Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2454_swa
Tembo Mdogo Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma. Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga. Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali. Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua. Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia." Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
walikuwa wakiimba vipi
{ "text": [ "kwa sauti" ] }
2454_swa
Tembo Mdogo Tembo Mdogo alikuwa akitembea porini na mamake na dadake mkubwa. Walikuwa wakiimba kwa sauti na kurusha vumbi. Kwa bahati mbaya, Tembo Mdogo akajikwaa kwenye jiwe na hakuweza kutembea tena. Alibaki nyuma. Mama na dada waliendelea bila kujua kama Tembo Mdogo alikuwa amebaki nyuma. Tembo Mdogo hakujua pa kuenda. Alianza kulia kwa uoga. Kwa bahati nzuri Panda alikuwa ndani ya majani karibu na mahali ambako Tembo Mdogo alikuwa ameketi chini. Panda alimsongea akamwambia, "Nifuate. Mahali hapa kuna wanyama wengine ambao wanaweza kukuumiza." Tembo Mdogo hakusita kukubali kwa sababu hakuwa na mahali pengine pa kuenda. Vilevile kijiji chake kilikuwa mbali. Walipofika katika kijiji cha Panda, kila mnyama alionyesha uso tofauti. Baadhi ya wanyama walimpenda Tembo Mdogo. Wengine walikasirika na wengine wakaogopa. Hawakujua jinsi mfalme wao Simba angeamua. Kwa kweli Simba hakukubali Tembo Mdogo abaki katika Kijiji kile. Alisema, "Atakayepinga uamuzi wangu, atafukuzwa pomoja na Tembo Mdogo. Ufalme wangu si wa watu wa nje ila ni wa vizazi vya hapa. Simba alimwambia Tembo Mdogo, "Nenda mbali au niivunje mifupa yako mara mia." Tembo Mdogo alishtuka akakosa la kusema. Akaamua kuenda. Lakini, rafiki yake Panda akaona hawezi kumuacha aende peke yake. Kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwa Tembo Mdogo, Panda aliacha kila kitu na kumrudisha nyumbani. Tembo Mdogo alifurahi sana hata akambeba mgongoni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo Mdogo Author - Ben Terarc Illustration - Ben Terarc Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
baadhi ya wanyama walifanya nini
{ "text": [ "walimpenda Tembo Mdogo" ] }
2455_swa
Tembo na Kiboko Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu. Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui. Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi. Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa." Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika. "Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko. Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama. Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza. Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko. Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo. Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni. Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
nani alitaka kuwa mwerevu
{ "text": [ "Kiboko" ] }
2455_swa
Tembo na Kiboko Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu. Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui. Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi. Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa." Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika. "Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko. Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama. Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza. Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko. Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo. Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni. Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
upofu ulimpatia nini Tembo
{ "text": [ "Uvumilivu" ] }
2455_swa
Tembo na Kiboko Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu. Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui. Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi. Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa." Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika. "Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko. Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama. Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza. Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko. Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo. Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni. Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
kwa nini wavulana hawakusubiri viazi vipoe
{ "text": [ "kwa sababu walikuwa na njaa" ] }
2455_swa
Tembo na Kiboko Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu. Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui. Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi. Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa." Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika. "Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko. Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama. Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza. Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko. Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo. Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni. Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa nini
{ "text": [ "mnyama wa majini" ] }
2455_swa
Tembo na Kiboko Kuliishi mapacha wawili wa kiume, Tembo na Kiboko. Siku moja, Hatima iliwapatia nafasi ya kufanya uchaguzi kati ya vitu viwili. "Chagua upofu au ukoma," Hatima iliwaamrisha. Kiboko alitaka kuwa mwerevu. Kwa haraka, alichagua ukoma ili aweze kuendelea kuona. Tembo alichagua upofu. Kiboko alikuwa mvulana mwenye hasira kwa sababu ya ukoma. Upofu ulimpatia Tembo uvumilivu. Tembo alihitaji usaidizi, lakini Kiboko alimtendea ukatili. Halafu Tembo akapata Fimbo ya miujiza iliyomwezesha kutembea. Walinong'onezeana siri. Fimbo ilimsaidia Tembo kuwapiga maadaui. Kwa sababu Kiboko alivipoteza vidole vyake, yeye pia alihitaji usaidizi. Tembo alimtendea wema. Chakula kilipobaguliwa, Kiboko alimhitaji Tembo kukikata vipande na kukiweka kwenye viganja vyake. Kiboko hakufurahi. Asubuhi moja, mama yao aliwabagulia viazi vikuu. Kwa sababu walikuwa na njaa, wavulana hao hawakusubiri viazi hivyo vipoe. Kiboko aliviweka viganja vyake pamoja vikawa kama sahani. Akasema, "Niwekee sehemu yangu hapa." Viazi vikuu vilikuwa moto sana hata vikachoma viganja vyao. Kiboko aliienua mikono yake juu na chini, kuvipoesha. Kiazi kilianguka mchangani. Tembo aligeuzageuza kiazi chake kutoka mkono mmoja hadi mwingine bila kiazi kuanguka. Kiboko alikasirika. "Tafadhali, nichukulie kiazi changu," Kiboko alimwuliza Tembo. "Unajua kuwa sikioni," Tembo alimjibu. "Nipe mkono wako nikuonyeshe," Kiboko alisema. Tembo alikipata kiazi, akakifuta mchanga kisha akampatia Kiboko. Jioni, mama yao aliwatayarishia viazi vikuu pamoja na vipande vinne vya nyama. Tembo aliigusa ile nyama kwa kidole chake akahakikisha kuwa vilikuwa vipande vinne. Kiboko hakumwona Tembo akivihesabu vile vipande vya nyama. Kiboko alijaribu kuiba kipande kimoja cha nyama lakini akakiangusha. Wakati wa kugawa nyama ulipofika, Tembo aliuliza, "Si vipande vya nyama vilikuwa vinne?" "Vilikuwa vitatu," Kiboko alidanganya. "Vilikuwa vinne," Tembo alisisitiza. "Kweli wewe ni kipofu?" Kiboko aliuliza. Siku moja, walihisi njaa lakini mama yao alikuwa mbali. "Twende tucheze ili tuisahau njaa," Kiboko alipendekeza. Tembo alikubali, kisha Kiboko akasema, "Twende tukaogelee mtoni." Alijua kwamba Tembo hakujua kuogelea. Alipanga kumuua nduguye! Tembo aliongozwa na Fimbo akamfuata Kiboko. Walipokuwa njiani, Kiboko aliingia kichakani. Alilichukua jiwe nzito na kuliweka kwapani huku akikoroma. Alikuwa bado anakoroma walipokuwa wanakwenda mtoni. "Mbona anakoroma hivyo?" Tembo aliiuliza Fimbo. Walipofika mtoni, Kiboko alisema, "Nitatangulia kuruka majini kisha nikusaidie kuogelea." Alisonga mbali na Tembo akaliinua lile jiwe nzito na kulitumbukiza majini. "Sauti hiyo ni ndogo sana kulingana na ukubwa wa Kiboko," Fimbo ilimnong'onezea Tembo sikioni. Tembo aliiuliza Fimbo kuchunguza zaidi. Aliizungusha Fimbo kila mahali hata Fimbo ikamgonga Kiboko kwa nguvu. "Ayii!" Kiboko akalia na kuruka majini. Fimbo ya miujiza ilimgeuza Kiboko akawa mnyama wa majini. Ilimgeuza naye Tembo akawa mnyama wa nchi kavu akiwa na mkonga. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kiboko Author - Terkule Aorabee Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa and Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tembo ni mnyama wa wapi
{ "text": [ "nchi kavu" ] }
2456_swa
Tembo na Kinyonga Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo. Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine. Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni. Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme. Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi. Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu. Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao! Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mfalme aliita akina nani ikuluni
{ "text": [ "majirani zake" ] }
2456_swa
Tembo na Kinyonga Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo. Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine. Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni. Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme. Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi. Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu. Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao! Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani waliambiwa wakanyage ardhi hadi maji yapatikane
{ "text": [ "Tembo na Kinyonga" ] }
2456_swa
Tembo na Kinyonga Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo. Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine. Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni. Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme. Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi. Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu. Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao! Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mfalme aliahidi atakayefaulu atafanya nini
{ "text": [ "atamwoa bintiye mfalme" ] }
2456_swa
Tembo na Kinyonga Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo. Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine. Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni. Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme. Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi. Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu. Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao! Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni lini vumbi nyingi ilianza kutokea
{ "text": [ "Tembo akikanyaga ardhi" ] }
2456_swa
Tembo na Kinyonga Hapo zamani katika ikulu kubwa, paliishi mfalme na bintiye mrembo. Tembo aliishi katika nyumba upande mmoja wa ikulu. Kinyonga aliishi upande mwingine. Wakati huo, kukashuhudiwa kiangazi kikubwa katika nchi ile. Mfalme alikuwa na wazo kisha akawaita majirani zake kwenda ikuluni. Mfalme aliwaambia Tembo na Kinyonga, "Ninataka mkanyage ardhi hadi maji yapatikane." Mfalme aliahidi kuwa atakayefaulu atamwoa bintiye wa kifalme. Kinyonga hakuwa na matumaini yoyote kwa ajili ya udogo wake. Tembo alifurahi mno kwani alikuwa na umbo kubwa na mwenye nguvu. Alienda uwanjani na kuanza kukanyaga aridhi. Vumbi nyingi ilitokea, lakini hapakuwa na maji. Tembo alikanyaga aridhi hata karibu maji yatokee, lakini alielekea kuchoka. Alimwachia Kinyonga nafasi kujaribu. Kinyonga alianza kukanyaga aridhi. Baada ya muda mfupi, maji yalitoka. Watu hawakuamini macho yao! Kwa hivyo, Mfalme alimpa Kinyonga bintiye. Tembo alienda nyumbani kwa hasira. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Tembo na Kinyonga Author - Stella Badaru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini watu hawakuamini macho yao
{ "text": [ "kwa kuwa kinyonga alikanyaga ardhi kwa muda mfupi maji yakatokea" ] }
2458_swa
Theuri amwokoa Kobani! Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi. Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani. Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli! Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande. Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee." Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili? Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani? Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda. Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli. Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani? Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org
Kwa nini mgongo wa Kobani ulikuwa na maumivu mengi
{ "text": [ "Ilitokana na kuinama kwa sababu ya mpini wa jembe ulikuwa mfupi mno" ] }
2458_swa
Theuri amwokoa Kobani! Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi. Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani. Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli! Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande. Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee." Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili? Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani? Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda. Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli. Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani? Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org
Kobani alikuwa mrefu wa mita ngapi
{ "text": [ "2.5" ] }
2458_swa
Theuri amwokoa Kobani! Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi. Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani. Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli! Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande. Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee." Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili? Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani? Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda. Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli. Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani? Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org
Ni nini wanakijiji walimtengenezea kobani
{ "text": [ "Fremu ndefu na mlango mrefu" ] }
2458_swa
Theuri amwokoa Kobani! Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi. Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani. Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli! Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande. Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee." Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili? Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani? Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda. Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli. Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani? Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org
Ni nani aliyemkaribisha Kobani waliposhuka sokoni
{ "text": [ "Chifu wa kijiji" ] }
2458_swa
Theuri amwokoa Kobani! Kobani alikuwa mwanamume mrefu sana. Wanakijiji walimwita Kobani, Muungwana, kwa sababu alikuwa mpole na rafiki wa watu. Hakuwa kama watu wengine wakubwa tunaosoma juu yao katika hadithi za kutisha. Wakati wa mchana, Kobani alifanya kazi yake shambani. Mpini wa jembe lake ulikuwa mfupi mno kwa hivyo alilazimika kuinama hadi chini kuifanya kazi yake. Bila shaka, mgongo wake ulikuwa na maumivu mengi kutokana na kuinama kwingi. Theuri aliishi karibu na Kobani. Alihuzunika sana alipomwona Kobani akipambana na jembe lake lenye mpini mfupi au alipoinama chini ili apite mlangoni kwake. Theuri aliamua kumsaidia Kobani. Alizungumza na wazee wa kijiji na kuwauliza usaidizi. Lakini, kabla wao kufanya hivyo, walitaka kujua urefu kamili wa Kobani. Theuri alimwuliza Kobani, "Wewe ni mrefu kiasi gani?" Kobani alikisia akasema, "Nadhani urefu wangu ni mita 2.5." Kobani alilala kitandani halafu akamweleza, "Ninajua godoro langu ni refu mita 1.5. Unaona hata miguu yangu inaning'inia mwisho karibu mita nyingine. Hiyo ina maana kuwa mimi ni mrefu mita 2.5." Sasa Theuri angeweza kuwaeleza wazee kwamba Kobani ni mrefu mita 2.5. Alikuwa mrefu kweli! Theuri angeweza kuanza kutekeleza mpango wake wa siri. Theuri, Kobani na Choke, kipenzi chake, waliondoka kwenda sokoni. Waliitumia baiskeli ya Kobani iliyokuwa ndogo. Kobani alilazimika kuunyoosha mguu wake ili aweze kuiendesha ile baiskeli. Theuri aliketi kikapuni akiogopa kutazama barabara namna baiskeli ilivyoyumbayumba kila upande. Waliposhuka sokoni, umati wa wanakijiji ulimzunguka Kobani. Chifu wa kijiji alimkaribisha. "Hujambo Bwana Muungwana. Theuri alitueleza kuwa unakumbwa na matatizo maishani mwako kutokana na urefu wako," Chifu alisema. Aliendelea kumwambia, "Tunataka kukusaidia. Tutahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji kinakufaa. Hivi karibuni, matatizo yako yatazikwa katika kaburi la sahau. Subiri tu ujionee." Wanakijiji walifanya kazi mfululizo kuhakikisha kuwa chochote Kobani alihitaji kilikuwa kimetengenezwa kwa kimo kilichomfaa. Litazame jembe hili. Ulinganishe mpini wa jembe jipya na ule mzee. Mpini mpya unaonekana kuwa mrefu mara mbili. Unadhani hilo jembe jipya ni refu kiasi gani? Zaidi ya mita moja? Chini ya mita mbili? Baadaye, wanakijiji walimsaidia Kobani kutengeneza fremu refu na mlango mpya uliokuwa mrefu. Fremu ilikuwa ndefu kumliko Kobani ili asiiname sana atakapokuwa akiingia nyumbani. Ilikuwa ya kumfaa hasa! Hebu ichunguze ile picha kwa makini. Urefu wa Kobani ni takriban mita 2.5. Je, unadhani fremu ya mlango wake mpya ni refu kiasi gani? Halafu walitengeneza kitanda kipya na godoro lililokuwa refu zaidi. Vilevile walinunua shuka na blanketi ya kuufunika mwili wa Kobani kutoka kichwani hadi miguuni. Sasa, Kobani angetazamia kulala usingizi kwa amani. Miguu yake haitaning'inia kando ya godoro tena. Tazama jinsi mwili wake ulivyofunikwa kabisa. Hata kuna nafasi iliyobaki upande mmoja wa kitanda. Chifu alimwuliza mmoja wa wahunzi wa mle kijijini kumtengenezea Kobani baiskeli kubwa. Baiskeli hiyo ilikuwa na kikapu kikubwa ambamo Theuri na Choke wangeketi. Kila sehemu ya baiskeli hiyo ilikuwa kimo cha kumfaa Kobani. Kobani hakuhitajika tena kuikokota miguu yake barabarani wala kuining'iniza kando ya baiskeli. Maseremala walimtengenezea Kobani meza mpya iliyokuwa na miguu mirefu ya mita 1.5. Sasa anapoketi kula, miguu yake inagusa chini. Theuri huketi kwenye kigoda kirefu karibu naye. Yeye huhitaji ngazi ili afike juu. Hesabu vidato ambavyo Theuri anastihili kupanda ili amfikie Kobani. Je, unadhani ngazi hiyo ni refu kiasi gani? Jembe jipya la Kobani humwezesha kupanda mimea na kuvuna kwa urahisi. Bustani yake ilibadilika na kuwa msitu! Kobani huwaachia wanakijiji vikapu vya matunda mbele ya mlango wa nyumba yake kuonyesha shukuruni zake kwa msaada wao. Na hili lilianza na ndoto aliyokuwa nayo Theuri ya kutaka kumrahisishia maisha rafiki yake, Kobani Muungwana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Theuri amwokoa Kobani! Author - Cornelius Gulere Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ugcla.org
Maseremala walimtengenezea Kobani meza ndefu ya mita ngapi
{ "text": [ "1.5" ] }
2461_swa
Uamsho wa furaha Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto. Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia. Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka. Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango. Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi. Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi. "Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua mkuu wa Kwere baada ya Matata kutolewa?
{ "text": [ "Baraka" ] }
2461_swa
Uamsho wa furaha Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto. Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia. Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka. Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango. Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi. Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi. "Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baraka aliamrisha watu kupanda nini kuheshimu mlima Olokwango?
{ "text": [ "Maua" ] }
2461_swa
Uamsho wa furaha Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto. Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia. Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka. Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango. Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi. Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi. "Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wanakwere walisherehekea kwa kutolea Olokwango Mwerezi,muhuhu na nani mwingine?
{ "text": [ "Msonobari" ] }
2461_swa
Uamsho wa furaha Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto. Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia. Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka. Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango. Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi. Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi. "Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mto gani ulifufuliwa baada ya Baraka kukua mkuu wa Kwere?
{ "text": [ "Temu" ] }
2461_swa
Uamsho wa furaha Kwa muda mrefu Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu Tambarare ya Kwere. Kutoka kwa vibonyeo viwili vilivyokuwa pembeni mwake, kulitoka vijito vilivyokaribiana na kuunda mto. Mambo yalikuwa swari hadi Matata alipokuwa mkuu wa mahali hapo. Alilazimisha njia itengenezwe kutoka juu ya mlima hadi chini yake ili aweze kupanda kwa urahisi na kujifiringisha hadi chini. Mlima Olokwango ulikasirika na uharibifu uliofanywa lakini ulivumilia. Kila wikendi, watoto wa Matata na marafiki zao wangepanda mlimani kucheza. Wangekimbia kila mahali huku wakivunja vijiti na matawi, wakiwasha mioto kwa michezo yao ambao baadaye, waliiacha ikiwaka. Mlima Olokwango ulipoteza uvumilivu wake. Tabasamu yake nzuri ilififia. Vibonyeo viliendelea kuwa vidogo jinsi uso wake ulivyokuwa na mikunjo. Mwishowe, vijito havikuwa tena. Kingo za Mto Temu zilihuzunika. Paa walihama kwani hapakuwa tena na zile nyasi ndefu za kijani walizochezea ndani wala kulala juu yake. Mifugo, walikonda na kukondeana. Kila mtu alihisi huzuni wa Mlima Olokwango. Watu wa Kwere wakachukua hatua. Wakamtoa Matata kisha wakamweka Baraka. Baraka akaamrisha kila mtu kupanda ua kuuheshimu Mlima Olokwango. Wakasherehekea kwa kutolea Olokwango zawadi za msonobari, mwerezi na muhuhu. Hakuna aliyetembea juu ya mlima tena, na nyasi zikamea na kuwa ndefu tena. Polepole, tabasamu iliyokuwa usoni mwa Mlima Olokwango ilipanuka zaidi na vibonyeo vikarefuka zaidi. Kutoka kwenye vibonyeo, vijito vilitiririka tena. Mto Temu ulifufuliwa. Sehemu tambarare ziligeuka kijani zaidi ya hapo awali. Paa walitembea tena kwa furaha kutoka upande mmoja hadi mwingine wakila nyasi. "Maisha marefu, Baraka! Maisha marefu, Baraka!" Watu wa Kwere waliimba. "Maisha marefu, Olokwango," Baraka na watu wake walisema. "Heri watoto wetu na watoto wa watoto wao wakuheshimu daima." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamsho wa furaha Author - Rebecca Njuguna Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mlima Olokwango ulisimama akitabasamu katikati ya sehemu gani?
{ "text": [ "Tambarare ya Kwere" ] }
2462_swa
Uamuzi (Paka rangi) Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja. Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu. Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi. Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo. Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani. Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani. Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira. Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo. Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?" Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa. Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?" Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu." Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu." Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula." Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji." Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nini kilifanya watoto waache shule
{ "text": [ "kutoweza kulipiwa karo" ] }
2462_swa
Uamuzi (Paka rangi) Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja. Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu. Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi. Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo. Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani. Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani. Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira. Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo. Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?" Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa. Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?" Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu." Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu." Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula." Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji." Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kazi za nyumbani pale mtaani zilifanywa na nani
{ "text": [ "wasichana wadogo" ] }
2462_swa
Uamuzi (Paka rangi) Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja. Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu. Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi. Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo. Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani. Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani. Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira. Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo. Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?" Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa. Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?" Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu." Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu." Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula." Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji." Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani walirandaranda ovyo
{ "text": [ "wavulana wadogo" ] }
2462_swa
Uamuzi (Paka rangi) Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja. Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu. Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi. Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo. Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani. Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani. Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira. Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo. Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?" Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa. Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?" Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu." Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu." Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula." Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji." Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Babake Ursula alisema wanafaa kubadilisha maisha ya mtaa wao lini
{ "text": [ "walipohudhuria mkutano" ] }
2462_swa
Uamuzi (Paka rangi) Mtaa wetu ulikuwa na matatizo mengi. Tulisimama kwenye foleni tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja. Tulisubiri kupokea chakula cha msaada. Hatukuwafahamu wahisani wetu. Usalama ulizorota kila uchao. Tulilazimika kufunga nyumba zetu mapema kwa ajili ya wizi. Baadhi ya watoto waliacha shule. Wazazi wao hawakuweza kuwalipia karo. Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani pale mtaani. Wavulana wadogo walirandaranda ovyo. Wengine waliwafanyia watu kazi mashambani. Upepo ulivuma na kuzipeperusha karatasi chafu. Ziliangikwa mitini na uani na kuyachafua mazingira. Vipande vya chupa vilitupwa ovyo ovyo njiani. Watu walijeruhiwa walipokatwa navyo. Siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa tupu. Tulijiuliza, "Sasa tutayapata maji wapi?" Babangu alitembea kutoka nyumba hadi nyumba. Aliwatangazia watu kuhudhuria mkutano wa mtaa. Watu walikusanyika chini ya mti ule ule ambako tulipokea chakula cha msaada. Baadhi waliuliza, "Kuna nini leo?" Babangu alisimama katikati yao akasema, "Lazima tuyabadilishe maisha ya mtaa wetu." Juma, aliyekuwa amepanda juu ya mti, alisema kwa sauti, "Naweza kusafisha uwanja wa nyumba zetu." Mwanamke mmoja wa makamo, alisema, "Sisi wanawake tutaungana pamoja tupande mbegu ili tupate chakula." Mwanamume mwingine alisimama akasema, "Wanaume nao watachimba kisima cha maji." Sote tulisema kwa sauti moja, "Lazima tubadilishe maisha yetu." Hivyo ndivyo, tulianza kufanya kazi pamoja kuyabadilisha maisha yetu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Uamuzi (Paka rangi) Author - Ursula Nafula Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wanawake walisema wataungana wasaidiane aje
{ "text": [ "watapanda mbegu ili waweze kupata chakula" ] }
2464_swa
Ujasiri wa Nangila Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao. Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri. Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake. Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila. Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe. Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake. Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya." Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi. Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka. Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi. Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini. Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila. MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wekesa alikuwa na nini mguuni
{ "text": [ "Donda" ] }
2464_swa
Ujasiri wa Nangila Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao. Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri. Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake. Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila. Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe. Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake. Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya." Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi. Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka. Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi. Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini. Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila. MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliwavutia watu wengi
{ "text": [ "Nangila" ] }
2464_swa
Ujasiri wa Nangila Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao. Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri. Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake. Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila. Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe. Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake. Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya." Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi. Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka. Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi. Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini. Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila. MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini ingeponya donda la babake Nangila
{ "text": [ "Dawa" ] }
2464_swa
Ujasiri wa Nangila Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao. Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri. Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake. Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila. Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe. Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake. Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya." Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi. Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka. Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi. Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini. Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila. MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alisaidiwa na Nangila kubeba kuni
{ "text": [ "Bi.Kizee" ] }
2464_swa
Ujasiri wa Nangila Wekesa alikuwa na donda mguuni. Yeye na mkewe waliishi kijijini na wanao. Binti yao, Nangila, na kaka zake watatu walifanya kazi zao vizuri. Nangila aliwavutia watu wengi. Wanaume waliotaka kumwoa walitakiwa kutimiza sharti kali lililowekwa na babake. Aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kuileta dawa ya kienyeji kutoka ziwa lililokuwa karibu. Ziwa hilo lilijaa mizimu hatari. Ile dawa ya kienyeji kutoka ziwani tu ndiyo ingeponya lile donda alilokuwa nalo babake Nangila. Baadhi ya wanaume waliojaribu kuipata ile dawa, walirudi mikono mitupu. Wengine hawakurejea kutoka ziwani kamwe. Nangila alikuwa na hofu kaka zake pia waliposhindwa kwenda ziwani. Aliamua kwenda mwenyewe. Mamake alimwambia, "Mwanangu, ikiwa wanaume wenye nguvu wameshindwa, wewe utafaulu?" Lakini, Nangila hakubadili nia yake. Njiani, Nangila alimsaidia bi kizee mmoja kubeba kuni. Bi kizee alimshukuru akasema, "Nitakueleza utakavyofika kwenye lile ziwa la mizimu na namna utakavyofanya." Nangila alipofika ufukoni mwa ziwa, aliiona familia ya mizimu ikinywa na kusherehekea. Alisubiri na kutazama. Mmoja baada ya mwingine, mizimu ilipatwa na usingizi. Mizimu yote ilipolala, Nangila alipiga mbizi ziwani. Aliipata ile dawa na kuiweka mkobani. Alipokuwa akiogelea kurudi ufukoni, mawimbi makubwa yalimzunguka. Ufukoni, mizimu ilikuwa imeamka. Nangila aliimba wimbo aliofundishwa na bi kizee: Mie binti Wekesa, nilikuja kwani wanaume waliogopa. Babangu ahitaji dawa kupona donda. Nd'o sababu nipo pahali hapa pa kutisha, kwani ninyi ni viongozi. Sauti ya Nangila ilikuwa tamu sana hata mizimu ikamtaka aimbe zaidi. Kuimba kwake kuliifanya ilale tena. Nangila alikimbia haraka akafika kijijini. Baada ya kutibu donda la babake, baba aliweza kusimama tena. Kijiji kizima kilisherehekea na kumshangilia Nangila. MASWALI: 1. Mwanamume yeyote aliyetaka kumwoa Nangila alilazimika kutimiza sharti lipi la babake? 2. Nangila alikuwa na kaka wangapi? 3. Nangila alisaidiwa na nani alipokuwa njiani? Alimfundisha Nangila nini? 4. Alipofika ufukoni mwa ziwa, Nangila alisubiri nini? 5. Nangila alifanya nini ili atoroke mizimu aliporudi ufukoni? 6. Kwa maoni yako, unafikiri Nangila ataolewa baada ya kutimiza sharti la babake yeye mwenyewe? Kama ataolewa, ataolewa na mtu wa aina gani? You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ujasiri wa Nangila Author - Violet Otieno Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nangila aliweza kupita mizimu vipi
{ "text": [ "Kwa kuiimbia wimbo ikarudi kulala" ] }
2475_swa
Upinde wa Mto wenye miujiza Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule. Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu. Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia." "Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!" Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza. "Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu." "Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili." "Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini." "Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake." "Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema. "Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde." Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ado, Aggie na Eddy walisikiliza nini ikinyesha
{ "text": [ "Mvua " ] }
2475_swa
Upinde wa Mto wenye miujiza Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule. Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu. Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia." "Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!" Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza. "Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu." "Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili." "Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini." "Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake." "Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema. "Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde." Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ado, Aggie na Eddy hawakupenda kunywa supu iliyo na nini
{ "text": [ "Pilipili" ] }
2475_swa
Upinde wa Mto wenye miujiza Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule. Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu. Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia." "Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!" Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza. "Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu." "Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili." "Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini." "Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake." "Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema. "Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde." Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ado, Aggie na Eddy walitaka mama asimulie kuhusu nini
{ "text": [ "Upinde" ] }
2475_swa
Upinde wa Mto wenye miujiza Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule. Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu. Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia." "Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!" Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza. "Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu." "Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili." "Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini." "Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake." "Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema. "Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde." Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bomu aliyanywa nini ndio akapona
{ "text": [ "Maji" ] }
2475_swa
Upinde wa Mto wenye miujiza Watoto watatu, Ado, Aggie, na Eddy waliisikiliza mvua ikinyesha. Walitaka sana kuchezea kwenye mvua hiyo. Walitaka kuugusa upinde ulioonekana angani. Lakini mama alisema, "La!" Walilia wakitumaini kwamba mama atabadili nia yake. Lakini, hilo halikufanyika. Eddy hata alijaribu kunyatia na kutoka nje ya nyumba ili autembelee upinde ule. Mama alimpata kabla hajaenda mbali. Aliipaza sauti yake ili Eddy na dada zake pia waweze kusikia. "Utapata mafua," mama alisema. "Hampendi kunywa supu iliyo na pilipili lakini mkipata mafua, lazima mtainywa," aliongezea kwa tabasamu. Akiwa na matumaini kwamba watamwuliza awasimulie hadithi, mama alisema, "Upinde ni mto wa miujiza ulio na nguvu za kuponya. Lakini uko mbali angani msikoweza kuufikia. Kwa hivyo mkipata mafua, upinde hautawasaidia." "Tafadhali, mama, tusimulie ile hadithi inayohusu upinde," Aggie alisema. "Ndiyo, tafadhali, mama, ningependa kuisikia pia," Ado aliongeza. "Mimi pia," Eddy alimsihi mama huku akimvuta mkono. "Hebu tuone, mmmm," mama alisema kwa utani. "Sawa wapendwa, karibieni. Mama yenu msimulizi ndiye huyu hapa kuwasimulia!" Aggie aliileta fimbo iliyotumiwa na wasimulizi. Alimpatia mama. Eddy alikileta kitambaa alichozoea kuvaa aliposimulia. Alipoishika ile fimbo na kukivaa kile kitambaa, mama alikuwa tayari kuwasimulia wanawe hadithi. Waliketi kimya kuisikiliza ile hadithi waliyoisikia mara nyingi. Ado aliipuliza firimbi kuashiria kuanza. Kisha masimulizi yalianza. "Hapo zamani, upinde ulikuwa mto wa miujiza. Ulikuwa umejificha katika vichaka vilivyokuwa kijijini Bombo. Kwa sababu ulikuwa na nguvu za kuponya, ulipewa ulinzi mkali. Yeyote aliyekuwa mgonjwa, aliyanywa maji yake. Upinde huo ulifurahi ulipogawanya nguvu zake. Lakini haukupenda watu wasiokuwa na nidhamu." "Kwa sababu ya nguvu zake za miujiza, kulikuwa na aiskrimu kwenye ukingo wa mto huo! Waliokuja kuyanywa maji, hasa watoto, vilevile walifurahi kuila aiskrimu. Aiskrimu hiyo ilikuwa ya rangi nyekundu, rangi ya machungwa, manjano, kijani kibichi, bluu, zambarau na nili." "Siku moja, Bomu, Bi kizee mmoja mtukutu, alikuja kutoka nchi ya mbali. Alipowasili, alikutana na mlinzi. Mlinzi hakumtambua kwa hivyo alikuwa na hisia asizowahi kuwa nazo. Hata hivyo, alizipuuza hisia zake. Alimwelekeza Bi kizee huyo kwenda mtoni huku akimkumbusha kuuheshimu ule mto. Bomu alikubali kisha akaenda majini." "Bomu aliyanywa maji na akapona. Halafu akatazama kuhakikisha kwamba hakuna aliyemwona. Alilichukua jiwe akalitumbukiza majini. Alilitazama likiinuka na kusambaza viwimbi vyake. Alifurahi sana hata akakichukua kijiti na kurudia kitendo hicho. Vilevile, kijiti kilisambaza viwimbi vyake." "Bomu aliruka majini! Alikuwa na matumaini ya kuupata uzima wa milele. Mara tu aliporuka, mto uliinuka juu. Uliruka juu angani, usiwahi kurudi tena kijijini Bombo. Wakati mwingine, upinde hutokezea baada ya mvua na kuonekana kama mto tena. Na huo ndio mwisho wa hadithi yangu," mama alisema. "Kwa hivyo, wapenzi wangu, niambieni, kwa nini mnaipenda sana hadithi hii?" mama aliuliza. "Kila mara mnaniuliza niwasimulie." Ado alitabasamu kisha akajibu, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha kuzisikiza hisia zangu." Naye Aggie akasema, "Inanikumbusha rangi za upinde." Eddy alijaribu bahati yake, "Ninaipenda kwa sababu inanikumbusha aiskrimu! Tafadhali, ninaweza kupata aiskrimu kidogo sasa?" "Mmmm. Sasa kuna baridi sana. Heri tuile aiskrimu kesho," mama alisema. Kisha akaongeza, "Wakati ujao, nitawaeleza hadithi kuhusu hatima ya upinde." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Upinde wa Mto wenye miujiza Author - Mimi Werna Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Bomu aliruka majini
{ "text": [ "Aalikuwa na matumaini ya kupata uzima wa milele" ] }
2476_swa
Urithi kutoka kwa baba Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume. Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote. Baada ya muda, Lelisa alifariki. Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani. Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea. Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo." Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe." Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda. Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo. Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote. Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu." Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Mkewe Eba aliitwa nani
{ "text": [ "Lelisa" ] }
2476_swa
Urithi kutoka kwa baba Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume. Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote. Baada ya muda, Lelisa alifariki. Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani. Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea. Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo." Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe." Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda. Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo. Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote. Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu." Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Eba aliwaambia wanawe watarithi nini kutoka kwake
{ "text": [ "dhahabu nyingi" ] }
2476_swa
Urithi kutoka kwa baba Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume. Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote. Baada ya muda, Lelisa alifariki. Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani. Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea. Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo." Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe." Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda. Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo. Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote. Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu." Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Ni nini majirani walipea wanawe Eba
{ "text": [ "chakula " ] }
2476_swa
Urithi kutoka kwa baba Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume. Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote. Baada ya muda, Lelisa alifariki. Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani. Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea. Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo." Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe." Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda. Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo. Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote. Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu." Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Ni lini majirani walianza kupea wanawe Eba chakula
{ "text": [ "Eba alipokwisha fariki" ] }
2476_swa
Urithi kutoka kwa baba Eba na mkewe Lelisa walifanya kazi zao kwa bidii sana. Walikuwa na watoto wawili wa kiume. Walitimiza mahitaji yao kutokana na juhudi zao. Eba alitaka wanawe wastarehe. Hawakufanya kazi zozote. Baada ya muda, Lelisa alifariki. Hata baada ya kifo cha mkewe, Eba hakutaka wanawe wamsaidie. Alizifanya kazi zote za shambani na za nyumbani. Eba alizeeka na kudhoofika. Alihofia maisha ya wanawe. Alijiuliza, "Wanangu wataishi namna gani nitakapofariki?" Alijua kuwa hawangeweza kujitegemea. Eba aliwaita wanawe akawaambia, "Urithi mtakaopata kutoka kwangu ni dhahabu nyingi iliyofichwa shambani. Ni juu yenu kuyalima mashamba ili muipate dhahabu hiyo." Eba pia aliwaambia majirani, "Nadhani niko karibu kufariki. Wanangu hawajui kujitegemea. Nawasihi mwasaidie hadi watakapoweza kujikimu wenyewe." Baada ya Eba kufariki, majirani waliwapa wanawe chakula kwa muda. Ndugu hao hawakutaka kuporwa dhahabu iliyofichwa na baba yao. Waliamua kuyalima mashamba wenyewe ili waipate dhahabu hiyo. Waliyalima mashamba moja baada ya jingine. Ila, hawakupata dhahabu yoyote. Mmoja alimwuliza mwingine, "Je, unadhani baba alitudanganya?" Yule akajibu, "La, ninadhani baba alikuwa na maana kuwa ukulima ni dhahabu." Kwa hivyo, kama wakulima wengine, wana hao waliyalima mashamba yao. Walipanda mimea wakawa matajiri sana. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Urithi kutoka kwa baba Author - Lemu Wachile and Elizabeth Laird Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kwa nini waliamua kuyalima mashamba wenyewe
{ "text": [ "ili waipate dhahabu hiyo iliyofichwa na baba yao" ] }
2477_swa
Ushauri mbaya Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe. Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo. Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo. Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma. Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda. Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda." Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine. Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya. Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe. Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake." Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti. Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi. Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote. Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako." Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu." Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako." Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue." Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake." Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia." Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kobe na juma walikuwa maskini na pia nini
{ "text": [ "Jirani" ] }
2477_swa
Ushauri mbaya Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe. Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo. Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo. Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma. Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda. Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda." Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine. Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya. Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe. Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake." Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti. Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi. Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote. Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako." Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu." Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako." Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue." Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake." Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia." Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Walitamani kuwa na nini
{ "text": [ "Punda" ] }
2477_swa
Ushauri mbaya Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe. Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo. Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo. Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma. Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda. Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda." Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine. Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya. Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe. Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake." Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti. Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi. Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote. Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako." Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu." Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako." Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue." Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake." Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia." Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kombe alitajirika baada ya nani kufa
{ "text": [ "Babake" ] }
2477_swa
Ushauri mbaya Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe. Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo. Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo. Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma. Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda. Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda." Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine. Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya. Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe. Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake." Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti. Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi. Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote. Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako." Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu." Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako." Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue." Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake." Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia." Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Juma alipata mazao mazuri ya nini
{ "text": [ "Mbaazi" ] }
2477_swa
Ushauri mbaya Kombe na Juma walikuwa maskini pia jirani. Walifanya kila kitu wenyewe. Walitamani kuwa na punda. Punda angewabebea mizigo. Kombe akasema, "Hebu tununue punda pamoja." Walifurahia hatua hiyo. Babake Kombe alipofariki, Kombe alitajirika. Alimsahau Juma. Kombe alitaka nyama ya punda amlishe mbwa wake. Juma alihitaji punda. Hakimu aliwaambia, "Kila mmoja wenu anaweza kuchukua nusu ya punda." Kombe alimchinja punda. Juma alijibebebea vitu kwa mara nyingine. Kombe alitaka kuteketeza chumba chake ili ajenga kipya. Juma alisema, "Changu pia kitachomeka." Hakimu alikubaliana na Kombe. Chumba cha Juma kiliungua. Hakimu alisema, "Kombe aliteketeza chake." Juma hakuwa na punda wala chumba. Alilala chini ya mti. Juma alifanya kazi kwa bidii. Alipata mazao mazuri ya mbaazi. Wavulana wa Kombe walikula mbaazi karibu wazimalize zote. Walimwambia Juma, "Nenda umwulize baba akulipe mbaazi zako." Juma alisema, "Sitaki pesa zenu. Ninataka mbaazi zangu." Hakimu alimwambia Juma, "Wakate wavulana halafu uchukue mbaazi zako." Juma alikataa kusikiliza alivyoambiwa. Kombe alilia, "Hebu wazee waamue." Wazee walisema, "Ulimuua punda. Ulichoma chumba chake." Walimwambia Juma, "Kuwaua wavulana wa Kombe ni vibaya pia." Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake. Wakaishi kwa furaha. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ushauri mbaya Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - African Storybook Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Kwa nini Juma na Kombe waliishi kwa furaha
{ "text": [ "Kombe alimpatia Juma nusu ya mali yake" ] }
2479_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Katika kijiji moja watu walitofautiana kuhusu nini
{ "text": [ "kazi" ] }
2479_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokua nini
{ "text": [ "muhimu zaidi" ] }
2479_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bila wajenzi hakungekuwa na nini
{ "text": [ "shule za kusomea" ] }
2479_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu lini
{ "text": [ "mwanafunzi alipomaliza kuongea" ] }
2479_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu
{ "text": [ "kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi" ] }
2480_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani hufunza wanafunzi shuleni
{ "text": [ "Mwalimu" ] }
2480_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Samani hutengenezwa na nani
{ "text": [ "Seremala" ] }
2480_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Daktari na wauguzi hufanya kazi gani
{ "text": [ "Hutibu wagonjwa" ] }
2480_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwalimu, daktari, seremala na mjenzi siku moja walikuwa nani
{ "text": [ "Wanafunzi" ] }
2480_swa
Utata baina ya kazi tofauti Katika kijiji kimoja, watu walitofautiana kuhusu kazi gani iliyo muhimu. Kila mmoja aliamini kuwa kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi! Mwalimu alisema kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila walimu, hakuna yeyote atakayeweza kwenda shule kujifunza." Mjenzi akasema kwamba kazi yake ndiyo iliyokuwa muhimu zaidi. "Bila wajenzi, hakungekuwa na shule za kusomea wala nyumba za kulala." Seremala naye akasema kwamba yeye ndiye aliyekuwa na kazi muhimu zaidi. "Bila maseremala, hakungekuwa na samani za kutumia nyumbani na shuleni." Daktari naye alidai kuwa alikuwa na kazi iliyo muhimu kuliko zote. "Bila madaktari na wauguzi, watu wangeugua na kufa." Mkulima akasema kwamba kazi yake ni muhimu zaidi. "Bila wakulima, hakungekuwa na chakula." Mwanafunzi naye alisema kuwa wanafunzi ndio walio na kazi muhimu kwa zote. "Bila wanafunzi, hakungekuwa na walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, wala maseremala." Hatimaye, kila mmoja alikubali kwamba kazi zote ni muhimu. Tunahitaji walimu, wajenzi, madaktari, wakulima, na maseremala. Lakini, lazima kila mmoja awe mwanafunzi kwanza! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Utata baina ya kazi tofauti Author - Beatrice Inzikuru Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani hutengeneza nyumba na madarasa ya kusomea
{ "text": [ "Mjenzi" ] }
2481_swa
Vayu, upepo Brigid Simiyu Rijuta Ghate Kiswahili Ninapomaliza kuoga kwa maji moto, mwili wangu huwa majimaji na kuhisi baridi. Ninajua anayesababisha mwili kuhisi baridi. Vayu, upepo! Kwenye kikombe kuna maziwa moto sana. Baada ya muda, maziwa yanapoa. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Pazia za dirisha zinapapatika polep zikinigusa uso. Ni nani husababisha jambo hili kutendeka? Vayu, upepo! Ninaona radi. Mawingu meusi yananikaribia. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Matawi yanayumbayumba na majani yanapepea. Maua yanadondoka kutoka mtini. Ninajua anayesababisha haya yote. Vayu, upepo! Tunapocheza nje, tunanukia pipi anazotayarisha mama. Ninajua anayesababisha hili kutendeka. Vayu, upepo! Bilauri iliyokuwa dirisahani, imeanguka na kuvunjika. Namshukuru Mungu haikuniangukia. Ninajua aliyesababisha ukatili huu. Bila shaka ni Vayu, upepo! Firimbi imepulizwa. Gari la moshi linafika kituoni. Siwezi kuliona, lakini nausikia mngurumo wake. Ninajua aliyesababisha haya. Vayu, upepo! Haonekani. Hasikiki. Hufanya kazi zote kisirisiri. Anaweza kuwa ni nani? Mimi ninamjua! Vayu, upepo! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vayu, upepo Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rijuta Ghate Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Majani yanayumbayumba na matawi je?
{ "text": [ "Yanapepea" ] }
2481_swa
Vayu, upepo Brigid Simiyu Rijuta Ghate Kiswahili Ninapomaliza kuoga kwa maji moto, mwili wangu huwa majimaji na kuhisi baridi. Ninajua anayesababisha mwili kuhisi baridi. Vayu, upepo! Kwenye kikombe kuna maziwa moto sana. Baada ya muda, maziwa yanapoa. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Pazia za dirisha zinapapatika polep zikinigusa uso. Ni nani husababisha jambo hili kutendeka? Vayu, upepo! Ninaona radi. Mawingu meusi yananikaribia. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Matawi yanayumbayumba na majani yanapepea. Maua yanadondoka kutoka mtini. Ninajua anayesababisha haya yote. Vayu, upepo! Tunapocheza nje, tunanukia pipi anazotayarisha mama. Ninajua anayesababisha hili kutendeka. Vayu, upepo! Bilauri iliyokuwa dirisahani, imeanguka na kuvunjika. Namshukuru Mungu haikuniangukia. Ninajua aliyesababisha ukatili huu. Bila shaka ni Vayu, upepo! Firimbi imepulizwa. Gari la moshi linafika kituoni. Siwezi kuliona, lakini nausikia mngurumo wake. Ninajua aliyesababisha haya. Vayu, upepo! Haonekani. Hasikiki. Hufanya kazi zote kisirisiri. Anaweza kuwa ni nani? Mimi ninamjua! Vayu, upepo! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vayu, upepo Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rijuta Ghate Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Tunapocheza nje tunanusia nini zinazotayarishwa na mama?
{ "text": [ "Pipi" ] }
2481_swa
Vayu, upepo Brigid Simiyu Rijuta Ghate Kiswahili Ninapomaliza kuoga kwa maji moto, mwili wangu huwa majimaji na kuhisi baridi. Ninajua anayesababisha mwili kuhisi baridi. Vayu, upepo! Kwenye kikombe kuna maziwa moto sana. Baada ya muda, maziwa yanapoa. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Pazia za dirisha zinapapatika polep zikinigusa uso. Ni nani husababisha jambo hili kutendeka? Vayu, upepo! Ninaona radi. Mawingu meusi yananikaribia. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Matawi yanayumbayumba na majani yanapepea. Maua yanadondoka kutoka mtini. Ninajua anayesababisha haya yote. Vayu, upepo! Tunapocheza nje, tunanukia pipi anazotayarisha mama. Ninajua anayesababisha hili kutendeka. Vayu, upepo! Bilauri iliyokuwa dirisahani, imeanguka na kuvunjika. Namshukuru Mungu haikuniangukia. Ninajua aliyesababisha ukatili huu. Bila shaka ni Vayu, upepo! Firimbi imepulizwa. Gari la moshi linafika kituoni. Siwezi kuliona, lakini nausikia mngurumo wake. Ninajua aliyesababisha haya. Vayu, upepo! Haonekani. Hasikiki. Hufanya kazi zote kisirisiri. Anaweza kuwa ni nani? Mimi ninamjua! Vayu, upepo! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vayu, upepo Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rijuta Ghate Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Ninapomaliza kuoga mwili yangu hua majimaji na kuhisi nini?
{ "text": [ "Baridi" ] }
2481_swa
Vayu, upepo Brigid Simiyu Rijuta Ghate Kiswahili Ninapomaliza kuoga kwa maji moto, mwili wangu huwa majimaji na kuhisi baridi. Ninajua anayesababisha mwili kuhisi baridi. Vayu, upepo! Kwenye kikombe kuna maziwa moto sana. Baada ya muda, maziwa yanapoa. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Pazia za dirisha zinapapatika polep zikinigusa uso. Ni nani husababisha jambo hili kutendeka? Vayu, upepo! Ninaona radi. Mawingu meusi yananikaribia. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Matawi yanayumbayumba na majani yanapepea. Maua yanadondoka kutoka mtini. Ninajua anayesababisha haya yote. Vayu, upepo! Tunapocheza nje, tunanukia pipi anazotayarisha mama. Ninajua anayesababisha hili kutendeka. Vayu, upepo! Bilauri iliyokuwa dirisahani, imeanguka na kuvunjika. Namshukuru Mungu haikuniangukia. Ninajua aliyesababisha ukatili huu. Bila shaka ni Vayu, upepo! Firimbi imepulizwa. Gari la moshi linafika kituoni. Siwezi kuliona, lakini nausikia mngurumo wake. Ninajua aliyesababisha haya. Vayu, upepo! Haonekani. Hasikiki. Hufanya kazi zote kisirisiri. Anaweza kuwa ni nani? Mimi ninamjua! Vayu, upepo! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vayu, upepo Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rijuta Ghate Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Kwa kikombe kuna maziwa moto kabisa kisha baada ya muda yanafanyaje?
{ "text": [ "Yanapoa" ] }
2481_swa
Vayu, upepo Brigid Simiyu Rijuta Ghate Kiswahili Ninapomaliza kuoga kwa maji moto, mwili wangu huwa majimaji na kuhisi baridi. Ninajua anayesababisha mwili kuhisi baridi. Vayu, upepo! Kwenye kikombe kuna maziwa moto sana. Baada ya muda, maziwa yanapoa. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Pazia za dirisha zinapapatika polep zikinigusa uso. Ni nani husababisha jambo hili kutendeka? Vayu, upepo! Ninaona radi. Mawingu meusi yananikaribia. Ninajua anayesababisha jambo hili kutendeka. Vayu, upepo! Matawi yanayumbayumba na majani yanapepea. Maua yanadondoka kutoka mtini. Ninajua anayesababisha haya yote. Vayu, upepo! Tunapocheza nje, tunanukia pipi anazotayarisha mama. Ninajua anayesababisha hili kutendeka. Vayu, upepo! Bilauri iliyokuwa dirisahani, imeanguka na kuvunjika. Namshukuru Mungu haikuniangukia. Ninajua aliyesababisha ukatili huu. Bila shaka ni Vayu, upepo! Firimbi imepulizwa. Gari la moshi linafika kituoni. Siwezi kuliona, lakini nausikia mngurumo wake. Ninajua aliyesababisha haya. Vayu, upepo! Haonekani. Hasikiki. Hufanya kazi zote kisirisiri. Anaweza kuwa ni nani? Mimi ninamjua! Vayu, upepo! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vayu, upepo Author - Madhuri Pai and Rohini Nilekani Translation - Brigid Simiyu Illustration - Rijuta Ghate Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org
Ni nani haonekani,haskiki, hufanya kazi zote kwa siri?
{ "text": [ "Vayu, Upepo" ] }
2482_swa
Viatu vyangu vya kwanza Ursula Nafula Rob Owen Kiswahili Sikuwa nimewahi kuvaa viatu. Nilipowaona watoto waliovaa viatu, niliwatazama kwa hamu. Mamangu alinifariji akisema, "Utakuwa na jozi nyingi baadaye, subiri tu utaona!" Wakati mwingine sikumwamini. "Baadaye, itakuwa lini?" nilimwuliza siku moja. Kisha ulikuwa msimu wa Krismasi. Kila mtu alijishughulisha kwenda sokoni na kurejea na vitu vipya. "Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza. Siku kabla ya Krismasi, mamangu aliniamsha mapema kuliko ilivyokuwa kawaida. Alinieleza nilichukue lile kapu kubwa ambalo alilibeba kila alipokwenda sokoni. Sokoni palikuwa na wazazi wengi walioandamana na watoto wao. Walinunua nguo mpya na kiasi kikubwa cha vyakula. Tulienda moja kwa moja hadi sehemu ya viatu aina tofauti. Nilishangaa kwa kuona mstari baada ya mwingine wa viatu vilivyopangwa kwa unadhifu. Baada ya kupima baadhi ya jozi nyingi, nilichukua jozi ya viatu vya michezo. Sikuweza kulala usiku huo. Nilisisimkwa sana nilipowaza jinsi ningevivaa viatu vyangu vipya na kujivunia kila mtoto kijijini. Muda mfupi baadaye, niliamka kitandani na kuvijaribu tena viatu vyangu. Nilitembea polepole chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu kulala lakini sikupata usingizi. Niliamka na kuvijaribu tena kwa mara ya pili. Nilitembea kwa maringo chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu tena kulala nikinuia kupata usingizi. Lakini muda mfupi baadaye, niliamka kwa mara ya tatu. Nilivivaa vyatu nikaruka ruka kidogo chumbani. Nilihisi usingizi nikarudi kitandani. Asubuhi yake, niliamshwa na mamangu. "Hiki ni nini ninachoona?" aliniuliza. Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya kitandani! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Viatu vyangu vya kwanza Author - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sikuwa nimewahi kuvaa nini
{ "text": [ "Viatu" ] }
2482_swa
Viatu vyangu vya kwanza Ursula Nafula Rob Owen Kiswahili Sikuwa nimewahi kuvaa viatu. Nilipowaona watoto waliovaa viatu, niliwatazama kwa hamu. Mamangu alinifariji akisema, "Utakuwa na jozi nyingi baadaye, subiri tu utaona!" Wakati mwingine sikumwamini. "Baadaye, itakuwa lini?" nilimwuliza siku moja. Kisha ulikuwa msimu wa Krismasi. Kila mtu alijishughulisha kwenda sokoni na kurejea na vitu vipya. "Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza. Siku kabla ya Krismasi, mamangu aliniamsha mapema kuliko ilivyokuwa kawaida. Alinieleza nilichukue lile kapu kubwa ambalo alilibeba kila alipokwenda sokoni. Sokoni palikuwa na wazazi wengi walioandamana na watoto wao. Walinunua nguo mpya na kiasi kikubwa cha vyakula. Tulienda moja kwa moja hadi sehemu ya viatu aina tofauti. Nilishangaa kwa kuona mstari baada ya mwingine wa viatu vilivyopangwa kwa unadhifu. Baada ya kupima baadhi ya jozi nyingi, nilichukua jozi ya viatu vya michezo. Sikuweza kulala usiku huo. Nilisisimkwa sana nilipowaza jinsi ningevivaa viatu vyangu vipya na kujivunia kila mtoto kijijini. Muda mfupi baadaye, niliamka kitandani na kuvijaribu tena viatu vyangu. Nilitembea polepole chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu kulala lakini sikupata usingizi. Niliamka na kuvijaribu tena kwa mara ya pili. Nilitembea kwa maringo chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu tena kulala nikinuia kupata usingizi. Lakini muda mfupi baadaye, niliamka kwa mara ya tatu. Nilivivaa vyatu nikaruka ruka kidogo chumbani. Nilihisi usingizi nikarudi kitandani. Asubuhi yake, niliamshwa na mamangu. "Hiki ni nini ninachoona?" aliniuliza. Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya kitandani! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Viatu vyangu vya kwanza Author - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alinifariji
{ "text": [ "Mamangu" ] }
2482_swa
Viatu vyangu vya kwanza Ursula Nafula Rob Owen Kiswahili Sikuwa nimewahi kuvaa viatu. Nilipowaona watoto waliovaa viatu, niliwatazama kwa hamu. Mamangu alinifariji akisema, "Utakuwa na jozi nyingi baadaye, subiri tu utaona!" Wakati mwingine sikumwamini. "Baadaye, itakuwa lini?" nilimwuliza siku moja. Kisha ulikuwa msimu wa Krismasi. Kila mtu alijishughulisha kwenda sokoni na kurejea na vitu vipya. "Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza. Siku kabla ya Krismasi, mamangu aliniamsha mapema kuliko ilivyokuwa kawaida. Alinieleza nilichukue lile kapu kubwa ambalo alilibeba kila alipokwenda sokoni. Sokoni palikuwa na wazazi wengi walioandamana na watoto wao. Walinunua nguo mpya na kiasi kikubwa cha vyakula. Tulienda moja kwa moja hadi sehemu ya viatu aina tofauti. Nilishangaa kwa kuona mstari baada ya mwingine wa viatu vilivyopangwa kwa unadhifu. Baada ya kupima baadhi ya jozi nyingi, nilichukua jozi ya viatu vya michezo. Sikuweza kulala usiku huo. Nilisisimkwa sana nilipowaza jinsi ningevivaa viatu vyangu vipya na kujivunia kila mtoto kijijini. Muda mfupi baadaye, niliamka kitandani na kuvijaribu tena viatu vyangu. Nilitembea polepole chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu kulala lakini sikupata usingizi. Niliamka na kuvijaribu tena kwa mara ya pili. Nilitembea kwa maringo chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu tena kulala nikinuia kupata usingizi. Lakini muda mfupi baadaye, niliamka kwa mara ya tatu. Nilivivaa vyatu nikaruka ruka kidogo chumbani. Nilihisi usingizi nikarudi kitandani. Asubuhi yake, niliamshwa na mamangu. "Hiki ni nini ninachoona?" aliniuliza. Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya kitandani! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Viatu vyangu vya kwanza Author - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mamangu alinieleza nichukue nini
{ "text": [ "Lile kapu kubwa" ] }
2482_swa
Viatu vyangu vya kwanza Ursula Nafula Rob Owen Kiswahili Sikuwa nimewahi kuvaa viatu. Nilipowaona watoto waliovaa viatu, niliwatazama kwa hamu. Mamangu alinifariji akisema, "Utakuwa na jozi nyingi baadaye, subiri tu utaona!" Wakati mwingine sikumwamini. "Baadaye, itakuwa lini?" nilimwuliza siku moja. Kisha ulikuwa msimu wa Krismasi. Kila mtu alijishughulisha kwenda sokoni na kurejea na vitu vipya. "Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza. Siku kabla ya Krismasi, mamangu aliniamsha mapema kuliko ilivyokuwa kawaida. Alinieleza nilichukue lile kapu kubwa ambalo alilibeba kila alipokwenda sokoni. Sokoni palikuwa na wazazi wengi walioandamana na watoto wao. Walinunua nguo mpya na kiasi kikubwa cha vyakula. Tulienda moja kwa moja hadi sehemu ya viatu aina tofauti. Nilishangaa kwa kuona mstari baada ya mwingine wa viatu vilivyopangwa kwa unadhifu. Baada ya kupima baadhi ya jozi nyingi, nilichukua jozi ya viatu vya michezo. Sikuweza kulala usiku huo. Nilisisimkwa sana nilipowaza jinsi ningevivaa viatu vyangu vipya na kujivunia kila mtoto kijijini. Muda mfupi baadaye, niliamka kitandani na kuvijaribu tena viatu vyangu. Nilitembea polepole chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu kulala lakini sikupata usingizi. Niliamka na kuvijaribu tena kwa mara ya pili. Nilitembea kwa maringo chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu tena kulala nikinuia kupata usingizi. Lakini muda mfupi baadaye, niliamka kwa mara ya tatu. Nilivivaa vyatu nikaruka ruka kidogo chumbani. Nilihisi usingizi nikarudi kitandani. Asubuhi yake, niliamshwa na mamangu. "Hiki ni nini ninachoona?" aliniuliza. Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya kitandani! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Viatu vyangu vya kwanza Author - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya wapi
{ "text": [ "Kitandani" ] }
2482_swa
Viatu vyangu vya kwanza Ursula Nafula Rob Owen Kiswahili Sikuwa nimewahi kuvaa viatu. Nilipowaona watoto waliovaa viatu, niliwatazama kwa hamu. Mamangu alinifariji akisema, "Utakuwa na jozi nyingi baadaye, subiri tu utaona!" Wakati mwingine sikumwamini. "Baadaye, itakuwa lini?" nilimwuliza siku moja. Kisha ulikuwa msimu wa Krismasi. Kila mtu alijishughulisha kwenda sokoni na kurejea na vitu vipya. "Mama, je, nasi tutaenda sokoni?" nilimwuliza. Siku kabla ya Krismasi, mamangu aliniamsha mapema kuliko ilivyokuwa kawaida. Alinieleza nilichukue lile kapu kubwa ambalo alilibeba kila alipokwenda sokoni. Sokoni palikuwa na wazazi wengi walioandamana na watoto wao. Walinunua nguo mpya na kiasi kikubwa cha vyakula. Tulienda moja kwa moja hadi sehemu ya viatu aina tofauti. Nilishangaa kwa kuona mstari baada ya mwingine wa viatu vilivyopangwa kwa unadhifu. Baada ya kupima baadhi ya jozi nyingi, nilichukua jozi ya viatu vya michezo. Sikuweza kulala usiku huo. Nilisisimkwa sana nilipowaza jinsi ningevivaa viatu vyangu vipya na kujivunia kila mtoto kijijini. Muda mfupi baadaye, niliamka kitandani na kuvijaribu tena viatu vyangu. Nilitembea polepole chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu kulala lakini sikupata usingizi. Niliamka na kuvijaribu tena kwa mara ya pili. Nilitembea kwa maringo chumbani kisha nikavirejesha sandukuni. Nilijaribu tena kulala nikinuia kupata usingizi. Lakini muda mfupi baadaye, niliamka kwa mara ya tatu. Nilivivaa vyatu nikaruka ruka kidogo chumbani. Nilihisi usingizi nikarudi kitandani. Asubuhi yake, niliamshwa na mamangu. "Hiki ni nini ninachoona?" aliniuliza. Nilikuwa nimevaa viatu vyangu vipya kitandani! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Viatu vyangu vya kwanza Author - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini nilijaribu tena kulala
{ "text": [ "Nilinuia kupata usingizi" ] }
2485_swa
Vitu ninavyojua Ursula Nafula Michael Nakuwa Kiswahili Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana. Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno. Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa. Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli. Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri. Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi. Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa. Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana. Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe. Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vitu ninavyojua Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Michael Nakuwa Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwao ni wapi
{ "text": [ "Turkana" ] }
2485_swa
Vitu ninavyojua Ursula Nafula Michael Nakuwa Kiswahili Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana. Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno. Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa. Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli. Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri. Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi. Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa. Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana. Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe. Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vitu ninavyojua Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Michael Nakuwa Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Anapenda mwalimu yupi
{ "text": [ "wa Sanaa" ] }
2485_swa
Vitu ninavyojua Ursula Nafula Michael Nakuwa Kiswahili Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana. Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno. Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa. Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli. Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri. Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi. Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa. Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana. Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe. Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vitu ninavyojua Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Michael Nakuwa Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Meli zinatumika wapi
{ "text": [ "majini" ] }
2485_swa
Vitu ninavyojua Ursula Nafula Michael Nakuwa Kiswahili Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana. Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno. Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa. Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli. Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri. Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi. Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa. Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana. Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe. Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vitu ninavyojua Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Michael Nakuwa Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwavuli hutumika lini
{ "text": [ "inaponyesha" ] }
2485_swa
Vitu ninavyojua Ursula Nafula Michael Nakuwa Kiswahili Hii ni manyatta. Ni nyumbani kwetu. Iko katika Kaunti ya Turkana. Huyu ni ngamia. Katika Kaunti ya Turkana, watu wanafuga wanyama tofauti. Lakini ngamia ni muhimu mno. Hawa ni walimu wangu. Ninapenda kwenda shuleni. Shule yangu inaitwa Lolupe. Nampenda sana mwalimu wangu wa Sanaa. Hii ni meli kubwa. Meli zinatumika kusafirisha watu na mizigo majini. Nikienda Mombasa, nitaweza kuona meli. Hiki ni kitanda. Ninapenda kitanda babangu alinitengezea. Nakitumia na ndugu yangu mdogo. Ni kizuri. Huyu ni jogoo. Tuna jogoo wawili nyumbani. Tunao pia kuku wengi. Kuku hutaga mayai mengi. Huyu ni panya. Panya ni wanyama hatari. Hula chakula. Huharibu nguo pia. Huweza kusababisha ugonjwa. Huyu ni mbwa. Mbwa hufugwa. Mbwa wetu anaitwa Daa. Hubweka sana. Mwavuli huu mkubwa ni wa wazazi wangu. Ni wa rangi ya kisambarau, kimanjano na kijani kibichi. Tunautumia inaponyesha ili tusinyeshewe. Niko darasa la pili na ninajua vitu vingi. Nataka kujua vingine zaidi. Nisivyojua, nawauliza wazazi wangu au mwalimu wangu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Vitu ninavyojua Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Michael Nakuwa Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona wanatumia mwavuli
{ "text": [ "ili wasinyeshewe" ] }
2487_swa
Wa Mpanga Wendy Ezekiel Kiswahili Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul. Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe. Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda shambani. Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba msaada. Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi. Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo, akapata musituko kubwa kwaku ona mtu ambaye ameuwawa porini na kichwa chake ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe ambia mtu yeyote…ona …ona Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo, basi akakimbia kwa haraka nyumbani. Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na woga! Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle nakuanza eleza shida aliyokutana njiani. Ila mfalme na wazee hawakumuelewa, akajitaidikuwa elewesha lakini haikuwezekana. Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema wote waende kuona iyo kichwa ambao inaongea. Basi mfalme na wazee wote wakijijini wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama kichwa ambao inaongea. Paul akasahau mambo ambao iyokichwa ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu ivyo kwa mtu yeyote yule. Paul, mfalme na wazee walipo fika porini ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati mbaya hawakukutana kichwa iyo apo. Basi Paul akashikwa na uwoga. SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE…. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wa Mpanga Author - Wendy Ezekiel Illustration - Wendy Ezekiel Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mvulana alikua anaitwa nani
{ "text": [ "Paul" ] }
2487_swa
Wa Mpanga Wendy Ezekiel Kiswahili Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul. Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe. Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda shambani. Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba msaada. Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi. Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo, akapata musituko kubwa kwaku ona mtu ambaye ameuwawa porini na kichwa chake ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe ambia mtu yeyote…ona …ona Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo, basi akakimbia kwa haraka nyumbani. Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na woga! Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle nakuanza eleza shida aliyokutana njiani. Ila mfalme na wazee hawakumuelewa, akajitaidikuwa elewesha lakini haikuwezekana. Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema wote waende kuona iyo kichwa ambao inaongea. Basi mfalme na wazee wote wakijijini wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama kichwa ambao inaongea. Paul akasahau mambo ambao iyokichwa ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu ivyo kwa mtu yeyote yule. Paul, mfalme na wazee walipo fika porini ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati mbaya hawakukutana kichwa iyo apo. Basi Paul akashikwa na uwoga. SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE…. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wa Mpanga Author - Wendy Ezekiel Illustration - Wendy Ezekiel Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Paul aliishi katika kijiji gani
{ "text": [ "Tongwe" ] }
2487_swa
Wa Mpanga Wendy Ezekiel Kiswahili Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul. Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe. Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda shambani. Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba msaada. Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi. Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo, akapata musituko kubwa kwaku ona mtu ambaye ameuwawa porini na kichwa chake ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe ambia mtu yeyote…ona …ona Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo, basi akakimbia kwa haraka nyumbani. Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na woga! Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle nakuanza eleza shida aliyokutana njiani. Ila mfalme na wazee hawakumuelewa, akajitaidikuwa elewesha lakini haikuwezekana. Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema wote waende kuona iyo kichwa ambao inaongea. Basi mfalme na wazee wote wakijijini wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama kichwa ambao inaongea. Paul akasahau mambo ambao iyokichwa ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu ivyo kwa mtu yeyote yule. Paul, mfalme na wazee walipo fika porini ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati mbaya hawakukutana kichwa iyo apo. Basi Paul akashikwa na uwoga. SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE…. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wa Mpanga Author - Wendy Ezekiel Illustration - Wendy Ezekiel Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mfalme alitoa amri wakafanye nini
{ "text": [ "wakaone kichwa kinachoongea" ] }
2487_swa
Wa Mpanga Wendy Ezekiel Kiswahili Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul. Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe. Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda shambani. Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba msaada. Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi. Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo, akapata musituko kubwa kwaku ona mtu ambaye ameuwawa porini na kichwa chake ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe ambia mtu yeyote…ona …ona Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo, basi akakimbia kwa haraka nyumbani. Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na woga! Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle nakuanza eleza shida aliyokutana njiani. Ila mfalme na wazee hawakumuelewa, akajitaidikuwa elewesha lakini haikuwezekana. Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema wote waende kuona iyo kichwa ambao inaongea. Basi mfalme na wazee wote wakijijini wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama kichwa ambao inaongea. Paul akasahau mambo ambao iyokichwa ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu ivyo kwa mtu yeyote yule. Paul, mfalme na wazee walipo fika porini ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati mbaya hawakukutana kichwa iyo apo. Basi Paul akashikwa na uwoga. SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE…. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wa Mpanga Author - Wendy Ezekiel Illustration - Wendy Ezekiel Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Paul aliskia sauti ikiitisha msaada lini
{ "text": [ "alipokuwa njiani" ] }
2487_swa
Wa Mpanga Wendy Ezekiel Kiswahili Kulikuwa na mvulana mmoja aliyeitwa Paul. Aliishi katika kijiji kilichoitwa Tongwe. Asubuhi moja, Paul aliamka na kwenda shambani. Alipokuwa njiani, alisikia sauti ikiomba msaada. Paul alitaka kuifuata sauti hiyo ili ajue zaidi. Kwa gafla! Paul alipofika karibu na Saudi ilo, akapata musituko kubwa kwaku ona mtu ambaye ameuwawa porini na kichwa chake ambao kikiongea, nakumwambia hapashwe ambia mtu yeyote…ona …ona Paul kwa uoga mkubwa hakuweza baki apo, basi akakimbia kwa haraka nyumbani. Alipo fika kijijini watu wote wakamushanga kwaku ona Paul anarudi kwa haraka na woga! Alielekea mpaka nyumbani kwa mfamle nakuanza eleza shida aliyokutana njiani. Ila mfalme na wazee hawakumuelewa, akajitaidikuwa elewesha lakini haikuwezekana. Apo apo mfalme akatowa ambri na kusema wote waende kuona iyo kichwa ambao inaongea. Basi mfalme na wazee wote wakijijini wakisindikizwana Paul wakaenda kutazama kichwa ambao inaongea. Paul akasahau mambo ambao iyokichwa ilimuagiza yakwamba hapashwe kusema vitu ivyo kwa mtu yeyote yule. Paul, mfalme na wazee walipo fika porini ambapo kichwa iyo lilikuwa, ila kwa bahati mbaya hawakukutana kichwa iyo apo. Basi Paul akashikwa na uwoga. SASA UNAFIKIRI NINI ITAMUFIKIA PAUL KWA KUWEZA DANGANYA MFALME NA WAZEE…. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wa Mpanga Author - Wendy Ezekiel Illustration - Wendy Ezekiel Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Paul alirudi nyumbani kwa haraka na woga
{ "text": [ "aliona kichwa cha mtu aliyeuwawa kikiongea hapo porini" ] }
2489_swa
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Ursula Nafula Kiswahili Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu husimama katika kijiji cha akina Bobo kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo. Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8," Bobo anawaza. Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je, basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba abiria wangapi? Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini kununua sare mpya ya shule. Mama huuza mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600. Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4 yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake ili amnunulie Bobo sare mpya. Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha fedha alizoweka akiba kwa muda wa majuma 4? Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka kusafiri tena! Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na nusu, lakini Bobo bado hajalala. Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano. Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita? Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia saa mbili asubuhi. Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama anasema. Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa. "Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa kufika kazini!" mwanamume mmoja aliyevalia suti nyeusi, anasema. Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je, wamekuwa wakisubiri kwa muda gani? Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu kweli?" anamwuliza mamake. Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1 kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane ambao mimi na marafiki zangu tumepanga kucheza. Basi lisipofika kwa wakati, nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa mchezo huo." Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea kuzitazama saa zao. "Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!" Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza, "Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani." Halafu, wanasikia mngurumo wa basi barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili. Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati ufaao nawe utacheza mpira wa soka ulivyopanga." Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri lile basi. La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu. Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi ya kutosha kuwabeba watu wote wanaokwenda mjini." Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo itaweza kubeba? Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi." "Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri. Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi ya wote!" Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je, kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo anauliza. Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini, upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla? Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza kuketi? Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa mbele yao na pia wanaweza kutazama nje vizuri. Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza. "Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu atakayelazimika kusimama." Je, Bobo alihesabu sawa? Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na abiria wengine wanatazama dirishani. Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri! Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa. Bobo na mamake wanawahurumia walioachwa nyuma. Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana." "Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?" mamake Bobo anauliza. Dereva anasema, "Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili leo." Bobo anasikiliza wanavyozungumza. Mawazo yake yanajaa nambari. Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na 4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?" Unaweza kulipata jawabu? Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani kwa wakati ili acheze soka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Basi husimama mara ngapi kwa siku katika kijiji ya kina Bobo?
{ "text": [ "Moja" ] }
2489_swa
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Ursula Nafula Kiswahili Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu husimama katika kijiji cha akina Bobo kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo. Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8," Bobo anawaza. Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je, basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba abiria wangapi? Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini kununua sare mpya ya shule. Mama huuza mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600. Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4 yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake ili amnunulie Bobo sare mpya. Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha fedha alizoweka akiba kwa muda wa majuma 4? Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka kusafiri tena! Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na nusu, lakini Bobo bado hajalala. Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano. Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita? Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia saa mbili asubuhi. Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama anasema. Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa. "Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa kufika kazini!" mwanamume mmoja aliyevalia suti nyeusi, anasema. Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je, wamekuwa wakisubiri kwa muda gani? Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu kweli?" anamwuliza mamake. Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1 kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane ambao mimi na marafiki zangu tumepanga kucheza. Basi lisipofika kwa wakati, nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa mchezo huo." Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea kuzitazama saa zao. "Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!" Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza, "Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani." Halafu, wanasikia mngurumo wa basi barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili. Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati ufaao nawe utacheza mpira wa soka ulivyopanga." Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri lile basi. La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu. Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi ya kutosha kuwabeba watu wote wanaokwenda mjini." Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo itaweza kubeba? Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi." "Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri. Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi ya wote!" Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je, kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo anauliza. Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini, upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla? Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza kuketi? Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa mbele yao na pia wanaweza kutazama nje vizuri. Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza. "Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu atakayelazimika kusimama." Je, Bobo alihesabu sawa? Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na abiria wengine wanatazama dirishani. Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri! Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa. Bobo na mamake wanawahurumia walioachwa nyuma. Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana." "Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?" mamake Bobo anauliza. Dereva anasema, "Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili leo." Bobo anasikiliza wanavyozungumza. Mawazo yake yanajaa nambari. Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na 4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?" Unaweza kulipata jawabu? Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani kwa wakati ili acheze soka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Basi linalosimama kwa akina Bobo ni la rangi gani?
{ "text": [ "Bluu" ] }
2489_swa
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Ursula Nafula Kiswahili Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu husimama katika kijiji cha akina Bobo kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo. Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8," Bobo anawaza. Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je, basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba abiria wangapi? Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini kununua sare mpya ya shule. Mama huuza mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600. Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4 yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake ili amnunulie Bobo sare mpya. Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha fedha alizoweka akiba kwa muda wa majuma 4? Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka kusafiri tena! Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na nusu, lakini Bobo bado hajalala. Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano. Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita? Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia saa mbili asubuhi. Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama anasema. Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa. "Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa kufika kazini!" mwanamume mmoja aliyevalia suti nyeusi, anasema. Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je, wamekuwa wakisubiri kwa muda gani? Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu kweli?" anamwuliza mamake. Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1 kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane ambao mimi na marafiki zangu tumepanga kucheza. Basi lisipofika kwa wakati, nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa mchezo huo." Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea kuzitazama saa zao. "Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!" Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza, "Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani." Halafu, wanasikia mngurumo wa basi barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili. Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati ufaao nawe utacheza mpira wa soka ulivyopanga." Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri lile basi. La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu. Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi ya kutosha kuwabeba watu wote wanaokwenda mjini." Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo itaweza kubeba? Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi." "Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri. Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi ya wote!" Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je, kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo anauliza. Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini, upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla? Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza kuketi? Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa mbele yao na pia wanaweza kutazama nje vizuri. Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza. "Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu atakayelazimika kusimama." Je, Bobo alihesabu sawa? Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na abiria wengine wanatazama dirishani. Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri! Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa. Bobo na mamake wanawahurumia walioachwa nyuma. Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana." "Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?" mamake Bobo anauliza. Dereva anasema, "Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili leo." Bobo anasikiliza wanavyozungumza. Mawazo yake yanajaa nambari. Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na 4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?" Unaweza kulipata jawabu? Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani kwa wakati ili acheze soka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Basi waliloabiri Bobo na mamake ni la rangi gani?
{ "text": [ "Nyekundu" ] }
2489_swa
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Ursula Nafula Kiswahili Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu husimama katika kijiji cha akina Bobo kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo. Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8," Bobo anawaza. Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je, basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba abiria wangapi? Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini kununua sare mpya ya shule. Mama huuza mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600. Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4 yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake ili amnunulie Bobo sare mpya. Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha fedha alizoweka akiba kwa muda wa majuma 4? Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka kusafiri tena! Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na nusu, lakini Bobo bado hajalala. Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano. Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita? Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia saa mbili asubuhi. Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama anasema. Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa. "Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa kufika kazini!" mwanamume mmoja aliyevalia suti nyeusi, anasema. Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je, wamekuwa wakisubiri kwa muda gani? Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu kweli?" anamwuliza mamake. Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1 kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane ambao mimi na marafiki zangu tumepanga kucheza. Basi lisipofika kwa wakati, nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa mchezo huo." Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea kuzitazama saa zao. "Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!" Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza, "Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani." Halafu, wanasikia mngurumo wa basi barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili. Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati ufaao nawe utacheza mpira wa soka ulivyopanga." Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri lile basi. La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu. Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi ya kutosha kuwabeba watu wote wanaokwenda mjini." Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo itaweza kubeba? Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi." "Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri. Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi ya wote!" Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je, kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo anauliza. Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini, upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla? Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza kuketi? Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa mbele yao na pia wanaweza kutazama nje vizuri. Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza. "Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu atakayelazimika kusimama." Je, Bobo alihesabu sawa? Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na abiria wengine wanatazama dirishani. Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri! Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa. Bobo na mamake wanawahurumia walioachwa nyuma. Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana." "Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?" mamake Bobo anauliza. Dereva anasema, "Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili leo." Bobo anasikiliza wanavyozungumza. Mawazo yake yanajaa nambari. Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na 4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?" Unaweza kulipata jawabu? Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani kwa wakati ili acheze soka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alifunga mlango wa lile basi nyekundu ilipokua imejaa?
{ "text": [ "Dereva" ] }
2489_swa
Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Ursula Nafula Kiswahili Mara moja kwa siku, basi kubwa la bluu husimama katika kijiji cha akina Bobo kuwasafirisha watu hadi mjini. Bobo hajawahi kuliona basi kubwa kama hilo. Anayahesabu madirisha 9 ya abiria na moja la dereva. "Lazima kuna safu 9 za viti vya abiria, kila safu ikiwa na takriban viti 8," Bobo anawaza. Ikiwa ni sawa namna Bobo anavyowaza, je, basi kubwa la bluu linaweza kuwabeba abiria wangapi? Kesho, mamake Bobo atampeleka mjini kununua sare mpya ya shule. Mama huuza mayai dazeni moja kwa shilingi 120. Karibu kila juma, yeye hupata jumla ya shilingi 3600. Je, ni mayai dazeni ngapi anazohitaji kuuza ili aweze kupata shilingi 3600? Kwa majuma 4 yaliyopita, aliweka akiba nusu ya fedha zake ili amnunulie Bobo sare mpya. Je, unaweza kufanya hesabu ya kiasi cha fedha alizoweka akiba kwa muda wa majuma 4? Takriban miezi mitatu imepita tangu Bobo asafiri kwa basi. Ana hamu kubwa ya kutaka kusafiri tena! Kesho itakuwa siku kubwa. Inapofika saa moja jioni, Bobo yuko kitandani, lakini hapati usingizi wowote. Hafikirii jambo jingine ila tu safari yake ya kwenda mjini. Ni saa tatu na nusu, lakini Bobo bado hajalala. Kila asubuhi, mama humwamsha Bobo saa moja. Lakini leo, Bobo tayari yuko macho inapofika saa kumi na mbili, ingawa usiku uliopita, aliweza tu kulala ilipotimia saa tano. Inapotimia saa moja, Bobo ameoga na kuvaa, tayari kuondoka. Je, Bobo alipata usingizi kwa saa ngapi usiku uliopita? Saa moja kasororobo asubuhi, Bobo na mamake wanawasili kituoni. Lile basi kubwa la bluu linastahili kuwasili kituoni inapotimia saa mbili asubuhi. Mamake Bobo anaitazama saa yake. Lile basi kubwa la bluu tayari limechelewa kwa dakika kumi na tano. "Lakini, kawaida, basi hili halichelewi. Sijui kuna shida gani?" mama anasema. Muda mfupi baadaye, watu zaidi wanajiunga nao pale kituoni. Wao pia wanazitazama saa zao na kuuliza kwa nini basi limechelewa. "Sasa tayari zimetimia saa tatu. Nitachelewa kufika kazini!" mwanamume mmoja aliyevalia suti nyeusi, anasema. Bobo na mamake ndio waliosubiri kwa muda mrefu zaidi. Bobo anaona kama amesubiri kwa saa nyingi. Lakini, si saa nyingi. Je, wamekuwa wakisubiri kwa muda gani? Bobo ana wasiwasi. "Je, nitaipata sare yangu kweli?" anamwuliza mamake. Bobo anahesabu kwamba safari ya kwenda mjini na kurudi itawachukua saa 4. Saa 1 kufika huko, saa 2 kununua na saa 1 kurudi nyumbani. "Kuna mpira wa soka saa nane ambao mimi na marafiki zangu tumepanga kucheza. Basi lisipofika kwa wakati, nitachelewa kujiunga na wenzangu kwa mchezo huo." Bado wanasubiri. Bobo sasa analia. Watu wawili walio kwenye foleni, wanaondoka na kurudi nyumbani. Wengine wanaendelea kuzitazama saa zao. "Hebu tuwe na subira. Nina hakika kwamba basi litakuja hivi karibuni," mamake Bobo anawaambia. "Ninataka kwenda nyumbani!" Bobo analia kwa sauti. Mamake anamtuliza, "Tusubiri kwa dakika kumi tu. Basi lisipokuwa hapa saa tatu na nusu, tutaenda nyumbani." Halafu, wanasikia mngurumo wa basi barabarani. "Si niliwaambia," mamake Bobo anasema. "Sasa ni saa tatu na nusu kamili. Tutanunua kwa haraka. Basi likiondoka mjini kwa wakati, tutafika nyumbani kwa wakati ufaao nawe utacheza mpira wa soka ulivyopanga." Bobo anafuta machozi. Anahisi uchungu miguuni. Amechoka. Hawezi kusubiri kuliabiri lile basi. La kushangaza ni kwamba, basi hili sio lile kubwa la bluu. Bali ni basi ndogo nyekundu. Bobo anahesabu madirisha ya abiria 4 pekee kisha anasema, "Mama, basi hii ni ndogo sana kuliko lile la bluu. Halitakuwa na nafasi ya kutosha kuwabeba watu wote wanaokwenda mjini." Je, unakubaliana na Bobo? Unaweza kukisia idadi ya abiria ambao basi hiyo ndogo itaweza kubeba? Mamake Bobo anamtania, "Wasiwasi wako hauna msingi. Angalau sote tunaosubiri hapa kituoni, tutapata nafasi ya kuketi." "Hebu tuabiri kwa haraka ili tupate viti vizuri. Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu zaidi ya wote!" Bobo na mamake wanaabiri basi. Nyuma yao kuna watu 9 zaidi wanaotaka kuabiri. "Je, kutakuwa na viti vya kututosha sote?" Bobo anauliza. Anaona kwamba kuna safu 4 za viti basini, upande mmoja ukiwa na viti 2 na mwingine ukiwa na viti 2 pia. Je, kuna viti vingapi jumla? Je, watu wote walio kwenye foleni wataweza kuketi? Bobo na mamake wanakalia viti 2 vilivyo mbele karibu na mlango. Wana nafasi kubwa mbele yao na pia wanaweza kutazama nje vizuri. Bobo anahesabu watu 6 wapya wanaojiunga na wengine kwenye foleni. "Hao wanafanya jumla ya idadi ya abiria kuwa 17," anawaza. "Mama, kuna nafasi ya kila mtu," Bobo anamweleza mamake. "Ni mtu mmoja tu atakayelazimika kusimama." Je, Bobo alihesabu sawa? Basi sasa imejaa. Dereva anaifunga milango na kuanza safari. Kuna kelele nje. Bobo na abiria wengine wanatazama dirishani. Watu zaidi wanakimbia wakitaka kuifikia basi. Wanapiga mayowe, "Subiri! Subiri! Tunahitaji usafiri." Lakini wamechelewa. Bobo na mamake wanawahurumia walioachwa nyuma. Mamake Bobo anamwuliza dereva, "Mbona hukujia lile basi kubwa la bluu?" Dereva anajibu, "Liliharibika jana. Hii basi ndogo nyekundu pekee ndiyo iliyopatikana." "Je, na wale watu wote tuliowaacha nyuma?" mamake Bobo anauliza. Dereva anasema, "Usiwe na wasiwasi. Nitakuwa na safari mbili leo." Bobo anasikiliza wanavyozungumza. Mawazo yake yanajaa nambari. Bobo anahesabu viti tena. "Basi hii inawabeba watu 20, 16 wakiwa wameketi na 4 wakiwa wamesimama." Anajiuliza, "Basi hii itaweza kwenda safari ngapi ili iwapeleke abiria 100 mjini? Na abiria 200 au 150, je?" Unaweza kulipata jawabu? Bobo amefurahi. Hivi karibuni, ataipata sare mpya. Kisha, basi itawarudisha nyumbani kwa wakati ili acheze soka. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wakati basi kubwa la bluu lilipochelewa Author - Mecelin Kakoro Translation - Ursula Nafula Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Bobo na mamake wanawasili kituoni saa ngapi?
{ "text": [ "Saa moja kasorobo" ] }
2490_swa
Wanamuziki stadi Ursula Nafula Salim Kasamba Kiswahili Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na milima mashariki mwa Uganda. Wote walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki stadi walitaka kumchagua kiongozi wao. Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya wote, ndiye angekuwa mfalme wao. Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha kwamba anaweza kusikika na walio karibu na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee hupenda kucheza muziki wangu. Hata ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo." "Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi. Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza muziki wangu mpaka karibu wavunjike migongo! Iwe wakati wa furaha au wa majonzi, mimi huwafanya watu wacheze! Watoto hupenda kuiga midundo yangu." "Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi. Wachezaji hunifunga vifundoni. Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa mchanganyiko wa sauti za juu na zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?" "Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi nimetengenezwa kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani kama mimi ninaweza kuwa kiongozi." "Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha watu kunapokuwa na hatari. Unasikika wakati wa sherehe na kuwafanya watu wacheze kwa furaha na kwa huzuni. Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi." Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi nina sauti kubwa tena ninawavutia watu. Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul. Ninapendekeza yeye awe mfalme." Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana, hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague Bul kuwa mflame wetu." Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa! Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza kwa muziki wakati wa huzuni na kuwaburudisha wakati wa furaha." Mwishowe, wanamuziki hao stadi walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki. Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila nyumba ya jamii inayoishi milimani mashariki mwa Uganda. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanamuziki stadi Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wanamuziki stadi walitaka kumchagua nani
{ "text": [ "kiongozi wao" ] }
2490_swa
Wanamuziki stadi Ursula Nafula Salim Kasamba Kiswahili Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na milima mashariki mwa Uganda. Wote walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki stadi walitaka kumchagua kiongozi wao. Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya wote, ndiye angekuwa mfalme wao. Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha kwamba anaweza kusikika na walio karibu na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee hupenda kucheza muziki wangu. Hata ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo." "Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi. Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza muziki wangu mpaka karibu wavunjike migongo! Iwe wakati wa furaha au wa majonzi, mimi huwafanya watu wacheze! Watoto hupenda kuiga midundo yangu." "Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi. Wachezaji hunifunga vifundoni. Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa mchanganyiko wa sauti za juu na zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?" "Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi nimetengenezwa kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani kama mimi ninaweza kuwa kiongozi." "Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha watu kunapokuwa na hatari. Unasikika wakati wa sherehe na kuwafanya watu wacheze kwa furaha na kwa huzuni. Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi." Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi nina sauti kubwa tena ninawavutia watu. Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul. Ninapendekeza yeye awe mfalme." Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana, hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague Bul kuwa mflame wetu." Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa! Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza kwa muziki wakati wa huzuni na kuwaburudisha wakati wa furaha." Mwishowe, wanamuziki hao stadi walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki. Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila nyumba ya jamii inayoishi milimani mashariki mwa Uganda. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanamuziki stadi Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tongoli ana nyaya ngapi
{ "text": [ "nyingi" ] }
2490_swa
Wanamuziki stadi Ursula Nafula Salim Kasamba Kiswahili Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na milima mashariki mwa Uganda. Wote walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki stadi walitaka kumchagua kiongozi wao. Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya wote, ndiye angekuwa mfalme wao. Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha kwamba anaweza kusikika na walio karibu na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee hupenda kucheza muziki wangu. Hata ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo." "Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi. Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza muziki wangu mpaka karibu wavunjike migongo! Iwe wakati wa furaha au wa majonzi, mimi huwafanya watu wacheze! Watoto hupenda kuiga midundo yangu." "Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi. Wachezaji hunifunga vifundoni. Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa mchanganyiko wa sauti za juu na zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?" "Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi nimetengenezwa kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani kama mimi ninaweza kuwa kiongozi." "Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha watu kunapokuwa na hatari. Unasikika wakati wa sherehe na kuwafanya watu wacheze kwa furaha na kwa huzuni. Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi." Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi nina sauti kubwa tena ninawavutia watu. Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul. Ninapendekeza yeye awe mfalme." Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana, hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague Bul kuwa mflame wetu." Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa! Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza kwa muziki wakati wa huzuni na kuwaburudisha wakati wa furaha." Mwishowe, wanamuziki hao stadi walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki. Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila nyumba ya jamii inayoishi milimani mashariki mwa Uganda. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanamuziki stadi Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sauti ya Fumbo hufika wapi
{ "text": [ "karibu na mbali" ] }
2490_swa
Wanamuziki stadi Ursula Nafula Salim Kasamba Kiswahili Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na milima mashariki mwa Uganda. Wote walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki stadi walitaka kumchagua kiongozi wao. Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya wote, ndiye angekuwa mfalme wao. Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha kwamba anaweza kusikika na walio karibu na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee hupenda kucheza muziki wangu. Hata ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo." "Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi. Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza muziki wangu mpaka karibu wavunjike migongo! Iwe wakati wa furaha au wa majonzi, mimi huwafanya watu wacheze! Watoto hupenda kuiga midundo yangu." "Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi. Wachezaji hunifunga vifundoni. Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa mchanganyiko wa sauti za juu na zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?" "Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi nimetengenezwa kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani kama mimi ninaweza kuwa kiongozi." "Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha watu kunapokuwa na hatari. Unasikika wakati wa sherehe na kuwafanya watu wacheze kwa furaha na kwa huzuni. Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi." Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi nina sauti kubwa tena ninawavutia watu. Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul. Ninapendekeza yeye awe mfalme." Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana, hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague Bul kuwa mflame wetu." Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa! Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza kwa muziki wakati wa huzuni na kuwaburudisha wakati wa furaha." Mwishowe, wanamuziki hao stadi walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki. Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila nyumba ya jamii inayoishi milimani mashariki mwa Uganda. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanamuziki stadi Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wachezaji hufunga Milege wapi
{ "text": [ "vifundoni" ] }
2490_swa
Wanamuziki stadi Ursula Nafula Salim Kasamba Kiswahili Bul, Fumbo, Teke, Tongoli, Milege, Sos na Gwara walikuwa marafiki wakubwa. Pia waliimba muziki mzuri. Waliishi karibu na milima mashariki mwa Uganda. Wote walikuwa wanamuziki stadi. Kila mtu alifurahi kusikiliza nyimbo zao na kucheza kufuata mdundo wao! Hawa wanamuziki stadi walitaka kumchagua kiongozi wao. Aliyetambuliwa kwa umaarufu wake zaidi ya wote, ndiye angekuwa mfalme wao. Ili kuchaguliwa kama mfalme, kila mwanamuziki alitakiwa kudhihirisha kwamba anaweza kusikika na walio karibu na vilevile walio mbali. Tongoli aliongea kwanza, "Mimi ni mfalme. Ninaimba sauti ya juu na vilevile ya chini. Nina nyaya nyingi zenye milio tofauti. Ninaweza kuimba peke yangu na pia katika kikundi. Vijana kwa wazee hupenda kucheza muziki wangu. Hata ninamwongoza Fumbo kwenye nyimbo." "Ulivyosema ni ukweli Tongoli," Fumbo alikubali. "Lakini, wewe hunishindi mimi. Sauti yako ni laini sana. Mimi nina sauti kubwa iliyo wazi na inayofika karibu na mbali." Fumbo aliendelea, "Watu hucheza muziki wangu mpaka karibu wavunjike migongo! Iwe wakati wa furaha au wa majonzi, mimi huwafanya watu wacheze! Watoto hupenda kuiga midundo yangu." "Nyote wawili ni viongozi," Milege alikubali kisha akaendelea, "Kazi yangu ni rahisi. Wachezaji hunifunga vifundoni. Wanapoitikisa miguu yao kwa mdundo, mimi hutoa muziki wa kupendeza. Ninatoa mchanganyiko wa sauti za juu na zinazokwaruza. Je, mimi si kiongozi?" "Hiyo ni sawa!" Bul alisema. "Mimi nimetengenezwa kutoka kipande cha ngozi kilichowambwa juu ya mti ulio na uwazi. Mimi hutia midundo kwenye nyimbo na sauti yangu hutambulisha vitu vingi. Lakini siwezi kubadilisha sauti yangu kama mnavyofanya ninyi. Sidhani kama mimi ninaweza kuwa kiongozi." "Bul, wewe hutenda mambo makuu!" Gwara alitofautiana naye. "Wewe huwaita watu kwenye mikutano, ibada, na kazi za kijamii na pia hutangaza vifo na kuwatahadharisha watu kunapokuwa na hatari. Unasikika wakati wa sherehe na kuwafanya watu wacheze kwa furaha na kwa huzuni. Kulingana nami, wewe ni mkubwa zaidi." Gwara alitoa mlio mkubwa na kusema, "Mimi nina sauti kubwa tena ninawavutia watu. Hata hivyo, mimi si bora kumliko Bul. Ninapendekeza yeye awe mfalme." Wanamuziki hao stadi walitazamana kwa mshangao wakabaki kimya. Kisha Tongoli akasema, "Bul ni mtu wa kawaida sana, hawezi kuwa mfalme. Mimi ndiye mkubwa zaidi kwa sababu ninacheza kuanza kwa sauti ya chini hadi ya juu zaidi bila tatizo lolote." Sos ambaye alikuwa kimya wakati huo wote, sasa aliongea, "Marafiki, mimi nimekuwa nikiimba nanyi nyote. Nyote ni wanamuziki stadi. Lakini, ni bora tumchague Bul kuwa mflame wetu." Sos aliendelea, "Mtu asiyesikia muziki unaoimbwa na Bul ni kama gogo lililokufa! Bul huwavutia watu kwake na kuwaliwaza kwa muziki wakati wa huzuni na kuwaburudisha wakati wa furaha." Mwishowe, wanamuziki hao stadi walimchagua Bul kuwa mfalme wao. Tangu wakati huo, Bul amekuwa mfalme wa muziki. Hiyo ndiyo sababu Bul yuko katika kila nyumba ya jamii inayoishi milimani mashariki mwa Uganda. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanamuziki stadi Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Bul huwa katika kila nyumba mashariki mwa Uganda
{ "text": [ "amekuwa mfalme wa muziki" ] }
2493_swa
Wanyama hushukuru Susan Kavaya Rob Owen Kiswahili Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba, Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku nzima hadi jua lilipotua. "Tutalala wapi?" Punda aliuliza. "Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema. Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje. Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?" Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini, hatuna chakula cha kuwapa." Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu." Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote." Binadamu na wanyama walisema, "Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu." Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea zawadi pia." Mbwa alisema." Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum." Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta." "Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai. Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru." Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee. Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande vya sarara. Punda naye akapewa nyasi kutoka paa la nyumba. Wageni wale walilala vizuri usiku ule. Asubuhi kulipokucha wakaenda zao. Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe walimsikia Simba akinguruma karibu na nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo iliyolazwa nyasini. "Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani. Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba," mume alimwambia mkewe. Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala karibu na mlango wa nyumba yao. Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia wezi wasiingie nyumbani kwenu. Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha niwasaidie pia." Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu wote walimchukia. Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo, aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua kakangu halafu niichukue." Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake. Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe. Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia. Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo, ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu walirithiwa na kakake aliyekuwa hai. Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa, na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na Binadamu watafanya nini?" Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani, aliwaona wazee wakitembea pamoja barabarani. Mikononi mwao walikuwa na kitu fulani kilichong'aa sana. "Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana wanampelekea mume zawadi kutoka kwa mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe, watasameheana tu." Tai aliwaza. Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi kutoka mikononi mwa wazee. Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni. Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana wake alimpiga akisema, "Enda kasi au nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!" Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu bwana wake mwovu. Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa hizi. Ni zawadi yenu." Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile. Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama, wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu wa pekee tukawapa." Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa zawadi yoyote. Hakika, wanyama wametufanyia mambo mengi. Ninajua Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi." Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita, kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi. Wanyama wote walitimiza ahadi zao. Binadamu alisahau. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanyama hushukuru Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Binadamu, Simba,Punda,Nyoka,Tai,na Mbwa walikuwa wamekwenda wapi
{ "text": [ "Vitani" ] }
2493_swa
Wanyama hushukuru Susan Kavaya Rob Owen Kiswahili Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba, Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku nzima hadi jua lilipotua. "Tutalala wapi?" Punda aliuliza. "Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema. Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje. Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?" Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini, hatuna chakula cha kuwapa." Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu." Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote." Binadamu na wanyama walisema, "Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu." Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea zawadi pia." Mbwa alisema." Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum." Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta." "Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai. Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru." Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee. Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande vya sarara. Punda naye akapewa nyasi kutoka paa la nyumba. Wageni wale walilala vizuri usiku ule. Asubuhi kulipokucha wakaenda zao. Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe walimsikia Simba akinguruma karibu na nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo iliyolazwa nyasini. "Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani. Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba," mume alimwambia mkewe. Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala karibu na mlango wa nyumba yao. Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia wezi wasiingie nyumbani kwenu. Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha niwasaidie pia." Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu wote walimchukia. Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo, aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua kakangu halafu niichukue." Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake. Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe. Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia. Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo, ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu walirithiwa na kakake aliyekuwa hai. Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa, na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na Binadamu watafanya nini?" Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani, aliwaona wazee wakitembea pamoja barabarani. Mikononi mwao walikuwa na kitu fulani kilichong'aa sana. "Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana wanampelekea mume zawadi kutoka kwa mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe, watasameheana tu." Tai aliwaza. Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi kutoka mikononi mwa wazee. Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni. Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana wake alimpiga akisema, "Enda kasi au nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!" Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu bwana wake mwovu. Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa hizi. Ni zawadi yenu." Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile. Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama, wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu wa pekee tukawapa." Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa zawadi yoyote. Hakika, wanyama wametufanyia mambo mengi. Ninajua Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi." Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita, kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi. Wanyama wote walitimiza ahadi zao. Binadamu alisahau. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanyama hushukuru Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Walipobisha, nani walitoka nje
{ "text": [ "Mtu na mkewe" ] }
2493_swa
Wanyama hushukuru Susan Kavaya Rob Owen Kiswahili Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba, Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku nzima hadi jua lilipotua. "Tutalala wapi?" Punda aliuliza. "Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema. Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje. Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?" Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini, hatuna chakula cha kuwapa." Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu." Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote." Binadamu na wanyama walisema, "Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu." Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea zawadi pia." Mbwa alisema." Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum." Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta." "Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai. Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru." Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee. Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande vya sarara. Punda naye akapewa nyasi kutoka paa la nyumba. Wageni wale walilala vizuri usiku ule. Asubuhi kulipokucha wakaenda zao. Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe walimsikia Simba akinguruma karibu na nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo iliyolazwa nyasini. "Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani. Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba," mume alimwambia mkewe. Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala karibu na mlango wa nyumba yao. Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia wezi wasiingie nyumbani kwenu. Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha niwasaidie pia." Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu wote walimchukia. Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo, aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua kakangu halafu niichukue." Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake. Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe. Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia. Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo, ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu walirithiwa na kakake aliyekuwa hai. Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa, na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na Binadamu watafanya nini?" Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani, aliwaona wazee wakitembea pamoja barabarani. Mikononi mwao walikuwa na kitu fulani kilichong'aa sana. "Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana wanampelekea mume zawadi kutoka kwa mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe, watasameheana tu." Tai aliwaza. Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi kutoka mikononi mwa wazee. Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni. Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana wake alimpiga akisema, "Enda kasi au nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!" Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu bwana wake mwovu. Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa hizi. Ni zawadi yenu." Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile. Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama, wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu wa pekee tukawapa." Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa zawadi yoyote. Hakika, wanyama wametufanyia mambo mengi. Ninajua Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi." Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita, kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi. Wanyama wote walitimiza ahadi zao. Binadamu alisahau. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanyama hushukuru Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Punda alipewa nyasi kutoka wapi
{ "text": [ "Paa la nyumba" ] }
2493_swa
Wanyama hushukuru Susan Kavaya Rob Owen Kiswahili Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba, Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku nzima hadi jua lilipotua. "Tutalala wapi?" Punda aliuliza. "Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema. Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje. Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?" Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini, hatuna chakula cha kuwapa." Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu." Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote." Binadamu na wanyama walisema, "Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu." Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea zawadi pia." Mbwa alisema." Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum." Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta." "Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai. Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru." Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee. Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande vya sarara. Punda naye akapewa nyasi kutoka paa la nyumba. Wageni wale walilala vizuri usiku ule. Asubuhi kulipokucha wakaenda zao. Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe walimsikia Simba akinguruma karibu na nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo iliyolazwa nyasini. "Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani. Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba," mume alimwambia mkewe. Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala karibu na mlango wa nyumba yao. Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia wezi wasiingie nyumbani kwenu. Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha niwasaidie pia." Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu wote walimchukia. Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo, aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua kakangu halafu niichukue." Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake. Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe. Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia. Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo, ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu walirithiwa na kakake aliyekuwa hai. Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa, na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na Binadamu watafanya nini?" Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani, aliwaona wazee wakitembea pamoja barabarani. Mikononi mwao walikuwa na kitu fulani kilichong'aa sana. "Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana wanampelekea mume zawadi kutoka kwa mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe, watasameheana tu." Tai aliwaza. Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi kutoka mikononi mwa wazee. Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni. Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana wake alimpiga akisema, "Enda kasi au nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!" Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu bwana wake mwovu. Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa hizi. Ni zawadi yenu." Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile. Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama, wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu wa pekee tukawapa." Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa zawadi yoyote. Hakika, wanyama wametufanyia mambo mengi. Ninajua Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi." Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita, kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi. Wanyama wote walitimiza ahadi zao. Binadamu alisahau. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanyama hushukuru Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Nani alikuwa amelala karibu na mlango
{ "text": [ "Nyoka mkubwa" ] }
2493_swa
Wanyama hushukuru Susan Kavaya Rob Owen Kiswahili Hapo zamani za kale, Binadamu, Simba, Punda, Nyoka, Tai, na Mbwa walikuwa wamekwenda vitani pamoja. Walisafiri siku nzima hadi jua lilipotua. "Tutalala wapi?" Punda aliuliza. "Tazameni, ninaona moshi ukitoka katika nyumba ile. Tunaweza kulala huko," Nyoka alisema. Walipobisha, mtu na mkewe walitoka nje. Nyoka aliuliza, "Tunaweza kulala kwenu?" Waliwajibu, "Tunawakaribisha mlale, lakini, hatuna chakula cha kuwapa." Mbwa alisema, "Tulimwona ng'ombe wenu." Mume alijibu, "Huyo ng'ombe pekee ndiye tuliye naye. Tukimchinja, tutabaki bila chochote." Binadamu na wanyama walisema, "Tutawalipa. Tafadhali, tuchinjie ng'ombe wenu." Simba alisema, "Naomba damu. Nitakupa zawadi siku moja." "Nipe mifupa. Nitakuletea zawadi pia." Mbwa alisema." Binadamu alisema, "Nipe maziwa. Nitakupa zawadi maalum." Nyoka akasema, "Nipe mafuta. Hutajuta." "Naomba vipande vya sarara. Nitakupa zawadi pia," alisema Tai. Punda naye alisema, "Mimi nipe nyasi kutoka paa la nyumba yako. Siku moja utanishukuru." Mtu na mkewe walimchinja ng'ombe wao wa pekee. Wakampa Simba damu, Mbwa akapewa mifupa, Binadamu akapewa maziwa, Nyoka akapewa mafuta, na Tai akapewa vipande vya sarara. Punda naye akapewa nyasi kutoka paa la nyumba. Wageni wale walilala vizuri usiku ule. Asubuhi kulipokucha wakaenda zao. Baada ya wiki nyingi, mtu huyo na mkewe walimsikia Simba akinguruma karibu na nyumba yao. Walipotoka nje, hawakumpata Simba, lakini, kulikuwa na pembe ya tembo iliyolazwa nyasini. "Pembe hii ni ya thamani. Ipeleke ndani. Lazima tuwe waangalifu wezi wasije kuiiba," mume alimwambia mkewe. Ghafla, yule mtu na mkewe wakatazama nyuma yao. Walimwona Mbwa amelala karibu na mlango wa nyumba yao. Alisema, "Msiwe na wasiwasi. Nitawazuia wezi wasiingie nyumbani kwenu. Nakumbuka mlinisaidia na sasa wacha niwasaidie pia." Yule mtu alikuwa na kaka. Kakake huyo alikuwa tajiri, lakini, alikuwa mwovu na watu wote walimchukia. Alipopata habari kuhusu pembe ya tembo, aliwaza, "Ninaitaka pembe ile. Nitamuua kakangu halafu niichukue." Usiku wa manane, alikwenda nyumbani kwa kakake. Nyoka mkubwa alikuwa amelala karibu na mlango wa nyumba ya mtu yule na mkewe. Nyoka huyo alimuuma kaka mwovu akaaga dunia. Katika nchi ile, mtu alipokufa, mali yake ilirithiwa na kakake. Kwa sababu hiyo, ng'ombe na kondoo wa kaka mwovu walirithiwa na kakake aliyekuwa hai. Yule mtu alimwambia mkewe, "Simba, Mbwa, na Nyoka wametulipa vizuri. Tai, Punda, na Binadamu watafanya nini?" Siku moja, Tai alipokuwa akiruka juu angani, aliwaona wazee wakitembea pamoja barabarani. Mikononi mwao walikuwa na kitu fulani kilichong'aa sana. "Nadhani wana pesa na vito. Inaonekana wanampelekea mume zawadi kutoka kwa mkewe au kutoka kwa mume kwenda kwa mkewe ili kumaliza ugomvi. Mwishowe, watasameheana tu." Tai aliwaza. Tai aliruka chini akazichukua zile zawadi kutoka mikononi mwa wazee. Aliziangusha zawadi hizo nje ya nyumba ya yule mtu na mkewe waliomsaidia mbeleni. Siku hiyo, Punda alikuwa katika msitu uliokuwa karibu. Mgongoni, alikuwa amebeba mfuko mzito uliojaa pesa. Bwana wake alimpiga akisema, "Enda kasi au nikuue! Wewe mnyama mpumbavu na mvivu!" Punda huyo aliwaza jinsi angemwadhibu bwana wake mwovu. Punda alitoroka akaenda nyumbani kwa yule mtu na mkewe akwaambia, "Chukueni pesa hizi. Ni zawadi yenu." Yule mtu na mkewe walitajirika kutoka siku ile. Mtu yule alisema, "Rafiki zetu, wanyama, wamekuwa wema sana kwetu. Ilikuwa vyema kwamba tulimchinja ng'ombe wetu wa pekee tukawapa." Mkewe alimjibu, "Lakini, Binadamu hajatupa zawadi yoyote. Hakika, wanyama wametufanyia mambo mengi. Ninajua Binadamu atatufanyia mambo mazuri zaidi." Walingoja, wakangoja. Wiki nyingi zikapita, kisha miezi na miaka, lakini Binadamu hakurudi. Wanyama wote walitimiza ahadi zao. Binadamu alisahau. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wanyama hushukuru Author - Mariam Mohammed and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com
Wanyama wote walitimiza nini
{ "text": [ "Ahadi zao" ] }
2505_swa
Watu waliosahau Ursula Nafula Edwin Irabor Kiswahili Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa vijana. Hapakuwa na mwanamume wala mwanamke mkongwe kijijini humo. Vijana wa kike na wa kiume kijijini Raha walicheza na kufurahi. Walikula walichopenda na kunywa chochote kilichowalevya. Walifurahi mchana kutwa na usiku kucha. Hivi karibuni, walisahau namna ya kufanya kazi. Pia walisahau chochote kilichotendeka siku iliyopita. Siku moja vijina wa kijijini Raha waliamka na kukuta kuwa chakula chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa hata na tone moja la mvinyo. Ala zote za muziki zilikuwa zimevunjika. Hapakuwa na muziki wa kucheza. Hata hawangeweza kucheza kwa sababu walihisi njaa na kudhoofika. Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na kulia kwa uchungu. Chifu wao kijana alitoka nje ya chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu wapendwa wa kijiji cha Raha. Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo nazo kubaki hai." Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu wetu! Lazima utuokoe!" Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu Oza alisimama akasema, "Mimi si chifu wenu tena. Nitaondoka hapa nitafute pahali palipo na amani. Mnaweza kumchagua chifu mwingine." Kwa hivyo, chifu Oza aliingia chumbani kwake akakusanya virago vyake na kuondoka. Watu hawakujua nani angekuwa kiongozi wao. Hawakujua la kufanya. Walilia zaidi. Halafu sauti ndogo na nyororo ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!" Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa sauti ile. Wote waliangaliana. Walitazama kila mahali lakini hawakumtambua aliyekuwa amezungumza. Watu hao walishangaa kumwona mtoto mdogo mbele yao. Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia. Lakini, lazima mniahidi kuwa mtakoma kusherehekea mchana na usiku. Tena, lazima mfuate ushauri wangu." Watu hao walivutiwa sana na ujasiri wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii. Akawapeleka katika shamba lililokuwa na rutuba. Wakala, wakanywa na wakapumzika. Halafu, akawafunza na kuwakumbusha jinsi ya kulima. Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo kama chifu wao, watu wa kijijini Raha, walianza kujifunza maana ya jitihada. Walifanya kazi kwa bidii. Baadaye, walipata chakula na vinywaji vya kutosha. Walifurahi na kusherehekea tena. Lakini, pia, waliendelea kufanya kazi. Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka kijijini na kukutana na mzee mwenye busara. Alimhadithia kuhusu wanaume na wanawake shujaa waliotatua matatizo ya watu wao. Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu mwenye hekima na mwenye uwezo mwingi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Watu waliosahau Author - Edwin Irabor Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
hapo zamani za kale kulikuwa na kijiji kilichoitwaje
{ "text": [ "Raha" ] }
2505_swa
Watu waliosahau Ursula Nafula Edwin Irabor Kiswahili Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa vijana. Hapakuwa na mwanamume wala mwanamke mkongwe kijijini humo. Vijana wa kike na wa kiume kijijini Raha walicheza na kufurahi. Walikula walichopenda na kunywa chochote kilichowalevya. Walifurahi mchana kutwa na usiku kucha. Hivi karibuni, walisahau namna ya kufanya kazi. Pia walisahau chochote kilichotendeka siku iliyopita. Siku moja vijina wa kijijini Raha waliamka na kukuta kuwa chakula chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa hata na tone moja la mvinyo. Ala zote za muziki zilikuwa zimevunjika. Hapakuwa na muziki wa kucheza. Hata hawangeweza kucheza kwa sababu walihisi njaa na kudhoofika. Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na kulia kwa uchungu. Chifu wao kijana alitoka nje ya chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu wapendwa wa kijiji cha Raha. Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo nazo kubaki hai." Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu wetu! Lazima utuokoe!" Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu Oza alisimama akasema, "Mimi si chifu wenu tena. Nitaondoka hapa nitafute pahali palipo na amani. Mnaweza kumchagua chifu mwingine." Kwa hivyo, chifu Oza aliingia chumbani kwake akakusanya virago vyake na kuondoka. Watu hawakujua nani angekuwa kiongozi wao. Hawakujua la kufanya. Walilia zaidi. Halafu sauti ndogo na nyororo ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!" Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa sauti ile. Wote waliangaliana. Walitazama kila mahali lakini hawakumtambua aliyekuwa amezungumza. Watu hao walishangaa kumwona mtoto mdogo mbele yao. Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia. Lakini, lazima mniahidi kuwa mtakoma kusherehekea mchana na usiku. Tena, lazima mfuate ushauri wangu." Watu hao walivutiwa sana na ujasiri wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii. Akawapeleka katika shamba lililokuwa na rutuba. Wakala, wakanywa na wakapumzika. Halafu, akawafunza na kuwakumbusha jinsi ya kulima. Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo kama chifu wao, watu wa kijijini Raha, walianza kujifunza maana ya jitihada. Walifanya kazi kwa bidii. Baadaye, walipata chakula na vinywaji vya kutosha. Walifurahi na kusherehekea tena. Lakini, pia, waliendelea kufanya kazi. Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka kijijini na kukutana na mzee mwenye busara. Alimhadithia kuhusu wanaume na wanawake shujaa waliotatua matatizo ya watu wao. Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu mwenye hekima na mwenye uwezo mwingi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Watu waliosahau Author - Edwin Irabor Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
vijana wa kijijini Raha walifanya nini
{ "text": [ "walicheza na kufurahi" ] }
2505_swa
Watu waliosahau Ursula Nafula Edwin Irabor Kiswahili Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa vijana. Hapakuwa na mwanamume wala mwanamke mkongwe kijijini humo. Vijana wa kike na wa kiume kijijini Raha walicheza na kufurahi. Walikula walichopenda na kunywa chochote kilichowalevya. Walifurahi mchana kutwa na usiku kucha. Hivi karibuni, walisahau namna ya kufanya kazi. Pia walisahau chochote kilichotendeka siku iliyopita. Siku moja vijina wa kijijini Raha waliamka na kukuta kuwa chakula chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa hata na tone moja la mvinyo. Ala zote za muziki zilikuwa zimevunjika. Hapakuwa na muziki wa kucheza. Hata hawangeweza kucheza kwa sababu walihisi njaa na kudhoofika. Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na kulia kwa uchungu. Chifu wao kijana alitoka nje ya chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu wapendwa wa kijiji cha Raha. Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo nazo kubaki hai." Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu wetu! Lazima utuokoe!" Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu Oza alisimama akasema, "Mimi si chifu wenu tena. Nitaondoka hapa nitafute pahali palipo na amani. Mnaweza kumchagua chifu mwingine." Kwa hivyo, chifu Oza aliingia chumbani kwake akakusanya virago vyake na kuondoka. Watu hawakujua nani angekuwa kiongozi wao. Hawakujua la kufanya. Walilia zaidi. Halafu sauti ndogo na nyororo ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!" Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa sauti ile. Wote waliangaliana. Walitazama kila mahali lakini hawakumtambua aliyekuwa amezungumza. Watu hao walishangaa kumwona mtoto mdogo mbele yao. Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia. Lakini, lazima mniahidi kuwa mtakoma kusherehekea mchana na usiku. Tena, lazima mfuate ushauri wangu." Watu hao walivutiwa sana na ujasiri wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii. Akawapeleka katika shamba lililokuwa na rutuba. Wakala, wakanywa na wakapumzika. Halafu, akawafunza na kuwakumbusha jinsi ya kulima. Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo kama chifu wao, watu wa kijijini Raha, walianza kujifunza maana ya jitihada. Walifanya kazi kwa bidii. Baadaye, walipata chakula na vinywaji vya kutosha. Walifurahi na kusherehekea tena. Lakini, pia, waliendelea kufanya kazi. Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka kijijini na kukutana na mzee mwenye busara. Alimhadithia kuhusu wanaume na wanawake shujaa waliotatua matatizo ya watu wao. Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu mwenye hekima na mwenye uwezo mwingi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Watu waliosahau Author - Edwin Irabor Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
kwa nini vijana hawangeweza kucheza
{ "text": [ "walihisi njaa na kudhoofika" ] }
2505_swa
Watu waliosahau Ursula Nafula Edwin Irabor Kiswahili Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa vijana. Hapakuwa na mwanamume wala mwanamke mkongwe kijijini humo. Vijana wa kike na wa kiume kijijini Raha walicheza na kufurahi. Walikula walichopenda na kunywa chochote kilichowalevya. Walifurahi mchana kutwa na usiku kucha. Hivi karibuni, walisahau namna ya kufanya kazi. Pia walisahau chochote kilichotendeka siku iliyopita. Siku moja vijina wa kijijini Raha waliamka na kukuta kuwa chakula chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa hata na tone moja la mvinyo. Ala zote za muziki zilikuwa zimevunjika. Hapakuwa na muziki wa kucheza. Hata hawangeweza kucheza kwa sababu walihisi njaa na kudhoofika. Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na kulia kwa uchungu. Chifu wao kijana alitoka nje ya chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu wapendwa wa kijiji cha Raha. Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo nazo kubaki hai." Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu wetu! Lazima utuokoe!" Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu Oza alisimama akasema, "Mimi si chifu wenu tena. Nitaondoka hapa nitafute pahali palipo na amani. Mnaweza kumchagua chifu mwingine." Kwa hivyo, chifu Oza aliingia chumbani kwake akakusanya virago vyake na kuondoka. Watu hawakujua nani angekuwa kiongozi wao. Hawakujua la kufanya. Walilia zaidi. Halafu sauti ndogo na nyororo ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!" Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa sauti ile. Wote waliangaliana. Walitazama kila mahali lakini hawakumtambua aliyekuwa amezungumza. Watu hao walishangaa kumwona mtoto mdogo mbele yao. Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia. Lakini, lazima mniahidi kuwa mtakoma kusherehekea mchana na usiku. Tena, lazima mfuate ushauri wangu." Watu hao walivutiwa sana na ujasiri wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii. Akawapeleka katika shamba lililokuwa na rutuba. Wakala, wakanywa na wakapumzika. Halafu, akawafunza na kuwakumbusha jinsi ya kulima. Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo kama chifu wao, watu wa kijijini Raha, walianza kujifunza maana ya jitihada. Walifanya kazi kwa bidii. Baadaye, walipata chakula na vinywaji vya kutosha. Walifurahi na kusherehekea tena. Lakini, pia, waliendelea kufanya kazi. Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka kijijini na kukutana na mzee mwenye busara. Alimhadithia kuhusu wanaume na wanawake shujaa waliotatua matatizo ya watu wao. Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu mwenye hekima na mwenye uwezo mwingi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Watu waliosahau Author - Edwin Irabor Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
watu wa kijijini Raha walifanya kazi namna gani
{ "text": [ "kwa bidii" ] }
2505_swa
Watu waliosahau Ursula Nafula Edwin Irabor Kiswahili Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kilichoitwa Raha. Watu wote walikuwa vijana. Hapakuwa na mwanamume wala mwanamke mkongwe kijijini humo. Vijana wa kike na wa kiume kijijini Raha walicheza na kufurahi. Walikula walichopenda na kunywa chochote kilichowalevya. Walifurahi mchana kutwa na usiku kucha. Hivi karibuni, walisahau namna ya kufanya kazi. Pia walisahau chochote kilichotendeka siku iliyopita. Siku moja vijina wa kijijini Raha waliamka na kukuta kuwa chakula chote kilikuwa kimeisha. Hapakuwa hata na tone moja la mvinyo. Ala zote za muziki zilikuwa zimevunjika. Hapakuwa na muziki wa kucheza. Hata hawangeweza kucheza kwa sababu walihisi njaa na kudhoofika. Walienda kwa Oza, chifu wa kijiji, na kulia kwa uchungu. Chifu wao kijana alitoka nje ya chumba na kuwasihi, "Acheni! Watu wapendwa wa kijiji cha Raha. Tafadhali acheni kulia. Tutaweza kufa hivi karibuni. Heri tutumie nguvu tulizo nazo kubaki hai." Watu walipiga kelele, "Wewe ni chifu wetu! Lazima utuokoe!" Baada ya kunyamaza kwa muda, chifu Oza alisimama akasema, "Mimi si chifu wenu tena. Nitaondoka hapa nitafute pahali palipo na amani. Mnaweza kumchagua chifu mwingine." Kwa hivyo, chifu Oza aliingia chumbani kwake akakusanya virago vyake na kuondoka. Watu hawakujua nani angekuwa kiongozi wao. Hawakujua la kufanya. Walilia zaidi. Halafu sauti ndogo na nyororo ikasema, "Nitakuwa chifu wenu!" Kila mmoja aligeuka kujua aliyeitoa sauti ile. Wote waliangaliana. Walitazama kila mahali lakini hawakumtambua aliyekuwa amezungumza. Watu hao walishangaa kumwona mtoto mdogo mbele yao. Mtoto huyo alisema, "Ndiyo! Nitakuwa chifu wenu. Ninaweza kuwasaidia. Lakini, lazima mniahidi kuwa mtakoma kusherehekea mchana na usiku. Tena, lazima mfuate ushauri wangu." Watu hao walivutiwa sana na ujasiri wa mtoto huyo. Wakaahidi kumtii. Akawapeleka katika shamba lililokuwa na rutuba. Wakala, wakanywa na wakapumzika. Halafu, akawafunza na kuwakumbusha jinsi ya kulima. Wakisaidiwa na yule mvulana mdogo kama chifu wao, watu wa kijijini Raha, walianza kujifunza maana ya jitihada. Walifanya kazi kwa bidii. Baadaye, walipata chakula na vinywaji vya kutosha. Walifurahi na kusherehekea tena. Lakini, pia, waliendelea kufanya kazi. Kila usiku, yule chifu mdogo aliondoka kijijini na kukutana na mzee mwenye busara. Alimhadithia kuhusu wanaume na wanawake shujaa waliotatua matatizo ya watu wao. Hatimaye, mvulana huyo, alikuwa mtu mwenye hekima na mwenye uwezo mwingi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Watu waliosahau Author - Edwin Irabor Translation - Ursula Nafula Illustration - Edwin Irabor Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
nani alikusanya virago vyake na kuondoka
{ "text": [ "chifu Oza" ] }
2506_swa
Wayan na kasa Ursula Nafula Fabianus Bayu Kiswahili Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari. Watu wa hapo waliamini kwamba mtu anapokufa, yeye hurudi baharini. Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi. Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati. Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki. Wayan alijifunza kuvua samaki wakati kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi. Kulikuwa na samaki wachache, na walikuwa wadogo kila mara. Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu, ingawa walikuwa baharini siku nzima. Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka za plastiki zilitupwa mchangani. Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari. Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona. Siku moja, Wayan alipokuwa akivua samaki, dhoruba ilianza kuvuma. Akasongwa kwa mawimbi. Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang. Nitakusaidia, panda mgongoni kwangu," Kasa akasema. "Labda unaweza kunisaidia. Babu yangu ni mgonjwa sana na hakuna anayejua la kufanya." Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana na alikuwa na shida ya kupumua. Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema, "Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!" Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia. Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa limekwama kwenye koo la babu lilitoka! Babu alianza kupumua kwa urahisi zaidi. Bintang akamwambia Wayan, "Nitakupeleka kwa kasa wengine." Walienda katika Hospitali iliyowahudumia Kasa. "Ni nini kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza. "Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza. Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu wasitupe plastiki ardhini wala majini." Wayan aliahidi kwamba angefanya alivyoweza kusaidia. Bintang alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake. Wayan aligundua kuwa wanakijiji walihitaji kusafisha bahari na fuo. Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa. Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan. Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake. Watu walikubaliana kupiga marufuku majani ya plastiki, chupa za plastiki na mifuko ya plastiki. Walikubaliana kutupa takataka zao kwenye mapipa ya takataka tu, na kuacha kuchoma na kuzika plastiki. Waliamua kuacha kuvua hadi bahari itakapokuwa safi. Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa. Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa kutokana na kula samaki wagonjwa. Wayan alijifunza kwamba bahari inapochafuliwa, sisi sote tunateseka. Inapokuwa safi, sote tunafurahi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wayan na kasa Author - Yvette Bezuidenhout Translation - Ursula Nafula Illustration - Fabianus Bayu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.wayan.blue
Ni nani aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari
{ "text": [ "Wayan" ] }
2506_swa
Wayan na kasa Ursula Nafula Fabianus Bayu Kiswahili Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari. Watu wa hapo waliamini kwamba mtu anapokufa, yeye hurudi baharini. Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi. Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati. Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki. Wayan alijifunza kuvua samaki wakati kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi. Kulikuwa na samaki wachache, na walikuwa wadogo kila mara. Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu, ingawa walikuwa baharini siku nzima. Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka za plastiki zilitupwa mchangani. Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari. Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona. Siku moja, Wayan alipokuwa akivua samaki, dhoruba ilianza kuvuma. Akasongwa kwa mawimbi. Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang. Nitakusaidia, panda mgongoni kwangu," Kasa akasema. "Labda unaweza kunisaidia. Babu yangu ni mgonjwa sana na hakuna anayejua la kufanya." Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana na alikuwa na shida ya kupumua. Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema, "Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!" Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia. Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa limekwama kwenye koo la babu lilitoka! Babu alianza kupumua kwa urahisi zaidi. Bintang akamwambia Wayan, "Nitakupeleka kwa kasa wengine." Walienda katika Hospitali iliyowahudumia Kasa. "Ni nini kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza. "Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza. Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu wasitupe plastiki ardhini wala majini." Wayan aliahidi kwamba angefanya alivyoweza kusaidia. Bintang alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake. Wayan aligundua kuwa wanakijiji walihitaji kusafisha bahari na fuo. Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa. Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan. Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake. Watu walikubaliana kupiga marufuku majani ya plastiki, chupa za plastiki na mifuko ya plastiki. Walikubaliana kutupa takataka zao kwenye mapipa ya takataka tu, na kuacha kuchoma na kuzika plastiki. Waliamua kuacha kuvua hadi bahari itakapokuwa safi. Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa. Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa kutokana na kula samaki wagonjwa. Wayan alijifunza kwamba bahari inapochafuliwa, sisi sote tunateseka. Inapokuwa safi, sote tunafurahi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wayan na kasa Author - Yvette Bezuidenhout Translation - Ursula Nafula Illustration - Fabianus Bayu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.wayan.blue
Baba na babu ya Wayan walifanya kazi gani
{ "text": [ "Uvuvi" ] }
2506_swa
Wayan na kasa Ursula Nafula Fabianus Bayu Kiswahili Wayan aliishi katika kijiji kidogo kando ya bahari. Watu wa hapo waliamini kwamba mtu anapokufa, yeye hurudi baharini. Bahari ni mahali maalum ambapo mababu huishi. Baba ya Wayan na babu yake walikuwa wavuvi. Wanaume wengi kijijini walikuwa wavuvi, na ilikuwa hivyo kila wakati. Kila macheo, wanaume walikwenda kuvua samaki kwa kutumia mashua. Kila mawio, walirudi na boti zao zikiwa zimejaa samaki. Wayan alijifunza kuvua samaki wakati kila kitu kilikuwa kinabadilika kwa wavuvi. Kulikuwa na samaki wachache, na walikuwa wadogo kila mara. Wakati mwingine, boti zilirudi bila kitu, ingawa walikuwa baharini siku nzima. Fuo za bahari pia zilibadilika. Zilikuwa chafu wakati wote, na takataka za plastiki zilitupwa mchangani. Wakati wa maji makuu, mawimbi yalisukuma plastiki ndani ya bahari. Hatua kwa hatua, watu kijijini walianza kuugua. Hawakuweza kupona. Siku moja, Wayan alipokuwa akivua samaki, dhoruba ilianza kuvuma. Akasongwa kwa mawimbi. Kasa akamwokoa. "Mimi ni Bintang. Nitakusaidia, panda mgongoni kwangu," Kasa akasema. "Labda unaweza kunisaidia. Babu yangu ni mgonjwa sana na hakuna anayejua la kufanya." Bintang alimpeleka Wayan kwa babu yake. Kasa mzee alikuwa mgonjwa sana na alikuwa na shida ya kupumua. Wayan aliona kitu cha ajabu kikitokezea kwenye pua la babu. Alisema, "Nitajaribu kukivuta kitu hiki, lakini itakuwa uchungu!" Wayan alivuta na kuvuta. Babu alilia na kulia. Hatimaye, jani la plastiki lililokuwa limekwama kwenye koo la babu lilitoka! Babu alianza kupumua kwa urahisi zaidi. Bintang akamwambia Wayan, "Nitakupeleka kwa kasa wengine." Walienda katika Hospitali iliyowahudumia Kasa. "Ni nini kilichotokea kwa kasa hawa?" Wayan aliuliza. "Walikula mifuko ya plastiki wakidhani ni chakula. Sisi kasa hatuwezi kuona vizuri. Kwetu, mfuko wa plastiki unaonekana kama samaki," Bintang alieleza. Akaendelea kumwambia, "Tunahitaji msaada wako. Tafadhali waambie watu wasitupe plastiki ardhini wala majini." Wayan aliahidi kwamba angefanya alivyoweza kusaidia. Bintang alimrudisha ufuoni, kisha akaogelea na kwenda zake. Wayan aligundua kuwa wanakijiji walihitaji kusafisha bahari na fuo. Alikimbilia kwa wazee kuwaambia juu ya kasa. Mkuu wa kijiji aliita mkutano na kila mtu akakusanyika kumsikiliza Wayan. Wanakijiji walijadili shida hiyo kwa muda mrefu. Mwishowe, walikubaliana juu ya hatua muhimu za kuiokoa bahari yao na wanyama na mimea yake. Watu walikubaliana kupiga marufuku majani ya plastiki, chupa za plastiki na mifuko ya plastiki. Walikubaliana kutupa takataka zao kwenye mapipa ya takataka tu, na kuacha kuchoma na kuzika plastiki. Waliamua kuacha kuvua hadi bahari itakapokuwa safi. Mwishowe, bahari na fuo zilirudi jinsi zilivyokuwa kabla ya Wayan kuzaliwa. Maji yalikuwa safi na yenye wingi wa uhai. Watu walikoma kuwa wagonjwa kutokana na kula samaki wagonjwa. Wayan alijifunza kwamba bahari inapochafuliwa, sisi sote tunateseka. Inapokuwa safi, sote tunafurahi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Wayan na kasa Author - Yvette Bezuidenhout Translation - Ursula Nafula Illustration - Fabianus Bayu Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.wayan.blue
Wayan alijifunza kufua nini
{ "text": [ "Samaki" ] }