mwanawe. Wasichana wengi vile vile walipenda kujipitishapitisha mbele yake lakini kama wanavyosema wahenga kwamba chema chajiuza kibaya cha jitembeza. Tim hakuwahi kuwamezea mate.
Siku zote wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa, kilicho safi hakikosi doa na mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tim alianza kujihusisha na kundi la vijana waliokuwa kazi yao kubwa ni kuiba. Vijana hao walipenda kuiba na waliwatatiza wanakijiji mahala walipokuwa wanakaa.
Tim pamoja na wenzake walipenda kutumia madawa ya kulevya na kila mara walilewa chakari. Wazazi wake Tim walihuzunika sana kwa sababu mwana wao mpendwa sana alijiweka kuwa kichwa maji. Hata hivyo, licha ya kuhuzunika, walimpa ushauri mara kwa mara na kumwambia awachane na kundi linampotosha.
Wanajamii walimpenda sana na walimuita na kumueleza athari ya mambo anayofanya lakini ukweli ni kwamba sikio la Tim lilikuwa limejazwa uchafu na sidhani alikuwa tayari kutoa uchafu huo. Tim hakuwahi hata siku moja kuyatilia maanani maneno ya wakubwa wake.
Siku moja wakati wa mchana mvulana mmoja alikuwa maji kunde, mfupi ma mnene kidogo na alikuwa na masikio yalisimama tisti, alikuja mbio hadi pale wazazi wa Tim walipokuwa wamekaa. Alikuwa anahema ni kana kwamba alikuwa injini bovu. Wazazi wake Tim walishangaa wasijuwe kilichokuwa kikiendelea. Mvulana yule alisema kwa hamaki kuwa anauliwa, twende tukamsaidie.
Wazazi wake Tim bila kuelewa ni nini waliondoka kwa upesi na kumfuata kijana yule. Walifika kwa barabara na kupata watu wengi wamerundikana pamoja. Walipenyezapenyeza na kuingia kwenye sisisi hiyo. Maskini wa mungu! Alikuwa amelala chini akidhini dakika chache zilibakia akate roho. Wazazi wake walilia sana na Tim neno la mwisho alilosema ni, “Nisameheni wazazi wangu.” Kwa kweli asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu. Hadithi hii inatusaidia kujua kwamba ni vizuri kusikia mahusia ya wakubwa wako pamoja na wadogo wako sababu tusije kujutia mbeleni. | Mtoto wa kiume alikuwa anaitwa nani | {
"text": [
"Tim"
]
} |
3177_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba mtu kama siku zote hatilii maanani ushauri wa mkubwa wake basi huwa anaishia kujutia maishani. Hutumika sanasana kuwaonya watu kuwacha tabia zao mbaya zitakazo kuja kuwaharibia maisha mbeleni.
Palitokea mtoto mmoja wa kiume kwa jina Tim. Tim alikuwa mvulana wa kipekee, macho yake, yalitegezeka kana kwamba alikuwa akisinta, Alikuwa mweupe kama hurulaini, urefu wake ulivutia wanawake wengi. Alikuwa amejaa miraba minne ingawaje alikuwa bado mdogo. Nywele zake ziling’aa na nyeusi kana kwamba alitumia kemikali.
Tim alipendwa sana na jamii na alisifiwa kila kona ya kijiji kwa uzuri wake na utendaji wake kazi. Mama yake hata hivyo bila kuachwa nyuma alikuwa wa kwanza kama mfuko wa shati kumsifi mwanawe. Wasichana wengi vile vile walipenda kujipitishapitisha mbele yake lakini kama wanavyosema wahenga kwamba chema chajiuza kibaya cha jitembeza. Tim hakuwahi kuwamezea mate.
Siku zote wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa, kilicho safi hakikosi doa na mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tim alianza kujihusisha na kundi la vijana waliokuwa kazi yao kubwa ni kuiba. Vijana hao walipenda kuiba na waliwatatiza wanakijiji mahala walipokuwa wanakaa.
Tim pamoja na wenzake walipenda kutumia madawa ya kulevya na kila mara walilewa chakari. Wazazi wake Tim walihuzunika sana kwa sababu mwana wao mpendwa sana alijiweka kuwa kichwa maji. Hata hivyo, licha ya kuhuzunika, walimpa ushauri mara kwa mara na kumwambia awachane na kundi linampotosha.
Wanajamii walimpenda sana na walimuita na kumueleza athari ya mambo anayofanya lakini ukweli ni kwamba sikio la Tim lilikuwa limejazwa uchafu na sidhani alikuwa tayari kutoa uchafu huo. Tim hakuwahi hata siku moja kuyatilia maanani maneno ya wakubwa wake.
Siku moja wakati wa mchana mvulana mmoja alikuwa maji kunde, mfupi ma mnene kidogo na alikuwa na masikio yalisimama tisti, alikuja mbio hadi pale wazazi wa Tim walipokuwa wamekaa. Alikuwa anahema ni kana kwamba alikuwa injini bovu. Wazazi wake Tim walishangaa wasijuwe kilichokuwa kikiendelea. Mvulana yule alisema kwa hamaki kuwa anauliwa, twende tukamsaidie.
Wazazi wake Tim bila kuelewa ni nini waliondoka kwa upesi na kumfuata kijana yule. Walifika kwa barabara na kupata watu wengi wamerundikana pamoja. Walipenyezapenyeza na kuingia kwenye sisisi hiyo. Maskini wa mungu! Alikuwa amelala chini akidhini dakika chache zilibakia akate roho. Wazazi wake walilia sana na Tim neno la mwisho alilosema ni, “Nisameheni wazazi wangu.” Kwa kweli asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu. Hadithi hii inatusaidia kujua kwamba ni vizuri kusikia mahusia ya wakubwa wako pamoja na wadogo wako sababu tusije kujutia mbeleni. | Urefu wake uliwavutia nani | {
"text": [
"wanawake"
]
} |
3177_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba mtu kama siku zote hatilii maanani ushauri wa mkubwa wake basi huwa anaishia kujutia maishani. Hutumika sanasana kuwaonya watu kuwacha tabia zao mbaya zitakazo kuja kuwaharibia maisha mbeleni.
Palitokea mtoto mmoja wa kiume kwa jina Tim. Tim alikuwa mvulana wa kipekee, macho yake, yalitegezeka kana kwamba alikuwa akisinta, Alikuwa mweupe kama hurulaini, urefu wake ulivutia wanawake wengi. Alikuwa amejaa miraba minne ingawaje alikuwa bado mdogo. Nywele zake ziling’aa na nyeusi kana kwamba alitumia kemikali.
Tim alipendwa sana na jamii na alisifiwa kila kona ya kijiji kwa uzuri wake na utendaji wake kazi. Mama yake hata hivyo bila kuachwa nyuma alikuwa wa kwanza kama mfuko wa shati kumsifi mwanawe. Wasichana wengi vile vile walipenda kujipitishapitisha mbele yake lakini kama wanavyosema wahenga kwamba chema chajiuza kibaya cha jitembeza. Tim hakuwahi kuwamezea mate.
Siku zote wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa, kilicho safi hakikosi doa na mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tim alianza kujihusisha na kundi la vijana waliokuwa kazi yao kubwa ni kuiba. Vijana hao walipenda kuiba na waliwatatiza wanakijiji mahala walipokuwa wanakaa.
Tim pamoja na wenzake walipenda kutumia madawa ya kulevya na kila mara walilewa chakari. Wazazi wake Tim walihuzunika sana kwa sababu mwana wao mpendwa sana alijiweka kuwa kichwa maji. Hata hivyo, licha ya kuhuzunika, walimpa ushauri mara kwa mara na kumwambia awachane na kundi linampotosha.
Wanajamii walimpenda sana na walimuita na kumueleza athari ya mambo anayofanya lakini ukweli ni kwamba sikio la Tim lilikuwa limejazwa uchafu na sidhani alikuwa tayari kutoa uchafu huo. Tim hakuwahi hata siku moja kuyatilia maanani maneno ya wakubwa wake.
Siku moja wakati wa mchana mvulana mmoja alikuwa maji kunde, mfupi ma mnene kidogo na alikuwa na masikio yalisimama tisti, alikuja mbio hadi pale wazazi wa Tim walipokuwa wamekaa. Alikuwa anahema ni kana kwamba alikuwa injini bovu. Wazazi wake Tim walishangaa wasijuwe kilichokuwa kikiendelea. Mvulana yule alisema kwa hamaki kuwa anauliwa, twende tukamsaidie.
Wazazi wake Tim bila kuelewa ni nini waliondoka kwa upesi na kumfuata kijana yule. Walifika kwa barabara na kupata watu wengi wamerundikana pamoja. Walipenyezapenyeza na kuingia kwenye sisisi hiyo. Maskini wa mungu! Alikuwa amelala chini akidhini dakika chache zilibakia akate roho. Wazazi wake walilia sana na Tim neno la mwisho alilosema ni, “Nisameheni wazazi wangu.” Kwa kweli asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu. Hadithi hii inatusaidia kujua kwamba ni vizuri kusikia mahusia ya wakubwa wako pamoja na wadogo wako sababu tusije kujutia mbeleni. | Tim alisifiwa wapi | {
"text": [
"kila kona ya kijiji"
]
} |
3177_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kwamba mtu kama siku zote hatilii maanani ushauri wa mkubwa wake basi huwa anaishia kujutia maishani. Hutumika sanasana kuwaonya watu kuwacha tabia zao mbaya zitakazo kuja kuwaharibia maisha mbeleni.
Palitokea mtoto mmoja wa kiume kwa jina Tim. Tim alikuwa mvulana wa kipekee, macho yake, yalitegezeka kana kwamba alikuwa akisinta, Alikuwa mweupe kama hurulaini, urefu wake ulivutia wanawake wengi. Alikuwa amejaa miraba minne ingawaje alikuwa bado mdogo. Nywele zake ziling’aa na nyeusi kana kwamba alitumia kemikali.
Tim alipendwa sana na jamii na alisifiwa kila kona ya kijiji kwa uzuri wake na utendaji wake kazi. Mama yake hata hivyo bila kuachwa nyuma alikuwa wa kwanza kama mfuko wa shati kumsifi mwanawe. Wasichana wengi vile vile walipenda kujipitishapitisha mbele yake lakini kama wanavyosema wahenga kwamba chema chajiuza kibaya cha jitembeza. Tim hakuwahi kuwamezea mate.
Siku zote wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kuwa, kilicho safi hakikosi doa na mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Tim alianza kujihusisha na kundi la vijana waliokuwa kazi yao kubwa ni kuiba. Vijana hao walipenda kuiba na waliwatatiza wanakijiji mahala walipokuwa wanakaa.
Tim pamoja na wenzake walipenda kutumia madawa ya kulevya na kila mara walilewa chakari. Wazazi wake Tim walihuzunika sana kwa sababu mwana wao mpendwa sana alijiweka kuwa kichwa maji. Hata hivyo, licha ya kuhuzunika, walimpa ushauri mara kwa mara na kumwambia awachane na kundi linampotosha.
Wanajamii walimpenda sana na walimuita na kumueleza athari ya mambo anayofanya lakini ukweli ni kwamba sikio la Tim lilikuwa limejazwa uchafu na sidhani alikuwa tayari kutoa uchafu huo. Tim hakuwahi hata siku moja kuyatilia maanani maneno ya wakubwa wake.
Siku moja wakati wa mchana mvulana mmoja alikuwa maji kunde, mfupi ma mnene kidogo na alikuwa na masikio yalisimama tisti, alikuja mbio hadi pale wazazi wa Tim walipokuwa wamekaa. Alikuwa anahema ni kana kwamba alikuwa injini bovu. Wazazi wake Tim walishangaa wasijuwe kilichokuwa kikiendelea. Mvulana yule alisema kwa hamaki kuwa anauliwa, twende tukamsaidie.
Wazazi wake Tim bila kuelewa ni nini waliondoka kwa upesi na kumfuata kijana yule. Walifika kwa barabara na kupata watu wengi wamerundikana pamoja. Walipenyezapenyeza na kuingia kwenye sisisi hiyo. Maskini wa mungu! Alikuwa amelala chini akidhini dakika chache zilibakia akate roho. Wazazi wake walilia sana na Tim neno la mwisho alilosema ni, “Nisameheni wazazi wangu.” Kwa kweli asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu. Hadithi hii inatusaidia kujua kwamba ni vizuri kusikia mahusia ya wakubwa wako pamoja na wadogo wako sababu tusije kujutia mbeleni. | Mbona Tim aliambiwa aachane na kundi hilo | {
"text": [
"lilikuwa linampotosha"
]
} |
3179_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa, mtu yeyote ?kipewa nasaha na wakubwa zake anapuuza na kutia nta kwenye masikio kisha baadae mabaya humtokea. Katika kijiji cha Pangila, paliondokea msichana mwanamwali aliyeitwa Sara. Sara alikuwa manzi aliyeumbwa na kuumbika. Macho ya mviringo, kiuno cha nyigu, shingo ya upanga, umbo alilopewa Mashallah aliumbwa alfajiri.
Shepu yake ilikuwa yake na la jirani. kle! alikuwa mrembo kupitilia. Alikuwa katika familia ya mzee Shaibu na Bi sogoa. Wazazi wake walimfunza maadili ya jinsi ya kuishi. Alikuwa mwenye adabu za kila sehemu. Wanakijiji walimuonea kijicho kwa urembo wake na sio urembo tu bali hata darasani alikuwa vyema na kuibuka wa mosi tangu alipoanza skuli. Baada ya kuufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nane, Sara alijizolea alama mia nne na hamsini ambazo aliweza kuisaidia familia yake upande wa Karo. Alipojiunga na kidato cha kwanza shule ya upili ya Mseto, alikuwa mwenye adabu wake na heshima zake. Pindi tu alipoona kuwa ilikuwa muda wa kutafuta mashoga alichagua koroma akaacha nazi. Alianza kujihisi dunia kama vile ilikuwa ya kwake.
Sara ndipo naye alijiona kuwa mwanamke na kujinyakulia rafiki asiyekuwa na manufaa kwake bali balaa. Alianza mahusiano na wanaume wengine, kuvuta bangi pamoja na kuwa mwizi skuli. Alianza hivyo kidogo kidogo mpaka akazoea. Naam, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliposema kuwa mchovya chovya asali humaliza buyu la asali bali ndondo huu chururu. Walimu walimkanya ila hawakufua dafu. Wanagenzi wenzake walijitahidi ila wapi. Baada ya walimu wake kumripoti angalau abadilike, ndio kwanza aliuchochea moto kuni.
Yaani mkoko ulikuwa ndio kwanza unaalika maua. Sara hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Haambiliki wala hasemezeki. Sikio alikuwa amelitia nta. Alianza kudorora masomoni. Aliona kuwa masomo ni upuzi na sio jambo la msingi. Alikuwa akijua wazi kuwa kwao hawakuwa wakijiweza na yeye ndiye aliyekuwa tegemeo katika kijiji chao pamoja na kwao. Sara alikanywa na wazazi wake ila aliposomewa apate kusikia, aliwanunia wazaziwe na kugura kwa shogake ambaye alikuwa akiishi peke yake mjini ambaye wazazi wake walikuwa wamesafiri kuenda ng’ambo. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe. Kwanza, Sara alipanda bei siku hizi ni kuruka njia anayewatafutia wenzake mabwana.
Tena ya shule hakuwa nayo kabisa. Alikuwa akipata alama ya A ndipo kufika kwenye E na wala hakujali. Baada ya kuonekana utukutu umezidi, Sara alinyang’anywa ufadhili waliomfadhili shule. Baada ya kukosa karo alifukuzwa na hakuwa na kwa kuenda. Kazi aliyo jishughulisha nayo ilikuwa ya kujiuza. Baada ya miezi kadhaa, Sara aliona hahisi vizuri na dalili za ugonjwa wa kisasa zikaanza kumtokea.
Siku zilipokuwa wiki na wiki kuwa miezi alizidi kukonda na kukondeana. Shogake alimfukuza ndani ya nyumba na hakujua alipokuwa akielekea. Alijuta, ni kweli kusema kuwa majuto ni mjukuu na huja kinyume. Aliamua Kwenda kwa wazazi wake kijijini. Lo! cha ajabu, wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili, kweli damu ni nzito kuliko maji. Sara alikuwa ameugua ugonjwa wa ukimwi. Baada ya wazazi wake kumfanyia bidii katika kila hospitali, alipata matibabu na baada ya miezi miwili, kuwa sawa na kupata afueni. Tangu hiyo siku, Sara alifunza funzo na kurudi Sara wa zamani. | Katika kijiji cha Pangila paliondokea msichana anayeitwa nani | {
"text": [
"Sara"
]
} |
3179_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa, mtu yeyote ?kipewa nasaha na wakubwa zake anapuuza na kutia nta kwenye masikio kisha baadae mabaya humtokea. Katika kijiji cha Pangila, paliondokea msichana mwanamwali aliyeitwa Sara. Sara alikuwa manzi aliyeumbwa na kuumbika. Macho ya mviringo, kiuno cha nyigu, shingo ya upanga, umbo alilopewa Mashallah aliumbwa alfajiri.
Shepu yake ilikuwa yake na la jirani. kle! alikuwa mrembo kupitilia. Alikuwa katika familia ya mzee Shaibu na Bi sogoa. Wazazi wake walimfunza maadili ya jinsi ya kuishi. Alikuwa mwenye adabu za kila sehemu. Wanakijiji walimuonea kijicho kwa urembo wake na sio urembo tu bali hata darasani alikuwa vyema na kuibuka wa mosi tangu alipoanza skuli. Baada ya kuufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nane, Sara alijizolea alama mia nne na hamsini ambazo aliweza kuisaidia familia yake upande wa Karo. Alipojiunga na kidato cha kwanza shule ya upili ya Mseto, alikuwa mwenye adabu wake na heshima zake. Pindi tu alipoona kuwa ilikuwa muda wa kutafuta mashoga alichagua koroma akaacha nazi. Alianza kujihisi dunia kama vile ilikuwa ya kwake.
Sara ndipo naye alijiona kuwa mwanamke na kujinyakulia rafiki asiyekuwa na manufaa kwake bali balaa. Alianza mahusiano na wanaume wengine, kuvuta bangi pamoja na kuwa mwizi skuli. Alianza hivyo kidogo kidogo mpaka akazoea. Naam, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliposema kuwa mchovya chovya asali humaliza buyu la asali bali ndondo huu chururu. Walimu walimkanya ila hawakufua dafu. Wanagenzi wenzake walijitahidi ila wapi. Baada ya walimu wake kumripoti angalau abadilike, ndio kwanza aliuchochea moto kuni.
Yaani mkoko ulikuwa ndio kwanza unaalika maua. Sara hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Haambiliki wala hasemezeki. Sikio alikuwa amelitia nta. Alianza kudorora masomoni. Aliona kuwa masomo ni upuzi na sio jambo la msingi. Alikuwa akijua wazi kuwa kwao hawakuwa wakijiweza na yeye ndiye aliyekuwa tegemeo katika kijiji chao pamoja na kwao. Sara alikanywa na wazazi wake ila aliposomewa apate kusikia, aliwanunia wazaziwe na kugura kwa shogake ambaye alikuwa akiishi peke yake mjini ambaye wazazi wake walikuwa wamesafiri kuenda ng’ambo. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe. Kwanza, Sara alipanda bei siku hizi ni kuruka njia anayewatafutia wenzake mabwana.
Tena ya shule hakuwa nayo kabisa. Alikuwa akipata alama ya A ndipo kufika kwenye E na wala hakujali. Baada ya kuonekana utukutu umezidi, Sara alinyang’anywa ufadhili waliomfadhili shule. Baada ya kukosa karo alifukuzwa na hakuwa na kwa kuenda. Kazi aliyo jishughulisha nayo ilikuwa ya kujiuza. Baada ya miezi kadhaa, Sara aliona hahisi vizuri na dalili za ugonjwa wa kisasa zikaanza kumtokea.
Siku zilipokuwa wiki na wiki kuwa miezi alizidi kukonda na kukondeana. Shogake alimfukuza ndani ya nyumba na hakujua alipokuwa akielekea. Alijuta, ni kweli kusema kuwa majuto ni mjukuu na huja kinyume. Aliamua Kwenda kwa wazazi wake kijijini. Lo! cha ajabu, wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili, kweli damu ni nzito kuliko maji. Sara alikuwa ameugua ugonjwa wa ukimwi. Baada ya wazazi wake kumfanyia bidii katika kila hospitali, alipata matibabu na baada ya miezi miwili, kuwa sawa na kupata afueni. Tangu hiyo siku, Sara alifunza funzo na kurudi Sara wa zamani. | Sara alikuwa katika familia ya mzee gani | {
"text": [
"Shaibu"
]
} |
3179_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa, mtu yeyote ?kipewa nasaha na wakubwa zake anapuuza na kutia nta kwenye masikio kisha baadae mabaya humtokea. Katika kijiji cha Pangila, paliondokea msichana mwanamwali aliyeitwa Sara. Sara alikuwa manzi aliyeumbwa na kuumbika. Macho ya mviringo, kiuno cha nyigu, shingo ya upanga, umbo alilopewa Mashallah aliumbwa alfajiri.
Shepu yake ilikuwa yake na la jirani. kle! alikuwa mrembo kupitilia. Alikuwa katika familia ya mzee Shaibu na Bi sogoa. Wazazi wake walimfunza maadili ya jinsi ya kuishi. Alikuwa mwenye adabu za kila sehemu. Wanakijiji walimuonea kijicho kwa urembo wake na sio urembo tu bali hata darasani alikuwa vyema na kuibuka wa mosi tangu alipoanza skuli. Baada ya kuufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nane, Sara alijizolea alama mia nne na hamsini ambazo aliweza kuisaidia familia yake upande wa Karo. Alipojiunga na kidato cha kwanza shule ya upili ya Mseto, alikuwa mwenye adabu wake na heshima zake. Pindi tu alipoona kuwa ilikuwa muda wa kutafuta mashoga alichagua koroma akaacha nazi. Alianza kujihisi dunia kama vile ilikuwa ya kwake.
Sara ndipo naye alijiona kuwa mwanamke na kujinyakulia rafiki asiyekuwa na manufaa kwake bali balaa. Alianza mahusiano na wanaume wengine, kuvuta bangi pamoja na kuwa mwizi skuli. Alianza hivyo kidogo kidogo mpaka akazoea. Naam, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliposema kuwa mchovya chovya asali humaliza buyu la asali bali ndondo huu chururu. Walimu walimkanya ila hawakufua dafu. Wanagenzi wenzake walijitahidi ila wapi. Baada ya walimu wake kumripoti angalau abadilike, ndio kwanza aliuchochea moto kuni.
Yaani mkoko ulikuwa ndio kwanza unaalika maua. Sara hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Haambiliki wala hasemezeki. Sikio alikuwa amelitia nta. Alianza kudorora masomoni. Aliona kuwa masomo ni upuzi na sio jambo la msingi. Alikuwa akijua wazi kuwa kwao hawakuwa wakijiweza na yeye ndiye aliyekuwa tegemeo katika kijiji chao pamoja na kwao. Sara alikanywa na wazazi wake ila aliposomewa apate kusikia, aliwanunia wazaziwe na kugura kwa shogake ambaye alikuwa akiishi peke yake mjini ambaye wazazi wake walikuwa wamesafiri kuenda ng’ambo. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe. Kwanza, Sara alipanda bei siku hizi ni kuruka njia anayewatafutia wenzake mabwana.
Tena ya shule hakuwa nayo kabisa. Alikuwa akipata alama ya A ndipo kufika kwenye E na wala hakujali. Baada ya kuonekana utukutu umezidi, Sara alinyang’anywa ufadhili waliomfadhili shule. Baada ya kukosa karo alifukuzwa na hakuwa na kwa kuenda. Kazi aliyo jishughulisha nayo ilikuwa ya kujiuza. Baada ya miezi kadhaa, Sara aliona hahisi vizuri na dalili za ugonjwa wa kisasa zikaanza kumtokea.
Siku zilipokuwa wiki na wiki kuwa miezi alizidi kukonda na kukondeana. Shogake alimfukuza ndani ya nyumba na hakujua alipokuwa akielekea. Alijuta, ni kweli kusema kuwa majuto ni mjukuu na huja kinyume. Aliamua Kwenda kwa wazazi wake kijijini. Lo! cha ajabu, wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili, kweli damu ni nzito kuliko maji. Sara alikuwa ameugua ugonjwa wa ukimwi. Baada ya wazazi wake kumfanyia bidii katika kila hospitali, alipata matibabu na baada ya miezi miwili, kuwa sawa na kupata afueni. Tangu hiyo siku, Sara alifunza funzo na kurudi Sara wa zamani. | Sara alizoa alama ngapi | {
"text": [
"Mia nne na hamsini"
]
} |
3179_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa, mtu yeyote ?kipewa nasaha na wakubwa zake anapuuza na kutia nta kwenye masikio kisha baadae mabaya humtokea. Katika kijiji cha Pangila, paliondokea msichana mwanamwali aliyeitwa Sara. Sara alikuwa manzi aliyeumbwa na kuumbika. Macho ya mviringo, kiuno cha nyigu, shingo ya upanga, umbo alilopewa Mashallah aliumbwa alfajiri.
Shepu yake ilikuwa yake na la jirani. kle! alikuwa mrembo kupitilia. Alikuwa katika familia ya mzee Shaibu na Bi sogoa. Wazazi wake walimfunza maadili ya jinsi ya kuishi. Alikuwa mwenye adabu za kila sehemu. Wanakijiji walimuonea kijicho kwa urembo wake na sio urembo tu bali hata darasani alikuwa vyema na kuibuka wa mosi tangu alipoanza skuli. Baada ya kuufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nane, Sara alijizolea alama mia nne na hamsini ambazo aliweza kuisaidia familia yake upande wa Karo. Alipojiunga na kidato cha kwanza shule ya upili ya Mseto, alikuwa mwenye adabu wake na heshima zake. Pindi tu alipoona kuwa ilikuwa muda wa kutafuta mashoga alichagua koroma akaacha nazi. Alianza kujihisi dunia kama vile ilikuwa ya kwake.
Sara ndipo naye alijiona kuwa mwanamke na kujinyakulia rafiki asiyekuwa na manufaa kwake bali balaa. Alianza mahusiano na wanaume wengine, kuvuta bangi pamoja na kuwa mwizi skuli. Alianza hivyo kidogo kidogo mpaka akazoea. Naam, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliposema kuwa mchovya chovya asali humaliza buyu la asali bali ndondo huu chururu. Walimu walimkanya ila hawakufua dafu. Wanagenzi wenzake walijitahidi ila wapi. Baada ya walimu wake kumripoti angalau abadilike, ndio kwanza aliuchochea moto kuni.
Yaani mkoko ulikuwa ndio kwanza unaalika maua. Sara hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Haambiliki wala hasemezeki. Sikio alikuwa amelitia nta. Alianza kudorora masomoni. Aliona kuwa masomo ni upuzi na sio jambo la msingi. Alikuwa akijua wazi kuwa kwao hawakuwa wakijiweza na yeye ndiye aliyekuwa tegemeo katika kijiji chao pamoja na kwao. Sara alikanywa na wazazi wake ila aliposomewa apate kusikia, aliwanunia wazaziwe na kugura kwa shogake ambaye alikuwa akiishi peke yake mjini ambaye wazazi wake walikuwa wamesafiri kuenda ng’ambo. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe. Kwanza, Sara alipanda bei siku hizi ni kuruka njia anayewatafutia wenzake mabwana.
Tena ya shule hakuwa nayo kabisa. Alikuwa akipata alama ya A ndipo kufika kwenye E na wala hakujali. Baada ya kuonekana utukutu umezidi, Sara alinyang’anywa ufadhili waliomfadhili shule. Baada ya kukosa karo alifukuzwa na hakuwa na kwa kuenda. Kazi aliyo jishughulisha nayo ilikuwa ya kujiuza. Baada ya miezi kadhaa, Sara aliona hahisi vizuri na dalili za ugonjwa wa kisasa zikaanza kumtokea.
Siku zilipokuwa wiki na wiki kuwa miezi alizidi kukonda na kukondeana. Shogake alimfukuza ndani ya nyumba na hakujua alipokuwa akielekea. Alijuta, ni kweli kusema kuwa majuto ni mjukuu na huja kinyume. Aliamua Kwenda kwa wazazi wake kijijini. Lo! cha ajabu, wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili, kweli damu ni nzito kuliko maji. Sara alikuwa ameugua ugonjwa wa ukimwi. Baada ya wazazi wake kumfanyia bidii katika kila hospitali, alipata matibabu na baada ya miezi miwili, kuwa sawa na kupata afueni. Tangu hiyo siku, Sara alifunza funzo na kurudi Sara wa zamani. | Nani alikanya Sara | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
3179_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hii ni kuwa, mtu yeyote ?kipewa nasaha na wakubwa zake anapuuza na kutia nta kwenye masikio kisha baadae mabaya humtokea. Katika kijiji cha Pangila, paliondokea msichana mwanamwali aliyeitwa Sara. Sara alikuwa manzi aliyeumbwa na kuumbika. Macho ya mviringo, kiuno cha nyigu, shingo ya upanga, umbo alilopewa Mashallah aliumbwa alfajiri.
Shepu yake ilikuwa yake na la jirani. kle! alikuwa mrembo kupitilia. Alikuwa katika familia ya mzee Shaibu na Bi sogoa. Wazazi wake walimfunza maadili ya jinsi ya kuishi. Alikuwa mwenye adabu za kila sehemu. Wanakijiji walimuonea kijicho kwa urembo wake na sio urembo tu bali hata darasani alikuwa vyema na kuibuka wa mosi tangu alipoanza skuli. Baada ya kuufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nane, Sara alijizolea alama mia nne na hamsini ambazo aliweza kuisaidia familia yake upande wa Karo. Alipojiunga na kidato cha kwanza shule ya upili ya Mseto, alikuwa mwenye adabu wake na heshima zake. Pindi tu alipoona kuwa ilikuwa muda wa kutafuta mashoga alichagua koroma akaacha nazi. Alianza kujihisi dunia kama vile ilikuwa ya kwake.
Sara ndipo naye alijiona kuwa mwanamke na kujinyakulia rafiki asiyekuwa na manufaa kwake bali balaa. Alianza mahusiano na wanaume wengine, kuvuta bangi pamoja na kuwa mwizi skuli. Alianza hivyo kidogo kidogo mpaka akazoea. Naam, wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliposema kuwa mchovya chovya asali humaliza buyu la asali bali ndondo huu chururu. Walimu walimkanya ila hawakufua dafu. Wanagenzi wenzake walijitahidi ila wapi. Baada ya walimu wake kumripoti angalau abadilike, ndio kwanza aliuchochea moto kuni.
Yaani mkoko ulikuwa ndio kwanza unaalika maua. Sara hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Haambiliki wala hasemezeki. Sikio alikuwa amelitia nta. Alianza kudorora masomoni. Aliona kuwa masomo ni upuzi na sio jambo la msingi. Alikuwa akijua wazi kuwa kwao hawakuwa wakijiweza na yeye ndiye aliyekuwa tegemeo katika kijiji chao pamoja na kwao. Sara alikanywa na wazazi wake ila aliposomewa apate kusikia, aliwanunia wazaziwe na kugura kwa shogake ambaye alikuwa akiishi peke yake mjini ambaye wazazi wake walikuwa wamesafiri kuenda ng’ambo. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu na mtoto akililia wembe mpe. Kwanza, Sara alipanda bei siku hizi ni kuruka njia anayewatafutia wenzake mabwana.
Tena ya shule hakuwa nayo kabisa. Alikuwa akipata alama ya A ndipo kufika kwenye E na wala hakujali. Baada ya kuonekana utukutu umezidi, Sara alinyang’anywa ufadhili waliomfadhili shule. Baada ya kukosa karo alifukuzwa na hakuwa na kwa kuenda. Kazi aliyo jishughulisha nayo ilikuwa ya kujiuza. Baada ya miezi kadhaa, Sara aliona hahisi vizuri na dalili za ugonjwa wa kisasa zikaanza kumtokea.
Siku zilipokuwa wiki na wiki kuwa miezi alizidi kukonda na kukondeana. Shogake alimfukuza ndani ya nyumba na hakujua alipokuwa akielekea. Alijuta, ni kweli kusema kuwa majuto ni mjukuu na huja kinyume. Aliamua Kwenda kwa wazazi wake kijijini. Lo! cha ajabu, wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili, kweli damu ni nzito kuliko maji. Sara alikuwa ameugua ugonjwa wa ukimwi. Baada ya wazazi wake kumfanyia bidii katika kila hospitali, alipata matibabu na baada ya miezi miwili, kuwa sawa na kupata afueni. Tangu hiyo siku, Sara alifunza funzo na kurudi Sara wa zamani. | Kwa nini wafadhili walikataa kulipia Sara karo | {
"text": [
"Kwa sababu ya utukutu wake"
]
} |
3180_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo. Vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Matumizi haya yanaweza kuwa mazuri au mabaya, kwani wahenga hawakukosea walipolonga kizuri hakikosi kasoro.
Teknolojia imeinua uchumi katika shule katika nyanja mbalimbali, kwanza imerahisisha mawasiliano na kuifanya dunia kuwa ndogo. Wanafunzi wanaweza kuwasiliana wakiwa mbalimbali bila wasiwasi kwa kutumia mitandao ya kisasa kama vile simu, tarakilishi na vinginevyo. Hivyo basi imeweza kuwafanya wanafunzi wa shule ya upili hasa hasa walio shule za bweni kutojihisi wapweke na kufanya bidii za mchwa kujenga kichuguu kwa mate, kwani huweza kuongea na wavyele wao walio nyumbani.
Licha ya wanafunzi, teknolojia imeweza kuwafanya walimu haswa kujua yanayoendelea shuleni kwa kutumia mitambo ambao unaonyesha linaloendelea shuleni humo. Hivyo basi wanafunzi huwa na nidhamu kwani wanajua wakifanya jambo lolote ovyo wangeonekana. Walimu pia wameweza kujua idadi ya wanafunzi kwa kutumia kikotoo.
Pia teknolojia huwawezesha wanafunzi kusomo katika mitandao ya kijamii na kuimarisha masomo yao. Teknolojia pia huzingatia wakati, kwani walimu huweza kuandika nakala zao kwa wakati. Kwa upande wa wapili teknolojia imeleta madhara makubwa katika shule za sekondari. Kwanza, imewafanya wanafunzi wavivu wa kujikiri kwa kutegemea vikokotoo na vifaa vingine. Imefanya kutegemea sana mitandao na kutotumia mawanda yao ya akili.
Hiyo hiyo teknolojia imewafanya watu kutumia kama uchumi kwani insi wanaweza kumpigia, mzazi wa mwanafunzi aliye shule ya bweni na kumdanganya kuwa sanduku la mtoto wake lilivunjwa na kuibiwa kila kitu. Kwa hiyo atume pesa ili kufidia au anunuliwe. Jambo hili huwafanya wazazi kuwa na wasiwasi wa mwasi aliyonusurika risasi za mlipizaji risasi. Pia teknolojia imewafanya wanafunzi kujiingiza katika mambo mabaya kama kuangalia sanaa za ngono, kuchoma kwa shule na mengineyo.
| Teknolojia hutumika katika nyanja zipi | {
"text": [
"Kilimo, viwandani na ufundi"
]
} |
3180_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo. Vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Matumizi haya yanaweza kuwa mazuri au mabaya, kwani wahenga hawakukosea walipolonga kizuri hakikosi kasoro.
Teknolojia imeinua uchumi katika shule katika nyanja mbalimbali, kwanza imerahisisha mawasiliano na kuifanya dunia kuwa ndogo. Wanafunzi wanaweza kuwasiliana wakiwa mbalimbali bila wasiwasi kwa kutumia mitandao ya kisasa kama vile simu, tarakilishi na vinginevyo. Hivyo basi imeweza kuwafanya wanafunzi wa shule ya upili hasa hasa walio shule za bweni kutojihisi wapweke na kufanya bidii za mchwa kujenga kichuguu kwa mate, kwani huweza kuongea na wavyele wao walio nyumbani.
Licha ya wanafunzi, teknolojia imeweza kuwafanya walimu haswa kujua yanayoendelea shuleni kwa kutumia mitambo ambao unaonyesha linaloendelea shuleni humo. Hivyo basi wanafunzi huwa na nidhamu kwani wanajua wakifanya jambo lolote ovyo wangeonekana. Walimu pia wameweza kujua idadi ya wanafunzi kwa kutumia kikotoo.
Pia teknolojia huwawezesha wanafunzi kusomo katika mitandao ya kijamii na kuimarisha masomo yao. Teknolojia pia huzingatia wakati, kwani walimu huweza kuandika nakala zao kwa wakati. Kwa upande wa wapili teknolojia imeleta madhara makubwa katika shule za sekondari. Kwanza, imewafanya wanafunzi wavivu wa kujikiri kwa kutegemea vikokotoo na vifaa vingine. Imefanya kutegemea sana mitandao na kutotumia mawanda yao ya akili.
Hiyo hiyo teknolojia imewafanya watu kutumia kama uchumi kwani insi wanaweza kumpigia, mzazi wa mwanafunzi aliye shule ya bweni na kumdanganya kuwa sanduku la mtoto wake lilivunjwa na kuibiwa kila kitu. Kwa hiyo atume pesa ili kufidia au anunuliwe. Jambo hili huwafanya wazazi kuwa na wasiwasi wa mwasi aliyonusurika risasi za mlipizaji risasi. Pia teknolojia imewafanya wanafunzi kujiingiza katika mambo mabaya kama kuangalia sanaa za ngono, kuchoma kwa shule na mengineyo.
| Wanagenzi wanaweza kuwasiliana bila wasiwasi kutumia nini | {
"text": [
"Tarakilishi na simu"
]
} |
3180_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo. Vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Matumizi haya yanaweza kuwa mazuri au mabaya, kwani wahenga hawakukosea walipolonga kizuri hakikosi kasoro.
Teknolojia imeinua uchumi katika shule katika nyanja mbalimbali, kwanza imerahisisha mawasiliano na kuifanya dunia kuwa ndogo. Wanafunzi wanaweza kuwasiliana wakiwa mbalimbali bila wasiwasi kwa kutumia mitandao ya kisasa kama vile simu, tarakilishi na vinginevyo. Hivyo basi imeweza kuwafanya wanafunzi wa shule ya upili hasa hasa walio shule za bweni kutojihisi wapweke na kufanya bidii za mchwa kujenga kichuguu kwa mate, kwani huweza kuongea na wavyele wao walio nyumbani.
Licha ya wanafunzi, teknolojia imeweza kuwafanya walimu haswa kujua yanayoendelea shuleni kwa kutumia mitambo ambao unaonyesha linaloendelea shuleni humo. Hivyo basi wanafunzi huwa na nidhamu kwani wanajua wakifanya jambo lolote ovyo wangeonekana. Walimu pia wameweza kujua idadi ya wanafunzi kwa kutumia kikotoo.
Pia teknolojia huwawezesha wanafunzi kusomo katika mitandao ya kijamii na kuimarisha masomo yao. Teknolojia pia huzingatia wakati, kwani walimu huweza kuandika nakala zao kwa wakati. Kwa upande wa wapili teknolojia imeleta madhara makubwa katika shule za sekondari. Kwanza, imewafanya wanafunzi wavivu wa kujikiri kwa kutegemea vikokotoo na vifaa vingine. Imefanya kutegemea sana mitandao na kutotumia mawanda yao ya akili.
Hiyo hiyo teknolojia imewafanya watu kutumia kama uchumi kwani insi wanaweza kumpigia, mzazi wa mwanafunzi aliye shule ya bweni na kumdanganya kuwa sanduku la mtoto wake lilivunjwa na kuibiwa kila kitu. Kwa hiyo atume pesa ili kufidia au anunuliwe. Jambo hili huwafanya wazazi kuwa na wasiwasi wa mwasi aliyonusurika risasi za mlipizaji risasi. Pia teknolojia imewafanya wanafunzi kujiingiza katika mambo mabaya kama kuangalia sanaa za ngono, kuchoma kwa shule na mengineyo.
| Walimu hujua idadi ya wanafunzi kwa kutumia nini | {
"text": [
"Kikokotoo"
]
} |
3180_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo. Vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Matumizi haya yanaweza kuwa mazuri au mabaya, kwani wahenga hawakukosea walipolonga kizuri hakikosi kasoro.
Teknolojia imeinua uchumi katika shule katika nyanja mbalimbali, kwanza imerahisisha mawasiliano na kuifanya dunia kuwa ndogo. Wanafunzi wanaweza kuwasiliana wakiwa mbalimbali bila wasiwasi kwa kutumia mitandao ya kisasa kama vile simu, tarakilishi na vinginevyo. Hivyo basi imeweza kuwafanya wanafunzi wa shule ya upili hasa hasa walio shule za bweni kutojihisi wapweke na kufanya bidii za mchwa kujenga kichuguu kwa mate, kwani huweza kuongea na wavyele wao walio nyumbani.
Licha ya wanafunzi, teknolojia imeweza kuwafanya walimu haswa kujua yanayoendelea shuleni kwa kutumia mitambo ambao unaonyesha linaloendelea shuleni humo. Hivyo basi wanafunzi huwa na nidhamu kwani wanajua wakifanya jambo lolote ovyo wangeonekana. Walimu pia wameweza kujua idadi ya wanafunzi kwa kutumia kikotoo.
Pia teknolojia huwawezesha wanafunzi kusomo katika mitandao ya kijamii na kuimarisha masomo yao. Teknolojia pia huzingatia wakati, kwani walimu huweza kuandika nakala zao kwa wakati. Kwa upande wa wapili teknolojia imeleta madhara makubwa katika shule za sekondari. Kwanza, imewafanya wanafunzi wavivu wa kujikiri kwa kutegemea vikokotoo na vifaa vingine. Imefanya kutegemea sana mitandao na kutotumia mawanda yao ya akili.
Hiyo hiyo teknolojia imewafanya watu kutumia kama uchumi kwani insi wanaweza kumpigia, mzazi wa mwanafunzi aliye shule ya bweni na kumdanganya kuwa sanduku la mtoto wake lilivunjwa na kuibiwa kila kitu. Kwa hiyo atume pesa ili kufidia au anunuliwe. Jambo hili huwafanya wazazi kuwa na wasiwasi wa mwasi aliyonusurika risasi za mlipizaji risasi. Pia teknolojia imewafanya wanafunzi kujiingiza katika mambo mabaya kama kuangalia sanaa za ngono, kuchoma kwa shule na mengineyo.
| Teknolojia imeleta madhara gani shuleni | {
"text": [
"Uvivu miongoni mwa wanafunzi"
]
} |
3180_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo. Vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Matumizi haya yanaweza kuwa mazuri au mabaya, kwani wahenga hawakukosea walipolonga kizuri hakikosi kasoro.
Teknolojia imeinua uchumi katika shule katika nyanja mbalimbali, kwanza imerahisisha mawasiliano na kuifanya dunia kuwa ndogo. Wanafunzi wanaweza kuwasiliana wakiwa mbalimbali bila wasiwasi kwa kutumia mitandao ya kisasa kama vile simu, tarakilishi na vinginevyo. Hivyo basi imeweza kuwafanya wanafunzi wa shule ya upili hasa hasa walio shule za bweni kutojihisi wapweke na kufanya bidii za mchwa kujenga kichuguu kwa mate, kwani huweza kuongea na wavyele wao walio nyumbani.
Licha ya wanafunzi, teknolojia imeweza kuwafanya walimu haswa kujua yanayoendelea shuleni kwa kutumia mitambo ambao unaonyesha linaloendelea shuleni humo. Hivyo basi wanafunzi huwa na nidhamu kwani wanajua wakifanya jambo lolote ovyo wangeonekana. Walimu pia wameweza kujua idadi ya wanafunzi kwa kutumia kikotoo.
Pia teknolojia huwawezesha wanafunzi kusomo katika mitandao ya kijamii na kuimarisha masomo yao. Teknolojia pia huzingatia wakati, kwani walimu huweza kuandika nakala zao kwa wakati. Kwa upande wa wapili teknolojia imeleta madhara makubwa katika shule za sekondari. Kwanza, imewafanya wanafunzi wavivu wa kujikiri kwa kutegemea vikokotoo na vifaa vingine. Imefanya kutegemea sana mitandao na kutotumia mawanda yao ya akili.
Hiyo hiyo teknolojia imewafanya watu kutumia kama uchumi kwani insi wanaweza kumpigia, mzazi wa mwanafunzi aliye shule ya bweni na kumdanganya kuwa sanduku la mtoto wake lilivunjwa na kuibiwa kila kitu. Kwa hiyo atume pesa ili kufidia au anunuliwe. Jambo hili huwafanya wazazi kuwa na wasiwasi wa mwasi aliyonusurika risasi za mlipizaji risasi. Pia teknolojia imewafanya wanafunzi kujiingiza katika mambo mabaya kama kuangalia sanaa za ngono, kuchoma kwa shule na mengineyo.
| Teknolojia imechangia wanafunzi kujiingiza katika maswala gani | {
"text": [
"Kuangalia sanaa za ngono na kuchoma shule"
]
} |
3181_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu asiposikiza maono ya wavyale wake atakuja kupata taabu mbeleni au baadae. Methali hii hutumika kuwaonya wale wasiosikiza maneno ya wakuu wao au waliowazidi umri kuwa wasipowasikiliza wangepata taabu sana. Methali inaenda sawa sawia na ile ambayo mkataa pema, pabaya pamwita.
Katika kitongoji kilichoitwa mamboleo, paliondokea baba mmoja na mke. Watu hawa walikuwa na pesa kama njugu. Katika maisha yao walijaliwa kupata mwana aliyeitwa Kisura. Mtoto huyu alikuwa mtoto wa pekee. Walimpenda mwana wao kwa kilo na kumtunza kama mboni wao wa macho. Kisura alikuwa akisoma shule ya msingi inayoitwa msingi bora. Kisura alikuwa mwenye bidii ya mchwa ya kujenga kichuguu. Kwa madarasani alikuwa akiebuka wa kwanza katika kila mtihani.
Kisura kama jina lake alikuwa mrembo aliye umbwa akaumbika. Si shungi la nywele, si macho ya gololi, vyote alikuwa navyo. Lakini wahenga walisema kuwa kizuri hakikosi ila. Japo Kisura alikuwa mrembo lakini alikuwa na tabia za shetani. Wazazi wake walimkanya lakini aliwajibu kuwa yao yalipita. Kisura alikuwa na marafiki wabaya sana waliomshauri mambo mabaya. Kisura alikuwa akiiba pesa za wavyele wake na kuwapelekea wanafunzi wenzake.
Wazazi wake walimkanya na kumshauri lakini hawakufua dafu, hata walimu walijaribu lakini walikuwa wakipigia mbuzi gitaa.
Kisura alifanya mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane. Kwa bahati nzuri alifaulu vizuri Wazazi wake walifurahi gaya ya kufurahi. Walimshauri mwana wao atakapo enda huko shuleni akafanye bidii. Lakini kama kawaida yake aliwaitikia tu.
Kisura alienda shule ya bweni inayoitwa Shika Adabu. Kisura alianza kuendelea na tabia zake mbovu, alianza hata kuuza mwili wake ilhali alikuwa akitumiwa pesa na wavyele wake.
Siku moja alipokuwa amelala kwenye bweni lake. Wanafunzi wenzake walimtilia dawa za kulevya ndani ya bagi lake. Alipoamka alijikuta amezingirwa na polisi, mwalimu mkuu, rafiki yake. Alipouliza aliambiwa kuwa yeye huuza dawa za kulevya. Kisura alijitetea na kulia lakini hakukumsaidia chochote. Alimwangalia rafiki yake na kujua kuwa kikulacho kinguoni mwako. Pia, aliyakukumbuka maneno ya wavyele wake kuhusu kutembea na marafiki wabaya lakini alikuwa amechelewa kwani alipelekwa gerezani. Hadithi hii inawafunza watu walio na tabia kama za Kisura wabadilike na kusikiliza wavyele wao. | Nani alikuwa mtoto wa pekee | {
"text": [
"Kisura"
]
} |
3181_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu asiposikiza maono ya wavyale wake atakuja kupata taabu mbeleni au baadae. Methali hii hutumika kuwaonya wale wasiosikiza maneno ya wakuu wao au waliowazidi umri kuwa wasipowasikiliza wangepata taabu sana. Methali inaenda sawa sawia na ile ambayo mkataa pema, pabaya pamwita.
Katika kitongoji kilichoitwa mamboleo, paliondokea baba mmoja na mke. Watu hawa walikuwa na pesa kama njugu. Katika maisha yao walijaliwa kupata mwana aliyeitwa Kisura. Mtoto huyu alikuwa mtoto wa pekee. Walimpenda mwana wao kwa kilo na kumtunza kama mboni wao wa macho. Kisura alikuwa akisoma shule ya msingi inayoitwa msingi bora. Kisura alikuwa mwenye bidii ya mchwa ya kujenga kichuguu. Kwa madarasani alikuwa akiebuka wa kwanza katika kila mtihani.
Kisura kama jina lake alikuwa mrembo aliye umbwa akaumbika. Si shungi la nywele, si macho ya gololi, vyote alikuwa navyo. Lakini wahenga walisema kuwa kizuri hakikosi ila. Japo Kisura alikuwa mrembo lakini alikuwa na tabia za shetani. Wazazi wake walimkanya lakini aliwajibu kuwa yao yalipita. Kisura alikuwa na marafiki wabaya sana waliomshauri mambo mabaya. Kisura alikuwa akiiba pesa za wavyele wake na kuwapelekea wanafunzi wenzake.
Wazazi wake walimkanya na kumshauri lakini hawakufua dafu, hata walimu walijaribu lakini walikuwa wakipigia mbuzi gitaa.
Kisura alifanya mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane. Kwa bahati nzuri alifaulu vizuri Wazazi wake walifurahi gaya ya kufurahi. Walimshauri mwana wao atakapo enda huko shuleni akafanye bidii. Lakini kama kawaida yake aliwaitikia tu.
Kisura alienda shule ya bweni inayoitwa Shika Adabu. Kisura alianza kuendelea na tabia zake mbovu, alianza hata kuuza mwili wake ilhali alikuwa akitumiwa pesa na wavyele wake.
Siku moja alipokuwa amelala kwenye bweni lake. Wanafunzi wenzake walimtilia dawa za kulevya ndani ya bagi lake. Alipoamka alijikuta amezingirwa na polisi, mwalimu mkuu, rafiki yake. Alipouliza aliambiwa kuwa yeye huuza dawa za kulevya. Kisura alijitetea na kulia lakini hakukumsaidia chochote. Alimwangalia rafiki yake na kujua kuwa kikulacho kinguoni mwako. Pia, aliyakukumbuka maneno ya wavyele wake kuhusu kutembea na marafiki wabaya lakini alikuwa amechelewa kwani alipelekwa gerezani. Hadithi hii inawafunza watu walio na tabia kama za Kisura wabadilike na kusikiliza wavyele wao. | Kisura alikuwa akisomea katika shule gani | {
"text": [
"Msingi bora"
]
} |
3181_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu asiposikiza maono ya wavyale wake atakuja kupata taabu mbeleni au baadae. Methali hii hutumika kuwaonya wale wasiosikiza maneno ya wakuu wao au waliowazidi umri kuwa wasipowasikiliza wangepata taabu sana. Methali inaenda sawa sawia na ile ambayo mkataa pema, pabaya pamwita.
Katika kitongoji kilichoitwa mamboleo, paliondokea baba mmoja na mke. Watu hawa walikuwa na pesa kama njugu. Katika maisha yao walijaliwa kupata mwana aliyeitwa Kisura. Mtoto huyu alikuwa mtoto wa pekee. Walimpenda mwana wao kwa kilo na kumtunza kama mboni wao wa macho. Kisura alikuwa akisoma shule ya msingi inayoitwa msingi bora. Kisura alikuwa mwenye bidii ya mchwa ya kujenga kichuguu. Kwa madarasani alikuwa akiebuka wa kwanza katika kila mtihani.
Kisura kama jina lake alikuwa mrembo aliye umbwa akaumbika. Si shungi la nywele, si macho ya gololi, vyote alikuwa navyo. Lakini wahenga walisema kuwa kizuri hakikosi ila. Japo Kisura alikuwa mrembo lakini alikuwa na tabia za shetani. Wazazi wake walimkanya lakini aliwajibu kuwa yao yalipita. Kisura alikuwa na marafiki wabaya sana waliomshauri mambo mabaya. Kisura alikuwa akiiba pesa za wavyele wake na kuwapelekea wanafunzi wenzake.
Wazazi wake walimkanya na kumshauri lakini hawakufua dafu, hata walimu walijaribu lakini walikuwa wakipigia mbuzi gitaa.
Kisura alifanya mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane. Kwa bahati nzuri alifaulu vizuri Wazazi wake walifurahi gaya ya kufurahi. Walimshauri mwana wao atakapo enda huko shuleni akafanye bidii. Lakini kama kawaida yake aliwaitikia tu.
Kisura alienda shule ya bweni inayoitwa Shika Adabu. Kisura alianza kuendelea na tabia zake mbovu, alianza hata kuuza mwili wake ilhali alikuwa akitumiwa pesa na wavyele wake.
Siku moja alipokuwa amelala kwenye bweni lake. Wanafunzi wenzake walimtilia dawa za kulevya ndani ya bagi lake. Alipoamka alijikuta amezingirwa na polisi, mwalimu mkuu, rafiki yake. Alipouliza aliambiwa kuwa yeye huuza dawa za kulevya. Kisura alijitetea na kulia lakini hakukumsaidia chochote. Alimwangalia rafiki yake na kujua kuwa kikulacho kinguoni mwako. Pia, aliyakukumbuka maneno ya wavyele wake kuhusu kutembea na marafiki wabaya lakini alikuwa amechelewa kwani alipelekwa gerezani. Hadithi hii inawafunza watu walio na tabia kama za Kisura wabadilike na kusikiliza wavyele wao. | Wahenga walisema kuwa kizuri hakikosi nini | {
"text": [
"Hila"
]
} |
3181_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu asiposikiza maono ya wavyale wake atakuja kupata taabu mbeleni au baadae. Methali hii hutumika kuwaonya wale wasiosikiza maneno ya wakuu wao au waliowazidi umri kuwa wasipowasikiliza wangepata taabu sana. Methali inaenda sawa sawia na ile ambayo mkataa pema, pabaya pamwita.
Katika kitongoji kilichoitwa mamboleo, paliondokea baba mmoja na mke. Watu hawa walikuwa na pesa kama njugu. Katika maisha yao walijaliwa kupata mwana aliyeitwa Kisura. Mtoto huyu alikuwa mtoto wa pekee. Walimpenda mwana wao kwa kilo na kumtunza kama mboni wao wa macho. Kisura alikuwa akisoma shule ya msingi inayoitwa msingi bora. Kisura alikuwa mwenye bidii ya mchwa ya kujenga kichuguu. Kwa madarasani alikuwa akiebuka wa kwanza katika kila mtihani.
Kisura kama jina lake alikuwa mrembo aliye umbwa akaumbika. Si shungi la nywele, si macho ya gololi, vyote alikuwa navyo. Lakini wahenga walisema kuwa kizuri hakikosi ila. Japo Kisura alikuwa mrembo lakini alikuwa na tabia za shetani. Wazazi wake walimkanya lakini aliwajibu kuwa yao yalipita. Kisura alikuwa na marafiki wabaya sana waliomshauri mambo mabaya. Kisura alikuwa akiiba pesa za wavyele wake na kuwapelekea wanafunzi wenzake.
Wazazi wake walimkanya na kumshauri lakini hawakufua dafu, hata walimu walijaribu lakini walikuwa wakipigia mbuzi gitaa.
Kisura alifanya mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane. Kwa bahati nzuri alifaulu vizuri Wazazi wake walifurahi gaya ya kufurahi. Walimshauri mwana wao atakapo enda huko shuleni akafanye bidii. Lakini kama kawaida yake aliwaitikia tu.
Kisura alienda shule ya bweni inayoitwa Shika Adabu. Kisura alianza kuendelea na tabia zake mbovu, alianza hata kuuza mwili wake ilhali alikuwa akitumiwa pesa na wavyele wake.
Siku moja alipokuwa amelala kwenye bweni lake. Wanafunzi wenzake walimtilia dawa za kulevya ndani ya bagi lake. Alipoamka alijikuta amezingirwa na polisi, mwalimu mkuu, rafiki yake. Alipouliza aliambiwa kuwa yeye huuza dawa za kulevya. Kisura alijitetea na kulia lakini hakukumsaidia chochote. Alimwangalia rafiki yake na kujua kuwa kikulacho kinguoni mwako. Pia, aliyakukumbuka maneno ya wavyele wake kuhusu kutembea na marafiki wabaya lakini alikuwa amechelewa kwani alipelekwa gerezani. Hadithi hii inawafunza watu walio na tabia kama za Kisura wabadilike na kusikiliza wavyele wao. | Kisura alienda shule ya sekondari iliyoitwaje | {
"text": [
"Shika adabu"
]
} |
3181_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha kuwa mtu asiposikiza maono ya wavyale wake atakuja kupata taabu mbeleni au baadae. Methali hii hutumika kuwaonya wale wasiosikiza maneno ya wakuu wao au waliowazidi umri kuwa wasipowasikiliza wangepata taabu sana. Methali inaenda sawa sawia na ile ambayo mkataa pema, pabaya pamwita.
Katika kitongoji kilichoitwa mamboleo, paliondokea baba mmoja na mke. Watu hawa walikuwa na pesa kama njugu. Katika maisha yao walijaliwa kupata mwana aliyeitwa Kisura. Mtoto huyu alikuwa mtoto wa pekee. Walimpenda mwana wao kwa kilo na kumtunza kama mboni wao wa macho. Kisura alikuwa akisoma shule ya msingi inayoitwa msingi bora. Kisura alikuwa mwenye bidii ya mchwa ya kujenga kichuguu. Kwa madarasani alikuwa akiebuka wa kwanza katika kila mtihani.
Kisura kama jina lake alikuwa mrembo aliye umbwa akaumbika. Si shungi la nywele, si macho ya gololi, vyote alikuwa navyo. Lakini wahenga walisema kuwa kizuri hakikosi ila. Japo Kisura alikuwa mrembo lakini alikuwa na tabia za shetani. Wazazi wake walimkanya lakini aliwajibu kuwa yao yalipita. Kisura alikuwa na marafiki wabaya sana waliomshauri mambo mabaya. Kisura alikuwa akiiba pesa za wavyele wake na kuwapelekea wanafunzi wenzake.
Wazazi wake walimkanya na kumshauri lakini hawakufua dafu, hata walimu walijaribu lakini walikuwa wakipigia mbuzi gitaa.
Kisura alifanya mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane. Kwa bahati nzuri alifaulu vizuri Wazazi wake walifurahi gaya ya kufurahi. Walimshauri mwana wao atakapo enda huko shuleni akafanye bidii. Lakini kama kawaida yake aliwaitikia tu.
Kisura alienda shule ya bweni inayoitwa Shika Adabu. Kisura alianza kuendelea na tabia zake mbovu, alianza hata kuuza mwili wake ilhali alikuwa akitumiwa pesa na wavyele wake.
Siku moja alipokuwa amelala kwenye bweni lake. Wanafunzi wenzake walimtilia dawa za kulevya ndani ya bagi lake. Alipoamka alijikuta amezingirwa na polisi, mwalimu mkuu, rafiki yake. Alipouliza aliambiwa kuwa yeye huuza dawa za kulevya. Kisura alijitetea na kulia lakini hakukumsaidia chochote. Alimwangalia rafiki yake na kujua kuwa kikulacho kinguoni mwako. Pia, aliyakukumbuka maneno ya wavyele wake kuhusu kutembea na marafiki wabaya lakini alikuwa amechelewa kwani alipelekwa gerezani. Hadithi hii inawafunza watu walio na tabia kama za Kisura wabadilike na kusikiliza wavyele wao. | Kisura alipoamka alijikuta amezingirwa na nani | {
"text": [
"Polisi"
]
} |
3182_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika
viwanda, kilimo, ufundi au nia za mawasiliano. Ni bayana kuwa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari wanatumia vifaa kama vile tarakilishi kupata ujuaj, mingi masomoni unaowasaidia masomoni. Wao huweza kupata sekta nyingi za masomo kama vile Biologia, Kemia na hata tamthiliya kama vile Kigogo zenye mafunzo na manufaa mengi.
Tarakilishi hizo pia zinaweza kuwapotosha wanafunzi maana wanapoingia mitandaoni kuna mambo mengi mabaya kama picha chafu ambazo kwamba wanafunzi huziilangalia na kwenda kujaribu. Pia kupitia mitandao wanafunzi huweza kujiwakilisha na kujiunga kwenye makundi mabaya kama vile wavuta bangi.
Kikokotoo pia hutumiwa na wanafunzi hususan pale wanapo fanya hisabati. Kikokotoo hicho huwawezesha wanafunzi kuimarisha wakati kwani somo kama hisabati linahitaji upesi wa mambo. Kama wasemavyo kwa kila kizuri hakikosi kasoro hivyo basi kikokotoo humfanya mwanafunzi awe mvivu na mwenye akili ya kulala kwani kashazoea ubwete.
Fotokopia imewawezesha wanafunzi kuchapisha nakala zao kwani hawataki kujichosha kuandika nakala hizo hivyo basi fotokopia huchangia wanafunzi kuwa wavivu mno.
Kunao uvumbuzi wa genereta katika shule za sekondari ambayo husaidia wanagenzi pindi umeme umepotea. Genereta huwaka na taa huwakaa madarasani na wanafunzi kuendelea na masomo yao. Vile vile, genereta hilo hupampu maji katika shule za sekondari nakuwezesha
wanafunzi kupata maji ya kunawa. Licha ya faida, genereta pia huletea wanafunzi kelele wakiwa darasani pale linaponguruma pindi likiwa limewashwa na kufanya wengine wasielewe wanachokisoma.
Vilevile, teknolojia imeimarisha hali ya usomi darasani. Kunao ubao mweupe wa plastiki ambao huandikiwa na kalamu ya wino na kuwaepusha walimu na mafua kutokana na vumbi la chaki. Pia ubuo huo imegundulika kuwa chanzo cha wanafunzi wetu kuaribika macho kutokana na mwangaza mwingi.
Kama wasemavyo wavyele kuwa hakuna kizuri kinachokosa ila. Kwa teknolojia imeimarisha maisha ya wanafunzi wa sekondari maana kila mwanafunzi anasoma kupitia patakilishi na si vitabu. Patakilishi hizo ni rahisi kubeba popote na kuwafanya kuwa na morali wa kusoma. Ni nyepesi sana kulingana na vitabu kwenye begi. | Teknolojia imeleta nini katika shule za sekondari | {
"text": [
"faida"
]
} |
3182_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika
viwanda, kilimo, ufundi au nia za mawasiliano. Ni bayana kuwa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari wanatumia vifaa kama vile tarakilishi kupata ujuaj, mingi masomoni unaowasaidia masomoni. Wao huweza kupata sekta nyingi za masomo kama vile Biologia, Kemia na hata tamthiliya kama vile Kigogo zenye mafunzo na manufaa mengi.
Tarakilishi hizo pia zinaweza kuwapotosha wanafunzi maana wanapoingia mitandaoni kuna mambo mengi mabaya kama picha chafu ambazo kwamba wanafunzi huziilangalia na kwenda kujaribu. Pia kupitia mitandao wanafunzi huweza kujiwakilisha na kujiunga kwenye makundi mabaya kama vile wavuta bangi.
Kikokotoo pia hutumiwa na wanafunzi hususan pale wanapo fanya hisabati. Kikokotoo hicho huwawezesha wanafunzi kuimarisha wakati kwani somo kama hisabati linahitaji upesi wa mambo. Kama wasemavyo kwa kila kizuri hakikosi kasoro hivyo basi kikokotoo humfanya mwanafunzi awe mvivu na mwenye akili ya kulala kwani kashazoea ubwete.
Fotokopia imewawezesha wanafunzi kuchapisha nakala zao kwani hawataki kujichosha kuandika nakala hizo hivyo basi fotokopia huchangia wanafunzi kuwa wavivu mno.
Kunao uvumbuzi wa genereta katika shule za sekondari ambayo husaidia wanagenzi pindi umeme umepotea. Genereta huwaka na taa huwakaa madarasani na wanafunzi kuendelea na masomo yao. Vile vile, genereta hilo hupampu maji katika shule za sekondari nakuwezesha
wanafunzi kupata maji ya kunawa. Licha ya faida, genereta pia huletea wanafunzi kelele wakiwa darasani pale linaponguruma pindi likiwa limewashwa na kufanya wengine wasielewe wanachokisoma.
Vilevile, teknolojia imeimarisha hali ya usomi darasani. Kunao ubao mweupe wa plastiki ambao huandikiwa na kalamu ya wino na kuwaepusha walimu na mafua kutokana na vumbi la chaki. Pia ubuo huo imegundulika kuwa chanzo cha wanafunzi wetu kuaribika macho kutokana na mwangaza mwingi.
Kama wasemavyo wavyele kuwa hakuna kizuri kinachokosa ila. Kwa teknolojia imeimarisha maisha ya wanafunzi wa sekondari maana kila mwanafunzi anasoma kupitia patakilishi na si vitabu. Patakilishi hizo ni rahisi kubeba popote na kuwafanya kuwa na morali wa kusoma. Ni nyepesi sana kulingana na vitabu kwenye begi. | Tarakilishi huweza kuwapotosha nani | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
3182_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika
viwanda, kilimo, ufundi au nia za mawasiliano. Ni bayana kuwa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari wanatumia vifaa kama vile tarakilishi kupata ujuaj, mingi masomoni unaowasaidia masomoni. Wao huweza kupata sekta nyingi za masomo kama vile Biologia, Kemia na hata tamthiliya kama vile Kigogo zenye mafunzo na manufaa mengi.
Tarakilishi hizo pia zinaweza kuwapotosha wanafunzi maana wanapoingia mitandaoni kuna mambo mengi mabaya kama picha chafu ambazo kwamba wanafunzi huziilangalia na kwenda kujaribu. Pia kupitia mitandao wanafunzi huweza kujiwakilisha na kujiunga kwenye makundi mabaya kama vile wavuta bangi.
Kikokotoo pia hutumiwa na wanafunzi hususan pale wanapo fanya hisabati. Kikokotoo hicho huwawezesha wanafunzi kuimarisha wakati kwani somo kama hisabati linahitaji upesi wa mambo. Kama wasemavyo kwa kila kizuri hakikosi kasoro hivyo basi kikokotoo humfanya mwanafunzi awe mvivu na mwenye akili ya kulala kwani kashazoea ubwete.
Fotokopia imewawezesha wanafunzi kuchapisha nakala zao kwani hawataki kujichosha kuandika nakala hizo hivyo basi fotokopia huchangia wanafunzi kuwa wavivu mno.
Kunao uvumbuzi wa genereta katika shule za sekondari ambayo husaidia wanagenzi pindi umeme umepotea. Genereta huwaka na taa huwakaa madarasani na wanafunzi kuendelea na masomo yao. Vile vile, genereta hilo hupampu maji katika shule za sekondari nakuwezesha
wanafunzi kupata maji ya kunawa. Licha ya faida, genereta pia huletea wanafunzi kelele wakiwa darasani pale linaponguruma pindi likiwa limewashwa na kufanya wengine wasielewe wanachokisoma.
Vilevile, teknolojia imeimarisha hali ya usomi darasani. Kunao ubao mweupe wa plastiki ambao huandikiwa na kalamu ya wino na kuwaepusha walimu na mafua kutokana na vumbi la chaki. Pia ubuo huo imegundulika kuwa chanzo cha wanafunzi wetu kuaribika macho kutokana na mwangaza mwingi.
Kama wasemavyo wavyele kuwa hakuna kizuri kinachokosa ila. Kwa teknolojia imeimarisha maisha ya wanafunzi wa sekondari maana kila mwanafunzi anasoma kupitia patakilishi na si vitabu. Patakilishi hizo ni rahisi kubeba popote na kuwafanya kuwa na morali wa kusoma. Ni nyepesi sana kulingana na vitabu kwenye begi. | Kuna mambo gani mitandaoni | {
"text": [
"mengi mabaya"
]
} |
3182_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika
viwanda, kilimo, ufundi au nia za mawasiliano. Ni bayana kuwa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari wanatumia vifaa kama vile tarakilishi kupata ujuaj, mingi masomoni unaowasaidia masomoni. Wao huweza kupata sekta nyingi za masomo kama vile Biologia, Kemia na hata tamthiliya kama vile Kigogo zenye mafunzo na manufaa mengi.
Tarakilishi hizo pia zinaweza kuwapotosha wanafunzi maana wanapoingia mitandaoni kuna mambo mengi mabaya kama picha chafu ambazo kwamba wanafunzi huziilangalia na kwenda kujaribu. Pia kupitia mitandao wanafunzi huweza kujiwakilisha na kujiunga kwenye makundi mabaya kama vile wavuta bangi.
Kikokotoo pia hutumiwa na wanafunzi hususan pale wanapo fanya hisabati. Kikokotoo hicho huwawezesha wanafunzi kuimarisha wakati kwani somo kama hisabati linahitaji upesi wa mambo. Kama wasemavyo kwa kila kizuri hakikosi kasoro hivyo basi kikokotoo humfanya mwanafunzi awe mvivu na mwenye akili ya kulala kwani kashazoea ubwete.
Fotokopia imewawezesha wanafunzi kuchapisha nakala zao kwani hawataki kujichosha kuandika nakala hizo hivyo basi fotokopia huchangia wanafunzi kuwa wavivu mno.
Kunao uvumbuzi wa genereta katika shule za sekondari ambayo husaidia wanagenzi pindi umeme umepotea. Genereta huwaka na taa huwakaa madarasani na wanafunzi kuendelea na masomo yao. Vile vile, genereta hilo hupampu maji katika shule za sekondari nakuwezesha
wanafunzi kupata maji ya kunawa. Licha ya faida, genereta pia huletea wanafunzi kelele wakiwa darasani pale linaponguruma pindi likiwa limewashwa na kufanya wengine wasielewe wanachokisoma.
Vilevile, teknolojia imeimarisha hali ya usomi darasani. Kunao ubao mweupe wa plastiki ambao huandikiwa na kalamu ya wino na kuwaepusha walimu na mafua kutokana na vumbi la chaki. Pia ubuo huo imegundulika kuwa chanzo cha wanafunzi wetu kuaribika macho kutokana na mwangaza mwingi.
Kama wasemavyo wavyele kuwa hakuna kizuri kinachokosa ila. Kwa teknolojia imeimarisha maisha ya wanafunzi wa sekondari maana kila mwanafunzi anasoma kupitia patakilishi na si vitabu. Patakilishi hizo ni rahisi kubeba popote na kuwafanya kuwa na morali wa kusoma. Ni nyepesi sana kulingana na vitabu kwenye begi. | Genereta huwawekea wanafunzi nini wakiwa darasani | {
"text": [
"kelele"
]
} |
3182_swa | FAIDA NA MADHARA ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo vyombo na zana katika
viwanda, kilimo, ufundi au nia za mawasiliano. Ni bayana kuwa teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari wanatumia vifaa kama vile tarakilishi kupata ujuaj, mingi masomoni unaowasaidia masomoni. Wao huweza kupata sekta nyingi za masomo kama vile Biologia, Kemia na hata tamthiliya kama vile Kigogo zenye mafunzo na manufaa mengi.
Tarakilishi hizo pia zinaweza kuwapotosha wanafunzi maana wanapoingia mitandaoni kuna mambo mengi mabaya kama picha chafu ambazo kwamba wanafunzi huziilangalia na kwenda kujaribu. Pia kupitia mitandao wanafunzi huweza kujiwakilisha na kujiunga kwenye makundi mabaya kama vile wavuta bangi.
Kikokotoo pia hutumiwa na wanafunzi hususan pale wanapo fanya hisabati. Kikokotoo hicho huwawezesha wanafunzi kuimarisha wakati kwani somo kama hisabati linahitaji upesi wa mambo. Kama wasemavyo kwa kila kizuri hakikosi kasoro hivyo basi kikokotoo humfanya mwanafunzi awe mvivu na mwenye akili ya kulala kwani kashazoea ubwete.
Fotokopia imewawezesha wanafunzi kuchapisha nakala zao kwani hawataki kujichosha kuandika nakala hizo hivyo basi fotokopia huchangia wanafunzi kuwa wavivu mno.
Kunao uvumbuzi wa genereta katika shule za sekondari ambayo husaidia wanagenzi pindi umeme umepotea. Genereta huwaka na taa huwakaa madarasani na wanafunzi kuendelea na masomo yao. Vile vile, genereta hilo hupampu maji katika shule za sekondari nakuwezesha
wanafunzi kupata maji ya kunawa. Licha ya faida, genereta pia huletea wanafunzi kelele wakiwa darasani pale linaponguruma pindi likiwa limewashwa na kufanya wengine wasielewe wanachokisoma.
Vilevile, teknolojia imeimarisha hali ya usomi darasani. Kunao ubao mweupe wa plastiki ambao huandikiwa na kalamu ya wino na kuwaepusha walimu na mafua kutokana na vumbi la chaki. Pia ubuo huo imegundulika kuwa chanzo cha wanafunzi wetu kuaribika macho kutokana na mwangaza mwingi.
Kama wasemavyo wavyele kuwa hakuna kizuri kinachokosa ila. Kwa teknolojia imeimarisha maisha ya wanafunzi wa sekondari maana kila mwanafunzi anasoma kupitia patakilishi na si vitabu. Patakilishi hizo ni rahisi kubeba popote na kuwafanya kuwa na morali wa kusoma. Ni nyepesi sana kulingana na vitabu kwenye begi. | Mbona wanafunzi huchapisha nakala zao | {
"text": [
"hawataki kujichosha kuandika"
]
} |
3183_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inaeleza kinagaubaga kuwa mtu akipuuza maneno ya wavyele mwishowe hupata makuu. Hutumika sana sana kuwapa funzo na kuwaonya wale watoto wakaidi wasiotaka kusikia mambo ya wakubwa wao. Methali hii ina maana sawa na ile mkataa pema pabaya pamwita.
Katika kitongoji cha Mbuluni paliishi Bw. Marudi na mkewe Bi Habiba waliokuwa wamebarikiwa na binti mmoja mrembo kwa jina Chaurembo. Familia hii ilikuwa hohehahe yaani hawana mbele wala nyuma. Kazi ya Bw Marudi ilikuwa ya kijungu jiko. Chaurembo alikua binti mrembo sana. Jina lake lilieleza. Sijui maulana alimnyima nini. Yaani ali umbwa kaumbika. Kwa yale macho yake ya kidigo, meno yake ya mwanya pindi anapotabasamu, na mwendo wake wa taratibu utadhani njiwa katika chunza.
Kando na sura, tabia zake pia zilimiliki jina lile la Chaurembo. Kichuna huyu alikuwa na sifa za kuigwa pale kitongoji. Hata walimu shuleni walimtolea mfano bure . Kutokana na hali ya uchochole nyumbani. Chaurembo aliamua kujikaza kwenye masomo yake kwani mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Baada ya kufanya mtihani wa mwisho wa shule ya msingi na kufaulu vizuri, Chaurembo alipata mfadhili wa kumpeleka shule ya upili. Wazazi wake walishukuru kupitia kiasi kwani waliuona mwangaza katika maisha yao. Kwa hakika chanda chema huvikwa pete.
Akiwa kwenye likizo yake ndefu, Chaurembo alianza kuambatana na marafiki waovu. Tabia zikaanza kubadilika ama kwa hakika kizuri hakikosi ila. Alidanganywa na mwili wake mkubwa na viduchu vyake vilivyokuwa vimesimama tisti mithili ya mshale. Akaanza kupendekeza michezo michafu ya kutumia mwili wake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Aliingiza wanaume takriban watano kwazamu kwa kutwa moja. Baba yake mzee Masud alimkanya mwanawe kwa kumwambia kuwa kawaida ngoma ikilia sana huraruka ila Chaurembo hakutaka kuskia cha mwadhini wala mteka maji msikitini kwani alikua kutia maskio komunga. Aliiona dunia yake.
Sifa zikaanza kubadilika na kwa gumzo kitongojini lote walisema tabia zake zilishinda hata za shetani. Wazazi wake iliwauma ila hawakuwa na budi ila walibaki kumwombea dua asubuhi na mchana kwa maulana. Walivumilia fedheha za kila aina.
Masaa yalisonga, siku na miezi na Chaurembo akiendelea na shughuli zake ukidhani ni ufahari ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Chaurembo alianza kugonjeka polepole. Hali zikazidi kuwa mbaya na kuzidiwa kulala kwenye kitanda cha kamba na hakuwa Chaurembo yule wa zamani bali alifanana mithili ya sindano kutokana na jinsi alivyokuwa amekonda. Starehe zilimfanya akakosa mengi maana baada ya siku kadhaa alienda jongomeo na kukalisha ndoto zake za kwenda shule ya upili. Ama kweli asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Mkataa pema pabaya hufanya nini? | {
"text": [
"Pamwita"
]
} |
3183_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inaeleza kinagaubaga kuwa mtu akipuuza maneno ya wavyele mwishowe hupata makuu. Hutumika sana sana kuwapa funzo na kuwaonya wale watoto wakaidi wasiotaka kusikia mambo ya wakubwa wao. Methali hii ina maana sawa na ile mkataa pema pabaya pamwita.
Katika kitongoji cha Mbuluni paliishi Bw. Marudi na mkewe Bi Habiba waliokuwa wamebarikiwa na binti mmoja mrembo kwa jina Chaurembo. Familia hii ilikuwa hohehahe yaani hawana mbele wala nyuma. Kazi ya Bw Marudi ilikuwa ya kijungu jiko. Chaurembo alikua binti mrembo sana. Jina lake lilieleza. Sijui maulana alimnyima nini. Yaani ali umbwa kaumbika. Kwa yale macho yake ya kidigo, meno yake ya mwanya pindi anapotabasamu, na mwendo wake wa taratibu utadhani njiwa katika chunza.
Kando na sura, tabia zake pia zilimiliki jina lile la Chaurembo. Kichuna huyu alikuwa na sifa za kuigwa pale kitongoji. Hata walimu shuleni walimtolea mfano bure . Kutokana na hali ya uchochole nyumbani. Chaurembo aliamua kujikaza kwenye masomo yake kwani mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Baada ya kufanya mtihani wa mwisho wa shule ya msingi na kufaulu vizuri, Chaurembo alipata mfadhili wa kumpeleka shule ya upili. Wazazi wake walishukuru kupitia kiasi kwani waliuona mwangaza katika maisha yao. Kwa hakika chanda chema huvikwa pete.
Akiwa kwenye likizo yake ndefu, Chaurembo alianza kuambatana na marafiki waovu. Tabia zikaanza kubadilika ama kwa hakika kizuri hakikosi ila. Alidanganywa na mwili wake mkubwa na viduchu vyake vilivyokuwa vimesimama tisti mithili ya mshale. Akaanza kupendekeza michezo michafu ya kutumia mwili wake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Aliingiza wanaume takriban watano kwazamu kwa kutwa moja. Baba yake mzee Masud alimkanya mwanawe kwa kumwambia kuwa kawaida ngoma ikilia sana huraruka ila Chaurembo hakutaka kuskia cha mwadhini wala mteka maji msikitini kwani alikua kutia maskio komunga. Aliiona dunia yake.
Sifa zikaanza kubadilika na kwa gumzo kitongojini lote walisema tabia zake zilishinda hata za shetani. Wazazi wake iliwauma ila hawakuwa na budi ila walibaki kumwombea dua asubuhi na mchana kwa maulana. Walivumilia fedheha za kila aina.
Masaa yalisonga, siku na miezi na Chaurembo akiendelea na shughuli zake ukidhani ni ufahari ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Chaurembo alianza kugonjeka polepole. Hali zikazidi kuwa mbaya na kuzidiwa kulala kwenye kitanda cha kamba na hakuwa Chaurembo yule wa zamani bali alifanana mithili ya sindano kutokana na jinsi alivyokuwa amekonda. Starehe zilimfanya akakosa mengi maana baada ya siku kadhaa alienda jongomeo na kukalisha ndoto zake za kwenda shule ya upili. Ama kweli asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Wazazi wake Chaurembo waliishi katika kitongoji kipi? | {
"text": [
"Mbuluni"
]
} |
3183_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inaeleza kinagaubaga kuwa mtu akipuuza maneno ya wavyele mwishowe hupata makuu. Hutumika sana sana kuwapa funzo na kuwaonya wale watoto wakaidi wasiotaka kusikia mambo ya wakubwa wao. Methali hii ina maana sawa na ile mkataa pema pabaya pamwita.
Katika kitongoji cha Mbuluni paliishi Bw. Marudi na mkewe Bi Habiba waliokuwa wamebarikiwa na binti mmoja mrembo kwa jina Chaurembo. Familia hii ilikuwa hohehahe yaani hawana mbele wala nyuma. Kazi ya Bw Marudi ilikuwa ya kijungu jiko. Chaurembo alikua binti mrembo sana. Jina lake lilieleza. Sijui maulana alimnyima nini. Yaani ali umbwa kaumbika. Kwa yale macho yake ya kidigo, meno yake ya mwanya pindi anapotabasamu, na mwendo wake wa taratibu utadhani njiwa katika chunza.
Kando na sura, tabia zake pia zilimiliki jina lile la Chaurembo. Kichuna huyu alikuwa na sifa za kuigwa pale kitongoji. Hata walimu shuleni walimtolea mfano bure . Kutokana na hali ya uchochole nyumbani. Chaurembo aliamua kujikaza kwenye masomo yake kwani mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Baada ya kufanya mtihani wa mwisho wa shule ya msingi na kufaulu vizuri, Chaurembo alipata mfadhili wa kumpeleka shule ya upili. Wazazi wake walishukuru kupitia kiasi kwani waliuona mwangaza katika maisha yao. Kwa hakika chanda chema huvikwa pete.
Akiwa kwenye likizo yake ndefu, Chaurembo alianza kuambatana na marafiki waovu. Tabia zikaanza kubadilika ama kwa hakika kizuri hakikosi ila. Alidanganywa na mwili wake mkubwa na viduchu vyake vilivyokuwa vimesimama tisti mithili ya mshale. Akaanza kupendekeza michezo michafu ya kutumia mwili wake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Aliingiza wanaume takriban watano kwazamu kwa kutwa moja. Baba yake mzee Masud alimkanya mwanawe kwa kumwambia kuwa kawaida ngoma ikilia sana huraruka ila Chaurembo hakutaka kuskia cha mwadhini wala mteka maji msikitini kwani alikua kutia maskio komunga. Aliiona dunia yake.
Sifa zikaanza kubadilika na kwa gumzo kitongojini lote walisema tabia zake zilishinda hata za shetani. Wazazi wake iliwauma ila hawakuwa na budi ila walibaki kumwombea dua asubuhi na mchana kwa maulana. Walivumilia fedheha za kila aina.
Masaa yalisonga, siku na miezi na Chaurembo akiendelea na shughuli zake ukidhani ni ufahari ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Chaurembo alianza kugonjeka polepole. Hali zikazidi kuwa mbaya na kuzidiwa kulala kwenye kitanda cha kamba na hakuwa Chaurembo yule wa zamani bali alifanana mithili ya sindano kutokana na jinsi alivyokuwa amekonda. Starehe zilimfanya akakosa mengi maana baada ya siku kadhaa alienda jongomeo na kukalisha ndoto zake za kwenda shule ya upili. Ama kweli asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Chaurembo alifanyaje kwenye mtihani wa mwisho wa sekondari? | {
"text": [
"Alifaulu vizuri"
]
} |
3183_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inaeleza kinagaubaga kuwa mtu akipuuza maneno ya wavyele mwishowe hupata makuu. Hutumika sana sana kuwapa funzo na kuwaonya wale watoto wakaidi wasiotaka kusikia mambo ya wakubwa wao. Methali hii ina maana sawa na ile mkataa pema pabaya pamwita.
Katika kitongoji cha Mbuluni paliishi Bw. Marudi na mkewe Bi Habiba waliokuwa wamebarikiwa na binti mmoja mrembo kwa jina Chaurembo. Familia hii ilikuwa hohehahe yaani hawana mbele wala nyuma. Kazi ya Bw Marudi ilikuwa ya kijungu jiko. Chaurembo alikua binti mrembo sana. Jina lake lilieleza. Sijui maulana alimnyima nini. Yaani ali umbwa kaumbika. Kwa yale macho yake ya kidigo, meno yake ya mwanya pindi anapotabasamu, na mwendo wake wa taratibu utadhani njiwa katika chunza.
Kando na sura, tabia zake pia zilimiliki jina lile la Chaurembo. Kichuna huyu alikuwa na sifa za kuigwa pale kitongoji. Hata walimu shuleni walimtolea mfano bure . Kutokana na hali ya uchochole nyumbani. Chaurembo aliamua kujikaza kwenye masomo yake kwani mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Baada ya kufanya mtihani wa mwisho wa shule ya msingi na kufaulu vizuri, Chaurembo alipata mfadhili wa kumpeleka shule ya upili. Wazazi wake walishukuru kupitia kiasi kwani waliuona mwangaza katika maisha yao. Kwa hakika chanda chema huvikwa pete.
Akiwa kwenye likizo yake ndefu, Chaurembo alianza kuambatana na marafiki waovu. Tabia zikaanza kubadilika ama kwa hakika kizuri hakikosi ila. Alidanganywa na mwili wake mkubwa na viduchu vyake vilivyokuwa vimesimama tisti mithili ya mshale. Akaanza kupendekeza michezo michafu ya kutumia mwili wake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Aliingiza wanaume takriban watano kwazamu kwa kutwa moja. Baba yake mzee Masud alimkanya mwanawe kwa kumwambia kuwa kawaida ngoma ikilia sana huraruka ila Chaurembo hakutaka kuskia cha mwadhini wala mteka maji msikitini kwani alikua kutia maskio komunga. Aliiona dunia yake.
Sifa zikaanza kubadilika na kwa gumzo kitongojini lote walisema tabia zake zilishinda hata za shetani. Wazazi wake iliwauma ila hawakuwa na budi ila walibaki kumwombea dua asubuhi na mchana kwa maulana. Walivumilia fedheha za kila aina.
Masaa yalisonga, siku na miezi na Chaurembo akiendelea na shughuli zake ukidhani ni ufahari ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Chaurembo alianza kugonjeka polepole. Hali zikazidi kuwa mbaya na kuzidiwa kulala kwenye kitanda cha kamba na hakuwa Chaurembo yule wa zamani bali alifanana mithili ya sindano kutokana na jinsi alivyokuwa amekonda. Starehe zilimfanya akakosa mengi maana baada ya siku kadhaa alienda jongomeo na kukalisha ndoto zake za kwenda shule ya upili. Ama kweli asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Mamake Chaurembo anitwa bi nani? | {
"text": [
"Habiba"
]
} |
3183_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inaeleza kinagaubaga kuwa mtu akipuuza maneno ya wavyele mwishowe hupata makuu. Hutumika sana sana kuwapa funzo na kuwaonya wale watoto wakaidi wasiotaka kusikia mambo ya wakubwa wao. Methali hii ina maana sawa na ile mkataa pema pabaya pamwita.
Katika kitongoji cha Mbuluni paliishi Bw. Marudi na mkewe Bi Habiba waliokuwa wamebarikiwa na binti mmoja mrembo kwa jina Chaurembo. Familia hii ilikuwa hohehahe yaani hawana mbele wala nyuma. Kazi ya Bw Marudi ilikuwa ya kijungu jiko. Chaurembo alikua binti mrembo sana. Jina lake lilieleza. Sijui maulana alimnyima nini. Yaani ali umbwa kaumbika. Kwa yale macho yake ya kidigo, meno yake ya mwanya pindi anapotabasamu, na mwendo wake wa taratibu utadhani njiwa katika chunza.
Kando na sura, tabia zake pia zilimiliki jina lile la Chaurembo. Kichuna huyu alikuwa na sifa za kuigwa pale kitongoji. Hata walimu shuleni walimtolea mfano bure . Kutokana na hali ya uchochole nyumbani. Chaurembo aliamua kujikaza kwenye masomo yake kwani mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
Baada ya kufanya mtihani wa mwisho wa shule ya msingi na kufaulu vizuri, Chaurembo alipata mfadhili wa kumpeleka shule ya upili. Wazazi wake walishukuru kupitia kiasi kwani waliuona mwangaza katika maisha yao. Kwa hakika chanda chema huvikwa pete.
Akiwa kwenye likizo yake ndefu, Chaurembo alianza kuambatana na marafiki waovu. Tabia zikaanza kubadilika ama kwa hakika kizuri hakikosi ila. Alidanganywa na mwili wake mkubwa na viduchu vyake vilivyokuwa vimesimama tisti mithili ya mshale. Akaanza kupendekeza michezo michafu ya kutumia mwili wake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Aliingiza wanaume takriban watano kwazamu kwa kutwa moja. Baba yake mzee Masud alimkanya mwanawe kwa kumwambia kuwa kawaida ngoma ikilia sana huraruka ila Chaurembo hakutaka kuskia cha mwadhini wala mteka maji msikitini kwani alikua kutia maskio komunga. Aliiona dunia yake.
Sifa zikaanza kubadilika na kwa gumzo kitongojini lote walisema tabia zake zilishinda hata za shetani. Wazazi wake iliwauma ila hawakuwa na budi ila walibaki kumwombea dua asubuhi na mchana kwa maulana. Walivumilia fedheha za kila aina.
Masaa yalisonga, siku na miezi na Chaurembo akiendelea na shughuli zake ukidhani ni ufahari ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Chaurembo alianza kugonjeka polepole. Hali zikazidi kuwa mbaya na kuzidiwa kulala kwenye kitanda cha kamba na hakuwa Chaurembo yule wa zamani bali alifanana mithili ya sindano kutokana na jinsi alivyokuwa amekonda. Starehe zilimfanya akakosa mengi maana baada ya siku kadhaa alienda jongomeo na kukalisha ndoto zake za kwenda shule ya upili. Ama kweli asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Methali iliyotumika kwenye hadithi huangaziwa kina nani? | {
"text": [
"Watoto wanaokaidi ushauri wa wakubwa wao"
]
} |
3184_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mfumo mpya wa taaluma mbalimbali ili kurahisisha jambo kutumia vyombo mbalimbali. Hivyo basi teknolojia imeleta faida kubwa kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo ambacho hutumika sana kufanya hesabu. Hisabati hizo huraisishwa kwa utumizi wa kikokotoo. Kikokotoo hicho pia kina madhara kwa sababu humzembesha
mwanafunzi na kumfanya awe mvivu kutumia ubongo wake kwa mara. Hata hivyo mwanafunzi hununua mara kwa mara kinapoharibika tu.
Utumiaji wa wanafunzi kutumia tarakilishi ambacho (wanadownload) masomo mbalimbali. Masomo hayo wanaweza kupitia njia mbalimbali kama vile intaneti. Wanafunzi hufaidika kwa kuendelea na masomo yao hata wakiwa sehemu mbalimbali au nje ya nchi. Walimu pia wanatumia tarakilishi hizo kuhifadhi rekodi zao za kila siku. Hata hivyo tarakilishi hizo hizo zinatumiwa kutungia wanafunzi mitihani yao.
Tarakilishi hiyo inaweza kuleta madhara mbalimbali kama vile wanafunzi wanaweza kupata mambo machafu yasiyofaa katika jamii. Endapo mwanafunzi akiendelea na tabia hiyo inaweza kumbadilisha tabia yake kuzorota shuleni. Vile vile tarakilishi haziwezi kufanya kazi kama kawaida kama hakuna umeme. Hivyo basi shule ambazo zinatumia tarakilishi huwaharibia ratiba yao ya kawaida. Kama vile masomo, tarakilishi pia humfanya mwanafunzi kubadili mienendo yake. Televisheni ni chombo ambacho huwafanya wanafunzi kuona na kusikiliza vipindi mbalimbali vinavyoendelezwa na taaluma ya elimu.
Maonyesho hayo yanakuza uwezo wao wa kubuni au ufaraguzi. Wanafunzi pia hupata kujuwa jamii tofauti tofauti na lugha inayotumiwa. Hata hivyo televisheni huleta madhara makubwa kwa wanafunzi. Madhara hayo ni kama utovu wa nidhamu ambapo wanafunzi wanatazama jinsi watu wanauwana na kutenda matendo ya kutisha.
Uvumbuzi wa umeme umeleta faida kubwa hasa kwa wanafunzi. Shule za sekondari ambazo zilikuwa hazina umeme zimebahatika kupata umeme. Umeme huo unatumiwa kuwapa mwangaza hususan wakati wa usiku kuendeleza masomo yao ya ziada na kuimarisha masomo yao. Pia umeme husaidia kutumia tarakilishi shuleni. Umeme pia unaweza sababisha kuzorota kwa shughuli za kawaida shuleni iwapo vyombo vyote vinategemea umeme. Shule
nyingi pia zimeripotiwa kuchomeka kwa sababu ya nguvu za umeme.
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa mabasi ya shule yanayotumika na wanafunzi wa sekondari ili kufika shuleni kwa wakati maalum uliotengwa. Hali hii imewezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati na kupunguza kesi za wanafunzi kutofika shuleni. Mabasi hayo hayo yamesababisha ajali nyingi barabarani na wanafunzi wengi kupoteza maisha. Hata hivyo njia hiyo imepelekea baadhi ya wanafunzi kuachishwa shule kwa sababu ya kutolipa basi hilo kwa njia ya karo.
Simu ya rununu au hizi za sasa zilizoundwa na teknolojia ya kisasa zinasaidia wanafunzi kwa njia ya kupata masomo moja kwa moja wakiwa nyumbani au pahala popote. Simu hizo pia wanaweza kuwafundisha wanafunzi wao bila malipo kupitia mfumo wa kisasa wa Viusasa. | Teknolojia imeletea nani faida kubwa | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
3184_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mfumo mpya wa taaluma mbalimbali ili kurahisisha jambo kutumia vyombo mbalimbali. Hivyo basi teknolojia imeleta faida kubwa kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo ambacho hutumika sana kufanya hesabu. Hisabati hizo huraisishwa kwa utumizi wa kikokotoo. Kikokotoo hicho pia kina madhara kwa sababu humzembesha
mwanafunzi na kumfanya awe mvivu kutumia ubongo wake kwa mara. Hata hivyo mwanafunzi hununua mara kwa mara kinapoharibika tu.
Utumiaji wa wanafunzi kutumia tarakilishi ambacho (wanadownload) masomo mbalimbali. Masomo hayo wanaweza kupitia njia mbalimbali kama vile intaneti. Wanafunzi hufaidika kwa kuendelea na masomo yao hata wakiwa sehemu mbalimbali au nje ya nchi. Walimu pia wanatumia tarakilishi hizo kuhifadhi rekodi zao za kila siku. Hata hivyo tarakilishi hizo hizo zinatumiwa kutungia wanafunzi mitihani yao.
Tarakilishi hiyo inaweza kuleta madhara mbalimbali kama vile wanafunzi wanaweza kupata mambo machafu yasiyofaa katika jamii. Endapo mwanafunzi akiendelea na tabia hiyo inaweza kumbadilisha tabia yake kuzorota shuleni. Vile vile tarakilishi haziwezi kufanya kazi kama kawaida kama hakuna umeme. Hivyo basi shule ambazo zinatumia tarakilishi huwaharibia ratiba yao ya kawaida. Kama vile masomo, tarakilishi pia humfanya mwanafunzi kubadili mienendo yake. Televisheni ni chombo ambacho huwafanya wanafunzi kuona na kusikiliza vipindi mbalimbali vinavyoendelezwa na taaluma ya elimu.
Maonyesho hayo yanakuza uwezo wao wa kubuni au ufaraguzi. Wanafunzi pia hupata kujuwa jamii tofauti tofauti na lugha inayotumiwa. Hata hivyo televisheni huleta madhara makubwa kwa wanafunzi. Madhara hayo ni kama utovu wa nidhamu ambapo wanafunzi wanatazama jinsi watu wanauwana na kutenda matendo ya kutisha.
Uvumbuzi wa umeme umeleta faida kubwa hasa kwa wanafunzi. Shule za sekondari ambazo zilikuwa hazina umeme zimebahatika kupata umeme. Umeme huo unatumiwa kuwapa mwangaza hususan wakati wa usiku kuendeleza masomo yao ya ziada na kuimarisha masomo yao. Pia umeme husaidia kutumia tarakilishi shuleni. Umeme pia unaweza sababisha kuzorota kwa shughuli za kawaida shuleni iwapo vyombo vyote vinategemea umeme. Shule
nyingi pia zimeripotiwa kuchomeka kwa sababu ya nguvu za umeme.
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa mabasi ya shule yanayotumika na wanafunzi wa sekondari ili kufika shuleni kwa wakati maalum uliotengwa. Hali hii imewezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati na kupunguza kesi za wanafunzi kutofika shuleni. Mabasi hayo hayo yamesababisha ajali nyingi barabarani na wanafunzi wengi kupoteza maisha. Hata hivyo njia hiyo imepelekea baadhi ya wanafunzi kuachishwa shule kwa sababu ya kutolipa basi hilo kwa njia ya karo.
Simu ya rununu au hizi za sasa zilizoundwa na teknolojia ya kisasa zinasaidia wanafunzi kwa njia ya kupata masomo moja kwa moja wakiwa nyumbani au pahala popote. Simu hizo pia wanaweza kuwafundisha wanafunzi wao bila malipo kupitia mfumo wa kisasa wa Viusasa. | Kikokotoo hutumiwa kufanya nini | {
"text": [
"Hesabu"
]
} |
3184_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mfumo mpya wa taaluma mbalimbali ili kurahisisha jambo kutumia vyombo mbalimbali. Hivyo basi teknolojia imeleta faida kubwa kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo ambacho hutumika sana kufanya hesabu. Hisabati hizo huraisishwa kwa utumizi wa kikokotoo. Kikokotoo hicho pia kina madhara kwa sababu humzembesha
mwanafunzi na kumfanya awe mvivu kutumia ubongo wake kwa mara. Hata hivyo mwanafunzi hununua mara kwa mara kinapoharibika tu.
Utumiaji wa wanafunzi kutumia tarakilishi ambacho (wanadownload) masomo mbalimbali. Masomo hayo wanaweza kupitia njia mbalimbali kama vile intaneti. Wanafunzi hufaidika kwa kuendelea na masomo yao hata wakiwa sehemu mbalimbali au nje ya nchi. Walimu pia wanatumia tarakilishi hizo kuhifadhi rekodi zao za kila siku. Hata hivyo tarakilishi hizo hizo zinatumiwa kutungia wanafunzi mitihani yao.
Tarakilishi hiyo inaweza kuleta madhara mbalimbali kama vile wanafunzi wanaweza kupata mambo machafu yasiyofaa katika jamii. Endapo mwanafunzi akiendelea na tabia hiyo inaweza kumbadilisha tabia yake kuzorota shuleni. Vile vile tarakilishi haziwezi kufanya kazi kama kawaida kama hakuna umeme. Hivyo basi shule ambazo zinatumia tarakilishi huwaharibia ratiba yao ya kawaida. Kama vile masomo, tarakilishi pia humfanya mwanafunzi kubadili mienendo yake. Televisheni ni chombo ambacho huwafanya wanafunzi kuona na kusikiliza vipindi mbalimbali vinavyoendelezwa na taaluma ya elimu.
Maonyesho hayo yanakuza uwezo wao wa kubuni au ufaraguzi. Wanafunzi pia hupata kujuwa jamii tofauti tofauti na lugha inayotumiwa. Hata hivyo televisheni huleta madhara makubwa kwa wanafunzi. Madhara hayo ni kama utovu wa nidhamu ambapo wanafunzi wanatazama jinsi watu wanauwana na kutenda matendo ya kutisha.
Uvumbuzi wa umeme umeleta faida kubwa hasa kwa wanafunzi. Shule za sekondari ambazo zilikuwa hazina umeme zimebahatika kupata umeme. Umeme huo unatumiwa kuwapa mwangaza hususan wakati wa usiku kuendeleza masomo yao ya ziada na kuimarisha masomo yao. Pia umeme husaidia kutumia tarakilishi shuleni. Umeme pia unaweza sababisha kuzorota kwa shughuli za kawaida shuleni iwapo vyombo vyote vinategemea umeme. Shule
nyingi pia zimeripotiwa kuchomeka kwa sababu ya nguvu za umeme.
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa mabasi ya shule yanayotumika na wanafunzi wa sekondari ili kufika shuleni kwa wakati maalum uliotengwa. Hali hii imewezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati na kupunguza kesi za wanafunzi kutofika shuleni. Mabasi hayo hayo yamesababisha ajali nyingi barabarani na wanafunzi wengi kupoteza maisha. Hata hivyo njia hiyo imepelekea baadhi ya wanafunzi kuachishwa shule kwa sababu ya kutolipa basi hilo kwa njia ya karo.
Simu ya rununu au hizi za sasa zilizoundwa na teknolojia ya kisasa zinasaidia wanafunzi kwa njia ya kupata masomo moja kwa moja wakiwa nyumbani au pahala popote. Simu hizo pia wanaweza kuwafundisha wanafunzi wao bila malipo kupitia mfumo wa kisasa wa Viusasa. | Umeme huwapa wanafunzi mwangaza wakati gani | {
"text": [
"usiku"
]
} |
3184_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mfumo mpya wa taaluma mbalimbali ili kurahisisha jambo kutumia vyombo mbalimbali. Hivyo basi teknolojia imeleta faida kubwa kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo ambacho hutumika sana kufanya hesabu. Hisabati hizo huraisishwa kwa utumizi wa kikokotoo. Kikokotoo hicho pia kina madhara kwa sababu humzembesha
mwanafunzi na kumfanya awe mvivu kutumia ubongo wake kwa mara. Hata hivyo mwanafunzi hununua mara kwa mara kinapoharibika tu.
Utumiaji wa wanafunzi kutumia tarakilishi ambacho (wanadownload) masomo mbalimbali. Masomo hayo wanaweza kupitia njia mbalimbali kama vile intaneti. Wanafunzi hufaidika kwa kuendelea na masomo yao hata wakiwa sehemu mbalimbali au nje ya nchi. Walimu pia wanatumia tarakilishi hizo kuhifadhi rekodi zao za kila siku. Hata hivyo tarakilishi hizo hizo zinatumiwa kutungia wanafunzi mitihani yao.
Tarakilishi hiyo inaweza kuleta madhara mbalimbali kama vile wanafunzi wanaweza kupata mambo machafu yasiyofaa katika jamii. Endapo mwanafunzi akiendelea na tabia hiyo inaweza kumbadilisha tabia yake kuzorota shuleni. Vile vile tarakilishi haziwezi kufanya kazi kama kawaida kama hakuna umeme. Hivyo basi shule ambazo zinatumia tarakilishi huwaharibia ratiba yao ya kawaida. Kama vile masomo, tarakilishi pia humfanya mwanafunzi kubadili mienendo yake. Televisheni ni chombo ambacho huwafanya wanafunzi kuona na kusikiliza vipindi mbalimbali vinavyoendelezwa na taaluma ya elimu.
Maonyesho hayo yanakuza uwezo wao wa kubuni au ufaraguzi. Wanafunzi pia hupata kujuwa jamii tofauti tofauti na lugha inayotumiwa. Hata hivyo televisheni huleta madhara makubwa kwa wanafunzi. Madhara hayo ni kama utovu wa nidhamu ambapo wanafunzi wanatazama jinsi watu wanauwana na kutenda matendo ya kutisha.
Uvumbuzi wa umeme umeleta faida kubwa hasa kwa wanafunzi. Shule za sekondari ambazo zilikuwa hazina umeme zimebahatika kupata umeme. Umeme huo unatumiwa kuwapa mwangaza hususan wakati wa usiku kuendeleza masomo yao ya ziada na kuimarisha masomo yao. Pia umeme husaidia kutumia tarakilishi shuleni. Umeme pia unaweza sababisha kuzorota kwa shughuli za kawaida shuleni iwapo vyombo vyote vinategemea umeme. Shule
nyingi pia zimeripotiwa kuchomeka kwa sababu ya nguvu za umeme.
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa mabasi ya shule yanayotumika na wanafunzi wa sekondari ili kufika shuleni kwa wakati maalum uliotengwa. Hali hii imewezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati na kupunguza kesi za wanafunzi kutofika shuleni. Mabasi hayo hayo yamesababisha ajali nyingi barabarani na wanafunzi wengi kupoteza maisha. Hata hivyo njia hiyo imepelekea baadhi ya wanafunzi kuachishwa shule kwa sababu ya kutolipa basi hilo kwa njia ya karo.
Simu ya rununu au hizi za sasa zilizoundwa na teknolojia ya kisasa zinasaidia wanafunzi kwa njia ya kupata masomo moja kwa moja wakiwa nyumbani au pahala popote. Simu hizo pia wanaweza kuwafundisha wanafunzi wao bila malipo kupitia mfumo wa kisasa wa Viusasa. | Shule ngapi zimeripotiwa kuchomeka kutokana na umeme | {
"text": [
"nyingi"
]
} |
3184_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mfumo mpya wa taaluma mbalimbali ili kurahisisha jambo kutumia vyombo mbalimbali. Hivyo basi teknolojia imeleta faida kubwa kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia kikokotoo ambacho hutumika sana kufanya hesabu. Hisabati hizo huraisishwa kwa utumizi wa kikokotoo. Kikokotoo hicho pia kina madhara kwa sababu humzembesha
mwanafunzi na kumfanya awe mvivu kutumia ubongo wake kwa mara. Hata hivyo mwanafunzi hununua mara kwa mara kinapoharibika tu.
Utumiaji wa wanafunzi kutumia tarakilishi ambacho (wanadownload) masomo mbalimbali. Masomo hayo wanaweza kupitia njia mbalimbali kama vile intaneti. Wanafunzi hufaidika kwa kuendelea na masomo yao hata wakiwa sehemu mbalimbali au nje ya nchi. Walimu pia wanatumia tarakilishi hizo kuhifadhi rekodi zao za kila siku. Hata hivyo tarakilishi hizo hizo zinatumiwa kutungia wanafunzi mitihani yao.
Tarakilishi hiyo inaweza kuleta madhara mbalimbali kama vile wanafunzi wanaweza kupata mambo machafu yasiyofaa katika jamii. Endapo mwanafunzi akiendelea na tabia hiyo inaweza kumbadilisha tabia yake kuzorota shuleni. Vile vile tarakilishi haziwezi kufanya kazi kama kawaida kama hakuna umeme. Hivyo basi shule ambazo zinatumia tarakilishi huwaharibia ratiba yao ya kawaida. Kama vile masomo, tarakilishi pia humfanya mwanafunzi kubadili mienendo yake. Televisheni ni chombo ambacho huwafanya wanafunzi kuona na kusikiliza vipindi mbalimbali vinavyoendelezwa na taaluma ya elimu.
Maonyesho hayo yanakuza uwezo wao wa kubuni au ufaraguzi. Wanafunzi pia hupata kujuwa jamii tofauti tofauti na lugha inayotumiwa. Hata hivyo televisheni huleta madhara makubwa kwa wanafunzi. Madhara hayo ni kama utovu wa nidhamu ambapo wanafunzi wanatazama jinsi watu wanauwana na kutenda matendo ya kutisha.
Uvumbuzi wa umeme umeleta faida kubwa hasa kwa wanafunzi. Shule za sekondari ambazo zilikuwa hazina umeme zimebahatika kupata umeme. Umeme huo unatumiwa kuwapa mwangaza hususan wakati wa usiku kuendeleza masomo yao ya ziada na kuimarisha masomo yao. Pia umeme husaidia kutumia tarakilishi shuleni. Umeme pia unaweza sababisha kuzorota kwa shughuli za kawaida shuleni iwapo vyombo vyote vinategemea umeme. Shule
nyingi pia zimeripotiwa kuchomeka kwa sababu ya nguvu za umeme.
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa mabasi ya shule yanayotumika na wanafunzi wa sekondari ili kufika shuleni kwa wakati maalum uliotengwa. Hali hii imewezesha wanafunzi kufika shuleni kwa wakati na kupunguza kesi za wanafunzi kutofika shuleni. Mabasi hayo hayo yamesababisha ajali nyingi barabarani na wanafunzi wengi kupoteza maisha. Hata hivyo njia hiyo imepelekea baadhi ya wanafunzi kuachishwa shule kwa sababu ya kutolipa basi hilo kwa njia ya karo.
Simu ya rununu au hizi za sasa zilizoundwa na teknolojia ya kisasa zinasaidia wanafunzi kwa njia ya kupata masomo moja kwa moja wakiwa nyumbani au pahala popote. Simu hizo pia wanaweza kuwafundisha wanafunzi wao bila malipo kupitia mfumo wa kisasa wa Viusasa. | Umeme unasababishaje kuzorota kwa shughuli shuleni | {
"text": [
"iwapo vyombo vyote vinategemea umeme"
]
} |
3185_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote asyesikiliza maneno anayo ambiwa na wakubwa wake hivyo basi mbeleni anaweza kupatwa na shida. Methali hii inaweza kutumiwa kwa mzazi au mtu fulani anamuonya mwenye kutenda kosa hilo akijaribu kumrekebisha. Sasa tunapata insha hii ya asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hapo jadi na judua ng paliishi wanandoa wawili ambaye ni Bwana Juma na Bi Zuhura. Wawili hawa walitamani kupata mtoto lakini mungu aliwaitikia kilio chao na bahati nzuri wakajaliwa kupata mtoto. Mtoto huyo aliitwa Karembo. Karembo alijawa na urembo kama lilivyo jina lake. Wazazi wake walimpa malezi ya hali ya juu kama alivyotaka. Karembo alipokuwa shule ya msingi, alikuwa bingwa darasani. Aliweza kufaulu kila mara.
Karembo aliweza kuibuka wa kwanza katika mtihani wake wa darasa la nane. Aliweza kujiunga na kidato cha pili. Matokeo haya yalimfanya kujizolea sifa kochokocho. Kila apitapo alijizolea sifa. Wazazi wake walimpongeza na kumshauri kila mara afuate miendo mazuri. Katika shule ya upili alipendwa na kila mtu si mwalimu si wanafunzi. Kila mtihani alioufanya kama kawaida yake aliibuka bingwa wa darasa. Kadri alipozidi kupita alianza maringo.
Baada ya miaka kadhaa Karembo alitarajiwa kufanya mtihani wake wa kidato cha nne. Bwana Juma na Bi Zuhura walizidisha maombi yao ya kumtakia kila jema Karembo. Karembo alimaliza mtihani wake nakusubiri majibu. Baada ya muda mchache majibu ulitolewa na kama desturi yake Karembo alionyeshwa kwenye televisheni na kusisikika maredioni kuwa mwanafunzi bora. Wazazi wake walizipokea habari hizi kwa furaha. Karembo alihitajika kujiunga na chuo kikuu.
Karembo alijiunga na chuo kikuu kilichokuwa jijini Nairobi. Katika chuo hicho, Karembo alianza urafiki wake wa hapa na pale. Kila mtu alimfahamu yeye kabla hajamaliza hata mwezi. Alianza kubadilika polepole kuma kinyonga. Walimu walianza kumgundua na kumkanya na mapema. Kadri siku zilivyozidi kwenda Karembo alianza kuvaa mavazi yenye kuonyesha uchi wake. Alijumuika na kila mvulana wa hapo chuoni na kuhudhuria ngoma za usiku.
Walimu baada ya kupata ripoti hiyo walimuita Karembo na kumuonya kwa mara ya mwisho. Hata hivyo sikio la kufa halisikii dawa. Maji yalizidi unga na tabia ya Karembo kusikitisha mno. Wazazi wake hawakuamini habari hizo waliposikia. Walijaribu kumpa mawaidha ya hapa na pale na Karembo akaahidi kubadilika. Ama, kweli! Tabia ni ngozi ya mwili na huyo basi Karembo aliacha chuo na kwenda kukodi nje.
Karembo kila mahali aliambatana na wanaume wa kila aina. Alijihusisha katika kitendo cha ukahaba. Wazazi wake walipogundua walikata uhusiano baina yake na yao. Siku moja Karembo alishikwa na homa kali na kuenda hospitalini akapimwa magonjwa yote kwa bahati mbaya majibu yalipotoka hayakuwa mazuri. Karembo alipatikana anauguwa ugonjwa wa Ukimwi. Alitiririkwa na machozi njia mbili mbili.
Hakuwa tena na pakuenda. Marafiki wake walimkana na kumkejeli. Karembo alianza kudhohofika kiafya na kukonda na kukonde na hakuwa tena na makumuuguza wala wa kumliwaza. Alitamani ardhi ipasuke lakini wapi, maji yakimwagika hayazoleki na asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Juma na Zuhura walitamani kupata nini | {
"text": [
"mtoto"
]
} |
3185_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote asyesikiliza maneno anayo ambiwa na wakubwa wake hivyo basi mbeleni anaweza kupatwa na shida. Methali hii inaweza kutumiwa kwa mzazi au mtu fulani anamuonya mwenye kutenda kosa hilo akijaribu kumrekebisha. Sasa tunapata insha hii ya asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hapo jadi na judua ng paliishi wanandoa wawili ambaye ni Bwana Juma na Bi Zuhura. Wawili hawa walitamani kupata mtoto lakini mungu aliwaitikia kilio chao na bahati nzuri wakajaliwa kupata mtoto. Mtoto huyo aliitwa Karembo. Karembo alijawa na urembo kama lilivyo jina lake. Wazazi wake walimpa malezi ya hali ya juu kama alivyotaka. Karembo alipokuwa shule ya msingi, alikuwa bingwa darasani. Aliweza kufaulu kila mara.
Karembo aliweza kuibuka wa kwanza katika mtihani wake wa darasa la nane. Aliweza kujiunga na kidato cha pili. Matokeo haya yalimfanya kujizolea sifa kochokocho. Kila apitapo alijizolea sifa. Wazazi wake walimpongeza na kumshauri kila mara afuate miendo mazuri. Katika shule ya upili alipendwa na kila mtu si mwalimu si wanafunzi. Kila mtihani alioufanya kama kawaida yake aliibuka bingwa wa darasa. Kadri alipozidi kupita alianza maringo.
Baada ya miaka kadhaa Karembo alitarajiwa kufanya mtihani wake wa kidato cha nne. Bwana Juma na Bi Zuhura walizidisha maombi yao ya kumtakia kila jema Karembo. Karembo alimaliza mtihani wake nakusubiri majibu. Baada ya muda mchache majibu ulitolewa na kama desturi yake Karembo alionyeshwa kwenye televisheni na kusisikika maredioni kuwa mwanafunzi bora. Wazazi wake walizipokea habari hizi kwa furaha. Karembo alihitajika kujiunga na chuo kikuu.
Karembo alijiunga na chuo kikuu kilichokuwa jijini Nairobi. Katika chuo hicho, Karembo alianza urafiki wake wa hapa na pale. Kila mtu alimfahamu yeye kabla hajamaliza hata mwezi. Alianza kubadilika polepole kuma kinyonga. Walimu walianza kumgundua na kumkanya na mapema. Kadri siku zilivyozidi kwenda Karembo alianza kuvaa mavazi yenye kuonyesha uchi wake. Alijumuika na kila mvulana wa hapo chuoni na kuhudhuria ngoma za usiku.
Walimu baada ya kupata ripoti hiyo walimuita Karembo na kumuonya kwa mara ya mwisho. Hata hivyo sikio la kufa halisikii dawa. Maji yalizidi unga na tabia ya Karembo kusikitisha mno. Wazazi wake hawakuamini habari hizo waliposikia. Walijaribu kumpa mawaidha ya hapa na pale na Karembo akaahidi kubadilika. Ama, kweli! Tabia ni ngozi ya mwili na huyo basi Karembo aliacha chuo na kwenda kukodi nje.
Karembo kila mahali aliambatana na wanaume wa kila aina. Alijihusisha katika kitendo cha ukahaba. Wazazi wake walipogundua walikata uhusiano baina yake na yao. Siku moja Karembo alishikwa na homa kali na kuenda hospitalini akapimwa magonjwa yote kwa bahati mbaya majibu yalipotoka hayakuwa mazuri. Karembo alipatikana anauguwa ugonjwa wa Ukimwi. Alitiririkwa na machozi njia mbili mbili.
Hakuwa tena na pakuenda. Marafiki wake walimkana na kumkejeli. Karembo alianza kudhohofika kiafya na kukonda na kukonde na hakuwa tena na makumuuguza wala wa kumliwaza. Alitamani ardhi ipasuke lakini wapi, maji yakimwagika hayazoleki na asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Mtoto wao aliitwa nani | {
"text": [
"Karembo"
]
} |
3185_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote asyesikiliza maneno anayo ambiwa na wakubwa wake hivyo basi mbeleni anaweza kupatwa na shida. Methali hii inaweza kutumiwa kwa mzazi au mtu fulani anamuonya mwenye kutenda kosa hilo akijaribu kumrekebisha. Sasa tunapata insha hii ya asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hapo jadi na judua ng paliishi wanandoa wawili ambaye ni Bwana Juma na Bi Zuhura. Wawili hawa walitamani kupata mtoto lakini mungu aliwaitikia kilio chao na bahati nzuri wakajaliwa kupata mtoto. Mtoto huyo aliitwa Karembo. Karembo alijawa na urembo kama lilivyo jina lake. Wazazi wake walimpa malezi ya hali ya juu kama alivyotaka. Karembo alipokuwa shule ya msingi, alikuwa bingwa darasani. Aliweza kufaulu kila mara.
Karembo aliweza kuibuka wa kwanza katika mtihani wake wa darasa la nane. Aliweza kujiunga na kidato cha pili. Matokeo haya yalimfanya kujizolea sifa kochokocho. Kila apitapo alijizolea sifa. Wazazi wake walimpongeza na kumshauri kila mara afuate miendo mazuri. Katika shule ya upili alipendwa na kila mtu si mwalimu si wanafunzi. Kila mtihani alioufanya kama kawaida yake aliibuka bingwa wa darasa. Kadri alipozidi kupita alianza maringo.
Baada ya miaka kadhaa Karembo alitarajiwa kufanya mtihani wake wa kidato cha nne. Bwana Juma na Bi Zuhura walizidisha maombi yao ya kumtakia kila jema Karembo. Karembo alimaliza mtihani wake nakusubiri majibu. Baada ya muda mchache majibu ulitolewa na kama desturi yake Karembo alionyeshwa kwenye televisheni na kusisikika maredioni kuwa mwanafunzi bora. Wazazi wake walizipokea habari hizi kwa furaha. Karembo alihitajika kujiunga na chuo kikuu.
Karembo alijiunga na chuo kikuu kilichokuwa jijini Nairobi. Katika chuo hicho, Karembo alianza urafiki wake wa hapa na pale. Kila mtu alimfahamu yeye kabla hajamaliza hata mwezi. Alianza kubadilika polepole kuma kinyonga. Walimu walianza kumgundua na kumkanya na mapema. Kadri siku zilivyozidi kwenda Karembo alianza kuvaa mavazi yenye kuonyesha uchi wake. Alijumuika na kila mvulana wa hapo chuoni na kuhudhuria ngoma za usiku.
Walimu baada ya kupata ripoti hiyo walimuita Karembo na kumuonya kwa mara ya mwisho. Hata hivyo sikio la kufa halisikii dawa. Maji yalizidi unga na tabia ya Karembo kusikitisha mno. Wazazi wake hawakuamini habari hizo waliposikia. Walijaribu kumpa mawaidha ya hapa na pale na Karembo akaahidi kubadilika. Ama, kweli! Tabia ni ngozi ya mwili na huyo basi Karembo aliacha chuo na kwenda kukodi nje.
Karembo kila mahali aliambatana na wanaume wa kila aina. Alijihusisha katika kitendo cha ukahaba. Wazazi wake walipogundua walikata uhusiano baina yake na yao. Siku moja Karembo alishikwa na homa kali na kuenda hospitalini akapimwa magonjwa yote kwa bahati mbaya majibu yalipotoka hayakuwa mazuri. Karembo alipatikana anauguwa ugonjwa wa Ukimwi. Alitiririkwa na machozi njia mbili mbili.
Hakuwa tena na pakuenda. Marafiki wake walimkana na kumkejeli. Karembo alianza kudhohofika kiafya na kukonda na kukonde na hakuwa tena na makumuuguza wala wa kumliwaza. Alitamani ardhi ipasuke lakini wapi, maji yakimwagika hayazoleki na asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Karembo alikuwa wa ngapi katika mtihani | {
"text": [
"wa kwanza"
]
} |
3185_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote asyesikiliza maneno anayo ambiwa na wakubwa wake hivyo basi mbeleni anaweza kupatwa na shida. Methali hii inaweza kutumiwa kwa mzazi au mtu fulani anamuonya mwenye kutenda kosa hilo akijaribu kumrekebisha. Sasa tunapata insha hii ya asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hapo jadi na judua ng paliishi wanandoa wawili ambaye ni Bwana Juma na Bi Zuhura. Wawili hawa walitamani kupata mtoto lakini mungu aliwaitikia kilio chao na bahati nzuri wakajaliwa kupata mtoto. Mtoto huyo aliitwa Karembo. Karembo alijawa na urembo kama lilivyo jina lake. Wazazi wake walimpa malezi ya hali ya juu kama alivyotaka. Karembo alipokuwa shule ya msingi, alikuwa bingwa darasani. Aliweza kufaulu kila mara.
Karembo aliweza kuibuka wa kwanza katika mtihani wake wa darasa la nane. Aliweza kujiunga na kidato cha pili. Matokeo haya yalimfanya kujizolea sifa kochokocho. Kila apitapo alijizolea sifa. Wazazi wake walimpongeza na kumshauri kila mara afuate miendo mazuri. Katika shule ya upili alipendwa na kila mtu si mwalimu si wanafunzi. Kila mtihani alioufanya kama kawaida yake aliibuka bingwa wa darasa. Kadri alipozidi kupita alianza maringo.
Baada ya miaka kadhaa Karembo alitarajiwa kufanya mtihani wake wa kidato cha nne. Bwana Juma na Bi Zuhura walizidisha maombi yao ya kumtakia kila jema Karembo. Karembo alimaliza mtihani wake nakusubiri majibu. Baada ya muda mchache majibu ulitolewa na kama desturi yake Karembo alionyeshwa kwenye televisheni na kusisikika maredioni kuwa mwanafunzi bora. Wazazi wake walizipokea habari hizi kwa furaha. Karembo alihitajika kujiunga na chuo kikuu.
Karembo alijiunga na chuo kikuu kilichokuwa jijini Nairobi. Katika chuo hicho, Karembo alianza urafiki wake wa hapa na pale. Kila mtu alimfahamu yeye kabla hajamaliza hata mwezi. Alianza kubadilika polepole kuma kinyonga. Walimu walianza kumgundua na kumkanya na mapema. Kadri siku zilivyozidi kwenda Karembo alianza kuvaa mavazi yenye kuonyesha uchi wake. Alijumuika na kila mvulana wa hapo chuoni na kuhudhuria ngoma za usiku.
Walimu baada ya kupata ripoti hiyo walimuita Karembo na kumuonya kwa mara ya mwisho. Hata hivyo sikio la kufa halisikii dawa. Maji yalizidi unga na tabia ya Karembo kusikitisha mno. Wazazi wake hawakuamini habari hizo waliposikia. Walijaribu kumpa mawaidha ya hapa na pale na Karembo akaahidi kubadilika. Ama, kweli! Tabia ni ngozi ya mwili na huyo basi Karembo aliacha chuo na kwenda kukodi nje.
Karembo kila mahali aliambatana na wanaume wa kila aina. Alijihusisha katika kitendo cha ukahaba. Wazazi wake walipogundua walikata uhusiano baina yake na yao. Siku moja Karembo alishikwa na homa kali na kuenda hospitalini akapimwa magonjwa yote kwa bahati mbaya majibu yalipotoka hayakuwa mazuri. Karembo alipatikana anauguwa ugonjwa wa Ukimwi. Alitiririkwa na machozi njia mbili mbili.
Hakuwa tena na pakuenda. Marafiki wake walimkana na kumkejeli. Karembo alianza kudhohofika kiafya na kukonda na kukonde na hakuwa tena na makumuuguza wala wa kumliwaza. Alitamani ardhi ipasuke lakini wapi, maji yakimwagika hayazoleki na asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Karembo alisikika wapi kuwa mwanafunzi bora | {
"text": [
"maredioni"
]
} |
3185_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote asyesikiliza maneno anayo ambiwa na wakubwa wake hivyo basi mbeleni anaweza kupatwa na shida. Methali hii inaweza kutumiwa kwa mzazi au mtu fulani anamuonya mwenye kutenda kosa hilo akijaribu kumrekebisha. Sasa tunapata insha hii ya asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hapo jadi na judua ng paliishi wanandoa wawili ambaye ni Bwana Juma na Bi Zuhura. Wawili hawa walitamani kupata mtoto lakini mungu aliwaitikia kilio chao na bahati nzuri wakajaliwa kupata mtoto. Mtoto huyo aliitwa Karembo. Karembo alijawa na urembo kama lilivyo jina lake. Wazazi wake walimpa malezi ya hali ya juu kama alivyotaka. Karembo alipokuwa shule ya msingi, alikuwa bingwa darasani. Aliweza kufaulu kila mara.
Karembo aliweza kuibuka wa kwanza katika mtihani wake wa darasa la nane. Aliweza kujiunga na kidato cha pili. Matokeo haya yalimfanya kujizolea sifa kochokocho. Kila apitapo alijizolea sifa. Wazazi wake walimpongeza na kumshauri kila mara afuate miendo mazuri. Katika shule ya upili alipendwa na kila mtu si mwalimu si wanafunzi. Kila mtihani alioufanya kama kawaida yake aliibuka bingwa wa darasa. Kadri alipozidi kupita alianza maringo.
Baada ya miaka kadhaa Karembo alitarajiwa kufanya mtihani wake wa kidato cha nne. Bwana Juma na Bi Zuhura walizidisha maombi yao ya kumtakia kila jema Karembo. Karembo alimaliza mtihani wake nakusubiri majibu. Baada ya muda mchache majibu ulitolewa na kama desturi yake Karembo alionyeshwa kwenye televisheni na kusisikika maredioni kuwa mwanafunzi bora. Wazazi wake walizipokea habari hizi kwa furaha. Karembo alihitajika kujiunga na chuo kikuu.
Karembo alijiunga na chuo kikuu kilichokuwa jijini Nairobi. Katika chuo hicho, Karembo alianza urafiki wake wa hapa na pale. Kila mtu alimfahamu yeye kabla hajamaliza hata mwezi. Alianza kubadilika polepole kuma kinyonga. Walimu walianza kumgundua na kumkanya na mapema. Kadri siku zilivyozidi kwenda Karembo alianza kuvaa mavazi yenye kuonyesha uchi wake. Alijumuika na kila mvulana wa hapo chuoni na kuhudhuria ngoma za usiku.
Walimu baada ya kupata ripoti hiyo walimuita Karembo na kumuonya kwa mara ya mwisho. Hata hivyo sikio la kufa halisikii dawa. Maji yalizidi unga na tabia ya Karembo kusikitisha mno. Wazazi wake hawakuamini habari hizo waliposikia. Walijaribu kumpa mawaidha ya hapa na pale na Karembo akaahidi kubadilika. Ama, kweli! Tabia ni ngozi ya mwili na huyo basi Karembo aliacha chuo na kwenda kukodi nje.
Karembo kila mahali aliambatana na wanaume wa kila aina. Alijihusisha katika kitendo cha ukahaba. Wazazi wake walipogundua walikata uhusiano baina yake na yao. Siku moja Karembo alishikwa na homa kali na kuenda hospitalini akapimwa magonjwa yote kwa bahati mbaya majibu yalipotoka hayakuwa mazuri. Karembo alipatikana anauguwa ugonjwa wa Ukimwi. Alitiririkwa na machozi njia mbili mbili.
Hakuwa tena na pakuenda. Marafiki wake walimkana na kumkejeli. Karembo alianza kudhohofika kiafya na kukonda na kukonde na hakuwa tena na makumuuguza wala wa kumliwaza. Alitamani ardhi ipasuke lakini wapi, maji yakimwagika hayazoleki na asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. | Walimu walimuita lini Karembo na kumwonya | {
"text": [
"baada ya kupata ripoti hiyo"
]
} |
3186_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni aina za mitandao mbalimbali ambazo hurahisisha kufanya vitu. Hivyo basi teknolojia ina umuhimu na madhara yake aina ainati. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta mambo mbalimbali kwenye masomo na kurahisisha wanafunzi kazi zao.
Hata hivyo, imeleta kikokotozi ambacho wanafunzi hutumia kufanyia somo la hisabati na | Kemia pia katika kutafuta au kuweka vitu jumla, pia imeleta tarakilishi ambayo hutumiwa na walimu kufundisha wanafunzi wao. Hivyo basi hurahisisha walimu kazi na pia wanafunzi.
Teknolojia pia imeleta kamera ambayo watu hutumia kutazama wanafunzi wakifanya vitendo
vibaya shuleni kama wezi na pia wale wanaotoroka shuleni kwa kwenda mjini kujivinjari na watu kama vile wasichana wanaotoroka na wanaume wao. Pia huonyesha wanafunzi kutongozwa na walimu ofisini kwa sababu kitendo hicho huonekana na mwalimu mkuu na kuweza kufutwa kazi.
Teknolojia imeleta pia madhara mbalimbili kwa wanafunzi wa sekondari. Siku hizi wanafunzi hawasomi kama vile kitambo kwa sababu ya teknolojia kama vile tarakilishi. Wanafunzi wengi huangalia mambo mabaya kama vile ponografia. Kutazama hivyo basi imesababisha mimba za mapema kwa watoto wa sekondari nao kuacha shule mapema.
Hata hivyo teknolojia imeleta simu za mitandao kuibuka kwa Facebook,WhatsApp ambayo Wanafunzi hutumia kujiingiza kwa mambo mabaya kama vile wezi kwa kutumia simu kuwasiliana na watu mbalimbali wanaowapata Facebook. Pia runinga imeharibu wanafunzi wengi kwa kujiingiza kwa vile vitendo wanavyoviona kwenye runinga kama vile nyimbo watu wanapocheza kwenye runinga.
Mbali na hayo, runinga imeharibu wanafunzi kwa video wanavyoviangalia kwenye runinga kwa mfano kuuwana na pia kufanya vitendo vya ngono. Hii imeleta kuzorota kwa masomo ya wanafunzi wa sekondari. | Teknolojia ina nini | {
"text": [
"Madhara na umuhimu"
]
} |
3186_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni aina za mitandao mbalimbali ambazo hurahisisha kufanya vitu. Hivyo basi teknolojia ina umuhimu na madhara yake aina ainati. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta mambo mbalimbali kwenye masomo na kurahisisha wanafunzi kazi zao.
Hata hivyo, imeleta kikokotozi ambacho wanafunzi hutumia kufanyia somo la hisabati na | Kemia pia katika kutafuta au kuweka vitu jumla, pia imeleta tarakilishi ambayo hutumiwa na walimu kufundisha wanafunzi wao. Hivyo basi hurahisisha walimu kazi na pia wanafunzi.
Teknolojia pia imeleta kamera ambayo watu hutumia kutazama wanafunzi wakifanya vitendo
vibaya shuleni kama wezi na pia wale wanaotoroka shuleni kwa kwenda mjini kujivinjari na watu kama vile wasichana wanaotoroka na wanaume wao. Pia huonyesha wanafunzi kutongozwa na walimu ofisini kwa sababu kitendo hicho huonekana na mwalimu mkuu na kuweza kufutwa kazi.
Teknolojia imeleta pia madhara mbalimbili kwa wanafunzi wa sekondari. Siku hizi wanafunzi hawasomi kama vile kitambo kwa sababu ya teknolojia kama vile tarakilishi. Wanafunzi wengi huangalia mambo mabaya kama vile ponografia. Kutazama hivyo basi imesababisha mimba za mapema kwa watoto wa sekondari nao kuacha shule mapema.
Hata hivyo teknolojia imeleta simu za mitandao kuibuka kwa Facebook,WhatsApp ambayo Wanafunzi hutumia kujiingiza kwa mambo mabaya kama vile wezi kwa kutumia simu kuwasiliana na watu mbalimbali wanaowapata Facebook. Pia runinga imeharibu wanafunzi wengi kwa kujiingiza kwa vile vitendo wanavyoviona kwenye runinga kama vile nyimbo watu wanapocheza kwenye runinga.
Mbali na hayo, runinga imeharibu wanafunzi kwa video wanavyoviangalia kwenye runinga kwa mfano kuuwana na pia kufanya vitendo vya ngono. Hii imeleta kuzorota kwa masomo ya wanafunzi wa sekondari. | Teknolojia imeleta kikokotozi ambacho hutumika katika masomo yapi | {
"text": [
"Hisabati na kemia"
]
} |
3186_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni aina za mitandao mbalimbali ambazo hurahisisha kufanya vitu. Hivyo basi teknolojia ina umuhimu na madhara yake aina ainati. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta mambo mbalimbali kwenye masomo na kurahisisha wanafunzi kazi zao.
Hata hivyo, imeleta kikokotozi ambacho wanafunzi hutumia kufanyia somo la hisabati na | Kemia pia katika kutafuta au kuweka vitu jumla, pia imeleta tarakilishi ambayo hutumiwa na walimu kufundisha wanafunzi wao. Hivyo basi hurahisisha walimu kazi na pia wanafunzi.
Teknolojia pia imeleta kamera ambayo watu hutumia kutazama wanafunzi wakifanya vitendo
vibaya shuleni kama wezi na pia wale wanaotoroka shuleni kwa kwenda mjini kujivinjari na watu kama vile wasichana wanaotoroka na wanaume wao. Pia huonyesha wanafunzi kutongozwa na walimu ofisini kwa sababu kitendo hicho huonekana na mwalimu mkuu na kuweza kufutwa kazi.
Teknolojia imeleta pia madhara mbalimbili kwa wanafunzi wa sekondari. Siku hizi wanafunzi hawasomi kama vile kitambo kwa sababu ya teknolojia kama vile tarakilishi. Wanafunzi wengi huangalia mambo mabaya kama vile ponografia. Kutazama hivyo basi imesababisha mimba za mapema kwa watoto wa sekondari nao kuacha shule mapema.
Hata hivyo teknolojia imeleta simu za mitandao kuibuka kwa Facebook,WhatsApp ambayo Wanafunzi hutumia kujiingiza kwa mambo mabaya kama vile wezi kwa kutumia simu kuwasiliana na watu mbalimbali wanaowapata Facebook. Pia runinga imeharibu wanafunzi wengi kwa kujiingiza kwa vile vitendo wanavyoviona kwenye runinga kama vile nyimbo watu wanapocheza kwenye runinga.
Mbali na hayo, runinga imeharibu wanafunzi kwa video wanavyoviangalia kwenye runinga kwa mfano kuuwana na pia kufanya vitendo vya ngono. Hii imeleta kuzorota kwa masomo ya wanafunzi wa sekondari. | Tarakishi imeleta mambo yapi mabaya yanayoambatana na teknolojia | {
"text": [
"Mimba za mapema kwa wanafunzi baadaya ya kutazama picha"
]
} |
3186_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni aina za mitandao mbalimbali ambazo hurahisisha kufanya vitu. Hivyo basi teknolojia ina umuhimu na madhara yake aina ainati. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta mambo mbalimbali kwenye masomo na kurahisisha wanafunzi kazi zao.
Hata hivyo, imeleta kikokotozi ambacho wanafunzi hutumia kufanyia somo la hisabati na | Kemia pia katika kutafuta au kuweka vitu jumla, pia imeleta tarakilishi ambayo hutumiwa na walimu kufundisha wanafunzi wao. Hivyo basi hurahisisha walimu kazi na pia wanafunzi.
Teknolojia pia imeleta kamera ambayo watu hutumia kutazama wanafunzi wakifanya vitendo
vibaya shuleni kama wezi na pia wale wanaotoroka shuleni kwa kwenda mjini kujivinjari na watu kama vile wasichana wanaotoroka na wanaume wao. Pia huonyesha wanafunzi kutongozwa na walimu ofisini kwa sababu kitendo hicho huonekana na mwalimu mkuu na kuweza kufutwa kazi.
Teknolojia imeleta pia madhara mbalimbili kwa wanafunzi wa sekondari. Siku hizi wanafunzi hawasomi kama vile kitambo kwa sababu ya teknolojia kama vile tarakilishi. Wanafunzi wengi huangalia mambo mabaya kama vile ponografia. Kutazama hivyo basi imesababisha mimba za mapema kwa watoto wa sekondari nao kuacha shule mapema.
Hata hivyo teknolojia imeleta simu za mitandao kuibuka kwa Facebook,WhatsApp ambayo Wanafunzi hutumia kujiingiza kwa mambo mabaya kama vile wezi kwa kutumia simu kuwasiliana na watu mbalimbali wanaowapata Facebook. Pia runinga imeharibu wanafunzi wengi kwa kujiingiza kwa vile vitendo wanavyoviona kwenye runinga kama vile nyimbo watu wanapocheza kwenye runinga.
Mbali na hayo, runinga imeharibu wanafunzi kwa video wanavyoviangalia kwenye runinga kwa mfano kuuwana na pia kufanya vitendo vya ngono. Hii imeleta kuzorota kwa masomo ya wanafunzi wa sekondari. | Habari hii inahusu nini | {
"text": [
"Faida na madhara ya teknolojia"
]
} |
3186_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni aina za mitandao mbalimbali ambazo hurahisisha kufanya vitu. Hivyo basi teknolojia ina umuhimu na madhara yake aina ainati. Katika shule za sekondari teknolojia imeleta mambo mbalimbali kwenye masomo na kurahisisha wanafunzi kazi zao.
Hata hivyo, imeleta kikokotozi ambacho wanafunzi hutumia kufanyia somo la hisabati na | Kemia pia katika kutafuta au kuweka vitu jumla, pia imeleta tarakilishi ambayo hutumiwa na walimu kufundisha wanafunzi wao. Hivyo basi hurahisisha walimu kazi na pia wanafunzi.
Teknolojia pia imeleta kamera ambayo watu hutumia kutazama wanafunzi wakifanya vitendo
vibaya shuleni kama wezi na pia wale wanaotoroka shuleni kwa kwenda mjini kujivinjari na watu kama vile wasichana wanaotoroka na wanaume wao. Pia huonyesha wanafunzi kutongozwa na walimu ofisini kwa sababu kitendo hicho huonekana na mwalimu mkuu na kuweza kufutwa kazi.
Teknolojia imeleta pia madhara mbalimbili kwa wanafunzi wa sekondari. Siku hizi wanafunzi hawasomi kama vile kitambo kwa sababu ya teknolojia kama vile tarakilishi. Wanafunzi wengi huangalia mambo mabaya kama vile ponografia. Kutazama hivyo basi imesababisha mimba za mapema kwa watoto wa sekondari nao kuacha shule mapema.
Hata hivyo teknolojia imeleta simu za mitandao kuibuka kwa Facebook,WhatsApp ambayo Wanafunzi hutumia kujiingiza kwa mambo mabaya kama vile wezi kwa kutumia simu kuwasiliana na watu mbalimbali wanaowapata Facebook. Pia runinga imeharibu wanafunzi wengi kwa kujiingiza kwa vile vitendo wanavyoviona kwenye runinga kama vile nyimbo watu wanapocheza kwenye runinga.
Mbali na hayo, runinga imeharibu wanafunzi kwa video wanavyoviangalia kwenye runinga kwa mfano kuuwana na pia kufanya vitendo vya ngono. Hii imeleta kuzorota kwa masomo ya wanafunzi wa sekondari. | Teknolojia imeleta nini | {
"text": [
"Simu za mitandao"
]
} |
3187_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kwamba mtu anayeamriwa na wavyele wake na kukataa maneno ya wavyele mwishowe mambo huja yakamwendea mrama. Pia inalingana na ile methali isemayo majuto ni mjukuu huja baada ya maovo. Methali hii inatumiwa pale wavyele wanapokanya wadogo wao kutia maskio yao nta kwa kutosikia na kuwadharau wavyele wao. Safia alikuwa msichana wa umri wa miaka kumi na sita katika kidato cha pili.
Safia alikuwa mrembo sisemi zuhura kwani alikuwa na macho ya gololi ambayo alipokutazama ungetamani akutazame tena. Alikuwa ameumbwa akaumbika kwani alikuwa sura ya duara
iliyopendeza na mwenye maji ya kunde. Aliumbwa na kujaliwa si haba alikuwa akitembea utatamani atembee tena kwa mwendo wake wa asteaste.
Hata hivyo, mbali na uzuri wake alikuwa mzuri hadi masomoni kwani alikuwa akiibuka mshindi. Si haba, walimu walimpenda kama chanda na pete shuleni. Muda si muda alianza kudoroa kwenye masomo kwani alijivunia kwa uzuri aliokuwa nao.
Hivyo basi alianza kuwa na wanaume kwenye kijiji chao kwani urembo wake uliwavutia wengi. Wazazi wake walimketisha na kumkanya lakini alikuwa ameyatia masikio yake nta.
Hakuweza kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alimuona mzazi wake kama
kondoo na yeye kujiona anajua zaidi yake.
Kila siku Safia alikuwa akitoka na mwanaume na kwenda kustarehe. Baada ya miezi miwili, Safia alianza kukonda na kukondeana na kuwa kama sindano. Alirudi nyumbani kwao bila chochote wala lolote na hakuweza kupendwa tena kwani umbo lake lililovutia wanaume lilikuwa limeisha.
Muda si muda, hapo nyumbani kwao alianza kuendesha na hivyo basi alienda hospitali ili akapate matibabu. Huko hospitali alipimwa na daktari na kupatikana na ugonjwa wa ukimwi Alirudi nyumbani huku akiwa na huzuni tele lakini wahenga hawakukosea waliponena majuto ni mjukuu huja baadaye. Safia alizidi kukonda si haba kwani alikonda sindano kando na kuwa si Safia tena yule alijulikana na kutambulika kama jua. Pale kitandani chao cha mwakisi aliwaza na kuwazua jinsi akina Rama alivyokuwa akistarehe nao naye hakumudu bali aliaga dunia na kwenda aheri.
Wazazi wa Safia walisikitika sana kwani walikuwa wamemueka shuleni Safia ili aweze kubadilisha boma na kuvunja umaskini wao. Lakini naye Safia hakuweza kuwasikiza wazazi wake. Wahenga na wahenguzi hawakuenda kombo waliponena mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Kwani Safia alijitakia mwenyewe.
Wazazi wa Safia walizidi kuteseka kwani walikuwa na mtoto huyo mmoja tu na hivyo basi kisa hiki kinatufunza kuwa kama watoto tunapaswa tuheshimu wayyele wetu kwa chochote wanachotuambia na pia tusiwadharau. | Mtu anayekataa maneno ya wavyele wake mwishowe mambo humuendea vipi | {
"text": [
"Mrama"
]
} |
3187_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kwamba mtu anayeamriwa na wavyele wake na kukataa maneno ya wavyele mwishowe mambo huja yakamwendea mrama. Pia inalingana na ile methali isemayo majuto ni mjukuu huja baada ya maovo. Methali hii inatumiwa pale wavyele wanapokanya wadogo wao kutia maskio yao nta kwa kutosikia na kuwadharau wavyele wao. Safia alikuwa msichana wa umri wa miaka kumi na sita katika kidato cha pili.
Safia alikuwa mrembo sisemi zuhura kwani alikuwa na macho ya gololi ambayo alipokutazama ungetamani akutazame tena. Alikuwa ameumbwa akaumbika kwani alikuwa sura ya duara
iliyopendeza na mwenye maji ya kunde. Aliumbwa na kujaliwa si haba alikuwa akitembea utatamani atembee tena kwa mwendo wake wa asteaste.
Hata hivyo, mbali na uzuri wake alikuwa mzuri hadi masomoni kwani alikuwa akiibuka mshindi. Si haba, walimu walimpenda kama chanda na pete shuleni. Muda si muda alianza kudoroa kwenye masomo kwani alijivunia kwa uzuri aliokuwa nao.
Hivyo basi alianza kuwa na wanaume kwenye kijiji chao kwani urembo wake uliwavutia wengi. Wazazi wake walimketisha na kumkanya lakini alikuwa ameyatia masikio yake nta.
Hakuweza kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alimuona mzazi wake kama
kondoo na yeye kujiona anajua zaidi yake.
Kila siku Safia alikuwa akitoka na mwanaume na kwenda kustarehe. Baada ya miezi miwili, Safia alianza kukonda na kukondeana na kuwa kama sindano. Alirudi nyumbani kwao bila chochote wala lolote na hakuweza kupendwa tena kwani umbo lake lililovutia wanaume lilikuwa limeisha.
Muda si muda, hapo nyumbani kwao alianza kuendesha na hivyo basi alienda hospitali ili akapate matibabu. Huko hospitali alipimwa na daktari na kupatikana na ugonjwa wa ukimwi Alirudi nyumbani huku akiwa na huzuni tele lakini wahenga hawakukosea waliponena majuto ni mjukuu huja baadaye. Safia alizidi kukonda si haba kwani alikonda sindano kando na kuwa si Safia tena yule alijulikana na kutambulika kama jua. Pale kitandani chao cha mwakisi aliwaza na kuwazua jinsi akina Rama alivyokuwa akistarehe nao naye hakumudu bali aliaga dunia na kwenda aheri.
Wazazi wa Safia walisikitika sana kwani walikuwa wamemueka shuleni Safia ili aweze kubadilisha boma na kuvunja umaskini wao. Lakini naye Safia hakuweza kuwasikiza wazazi wake. Wahenga na wahenguzi hawakuenda kombo waliponena mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Kwani Safia alijitakia mwenyewe.
Wazazi wa Safia walizidi kuteseka kwani walikuwa na mtoto huyo mmoja tu na hivyo basi kisa hiki kinatufunza kuwa kama watoto tunapaswa tuheshimu wayyele wetu kwa chochote wanachotuambia na pia tusiwadharau. | Safia alikuwa katika kidato cha ngapi | {
"text": [
"Pili"
]
} |
3187_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kwamba mtu anayeamriwa na wavyele wake na kukataa maneno ya wavyele mwishowe mambo huja yakamwendea mrama. Pia inalingana na ile methali isemayo majuto ni mjukuu huja baada ya maovo. Methali hii inatumiwa pale wavyele wanapokanya wadogo wao kutia maskio yao nta kwa kutosikia na kuwadharau wavyele wao. Safia alikuwa msichana wa umri wa miaka kumi na sita katika kidato cha pili.
Safia alikuwa mrembo sisemi zuhura kwani alikuwa na macho ya gololi ambayo alipokutazama ungetamani akutazame tena. Alikuwa ameumbwa akaumbika kwani alikuwa sura ya duara
iliyopendeza na mwenye maji ya kunde. Aliumbwa na kujaliwa si haba alikuwa akitembea utatamani atembee tena kwa mwendo wake wa asteaste.
Hata hivyo, mbali na uzuri wake alikuwa mzuri hadi masomoni kwani alikuwa akiibuka mshindi. Si haba, walimu walimpenda kama chanda na pete shuleni. Muda si muda alianza kudoroa kwenye masomo kwani alijivunia kwa uzuri aliokuwa nao.
Hivyo basi alianza kuwa na wanaume kwenye kijiji chao kwani urembo wake uliwavutia wengi. Wazazi wake walimketisha na kumkanya lakini alikuwa ameyatia masikio yake nta.
Hakuweza kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alimuona mzazi wake kama
kondoo na yeye kujiona anajua zaidi yake.
Kila siku Safia alikuwa akitoka na mwanaume na kwenda kustarehe. Baada ya miezi miwili, Safia alianza kukonda na kukondeana na kuwa kama sindano. Alirudi nyumbani kwao bila chochote wala lolote na hakuweza kupendwa tena kwani umbo lake lililovutia wanaume lilikuwa limeisha.
Muda si muda, hapo nyumbani kwao alianza kuendesha na hivyo basi alienda hospitali ili akapate matibabu. Huko hospitali alipimwa na daktari na kupatikana na ugonjwa wa ukimwi Alirudi nyumbani huku akiwa na huzuni tele lakini wahenga hawakukosea waliponena majuto ni mjukuu huja baadaye. Safia alizidi kukonda si haba kwani alikonda sindano kando na kuwa si Safia tena yule alijulikana na kutambulika kama jua. Pale kitandani chao cha mwakisi aliwaza na kuwazua jinsi akina Rama alivyokuwa akistarehe nao naye hakumudu bali aliaga dunia na kwenda aheri.
Wazazi wa Safia walisikitika sana kwani walikuwa wamemueka shuleni Safia ili aweze kubadilisha boma na kuvunja umaskini wao. Lakini naye Safia hakuweza kuwasikiza wazazi wake. Wahenga na wahenguzi hawakuenda kombo waliponena mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Kwani Safia alijitakia mwenyewe.
Wazazi wa Safia walizidi kuteseka kwani walikuwa na mtoto huyo mmoja tu na hivyo basi kisa hiki kinatufunza kuwa kama watoto tunapaswa tuheshimu wayyele wetu kwa chochote wanachotuambia na pia tusiwadharau. | Nani alikuwa mrembo | {
"text": [
"Safia"
]
} |
3187_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kwamba mtu anayeamriwa na wavyele wake na kukataa maneno ya wavyele mwishowe mambo huja yakamwendea mrama. Pia inalingana na ile methali isemayo majuto ni mjukuu huja baada ya maovo. Methali hii inatumiwa pale wavyele wanapokanya wadogo wao kutia maskio yao nta kwa kutosikia na kuwadharau wavyele wao. Safia alikuwa msichana wa umri wa miaka kumi na sita katika kidato cha pili.
Safia alikuwa mrembo sisemi zuhura kwani alikuwa na macho ya gololi ambayo alipokutazama ungetamani akutazame tena. Alikuwa ameumbwa akaumbika kwani alikuwa sura ya duara
iliyopendeza na mwenye maji ya kunde. Aliumbwa na kujaliwa si haba alikuwa akitembea utatamani atembee tena kwa mwendo wake wa asteaste.
Hata hivyo, mbali na uzuri wake alikuwa mzuri hadi masomoni kwani alikuwa akiibuka mshindi. Si haba, walimu walimpenda kama chanda na pete shuleni. Muda si muda alianza kudoroa kwenye masomo kwani alijivunia kwa uzuri aliokuwa nao.
Hivyo basi alianza kuwa na wanaume kwenye kijiji chao kwani urembo wake uliwavutia wengi. Wazazi wake walimketisha na kumkanya lakini alikuwa ameyatia masikio yake nta.
Hakuweza kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alimuona mzazi wake kama
kondoo na yeye kujiona anajua zaidi yake.
Kila siku Safia alikuwa akitoka na mwanaume na kwenda kustarehe. Baada ya miezi miwili, Safia alianza kukonda na kukondeana na kuwa kama sindano. Alirudi nyumbani kwao bila chochote wala lolote na hakuweza kupendwa tena kwani umbo lake lililovutia wanaume lilikuwa limeisha.
Muda si muda, hapo nyumbani kwao alianza kuendesha na hivyo basi alienda hospitali ili akapate matibabu. Huko hospitali alipimwa na daktari na kupatikana na ugonjwa wa ukimwi Alirudi nyumbani huku akiwa na huzuni tele lakini wahenga hawakukosea waliponena majuto ni mjukuu huja baadaye. Safia alizidi kukonda si haba kwani alikonda sindano kando na kuwa si Safia tena yule alijulikana na kutambulika kama jua. Pale kitandani chao cha mwakisi aliwaza na kuwazua jinsi akina Rama alivyokuwa akistarehe nao naye hakumudu bali aliaga dunia na kwenda aheri.
Wazazi wa Safia walisikitika sana kwani walikuwa wamemueka shuleni Safia ili aweze kubadilisha boma na kuvunja umaskini wao. Lakini naye Safia hakuweza kuwasikiza wazazi wake. Wahenga na wahenguzi hawakuenda kombo waliponena mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Kwani Safia alijitakia mwenyewe.
Wazazi wa Safia walizidi kuteseka kwani walikuwa na mtoto huyo mmoja tu na hivyo basi kisa hiki kinatufunza kuwa kama watoto tunapaswa tuheshimu wayyele wetu kwa chochote wanachotuambia na pia tusiwadharau. | Nani alianza kukonda baada ya miezi miwili | {
"text": [
"Safia"
]
} |
3187_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii ina maana kwamba mtu anayeamriwa na wavyele wake na kukataa maneno ya wavyele mwishowe mambo huja yakamwendea mrama. Pia inalingana na ile methali isemayo majuto ni mjukuu huja baada ya maovo. Methali hii inatumiwa pale wavyele wanapokanya wadogo wao kutia maskio yao nta kwa kutosikia na kuwadharau wavyele wao. Safia alikuwa msichana wa umri wa miaka kumi na sita katika kidato cha pili.
Safia alikuwa mrembo sisemi zuhura kwani alikuwa na macho ya gololi ambayo alipokutazama ungetamani akutazame tena. Alikuwa ameumbwa akaumbika kwani alikuwa sura ya duara
iliyopendeza na mwenye maji ya kunde. Aliumbwa na kujaliwa si haba alikuwa akitembea utatamani atembee tena kwa mwendo wake wa asteaste.
Hata hivyo, mbali na uzuri wake alikuwa mzuri hadi masomoni kwani alikuwa akiibuka mshindi. Si haba, walimu walimpenda kama chanda na pete shuleni. Muda si muda alianza kudoroa kwenye masomo kwani alijivunia kwa uzuri aliokuwa nao.
Hivyo basi alianza kuwa na wanaume kwenye kijiji chao kwani urembo wake uliwavutia wengi. Wazazi wake walimketisha na kumkanya lakini alikuwa ameyatia masikio yake nta.
Hakuweza kusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alimuona mzazi wake kama
kondoo na yeye kujiona anajua zaidi yake.
Kila siku Safia alikuwa akitoka na mwanaume na kwenda kustarehe. Baada ya miezi miwili, Safia alianza kukonda na kukondeana na kuwa kama sindano. Alirudi nyumbani kwao bila chochote wala lolote na hakuweza kupendwa tena kwani umbo lake lililovutia wanaume lilikuwa limeisha.
Muda si muda, hapo nyumbani kwao alianza kuendesha na hivyo basi alienda hospitali ili akapate matibabu. Huko hospitali alipimwa na daktari na kupatikana na ugonjwa wa ukimwi Alirudi nyumbani huku akiwa na huzuni tele lakini wahenga hawakukosea waliponena majuto ni mjukuu huja baadaye. Safia alizidi kukonda si haba kwani alikonda sindano kando na kuwa si Safia tena yule alijulikana na kutambulika kama jua. Pale kitandani chao cha mwakisi aliwaza na kuwazua jinsi akina Rama alivyokuwa akistarehe nao naye hakumudu bali aliaga dunia na kwenda aheri.
Wazazi wa Safia walisikitika sana kwani walikuwa wamemueka shuleni Safia ili aweze kubadilisha boma na kuvunja umaskini wao. Lakini naye Safia hakuweza kuwasikiza wazazi wake. Wahenga na wahenguzi hawakuenda kombo waliponena mwiba wa kujitakia hauambiwi pole. Kwani Safia alijitakia mwenyewe.
Wazazi wa Safia walizidi kuteseka kwani walikuwa na mtoto huyo mmoja tu na hivyo basi kisa hiki kinatufunza kuwa kama watoto tunapaswa tuheshimu wayyele wetu kwa chochote wanachotuambia na pia tusiwadharau. | Kwa nini Safia alianza kudorora katika masomo | {
"text": [
"Kwa sababu alijivunia uzuri aliokuwa nao"
]
} |
3188_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kuzuka kwa teknolojia kumeleta faida na madhara yake. Katika shule za upili kama waziitayo shule za sekondari teknolojia hii imeleta sana sana madhara. Faida zake kwa wanafunzi ni kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa kupanga ratiba za masomo kwa wanafunzi ambayo hutumiwa kumjulisha mwanafunzi kipindi kifuatacho kinasemaje.
Vilevile matumizi ya vikokotoo ambayo yamerahisishia wanafunzi kazi badala ya kuhesabu na vidole au kuchora chora vitabuni wameweza kufanya hisabati kwa urahisi wakitumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wameweza pia kusomea kupitia runinga katika masomo mengine ambayo hutumiwa kusoma kiundani zaidi. Runinga hizi zimewafanya wanafunzi wengi pia kuerevuka kiakili kwani hata yale wasiyoyajua wameweza kuyaona.
Bila ya kusahau vifaa vingine kama vile rununu ambazo wanafunzi wa shule za upili haswa walio mabwenini huzitumia kuwasiliana na wazazi wao wakati wowote watakao bila ya wao hata kuwa karibu nao. Vifaa vingine kama vile redio hutumia kusomea haswa haswa na wanafunzi wasomao masomo kama vile Kiarabu na Ufaransa.
Teknolojia pia huleta madhara kwa wanafunzi hawa ikiwamo kikokotoo ambacho kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika hisabati. Wengine wameishia kuiba mitihani kwa kutumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wengine wameishia kuwa wezi kwani vifaa hivi huwa vya thamani ya juu kwa hivyo huiba ili kuuza kupata pesa.
Teknolojia pia imewafanya wanafunzi wengine kuacha shule kwani wameona kuwa wanaweza kusoma bila walimu. Mfano, wanafunzi wanaotumia runinga kusoma hujiona wamefika. Baadhi ya wanafunzi hupitisha masomo hayo kwani wasipoachiwa mwalimu mambo hubadilika na kuwa wanafunzi huangalia ponografia badala ya kusoma.
Uharibifu wa macho kwani wanafunzi hupitisha kiwango cha kuangalia rununu hizo. Pia vifaa kama vile rununu, hupotosha wanafunzi kwani baadhi ya wanafunzi badala ya kutumia rununu hizo kuwasiliana na wazazi wao, huwapigia kama ni wavulana basi huwapigia wasichana wao badala ya kutia maanani kwenye masomo basi hukubali usumbufu.
Teknolojia imeharibu wanafunzi wetu wa sasa hata ubongo katika fikra zao kwani wameyasahau mengi wanayofunzwa na walimu darasani na kushika yale wanayofunzwa na vifaa hivi. Jinsi tutakavyo punguza madhara haya ni kuwaelimisha umuhimu na madhara ya teknolojia. | Ni nini inatumiwa kupanga ratiba ya masomo | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3188_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kuzuka kwa teknolojia kumeleta faida na madhara yake. Katika shule za upili kama waziitayo shule za sekondari teknolojia hii imeleta sana sana madhara. Faida zake kwa wanafunzi ni kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa kupanga ratiba za masomo kwa wanafunzi ambayo hutumiwa kumjulisha mwanafunzi kipindi kifuatacho kinasemaje.
Vilevile matumizi ya vikokotoo ambayo yamerahisishia wanafunzi kazi badala ya kuhesabu na vidole au kuchora chora vitabuni wameweza kufanya hisabati kwa urahisi wakitumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wameweza pia kusomea kupitia runinga katika masomo mengine ambayo hutumiwa kusoma kiundani zaidi. Runinga hizi zimewafanya wanafunzi wengi pia kuerevuka kiakili kwani hata yale wasiyoyajua wameweza kuyaona.
Bila ya kusahau vifaa vingine kama vile rununu ambazo wanafunzi wa shule za upili haswa walio mabwenini huzitumia kuwasiliana na wazazi wao wakati wowote watakao bila ya wao hata kuwa karibu nao. Vifaa vingine kama vile redio hutumia kusomea haswa haswa na wanafunzi wasomao masomo kama vile Kiarabu na Ufaransa.
Teknolojia pia huleta madhara kwa wanafunzi hawa ikiwamo kikokotoo ambacho kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika hisabati. Wengine wameishia kuiba mitihani kwa kutumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wengine wameishia kuwa wezi kwani vifaa hivi huwa vya thamani ya juu kwa hivyo huiba ili kuuza kupata pesa.
Teknolojia pia imewafanya wanafunzi wengine kuacha shule kwani wameona kuwa wanaweza kusoma bila walimu. Mfano, wanafunzi wanaotumia runinga kusoma hujiona wamefika. Baadhi ya wanafunzi hupitisha masomo hayo kwani wasipoachiwa mwalimu mambo hubadilika na kuwa wanafunzi huangalia ponografia badala ya kusoma.
Uharibifu wa macho kwani wanafunzi hupitisha kiwango cha kuangalia rununu hizo. Pia vifaa kama vile rununu, hupotosha wanafunzi kwani baadhi ya wanafunzi badala ya kutumia rununu hizo kuwasiliana na wazazi wao, huwapigia kama ni wavulana basi huwapigia wasichana wao badala ya kutia maanani kwenye masomo basi hukubali usumbufu.
Teknolojia imeharibu wanafunzi wetu wa sasa hata ubongo katika fikra zao kwani wameyasahau mengi wanayofunzwa na walimu darasani na kushika yale wanayofunzwa na vifaa hivi. Jinsi tutakavyo punguza madhara haya ni kuwaelimisha umuhimu na madhara ya teknolojia. | Ni nini husaidia kufanya hesabu kwa urahisi | {
"text": [
"Vikokotoo"
]
} |
3188_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kuzuka kwa teknolojia kumeleta faida na madhara yake. Katika shule za upili kama waziitayo shule za sekondari teknolojia hii imeleta sana sana madhara. Faida zake kwa wanafunzi ni kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa kupanga ratiba za masomo kwa wanafunzi ambayo hutumiwa kumjulisha mwanafunzi kipindi kifuatacho kinasemaje.
Vilevile matumizi ya vikokotoo ambayo yamerahisishia wanafunzi kazi badala ya kuhesabu na vidole au kuchora chora vitabuni wameweza kufanya hisabati kwa urahisi wakitumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wameweza pia kusomea kupitia runinga katika masomo mengine ambayo hutumiwa kusoma kiundani zaidi. Runinga hizi zimewafanya wanafunzi wengi pia kuerevuka kiakili kwani hata yale wasiyoyajua wameweza kuyaona.
Bila ya kusahau vifaa vingine kama vile rununu ambazo wanafunzi wa shule za upili haswa walio mabwenini huzitumia kuwasiliana na wazazi wao wakati wowote watakao bila ya wao hata kuwa karibu nao. Vifaa vingine kama vile redio hutumia kusomea haswa haswa na wanafunzi wasomao masomo kama vile Kiarabu na Ufaransa.
Teknolojia pia huleta madhara kwa wanafunzi hawa ikiwamo kikokotoo ambacho kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika hisabati. Wengine wameishia kuiba mitihani kwa kutumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wengine wameishia kuwa wezi kwani vifaa hivi huwa vya thamani ya juu kwa hivyo huiba ili kuuza kupata pesa.
Teknolojia pia imewafanya wanafunzi wengine kuacha shule kwani wameona kuwa wanaweza kusoma bila walimu. Mfano, wanafunzi wanaotumia runinga kusoma hujiona wamefika. Baadhi ya wanafunzi hupitisha masomo hayo kwani wasipoachiwa mwalimu mambo hubadilika na kuwa wanafunzi huangalia ponografia badala ya kusoma.
Uharibifu wa macho kwani wanafunzi hupitisha kiwango cha kuangalia rununu hizo. Pia vifaa kama vile rununu, hupotosha wanafunzi kwani baadhi ya wanafunzi badala ya kutumia rununu hizo kuwasiliana na wazazi wao, huwapigia kama ni wavulana basi huwapigia wasichana wao badala ya kutia maanani kwenye masomo basi hukubali usumbufu.
Teknolojia imeharibu wanafunzi wetu wa sasa hata ubongo katika fikra zao kwani wameyasahau mengi wanayofunzwa na walimu darasani na kushika yale wanayofunzwa na vifaa hivi. Jinsi tutakavyo punguza madhara haya ni kuwaelimisha umuhimu na madhara ya teknolojia. | Ni nini wanafunzi hutumia kuwasiliana na wazazi wao | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3188_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kuzuka kwa teknolojia kumeleta faida na madhara yake. Katika shule za upili kama waziitayo shule za sekondari teknolojia hii imeleta sana sana madhara. Faida zake kwa wanafunzi ni kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa kupanga ratiba za masomo kwa wanafunzi ambayo hutumiwa kumjulisha mwanafunzi kipindi kifuatacho kinasemaje.
Vilevile matumizi ya vikokotoo ambayo yamerahisishia wanafunzi kazi badala ya kuhesabu na vidole au kuchora chora vitabuni wameweza kufanya hisabati kwa urahisi wakitumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wameweza pia kusomea kupitia runinga katika masomo mengine ambayo hutumiwa kusoma kiundani zaidi. Runinga hizi zimewafanya wanafunzi wengi pia kuerevuka kiakili kwani hata yale wasiyoyajua wameweza kuyaona.
Bila ya kusahau vifaa vingine kama vile rununu ambazo wanafunzi wa shule za upili haswa walio mabwenini huzitumia kuwasiliana na wazazi wao wakati wowote watakao bila ya wao hata kuwa karibu nao. Vifaa vingine kama vile redio hutumia kusomea haswa haswa na wanafunzi wasomao masomo kama vile Kiarabu na Ufaransa.
Teknolojia pia huleta madhara kwa wanafunzi hawa ikiwamo kikokotoo ambacho kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika hisabati. Wengine wameishia kuiba mitihani kwa kutumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wengine wameishia kuwa wezi kwani vifaa hivi huwa vya thamani ya juu kwa hivyo huiba ili kuuza kupata pesa.
Teknolojia pia imewafanya wanafunzi wengine kuacha shule kwani wameona kuwa wanaweza kusoma bila walimu. Mfano, wanafunzi wanaotumia runinga kusoma hujiona wamefika. Baadhi ya wanafunzi hupitisha masomo hayo kwani wasipoachiwa mwalimu mambo hubadilika na kuwa wanafunzi huangalia ponografia badala ya kusoma.
Uharibifu wa macho kwani wanafunzi hupitisha kiwango cha kuangalia rununu hizo. Pia vifaa kama vile rununu, hupotosha wanafunzi kwani baadhi ya wanafunzi badala ya kutumia rununu hizo kuwasiliana na wazazi wao, huwapigia kama ni wavulana basi huwapigia wasichana wao badala ya kutia maanani kwenye masomo basi hukubali usumbufu.
Teknolojia imeharibu wanafunzi wetu wa sasa hata ubongo katika fikra zao kwani wameyasahau mengi wanayofunzwa na walimu darasani na kushika yale wanayofunzwa na vifaa hivi. Jinsi tutakavyo punguza madhara haya ni kuwaelimisha umuhimu na madhara ya teknolojia. | Ni nini imewafanya wanafunzi kuacha shule | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3188_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kuzuka kwa teknolojia kumeleta faida na madhara yake. Katika shule za upili kama waziitayo shule za sekondari teknolojia hii imeleta sana sana madhara. Faida zake kwa wanafunzi ni kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa kupanga ratiba za masomo kwa wanafunzi ambayo hutumiwa kumjulisha mwanafunzi kipindi kifuatacho kinasemaje.
Vilevile matumizi ya vikokotoo ambayo yamerahisishia wanafunzi kazi badala ya kuhesabu na vidole au kuchora chora vitabuni wameweza kufanya hisabati kwa urahisi wakitumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wameweza pia kusomea kupitia runinga katika masomo mengine ambayo hutumiwa kusoma kiundani zaidi. Runinga hizi zimewafanya wanafunzi wengi pia kuerevuka kiakili kwani hata yale wasiyoyajua wameweza kuyaona.
Bila ya kusahau vifaa vingine kama vile rununu ambazo wanafunzi wa shule za upili haswa walio mabwenini huzitumia kuwasiliana na wazazi wao wakati wowote watakao bila ya wao hata kuwa karibu nao. Vifaa vingine kama vile redio hutumia kusomea haswa haswa na wanafunzi wasomao masomo kama vile Kiarabu na Ufaransa.
Teknolojia pia huleta madhara kwa wanafunzi hawa ikiwamo kikokotoo ambacho kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu katika hisabati. Wengine wameishia kuiba mitihani kwa kutumia vikokotoo hivi. Wanafunzi wengine wameishia kuwa wezi kwani vifaa hivi huwa vya thamani ya juu kwa hivyo huiba ili kuuza kupata pesa.
Teknolojia pia imewafanya wanafunzi wengine kuacha shule kwani wameona kuwa wanaweza kusoma bila walimu. Mfano, wanafunzi wanaotumia runinga kusoma hujiona wamefika. Baadhi ya wanafunzi hupitisha masomo hayo kwani wasipoachiwa mwalimu mambo hubadilika na kuwa wanafunzi huangalia ponografia badala ya kusoma.
Uharibifu wa macho kwani wanafunzi hupitisha kiwango cha kuangalia rununu hizo. Pia vifaa kama vile rununu, hupotosha wanafunzi kwani baadhi ya wanafunzi badala ya kutumia rununu hizo kuwasiliana na wazazi wao, huwapigia kama ni wavulana basi huwapigia wasichana wao badala ya kutia maanani kwenye masomo basi hukubali usumbufu.
Teknolojia imeharibu wanafunzi wetu wa sasa hata ubongo katika fikra zao kwani wameyasahau mengi wanayofunzwa na walimu darasani na kushika yale wanayofunzwa na vifaa hivi. Jinsi tutakavyo punguza madhara haya ni kuwaelimisha umuhimu na madhara ya teknolojia. | Ni vipi wanafunzi wanatumia rununu vibaya | {
"text": [
"Wanawapigia wasichana simu"
]
} |
3189_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali h imetumiwa kumaanisha kwamba mtu yeyote asiyeyasikia ya wakubwa wake basi inabudi kuishia na majuto. Vilevile methali hii pia imetumiwa kumaanisha kwamba mtu anafaa kuyasikiliza ya wakubwa wake ili kuepukana na majuto.
Naam Kajinga alikuwa kijana mfumbata moshi. Alikuwa kijana asiyetaka kujuwa be wala te. Kijana huyu hakuyasikia ya wazazi wala ya ulimwengu. Yake maskio aliyatia nta pande zote mbili. Kilakukicha aliwaaga wazazi wake akisema kuwa anaenda shule ila yote hayo hayakuwa hivyo. Jioni aliporudi nyumbani wazazi walimuuliza kuhusu madaftari yake ila alinuna na kuingia chumbani mwake.
Siku zilipita bila ya Kajinga kuongea na wazazi wake. Shuleni nako hakufika wala walimu hawakupata habari yoyote kumhusu. Walimu walifika nyumbani kwa Kajinga haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibikia utotoni kama wahenga wasemavyo udongo uwahi angali mbichi. Wazazi wa Kajinga walishangazwa na haya kwani siku zote wameishi bila ya kumjua mwanao ndani na nje.
Siku hiyo jioni yake waliamua kujifunga kibwebwe na kumsoma mwanao. Pindi walipo mwita alikuja vizuri na kuyasikiza waliotaka kuwaambia. Ingawa maneno yao yalikuwa ya kutia moyo ila kwa Kajinga ilikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Kajinga alirusha mikono na kutoka ghafla nje bila kutaka kujuwa ni wapi anakoenda.
Mtaa mzima ulianza kuona mabadiliko ya kijana huyo kwa mara nyingi aliweza kuepuka kifo kwa kushikwa na visa vya wizi. Kisa kweli chururu si ndo ndo ndo kwani Kajinga alianza kuwa mwizi mkubwa katika benki kuu na mashamba ya watu.
Hata bila ya kusahau yeye hakuwa mwizi pekee kwani pia alikuwa jangili wa mauaji. Wahenga hawakukosea walipononga kuwa kisicho fanana na mwenyewe ni cha kuiba. Nayo methali hiyo nigonga ndipo. Kwani tabia hii ya Kajinga haikufanana naye wala wazazi wake ila aliiba kutoka kwa mtu wa jirani yake.
Watu waliona maisha ya kijana huyu kuwaharibia rasilimali zao. Usisahau ubahana kwa kupawa unahodha kwani Kajinga alisahau alikotoka baada ya kupewa usukani na wenzake. Alianza kufanya mambo bila ya kufikiria anachofanya. Alijiunga na kundi la watu waendao kunywa na hata pia alifanya vitendo vyote vichafu bila ya kujali be wala te. Alifanya vitendo ambavyo hata shetani hangeweza kufanya.
Ilani yake ikawa mbio za sakafuni zishazo ukingoni. Nao kama wasemavyo wahenga mtaka yote hukosa yote kwani alichokitaka mwishowe usingetaka kukijua. Alfajiri ya alhamisi jua lilipokuwa limepambazuka ghafla simu za rununu ilipigwa nyumbani kwa akina Kajinga. Sauti ilisikika ikisema njooni mchukue maiti yenu. Baba mtu aliangusha simu chini na kutoka ghafla naye mama mtu akimfuata nyuma. Waliandamana hadi mochwari kuchukuwa mwili wa mwana wao wa pekee aliyekataa kusikia la mkuu wala la mwadhini.
Methali hii inatufunza kuwasikiliza wavyele wetu hatakama wanarugwe kiasi gani kwasababu asiyefunzwa na mamaye basi ulimwengu utamfunza na mwisho wa kufunzwa na ulimwengu ni majuto. Tuwa heshimu wakubwa wetu na tutilie maanani wanayotufunza wakubwa wetu hata kama hawakutuzaa ili tusiyapitie majuto ya dunia. | Nani alikuwa kijana mfumbata moto | {
"text": [
"Kajinga"
]
} |
3189_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali h imetumiwa kumaanisha kwamba mtu yeyote asiyeyasikia ya wakubwa wake basi inabudi kuishia na majuto. Vilevile methali hii pia imetumiwa kumaanisha kwamba mtu anafaa kuyasikiliza ya wakubwa wake ili kuepukana na majuto.
Naam Kajinga alikuwa kijana mfumbata moshi. Alikuwa kijana asiyetaka kujuwa be wala te. Kijana huyu hakuyasikia ya wazazi wala ya ulimwengu. Yake maskio aliyatia nta pande zote mbili. Kilakukicha aliwaaga wazazi wake akisema kuwa anaenda shule ila yote hayo hayakuwa hivyo. Jioni aliporudi nyumbani wazazi walimuuliza kuhusu madaftari yake ila alinuna na kuingia chumbani mwake.
Siku zilipita bila ya Kajinga kuongea na wazazi wake. Shuleni nako hakufika wala walimu hawakupata habari yoyote kumhusu. Walimu walifika nyumbani kwa Kajinga haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibikia utotoni kama wahenga wasemavyo udongo uwahi angali mbichi. Wazazi wa Kajinga walishangazwa na haya kwani siku zote wameishi bila ya kumjua mwanao ndani na nje.
Siku hiyo jioni yake waliamua kujifunga kibwebwe na kumsoma mwanao. Pindi walipo mwita alikuja vizuri na kuyasikiza waliotaka kuwaambia. Ingawa maneno yao yalikuwa ya kutia moyo ila kwa Kajinga ilikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Kajinga alirusha mikono na kutoka ghafla nje bila kutaka kujuwa ni wapi anakoenda.
Mtaa mzima ulianza kuona mabadiliko ya kijana huyo kwa mara nyingi aliweza kuepuka kifo kwa kushikwa na visa vya wizi. Kisa kweli chururu si ndo ndo ndo kwani Kajinga alianza kuwa mwizi mkubwa katika benki kuu na mashamba ya watu.
Hata bila ya kusahau yeye hakuwa mwizi pekee kwani pia alikuwa jangili wa mauaji. Wahenga hawakukosea walipononga kuwa kisicho fanana na mwenyewe ni cha kuiba. Nayo methali hiyo nigonga ndipo. Kwani tabia hii ya Kajinga haikufanana naye wala wazazi wake ila aliiba kutoka kwa mtu wa jirani yake.
Watu waliona maisha ya kijana huyu kuwaharibia rasilimali zao. Usisahau ubahana kwa kupawa unahodha kwani Kajinga alisahau alikotoka baada ya kupewa usukani na wenzake. Alianza kufanya mambo bila ya kufikiria anachofanya. Alijiunga na kundi la watu waendao kunywa na hata pia alifanya vitendo vyote vichafu bila ya kujali be wala te. Alifanya vitendo ambavyo hata shetani hangeweza kufanya.
Ilani yake ikawa mbio za sakafuni zishazo ukingoni. Nao kama wasemavyo wahenga mtaka yote hukosa yote kwani alichokitaka mwishowe usingetaka kukijua. Alfajiri ya alhamisi jua lilipokuwa limepambazuka ghafla simu za rununu ilipigwa nyumbani kwa akina Kajinga. Sauti ilisikika ikisema njooni mchukue maiti yenu. Baba mtu aliangusha simu chini na kutoka ghafla naye mama mtu akimfuata nyuma. Waliandamana hadi mochwari kuchukuwa mwili wa mwana wao wa pekee aliyekataa kusikia la mkuu wala la mwadhini.
Methali hii inatufunza kuwasikiliza wavyele wetu hatakama wanarugwe kiasi gani kwasababu asiyefunzwa na mamaye basi ulimwengu utamfunza na mwisho wa kufunzwa na ulimwengu ni majuto. Tuwa heshimu wakubwa wetu na tutilie maanani wanayotufunza wakubwa wetu hata kama hawakutuzaa ili tusiyapitie majuto ya dunia. | Nani alifika nyumbani kwa kina Kajinga | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
3189_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali h imetumiwa kumaanisha kwamba mtu yeyote asiyeyasikia ya wakubwa wake basi inabudi kuishia na majuto. Vilevile methali hii pia imetumiwa kumaanisha kwamba mtu anafaa kuyasikiliza ya wakubwa wake ili kuepukana na majuto.
Naam Kajinga alikuwa kijana mfumbata moshi. Alikuwa kijana asiyetaka kujuwa be wala te. Kijana huyu hakuyasikia ya wazazi wala ya ulimwengu. Yake maskio aliyatia nta pande zote mbili. Kilakukicha aliwaaga wazazi wake akisema kuwa anaenda shule ila yote hayo hayakuwa hivyo. Jioni aliporudi nyumbani wazazi walimuuliza kuhusu madaftari yake ila alinuna na kuingia chumbani mwake.
Siku zilipita bila ya Kajinga kuongea na wazazi wake. Shuleni nako hakufika wala walimu hawakupata habari yoyote kumhusu. Walimu walifika nyumbani kwa Kajinga haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibikia utotoni kama wahenga wasemavyo udongo uwahi angali mbichi. Wazazi wa Kajinga walishangazwa na haya kwani siku zote wameishi bila ya kumjua mwanao ndani na nje.
Siku hiyo jioni yake waliamua kujifunga kibwebwe na kumsoma mwanao. Pindi walipo mwita alikuja vizuri na kuyasikiza waliotaka kuwaambia. Ingawa maneno yao yalikuwa ya kutia moyo ila kwa Kajinga ilikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Kajinga alirusha mikono na kutoka ghafla nje bila kutaka kujuwa ni wapi anakoenda.
Mtaa mzima ulianza kuona mabadiliko ya kijana huyo kwa mara nyingi aliweza kuepuka kifo kwa kushikwa na visa vya wizi. Kisa kweli chururu si ndo ndo ndo kwani Kajinga alianza kuwa mwizi mkubwa katika benki kuu na mashamba ya watu.
Hata bila ya kusahau yeye hakuwa mwizi pekee kwani pia alikuwa jangili wa mauaji. Wahenga hawakukosea walipononga kuwa kisicho fanana na mwenyewe ni cha kuiba. Nayo methali hiyo nigonga ndipo. Kwani tabia hii ya Kajinga haikufanana naye wala wazazi wake ila aliiba kutoka kwa mtu wa jirani yake.
Watu waliona maisha ya kijana huyu kuwaharibia rasilimali zao. Usisahau ubahana kwa kupawa unahodha kwani Kajinga alisahau alikotoka baada ya kupewa usukani na wenzake. Alianza kufanya mambo bila ya kufikiria anachofanya. Alijiunga na kundi la watu waendao kunywa na hata pia alifanya vitendo vyote vichafu bila ya kujali be wala te. Alifanya vitendo ambavyo hata shetani hangeweza kufanya.
Ilani yake ikawa mbio za sakafuni zishazo ukingoni. Nao kama wasemavyo wahenga mtaka yote hukosa yote kwani alichokitaka mwishowe usingetaka kukijua. Alfajiri ya alhamisi jua lilipokuwa limepambazuka ghafla simu za rununu ilipigwa nyumbani kwa akina Kajinga. Sauti ilisikika ikisema njooni mchukue maiti yenu. Baba mtu aliangusha simu chini na kutoka ghafla naye mama mtu akimfuata nyuma. Waliandamana hadi mochwari kuchukuwa mwili wa mwana wao wa pekee aliyekataa kusikia la mkuu wala la mwadhini.
Methali hii inatufunza kuwasikiliza wavyele wetu hatakama wanarugwe kiasi gani kwasababu asiyefunzwa na mamaye basi ulimwengu utamfunza na mwisho wa kufunzwa na ulimwengu ni majuto. Tuwa heshimu wakubwa wetu na tutilie maanani wanayotufunza wakubwa wetu hata kama hawakutuzaa ili tusiyapitie majuto ya dunia. | Ni nani alirusha mikono | {
"text": [
"Kajinga"
]
} |
3189_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali h imetumiwa kumaanisha kwamba mtu yeyote asiyeyasikia ya wakubwa wake basi inabudi kuishia na majuto. Vilevile methali hii pia imetumiwa kumaanisha kwamba mtu anafaa kuyasikiliza ya wakubwa wake ili kuepukana na majuto.
Naam Kajinga alikuwa kijana mfumbata moshi. Alikuwa kijana asiyetaka kujuwa be wala te. Kijana huyu hakuyasikia ya wazazi wala ya ulimwengu. Yake maskio aliyatia nta pande zote mbili. Kilakukicha aliwaaga wazazi wake akisema kuwa anaenda shule ila yote hayo hayakuwa hivyo. Jioni aliporudi nyumbani wazazi walimuuliza kuhusu madaftari yake ila alinuna na kuingia chumbani mwake.
Siku zilipita bila ya Kajinga kuongea na wazazi wake. Shuleni nako hakufika wala walimu hawakupata habari yoyote kumhusu. Walimu walifika nyumbani kwa Kajinga haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibikia utotoni kama wahenga wasemavyo udongo uwahi angali mbichi. Wazazi wa Kajinga walishangazwa na haya kwani siku zote wameishi bila ya kumjua mwanao ndani na nje.
Siku hiyo jioni yake waliamua kujifunga kibwebwe na kumsoma mwanao. Pindi walipo mwita alikuja vizuri na kuyasikiza waliotaka kuwaambia. Ingawa maneno yao yalikuwa ya kutia moyo ila kwa Kajinga ilikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Kajinga alirusha mikono na kutoka ghafla nje bila kutaka kujuwa ni wapi anakoenda.
Mtaa mzima ulianza kuona mabadiliko ya kijana huyo kwa mara nyingi aliweza kuepuka kifo kwa kushikwa na visa vya wizi. Kisa kweli chururu si ndo ndo ndo kwani Kajinga alianza kuwa mwizi mkubwa katika benki kuu na mashamba ya watu.
Hata bila ya kusahau yeye hakuwa mwizi pekee kwani pia alikuwa jangili wa mauaji. Wahenga hawakukosea walipononga kuwa kisicho fanana na mwenyewe ni cha kuiba. Nayo methali hiyo nigonga ndipo. Kwani tabia hii ya Kajinga haikufanana naye wala wazazi wake ila aliiba kutoka kwa mtu wa jirani yake.
Watu waliona maisha ya kijana huyu kuwaharibia rasilimali zao. Usisahau ubahana kwa kupawa unahodha kwani Kajinga alisahau alikotoka baada ya kupewa usukani na wenzake. Alianza kufanya mambo bila ya kufikiria anachofanya. Alijiunga na kundi la watu waendao kunywa na hata pia alifanya vitendo vyote vichafu bila ya kujali be wala te. Alifanya vitendo ambavyo hata shetani hangeweza kufanya.
Ilani yake ikawa mbio za sakafuni zishazo ukingoni. Nao kama wasemavyo wahenga mtaka yote hukosa yote kwani alichokitaka mwishowe usingetaka kukijua. Alfajiri ya alhamisi jua lilipokuwa limepambazuka ghafla simu za rununu ilipigwa nyumbani kwa akina Kajinga. Sauti ilisikika ikisema njooni mchukue maiti yenu. Baba mtu aliangusha simu chini na kutoka ghafla naye mama mtu akimfuata nyuma. Waliandamana hadi mochwari kuchukuwa mwili wa mwana wao wa pekee aliyekataa kusikia la mkuu wala la mwadhini.
Methali hii inatufunza kuwasikiliza wavyele wetu hatakama wanarugwe kiasi gani kwasababu asiyefunzwa na mamaye basi ulimwengu utamfunza na mwisho wa kufunzwa na ulimwengu ni majuto. Tuwa heshimu wakubwa wetu na tutilie maanani wanayotufunza wakubwa wetu hata kama hawakutuzaa ili tusiyapitie majuto ya dunia. | Simu ya rununu ilipigwa ilipigwa siku gani | {
"text": [
"Alhamisi"
]
} |
3189_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali h imetumiwa kumaanisha kwamba mtu yeyote asiyeyasikia ya wakubwa wake basi inabudi kuishia na majuto. Vilevile methali hii pia imetumiwa kumaanisha kwamba mtu anafaa kuyasikiliza ya wakubwa wake ili kuepukana na majuto.
Naam Kajinga alikuwa kijana mfumbata moshi. Alikuwa kijana asiyetaka kujuwa be wala te. Kijana huyu hakuyasikia ya wazazi wala ya ulimwengu. Yake maskio aliyatia nta pande zote mbili. Kilakukicha aliwaaga wazazi wake akisema kuwa anaenda shule ila yote hayo hayakuwa hivyo. Jioni aliporudi nyumbani wazazi walimuuliza kuhusu madaftari yake ila alinuna na kuingia chumbani mwake.
Siku zilipita bila ya Kajinga kuongea na wazazi wake. Shuleni nako hakufika wala walimu hawakupata habari yoyote kumhusu. Walimu walifika nyumbani kwa Kajinga haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibikia utotoni kama wahenga wasemavyo udongo uwahi angali mbichi. Wazazi wa Kajinga walishangazwa na haya kwani siku zote wameishi bila ya kumjua mwanao ndani na nje.
Siku hiyo jioni yake waliamua kujifunga kibwebwe na kumsoma mwanao. Pindi walipo mwita alikuja vizuri na kuyasikiza waliotaka kuwaambia. Ingawa maneno yao yalikuwa ya kutia moyo ila kwa Kajinga ilikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Kajinga alirusha mikono na kutoka ghafla nje bila kutaka kujuwa ni wapi anakoenda.
Mtaa mzima ulianza kuona mabadiliko ya kijana huyo kwa mara nyingi aliweza kuepuka kifo kwa kushikwa na visa vya wizi. Kisa kweli chururu si ndo ndo ndo kwani Kajinga alianza kuwa mwizi mkubwa katika benki kuu na mashamba ya watu.
Hata bila ya kusahau yeye hakuwa mwizi pekee kwani pia alikuwa jangili wa mauaji. Wahenga hawakukosea walipononga kuwa kisicho fanana na mwenyewe ni cha kuiba. Nayo methali hiyo nigonga ndipo. Kwani tabia hii ya Kajinga haikufanana naye wala wazazi wake ila aliiba kutoka kwa mtu wa jirani yake.
Watu waliona maisha ya kijana huyu kuwaharibia rasilimali zao. Usisahau ubahana kwa kupawa unahodha kwani Kajinga alisahau alikotoka baada ya kupewa usukani na wenzake. Alianza kufanya mambo bila ya kufikiria anachofanya. Alijiunga na kundi la watu waendao kunywa na hata pia alifanya vitendo vyote vichafu bila ya kujali be wala te. Alifanya vitendo ambavyo hata shetani hangeweza kufanya.
Ilani yake ikawa mbio za sakafuni zishazo ukingoni. Nao kama wasemavyo wahenga mtaka yote hukosa yote kwani alichokitaka mwishowe usingetaka kukijua. Alfajiri ya alhamisi jua lilipokuwa limepambazuka ghafla simu za rununu ilipigwa nyumbani kwa akina Kajinga. Sauti ilisikika ikisema njooni mchukue maiti yenu. Baba mtu aliangusha simu chini na kutoka ghafla naye mama mtu akimfuata nyuma. Waliandamana hadi mochwari kuchukuwa mwili wa mwana wao wa pekee aliyekataa kusikia la mkuu wala la mwadhini.
Methali hii inatufunza kuwasikiliza wavyele wetu hatakama wanarugwe kiasi gani kwasababu asiyefunzwa na mamaye basi ulimwengu utamfunza na mwisho wa kufunzwa na ulimwengu ni majuto. Tuwa heshimu wakubwa wetu na tutilie maanani wanayotufunza wakubwa wetu hata kama hawakutuzaa ili tusiyapitie majuto ya dunia. | Kwa nini wazazi wa Kajinga waliitiwa maiti | {
"text": [
"Kajinga alikuwa amekufa"
]
} |
3190_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu mbalimbali kama vile ufundi, kilimo au mawasiliano katika jamii au kigezo fulani. Teknolojia imeibuka sana kama jambo ambalo watu wengi hulitumia ima kwamba hufaidisha wanajamii na hata pia huleta madhara katika jamii. Ama kwamba watu hutumia kujiburudisha na kufanya utafiti katika mambo fulani yanayoathiri jamii, shuleni na hata kazini.
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni moja wapo ambapo teknolojia hutumiwa katika vigezo mbalimbali ili kwamba kufaidisha walimu na hata wanafunzi kwa njia fulani ili
kukuza elimu na masomo katika shuleni. Tukona vyombo kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa sana katika shule ili kuweza kuweka na kutuma ujumbe sehemu mbalimbali kwa wazazi na hata kutumiwa kwa njia ya masomo na wanafunzi mbalimbali. Teknolojia ya utumiaji
wa simu katika sekondari ni kwamba walimu hutumia kupitisha ujumbe kwa wazazi kwa njia ya haraka sana katika mitandao ya simu kama vile Facebook na zinginezo katika mawasiliano baina ya wazazi, walimu na hata wanafunzi.
Utumiaji wa teknolojia ya kikokotoo inayotumiwa na wanafunzi kufanya hesabu katika mitihani yao huwa ni njia rahisi na haraka kwa kutumia kwani haichukui saa nyingi kwa utumiaji huo.
Teknolojia ya televisheni hufaidisha walimu na wanafunzi ndani ya sekondari kwa kujua matokeo yanayojiri na kukithiri katika jamii mnamo wanafunzi wakiwa shule. Hivyo basi hutumika kama kigezo cha kujua habari tofauti tofauti.
Licha kwamba teknolojia ina faida mbalimbali katika sekondari, basi vile vile zimo ou ziko madhara yako yanayokithiri utumiaji wa teknolojia shuleni za sekondari na zinazosababisha mambo mengi wanayochangia madhara mengi ya sekondari. Utumiaji wa simu au runinga. Walimu hutumia teknolojia hii kama kigezo kibaya kwani hutumia kuwasiliana na watu mbalimbali wakiwa darasani na wakasahau kwamba wanahitajika kufundisha ama kufunza wanafunzi kwani hutumia muda mwingi wakiwasiliana na marafiki kwa simu huku muda hupotezwa kwa wanafunzi ya kufundishwa.
Mtandao, walimu hutumia mitandao yao kwa njia isiyofaa kwani wakiwamo ofisini mwao huingia kwenye mitandao ya simu kisha husahau kama kuna kipindi cha darasa anahitajika kufunza wanafunzi huku akijiburudisha yeye mwenyewe badala ya kuhudhuria kipindi maalum kwa wanafunzi kwani wanafunzi hupotezewa muda mwingi wao wakufundishwa na walimu. Sababu kuu ikiwa ni utumiaji wa mitandao wakati usiofaa. | Watu hutumia teknolojia kujiburudisha na kufanya nini | {
"text": [
"Utafiti"
]
} |
3190_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu mbalimbali kama vile ufundi, kilimo au mawasiliano katika jamii au kigezo fulani. Teknolojia imeibuka sana kama jambo ambalo watu wengi hulitumia ima kwamba hufaidisha wanajamii na hata pia huleta madhara katika jamii. Ama kwamba watu hutumia kujiburudisha na kufanya utafiti katika mambo fulani yanayoathiri jamii, shuleni na hata kazini.
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni moja wapo ambapo teknolojia hutumiwa katika vigezo mbalimbali ili kwamba kufaidisha walimu na hata wanafunzi kwa njia fulani ili
kukuza elimu na masomo katika shuleni. Tukona vyombo kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa sana katika shule ili kuweza kuweka na kutuma ujumbe sehemu mbalimbali kwa wazazi na hata kutumiwa kwa njia ya masomo na wanafunzi mbalimbali. Teknolojia ya utumiaji
wa simu katika sekondari ni kwamba walimu hutumia kupitisha ujumbe kwa wazazi kwa njia ya haraka sana katika mitandao ya simu kama vile Facebook na zinginezo katika mawasiliano baina ya wazazi, walimu na hata wanafunzi.
Utumiaji wa teknolojia ya kikokotoo inayotumiwa na wanafunzi kufanya hesabu katika mitihani yao huwa ni njia rahisi na haraka kwa kutumia kwani haichukui saa nyingi kwa utumiaji huo.
Teknolojia ya televisheni hufaidisha walimu na wanafunzi ndani ya sekondari kwa kujua matokeo yanayojiri na kukithiri katika jamii mnamo wanafunzi wakiwa shule. Hivyo basi hutumika kama kigezo cha kujua habari tofauti tofauti.
Licha kwamba teknolojia ina faida mbalimbali katika sekondari, basi vile vile zimo ou ziko madhara yako yanayokithiri utumiaji wa teknolojia shuleni za sekondari na zinazosababisha mambo mengi wanayochangia madhara mengi ya sekondari. Utumiaji wa simu au runinga. Walimu hutumia teknolojia hii kama kigezo kibaya kwani hutumia kuwasiliana na watu mbalimbali wakiwa darasani na wakasahau kwamba wanahitajika kufundisha ama kufunza wanafunzi kwani hutumia muda mwingi wakiwasiliana na marafiki kwa simu huku muda hupotezwa kwa wanafunzi ya kufundishwa.
Mtandao, walimu hutumia mitandao yao kwa njia isiyofaa kwani wakiwamo ofisini mwao huingia kwenye mitandao ya simu kisha husahau kama kuna kipindi cha darasa anahitajika kufunza wanafunzi huku akijiburudisha yeye mwenyewe badala ya kuhudhuria kipindi maalum kwa wanafunzi kwani wanafunzi hupotezewa muda mwingi wao wakufundishwa na walimu. Sababu kuu ikiwa ni utumiaji wa mitandao wakati usiofaa. | Teknolojia hutumiwa kwa njia fulani ili kukuza nini | {
"text": [
"Elimu na masomo"
]
} |
3190_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu mbalimbali kama vile ufundi, kilimo au mawasiliano katika jamii au kigezo fulani. Teknolojia imeibuka sana kama jambo ambalo watu wengi hulitumia ima kwamba hufaidisha wanajamii na hata pia huleta madhara katika jamii. Ama kwamba watu hutumia kujiburudisha na kufanya utafiti katika mambo fulani yanayoathiri jamii, shuleni na hata kazini.
Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni moja wapo ambapo teknolojia hutumiwa katika vigezo mbalimbali ili kwamba kufaidisha walimu na hata wanafunzi kwa njia fulani ili
kukuza elimu na masomo katika shuleni. Tukona vyombo kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa sana katika shule ili kuweza kuweka na kutuma ujumbe sehemu mbalimbali kwa wazazi na hata kutumiwa kwa njia ya masomo na wanafunzi mbalimbali. Teknolojia ya utumiaji
wa simu katika sekondari ni kwamba walimu hutumia kupitisha ujumbe kwa wazazi kwa njia ya haraka sana katika mitandao ya simu kama vile Facebook na zinginezo katika mawasiliano baina ya wazazi, walimu na hata wanafunzi.
Utumiaji wa teknolojia ya kikokotoo inayotumiwa na wanafunzi kufanya hesabu katika mitihani yao huwa ni njia rahisi na haraka kwa kutumia kwani haichukui saa nyingi kwa utumiaji huo.
Teknolojia ya televisheni hufaidisha walimu na wanafunzi ndani ya sekondari kwa kujua matokeo yanayojiri na kukithiri katika jamii mnamo wanafunzi wakiwa shule. Hivyo basi hutumika kama kigezo cha kujua habari tofauti tofauti.
Licha kwamba teknolojia ina faida mbalimbali katika sekondari, basi vile vile zimo ou ziko madhara yako yanayokithiri utumiaji wa teknolojia shuleni za sekondari na zinazosababisha mambo mengi wanayochangia madhara mengi ya sekondari. Utumiaji wa simu au runinga. Walimu hutumia teknolojia hii kama kigezo kibaya kwani hutumia kuwasiliana na watu mbalimbali wakiwa darasani na wakasahau kwamba wanahitajika kufundisha ama kufunza wanafunzi kwani hutumia muda mwingi wakiwasiliana na marafiki kwa simu huku muda hupotezwa kwa wanafunzi ya kufundishwa.
Mtandao, walimu hutumia mitandao yao kwa njia isiyofaa kwani wakiwamo ofisini mwao huingia kwenye mitandao ya simu kisha husahau kama kuna kipindi cha darasa anahitajika kufunza wanafunzi huku akijiburudisha yeye mwenyewe badala ya kuhudhuria kipindi maalum kwa wanafunzi kwani wanafunzi hupotezewa muda mwingi wao wakufundishwa na walimu. Sababu kuu ikiwa ni utumiaji wa mitandao wakati usiofaa. | Ni vyombo gani hutumiwa sana katika shule | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.