Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
2454_swa | Tembo Mdogo
Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma.
Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga.
Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali.
Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua.
Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia."
Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | walikuwa wakiimba vipi | {
"text": [
"kwa sauti"
]
} |
2454_swa | Tembo Mdogo
Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma.
Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga.
Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali.
Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua.
Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia."
Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | baadhi ya wanyama walifanya nini | {
"text": [
"walimpenda Tembo Mdogo"
]
} |
2455_swa | Tembo na Kiboko
Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu.
Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui.
Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi.
Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa."
Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika.
"Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko.
Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama.
Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza.
Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko.
Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo.
Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni.
Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | nani alitaka kuwa mwerevu | {
"text": [
"Kiboko"
]
} |
2455_swa | Tembo na Kiboko
Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu.
Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui.
Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi.
Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa."
Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika.
"Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko.
Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama.
Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza.
Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko.
Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo.
Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni.
Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | upofu ulimpatia nini Tembo | {
"text": [
"Uvumilivu"
]
} |
2455_swa | Tembo na Kiboko
Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu.
Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui.
Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi.
Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa."
Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika.
"Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko.
Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama.
Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza.
Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko.
Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo.
Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni.
Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | kwa nini wavulana hawakusubiri viazi vipoe | {
"text": [
"kwa sababu walikuwa na njaa"
]
} |
2455_swa | Tembo na Kiboko
Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu.
Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui.
Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi.
Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa."
Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika.
"Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko.
Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama.
Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza.
Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko.
Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo.
Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni.
Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa nini | {
"text": [
"mnyama wa majini"
]
} |
2455_swa | Tembo na Kiboko
Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu.
Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui.
Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi.
Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa."
Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika.
"Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko.
Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama.
Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza.
Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko.
Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo.
Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni.
Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Tembo ni mnyama wa wapi | {
"text": [
"nchi kavu"
]
} |
2456_swa | Tembo na Kinyonga
Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo.
Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine.
Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni.
Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme.
Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi.
Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu.
Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao!
Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mfalme aliita akina nani ikuluni | {
"text": [
"majirani zake"
]
} |
2456_swa | Tembo na Kinyonga
Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo.
Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine.
Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni.
Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme.
Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi.
Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu.
Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao!
Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani waliambiwa wakanyage ardhi hadi maji yapatikane | {
"text": [
"Tembo na Kinyonga"
]
} |
2456_swa | Tembo na Kinyonga
Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo.
Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine.
Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni.
Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme.
Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi.
Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu.
Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao!
Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mfalme aliahidi atakayefaulu atafanya nini | {
"text": [
"atamwoa bintiye mfalme"
]
} |
2456_swa | Tembo na Kinyonga
Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo.
Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine.
Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni.
Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme.
Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi.
Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu.
Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao!
Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni lini vumbi nyingi ilianza kutokea | {
"text": [
"Tembo akikanyaga ardhi"
]
} |
2456_swa | Tembo na Kinyonga
Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo.
Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine.
Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni.
Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme.
Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi.
Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu.
Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao!
Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini watu hawakuamini macho yao | {
"text": [
"kwa kuwa kinyonga alikanyaga ardhi kwa muda mfupi maji yakatokea"
]
} |
2458_swa | Theuri amwokoa Kobani!
Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi.
Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani.
Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli!
Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande.
Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee."
Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili?
Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani?
Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda.
Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli.
Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani?
Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org | Kwa nini mgongo wa Kobani ulikuwa na maumivu mengi | {
"text": [
"Ilitokana na kuinama kwa sababu ya mpini wa jembe ulikuwa mfupi mno"
]
} |
2458_swa | Theuri amwokoa Kobani!
Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi.
Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani.
Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli!
Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande.
Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee."
Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili?
Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani?
Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda.
Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli.
Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani?
Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org | Kobani alikuwa mrefu wa mita ngapi | {
"text": [
"2.5"
]
} |
2458_swa | Theuri amwokoa Kobani!
Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi.
Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani.
Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli!
Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande.
Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee."
Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili?
Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani?
Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda.
Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli.
Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani?
Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org | Ni nini wanakijiji walimtengenezea kobani | {
"text": [
"Fremu ndefu na mlango mrefu"
]
} |
2458_swa | Theuri amwokoa Kobani!
Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi.
Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani.
Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli!
Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande.
Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee."
Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili?
Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani?
Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda.
Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli.
Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani?
Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org | Ni nani aliyemkaribisha Kobani waliposhuka sokoni | {
"text": [
"Chifu wa kijiji"
]
} |
2458_swa | Theuri amwokoa Kobani!
Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi.
Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani.
Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli!
Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande.
Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee."
Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili?
Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani?
Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda.
Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli.
Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani?
Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org | Maseremala walimtengenezea Kobani meza ndefu ya mita ngapi | {
"text": [
"1.5"
]
} |
2461_swa | Uamsho wa furaha
Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto.
Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia.
Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka.
Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango.
Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi.
Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi.
"Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alikua mkuu wa Kwere baada ya Matata kutolewa? | {
"text": [
"Baraka"
]
} |
2461_swa | Uamsho wa furaha
Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto.
Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia.
Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka.
Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango.
Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi.
Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi.
"Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Baraka aliamrisha watu kupanda nini kuheshimu mlima Olokwango? | {
"text": [
"Maua"
]
} |
2461_swa | Uamsho wa furaha
Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto.
Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia.
Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka.
Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango.
Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi.
Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi.
"Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanakwere walisherehekea kwa kutolea Olokwango Mwerezi,muhuhu na nani mwingine? | {
"text": [
"Msonobari"
]
} |
2461_swa | Uamsho wa furaha
Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto.
Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia.
Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka.
Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango.
Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi.
Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi.
"Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mto gani ulifufuliwa baada ya Baraka kukua mkuu wa Kwere? | {
"text": [
"Temu"
]
} |
2461_swa | Uamsho wa furaha
Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto.
Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia.
Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka.
Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango.
Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi.
Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi.
"Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu gani? | {
"text": [
"Tambarare ya Kwere"
]
} |
2462_swa | Uamuzi (Paka rangi)
Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.
Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu.
Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi.
Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo.
Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani.
Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani.
Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira.
Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo.
Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?"
Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa.
Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?"
Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu."
Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu."
Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula."
Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji."
Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nini kilifanya watoto waache shule | {
"text": [
"kutoweza kulipiwa karo"
]
} |
2462_swa | Uamuzi (Paka rangi)
Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.
Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu.
Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi.
Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo.
Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani.
Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani.
Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira.
Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo.
Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?"
Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa.
Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?"
Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu."
Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu."
Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula."
Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji."
Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kazi za nyumbani pale mtaani zilifanywa na nani | {
"text": [
"wasichana wadogo"
]
} |
2462_swa | Uamuzi (Paka rangi)
Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.
Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu.
Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi.
Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo.
Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani.
Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani.
Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira.
Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo.
Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?"
Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa.
Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?"
Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu."
Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu."
Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula."
Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji."
Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani walirandaranda ovyo | {
"text": [
"wavulana wadogo"
]
} |
2462_swa | Uamuzi (Paka rangi)
Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.
Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu.
Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi.
Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo.
Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani.
Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani.
Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira.
Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo.
Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?"
Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa.
Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?"
Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu."
Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu."
Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula."
Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji."
Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Babake Ursula alisema wanafaa kubadilisha maisha ya mtaa wao lini | {
"text": [
"walipohudhuria mkutano"
]
} |
2462_swa | Uamuzi (Paka rangi)
Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.
Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu.
Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi.
Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo.
Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani.
Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani.
Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira.
Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo.
Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?"
Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa.
Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?"
Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu."
Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu."
Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula."
Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji."
Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanawake walisema wataungana wasaidiane aje | {
"text": [
"watapanda mbegu ili waweze kupata chakula"
]
} |
2464_swa | Ujasiri wa Nangila
Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao.
Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri.
Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake.
Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila.
Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe.
Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake.
Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya."
Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi.
Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka.
Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi.
Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini.
Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila.
MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wekesa alikuwa na nini mguuni | {
"text": [
"Donda"
]
} |
2464_swa | Ujasiri wa Nangila
Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao.
Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri.
Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake.
Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila.
Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe.
Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake.
Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya."
Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi.
Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka.
Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi.
Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini.
Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila.
MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliwavutia watu wengi | {
"text": [
"Nangila"
]
} |
2464_swa | Ujasiri wa Nangila
Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao.
Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri.
Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake.
Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila.
Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe.
Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake.
Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya."
Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi.
Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka.
Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi.
Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini.
Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila.
MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nini ingeponya donda la babake Nangila | {
"text": [
"Dawa"
]
} |
2464_swa | Ujasiri wa Nangila
Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao.
Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri.
Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake.
Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila.
Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe.
Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake.
Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya."
Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi.
Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka.
Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi.
Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini.
Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila.
MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alisaidiwa na Nangila kubeba kuni | {
"text": [
"Bi.Kizee"
]
} |
2464_swa | Ujasiri wa Nangila
Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao.
Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri.
Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake.
Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila.
Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe.
Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake.
Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya."
Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi.
Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka.
Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi.
Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini.
Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila.
MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nangila aliweza kupita mizimu vipi | {
"text": [
"Kwa kuiimbia wimbo ikarudi kulala"
]
} |
2475_swa | Upinde wa Mto wenye miujiza
Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule.
Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu.
Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia."
"Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!"
Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza.
"Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu."
"Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili."
"Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini."
"Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake."
"Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema.
"Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde."
Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ado, Aggie na Eddy walisikiliza nini ikinyesha | {
"text": [
"Mvua "
]
} |
2475_swa | Upinde wa Mto wenye miujiza
Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule.
Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu.
Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia."
"Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!"
Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza.
"Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu."
"Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili."
"Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini."
"Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake."
"Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema.
"Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde."
Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ado, Aggie na Eddy hawakupenda kunywa supu iliyo na nini | {
"text": [
"Pilipili"
]
} |
2475_swa | Upinde wa Mto wenye miujiza
Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule.
Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu.
Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia."
"Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!"
Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza.
"Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu."
"Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili."
"Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini."
"Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake."
"Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema.
"Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde."
Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ado, Aggie na Eddy walitaka mama asimulie kuhusu nini | {
"text": [
"Upinde"
]
} |
2475_swa | Upinde wa Mto wenye miujiza
Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule.
Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu.
Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia."
"Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!"
Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza.
"Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu."
"Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili."
"Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini."
"Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake."
"Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema.
"Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde."
Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Bomu aliyanywa nini ndio akapona | {
"text": [
"Maji"
]
} |
2475_swa | Upinde wa Mto wenye miujiza
Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule.
Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu.
Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia."
"Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!"
Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza.
"Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu."
"Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili."
"Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini."
"Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake."
"Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema.
"Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde."
Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Bomu aliruka majini | {
"text": [
"Aalikuwa na matumaini ya kupata uzima wa milele"
]
} |
2476_swa | Urithi kutoka kwa baba
Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume.
Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote.
Baada ya muda, Lelisa alifariki.
Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani.
Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea.
Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo."
Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe."
Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda.
Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo.
Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote.
Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu."
Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Mkewe Eba aliitwa nani | {
"text": [
"Lelisa"
]
} |
2476_swa | Urithi kutoka kwa baba
Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume.
Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote.
Baada ya muda, Lelisa alifariki.
Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani.
Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea.
Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo."
Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe."
Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda.
Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo.
Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote.
Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu."
Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Eba aliwaambia wanawe watarithi nini kutoka kwake | {
"text": [
"dhahabu nyingi"
]
} |
2476_swa | Urithi kutoka kwa baba
Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume.
Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote.
Baada ya muda, Lelisa alifariki.
Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani.
Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea.
Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo."
Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe."
Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda.
Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo.
Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote.
Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu."
Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Ni nini majirani walipea wanawe Eba | {
"text": [
"chakula "
]
} |
2476_swa | Urithi kutoka kwa baba
Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume.
Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote.
Baada ya muda, Lelisa alifariki.
Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani.
Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea.
Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo."
Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe."
Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda.
Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo.
Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote.
Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu."
Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Ni lini majirani walianza kupea wanawe Eba chakula | {
"text": [
"Eba alipokwisha fariki"
]
} |
2476_swa | Urithi kutoka kwa baba
Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume.
Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote.
Baada ya muda, Lelisa alifariki.
Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani.
Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea.
Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo."
Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe."
Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda.
Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo.
Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote.
Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu."
Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini waliamua kuyalima mashamba wenyewe | {
"text": [
"ili waipate dhahabu hiyo iliyofichwa na baba yao"
]
} |
2477_swa | Ushauri mbaya
Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe.
Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo.
Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo.
Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma.
Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda.
Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda."
Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine.
Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya.
Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe.
Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake."
Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti.
Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi.
Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote.
Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako."
Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu."
Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako."
Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue."
Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake."
Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia."
Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kobe na juma walikuwa maskini na pia nini | {
"text": [
"Jirani"
]
} |
2477_swa | Ushauri mbaya
Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe.
Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo.
Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo.
Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma.
Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda.
Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda."
Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine.
Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya.
Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe.
Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake."
Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti.
Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi.
Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote.
Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako."
Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu."
Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako."
Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue."
Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake."
Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia."
Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Walitamani kuwa na nini | {
"text": [
"Punda"
]
} |
2477_swa | Ushauri mbaya
Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe.
Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo.
Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo.
Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma.
Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda.
Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda."
Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine.
Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya.
Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe.
Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake."
Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti.
Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi.
Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote.
Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako."
Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu."
Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako."
Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue."
Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake."
Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia."
Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kombe alitajirika baada ya nani kufa | {
"text": [
"Babake"
]
} |
2477_swa | Ushauri mbaya
Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe.
Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo.
Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo.
Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma.
Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda.
Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda."
Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine.
Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya.
Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe.
Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake."
Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti.
Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi.
Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote.
Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako."
Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu."
Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako."
Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue."
Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake."
Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia."
Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Juma alipata mazao mazuri ya nini | {
"text": [
"Mbaazi"
]
} |
2477_swa | Ushauri mbaya
Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe.
Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo.
Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo.
Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma.
Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda.
Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda."
Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine.
Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya.
Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe.
Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake."
Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti.
Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi.
Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote.
Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako."
Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu."
Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako."
Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue."
Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake."
Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia."
Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini Juma na Kombe waliishi kwa furaha | {
"text": [
"Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake"
]
} |
2479_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi!
Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza."
Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala."
Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni."
Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa."
Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula."
Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala."
Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Katika kijiji moja watu walitofautiana kuhusu nini | {
"text": [
"kazi"
]
} |
2479_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi!
Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza."
Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala."
Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni."
Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa."
Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula."
Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala."
Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokua nini | {
"text": [
"muhimu zaidi"
]
} |
2479_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi!
Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza."
Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala."
Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni."
Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa."
Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula."
Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala."
Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Bila wajenzi hakungekuwa na nini | {
"text": [
"shule za kusomea"
]
} |
2479_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi!
Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza."
Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala."
Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni."
Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa."
Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula."
Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala."
Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu lini | {
"text": [
"mwanafunzi alipomaliza kuongea"
]
} |
2479_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi!
Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza."
Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala."
Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni."
Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa."
Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula."
Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala."
Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu | {
"text": [
"kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi"
]
} |
2480_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani hufunza wanafunzi shuleni | {
"text": [
"Mwalimu"
]
} |
2480_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Samani hutengenezwa na nani | {
"text": [
"Seremala"
]
} |
2480_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Daktari na wauguzi hufanya kazi gani | {
"text": [
"Hutibu wagonjwa"
]
} |
2480_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mwalimu, daktari, seremala na mjenzi siku moja walikuwa nani | {
"text": [
"Wanafunzi"
]
} |
2480_swa | Utata baina ya kazi tofauti
Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani hutengeneza nyumba na madarasa ya kusomea | {
"text": [
"Mjenzi"
]
} |
2481_swa | Vayu, upepo
Brigid Simiyu
Rijuta Ghate
Kiswahili
Ninapomaliza
kuoga kwa maji
moto, mwili wangu
huwa majimaji na
kuhisi baridi.
Ninajua anayesababisha
mwili kuhisi baridi.
Vayu, upepo!
Kwenye kikombe
kuna maziwa moto
sana. Baada ya
muda, maziwa yanapoa.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Pazia za dirisha
zinapapatika polep
zikinigusa uso.
Ni nani
husababisha
jambo hili
kutendeka? Vayu, upepo!
Ninaona radi.
Mawingu meusi
yananikaribia.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Matawi
yanayumbayumba
na majani
yanapepea. Maua
yanadondoka
kutoka mtini.
Ninajua anayesababisha
haya yote. Vayu, upepo!
Tunapocheza nje,
tunanukia pipi
anazotayarisha mama.
Ninajua
anayesababisha
hili kutendeka.
Vayu, upepo!
Bilauri iliyokuwa
dirisahani,
imeanguka na
kuvunjika.
Namshukuru
Mungu haikuniangukia.
Ninajua aliyesababisha
ukatili huu. Bila
shaka ni Vayu, upepo!
Firimbi imepulizwa.
Gari la moshi
linafika kituoni.
Siwezi kuliona,
lakini nausikia
mngurumo wake.
Ninajua aliyesababisha
haya. Vayu, upepo!
Haonekani.
Hasikiki. Hufanya
kazi zote kisirisiri.
Anaweza kuwa ni nani?
Mimi ninamjua! Vayu, upepo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vayu, upepo
Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Rijuta Ghate
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© Pratham Books 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.prathambooks.org
| Majani yanayumbayumba na matawi je? | {
"text": [
"Yanapepea"
]
} |
2481_swa | Vayu, upepo
Brigid Simiyu
Rijuta Ghate
Kiswahili
Ninapomaliza
kuoga kwa maji
moto, mwili wangu
huwa majimaji na
kuhisi baridi.
Ninajua anayesababisha
mwili kuhisi baridi.
Vayu, upepo!
Kwenye kikombe
kuna maziwa moto
sana. Baada ya
muda, maziwa yanapoa.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Pazia za dirisha
zinapapatika polep
zikinigusa uso.
Ni nani
husababisha
jambo hili
kutendeka? Vayu, upepo!
Ninaona radi.
Mawingu meusi
yananikaribia.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Matawi
yanayumbayumba
na majani
yanapepea. Maua
yanadondoka
kutoka mtini.
Ninajua anayesababisha
haya yote. Vayu, upepo!
Tunapocheza nje,
tunanukia pipi
anazotayarisha mama.
Ninajua
anayesababisha
hili kutendeka.
Vayu, upepo!
Bilauri iliyokuwa
dirisahani,
imeanguka na
kuvunjika.
Namshukuru
Mungu haikuniangukia.
Ninajua aliyesababisha
ukatili huu. Bila
shaka ni Vayu, upepo!
Firimbi imepulizwa.
Gari la moshi
linafika kituoni.
Siwezi kuliona,
lakini nausikia
mngurumo wake.
Ninajua aliyesababisha
haya. Vayu, upepo!
Haonekani.
Hasikiki. Hufanya
kazi zote kisirisiri.
Anaweza kuwa ni nani?
Mimi ninamjua! Vayu, upepo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vayu, upepo
Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Rijuta Ghate
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© Pratham Books 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.prathambooks.org
| Tunapocheza nje tunanusia nini zinazotayarishwa na mama? | {
"text": [
"Pipi"
]
} |
2481_swa | Vayu, upepo
Brigid Simiyu
Rijuta Ghate
Kiswahili
Ninapomaliza
kuoga kwa maji
moto, mwili wangu
huwa majimaji na
kuhisi baridi.
Ninajua anayesababisha
mwili kuhisi baridi.
Vayu, upepo!
Kwenye kikombe
kuna maziwa moto
sana. Baada ya
muda, maziwa yanapoa.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Pazia za dirisha
zinapapatika polep
zikinigusa uso.
Ni nani
husababisha
jambo hili
kutendeka? Vayu, upepo!
Ninaona radi.
Mawingu meusi
yananikaribia.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Matawi
yanayumbayumba
na majani
yanapepea. Maua
yanadondoka
kutoka mtini.
Ninajua anayesababisha
haya yote. Vayu, upepo!
Tunapocheza nje,
tunanukia pipi
anazotayarisha mama.
Ninajua
anayesababisha
hili kutendeka.
Vayu, upepo!
Bilauri iliyokuwa
dirisahani,
imeanguka na
kuvunjika.
Namshukuru
Mungu haikuniangukia.
Ninajua aliyesababisha
ukatili huu. Bila
shaka ni Vayu, upepo!
Firimbi imepulizwa.
Gari la moshi
linafika kituoni.
Siwezi kuliona,
lakini nausikia
mngurumo wake.
Ninajua aliyesababisha
haya. Vayu, upepo!
Haonekani.
Hasikiki. Hufanya
kazi zote kisirisiri.
Anaweza kuwa ni nani?
Mimi ninamjua! Vayu, upepo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vayu, upepo
Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Rijuta Ghate
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© Pratham Books 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.prathambooks.org
| Ninapomaliza kuoga mwili yangu hua majimaji na kuhisi nini? | {
"text": [
"Baridi"
]
} |
2481_swa | Vayu, upepo
Brigid Simiyu
Rijuta Ghate
Kiswahili
Ninapomaliza
kuoga kwa maji
moto, mwili wangu
huwa majimaji na
kuhisi baridi.
Ninajua anayesababisha
mwili kuhisi baridi.
Vayu, upepo!
Kwenye kikombe
kuna maziwa moto
sana. Baada ya
muda, maziwa yanapoa.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Pazia za dirisha
zinapapatika polep
zikinigusa uso.
Ni nani
husababisha
jambo hili
kutendeka? Vayu, upepo!
Ninaona radi.
Mawingu meusi
yananikaribia.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Matawi
yanayumbayumba
na majani
yanapepea. Maua
yanadondoka
kutoka mtini.
Ninajua anayesababisha
haya yote. Vayu, upepo!
Tunapocheza nje,
tunanukia pipi
anazotayarisha mama.
Ninajua
anayesababisha
hili kutendeka.
Vayu, upepo!
Bilauri iliyokuwa
dirisahani,
imeanguka na
kuvunjika.
Namshukuru
Mungu haikuniangukia.
Ninajua aliyesababisha
ukatili huu. Bila
shaka ni Vayu, upepo!
Firimbi imepulizwa.
Gari la moshi
linafika kituoni.
Siwezi kuliona,
lakini nausikia
mngurumo wake.
Ninajua aliyesababisha
haya. Vayu, upepo!
Haonekani.
Hasikiki. Hufanya
kazi zote kisirisiri.
Anaweza kuwa ni nani?
Mimi ninamjua! Vayu, upepo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vayu, upepo
Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Rijuta Ghate
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© Pratham Books 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.prathambooks.org
| Kwa kikombe kuna maziwa moto kabisa kisha baada ya muda yanafanyaje? | {
"text": [
"Yanapoa"
]
} |
2481_swa | Vayu, upepo
Brigid Simiyu
Rijuta Ghate
Kiswahili
Ninapomaliza
kuoga kwa maji
moto, mwili wangu
huwa majimaji na
kuhisi baridi.
Ninajua anayesababisha
mwili kuhisi baridi.
Vayu, upepo!
Kwenye kikombe
kuna maziwa moto
sana. Baada ya
muda, maziwa yanapoa.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Pazia za dirisha
zinapapatika polep
zikinigusa uso.
Ni nani
husababisha
jambo hili
kutendeka? Vayu, upepo!
Ninaona radi.
Mawingu meusi
yananikaribia.
Ninajua
anayesababisha
jambo hili
kutendeka. Vayu, upepo!
Matawi
yanayumbayumba
na majani
yanapepea. Maua
yanadondoka
kutoka mtini.
Ninajua anayesababisha
haya yote. Vayu, upepo!
Tunapocheza nje,
tunanukia pipi
anazotayarisha mama.
Ninajua
anayesababisha
hili kutendeka.
Vayu, upepo!
Bilauri iliyokuwa
dirisahani,
imeanguka na
kuvunjika.
Namshukuru
Mungu haikuniangukia.
Ninajua aliyesababisha
ukatili huu. Bila
shaka ni Vayu, upepo!
Firimbi imepulizwa.
Gari la moshi
linafika kituoni.
Siwezi kuliona,
lakini nausikia
mngurumo wake.
Ninajua aliyesababisha
haya. Vayu, upepo!
Haonekani.
Hasikiki. Hufanya
kazi zote kisirisiri.
Anaweza kuwa ni nani?
Mimi ninamjua! Vayu, upepo!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vayu, upepo
Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Rijuta Ghate
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© Pratham Books 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.prathambooks.org
| Ni nani haonekani,haskiki, hufanya kazi zote kwa siri? | {
"text": [
"Vayu, Upepo"
]
} |
2482_swa | Viatu vyangu vya kwanza
Ursula Nafula
Rob Owen
Kiswahili
Sikuwa nimewahi kuvaa viatu.
Nilipowaona watoto
waliovaa viatu,
niliwatazama kwa hamu.
Mamangu alinifariji
akisema, "Utakuwa na jozi
nyingi baadaye, subiri tu utaona!"
Wakati mwingine
sikumwamini.
"Baadaye, itakuwa lini?"
nilimwuliza siku moja.
Kisha ulikuwa msimu wa
Krismasi. Kila mtu
alijishughulisha kwenda
sokoni na kurejea na vitu vipya.
"Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza.
Siku kabla ya Krismasi,
mamangu aliniamsha
mapema kuliko ilivyokuwa kawaida.
Alinieleza nilichukue lile
kapu kubwa ambalo
alilibeba kila alipokwenda sokoni.
Sokoni palikuwa na wazazi
wengi walioandamana na
watoto wao.
Walinunua nguo mpya na
kiasi kikubwa cha vyakula.
Tulienda moja kwa moja
hadi sehemu ya viatu aina tofauti.
Nilishangaa kwa kuona
mstari baada ya mwingine
wa viatu vilivyopangwa
kwa unadhifu.
Baada ya kupima baadhi
ya jozi nyingi, nilichukua
jozi ya viatu vya michezo.
Sikuweza kulala usiku huo.
Nilisisimkwa sana
nilipowaza jinsi ningevivaa
viatu vyangu vipya na
kujivunia kila mtoto kijijini.
Muda mfupi baadaye,
niliamka kitandani na
kuvijaribu tena viatu vyangu.
Nilitembea polepole
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu kulala lakini
sikupata usingizi.
Niliamka na kuvijaribu
tena kwa mara ya pili.
Nilitembea kwa maringo
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu tena kulala
nikinuia kupata usingizi.
Lakini muda mfupi
baadaye, niliamka kwa
mara ya tatu.
Nilivivaa vyatu nikaruka
ruka kidogo chumbani.
Nilihisi usingizi nikarudi
kitandani.
Asubuhi yake, niliamshwa
na mamangu.
"Hiki ni nini ninachoona?"
aliniuliza.
Nilikuwa nimevaa viatu
vyangu vipya kitandani!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Viatu vyangu vya kwanza
Author - Ursula Nafula
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sikuwa nimewahi kuvaa nini | {
"text": [
"Viatu"
]
} |
2482_swa | Viatu vyangu vya kwanza
Ursula Nafula
Rob Owen
Kiswahili
Sikuwa nimewahi kuvaa viatu.
Nilipowaona watoto
waliovaa viatu,
niliwatazama kwa hamu.
Mamangu alinifariji
akisema, "Utakuwa na jozi
nyingi baadaye, subiri tu utaona!"
Wakati mwingine
sikumwamini.
"Baadaye, itakuwa lini?"
nilimwuliza siku moja.
Kisha ulikuwa msimu wa
Krismasi. Kila mtu
alijishughulisha kwenda
sokoni na kurejea na vitu vipya.
"Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza.
Siku kabla ya Krismasi,
mamangu aliniamsha
mapema kuliko ilivyokuwa kawaida.
Alinieleza nilichukue lile
kapu kubwa ambalo
alilibeba kila alipokwenda sokoni.
Sokoni palikuwa na wazazi
wengi walioandamana na
watoto wao.
Walinunua nguo mpya na
kiasi kikubwa cha vyakula.
Tulienda moja kwa moja
hadi sehemu ya viatu aina tofauti.
Nilishangaa kwa kuona
mstari baada ya mwingine
wa viatu vilivyopangwa
kwa unadhifu.
Baada ya kupima baadhi
ya jozi nyingi, nilichukua
jozi ya viatu vya michezo.
Sikuweza kulala usiku huo.
Nilisisimkwa sana
nilipowaza jinsi ningevivaa
viatu vyangu vipya na
kujivunia kila mtoto kijijini.
Muda mfupi baadaye,
niliamka kitandani na
kuvijaribu tena viatu vyangu.
Nilitembea polepole
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu kulala lakini
sikupata usingizi.
Niliamka na kuvijaribu
tena kwa mara ya pili.
Nilitembea kwa maringo
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu tena kulala
nikinuia kupata usingizi.
Lakini muda mfupi
baadaye, niliamka kwa
mara ya tatu.
Nilivivaa vyatu nikaruka
ruka kidogo chumbani.
Nilihisi usingizi nikarudi
kitandani.
Asubuhi yake, niliamshwa
na mamangu.
"Hiki ni nini ninachoona?"
aliniuliza.
Nilikuwa nimevaa viatu
vyangu vipya kitandani!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Viatu vyangu vya kwanza
Author - Ursula Nafula
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nani alinifariji | {
"text": [
"Mamangu"
]
} |
2482_swa | Viatu vyangu vya kwanza
Ursula Nafula
Rob Owen
Kiswahili
Sikuwa nimewahi kuvaa viatu.
Nilipowaona watoto
waliovaa viatu,
niliwatazama kwa hamu.
Mamangu alinifariji
akisema, "Utakuwa na jozi
nyingi baadaye, subiri tu utaona!"
Wakati mwingine
sikumwamini.
"Baadaye, itakuwa lini?"
nilimwuliza siku moja.
Kisha ulikuwa msimu wa
Krismasi. Kila mtu
alijishughulisha kwenda
sokoni na kurejea na vitu vipya.
"Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza.
Siku kabla ya Krismasi,
mamangu aliniamsha
mapema kuliko ilivyokuwa kawaida.
Alinieleza nilichukue lile
kapu kubwa ambalo
alilibeba kila alipokwenda sokoni.
Sokoni palikuwa na wazazi
wengi walioandamana na
watoto wao.
Walinunua nguo mpya na
kiasi kikubwa cha vyakula.
Tulienda moja kwa moja
hadi sehemu ya viatu aina tofauti.
Nilishangaa kwa kuona
mstari baada ya mwingine
wa viatu vilivyopangwa
kwa unadhifu.
Baada ya kupima baadhi
ya jozi nyingi, nilichukua
jozi ya viatu vya michezo.
Sikuweza kulala usiku huo.
Nilisisimkwa sana
nilipowaza jinsi ningevivaa
viatu vyangu vipya na
kujivunia kila mtoto kijijini.
Muda mfupi baadaye,
niliamka kitandani na
kuvijaribu tena viatu vyangu.
Nilitembea polepole
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu kulala lakini
sikupata usingizi.
Niliamka na kuvijaribu
tena kwa mara ya pili.
Nilitembea kwa maringo
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu tena kulala
nikinuia kupata usingizi.
Lakini muda mfupi
baadaye, niliamka kwa
mara ya tatu.
Nilivivaa vyatu nikaruka
ruka kidogo chumbani.
Nilihisi usingizi nikarudi
kitandani.
Asubuhi yake, niliamshwa
na mamangu.
"Hiki ni nini ninachoona?"
aliniuliza.
Nilikuwa nimevaa viatu
vyangu vipya kitandani!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Viatu vyangu vya kwanza
Author - Ursula Nafula
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mamangu alinieleza nichukue nini | {
"text": [
"Lile kapu kubwa"
]
} |
2482_swa | Viatu vyangu vya kwanza
Ursula Nafula
Rob Owen
Kiswahili
Sikuwa nimewahi kuvaa viatu.
Nilipowaona watoto
waliovaa viatu,
niliwatazama kwa hamu.
Mamangu alinifariji
akisema, "Utakuwa na jozi
nyingi baadaye, subiri tu utaona!"
Wakati mwingine
sikumwamini.
"Baadaye, itakuwa lini?"
nilimwuliza siku moja.
Kisha ulikuwa msimu wa
Krismasi. Kila mtu
alijishughulisha kwenda
sokoni na kurejea na vitu vipya.
"Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza.
Siku kabla ya Krismasi,
mamangu aliniamsha
mapema kuliko ilivyokuwa kawaida.
Alinieleza nilichukue lile
kapu kubwa ambalo
alilibeba kila alipokwenda sokoni.
Sokoni palikuwa na wazazi
wengi walioandamana na
watoto wao.
Walinunua nguo mpya na
kiasi kikubwa cha vyakula.
Tulienda moja kwa moja
hadi sehemu ya viatu aina tofauti.
Nilishangaa kwa kuona
mstari baada ya mwingine
wa viatu vilivyopangwa
kwa unadhifu.
Baada ya kupima baadhi
ya jozi nyingi, nilichukua
jozi ya viatu vya michezo.
Sikuweza kulala usiku huo.
Nilisisimkwa sana
nilipowaza jinsi ningevivaa
viatu vyangu vipya na
kujivunia kila mtoto kijijini.
Muda mfupi baadaye,
niliamka kitandani na
kuvijaribu tena viatu vyangu.
Nilitembea polepole
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu kulala lakini
sikupata usingizi.
Niliamka na kuvijaribu
tena kwa mara ya pili.
Nilitembea kwa maringo
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu tena kulala
nikinuia kupata usingizi.
Lakini muda mfupi
baadaye, niliamka kwa
mara ya tatu.
Nilivivaa vyatu nikaruka
ruka kidogo chumbani.
Nilihisi usingizi nikarudi
kitandani.
Asubuhi yake, niliamshwa
na mamangu.
"Hiki ni nini ninachoona?"
aliniuliza.
Nilikuwa nimevaa viatu
vyangu vipya kitandani!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Viatu vyangu vya kwanza
Author - Ursula Nafula
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya wapi | {
"text": [
"Kitandani"
]
} |
2482_swa | Viatu vyangu vya kwanza
Ursula Nafula
Rob Owen
Kiswahili
Sikuwa nimewahi kuvaa viatu.
Nilipowaona watoto
waliovaa viatu,
niliwatazama kwa hamu.
Mamangu alinifariji
akisema, "Utakuwa na jozi
nyingi baadaye, subiri tu utaona!"
Wakati mwingine
sikumwamini.
"Baadaye, itakuwa lini?"
nilimwuliza siku moja.
Kisha ulikuwa msimu wa
Krismasi. Kila mtu
alijishughulisha kwenda
sokoni na kurejea na vitu vipya.
"Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza.
Siku kabla ya Krismasi,
mamangu aliniamsha
mapema kuliko ilivyokuwa kawaida.
Alinieleza nilichukue lile
kapu kubwa ambalo
alilibeba kila alipokwenda sokoni.
Sokoni palikuwa na wazazi
wengi walioandamana na
watoto wao.
Walinunua nguo mpya na
kiasi kikubwa cha vyakula.
Tulienda moja kwa moja
hadi sehemu ya viatu aina tofauti.
Nilishangaa kwa kuona
mstari baada ya mwingine
wa viatu vilivyopangwa
kwa unadhifu.
Baada ya kupima baadhi
ya jozi nyingi, nilichukua
jozi ya viatu vya michezo.
Sikuweza kulala usiku huo.
Nilisisimkwa sana
nilipowaza jinsi ningevivaa
viatu vyangu vipya na
kujivunia kila mtoto kijijini.
Muda mfupi baadaye,
niliamka kitandani na
kuvijaribu tena viatu vyangu.
Nilitembea polepole
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu kulala lakini
sikupata usingizi.
Niliamka na kuvijaribu
tena kwa mara ya pili.
Nilitembea kwa maringo
chumbani kisha
nikavirejesha sandukuni.
Nilijaribu tena kulala
nikinuia kupata usingizi.
Lakini muda mfupi
baadaye, niliamka kwa
mara ya tatu.
Nilivivaa vyatu nikaruka
ruka kidogo chumbani.
Nilihisi usingizi nikarudi
kitandani.
Asubuhi yake, niliamshwa
na mamangu.
"Hiki ni nini ninachoona?"
aliniuliza.
Nilikuwa nimevaa viatu
vyangu vipya kitandani!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Viatu vyangu vya kwanza
Author - Ursula Nafula
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwa nini nilijaribu tena kulala | {
"text": [
"Nilinuia kupata usingizi"
]
} |
2485_swa | Vitu ninavyojua
Ursula Nafula
Michael Nakuwa
Kiswahili
Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana.
Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno.
Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa.
Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli.
Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri.
Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi.
Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa.
Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana.
Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe.
Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vitu ninavyojua
Author - Ursula Nafula
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Michael Nakuwa
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwao ni wapi | {
"text": [
"Turkana"
]
} |
2485_swa | Vitu ninavyojua
Ursula Nafula
Michael Nakuwa
Kiswahili
Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana.
Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno.
Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa.
Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli.
Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri.
Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi.
Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa.
Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana.
Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe.
Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vitu ninavyojua
Author - Ursula Nafula
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Michael Nakuwa
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Anapenda mwalimu yupi | {
"text": [
"wa Sanaa"
]
} |
2485_swa | Vitu ninavyojua
Ursula Nafula
Michael Nakuwa
Kiswahili
Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana.
Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno.
Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa.
Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli.
Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri.
Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi.
Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa.
Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana.
Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe.
Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vitu ninavyojua
Author - Ursula Nafula
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Michael Nakuwa
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Meli zinatumika wapi | {
"text": [
"majini"
]
} |
2485_swa | Vitu ninavyojua
Ursula Nafula
Michael Nakuwa
Kiswahili
Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana.
Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno.
Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa.
Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli.
Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri.
Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi.
Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa.
Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana.
Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe.
Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vitu ninavyojua
Author - Ursula Nafula
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Michael Nakuwa
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mwavuli hutumika lini | {
"text": [
"inaponyesha"
]
} |
2485_swa | Vitu ninavyojua
Ursula Nafula
Michael Nakuwa
Kiswahili
Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana.
Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno.
Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa.
Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli.
Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri.
Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi.
Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa.
Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana.
Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe.
Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Vitu ninavyojua
Author - Ursula Nafula
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Michael Nakuwa
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© African Storybook Initiative 2014
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mbona wanatumia mwavuli | {
"text": [
"ili wasinyeshewe"
]
} |
2487_swa | Wa Mpanga
Wendy Ezekiel
Kiswahili
Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul.
Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe.
Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda
shambani.
Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba
msaada.
Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi.
Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo,
akapata musituko kubwa kwaku ona mtu
ambaye ameuwawa porini na kichwa chake
ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe
ambia mtu yeyote…ona …ona
Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo,
basi akakimbia kwa haraka nyumbani.
Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga
kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na
woga!
Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle
nakuanza eleza shida aliyokutana njiani.
Ila mfalme na wazee hawakumuelewa,
akajitaidikuwa elewesha lakini
haikuwezekana.
Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema
wote waende kuona iyo kichwa ambao
inaongea.
Basi mfalme na wazee wote wakijijini
wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama
kichwa ambao inaongea.
Paul akasahau mambo ambao iyokichwa
ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu
ivyo kwa mtu yeyote yule.
Paul, mfalme na wazee walipo fika porini
ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati
mbaya hawakukutana kichwa iyo apo.
Basi Paul akashikwa na uwoga.
SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA
KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE….
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wa Mpanga
Author - Wendy Ezekiel
Illustration - Wendy Ezekiel
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mvulana alikua anaitwa nani | {
"text": [
"Paul"
]
} |
2487_swa | Wa Mpanga
Wendy Ezekiel
Kiswahili
Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul.
Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe.
Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda
shambani.
Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba
msaada.
Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi.
Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo,
akapata musituko kubwa kwaku ona mtu
ambaye ameuwawa porini na kichwa chake
ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe
ambia mtu yeyote…ona …ona
Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo,
basi akakimbia kwa haraka nyumbani.
Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga
kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na
woga!
Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle
nakuanza eleza shida aliyokutana njiani.
Ila mfalme na wazee hawakumuelewa,
akajitaidikuwa elewesha lakini
haikuwezekana.
Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema
wote waende kuona iyo kichwa ambao
inaongea.
Basi mfalme na wazee wote wakijijini
wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama
kichwa ambao inaongea.
Paul akasahau mambo ambao iyokichwa
ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu
ivyo kwa mtu yeyote yule.
Paul, mfalme na wazee walipo fika porini
ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati
mbaya hawakukutana kichwa iyo apo.
Basi Paul akashikwa na uwoga.
SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA
KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE….
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wa Mpanga
Author - Wendy Ezekiel
Illustration - Wendy Ezekiel
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Paul aliishi katika kijiji gani | {
"text": [
"Tongwe"
]
} |
2487_swa | Wa Mpanga
Wendy Ezekiel
Kiswahili
Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul.
Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe.
Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda
shambani.
Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba
msaada.
Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi.
Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo,
akapata musituko kubwa kwaku ona mtu
ambaye ameuwawa porini na kichwa chake
ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe
ambia mtu yeyote…ona …ona
Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo,
basi akakimbia kwa haraka nyumbani.
Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga
kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na
woga!
Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle
nakuanza eleza shida aliyokutana njiani.
Ila mfalme na wazee hawakumuelewa,
akajitaidikuwa elewesha lakini
haikuwezekana.
Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema
wote waende kuona iyo kichwa ambao
inaongea.
Basi mfalme na wazee wote wakijijini
wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama
kichwa ambao inaongea.
Paul akasahau mambo ambao iyokichwa
ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu
ivyo kwa mtu yeyote yule.
Paul, mfalme na wazee walipo fika porini
ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati
mbaya hawakukutana kichwa iyo apo.
Basi Paul akashikwa na uwoga.
SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA
KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE….
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wa Mpanga
Author - Wendy Ezekiel
Illustration - Wendy Ezekiel
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mfalme alitoa amri wakafanye nini | {
"text": [
"wakaone kichwa kinachoongea"
]
} |
2487_swa | Wa Mpanga
Wendy Ezekiel
Kiswahili
Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul.
Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe.
Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda
shambani.
Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba
msaada.
Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi.
Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo,
akapata musituko kubwa kwaku ona mtu
ambaye ameuwawa porini na kichwa chake
ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe
ambia mtu yeyote…ona …ona
Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo,
basi akakimbia kwa haraka nyumbani.
Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga
kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na
woga!
Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle
nakuanza eleza shida aliyokutana njiani.
Ila mfalme na wazee hawakumuelewa,
akajitaidikuwa elewesha lakini
haikuwezekana.
Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema
wote waende kuona iyo kichwa ambao
inaongea.
Basi mfalme na wazee wote wakijijini
wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama
kichwa ambao inaongea.
Paul akasahau mambo ambao iyokichwa
ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu
ivyo kwa mtu yeyote yule.
Paul, mfalme na wazee walipo fika porini
ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati
mbaya hawakukutana kichwa iyo apo.
Basi Paul akashikwa na uwoga.
SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA
KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE….
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wa Mpanga
Author - Wendy Ezekiel
Illustration - Wendy Ezekiel
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Paul aliskia sauti ikiitisha msaada lini | {
"text": [
"alipokuwa njiani"
]
} |
2487_swa | Wa Mpanga
Wendy Ezekiel
Kiswahili
Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul.
Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe.
Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda
shambani.
Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba
msaada.
Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi.
Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo,
akapata musituko kubwa kwaku ona mtu
ambaye ameuwawa porini na kichwa chake
ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe
ambia mtu yeyote…ona …ona
Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo,
basi akakimbia kwa haraka nyumbani.
Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga
kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na
woga!
Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle
nakuanza eleza shida aliyokutana njiani.
Ila mfalme na wazee hawakumuelewa,
akajitaidikuwa elewesha lakini
haikuwezekana.
Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema
wote waende kuona iyo kichwa ambao
inaongea.
Basi mfalme na wazee wote wakijijini
wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama
kichwa ambao inaongea.
Paul akasahau mambo ambao iyokichwa
ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu
ivyo kwa mtu yeyote yule.
Paul, mfalme na wazee walipo fika porini
ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati
mbaya hawakukutana kichwa iyo apo.
Basi Paul akashikwa na uwoga.
SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA
KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE….
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wa Mpanga
Author - Wendy Ezekiel
Illustration - Wendy Ezekiel
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Kwa nini Paul alirudi nyumbani kwa haraka na woga | {
"text": [
"aliona kichwa cha mtu aliyeuwawa kikiongea hapo porini"
]
} |
2489_swa | Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Ursula Nafula
Kiswahili
Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu
husimama katika kijiji cha akina Bobo
kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo
hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo.
Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja
la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya
abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8,"
Bobo anawaza.
Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je,
basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba
abiria wangapi?
Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini
kununua sare mpya ya shule. Mama huuza
mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu
kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600.
Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili
aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4
yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake
ili amnunulie Bobo sare mpya.
Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha
fedha alizoweka akiba kwa muda wa
majuma 4?
Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo
asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka
kusafiri tena!
Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa
moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati
usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu
safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na
nusu, lakini Bobo bado hajalala.
Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa
moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho
inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku
uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano.
Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na
kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata
usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita?
Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na
mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa
la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia
saa mbili asubuhi.
Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile
basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa
dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi
hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama
anasema.
Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga
nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa
zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa.
"Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa
kufika kazini!" mwanamume mmoja
aliyevalia suti nyeusi, anasema.
Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda
mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri
kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je,
wamekuwa wakisubiri kwa muda gani?
Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu
kweli?" anamwuliza mamake.
Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda
mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1
kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi
nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane
ambao mimi na marafiki zangu tumepanga
kucheza. Basi lisipofika kwa wakati,
nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa
mchezo huo."
Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu
wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na
kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea
kuzitazama saa zao.
"Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba
basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo
anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!"
Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza,
"Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa
hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani."
Halafu, wanasikia mngurumo wa basi
barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo
anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili.
Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini
kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati
ufaao nawe utacheza mpira wa soka
ulivyopanga."
Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu
miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri
lile basi.
La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile
kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu.
Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee
kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo
sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi
ya kutosha kuwabeba watu wote
wanaokwenda mjini."
Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia
idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo
itaweza kubeba?
Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako
hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri
hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi."
"Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri.
Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi
ya wote!"
Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma
yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je,
kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo
anauliza.
Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini,
upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine
ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla?
Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza
kuketi?
Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo
mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa
mbele yao na pia wanaweza kutazama nje
vizuri.
Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga
na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya
jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza.
"Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo
anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu
atakayelazimika kusimama."
Je, Bobo alihesabu sawa?
Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango
na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na
abiria wengine wanatazama dirishani.
Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia
basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri!
Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa.
Bobo na mamake wanawahurumia
walioachwa nyuma.
Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona
hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva
anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo
nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana."
"Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?"
mamake Bobo anauliza. Dereva anasema,
"Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili
leo."
Bobo anasikiliza wanavyozungumza.
Mawazo yake yanajaa nambari.
Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii
inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na
4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii
itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke
abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?"
Unaweza kulipata jawabu?
Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare
mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani
kwa wakati ili acheze soka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Author - Mecelin Kakoro
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Mango Tree
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Basi husimama mara ngapi kwa siku katika kijiji ya kina Bobo? | {
"text": [
"Moja"
]
} |
2489_swa | Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Ursula Nafula
Kiswahili
Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu
husimama katika kijiji cha akina Bobo
kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo
hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo.
Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja
la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya
abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8,"
Bobo anawaza.
Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je,
basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba
abiria wangapi?
Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini
kununua sare mpya ya shule. Mama huuza
mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu
kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600.
Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili
aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4
yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake
ili amnunulie Bobo sare mpya.
Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha
fedha alizoweka akiba kwa muda wa
majuma 4?
Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo
asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka
kusafiri tena!
Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa
moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati
usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu
safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na
nusu, lakini Bobo bado hajalala.
Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa
moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho
inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku
uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano.
Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na
kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata
usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita?
Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na
mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa
la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia
saa mbili asubuhi.
Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile
basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa
dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi
hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama
anasema.
Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga
nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa
zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa.
"Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa
kufika kazini!" mwanamume mmoja
aliyevalia suti nyeusi, anasema.
Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda
mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri
kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je,
wamekuwa wakisubiri kwa muda gani?
Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu
kweli?" anamwuliza mamake.
Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda
mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1
kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi
nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane
ambao mimi na marafiki zangu tumepanga
kucheza. Basi lisipofika kwa wakati,
nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa
mchezo huo."
Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu
wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na
kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea
kuzitazama saa zao.
"Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba
basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo
anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!"
Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza,
"Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa
hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani."
Halafu, wanasikia mngurumo wa basi
barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo
anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili.
Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini
kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati
ufaao nawe utacheza mpira wa soka
ulivyopanga."
Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu
miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri
lile basi.
La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile
kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu.
Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee
kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo
sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi
ya kutosha kuwabeba watu wote
wanaokwenda mjini."
Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia
idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo
itaweza kubeba?
Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako
hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri
hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi."
"Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri.
Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi
ya wote!"
Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma
yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je,
kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo
anauliza.
Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini,
upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine
ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla?
Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza
kuketi?
Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo
mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa
mbele yao na pia wanaweza kutazama nje
vizuri.
Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga
na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya
jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza.
"Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo
anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu
atakayelazimika kusimama."
Je, Bobo alihesabu sawa?
Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango
na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na
abiria wengine wanatazama dirishani.
Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia
basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri!
Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa.
Bobo na mamake wanawahurumia
walioachwa nyuma.
Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona
hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva
anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo
nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana."
"Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?"
mamake Bobo anauliza. Dereva anasema,
"Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili
leo."
Bobo anasikiliza wanavyozungumza.
Mawazo yake yanajaa nambari.
Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii
inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na
4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii
itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke
abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?"
Unaweza kulipata jawabu?
Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare
mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani
kwa wakati ili acheze soka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Author - Mecelin Kakoro
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Mango Tree
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Basi linalosimama kwa akina Bobo ni la rangi gani? | {
"text": [
"Bluu"
]
} |
2489_swa | Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Ursula Nafula
Kiswahili
Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu
husimama katika kijiji cha akina Bobo
kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo
hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo.
Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja
la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya
abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8,"
Bobo anawaza.
Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je,
basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba
abiria wangapi?
Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini
kununua sare mpya ya shule. Mama huuza
mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu
kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600.
Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili
aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4
yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake
ili amnunulie Bobo sare mpya.
Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha
fedha alizoweka akiba kwa muda wa
majuma 4?
Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo
asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka
kusafiri tena!
Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa
moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati
usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu
safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na
nusu, lakini Bobo bado hajalala.
Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa
moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho
inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku
uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano.
Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na
kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata
usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita?
Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na
mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa
la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia
saa mbili asubuhi.
Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile
basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa
dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi
hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama
anasema.
Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga
nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa
zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa.
"Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa
kufika kazini!" mwanamume mmoja
aliyevalia suti nyeusi, anasema.
Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda
mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri
kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je,
wamekuwa wakisubiri kwa muda gani?
Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu
kweli?" anamwuliza mamake.
Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda
mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1
kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi
nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane
ambao mimi na marafiki zangu tumepanga
kucheza. Basi lisipofika kwa wakati,
nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa
mchezo huo."
Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu
wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na
kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea
kuzitazama saa zao.
"Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba
basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo
anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!"
Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza,
"Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa
hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani."
Halafu, wanasikia mngurumo wa basi
barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo
anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili.
Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini
kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati
ufaao nawe utacheza mpira wa soka
ulivyopanga."
Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu
miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri
lile basi.
La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile
kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu.
Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee
kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo
sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi
ya kutosha kuwabeba watu wote
wanaokwenda mjini."
Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia
idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo
itaweza kubeba?
Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako
hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri
hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi."
"Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri.
Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi
ya wote!"
Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma
yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je,
kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo
anauliza.
Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini,
upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine
ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla?
Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza
kuketi?
Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo
mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa
mbele yao na pia wanaweza kutazama nje
vizuri.
Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga
na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya
jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza.
"Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo
anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu
atakayelazimika kusimama."
Je, Bobo alihesabu sawa?
Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango
na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na
abiria wengine wanatazama dirishani.
Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia
basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri!
Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa.
Bobo na mamake wanawahurumia
walioachwa nyuma.
Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona
hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva
anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo
nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana."
"Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?"
mamake Bobo anauliza. Dereva anasema,
"Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili
leo."
Bobo anasikiliza wanavyozungumza.
Mawazo yake yanajaa nambari.
Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii
inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na
4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii
itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke
abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?"
Unaweza kulipata jawabu?
Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare
mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani
kwa wakati ili acheze soka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Author - Mecelin Kakoro
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Mango Tree
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Basi waliloabiri Bobo na mamake ni la rangi gani? | {
"text": [
"Nyekundu"
]
} |
2489_swa | Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Ursula Nafula
Kiswahili
Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu
husimama katika kijiji cha akina Bobo
kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo
hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo.
Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja
la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya
abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8,"
Bobo anawaza.
Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je,
basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba
abiria wangapi?
Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini
kununua sare mpya ya shule. Mama huuza
mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu
kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600.
Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili
aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4
yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake
ili amnunulie Bobo sare mpya.
Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha
fedha alizoweka akiba kwa muda wa
majuma 4?
Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo
asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka
kusafiri tena!
Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa
moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati
usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu
safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na
nusu, lakini Bobo bado hajalala.
Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa
moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho
inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku
uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano.
Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na
kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata
usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita?
Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na
mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa
la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia
saa mbili asubuhi.
Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile
basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa
dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi
hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama
anasema.
Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga
nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa
zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa.
"Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa
kufika kazini!" mwanamume mmoja
aliyevalia suti nyeusi, anasema.
Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda
mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri
kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je,
wamekuwa wakisubiri kwa muda gani?
Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu
kweli?" anamwuliza mamake.
Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda
mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1
kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi
nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane
ambao mimi na marafiki zangu tumepanga
kucheza. Basi lisipofika kwa wakati,
nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa
mchezo huo."
Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu
wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na
kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea
kuzitazama saa zao.
"Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba
basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo
anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!"
Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza,
"Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa
hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani."
Halafu, wanasikia mngurumo wa basi
barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo
anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili.
Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini
kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati
ufaao nawe utacheza mpira wa soka
ulivyopanga."
Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu
miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri
lile basi.
La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile
kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu.
Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee
kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo
sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi
ya kutosha kuwabeba watu wote
wanaokwenda mjini."
Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia
idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo
itaweza kubeba?
Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako
hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri
hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi."
"Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri.
Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi
ya wote!"
Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma
yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je,
kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo
anauliza.
Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini,
upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine
ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla?
Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza
kuketi?
Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo
mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa
mbele yao na pia wanaweza kutazama nje
vizuri.
Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga
na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya
jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza.
"Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo
anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu
atakayelazimika kusimama."
Je, Bobo alihesabu sawa?
Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango
na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na
abiria wengine wanatazama dirishani.
Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia
basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri!
Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa.
Bobo na mamake wanawahurumia
walioachwa nyuma.
Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona
hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva
anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo
nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana."
"Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?"
mamake Bobo anauliza. Dereva anasema,
"Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili
leo."
Bobo anasikiliza wanavyozungumza.
Mawazo yake yanajaa nambari.
Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii
inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na
4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii
itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke
abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?"
Unaweza kulipata jawabu?
Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare
mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani
kwa wakati ili acheze soka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Author - Mecelin Kakoro
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Mango Tree
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Nani alifunga mlango wa lile basi nyekundu ilipokua imejaa? | {
"text": [
"Dereva"
]
} |
2489_swa | Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Ursula Nafula
Kiswahili
Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu
husimama katika kijiji cha akina Bobo
kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo
hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo.
Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja
la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya
abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8,"
Bobo anawaza.
Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je,
basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba
abiria wangapi?
Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini
kununua sare mpya ya shule. Mama huuza
mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu
kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600.
Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili
aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4
yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake
ili amnunulie Bobo sare mpya.
Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha
fedha alizoweka akiba kwa muda wa
majuma 4?
Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo
asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka
kusafiri tena!
Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa
moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati
usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu
safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na
nusu, lakini Bobo bado hajalala.
Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa
moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho
inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku
uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano.
Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na
kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata
usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita?
Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na
mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa
la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia
saa mbili asubuhi.
Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile
basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa
dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi
hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama
anasema.
Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga
nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa
zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa.
"Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa
kufika kazini!" mwanamume mmoja
aliyevalia suti nyeusi, anasema.
Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda
mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri
kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je,
wamekuwa wakisubiri kwa muda gani?
Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu
kweli?" anamwuliza mamake.
Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda
mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1
kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi
nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane
ambao mimi na marafiki zangu tumepanga
kucheza. Basi lisipofika kwa wakati,
nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa
mchezo huo."
Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu
wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na
kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea
kuzitazama saa zao.
"Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba
basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo
anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!"
Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza,
"Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa
hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani."
Halafu, wanasikia mngurumo wa basi
barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo
anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili.
Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini
kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati
ufaao nawe utacheza mpira wa soka
ulivyopanga."
Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu
miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri
lile basi.
La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile
kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu.
Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee
kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo
sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi
ya kutosha kuwabeba watu wote
wanaokwenda mjini."
Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia
idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo
itaweza kubeba?
Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako
hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri
hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi."
"Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri.
Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi
ya wote!"
Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma
yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je,
kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo
anauliza.
Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini,
upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine
ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla?
Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza
kuketi?
Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo
mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa
mbele yao na pia wanaweza kutazama nje
vizuri.
Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga
na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya
jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza.
"Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo
anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu
atakayelazimika kusimama."
Je, Bobo alihesabu sawa?
Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango
na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na
abiria wengine wanatazama dirishani.
Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia
basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri!
Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa.
Bobo na mamake wanawahurumia
walioachwa nyuma.
Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona
hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva
anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo
nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana."
"Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?"
mamake Bobo anauliza. Dereva anasema,
"Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili
leo."
Bobo anasikiliza wanavyozungumza.
Mawazo yake yanajaa nambari.
Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii
inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na
4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii
itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke
abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?"
Unaweza kulipata jawabu?
Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare
mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani
kwa wakati ili acheze soka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa
Author - Mecelin Kakoro
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Mango Tree
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Bobo na mamake wanawasili kituoni saa ngapi? | {
"text": [
"Saa moja kasorobo"
]
} |
2490_swa | Wanamuziki stadi
Ursula Nafula
Salim Kasamba
Kiswahili
Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na
Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia
waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na
milima mashariki mwa Uganda. Wote
walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu
alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza
kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki
stadi walitaka kumchagua kiongozi wao.
Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya
wote, ndiye angekuwa mfalme wao.
Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila
mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha
kwamba anaweza kusikika na walio karibu
na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea
kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na
vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye
milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu
na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee
hupenda kucheza muziki wangu. Hata
ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo."
"Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo
alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi.
Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti
kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na
mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza
muziki wangu mpaka karibu wavunjike
migongo! Iwe wakati wa furaha au wa
majonzi, mimi huwafanya watu wacheze!
Watoto hupenda kuiga midundo yangu."
"Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali
kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi.
Wachezaji hunifunga vifundoni.
Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi
hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa
mchanganyiko wa sauti za juu na
zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?"
"Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi
nimetengenezwa
kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu
ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo
kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha
vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti
yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani
kama mimi ninaweza kuwa kiongozi."
"Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara
alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu
kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii
na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha
watu kunapokuwa na hatari. Unasikika
wakati wa sherehe na kuwafanya watu
wacheze kwa furaha na kwa huzuni.
Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi."
Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi
nina sauti kubwa tena ninawavutia watu.
Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul.
Ninapendekeza yeye awe mfalme."
Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa
mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli
akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana,
hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa
zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa
sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo
lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati
huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi
nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni
wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague
Bul kuwa mflame wetu."
Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki
unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa!
Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza
kwa muziki wakati wa huzuni na
kuwaburudisha wakati wa furaha."
Mwishowe, wanamuziki hao stadi
walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu
wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki.
Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila
nyumba ya jamii inayoishi milimani
mashariki mwa Uganda.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanamuziki stadi
Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Salim Kasamba
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2017
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Wanamuziki stadi walitaka kumchagua nani | {
"text": [
"kiongozi wao"
]
} |
2490_swa | Wanamuziki stadi
Ursula Nafula
Salim Kasamba
Kiswahili
Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na
Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia
waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na
milima mashariki mwa Uganda. Wote
walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu
alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza
kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki
stadi walitaka kumchagua kiongozi wao.
Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya
wote, ndiye angekuwa mfalme wao.
Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila
mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha
kwamba anaweza kusikika na walio karibu
na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea
kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na
vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye
milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu
na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee
hupenda kucheza muziki wangu. Hata
ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo."
"Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo
alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi.
Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti
kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na
mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza
muziki wangu mpaka karibu wavunjike
migongo! Iwe wakati wa furaha au wa
majonzi, mimi huwafanya watu wacheze!
Watoto hupenda kuiga midundo yangu."
"Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali
kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi.
Wachezaji hunifunga vifundoni.
Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi
hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa
mchanganyiko wa sauti za juu na
zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?"
"Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi
nimetengenezwa
kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu
ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo
kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha
vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti
yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani
kama mimi ninaweza kuwa kiongozi."
"Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara
alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu
kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii
na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha
watu kunapokuwa na hatari. Unasikika
wakati wa sherehe na kuwafanya watu
wacheze kwa furaha na kwa huzuni.
Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi."
Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi
nina sauti kubwa tena ninawavutia watu.
Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul.
Ninapendekeza yeye awe mfalme."
Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa
mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli
akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana,
hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa
zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa
sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo
lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati
huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi
nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni
wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague
Bul kuwa mflame wetu."
Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki
unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa!
Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza
kwa muziki wakati wa huzuni na
kuwaburudisha wakati wa furaha."
Mwishowe, wanamuziki hao stadi
walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu
wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki.
Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila
nyumba ya jamii inayoishi milimani
mashariki mwa Uganda.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanamuziki stadi
Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Salim Kasamba
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2017
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Tongoli ana nyaya ngapi | {
"text": [
"nyingi"
]
} |
2490_swa | Wanamuziki stadi
Ursula Nafula
Salim Kasamba
Kiswahili
Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na
Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia
waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na
milima mashariki mwa Uganda. Wote
walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu
alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza
kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki
stadi walitaka kumchagua kiongozi wao.
Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya
wote, ndiye angekuwa mfalme wao.
Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila
mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha
kwamba anaweza kusikika na walio karibu
na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea
kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na
vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye
milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu
na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee
hupenda kucheza muziki wangu. Hata
ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo."
"Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo
alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi.
Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti
kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na
mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza
muziki wangu mpaka karibu wavunjike
migongo! Iwe wakati wa furaha au wa
majonzi, mimi huwafanya watu wacheze!
Watoto hupenda kuiga midundo yangu."
"Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali
kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi.
Wachezaji hunifunga vifundoni.
Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi
hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa
mchanganyiko wa sauti za juu na
zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?"
"Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi
nimetengenezwa
kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu
ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo
kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha
vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti
yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani
kama mimi ninaweza kuwa kiongozi."
"Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara
alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu
kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii
na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha
watu kunapokuwa na hatari. Unasikika
wakati wa sherehe na kuwafanya watu
wacheze kwa furaha na kwa huzuni.
Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi."
Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi
nina sauti kubwa tena ninawavutia watu.
Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul.
Ninapendekeza yeye awe mfalme."
Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa
mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli
akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana,
hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa
zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa
sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo
lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati
huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi
nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni
wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague
Bul kuwa mflame wetu."
Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki
unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa!
Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza
kwa muziki wakati wa huzuni na
kuwaburudisha wakati wa furaha."
Mwishowe, wanamuziki hao stadi
walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu
wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki.
Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila
nyumba ya jamii inayoishi milimani
mashariki mwa Uganda.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanamuziki stadi
Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Salim Kasamba
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2017
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Sauti ya Fumbo hufika wapi | {
"text": [
"karibu na mbali"
]
} |
2490_swa | Wanamuziki stadi
Ursula Nafula
Salim Kasamba
Kiswahili
Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na
Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia
waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na
milima mashariki mwa Uganda. Wote
walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu
alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza
kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki
stadi walitaka kumchagua kiongozi wao.
Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya
wote, ndiye angekuwa mfalme wao.
Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila
mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha
kwamba anaweza kusikika na walio karibu
na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea
kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na
vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye
milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu
na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee
hupenda kucheza muziki wangu. Hata
ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo."
"Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo
alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi.
Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti
kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na
mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza
muziki wangu mpaka karibu wavunjike
migongo! Iwe wakati wa furaha au wa
majonzi, mimi huwafanya watu wacheze!
Watoto hupenda kuiga midundo yangu."
"Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali
kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi.
Wachezaji hunifunga vifundoni.
Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi
hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa
mchanganyiko wa sauti za juu na
zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?"
"Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi
nimetengenezwa
kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu
ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo
kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha
vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti
yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani
kama mimi ninaweza kuwa kiongozi."
"Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara
alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu
kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii
na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha
watu kunapokuwa na hatari. Unasikika
wakati wa sherehe na kuwafanya watu
wacheze kwa furaha na kwa huzuni.
Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi."
Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi
nina sauti kubwa tena ninawavutia watu.
Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul.
Ninapendekeza yeye awe mfalme."
Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa
mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli
akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana,
hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa
zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa
sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo
lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati
huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi
nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni
wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague
Bul kuwa mflame wetu."
Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki
unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa!
Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza
kwa muziki wakati wa huzuni na
kuwaburudisha wakati wa furaha."
Mwishowe, wanamuziki hao stadi
walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu
wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki.
Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila
nyumba ya jamii inayoishi milimani
mashariki mwa Uganda.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanamuziki stadi
Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Salim Kasamba
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2017
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Wachezaji hufunga Milege wapi | {
"text": [
"vifundoni"
]
} |
2490_swa | Wanamuziki stadi
Ursula Nafula
Salim Kasamba
Kiswahili
Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na
Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia
waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na
milima mashariki mwa Uganda. Wote
walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu
alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza
kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki
stadi walitaka kumchagua kiongozi wao.
Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya
wote, ndiye angekuwa mfalme wao.
Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila
mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha
kwamba anaweza kusikika na walio karibu
na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea
kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na
vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye
milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu
na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee
hupenda kucheza muziki wangu. Hata
ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo."
"Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo
alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi.
Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti
kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na
mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza
muziki wangu mpaka karibu wavunjike
migongo! Iwe wakati wa furaha au wa
majonzi, mimi huwafanya watu wacheze!
Watoto hupenda kuiga midundo yangu."
"Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali
kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi.
Wachezaji hunifunga vifundoni.
Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi
hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa
mchanganyiko wa sauti za juu na
zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?"
"Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi
nimetengenezwa
kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu
ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo
kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha
vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti
yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani
kama mimi ninaweza kuwa kiongozi."
"Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara
alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu
kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii
na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha
watu kunapokuwa na hatari. Unasikika
wakati wa sherehe na kuwafanya watu
wacheze kwa furaha na kwa huzuni.
Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi."
Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi
nina sauti kubwa tena ninawavutia watu.
Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul.
Ninapendekeza yeye awe mfalme."
Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa
mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli
akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana,
hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa
zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa
sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo
lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati
huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi
nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni
wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague
Bul kuwa mflame wetu."
Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki
unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa!
Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza
kwa muziki wakati wa huzuni na
kuwaburudisha wakati wa furaha."
Mwishowe, wanamuziki hao stadi
walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu
wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki.
Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila
nyumba ya jamii inayoishi milimani
mashariki mwa Uganda.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanamuziki stadi
Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Salim Kasamba
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2017
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| Mbona Bul huwa katika kila nyumba mashariki mwa Uganda | {
"text": [
"amekuwa mfalme wa muziki"
]
} |
2493_swa | Wanyama hushukuru
Susan Kavaya
Rob Owen
Kiswahili
Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba,
Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa
wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku
nzima hadi jua lilipotua.
"Tutalala wapi?" Punda aliuliza.
"Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika
nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema.
Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje.
Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?"
Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini,
hatuna chakula cha kuwapa."
Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu."
Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye
tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote."
Binadamu na wanyama walisema,
"Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu."
Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa
zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea
zawadi pia." Mbwa alisema."
Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum."
Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta."
"Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai.
Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka
paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru."
Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee.
Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa
mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka
akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande
vya sarara. Punda naye akapewa nyasi
kutoka paa la nyumba.
Wageni wale walilala vizuri usiku ule.
Asubuhi kulipokucha wakaenda zao.
Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe
walimsikia Simba akinguruma karibu na
nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata
Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo
iliyolazwa nyasini.
"Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani.
Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba,"
mume alimwambia mkewe.
Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama
nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala
karibu na mlango wa nyumba yao.
Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia
wezi wasiingie nyumbani kwenu.
Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha
niwasaidie pia."
Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo
alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu
wote walimchukia.
Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo,
aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua
kakangu halafu niichukue."
Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake.
Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na
mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe.
Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia.
Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake
ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo,
ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu
walirithiwa na kakake aliyekuwa hai.
Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa,
na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na
Binadamu watafanya nini?"
Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani,
aliwaona wazee wakitembea pamoja
barabarani. Mikononi mwao walikuwa na
kitu fulani kilichong'aa sana.
"Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana
wanampelekea mume zawadi kutoka kwa
mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa
mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe,
watasameheana tu." Tai aliwaza.
Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi
kutoka mikononi mwa wazee.
Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya
yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni.
Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu
uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa
amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana
wake alimpiga akisema, "Enda kasi au
nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!"
Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu
bwana wake mwovu.
Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule
mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa
hizi. Ni zawadi yenu."
Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile.
Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama,
wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa
vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu
wa pekee tukawapa."
Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa
zawadi yoyote. Hakika, wanyama
wametufanyia mambo mengi. Ninajua
Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi."
Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita,
kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi.
Wanyama wote walitimiza ahadi zao.
Binadamu alisahau.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanyama hushukuru
Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird
Translation - Susan Kavaya
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.ethiopianfolktales.com
| Binadamu, Simba,Punda,Nyoka,Tai,na Mbwa walikuwa wamekwenda wapi | {
"text": [
"Vitani"
]
} |
2493_swa | Wanyama hushukuru
Susan Kavaya
Rob Owen
Kiswahili
Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba,
Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa
wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku
nzima hadi jua lilipotua.
"Tutalala wapi?" Punda aliuliza.
"Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika
nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema.
Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje.
Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?"
Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini,
hatuna chakula cha kuwapa."
Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu."
Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye
tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote."
Binadamu na wanyama walisema,
"Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu."
Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa
zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea
zawadi pia." Mbwa alisema."
Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum."
Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta."
"Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai.
Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka
paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru."
Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee.
Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa
mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka
akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande
vya sarara. Punda naye akapewa nyasi
kutoka paa la nyumba.
Wageni wale walilala vizuri usiku ule.
Asubuhi kulipokucha wakaenda zao.
Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe
walimsikia Simba akinguruma karibu na
nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata
Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo
iliyolazwa nyasini.
"Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani.
Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba,"
mume alimwambia mkewe.
Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama
nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala
karibu na mlango wa nyumba yao.
Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia
wezi wasiingie nyumbani kwenu.
Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha
niwasaidie pia."
Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo
alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu
wote walimchukia.
Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo,
aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua
kakangu halafu niichukue."
Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake.
Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na
mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe.
Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia.
Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake
ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo,
ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu
walirithiwa na kakake aliyekuwa hai.
Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa,
na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na
Binadamu watafanya nini?"
Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani,
aliwaona wazee wakitembea pamoja
barabarani. Mikononi mwao walikuwa na
kitu fulani kilichong'aa sana.
"Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana
wanampelekea mume zawadi kutoka kwa
mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa
mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe,
watasameheana tu." Tai aliwaza.
Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi
kutoka mikononi mwa wazee.
Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya
yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni.
Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu
uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa
amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana
wake alimpiga akisema, "Enda kasi au
nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!"
Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu
bwana wake mwovu.
Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule
mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa
hizi. Ni zawadi yenu."
Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile.
Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama,
wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa
vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu
wa pekee tukawapa."
Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa
zawadi yoyote. Hakika, wanyama
wametufanyia mambo mengi. Ninajua
Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi."
Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita,
kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi.
Wanyama wote walitimiza ahadi zao.
Binadamu alisahau.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanyama hushukuru
Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird
Translation - Susan Kavaya
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.ethiopianfolktales.com
| Walipobisha, nani walitoka nje | {
"text": [
"Mtu na mkewe"
]
} |
2493_swa | Wanyama hushukuru
Susan Kavaya
Rob Owen
Kiswahili
Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba,
Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa
wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku
nzima hadi jua lilipotua.
"Tutalala wapi?" Punda aliuliza.
"Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika
nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema.
Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje.
Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?"
Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini,
hatuna chakula cha kuwapa."
Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu."
Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye
tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote."
Binadamu na wanyama walisema,
"Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu."
Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa
zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea
zawadi pia." Mbwa alisema."
Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum."
Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta."
"Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai.
Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka
paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru."
Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee.
Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa
mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka
akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande
vya sarara. Punda naye akapewa nyasi
kutoka paa la nyumba.
Wageni wale walilala vizuri usiku ule.
Asubuhi kulipokucha wakaenda zao.
Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe
walimsikia Simba akinguruma karibu na
nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata
Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo
iliyolazwa nyasini.
"Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani.
Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba,"
mume alimwambia mkewe.
Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama
nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala
karibu na mlango wa nyumba yao.
Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia
wezi wasiingie nyumbani kwenu.
Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha
niwasaidie pia."
Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo
alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu
wote walimchukia.
Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo,
aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua
kakangu halafu niichukue."
Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake.
Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na
mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe.
Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia.
Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake
ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo,
ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu
walirithiwa na kakake aliyekuwa hai.
Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa,
na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na
Binadamu watafanya nini?"
Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani,
aliwaona wazee wakitembea pamoja
barabarani. Mikononi mwao walikuwa na
kitu fulani kilichong'aa sana.
"Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana
wanampelekea mume zawadi kutoka kwa
mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa
mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe,
watasameheana tu." Tai aliwaza.
Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi
kutoka mikononi mwa wazee.
Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya
yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni.
Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu
uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa
amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana
wake alimpiga akisema, "Enda kasi au
nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!"
Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu
bwana wake mwovu.
Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule
mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa
hizi. Ni zawadi yenu."
Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile.
Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama,
wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa
vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu
wa pekee tukawapa."
Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa
zawadi yoyote. Hakika, wanyama
wametufanyia mambo mengi. Ninajua
Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi."
Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita,
kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi.
Wanyama wote walitimiza ahadi zao.
Binadamu alisahau.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanyama hushukuru
Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird
Translation - Susan Kavaya
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.ethiopianfolktales.com
| Punda alipewa nyasi kutoka wapi | {
"text": [
"Paa la nyumba"
]
} |
2493_swa | Wanyama hushukuru
Susan Kavaya
Rob Owen
Kiswahili
Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba,
Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa
wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku
nzima hadi jua lilipotua.
"Tutalala wapi?" Punda aliuliza.
"Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika
nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema.
Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje.
Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?"
Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini,
hatuna chakula cha kuwapa."
Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu."
Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye
tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote."
Binadamu na wanyama walisema,
"Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu."
Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa
zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea
zawadi pia." Mbwa alisema."
Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum."
Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta."
"Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai.
Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka
paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru."
Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee.
Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa
mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka
akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande
vya sarara. Punda naye akapewa nyasi
kutoka paa la nyumba.
Wageni wale walilala vizuri usiku ule.
Asubuhi kulipokucha wakaenda zao.
Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe
walimsikia Simba akinguruma karibu na
nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata
Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo
iliyolazwa nyasini.
"Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani.
Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba,"
mume alimwambia mkewe.
Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama
nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala
karibu na mlango wa nyumba yao.
Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia
wezi wasiingie nyumbani kwenu.
Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha
niwasaidie pia."
Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo
alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu
wote walimchukia.
Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo,
aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua
kakangu halafu niichukue."
Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake.
Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na
mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe.
Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia.
Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake
ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo,
ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu
walirithiwa na kakake aliyekuwa hai.
Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa,
na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na
Binadamu watafanya nini?"
Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani,
aliwaona wazee wakitembea pamoja
barabarani. Mikononi mwao walikuwa na
kitu fulani kilichong'aa sana.
"Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana
wanampelekea mume zawadi kutoka kwa
mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa
mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe,
watasameheana tu." Tai aliwaza.
Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi
kutoka mikononi mwa wazee.
Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya
yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni.
Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu
uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa
amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana
wake alimpiga akisema, "Enda kasi au
nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!"
Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu
bwana wake mwovu.
Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule
mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa
hizi. Ni zawadi yenu."
Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile.
Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama,
wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa
vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu
wa pekee tukawapa."
Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa
zawadi yoyote. Hakika, wanyama
wametufanyia mambo mengi. Ninajua
Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi."
Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita,
kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi.
Wanyama wote walitimiza ahadi zao.
Binadamu alisahau.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanyama hushukuru
Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird
Translation - Susan Kavaya
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.ethiopianfolktales.com
| Nani alikuwa amelala karibu na mlango | {
"text": [
"Nyoka mkubwa"
]
} |
2493_swa | Wanyama hushukuru
Susan Kavaya
Rob Owen
Kiswahili
Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba,
Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa
wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku
nzima hadi jua lilipotua.
"Tutalala wapi?" Punda aliuliza.
"Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika
nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema.
Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje.
Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?"
Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini,
hatuna chakula cha kuwapa."
Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu."
Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye
tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote."
Binadamu na wanyama walisema,
"Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu."
Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa
zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea
zawadi pia." Mbwa alisema."
Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum."
Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta."
"Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai.
Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka
paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru."
Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee.
Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa
mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka
akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande
vya sarara. Punda naye akapewa nyasi
kutoka paa la nyumba.
Wageni wale walilala vizuri usiku ule.
Asubuhi kulipokucha wakaenda zao.
Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe
walimsikia Simba akinguruma karibu na
nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata
Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo
iliyolazwa nyasini.
"Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani.
Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba,"
mume alimwambia mkewe.
Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama
nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala
karibu na mlango wa nyumba yao.
Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia
wezi wasiingie nyumbani kwenu.
Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha
niwasaidie pia."
Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo
alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu
wote walimchukia.
Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo,
aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua
kakangu halafu niichukue."
Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake.
Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na
mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe.
Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia.
Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake
ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo,
ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu
walirithiwa na kakake aliyekuwa hai.
Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa,
na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na
Binadamu watafanya nini?"
Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani,
aliwaona wazee wakitembea pamoja
barabarani. Mikononi mwao walikuwa na
kitu fulani kilichong'aa sana.
"Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana
wanampelekea mume zawadi kutoka kwa
mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa
mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe,
watasameheana tu." Tai aliwaza.
Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi
kutoka mikononi mwa wazee.
Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya
yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni.
Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu
uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa
amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana
wake alimpiga akisema, "Enda kasi au
nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!"
Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu
bwana wake mwovu.
Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule
mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa
hizi. Ni zawadi yenu."
Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile.
Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama,
wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa
vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu
wa pekee tukawapa."
Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa
zawadi yoyote. Hakika, wanyama
wametufanyia mambo mengi. Ninajua
Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi."
Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita,
kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi.
Wanyama wote walitimiza ahadi zao.
Binadamu alisahau.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wanyama hushukuru
Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird
Translation - Susan Kavaya
Illustration - Rob Owen
Language - Kiswahili
Level - Read aloud
© African Storybook Initiative 2016
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.ethiopianfolktales.com
| Wanyama wote walitimiza nini | {
"text": [
"Ahadi zao"
]
} |
2505_swa | Watu waliosahau
Ursula Nafula
Edwin Irabor
Kiswahili
Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji
kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa
vijana.
Hapakuwa na mwanamume wala
mwanamke mkongwe kijijini humo.
Vijana wa kike na wa kiume kijijini
Raha walicheza na kufurahi. Walikula
walichopenda na kunywa chochote
kilichowalevya. Walifurahi mchana
kutwa na usiku kucha.
Hivi karibuni, walisahau namna ya
kufanya kazi.
Pia walisahau chochote kilichotendeka
siku iliyopita.
Siku moja vijina wa kijijini Raha
waliamka na kukuta kuwa chakula
chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa
hata na tone moja la mvinyo. Ala zote
za muziki zilikuwa zimevunjika.
Hapakuwa na muziki wa kucheza.
Hata hawangeweza kucheza kwa
sababu walihisi njaa na kudhoofika.
Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na
kulia kwa uchungu.
Chifu wao kijana alitoka nje ya
chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu
wapendwa wa kijiji cha Raha.
Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa
hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo
nazo kubaki hai."
Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu
wetu! Lazima utuokoe!"
Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu
Oza alisimama akasema, "Mimi si
chifu wenu tena. Nitaondoka hapa
nitafute pahali palipo na amani.
Mnaweza kumchagua chifu
mwingine."
Kwa hivyo, chifu Oza aliingia
chumbani kwake akakusanya virago
vyake na kuondoka.
Watu hawakujua nani angekuwa
kiongozi wao. Hawakujua la kufanya.
Walilia zaidi.
Halafu sauti ndogo na nyororo
ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!"
Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa
sauti ile. Wote waliangaliana.
Walitazama kila mahali lakini
hawakumtambua aliyekuwa
amezungumza.
Watu hao walishangaa kumwona
mtoto mdogo mbele yao.
Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa
chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia.
Lakini, lazima mniahidi kuwa
mtakoma kusherehekea mchana na
usiku. Tena, lazima mfuate ushauri
wangu."
Watu hao walivutiwa sana na ujasiri
wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii.
Akawapeleka katika shamba lililokuwa
na rutuba. Wakala, wakanywa na
wakapumzika. Halafu, akawafunza na
kuwakumbusha jinsi ya kulima.
Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo
kama chifu wao, watu wa kijijini Raha,
walianza kujifunza maana ya jitihada.
Walifanya kazi kwa bidii.
Baadaye, walipata chakula na vinywaji
vya kutosha. Walifurahi na
kusherehekea tena. Lakini, pia,
waliendelea kufanya kazi.
Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka
kijijini na kukutana na mzee mwenye
busara.
Alimhadithia kuhusu wanaume na
wanawake shujaa waliotatua matatizo
ya watu wao.
Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu
mwenye hekima na mwenye uwezo
mwingi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Watu waliosahau
Author - Edwin Irabor
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Edwin Irabor
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| hapo zamani za kale kulikuwa na kijiji kilichoitwaje | {
"text": [
"Raha"
]
} |
2505_swa | Watu waliosahau
Ursula Nafula
Edwin Irabor
Kiswahili
Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji
kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa
vijana.
Hapakuwa na mwanamume wala
mwanamke mkongwe kijijini humo.
Vijana wa kike na wa kiume kijijini
Raha walicheza na kufurahi. Walikula
walichopenda na kunywa chochote
kilichowalevya. Walifurahi mchana
kutwa na usiku kucha.
Hivi karibuni, walisahau namna ya
kufanya kazi.
Pia walisahau chochote kilichotendeka
siku iliyopita.
Siku moja vijina wa kijijini Raha
waliamka na kukuta kuwa chakula
chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa
hata na tone moja la mvinyo. Ala zote
za muziki zilikuwa zimevunjika.
Hapakuwa na muziki wa kucheza.
Hata hawangeweza kucheza kwa
sababu walihisi njaa na kudhoofika.
Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na
kulia kwa uchungu.
Chifu wao kijana alitoka nje ya
chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu
wapendwa wa kijiji cha Raha.
Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa
hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo
nazo kubaki hai."
Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu
wetu! Lazima utuokoe!"
Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu
Oza alisimama akasema, "Mimi si
chifu wenu tena. Nitaondoka hapa
nitafute pahali palipo na amani.
Mnaweza kumchagua chifu
mwingine."
Kwa hivyo, chifu Oza aliingia
chumbani kwake akakusanya virago
vyake na kuondoka.
Watu hawakujua nani angekuwa
kiongozi wao. Hawakujua la kufanya.
Walilia zaidi.
Halafu sauti ndogo na nyororo
ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!"
Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa
sauti ile. Wote waliangaliana.
Walitazama kila mahali lakini
hawakumtambua aliyekuwa
amezungumza.
Watu hao walishangaa kumwona
mtoto mdogo mbele yao.
Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa
chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia.
Lakini, lazima mniahidi kuwa
mtakoma kusherehekea mchana na
usiku. Tena, lazima mfuate ushauri
wangu."
Watu hao walivutiwa sana na ujasiri
wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii.
Akawapeleka katika shamba lililokuwa
na rutuba. Wakala, wakanywa na
wakapumzika. Halafu, akawafunza na
kuwakumbusha jinsi ya kulima.
Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo
kama chifu wao, watu wa kijijini Raha,
walianza kujifunza maana ya jitihada.
Walifanya kazi kwa bidii.
Baadaye, walipata chakula na vinywaji
vya kutosha. Walifurahi na
kusherehekea tena. Lakini, pia,
waliendelea kufanya kazi.
Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka
kijijini na kukutana na mzee mwenye
busara.
Alimhadithia kuhusu wanaume na
wanawake shujaa waliotatua matatizo
ya watu wao.
Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu
mwenye hekima na mwenye uwezo
mwingi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Watu waliosahau
Author - Edwin Irabor
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Edwin Irabor
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| vijana wa kijijini Raha walifanya nini | {
"text": [
"walicheza na kufurahi"
]
} |
2505_swa | Watu waliosahau
Ursula Nafula
Edwin Irabor
Kiswahili
Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji
kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa
vijana.
Hapakuwa na mwanamume wala
mwanamke mkongwe kijijini humo.
Vijana wa kike na wa kiume kijijini
Raha walicheza na kufurahi. Walikula
walichopenda na kunywa chochote
kilichowalevya. Walifurahi mchana
kutwa na usiku kucha.
Hivi karibuni, walisahau namna ya
kufanya kazi.
Pia walisahau chochote kilichotendeka
siku iliyopita.
Siku moja vijina wa kijijini Raha
waliamka na kukuta kuwa chakula
chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa
hata na tone moja la mvinyo. Ala zote
za muziki zilikuwa zimevunjika.
Hapakuwa na muziki wa kucheza.
Hata hawangeweza kucheza kwa
sababu walihisi njaa na kudhoofika.
Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na
kulia kwa uchungu.
Chifu wao kijana alitoka nje ya
chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu
wapendwa wa kijiji cha Raha.
Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa
hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo
nazo kubaki hai."
Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu
wetu! Lazima utuokoe!"
Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu
Oza alisimama akasema, "Mimi si
chifu wenu tena. Nitaondoka hapa
nitafute pahali palipo na amani.
Mnaweza kumchagua chifu
mwingine."
Kwa hivyo, chifu Oza aliingia
chumbani kwake akakusanya virago
vyake na kuondoka.
Watu hawakujua nani angekuwa
kiongozi wao. Hawakujua la kufanya.
Walilia zaidi.
Halafu sauti ndogo na nyororo
ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!"
Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa
sauti ile. Wote waliangaliana.
Walitazama kila mahali lakini
hawakumtambua aliyekuwa
amezungumza.
Watu hao walishangaa kumwona
mtoto mdogo mbele yao.
Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa
chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia.
Lakini, lazima mniahidi kuwa
mtakoma kusherehekea mchana na
usiku. Tena, lazima mfuate ushauri
wangu."
Watu hao walivutiwa sana na ujasiri
wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii.
Akawapeleka katika shamba lililokuwa
na rutuba. Wakala, wakanywa na
wakapumzika. Halafu, akawafunza na
kuwakumbusha jinsi ya kulima.
Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo
kama chifu wao, watu wa kijijini Raha,
walianza kujifunza maana ya jitihada.
Walifanya kazi kwa bidii.
Baadaye, walipata chakula na vinywaji
vya kutosha. Walifurahi na
kusherehekea tena. Lakini, pia,
waliendelea kufanya kazi.
Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka
kijijini na kukutana na mzee mwenye
busara.
Alimhadithia kuhusu wanaume na
wanawake shujaa waliotatua matatizo
ya watu wao.
Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu
mwenye hekima na mwenye uwezo
mwingi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Watu waliosahau
Author - Edwin Irabor
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Edwin Irabor
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| kwa nini vijana hawangeweza kucheza | {
"text": [
"walihisi njaa na kudhoofika"
]
} |
2505_swa | Watu waliosahau
Ursula Nafula
Edwin Irabor
Kiswahili
Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji
kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa
vijana.
Hapakuwa na mwanamume wala
mwanamke mkongwe kijijini humo.
Vijana wa kike na wa kiume kijijini
Raha walicheza na kufurahi. Walikula
walichopenda na kunywa chochote
kilichowalevya. Walifurahi mchana
kutwa na usiku kucha.
Hivi karibuni, walisahau namna ya
kufanya kazi.
Pia walisahau chochote kilichotendeka
siku iliyopita.
Siku moja vijina wa kijijini Raha
waliamka na kukuta kuwa chakula
chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa
hata na tone moja la mvinyo. Ala zote
za muziki zilikuwa zimevunjika.
Hapakuwa na muziki wa kucheza.
Hata hawangeweza kucheza kwa
sababu walihisi njaa na kudhoofika.
Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na
kulia kwa uchungu.
Chifu wao kijana alitoka nje ya
chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu
wapendwa wa kijiji cha Raha.
Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa
hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo
nazo kubaki hai."
Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu
wetu! Lazima utuokoe!"
Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu
Oza alisimama akasema, "Mimi si
chifu wenu tena. Nitaondoka hapa
nitafute pahali palipo na amani.
Mnaweza kumchagua chifu
mwingine."
Kwa hivyo, chifu Oza aliingia
chumbani kwake akakusanya virago
vyake na kuondoka.
Watu hawakujua nani angekuwa
kiongozi wao. Hawakujua la kufanya.
Walilia zaidi.
Halafu sauti ndogo na nyororo
ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!"
Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa
sauti ile. Wote waliangaliana.
Walitazama kila mahali lakini
hawakumtambua aliyekuwa
amezungumza.
Watu hao walishangaa kumwona
mtoto mdogo mbele yao.
Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa
chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia.
Lakini, lazima mniahidi kuwa
mtakoma kusherehekea mchana na
usiku. Tena, lazima mfuate ushauri
wangu."
Watu hao walivutiwa sana na ujasiri
wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii.
Akawapeleka katika shamba lililokuwa
na rutuba. Wakala, wakanywa na
wakapumzika. Halafu, akawafunza na
kuwakumbusha jinsi ya kulima.
Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo
kama chifu wao, watu wa kijijini Raha,
walianza kujifunza maana ya jitihada.
Walifanya kazi kwa bidii.
Baadaye, walipata chakula na vinywaji
vya kutosha. Walifurahi na
kusherehekea tena. Lakini, pia,
waliendelea kufanya kazi.
Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka
kijijini na kukutana na mzee mwenye
busara.
Alimhadithia kuhusu wanaume na
wanawake shujaa waliotatua matatizo
ya watu wao.
Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu
mwenye hekima na mwenye uwezo
mwingi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Watu waliosahau
Author - Edwin Irabor
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Edwin Irabor
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| watu wa kijijini Raha walifanya kazi namna gani | {
"text": [
"kwa bidii"
]
} |
2505_swa | Watu waliosahau
Ursula Nafula
Edwin Irabor
Kiswahili
Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji
kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa
vijana.
Hapakuwa na mwanamume wala
mwanamke mkongwe kijijini humo.
Vijana wa kike na wa kiume kijijini
Raha walicheza na kufurahi. Walikula
walichopenda na kunywa chochote
kilichowalevya. Walifurahi mchana
kutwa na usiku kucha.
Hivi karibuni, walisahau namna ya
kufanya kazi.
Pia walisahau chochote kilichotendeka
siku iliyopita.
Siku moja vijina wa kijijini Raha
waliamka na kukuta kuwa chakula
chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa
hata na tone moja la mvinyo. Ala zote
za muziki zilikuwa zimevunjika.
Hapakuwa na muziki wa kucheza.
Hata hawangeweza kucheza kwa
sababu walihisi njaa na kudhoofika.
Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na
kulia kwa uchungu.
Chifu wao kijana alitoka nje ya
chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu
wapendwa wa kijiji cha Raha.
Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa
hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo
nazo kubaki hai."
Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu
wetu! Lazima utuokoe!"
Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu
Oza alisimama akasema, "Mimi si
chifu wenu tena. Nitaondoka hapa
nitafute pahali palipo na amani.
Mnaweza kumchagua chifu
mwingine."
Kwa hivyo, chifu Oza aliingia
chumbani kwake akakusanya virago
vyake na kuondoka.
Watu hawakujua nani angekuwa
kiongozi wao. Hawakujua la kufanya.
Walilia zaidi.
Halafu sauti ndogo na nyororo
ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!"
Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa
sauti ile. Wote waliangaliana.
Walitazama kila mahali lakini
hawakumtambua aliyekuwa
amezungumza.
Watu hao walishangaa kumwona
mtoto mdogo mbele yao.
Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa
chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia.
Lakini, lazima mniahidi kuwa
mtakoma kusherehekea mchana na
usiku. Tena, lazima mfuate ushauri
wangu."
Watu hao walivutiwa sana na ujasiri
wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii.
Akawapeleka katika shamba lililokuwa
na rutuba. Wakala, wakanywa na
wakapumzika. Halafu, akawafunza na
kuwakumbusha jinsi ya kulima.
Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo
kama chifu wao, watu wa kijijini Raha,
walianza kujifunza maana ya jitihada.
Walifanya kazi kwa bidii.
Baadaye, walipata chakula na vinywaji
vya kutosha. Walifurahi na
kusherehekea tena. Lakini, pia,
waliendelea kufanya kazi.
Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka
kijijini na kukutana na mzee mwenye
busara.
Alimhadithia kuhusu wanaume na
wanawake shujaa waliotatua matatizo
ya watu wao.
Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu
mwenye hekima na mwenye uwezo
mwingi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Watu waliosahau
Author - Edwin Irabor
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Edwin Irabor
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2018
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
| nani alikusanya virago vyake na kuondoka | {
"text": [
"chifu Oza"
]
} |
2506_swa | Wayan na kasa
Ursula Nafula
Fabianus Bayu
Kiswahili
Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari.
Watu wa hapo waliamini kwamba mtu
anapokufa, yeye hurudi baharini.
Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi.
Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini
walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati.
Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila
mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki.
Wayan alijifunza kuvua samaki wakati
kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi.
Kulikuwa na samaki wachache, na
walikuwa wadogo kila mara.
Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu,
ingawa walikuwa baharini siku nzima.
Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka
za plastiki zilitupwa mchangani.
Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari.
Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona.
Siku moja, Wayan alipokuwa akivua
samaki, dhoruba ilianza kuvuma.
Akasongwa kwa mawimbi.
Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang.
Nitakusaidia, panda mgongoni
kwangu," Kasa akasema.
"Labda unaweza kunisaidia. Babu
yangu ni mgonjwa sana na hakuna
anayejua la kufanya."
Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana
na alikuwa na shida ya kupumua.
Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema,
"Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!"
Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia.
Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa
limekwama kwenye koo la babu lilitoka!
Babu alianza kupumua kwa urahisi
zaidi. Bintang akamwambia Wayan,
"Nitakupeleka kwa kasa wengine."
Walienda katika Hospitali
iliyowahudumia Kasa. "Ni nini
kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza.
"Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi
kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza.
Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu
wasitupe plastiki ardhini wala majini."
Wayan aliahidi kwamba angefanya
alivyoweza kusaidia. Bintang
alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake.
Wayan aligundua kuwa wanakijiji
walihitaji kusafisha bahari na fuo.
Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa.
Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan.
Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana
juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake.
Watu walikubaliana kupiga marufuku
majani ya plastiki, chupa za plastiki na
mifuko ya plastiki.
Walikubaliana kutupa takataka zao
kwenye mapipa ya takataka tu, na
kuacha kuchoma na kuzika plastiki.
Waliamua kuacha kuvua hadi bahari
itakapokuwa safi.
Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi
zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa.
Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa
uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa
kutokana na kula samaki wagonjwa.
Wayan alijifunza kwamba bahari
inapochafuliwa, sisi sote tunateseka.
Inapokuwa safi, sote tunafurahi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wayan na kasa
Author - Yvette Bezuidenhout
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Fabianus Bayu
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2019
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.wayan.blue
| Ni nani aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari | {
"text": [
"Wayan"
]
} |
2506_swa | Wayan na kasa
Ursula Nafula
Fabianus Bayu
Kiswahili
Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari.
Watu wa hapo waliamini kwamba mtu
anapokufa, yeye hurudi baharini.
Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi.
Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini
walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati.
Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila
mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki.
Wayan alijifunza kuvua samaki wakati
kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi.
Kulikuwa na samaki wachache, na
walikuwa wadogo kila mara.
Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu,
ingawa walikuwa baharini siku nzima.
Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka
za plastiki zilitupwa mchangani.
Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari.
Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona.
Siku moja, Wayan alipokuwa akivua
samaki, dhoruba ilianza kuvuma.
Akasongwa kwa mawimbi.
Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang.
Nitakusaidia, panda mgongoni
kwangu," Kasa akasema.
"Labda unaweza kunisaidia. Babu
yangu ni mgonjwa sana na hakuna
anayejua la kufanya."
Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana
na alikuwa na shida ya kupumua.
Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema,
"Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!"
Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia.
Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa
limekwama kwenye koo la babu lilitoka!
Babu alianza kupumua kwa urahisi
zaidi. Bintang akamwambia Wayan,
"Nitakupeleka kwa kasa wengine."
Walienda katika Hospitali
iliyowahudumia Kasa. "Ni nini
kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza.
"Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi
kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza.
Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu
wasitupe plastiki ardhini wala majini."
Wayan aliahidi kwamba angefanya
alivyoweza kusaidia. Bintang
alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake.
Wayan aligundua kuwa wanakijiji
walihitaji kusafisha bahari na fuo.
Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa.
Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan.
Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana
juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake.
Watu walikubaliana kupiga marufuku
majani ya plastiki, chupa za plastiki na
mifuko ya plastiki.
Walikubaliana kutupa takataka zao
kwenye mapipa ya takataka tu, na
kuacha kuchoma na kuzika plastiki.
Waliamua kuacha kuvua hadi bahari
itakapokuwa safi.
Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi
zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa.
Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa
uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa
kutokana na kula samaki wagonjwa.
Wayan alijifunza kwamba bahari
inapochafuliwa, sisi sote tunateseka.
Inapokuwa safi, sote tunafurahi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wayan na kasa
Author - Yvette Bezuidenhout
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Fabianus Bayu
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2019
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.wayan.blue
| Baba na babu ya Wayan walifanya kazi gani | {
"text": [
"Uvuvi"
]
} |
2506_swa | Wayan na kasa
Ursula Nafula
Fabianus Bayu
Kiswahili
Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari.
Watu wa hapo waliamini kwamba mtu
anapokufa, yeye hurudi baharini.
Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi.
Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini
walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati.
Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila
mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki.
Wayan alijifunza kuvua samaki wakati
kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi.
Kulikuwa na samaki wachache, na
walikuwa wadogo kila mara.
Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu,
ingawa walikuwa baharini siku nzima.
Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka
za plastiki zilitupwa mchangani.
Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari.
Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona.
Siku moja, Wayan alipokuwa akivua
samaki, dhoruba ilianza kuvuma.
Akasongwa kwa mawimbi.
Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang.
Nitakusaidia, panda mgongoni
kwangu," Kasa akasema.
"Labda unaweza kunisaidia. Babu
yangu ni mgonjwa sana na hakuna
anayejua la kufanya."
Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana
na alikuwa na shida ya kupumua.
Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema,
"Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!"
Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia.
Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa
limekwama kwenye koo la babu lilitoka!
Babu alianza kupumua kwa urahisi
zaidi. Bintang akamwambia Wayan,
"Nitakupeleka kwa kasa wengine."
Walienda katika Hospitali
iliyowahudumia Kasa. "Ni nini
kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza.
"Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi
kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza.
Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu
wasitupe plastiki ardhini wala majini."
Wayan aliahidi kwamba angefanya
alivyoweza kusaidia. Bintang
alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake.
Wayan aligundua kuwa wanakijiji
walihitaji kusafisha bahari na fuo.
Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa.
Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan.
Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana
juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake.
Watu walikubaliana kupiga marufuku
majani ya plastiki, chupa za plastiki na
mifuko ya plastiki.
Walikubaliana kutupa takataka zao
kwenye mapipa ya takataka tu, na
kuacha kuchoma na kuzika plastiki.
Waliamua kuacha kuvua hadi bahari
itakapokuwa safi.
Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi
zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa.
Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa
uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa
kutokana na kula samaki wagonjwa.
Wayan alijifunza kwamba bahari
inapochafuliwa, sisi sote tunateseka.
Inapokuwa safi, sote tunafurahi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use
the illustrations as long as you attribute in the following way:
Wayan na kasa
Author - Yvette Bezuidenhout
Translation - Ursula Nafula
Illustration - Fabianus Bayu
Language - Kiswahili
Level - Longer paragraphs
© African Storybook Initiative 2019
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source www.wayan.blue
| Wayan alijifunza kufua nini | {
"text": [
"Samaki"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.