Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3190_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu mbalimbali kama vile ufundi, kilimo au mawasiliano katika jamii au kigezo fulani. Teknolojia imeibuka sana kama jambo ambalo watu wengi hulitumia ima kwamba hufaidisha wanajamii na hata pia huleta madhara katika jamii. Ama kwamba watu hutumia kujiburudisha na kufanya utafiti katika mambo fulani yanayoathiri jamii, shuleni na hata kazini. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni moja wapo ambapo teknolojia hutumiwa katika vigezo mbalimbali ili kwamba kufaidisha walimu na hata wanafunzi kwa njia fulani ili kukuza elimu na masomo katika shuleni. Tukona vyombo kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa sana katika shule ili kuweza kuweka na kutuma ujumbe sehemu mbalimbali kwa wazazi na hata kutumiwa kwa njia ya masomo na wanafunzi mbalimbali. Teknolojia ya utumiaji wa simu katika sekondari ni kwamba walimu hutumia kupitisha ujumbe kwa wazazi kwa njia ya haraka sana katika mitandao ya simu kama vile Facebook na zinginezo katika mawasiliano baina ya wazazi, walimu na hata wanafunzi. Utumiaji wa teknolojia ya kikokotoo inayotumiwa na wanafunzi kufanya hesabu katika mitihani yao huwa ni njia rahisi na haraka kwa kutumia kwani haichukui saa nyingi kwa utumiaji huo. Teknolojia ya televisheni hufaidisha walimu na wanafunzi ndani ya sekondari kwa kujua matokeo yanayojiri na kukithiri katika jamii mnamo wanafunzi wakiwa shule. Hivyo basi hutumika kama kigezo cha kujua habari tofauti tofauti. Licha kwamba teknolojia ina faida mbalimbali katika sekondari, basi vile vile zimo ou ziko madhara yako yanayokithiri utumiaji wa teknolojia shuleni za sekondari na zinazosababisha mambo mengi wanayochangia madhara mengi ya sekondari. Utumiaji wa simu au runinga. Walimu hutumia teknolojia hii kama kigezo kibaya kwani hutumia kuwasiliana na watu mbalimbali wakiwa darasani na wakasahau kwamba wanahitajika kufundisha ama kufunza wanafunzi kwani hutumia muda mwingi wakiwasiliana na marafiki kwa simu huku muda hupotezwa kwa wanafunzi ya kufundishwa. Mtandao, walimu hutumia mitandao yao kwa njia isiyofaa kwani wakiwamo ofisini mwao huingia kwenye mitandao ya simu kisha husahau kama kuna kipindi cha darasa anahitajika kufunza wanafunzi huku akijiburudisha yeye mwenyewe badala ya kuhudhuria kipindi maalum kwa wanafunzi kwani wanafunzi hupotezewa muda mwingi wao wakufundishwa na walimu. Sababu kuu ikiwa ni utumiaji wa mitandao wakati usiofaa.
Walimu hutumia simu kupitisha ujumbe kwa nani
{ "text": [ "Wazazi" ] }
3190_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu mbalimbali kama vile ufundi, kilimo au mawasiliano katika jamii au kigezo fulani. Teknolojia imeibuka sana kama jambo ambalo watu wengi hulitumia ima kwamba hufaidisha wanajamii na hata pia huleta madhara katika jamii. Ama kwamba watu hutumia kujiburudisha na kufanya utafiti katika mambo fulani yanayoathiri jamii, shuleni na hata kazini. Faida za teknolojia katika shule za sekondari ni moja wapo ambapo teknolojia hutumiwa katika vigezo mbalimbali ili kwamba kufaidisha walimu na hata wanafunzi kwa njia fulani ili kukuza elimu na masomo katika shuleni. Tukona vyombo kama vile tarakilishi ambayo hutumiwa sana katika shule ili kuweza kuweka na kutuma ujumbe sehemu mbalimbali kwa wazazi na hata kutumiwa kwa njia ya masomo na wanafunzi mbalimbali. Teknolojia ya utumiaji wa simu katika sekondari ni kwamba walimu hutumia kupitisha ujumbe kwa wazazi kwa njia ya haraka sana katika mitandao ya simu kama vile Facebook na zinginezo katika mawasiliano baina ya wazazi, walimu na hata wanafunzi. Utumiaji wa teknolojia ya kikokotoo inayotumiwa na wanafunzi kufanya hesabu katika mitihani yao huwa ni njia rahisi na haraka kwa kutumia kwani haichukui saa nyingi kwa utumiaji huo. Teknolojia ya televisheni hufaidisha walimu na wanafunzi ndani ya sekondari kwa kujua matokeo yanayojiri na kukithiri katika jamii mnamo wanafunzi wakiwa shule. Hivyo basi hutumika kama kigezo cha kujua habari tofauti tofauti. Licha kwamba teknolojia ina faida mbalimbali katika sekondari, basi vile vile zimo ou ziko madhara yako yanayokithiri utumiaji wa teknolojia shuleni za sekondari na zinazosababisha mambo mengi wanayochangia madhara mengi ya sekondari. Utumiaji wa simu au runinga. Walimu hutumia teknolojia hii kama kigezo kibaya kwani hutumia kuwasiliana na watu mbalimbali wakiwa darasani na wakasahau kwamba wanahitajika kufundisha ama kufunza wanafunzi kwani hutumia muda mwingi wakiwasiliana na marafiki kwa simu huku muda hupotezwa kwa wanafunzi ya kufundishwa. Mtandao, walimu hutumia mitandao yao kwa njia isiyofaa kwani wakiwamo ofisini mwao huingia kwenye mitandao ya simu kisha husahau kama kuna kipindi cha darasa anahitajika kufunza wanafunzi huku akijiburudisha yeye mwenyewe badala ya kuhudhuria kipindi maalum kwa wanafunzi kwani wanafunzi hupotezewa muda mwingi wao wakufundishwa na walimu. Sababu kuu ikiwa ni utumiaji wa mitandao wakati usiofaa.
Ni kina nani hutumia mtandao kwa njia isiyofaa
{ "text": [ "Walimu" ] }
3191_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Binti Kidawa alikuwa msichana wa kipekee katika familia ya Bwana na Bibi Hamida. Alikuwa msichana wa mcha mungu sana alimpenda mungu sana kwani alienda kanisani kila siku na maombi yasiyo kwisha. Alikuwa kidato cha nne akisubiria mtihani wake wa kitaifa. Darasani alikuwa namba moja kwani wengi walimsifia sio walimu, wazazi na hata wanafunzi wanzake. Alifanya kazi zote za walimu kwa wakati ufao na alitaka kujua mengi asiyoyafahamu kwajili ya kuhitimu katika kidato cha nne. Binti Kidawa alikuwa msichana mtiifu kwa wazazi na pia walimu kwani alifanya kazi zote alizoagiziwa na mamake wakiwa nyumbani. Alisifiwa na kila mtu apitae kwani watu walimpenda sana Binti Kidawa. Binti Kidawa alipomaliza kidato cha nne huku akisubiria majibu yake ya kidato cha nne, alianza kubadilika ghafla kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Kwamba Binti Kidawa alijiona amekua na pembe zimeanza kutokea kwani mama yake alimkanya kwa mienendo na marafiki aliyokua ametangana nao. Lakini wapi, kwani alikuwa kama asiyesikia la mwadhini wala mteka maji msikitini . Hivyo basi Binti Kidawa hakusikia la mama yake na wazazi wake ila aliendelea kufanya alichokuwa akiendelea. Alikanywa wala hakukanyika, aliambiwa wala hakusikia kilicho baki tu wazazi wake walimuacha afunzwe na ulimwengu kwamba sikio halisikii dawa. Mchovya asali huchovya mara nyingi Binti Kidawa aliyekuwa msichana mtiifu kila aina ya sifa alipewa yeye kwamba alikuwa na heshima na kumpenda mungu. Kwani Binti Kidawa alikuwa amekwisha poteza maisha yake. Naam, baada ya mwezi moja, Binti Kidawa alianza kutapika tapika na kutema mate huku alikuwa amekonda kakondeana kama sindano iliyokuwa kitandani tu. Urembo aliyokuwa nayo Binti Kidawa alikuwa hauonekani tena, amebaki kama mifupa tu. Naam, licha kuwa Binti Kidawa alikuwa mwerevu darasani na mwenye mcha mungu na kupenda wazazi wake na walimu amebaki tu akilialia kwa kutosikiza wazazi wake. Kwani hivyo basi alikuwa ameambukizwa ugonjwa wa kutamaucha wa ukimwi na pia alipachikwa mimba. Fahamu hayo Binti Kidawa alipoteza usichana wake na kwa kutojuwa cha kufanya kwani mtoto msikilivu haambiwi di. Binti Kidawa sasa amebaki kulialia tu, hana la kufanya wala lakutenda Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Binti kidawa alikuwa katika kidato kipi akisubiria mtihani wa kitaifa
{ "text": [ "Cha nane" ] }
3191_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Binti Kidawa alikuwa msichana wa kipekee katika familia ya Bwana na Bibi Hamida. Alikuwa msichana wa mcha mungu sana alimpenda mungu sana kwani alienda kanisani kila siku na maombi yasiyo kwisha. Alikuwa kidato cha nne akisubiria mtihani wake wa kitaifa. Darasani alikuwa namba moja kwani wengi walimsifia sio walimu, wazazi na hata wanafunzi wanzake. Alifanya kazi zote za walimu kwa wakati ufao na alitaka kujua mengi asiyoyafahamu kwajili ya kuhitimu katika kidato cha nne. Binti Kidawa alikuwa msichana mtiifu kwa wazazi na pia walimu kwani alifanya kazi zote alizoagiziwa na mamake wakiwa nyumbani. Alisifiwa na kila mtu apitae kwani watu walimpenda sana Binti Kidawa. Binti Kidawa alipomaliza kidato cha nne huku akisubiria majibu yake ya kidato cha nne, alianza kubadilika ghafla kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Kwamba Binti Kidawa alijiona amekua na pembe zimeanza kutokea kwani mama yake alimkanya kwa mienendo na marafiki aliyokua ametangana nao. Lakini wapi, kwani alikuwa kama asiyesikia la mwadhini wala mteka maji msikitini . Hivyo basi Binti Kidawa hakusikia la mama yake na wazazi wake ila aliendelea kufanya alichokuwa akiendelea. Alikanywa wala hakukanyika, aliambiwa wala hakusikia kilicho baki tu wazazi wake walimuacha afunzwe na ulimwengu kwamba sikio halisikii dawa. Mchovya asali huchovya mara nyingi Binti Kidawa aliyekuwa msichana mtiifu kila aina ya sifa alipewa yeye kwamba alikuwa na heshima na kumpenda mungu. Kwani Binti Kidawa alikuwa amekwisha poteza maisha yake. Naam, baada ya mwezi moja, Binti Kidawa alianza kutapika tapika na kutema mate huku alikuwa amekonda kakondeana kama sindano iliyokuwa kitandani tu. Urembo aliyokuwa nayo Binti Kidawa alikuwa hauonekani tena, amebaki kama mifupa tu. Naam, licha kuwa Binti Kidawa alikuwa mwerevu darasani na mwenye mcha mungu na kupenda wazazi wake na walimu amebaki tu akilialia kwa kutosikiza wazazi wake. Kwani hivyo basi alikuwa ameambukizwa ugonjwa wa kutamaucha wa ukimwi na pia alipachikwa mimba. Fahamu hayo Binti Kidawa alipoteza usichana wake na kwa kutojuwa cha kufanya kwani mtoto msikilivu haambiwi di. Binti Kidawa sasa amebaki kulialia tu, hana la kufanya wala lakutenda Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kidawa alikuwa binti kutoka familia ya nani
{ "text": [ "Bwana na bibi Hamida" ] }
3191_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Binti Kidawa alikuwa msichana wa kipekee katika familia ya Bwana na Bibi Hamida. Alikuwa msichana wa mcha mungu sana alimpenda mungu sana kwani alienda kanisani kila siku na maombi yasiyo kwisha. Alikuwa kidato cha nne akisubiria mtihani wake wa kitaifa. Darasani alikuwa namba moja kwani wengi walimsifia sio walimu, wazazi na hata wanafunzi wanzake. Alifanya kazi zote za walimu kwa wakati ufao na alitaka kujua mengi asiyoyafahamu kwajili ya kuhitimu katika kidato cha nne. Binti Kidawa alikuwa msichana mtiifu kwa wazazi na pia walimu kwani alifanya kazi zote alizoagiziwa na mamake wakiwa nyumbani. Alisifiwa na kila mtu apitae kwani watu walimpenda sana Binti Kidawa. Binti Kidawa alipomaliza kidato cha nne huku akisubiria majibu yake ya kidato cha nne, alianza kubadilika ghafla kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Kwamba Binti Kidawa alijiona amekua na pembe zimeanza kutokea kwani mama yake alimkanya kwa mienendo na marafiki aliyokua ametangana nao. Lakini wapi, kwani alikuwa kama asiyesikia la mwadhini wala mteka maji msikitini . Hivyo basi Binti Kidawa hakusikia la mama yake na wazazi wake ila aliendelea kufanya alichokuwa akiendelea. Alikanywa wala hakukanyika, aliambiwa wala hakusikia kilicho baki tu wazazi wake walimuacha afunzwe na ulimwengu kwamba sikio halisikii dawa. Mchovya asali huchovya mara nyingi Binti Kidawa aliyekuwa msichana mtiifu kila aina ya sifa alipewa yeye kwamba alikuwa na heshima na kumpenda mungu. Kwani Binti Kidawa alikuwa amekwisha poteza maisha yake. Naam, baada ya mwezi moja, Binti Kidawa alianza kutapika tapika na kutema mate huku alikuwa amekonda kakondeana kama sindano iliyokuwa kitandani tu. Urembo aliyokuwa nayo Binti Kidawa alikuwa hauonekani tena, amebaki kama mifupa tu. Naam, licha kuwa Binti Kidawa alikuwa mwerevu darasani na mwenye mcha mungu na kupenda wazazi wake na walimu amebaki tu akilialia kwa kutosikiza wazazi wake. Kwani hivyo basi alikuwa ameambukizwa ugonjwa wa kutamaucha wa ukimwi na pia alipachikwa mimba. Fahamu hayo Binti Kidawa alipoteza usichana wake na kwa kutojuwa cha kufanya kwani mtoto msikilivu haambiwi di. Binti Kidawa sasa amebaki kulialia tu, hana la kufanya wala lakutenda Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Binti kidawa alianza kutapika na kutema mate baada ya muda upi
{ "text": [ "Mwezi mmoja" ] }
3191_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Binti Kidawa alikuwa msichana wa kipekee katika familia ya Bwana na Bibi Hamida. Alikuwa msichana wa mcha mungu sana alimpenda mungu sana kwani alienda kanisani kila siku na maombi yasiyo kwisha. Alikuwa kidato cha nne akisubiria mtihani wake wa kitaifa. Darasani alikuwa namba moja kwani wengi walimsifia sio walimu, wazazi na hata wanafunzi wanzake. Alifanya kazi zote za walimu kwa wakati ufao na alitaka kujua mengi asiyoyafahamu kwajili ya kuhitimu katika kidato cha nne. Binti Kidawa alikuwa msichana mtiifu kwa wazazi na pia walimu kwani alifanya kazi zote alizoagiziwa na mamake wakiwa nyumbani. Alisifiwa na kila mtu apitae kwani watu walimpenda sana Binti Kidawa. Binti Kidawa alipomaliza kidato cha nne huku akisubiria majibu yake ya kidato cha nne, alianza kubadilika ghafla kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Kwamba Binti Kidawa alijiona amekua na pembe zimeanza kutokea kwani mama yake alimkanya kwa mienendo na marafiki aliyokua ametangana nao. Lakini wapi, kwani alikuwa kama asiyesikia la mwadhini wala mteka maji msikitini . Hivyo basi Binti Kidawa hakusikia la mama yake na wazazi wake ila aliendelea kufanya alichokuwa akiendelea. Alikanywa wala hakukanyika, aliambiwa wala hakusikia kilicho baki tu wazazi wake walimuacha afunzwe na ulimwengu kwamba sikio halisikii dawa. Mchovya asali huchovya mara nyingi Binti Kidawa aliyekuwa msichana mtiifu kila aina ya sifa alipewa yeye kwamba alikuwa na heshima na kumpenda mungu. Kwani Binti Kidawa alikuwa amekwisha poteza maisha yake. Naam, baada ya mwezi moja, Binti Kidawa alianza kutapika tapika na kutema mate huku alikuwa amekonda kakondeana kama sindano iliyokuwa kitandani tu. Urembo aliyokuwa nayo Binti Kidawa alikuwa hauonekani tena, amebaki kama mifupa tu. Naam, licha kuwa Binti Kidawa alikuwa mwerevu darasani na mwenye mcha mungu na kupenda wazazi wake na walimu amebaki tu akilialia kwa kutosikiza wazazi wake. Kwani hivyo basi alikuwa ameambukizwa ugonjwa wa kutamaucha wa ukimwi na pia alipachikwa mimba. Fahamu hayo Binti Kidawa alipoteza usichana wake na kwa kutojuwa cha kufanya kwani mtoto msikilivu haambiwi di. Binti Kidawa sasa amebaki kulialia tu, hana la kufanya wala lakutenda Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Binti kidawa alikonda na kukondeana akawa kama nini
{ "text": [ "Sindano" ] }
3191_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Binti Kidawa alikuwa msichana wa kipekee katika familia ya Bwana na Bibi Hamida. Alikuwa msichana wa mcha mungu sana alimpenda mungu sana kwani alienda kanisani kila siku na maombi yasiyo kwisha. Alikuwa kidato cha nne akisubiria mtihani wake wa kitaifa. Darasani alikuwa namba moja kwani wengi walimsifia sio walimu, wazazi na hata wanafunzi wanzake. Alifanya kazi zote za walimu kwa wakati ufao na alitaka kujua mengi asiyoyafahamu kwajili ya kuhitimu katika kidato cha nne. Binti Kidawa alikuwa msichana mtiifu kwa wazazi na pia walimu kwani alifanya kazi zote alizoagiziwa na mamake wakiwa nyumbani. Alisifiwa na kila mtu apitae kwani watu walimpenda sana Binti Kidawa. Binti Kidawa alipomaliza kidato cha nne huku akisubiria majibu yake ya kidato cha nne, alianza kubadilika ghafla kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Kwamba Binti Kidawa alijiona amekua na pembe zimeanza kutokea kwani mama yake alimkanya kwa mienendo na marafiki aliyokua ametangana nao. Lakini wapi, kwani alikuwa kama asiyesikia la mwadhini wala mteka maji msikitini . Hivyo basi Binti Kidawa hakusikia la mama yake na wazazi wake ila aliendelea kufanya alichokuwa akiendelea. Alikanywa wala hakukanyika, aliambiwa wala hakusikia kilicho baki tu wazazi wake walimuacha afunzwe na ulimwengu kwamba sikio halisikii dawa. Mchovya asali huchovya mara nyingi Binti Kidawa aliyekuwa msichana mtiifu kila aina ya sifa alipewa yeye kwamba alikuwa na heshima na kumpenda mungu. Kwani Binti Kidawa alikuwa amekwisha poteza maisha yake. Naam, baada ya mwezi moja, Binti Kidawa alianza kutapika tapika na kutema mate huku alikuwa amekonda kakondeana kama sindano iliyokuwa kitandani tu. Urembo aliyokuwa nayo Binti Kidawa alikuwa hauonekani tena, amebaki kama mifupa tu. Naam, licha kuwa Binti Kidawa alikuwa mwerevu darasani na mwenye mcha mungu na kupenda wazazi wake na walimu amebaki tu akilialia kwa kutosikiza wazazi wake. Kwani hivyo basi alikuwa ameambukizwa ugonjwa wa kutamaucha wa ukimwi na pia alipachikwa mimba. Fahamu hayo Binti Kidawa alipoteza usichana wake na kwa kutojuwa cha kufanya kwani mtoto msikilivu haambiwi di. Binti Kidawa sasa amebaki kulialia tu, hana la kufanya wala lakutenda Ama kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ni vipi binti Kidawa alipoteza usichana wake
{ "text": [ "Kwa kupachikwa mimba" ] }
3192_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kisasa ambao umewadia nchini Kenya ili kurahisisha mambo. Hususan, imefanya dunia ambayo inaonekana kama sayari kubwa kuwa kama kijiji kwasababu mawasiliano yamekuwa rahisi mno. Teknolojia imeleta mfumo wa simu ainatiainati kama vile rununu, kikokotoo, runinga na kadhalika. Wanafunzi wengi wanatumia hizi simu ili kuwasaidia kupata masomo ya ziada. Wanatumia hiyo simu kuongea na wavyele wao. Utapata mwanafunzi amesafiri kwenda chuo . Ili yule mzazi ajue mwanawe anaendelea vipi na amefikia wapi. Wanafunzi hutumia hizi runinga vikokotoo kufanya hesabu katika masomo yao ya hisabati ili wasipoteza muda mwingi. Kupitia runinga wanafunzi hutazama ili wajue taarifa za habari nchini na pia ulimwenguni. Wanafunzi hutumia hizo runinga kutazama filamu mbali mbali ili kuweka nadhari na kutizama kitendawili, mafumbo hasa kuchemsha bongo. Kupitia teknolojia, wanafunzi wengi wamepata kujua elimu jinsi ya kutumia meko ya kisasa kama vile (gas cooker, electric cooker) kwa lugha ya kimombo na kadhalika. Wamejua pia mashine za kufua na jinsi yakutumia kupitia somo la sayansi ya kijamii. Wanajua jinsi ya kutumia pasi ya stima na madhara yake. Wanafunzi wamejuwa mifumo mipya ya usafiri wa njiani, barabarani, hewani na pia ya majini. Usafiri wa vyombo vinavyotumika kupitia teknolojia, wanafunzi wanaelimishwa jinsi ya kutumia aina za usafiri kama vile wa njiani. Jinsi ya kutumia zile ishara za barabara ili kuzungumza na madereva. Hakika teknolojia imefanya wanafunzi kupata motisha kwa masomo yao. Wanagenzi wanasomea somo la tarakilishi na jinsi ya kutumia bila tatanishi. Hili somo huwawezesha hata wanapoingia katika ajira ya kampuni au pia kupata elimu. Kando na kuwa kuna umuhimu madhara yake yamekithiri na kufanya wanafunzi kubadilika katika hulka zao. Wanagenzi wa sekondari wengi karibu asilimia 90% wanatekwa na nadhari zao kupitia hii teknolojia. Wengi wao wanashindwa kutatua au kutenga muda wao wa masomo na muda wa kuzitumia. Simu zimeathiri wanafunzi wa sekondari kwa kutazama filamu chafu za ngono, kufanya mahusiano kupitia hizo simu na utakuta hakuna heshina. Mtu mzima na mwanafunzi wa sekondari kudanganya mambo yasiyo ya maana. Wanafunzi wengi utapata wana kiburi na ujeuri huku wanakosa kuwa na heshima na taadhima. Huku wakiwa kejeli wavyele wao na kuwaona si kitu kamwe. Wanafunzi wengi wanapofika majumbani mwao, wao hutumia meko ya gesi au stima. Hii inawafanya wawe wavivu wasijue gharama ya kutafuta ukini na kuuchochea. Wanafunzi wengi hawajui mila na tamaduni zao. Mavazi ya kisasa imewafanya wasiweze kutofautisha mavazi. Utapata hawa wanafunzi wa sekondari hususan wa kike wanavalia minisketi au mavazi ya kuwabana hata wasiweze kujisitiri. Umbo lao lote linakuwa nje. Hata wale wazee wanashindwa kukaa nao na kuwaelimisha. Vyakula vya kisasa kama vile (pizza, hotdogs) huwa na mafuta mengi na huwa na ile madini ya chakula kutoka shambani hadi vikaangoni na kuongezwa madini ya kisasa. Huathiri mili na kufanya mili kufura na magonjwa kulipuka kama vile saratani. Wanagenzi wanapaswa waelimishwe jinsi ya kupambana na teknolojia ili wapate kusaidika. Kabla teknolojia wanagenzi walikuwa shambani wanalima lakini hizi mashine zimewafanya wazorote maadamu wanajuwa kuwa teknolojia imewarahisishia kazi. Thakafa, vyote ving’aavyo si dhahabu.
Teknolojia imefanya dunia kuwa kama nini
{ "text": [ "Kijiji" ] }
3192_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kisasa ambao umewadia nchini Kenya ili kurahisisha mambo. Hususan, imefanya dunia ambayo inaonekana kama sayari kubwa kuwa kama kijiji kwasababu mawasiliano yamekuwa rahisi mno. Teknolojia imeleta mfumo wa simu ainatiainati kama vile rununu, kikokotoo, runinga na kadhalika. Wanafunzi wengi wanatumia hizi simu ili kuwasaidia kupata masomo ya ziada. Wanatumia hiyo simu kuongea na wavyele wao. Utapata mwanafunzi amesafiri kwenda chuo . Ili yule mzazi ajue mwanawe anaendelea vipi na amefikia wapi. Wanafunzi hutumia hizi runinga vikokotoo kufanya hesabu katika masomo yao ya hisabati ili wasipoteza muda mwingi. Kupitia runinga wanafunzi hutazama ili wajue taarifa za habari nchini na pia ulimwenguni. Wanafunzi hutumia hizo runinga kutazama filamu mbali mbali ili kuweka nadhari na kutizama kitendawili, mafumbo hasa kuchemsha bongo. Kupitia teknolojia, wanafunzi wengi wamepata kujua elimu jinsi ya kutumia meko ya kisasa kama vile (gas cooker, electric cooker) kwa lugha ya kimombo na kadhalika. Wamejua pia mashine za kufua na jinsi yakutumia kupitia somo la sayansi ya kijamii. Wanajua jinsi ya kutumia pasi ya stima na madhara yake. Wanafunzi wamejuwa mifumo mipya ya usafiri wa njiani, barabarani, hewani na pia ya majini. Usafiri wa vyombo vinavyotumika kupitia teknolojia, wanafunzi wanaelimishwa jinsi ya kutumia aina za usafiri kama vile wa njiani. Jinsi ya kutumia zile ishara za barabara ili kuzungumza na madereva. Hakika teknolojia imefanya wanafunzi kupata motisha kwa masomo yao. Wanagenzi wanasomea somo la tarakilishi na jinsi ya kutumia bila tatanishi. Hili somo huwawezesha hata wanapoingia katika ajira ya kampuni au pia kupata elimu. Kando na kuwa kuna umuhimu madhara yake yamekithiri na kufanya wanafunzi kubadilika katika hulka zao. Wanagenzi wa sekondari wengi karibu asilimia 90% wanatekwa na nadhari zao kupitia hii teknolojia. Wengi wao wanashindwa kutatua au kutenga muda wao wa masomo na muda wa kuzitumia. Simu zimeathiri wanafunzi wa sekondari kwa kutazama filamu chafu za ngono, kufanya mahusiano kupitia hizo simu na utakuta hakuna heshina. Mtu mzima na mwanafunzi wa sekondari kudanganya mambo yasiyo ya maana. Wanafunzi wengi utapata wana kiburi na ujeuri huku wanakosa kuwa na heshima na taadhima. Huku wakiwa kejeli wavyele wao na kuwaona si kitu kamwe. Wanafunzi wengi wanapofika majumbani mwao, wao hutumia meko ya gesi au stima. Hii inawafanya wawe wavivu wasijue gharama ya kutafuta ukini na kuuchochea. Wanafunzi wengi hawajui mila na tamaduni zao. Mavazi ya kisasa imewafanya wasiweze kutofautisha mavazi. Utapata hawa wanafunzi wa sekondari hususan wa kike wanavalia minisketi au mavazi ya kuwabana hata wasiweze kujisitiri. Umbo lao lote linakuwa nje. Hata wale wazee wanashindwa kukaa nao na kuwaelimisha. Vyakula vya kisasa kama vile (pizza, hotdogs) huwa na mafuta mengi na huwa na ile madini ya chakula kutoka shambani hadi vikaangoni na kuongezwa madini ya kisasa. Huathiri mili na kufanya mili kufura na magonjwa kulipuka kama vile saratani. Wanagenzi wanapaswa waelimishwe jinsi ya kupambana na teknolojia ili wapate kusaidika. Kabla teknolojia wanagenzi walikuwa shambani wanalima lakini hizi mashine zimewafanya wazorote maadamu wanajuwa kuwa teknolojia imewarahisishia kazi. Thakafa, vyote ving’aavyo si dhahabu.
Wanafunzi hutumia nini kupata habari za ulimwenguni
{ "text": [ "Runinga" ] }
3192_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kisasa ambao umewadia nchini Kenya ili kurahisisha mambo. Hususan, imefanya dunia ambayo inaonekana kama sayari kubwa kuwa kama kijiji kwasababu mawasiliano yamekuwa rahisi mno. Teknolojia imeleta mfumo wa simu ainatiainati kama vile rununu, kikokotoo, runinga na kadhalika. Wanafunzi wengi wanatumia hizi simu ili kuwasaidia kupata masomo ya ziada. Wanatumia hiyo simu kuongea na wavyele wao. Utapata mwanafunzi amesafiri kwenda chuo . Ili yule mzazi ajue mwanawe anaendelea vipi na amefikia wapi. Wanafunzi hutumia hizi runinga vikokotoo kufanya hesabu katika masomo yao ya hisabati ili wasipoteza muda mwingi. Kupitia runinga wanafunzi hutazama ili wajue taarifa za habari nchini na pia ulimwenguni. Wanafunzi hutumia hizo runinga kutazama filamu mbali mbali ili kuweka nadhari na kutizama kitendawili, mafumbo hasa kuchemsha bongo. Kupitia teknolojia, wanafunzi wengi wamepata kujua elimu jinsi ya kutumia meko ya kisasa kama vile (gas cooker, electric cooker) kwa lugha ya kimombo na kadhalika. Wamejua pia mashine za kufua na jinsi yakutumia kupitia somo la sayansi ya kijamii. Wanajua jinsi ya kutumia pasi ya stima na madhara yake. Wanafunzi wamejuwa mifumo mipya ya usafiri wa njiani, barabarani, hewani na pia ya majini. Usafiri wa vyombo vinavyotumika kupitia teknolojia, wanafunzi wanaelimishwa jinsi ya kutumia aina za usafiri kama vile wa njiani. Jinsi ya kutumia zile ishara za barabara ili kuzungumza na madereva. Hakika teknolojia imefanya wanafunzi kupata motisha kwa masomo yao. Wanagenzi wanasomea somo la tarakilishi na jinsi ya kutumia bila tatanishi. Hili somo huwawezesha hata wanapoingia katika ajira ya kampuni au pia kupata elimu. Kando na kuwa kuna umuhimu madhara yake yamekithiri na kufanya wanafunzi kubadilika katika hulka zao. Wanagenzi wa sekondari wengi karibu asilimia 90% wanatekwa na nadhari zao kupitia hii teknolojia. Wengi wao wanashindwa kutatua au kutenga muda wao wa masomo na muda wa kuzitumia. Simu zimeathiri wanafunzi wa sekondari kwa kutazama filamu chafu za ngono, kufanya mahusiano kupitia hizo simu na utakuta hakuna heshina. Mtu mzima na mwanafunzi wa sekondari kudanganya mambo yasiyo ya maana. Wanafunzi wengi utapata wana kiburi na ujeuri huku wanakosa kuwa na heshima na taadhima. Huku wakiwa kejeli wavyele wao na kuwaona si kitu kamwe. Wanafunzi wengi wanapofika majumbani mwao, wao hutumia meko ya gesi au stima. Hii inawafanya wawe wavivu wasijue gharama ya kutafuta ukini na kuuchochea. Wanafunzi wengi hawajui mila na tamaduni zao. Mavazi ya kisasa imewafanya wasiweze kutofautisha mavazi. Utapata hawa wanafunzi wa sekondari hususan wa kike wanavalia minisketi au mavazi ya kuwabana hata wasiweze kujisitiri. Umbo lao lote linakuwa nje. Hata wale wazee wanashindwa kukaa nao na kuwaelimisha. Vyakula vya kisasa kama vile (pizza, hotdogs) huwa na mafuta mengi na huwa na ile madini ya chakula kutoka shambani hadi vikaangoni na kuongezwa madini ya kisasa. Huathiri mili na kufanya mili kufura na magonjwa kulipuka kama vile saratani. Wanagenzi wanapaswa waelimishwe jinsi ya kupambana na teknolojia ili wapate kusaidika. Kabla teknolojia wanagenzi walikuwa shambani wanalima lakini hizi mashine zimewafanya wazorote maadamu wanajuwa kuwa teknolojia imewarahisishia kazi. Thakafa, vyote ving’aavyo si dhahabu.
Wanafunzi hutumia nini kufanya hisabati
{ "text": [ "Vikokotoo" ] }
3192_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kisasa ambao umewadia nchini Kenya ili kurahisisha mambo. Hususan, imefanya dunia ambayo inaonekana kama sayari kubwa kuwa kama kijiji kwasababu mawasiliano yamekuwa rahisi mno. Teknolojia imeleta mfumo wa simu ainatiainati kama vile rununu, kikokotoo, runinga na kadhalika. Wanafunzi wengi wanatumia hizi simu ili kuwasaidia kupata masomo ya ziada. Wanatumia hiyo simu kuongea na wavyele wao. Utapata mwanafunzi amesafiri kwenda chuo . Ili yule mzazi ajue mwanawe anaendelea vipi na amefikia wapi. Wanafunzi hutumia hizi runinga vikokotoo kufanya hesabu katika masomo yao ya hisabati ili wasipoteza muda mwingi. Kupitia runinga wanafunzi hutazama ili wajue taarifa za habari nchini na pia ulimwenguni. Wanafunzi hutumia hizo runinga kutazama filamu mbali mbali ili kuweka nadhari na kutizama kitendawili, mafumbo hasa kuchemsha bongo. Kupitia teknolojia, wanafunzi wengi wamepata kujua elimu jinsi ya kutumia meko ya kisasa kama vile (gas cooker, electric cooker) kwa lugha ya kimombo na kadhalika. Wamejua pia mashine za kufua na jinsi yakutumia kupitia somo la sayansi ya kijamii. Wanajua jinsi ya kutumia pasi ya stima na madhara yake. Wanafunzi wamejuwa mifumo mipya ya usafiri wa njiani, barabarani, hewani na pia ya majini. Usafiri wa vyombo vinavyotumika kupitia teknolojia, wanafunzi wanaelimishwa jinsi ya kutumia aina za usafiri kama vile wa njiani. Jinsi ya kutumia zile ishara za barabara ili kuzungumza na madereva. Hakika teknolojia imefanya wanafunzi kupata motisha kwa masomo yao. Wanagenzi wanasomea somo la tarakilishi na jinsi ya kutumia bila tatanishi. Hili somo huwawezesha hata wanapoingia katika ajira ya kampuni au pia kupata elimu. Kando na kuwa kuna umuhimu madhara yake yamekithiri na kufanya wanafunzi kubadilika katika hulka zao. Wanagenzi wa sekondari wengi karibu asilimia 90% wanatekwa na nadhari zao kupitia hii teknolojia. Wengi wao wanashindwa kutatua au kutenga muda wao wa masomo na muda wa kuzitumia. Simu zimeathiri wanafunzi wa sekondari kwa kutazama filamu chafu za ngono, kufanya mahusiano kupitia hizo simu na utakuta hakuna heshina. Mtu mzima na mwanafunzi wa sekondari kudanganya mambo yasiyo ya maana. Wanafunzi wengi utapata wana kiburi na ujeuri huku wanakosa kuwa na heshima na taadhima. Huku wakiwa kejeli wavyele wao na kuwaona si kitu kamwe. Wanafunzi wengi wanapofika majumbani mwao, wao hutumia meko ya gesi au stima. Hii inawafanya wawe wavivu wasijue gharama ya kutafuta ukini na kuuchochea. Wanafunzi wengi hawajui mila na tamaduni zao. Mavazi ya kisasa imewafanya wasiweze kutofautisha mavazi. Utapata hawa wanafunzi wa sekondari hususan wa kike wanavalia minisketi au mavazi ya kuwabana hata wasiweze kujisitiri. Umbo lao lote linakuwa nje. Hata wale wazee wanashindwa kukaa nao na kuwaelimisha. Vyakula vya kisasa kama vile (pizza, hotdogs) huwa na mafuta mengi na huwa na ile madini ya chakula kutoka shambani hadi vikaangoni na kuongezwa madini ya kisasa. Huathiri mili na kufanya mili kufura na magonjwa kulipuka kama vile saratani. Wanagenzi wanapaswa waelimishwe jinsi ya kupambana na teknolojia ili wapate kusaidika. Kabla teknolojia wanagenzi walikuwa shambani wanalima lakini hizi mashine zimewafanya wazorote maadamu wanajuwa kuwa teknolojia imewarahisishia kazi. Thakafa, vyote ving’aavyo si dhahabu.
Kando na filamu wanafunzi hutumia runinga kutizama nini
{ "text": [ "Mafumbo na vitendawili" ] }
3192_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kisasa ambao umewadia nchini Kenya ili kurahisisha mambo. Hususan, imefanya dunia ambayo inaonekana kama sayari kubwa kuwa kama kijiji kwasababu mawasiliano yamekuwa rahisi mno. Teknolojia imeleta mfumo wa simu ainatiainati kama vile rununu, kikokotoo, runinga na kadhalika. Wanafunzi wengi wanatumia hizi simu ili kuwasaidia kupata masomo ya ziada. Wanatumia hiyo simu kuongea na wavyele wao. Utapata mwanafunzi amesafiri kwenda chuo . Ili yule mzazi ajue mwanawe anaendelea vipi na amefikia wapi. Wanafunzi hutumia hizi runinga vikokotoo kufanya hesabu katika masomo yao ya hisabati ili wasipoteza muda mwingi. Kupitia runinga wanafunzi hutazama ili wajue taarifa za habari nchini na pia ulimwenguni. Wanafunzi hutumia hizo runinga kutazama filamu mbali mbali ili kuweka nadhari na kutizama kitendawili, mafumbo hasa kuchemsha bongo. Kupitia teknolojia, wanafunzi wengi wamepata kujua elimu jinsi ya kutumia meko ya kisasa kama vile (gas cooker, electric cooker) kwa lugha ya kimombo na kadhalika. Wamejua pia mashine za kufua na jinsi yakutumia kupitia somo la sayansi ya kijamii. Wanajua jinsi ya kutumia pasi ya stima na madhara yake. Wanafunzi wamejuwa mifumo mipya ya usafiri wa njiani, barabarani, hewani na pia ya majini. Usafiri wa vyombo vinavyotumika kupitia teknolojia, wanafunzi wanaelimishwa jinsi ya kutumia aina za usafiri kama vile wa njiani. Jinsi ya kutumia zile ishara za barabara ili kuzungumza na madereva. Hakika teknolojia imefanya wanafunzi kupata motisha kwa masomo yao. Wanagenzi wanasomea somo la tarakilishi na jinsi ya kutumia bila tatanishi. Hili somo huwawezesha hata wanapoingia katika ajira ya kampuni au pia kupata elimu. Kando na kuwa kuna umuhimu madhara yake yamekithiri na kufanya wanafunzi kubadilika katika hulka zao. Wanagenzi wa sekondari wengi karibu asilimia 90% wanatekwa na nadhari zao kupitia hii teknolojia. Wengi wao wanashindwa kutatua au kutenga muda wao wa masomo na muda wa kuzitumia. Simu zimeathiri wanafunzi wa sekondari kwa kutazama filamu chafu za ngono, kufanya mahusiano kupitia hizo simu na utakuta hakuna heshina. Mtu mzima na mwanafunzi wa sekondari kudanganya mambo yasiyo ya maana. Wanafunzi wengi utapata wana kiburi na ujeuri huku wanakosa kuwa na heshima na taadhima. Huku wakiwa kejeli wavyele wao na kuwaona si kitu kamwe. Wanafunzi wengi wanapofika majumbani mwao, wao hutumia meko ya gesi au stima. Hii inawafanya wawe wavivu wasijue gharama ya kutafuta ukini na kuuchochea. Wanafunzi wengi hawajui mila na tamaduni zao. Mavazi ya kisasa imewafanya wasiweze kutofautisha mavazi. Utapata hawa wanafunzi wa sekondari hususan wa kike wanavalia minisketi au mavazi ya kuwabana hata wasiweze kujisitiri. Umbo lao lote linakuwa nje. Hata wale wazee wanashindwa kukaa nao na kuwaelimisha. Vyakula vya kisasa kama vile (pizza, hotdogs) huwa na mafuta mengi na huwa na ile madini ya chakula kutoka shambani hadi vikaangoni na kuongezwa madini ya kisasa. Huathiri mili na kufanya mili kufura na magonjwa kulipuka kama vile saratani. Wanagenzi wanapaswa waelimishwe jinsi ya kupambana na teknolojia ili wapate kusaidika. Kabla teknolojia wanagenzi walikuwa shambani wanalima lakini hizi mashine zimewafanya wazorote maadamu wanajuwa kuwa teknolojia imewarahisishia kazi. Thakafa, vyote ving’aavyo si dhahabu.
Kupitia teknolojia wanafunzi hujifunza kutumia nini
{ "text": [ "Meko" ] }
3193_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mtu yeyote atakaye kinai maagizo, mafunzo au masharti ya watu wazima waliowashinda umri kwa ku kejeli amri zao, basi hawanabudi ila kuumia kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumika kuwaonya hususan wale vijana kusikiliza mawaidha au maonyo kutoka kwa wavyele wao au hata pia majirani au watu wale wazima au wakongwe. Si Vijana pekee bali pia hata wale wajuzi. Kwa mfano, utapata nimehitimu cheo cha udaktari na nimefanya kazi kwa miaka kumi. Iwapo labda kuna wanafunzi ambaye wamehitimu naeza kumuelimisha na kumwambia jinsi ya kufanya yale mambo yanayomtatiza. Katika kitongoji kimoja cha uwehi, paliondokea msichana mmoja kwa jina Sufia. Sufia alikuwa msichana kidosho na mwenye hulka nzuri zenye kuvutia. Aliwaheshimu wavyele wake na kuwaenzi kwani alifahamu kuwa heshima si utumwa. Adinasi wengi walimsifia Sufia kwani alikuwa mwenye bidii ya mchwa na abenzi majirani, marafiki na pia watoto wenzake. Muda si muda tabia za Sufia zilianza kuzorota na kubadilika. Aliambatana na wanafunzi wenzake wa kidato cha tano kwani walimpokeza akaanza kuvuta bangi na kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi. Alianza kuwadharau wavyele wake na kuwa kejeli. Waja kitongojini hawakuamini kwani Sufia alikuwa amezidi. Alionywa na wengi kuwacha hulka hizo za bangi na mahusiano yasioeleweka lakini wapi, sikio la kufa halisikii dawa. Wavyele wake hususan mamake aliumia sana moyoni kwani hakuamini kilichomtokea mwanawe. Punde si punde alikuwa mjamzito kwani kilikuwa kisa cha kushtua. Aliamua kuitoa mimba na kwa bahati mbaya akapoteza uhai wake na wa mwanao. Thakafa, ni heri kutii kuliko kutoa. Inafahamika kuwa hata kama unadharau zako, ikifika wakati wa mafunzo au maonyo, heshimu kwani pindi unavyoruhusu sikio lako kusikiliza na uyatilie maanani basi maisha unatoboa. Watu wengi hususan vijana wanaona wakiitikia sheria za wavyele au wajuzi wataonekana wapungufu lakini wapi. Heri wajinyenyekeze watii na kusikia ili maisha yawe shwari.
Mbio za sakafuni huishia wapi
{ "text": [ "Ukingoni" ] }
3193_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mtu yeyote atakaye kinai maagizo, mafunzo au masharti ya watu wazima waliowashinda umri kwa ku kejeli amri zao, basi hawanabudi ila kuumia kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumika kuwaonya hususan wale vijana kusikiliza mawaidha au maonyo kutoka kwa wavyele wao au hata pia majirani au watu wale wazima au wakongwe. Si Vijana pekee bali pia hata wale wajuzi. Kwa mfano, utapata nimehitimu cheo cha udaktari na nimefanya kazi kwa miaka kumi. Iwapo labda kuna wanafunzi ambaye wamehitimu naeza kumuelimisha na kumwambia jinsi ya kufanya yale mambo yanayomtatiza. Katika kitongoji kimoja cha uwehi, paliondokea msichana mmoja kwa jina Sufia. Sufia alikuwa msichana kidosho na mwenye hulka nzuri zenye kuvutia. Aliwaheshimu wavyele wake na kuwaenzi kwani alifahamu kuwa heshima si utumwa. Adinasi wengi walimsifia Sufia kwani alikuwa mwenye bidii ya mchwa na abenzi majirani, marafiki na pia watoto wenzake. Muda si muda tabia za Sufia zilianza kuzorota na kubadilika. Aliambatana na wanafunzi wenzake wa kidato cha tano kwani walimpokeza akaanza kuvuta bangi na kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi. Alianza kuwadharau wavyele wake na kuwa kejeli. Waja kitongojini hawakuamini kwani Sufia alikuwa amezidi. Alionywa na wengi kuwacha hulka hizo za bangi na mahusiano yasioeleweka lakini wapi, sikio la kufa halisikii dawa. Wavyele wake hususan mamake aliumia sana moyoni kwani hakuamini kilichomtokea mwanawe. Punde si punde alikuwa mjamzito kwani kilikuwa kisa cha kushtua. Aliamua kuitoa mimba na kwa bahati mbaya akapoteza uhai wake na wa mwanao. Thakafa, ni heri kutii kuliko kutoa. Inafahamika kuwa hata kama unadharau zako, ikifika wakati wa mafunzo au maonyo, heshimu kwani pindi unavyoruhusu sikio lako kusikiliza na uyatilie maanani basi maisha unatoboa. Watu wengi hususan vijana wanaona wakiitikia sheria za wavyele au wajuzi wataonekana wapungufu lakini wapi. Heri wajinyenyekeze watii na kusikia ili maisha yawe shwari.
Paliondokea msichana mmoja aliyeitwa kwa jina gani
{ "text": [ "Safia" ] }
3193_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mtu yeyote atakaye kinai maagizo, mafunzo au masharti ya watu wazima waliowashinda umri kwa ku kejeli amri zao, basi hawanabudi ila kuumia kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumika kuwaonya hususan wale vijana kusikiliza mawaidha au maonyo kutoka kwa wavyele wao au hata pia majirani au watu wale wazima au wakongwe. Si Vijana pekee bali pia hata wale wajuzi. Kwa mfano, utapata nimehitimu cheo cha udaktari na nimefanya kazi kwa miaka kumi. Iwapo labda kuna wanafunzi ambaye wamehitimu naeza kumuelimisha na kumwambia jinsi ya kufanya yale mambo yanayomtatiza. Katika kitongoji kimoja cha uwehi, paliondokea msichana mmoja kwa jina Sufia. Sufia alikuwa msichana kidosho na mwenye hulka nzuri zenye kuvutia. Aliwaheshimu wavyele wake na kuwaenzi kwani alifahamu kuwa heshima si utumwa. Adinasi wengi walimsifia Sufia kwani alikuwa mwenye bidii ya mchwa na abenzi majirani, marafiki na pia watoto wenzake. Muda si muda tabia za Sufia zilianza kuzorota na kubadilika. Aliambatana na wanafunzi wenzake wa kidato cha tano kwani walimpokeza akaanza kuvuta bangi na kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi. Alianza kuwadharau wavyele wake na kuwa kejeli. Waja kitongojini hawakuamini kwani Sufia alikuwa amezidi. Alionywa na wengi kuwacha hulka hizo za bangi na mahusiano yasioeleweka lakini wapi, sikio la kufa halisikii dawa. Wavyele wake hususan mamake aliumia sana moyoni kwani hakuamini kilichomtokea mwanawe. Punde si punde alikuwa mjamzito kwani kilikuwa kisa cha kushtua. Aliamua kuitoa mimba na kwa bahati mbaya akapoteza uhai wake na wa mwanao. Thakafa, ni heri kutii kuliko kutoa. Inafahamika kuwa hata kama unadharau zako, ikifika wakati wa mafunzo au maonyo, heshimu kwani pindi unavyoruhusu sikio lako kusikiliza na uyatilie maanani basi maisha unatoboa. Watu wengi hususan vijana wanaona wakiitikia sheria za wavyele au wajuzi wataonekana wapungufu lakini wapi. Heri wajinyenyekeze watii na kusikia ili maisha yawe shwari.
Muda si muda tabia za Safia zilianza kufanyika nini
{ "text": [ "Kuzorota na kubadilika" ] }
3193_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mtu yeyote atakaye kinai maagizo, mafunzo au masharti ya watu wazima waliowashinda umri kwa ku kejeli amri zao, basi hawanabudi ila kuumia kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumika kuwaonya hususan wale vijana kusikiliza mawaidha au maonyo kutoka kwa wavyele wao au hata pia majirani au watu wale wazima au wakongwe. Si Vijana pekee bali pia hata wale wajuzi. Kwa mfano, utapata nimehitimu cheo cha udaktari na nimefanya kazi kwa miaka kumi. Iwapo labda kuna wanafunzi ambaye wamehitimu naeza kumuelimisha na kumwambia jinsi ya kufanya yale mambo yanayomtatiza. Katika kitongoji kimoja cha uwehi, paliondokea msichana mmoja kwa jina Sufia. Sufia alikuwa msichana kidosho na mwenye hulka nzuri zenye kuvutia. Aliwaheshimu wavyele wake na kuwaenzi kwani alifahamu kuwa heshima si utumwa. Adinasi wengi walimsifia Sufia kwani alikuwa mwenye bidii ya mchwa na abenzi majirani, marafiki na pia watoto wenzake. Muda si muda tabia za Sufia zilianza kuzorota na kubadilika. Aliambatana na wanafunzi wenzake wa kidato cha tano kwani walimpokeza akaanza kuvuta bangi na kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi. Alianza kuwadharau wavyele wake na kuwa kejeli. Waja kitongojini hawakuamini kwani Sufia alikuwa amezidi. Alionywa na wengi kuwacha hulka hizo za bangi na mahusiano yasioeleweka lakini wapi, sikio la kufa halisikii dawa. Wavyele wake hususan mamake aliumia sana moyoni kwani hakuamini kilichomtokea mwanawe. Punde si punde alikuwa mjamzito kwani kilikuwa kisa cha kushtua. Aliamua kuitoa mimba na kwa bahati mbaya akapoteza uhai wake na wa mwanao. Thakafa, ni heri kutii kuliko kutoa. Inafahamika kuwa hata kama unadharau zako, ikifika wakati wa mafunzo au maonyo, heshimu kwani pindi unavyoruhusu sikio lako kusikiliza na uyatilie maanani basi maisha unatoboa. Watu wengi hususan vijana wanaona wakiitikia sheria za wavyele au wajuzi wataonekana wapungufu lakini wapi. Heri wajinyenyekeze watii na kusikia ili maisha yawe shwari.
Safia alianza kuvuta nini
{ "text": [ "Bangi" ] }
3193_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa mtu yeyote atakaye kinai maagizo, mafunzo au masharti ya watu wazima waliowashinda umri kwa ku kejeli amri zao, basi hawanabudi ila kuumia kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni. Methali hii hutumika kuwaonya hususan wale vijana kusikiliza mawaidha au maonyo kutoka kwa wavyele wao au hata pia majirani au watu wale wazima au wakongwe. Si Vijana pekee bali pia hata wale wajuzi. Kwa mfano, utapata nimehitimu cheo cha udaktari na nimefanya kazi kwa miaka kumi. Iwapo labda kuna wanafunzi ambaye wamehitimu naeza kumuelimisha na kumwambia jinsi ya kufanya yale mambo yanayomtatiza. Katika kitongoji kimoja cha uwehi, paliondokea msichana mmoja kwa jina Sufia. Sufia alikuwa msichana kidosho na mwenye hulka nzuri zenye kuvutia. Aliwaheshimu wavyele wake na kuwaenzi kwani alifahamu kuwa heshima si utumwa. Adinasi wengi walimsifia Sufia kwani alikuwa mwenye bidii ya mchwa na abenzi majirani, marafiki na pia watoto wenzake. Muda si muda tabia za Sufia zilianza kuzorota na kubadilika. Aliambatana na wanafunzi wenzake wa kidato cha tano kwani walimpokeza akaanza kuvuta bangi na kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi. Alianza kuwadharau wavyele wake na kuwa kejeli. Waja kitongojini hawakuamini kwani Sufia alikuwa amezidi. Alionywa na wengi kuwacha hulka hizo za bangi na mahusiano yasioeleweka lakini wapi, sikio la kufa halisikii dawa. Wavyele wake hususan mamake aliumia sana moyoni kwani hakuamini kilichomtokea mwanawe. Punde si punde alikuwa mjamzito kwani kilikuwa kisa cha kushtua. Aliamua kuitoa mimba na kwa bahati mbaya akapoteza uhai wake na wa mwanao. Thakafa, ni heri kutii kuliko kutoa. Inafahamika kuwa hata kama unadharau zako, ikifika wakati wa mafunzo au maonyo, heshimu kwani pindi unavyoruhusu sikio lako kusikiliza na uyatilie maanani basi maisha unatoboa. Watu wengi hususan vijana wanaona wakiitikia sheria za wavyele au wajuzi wataonekana wapungufu lakini wapi. Heri wajinyenyekeze watii na kusikia ili maisha yawe shwari.
Kwa nini Safia alipoteza uhai wake
{ "text": [ "Kwa sababu aliamua kutoa mimba" ] }
3195_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Paliondokea msichana mmoja aliyeitwa Mkadi. Mkadi alikuwa msichana mrembo aliyevutia watu wengi. Wote wa kike na wa kiume walipendezwa na umbo na uzuri wake. Kilichowafurahisha zaidi kuhusu Mkadi ni kwamba alikuwa marcha mwenye sifa na tabia yuma. Mkadi aliheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Alikuwa msichana mtiifu sana mwenye miendo mizuri. Jambo hilo lilimchangia yeye kupenda zaidi kwani urembo wake ulizidi kun’gaa na kumetameta kwa sababu ya tabia zake nje. Mkadi alikuwa msichana aliyependa kuvalia mavazi ya heshima. Pia alikuwa mwimbaji mkuu katika kanisa kwani alikuwa amejaliwa na sauti nzuri na ya kupendeza iliweza kumtoa nyoka pangoni. Lakini wahenga hawakukosea walipoamba kuwa mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Mkadi alipowasili kidato cha sita alianza kubadilika mno. Alianza kutowa heshimu watu, na hata pia wazazi wake. Kila mmoja alishangazwa naye kwani Mkadi waliomjua na huyu wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Kila mtu hakuamini mabadiliko hayo mapya ya Mkadi. Kilichowashangaza zaidi ni kwanini Mkadi alikuwa kabadilika ghafla hali ambayo haikuwa ya kawaida. Wazazi waliamua kuyafanya utafiti ili kutafuta chanzo kilichomfanya Mkadi abadilike ghaflå kwani alibadilika sana mithili ya kutohudhuria katika jengo kuu la kuabudu na pia hata kutoongoza nyimbo katika kanisa alilokuwa akienda. Baada ya muda mfupi, wazazi walipata , jibu ya maswali yao. Waligundua ya kwamba mwana wao Mkadi alikuwa ameambatana na marafiki waliojulikana kuwa na sifa na tabia mbaya. Wazazi wa Mkadi walijaribu kumwambia aachane na marafiki hao lakini Mkadi alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Hata pia viongozi wakuu wa kanisa waimwita Mkadi ilikumpa mawaidha lakini hata hayo hayakufua dafu. Kilichosalia kwa Mkadi kuwaachiwa ulimwengu kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Siku baada ya siku Mkadi naye alizidi kubadilika ikifikia muda ya kwamba Mkadi alikuwa akitoroka nyumbani na kulala nje. Wazazi walihuzunishwa na jambo hilo lakini Mkadi hakujali kuhusu maumivu ya wazazi wake. Lakini Mkadi alisahau kwamba njia za sakafuni huishia ukingoni kwani hali ya Mkadi ilianza kubadilika ghafla alianza kutapika na kudhoofika kiafya . Wazazi waliamua kumpleka hospitali kufanyiwa uchunguzi na baada ya hayo ilisemekana kuwa Mkadi alikuwa mjamzito na cha kusikitisha ni kwamba Mkadi alikuwa ameathirika na ugonjwa sugu lisilo na tiba yaani ugonjwa wa ukimwi. Mkadi alilia kwa machungu lakini hangeweza kufanya chochote kwani alionywa tangu mwanzoni na hakusikia. Hapo ndipo nilijifunza kuwa si vyote Ving’aavyo ni dhahabu na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mkadi alivutia nani
{ "text": [ "watu wengi" ] }
3195_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Paliondokea msichana mmoja aliyeitwa Mkadi. Mkadi alikuwa msichana mrembo aliyevutia watu wengi. Wote wa kike na wa kiume walipendezwa na umbo na uzuri wake. Kilichowafurahisha zaidi kuhusu Mkadi ni kwamba alikuwa marcha mwenye sifa na tabia yuma. Mkadi aliheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Alikuwa msichana mtiifu sana mwenye miendo mizuri. Jambo hilo lilimchangia yeye kupenda zaidi kwani urembo wake ulizidi kun’gaa na kumetameta kwa sababu ya tabia zake nje. Mkadi alikuwa msichana aliyependa kuvalia mavazi ya heshima. Pia alikuwa mwimbaji mkuu katika kanisa kwani alikuwa amejaliwa na sauti nzuri na ya kupendeza iliweza kumtoa nyoka pangoni. Lakini wahenga hawakukosea walipoamba kuwa mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Mkadi alipowasili kidato cha sita alianza kubadilika mno. Alianza kutowa heshimu watu, na hata pia wazazi wake. Kila mmoja alishangazwa naye kwani Mkadi waliomjua na huyu wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Kila mtu hakuamini mabadiliko hayo mapya ya Mkadi. Kilichowashangaza zaidi ni kwanini Mkadi alikuwa kabadilika ghafla hali ambayo haikuwa ya kawaida. Wazazi waliamua kuyafanya utafiti ili kutafuta chanzo kilichomfanya Mkadi abadilike ghaflå kwani alibadilika sana mithili ya kutohudhuria katika jengo kuu la kuabudu na pia hata kutoongoza nyimbo katika kanisa alilokuwa akienda. Baada ya muda mfupi, wazazi walipata , jibu ya maswali yao. Waligundua ya kwamba mwana wao Mkadi alikuwa ameambatana na marafiki waliojulikana kuwa na sifa na tabia mbaya. Wazazi wa Mkadi walijaribu kumwambia aachane na marafiki hao lakini Mkadi alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Hata pia viongozi wakuu wa kanisa waimwita Mkadi ilikumpa mawaidha lakini hata hayo hayakufua dafu. Kilichosalia kwa Mkadi kuwaachiwa ulimwengu kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Siku baada ya siku Mkadi naye alizidi kubadilika ikifikia muda ya kwamba Mkadi alikuwa akitoroka nyumbani na kulala nje. Wazazi walihuzunishwa na jambo hilo lakini Mkadi hakujali kuhusu maumivu ya wazazi wake. Lakini Mkadi alisahau kwamba njia za sakafuni huishia ukingoni kwani hali ya Mkadi ilianza kubadilika ghafla alianza kutapika na kudhoofika kiafya . Wazazi waliamua kumpleka hospitali kufanyiwa uchunguzi na baada ya hayo ilisemekana kuwa Mkadi alikuwa mjamzito na cha kusikitisha ni kwamba Mkadi alikuwa ameathirika na ugonjwa sugu lisilo na tiba yaani ugonjwa wa ukimwi. Mkadi alilia kwa machungu lakini hangeweza kufanya chochote kwani alionywa tangu mwanzoni na hakusikia. Hapo ndipo nilijifunza kuwa si vyote Ving’aavyo ni dhahabu na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mkadi alipenda kuvalia mavazi gani
{ "text": [ "ya heshima" ] }
3195_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Paliondokea msichana mmoja aliyeitwa Mkadi. Mkadi alikuwa msichana mrembo aliyevutia watu wengi. Wote wa kike na wa kiume walipendezwa na umbo na uzuri wake. Kilichowafurahisha zaidi kuhusu Mkadi ni kwamba alikuwa marcha mwenye sifa na tabia yuma. Mkadi aliheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Alikuwa msichana mtiifu sana mwenye miendo mizuri. Jambo hilo lilimchangia yeye kupenda zaidi kwani urembo wake ulizidi kun’gaa na kumetameta kwa sababu ya tabia zake nje. Mkadi alikuwa msichana aliyependa kuvalia mavazi ya heshima. Pia alikuwa mwimbaji mkuu katika kanisa kwani alikuwa amejaliwa na sauti nzuri na ya kupendeza iliweza kumtoa nyoka pangoni. Lakini wahenga hawakukosea walipoamba kuwa mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Mkadi alipowasili kidato cha sita alianza kubadilika mno. Alianza kutowa heshimu watu, na hata pia wazazi wake. Kila mmoja alishangazwa naye kwani Mkadi waliomjua na huyu wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Kila mtu hakuamini mabadiliko hayo mapya ya Mkadi. Kilichowashangaza zaidi ni kwanini Mkadi alikuwa kabadilika ghafla hali ambayo haikuwa ya kawaida. Wazazi waliamua kuyafanya utafiti ili kutafuta chanzo kilichomfanya Mkadi abadilike ghaflå kwani alibadilika sana mithili ya kutohudhuria katika jengo kuu la kuabudu na pia hata kutoongoza nyimbo katika kanisa alilokuwa akienda. Baada ya muda mfupi, wazazi walipata , jibu ya maswali yao. Waligundua ya kwamba mwana wao Mkadi alikuwa ameambatana na marafiki waliojulikana kuwa na sifa na tabia mbaya. Wazazi wa Mkadi walijaribu kumwambia aachane na marafiki hao lakini Mkadi alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Hata pia viongozi wakuu wa kanisa waimwita Mkadi ilikumpa mawaidha lakini hata hayo hayakufua dafu. Kilichosalia kwa Mkadi kuwaachiwa ulimwengu kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Siku baada ya siku Mkadi naye alizidi kubadilika ikifikia muda ya kwamba Mkadi alikuwa akitoroka nyumbani na kulala nje. Wazazi walihuzunishwa na jambo hilo lakini Mkadi hakujali kuhusu maumivu ya wazazi wake. Lakini Mkadi alisahau kwamba njia za sakafuni huishia ukingoni kwani hali ya Mkadi ilianza kubadilika ghafla alianza kutapika na kudhoofika kiafya . Wazazi waliamua kumpleka hospitali kufanyiwa uchunguzi na baada ya hayo ilisemekana kuwa Mkadi alikuwa mjamzito na cha kusikitisha ni kwamba Mkadi alikuwa ameathirika na ugonjwa sugu lisilo na tiba yaani ugonjwa wa ukimwi. Mkadi alilia kwa machungu lakini hangeweza kufanya chochote kwani alionywa tangu mwanzoni na hakusikia. Hapo ndipo nilijifunza kuwa si vyote Ving’aavyo ni dhahabu na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Alikuwa mwimbaji mkuu wapi
{ "text": [ "katika kanisa" ] }
3195_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Paliondokea msichana mmoja aliyeitwa Mkadi. Mkadi alikuwa msichana mrembo aliyevutia watu wengi. Wote wa kike na wa kiume walipendezwa na umbo na uzuri wake. Kilichowafurahisha zaidi kuhusu Mkadi ni kwamba alikuwa marcha mwenye sifa na tabia yuma. Mkadi aliheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Alikuwa msichana mtiifu sana mwenye miendo mizuri. Jambo hilo lilimchangia yeye kupenda zaidi kwani urembo wake ulizidi kun’gaa na kumetameta kwa sababu ya tabia zake nje. Mkadi alikuwa msichana aliyependa kuvalia mavazi ya heshima. Pia alikuwa mwimbaji mkuu katika kanisa kwani alikuwa amejaliwa na sauti nzuri na ya kupendeza iliweza kumtoa nyoka pangoni. Lakini wahenga hawakukosea walipoamba kuwa mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Mkadi alipowasili kidato cha sita alianza kubadilika mno. Alianza kutowa heshimu watu, na hata pia wazazi wake. Kila mmoja alishangazwa naye kwani Mkadi waliomjua na huyu wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Kila mtu hakuamini mabadiliko hayo mapya ya Mkadi. Kilichowashangaza zaidi ni kwanini Mkadi alikuwa kabadilika ghafla hali ambayo haikuwa ya kawaida. Wazazi waliamua kuyafanya utafiti ili kutafuta chanzo kilichomfanya Mkadi abadilike ghaflå kwani alibadilika sana mithili ya kutohudhuria katika jengo kuu la kuabudu na pia hata kutoongoza nyimbo katika kanisa alilokuwa akienda. Baada ya muda mfupi, wazazi walipata , jibu ya maswali yao. Waligundua ya kwamba mwana wao Mkadi alikuwa ameambatana na marafiki waliojulikana kuwa na sifa na tabia mbaya. Wazazi wa Mkadi walijaribu kumwambia aachane na marafiki hao lakini Mkadi alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Hata pia viongozi wakuu wa kanisa waimwita Mkadi ilikumpa mawaidha lakini hata hayo hayakufua dafu. Kilichosalia kwa Mkadi kuwaachiwa ulimwengu kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Siku baada ya siku Mkadi naye alizidi kubadilika ikifikia muda ya kwamba Mkadi alikuwa akitoroka nyumbani na kulala nje. Wazazi walihuzunishwa na jambo hilo lakini Mkadi hakujali kuhusu maumivu ya wazazi wake. Lakini Mkadi alisahau kwamba njia za sakafuni huishia ukingoni kwani hali ya Mkadi ilianza kubadilika ghafla alianza kutapika na kudhoofika kiafya . Wazazi waliamua kumpleka hospitali kufanyiwa uchunguzi na baada ya hayo ilisemekana kuwa Mkadi alikuwa mjamzito na cha kusikitisha ni kwamba Mkadi alikuwa ameathirika na ugonjwa sugu lisilo na tiba yaani ugonjwa wa ukimwi. Mkadi alilia kwa machungu lakini hangeweza kufanya chochote kwani alionywa tangu mwanzoni na hakusikia. Hapo ndipo nilijifunza kuwa si vyote Ving’aavyo ni dhahabu na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mkadi alikuwa akitoroka nyumbani na kulala wapi
{ "text": [ "nje" ] }
3195_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Paliondokea msichana mmoja aliyeitwa Mkadi. Mkadi alikuwa msichana mrembo aliyevutia watu wengi. Wote wa kike na wa kiume walipendezwa na umbo na uzuri wake. Kilichowafurahisha zaidi kuhusu Mkadi ni kwamba alikuwa marcha mwenye sifa na tabia yuma. Mkadi aliheshimu wote wakubwa kwa wadogo. Alikuwa msichana mtiifu sana mwenye miendo mizuri. Jambo hilo lilimchangia yeye kupenda zaidi kwani urembo wake ulizidi kun’gaa na kumetameta kwa sababu ya tabia zake nje. Mkadi alikuwa msichana aliyependa kuvalia mavazi ya heshima. Pia alikuwa mwimbaji mkuu katika kanisa kwani alikuwa amejaliwa na sauti nzuri na ya kupendeza iliweza kumtoa nyoka pangoni. Lakini wahenga hawakukosea walipoamba kuwa mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Mkadi alipowasili kidato cha sita alianza kubadilika mno. Alianza kutowa heshimu watu, na hata pia wazazi wake. Kila mmoja alishangazwa naye kwani Mkadi waliomjua na huyu wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Kila mtu hakuamini mabadiliko hayo mapya ya Mkadi. Kilichowashangaza zaidi ni kwanini Mkadi alikuwa kabadilika ghafla hali ambayo haikuwa ya kawaida. Wazazi waliamua kuyafanya utafiti ili kutafuta chanzo kilichomfanya Mkadi abadilike ghaflå kwani alibadilika sana mithili ya kutohudhuria katika jengo kuu la kuabudu na pia hata kutoongoza nyimbo katika kanisa alilokuwa akienda. Baada ya muda mfupi, wazazi walipata , jibu ya maswali yao. Waligundua ya kwamba mwana wao Mkadi alikuwa ameambatana na marafiki waliojulikana kuwa na sifa na tabia mbaya. Wazazi wa Mkadi walijaribu kumwambia aachane na marafiki hao lakini Mkadi alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Hata pia viongozi wakuu wa kanisa waimwita Mkadi ilikumpa mawaidha lakini hata hayo hayakufua dafu. Kilichosalia kwa Mkadi kuwaachiwa ulimwengu kwani asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Siku baada ya siku Mkadi naye alizidi kubadilika ikifikia muda ya kwamba Mkadi alikuwa akitoroka nyumbani na kulala nje. Wazazi walihuzunishwa na jambo hilo lakini Mkadi hakujali kuhusu maumivu ya wazazi wake. Lakini Mkadi alisahau kwamba njia za sakafuni huishia ukingoni kwani hali ya Mkadi ilianza kubadilika ghafla alianza kutapika na kudhoofika kiafya . Wazazi waliamua kumpleka hospitali kufanyiwa uchunguzi na baada ya hayo ilisemekana kuwa Mkadi alikuwa mjamzito na cha kusikitisha ni kwamba Mkadi alikuwa ameathirika na ugonjwa sugu lisilo na tiba yaani ugonjwa wa ukimwi. Mkadi alilia kwa machungu lakini hangeweza kufanya chochote kwani alionywa tangu mwanzoni na hakusikia. Hapo ndipo nilijifunza kuwa si vyote Ving’aavyo ni dhahabu na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mbona Mkadi hakuweza kufanya chochote
{ "text": [ "alionywa tangu mwanzoni na hakusikia" ] }
3196_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Fanyabidii kulikuwa na msichana aliyeitwa Karembo. Banati huyo alikuwa mrembo kama jina lake. Alikuwa mrembo kama tausi. Karembo alisomea katika shule ya Fanyabidii hapo kitongojini. Alipofika darasa la nane aliweza kupita mtihani wake wa kitaifa vizuri. Majibu yalipotolewa aliweza kufuzu vizuri hivyo basi kuitwa shule ya upili ya wasichana ya Mari. Wafadhili waliweza kujitokeza na kumiminika kwao kwani Karembo alikuwa amekuwa nambari moja katika mtihani wake wa kitaifa. Wazazi wake waliweza kufurahi sana hivyo basi Karembo aliweza kujiunga na kidato cha kwanza. Huko shuleni walimu waliweza kumsifu sana kwa bidii yake ya mchwa masomoni. Kila mwalimu aliweza kumpenda na hivyo basi kuchukuliwa mfano kwa wanafunzi wenzake. Alipofika kidato cha pili mambo yakaanza kugeuka. Karembo hakuwa Karembo tena bali aliweza kubadilika kabisa. sifa zote nzuri alizokuwa akiambiwa na walimu ziliisha. Karembo aliweza kujiunga na kikundi cha wasichana waliotumia mihadarati. Karembo alianza kuzorota masomoni. Walimu wake walijaribu kufuatilia chanzo cha Karembo kuzorota masomoni lakini hakuna siri ya watu wawili isiyojulikana. Uchunguzi wa kiundani ulipofanywa hapo shuleni, kikundi cha Karembo kinachojihusisha na mihadarati kiliweza kupatikana. Walimu walijaribu kuwaonya lakini wapi, juhudi zao ziliambulia patupu. Siku moja Karembo na kundi lake tharuka waliruka ukuta wa shule usiku na kwenda nje ya shule. Walikuwa wameenda kununua madawa ya kulevya. Kwa bahati mbaya mwalimu mkuu alikuwa amewaarifu mapolisi kuwa kuna kikundi cha wasichana shuleni walikuwa wametoroka. Usiku huo mapolisi waliweza kuwa makini na kuzunguka jumba la anasa ambalo kikundi cha wanafunzi hao kilikuwamo. Karembo na wenzake walikuwa wamelewa chakari kwa pombe hio waliokuwa wamekunywa. Mara pa! Mapolisi hao waliweza kupenya ndani ya jumba hilo la anasa na kupata kikundi hicho cha wanafunzi hao. Walijaribu kukimbia lakini wapi waliweza kukamatwa na ndani ya vikoba vyao walivyokuwa wamebeba vilipatikana na madawa za kulevya (mihadarati). Mapolisi waliweza kuwatia pingu za mikononi na hivyo basi kufululiza mpaka kwenye gari lao. Lilipoegeshwa, wanafunzi hao walipelekwa kwenye kituo cha polisi na kufunguliwa mashtaka. Waliweza kupewa adhabu ya kifungo cha miaka kumi na tano na kazi ngumu kufanyishwa. Wanafunzi hao walilia sana.Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Karembo na wenzake hawakusikiliza maonyo ya walimu wao hivyo basi kuingia taabani mwishowe.
Msichana aliitwa nani
{ "text": [ "Karembo" ] }
3196_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Fanyabidii kulikuwa na msichana aliyeitwa Karembo. Banati huyo alikuwa mrembo kama jina lake. Alikuwa mrembo kama tausi. Karembo alisomea katika shule ya Fanyabidii hapo kitongojini. Alipofika darasa la nane aliweza kupita mtihani wake wa kitaifa vizuri. Majibu yalipotolewa aliweza kufuzu vizuri hivyo basi kuitwa shule ya upili ya wasichana ya Mari. Wafadhili waliweza kujitokeza na kumiminika kwao kwani Karembo alikuwa amekuwa nambari moja katika mtihani wake wa kitaifa. Wazazi wake waliweza kufurahi sana hivyo basi Karembo aliweza kujiunga na kidato cha kwanza. Huko shuleni walimu waliweza kumsifu sana kwa bidii yake ya mchwa masomoni. Kila mwalimu aliweza kumpenda na hivyo basi kuchukuliwa mfano kwa wanafunzi wenzake. Alipofika kidato cha pili mambo yakaanza kugeuka. Karembo hakuwa Karembo tena bali aliweza kubadilika kabisa. sifa zote nzuri alizokuwa akiambiwa na walimu ziliisha. Karembo aliweza kujiunga na kikundi cha wasichana waliotumia mihadarati. Karembo alianza kuzorota masomoni. Walimu wake walijaribu kufuatilia chanzo cha Karembo kuzorota masomoni lakini hakuna siri ya watu wawili isiyojulikana. Uchunguzi wa kiundani ulipofanywa hapo shuleni, kikundi cha Karembo kinachojihusisha na mihadarati kiliweza kupatikana. Walimu walijaribu kuwaonya lakini wapi, juhudi zao ziliambulia patupu. Siku moja Karembo na kundi lake tharuka waliruka ukuta wa shule usiku na kwenda nje ya shule. Walikuwa wameenda kununua madawa ya kulevya. Kwa bahati mbaya mwalimu mkuu alikuwa amewaarifu mapolisi kuwa kuna kikundi cha wasichana shuleni walikuwa wametoroka. Usiku huo mapolisi waliweza kuwa makini na kuzunguka jumba la anasa ambalo kikundi cha wanafunzi hao kilikuwamo. Karembo na wenzake walikuwa wamelewa chakari kwa pombe hio waliokuwa wamekunywa. Mara pa! Mapolisi hao waliweza kupenya ndani ya jumba hilo la anasa na kupata kikundi hicho cha wanafunzi hao. Walijaribu kukimbia lakini wapi waliweza kukamatwa na ndani ya vikoba vyao walivyokuwa wamebeba vilipatikana na madawa za kulevya (mihadarati). Mapolisi waliweza kuwatia pingu za mikononi na hivyo basi kufululiza mpaka kwenye gari lao. Lilipoegeshwa, wanafunzi hao walipelekwa kwenye kituo cha polisi na kufunguliwa mashtaka. Waliweza kupewa adhabu ya kifungo cha miaka kumi na tano na kazi ngumu kufanyishwa. Wanafunzi hao walilia sana.Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Karembo na wenzake hawakusikiliza maonyo ya walimu wao hivyo basi kuingia taabani mwishowe.
Alikua mrembo kama nini
{ "text": [ "jina lake" ] }
3196_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Fanyabidii kulikuwa na msichana aliyeitwa Karembo. Banati huyo alikuwa mrembo kama jina lake. Alikuwa mrembo kama tausi. Karembo alisomea katika shule ya Fanyabidii hapo kitongojini. Alipofika darasa la nane aliweza kupita mtihani wake wa kitaifa vizuri. Majibu yalipotolewa aliweza kufuzu vizuri hivyo basi kuitwa shule ya upili ya wasichana ya Mari. Wafadhili waliweza kujitokeza na kumiminika kwao kwani Karembo alikuwa amekuwa nambari moja katika mtihani wake wa kitaifa. Wazazi wake waliweza kufurahi sana hivyo basi Karembo aliweza kujiunga na kidato cha kwanza. Huko shuleni walimu waliweza kumsifu sana kwa bidii yake ya mchwa masomoni. Kila mwalimu aliweza kumpenda na hivyo basi kuchukuliwa mfano kwa wanafunzi wenzake. Alipofika kidato cha pili mambo yakaanza kugeuka. Karembo hakuwa Karembo tena bali aliweza kubadilika kabisa. sifa zote nzuri alizokuwa akiambiwa na walimu ziliisha. Karembo aliweza kujiunga na kikundi cha wasichana waliotumia mihadarati. Karembo alianza kuzorota masomoni. Walimu wake walijaribu kufuatilia chanzo cha Karembo kuzorota masomoni lakini hakuna siri ya watu wawili isiyojulikana. Uchunguzi wa kiundani ulipofanywa hapo shuleni, kikundi cha Karembo kinachojihusisha na mihadarati kiliweza kupatikana. Walimu walijaribu kuwaonya lakini wapi, juhudi zao ziliambulia patupu. Siku moja Karembo na kundi lake tharuka waliruka ukuta wa shule usiku na kwenda nje ya shule. Walikuwa wameenda kununua madawa ya kulevya. Kwa bahati mbaya mwalimu mkuu alikuwa amewaarifu mapolisi kuwa kuna kikundi cha wasichana shuleni walikuwa wametoroka. Usiku huo mapolisi waliweza kuwa makini na kuzunguka jumba la anasa ambalo kikundi cha wanafunzi hao kilikuwamo. Karembo na wenzake walikuwa wamelewa chakari kwa pombe hio waliokuwa wamekunywa. Mara pa! Mapolisi hao waliweza kupenya ndani ya jumba hilo la anasa na kupata kikundi hicho cha wanafunzi hao. Walijaribu kukimbia lakini wapi waliweza kukamatwa na ndani ya vikoba vyao walivyokuwa wamebeba vilipatikana na madawa za kulevya (mihadarati). Mapolisi waliweza kuwatia pingu za mikononi na hivyo basi kufululiza mpaka kwenye gari lao. Lilipoegeshwa, wanafunzi hao walipelekwa kwenye kituo cha polisi na kufunguliwa mashtaka. Waliweza kupewa adhabu ya kifungo cha miaka kumi na tano na kazi ngumu kufanyishwa. Wanafunzi hao walilia sana.Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Karembo na wenzake hawakusikiliza maonyo ya walimu wao hivyo basi kuingia taabani mwishowe.
Alisomea katika shule gani
{ "text": [ "shule ya Fanyabidii" ] }
3196_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Fanyabidii kulikuwa na msichana aliyeitwa Karembo. Banati huyo alikuwa mrembo kama jina lake. Alikuwa mrembo kama tausi. Karembo alisomea katika shule ya Fanyabidii hapo kitongojini. Alipofika darasa la nane aliweza kupita mtihani wake wa kitaifa vizuri. Majibu yalipotolewa aliweza kufuzu vizuri hivyo basi kuitwa shule ya upili ya wasichana ya Mari. Wafadhili waliweza kujitokeza na kumiminika kwao kwani Karembo alikuwa amekuwa nambari moja katika mtihani wake wa kitaifa. Wazazi wake waliweza kufurahi sana hivyo basi Karembo aliweza kujiunga na kidato cha kwanza. Huko shuleni walimu waliweza kumsifu sana kwa bidii yake ya mchwa masomoni. Kila mwalimu aliweza kumpenda na hivyo basi kuchukuliwa mfano kwa wanafunzi wenzake. Alipofika kidato cha pili mambo yakaanza kugeuka. Karembo hakuwa Karembo tena bali aliweza kubadilika kabisa. sifa zote nzuri alizokuwa akiambiwa na walimu ziliisha. Karembo aliweza kujiunga na kikundi cha wasichana waliotumia mihadarati. Karembo alianza kuzorota masomoni. Walimu wake walijaribu kufuatilia chanzo cha Karembo kuzorota masomoni lakini hakuna siri ya watu wawili isiyojulikana. Uchunguzi wa kiundani ulipofanywa hapo shuleni, kikundi cha Karembo kinachojihusisha na mihadarati kiliweza kupatikana. Walimu walijaribu kuwaonya lakini wapi, juhudi zao ziliambulia patupu. Siku moja Karembo na kundi lake tharuka waliruka ukuta wa shule usiku na kwenda nje ya shule. Walikuwa wameenda kununua madawa ya kulevya. Kwa bahati mbaya mwalimu mkuu alikuwa amewaarifu mapolisi kuwa kuna kikundi cha wasichana shuleni walikuwa wametoroka. Usiku huo mapolisi waliweza kuwa makini na kuzunguka jumba la anasa ambalo kikundi cha wanafunzi hao kilikuwamo. Karembo na wenzake walikuwa wamelewa chakari kwa pombe hio waliokuwa wamekunywa. Mara pa! Mapolisi hao waliweza kupenya ndani ya jumba hilo la anasa na kupata kikundi hicho cha wanafunzi hao. Walijaribu kukimbia lakini wapi waliweza kukamatwa na ndani ya vikoba vyao walivyokuwa wamebeba vilipatikana na madawa za kulevya (mihadarati). Mapolisi waliweza kuwatia pingu za mikononi na hivyo basi kufululiza mpaka kwenye gari lao. Lilipoegeshwa, wanafunzi hao walipelekwa kwenye kituo cha polisi na kufunguliwa mashtaka. Waliweza kupewa adhabu ya kifungo cha miaka kumi na tano na kazi ngumu kufanyishwa. Wanafunzi hao walilia sana.Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Karembo na wenzake hawakusikiliza maonyo ya walimu wao hivyo basi kuingia taabani mwishowe.
Hicho kikundi kilichojihusisha na mihadarati kilipatikana lini
{ "text": [ "uchunguzi ulipofanywa" ] }
3196_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji cha Fanyabidii kulikuwa na msichana aliyeitwa Karembo. Banati huyo alikuwa mrembo kama jina lake. Alikuwa mrembo kama tausi. Karembo alisomea katika shule ya Fanyabidii hapo kitongojini. Alipofika darasa la nane aliweza kupita mtihani wake wa kitaifa vizuri. Majibu yalipotolewa aliweza kufuzu vizuri hivyo basi kuitwa shule ya upili ya wasichana ya Mari. Wafadhili waliweza kujitokeza na kumiminika kwao kwani Karembo alikuwa amekuwa nambari moja katika mtihani wake wa kitaifa. Wazazi wake waliweza kufurahi sana hivyo basi Karembo aliweza kujiunga na kidato cha kwanza. Huko shuleni walimu waliweza kumsifu sana kwa bidii yake ya mchwa masomoni. Kila mwalimu aliweza kumpenda na hivyo basi kuchukuliwa mfano kwa wanafunzi wenzake. Alipofika kidato cha pili mambo yakaanza kugeuka. Karembo hakuwa Karembo tena bali aliweza kubadilika kabisa. sifa zote nzuri alizokuwa akiambiwa na walimu ziliisha. Karembo aliweza kujiunga na kikundi cha wasichana waliotumia mihadarati. Karembo alianza kuzorota masomoni. Walimu wake walijaribu kufuatilia chanzo cha Karembo kuzorota masomoni lakini hakuna siri ya watu wawili isiyojulikana. Uchunguzi wa kiundani ulipofanywa hapo shuleni, kikundi cha Karembo kinachojihusisha na mihadarati kiliweza kupatikana. Walimu walijaribu kuwaonya lakini wapi, juhudi zao ziliambulia patupu. Siku moja Karembo na kundi lake tharuka waliruka ukuta wa shule usiku na kwenda nje ya shule. Walikuwa wameenda kununua madawa ya kulevya. Kwa bahati mbaya mwalimu mkuu alikuwa amewaarifu mapolisi kuwa kuna kikundi cha wasichana shuleni walikuwa wametoroka. Usiku huo mapolisi waliweza kuwa makini na kuzunguka jumba la anasa ambalo kikundi cha wanafunzi hao kilikuwamo. Karembo na wenzake walikuwa wamelewa chakari kwa pombe hio waliokuwa wamekunywa. Mara pa! Mapolisi hao waliweza kupenya ndani ya jumba hilo la anasa na kupata kikundi hicho cha wanafunzi hao. Walijaribu kukimbia lakini wapi waliweza kukamatwa na ndani ya vikoba vyao walivyokuwa wamebeba vilipatikana na madawa za kulevya (mihadarati). Mapolisi waliweza kuwatia pingu za mikononi na hivyo basi kufululiza mpaka kwenye gari lao. Lilipoegeshwa, wanafunzi hao walipelekwa kwenye kituo cha polisi na kufunguliwa mashtaka. Waliweza kupewa adhabu ya kifungo cha miaka kumi na tano na kazi ngumu kufanyishwa. Wanafunzi hao walilia sana.Kwa kweli asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Karembo na wenzake hawakusikiliza maonyo ya walimu wao hivyo basi kuingia taabani mwishowe.
Kwa nini wanafunzi walioshikwa walilia sana
{ "text": [ "walipewa adhaba ya miaka kumi na tano na kazi ngumu" ] }
3197_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI Teknolojia ni ule uvumbuzi na kuimarishwa kwa masomo katika mitandao. Teknolojia imeweza sana kuimarisha masomo hususan masomo ya shule za upili. Hata hivyo kizuri hakikosi kasoro. Hata kama teknolojia imerahisisha masomo na kuyavumbua kwa upana na marefu nayo pia haikosi kasoro zake. Nazo faida za teknolojia katika shule za sekondari ni hurahisisha kazi kama vile kazi ya kuandika kwani wanafunzi wanaweza kutumia muda wao vizuri. Pili, imeweza kuelimisha wanafunzi kwa upana na marefu na hivyo basi kurahisisha kazi ya walimu shuleni kwani wanafunzi wanaweza kuingia mitandaoni na kupata kufunzwa mambo mengi. Imeweza pia kurahisisha somo la hisabati kutumia uvumbuzi wa kikokotoo kinachoweza kufanya hisabati kwa haraka sana. Hivyo basi kurahisisha kazi kwa mwanafunzi. Uvumbuzi wa televisheni unaoonesha vipindi vya ziada vya masomo. Vipindi hivi huweza kumsaidia mwanafunzi na kumfanya mwanafunzi kuelewa vizuri. Tatu, imeweza kurahisisha kazi kwa walimu kwani mwanafunzi anapofundishwa na kompyuta huweza kuelewa haraka. Hivyo basi kurahisisha kazi ya mwalimu ya kueleza. Simu pia imeweza kurahisisha teknolojia hivyo basi wazazi wanaweza kuwasiliana na walimu kuhusu maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknolojia pia ina madhara yake katika shule za sekondari. Madhara hayo nayo ni uvivu, teknolojia imeweza kukuza uvivu kwa wanafunzi kwa mfano somo la hisabati ambalo linataka mwanafunzi ahesabu kutumia akili hivyo basi teknolojia imeweza kupumbaza wanafunzi kwa kuvumbua kikokotoo hivyo basi kuchangia kwa kuzembea kwa wanafunzi. Dhara lengine ni teknolojia imeweza kuchangia kwa wanafunzi kuingia mtandaoni. Hivyo basi kujiingiza katika mawasiliano ghasi kama vile utumiaji wa mihadarati, kuangalia filamu za ngono zisizo na faida yoyote. Badala ya kutumia mitandao kwa kusoma, vijana wanapoangalia filamu kama vile za mauaji wanaweza kushurutishwa hivyo basi kuiga filamu za hao waigizaji na kufanya mauaji. Dhara lingine ni mtumiaji wa tarakilishi, runinga kwa muda mrefu huweza kusababisha magonjwa ya macho.
Somo la hisabati imeimarika kwa kutumia kifaa kipi?
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3197_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI Teknolojia ni ule uvumbuzi na kuimarishwa kwa masomo katika mitandao. Teknolojia imeweza sana kuimarisha masomo hususan masomo ya shule za upili. Hata hivyo kizuri hakikosi kasoro. Hata kama teknolojia imerahisisha masomo na kuyavumbua kwa upana na marefu nayo pia haikosi kasoro zake. Nazo faida za teknolojia katika shule za sekondari ni hurahisisha kazi kama vile kazi ya kuandika kwani wanafunzi wanaweza kutumia muda wao vizuri. Pili, imeweza kuelimisha wanafunzi kwa upana na marefu na hivyo basi kurahisisha kazi ya walimu shuleni kwani wanafunzi wanaweza kuingia mitandaoni na kupata kufunzwa mambo mengi. Imeweza pia kurahisisha somo la hisabati kutumia uvumbuzi wa kikokotoo kinachoweza kufanya hisabati kwa haraka sana. Hivyo basi kurahisisha kazi kwa mwanafunzi. Uvumbuzi wa televisheni unaoonesha vipindi vya ziada vya masomo. Vipindi hivi huweza kumsaidia mwanafunzi na kumfanya mwanafunzi kuelewa vizuri. Tatu, imeweza kurahisisha kazi kwa walimu kwani mwanafunzi anapofundishwa na kompyuta huweza kuelewa haraka. Hivyo basi kurahisisha kazi ya mwalimu ya kueleza. Simu pia imeweza kurahisisha teknolojia hivyo basi wazazi wanaweza kuwasiliana na walimu kuhusu maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknolojia pia ina madhara yake katika shule za sekondari. Madhara hayo nayo ni uvivu, teknolojia imeweza kukuza uvivu kwa wanafunzi kwa mfano somo la hisabati ambalo linataka mwanafunzi ahesabu kutumia akili hivyo basi teknolojia imeweza kupumbaza wanafunzi kwa kuvumbua kikokotoo hivyo basi kuchangia kwa kuzembea kwa wanafunzi. Dhara lengine ni teknolojia imeweza kuchangia kwa wanafunzi kuingia mtandaoni. Hivyo basi kujiingiza katika mawasiliano ghasi kama vile utumiaji wa mihadarati, kuangalia filamu za ngono zisizo na faida yoyote. Badala ya kutumia mitandao kwa kusoma, vijana wanapoangalia filamu kama vile za mauaji wanaweza kushurutishwa hivyo basi kuiga filamu za hao waigizaji na kufanya mauaji. Dhara lingine ni mtumiaji wa tarakilishi, runinga kwa muda mrefu huweza kusababisha magonjwa ya macho.
Wazazi wanaweza kuwasiliana na walimu kupita nini?
{ "text": [ "Simu" ] }
3197_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI Teknolojia ni ule uvumbuzi na kuimarishwa kwa masomo katika mitandao. Teknolojia imeweza sana kuimarisha masomo hususan masomo ya shule za upili. Hata hivyo kizuri hakikosi kasoro. Hata kama teknolojia imerahisisha masomo na kuyavumbua kwa upana na marefu nayo pia haikosi kasoro zake. Nazo faida za teknolojia katika shule za sekondari ni hurahisisha kazi kama vile kazi ya kuandika kwani wanafunzi wanaweza kutumia muda wao vizuri. Pili, imeweza kuelimisha wanafunzi kwa upana na marefu na hivyo basi kurahisisha kazi ya walimu shuleni kwani wanafunzi wanaweza kuingia mitandaoni na kupata kufunzwa mambo mengi. Imeweza pia kurahisisha somo la hisabati kutumia uvumbuzi wa kikokotoo kinachoweza kufanya hisabati kwa haraka sana. Hivyo basi kurahisisha kazi kwa mwanafunzi. Uvumbuzi wa televisheni unaoonesha vipindi vya ziada vya masomo. Vipindi hivi huweza kumsaidia mwanafunzi na kumfanya mwanafunzi kuelewa vizuri. Tatu, imeweza kurahisisha kazi kwa walimu kwani mwanafunzi anapofundishwa na kompyuta huweza kuelewa haraka. Hivyo basi kurahisisha kazi ya mwalimu ya kueleza. Simu pia imeweza kurahisisha teknolojia hivyo basi wazazi wanaweza kuwasiliana na walimu kuhusu maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknolojia pia ina madhara yake katika shule za sekondari. Madhara hayo nayo ni uvivu, teknolojia imeweza kukuza uvivu kwa wanafunzi kwa mfano somo la hisabati ambalo linataka mwanafunzi ahesabu kutumia akili hivyo basi teknolojia imeweza kupumbaza wanafunzi kwa kuvumbua kikokotoo hivyo basi kuchangia kwa kuzembea kwa wanafunzi. Dhara lengine ni teknolojia imeweza kuchangia kwa wanafunzi kuingia mtandaoni. Hivyo basi kujiingiza katika mawasiliano ghasi kama vile utumiaji wa mihadarati, kuangalia filamu za ngono zisizo na faida yoyote. Badala ya kutumia mitandao kwa kusoma, vijana wanapoangalia filamu kama vile za mauaji wanaweza kushurutishwa hivyo basi kuiga filamu za hao waigizaji na kufanya mauaji. Dhara lingine ni mtumiaji wa tarakilishi, runinga kwa muda mrefu huweza kusababisha magonjwa ya macho.
Kizuri hakikosi nini?
{ "text": [ "Kasoro" ] }
3197_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI Teknolojia ni ule uvumbuzi na kuimarishwa kwa masomo katika mitandao. Teknolojia imeweza sana kuimarisha masomo hususan masomo ya shule za upili. Hata hivyo kizuri hakikosi kasoro. Hata kama teknolojia imerahisisha masomo na kuyavumbua kwa upana na marefu nayo pia haikosi kasoro zake. Nazo faida za teknolojia katika shule za sekondari ni hurahisisha kazi kama vile kazi ya kuandika kwani wanafunzi wanaweza kutumia muda wao vizuri. Pili, imeweza kuelimisha wanafunzi kwa upana na marefu na hivyo basi kurahisisha kazi ya walimu shuleni kwani wanafunzi wanaweza kuingia mitandaoni na kupata kufunzwa mambo mengi. Imeweza pia kurahisisha somo la hisabati kutumia uvumbuzi wa kikokotoo kinachoweza kufanya hisabati kwa haraka sana. Hivyo basi kurahisisha kazi kwa mwanafunzi. Uvumbuzi wa televisheni unaoonesha vipindi vya ziada vya masomo. Vipindi hivi huweza kumsaidia mwanafunzi na kumfanya mwanafunzi kuelewa vizuri. Tatu, imeweza kurahisisha kazi kwa walimu kwani mwanafunzi anapofundishwa na kompyuta huweza kuelewa haraka. Hivyo basi kurahisisha kazi ya mwalimu ya kueleza. Simu pia imeweza kurahisisha teknolojia hivyo basi wazazi wanaweza kuwasiliana na walimu kuhusu maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknolojia pia ina madhara yake katika shule za sekondari. Madhara hayo nayo ni uvivu, teknolojia imeweza kukuza uvivu kwa wanafunzi kwa mfano somo la hisabati ambalo linataka mwanafunzi ahesabu kutumia akili hivyo basi teknolojia imeweza kupumbaza wanafunzi kwa kuvumbua kikokotoo hivyo basi kuchangia kwa kuzembea kwa wanafunzi. Dhara lengine ni teknolojia imeweza kuchangia kwa wanafunzi kuingia mtandaoni. Hivyo basi kujiingiza katika mawasiliano ghasi kama vile utumiaji wa mihadarati, kuangalia filamu za ngono zisizo na faida yoyote. Badala ya kutumia mitandao kwa kusoma, vijana wanapoangalia filamu kama vile za mauaji wanaweza kushurutishwa hivyo basi kuiga filamu za hao waigizaji na kufanya mauaji. Dhara lingine ni mtumiaji wa tarakilishi, runinga kwa muda mrefu huweza kusababisha magonjwa ya macho.
Uvivu wa kuhesabu katika somo la hisabati limetokana na uvumbuzi wa nini?
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3197_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SECONDARI Teknolojia ni ule uvumbuzi na kuimarishwa kwa masomo katika mitandao. Teknolojia imeweza sana kuimarisha masomo hususan masomo ya shule za upili. Hata hivyo kizuri hakikosi kasoro. Hata kama teknolojia imerahisisha masomo na kuyavumbua kwa upana na marefu nayo pia haikosi kasoro zake. Nazo faida za teknolojia katika shule za sekondari ni hurahisisha kazi kama vile kazi ya kuandika kwani wanafunzi wanaweza kutumia muda wao vizuri. Pili, imeweza kuelimisha wanafunzi kwa upana na marefu na hivyo basi kurahisisha kazi ya walimu shuleni kwani wanafunzi wanaweza kuingia mitandaoni na kupata kufunzwa mambo mengi. Imeweza pia kurahisisha somo la hisabati kutumia uvumbuzi wa kikokotoo kinachoweza kufanya hisabati kwa haraka sana. Hivyo basi kurahisisha kazi kwa mwanafunzi. Uvumbuzi wa televisheni unaoonesha vipindi vya ziada vya masomo. Vipindi hivi huweza kumsaidia mwanafunzi na kumfanya mwanafunzi kuelewa vizuri. Tatu, imeweza kurahisisha kazi kwa walimu kwani mwanafunzi anapofundishwa na kompyuta huweza kuelewa haraka. Hivyo basi kurahisisha kazi ya mwalimu ya kueleza. Simu pia imeweza kurahisisha teknolojia hivyo basi wazazi wanaweza kuwasiliana na walimu kuhusu maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknolojia pia ina madhara yake katika shule za sekondari. Madhara hayo nayo ni uvivu, teknolojia imeweza kukuza uvivu kwa wanafunzi kwa mfano somo la hisabati ambalo linataka mwanafunzi ahesabu kutumia akili hivyo basi teknolojia imeweza kupumbaza wanafunzi kwa kuvumbua kikokotoo hivyo basi kuchangia kwa kuzembea kwa wanafunzi. Dhara lengine ni teknolojia imeweza kuchangia kwa wanafunzi kuingia mtandaoni. Hivyo basi kujiingiza katika mawasiliano ghasi kama vile utumiaji wa mihadarati, kuangalia filamu za ngono zisizo na faida yoyote. Badala ya kutumia mitandao kwa kusoma, vijana wanapoangalia filamu kama vile za mauaji wanaweza kushurutishwa hivyo basi kuiga filamu za hao waigizaji na kufanya mauaji. Dhara lingine ni mtumiaji wa tarakilishi, runinga kwa muda mrefu huweza kusababisha magonjwa ya macho.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kufanya nini mtandaoni?
{ "text": [ "Kujihusisha na mawasiliano ya matumizi ya dawa za mihadarati " ] }
3198_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa njia mbalimbali ambazo huweza kurahisisha miradi mbalimbali kwa wanadamu. Vyombo kama vile tarakilishi, simu, runinga, magazeti na majarida vimewezesha wanafunzi hasa wa sekondari kupanua lugha yao na pia vipaji aina ainati. Hivi kwamba wale wanafunzi wanaopenda kusoma magazeti na majarida huwa bora katika uandishi wa Insha. Kwa njia nyingine, teknolojia imerahisisha usafiri baina watu mbalimbali kwa kuleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile gari, meli, ndege na hata vyombo vingine. Hivi kwamba usafiri katika bahari umerahisishiwa vilivyo. Watu wanaosafiri kwa masaa marefu huwa na wakati mchache sana kufika wanakoenda hivi kwamba chombo kama vile ndege husafirisha watu na mizigo yao kwa wakati ufaao. Elimu katika shule pia imerahisishwa vilivyo. Hivi kwamba walimu hutumia vyombo kama vile simu au runinga wakati wa kuelimisha wanafunzi. Pia walimu wanaweza kutumia tarakilishi wanapotengeneza mitihani ya wanafunzi. Kulingana na teknolojia ya kisasa, watu au wanafunzi huweza kufanya matendo maovu kama vile mauaji kwa kupendelea kutazama runinga mara kwa mara. Wanafunzi wenye tabia za kuiga matendo ya hao huweza kujiingiza katika mambo hatari bila kujua madhara yake wala faida zake. Matendo kama haya nikama uvutaji wa bangi. Wakati kama huu watu wanaotumia huu wanajiona sugu kuliko wenzao. Lakini baada ya muda wa miezi hujikuta hasarani. Mambo mengine, wanafunzi huweza kutumia mihadarati kama vile heroini ambapo huweza kujidunga sindano bila kubali wala kujali madhara yale. Hivi kwamba mihadarati kama hii inapotumiwa na kundi la watu huweza kusababisha virusi vya ukimwi.
Kifaa kipi hutumika kuwezesha usafiri baina ya watu wanaoishi mbali?
{ "text": [ "Gari" ] }
3198_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa njia mbalimbali ambazo huweza kurahisisha miradi mbalimbali kwa wanadamu. Vyombo kama vile tarakilishi, simu, runinga, magazeti na majarida vimewezesha wanafunzi hasa wa sekondari kupanua lugha yao na pia vipaji aina ainati. Hivi kwamba wale wanafunzi wanaopenda kusoma magazeti na majarida huwa bora katika uandishi wa Insha. Kwa njia nyingine, teknolojia imerahisisha usafiri baina watu mbalimbali kwa kuleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile gari, meli, ndege na hata vyombo vingine. Hivi kwamba usafiri katika bahari umerahisishiwa vilivyo. Watu wanaosafiri kwa masaa marefu huwa na wakati mchache sana kufika wanakoenda hivi kwamba chombo kama vile ndege husafirisha watu na mizigo yao kwa wakati ufaao. Elimu katika shule pia imerahisishwa vilivyo. Hivi kwamba walimu hutumia vyombo kama vile simu au runinga wakati wa kuelimisha wanafunzi. Pia walimu wanaweza kutumia tarakilishi wanapotengeneza mitihani ya wanafunzi. Kulingana na teknolojia ya kisasa, watu au wanafunzi huweza kufanya matendo maovu kama vile mauaji kwa kupendelea kutazama runinga mara kwa mara. Wanafunzi wenye tabia za kuiga matendo ya hao huweza kujiingiza katika mambo hatari bila kujua madhara yake wala faida zake. Matendo kama haya nikama uvutaji wa bangi. Wakati kama huu watu wanaotumia huu wanajiona sugu kuliko wenzao. Lakini baada ya muda wa miezi hujikuta hasarani. Mambo mengine, wanafunzi huweza kutumia mihadarati kama vile heroini ambapo huweza kujidunga sindano bila kubali wala kujali madhara yale. Hivi kwamba mihadarati kama hii inapotumiwa na kundi la watu huweza kusababisha virusi vya ukimwi.
Walimu wanaweza kutumia chombo kipi wanapotengeneza mitihani?
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3198_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa njia mbalimbali ambazo huweza kurahisisha miradi mbalimbali kwa wanadamu. Vyombo kama vile tarakilishi, simu, runinga, magazeti na majarida vimewezesha wanafunzi hasa wa sekondari kupanua lugha yao na pia vipaji aina ainati. Hivi kwamba wale wanafunzi wanaopenda kusoma magazeti na majarida huwa bora katika uandishi wa Insha. Kwa njia nyingine, teknolojia imerahisisha usafiri baina watu mbalimbali kwa kuleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile gari, meli, ndege na hata vyombo vingine. Hivi kwamba usafiri katika bahari umerahisishiwa vilivyo. Watu wanaosafiri kwa masaa marefu huwa na wakati mchache sana kufika wanakoenda hivi kwamba chombo kama vile ndege husafirisha watu na mizigo yao kwa wakati ufaao. Elimu katika shule pia imerahisishwa vilivyo. Hivi kwamba walimu hutumia vyombo kama vile simu au runinga wakati wa kuelimisha wanafunzi. Pia walimu wanaweza kutumia tarakilishi wanapotengeneza mitihani ya wanafunzi. Kulingana na teknolojia ya kisasa, watu au wanafunzi huweza kufanya matendo maovu kama vile mauaji kwa kupendelea kutazama runinga mara kwa mara. Wanafunzi wenye tabia za kuiga matendo ya hao huweza kujiingiza katika mambo hatari bila kujua madhara yake wala faida zake. Matendo kama haya nikama uvutaji wa bangi. Wakati kama huu watu wanaotumia huu wanajiona sugu kuliko wenzao. Lakini baada ya muda wa miezi hujikuta hasarani. Mambo mengine, wanafunzi huweza kutumia mihadarati kama vile heroini ambapo huweza kujidunga sindano bila kubali wala kujali madhara yale. Hivi kwamba mihadarati kama hii inapotumiwa na kundi la watu huweza kusababisha virusi vya ukimwi.
Vipindi viovu mara kwa mara hutazamwa wapi?
{ "text": [ "Kwenye runinga" ] }
3198_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa njia mbalimbali ambazo huweza kurahisisha miradi mbalimbali kwa wanadamu. Vyombo kama vile tarakilishi, simu, runinga, magazeti na majarida vimewezesha wanafunzi hasa wa sekondari kupanua lugha yao na pia vipaji aina ainati. Hivi kwamba wale wanafunzi wanaopenda kusoma magazeti na majarida huwa bora katika uandishi wa Insha. Kwa njia nyingine, teknolojia imerahisisha usafiri baina watu mbalimbali kwa kuleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile gari, meli, ndege na hata vyombo vingine. Hivi kwamba usafiri katika bahari umerahisishiwa vilivyo. Watu wanaosafiri kwa masaa marefu huwa na wakati mchache sana kufika wanakoenda hivi kwamba chombo kama vile ndege husafirisha watu na mizigo yao kwa wakati ufaao. Elimu katika shule pia imerahisishwa vilivyo. Hivi kwamba walimu hutumia vyombo kama vile simu au runinga wakati wa kuelimisha wanafunzi. Pia walimu wanaweza kutumia tarakilishi wanapotengeneza mitihani ya wanafunzi. Kulingana na teknolojia ya kisasa, watu au wanafunzi huweza kufanya matendo maovu kama vile mauaji kwa kupendelea kutazama runinga mara kwa mara. Wanafunzi wenye tabia za kuiga matendo ya hao huweza kujiingiza katika mambo hatari bila kujua madhara yake wala faida zake. Matendo kama haya nikama uvutaji wa bangi. Wakati kama huu watu wanaotumia huu wanajiona sugu kuliko wenzao. Lakini baada ya muda wa miezi hujikuta hasarani. Mambo mengine, wanafunzi huweza kutumia mihadarati kama vile heroini ambapo huweza kujidunga sindano bila kubali wala kujali madhara yale. Hivi kwamba mihadarati kama hii inapotumiwa na kundi la watu huweza kusababisha virusi vya ukimwi.
Teknolojia imefanya wanafunzi kuiga nini?
{ "text": [ "Vitendo visivyofaa" ] }
3198_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni uvumbuzi wa njia mbalimbali ambazo huweza kurahisisha miradi mbalimbali kwa wanadamu. Vyombo kama vile tarakilishi, simu, runinga, magazeti na majarida vimewezesha wanafunzi hasa wa sekondari kupanua lugha yao na pia vipaji aina ainati. Hivi kwamba wale wanafunzi wanaopenda kusoma magazeti na majarida huwa bora katika uandishi wa Insha. Kwa njia nyingine, teknolojia imerahisisha usafiri baina watu mbalimbali kwa kuleta uvumbuzi wa vyombo vya usafiri kama vile gari, meli, ndege na hata vyombo vingine. Hivi kwamba usafiri katika bahari umerahisishiwa vilivyo. Watu wanaosafiri kwa masaa marefu huwa na wakati mchache sana kufika wanakoenda hivi kwamba chombo kama vile ndege husafirisha watu na mizigo yao kwa wakati ufaao. Elimu katika shule pia imerahisishwa vilivyo. Hivi kwamba walimu hutumia vyombo kama vile simu au runinga wakati wa kuelimisha wanafunzi. Pia walimu wanaweza kutumia tarakilishi wanapotengeneza mitihani ya wanafunzi. Kulingana na teknolojia ya kisasa, watu au wanafunzi huweza kufanya matendo maovu kama vile mauaji kwa kupendelea kutazama runinga mara kwa mara. Wanafunzi wenye tabia za kuiga matendo ya hao huweza kujiingiza katika mambo hatari bila kujua madhara yake wala faida zake. Matendo kama haya nikama uvutaji wa bangi. Wakati kama huu watu wanaotumia huu wanajiona sugu kuliko wenzao. Lakini baada ya muda wa miezi hujikuta hasarani. Mambo mengine, wanafunzi huweza kutumia mihadarati kama vile heroini ambapo huweza kujidunga sindano bila kubali wala kujali madhara yale. Hivi kwamba mihadarati kama hii inapotumiwa na kundi la watu huweza kusababisha virusi vya ukimwi.
Mojawapo ya mihadarati ni kama ipi?
{ "text": [ "Heroini" ] }
3199_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kwamba wale wanaopewa nasaha na wavyele wao na kuchukulia mzaha hufilkwa na makubwa. Maria ni msichana mrembo mithili ya tausi. Yeye ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Wavyele wake walikuwa wakimpa nasaha kuhusu kutembea na marafiki wasio na nidhamu bali alikuwa akiona kwamba anaimbiwa wimbo. Alichukulia mzaha tu bila kujua kwamba mzaha mzaha huhutumbuka usaha. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Maria alitoroka nyumbani kwao na kwenda kwa rafiki yake aitwaye Safia. Safia alikuwa mkaidi, mzembe na hata zumbukuku. Alipofika kwa kina Safia, waliambatana kama mtu na kivuli chake hadi mbuga za wanyama. Njiani walikutana na mwanadume wawili weusi mithili ya kaa la moto. Maria na Safia walijaribu kukimbia bali wale ndume walikuwa na misuli ambayo wasingemaliza hata dakika moja. Marafiki hawa walisimama wima na kutetemeka tem tem mithili ya kondoo aliye na manyoya haba. Baada ya sekunde, ndume hao waliwanyemelea polepole kama kobe na kuwashika kutumia viganja vyao vigumu kama mawe. Marafiki hawa walishangaa na kubung’aa bila kujua cha kufanya. Walitulia tuli mithili ya maji mtungini. Sauti lilitoka kwa ndume moja likisikika, “Nyinyi mnaaend wapi?” Bila kujibu swali lil balagha, janadume moja lilimzaba kofi Maria hadi akaanguka sakafuni pu! Meno yale ya mdomo wa juu yalipukutika yote. Maria alitoa kilio cha majonzi lakini hakuna mtu aliyemhurumia. Kwa bahati nzuri, upande wa kulia kulikuwa na vijana watatu waliokuwa wakikata miti. Vijana wale waliposikia kilio hicho walikimbia kama swars kuelekea upande wa Maria. Baada ya sekunde majanadume wale walitimua mbio timu timu kuelekea upande wa magharibi. Maria na Safia walijawa na huzuni tele. Lakini wale vijana, waliwabembelezana kuwapa nasaha kuhusu tendo lililotokea. Maria na safia walibebwa hobelahobela hadi nyumbani kwao. Walipofika nyumbani walikuwa wamejawa na haya tele. Waliangalia wazazi wao kwa hali ya huruma bali hawakujali mambo hayo kwasababu msiba wa kujitakia hauna kilio. Hapo ndipo Maria na Safia walipata funzo kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Maria ni mwanafunzi wa kidato gani
{ "text": [ "cha pili" ] }
3199_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kwamba wale wanaopewa nasaha na wavyele wao na kuchukulia mzaha hufilkwa na makubwa. Maria ni msichana mrembo mithili ya tausi. Yeye ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Wavyele wake walikuwa wakimpa nasaha kuhusu kutembea na marafiki wasio na nidhamu bali alikuwa akiona kwamba anaimbiwa wimbo. Alichukulia mzaha tu bila kujua kwamba mzaha mzaha huhutumbuka usaha. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Maria alitoroka nyumbani kwao na kwenda kwa rafiki yake aitwaye Safia. Safia alikuwa mkaidi, mzembe na hata zumbukuku. Alipofika kwa kina Safia, waliambatana kama mtu na kivuli chake hadi mbuga za wanyama. Njiani walikutana na mwanadume wawili weusi mithili ya kaa la moto. Maria na Safia walijaribu kukimbia bali wale ndume walikuwa na misuli ambayo wasingemaliza hata dakika moja. Marafiki hawa walisimama wima na kutetemeka tem tem mithili ya kondoo aliye na manyoya haba. Baada ya sekunde, ndume hao waliwanyemelea polepole kama kobe na kuwashika kutumia viganja vyao vigumu kama mawe. Marafiki hawa walishangaa na kubung’aa bila kujua cha kufanya. Walitulia tuli mithili ya maji mtungini. Sauti lilitoka kwa ndume moja likisikika, “Nyinyi mnaaend wapi?” Bila kujibu swali lil balagha, janadume moja lilimzaba kofi Maria hadi akaanguka sakafuni pu! Meno yale ya mdomo wa juu yalipukutika yote. Maria alitoa kilio cha majonzi lakini hakuna mtu aliyemhurumia. Kwa bahati nzuri, upande wa kulia kulikuwa na vijana watatu waliokuwa wakikata miti. Vijana wale waliposikia kilio hicho walikimbia kama swars kuelekea upande wa Maria. Baada ya sekunde majanadume wale walitimua mbio timu timu kuelekea upande wa magharibi. Maria na Safia walijawa na huzuni tele. Lakini wale vijana, waliwabembelezana kuwapa nasaha kuhusu tendo lililotokea. Maria na safia walibebwa hobelahobela hadi nyumbani kwao. Walipofika nyumbani walikuwa wamejawa na haya tele. Waliangalia wazazi wao kwa hali ya huruma bali hawakujali mambo hayo kwasababu msiba wa kujitakia hauna kilio. Hapo ndipo Maria na Safia walipata funzo kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Rafiki ya Maria aliitwa nani
{ "text": [ "Safia" ] }
3199_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kwamba wale wanaopewa nasaha na wavyele wao na kuchukulia mzaha hufilkwa na makubwa. Maria ni msichana mrembo mithili ya tausi. Yeye ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Wavyele wake walikuwa wakimpa nasaha kuhusu kutembea na marafiki wasio na nidhamu bali alikuwa akiona kwamba anaimbiwa wimbo. Alichukulia mzaha tu bila kujua kwamba mzaha mzaha huhutumbuka usaha. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Maria alitoroka nyumbani kwao na kwenda kwa rafiki yake aitwaye Safia. Safia alikuwa mkaidi, mzembe na hata zumbukuku. Alipofika kwa kina Safia, waliambatana kama mtu na kivuli chake hadi mbuga za wanyama. Njiani walikutana na mwanadume wawili weusi mithili ya kaa la moto. Maria na Safia walijaribu kukimbia bali wale ndume walikuwa na misuli ambayo wasingemaliza hata dakika moja. Marafiki hawa walisimama wima na kutetemeka tem tem mithili ya kondoo aliye na manyoya haba. Baada ya sekunde, ndume hao waliwanyemelea polepole kama kobe na kuwashika kutumia viganja vyao vigumu kama mawe. Marafiki hawa walishangaa na kubung’aa bila kujua cha kufanya. Walitulia tuli mithili ya maji mtungini. Sauti lilitoka kwa ndume moja likisikika, “Nyinyi mnaaend wapi?” Bila kujibu swali lil balagha, janadume moja lilimzaba kofi Maria hadi akaanguka sakafuni pu! Meno yale ya mdomo wa juu yalipukutika yote. Maria alitoa kilio cha majonzi lakini hakuna mtu aliyemhurumia. Kwa bahati nzuri, upande wa kulia kulikuwa na vijana watatu waliokuwa wakikata miti. Vijana wale waliposikia kilio hicho walikimbia kama swars kuelekea upande wa Maria. Baada ya sekunde majanadume wale walitimua mbio timu timu kuelekea upande wa magharibi. Maria na Safia walijawa na huzuni tele. Lakini wale vijana, waliwabembelezana kuwapa nasaha kuhusu tendo lililotokea. Maria na safia walibebwa hobelahobela hadi nyumbani kwao. Walipofika nyumbani walikuwa wamejawa na haya tele. Waliangalia wazazi wao kwa hali ya huruma bali hawakujali mambo hayo kwasababu msiba wa kujitakia hauna kilio. Hapo ndipo Maria na Safia walipata funzo kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Maria na Safia walifuatana hadi wapi
{ "text": [ "mbuga za wanyama" ] }
3199_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kwamba wale wanaopewa nasaha na wavyele wao na kuchukulia mzaha hufilkwa na makubwa. Maria ni msichana mrembo mithili ya tausi. Yeye ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Wavyele wake walikuwa wakimpa nasaha kuhusu kutembea na marafiki wasio na nidhamu bali alikuwa akiona kwamba anaimbiwa wimbo. Alichukulia mzaha tu bila kujua kwamba mzaha mzaha huhutumbuka usaha. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Maria alitoroka nyumbani kwao na kwenda kwa rafiki yake aitwaye Safia. Safia alikuwa mkaidi, mzembe na hata zumbukuku. Alipofika kwa kina Safia, waliambatana kama mtu na kivuli chake hadi mbuga za wanyama. Njiani walikutana na mwanadume wawili weusi mithili ya kaa la moto. Maria na Safia walijaribu kukimbia bali wale ndume walikuwa na misuli ambayo wasingemaliza hata dakika moja. Marafiki hawa walisimama wima na kutetemeka tem tem mithili ya kondoo aliye na manyoya haba. Baada ya sekunde, ndume hao waliwanyemelea polepole kama kobe na kuwashika kutumia viganja vyao vigumu kama mawe. Marafiki hawa walishangaa na kubung’aa bila kujua cha kufanya. Walitulia tuli mithili ya maji mtungini. Sauti lilitoka kwa ndume moja likisikika, “Nyinyi mnaaend wapi?” Bila kujibu swali lil balagha, janadume moja lilimzaba kofi Maria hadi akaanguka sakafuni pu! Meno yale ya mdomo wa juu yalipukutika yote. Maria alitoa kilio cha majonzi lakini hakuna mtu aliyemhurumia. Kwa bahati nzuri, upande wa kulia kulikuwa na vijana watatu waliokuwa wakikata miti. Vijana wale waliposikia kilio hicho walikimbia kama swars kuelekea upande wa Maria. Baada ya sekunde majanadume wale walitimua mbio timu timu kuelekea upande wa magharibi. Maria na Safia walijawa na huzuni tele. Lakini wale vijana, waliwabembelezana kuwapa nasaha kuhusu tendo lililotokea. Maria na safia walibebwa hobelahobela hadi nyumbani kwao. Walipofika nyumbani walikuwa wamejawa na haya tele. Waliangalia wazazi wao kwa hali ya huruma bali hawakujali mambo hayo kwasababu msiba wa kujitakia hauna kilio. Hapo ndipo Maria na Safia walipata funzo kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Njiani walikutana na majanadume mangapi
{ "text": [ "mawili" ] }
3199_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kwamba wale wanaopewa nasaha na wavyele wao na kuchukulia mzaha hufilkwa na makubwa. Maria ni msichana mrembo mithili ya tausi. Yeye ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Wavyele wake walikuwa wakimpa nasaha kuhusu kutembea na marafiki wasio na nidhamu bali alikuwa akiona kwamba anaimbiwa wimbo. Alichukulia mzaha tu bila kujua kwamba mzaha mzaha huhutumbuka usaha. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Maria alitoroka nyumbani kwao na kwenda kwa rafiki yake aitwaye Safia. Safia alikuwa mkaidi, mzembe na hata zumbukuku. Alipofika kwa kina Safia, waliambatana kama mtu na kivuli chake hadi mbuga za wanyama. Njiani walikutana na mwanadume wawili weusi mithili ya kaa la moto. Maria na Safia walijaribu kukimbia bali wale ndume walikuwa na misuli ambayo wasingemaliza hata dakika moja. Marafiki hawa walisimama wima na kutetemeka tem tem mithili ya kondoo aliye na manyoya haba. Baada ya sekunde, ndume hao waliwanyemelea polepole kama kobe na kuwashika kutumia viganja vyao vigumu kama mawe. Marafiki hawa walishangaa na kubung’aa bila kujua cha kufanya. Walitulia tuli mithili ya maji mtungini. Sauti lilitoka kwa ndume moja likisikika, “Nyinyi mnaaend wapi?” Bila kujibu swali lil balagha, janadume moja lilimzaba kofi Maria hadi akaanguka sakafuni pu! Meno yale ya mdomo wa juu yalipukutika yote. Maria alitoa kilio cha majonzi lakini hakuna mtu aliyemhurumia. Kwa bahati nzuri, upande wa kulia kulikuwa na vijana watatu waliokuwa wakikata miti. Vijana wale waliposikia kilio hicho walikimbia kama swars kuelekea upande wa Maria. Baada ya sekunde majanadume wale walitimua mbio timu timu kuelekea upande wa magharibi. Maria na Safia walijawa na huzuni tele. Lakini wale vijana, waliwabembelezana kuwapa nasaha kuhusu tendo lililotokea. Maria na safia walibebwa hobelahobela hadi nyumbani kwao. Walipofika nyumbani walikuwa wamejawa na haya tele. Waliangalia wazazi wao kwa hali ya huruma bali hawakujali mambo hayo kwasababu msiba wa kujitakia hauna kilio. Hapo ndipo Maria na Safia walipata funzo kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Vijana watatu walikuwa wakifanya nini
{ "text": [ "wakikata miti" ] }
3201_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, elimu, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ina faida na madhara yake kwani wavyele hawakuturamba kisogo waliponena kuwa hakuna kizuri kikosacho kasoro. Tuanze na faida za teknolojia katika shule za upili. Teknolojia umewezesha wanafunzi kusoma somo la Kompyuta na baada ya hapo kuajiriwa katika sekta mbalimbali kama vile kuwa karani. Imesaidia wanafunzi pia kutafuta vitu kwenye kompyuta ambavyo hawavijui kama vile wanaweza kutafuta aliyekuwa rais wa kwanza Amerika na kompyuta kuwaletea jibu. Teknolojia pia imesaidia sana katika shule za upili kwa kurahisisha kazi. Zamani walimu walihitajika kuandika mitihani ya wanafunzi wengi shuleni lakini toka teknolojia ije mitihani inachapishwa tu kutumia mashine zake. Teknolojia imesaidia kukomesha wizi katika shule za upili kwa hutumia kamera. Kunasa maovu yote yanayo tendeka shule. Teknolojia imetuletea mashine ya kutoa sauti katika shule za upili na hii imesaidia pa kubwa sana katika shule za upili wanafunzi huwa ni wengi na labda mwalimu hana sauti kubwa. Teknolojia pia ina madhara katika shule za upili. Mara nyingi wanafunzi wakiachiwa kompyuta wasome, kazi yao ni kuangalia picha chafu na madhara yake kujaribu kufanya mapenzi shuleni. Mifano ya teknolojia kama vile simu imeleta madhara katika shule za upili kwani wanafunzi hutumia simu kuwasiliana na wapenzi wao hadi darasani yaani wanafunzi wametekwa sana na teknolojia haswa simu hadi wanayapuuza masomo yao. Walimu pia wamekuwa wazembe kwenye kazi zao. Wakiwa darasani hapa na hapa hupiga simu na kuacha kundisha kwenda kuongea na simu. Wengine wanawaambia wanafunzi wajisomee huku wao wakitumiana jumbe fupi kwa wenziwao. Kweli teknolojia imeathiri sana masomo katika shule za sekondari.
Teknolojia imewawezesha wanafunzi kuajiriwa katika sekta ipi
{ "text": [ "Sekta ya ukarani" ] }
3201_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, elimu, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ina faida na madhara yake kwani wavyele hawakuturamba kisogo waliponena kuwa hakuna kizuri kikosacho kasoro. Tuanze na faida za teknolojia katika shule za upili. Teknolojia umewezesha wanafunzi kusoma somo la Kompyuta na baada ya hapo kuajiriwa katika sekta mbalimbali kama vile kuwa karani. Imesaidia wanafunzi pia kutafuta vitu kwenye kompyuta ambavyo hawavijui kama vile wanaweza kutafuta aliyekuwa rais wa kwanza Amerika na kompyuta kuwaletea jibu. Teknolojia pia imesaidia sana katika shule za upili kwa kurahisisha kazi. Zamani walimu walihitajika kuandika mitihani ya wanafunzi wengi shuleni lakini toka teknolojia ije mitihani inachapishwa tu kutumia mashine zake. Teknolojia imesaidia kukomesha wizi katika shule za upili kwa hutumia kamera. Kunasa maovu yote yanayo tendeka shule. Teknolojia imetuletea mashine ya kutoa sauti katika shule za upili na hii imesaidia pa kubwa sana katika shule za upili wanafunzi huwa ni wengi na labda mwalimu hana sauti kubwa. Teknolojia pia ina madhara katika shule za upili. Mara nyingi wanafunzi wakiachiwa kompyuta wasome, kazi yao ni kuangalia picha chafu na madhara yake kujaribu kufanya mapenzi shuleni. Mifano ya teknolojia kama vile simu imeleta madhara katika shule za upili kwani wanafunzi hutumia simu kuwasiliana na wapenzi wao hadi darasani yaani wanafunzi wametekwa sana na teknolojia haswa simu hadi wanayapuuza masomo yao. Walimu pia wamekuwa wazembe kwenye kazi zao. Wakiwa darasani hapa na hapa hupiga simu na kuacha kundisha kwenda kuongea na simu. Wengine wanawaambia wanafunzi wajisomee huku wao wakitumiana jumbe fupi kwa wenziwao. Kweli teknolojia imeathiri sana masomo katika shule za sekondari.
Taja faida moja ya teknolojia
{ "text": [ "Imewawezesha wanafunzi kusoma" ] }
3201_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, elimu, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ina faida na madhara yake kwani wavyele hawakuturamba kisogo waliponena kuwa hakuna kizuri kikosacho kasoro. Tuanze na faida za teknolojia katika shule za upili. Teknolojia umewezesha wanafunzi kusoma somo la Kompyuta na baada ya hapo kuajiriwa katika sekta mbalimbali kama vile kuwa karani. Imesaidia wanafunzi pia kutafuta vitu kwenye kompyuta ambavyo hawavijui kama vile wanaweza kutafuta aliyekuwa rais wa kwanza Amerika na kompyuta kuwaletea jibu. Teknolojia pia imesaidia sana katika shule za upili kwa kurahisisha kazi. Zamani walimu walihitajika kuandika mitihani ya wanafunzi wengi shuleni lakini toka teknolojia ije mitihani inachapishwa tu kutumia mashine zake. Teknolojia imesaidia kukomesha wizi katika shule za upili kwa hutumia kamera. Kunasa maovu yote yanayo tendeka shule. Teknolojia imetuletea mashine ya kutoa sauti katika shule za upili na hii imesaidia pa kubwa sana katika shule za upili wanafunzi huwa ni wengi na labda mwalimu hana sauti kubwa. Teknolojia pia ina madhara katika shule za upili. Mara nyingi wanafunzi wakiachiwa kompyuta wasome, kazi yao ni kuangalia picha chafu na madhara yake kujaribu kufanya mapenzi shuleni. Mifano ya teknolojia kama vile simu imeleta madhara katika shule za upili kwani wanafunzi hutumia simu kuwasiliana na wapenzi wao hadi darasani yaani wanafunzi wametekwa sana na teknolojia haswa simu hadi wanayapuuza masomo yao. Walimu pia wamekuwa wazembe kwenye kazi zao. Wakiwa darasani hapa na hapa hupiga simu na kuacha kundisha kwenda kuongea na simu. Wengine wanawaambia wanafunzi wajisomee huku wao wakitumiana jumbe fupi kwa wenziwao. Kweli teknolojia imeathiri sana masomo katika shule za sekondari.
Kando na kuwezesha kusoma teknolojia pia ina umuhimu gani
{ "text": [ "Kuchapishwa kwa mitihani kutumia mashine" ] }
3201_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, elimu, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ina faida na madhara yake kwani wavyele hawakuturamba kisogo waliponena kuwa hakuna kizuri kikosacho kasoro. Tuanze na faida za teknolojia katika shule za upili. Teknolojia umewezesha wanafunzi kusoma somo la Kompyuta na baada ya hapo kuajiriwa katika sekta mbalimbali kama vile kuwa karani. Imesaidia wanafunzi pia kutafuta vitu kwenye kompyuta ambavyo hawavijui kama vile wanaweza kutafuta aliyekuwa rais wa kwanza Amerika na kompyuta kuwaletea jibu. Teknolojia pia imesaidia sana katika shule za upili kwa kurahisisha kazi. Zamani walimu walihitajika kuandika mitihani ya wanafunzi wengi shuleni lakini toka teknolojia ije mitihani inachapishwa tu kutumia mashine zake. Teknolojia imesaidia kukomesha wizi katika shule za upili kwa hutumia kamera. Kunasa maovu yote yanayo tendeka shule. Teknolojia imetuletea mashine ya kutoa sauti katika shule za upili na hii imesaidia pa kubwa sana katika shule za upili wanafunzi huwa ni wengi na labda mwalimu hana sauti kubwa. Teknolojia pia ina madhara katika shule za upili. Mara nyingi wanafunzi wakiachiwa kompyuta wasome, kazi yao ni kuangalia picha chafu na madhara yake kujaribu kufanya mapenzi shuleni. Mifano ya teknolojia kama vile simu imeleta madhara katika shule za upili kwani wanafunzi hutumia simu kuwasiliana na wapenzi wao hadi darasani yaani wanafunzi wametekwa sana na teknolojia haswa simu hadi wanayapuuza masomo yao. Walimu pia wamekuwa wazembe kwenye kazi zao. Wakiwa darasani hapa na hapa hupiga simu na kuacha kundisha kwenda kuongea na simu. Wengine wanawaambia wanafunzi wajisomee huku wao wakitumiana jumbe fupi kwa wenziwao. Kweli teknolojia imeathiri sana masomo katika shule za sekondari.
Taja mfano mmoja wa teknolojia
{ "text": [ "Simu" ] }
3201_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya Sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, elimu, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ina faida na madhara yake kwani wavyele hawakuturamba kisogo waliponena kuwa hakuna kizuri kikosacho kasoro. Tuanze na faida za teknolojia katika shule za upili. Teknolojia umewezesha wanafunzi kusoma somo la Kompyuta na baada ya hapo kuajiriwa katika sekta mbalimbali kama vile kuwa karani. Imesaidia wanafunzi pia kutafuta vitu kwenye kompyuta ambavyo hawavijui kama vile wanaweza kutafuta aliyekuwa rais wa kwanza Amerika na kompyuta kuwaletea jibu. Teknolojia pia imesaidia sana katika shule za upili kwa kurahisisha kazi. Zamani walimu walihitajika kuandika mitihani ya wanafunzi wengi shuleni lakini toka teknolojia ije mitihani inachapishwa tu kutumia mashine zake. Teknolojia imesaidia kukomesha wizi katika shule za upili kwa hutumia kamera. Kunasa maovu yote yanayo tendeka shule. Teknolojia imetuletea mashine ya kutoa sauti katika shule za upili na hii imesaidia pa kubwa sana katika shule za upili wanafunzi huwa ni wengi na labda mwalimu hana sauti kubwa. Teknolojia pia ina madhara katika shule za upili. Mara nyingi wanafunzi wakiachiwa kompyuta wasome, kazi yao ni kuangalia picha chafu na madhara yake kujaribu kufanya mapenzi shuleni. Mifano ya teknolojia kama vile simu imeleta madhara katika shule za upili kwani wanafunzi hutumia simu kuwasiliana na wapenzi wao hadi darasani yaani wanafunzi wametekwa sana na teknolojia haswa simu hadi wanayapuuza masomo yao. Walimu pia wamekuwa wazembe kwenye kazi zao. Wakiwa darasani hapa na hapa hupiga simu na kuacha kundisha kwenda kuongea na simu. Wengine wanawaambia wanafunzi wajisomee huku wao wakitumiana jumbe fupi kwa wenziwao. Kweli teknolojia imeathiri sana masomo katika shule za sekondari.
Teknolojia ina madhara gani
{ "text": [ "Imechangia walimu kuwa wazembe" ] }
3202_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule anayeambiwa kitu na wavyele wake na kupuuzia kitu hicho basi anaweza kupatwa na matatizo. Pia methali hii inaendana na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Mtu anayepuuzia mafunzo ya wazazi, basi dunia humfunza kwa kupata matatizo. “Mama nimechoka, nimechoka sana na haya maisha ya kurauka kila siku eti kwenda shule. Nimechoka na hizi kazi za hapo nyumbani kila siku kuosha vyombo tu.” Saumu alisema maneno hayo akimuuambia mama yake huku amefura tama andazi. Mama yake anajaribu kumueleza kuhusu umuhimu wa elimu katika maisha yote lakini wapi. Saumu alitoka nje na kuuregesha mlango kwa nguvu. Mama yake alibaki na mshangao na kujiuliza mbona mwanawe amekuwa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Alifikiria njia bora za kuelimisha mtoto wake asije akaaribika mbeleni. Siku iliyofuatia, Saumu alipoamshwa alfajiri ili ajitayarishe kwenda shule, alikataa kata kata na kuahidi kuhama na kwenda kuishi nje na marafiki zake. Mama yake alijawa na majonzi na simanzi humu akimfikiria maisha ya mtoto wake yatakyokuwa siku zijazo. Saumu alienda kuishi na masahibu zake, aliungana nao katika kazi zao za wezi. Alianza kuvuta bangi kunywa na kuvaa mavazi machafu. Walienda kuiba katika makampuni makubwa bila kufikiria kuwa siku za mwizi ni arobaini. Mama yake alipopata habari kuwa binti yote amekuwa jambazi sugu. Aliaga dunia kwa mshtuko wa moyo. Saumu hakuenda hata kwenye mazishi ya mama yake bali alienda kufuata urithi wa nyumba. Aliuza nyumba yao na kusheherekea pesa za nyumba hiyo pamoja na marafiki zake. Siku moja walienda kuiba benki, wakati wa kutoka wakashikwa na kupelekwa gerezani. Alipokuwa gerezani alijuta kwa yote aliyoyafanya nyuma lakini siku zote majuto ni mjukuu huja baadae walifungwa kifungo cha maisha kwani walimuua mlinzi wa benki. Methali hii inawaonya watu wanaopenda kuyapuuza maneno wanayoambiwa na wavyele wao. Kwa hivyo tujifunze na kisa hichi tusipende kupuuzia maneno ya wavyele wao.
Asiye sikia la mkuu huvunjika?
{ "text": [ "Guu" ] }
3202_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule anayeambiwa kitu na wavyele wake na kupuuzia kitu hicho basi anaweza kupatwa na matatizo. Pia methali hii inaendana na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Mtu anayepuuzia mafunzo ya wazazi, basi dunia humfunza kwa kupata matatizo. “Mama nimechoka, nimechoka sana na haya maisha ya kurauka kila siku eti kwenda shule. Nimechoka na hizi kazi za hapo nyumbani kila siku kuosha vyombo tu.” Saumu alisema maneno hayo akimuuambia mama yake huku amefura tama andazi. Mama yake anajaribu kumueleza kuhusu umuhimu wa elimu katika maisha yote lakini wapi. Saumu alitoka nje na kuuregesha mlango kwa nguvu. Mama yake alibaki na mshangao na kujiuliza mbona mwanawe amekuwa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Alifikiria njia bora za kuelimisha mtoto wake asije akaaribika mbeleni. Siku iliyofuatia, Saumu alipoamshwa alfajiri ili ajitayarishe kwenda shule, alikataa kata kata na kuahidi kuhama na kwenda kuishi nje na marafiki zake. Mama yake alijawa na majonzi na simanzi humu akimfikiria maisha ya mtoto wake yatakyokuwa siku zijazo. Saumu alienda kuishi na masahibu zake, aliungana nao katika kazi zao za wezi. Alianza kuvuta bangi kunywa na kuvaa mavazi machafu. Walienda kuiba katika makampuni makubwa bila kufikiria kuwa siku za mwizi ni arobaini. Mama yake alipopata habari kuwa binti yote amekuwa jambazi sugu. Aliaga dunia kwa mshtuko wa moyo. Saumu hakuenda hata kwenye mazishi ya mama yake bali alienda kufuata urithi wa nyumba. Aliuza nyumba yao na kusheherekea pesa za nyumba hiyo pamoja na marafiki zake. Siku moja walienda kuiba benki, wakati wa kutoka wakashikwa na kupelekwa gerezani. Alipokuwa gerezani alijuta kwa yote aliyoyafanya nyuma lakini siku zote majuto ni mjukuu huja baadae walifungwa kifungo cha maisha kwani walimuua mlinzi wa benki. Methali hii inawaonya watu wanaopenda kuyapuuza maneno wanayoambiwa na wavyele wao. Kwa hivyo tujifunze na kisa hichi tusipende kupuuzia maneno ya wavyele wao.
Kamilisha methali; siku za mwizi ni?
{ "text": [ "Arobaini" ] }
3202_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule anayeambiwa kitu na wavyele wake na kupuuzia kitu hicho basi anaweza kupatwa na matatizo. Pia methali hii inaendana na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Mtu anayepuuzia mafunzo ya wazazi, basi dunia humfunza kwa kupata matatizo. “Mama nimechoka, nimechoka sana na haya maisha ya kurauka kila siku eti kwenda shule. Nimechoka na hizi kazi za hapo nyumbani kila siku kuosha vyombo tu.” Saumu alisema maneno hayo akimuuambia mama yake huku amefura tama andazi. Mama yake anajaribu kumueleza kuhusu umuhimu wa elimu katika maisha yote lakini wapi. Saumu alitoka nje na kuuregesha mlango kwa nguvu. Mama yake alibaki na mshangao na kujiuliza mbona mwanawe amekuwa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Alifikiria njia bora za kuelimisha mtoto wake asije akaaribika mbeleni. Siku iliyofuatia, Saumu alipoamshwa alfajiri ili ajitayarishe kwenda shule, alikataa kata kata na kuahidi kuhama na kwenda kuishi nje na marafiki zake. Mama yake alijawa na majonzi na simanzi humu akimfikiria maisha ya mtoto wake yatakyokuwa siku zijazo. Saumu alienda kuishi na masahibu zake, aliungana nao katika kazi zao za wezi. Alianza kuvuta bangi kunywa na kuvaa mavazi machafu. Walienda kuiba katika makampuni makubwa bila kufikiria kuwa siku za mwizi ni arobaini. Mama yake alipopata habari kuwa binti yote amekuwa jambazi sugu. Aliaga dunia kwa mshtuko wa moyo. Saumu hakuenda hata kwenye mazishi ya mama yake bali alienda kufuata urithi wa nyumba. Aliuza nyumba yao na kusheherekea pesa za nyumba hiyo pamoja na marafiki zake. Siku moja walienda kuiba benki, wakati wa kutoka wakashikwa na kupelekwa gerezani. Alipokuwa gerezani alijuta kwa yote aliyoyafanya nyuma lakini siku zote majuto ni mjukuu huja baadae walifungwa kifungo cha maisha kwani walimuua mlinzi wa benki. Methali hii inawaonya watu wanaopenda kuyapuuza maneno wanayoambiwa na wavyele wao. Kwa hivyo tujifunze na kisa hichi tusipende kupuuzia maneno ya wavyele wao.
Ukaidi kama mkia wa?
{ "text": [ "Mbuzi" ] }
3202_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule anayeambiwa kitu na wavyele wake na kupuuzia kitu hicho basi anaweza kupatwa na matatizo. Pia methali hii inaendana na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Mtu anayepuuzia mafunzo ya wazazi, basi dunia humfunza kwa kupata matatizo. “Mama nimechoka, nimechoka sana na haya maisha ya kurauka kila siku eti kwenda shule. Nimechoka na hizi kazi za hapo nyumbani kila siku kuosha vyombo tu.” Saumu alisema maneno hayo akimuuambia mama yake huku amefura tama andazi. Mama yake anajaribu kumueleza kuhusu umuhimu wa elimu katika maisha yote lakini wapi. Saumu alitoka nje na kuuregesha mlango kwa nguvu. Mama yake alibaki na mshangao na kujiuliza mbona mwanawe amekuwa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Alifikiria njia bora za kuelimisha mtoto wake asije akaaribika mbeleni. Siku iliyofuatia, Saumu alipoamshwa alfajiri ili ajitayarishe kwenda shule, alikataa kata kata na kuahidi kuhama na kwenda kuishi nje na marafiki zake. Mama yake alijawa na majonzi na simanzi humu akimfikiria maisha ya mtoto wake yatakyokuwa siku zijazo. Saumu alienda kuishi na masahibu zake, aliungana nao katika kazi zao za wezi. Alianza kuvuta bangi kunywa na kuvaa mavazi machafu. Walienda kuiba katika makampuni makubwa bila kufikiria kuwa siku za mwizi ni arobaini. Mama yake alipopata habari kuwa binti yote amekuwa jambazi sugu. Aliaga dunia kwa mshtuko wa moyo. Saumu hakuenda hata kwenye mazishi ya mama yake bali alienda kufuata urithi wa nyumba. Aliuza nyumba yao na kusheherekea pesa za nyumba hiyo pamoja na marafiki zake. Siku moja walienda kuiba benki, wakati wa kutoka wakashikwa na kupelekwa gerezani. Alipokuwa gerezani alijuta kwa yote aliyoyafanya nyuma lakini siku zote majuto ni mjukuu huja baadae walifungwa kifungo cha maisha kwani walimuua mlinzi wa benki. Methali hii inawaonya watu wanaopenda kuyapuuza maneno wanayoambiwa na wavyele wao. Kwa hivyo tujifunze na kisa hichi tusipende kupuuzia maneno ya wavyele wao.
Kamilisha tashbihi; fura kama?
{ "text": [ "Andazi" ] }
3202_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa yeyote yule anayeambiwa kitu na wavyele wake na kupuuzia kitu hicho basi anaweza kupatwa na matatizo. Pia methali hii inaendana na ile ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Mtu anayepuuzia mafunzo ya wazazi, basi dunia humfunza kwa kupata matatizo. “Mama nimechoka, nimechoka sana na haya maisha ya kurauka kila siku eti kwenda shule. Nimechoka na hizi kazi za hapo nyumbani kila siku kuosha vyombo tu.” Saumu alisema maneno hayo akimuuambia mama yake huku amefura tama andazi. Mama yake anajaribu kumueleza kuhusu umuhimu wa elimu katika maisha yote lakini wapi. Saumu alitoka nje na kuuregesha mlango kwa nguvu. Mama yake alibaki na mshangao na kujiuliza mbona mwanawe amekuwa mkaidi kama mkia wa mbuzi. Alifikiria njia bora za kuelimisha mtoto wake asije akaaribika mbeleni. Siku iliyofuatia, Saumu alipoamshwa alfajiri ili ajitayarishe kwenda shule, alikataa kata kata na kuahidi kuhama na kwenda kuishi nje na marafiki zake. Mama yake alijawa na majonzi na simanzi humu akimfikiria maisha ya mtoto wake yatakyokuwa siku zijazo. Saumu alienda kuishi na masahibu zake, aliungana nao katika kazi zao za wezi. Alianza kuvuta bangi kunywa na kuvaa mavazi machafu. Walienda kuiba katika makampuni makubwa bila kufikiria kuwa siku za mwizi ni arobaini. Mama yake alipopata habari kuwa binti yote amekuwa jambazi sugu. Aliaga dunia kwa mshtuko wa moyo. Saumu hakuenda hata kwenye mazishi ya mama yake bali alienda kufuata urithi wa nyumba. Aliuza nyumba yao na kusheherekea pesa za nyumba hiyo pamoja na marafiki zake. Siku moja walienda kuiba benki, wakati wa kutoka wakashikwa na kupelekwa gerezani. Alipokuwa gerezani alijuta kwa yote aliyoyafanya nyuma lakini siku zote majuto ni mjukuu huja baadae walifungwa kifungo cha maisha kwani walimuua mlinzi wa benki. Methali hii inawaonya watu wanaopenda kuyapuuza maneno wanayoambiwa na wavyele wao. Kwa hivyo tujifunze na kisa hichi tusipende kupuuzia maneno ya wavyele wao.
Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na?
{ "text": [ "Ulimwengu" ] }
3204_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatufunza iwapo kuna mtu ambaye anaelekea mahala pabaya, yeye hukatazwa na ndugu jamaa na hata marafiki lakini hujifanya sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Mwishowe kujuta na kutamani siku zirudi nyuma.. Vilevile methali hii ina maana sawa na asikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Pia asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chunaa alikuwa msichana aliyetoka kwenye familia ya mzazi mmoja. Alikuwa akiishi yeye mama yake na ndugu zake wadogo. Yeye alikuwa kifungua mimba. Waliishi kwa taabu, dhiki kwa kuwa mama mtu hakuwa na kazi wala bazi. Lisilo budi hubidi, Chunaa aliamua kuacha shule na kuanza kufanya kazi ya kusuka nywele. Kama tunavyojua chenye sifa na kipewe sifa. Chunaa alikuwa amepewa jina la majazi ambalo lilikuwa limefika. Yeye alikuwa msichana mrembo mno. Hivyo basi wavulana wengi walitaka awe na mahusiano ya kimapenzi. Chunaa alikubali kila mvulana aliyemtongoza. Alikuwa akifanya nao kimapenzi na mwishowe alijikuta ana ujauzito. Kwa kuwa hakutaka aibu aliamua kuvya mimba. Kwa bahati nzuri au mbaya, mimba ilitoka na akaendelea na maisha yake. Siku moja chunaa aliamua kumwambia mvulana mmoja aliyeitwa Alii kuwa ana ujauzito. Alii kusikia hivyo alimkataa Chunaa na kumwambia aangalie maisha yake. Alimwambia Chunaa afanye kambaye hamjui. Chunaa kusikia hivyo alizidi kutembea na wanaume wa kila aina mpaka mabwana wa watu. Mamayake Chunaa alipopata habari aliamua kumwita Chunaa na kumkalisha kitako. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Chunaa alikatazwa na mama yake lakini hakusikia. Siku moja Chunaa akapata mimba nyingine. Mama alisikia kuhusu mtoto wake na akamwambia atulie ili aweze kuzaa na kumlea mtoto wake. Chunaa aliamua aende hospitalini na kuavya mimba tena. Alipokuwa ana avya mimba, kumbe daktari aliyekuwa anamuhudumia alikuwa ni mwanafunzi. Kweli usichokijua ni kama usiku wa giza. Chunaa alikuwa ameharibika kibofu cha mkojo na pia hataweza kuzaa tena katika maisha yake. Masikini Chunaa kwa sasa ni tasa na kikojozi ambaye anavaa binda. Kwa sasa anajuta majuto ni mjukuu huja baadae. Mamake Chunaa alishukuru mungu kwani alikuwa amemkataza lakini akajifanya hasikii na kwa kuwa alikuwa anatafuta alichotaka na basi alipata. Methali hii inatufunza kuwa mtu akiambiwa na wayele wake kuhusu kitu fulani aache ama asifanye, anapaswa kuyatii maneno ya wavyele wake na kuyafuatilia vizuri.
Nani alitoka kwenye familia ya mzazi mmoja
{ "text": [ "Chunaa" ] }
3204_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatufunza iwapo kuna mtu ambaye anaelekea mahala pabaya, yeye hukatazwa na ndugu jamaa na hata marafiki lakini hujifanya sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Mwishowe kujuta na kutamani siku zirudi nyuma.. Vilevile methali hii ina maana sawa na asikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Pia asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chunaa alikuwa msichana aliyetoka kwenye familia ya mzazi mmoja. Alikuwa akiishi yeye mama yake na ndugu zake wadogo. Yeye alikuwa kifungua mimba. Waliishi kwa taabu, dhiki kwa kuwa mama mtu hakuwa na kazi wala bazi. Lisilo budi hubidi, Chunaa aliamua kuacha shule na kuanza kufanya kazi ya kusuka nywele. Kama tunavyojua chenye sifa na kipewe sifa. Chunaa alikuwa amepewa jina la majazi ambalo lilikuwa limefika. Yeye alikuwa msichana mrembo mno. Hivyo basi wavulana wengi walitaka awe na mahusiano ya kimapenzi. Chunaa alikubali kila mvulana aliyemtongoza. Alikuwa akifanya nao kimapenzi na mwishowe alijikuta ana ujauzito. Kwa kuwa hakutaka aibu aliamua kuvya mimba. Kwa bahati nzuri au mbaya, mimba ilitoka na akaendelea na maisha yake. Siku moja chunaa aliamua kumwambia mvulana mmoja aliyeitwa Alii kuwa ana ujauzito. Alii kusikia hivyo alimkataa Chunaa na kumwambia aangalie maisha yake. Alimwambia Chunaa afanye kambaye hamjui. Chunaa kusikia hivyo alizidi kutembea na wanaume wa kila aina mpaka mabwana wa watu. Mamayake Chunaa alipopata habari aliamua kumwita Chunaa na kumkalisha kitako. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Chunaa alikatazwa na mama yake lakini hakusikia. Siku moja Chunaa akapata mimba nyingine. Mama alisikia kuhusu mtoto wake na akamwambia atulie ili aweze kuzaa na kumlea mtoto wake. Chunaa aliamua aende hospitalini na kuavya mimba tena. Alipokuwa ana avya mimba, kumbe daktari aliyekuwa anamuhudumia alikuwa ni mwanafunzi. Kweli usichokijua ni kama usiku wa giza. Chunaa alikuwa ameharibika kibofu cha mkojo na pia hataweza kuzaa tena katika maisha yake. Masikini Chunaa kwa sasa ni tasa na kikojozi ambaye anavaa binda. Kwa sasa anajuta majuto ni mjukuu huja baadae. Mamake Chunaa alishukuru mungu kwani alikuwa amemkataza lakini akajifanya hasikii na kwa kuwa alikuwa anatafuta alichotaka na basi alipata. Methali hii inatufunza kuwa mtu akiambiwa na wayele wake kuhusu kitu fulani aache ama asifanye, anapaswa kuyatii maneno ya wavyele wake na kuyafuatilia vizuri.
Chunaa aliamua kuacha nini
{ "text": [ "shule" ] }
3204_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatufunza iwapo kuna mtu ambaye anaelekea mahala pabaya, yeye hukatazwa na ndugu jamaa na hata marafiki lakini hujifanya sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Mwishowe kujuta na kutamani siku zirudi nyuma.. Vilevile methali hii ina maana sawa na asikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Pia asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chunaa alikuwa msichana aliyetoka kwenye familia ya mzazi mmoja. Alikuwa akiishi yeye mama yake na ndugu zake wadogo. Yeye alikuwa kifungua mimba. Waliishi kwa taabu, dhiki kwa kuwa mama mtu hakuwa na kazi wala bazi. Lisilo budi hubidi, Chunaa aliamua kuacha shule na kuanza kufanya kazi ya kusuka nywele. Kama tunavyojua chenye sifa na kipewe sifa. Chunaa alikuwa amepewa jina la majazi ambalo lilikuwa limefika. Yeye alikuwa msichana mrembo mno. Hivyo basi wavulana wengi walitaka awe na mahusiano ya kimapenzi. Chunaa alikubali kila mvulana aliyemtongoza. Alikuwa akifanya nao kimapenzi na mwishowe alijikuta ana ujauzito. Kwa kuwa hakutaka aibu aliamua kuvya mimba. Kwa bahati nzuri au mbaya, mimba ilitoka na akaendelea na maisha yake. Siku moja chunaa aliamua kumwambia mvulana mmoja aliyeitwa Alii kuwa ana ujauzito. Alii kusikia hivyo alimkataa Chunaa na kumwambia aangalie maisha yake. Alimwambia Chunaa afanye kambaye hamjui. Chunaa kusikia hivyo alizidi kutembea na wanaume wa kila aina mpaka mabwana wa watu. Mamayake Chunaa alipopata habari aliamua kumwita Chunaa na kumkalisha kitako. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Chunaa alikatazwa na mama yake lakini hakusikia. Siku moja Chunaa akapata mimba nyingine. Mama alisikia kuhusu mtoto wake na akamwambia atulie ili aweze kuzaa na kumlea mtoto wake. Chunaa aliamua aende hospitalini na kuavya mimba tena. Alipokuwa ana avya mimba, kumbe daktari aliyekuwa anamuhudumia alikuwa ni mwanafunzi. Kweli usichokijua ni kama usiku wa giza. Chunaa alikuwa ameharibika kibofu cha mkojo na pia hataweza kuzaa tena katika maisha yake. Masikini Chunaa kwa sasa ni tasa na kikojozi ambaye anavaa binda. Kwa sasa anajuta majuto ni mjukuu huja baadae. Mamake Chunaa alishukuru mungu kwani alikuwa amemkataza lakini akajifanya hasikii na kwa kuwa alikuwa anatafuta alichotaka na basi alipata. Methali hii inatufunza kuwa mtu akiambiwa na wayele wake kuhusu kitu fulani aache ama asifanye, anapaswa kuyatii maneno ya wavyele wake na kuyafuatilia vizuri.
Chunaa alimwambia nani kuwa ana uja uzito
{ "text": [ "Ali" ] }
3204_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatufunza iwapo kuna mtu ambaye anaelekea mahala pabaya, yeye hukatazwa na ndugu jamaa na hata marafiki lakini hujifanya sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Mwishowe kujuta na kutamani siku zirudi nyuma.. Vilevile methali hii ina maana sawa na asikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Pia asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chunaa alikuwa msichana aliyetoka kwenye familia ya mzazi mmoja. Alikuwa akiishi yeye mama yake na ndugu zake wadogo. Yeye alikuwa kifungua mimba. Waliishi kwa taabu, dhiki kwa kuwa mama mtu hakuwa na kazi wala bazi. Lisilo budi hubidi, Chunaa aliamua kuacha shule na kuanza kufanya kazi ya kusuka nywele. Kama tunavyojua chenye sifa na kipewe sifa. Chunaa alikuwa amepewa jina la majazi ambalo lilikuwa limefika. Yeye alikuwa msichana mrembo mno. Hivyo basi wavulana wengi walitaka awe na mahusiano ya kimapenzi. Chunaa alikubali kila mvulana aliyemtongoza. Alikuwa akifanya nao kimapenzi na mwishowe alijikuta ana ujauzito. Kwa kuwa hakutaka aibu aliamua kuvya mimba. Kwa bahati nzuri au mbaya, mimba ilitoka na akaendelea na maisha yake. Siku moja chunaa aliamua kumwambia mvulana mmoja aliyeitwa Alii kuwa ana ujauzito. Alii kusikia hivyo alimkataa Chunaa na kumwambia aangalie maisha yake. Alimwambia Chunaa afanye kambaye hamjui. Chunaa kusikia hivyo alizidi kutembea na wanaume wa kila aina mpaka mabwana wa watu. Mamayake Chunaa alipopata habari aliamua kumwita Chunaa na kumkalisha kitako. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Chunaa alikatazwa na mama yake lakini hakusikia. Siku moja Chunaa akapata mimba nyingine. Mama alisikia kuhusu mtoto wake na akamwambia atulie ili aweze kuzaa na kumlea mtoto wake. Chunaa aliamua aende hospitalini na kuavya mimba tena. Alipokuwa ana avya mimba, kumbe daktari aliyekuwa anamuhudumia alikuwa ni mwanafunzi. Kweli usichokijua ni kama usiku wa giza. Chunaa alikuwa ameharibika kibofu cha mkojo na pia hataweza kuzaa tena katika maisha yake. Masikini Chunaa kwa sasa ni tasa na kikojozi ambaye anavaa binda. Kwa sasa anajuta majuto ni mjukuu huja baadae. Mamake Chunaa alishukuru mungu kwani alikuwa amemkataza lakini akajifanya hasikii na kwa kuwa alikuwa anatafuta alichotaka na basi alipata. Methali hii inatufunza kuwa mtu akiambiwa na wayele wake kuhusu kitu fulani aache ama asifanye, anapaswa kuyatii maneno ya wavyele wake na kuyafuatilia vizuri.
Chunaa aliharibika kibofu cha mkojo lini
{ "text": [ "alipokua akiavya mimba" ] }
3204_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inatufunza iwapo kuna mtu ambaye anaelekea mahala pabaya, yeye hukatazwa na ndugu jamaa na hata marafiki lakini hujifanya sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Mwishowe kujuta na kutamani siku zirudi nyuma.. Vilevile methali hii ina maana sawa na asikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Pia asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Chunaa alikuwa msichana aliyetoka kwenye familia ya mzazi mmoja. Alikuwa akiishi yeye mama yake na ndugu zake wadogo. Yeye alikuwa kifungua mimba. Waliishi kwa taabu, dhiki kwa kuwa mama mtu hakuwa na kazi wala bazi. Lisilo budi hubidi, Chunaa aliamua kuacha shule na kuanza kufanya kazi ya kusuka nywele. Kama tunavyojua chenye sifa na kipewe sifa. Chunaa alikuwa amepewa jina la majazi ambalo lilikuwa limefika. Yeye alikuwa msichana mrembo mno. Hivyo basi wavulana wengi walitaka awe na mahusiano ya kimapenzi. Chunaa alikubali kila mvulana aliyemtongoza. Alikuwa akifanya nao kimapenzi na mwishowe alijikuta ana ujauzito. Kwa kuwa hakutaka aibu aliamua kuvya mimba. Kwa bahati nzuri au mbaya, mimba ilitoka na akaendelea na maisha yake. Siku moja chunaa aliamua kumwambia mvulana mmoja aliyeitwa Alii kuwa ana ujauzito. Alii kusikia hivyo alimkataa Chunaa na kumwambia aangalie maisha yake. Alimwambia Chunaa afanye kambaye hamjui. Chunaa kusikia hivyo alizidi kutembea na wanaume wa kila aina mpaka mabwana wa watu. Mamayake Chunaa alipopata habari aliamua kumwita Chunaa na kumkalisha kitako. Kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, Chunaa alikatazwa na mama yake lakini hakusikia. Siku moja Chunaa akapata mimba nyingine. Mama alisikia kuhusu mtoto wake na akamwambia atulie ili aweze kuzaa na kumlea mtoto wake. Chunaa aliamua aende hospitalini na kuavya mimba tena. Alipokuwa ana avya mimba, kumbe daktari aliyekuwa anamuhudumia alikuwa ni mwanafunzi. Kweli usichokijua ni kama usiku wa giza. Chunaa alikuwa ameharibika kibofu cha mkojo na pia hataweza kuzaa tena katika maisha yake. Masikini Chunaa kwa sasa ni tasa na kikojozi ambaye anavaa binda. Kwa sasa anajuta majuto ni mjukuu huja baadae. Mamake Chunaa alishukuru mungu kwani alikuwa amemkataza lakini akajifanya hasikii na kwa kuwa alikuwa anatafuta alichotaka na basi alipata. Methali hii inatufunza kuwa mtu akiambiwa na wayele wake kuhusu kitu fulani aache ama asifanye, anapaswa kuyatii maneno ya wavyele wake na kuyafuatilia vizuri.
Mbona mamake Chunaa alimwita na kumkalisha kitako
{ "text": [ "ili amkanye dhidi ya kutembea na wanaume wa kila aina" ] }
3206_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya insha hii ni mtu anapojaribu kukanywa kitu fulani na kwa mfano kama amekataa maagizo basi yeye huwachwa na kufunzwa na ulimwengu. Paliishi msichana mmoja kwa jina Kimberly Otambo. Hakuwahifuata maagizo kutoka kwa wazazi wake sio mama sio baba. Msichana huyo alikuwa na tabia zenye hazikuwahi kumfurahisha mtu yoyote mtaani. Alikuwa ni msichana wa kupenda wanaume pia ngono. Majirani mtaani walikuwa wakimwongelea vibaya vile vile pia hakuwahi penda shule. Alivyo kuwa akiingia shule ya upili, aliweza kushikana na makundi yasiyofaa na makundi hayo yalikuwa ni wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne. Makundi hayo yalikuwa ni ya wanafunzi waliokuwa wakitumia mihadarati na kazi yao ilikuwa kushika mimba na kutoa. Wengi wao waliendelea na tabia hiyo na mwishowe wakashindwa kupata ujauzito. Siku moja msichana huyo alipokuwa na kikundi chake shuleni, walikuwa wamepanga njama yakuhepa shuleni na kwenda diskoni. Basi usiku huo msichana huyo na mashoga zake walivyokuwa wamepanga, nia yao ilifaulu. Walipokuwa wamefika diskoni walijificha mahali nakuweza kubadilisha sare za shule na kuvalia sare za nyumbani ili wasijulikane kwamba ni wanafunzi wa shule. Basi wasichana hao waliweza kupata nafasi ya kuingia diskoni. Wasichana hao walicheza na kufanya kila aina ya umalaya na kunywa pombe. Walikesha usiku nzima diskoni na kusahau kurejea shuleni. Asubuhi yake wasichana hao waligutuka na kujipata kwenye disko. Waliogopa kurejea shuleni kwa sababu walijuwa watapatikana na shuleni huko wanafunzi walikuwa wanajua hawakuwa shuleni usiku wote. Ilibidi waende shuleni hivyo bila shaka na kupitia kwenye geti kuu. Mwalimu mkuu, Madam Musili aligutuka kuwaona wasichana hao kuingia kwenye geti kuu na aliwaacha wakiwa shuleni. Mwalimu mkuu alishikwa na hasira na kuweza kuwaaibisha wasichana hao mbele ya wanafunzi wote shuleni. Kisha baada ya hapo kuwapatia barua ya kwenda wakatafute shule ingine. Msichana huyo alipokuwa akirejea nyumbani na mizigo yake ya shule, wazazi wake walikasirika walipo mwona na kumwambia aende kule atakako kwenda kwa sababu walikuwa wamemchokesha Msichana huyo pia alikuwa ni mjamzito. Alilia mbele ya wazazi wake na kuweza kuwaomba msamaha na kuwaambia laiti ningaliwasikia hivi vyote havingekuwa vimefanyika. Wazazi wake iliwabidi wamsamehe kwa vile alikuwa ni mwanawe wa kipekee.
Paliishi msichana mmoja kwa majina gani
{ "text": [ "Kimberly Otambo" ] }
3206_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya insha hii ni mtu anapojaribu kukanywa kitu fulani na kwa mfano kama amekataa maagizo basi yeye huwachwa na kufunzwa na ulimwengu. Paliishi msichana mmoja kwa jina Kimberly Otambo. Hakuwahifuata maagizo kutoka kwa wazazi wake sio mama sio baba. Msichana huyo alikuwa na tabia zenye hazikuwahi kumfurahisha mtu yoyote mtaani. Alikuwa ni msichana wa kupenda wanaume pia ngono. Majirani mtaani walikuwa wakimwongelea vibaya vile vile pia hakuwahi penda shule. Alivyo kuwa akiingia shule ya upili, aliweza kushikana na makundi yasiyofaa na makundi hayo yalikuwa ni wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne. Makundi hayo yalikuwa ni ya wanafunzi waliokuwa wakitumia mihadarati na kazi yao ilikuwa kushika mimba na kutoa. Wengi wao waliendelea na tabia hiyo na mwishowe wakashindwa kupata ujauzito. Siku moja msichana huyo alipokuwa na kikundi chake shuleni, walikuwa wamepanga njama yakuhepa shuleni na kwenda diskoni. Basi usiku huo msichana huyo na mashoga zake walivyokuwa wamepanga, nia yao ilifaulu. Walipokuwa wamefika diskoni walijificha mahali nakuweza kubadilisha sare za shule na kuvalia sare za nyumbani ili wasijulikane kwamba ni wanafunzi wa shule. Basi wasichana hao waliweza kupata nafasi ya kuingia diskoni. Wasichana hao walicheza na kufanya kila aina ya umalaya na kunywa pombe. Walikesha usiku nzima diskoni na kusahau kurejea shuleni. Asubuhi yake wasichana hao waligutuka na kujipata kwenye disko. Waliogopa kurejea shuleni kwa sababu walijuwa watapatikana na shuleni huko wanafunzi walikuwa wanajua hawakuwa shuleni usiku wote. Ilibidi waende shuleni hivyo bila shaka na kupitia kwenye geti kuu. Mwalimu mkuu, Madam Musili aligutuka kuwaona wasichana hao kuingia kwenye geti kuu na aliwaacha wakiwa shuleni. Mwalimu mkuu alishikwa na hasira na kuweza kuwaaibisha wasichana hao mbele ya wanafunzi wote shuleni. Kisha baada ya hapo kuwapatia barua ya kwenda wakatafute shule ingine. Msichana huyo alipokuwa akirejea nyumbani na mizigo yake ya shule, wazazi wake walikasirika walipo mwona na kumwambia aende kule atakako kwenda kwa sababu walikuwa wamemchokesha Msichana huyo pia alikuwa ni mjamzito. Alilia mbele ya wazazi wake na kuweza kuwaomba msamaha na kuwaambia laiti ningaliwasikia hivi vyote havingekuwa vimefanyika. Wazazi wake iliwabidi wamsamehe kwa vile alikuwa ni mwanawe wa kipekee.
Hakuwai kufuata maagizo kutoka kwa nani
{ "text": [ "wazazi wake" ] }
3206_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya insha hii ni mtu anapojaribu kukanywa kitu fulani na kwa mfano kama amekataa maagizo basi yeye huwachwa na kufunzwa na ulimwengu. Paliishi msichana mmoja kwa jina Kimberly Otambo. Hakuwahifuata maagizo kutoka kwa wazazi wake sio mama sio baba. Msichana huyo alikuwa na tabia zenye hazikuwahi kumfurahisha mtu yoyote mtaani. Alikuwa ni msichana wa kupenda wanaume pia ngono. Majirani mtaani walikuwa wakimwongelea vibaya vile vile pia hakuwahi penda shule. Alivyo kuwa akiingia shule ya upili, aliweza kushikana na makundi yasiyofaa na makundi hayo yalikuwa ni wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne. Makundi hayo yalikuwa ni ya wanafunzi waliokuwa wakitumia mihadarati na kazi yao ilikuwa kushika mimba na kutoa. Wengi wao waliendelea na tabia hiyo na mwishowe wakashindwa kupata ujauzito. Siku moja msichana huyo alipokuwa na kikundi chake shuleni, walikuwa wamepanga njama yakuhepa shuleni na kwenda diskoni. Basi usiku huo msichana huyo na mashoga zake walivyokuwa wamepanga, nia yao ilifaulu. Walipokuwa wamefika diskoni walijificha mahali nakuweza kubadilisha sare za shule na kuvalia sare za nyumbani ili wasijulikane kwamba ni wanafunzi wa shule. Basi wasichana hao waliweza kupata nafasi ya kuingia diskoni. Wasichana hao walicheza na kufanya kila aina ya umalaya na kunywa pombe. Walikesha usiku nzima diskoni na kusahau kurejea shuleni. Asubuhi yake wasichana hao waligutuka na kujipata kwenye disko. Waliogopa kurejea shuleni kwa sababu walijuwa watapatikana na shuleni huko wanafunzi walikuwa wanajua hawakuwa shuleni usiku wote. Ilibidi waende shuleni hivyo bila shaka na kupitia kwenye geti kuu. Mwalimu mkuu, Madam Musili aligutuka kuwaona wasichana hao kuingia kwenye geti kuu na aliwaacha wakiwa shuleni. Mwalimu mkuu alishikwa na hasira na kuweza kuwaaibisha wasichana hao mbele ya wanafunzi wote shuleni. Kisha baada ya hapo kuwapatia barua ya kwenda wakatafute shule ingine. Msichana huyo alipokuwa akirejea nyumbani na mizigo yake ya shule, wazazi wake walikasirika walipo mwona na kumwambia aende kule atakako kwenda kwa sababu walikuwa wamemchokesha Msichana huyo pia alikuwa ni mjamzito. Alilia mbele ya wazazi wake na kuweza kuwaomba msamaha na kuwaambia laiti ningaliwasikia hivi vyote havingekuwa vimefanyika. Wazazi wake iliwabidi wamsamehe kwa vile alikuwa ni mwanawe wa kipekee.
Ni nani mtaani walikua wakimwongelea vibaya
{ "text": [ "majirani" ] }
3206_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya insha hii ni mtu anapojaribu kukanywa kitu fulani na kwa mfano kama amekataa maagizo basi yeye huwachwa na kufunzwa na ulimwengu. Paliishi msichana mmoja kwa jina Kimberly Otambo. Hakuwahifuata maagizo kutoka kwa wazazi wake sio mama sio baba. Msichana huyo alikuwa na tabia zenye hazikuwahi kumfurahisha mtu yoyote mtaani. Alikuwa ni msichana wa kupenda wanaume pia ngono. Majirani mtaani walikuwa wakimwongelea vibaya vile vile pia hakuwahi penda shule. Alivyo kuwa akiingia shule ya upili, aliweza kushikana na makundi yasiyofaa na makundi hayo yalikuwa ni wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne. Makundi hayo yalikuwa ni ya wanafunzi waliokuwa wakitumia mihadarati na kazi yao ilikuwa kushika mimba na kutoa. Wengi wao waliendelea na tabia hiyo na mwishowe wakashindwa kupata ujauzito. Siku moja msichana huyo alipokuwa na kikundi chake shuleni, walikuwa wamepanga njama yakuhepa shuleni na kwenda diskoni. Basi usiku huo msichana huyo na mashoga zake walivyokuwa wamepanga, nia yao ilifaulu. Walipokuwa wamefika diskoni walijificha mahali nakuweza kubadilisha sare za shule na kuvalia sare za nyumbani ili wasijulikane kwamba ni wanafunzi wa shule. Basi wasichana hao waliweza kupata nafasi ya kuingia diskoni. Wasichana hao walicheza na kufanya kila aina ya umalaya na kunywa pombe. Walikesha usiku nzima diskoni na kusahau kurejea shuleni. Asubuhi yake wasichana hao waligutuka na kujipata kwenye disko. Waliogopa kurejea shuleni kwa sababu walijuwa watapatikana na shuleni huko wanafunzi walikuwa wanajua hawakuwa shuleni usiku wote. Ilibidi waende shuleni hivyo bila shaka na kupitia kwenye geti kuu. Mwalimu mkuu, Madam Musili aligutuka kuwaona wasichana hao kuingia kwenye geti kuu na aliwaacha wakiwa shuleni. Mwalimu mkuu alishikwa na hasira na kuweza kuwaaibisha wasichana hao mbele ya wanafunzi wote shuleni. Kisha baada ya hapo kuwapatia barua ya kwenda wakatafute shule ingine. Msichana huyo alipokuwa akirejea nyumbani na mizigo yake ya shule, wazazi wake walikasirika walipo mwona na kumwambia aende kule atakako kwenda kwa sababu walikuwa wamemchokesha Msichana huyo pia alikuwa ni mjamzito. Alilia mbele ya wazazi wake na kuweza kuwaomba msamaha na kuwaambia laiti ningaliwasikia hivi vyote havingekuwa vimefanyika. Wazazi wake iliwabidi wamsamehe kwa vile alikuwa ni mwanawe wa kipekee.
Alijiunga na makundi yasiyofaa lini
{ "text": [ "alipoingia sekondari " ] }
3206_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya insha hii ni mtu anapojaribu kukanywa kitu fulani na kwa mfano kama amekataa maagizo basi yeye huwachwa na kufunzwa na ulimwengu. Paliishi msichana mmoja kwa jina Kimberly Otambo. Hakuwahifuata maagizo kutoka kwa wazazi wake sio mama sio baba. Msichana huyo alikuwa na tabia zenye hazikuwahi kumfurahisha mtu yoyote mtaani. Alikuwa ni msichana wa kupenda wanaume pia ngono. Majirani mtaani walikuwa wakimwongelea vibaya vile vile pia hakuwahi penda shule. Alivyo kuwa akiingia shule ya upili, aliweza kushikana na makundi yasiyofaa na makundi hayo yalikuwa ni wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne. Makundi hayo yalikuwa ni ya wanafunzi waliokuwa wakitumia mihadarati na kazi yao ilikuwa kushika mimba na kutoa. Wengi wao waliendelea na tabia hiyo na mwishowe wakashindwa kupata ujauzito. Siku moja msichana huyo alipokuwa na kikundi chake shuleni, walikuwa wamepanga njama yakuhepa shuleni na kwenda diskoni. Basi usiku huo msichana huyo na mashoga zake walivyokuwa wamepanga, nia yao ilifaulu. Walipokuwa wamefika diskoni walijificha mahali nakuweza kubadilisha sare za shule na kuvalia sare za nyumbani ili wasijulikane kwamba ni wanafunzi wa shule. Basi wasichana hao waliweza kupata nafasi ya kuingia diskoni. Wasichana hao walicheza na kufanya kila aina ya umalaya na kunywa pombe. Walikesha usiku nzima diskoni na kusahau kurejea shuleni. Asubuhi yake wasichana hao waligutuka na kujipata kwenye disko. Waliogopa kurejea shuleni kwa sababu walijuwa watapatikana na shuleni huko wanafunzi walikuwa wanajua hawakuwa shuleni usiku wote. Ilibidi waende shuleni hivyo bila shaka na kupitia kwenye geti kuu. Mwalimu mkuu, Madam Musili aligutuka kuwaona wasichana hao kuingia kwenye geti kuu na aliwaacha wakiwa shuleni. Mwalimu mkuu alishikwa na hasira na kuweza kuwaaibisha wasichana hao mbele ya wanafunzi wote shuleni. Kisha baada ya hapo kuwapatia barua ya kwenda wakatafute shule ingine. Msichana huyo alipokuwa akirejea nyumbani na mizigo yake ya shule, wazazi wake walikasirika walipo mwona na kumwambia aende kule atakako kwenda kwa sababu walikuwa wamemchokesha Msichana huyo pia alikuwa ni mjamzito. Alilia mbele ya wazazi wake na kuweza kuwaomba msamaha na kuwaambia laiti ningaliwasikia hivi vyote havingekuwa vimefanyika. Wazazi wake iliwabidi wamsamehe kwa vile alikuwa ni mwanawe wa kipekee.
Kwa nini wasichana hao walibadilisha sare za shuleni
{ "text": [ "ili wasijulikane ni wanafunzi wa shule" ] }
3207_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika shule za sekondari. Kwanza, kupitia teknolojia, walimu wameweza kuingia mtandaoni kufanya uchunguzi zaidi kuhusu watakachoenda kufundisha kwa mfano, somo la Kemia. Walimu huingia mtandaoni na kusoma zaidi kuhusu jinsi kemicali hutengenezwa. Teknolojia pia husaidia katika kuokoa wakati. Vifaa kama tarakilishi hutumiwa na wanafunzi kwa nchi zilizoendelea kusomea. Badala ya kuaribu wakati mtu akitafuta kitu kwa kitabu, mtu anaweza kutafuta kwa tarakilishi kwa muda mfupi. Katika kuhakikisha kuwa shule zinaendelea salama, lazima teknolojia itumike. Tarakilishi hutumiwa katika kunakili majina ya watu wote kwa shule hiyo. Vilevile watu walio lipa karo wanaweza kuhifadhiwa majina yao, mfano tafakari shule ya watu elfu tatu na wote wana lipa karo na majina yanahifadhiwa kwenye vitabu. Ingekuwa kazi ngumu sana. Teknolojia imeshikilia pakubwa katika usalama wa shule. Vifaa kama 'CCTV zimetumika ili kuimarisha usalama wa shule. Vifaa hivyo hunakili kila kitu kinachoendelea hivyo basi ni rahisi kumpata aliyefanya hivyo. Teknolojia imeimarisha masomo kwani shule nyingi zatumia umeme. Hivyo basi wanafunzi wanapata nafasi ya kusoma mchana na usiku. Hata baada ya manufaa yote ya teknolojia, hakuna kizuri kisicho na ila. Teknolojia imefanya walimu wengi kufutwa kazi kwani kuna mitambo inayofanya kazi hiyo. Watu wengi wamefutwa kazi hivyo kuongeza makesi ya wizi na kadhalika. Vilevile, teknolojia imefanya wanafunzi kukosa maadili katika mitambo hiyo kwa mfano, tarakilishi. Wanafunzi wanazidi kukosa adabu kwani wanatazama picha na video chafu chafu. Imekuwa sasa ni kawaida kwa wasichana kubeba mimba. Vilevile, imekuwa kawaida kwa wanafunzi kutoa mimba kisa ni teknolojia. Ingekuwa si teknolojia madawa maarufu P2 yasingekuwepo. Sote tukubaliane, ingawa teknolojia ina umuhimu wake ina madhara yake pia.
Tekinolojia ina manufaa mengi katika shule zipi
{ "text": [ "Sekondari" ] }
3207_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika shule za sekondari. Kwanza, kupitia teknolojia, walimu wameweza kuingia mtandaoni kufanya uchunguzi zaidi kuhusu watakachoenda kufundisha kwa mfano, somo la Kemia. Walimu huingia mtandaoni na kusoma zaidi kuhusu jinsi kemicali hutengenezwa. Teknolojia pia husaidia katika kuokoa wakati. Vifaa kama tarakilishi hutumiwa na wanafunzi kwa nchi zilizoendelea kusomea. Badala ya kuaribu wakati mtu akitafuta kitu kwa kitabu, mtu anaweza kutafuta kwa tarakilishi kwa muda mfupi. Katika kuhakikisha kuwa shule zinaendelea salama, lazima teknolojia itumike. Tarakilishi hutumiwa katika kunakili majina ya watu wote kwa shule hiyo. Vilevile watu walio lipa karo wanaweza kuhifadhiwa majina yao, mfano tafakari shule ya watu elfu tatu na wote wana lipa karo na majina yanahifadhiwa kwenye vitabu. Ingekuwa kazi ngumu sana. Teknolojia imeshikilia pakubwa katika usalama wa shule. Vifaa kama 'CCTV zimetumika ili kuimarisha usalama wa shule. Vifaa hivyo hunakili kila kitu kinachoendelea hivyo basi ni rahisi kumpata aliyefanya hivyo. Teknolojia imeimarisha masomo kwani shule nyingi zatumia umeme. Hivyo basi wanafunzi wanapata nafasi ya kusoma mchana na usiku. Hata baada ya manufaa yote ya teknolojia, hakuna kizuri kisicho na ila. Teknolojia imefanya walimu wengi kufutwa kazi kwani kuna mitambo inayofanya kazi hiyo. Watu wengi wamefutwa kazi hivyo kuongeza makesi ya wizi na kadhalika. Vilevile, teknolojia imefanya wanafunzi kukosa maadili katika mitambo hiyo kwa mfano, tarakilishi. Wanafunzi wanazidi kukosa adabu kwani wanatazama picha na video chafu chafu. Imekuwa sasa ni kawaida kwa wasichana kubeba mimba. Vilevile, imekuwa kawaida kwa wanafunzi kutoa mimba kisa ni teknolojia. Ingekuwa si teknolojia madawa maarufu P2 yasingekuwepo. Sote tukubaliane, ingawa teknolojia ina umuhimu wake ina madhara yake pia.
Wanafunzi wanatumia vifaa vipi kusomea
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3207_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika shule za sekondari. Kwanza, kupitia teknolojia, walimu wameweza kuingia mtandaoni kufanya uchunguzi zaidi kuhusu watakachoenda kufundisha kwa mfano, somo la Kemia. Walimu huingia mtandaoni na kusoma zaidi kuhusu jinsi kemicali hutengenezwa. Teknolojia pia husaidia katika kuokoa wakati. Vifaa kama tarakilishi hutumiwa na wanafunzi kwa nchi zilizoendelea kusomea. Badala ya kuaribu wakati mtu akitafuta kitu kwa kitabu, mtu anaweza kutafuta kwa tarakilishi kwa muda mfupi. Katika kuhakikisha kuwa shule zinaendelea salama, lazima teknolojia itumike. Tarakilishi hutumiwa katika kunakili majina ya watu wote kwa shule hiyo. Vilevile watu walio lipa karo wanaweza kuhifadhiwa majina yao, mfano tafakari shule ya watu elfu tatu na wote wana lipa karo na majina yanahifadhiwa kwenye vitabu. Ingekuwa kazi ngumu sana. Teknolojia imeshikilia pakubwa katika usalama wa shule. Vifaa kama 'CCTV zimetumika ili kuimarisha usalama wa shule. Vifaa hivyo hunakili kila kitu kinachoendelea hivyo basi ni rahisi kumpata aliyefanya hivyo. Teknolojia imeimarisha masomo kwani shule nyingi zatumia umeme. Hivyo basi wanafunzi wanapata nafasi ya kusoma mchana na usiku. Hata baada ya manufaa yote ya teknolojia, hakuna kizuri kisicho na ila. Teknolojia imefanya walimu wengi kufutwa kazi kwani kuna mitambo inayofanya kazi hiyo. Watu wengi wamefutwa kazi hivyo kuongeza makesi ya wizi na kadhalika. Vilevile, teknolojia imefanya wanafunzi kukosa maadili katika mitambo hiyo kwa mfano, tarakilishi. Wanafunzi wanazidi kukosa adabu kwani wanatazama picha na video chafu chafu. Imekuwa sasa ni kawaida kwa wasichana kubeba mimba. Vilevile, imekuwa kawaida kwa wanafunzi kutoa mimba kisa ni teknolojia. Ingekuwa si teknolojia madawa maarufu P2 yasingekuwepo. Sote tukubaliane, ingawa teknolojia ina umuhimu wake ina madhara yake pia.
Majina ya wanafunzi waliolipa karo yahifadhiwa na nini
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3207_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika shule za sekondari. Kwanza, kupitia teknolojia, walimu wameweza kuingia mtandaoni kufanya uchunguzi zaidi kuhusu watakachoenda kufundisha kwa mfano, somo la Kemia. Walimu huingia mtandaoni na kusoma zaidi kuhusu jinsi kemicali hutengenezwa. Teknolojia pia husaidia katika kuokoa wakati. Vifaa kama tarakilishi hutumiwa na wanafunzi kwa nchi zilizoendelea kusomea. Badala ya kuaribu wakati mtu akitafuta kitu kwa kitabu, mtu anaweza kutafuta kwa tarakilishi kwa muda mfupi. Katika kuhakikisha kuwa shule zinaendelea salama, lazima teknolojia itumike. Tarakilishi hutumiwa katika kunakili majina ya watu wote kwa shule hiyo. Vilevile watu walio lipa karo wanaweza kuhifadhiwa majina yao, mfano tafakari shule ya watu elfu tatu na wote wana lipa karo na majina yanahifadhiwa kwenye vitabu. Ingekuwa kazi ngumu sana. Teknolojia imeshikilia pakubwa katika usalama wa shule. Vifaa kama 'CCTV zimetumika ili kuimarisha usalama wa shule. Vifaa hivyo hunakili kila kitu kinachoendelea hivyo basi ni rahisi kumpata aliyefanya hivyo. Teknolojia imeimarisha masomo kwani shule nyingi zatumia umeme. Hivyo basi wanafunzi wanapata nafasi ya kusoma mchana na usiku. Hata baada ya manufaa yote ya teknolojia, hakuna kizuri kisicho na ila. Teknolojia imefanya walimu wengi kufutwa kazi kwani kuna mitambo inayofanya kazi hiyo. Watu wengi wamefutwa kazi hivyo kuongeza makesi ya wizi na kadhalika. Vilevile, teknolojia imefanya wanafunzi kukosa maadili katika mitambo hiyo kwa mfano, tarakilishi. Wanafunzi wanazidi kukosa adabu kwani wanatazama picha na video chafu chafu. Imekuwa sasa ni kawaida kwa wasichana kubeba mimba. Vilevile, imekuwa kawaida kwa wanafunzi kutoa mimba kisa ni teknolojia. Ingekuwa si teknolojia madawa maarufu P2 yasingekuwepo. Sote tukubaliane, ingawa teknolojia ina umuhimu wake ina madhara yake pia.
Ni nini imesababisha watu kufutwa kazi
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
3207_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika shule za sekondari. Kwanza, kupitia teknolojia, walimu wameweza kuingia mtandaoni kufanya uchunguzi zaidi kuhusu watakachoenda kufundisha kwa mfano, somo la Kemia. Walimu huingia mtandaoni na kusoma zaidi kuhusu jinsi kemicali hutengenezwa. Teknolojia pia husaidia katika kuokoa wakati. Vifaa kama tarakilishi hutumiwa na wanafunzi kwa nchi zilizoendelea kusomea. Badala ya kuaribu wakati mtu akitafuta kitu kwa kitabu, mtu anaweza kutafuta kwa tarakilishi kwa muda mfupi. Katika kuhakikisha kuwa shule zinaendelea salama, lazima teknolojia itumike. Tarakilishi hutumiwa katika kunakili majina ya watu wote kwa shule hiyo. Vilevile watu walio lipa karo wanaweza kuhifadhiwa majina yao, mfano tafakari shule ya watu elfu tatu na wote wana lipa karo na majina yanahifadhiwa kwenye vitabu. Ingekuwa kazi ngumu sana. Teknolojia imeshikilia pakubwa katika usalama wa shule. Vifaa kama 'CCTV zimetumika ili kuimarisha usalama wa shule. Vifaa hivyo hunakili kila kitu kinachoendelea hivyo basi ni rahisi kumpata aliyefanya hivyo. Teknolojia imeimarisha masomo kwani shule nyingi zatumia umeme. Hivyo basi wanafunzi wanapata nafasi ya kusoma mchana na usiku. Hata baada ya manufaa yote ya teknolojia, hakuna kizuri kisicho na ila. Teknolojia imefanya walimu wengi kufutwa kazi kwani kuna mitambo inayofanya kazi hiyo. Watu wengi wamefutwa kazi hivyo kuongeza makesi ya wizi na kadhalika. Vilevile, teknolojia imefanya wanafunzi kukosa maadili katika mitambo hiyo kwa mfano, tarakilishi. Wanafunzi wanazidi kukosa adabu kwani wanatazama picha na video chafu chafu. Imekuwa sasa ni kawaida kwa wasichana kubeba mimba. Vilevile, imekuwa kawaida kwa wanafunzi kutoa mimba kisa ni teknolojia. Ingekuwa si teknolojia madawa maarufu P2 yasingekuwepo. Sote tukubaliane, ingawa teknolojia ina umuhimu wake ina madhara yake pia.
Mbona wasichana wanabeba mimba
{ "text": [ "Kwa kutazama picha na video chafu" ] }
3216_swa
ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hapo kale katika kijiji cha mombo Pailiondakea msichana mmoja anayeitwa sifa aliye kuwa na tabia nzuri na zakuheshimika. Alijulikana si shule kijijini na hata wakubwa fulani. Alikuwa mrembo kama ua la waridi linaloanza Kuota katika mti wake bila kupata madhara shuleni alifanya kazi zake Kwabidii na alikuwa akipita sana mitihani yake na alikuwa nambari moja katika darasa lao . Kwakupata sababu ya kusifiwa na wanakijiji na walimu wake wa shuleni ama kweli mgoma akisifiwa pombe huzidisha Imani alianza kujigamba na kuwadharau wanafunzi wenzake na hata wazazi wake. Bezo na kutosikia kijijini kulizidi. Fununu zilitokea kwamba msichana huyu alikuwa ameanza tabia mbaya ya wizi, kuenda kwa wazazi wake . Wazazi wake walifanya bidii za mchwa na kumpatia ushauri maana imtafuta hachoki Shuleni aliwatukana walimu na kuwa gonganisha wanafunzi wenzake kwa wavulana waliokuwa darasani mwao. Majibu yake ya mitihani shuleni yalianza, kushuka na kwanza kuvuta mkia doragoni mwao. Walimu walianza Kushangaa na wanakijiji pra Kalijaribu kador you awezo wao kumpatia ushauri lakini sikio la kufa halisikii dawa. Tabia za msichana huyu ziliendelea kuwa mbaya. Ni ule wakati wa huyu msichana kuiba kwa duka moja ha pazehe mzee mmoja mowenye kuogopwa sunca Ina wanakijiji wake wa hapo. Mzee huyo alisifika na Leupunu za ushirikina anazozifanya msichana huyu lalikaribia katika duka lile alivutiana na nguo tofauti tofauti na ríatu. Ama kweli duka lile lilikuwa limejaa Kwa bahati mbaya, msichana huyu alipepesa katika duka nalile na kukuta kwamba mzee mambo mbaya anakosekana Dukani Alichukua tu viatu na Kanga ambayo ilikuwa imemvutia kudhan's kwamba ameshinda Hanitura ataanzo & Kanetica mtaani lakini hatimaye siku za mwizi ni arobaini. kwel Arubain's yake ilikuwa imetika Ghodla kavaa kuvaa viatu hivyo alihisi miguu yake imesakama kwenye ardhi na Teso ili ilimkoba mwili mzima kumuacha hali hoi sana Sifa alianza kujuta na sauti ya huvia wa mama yake ilimia huku nafsi ikimsuta alijuta sana huku akilia hapo. Ghafla mzee mambonambaya alifika Alimkuta sifa Karakaina sosola Bila kupoteza muda aliwaita walio karibu na kutambulishwa kama mwizi mkubwa kili kijijini na adhabu yake ilikuwa Kutoka mzee muibiwa. Mzee huyu bila huruma aliamua kumuapiza kwa wakubwa wake na hatimaye akawa Mwendawazimu wakuzurura mitaani. Wazazi wake walipopata habari hizo walilia kwa huzuni sana lakini kinachoenda hahirudi. Na kwa haweli Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Na kutokana na hadithi inawahusisha wale watu wasiosikia usia wa wavyele na kutoitilia maanani.
Katika kijiji cha mambo paliondokea msichana mmoja aliyeitwa nani
{ "text": [ "Sifa" ] }
3216_swa
ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hapo kale katika kijiji cha mombo Pailiondakea msichana mmoja anayeitwa sifa aliye kuwa na tabia nzuri na zakuheshimika. Alijulikana si shule kijijini na hata wakubwa fulani. Alikuwa mrembo kama ua la waridi linaloanza Kuota katika mti wake bila kupata madhara shuleni alifanya kazi zake Kwabidii na alikuwa akipita sana mitihani yake na alikuwa nambari moja katika darasa lao . Kwakupata sababu ya kusifiwa na wanakijiji na walimu wake wa shuleni ama kweli mgoma akisifiwa pombe huzidisha Imani alianza kujigamba na kuwadharau wanafunzi wenzake na hata wazazi wake. Bezo na kutosikia kijijini kulizidi. Fununu zilitokea kwamba msichana huyu alikuwa ameanza tabia mbaya ya wizi, kuenda kwa wazazi wake . Wazazi wake walifanya bidii za mchwa na kumpatia ushauri maana imtafuta hachoki Shuleni aliwatukana walimu na kuwa gonganisha wanafunzi wenzake kwa wavulana waliokuwa darasani mwao. Majibu yake ya mitihani shuleni yalianza, kushuka na kwanza kuvuta mkia doragoni mwao. Walimu walianza Kushangaa na wanakijiji pra Kalijaribu kador you awezo wao kumpatia ushauri lakini sikio la kufa halisikii dawa. Tabia za msichana huyu ziliendelea kuwa mbaya. Ni ule wakati wa huyu msichana kuiba kwa duka moja ha pazehe mzee mmoja mowenye kuogopwa sunca Ina wanakijiji wake wa hapo. Mzee huyo alisifika na Leupunu za ushirikina anazozifanya msichana huyu lalikaribia katika duka lile alivutiana na nguo tofauti tofauti na ríatu. Ama kweli duka lile lilikuwa limejaa Kwa bahati mbaya, msichana huyu alipepesa katika duka nalile na kukuta kwamba mzee mambo mbaya anakosekana Dukani Alichukua tu viatu na Kanga ambayo ilikuwa imemvutia kudhan's kwamba ameshinda Hanitura ataanzo & Kanetica mtaani lakini hatimaye siku za mwizi ni arobaini. kwel Arubain's yake ilikuwa imetika Ghodla kavaa kuvaa viatu hivyo alihisi miguu yake imesakama kwenye ardhi na Teso ili ilimkoba mwili mzima kumuacha hali hoi sana Sifa alianza kujuta na sauti ya huvia wa mama yake ilimia huku nafsi ikimsuta alijuta sana huku akilia hapo. Ghafla mzee mambonambaya alifika Alimkuta sifa Karakaina sosola Bila kupoteza muda aliwaita walio karibu na kutambulishwa kama mwizi mkubwa kili kijijini na adhabu yake ilikuwa Kutoka mzee muibiwa. Mzee huyu bila huruma aliamua kumuapiza kwa wakubwa wake na hatimaye akawa Mwendawazimu wakuzurura mitaani. Wazazi wake walipopata habari hizo walilia kwa huzuni sana lakini kinachoenda hahirudi. Na kwa haweli Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Na kutokana na hadithi inawahusisha wale watu wasiosikia usia wa wavyele na kutoitilia maanani.
Alikua mrembo kama nini
{ "text": [ "ua la waridi" ] }
3216_swa
ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hapo kale katika kijiji cha mombo Pailiondakea msichana mmoja anayeitwa sifa aliye kuwa na tabia nzuri na zakuheshimika. Alijulikana si shule kijijini na hata wakubwa fulani. Alikuwa mrembo kama ua la waridi linaloanza Kuota katika mti wake bila kupata madhara shuleni alifanya kazi zake Kwabidii na alikuwa akipita sana mitihani yake na alikuwa nambari moja katika darasa lao . Kwakupata sababu ya kusifiwa na wanakijiji na walimu wake wa shuleni ama kweli mgoma akisifiwa pombe huzidisha Imani alianza kujigamba na kuwadharau wanafunzi wenzake na hata wazazi wake. Bezo na kutosikia kijijini kulizidi. Fununu zilitokea kwamba msichana huyu alikuwa ameanza tabia mbaya ya wizi, kuenda kwa wazazi wake . Wazazi wake walifanya bidii za mchwa na kumpatia ushauri maana imtafuta hachoki Shuleni aliwatukana walimu na kuwa gonganisha wanafunzi wenzake kwa wavulana waliokuwa darasani mwao. Majibu yake ya mitihani shuleni yalianza, kushuka na kwanza kuvuta mkia doragoni mwao. Walimu walianza Kushangaa na wanakijiji pra Kalijaribu kador you awezo wao kumpatia ushauri lakini sikio la kufa halisikii dawa. Tabia za msichana huyu ziliendelea kuwa mbaya. Ni ule wakati wa huyu msichana kuiba kwa duka moja ha pazehe mzee mmoja mowenye kuogopwa sunca Ina wanakijiji wake wa hapo. Mzee huyo alisifika na Leupunu za ushirikina anazozifanya msichana huyu lalikaribia katika duka lile alivutiana na nguo tofauti tofauti na ríatu. Ama kweli duka lile lilikuwa limejaa Kwa bahati mbaya, msichana huyu alipepesa katika duka nalile na kukuta kwamba mzee mambo mbaya anakosekana Dukani Alichukua tu viatu na Kanga ambayo ilikuwa imemvutia kudhan's kwamba ameshinda Hanitura ataanzo & Kanetica mtaani lakini hatimaye siku za mwizi ni arobaini. kwel Arubain's yake ilikuwa imetika Ghodla kavaa kuvaa viatu hivyo alihisi miguu yake imesakama kwenye ardhi na Teso ili ilimkoba mwili mzima kumuacha hali hoi sana Sifa alianza kujuta na sauti ya huvia wa mama yake ilimia huku nafsi ikimsuta alijuta sana huku akilia hapo. Ghafla mzee mambonambaya alifika Alimkuta sifa Karakaina sosola Bila kupoteza muda aliwaita walio karibu na kutambulishwa kama mwizi mkubwa kili kijijini na adhabu yake ilikuwa Kutoka mzee muibiwa. Mzee huyu bila huruma aliamua kumuapiza kwa wakubwa wake na hatimaye akawa Mwendawazimu wakuzurura mitaani. Wazazi wake walipopata habari hizo walilia kwa huzuni sana lakini kinachoenda hahirudi. Na kwa haweli Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Na kutokana na hadithi inawahusisha wale watu wasiosikia usia wa wavyele na kutoitilia maanani.
Shuleni aliwatukana nani
{ "text": [ "walimu" ] }
3216_swa
ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hapo kale katika kijiji cha mombo Pailiondakea msichana mmoja anayeitwa sifa aliye kuwa na tabia nzuri na zakuheshimika. Alijulikana si shule kijijini na hata wakubwa fulani. Alikuwa mrembo kama ua la waridi linaloanza Kuota katika mti wake bila kupata madhara shuleni alifanya kazi zake Kwabidii na alikuwa akipita sana mitihani yake na alikuwa nambari moja katika darasa lao . Kwakupata sababu ya kusifiwa na wanakijiji na walimu wake wa shuleni ama kweli mgoma akisifiwa pombe huzidisha Imani alianza kujigamba na kuwadharau wanafunzi wenzake na hata wazazi wake. Bezo na kutosikia kijijini kulizidi. Fununu zilitokea kwamba msichana huyu alikuwa ameanza tabia mbaya ya wizi, kuenda kwa wazazi wake . Wazazi wake walifanya bidii za mchwa na kumpatia ushauri maana imtafuta hachoki Shuleni aliwatukana walimu na kuwa gonganisha wanafunzi wenzake kwa wavulana waliokuwa darasani mwao. Majibu yake ya mitihani shuleni yalianza, kushuka na kwanza kuvuta mkia doragoni mwao. Walimu walianza Kushangaa na wanakijiji pra Kalijaribu kador you awezo wao kumpatia ushauri lakini sikio la kufa halisikii dawa. Tabia za msichana huyu ziliendelea kuwa mbaya. Ni ule wakati wa huyu msichana kuiba kwa duka moja ha pazehe mzee mmoja mowenye kuogopwa sunca Ina wanakijiji wake wa hapo. Mzee huyo alisifika na Leupunu za ushirikina anazozifanya msichana huyu lalikaribia katika duka lile alivutiana na nguo tofauti tofauti na ríatu. Ama kweli duka lile lilikuwa limejaa Kwa bahati mbaya, msichana huyu alipepesa katika duka nalile na kukuta kwamba mzee mambo mbaya anakosekana Dukani Alichukua tu viatu na Kanga ambayo ilikuwa imemvutia kudhan's kwamba ameshinda Hanitura ataanzo & Kanetica mtaani lakini hatimaye siku za mwizi ni arobaini. kwel Arubain's yake ilikuwa imetika Ghodla kavaa kuvaa viatu hivyo alihisi miguu yake imesakama kwenye ardhi na Teso ili ilimkoba mwili mzima kumuacha hali hoi sana Sifa alianza kujuta na sauti ya huvia wa mama yake ilimia huku nafsi ikimsuta alijuta sana huku akilia hapo. Ghafla mzee mambonambaya alifika Alimkuta sifa Karakaina sosola Bila kupoteza muda aliwaita walio karibu na kutambulishwa kama mwizi mkubwa kili kijijini na adhabu yake ilikuwa Kutoka mzee muibiwa. Mzee huyu bila huruma aliamua kumuapiza kwa wakubwa wake na hatimaye akawa Mwendawazimu wakuzurura mitaani. Wazazi wake walipopata habari hizo walilia kwa huzuni sana lakini kinachoenda hahirudi. Na kwa haweli Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Na kutokana na hadithi inawahusisha wale watu wasiosikia usia wa wavyele na kutoitilia maanani.
Walijaribu kadri ya uwezo wao kumpatia ushauri lini
{ "text": [ "alipoanza kuvuta mkia" ] }
3216_swa
ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hapo kale katika kijiji cha mombo Pailiondakea msichana mmoja anayeitwa sifa aliye kuwa na tabia nzuri na zakuheshimika. Alijulikana si shule kijijini na hata wakubwa fulani. Alikuwa mrembo kama ua la waridi linaloanza Kuota katika mti wake bila kupata madhara shuleni alifanya kazi zake Kwabidii na alikuwa akipita sana mitihani yake na alikuwa nambari moja katika darasa lao . Kwakupata sababu ya kusifiwa na wanakijiji na walimu wake wa shuleni ama kweli mgoma akisifiwa pombe huzidisha Imani alianza kujigamba na kuwadharau wanafunzi wenzake na hata wazazi wake. Bezo na kutosikia kijijini kulizidi. Fununu zilitokea kwamba msichana huyu alikuwa ameanza tabia mbaya ya wizi, kuenda kwa wazazi wake . Wazazi wake walifanya bidii za mchwa na kumpatia ushauri maana imtafuta hachoki Shuleni aliwatukana walimu na kuwa gonganisha wanafunzi wenzake kwa wavulana waliokuwa darasani mwao. Majibu yake ya mitihani shuleni yalianza, kushuka na kwanza kuvuta mkia doragoni mwao. Walimu walianza Kushangaa na wanakijiji pra Kalijaribu kador you awezo wao kumpatia ushauri lakini sikio la kufa halisikii dawa. Tabia za msichana huyu ziliendelea kuwa mbaya. Ni ule wakati wa huyu msichana kuiba kwa duka moja ha pazehe mzee mmoja mowenye kuogopwa sunca Ina wanakijiji wake wa hapo. Mzee huyo alisifika na Leupunu za ushirikina anazozifanya msichana huyu lalikaribia katika duka lile alivutiana na nguo tofauti tofauti na ríatu. Ama kweli duka lile lilikuwa limejaa Kwa bahati mbaya, msichana huyu alipepesa katika duka nalile na kukuta kwamba mzee mambo mbaya anakosekana Dukani Alichukua tu viatu na Kanga ambayo ilikuwa imemvutia kudhan's kwamba ameshinda Hanitura ataanzo & Kanetica mtaani lakini hatimaye siku za mwizi ni arobaini. kwel Arubain's yake ilikuwa imetika Ghodla kavaa kuvaa viatu hivyo alihisi miguu yake imesakama kwenye ardhi na Teso ili ilimkoba mwili mzima kumuacha hali hoi sana Sifa alianza kujuta na sauti ya huvia wa mama yake ilimia huku nafsi ikimsuta alijuta sana huku akilia hapo. Ghafla mzee mambonambaya alifika Alimkuta sifa Karakaina sosola Bila kupoteza muda aliwaita walio karibu na kutambulishwa kama mwizi mkubwa kili kijijini na adhabu yake ilikuwa Kutoka mzee muibiwa. Mzee huyu bila huruma aliamua kumuapiza kwa wakubwa wake na hatimaye akawa Mwendawazimu wakuzurura mitaani. Wazazi wake walipopata habari hizo walilia kwa huzuni sana lakini kinachoenda hahirudi. Na kwa haweli Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Na kutokana na hadithi inawahusisha wale watu wasiosikia usia wa wavyele na kutoitilia maanani.
Kwa nini mzee aliogopwa sana na wanakijiji
{ "text": [ "alisifika na fununu za ushirikina alizozifanya" ] }
3217_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo mpya wa Kisayansi unaotumiwa kote nchini ni moja wapo wa mambo mapya katika jamii. Kila siku na miaka inavyo ongezeka kwa kasi sana .Shule nyingi haswa Za Upili zimekubaliana kuwa kwa sasa vitabu tu vitakavyotumiwa bali hata teknolojia Shule za upili hutumia teknolojia wanapo soma masomo haswa ya kisayansi kwa hivyo inafaida kwa mwanafunzi anaye elewa zaidi akiona kwa kutazama Picha kuliko mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wanaposoma kwa kutumia teknoloja ni rahisi.Katika kitabu shule nyingi za upili zimejenga vyumba maalum ya masomo ya Utumiaji wa teknolojia Kwenye vyumba hivyo kun uwepo wa televisheni, redio, na tarakilishi. Mwanafunzi anaweza kutumia 'Wikipedia' au google' kutafuta maana ya neno au jambo lolote lile na kumpa majibu, hivyo mwanafunzi hupata faida kubwa sana kupitia teknolojia shule za sekondari huwaruhusu wanafunzi kuwa na somo rasmi la computa, katika somo hili la teknolojia huwapa faida wanafunzi wengi anapomaliza masomo yake inakubaliwai kupata kazi na nasa anapo chuo kukuu maana huko njee kila Jambo linataka Ujuzi na UJUZI Wenyewe nikuwa na ufahamu ya teknolojia. Kutokana na teknolojia mwanafunzi wa Shule ya upili huwa na ujuzi na Pia akili yake hupanuka kwa sababu ana mengi ayajuayo Bila ya kusahau kuwa hio teknolojia iliyo na faida kwa mwanafunzi wa sekondari pia ina madhara yake · Wanafunzi wengi hushiriki sana mambo yaliyo mitandaoni. Mwanafunzi anaweza kudanganya kuwa ana durusu na wenzie kwenye mitandao lakini Anadanganya kwa sababu amekuwa na ujuzi mwingi, na anaweza kuitumia teknolojia pasi kuoa wazazi wake kujua anafanya nini. Sasa wanafunzi wengi wameshare sana mitandao ya kijamii kuliko masomo ya shuleni. huingia mitandaoni na kuangalia mambo machafu ya kimapenzi, hili limeleta shida za ndoa za mapema kwa Wanafunzi
Teknolojia ni mfumo mpya wa nini
{ "text": [ "kisayansi" ] }
3217_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo mpya wa Kisayansi unaotumiwa kote nchini ni moja wapo wa mambo mapya katika jamii. Kila siku na miaka inavyo ongezeka kwa kasi sana .Shule nyingi haswa Za Upili zimekubaliana kuwa kwa sasa vitabu tu vitakavyotumiwa bali hata teknolojia Shule za upili hutumia teknolojia wanapo soma masomo haswa ya kisayansi kwa hivyo inafaida kwa mwanafunzi anaye elewa zaidi akiona kwa kutazama Picha kuliko mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wanaposoma kwa kutumia teknoloja ni rahisi.Katika kitabu shule nyingi za upili zimejenga vyumba maalum ya masomo ya Utumiaji wa teknolojia Kwenye vyumba hivyo kun uwepo wa televisheni, redio, na tarakilishi. Mwanafunzi anaweza kutumia 'Wikipedia' au google' kutafuta maana ya neno au jambo lolote lile na kumpa majibu, hivyo mwanafunzi hupata faida kubwa sana kupitia teknolojia shule za sekondari huwaruhusu wanafunzi kuwa na somo rasmi la computa, katika somo hili la teknolojia huwapa faida wanafunzi wengi anapomaliza masomo yake inakubaliwai kupata kazi na nasa anapo chuo kukuu maana huko njee kila Jambo linataka Ujuzi na UJUZI Wenyewe nikuwa na ufahamu ya teknolojia. Kutokana na teknolojia mwanafunzi wa Shule ya upili huwa na ujuzi na Pia akili yake hupanuka kwa sababu ana mengi ayajuayo Bila ya kusahau kuwa hio teknolojia iliyo na faida kwa mwanafunzi wa sekondari pia ina madhara yake · Wanafunzi wengi hushiriki sana mambo yaliyo mitandaoni. Mwanafunzi anaweza kudanganya kuwa ana durusu na wenzie kwenye mitandao lakini Anadanganya kwa sababu amekuwa na ujuzi mwingi, na anaweza kuitumia teknolojia pasi kuoa wazazi wake kujua anafanya nini. Sasa wanafunzi wengi wameshare sana mitandao ya kijamii kuliko masomo ya shuleni. huingia mitandaoni na kuangalia mambo machafu ya kimapenzi, hili limeleta shida za ndoa za mapema kwa Wanafunzi
Mwanafunzi anaweza kutumia nini kutafuta maana ya neno
{ "text": [ "wikipedia au google" ] }
3217_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo mpya wa Kisayansi unaotumiwa kote nchini ni moja wapo wa mambo mapya katika jamii. Kila siku na miaka inavyo ongezeka kwa kasi sana .Shule nyingi haswa Za Upili zimekubaliana kuwa kwa sasa vitabu tu vitakavyotumiwa bali hata teknolojia Shule za upili hutumia teknolojia wanapo soma masomo haswa ya kisayansi kwa hivyo inafaida kwa mwanafunzi anaye elewa zaidi akiona kwa kutazama Picha kuliko mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wanaposoma kwa kutumia teknoloja ni rahisi.Katika kitabu shule nyingi za upili zimejenga vyumba maalum ya masomo ya Utumiaji wa teknolojia Kwenye vyumba hivyo kun uwepo wa televisheni, redio, na tarakilishi. Mwanafunzi anaweza kutumia 'Wikipedia' au google' kutafuta maana ya neno au jambo lolote lile na kumpa majibu, hivyo mwanafunzi hupata faida kubwa sana kupitia teknolojia shule za sekondari huwaruhusu wanafunzi kuwa na somo rasmi la computa, katika somo hili la teknolojia huwapa faida wanafunzi wengi anapomaliza masomo yake inakubaliwai kupata kazi na nasa anapo chuo kukuu maana huko njee kila Jambo linataka Ujuzi na UJUZI Wenyewe nikuwa na ufahamu ya teknolojia. Kutokana na teknolojia mwanafunzi wa Shule ya upili huwa na ujuzi na Pia akili yake hupanuka kwa sababu ana mengi ayajuayo Bila ya kusahau kuwa hio teknolojia iliyo na faida kwa mwanafunzi wa sekondari pia ina madhara yake · Wanafunzi wengi hushiriki sana mambo yaliyo mitandaoni. Mwanafunzi anaweza kudanganya kuwa ana durusu na wenzie kwenye mitandao lakini Anadanganya kwa sababu amekuwa na ujuzi mwingi, na anaweza kuitumia teknolojia pasi kuoa wazazi wake kujua anafanya nini. Sasa wanafunzi wengi wameshare sana mitandao ya kijamii kuliko masomo ya shuleni. huingia mitandaoni na kuangalia mambo machafu ya kimapenzi, hili limeleta shida za ndoa za mapema kwa Wanafunzi
Shule za sekondari huwaruhusu wanafunzi kuwa na somo gani
{ "text": [ "rasmi la kompyuta" ] }
3217_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo mpya wa Kisayansi unaotumiwa kote nchini ni moja wapo wa mambo mapya katika jamii. Kila siku na miaka inavyo ongezeka kwa kasi sana .Shule nyingi haswa Za Upili zimekubaliana kuwa kwa sasa vitabu tu vitakavyotumiwa bali hata teknolojia Shule za upili hutumia teknolojia wanapo soma masomo haswa ya kisayansi kwa hivyo inafaida kwa mwanafunzi anaye elewa zaidi akiona kwa kutazama Picha kuliko mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wanaposoma kwa kutumia teknoloja ni rahisi.Katika kitabu shule nyingi za upili zimejenga vyumba maalum ya masomo ya Utumiaji wa teknolojia Kwenye vyumba hivyo kun uwepo wa televisheni, redio, na tarakilishi. Mwanafunzi anaweza kutumia 'Wikipedia' au google' kutafuta maana ya neno au jambo lolote lile na kumpa majibu, hivyo mwanafunzi hupata faida kubwa sana kupitia teknolojia shule za sekondari huwaruhusu wanafunzi kuwa na somo rasmi la computa, katika somo hili la teknolojia huwapa faida wanafunzi wengi anapomaliza masomo yake inakubaliwai kupata kazi na nasa anapo chuo kukuu maana huko njee kila Jambo linataka Ujuzi na UJUZI Wenyewe nikuwa na ufahamu ya teknolojia. Kutokana na teknolojia mwanafunzi wa Shule ya upili huwa na ujuzi na Pia akili yake hupanuka kwa sababu ana mengi ayajuayo Bila ya kusahau kuwa hio teknolojia iliyo na faida kwa mwanafunzi wa sekondari pia ina madhara yake · Wanafunzi wengi hushiriki sana mambo yaliyo mitandaoni. Mwanafunzi anaweza kudanganya kuwa ana durusu na wenzie kwenye mitandao lakini Anadanganya kwa sababu amekuwa na ujuzi mwingi, na anaweza kuitumia teknolojia pasi kuoa wazazi wake kujua anafanya nini. Sasa wanafunzi wengi wameshare sana mitandao ya kijamii kuliko masomo ya shuleni. huingia mitandaoni na kuangalia mambo machafu ya kimapenzi, hili limeleta shida za ndoa za mapema kwa Wanafunzi
Inakua rahisi kwa mwanafunzi kupata kazi lini
{ "text": [ "anapomaliza masomo yake" ] }
3217_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo mpya wa Kisayansi unaotumiwa kote nchini ni moja wapo wa mambo mapya katika jamii. Kila siku na miaka inavyo ongezeka kwa kasi sana .Shule nyingi haswa Za Upili zimekubaliana kuwa kwa sasa vitabu tu vitakavyotumiwa bali hata teknolojia Shule za upili hutumia teknolojia wanapo soma masomo haswa ya kisayansi kwa hivyo inafaida kwa mwanafunzi anaye elewa zaidi akiona kwa kutazama Picha kuliko mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wanaposoma kwa kutumia teknoloja ni rahisi.Katika kitabu shule nyingi za upili zimejenga vyumba maalum ya masomo ya Utumiaji wa teknolojia Kwenye vyumba hivyo kun uwepo wa televisheni, redio, na tarakilishi. Mwanafunzi anaweza kutumia 'Wikipedia' au google' kutafuta maana ya neno au jambo lolote lile na kumpa majibu, hivyo mwanafunzi hupata faida kubwa sana kupitia teknolojia shule za sekondari huwaruhusu wanafunzi kuwa na somo rasmi la computa, katika somo hili la teknolojia huwapa faida wanafunzi wengi anapomaliza masomo yake inakubaliwai kupata kazi na nasa anapo chuo kukuu maana huko njee kila Jambo linataka Ujuzi na UJUZI Wenyewe nikuwa na ufahamu ya teknolojia. Kutokana na teknolojia mwanafunzi wa Shule ya upili huwa na ujuzi na Pia akili yake hupanuka kwa sababu ana mengi ayajuayo Bila ya kusahau kuwa hio teknolojia iliyo na faida kwa mwanafunzi wa sekondari pia ina madhara yake · Wanafunzi wengi hushiriki sana mambo yaliyo mitandaoni. Mwanafunzi anaweza kudanganya kuwa ana durusu na wenzie kwenye mitandao lakini Anadanganya kwa sababu amekuwa na ujuzi mwingi, na anaweza kuitumia teknolojia pasi kuoa wazazi wake kujua anafanya nini. Sasa wanafunzi wengi wameshare sana mitandao ya kijamii kuliko masomo ya shuleni. huingia mitandaoni na kuangalia mambo machafu ya kimapenzi, hili limeleta shida za ndoa za mapema kwa Wanafunzi
Utumizi wa mitandao umesababisha aje ndoa za mapema
{ "text": [ "wanafunzi huingia mitandaoni na kuangalia mambo machafu ya kimapenzi" ] }
3218_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa mtu asiyesikiliza ushauri wa mtu aliye mzidi marifaa huufikwa na balaa au haupata matatizo.Maana ya matumizi ni sawa na asiyesikia la mkuu huvunjika kuu.methali hii hutumiwa Kutunasihi tuyathamini maashuri tupewayo nawanao tuzidi maarifa Miaka Miwili iliyopita Katika mji wa Kakamega kijana marufuu ajulikanaye kama Otii mchezaji mkubwa nchini kenya .Mambo yalikuwa yamemtenga hadi alipovunjika miguu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba: wakati wa mechi nusu fainali kati ya Wenyeji Yanga na Bandari FC Kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kombe la Klabu Bingwa afrika Mashariki Saida ni miongoni mwa wale walokuwa karibu na Otii saida alipomwona Otiis kwenye klabu moja; rada alimchangamkia nakumdondokea mate.Otii alipo mwona alijiambia kuwa alikuwa mwanamkee na nusu .dakika si nyingi walikuwa uta na upote.Saida alikuwa mrembo sana .Rafiki yake Otii alimwambia ajitahadhari na wanawake warembo sana kwa kuwa wengi wao sio salama. Otii alimjibu kwa dharau na kumwambia kwani kuna ubaya gani nzi kukufia kidondani Ghafla Saida ikawa haonekani na Otii baada ya wiki aligundua kuwa alikuwa amerudi Nairobi kwao na kugundua kuwa alikuwa na ukimwi. Baadae alikuja gundua kuwa alikuwa amefariki na mda si mda naye alijipata akiwa na dalili zile kama zake. Otii alikuwa mgonjwa kupindukia.Alilazwa hospitalini kwa mda mrefu . Alikonda sana hata ilikuwa vigumu kama ni yeye alibaki kuwa kama gofu ya mtu. Katika kitanda cha hospitali hapo ndipo alipo mjia kuwa alikuwa mpweke bila rafiki yoyote yule. Alitamauka na kuelewa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukimwi ilimmaliza na mwishowe akafa. iranhachen DANUBEM imun Diaznit on
Kijana maarufu alijulikana kama nani
{ "text": [ "Otii" ] }
3218_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa mtu asiyesikiliza ushauri wa mtu aliye mzidi marifaa huufikwa na balaa au haupata matatizo.Maana ya matumizi ni sawa na asiyesikia la mkuu huvunjika kuu.methali hii hutumiwa Kutunasihi tuyathamini maashuri tupewayo nawanao tuzidi maarifa Miaka Miwili iliyopita Katika mji wa Kakamega kijana marufuu ajulikanaye kama Otii mchezaji mkubwa nchini kenya .Mambo yalikuwa yamemtenga hadi alipovunjika miguu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba: wakati wa mechi nusu fainali kati ya Wenyeji Yanga na Bandari FC Kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kombe la Klabu Bingwa afrika Mashariki Saida ni miongoni mwa wale walokuwa karibu na Otii saida alipomwona Otiis kwenye klabu moja; rada alimchangamkia nakumdondokea mate.Otii alipo mwona alijiambia kuwa alikuwa mwanamkee na nusu .dakika si nyingi walikuwa uta na upote.Saida alikuwa mrembo sana .Rafiki yake Otii alimwambia ajitahadhari na wanawake warembo sana kwa kuwa wengi wao sio salama. Otii alimjibu kwa dharau na kumwambia kwani kuna ubaya gani nzi kukufia kidondani Ghafla Saida ikawa haonekani na Otii baada ya wiki aligundua kuwa alikuwa amerudi Nairobi kwao na kugundua kuwa alikuwa na ukimwi. Baadae alikuja gundua kuwa alikuwa amefariki na mda si mda naye alijipata akiwa na dalili zile kama zake. Otii alikuwa mgonjwa kupindukia.Alilazwa hospitalini kwa mda mrefu . Alikonda sana hata ilikuwa vigumu kama ni yeye alibaki kuwa kama gofu ya mtu. Katika kitanda cha hospitali hapo ndipo alipo mjia kuwa alikuwa mpweke bila rafiki yoyote yule. Alitamauka na kuelewa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukimwi ilimmaliza na mwishowe akafa. iranhachen DANUBEM imun Diaznit on
Otii alivunjika mguu katika uwanja gani
{ "text": [ "CCM Kirumba" ] }
3218_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa mtu asiyesikiliza ushauri wa mtu aliye mzidi marifaa huufikwa na balaa au haupata matatizo.Maana ya matumizi ni sawa na asiyesikia la mkuu huvunjika kuu.methali hii hutumiwa Kutunasihi tuyathamini maashuri tupewayo nawanao tuzidi maarifa Miaka Miwili iliyopita Katika mji wa Kakamega kijana marufuu ajulikanaye kama Otii mchezaji mkubwa nchini kenya .Mambo yalikuwa yamemtenga hadi alipovunjika miguu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba: wakati wa mechi nusu fainali kati ya Wenyeji Yanga na Bandari FC Kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kombe la Klabu Bingwa afrika Mashariki Saida ni miongoni mwa wale walokuwa karibu na Otii saida alipomwona Otiis kwenye klabu moja; rada alimchangamkia nakumdondokea mate.Otii alipo mwona alijiambia kuwa alikuwa mwanamkee na nusu .dakika si nyingi walikuwa uta na upote.Saida alikuwa mrembo sana .Rafiki yake Otii alimwambia ajitahadhari na wanawake warembo sana kwa kuwa wengi wao sio salama. Otii alimjibu kwa dharau na kumwambia kwani kuna ubaya gani nzi kukufia kidondani Ghafla Saida ikawa haonekani na Otii baada ya wiki aligundua kuwa alikuwa amerudi Nairobi kwao na kugundua kuwa alikuwa na ukimwi. Baadae alikuja gundua kuwa alikuwa amefariki na mda si mda naye alijipata akiwa na dalili zile kama zake. Otii alikuwa mgonjwa kupindukia.Alilazwa hospitalini kwa mda mrefu . Alikonda sana hata ilikuwa vigumu kama ni yeye alibaki kuwa kama gofu ya mtu. Katika kitanda cha hospitali hapo ndipo alipo mjia kuwa alikuwa mpweke bila rafiki yoyote yule. Alitamauka na kuelewa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukimwi ilimmaliza na mwishowe akafa. iranhachen DANUBEM imun Diaznit on
Otii hakupenda nini
{ "text": [ "kuambiwa chochote" ] }
3218_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa mtu asiyesikiliza ushauri wa mtu aliye mzidi marifaa huufikwa na balaa au haupata matatizo.Maana ya matumizi ni sawa na asiyesikia la mkuu huvunjika kuu.methali hii hutumiwa Kutunasihi tuyathamini maashuri tupewayo nawanao tuzidi maarifa Miaka Miwili iliyopita Katika mji wa Kakamega kijana marufuu ajulikanaye kama Otii mchezaji mkubwa nchini kenya .Mambo yalikuwa yamemtenga hadi alipovunjika miguu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba: wakati wa mechi nusu fainali kati ya Wenyeji Yanga na Bandari FC Kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kombe la Klabu Bingwa afrika Mashariki Saida ni miongoni mwa wale walokuwa karibu na Otii saida alipomwona Otiis kwenye klabu moja; rada alimchangamkia nakumdondokea mate.Otii alipo mwona alijiambia kuwa alikuwa mwanamkee na nusu .dakika si nyingi walikuwa uta na upote.Saida alikuwa mrembo sana .Rafiki yake Otii alimwambia ajitahadhari na wanawake warembo sana kwa kuwa wengi wao sio salama. Otii alimjibu kwa dharau na kumwambia kwani kuna ubaya gani nzi kukufia kidondani Ghafla Saida ikawa haonekani na Otii baada ya wiki aligundua kuwa alikuwa amerudi Nairobi kwao na kugundua kuwa alikuwa na ukimwi. Baadae alikuja gundua kuwa alikuwa amefariki na mda si mda naye alijipata akiwa na dalili zile kama zake. Otii alikuwa mgonjwa kupindukia.Alilazwa hospitalini kwa mda mrefu . Alikonda sana hata ilikuwa vigumu kama ni yeye alibaki kuwa kama gofu ya mtu. Katika kitanda cha hospitali hapo ndipo alipo mjia kuwa alikuwa mpweke bila rafiki yoyote yule. Alitamauka na kuelewa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukimwi ilimmaliza na mwishowe akafa. iranhachen DANUBEM imun Diaznit on
Otii aligundua Saida amerejea kwao Nairobi lini
{ "text": [ "baada ya wiki" ] }
3218_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa mtu asiyesikiliza ushauri wa mtu aliye mzidi marifaa huufikwa na balaa au haupata matatizo.Maana ya matumizi ni sawa na asiyesikia la mkuu huvunjika kuu.methali hii hutumiwa Kutunasihi tuyathamini maashuri tupewayo nawanao tuzidi maarifa Miaka Miwili iliyopita Katika mji wa Kakamega kijana marufuu ajulikanaye kama Otii mchezaji mkubwa nchini kenya .Mambo yalikuwa yamemtenga hadi alipovunjika miguu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba: wakati wa mechi nusu fainali kati ya Wenyeji Yanga na Bandari FC Kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kombe la Klabu Bingwa afrika Mashariki Saida ni miongoni mwa wale walokuwa karibu na Otii saida alipomwona Otiis kwenye klabu moja; rada alimchangamkia nakumdondokea mate.Otii alipo mwona alijiambia kuwa alikuwa mwanamkee na nusu .dakika si nyingi walikuwa uta na upote.Saida alikuwa mrembo sana .Rafiki yake Otii alimwambia ajitahadhari na wanawake warembo sana kwa kuwa wengi wao sio salama. Otii alimjibu kwa dharau na kumwambia kwani kuna ubaya gani nzi kukufia kidondani Ghafla Saida ikawa haonekani na Otii baada ya wiki aligundua kuwa alikuwa amerudi Nairobi kwao na kugundua kuwa alikuwa na ukimwi. Baadae alikuja gundua kuwa alikuwa amefariki na mda si mda naye alijipata akiwa na dalili zile kama zake. Otii alikuwa mgonjwa kupindukia.Alilazwa hospitalini kwa mda mrefu . Alikonda sana hata ilikuwa vigumu kama ni yeye alibaki kuwa kama gofu ya mtu. Katika kitanda cha hospitali hapo ndipo alipo mjia kuwa alikuwa mpweke bila rafiki yoyote yule. Alitamauka na kuelewa kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ukimwi ilimmaliza na mwishowe akafa. iranhachen DANUBEM imun Diaznit on
Mbona jamaa na rafiki zake walimtenga
{ "text": [ "kwa kuwa hakuwa na matumaini tena ya kupata afueni" ] }
3220_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha ya kwamba mtu asipofuata masharti ya wakubwa wake huenda akajuta baadae. Methali hii inawagusia hasa hasa waja ambao hawapendi kufuata masharti na baadaye wakaja wakajutia, Samuel alikuwa kijana katika shule ya upili ya wasomi. Samuel alikuwa katika kidato cha tatu. Alikuwa na tabia nzuri na alikuwa akisifiwa na walimu na wazazi wake. Alikuwa akipita sana katika mitihani yake na alikuwa akiibuka nambari moja shuleni. Samueli aliendelea na tabia hii hadi alipomaliza kufanya mtihani wake wa muhula wa mwisho wa kwenda kidato cha nne. Samuel alifaulu kupita mtihani huo na walimu na wazazi wake walimpa tuzo na kumsifu. Ghafla tabia za kijana huyo zilianza kudorora. Alianza kuandamana na marafiki waliopotosha kitabia na kimaadili. Alianza kufeli mitihani yake na walimu walimshangaa kwa jinsi tabia yake ilivyodorora. Wazazi wake walimpa ushauri na kumwambia abadilike. Samueli hakutaka kusikia ushauri wa wavyele wake na walimu wake. Alianza kufeli mitihani yake ya kidato cha nne. Hili liliwafanya wakate tamaa kwa mwana wao. llikuwa ni siku moja ya kawaida. Ilipofika usiku Samuel aliamua kuenda na marafiki zake kama kawaida yake. Waenda wakaingia kwenye hoteli moja ya densi kama kawaida yao na kuanza kutumia mihadarati. Walikunywa hadi wakalewa na walikuwa wamejisahau ya kwamba hao ni wanafunzi wa shuleni. Walianza kupiga piga watu na silaha na ghafla kukatokea ghasia. Kulikuwa na mvutano usioeleweka na ghafla polisi walitokea na kuwakamata Samuel na marafiki zake. Walipelekwa hadi kwenye kituo cha polisi na kufungwa. Walihukumiwa na kupewa kifungo cha miaka miwili gerezani na fimbo mbili kila asubuhi. Wazazi na walimu wake waliposikia hii, walitiririkwa na machozi ya uchungu. Hapo ndipo Samuel aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alikua kijana katika shule ya upili ya wasomi
{ "text": [ "Samuel" ] }
3220_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha ya kwamba mtu asipofuata masharti ya wakubwa wake huenda akajuta baadae. Methali hii inawagusia hasa hasa waja ambao hawapendi kufuata masharti na baadaye wakaja wakajutia, Samuel alikuwa kijana katika shule ya upili ya wasomi. Samuel alikuwa katika kidato cha tatu. Alikuwa na tabia nzuri na alikuwa akisifiwa na walimu na wazazi wake. Alikuwa akipita sana katika mitihani yake na alikuwa akiibuka nambari moja shuleni. Samueli aliendelea na tabia hii hadi alipomaliza kufanya mtihani wake wa muhula wa mwisho wa kwenda kidato cha nne. Samuel alifaulu kupita mtihani huo na walimu na wazazi wake walimpa tuzo na kumsifu. Ghafla tabia za kijana huyo zilianza kudorora. Alianza kuandamana na marafiki waliopotosha kitabia na kimaadili. Alianza kufeli mitihani yake na walimu walimshangaa kwa jinsi tabia yake ilivyodorora. Wazazi wake walimpa ushauri na kumwambia abadilike. Samueli hakutaka kusikia ushauri wa wavyele wake na walimu wake. Alianza kufeli mitihani yake ya kidato cha nne. Hili liliwafanya wakate tamaa kwa mwana wao. llikuwa ni siku moja ya kawaida. Ilipofika usiku Samuel aliamua kuenda na marafiki zake kama kawaida yake. Waenda wakaingia kwenye hoteli moja ya densi kama kawaida yao na kuanza kutumia mihadarati. Walikunywa hadi wakalewa na walikuwa wamejisahau ya kwamba hao ni wanafunzi wa shuleni. Walianza kupiga piga watu na silaha na ghafla kukatokea ghasia. Kulikuwa na mvutano usioeleweka na ghafla polisi walitokea na kuwakamata Samuel na marafiki zake. Walipelekwa hadi kwenye kituo cha polisi na kufungwa. Walihukumiwa na kupewa kifungo cha miaka miwili gerezani na fimbo mbili kila asubuhi. Wazazi na walimu wake waliposikia hii, walitiririkwa na machozi ya uchungu. Hapo ndipo Samuel aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Alikua katika kidato cha ngapi
{ "text": [ "cha tatu" ] }
3220_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha ya kwamba mtu asipofuata masharti ya wakubwa wake huenda akajuta baadae. Methali hii inawagusia hasa hasa waja ambao hawapendi kufuata masharti na baadaye wakaja wakajutia, Samuel alikuwa kijana katika shule ya upili ya wasomi. Samuel alikuwa katika kidato cha tatu. Alikuwa na tabia nzuri na alikuwa akisifiwa na walimu na wazazi wake. Alikuwa akipita sana katika mitihani yake na alikuwa akiibuka nambari moja shuleni. Samueli aliendelea na tabia hii hadi alipomaliza kufanya mtihani wake wa muhula wa mwisho wa kwenda kidato cha nne. Samuel alifaulu kupita mtihani huo na walimu na wazazi wake walimpa tuzo na kumsifu. Ghafla tabia za kijana huyo zilianza kudorora. Alianza kuandamana na marafiki waliopotosha kitabia na kimaadili. Alianza kufeli mitihani yake na walimu walimshangaa kwa jinsi tabia yake ilivyodorora. Wazazi wake walimpa ushauri na kumwambia abadilike. Samueli hakutaka kusikia ushauri wa wavyele wake na walimu wake. Alianza kufeli mitihani yake ya kidato cha nne. Hili liliwafanya wakate tamaa kwa mwana wao. llikuwa ni siku moja ya kawaida. Ilipofika usiku Samuel aliamua kuenda na marafiki zake kama kawaida yake. Waenda wakaingia kwenye hoteli moja ya densi kama kawaida yao na kuanza kutumia mihadarati. Walikunywa hadi wakalewa na walikuwa wamejisahau ya kwamba hao ni wanafunzi wa shuleni. Walianza kupiga piga watu na silaha na ghafla kukatokea ghasia. Kulikuwa na mvutano usioeleweka na ghafla polisi walitokea na kuwakamata Samuel na marafiki zake. Walipelekwa hadi kwenye kituo cha polisi na kufungwa. Walihukumiwa na kupewa kifungo cha miaka miwili gerezani na fimbo mbili kila asubuhi. Wazazi na walimu wake waliposikia hii, walitiririkwa na machozi ya uchungu. Hapo ndipo Samuel aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Samuel alianza kutumia nini
{ "text": [ "mihadarati" ] }
3220_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha ya kwamba mtu asipofuata masharti ya wakubwa wake huenda akajuta baadae. Methali hii inawagusia hasa hasa waja ambao hawapendi kufuata masharti na baadaye wakaja wakajutia, Samuel alikuwa kijana katika shule ya upili ya wasomi. Samuel alikuwa katika kidato cha tatu. Alikuwa na tabia nzuri na alikuwa akisifiwa na walimu na wazazi wake. Alikuwa akipita sana katika mitihani yake na alikuwa akiibuka nambari moja shuleni. Samueli aliendelea na tabia hii hadi alipomaliza kufanya mtihani wake wa muhula wa mwisho wa kwenda kidato cha nne. Samuel alifaulu kupita mtihani huo na walimu na wazazi wake walimpa tuzo na kumsifu. Ghafla tabia za kijana huyo zilianza kudorora. Alianza kuandamana na marafiki waliopotosha kitabia na kimaadili. Alianza kufeli mitihani yake na walimu walimshangaa kwa jinsi tabia yake ilivyodorora. Wazazi wake walimpa ushauri na kumwambia abadilike. Samueli hakutaka kusikia ushauri wa wavyele wake na walimu wake. Alianza kufeli mitihani yake ya kidato cha nne. Hili liliwafanya wakate tamaa kwa mwana wao. llikuwa ni siku moja ya kawaida. Ilipofika usiku Samuel aliamua kuenda na marafiki zake kama kawaida yake. Waenda wakaingia kwenye hoteli moja ya densi kama kawaida yao na kuanza kutumia mihadarati. Walikunywa hadi wakalewa na walikuwa wamejisahau ya kwamba hao ni wanafunzi wa shuleni. Walianza kupiga piga watu na silaha na ghafla kukatokea ghasia. Kulikuwa na mvutano usioeleweka na ghafla polisi walitokea na kuwakamata Samuel na marafiki zake. Walipelekwa hadi kwenye kituo cha polisi na kufungwa. Walihukumiwa na kupewa kifungo cha miaka miwili gerezani na fimbo mbili kila asubuhi. Wazazi na walimu wake waliposikia hii, walitiririkwa na machozi ya uchungu. Hapo ndipo Samuel aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Wazazi wake walianza kukata tamaa kwake lini
{ "text": [ "alipoanza kufeli mitihani" ] }
3220_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha ya kwamba mtu asipofuata masharti ya wakubwa wake huenda akajuta baadae. Methali hii inawagusia hasa hasa waja ambao hawapendi kufuata masharti na baadaye wakaja wakajutia, Samuel alikuwa kijana katika shule ya upili ya wasomi. Samuel alikuwa katika kidato cha tatu. Alikuwa na tabia nzuri na alikuwa akisifiwa na walimu na wazazi wake. Alikuwa akipita sana katika mitihani yake na alikuwa akiibuka nambari moja shuleni. Samueli aliendelea na tabia hii hadi alipomaliza kufanya mtihani wake wa muhula wa mwisho wa kwenda kidato cha nne. Samuel alifaulu kupita mtihani huo na walimu na wazazi wake walimpa tuzo na kumsifu. Ghafla tabia za kijana huyo zilianza kudorora. Alianza kuandamana na marafiki waliopotosha kitabia na kimaadili. Alianza kufeli mitihani yake na walimu walimshangaa kwa jinsi tabia yake ilivyodorora. Wazazi wake walimpa ushauri na kumwambia abadilike. Samueli hakutaka kusikia ushauri wa wavyele wake na walimu wake. Alianza kufeli mitihani yake ya kidato cha nne. Hili liliwafanya wakate tamaa kwa mwana wao. llikuwa ni siku moja ya kawaida. Ilipofika usiku Samuel aliamua kuenda na marafiki zake kama kawaida yake. Waenda wakaingia kwenye hoteli moja ya densi kama kawaida yao na kuanza kutumia mihadarati. Walikunywa hadi wakalewa na walikuwa wamejisahau ya kwamba hao ni wanafunzi wa shuleni. Walianza kupiga piga watu na silaha na ghafla kukatokea ghasia. Kulikuwa na mvutano usioeleweka na ghafla polisi walitokea na kuwakamata Samuel na marafiki zake. Walipelekwa hadi kwenye kituo cha polisi na kufungwa. Walihukumiwa na kupewa kifungo cha miaka miwili gerezani na fimbo mbili kila asubuhi. Wazazi na walimu wake waliposikia hii, walitiririkwa na machozi ya uchungu. Hapo ndipo Samuel aligundua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mbona wazazi na walimu wake walitiririkwa na machozi ya uchungu
{ "text": [ "Samuel walihukumiwa miaka mbili gerezani na fimbo kumi kila asubuhi" ] }
3221_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni nguzo muhimu sana katika maendeleo ya nchi nyingi hasa wa bara ulaya nchi hizi zinaheshimika na kutajika kote duniani. Katika shule za upili imefanikisha kutimiza malengo ya wanafunzi ,walimu na wazazi.Walimu wamepunguziwa kazi maana hata barua huandikwa kutumia mtandao. Barua hiziz hutumwa sehemu mbalia mbali hata kwa maafisi ya serikali .Simu nazo pia zimekuwa suluhisho katika sekta ya mawasiliano. Husaidia wazazi kuweza kujua jinsi watoto wao wanavyo endelea katika masomo yao.Runinga nayo pia inasidia kuwafahamisha wanafunzi yale yanayotendeka nchini a ulimwenguni.Somo la kompyuta limesaidia kukuza vipaji vya wanafunzi na kuwapa malengo maishani mwao.Walimu hutumia kompyuta kuhifadhi matokeo.Licha ya faida hizi zote bado kuna doa doa katika utumizi wa teknolojia .Wanafunzi hutumia runinga kutazama video zisizofaa Gharama za umeme pia ipo juu sana
Nini ni nguzo muhimu ya maendeleo?
{ "text": [ "Teknolojia" ] }
3221_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni nguzo muhimu sana katika maendeleo ya nchi nyingi hasa wa bara ulaya nchi hizi zinaheshimika na kutajika kote duniani. Katika shule za upili imefanikisha kutimiza malengo ya wanafunzi ,walimu na wazazi.Walimu wamepunguziwa kazi maana hata barua huandikwa kutumia mtandao. Barua hiziz hutumwa sehemu mbalia mbali hata kwa maafisi ya serikali .Simu nazo pia zimekuwa suluhisho katika sekta ya mawasiliano. Husaidia wazazi kuweza kujua jinsi watoto wao wanavyo endelea katika masomo yao.Runinga nayo pia inasidia kuwafahamisha wanafunzi yale yanayotendeka nchini a ulimwenguni.Somo la kompyuta limesaidia kukuza vipaji vya wanafunzi na kuwapa malengo maishani mwao.Walimu hutumia kompyuta kuhifadhi matokeo.Licha ya faida hizi zote bado kuna doa doa katika utumizi wa teknolojia .Wanafunzi hutumia runinga kutazama video zisizofaa Gharama za umeme pia ipo juu sana
Mtandao upi umeimarisha kutuma na kupokea barua?
{ "text": [ "Wa kijamii" ] }
3221_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni nguzo muhimu sana katika maendeleo ya nchi nyingi hasa wa bara ulaya nchi hizi zinaheshimika na kutajika kote duniani. Katika shule za upili imefanikisha kutimiza malengo ya wanafunzi ,walimu na wazazi.Walimu wamepunguziwa kazi maana hata barua huandikwa kutumia mtandao. Barua hiziz hutumwa sehemu mbalia mbali hata kwa maafisi ya serikali .Simu nazo pia zimekuwa suluhisho katika sekta ya mawasiliano. Husaidia wazazi kuweza kujua jinsi watoto wao wanavyo endelea katika masomo yao.Runinga nayo pia inasidia kuwafahamisha wanafunzi yale yanayotendeka nchini a ulimwenguni.Somo la kompyuta limesaidia kukuza vipaji vya wanafunzi na kuwapa malengo maishani mwao.Walimu hutumia kompyuta kuhifadhi matokeo.Licha ya faida hizi zote bado kuna doa doa katika utumizi wa teknolojia .Wanafunzi hutumia runinga kutazama video zisizofaa Gharama za umeme pia ipo juu sana
Wazazi wanaweza wasiliana na walimu kupitia kifaa kipi?
{ "text": [ "Simu" ] }
3221_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni nguzo muhimu sana katika maendeleo ya nchi nyingi hasa wa bara ulaya nchi hizi zinaheshimika na kutajika kote duniani. Katika shule za upili imefanikisha kutimiza malengo ya wanafunzi ,walimu na wazazi.Walimu wamepunguziwa kazi maana hata barua huandikwa kutumia mtandao. Barua hiziz hutumwa sehemu mbalia mbali hata kwa maafisi ya serikali .Simu nazo pia zimekuwa suluhisho katika sekta ya mawasiliano. Husaidia wazazi kuweza kujua jinsi watoto wao wanavyo endelea katika masomo yao.Runinga nayo pia inasidia kuwafahamisha wanafunzi yale yanayotendeka nchini a ulimwenguni.Somo la kompyuta limesaidia kukuza vipaji vya wanafunzi na kuwapa malengo maishani mwao.Walimu hutumia kompyuta kuhifadhi matokeo.Licha ya faida hizi zote bado kuna doa doa katika utumizi wa teknolojia .Wanafunzi hutumia runinga kutazama video zisizofaa Gharama za umeme pia ipo juu sana
Wanafunzi hutumia runinga shuleni kuanza kutazama nini?
{ "text": [ "Video za mapenzi" ] }
3221_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni nguzo muhimu sana katika maendeleo ya nchi nyingi hasa wa bara ulaya nchi hizi zinaheshimika na kutajika kote duniani. Katika shule za upili imefanikisha kutimiza malengo ya wanafunzi ,walimu na wazazi.Walimu wamepunguziwa kazi maana hata barua huandikwa kutumia mtandao. Barua hiziz hutumwa sehemu mbalia mbali hata kwa maafisi ya serikali .Simu nazo pia zimekuwa suluhisho katika sekta ya mawasiliano. Husaidia wazazi kuweza kujua jinsi watoto wao wanavyo endelea katika masomo yao.Runinga nayo pia inasidia kuwafahamisha wanafunzi yale yanayotendeka nchini a ulimwenguni.Somo la kompyuta limesaidia kukuza vipaji vya wanafunzi na kuwapa malengo maishani mwao.Walimu hutumia kompyuta kuhifadhi matokeo.Licha ya faida hizi zote bado kuna doa doa katika utumizi wa teknolojia .Wanafunzi hutumia runinga kutazama video zisizofaa Gharama za umeme pia ipo juu sana
Wanafunzi wanapopewa simu wao huanza kuzungumza na nani?
{ "text": [ "Wapenzi wao" ] }
3223_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imeleta faida na pia madhara mengi katika shule za sekondari - Tukianza na faida zake, tunapata kuona kuwa wanafunzi wanasoma masomo kama vile kompyuta na wanajifunza mengi kuhusu utumiaji wa kompyuta, pili teknolojia imesaidia pakubwa kwani shule nyingi za sekondari aimeweka umeme kwenye madaraja, kwa njia o hii wanafunzi wanaweza kusoma hata wakati wa usiku na asubuhi mapema 1. Teknolojia imesaidia sana katika somo la sayansi kwani |kumeweza kutengenezwa mahabara, ambapo wanafunzi wengi hujifunza sayansi kwa kina. kuwepo kwa simu kumesaidia mno kwani wanafunzi wanaweza kuwa pigia Wazazi wao kutumia simu zawalimu wao ukilinganisha na Zamani ambapo watu walilazimika kuwasiliana kutumia barua njia ya mawasiliano ambayo iko pole pole mno Tukiongelea pia kuhusu madhara ya teknolojia tunaweza kuona kuwa " teknolojia imeleta madhara mengi mno kuliko faida : kwanza utumizi wa umeme madarasani na bwenini. 'Tunaweza kuona kuwa umeme umesababisha vifo vingi vya wanafunzi iwapo nyaya ya umeme imekatika inaweza kuwaka moto na kuchoma shule na kuangamiza wanafunzi. pili utumiaji wa simu umeathiri mikubwa mno | katika sekta ya elimu kwani wanafunzi huchukua muda mrefu wakitumia simu kuliko kusoma. Simú zimeth Zinaweza kuwaathiví vikubwa kwani wengi wao huingia kwenye mtandao na kuanza kuangalia video zinazowapotosha kimaadili ndiposa wanafunzi wengi hupotoka kimaadili na kuanza kuwadharau au kuwatukana walimu wao. katika sayansi imeleta maafa mengi kwani wanafunzi wanapojua kuchanganya kemikali tofauti. tofauti katika maabara zao Shule, kwa kwa wakati mwingine wengi wao wanakosea wakati wa kuchanganya kemikal kwa mfano iwamwagikie kwa mwili inaweza kuwachoma na hata kupelekea kifo wengine hufanya makusudi kwa kuchanganya kemikali.za sumu alafu wanakunywa enfdapo wamekosewa na wenzao.
Nguvu ipi husaidia wanafunzi kusoma hadi usiku?
{ "text": [ "Umeme" ] }
3223_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imeleta faida na pia madhara mengi katika shule za sekondari - Tukianza na faida zake, tunapata kuona kuwa wanafunzi wanasoma masomo kama vile kompyuta na wanajifunza mengi kuhusu utumiaji wa kompyuta, pili teknolojia imesaidia pakubwa kwani shule nyingi za sekondari aimeweka umeme kwenye madaraja, kwa njia o hii wanafunzi wanaweza kusoma hata wakati wa usiku na asubuhi mapema 1. Teknolojia imesaidia sana katika somo la sayansi kwani |kumeweza kutengenezwa mahabara, ambapo wanafunzi wengi hujifunza sayansi kwa kina. kuwepo kwa simu kumesaidia mno kwani wanafunzi wanaweza kuwa pigia Wazazi wao kutumia simu zawalimu wao ukilinganisha na Zamani ambapo watu walilazimika kuwasiliana kutumia barua njia ya mawasiliano ambayo iko pole pole mno Tukiongelea pia kuhusu madhara ya teknolojia tunaweza kuona kuwa " teknolojia imeleta madhara mengi mno kuliko faida : kwanza utumizi wa umeme madarasani na bwenini. 'Tunaweza kuona kuwa umeme umesababisha vifo vingi vya wanafunzi iwapo nyaya ya umeme imekatika inaweza kuwaka moto na kuchoma shule na kuangamiza wanafunzi. pili utumiaji wa simu umeathiri mikubwa mno | katika sekta ya elimu kwani wanafunzi huchukua muda mrefu wakitumia simu kuliko kusoma. Simú zimeth Zinaweza kuwaathiví vikubwa kwani wengi wao huingia kwenye mtandao na kuanza kuangalia video zinazowapotosha kimaadili ndiposa wanafunzi wengi hupotoka kimaadili na kuanza kuwadharau au kuwatukana walimu wao. katika sayansi imeleta maafa mengi kwani wanafunzi wanapojua kuchanganya kemikali tofauti. tofauti katika maabara zao Shule, kwa kwa wakati mwingine wengi wao wanakosea wakati wa kuchanganya kemikal kwa mfano iwamwagikie kwa mwili inaweza kuwachoma na hata kupelekea kifo wengine hufanya makusudi kwa kuchanganya kemikali.za sumu alafu wanakunywa enfdapo wamekosewa na wenzao.
Wanafunzi hutumia nini kuzungumza na wazazi wao?
{ "text": [ "Simu" ] }
3223_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imeleta faida na pia madhara mengi katika shule za sekondari - Tukianza na faida zake, tunapata kuona kuwa wanafunzi wanasoma masomo kama vile kompyuta na wanajifunza mengi kuhusu utumiaji wa kompyuta, pili teknolojia imesaidia pakubwa kwani shule nyingi za sekondari aimeweka umeme kwenye madaraja, kwa njia o hii wanafunzi wanaweza kusoma hata wakati wa usiku na asubuhi mapema 1. Teknolojia imesaidia sana katika somo la sayansi kwani |kumeweza kutengenezwa mahabara, ambapo wanafunzi wengi hujifunza sayansi kwa kina. kuwepo kwa simu kumesaidia mno kwani wanafunzi wanaweza kuwa pigia Wazazi wao kutumia simu zawalimu wao ukilinganisha na Zamani ambapo watu walilazimika kuwasiliana kutumia barua njia ya mawasiliano ambayo iko pole pole mno Tukiongelea pia kuhusu madhara ya teknolojia tunaweza kuona kuwa " teknolojia imeleta madhara mengi mno kuliko faida : kwanza utumizi wa umeme madarasani na bwenini. 'Tunaweza kuona kuwa umeme umesababisha vifo vingi vya wanafunzi iwapo nyaya ya umeme imekatika inaweza kuwaka moto na kuchoma shule na kuangamiza wanafunzi. pili utumiaji wa simu umeathiri mikubwa mno | katika sekta ya elimu kwani wanafunzi huchukua muda mrefu wakitumia simu kuliko kusoma. Simú zimeth Zinaweza kuwaathiví vikubwa kwani wengi wao huingia kwenye mtandao na kuanza kuangalia video zinazowapotosha kimaadili ndiposa wanafunzi wengi hupotoka kimaadili na kuanza kuwadharau au kuwatukana walimu wao. katika sayansi imeleta maafa mengi kwani wanafunzi wanapojua kuchanganya kemikali tofauti. tofauti katika maabara zao Shule, kwa kwa wakati mwingine wengi wao wanakosea wakati wa kuchanganya kemikal kwa mfano iwamwagikie kwa mwili inaweza kuwachoma na hata kupelekea kifo wengine hufanya makusudi kwa kuchanganya kemikali.za sumu alafu wanakunywa enfdapo wamekosewa na wenzao.
Chumba kinachotumiwa kufanya utafiti wa kisayansi shuleni kinaitwaje?
{ "text": [ "Mahabara" ] }
3223_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imeleta faida na pia madhara mengi katika shule za sekondari - Tukianza na faida zake, tunapata kuona kuwa wanafunzi wanasoma masomo kama vile kompyuta na wanajifunza mengi kuhusu utumiaji wa kompyuta, pili teknolojia imesaidia pakubwa kwani shule nyingi za sekondari aimeweka umeme kwenye madaraja, kwa njia o hii wanafunzi wanaweza kusoma hata wakati wa usiku na asubuhi mapema 1. Teknolojia imesaidia sana katika somo la sayansi kwani |kumeweza kutengenezwa mahabara, ambapo wanafunzi wengi hujifunza sayansi kwa kina. kuwepo kwa simu kumesaidia mno kwani wanafunzi wanaweza kuwa pigia Wazazi wao kutumia simu zawalimu wao ukilinganisha na Zamani ambapo watu walilazimika kuwasiliana kutumia barua njia ya mawasiliano ambayo iko pole pole mno Tukiongelea pia kuhusu madhara ya teknolojia tunaweza kuona kuwa " teknolojia imeleta madhara mengi mno kuliko faida : kwanza utumizi wa umeme madarasani na bwenini. 'Tunaweza kuona kuwa umeme umesababisha vifo vingi vya wanafunzi iwapo nyaya ya umeme imekatika inaweza kuwaka moto na kuchoma shule na kuangamiza wanafunzi. pili utumiaji wa simu umeathiri mikubwa mno | katika sekta ya elimu kwani wanafunzi huchukua muda mrefu wakitumia simu kuliko kusoma. Simú zimeth Zinaweza kuwaathiví vikubwa kwani wengi wao huingia kwenye mtandao na kuanza kuangalia video zinazowapotosha kimaadili ndiposa wanafunzi wengi hupotoka kimaadili na kuanza kuwadharau au kuwatukana walimu wao. katika sayansi imeleta maafa mengi kwani wanafunzi wanapojua kuchanganya kemikali tofauti. tofauti katika maabara zao Shule, kwa kwa wakati mwingine wengi wao wanakosea wakati wa kuchanganya kemikal kwa mfano iwamwagikie kwa mwili inaweza kuwachoma na hata kupelekea kifo wengine hufanya makusudi kwa kuchanganya kemikali.za sumu alafu wanakunywa enfdapo wamekosewa na wenzao.
Wanafunzi hutumia muda wao mwingi wakibonyeza nini?
{ "text": [ "Simu" ] }
3223_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imeleta faida na pia madhara mengi katika shule za sekondari - Tukianza na faida zake, tunapata kuona kuwa wanafunzi wanasoma masomo kama vile kompyuta na wanajifunza mengi kuhusu utumiaji wa kompyuta, pili teknolojia imesaidia pakubwa kwani shule nyingi za sekondari aimeweka umeme kwenye madaraja, kwa njia o hii wanafunzi wanaweza kusoma hata wakati wa usiku na asubuhi mapema 1. Teknolojia imesaidia sana katika somo la sayansi kwani |kumeweza kutengenezwa mahabara, ambapo wanafunzi wengi hujifunza sayansi kwa kina. kuwepo kwa simu kumesaidia mno kwani wanafunzi wanaweza kuwa pigia Wazazi wao kutumia simu zawalimu wao ukilinganisha na Zamani ambapo watu walilazimika kuwasiliana kutumia barua njia ya mawasiliano ambayo iko pole pole mno Tukiongelea pia kuhusu madhara ya teknolojia tunaweza kuona kuwa " teknolojia imeleta madhara mengi mno kuliko faida : kwanza utumizi wa umeme madarasani na bwenini. 'Tunaweza kuona kuwa umeme umesababisha vifo vingi vya wanafunzi iwapo nyaya ya umeme imekatika inaweza kuwaka moto na kuchoma shule na kuangamiza wanafunzi. pili utumiaji wa simu umeathiri mikubwa mno | katika sekta ya elimu kwani wanafunzi huchukua muda mrefu wakitumia simu kuliko kusoma. Simú zimeth Zinaweza kuwaathiví vikubwa kwani wengi wao huingia kwenye mtandao na kuanza kuangalia video zinazowapotosha kimaadili ndiposa wanafunzi wengi hupotoka kimaadili na kuanza kuwadharau au kuwatukana walimu wao. katika sayansi imeleta maafa mengi kwani wanafunzi wanapojua kuchanganya kemikali tofauti. tofauti katika maabara zao Shule, kwa kwa wakati mwingine wengi wao wanakosea wakati wa kuchanganya kemikal kwa mfano iwamwagikie kwa mwili inaweza kuwachoma na hata kupelekea kifo wengine hufanya makusudi kwa kuchanganya kemikali.za sumu alafu wanakunywa enfdapo wamekosewa na wenzao.
Nyaya za umeme husababisha nini?
{ "text": [ "Vifo vya wanafunzi" ] }
3225_swa
FAIDA NA MADHARA. ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA_ SEKONDARI Naam katika nchi tunamoishi sasa , teknolojia imekuwa ikitumika kila mahali na kwa kila mtu. Kila kitu sasa ni teknolojia. Si shuleni ,si nyumbani si kwa sekta ya Sayansi na popote pale. Katika shuleni haswa shuleni za sekondari, teknolojia na faida na madhara kwû wanafunzi. Baadhi ya faida na madhara hizi ni. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kulegea katika masomo yao. Hii inamaana kuwa, wanafunzi wengi wamezoea kutumia mitambo ya teknolojia kama vile simu kwa wingi au kwa muda mrefu na hizi huwafanya kusahau vitabu na masomo yao. Pili , teknolojia imechangia kwa tabia hasi zinazoibuka katika jamii. Mfano ni kutumia dawa za kulevya, kujihusisha na tabia mbaya za kimapenzi na zinginezo. Kutumia teknolojia, wanafunzi wengi wanaanza kupotea katika maadili na kanuni' za jamii na hata zile za kidini. Tatu, teknolojia imechangia kuto kuwa na tamaduni za kitambo Hapo awali wanafunzi walikuwa na wakati kukaa na wazazi wao walimu wao ili kuzungumza mawaidha na kupewa mwelekezo katika maisha Sasa wanafunzi hawana muda huo tena wao hujihusisha na mitambo kutwa nzima na hivi hupotoshwa na hukosa tabia nzuri. Teknolojia pia inafaidi kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Kwanza, teknolojia huwasaidia wanafunzi kusoma kwa kompyuta inatumika sana kwa video za masomo. Hii ni faida kwa wanafunzi'. Pia Teknolojia hutumika na wanafunzi wanapochunguza kama kwa ripoti labela chanzo cha kuwa kwa Kitu pulan'. Hi huwapa taarifa itakayotumika kuandika ripoti
Teknolojia imekuwa ikitumika wapi
{ "text": [ "kila mahali" ] }
3225_swa
FAIDA NA MADHARA. ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA_ SEKONDARI Naam katika nchi tunamoishi sasa , teknolojia imekuwa ikitumika kila mahali na kwa kila mtu. Kila kitu sasa ni teknolojia. Si shuleni ,si nyumbani si kwa sekta ya Sayansi na popote pale. Katika shuleni haswa shuleni za sekondari, teknolojia na faida na madhara kwû wanafunzi. Baadhi ya faida na madhara hizi ni. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kulegea katika masomo yao. Hii inamaana kuwa, wanafunzi wengi wamezoea kutumia mitambo ya teknolojia kama vile simu kwa wingi au kwa muda mrefu na hizi huwafanya kusahau vitabu na masomo yao. Pili , teknolojia imechangia kwa tabia hasi zinazoibuka katika jamii. Mfano ni kutumia dawa za kulevya, kujihusisha na tabia mbaya za kimapenzi na zinginezo. Kutumia teknolojia, wanafunzi wengi wanaanza kupotea katika maadili na kanuni' za jamii na hata zile za kidini. Tatu, teknolojia imechangia kuto kuwa na tamaduni za kitambo Hapo awali wanafunzi walikuwa na wakati kukaa na wazazi wao walimu wao ili kuzungumza mawaidha na kupewa mwelekezo katika maisha Sasa wanafunzi hawana muda huo tena wao hujihusisha na mitambo kutwa nzima na hivi hupotoshwa na hukosa tabia nzuri. Teknolojia pia inafaidi kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Kwanza, teknolojia huwasaidia wanafunzi kusoma kwa kompyuta inatumika sana kwa video za masomo. Hii ni faida kwa wanafunzi'. Pia Teknolojia hutumika na wanafunzi wanapochunguza kama kwa ripoti labela chanzo cha kuwa kwa Kitu pulan'. Hi huwapa taarifa itakayotumika kuandika ripoti
shuleni teknolojia ina faida na madhara kwa nani
{ "text": [ "wanafunzi" ] }
3225_swa
FAIDA NA MADHARA. ZA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA_ SEKONDARI Naam katika nchi tunamoishi sasa , teknolojia imekuwa ikitumika kila mahali na kwa kila mtu. Kila kitu sasa ni teknolojia. Si shuleni ,si nyumbani si kwa sekta ya Sayansi na popote pale. Katika shuleni haswa shuleni za sekondari, teknolojia na faida na madhara kwû wanafunzi. Baadhi ya faida na madhara hizi ni. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kulegea katika masomo yao. Hii inamaana kuwa, wanafunzi wengi wamezoea kutumia mitambo ya teknolojia kama vile simu kwa wingi au kwa muda mrefu na hizi huwafanya kusahau vitabu na masomo yao. Pili , teknolojia imechangia kwa tabia hasi zinazoibuka katika jamii. Mfano ni kutumia dawa za kulevya, kujihusisha na tabia mbaya za kimapenzi na zinginezo. Kutumia teknolojia, wanafunzi wengi wanaanza kupotea katika maadili na kanuni' za jamii na hata zile za kidini. Tatu, teknolojia imechangia kuto kuwa na tamaduni za kitambo Hapo awali wanafunzi walikuwa na wakati kukaa na wazazi wao walimu wao ili kuzungumza mawaidha na kupewa mwelekezo katika maisha Sasa wanafunzi hawana muda huo tena wao hujihusisha na mitambo kutwa nzima na hivi hupotoshwa na hukosa tabia nzuri. Teknolojia pia inafaidi kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Kwanza, teknolojia huwasaidia wanafunzi kusoma kwa kompyuta inatumika sana kwa video za masomo. Hii ni faida kwa wanafunzi'. Pia Teknolojia hutumika na wanafunzi wanapochunguza kama kwa ripoti labela chanzo cha kuwa kwa Kitu pulan'. Hi huwapa taarifa itakayotumika kuandika ripoti
Teknolojia imewafanya wanafunzi kufanyaje masomoni
{ "text": [ "kulegea" ] }