Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2532_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU BONFACE NA MWANAFUNZI DONBELL KUHUSU NJIA ZA KUIMARISHA MATOKEO SHULENI (Mwalimu mkuu Bwana Bonface Wakhungu yumo ndani ya ofisi saa tatu unusu asubuhi. Anachukua simu yake ya mkononi kisha kumpigia katibu wake. Punde si punde mlango unabishwa baada ya muda usiokuwa mrefu. Kumbe katibu alikuwa amemkubalisha mwanafunzi kuingia ili wawere kuonana na mwalimu mkuu) Mwalimu Mkuu : Karibu ndani (Ananena huku akiangalia mkononi mwake ili aisome saa yake) Mwanafunzi: Asante sana mwalimu. (huku akiinama kuonyesha heshima) Nilipata habari kuwa ulikuwa unataka mazungumzo nami kuhusu jinsi za kuimarisha matokeo bora shuleni. Ninafurahi sana kuwa hapa. Mwalimu Mkuu : Naam, murwa kabisa. (Akimnyoshea mkono kumsalimia) Ninaona uketi chini ili tuanze kilichotuleta hapa. Mwanafunzi : Asante. (akiketi kwa taratibu) Naam, kuna njia mbali mbali za kuboresha matokeo yetu na njia moja kulingana nami ni kuweza kuongeza muda wa madarasa ya jioni ili kuweza kuwapa walimu kadha wa kadha pamoja na wanafunzi kutimiza malengo yao kimaisha na kimasomo. Kulingana na shule yetu inapofika saa tatu unusu wanafunzi wote huwa wanayaacha madarasa yao nakuelekea kwenye bweni ilhali wanaporudi wanafukuzwa na walinzi warudi mabwenini. Mwalimu Mkuu : Safi kabisa nami pia ninaonelea iwapo tunaweza kuanzisha mpango wa kuwa zawadi wanafunzi kama wewe wanaofanya mitihani yao vyema na kupita. Ninaona kama kufanya hivyo kutawapa wanafunzi motisha ya kufanya bidii masomoni. Mwanafunzi : Pia hio ni mbinu mojawapo inayoweza kutiliwa mkazo. Na-a-a-a mwalimu vipi tukisema kuwa tuweze kutunga masomo fulani ili wanafunzi wa kidato cha 2mpaka 4 wawe wakiweza kwenda kwenye maktaba na kudurusu vitabu tofauti tofauti hivyo tutakuwa tunawapa fursa ya kufanya utafiti wakutosha hivyo basi matokeo yetu bilashaka yataimarika. Mwalimu Mkuu : Naam nimekuskiza. Tunaweza pia kuweka ratiba za siku fulani kwa muhula uwe siku ya kiswahili na siku ya kizungu na masomo mengine ili kuruhusu kupata mafunzo zaidi juu ya masomo hayo. Mwanafunzi : Maoni yangu pia nilionelea kuwa tunaweza mara kwa mara kuleta na kuweka kwa mpango vitu kama mitihani ya dharura mara kwa mara hasa kwa wana kidato cha nne ili kuongeza kiwango chao cha kusoma na kuelewa mambo. Mwalimu Mkuu : Asante sana, ninaona kwamba muda unatupa kisogo (Akisimama na kunyosha mkono wake ili kunisalimia kunipa kwaheri) Tutaweza kupatana tena siku nyingine baada ya mtihani wa ndani na kuzungumza mengi. Mwanafunzi : (huku akiondoka) Asante sana mwalimu mkuu, siku njema. Nitapatikana iwapo utanihitaji. Mwalimu Mkuu : Haya, sawa sawa, asante siku njema pia nawe.
Mwalimu mkuu alitaka kuzungumza na mwanafunzi jinsi ya kuimarisha nini
{ "text": [ "Matokeo bora shuleni" ] }
2532_swa
MAZUNGUMZO BAINA YA MWALIMU BONFACE NA MWANAFUNZI DONBELL KUHUSU NJIA ZA KUIMARISHA MATOKEO SHULENI (Mwalimu mkuu Bwana Bonface Wakhungu yumo ndani ya ofisi saa tatu unusu asubuhi. Anachukua simu yake ya mkononi kisha kumpigia katibu wake. Punde si punde mlango unabishwa baada ya muda usiokuwa mrefu. Kumbe katibu alikuwa amemkubalisha mwanafunzi kuingia ili wawere kuonana na mwalimu mkuu) Mwalimu Mkuu : Karibu ndani (Ananena huku akiangalia mkononi mwake ili aisome saa yake) Mwanafunzi: Asante sana mwalimu. (huku akiinama kuonyesha heshima) Nilipata habari kuwa ulikuwa unataka mazungumzo nami kuhusu jinsi za kuimarisha matokeo bora shuleni. Ninafurahi sana kuwa hapa. Mwalimu Mkuu : Naam, murwa kabisa. (Akimnyoshea mkono kumsalimia) Ninaona uketi chini ili tuanze kilichotuleta hapa. Mwanafunzi : Asante. (akiketi kwa taratibu) Naam, kuna njia mbali mbali za kuboresha matokeo yetu na njia moja kulingana nami ni kuweza kuongeza muda wa madarasa ya jioni ili kuweza kuwapa walimu kadha wa kadha pamoja na wanafunzi kutimiza malengo yao kimaisha na kimasomo. Kulingana na shule yetu inapofika saa tatu unusu wanafunzi wote huwa wanayaacha madarasa yao nakuelekea kwenye bweni ilhali wanaporudi wanafukuzwa na walinzi warudi mabwenini. Mwalimu Mkuu : Safi kabisa nami pia ninaonelea iwapo tunaweza kuanzisha mpango wa kuwa zawadi wanafunzi kama wewe wanaofanya mitihani yao vyema na kupita. Ninaona kama kufanya hivyo kutawapa wanafunzi motisha ya kufanya bidii masomoni. Mwanafunzi : Pia hio ni mbinu mojawapo inayoweza kutiliwa mkazo. Na-a-a-a mwalimu vipi tukisema kuwa tuweze kutunga masomo fulani ili wanafunzi wa kidato cha 2mpaka 4 wawe wakiweza kwenda kwenye maktaba na kudurusu vitabu tofauti tofauti hivyo tutakuwa tunawapa fursa ya kufanya utafiti wakutosha hivyo basi matokeo yetu bilashaka yataimarika. Mwalimu Mkuu : Naam nimekuskiza. Tunaweza pia kuweka ratiba za siku fulani kwa muhula uwe siku ya kiswahili na siku ya kizungu na masomo mengine ili kuruhusu kupata mafunzo zaidi juu ya masomo hayo. Mwanafunzi : Maoni yangu pia nilionelea kuwa tunaweza mara kwa mara kuleta na kuweka kwa mpango vitu kama mitihani ya dharura mara kwa mara hasa kwa wana kidato cha nne ili kuongeza kiwango chao cha kusoma na kuelewa mambo. Mwalimu Mkuu : Asante sana, ninaona kwamba muda unatupa kisogo (Akisimama na kunyosha mkono wake ili kunisalimia kunipa kwaheri) Tutaweza kupatana tena siku nyingine baada ya mtihani wa ndani na kuzungumza mengi. Mwanafunzi : (huku akiondoka) Asante sana mwalimu mkuu, siku njema. Nitapatikana iwapo utanihitaji. Mwalimu Mkuu : Haya, sawa sawa, asante siku njema pia nawe.
Kuna haja gani kuleta mitihani ya dharura mara kwa mara
{ "text": [ "Ili kuongeza kiwango chao cha kusoma na kuelewa majibu" ] }
2533_swa
NJIA ZA KUKABILIANA NA UMASKINI NCHINI Umaskini ni tatizo sugu linalodumaza maendeleo katika nchi nyingi huswa barani Afrika. Asilimia kubwa ya wananchi halina uwezo wa kuweka chakula mezani ikiwa ni ya kwamba wengi wao wanakosa ajira. Hata hivyo mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali pamoja na serikali za nchi zilizokumbwa na janga la umaskini wamejifunga kibwebwe na kuhakikisha tatizo hili sugu lililokita kita mizizi katika nchi zisizo endelea. Zipo njia totauti tofauti zinazoweza kutumika katika kutatua tatizo hili kwa ufasaha. Kwanza serikali za nchi zinapaswa kutengeza mashirika tofauti tofauti yatakayo waajiri wananchi wasiokuwa na ajira ndiposa waweze kupata kipato watakayotumia kukidhi mahitaji yao na familia zao. Njia hii ni muafaka kwa sababu wananchi wengi wapo katika tatizo la umaskani kama sababu ya kukosa ajira linaloweza kuwainua kutoka umaskini. Pili serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali inapaswa kuleta masomo ya bure kwa wananchi. Utafiti unaonyesha kwamba asilimia arobaini ya wananchi maskini ilitokea kwa kukosa kisomo. Masomo ya bure itahakikisha wananchi wengi wataweza kupata elimu na kuajiriwa wanapohitimu na huyo basi kuepukana na umaskini. Wananchi wanapaswa kuhamasisha kutotegemea kazi za kuajiriwa kwani vijana wengi siku hizi hufuzu vizuri katika masomo yao ila hawaja ajiriwa na hiyo basi kuishia kuwa maskini. Njia ya kuuwahamasisha vijana itawezesha waanzishe biashara zao na kuepukana na umaskini ikiwa ni ya kwamba biashara hizo zitatumika njia mbadala ya kupata kipato iwapo mtu hajaweza kuajiriwa. Hili litasaidia pakubwa kukabiliana na umaskini. Serikali inapaswa kupunguza mikopo inayochukua kutoka nchi zingine. Mikopo hii husababisha uchumi wa nchi kupanda juu na kufanya gharama ya wananchi wa kawaida kuwa ngumu. Mikopo hii husababisha nchi kutumia rasilimali na hela nyingi katika kulipa mikopo hio. Iwapo mikopo itapunguzwa hali hiyo ya maisha itakuwa rahisi na hivyo basi kupunguza umaskini. Umaz ni tatizo kubwa la laini hatahingo kubkana na hoja hizi ni ukweli ya kwamba limaskani Anitatizo linaloweza kukabilikka ipasango Pimapo Senkedi itaweka mikakati ifaayo
Ukosefu wa nini huzidisha umaskini?
{ "text": [ "Ajira" ] }
2533_swa
NJIA ZA KUKABILIANA NA UMASKINI NCHINI Umaskini ni tatizo sugu linalodumaza maendeleo katika nchi nyingi huswa barani Afrika. Asilimia kubwa ya wananchi halina uwezo wa kuweka chakula mezani ikiwa ni ya kwamba wengi wao wanakosa ajira. Hata hivyo mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali pamoja na serikali za nchi zilizokumbwa na janga la umaskini wamejifunga kibwebwe na kuhakikisha tatizo hili sugu lililokita kita mizizi katika nchi zisizo endelea. Zipo njia totauti tofauti zinazoweza kutumika katika kutatua tatizo hili kwa ufasaha. Kwanza serikali za nchi zinapaswa kutengeza mashirika tofauti tofauti yatakayo waajiri wananchi wasiokuwa na ajira ndiposa waweze kupata kipato watakayotumia kukidhi mahitaji yao na familia zao. Njia hii ni muafaka kwa sababu wananchi wengi wapo katika tatizo la umaskani kama sababu ya kukosa ajira linaloweza kuwainua kutoka umaskini. Pili serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali inapaswa kuleta masomo ya bure kwa wananchi. Utafiti unaonyesha kwamba asilimia arobaini ya wananchi maskini ilitokea kwa kukosa kisomo. Masomo ya bure itahakikisha wananchi wengi wataweza kupata elimu na kuajiriwa wanapohitimu na huyo basi kuepukana na umaskini. Wananchi wanapaswa kuhamasisha kutotegemea kazi za kuajiriwa kwani vijana wengi siku hizi hufuzu vizuri katika masomo yao ila hawaja ajiriwa na hiyo basi kuishia kuwa maskini. Njia ya kuuwahamasisha vijana itawezesha waanzishe biashara zao na kuepukana na umaskini ikiwa ni ya kwamba biashara hizo zitatumika njia mbadala ya kupata kipato iwapo mtu hajaweza kuajiriwa. Hili litasaidia pakubwa kukabiliana na umaskini. Serikali inapaswa kupunguza mikopo inayochukua kutoka nchi zingine. Mikopo hii husababisha uchumi wa nchi kupanda juu na kufanya gharama ya wananchi wa kawaida kuwa ngumu. Mikopo hii husababisha nchi kutumia rasilimali na hela nyingi katika kulipa mikopo hio. Iwapo mikopo itapunguzwa hali hiyo ya maisha itakuwa rahisi na hivyo basi kupunguza umaskini. Umaz ni tatizo kubwa la laini hatahingo kubkana na hoja hizi ni ukweli ya kwamba limaskani Anitatizo linaloweza kukabilikka ipasango Pimapo Senkedi itaweka mikakati ifaayo
Kutolipia masomo nchini Kenya kinaimarishwa na kina nani?
{ "text": [ "Serikali" ] }
2533_swa
NJIA ZA KUKABILIANA NA UMASKINI NCHINI Umaskini ni tatizo sugu linalodumaza maendeleo katika nchi nyingi huswa barani Afrika. Asilimia kubwa ya wananchi halina uwezo wa kuweka chakula mezani ikiwa ni ya kwamba wengi wao wanakosa ajira. Hata hivyo mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali pamoja na serikali za nchi zilizokumbwa na janga la umaskini wamejifunga kibwebwe na kuhakikisha tatizo hili sugu lililokita kita mizizi katika nchi zisizo endelea. Zipo njia totauti tofauti zinazoweza kutumika katika kutatua tatizo hili kwa ufasaha. Kwanza serikali za nchi zinapaswa kutengeza mashirika tofauti tofauti yatakayo waajiri wananchi wasiokuwa na ajira ndiposa waweze kupata kipato watakayotumia kukidhi mahitaji yao na familia zao. Njia hii ni muafaka kwa sababu wananchi wengi wapo katika tatizo la umaskani kama sababu ya kukosa ajira linaloweza kuwainua kutoka umaskini. Pili serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali inapaswa kuleta masomo ya bure kwa wananchi. Utafiti unaonyesha kwamba asilimia arobaini ya wananchi maskini ilitokea kwa kukosa kisomo. Masomo ya bure itahakikisha wananchi wengi wataweza kupata elimu na kuajiriwa wanapohitimu na huyo basi kuepukana na umaskini. Wananchi wanapaswa kuhamasisha kutotegemea kazi za kuajiriwa kwani vijana wengi siku hizi hufuzu vizuri katika masomo yao ila hawaja ajiriwa na hiyo basi kuishia kuwa maskini. Njia ya kuuwahamasisha vijana itawezesha waanzishe biashara zao na kuepukana na umaskini ikiwa ni ya kwamba biashara hizo zitatumika njia mbadala ya kupata kipato iwapo mtu hajaweza kuajiriwa. Hili litasaidia pakubwa kukabiliana na umaskini. Serikali inapaswa kupunguza mikopo inayochukua kutoka nchi zingine. Mikopo hii husababisha uchumi wa nchi kupanda juu na kufanya gharama ya wananchi wa kawaida kuwa ngumu. Mikopo hii husababisha nchi kutumia rasilimali na hela nyingi katika kulipa mikopo hio. Iwapo mikopo itapunguzwa hali hiyo ya maisha itakuwa rahisi na hivyo basi kupunguza umaskini. Umaz ni tatizo kubwa la laini hatahingo kubkana na hoja hizi ni ukweli ya kwamba limaskani Anitatizo linaloweza kukabilikka ipasango Pimapo Senkedi itaweka mikakati ifaayo
Kina nani haswa hawana ajira?
{ "text": [ "Vijana" ] }
2533_swa
NJIA ZA KUKABILIANA NA UMASKINI NCHINI Umaskini ni tatizo sugu linalodumaza maendeleo katika nchi nyingi huswa barani Afrika. Asilimia kubwa ya wananchi halina uwezo wa kuweka chakula mezani ikiwa ni ya kwamba wengi wao wanakosa ajira. Hata hivyo mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali pamoja na serikali za nchi zilizokumbwa na janga la umaskini wamejifunga kibwebwe na kuhakikisha tatizo hili sugu lililokita kita mizizi katika nchi zisizo endelea. Zipo njia totauti tofauti zinazoweza kutumika katika kutatua tatizo hili kwa ufasaha. Kwanza serikali za nchi zinapaswa kutengeza mashirika tofauti tofauti yatakayo waajiri wananchi wasiokuwa na ajira ndiposa waweze kupata kipato watakayotumia kukidhi mahitaji yao na familia zao. Njia hii ni muafaka kwa sababu wananchi wengi wapo katika tatizo la umaskani kama sababu ya kukosa ajira linaloweza kuwainua kutoka umaskini. Pili serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali inapaswa kuleta masomo ya bure kwa wananchi. Utafiti unaonyesha kwamba asilimia arobaini ya wananchi maskini ilitokea kwa kukosa kisomo. Masomo ya bure itahakikisha wananchi wengi wataweza kupata elimu na kuajiriwa wanapohitimu na huyo basi kuepukana na umaskini. Wananchi wanapaswa kuhamasisha kutotegemea kazi za kuajiriwa kwani vijana wengi siku hizi hufuzu vizuri katika masomo yao ila hawaja ajiriwa na hiyo basi kuishia kuwa maskini. Njia ya kuuwahamasisha vijana itawezesha waanzishe biashara zao na kuepukana na umaskini ikiwa ni ya kwamba biashara hizo zitatumika njia mbadala ya kupata kipato iwapo mtu hajaweza kuajiriwa. Hili litasaidia pakubwa kukabiliana na umaskini. Serikali inapaswa kupunguza mikopo inayochukua kutoka nchi zingine. Mikopo hii husababisha uchumi wa nchi kupanda juu na kufanya gharama ya wananchi wa kawaida kuwa ngumu. Mikopo hii husababisha nchi kutumia rasilimali na hela nyingi katika kulipa mikopo hio. Iwapo mikopo itapunguzwa hali hiyo ya maisha itakuwa rahisi na hivyo basi kupunguza umaskini. Umaz ni tatizo kubwa la laini hatahingo kubkana na hoja hizi ni ukweli ya kwamba limaskani Anitatizo linaloweza kukabilikka ipasango Pimapo Senkedi itaweka mikakati ifaayo
Serikali hutoza wananchi nini ili kuimarisha uchumi?
{ "text": [ "Ushuru" ] }
2533_swa
NJIA ZA KUKABILIANA NA UMASKINI NCHINI Umaskini ni tatizo sugu linalodumaza maendeleo katika nchi nyingi huswa barani Afrika. Asilimia kubwa ya wananchi halina uwezo wa kuweka chakula mezani ikiwa ni ya kwamba wengi wao wanakosa ajira. Hata hivyo mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali pamoja na serikali za nchi zilizokumbwa na janga la umaskini wamejifunga kibwebwe na kuhakikisha tatizo hili sugu lililokita kita mizizi katika nchi zisizo endelea. Zipo njia totauti tofauti zinazoweza kutumika katika kutatua tatizo hili kwa ufasaha. Kwanza serikali za nchi zinapaswa kutengeza mashirika tofauti tofauti yatakayo waajiri wananchi wasiokuwa na ajira ndiposa waweze kupata kipato watakayotumia kukidhi mahitaji yao na familia zao. Njia hii ni muafaka kwa sababu wananchi wengi wapo katika tatizo la umaskani kama sababu ya kukosa ajira linaloweza kuwainua kutoka umaskini. Pili serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali inapaswa kuleta masomo ya bure kwa wananchi. Utafiti unaonyesha kwamba asilimia arobaini ya wananchi maskini ilitokea kwa kukosa kisomo. Masomo ya bure itahakikisha wananchi wengi wataweza kupata elimu na kuajiriwa wanapohitimu na huyo basi kuepukana na umaskini. Wananchi wanapaswa kuhamasisha kutotegemea kazi za kuajiriwa kwani vijana wengi siku hizi hufuzu vizuri katika masomo yao ila hawaja ajiriwa na hiyo basi kuishia kuwa maskini. Njia ya kuuwahamasisha vijana itawezesha waanzishe biashara zao na kuepukana na umaskini ikiwa ni ya kwamba biashara hizo zitatumika njia mbadala ya kupata kipato iwapo mtu hajaweza kuajiriwa. Hili litasaidia pakubwa kukabiliana na umaskini. Serikali inapaswa kupunguza mikopo inayochukua kutoka nchi zingine. Mikopo hii husababisha uchumi wa nchi kupanda juu na kufanya gharama ya wananchi wa kawaida kuwa ngumu. Mikopo hii husababisha nchi kutumia rasilimali na hela nyingi katika kulipa mikopo hio. Iwapo mikopo itapunguzwa hali hiyo ya maisha itakuwa rahisi na hivyo basi kupunguza umaskini. Umaz ni tatizo kubwa la laini hatahingo kubkana na hoja hizi ni ukweli ya kwamba limaskani Anitatizo linaloweza kukabilikka ipasango Pimapo Senkedi itaweka mikakati ifaayo
Benki hufadhili wanabiashara kwa kuwapa nini?
{ "text": [ "Mikopo za kibiashara" ] }
2534_swa
NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni mojawapo ya lugha zinazotumiwa na mataifa tofauti tofauti barani Africa. Ili kuimarisha lugha hii ya kiswahili wananchi wanapaswa kuelimishwa na kuelezea mbinu tofauti ya kutumia lugha hii kutegemea muktadha. Wataalamu wa Kiswahili ndio ambao wanapaswa kuwaelimesha wananchi njia hii. Wananchi wengi wanaweza kuimarisha matumizi yao kwa lugha ya Kiswahili na Kiswahili itaimarika na kutumiwa kama lugha muhimu wa taifa. Kiswahili pia inafaa kutumiwa katika sherehe za sikukuu za taifa ili kuwajulisha wananchi njia mwafaka ya kutumia lugha hilo. Pia inaweza kuwaelimisha wananchi wengi kuhusu mbinu tofauti ya kuzungumza lugha hii ya Kiswahili. Njia ingine ya kuimarisha lugha hii ya Kiswahili ni kuwashauri wananchi umuhimu wa kutumia lugha hii badala ya lugha ya mama. Pia wanafaa kuwashauri kuwa lugha hii ndio inayoeleweka na wananchi wengi nchini. Wananchi pia wanafaa kufundishwa umuhimu wa Lugha hii ya Kiswahili ya kuleta watu wa matabaka mbalimbali pamoja, kurahisisha kuelewana kwa wananchi wanayoitumia na kuuliza uaminifu baina ya wananchi. Njia hii inaweza changia pakubwa kwa kuimarisha Lugha hii ya Kiswahili nchini na pia ulimwenguni. Serikali kuteua siku ya kuzungumza Kiswahili nchini ili kuwahimiza wananchi kutumia lugha hii katika ofisi barabarani na hata pahali popote wanapohitaji kuzungumza na mwengine. Njia hii itasaidia hasa kuimarisha na kuwaelimisha wananchi mbinu tofauti tofauti ya kuzungumza lugha hii ya taifa. Hilo pia litawezesha kudumisha amani na umoja katika nchi pia mataifa mengine ulimwenguni. Lugha hii pia inafaa kutumika katika mikutano ya nchi hii na nchi nyingine ulimwenguni na kuwafundisha nchi za mbali umuhimu wa lugha hii na jinsi ya kuzungumza. Njia hii pia itawezesha nchi hii kukuza amani na umoja baina ya nchi hizo na pia uhusiano mwema baina ya nchi hizo za ulimwengu tofauti tofauti. Kiswahili pia inapaswa kufundishwa katika nchi za ulimwenguni kama somo ili kuwawezesha wananchi wa taifa hizo kujua na kuifahamu lugha hii kwa undani na kuelewa kuzungumza kwa njia tofauti. Pia inafaa kutumika kuandika magazeti, kutoa habari katika mitandao tofauti nchini ili kuwajulisha watu umuhimu wa kutumia lugha hii kwa ufasaha. Njia hii ni nyenzo kubwa ya kuimarisha lugha hii nchini na pia katika ulimwengu. Njia zifuatazo ndizo njia muhimu za kuimarisha lugha hii ya Kiswahili katika nchi hii na hata ulimwenguni.
Lugha gani inafaa kutumika katika sherehe za kitaifa
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
2534_swa
NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni mojawapo ya lugha zinazotumiwa na mataifa tofauti tofauti barani Africa. Ili kuimarisha lugha hii ya kiswahili wananchi wanapaswa kuelimishwa na kuelezea mbinu tofauti ya kutumia lugha hii kutegemea muktadha. Wataalamu wa Kiswahili ndio ambao wanapaswa kuwaelimesha wananchi njia hii. Wananchi wengi wanaweza kuimarisha matumizi yao kwa lugha ya Kiswahili na Kiswahili itaimarika na kutumiwa kama lugha muhimu wa taifa. Kiswahili pia inafaa kutumiwa katika sherehe za sikukuu za taifa ili kuwajulisha wananchi njia mwafaka ya kutumia lugha hilo. Pia inaweza kuwaelimisha wananchi wengi kuhusu mbinu tofauti ya kuzungumza lugha hii ya Kiswahili. Njia ingine ya kuimarisha lugha hii ya Kiswahili ni kuwashauri wananchi umuhimu wa kutumia lugha hii badala ya lugha ya mama. Pia wanafaa kuwashauri kuwa lugha hii ndio inayoeleweka na wananchi wengi nchini. Wananchi pia wanafaa kufundishwa umuhimu wa Lugha hii ya Kiswahili ya kuleta watu wa matabaka mbalimbali pamoja, kurahisisha kuelewana kwa wananchi wanayoitumia na kuuliza uaminifu baina ya wananchi. Njia hii inaweza changia pakubwa kwa kuimarisha Lugha hii ya Kiswahili nchini na pia ulimwenguni. Serikali kuteua siku ya kuzungumza Kiswahili nchini ili kuwahimiza wananchi kutumia lugha hii katika ofisi barabarani na hata pahali popote wanapohitaji kuzungumza na mwengine. Njia hii itasaidia hasa kuimarisha na kuwaelimisha wananchi mbinu tofauti tofauti ya kuzungumza lugha hii ya taifa. Hilo pia litawezesha kudumisha amani na umoja katika nchi pia mataifa mengine ulimwenguni. Lugha hii pia inafaa kutumika katika mikutano ya nchi hii na nchi nyingine ulimwenguni na kuwafundisha nchi za mbali umuhimu wa lugha hii na jinsi ya kuzungumza. Njia hii pia itawezesha nchi hii kukuza amani na umoja baina ya nchi hizo na pia uhusiano mwema baina ya nchi hizo za ulimwengu tofauti tofauti. Kiswahili pia inapaswa kufundishwa katika nchi za ulimwenguni kama somo ili kuwawezesha wananchi wa taifa hizo kujua na kuifahamu lugha hii kwa undani na kuelewa kuzungumza kwa njia tofauti. Pia inafaa kutumika kuandika magazeti, kutoa habari katika mitandao tofauti nchini ili kuwajulisha watu umuhimu wa kutumia lugha hii kwa ufasaha. Njia hii ni nyenzo kubwa ya kuimarisha lugha hii nchini na pia katika ulimwengu. Njia zifuatazo ndizo njia muhimu za kuimarisha lugha hii ya Kiswahili katika nchi hii na hata ulimwenguni.
Kina nani washauriwe umuhimu wa kutumia lugha ya Kiswahili
{ "text": [ "wananchi" ] }
2534_swa
NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni mojawapo ya lugha zinazotumiwa na mataifa tofauti tofauti barani Africa. Ili kuimarisha lugha hii ya kiswahili wananchi wanapaswa kuelimishwa na kuelezea mbinu tofauti ya kutumia lugha hii kutegemea muktadha. Wataalamu wa Kiswahili ndio ambao wanapaswa kuwaelimesha wananchi njia hii. Wananchi wengi wanaweza kuimarisha matumizi yao kwa lugha ya Kiswahili na Kiswahili itaimarika na kutumiwa kama lugha muhimu wa taifa. Kiswahili pia inafaa kutumiwa katika sherehe za sikukuu za taifa ili kuwajulisha wananchi njia mwafaka ya kutumia lugha hilo. Pia inaweza kuwaelimisha wananchi wengi kuhusu mbinu tofauti ya kuzungumza lugha hii ya Kiswahili. Njia ingine ya kuimarisha lugha hii ya Kiswahili ni kuwashauri wananchi umuhimu wa kutumia lugha hii badala ya lugha ya mama. Pia wanafaa kuwashauri kuwa lugha hii ndio inayoeleweka na wananchi wengi nchini. Wananchi pia wanafaa kufundishwa umuhimu wa Lugha hii ya Kiswahili ya kuleta watu wa matabaka mbalimbali pamoja, kurahisisha kuelewana kwa wananchi wanayoitumia na kuuliza uaminifu baina ya wananchi. Njia hii inaweza changia pakubwa kwa kuimarisha Lugha hii ya Kiswahili nchini na pia ulimwenguni. Serikali kuteua siku ya kuzungumza Kiswahili nchini ili kuwahimiza wananchi kutumia lugha hii katika ofisi barabarani na hata pahali popote wanapohitaji kuzungumza na mwengine. Njia hii itasaidia hasa kuimarisha na kuwaelimisha wananchi mbinu tofauti tofauti ya kuzungumza lugha hii ya taifa. Hilo pia litawezesha kudumisha amani na umoja katika nchi pia mataifa mengine ulimwenguni. Lugha hii pia inafaa kutumika katika mikutano ya nchi hii na nchi nyingine ulimwenguni na kuwafundisha nchi za mbali umuhimu wa lugha hii na jinsi ya kuzungumza. Njia hii pia itawezesha nchi hii kukuza amani na umoja baina ya nchi hizo na pia uhusiano mwema baina ya nchi hizo za ulimwengu tofauti tofauti. Kiswahili pia inapaswa kufundishwa katika nchi za ulimwenguni kama somo ili kuwawezesha wananchi wa taifa hizo kujua na kuifahamu lugha hii kwa undani na kuelewa kuzungumza kwa njia tofauti. Pia inafaa kutumika kuandika magazeti, kutoa habari katika mitandao tofauti nchini ili kuwajulisha watu umuhimu wa kutumia lugha hii kwa ufasaha. Njia hii ni nyenzo kubwa ya kuimarisha lugha hii nchini na pia katika ulimwengu. Njia zifuatazo ndizo njia muhimu za kuimarisha lugha hii ya Kiswahili katika nchi hii na hata ulimwenguni.
Kiswahili kinatumika na mataifa ya wapi
{ "text": [ "Afrika" ] }
2534_swa
NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni mojawapo ya lugha zinazotumiwa na mataifa tofauti tofauti barani Africa. Ili kuimarisha lugha hii ya kiswahili wananchi wanapaswa kuelimishwa na kuelezea mbinu tofauti ya kutumia lugha hii kutegemea muktadha. Wataalamu wa Kiswahili ndio ambao wanapaswa kuwaelimesha wananchi njia hii. Wananchi wengi wanaweza kuimarisha matumizi yao kwa lugha ya Kiswahili na Kiswahili itaimarika na kutumiwa kama lugha muhimu wa taifa. Kiswahili pia inafaa kutumiwa katika sherehe za sikukuu za taifa ili kuwajulisha wananchi njia mwafaka ya kutumia lugha hilo. Pia inaweza kuwaelimisha wananchi wengi kuhusu mbinu tofauti ya kuzungumza lugha hii ya Kiswahili. Njia ingine ya kuimarisha lugha hii ya Kiswahili ni kuwashauri wananchi umuhimu wa kutumia lugha hii badala ya lugha ya mama. Pia wanafaa kuwashauri kuwa lugha hii ndio inayoeleweka na wananchi wengi nchini. Wananchi pia wanafaa kufundishwa umuhimu wa Lugha hii ya Kiswahili ya kuleta watu wa matabaka mbalimbali pamoja, kurahisisha kuelewana kwa wananchi wanayoitumia na kuuliza uaminifu baina ya wananchi. Njia hii inaweza changia pakubwa kwa kuimarisha Lugha hii ya Kiswahili nchini na pia ulimwenguni. Serikali kuteua siku ya kuzungumza Kiswahili nchini ili kuwahimiza wananchi kutumia lugha hii katika ofisi barabarani na hata pahali popote wanapohitaji kuzungumza na mwengine. Njia hii itasaidia hasa kuimarisha na kuwaelimisha wananchi mbinu tofauti tofauti ya kuzungumza lugha hii ya taifa. Hilo pia litawezesha kudumisha amani na umoja katika nchi pia mataifa mengine ulimwenguni. Lugha hii pia inafaa kutumika katika mikutano ya nchi hii na nchi nyingine ulimwenguni na kuwafundisha nchi za mbali umuhimu wa lugha hii na jinsi ya kuzungumza. Njia hii pia itawezesha nchi hii kukuza amani na umoja baina ya nchi hizo na pia uhusiano mwema baina ya nchi hizo za ulimwengu tofauti tofauti. Kiswahili pia inapaswa kufundishwa katika nchi za ulimwenguni kama somo ili kuwawezesha wananchi wa taifa hizo kujua na kuifahamu lugha hii kwa undani na kuelewa kuzungumza kwa njia tofauti. Pia inafaa kutumika kuandika magazeti, kutoa habari katika mitandao tofauti nchini ili kuwajulisha watu umuhimu wa kutumia lugha hii kwa ufasaha. Njia hii ni nyenzo kubwa ya kuimarisha lugha hii nchini na pia katika ulimwengu. Njia zifuatazo ndizo njia muhimu za kuimarisha lugha hii ya Kiswahili katika nchi hii na hata ulimwenguni.
Lugha ya Kiswahili huleta watu gani pamoja
{ "text": [ "wa matabaka mbalimbali" ] }
2534_swa
NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni mojawapo ya lugha zinazotumiwa na mataifa tofauti tofauti barani Africa. Ili kuimarisha lugha hii ya kiswahili wananchi wanapaswa kuelimishwa na kuelezea mbinu tofauti ya kutumia lugha hii kutegemea muktadha. Wataalamu wa Kiswahili ndio ambao wanapaswa kuwaelimesha wananchi njia hii. Wananchi wengi wanaweza kuimarisha matumizi yao kwa lugha ya Kiswahili na Kiswahili itaimarika na kutumiwa kama lugha muhimu wa taifa. Kiswahili pia inafaa kutumiwa katika sherehe za sikukuu za taifa ili kuwajulisha wananchi njia mwafaka ya kutumia lugha hilo. Pia inaweza kuwaelimisha wananchi wengi kuhusu mbinu tofauti ya kuzungumza lugha hii ya Kiswahili. Njia ingine ya kuimarisha lugha hii ya Kiswahili ni kuwashauri wananchi umuhimu wa kutumia lugha hii badala ya lugha ya mama. Pia wanafaa kuwashauri kuwa lugha hii ndio inayoeleweka na wananchi wengi nchini. Wananchi pia wanafaa kufundishwa umuhimu wa Lugha hii ya Kiswahili ya kuleta watu wa matabaka mbalimbali pamoja, kurahisisha kuelewana kwa wananchi wanayoitumia na kuuliza uaminifu baina ya wananchi. Njia hii inaweza changia pakubwa kwa kuimarisha Lugha hii ya Kiswahili nchini na pia ulimwenguni. Serikali kuteua siku ya kuzungumza Kiswahili nchini ili kuwahimiza wananchi kutumia lugha hii katika ofisi barabarani na hata pahali popote wanapohitaji kuzungumza na mwengine. Njia hii itasaidia hasa kuimarisha na kuwaelimisha wananchi mbinu tofauti tofauti ya kuzungumza lugha hii ya taifa. Hilo pia litawezesha kudumisha amani na umoja katika nchi pia mataifa mengine ulimwenguni. Lugha hii pia inafaa kutumika katika mikutano ya nchi hii na nchi nyingine ulimwenguni na kuwafundisha nchi za mbali umuhimu wa lugha hii na jinsi ya kuzungumza. Njia hii pia itawezesha nchi hii kukuza amani na umoja baina ya nchi hizo na pia uhusiano mwema baina ya nchi hizo za ulimwengu tofauti tofauti. Kiswahili pia inapaswa kufundishwa katika nchi za ulimwenguni kama somo ili kuwawezesha wananchi wa taifa hizo kujua na kuifahamu lugha hii kwa undani na kuelewa kuzungumza kwa njia tofauti. Pia inafaa kutumika kuandika magazeti, kutoa habari katika mitandao tofauti nchini ili kuwajulisha watu umuhimu wa kutumia lugha hii kwa ufasaha. Njia hii ni nyenzo kubwa ya kuimarisha lugha hii nchini na pia katika ulimwengu. Njia zifuatazo ndizo njia muhimu za kuimarisha lugha hii ya Kiswahili katika nchi hii na hata ulimwenguni.
Kwa nini Kiswahili kifundishwe katika nchi za ulimwengu
{ "text": [ "ili kuwawezesha wananchi wa taifa hizo kukijua" ] }
2535_swa
Wananchi wakijihusisha na kilimo na kupanda mimea kama miti, miti huipa uchumi au taifa letu la Kenya manufaa mengi. Miti huleta mvua hivyo basi kupata maji ya kutosha. Hii huondoa kiangazi nchini hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Miti pia huzuia mmomonyoko wa udongo hivyo basi kushikilia rotuba ya mchanga. Katika kilimo kuna upanzi wa mimea kama vile majani, mimea ya kuzalisha pamba nakadhalika ambazo zinapandwa ili kuuzwa. Mimea hii huuzwa katika mataifa mengine kama ‘raw material’. Hii husababisha nchi kupata fidia hivyo basi kuimarisha uchumi wa Kenya. Kilimo hiki pia huimarisha uhusiano baina ya taifa la Kenya na mataifa mengi ya nje.Kilimo ni chanzo kikuu katika kuwepo kwa chakula humu nchini. Wananchi wengi hujihusisha katika upanzi wa mimea ili kuleta chakula mezani. Vyakula vyote hupandwa na hivyo basi bila kilimo hakutakuwepo kwa chakula. Kilimo kimewasababishia vijana wengi kujiajiri. Hii imesababisha kupungua kwa ukosefu wa kazi na wizi hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Kilimo kimechangia katika ulindaji wa mazingira. Ardhi inatiwa mbolea ili kupata mazao bora hivyo basi kuifadhi mazingira. Kunyesha kwa mvua huleta maji masafi. Katika kilimo mimea hutumika kutengeneza madawa hivyo basi kusababisha wananchi kupata matibabu. Madawa haya hutumika na mataifa mengi hivyo basi kuleta fidia inayotumika kuimarisha uchumi wa nchi.
Miti huleta nini?
{ "text": [ "Mvua" ] }
2535_swa
Wananchi wakijihusisha na kilimo na kupanda mimea kama miti, miti huipa uchumi au taifa letu la Kenya manufaa mengi. Miti huleta mvua hivyo basi kupata maji ya kutosha. Hii huondoa kiangazi nchini hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Miti pia huzuia mmomonyoko wa udongo hivyo basi kushikilia rotuba ya mchanga. Katika kilimo kuna upanzi wa mimea kama vile majani, mimea ya kuzalisha pamba nakadhalika ambazo zinapandwa ili kuuzwa. Mimea hii huuzwa katika mataifa mengine kama ‘raw material’. Hii husababisha nchi kupata fidia hivyo basi kuimarisha uchumi wa Kenya. Kilimo hiki pia huimarisha uhusiano baina ya taifa la Kenya na mataifa mengi ya nje.Kilimo ni chanzo kikuu katika kuwepo kwa chakula humu nchini. Wananchi wengi hujihusisha katika upanzi wa mimea ili kuleta chakula mezani. Vyakula vyote hupandwa na hivyo basi bila kilimo hakutakuwepo kwa chakula. Kilimo kimewasababishia vijana wengi kujiajiri. Hii imesababisha kupungua kwa ukosefu wa kazi na wizi hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Kilimo kimechangia katika ulindaji wa mazingira. Ardhi inatiwa mbolea ili kupata mazao bora hivyo basi kuifadhi mazingira. Kunyesha kwa mvua huleta maji masafi. Katika kilimo mimea hutumika kutengeneza madawa hivyo basi kusababisha wananchi kupata matibabu. Madawa haya hutumika na mataifa mengi hivyo basi kuleta fidia inayotumika kuimarisha uchumi wa nchi.
Miti huzuiya mmomonoko wa nini?
{ "text": [ "Udongo" ] }
2535_swa
Wananchi wakijihusisha na kilimo na kupanda mimea kama miti, miti huipa uchumi au taifa letu la Kenya manufaa mengi. Miti huleta mvua hivyo basi kupata maji ya kutosha. Hii huondoa kiangazi nchini hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Miti pia huzuia mmomonyoko wa udongo hivyo basi kushikilia rotuba ya mchanga. Katika kilimo kuna upanzi wa mimea kama vile majani, mimea ya kuzalisha pamba nakadhalika ambazo zinapandwa ili kuuzwa. Mimea hii huuzwa katika mataifa mengine kama ‘raw material’. Hii husababisha nchi kupata fidia hivyo basi kuimarisha uchumi wa Kenya. Kilimo hiki pia huimarisha uhusiano baina ya taifa la Kenya na mataifa mengi ya nje.Kilimo ni chanzo kikuu katika kuwepo kwa chakula humu nchini. Wananchi wengi hujihusisha katika upanzi wa mimea ili kuleta chakula mezani. Vyakula vyote hupandwa na hivyo basi bila kilimo hakutakuwepo kwa chakula. Kilimo kimewasababishia vijana wengi kujiajiri. Hii imesababisha kupungua kwa ukosefu wa kazi na wizi hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Kilimo kimechangia katika ulindaji wa mazingira. Ardhi inatiwa mbolea ili kupata mazao bora hivyo basi kuifadhi mazingira. Kunyesha kwa mvua huleta maji masafi. Katika kilimo mimea hutumika kutengeneza madawa hivyo basi kusababisha wananchi kupata matibabu. Madawa haya hutumika na mataifa mengi hivyo basi kuleta fidia inayotumika kuimarisha uchumi wa nchi.
Mpanzi wa mimea huitwaje?
{ "text": [ "Mkulima" ] }
2535_swa
Wananchi wakijihusisha na kilimo na kupanda mimea kama miti, miti huipa uchumi au taifa letu la Kenya manufaa mengi. Miti huleta mvua hivyo basi kupata maji ya kutosha. Hii huondoa kiangazi nchini hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Miti pia huzuia mmomonyoko wa udongo hivyo basi kushikilia rotuba ya mchanga. Katika kilimo kuna upanzi wa mimea kama vile majani, mimea ya kuzalisha pamba nakadhalika ambazo zinapandwa ili kuuzwa. Mimea hii huuzwa katika mataifa mengine kama ‘raw material’. Hii husababisha nchi kupata fidia hivyo basi kuimarisha uchumi wa Kenya. Kilimo hiki pia huimarisha uhusiano baina ya taifa la Kenya na mataifa mengi ya nje.Kilimo ni chanzo kikuu katika kuwepo kwa chakula humu nchini. Wananchi wengi hujihusisha katika upanzi wa mimea ili kuleta chakula mezani. Vyakula vyote hupandwa na hivyo basi bila kilimo hakutakuwepo kwa chakula. Kilimo kimewasababishia vijana wengi kujiajiri. Hii imesababisha kupungua kwa ukosefu wa kazi na wizi hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Kilimo kimechangia katika ulindaji wa mazingira. Ardhi inatiwa mbolea ili kupata mazao bora hivyo basi kuifadhi mazingira. Kunyesha kwa mvua huleta maji masafi. Katika kilimo mimea hutumika kutengeneza madawa hivyo basi kusababisha wananchi kupata matibabu. Madawa haya hutumika na mataifa mengi hivyo basi kuleta fidia inayotumika kuimarisha uchumi wa nchi.
Kilimo ni chanzo kuu cha kuwepo kwa nini nchini?
{ "text": [ "Chakula" ] }
2535_swa
Wananchi wakijihusisha na kilimo na kupanda mimea kama miti, miti huipa uchumi au taifa letu la Kenya manufaa mengi. Miti huleta mvua hivyo basi kupata maji ya kutosha. Hii huondoa kiangazi nchini hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Miti pia huzuia mmomonyoko wa udongo hivyo basi kushikilia rotuba ya mchanga. Katika kilimo kuna upanzi wa mimea kama vile majani, mimea ya kuzalisha pamba nakadhalika ambazo zinapandwa ili kuuzwa. Mimea hii huuzwa katika mataifa mengine kama ‘raw material’. Hii husababisha nchi kupata fidia hivyo basi kuimarisha uchumi wa Kenya. Kilimo hiki pia huimarisha uhusiano baina ya taifa la Kenya na mataifa mengi ya nje.Kilimo ni chanzo kikuu katika kuwepo kwa chakula humu nchini. Wananchi wengi hujihusisha katika upanzi wa mimea ili kuleta chakula mezani. Vyakula vyote hupandwa na hivyo basi bila kilimo hakutakuwepo kwa chakula. Kilimo kimewasababishia vijana wengi kujiajiri. Hii imesababisha kupungua kwa ukosefu wa kazi na wizi hivyo basi kusababisha kuimarika kwa uchumi wa Kenya. Kilimo kimechangia katika ulindaji wa mazingira. Ardhi inatiwa mbolea ili kupata mazao bora hivyo basi kuifadhi mazingira. Kunyesha kwa mvua huleta maji masafi. Katika kilimo mimea hutumika kutengeneza madawa hivyo basi kusababisha wananchi kupata matibabu. Madawa haya hutumika na mataifa mengi hivyo basi kuleta fidia inayotumika kuimarisha uchumi wa nchi.
Kuuzwa kwa rasilimali baina ya nchi tofauti tofauti huleta nini?
{ "text": [ "Fidia kwenye uchumi" ] }
2536_swa
SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE Naam baadhi ya mambo yanayoathiri amani ya kijamii ni siasa, hasa siasa za magawanyiko. Zina athari kubwa sana kwa jamii baadhi ya athari hizi ni, Uharibifu wa mali ya jamii. Siasa hizo za migawanyiko zinapoitawala taifa, watu watajihusisha na vita hivyo basi kuharibu mali zao na za wengine kama nchi kadhaa za kiafrika. Hii basi inaathiri maendeleo ya kijamii kwa ujumla. Siasa hizi pia zinapochochewa baadhi ya wananchi hupoteza maisha yao. Sababu ni kuwa kuna wahuni watakaojaribu kuyaangamiza maisha ya wengine mfano mzuri ni nchi ya DRC ambayo siasa zilifanya watu wakauana kinyama. Kuzorota kwa uchumi hasa mali za pesa nyingi zinapoharibiwa, hii inapelekea uchumi wa nchi kuzorota na kuifanya miradi ya nchi kufifia maana wawekezaji wataogopa kuwekeza miradi yao nchini. Mighairi ya hayo siasa za migawanyiko hupelekea wananchi kukosa amani miongoni mwao sababu ni kuwa wanaishi kwa hofu ya kuingiliwa na baadhi ya wananchi wao hivyo basi hawawezi kuishi kwa amani. Siasa mbaya hupelekea nchi na wananchi kukosa kazi. Hii ni sababu kazi zinafungwa au nafasi za kazi kuadimika au kupewa kwa watu wa kabila moja au nyingine. Hii inapelekea watu kukosa kazi. Sasa hizi hupelekea kuongezeka kwa ufisadi miongoni mwa wananchi hivyo basi nafasi za kazi na huduma nyingine zinapoadimika huenda watu wakatumia hongo kupata nafasi hizi na huduma nyingine.
Siasa zilifanya watu wakauwana kinyama wapi
{ "text": [ "nchi ya DRC" ] }
2536_swa
SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE Naam baadhi ya mambo yanayoathiri amani ya kijamii ni siasa, hasa siasa za magawanyiko. Zina athari kubwa sana kwa jamii baadhi ya athari hizi ni, Uharibifu wa mali ya jamii. Siasa hizo za migawanyiko zinapoitawala taifa, watu watajihusisha na vita hivyo basi kuharibu mali zao na za wengine kama nchi kadhaa za kiafrika. Hii basi inaathiri maendeleo ya kijamii kwa ujumla. Siasa hizi pia zinapochochewa baadhi ya wananchi hupoteza maisha yao. Sababu ni kuwa kuna wahuni watakaojaribu kuyaangamiza maisha ya wengine mfano mzuri ni nchi ya DRC ambayo siasa zilifanya watu wakauana kinyama. Kuzorota kwa uchumi hasa mali za pesa nyingi zinapoharibiwa, hii inapelekea uchumi wa nchi kuzorota na kuifanya miradi ya nchi kufifia maana wawekezaji wataogopa kuwekeza miradi yao nchini. Mighairi ya hayo siasa za migawanyiko hupelekea wananchi kukosa amani miongoni mwao sababu ni kuwa wanaishi kwa hofu ya kuingiliwa na baadhi ya wananchi wao hivyo basi hawawezi kuishi kwa amani. Siasa mbaya hupelekea nchi na wananchi kukosa kazi. Hii ni sababu kazi zinafungwa au nafasi za kazi kuadimika au kupewa kwa watu wa kabila moja au nyingine. Hii inapelekea watu kukosa kazi. Sasa hizi hupelekea kuongezeka kwa ufisadi miongoni mwa wananchi hivyo basi nafasi za kazi na huduma nyingine zinapoadimika huenda watu wakatumia hongo kupata nafasi hizi na huduma nyingine.
Siasa mbaya hupelekea wanachi kukosa nini
{ "text": [ "kazi" ] }
2536_swa
SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE Naam baadhi ya mambo yanayoathiri amani ya kijamii ni siasa, hasa siasa za magawanyiko. Zina athari kubwa sana kwa jamii baadhi ya athari hizi ni, Uharibifu wa mali ya jamii. Siasa hizo za migawanyiko zinapoitawala taifa, watu watajihusisha na vita hivyo basi kuharibu mali zao na za wengine kama nchi kadhaa za kiafrika. Hii basi inaathiri maendeleo ya kijamii kwa ujumla. Siasa hizi pia zinapochochewa baadhi ya wananchi hupoteza maisha yao. Sababu ni kuwa kuna wahuni watakaojaribu kuyaangamiza maisha ya wengine mfano mzuri ni nchi ya DRC ambayo siasa zilifanya watu wakauana kinyama. Kuzorota kwa uchumi hasa mali za pesa nyingi zinapoharibiwa, hii inapelekea uchumi wa nchi kuzorota na kuifanya miradi ya nchi kufifia maana wawekezaji wataogopa kuwekeza miradi yao nchini. Mighairi ya hayo siasa za migawanyiko hupelekea wananchi kukosa amani miongoni mwao sababu ni kuwa wanaishi kwa hofu ya kuingiliwa na baadhi ya wananchi wao hivyo basi hawawezi kuishi kwa amani. Siasa mbaya hupelekea nchi na wananchi kukosa kazi. Hii ni sababu kazi zinafungwa au nafasi za kazi kuadimika au kupewa kwa watu wa kabila moja au nyingine. Hii inapelekea watu kukosa kazi. Sasa hizi hupelekea kuongezeka kwa ufisadi miongoni mwa wananchi hivyo basi nafasi za kazi na huduma nyingine zinapoadimika huenda watu wakatumia hongo kupata nafasi hizi na huduma nyingine.
Watu hutumia nini kupata kazi nafasi zinapoadimika
{ "text": [ "hongo" ] }
2536_swa
SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE Naam baadhi ya mambo yanayoathiri amani ya kijamii ni siasa, hasa siasa za magawanyiko. Zina athari kubwa sana kwa jamii baadhi ya athari hizi ni, Uharibifu wa mali ya jamii. Siasa hizo za migawanyiko zinapoitawala taifa, watu watajihusisha na vita hivyo basi kuharibu mali zao na za wengine kama nchi kadhaa za kiafrika. Hii basi inaathiri maendeleo ya kijamii kwa ujumla. Siasa hizi pia zinapochochewa baadhi ya wananchi hupoteza maisha yao. Sababu ni kuwa kuna wahuni watakaojaribu kuyaangamiza maisha ya wengine mfano mzuri ni nchi ya DRC ambayo siasa zilifanya watu wakauana kinyama. Kuzorota kwa uchumi hasa mali za pesa nyingi zinapoharibiwa, hii inapelekea uchumi wa nchi kuzorota na kuifanya miradi ya nchi kufifia maana wawekezaji wataogopa kuwekeza miradi yao nchini. Mighairi ya hayo siasa za migawanyiko hupelekea wananchi kukosa amani miongoni mwao sababu ni kuwa wanaishi kwa hofu ya kuingiliwa na baadhi ya wananchi wao hivyo basi hawawezi kuishi kwa amani. Siasa mbaya hupelekea nchi na wananchi kukosa kazi. Hii ni sababu kazi zinafungwa au nafasi za kazi kuadimika au kupewa kwa watu wa kabila moja au nyingine. Hii inapelekea watu kukosa kazi. Sasa hizi hupelekea kuongezeka kwa ufisadi miongoni mwa wananchi hivyo basi nafasi za kazi na huduma nyingine zinapoadimika huenda watu wakatumia hongo kupata nafasi hizi na huduma nyingine.
Mali za pesa ngapi zinapoharibiwa uchumi huzorota
{ "text": [ "nyingi" ] }
2536_swa
SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI ZAKE Naam baadhi ya mambo yanayoathiri amani ya kijamii ni siasa, hasa siasa za magawanyiko. Zina athari kubwa sana kwa jamii baadhi ya athari hizi ni, Uharibifu wa mali ya jamii. Siasa hizo za migawanyiko zinapoitawala taifa, watu watajihusisha na vita hivyo basi kuharibu mali zao na za wengine kama nchi kadhaa za kiafrika. Hii basi inaathiri maendeleo ya kijamii kwa ujumla. Siasa hizi pia zinapochochewa baadhi ya wananchi hupoteza maisha yao. Sababu ni kuwa kuna wahuni watakaojaribu kuyaangamiza maisha ya wengine mfano mzuri ni nchi ya DRC ambayo siasa zilifanya watu wakauana kinyama. Kuzorota kwa uchumi hasa mali za pesa nyingi zinapoharibiwa, hii inapelekea uchumi wa nchi kuzorota na kuifanya miradi ya nchi kufifia maana wawekezaji wataogopa kuwekeza miradi yao nchini. Mighairi ya hayo siasa za migawanyiko hupelekea wananchi kukosa amani miongoni mwao sababu ni kuwa wanaishi kwa hofu ya kuingiliwa na baadhi ya wananchi wao hivyo basi hawawezi kuishi kwa amani. Siasa mbaya hupelekea nchi na wananchi kukosa kazi. Hii ni sababu kazi zinafungwa au nafasi za kazi kuadimika au kupewa kwa watu wa kabila moja au nyingine. Hii inapelekea watu kukosa kazi. Sasa hizi hupelekea kuongezeka kwa ufisadi miongoni mwa wananchi hivyo basi nafasi za kazi na huduma nyingine zinapoadimika huenda watu wakatumia hongo kupata nafasi hizi na huduma nyingine.
Mbona wananchi hawawezi kuishi kwa amani
{ "text": [ "wanaishi kwa hofu ya kuingiliwa" ] }
2537_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inafaa itiliwe maanani sana nchini Kenya na hata ulimwenguni mzima. Twafaa tuyazingatie mambo kadha wa kadha ili kuhakikisha Kiswahili kimebobea na kuimarika kabisa. Jambo la kwanza la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa tumeungana na kuvibuni vyama vya Kiswahili ambavyo vitaweza kusaidia kuvikuza Kiswahili. Katika vyama hivi, watu wataweza kujadiliana mambo mengi na ya muhimu sana ambayo itasaidia kukikuza Kiswahili, mfano wa vyama hivi ni kama chama cha Kiswahili cha Kenya. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa Kiswahili ni somo la lazima katika shule zote nchini. Hata zile nchi za kigeni zafaa zitilie jambo hili maanani. Kukiweka Kiswahili kama somo shuleni litaweza kuwasaidia watoto wadogo kuvijua Kiswahili na kukienzi watakapokuwa wakizidi kukua kiumri na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa twafaa tuungane na kuimarisha mjadala mingi katika lugha ya Kiswahili na basi hivyo watu wengi wataweza kujifunza maneno mapya katika lugha hii na hata basi kukipenda zaidi. Mijadala hii itaweza kukuza uwezo wa watu kuzungumza lugha hii na basi Kiswahili kitaimarika ulimwenguni mzima. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa maktaba mengi yameweza kufunguliwa na kuviweka vitabu vingi vya Kiswahili ambavyo vitasomwa na watu wengi na hivyo basi kukikuza Kiswahili kama lugha inayoenziwa. Mazoea ya watu kuvisoma vitabu hivyo yataweza kurahisisha Kiswahili kinywani mwao na kukifanya kuwa rahisi na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa, kwa mfano nchini Kenya jinsi lugha hii ni ya taifa imezingatia na hata kuhalilishwa kuzungumzwa katika mikutano mikubwa mikubwa inayowahusisha viongozi wetu. Inafaa itengewe siku zake maalum ambazo zafaa ziwe za lazima kukizungumza na pia kuwekewa sheria japo utakiuka utaadhibiwa kupitia kwa sheria. Jambo lingine ambalo lafaa lizingatiwe na nchi hizi ni kuhakikisha kuwa imewateuwa walimu nchini mwao ambao wataweza kupewa masomo ya kiwango cha juu ndivyo basi nao waelekee kule katika vijiji na kuwapa watu mafunzo. Nafikiri jambo hili litaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kwa sababu ni vigumu kuwapa watu kijumla masomo hayo ya Kiswahili ya kiwango cha juu. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa wakati watu wanashiriki katika biashara baina yao wenyewe kwa wenyewe na hata na watu kutoka nje ya nchi. Ni vyema kutumia lugha ya Kiswahili kufanya biashara hizo ndivyo basi Kiswahili kiweze kubebea Na kuimarika ulimwenguni mzima. Jambo hilo litasaidia mno kwa vile hata wale wananchi was nchi zingine wataweza kukielewa Kiswahili. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa wale mabingwa waliobobea katika lugha hii wameyabuni mashairi mengi ambayo yataweza kusaidia katika ukuzaji wa lugha hii ya Kiswahili. Mashairi hayo yataweza kuwaburudisha watu Na hivyo basi kuwafanya watu kukipenda Kiswahili Na basi kitaweza kuimarika kabisa. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha vitabu vya hadithi vinasambazwa nchini miongoni mwa watu ili waweze kuwa Na mazoea ya kuvisoma na hivyo basi vitaweza kuwasaidia kukiboresha Kiswahili chao na hivyo basi lugha hii itabobea.
Ni lugha gani inafaa kutiliwa maanani
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
2537_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inafaa itiliwe maanani sana nchini Kenya na hata ulimwenguni mzima. Twafaa tuyazingatie mambo kadha wa kadha ili kuhakikisha Kiswahili kimebobea na kuimarika kabisa. Jambo la kwanza la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa tumeungana na kuvibuni vyama vya Kiswahili ambavyo vitaweza kusaidia kuvikuza Kiswahili. Katika vyama hivi, watu wataweza kujadiliana mambo mengi na ya muhimu sana ambayo itasaidia kukikuza Kiswahili, mfano wa vyama hivi ni kama chama cha Kiswahili cha Kenya. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa Kiswahili ni somo la lazima katika shule zote nchini. Hata zile nchi za kigeni zafaa zitilie jambo hili maanani. Kukiweka Kiswahili kama somo shuleni litaweza kuwasaidia watoto wadogo kuvijua Kiswahili na kukienzi watakapokuwa wakizidi kukua kiumri na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa twafaa tuungane na kuimarisha mjadala mingi katika lugha ya Kiswahili na basi hivyo watu wengi wataweza kujifunza maneno mapya katika lugha hii na hata basi kukipenda zaidi. Mijadala hii itaweza kukuza uwezo wa watu kuzungumza lugha hii na basi Kiswahili kitaimarika ulimwenguni mzima. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa maktaba mengi yameweza kufunguliwa na kuviweka vitabu vingi vya Kiswahili ambavyo vitasomwa na watu wengi na hivyo basi kukikuza Kiswahili kama lugha inayoenziwa. Mazoea ya watu kuvisoma vitabu hivyo yataweza kurahisisha Kiswahili kinywani mwao na kukifanya kuwa rahisi na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa, kwa mfano nchini Kenya jinsi lugha hii ni ya taifa imezingatia na hata kuhalilishwa kuzungumzwa katika mikutano mikubwa mikubwa inayowahusisha viongozi wetu. Inafaa itengewe siku zake maalum ambazo zafaa ziwe za lazima kukizungumza na pia kuwekewa sheria japo utakiuka utaadhibiwa kupitia kwa sheria. Jambo lingine ambalo lafaa lizingatiwe na nchi hizi ni kuhakikisha kuwa imewateuwa walimu nchini mwao ambao wataweza kupewa masomo ya kiwango cha juu ndivyo basi nao waelekee kule katika vijiji na kuwapa watu mafunzo. Nafikiri jambo hili litaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kwa sababu ni vigumu kuwapa watu kijumla masomo hayo ya Kiswahili ya kiwango cha juu. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa wakati watu wanashiriki katika biashara baina yao wenyewe kwa wenyewe na hata na watu kutoka nje ya nchi. Ni vyema kutumia lugha ya Kiswahili kufanya biashara hizo ndivyo basi Kiswahili kiweze kubebea Na kuimarika ulimwenguni mzima. Jambo hilo litasaidia mno kwa vile hata wale wananchi was nchi zingine wataweza kukielewa Kiswahili. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa wale mabingwa waliobobea katika lugha hii wameyabuni mashairi mengi ambayo yataweza kusaidia katika ukuzaji wa lugha hii ya Kiswahili. Mashairi hayo yataweza kuwaburudisha watu Na hivyo basi kuwafanya watu kukipenda Kiswahili Na basi kitaweza kuimarika kabisa. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha vitabu vya hadithi vinasambazwa nchini miongoni mwa watu ili waweze kuwa Na mazoea ya kuvisoma na hivyo basi vitaweza kuwasaidia kukiboresha Kiswahili chao na hivyo basi lugha hii itabobea.
Watu wataungana na kuunda vyama vya nini
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
2537_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inafaa itiliwe maanani sana nchini Kenya na hata ulimwenguni mzima. Twafaa tuyazingatie mambo kadha wa kadha ili kuhakikisha Kiswahili kimebobea na kuimarika kabisa. Jambo la kwanza la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa tumeungana na kuvibuni vyama vya Kiswahili ambavyo vitaweza kusaidia kuvikuza Kiswahili. Katika vyama hivi, watu wataweza kujadiliana mambo mengi na ya muhimu sana ambayo itasaidia kukikuza Kiswahili, mfano wa vyama hivi ni kama chama cha Kiswahili cha Kenya. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa Kiswahili ni somo la lazima katika shule zote nchini. Hata zile nchi za kigeni zafaa zitilie jambo hili maanani. Kukiweka Kiswahili kama somo shuleni litaweza kuwasaidia watoto wadogo kuvijua Kiswahili na kukienzi watakapokuwa wakizidi kukua kiumri na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa twafaa tuungane na kuimarisha mjadala mingi katika lugha ya Kiswahili na basi hivyo watu wengi wataweza kujifunza maneno mapya katika lugha hii na hata basi kukipenda zaidi. Mijadala hii itaweza kukuza uwezo wa watu kuzungumza lugha hii na basi Kiswahili kitaimarika ulimwenguni mzima. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa maktaba mengi yameweza kufunguliwa na kuviweka vitabu vingi vya Kiswahili ambavyo vitasomwa na watu wengi na hivyo basi kukikuza Kiswahili kama lugha inayoenziwa. Mazoea ya watu kuvisoma vitabu hivyo yataweza kurahisisha Kiswahili kinywani mwao na kukifanya kuwa rahisi na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa, kwa mfano nchini Kenya jinsi lugha hii ni ya taifa imezingatia na hata kuhalilishwa kuzungumzwa katika mikutano mikubwa mikubwa inayowahusisha viongozi wetu. Inafaa itengewe siku zake maalum ambazo zafaa ziwe za lazima kukizungumza na pia kuwekewa sheria japo utakiuka utaadhibiwa kupitia kwa sheria. Jambo lingine ambalo lafaa lizingatiwe na nchi hizi ni kuhakikisha kuwa imewateuwa walimu nchini mwao ambao wataweza kupewa masomo ya kiwango cha juu ndivyo basi nao waelekee kule katika vijiji na kuwapa watu mafunzo. Nafikiri jambo hili litaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kwa sababu ni vigumu kuwapa watu kijumla masomo hayo ya Kiswahili ya kiwango cha juu. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa wakati watu wanashiriki katika biashara baina yao wenyewe kwa wenyewe na hata na watu kutoka nje ya nchi. Ni vyema kutumia lugha ya Kiswahili kufanya biashara hizo ndivyo basi Kiswahili kiweze kubebea Na kuimarika ulimwenguni mzima. Jambo hilo litasaidia mno kwa vile hata wale wananchi was nchi zingine wataweza kukielewa Kiswahili. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa wale mabingwa waliobobea katika lugha hii wameyabuni mashairi mengi ambayo yataweza kusaidia katika ukuzaji wa lugha hii ya Kiswahili. Mashairi hayo yataweza kuwaburudisha watu Na hivyo basi kuwafanya watu kukipenda Kiswahili Na basi kitaweza kuimarika kabisa. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha vitabu vya hadithi vinasambazwa nchini miongoni mwa watu ili waweze kuwa Na mazoea ya kuvisoma na hivyo basi vitaweza kuwasaidia kukiboresha Kiswahili chao na hivyo basi lugha hii itabobea.
Ni somo lipi lafaa liwe la lazima
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
2537_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inafaa itiliwe maanani sana nchini Kenya na hata ulimwenguni mzima. Twafaa tuyazingatie mambo kadha wa kadha ili kuhakikisha Kiswahili kimebobea na kuimarika kabisa. Jambo la kwanza la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa tumeungana na kuvibuni vyama vya Kiswahili ambavyo vitaweza kusaidia kuvikuza Kiswahili. Katika vyama hivi, watu wataweza kujadiliana mambo mengi na ya muhimu sana ambayo itasaidia kukikuza Kiswahili, mfano wa vyama hivi ni kama chama cha Kiswahili cha Kenya. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa Kiswahili ni somo la lazima katika shule zote nchini. Hata zile nchi za kigeni zafaa zitilie jambo hili maanani. Kukiweka Kiswahili kama somo shuleni litaweza kuwasaidia watoto wadogo kuvijua Kiswahili na kukienzi watakapokuwa wakizidi kukua kiumri na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa twafaa tuungane na kuimarisha mjadala mingi katika lugha ya Kiswahili na basi hivyo watu wengi wataweza kujifunza maneno mapya katika lugha hii na hata basi kukipenda zaidi. Mijadala hii itaweza kukuza uwezo wa watu kuzungumza lugha hii na basi Kiswahili kitaimarika ulimwenguni mzima. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa maktaba mengi yameweza kufunguliwa na kuviweka vitabu vingi vya Kiswahili ambavyo vitasomwa na watu wengi na hivyo basi kukikuza Kiswahili kama lugha inayoenziwa. Mazoea ya watu kuvisoma vitabu hivyo yataweza kurahisisha Kiswahili kinywani mwao na kukifanya kuwa rahisi na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa, kwa mfano nchini Kenya jinsi lugha hii ni ya taifa imezingatia na hata kuhalilishwa kuzungumzwa katika mikutano mikubwa mikubwa inayowahusisha viongozi wetu. Inafaa itengewe siku zake maalum ambazo zafaa ziwe za lazima kukizungumza na pia kuwekewa sheria japo utakiuka utaadhibiwa kupitia kwa sheria. Jambo lingine ambalo lafaa lizingatiwe na nchi hizi ni kuhakikisha kuwa imewateuwa walimu nchini mwao ambao wataweza kupewa masomo ya kiwango cha juu ndivyo basi nao waelekee kule katika vijiji na kuwapa watu mafunzo. Nafikiri jambo hili litaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kwa sababu ni vigumu kuwapa watu kijumla masomo hayo ya Kiswahili ya kiwango cha juu. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa wakati watu wanashiriki katika biashara baina yao wenyewe kwa wenyewe na hata na watu kutoka nje ya nchi. Ni vyema kutumia lugha ya Kiswahili kufanya biashara hizo ndivyo basi Kiswahili kiweze kubebea Na kuimarika ulimwenguni mzima. Jambo hilo litasaidia mno kwa vile hata wale wananchi was nchi zingine wataweza kukielewa Kiswahili. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa wale mabingwa waliobobea katika lugha hii wameyabuni mashairi mengi ambayo yataweza kusaidia katika ukuzaji wa lugha hii ya Kiswahili. Mashairi hayo yataweza kuwaburudisha watu Na hivyo basi kuwafanya watu kukipenda Kiswahili Na basi kitaweza kuimarika kabisa. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha vitabu vya hadithi vinasambazwa nchini miongoni mwa watu ili waweze kuwa Na mazoea ya kuvisoma na hivyo basi vitaweza kuwasaidia kukiboresha Kiswahili chao na hivyo basi lugha hii itabobea.
Ni nini inafaa kufunguliwa ili kuweka vitabu
{ "text": [ "Maktaba" ] }
2537_swa
NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI Kiswahili ni lugha ambayo inafaa itiliwe maanani sana nchini Kenya na hata ulimwenguni mzima. Twafaa tuyazingatie mambo kadha wa kadha ili kuhakikisha Kiswahili kimebobea na kuimarika kabisa. Jambo la kwanza la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa tumeungana na kuvibuni vyama vya Kiswahili ambavyo vitaweza kusaidia kuvikuza Kiswahili. Katika vyama hivi, watu wataweza kujadiliana mambo mengi na ya muhimu sana ambayo itasaidia kukikuza Kiswahili, mfano wa vyama hivi ni kama chama cha Kiswahili cha Kenya. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa Kiswahili ni somo la lazima katika shule zote nchini. Hata zile nchi za kigeni zafaa zitilie jambo hili maanani. Kukiweka Kiswahili kama somo shuleni litaweza kuwasaidia watoto wadogo kuvijua Kiswahili na kukienzi watakapokuwa wakizidi kukua kiumri na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa twafaa tuungane na kuimarisha mjadala mingi katika lugha ya Kiswahili na basi hivyo watu wengi wataweza kujifunza maneno mapya katika lugha hii na hata basi kukipenda zaidi. Mijadala hii itaweza kukuza uwezo wa watu kuzungumza lugha hii na basi Kiswahili kitaimarika ulimwenguni mzima. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa maktaba mengi yameweza kufunguliwa na kuviweka vitabu vingi vya Kiswahili ambavyo vitasomwa na watu wengi na hivyo basi kukikuza Kiswahili kama lugha inayoenziwa. Mazoea ya watu kuvisoma vitabu hivyo yataweza kurahisisha Kiswahili kinywani mwao na kukifanya kuwa rahisi na hivyo basi kitaimarika. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa, kwa mfano nchini Kenya jinsi lugha hii ni ya taifa imezingatia na hata kuhalilishwa kuzungumzwa katika mikutano mikubwa mikubwa inayowahusisha viongozi wetu. Inafaa itengewe siku zake maalum ambazo zafaa ziwe za lazima kukizungumza na pia kuwekewa sheria japo utakiuka utaadhibiwa kupitia kwa sheria. Jambo lingine ambalo lafaa lizingatiwe na nchi hizi ni kuhakikisha kuwa imewateuwa walimu nchini mwao ambao wataweza kupewa masomo ya kiwango cha juu ndivyo basi nao waelekee kule katika vijiji na kuwapa watu mafunzo. Nafikiri jambo hili litaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kwa sababu ni vigumu kuwapa watu kijumla masomo hayo ya Kiswahili ya kiwango cha juu. Jambo lingine la kuzingatia ni kuwa wakati watu wanashiriki katika biashara baina yao wenyewe kwa wenyewe na hata na watu kutoka nje ya nchi. Ni vyema kutumia lugha ya Kiswahili kufanya biashara hizo ndivyo basi Kiswahili kiweze kubebea Na kuimarika ulimwenguni mzima. Jambo hilo litasaidia mno kwa vile hata wale wananchi was nchi zingine wataweza kukielewa Kiswahili. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha kuwa wale mabingwa waliobobea katika lugha hii wameyabuni mashairi mengi ambayo yataweza kusaidia katika ukuzaji wa lugha hii ya Kiswahili. Mashairi hayo yataweza kuwaburudisha watu Na hivyo basi kuwafanya watu kukipenda Kiswahili Na basi kitaweza kuimarika kabisa. Jambo lingine la kuzingatia ni kuhakikisha vitabu vya hadithi vinasambazwa nchini miongoni mwa watu ili waweze kuwa Na mazoea ya kuvisoma na hivyo basi vitaweza kuwasaidia kukiboresha Kiswahili chao na hivyo basi lugha hii itabobea.
Biashara itachangia vipi kukua kwa lugha ya Kiswahili
{ "text": [ "Kwa kutumia lugha ya Kiswahili katika biashara" ] }
2922_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda Mombasa, nilikuwa nimefurahi kama kibogoyo aliyejaliwa meno kwa harusi. Nilidemka alfajiri na mapema. Nilisikilize ndege wakiimba nyimbo nzao nzuri za kukaribisha siku hiyo. Wahenga na wahenguzi hawakukosea walipo sema, siku njema hujulikana asubuhi. Nilitembea aste aste kwenda hamomuni kugotoa uchafu uliofanya mwili wangu kuwa mikunga ya bahari. Nilipotoka nilikwenda chumbani mwangu na kupata nguo zimewekwa juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi na kunyooka. Nilivaa nguo na kwenda sebuleni. Nilipata mjomba na shangazi wamevaa vizuri, walikuwa wamepewa chai na mkate. Nilipewa keki na sodo na nikakula vizuri. Niliambiwa niende chumbani mwangu na ni weke vitu kwenye mkoba. Niliweka taveli, mafuta na manguo. Tulikuwa twende ljuma lakini tulienda Jumamosi. Tulipo goa nanga tulikuwa mimi nina yangu, abu yangu, ndugu zangu wawili, mjomba na shangazi yangu. Tulienda Nairobi kuchukua ndogo, kabla ya kwenda tulienda tukanunua vitu vya kula barabarani. Tulinunua mikoba miwili ya vitu! Tulipoenda kupanda ndege, tuliitishwa mikoba yetu na tutoe vitu vilivyo kuwa kwa mifuko. Tulipozitoa, mzee aliyekaa askari alikuja na mbwa na kufungua mikoba yetu, walipo kosa kitu hatari, walifunga mikoba na tukaingia. Niliuliza abu yangu mbona tulifanyiwa hivyo, alisema juzi kulikuwa na majambazi walioua na kuiba vitu, lakini ndege hilo halikupatikana tena lilienda juu angani, watu walilingoja ndege hilo halikurudi tena. Watu walishtuka sana. Pia mimi nilishtuka sana, ndio maana siku hizi lazima waangalie kile umebena. Na bado watu wanaweza kupeleka bangi kwa miji mingine. Lakini abu hawakuangaliwa, swali zito ni nzuri lipate jibu. Watu wengine humeza na kuficha ndani ya tumbo au kuwapa watoto wadogo wafiche ndani ya tumbo zao. Tulipofika kwenye ndege tulipeana mikoba yetu na kuingia. Niliona mzee mwingine akiniangalia, ilibidi nimchezee, niliweka mkona kama bastola na kumtupia risasi alijifanya amekufa tena akamka, kwenda kumfanyia ingine, aliinua mikona na kuyaweka kama bastola, ndipo nikaona kwamba anapingu mikonon,i nilishtuka na kuangalia mbele. Ndipo mzee aliye mweka pingo alikuwa ameshtuka alipo ona pingu kwa kiti. Alianza kuuliza watu kama walimwono. Ndipo akarudi na kujiweka pingu tena.
Ndege waliimba nyimbo gani
{ "text": [ "zao nzuri" ] }
2922_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda Mombasa, nilikuwa nimefurahi kama kibogoyo aliyejaliwa meno kwa harusi. Nilidemka alfajiri na mapema. Nilisikilize ndege wakiimba nyimbo nzao nzuri za kukaribisha siku hiyo. Wahenga na wahenguzi hawakukosea walipo sema, siku njema hujulikana asubuhi. Nilitembea aste aste kwenda hamomuni kugotoa uchafu uliofanya mwili wangu kuwa mikunga ya bahari. Nilipotoka nilikwenda chumbani mwangu na kupata nguo zimewekwa juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi na kunyooka. Nilivaa nguo na kwenda sebuleni. Nilipata mjomba na shangazi wamevaa vizuri, walikuwa wamepewa chai na mkate. Nilipewa keki na sodo na nikakula vizuri. Niliambiwa niende chumbani mwangu na ni weke vitu kwenye mkoba. Niliweka taveli, mafuta na manguo. Tulikuwa twende ljuma lakini tulienda Jumamosi. Tulipo goa nanga tulikuwa mimi nina yangu, abu yangu, ndugu zangu wawili, mjomba na shangazi yangu. Tulienda Nairobi kuchukua ndogo, kabla ya kwenda tulienda tukanunua vitu vya kula barabarani. Tulinunua mikoba miwili ya vitu! Tulipoenda kupanda ndege, tuliitishwa mikoba yetu na tutoe vitu vilivyo kuwa kwa mifuko. Tulipozitoa, mzee aliyekaa askari alikuja na mbwa na kufungua mikoba yetu, walipo kosa kitu hatari, walifunga mikoba na tukaingia. Niliuliza abu yangu mbona tulifanyiwa hivyo, alisema juzi kulikuwa na majambazi walioua na kuiba vitu, lakini ndege hilo halikupatikana tena lilienda juu angani, watu walilingoja ndege hilo halikurudi tena. Watu walishtuka sana. Pia mimi nilishtuka sana, ndio maana siku hizi lazima waangalie kile umebena. Na bado watu wanaweza kupeleka bangi kwa miji mingine. Lakini abu hawakuangaliwa, swali zito ni nzuri lipate jibu. Watu wengine humeza na kuficha ndani ya tumbo au kuwapa watoto wadogo wafiche ndani ya tumbo zao. Tulipofika kwenye ndege tulipeana mikoba yetu na kuingia. Niliona mzee mwingine akiniangalia, ilibidi nimchezee, niliweka mkona kama bastola na kumtupia risasi alijifanya amekufa tena akamka, kwenda kumfanyia ingine, aliinua mikona na kuyaweka kama bastola, ndipo nikaona kwamba anapingu mikonon,i nilishtuka na kuangalia mbele. Ndipo mzee aliye mweka pingo alikuwa ameshtuka alipo ona pingu kwa kiti. Alianza kuuliza watu kama walimwono. Ndipo akarudi na kujiweka pingu tena.
Alisikia nani wakiimba
{ "text": [ "ndege" ] }
2922_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda Mombasa, nilikuwa nimefurahi kama kibogoyo aliyejaliwa meno kwa harusi. Nilidemka alfajiri na mapema. Nilisikilize ndege wakiimba nyimbo nzao nzuri za kukaribisha siku hiyo. Wahenga na wahenguzi hawakukosea walipo sema, siku njema hujulikana asubuhi. Nilitembea aste aste kwenda hamomuni kugotoa uchafu uliofanya mwili wangu kuwa mikunga ya bahari. Nilipotoka nilikwenda chumbani mwangu na kupata nguo zimewekwa juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi na kunyooka. Nilivaa nguo na kwenda sebuleni. Nilipata mjomba na shangazi wamevaa vizuri, walikuwa wamepewa chai na mkate. Nilipewa keki na sodo na nikakula vizuri. Niliambiwa niende chumbani mwangu na ni weke vitu kwenye mkoba. Niliweka taveli, mafuta na manguo. Tulikuwa twende ljuma lakini tulienda Jumamosi. Tulipo goa nanga tulikuwa mimi nina yangu, abu yangu, ndugu zangu wawili, mjomba na shangazi yangu. Tulienda Nairobi kuchukua ndogo, kabla ya kwenda tulienda tukanunua vitu vya kula barabarani. Tulinunua mikoba miwili ya vitu! Tulipoenda kupanda ndege, tuliitishwa mikoba yetu na tutoe vitu vilivyo kuwa kwa mifuko. Tulipozitoa, mzee aliyekaa askari alikuja na mbwa na kufungua mikoba yetu, walipo kosa kitu hatari, walifunga mikoba na tukaingia. Niliuliza abu yangu mbona tulifanyiwa hivyo, alisema juzi kulikuwa na majambazi walioua na kuiba vitu, lakini ndege hilo halikupatikana tena lilienda juu angani, watu walilingoja ndege hilo halikurudi tena. Watu walishtuka sana. Pia mimi nilishtuka sana, ndio maana siku hizi lazima waangalie kile umebena. Na bado watu wanaweza kupeleka bangi kwa miji mingine. Lakini abu hawakuangaliwa, swali zito ni nzuri lipate jibu. Watu wengine humeza na kuficha ndani ya tumbo au kuwapa watoto wadogo wafiche ndani ya tumbo zao. Tulipofika kwenye ndege tulipeana mikoba yetu na kuingia. Niliona mzee mwingine akiniangalia, ilibidi nimchezee, niliweka mkona kama bastola na kumtupia risasi alijifanya amekufa tena akamka, kwenda kumfanyia ingine, aliinua mikona na kuyaweka kama bastola, ndipo nikaona kwamba anapingu mikonon,i nilishtuka na kuangalia mbele. Ndipo mzee aliye mweka pingo alikuwa ameshtuka alipo ona pingu kwa kiti. Alianza kuuliza watu kama walimwono. Ndipo akarudi na kujiweka pingu tena.
Alipata nini imewekwa juu ya kitanda
{ "text": [ "nguo" ] }
2922_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda Mombasa, nilikuwa nimefurahi kama kibogoyo aliyejaliwa meno kwa harusi. Nilidemka alfajiri na mapema. Nilisikilize ndege wakiimba nyimbo nzao nzuri za kukaribisha siku hiyo. Wahenga na wahenguzi hawakukosea walipo sema, siku njema hujulikana asubuhi. Nilitembea aste aste kwenda hamomuni kugotoa uchafu uliofanya mwili wangu kuwa mikunga ya bahari. Nilipotoka nilikwenda chumbani mwangu na kupata nguo zimewekwa juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi na kunyooka. Nilivaa nguo na kwenda sebuleni. Nilipata mjomba na shangazi wamevaa vizuri, walikuwa wamepewa chai na mkate. Nilipewa keki na sodo na nikakula vizuri. Niliambiwa niende chumbani mwangu na ni weke vitu kwenye mkoba. Niliweka taveli, mafuta na manguo. Tulikuwa twende ljuma lakini tulienda Jumamosi. Tulipo goa nanga tulikuwa mimi nina yangu, abu yangu, ndugu zangu wawili, mjomba na shangazi yangu. Tulienda Nairobi kuchukua ndogo, kabla ya kwenda tulienda tukanunua vitu vya kula barabarani. Tulinunua mikoba miwili ya vitu! Tulipoenda kupanda ndege, tuliitishwa mikoba yetu na tutoe vitu vilivyo kuwa kwa mifuko. Tulipozitoa, mzee aliyekaa askari alikuja na mbwa na kufungua mikoba yetu, walipo kosa kitu hatari, walifunga mikoba na tukaingia. Niliuliza abu yangu mbona tulifanyiwa hivyo, alisema juzi kulikuwa na majambazi walioua na kuiba vitu, lakini ndege hilo halikupatikana tena lilienda juu angani, watu walilingoja ndege hilo halikurudi tena. Watu walishtuka sana. Pia mimi nilishtuka sana, ndio maana siku hizi lazima waangalie kile umebena. Na bado watu wanaweza kupeleka bangi kwa miji mingine. Lakini abu hawakuangaliwa, swali zito ni nzuri lipate jibu. Watu wengine humeza na kuficha ndani ya tumbo au kuwapa watoto wadogo wafiche ndani ya tumbo zao. Tulipofika kwenye ndege tulipeana mikoba yetu na kuingia. Niliona mzee mwingine akiniangalia, ilibidi nimchezee, niliweka mkona kama bastola na kumtupia risasi alijifanya amekufa tena akamka, kwenda kumfanyia ingine, aliinua mikona na kuyaweka kama bastola, ndipo nikaona kwamba anapingu mikonon,i nilishtuka na kuangalia mbele. Ndipo mzee aliye mweka pingo alikuwa ameshtuka alipo ona pingu kwa kiti. Alianza kuuliza watu kama walimwono. Ndipo akarudi na kujiweka pingu tena.
Walienda lini
{ "text": [ "Jumamosi" ] }
2922_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda Mombasa, nilikuwa nimefurahi kama kibogoyo aliyejaliwa meno kwa harusi. Nilidemka alfajiri na mapema. Nilisikilize ndege wakiimba nyimbo nzao nzuri za kukaribisha siku hiyo. Wahenga na wahenguzi hawakukosea walipo sema, siku njema hujulikana asubuhi. Nilitembea aste aste kwenda hamomuni kugotoa uchafu uliofanya mwili wangu kuwa mikunga ya bahari. Nilipotoka nilikwenda chumbani mwangu na kupata nguo zimewekwa juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi na kunyooka. Nilivaa nguo na kwenda sebuleni. Nilipata mjomba na shangazi wamevaa vizuri, walikuwa wamepewa chai na mkate. Nilipewa keki na sodo na nikakula vizuri. Niliambiwa niende chumbani mwangu na ni weke vitu kwenye mkoba. Niliweka taveli, mafuta na manguo. Tulikuwa twende ljuma lakini tulienda Jumamosi. Tulipo goa nanga tulikuwa mimi nina yangu, abu yangu, ndugu zangu wawili, mjomba na shangazi yangu. Tulienda Nairobi kuchukua ndogo, kabla ya kwenda tulienda tukanunua vitu vya kula barabarani. Tulinunua mikoba miwili ya vitu! Tulipoenda kupanda ndege, tuliitishwa mikoba yetu na tutoe vitu vilivyo kuwa kwa mifuko. Tulipozitoa, mzee aliyekaa askari alikuja na mbwa na kufungua mikoba yetu, walipo kosa kitu hatari, walifunga mikoba na tukaingia. Niliuliza abu yangu mbona tulifanyiwa hivyo, alisema juzi kulikuwa na majambazi walioua na kuiba vitu, lakini ndege hilo halikupatikana tena lilienda juu angani, watu walilingoja ndege hilo halikurudi tena. Watu walishtuka sana. Pia mimi nilishtuka sana, ndio maana siku hizi lazima waangalie kile umebena. Na bado watu wanaweza kupeleka bangi kwa miji mingine. Lakini abu hawakuangaliwa, swali zito ni nzuri lipate jibu. Watu wengine humeza na kuficha ndani ya tumbo au kuwapa watoto wadogo wafiche ndani ya tumbo zao. Tulipofika kwenye ndege tulipeana mikoba yetu na kuingia. Niliona mzee mwingine akiniangalia, ilibidi nimchezee, niliweka mkona kama bastola na kumtupia risasi alijifanya amekufa tena akamka, kwenda kumfanyia ingine, aliinua mikona na kuyaweka kama bastola, ndipo nikaona kwamba anapingu mikonon,i nilishtuka na kuangalia mbele. Ndipo mzee aliye mweka pingo alikuwa ameshtuka alipo ona pingu kwa kiti. Alianza kuuliza watu kama walimwono. Ndipo akarudi na kujiweka pingu tena.
Mzee mwingine aliwekaje mikono
{ "text": [ "kama bastola" ] }
2924_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... harusi ya wazi wangu.Niliamka mapema asubuhi, ndege walipokuwa wakiimba nyimbo nzuri na zakupendeza kweli kweli. Nyimbo hizo zilisikika kama zingemfufua mfu. Nilikuwa na furaha ribo ribo kama kibogojo aliyeota na meno meupe pepepe siku in sherehe. Niliendo hamanuni kutoa uchafu uliofanya mwili wangu kama mchanga wa bahari. Nilipomaliza kuoga nilirudi chumbani mwangu, niliwapata wasichana kitandani mwangu wakiningoja ili wanitayarishe na kunipodoa. Nilipata nguo zangu juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi zikanyooka twa kama barabara za bara. Walinivisha suti nyeupe pepepe, lililonga kama therua ya nyota. Walinipake mafuta na kunivisha viatu vyangu. Nilienda sebuleni na kupata kiamsha kinywa kimeandaliwa. Kilinuka vyema na kufanya nidondokwe na mate titiri. Nilimwomba Rabi akibariki nakunipa safari njema ninapo safiri nikienda kanisani. Nilipo maliza kupata kiamsha kinywa nilienda kwenye gari na kung'oa nanga. Nilipokuwa nikielekea kanisani, nilienda nikamchukuwa mpenzi wangu ili twende pamoja. Tulipofika kanisani baba na msimamilizi wake ndio waliokuwa wamefika. Baada ya dakika chache bibi harusi alifika, alikaribishwa akiwa na wasimamilizi wake kwa shangwe na vigelegele. Walitembea aste aste kwa maringo kama tausi. Bibi harusi alikuwa amevalia gauni nyeupe pepepe, lililong’ara kama pamba. Wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kila kingaacho si dhahabu. Ibada lipomalizika tulienda kupata chakula cha adhuhuri. Tulipofika nyumbani mwa bibi na bwana harusi, kulikuwa kumewekwa hema nne. Bili zilikuwa za wageni, mola ilikuwa na familia na ya mwisho ilikuwa na keki iliyokuwa na rangi tofauti tofauti za kupendeza. Wadeni waliagizwa waende mahali palipokuwa na wapishi ili waweze kupata chakula. Watu walikula keki na kwenda nyumbani. Keki hiyo ilikuwa asali kwa kweli.
Msimulizi aliamka saa ngapi
{ "text": [ "Asubuhi" ] }
2924_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... harusi ya wazi wangu.Niliamka mapema asubuhi, ndege walipokuwa wakiimba nyimbo nzuri na zakupendeza kweli kweli. Nyimbo hizo zilisikika kama zingemfufua mfu. Nilikuwa na furaha ribo ribo kama kibogojo aliyeota na meno meupe pepepe siku in sherehe. Niliendo hamanuni kutoa uchafu uliofanya mwili wangu kama mchanga wa bahari. Nilipomaliza kuoga nilirudi chumbani mwangu, niliwapata wasichana kitandani mwangu wakiningoja ili wanitayarishe na kunipodoa. Nilipata nguo zangu juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi zikanyooka twa kama barabara za bara. Walinivisha suti nyeupe pepepe, lililonga kama therua ya nyota. Walinipake mafuta na kunivisha viatu vyangu. Nilienda sebuleni na kupata kiamsha kinywa kimeandaliwa. Kilinuka vyema na kufanya nidondokwe na mate titiri. Nilimwomba Rabi akibariki nakunipa safari njema ninapo safiri nikienda kanisani. Nilipo maliza kupata kiamsha kinywa nilienda kwenye gari na kung'oa nanga. Nilipokuwa nikielekea kanisani, nilienda nikamchukuwa mpenzi wangu ili twende pamoja. Tulipofika kanisani baba na msimamilizi wake ndio waliokuwa wamefika. Baada ya dakika chache bibi harusi alifika, alikaribishwa akiwa na wasimamilizi wake kwa shangwe na vigelegele. Walitembea aste aste kwa maringo kama tausi. Bibi harusi alikuwa amevalia gauni nyeupe pepepe, lililong’ara kama pamba. Wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kila kingaacho si dhahabu. Ibada lipomalizika tulienda kupata chakula cha adhuhuri. Tulipofika nyumbani mwa bibi na bwana harusi, kulikuwa kumewekwa hema nne. Bili zilikuwa za wageni, mola ilikuwa na familia na ya mwisho ilikuwa na keki iliyokuwa na rangi tofauti tofauti za kupendeza. Wadeni waliagizwa waende mahali palipokuwa na wapishi ili waweze kupata chakula. Watu walikula keki na kwenda nyumbani. Keki hiyo ilikuwa asali kwa kweli.
Msimulizi alienda wapi kutoa uchafu
{ "text": [ "Hamamuni" ] }
2924_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... harusi ya wazi wangu.Niliamka mapema asubuhi, ndege walipokuwa wakiimba nyimbo nzuri na zakupendeza kweli kweli. Nyimbo hizo zilisikika kama zingemfufua mfu. Nilikuwa na furaha ribo ribo kama kibogojo aliyeota na meno meupe pepepe siku in sherehe. Niliendo hamanuni kutoa uchafu uliofanya mwili wangu kama mchanga wa bahari. Nilipomaliza kuoga nilirudi chumbani mwangu, niliwapata wasichana kitandani mwangu wakiningoja ili wanitayarishe na kunipodoa. Nilipata nguo zangu juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi zikanyooka twa kama barabara za bara. Walinivisha suti nyeupe pepepe, lililonga kama therua ya nyota. Walinipake mafuta na kunivisha viatu vyangu. Nilienda sebuleni na kupata kiamsha kinywa kimeandaliwa. Kilinuka vyema na kufanya nidondokwe na mate titiri. Nilimwomba Rabi akibariki nakunipa safari njema ninapo safiri nikienda kanisani. Nilipo maliza kupata kiamsha kinywa nilienda kwenye gari na kung'oa nanga. Nilipokuwa nikielekea kanisani, nilienda nikamchukuwa mpenzi wangu ili twende pamoja. Tulipofika kanisani baba na msimamilizi wake ndio waliokuwa wamefika. Baada ya dakika chache bibi harusi alifika, alikaribishwa akiwa na wasimamilizi wake kwa shangwe na vigelegele. Walitembea aste aste kwa maringo kama tausi. Bibi harusi alikuwa amevalia gauni nyeupe pepepe, lililong’ara kama pamba. Wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kila kingaacho si dhahabu. Ibada lipomalizika tulienda kupata chakula cha adhuhuri. Tulipofika nyumbani mwa bibi na bwana harusi, kulikuwa kumewekwa hema nne. Bili zilikuwa za wageni, mola ilikuwa na familia na ya mwisho ilikuwa na keki iliyokuwa na rangi tofauti tofauti za kupendeza. Wadeni waliagizwa waende mahali palipokuwa na wapishi ili waweze kupata chakula. Watu walikula keki na kwenda nyumbani. Keki hiyo ilikuwa asali kwa kweli.
Harusi ilifanyika wapi
{ "text": [ "Kanisani" ] }
2924_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... harusi ya wazi wangu.Niliamka mapema asubuhi, ndege walipokuwa wakiimba nyimbo nzuri na zakupendeza kweli kweli. Nyimbo hizo zilisikika kama zingemfufua mfu. Nilikuwa na furaha ribo ribo kama kibogojo aliyeota na meno meupe pepepe siku in sherehe. Niliendo hamanuni kutoa uchafu uliofanya mwili wangu kama mchanga wa bahari. Nilipomaliza kuoga nilirudi chumbani mwangu, niliwapata wasichana kitandani mwangu wakiningoja ili wanitayarishe na kunipodoa. Nilipata nguo zangu juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi zikanyooka twa kama barabara za bara. Walinivisha suti nyeupe pepepe, lililonga kama therua ya nyota. Walinipake mafuta na kunivisha viatu vyangu. Nilienda sebuleni na kupata kiamsha kinywa kimeandaliwa. Kilinuka vyema na kufanya nidondokwe na mate titiri. Nilimwomba Rabi akibariki nakunipa safari njema ninapo safiri nikienda kanisani. Nilipo maliza kupata kiamsha kinywa nilienda kwenye gari na kung'oa nanga. Nilipokuwa nikielekea kanisani, nilienda nikamchukuwa mpenzi wangu ili twende pamoja. Tulipofika kanisani baba na msimamilizi wake ndio waliokuwa wamefika. Baada ya dakika chache bibi harusi alifika, alikaribishwa akiwa na wasimamilizi wake kwa shangwe na vigelegele. Walitembea aste aste kwa maringo kama tausi. Bibi harusi alikuwa amevalia gauni nyeupe pepepe, lililong’ara kama pamba. Wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kila kingaacho si dhahabu. Ibada lipomalizika tulienda kupata chakula cha adhuhuri. Tulipofika nyumbani mwa bibi na bwana harusi, kulikuwa kumewekwa hema nne. Bili zilikuwa za wageni, mola ilikuwa na familia na ya mwisho ilikuwa na keki iliyokuwa na rangi tofauti tofauti za kupendeza. Wadeni waliagizwa waende mahali palipokuwa na wapishi ili waweze kupata chakula. Watu walikula keki na kwenda nyumbani. Keki hiyo ilikuwa asali kwa kweli.
Bibi harusi alifika baada ya muda gani
{ "text": [ "Mchache" ] }
2924_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... harusi ya wazi wangu.Niliamka mapema asubuhi, ndege walipokuwa wakiimba nyimbo nzuri na zakupendeza kweli kweli. Nyimbo hizo zilisikika kama zingemfufua mfu. Nilikuwa na furaha ribo ribo kama kibogojo aliyeota na meno meupe pepepe siku in sherehe. Niliendo hamanuni kutoa uchafu uliofanya mwili wangu kama mchanga wa bahari. Nilipomaliza kuoga nilirudi chumbani mwangu, niliwapata wasichana kitandani mwangu wakiningoja ili wanitayarishe na kunipodoa. Nilipata nguo zangu juu ya kitanda zikiwa zimepigwa pasi zikanyooka twa kama barabara za bara. Walinivisha suti nyeupe pepepe, lililonga kama therua ya nyota. Walinipake mafuta na kunivisha viatu vyangu. Nilienda sebuleni na kupata kiamsha kinywa kimeandaliwa. Kilinuka vyema na kufanya nidondokwe na mate titiri. Nilimwomba Rabi akibariki nakunipa safari njema ninapo safiri nikienda kanisani. Nilipo maliza kupata kiamsha kinywa nilienda kwenye gari na kung'oa nanga. Nilipokuwa nikielekea kanisani, nilienda nikamchukuwa mpenzi wangu ili twende pamoja. Tulipofika kanisani baba na msimamilizi wake ndio waliokuwa wamefika. Baada ya dakika chache bibi harusi alifika, alikaribishwa akiwa na wasimamilizi wake kwa shangwe na vigelegele. Walitembea aste aste kwa maringo kama tausi. Bibi harusi alikuwa amevalia gauni nyeupe pepepe, lililong’ara kama pamba. Wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kila kingaacho si dhahabu. Ibada lipomalizika tulienda kupata chakula cha adhuhuri. Tulipofika nyumbani mwa bibi na bwana harusi, kulikuwa kumewekwa hema nne. Bili zilikuwa za wageni, mola ilikuwa na familia na ya mwisho ilikuwa na keki iliyokuwa na rangi tofauti tofauti za kupendeza. Wadeni waliagizwa waende mahali palipokuwa na wapishi ili waweze kupata chakula. Watu walikula keki na kwenda nyumbani. Keki hiyo ilikuwa asali kwa kweli.
Hema ngapi zilikuwa zimewekwa kwa bi na bwana harusi
{ "text": [ "Nne" ] }
2926_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda kumwona nyanya yangu. Tuliamka asubuhi na mapema wakati ndege walikuwa wakimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposoma, siku njema huonekana asubuhi. Nilienda hamamuni mwendo wa aste aste, kutoa uchafu wa bahari mwilini. Nilipoenda chumbani mwangu, nilipata yaya amepiga nguo pasi zikanyooka twa. Niliziivaa na kwenda sebuleni. Yaya alikuwa sebuleni akitengeneza kiamsha kinywa. Nilimsaidia kutayarisha. Nilienda nikawamsha ndugu zangu na wazazi wangu. Tulienda sebuleni kula kiamsha kinywa, kilikuwa kitamu kama asali. Ndugu zangu na wazazi wangu walipaswa wajitayarishe, nilimsaidia yaya kuondoa vitu sebuleni. Tulianza safari yetu saa mbili na dakika kumi. Baada ya dakika arobaini baba alisimamisha gari kando ya soko. Nina alienda sokoni kununua bidhaa za kumpelekea nyanya. Tuliendelea na safari yetu kwa nyanya. Nilipokuwa njiani, niliona funda mlia na nyani. Niliboeka sana safarini, nilimwomba mama simu yake nime vidio kwenye youtube. Niliangalia simu mpaka nika lala. Nilipoamka bada tulikuwa safarini, nilimwambia Nina aninunulie kitu cha kula. Nilikuwa na njaa, Nina alitupa chakula alichobeba. Safari hiyo ilikuwa ndefu sana, tulichukuwa masaa mane, na dakika ishirini. Tulipofika kwa nyanya, tulipata amemaliza kutayarisha chakula. Mjomba, shangazi na wanao walikuwa wamefika mbele yetu. Tulipeleka virago vyetu chumbani cha kulala. Sote tulienda sebuleni kula chakula cha mchana. Kilikuwa kitamu kwa kweli, chakula cha nyanya nikitamu kuliko chakula cha mama. Tulipomaliza kula, tulienda nje kucheza mchezo wa kandanda. Tulicheza mpaka tukachoka, sitasahau hiyo siku.
Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifanya nini
{ "text": [ "Ilifika" ] }
2926_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda kumwona nyanya yangu. Tuliamka asubuhi na mapema wakati ndege walikuwa wakimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposoma, siku njema huonekana asubuhi. Nilienda hamamuni mwendo wa aste aste, kutoa uchafu wa bahari mwilini. Nilipoenda chumbani mwangu, nilipata yaya amepiga nguo pasi zikanyooka twa. Niliziivaa na kwenda sebuleni. Yaya alikuwa sebuleni akitengeneza kiamsha kinywa. Nilimsaidia kutayarisha. Nilienda nikawamsha ndugu zangu na wazazi wangu. Tulienda sebuleni kula kiamsha kinywa, kilikuwa kitamu kama asali. Ndugu zangu na wazazi wangu walipaswa wajitayarishe, nilimsaidia yaya kuondoa vitu sebuleni. Tulianza safari yetu saa mbili na dakika kumi. Baada ya dakika arobaini baba alisimamisha gari kando ya soko. Nina alienda sokoni kununua bidhaa za kumpelekea nyanya. Tuliendelea na safari yetu kwa nyanya. Nilipokuwa njiani, niliona funda mlia na nyani. Niliboeka sana safarini, nilimwomba mama simu yake nime vidio kwenye youtube. Niliangalia simu mpaka nika lala. Nilipoamka bada tulikuwa safarini, nilimwambia Nina aninunulie kitu cha kula. Nilikuwa na njaa, Nina alitupa chakula alichobeba. Safari hiyo ilikuwa ndefu sana, tulichukuwa masaa mane, na dakika ishirini. Tulipofika kwa nyanya, tulipata amemaliza kutayarisha chakula. Mjomba, shangazi na wanao walikuwa wamefika mbele yetu. Tulipeleka virago vyetu chumbani cha kulala. Sote tulienda sebuleni kula chakula cha mchana. Kilikuwa kitamu kwa kweli, chakula cha nyanya nikitamu kuliko chakula cha mama. Tulipomaliza kula, tulienda nje kucheza mchezo wa kandanda. Tulicheza mpaka tukachoka, sitasahau hiyo siku.
Ilikuwa siku ya kwenda kumwona nani
{ "text": [ "Nyanya yangu" ] }
2926_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda kumwona nyanya yangu. Tuliamka asubuhi na mapema wakati ndege walikuwa wakimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposoma, siku njema huonekana asubuhi. Nilienda hamamuni mwendo wa aste aste, kutoa uchafu wa bahari mwilini. Nilipoenda chumbani mwangu, nilipata yaya amepiga nguo pasi zikanyooka twa. Niliziivaa na kwenda sebuleni. Yaya alikuwa sebuleni akitengeneza kiamsha kinywa. Nilimsaidia kutayarisha. Nilienda nikawamsha ndugu zangu na wazazi wangu. Tulienda sebuleni kula kiamsha kinywa, kilikuwa kitamu kama asali. Ndugu zangu na wazazi wangu walipaswa wajitayarishe, nilimsaidia yaya kuondoa vitu sebuleni. Tulianza safari yetu saa mbili na dakika kumi. Baada ya dakika arobaini baba alisimamisha gari kando ya soko. Nina alienda sokoni kununua bidhaa za kumpelekea nyanya. Tuliendelea na safari yetu kwa nyanya. Nilipokuwa njiani, niliona funda mlia na nyani. Niliboeka sana safarini, nilimwomba mama simu yake nime vidio kwenye youtube. Niliangalia simu mpaka nika lala. Nilipoamka bada tulikuwa safarini, nilimwambia Nina aninunulie kitu cha kula. Nilikuwa na njaa, Nina alitupa chakula alichobeba. Safari hiyo ilikuwa ndefu sana, tulichukuwa masaa mane, na dakika ishirini. Tulipofika kwa nyanya, tulipata amemaliza kutayarisha chakula. Mjomba, shangazi na wanao walikuwa wamefika mbele yetu. Tulipeleka virago vyetu chumbani cha kulala. Sote tulienda sebuleni kula chakula cha mchana. Kilikuwa kitamu kwa kweli, chakula cha nyanya nikitamu kuliko chakula cha mama. Tulipomaliza kula, tulienda nje kucheza mchezo wa kandanda. Tulicheza mpaka tukachoka, sitasahau hiyo siku.
Nilienda hamamuni kwa mwendo gani
{ "text": [ "aste aste" ] }
2926_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda kumwona nyanya yangu. Tuliamka asubuhi na mapema wakati ndege walikuwa wakimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposoma, siku njema huonekana asubuhi. Nilienda hamamuni mwendo wa aste aste, kutoa uchafu wa bahari mwilini. Nilipoenda chumbani mwangu, nilipata yaya amepiga nguo pasi zikanyooka twa. Niliziivaa na kwenda sebuleni. Yaya alikuwa sebuleni akitengeneza kiamsha kinywa. Nilimsaidia kutayarisha. Nilienda nikawamsha ndugu zangu na wazazi wangu. Tulienda sebuleni kula kiamsha kinywa, kilikuwa kitamu kama asali. Ndugu zangu na wazazi wangu walipaswa wajitayarishe, nilimsaidia yaya kuondoa vitu sebuleni. Tulianza safari yetu saa mbili na dakika kumi. Baada ya dakika arobaini baba alisimamisha gari kando ya soko. Nina alienda sokoni kununua bidhaa za kumpelekea nyanya. Tuliendelea na safari yetu kwa nyanya. Nilipokuwa njiani, niliona funda mlia na nyani. Niliboeka sana safarini, nilimwomba mama simu yake nime vidio kwenye youtube. Niliangalia simu mpaka nika lala. Nilipoamka bada tulikuwa safarini, nilimwambia Nina aninunulie kitu cha kula. Nilikuwa na njaa, Nina alitupa chakula alichobeba. Safari hiyo ilikuwa ndefu sana, tulichukuwa masaa mane, na dakika ishirini. Tulipofika kwa nyanya, tulipata amemaliza kutayarisha chakula. Mjomba, shangazi na wanao walikuwa wamefika mbele yetu. Tulipeleka virago vyetu chumbani cha kulala. Sote tulienda sebuleni kula chakula cha mchana. Kilikuwa kitamu kwa kweli, chakula cha nyanya nikitamu kuliko chakula cha mama. Tulipomaliza kula, tulienda nje kucheza mchezo wa kandanda. Tulicheza mpaka tukachoka, sitasahau hiyo siku.
Nilienda nikawaamsha kina nani
{ "text": [ "Ndugu zangu" ] }
2926_swa
Andika insha ya kusisimua ukianzia kwa maneno yafuatayo: Siku tuliyoingoja kwa hamu na ghamu hatimaye ilifika. Ilikuwa ni siku ya... kwenda kumwona nyanya yangu. Tuliamka asubuhi na mapema wakati ndege walikuwa wakimba nyimbo zao tamu za kukaribisha siku. Kweli wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposoma, siku njema huonekana asubuhi. Nilienda hamamuni mwendo wa aste aste, kutoa uchafu wa bahari mwilini. Nilipoenda chumbani mwangu, nilipata yaya amepiga nguo pasi zikanyooka twa. Niliziivaa na kwenda sebuleni. Yaya alikuwa sebuleni akitengeneza kiamsha kinywa. Nilimsaidia kutayarisha. Nilienda nikawamsha ndugu zangu na wazazi wangu. Tulienda sebuleni kula kiamsha kinywa, kilikuwa kitamu kama asali. Ndugu zangu na wazazi wangu walipaswa wajitayarishe, nilimsaidia yaya kuondoa vitu sebuleni. Tulianza safari yetu saa mbili na dakika kumi. Baada ya dakika arobaini baba alisimamisha gari kando ya soko. Nina alienda sokoni kununua bidhaa za kumpelekea nyanya. Tuliendelea na safari yetu kwa nyanya. Nilipokuwa njiani, niliona funda mlia na nyani. Niliboeka sana safarini, nilimwomba mama simu yake nime vidio kwenye youtube. Niliangalia simu mpaka nika lala. Nilipoamka bada tulikuwa safarini, nilimwambia Nina aninunulie kitu cha kula. Nilikuwa na njaa, Nina alitupa chakula alichobeba. Safari hiyo ilikuwa ndefu sana, tulichukuwa masaa mane, na dakika ishirini. Tulipofika kwa nyanya, tulipata amemaliza kutayarisha chakula. Mjomba, shangazi na wanao walikuwa wamefika mbele yetu. Tulipeleka virago vyetu chumbani cha kulala. Sote tulienda sebuleni kula chakula cha mchana. Kilikuwa kitamu kwa kweli, chakula cha nyanya nikitamu kuliko chakula cha mama. Tulipomaliza kula, tulienda nje kucheza mchezo wa kandanda. Tulicheza mpaka tukachoka, sitasahau hiyo siku.
Baba alisimamisha gari baada ya dakika ngapi
{ "text": [ "Arubaini" ] }
2928_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu.... Nilingundua ya kwamba siku za mwizi ni arobaini. Rafiki yangu alipoitwa moyo wangu ulianza kudunda, nilianza kujishuku kwa kuwa tulikuwa na tabia ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu, haswa vitabu vya hadithi. Tukiona wenzetu wakiwa na vitabu vya hadithi badala tuombe tunatega akitoka kidogo tunachukua kitabu hicho na kuwapelekea marafiki wetu wa madarasa mengine Ama kweli wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki waliposema, asiye skia hujionea yeye mwenyewe. Yani niliambiwa siku nyingi na mwalimu wangu niachane na tabia ya rafiki yangu lakini wapi? punde si punde baada ya sekunde, niliitwa na mwalimu mkuu katika ofisi yake. Nilipoingia ofisini nilipata rafiki yangu akilia na macho yake yake kubadili rangi na kuwa mekundu. Mwalimu akaniuliza ni mara ngapi aliniambia niwachane na tabia za rafiki zako? Tulitandikwa na viboko yasitoke katika akili yangu. yaani nilikuwa naongeleshwa na mwalimu wangu lakini yote aliyoniambia yalipita sikio moja yakitoka na sikio lingine. Kumbe mwalimu alijua tambia ya rafiki yangu si nzuri, ama kweli mtegemea ndunguye hufa maskini. Punde si punde mwalimu mkuu aliwapingio wazazi wangu simu na kuwambia wafike shuleni mara moja. Wazazi wangu walifika shuleni saa hiyo hiyo. Walingia ofisi wakiwa na furaha nyingi kwa nyuso zao. Walipoigia Walikota nikipiga magoti na nikilia, mama yangu alishtuka na kujaribu kuniongelesha lakini wapi? nilishidwa kuongea wala kuwasalimu. Walipelekwa na mwalimu mkuu ndani ya ofisi na kuwaeleza jinsi tulivyo fanya na rafiki yangu. Baada ya baba yangu kuyaskia hayo yote alinipiga kofi, yaani baba alitoko kama ame badilisha sura na kwanza kuwa mwingine, nilijaribu kutoraka lakini sikujua niende wapi wala nifanye nini. Nilikuwa najiuliza maswali lakini sipati jibu, yaani huyu ni rafiki yangu niliye mpenda kama punzi yangu aliye niweka ndani ya moto? Nilikuwa nikujiuliza maswali haya Iakini sikupata jibu. Lakini nilimshukuru sana mama yangu kwa sababu kama sio yeye singejua niendapo, alimwongelesha baba vizuri hadi baba pia alimskia na kuanza kuniongelesha vizuri na ndio maana nampenda mama yangu sana. Kwa kweli sijui nita mlipa nini mama, alinibeba kwa tumbo, akanishika kwa miguu yake, akaninyonyesha maziwa yake tamu, kweli nimlipe nini mama ila ni heshima tu.
Msimulizi alikuwa na mazoea ya kuiba vitabu vipi
{ "text": [ "Vya hadithi" ] }
2928_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu.... Nilingundua ya kwamba siku za mwizi ni arobaini. Rafiki yangu alipoitwa moyo wangu ulianza kudunda, nilianza kujishuku kwa kuwa tulikuwa na tabia ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu, haswa vitabu vya hadithi. Tukiona wenzetu wakiwa na vitabu vya hadithi badala tuombe tunatega akitoka kidogo tunachukua kitabu hicho na kuwapelekea marafiki wetu wa madarasa mengine Ama kweli wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki waliposema, asiye skia hujionea yeye mwenyewe. Yani niliambiwa siku nyingi na mwalimu wangu niachane na tabia ya rafiki yangu lakini wapi? punde si punde baada ya sekunde, niliitwa na mwalimu mkuu katika ofisi yake. Nilipoingia ofisini nilipata rafiki yangu akilia na macho yake yake kubadili rangi na kuwa mekundu. Mwalimu akaniuliza ni mara ngapi aliniambia niwachane na tabia za rafiki zako? Tulitandikwa na viboko yasitoke katika akili yangu. yaani nilikuwa naongeleshwa na mwalimu wangu lakini yote aliyoniambia yalipita sikio moja yakitoka na sikio lingine. Kumbe mwalimu alijua tambia ya rafiki yangu si nzuri, ama kweli mtegemea ndunguye hufa maskini. Punde si punde mwalimu mkuu aliwapingio wazazi wangu simu na kuwambia wafike shuleni mara moja. Wazazi wangu walifika shuleni saa hiyo hiyo. Walingia ofisi wakiwa na furaha nyingi kwa nyuso zao. Walipoigia Walikota nikipiga magoti na nikilia, mama yangu alishtuka na kujaribu kuniongelesha lakini wapi? nilishidwa kuongea wala kuwasalimu. Walipelekwa na mwalimu mkuu ndani ya ofisi na kuwaeleza jinsi tulivyo fanya na rafiki yangu. Baada ya baba yangu kuyaskia hayo yote alinipiga kofi, yaani baba alitoko kama ame badilisha sura na kwanza kuwa mwingine, nilijaribu kutoraka lakini sikujua niende wapi wala nifanye nini. Nilikuwa najiuliza maswali lakini sipati jibu, yaani huyu ni rafiki yangu niliye mpenda kama punzi yangu aliye niweka ndani ya moto? Nilikuwa nikujiuliza maswali haya Iakini sikupata jibu. Lakini nilimshukuru sana mama yangu kwa sababu kama sio yeye singejua niendapo, alimwongelesha baba vizuri hadi baba pia alimskia na kuanza kuniongelesha vizuri na ndio maana nampenda mama yangu sana. Kwa kweli sijui nita mlipa nini mama, alinibeba kwa tumbo, akanishika kwa miguu yake, akaninyonyesha maziwa yake tamu, kweli nimlipe nini mama ila ni heshima tu.
Msimulizi aliitwa na nani kwenye ofisi
{ "text": [ "Mwalimu mkuu" ] }
2928_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu.... Nilingundua ya kwamba siku za mwizi ni arobaini. Rafiki yangu alipoitwa moyo wangu ulianza kudunda, nilianza kujishuku kwa kuwa tulikuwa na tabia ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu, haswa vitabu vya hadithi. Tukiona wenzetu wakiwa na vitabu vya hadithi badala tuombe tunatega akitoka kidogo tunachukua kitabu hicho na kuwapelekea marafiki wetu wa madarasa mengine Ama kweli wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki waliposema, asiye skia hujionea yeye mwenyewe. Yani niliambiwa siku nyingi na mwalimu wangu niachane na tabia ya rafiki yangu lakini wapi? punde si punde baada ya sekunde, niliitwa na mwalimu mkuu katika ofisi yake. Nilipoingia ofisini nilipata rafiki yangu akilia na macho yake yake kubadili rangi na kuwa mekundu. Mwalimu akaniuliza ni mara ngapi aliniambia niwachane na tabia za rafiki zako? Tulitandikwa na viboko yasitoke katika akili yangu. yaani nilikuwa naongeleshwa na mwalimu wangu lakini yote aliyoniambia yalipita sikio moja yakitoka na sikio lingine. Kumbe mwalimu alijua tambia ya rafiki yangu si nzuri, ama kweli mtegemea ndunguye hufa maskini. Punde si punde mwalimu mkuu aliwapingio wazazi wangu simu na kuwambia wafike shuleni mara moja. Wazazi wangu walifika shuleni saa hiyo hiyo. Walingia ofisi wakiwa na furaha nyingi kwa nyuso zao. Walipoigia Walikota nikipiga magoti na nikilia, mama yangu alishtuka na kujaribu kuniongelesha lakini wapi? nilishidwa kuongea wala kuwasalimu. Walipelekwa na mwalimu mkuu ndani ya ofisi na kuwaeleza jinsi tulivyo fanya na rafiki yangu. Baada ya baba yangu kuyaskia hayo yote alinipiga kofi, yaani baba alitoko kama ame badilisha sura na kwanza kuwa mwingine, nilijaribu kutoraka lakini sikujua niende wapi wala nifanye nini. Nilikuwa najiuliza maswali lakini sipati jibu, yaani huyu ni rafiki yangu niliye mpenda kama punzi yangu aliye niweka ndani ya moto? Nilikuwa nikujiuliza maswali haya Iakini sikupata jibu. Lakini nilimshukuru sana mama yangu kwa sababu kama sio yeye singejua niendapo, alimwongelesha baba vizuri hadi baba pia alimskia na kuanza kuniongelesha vizuri na ndio maana nampenda mama yangu sana. Kwa kweli sijui nita mlipa nini mama, alinibeba kwa tumbo, akanishika kwa miguu yake, akaninyonyesha maziwa yake tamu, kweli nimlipe nini mama ila ni heshima tu.
Wazaziwe msimulizi walipigiwa simu na nani
{ "text": [ "Mwalimu mkuu" ] }
2928_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu.... Nilingundua ya kwamba siku za mwizi ni arobaini. Rafiki yangu alipoitwa moyo wangu ulianza kudunda, nilianza kujishuku kwa kuwa tulikuwa na tabia ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu, haswa vitabu vya hadithi. Tukiona wenzetu wakiwa na vitabu vya hadithi badala tuombe tunatega akitoka kidogo tunachukua kitabu hicho na kuwapelekea marafiki wetu wa madarasa mengine Ama kweli wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki waliposema, asiye skia hujionea yeye mwenyewe. Yani niliambiwa siku nyingi na mwalimu wangu niachane na tabia ya rafiki yangu lakini wapi? punde si punde baada ya sekunde, niliitwa na mwalimu mkuu katika ofisi yake. Nilipoingia ofisini nilipata rafiki yangu akilia na macho yake yake kubadili rangi na kuwa mekundu. Mwalimu akaniuliza ni mara ngapi aliniambia niwachane na tabia za rafiki zako? Tulitandikwa na viboko yasitoke katika akili yangu. yaani nilikuwa naongeleshwa na mwalimu wangu lakini yote aliyoniambia yalipita sikio moja yakitoka na sikio lingine. Kumbe mwalimu alijua tambia ya rafiki yangu si nzuri, ama kweli mtegemea ndunguye hufa maskini. Punde si punde mwalimu mkuu aliwapingio wazazi wangu simu na kuwambia wafike shuleni mara moja. Wazazi wangu walifika shuleni saa hiyo hiyo. Walingia ofisi wakiwa na furaha nyingi kwa nyuso zao. Walipoigia Walikota nikipiga magoti na nikilia, mama yangu alishtuka na kujaribu kuniongelesha lakini wapi? nilishidwa kuongea wala kuwasalimu. Walipelekwa na mwalimu mkuu ndani ya ofisi na kuwaeleza jinsi tulivyo fanya na rafiki yangu. Baada ya baba yangu kuyaskia hayo yote alinipiga kofi, yaani baba alitoko kama ame badilisha sura na kwanza kuwa mwingine, nilijaribu kutoraka lakini sikujua niende wapi wala nifanye nini. Nilikuwa najiuliza maswali lakini sipati jibu, yaani huyu ni rafiki yangu niliye mpenda kama punzi yangu aliye niweka ndani ya moto? Nilikuwa nikujiuliza maswali haya Iakini sikupata jibu. Lakini nilimshukuru sana mama yangu kwa sababu kama sio yeye singejua niendapo, alimwongelesha baba vizuri hadi baba pia alimskia na kuanza kuniongelesha vizuri na ndio maana nampenda mama yangu sana. Kwa kweli sijui nita mlipa nini mama, alinibeba kwa tumbo, akanishika kwa miguu yake, akaninyonyesha maziwa yake tamu, kweli nimlipe nini mama ila ni heshima tu.
Msimulizi alipigwa nini na babake
{ "text": [ "Kofi" ] }
2928_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu.... Nilingundua ya kwamba siku za mwizi ni arobaini. Rafiki yangu alipoitwa moyo wangu ulianza kudunda, nilianza kujishuku kwa kuwa tulikuwa na tabia ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu, haswa vitabu vya hadithi. Tukiona wenzetu wakiwa na vitabu vya hadithi badala tuombe tunatega akitoka kidogo tunachukua kitabu hicho na kuwapelekea marafiki wetu wa madarasa mengine Ama kweli wahenga na wahenguzi hawakutuchana nywele kwa mfupa wa samaki waliposema, asiye skia hujionea yeye mwenyewe. Yani niliambiwa siku nyingi na mwalimu wangu niachane na tabia ya rafiki yangu lakini wapi? punde si punde baada ya sekunde, niliitwa na mwalimu mkuu katika ofisi yake. Nilipoingia ofisini nilipata rafiki yangu akilia na macho yake yake kubadili rangi na kuwa mekundu. Mwalimu akaniuliza ni mara ngapi aliniambia niwachane na tabia za rafiki zako? Tulitandikwa na viboko yasitoke katika akili yangu. yaani nilikuwa naongeleshwa na mwalimu wangu lakini yote aliyoniambia yalipita sikio moja yakitoka na sikio lingine. Kumbe mwalimu alijua tambia ya rafiki yangu si nzuri, ama kweli mtegemea ndunguye hufa maskini. Punde si punde mwalimu mkuu aliwapingio wazazi wangu simu na kuwambia wafike shuleni mara moja. Wazazi wangu walifika shuleni saa hiyo hiyo. Walingia ofisi wakiwa na furaha nyingi kwa nyuso zao. Walipoigia Walikota nikipiga magoti na nikilia, mama yangu alishtuka na kujaribu kuniongelesha lakini wapi? nilishidwa kuongea wala kuwasalimu. Walipelekwa na mwalimu mkuu ndani ya ofisi na kuwaeleza jinsi tulivyo fanya na rafiki yangu. Baada ya baba yangu kuyaskia hayo yote alinipiga kofi, yaani baba alitoko kama ame badilisha sura na kwanza kuwa mwingine, nilijaribu kutoraka lakini sikujua niende wapi wala nifanye nini. Nilikuwa najiuliza maswali lakini sipati jibu, yaani huyu ni rafiki yangu niliye mpenda kama punzi yangu aliye niweka ndani ya moto? Nilikuwa nikujiuliza maswali haya Iakini sikupata jibu. Lakini nilimshukuru sana mama yangu kwa sababu kama sio yeye singejua niendapo, alimwongelesha baba vizuri hadi baba pia alimskia na kuanza kuniongelesha vizuri na ndio maana nampenda mama yangu sana. Kwa kweli sijui nita mlipa nini mama, alinibeba kwa tumbo, akanishika kwa miguu yake, akaninyonyesha maziwa yake tamu, kweli nimlipe nini mama ila ni heshima tu.
Msimulizi alikuwa ametiwa motoni na nani
{ "text": [ "Rafika yake" ] }
2935_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Siku tulioingoja kwa hamu na hamumu ilishakwisha wadia. Siku muhimu sana kwa rafiki yangu wa chanda na Pete au mate na ulimi aliyeitwa Harsa, kuzaliwa. Harsa tulilelewa naye katika kijiji cha Akasombo kwa kuwa wavyele watu walikuwa na urafiki, hatukutupa fursa ya kuwa marafiki pia kwa kama wanavyolonga mtoto hukitazama kisogo cha nina. Pamoja na Harsa tulisomea shule ya msingi pamoia. Shuleni kila mtu alitutambua kwa urariki wetu wa dhati. llhali hatukuweza kuenda shule ya upili pamoja, urafiki wetu uliendelea kwa kuwa tulipátana wakati wa likizo. Shuleni nilimokuwa nikisomea nilizitambaza sifa za rafiki yangu wa kufa na kupona hadi wanafunzi wakamtambua ni kama alikuwa mmoja wa shule yetu. Naye Harsa hakufanya kadri nami kwa kuwa pia alitambaza sifa njema kunihusu. Baada ya kumaliza shule ya upili, sasa tulijiunga na chuo kikuu kimoja leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Hafsa tulitayarisha virojorojo vya kula na kuwaita marafiki zetu ili kushangilia na kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Hafsa. Julimaliza kupamba nyumba ya wageni kisha tukaanza kujipamba wenyewe. Hafsa alipomaliza kujipamba alikuwa mwenye nywele za kipilipili, macho ya gololi na kiuno cha singa. Alikaa kama malaika mwenye uhai. Kila aliyealikwa alipohitimu kufika sherehe ilianza. Kama ilivyo mila na desturi tulianza na maombi kisha Hafsa akatoa hotuba ya kuwakaribisha wageni wote. Na baada ya hayo tukamtuza zawadi tulizokuwa tumeleta. Mara migambo ya kishamra shamra na nderemo ikachezwa, kila mmoia alisimama na kupiga densi kwa njia zake. Ghafla bin vu! tukaona kikosi cha askari kikiingia mlangoni Ngoma zilizimwa ili tujue kilichokuwa kikiendelea. Mmoja wa kikosi hicho, aliyekaa kiongozi wao alitujulisha kuwa kitita cha pesa kilichokuwa kimeibiwa kinaonekana kiko humu humu.
Rafiki yake aliitwa nani
{ "text": [ "Hatsa" ] }
2935_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Siku tulioingoja kwa hamu na hamumu ilishakwisha wadia. Siku muhimu sana kwa rafiki yangu wa chanda na Pete au mate na ulimi aliyeitwa Harsa, kuzaliwa. Harsa tulilelewa naye katika kijiji cha Akasombo kwa kuwa wavyele watu walikuwa na urafiki, hatukutupa fursa ya kuwa marafiki pia kwa kama wanavyolonga mtoto hukitazama kisogo cha nina. Pamoja na Harsa tulisomea shule ya msingi pamoia. Shuleni kila mtu alitutambua kwa urariki wetu wa dhati. llhali hatukuweza kuenda shule ya upili pamoja, urafiki wetu uliendelea kwa kuwa tulipátana wakati wa likizo. Shuleni nilimokuwa nikisomea nilizitambaza sifa za rafiki yangu wa kufa na kupona hadi wanafunzi wakamtambua ni kama alikuwa mmoja wa shule yetu. Naye Harsa hakufanya kadri nami kwa kuwa pia alitambaza sifa njema kunihusu. Baada ya kumaliza shule ya upili, sasa tulijiunga na chuo kikuu kimoja leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Hafsa tulitayarisha virojorojo vya kula na kuwaita marafiki zetu ili kushangilia na kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Hafsa. Julimaliza kupamba nyumba ya wageni kisha tukaanza kujipamba wenyewe. Hafsa alipomaliza kujipamba alikuwa mwenye nywele za kipilipili, macho ya gololi na kiuno cha singa. Alikaa kama malaika mwenye uhai. Kila aliyealikwa alipohitimu kufika sherehe ilianza. Kama ilivyo mila na desturi tulianza na maombi kisha Hafsa akatoa hotuba ya kuwakaribisha wageni wote. Na baada ya hayo tukamtuza zawadi tulizokuwa tumeleta. Mara migambo ya kishamra shamra na nderemo ikachezwa, kila mmoia alisimama na kupiga densi kwa njia zake. Ghafla bin vu! tukaona kikosi cha askari kikiingia mlangoni Ngoma zilizimwa ili tujue kilichokuwa kikiendelea. Mmoja wa kikosi hicho, aliyekaa kiongozi wao alitujulisha kuwa kitita cha pesa kilichokuwa kimeibiwa kinaonekana kiko humu humu.
Walilelewa katika kijiji kipi
{ "text": [ "Akosombo" ] }
2935_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Siku tulioingoja kwa hamu na hamumu ilishakwisha wadia. Siku muhimu sana kwa rafiki yangu wa chanda na Pete au mate na ulimi aliyeitwa Harsa, kuzaliwa. Harsa tulilelewa naye katika kijiji cha Akasombo kwa kuwa wavyele watu walikuwa na urafiki, hatukutupa fursa ya kuwa marafiki pia kwa kama wanavyolonga mtoto hukitazama kisogo cha nina. Pamoja na Harsa tulisomea shule ya msingi pamoia. Shuleni kila mtu alitutambua kwa urariki wetu wa dhati. llhali hatukuweza kuenda shule ya upili pamoja, urafiki wetu uliendelea kwa kuwa tulipátana wakati wa likizo. Shuleni nilimokuwa nikisomea nilizitambaza sifa za rafiki yangu wa kufa na kupona hadi wanafunzi wakamtambua ni kama alikuwa mmoja wa shule yetu. Naye Harsa hakufanya kadri nami kwa kuwa pia alitambaza sifa njema kunihusu. Baada ya kumaliza shule ya upili, sasa tulijiunga na chuo kikuu kimoja leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Hafsa tulitayarisha virojorojo vya kula na kuwaita marafiki zetu ili kushangilia na kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Hafsa. Julimaliza kupamba nyumba ya wageni kisha tukaanza kujipamba wenyewe. Hafsa alipomaliza kujipamba alikuwa mwenye nywele za kipilipili, macho ya gololi na kiuno cha singa. Alikaa kama malaika mwenye uhai. Kila aliyealikwa alipohitimu kufika sherehe ilianza. Kama ilivyo mila na desturi tulianza na maombi kisha Hafsa akatoa hotuba ya kuwakaribisha wageni wote. Na baada ya hayo tukamtuza zawadi tulizokuwa tumeleta. Mara migambo ya kishamra shamra na nderemo ikachezwa, kila mmoia alisimama na kupiga densi kwa njia zake. Ghafla bin vu! tukaona kikosi cha askari kikiingia mlangoni Ngoma zilizimwa ili tujue kilichokuwa kikiendelea. Mmoja wa kikosi hicho, aliyekaa kiongozi wao alitujulisha kuwa kitita cha pesa kilichokuwa kimeibiwa kinaonekana kiko humu humu.
Walipatana lini
{ "text": [ "Likizoni" ] }
2935_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Siku tulioingoja kwa hamu na hamumu ilishakwisha wadia. Siku muhimu sana kwa rafiki yangu wa chanda na Pete au mate na ulimi aliyeitwa Harsa, kuzaliwa. Harsa tulilelewa naye katika kijiji cha Akasombo kwa kuwa wavyele watu walikuwa na urafiki, hatukutupa fursa ya kuwa marafiki pia kwa kama wanavyolonga mtoto hukitazama kisogo cha nina. Pamoja na Harsa tulisomea shule ya msingi pamoia. Shuleni kila mtu alitutambua kwa urariki wetu wa dhati. llhali hatukuweza kuenda shule ya upili pamoja, urafiki wetu uliendelea kwa kuwa tulipátana wakati wa likizo. Shuleni nilimokuwa nikisomea nilizitambaza sifa za rafiki yangu wa kufa na kupona hadi wanafunzi wakamtambua ni kama alikuwa mmoja wa shule yetu. Naye Harsa hakufanya kadri nami kwa kuwa pia alitambaza sifa njema kunihusu. Baada ya kumaliza shule ya upili, sasa tulijiunga na chuo kikuu kimoja leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Hafsa tulitayarisha virojorojo vya kula na kuwaita marafiki zetu ili kushangilia na kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Hafsa. Julimaliza kupamba nyumba ya wageni kisha tukaanza kujipamba wenyewe. Hafsa alipomaliza kujipamba alikuwa mwenye nywele za kipilipili, macho ya gololi na kiuno cha singa. Alikaa kama malaika mwenye uhai. Kila aliyealikwa alipohitimu kufika sherehe ilianza. Kama ilivyo mila na desturi tulianza na maombi kisha Hafsa akatoa hotuba ya kuwakaribisha wageni wote. Na baada ya hayo tukamtuza zawadi tulizokuwa tumeleta. Mara migambo ya kishamra shamra na nderemo ikachezwa, kila mmoia alisimama na kupiga densi kwa njia zake. Ghafla bin vu! tukaona kikosi cha askari kikiingia mlangoni Ngoma zilizimwa ili tujue kilichokuwa kikiendelea. Mmoja wa kikosi hicho, aliyekaa kiongozi wao alitujulisha kuwa kitita cha pesa kilichokuwa kimeibiwa kinaonekana kiko humu humu.
Walimaliza kupamba nyumba gani
{ "text": [ "Wageni" ] }
2935_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Siku tulioingoja kwa hamu na hamumu ilishakwisha wadia. Siku muhimu sana kwa rafiki yangu wa chanda na Pete au mate na ulimi aliyeitwa Harsa, kuzaliwa. Harsa tulilelewa naye katika kijiji cha Akasombo kwa kuwa wavyele watu walikuwa na urafiki, hatukutupa fursa ya kuwa marafiki pia kwa kama wanavyolonga mtoto hukitazama kisogo cha nina. Pamoja na Harsa tulisomea shule ya msingi pamoia. Shuleni kila mtu alitutambua kwa urariki wetu wa dhati. llhali hatukuweza kuenda shule ya upili pamoja, urafiki wetu uliendelea kwa kuwa tulipátana wakati wa likizo. Shuleni nilimokuwa nikisomea nilizitambaza sifa za rafiki yangu wa kufa na kupona hadi wanafunzi wakamtambua ni kama alikuwa mmoja wa shule yetu. Naye Harsa hakufanya kadri nami kwa kuwa pia alitambaza sifa njema kunihusu. Baada ya kumaliza shule ya upili, sasa tulijiunga na chuo kikuu kimoja leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Hafsa tulitayarisha virojorojo vya kula na kuwaita marafiki zetu ili kushangilia na kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Hafsa. Julimaliza kupamba nyumba ya wageni kisha tukaanza kujipamba wenyewe. Hafsa alipomaliza kujipamba alikuwa mwenye nywele za kipilipili, macho ya gololi na kiuno cha singa. Alikaa kama malaika mwenye uhai. Kila aliyealikwa alipohitimu kufika sherehe ilianza. Kama ilivyo mila na desturi tulianza na maombi kisha Hafsa akatoa hotuba ya kuwakaribisha wageni wote. Na baada ya hayo tukamtuza zawadi tulizokuwa tumeleta. Mara migambo ya kishamra shamra na nderemo ikachezwa, kila mmoia alisimama na kupiga densi kwa njia zake. Ghafla bin vu! tukaona kikosi cha askari kikiingia mlangoni Ngoma zilizimwa ili tujue kilichokuwa kikiendelea. Mmoja wa kikosi hicho, aliyekaa kiongozi wao alitujulisha kuwa kitita cha pesa kilichokuwa kimeibiwa kinaonekana kiko humu humu.
Kwa nini askari walikuja
{ "text": [ "Kitita cha pesa kilichoibiwa kilipatikana humo" ] }
2938_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Niliamka asubuhi na mapema kabla shetani hajavalia kanzu, nikitaka kuelekea shuleni. Nilipoamka kwanzae nilielekea bafuni kuoga kisho nikovaa sare yangu. Baada ya hayo nilielekea jikoni ili niutayarishe staftahi yangu. Nilitayarisha kahawa, nikanywa na mkate. Baada ya hapo, nilingoa nanga na kwenda shuleni. Nilipokuwa nikielekea shuleni nilipatana na msena wangu Yusufu. Nilipopatana naye hakuwa amevalia sare, "Yusufu, kwani huelekei shuleni?" nilimuliza,"naam", alijibu. Nilielekea shuleni na marafiki yangu akiongoza. Nilimuliza kama mvyele wake kama alikuwa na fahali alipokuwa akielekea? Aliniangalia tu, kisha kuuliza kama ningependa kuenda. Nilimjibu ningependa lakini sikuwa na mavazi mengine. Nilidhani kuwa nilikuwa nimeepuka mambo hayo lakini alitoa kaptula ns shati kwenye mkoba wake na kunipa nivae. Ingawa Yusufu alikuwa msena wangu, watu wote kijijini walimchukia kwa kuwa alikuwa na tabia mbovu. Alikuwa akiiba kutoka kwa wazazi wake, na pia alipenda kuwachapa watoto shuleni. Tabia hii ilifanya atandikwe na waliu karibu kila siku. Baada ya kuvaa mavazi hay, niliamua kwenda naye.Tulipokuwa tukielekea huko, tulipatana na marafiki wake wengine. Marafiki wake walikua wanafanana majambazi. Rafiki yake mmoja alisema, "kwani Yusufu umekuja na katoto", Yusufu alisema, mwache tafadhali. Rafiki mwingine aliuliza, "ataweza kupigana kweli?". "Ati" nilisema, "yani ulinidanganya Yusufu?" niliongeza. "Watu tuna chapana si wakubwa", Yufusu alisema. Baada ya karibu saa moja, tulipatana na wanafunzi tuliokuwa tunachapana nao. Wanafunzi hao walikuwa wanafanana kama majitu. Mmoja wa hao majitu aliguruma, "nyinyi ndio mnatishia wanafunzi wa shule yetu? leo mtajuta" Kisha akakimbia na kumchapa Yusufu ngumi, kisha marafiki zake wakatupa kichapo cha mwizi. Hapo ndio nilijua hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Aliamka kabla nani hajavalia kanzu
{ "text": [ "shetani" ] }
2938_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Niliamka asubuhi na mapema kabla shetani hajavalia kanzu, nikitaka kuelekea shuleni. Nilipoamka kwanzae nilielekea bafuni kuoga kisho nikovaa sare yangu. Baada ya hayo nilielekea jikoni ili niutayarishe staftahi yangu. Nilitayarisha kahawa, nikanywa na mkate. Baada ya hapo, nilingoa nanga na kwenda shuleni. Nilipokuwa nikielekea shuleni nilipatana na msena wangu Yusufu. Nilipopatana naye hakuwa amevalia sare, "Yusufu, kwani huelekei shuleni?" nilimuliza,"naam", alijibu. Nilielekea shuleni na marafiki yangu akiongoza. Nilimuliza kama mvyele wake kama alikuwa na fahali alipokuwa akielekea? Aliniangalia tu, kisha kuuliza kama ningependa kuenda. Nilimjibu ningependa lakini sikuwa na mavazi mengine. Nilidhani kuwa nilikuwa nimeepuka mambo hayo lakini alitoa kaptula ns shati kwenye mkoba wake na kunipa nivae. Ingawa Yusufu alikuwa msena wangu, watu wote kijijini walimchukia kwa kuwa alikuwa na tabia mbovu. Alikuwa akiiba kutoka kwa wazazi wake, na pia alipenda kuwachapa watoto shuleni. Tabia hii ilifanya atandikwe na waliu karibu kila siku. Baada ya kuvaa mavazi hay, niliamua kwenda naye.Tulipokuwa tukielekea huko, tulipatana na marafiki wake wengine. Marafiki wake walikua wanafanana majambazi. Rafiki yake mmoja alisema, "kwani Yusufu umekuja na katoto", Yusufu alisema, mwache tafadhali. Rafiki mwingine aliuliza, "ataweza kupigana kweli?". "Ati" nilisema, "yani ulinidanganya Yusufu?" niliongeza. "Watu tuna chapana si wakubwa", Yufusu alisema. Baada ya karibu saa moja, tulipatana na wanafunzi tuliokuwa tunachapana nao. Wanafunzi hao walikuwa wanafanana kama majitu. Mmoja wa hao majitu aliguruma, "nyinyi ndio mnatishia wanafunzi wa shule yetu? leo mtajuta" Kisha akakimbia na kumchapa Yusufu ngumi, kisha marafiki zake wakatupa kichapo cha mwizi. Hapo ndio nilijua hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Marafiki zake walifanana na nini
{ "text": [ "majambazi" ] }
2938_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Niliamka asubuhi na mapema kabla shetani hajavalia kanzu, nikitaka kuelekea shuleni. Nilipoamka kwanzae nilielekea bafuni kuoga kisho nikovaa sare yangu. Baada ya hayo nilielekea jikoni ili niutayarishe staftahi yangu. Nilitayarisha kahawa, nikanywa na mkate. Baada ya hapo, nilingoa nanga na kwenda shuleni. Nilipokuwa nikielekea shuleni nilipatana na msena wangu Yusufu. Nilipopatana naye hakuwa amevalia sare, "Yusufu, kwani huelekei shuleni?" nilimuliza,"naam", alijibu. Nilielekea shuleni na marafiki yangu akiongoza. Nilimuliza kama mvyele wake kama alikuwa na fahali alipokuwa akielekea? Aliniangalia tu, kisha kuuliza kama ningependa kuenda. Nilimjibu ningependa lakini sikuwa na mavazi mengine. Nilidhani kuwa nilikuwa nimeepuka mambo hayo lakini alitoa kaptula ns shati kwenye mkoba wake na kunipa nivae. Ingawa Yusufu alikuwa msena wangu, watu wote kijijini walimchukia kwa kuwa alikuwa na tabia mbovu. Alikuwa akiiba kutoka kwa wazazi wake, na pia alipenda kuwachapa watoto shuleni. Tabia hii ilifanya atandikwe na waliu karibu kila siku. Baada ya kuvaa mavazi hay, niliamua kwenda naye.Tulipokuwa tukielekea huko, tulipatana na marafiki wake wengine. Marafiki wake walikua wanafanana majambazi. Rafiki yake mmoja alisema, "kwani Yusufu umekuja na katoto", Yusufu alisema, mwache tafadhali. Rafiki mwingine aliuliza, "ataweza kupigana kweli?". "Ati" nilisema, "yani ulinidanganya Yusufu?" niliongeza. "Watu tuna chapana si wakubwa", Yufusu alisema. Baada ya karibu saa moja, tulipatana na wanafunzi tuliokuwa tunachapana nao. Wanafunzi hao walikuwa wanafanana kama majitu. Mmoja wa hao majitu aliguruma, "nyinyi ndio mnatishia wanafunzi wa shule yetu? leo mtajuta" Kisha akakimbia na kumchapa Yusufu ngumi, kisha marafiki zake wakatupa kichapo cha mwizi. Hapo ndio nilijua hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Yosefu alikuwa na tabia gani
{ "text": [ "mbovu" ] }
2938_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Niliamka asubuhi na mapema kabla shetani hajavalia kanzu, nikitaka kuelekea shuleni. Nilipoamka kwanzae nilielekea bafuni kuoga kisho nikovaa sare yangu. Baada ya hayo nilielekea jikoni ili niutayarishe staftahi yangu. Nilitayarisha kahawa, nikanywa na mkate. Baada ya hapo, nilingoa nanga na kwenda shuleni. Nilipokuwa nikielekea shuleni nilipatana na msena wangu Yusufu. Nilipopatana naye hakuwa amevalia sare, "Yusufu, kwani huelekei shuleni?" nilimuliza,"naam", alijibu. Nilielekea shuleni na marafiki yangu akiongoza. Nilimuliza kama mvyele wake kama alikuwa na fahali alipokuwa akielekea? Aliniangalia tu, kisha kuuliza kama ningependa kuenda. Nilimjibu ningependa lakini sikuwa na mavazi mengine. Nilidhani kuwa nilikuwa nimeepuka mambo hayo lakini alitoa kaptula ns shati kwenye mkoba wake na kunipa nivae. Ingawa Yusufu alikuwa msena wangu, watu wote kijijini walimchukia kwa kuwa alikuwa na tabia mbovu. Alikuwa akiiba kutoka kwa wazazi wake, na pia alipenda kuwachapa watoto shuleni. Tabia hii ilifanya atandikwe na waliu karibu kila siku. Baada ya kuvaa mavazi hay, niliamua kwenda naye.Tulipokuwa tukielekea huko, tulipatana na marafiki wake wengine. Marafiki wake walikua wanafanana majambazi. Rafiki yake mmoja alisema, "kwani Yusufu umekuja na katoto", Yusufu alisema, mwache tafadhali. Rafiki mwingine aliuliza, "ataweza kupigana kweli?". "Ati" nilisema, "yani ulinidanganya Yusufu?" niliongeza. "Watu tuna chapana si wakubwa", Yufusu alisema. Baada ya karibu saa moja, tulipatana na wanafunzi tuliokuwa tunachapana nao. Wanafunzi hao walikuwa wanafanana kama majitu. Mmoja wa hao majitu aliguruma, "nyinyi ndio mnatishia wanafunzi wa shule yetu? leo mtajuta" Kisha akakimbia na kumchapa Yusufu ngumi, kisha marafiki zake wakatupa kichapo cha mwizi. Hapo ndio nilijua hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Baada ya kuoga alivaa nini
{ "text": [ "sare yake" ] }
2938_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Niliamka asubuhi na mapema kabla shetani hajavalia kanzu, nikitaka kuelekea shuleni. Nilipoamka kwanzae nilielekea bafuni kuoga kisho nikovaa sare yangu. Baada ya hayo nilielekea jikoni ili niutayarishe staftahi yangu. Nilitayarisha kahawa, nikanywa na mkate. Baada ya hapo, nilingoa nanga na kwenda shuleni. Nilipokuwa nikielekea shuleni nilipatana na msena wangu Yusufu. Nilipopatana naye hakuwa amevalia sare, "Yusufu, kwani huelekei shuleni?" nilimuliza,"naam", alijibu. Nilielekea shuleni na marafiki yangu akiongoza. Nilimuliza kama mvyele wake kama alikuwa na fahali alipokuwa akielekea? Aliniangalia tu, kisha kuuliza kama ningependa kuenda. Nilimjibu ningependa lakini sikuwa na mavazi mengine. Nilidhani kuwa nilikuwa nimeepuka mambo hayo lakini alitoa kaptula ns shati kwenye mkoba wake na kunipa nivae. Ingawa Yusufu alikuwa msena wangu, watu wote kijijini walimchukia kwa kuwa alikuwa na tabia mbovu. Alikuwa akiiba kutoka kwa wazazi wake, na pia alipenda kuwachapa watoto shuleni. Tabia hii ilifanya atandikwe na waliu karibu kila siku. Baada ya kuvaa mavazi hay, niliamua kwenda naye.Tulipokuwa tukielekea huko, tulipatana na marafiki wake wengine. Marafiki wake walikua wanafanana majambazi. Rafiki yake mmoja alisema, "kwani Yusufu umekuja na katoto", Yusufu alisema, mwache tafadhali. Rafiki mwingine aliuliza, "ataweza kupigana kweli?". "Ati" nilisema, "yani ulinidanganya Yusufu?" niliongeza. "Watu tuna chapana si wakubwa", Yufusu alisema. Baada ya karibu saa moja, tulipatana na wanafunzi tuliokuwa tunachapana nao. Wanafunzi hao walikuwa wanafanana kama majitu. Mmoja wa hao majitu aliguruma, "nyinyi ndio mnatishia wanafunzi wa shule yetu? leo mtajuta" Kisha akakimbia na kumchapa Yusufu ngumi, kisha marafiki zake wakatupa kichapo cha mwizi. Hapo ndio nilijua hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Mbona watu kijijini walimchukia
{ "text": [ "alikuwa na tabia mbovu" ] }
2939_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Somo la kiswahili lilikuwa likiendelea. Punde si punde tukasikia mlango ukibishwa kwa nguvu. Mwalimu wetu bwana Abdul alielekea kuufungua lakini kabla afungue, wanaume wawili walingia na kumpiga kwa mbao uliomfanya azimie. Mwalimu wetu alipozimia alichukuliwa na kubebwa hadi kwa gari na kupelekwa tusipo pafahamu. Mimi kama kiranja wa darasa nilienda na kumfikishia mwalimu mkuu kilicho elendelea. Mwalimu mkuu aliposikia hivyo aliniambia ni ingie ndani ya gari tuendo tukamtafute mwalimu wetu kwa haraka iwezekanavyo kabla ya hatari. Tulingia ndani ya gari na bila kupoteza muda tukaanza safari. Tulienda tukiuliza kama kuna mtu allyeona gari la rangi ya kijani kibichi ikipita lakini watu walisema hawakuona. Tulindelea na safari mpaka tulipopatana na mwanadamu aliye na maumbile ya hanithi akiwa kando ya barabara akilia akilisha usaidizi, mwalimu mkuu alisimamisha gari na kumuliza mwanadumu yule nini kilicho endelea. Mwanadamu yule alitulibu akisema kuwa, kuna watu waliokuwa kwa gari la rangi ya kijani kibichi, walimama na kumuliza swali. Mwanadamu yule hakujibu wanaume hao wakamadhibu bila sababu na kumwacha hapo. Mwanadamu yule alipomaliza kuzungumza mwalimu mkuu alimwambia aingie ndani ya gari, alingia na kisha tukaondoka na kuendelea na safari ya kumtafuta mwalimu wetu. Mwanadamu yule alituelekeza mahali wanaume hao walienda. Bahati yetu tuliwapata lakini walikuwa wakitaka kumuangamiza mwalimu wetu. Sisi sote tulitoka ndani ya gari haraka iwezekanavyo na kwenda kumwokoa mwalimu wetu, tulimpata mwallmu wetu na rafikiye. Mwalimu mkuu alienda na kuwa salimu wanaume hao, mwalimu wetu na rafikiye kisha akawauliza nini kinachoendelea. Hapo ndipo mwalimu wetu alianza nakusema kuwa rafiki yake alienda na kutekeleza mauwaji ya msichana mdogo baada ya kumbaka kisha akasema ni yeye aliyefanya Kitendo hicho, mwalimu wetu alipomaliza alinyamaza ji! Mwalimu mkuu alipigia polisi na kuwahimiza waje kwa haraka. Polisi walisika kwa haraka, wakaelezewa kinachoendelea kisha wakanza uchunguzi. Walichunguza yote yaliyokuwa yakiendelea na kujua ukweli ni kuwa rafiki ya mwalimu wetu alimwekelea mwalimu wetu na hapo ndipo rafiki huyo alitiwa mbaroni. Kisha sisi tukaenda na mwalimu wetu, na kutuka siku hiyo hapa ndipo nilijuwa kuwa rafiki wayo anaweza kukudhuru.
Mwalimu wa somo la Kiswahili alikuwa anajulikana kama nani?
{ "text": [ "Abdul" ] }
2939_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Somo la kiswahili lilikuwa likiendelea. Punde si punde tukasikia mlango ukibishwa kwa nguvu. Mwalimu wetu bwana Abdul alielekea kuufungua lakini kabla afungue, wanaume wawili walingia na kumpiga kwa mbao uliomfanya azimie. Mwalimu wetu alipozimia alichukuliwa na kubebwa hadi kwa gari na kupelekwa tusipo pafahamu. Mimi kama kiranja wa darasa nilienda na kumfikishia mwalimu mkuu kilicho elendelea. Mwalimu mkuu aliposikia hivyo aliniambia ni ingie ndani ya gari tuendo tukamtafute mwalimu wetu kwa haraka iwezekanavyo kabla ya hatari. Tulingia ndani ya gari na bila kupoteza muda tukaanza safari. Tulienda tukiuliza kama kuna mtu allyeona gari la rangi ya kijani kibichi ikipita lakini watu walisema hawakuona. Tulindelea na safari mpaka tulipopatana na mwanadamu aliye na maumbile ya hanithi akiwa kando ya barabara akilia akilisha usaidizi, mwalimu mkuu alisimamisha gari na kumuliza mwanadumu yule nini kilicho endelea. Mwanadamu yule alitulibu akisema kuwa, kuna watu waliokuwa kwa gari la rangi ya kijani kibichi, walimama na kumuliza swali. Mwanadamu yule hakujibu wanaume hao wakamadhibu bila sababu na kumwacha hapo. Mwanadamu yule alipomaliza kuzungumza mwalimu mkuu alimwambia aingie ndani ya gari, alingia na kisha tukaondoka na kuendelea na safari ya kumtafuta mwalimu wetu. Mwanadamu yule alituelekeza mahali wanaume hao walienda. Bahati yetu tuliwapata lakini walikuwa wakitaka kumuangamiza mwalimu wetu. Sisi sote tulitoka ndani ya gari haraka iwezekanavyo na kwenda kumwokoa mwalimu wetu, tulimpata mwallmu wetu na rafikiye. Mwalimu mkuu alienda na kuwa salimu wanaume hao, mwalimu wetu na rafikiye kisha akawauliza nini kinachoendelea. Hapo ndipo mwalimu wetu alianza nakusema kuwa rafiki yake alienda na kutekeleza mauwaji ya msichana mdogo baada ya kumbaka kisha akasema ni yeye aliyefanya Kitendo hicho, mwalimu wetu alipomaliza alinyamaza ji! Mwalimu mkuu alipigia polisi na kuwahimiza waje kwa haraka. Polisi walisika kwa haraka, wakaelezewa kinachoendelea kisha wakanza uchunguzi. Walichunguza yote yaliyokuwa yakiendelea na kujua ukweli ni kuwa rafiki ya mwalimu wetu alimwekelea mwalimu wetu na hapo ndipo rafiki huyo alitiwa mbaroni. Kisha sisi tukaenda na mwalimu wetu, na kutuka siku hiyo hapa ndipo nilijuwa kuwa rafiki wayo anaweza kukudhuru.
Mwalimu alizimia baada ya nini kufanyika?
{ "text": [ "Kupigwa na mbao" ] }
2939_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Somo la kiswahili lilikuwa likiendelea. Punde si punde tukasikia mlango ukibishwa kwa nguvu. Mwalimu wetu bwana Abdul alielekea kuufungua lakini kabla afungue, wanaume wawili walingia na kumpiga kwa mbao uliomfanya azimie. Mwalimu wetu alipozimia alichukuliwa na kubebwa hadi kwa gari na kupelekwa tusipo pafahamu. Mimi kama kiranja wa darasa nilienda na kumfikishia mwalimu mkuu kilicho elendelea. Mwalimu mkuu aliposikia hivyo aliniambia ni ingie ndani ya gari tuendo tukamtafute mwalimu wetu kwa haraka iwezekanavyo kabla ya hatari. Tulingia ndani ya gari na bila kupoteza muda tukaanza safari. Tulienda tukiuliza kama kuna mtu allyeona gari la rangi ya kijani kibichi ikipita lakini watu walisema hawakuona. Tulindelea na safari mpaka tulipopatana na mwanadamu aliye na maumbile ya hanithi akiwa kando ya barabara akilia akilisha usaidizi, mwalimu mkuu alisimamisha gari na kumuliza mwanadumu yule nini kilicho endelea. Mwanadamu yule alitulibu akisema kuwa, kuna watu waliokuwa kwa gari la rangi ya kijani kibichi, walimama na kumuliza swali. Mwanadamu yule hakujibu wanaume hao wakamadhibu bila sababu na kumwacha hapo. Mwanadamu yule alipomaliza kuzungumza mwalimu mkuu alimwambia aingie ndani ya gari, alingia na kisha tukaondoka na kuendelea na safari ya kumtafuta mwalimu wetu. Mwanadamu yule alituelekeza mahali wanaume hao walienda. Bahati yetu tuliwapata lakini walikuwa wakitaka kumuangamiza mwalimu wetu. Sisi sote tulitoka ndani ya gari haraka iwezekanavyo na kwenda kumwokoa mwalimu wetu, tulimpata mwallmu wetu na rafikiye. Mwalimu mkuu alienda na kuwa salimu wanaume hao, mwalimu wetu na rafikiye kisha akawauliza nini kinachoendelea. Hapo ndipo mwalimu wetu alianza nakusema kuwa rafiki yake alienda na kutekeleza mauwaji ya msichana mdogo baada ya kumbaka kisha akasema ni yeye aliyefanya Kitendo hicho, mwalimu wetu alipomaliza alinyamaza ji! Mwalimu mkuu alipigia polisi na kuwahimiza waje kwa haraka. Polisi walisika kwa haraka, wakaelezewa kinachoendelea kisha wakanza uchunguzi. Walichunguza yote yaliyokuwa yakiendelea na kujua ukweli ni kuwa rafiki ya mwalimu wetu alimwekelea mwalimu wetu na hapo ndipo rafiki huyo alitiwa mbaroni. Kisha sisi tukaenda na mwalimu wetu, na kutuka siku hiyo hapa ndipo nilijuwa kuwa rafiki wayo anaweza kukudhuru.
Kama kiranja, mwandishi aliripoti kesi kilichofanyika kwa nani?
{ "text": [ "Mwalimu mkuu" ] }
2939_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Somo la kiswahili lilikuwa likiendelea. Punde si punde tukasikia mlango ukibishwa kwa nguvu. Mwalimu wetu bwana Abdul alielekea kuufungua lakini kabla afungue, wanaume wawili walingia na kumpiga kwa mbao uliomfanya azimie. Mwalimu wetu alipozimia alichukuliwa na kubebwa hadi kwa gari na kupelekwa tusipo pafahamu. Mimi kama kiranja wa darasa nilienda na kumfikishia mwalimu mkuu kilicho elendelea. Mwalimu mkuu aliposikia hivyo aliniambia ni ingie ndani ya gari tuendo tukamtafute mwalimu wetu kwa haraka iwezekanavyo kabla ya hatari. Tulingia ndani ya gari na bila kupoteza muda tukaanza safari. Tulienda tukiuliza kama kuna mtu allyeona gari la rangi ya kijani kibichi ikipita lakini watu walisema hawakuona. Tulindelea na safari mpaka tulipopatana na mwanadamu aliye na maumbile ya hanithi akiwa kando ya barabara akilia akilisha usaidizi, mwalimu mkuu alisimamisha gari na kumuliza mwanadumu yule nini kilicho endelea. Mwanadamu yule alitulibu akisema kuwa, kuna watu waliokuwa kwa gari la rangi ya kijani kibichi, walimama na kumuliza swali. Mwanadamu yule hakujibu wanaume hao wakamadhibu bila sababu na kumwacha hapo. Mwanadamu yule alipomaliza kuzungumza mwalimu mkuu alimwambia aingie ndani ya gari, alingia na kisha tukaondoka na kuendelea na safari ya kumtafuta mwalimu wetu. Mwanadamu yule alituelekeza mahali wanaume hao walienda. Bahati yetu tuliwapata lakini walikuwa wakitaka kumuangamiza mwalimu wetu. Sisi sote tulitoka ndani ya gari haraka iwezekanavyo na kwenda kumwokoa mwalimu wetu, tulimpata mwallmu wetu na rafikiye. Mwalimu mkuu alienda na kuwa salimu wanaume hao, mwalimu wetu na rafikiye kisha akawauliza nini kinachoendelea. Hapo ndipo mwalimu wetu alianza nakusema kuwa rafiki yake alienda na kutekeleza mauwaji ya msichana mdogo baada ya kumbaka kisha akasema ni yeye aliyefanya Kitendo hicho, mwalimu wetu alipomaliza alinyamaza ji! Mwalimu mkuu alipigia polisi na kuwahimiza waje kwa haraka. Polisi walisika kwa haraka, wakaelezewa kinachoendelea kisha wakanza uchunguzi. Walichunguza yote yaliyokuwa yakiendelea na kujua ukweli ni kuwa rafiki ya mwalimu wetu alimwekelea mwalimu wetu na hapo ndipo rafiki huyo alitiwa mbaroni. Kisha sisi tukaenda na mwalimu wetu, na kutuka siku hiyo hapa ndipo nilijuwa kuwa rafiki wayo anaweza kukudhuru.
Mtu aliyepatwa kando ya barabara alikuwa akifanya nini?
{ "text": [ "Akilia" ] }
2939_swa
Andika insha itakayomalizia kwa ... Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru. Somo la kiswahili lilikuwa likiendelea. Punde si punde tukasikia mlango ukibishwa kwa nguvu. Mwalimu wetu bwana Abdul alielekea kuufungua lakini kabla afungue, wanaume wawili walingia na kumpiga kwa mbao uliomfanya azimie. Mwalimu wetu alipozimia alichukuliwa na kubebwa hadi kwa gari na kupelekwa tusipo pafahamu. Mimi kama kiranja wa darasa nilienda na kumfikishia mwalimu mkuu kilicho elendelea. Mwalimu mkuu aliposikia hivyo aliniambia ni ingie ndani ya gari tuendo tukamtafute mwalimu wetu kwa haraka iwezekanavyo kabla ya hatari. Tulingia ndani ya gari na bila kupoteza muda tukaanza safari. Tulienda tukiuliza kama kuna mtu allyeona gari la rangi ya kijani kibichi ikipita lakini watu walisema hawakuona. Tulindelea na safari mpaka tulipopatana na mwanadamu aliye na maumbile ya hanithi akiwa kando ya barabara akilia akilisha usaidizi, mwalimu mkuu alisimamisha gari na kumuliza mwanadumu yule nini kilicho endelea. Mwanadamu yule alitulibu akisema kuwa, kuna watu waliokuwa kwa gari la rangi ya kijani kibichi, walimama na kumuliza swali. Mwanadamu yule hakujibu wanaume hao wakamadhibu bila sababu na kumwacha hapo. Mwanadamu yule alipomaliza kuzungumza mwalimu mkuu alimwambia aingie ndani ya gari, alingia na kisha tukaondoka na kuendelea na safari ya kumtafuta mwalimu wetu. Mwanadamu yule alituelekeza mahali wanaume hao walienda. Bahati yetu tuliwapata lakini walikuwa wakitaka kumuangamiza mwalimu wetu. Sisi sote tulitoka ndani ya gari haraka iwezekanavyo na kwenda kumwokoa mwalimu wetu, tulimpata mwallmu wetu na rafikiye. Mwalimu mkuu alienda na kuwa salimu wanaume hao, mwalimu wetu na rafikiye kisha akawauliza nini kinachoendelea. Hapo ndipo mwalimu wetu alianza nakusema kuwa rafiki yake alienda na kutekeleza mauwaji ya msichana mdogo baada ya kumbaka kisha akasema ni yeye aliyefanya Kitendo hicho, mwalimu wetu alipomaliza alinyamaza ji! Mwalimu mkuu alipigia polisi na kuwahimiza waje kwa haraka. Polisi walisika kwa haraka, wakaelezewa kinachoendelea kisha wakanza uchunguzi. Walichunguza yote yaliyokuwa yakiendelea na kujua ukweli ni kuwa rafiki ya mwalimu wetu alimwekelea mwalimu wetu na hapo ndipo rafiki huyo alitiwa mbaroni. Kisha sisi tukaenda na mwalimu wetu, na kutuka siku hiyo hapa ndipo nilijuwa kuwa rafiki wayo anaweza kukudhuru.
Mwalimu alishutumiwa kwa makosa yapi?
{ "text": [ "Ubakaji" ] }
2941_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu na kalamu zao Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini - Mwalimu alipomwita sahibu yangu nilishikwa na wasiwasi wa mwasi. Tulipenda kuiba vitabu' nå Kalamu za wanafunzi, wenzetu wakati wanafunzi wanacheza. Tulikuwa tumeonywa na watu wengi bali tulikuwa tumetia masikio yetu nta: sahibu yangu ndiye aliyekuwa akiniongoza kile tunapoenda kuiba. Alipoitwa na Mwalimu wa zamu, moyo ulidunda du du du. Niliwaza na kuwazua wanafunzi waliteta kuwa vitu wa vikipotea Walilalamika na kunifanya nitetemeke tem tem! Baada ya sekunde mbili nikamwona sahibu yangu kwa umbali akitoka kwa ofisa ya mwalimu mkuu. Alipofika nilipokuwa nilimuuliza kilichokuwa kinaendelea. kwanza alinyamaza ji mithili ya maji ya mtungi. Alitazama juu chini pande zote kisha akaniambia kuwa alikuwa akihojiwa na walimu kama ni yeye amekuwa na makono mrefu bali alijitetea na kusema yeye ni mwaminifu kama malaika. Nilifurahi mithili ya kibogoyo alieota magego siku ya kula nyama choma kwa kuwa hakufichua njama yetu. Siku moja, tulipokuwa kwenye pilka pilka ya kuiba maembe katika shamba la mzee Bahati, nilisikia jani Limeniangukia begani bali sikumwona mtu yeyote. Jasho jembamba lilintiririka tiriri. Tulikuwa tumetamani maembe hayo kwa siku nyingi. Tuljawa na hamu na dukuduku kwa kuwa tulidhani tumepata nafasi ya kuiba katika shamba la mzee Bahati. Muda si muda maswali chungu nzima zilikuwa zimejaa akilini. Nilikumbuka maneno ya mama aliponikataza kuwa rafiki ninaye sio mzuri ataniongoza pabaya, lakini niliyatupilia mbali. Tulijadiliana kidogo kisha akaenda akaniacha nikidua Moyo ulidunda dududu, kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnenge waliponadi Mola hamwachi mia wake. Niliweza kusifugua na kutoka mbio kama mja aliyeona mavini Niliweza kupotea na kufika nyumbani salama salmini. Wavyele na ndugu zangu walikuwa na furaha mithili ya mfungwa aliyewachiliwa huru kabla ya kifugu chake kuisha. Niliwasimulia kilichoendelea Walimshukuru Rayani kwa kunirudisha nyumbani nikiwa mzima. Tangu hiyo siku nilijua Wahenga hawakukosea waliponadi Kikulacho kimo nguoni mwako. Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Siku za mwizi ni ngapi
{ "text": [ "Arobaini" ] }
2941_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu na kalamu zao Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini - Mwalimu alipomwita sahibu yangu nilishikwa na wasiwasi wa mwasi. Tulipenda kuiba vitabu' nå Kalamu za wanafunzi, wenzetu wakati wanafunzi wanacheza. Tulikuwa tumeonywa na watu wengi bali tulikuwa tumetia masikio yetu nta: sahibu yangu ndiye aliyekuwa akiniongoza kile tunapoenda kuiba. Alipoitwa na Mwalimu wa zamu, moyo ulidunda du du du. Niliwaza na kuwazua wanafunzi waliteta kuwa vitu wa vikipotea Walilalamika na kunifanya nitetemeke tem tem! Baada ya sekunde mbili nikamwona sahibu yangu kwa umbali akitoka kwa ofisa ya mwalimu mkuu. Alipofika nilipokuwa nilimuuliza kilichokuwa kinaendelea. kwanza alinyamaza ji mithili ya maji ya mtungi. Alitazama juu chini pande zote kisha akaniambia kuwa alikuwa akihojiwa na walimu kama ni yeye amekuwa na makono mrefu bali alijitetea na kusema yeye ni mwaminifu kama malaika. Nilifurahi mithili ya kibogoyo alieota magego siku ya kula nyama choma kwa kuwa hakufichua njama yetu. Siku moja, tulipokuwa kwenye pilka pilka ya kuiba maembe katika shamba la mzee Bahati, nilisikia jani Limeniangukia begani bali sikumwona mtu yeyote. Jasho jembamba lilintiririka tiriri. Tulikuwa tumetamani maembe hayo kwa siku nyingi. Tuljawa na hamu na dukuduku kwa kuwa tulidhani tumepata nafasi ya kuiba katika shamba la mzee Bahati. Muda si muda maswali chungu nzima zilikuwa zimejaa akilini. Nilikumbuka maneno ya mama aliponikataza kuwa rafiki ninaye sio mzuri ataniongoza pabaya, lakini niliyatupilia mbali. Tulijadiliana kidogo kisha akaenda akaniacha nikidua Moyo ulidunda dududu, kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnenge waliponadi Mola hamwachi mia wake. Niliweza kusifugua na kutoka mbio kama mja aliyeona mavini Niliweza kupotea na kufika nyumbani salama salmini. Wavyele na ndugu zangu walikuwa na furaha mithili ya mfungwa aliyewachiliwa huru kabla ya kifugu chake kuisha. Niliwasimulia kilichoendelea Walimshukuru Rayani kwa kunirudisha nyumbani nikiwa mzima. Tangu hiyo siku nilijua Wahenga hawakukosea waliponadi Kikulacho kimo nguoni mwako. Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Nani alimwita rafiki yangu
{ "text": [ "Mwalimu wa zamu" ] }
2941_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu na kalamu zao Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini - Mwalimu alipomwita sahibu yangu nilishikwa na wasiwasi wa mwasi. Tulipenda kuiba vitabu' nå Kalamu za wanafunzi, wenzetu wakati wanafunzi wanacheza. Tulikuwa tumeonywa na watu wengi bali tulikuwa tumetia masikio yetu nta: sahibu yangu ndiye aliyekuwa akiniongoza kile tunapoenda kuiba. Alipoitwa na Mwalimu wa zamu, moyo ulidunda du du du. Niliwaza na kuwazua wanafunzi waliteta kuwa vitu wa vikipotea Walilalamika na kunifanya nitetemeke tem tem! Baada ya sekunde mbili nikamwona sahibu yangu kwa umbali akitoka kwa ofisa ya mwalimu mkuu. Alipofika nilipokuwa nilimuuliza kilichokuwa kinaendelea. kwanza alinyamaza ji mithili ya maji ya mtungi. Alitazama juu chini pande zote kisha akaniambia kuwa alikuwa akihojiwa na walimu kama ni yeye amekuwa na makono mrefu bali alijitetea na kusema yeye ni mwaminifu kama malaika. Nilifurahi mithili ya kibogoyo alieota magego siku ya kula nyama choma kwa kuwa hakufichua njama yetu. Siku moja, tulipokuwa kwenye pilka pilka ya kuiba maembe katika shamba la mzee Bahati, nilisikia jani Limeniangukia begani bali sikumwona mtu yeyote. Jasho jembamba lilintiririka tiriri. Tulikuwa tumetamani maembe hayo kwa siku nyingi. Tuljawa na hamu na dukuduku kwa kuwa tulidhani tumepata nafasi ya kuiba katika shamba la mzee Bahati. Muda si muda maswali chungu nzima zilikuwa zimejaa akilini. Nilikumbuka maneno ya mama aliponikataza kuwa rafiki ninaye sio mzuri ataniongoza pabaya, lakini niliyatupilia mbali. Tulijadiliana kidogo kisha akaenda akaniacha nikidua Moyo ulidunda dududu, kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnenge waliponadi Mola hamwachi mia wake. Niliweza kusifugua na kutoka mbio kama mja aliyeona mavini Niliweza kupotea na kufika nyumbani salama salmini. Wavyele na ndugu zangu walikuwa na furaha mithili ya mfungwa aliyewachiliwa huru kabla ya kifugu chake kuisha. Niliwasimulia kilichoendelea Walimshukuru Rayani kwa kunirudisha nyumbani nikiwa mzima. Tangu hiyo siku nilijua Wahenga hawakukosea waliponadi Kikulacho kimo nguoni mwako. Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu nini
{ "text": [ "Vitabu" ] }
2941_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu na kalamu zao Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini - Mwalimu alipomwita sahibu yangu nilishikwa na wasiwasi wa mwasi. Tulipenda kuiba vitabu' nå Kalamu za wanafunzi, wenzetu wakati wanafunzi wanacheza. Tulikuwa tumeonywa na watu wengi bali tulikuwa tumetia masikio yetu nta: sahibu yangu ndiye aliyekuwa akiniongoza kile tunapoenda kuiba. Alipoitwa na Mwalimu wa zamu, moyo ulidunda du du du. Niliwaza na kuwazua wanafunzi waliteta kuwa vitu wa vikipotea Walilalamika na kunifanya nitetemeke tem tem! Baada ya sekunde mbili nikamwona sahibu yangu kwa umbali akitoka kwa ofisa ya mwalimu mkuu. Alipofika nilipokuwa nilimuuliza kilichokuwa kinaendelea. kwanza alinyamaza ji mithili ya maji ya mtungi. Alitazama juu chini pande zote kisha akaniambia kuwa alikuwa akihojiwa na walimu kama ni yeye amekuwa na makono mrefu bali alijitetea na kusema yeye ni mwaminifu kama malaika. Nilifurahi mithili ya kibogoyo alieota magego siku ya kula nyama choma kwa kuwa hakufichua njama yetu. Siku moja, tulipokuwa kwenye pilka pilka ya kuiba maembe katika shamba la mzee Bahati, nilisikia jani Limeniangukia begani bali sikumwona mtu yeyote. Jasho jembamba lilintiririka tiriri. Tulikuwa tumetamani maembe hayo kwa siku nyingi. Tuljawa na hamu na dukuduku kwa kuwa tulidhani tumepata nafasi ya kuiba katika shamba la mzee Bahati. Muda si muda maswali chungu nzima zilikuwa zimejaa akilini. Nilikumbuka maneno ya mama aliponikataza kuwa rafiki ninaye sio mzuri ataniongoza pabaya, lakini niliyatupilia mbali. Tulijadiliana kidogo kisha akaenda akaniacha nikidua Moyo ulidunda dududu, kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnenge waliponadi Mola hamwachi mia wake. Niliweza kusifugua na kutoka mbio kama mja aliyeona mavini Niliweza kupotea na kufika nyumbani salama salmini. Wavyele na ndugu zangu walikuwa na furaha mithili ya mfungwa aliyewachiliwa huru kabla ya kifugu chake kuisha. Niliwasimulia kilichoendelea Walimshukuru Rayani kwa kunirudisha nyumbani nikiwa mzima. Tangu hiyo siku nilijua Wahenga hawakukosea waliponadi Kikulacho kimo nguoni mwako. Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Nani alimwita rafiki yangu
{ "text": [ "Mwalimu wa zamu" ] }
2941_swa
Kamilisha insha hii kwa kuifanya iwe ya kusisimua zaidi. Mwalimu wa zamu alipomwita rafiki yangu, nilijua njama yetu ilikuwa imegunduliwa. Tulikuwa na mazoea ya kuwaibia wanafunzi wenzetu vitabu na kalamu zao Kwa kweli siku za mwizi ni arobaini - Mwalimu alipomwita sahibu yangu nilishikwa na wasiwasi wa mwasi. Tulipenda kuiba vitabu' nå Kalamu za wanafunzi, wenzetu wakati wanafunzi wanacheza. Tulikuwa tumeonywa na watu wengi bali tulikuwa tumetia masikio yetu nta: sahibu yangu ndiye aliyekuwa akiniongoza kile tunapoenda kuiba. Alipoitwa na Mwalimu wa zamu, moyo ulidunda du du du. Niliwaza na kuwazua wanafunzi waliteta kuwa vitu wa vikipotea Walilalamika na kunifanya nitetemeke tem tem! Baada ya sekunde mbili nikamwona sahibu yangu kwa umbali akitoka kwa ofisa ya mwalimu mkuu. Alipofika nilipokuwa nilimuuliza kilichokuwa kinaendelea. kwanza alinyamaza ji mithili ya maji ya mtungi. Alitazama juu chini pande zote kisha akaniambia kuwa alikuwa akihojiwa na walimu kama ni yeye amekuwa na makono mrefu bali alijitetea na kusema yeye ni mwaminifu kama malaika. Nilifurahi mithili ya kibogoyo alieota magego siku ya kula nyama choma kwa kuwa hakufichua njama yetu. Siku moja, tulipokuwa kwenye pilka pilka ya kuiba maembe katika shamba la mzee Bahati, nilisikia jani Limeniangukia begani bali sikumwona mtu yeyote. Jasho jembamba lilintiririka tiriri. Tulikuwa tumetamani maembe hayo kwa siku nyingi. Tuljawa na hamu na dukuduku kwa kuwa tulidhani tumepata nafasi ya kuiba katika shamba la mzee Bahati. Muda si muda maswali chungu nzima zilikuwa zimejaa akilini. Nilikumbuka maneno ya mama aliponikataza kuwa rafiki ninaye sio mzuri ataniongoza pabaya, lakini niliyatupilia mbali. Tulijadiliana kidogo kisha akaenda akaniacha nikidua Moyo ulidunda dududu, kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakuenda segemnenge waliponadi Mola hamwachi mia wake. Niliweza kusifugua na kutoka mbio kama mja aliyeona mavini Niliweza kupotea na kufika nyumbani salama salmini. Wavyele na ndugu zangu walikuwa na furaha mithili ya mfungwa aliyewachiliwa huru kabla ya kifugu chake kuisha. Niliwasimulia kilichoendelea Walimshukuru Rayani kwa kunirudisha nyumbani nikiwa mzima. Tangu hiyo siku nilijua Wahenga hawakukosea waliponadi Kikulacho kimo nguoni mwako. Hapo ndipo nilijua kuwa, hata rafiki yako anaweza kukudhuru.
Sahibu yangu alitoka kwa ofisi ya mwalimu baada ya muda gani
{ "text": [ "Dakika mbili" ] }
2943_swa
WEZI KIJIJINI MWETU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa na usingizi wa pono wakati huo lakini niliamka tu ili niweze kujua ni nini kilichokuwa kikifanyika kijijini mwetu. Risasi zilisikika kwa umbali. Mlolongo wa magari mengi ya polisi yalisikia yakikuja upande wetu. Mwizi mmoja aliyekuwa wakiwasimamia Wale wezi wengine wote ndiye aliyekuwa amewaua watu wengi zaidi. Alikuwa mweusi ti ti ti Lakini mfupi Kama nyundo na pia alikuwa amekula chumvi. Wavyele wangu walipoamka, walitoka nje ya jumba letu na kujaribu kukimbia hadi pahali gari letu Lilikuwa kwa bahati mbaya, gari Letu halikuwa na mafuta. Barobaro mmoja alituambia kwamba Kuna njia ambayo watu walikuwa wakitumia kutoroka Mioto mingi ilikuwa imewashwa huko kijijini mwetu jumba letu likiwa moja ya majumba yaliyochomwa. Mimi na familia yangu tulikuwa na furaha furi furi kwamba tuliweza Kutoroka. Baada ya dakika hamsini, tulikutana na mwizi mmoja tukijaribu kutoroka kipi chetu. Tulikuja kufahamu kuwa barobaro Uyule aliyetusaidia alikuwa akitutengezea njia kwa wezi wale kwa sababu yeye pia alikuwa mmoja wa wezi hao. Kwa yakini, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Hatungeweza kufikiria kuwa mvulana yule alikuwa mmoja wa wezi hao kwa sababu alikuwa na miaka mwongo. Wezi walitushika na kutupeleka Katika gari lao. Walituambia watatutoa garini Kama tungeweza kuwapa hela nyingi..Pesa waliohitajia ni shilingi milioní moja na laki tano. Hakuna mmoja wetu aliyekuwa na pesa hizo.Sisi sote tulijaribu Kuhesabu pesa zetu zote lakini hazikutosha.Tulikuwa tumebakisha shilingi laki moja ili tuweze kufikisha pesa walizozitarajio Baada ya siku moja wezi wale walikuja Kutuangalia ili mmoja wetu asiwe ametoroka Abu yangu alijaribu kuwapa pesa zile alafu akawaambia kwamba atawapa pesa zilizosalia siku nyingine. Wezi wale waliona kwamba anadanganya na basi walimdunga tumbo na kisu kikali kama wembe, Damu ililimtiririka tiriri. Baada ya saa tano, wezi wale walipatikana na polisi kweli siku za mwizi ni arobaini. Wezi wote walipelekwa jela miaka themanini na nne bila uwezekano wakutoka hata mara moja Baba yangu alipelekwa hospitalini na baada ya mwezi mmoja aliweza kutibiwa. na kurudi nyumbani Hakuna wezi wengine walikuja tena tangu siku hiyo na tuliomba Jalali kisa hicho kisiwahi Kufanyika tena.
Alisikia nini usiku wa maneno
{ "text": [ "Mayoe" ] }
2943_swa
WEZI KIJIJINI MWETU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa na usingizi wa pono wakati huo lakini niliamka tu ili niweze kujua ni nini kilichokuwa kikifanyika kijijini mwetu. Risasi zilisikika kwa umbali. Mlolongo wa magari mengi ya polisi yalisikia yakikuja upande wetu. Mwizi mmoja aliyekuwa wakiwasimamia Wale wezi wengine wote ndiye aliyekuwa amewaua watu wengi zaidi. Alikuwa mweusi ti ti ti Lakini mfupi Kama nyundo na pia alikuwa amekula chumvi. Wavyele wangu walipoamka, walitoka nje ya jumba letu na kujaribu kukimbia hadi pahali gari letu Lilikuwa kwa bahati mbaya, gari Letu halikuwa na mafuta. Barobaro mmoja alituambia kwamba Kuna njia ambayo watu walikuwa wakitumia kutoroka Mioto mingi ilikuwa imewashwa huko kijijini mwetu jumba letu likiwa moja ya majumba yaliyochomwa. Mimi na familia yangu tulikuwa na furaha furi furi kwamba tuliweza Kutoroka. Baada ya dakika hamsini, tulikutana na mwizi mmoja tukijaribu kutoroka kipi chetu. Tulikuja kufahamu kuwa barobaro Uyule aliyetusaidia alikuwa akitutengezea njia kwa wezi wale kwa sababu yeye pia alikuwa mmoja wa wezi hao. Kwa yakini, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Hatungeweza kufikiria kuwa mvulana yule alikuwa mmoja wa wezi hao kwa sababu alikuwa na miaka mwongo. Wezi walitushika na kutupeleka Katika gari lao. Walituambia watatutoa garini Kama tungeweza kuwapa hela nyingi..Pesa waliohitajia ni shilingi milioní moja na laki tano. Hakuna mmoja wetu aliyekuwa na pesa hizo.Sisi sote tulijaribu Kuhesabu pesa zetu zote lakini hazikutosha.Tulikuwa tumebakisha shilingi laki moja ili tuweze kufikisha pesa walizozitarajio Baada ya siku moja wezi wale walikuja Kutuangalia ili mmoja wetu asiwe ametoroka Abu yangu alijaribu kuwapa pesa zile alafu akawaambia kwamba atawapa pesa zilizosalia siku nyingine. Wezi wale waliona kwamba anadanganya na basi walimdunga tumbo na kisu kikali kama wembe, Damu ililimtiririka tiriri. Baada ya saa tano, wezi wale walipatikana na polisi kweli siku za mwizi ni arobaini. Wezi wote walipelekwa jela miaka themanini na nne bila uwezekano wakutoka hata mara moja Baba yangu alipelekwa hospitalini na baada ya mwezi mmoja aliweza kutibiwa. na kurudi nyumbani Hakuna wezi wengine walikuja tena tangu siku hiyo na tuliomba Jalali kisa hicho kisiwahi Kufanyika tena.
Ni nini ilisikika kwa umbali
{ "text": [ "Risasi" ] }
2943_swa
WEZI KIJIJINI MWETU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa na usingizi wa pono wakati huo lakini niliamka tu ili niweze kujua ni nini kilichokuwa kikifanyika kijijini mwetu. Risasi zilisikika kwa umbali. Mlolongo wa magari mengi ya polisi yalisikia yakikuja upande wetu. Mwizi mmoja aliyekuwa wakiwasimamia Wale wezi wengine wote ndiye aliyekuwa amewaua watu wengi zaidi. Alikuwa mweusi ti ti ti Lakini mfupi Kama nyundo na pia alikuwa amekula chumvi. Wavyele wangu walipoamka, walitoka nje ya jumba letu na kujaribu kukimbia hadi pahali gari letu Lilikuwa kwa bahati mbaya, gari Letu halikuwa na mafuta. Barobaro mmoja alituambia kwamba Kuna njia ambayo watu walikuwa wakitumia kutoroka Mioto mingi ilikuwa imewashwa huko kijijini mwetu jumba letu likiwa moja ya majumba yaliyochomwa. Mimi na familia yangu tulikuwa na furaha furi furi kwamba tuliweza Kutoroka. Baada ya dakika hamsini, tulikutana na mwizi mmoja tukijaribu kutoroka kipi chetu. Tulikuja kufahamu kuwa barobaro Uyule aliyetusaidia alikuwa akitutengezea njia kwa wezi wale kwa sababu yeye pia alikuwa mmoja wa wezi hao. Kwa yakini, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Hatungeweza kufikiria kuwa mvulana yule alikuwa mmoja wa wezi hao kwa sababu alikuwa na miaka mwongo. Wezi walitushika na kutupeleka Katika gari lao. Walituambia watatutoa garini Kama tungeweza kuwapa hela nyingi..Pesa waliohitajia ni shilingi milioní moja na laki tano. Hakuna mmoja wetu aliyekuwa na pesa hizo.Sisi sote tulijaribu Kuhesabu pesa zetu zote lakini hazikutosha.Tulikuwa tumebakisha shilingi laki moja ili tuweze kufikisha pesa walizozitarajio Baada ya siku moja wezi wale walikuja Kutuangalia ili mmoja wetu asiwe ametoroka Abu yangu alijaribu kuwapa pesa zile alafu akawaambia kwamba atawapa pesa zilizosalia siku nyingine. Wezi wale waliona kwamba anadanganya na basi walimdunga tumbo na kisu kikali kama wembe, Damu ililimtiririka tiriri. Baada ya saa tano, wezi wale walipatikana na polisi kweli siku za mwizi ni arobaini. Wezi wote walipelekwa jela miaka themanini na nne bila uwezekano wakutoka hata mara moja Baba yangu alipelekwa hospitalini na baada ya mwezi mmoja aliweza kutibiwa. na kurudi nyumbani Hakuna wezi wengine walikuja tena tangu siku hiyo na tuliomba Jalali kisa hicho kisiwahi Kufanyika tena.
Baada ya dakika ngapi walipatana na mwizi
{ "text": [ "Hamsini" ] }
2943_swa
WEZI KIJIJINI MWETU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa na usingizi wa pono wakati huo lakini niliamka tu ili niweze kujua ni nini kilichokuwa kikifanyika kijijini mwetu. Risasi zilisikika kwa umbali. Mlolongo wa magari mengi ya polisi yalisikia yakikuja upande wetu. Mwizi mmoja aliyekuwa wakiwasimamia Wale wezi wengine wote ndiye aliyekuwa amewaua watu wengi zaidi. Alikuwa mweusi ti ti ti Lakini mfupi Kama nyundo na pia alikuwa amekula chumvi. Wavyele wangu walipoamka, walitoka nje ya jumba letu na kujaribu kukimbia hadi pahali gari letu Lilikuwa kwa bahati mbaya, gari Letu halikuwa na mafuta. Barobaro mmoja alituambia kwamba Kuna njia ambayo watu walikuwa wakitumia kutoroka Mioto mingi ilikuwa imewashwa huko kijijini mwetu jumba letu likiwa moja ya majumba yaliyochomwa. Mimi na familia yangu tulikuwa na furaha furi furi kwamba tuliweza Kutoroka. Baada ya dakika hamsini, tulikutana na mwizi mmoja tukijaribu kutoroka kipi chetu. Tulikuja kufahamu kuwa barobaro Uyule aliyetusaidia alikuwa akitutengezea njia kwa wezi wale kwa sababu yeye pia alikuwa mmoja wa wezi hao. Kwa yakini, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Hatungeweza kufikiria kuwa mvulana yule alikuwa mmoja wa wezi hao kwa sababu alikuwa na miaka mwongo. Wezi walitushika na kutupeleka Katika gari lao. Walituambia watatutoa garini Kama tungeweza kuwapa hela nyingi..Pesa waliohitajia ni shilingi milioní moja na laki tano. Hakuna mmoja wetu aliyekuwa na pesa hizo.Sisi sote tulijaribu Kuhesabu pesa zetu zote lakini hazikutosha.Tulikuwa tumebakisha shilingi laki moja ili tuweze kufikisha pesa walizozitarajio Baada ya siku moja wezi wale walikuja Kutuangalia ili mmoja wetu asiwe ametoroka Abu yangu alijaribu kuwapa pesa zile alafu akawaambia kwamba atawapa pesa zilizosalia siku nyingine. Wezi wale waliona kwamba anadanganya na basi walimdunga tumbo na kisu kikali kama wembe, Damu ililimtiririka tiriri. Baada ya saa tano, wezi wale walipatikana na polisi kweli siku za mwizi ni arobaini. Wezi wote walipelekwa jela miaka themanini na nne bila uwezekano wakutoka hata mara moja Baba yangu alipelekwa hospitalini na baada ya mwezi mmoja aliweza kutibiwa. na kurudi nyumbani Hakuna wezi wengine walikuja tena tangu siku hiyo na tuliomba Jalali kisa hicho kisiwahi Kufanyika tena.
Nani aliwashika na kuwapeleka katika gari
{ "text": [ "Wezi" ] }
2943_swa
WEZI KIJIJINI MWETU Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe. Nilikuwa na usingizi wa pono wakati huo lakini niliamka tu ili niweze kujua ni nini kilichokuwa kikifanyika kijijini mwetu. Risasi zilisikika kwa umbali. Mlolongo wa magari mengi ya polisi yalisikia yakikuja upande wetu. Mwizi mmoja aliyekuwa wakiwasimamia Wale wezi wengine wote ndiye aliyekuwa amewaua watu wengi zaidi. Alikuwa mweusi ti ti ti Lakini mfupi Kama nyundo na pia alikuwa amekula chumvi. Wavyele wangu walipoamka, walitoka nje ya jumba letu na kujaribu kukimbia hadi pahali gari letu Lilikuwa kwa bahati mbaya, gari Letu halikuwa na mafuta. Barobaro mmoja alituambia kwamba Kuna njia ambayo watu walikuwa wakitumia kutoroka Mioto mingi ilikuwa imewashwa huko kijijini mwetu jumba letu likiwa moja ya majumba yaliyochomwa. Mimi na familia yangu tulikuwa na furaha furi furi kwamba tuliweza Kutoroka. Baada ya dakika hamsini, tulikutana na mwizi mmoja tukijaribu kutoroka kipi chetu. Tulikuja kufahamu kuwa barobaro Uyule aliyetusaidia alikuwa akitutengezea njia kwa wezi wale kwa sababu yeye pia alikuwa mmoja wa wezi hao. Kwa yakini, jambo usilolijua ni usiku wa giza. Hatungeweza kufikiria kuwa mvulana yule alikuwa mmoja wa wezi hao kwa sababu alikuwa na miaka mwongo. Wezi walitushika na kutupeleka Katika gari lao. Walituambia watatutoa garini Kama tungeweza kuwapa hela nyingi..Pesa waliohitajia ni shilingi milioní moja na laki tano. Hakuna mmoja wetu aliyekuwa na pesa hizo.Sisi sote tulijaribu Kuhesabu pesa zetu zote lakini hazikutosha.Tulikuwa tumebakisha shilingi laki moja ili tuweze kufikisha pesa walizozitarajio Baada ya siku moja wezi wale walikuja Kutuangalia ili mmoja wetu asiwe ametoroka Abu yangu alijaribu kuwapa pesa zile alafu akawaambia kwamba atawapa pesa zilizosalia siku nyingine. Wezi wale waliona kwamba anadanganya na basi walimdunga tumbo na kisu kikali kama wembe, Damu ililimtiririka tiriri. Baada ya saa tano, wezi wale walipatikana na polisi kweli siku za mwizi ni arobaini. Wezi wote walipelekwa jela miaka themanini na nne bila uwezekano wakutoka hata mara moja Baba yangu alipelekwa hospitalini na baada ya mwezi mmoja aliweza kutibiwa. na kurudi nyumbani Hakuna wezi wengine walikuja tena tangu siku hiyo na tuliomba Jalali kisa hicho kisiwahi Kufanyika tena.
Kwa nini wezi walimdunga abu yake kisu
{ "text": [ "Walidhani anadanganya kuhusu pesa" ] }
2944_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Mwandishi alikuwa na wasiwasi kama nani?
{ "text": [ "Mwasi" ] }
2944_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Mwandishi alikuwa akiwaza kuhusu siku ipi?
{ "text": [ "Jumamosi" ] }
2944_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Mwandishi alikuwa amelengwa na nini wakati alitoka nje ya nyumba?
{ "text": [ "Risasi" ] }
2944_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Mwandishi alifahamika kama nani?
{ "text": [ "Musa" ] }
2944_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Nani walikuwa wamefungiwa kwenye gari?
{ "text": [ "Wazazi wake Musa" ] }
2945_swa
Usiku wote sikupata hata lepe da usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilikua ingekuwa. Hawke pita muda mrefu ruliposikia mlanga whipigwa na nguvuillikaanza kuliambia kuwaza na huwapua kwangu kumeniletea maadhara makubwa Sana. Hauku pita muda mrefu niliposikia mlango chai, Chumbani mwangu ikibishwa. Milisimama taratibu hadi kwenye mlango. Milipofungua nilipigwa na butwaa huonca Title more limesimama mbele yangu. Nilikimbia hadi munguni mwa kitanda na kulinic hapo hutumba na kumbua macho nilipata nimebebwa halumbehalumbe hadi Sebuleni. Hipata mama na bab pamoja na majitu, mengine mwili Bila ya kufahamu Chochoten rushwa kutoka kwa Jite mmala hadi mwingine.Wahenga hawakukosea waliponena eti Mungu hamwadhi mda wake. Kwa bahat, Jirani yetu aliyekuwa akipita aupaskia nduru alikimbia phbio hadi kwenye kituo cha polisi. Wahenga wa Jadi walruyosema mbio za Sakaruni huishia Wkingoni, au Janda wa nyani huishia Jangwar moig za Jirani huyo zilishia Kituo Chapolisi Bila hata kupoteza Sekunde maapolis, waliku tika. Majitu hao walianza kutuuliza penye Sefu ya pesa ilipo. Kambla Kuenda kuzungumza mlango uerpigwa Polisi walikuwa tayari wamefika Mlavitu hao walianza kushambulia. Walikuwa duamel hamu kwa bunduki na u visu lyumba yote, kila mahali ilikuwa ni risasiMilianza kukimbia nikielekea chumbani mwangu. Rutika, the Chumbani mwangu lichukua simu no. Kupiga kwenye kituo cha polisi. Polisi hao wdoporika, wwwpitia mlango wa nyuma. Polisi pamoja na masite hao walishamburar na kwa bahati mbaya baba yangu alipigwa risasi kadhaa na kuaga dunia. Polisi waliohuwa wameptico mlango wa nyuma waliingia kama wamewapiga masitu hao risasi za mgongo. Kama si kwa Jirani yelu-Sisi sote tungekuwa tumefariki. Kesho yake ndipo polisi waka kwete na kufunga nyumba yetu. Baba alweze huzikwa vizuri na kumpa twaheri za mwisho. Kunaye Jitu maa ambalo haukuwa limekura alikamatwce, na kungwa kifungue cha maisha. Mimi ni mama tulipewa nyumba na mkuu wa polisi kwa kweli Sikuyaamini nilichokiona.
Tulisikia nini ikipigwa kwa nguvu
{ "text": [ "mlango" ] }
2945_swa
Usiku wote sikupata hata lepe da usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilikua ingekuwa. Hawke pita muda mrefu ruliposikia mlanga whipigwa na nguvuillikaanza kuliambia kuwaza na huwapua kwangu kumeniletea maadhara makubwa Sana. Hauku pita muda mrefu niliposikia mlango chai, Chumbani mwangu ikibishwa. Milisimama taratibu hadi kwenye mlango. Milipofungua nilipigwa na butwaa huonca Title more limesimama mbele yangu. Nilikimbia hadi munguni mwa kitanda na kulinic hapo hutumba na kumbua macho nilipata nimebebwa halumbehalumbe hadi Sebuleni. Hipata mama na bab pamoja na majitu, mengine mwili Bila ya kufahamu Chochoten rushwa kutoka kwa Jite mmala hadi mwingine.Wahenga hawakukosea waliponena eti Mungu hamwadhi mda wake. Kwa bahat, Jirani yetu aliyekuwa akipita aupaskia nduru alikimbia phbio hadi kwenye kituo cha polisi. Wahenga wa Jadi walruyosema mbio za Sakaruni huishia Wkingoni, au Janda wa nyani huishia Jangwar moig za Jirani huyo zilishia Kituo Chapolisi Bila hata kupoteza Sekunde maapolis, waliku tika. Majitu hao walianza kutuuliza penye Sefu ya pesa ilipo. Kambla Kuenda kuzungumza mlango uerpigwa Polisi walikuwa tayari wamefika Mlavitu hao walianza kushambulia. Walikuwa duamel hamu kwa bunduki na u visu lyumba yote, kila mahali ilikuwa ni risasiMilianza kukimbia nikielekea chumbani mwangu. Rutika, the Chumbani mwangu lichukua simu no. Kupiga kwenye kituo cha polisi. Polisi hao wdoporika, wwwpitia mlango wa nyuma. Polisi pamoja na masite hao walishamburar na kwa bahati mbaya baba yangu alipigwa risasi kadhaa na kuaga dunia. Polisi waliohuwa wameptico mlango wa nyuma waliingia kama wamewapiga masitu hao risasi za mgongo. Kama si kwa Jirani yelu-Sisi sote tungekuwa tumefariki. Kesho yake ndipo polisi waka kwete na kufunga nyumba yetu. Baba alweze huzikwa vizuri na kumpa twaheri za mwisho. Kunaye Jitu maa ambalo haukuwa limekura alikamatwce, na kungwa kifungue cha maisha. Mimi ni mama tulipewa nyumba na mkuu wa polisi kwa kweli Sikuyaamini nilichokiona.
Nani hamwachi mja wake
{ "text": [ "Mungu" ] }
2945_swa
Usiku wote sikupata hata lepe da usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilikua ingekuwa. Hawke pita muda mrefu ruliposikia mlanga whipigwa na nguvuillikaanza kuliambia kuwaza na huwapua kwangu kumeniletea maadhara makubwa Sana. Hauku pita muda mrefu niliposikia mlango chai, Chumbani mwangu ikibishwa. Milisimama taratibu hadi kwenye mlango. Milipofungua nilipigwa na butwaa huonca Title more limesimama mbele yangu. Nilikimbia hadi munguni mwa kitanda na kulinic hapo hutumba na kumbua macho nilipata nimebebwa halumbehalumbe hadi Sebuleni. Hipata mama na bab pamoja na majitu, mengine mwili Bila ya kufahamu Chochoten rushwa kutoka kwa Jite mmala hadi mwingine.Wahenga hawakukosea waliponena eti Mungu hamwadhi mda wake. Kwa bahat, Jirani yetu aliyekuwa akipita aupaskia nduru alikimbia phbio hadi kwenye kituo cha polisi. Wahenga wa Jadi walruyosema mbio za Sakaruni huishia Wkingoni, au Janda wa nyani huishia Jangwar moig za Jirani huyo zilishia Kituo Chapolisi Bila hata kupoteza Sekunde maapolis, waliku tika. Majitu hao walianza kutuuliza penye Sefu ya pesa ilipo. Kambla Kuenda kuzungumza mlango uerpigwa Polisi walikuwa tayari wamefika Mlavitu hao walianza kushambulia. Walikuwa duamel hamu kwa bunduki na u visu lyumba yote, kila mahali ilikuwa ni risasiMilianza kukimbia nikielekea chumbani mwangu. Rutika, the Chumbani mwangu lichukua simu no. Kupiga kwenye kituo cha polisi. Polisi hao wdoporika, wwwpitia mlango wa nyuma. Polisi pamoja na masite hao walishamburar na kwa bahati mbaya baba yangu alipigwa risasi kadhaa na kuaga dunia. Polisi waliohuwa wameptico mlango wa nyuma waliingia kama wamewapiga masitu hao risasi za mgongo. Kama si kwa Jirani yelu-Sisi sote tungekuwa tumefariki. Kesho yake ndipo polisi waka kwete na kufunga nyumba yetu. Baba alweze huzikwa vizuri na kumpa twaheri za mwisho. Kunaye Jitu maa ambalo haukuwa limekura alikamatwce, na kungwa kifungue cha maisha. Mimi ni mama tulipewa nyumba na mkuu wa polisi kwa kweli Sikuyaamini nilichokiona.
Mbio gani huishia ukingoni
{ "text": [ "za sakafuni" ] }
2945_swa
Usiku wote sikupata hata lepe da usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilikua ingekuwa. Hawke pita muda mrefu ruliposikia mlanga whipigwa na nguvuillikaanza kuliambia kuwaza na huwapua kwangu kumeniletea maadhara makubwa Sana. Hauku pita muda mrefu niliposikia mlango chai, Chumbani mwangu ikibishwa. Milisimama taratibu hadi kwenye mlango. Milipofungua nilipigwa na butwaa huonca Title more limesimama mbele yangu. Nilikimbia hadi munguni mwa kitanda na kulinic hapo hutumba na kumbua macho nilipata nimebebwa halumbehalumbe hadi Sebuleni. Hipata mama na bab pamoja na majitu, mengine mwili Bila ya kufahamu Chochoten rushwa kutoka kwa Jite mmala hadi mwingine.Wahenga hawakukosea waliponena eti Mungu hamwadhi mda wake. Kwa bahat, Jirani yetu aliyekuwa akipita aupaskia nduru alikimbia phbio hadi kwenye kituo cha polisi. Wahenga wa Jadi walruyosema mbio za Sakaruni huishia Wkingoni, au Janda wa nyani huishia Jangwar moig za Jirani huyo zilishia Kituo Chapolisi Bila hata kupoteza Sekunde maapolis, waliku tika. Majitu hao walianza kutuuliza penye Sefu ya pesa ilipo. Kambla Kuenda kuzungumza mlango uerpigwa Polisi walikuwa tayari wamefika Mlavitu hao walianza kushambulia. Walikuwa duamel hamu kwa bunduki na u visu lyumba yote, kila mahali ilikuwa ni risasiMilianza kukimbia nikielekea chumbani mwangu. Rutika, the Chumbani mwangu lichukua simu no. Kupiga kwenye kituo cha polisi. Polisi hao wdoporika, wwwpitia mlango wa nyuma. Polisi pamoja na masite hao walishamburar na kwa bahati mbaya baba yangu alipigwa risasi kadhaa na kuaga dunia. Polisi waliohuwa wameptico mlango wa nyuma waliingia kama wamewapiga masitu hao risasi za mgongo. Kama si kwa Jirani yelu-Sisi sote tungekuwa tumefariki. Kesho yake ndipo polisi waka kwete na kufunga nyumba yetu. Baba alweze huzikwa vizuri na kumpa twaheri za mwisho. Kunaye Jitu maa ambalo haukuwa limekura alikamatwce, na kungwa kifungue cha maisha. Mimi ni mama tulipewa nyumba na mkuu wa polisi kwa kweli Sikuyaamini nilichokiona.
Polisi walipitia mlango wa nyuma lini
{ "text": [ "walipofika" ] }
2945_swa
Usiku wote sikupata hata lepe da usingizi Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilikua ingekuwa. Hawke pita muda mrefu ruliposikia mlanga whipigwa na nguvuillikaanza kuliambia kuwaza na huwapua kwangu kumeniletea maadhara makubwa Sana. Hauku pita muda mrefu niliposikia mlango chai, Chumbani mwangu ikibishwa. Milisimama taratibu hadi kwenye mlango. Milipofungua nilipigwa na butwaa huonca Title more limesimama mbele yangu. Nilikimbia hadi munguni mwa kitanda na kulinic hapo hutumba na kumbua macho nilipata nimebebwa halumbehalumbe hadi Sebuleni. Hipata mama na bab pamoja na majitu, mengine mwili Bila ya kufahamu Chochoten rushwa kutoka kwa Jite mmala hadi mwingine.Wahenga hawakukosea waliponena eti Mungu hamwadhi mda wake. Kwa bahat, Jirani yetu aliyekuwa akipita aupaskia nduru alikimbia phbio hadi kwenye kituo cha polisi. Wahenga wa Jadi walruyosema mbio za Sakaruni huishia Wkingoni, au Janda wa nyani huishia Jangwar moig za Jirani huyo zilishia Kituo Chapolisi Bila hata kupoteza Sekunde maapolis, waliku tika. Majitu hao walianza kutuuliza penye Sefu ya pesa ilipo. Kambla Kuenda kuzungumza mlango uerpigwa Polisi walikuwa tayari wamefika Mlavitu hao walianza kushambulia. Walikuwa duamel hamu kwa bunduki na u visu lyumba yote, kila mahali ilikuwa ni risasiMilianza kukimbia nikielekea chumbani mwangu. Rutika, the Chumbani mwangu lichukua simu no. Kupiga kwenye kituo cha polisi. Polisi hao wdoporika, wwwpitia mlango wa nyuma. Polisi pamoja na masite hao walishamburar na kwa bahati mbaya baba yangu alipigwa risasi kadhaa na kuaga dunia. Polisi waliohuwa wameptico mlango wa nyuma waliingia kama wamewapiga masitu hao risasi za mgongo. Kama si kwa Jirani yelu-Sisi sote tungekuwa tumefariki. Kesho yake ndipo polisi waka kwete na kufunga nyumba yetu. Baba alweze huzikwa vizuri na kumpa twaheri za mwisho. Kunaye Jitu maa ambalo haukuwa limekura alikamatwce, na kungwa kifungue cha maisha. Mimi ni mama tulipewa nyumba na mkuu wa polisi kwa kweli Sikuyaamini nilichokiona.
Baba alizikwaje
{ "text": [ "vizuri" ] }
2946_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia, mayowe, niliamka na kwenda kuangalia ni nini kilikuwa kinaendelea.Niligundua kuwa ilikua ni jirani. Nyumba yake ilikuwa ikiwaka moto. Alikuwa na watoto watatu. Kumbe alikuwa ameacha jiko wazi ambao ulishika pazia, na moto ukaenea kwa chumba chote. Watu walikuja kumsaidia atoke nje ya nyumba pamoja na wanao. Lakini asante ya punda ni mateke. Wanaume wakaja na maji, wakijaribu kuuzima moto lakini moto huo ulikuwa mkubwa sana. Nilikimbia ndani ya nyumba yetu na kuanza kupiga simu, niwapigia wazimamoto. Nilipopata simu niliwapigia na wakasema, kuwa, wako masaa mbili mbali. Nilikimbia kwenda kujaribu kawasaida kuzimamoto nikijua kuwa watoto bado wako ndani ya nyumba. Nilijua kuwa watoto hawa watapumua moshi na wataangamia kabla wazima moto wafike. Nilikumbuka tulichofunzwa shuleni. Nilichukua blanketi nikalitia maji nikajifunika na kuingia ndani ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa inachomeka.Watu wakadhania nimetokwa na wazimu, kuingia katika nyumba ambayo inateketea. Ukistaajabu ya Musa utaona ya firaoni.Niliwatafuta watoto hao na nikawapata. Walifika nje salama Salmini naminikaendelea kumtafuta mama yao. Lakini si kumpata. Nilipokuwa nikitoka nikaliona gari la wazimamoto. Niliwaelezea kuwa kuna mtu ndani.Wachache Waliingia kwa nyumba hilo huku wengine wakijaribu kuuzima moto. Baada ya dakika mbili ambulensi ilkuja. Nilishangaa mbona ambulensi ikuje. Mama ya watoto hao alikuwa amechomeka na alikuwa anatota damu.Walimkimbiza hospitalini lakini hawakuweza kumsaidia. Mama huyo alikuwa ameshakuwa marehemu, Watoto hao walishikwa na huzani tele. Hawakawa na mama au baba,na pia hawakuwa na nyumba. Walichakaliana na daktari kuenda kuangaliwa kuma walipumua moshi. Walipatikana kuwa walikuwa na moshi Katika pafu na walipewa madawa. Baada ya wiki mbili tulienda kumzika, mama yao. Niliwahudumia watoto hawa. Ghafla bin vu baba yao alitokea mbele yao. Kumbe baba you alikuwa hai na pia alikuwa na afya bora. Kulingana na baba yao mama hakuwa, anataka mumewe awaone watoto. Watoto hao walienda kuishi na baba yao na kuendelea na masomo yao. Kisa hicho kilinitia moyo Kuwa moja wa afisa wakuzima moto. Nilianza shule ya zima moto na sasa mimi ni afisa wa wazima moto bomba.
Alisikia mayowe lini
{ "text": [ "usiku wa manane" ] }
2946_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia, mayowe, niliamka na kwenda kuangalia ni nini kilikuwa kinaendelea.Niligundua kuwa ilikua ni jirani. Nyumba yake ilikuwa ikiwaka moto. Alikuwa na watoto watatu. Kumbe alikuwa ameacha jiko wazi ambao ulishika pazia, na moto ukaenea kwa chumba chote. Watu walikuja kumsaidia atoke nje ya nyumba pamoja na wanao. Lakini asante ya punda ni mateke. Wanaume wakaja na maji, wakijaribu kuuzima moto lakini moto huo ulikuwa mkubwa sana. Nilikimbia ndani ya nyumba yetu na kuanza kupiga simu, niwapigia wazimamoto. Nilipopata simu niliwapigia na wakasema, kuwa, wako masaa mbili mbali. Nilikimbia kwenda kujaribu kawasaida kuzimamoto nikijua kuwa watoto bado wako ndani ya nyumba. Nilijua kuwa watoto hawa watapumua moshi na wataangamia kabla wazima moto wafike. Nilikumbuka tulichofunzwa shuleni. Nilichukua blanketi nikalitia maji nikajifunika na kuingia ndani ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa inachomeka.Watu wakadhania nimetokwa na wazimu, kuingia katika nyumba ambayo inateketea. Ukistaajabu ya Musa utaona ya firaoni.Niliwatafuta watoto hao na nikawapata. Walifika nje salama Salmini naminikaendelea kumtafuta mama yao. Lakini si kumpata. Nilipokuwa nikitoka nikaliona gari la wazimamoto. Niliwaelezea kuwa kuna mtu ndani.Wachache Waliingia kwa nyumba hilo huku wengine wakijaribu kuuzima moto. Baada ya dakika mbili ambulensi ilkuja. Nilishangaa mbona ambulensi ikuje. Mama ya watoto hao alikuwa amechomeka na alikuwa anatota damu.Walimkimbiza hospitalini lakini hawakuweza kumsaidia. Mama huyo alikuwa ameshakuwa marehemu, Watoto hao walishikwa na huzani tele. Hawakawa na mama au baba,na pia hawakuwa na nyumba. Walichakaliana na daktari kuenda kuangaliwa kuma walipumua moshi. Walipatikana kuwa walikuwa na moshi Katika pafu na walipewa madawa. Baada ya wiki mbili tulienda kumzika, mama yao. Niliwahudumia watoto hawa. Ghafla bin vu baba yao alitokea mbele yao. Kumbe baba you alikuwa hai na pia alikuwa na afya bora. Kulingana na baba yao mama hakuwa, anataka mumewe awaone watoto. Watoto hao walienda kuishi na baba yao na kuendelea na masomo yao. Kisa hicho kilinitia moyo Kuwa moja wa afisa wakuzima moto. Nilianza shule ya zima moto na sasa mimi ni afisa wa wazima moto bomba.
Nyumba ya nani ilikuwa ikiwaka moto
{ "text": [ "jirani" ] }
2946_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia, mayowe, niliamka na kwenda kuangalia ni nini kilikuwa kinaendelea.Niligundua kuwa ilikua ni jirani. Nyumba yake ilikuwa ikiwaka moto. Alikuwa na watoto watatu. Kumbe alikuwa ameacha jiko wazi ambao ulishika pazia, na moto ukaenea kwa chumba chote. Watu walikuja kumsaidia atoke nje ya nyumba pamoja na wanao. Lakini asante ya punda ni mateke. Wanaume wakaja na maji, wakijaribu kuuzima moto lakini moto huo ulikuwa mkubwa sana. Nilikimbia ndani ya nyumba yetu na kuanza kupiga simu, niwapigia wazimamoto. Nilipopata simu niliwapigia na wakasema, kuwa, wako masaa mbili mbali. Nilikimbia kwenda kujaribu kawasaida kuzimamoto nikijua kuwa watoto bado wako ndani ya nyumba. Nilijua kuwa watoto hawa watapumua moshi na wataangamia kabla wazima moto wafike. Nilikumbuka tulichofunzwa shuleni. Nilichukua blanketi nikalitia maji nikajifunika na kuingia ndani ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa inachomeka.Watu wakadhania nimetokwa na wazimu, kuingia katika nyumba ambayo inateketea. Ukistaajabu ya Musa utaona ya firaoni.Niliwatafuta watoto hao na nikawapata. Walifika nje salama Salmini naminikaendelea kumtafuta mama yao. Lakini si kumpata. Nilipokuwa nikitoka nikaliona gari la wazimamoto. Niliwaelezea kuwa kuna mtu ndani.Wachache Waliingia kwa nyumba hilo huku wengine wakijaribu kuuzima moto. Baada ya dakika mbili ambulensi ilkuja. Nilishangaa mbona ambulensi ikuje. Mama ya watoto hao alikuwa amechomeka na alikuwa anatota damu.Walimkimbiza hospitalini lakini hawakuweza kumsaidia. Mama huyo alikuwa ameshakuwa marehemu, Watoto hao walishikwa na huzani tele. Hawakawa na mama au baba,na pia hawakuwa na nyumba. Walichakaliana na daktari kuenda kuangaliwa kuma walipumua moshi. Walipatikana kuwa walikuwa na moshi Katika pafu na walipewa madawa. Baada ya wiki mbili tulienda kumzika, mama yao. Niliwahudumia watoto hawa. Ghafla bin vu baba yao alitokea mbele yao. Kumbe baba you alikuwa hai na pia alikuwa na afya bora. Kulingana na baba yao mama hakuwa, anataka mumewe awaone watoto. Watoto hao walienda kuishi na baba yao na kuendelea na masomo yao. Kisa hicho kilinitia moyo Kuwa moja wa afisa wakuzima moto. Nilianza shule ya zima moto na sasa mimi ni afisa wa wazima moto bomba.
Asante ya punda ni nini
{ "text": [ "mateke" ] }
2946_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia, mayowe, niliamka na kwenda kuangalia ni nini kilikuwa kinaendelea.Niligundua kuwa ilikua ni jirani. Nyumba yake ilikuwa ikiwaka moto. Alikuwa na watoto watatu. Kumbe alikuwa ameacha jiko wazi ambao ulishika pazia, na moto ukaenea kwa chumba chote. Watu walikuja kumsaidia atoke nje ya nyumba pamoja na wanao. Lakini asante ya punda ni mateke. Wanaume wakaja na maji, wakijaribu kuuzima moto lakini moto huo ulikuwa mkubwa sana. Nilikimbia ndani ya nyumba yetu na kuanza kupiga simu, niwapigia wazimamoto. Nilipopata simu niliwapigia na wakasema, kuwa, wako masaa mbili mbali. Nilikimbia kwenda kujaribu kawasaida kuzimamoto nikijua kuwa watoto bado wako ndani ya nyumba. Nilijua kuwa watoto hawa watapumua moshi na wataangamia kabla wazima moto wafike. Nilikumbuka tulichofunzwa shuleni. Nilichukua blanketi nikalitia maji nikajifunika na kuingia ndani ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa inachomeka.Watu wakadhania nimetokwa na wazimu, kuingia katika nyumba ambayo inateketea. Ukistaajabu ya Musa utaona ya firaoni.Niliwatafuta watoto hao na nikawapata. Walifika nje salama Salmini naminikaendelea kumtafuta mama yao. Lakini si kumpata. Nilipokuwa nikitoka nikaliona gari la wazimamoto. Niliwaelezea kuwa kuna mtu ndani.Wachache Waliingia kwa nyumba hilo huku wengine wakijaribu kuuzima moto. Baada ya dakika mbili ambulensi ilkuja. Nilishangaa mbona ambulensi ikuje. Mama ya watoto hao alikuwa amechomeka na alikuwa anatota damu.Walimkimbiza hospitalini lakini hawakuweza kumsaidia. Mama huyo alikuwa ameshakuwa marehemu, Watoto hao walishikwa na huzani tele. Hawakawa na mama au baba,na pia hawakuwa na nyumba. Walichakaliana na daktari kuenda kuangaliwa kuma walipumua moshi. Walipatikana kuwa walikuwa na moshi Katika pafu na walipewa madawa. Baada ya wiki mbili tulienda kumzika, mama yao. Niliwahudumia watoto hawa. Ghafla bin vu baba yao alitokea mbele yao. Kumbe baba you alikuwa hai na pia alikuwa na afya bora. Kulingana na baba yao mama hakuwa, anataka mumewe awaone watoto. Watoto hao walienda kuishi na baba yao na kuendelea na masomo yao. Kisa hicho kilinitia moyo Kuwa moja wa afisa wakuzima moto. Nilianza shule ya zima moto na sasa mimi ni afisa wa wazima moto bomba.
Watoto walienda kuishi na nani
{ "text": [ "baba yao" ] }
2946_swa
Ulikuwa usiku wa manane niliposikia, mayowe, niliamka na kwenda kuangalia ni nini kilikuwa kinaendelea.Niligundua kuwa ilikua ni jirani. Nyumba yake ilikuwa ikiwaka moto. Alikuwa na watoto watatu. Kumbe alikuwa ameacha jiko wazi ambao ulishika pazia, na moto ukaenea kwa chumba chote. Watu walikuja kumsaidia atoke nje ya nyumba pamoja na wanao. Lakini asante ya punda ni mateke. Wanaume wakaja na maji, wakijaribu kuuzima moto lakini moto huo ulikuwa mkubwa sana. Nilikimbia ndani ya nyumba yetu na kuanza kupiga simu, niwapigia wazimamoto. Nilipopata simu niliwapigia na wakasema, kuwa, wako masaa mbili mbali. Nilikimbia kwenda kujaribu kawasaida kuzimamoto nikijua kuwa watoto bado wako ndani ya nyumba. Nilijua kuwa watoto hawa watapumua moshi na wataangamia kabla wazima moto wafike. Nilikumbuka tulichofunzwa shuleni. Nilichukua blanketi nikalitia maji nikajifunika na kuingia ndani ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa inachomeka.Watu wakadhania nimetokwa na wazimu, kuingia katika nyumba ambayo inateketea. Ukistaajabu ya Musa utaona ya firaoni.Niliwatafuta watoto hao na nikawapata. Walifika nje salama Salmini naminikaendelea kumtafuta mama yao. Lakini si kumpata. Nilipokuwa nikitoka nikaliona gari la wazimamoto. Niliwaelezea kuwa kuna mtu ndani.Wachache Waliingia kwa nyumba hilo huku wengine wakijaribu kuuzima moto. Baada ya dakika mbili ambulensi ilkuja. Nilishangaa mbona ambulensi ikuje. Mama ya watoto hao alikuwa amechomeka na alikuwa anatota damu.Walimkimbiza hospitalini lakini hawakuweza kumsaidia. Mama huyo alikuwa ameshakuwa marehemu, Watoto hao walishikwa na huzani tele. Hawakawa na mama au baba,na pia hawakuwa na nyumba. Walichakaliana na daktari kuenda kuangaliwa kuma walipumua moshi. Walipatikana kuwa walikuwa na moshi Katika pafu na walipewa madawa. Baada ya wiki mbili tulienda kumzika, mama yao. Niliwahudumia watoto hawa. Ghafla bin vu baba yao alitokea mbele yao. Kumbe baba you alikuwa hai na pia alikuwa na afya bora. Kulingana na baba yao mama hakuwa, anataka mumewe awaone watoto. Watoto hao walienda kuishi na baba yao na kuendelea na masomo yao. Kisa hicho kilinitia moyo Kuwa moja wa afisa wakuzima moto. Nilianza shule ya zima moto na sasa mimi ni afisa wa wazima moto bomba.
Mbona watoto wale walichukuliwa na daktari
{ "text": [ "kuenda kuangaliwa kama walivuta moshi" ] }
2947_swa
Ulikuwa usiku Wa manane niliposikia Mayowe kwa jirani yangu nilipopiga jicho paziani niliwaona Majangili watatu wakiwa wamesima kwenye mlango nilichulkua bakora niliyopewa na babu yangu na kuingia kwenye kabati kutafuta firimbi ya baba muda si muda nilijitokeza kwa kuipuliza lile firimbi sikupuliza kwa munda mrefu ghafla bin vu majirani walijitokeza. Walikuwa wamejihami na jembe, panga mishale, na wengine rungu na mi nilikimbia katika chumba changu cha kulala na kuchukua mshale wangu tulieleke kwa jirani yangu aliyeitwa Musa, na alikuwa na binti aliyeitwa Mariamu. tulipo fika pale tulipata mlango umefunguliwa mmoja wetu alisema ataingia afanye uchunguzi lakini alipokuwa akiingia aliona risasi iliyokuwa Imepenya kwenye mlango. Moyo wangu ulidunda du du du na kusema kawa kweli wahenga walisema kuwa siku za mwizi ni arobaini . Hii inamanisha kuwa ukifanya kitu kwa mara nyingi sana kuna siku itakapofika ataweze kupatikana au kushikawa mzee kwa Jina Hassan aliamua kuingia akiwa amejiami kwa siha tatu mshale, rungu na panga alipoingia alimaliza sekunde Ishirini tulipo waza na kuwazua tuliona tuweze kuinga katika chumba tulipata mwenzetu marehemu Hassan alikuwa amefanyatuliwa risasi kwenye mguu tulipotazama vizuri hatukuona mtu yeyote si kupoteza muda nilichukua rununu na Kupingia kokosi cha Askari muda sio mrefu niliona gari la wanapolisi likija na lilikuawa likimulika rangi nyekunda na Samawati. walipowasili waliamuru kila mtu aweze kutoka nje mmoja wa wale askari alifanya utafiti na kuona paa ya nyumba ilikuwa imetobolewa alimwita askari mmoja na kumueleza aweze kupiga macho kwenye paa ya nyumba hakupoteza muda walileta ngazi na kupandia alipopiga macho aliwaona majangili watatu Wakiwa wamejikunja. Kama kuku aliyenyeshwa. Majangili hawa walikuwa wamemkamata mama na mtoto wake mchanga mwenye miaka tatu. Askari walipanda kwa wingi walifyatua marisasi na kuweza kuwafikia majingili Mmoja wao alifyetuliwa begani na mwingine pajani na wa mwisho alifyatuliwa kifuani. Walirushwa kwenye karadinga na kupelekwa hospitalini punde si punde mayo ulinidunda nilimwona aliyekuwa amejeruhiwa vibaya aliweza kuangamia. Na wale wengine walipelelawa kituo cha polisi mwishowe mahakamani. Walihukumiwa na kufungwa jela miaka kumi. Hapo ndipo nilipo jifunza mtoto Umleavyo ndivyo atakavyo.
Babu yangu alinipea nini
{ "text": [ "bakora" ] }
2947_swa
Ulikuwa usiku Wa manane niliposikia Mayowe kwa jirani yangu nilipopiga jicho paziani niliwaona Majangili watatu wakiwa wamesima kwenye mlango nilichulkua bakora niliyopewa na babu yangu na kuingia kwenye kabati kutafuta firimbi ya baba muda si muda nilijitokeza kwa kuipuliza lile firimbi sikupuliza kwa munda mrefu ghafla bin vu majirani walijitokeza. Walikuwa wamejihami na jembe, panga mishale, na wengine rungu na mi nilikimbia katika chumba changu cha kulala na kuchukua mshale wangu tulieleke kwa jirani yangu aliyeitwa Musa, na alikuwa na binti aliyeitwa Mariamu. tulipo fika pale tulipata mlango umefunguliwa mmoja wetu alisema ataingia afanye uchunguzi lakini alipokuwa akiingia aliona risasi iliyokuwa Imepenya kwenye mlango. Moyo wangu ulidunda du du du na kusema kawa kweli wahenga walisema kuwa siku za mwizi ni arobaini . Hii inamanisha kuwa ukifanya kitu kwa mara nyingi sana kuna siku itakapofika ataweze kupatikana au kushikawa mzee kwa Jina Hassan aliamua kuingia akiwa amejiami kwa siha tatu mshale, rungu na panga alipoingia alimaliza sekunde Ishirini tulipo waza na kuwazua tuliona tuweze kuinga katika chumba tulipata mwenzetu marehemu Hassan alikuwa amefanyatuliwa risasi kwenye mguu tulipotazama vizuri hatukuona mtu yeyote si kupoteza muda nilichukua rununu na Kupingia kokosi cha Askari muda sio mrefu niliona gari la wanapolisi likija na lilikuawa likimulika rangi nyekunda na Samawati. walipowasili waliamuru kila mtu aweze kutoka nje mmoja wa wale askari alifanya utafiti na kuona paa ya nyumba ilikuwa imetobolewa alimwita askari mmoja na kumueleza aweze kupiga macho kwenye paa ya nyumba hakupoteza muda walileta ngazi na kupandia alipopiga macho aliwaona majangili watatu Wakiwa wamejikunja. Kama kuku aliyenyeshwa. Majangili hawa walikuwa wamemkamata mama na mtoto wake mchanga mwenye miaka tatu. Askari walipanda kwa wingi walifyatua marisasi na kuweza kuwafikia majingili Mmoja wao alifyetuliwa begani na mwingine pajani na wa mwisho alifyatuliwa kifuani. Walirushwa kwenye karadinga na kupelekwa hospitalini punde si punde mayo ulinidunda nilimwona aliyekuwa amejeruhiwa vibaya aliweza kuangamia. Na wale wengine walipelelawa kituo cha polisi mwishowe mahakamani. Walihukumiwa na kufungwa jela miaka kumi. Hapo ndipo nilipo jifunza mtoto Umleavyo ndivyo atakavyo.
Binti ya Musa aliitwa nani
{ "text": [ "Mariamu" ] }
2947_swa
Ulikuwa usiku Wa manane niliposikia Mayowe kwa jirani yangu nilipopiga jicho paziani niliwaona Majangili watatu wakiwa wamesima kwenye mlango nilichulkua bakora niliyopewa na babu yangu na kuingia kwenye kabati kutafuta firimbi ya baba muda si muda nilijitokeza kwa kuipuliza lile firimbi sikupuliza kwa munda mrefu ghafla bin vu majirani walijitokeza. Walikuwa wamejihami na jembe, panga mishale, na wengine rungu na mi nilikimbia katika chumba changu cha kulala na kuchukua mshale wangu tulieleke kwa jirani yangu aliyeitwa Musa, na alikuwa na binti aliyeitwa Mariamu. tulipo fika pale tulipata mlango umefunguliwa mmoja wetu alisema ataingia afanye uchunguzi lakini alipokuwa akiingia aliona risasi iliyokuwa Imepenya kwenye mlango. Moyo wangu ulidunda du du du na kusema kawa kweli wahenga walisema kuwa siku za mwizi ni arobaini . Hii inamanisha kuwa ukifanya kitu kwa mara nyingi sana kuna siku itakapofika ataweze kupatikana au kushikawa mzee kwa Jina Hassan aliamua kuingia akiwa amejiami kwa siha tatu mshale, rungu na panga alipoingia alimaliza sekunde Ishirini tulipo waza na kuwazua tuliona tuweze kuinga katika chumba tulipata mwenzetu marehemu Hassan alikuwa amefanyatuliwa risasi kwenye mguu tulipotazama vizuri hatukuona mtu yeyote si kupoteza muda nilichukua rununu na Kupingia kokosi cha Askari muda sio mrefu niliona gari la wanapolisi likija na lilikuawa likimulika rangi nyekunda na Samawati. walipowasili waliamuru kila mtu aweze kutoka nje mmoja wa wale askari alifanya utafiti na kuona paa ya nyumba ilikuwa imetobolewa alimwita askari mmoja na kumueleza aweze kupiga macho kwenye paa ya nyumba hakupoteza muda walileta ngazi na kupandia alipopiga macho aliwaona majangili watatu Wakiwa wamejikunja. Kama kuku aliyenyeshwa. Majangili hawa walikuwa wamemkamata mama na mtoto wake mchanga mwenye miaka tatu. Askari walipanda kwa wingi walifyatua marisasi na kuweza kuwafikia majingili Mmoja wao alifyetuliwa begani na mwingine pajani na wa mwisho alifyatuliwa kifuani. Walirushwa kwenye karadinga na kupelekwa hospitalini punde si punde mayo ulinidunda nilimwona aliyekuwa amejeruhiwa vibaya aliweza kuangamia. Na wale wengine walipelelawa kituo cha polisi mwishowe mahakamani. Walihukumiwa na kufungwa jela miaka kumi. Hapo ndipo nilipo jifunza mtoto Umleavyo ndivyo atakavyo.
Alisikia mayowe lini
{ "text": [ "usiku wa manane" ] }
2947_swa
Ulikuwa usiku Wa manane niliposikia Mayowe kwa jirani yangu nilipopiga jicho paziani niliwaona Majangili watatu wakiwa wamesima kwenye mlango nilichulkua bakora niliyopewa na babu yangu na kuingia kwenye kabati kutafuta firimbi ya baba muda si muda nilijitokeza kwa kuipuliza lile firimbi sikupuliza kwa munda mrefu ghafla bin vu majirani walijitokeza. Walikuwa wamejihami na jembe, panga mishale, na wengine rungu na mi nilikimbia katika chumba changu cha kulala na kuchukua mshale wangu tulieleke kwa jirani yangu aliyeitwa Musa, na alikuwa na binti aliyeitwa Mariamu. tulipo fika pale tulipata mlango umefunguliwa mmoja wetu alisema ataingia afanye uchunguzi lakini alipokuwa akiingia aliona risasi iliyokuwa Imepenya kwenye mlango. Moyo wangu ulidunda du du du na kusema kawa kweli wahenga walisema kuwa siku za mwizi ni arobaini . Hii inamanisha kuwa ukifanya kitu kwa mara nyingi sana kuna siku itakapofika ataweze kupatikana au kushikawa mzee kwa Jina Hassan aliamua kuingia akiwa amejiami kwa siha tatu mshale, rungu na panga alipoingia alimaliza sekunde Ishirini tulipo waza na kuwazua tuliona tuweze kuinga katika chumba tulipata mwenzetu marehemu Hassan alikuwa amefanyatuliwa risasi kwenye mguu tulipotazama vizuri hatukuona mtu yeyote si kupoteza muda nilichukua rununu na Kupingia kokosi cha Askari muda sio mrefu niliona gari la wanapolisi likija na lilikuawa likimulika rangi nyekunda na Samawati. walipowasili waliamuru kila mtu aweze kutoka nje mmoja wa wale askari alifanya utafiti na kuona paa ya nyumba ilikuwa imetobolewa alimwita askari mmoja na kumueleza aweze kupiga macho kwenye paa ya nyumba hakupoteza muda walileta ngazi na kupandia alipopiga macho aliwaona majangili watatu Wakiwa wamejikunja. Kama kuku aliyenyeshwa. Majangili hawa walikuwa wamemkamata mama na mtoto wake mchanga mwenye miaka tatu. Askari walipanda kwa wingi walifyatua marisasi na kuweza kuwafikia majingili Mmoja wao alifyetuliwa begani na mwingine pajani na wa mwisho alifyatuliwa kifuani. Walirushwa kwenye karadinga na kupelekwa hospitalini punde si punde mayo ulinidunda nilimwona aliyekuwa amejeruhiwa vibaya aliweza kuangamia. Na wale wengine walipelelawa kituo cha polisi mwishowe mahakamani. Walihukumiwa na kufungwa jela miaka kumi. Hapo ndipo nilipo jifunza mtoto Umleavyo ndivyo atakavyo.
Nini ilikuwa imepenya kwenye mlango
{ "text": [ "risasi" ] }
2947_swa
Ulikuwa usiku Wa manane niliposikia Mayowe kwa jirani yangu nilipopiga jicho paziani niliwaona Majangili watatu wakiwa wamesima kwenye mlango nilichulkua bakora niliyopewa na babu yangu na kuingia kwenye kabati kutafuta firimbi ya baba muda si muda nilijitokeza kwa kuipuliza lile firimbi sikupuliza kwa munda mrefu ghafla bin vu majirani walijitokeza. Walikuwa wamejihami na jembe, panga mishale, na wengine rungu na mi nilikimbia katika chumba changu cha kulala na kuchukua mshale wangu tulieleke kwa jirani yangu aliyeitwa Musa, na alikuwa na binti aliyeitwa Mariamu. tulipo fika pale tulipata mlango umefunguliwa mmoja wetu alisema ataingia afanye uchunguzi lakini alipokuwa akiingia aliona risasi iliyokuwa Imepenya kwenye mlango. Moyo wangu ulidunda du du du na kusema kawa kweli wahenga walisema kuwa siku za mwizi ni arobaini . Hii inamanisha kuwa ukifanya kitu kwa mara nyingi sana kuna siku itakapofika ataweze kupatikana au kushikawa mzee kwa Jina Hassan aliamua kuingia akiwa amejiami kwa siha tatu mshale, rungu na panga alipoingia alimaliza sekunde Ishirini tulipo waza na kuwazua tuliona tuweze kuinga katika chumba tulipata mwenzetu marehemu Hassan alikuwa amefanyatuliwa risasi kwenye mguu tulipotazama vizuri hatukuona mtu yeyote si kupoteza muda nilichukua rununu na Kupingia kokosi cha Askari muda sio mrefu niliona gari la wanapolisi likija na lilikuawa likimulika rangi nyekunda na Samawati. walipowasili waliamuru kila mtu aweze kutoka nje mmoja wa wale askari alifanya utafiti na kuona paa ya nyumba ilikuwa imetobolewa alimwita askari mmoja na kumueleza aweze kupiga macho kwenye paa ya nyumba hakupoteza muda walileta ngazi na kupandia alipopiga macho aliwaona majangili watatu Wakiwa wamejikunja. Kama kuku aliyenyeshwa. Majangili hawa walikuwa wamemkamata mama na mtoto wake mchanga mwenye miaka tatu. Askari walipanda kwa wingi walifyatua marisasi na kuweza kuwafikia majingili Mmoja wao alifyetuliwa begani na mwingine pajani na wa mwisho alifyatuliwa kifuani. Walirushwa kwenye karadinga na kupelekwa hospitalini punde si punde mayo ulinidunda nilimwona aliyekuwa amejeruhiwa vibaya aliweza kuangamia. Na wale wengine walipelelawa kituo cha polisi mwishowe mahakamani. Walihukumiwa na kufungwa jela miaka kumi. Hapo ndipo nilipo jifunza mtoto Umleavyo ndivyo atakavyo.
Mbona majangili walipelekwa mahakamani
{ "text": [ "kuhukumiwa kesi" ] }
2950_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo: Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Mayowe yalitoka chumbani cha dirani wangu alipika mayowe kiva sauti akitamka moto & moto! saidia .. Niliyataga maskio kwa upande wa kulia ili kuweza hufahamu sauti ilipo kuwa ikitona. Milipotoka njee, Inilishikwa na mshtuko wa roho Nyumba ya sirani Tilikuwa ikiteketea. Halaiki ya watu waliwasili ili kumsaidia kuzima moto ule havmu ya watu walitaribe wawezavyo kuwaokoa wale waliokuwa ndani ya chumba kilichokuwa kikitekemea katika gorofa hili hulikua na Ishule ya msingi ya hatima hulikina na mkurero wa watoto katika shule hiyo watoto kumi walihusika katika Imkosi wa moto.watoto tano walifariki.walichomena na moto hadi mizoga zao zikaua sivu. Hao watoto wengine walichomeka na moto lakini hawakupariki. walipelekwa hospitalini. walibebwa hobela hobela kwa machela hadi ndani ya habulenci. Msamaria mwema aliwapigia wazima moto micolon. wa magari au wazima moto yaliwasili waliuzima moto kutumia hopo la masi. Bidhaa zilizochomwa na moto ni kamasinile furushie La Aguas terevisheni viku, mezo na kadhalika kigaro cha poli kiliwasili ili kuiandike Iripoti kuhusu kiricho sababisha mkosi wa moto. sirani yangu aliyeitha Stela alikuwa shaidi . Alisema, Kulipwa na genge la wezi lilokuter kuzichukuwa pesa za Bi. Salimu walimuhanda Birsalimu kwa bindiki iliyoitwa bastola, walimlazimsha si Salimu kuwapa pesa zake walikuwa wezi tano walichukue kitita cha pesa walimngonga Bi. Salimu kuzirai.
Mayowe yalitoka katika chumba cha nani
{ "text": [ "Jirani yangu" ] }
2950_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo: Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Mayowe yalitoka chumbani cha dirani wangu alipika mayowe kiva sauti akitamka moto & moto! saidia .. Niliyataga maskio kwa upande wa kulia ili kuweza hufahamu sauti ilipo kuwa ikitona. Milipotoka njee, Inilishikwa na mshtuko wa roho Nyumba ya sirani Tilikuwa ikiteketea. Halaiki ya watu waliwasili ili kumsaidia kuzima moto ule havmu ya watu walitaribe wawezavyo kuwaokoa wale waliokuwa ndani ya chumba kilichokuwa kikitekemea katika gorofa hili hulikua na Ishule ya msingi ya hatima hulikina na mkurero wa watoto katika shule hiyo watoto kumi walihusika katika Imkosi wa moto.watoto tano walifariki.walichomena na moto hadi mizoga zao zikaua sivu. Hao watoto wengine walichomeka na moto lakini hawakupariki. walipelekwa hospitalini. walibebwa hobela hobela kwa machela hadi ndani ya habulenci. Msamaria mwema aliwapigia wazima moto micolon. wa magari au wazima moto yaliwasili waliuzima moto kutumia hopo la masi. Bidhaa zilizochomwa na moto ni kamasinile furushie La Aguas terevisheni viku, mezo na kadhalika kigaro cha poli kiliwasili ili kuiandike Iripoti kuhusu kiricho sababisha mkosi wa moto. sirani yangu aliyeitha Stela alikuwa shaidi . Alisema, Kulipwa na genge la wezi lilokuter kuzichukuwa pesa za Bi. Salimu walimuhanda Birsalimu kwa bindiki iliyoitwa bastola, walimlazimsha si Salimu kuwapa pesa zake walikuwa wezi tano walichukue kitita cha pesa walimngonga Bi. Salimu kuzirai.
Alipiga mayowe kwa sauti akitamka nini
{ "text": [ "Moto moto saidia" ] }
2950_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo: Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Mayowe yalitoka chumbani cha dirani wangu alipika mayowe kiva sauti akitamka moto & moto! saidia .. Niliyataga maskio kwa upande wa kulia ili kuweza hufahamu sauti ilipo kuwa ikitona. Milipotoka njee, Inilishikwa na mshtuko wa roho Nyumba ya sirani Tilikuwa ikiteketea. Halaiki ya watu waliwasili ili kumsaidia kuzima moto ule havmu ya watu walitaribe wawezavyo kuwaokoa wale waliokuwa ndani ya chumba kilichokuwa kikitekemea katika gorofa hili hulikua na Ishule ya msingi ya hatima hulikina na mkurero wa watoto katika shule hiyo watoto kumi walihusika katika Imkosi wa moto.watoto tano walifariki.walichomena na moto hadi mizoga zao zikaua sivu. Hao watoto wengine walichomeka na moto lakini hawakupariki. walipelekwa hospitalini. walibebwa hobela hobela kwa machela hadi ndani ya habulenci. Msamaria mwema aliwapigia wazima moto micolon. wa magari au wazima moto yaliwasili waliuzima moto kutumia hopo la masi. Bidhaa zilizochomwa na moto ni kamasinile furushie La Aguas terevisheni viku, mezo na kadhalika kigaro cha poli kiliwasili ili kuiandike Iripoti kuhusu kiricho sababisha mkosi wa moto. sirani yangu aliyeitha Stela alikuwa shaidi . Alisema, Kulipwa na genge la wezi lilokuter kuzichukuwa pesa za Bi. Salimu walimuhanda Birsalimu kwa bindiki iliyoitwa bastola, walimlazimsha si Salimu kuwapa pesa zake walikuwa wezi tano walichukue kitita cha pesa walimngonga Bi. Salimu kuzirai.
Halaiki ya watu waliwasili ili kumsaidia kufanya nini
{ "text": [ "Kuuzima moto ule" ] }
2950_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo: Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Mayowe yalitoka chumbani cha dirani wangu alipika mayowe kiva sauti akitamka moto & moto! saidia .. Niliyataga maskio kwa upande wa kulia ili kuweza hufahamu sauti ilipo kuwa ikitona. Milipotoka njee, Inilishikwa na mshtuko wa roho Nyumba ya sirani Tilikuwa ikiteketea. Halaiki ya watu waliwasili ili kumsaidia kuzima moto ule havmu ya watu walitaribe wawezavyo kuwaokoa wale waliokuwa ndani ya chumba kilichokuwa kikitekemea katika gorofa hili hulikua na Ishule ya msingi ya hatima hulikina na mkurero wa watoto katika shule hiyo watoto kumi walihusika katika Imkosi wa moto.watoto tano walifariki.walichomena na moto hadi mizoga zao zikaua sivu. Hao watoto wengine walichomeka na moto lakini hawakupariki. walipelekwa hospitalini. walibebwa hobela hobela kwa machela hadi ndani ya habulenci. Msamaria mwema aliwapigia wazima moto micolon. wa magari au wazima moto yaliwasili waliuzima moto kutumia hopo la masi. Bidhaa zilizochomwa na moto ni kamasinile furushie La Aguas terevisheni viku, mezo na kadhalika kigaro cha poli kiliwasili ili kuiandike Iripoti kuhusu kiricho sababisha mkosi wa moto. sirani yangu aliyeitha Stela alikuwa shaidi . Alisema, Kulipwa na genge la wezi lilokuter kuzichukuwa pesa za Bi. Salimu walimuhanda Birsalimu kwa bindiki iliyoitwa bastola, walimlazimsha si Salimu kuwapa pesa zake walikuwa wezi tano walichukue kitita cha pesa walimngonga Bi. Salimu kuzirai.
Watoto wangapi walihusika katika mkasa wa moto
{ "text": [ "Kumi" ] }
2950_swa
Andika insha ya kusisimua itakayoanza na maneno yafuatayo: Ulikuwa usiku wa manane niliposikia mayowe... Mayowe yalitoka chumbani cha dirani wangu alipika mayowe kiva sauti akitamka moto & moto! saidia .. Niliyataga maskio kwa upande wa kulia ili kuweza hufahamu sauti ilipo kuwa ikitona. Milipotoka njee, Inilishikwa na mshtuko wa roho Nyumba ya sirani Tilikuwa ikiteketea. Halaiki ya watu waliwasili ili kumsaidia kuzima moto ule havmu ya watu walitaribe wawezavyo kuwaokoa wale waliokuwa ndani ya chumba kilichokuwa kikitekemea katika gorofa hili hulikua na Ishule ya msingi ya hatima hulikina na mkurero wa watoto katika shule hiyo watoto kumi walihusika katika Imkosi wa moto.watoto tano walifariki.walichomena na moto hadi mizoga zao zikaua sivu. Hao watoto wengine walichomeka na moto lakini hawakupariki. walipelekwa hospitalini. walibebwa hobela hobela kwa machela hadi ndani ya habulenci. Msamaria mwema aliwapigia wazima moto micolon. wa magari au wazima moto yaliwasili waliuzima moto kutumia hopo la masi. Bidhaa zilizochomwa na moto ni kamasinile furushie La Aguas terevisheni viku, mezo na kadhalika kigaro cha poli kiliwasili ili kuiandike Iripoti kuhusu kiricho sababisha mkosi wa moto. sirani yangu aliyeitha Stela alikuwa shaidi . Alisema, Kulipwa na genge la wezi lilokuter kuzichukuwa pesa za Bi. Salimu walimuhanda Birsalimu kwa bindiki iliyoitwa bastola, walimlazimsha si Salimu kuwapa pesa zake walikuwa wezi tano walichukue kitita cha pesa walimngonga Bi. Salimu kuzirai.
Nani aliwapigia simu wazima moto
{ "text": [ "Msamaria mwema" ] }
2951_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Alikuwa na wasiwasi kama nani
{ "text": [ "mwasi" ] }
2951_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Ilikuwa lini
{ "text": [ "Jumamosi" ] }
2951_swa
SIKU SITA WAHL SAHAU Usiku wote sikupata lepe la usingizi. Niliwaza na kuwazua namna siku ambayo ilifuata ingekuwa. Nilikuwa na wasi wasi kama mwasi kwa sababu kitu nilichoona , usiku uliopita ilikuwa kitu kibaya sana na cha kushangaza. Ilikuwa usiku wa Jumamosi niliamka mapema sana kujitayarisha kwa huwa, siku ingekuwa ndefu. Nilifanya Vitu vya kawaida, kama kupiga mswaki kuosha mwili na kula chakula cha asubuhi. Ilhali nilipotoka nje, siku ulibadilika, kutoka Kuwa siku ya kawaida na nzuri kuwa siku mbaya. Vijana Barubaru watatu walikuwa na risasi zimelengwa kwangu. Je nilikuwa , muuaji wa watu ? kitu nisilolijua ni kuwa ningekuwa muuaji wa watu aje? Au walidhani mimi ni mwizi? Kwa kweli jambo usilolija ni usiku wa giza. “Kuja nasi na hatuta kuumiza naa kuchoma jumba lako na kukua pia.” Mmoja wao aliniambia. Nilijua la kufanya bila kuambiwa kitu kingine . Hapo kwa hapo nilangusha vitu nilivyokuwa nimebeba mkobani , mkoba wenyewe sakafuni na kupiga magoti mara moja. “ Umechagua vizuri sana, kutoka sasa hivi utakuwa unafanya kila kitu tunachokuambia na ukikosa tutaua familia yako pia ” Mmoja wao alisema akiwatoa Wavyele wangu, dada zangu na kaka zangu kwa gari lao. “Tafadhali Musa tusaidie” Dada yangu alilia. “Sisi hatutaki kukufa sasa hivi” Ndugu yangu aliongeza . “Siku yangu yakuolewa haijawasili” Dada yangu mkubwa alisema kwa sauti kubwa. Niliamua kuenda na wanaume hao, lakini niliwambia wawachilie Familia yangu huru bila kuwadhuru. Waliniaambia “sawa, basi shika , familia yako. Lakini kwa sababu naogopa utoroke na familia yake, nimeingiza chombo cha kufuatilia ndani ya miili zao, ili wakitoroka , itaniambia mahali wapo.” “ sawa,” nilijibu. Tuliingishiwa ndani la gari kubwa lilio kuwa na rangi jeusi na kuenda mahali tusipojua” “Je tunaenda wapi? Mama aliuliza. “Acha kunisumbua wewe ajuza” alijibiwa na dereva, nyamaza mpaka tufike licha ya mtoto wako ndiye anahitajika kwa kile tunachotaka kufanya. Tulipofika niliambiwa niende ndani ya banki na kuiba pesa. Nilifanya nilivyoambiwa ilhali. nilishikwa na polisi kabla niweze kurudi ndani la gari.Nilishikwa na kupelekwa gerezani na kuambiwa nitapelekwa mahakamani. Siku iliyofuata ilifika na nilipelekwa jelani na kufugwa miaka kumi na moja.
Aliangusha nini kutoka mkobani
{ "text": [ "visu" ] }