Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3063_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam! Wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga methali isemayo vyote ving'aavyo si dhahabu. Hii ni wazi kama mchana kwani teknolojia una faida sana na watu wengi hupenda kuitumia lakini hata hivyo haikosi kasoro kwani pia ina madhara.
Teknologia husaidia sana katika shule za sekondari. Kama vile walimu hutumia tarakilishi ili kuhifadhi masomo yote anayofundisha. Kupitia hii njia, walimu wamepumzishwa kazi ya kubeba vitabu aina ainati wanapotaka kwenda kufundisha.
Kwa upande mwengine tarakilishi hizi hutumiwa vibaya na walimu. Wakati ambapo walimu hutakikana kusahihisha vitabu vya wanafunzi ama kufanya jambo lolote kuhusiana na elimu walimu hutumia wakati huo kuchezea tarakilishi kwa kuangalia sinema au kuangalia mambo ya kuburudisha katika mitandao.
Teknologia pia imesaidia wanafunzi kuburudisha akili. Wanafunzi huburudikia kwa nyimbo na muziki. Mwanafunzi huburudika kwani huwa akili zimechoka sana baada ya kupambana na masomo. Kwa upande mwingine viburudisho hivi huwa na madhara.
Wanafunzi huwa wanaanza kuangalia sinema zilizojaa uchafu. Na baada ya hapo wanafunzi watataka kujaribu na kuigiza walichokiona. Na hivyo basi wanapoenda nyumbani kwa mapumziko, wanafunzi waliokuwa na adabu wataanza kuonyesha mabadiliko.
Vilevile, teknologia imesaidia wanafunzi hususan walio katika shule za mabweni kuweza kuwasiliana na wazazi wao. Wanapokuwa shuleni wanaweza kufahamu ni nini kinachoendelea nyumbani kwao.
Kwa upande mwingine, wanafunzi makurutu hubeba rununu shuleni. Rununu hizo huzitumia vibaya kwa kuingia kwenye mitandao na kutazama yanayoendelea badala
ya kudurusu vitabu vyao. Vile vile wanafunzi hao wanapokesha na simu huwa wanaambulia kusinzia darasani na kupitwa na mengi walimu wanapofundisha. | Ni ipi madhara ya teknolojia kwa wanafunzi | {
"text": [
"Video na sinema chafu zinazowapotosha wanafunzi"
]
} |
3063_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Naam! Wahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa walipolonga methali isemayo vyote ving'aavyo si dhahabu. Hii ni wazi kama mchana kwani teknolojia una faida sana na watu wengi hupenda kuitumia lakini hata hivyo haikosi kasoro kwani pia ina madhara.
Teknologia husaidia sana katika shule za sekondari. Kama vile walimu hutumia tarakilishi ili kuhifadhi masomo yote anayofundisha. Kupitia hii njia, walimu wamepumzishwa kazi ya kubeba vitabu aina ainati wanapotaka kwenda kufundisha.
Kwa upande mwengine tarakilishi hizi hutumiwa vibaya na walimu. Wakati ambapo walimu hutakikana kusahihisha vitabu vya wanafunzi ama kufanya jambo lolote kuhusiana na elimu walimu hutumia wakati huo kuchezea tarakilishi kwa kuangalia sinema au kuangalia mambo ya kuburudisha katika mitandao.
Teknologia pia imesaidia wanafunzi kuburudisha akili. Wanafunzi huburudikia kwa nyimbo na muziki. Mwanafunzi huburudika kwani huwa akili zimechoka sana baada ya kupambana na masomo. Kwa upande mwingine viburudisho hivi huwa na madhara.
Wanafunzi huwa wanaanza kuangalia sinema zilizojaa uchafu. Na baada ya hapo wanafunzi watataka kujaribu na kuigiza walichokiona. Na hivyo basi wanapoenda nyumbani kwa mapumziko, wanafunzi waliokuwa na adabu wataanza kuonyesha mabadiliko.
Vilevile, teknologia imesaidia wanafunzi hususan walio katika shule za mabweni kuweza kuwasiliana na wazazi wao. Wanapokuwa shuleni wanaweza kufahamu ni nini kinachoendelea nyumbani kwao.
Kwa upande mwingine, wanafunzi makurutu hubeba rununu shuleni. Rununu hizo huzitumia vibaya kwa kuingia kwenye mitandao na kutazama yanayoendelea badala
ya kudurusu vitabu vyao. Vile vile wanafunzi hao wanapokesha na simu huwa wanaambulia kusinzia darasani na kupitwa na mengi walimu wanapofundisha. | Kando na madhara, teknolojia pia ina nini | {
"text": [
"Faida anuwai"
]
} |
3064_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile kwenye mawasiliano na nyanja nyinginezo.
Teknolojia imeleta faida kemkem katika shule nyingi za sekondari moja ikiwemo kurahisisha kazi. Kwa mfano, tarakilishi. Tarakilisha ina faida kubwa kwani ina kiwango kikubwa cha kuhifadhi data. Hivyo basi walimu huhifadhi ujumbe kama vile masomo mbalimbali ili kuweza kufundisha kwa urahisi.
Aidha uwepo wa runinga pia umesababisha wanafunzi kujua hali halisi ya nchi yao hata wakiwa shuleni. Wanaweza kutazama habari itokao maeneo mbalimbali ya nchi hivyo basi kuwa na ufaafu wa tukio fulani katika eneo fulani. Wanafunzi huelimika zaidi pia kupitia hivi kwani endapo kuna jambo haya limetokea wanaweza kujihadhari kutokana nalo vipi?
Isisahaulike kwamba teknolojia pia imewezesha kuhifadhi ujumbe kwa matumizi ya baadaye. Kwa mfano, wanafunzi wanaotumia tarakilishi au pia simu hawana haja ya kuandika maandishi yao katika madaftari kwani huu ni upotezaji wakati. Maandishi yakiwa humo basi wanasoma wakati wowote, mahali popote wanapokuwa bila ya kubeba vitabu.
Mbali na haya, uwepo wa umeme pia umewezesha kuendeleza maisha ya shule za sekondari. Hii ni pamoja na kuekwa kwa mwangaza katika kila pembe ya shule ili kuzuia wahalifu kuivamia shule hii. Wahalifu hawataweza kuingia kwenye mwangaza kila mahali kwani wanahofia usalama wao endapo wataonekana na walinda usalama.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho ila. Teknolojia hiyo hiyo imesababisha maafa kwa wanafunzi hawa. Wanafunzi hutumia simu kwa njia isiyo stahili kwani hutumia simu zao kutafuta picha za uchafu katika mitandao badala ya kutumia kusomea. Hali hii ina wapelekea wanafunzi kufeli mitihani na vile vile kujiingiza katika ngono ambayo madhara yake ni uja uzito wa mapema au hata magonjwa hatari kama vile ukimwi.
Halikadhalika, ukosefu wa umeme umechangia pakubwa katika kuzorota kwa masomo katika shule nyingi za sekondari. Hii inasababishwa na kutokuwa na mwangaza katika shule na watoto wengi huishia kufeli kwa kukosa njia ya kuchaji vifaa vyao vya kusomea kwani vifaa hivi ni hai tu endapo kuna umeme. Kila ujumbe waliohifadhi ndani hauwezi kusomeka kamwe na endapo utaendelea kutokuwa kiasi kama wiki moja basi watoto hubaki nyuma kisilabasi. Hivyo basi inafaa kwa wanafunzi kutumia vifaa vyao kwa njia mwafaka ili kuepukana na matatizo haya yote.
| Faida mojawapo ya tarakilishi iliyoletwa kutokana na teknolojia ni ipi | {
"text": [
"Kuhifadhi data na masomo mbalimbali"
]
} |
3064_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile kwenye mawasiliano na nyanja nyinginezo.
Teknolojia imeleta faida kemkem katika shule nyingi za sekondari moja ikiwemo kurahisisha kazi. Kwa mfano, tarakilishi. Tarakilisha ina faida kubwa kwani ina kiwango kikubwa cha kuhifadhi data. Hivyo basi walimu huhifadhi ujumbe kama vile masomo mbalimbali ili kuweza kufundisha kwa urahisi.
Aidha uwepo wa runinga pia umesababisha wanafunzi kujua hali halisi ya nchi yao hata wakiwa shuleni. Wanaweza kutazama habari itokao maeneo mbalimbali ya nchi hivyo basi kuwa na ufaafu wa tukio fulani katika eneo fulani. Wanafunzi huelimika zaidi pia kupitia hivi kwani endapo kuna jambo haya limetokea wanaweza kujihadhari kutokana nalo vipi?
Isisahaulike kwamba teknolojia pia imewezesha kuhifadhi ujumbe kwa matumizi ya baadaye. Kwa mfano, wanafunzi wanaotumia tarakilishi au pia simu hawana haja ya kuandika maandishi yao katika madaftari kwani huu ni upotezaji wakati. Maandishi yakiwa humo basi wanasoma wakati wowote, mahali popote wanapokuwa bila ya kubeba vitabu.
Mbali na haya, uwepo wa umeme pia umewezesha kuendeleza maisha ya shule za sekondari. Hii ni pamoja na kuekwa kwa mwangaza katika kila pembe ya shule ili kuzuia wahalifu kuivamia shule hii. Wahalifu hawataweza kuingia kwenye mwangaza kila mahali kwani wanahofia usalama wao endapo wataonekana na walinda usalama.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho ila. Teknolojia hiyo hiyo imesababisha maafa kwa wanafunzi hawa. Wanafunzi hutumia simu kwa njia isiyo stahili kwani hutumia simu zao kutafuta picha za uchafu katika mitandao badala ya kutumia kusomea. Hali hii ina wapelekea wanafunzi kufeli mitihani na vile vile kujiingiza katika ngono ambayo madhara yake ni uja uzito wa mapema au hata magonjwa hatari kama vile ukimwi.
Halikadhalika, ukosefu wa umeme umechangia pakubwa katika kuzorota kwa masomo katika shule nyingi za sekondari. Hii inasababishwa na kutokuwa na mwangaza katika shule na watoto wengi huishia kufeli kwa kukosa njia ya kuchaji vifaa vyao vya kusomea kwani vifaa hivi ni hai tu endapo kuna umeme. Kila ujumbe waliohifadhi ndani hauwezi kusomeka kamwe na endapo utaendelea kutokuwa kiasi kama wiki moja basi watoto hubaki nyuma kisilabasi. Hivyo basi inafaa kwa wanafunzi kutumia vifaa vyao kwa njia mwafaka ili kuepukana na matatizo haya yote.
| Faida ya umeme shuleni ni ipi | {
"text": [
"Huleta mwangaza ili kuzuia wahalifu kuvamia shule"
]
} |
3064_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile kwenye mawasiliano na nyanja nyinginezo.
Teknolojia imeleta faida kemkem katika shule nyingi za sekondari moja ikiwemo kurahisisha kazi. Kwa mfano, tarakilishi. Tarakilisha ina faida kubwa kwani ina kiwango kikubwa cha kuhifadhi data. Hivyo basi walimu huhifadhi ujumbe kama vile masomo mbalimbali ili kuweza kufundisha kwa urahisi.
Aidha uwepo wa runinga pia umesababisha wanafunzi kujua hali halisi ya nchi yao hata wakiwa shuleni. Wanaweza kutazama habari itokao maeneo mbalimbali ya nchi hivyo basi kuwa na ufaafu wa tukio fulani katika eneo fulani. Wanafunzi huelimika zaidi pia kupitia hivi kwani endapo kuna jambo haya limetokea wanaweza kujihadhari kutokana nalo vipi?
Isisahaulike kwamba teknolojia pia imewezesha kuhifadhi ujumbe kwa matumizi ya baadaye. Kwa mfano, wanafunzi wanaotumia tarakilishi au pia simu hawana haja ya kuandika maandishi yao katika madaftari kwani huu ni upotezaji wakati. Maandishi yakiwa humo basi wanasoma wakati wowote, mahali popote wanapokuwa bila ya kubeba vitabu.
Mbali na haya, uwepo wa umeme pia umewezesha kuendeleza maisha ya shule za sekondari. Hii ni pamoja na kuekwa kwa mwangaza katika kila pembe ya shule ili kuzuia wahalifu kuivamia shule hii. Wahalifu hawataweza kuingia kwenye mwangaza kila mahali kwani wanahofia usalama wao endapo wataonekana na walinda usalama.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho ila. Teknolojia hiyo hiyo imesababisha maafa kwa wanafunzi hawa. Wanafunzi hutumia simu kwa njia isiyo stahili kwani hutumia simu zao kutafuta picha za uchafu katika mitandao badala ya kutumia kusomea. Hali hii ina wapelekea wanafunzi kufeli mitihani na vile vile kujiingiza katika ngono ambayo madhara yake ni uja uzito wa mapema au hata magonjwa hatari kama vile ukimwi.
Halikadhalika, ukosefu wa umeme umechangia pakubwa katika kuzorota kwa masomo katika shule nyingi za sekondari. Hii inasababishwa na kutokuwa na mwangaza katika shule na watoto wengi huishia kufeli kwa kukosa njia ya kuchaji vifaa vyao vya kusomea kwani vifaa hivi ni hai tu endapo kuna umeme. Kila ujumbe waliohifadhi ndani hauwezi kusomeka kamwe na endapo utaendelea kutokuwa kiasi kama wiki moja basi watoto hubaki nyuma kisilabasi. Hivyo basi inafaa kwa wanafunzi kutumia vifaa vyao kwa njia mwafaka ili kuepukana na matatizo haya yote.
| Madhara yanayoambatana na teknolojia kwa wanafunzi wanaotumia simu visivyo ni yapi | {
"text": [
"Kufeli mitihani na uja uzito ukiambatana na magonjwa hatari kama vile ukimwi"
]
} |
3064_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile kwenye mawasiliano na nyanja nyinginezo.
Teknolojia imeleta faida kemkem katika shule nyingi za sekondari moja ikiwemo kurahisisha kazi. Kwa mfano, tarakilishi. Tarakilisha ina faida kubwa kwani ina kiwango kikubwa cha kuhifadhi data. Hivyo basi walimu huhifadhi ujumbe kama vile masomo mbalimbali ili kuweza kufundisha kwa urahisi.
Aidha uwepo wa runinga pia umesababisha wanafunzi kujua hali halisi ya nchi yao hata wakiwa shuleni. Wanaweza kutazama habari itokao maeneo mbalimbali ya nchi hivyo basi kuwa na ufaafu wa tukio fulani katika eneo fulani. Wanafunzi huelimika zaidi pia kupitia hivi kwani endapo kuna jambo haya limetokea wanaweza kujihadhari kutokana nalo vipi?
Isisahaulike kwamba teknolojia pia imewezesha kuhifadhi ujumbe kwa matumizi ya baadaye. Kwa mfano, wanafunzi wanaotumia tarakilishi au pia simu hawana haja ya kuandika maandishi yao katika madaftari kwani huu ni upotezaji wakati. Maandishi yakiwa humo basi wanasoma wakati wowote, mahali popote wanapokuwa bila ya kubeba vitabu.
Mbali na haya, uwepo wa umeme pia umewezesha kuendeleza maisha ya shule za sekondari. Hii ni pamoja na kuekwa kwa mwangaza katika kila pembe ya shule ili kuzuia wahalifu kuivamia shule hii. Wahalifu hawataweza kuingia kwenye mwangaza kila mahali kwani wanahofia usalama wao endapo wataonekana na walinda usalama.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho ila. Teknolojia hiyo hiyo imesababisha maafa kwa wanafunzi hawa. Wanafunzi hutumia simu kwa njia isiyo stahili kwani hutumia simu zao kutafuta picha za uchafu katika mitandao badala ya kutumia kusomea. Hali hii ina wapelekea wanafunzi kufeli mitihani na vile vile kujiingiza katika ngono ambayo madhara yake ni uja uzito wa mapema au hata magonjwa hatari kama vile ukimwi.
Halikadhalika, ukosefu wa umeme umechangia pakubwa katika kuzorota kwa masomo katika shule nyingi za sekondari. Hii inasababishwa na kutokuwa na mwangaza katika shule na watoto wengi huishia kufeli kwa kukosa njia ya kuchaji vifaa vyao vya kusomea kwani vifaa hivi ni hai tu endapo kuna umeme. Kila ujumbe waliohifadhi ndani hauwezi kusomeka kamwe na endapo utaendelea kutokuwa kiasi kama wiki moja basi watoto hubaki nyuma kisilabasi. Hivyo basi inafaa kwa wanafunzi kutumia vifaa vyao kwa njia mwafaka ili kuepukana na matatizo haya yote.
| Wanafunzi shuleni hutumia nini kutazama habari | {
"text": [
"Runinga"
]
} |
3064_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile kwenye mawasiliano na nyanja nyinginezo.
Teknolojia imeleta faida kemkem katika shule nyingi za sekondari moja ikiwemo kurahisisha kazi. Kwa mfano, tarakilishi. Tarakilisha ina faida kubwa kwani ina kiwango kikubwa cha kuhifadhi data. Hivyo basi walimu huhifadhi ujumbe kama vile masomo mbalimbali ili kuweza kufundisha kwa urahisi.
Aidha uwepo wa runinga pia umesababisha wanafunzi kujua hali halisi ya nchi yao hata wakiwa shuleni. Wanaweza kutazama habari itokao maeneo mbalimbali ya nchi hivyo basi kuwa na ufaafu wa tukio fulani katika eneo fulani. Wanafunzi huelimika zaidi pia kupitia hivi kwani endapo kuna jambo haya limetokea wanaweza kujihadhari kutokana nalo vipi?
Isisahaulike kwamba teknolojia pia imewezesha kuhifadhi ujumbe kwa matumizi ya baadaye. Kwa mfano, wanafunzi wanaotumia tarakilishi au pia simu hawana haja ya kuandika maandishi yao katika madaftari kwani huu ni upotezaji wakati. Maandishi yakiwa humo basi wanasoma wakati wowote, mahali popote wanapokuwa bila ya kubeba vitabu.
Mbali na haya, uwepo wa umeme pia umewezesha kuendeleza maisha ya shule za sekondari. Hii ni pamoja na kuekwa kwa mwangaza katika kila pembe ya shule ili kuzuia wahalifu kuivamia shule hii. Wahalifu hawataweza kuingia kwenye mwangaza kila mahali kwani wanahofia usalama wao endapo wataonekana na walinda usalama.
Kwa kweli hakuna kizuri kikosacho ila. Teknolojia hiyo hiyo imesababisha maafa kwa wanafunzi hawa. Wanafunzi hutumia simu kwa njia isiyo stahili kwani hutumia simu zao kutafuta picha za uchafu katika mitandao badala ya kutumia kusomea. Hali hii ina wapelekea wanafunzi kufeli mitihani na vile vile kujiingiza katika ngono ambayo madhara yake ni uja uzito wa mapema au hata magonjwa hatari kama vile ukimwi.
Halikadhalika, ukosefu wa umeme umechangia pakubwa katika kuzorota kwa masomo katika shule nyingi za sekondari. Hii inasababishwa na kutokuwa na mwangaza katika shule na watoto wengi huishia kufeli kwa kukosa njia ya kuchaji vifaa vyao vya kusomea kwani vifaa hivi ni hai tu endapo kuna umeme. Kila ujumbe waliohifadhi ndani hauwezi kusomeka kamwe na endapo utaendelea kutokuwa kiasi kama wiki moja basi watoto hubaki nyuma kisilabasi. Hivyo basi inafaa kwa wanafunzi kutumia vifaa vyao kwa njia mwafaka ili kuepukana na matatizo haya yote.
| Kwa mujibu wa ibara ya mwisho, ni kipi kimechangia kuzorota kwa masomo shuleni | {
"text": [
"Kutokuwepo kwa umeme"
]
} |
3065_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyosema wahenga, hakuna zuri lisilo kuwa na ubaya wake. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo vya zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeweza kuleta uvumbuzi wa vitu vingi mno. Kwanza, tukiangazia swala la uvumbuzi wa mifumo ya kisasa , teknolojia imechangia pakubwa katika mifumo hili. Wanafunzi wanaweza kupata mafunzo ya tarakilishi katika shule zao. Suala hilo limewasaidia ili kuweza kufanya utafiti katika maswala ibuka na pia kusoma zaidi kuhusu somo lingine.
Teknolojia imeweza kuvumbua mifumo mapya katika masomo ya kiufundi. Kwa mfano, katika ushonaji, cherehani za kutumia umerne zimezinduliwa ili kuweza kurahisisha kazi katika ujuzi huu. Hapo awali, cherehani zilizokuwa ni zile za kutumika kwa kutumia miguu na zilichukua muda mwingi kabla ya mwanafunzi kumaliza kazi. Lakini hivi sasa mambo ni ya mtindo wa kisasa.
Tarakilishi zimewezesha wanafunzi wanaosoma upishi kuweza kufanya utafiti kuhusiana na resipe na jinsi ya kupika aina ya vyakula vingi. Kabla ya mifumo hii ya teknolojia, wanafunzi
walilazimika kufanya utafiti wao katika vitabu mbalimbali. Uvumbuzi huu umewafanya wazembee katika vitabu kwani wanadhani ni bora kutumia tarakilishi ili waweze kupata ujumbe kwa urahisi.
Uvumbuzi wa teknohama, teknolojia ya habari inayotumia njia ya elektroniki huezesha mawasiliano baina ya watu na wenzao popote walipo. Hii imewezesha wanafunzi kutangamana na wenzao kutoka nchi au shule mbalimbali. Jambo hili limewawezesha kubadilishana
mawazo kuhusiana na jinsi wanavyo chukulia masomo tofauti tofauti.
Utovu wa nidhamu kwa wanafunzi hutokana na matumizi mabaya ya teknohama na teknolojia. Wanafunzi wanapotoka kwa kuangalia video zisizofaa pamoja na kusoma makala yanayo wapotosha. Maendeleo ya teknolojia yameangazia kuwanufaisha wanafunzi wa sekondari katika masomo yao ya kifundi na pia kuwapanua uwezo wa kufikiria.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi tutangamana ili kubadilisha mawazo katika kongamano la kisayansi. Kongamano hili hunuia kuvumbua na kufanya utafiti ili kuweza kuongeza vyombo tofauti tofauti. Huwezesha mwanafunzi kujua talanta yake iliyofichika.
Teknolojia imefanya maendeleo mengi mno katika shule hii. Mfumo wa kutumia tarakilishi umewafanya wanafunzi waache kujituma katika vitabu kwani wanadhani kuwa utumizi wa vitabu unachukua wakati mwingi. Wao hutumia mitandao kupitia tovuti mbalimbali ili wafanye utafiti kwa haraka na urahisi. | Hakuna zuri lisilokuwa na nini? | {
"text": [
"Ubaya"
]
} |
3065_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyosema wahenga, hakuna zuri lisilo kuwa na ubaya wake. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo vya zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeweza kuleta uvumbuzi wa vitu vingi mno. Kwanza, tukiangazia swala la uvumbuzi wa mifumo ya kisasa , teknolojia imechangia pakubwa katika mifumo hili. Wanafunzi wanaweza kupata mafunzo ya tarakilishi katika shule zao. Suala hilo limewasaidia ili kuweza kufanya utafiti katika maswala ibuka na pia kusoma zaidi kuhusu somo lingine.
Teknolojia imeweza kuvumbua mifumo mapya katika masomo ya kiufundi. Kwa mfano, katika ushonaji, cherehani za kutumia umerne zimezinduliwa ili kuweza kurahisisha kazi katika ujuzi huu. Hapo awali, cherehani zilizokuwa ni zile za kutumika kwa kutumia miguu na zilichukua muda mwingi kabla ya mwanafunzi kumaliza kazi. Lakini hivi sasa mambo ni ya mtindo wa kisasa.
Tarakilishi zimewezesha wanafunzi wanaosoma upishi kuweza kufanya utafiti kuhusiana na resipe na jinsi ya kupika aina ya vyakula vingi. Kabla ya mifumo hii ya teknolojia, wanafunzi
walilazimika kufanya utafiti wao katika vitabu mbalimbali. Uvumbuzi huu umewafanya wazembee katika vitabu kwani wanadhani ni bora kutumia tarakilishi ili waweze kupata ujumbe kwa urahisi.
Uvumbuzi wa teknohama, teknolojia ya habari inayotumia njia ya elektroniki huezesha mawasiliano baina ya watu na wenzao popote walipo. Hii imewezesha wanafunzi kutangamana na wenzao kutoka nchi au shule mbalimbali. Jambo hili limewawezesha kubadilishana
mawazo kuhusiana na jinsi wanavyo chukulia masomo tofauti tofauti.
Utovu wa nidhamu kwa wanafunzi hutokana na matumizi mabaya ya teknohama na teknolojia. Wanafunzi wanapotoka kwa kuangalia video zisizofaa pamoja na kusoma makala yanayo wapotosha. Maendeleo ya teknolojia yameangazia kuwanufaisha wanafunzi wa sekondari katika masomo yao ya kifundi na pia kuwapanua uwezo wa kufikiria.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi tutangamana ili kubadilisha mawazo katika kongamano la kisayansi. Kongamano hili hunuia kuvumbua na kufanya utafiti ili kuweza kuongeza vyombo tofauti tofauti. Huwezesha mwanafunzi kujua talanta yake iliyofichika.
Teknolojia imefanya maendeleo mengi mno katika shule hii. Mfumo wa kutumia tarakilishi umewafanya wanafunzi waache kujituma katika vitabu kwani wanadhani kuwa utumizi wa vitabu unachukua wakati mwingi. Wao hutumia mitandao kupitia tovuti mbalimbali ili wafanye utafiti kwa haraka na urahisi. | Teknolojia inatumika katika sekta kama ipi? | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
3065_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyosema wahenga, hakuna zuri lisilo kuwa na ubaya wake. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo vya zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeweza kuleta uvumbuzi wa vitu vingi mno. Kwanza, tukiangazia swala la uvumbuzi wa mifumo ya kisasa , teknolojia imechangia pakubwa katika mifumo hili. Wanafunzi wanaweza kupata mafunzo ya tarakilishi katika shule zao. Suala hilo limewasaidia ili kuweza kufanya utafiti katika maswala ibuka na pia kusoma zaidi kuhusu somo lingine.
Teknolojia imeweza kuvumbua mifumo mapya katika masomo ya kiufundi. Kwa mfano, katika ushonaji, cherehani za kutumia umerne zimezinduliwa ili kuweza kurahisisha kazi katika ujuzi huu. Hapo awali, cherehani zilizokuwa ni zile za kutumika kwa kutumia miguu na zilichukua muda mwingi kabla ya mwanafunzi kumaliza kazi. Lakini hivi sasa mambo ni ya mtindo wa kisasa.
Tarakilishi zimewezesha wanafunzi wanaosoma upishi kuweza kufanya utafiti kuhusiana na resipe na jinsi ya kupika aina ya vyakula vingi. Kabla ya mifumo hii ya teknolojia, wanafunzi
walilazimika kufanya utafiti wao katika vitabu mbalimbali. Uvumbuzi huu umewafanya wazembee katika vitabu kwani wanadhani ni bora kutumia tarakilishi ili waweze kupata ujumbe kwa urahisi.
Uvumbuzi wa teknohama, teknolojia ya habari inayotumia njia ya elektroniki huezesha mawasiliano baina ya watu na wenzao popote walipo. Hii imewezesha wanafunzi kutangamana na wenzao kutoka nchi au shule mbalimbali. Jambo hili limewawezesha kubadilishana
mawazo kuhusiana na jinsi wanavyo chukulia masomo tofauti tofauti.
Utovu wa nidhamu kwa wanafunzi hutokana na matumizi mabaya ya teknohama na teknolojia. Wanafunzi wanapotoka kwa kuangalia video zisizofaa pamoja na kusoma makala yanayo wapotosha. Maendeleo ya teknolojia yameangazia kuwanufaisha wanafunzi wa sekondari katika masomo yao ya kifundi na pia kuwapanua uwezo wa kufikiria.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi tutangamana ili kubadilisha mawazo katika kongamano la kisayansi. Kongamano hili hunuia kuvumbua na kufanya utafiti ili kuweza kuongeza vyombo tofauti tofauti. Huwezesha mwanafunzi kujua talanta yake iliyofichika.
Teknolojia imefanya maendeleo mengi mno katika shule hii. Mfumo wa kutumia tarakilishi umewafanya wanafunzi waache kujituma katika vitabu kwani wanadhani kuwa utumizi wa vitabu unachukua wakati mwingi. Wao hutumia mitandao kupitia tovuti mbalimbali ili wafanye utafiti kwa haraka na urahisi. | Somo lipi la kiteknolojia hufunzwa katika shule za sekondari? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3065_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyosema wahenga, hakuna zuri lisilo kuwa na ubaya wake. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo vya zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeweza kuleta uvumbuzi wa vitu vingi mno. Kwanza, tukiangazia swala la uvumbuzi wa mifumo ya kisasa , teknolojia imechangia pakubwa katika mifumo hili. Wanafunzi wanaweza kupata mafunzo ya tarakilishi katika shule zao. Suala hilo limewasaidia ili kuweza kufanya utafiti katika maswala ibuka na pia kusoma zaidi kuhusu somo lingine.
Teknolojia imeweza kuvumbua mifumo mapya katika masomo ya kiufundi. Kwa mfano, katika ushonaji, cherehani za kutumia umerne zimezinduliwa ili kuweza kurahisisha kazi katika ujuzi huu. Hapo awali, cherehani zilizokuwa ni zile za kutumika kwa kutumia miguu na zilichukua muda mwingi kabla ya mwanafunzi kumaliza kazi. Lakini hivi sasa mambo ni ya mtindo wa kisasa.
Tarakilishi zimewezesha wanafunzi wanaosoma upishi kuweza kufanya utafiti kuhusiana na resipe na jinsi ya kupika aina ya vyakula vingi. Kabla ya mifumo hii ya teknolojia, wanafunzi
walilazimika kufanya utafiti wao katika vitabu mbalimbali. Uvumbuzi huu umewafanya wazembee katika vitabu kwani wanadhani ni bora kutumia tarakilishi ili waweze kupata ujumbe kwa urahisi.
Uvumbuzi wa teknohama, teknolojia ya habari inayotumia njia ya elektroniki huezesha mawasiliano baina ya watu na wenzao popote walipo. Hii imewezesha wanafunzi kutangamana na wenzao kutoka nchi au shule mbalimbali. Jambo hili limewawezesha kubadilishana
mawazo kuhusiana na jinsi wanavyo chukulia masomo tofauti tofauti.
Utovu wa nidhamu kwa wanafunzi hutokana na matumizi mabaya ya teknohama na teknolojia. Wanafunzi wanapotoka kwa kuangalia video zisizofaa pamoja na kusoma makala yanayo wapotosha. Maendeleo ya teknolojia yameangazia kuwanufaisha wanafunzi wa sekondari katika masomo yao ya kifundi na pia kuwapanua uwezo wa kufikiria.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi tutangamana ili kubadilisha mawazo katika kongamano la kisayansi. Kongamano hili hunuia kuvumbua na kufanya utafiti ili kuweza kuongeza vyombo tofauti tofauti. Huwezesha mwanafunzi kujua talanta yake iliyofichika.
Teknolojia imefanya maendeleo mengi mno katika shule hii. Mfumo wa kutumia tarakilishi umewafanya wanafunzi waache kujituma katika vitabu kwani wanadhani kuwa utumizi wa vitabu unachukua wakati mwingi. Wao hutumia mitandao kupitia tovuti mbalimbali ili wafanye utafiti kwa haraka na urahisi. | Wanafunzi wanatazama nini kupitia teknolojia? | {
"text": [
"Video zisizofaa"
]
} |
3065_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Kama walivyosema wahenga, hakuna zuri lisilo kuwa na ubaya wake. Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo vya zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia imeweza kuleta uvumbuzi wa vitu vingi mno. Kwanza, tukiangazia swala la uvumbuzi wa mifumo ya kisasa , teknolojia imechangia pakubwa katika mifumo hili. Wanafunzi wanaweza kupata mafunzo ya tarakilishi katika shule zao. Suala hilo limewasaidia ili kuweza kufanya utafiti katika maswala ibuka na pia kusoma zaidi kuhusu somo lingine.
Teknolojia imeweza kuvumbua mifumo mapya katika masomo ya kiufundi. Kwa mfano, katika ushonaji, cherehani za kutumia umerne zimezinduliwa ili kuweza kurahisisha kazi katika ujuzi huu. Hapo awali, cherehani zilizokuwa ni zile za kutumika kwa kutumia miguu na zilichukua muda mwingi kabla ya mwanafunzi kumaliza kazi. Lakini hivi sasa mambo ni ya mtindo wa kisasa.
Tarakilishi zimewezesha wanafunzi wanaosoma upishi kuweza kufanya utafiti kuhusiana na resipe na jinsi ya kupika aina ya vyakula vingi. Kabla ya mifumo hii ya teknolojia, wanafunzi
walilazimika kufanya utafiti wao katika vitabu mbalimbali. Uvumbuzi huu umewafanya wazembee katika vitabu kwani wanadhani ni bora kutumia tarakilishi ili waweze kupata ujumbe kwa urahisi.
Uvumbuzi wa teknohama, teknolojia ya habari inayotumia njia ya elektroniki huezesha mawasiliano baina ya watu na wenzao popote walipo. Hii imewezesha wanafunzi kutangamana na wenzao kutoka nchi au shule mbalimbali. Jambo hili limewawezesha kubadilishana
mawazo kuhusiana na jinsi wanavyo chukulia masomo tofauti tofauti.
Utovu wa nidhamu kwa wanafunzi hutokana na matumizi mabaya ya teknohama na teknolojia. Wanafunzi wanapotoka kwa kuangalia video zisizofaa pamoja na kusoma makala yanayo wapotosha. Maendeleo ya teknolojia yameangazia kuwanufaisha wanafunzi wa sekondari katika masomo yao ya kifundi na pia kuwapanua uwezo wa kufikiria.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi tutangamana ili kubadilisha mawazo katika kongamano la kisayansi. Kongamano hili hunuia kuvumbua na kufanya utafiti ili kuweza kuongeza vyombo tofauti tofauti. Huwezesha mwanafunzi kujua talanta yake iliyofichika.
Teknolojia imefanya maendeleo mengi mno katika shule hii. Mfumo wa kutumia tarakilishi umewafanya wanafunzi waache kujituma katika vitabu kwani wanadhani kuwa utumizi wa vitabu unachukua wakati mwingi. Wao hutumia mitandao kupitia tovuti mbalimbali ili wafanye utafiti kwa haraka na urahisi. | Teknolojia imeweza kuvumbua mifumo mipya kama ipi? | {
"text": [
"Matumizi ya cherehani zanazotomia umeme kurahihisha kazi"
]
} |
3066_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vifaa vilivyotengenezwa kwa maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitamba katika mawasiliano, ufundi, kilimo na kadhalika.
Hata hivyo teknolojia hutumika sehemu tofauti tofauti ikiwemo shuleni, ofisini na hata majumbani mwetu.
Teknolojia katika upande wa masomo katika shule za sekondari imechangia pakubwa mno. Ni dhahiri shairi kuwa teknolojia imepanua mfumo wa elimu. Wanafunzi hawana budi kufanya utafiti katika masomo yao kupitia kompyuta, utafiti huo katika intaneti huwajuza mambo mengi mno na kuwafahamisha zaidi.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya wanafunzi kutangamana na shule zengine kupitia intaneti. Badala ya kuchukua usafiri na kusafiri hadi kwenye shule nyingine kwa nia ya masomo au kushiriki kwenye mjadala, intaneti imewezesha urahisi wa 'online classes’ na hata
‘Online forums’ ikipunguza gharama na kupoteza kwa wakati.
Hata hivyo, teknolojia imewawezesha wanafunzi kuendeleza masomo ya kiufundi. Somo la kilimo imewarahisisha wanafunzi na vifaa kama vile matrakta katika kilimo. Hii ikichangia pakubwa kwa kumwezesha mwanafunzi kutia juhudi nakupenda zaidi somo hilo kwani mambo ni mteremko.
Kutokana na faida hizi, teknolojia pia huchangia kwa kuleta madhara katika shule za sekondari. Madhara yenyewe ni kuwa, mwanafunzi badala ya kufanya utafiti mwafaka kuhusiana na elimu, ataingia katika mitandao mengine kama Facebook, Instagram na kujihusisha katika mambo ambayo yatamtatiza katika masomo yake.
Kutokana na tarakilishi, mwanafunzi ameweza kufuma uwerevu wa kubadilisha matokeo yake. Unaweza kupata mwanafunzi amefeli katika masomo yake na njia mwafaka ya kuwaridhisha wazazi wake ni kubadilisha matokeo yake na kupeleka matokeo yasiyo sahihi ili kujinusuru. Kupitia teknolojia hii tunapata kuwa imesababisha madhara.
Bila kusahau kuwa teknolojia imechangia wanafunzi wengi kuingia na simu shuleni. Kutokana na mitandao inamlazimu mwanafunzi yuyu huyu kutumia simu shuleni ambapo atakuwa anakiuka sheria za shule na hata kujipotosha.
Kulingana na madhara na faida za teknolojia tunapata kuona licha ya matokeo hayo, teknolojia
inachangia pakubwa kimaendeleo. | Teknolojia imeenea katika sehemu zipi | {
"text": [
"Shuleni, ofisini na nyumbani"
]
} |
3066_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vifaa vilivyotengenezwa kwa maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitamba katika mawasiliano, ufundi, kilimo na kadhalika.
Hata hivyo teknolojia hutumika sehemu tofauti tofauti ikiwemo shuleni, ofisini na hata majumbani mwetu.
Teknolojia katika upande wa masomo katika shule za sekondari imechangia pakubwa mno. Ni dhahiri shairi kuwa teknolojia imepanua mfumo wa elimu. Wanafunzi hawana budi kufanya utafiti katika masomo yao kupitia kompyuta, utafiti huo katika intaneti huwajuza mambo mengi mno na kuwafahamisha zaidi.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya wanafunzi kutangamana na shule zengine kupitia intaneti. Badala ya kuchukua usafiri na kusafiri hadi kwenye shule nyingine kwa nia ya masomo au kushiriki kwenye mjadala, intaneti imewezesha urahisi wa 'online classes’ na hata
‘Online forums’ ikipunguza gharama na kupoteza kwa wakati.
Hata hivyo, teknolojia imewawezesha wanafunzi kuendeleza masomo ya kiufundi. Somo la kilimo imewarahisisha wanafunzi na vifaa kama vile matrakta katika kilimo. Hii ikichangia pakubwa kwa kumwezesha mwanafunzi kutia juhudi nakupenda zaidi somo hilo kwani mambo ni mteremko.
Kutokana na faida hizi, teknolojia pia huchangia kwa kuleta madhara katika shule za sekondari. Madhara yenyewe ni kuwa, mwanafunzi badala ya kufanya utafiti mwafaka kuhusiana na elimu, ataingia katika mitandao mengine kama Facebook, Instagram na kujihusisha katika mambo ambayo yatamtatiza katika masomo yake.
Kutokana na tarakilishi, mwanafunzi ameweza kufuma uwerevu wa kubadilisha matokeo yake. Unaweza kupata mwanafunzi amefeli katika masomo yake na njia mwafaka ya kuwaridhisha wazazi wake ni kubadilisha matokeo yake na kupeleka matokeo yasiyo sahihi ili kujinusuru. Kupitia teknolojia hii tunapata kuwa imesababisha madhara.
Bila kusahau kuwa teknolojia imechangia wanafunzi wengi kuingia na simu shuleni. Kutokana na mitandao inamlazimu mwanafunzi yuyu huyu kutumia simu shuleni ambapo atakuwa anakiuka sheria za shule na hata kujipotosha.
Kulingana na madhara na faida za teknolojia tunapata kuona licha ya matokeo hayo, teknolojia
inachangia pakubwa kimaendeleo. | Teknolojia imerahihisha nini katika mfumo wa elimu | {
"text": [
"Utafiti kupitia kompyuta"
]
} |
3066_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vifaa vilivyotengenezwa kwa maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitamba katika mawasiliano, ufundi, kilimo na kadhalika.
Hata hivyo teknolojia hutumika sehemu tofauti tofauti ikiwemo shuleni, ofisini na hata majumbani mwetu.
Teknolojia katika upande wa masomo katika shule za sekondari imechangia pakubwa mno. Ni dhahiri shairi kuwa teknolojia imepanua mfumo wa elimu. Wanafunzi hawana budi kufanya utafiti katika masomo yao kupitia kompyuta, utafiti huo katika intaneti huwajuza mambo mengi mno na kuwafahamisha zaidi.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya wanafunzi kutangamana na shule zengine kupitia intaneti. Badala ya kuchukua usafiri na kusafiri hadi kwenye shule nyingine kwa nia ya masomo au kushiriki kwenye mjadala, intaneti imewezesha urahisi wa 'online classes’ na hata
‘Online forums’ ikipunguza gharama na kupoteza kwa wakati.
Hata hivyo, teknolojia imewawezesha wanafunzi kuendeleza masomo ya kiufundi. Somo la kilimo imewarahisisha wanafunzi na vifaa kama vile matrakta katika kilimo. Hii ikichangia pakubwa kwa kumwezesha mwanafunzi kutia juhudi nakupenda zaidi somo hilo kwani mambo ni mteremko.
Kutokana na faida hizi, teknolojia pia huchangia kwa kuleta madhara katika shule za sekondari. Madhara yenyewe ni kuwa, mwanafunzi badala ya kufanya utafiti mwafaka kuhusiana na elimu, ataingia katika mitandao mengine kama Facebook, Instagram na kujihusisha katika mambo ambayo yatamtatiza katika masomo yake.
Kutokana na tarakilishi, mwanafunzi ameweza kufuma uwerevu wa kubadilisha matokeo yake. Unaweza kupata mwanafunzi amefeli katika masomo yake na njia mwafaka ya kuwaridhisha wazazi wake ni kubadilisha matokeo yake na kupeleka matokeo yasiyo sahihi ili kujinusuru. Kupitia teknolojia hii tunapata kuwa imesababisha madhara.
Bila kusahau kuwa teknolojia imechangia wanafunzi wengi kuingia na simu shuleni. Kutokana na mitandao inamlazimu mwanafunzi yuyu huyu kutumia simu shuleni ambapo atakuwa anakiuka sheria za shule na hata kujipotosha.
Kulingana na madhara na faida za teknolojia tunapata kuona licha ya matokeo hayo, teknolojia
inachangia pakubwa kimaendeleo. | Ni vipi teknolojia imepunguza upotezaji wa wakati miongoni mwa wanafunzi | {
"text": [
"Wanafunzi wa shule mbili wanaweza soma au kufanya mjadala kwa pamoja bila ya wao kusafiri"
]
} |
3066_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vifaa vilivyotengenezwa kwa maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitamba katika mawasiliano, ufundi, kilimo na kadhalika.
Hata hivyo teknolojia hutumika sehemu tofauti tofauti ikiwemo shuleni, ofisini na hata majumbani mwetu.
Teknolojia katika upande wa masomo katika shule za sekondari imechangia pakubwa mno. Ni dhahiri shairi kuwa teknolojia imepanua mfumo wa elimu. Wanafunzi hawana budi kufanya utafiti katika masomo yao kupitia kompyuta, utafiti huo katika intaneti huwajuza mambo mengi mno na kuwafahamisha zaidi.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya wanafunzi kutangamana na shule zengine kupitia intaneti. Badala ya kuchukua usafiri na kusafiri hadi kwenye shule nyingine kwa nia ya masomo au kushiriki kwenye mjadala, intaneti imewezesha urahisi wa 'online classes’ na hata
‘Online forums’ ikipunguza gharama na kupoteza kwa wakati.
Hata hivyo, teknolojia imewawezesha wanafunzi kuendeleza masomo ya kiufundi. Somo la kilimo imewarahisisha wanafunzi na vifaa kama vile matrakta katika kilimo. Hii ikichangia pakubwa kwa kumwezesha mwanafunzi kutia juhudi nakupenda zaidi somo hilo kwani mambo ni mteremko.
Kutokana na faida hizi, teknolojia pia huchangia kwa kuleta madhara katika shule za sekondari. Madhara yenyewe ni kuwa, mwanafunzi badala ya kufanya utafiti mwafaka kuhusiana na elimu, ataingia katika mitandao mengine kama Facebook, Instagram na kujihusisha katika mambo ambayo yatamtatiza katika masomo yake.
Kutokana na tarakilishi, mwanafunzi ameweza kufuma uwerevu wa kubadilisha matokeo yake. Unaweza kupata mwanafunzi amefeli katika masomo yake na njia mwafaka ya kuwaridhisha wazazi wake ni kubadilisha matokeo yake na kupeleka matokeo yasiyo sahihi ili kujinusuru. Kupitia teknolojia hii tunapata kuwa imesababisha madhara.
Bila kusahau kuwa teknolojia imechangia wanafunzi wengi kuingia na simu shuleni. Kutokana na mitandao inamlazimu mwanafunzi yuyu huyu kutumia simu shuleni ambapo atakuwa anakiuka sheria za shule na hata kujipotosha.
Kulingana na madhara na faida za teknolojia tunapata kuona licha ya matokeo hayo, teknolojia
inachangia pakubwa kimaendeleo. | Teknolojia imechanjia nini katika somo la kilimo | {
"text": [
"Uvumbuzi wa trekta umefanya kazi ya kilimo kuwa rahisi kwa wanafunzi"
]
} |
3066_swa | Insha:
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni vifaa vilivyotengenezwa kwa maarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitamba katika mawasiliano, ufundi, kilimo na kadhalika.
Hata hivyo teknolojia hutumika sehemu tofauti tofauti ikiwemo shuleni, ofisini na hata majumbani mwetu.
Teknolojia katika upande wa masomo katika shule za sekondari imechangia pakubwa mno. Ni dhahiri shairi kuwa teknolojia imepanua mfumo wa elimu. Wanafunzi hawana budi kufanya utafiti katika masomo yao kupitia kompyuta, utafiti huo katika intaneti huwajuza mambo mengi mno na kuwafahamisha zaidi.
Fauka ya hayo, teknolojia imewafanya wanafunzi kutangamana na shule zengine kupitia intaneti. Badala ya kuchukua usafiri na kusafiri hadi kwenye shule nyingine kwa nia ya masomo au kushiriki kwenye mjadala, intaneti imewezesha urahisi wa 'online classes’ na hata
‘Online forums’ ikipunguza gharama na kupoteza kwa wakati.
Hata hivyo, teknolojia imewawezesha wanafunzi kuendeleza masomo ya kiufundi. Somo la kilimo imewarahisisha wanafunzi na vifaa kama vile matrakta katika kilimo. Hii ikichangia pakubwa kwa kumwezesha mwanafunzi kutia juhudi nakupenda zaidi somo hilo kwani mambo ni mteremko.
Kutokana na faida hizi, teknolojia pia huchangia kwa kuleta madhara katika shule za sekondari. Madhara yenyewe ni kuwa, mwanafunzi badala ya kufanya utafiti mwafaka kuhusiana na elimu, ataingia katika mitandao mengine kama Facebook, Instagram na kujihusisha katika mambo ambayo yatamtatiza katika masomo yake.
Kutokana na tarakilishi, mwanafunzi ameweza kufuma uwerevu wa kubadilisha matokeo yake. Unaweza kupata mwanafunzi amefeli katika masomo yake na njia mwafaka ya kuwaridhisha wazazi wake ni kubadilisha matokeo yake na kupeleka matokeo yasiyo sahihi ili kujinusuru. Kupitia teknolojia hii tunapata kuwa imesababisha madhara.
Bila kusahau kuwa teknolojia imechangia wanafunzi wengi kuingia na simu shuleni. Kutokana na mitandao inamlazimu mwanafunzi yuyu huyu kutumia simu shuleni ambapo atakuwa anakiuka sheria za shule na hata kujipotosha.
Kulingana na madhara na faida za teknolojia tunapata kuona licha ya matokeo hayo, teknolojia
inachangia pakubwa kimaendeleo. | Ni ujanja upi wanafunzi hufanya kupitia teknolojia | {
"text": [
"Kubadili matokeo ili kuwafurahisha wazazi wao"
]
} |
3067_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, ufundi au njia za mawasiliano
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba imerahisisha kazi ya walimu pamoja na wanafunzi wao. Walimu wanaweza kufundisha wanafunzi kutumia tarakilishi ambayo humwezesha mwalimu kufundisha na kuwasilisha ujumbe wao kwa wanafunzi vizuri.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuweza kujisomea wenyewe bila ya kuwepo mwalimu kwa kutumia rununu inayowaletea jumbe kupitia mitandao. Hii hurahisisha kazi ya mwanafunzi hususan wakati wa likizo kuliko kupewa maswali ambayo wangefanya kwenye madaftari.
Teknolojia imerahisisha njia ya mawasiliano kwani zamani hakukuwa na madarasa ambayo watu waliweza kusomea. Wanafunzi walikuwa wakisomea chini ya miti. Teknolojia ya kisasa imeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya masomo kwani wanafunzi hawapati shida ya
kusoma kwa kuwa walimu walioajiriwa ni wakutosha na wenye kisomo cha hali ya juu.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuerevuka kwa kujua maswala mengi ambayo hawakuwa wakiyafahamu. Imewafanya wanafunzi kutangamana pamoja na kusaidiana
pasipo kuchagua kabila wala dini kwani kujumuika huku kumewafanya wanafunzi kujuana mila na desturi zao.
Teknolojia imeleta maafa makubwa katika shule za sekondari kwa kuwa wanafunzi wamekuwa wazembe katika kufanya kazi zao kwa sababu ya vyombo vya mawasiliano m.f tarakilishi na rununu ambayo hutumia kufanya utafiti na kupata majibu.
Teknolojia imewapotosha wanafunzi wa sekondari kwani hutumia fursa hii kufanya utafiti wa maswala ambayo si ya kuhusiana na masomo hivyo basi kuwafanya waige tabia na mienendo mibaya ambayo baadaye huja kuyaatharisha masomo yao na kuweza kuanguka mitihani yao.
Teknolojia pia imewazembesha walimu kwani wanategemea teknolojia kufanya utafiti badala ya kusoma vitabu na kuwafupishia ujumbe wanafunzi ili waweze kuelewa zaidi. Njia hii huwafanya wanafunzi kutuyafahamu mambo mengi.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wadanganye katika mitihani yao kwani mwanafunzi anaweza kubadilisha alama alizopata na kuweka alama nyingine ili kupata alama ya juu. Wanafanya ujanja huu kwa kupitia (cyber) ambako hubadilishwa. | Maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo huitwa nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3067_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, ufundi au njia za mawasiliano
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba imerahisisha kazi ya walimu pamoja na wanafunzi wao. Walimu wanaweza kufundisha wanafunzi kutumia tarakilishi ambayo humwezesha mwalimu kufundisha na kuwasilisha ujumbe wao kwa wanafunzi vizuri.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuweza kujisomea wenyewe bila ya kuwepo mwalimu kwa kutumia rununu inayowaletea jumbe kupitia mitandao. Hii hurahisisha kazi ya mwanafunzi hususan wakati wa likizo kuliko kupewa maswali ambayo wangefanya kwenye madaftari.
Teknolojia imerahisisha njia ya mawasiliano kwani zamani hakukuwa na madarasa ambayo watu waliweza kusomea. Wanafunzi walikuwa wakisomea chini ya miti. Teknolojia ya kisasa imeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya masomo kwani wanafunzi hawapati shida ya
kusoma kwa kuwa walimu walioajiriwa ni wakutosha na wenye kisomo cha hali ya juu.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuerevuka kwa kujua maswala mengi ambayo hawakuwa wakiyafahamu. Imewafanya wanafunzi kutangamana pamoja na kusaidiana
pasipo kuchagua kabila wala dini kwani kujumuika huku kumewafanya wanafunzi kujuana mila na desturi zao.
Teknolojia imeleta maafa makubwa katika shule za sekondari kwa kuwa wanafunzi wamekuwa wazembe katika kufanya kazi zao kwa sababu ya vyombo vya mawasiliano m.f tarakilishi na rununu ambayo hutumia kufanya utafiti na kupata majibu.
Teknolojia imewapotosha wanafunzi wa sekondari kwani hutumia fursa hii kufanya utafiti wa maswala ambayo si ya kuhusiana na masomo hivyo basi kuwafanya waige tabia na mienendo mibaya ambayo baadaye huja kuyaatharisha masomo yao na kuweza kuanguka mitihani yao.
Teknolojia pia imewazembesha walimu kwani wanategemea teknolojia kufanya utafiti badala ya kusoma vitabu na kuwafupishia ujumbe wanafunzi ili waweze kuelewa zaidi. Njia hii huwafanya wanafunzi kutuyafahamu mambo mengi.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wadanganye katika mitihani yao kwani mwanafunzi anaweza kubadilisha alama alizopata na kuweka alama nyingine ili kupata alama ya juu. Wanafanya ujanja huu kwa kupitia (cyber) ambako hubadilishwa. | Teknolojia imerahisisha kazi ya nani | {
"text": [
"Walimu na wanafunzi"
]
} |
3067_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, ufundi au njia za mawasiliano
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba imerahisisha kazi ya walimu pamoja na wanafunzi wao. Walimu wanaweza kufundisha wanafunzi kutumia tarakilishi ambayo humwezesha mwalimu kufundisha na kuwasilisha ujumbe wao kwa wanafunzi vizuri.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuweza kujisomea wenyewe bila ya kuwepo mwalimu kwa kutumia rununu inayowaletea jumbe kupitia mitandao. Hii hurahisisha kazi ya mwanafunzi hususan wakati wa likizo kuliko kupewa maswali ambayo wangefanya kwenye madaftari.
Teknolojia imerahisisha njia ya mawasiliano kwani zamani hakukuwa na madarasa ambayo watu waliweza kusomea. Wanafunzi walikuwa wakisomea chini ya miti. Teknolojia ya kisasa imeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya masomo kwani wanafunzi hawapati shida ya
kusoma kwa kuwa walimu walioajiriwa ni wakutosha na wenye kisomo cha hali ya juu.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuerevuka kwa kujua maswala mengi ambayo hawakuwa wakiyafahamu. Imewafanya wanafunzi kutangamana pamoja na kusaidiana
pasipo kuchagua kabila wala dini kwani kujumuika huku kumewafanya wanafunzi kujuana mila na desturi zao.
Teknolojia imeleta maafa makubwa katika shule za sekondari kwa kuwa wanafunzi wamekuwa wazembe katika kufanya kazi zao kwa sababu ya vyombo vya mawasiliano m.f tarakilishi na rununu ambayo hutumia kufanya utafiti na kupata majibu.
Teknolojia imewapotosha wanafunzi wa sekondari kwani hutumia fursa hii kufanya utafiti wa maswala ambayo si ya kuhusiana na masomo hivyo basi kuwafanya waige tabia na mienendo mibaya ambayo baadaye huja kuyaatharisha masomo yao na kuweza kuanguka mitihani yao.
Teknolojia pia imewazembesha walimu kwani wanategemea teknolojia kufanya utafiti badala ya kusoma vitabu na kuwafupishia ujumbe wanafunzi ili waweze kuelewa zaidi. Njia hii huwafanya wanafunzi kutuyafahamu mambo mengi.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wadanganye katika mitihani yao kwani mwanafunzi anaweza kubadilisha alama alizopata na kuweka alama nyingine ili kupata alama ya juu. Wanafanya ujanja huu kwa kupitia (cyber) ambako hubadilishwa. | Walimu wanaweza kufundisha wanafunzi kwa kutumia nini | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3067_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, ufundi au njia za mawasiliano
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba imerahisisha kazi ya walimu pamoja na wanafunzi wao. Walimu wanaweza kufundisha wanafunzi kutumia tarakilishi ambayo humwezesha mwalimu kufundisha na kuwasilisha ujumbe wao kwa wanafunzi vizuri.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuweza kujisomea wenyewe bila ya kuwepo mwalimu kwa kutumia rununu inayowaletea jumbe kupitia mitandao. Hii hurahisisha kazi ya mwanafunzi hususan wakati wa likizo kuliko kupewa maswali ambayo wangefanya kwenye madaftari.
Teknolojia imerahisisha njia ya mawasiliano kwani zamani hakukuwa na madarasa ambayo watu waliweza kusomea. Wanafunzi walikuwa wakisomea chini ya miti. Teknolojia ya kisasa imeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya masomo kwani wanafunzi hawapati shida ya
kusoma kwa kuwa walimu walioajiriwa ni wakutosha na wenye kisomo cha hali ya juu.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuerevuka kwa kujua maswala mengi ambayo hawakuwa wakiyafahamu. Imewafanya wanafunzi kutangamana pamoja na kusaidiana
pasipo kuchagua kabila wala dini kwani kujumuika huku kumewafanya wanafunzi kujuana mila na desturi zao.
Teknolojia imeleta maafa makubwa katika shule za sekondari kwa kuwa wanafunzi wamekuwa wazembe katika kufanya kazi zao kwa sababu ya vyombo vya mawasiliano m.f tarakilishi na rununu ambayo hutumia kufanya utafiti na kupata majibu.
Teknolojia imewapotosha wanafunzi wa sekondari kwani hutumia fursa hii kufanya utafiti wa maswala ambayo si ya kuhusiana na masomo hivyo basi kuwafanya waige tabia na mienendo mibaya ambayo baadaye huja kuyaatharisha masomo yao na kuweza kuanguka mitihani yao.
Teknolojia pia imewazembesha walimu kwani wanategemea teknolojia kufanya utafiti badala ya kusoma vitabu na kuwafupishia ujumbe wanafunzi ili waweze kuelewa zaidi. Njia hii huwafanya wanafunzi kutuyafahamu mambo mengi.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wadanganye katika mitihani yao kwani mwanafunzi anaweza kubadilisha alama alizopata na kuweka alama nyingine ili kupata alama ya juu. Wanafanya ujanja huu kwa kupitia (cyber) ambako hubadilishwa. | Nini kimewawezesha wanafunzi kujisomea bila ya kuwepo mwalimu | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3067_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, ufundi au njia za mawasiliano
Faida ya teknolojia katika shule za sekondari ni kwamba imerahisisha kazi ya walimu pamoja na wanafunzi wao. Walimu wanaweza kufundisha wanafunzi kutumia tarakilishi ambayo humwezesha mwalimu kufundisha na kuwasilisha ujumbe wao kwa wanafunzi vizuri.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuweza kujisomea wenyewe bila ya kuwepo mwalimu kwa kutumia rununu inayowaletea jumbe kupitia mitandao. Hii hurahisisha kazi ya mwanafunzi hususan wakati wa likizo kuliko kupewa maswali ambayo wangefanya kwenye madaftari.
Teknolojia imerahisisha njia ya mawasiliano kwani zamani hakukuwa na madarasa ambayo watu waliweza kusomea. Wanafunzi walikuwa wakisomea chini ya miti. Teknolojia ya kisasa imeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya masomo kwani wanafunzi hawapati shida ya
kusoma kwa kuwa walimu walioajiriwa ni wakutosha na wenye kisomo cha hali ya juu.
Teknolojia imewafanya wanafunzi kuerevuka kwa kujua maswala mengi ambayo hawakuwa wakiyafahamu. Imewafanya wanafunzi kutangamana pamoja na kusaidiana
pasipo kuchagua kabila wala dini kwani kujumuika huku kumewafanya wanafunzi kujuana mila na desturi zao.
Teknolojia imeleta maafa makubwa katika shule za sekondari kwa kuwa wanafunzi wamekuwa wazembe katika kufanya kazi zao kwa sababu ya vyombo vya mawasiliano m.f tarakilishi na rununu ambayo hutumia kufanya utafiti na kupata majibu.
Teknolojia imewapotosha wanafunzi wa sekondari kwani hutumia fursa hii kufanya utafiti wa maswala ambayo si ya kuhusiana na masomo hivyo basi kuwafanya waige tabia na mienendo mibaya ambayo baadaye huja kuyaatharisha masomo yao na kuweza kuanguka mitihani yao.
Teknolojia pia imewazembesha walimu kwani wanategemea teknolojia kufanya utafiti badala ya kusoma vitabu na kuwafupishia ujumbe wanafunzi ili waweze kuelewa zaidi. Njia hii huwafanya wanafunzi kutuyafahamu mambo mengi.
Teknolojia imewafanya wanafunzi wadanganye katika mitihani yao kwani mwanafunzi anaweza kubadilisha alama alizopata na kuweka alama nyingine ili kupata alama ya juu. Wanafanya ujanja huu kwa kupitia (cyber) ambako hubadilishwa. | Ni vipi teknolojia imewafanya wanafunzi kuerevuka | {
"text": [
"Kwa kujua maswala mengi ambayo hawakuwa wakiyafahamu"
]
} |
3068_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia huleta madhara mengi kwa wanafunzi. Mojawapo ya madhara haya ni ukosefu wa adhabu na heshima. Wanafunzi wengi huigiza mambo yanayofanya kwenye runinga na waigizaji. Wengi wao hutaka kujaribu vile vitu wanavyo viona kama vile anasa, uvutaji bangi na uwizi.
Teknolojia inaweza pia kufanya mwanafunzi asizingatie ya darasani na kufikiria mambo maovu. Mwanafunzi anaweza kufikiria simu yake na mambo aliyekuwa akiyafanya akiwa nyumbani, hapo ndipo anapokea kuelewa kile ambacho mwalimu anafundisha.
Teknolojia imeleta uzoefu mno katika mwanafunzi, anaweza kuizoea sana hadi hawezi kaa bila simu. Wanafunzi wengi hupatikana shuleni na walimu wakiwa wamebeba simu. Wanafunzi hawa hupewa adhabu na hata kufukuzwa shuleni kwa muda wa wiki mbili.
Teknolojia huweza kuleta magonjwa kwa wanafunzi wengi. wanafunzi ambao wamezoea kutumia tarakilishi, simu hupatwa na magonjwa kama kuumwa na macho. Asilimia tisini katika shule za sekondari, wanafunzi hawa huvaa miwani na wengine kutumia dawa ya macho.
Teknolojia imeleta madhara kwa wanafunzi kwa kutoa wanaona waigizaji wakila vyakula visivyo kuwa na umuhimu katika mili yetu. Wanafunzi hawa hutaka kula vyakula hizi na huanza kuwa wagonjwa kirahisi. Mili huwa haina nguvu kutokana na vyakula visivyo kuwa na viini.
Teknolojia imeleta faida kwa wanafunzi kutumia tarakilishi au rininga katika masomo yao. Wanafunzi husoma na kuelewa zaidi wanapoona kuliko kufundishwa kama vile kuangalia
historia ya mtu fulani na kuweza kupita mitihani yao shuleni.
Teknolojia imeleta burudani kwa wanafunzi. Burudani husaidia wengi kutuliza akili zao baada ya masomo. Mwanafunzi akitulia kisha arudi darasani yeye huweza kusoma vyema na kuweza kupita mitihani yake. klanafunzi pia huchangamka wakiwa darasani.
Teknolojia imefanya wanafunzi kuwa na ndoto nzuri za maishani. Wanafunzi wapoona watu wanaojulikana katika serikali wengi wao husoma kwa bidii ili wakuwe kama hao.
Teknolojia imeleta manufaa kwa wanafunzi kwa kuweka akiba pesa za marupurupu wanazopewa na wazazi wao kwenye simu. Wengi wao wanaoweka pesa huwasaidia katika jambo muhimu na hata kuanzisha biashara zao na kupata kipato.
| Madhara ya teknolojia miongoni mwa wanafunzi ni yapi | {
"text": [
"Ukosefu wa adhabu na heshima"
]
} |
3068_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia huleta madhara mengi kwa wanafunzi. Mojawapo ya madhara haya ni ukosefu wa adhabu na heshima. Wanafunzi wengi huigiza mambo yanayofanya kwenye runinga na waigizaji. Wengi wao hutaka kujaribu vile vitu wanavyo viona kama vile anasa, uvutaji bangi na uwizi.
Teknolojia inaweza pia kufanya mwanafunzi asizingatie ya darasani na kufikiria mambo maovu. Mwanafunzi anaweza kufikiria simu yake na mambo aliyekuwa akiyafanya akiwa nyumbani, hapo ndipo anapokea kuelewa kile ambacho mwalimu anafundisha.
Teknolojia imeleta uzoefu mno katika mwanafunzi, anaweza kuizoea sana hadi hawezi kaa bila simu. Wanafunzi wengi hupatikana shuleni na walimu wakiwa wamebeba simu. Wanafunzi hawa hupewa adhabu na hata kufukuzwa shuleni kwa muda wa wiki mbili.
Teknolojia huweza kuleta magonjwa kwa wanafunzi wengi. wanafunzi ambao wamezoea kutumia tarakilishi, simu hupatwa na magonjwa kama kuumwa na macho. Asilimia tisini katika shule za sekondari, wanafunzi hawa huvaa miwani na wengine kutumia dawa ya macho.
Teknolojia imeleta madhara kwa wanafunzi kwa kutoa wanaona waigizaji wakila vyakula visivyo kuwa na umuhimu katika mili yetu. Wanafunzi hawa hutaka kula vyakula hizi na huanza kuwa wagonjwa kirahisi. Mili huwa haina nguvu kutokana na vyakula visivyo kuwa na viini.
Teknolojia imeleta faida kwa wanafunzi kutumia tarakilishi au rininga katika masomo yao. Wanafunzi husoma na kuelewa zaidi wanapoona kuliko kufundishwa kama vile kuangalia
historia ya mtu fulani na kuweza kupita mitihani yao shuleni.
Teknolojia imeleta burudani kwa wanafunzi. Burudani husaidia wengi kutuliza akili zao baada ya masomo. Mwanafunzi akitulia kisha arudi darasani yeye huweza kusoma vyema na kuweza kupita mitihani yake. klanafunzi pia huchangamka wakiwa darasani.
Teknolojia imefanya wanafunzi kuwa na ndoto nzuri za maishani. Wanafunzi wapoona watu wanaojulikana katika serikali wengi wao husoma kwa bidii ili wakuwe kama hao.
Teknolojia imeleta manufaa kwa wanafunzi kwa kuweka akiba pesa za marupurupu wanazopewa na wazazi wao kwenye simu. Wengi wao wanaoweka pesa huwasaidia katika jambo muhimu na hata kuanzisha biashara zao na kupata kipato.
| Wanafunzi wanaopatikana na simu shuleni hutumwa nyumbani kwa muda upi | {
"text": [
"Wiki mbili"
]
} |
3068_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia huleta madhara mengi kwa wanafunzi. Mojawapo ya madhara haya ni ukosefu wa adhabu na heshima. Wanafunzi wengi huigiza mambo yanayofanya kwenye runinga na waigizaji. Wengi wao hutaka kujaribu vile vitu wanavyo viona kama vile anasa, uvutaji bangi na uwizi.
Teknolojia inaweza pia kufanya mwanafunzi asizingatie ya darasani na kufikiria mambo maovu. Mwanafunzi anaweza kufikiria simu yake na mambo aliyekuwa akiyafanya akiwa nyumbani, hapo ndipo anapokea kuelewa kile ambacho mwalimu anafundisha.
Teknolojia imeleta uzoefu mno katika mwanafunzi, anaweza kuizoea sana hadi hawezi kaa bila simu. Wanafunzi wengi hupatikana shuleni na walimu wakiwa wamebeba simu. Wanafunzi hawa hupewa adhabu na hata kufukuzwa shuleni kwa muda wa wiki mbili.
Teknolojia huweza kuleta magonjwa kwa wanafunzi wengi. wanafunzi ambao wamezoea kutumia tarakilishi, simu hupatwa na magonjwa kama kuumwa na macho. Asilimia tisini katika shule za sekondari, wanafunzi hawa huvaa miwani na wengine kutumia dawa ya macho.
Teknolojia imeleta madhara kwa wanafunzi kwa kutoa wanaona waigizaji wakila vyakula visivyo kuwa na umuhimu katika mili yetu. Wanafunzi hawa hutaka kula vyakula hizi na huanza kuwa wagonjwa kirahisi. Mili huwa haina nguvu kutokana na vyakula visivyo kuwa na viini.
Teknolojia imeleta faida kwa wanafunzi kutumia tarakilishi au rininga katika masomo yao. Wanafunzi husoma na kuelewa zaidi wanapoona kuliko kufundishwa kama vile kuangalia
historia ya mtu fulani na kuweza kupita mitihani yao shuleni.
Teknolojia imeleta burudani kwa wanafunzi. Burudani husaidia wengi kutuliza akili zao baada ya masomo. Mwanafunzi akitulia kisha arudi darasani yeye huweza kusoma vyema na kuweza kupita mitihani yake. klanafunzi pia huchangamka wakiwa darasani.
Teknolojia imefanya wanafunzi kuwa na ndoto nzuri za maishani. Wanafunzi wapoona watu wanaojulikana katika serikali wengi wao husoma kwa bidii ili wakuwe kama hao.
Teknolojia imeleta manufaa kwa wanafunzi kwa kuweka akiba pesa za marupurupu wanazopewa na wazazi wao kwenye simu. Wengi wao wanaoweka pesa huwasaidia katika jambo muhimu na hata kuanzisha biashara zao na kupata kipato.
| Ni kipi kimeletwa kwa wanafunzi kupitia teknolojia | {
"text": [
"Burudani"
]
} |
3068_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia huleta madhara mengi kwa wanafunzi. Mojawapo ya madhara haya ni ukosefu wa adhabu na heshima. Wanafunzi wengi huigiza mambo yanayofanya kwenye runinga na waigizaji. Wengi wao hutaka kujaribu vile vitu wanavyo viona kama vile anasa, uvutaji bangi na uwizi.
Teknolojia inaweza pia kufanya mwanafunzi asizingatie ya darasani na kufikiria mambo maovu. Mwanafunzi anaweza kufikiria simu yake na mambo aliyekuwa akiyafanya akiwa nyumbani, hapo ndipo anapokea kuelewa kile ambacho mwalimu anafundisha.
Teknolojia imeleta uzoefu mno katika mwanafunzi, anaweza kuizoea sana hadi hawezi kaa bila simu. Wanafunzi wengi hupatikana shuleni na walimu wakiwa wamebeba simu. Wanafunzi hawa hupewa adhabu na hata kufukuzwa shuleni kwa muda wa wiki mbili.
Teknolojia huweza kuleta magonjwa kwa wanafunzi wengi. wanafunzi ambao wamezoea kutumia tarakilishi, simu hupatwa na magonjwa kama kuumwa na macho. Asilimia tisini katika shule za sekondari, wanafunzi hawa huvaa miwani na wengine kutumia dawa ya macho.
Teknolojia imeleta madhara kwa wanafunzi kwa kutoa wanaona waigizaji wakila vyakula visivyo kuwa na umuhimu katika mili yetu. Wanafunzi hawa hutaka kula vyakula hizi na huanza kuwa wagonjwa kirahisi. Mili huwa haina nguvu kutokana na vyakula visivyo kuwa na viini.
Teknolojia imeleta faida kwa wanafunzi kutumia tarakilishi au rininga katika masomo yao. Wanafunzi husoma na kuelewa zaidi wanapoona kuliko kufundishwa kama vile kuangalia
historia ya mtu fulani na kuweza kupita mitihani yao shuleni.
Teknolojia imeleta burudani kwa wanafunzi. Burudani husaidia wengi kutuliza akili zao baada ya masomo. Mwanafunzi akitulia kisha arudi darasani yeye huweza kusoma vyema na kuweza kupita mitihani yake. klanafunzi pia huchangamka wakiwa darasani.
Teknolojia imefanya wanafunzi kuwa na ndoto nzuri za maishani. Wanafunzi wapoona watu wanaojulikana katika serikali wengi wao husoma kwa bidii ili wakuwe kama hao.
Teknolojia imeleta manufaa kwa wanafunzi kwa kuweka akiba pesa za marupurupu wanazopewa na wazazi wao kwenye simu. Wengi wao wanaoweka pesa huwasaidia katika jambo muhimu na hata kuanzisha biashara zao na kupata kipato.
| Kando na manufaa, ni madhara yapi teknolojia imechangia miongoni mwa wanafunzi | {
"text": [
"Uigaji wa kula vyakula duni na magonjwa ya macho kwa wanafunzi"
]
} |
3068_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia huleta madhara mengi kwa wanafunzi. Mojawapo ya madhara haya ni ukosefu wa adhabu na heshima. Wanafunzi wengi huigiza mambo yanayofanya kwenye runinga na waigizaji. Wengi wao hutaka kujaribu vile vitu wanavyo viona kama vile anasa, uvutaji bangi na uwizi.
Teknolojia inaweza pia kufanya mwanafunzi asizingatie ya darasani na kufikiria mambo maovu. Mwanafunzi anaweza kufikiria simu yake na mambo aliyekuwa akiyafanya akiwa nyumbani, hapo ndipo anapokea kuelewa kile ambacho mwalimu anafundisha.
Teknolojia imeleta uzoefu mno katika mwanafunzi, anaweza kuizoea sana hadi hawezi kaa bila simu. Wanafunzi wengi hupatikana shuleni na walimu wakiwa wamebeba simu. Wanafunzi hawa hupewa adhabu na hata kufukuzwa shuleni kwa muda wa wiki mbili.
Teknolojia huweza kuleta magonjwa kwa wanafunzi wengi. wanafunzi ambao wamezoea kutumia tarakilishi, simu hupatwa na magonjwa kama kuumwa na macho. Asilimia tisini katika shule za sekondari, wanafunzi hawa huvaa miwani na wengine kutumia dawa ya macho.
Teknolojia imeleta madhara kwa wanafunzi kwa kutoa wanaona waigizaji wakila vyakula visivyo kuwa na umuhimu katika mili yetu. Wanafunzi hawa hutaka kula vyakula hizi na huanza kuwa wagonjwa kirahisi. Mili huwa haina nguvu kutokana na vyakula visivyo kuwa na viini.
Teknolojia imeleta faida kwa wanafunzi kutumia tarakilishi au rininga katika masomo yao. Wanafunzi husoma na kuelewa zaidi wanapoona kuliko kufundishwa kama vile kuangalia
historia ya mtu fulani na kuweza kupita mitihani yao shuleni.
Teknolojia imeleta burudani kwa wanafunzi. Burudani husaidia wengi kutuliza akili zao baada ya masomo. Mwanafunzi akitulia kisha arudi darasani yeye huweza kusoma vyema na kuweza kupita mitihani yake. klanafunzi pia huchangamka wakiwa darasani.
Teknolojia imefanya wanafunzi kuwa na ndoto nzuri za maishani. Wanafunzi wapoona watu wanaojulikana katika serikali wengi wao husoma kwa bidii ili wakuwe kama hao.
Teknolojia imeleta manufaa kwa wanafunzi kwa kuweka akiba pesa za marupurupu wanazopewa na wazazi wao kwenye simu. Wengi wao wanaoweka pesa huwasaidia katika jambo muhimu na hata kuanzisha biashara zao na kupata kipato.
| Ni nini teknolojia imewafunza wanafunzi | {
"text": [
"Kuweka akiba pesa wanazopewa na wazazi"
]
} |
3069_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni ujuzi wa sayansi uliowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitambo ya mawasiliano na kadhalika. Teknolojia inatumika takriban kila mahali kama vile viwandani, nyumbani, kwenye ofisi shuleni na sehemu nyingine tofauti tofauti na limeweza kurahisisha shughuli nyingi mbalimbali.
Katika shule za sekondari, teknolojia inatumika katika mambo kadha wa kadha. Katika njia zote ambazo teknolojia zinatumika, kuna faida zake na pia madhara yake. Mojawapo ya faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa, watu wameweza kuwa maalum kwa wakati maalum. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kengele zinazotumia stima. Kengele hizi zinapokirizwa, watu huweza kupata ujumbe kwa haraka zaidi kwani shule inapokuwa kubwa haina haja ya kuzunguka na kengele za mkononi ili kupitisha ujumbe fulani.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa wanafunzi wanapata kufunzwa masomo ya tarakilishi. Masomo haya yanayotumia tarakilishi yanachangia pakubwa katika uzoefu wa wanafunzi na tarakilishi kwani mtu huweza kupata ujuzi wa kuweza kufanya kazi katika kazi kama vile ya usekretari au hata katika kazi ya uhasibu kwenye kampuni tofauti tofauti.
Kando na hayo, teknolojia pia imeweza kusaidia shuleni kwa sababu ya kamera za CCTV. Kamera hizi zinapoekwa kwenye mahali tofauti, shule huweza kupunguza tabia potovu shuleni kama vile wezi wa bidhaa.
Nayo madhara ya teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa kuwepo kwa kompyuta shuleni huweza kufanya wanafunzi kuwa na tabia potovu kwani wanaweza kuenda chumba cha tarakilishi na kuangalia video chafu zisizo za heshima. | Teknolojia hutumika wapi | {
"text": [
"Viwandani, nyumbani na ofisini"
]
} |
3069_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni ujuzi wa sayansi uliowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitambo ya mawasiliano na kadhalika. Teknolojia inatumika takriban kila mahali kama vile viwandani, nyumbani, kwenye ofisi shuleni na sehemu nyingine tofauti tofauti na limeweza kurahisisha shughuli nyingi mbalimbali.
Katika shule za sekondari, teknolojia inatumika katika mambo kadha wa kadha. Katika njia zote ambazo teknolojia zinatumika, kuna faida zake na pia madhara yake. Mojawapo ya faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa, watu wameweza kuwa maalum kwa wakati maalum. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kengele zinazotumia stima. Kengele hizi zinapokirizwa, watu huweza kupata ujumbe kwa haraka zaidi kwani shule inapokuwa kubwa haina haja ya kuzunguka na kengele za mkononi ili kupitisha ujumbe fulani.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa wanafunzi wanapata kufunzwa masomo ya tarakilishi. Masomo haya yanayotumia tarakilishi yanachangia pakubwa katika uzoefu wa wanafunzi na tarakilishi kwani mtu huweza kupata ujuzi wa kuweza kufanya kazi katika kazi kama vile ya usekretari au hata katika kazi ya uhasibu kwenye kampuni tofauti tofauti.
Kando na hayo, teknolojia pia imeweza kusaidia shuleni kwa sababu ya kamera za CCTV. Kamera hizi zinapoekwa kwenye mahali tofauti, shule huweza kupunguza tabia potovu shuleni kama vile wezi wa bidhaa.
Nayo madhara ya teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa kuwepo kwa kompyuta shuleni huweza kufanya wanafunzi kuwa na tabia potovu kwani wanaweza kuenda chumba cha tarakilishi na kuangalia video chafu zisizo za heshima. | Shuleni teknolojia imechangia kuvumbua kwa chombo kipi | {
"text": [
"Kengele"
]
} |
3069_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni ujuzi wa sayansi uliowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitambo ya mawasiliano na kadhalika. Teknolojia inatumika takriban kila mahali kama vile viwandani, nyumbani, kwenye ofisi shuleni na sehemu nyingine tofauti tofauti na limeweza kurahisisha shughuli nyingi mbalimbali.
Katika shule za sekondari, teknolojia inatumika katika mambo kadha wa kadha. Katika njia zote ambazo teknolojia zinatumika, kuna faida zake na pia madhara yake. Mojawapo ya faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa, watu wameweza kuwa maalum kwa wakati maalum. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kengele zinazotumia stima. Kengele hizi zinapokirizwa, watu huweza kupata ujumbe kwa haraka zaidi kwani shule inapokuwa kubwa haina haja ya kuzunguka na kengele za mkononi ili kupitisha ujumbe fulani.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa wanafunzi wanapata kufunzwa masomo ya tarakilishi. Masomo haya yanayotumia tarakilishi yanachangia pakubwa katika uzoefu wa wanafunzi na tarakilishi kwani mtu huweza kupata ujuzi wa kuweza kufanya kazi katika kazi kama vile ya usekretari au hata katika kazi ya uhasibu kwenye kampuni tofauti tofauti.
Kando na hayo, teknolojia pia imeweza kusaidia shuleni kwa sababu ya kamera za CCTV. Kamera hizi zinapoekwa kwenye mahali tofauti, shule huweza kupunguza tabia potovu shuleni kama vile wezi wa bidhaa.
Nayo madhara ya teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa kuwepo kwa kompyuta shuleni huweza kufanya wanafunzi kuwa na tabia potovu kwani wanaweza kuenda chumba cha tarakilishi na kuangalia video chafu zisizo za heshima. | Ni kazi zipi zimechangiwa na teknolojia kupitia ujuzi wa tarakilishi | {
"text": [
"Usekritari na uhasibu"
]
} |
3069_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni ujuzi wa sayansi uliowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitambo ya mawasiliano na kadhalika. Teknolojia inatumika takriban kila mahali kama vile viwandani, nyumbani, kwenye ofisi shuleni na sehemu nyingine tofauti tofauti na limeweza kurahisisha shughuli nyingi mbalimbali.
Katika shule za sekondari, teknolojia inatumika katika mambo kadha wa kadha. Katika njia zote ambazo teknolojia zinatumika, kuna faida zake na pia madhara yake. Mojawapo ya faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa, watu wameweza kuwa maalum kwa wakati maalum. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kengele zinazotumia stima. Kengele hizi zinapokirizwa, watu huweza kupata ujumbe kwa haraka zaidi kwani shule inapokuwa kubwa haina haja ya kuzunguka na kengele za mkononi ili kupitisha ujumbe fulani.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa wanafunzi wanapata kufunzwa masomo ya tarakilishi. Masomo haya yanayotumia tarakilishi yanachangia pakubwa katika uzoefu wa wanafunzi na tarakilishi kwani mtu huweza kupata ujuzi wa kuweza kufanya kazi katika kazi kama vile ya usekretari au hata katika kazi ya uhasibu kwenye kampuni tofauti tofauti.
Kando na hayo, teknolojia pia imeweza kusaidia shuleni kwa sababu ya kamera za CCTV. Kamera hizi zinapoekwa kwenye mahali tofauti, shule huweza kupunguza tabia potovu shuleni kama vile wezi wa bidhaa.
Nayo madhara ya teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa kuwepo kwa kompyuta shuleni huweza kufanya wanafunzi kuwa na tabia potovu kwani wanaweza kuenda chumba cha tarakilishi na kuangalia video chafu zisizo za heshima. | Shuleni kamera za CCTV ziliwekwa kupunguza nini | {
"text": [
"Wizi wa bidhaa mbalimbali"
]
} |
3069_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni ujuzi wa sayansi uliowekwa katika matumizi ya vitu kama vile mitambo ya mawasiliano na kadhalika. Teknolojia inatumika takriban kila mahali kama vile viwandani, nyumbani, kwenye ofisi shuleni na sehemu nyingine tofauti tofauti na limeweza kurahisisha shughuli nyingi mbalimbali.
Katika shule za sekondari, teknolojia inatumika katika mambo kadha wa kadha. Katika njia zote ambazo teknolojia zinatumika, kuna faida zake na pia madhara yake. Mojawapo ya faida za teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa, watu wameweza kuwa maalum kwa wakati maalum. Hii ni kwa sababu ya uvumbuzi wa kengele zinazotumia stima. Kengele hizi zinapokirizwa, watu huweza kupata ujumbe kwa haraka zaidi kwani shule inapokuwa kubwa haina haja ya kuzunguka na kengele za mkononi ili kupitisha ujumbe fulani.
Faida nyingine ya teknolojia ni kuwa wanafunzi wanapata kufunzwa masomo ya tarakilishi. Masomo haya yanayotumia tarakilishi yanachangia pakubwa katika uzoefu wa wanafunzi na tarakilishi kwani mtu huweza kupata ujuzi wa kuweza kufanya kazi katika kazi kama vile ya usekretari au hata katika kazi ya uhasibu kwenye kampuni tofauti tofauti.
Kando na hayo, teknolojia pia imeweza kusaidia shuleni kwa sababu ya kamera za CCTV. Kamera hizi zinapoekwa kwenye mahali tofauti, shule huweza kupunguza tabia potovu shuleni kama vile wezi wa bidhaa.
Nayo madhara ya teknolojia katika shule za sekondari ni kuwa kuwepo kwa kompyuta shuleni huweza kufanya wanafunzi kuwa na tabia potovu kwani wanaweza kuenda chumba cha tarakilishi na kuangalia video chafu zisizo za heshima. | Teknolojia imerahihihsha mafunzo katika somo lipi | {
"text": [
"Somo la kompyuta"
]
} |
3070_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, nyimbo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano.
Faida ya kwanza ya teknolojia ni kuwa imerahisisha kazi kwa walimu katika uchapishaji wa makaratasi. Mashine kama vile fotokopia inawasaidia na kurahisisha kazi kwa kuwa inatumia
muda kidogo sana.
Adhara yake ni kwamba mashine hizo hutumika katika sehemu zilizo na umeme huku kwa zile sehemu zisizo na umeme huathirika sana kwenye kazi hiyo. Aghalabu mashine hizo huhitaji ufundi wa hali ya juu ili mtu aweze kuutumia. Hivyo basi kuwaacha watu wasio na ufundi au ujuzi huo kukosa kazi.
Faida nyingine pia ni kuwa imewasaidia wanafunzi wasome kutoka mtandaoni kwa kutumia simu. Hivyo basi kuiendeleza silabasi huku wakiongozwa na walimu wao. Madhara ya hii ni kuwa kwa wale wanafunzi wasiokuwa na uwezo wa kuzinunua simu hizo, hukosa mengi mno na kwa sababu ya hiyo, huenda ikawa sababu yao kufeli mitihani wao.
Madhara mengine yanayotokana na utumizi wa simu na mwanafunzi ni kuwa, huleta uozo wa maadili kwa mwanafunzi huyo. Mwanafunzi anapoona picha yoyote mbaya, huwa na ile ari ya kujua kwa undani kitu hicho, mwisho wa kutwa kuharibu akili zao ambazo zitakuwa bado hazijakomaa.
Faida nyingine ya teknolojia kwenye matumizi ya tarakilishi ni kuwa huwezesha kuhifadhi jumbe muhimu kwa minajili ya ukumbusho wa baadaye. Kwa mfano; katika ulipaji karo, mhusika anayehusika kwenye ukusanyaji wa karo hutumia tarakilishi kurekodi wanafunzi waliolipa na kujua idadi ya wale ambao hawajalipa. Ujumbe huo si rahisi ufutike hata kwa mate.
Madhara mengine ya teknolojia ni pale tu wanafunzi wanapoamua kubadilisha majibu yao pale wanapopewa kutoka shuleni kwao, na kupeleka majibu ya uongo kwa wazazi wao nyumbani. Hivyo basi kupoteza uaminifu wake kwa wazazi hivyo basi kudorora kwa maadili.
Madhara mengine ni udanganyifu wa mitihani kwenye mtihani wa mwisho wa kitaifa. Wanafunzi hutumia simu wakati huo ili kupata majibu ya mtihani huo. Hivyo basi kusababisha udanganyifu kwenye mtihani huo na kusababisha mtu au mwanafunzi kukosa majibu pindi yatakapotoka pale tu aliposhikwa wakati wa mtihani. | Tekinolojia ni maarifa ya nini | {
"text": [
"sayansi"
]
} |
3070_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, nyimbo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano.
Faida ya kwanza ya teknolojia ni kuwa imerahisisha kazi kwa walimu katika uchapishaji wa makaratasi. Mashine kama vile fotokopia inawasaidia na kurahisisha kazi kwa kuwa inatumia
muda kidogo sana.
Adhara yake ni kwamba mashine hizo hutumika katika sehemu zilizo na umeme huku kwa zile sehemu zisizo na umeme huathirika sana kwenye kazi hiyo. Aghalabu mashine hizo huhitaji ufundi wa hali ya juu ili mtu aweze kuutumia. Hivyo basi kuwaacha watu wasio na ufundi au ujuzi huo kukosa kazi.
Faida nyingine pia ni kuwa imewasaidia wanafunzi wasome kutoka mtandaoni kwa kutumia simu. Hivyo basi kuiendeleza silabasi huku wakiongozwa na walimu wao. Madhara ya hii ni kuwa kwa wale wanafunzi wasiokuwa na uwezo wa kuzinunua simu hizo, hukosa mengi mno na kwa sababu ya hiyo, huenda ikawa sababu yao kufeli mitihani wao.
Madhara mengine yanayotokana na utumizi wa simu na mwanafunzi ni kuwa, huleta uozo wa maadili kwa mwanafunzi huyo. Mwanafunzi anapoona picha yoyote mbaya, huwa na ile ari ya kujua kwa undani kitu hicho, mwisho wa kutwa kuharibu akili zao ambazo zitakuwa bado hazijakomaa.
Faida nyingine ya teknolojia kwenye matumizi ya tarakilishi ni kuwa huwezesha kuhifadhi jumbe muhimu kwa minajili ya ukumbusho wa baadaye. Kwa mfano; katika ulipaji karo, mhusika anayehusika kwenye ukusanyaji wa karo hutumia tarakilishi kurekodi wanafunzi waliolipa na kujua idadi ya wale ambao hawajalipa. Ujumbe huo si rahisi ufutike hata kwa mate.
Madhara mengine ya teknolojia ni pale tu wanafunzi wanapoamua kubadilisha majibu yao pale wanapopewa kutoka shuleni kwao, na kupeleka majibu ya uongo kwa wazazi wao nyumbani. Hivyo basi kupoteza uaminifu wake kwa wazazi hivyo basi kudorora kwa maadili.
Madhara mengine ni udanganyifu wa mitihani kwenye mtihani wa mwisho wa kitaifa. Wanafunzi hutumia simu wakati huo ili kupata majibu ya mtihani huo. Hivyo basi kusababisha udanganyifu kwenye mtihani huo na kusababisha mtu au mwanafunzi kukosa majibu pindi yatakapotoka pale tu aliposhikwa wakati wa mtihani. | Tekinolojia imerahisisha uchapichaji wa nini | {
"text": [
"Karatasi"
]
} |
3070_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, nyimbo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano.
Faida ya kwanza ya teknolojia ni kuwa imerahisisha kazi kwa walimu katika uchapishaji wa makaratasi. Mashine kama vile fotokopia inawasaidia na kurahisisha kazi kwa kuwa inatumia
muda kidogo sana.
Adhara yake ni kwamba mashine hizo hutumika katika sehemu zilizo na umeme huku kwa zile sehemu zisizo na umeme huathirika sana kwenye kazi hiyo. Aghalabu mashine hizo huhitaji ufundi wa hali ya juu ili mtu aweze kuutumia. Hivyo basi kuwaacha watu wasio na ufundi au ujuzi huo kukosa kazi.
Faida nyingine pia ni kuwa imewasaidia wanafunzi wasome kutoka mtandaoni kwa kutumia simu. Hivyo basi kuiendeleza silabasi huku wakiongozwa na walimu wao. Madhara ya hii ni kuwa kwa wale wanafunzi wasiokuwa na uwezo wa kuzinunua simu hizo, hukosa mengi mno na kwa sababu ya hiyo, huenda ikawa sababu yao kufeli mitihani wao.
Madhara mengine yanayotokana na utumizi wa simu na mwanafunzi ni kuwa, huleta uozo wa maadili kwa mwanafunzi huyo. Mwanafunzi anapoona picha yoyote mbaya, huwa na ile ari ya kujua kwa undani kitu hicho, mwisho wa kutwa kuharibu akili zao ambazo zitakuwa bado hazijakomaa.
Faida nyingine ya teknolojia kwenye matumizi ya tarakilishi ni kuwa huwezesha kuhifadhi jumbe muhimu kwa minajili ya ukumbusho wa baadaye. Kwa mfano; katika ulipaji karo, mhusika anayehusika kwenye ukusanyaji wa karo hutumia tarakilishi kurekodi wanafunzi waliolipa na kujua idadi ya wale ambao hawajalipa. Ujumbe huo si rahisi ufutike hata kwa mate.
Madhara mengine ya teknolojia ni pale tu wanafunzi wanapoamua kubadilisha majibu yao pale wanapopewa kutoka shuleni kwao, na kupeleka majibu ya uongo kwa wazazi wao nyumbani. Hivyo basi kupoteza uaminifu wake kwa wazazi hivyo basi kudorora kwa maadili.
Madhara mengine ni udanganyifu wa mitihani kwenye mtihani wa mwisho wa kitaifa. Wanafunzi hutumia simu wakati huo ili kupata majibu ya mtihani huo. Hivyo basi kusababisha udanganyifu kwenye mtihani huo na kusababisha mtu au mwanafunzi kukosa majibu pindi yatakapotoka pale tu aliposhikwa wakati wa mtihani. | Wanafunzi wanasoma mtandaoni wakitumia nini | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3070_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, nyimbo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano.
Faida ya kwanza ya teknolojia ni kuwa imerahisisha kazi kwa walimu katika uchapishaji wa makaratasi. Mashine kama vile fotokopia inawasaidia na kurahisisha kazi kwa kuwa inatumia
muda kidogo sana.
Adhara yake ni kwamba mashine hizo hutumika katika sehemu zilizo na umeme huku kwa zile sehemu zisizo na umeme huathirika sana kwenye kazi hiyo. Aghalabu mashine hizo huhitaji ufundi wa hali ya juu ili mtu aweze kuutumia. Hivyo basi kuwaacha watu wasio na ufundi au ujuzi huo kukosa kazi.
Faida nyingine pia ni kuwa imewasaidia wanafunzi wasome kutoka mtandaoni kwa kutumia simu. Hivyo basi kuiendeleza silabasi huku wakiongozwa na walimu wao. Madhara ya hii ni kuwa kwa wale wanafunzi wasiokuwa na uwezo wa kuzinunua simu hizo, hukosa mengi mno na kwa sababu ya hiyo, huenda ikawa sababu yao kufeli mitihani wao.
Madhara mengine yanayotokana na utumizi wa simu na mwanafunzi ni kuwa, huleta uozo wa maadili kwa mwanafunzi huyo. Mwanafunzi anapoona picha yoyote mbaya, huwa na ile ari ya kujua kwa undani kitu hicho, mwisho wa kutwa kuharibu akili zao ambazo zitakuwa bado hazijakomaa.
Faida nyingine ya teknolojia kwenye matumizi ya tarakilishi ni kuwa huwezesha kuhifadhi jumbe muhimu kwa minajili ya ukumbusho wa baadaye. Kwa mfano; katika ulipaji karo, mhusika anayehusika kwenye ukusanyaji wa karo hutumia tarakilishi kurekodi wanafunzi waliolipa na kujua idadi ya wale ambao hawajalipa. Ujumbe huo si rahisi ufutike hata kwa mate.
Madhara mengine ya teknolojia ni pale tu wanafunzi wanapoamua kubadilisha majibu yao pale wanapopewa kutoka shuleni kwao, na kupeleka majibu ya uongo kwa wazazi wao nyumbani. Hivyo basi kupoteza uaminifu wake kwa wazazi hivyo basi kudorora kwa maadili.
Madhara mengine ni udanganyifu wa mitihani kwenye mtihani wa mwisho wa kitaifa. Wanafunzi hutumia simu wakati huo ili kupata majibu ya mtihani huo. Hivyo basi kusababisha udanganyifu kwenye mtihani huo na kusababisha mtu au mwanafunzi kukosa majibu pindi yatakapotoka pale tu aliposhikwa wakati wa mtihani. | Tekinolojia husaidia kuhifadhi nini | {
"text": [
"Jumbe"
]
} |
3070_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, nyimbo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano.
Faida ya kwanza ya teknolojia ni kuwa imerahisisha kazi kwa walimu katika uchapishaji wa makaratasi. Mashine kama vile fotokopia inawasaidia na kurahisisha kazi kwa kuwa inatumia
muda kidogo sana.
Adhara yake ni kwamba mashine hizo hutumika katika sehemu zilizo na umeme huku kwa zile sehemu zisizo na umeme huathirika sana kwenye kazi hiyo. Aghalabu mashine hizo huhitaji ufundi wa hali ya juu ili mtu aweze kuutumia. Hivyo basi kuwaacha watu wasio na ufundi au ujuzi huo kukosa kazi.
Faida nyingine pia ni kuwa imewasaidia wanafunzi wasome kutoka mtandaoni kwa kutumia simu. Hivyo basi kuiendeleza silabasi huku wakiongozwa na walimu wao. Madhara ya hii ni kuwa kwa wale wanafunzi wasiokuwa na uwezo wa kuzinunua simu hizo, hukosa mengi mno na kwa sababu ya hiyo, huenda ikawa sababu yao kufeli mitihani wao.
Madhara mengine yanayotokana na utumizi wa simu na mwanafunzi ni kuwa, huleta uozo wa maadili kwa mwanafunzi huyo. Mwanafunzi anapoona picha yoyote mbaya, huwa na ile ari ya kujua kwa undani kitu hicho, mwisho wa kutwa kuharibu akili zao ambazo zitakuwa bado hazijakomaa.
Faida nyingine ya teknolojia kwenye matumizi ya tarakilishi ni kuwa huwezesha kuhifadhi jumbe muhimu kwa minajili ya ukumbusho wa baadaye. Kwa mfano; katika ulipaji karo, mhusika anayehusika kwenye ukusanyaji wa karo hutumia tarakilishi kurekodi wanafunzi waliolipa na kujua idadi ya wale ambao hawajalipa. Ujumbe huo si rahisi ufutike hata kwa mate.
Madhara mengine ya teknolojia ni pale tu wanafunzi wanapoamua kubadilisha majibu yao pale wanapopewa kutoka shuleni kwao, na kupeleka majibu ya uongo kwa wazazi wao nyumbani. Hivyo basi kupoteza uaminifu wake kwa wazazi hivyo basi kudorora kwa maadili.
Madhara mengine ni udanganyifu wa mitihani kwenye mtihani wa mwisho wa kitaifa. Wanafunzi hutumia simu wakati huo ili kupata majibu ya mtihani huo. Hivyo basi kusababisha udanganyifu kwenye mtihani huo na kusababisha mtu au mwanafunzi kukosa majibu pindi yatakapotoka pale tu aliposhikwa wakati wa mtihani. | Tekinolojia huchangia vipi kwa udanganyifu wa mitihani | {
"text": [
"Wanafunzi wanatumia simu kupata majibu"
]
} |
3071_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta madhara na pia faida kwa wanafunzi. Teknolojia
imerahisisha pia maisha ya wanafunzi shuleni na pia katika maisha ya nyumbani.
Kwanza teknolojia imeleta faida nyingi. Wanafunzi hawa wa sekondari wanaweza kusoma kutumia simu au tarakilishi zao wanapokuwa majumbani mwao. Hii imewezeshwa hata bila usaidizi wa mwalimu. Mwanafunzi anaporudi tena shuleni basi atakua amepata maarifa mapya yaliyo fundishwa na mwalimu mwingine ambaye ni teknolojia ya kisasa inayosaidia wanafunzi.
Pia wanafunzi hawa wanaweza kutumia simu kutafuta au kusachi vitu ambavyo hawana ufahamu navyo na ni vya kimasomo. Pia tunaporudi shuleni tunapata shule nyingi wanafunzi hutumia tarakilishi kwa masomo, na hili limewawezesha walimu kupumzika na kupunguza kuongea sana, hadi mwisho wa siku anaumwa na kuanza kutafuta dawa zisizo majina.
Wanafunzi wanafurahi sababu teknolojia imewarahisishia maisha kwa njia moja au nyingine. Wanashukuru sababu wana uwezo wa kuangalia runinga hata wakiwa shuleni na kujua yote yanayojiri nchini na bado pia nje ya nchi. Shule nyingi zimeweza kuwekwa ukigo wa umeme na hata pia kamera kwa kimombo CCTV, ya kurekodia ili kuweza kuwanasa wote watakao jaribu kuiba.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujengewa mabafu yenye maji moto na baridi. Maji ambayo yanatoka kwenye mifereji midogo midogo iliyowekwa juu ya kichwa. Hii imewezesha wanafunzi kukaa katika mandhari mazuri yanayompa moyo wa kupita mtihani. Hii ina mwezesha mwanafunzi kujihisi huru na pia kuwa na uhuru wa kusoma kwa urahisi.
Teknolojia pia ina madhara yake. Imeharibu sana wanafunzi hasa katika kipindi cha likizo. Wale walio na simu za kuingia mtandaoni huathiri masomo yao kwa kuchukua muda mwingi huko. Wanafunzi hupotoka na kuwa sana na simu zao huku wakiwa mtandaoni badala ya kuwa na vitabu vyao.
Wanafunzi wanaweza kusoma hesabu kwa urahisi kutumia usaidizi wa vikokotoo. Teknolojia inaharibu maadili ya wanafunzi wengi. Kwa jumla, madhara ya teknolojia hupotosha wanafunzi. Teknolojia pia ina faida kemkem zinazo tusaidia katika jamii. | Tekinolojia ni maarifa ya nini | {
"text": [
"Sayansi"
]
} |
3071_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta madhara na pia faida kwa wanafunzi. Teknolojia
imerahisisha pia maisha ya wanafunzi shuleni na pia katika maisha ya nyumbani.
Kwanza teknolojia imeleta faida nyingi. Wanafunzi hawa wa sekondari wanaweza kusoma kutumia simu au tarakilishi zao wanapokuwa majumbani mwao. Hii imewezeshwa hata bila usaidizi wa mwalimu. Mwanafunzi anaporudi tena shuleni basi atakua amepata maarifa mapya yaliyo fundishwa na mwalimu mwingine ambaye ni teknolojia ya kisasa inayosaidia wanafunzi.
Pia wanafunzi hawa wanaweza kutumia simu kutafuta au kusachi vitu ambavyo hawana ufahamu navyo na ni vya kimasomo. Pia tunaporudi shuleni tunapata shule nyingi wanafunzi hutumia tarakilishi kwa masomo, na hili limewawezesha walimu kupumzika na kupunguza kuongea sana, hadi mwisho wa siku anaumwa na kuanza kutafuta dawa zisizo majina.
Wanafunzi wanafurahi sababu teknolojia imewarahisishia maisha kwa njia moja au nyingine. Wanashukuru sababu wana uwezo wa kuangalia runinga hata wakiwa shuleni na kujua yote yanayojiri nchini na bado pia nje ya nchi. Shule nyingi zimeweza kuwekwa ukigo wa umeme na hata pia kamera kwa kimombo CCTV, ya kurekodia ili kuweza kuwanasa wote watakao jaribu kuiba.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujengewa mabafu yenye maji moto na baridi. Maji ambayo yanatoka kwenye mifereji midogo midogo iliyowekwa juu ya kichwa. Hii imewezesha wanafunzi kukaa katika mandhari mazuri yanayompa moyo wa kupita mtihani. Hii ina mwezesha mwanafunzi kujihisi huru na pia kuwa na uhuru wa kusoma kwa urahisi.
Teknolojia pia ina madhara yake. Imeharibu sana wanafunzi hasa katika kipindi cha likizo. Wale walio na simu za kuingia mtandaoni huathiri masomo yao kwa kuchukua muda mwingi huko. Wanafunzi hupotoka na kuwa sana na simu zao huku wakiwa mtandaoni badala ya kuwa na vitabu vyao.
Wanafunzi wanaweza kusoma hesabu kwa urahisi kutumia usaidizi wa vikokotoo. Teknolojia inaharibu maadili ya wanafunzi wengi. Kwa jumla, madhara ya teknolojia hupotosha wanafunzi. Teknolojia pia ina faida kemkem zinazo tusaidia katika jamii. | Wanafunzi wanasoma na simu au tarakilishi wakiwa wapi | {
"text": [
"Nyumbani"
]
} |
3071_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta madhara na pia faida kwa wanafunzi. Teknolojia
imerahisisha pia maisha ya wanafunzi shuleni na pia katika maisha ya nyumbani.
Kwanza teknolojia imeleta faida nyingi. Wanafunzi hawa wa sekondari wanaweza kusoma kutumia simu au tarakilishi zao wanapokuwa majumbani mwao. Hii imewezeshwa hata bila usaidizi wa mwalimu. Mwanafunzi anaporudi tena shuleni basi atakua amepata maarifa mapya yaliyo fundishwa na mwalimu mwingine ambaye ni teknolojia ya kisasa inayosaidia wanafunzi.
Pia wanafunzi hawa wanaweza kutumia simu kutafuta au kusachi vitu ambavyo hawana ufahamu navyo na ni vya kimasomo. Pia tunaporudi shuleni tunapata shule nyingi wanafunzi hutumia tarakilishi kwa masomo, na hili limewawezesha walimu kupumzika na kupunguza kuongea sana, hadi mwisho wa siku anaumwa na kuanza kutafuta dawa zisizo majina.
Wanafunzi wanafurahi sababu teknolojia imewarahisishia maisha kwa njia moja au nyingine. Wanashukuru sababu wana uwezo wa kuangalia runinga hata wakiwa shuleni na kujua yote yanayojiri nchini na bado pia nje ya nchi. Shule nyingi zimeweza kuwekwa ukigo wa umeme na hata pia kamera kwa kimombo CCTV, ya kurekodia ili kuweza kuwanasa wote watakao jaribu kuiba.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujengewa mabafu yenye maji moto na baridi. Maji ambayo yanatoka kwenye mifereji midogo midogo iliyowekwa juu ya kichwa. Hii imewezesha wanafunzi kukaa katika mandhari mazuri yanayompa moyo wa kupita mtihani. Hii ina mwezesha mwanafunzi kujihisi huru na pia kuwa na uhuru wa kusoma kwa urahisi.
Teknolojia pia ina madhara yake. Imeharibu sana wanafunzi hasa katika kipindi cha likizo. Wale walio na simu za kuingia mtandaoni huathiri masomo yao kwa kuchukua muda mwingi huko. Wanafunzi hupotoka na kuwa sana na simu zao huku wakiwa mtandaoni badala ya kuwa na vitabu vyao.
Wanafunzi wanaweza kusoma hesabu kwa urahisi kutumia usaidizi wa vikokotoo. Teknolojia inaharibu maadili ya wanafunzi wengi. Kwa jumla, madhara ya teknolojia hupotosha wanafunzi. Teknolojia pia ina faida kemkem zinazo tusaidia katika jamii. | Wanafunzi wanatumia nini kwa masomo | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3071_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta madhara na pia faida kwa wanafunzi. Teknolojia
imerahisisha pia maisha ya wanafunzi shuleni na pia katika maisha ya nyumbani.
Kwanza teknolojia imeleta faida nyingi. Wanafunzi hawa wa sekondari wanaweza kusoma kutumia simu au tarakilishi zao wanapokuwa majumbani mwao. Hii imewezeshwa hata bila usaidizi wa mwalimu. Mwanafunzi anaporudi tena shuleni basi atakua amepata maarifa mapya yaliyo fundishwa na mwalimu mwingine ambaye ni teknolojia ya kisasa inayosaidia wanafunzi.
Pia wanafunzi hawa wanaweza kutumia simu kutafuta au kusachi vitu ambavyo hawana ufahamu navyo na ni vya kimasomo. Pia tunaporudi shuleni tunapata shule nyingi wanafunzi hutumia tarakilishi kwa masomo, na hili limewawezesha walimu kupumzika na kupunguza kuongea sana, hadi mwisho wa siku anaumwa na kuanza kutafuta dawa zisizo majina.
Wanafunzi wanafurahi sababu teknolojia imewarahisishia maisha kwa njia moja au nyingine. Wanashukuru sababu wana uwezo wa kuangalia runinga hata wakiwa shuleni na kujua yote yanayojiri nchini na bado pia nje ya nchi. Shule nyingi zimeweza kuwekwa ukigo wa umeme na hata pia kamera kwa kimombo CCTV, ya kurekodia ili kuweza kuwanasa wote watakao jaribu kuiba.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujengewa mabafu yenye maji moto na baridi. Maji ambayo yanatoka kwenye mifereji midogo midogo iliyowekwa juu ya kichwa. Hii imewezesha wanafunzi kukaa katika mandhari mazuri yanayompa moyo wa kupita mtihani. Hii ina mwezesha mwanafunzi kujihisi huru na pia kuwa na uhuru wa kusoma kwa urahisi.
Teknolojia pia ina madhara yake. Imeharibu sana wanafunzi hasa katika kipindi cha likizo. Wale walio na simu za kuingia mtandaoni huathiri masomo yao kwa kuchukua muda mwingi huko. Wanafunzi hupotoka na kuwa sana na simu zao huku wakiwa mtandaoni badala ya kuwa na vitabu vyao.
Wanafunzi wanaweza kusoma hesabu kwa urahisi kutumia usaidizi wa vikokotoo. Teknolojia inaharibu maadili ya wanafunzi wengi. Kwa jumla, madhara ya teknolojia hupotosha wanafunzi. Teknolojia pia ina faida kemkem zinazo tusaidia katika jamii. | Ni nini huwezesha wanafunzi kujua yanayoendelea | {
"text": [
"Runinga"
]
} |
3071_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama ufundi au mawasiliano. Teknolojia hii imeleta madhara na pia faida kwa wanafunzi. Teknolojia
imerahisisha pia maisha ya wanafunzi shuleni na pia katika maisha ya nyumbani.
Kwanza teknolojia imeleta faida nyingi. Wanafunzi hawa wa sekondari wanaweza kusoma kutumia simu au tarakilishi zao wanapokuwa majumbani mwao. Hii imewezeshwa hata bila usaidizi wa mwalimu. Mwanafunzi anaporudi tena shuleni basi atakua amepata maarifa mapya yaliyo fundishwa na mwalimu mwingine ambaye ni teknolojia ya kisasa inayosaidia wanafunzi.
Pia wanafunzi hawa wanaweza kutumia simu kutafuta au kusachi vitu ambavyo hawana ufahamu navyo na ni vya kimasomo. Pia tunaporudi shuleni tunapata shule nyingi wanafunzi hutumia tarakilishi kwa masomo, na hili limewawezesha walimu kupumzika na kupunguza kuongea sana, hadi mwisho wa siku anaumwa na kuanza kutafuta dawa zisizo majina.
Wanafunzi wanafurahi sababu teknolojia imewarahisishia maisha kwa njia moja au nyingine. Wanashukuru sababu wana uwezo wa kuangalia runinga hata wakiwa shuleni na kujua yote yanayojiri nchini na bado pia nje ya nchi. Shule nyingi zimeweza kuwekwa ukigo wa umeme na hata pia kamera kwa kimombo CCTV, ya kurekodia ili kuweza kuwanasa wote watakao jaribu kuiba.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujengewa mabafu yenye maji moto na baridi. Maji ambayo yanatoka kwenye mifereji midogo midogo iliyowekwa juu ya kichwa. Hii imewezesha wanafunzi kukaa katika mandhari mazuri yanayompa moyo wa kupita mtihani. Hii ina mwezesha mwanafunzi kujihisi huru na pia kuwa na uhuru wa kusoma kwa urahisi.
Teknolojia pia ina madhara yake. Imeharibu sana wanafunzi hasa katika kipindi cha likizo. Wale walio na simu za kuingia mtandaoni huathiri masomo yao kwa kuchukua muda mwingi huko. Wanafunzi hupotoka na kuwa sana na simu zao huku wakiwa mtandaoni badala ya kuwa na vitabu vyao.
Wanafunzi wanaweza kusoma hesabu kwa urahisi kutumia usaidizi wa vikokotoo. Teknolojia inaharibu maadili ya wanafunzi wengi. Kwa jumla, madhara ya teknolojia hupotosha wanafunzi. Teknolojia pia ina faida kemkem zinazo tusaidia katika jamii. | Wanafunzi hawasomi vitabu vyao wakati wa likizo kwa nini | {
"text": [
"Wanatumia simu kuingia mtandaoni"
]
} |
3072_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta mabadiliko mengi hasa katika sekta ya elimu. Masomo yameweza kurahisishwa kwa kutumia teknolojia . Wanafunzi wana uwezo wa kupata masomo yao kwa kutumia vifaa vya teknolojia. Kuna faida nyingi zinazotakana kwa kutumia teknolojia hasa katika shule za sekondari.
Faida katika shule za sekondari ni nyingi mno. Kwanza kazi ya walimu imeweza kurahisishwa kwa sababu wanafunzi wanasoma kutumia televisheni na huwaeleza vizuri kuhusu kile wanochosikiliza au wanachofundishwa. Kwa hiyo kazi ya mwalimu hapo itakuwa kidogo kwani wanafunzi walisoma awali.
Teknolojia pia imeweza kusaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani yao kuliko kwenda kununua. Shule zimeweza kusaidika kwani pesa hazitumiki kwa sababu wanaviraa vyao vya kuchapisha karatasi za mitihani. Pesa hizo za shule zinaweza kutumika kufanya mambo mengine.
Pia, kutokana na teknolojia usalama shuleni unaweza kupokelewa. Shule inaweza kununua vifaa vya kujulisha shughuli zote zinazoendelea shuleni. Kwa hiyo usalama wa wanafunzi umehakikishwa. Teknolojia imekuwa ya manufaa katika shule za sekondari.
Lingine ni kuwa wanafunzi wataweza kupata nafasi ya kujifunza masomo ya kidigitali na mapema. Masomo hayo huwasaidia hata wanapoenda vyuo vikuu. Masomo haya pia yanaweza kuwasaidia kutafuta kazi maishani.
Pia, teknolojia hii iko na madhara yake kwa wanafunzi. Wanafunzi wengine hushughulika sana na vifaa vya teknolojia kama tarakilishi na kusahau kuhusu masomo yao na hapo ndipo matokeo yao huanza kudondora. Wanafunzi wanafaa kupunguza wakati wa kutumia vifaa hivyo.
Wanafunzi wengine hujifunza utovu wa nidhamu kwa filamu wanazotazama ambazo hazina adabu na heshima. Ukosefu wa nidhamu katika shule za upili umeathiri mno na pia imezidishwa na utumiaji wa teknolojia.
Teknolojia pia ina madhara mengi zaidi kwa hivyo tunafaa kuwachunga au kuwaepusha wanafunzi wa shule za upili kutokana utumiaji mwingi wa teknolojia. Lakini tusisahau kuwa bado ina manufaa ki masomo kwa hivyo pia waweze kutumia vifaa mbalimbali vya kiteknolojia masomoni.
Kwa yote hayo tumeona uzuri na ubaya wa teknolojia kwa wanafunzi. Sasa ni juhudi yetu kujikaza kisabuni kuhakikisha teknolojia imetumiwa ifaavyo. | Nini kimeleta mabadiliko mengi katika sekta ya elimu | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3072_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta mabadiliko mengi hasa katika sekta ya elimu. Masomo yameweza kurahisishwa kwa kutumia teknolojia . Wanafunzi wana uwezo wa kupata masomo yao kwa kutumia vifaa vya teknolojia. Kuna faida nyingi zinazotakana kwa kutumia teknolojia hasa katika shule za sekondari.
Faida katika shule za sekondari ni nyingi mno. Kwanza kazi ya walimu imeweza kurahisishwa kwa sababu wanafunzi wanasoma kutumia televisheni na huwaeleza vizuri kuhusu kile wanochosikiliza au wanachofundishwa. Kwa hiyo kazi ya mwalimu hapo itakuwa kidogo kwani wanafunzi walisoma awali.
Teknolojia pia imeweza kusaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani yao kuliko kwenda kununua. Shule zimeweza kusaidika kwani pesa hazitumiki kwa sababu wanaviraa vyao vya kuchapisha karatasi za mitihani. Pesa hizo za shule zinaweza kutumika kufanya mambo mengine.
Pia, kutokana na teknolojia usalama shuleni unaweza kupokelewa. Shule inaweza kununua vifaa vya kujulisha shughuli zote zinazoendelea shuleni. Kwa hiyo usalama wa wanafunzi umehakikishwa. Teknolojia imekuwa ya manufaa katika shule za sekondari.
Lingine ni kuwa wanafunzi wataweza kupata nafasi ya kujifunza masomo ya kidigitali na mapema. Masomo hayo huwasaidia hata wanapoenda vyuo vikuu. Masomo haya pia yanaweza kuwasaidia kutafuta kazi maishani.
Pia, teknolojia hii iko na madhara yake kwa wanafunzi. Wanafunzi wengine hushughulika sana na vifaa vya teknolojia kama tarakilishi na kusahau kuhusu masomo yao na hapo ndipo matokeo yao huanza kudondora. Wanafunzi wanafaa kupunguza wakati wa kutumia vifaa hivyo.
Wanafunzi wengine hujifunza utovu wa nidhamu kwa filamu wanazotazama ambazo hazina adabu na heshima. Ukosefu wa nidhamu katika shule za upili umeathiri mno na pia imezidishwa na utumiaji wa teknolojia.
Teknolojia pia ina madhara mengi zaidi kwa hivyo tunafaa kuwachunga au kuwaepusha wanafunzi wa shule za upili kutokana utumiaji mwingi wa teknolojia. Lakini tusisahau kuwa bado ina manufaa ki masomo kwa hivyo pia waweze kutumia vifaa mbalimbali vya kiteknolojia masomoni.
Kwa yote hayo tumeona uzuri na ubaya wa teknolojia kwa wanafunzi. Sasa ni juhudi yetu kujikaza kisabuni kuhakikisha teknolojia imetumiwa ifaavyo. | Ni nini kimeweza kurahisishwa | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
3072_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta mabadiliko mengi hasa katika sekta ya elimu. Masomo yameweza kurahisishwa kwa kutumia teknolojia . Wanafunzi wana uwezo wa kupata masomo yao kwa kutumia vifaa vya teknolojia. Kuna faida nyingi zinazotakana kwa kutumia teknolojia hasa katika shule za sekondari.
Faida katika shule za sekondari ni nyingi mno. Kwanza kazi ya walimu imeweza kurahisishwa kwa sababu wanafunzi wanasoma kutumia televisheni na huwaeleza vizuri kuhusu kile wanochosikiliza au wanachofundishwa. Kwa hiyo kazi ya mwalimu hapo itakuwa kidogo kwani wanafunzi walisoma awali.
Teknolojia pia imeweza kusaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani yao kuliko kwenda kununua. Shule zimeweza kusaidika kwani pesa hazitumiki kwa sababu wanaviraa vyao vya kuchapisha karatasi za mitihani. Pesa hizo za shule zinaweza kutumika kufanya mambo mengine.
Pia, kutokana na teknolojia usalama shuleni unaweza kupokelewa. Shule inaweza kununua vifaa vya kujulisha shughuli zote zinazoendelea shuleni. Kwa hiyo usalama wa wanafunzi umehakikishwa. Teknolojia imekuwa ya manufaa katika shule za sekondari.
Lingine ni kuwa wanafunzi wataweza kupata nafasi ya kujifunza masomo ya kidigitali na mapema. Masomo hayo huwasaidia hata wanapoenda vyuo vikuu. Masomo haya pia yanaweza kuwasaidia kutafuta kazi maishani.
Pia, teknolojia hii iko na madhara yake kwa wanafunzi. Wanafunzi wengine hushughulika sana na vifaa vya teknolojia kama tarakilishi na kusahau kuhusu masomo yao na hapo ndipo matokeo yao huanza kudondora. Wanafunzi wanafaa kupunguza wakati wa kutumia vifaa hivyo.
Wanafunzi wengine hujifunza utovu wa nidhamu kwa filamu wanazotazama ambazo hazina adabu na heshima. Ukosefu wa nidhamu katika shule za upili umeathiri mno na pia imezidishwa na utumiaji wa teknolojia.
Teknolojia pia ina madhara mengi zaidi kwa hivyo tunafaa kuwachunga au kuwaepusha wanafunzi wa shule za upili kutokana utumiaji mwingi wa teknolojia. Lakini tusisahau kuwa bado ina manufaa ki masomo kwa hivyo pia waweze kutumia vifaa mbalimbali vya kiteknolojia masomoni.
Kwa yote hayo tumeona uzuri na ubaya wa teknolojia kwa wanafunzi. Sasa ni juhudi yetu kujikaza kisabuni kuhakikisha teknolojia imetumiwa ifaavyo. | Teknolojia imeweza kuwasaidia walimu kuchapisha nini | {
"text": [
"Mitihani"
]
} |
3072_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta mabadiliko mengi hasa katika sekta ya elimu. Masomo yameweza kurahisishwa kwa kutumia teknolojia . Wanafunzi wana uwezo wa kupata masomo yao kwa kutumia vifaa vya teknolojia. Kuna faida nyingi zinazotakana kwa kutumia teknolojia hasa katika shule za sekondari.
Faida katika shule za sekondari ni nyingi mno. Kwanza kazi ya walimu imeweza kurahisishwa kwa sababu wanafunzi wanasoma kutumia televisheni na huwaeleza vizuri kuhusu kile wanochosikiliza au wanachofundishwa. Kwa hiyo kazi ya mwalimu hapo itakuwa kidogo kwani wanafunzi walisoma awali.
Teknolojia pia imeweza kusaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani yao kuliko kwenda kununua. Shule zimeweza kusaidika kwani pesa hazitumiki kwa sababu wanaviraa vyao vya kuchapisha karatasi za mitihani. Pesa hizo za shule zinaweza kutumika kufanya mambo mengine.
Pia, kutokana na teknolojia usalama shuleni unaweza kupokelewa. Shule inaweza kununua vifaa vya kujulisha shughuli zote zinazoendelea shuleni. Kwa hiyo usalama wa wanafunzi umehakikishwa. Teknolojia imekuwa ya manufaa katika shule za sekondari.
Lingine ni kuwa wanafunzi wataweza kupata nafasi ya kujifunza masomo ya kidigitali na mapema. Masomo hayo huwasaidia hata wanapoenda vyuo vikuu. Masomo haya pia yanaweza kuwasaidia kutafuta kazi maishani.
Pia, teknolojia hii iko na madhara yake kwa wanafunzi. Wanafunzi wengine hushughulika sana na vifaa vya teknolojia kama tarakilishi na kusahau kuhusu masomo yao na hapo ndipo matokeo yao huanza kudondora. Wanafunzi wanafaa kupunguza wakati wa kutumia vifaa hivyo.
Wanafunzi wengine hujifunza utovu wa nidhamu kwa filamu wanazotazama ambazo hazina adabu na heshima. Ukosefu wa nidhamu katika shule za upili umeathiri mno na pia imezidishwa na utumiaji wa teknolojia.
Teknolojia pia ina madhara mengi zaidi kwa hivyo tunafaa kuwachunga au kuwaepusha wanafunzi wa shule za upili kutokana utumiaji mwingi wa teknolojia. Lakini tusisahau kuwa bado ina manufaa ki masomo kwa hivyo pia waweze kutumia vifaa mbalimbali vya kiteknolojia masomoni.
Kwa yote hayo tumeona uzuri na ubaya wa teknolojia kwa wanafunzi. Sasa ni juhudi yetu kujikaza kisabuni kuhakikisha teknolojia imetumiwa ifaavyo. | Wanafunzi wengine hujifunza utovu wa nini | {
"text": [
"Nidhamu"
]
} |
3072_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeleta mabadiliko mengi hasa katika sekta ya elimu. Masomo yameweza kurahisishwa kwa kutumia teknolojia . Wanafunzi wana uwezo wa kupata masomo yao kwa kutumia vifaa vya teknolojia. Kuna faida nyingi zinazotakana kwa kutumia teknolojia hasa katika shule za sekondari.
Faida katika shule za sekondari ni nyingi mno. Kwanza kazi ya walimu imeweza kurahisishwa kwa sababu wanafunzi wanasoma kutumia televisheni na huwaeleza vizuri kuhusu kile wanochosikiliza au wanachofundishwa. Kwa hiyo kazi ya mwalimu hapo itakuwa kidogo kwani wanafunzi walisoma awali.
Teknolojia pia imeweza kusaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani yao kuliko kwenda kununua. Shule zimeweza kusaidika kwani pesa hazitumiki kwa sababu wanaviraa vyao vya kuchapisha karatasi za mitihani. Pesa hizo za shule zinaweza kutumika kufanya mambo mengine.
Pia, kutokana na teknolojia usalama shuleni unaweza kupokelewa. Shule inaweza kununua vifaa vya kujulisha shughuli zote zinazoendelea shuleni. Kwa hiyo usalama wa wanafunzi umehakikishwa. Teknolojia imekuwa ya manufaa katika shule za sekondari.
Lingine ni kuwa wanafunzi wataweza kupata nafasi ya kujifunza masomo ya kidigitali na mapema. Masomo hayo huwasaidia hata wanapoenda vyuo vikuu. Masomo haya pia yanaweza kuwasaidia kutafuta kazi maishani.
Pia, teknolojia hii iko na madhara yake kwa wanafunzi. Wanafunzi wengine hushughulika sana na vifaa vya teknolojia kama tarakilishi na kusahau kuhusu masomo yao na hapo ndipo matokeo yao huanza kudondora. Wanafunzi wanafaa kupunguza wakati wa kutumia vifaa hivyo.
Wanafunzi wengine hujifunza utovu wa nidhamu kwa filamu wanazotazama ambazo hazina adabu na heshima. Ukosefu wa nidhamu katika shule za upili umeathiri mno na pia imezidishwa na utumiaji wa teknolojia.
Teknolojia pia ina madhara mengi zaidi kwa hivyo tunafaa kuwachunga au kuwaepusha wanafunzi wa shule za upili kutokana utumiaji mwingi wa teknolojia. Lakini tusisahau kuwa bado ina manufaa ki masomo kwa hivyo pia waweze kutumia vifaa mbalimbali vya kiteknolojia masomoni.
Kwa yote hayo tumeona uzuri na ubaya wa teknolojia kwa wanafunzi. Sasa ni juhudi yetu kujikaza kisabuni kuhakikisha teknolojia imetumiwa ifaavyo. | Kwa nini kazi ya walimu imeweza kurahisishwa | {
"text": [
"Kwa sababu wanafunzi wanasoma kutumia televisheni"
]
} |
3073_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia na utumizi wake umezagaa kote ulimwenguni. Si mashuleni, si hospitalini, si majumbani na hata maabadini. Teknolojia ina manufaa na madhara yake kwa pamoja. Uvumbuzi wa teknolojia umesababisha mambo mengi kuwasilishwa ipasavyo kando na madhara yake.
Katika shule za upili, yaani sekondari, teknolojia imeweza kuwafanya wanafunzi wengi kudurusu ipasavyo. Hii ni kwa ajili ya serikali yetu kuamua kusambaza vipatakilishi mashuleni. Wanafunzi wa sekondari vilevile hutumia simu za mkono katika kudurusu kwao.
Utumizi wa simu za mikono katika kudurusu kumewaletea wanagenzi wengi kufanya vyema katika mitihani yao kwa sababu wanaendelea kudurusu hata wakiwa majumbani wakati wa likizo. Uvumbuzi mwingine umetoka ambapo kumewasilishwa masomo ya mtandaoni ambapo wanafunzi wa sekondari hujifunza na kupata elimu ya kutosha.
Utumizi wa tarakilishi na vipatakilishi shuleni kumewafanya wanafunzi wengi kupotoka. Hii ni kwa sababu wanafunzi hao wanatumia vifaa hivi kwa mambo mengine kinyume na kutumia kusoma. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapofikia shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu, basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nadhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine inaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe wa angalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia nao ziwe na uangalifu kwani chochote kinaweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipanguwa. | Uvumbuzi wa teknolojia na utumizi wake umefanya nini | {
"text": [
"umezagaa kote ulimwenguni"
]
} |
3073_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia na utumizi wake umezagaa kote ulimwenguni. Si mashuleni, si hospitalini, si majumbani na hata maabadini. Teknolojia ina manufaa na madhara yake kwa pamoja. Uvumbuzi wa teknolojia umesababisha mambo mengi kuwasilishwa ipasavyo kando na madhara yake.
Katika shule za upili, yaani sekondari, teknolojia imeweza kuwafanya wanafunzi wengi kudurusu ipasavyo. Hii ni kwa ajili ya serikali yetu kuamua kusambaza vipatakilishi mashuleni. Wanafunzi wa sekondari vilevile hutumia simu za mkono katika kudurusu kwao.
Utumizi wa simu za mikono katika kudurusu kumewaletea wanagenzi wengi kufanya vyema katika mitihani yao kwa sababu wanaendelea kudurusu hata wakiwa majumbani wakati wa likizo. Uvumbuzi mwingine umetoka ambapo kumewasilishwa masomo ya mtandaoni ambapo wanafunzi wa sekondari hujifunza na kupata elimu ya kutosha.
Utumizi wa tarakilishi na vipatakilishi shuleni kumewafanya wanafunzi wengi kupotoka. Hii ni kwa sababu wanafunzi hao wanatumia vifaa hivi kwa mambo mengine kinyume na kutumia kusoma. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapofikia shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu, basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nadhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine inaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe wa angalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia nao ziwe na uangalifu kwani chochote kinaweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipanguwa. | Serikali iliamua kusambaza nini | {
"text": [
"vipakatalishi mashuleni"
]
} |
3073_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia na utumizi wake umezagaa kote ulimwenguni. Si mashuleni, si hospitalini, si majumbani na hata maabadini. Teknolojia ina manufaa na madhara yake kwa pamoja. Uvumbuzi wa teknolojia umesababisha mambo mengi kuwasilishwa ipasavyo kando na madhara yake.
Katika shule za upili, yaani sekondari, teknolojia imeweza kuwafanya wanafunzi wengi kudurusu ipasavyo. Hii ni kwa ajili ya serikali yetu kuamua kusambaza vipatakilishi mashuleni. Wanafunzi wa sekondari vilevile hutumia simu za mkono katika kudurusu kwao.
Utumizi wa simu za mikono katika kudurusu kumewaletea wanagenzi wengi kufanya vyema katika mitihani yao kwa sababu wanaendelea kudurusu hata wakiwa majumbani wakati wa likizo. Uvumbuzi mwingine umetoka ambapo kumewasilishwa masomo ya mtandaoni ambapo wanafunzi wa sekondari hujifunza na kupata elimu ya kutosha.
Utumizi wa tarakilishi na vipatakilishi shuleni kumewafanya wanafunzi wengi kupotoka. Hii ni kwa sababu wanafunzi hao wanatumia vifaa hivi kwa mambo mengine kinyume na kutumia kusoma. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapofikia shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu, basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nadhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine inaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe wa angalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia nao ziwe na uangalifu kwani chochote kinaweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipanguwa. | Wanafunzi wa sekondari vilevile hutumia nini katika kudurusu | {
"text": [
"simu za mkono"
]
} |
3073_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia na utumizi wake umezagaa kote ulimwenguni. Si mashuleni, si hospitalini, si majumbani na hata maabadini. Teknolojia ina manufaa na madhara yake kwa pamoja. Uvumbuzi wa teknolojia umesababisha mambo mengi kuwasilishwa ipasavyo kando na madhara yake.
Katika shule za upili, yaani sekondari, teknolojia imeweza kuwafanya wanafunzi wengi kudurusu ipasavyo. Hii ni kwa ajili ya serikali yetu kuamua kusambaza vipatakilishi mashuleni. Wanafunzi wa sekondari vilevile hutumia simu za mkono katika kudurusu kwao.
Utumizi wa simu za mikono katika kudurusu kumewaletea wanagenzi wengi kufanya vyema katika mitihani yao kwa sababu wanaendelea kudurusu hata wakiwa majumbani wakati wa likizo. Uvumbuzi mwingine umetoka ambapo kumewasilishwa masomo ya mtandaoni ambapo wanafunzi wa sekondari hujifunza na kupata elimu ya kutosha.
Utumizi wa tarakilishi na vipatakilishi shuleni kumewafanya wanafunzi wengi kupotoka. Hii ni kwa sababu wanafunzi hao wanatumia vifaa hivi kwa mambo mengine kinyume na kutumia kusoma. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapofikia shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu, basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nadhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine inaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe wa angalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia nao ziwe na uangalifu kwani chochote kinaweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipanguwa. | Wanafunzi hutumia simu za mkono kudurusu lini | {
"text": [
"wakiwa nyumbani/likizo"
]
} |
3073_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Uvumbuzi wa teknolojia na utumizi wake umezagaa kote ulimwenguni. Si mashuleni, si hospitalini, si majumbani na hata maabadini. Teknolojia ina manufaa na madhara yake kwa pamoja. Uvumbuzi wa teknolojia umesababisha mambo mengi kuwasilishwa ipasavyo kando na madhara yake.
Katika shule za upili, yaani sekondari, teknolojia imeweza kuwafanya wanafunzi wengi kudurusu ipasavyo. Hii ni kwa ajili ya serikali yetu kuamua kusambaza vipatakilishi mashuleni. Wanafunzi wa sekondari vilevile hutumia simu za mkono katika kudurusu kwao.
Utumizi wa simu za mikono katika kudurusu kumewaletea wanagenzi wengi kufanya vyema katika mitihani yao kwa sababu wanaendelea kudurusu hata wakiwa majumbani wakati wa likizo. Uvumbuzi mwingine umetoka ambapo kumewasilishwa masomo ya mtandaoni ambapo wanafunzi wa sekondari hujifunza na kupata elimu ya kutosha.
Utumizi wa tarakilishi na vipatakilishi shuleni kumewafanya wanafunzi wengi kupotoka. Hii ni kwa sababu wanafunzi hao wanatumia vifaa hivi kwa mambo mengine kinyume na kutumia kusoma. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapofikia shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu, basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nadhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine inaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe wa angalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia nao ziwe na uangalifu kwani chochote kinaweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipanguwa. | Utumizi wa vipakatalishi shuleni kumewafanya wanafunzi kupotoka aje | {
"text": [
"wanatumia vifaa hivi kwa mambo kinyume na kusomea"
]
} |
3074_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeshamiri sana katika dunia yetu ya sasa hivi. Takriban asilimia 99% ya watu wanatumia teknolojia. Hapa nchini kwetu Kenya, tayari kaunti zote na pia maeneo mengi teknolojia inatumika. Ni nadra sana kupata maeneo mengine ambayo hayajiendelezi.
Katika shule za sekondari sasa hivi, kuna faida nyingi za kutumia teknolojia kama vile, utumizi wa tarakilishi, vipatakilishi na vinginevyo vifaa hivi hutumiwa na wanafunzi na walimu pia kufanya utafiti kuhusu jambo au maelezo fulani kuhusu masomo. Badala ya vitabu walimu wana uwezo wa kufundisha kutumia vifaa hivyo ambavyo hasa vimeletwa na uzinduzi wa teknolojia.
Umuhimu mwingine ni kuwa kuna mitambo baadhi ya shule za bweni ambapo mitambo hiyo hutumika aidha kutengeneza vyakula vya wanafunzi kwa haraka, kwa mfano mitambo ya kutengeneza mikate na pia kusaga mahindi ili wapate unga wa kupikia ugali. Kwa kweli imewarahisishia kazi wapishi na pia imewapunguzia kuchoka. Walimu hawana shida ya kuwaajiri wapishi kwa idadi kubwa. Pia hupunguza gharama ya kununua bidhaa zilizotengenezwa nje kwa bei ghali.
Pia kuna madhara mbalimbali ya teknolojia katika shule hizo za sekondari. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapokuwa shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda
zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nidhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine unaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe waangalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia ziwe na uangalifu kwani chochote kingeweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipangua. | Karibu asilimia ngapi ya watu wanatumia teknolojia nchini Kenya? | {
"text": [
"99"
]
} |
3074_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeshamiri sana katika dunia yetu ya sasa hivi. Takriban asilimia 99% ya watu wanatumia teknolojia. Hapa nchini kwetu Kenya, tayari kaunti zote na pia maeneo mengi teknolojia inatumika. Ni nadra sana kupata maeneo mengine ambayo hayajiendelezi.
Katika shule za sekondari sasa hivi, kuna faida nyingi za kutumia teknolojia kama vile, utumizi wa tarakilishi, vipatakilishi na vinginevyo vifaa hivi hutumiwa na wanafunzi na walimu pia kufanya utafiti kuhusu jambo au maelezo fulani kuhusu masomo. Badala ya vitabu walimu wana uwezo wa kufundisha kutumia vifaa hivyo ambavyo hasa vimeletwa na uzinduzi wa teknolojia.
Umuhimu mwingine ni kuwa kuna mitambo baadhi ya shule za bweni ambapo mitambo hiyo hutumika aidha kutengeneza vyakula vya wanafunzi kwa haraka, kwa mfano mitambo ya kutengeneza mikate na pia kusaga mahindi ili wapate unga wa kupikia ugali. Kwa kweli imewarahisishia kazi wapishi na pia imewapunguzia kuchoka. Walimu hawana shida ya kuwaajiri wapishi kwa idadi kubwa. Pia hupunguza gharama ya kununua bidhaa zilizotengenezwa nje kwa bei ghali.
Pia kuna madhara mbalimbali ya teknolojia katika shule hizo za sekondari. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapokuwa shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda
zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nidhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine unaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe waangalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia ziwe na uangalifu kwani chochote kingeweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipangua. | Kifaa kipi hutumika na walimu katika shule za sekondari? | {
"text": [
"Kipatakilishi"
]
} |
3074_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeshamiri sana katika dunia yetu ya sasa hivi. Takriban asilimia 99% ya watu wanatumia teknolojia. Hapa nchini kwetu Kenya, tayari kaunti zote na pia maeneo mengi teknolojia inatumika. Ni nadra sana kupata maeneo mengine ambayo hayajiendelezi.
Katika shule za sekondari sasa hivi, kuna faida nyingi za kutumia teknolojia kama vile, utumizi wa tarakilishi, vipatakilishi na vinginevyo vifaa hivi hutumiwa na wanafunzi na walimu pia kufanya utafiti kuhusu jambo au maelezo fulani kuhusu masomo. Badala ya vitabu walimu wana uwezo wa kufundisha kutumia vifaa hivyo ambavyo hasa vimeletwa na uzinduzi wa teknolojia.
Umuhimu mwingine ni kuwa kuna mitambo baadhi ya shule za bweni ambapo mitambo hiyo hutumika aidha kutengeneza vyakula vya wanafunzi kwa haraka, kwa mfano mitambo ya kutengeneza mikate na pia kusaga mahindi ili wapate unga wa kupikia ugali. Kwa kweli imewarahisishia kazi wapishi na pia imewapunguzia kuchoka. Walimu hawana shida ya kuwaajiri wapishi kwa idadi kubwa. Pia hupunguza gharama ya kununua bidhaa zilizotengenezwa nje kwa bei ghali.
Pia kuna madhara mbalimbali ya teknolojia katika shule hizo za sekondari. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapokuwa shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda
zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nidhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine unaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe waangalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia ziwe na uangalifu kwani chochote kingeweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipangua. | Wanafunzi huharibika kwa kutazama picha zipi shuleni? | {
"text": [
"Picha chafu"
]
} |
3074_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeshamiri sana katika dunia yetu ya sasa hivi. Takriban asilimia 99% ya watu wanatumia teknolojia. Hapa nchini kwetu Kenya, tayari kaunti zote na pia maeneo mengi teknolojia inatumika. Ni nadra sana kupata maeneo mengine ambayo hayajiendelezi.
Katika shule za sekondari sasa hivi, kuna faida nyingi za kutumia teknolojia kama vile, utumizi wa tarakilishi, vipatakilishi na vinginevyo vifaa hivi hutumiwa na wanafunzi na walimu pia kufanya utafiti kuhusu jambo au maelezo fulani kuhusu masomo. Badala ya vitabu walimu wana uwezo wa kufundisha kutumia vifaa hivyo ambavyo hasa vimeletwa na uzinduzi wa teknolojia.
Umuhimu mwingine ni kuwa kuna mitambo baadhi ya shule za bweni ambapo mitambo hiyo hutumika aidha kutengeneza vyakula vya wanafunzi kwa haraka, kwa mfano mitambo ya kutengeneza mikate na pia kusaga mahindi ili wapate unga wa kupikia ugali. Kwa kweli imewarahisishia kazi wapishi na pia imewapunguzia kuchoka. Walimu hawana shida ya kuwaajiri wapishi kwa idadi kubwa. Pia hupunguza gharama ya kununua bidhaa zilizotengenezwa nje kwa bei ghali.
Pia kuna madhara mbalimbali ya teknolojia katika shule hizo za sekondari. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapokuwa shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda
zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nidhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine unaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe waangalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia ziwe na uangalifu kwani chochote kingeweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipangua. | Wanafunzi hutumia kemikali hatari wakati wanasoma somo lipi? | {
"text": [
"Kemia"
]
} |
3074_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia imeshamiri sana katika dunia yetu ya sasa hivi. Takriban asilimia 99% ya watu wanatumia teknolojia. Hapa nchini kwetu Kenya, tayari kaunti zote na pia maeneo mengi teknolojia inatumika. Ni nadra sana kupata maeneo mengine ambayo hayajiendelezi.
Katika shule za sekondari sasa hivi, kuna faida nyingi za kutumia teknolojia kama vile, utumizi wa tarakilishi, vipatakilishi na vinginevyo vifaa hivi hutumiwa na wanafunzi na walimu pia kufanya utafiti kuhusu jambo au maelezo fulani kuhusu masomo. Badala ya vitabu walimu wana uwezo wa kufundisha kutumia vifaa hivyo ambavyo hasa vimeletwa na uzinduzi wa teknolojia.
Umuhimu mwingine ni kuwa kuna mitambo baadhi ya shule za bweni ambapo mitambo hiyo hutumika aidha kutengeneza vyakula vya wanafunzi kwa haraka, kwa mfano mitambo ya kutengeneza mikate na pia kusaga mahindi ili wapate unga wa kupikia ugali. Kwa kweli imewarahisishia kazi wapishi na pia imewapunguzia kuchoka. Walimu hawana shida ya kuwaajiri wapishi kwa idadi kubwa. Pia hupunguza gharama ya kununua bidhaa zilizotengenezwa nje kwa bei ghali.
Pia kuna madhara mbalimbali ya teknolojia katika shule hizo za sekondari. Madhara haya huwaaribu wanafunzi wanapokuwa shule za sekondari kwa mfano, uzinduzi wa mitambo iliyozinduliwa na wana sayansi kama vile utazamaji wa televisheni katika shule, ambapo wanafunzi hawa, bila ya kusimamiwa na walimu basi hutazama picha chafu, na huwa wanafurahia. Mwanafunzi yule huaribika akili na mawazo yake ya kusoma hupungua.
Jambo lingine ni utumiaji wa kemikali hatari ambazo wanafunzi hawa huzitumia kusomea kwa kufanya majaribu katika masomo kadhaa kama vile kemia na bayolojia. Kwa kweli kemikali hizo zingine huwa ni sumu na zingine husababisha mlipuko na huenda
zikachoma baadhi ya vitu. Nayo huwa haina budi bali kutumia kemikali hizi kwani ni lazima kusoma masomo hayo.
Kwa kweli nidhahiri kwamba kuna umuhimu na pia kuna madhara ya teknolojia. Upande mwingine unaharibu wanafunzi aidha kwa jambo lile au hili. Kinachotakiwa ni kwa wanafunzi wawe waangalifu sana wanapotumia teknolojia.
Ningependekeza pia kwa shule nyingi ambazo zinatumia teknolojia ziwe na uangalifu kwani chochote kingeweza kutokea kwani alipangalo mungu hakuna anayeweza kulipangua. | Mitambo ipi hutumika shuleni kurahihisha kazi? | {
"text": [
"Ya kusiaga mahindi kwa sababu za kupika ugali"
]
} |
3075_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maana ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda au njia za mawasiliano. Teknolojia imerahisisha mawasiliano baina ya wale wanaoishi maeneo mbalimbali na pia imesababisha maisha ya binadamu yawe ya rahisi bila tatizo la usalama na kuongeza kipato cha mwanadamu.
Katika shule ya upili, uzinduzi wa balbu imemwezesha mwanafunzi kusoma kwa masaa mengi kulingana na wakati ambao haikuwepo. Mwangaza unaotolewa na balbu hizi pia humpa mwanafunzi usalama kwani si rahisi mwanafunzi kuvamiwa na watu wabaya. Taa hizi za balbu pic haziharibu macho ya mwanafunzi kama taa za chumni zinazotoa mwangaza kidogo ambao unaweza kumwaribu macho mwanafunzi.
Uzinduzi wa tarakilishi umemwezesha mwalimu kuhifadhi matokeo ya wanafunzi na kuokoa nafasi ambayo ingekuwa imechukuliwa na faili. Tarakilishi pia humwezesha mwanafunzi kufanya utafiti kuhusu somo fulani. Hii huweza kufungua fikra za mwanafunzi aweze kufikiria
zaidi ya kile anachofunzwa na mwalimu darasani.
Teknolojia pia imerahisisha masomo ya wanafunzi kwasababu ya uzinduzi wa vifaa kama vile kikokotoo ambayo imemwezesha mwanafunzi kukomboa wakati wa mtihani wa hisabati kwani kikokotio humwezesha mwanafunzi kufanya hisabati haraka
Uzinduzi wa mtandao umemwezesha mwalimu kufanya utafiti zaidi kuhusu masomo anayofundisha wanafunzi na kuwawezesha wanafunzi kuelewa masomo hayo kwa kina. Mtandao pia imewawezesha walimu kuwasiliana na walimu wengi ilikuzungumzia njia mbali mbali za kuimarisha matokeo ya wanafunzi wao.
Technolojia pia imemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi katika ukumbi kwa kutumia kipaza sauti. Hii humwezesha kuepuka shida za koo kwa sababu ya kuongea kwa nguvu. Pia uzinduzi wa projekta umemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia picha inayotoka kwenye projekta.
Kando na kuwa na faida teknolojia ina madhara yake. Kwanza, wanafunzi wanapotumia mtandao kufanya utafiti, hao huweeza kuangalia video chafu zinazoweza kudororesha maadili yao. Wanafunzi wanaweza kuigiza mambo yanayoendelea katika video hizo. Hii ndio chanzo cha mimba za mapema kwa wanafunzi wa sekondari.
Matumizi ya kikokotoo kwa wanafunzi pia inaweza kuwadhuru kwani mwanafunzi anaweza kuzembea kufikiria kwani mazoea ya kutumia kikokotooinamfanya asahau kujumlisha, kuondoa, kugawanya au kuzidisha hesabu rahisi. Mwanafunzi anasahau kufanya hesabu ndogo ndogo. | Teknolojia imerahisisha nini baina ya watu wanoishi mbali? | {
"text": [
"Mawasiliano"
]
} |
3075_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maana ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda au njia za mawasiliano. Teknolojia imerahisisha mawasiliano baina ya wale wanaoishi maeneo mbalimbali na pia imesababisha maisha ya binadamu yawe ya rahisi bila tatizo la usalama na kuongeza kipato cha mwanadamu.
Katika shule ya upili, uzinduzi wa balbu imemwezesha mwanafunzi kusoma kwa masaa mengi kulingana na wakati ambao haikuwepo. Mwangaza unaotolewa na balbu hizi pia humpa mwanafunzi usalama kwani si rahisi mwanafunzi kuvamiwa na watu wabaya. Taa hizi za balbu pic haziharibu macho ya mwanafunzi kama taa za chumni zinazotoa mwangaza kidogo ambao unaweza kumwaribu macho mwanafunzi.
Uzinduzi wa tarakilishi umemwezesha mwalimu kuhifadhi matokeo ya wanafunzi na kuokoa nafasi ambayo ingekuwa imechukuliwa na faili. Tarakilishi pia humwezesha mwanafunzi kufanya utafiti kuhusu somo fulani. Hii huweza kufungua fikra za mwanafunzi aweze kufikiria
zaidi ya kile anachofunzwa na mwalimu darasani.
Teknolojia pia imerahisisha masomo ya wanafunzi kwasababu ya uzinduzi wa vifaa kama vile kikokotoo ambayo imemwezesha mwanafunzi kukomboa wakati wa mtihani wa hisabati kwani kikokotio humwezesha mwanafunzi kufanya hisabati haraka
Uzinduzi wa mtandao umemwezesha mwalimu kufanya utafiti zaidi kuhusu masomo anayofundisha wanafunzi na kuwawezesha wanafunzi kuelewa masomo hayo kwa kina. Mtandao pia imewawezesha walimu kuwasiliana na walimu wengi ilikuzungumzia njia mbali mbali za kuimarisha matokeo ya wanafunzi wao.
Technolojia pia imemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi katika ukumbi kwa kutumia kipaza sauti. Hii humwezesha kuepuka shida za koo kwa sababu ya kuongea kwa nguvu. Pia uzinduzi wa projekta umemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia picha inayotoka kwenye projekta.
Kando na kuwa na faida teknolojia ina madhara yake. Kwanza, wanafunzi wanapotumia mtandao kufanya utafiti, hao huweeza kuangalia video chafu zinazoweza kudororesha maadili yao. Wanafunzi wanaweza kuigiza mambo yanayoendelea katika video hizo. Hii ndio chanzo cha mimba za mapema kwa wanafunzi wa sekondari.
Matumizi ya kikokotoo kwa wanafunzi pia inaweza kuwadhuru kwani mwanafunzi anaweza kuzembea kufikiria kwani mazoea ya kutumia kikokotooinamfanya asahau kujumlisha, kuondoa, kugawanya au kuzidisha hesabu rahisi. Mwanafunzi anasahau kufanya hesabu ndogo ndogo. | Kifaa kipi kimesababisha wanafunzi kusoma kwa masaa mengi? | {
"text": [
"Balbu"
]
} |
3075_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maana ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda au njia za mawasiliano. Teknolojia imerahisisha mawasiliano baina ya wale wanaoishi maeneo mbalimbali na pia imesababisha maisha ya binadamu yawe ya rahisi bila tatizo la usalama na kuongeza kipato cha mwanadamu.
Katika shule ya upili, uzinduzi wa balbu imemwezesha mwanafunzi kusoma kwa masaa mengi kulingana na wakati ambao haikuwepo. Mwangaza unaotolewa na balbu hizi pia humpa mwanafunzi usalama kwani si rahisi mwanafunzi kuvamiwa na watu wabaya. Taa hizi za balbu pic haziharibu macho ya mwanafunzi kama taa za chumni zinazotoa mwangaza kidogo ambao unaweza kumwaribu macho mwanafunzi.
Uzinduzi wa tarakilishi umemwezesha mwalimu kuhifadhi matokeo ya wanafunzi na kuokoa nafasi ambayo ingekuwa imechukuliwa na faili. Tarakilishi pia humwezesha mwanafunzi kufanya utafiti kuhusu somo fulani. Hii huweza kufungua fikra za mwanafunzi aweze kufikiria
zaidi ya kile anachofunzwa na mwalimu darasani.
Teknolojia pia imerahisisha masomo ya wanafunzi kwasababu ya uzinduzi wa vifaa kama vile kikokotoo ambayo imemwezesha mwanafunzi kukomboa wakati wa mtihani wa hisabati kwani kikokotio humwezesha mwanafunzi kufanya hisabati haraka
Uzinduzi wa mtandao umemwezesha mwalimu kufanya utafiti zaidi kuhusu masomo anayofundisha wanafunzi na kuwawezesha wanafunzi kuelewa masomo hayo kwa kina. Mtandao pia imewawezesha walimu kuwasiliana na walimu wengi ilikuzungumzia njia mbali mbali za kuimarisha matokeo ya wanafunzi wao.
Technolojia pia imemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi katika ukumbi kwa kutumia kipaza sauti. Hii humwezesha kuepuka shida za koo kwa sababu ya kuongea kwa nguvu. Pia uzinduzi wa projekta umemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia picha inayotoka kwenye projekta.
Kando na kuwa na faida teknolojia ina madhara yake. Kwanza, wanafunzi wanapotumia mtandao kufanya utafiti, hao huweeza kuangalia video chafu zinazoweza kudororesha maadili yao. Wanafunzi wanaweza kuigiza mambo yanayoendelea katika video hizo. Hii ndio chanzo cha mimba za mapema kwa wanafunzi wa sekondari.
Matumizi ya kikokotoo kwa wanafunzi pia inaweza kuwadhuru kwani mwanafunzi anaweza kuzembea kufikiria kwani mazoea ya kutumia kikokotooinamfanya asahau kujumlisha, kuondoa, kugawanya au kuzidisha hesabu rahisi. Mwanafunzi anasahau kufanya hesabu ndogo ndogo. | Uzinduzi wa tarakilishi imewezesha walimu kuhifandhi nini? | {
"text": [
"Matokeo za mitihani"
]
} |
3075_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maana ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda au njia za mawasiliano. Teknolojia imerahisisha mawasiliano baina ya wale wanaoishi maeneo mbalimbali na pia imesababisha maisha ya binadamu yawe ya rahisi bila tatizo la usalama na kuongeza kipato cha mwanadamu.
Katika shule ya upili, uzinduzi wa balbu imemwezesha mwanafunzi kusoma kwa masaa mengi kulingana na wakati ambao haikuwepo. Mwangaza unaotolewa na balbu hizi pia humpa mwanafunzi usalama kwani si rahisi mwanafunzi kuvamiwa na watu wabaya. Taa hizi za balbu pic haziharibu macho ya mwanafunzi kama taa za chumni zinazotoa mwangaza kidogo ambao unaweza kumwaribu macho mwanafunzi.
Uzinduzi wa tarakilishi umemwezesha mwalimu kuhifadhi matokeo ya wanafunzi na kuokoa nafasi ambayo ingekuwa imechukuliwa na faili. Tarakilishi pia humwezesha mwanafunzi kufanya utafiti kuhusu somo fulani. Hii huweza kufungua fikra za mwanafunzi aweze kufikiria
zaidi ya kile anachofunzwa na mwalimu darasani.
Teknolojia pia imerahisisha masomo ya wanafunzi kwasababu ya uzinduzi wa vifaa kama vile kikokotoo ambayo imemwezesha mwanafunzi kukomboa wakati wa mtihani wa hisabati kwani kikokotio humwezesha mwanafunzi kufanya hisabati haraka
Uzinduzi wa mtandao umemwezesha mwalimu kufanya utafiti zaidi kuhusu masomo anayofundisha wanafunzi na kuwawezesha wanafunzi kuelewa masomo hayo kwa kina. Mtandao pia imewawezesha walimu kuwasiliana na walimu wengi ilikuzungumzia njia mbali mbali za kuimarisha matokeo ya wanafunzi wao.
Technolojia pia imemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi katika ukumbi kwa kutumia kipaza sauti. Hii humwezesha kuepuka shida za koo kwa sababu ya kuongea kwa nguvu. Pia uzinduzi wa projekta umemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia picha inayotoka kwenye projekta.
Kando na kuwa na faida teknolojia ina madhara yake. Kwanza, wanafunzi wanapotumia mtandao kufanya utafiti, hao huweeza kuangalia video chafu zinazoweza kudororesha maadili yao. Wanafunzi wanaweza kuigiza mambo yanayoendelea katika video hizo. Hii ndio chanzo cha mimba za mapema kwa wanafunzi wa sekondari.
Matumizi ya kikokotoo kwa wanafunzi pia inaweza kuwadhuru kwani mwanafunzi anaweza kuzembea kufikiria kwani mazoea ya kutumia kikokotooinamfanya asahau kujumlisha, kuondoa, kugawanya au kuzidisha hesabu rahisi. Mwanafunzi anasahau kufanya hesabu ndogo ndogo. | Kifaa kipi kinaweza fanya wanafunzi kuzembea katika somo la hisabati? | {
"text": [
"Kikokotoo"
]
} |
3075_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maana ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda au njia za mawasiliano. Teknolojia imerahisisha mawasiliano baina ya wale wanaoishi maeneo mbalimbali na pia imesababisha maisha ya binadamu yawe ya rahisi bila tatizo la usalama na kuongeza kipato cha mwanadamu.
Katika shule ya upili, uzinduzi wa balbu imemwezesha mwanafunzi kusoma kwa masaa mengi kulingana na wakati ambao haikuwepo. Mwangaza unaotolewa na balbu hizi pia humpa mwanafunzi usalama kwani si rahisi mwanafunzi kuvamiwa na watu wabaya. Taa hizi za balbu pic haziharibu macho ya mwanafunzi kama taa za chumni zinazotoa mwangaza kidogo ambao unaweza kumwaribu macho mwanafunzi.
Uzinduzi wa tarakilishi umemwezesha mwalimu kuhifadhi matokeo ya wanafunzi na kuokoa nafasi ambayo ingekuwa imechukuliwa na faili. Tarakilishi pia humwezesha mwanafunzi kufanya utafiti kuhusu somo fulani. Hii huweza kufungua fikra za mwanafunzi aweze kufikiria
zaidi ya kile anachofunzwa na mwalimu darasani.
Teknolojia pia imerahisisha masomo ya wanafunzi kwasababu ya uzinduzi wa vifaa kama vile kikokotoo ambayo imemwezesha mwanafunzi kukomboa wakati wa mtihani wa hisabati kwani kikokotio humwezesha mwanafunzi kufanya hisabati haraka
Uzinduzi wa mtandao umemwezesha mwalimu kufanya utafiti zaidi kuhusu masomo anayofundisha wanafunzi na kuwawezesha wanafunzi kuelewa masomo hayo kwa kina. Mtandao pia imewawezesha walimu kuwasiliana na walimu wengi ilikuzungumzia njia mbali mbali za kuimarisha matokeo ya wanafunzi wao.
Technolojia pia imemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi katika ukumbi kwa kutumia kipaza sauti. Hii humwezesha kuepuka shida za koo kwa sababu ya kuongea kwa nguvu. Pia uzinduzi wa projekta umemwezesha mwalimu kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia picha inayotoka kwenye projekta.
Kando na kuwa na faida teknolojia ina madhara yake. Kwanza, wanafunzi wanapotumia mtandao kufanya utafiti, hao huweeza kuangalia video chafu zinazoweza kudororesha maadili yao. Wanafunzi wanaweza kuigiza mambo yanayoendelea katika video hizo. Hii ndio chanzo cha mimba za mapema kwa wanafunzi wa sekondari.
Matumizi ya kikokotoo kwa wanafunzi pia inaweza kuwadhuru kwani mwanafunzi anaweza kuzembea kufikiria kwani mazoea ya kutumia kikokotooinamfanya asahau kujumlisha, kuondoa, kugawanya au kuzidisha hesabu rahisi. Mwanafunzi anasahau kufanya hesabu ndogo ndogo. | Taa za balbu zinamanufaa gani ya kiafya kwa wanafunzi shuleni? | {
"text": [
"Haziwaharibu macho wanaposoma"
]
} |
3076_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia inatumika katika nyanja tofauti ikiwemo masomoni. Waja wengi mno wamefaidika kutokana na uvumbuzi huu wa kisayansi kwani njia za kufanya mambo zimerahisishwa. Mojawapo ya wanaoifaidi huu mradi wa teknolojia ni shule za sekondari. Teknolojia imeweza kuathiri shule za sekondari. kwa njia chenya na hasi.
Kwanza, katika shule za sekondari walimu wameipa teknolojia kipaumbele kwani kupitia mashine tofauti zikiwemo kompyuta, vifaa vya kuchapicha mitihani zimefanya kazi yao kuwa nyepesi mno. Kupitia matumizi ya kompyuta shuleni, walimu, sekretari, mweka hazina wamepata kazi rahisi kwani baadhi ya nakala muhimu huhifadhiwa kwa kompyuta. Nakala hizo hupatikana kwa urahisi.
Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa kwa wale wanaotumia kompyuta kwa muda mrefu. Ule mwangaza unaotoka kwa ile kompyuta huwa ni mwingi na unaweza kuharibu macho ya mtu Ndio maana watu wengi wanaishia kuvaa miwani kwa umri wao mdogo. Hata walimu wengine wanapotomia kompyuta huisogelea au kusogea nyuma kwa sababu ya uvuguvugu wa macho anaohisi. Mwishowe huishia kuvaa miwani au wengine huishia kuwa vipofu kulingana na muda ule mwangaza umemdhuru.
Wanafunzi katika shule za sekondari wamefaidika vilevile kupitia kufanya masomo ya kompyuta. Wameweza kujifunza jinsi ya kuitumia na kurahisisha masomo yao. Wanapotaka kufanya utafiti, moja kwa moja hutumia kompyuta na kupata maelezo mwafaka kutokana na utafiti wao. Pia wanapotaka kufanya kongamano la kisayansi hutumia kompyuta kutafiti mradi wao na kuhakikisha wamepata maelezo kamili.
Waama, lilo zuri halikosi kasoro. Hivi vifaa vinavyotumika shuleni vingi vinatumia umeme. Matumizi ya umeme mara nyingi huwa ni hatari kwani unaweza kusababisha mkasa wa moto. Moto unapotokea unaweza huwaua au kuwachoma wanafunzi au walimu na kuwaacha na makovu. Kila kifaa kinachotumia umeme kinahitaji umakini pindi mtu anapotumia.
Pia matumizi ya projekta yamesaidia sana katika sekta ya masomo kwani somo linalohitaji mifano ya kutazamwa haina budi kutumika. Walimu hutolea mifano kutumia projekta ili kuwafanya wanafunzi kuelewa zaidi. Vilevile, projekta inaweza kusababisha shida ya macho kwa sababu ya mwangaza inayotoa. Mwangaza huu hung’aa sana hatimaye husababisha mwanafunzi au mwalimu kuwa na shida ya macho.
Utumizi wa vikokotoo shuleni ni mojawapo ya manufaa wanayopata wanafunzi. Kikotoo hutumika kwa somo la hisabati ambapo hufanya kazi kwa kasi na hapo basi muda unaotumiwa ni mchache. Hata hivyo, matumizi ya vikokotoo husitisha kufikiria zaidi kwa mwanafunzi anapofanya hesabu. Mwanafunzi bila kikotoo huwa ngumu kufanya hesabu kwa haraka na hapo wanafunzi wengi huishia kuanguka hesabu. | Teknolojia imetumika wapi kando na masomoni | {
"text": [
"Kilimo, viwandani na ufundi"
]
} |
3076_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia inatumika katika nyanja tofauti ikiwemo masomoni. Waja wengi mno wamefaidika kutokana na uvumbuzi huu wa kisayansi kwani njia za kufanya mambo zimerahisishwa. Mojawapo ya wanaoifaidi huu mradi wa teknolojia ni shule za sekondari. Teknolojia imeweza kuathiri shule za sekondari. kwa njia chenya na hasi.
Kwanza, katika shule za sekondari walimu wameipa teknolojia kipaumbele kwani kupitia mashine tofauti zikiwemo kompyuta, vifaa vya kuchapicha mitihani zimefanya kazi yao kuwa nyepesi mno. Kupitia matumizi ya kompyuta shuleni, walimu, sekretari, mweka hazina wamepata kazi rahisi kwani baadhi ya nakala muhimu huhifadhiwa kwa kompyuta. Nakala hizo hupatikana kwa urahisi.
Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa kwa wale wanaotumia kompyuta kwa muda mrefu. Ule mwangaza unaotoka kwa ile kompyuta huwa ni mwingi na unaweza kuharibu macho ya mtu Ndio maana watu wengi wanaishia kuvaa miwani kwa umri wao mdogo. Hata walimu wengine wanapotomia kompyuta huisogelea au kusogea nyuma kwa sababu ya uvuguvugu wa macho anaohisi. Mwishowe huishia kuvaa miwani au wengine huishia kuwa vipofu kulingana na muda ule mwangaza umemdhuru.
Wanafunzi katika shule za sekondari wamefaidika vilevile kupitia kufanya masomo ya kompyuta. Wameweza kujifunza jinsi ya kuitumia na kurahisisha masomo yao. Wanapotaka kufanya utafiti, moja kwa moja hutumia kompyuta na kupata maelezo mwafaka kutokana na utafiti wao. Pia wanapotaka kufanya kongamano la kisayansi hutumia kompyuta kutafiti mradi wao na kuhakikisha wamepata maelezo kamili.
Waama, lilo zuri halikosi kasoro. Hivi vifaa vinavyotumika shuleni vingi vinatumia umeme. Matumizi ya umeme mara nyingi huwa ni hatari kwani unaweza kusababisha mkasa wa moto. Moto unapotokea unaweza huwaua au kuwachoma wanafunzi au walimu na kuwaacha na makovu. Kila kifaa kinachotumia umeme kinahitaji umakini pindi mtu anapotumia.
Pia matumizi ya projekta yamesaidia sana katika sekta ya masomo kwani somo linalohitaji mifano ya kutazamwa haina budi kutumika. Walimu hutolea mifano kutumia projekta ili kuwafanya wanafunzi kuelewa zaidi. Vilevile, projekta inaweza kusababisha shida ya macho kwa sababu ya mwangaza inayotoa. Mwangaza huu hung’aa sana hatimaye husababisha mwanafunzi au mwalimu kuwa na shida ya macho.
Utumizi wa vikokotoo shuleni ni mojawapo ya manufaa wanayopata wanafunzi. Kikotoo hutumika kwa somo la hisabati ambapo hufanya kazi kwa kasi na hapo basi muda unaotumiwa ni mchache. Hata hivyo, matumizi ya vikokotoo husitisha kufikiria zaidi kwa mwanafunzi anapofanya hesabu. Mwanafunzi bila kikotoo huwa ngumu kufanya hesabu kwa haraka na hapo wanafunzi wengi huishia kuanguka hesabu. | Ni shule ipi imefaidika sana kutokana na teknolojia | {
"text": [
"Shule ya upili"
]
} |
3076_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia inatumika katika nyanja tofauti ikiwemo masomoni. Waja wengi mno wamefaidika kutokana na uvumbuzi huu wa kisayansi kwani njia za kufanya mambo zimerahisishwa. Mojawapo ya wanaoifaidi huu mradi wa teknolojia ni shule za sekondari. Teknolojia imeweza kuathiri shule za sekondari. kwa njia chenya na hasi.
Kwanza, katika shule za sekondari walimu wameipa teknolojia kipaumbele kwani kupitia mashine tofauti zikiwemo kompyuta, vifaa vya kuchapicha mitihani zimefanya kazi yao kuwa nyepesi mno. Kupitia matumizi ya kompyuta shuleni, walimu, sekretari, mweka hazina wamepata kazi rahisi kwani baadhi ya nakala muhimu huhifadhiwa kwa kompyuta. Nakala hizo hupatikana kwa urahisi.
Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa kwa wale wanaotumia kompyuta kwa muda mrefu. Ule mwangaza unaotoka kwa ile kompyuta huwa ni mwingi na unaweza kuharibu macho ya mtu Ndio maana watu wengi wanaishia kuvaa miwani kwa umri wao mdogo. Hata walimu wengine wanapotomia kompyuta huisogelea au kusogea nyuma kwa sababu ya uvuguvugu wa macho anaohisi. Mwishowe huishia kuvaa miwani au wengine huishia kuwa vipofu kulingana na muda ule mwangaza umemdhuru.
Wanafunzi katika shule za sekondari wamefaidika vilevile kupitia kufanya masomo ya kompyuta. Wameweza kujifunza jinsi ya kuitumia na kurahisisha masomo yao. Wanapotaka kufanya utafiti, moja kwa moja hutumia kompyuta na kupata maelezo mwafaka kutokana na utafiti wao. Pia wanapotaka kufanya kongamano la kisayansi hutumia kompyuta kutafiti mradi wao na kuhakikisha wamepata maelezo kamili.
Waama, lilo zuri halikosi kasoro. Hivi vifaa vinavyotumika shuleni vingi vinatumia umeme. Matumizi ya umeme mara nyingi huwa ni hatari kwani unaweza kusababisha mkasa wa moto. Moto unapotokea unaweza huwaua au kuwachoma wanafunzi au walimu na kuwaacha na makovu. Kila kifaa kinachotumia umeme kinahitaji umakini pindi mtu anapotumia.
Pia matumizi ya projekta yamesaidia sana katika sekta ya masomo kwani somo linalohitaji mifano ya kutazamwa haina budi kutumika. Walimu hutolea mifano kutumia projekta ili kuwafanya wanafunzi kuelewa zaidi. Vilevile, projekta inaweza kusababisha shida ya macho kwa sababu ya mwangaza inayotoa. Mwangaza huu hung’aa sana hatimaye husababisha mwanafunzi au mwalimu kuwa na shida ya macho.
Utumizi wa vikokotoo shuleni ni mojawapo ya manufaa wanayopata wanafunzi. Kikotoo hutumika kwa somo la hisabati ambapo hufanya kazi kwa kasi na hapo basi muda unaotumiwa ni mchache. Hata hivyo, matumizi ya vikokotoo husitisha kufikiria zaidi kwa mwanafunzi anapofanya hesabu. Mwanafunzi bila kikotoo huwa ngumu kufanya hesabu kwa haraka na hapo wanafunzi wengi huishia kuanguka hesabu. | Teknolojia imeathiri kwa njia zipi mbili shule za upili | {
"text": [
"Chanya na hasi"
]
} |
3076_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia inatumika katika nyanja tofauti ikiwemo masomoni. Waja wengi mno wamefaidika kutokana na uvumbuzi huu wa kisayansi kwani njia za kufanya mambo zimerahisishwa. Mojawapo ya wanaoifaidi huu mradi wa teknolojia ni shule za sekondari. Teknolojia imeweza kuathiri shule za sekondari. kwa njia chenya na hasi.
Kwanza, katika shule za sekondari walimu wameipa teknolojia kipaumbele kwani kupitia mashine tofauti zikiwemo kompyuta, vifaa vya kuchapicha mitihani zimefanya kazi yao kuwa nyepesi mno. Kupitia matumizi ya kompyuta shuleni, walimu, sekretari, mweka hazina wamepata kazi rahisi kwani baadhi ya nakala muhimu huhifadhiwa kwa kompyuta. Nakala hizo hupatikana kwa urahisi.
Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa kwa wale wanaotumia kompyuta kwa muda mrefu. Ule mwangaza unaotoka kwa ile kompyuta huwa ni mwingi na unaweza kuharibu macho ya mtu Ndio maana watu wengi wanaishia kuvaa miwani kwa umri wao mdogo. Hata walimu wengine wanapotomia kompyuta huisogelea au kusogea nyuma kwa sababu ya uvuguvugu wa macho anaohisi. Mwishowe huishia kuvaa miwani au wengine huishia kuwa vipofu kulingana na muda ule mwangaza umemdhuru.
Wanafunzi katika shule za sekondari wamefaidika vilevile kupitia kufanya masomo ya kompyuta. Wameweza kujifunza jinsi ya kuitumia na kurahisisha masomo yao. Wanapotaka kufanya utafiti, moja kwa moja hutumia kompyuta na kupata maelezo mwafaka kutokana na utafiti wao. Pia wanapotaka kufanya kongamano la kisayansi hutumia kompyuta kutafiti mradi wao na kuhakikisha wamepata maelezo kamili.
Waama, lilo zuri halikosi kasoro. Hivi vifaa vinavyotumika shuleni vingi vinatumia umeme. Matumizi ya umeme mara nyingi huwa ni hatari kwani unaweza kusababisha mkasa wa moto. Moto unapotokea unaweza huwaua au kuwachoma wanafunzi au walimu na kuwaacha na makovu. Kila kifaa kinachotumia umeme kinahitaji umakini pindi mtu anapotumia.
Pia matumizi ya projekta yamesaidia sana katika sekta ya masomo kwani somo linalohitaji mifano ya kutazamwa haina budi kutumika. Walimu hutolea mifano kutumia projekta ili kuwafanya wanafunzi kuelewa zaidi. Vilevile, projekta inaweza kusababisha shida ya macho kwa sababu ya mwangaza inayotoa. Mwangaza huu hung’aa sana hatimaye husababisha mwanafunzi au mwalimu kuwa na shida ya macho.
Utumizi wa vikokotoo shuleni ni mojawapo ya manufaa wanayopata wanafunzi. Kikotoo hutumika kwa somo la hisabati ambapo hufanya kazi kwa kasi na hapo basi muda unaotumiwa ni mchache. Hata hivyo, matumizi ya vikokotoo husitisha kufikiria zaidi kwa mwanafunzi anapofanya hesabu. Mwanafunzi bila kikotoo huwa ngumu kufanya hesabu kwa haraka na hapo wanafunzi wengi huishia kuanguka hesabu. | Teknolojia imerahihisha nini kupitia kompyuta | {
"text": [
"Utafiti na mafunzo mbalimbali"
]
} |
3076_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia inatumika katika nyanja tofauti ikiwemo masomoni. Waja wengi mno wamefaidika kutokana na uvumbuzi huu wa kisayansi kwani njia za kufanya mambo zimerahisishwa. Mojawapo ya wanaoifaidi huu mradi wa teknolojia ni shule za sekondari. Teknolojia imeweza kuathiri shule za sekondari. kwa njia chenya na hasi.
Kwanza, katika shule za sekondari walimu wameipa teknolojia kipaumbele kwani kupitia mashine tofauti zikiwemo kompyuta, vifaa vya kuchapicha mitihani zimefanya kazi yao kuwa nyepesi mno. Kupitia matumizi ya kompyuta shuleni, walimu, sekretari, mweka hazina wamepata kazi rahisi kwani baadhi ya nakala muhimu huhifadhiwa kwa kompyuta. Nakala hizo hupatikana kwa urahisi.
Vile vile teknolojia imeleta madhara hasa kwa wale wanaotumia kompyuta kwa muda mrefu. Ule mwangaza unaotoka kwa ile kompyuta huwa ni mwingi na unaweza kuharibu macho ya mtu Ndio maana watu wengi wanaishia kuvaa miwani kwa umri wao mdogo. Hata walimu wengine wanapotomia kompyuta huisogelea au kusogea nyuma kwa sababu ya uvuguvugu wa macho anaohisi. Mwishowe huishia kuvaa miwani au wengine huishia kuwa vipofu kulingana na muda ule mwangaza umemdhuru.
Wanafunzi katika shule za sekondari wamefaidika vilevile kupitia kufanya masomo ya kompyuta. Wameweza kujifunza jinsi ya kuitumia na kurahisisha masomo yao. Wanapotaka kufanya utafiti, moja kwa moja hutumia kompyuta na kupata maelezo mwafaka kutokana na utafiti wao. Pia wanapotaka kufanya kongamano la kisayansi hutumia kompyuta kutafiti mradi wao na kuhakikisha wamepata maelezo kamili.
Waama, lilo zuri halikosi kasoro. Hivi vifaa vinavyotumika shuleni vingi vinatumia umeme. Matumizi ya umeme mara nyingi huwa ni hatari kwani unaweza kusababisha mkasa wa moto. Moto unapotokea unaweza huwaua au kuwachoma wanafunzi au walimu na kuwaacha na makovu. Kila kifaa kinachotumia umeme kinahitaji umakini pindi mtu anapotumia.
Pia matumizi ya projekta yamesaidia sana katika sekta ya masomo kwani somo linalohitaji mifano ya kutazamwa haina budi kutumika. Walimu hutolea mifano kutumia projekta ili kuwafanya wanafunzi kuelewa zaidi. Vilevile, projekta inaweza kusababisha shida ya macho kwa sababu ya mwangaza inayotoa. Mwangaza huu hung’aa sana hatimaye husababisha mwanafunzi au mwalimu kuwa na shida ya macho.
Utumizi wa vikokotoo shuleni ni mojawapo ya manufaa wanayopata wanafunzi. Kikotoo hutumika kwa somo la hisabati ambapo hufanya kazi kwa kasi na hapo basi muda unaotumiwa ni mchache. Hata hivyo, matumizi ya vikokotoo husitisha kufikiria zaidi kwa mwanafunzi anapofanya hesabu. Mwanafunzi bila kikotoo huwa ngumu kufanya hesabu kwa haraka na hapo wanafunzi wengi huishia kuanguka hesabu. | Ni madhara gani yaliletwa na projekta | {
"text": [
"Shida ya macho kwa sababu ya mwangaza mwingi"
]
} |
3077_swa | FAIDA NA MADHARA NYA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule ya upili inasaidia sana kwa sababu imerahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu imewawezesha wanafunzi kudurusu wakati wowote wanapohisi kila wakati wamefunga shule. Wakati huu baadhi ya wanafunzi ursaidia sana katika masomo yao kwa kuwa wanapewa nafasi ya kuuliza maswali magumu wanayokumbana nayo.
Wanafunzi wameweza kusaidiwa sana kwa sababu mbinu nzuri za usafiri na za haraka zimeteuliwa ambazo zinawasaidia kufika shule wakati unaotakikana kwa sababu jadi waliweza kutembea kwa miguu kisha kufika shule kuchelewa na pia kuchoka na kurudi nyuma katika masomo yao.
Walimu pia wameweza kupata njia rahisi ya kufanya wanafunzi waelewe kwa sababu wanapo fundisha maswala fulan, uweza kuwaonyesha wanafunzi kwenye mitandao yao ili waweze kuelewa zaidi kisha kufanya vizuri katika mitihani yao.
Wanafunzi wamewezeshwa pia kujua jinsi ya kutumia mitandao kama vile tarakilishi kwa sababu kuna masomo ambayo yameteuliwa ya kufunza wanafunzi kuhusu tarakilishi kisha wanafunzi kuelewa na kusaidia wazazi wao kuhifadhi pesa ambazo wangepeleka katika vyuo wanapomaliza kidato cha nne kufunzwa kutumia tarakilishi.kwa kuwa wana ujuzi wa kutumia.
Wazazi pia wamesaidika sana pamoja na wanafunzi wao kwa sababu ya mitambo. Wakati wanafunzi wanapofungua shule huwa wanahitajika kulipa karo zao. Wakati mwingine wazazi huwa wameshikika na shughuli zao za maisha kisha kusababisha kukosa wakati wa kwenda benki kulipa karo. Wakati huu wazazi wanaweza kulipa karo kupitia kwa simu kisha kuwawezesha wanafunzi wao kuruhusiwa shuleni.
Wanafunzi pia wanasaidika kwa sababu wakati mwingine huweza kukumbwa na changamoto kama vile ugonjwa kisha kuwapigia wazazi wao simu wanapozidiwa na kufuatwa ili wapelekwe hospitalini. | Teknolojia imewawezesha wanafunzi kudurusu wakati gani | {
"text": [
"wowote"
]
} |
3077_swa | FAIDA NA MADHARA NYA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule ya upili inasaidia sana kwa sababu imerahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu imewawezesha wanafunzi kudurusu wakati wowote wanapohisi kila wakati wamefunga shule. Wakati huu baadhi ya wanafunzi ursaidia sana katika masomo yao kwa kuwa wanapewa nafasi ya kuuliza maswali magumu wanayokumbana nayo.
Wanafunzi wameweza kusaidiwa sana kwa sababu mbinu nzuri za usafiri na za haraka zimeteuliwa ambazo zinawasaidia kufika shule wakati unaotakikana kwa sababu jadi waliweza kutembea kwa miguu kisha kufika shule kuchelewa na pia kuchoka na kurudi nyuma katika masomo yao.
Walimu pia wameweza kupata njia rahisi ya kufanya wanafunzi waelewe kwa sababu wanapo fundisha maswala fulan, uweza kuwaonyesha wanafunzi kwenye mitandao yao ili waweze kuelewa zaidi kisha kufanya vizuri katika mitihani yao.
Wanafunzi wamewezeshwa pia kujua jinsi ya kutumia mitandao kama vile tarakilishi kwa sababu kuna masomo ambayo yameteuliwa ya kufunza wanafunzi kuhusu tarakilishi kisha wanafunzi kuelewa na kusaidia wazazi wao kuhifadhi pesa ambazo wangepeleka katika vyuo wanapomaliza kidato cha nne kufunzwa kutumia tarakilishi.kwa kuwa wana ujuzi wa kutumia.
Wazazi pia wamesaidika sana pamoja na wanafunzi wao kwa sababu ya mitambo. Wakati wanafunzi wanapofungua shule huwa wanahitajika kulipa karo zao. Wakati mwingine wazazi huwa wameshikika na shughuli zao za maisha kisha kusababisha kukosa wakati wa kwenda benki kulipa karo. Wakati huu wazazi wanaweza kulipa karo kupitia kwa simu kisha kuwawezesha wanafunzi wao kuruhusiwa shuleni.
Wanafunzi pia wanasaidika kwa sababu wakati mwingine huweza kukumbwa na changamoto kama vile ugonjwa kisha kuwapigia wazazi wao simu wanapozidiwa na kufuatwa ili wapelekwe hospitalini. | Mbinu gani husaidia wanafunzi kufika shuleni kwa wakati | {
"text": [
"za usafiri"
]
} |
3077_swa | FAIDA NA MADHARA NYA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule ya upili inasaidia sana kwa sababu imerahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu imewawezesha wanafunzi kudurusu wakati wowote wanapohisi kila wakati wamefunga shule. Wakati huu baadhi ya wanafunzi ursaidia sana katika masomo yao kwa kuwa wanapewa nafasi ya kuuliza maswali magumu wanayokumbana nayo.
Wanafunzi wameweza kusaidiwa sana kwa sababu mbinu nzuri za usafiri na za haraka zimeteuliwa ambazo zinawasaidia kufika shule wakati unaotakikana kwa sababu jadi waliweza kutembea kwa miguu kisha kufika shule kuchelewa na pia kuchoka na kurudi nyuma katika masomo yao.
Walimu pia wameweza kupata njia rahisi ya kufanya wanafunzi waelewe kwa sababu wanapo fundisha maswala fulan, uweza kuwaonyesha wanafunzi kwenye mitandao yao ili waweze kuelewa zaidi kisha kufanya vizuri katika mitihani yao.
Wanafunzi wamewezeshwa pia kujua jinsi ya kutumia mitandao kama vile tarakilishi kwa sababu kuna masomo ambayo yameteuliwa ya kufunza wanafunzi kuhusu tarakilishi kisha wanafunzi kuelewa na kusaidia wazazi wao kuhifadhi pesa ambazo wangepeleka katika vyuo wanapomaliza kidato cha nne kufunzwa kutumia tarakilishi.kwa kuwa wana ujuzi wa kutumia.
Wazazi pia wamesaidika sana pamoja na wanafunzi wao kwa sababu ya mitambo. Wakati wanafunzi wanapofungua shule huwa wanahitajika kulipa karo zao. Wakati mwingine wazazi huwa wameshikika na shughuli zao za maisha kisha kusababisha kukosa wakati wa kwenda benki kulipa karo. Wakati huu wazazi wanaweza kulipa karo kupitia kwa simu kisha kuwawezesha wanafunzi wao kuruhusiwa shuleni.
Wanafunzi pia wanasaidika kwa sababu wakati mwingine huweza kukumbwa na changamoto kama vile ugonjwa kisha kuwapigia wazazi wao simu wanapozidiwa na kufuatwa ili wapelekwe hospitalini. | Lini wanafunzi walitembea kwa miguu | {
"text": [
"jadi"
]
} |
3077_swa | FAIDA NA MADHARA NYA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule ya upili inasaidia sana kwa sababu imerahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu imewawezesha wanafunzi kudurusu wakati wowote wanapohisi kila wakati wamefunga shule. Wakati huu baadhi ya wanafunzi ursaidia sana katika masomo yao kwa kuwa wanapewa nafasi ya kuuliza maswali magumu wanayokumbana nayo.
Wanafunzi wameweza kusaidiwa sana kwa sababu mbinu nzuri za usafiri na za haraka zimeteuliwa ambazo zinawasaidia kufika shule wakati unaotakikana kwa sababu jadi waliweza kutembea kwa miguu kisha kufika shule kuchelewa na pia kuchoka na kurudi nyuma katika masomo yao.
Walimu pia wameweza kupata njia rahisi ya kufanya wanafunzi waelewe kwa sababu wanapo fundisha maswala fulan, uweza kuwaonyesha wanafunzi kwenye mitandao yao ili waweze kuelewa zaidi kisha kufanya vizuri katika mitihani yao.
Wanafunzi wamewezeshwa pia kujua jinsi ya kutumia mitandao kama vile tarakilishi kwa sababu kuna masomo ambayo yameteuliwa ya kufunza wanafunzi kuhusu tarakilishi kisha wanafunzi kuelewa na kusaidia wazazi wao kuhifadhi pesa ambazo wangepeleka katika vyuo wanapomaliza kidato cha nne kufunzwa kutumia tarakilishi.kwa kuwa wana ujuzi wa kutumia.
Wazazi pia wamesaidika sana pamoja na wanafunzi wao kwa sababu ya mitambo. Wakati wanafunzi wanapofungua shule huwa wanahitajika kulipa karo zao. Wakati mwingine wazazi huwa wameshikika na shughuli zao za maisha kisha kusababisha kukosa wakati wa kwenda benki kulipa karo. Wakati huu wazazi wanaweza kulipa karo kupitia kwa simu kisha kuwawezesha wanafunzi wao kuruhusiwa shuleni.
Wanafunzi pia wanasaidika kwa sababu wakati mwingine huweza kukumbwa na changamoto kama vile ugonjwa kisha kuwapigia wazazi wao simu wanapozidiwa na kufuatwa ili wapelekwe hospitalini. | Wanafunzi wanapoelewa zaidi hufanya nini vizuri | {
"text": [
"mitihani"
]
} |
3077_swa | FAIDA NA MADHARA NYA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia katika shule ya upili inasaidia sana kwa sababu imerahisisha masomo kwa wanafunzi kwa sababu imewawezesha wanafunzi kudurusu wakati wowote wanapohisi kila wakati wamefunga shule. Wakati huu baadhi ya wanafunzi ursaidia sana katika masomo yao kwa kuwa wanapewa nafasi ya kuuliza maswali magumu wanayokumbana nayo.
Wanafunzi wameweza kusaidiwa sana kwa sababu mbinu nzuri za usafiri na za haraka zimeteuliwa ambazo zinawasaidia kufika shule wakati unaotakikana kwa sababu jadi waliweza kutembea kwa miguu kisha kufika shule kuchelewa na pia kuchoka na kurudi nyuma katika masomo yao.
Walimu pia wameweza kupata njia rahisi ya kufanya wanafunzi waelewe kwa sababu wanapo fundisha maswala fulan, uweza kuwaonyesha wanafunzi kwenye mitandao yao ili waweze kuelewa zaidi kisha kufanya vizuri katika mitihani yao.
Wanafunzi wamewezeshwa pia kujua jinsi ya kutumia mitandao kama vile tarakilishi kwa sababu kuna masomo ambayo yameteuliwa ya kufunza wanafunzi kuhusu tarakilishi kisha wanafunzi kuelewa na kusaidia wazazi wao kuhifadhi pesa ambazo wangepeleka katika vyuo wanapomaliza kidato cha nne kufunzwa kutumia tarakilishi.kwa kuwa wana ujuzi wa kutumia.
Wazazi pia wamesaidika sana pamoja na wanafunzi wao kwa sababu ya mitambo. Wakati wanafunzi wanapofungua shule huwa wanahitajika kulipa karo zao. Wakati mwingine wazazi huwa wameshikika na shughuli zao za maisha kisha kusababisha kukosa wakati wa kwenda benki kulipa karo. Wakati huu wazazi wanaweza kulipa karo kupitia kwa simu kisha kuwawezesha wanafunzi wao kuruhusiwa shuleni.
Wanafunzi pia wanasaidika kwa sababu wakati mwingine huweza kukumbwa na changamoto kama vile ugonjwa kisha kuwapigia wazazi wao simu wanapozidiwa na kufuatwa ili wapelekwe hospitalini. | Mbona walimu huonyesha wanafunzi maswala mitandaoni | {
"text": [
"ili waweze kuelewa zaidi"
]
} |
3078_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Punde tu wakoloni walipoingia nchini mambo yabadilika. walileta teknolojia viwandani, barabarani, shuleni na nyadhfa zingine zinazohitaji teknolojia. Baada ya hao kuondoka, tulipata kuimarisha kilicho anzishwa na wakoloni.
Mwanzo kabisa tarakilishi iliibuliwa kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma somo la kompyuta. Hili limewavutia wanafunzi wengi kwenda kwani baada ya masomo ya sekondari imekuwa rahisi kupata ajira kwa ofisi yoyote ile kama mhazili. Lingine nikuwa wanafunzi wanaweza kufanya utafiti wowote kuhusu masomo.
Printa ni mojawapo ya kifaa inayorahisisha kazi ya walimu ya kuchapisha mitihani. Hapo awali walimu walikuwa na jukumu la kuandika mitihani ya kila mwanafunzi. Printa siku hizi zinatumika kuchapisha maelezo ya walimu. Hili limewapunguzia majukumu ya kuandika vitabuni kisha kuwapa wanafunzi maelezo zilizochapishwa, jambo linalolainisha mtindo wa kusoma.
Somo la hisabati limefaidika kwani wanasayansi waliibua kifaa cha kufanyia hisabati yaani kikokotoo. Kifaa hiki kimeifanya somo la hisabati kuwa tamu na lakung’ang’aniwa na wanafunzi wengi. Kikokotoo kimefanya wanafunzi kutumia wakati mchache kutatua hisabati.
Hakuna njema lisilokosa kasoro, hata baada ya teknolojia kuletwa, wanafunzi wanaotumia tarakilishi kwa kutazama filamu chafu zinazofanya wawe na maadili mabaya.
Bila ya mwalimu kuwepo wanafunzi hupoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia katika elimu. Mashine ya printa imewafanya wanafunzi na walimu kuwa wavivu wa kuandika maelezo na kutegemea mashini hiyo.
Wafanya hisabati wamedekezwa sana kwani wamekosa wakati wa kufikiria katika ufanyaji wa maswali ya hisabati. Hii imechangiwa na matumizi ya kikokotoo. Vikokotoo vimewanyima wanafunzi fursa ya kufikiria na wakati wa kufanya hisabati.
Kwa kutamatisha, wanafunzi na walimu wakifanyia kazi nzuri teknolojia zilizoko shuleni, watapata mabadiliko mazuri maishani (walimu) na masomoni (wanafunzi).
| Kina nani walileta teknolojia nchini Kenya? | {
"text": [
"Wakoloni"
]
} |
3078_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Punde tu wakoloni walipoingia nchini mambo yabadilika. walileta teknolojia viwandani, barabarani, shuleni na nyadhfa zingine zinazohitaji teknolojia. Baada ya hao kuondoka, tulipata kuimarisha kilicho anzishwa na wakoloni.
Mwanzo kabisa tarakilishi iliibuliwa kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma somo la kompyuta. Hili limewavutia wanafunzi wengi kwenda kwani baada ya masomo ya sekondari imekuwa rahisi kupata ajira kwa ofisi yoyote ile kama mhazili. Lingine nikuwa wanafunzi wanaweza kufanya utafiti wowote kuhusu masomo.
Printa ni mojawapo ya kifaa inayorahisisha kazi ya walimu ya kuchapisha mitihani. Hapo awali walimu walikuwa na jukumu la kuandika mitihani ya kila mwanafunzi. Printa siku hizi zinatumika kuchapisha maelezo ya walimu. Hili limewapunguzia majukumu ya kuandika vitabuni kisha kuwapa wanafunzi maelezo zilizochapishwa, jambo linalolainisha mtindo wa kusoma.
Somo la hisabati limefaidika kwani wanasayansi waliibua kifaa cha kufanyia hisabati yaani kikokotoo. Kifaa hiki kimeifanya somo la hisabati kuwa tamu na lakung’ang’aniwa na wanafunzi wengi. Kikokotoo kimefanya wanafunzi kutumia wakati mchache kutatua hisabati.
Hakuna njema lisilokosa kasoro, hata baada ya teknolojia kuletwa, wanafunzi wanaotumia tarakilishi kwa kutazama filamu chafu zinazofanya wawe na maadili mabaya.
Bila ya mwalimu kuwepo wanafunzi hupoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia katika elimu. Mashine ya printa imewafanya wanafunzi na walimu kuwa wavivu wa kuandika maelezo na kutegemea mashini hiyo.
Wafanya hisabati wamedekezwa sana kwani wamekosa wakati wa kufikiria katika ufanyaji wa maswali ya hisabati. Hii imechangiwa na matumizi ya kikokotoo. Vikokotoo vimewanyima wanafunzi fursa ya kufikiria na wakati wa kufanya hisabati.
Kwa kutamatisha, wanafunzi na walimu wakifanyia kazi nzuri teknolojia zilizoko shuleni, watapata mabadiliko mazuri maishani (walimu) na masomoni (wanafunzi).
| Somo lipi limewavutia wanafunzi wengi katika shule za sekondari? | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
3078_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Punde tu wakoloni walipoingia nchini mambo yabadilika. walileta teknolojia viwandani, barabarani, shuleni na nyadhfa zingine zinazohitaji teknolojia. Baada ya hao kuondoka, tulipata kuimarisha kilicho anzishwa na wakoloni.
Mwanzo kabisa tarakilishi iliibuliwa kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma somo la kompyuta. Hili limewavutia wanafunzi wengi kwenda kwani baada ya masomo ya sekondari imekuwa rahisi kupata ajira kwa ofisi yoyote ile kama mhazili. Lingine nikuwa wanafunzi wanaweza kufanya utafiti wowote kuhusu masomo.
Printa ni mojawapo ya kifaa inayorahisisha kazi ya walimu ya kuchapisha mitihani. Hapo awali walimu walikuwa na jukumu la kuandika mitihani ya kila mwanafunzi. Printa siku hizi zinatumika kuchapisha maelezo ya walimu. Hili limewapunguzia majukumu ya kuandika vitabuni kisha kuwapa wanafunzi maelezo zilizochapishwa, jambo linalolainisha mtindo wa kusoma.
Somo la hisabati limefaidika kwani wanasayansi waliibua kifaa cha kufanyia hisabati yaani kikokotoo. Kifaa hiki kimeifanya somo la hisabati kuwa tamu na lakung’ang’aniwa na wanafunzi wengi. Kikokotoo kimefanya wanafunzi kutumia wakati mchache kutatua hisabati.
Hakuna njema lisilokosa kasoro, hata baada ya teknolojia kuletwa, wanafunzi wanaotumia tarakilishi kwa kutazama filamu chafu zinazofanya wawe na maadili mabaya.
Bila ya mwalimu kuwepo wanafunzi hupoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia katika elimu. Mashine ya printa imewafanya wanafunzi na walimu kuwa wavivu wa kuandika maelezo na kutegemea mashini hiyo.
Wafanya hisabati wamedekezwa sana kwani wamekosa wakati wa kufikiria katika ufanyaji wa maswali ya hisabati. Hii imechangiwa na matumizi ya kikokotoo. Vikokotoo vimewanyima wanafunzi fursa ya kufikiria na wakati wa kufanya hisabati.
Kwa kutamatisha, wanafunzi na walimu wakifanyia kazi nzuri teknolojia zilizoko shuleni, watapata mabadiliko mazuri maishani (walimu) na masomoni (wanafunzi).
| Kifaa kipi hutumiwa kuchapisha mitihani? | {
"text": [
"Printa"
]
} |
3078_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Punde tu wakoloni walipoingia nchini mambo yabadilika. walileta teknolojia viwandani, barabarani, shuleni na nyadhfa zingine zinazohitaji teknolojia. Baada ya hao kuondoka, tulipata kuimarisha kilicho anzishwa na wakoloni.
Mwanzo kabisa tarakilishi iliibuliwa kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma somo la kompyuta. Hili limewavutia wanafunzi wengi kwenda kwani baada ya masomo ya sekondari imekuwa rahisi kupata ajira kwa ofisi yoyote ile kama mhazili. Lingine nikuwa wanafunzi wanaweza kufanya utafiti wowote kuhusu masomo.
Printa ni mojawapo ya kifaa inayorahisisha kazi ya walimu ya kuchapisha mitihani. Hapo awali walimu walikuwa na jukumu la kuandika mitihani ya kila mwanafunzi. Printa siku hizi zinatumika kuchapisha maelezo ya walimu. Hili limewapunguzia majukumu ya kuandika vitabuni kisha kuwapa wanafunzi maelezo zilizochapishwa, jambo linalolainisha mtindo wa kusoma.
Somo la hisabati limefaidika kwani wanasayansi waliibua kifaa cha kufanyia hisabati yaani kikokotoo. Kifaa hiki kimeifanya somo la hisabati kuwa tamu na lakung’ang’aniwa na wanafunzi wengi. Kikokotoo kimefanya wanafunzi kutumia wakati mchache kutatua hisabati.
Hakuna njema lisilokosa kasoro, hata baada ya teknolojia kuletwa, wanafunzi wanaotumia tarakilishi kwa kutazama filamu chafu zinazofanya wawe na maadili mabaya.
Bila ya mwalimu kuwepo wanafunzi hupoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia katika elimu. Mashine ya printa imewafanya wanafunzi na walimu kuwa wavivu wa kuandika maelezo na kutegemea mashini hiyo.
Wafanya hisabati wamedekezwa sana kwani wamekosa wakati wa kufikiria katika ufanyaji wa maswali ya hisabati. Hii imechangiwa na matumizi ya kikokotoo. Vikokotoo vimewanyima wanafunzi fursa ya kufikiria na wakati wa kufanya hisabati.
Kwa kutamatisha, wanafunzi na walimu wakifanyia kazi nzuri teknolojia zilizoko shuleni, watapata mabadiliko mazuri maishani (walimu) na masomoni (wanafunzi).
| Kikokotoo hutumika katika somo lipi? | {
"text": [
"Hisabati"
]
} |
3078_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Punde tu wakoloni walipoingia nchini mambo yabadilika. walileta teknolojia viwandani, barabarani, shuleni na nyadhfa zingine zinazohitaji teknolojia. Baada ya hao kuondoka, tulipata kuimarisha kilicho anzishwa na wakoloni.
Mwanzo kabisa tarakilishi iliibuliwa kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma somo la kompyuta. Hili limewavutia wanafunzi wengi kwenda kwani baada ya masomo ya sekondari imekuwa rahisi kupata ajira kwa ofisi yoyote ile kama mhazili. Lingine nikuwa wanafunzi wanaweza kufanya utafiti wowote kuhusu masomo.
Printa ni mojawapo ya kifaa inayorahisisha kazi ya walimu ya kuchapisha mitihani. Hapo awali walimu walikuwa na jukumu la kuandika mitihani ya kila mwanafunzi. Printa siku hizi zinatumika kuchapisha maelezo ya walimu. Hili limewapunguzia majukumu ya kuandika vitabuni kisha kuwapa wanafunzi maelezo zilizochapishwa, jambo linalolainisha mtindo wa kusoma.
Somo la hisabati limefaidika kwani wanasayansi waliibua kifaa cha kufanyia hisabati yaani kikokotoo. Kifaa hiki kimeifanya somo la hisabati kuwa tamu na lakung’ang’aniwa na wanafunzi wengi. Kikokotoo kimefanya wanafunzi kutumia wakati mchache kutatua hisabati.
Hakuna njema lisilokosa kasoro, hata baada ya teknolojia kuletwa, wanafunzi wanaotumia tarakilishi kwa kutazama filamu chafu zinazofanya wawe na maadili mabaya.
Bila ya mwalimu kuwepo wanafunzi hupoteza wakati kwa kuchapisha vitu visivyowasaidia katika elimu. Mashine ya printa imewafanya wanafunzi na walimu kuwa wavivu wa kuandika maelezo na kutegemea mashini hiyo.
Wafanya hisabati wamedekezwa sana kwani wamekosa wakati wa kufikiria katika ufanyaji wa maswali ya hisabati. Hii imechangiwa na matumizi ya kikokotoo. Vikokotoo vimewanyima wanafunzi fursa ya kufikiria na wakati wa kufanya hisabati.
Kwa kutamatisha, wanafunzi na walimu wakifanyia kazi nzuri teknolojia zilizoko shuleni, watapata mabadiliko mazuri maishani (walimu) na masomoni (wanafunzi).
| Filamu chafu zinawaathiri wanafunzi kivipi? | {
"text": [
"Wanakosa maadili mema kwenye jamii"
]
} |
3079_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama KWELI methali hii hueleza kinagaubaga kwamba asiyesikia la mkuu huenda akafikwa na makuu na kujutia maishani. Methali hii hutumiwa na wavyele wanapowa wasia wanuna wao ili
wasije wakaviuma vidole maishani· Vile vile methali hii huenda sako kwa bako na ile isemwayo asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Naam hapo jadi na jadudi katika Kitongoji cha Bondeni, kuliishi mzee aliyekula chumvi nyingi na mkewe. Kwa kweli familia hii ilikuwa haina hainani, walijaliwa kupata binti mmoja tu,
aliyekuwa mrembo. Jina lake ulitokana na urembo aliokuwa nao. Kidosho huyu mwenye nywele za singa kama mchina, sauti la kumtoa nyoka pangoni, umbo la kuvutia na kutamanisha, mwendo wa madaha ungedhani hakutaka kuvikanyaga viumbe hai ardhini. Alikuwa na shingo ya upanga, mwanya wa haiba na mvuto wa pekee. Mungu ampe nini amnyime nini?meaning to the Ama kweli kidosho huyu alikuwa mtulivu kamu maji mtungini. Aliusiliza wasia aliyopewa na wazaziwe na kuutilia maanani na kisha kuufanyia kazi. Hata hivyo alikuwa mwenye bidii za mchwa, wajengao kiduchu kwa mate. Hivyo basi hii ilimfanya wazaziwe wasiwe na budi kumpeleka shuleni ili kutoa ujinga uliosalia.
Karembo alijiunga katika shule ya msingi ya Bahati na kuwa darasa la kwanza. Kimanzi huyu ni alitia nira masomoni kwani alijua dhahiri shahiri kwamba mchumia juani hulia kivulini. Mara waliofanya mtihani wao wa kwenda darasa lingine, Karembo alipeperusha bendera darasani mwao. Walimu wakaanza kumpenda na wakamzawadi kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege walipolonga chanda chema huvikwa pete.
Wazazi wake walimpenda sana kidosho wao kwa chanda na pete na kumlengalenga kama yai, walimuenzi mwana wao kwani hawakumuona na doa lolote ila uzuri wote yaani mungu kambariki kotekote. Walimu wa shule walizipigia mfano tabia zake Karembo na kuigwa na kila mwanafunzi shuleni. Ingawa wazaziwe hawakuweza kujikimu kimaisha,kibwetwe na kumtafutia mwana wao karo kwani walifahamu kuwa mgaagaa na mpwa hali wali mkavu.
Siku zilipita, wiki zikasonga, miezi ikayoyoma na miaka ikazi kusonga. Kadri miaka ilivyozidi kusonga nayo tabia za Karembo zikazidi kubadilika. Mara Karembo akajipata akiwa na miaka kumi na minne akiwa darasa la sita, viduchu vikiwa vimeanza kusimama tisti kifuani na hapo akaanza kumea pembe. klazaziwe na baadhi ya walimu walimkalisha kitako na kumshauri lakini wapi ni kama kumpigia mbuzi gitaa acheze. Kidosho huyu hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Baada ya wiki kuunda miezi Karembo aliacha shule, mamaye hakufa moyo.
Aliendelea kumkanya lakini wapi ni kama kungojea maziwa kutoka kwa kuku kwa alikuwa ni kama ametia nta masikioni. Karembo alianza kutoroka usiku na kwenda kulala kwa wanaume. Tabia hili lilikuwa limemuudhi sana mamaye lakini angefanyaje? Mwana alikuwa haambiliki hasemezeki ila kumwachia ulimwengu umfunze.Haikupita muda mrefu Karembo akaanza kudhoofika. Karembo alianza kukohoa kohoa, kichwa kuuma mara kwa mara huku akitapika ovyo. Mamaye hakuivumilia uchungu huu alimkimbiza hospitalini ili kuutambua ungonjwa
huo. Ama kweli uchungu wa mwana aujuaye mzazi. Alipopimwa, alipatikana na ukimwi na mimba juu yake. Alila sana lakini ilikuwa mwiba wa kujitakia isiyokuwa na kilio. Mume aliyempachika mimba hiyo alimkana na kusema haikuwa yake. Karembo alijiuma kidole lakini ilikuwa ameshachelewa. Hapo ndipo | Familia maskini iliishi katika kitongoji kipi | {
"text": [
"Bondeni"
]
} |
3079_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama KWELI methali hii hueleza kinagaubaga kwamba asiyesikia la mkuu huenda akafikwa na makuu na kujutia maishani. Methali hii hutumiwa na wavyele wanapowa wasia wanuna wao ili
wasije wakaviuma vidole maishani· Vile vile methali hii huenda sako kwa bako na ile isemwayo asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Naam hapo jadi na jadudi katika Kitongoji cha Bondeni, kuliishi mzee aliyekula chumvi nyingi na mkewe. Kwa kweli familia hii ilikuwa haina hainani, walijaliwa kupata binti mmoja tu,
aliyekuwa mrembo. Jina lake ulitokana na urembo aliokuwa nao. Kidosho huyu mwenye nywele za singa kama mchina, sauti la kumtoa nyoka pangoni, umbo la kuvutia na kutamanisha, mwendo wa madaha ungedhani hakutaka kuvikanyaga viumbe hai ardhini. Alikuwa na shingo ya upanga, mwanya wa haiba na mvuto wa pekee. Mungu ampe nini amnyime nini?meaning to the Ama kweli kidosho huyu alikuwa mtulivu kamu maji mtungini. Aliusiliza wasia aliyopewa na wazaziwe na kuutilia maanani na kisha kuufanyia kazi. Hata hivyo alikuwa mwenye bidii za mchwa, wajengao kiduchu kwa mate. Hivyo basi hii ilimfanya wazaziwe wasiwe na budi kumpeleka shuleni ili kutoa ujinga uliosalia.
Karembo alijiunga katika shule ya msingi ya Bahati na kuwa darasa la kwanza. Kimanzi huyu ni alitia nira masomoni kwani alijua dhahiri shahiri kwamba mchumia juani hulia kivulini. Mara waliofanya mtihani wao wa kwenda darasa lingine, Karembo alipeperusha bendera darasani mwao. Walimu wakaanza kumpenda na wakamzawadi kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege walipolonga chanda chema huvikwa pete.
Wazazi wake walimpenda sana kidosho wao kwa chanda na pete na kumlengalenga kama yai, walimuenzi mwana wao kwani hawakumuona na doa lolote ila uzuri wote yaani mungu kambariki kotekote. Walimu wa shule walizipigia mfano tabia zake Karembo na kuigwa na kila mwanafunzi shuleni. Ingawa wazaziwe hawakuweza kujikimu kimaisha,kibwetwe na kumtafutia mwana wao karo kwani walifahamu kuwa mgaagaa na mpwa hali wali mkavu.
Siku zilipita, wiki zikasonga, miezi ikayoyoma na miaka ikazi kusonga. Kadri miaka ilivyozidi kusonga nayo tabia za Karembo zikazidi kubadilika. Mara Karembo akajipata akiwa na miaka kumi na minne akiwa darasa la sita, viduchu vikiwa vimeanza kusimama tisti kifuani na hapo akaanza kumea pembe. klazaziwe na baadhi ya walimu walimkalisha kitako na kumshauri lakini wapi ni kama kumpigia mbuzi gitaa acheze. Kidosho huyu hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Baada ya wiki kuunda miezi Karembo aliacha shule, mamaye hakufa moyo.
Aliendelea kumkanya lakini wapi ni kama kungojea maziwa kutoka kwa kuku kwa alikuwa ni kama ametia nta masikioni. Karembo alianza kutoroka usiku na kwenda kulala kwa wanaume. Tabia hili lilikuwa limemuudhi sana mamaye lakini angefanyaje? Mwana alikuwa haambiliki hasemezeki ila kumwachia ulimwengu umfunze.Haikupita muda mrefu Karembo akaanza kudhoofika. Karembo alianza kukohoa kohoa, kichwa kuuma mara kwa mara huku akitapika ovyo. Mamaye hakuivumilia uchungu huu alimkimbiza hospitalini ili kuutambua ungonjwa
huo. Ama kweli uchungu wa mwana aujuaye mzazi. Alipopimwa, alipatikana na ukimwi na mimba juu yake. Alila sana lakini ilikuwa mwiba wa kujitakia isiyokuwa na kilio. Mume aliyempachika mimba hiyo alimkana na kusema haikuwa yake. Karembo alijiuma kidole lakini ilikuwa ameshachelewa. Hapo ndipo | Binti mrembo Karembo alisoma katika shule gani | {
"text": [
"Bahati"
]
} |
3079_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama KWELI methali hii hueleza kinagaubaga kwamba asiyesikia la mkuu huenda akafikwa na makuu na kujutia maishani. Methali hii hutumiwa na wavyele wanapowa wasia wanuna wao ili
wasije wakaviuma vidole maishani· Vile vile methali hii huenda sako kwa bako na ile isemwayo asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Naam hapo jadi na jadudi katika Kitongoji cha Bondeni, kuliishi mzee aliyekula chumvi nyingi na mkewe. Kwa kweli familia hii ilikuwa haina hainani, walijaliwa kupata binti mmoja tu,
aliyekuwa mrembo. Jina lake ulitokana na urembo aliokuwa nao. Kidosho huyu mwenye nywele za singa kama mchina, sauti la kumtoa nyoka pangoni, umbo la kuvutia na kutamanisha, mwendo wa madaha ungedhani hakutaka kuvikanyaga viumbe hai ardhini. Alikuwa na shingo ya upanga, mwanya wa haiba na mvuto wa pekee. Mungu ampe nini amnyime nini?meaning to the Ama kweli kidosho huyu alikuwa mtulivu kamu maji mtungini. Aliusiliza wasia aliyopewa na wazaziwe na kuutilia maanani na kisha kuufanyia kazi. Hata hivyo alikuwa mwenye bidii za mchwa, wajengao kiduchu kwa mate. Hivyo basi hii ilimfanya wazaziwe wasiwe na budi kumpeleka shuleni ili kutoa ujinga uliosalia.
Karembo alijiunga katika shule ya msingi ya Bahati na kuwa darasa la kwanza. Kimanzi huyu ni alitia nira masomoni kwani alijua dhahiri shahiri kwamba mchumia juani hulia kivulini. Mara waliofanya mtihani wao wa kwenda darasa lingine, Karembo alipeperusha bendera darasani mwao. Walimu wakaanza kumpenda na wakamzawadi kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege walipolonga chanda chema huvikwa pete.
Wazazi wake walimpenda sana kidosho wao kwa chanda na pete na kumlengalenga kama yai, walimuenzi mwana wao kwani hawakumuona na doa lolote ila uzuri wote yaani mungu kambariki kotekote. Walimu wa shule walizipigia mfano tabia zake Karembo na kuigwa na kila mwanafunzi shuleni. Ingawa wazaziwe hawakuweza kujikimu kimaisha,kibwetwe na kumtafutia mwana wao karo kwani walifahamu kuwa mgaagaa na mpwa hali wali mkavu.
Siku zilipita, wiki zikasonga, miezi ikayoyoma na miaka ikazi kusonga. Kadri miaka ilivyozidi kusonga nayo tabia za Karembo zikazidi kubadilika. Mara Karembo akajipata akiwa na miaka kumi na minne akiwa darasa la sita, viduchu vikiwa vimeanza kusimama tisti kifuani na hapo akaanza kumea pembe. klazaziwe na baadhi ya walimu walimkalisha kitako na kumshauri lakini wapi ni kama kumpigia mbuzi gitaa acheze. Kidosho huyu hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Baada ya wiki kuunda miezi Karembo aliacha shule, mamaye hakufa moyo.
Aliendelea kumkanya lakini wapi ni kama kungojea maziwa kutoka kwa kuku kwa alikuwa ni kama ametia nta masikioni. Karembo alianza kutoroka usiku na kwenda kulala kwa wanaume. Tabia hili lilikuwa limemuudhi sana mamaye lakini angefanyaje? Mwana alikuwa haambiliki hasemezeki ila kumwachia ulimwengu umfunze.Haikupita muda mrefu Karembo akaanza kudhoofika. Karembo alianza kukohoa kohoa, kichwa kuuma mara kwa mara huku akitapika ovyo. Mamaye hakuivumilia uchungu huu alimkimbiza hospitalini ili kuutambua ungonjwa
huo. Ama kweli uchungu wa mwana aujuaye mzazi. Alipopimwa, alipatikana na ukimwi na mimba juu yake. Alila sana lakini ilikuwa mwiba wa kujitakia isiyokuwa na kilio. Mume aliyempachika mimba hiyo alimkana na kusema haikuwa yake. Karembo alijiuma kidole lakini ilikuwa ameshachelewa. Hapo ndipo | Karembo alianza kumea pembe akiwa na miaka mingapi | {
"text": [
"Kumi na minne"
]
} |
3079_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama KWELI methali hii hueleza kinagaubaga kwamba asiyesikia la mkuu huenda akafikwa na makuu na kujutia maishani. Methali hii hutumiwa na wavyele wanapowa wasia wanuna wao ili
wasije wakaviuma vidole maishani· Vile vile methali hii huenda sako kwa bako na ile isemwayo asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Naam hapo jadi na jadudi katika Kitongoji cha Bondeni, kuliishi mzee aliyekula chumvi nyingi na mkewe. Kwa kweli familia hii ilikuwa haina hainani, walijaliwa kupata binti mmoja tu,
aliyekuwa mrembo. Jina lake ulitokana na urembo aliokuwa nao. Kidosho huyu mwenye nywele za singa kama mchina, sauti la kumtoa nyoka pangoni, umbo la kuvutia na kutamanisha, mwendo wa madaha ungedhani hakutaka kuvikanyaga viumbe hai ardhini. Alikuwa na shingo ya upanga, mwanya wa haiba na mvuto wa pekee. Mungu ampe nini amnyime nini?meaning to the Ama kweli kidosho huyu alikuwa mtulivu kamu maji mtungini. Aliusiliza wasia aliyopewa na wazaziwe na kuutilia maanani na kisha kuufanyia kazi. Hata hivyo alikuwa mwenye bidii za mchwa, wajengao kiduchu kwa mate. Hivyo basi hii ilimfanya wazaziwe wasiwe na budi kumpeleka shuleni ili kutoa ujinga uliosalia.
Karembo alijiunga katika shule ya msingi ya Bahati na kuwa darasa la kwanza. Kimanzi huyu ni alitia nira masomoni kwani alijua dhahiri shahiri kwamba mchumia juani hulia kivulini. Mara waliofanya mtihani wao wa kwenda darasa lingine, Karembo alipeperusha bendera darasani mwao. Walimu wakaanza kumpenda na wakamzawadi kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege walipolonga chanda chema huvikwa pete.
Wazazi wake walimpenda sana kidosho wao kwa chanda na pete na kumlengalenga kama yai, walimuenzi mwana wao kwani hawakumuona na doa lolote ila uzuri wote yaani mungu kambariki kotekote. Walimu wa shule walizipigia mfano tabia zake Karembo na kuigwa na kila mwanafunzi shuleni. Ingawa wazaziwe hawakuweza kujikimu kimaisha,kibwetwe na kumtafutia mwana wao karo kwani walifahamu kuwa mgaagaa na mpwa hali wali mkavu.
Siku zilipita, wiki zikasonga, miezi ikayoyoma na miaka ikazi kusonga. Kadri miaka ilivyozidi kusonga nayo tabia za Karembo zikazidi kubadilika. Mara Karembo akajipata akiwa na miaka kumi na minne akiwa darasa la sita, viduchu vikiwa vimeanza kusimama tisti kifuani na hapo akaanza kumea pembe. klazaziwe na baadhi ya walimu walimkalisha kitako na kumshauri lakini wapi ni kama kumpigia mbuzi gitaa acheze. Kidosho huyu hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Baada ya wiki kuunda miezi Karembo aliacha shule, mamaye hakufa moyo.
Aliendelea kumkanya lakini wapi ni kama kungojea maziwa kutoka kwa kuku kwa alikuwa ni kama ametia nta masikioni. Karembo alianza kutoroka usiku na kwenda kulala kwa wanaume. Tabia hili lilikuwa limemuudhi sana mamaye lakini angefanyaje? Mwana alikuwa haambiliki hasemezeki ila kumwachia ulimwengu umfunze.Haikupita muda mrefu Karembo akaanza kudhoofika. Karembo alianza kukohoa kohoa, kichwa kuuma mara kwa mara huku akitapika ovyo. Mamaye hakuivumilia uchungu huu alimkimbiza hospitalini ili kuutambua ungonjwa
huo. Ama kweli uchungu wa mwana aujuaye mzazi. Alipopimwa, alipatikana na ukimwi na mimba juu yake. Alila sana lakini ilikuwa mwiba wa kujitakia isiyokuwa na kilio. Mume aliyempachika mimba hiyo alimkana na kusema haikuwa yake. Karembo alijiuma kidole lakini ilikuwa ameshachelewa. Hapo ndipo | Karembo alipopimwa alipatikana na nini | {
"text": [
"Ukimwi na mimba"
]
} |
3079_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Ama KWELI methali hii hueleza kinagaubaga kwamba asiyesikia la mkuu huenda akafikwa na makuu na kujutia maishani. Methali hii hutumiwa na wavyele wanapowa wasia wanuna wao ili
wasije wakaviuma vidole maishani· Vile vile methali hii huenda sako kwa bako na ile isemwayo asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Naam hapo jadi na jadudi katika Kitongoji cha Bondeni, kuliishi mzee aliyekula chumvi nyingi na mkewe. Kwa kweli familia hii ilikuwa haina hainani, walijaliwa kupata binti mmoja tu,
aliyekuwa mrembo. Jina lake ulitokana na urembo aliokuwa nao. Kidosho huyu mwenye nywele za singa kama mchina, sauti la kumtoa nyoka pangoni, umbo la kuvutia na kutamanisha, mwendo wa madaha ungedhani hakutaka kuvikanyaga viumbe hai ardhini. Alikuwa na shingo ya upanga, mwanya wa haiba na mvuto wa pekee. Mungu ampe nini amnyime nini?meaning to the Ama kweli kidosho huyu alikuwa mtulivu kamu maji mtungini. Aliusiliza wasia aliyopewa na wazaziwe na kuutilia maanani na kisha kuufanyia kazi. Hata hivyo alikuwa mwenye bidii za mchwa, wajengao kiduchu kwa mate. Hivyo basi hii ilimfanya wazaziwe wasiwe na budi kumpeleka shuleni ili kutoa ujinga uliosalia.
Karembo alijiunga katika shule ya msingi ya Bahati na kuwa darasa la kwanza. Kimanzi huyu ni alitia nira masomoni kwani alijua dhahiri shahiri kwamba mchumia juani hulia kivulini. Mara waliofanya mtihani wao wa kwenda darasa lingine, Karembo alipeperusha bendera darasani mwao. Walimu wakaanza kumpenda na wakamzawadi kwani wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnege walipolonga chanda chema huvikwa pete.
Wazazi wake walimpenda sana kidosho wao kwa chanda na pete na kumlengalenga kama yai, walimuenzi mwana wao kwani hawakumuona na doa lolote ila uzuri wote yaani mungu kambariki kotekote. Walimu wa shule walizipigia mfano tabia zake Karembo na kuigwa na kila mwanafunzi shuleni. Ingawa wazaziwe hawakuweza kujikimu kimaisha,kibwetwe na kumtafutia mwana wao karo kwani walifahamu kuwa mgaagaa na mpwa hali wali mkavu.
Siku zilipita, wiki zikasonga, miezi ikayoyoma na miaka ikazi kusonga. Kadri miaka ilivyozidi kusonga nayo tabia za Karembo zikazidi kubadilika. Mara Karembo akajipata akiwa na miaka kumi na minne akiwa darasa la sita, viduchu vikiwa vimeanza kusimama tisti kifuani na hapo akaanza kumea pembe. klazaziwe na baadhi ya walimu walimkalisha kitako na kumshauri lakini wapi ni kama kumpigia mbuzi gitaa acheze. Kidosho huyu hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini.
Baada ya wiki kuunda miezi Karembo aliacha shule, mamaye hakufa moyo.
Aliendelea kumkanya lakini wapi ni kama kungojea maziwa kutoka kwa kuku kwa alikuwa ni kama ametia nta masikioni. Karembo alianza kutoroka usiku na kwenda kulala kwa wanaume. Tabia hili lilikuwa limemuudhi sana mamaye lakini angefanyaje? Mwana alikuwa haambiliki hasemezeki ila kumwachia ulimwengu umfunze.Haikupita muda mrefu Karembo akaanza kudhoofika. Karembo alianza kukohoa kohoa, kichwa kuuma mara kwa mara huku akitapika ovyo. Mamaye hakuivumilia uchungu huu alimkimbiza hospitalini ili kuutambua ungonjwa
huo. Ama kweli uchungu wa mwana aujuaye mzazi. Alipopimwa, alipatikana na ukimwi na mimba juu yake. Alila sana lakini ilikuwa mwiba wa kujitakia isiyokuwa na kilio. Mume aliyempachika mimba hiyo alimkana na kusema haikuwa yake. Karembo alijiuma kidole lakini ilikuwa ameshachelewa. Hapo ndipo | Jina Karembo lilitokana na nini | {
"text": [
"Urembo, Karembo aliokuwa nao"
]
} |
3080_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika sekta hii ya teknolojia, imesaidia pakubwa kwa kufanya kazi haraka. Imesaidia kwa kurahisha kazi za kutumia umeme. Faida za teknolojia ni kwamba unapotaka hesabu au kuandika au kupanga majina kulingana na herufi, basi teknolojia hiyo huwa haraka.
Sana sana teknolojia hutumika shuleni kwa kurahisha kuandika majina ya wanafunzi au kuandika alama za mitihani na pia mengineyo. Pia teknolojia hutumika hospitali kwa kuwaandika wagonjwa majina yao pia na kurekodi pesa za wagonjwa waliye hospitali.
Teknolojia hizi hutumika mahali mbalimbali kama vile benki, maduka makubwa na kwengineko. Teknolojia imeongoza katika nchini humu hadi wananchi walio na na kazi za hali ya juu hawawezi fanya kitu bila teknolojia.
Vilevile teknolojia imeleta madhara kwa wananchi wamezoea teknolojia hadi hawawezi shinda bila teknolojia. Pia teknolojia wakati mtu anapoandika na kurekodi majina na mengineyo
wakati mwingine hufutika yote yaliyokuwemo ndani ya teknolojia. Wakati mwingine hukuta teknolojia zingine hazifanyi kazi kwa sababu vibatoni vyake havifanyi kazi.
Pia teknolojia wakati mwingine hazifanyi kazi kwasababu ya umeme kukataa ilhali huku utakuwa uko kwa harakati ya kutumia teknolojia. Vile vile teknolojia huungua na umeme na kumfanya mtu anunue nyingine.
Wakati mtu anapotumia teknolojia bila mwelekeo ila kugusa waya za teknolojia basi hupigwa shoti kupitia teknolojia na husababisha madhara. | Teknolojia imesaidia pakubwa kwa kufanya nini haraka | {
"text": [
"Kazi"
]
} |
3080_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika sekta hii ya teknolojia, imesaidia pakubwa kwa kufanya kazi haraka. Imesaidia kwa kurahisha kazi za kutumia umeme. Faida za teknolojia ni kwamba unapotaka hesabu au kuandika au kupanga majina kulingana na herufi, basi teknolojia hiyo huwa haraka.
Sana sana teknolojia hutumika shuleni kwa kurahisha kuandika majina ya wanafunzi au kuandika alama za mitihani na pia mengineyo. Pia teknolojia hutumika hospitali kwa kuwaandika wagonjwa majina yao pia na kurekodi pesa za wagonjwa waliye hospitali.
Teknolojia hizi hutumika mahali mbalimbali kama vile benki, maduka makubwa na kwengineko. Teknolojia imeongoza katika nchini humu hadi wananchi walio na na kazi za hali ya juu hawawezi fanya kitu bila teknolojia.
Vilevile teknolojia imeleta madhara kwa wananchi wamezoea teknolojia hadi hawawezi shinda bila teknolojia. Pia teknolojia wakati mtu anapoandika na kurekodi majina na mengineyo
wakati mwingine hufutika yote yaliyokuwemo ndani ya teknolojia. Wakati mwingine hukuta teknolojia zingine hazifanyi kazi kwa sababu vibatoni vyake havifanyi kazi.
Pia teknolojia wakati mwingine hazifanyi kazi kwasababu ya umeme kukataa ilhali huku utakuwa uko kwa harakati ya kutumia teknolojia. Vile vile teknolojia huungua na umeme na kumfanya mtu anunue nyingine.
Wakati mtu anapotumia teknolojia bila mwelekeo ila kugusa waya za teknolojia basi hupigwa shoti kupitia teknolojia na husababisha madhara. | Imerahisisha kazi zipi | {
"text": [
"Za kutumia umeme"
]
} |
3080_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika sekta hii ya teknolojia, imesaidia pakubwa kwa kufanya kazi haraka. Imesaidia kwa kurahisha kazi za kutumia umeme. Faida za teknolojia ni kwamba unapotaka hesabu au kuandika au kupanga majina kulingana na herufi, basi teknolojia hiyo huwa haraka.
Sana sana teknolojia hutumika shuleni kwa kurahisha kuandika majina ya wanafunzi au kuandika alama za mitihani na pia mengineyo. Pia teknolojia hutumika hospitali kwa kuwaandika wagonjwa majina yao pia na kurekodi pesa za wagonjwa waliye hospitali.
Teknolojia hizi hutumika mahali mbalimbali kama vile benki, maduka makubwa na kwengineko. Teknolojia imeongoza katika nchini humu hadi wananchi walio na na kazi za hali ya juu hawawezi fanya kitu bila teknolojia.
Vilevile teknolojia imeleta madhara kwa wananchi wamezoea teknolojia hadi hawawezi shinda bila teknolojia. Pia teknolojia wakati mtu anapoandika na kurekodi majina na mengineyo
wakati mwingine hufutika yote yaliyokuwemo ndani ya teknolojia. Wakati mwingine hukuta teknolojia zingine hazifanyi kazi kwa sababu vibatoni vyake havifanyi kazi.
Pia teknolojia wakati mwingine hazifanyi kazi kwasababu ya umeme kukataa ilhali huku utakuwa uko kwa harakati ya kutumia teknolojia. Vile vile teknolojia huungua na umeme na kumfanya mtu anunue nyingine.
Wakati mtu anapotumia teknolojia bila mwelekeo ila kugusa waya za teknolojia basi hupigwa shoti kupitia teknolojia na husababisha madhara. | Teknolojia hutumika shuleni kwa kurahisisha kuandika nini | {
"text": [
"Majina ya wanafunzi"
]
} |
3080_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika sekta hii ya teknolojia, imesaidia pakubwa kwa kufanya kazi haraka. Imesaidia kwa kurahisha kazi za kutumia umeme. Faida za teknolojia ni kwamba unapotaka hesabu au kuandika au kupanga majina kulingana na herufi, basi teknolojia hiyo huwa haraka.
Sana sana teknolojia hutumika shuleni kwa kurahisha kuandika majina ya wanafunzi au kuandika alama za mitihani na pia mengineyo. Pia teknolojia hutumika hospitali kwa kuwaandika wagonjwa majina yao pia na kurekodi pesa za wagonjwa waliye hospitali.
Teknolojia hizi hutumika mahali mbalimbali kama vile benki, maduka makubwa na kwengineko. Teknolojia imeongoza katika nchini humu hadi wananchi walio na na kazi za hali ya juu hawawezi fanya kitu bila teknolojia.
Vilevile teknolojia imeleta madhara kwa wananchi wamezoea teknolojia hadi hawawezi shinda bila teknolojia. Pia teknolojia wakati mtu anapoandika na kurekodi majina na mengineyo
wakati mwingine hufutika yote yaliyokuwemo ndani ya teknolojia. Wakati mwingine hukuta teknolojia zingine hazifanyi kazi kwa sababu vibatoni vyake havifanyi kazi.
Pia teknolojia wakati mwingine hazifanyi kazi kwasababu ya umeme kukataa ilhali huku utakuwa uko kwa harakati ya kutumia teknolojia. Vile vile teknolojia huungua na umeme na kumfanya mtu anunue nyingine.
Wakati mtu anapotumia teknolojia bila mwelekeo ila kugusa waya za teknolojia basi hupigwa shoti kupitia teknolojia na husababisha madhara. | Teknolojia hutumika hospitalini kwa kurekodi nini | {
"text": [
"Pesa"
]
} |
3080_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Katika sekta hii ya teknolojia, imesaidia pakubwa kwa kufanya kazi haraka. Imesaidia kwa kurahisha kazi za kutumia umeme. Faida za teknolojia ni kwamba unapotaka hesabu au kuandika au kupanga majina kulingana na herufi, basi teknolojia hiyo huwa haraka.
Sana sana teknolojia hutumika shuleni kwa kurahisha kuandika majina ya wanafunzi au kuandika alama za mitihani na pia mengineyo. Pia teknolojia hutumika hospitali kwa kuwaandika wagonjwa majina yao pia na kurekodi pesa za wagonjwa waliye hospitali.
Teknolojia hizi hutumika mahali mbalimbali kama vile benki, maduka makubwa na kwengineko. Teknolojia imeongoza katika nchini humu hadi wananchi walio na na kazi za hali ya juu hawawezi fanya kitu bila teknolojia.
Vilevile teknolojia imeleta madhara kwa wananchi wamezoea teknolojia hadi hawawezi shinda bila teknolojia. Pia teknolojia wakati mtu anapoandika na kurekodi majina na mengineyo
wakati mwingine hufutika yote yaliyokuwemo ndani ya teknolojia. Wakati mwingine hukuta teknolojia zingine hazifanyi kazi kwa sababu vibatoni vyake havifanyi kazi.
Pia teknolojia wakati mwingine hazifanyi kazi kwasababu ya umeme kukataa ilhali huku utakuwa uko kwa harakati ya kutumia teknolojia. Vile vile teknolojia huungua na umeme na kumfanya mtu anunue nyingine.
Wakati mtu anapotumia teknolojia bila mwelekeo ila kugusa waya za teknolojia basi hupigwa shoti kupitia teknolojia na husababisha madhara. | Teknolojia hutumika mahali mbalimbali kama wapi | {
"text": [
"Benki"
]
} |
3081_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni kule kuendelea kwa njia tofauti tofauti za mawasiliano duniani. Waam kuna teknolojia za kusomea, za mawasiliano, ya hospitalini na nyinginezo, almuradi kuna teknolojia nyingi katika kila wizara duniani. Baadhi ya teknolojia zenyewe ni kama vile simu ya
rununu, runinga, kompyuta, barua pepe na kadhalika.
Waam, kati ya teknolojia hizi kuna faida nyingi zinazotokana na teknolojia hizi. Vilevile kuna madhara ndani yake. Faida na madhara ya teknolojia huwa kumba wengi duniani wakiwemo wanafunzi wa shule za sekondari.
Wanafunzi wa shule za sekondari hufaidika kwa mengi kutokana na teknolojia hizi kwanza wao huweza kujisomea masomo yao ya ziada kwa kutumia kompyuta bila ya kumngojea mwalimu. Vilevile wao huweza kupata habari za nje ya shule yao kwa kutazama runinga ya taifa. Wanafunzi pia hufaidika kwa kusoma masomo ya kisayansi yanayotokana na teknolojia. Haya humfaidi mwanafunzi kwa kumjulisha juu ya viungo vyake vya mwili jinsi vinavyofanya kazi na vipi mwilini.
Minghairi ya hayo, kuna baadhi ya teknolojia ambazo huwa ni muhimu sana hasa kwa shule za malazi kwa mfano (CCTV). Hizi husaidia kuwanasa wale wanafunzi waovu, hivyo basi kuwatetea wale waadilifu.
Vilevile kuna madhara mengi yanayotokana na teknolojia. Madhara yenyewe ni kama vile wanafunzi wanaweza kutumia vyombo vya mawasiliano ili kukamilisha uhalifu. Wanaweza kuwasiliana na watu walio nje ya shule ili kukamilisha uhalifu fulani.
Vilevile, baadhi ya teknolojia huonyesha michezo michafu kama vile ngono. Hizi huwasababisha wanafunzi hawa kujishirikisha katika ngono za mapema na kusababisha kuongezeka kwa mimba za mapema nchini.
| Kuendelea kwa njia tofauti za mawasiliano huitwaje | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3081_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni kule kuendelea kwa njia tofauti tofauti za mawasiliano duniani. Waam kuna teknolojia za kusomea, za mawasiliano, ya hospitalini na nyinginezo, almuradi kuna teknolojia nyingi katika kila wizara duniani. Baadhi ya teknolojia zenyewe ni kama vile simu ya
rununu, runinga, kompyuta, barua pepe na kadhalika.
Waam, kati ya teknolojia hizi kuna faida nyingi zinazotokana na teknolojia hizi. Vilevile kuna madhara ndani yake. Faida na madhara ya teknolojia huwa kumba wengi duniani wakiwemo wanafunzi wa shule za sekondari.
Wanafunzi wa shule za sekondari hufaidika kwa mengi kutokana na teknolojia hizi kwanza wao huweza kujisomea masomo yao ya ziada kwa kutumia kompyuta bila ya kumngojea mwalimu. Vilevile wao huweza kupata habari za nje ya shule yao kwa kutazama runinga ya taifa. Wanafunzi pia hufaidika kwa kusoma masomo ya kisayansi yanayotokana na teknolojia. Haya humfaidi mwanafunzi kwa kumjulisha juu ya viungo vyake vya mwili jinsi vinavyofanya kazi na vipi mwilini.
Minghairi ya hayo, kuna baadhi ya teknolojia ambazo huwa ni muhimu sana hasa kwa shule za malazi kwa mfano (CCTV). Hizi husaidia kuwanasa wale wanafunzi waovu, hivyo basi kuwatetea wale waadilifu.
Vilevile kuna madhara mengi yanayotokana na teknolojia. Madhara yenyewe ni kama vile wanafunzi wanaweza kutumia vyombo vya mawasiliano ili kukamilisha uhalifu. Wanaweza kuwasiliana na watu walio nje ya shule ili kukamilisha uhalifu fulani.
Vilevile, baadhi ya teknolojia huonyesha michezo michafu kama vile ngono. Hizi huwasababisha wanafunzi hawa kujishirikisha katika ngono za mapema na kusababisha kuongezeka kwa mimba za mapema nchini.
| Nani hufaidika kwa mengi kutokana na tekinolojia | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
3081_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni kule kuendelea kwa njia tofauti tofauti za mawasiliano duniani. Waam kuna teknolojia za kusomea, za mawasiliano, ya hospitalini na nyinginezo, almuradi kuna teknolojia nyingi katika kila wizara duniani. Baadhi ya teknolojia zenyewe ni kama vile simu ya
rununu, runinga, kompyuta, barua pepe na kadhalika.
Waam, kati ya teknolojia hizi kuna faida nyingi zinazotokana na teknolojia hizi. Vilevile kuna madhara ndani yake. Faida na madhara ya teknolojia huwa kumba wengi duniani wakiwemo wanafunzi wa shule za sekondari.
Wanafunzi wa shule za sekondari hufaidika kwa mengi kutokana na teknolojia hizi kwanza wao huweza kujisomea masomo yao ya ziada kwa kutumia kompyuta bila ya kumngojea mwalimu. Vilevile wao huweza kupata habari za nje ya shule yao kwa kutazama runinga ya taifa. Wanafunzi pia hufaidika kwa kusoma masomo ya kisayansi yanayotokana na teknolojia. Haya humfaidi mwanafunzi kwa kumjulisha juu ya viungo vyake vya mwili jinsi vinavyofanya kazi na vipi mwilini.
Minghairi ya hayo, kuna baadhi ya teknolojia ambazo huwa ni muhimu sana hasa kwa shule za malazi kwa mfano (CCTV). Hizi husaidia kuwanasa wale wanafunzi waovu, hivyo basi kuwatetea wale waadilifu.
Vilevile kuna madhara mengi yanayotokana na teknolojia. Madhara yenyewe ni kama vile wanafunzi wanaweza kutumia vyombo vya mawasiliano ili kukamilisha uhalifu. Wanaweza kuwasiliana na watu walio nje ya shule ili kukamilisha uhalifu fulani.
Vilevile, baadhi ya teknolojia huonyesha michezo michafu kama vile ngono. Hizi huwasababisha wanafunzi hawa kujishirikisha katika ngono za mapema na kusababisha kuongezeka kwa mimba za mapema nchini.
| CCTV husaidia kuwanasa wanafunzi wa aina gani | {
"text": [
"Waovu"
]
} |
3081_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni kule kuendelea kwa njia tofauti tofauti za mawasiliano duniani. Waam kuna teknolojia za kusomea, za mawasiliano, ya hospitalini na nyinginezo, almuradi kuna teknolojia nyingi katika kila wizara duniani. Baadhi ya teknolojia zenyewe ni kama vile simu ya
rununu, runinga, kompyuta, barua pepe na kadhalika.
Waam, kati ya teknolojia hizi kuna faida nyingi zinazotokana na teknolojia hizi. Vilevile kuna madhara ndani yake. Faida na madhara ya teknolojia huwa kumba wengi duniani wakiwemo wanafunzi wa shule za sekondari.
Wanafunzi wa shule za sekondari hufaidika kwa mengi kutokana na teknolojia hizi kwanza wao huweza kujisomea masomo yao ya ziada kwa kutumia kompyuta bila ya kumngojea mwalimu. Vilevile wao huweza kupata habari za nje ya shule yao kwa kutazama runinga ya taifa. Wanafunzi pia hufaidika kwa kusoma masomo ya kisayansi yanayotokana na teknolojia. Haya humfaidi mwanafunzi kwa kumjulisha juu ya viungo vyake vya mwili jinsi vinavyofanya kazi na vipi mwilini.
Minghairi ya hayo, kuna baadhi ya teknolojia ambazo huwa ni muhimu sana hasa kwa shule za malazi kwa mfano (CCTV). Hizi husaidia kuwanasa wale wanafunzi waovu, hivyo basi kuwatetea wale waadilifu.
Vilevile kuna madhara mengi yanayotokana na teknolojia. Madhara yenyewe ni kama vile wanafunzi wanaweza kutumia vyombo vya mawasiliano ili kukamilisha uhalifu. Wanaweza kuwasiliana na watu walio nje ya shule ili kukamilisha uhalifu fulani.
Vilevile, baadhi ya teknolojia huonyesha michezo michafu kama vile ngono. Hizi huwasababisha wanafunzi hawa kujishirikisha katika ngono za mapema na kusababisha kuongezeka kwa mimba za mapema nchini.
| Wanafunzi wanatumia nini ili kukamilisha uhalifu | {
"text": [
"Vyombo vya mawasiliano"
]
} |
3081_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni kule kuendelea kwa njia tofauti tofauti za mawasiliano duniani. Waam kuna teknolojia za kusomea, za mawasiliano, ya hospitalini na nyinginezo, almuradi kuna teknolojia nyingi katika kila wizara duniani. Baadhi ya teknolojia zenyewe ni kama vile simu ya
rununu, runinga, kompyuta, barua pepe na kadhalika.
Waam, kati ya teknolojia hizi kuna faida nyingi zinazotokana na teknolojia hizi. Vilevile kuna madhara ndani yake. Faida na madhara ya teknolojia huwa kumba wengi duniani wakiwemo wanafunzi wa shule za sekondari.
Wanafunzi wa shule za sekondari hufaidika kwa mengi kutokana na teknolojia hizi kwanza wao huweza kujisomea masomo yao ya ziada kwa kutumia kompyuta bila ya kumngojea mwalimu. Vilevile wao huweza kupata habari za nje ya shule yao kwa kutazama runinga ya taifa. Wanafunzi pia hufaidika kwa kusoma masomo ya kisayansi yanayotokana na teknolojia. Haya humfaidi mwanafunzi kwa kumjulisha juu ya viungo vyake vya mwili jinsi vinavyofanya kazi na vipi mwilini.
Minghairi ya hayo, kuna baadhi ya teknolojia ambazo huwa ni muhimu sana hasa kwa shule za malazi kwa mfano (CCTV). Hizi husaidia kuwanasa wale wanafunzi waovu, hivyo basi kuwatetea wale waadilifu.
Vilevile kuna madhara mengi yanayotokana na teknolojia. Madhara yenyewe ni kama vile wanafunzi wanaweza kutumia vyombo vya mawasiliano ili kukamilisha uhalifu. Wanaweza kuwasiliana na watu walio nje ya shule ili kukamilisha uhalifu fulani.
Vilevile, baadhi ya teknolojia huonyesha michezo michafu kama vile ngono. Hizi huwasababisha wanafunzi hawa kujishirikisha katika ngono za mapema na kusababisha kuongezeka kwa mimba za mapema nchini.
| Kwa nini mimba za mapema huongezeka miongoni mwa wanafunzi | {
"text": [
"Wanajishirikisha kwa ngono za mapema"
]
} |
3082_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni matumizi ya vyombo vinavyotumika kupokea na kusambaza habari kwa njia ya urahisi na haraka. Vyombo hivi ni kama vile simu, televisheni, redio, kompyuta na kadhalika. Vyombo hivi vimevumbuliwa na wanasayansi ili kurahisisha mambo kwani hapo zamani havikuwa.
Faida zake ni, kwanza kabisa teknolojia imesaidia wanafunzi kujifunza mambo tumbi tumbi kutoka maeneo mbali mbali pasi na gharama kubwa. Simu zinasaidia wanafunzi kufanya utafiti kuhusu masomo kwa sekunde kidogo · Ukilinganisha na masomo ya zamani ambapo ili wagharimu watu kutembea kutoka eneo moja hadi ingine ili kufanya uchunguzi juu ya jambo fulani, kwa kweli tuwape kongole wavumbuzi wa teknolojia .
Pili teknolojia kama vile runinga inaweza kuwa pumzisha kwa kuwaburudisha wanafunzi ifikapo mida ya jioni baada ya pilka pilka za hapa na pale za masomo. Binadamu pia huhitaji mapumziko baada ya shughuli nyingi. Ni dhahiri shahiri kwamba runinga ndiyo kiburudishacho wengi katika sayari hii.
Tatu vyombo vya habari vinasaidia kupokea na kusambaza habari muhimu kutoka eneo fulani hodi nyingine kwa muda kidogo. Walimu wa shule za pili wamenufaika sana sekta hii ya habari.
Vile vile wahenga walisema si vyote ving'avyo ni dhahabu. Teknolojia ina madhara yake katika shule za sekondari. Kwanza ni kwamba matumizi ya televisheni na simu za video zimewapora wanafunzi utu na kusalia bila maadili. Wanafunzi hutazama video za ngono na kutaka kuyafanya mambo waonayo bila kuzingatia madhara yake.
Fauka ya hayo, wanafunzi hutazama video za vita. Filamu hizi husababisha mtofaruko shuleni na kukosesha amani. Wanafunzi huchukua ujuzi ule wa magwiji wa vita na kujitwiko kwa kutofuta umaarufu.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba teknolojia imesababisha ongezeko la visa vya wizi. Si mashuleni tu bali mahali popote pale kwa kurahisisha swala la mawasiliano. Teknolojia imechangia pakubwa nambari ya visa vya wizi. | Vyombo vya teknolojia vilivumbuliwa na nani | {
"text": [
"wanasayansi"
]
} |
3082_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni matumizi ya vyombo vinavyotumika kupokea na kusambaza habari kwa njia ya urahisi na haraka. Vyombo hivi ni kama vile simu, televisheni, redio, kompyuta na kadhalika. Vyombo hivi vimevumbuliwa na wanasayansi ili kurahisisha mambo kwani hapo zamani havikuwa.
Faida zake ni, kwanza kabisa teknolojia imesaidia wanafunzi kujifunza mambo tumbi tumbi kutoka maeneo mbali mbali pasi na gharama kubwa. Simu zinasaidia wanafunzi kufanya utafiti kuhusu masomo kwa sekunde kidogo · Ukilinganisha na masomo ya zamani ambapo ili wagharimu watu kutembea kutoka eneo moja hadi ingine ili kufanya uchunguzi juu ya jambo fulani, kwa kweli tuwape kongole wavumbuzi wa teknolojia .
Pili teknolojia kama vile runinga inaweza kuwa pumzisha kwa kuwaburudisha wanafunzi ifikapo mida ya jioni baada ya pilka pilka za hapa na pale za masomo. Binadamu pia huhitaji mapumziko baada ya shughuli nyingi. Ni dhahiri shahiri kwamba runinga ndiyo kiburudishacho wengi katika sayari hii.
Tatu vyombo vya habari vinasaidia kupokea na kusambaza habari muhimu kutoka eneo fulani hodi nyingine kwa muda kidogo. Walimu wa shule za pili wamenufaika sana sekta hii ya habari.
Vile vile wahenga walisema si vyote ving'avyo ni dhahabu. Teknolojia ina madhara yake katika shule za sekondari. Kwanza ni kwamba matumizi ya televisheni na simu za video zimewapora wanafunzi utu na kusalia bila maadili. Wanafunzi hutazama video za ngono na kutaka kuyafanya mambo waonayo bila kuzingatia madhara yake.
Fauka ya hayo, wanafunzi hutazama video za vita. Filamu hizi husababisha mtofaruko shuleni na kukosesha amani. Wanafunzi huchukua ujuzi ule wa magwiji wa vita na kujitwiko kwa kutofuta umaarufu.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba teknolojia imesababisha ongezeko la visa vya wizi. Si mashuleni tu bali mahali popote pale kwa kurahisisha swala la mawasiliano. Teknolojia imechangia pakubwa nambari ya visa vya wizi. | Simu hutumia muda upi kufanya utafiti | {
"text": [
"sekunde kidogo"
]
} |
3082_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni matumizi ya vyombo vinavyotumika kupokea na kusambaza habari kwa njia ya urahisi na haraka. Vyombo hivi ni kama vile simu, televisheni, redio, kompyuta na kadhalika. Vyombo hivi vimevumbuliwa na wanasayansi ili kurahisisha mambo kwani hapo zamani havikuwa.
Faida zake ni, kwanza kabisa teknolojia imesaidia wanafunzi kujifunza mambo tumbi tumbi kutoka maeneo mbali mbali pasi na gharama kubwa. Simu zinasaidia wanafunzi kufanya utafiti kuhusu masomo kwa sekunde kidogo · Ukilinganisha na masomo ya zamani ambapo ili wagharimu watu kutembea kutoka eneo moja hadi ingine ili kufanya uchunguzi juu ya jambo fulani, kwa kweli tuwape kongole wavumbuzi wa teknolojia .
Pili teknolojia kama vile runinga inaweza kuwa pumzisha kwa kuwaburudisha wanafunzi ifikapo mida ya jioni baada ya pilka pilka za hapa na pale za masomo. Binadamu pia huhitaji mapumziko baada ya shughuli nyingi. Ni dhahiri shahiri kwamba runinga ndiyo kiburudishacho wengi katika sayari hii.
Tatu vyombo vya habari vinasaidia kupokea na kusambaza habari muhimu kutoka eneo fulani hodi nyingine kwa muda kidogo. Walimu wa shule za pili wamenufaika sana sekta hii ya habari.
Vile vile wahenga walisema si vyote ving'avyo ni dhahabu. Teknolojia ina madhara yake katika shule za sekondari. Kwanza ni kwamba matumizi ya televisheni na simu za video zimewapora wanafunzi utu na kusalia bila maadili. Wanafunzi hutazama video za ngono na kutaka kuyafanya mambo waonayo bila kuzingatia madhara yake.
Fauka ya hayo, wanafunzi hutazama video za vita. Filamu hizi husababisha mtofaruko shuleni na kukosesha amani. Wanafunzi huchukua ujuzi ule wa magwiji wa vita na kujitwiko kwa kutofuta umaarufu.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba teknolojia imesababisha ongezeko la visa vya wizi. Si mashuleni tu bali mahali popote pale kwa kurahisisha swala la mawasiliano. Teknolojia imechangia pakubwa nambari ya visa vya wizi. | Runinga huwaburudishi wanafunzi lini | {
"text": [
"jioni"
]
} |
3082_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni matumizi ya vyombo vinavyotumika kupokea na kusambaza habari kwa njia ya urahisi na haraka. Vyombo hivi ni kama vile simu, televisheni, redio, kompyuta na kadhalika. Vyombo hivi vimevumbuliwa na wanasayansi ili kurahisisha mambo kwani hapo zamani havikuwa.
Faida zake ni, kwanza kabisa teknolojia imesaidia wanafunzi kujifunza mambo tumbi tumbi kutoka maeneo mbali mbali pasi na gharama kubwa. Simu zinasaidia wanafunzi kufanya utafiti kuhusu masomo kwa sekunde kidogo · Ukilinganisha na masomo ya zamani ambapo ili wagharimu watu kutembea kutoka eneo moja hadi ingine ili kufanya uchunguzi juu ya jambo fulani, kwa kweli tuwape kongole wavumbuzi wa teknolojia .
Pili teknolojia kama vile runinga inaweza kuwa pumzisha kwa kuwaburudisha wanafunzi ifikapo mida ya jioni baada ya pilka pilka za hapa na pale za masomo. Binadamu pia huhitaji mapumziko baada ya shughuli nyingi. Ni dhahiri shahiri kwamba runinga ndiyo kiburudishacho wengi katika sayari hii.
Tatu vyombo vya habari vinasaidia kupokea na kusambaza habari muhimu kutoka eneo fulani hodi nyingine kwa muda kidogo. Walimu wa shule za pili wamenufaika sana sekta hii ya habari.
Vile vile wahenga walisema si vyote ving'avyo ni dhahabu. Teknolojia ina madhara yake katika shule za sekondari. Kwanza ni kwamba matumizi ya televisheni na simu za video zimewapora wanafunzi utu na kusalia bila maadili. Wanafunzi hutazama video za ngono na kutaka kuyafanya mambo waonayo bila kuzingatia madhara yake.
Fauka ya hayo, wanafunzi hutazama video za vita. Filamu hizi husababisha mtofaruko shuleni na kukosesha amani. Wanafunzi huchukua ujuzi ule wa magwiji wa vita na kujitwiko kwa kutofuta umaarufu.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba teknolojia imesababisha ongezeko la visa vya wizi. Si mashuleni tu bali mahali popote pale kwa kurahisisha swala la mawasiliano. Teknolojia imechangia pakubwa nambari ya visa vya wizi. | Nini husababishwa na video za vita | {
"text": [
"mtafaruku shuleni"
]
} |
3082_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni matumizi ya vyombo vinavyotumika kupokea na kusambaza habari kwa njia ya urahisi na haraka. Vyombo hivi ni kama vile simu, televisheni, redio, kompyuta na kadhalika. Vyombo hivi vimevumbuliwa na wanasayansi ili kurahisisha mambo kwani hapo zamani havikuwa.
Faida zake ni, kwanza kabisa teknolojia imesaidia wanafunzi kujifunza mambo tumbi tumbi kutoka maeneo mbali mbali pasi na gharama kubwa. Simu zinasaidia wanafunzi kufanya utafiti kuhusu masomo kwa sekunde kidogo · Ukilinganisha na masomo ya zamani ambapo ili wagharimu watu kutembea kutoka eneo moja hadi ingine ili kufanya uchunguzi juu ya jambo fulani, kwa kweli tuwape kongole wavumbuzi wa teknolojia .
Pili teknolojia kama vile runinga inaweza kuwa pumzisha kwa kuwaburudisha wanafunzi ifikapo mida ya jioni baada ya pilka pilka za hapa na pale za masomo. Binadamu pia huhitaji mapumziko baada ya shughuli nyingi. Ni dhahiri shahiri kwamba runinga ndiyo kiburudishacho wengi katika sayari hii.
Tatu vyombo vya habari vinasaidia kupokea na kusambaza habari muhimu kutoka eneo fulani hodi nyingine kwa muda kidogo. Walimu wa shule za pili wamenufaika sana sekta hii ya habari.
Vile vile wahenga walisema si vyote ving'avyo ni dhahabu. Teknolojia ina madhara yake katika shule za sekondari. Kwanza ni kwamba matumizi ya televisheni na simu za video zimewapora wanafunzi utu na kusalia bila maadili. Wanafunzi hutazama video za ngono na kutaka kuyafanya mambo waonayo bila kuzingatia madhara yake.
Fauka ya hayo, wanafunzi hutazama video za vita. Filamu hizi husababisha mtofaruko shuleni na kukosesha amani. Wanafunzi huchukua ujuzi ule wa magwiji wa vita na kujitwiko kwa kutofuta umaarufu.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba teknolojia imesababisha ongezeko la visa vya wizi. Si mashuleni tu bali mahali popote pale kwa kurahisisha swala la mawasiliano. Teknolojia imechangia pakubwa nambari ya visa vya wizi. | Mbona wanafunzi walitembea kutoka eneo moja hadi jingine | {
"text": [
"kufanya uchunguzi juu ya jambo fulani"
]
} |
3083_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha mja yeyote asiyesikiliza mawaidha au nasaha za wayele wake, hukumbwa na dhoruba.
Inatumika kuwaonya wale wanaopuuza ushauri na nasaha za walio juu yao.
Mkadi ni ghulamu mwenye umri wa miaka thenashara. Alizaliwa na kulelewa katika familia yenye pato la heri. Alipata malezi mema kutoka kwa wazazi wangu. Hakuna chochote alichokitoji akakikosa. Fauku ya hayo, kijana huyu alikuwa wembe masomoni. Hakuna aliye mpiku kijana huyu darasani.
Naam wahenga hawa kwenda mrama waliponena kwamba si vyote ving'avyo ni dhahabu. Tabia za kijana huyu zilikunuka fe! Mambo aliyoyafanya Mkadi ni shetani tu aliyeweza kuyafanya. Jambo hilo halikuwafurahisha wazazi wake. Walijaribu kwa jino na ukucha kumrudi mwango lakini wapi. Sikio la kufa halisikii dawa. Mkadi aliyatia masikio yake nta na kutosikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alishikana na kundi la vijana afriti kijiti.
Waliomuelewa vizuri kijana huyu walimtambua tatizo lake. Tabia hii yake mbaya ilitokana na ugwiji wake masomoni uliomfanya ajivike ujeuri. Walimu wake walimpo nasaha. Wanafunzi wenzake walio ona dalili za maporomoka ya maadili walijaribu kumsaidia ila juhudi zao ziliambulia patupu. Mkadi aliamua kulivaa joho la ujeuri.
Mkataa pema pabaya pamngoja na mwiba wa kujichoma mwenyewe hauna kilio. Siku moja Mkadi alifikwa na mashaka baada ya kumdharau mkuu wa polisi. Jumatatu hiyo asubuhi ilikuwa siku ya chete. Alienda Cheteni na kutokana na tamaa yake alimbakura muuza vibeti cheni yake ya dhahabu aliyokuwa amevaa shingoni· Jambo hili halikumfurahisha na alifululiza hadi kituo cha polisi kumshtaki Mkadi. Baada ya muda wa kelbu kukalia mkia wake, Mkadi alikuwa kashatiwa nguvuni.
Huko mahakamani ghulamu huyu alitoa cheche za matusi. Mkuu wa polisi aliamrisha Mkadi apewe kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kutoa matusi mbele ya koti. Hapo ndipo nilijifunza asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Mkadi alilelewa katika familia ya aina gani | {
"text": [
"yenye pato la heri"
]
} |
3083_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha mja yeyote asiyesikiliza mawaidha au nasaha za wayele wake, hukumbwa na dhoruba.
Inatumika kuwaonya wale wanaopuuza ushauri na nasaha za walio juu yao.
Mkadi ni ghulamu mwenye umri wa miaka thenashara. Alizaliwa na kulelewa katika familia yenye pato la heri. Alipata malezi mema kutoka kwa wazazi wangu. Hakuna chochote alichokitoji akakikosa. Fauku ya hayo, kijana huyu alikuwa wembe masomoni. Hakuna aliye mpiku kijana huyu darasani.
Naam wahenga hawa kwenda mrama waliponena kwamba si vyote ving'avyo ni dhahabu. Tabia za kijana huyu zilikunuka fe! Mambo aliyoyafanya Mkadi ni shetani tu aliyeweza kuyafanya. Jambo hilo halikuwafurahisha wazazi wake. Walijaribu kwa jino na ukucha kumrudi mwango lakini wapi. Sikio la kufa halisikii dawa. Mkadi aliyatia masikio yake nta na kutosikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alishikana na kundi la vijana afriti kijiti.
Waliomuelewa vizuri kijana huyu walimtambua tatizo lake. Tabia hii yake mbaya ilitokana na ugwiji wake masomoni uliomfanya ajivike ujeuri. Walimu wake walimpo nasaha. Wanafunzi wenzake walio ona dalili za maporomoka ya maadili walijaribu kumsaidia ila juhudi zao ziliambulia patupu. Mkadi aliamua kulivaa joho la ujeuri.
Mkataa pema pabaya pamngoja na mwiba wa kujichoma mwenyewe hauna kilio. Siku moja Mkadi alifikwa na mashaka baada ya kumdharau mkuu wa polisi. Jumatatu hiyo asubuhi ilikuwa siku ya chete. Alienda Cheteni na kutokana na tamaa yake alimbakura muuza vibeti cheni yake ya dhahabu aliyokuwa amevaa shingoni· Jambo hili halikumfurahisha na alifululiza hadi kituo cha polisi kumshtaki Mkadi. Baada ya muda wa kelbu kukalia mkia wake, Mkadi alikuwa kashatiwa nguvuni.
Huko mahakamani ghulamu huyu alitoa cheche za matusi. Mkuu wa polisi aliamrisha Mkadi apewe kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kutoa matusi mbele ya koti. Hapo ndipo nilijifunza asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Walimu wa Mkadi walimpa nini | {
"text": [
"nasaha"
]
} |
3083_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Methali hii inamaanisha mja yeyote asiyesikiliza mawaidha au nasaha za wayele wake, hukumbwa na dhoruba.
Inatumika kuwaonya wale wanaopuuza ushauri na nasaha za walio juu yao.
Mkadi ni ghulamu mwenye umri wa miaka thenashara. Alizaliwa na kulelewa katika familia yenye pato la heri. Alipata malezi mema kutoka kwa wazazi wangu. Hakuna chochote alichokitoji akakikosa. Fauku ya hayo, kijana huyu alikuwa wembe masomoni. Hakuna aliye mpiku kijana huyu darasani.
Naam wahenga hawa kwenda mrama waliponena kwamba si vyote ving'avyo ni dhahabu. Tabia za kijana huyu zilikunuka fe! Mambo aliyoyafanya Mkadi ni shetani tu aliyeweza kuyafanya. Jambo hilo halikuwafurahisha wazazi wake. Walijaribu kwa jino na ukucha kumrudi mwango lakini wapi. Sikio la kufa halisikii dawa. Mkadi aliyatia masikio yake nta na kutosikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Alishikana na kundi la vijana afriti kijiti.
Waliomuelewa vizuri kijana huyu walimtambua tatizo lake. Tabia hii yake mbaya ilitokana na ugwiji wake masomoni uliomfanya ajivike ujeuri. Walimu wake walimpo nasaha. Wanafunzi wenzake walio ona dalili za maporomoka ya maadili walijaribu kumsaidia ila juhudi zao ziliambulia patupu. Mkadi aliamua kulivaa joho la ujeuri.
Mkataa pema pabaya pamngoja na mwiba wa kujichoma mwenyewe hauna kilio. Siku moja Mkadi alifikwa na mashaka baada ya kumdharau mkuu wa polisi. Jumatatu hiyo asubuhi ilikuwa siku ya chete. Alienda Cheteni na kutokana na tamaa yake alimbakura muuza vibeti cheni yake ya dhahabu aliyokuwa amevaa shingoni· Jambo hili halikumfurahisha na alifululiza hadi kituo cha polisi kumshtaki Mkadi. Baada ya muda wa kelbu kukalia mkia wake, Mkadi alikuwa kashatiwa nguvuni.
Huko mahakamani ghulamu huyu alitoa cheche za matusi. Mkuu wa polisi aliamrisha Mkadi apewe kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kutoa matusi mbele ya koti. Hapo ndipo nilijifunza asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Mkadi alienda cheteni lini | {
"text": [
"Jumatatu asubuhi"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.