Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3127_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa yule asiyeyasikia maneno ya waliotangulia mwishowe hupatwa na taabu. Hutumiwa kwIa wale watu ambao hawataki kusikia wala kuyafuata maneno wanayoambiwa na wakubwa wao. Methali hii inafanana na ile isemayo mkataa pema, pabaya panamuita. Katika kitongoji kimoja kati cha Mkanyeni, palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Tabasamu. Tabasamu alikuwa msichana mrembo sana, aliyeumbwa akaumbika. Urembo ulikuwa mithili wa malaika. Shingo yake ya upanga, ngozi yake ilimeremeta kama mbalamwezi. Kila aliyemuona Tabasamu alimsifia kwa maumbile yake. Licha ya urembo, pia tabia zake ziliwapendeza. Baada ya muda si mfupi, Tabasamu alianza kugeuka katika tabia zake kama kinyonga. Alikuwa akiondoka nyumbani kwao asubuhi na kurudi nyumbani saa mbili usiku. Mama yake alijaribu kumkanya pinde tu alipoona mabadiliko katika mienendo ya mwanawe kwani alijua vyema kuwa chuma kikunje kingali moto. Lakini bidii zake ziliambulia patupu. Watu mtaani walianza kujiuliza wao kama je, huyu ni Tabasamu aliyekuwa msichana mzuri wa tabia hadi urembo? Ama kweli, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Baada ya muda mchache, Tabasamu alianza kuwa na ishara za kutisha. Alikuwa anatapika hapa na hapa, kuchagua vyakula, kuumwa na kichwa kila asubuhi na pia tumbo lilianza kufura. Mbali na dalili zote hizo, pia alianza kukohoa na kukondeana kama ngonda. Wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga, uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kwani wazazi wake walimpeleka hospitalini kufanyiwa uchunguzi. Matokeo yaliwatia kiwewe Tabasamu pamoja na wazazi wake. Tabasamu alipatikana ni mjamzito na licha ya ujauzito, pia alikua na ugonjwa wa ukimwi. Tabasamu alitaharuki na kuanguka chini mfano wa mtu aliyetekwa na upepo mkali. Ama kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Madaktari wawili walimkimbia wakamuinua na kumpeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi. Walimfanyia tena uchunguzi na wakapata kuwa alikuwa na shinikizo la damu. Baada ya muda kidogo Tabasamu aliaga dunia. Hadithi hii inatumika kuwafunza hao ambao wanaifanya dunia kuwa rafiki pasi na kujua kuwa wavyele hawakukosea waliposema ya kuwa dunia ni kitu dhaifu, kiumbe sijitetee na hata wanapokanywa hao huwa sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
Ni nani waliompeleka Tabasamu katka chumba cha wagonjwa mahututi
{ "text": [ "Madaktari" ] }
3127_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana kuwa yule asiyeyasikia maneno ya waliotangulia mwishowe hupatwa na taabu. Hutumiwa kwIa wale watu ambao hawataki kusikia wala kuyafuata maneno wanayoambiwa na wakubwa wao. Methali hii inafanana na ile isemayo mkataa pema, pabaya panamuita. Katika kitongoji kimoja kati cha Mkanyeni, palikuwa na msichana mmoja aliyeitwa Tabasamu. Tabasamu alikuwa msichana mrembo sana, aliyeumbwa akaumbika. Urembo ulikuwa mithili wa malaika. Shingo yake ya upanga, ngozi yake ilimeremeta kama mbalamwezi. Kila aliyemuona Tabasamu alimsifia kwa maumbile yake. Licha ya urembo, pia tabia zake ziliwapendeza. Baada ya muda si mfupi, Tabasamu alianza kugeuka katika tabia zake kama kinyonga. Alikuwa akiondoka nyumbani kwao asubuhi na kurudi nyumbani saa mbili usiku. Mama yake alijaribu kumkanya pinde tu alipoona mabadiliko katika mienendo ya mwanawe kwani alijua vyema kuwa chuma kikunje kingali moto. Lakini bidii zake ziliambulia patupu. Watu mtaani walianza kujiuliza wao kama je, huyu ni Tabasamu aliyekuwa msichana mzuri wa tabia hadi urembo? Ama kweli, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Baada ya muda mchache, Tabasamu alianza kuwa na ishara za kutisha. Alikuwa anatapika hapa na hapa, kuchagua vyakula, kuumwa na kichwa kila asubuhi na pia tumbo lilianza kufura. Mbali na dalili zote hizo, pia alianza kukohoa na kukondeana kama ngonda. Wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki walipolonga, uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi. Kwani wazazi wake walimpeleka hospitalini kufanyiwa uchunguzi. Matokeo yaliwatia kiwewe Tabasamu pamoja na wazazi wake. Tabasamu alipatikana ni mjamzito na licha ya ujauzito, pia alikua na ugonjwa wa ukimwi. Tabasamu alitaharuki na kuanguka chini mfano wa mtu aliyetekwa na upepo mkali. Ama kweli, majuto ni mjukuu huja baadaye. Madaktari wawili walimkimbia wakamuinua na kumpeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi. Walimfanyia tena uchunguzi na wakapata kuwa alikuwa na shinikizo la damu. Baada ya muda kidogo Tabasamu aliaga dunia. Hadithi hii inatumika kuwafunza hao ambao wanaifanya dunia kuwa rafiki pasi na kujua kuwa wavyele hawakukosea waliposema ya kuwa dunia ni kitu dhaifu, kiumbe sijitetee na hata wanapokanywa hao huwa sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
Ni tatizo gani lilisababishwa na matokeo ya mimba na ukimwi
{ "text": [ "Shinikizo la damu" ] }
3128_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni ule ubunifu wa kisasa na kutumia njia za mitandao kwa kupata habari, kutuma ujumbe na hata kuwasiliana na jinsia tofauti. Katika mambo haya yote huwasilishwa kupitia vifaa ambavyo vilibuniwa na hutumia moto wa umeme kwa ajili ya kutekeleza kazi. Hivi ni kama, tarakilishi, simu, rununu na vingine mbalimbali. Hivyo basi, hujikita sana hasa kuendeleza masomo au kufundisha mambo mbalimbali kupitia mitandao. Mfano ni kikokotoo, hutumiwa na wanafunzi kupigia hesabu na hiyo wanafunzi wamekuwa wavivu na hata nyakati zingine kukosa kufikiria. Hata wakati mwingine huwasaidia wanafunzi kufanya mitihani yao na hupata maelezo au jawabu sahihi. Simu pia huweza kuwa na madhara kwa wanafunzi. Hii huwafanya wanafunzi kujiunga na mambo yanayo wapotosha kwani wengine huficha na kuingia nazo shuleni. Pia kuna video zengine kama za ponografia huwapumbaza wanafunzi na kujiunga na tabia mbaya kama mapenzi ya mapema. Imethibitishwa kwamba wanafunzi pia kuachiliwa rununu hizo na wazazi wao wakati wa mapumziko. Hii ni baini kwamba wazazi nao wamemdekeza sana wana wao. Katika shule nyingi za sekondari, tarakilishi hupatikana ambapo wanafunzi hutumia kusoma. Kwa hivyo kumebuniwa somo la kompyuta ambapo wanafunzi hujishughulisha na mambo mengi duniani. Pia kuna televisheni shuleni ambazo wanafunzi hutumia kuburudika kama vile muziki na vichekesho wakati wa mapumziko. Hii imeleta wanafunzi wengi kupachikwa ujauzito pindi wanapojumuika na wavulana wote wakiwa wanafunzi. Nyakati zingine hutumia kwa kupata habari ama pia kusoma mfano vitabu fulani huonyeshwa kama video ili kuelewa zaidi kiundani. Baadhi ya mitandao wanafunzi hujiingiza hutumia muda mwingi huku wakiacha masomo na muda kidogo. Sababu hii mara nyingi husababishwa na wazazi ambao huwanunulia watoto wao simu. Wengine hueza kuacha shule. Kuna video zingine wanazoshawishi na kudanganya kwamba maisha ya nyumbani huwa bora kuliko kusoma. Hapo ndipo teknologia katika shule za sekondari huwa na madhara.
Teknolojia imechangia kubuniwa kwa vyombo vipi
{ "text": [ "Simu, tarakilishi na rununu" ] }
3128_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni ule ubunifu wa kisasa na kutumia njia za mitandao kwa kupata habari, kutuma ujumbe na hata kuwasiliana na jinsia tofauti. Katika mambo haya yote huwasilishwa kupitia vifaa ambavyo vilibuniwa na hutumia moto wa umeme kwa ajili ya kutekeleza kazi. Hivi ni kama, tarakilishi, simu, rununu na vingine mbalimbali. Hivyo basi, hujikita sana hasa kuendeleza masomo au kufundisha mambo mbalimbali kupitia mitandao. Mfano ni kikokotoo, hutumiwa na wanafunzi kupigia hesabu na hiyo wanafunzi wamekuwa wavivu na hata nyakati zingine kukosa kufikiria. Hata wakati mwingine huwasaidia wanafunzi kufanya mitihani yao na hupata maelezo au jawabu sahihi. Simu pia huweza kuwa na madhara kwa wanafunzi. Hii huwafanya wanafunzi kujiunga na mambo yanayo wapotosha kwani wengine huficha na kuingia nazo shuleni. Pia kuna video zengine kama za ponografia huwapumbaza wanafunzi na kujiunga na tabia mbaya kama mapenzi ya mapema. Imethibitishwa kwamba wanafunzi pia kuachiliwa rununu hizo na wazazi wao wakati wa mapumziko. Hii ni baini kwamba wazazi nao wamemdekeza sana wana wao. Katika shule nyingi za sekondari, tarakilishi hupatikana ambapo wanafunzi hutumia kusoma. Kwa hivyo kumebuniwa somo la kompyuta ambapo wanafunzi hujishughulisha na mambo mengi duniani. Pia kuna televisheni shuleni ambazo wanafunzi hutumia kuburudika kama vile muziki na vichekesho wakati wa mapumziko. Hii imeleta wanafunzi wengi kupachikwa ujauzito pindi wanapojumuika na wavulana wote wakiwa wanafunzi. Nyakati zingine hutumia kwa kupata habari ama pia kusoma mfano vitabu fulani huonyeshwa kama video ili kuelewa zaidi kiundani. Baadhi ya mitandao wanafunzi hujiingiza hutumia muda mwingi huku wakiacha masomo na muda kidogo. Sababu hii mara nyingi husababishwa na wazazi ambao huwanunulia watoto wao simu. Wengine hueza kuacha shule. Kuna video zingine wanazoshawishi na kudanganya kwamba maisha ya nyumbani huwa bora kuliko kusoma. Hapo ndipo teknologia katika shule za sekondari huwa na madhara.
Ni chombo kipi huleta madhara kwa wanafunzi
{ "text": [ "Simu" ] }
3128_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni ule ubunifu wa kisasa na kutumia njia za mitandao kwa kupata habari, kutuma ujumbe na hata kuwasiliana na jinsia tofauti. Katika mambo haya yote huwasilishwa kupitia vifaa ambavyo vilibuniwa na hutumia moto wa umeme kwa ajili ya kutekeleza kazi. Hivi ni kama, tarakilishi, simu, rununu na vingine mbalimbali. Hivyo basi, hujikita sana hasa kuendeleza masomo au kufundisha mambo mbalimbali kupitia mitandao. Mfano ni kikokotoo, hutumiwa na wanafunzi kupigia hesabu na hiyo wanafunzi wamekuwa wavivu na hata nyakati zingine kukosa kufikiria. Hata wakati mwingine huwasaidia wanafunzi kufanya mitihani yao na hupata maelezo au jawabu sahihi. Simu pia huweza kuwa na madhara kwa wanafunzi. Hii huwafanya wanafunzi kujiunga na mambo yanayo wapotosha kwani wengine huficha na kuingia nazo shuleni. Pia kuna video zengine kama za ponografia huwapumbaza wanafunzi na kujiunga na tabia mbaya kama mapenzi ya mapema. Imethibitishwa kwamba wanafunzi pia kuachiliwa rununu hizo na wazazi wao wakati wa mapumziko. Hii ni baini kwamba wazazi nao wamemdekeza sana wana wao. Katika shule nyingi za sekondari, tarakilishi hupatikana ambapo wanafunzi hutumia kusoma. Kwa hivyo kumebuniwa somo la kompyuta ambapo wanafunzi hujishughulisha na mambo mengi duniani. Pia kuna televisheni shuleni ambazo wanafunzi hutumia kuburudika kama vile muziki na vichekesho wakati wa mapumziko. Hii imeleta wanafunzi wengi kupachikwa ujauzito pindi wanapojumuika na wavulana wote wakiwa wanafunzi. Nyakati zingine hutumia kwa kupata habari ama pia kusoma mfano vitabu fulani huonyeshwa kama video ili kuelewa zaidi kiundani. Baadhi ya mitandao wanafunzi hujiingiza hutumia muda mwingi huku wakiacha masomo na muda kidogo. Sababu hii mara nyingi husababishwa na wazazi ambao huwanunulia watoto wao simu. Wengine hueza kuacha shule. Kuna video zingine wanazoshawishi na kudanganya kwamba maisha ya nyumbani huwa bora kuliko kusoma. Hapo ndipo teknologia katika shule za sekondari huwa na madhara.
Ni kipi huchangia mimba za mapema
{ "text": [ "Video zinazotazamwa kwenye simu" ] }
3128_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni ule ubunifu wa kisasa na kutumia njia za mitandao kwa kupata habari, kutuma ujumbe na hata kuwasiliana na jinsia tofauti. Katika mambo haya yote huwasilishwa kupitia vifaa ambavyo vilibuniwa na hutumia moto wa umeme kwa ajili ya kutekeleza kazi. Hivi ni kama, tarakilishi, simu, rununu na vingine mbalimbali. Hivyo basi, hujikita sana hasa kuendeleza masomo au kufundisha mambo mbalimbali kupitia mitandao. Mfano ni kikokotoo, hutumiwa na wanafunzi kupigia hesabu na hiyo wanafunzi wamekuwa wavivu na hata nyakati zingine kukosa kufikiria. Hata wakati mwingine huwasaidia wanafunzi kufanya mitihani yao na hupata maelezo au jawabu sahihi. Simu pia huweza kuwa na madhara kwa wanafunzi. Hii huwafanya wanafunzi kujiunga na mambo yanayo wapotosha kwani wengine huficha na kuingia nazo shuleni. Pia kuna video zengine kama za ponografia huwapumbaza wanafunzi na kujiunga na tabia mbaya kama mapenzi ya mapema. Imethibitishwa kwamba wanafunzi pia kuachiliwa rununu hizo na wazazi wao wakati wa mapumziko. Hii ni baini kwamba wazazi nao wamemdekeza sana wana wao. Katika shule nyingi za sekondari, tarakilishi hupatikana ambapo wanafunzi hutumia kusoma. Kwa hivyo kumebuniwa somo la kompyuta ambapo wanafunzi hujishughulisha na mambo mengi duniani. Pia kuna televisheni shuleni ambazo wanafunzi hutumia kuburudika kama vile muziki na vichekesho wakati wa mapumziko. Hii imeleta wanafunzi wengi kupachikwa ujauzito pindi wanapojumuika na wavulana wote wakiwa wanafunzi. Nyakati zingine hutumia kwa kupata habari ama pia kusoma mfano vitabu fulani huonyeshwa kama video ili kuelewa zaidi kiundani. Baadhi ya mitandao wanafunzi hujiingiza hutumia muda mwingi huku wakiacha masomo na muda kidogo. Sababu hii mara nyingi husababishwa na wazazi ambao huwanunulia watoto wao simu. Wengine hueza kuacha shule. Kuna video zingine wanazoshawishi na kudanganya kwamba maisha ya nyumbani huwa bora kuliko kusoma. Hapo ndipo teknologia katika shule za sekondari huwa na madhara.
Ni kipi kimechangia mafunzo mazuri katika shule za upili
{ "text": [ "Vipakatalishi" ] }
3128_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni ule ubunifu wa kisasa na kutumia njia za mitandao kwa kupata habari, kutuma ujumbe na hata kuwasiliana na jinsia tofauti. Katika mambo haya yote huwasilishwa kupitia vifaa ambavyo vilibuniwa na hutumia moto wa umeme kwa ajili ya kutekeleza kazi. Hivi ni kama, tarakilishi, simu, rununu na vingine mbalimbali. Hivyo basi, hujikita sana hasa kuendeleza masomo au kufundisha mambo mbalimbali kupitia mitandao. Mfano ni kikokotoo, hutumiwa na wanafunzi kupigia hesabu na hiyo wanafunzi wamekuwa wavivu na hata nyakati zingine kukosa kufikiria. Hata wakati mwingine huwasaidia wanafunzi kufanya mitihani yao na hupata maelezo au jawabu sahihi. Simu pia huweza kuwa na madhara kwa wanafunzi. Hii huwafanya wanafunzi kujiunga na mambo yanayo wapotosha kwani wengine huficha na kuingia nazo shuleni. Pia kuna video zengine kama za ponografia huwapumbaza wanafunzi na kujiunga na tabia mbaya kama mapenzi ya mapema. Imethibitishwa kwamba wanafunzi pia kuachiliwa rununu hizo na wazazi wao wakati wa mapumziko. Hii ni baini kwamba wazazi nao wamemdekeza sana wana wao. Katika shule nyingi za sekondari, tarakilishi hupatikana ambapo wanafunzi hutumia kusoma. Kwa hivyo kumebuniwa somo la kompyuta ambapo wanafunzi hujishughulisha na mambo mengi duniani. Pia kuna televisheni shuleni ambazo wanafunzi hutumia kuburudika kama vile muziki na vichekesho wakati wa mapumziko. Hii imeleta wanafunzi wengi kupachikwa ujauzito pindi wanapojumuika na wavulana wote wakiwa wanafunzi. Nyakati zingine hutumia kwa kupata habari ama pia kusoma mfano vitabu fulani huonyeshwa kama video ili kuelewa zaidi kiundani. Baadhi ya mitandao wanafunzi hujiingiza hutumia muda mwingi huku wakiacha masomo na muda kidogo. Sababu hii mara nyingi husababishwa na wazazi ambao huwanunulia watoto wao simu. Wengine hueza kuacha shule. Kuna video zingine wanazoshawishi na kudanganya kwamba maisha ya nyumbani huwa bora kuliko kusoma. Hapo ndipo teknologia katika shule za sekondari huwa na madhara.
Televisheni shuleni imeleta madhara gani kwa wanafunzi
{ "text": [ "Wanafunzi kupachikwa uja uzito wakiwa katika hali ya kuburudika" ] }
3129_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaana ya kuwa mtu asiposikiliza anachoambiwa na wavyele, basi mbeleni au mwishoni majuto humjia na kukosa la kufanya. Hivyo basi huishia kujuta na kupata aibu. Madhara atakayopata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari ya wavyele au wakuu wake. Hata hivyo methali hii huegemea pale ambapo mhusika anapoelekezwa na wazaziwe kujiepusha na mahusiano ya mapema na kutosikiliza hayo. Majuto huja pale ambapo msichana amepachikwa mimba na kutojua mbele wala nyuma. Na hivyo basi ni wazi imedhirika ya kwamba sikio halipiti kichwa hata siku moja. Amina alikuwa msichana mrembo mwenye hekima na heshima na mtia bidii masomoni mwake. Wazazio walimsifia sana kwani hawakumuona kuwa na doa hata kidogo. Si kwa wazaziwe pekee bali hata kwenye mtaa wote. Alivaa nguo zenye heshima na kila wakati alijiweka karibu na vitabu peke yake lakini kweli hakuna kizuri kisicho na dosari. Alipofika kidato cha tatu, alijiunga na uraibu wa madawa ya kulevya. Hata hivyo habari hii ilikuja kubainika shuleni na hakukosa kuadhibiwa kila mara. Wazazi wake walimkanya Amina kwani hawakutabiria hali kama hii kuweza kuwa na mtoto wao. Walimu wao pia shuleni waliwasihi vijana hao na kuwaonyesha na kuwaambia madhara yake. Muda mrefu ukapita wakazi wa Amina walipoona sikio la kufa halisikii dawa wakamuachilia afanye alilolitaka lakini walimtahadharisha. Fanya ufanyalo lakini asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tumekukanya umekaidi utalopata ni la kwa kwako peke yako na wala si la kwetu. Ndipo hapo Amina akaamua kuacha shule na kujiunga na kundi la waporaji kijijini. Walivamia watu vichochoroni na kuwapora. Si pesa, nguo na hata mizigo. Ni kweli kwamba mchovya asali hachovyi mara moja. Walihitimu kuwa waporaji mitaani na kuwa watu wakuteka sana za hali ya thamani kama magari. Za mwizi huwa arobaini. Waliteka magari ya watu wenye mali zao, walitumia bunduki bandia lakini jambo usilojua ni kama usiku wa giza. Amina na rafiki zake walikutwa na maafisa wa polisi wanaoshughulikia mambo ya salama nchini. Kwa harakati za huku na kule, Amina aliangushwa chini wakati maji yamezidi unga waliamua mara moja mguu niponye na kuchana mbuga. Askari nao walikuwa shupavu wakawaangusha wote kwa risasi. Amina aliokotwa akiwa hali mahutiti. Risasi lilimlenga gotini. Alipelekwa nyumbani akiwa kilema. Wazazi wake walipomuona walimuambia, "Mwanangu dunia imekufunza sasa umejionea, umejua kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu."
Nani alikua mrembo mwenye heshima na hekima
{ "text": [ "Amina" ] }
3129_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaana ya kuwa mtu asiposikiliza anachoambiwa na wavyele, basi mbeleni au mwishoni majuto humjia na kukosa la kufanya. Hivyo basi huishia kujuta na kupata aibu. Madhara atakayopata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari ya wavyele au wakuu wake. Hata hivyo methali hii huegemea pale ambapo mhusika anapoelekezwa na wazaziwe kujiepusha na mahusiano ya mapema na kutosikiliza hayo. Majuto huja pale ambapo msichana amepachikwa mimba na kutojua mbele wala nyuma. Na hivyo basi ni wazi imedhirika ya kwamba sikio halipiti kichwa hata siku moja. Amina alikuwa msichana mrembo mwenye hekima na heshima na mtia bidii masomoni mwake. Wazazio walimsifia sana kwani hawakumuona kuwa na doa hata kidogo. Si kwa wazaziwe pekee bali hata kwenye mtaa wote. Alivaa nguo zenye heshima na kila wakati alijiweka karibu na vitabu peke yake lakini kweli hakuna kizuri kisicho na dosari. Alipofika kidato cha tatu, alijiunga na uraibu wa madawa ya kulevya. Hata hivyo habari hii ilikuja kubainika shuleni na hakukosa kuadhibiwa kila mara. Wazazi wake walimkanya Amina kwani hawakutabiria hali kama hii kuweza kuwa na mtoto wao. Walimu wao pia shuleni waliwasihi vijana hao na kuwaonyesha na kuwaambia madhara yake. Muda mrefu ukapita wakazi wa Amina walipoona sikio la kufa halisikii dawa wakamuachilia afanye alilolitaka lakini walimtahadharisha. Fanya ufanyalo lakini asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tumekukanya umekaidi utalopata ni la kwa kwako peke yako na wala si la kwetu. Ndipo hapo Amina akaamua kuacha shule na kujiunga na kundi la waporaji kijijini. Walivamia watu vichochoroni na kuwapora. Si pesa, nguo na hata mizigo. Ni kweli kwamba mchovya asali hachovyi mara moja. Walihitimu kuwa waporaji mitaani na kuwa watu wakuteka sana za hali ya thamani kama magari. Za mwizi huwa arobaini. Waliteka magari ya watu wenye mali zao, walitumia bunduki bandia lakini jambo usilojua ni kama usiku wa giza. Amina na rafiki zake walikutwa na maafisa wa polisi wanaoshughulikia mambo ya salama nchini. Kwa harakati za huku na kule, Amina aliangushwa chini wakati maji yamezidi unga waliamua mara moja mguu niponye na kuchana mbuga. Askari nao walikuwa shupavu wakawaangusha wote kwa risasi. Amina aliokotwa akiwa hali mahutiti. Risasi lilimlenga gotini. Alipelekwa nyumbani akiwa kilema. Wazazi wake walipomuona walimuambia, "Mwanangu dunia imekufunza sasa umejionea, umejua kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu."
Nani walimsifia sana Amina
{ "text": [ "wazazi wake" ] }
3129_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaana ya kuwa mtu asiposikiliza anachoambiwa na wavyele, basi mbeleni au mwishoni majuto humjia na kukosa la kufanya. Hivyo basi huishia kujuta na kupata aibu. Madhara atakayopata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari ya wavyele au wakuu wake. Hata hivyo methali hii huegemea pale ambapo mhusika anapoelekezwa na wazaziwe kujiepusha na mahusiano ya mapema na kutosikiliza hayo. Majuto huja pale ambapo msichana amepachikwa mimba na kutojua mbele wala nyuma. Na hivyo basi ni wazi imedhirika ya kwamba sikio halipiti kichwa hata siku moja. Amina alikuwa msichana mrembo mwenye hekima na heshima na mtia bidii masomoni mwake. Wazazio walimsifia sana kwani hawakumuona kuwa na doa hata kidogo. Si kwa wazaziwe pekee bali hata kwenye mtaa wote. Alivaa nguo zenye heshima na kila wakati alijiweka karibu na vitabu peke yake lakini kweli hakuna kizuri kisicho na dosari. Alipofika kidato cha tatu, alijiunga na uraibu wa madawa ya kulevya. Hata hivyo habari hii ilikuja kubainika shuleni na hakukosa kuadhibiwa kila mara. Wazazi wake walimkanya Amina kwani hawakutabiria hali kama hii kuweza kuwa na mtoto wao. Walimu wao pia shuleni waliwasihi vijana hao na kuwaonyesha na kuwaambia madhara yake. Muda mrefu ukapita wakazi wa Amina walipoona sikio la kufa halisikii dawa wakamuachilia afanye alilolitaka lakini walimtahadharisha. Fanya ufanyalo lakini asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tumekukanya umekaidi utalopata ni la kwa kwako peke yako na wala si la kwetu. Ndipo hapo Amina akaamua kuacha shule na kujiunga na kundi la waporaji kijijini. Walivamia watu vichochoroni na kuwapora. Si pesa, nguo na hata mizigo. Ni kweli kwamba mchovya asali hachovyi mara moja. Walihitimu kuwa waporaji mitaani na kuwa watu wakuteka sana za hali ya thamani kama magari. Za mwizi huwa arobaini. Waliteka magari ya watu wenye mali zao, walitumia bunduki bandia lakini jambo usilojua ni kama usiku wa giza. Amina na rafiki zake walikutwa na maafisa wa polisi wanaoshughulikia mambo ya salama nchini. Kwa harakati za huku na kule, Amina aliangushwa chini wakati maji yamezidi unga waliamua mara moja mguu niponye na kuchana mbuga. Askari nao walikuwa shupavu wakawaangusha wote kwa risasi. Amina aliokotwa akiwa hali mahutiti. Risasi lilimlenga gotini. Alipelekwa nyumbani akiwa kilema. Wazazi wake walipomuona walimuambia, "Mwanangu dunia imekufunza sasa umejionea, umejua kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu."
Amina alijiweka karibu na nini
{ "text": [ "vitabu " ] }
3129_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaana ya kuwa mtu asiposikiliza anachoambiwa na wavyele, basi mbeleni au mwishoni majuto humjia na kukosa la kufanya. Hivyo basi huishia kujuta na kupata aibu. Madhara atakayopata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari ya wavyele au wakuu wake. Hata hivyo methali hii huegemea pale ambapo mhusika anapoelekezwa na wazaziwe kujiepusha na mahusiano ya mapema na kutosikiliza hayo. Majuto huja pale ambapo msichana amepachikwa mimba na kutojua mbele wala nyuma. Na hivyo basi ni wazi imedhirika ya kwamba sikio halipiti kichwa hata siku moja. Amina alikuwa msichana mrembo mwenye hekima na heshima na mtia bidii masomoni mwake. Wazazio walimsifia sana kwani hawakumuona kuwa na doa hata kidogo. Si kwa wazaziwe pekee bali hata kwenye mtaa wote. Alivaa nguo zenye heshima na kila wakati alijiweka karibu na vitabu peke yake lakini kweli hakuna kizuri kisicho na dosari. Alipofika kidato cha tatu, alijiunga na uraibu wa madawa ya kulevya. Hata hivyo habari hii ilikuja kubainika shuleni na hakukosa kuadhibiwa kila mara. Wazazi wake walimkanya Amina kwani hawakutabiria hali kama hii kuweza kuwa na mtoto wao. Walimu wao pia shuleni waliwasihi vijana hao na kuwaonyesha na kuwaambia madhara yake. Muda mrefu ukapita wakazi wa Amina walipoona sikio la kufa halisikii dawa wakamuachilia afanye alilolitaka lakini walimtahadharisha. Fanya ufanyalo lakini asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tumekukanya umekaidi utalopata ni la kwa kwako peke yako na wala si la kwetu. Ndipo hapo Amina akaamua kuacha shule na kujiunga na kundi la waporaji kijijini. Walivamia watu vichochoroni na kuwapora. Si pesa, nguo na hata mizigo. Ni kweli kwamba mchovya asali hachovyi mara moja. Walihitimu kuwa waporaji mitaani na kuwa watu wakuteka sana za hali ya thamani kama magari. Za mwizi huwa arobaini. Waliteka magari ya watu wenye mali zao, walitumia bunduki bandia lakini jambo usilojua ni kama usiku wa giza. Amina na rafiki zake walikutwa na maafisa wa polisi wanaoshughulikia mambo ya salama nchini. Kwa harakati za huku na kule, Amina aliangushwa chini wakati maji yamezidi unga waliamua mara moja mguu niponye na kuchana mbuga. Askari nao walikuwa shupavu wakawaangusha wote kwa risasi. Amina aliokotwa akiwa hali mahutiti. Risasi lilimlenga gotini. Alipelekwa nyumbani akiwa kilema. Wazazi wake walipomuona walimuambia, "Mwanangu dunia imekufunza sasa umejionea, umejua kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu."
Amina alijiunga na kundi la waporaji kijijini lini
{ "text": [ "alipoacha shule" ] }
3129_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaana ya kuwa mtu asiposikiliza anachoambiwa na wavyele, basi mbeleni au mwishoni majuto humjia na kukosa la kufanya. Hivyo basi huishia kujuta na kupata aibu. Madhara atakayopata yatatokana na tabia yake ya kupuuza tahadhari ya wavyele au wakuu wake. Hata hivyo methali hii huegemea pale ambapo mhusika anapoelekezwa na wazaziwe kujiepusha na mahusiano ya mapema na kutosikiliza hayo. Majuto huja pale ambapo msichana amepachikwa mimba na kutojua mbele wala nyuma. Na hivyo basi ni wazi imedhirika ya kwamba sikio halipiti kichwa hata siku moja. Amina alikuwa msichana mrembo mwenye hekima na heshima na mtia bidii masomoni mwake. Wazazio walimsifia sana kwani hawakumuona kuwa na doa hata kidogo. Si kwa wazaziwe pekee bali hata kwenye mtaa wote. Alivaa nguo zenye heshima na kila wakati alijiweka karibu na vitabu peke yake lakini kweli hakuna kizuri kisicho na dosari. Alipofika kidato cha tatu, alijiunga na uraibu wa madawa ya kulevya. Hata hivyo habari hii ilikuja kubainika shuleni na hakukosa kuadhibiwa kila mara. Wazazi wake walimkanya Amina kwani hawakutabiria hali kama hii kuweza kuwa na mtoto wao. Walimu wao pia shuleni waliwasihi vijana hao na kuwaonyesha na kuwaambia madhara yake. Muda mrefu ukapita wakazi wa Amina walipoona sikio la kufa halisikii dawa wakamuachilia afanye alilolitaka lakini walimtahadharisha. Fanya ufanyalo lakini asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Tumekukanya umekaidi utalopata ni la kwa kwako peke yako na wala si la kwetu. Ndipo hapo Amina akaamua kuacha shule na kujiunga na kundi la waporaji kijijini. Walivamia watu vichochoroni na kuwapora. Si pesa, nguo na hata mizigo. Ni kweli kwamba mchovya asali hachovyi mara moja. Walihitimu kuwa waporaji mitaani na kuwa watu wakuteka sana za hali ya thamani kama magari. Za mwizi huwa arobaini. Waliteka magari ya watu wenye mali zao, walitumia bunduki bandia lakini jambo usilojua ni kama usiku wa giza. Amina na rafiki zake walikutwa na maafisa wa polisi wanaoshughulikia mambo ya salama nchini. Kwa harakati za huku na kule, Amina aliangushwa chini wakati maji yamezidi unga waliamua mara moja mguu niponye na kuchana mbuga. Askari nao walikuwa shupavu wakawaangusha wote kwa risasi. Amina aliokotwa akiwa hali mahutiti. Risasi lilimlenga gotini. Alipelekwa nyumbani akiwa kilema. Wazazi wake walipomuona walimuambia, "Mwanangu dunia imekufunza sasa umejionea, umejua kwamba asiyesikia la mkuu huvunjika guu."
Amina alipatikana akiwa hali kilema aje
{ "text": [ "walipokua wakitoroka alilengwa risasi gotini na askari" ] }
3130_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia imeleta vitu mbalimbali katika maisha ya binadamu ambayo yana faida na madhara. Teknolojia hii imeleta manufaa katika maisha ya binadamu kwani imeimarisha maisha ya binadamu na pia imeleta madhara kwani pia imezorotesha maisha ya binadamu. Kwa wanafunzi wa shule ya upili, teknolojia imeleta manufaa na hata madhara. Teknolojia hizo ni kama vile tarakilishi, kikokotoo, simu na zenginezo. Teknolojia hizi kama hiyo simu, ni nzuri kwani hata wanafunzi huzitumia kusoma na hata kupata habari zinazotokea nchini. Huwasaidia pia katika mawasiliano na hata kujuliana hali na watu wengine. Lakini pia simu hizi zina madhara, kwani wanafunzi wengi huzifanya simu kama vyombo vyao vya kufanyia maovu. Watu pia hutumia simu hizo kufanyia ufisadi. Ukiangalia katika tarakilishi, pia nazo ni nzuri katika shuleni kwa kusaidia katika kuchapisha kazi fulani, kusaidia kuhifadhi muda, lakini pia hufanya wanafunzi wawe wavivu katika kuandika. Kwani watakua wanategemea kazi kutoka kwa tarakilishi kwani wanafunzi huweza pia kuingia katika ofisi za walimu na kuangalia ponografia kwenye tarakilishi za walimu. Ukija katika upande wa runinga, ni kweli runinga zinazo manufaa tena sana. Runinga inaweza kutumika kusomea na hata pia kusaidia katika kupata habari zote za duniani zinazoendelea. Wanafunzi wengi siku hizi kazi yao kubwa kwenye runinga ni kuangalia sinema na muziki. Ni kweli kuwa baadhi ya sinema na muziki hiyo ina mafunzo lakini wanafunzi hawatazami ili kupata mafunzo bali hutazama ili kufurahia na kupoteza wakati. Hili limewafanya mpaka hawatii bidii katika masomo yao, kazi ni kuangalia sinema na muziki na kuiga tabia mbaya mbaya. Teknolojia zilizoletwa kwa wanafunzi wa sekondari ni nzuri kwa sababu zina faida katika masomo yao na hata mambo mengine. Lakini teknolojia hizo hizo zimewaharibu sana wanafunzi na kuwafanya wafanye matendo mabaya. Kwani kizuri hakikosi Ila.
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika nini
{ "text": [ "Matumizi ya vitu" ] }
3130_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia imeleta vitu mbalimbali katika maisha ya binadamu ambayo yana faida na madhara. Teknolojia hii imeleta manufaa katika maisha ya binadamu kwani imeimarisha maisha ya binadamu na pia imeleta madhara kwani pia imezorotesha maisha ya binadamu. Kwa wanafunzi wa shule ya upili, teknolojia imeleta manufaa na hata madhara. Teknolojia hizo ni kama vile tarakilishi, kikokotoo, simu na zenginezo. Teknolojia hizi kama hiyo simu, ni nzuri kwani hata wanafunzi huzitumia kusoma na hata kupata habari zinazotokea nchini. Huwasaidia pia katika mawasiliano na hata kujuliana hali na watu wengine. Lakini pia simu hizi zina madhara, kwani wanafunzi wengi huzifanya simu kama vyombo vyao vya kufanyia maovu. Watu pia hutumia simu hizo kufanyia ufisadi. Ukiangalia katika tarakilishi, pia nazo ni nzuri katika shuleni kwa kusaidia katika kuchapisha kazi fulani, kusaidia kuhifadhi muda, lakini pia hufanya wanafunzi wawe wavivu katika kuandika. Kwani watakua wanategemea kazi kutoka kwa tarakilishi kwani wanafunzi huweza pia kuingia katika ofisi za walimu na kuangalia ponografia kwenye tarakilishi za walimu. Ukija katika upande wa runinga, ni kweli runinga zinazo manufaa tena sana. Runinga inaweza kutumika kusomea na hata pia kusaidia katika kupata habari zote za duniani zinazoendelea. Wanafunzi wengi siku hizi kazi yao kubwa kwenye runinga ni kuangalia sinema na muziki. Ni kweli kuwa baadhi ya sinema na muziki hiyo ina mafunzo lakini wanafunzi hawatazami ili kupata mafunzo bali hutazama ili kufurahia na kupoteza wakati. Hili limewafanya mpaka hawatii bidii katika masomo yao, kazi ni kuangalia sinema na muziki na kuiga tabia mbaya mbaya. Teknolojia zilizoletwa kwa wanafunzi wa sekondari ni nzuri kwa sababu zina faida katika masomo yao na hata mambo mengine. Lakini teknolojia hizo hizo zimewaharibu sana wanafunzi na kuwafanya wafanye matendo mabaya. Kwani kizuri hakikosi Ila.
Nini kimeleta faida katika maisha ya binadamu
{ "text": [ "Teknolojia" ] }
3130_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia imeleta vitu mbalimbali katika maisha ya binadamu ambayo yana faida na madhara. Teknolojia hii imeleta manufaa katika maisha ya binadamu kwani imeimarisha maisha ya binadamu na pia imeleta madhara kwani pia imezorotesha maisha ya binadamu. Kwa wanafunzi wa shule ya upili, teknolojia imeleta manufaa na hata madhara. Teknolojia hizo ni kama vile tarakilishi, kikokotoo, simu na zenginezo. Teknolojia hizi kama hiyo simu, ni nzuri kwani hata wanafunzi huzitumia kusoma na hata kupata habari zinazotokea nchini. Huwasaidia pia katika mawasiliano na hata kujuliana hali na watu wengine. Lakini pia simu hizi zina madhara, kwani wanafunzi wengi huzifanya simu kama vyombo vyao vya kufanyia maovu. Watu pia hutumia simu hizo kufanyia ufisadi. Ukiangalia katika tarakilishi, pia nazo ni nzuri katika shuleni kwa kusaidia katika kuchapisha kazi fulani, kusaidia kuhifadhi muda, lakini pia hufanya wanafunzi wawe wavivu katika kuandika. Kwani watakua wanategemea kazi kutoka kwa tarakilishi kwani wanafunzi huweza pia kuingia katika ofisi za walimu na kuangalia ponografia kwenye tarakilishi za walimu. Ukija katika upande wa runinga, ni kweli runinga zinazo manufaa tena sana. Runinga inaweza kutumika kusomea na hata pia kusaidia katika kupata habari zote za duniani zinazoendelea. Wanafunzi wengi siku hizi kazi yao kubwa kwenye runinga ni kuangalia sinema na muziki. Ni kweli kuwa baadhi ya sinema na muziki hiyo ina mafunzo lakini wanafunzi hawatazami ili kupata mafunzo bali hutazama ili kufurahia na kupoteza wakati. Hili limewafanya mpaka hawatii bidii katika masomo yao, kazi ni kuangalia sinema na muziki na kuiga tabia mbaya mbaya. Teknolojia zilizoletwa kwa wanafunzi wa sekondari ni nzuri kwa sababu zina faida katika masomo yao na hata mambo mengine. Lakini teknolojia hizo hizo zimewaharibu sana wanafunzi na kuwafanya wafanye matendo mabaya. Kwani kizuri hakikosi Ila.
Simu ni nzuri kwa wanafunzi kwani huzitumia kusoma na kupata nini
{ "text": [ "Habari" ] }
3130_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia imeleta vitu mbalimbali katika maisha ya binadamu ambayo yana faida na madhara. Teknolojia hii imeleta manufaa katika maisha ya binadamu kwani imeimarisha maisha ya binadamu na pia imeleta madhara kwani pia imezorotesha maisha ya binadamu. Kwa wanafunzi wa shule ya upili, teknolojia imeleta manufaa na hata madhara. Teknolojia hizo ni kama vile tarakilishi, kikokotoo, simu na zenginezo. Teknolojia hizi kama hiyo simu, ni nzuri kwani hata wanafunzi huzitumia kusoma na hata kupata habari zinazotokea nchini. Huwasaidia pia katika mawasiliano na hata kujuliana hali na watu wengine. Lakini pia simu hizi zina madhara, kwani wanafunzi wengi huzifanya simu kama vyombo vyao vya kufanyia maovu. Watu pia hutumia simu hizo kufanyia ufisadi. Ukiangalia katika tarakilishi, pia nazo ni nzuri katika shuleni kwa kusaidia katika kuchapisha kazi fulani, kusaidia kuhifadhi muda, lakini pia hufanya wanafunzi wawe wavivu katika kuandika. Kwani watakua wanategemea kazi kutoka kwa tarakilishi kwani wanafunzi huweza pia kuingia katika ofisi za walimu na kuangalia ponografia kwenye tarakilishi za walimu. Ukija katika upande wa runinga, ni kweli runinga zinazo manufaa tena sana. Runinga inaweza kutumika kusomea na hata pia kusaidia katika kupata habari zote za duniani zinazoendelea. Wanafunzi wengi siku hizi kazi yao kubwa kwenye runinga ni kuangalia sinema na muziki. Ni kweli kuwa baadhi ya sinema na muziki hiyo ina mafunzo lakini wanafunzi hawatazami ili kupata mafunzo bali hutazama ili kufurahia na kupoteza wakati. Hili limewafanya mpaka hawatii bidii katika masomo yao, kazi ni kuangalia sinema na muziki na kuiga tabia mbaya mbaya. Teknolojia zilizoletwa kwa wanafunzi wa sekondari ni nzuri kwa sababu zina faida katika masomo yao na hata mambo mengine. Lakini teknolojia hizo hizo zimewaharibu sana wanafunzi na kuwafanya wafanye matendo mabaya. Kwani kizuri hakikosi Ila.
Nini huwafanya wanafunzi wawe wavivu katika kuandika
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3130_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia imeleta vitu mbalimbali katika maisha ya binadamu ambayo yana faida na madhara. Teknolojia hii imeleta manufaa katika maisha ya binadamu kwani imeimarisha maisha ya binadamu na pia imeleta madhara kwani pia imezorotesha maisha ya binadamu. Kwa wanafunzi wa shule ya upili, teknolojia imeleta manufaa na hata madhara. Teknolojia hizo ni kama vile tarakilishi, kikokotoo, simu na zenginezo. Teknolojia hizi kama hiyo simu, ni nzuri kwani hata wanafunzi huzitumia kusoma na hata kupata habari zinazotokea nchini. Huwasaidia pia katika mawasiliano na hata kujuliana hali na watu wengine. Lakini pia simu hizi zina madhara, kwani wanafunzi wengi huzifanya simu kama vyombo vyao vya kufanyia maovu. Watu pia hutumia simu hizo kufanyia ufisadi. Ukiangalia katika tarakilishi, pia nazo ni nzuri katika shuleni kwa kusaidia katika kuchapisha kazi fulani, kusaidia kuhifadhi muda, lakini pia hufanya wanafunzi wawe wavivu katika kuandika. Kwani watakua wanategemea kazi kutoka kwa tarakilishi kwani wanafunzi huweza pia kuingia katika ofisi za walimu na kuangalia ponografia kwenye tarakilishi za walimu. Ukija katika upande wa runinga, ni kweli runinga zinazo manufaa tena sana. Runinga inaweza kutumika kusomea na hata pia kusaidia katika kupata habari zote za duniani zinazoendelea. Wanafunzi wengi siku hizi kazi yao kubwa kwenye runinga ni kuangalia sinema na muziki. Ni kweli kuwa baadhi ya sinema na muziki hiyo ina mafunzo lakini wanafunzi hawatazami ili kupata mafunzo bali hutazama ili kufurahia na kupoteza wakati. Hili limewafanya mpaka hawatii bidii katika masomo yao, kazi ni kuangalia sinema na muziki na kuiga tabia mbaya mbaya. Teknolojia zilizoletwa kwa wanafunzi wa sekondari ni nzuri kwa sababu zina faida katika masomo yao na hata mambo mengine. Lakini teknolojia hizo hizo zimewaharibu sana wanafunzi na kuwafanya wafanye matendo mabaya. Kwani kizuri hakikosi Ila.
Mbona teknolojia zilizoletwa kwa wanafunzi ni nzuri
{ "text": [ "Ni kwa sababu zinawasaidia katika masomo yao" ] }
3131_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba asiyefuata ushauri wa waliomtangulia hufikwa na mambo magumu. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu umuhimu wa kufuata ushauri wa wazazi wao au walio wazidi maarifa na umri. Bahati alikuwa mtoto mzuri katika kijiji cha Mtopanga. Bahati alikuwa mtoto mrembo hadi wengi walimsifia. Bahati alikuwa mtoto aliyeumbwa akaumbika. Macho yake makubwa kama gololi, weupe wake kama embe dodo. Kiuno chake kilicho pangika ungedhani amejiumba mwenyewe. Hakukuwa na msichana mwingine katika kijiji hicho aliye na urembo kama wa Bahati. Kwa kweli alikuwa mrembo utadhani ni malaika wa Mungu. Licha ya kuwa na urembo huo wote, Bahati alikuwa msichana aliyekuwa na tabia mbaya. Hakuwa na heshima kwa wazazi wake hata watu wengine. Urembo wake ulimdanganya, hakutaka kusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Bahati alikuwa malaya mkubwa ambaye alicheza na wanaume karibia wote katika kijiji chao. Wazazi wake Bahati walimkanya lakini aliwaambia kuwa ni maisha yake. Kuna wakati pia wazazi wake walipata kumchapa, naye alitaka kupigana nao. Wazazi hao walifikia wakati wakachoka na kumuachia dunia. Hawakukosea wahenga waliposema kuwa kisifiwacho sana hakidumu na ngoma ikipigwa sana haidumu. Bahati alifanya vituko vyake bila kujali. Baada ya muda si mrefu, Bahati alipata maradhi ya ukimwi. Bahati alizificha habari hizo kwa wazazi wake kwani hakujua vipi atawaelezea. Mwishowe, Bahati aliamua kuwaambia wazazi wake habari hizo kwani mambo yalizidi kuwa mabaya. Wazazi wake hawakuwa na la kufanya kwani tayari Bahati alikuwa ashaathirika kwa muda mrefu, kilichokuwa kimebaki ni kungojea siku yake ya kuondoka duniani. Hadithi hii ni funzo kwa wale ambao hawafuati mafunzo ya wavyele wao. Tunatakiwa kuwaheshimu na kufuata mafunzo yao.
Bahati aliisha katika kijiji ipi?
{ "text": [ "Mtopanga" ] }
3131_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba asiyefuata ushauri wa waliomtangulia hufikwa na mambo magumu. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu umuhimu wa kufuata ushauri wa wazazi wao au walio wazidi maarifa na umri. Bahati alikuwa mtoto mzuri katika kijiji cha Mtopanga. Bahati alikuwa mtoto mrembo hadi wengi walimsifia. Bahati alikuwa mtoto aliyeumbwa akaumbika. Macho yake makubwa kama gololi, weupe wake kama embe dodo. Kiuno chake kilicho pangika ungedhani amejiumba mwenyewe. Hakukuwa na msichana mwingine katika kijiji hicho aliye na urembo kama wa Bahati. Kwa kweli alikuwa mrembo utadhani ni malaika wa Mungu. Licha ya kuwa na urembo huo wote, Bahati alikuwa msichana aliyekuwa na tabia mbaya. Hakuwa na heshima kwa wazazi wake hata watu wengine. Urembo wake ulimdanganya, hakutaka kusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Bahati alikuwa malaya mkubwa ambaye alicheza na wanaume karibia wote katika kijiji chao. Wazazi wake Bahati walimkanya lakini aliwaambia kuwa ni maisha yake. Kuna wakati pia wazazi wake walipata kumchapa, naye alitaka kupigana nao. Wazazi hao walifikia wakati wakachoka na kumuachia dunia. Hawakukosea wahenga waliposema kuwa kisifiwacho sana hakidumu na ngoma ikipigwa sana haidumu. Bahati alifanya vituko vyake bila kujali. Baada ya muda si mrefu, Bahati alipata maradhi ya ukimwi. Bahati alizificha habari hizo kwa wazazi wake kwani hakujua vipi atawaelezea. Mwishowe, Bahati aliamua kuwaambia wazazi wake habari hizo kwani mambo yalizidi kuwa mabaya. Wazazi wake hawakuwa na la kufanya kwani tayari Bahati alikuwa ashaathirika kwa muda mrefu, kilichokuwa kimebaki ni kungojea siku yake ya kuondoka duniani. Hadithi hii ni funzo kwa wale ambao hawafuati mafunzo ya wavyele wao. Tunatakiwa kuwaheshimu na kufuata mafunzo yao.
Nini kilipendeza kuhusu Bahati?
{ "text": [ "Urembo wake" ] }
3131_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba asiyefuata ushauri wa waliomtangulia hufikwa na mambo magumu. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu umuhimu wa kufuata ushauri wa wazazi wao au walio wazidi maarifa na umri. Bahati alikuwa mtoto mzuri katika kijiji cha Mtopanga. Bahati alikuwa mtoto mrembo hadi wengi walimsifia. Bahati alikuwa mtoto aliyeumbwa akaumbika. Macho yake makubwa kama gololi, weupe wake kama embe dodo. Kiuno chake kilicho pangika ungedhani amejiumba mwenyewe. Hakukuwa na msichana mwingine katika kijiji hicho aliye na urembo kama wa Bahati. Kwa kweli alikuwa mrembo utadhani ni malaika wa Mungu. Licha ya kuwa na urembo huo wote, Bahati alikuwa msichana aliyekuwa na tabia mbaya. Hakuwa na heshima kwa wazazi wake hata watu wengine. Urembo wake ulimdanganya, hakutaka kusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Bahati alikuwa malaya mkubwa ambaye alicheza na wanaume karibia wote katika kijiji chao. Wazazi wake Bahati walimkanya lakini aliwaambia kuwa ni maisha yake. Kuna wakati pia wazazi wake walipata kumchapa, naye alitaka kupigana nao. Wazazi hao walifikia wakati wakachoka na kumuachia dunia. Hawakukosea wahenga waliposema kuwa kisifiwacho sana hakidumu na ngoma ikipigwa sana haidumu. Bahati alifanya vituko vyake bila kujali. Baada ya muda si mrefu, Bahati alipata maradhi ya ukimwi. Bahati alizificha habari hizo kwa wazazi wake kwani hakujua vipi atawaelezea. Mwishowe, Bahati aliamua kuwaambia wazazi wake habari hizo kwani mambo yalizidi kuwa mabaya. Wazazi wake hawakuwa na la kufanya kwani tayari Bahati alikuwa ashaathirika kwa muda mrefu, kilichokuwa kimebaki ni kungojea siku yake ya kuondoka duniani. Hadithi hii ni funzo kwa wale ambao hawafuati mafunzo ya wavyele wao. Tunatakiwa kuwaheshimu na kufuata mafunzo yao.
Bahati alikua mrembo utadhani ni nani?
{ "text": [ "Malaika wa Mungu" ] }
3131_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba asiyefuata ushauri wa waliomtangulia hufikwa na mambo magumu. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu umuhimu wa kufuata ushauri wa wazazi wao au walio wazidi maarifa na umri. Bahati alikuwa mtoto mzuri katika kijiji cha Mtopanga. Bahati alikuwa mtoto mrembo hadi wengi walimsifia. Bahati alikuwa mtoto aliyeumbwa akaumbika. Macho yake makubwa kama gololi, weupe wake kama embe dodo. Kiuno chake kilicho pangika ungedhani amejiumba mwenyewe. Hakukuwa na msichana mwingine katika kijiji hicho aliye na urembo kama wa Bahati. Kwa kweli alikuwa mrembo utadhani ni malaika wa Mungu. Licha ya kuwa na urembo huo wote, Bahati alikuwa msichana aliyekuwa na tabia mbaya. Hakuwa na heshima kwa wazazi wake hata watu wengine. Urembo wake ulimdanganya, hakutaka kusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Bahati alikuwa malaya mkubwa ambaye alicheza na wanaume karibia wote katika kijiji chao. Wazazi wake Bahati walimkanya lakini aliwaambia kuwa ni maisha yake. Kuna wakati pia wazazi wake walipata kumchapa, naye alitaka kupigana nao. Wazazi hao walifikia wakati wakachoka na kumuachia dunia. Hawakukosea wahenga waliposema kuwa kisifiwacho sana hakidumu na ngoma ikipigwa sana haidumu. Bahati alifanya vituko vyake bila kujali. Baada ya muda si mrefu, Bahati alipata maradhi ya ukimwi. Bahati alizificha habari hizo kwa wazazi wake kwani hakujua vipi atawaelezea. Mwishowe, Bahati aliamua kuwaambia wazazi wake habari hizo kwani mambo yalizidi kuwa mabaya. Wazazi wake hawakuwa na la kufanya kwani tayari Bahati alikuwa ashaathirika kwa muda mrefu, kilichokuwa kimebaki ni kungojea siku yake ya kuondoka duniani. Hadithi hii ni funzo kwa wale ambao hawafuati mafunzo ya wavyele wao. Tunatakiwa kuwaheshimu na kufuata mafunzo yao.
Kisifiwacho sana hakifanyi nini?
{ "text": [ "Hakidumu" ] }
3131_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba asiyefuata ushauri wa waliomtangulia hufikwa na mambo magumu. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu umuhimu wa kufuata ushauri wa wazazi wao au walio wazidi maarifa na umri. Bahati alikuwa mtoto mzuri katika kijiji cha Mtopanga. Bahati alikuwa mtoto mrembo hadi wengi walimsifia. Bahati alikuwa mtoto aliyeumbwa akaumbika. Macho yake makubwa kama gololi, weupe wake kama embe dodo. Kiuno chake kilicho pangika ungedhani amejiumba mwenyewe. Hakukuwa na msichana mwingine katika kijiji hicho aliye na urembo kama wa Bahati. Kwa kweli alikuwa mrembo utadhani ni malaika wa Mungu. Licha ya kuwa na urembo huo wote, Bahati alikuwa msichana aliyekuwa na tabia mbaya. Hakuwa na heshima kwa wazazi wake hata watu wengine. Urembo wake ulimdanganya, hakutaka kusikia la mwadhini wala mteka maji msikitini. Bahati alikuwa malaya mkubwa ambaye alicheza na wanaume karibia wote katika kijiji chao. Wazazi wake Bahati walimkanya lakini aliwaambia kuwa ni maisha yake. Kuna wakati pia wazazi wake walipata kumchapa, naye alitaka kupigana nao. Wazazi hao walifikia wakati wakachoka na kumuachia dunia. Hawakukosea wahenga waliposema kuwa kisifiwacho sana hakidumu na ngoma ikipigwa sana haidumu. Bahati alifanya vituko vyake bila kujali. Baada ya muda si mrefu, Bahati alipata maradhi ya ukimwi. Bahati alizificha habari hizo kwa wazazi wake kwani hakujua vipi atawaelezea. Mwishowe, Bahati aliamua kuwaambia wazazi wake habari hizo kwani mambo yalizidi kuwa mabaya. Wazazi wake hawakuwa na la kufanya kwani tayari Bahati alikuwa ashaathirika kwa muda mrefu, kilichokuwa kimebaki ni kungojea siku yake ya kuondoka duniani. Hadithi hii ni funzo kwa wale ambao hawafuati mafunzo ya wavyele wao. Tunatakiwa kuwaheshimu na kufuata mafunzo yao.
Asiyefuata ushauri wa watu wakuu hufanya nini?
{ "text": [ "Hufikwa na mambo magumu" ] }
3132_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, kabla ya kujua faida za teknolojia na madhara yake shuleni, teknolojia ni nini? Huu ni utumiaji wa vyombo vya kisasa ili kurahisisha mambo au ili kufanya kazi kwa wepesi. Vyombo hivi ni kama vile kikokotoo, simu za mitandao ya nchi nyingine kwenye dunia nzima, tarakilishi, pasi za stima, na vinginevyo. Vyombo vingi ambavyo vimefanya kazi ziwe nyepesi na haraka hapo awali vilikuwa havipo ila tu ni juu ya wanasayansi wetu wakakamavu na wenye bidii ndiyo na waliovumbua vyombo hivi. Vyombo hivi vinasaidia sana katika nyanja tofauti tofauti kama vile mawasiliano, ufundi, viwandani na hata katika elimu kwa wanafunzi. Naam, ama kweli bidii za wanasayansi wetu kama za mchwa anayejenga kidurusu chake kwa kutumia mate zimefua dafu na bado zinaendelea zaidi hususan kwa elimu. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi wa shule za sekondari kwani somo la hisabati ambalo linaaminiwa kuwa na changamoto kubwa kwa wanafunzi juu ya utumiaji sana wa akili. Sio akili tu, bali ni akili iliyotulia na yenye umakini wa kiwango cha juu. Wanasayansi wameweza kuvumbua kikokotoo ambacho kimerahisisha kazi katika hesabu kwa zile nambari kubwa kubwa ambazo zilihitaji kuongezwa, kupunguzwa na hata kujumlishwa. Pia kimewezesha wanafunzi ambao wanafanya mitihani yao ya hisabati kumaliza maswali yao yote. Hii ni kwa sababu inaaminika kuwa wanafunzi hawamalizi maswali yao yote kwa sababu ya muda mfupi. Pia vyombo kama vile tarakilishi vimesaidia sana wanafunzi kwani vimewasaidia kuelewa mambo kwa wepesi hasa mambo yanayoendelea katika nchi zingine. Kwa kutumia tarakilishi, wanaona nchi hizo zilivyolingana na zingine hivyo basi kusaidia wanafunzi kutosahau haraka kile walicho kisoma kupitia njia ya utazamaji. Teknolojia imesaidia walimu kutumia simu zao zenye mitandao kupata njia mbadala za kusomesha wanafunzi. Hii ilisaidia sana wanafunzi kwani walikuwa na njia nyingi za kutumia kusoma kuhusu jambo fulani. Waliweza kutambua njia walizozielewa zaidi ilimradi wakisahau moja wanaweza kutumia nyingine. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa chema hakikosi ila hivyo basi mbali na uzuri wa teknolojia pia ina madhara yake kwa wanafunzi. Kule kusoma kwa wanafunzi kuhusu nchi zingine, maendeleo yao ya kiuchumi katika somo la historia kupitia mitandao, wengi wa wanafunzi huanza kupeleka upendo na uzalendo wao kwa nchi nyingine kwani wanaiona ina maendeleo mazuri kushinda nchi yao hivyo basi kuipenda. Simu ambazo zina wasaidia wanafunzi kusoma kupitia mitandao wakiwa nyumbani kwao zina madhara. Wanafunzi badala wazitumie kama kigezo chao cha kutumia masomoni, wanazitumia kwa mambo mengine machafu mno kama vile wanazitumia kutafuta picha za kimapenzi ambazo huchangia katika kudhoofika kwa akili zao. Pia vyombo kama vile kikokotoo vimefanya wanafunzi kuwa wavivu wa kufikiria kwani wanajiambia “hakuna haja ya kutumia kichwa kuna kifaa cha kurahisisha mambo. Sisi ni wanafunzi wa kidijitali.” Hii pia inasababisha kufeli kwa masomo mengine kwani pia wanataka njia rahisi za kufanya au kujibu maswali. Hapa ndipo nilipo amini na kusadiki ya kwamba hakuna kizuri kisicho na ila.
Teknolojia inahusu matumizi ya vyombo gani
{ "text": [ "vya kisasa" ] }
3132_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, kabla ya kujua faida za teknolojia na madhara yake shuleni, teknolojia ni nini? Huu ni utumiaji wa vyombo vya kisasa ili kurahisisha mambo au ili kufanya kazi kwa wepesi. Vyombo hivi ni kama vile kikokotoo, simu za mitandao ya nchi nyingine kwenye dunia nzima, tarakilishi, pasi za stima, na vinginevyo. Vyombo vingi ambavyo vimefanya kazi ziwe nyepesi na haraka hapo awali vilikuwa havipo ila tu ni juu ya wanasayansi wetu wakakamavu na wenye bidii ndiyo na waliovumbua vyombo hivi. Vyombo hivi vinasaidia sana katika nyanja tofauti tofauti kama vile mawasiliano, ufundi, viwandani na hata katika elimu kwa wanafunzi. Naam, ama kweli bidii za wanasayansi wetu kama za mchwa anayejenga kidurusu chake kwa kutumia mate zimefua dafu na bado zinaendelea zaidi hususan kwa elimu. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi wa shule za sekondari kwani somo la hisabati ambalo linaaminiwa kuwa na changamoto kubwa kwa wanafunzi juu ya utumiaji sana wa akili. Sio akili tu, bali ni akili iliyotulia na yenye umakini wa kiwango cha juu. Wanasayansi wameweza kuvumbua kikokotoo ambacho kimerahisisha kazi katika hesabu kwa zile nambari kubwa kubwa ambazo zilihitaji kuongezwa, kupunguzwa na hata kujumlishwa. Pia kimewezesha wanafunzi ambao wanafanya mitihani yao ya hisabati kumaliza maswali yao yote. Hii ni kwa sababu inaaminika kuwa wanafunzi hawamalizi maswali yao yote kwa sababu ya muda mfupi. Pia vyombo kama vile tarakilishi vimesaidia sana wanafunzi kwani vimewasaidia kuelewa mambo kwa wepesi hasa mambo yanayoendelea katika nchi zingine. Kwa kutumia tarakilishi, wanaona nchi hizo zilivyolingana na zingine hivyo basi kusaidia wanafunzi kutosahau haraka kile walicho kisoma kupitia njia ya utazamaji. Teknolojia imesaidia walimu kutumia simu zao zenye mitandao kupata njia mbadala za kusomesha wanafunzi. Hii ilisaidia sana wanafunzi kwani walikuwa na njia nyingi za kutumia kusoma kuhusu jambo fulani. Waliweza kutambua njia walizozielewa zaidi ilimradi wakisahau moja wanaweza kutumia nyingine. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa chema hakikosi ila hivyo basi mbali na uzuri wa teknolojia pia ina madhara yake kwa wanafunzi. Kule kusoma kwa wanafunzi kuhusu nchi zingine, maendeleo yao ya kiuchumi katika somo la historia kupitia mitandao, wengi wa wanafunzi huanza kupeleka upendo na uzalendo wao kwa nchi nyingine kwani wanaiona ina maendeleo mazuri kushinda nchi yao hivyo basi kuipenda. Simu ambazo zina wasaidia wanafunzi kusoma kupitia mitandao wakiwa nyumbani kwao zina madhara. Wanafunzi badala wazitumie kama kigezo chao cha kutumia masomoni, wanazitumia kwa mambo mengine machafu mno kama vile wanazitumia kutafuta picha za kimapenzi ambazo huchangia katika kudhoofika kwa akili zao. Pia vyombo kama vile kikokotoo vimefanya wanafunzi kuwa wavivu wa kufikiria kwani wanajiambia “hakuna haja ya kutumia kichwa kuna kifaa cha kurahisisha mambo. Sisi ni wanafunzi wa kidijitali.” Hii pia inasababisha kufeli kwa masomo mengine kwani pia wanataka njia rahisi za kufanya au kujibu maswali. Hapa ndipo nilipo amini na kusadiki ya kwamba hakuna kizuri kisicho na ila.
Somo gani limeaminiwa kuwa changamoto kubwa
{ "text": [ "Hisabati" ] }
3132_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, kabla ya kujua faida za teknolojia na madhara yake shuleni, teknolojia ni nini? Huu ni utumiaji wa vyombo vya kisasa ili kurahisisha mambo au ili kufanya kazi kwa wepesi. Vyombo hivi ni kama vile kikokotoo, simu za mitandao ya nchi nyingine kwenye dunia nzima, tarakilishi, pasi za stima, na vinginevyo. Vyombo vingi ambavyo vimefanya kazi ziwe nyepesi na haraka hapo awali vilikuwa havipo ila tu ni juu ya wanasayansi wetu wakakamavu na wenye bidii ndiyo na waliovumbua vyombo hivi. Vyombo hivi vinasaidia sana katika nyanja tofauti tofauti kama vile mawasiliano, ufundi, viwandani na hata katika elimu kwa wanafunzi. Naam, ama kweli bidii za wanasayansi wetu kama za mchwa anayejenga kidurusu chake kwa kutumia mate zimefua dafu na bado zinaendelea zaidi hususan kwa elimu. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi wa shule za sekondari kwani somo la hisabati ambalo linaaminiwa kuwa na changamoto kubwa kwa wanafunzi juu ya utumiaji sana wa akili. Sio akili tu, bali ni akili iliyotulia na yenye umakini wa kiwango cha juu. Wanasayansi wameweza kuvumbua kikokotoo ambacho kimerahisisha kazi katika hesabu kwa zile nambari kubwa kubwa ambazo zilihitaji kuongezwa, kupunguzwa na hata kujumlishwa. Pia kimewezesha wanafunzi ambao wanafanya mitihani yao ya hisabati kumaliza maswali yao yote. Hii ni kwa sababu inaaminika kuwa wanafunzi hawamalizi maswali yao yote kwa sababu ya muda mfupi. Pia vyombo kama vile tarakilishi vimesaidia sana wanafunzi kwani vimewasaidia kuelewa mambo kwa wepesi hasa mambo yanayoendelea katika nchi zingine. Kwa kutumia tarakilishi, wanaona nchi hizo zilivyolingana na zingine hivyo basi kusaidia wanafunzi kutosahau haraka kile walicho kisoma kupitia njia ya utazamaji. Teknolojia imesaidia walimu kutumia simu zao zenye mitandao kupata njia mbadala za kusomesha wanafunzi. Hii ilisaidia sana wanafunzi kwani walikuwa na njia nyingi za kutumia kusoma kuhusu jambo fulani. Waliweza kutambua njia walizozielewa zaidi ilimradi wakisahau moja wanaweza kutumia nyingine. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa chema hakikosi ila hivyo basi mbali na uzuri wa teknolojia pia ina madhara yake kwa wanafunzi. Kule kusoma kwa wanafunzi kuhusu nchi zingine, maendeleo yao ya kiuchumi katika somo la historia kupitia mitandao, wengi wa wanafunzi huanza kupeleka upendo na uzalendo wao kwa nchi nyingine kwani wanaiona ina maendeleo mazuri kushinda nchi yao hivyo basi kuipenda. Simu ambazo zina wasaidia wanafunzi kusoma kupitia mitandao wakiwa nyumbani kwao zina madhara. Wanafunzi badala wazitumie kama kigezo chao cha kutumia masomoni, wanazitumia kwa mambo mengine machafu mno kama vile wanazitumia kutafuta picha za kimapenzi ambazo huchangia katika kudhoofika kwa akili zao. Pia vyombo kama vile kikokotoo vimefanya wanafunzi kuwa wavivu wa kufikiria kwani wanajiambia “hakuna haja ya kutumia kichwa kuna kifaa cha kurahisisha mambo. Sisi ni wanafunzi wa kidijitali.” Hii pia inasababisha kufeli kwa masomo mengine kwani pia wanataka njia rahisi za kufanya au kujibu maswali. Hapa ndipo nilipo amini na kusadiki ya kwamba hakuna kizuri kisicho na ila.
Simu zimewasaidia wanafunzi kusoma wakiwa wapi
{ "text": [ "nyumbani" ] }
3132_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, kabla ya kujua faida za teknolojia na madhara yake shuleni, teknolojia ni nini? Huu ni utumiaji wa vyombo vya kisasa ili kurahisisha mambo au ili kufanya kazi kwa wepesi. Vyombo hivi ni kama vile kikokotoo, simu za mitandao ya nchi nyingine kwenye dunia nzima, tarakilishi, pasi za stima, na vinginevyo. Vyombo vingi ambavyo vimefanya kazi ziwe nyepesi na haraka hapo awali vilikuwa havipo ila tu ni juu ya wanasayansi wetu wakakamavu na wenye bidii ndiyo na waliovumbua vyombo hivi. Vyombo hivi vinasaidia sana katika nyanja tofauti tofauti kama vile mawasiliano, ufundi, viwandani na hata katika elimu kwa wanafunzi. Naam, ama kweli bidii za wanasayansi wetu kama za mchwa anayejenga kidurusu chake kwa kutumia mate zimefua dafu na bado zinaendelea zaidi hususan kwa elimu. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi wa shule za sekondari kwani somo la hisabati ambalo linaaminiwa kuwa na changamoto kubwa kwa wanafunzi juu ya utumiaji sana wa akili. Sio akili tu, bali ni akili iliyotulia na yenye umakini wa kiwango cha juu. Wanasayansi wameweza kuvumbua kikokotoo ambacho kimerahisisha kazi katika hesabu kwa zile nambari kubwa kubwa ambazo zilihitaji kuongezwa, kupunguzwa na hata kujumlishwa. Pia kimewezesha wanafunzi ambao wanafanya mitihani yao ya hisabati kumaliza maswali yao yote. Hii ni kwa sababu inaaminika kuwa wanafunzi hawamalizi maswali yao yote kwa sababu ya muda mfupi. Pia vyombo kama vile tarakilishi vimesaidia sana wanafunzi kwani vimewasaidia kuelewa mambo kwa wepesi hasa mambo yanayoendelea katika nchi zingine. Kwa kutumia tarakilishi, wanaona nchi hizo zilivyolingana na zingine hivyo basi kusaidia wanafunzi kutosahau haraka kile walicho kisoma kupitia njia ya utazamaji. Teknolojia imesaidia walimu kutumia simu zao zenye mitandao kupata njia mbadala za kusomesha wanafunzi. Hii ilisaidia sana wanafunzi kwani walikuwa na njia nyingi za kutumia kusoma kuhusu jambo fulani. Waliweza kutambua njia walizozielewa zaidi ilimradi wakisahau moja wanaweza kutumia nyingine. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa chema hakikosi ila hivyo basi mbali na uzuri wa teknolojia pia ina madhara yake kwa wanafunzi. Kule kusoma kwa wanafunzi kuhusu nchi zingine, maendeleo yao ya kiuchumi katika somo la historia kupitia mitandao, wengi wa wanafunzi huanza kupeleka upendo na uzalendo wao kwa nchi nyingine kwani wanaiona ina maendeleo mazuri kushinda nchi yao hivyo basi kuipenda. Simu ambazo zina wasaidia wanafunzi kusoma kupitia mitandao wakiwa nyumbani kwao zina madhara. Wanafunzi badala wazitumie kama kigezo chao cha kutumia masomoni, wanazitumia kwa mambo mengine machafu mno kama vile wanazitumia kutafuta picha za kimapenzi ambazo huchangia katika kudhoofika kwa akili zao. Pia vyombo kama vile kikokotoo vimefanya wanafunzi kuwa wavivu wa kufikiria kwani wanajiambia “hakuna haja ya kutumia kichwa kuna kifaa cha kurahisisha mambo. Sisi ni wanafunzi wa kidijitali.” Hii pia inasababisha kufeli kwa masomo mengine kwani pia wanataka njia rahisi za kufanya au kujibu maswali. Hapa ndipo nilipo amini na kusadiki ya kwamba hakuna kizuri kisicho na ila.
Picha gani huchangia katika kudhoofika kwa akili za wanafunzi
{ "text": [ "za mapenzi" ] }
3132_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, kabla ya kujua faida za teknolojia na madhara yake shuleni, teknolojia ni nini? Huu ni utumiaji wa vyombo vya kisasa ili kurahisisha mambo au ili kufanya kazi kwa wepesi. Vyombo hivi ni kama vile kikokotoo, simu za mitandao ya nchi nyingine kwenye dunia nzima, tarakilishi, pasi za stima, na vinginevyo. Vyombo vingi ambavyo vimefanya kazi ziwe nyepesi na haraka hapo awali vilikuwa havipo ila tu ni juu ya wanasayansi wetu wakakamavu na wenye bidii ndiyo na waliovumbua vyombo hivi. Vyombo hivi vinasaidia sana katika nyanja tofauti tofauti kama vile mawasiliano, ufundi, viwandani na hata katika elimu kwa wanafunzi. Naam, ama kweli bidii za wanasayansi wetu kama za mchwa anayejenga kidurusu chake kwa kutumia mate zimefua dafu na bado zinaendelea zaidi hususan kwa elimu. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi wa shule za sekondari kwani somo la hisabati ambalo linaaminiwa kuwa na changamoto kubwa kwa wanafunzi juu ya utumiaji sana wa akili. Sio akili tu, bali ni akili iliyotulia na yenye umakini wa kiwango cha juu. Wanasayansi wameweza kuvumbua kikokotoo ambacho kimerahisisha kazi katika hesabu kwa zile nambari kubwa kubwa ambazo zilihitaji kuongezwa, kupunguzwa na hata kujumlishwa. Pia kimewezesha wanafunzi ambao wanafanya mitihani yao ya hisabati kumaliza maswali yao yote. Hii ni kwa sababu inaaminika kuwa wanafunzi hawamalizi maswali yao yote kwa sababu ya muda mfupi. Pia vyombo kama vile tarakilishi vimesaidia sana wanafunzi kwani vimewasaidia kuelewa mambo kwa wepesi hasa mambo yanayoendelea katika nchi zingine. Kwa kutumia tarakilishi, wanaona nchi hizo zilivyolingana na zingine hivyo basi kusaidia wanafunzi kutosahau haraka kile walicho kisoma kupitia njia ya utazamaji. Teknolojia imesaidia walimu kutumia simu zao zenye mitandao kupata njia mbadala za kusomesha wanafunzi. Hii ilisaidia sana wanafunzi kwani walikuwa na njia nyingi za kutumia kusoma kuhusu jambo fulani. Waliweza kutambua njia walizozielewa zaidi ilimradi wakisahau moja wanaweza kutumia nyingine. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena kuwa chema hakikosi ila hivyo basi mbali na uzuri wa teknolojia pia ina madhara yake kwa wanafunzi. Kule kusoma kwa wanafunzi kuhusu nchi zingine, maendeleo yao ya kiuchumi katika somo la historia kupitia mitandao, wengi wa wanafunzi huanza kupeleka upendo na uzalendo wao kwa nchi nyingine kwani wanaiona ina maendeleo mazuri kushinda nchi yao hivyo basi kuipenda. Simu ambazo zina wasaidia wanafunzi kusoma kupitia mitandao wakiwa nyumbani kwao zina madhara. Wanafunzi badala wazitumie kama kigezo chao cha kutumia masomoni, wanazitumia kwa mambo mengine machafu mno kama vile wanazitumia kutafuta picha za kimapenzi ambazo huchangia katika kudhoofika kwa akili zao. Pia vyombo kama vile kikokotoo vimefanya wanafunzi kuwa wavivu wa kufikiria kwani wanajiambia “hakuna haja ya kutumia kichwa kuna kifaa cha kurahisisha mambo. Sisi ni wanafunzi wa kidijitali.” Hii pia inasababisha kufeli kwa masomo mengine kwani pia wanataka njia rahisi za kufanya au kujibu maswali. Hapa ndipo nilipo amini na kusadiki ya kwamba hakuna kizuri kisicho na ila.
Mbona wanafunzi hufeli katika masomo mengine
{ "text": [ "wanataka njia rahisi za kujibu maswali" ] }
3133_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaanisha ya kuwa wale ambao wakipewa wasia, mawaidha, mafunzo au maelezo na wazazi au wakubwa hujifanya wauaji na hawafuati wanavyoambiwa basi huishia mashakani na majuto. Methali hii hutumika kuwashauri watu umuhimu wa kuufuata ushauri wa wazazi au wakubwa wao au watu walio wazidi maarifa. Hii inawasaidia kuwarekebisha kwa maovu wanayoyafanya. Maria alikuwa mtoto mzuri mno ambaye wengi walimsifia si vijana, si wasichana, si watoto, si wazee na hata pia wavyele wake. Msichana huyu alikuwa na uzuri usiomithilishwa na mtu bali ungemithilishwa na mahurulaini peponi. Kiuno chake kilikuwa cha nyigu shingo ya upanga, kifua kilichosimama saa sita, nyuma kinashangilia atembeapo huku ungedhani anaogopa kukanyaga viumbe vya Rabana vilivyo ardhini. Msichana huyu hakusifiwa kwa maumbile tu bali pia masomoni. Walimu, wazazi pamoja na wanafunzi wenzake walimpongeza mara kwa mara. Kila yaumu iliyopangwa ni ya kutuza walioibuka kuwa washindi mtihanini, basi Maria asingekosa kutajwa sio mara moja ila kwa uchache alikuwa akitajwa mara nne. Kufaulu kwake mtihanini hakukuja hivi hivi bali ni kwa zile jitihada zake na ukakamavu masomoni kama mchwa anayejenga kudurusu chake akitumia mate. Naye Rabana hakumwacha mja wake katu kwani alimsaidia kuyakumbuka aliyoyasoma yalipoletwa mitihanini na hata yale aliyokuwa hakuyasoma kumpa fahamu kuyajibu. Wavyele wake hawakuwa na shaka kabisa kuhusu maisha yao pamoja na ya mwanao. Hii ni kwa sababu ya alivyokuwa akifaulu vyema masomoni. Wazazi wake walikuwa na imani sana nayeye yakuwa siku ya masika iliyopangwa na Muumba wao maisha yao yangebadilika na kuwa yenye furaha na wingi wa amani. Umaskini wao uliwauma sana nyoyo zao kwani jamii na majirani zao hapo kijijini waliwatenga. Ilikuwa nadra kuona moshi ukifoka kutoka kwenye kijumba chuo cha msongo kilichowaka upande mmoja. Waamkapo walikuwa hawajui wale nini wala saa watakipata wapi chakula. Mambo yalienda kinyume kabisa na walivyofikiria wazazi wake. Maria alipoingia kidato cha kwanza katika shule ya kitaifa, alijiona sana na hakuna mwingine aliyemshinda. Alianza kutembea na kujihusisha na vikundi vya wasichana waliokuwa na utovu wa nidhamu na mambo waliyokuwa wakiyafanya hayakuweza kusemeka kwani yalikuwa maovu sana. Kila dume na kijanadume hakuna sasa aliyekuwa hajui mwili wa Maria nje na ndani. Wazazi wake walijaribu kumkanya na hata waliokuwa mbari yake walijaribu kumkanya ila jitihada zao hazikufua dafu kabisa. Wazazi wake hawakuwa na lakufanya ila kuosha mikono yao na kumuachia dunia. Maria alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani. Atoka mapema pale nyumbani akirudi ni usiku wala hataki kuulizwa. Muda si mrefu, Maria alianza kutapika, kuugua homa mara kwa mara na mwishowe akalazwa hospitalini huku afya yake ikizidi kuzorota. Aliishia kuwa gofu la mtu na wembamba wake ulimithilishwa na ule wa sindano. Baada ya kipindi kifupi, Maria alipiga dunia teke. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena ya kwamba, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Nani huvunjika guu?
{ "text": [ "Asiyeskia la mkuu" ] }
3133_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaanisha ya kuwa wale ambao wakipewa wasia, mawaidha, mafunzo au maelezo na wazazi au wakubwa hujifanya wauaji na hawafuati wanavyoambiwa basi huishia mashakani na majuto. Methali hii hutumika kuwashauri watu umuhimu wa kuufuata ushauri wa wazazi au wakubwa wao au watu walio wazidi maarifa. Hii inawasaidia kuwarekebisha kwa maovu wanayoyafanya. Maria alikuwa mtoto mzuri mno ambaye wengi walimsifia si vijana, si wasichana, si watoto, si wazee na hata pia wavyele wake. Msichana huyu alikuwa na uzuri usiomithilishwa na mtu bali ungemithilishwa na mahurulaini peponi. Kiuno chake kilikuwa cha nyigu shingo ya upanga, kifua kilichosimama saa sita, nyuma kinashangilia atembeapo huku ungedhani anaogopa kukanyaga viumbe vya Rabana vilivyo ardhini. Msichana huyu hakusifiwa kwa maumbile tu bali pia masomoni. Walimu, wazazi pamoja na wanafunzi wenzake walimpongeza mara kwa mara. Kila yaumu iliyopangwa ni ya kutuza walioibuka kuwa washindi mtihanini, basi Maria asingekosa kutajwa sio mara moja ila kwa uchache alikuwa akitajwa mara nne. Kufaulu kwake mtihanini hakukuja hivi hivi bali ni kwa zile jitihada zake na ukakamavu masomoni kama mchwa anayejenga kudurusu chake akitumia mate. Naye Rabana hakumwacha mja wake katu kwani alimsaidia kuyakumbuka aliyoyasoma yalipoletwa mitihanini na hata yale aliyokuwa hakuyasoma kumpa fahamu kuyajibu. Wavyele wake hawakuwa na shaka kabisa kuhusu maisha yao pamoja na ya mwanao. Hii ni kwa sababu ya alivyokuwa akifaulu vyema masomoni. Wazazi wake walikuwa na imani sana nayeye yakuwa siku ya masika iliyopangwa na Muumba wao maisha yao yangebadilika na kuwa yenye furaha na wingi wa amani. Umaskini wao uliwauma sana nyoyo zao kwani jamii na majirani zao hapo kijijini waliwatenga. Ilikuwa nadra kuona moshi ukifoka kutoka kwenye kijumba chuo cha msongo kilichowaka upande mmoja. Waamkapo walikuwa hawajui wale nini wala saa watakipata wapi chakula. Mambo yalienda kinyume kabisa na walivyofikiria wazazi wake. Maria alipoingia kidato cha kwanza katika shule ya kitaifa, alijiona sana na hakuna mwingine aliyemshinda. Alianza kutembea na kujihusisha na vikundi vya wasichana waliokuwa na utovu wa nidhamu na mambo waliyokuwa wakiyafanya hayakuweza kusemeka kwani yalikuwa maovu sana. Kila dume na kijanadume hakuna sasa aliyekuwa hajui mwili wa Maria nje na ndani. Wazazi wake walijaribu kumkanya na hata waliokuwa mbari yake walijaribu kumkanya ila jitihada zao hazikufua dafu kabisa. Wazazi wake hawakuwa na lakufanya ila kuosha mikono yao na kumuachia dunia. Maria alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani. Atoka mapema pale nyumbani akirudi ni usiku wala hataki kuulizwa. Muda si mrefu, Maria alianza kutapika, kuugua homa mara kwa mara na mwishowe akalazwa hospitalini huku afya yake ikizidi kuzorota. Aliishia kuwa gofu la mtu na wembamba wake ulimithilishwa na ule wa sindano. Baada ya kipindi kifupi, Maria alipiga dunia teke. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena ya kwamba, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Marua alikua nani?
{ "text": [ "Msichana mrembo" ] }
3133_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaanisha ya kuwa wale ambao wakipewa wasia, mawaidha, mafunzo au maelezo na wazazi au wakubwa hujifanya wauaji na hawafuati wanavyoambiwa basi huishia mashakani na majuto. Methali hii hutumika kuwashauri watu umuhimu wa kuufuata ushauri wa wazazi au wakubwa wao au watu walio wazidi maarifa. Hii inawasaidia kuwarekebisha kwa maovu wanayoyafanya. Maria alikuwa mtoto mzuri mno ambaye wengi walimsifia si vijana, si wasichana, si watoto, si wazee na hata pia wavyele wake. Msichana huyu alikuwa na uzuri usiomithilishwa na mtu bali ungemithilishwa na mahurulaini peponi. Kiuno chake kilikuwa cha nyigu shingo ya upanga, kifua kilichosimama saa sita, nyuma kinashangilia atembeapo huku ungedhani anaogopa kukanyaga viumbe vya Rabana vilivyo ardhini. Msichana huyu hakusifiwa kwa maumbile tu bali pia masomoni. Walimu, wazazi pamoja na wanafunzi wenzake walimpongeza mara kwa mara. Kila yaumu iliyopangwa ni ya kutuza walioibuka kuwa washindi mtihanini, basi Maria asingekosa kutajwa sio mara moja ila kwa uchache alikuwa akitajwa mara nne. Kufaulu kwake mtihanini hakukuja hivi hivi bali ni kwa zile jitihada zake na ukakamavu masomoni kama mchwa anayejenga kudurusu chake akitumia mate. Naye Rabana hakumwacha mja wake katu kwani alimsaidia kuyakumbuka aliyoyasoma yalipoletwa mitihanini na hata yale aliyokuwa hakuyasoma kumpa fahamu kuyajibu. Wavyele wake hawakuwa na shaka kabisa kuhusu maisha yao pamoja na ya mwanao. Hii ni kwa sababu ya alivyokuwa akifaulu vyema masomoni. Wazazi wake walikuwa na imani sana nayeye yakuwa siku ya masika iliyopangwa na Muumba wao maisha yao yangebadilika na kuwa yenye furaha na wingi wa amani. Umaskini wao uliwauma sana nyoyo zao kwani jamii na majirani zao hapo kijijini waliwatenga. Ilikuwa nadra kuona moshi ukifoka kutoka kwenye kijumba chuo cha msongo kilichowaka upande mmoja. Waamkapo walikuwa hawajui wale nini wala saa watakipata wapi chakula. Mambo yalienda kinyume kabisa na walivyofikiria wazazi wake. Maria alipoingia kidato cha kwanza katika shule ya kitaifa, alijiona sana na hakuna mwingine aliyemshinda. Alianza kutembea na kujihusisha na vikundi vya wasichana waliokuwa na utovu wa nidhamu na mambo waliyokuwa wakiyafanya hayakuweza kusemeka kwani yalikuwa maovu sana. Kila dume na kijanadume hakuna sasa aliyekuwa hajui mwili wa Maria nje na ndani. Wazazi wake walijaribu kumkanya na hata waliokuwa mbari yake walijaribu kumkanya ila jitihada zao hazikufua dafu kabisa. Wazazi wake hawakuwa na lakufanya ila kuosha mikono yao na kumuachia dunia. Maria alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani. Atoka mapema pale nyumbani akirudi ni usiku wala hataki kuulizwa. Muda si mrefu, Maria alianza kutapika, kuugua homa mara kwa mara na mwishowe akalazwa hospitalini huku afya yake ikizidi kuzorota. Aliishia kuwa gofu la mtu na wembamba wake ulimithilishwa na ule wa sindano. Baada ya kipindi kifupi, Maria alipiga dunia teke. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena ya kwamba, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Jina lingine la wazazi ni lipi?
{ "text": [ "Wavyele" ] }
3133_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaanisha ya kuwa wale ambao wakipewa wasia, mawaidha, mafunzo au maelezo na wazazi au wakubwa hujifanya wauaji na hawafuati wanavyoambiwa basi huishia mashakani na majuto. Methali hii hutumika kuwashauri watu umuhimu wa kuufuata ushauri wa wazazi au wakubwa wao au watu walio wazidi maarifa. Hii inawasaidia kuwarekebisha kwa maovu wanayoyafanya. Maria alikuwa mtoto mzuri mno ambaye wengi walimsifia si vijana, si wasichana, si watoto, si wazee na hata pia wavyele wake. Msichana huyu alikuwa na uzuri usiomithilishwa na mtu bali ungemithilishwa na mahurulaini peponi. Kiuno chake kilikuwa cha nyigu shingo ya upanga, kifua kilichosimama saa sita, nyuma kinashangilia atembeapo huku ungedhani anaogopa kukanyaga viumbe vya Rabana vilivyo ardhini. Msichana huyu hakusifiwa kwa maumbile tu bali pia masomoni. Walimu, wazazi pamoja na wanafunzi wenzake walimpongeza mara kwa mara. Kila yaumu iliyopangwa ni ya kutuza walioibuka kuwa washindi mtihanini, basi Maria asingekosa kutajwa sio mara moja ila kwa uchache alikuwa akitajwa mara nne. Kufaulu kwake mtihanini hakukuja hivi hivi bali ni kwa zile jitihada zake na ukakamavu masomoni kama mchwa anayejenga kudurusu chake akitumia mate. Naye Rabana hakumwacha mja wake katu kwani alimsaidia kuyakumbuka aliyoyasoma yalipoletwa mitihanini na hata yale aliyokuwa hakuyasoma kumpa fahamu kuyajibu. Wavyele wake hawakuwa na shaka kabisa kuhusu maisha yao pamoja na ya mwanao. Hii ni kwa sababu ya alivyokuwa akifaulu vyema masomoni. Wazazi wake walikuwa na imani sana nayeye yakuwa siku ya masika iliyopangwa na Muumba wao maisha yao yangebadilika na kuwa yenye furaha na wingi wa amani. Umaskini wao uliwauma sana nyoyo zao kwani jamii na majirani zao hapo kijijini waliwatenga. Ilikuwa nadra kuona moshi ukifoka kutoka kwenye kijumba chuo cha msongo kilichowaka upande mmoja. Waamkapo walikuwa hawajui wale nini wala saa watakipata wapi chakula. Mambo yalienda kinyume kabisa na walivyofikiria wazazi wake. Maria alipoingia kidato cha kwanza katika shule ya kitaifa, alijiona sana na hakuna mwingine aliyemshinda. Alianza kutembea na kujihusisha na vikundi vya wasichana waliokuwa na utovu wa nidhamu na mambo waliyokuwa wakiyafanya hayakuweza kusemeka kwani yalikuwa maovu sana. Kila dume na kijanadume hakuna sasa aliyekuwa hajui mwili wa Maria nje na ndani. Wazazi wake walijaribu kumkanya na hata waliokuwa mbari yake walijaribu kumkanya ila jitihada zao hazikufua dafu kabisa. Wazazi wake hawakuwa na lakufanya ila kuosha mikono yao na kumuachia dunia. Maria alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani. Atoka mapema pale nyumbani akirudi ni usiku wala hataki kuulizwa. Muda si mrefu, Maria alianza kutapika, kuugua homa mara kwa mara na mwishowe akalazwa hospitalini huku afya yake ikizidi kuzorota. Aliishia kuwa gofu la mtu na wembamba wake ulimithilishwa na ule wa sindano. Baada ya kipindi kifupi, Maria alipiga dunia teke. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena ya kwamba, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Nani asiyeacha mja wake?
{ "text": [ "Rabana" ] }
3133_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Methali hii inamaanisha ya kuwa wale ambao wakipewa wasia, mawaidha, mafunzo au maelezo na wazazi au wakubwa hujifanya wauaji na hawafuati wanavyoambiwa basi huishia mashakani na majuto. Methali hii hutumika kuwashauri watu umuhimu wa kuufuata ushauri wa wazazi au wakubwa wao au watu walio wazidi maarifa. Hii inawasaidia kuwarekebisha kwa maovu wanayoyafanya. Maria alikuwa mtoto mzuri mno ambaye wengi walimsifia si vijana, si wasichana, si watoto, si wazee na hata pia wavyele wake. Msichana huyu alikuwa na uzuri usiomithilishwa na mtu bali ungemithilishwa na mahurulaini peponi. Kiuno chake kilikuwa cha nyigu shingo ya upanga, kifua kilichosimama saa sita, nyuma kinashangilia atembeapo huku ungedhani anaogopa kukanyaga viumbe vya Rabana vilivyo ardhini. Msichana huyu hakusifiwa kwa maumbile tu bali pia masomoni. Walimu, wazazi pamoja na wanafunzi wenzake walimpongeza mara kwa mara. Kila yaumu iliyopangwa ni ya kutuza walioibuka kuwa washindi mtihanini, basi Maria asingekosa kutajwa sio mara moja ila kwa uchache alikuwa akitajwa mara nne. Kufaulu kwake mtihanini hakukuja hivi hivi bali ni kwa zile jitihada zake na ukakamavu masomoni kama mchwa anayejenga kudurusu chake akitumia mate. Naye Rabana hakumwacha mja wake katu kwani alimsaidia kuyakumbuka aliyoyasoma yalipoletwa mitihanini na hata yale aliyokuwa hakuyasoma kumpa fahamu kuyajibu. Wavyele wake hawakuwa na shaka kabisa kuhusu maisha yao pamoja na ya mwanao. Hii ni kwa sababu ya alivyokuwa akifaulu vyema masomoni. Wazazi wake walikuwa na imani sana nayeye yakuwa siku ya masika iliyopangwa na Muumba wao maisha yao yangebadilika na kuwa yenye furaha na wingi wa amani. Umaskini wao uliwauma sana nyoyo zao kwani jamii na majirani zao hapo kijijini waliwatenga. Ilikuwa nadra kuona moshi ukifoka kutoka kwenye kijumba chuo cha msongo kilichowaka upande mmoja. Waamkapo walikuwa hawajui wale nini wala saa watakipata wapi chakula. Mambo yalienda kinyume kabisa na walivyofikiria wazazi wake. Maria alipoingia kidato cha kwanza katika shule ya kitaifa, alijiona sana na hakuna mwingine aliyemshinda. Alianza kutembea na kujihusisha na vikundi vya wasichana waliokuwa na utovu wa nidhamu na mambo waliyokuwa wakiyafanya hayakuweza kusemeka kwani yalikuwa maovu sana. Kila dume na kijanadume hakuna sasa aliyekuwa hajui mwili wa Maria nje na ndani. Wazazi wake walijaribu kumkanya na hata waliokuwa mbari yake walijaribu kumkanya ila jitihada zao hazikufua dafu kabisa. Wazazi wake hawakuwa na lakufanya ila kuosha mikono yao na kumuachia dunia. Maria alikuwa hasikii la mwadhini wala la mteka maji kisimani. Atoka mapema pale nyumbani akirudi ni usiku wala hataki kuulizwa. Muda si mrefu, Maria alianza kutapika, kuugua homa mara kwa mara na mwishowe akalazwa hospitalini huku afya yake ikizidi kuzorota. Aliishia kuwa gofu la mtu na wembamba wake ulimithilishwa na ule wa sindano. Baada ya kipindi kifupi, Maria alipiga dunia teke. Naam, ama kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliponena ya kwamba, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Methali iliyotumika kwenye hadithi hutumika kufanya nini?
{ "text": [ "Kuwahimiza watu kufuata ushauri wa wazazi" ] }
3134_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Katika teknolojia kuna vyombo vingi vinavyotumika ili kuwasilisha maana ya teknolojia kama vile kikokotoo , tarakilishi, televisheni, kununu, kamera na hata redio. Rununu hutumika kusabaza habari au watu kuongea. Mawasiliano ya kutumia Rununu ni rahisi hueleza ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa wakati mfupi sana kuliko mtu kuenda mwendo mrefu kumueleza ujumbe huo. Rununu pia hutumika kutuma ujumbe kwa kutumia huduma ya ujumbe mfupi (sms). Televisheni hutumika kuonyesha taarifa na pia wanafunzi hutumia televisheni kusoma na kuandikia masuala kuhusu masomo yao. Faida nyingine ni kikokotoo ambacho wanafunzi hutumia kwa kufanyia hisabati. Tarakilishi hutumika kuandika masomo ya wanafunzi na kuyahifadhi pia. Wanafunzi pia husoma kutumia tarakilishi, kutuma ujumbe kwa wanafunzi na walimu, kusoma au kuhifadhi mambo yao. Pia watoto wa shule huchukua muda wao pia kwa kucheza michezo inayopatikana kwenye tarakilishi na kuburudisha mioyo yao. Pia huendelea bado kuweka nyimbo na kusikiliza inapofika kipindi cha llikizo. Kipanya cha utafiti ambacho hutumika kwenye tarakilishi ili kuendeleza kazi zinazofanyika kwenye tarakilishi na kufanyia kazi hizo. Nyingine ni kamera (CCTV) ambazo wanafunzi huzieka ili kuangalia au kutafiti mambo yatakayofanyika wakati watu hawapo. Na nyingine ni kipakatalishi ambacho wanafunzi hukitumia kuekea hifadhi zao za kazi au masomo yao ili zisipotee ili wakati mwengine wakizihitaji wazipate kwa urahisi. Katika mambo haya tuliyoyataja kati ya faida zake hizo pia nazo zina madhara yake kwa wanafunzi. Redio hutumika mahali ambapo kuna umeme na kuweza kutumika na wale walio na pesa za kununua. Tarakilishi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia masomo yao na mwishowe kuangalia mambo mabaya yanayowapoteza kimasomo na kujiingiza katika anasa hizo kama vile kutazama cinema ponografia. Wengine huacha shule na kujiingiza kwenye matendo haya. Wengine huzubaa na kucheza michezo kwenye tarakilishi au televisheni na kusahau masomo. Madhara mengine ni kwenye simu ambazo watu hutumia kuwasiliana na kupotoshana kwa sababu ya kuambiana michoro au mipango ambayo haina maana. Wengine huacha shule na kuanza kuwa wahalifu.
Nini hutumika kutuma ujumbe kutoka mtu mmoja hadi mwingine
{ "text": [ "rununu" ] }
3134_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Katika teknolojia kuna vyombo vingi vinavyotumika ili kuwasilisha maana ya teknolojia kama vile kikokotoo , tarakilishi, televisheni, kununu, kamera na hata redio. Rununu hutumika kusabaza habari au watu kuongea. Mawasiliano ya kutumia Rununu ni rahisi hueleza ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa wakati mfupi sana kuliko mtu kuenda mwendo mrefu kumueleza ujumbe huo. Rununu pia hutumika kutuma ujumbe kwa kutumia huduma ya ujumbe mfupi (sms). Televisheni hutumika kuonyesha taarifa na pia wanafunzi hutumia televisheni kusoma na kuandikia masuala kuhusu masomo yao. Faida nyingine ni kikokotoo ambacho wanafunzi hutumia kwa kufanyia hisabati. Tarakilishi hutumika kuandika masomo ya wanafunzi na kuyahifadhi pia. Wanafunzi pia husoma kutumia tarakilishi, kutuma ujumbe kwa wanafunzi na walimu, kusoma au kuhifadhi mambo yao. Pia watoto wa shule huchukua muda wao pia kwa kucheza michezo inayopatikana kwenye tarakilishi na kuburudisha mioyo yao. Pia huendelea bado kuweka nyimbo na kusikiliza inapofika kipindi cha llikizo. Kipanya cha utafiti ambacho hutumika kwenye tarakilishi ili kuendeleza kazi zinazofanyika kwenye tarakilishi na kufanyia kazi hizo. Nyingine ni kamera (CCTV) ambazo wanafunzi huzieka ili kuangalia au kutafiti mambo yatakayofanyika wakati watu hawapo. Na nyingine ni kipakatalishi ambacho wanafunzi hukitumia kuekea hifadhi zao za kazi au masomo yao ili zisipotee ili wakati mwengine wakizihitaji wazipate kwa urahisi. Katika mambo haya tuliyoyataja kati ya faida zake hizo pia nazo zina madhara yake kwa wanafunzi. Redio hutumika mahali ambapo kuna umeme na kuweza kutumika na wale walio na pesa za kununua. Tarakilishi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia masomo yao na mwishowe kuangalia mambo mabaya yanayowapoteza kimasomo na kujiingiza katika anasa hizo kama vile kutazama cinema ponografia. Wengine huacha shule na kujiingiza kwenye matendo haya. Wengine huzubaa na kucheza michezo kwenye tarakilishi au televisheni na kusahau masomo. Madhara mengine ni kwenye simu ambazo watu hutumia kuwasiliana na kupotoshana kwa sababu ya kuambiana michoro au mipango ambayo haina maana. Wengine huacha shule na kuanza kuwa wahalifu.
Nini hutumika kuonyesha taarifa
{ "text": [ "Televisheni" ] }
3134_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Katika teknolojia kuna vyombo vingi vinavyotumika ili kuwasilisha maana ya teknolojia kama vile kikokotoo , tarakilishi, televisheni, kununu, kamera na hata redio. Rununu hutumika kusabaza habari au watu kuongea. Mawasiliano ya kutumia Rununu ni rahisi hueleza ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa wakati mfupi sana kuliko mtu kuenda mwendo mrefu kumueleza ujumbe huo. Rununu pia hutumika kutuma ujumbe kwa kutumia huduma ya ujumbe mfupi (sms). Televisheni hutumika kuonyesha taarifa na pia wanafunzi hutumia televisheni kusoma na kuandikia masuala kuhusu masomo yao. Faida nyingine ni kikokotoo ambacho wanafunzi hutumia kwa kufanyia hisabati. Tarakilishi hutumika kuandika masomo ya wanafunzi na kuyahifadhi pia. Wanafunzi pia husoma kutumia tarakilishi, kutuma ujumbe kwa wanafunzi na walimu, kusoma au kuhifadhi mambo yao. Pia watoto wa shule huchukua muda wao pia kwa kucheza michezo inayopatikana kwenye tarakilishi na kuburudisha mioyo yao. Pia huendelea bado kuweka nyimbo na kusikiliza inapofika kipindi cha llikizo. Kipanya cha utafiti ambacho hutumika kwenye tarakilishi ili kuendeleza kazi zinazofanyika kwenye tarakilishi na kufanyia kazi hizo. Nyingine ni kamera (CCTV) ambazo wanafunzi huzieka ili kuangalia au kutafiti mambo yatakayofanyika wakati watu hawapo. Na nyingine ni kipakatalishi ambacho wanafunzi hukitumia kuekea hifadhi zao za kazi au masomo yao ili zisipotee ili wakati mwengine wakizihitaji wazipate kwa urahisi. Katika mambo haya tuliyoyataja kati ya faida zake hizo pia nazo zina madhara yake kwa wanafunzi. Redio hutumika mahali ambapo kuna umeme na kuweza kutumika na wale walio na pesa za kununua. Tarakilishi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia masomo yao na mwishowe kuangalia mambo mabaya yanayowapoteza kimasomo na kujiingiza katika anasa hizo kama vile kutazama cinema ponografia. Wengine huacha shule na kujiingiza kwenye matendo haya. Wengine huzubaa na kucheza michezo kwenye tarakilishi au televisheni na kusahau masomo. Madhara mengine ni kwenye simu ambazo watu hutumia kuwasiliana na kupotoshana kwa sababu ya kuambiana michoro au mipango ambayo haina maana. Wengine huacha shule na kuanza kuwa wahalifu.
Nini hutumika kufanyia hisabati
{ "text": [ "kikokotoo" ] }
3134_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Katika teknolojia kuna vyombo vingi vinavyotumika ili kuwasilisha maana ya teknolojia kama vile kikokotoo , tarakilishi, televisheni, kununu, kamera na hata redio. Rununu hutumika kusabaza habari au watu kuongea. Mawasiliano ya kutumia Rununu ni rahisi hueleza ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa wakati mfupi sana kuliko mtu kuenda mwendo mrefu kumueleza ujumbe huo. Rununu pia hutumika kutuma ujumbe kwa kutumia huduma ya ujumbe mfupi (sms). Televisheni hutumika kuonyesha taarifa na pia wanafunzi hutumia televisheni kusoma na kuandikia masuala kuhusu masomo yao. Faida nyingine ni kikokotoo ambacho wanafunzi hutumia kwa kufanyia hisabati. Tarakilishi hutumika kuandika masomo ya wanafunzi na kuyahifadhi pia. Wanafunzi pia husoma kutumia tarakilishi, kutuma ujumbe kwa wanafunzi na walimu, kusoma au kuhifadhi mambo yao. Pia watoto wa shule huchukua muda wao pia kwa kucheza michezo inayopatikana kwenye tarakilishi na kuburudisha mioyo yao. Pia huendelea bado kuweka nyimbo na kusikiliza inapofika kipindi cha llikizo. Kipanya cha utafiti ambacho hutumika kwenye tarakilishi ili kuendeleza kazi zinazofanyika kwenye tarakilishi na kufanyia kazi hizo. Nyingine ni kamera (CCTV) ambazo wanafunzi huzieka ili kuangalia au kutafiti mambo yatakayofanyika wakati watu hawapo. Na nyingine ni kipakatalishi ambacho wanafunzi hukitumia kuekea hifadhi zao za kazi au masomo yao ili zisipotee ili wakati mwengine wakizihitaji wazipate kwa urahisi. Katika mambo haya tuliyoyataja kati ya faida zake hizo pia nazo zina madhara yake kwa wanafunzi. Redio hutumika mahali ambapo kuna umeme na kuweza kutumika na wale walio na pesa za kununua. Tarakilishi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia masomo yao na mwishowe kuangalia mambo mabaya yanayowapoteza kimasomo na kujiingiza katika anasa hizo kama vile kutazama cinema ponografia. Wengine huacha shule na kujiingiza kwenye matendo haya. Wengine huzubaa na kucheza michezo kwenye tarakilishi au televisheni na kusahau masomo. Madhara mengine ni kwenye simu ambazo watu hutumia kuwasiliana na kupotoshana kwa sababu ya kuambiana michoro au mipango ambayo haina maana. Wengine huacha shule na kuanza kuwa wahalifu.
Wanafunzi hutumia tarakilishi kuskiza nyimbo lini
{ "text": [ "siku za mapumziko" ] }
3134_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Katika teknolojia kuna vyombo vingi vinavyotumika ili kuwasilisha maana ya teknolojia kama vile kikokotoo , tarakilishi, televisheni, kununu, kamera na hata redio. Rununu hutumika kusabaza habari au watu kuongea. Mawasiliano ya kutumia Rununu ni rahisi hueleza ujumbe kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa wakati mfupi sana kuliko mtu kuenda mwendo mrefu kumueleza ujumbe huo. Rununu pia hutumika kutuma ujumbe kwa kutumia huduma ya ujumbe mfupi (sms). Televisheni hutumika kuonyesha taarifa na pia wanafunzi hutumia televisheni kusoma na kuandikia masuala kuhusu masomo yao. Faida nyingine ni kikokotoo ambacho wanafunzi hutumia kwa kufanyia hisabati. Tarakilishi hutumika kuandika masomo ya wanafunzi na kuyahifadhi pia. Wanafunzi pia husoma kutumia tarakilishi, kutuma ujumbe kwa wanafunzi na walimu, kusoma au kuhifadhi mambo yao. Pia watoto wa shule huchukua muda wao pia kwa kucheza michezo inayopatikana kwenye tarakilishi na kuburudisha mioyo yao. Pia huendelea bado kuweka nyimbo na kusikiliza inapofika kipindi cha llikizo. Kipanya cha utafiti ambacho hutumika kwenye tarakilishi ili kuendeleza kazi zinazofanyika kwenye tarakilishi na kufanyia kazi hizo. Nyingine ni kamera (CCTV) ambazo wanafunzi huzieka ili kuangalia au kutafiti mambo yatakayofanyika wakati watu hawapo. Na nyingine ni kipakatalishi ambacho wanafunzi hukitumia kuekea hifadhi zao za kazi au masomo yao ili zisipotee ili wakati mwengine wakizihitaji wazipate kwa urahisi. Katika mambo haya tuliyoyataja kati ya faida zake hizo pia nazo zina madhara yake kwa wanafunzi. Redio hutumika mahali ambapo kuna umeme na kuweza kutumika na wale walio na pesa za kununua. Tarakilishi ambayo wanafunzi hutumia kuangalia masomo yao na mwishowe kuangalia mambo mabaya yanayowapoteza kimasomo na kujiingiza katika anasa hizo kama vile kutazama cinema ponografia. Wengine huacha shule na kujiingiza kwenye matendo haya. Wengine huzubaa na kucheza michezo kwenye tarakilishi au televisheni na kusahau masomo. Madhara mengine ni kwenye simu ambazo watu hutumia kuwasiliana na kupotoshana kwa sababu ya kuambiana michoro au mipango ambayo haina maana. Wengine huacha shule na kuanza kuwa wahalifu.
Rununu inatumika vibaya aje na wanafunzi
{ "text": [ "wanatumia kupiga miili zao picha na kusambaza kwa mitandao" ] }
3135_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Nayo dunia haikuacha kusema kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimuengu ilienda sawa sawa na maisha ya Mashaka. Mashaka alikuwa barobaro mdogo aliyeishi katika kijiji cha Chapa kazi. Tena alikuwa mwanafunzi wa shule ya Jitahidi iliyo patikana kijijini humo. Mashaka aliishi na wazazi wake wote mawili. Mzee Simba na Mama Pende. Baba yake alikuwa mkali kama jina lake. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana.Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyoo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kushereke. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na nani
{ "text": [ "Ulimwengu" ] }
3135_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Nayo dunia haikuacha kusema kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimuengu ilienda sawa sawa na maisha ya Mashaka. Mashaka alikuwa barobaro mdogo aliyeishi katika kijiji cha Chapa kazi. Tena alikuwa mwanafunzi wa shule ya Jitahidi iliyo patikana kijijini humo. Mashaka aliishi na wazazi wake wote mawili. Mzee Simba na Mama Pende. Baba yake alikuwa mkali kama jina lake. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana.Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyoo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kushereke. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mashak aliishi wapi
{ "text": [ "Chapa Kazi" ] }
3135_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Nayo dunia haikuacha kusema kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimuengu ilienda sawa sawa na maisha ya Mashaka. Mashaka alikuwa barobaro mdogo aliyeishi katika kijiji cha Chapa kazi. Tena alikuwa mwanafunzi wa shule ya Jitahidi iliyo patikana kijijini humo. Mashaka aliishi na wazazi wake wote mawili. Mzee Simba na Mama Pende. Baba yake alikuwa mkali kama jina lake. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana.Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyoo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kushereke. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alikuwa mwanafunzi katika shule ya jitahidi
{ "text": [ "Mashaka" ] }
3135_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Nayo dunia haikuacha kusema kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimuengu ilienda sawa sawa na maisha ya Mashaka. Mashaka alikuwa barobaro mdogo aliyeishi katika kijiji cha Chapa kazi. Tena alikuwa mwanafunzi wa shule ya Jitahidi iliyo patikana kijijini humo. Mashaka aliishi na wazazi wake wote mawili. Mzee Simba na Mama Pende. Baba yake alikuwa mkali kama jina lake. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana.Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyoo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kushereke. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mashaka alimwambia nani kuwa alikuwa hajisikiii vizuri
{ "text": [ "Kiranja" ] }
3135_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Nayo dunia haikuacha kusema kwamba asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimuengu ilienda sawa sawa na maisha ya Mashaka. Mashaka alikuwa barobaro mdogo aliyeishi katika kijiji cha Chapa kazi. Tena alikuwa mwanafunzi wa shule ya Jitahidi iliyo patikana kijijini humo. Mashaka aliishi na wazazi wake wote mawili. Mzee Simba na Mama Pende. Baba yake alikuwa mkali kama jina lake. Mashaka alizidi kuibuka wa kwanza darasani. Walimu walimpenda na akawa mwenye kutolewa mfano mbele ya wanafunzi wenzake. Walimsifu kijana huyo. Licha yakuwa mzuri kimasomo, pia alikuwa mwenye nidhamu na mwenye kujituma. Yeye alikuwa akifundishwa cha jibu anauliza wanafua walimu pale ambapo hakuelewa. Walimu wote walikuwa wakimpenda. Alipofika darasa la nane, walimu walimfundisha na kumpatia kazi za ziada ili aweze kuwa bora zaidi. Wanafunzi wenzake walimsifu sana.Alipokuwa anangojea mtihani wake wa mwisho wa darasa la nane alisoma kwa bidii ili aweze kupita mtihani na kwenda shule nzuri ya upili. Walimu wote walikuwa wamemtegemea yeye. Kabla hawajafanya mtihani, shuleni kwao kuliandaliwa sherehe kwa ajili ya kutuza wanafunzi zawadi na kusherehekea miaka yao minane ya kuwa shule ya msingi. Uwanja wa shule hiyoo ya kingrini ulimiminika watu na wakaja kushereke. Mashaka alipokea zawadi nyingi na kuwaacha wengine kinywa wazi. Mashaka hakupumzika, alizidi kufanya bidii. Mtihani wa mwisho ulipofika, Mashaka alifanya mtihani wake na majibu yalipotolewa alikuwa mwanafunzi bora kaunti ya Kwale. Wazazi, walimu na wanafunzi wenzake walimsifu kwa kufanya jina la shule yao kujulikana. Wafadhili kutoka maeneo mbalimbali walimtafuta Mashaka. Kwa sababu hiyo, wazazi wake walimsifu sana. Wadhamini kutoka sehemu nyingi walienda nyumbani kwa kina Mashaka ili waweze kumlipia karo na matumizi yake ambayo atahitaji wakati anapoingia kidato cha kwanza. Kwa bahati nzuri, Mashaka alipata shule ya upili ya Starehe. Mashaka alipelekwa kidato cha kwanza na wadhamini wengi. Licha ya kuwa mashini, Mashaka alinunuliwa mahitaji yake yote na kupewa pesa za matumizi. Mashaka aliwaahidi wazazi wake kuwa ataenda kufanya bidii kama alivyofanya shule ya msingi. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa mtoto wao ataenda kusoma kwa bidi na kufaulu ili aweze kubadilisha maisha yao. Mashaka alipoingia kidato cha kwanza, tabia zake zikaanza kubadilika. Akawa mwenye kuadhibiwa kila siku. Akawa mwenye kupatikana kwenye makosa kila siku. Alipofukuzwa shule, wazazi wake hawakuamini na wakaenda shule. Walipouliza makosa wakaambiwa Mashaka alitaka kuchoma shule. Wazazi wake wakawatusi walimu na Mashaka akarudishwa shuleni. Mashaka akaanza kuwa mlevi, mtumiaji mihadarati na pia mwizi. Mashaka akawa amebadilia tabia. Mashaka akawa siye yule wa kitambo. Aliporudishwa tena nyumbani kwa sababu ya kupigana na mwalimu, wazazi wake wakaanza kuamini na wakawa wanamkanya mwana wao. Mashaka pindi alipoambiwa huwatusi hadi wazazi wake. Mashaka akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Akawa anawadharau wazazi wake sasa. Wazazi wake wakachoka kumuonya na wakampatia laana. Mashaka akawa mwenye kuhangaika. Mashaka akawa mwizi maarufu. Wazazi wake walipewa malalamishi katika kijiji kizima. Watu wakaanza kuwachukia wazazi wake Mashaka. Wale walimu waliokuwa wakimfundisha shule ya msingi hawakuamini kuwa Mashaka yule waliyemjua angekuja kuwa vile. Siku moja, Mashaka aliamka kwenda kwenye mishemishe zake za kila siku na akaondoka. Alipoenda kwenye kijiji kingine mbali na hapo kwao, akaenda akaiba runinga. Alionekana, akashikwa na kuadhibiwa mpaka akaaga dunia. Wazazi wake waliposikia habari hizo walisema hiyo ndo dawa yake na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alililia kwa uchungu
{ "text": [ "Mashaka" ] }
3136_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kusema kweli wahenga hawakukosea kuwalipena na kuwa kila kizuri kina ubaya wake. Teknolojia imeleta faida anuwai katika shule na pia madhara. Teknologia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisababi. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kunafunza kutumia runinga na radio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasadia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknologia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika lao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchua muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na radio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika makala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Nini hutumiwa kuchapisha mitihani
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3136_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kusema kweli wahenga hawakukosea kuwalipena na kuwa kila kizuri kina ubaya wake. Teknolojia imeleta faida anuwai katika shule na pia madhara. Teknologia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisababi. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kunafunza kutumia runinga na radio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasadia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknologia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika lao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchua muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na radio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika makala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Walimu hutumia nini kuwafunza wanafunzi darasani
{ "text": [ "tableti" ] }
3136_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kusema kweli wahenga hawakukosea kuwalipena na kuwa kila kizuri kina ubaya wake. Teknolojia imeleta faida anuwai katika shule na pia madhara. Teknologia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisababi. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kunafunza kutumia runinga na radio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasadia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknologia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika lao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchua muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na radio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika makala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Wanafunzi hutumia nini kupata majibu ya hesabu haraka
{ "text": [ "kikotoo" ] }
3136_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kusema kweli wahenga hawakukosea kuwalipena na kuwa kila kizuri kina ubaya wake. Teknolojia imeleta faida anuwai katika shule na pia madhara. Teknologia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisababi. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kunafunza kutumia runinga na radio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasadia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknologia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika lao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchua muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na radio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika makala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Wanafunzi huzusha migogoro baina yao na walimu lini
{ "text": [ "wanapotaka kubeba simu" ] }
3136_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kusema kweli wahenga hawakukosea kuwalipena na kuwa kila kizuri kina ubaya wake. Teknolojia imeleta faida anuwai katika shule na pia madhara. Teknologia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo ufundi au njia za mawasiliano. Faida za teknolojia ni kama vile: imewasaidia wanafunzi katika kutumia vifaa kama vile kikokotoo wakati wanafanya hisababi. Kifaa hiki kinawasaidia wanafunzi kufanya hesabu zao kwa wakati unaofaa na kwa umakini zaidi. Utumizi wa simu umewasaidia wanafunzi kufanya utafiti na kutoa vitu vya kutumia katika elimu yao. Runinga inawasaidia wanafunzi kwa kunafunza kutumia runinga na radio katika mada tofauti tofauti hivyo basi huwawezesha wanafunzi kukuza kiwango chao cha elimu. Teknolojia inawafunza wanafunzi maadili mema kama vile redio na runinga huwawezesha wanafunzi kuona na kusikia jinsi watu wanavyoishi na wanavyokaa na wengine. Magazeti pia huwasadia wanafunzi kuweza kujua kusoma na pia kuelewa jinsi hali ilivyo. Teknologia pia imeleta madhara kwa wanafunzi. Kikokotoo kimewafanya wanafunzi kuwa wavivu, wakati wanafanya hisabati, hawajishughulishi na kufikiria. Utumizi wa simu pia umewafanya wanafunzi kuwa na tabia mbaya. Wanafunzi wanaangalia video mbaya ambazo si za rika lao. Wanaingia kwenye mitandao na kuangalia vitu visivyofaa. Wanachukua wakati wao mwingi kwa kutumia simu na kukosa wakati wa kusoma. Runinga imewafanya wanafunzi pia kuchua muda mwingi kuitazama. Runinga pia imewaharibu wanafunzi macho. Wengi wao wanapoangalia runinga, huketi karibu sana na hivyo basi wanafunzi wanapata shida wanaposoma. Teknolojia pia imeharibu tamaduni za kale. Tamaduni hazifuatwi tena. Utumizi wa televisheni na radio huweza kuharibu masikio pindi zitakapofunguliwa kwa sauti kubwa. Hivyo basi wanafunzi huweza kupata shida ya kusikia. Mazoea ya kutumia teknolojia kama vile mtandao wazi na runinga kumewafanya wanafunzi kupata shida wakati wamerudi shuleni. Teknolojia imewafanya wanafunzi, kuwa wavivu kwa kuandika makala. Wanahifadhi nakala zao katika simu. Hivyo basi teknolojia imeleta madhara na faida kwa wanafunzi wa sekondari.
Simu imeleta uhusiano bora baina ya walimu aje
{ "text": [ "walimu huweza kuwasiliana na wazazi na wanafunzi pia kuwajulia hali" ] }
3137_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji kimoja palishi msichana mmoja aliyeitwa Shida. Shida alisifika sana kwa urembo wake na pia masomoni mwake. Alikuwa mwenye sura nzuri lakini tabia zake zilikuna za kishetani. Tangu aingie kidato cha pili, alizidisha tabia zake mbovu na akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Nyumbani, alikuwa hajishughulishi kuwasaidia wazazi wake kazi. Alikuwa akiamka yeye ni kigugu na njia. Wazazi wake walijaribu kumkanya lakini alijifanya pweza na miguu minane. Halikadhalika, aliwaona wazazi wake hawampendi na kuwalaumu. Vidole vya lawama kwa wazazi wake aliwatupia kila siku. Alikuwa kusema, kwani hakutaka kupingwa na mtu pindi alipotaka kufanya jambo lake. Siku moja, Shida kama desturi yake ya baada ya kiamsha kinywa, alitoka na kuenda matembezini kwake kwa kila siku. Shida alikuwa na rafikiye mvulana aliyemsifia kuwa alikuwa mtanashati kuliko wavulana wote. Lisilojulikana ni usiku wa giza. Maskini alijibeba mguu mosi mguu pili hadi kwa kina huyu kijana aliyeitwa Mashaka. Alipofika alimkuta Mashaka akiwa tayari kuenda kilabuni kilicho kuwa karibu na nyumba ya akina Mashaka. Baada ya muda mfupi walielekea ndani ya kilabu hiyo na Mashaka alimwambia Shida kwanza wapate sharubati aliyoisifu kwa ladha yake tamu. Bila kusita, Shida alikubali na kubugia pombe. Alipomaliza, alijihisi hajiwezi na Mashaka akaamua kununua chumba walichotumia kulala. Mashaka aliyekuwa amepanga mipango yake aina ainati, alimbeba hadi chumbani mle. Walibaki mle hadi usiku. Usiku wa manane, Mashaka alimkimbia mwenziwe. Ilipofika majira ya mawiyo, kabla jua kuchomoza, Shida alijikuta hajiwezi. Pale kitandani yuko peke yake. Alikusanya na kufunganya virago vyake kuelekea nyumbani kwao. Kweli ni kuwa wahenga hawakukosea waliponena kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kwani hapa tayari alikuwa hana usichana wake. Alipowasili nyumbani, wazaziwe walitaka kujua alikokuwa ameenda lakini waliambulia patupu. Shida alipitia chumbani kwake na kujifungia na ndani. Alijilaza kitandani kwake na akina amejawa na mawazo. Aliwaza na kuwazua cha kufanya lakini tayari maji yalikuwa yamemwagika na hayazoleki Aliyakumbuka yote ambayo wazazi wake waliokuwa wakimkanya, walimwachia ngoma alizotaka kuzicheza. Hapa akagundua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye.
Shida aliishi na nani kijijini
{ "text": [ "Baba na mama" ] }
3137_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji kimoja palishi msichana mmoja aliyeitwa Shida. Shida alisifika sana kwa urembo wake na pia masomoni mwake. Alikuwa mwenye sura nzuri lakini tabia zake zilikuna za kishetani. Tangu aingie kidato cha pili, alizidisha tabia zake mbovu na akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Nyumbani, alikuwa hajishughulishi kuwasaidia wazazi wake kazi. Alikuwa akiamka yeye ni kigugu na njia. Wazazi wake walijaribu kumkanya lakini alijifanya pweza na miguu minane. Halikadhalika, aliwaona wazazi wake hawampendi na kuwalaumu. Vidole vya lawama kwa wazazi wake aliwatupia kila siku. Alikuwa kusema, kwani hakutaka kupingwa na mtu pindi alipotaka kufanya jambo lake. Siku moja, Shida kama desturi yake ya baada ya kiamsha kinywa, alitoka na kuenda matembezini kwake kwa kila siku. Shida alikuwa na rafikiye mvulana aliyemsifia kuwa alikuwa mtanashati kuliko wavulana wote. Lisilojulikana ni usiku wa giza. Maskini alijibeba mguu mosi mguu pili hadi kwa kina huyu kijana aliyeitwa Mashaka. Alipofika alimkuta Mashaka akiwa tayari kuenda kilabuni kilicho kuwa karibu na nyumba ya akina Mashaka. Baada ya muda mfupi walielekea ndani ya kilabu hiyo na Mashaka alimwambia Shida kwanza wapate sharubati aliyoisifu kwa ladha yake tamu. Bila kusita, Shida alikubali na kubugia pombe. Alipomaliza, alijihisi hajiwezi na Mashaka akaamua kununua chumba walichotumia kulala. Mashaka aliyekuwa amepanga mipango yake aina ainati, alimbeba hadi chumbani mle. Walibaki mle hadi usiku. Usiku wa manane, Mashaka alimkimbia mwenziwe. Ilipofika majira ya mawiyo, kabla jua kuchomoza, Shida alijikuta hajiwezi. Pale kitandani yuko peke yake. Alikusanya na kufunganya virago vyake kuelekea nyumbani kwao. Kweli ni kuwa wahenga hawakukosea waliponena kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kwani hapa tayari alikuwa hana usichana wake. Alipowasili nyumbani, wazaziwe walitaka kujua alikokuwa ameenda lakini waliambulia patupu. Shida alipitia chumbani kwake na kujifungia na ndani. Alijilaza kitandani kwake na akina amejawa na mawazo. Aliwaza na kuwazua cha kufanya lakini tayari maji yalikuwa yamemwagika na hayazoleki Aliyakumbuka yote ambayo wazazi wake waliokuwa wakimkanya, walimwachia ngoma alizotaka kuzicheza. Hapa akagundua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye.
Kwa nini Shida alisifika
{ "text": [ "Alikuwa mrembo na mweledi masomoni" ] }
3137_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji kimoja palishi msichana mmoja aliyeitwa Shida. Shida alisifika sana kwa urembo wake na pia masomoni mwake. Alikuwa mwenye sura nzuri lakini tabia zake zilikuna za kishetani. Tangu aingie kidato cha pili, alizidisha tabia zake mbovu na akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Nyumbani, alikuwa hajishughulishi kuwasaidia wazazi wake kazi. Alikuwa akiamka yeye ni kigugu na njia. Wazazi wake walijaribu kumkanya lakini alijifanya pweza na miguu minane. Halikadhalika, aliwaona wazazi wake hawampendi na kuwalaumu. Vidole vya lawama kwa wazazi wake aliwatupia kila siku. Alikuwa kusema, kwani hakutaka kupingwa na mtu pindi alipotaka kufanya jambo lake. Siku moja, Shida kama desturi yake ya baada ya kiamsha kinywa, alitoka na kuenda matembezini kwake kwa kila siku. Shida alikuwa na rafikiye mvulana aliyemsifia kuwa alikuwa mtanashati kuliko wavulana wote. Lisilojulikana ni usiku wa giza. Maskini alijibeba mguu mosi mguu pili hadi kwa kina huyu kijana aliyeitwa Mashaka. Alipofika alimkuta Mashaka akiwa tayari kuenda kilabuni kilicho kuwa karibu na nyumba ya akina Mashaka. Baada ya muda mfupi walielekea ndani ya kilabu hiyo na Mashaka alimwambia Shida kwanza wapate sharubati aliyoisifu kwa ladha yake tamu. Bila kusita, Shida alikubali na kubugia pombe. Alipomaliza, alijihisi hajiwezi na Mashaka akaamua kununua chumba walichotumia kulala. Mashaka aliyekuwa amepanga mipango yake aina ainati, alimbeba hadi chumbani mle. Walibaki mle hadi usiku. Usiku wa manane, Mashaka alimkimbia mwenziwe. Ilipofika majira ya mawiyo, kabla jua kuchomoza, Shida alijikuta hajiwezi. Pale kitandani yuko peke yake. Alikusanya na kufunganya virago vyake kuelekea nyumbani kwao. Kweli ni kuwa wahenga hawakukosea waliponena kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kwani hapa tayari alikuwa hana usichana wake. Alipowasili nyumbani, wazaziwe walitaka kujua alikokuwa ameenda lakini waliambulia patupu. Shida alipitia chumbani kwake na kujifungia na ndani. Alijilaza kitandani kwake na akina amejawa na mawazo. Aliwaza na kuwazua cha kufanya lakini tayari maji yalikuwa yamemwagika na hayazoleki Aliyakumbuka yote ambayo wazazi wake waliokuwa wakimkanya, walimwachia ngoma alizotaka kuzicheza. Hapa akagundua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye.
Kijana mtanashati rafiki ya Shida alifahamika kwa jina lipi
{ "text": [ "Mashaka" ] }
3137_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji kimoja palishi msichana mmoja aliyeitwa Shida. Shida alisifika sana kwa urembo wake na pia masomoni mwake. Alikuwa mwenye sura nzuri lakini tabia zake zilikuna za kishetani. Tangu aingie kidato cha pili, alizidisha tabia zake mbovu na akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Nyumbani, alikuwa hajishughulishi kuwasaidia wazazi wake kazi. Alikuwa akiamka yeye ni kigugu na njia. Wazazi wake walijaribu kumkanya lakini alijifanya pweza na miguu minane. Halikadhalika, aliwaona wazazi wake hawampendi na kuwalaumu. Vidole vya lawama kwa wazazi wake aliwatupia kila siku. Alikuwa kusema, kwani hakutaka kupingwa na mtu pindi alipotaka kufanya jambo lake. Siku moja, Shida kama desturi yake ya baada ya kiamsha kinywa, alitoka na kuenda matembezini kwake kwa kila siku. Shida alikuwa na rafikiye mvulana aliyemsifia kuwa alikuwa mtanashati kuliko wavulana wote. Lisilojulikana ni usiku wa giza. Maskini alijibeba mguu mosi mguu pili hadi kwa kina huyu kijana aliyeitwa Mashaka. Alipofika alimkuta Mashaka akiwa tayari kuenda kilabuni kilicho kuwa karibu na nyumba ya akina Mashaka. Baada ya muda mfupi walielekea ndani ya kilabu hiyo na Mashaka alimwambia Shida kwanza wapate sharubati aliyoisifu kwa ladha yake tamu. Bila kusita, Shida alikubali na kubugia pombe. Alipomaliza, alijihisi hajiwezi na Mashaka akaamua kununua chumba walichotumia kulala. Mashaka aliyekuwa amepanga mipango yake aina ainati, alimbeba hadi chumbani mle. Walibaki mle hadi usiku. Usiku wa manane, Mashaka alimkimbia mwenziwe. Ilipofika majira ya mawiyo, kabla jua kuchomoza, Shida alijikuta hajiwezi. Pale kitandani yuko peke yake. Alikusanya na kufunganya virago vyake kuelekea nyumbani kwao. Kweli ni kuwa wahenga hawakukosea waliponena kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kwani hapa tayari alikuwa hana usichana wake. Alipowasili nyumbani, wazaziwe walitaka kujua alikokuwa ameenda lakini waliambulia patupu. Shida alipitia chumbani kwake na kujifungia na ndani. Alijilaza kitandani kwake na akina amejawa na mawazo. Aliwaza na kuwazua cha kufanya lakini tayari maji yalikuwa yamemwagika na hayazoleki Aliyakumbuka yote ambayo wazazi wake waliokuwa wakimkanya, walimwachia ngoma alizotaka kuzicheza. Hapa akagundua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye.
Mashaka alimtoroka Shida wakati gani na wapi
{ "text": [ "Chumbani na usiku wa manane" ] }
3137_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Katika kijiji kimoja palishi msichana mmoja aliyeitwa Shida. Shida alisifika sana kwa urembo wake na pia masomoni mwake. Alikuwa mwenye sura nzuri lakini tabia zake zilikuna za kishetani. Tangu aingie kidato cha pili, alizidisha tabia zake mbovu na akawa hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini. Nyumbani, alikuwa hajishughulishi kuwasaidia wazazi wake kazi. Alikuwa akiamka yeye ni kigugu na njia. Wazazi wake walijaribu kumkanya lakini alijifanya pweza na miguu minane. Halikadhalika, aliwaona wazazi wake hawampendi na kuwalaumu. Vidole vya lawama kwa wazazi wake aliwatupia kila siku. Alikuwa kusema, kwani hakutaka kupingwa na mtu pindi alipotaka kufanya jambo lake. Siku moja, Shida kama desturi yake ya baada ya kiamsha kinywa, alitoka na kuenda matembezini kwake kwa kila siku. Shida alikuwa na rafikiye mvulana aliyemsifia kuwa alikuwa mtanashati kuliko wavulana wote. Lisilojulikana ni usiku wa giza. Maskini alijibeba mguu mosi mguu pili hadi kwa kina huyu kijana aliyeitwa Mashaka. Alipofika alimkuta Mashaka akiwa tayari kuenda kilabuni kilicho kuwa karibu na nyumba ya akina Mashaka. Baada ya muda mfupi walielekea ndani ya kilabu hiyo na Mashaka alimwambia Shida kwanza wapate sharubati aliyoisifu kwa ladha yake tamu. Bila kusita, Shida alikubali na kubugia pombe. Alipomaliza, alijihisi hajiwezi na Mashaka akaamua kununua chumba walichotumia kulala. Mashaka aliyekuwa amepanga mipango yake aina ainati, alimbeba hadi chumbani mle. Walibaki mle hadi usiku. Usiku wa manane, Mashaka alimkimbia mwenziwe. Ilipofika majira ya mawiyo, kabla jua kuchomoza, Shida alijikuta hajiwezi. Pale kitandani yuko peke yake. Alikusanya na kufunganya virago vyake kuelekea nyumbani kwao. Kweli ni kuwa wahenga hawakukosea waliponena kuwa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kwani hapa tayari alikuwa hana usichana wake. Alipowasili nyumbani, wazaziwe walitaka kujua alikokuwa ameenda lakini waliambulia patupu. Shida alipitia chumbani kwake na kujifungia na ndani. Alijilaza kitandani kwake na akina amejawa na mawazo. Aliwaza na kuwazua cha kufanya lakini tayari maji yalikuwa yamemwagika na hayazoleki Aliyakumbuka yote ambayo wazazi wake waliokuwa wakimkanya, walimwachia ngoma alizotaka kuzicheza. Hapa akagundua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye.
Sharubati alioibugia Shida ilikuwa gani
{ "text": [ "Pombe" ] }
3138_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hesabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zing nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala shule na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapo tafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknologia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hesabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Tekinolojia ni maarifa ya nini
{ "text": [ "Sayansi" ] }
3138_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hesabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zing nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala shule na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapo tafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknologia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hesabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Wanafunzi wanatumia nini kufanya hisabati
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3138_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hesabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zing nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala shule na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapo tafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknologia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hesabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Ni nini hutumiwa kuwafunza wanafunzi
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3138_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hesabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zing nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala shule na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapo tafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknologia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hesabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Wanafunzi wanatazama nini
{ "text": [ "Ponografia" ] }
3138_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeleta faida katika shule za sekondari na vile vile pia imeleta madhara katika shule hizi. Teknolojia imeleta faida sana hasa katika kwa wanafunzi. Wanafunzi hutumia vikokotoo wanapofanya masomo yanayohitaji kuhesabu kama vile hesabati na fizikia. Wanafunzi wanapopewa kazi hizi, huzifanya kwa haraka na kwa muda mfupi. Pia huwasaidia kufanya hesabu ambazo hawawezi kuzifanya kutumia akili zao kwani labda zing nambari nyingi na kubwa hasa katika hesabu za mara. Pia imesaidia katika kutunga mitihani. Walimu hutumia tarakilishi kutunga mtihani na hata kutoa nakala za makaratasi kulingana na idadi ya wanafunzi. Hii huchukua muda mfupi kwa walimu pia kuwaepusha kuchoka. Tarakilishi pia hutumika kufunza wanafunzi katika masomo gulani kama vile kemia. Wanafunzi huonyeshwa jinsi bidhaa fulani zinavyotengenezwa kutumia njia mbalimbali kama vile “Haber process, frasch process na zinginezo ambapo wanafunzi huelewa vizuri na kufuzu katika masomo yao. Kuna televisheni za kamera ambazo huwekwa maofisini mwa walimu, mabweni kwa walio shule za kulala shule na hata madarasani. Hizi hurekodi mambo yanayotokea katika sehemu hizo ili kuwa na ushahidi kitu kibaya kinapotokea. Hii imewafanya watu wengi shuleni kuheshimiana na kutotendeana vitu vibaya. Walimu pia hutumia kompyuta kutuma ujumbe mbalimbali kwa wazazi labda kuhusu mkutano na hata kutuma matokeo ya wanafunzi kwa wazazi na walezi wao. Hii husaidia pia kila wakati ujumbe unapohitajika kwa haraka. Simu zimesaidia sana wanafunzi na hata walimu wanapo tafuta walimu wenzao hapo shuleni, kama mwalimu fulani anahitajika na haonekani hupigiwa na kuulizwa mahali alipo. Na pia wanafunzi huwapigia wazazi, walezi na hata jamii zao kuwajulia hali zao. Vile vile teknologia imeleta madhara hasa pale kwa wanafunzi. Wanafunzi wamekuwa wazembe mno wanapopewa kazi kama hesabati hawawezi kuzifanya kutumia akili zao, wao huona mbona wasitumie vikokotoo kufanya hesabu. Hao hujikuta wanatumia maana wamezoea na mwishowe huanguka mtihani. Tarakilishi pia wakati mwingine haiandiki maneno yote katika karatasi za mtihani bali huruka baadhi ya maneno. Hii huleta kutoeleweka kwa maswali ya mtihani na pia kuleta madhara kwa mwalimu anayehusika maana itambidi aende kwa wanafunzi wabadilishe baadhi ya sehemu za karatasi hizo. Tarakilishi pia imewafanya wanafunzi kujiunga na mambo maovu kama vile kutazama ponografia. Wanafunzi wanapoambiwa waende katika ofisi ya tarakilishi, huenda wasiende kutazama masomo bali kutazama vitu vinavyowafurahisha.
Kwa nini waliopo shuleni huwa na hofu
{ "text": [ "Kwa sababu ya televisheni za kamera" ] }
3139_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote anayeambiwa na wavyele wake kuhusu jambo fulani na athari zake alafu asizifuate, basi mtu huyo mwishowe hupatwa na balaa itakayomuumiza maishani. Hutumika kuwaonya watu wasio yaheshimu maoni ya wavyele wao. Razia alikuwa msichana mrembo sana aliyebarikiwa na kila kiungo mahali pake palipo stahili. Pia urembo huo uliendana na tabia zake. Sio wazazi waliuona urembo huo tu bali hata majirani, wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Razia aliwaheshimu wazazi wake na alipoonywa alionyeka lakini punde tu tabia zake zilibadilika ghafla. Razia alianza kuutumia urembo wake vibaya kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alianza kuwadharau wazazi wake na watu wengine walipomsihi abadilishe mienendo yake lakini alisikika akisema pilipili msio ila yawawashiani? Wazazi wake walimuonya mara nyingi lakini bidii zao hazikufua dafu na wakamuachia ulimwengu. Mara alipatikana na wavulana tofauti tofauti akitembea nao. Maovu haya yalimfanya Razia aliyekuwa wembe darasani kudidimia. Alianza kudorora masomi. Baada ya muda mfupi, Razia alisikika kuwa anaugua. Watu hawakuamini. Razia alilazwa hospitalini na daktari alipomchunguza aligundua kuwa aliugua ugonjwa wa Ukimwi. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wazazi wake walipomtembelea hospitalini, walimkuta Razia amelazwa kitandani. Mwili aliokuwa nao hapo jadi ulipukutika na kubaki kuwa mitura. Alikonda kama sindano. Wazazi wake walipomtazama hawakuamini macho yao. Marafiki zake pia walisikitika na hali hii aliyokuwa nayo Razia. Hii ilileta masikitiko kwa watu hawa. Walijua kuwa hangeweza ishi kama zamani. Pia iliwafunza watu kuwa wanapaswa kuheshimu maoni ya watu hasa ya wavyele wao ili waishi vyema. Na wasipoyaheshimu basi wataingia kwenye majanga kama Razia.
Msichana mrembo aliyebarikiwa na kila kiungo mahali pake aliitwa nani
{ "text": [ "Razia" ] }
3139_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote anayeambiwa na wavyele wake kuhusu jambo fulani na athari zake alafu asizifuate, basi mtu huyo mwishowe hupatwa na balaa itakayomuumiza maishani. Hutumika kuwaonya watu wasio yaheshimu maoni ya wavyele wao. Razia alikuwa msichana mrembo sana aliyebarikiwa na kila kiungo mahali pake palipo stahili. Pia urembo huo uliendana na tabia zake. Sio wazazi waliuona urembo huo tu bali hata majirani, wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Razia aliwaheshimu wazazi wake na alipoonywa alionyeka lakini punde tu tabia zake zilibadilika ghafla. Razia alianza kuutumia urembo wake vibaya kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alianza kuwadharau wazazi wake na watu wengine walipomsihi abadilishe mienendo yake lakini alisikika akisema pilipili msio ila yawawashiani? Wazazi wake walimuonya mara nyingi lakini bidii zao hazikufua dafu na wakamuachia ulimwengu. Mara alipatikana na wavulana tofauti tofauti akitembea nao. Maovu haya yalimfanya Razia aliyekuwa wembe darasani kudidimia. Alianza kudorora masomi. Baada ya muda mfupi, Razia alisikika kuwa anaugua. Watu hawakuamini. Razia alilazwa hospitalini na daktari alipomchunguza aligundua kuwa aliugua ugonjwa wa Ukimwi. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wazazi wake walipomtembelea hospitalini, walimkuta Razia amelazwa kitandani. Mwili aliokuwa nao hapo jadi ulipukutika na kubaki kuwa mitura. Alikonda kama sindano. Wazazi wake walipomtazama hawakuamini macho yao. Marafiki zake pia walisikitika na hali hii aliyokuwa nayo Razia. Hii ilileta masikitiko kwa watu hawa. Walijua kuwa hangeweza ishi kama zamani. Pia iliwafunza watu kuwa wanapaswa kuheshimu maoni ya watu hasa ya wavyele wao ili waishi vyema. Na wasipoyaheshimu basi wataingia kwenye majanga kama Razia.
Nani alianza kuwadharau wazazi na watu wengine
{ "text": [ "Razia" ] }
3139_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote anayeambiwa na wavyele wake kuhusu jambo fulani na athari zake alafu asizifuate, basi mtu huyo mwishowe hupatwa na balaa itakayomuumiza maishani. Hutumika kuwaonya watu wasio yaheshimu maoni ya wavyele wao. Razia alikuwa msichana mrembo sana aliyebarikiwa na kila kiungo mahali pake palipo stahili. Pia urembo huo uliendana na tabia zake. Sio wazazi waliuona urembo huo tu bali hata majirani, wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Razia aliwaheshimu wazazi wake na alipoonywa alionyeka lakini punde tu tabia zake zilibadilika ghafla. Razia alianza kuutumia urembo wake vibaya kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alianza kuwadharau wazazi wake na watu wengine walipomsihi abadilishe mienendo yake lakini alisikika akisema pilipili msio ila yawawashiani? Wazazi wake walimuonya mara nyingi lakini bidii zao hazikufua dafu na wakamuachia ulimwengu. Mara alipatikana na wavulana tofauti tofauti akitembea nao. Maovu haya yalimfanya Razia aliyekuwa wembe darasani kudidimia. Alianza kudorora masomi. Baada ya muda mfupi, Razia alisikika kuwa anaugua. Watu hawakuamini. Razia alilazwa hospitalini na daktari alipomchunguza aligundua kuwa aliugua ugonjwa wa Ukimwi. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wazazi wake walipomtembelea hospitalini, walimkuta Razia amelazwa kitandani. Mwili aliokuwa nao hapo jadi ulipukutika na kubaki kuwa mitura. Alikonda kama sindano. Wazazi wake walipomtazama hawakuamini macho yao. Marafiki zake pia walisikitika na hali hii aliyokuwa nayo Razia. Hii ilileta masikitiko kwa watu hawa. Walijua kuwa hangeweza ishi kama zamani. Pia iliwafunza watu kuwa wanapaswa kuheshimu maoni ya watu hasa ya wavyele wao ili waishi vyema. Na wasipoyaheshimu basi wataingia kwenye majanga kama Razia.
Razia aliugua ugonjwa gani
{ "text": [ "ukimwi" ] }
3139_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote anayeambiwa na wavyele wake kuhusu jambo fulani na athari zake alafu asizifuate, basi mtu huyo mwishowe hupatwa na balaa itakayomuumiza maishani. Hutumika kuwaonya watu wasio yaheshimu maoni ya wavyele wao. Razia alikuwa msichana mrembo sana aliyebarikiwa na kila kiungo mahali pake palipo stahili. Pia urembo huo uliendana na tabia zake. Sio wazazi waliuona urembo huo tu bali hata majirani, wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Razia aliwaheshimu wazazi wake na alipoonywa alionyeka lakini punde tu tabia zake zilibadilika ghafla. Razia alianza kuutumia urembo wake vibaya kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alianza kuwadharau wazazi wake na watu wengine walipomsihi abadilishe mienendo yake lakini alisikika akisema pilipili msio ila yawawashiani? Wazazi wake walimuonya mara nyingi lakini bidii zao hazikufua dafu na wakamuachia ulimwengu. Mara alipatikana na wavulana tofauti tofauti akitembea nao. Maovu haya yalimfanya Razia aliyekuwa wembe darasani kudidimia. Alianza kudorora masomi. Baada ya muda mfupi, Razia alisikika kuwa anaugua. Watu hawakuamini. Razia alilazwa hospitalini na daktari alipomchunguza aligundua kuwa aliugua ugonjwa wa Ukimwi. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wazazi wake walipomtembelea hospitalini, walimkuta Razia amelazwa kitandani. Mwili aliokuwa nao hapo jadi ulipukutika na kubaki kuwa mitura. Alikonda kama sindano. Wazazi wake walipomtazama hawakuamini macho yao. Marafiki zake pia walisikitika na hali hii aliyokuwa nayo Razia. Hii ilileta masikitiko kwa watu hawa. Walijua kuwa hangeweza ishi kama zamani. Pia iliwafunza watu kuwa wanapaswa kuheshimu maoni ya watu hasa ya wavyele wao ili waishi vyema. Na wasipoyaheshimu basi wataingia kwenye majanga kama Razia.
Wazazi walimpata Razia amelazwa kitandani lini
{ "text": [ "walipomtembelea hospitalini" ] }
3139_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maanisha kuwa mtu yeyote anayeambiwa na wavyele wake kuhusu jambo fulani na athari zake alafu asizifuate, basi mtu huyo mwishowe hupatwa na balaa itakayomuumiza maishani. Hutumika kuwaonya watu wasio yaheshimu maoni ya wavyele wao. Razia alikuwa msichana mrembo sana aliyebarikiwa na kila kiungo mahali pake palipo stahili. Pia urembo huo uliendana na tabia zake. Sio wazazi waliuona urembo huo tu bali hata majirani, wazee kwa vijana na wasichana kwa wavulana. Razia aliwaheshimu wazazi wake na alipoonywa alionyeka lakini punde tu tabia zake zilibadilika ghafla. Razia alianza kuutumia urembo wake vibaya kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Alianza kuwadharau wazazi wake na watu wengine walipomsihi abadilishe mienendo yake lakini alisikika akisema pilipili msio ila yawawashiani? Wazazi wake walimuonya mara nyingi lakini bidii zao hazikufua dafu na wakamuachia ulimwengu. Mara alipatikana na wavulana tofauti tofauti akitembea nao. Maovu haya yalimfanya Razia aliyekuwa wembe darasani kudidimia. Alianza kudorora masomi. Baada ya muda mfupi, Razia alisikika kuwa anaugua. Watu hawakuamini. Razia alilazwa hospitalini na daktari alipomchunguza aligundua kuwa aliugua ugonjwa wa Ukimwi. Kwa kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Wazazi wake walipomtembelea hospitalini, walimkuta Razia amelazwa kitandani. Mwili aliokuwa nao hapo jadi ulipukutika na kubaki kuwa mitura. Alikonda kama sindano. Wazazi wake walipomtazama hawakuamini macho yao. Marafiki zake pia walisikitika na hali hii aliyokuwa nayo Razia. Hii ilileta masikitiko kwa watu hawa. Walijua kuwa hangeweza ishi kama zamani. Pia iliwafunza watu kuwa wanapaswa kuheshimu maoni ya watu hasa ya wavyele wao ili waishi vyema. Na wasipoyaheshimu basi wataingia kwenye majanga kama Razia.
Kwa nini Razia alianza kudondoka masomoni
{ "text": [ "alianza kutembea na wavulana tofauti tofauti" ] }
3140_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Kuna aina nyingi ya mitambo kama vile tarakilishi, simu, kikokotoo, ATM, na kadhalika. Fauka ya haya, mitambo hii ina matumizi yake. Tukielekea moja kwa moja hadi kwa tarakilishi, ambayo pia huitwa kompyuta hutumiwa kuhifadhi data. Tarakilishi zimeweza kurahisisha kazi tofauti tofauti kama kupanga ratiba ya masomo shuleni, kupima magonjwa hospitalini na pia kutuma barua. Hii imeleta faida kubwa kwa wafanyakazi wa sekta hizo. Hata hivyo hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro. Kando na kuwa husaidia, tarakilishi hizi zina bei kubwa sana. Swala kama hili hutegemea na kiwango cha mtu cha pesa na ukosefu wa umeme pia huchangia pakubwa. Iwapo hakuna umeme, kazi hizi hazifanyiki. Teknolojia imewafanya watu kuwa wavivu katika majukumu yao. Tukiangalia swala la walimu shuleni, wameadimika kama Mayai ya paka kutumia vitabu kwani mitandao imeweza kuwarahisishia kazi. Wanatumia simu au tarakilishi kufundishia na pia kujibu maswali kutumia mitambo hiyo. Hii imeleta changamoto kubwa kwani wanafunzi wanajukumika kurudi kwa vitabu na kupekua kwa bidii ili kujisaidia wenyewe. Tukiangalia swala la wanafunzi shuleni, kikokotoo kimeweza kuwarahisishia kazi kwani katika somo la hisabati hutumia kikokotoo kutafuta majibu. Swala hili limewafanya wanafunzi kuwa wavivu kutumia akili zao na kupenda vya bure. Hata hivyo kuna mitambo ya ATM ambayo imeweza kuwafanya watu kutoa hela zao bila wasiwasi wakati wa shida. Huenda anahitaji pesa kwa dharura fulani na benki haitoi huduma za kawaida wakati huo. ATM imewafanya wateja kupunguziwa mzigo wa kupiga foleni ndefu akisubiri kupewa huduma katika benki. Milolongo hii ilichosha mno na licha ya kupoteza wakati ambao wateja wangetumia kwa mambo mengine. Naam, katika swala hili, technologia imeleta madhara mengi sana hususan kwa wanafunzi wa shuleni. Inasikitisha kuwaona wanafunzi kuangukia pabaya kwa kutumia mitandao hii. Vijana wamelazimika kuangalia picha mbaya mbaya na hata kujiingiza kwa makundi yasiyostahili. Huu ni ukosefu wa nidhamu kwani imewabidi wazazi kujikaza kisabuni ili kuwaepusha wanawao na mitego hii. Tukiangalia swala la wasichana kuvaa nguo zilizo fupi na kuonyesha uchi wao, teknolojia hizi zimechangia pakubwa kwani wasichana wamebobea katika tabia hizi. Inawabidi wazazi, walimu na hata wanafunzi kufunguka macho katika maswala haya kwani, majuto ni mjukuu na huja baadae.
Teknolojia ni aina ya elimu gani?
{ "text": [ "Kisayansi" ] }
3140_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Kuna aina nyingi ya mitambo kama vile tarakilishi, simu, kikokotoo, ATM, na kadhalika. Fauka ya haya, mitambo hii ina matumizi yake. Tukielekea moja kwa moja hadi kwa tarakilishi, ambayo pia huitwa kompyuta hutumiwa kuhifadhi data. Tarakilishi zimeweza kurahisisha kazi tofauti tofauti kama kupanga ratiba ya masomo shuleni, kupima magonjwa hospitalini na pia kutuma barua. Hii imeleta faida kubwa kwa wafanyakazi wa sekta hizo. Hata hivyo hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro. Kando na kuwa husaidia, tarakilishi hizi zina bei kubwa sana. Swala kama hili hutegemea na kiwango cha mtu cha pesa na ukosefu wa umeme pia huchangia pakubwa. Iwapo hakuna umeme, kazi hizi hazifanyiki. Teknolojia imewafanya watu kuwa wavivu katika majukumu yao. Tukiangalia swala la walimu shuleni, wameadimika kama Mayai ya paka kutumia vitabu kwani mitandao imeweza kuwarahisishia kazi. Wanatumia simu au tarakilishi kufundishia na pia kujibu maswali kutumia mitambo hiyo. Hii imeleta changamoto kubwa kwani wanafunzi wanajukumika kurudi kwa vitabu na kupekua kwa bidii ili kujisaidia wenyewe. Tukiangalia swala la wanafunzi shuleni, kikokotoo kimeweza kuwarahisishia kazi kwani katika somo la hisabati hutumia kikokotoo kutafuta majibu. Swala hili limewafanya wanafunzi kuwa wavivu kutumia akili zao na kupenda vya bure. Hata hivyo kuna mitambo ya ATM ambayo imeweza kuwafanya watu kutoa hela zao bila wasiwasi wakati wa shida. Huenda anahitaji pesa kwa dharura fulani na benki haitoi huduma za kawaida wakati huo. ATM imewafanya wateja kupunguziwa mzigo wa kupiga foleni ndefu akisubiri kupewa huduma katika benki. Milolongo hii ilichosha mno na licha ya kupoteza wakati ambao wateja wangetumia kwa mambo mengine. Naam, katika swala hili, technologia imeleta madhara mengi sana hususan kwa wanafunzi wa shuleni. Inasikitisha kuwaona wanafunzi kuangukia pabaya kwa kutumia mitandao hii. Vijana wamelazimika kuangalia picha mbaya mbaya na hata kujiingiza kwa makundi yasiyostahili. Huu ni ukosefu wa nidhamu kwani imewabidi wazazi kujikaza kisabuni ili kuwaepusha wanawao na mitego hii. Tukiangalia swala la wasichana kuvaa nguo zilizo fupi na kuonyesha uchi wao, teknolojia hizi zimechangia pakubwa kwani wasichana wamebobea katika tabia hizi. Inawabidi wazazi, walimu na hata wanafunzi kufunguka macho katika maswala haya kwani, majuto ni mjukuu na huja baadae.
Jina lingine la tarakilishi ni lipi?
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
3140_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Kuna aina nyingi ya mitambo kama vile tarakilishi, simu, kikokotoo, ATM, na kadhalika. Fauka ya haya, mitambo hii ina matumizi yake. Tukielekea moja kwa moja hadi kwa tarakilishi, ambayo pia huitwa kompyuta hutumiwa kuhifadhi data. Tarakilishi zimeweza kurahisisha kazi tofauti tofauti kama kupanga ratiba ya masomo shuleni, kupima magonjwa hospitalini na pia kutuma barua. Hii imeleta faida kubwa kwa wafanyakazi wa sekta hizo. Hata hivyo hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro. Kando na kuwa husaidia, tarakilishi hizi zina bei kubwa sana. Swala kama hili hutegemea na kiwango cha mtu cha pesa na ukosefu wa umeme pia huchangia pakubwa. Iwapo hakuna umeme, kazi hizi hazifanyiki. Teknolojia imewafanya watu kuwa wavivu katika majukumu yao. Tukiangalia swala la walimu shuleni, wameadimika kama Mayai ya paka kutumia vitabu kwani mitandao imeweza kuwarahisishia kazi. Wanatumia simu au tarakilishi kufundishia na pia kujibu maswali kutumia mitambo hiyo. Hii imeleta changamoto kubwa kwani wanafunzi wanajukumika kurudi kwa vitabu na kupekua kwa bidii ili kujisaidia wenyewe. Tukiangalia swala la wanafunzi shuleni, kikokotoo kimeweza kuwarahisishia kazi kwani katika somo la hisabati hutumia kikokotoo kutafuta majibu. Swala hili limewafanya wanafunzi kuwa wavivu kutumia akili zao na kupenda vya bure. Hata hivyo kuna mitambo ya ATM ambayo imeweza kuwafanya watu kutoa hela zao bila wasiwasi wakati wa shida. Huenda anahitaji pesa kwa dharura fulani na benki haitoi huduma za kawaida wakati huo. ATM imewafanya wateja kupunguziwa mzigo wa kupiga foleni ndefu akisubiri kupewa huduma katika benki. Milolongo hii ilichosha mno na licha ya kupoteza wakati ambao wateja wangetumia kwa mambo mengine. Naam, katika swala hili, technologia imeleta madhara mengi sana hususan kwa wanafunzi wa shuleni. Inasikitisha kuwaona wanafunzi kuangukia pabaya kwa kutumia mitandao hii. Vijana wamelazimika kuangalia picha mbaya mbaya na hata kujiingiza kwa makundi yasiyostahili. Huu ni ukosefu wa nidhamu kwani imewabidi wazazi kujikaza kisabuni ili kuwaepusha wanawao na mitego hii. Tukiangalia swala la wasichana kuvaa nguo zilizo fupi na kuonyesha uchi wao, teknolojia hizi zimechangia pakubwa kwani wasichana wamebobea katika tabia hizi. Inawabidi wazazi, walimu na hata wanafunzi kufunguka macho katika maswala haya kwani, majuto ni mjukuu na huja baadae.
Walimu wameadimika shuleni kama nini?
{ "text": [ "Mayai" ] }
3140_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Kuna aina nyingi ya mitambo kama vile tarakilishi, simu, kikokotoo, ATM, na kadhalika. Fauka ya haya, mitambo hii ina matumizi yake. Tukielekea moja kwa moja hadi kwa tarakilishi, ambayo pia huitwa kompyuta hutumiwa kuhifadhi data. Tarakilishi zimeweza kurahisisha kazi tofauti tofauti kama kupanga ratiba ya masomo shuleni, kupima magonjwa hospitalini na pia kutuma barua. Hii imeleta faida kubwa kwa wafanyakazi wa sekta hizo. Hata hivyo hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro. Kando na kuwa husaidia, tarakilishi hizi zina bei kubwa sana. Swala kama hili hutegemea na kiwango cha mtu cha pesa na ukosefu wa umeme pia huchangia pakubwa. Iwapo hakuna umeme, kazi hizi hazifanyiki. Teknolojia imewafanya watu kuwa wavivu katika majukumu yao. Tukiangalia swala la walimu shuleni, wameadimika kama Mayai ya paka kutumia vitabu kwani mitandao imeweza kuwarahisishia kazi. Wanatumia simu au tarakilishi kufundishia na pia kujibu maswali kutumia mitambo hiyo. Hii imeleta changamoto kubwa kwani wanafunzi wanajukumika kurudi kwa vitabu na kupekua kwa bidii ili kujisaidia wenyewe. Tukiangalia swala la wanafunzi shuleni, kikokotoo kimeweza kuwarahisishia kazi kwani katika somo la hisabati hutumia kikokotoo kutafuta majibu. Swala hili limewafanya wanafunzi kuwa wavivu kutumia akili zao na kupenda vya bure. Hata hivyo kuna mitambo ya ATM ambayo imeweza kuwafanya watu kutoa hela zao bila wasiwasi wakati wa shida. Huenda anahitaji pesa kwa dharura fulani na benki haitoi huduma za kawaida wakati huo. ATM imewafanya wateja kupunguziwa mzigo wa kupiga foleni ndefu akisubiri kupewa huduma katika benki. Milolongo hii ilichosha mno na licha ya kupoteza wakati ambao wateja wangetumia kwa mambo mengine. Naam, katika swala hili, technologia imeleta madhara mengi sana hususan kwa wanafunzi wa shuleni. Inasikitisha kuwaona wanafunzi kuangukia pabaya kwa kutumia mitandao hii. Vijana wamelazimika kuangalia picha mbaya mbaya na hata kujiingiza kwa makundi yasiyostahili. Huu ni ukosefu wa nidhamu kwani imewabidi wazazi kujikaza kisabuni ili kuwaepusha wanawao na mitego hii. Tukiangalia swala la wasichana kuvaa nguo zilizo fupi na kuonyesha uchi wao, teknolojia hizi zimechangia pakubwa kwani wasichana wamebobea katika tabia hizi. Inawabidi wazazi, walimu na hata wanafunzi kufunguka macho katika maswala haya kwani, majuto ni mjukuu na huja baadae.
Wanafunzi wanajukumu la kupekua nini?
{ "text": [ "Vitabu" ] }
3140_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Kuna aina nyingi ya mitambo kama vile tarakilishi, simu, kikokotoo, ATM, na kadhalika. Fauka ya haya, mitambo hii ina matumizi yake. Tukielekea moja kwa moja hadi kwa tarakilishi, ambayo pia huitwa kompyuta hutumiwa kuhifadhi data. Tarakilishi zimeweza kurahisisha kazi tofauti tofauti kama kupanga ratiba ya masomo shuleni, kupima magonjwa hospitalini na pia kutuma barua. Hii imeleta faida kubwa kwa wafanyakazi wa sekta hizo. Hata hivyo hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro. Kando na kuwa husaidia, tarakilishi hizi zina bei kubwa sana. Swala kama hili hutegemea na kiwango cha mtu cha pesa na ukosefu wa umeme pia huchangia pakubwa. Iwapo hakuna umeme, kazi hizi hazifanyiki. Teknolojia imewafanya watu kuwa wavivu katika majukumu yao. Tukiangalia swala la walimu shuleni, wameadimika kama Mayai ya paka kutumia vitabu kwani mitandao imeweza kuwarahisishia kazi. Wanatumia simu au tarakilishi kufundishia na pia kujibu maswali kutumia mitambo hiyo. Hii imeleta changamoto kubwa kwani wanafunzi wanajukumika kurudi kwa vitabu na kupekua kwa bidii ili kujisaidia wenyewe. Tukiangalia swala la wanafunzi shuleni, kikokotoo kimeweza kuwarahisishia kazi kwani katika somo la hisabati hutumia kikokotoo kutafuta majibu. Swala hili limewafanya wanafunzi kuwa wavivu kutumia akili zao na kupenda vya bure. Hata hivyo kuna mitambo ya ATM ambayo imeweza kuwafanya watu kutoa hela zao bila wasiwasi wakati wa shida. Huenda anahitaji pesa kwa dharura fulani na benki haitoi huduma za kawaida wakati huo. ATM imewafanya wateja kupunguziwa mzigo wa kupiga foleni ndefu akisubiri kupewa huduma katika benki. Milolongo hii ilichosha mno na licha ya kupoteza wakati ambao wateja wangetumia kwa mambo mengine. Naam, katika swala hili, technologia imeleta madhara mengi sana hususan kwa wanafunzi wa shuleni. Inasikitisha kuwaona wanafunzi kuangukia pabaya kwa kutumia mitandao hii. Vijana wamelazimika kuangalia picha mbaya mbaya na hata kujiingiza kwa makundi yasiyostahili. Huu ni ukosefu wa nidhamu kwani imewabidi wazazi kujikaza kisabuni ili kuwaepusha wanawao na mitego hii. Tukiangalia swala la wasichana kuvaa nguo zilizo fupi na kuonyesha uchi wao, teknolojia hizi zimechangia pakubwa kwani wasichana wamebobea katika tabia hizi. Inawabidi wazazi, walimu na hata wanafunzi kufunguka macho katika maswala haya kwani, majuto ni mjukuu na huja baadae.
Tarakilishi inawafaidi walimu kwa njia gani?
{ "text": [ "Wanaweza kupanga ratiba ya masomo" ] }
3141_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa, mtu anapokosa kusikia wasia wa wazazi wake au wakuu wake, basi huenda akapata shida mbeleni. Methali hii imewalenga wale ambao hukosa kuyafanya mambo au kutii maneno waliopewa na wavyele wao mwisho huumia wenyewe. Usemi huu umelandana na methali isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Katika kitongoji cha Ugali mwitsi, paliondokea familia moja ya Mzee Kipanga na mkewe Karembo. Walibarikiwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Kazungu. Familia hii ilishi maisha ya ufukara. Walikuwa hawana mbele wala nyama. Kiamsha kinywa kwao kiliadimika kama maziwa ya kuku. Licha ya hayo yote, walijikaza kisabuni angalau mtoto wao apate elimu. Walizunguka huku na kule kwani walisadiki ya wahenga kuwa, atafutaye hachoki na akichoka kashapata. Ghulamu huyo alitia bidii masomoni na kuibuka wa kwanza kila mtihani. Walimu walimpenda na kumsifu kwa tabia zake nzuri. Hata hivyo, alifanikiwa kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Majibu yalipotoka, aliibuka mshindi na kwa kweli bidii hulipa na chanda chema huvikwa pete. Wavyele wake walifurahi wakijua fika kuwa mwana wao angewasaidia kutoka katika uchochole ule. Hatimaye miaka ilipita mingi kijana huyu akiwa nyumbani, huku wazazi wakitafuta pesa za kumpeleka shule ya sekondari. Katika pilka pilka za wazazi kutafuta pesa, kijana huyu aliamua kutokaa nyumbani bure. Aliamua kwenda mjini kutafuta vibarua ili kusaidia wazazi wake. Alipofika mjini, aliona dunia mpya iliyojaa raha na maisha mazuri. Alitambua kuwa kuna watu tofauti tofauti. Aliamua kujitosa katika makundi mbali mbali bila kujua kuwa alikuwa mwanafunzi. Alipata marafiki waliokuwa wakitumia dawa za kulevya, kuiba na kupora mali ya watu. Siku chache zikapita akaamua kurudi nyumbani. Alipofika, wazazi wake walizubaa na kuduwa kwa marejeo ya mtoto wao. Kazungu alikuwa amebadilika, hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Masikio yake aliyatia nta. Wazazi wake walijaribu kumuelezea lakini ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Aliamua kuwaambia wazazi wake kuwa yeye alikuwa mtu mzima aliyehitaji kujitegemea. Akawaaga wazazi wake na kuamua kurudi mjini. Wazazi walilia kwa uchungu kwani walijua kuwa usichokijua ni usiku wa giza. Siku moja alipokuwa na kundi hilo la vijana sugu, walipanga kwenda kumwibia mzee mmoja aliyekuwa mashuhuri sana. Waliandamana sako kwa bako hadi hapo. Aisee! Siku za mwizi ni arobaini. Hawakujua kuwa, mzee yule alikuwa ameweka mitego yake kila mahali. Hapo ndipo walipotamani dunia ipasuke iwameze wakiwa wazima. Mzee huyo aliwaita polisi na vijana wale wakakamatwa na kutiwa mbaroni. Hapo ndipo Kazungu alisadiki ya wahenga kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mzee wa familia aliitwa nani
{ "text": [ "mzee Kipanga" ] }
3141_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa, mtu anapokosa kusikia wasia wa wazazi wake au wakuu wake, basi huenda akapata shida mbeleni. Methali hii imewalenga wale ambao hukosa kuyafanya mambo au kutii maneno waliopewa na wavyele wao mwisho huumia wenyewe. Usemi huu umelandana na methali isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Katika kitongoji cha Ugali mwitsi, paliondokea familia moja ya Mzee Kipanga na mkewe Karembo. Walibarikiwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Kazungu. Familia hii ilishi maisha ya ufukara. Walikuwa hawana mbele wala nyama. Kiamsha kinywa kwao kiliadimika kama maziwa ya kuku. Licha ya hayo yote, walijikaza kisabuni angalau mtoto wao apate elimu. Walizunguka huku na kule kwani walisadiki ya wahenga kuwa, atafutaye hachoki na akichoka kashapata. Ghulamu huyo alitia bidii masomoni na kuibuka wa kwanza kila mtihani. Walimu walimpenda na kumsifu kwa tabia zake nzuri. Hata hivyo, alifanikiwa kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Majibu yalipotoka, aliibuka mshindi na kwa kweli bidii hulipa na chanda chema huvikwa pete. Wavyele wake walifurahi wakijua fika kuwa mwana wao angewasaidia kutoka katika uchochole ule. Hatimaye miaka ilipita mingi kijana huyu akiwa nyumbani, huku wazazi wakitafuta pesa za kumpeleka shule ya sekondari. Katika pilka pilka za wazazi kutafuta pesa, kijana huyu aliamua kutokaa nyumbani bure. Aliamua kwenda mjini kutafuta vibarua ili kusaidia wazazi wake. Alipofika mjini, aliona dunia mpya iliyojaa raha na maisha mazuri. Alitambua kuwa kuna watu tofauti tofauti. Aliamua kujitosa katika makundi mbali mbali bila kujua kuwa alikuwa mwanafunzi. Alipata marafiki waliokuwa wakitumia dawa za kulevya, kuiba na kupora mali ya watu. Siku chache zikapita akaamua kurudi nyumbani. Alipofika, wazazi wake walizubaa na kuduwa kwa marejeo ya mtoto wao. Kazungu alikuwa amebadilika, hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Masikio yake aliyatia nta. Wazazi wake walijaribu kumuelezea lakini ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Aliamua kuwaambia wazazi wake kuwa yeye alikuwa mtu mzima aliyehitaji kujitegemea. Akawaaga wazazi wake na kuamua kurudi mjini. Wazazi walilia kwa uchungu kwani walijua kuwa usichokijua ni usiku wa giza. Siku moja alipokuwa na kundi hilo la vijana sugu, walipanga kwenda kumwibia mzee mmoja aliyekuwa mashuhuri sana. Waliandamana sako kwa bako hadi hapo. Aisee! Siku za mwizi ni arobaini. Hawakujua kuwa, mzee yule alikuwa ameweka mitego yake kila mahali. Hapo ndipo walipotamani dunia ipasuke iwameze wakiwa wazima. Mzee huyo aliwaita polisi na vijana wale wakakamatwa na kutiwa mbaroni. Hapo ndipo Kazungu alisadiki ya wahenga kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mkewe mzee Kipanga aliitwa nani
{ "text": [ "Karembo" ] }
3141_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa, mtu anapokosa kusikia wasia wa wazazi wake au wakuu wake, basi huenda akapata shida mbeleni. Methali hii imewalenga wale ambao hukosa kuyafanya mambo au kutii maneno waliopewa na wavyele wao mwisho huumia wenyewe. Usemi huu umelandana na methali isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Katika kitongoji cha Ugali mwitsi, paliondokea familia moja ya Mzee Kipanga na mkewe Karembo. Walibarikiwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Kazungu. Familia hii ilishi maisha ya ufukara. Walikuwa hawana mbele wala nyama. Kiamsha kinywa kwao kiliadimika kama maziwa ya kuku. Licha ya hayo yote, walijikaza kisabuni angalau mtoto wao apate elimu. Walizunguka huku na kule kwani walisadiki ya wahenga kuwa, atafutaye hachoki na akichoka kashapata. Ghulamu huyo alitia bidii masomoni na kuibuka wa kwanza kila mtihani. Walimu walimpenda na kumsifu kwa tabia zake nzuri. Hata hivyo, alifanikiwa kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Majibu yalipotoka, aliibuka mshindi na kwa kweli bidii hulipa na chanda chema huvikwa pete. Wavyele wake walifurahi wakijua fika kuwa mwana wao angewasaidia kutoka katika uchochole ule. Hatimaye miaka ilipita mingi kijana huyu akiwa nyumbani, huku wazazi wakitafuta pesa za kumpeleka shule ya sekondari. Katika pilka pilka za wazazi kutafuta pesa, kijana huyu aliamua kutokaa nyumbani bure. Aliamua kwenda mjini kutafuta vibarua ili kusaidia wazazi wake. Alipofika mjini, aliona dunia mpya iliyojaa raha na maisha mazuri. Alitambua kuwa kuna watu tofauti tofauti. Aliamua kujitosa katika makundi mbali mbali bila kujua kuwa alikuwa mwanafunzi. Alipata marafiki waliokuwa wakitumia dawa za kulevya, kuiba na kupora mali ya watu. Siku chache zikapita akaamua kurudi nyumbani. Alipofika, wazazi wake walizubaa na kuduwa kwa marejeo ya mtoto wao. Kazungu alikuwa amebadilika, hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Masikio yake aliyatia nta. Wazazi wake walijaribu kumuelezea lakini ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Aliamua kuwaambia wazazi wake kuwa yeye alikuwa mtu mzima aliyehitaji kujitegemea. Akawaaga wazazi wake na kuamua kurudi mjini. Wazazi walilia kwa uchungu kwani walijua kuwa usichokijua ni usiku wa giza. Siku moja alipokuwa na kundi hilo la vijana sugu, walipanga kwenda kumwibia mzee mmoja aliyekuwa mashuhuri sana. Waliandamana sako kwa bako hadi hapo. Aisee! Siku za mwizi ni arobaini. Hawakujua kuwa, mzee yule alikuwa ameweka mitego yake kila mahali. Hapo ndipo walipotamani dunia ipasuke iwameze wakiwa wazima. Mzee huyo aliwaita polisi na vijana wale wakakamatwa na kutiwa mbaroni. Hapo ndipo Kazungu alisadiki ya wahenga kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mwanawe mzee Kipanga na mkewe Karembo aliitwa nani
{ "text": [ "Kazungu" ] }
3141_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa, mtu anapokosa kusikia wasia wa wazazi wake au wakuu wake, basi huenda akapata shida mbeleni. Methali hii imewalenga wale ambao hukosa kuyafanya mambo au kutii maneno waliopewa na wavyele wao mwisho huumia wenyewe. Usemi huu umelandana na methali isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Katika kitongoji cha Ugali mwitsi, paliondokea familia moja ya Mzee Kipanga na mkewe Karembo. Walibarikiwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Kazungu. Familia hii ilishi maisha ya ufukara. Walikuwa hawana mbele wala nyama. Kiamsha kinywa kwao kiliadimika kama maziwa ya kuku. Licha ya hayo yote, walijikaza kisabuni angalau mtoto wao apate elimu. Walizunguka huku na kule kwani walisadiki ya wahenga kuwa, atafutaye hachoki na akichoka kashapata. Ghulamu huyo alitia bidii masomoni na kuibuka wa kwanza kila mtihani. Walimu walimpenda na kumsifu kwa tabia zake nzuri. Hata hivyo, alifanikiwa kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Majibu yalipotoka, aliibuka mshindi na kwa kweli bidii hulipa na chanda chema huvikwa pete. Wavyele wake walifurahi wakijua fika kuwa mwana wao angewasaidia kutoka katika uchochole ule. Hatimaye miaka ilipita mingi kijana huyu akiwa nyumbani, huku wazazi wakitafuta pesa za kumpeleka shule ya sekondari. Katika pilka pilka za wazazi kutafuta pesa, kijana huyu aliamua kutokaa nyumbani bure. Aliamua kwenda mjini kutafuta vibarua ili kusaidia wazazi wake. Alipofika mjini, aliona dunia mpya iliyojaa raha na maisha mazuri. Alitambua kuwa kuna watu tofauti tofauti. Aliamua kujitosa katika makundi mbali mbali bila kujua kuwa alikuwa mwanafunzi. Alipata marafiki waliokuwa wakitumia dawa za kulevya, kuiba na kupora mali ya watu. Siku chache zikapita akaamua kurudi nyumbani. Alipofika, wazazi wake walizubaa na kuduwa kwa marejeo ya mtoto wao. Kazungu alikuwa amebadilika, hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Masikio yake aliyatia nta. Wazazi wake walijaribu kumuelezea lakini ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Aliamua kuwaambia wazazi wake kuwa yeye alikuwa mtu mzima aliyehitaji kujitegemea. Akawaaga wazazi wake na kuamua kurudi mjini. Wazazi walilia kwa uchungu kwani walijua kuwa usichokijua ni usiku wa giza. Siku moja alipokuwa na kundi hilo la vijana sugu, walipanga kwenda kumwibia mzee mmoja aliyekuwa mashuhuri sana. Waliandamana sako kwa bako hadi hapo. Aisee! Siku za mwizi ni arobaini. Hawakujua kuwa, mzee yule alikuwa ameweka mitego yake kila mahali. Hapo ndipo walipotamani dunia ipasuke iwameze wakiwa wazima. Mzee huyo aliwaita polisi na vijana wale wakakamatwa na kutiwa mbaroni. Hapo ndipo Kazungu alisadiki ya wahenga kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Vijana hao walikamatwa na kutiwa mbaroni lini
{ "text": [ "walipokwenda kumwibia mzee" ] }
3141_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kuwa, mtu anapokosa kusikia wasia wa wazazi wake au wakuu wake, basi huenda akapata shida mbeleni. Methali hii imewalenga wale ambao hukosa kuyafanya mambo au kutii maneno waliopewa na wavyele wao mwisho huumia wenyewe. Usemi huu umelandana na methali isemayo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Katika kitongoji cha Ugali mwitsi, paliondokea familia moja ya Mzee Kipanga na mkewe Karembo. Walibarikiwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Kazungu. Familia hii ilishi maisha ya ufukara. Walikuwa hawana mbele wala nyama. Kiamsha kinywa kwao kiliadimika kama maziwa ya kuku. Licha ya hayo yote, walijikaza kisabuni angalau mtoto wao apate elimu. Walizunguka huku na kule kwani walisadiki ya wahenga kuwa, atafutaye hachoki na akichoka kashapata. Ghulamu huyo alitia bidii masomoni na kuibuka wa kwanza kila mtihani. Walimu walimpenda na kumsifu kwa tabia zake nzuri. Hata hivyo, alifanikiwa kufanya mtihani wake wa darasa la nane. Majibu yalipotoka, aliibuka mshindi na kwa kweli bidii hulipa na chanda chema huvikwa pete. Wavyele wake walifurahi wakijua fika kuwa mwana wao angewasaidia kutoka katika uchochole ule. Hatimaye miaka ilipita mingi kijana huyu akiwa nyumbani, huku wazazi wakitafuta pesa za kumpeleka shule ya sekondari. Katika pilka pilka za wazazi kutafuta pesa, kijana huyu aliamua kutokaa nyumbani bure. Aliamua kwenda mjini kutafuta vibarua ili kusaidia wazazi wake. Alipofika mjini, aliona dunia mpya iliyojaa raha na maisha mazuri. Alitambua kuwa kuna watu tofauti tofauti. Aliamua kujitosa katika makundi mbali mbali bila kujua kuwa alikuwa mwanafunzi. Alipata marafiki waliokuwa wakitumia dawa za kulevya, kuiba na kupora mali ya watu. Siku chache zikapita akaamua kurudi nyumbani. Alipofika, wazazi wake walizubaa na kuduwa kwa marejeo ya mtoto wao. Kazungu alikuwa amebadilika, hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Masikio yake aliyatia nta. Wazazi wake walijaribu kumuelezea lakini ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Aliamua kuwaambia wazazi wake kuwa yeye alikuwa mtu mzima aliyehitaji kujitegemea. Akawaaga wazazi wake na kuamua kurudi mjini. Wazazi walilia kwa uchungu kwani walijua kuwa usichokijua ni usiku wa giza. Siku moja alipokuwa na kundi hilo la vijana sugu, walipanga kwenda kumwibia mzee mmoja aliyekuwa mashuhuri sana. Waliandamana sako kwa bako hadi hapo. Aisee! Siku za mwizi ni arobaini. Hawakujua kuwa, mzee yule alikuwa ameweka mitego yake kila mahali. Hapo ndipo walipotamani dunia ipasuke iwameze wakiwa wazima. Mzee huyo aliwaita polisi na vijana wale wakakamatwa na kutiwa mbaroni. Hapo ndipo Kazungu alisadiki ya wahenga kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
mbona Kazungu aliwaaga wazazi na kurudi mjini
{ "text": [ "aliwaambia kuwa yeye alikua mtu mzima aliyehitaji kujitegemea" ] }
3142_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia katika shule za upili zimeleta faida nyingi hasa katika upande wa masomo. Kuna vitu kama vile vikokotoo ambavyo vinasaidia wanafunzi kufanyia hesabu ambazo ni ngumu au zinahitaji kufanywa kwa hatua ndefu. Katika shule za upili kuna tarakilishi ambazo husadia wanafunzi kusomea na kutafuta kwa undani kitu fulani. Kichapishaji katika shule za Upili husaidia kuchapisha mitihani ya wanafunzi, rekodi za majibu yao au pia kuwatengenezea wanafunzi nakala ili waandike. Katika shule za upili kuna CCTV ambazo husaidia kupunguza uhalifu unaotendeka shuleni. Hii ni kwa sababu kamera za mitambo hii hurekodi kila kitu kinachotendeka hata kwa siri. Zamani katika shule kulikuwa hakuna CCTV ndio maana wanafunzi walikuwa wakitendewa mambo mabaya katika mabweni. Simu pia husaidia baadhi ya walimu kufundisha katika madarasa kwa mfano labda kuna neno ambalo hulijui maana unaweza kuangalia kwenye simu. Hivyo basi teknolojia imerahisisha masomo. Licha ya faida, teknolojia vile vile imeleta madhara kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Wanafunzi wa sekondari wengi wao wameathirika kwa sababu ya simu. Wanafunzi wanatumia simu hizo vibaya na kuingia kwenye sehemu za simu ambazo wanafunzi huaribika hata pia kuathiri masomo. Televisheni pia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika masomo yao na kufuatilia televisheni ambapo huwafanya masomo yao kuzoroteka. Zamani, wanafunzi walikuwa hawafuatilii televisheni kwa sababu televisheni zilikuwa nadra kupatikana. Wanafunzi hao wakipata simu hizo huangalia picha za matusi nakuwafanya akili kuchanganyikiwa hivyo basi kuathiri masomo yao. Hivyo basi, teknolojia ina faida na madhara vile vile katika shule za sekondari.
Teknolojia imeleta faida nyingi hasa katika upande wa nini
{ "text": [ "Masomo" ] }
3142_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia katika shule za upili zimeleta faida nyingi hasa katika upande wa masomo. Kuna vitu kama vile vikokotoo ambavyo vinasaidia wanafunzi kufanyia hesabu ambazo ni ngumu au zinahitaji kufanywa kwa hatua ndefu. Katika shule za upili kuna tarakilishi ambazo husadia wanafunzi kusomea na kutafuta kwa undani kitu fulani. Kichapishaji katika shule za Upili husaidia kuchapisha mitihani ya wanafunzi, rekodi za majibu yao au pia kuwatengenezea wanafunzi nakala ili waandike. Katika shule za upili kuna CCTV ambazo husaidia kupunguza uhalifu unaotendeka shuleni. Hii ni kwa sababu kamera za mitambo hii hurekodi kila kitu kinachotendeka hata kwa siri. Zamani katika shule kulikuwa hakuna CCTV ndio maana wanafunzi walikuwa wakitendewa mambo mabaya katika mabweni. Simu pia husaidia baadhi ya walimu kufundisha katika madarasa kwa mfano labda kuna neno ambalo hulijui maana unaweza kuangalia kwenye simu. Hivyo basi teknolojia imerahisisha masomo. Licha ya faida, teknolojia vile vile imeleta madhara kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Wanafunzi wa sekondari wengi wao wameathirika kwa sababu ya simu. Wanafunzi wanatumia simu hizo vibaya na kuingia kwenye sehemu za simu ambazo wanafunzi huaribika hata pia kuathiri masomo. Televisheni pia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika masomo yao na kufuatilia televisheni ambapo huwafanya masomo yao kuzoroteka. Zamani, wanafunzi walikuwa hawafuatilii televisheni kwa sababu televisheni zilikuwa nadra kupatikana. Wanafunzi hao wakipata simu hizo huangalia picha za matusi nakuwafanya akili kuchanganyikiwa hivyo basi kuathiri masomo yao. Hivyo basi, teknolojia ina faida na madhara vile vile katika shule za sekondari.
Ni nini husaidia wanafunzi kusomea au kutafuta kitu fulani kwa undani
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3142_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia katika shule za upili zimeleta faida nyingi hasa katika upande wa masomo. Kuna vitu kama vile vikokotoo ambavyo vinasaidia wanafunzi kufanyia hesabu ambazo ni ngumu au zinahitaji kufanywa kwa hatua ndefu. Katika shule za upili kuna tarakilishi ambazo husadia wanafunzi kusomea na kutafuta kwa undani kitu fulani. Kichapishaji katika shule za Upili husaidia kuchapisha mitihani ya wanafunzi, rekodi za majibu yao au pia kuwatengenezea wanafunzi nakala ili waandike. Katika shule za upili kuna CCTV ambazo husaidia kupunguza uhalifu unaotendeka shuleni. Hii ni kwa sababu kamera za mitambo hii hurekodi kila kitu kinachotendeka hata kwa siri. Zamani katika shule kulikuwa hakuna CCTV ndio maana wanafunzi walikuwa wakitendewa mambo mabaya katika mabweni. Simu pia husaidia baadhi ya walimu kufundisha katika madarasa kwa mfano labda kuna neno ambalo hulijui maana unaweza kuangalia kwenye simu. Hivyo basi teknolojia imerahisisha masomo. Licha ya faida, teknolojia vile vile imeleta madhara kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Wanafunzi wa sekondari wengi wao wameathirika kwa sababu ya simu. Wanafunzi wanatumia simu hizo vibaya na kuingia kwenye sehemu za simu ambazo wanafunzi huaribika hata pia kuathiri masomo. Televisheni pia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika masomo yao na kufuatilia televisheni ambapo huwafanya masomo yao kuzoroteka. Zamani, wanafunzi walikuwa hawafuatilii televisheni kwa sababu televisheni zilikuwa nadra kupatikana. Wanafunzi hao wakipata simu hizo huangalia picha za matusi nakuwafanya akili kuchanganyikiwa hivyo basi kuathiri masomo yao. Hivyo basi, teknolojia ina faida na madhara vile vile katika shule za sekondari.
Simu husaidia walimu kufanya nini
{ "text": [ "Kufundisha" ] }
3142_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia katika shule za upili zimeleta faida nyingi hasa katika upande wa masomo. Kuna vitu kama vile vikokotoo ambavyo vinasaidia wanafunzi kufanyia hesabu ambazo ni ngumu au zinahitaji kufanywa kwa hatua ndefu. Katika shule za upili kuna tarakilishi ambazo husadia wanafunzi kusomea na kutafuta kwa undani kitu fulani. Kichapishaji katika shule za Upili husaidia kuchapisha mitihani ya wanafunzi, rekodi za majibu yao au pia kuwatengenezea wanafunzi nakala ili waandike. Katika shule za upili kuna CCTV ambazo husaidia kupunguza uhalifu unaotendeka shuleni. Hii ni kwa sababu kamera za mitambo hii hurekodi kila kitu kinachotendeka hata kwa siri. Zamani katika shule kulikuwa hakuna CCTV ndio maana wanafunzi walikuwa wakitendewa mambo mabaya katika mabweni. Simu pia husaidia baadhi ya walimu kufundisha katika madarasa kwa mfano labda kuna neno ambalo hulijui maana unaweza kuangalia kwenye simu. Hivyo basi teknolojia imerahisisha masomo. Licha ya faida, teknolojia vile vile imeleta madhara kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Wanafunzi wa sekondari wengi wao wameathirika kwa sababu ya simu. Wanafunzi wanatumia simu hizo vibaya na kuingia kwenye sehemu za simu ambazo wanafunzi huaribika hata pia kuathiri masomo. Televisheni pia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika masomo yao na kufuatilia televisheni ambapo huwafanya masomo yao kuzoroteka. Zamani, wanafunzi walikuwa hawafuatilii televisheni kwa sababu televisheni zilikuwa nadra kupatikana. Wanafunzi hao wakipata simu hizo huangalia picha za matusi nakuwafanya akili kuchanganyikiwa hivyo basi kuathiri masomo yao. Hivyo basi, teknolojia ina faida na madhara vile vile katika shule za sekondari.
Teknolojia vile vile zimeleta nini
{ "text": [ "Madhara" ] }
3142_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda, kilimo, ufundi au mawasiliano. Teknolojia katika shule za upili zimeleta faida nyingi hasa katika upande wa masomo. Kuna vitu kama vile vikokotoo ambavyo vinasaidia wanafunzi kufanyia hesabu ambazo ni ngumu au zinahitaji kufanywa kwa hatua ndefu. Katika shule za upili kuna tarakilishi ambazo husadia wanafunzi kusomea na kutafuta kwa undani kitu fulani. Kichapishaji katika shule za Upili husaidia kuchapisha mitihani ya wanafunzi, rekodi za majibu yao au pia kuwatengenezea wanafunzi nakala ili waandike. Katika shule za upili kuna CCTV ambazo husaidia kupunguza uhalifu unaotendeka shuleni. Hii ni kwa sababu kamera za mitambo hii hurekodi kila kitu kinachotendeka hata kwa siri. Zamani katika shule kulikuwa hakuna CCTV ndio maana wanafunzi walikuwa wakitendewa mambo mabaya katika mabweni. Simu pia husaidia baadhi ya walimu kufundisha katika madarasa kwa mfano labda kuna neno ambalo hulijui maana unaweza kuangalia kwenye simu. Hivyo basi teknolojia imerahisisha masomo. Licha ya faida, teknolojia vile vile imeleta madhara kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Wanafunzi wa sekondari wengi wao wameathirika kwa sababu ya simu. Wanafunzi wanatumia simu hizo vibaya na kuingia kwenye sehemu za simu ambazo wanafunzi huaribika hata pia kuathiri masomo. Televisheni pia imewafanya wanafunzi wengi kutoshiriki katika masomo yao na kufuatilia televisheni ambapo huwafanya masomo yao kuzoroteka. Zamani, wanafunzi walikuwa hawafuatilii televisheni kwa sababu televisheni zilikuwa nadra kupatikana. Wanafunzi hao wakipata simu hizo huangalia picha za matusi nakuwafanya akili kuchanganyikiwa hivyo basi kuathiri masomo yao. Hivyo basi, teknolojia ina faida na madhara vile vile katika shule za sekondari.
Kwa nini wanafunzi wengi wa sekondari wameathirika
{ "text": [ "Kwa sababu ya simu" ] }
3143_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Mashaka alikuwa mvulana wa kipekee katika aila ya Bwana na Bibi Mamboleo. Yeye alikuwa mvulana mtanashati na wasichana wote walimtamani. Alikuwa akisomea shule ya msingi ambapo walimu pamoja na wanafunzi walimsifia kwa sababu, masomoni alikuwa wembe. Hakuna mwanafunzi yeyote aliyemshinda masomoni. Wazazi wake walimpenda kwa sababu alikuwa mtoto mtiifu na mwenye bidii masomoni. Aliendelea kuongoza darasani hadi alipofikia darasa la nane ambapo alikuwa anataka kufanya mtihani wa kitaifa. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa atapita kwa sababu ya bidii yake ya mchwa akijenga kichuguu kwa mate. Siku ya kufanya mtihani wa kitaifa iliwadia, aliufanya na baada ya majuma mawili majibu yalitolewa na kuzoa alama mia nne. Watu wote kijijini waliposikia hivyo, walimsifu na kumpongeza kwa shangwe na vigelegele. Watu walikusanya fedha ili akaanze kidato cha kwanza. Siku ya kupelekwa shule iliwadia, alikuwa na furaha kocho kocho mithili ya kibogoyo aliyeota meno. Alipofika lango la shule, alifurahi zaidi. Siku hiyo wazazi wake walimuacha hapo shule salama salimni. Aliendelea na masomo yake na alipofanya mtihani, aliibuka wa kwanza na alama nzuri kabisa. Walimu wa shule yake mpya pia walimsifia. Mara walipofunga shule, walienda nyumbani baada ya mwezi mmoja walirudi na hapo alikuwa alishazoea shule yake mpya na alikuwa na marafiki zake pia. Alifuatana na marafiki zake na baada ya hapo alipokuwa akifanya mtihani anafeli. Walimu walimuuliza tatizo lilikuwa nini lakini hakujibu. Walimu walimkataza kutembea nao lakini yeye kumbe alikuwa ameshaathirika kutokana na tabia zao. Alikuwa anavuta bangi. Walimu walimuita mzazi wake na kumueleza kuhusu tabia za mtoto wao. Mama yake alimpa mawaidha na kumkanya dhidi ya tabia hizi za watu wengine lakini alikubali tu ili asionekane mbaya. Aliendelea na marafiki hao hao na kuendelea kuvuta bangi mpaka ikafikia hatua ya kutoroka shuleni na kwenda kuwaibia watu nje. Mamake na babake walipoambiwa walimuita tena na kumkanya lakini alikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Siku moja walipoenda yeye na marafiki zake kuiba mjini, alishikwa na marafiki zake wakakimbia. Alipigwa hadi akawa hoi bin taabani na kuzirai. Polisi walifika na kumchukua alipopata fahamu alijipata gerezani. Hapo ndipo alijua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye na alikumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani alikuwa mvulana wa kipekee
{ "text": [ "Mashaka" ] }
3143_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Mashaka alikuwa mvulana wa kipekee katika aila ya Bwana na Bibi Mamboleo. Yeye alikuwa mvulana mtanashati na wasichana wote walimtamani. Alikuwa akisomea shule ya msingi ambapo walimu pamoja na wanafunzi walimsifia kwa sababu, masomoni alikuwa wembe. Hakuna mwanafunzi yeyote aliyemshinda masomoni. Wazazi wake walimpenda kwa sababu alikuwa mtoto mtiifu na mwenye bidii masomoni. Aliendelea kuongoza darasani hadi alipofikia darasa la nane ambapo alikuwa anataka kufanya mtihani wa kitaifa. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa atapita kwa sababu ya bidii yake ya mchwa akijenga kichuguu kwa mate. Siku ya kufanya mtihani wa kitaifa iliwadia, aliufanya na baada ya majuma mawili majibu yalitolewa na kuzoa alama mia nne. Watu wote kijijini waliposikia hivyo, walimsifu na kumpongeza kwa shangwe na vigelegele. Watu walikusanya fedha ili akaanze kidato cha kwanza. Siku ya kupelekwa shule iliwadia, alikuwa na furaha kocho kocho mithili ya kibogoyo aliyeota meno. Alipofika lango la shule, alifurahi zaidi. Siku hiyo wazazi wake walimuacha hapo shule salama salimni. Aliendelea na masomo yake na alipofanya mtihani, aliibuka wa kwanza na alama nzuri kabisa. Walimu wa shule yake mpya pia walimsifia. Mara walipofunga shule, walienda nyumbani baada ya mwezi mmoja walirudi na hapo alikuwa alishazoea shule yake mpya na alikuwa na marafiki zake pia. Alifuatana na marafiki zake na baada ya hapo alipokuwa akifanya mtihani anafeli. Walimu walimuuliza tatizo lilikuwa nini lakini hakujibu. Walimu walimkataza kutembea nao lakini yeye kumbe alikuwa ameshaathirika kutokana na tabia zao. Alikuwa anavuta bangi. Walimu walimuita mzazi wake na kumueleza kuhusu tabia za mtoto wao. Mama yake alimpa mawaidha na kumkanya dhidi ya tabia hizi za watu wengine lakini alikubali tu ili asionekane mbaya. Aliendelea na marafiki hao hao na kuendelea kuvuta bangi mpaka ikafikia hatua ya kutoroka shuleni na kwenda kuwaibia watu nje. Mamake na babake walipoambiwa walimuita tena na kumkanya lakini alikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Siku moja walipoenda yeye na marafiki zake kuiba mjini, alishikwa na marafiki zake wakakimbia. Alipigwa hadi akawa hoi bin taabani na kuzirai. Polisi walifika na kumchukua alipopata fahamu alijipata gerezani. Hapo ndipo alijua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye na alikumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani walikuwa na matumaini kuwa atapita
{ "text": [ "Wazazi wake" ] }
3143_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Mashaka alikuwa mvulana wa kipekee katika aila ya Bwana na Bibi Mamboleo. Yeye alikuwa mvulana mtanashati na wasichana wote walimtamani. Alikuwa akisomea shule ya msingi ambapo walimu pamoja na wanafunzi walimsifia kwa sababu, masomoni alikuwa wembe. Hakuna mwanafunzi yeyote aliyemshinda masomoni. Wazazi wake walimpenda kwa sababu alikuwa mtoto mtiifu na mwenye bidii masomoni. Aliendelea kuongoza darasani hadi alipofikia darasa la nane ambapo alikuwa anataka kufanya mtihani wa kitaifa. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa atapita kwa sababu ya bidii yake ya mchwa akijenga kichuguu kwa mate. Siku ya kufanya mtihani wa kitaifa iliwadia, aliufanya na baada ya majuma mawili majibu yalitolewa na kuzoa alama mia nne. Watu wote kijijini waliposikia hivyo, walimsifu na kumpongeza kwa shangwe na vigelegele. Watu walikusanya fedha ili akaanze kidato cha kwanza. Siku ya kupelekwa shule iliwadia, alikuwa na furaha kocho kocho mithili ya kibogoyo aliyeota meno. Alipofika lango la shule, alifurahi zaidi. Siku hiyo wazazi wake walimuacha hapo shule salama salimni. Aliendelea na masomo yake na alipofanya mtihani, aliibuka wa kwanza na alama nzuri kabisa. Walimu wa shule yake mpya pia walimsifia. Mara walipofunga shule, walienda nyumbani baada ya mwezi mmoja walirudi na hapo alikuwa alishazoea shule yake mpya na alikuwa na marafiki zake pia. Alifuatana na marafiki zake na baada ya hapo alipokuwa akifanya mtihani anafeli. Walimu walimuuliza tatizo lilikuwa nini lakini hakujibu. Walimu walimkataza kutembea nao lakini yeye kumbe alikuwa ameshaathirika kutokana na tabia zao. Alikuwa anavuta bangi. Walimu walimuita mzazi wake na kumueleza kuhusu tabia za mtoto wao. Mama yake alimpa mawaidha na kumkanya dhidi ya tabia hizi za watu wengine lakini alikubali tu ili asionekane mbaya. Aliendelea na marafiki hao hao na kuendelea kuvuta bangi mpaka ikafikia hatua ya kutoroka shuleni na kwenda kuwaibia watu nje. Mamake na babake walipoambiwa walimuita tena na kumkanya lakini alikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Siku moja walipoenda yeye na marafiki zake kuiba mjini, alishikwa na marafiki zake wakakimbia. Alipigwa hadi akawa hoi bin taabani na kuzirai. Polisi walifika na kumchukua alipopata fahamu alijipata gerezani. Hapo ndipo alijua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye na alikumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Alikuwa anavuta nini
{ "text": [ "Bangi" ] }
3143_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Mashaka alikuwa mvulana wa kipekee katika aila ya Bwana na Bibi Mamboleo. Yeye alikuwa mvulana mtanashati na wasichana wote walimtamani. Alikuwa akisomea shule ya msingi ambapo walimu pamoja na wanafunzi walimsifia kwa sababu, masomoni alikuwa wembe. Hakuna mwanafunzi yeyote aliyemshinda masomoni. Wazazi wake walimpenda kwa sababu alikuwa mtoto mtiifu na mwenye bidii masomoni. Aliendelea kuongoza darasani hadi alipofikia darasa la nane ambapo alikuwa anataka kufanya mtihani wa kitaifa. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa atapita kwa sababu ya bidii yake ya mchwa akijenga kichuguu kwa mate. Siku ya kufanya mtihani wa kitaifa iliwadia, aliufanya na baada ya majuma mawili majibu yalitolewa na kuzoa alama mia nne. Watu wote kijijini waliposikia hivyo, walimsifu na kumpongeza kwa shangwe na vigelegele. Watu walikusanya fedha ili akaanze kidato cha kwanza. Siku ya kupelekwa shule iliwadia, alikuwa na furaha kocho kocho mithili ya kibogoyo aliyeota meno. Alipofika lango la shule, alifurahi zaidi. Siku hiyo wazazi wake walimuacha hapo shule salama salimni. Aliendelea na masomo yake na alipofanya mtihani, aliibuka wa kwanza na alama nzuri kabisa. Walimu wa shule yake mpya pia walimsifia. Mara walipofunga shule, walienda nyumbani baada ya mwezi mmoja walirudi na hapo alikuwa alishazoea shule yake mpya na alikuwa na marafiki zake pia. Alifuatana na marafiki zake na baada ya hapo alipokuwa akifanya mtihani anafeli. Walimu walimuuliza tatizo lilikuwa nini lakini hakujibu. Walimu walimkataza kutembea nao lakini yeye kumbe alikuwa ameshaathirika kutokana na tabia zao. Alikuwa anavuta bangi. Walimu walimuita mzazi wake na kumueleza kuhusu tabia za mtoto wao. Mama yake alimpa mawaidha na kumkanya dhidi ya tabia hizi za watu wengine lakini alikubali tu ili asionekane mbaya. Aliendelea na marafiki hao hao na kuendelea kuvuta bangi mpaka ikafikia hatua ya kutoroka shuleni na kwenda kuwaibia watu nje. Mamake na babake walipoambiwa walimuita tena na kumkanya lakini alikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Siku moja walipoenda yeye na marafiki zake kuiba mjini, alishikwa na marafiki zake wakakimbia. Alipigwa hadi akawa hoi bin taabani na kuzirai. Polisi walifika na kumchukua alipopata fahamu alijipata gerezani. Hapo ndipo alijua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye na alikumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Majuto ni nini
{ "text": [ "Mjukuu" ] }
3143_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Mashaka alikuwa mvulana wa kipekee katika aila ya Bwana na Bibi Mamboleo. Yeye alikuwa mvulana mtanashati na wasichana wote walimtamani. Alikuwa akisomea shule ya msingi ambapo walimu pamoja na wanafunzi walimsifia kwa sababu, masomoni alikuwa wembe. Hakuna mwanafunzi yeyote aliyemshinda masomoni. Wazazi wake walimpenda kwa sababu alikuwa mtoto mtiifu na mwenye bidii masomoni. Aliendelea kuongoza darasani hadi alipofikia darasa la nane ambapo alikuwa anataka kufanya mtihani wa kitaifa. Wazazi wake walikuwa na matumaini kuwa atapita kwa sababu ya bidii yake ya mchwa akijenga kichuguu kwa mate. Siku ya kufanya mtihani wa kitaifa iliwadia, aliufanya na baada ya majuma mawili majibu yalitolewa na kuzoa alama mia nne. Watu wote kijijini waliposikia hivyo, walimsifu na kumpongeza kwa shangwe na vigelegele. Watu walikusanya fedha ili akaanze kidato cha kwanza. Siku ya kupelekwa shule iliwadia, alikuwa na furaha kocho kocho mithili ya kibogoyo aliyeota meno. Alipofika lango la shule, alifurahi zaidi. Siku hiyo wazazi wake walimuacha hapo shule salama salimni. Aliendelea na masomo yake na alipofanya mtihani, aliibuka wa kwanza na alama nzuri kabisa. Walimu wa shule yake mpya pia walimsifia. Mara walipofunga shule, walienda nyumbani baada ya mwezi mmoja walirudi na hapo alikuwa alishazoea shule yake mpya na alikuwa na marafiki zake pia. Alifuatana na marafiki zake na baada ya hapo alipokuwa akifanya mtihani anafeli. Walimu walimuuliza tatizo lilikuwa nini lakini hakujibu. Walimu walimkataza kutembea nao lakini yeye kumbe alikuwa ameshaathirika kutokana na tabia zao. Alikuwa anavuta bangi. Walimu walimuita mzazi wake na kumueleza kuhusu tabia za mtoto wao. Mama yake alimpa mawaidha na kumkanya dhidi ya tabia hizi za watu wengine lakini alikubali tu ili asionekane mbaya. Aliendelea na marafiki hao hao na kuendelea kuvuta bangi mpaka ikafikia hatua ya kutoroka shuleni na kwenda kuwaibia watu nje. Mamake na babake walipoambiwa walimuita tena na kumkanya lakini alikuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa. Siku moja walipoenda yeye na marafiki zake kuiba mjini, alishikwa na marafiki zake wakakimbia. Alipigwa hadi akawa hoi bin taabani na kuzirai. Polisi walifika na kumchukua alipopata fahamu alijipata gerezani. Hapo ndipo alijua kuwa majuto ni mjukuu huja baadaye na alikumbuka kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Kwa nini wazazi wake walimpenda
{ "text": [ "Kwa sababu alikuwa mtoto mtiifu na mwenye bidii masomoni" ] }
3144_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Mitambo tu ni kama vile tarakilishi, kikokoo, Atm, simu na kadhalika. Kila mtambo ina faida na matumizi yake halisi kama vile simu hutumiwa kuandika, kutuma na kupokea ujumbe, nayo ATM hutumiwa kutoa pesa, kikokotoo nacho hutumiwa kufanyia hisabati na kufanyia mahesabu ya nambari kubwa, tarakilishi nayo hutumiwa kuandika na kuhifadhi ujumbe muhimu kwa muda mrefu bila ya kupotea. Teknolojia hizi pia zina madhara yake katika kuzitumia mfano, mitambo hii huwezi kutumika mahali ambako hakuna umeme, teknolojia imefanya watu kuwachishwa kazi maana mitambo ndio imepewa kipaumbele ya kufanya kazi. Kazi nyingi hufanywa na mitambo hiyo huwafanya watu wawe wavivu katika kufanya majukumu yao. Wanafunzi shuleni hutumia mitambo kama kikokotoo kufanya hisabati hivyo akili zao zinakuwa haziwezi kufikiria. Walimu shuleni wamekuwa walegevu kwa sababu ya mitambo ya teknolojia. Badala ya kufundisha wanafunzi na kuwaeleza hao wanatumia teknolojia kumfundisha bila kujali kama wanafunzi wameelewa au la. Kama ujuavyo kila baya halikosi jema, basi hivyo teknolojia ina faida zake. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi maisha ya shuleni maana sahii hawahitaji kuumiza vichwa kufikiria sana. Pia hawahitaji kutumia kalamu zao kuandika makala mengi kwa vitabu bali wanatumia tu tarakilishi. Walimu pia wameweza kurahisishiwa kazi maana hawachoki kuwafundisha wanafunzi na kuenda darasani kila mara na kutoa maelezo kwa wanafunzi. Teknolojia ya umeme pia imewarahisishia wanafunzi kwani wanaweza amka wakati wowote na kujisomea wenyewe, zamani taa za koroboi ndio zilizokuwa zikifanya kazi japo zilikuwa zikitoa moshi mkali mweusi uliowaumiza vifua na macho yao kwa sababu mwangaza wa koroboi ulikuwa mchache sana. Teknolojia imefanya wanafunzi kupita vyema katika mitihani yao. Teknolojia pia imeweza kuzindua kifaa kinachoitwa kokotoo ambacho kinatumika shuleni na wanafunzi pamoja na walimu ili kufanyia hesabu kubwa kubwa, hivyo kikokotoo kimesaidia pakubwa wanafunzi shuleni na watu wote kwa jumla kama walio na maduka makubwa makubwa ili wasijitese wakifanya hesabu za pesa. Hivyo basi, ni muhimu kujua madhara ya teknolojia na faida zake kwa jumla maana kila baya halikosi uzuri wake. Pia kwa wengine teknolojia imeweza kuharibu na kuvuruga maisha yao kabisa na pia kwa wengine inaweza kudumisha na kuimarisha maisha yao vilivyo. Hivyo tunafaa tuwe makini na uvumbuzi upya wa kila teknolojia ili tuweze kujua umuhimu na madhara yake, na ni vipi teknolojia na mitambo ya kisasa inavyotumika ili tusipate matatizo mbeleni na kuathirika wenyewe pamoja na kuyaweka maisha ya watu wengine hatarini.
Aina ya mtambo wa kiteknolojia na kama vile nini?
{ "text": [ "Simu" ] }
3144_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Mitambo tu ni kama vile tarakilishi, kikokoo, Atm, simu na kadhalika. Kila mtambo ina faida na matumizi yake halisi kama vile simu hutumiwa kuandika, kutuma na kupokea ujumbe, nayo ATM hutumiwa kutoa pesa, kikokotoo nacho hutumiwa kufanyia hisabati na kufanyia mahesabu ya nambari kubwa, tarakilishi nayo hutumiwa kuandika na kuhifadhi ujumbe muhimu kwa muda mrefu bila ya kupotea. Teknolojia hizi pia zina madhara yake katika kuzitumia mfano, mitambo hii huwezi kutumika mahali ambako hakuna umeme, teknolojia imefanya watu kuwachishwa kazi maana mitambo ndio imepewa kipaumbele ya kufanya kazi. Kazi nyingi hufanywa na mitambo hiyo huwafanya watu wawe wavivu katika kufanya majukumu yao. Wanafunzi shuleni hutumia mitambo kama kikokotoo kufanya hisabati hivyo akili zao zinakuwa haziwezi kufikiria. Walimu shuleni wamekuwa walegevu kwa sababu ya mitambo ya teknolojia. Badala ya kufundisha wanafunzi na kuwaeleza hao wanatumia teknolojia kumfundisha bila kujali kama wanafunzi wameelewa au la. Kama ujuavyo kila baya halikosi jema, basi hivyo teknolojia ina faida zake. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi maisha ya shuleni maana sahii hawahitaji kuumiza vichwa kufikiria sana. Pia hawahitaji kutumia kalamu zao kuandika makala mengi kwa vitabu bali wanatumia tu tarakilishi. Walimu pia wameweza kurahisishiwa kazi maana hawachoki kuwafundisha wanafunzi na kuenda darasani kila mara na kutoa maelezo kwa wanafunzi. Teknolojia ya umeme pia imewarahisishia wanafunzi kwani wanaweza amka wakati wowote na kujisomea wenyewe, zamani taa za koroboi ndio zilizokuwa zikifanya kazi japo zilikuwa zikitoa moshi mkali mweusi uliowaumiza vifua na macho yao kwa sababu mwangaza wa koroboi ulikuwa mchache sana. Teknolojia imefanya wanafunzi kupita vyema katika mitihani yao. Teknolojia pia imeweza kuzindua kifaa kinachoitwa kokotoo ambacho kinatumika shuleni na wanafunzi pamoja na walimu ili kufanyia hesabu kubwa kubwa, hivyo kikokotoo kimesaidia pakubwa wanafunzi shuleni na watu wote kwa jumla kama walio na maduka makubwa makubwa ili wasijitese wakifanya hesabu za pesa. Hivyo basi, ni muhimu kujua madhara ya teknolojia na faida zake kwa jumla maana kila baya halikosi uzuri wake. Pia kwa wengine teknolojia imeweza kuharibu na kuvuruga maisha yao kabisa na pia kwa wengine inaweza kudumisha na kuimarisha maisha yao vilivyo. Hivyo tunafaa tuwe makini na uvumbuzi upya wa kila teknolojia ili tuweze kujua umuhimu na madhara yake, na ni vipi teknolojia na mitambo ya kisasa inavyotumika ili tusipate matatizo mbeleni na kuathirika wenyewe pamoja na kuyaweka maisha ya watu wengine hatarini.
Kikokotoo hutumika kufanyia nini?
{ "text": [ "Hesabu" ] }
3144_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Mitambo tu ni kama vile tarakilishi, kikokoo, Atm, simu na kadhalika. Kila mtambo ina faida na matumizi yake halisi kama vile simu hutumiwa kuandika, kutuma na kupokea ujumbe, nayo ATM hutumiwa kutoa pesa, kikokotoo nacho hutumiwa kufanyia hisabati na kufanyia mahesabu ya nambari kubwa, tarakilishi nayo hutumiwa kuandika na kuhifadhi ujumbe muhimu kwa muda mrefu bila ya kupotea. Teknolojia hizi pia zina madhara yake katika kuzitumia mfano, mitambo hii huwezi kutumika mahali ambako hakuna umeme, teknolojia imefanya watu kuwachishwa kazi maana mitambo ndio imepewa kipaumbele ya kufanya kazi. Kazi nyingi hufanywa na mitambo hiyo huwafanya watu wawe wavivu katika kufanya majukumu yao. Wanafunzi shuleni hutumia mitambo kama kikokotoo kufanya hisabati hivyo akili zao zinakuwa haziwezi kufikiria. Walimu shuleni wamekuwa walegevu kwa sababu ya mitambo ya teknolojia. Badala ya kufundisha wanafunzi na kuwaeleza hao wanatumia teknolojia kumfundisha bila kujali kama wanafunzi wameelewa au la. Kama ujuavyo kila baya halikosi jema, basi hivyo teknolojia ina faida zake. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi maisha ya shuleni maana sahii hawahitaji kuumiza vichwa kufikiria sana. Pia hawahitaji kutumia kalamu zao kuandika makala mengi kwa vitabu bali wanatumia tu tarakilishi. Walimu pia wameweza kurahisishiwa kazi maana hawachoki kuwafundisha wanafunzi na kuenda darasani kila mara na kutoa maelezo kwa wanafunzi. Teknolojia ya umeme pia imewarahisishia wanafunzi kwani wanaweza amka wakati wowote na kujisomea wenyewe, zamani taa za koroboi ndio zilizokuwa zikifanya kazi japo zilikuwa zikitoa moshi mkali mweusi uliowaumiza vifua na macho yao kwa sababu mwangaza wa koroboi ulikuwa mchache sana. Teknolojia imefanya wanafunzi kupita vyema katika mitihani yao. Teknolojia pia imeweza kuzindua kifaa kinachoitwa kokotoo ambacho kinatumika shuleni na wanafunzi pamoja na walimu ili kufanyia hesabu kubwa kubwa, hivyo kikokotoo kimesaidia pakubwa wanafunzi shuleni na watu wote kwa jumla kama walio na maduka makubwa makubwa ili wasijitese wakifanya hesabu za pesa. Hivyo basi, ni muhimu kujua madhara ya teknolojia na faida zake kwa jumla maana kila baya halikosi uzuri wake. Pia kwa wengine teknolojia imeweza kuharibu na kuvuruga maisha yao kabisa na pia kwa wengine inaweza kudumisha na kuimarisha maisha yao vilivyo. Hivyo tunafaa tuwe makini na uvumbuzi upya wa kila teknolojia ili tuweze kujua umuhimu na madhara yake, na ni vipi teknolojia na mitambo ya kisasa inavyotumika ili tusipate matatizo mbeleni na kuathirika wenyewe pamoja na kuyaweka maisha ya watu wengine hatarini.
Teknolojia imewafanya watu kupoteza nini?
{ "text": [ "Ajira" ] }
3144_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Mitambo tu ni kama vile tarakilishi, kikokoo, Atm, simu na kadhalika. Kila mtambo ina faida na matumizi yake halisi kama vile simu hutumiwa kuandika, kutuma na kupokea ujumbe, nayo ATM hutumiwa kutoa pesa, kikokotoo nacho hutumiwa kufanyia hisabati na kufanyia mahesabu ya nambari kubwa, tarakilishi nayo hutumiwa kuandika na kuhifadhi ujumbe muhimu kwa muda mrefu bila ya kupotea. Teknolojia hizi pia zina madhara yake katika kuzitumia mfano, mitambo hii huwezi kutumika mahali ambako hakuna umeme, teknolojia imefanya watu kuwachishwa kazi maana mitambo ndio imepewa kipaumbele ya kufanya kazi. Kazi nyingi hufanywa na mitambo hiyo huwafanya watu wawe wavivu katika kufanya majukumu yao. Wanafunzi shuleni hutumia mitambo kama kikokotoo kufanya hisabati hivyo akili zao zinakuwa haziwezi kufikiria. Walimu shuleni wamekuwa walegevu kwa sababu ya mitambo ya teknolojia. Badala ya kufundisha wanafunzi na kuwaeleza hao wanatumia teknolojia kumfundisha bila kujali kama wanafunzi wameelewa au la. Kama ujuavyo kila baya halikosi jema, basi hivyo teknolojia ina faida zake. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi maisha ya shuleni maana sahii hawahitaji kuumiza vichwa kufikiria sana. Pia hawahitaji kutumia kalamu zao kuandika makala mengi kwa vitabu bali wanatumia tu tarakilishi. Walimu pia wameweza kurahisishiwa kazi maana hawachoki kuwafundisha wanafunzi na kuenda darasani kila mara na kutoa maelezo kwa wanafunzi. Teknolojia ya umeme pia imewarahisishia wanafunzi kwani wanaweza amka wakati wowote na kujisomea wenyewe, zamani taa za koroboi ndio zilizokuwa zikifanya kazi japo zilikuwa zikitoa moshi mkali mweusi uliowaumiza vifua na macho yao kwa sababu mwangaza wa koroboi ulikuwa mchache sana. Teknolojia imefanya wanafunzi kupita vyema katika mitihani yao. Teknolojia pia imeweza kuzindua kifaa kinachoitwa kokotoo ambacho kinatumika shuleni na wanafunzi pamoja na walimu ili kufanyia hesabu kubwa kubwa, hivyo kikokotoo kimesaidia pakubwa wanafunzi shuleni na watu wote kwa jumla kama walio na maduka makubwa makubwa ili wasijitese wakifanya hesabu za pesa. Hivyo basi, ni muhimu kujua madhara ya teknolojia na faida zake kwa jumla maana kila baya halikosi uzuri wake. Pia kwa wengine teknolojia imeweza kuharibu na kuvuruga maisha yao kabisa na pia kwa wengine inaweza kudumisha na kuimarisha maisha yao vilivyo. Hivyo tunafaa tuwe makini na uvumbuzi upya wa kila teknolojia ili tuweze kujua umuhimu na madhara yake, na ni vipi teknolojia na mitambo ya kisasa inavyotumika ili tusipate matatizo mbeleni na kuathirika wenyewe pamoja na kuyaweka maisha ya watu wengine hatarini.
Kifaa kipi kimebadilisha watu kazini?
{ "text": [ "Roboti" ] }
3144_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI. Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu uundaji na utumiaji wa mitambo. Mitambo tu ni kama vile tarakilishi, kikokoo, Atm, simu na kadhalika. Kila mtambo ina faida na matumizi yake halisi kama vile simu hutumiwa kuandika, kutuma na kupokea ujumbe, nayo ATM hutumiwa kutoa pesa, kikokotoo nacho hutumiwa kufanyia hisabati na kufanyia mahesabu ya nambari kubwa, tarakilishi nayo hutumiwa kuandika na kuhifadhi ujumbe muhimu kwa muda mrefu bila ya kupotea. Teknolojia hizi pia zina madhara yake katika kuzitumia mfano, mitambo hii huwezi kutumika mahali ambako hakuna umeme, teknolojia imefanya watu kuwachishwa kazi maana mitambo ndio imepewa kipaumbele ya kufanya kazi. Kazi nyingi hufanywa na mitambo hiyo huwafanya watu wawe wavivu katika kufanya majukumu yao. Wanafunzi shuleni hutumia mitambo kama kikokotoo kufanya hisabati hivyo akili zao zinakuwa haziwezi kufikiria. Walimu shuleni wamekuwa walegevu kwa sababu ya mitambo ya teknolojia. Badala ya kufundisha wanafunzi na kuwaeleza hao wanatumia teknolojia kumfundisha bila kujali kama wanafunzi wameelewa au la. Kama ujuavyo kila baya halikosi jema, basi hivyo teknolojia ina faida zake. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi maisha ya shuleni maana sahii hawahitaji kuumiza vichwa kufikiria sana. Pia hawahitaji kutumia kalamu zao kuandika makala mengi kwa vitabu bali wanatumia tu tarakilishi. Walimu pia wameweza kurahisishiwa kazi maana hawachoki kuwafundisha wanafunzi na kuenda darasani kila mara na kutoa maelezo kwa wanafunzi. Teknolojia ya umeme pia imewarahisishia wanafunzi kwani wanaweza amka wakati wowote na kujisomea wenyewe, zamani taa za koroboi ndio zilizokuwa zikifanya kazi japo zilikuwa zikitoa moshi mkali mweusi uliowaumiza vifua na macho yao kwa sababu mwangaza wa koroboi ulikuwa mchache sana. Teknolojia imefanya wanafunzi kupita vyema katika mitihani yao. Teknolojia pia imeweza kuzindua kifaa kinachoitwa kokotoo ambacho kinatumika shuleni na wanafunzi pamoja na walimu ili kufanyia hesabu kubwa kubwa, hivyo kikokotoo kimesaidia pakubwa wanafunzi shuleni na watu wote kwa jumla kama walio na maduka makubwa makubwa ili wasijitese wakifanya hesabu za pesa. Hivyo basi, ni muhimu kujua madhara ya teknolojia na faida zake kwa jumla maana kila baya halikosi uzuri wake. Pia kwa wengine teknolojia imeweza kuharibu na kuvuruga maisha yao kabisa na pia kwa wengine inaweza kudumisha na kuimarisha maisha yao vilivyo. Hivyo tunafaa tuwe makini na uvumbuzi upya wa kila teknolojia ili tuweze kujua umuhimu na madhara yake, na ni vipi teknolojia na mitambo ya kisasa inavyotumika ili tusipate matatizo mbeleni na kuathirika wenyewe pamoja na kuyaweka maisha ya watu wengine hatarini.
Teknolojia ni elimu ya kisayansi inayohusu nini?
{ "text": [ "Uundaji na utumiaji wa mitambo" ] }
3145_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye. Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendoleza masomo yao. Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha maomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi. Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo. Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao havutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo. Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe. Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanabaribu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa. Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao. Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi.
Kifaa gani hutumiwa kufanyia hisabati
{ "text": [ "kikotoo" ] }
3145_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye. Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendoleza masomo yao. Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha maomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi. Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo. Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao havutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo. Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe. Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanabaribu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa. Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao. Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi.
Nini husaidia walimu kufanya uchunguzi wakifunza
{ "text": [ "tarakilishi" ] }
3145_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye. Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendoleza masomo yao. Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha maomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi. Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo. Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao havutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo. Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe. Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanabaribu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa. Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao. Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi.
Nini huwasaidia wanafunzi kuwasiliana na wazazi wao
{ "text": [ "simu" ] }
3145_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye. Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendoleza masomo yao. Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha maomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi. Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo. Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao havutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo. Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe. Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanabaribu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa. Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao. Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi.
Wanafunzi huenda kujiburudisha kwa kuskiza nyimbo lini
{ "text": [ "wanapoenda mapumziko" ] }
3145_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Kwanza kabisa, teknologia imeleta faida chungu nzima katika shule za sekondari. Katika shule nyingi za sekondari humu nchini Kenya, serikali imeweza kutoa tarakilishi ambazo wanafunzi wasoma masomo yao. Tarakilishi hizi zimeweza kurahisisha masomo kwani wanafunzi wanaweza kusoma na kuweka masomo yao kwa tarakilishi ili kutumia baadaye. Wanafunzi wengi humu nchini wanatumia simu kuuliza maswali kwa mitandao na hata kupata masomo kwenye mitandao. Simi zimewasaidia sana wanafunzi hawa hususan nyakati ambazo wanafunzi huwa nyumbani katika likizo. Wanafunzi hawa wanaweza kuunda makundi yao katika mitandao na kuendoleza masomo yao. Wanafunzi wanaweza kupata vikokotoo ambavyo wanatumia katika somo la hisabati. Chombo hiki kimeweza kurahisisha maomo kwani hakitumii muda mwingi kama vile mwanafunzi angefanya kutumia akili yake mwenyewe. Kifaa hiki kinaweza pia kutumika katika masomo mengine kama vile masomo ya sayansi. Wanafunzi pia wanatumia runinga kusikiliza na kuona masomo yao. Wengine wanatumia runinga kutuma jumbe ili kupata namna na utafiti wa kufaulu katika masomo yao. Runinga huweza kusaidia sana wanafunzi wengi kwani huwasaidia kufaulu. Wanafunzi pia wanaweza kupata vifaa vya masomo katika runinga kupitia maonyesho ya vifaa hivyo. Licha ya teknologia kuwa na faida katika masomo ya wanafunzi wa sekondari, pia kuna madhara kadhaa ambayo yanaweza kudunisha masomo ya wanafunzi wengi Nazo ni kama zifuatazo; Wanafunzi wanatumia simu kwa njia ambazo hazistahili kamwe. Wanaweza kuangalia video za mapenzi kwenye simu na hivyo basi wao havutiwa na video hizo na hata kujishughulisha katika mapenzi wakiwa bado na umri mdogo. Japo serikali imewatolea wanafunzi vikokotoo shuleni ili kuhifadhi wakati wao, wanafunzi wengi wamekuwa kama kupe, wamelegeza kamba na kutegemea kifaa hiki. Kupitia kifaa hiki, wanafunzi wengi wamekuwa wavivu wasiopenda kutumia na kuchokesha akili zao. Matokeo yao yamekuwa mabaya na yasiyofurahisha hata chembe. Kupitia televisheni, wanafunzi wanatumia wakati wao mwingi kuangalia video, wakati ambao wanafaa kuwa wanasoma. Wanafunzi wanajihusisha katika mambo ya dunia ambayo yanabaribu maisha yao kupitia video za mapenzi, wanafunzi wanajihusisha katika familia za mapema ambapo ina bainika kuwa wanafunzi hususan wa jinsi ya kike wanapachikwa mimba za mapema na kutokana na haya masomo yao yanazorota kabisa. Kupitia televisheni, wanafunzi wanaweza kujipata wameingia katika makundi ambayo mwisho wake wanajikuta wamenaswa na mitego. Kwa mfano, wanaweza kujipata wameingia makundi ambayo yanatahadharisha maisha yao kama vile makundi ya Al-shabaab. Wanafunzi hawa wanaweza kushawishiwa na kuingia kwenye kundi hili na mwisho wake wapoteza maisha yao. Kutokana na faida na madhara ya teknolojia hizi, serikali inawashauri wanajamii wote kuungana na kuwafundisha wanafunzi hawa kuhusu teknolojia hizi.
Teknolojia ina madhara yake kivipi
{ "text": [ "wanafunzi hutumia tarakilishi kutafuta wanachotaka bila kushughulika wanachofunzwa" ] }
3146_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hii methali inayosema asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana yake ni kwamba anayeambiwa na mtu aliye na ukubwa kiumri na apuuze ataharibikiwa. Naam, alikuwa binti mrembo aliyesifika kote kwa urembo wake. Ana heshima na hekima nisikwambie aliyobusarika. Wazazi wake walimsifia kwa anavyomwogopa Mungu na kujistiri. Binti huyu mdogo aliwaheshimu wadogo na wakubwa. Alikuwa mwenye bidii si nyumbani wala si darasani. Mwalimu mkuu alimsifu kwa usafi wake wa kimwili, kimaadili na kiakili. Alikuwa kilele darasani mwao kila walipofanya mitihani. Kwenye jamii alisikika na kuheshimiwa japo umri mdogo. Akafanya masomo yake ya darasa la nane na akawa sasa amehitimu masomo yake ya msingi sasa anaelekea sekondari. Hapo alikuwa kama kawaida yake kisha bomoa alama za kumpeleka chuo. Alisifika kote kwamba yeye aliyeongoza wote waliokalia mtihani huo katika shule zote kwenye jamii ile yao. Wazaziwe walimwendea juu chini na akapata ufadhili wa serikali katika shule ya upili ya Jitihada. Hii ni shule ya upili ambayo ilisifika kwa idadi ya wanafunzi na shule ambayo pia ilijizatiti kwenye mitihani ya kitaifa. Basi binti huyu aliukubali mwito na juhudi zake zikawa ni tiketi tosha ya kumfanya yeye ajiunge na shule hiyo ya upili. Huko nako alikwenda kutimua kivumbi. Aliziweka pembeni tofauti zake na wenzake za kifedha kwenye madarasa kwani aliamini siku moja atakuwa kama wao. Walisoma masomo hayo hayo kwa kutumia kalamu na vitabu, madawati, viti, walimu na madarasa yale yale. Hata sare, wimbo wa shule haukubadilika kwa wale walisifiwa kuwa wachochole kwenye hiyo shule. Uchungu ulimwingia akazidi kugonga mwamba. Msemo wake ukiwa, naongoza huku nafuata nyayo. Alifanikiwa kupata alama ya A akawa anaweza kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta. Hapo kwao, wanakijiji na chifu wa eneo hilo waliandaa sherehe ya kumzawadia binti huyu aliyejulikana kama Zawadi. Watu walikwenda wakampa angalau pongezi kwa kuwa yeye kama alivyowaahidi ndio pekee kijijini kwao aliweza kwenda shule kubwa na akafanya bidii kama alivyoyang'amua maksi huko. Naye pia vile anavyokwenda gredi nyingine kimasomo asipuuze nasaha za wazaziwe. Naam, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Zawadi alijiunga na Chuo Kikuu cha Kenyatta maarufu kama JKUAT. Yeye ni msichana mrembo, mwenye umri wa makamu katika shule hiyo. Kila aliyemuona alimmezea mate kama alivyokuwa kanawiri kweli kweli. Marafiki walianza kumjia wanaenda mapumziko, mara wako naye ziarani wakati ambao anafaa kuwa darasani. Akaanza kujiona wa mjini akawa hashkiki. Mamake alisema kwamba mwanawe amekuwa wa kisasa, akamtetea kwenye halaiki ya watu. Binti huyu akawa hajisitiri tena, hachagui la kusema haamui pa kwenda. Zawadi alikuwa anaenda klabu usiku na marafiki zake. Anapita na mwanamume yeyote yule mwenyewe akijisemea kwamba anapumzisha akili kwa masomo magumu. Akaanza kuzorota katika elimu. Akawa haendi tena darasani. Mtihani wa mwisho ulipofika, hakuamini alichopata kwani yeye aliyekuwa kilele upande wa juu sasa ilikuwa ni kinaya kwake. Isitoshe, hao mabwenyenye aliokuwa akirusha roho nao walikwenda kumtia magonjwa ya zinaa mpaka akarukwa na akili. Sasa yupo kama hayupo. Binti huyu hata watoto wanamchezea yaani hali yake taabani. Hakuskia la mkuu akavunjika guu.
Binti huyo aliitwa nani
{ "text": [ "Zawadi" ] }
3146_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hii methali inayosema asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana yake ni kwamba anayeambiwa na mtu aliye na ukubwa kiumri na apuuze ataharibikiwa. Naam, alikuwa binti mrembo aliyesifika kote kwa urembo wake. Ana heshima na hekima nisikwambie aliyobusarika. Wazazi wake walimsifia kwa anavyomwogopa Mungu na kujistiri. Binti huyu mdogo aliwaheshimu wadogo na wakubwa. Alikuwa mwenye bidii si nyumbani wala si darasani. Mwalimu mkuu alimsifu kwa usafi wake wa kimwili, kimaadili na kiakili. Alikuwa kilele darasani mwao kila walipofanya mitihani. Kwenye jamii alisikika na kuheshimiwa japo umri mdogo. Akafanya masomo yake ya darasa la nane na akawa sasa amehitimu masomo yake ya msingi sasa anaelekea sekondari. Hapo alikuwa kama kawaida yake kisha bomoa alama za kumpeleka chuo. Alisifika kote kwamba yeye aliyeongoza wote waliokalia mtihani huo katika shule zote kwenye jamii ile yao. Wazaziwe walimwendea juu chini na akapata ufadhili wa serikali katika shule ya upili ya Jitihada. Hii ni shule ya upili ambayo ilisifika kwa idadi ya wanafunzi na shule ambayo pia ilijizatiti kwenye mitihani ya kitaifa. Basi binti huyu aliukubali mwito na juhudi zake zikawa ni tiketi tosha ya kumfanya yeye ajiunge na shule hiyo ya upili. Huko nako alikwenda kutimua kivumbi. Aliziweka pembeni tofauti zake na wenzake za kifedha kwenye madarasa kwani aliamini siku moja atakuwa kama wao. Walisoma masomo hayo hayo kwa kutumia kalamu na vitabu, madawati, viti, walimu na madarasa yale yale. Hata sare, wimbo wa shule haukubadilika kwa wale walisifiwa kuwa wachochole kwenye hiyo shule. Uchungu ulimwingia akazidi kugonga mwamba. Msemo wake ukiwa, naongoza huku nafuata nyayo. Alifanikiwa kupata alama ya A akawa anaweza kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta. Hapo kwao, wanakijiji na chifu wa eneo hilo waliandaa sherehe ya kumzawadia binti huyu aliyejulikana kama Zawadi. Watu walikwenda wakampa angalau pongezi kwa kuwa yeye kama alivyowaahidi ndio pekee kijijini kwao aliweza kwenda shule kubwa na akafanya bidii kama alivyoyang'amua maksi huko. Naye pia vile anavyokwenda gredi nyingine kimasomo asipuuze nasaha za wazaziwe. Naam, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Zawadi alijiunga na Chuo Kikuu cha Kenyatta maarufu kama JKUAT. Yeye ni msichana mrembo, mwenye umri wa makamu katika shule hiyo. Kila aliyemuona alimmezea mate kama alivyokuwa kanawiri kweli kweli. Marafiki walianza kumjia wanaenda mapumziko, mara wako naye ziarani wakati ambao anafaa kuwa darasani. Akaanza kujiona wa mjini akawa hashkiki. Mamake alisema kwamba mwanawe amekuwa wa kisasa, akamtetea kwenye halaiki ya watu. Binti huyu akawa hajisitiri tena, hachagui la kusema haamui pa kwenda. Zawadi alikuwa anaenda klabu usiku na marafiki zake. Anapita na mwanamume yeyote yule mwenyewe akijisemea kwamba anapumzisha akili kwa masomo magumu. Akaanza kuzorota katika elimu. Akawa haendi tena darasani. Mtihani wa mwisho ulipofika, hakuamini alichopata kwani yeye aliyekuwa kilele upande wa juu sasa ilikuwa ni kinaya kwake. Isitoshe, hao mabwenyenye aliokuwa akirusha roho nao walikwenda kumtia magonjwa ya zinaa mpaka akarukwa na akili. Sasa yupo kama hayupo. Binti huyu hata watoto wanamchezea yaani hali yake taabani. Hakuskia la mkuu akavunjika guu.
Nani alimsifu kwa usafi wake wa kimwili kimaadili na kiakili
{ "text": [ "mwalimu mkuu" ] }
3146_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hii methali inayosema asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana yake ni kwamba anayeambiwa na mtu aliye na ukubwa kiumri na apuuze ataharibikiwa. Naam, alikuwa binti mrembo aliyesifika kote kwa urembo wake. Ana heshima na hekima nisikwambie aliyobusarika. Wazazi wake walimsifia kwa anavyomwogopa Mungu na kujistiri. Binti huyu mdogo aliwaheshimu wadogo na wakubwa. Alikuwa mwenye bidii si nyumbani wala si darasani. Mwalimu mkuu alimsifu kwa usafi wake wa kimwili, kimaadili na kiakili. Alikuwa kilele darasani mwao kila walipofanya mitihani. Kwenye jamii alisikika na kuheshimiwa japo umri mdogo. Akafanya masomo yake ya darasa la nane na akawa sasa amehitimu masomo yake ya msingi sasa anaelekea sekondari. Hapo alikuwa kama kawaida yake kisha bomoa alama za kumpeleka chuo. Alisifika kote kwamba yeye aliyeongoza wote waliokalia mtihani huo katika shule zote kwenye jamii ile yao. Wazaziwe walimwendea juu chini na akapata ufadhili wa serikali katika shule ya upili ya Jitihada. Hii ni shule ya upili ambayo ilisifika kwa idadi ya wanafunzi na shule ambayo pia ilijizatiti kwenye mitihani ya kitaifa. Basi binti huyu aliukubali mwito na juhudi zake zikawa ni tiketi tosha ya kumfanya yeye ajiunge na shule hiyo ya upili. Huko nako alikwenda kutimua kivumbi. Aliziweka pembeni tofauti zake na wenzake za kifedha kwenye madarasa kwani aliamini siku moja atakuwa kama wao. Walisoma masomo hayo hayo kwa kutumia kalamu na vitabu, madawati, viti, walimu na madarasa yale yale. Hata sare, wimbo wa shule haukubadilika kwa wale walisifiwa kuwa wachochole kwenye hiyo shule. Uchungu ulimwingia akazidi kugonga mwamba. Msemo wake ukiwa, naongoza huku nafuata nyayo. Alifanikiwa kupata alama ya A akawa anaweza kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta. Hapo kwao, wanakijiji na chifu wa eneo hilo waliandaa sherehe ya kumzawadia binti huyu aliyejulikana kama Zawadi. Watu walikwenda wakampa angalau pongezi kwa kuwa yeye kama alivyowaahidi ndio pekee kijijini kwao aliweza kwenda shule kubwa na akafanya bidii kama alivyoyang'amua maksi huko. Naye pia vile anavyokwenda gredi nyingine kimasomo asipuuze nasaha za wazaziwe. Naam, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Zawadi alijiunga na Chuo Kikuu cha Kenyatta maarufu kama JKUAT. Yeye ni msichana mrembo, mwenye umri wa makamu katika shule hiyo. Kila aliyemuona alimmezea mate kama alivyokuwa kanawiri kweli kweli. Marafiki walianza kumjia wanaenda mapumziko, mara wako naye ziarani wakati ambao anafaa kuwa darasani. Akaanza kujiona wa mjini akawa hashkiki. Mamake alisema kwamba mwanawe amekuwa wa kisasa, akamtetea kwenye halaiki ya watu. Binti huyu akawa hajisitiri tena, hachagui la kusema haamui pa kwenda. Zawadi alikuwa anaenda klabu usiku na marafiki zake. Anapita na mwanamume yeyote yule mwenyewe akijisemea kwamba anapumzisha akili kwa masomo magumu. Akaanza kuzorota katika elimu. Akawa haendi tena darasani. Mtihani wa mwisho ulipofika, hakuamini alichopata kwani yeye aliyekuwa kilele upande wa juu sasa ilikuwa ni kinaya kwake. Isitoshe, hao mabwenyenye aliokuwa akirusha roho nao walikwenda kumtia magonjwa ya zinaa mpaka akarukwa na akili. Sasa yupo kama hayupo. Binti huyu hata watoto wanamchezea yaani hali yake taabani. Hakuskia la mkuu akavunjika guu.
Ni shule gani ilijitahidi katika mitihani ya kitaifa
{ "text": [ "shule ya Jitihada" ] }
3146_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hii methali inayosema asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana yake ni kwamba anayeambiwa na mtu aliye na ukubwa kiumri na apuuze ataharibikiwa. Naam, alikuwa binti mrembo aliyesifika kote kwa urembo wake. Ana heshima na hekima nisikwambie aliyobusarika. Wazazi wake walimsifia kwa anavyomwogopa Mungu na kujistiri. Binti huyu mdogo aliwaheshimu wadogo na wakubwa. Alikuwa mwenye bidii si nyumbani wala si darasani. Mwalimu mkuu alimsifu kwa usafi wake wa kimwili, kimaadili na kiakili. Alikuwa kilele darasani mwao kila walipofanya mitihani. Kwenye jamii alisikika na kuheshimiwa japo umri mdogo. Akafanya masomo yake ya darasa la nane na akawa sasa amehitimu masomo yake ya msingi sasa anaelekea sekondari. Hapo alikuwa kama kawaida yake kisha bomoa alama za kumpeleka chuo. Alisifika kote kwamba yeye aliyeongoza wote waliokalia mtihani huo katika shule zote kwenye jamii ile yao. Wazaziwe walimwendea juu chini na akapata ufadhili wa serikali katika shule ya upili ya Jitihada. Hii ni shule ya upili ambayo ilisifika kwa idadi ya wanafunzi na shule ambayo pia ilijizatiti kwenye mitihani ya kitaifa. Basi binti huyu aliukubali mwito na juhudi zake zikawa ni tiketi tosha ya kumfanya yeye ajiunge na shule hiyo ya upili. Huko nako alikwenda kutimua kivumbi. Aliziweka pembeni tofauti zake na wenzake za kifedha kwenye madarasa kwani aliamini siku moja atakuwa kama wao. Walisoma masomo hayo hayo kwa kutumia kalamu na vitabu, madawati, viti, walimu na madarasa yale yale. Hata sare, wimbo wa shule haukubadilika kwa wale walisifiwa kuwa wachochole kwenye hiyo shule. Uchungu ulimwingia akazidi kugonga mwamba. Msemo wake ukiwa, naongoza huku nafuata nyayo. Alifanikiwa kupata alama ya A akawa anaweza kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta. Hapo kwao, wanakijiji na chifu wa eneo hilo waliandaa sherehe ya kumzawadia binti huyu aliyejulikana kama Zawadi. Watu walikwenda wakampa angalau pongezi kwa kuwa yeye kama alivyowaahidi ndio pekee kijijini kwao aliweza kwenda shule kubwa na akafanya bidii kama alivyoyang'amua maksi huko. Naye pia vile anavyokwenda gredi nyingine kimasomo asipuuze nasaha za wazaziwe. Naam, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Zawadi alijiunga na Chuo Kikuu cha Kenyatta maarufu kama JKUAT. Yeye ni msichana mrembo, mwenye umri wa makamu katika shule hiyo. Kila aliyemuona alimmezea mate kama alivyokuwa kanawiri kweli kweli. Marafiki walianza kumjia wanaenda mapumziko, mara wako naye ziarani wakati ambao anafaa kuwa darasani. Akaanza kujiona wa mjini akawa hashkiki. Mamake alisema kwamba mwanawe amekuwa wa kisasa, akamtetea kwenye halaiki ya watu. Binti huyu akawa hajisitiri tena, hachagui la kusema haamui pa kwenda. Zawadi alikuwa anaenda klabu usiku na marafiki zake. Anapita na mwanamume yeyote yule mwenyewe akijisemea kwamba anapumzisha akili kwa masomo magumu. Akaanza kuzorota katika elimu. Akawa haendi tena darasani. Mtihani wa mwisho ulipofika, hakuamini alichopata kwani yeye aliyekuwa kilele upande wa juu sasa ilikuwa ni kinaya kwake. Isitoshe, hao mabwenyenye aliokuwa akirusha roho nao walikwenda kumtia magonjwa ya zinaa mpaka akarukwa na akili. Sasa yupo kama hayupo. Binti huyu hata watoto wanamchezea yaani hali yake taabani. Hakuskia la mkuu akavunjika guu.
Ni lini Zawadi alikua akienda ziarani
{ "text": [ "alipopaswa kuwa darasani" ] }
3146_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU. Hii methali inayosema asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana yake ni kwamba anayeambiwa na mtu aliye na ukubwa kiumri na apuuze ataharibikiwa. Naam, alikuwa binti mrembo aliyesifika kote kwa urembo wake. Ana heshima na hekima nisikwambie aliyobusarika. Wazazi wake walimsifia kwa anavyomwogopa Mungu na kujistiri. Binti huyu mdogo aliwaheshimu wadogo na wakubwa. Alikuwa mwenye bidii si nyumbani wala si darasani. Mwalimu mkuu alimsifu kwa usafi wake wa kimwili, kimaadili na kiakili. Alikuwa kilele darasani mwao kila walipofanya mitihani. Kwenye jamii alisikika na kuheshimiwa japo umri mdogo. Akafanya masomo yake ya darasa la nane na akawa sasa amehitimu masomo yake ya msingi sasa anaelekea sekondari. Hapo alikuwa kama kawaida yake kisha bomoa alama za kumpeleka chuo. Alisifika kote kwamba yeye aliyeongoza wote waliokalia mtihani huo katika shule zote kwenye jamii ile yao. Wazaziwe walimwendea juu chini na akapata ufadhili wa serikali katika shule ya upili ya Jitihada. Hii ni shule ya upili ambayo ilisifika kwa idadi ya wanafunzi na shule ambayo pia ilijizatiti kwenye mitihani ya kitaifa. Basi binti huyu aliukubali mwito na juhudi zake zikawa ni tiketi tosha ya kumfanya yeye ajiunge na shule hiyo ya upili. Huko nako alikwenda kutimua kivumbi. Aliziweka pembeni tofauti zake na wenzake za kifedha kwenye madarasa kwani aliamini siku moja atakuwa kama wao. Walisoma masomo hayo hayo kwa kutumia kalamu na vitabu, madawati, viti, walimu na madarasa yale yale. Hata sare, wimbo wa shule haukubadilika kwa wale walisifiwa kuwa wachochole kwenye hiyo shule. Uchungu ulimwingia akazidi kugonga mwamba. Msemo wake ukiwa, naongoza huku nafuata nyayo. Alifanikiwa kupata alama ya A akawa anaweza kujiunga na chuo kikuu cha Kenyatta. Hapo kwao, wanakijiji na chifu wa eneo hilo waliandaa sherehe ya kumzawadia binti huyu aliyejulikana kama Zawadi. Watu walikwenda wakampa angalau pongezi kwa kuwa yeye kama alivyowaahidi ndio pekee kijijini kwao aliweza kwenda shule kubwa na akafanya bidii kama alivyoyang'amua maksi huko. Naye pia vile anavyokwenda gredi nyingine kimasomo asipuuze nasaha za wazaziwe. Naam, mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Zawadi alijiunga na Chuo Kikuu cha Kenyatta maarufu kama JKUAT. Yeye ni msichana mrembo, mwenye umri wa makamu katika shule hiyo. Kila aliyemuona alimmezea mate kama alivyokuwa kanawiri kweli kweli. Marafiki walianza kumjia wanaenda mapumziko, mara wako naye ziarani wakati ambao anafaa kuwa darasani. Akaanza kujiona wa mjini akawa hashkiki. Mamake alisema kwamba mwanawe amekuwa wa kisasa, akamtetea kwenye halaiki ya watu. Binti huyu akawa hajisitiri tena, hachagui la kusema haamui pa kwenda. Zawadi alikuwa anaenda klabu usiku na marafiki zake. Anapita na mwanamume yeyote yule mwenyewe akijisemea kwamba anapumzisha akili kwa masomo magumu. Akaanza kuzorota katika elimu. Akawa haendi tena darasani. Mtihani wa mwisho ulipofika, hakuamini alichopata kwani yeye aliyekuwa kilele upande wa juu sasa ilikuwa ni kinaya kwake. Isitoshe, hao mabwenyenye aliokuwa akirusha roho nao walikwenda kumtia magonjwa ya zinaa mpaka akarukwa na akili. Sasa yupo kama hayupo. Binti huyu hata watoto wanamchezea yaani hali yake taabani. Hakuskia la mkuu akavunjika guu.
Kwa nini Zawadi alirukwa na akili
{ "text": [ "mabwenyenye aliyeshinda nao walimtia magonjwa ya zinaa" ] }
3147_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGJA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo au hata vyombo vya mawasiliano. Katika shule za sekondari teknolojia inatumika katika njia mbalimbali kama vile kufundisha na kadhalika. Teknolojia pia inaweza kutumiwa katika sekta nyingi kama hospitali, kituo cha polisi na hata nyumbani. Wanafunzi wa sekondari wanatumia vyombo vya teknolojia kama vile vikokotoo. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kufanyia hisabati shule. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kwa sababu hupiga hesabu mara moja na hutumia wakati kidogo. Kikokotoo ni muhimu sana kwa wanafunzi. Tarakilishi nayo inatumiwa na walimu na wanafunzi. Walimu huweka rekodi za wanafunzi kwenye tarakilishi. Wanafunzi nao husoma kwa kutumia tarakilishi na hutumia tarakilishi kwa kufanya utafiti wa mambo wanayofunzwa. Tarakilishi hufanya kazi haraka hata kushinda binadamu. Shule nyingi za sekondari zina televisheni. Televisheni hutoa habari za kote duniani. Wanafunzi wanaweza kujua habari za kote duniani. Wanaweza kujua mambo ibuka katika jamii. Televisheni hutumiwa pamoja na kisengeretua ambacho hutumiwa kubadilisha idhaa za televisheni. Teknolojia pia ina hasara zake. Wanafunzi hutumia tarakilishi za shule kwa kufanya utafiti wa mambo machafu katika jamii kama video za ngono. Wanafunzi hujifunza mambo mengi mabaya yasio na umuhimu wowote. Vikokotoo navyo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu. Hawawezi kufanya hesabu bila kutumia kikokotoo. Pia tarakilishi huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hawaandiki nakala walizopewa na walimu wao bali kutaka kutumia tarakilishi.
Tekinolojia ni maarifa ya nini
{ "text": [ "Sayansi" ] }
3147_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGJA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo au hata vyombo vya mawasiliano. Katika shule za sekondari teknolojia inatumika katika njia mbalimbali kama vile kufundisha na kadhalika. Teknolojia pia inaweza kutumiwa katika sekta nyingi kama hospitali, kituo cha polisi na hata nyumbani. Wanafunzi wa sekondari wanatumia vyombo vya teknolojia kama vile vikokotoo. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kufanyia hisabati shule. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kwa sababu hupiga hesabu mara moja na hutumia wakati kidogo. Kikokotoo ni muhimu sana kwa wanafunzi. Tarakilishi nayo inatumiwa na walimu na wanafunzi. Walimu huweka rekodi za wanafunzi kwenye tarakilishi. Wanafunzi nao husoma kwa kutumia tarakilishi na hutumia tarakilishi kwa kufanya utafiti wa mambo wanayofunzwa. Tarakilishi hufanya kazi haraka hata kushinda binadamu. Shule nyingi za sekondari zina televisheni. Televisheni hutoa habari za kote duniani. Wanafunzi wanaweza kujua habari za kote duniani. Wanaweza kujua mambo ibuka katika jamii. Televisheni hutumiwa pamoja na kisengeretua ambacho hutumiwa kubadilisha idhaa za televisheni. Teknolojia pia ina hasara zake. Wanafunzi hutumia tarakilishi za shule kwa kufanya utafiti wa mambo machafu katika jamii kama video za ngono. Wanafunzi hujifunza mambo mengi mabaya yasio na umuhimu wowote. Vikokotoo navyo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu. Hawawezi kufanya hesabu bila kutumia kikokotoo. Pia tarakilishi huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hawaandiki nakala walizopewa na walimu wao bali kutaka kutumia tarakilishi.
Vikokotoo husaidia wanafunzi kufanya nini
{ "text": [ "Hesabu" ] }
3147_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGJA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo au hata vyombo vya mawasiliano. Katika shule za sekondari teknolojia inatumika katika njia mbalimbali kama vile kufundisha na kadhalika. Teknolojia pia inaweza kutumiwa katika sekta nyingi kama hospitali, kituo cha polisi na hata nyumbani. Wanafunzi wa sekondari wanatumia vyombo vya teknolojia kama vile vikokotoo. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kufanyia hisabati shule. Vikokotoo hutumiwa na wanafunzi kwa sababu hupiga hesabu mara moja na hutumia wakati kidogo. Kikokotoo ni muhimu sana kwa wanafunzi. Tarakilishi nayo inatumiwa na walimu na wanafunzi. Walimu huweka rekodi za wanafunzi kwenye tarakilishi. Wanafunzi nao husoma kwa kutumia tarakilishi na hutumia tarakilishi kwa kufanya utafiti wa mambo wanayofunzwa. Tarakilishi hufanya kazi haraka hata kushinda binadamu. Shule nyingi za sekondari zina televisheni. Televisheni hutoa habari za kote duniani. Wanafunzi wanaweza kujua habari za kote duniani. Wanaweza kujua mambo ibuka katika jamii. Televisheni hutumiwa pamoja na kisengeretua ambacho hutumiwa kubadilisha idhaa za televisheni. Teknolojia pia ina hasara zake. Wanafunzi hutumia tarakilishi za shule kwa kufanya utafiti wa mambo machafu katika jamii kama video za ngono. Wanafunzi hujifunza mambo mengi mabaya yasio na umuhimu wowote. Vikokotoo navyo huwafanya wanafunzi kuwa wavivu. Hawawezi kufanya hesabu bila kutumia kikokotoo. Pia tarakilishi huwafanya wanafunzi kuwa wavivu hawaandiki nakala walizopewa na walimu wao bali kutaka kutumia tarakilishi.
Ni nini hutumiwa kubadilisha idhaa kwa televisheni
{ "text": [ "Kisengeretua" ] }