Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
2357_swa | Namorutunga
Zamani za kale, kulikuwa na kijiji kimoja katika Kaunti ya Turkana. Wanakijiji walikutana kila jioni kucheza ngoma ya kienyeji iitwayo edonga.
Wachezaji wa kijiji hicho walifahamika kila pahali. Walikuwa na ustadi mkubwa wa kucheza ngoma ya edonga.
Watu kutoka vijiji jirani walifika kijijini humo kucheza ngoma hiyo.
Siku moja, mgeni aliyeusikia umaarufu wa ngoma hiyo ya edonga, alituma mjumbe wake aende kuipeleleza.
Mjumbe alipofika, wanakijiji walijawa na hofu. Wakajiuliza, "Huyo mgeni ni nani? Mbona amemtuma mjumbe wake?" Wanakijiji walijitayarisha kama kawaida. Walimchinja mbuzi na kupika chakula kingi.
Vilevile walikutana wakaandaa kafara na kusubiri siku nzima hadi jioni ila mgeni hakufika.
Walicheza ngoma kama kawaida hadi usiku wa manane. Usiku huo kulikuwa na wachezaji ngoma wengi na kila mtu alikuwa amesisimka.
Kabla ya ngoma kuisha, mgeni alifika. Kwa mavazi alifanana na wanakijiji, kwa hivyo, hawakumtambua.
Alipopata nafasi ya kucheza ngoma, alijiunga na wanaume wengine. Ilionekana wazi kuwa alicheza tofauti na wenyeji.
Watu waliaanza kumcheka. Wachezaji wengine walicheka wakiwa wamepiga magoti. Wengine walikaa kitako. Wengine walianguka chini. Mgeni alikasirika alipochekwa. Akaamua kuwalaani.
Aliacha kucheza ngoma ghafla. Mara hiyo hiyo, kila mchezaji akabadilika kuwa jiwe. Waliolala, waliosimama, waliokaa kitako na waliopiga magoti, wote walibaki walivyokuwa. Kisha mgeni akatoweka kijijini.
Mawe hayo yamebaki mahali pale hadi wa leo. Saa za usiku husikika yakiimba na kucheza edonga. Hiyo ndiyo asili ya Namorutunga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namorutunga Author - Simon Ipoo Translation - Translators without Borders Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mgeni alifanyaje baada ya kukasirika | {
"text": [
"aliwalaani"
]
} |
2357_swa | Namorutunga
Zamani za kale, kulikuwa na kijiji kimoja katika Kaunti ya Turkana. Wanakijiji walikutana kila jioni kucheza ngoma ya kienyeji iitwayo edonga.
Wachezaji wa kijiji hicho walifahamika kila pahali. Walikuwa na ustadi mkubwa wa kucheza ngoma ya edonga.
Watu kutoka vijiji jirani walifika kijijini humo kucheza ngoma hiyo.
Siku moja, mgeni aliyeusikia umaarufu wa ngoma hiyo ya edonga, alituma mjumbe wake aende kuipeleleza.
Mjumbe alipofika, wanakijiji walijawa na hofu. Wakajiuliza, "Huyo mgeni ni nani? Mbona amemtuma mjumbe wake?" Wanakijiji walijitayarisha kama kawaida. Walimchinja mbuzi na kupika chakula kingi.
Vilevile walikutana wakaandaa kafara na kusubiri siku nzima hadi jioni ila mgeni hakufika.
Walicheza ngoma kama kawaida hadi usiku wa manane. Usiku huo kulikuwa na wachezaji ngoma wengi na kila mtu alikuwa amesisimka.
Kabla ya ngoma kuisha, mgeni alifika. Kwa mavazi alifanana na wanakijiji, kwa hivyo, hawakumtambua.
Alipopata nafasi ya kucheza ngoma, alijiunga na wanaume wengine. Ilionekana wazi kuwa alicheza tofauti na wenyeji.
Watu waliaanza kumcheka. Wachezaji wengine walicheka wakiwa wamepiga magoti. Wengine walikaa kitako. Wengine walianguka chini. Mgeni alikasirika alipochekwa. Akaamua kuwalaani.
Aliacha kucheza ngoma ghafla. Mara hiyo hiyo, kila mchezaji akabadilika kuwa jiwe. Waliolala, waliosimama, waliokaa kitako na waliopiga magoti, wote walibaki walivyokuwa. Kisha mgeni akatoweka kijijini.
Mawe hayo yamebaki mahali pale hadi wa leo. Saa za usiku husikika yakiimba na kucheza edonga. Hiyo ndiyo asili ya Namorutunga.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namorutunga Author - Simon Ipoo Translation - Translators without Borders Illustration - Zablon Alex Nguku Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini hawakumtambua mgeni | {
"text": [
"kwa mavazi alifanana na wenyeji"
]
} |
2358_swa | Namukaywa
Hapo zamani katika kijiji cha Lunyiko, kuliishi mwanamme aliyeitwa Ndong'a. Ndong'a na mkewe Namukaywa walikuwa na binti sita.
Namukaywa alipokuwa na mimba ya saba, Ndong'a alimwonya, "Ukimzaa msichana tena, nitakuua. Lakini ukinipa mtoto mvulana, nitakuandalia karamu kubwa!"
Wakati wa kujifungua ulipowadia, Namukaywa alienda kwa mkunga wa kienyeji. Je, mtoto atakuwa msichana au mvulana?
Walikuwa mapacha! Mvulana alimwita Mukhwana, na msichana akamwita Mulongo. Alimtazama Mukhwana kwa furaha. Alipomtazama Mulongo, alihuzunika mno. Ni jambo moja tu angelifanya.
Namukaywa alimwacha Mulongo chini ya ulezi wa mkunga. Akampeleka Mukhwana nyumbani kwa mumewe.
Kwa fahari, alimwonyesha Ndong'a mtoto mvulana. Alifurahi sana na kuwaita wanakijiji kusherehekea kuzaliwa kwa mtoto wake mvulana.
Mukhwana alikua na kuwa kijana mwanamume wa kupendeza. Na Mulongo naye, akawa mwanamke mrembo mno.
Siku moja wakati alikuwa akichunga mifugo wa babake, Mukhwana alimwona msichana mrembo sana. "Huyu ndiye msichana ningependa kuoa," alijiambia.
Lakini alipomwuliza kumuoa, aliimba hivi: Mukhwana wetu, Mukhwana. Mama alionywa na baba Akijifungua mvulana Ampeleke nyumbani Akiwa msichana, atauawa.
Hii ilifanyika tena na tena. Mukhwana hakujua la kufanya. Alimwendea mamake, Namukaywa, akasema, "Nimempata msichana mrembo ambaye ningependa kumuoa. Lakini kila ninapomwuliza, anaimba wimbo ule ule."
La kushangaza, Namukaywa alisema, "Anachoimba msichana yule ni kweli. Yeye ni dadako. Mlizaliwa mapacha. Babako alimtaka mtoto mvulana na wala si msichana. Nilimwacha dadako kwa mkunga nikakuleta wewe nyumbani."
Wakati Mukhwana alimwambia babake kisa hicho, babake aliona kwamba alikuwa amefanya kosa. Alimwita Namukaywa, na pamoja walienda kwa mkunga kumleta Mulongo.
Mulongo alipofika nyumbani, babake na wazee wa kijiji walimchinja mbuzi. Walitekeleza kimila cha kumwunganisha Mulongo na ndugu zake saba.
Mwaka mmoja baadaye, Mulongo aliolewa kwa mwana wa tajiri kutoka kijijini. Aliiletea familia yake furaha na mali mengi. Wote waliishi maisha ya furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namukaywa Author - Matthews M Wanga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndong'a aliishi katika kijiji kipi | {
"text": [
"Lunyiko"
]
} |
2358_swa | Namukaywa
Hapo zamani katika kijiji cha Lunyiko, kuliishi mwanamme aliyeitwa Ndong'a. Ndong'a na mkewe Namukaywa walikuwa na binti sita.
Namukaywa alipokuwa na mimba ya saba, Ndong'a alimwonya, "Ukimzaa msichana tena, nitakuua. Lakini ukinipa mtoto mvulana, nitakuandalia karamu kubwa!"
Wakati wa kujifungua ulipowadia, Namukaywa alienda kwa mkunga wa kienyeji. Je, mtoto atakuwa msichana au mvulana?
Walikuwa mapacha! Mvulana alimwita Mukhwana, na msichana akamwita Mulongo. Alimtazama Mukhwana kwa furaha. Alipomtazama Mulongo, alihuzunika mno. Ni jambo moja tu angelifanya.
Namukaywa alimwacha Mulongo chini ya ulezi wa mkunga. Akampeleka Mukhwana nyumbani kwa mumewe.
Kwa fahari, alimwonyesha Ndong'a mtoto mvulana. Alifurahi sana na kuwaita wanakijiji kusherehekea kuzaliwa kwa mtoto wake mvulana.
Mukhwana alikua na kuwa kijana mwanamume wa kupendeza. Na Mulongo naye, akawa mwanamke mrembo mno.
Siku moja wakati alikuwa akichunga mifugo wa babake, Mukhwana alimwona msichana mrembo sana. "Huyu ndiye msichana ningependa kuoa," alijiambia.
Lakini alipomwuliza kumuoa, aliimba hivi: Mukhwana wetu, Mukhwana. Mama alionywa na baba Akijifungua mvulana Ampeleke nyumbani Akiwa msichana, atauawa.
Hii ilifanyika tena na tena. Mukhwana hakujua la kufanya. Alimwendea mamake, Namukaywa, akasema, "Nimempata msichana mrembo ambaye ningependa kumuoa. Lakini kila ninapomwuliza, anaimba wimbo ule ule."
La kushangaza, Namukaywa alisema, "Anachoimba msichana yule ni kweli. Yeye ni dadako. Mlizaliwa mapacha. Babako alimtaka mtoto mvulana na wala si msichana. Nilimwacha dadako kwa mkunga nikakuleta wewe nyumbani."
Wakati Mukhwana alimwambia babake kisa hicho, babake aliona kwamba alikuwa amefanya kosa. Alimwita Namukaywa, na pamoja walienda kwa mkunga kumleta Mulongo.
Mulongo alipofika nyumbani, babake na wazee wa kijiji walimchinja mbuzi. Walitekeleza kimila cha kumwunganisha Mulongo na ndugu zake saba.
Mwaka mmoja baadaye, Mulongo aliolewa kwa mwana wa tajiri kutoka kijijini. Aliiletea familia yake furaha na mali mengi. Wote waliishi maisha ya furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namukaywa Author - Matthews M Wanga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndong'a na mkewe walikuwa na binti wangapi | {
"text": [
"Sita"
]
} |
2358_swa | Namukaywa
Hapo zamani katika kijiji cha Lunyiko, kuliishi mwanamme aliyeitwa Ndong'a. Ndong'a na mkewe Namukaywa walikuwa na binti sita.
Namukaywa alipokuwa na mimba ya saba, Ndong'a alimwonya, "Ukimzaa msichana tena, nitakuua. Lakini ukinipa mtoto mvulana, nitakuandalia karamu kubwa!"
Wakati wa kujifungua ulipowadia, Namukaywa alienda kwa mkunga wa kienyeji. Je, mtoto atakuwa msichana au mvulana?
Walikuwa mapacha! Mvulana alimwita Mukhwana, na msichana akamwita Mulongo. Alimtazama Mukhwana kwa furaha. Alipomtazama Mulongo, alihuzunika mno. Ni jambo moja tu angelifanya.
Namukaywa alimwacha Mulongo chini ya ulezi wa mkunga. Akampeleka Mukhwana nyumbani kwa mumewe.
Kwa fahari, alimwonyesha Ndong'a mtoto mvulana. Alifurahi sana na kuwaita wanakijiji kusherehekea kuzaliwa kwa mtoto wake mvulana.
Mukhwana alikua na kuwa kijana mwanamume wa kupendeza. Na Mulongo naye, akawa mwanamke mrembo mno.
Siku moja wakati alikuwa akichunga mifugo wa babake, Mukhwana alimwona msichana mrembo sana. "Huyu ndiye msichana ningependa kuoa," alijiambia.
Lakini alipomwuliza kumuoa, aliimba hivi: Mukhwana wetu, Mukhwana. Mama alionywa na baba Akijifungua mvulana Ampeleke nyumbani Akiwa msichana, atauawa.
Hii ilifanyika tena na tena. Mukhwana hakujua la kufanya. Alimwendea mamake, Namukaywa, akasema, "Nimempata msichana mrembo ambaye ningependa kumuoa. Lakini kila ninapomwuliza, anaimba wimbo ule ule."
La kushangaza, Namukaywa alisema, "Anachoimba msichana yule ni kweli. Yeye ni dadako. Mlizaliwa mapacha. Babako alimtaka mtoto mvulana na wala si msichana. Nilimwacha dadako kwa mkunga nikakuleta wewe nyumbani."
Wakati Mukhwana alimwambia babake kisa hicho, babake aliona kwamba alikuwa amefanya kosa. Alimwita Namukaywa, na pamoja walienda kwa mkunga kumleta Mulongo.
Mulongo alipofika nyumbani, babake na wazee wa kijiji walimchinja mbuzi. Walitekeleza kimila cha kumwunganisha Mulongo na ndugu zake saba.
Mwaka mmoja baadaye, Mulongo aliolewa kwa mwana wa tajiri kutoka kijijini. Aliiletea familia yake furaha na mali mengi. Wote waliishi maisha ya furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namukaywa Author - Matthews M Wanga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mvulana aliitwa nani | {
"text": [
"Mukhwana"
]
} |
2358_swa | Namukaywa
Hapo zamani katika kijiji cha Lunyiko, kuliishi mwanamme aliyeitwa Ndong'a. Ndong'a na mkewe Namukaywa walikuwa na binti sita.
Namukaywa alipokuwa na mimba ya saba, Ndong'a alimwonya, "Ukimzaa msichana tena, nitakuua. Lakini ukinipa mtoto mvulana, nitakuandalia karamu kubwa!"
Wakati wa kujifungua ulipowadia, Namukaywa alienda kwa mkunga wa kienyeji. Je, mtoto atakuwa msichana au mvulana?
Walikuwa mapacha! Mvulana alimwita Mukhwana, na msichana akamwita Mulongo. Alimtazama Mukhwana kwa furaha. Alipomtazama Mulongo, alihuzunika mno. Ni jambo moja tu angelifanya.
Namukaywa alimwacha Mulongo chini ya ulezi wa mkunga. Akampeleka Mukhwana nyumbani kwa mumewe.
Kwa fahari, alimwonyesha Ndong'a mtoto mvulana. Alifurahi sana na kuwaita wanakijiji kusherehekea kuzaliwa kwa mtoto wake mvulana.
Mukhwana alikua na kuwa kijana mwanamume wa kupendeza. Na Mulongo naye, akawa mwanamke mrembo mno.
Siku moja wakati alikuwa akichunga mifugo wa babake, Mukhwana alimwona msichana mrembo sana. "Huyu ndiye msichana ningependa kuoa," alijiambia.
Lakini alipomwuliza kumuoa, aliimba hivi: Mukhwana wetu, Mukhwana. Mama alionywa na baba Akijifungua mvulana Ampeleke nyumbani Akiwa msichana, atauawa.
Hii ilifanyika tena na tena. Mukhwana hakujua la kufanya. Alimwendea mamake, Namukaywa, akasema, "Nimempata msichana mrembo ambaye ningependa kumuoa. Lakini kila ninapomwuliza, anaimba wimbo ule ule."
La kushangaza, Namukaywa alisema, "Anachoimba msichana yule ni kweli. Yeye ni dadako. Mlizaliwa mapacha. Babako alimtaka mtoto mvulana na wala si msichana. Nilimwacha dadako kwa mkunga nikakuleta wewe nyumbani."
Wakati Mukhwana alimwambia babake kisa hicho, babake aliona kwamba alikuwa amefanya kosa. Alimwita Namukaywa, na pamoja walienda kwa mkunga kumleta Mulongo.
Mulongo alipofika nyumbani, babake na wazee wa kijiji walimchinja mbuzi. Walitekeleza kimila cha kumwunganisha Mulongo na ndugu zake saba.
Mwaka mmoja baadaye, Mulongo aliolewa kwa mwana wa tajiri kutoka kijijini. Aliiletea familia yake furaha na mali mengi. Wote waliishi maisha ya furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namukaywa Author - Matthews M Wanga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Dadake Mukhwana aliwachwa kwa nani | {
"text": [
"Mkunga"
]
} |
2358_swa | Namukaywa
Hapo zamani katika kijiji cha Lunyiko, kuliishi mwanamme aliyeitwa Ndong'a. Ndong'a na mkewe Namukaywa walikuwa na binti sita.
Namukaywa alipokuwa na mimba ya saba, Ndong'a alimwonya, "Ukimzaa msichana tena, nitakuua. Lakini ukinipa mtoto mvulana, nitakuandalia karamu kubwa!"
Wakati wa kujifungua ulipowadia, Namukaywa alienda kwa mkunga wa kienyeji. Je, mtoto atakuwa msichana au mvulana?
Walikuwa mapacha! Mvulana alimwita Mukhwana, na msichana akamwita Mulongo. Alimtazama Mukhwana kwa furaha. Alipomtazama Mulongo, alihuzunika mno. Ni jambo moja tu angelifanya.
Namukaywa alimwacha Mulongo chini ya ulezi wa mkunga. Akampeleka Mukhwana nyumbani kwa mumewe.
Kwa fahari, alimwonyesha Ndong'a mtoto mvulana. Alifurahi sana na kuwaita wanakijiji kusherehekea kuzaliwa kwa mtoto wake mvulana.
Mukhwana alikua na kuwa kijana mwanamume wa kupendeza. Na Mulongo naye, akawa mwanamke mrembo mno.
Siku moja wakati alikuwa akichunga mifugo wa babake, Mukhwana alimwona msichana mrembo sana. "Huyu ndiye msichana ningependa kuoa," alijiambia.
Lakini alipomwuliza kumuoa, aliimba hivi: Mukhwana wetu, Mukhwana. Mama alionywa na baba Akijifungua mvulana Ampeleke nyumbani Akiwa msichana, atauawa.
Hii ilifanyika tena na tena. Mukhwana hakujua la kufanya. Alimwendea mamake, Namukaywa, akasema, "Nimempata msichana mrembo ambaye ningependa kumuoa. Lakini kila ninapomwuliza, anaimba wimbo ule ule."
La kushangaza, Namukaywa alisema, "Anachoimba msichana yule ni kweli. Yeye ni dadako. Mlizaliwa mapacha. Babako alimtaka mtoto mvulana na wala si msichana. Nilimwacha dadako kwa mkunga nikakuleta wewe nyumbani."
Wakati Mukhwana alimwambia babake kisa hicho, babake aliona kwamba alikuwa amefanya kosa. Alimwita Namukaywa, na pamoja walienda kwa mkunga kumleta Mulongo.
Mulongo alipofika nyumbani, babake na wazee wa kijiji walimchinja mbuzi. Walitekeleza kimila cha kumwunganisha Mulongo na ndugu zake saba.
Mwaka mmoja baadaye, Mulongo aliolewa kwa mwana wa tajiri kutoka kijijini. Aliiletea familia yake furaha na mali mengi. Wote waliishi maisha ya furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Namukaywa Author - Matthews M Wanga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Ndong'a na Namukaywa walienda kwa mkunga | {
"text": [
"Kumchukua Mulongo"
]
} |
2359_swa | Nani atahesabu mpaka kumi?
Hapo zamani, Mfalme Chui alianza kuwaza juu ya maisha ya usoni. Alitafakari, "Ninazeeka, na siku moja, nitakufa. Mfalme nwenye busara, anastahili kumchagua mrithi wake akiwa angali kijana na mwenye afya." Lakini, Mfalme Chui atafanya uchagazi namna gani? Aliwapenda wanyama wote!
Mfalme Chui alipata wazo. Aliwaalika wanyama wote kwenda katika ikulu. Wajumbe walikimbia kila sehemu ya kichaka wakiwaalika wanyama. Alipanga kuwa na sherehe kubwa kisha awatangazie mpango wake.
Usiku wa sherehe, wanyama wote walikuwa katika ikulu. Waliimba, wakacheza wakawa na wakati mzuri. Usiku wa manane, Mfalme Chui alisimama katikati ya ikulu. Wanyama waliacha kuimba na kucheza. Walisikiliza kwa makini mfalme wao alipoanza kuzungumza.
Alisafisha koo akasema, "Nilikuwa nikiwaza na wakati umetimia wa kumchagua mrithi wangu. Kwa sababu ninawapenda nyote, siwezi kuamua nani anayefaa zaidi. Nimepanga mashindano yatakayoamua."
Mfalme Chui alishika mkuki akasema, "Wa kwanza miongoni mwenu atakayerusha mkuki angani kisha ahesabu mpaka kumi kabla ya mkuki huo kutua chini, ndiye atakayekuwa mrithi wangu."
Mfalme Chui alipomaliza kuzungumza, wanyama walisikia sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Walipogeuka, walimwona Tembo akielekea mbele kwa kishindo. "Tokeni njiani. Mimi ni mkubwa zaidi, ninastahili kuwa mfalme," Tembo alisema.
Tembo aliuchukua mkuki, akaushika kwa mkonga wake. Alikirudisha kichwa chake nyuma kisha akaurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Ah!" Tembo alilia. Mkuki uligonga chini alipofikisha nne. Tembo alikasirika akaanza kufoka. Mfalme Chui alimwambia, "Ulipata nafasi yako." Tembo alilazimika kuondoka.
Baada ya Tembo kuondoka, wanyama walianza kuzungumza miongoni mwao kwa msisimuko. Walisikia tena sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Ngiri alikuja kwa kishindo akisema, "Niondokeeni. Niondokeeni. Nitakuwa mfalme. Nina misuli mikubwa zaidi. Nina nguvu kuliko wote. Lazima niwe mfalme."
Ngiri aliinama, akaukamata mkuki kisha akaurusha angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Ah!" Alipiga kelele. Mkuki ulianguka alipofikisha sita. Alirusha uchafu hewani kwa hasira. Chui alimwambia, "Ngiri, unapata nafasi mara moja tu ya kurusha mkuki. Umeshaipata." Ngiri pia alilazimika kuondoka.
Baadaye, wanyama walianza kutoa maoni yao na kusema, "Mashindano hayo ni magumu! Tembo, ingawa ni mkubwa, hakufaulu. Ngiri, ingawa ana nguvu sana, pia hakufaulu. Hakuna atakayeshinda mashindano haya!" Wakati huo huo, walisikia sauti nyingine kutoka nyuma yao. Walipotazama, hawakuamini macho yao.
Walimwona Sokwe mkubwa akienda mbele. Alikuwa akiimba, "Ninaweza. Najua ninaweza. Ninaweza." Sokwe aliuchukua mkuki akasonga nyuma hatua kadhaa. Aliuvuta mkono wake nyuma, akarudi mbele kisha akaruka hewani na kuurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba! Ah!" Sokwe alilia.
Mkuki uligonga chini alipofikisha nane. Sokwe alikasirika akazungukazunguka akilalamika. Lakini, Mfalme Chui alimwambia, "La, Sokwe, unapata nafasi mara moja tu." Ilimbidi Sokwe pia aondoke.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka kwenda nyumbani. Walipokuwa wakiondoka, walimwona Swara mdogo akija kujaribu bahati yake. Swara alisema, "Subirini! Subirini! Hebu nijaribu. Ninaweza kufaulu. Ninaweza. Nipeni nafasi nijaribu." Wanyama wengine walianza kumcheka Swara.
Mfalme Chui aliwashauri wanyama, "Acheni kumcheka Swara! Ni nani aliyesema kwamba wanyama wadogo hawawezi kufanya kazi ambayo wale wakubwa wanafanya? Lazima Swara apewe nafasi sawa kama wanyama wengine. Rudini nyuma ili Swara atupe mkuki."
Swara alimwinamia mfalme, akauchukua mkuki mdomoni. Akitumia nguvu zote, alikimbia mpaka katikati ya uwanja. Aliruka juu akavuta pumzi kisha akaurusha mkuki huku akisema kwa sauti kubwa, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulitua chini.
Wanyama wote walichanganyikiwa. Mfalme Chui aliwaeleza, "Ndiyo, Swara! Tano na tano ni njia nyingine ya kupata kumi. Kuna zaidi ya njia moja ya kuhesabu mpaka kumi." Mashindano hayakuwa kumpata mnyama mkubwa wala mwenye nguvu. Bali lilikuwa kumpata mnyama mwerevu! Hivyo ndivyo Swara alivyokuwa malkia baada ya chui kufariki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nani atahesabu mpaka kumi? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani walikimbia sehemu ya kichaka wakiwaalika wanyama | {
"text": [
"wajumbe"
]
} |
2359_swa | Nani atahesabu mpaka kumi?
Hapo zamani, Mfalme Chui alianza kuwaza juu ya maisha ya usoni. Alitafakari, "Ninazeeka, na siku moja, nitakufa. Mfalme nwenye busara, anastahili kumchagua mrithi wake akiwa angali kijana na mwenye afya." Lakini, Mfalme Chui atafanya uchagazi namna gani? Aliwapenda wanyama wote!
Mfalme Chui alipata wazo. Aliwaalika wanyama wote kwenda katika ikulu. Wajumbe walikimbia kila sehemu ya kichaka wakiwaalika wanyama. Alipanga kuwa na sherehe kubwa kisha awatangazie mpango wake.
Usiku wa sherehe, wanyama wote walikuwa katika ikulu. Waliimba, wakacheza wakawa na wakati mzuri. Usiku wa manane, Mfalme Chui alisimama katikati ya ikulu. Wanyama waliacha kuimba na kucheza. Walisikiliza kwa makini mfalme wao alipoanza kuzungumza.
Alisafisha koo akasema, "Nilikuwa nikiwaza na wakati umetimia wa kumchagua mrithi wangu. Kwa sababu ninawapenda nyote, siwezi kuamua nani anayefaa zaidi. Nimepanga mashindano yatakayoamua."
Mfalme Chui alishika mkuki akasema, "Wa kwanza miongoni mwenu atakayerusha mkuki angani kisha ahesabu mpaka kumi kabla ya mkuki huo kutua chini, ndiye atakayekuwa mrithi wangu."
Mfalme Chui alipomaliza kuzungumza, wanyama walisikia sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Walipogeuka, walimwona Tembo akielekea mbele kwa kishindo. "Tokeni njiani. Mimi ni mkubwa zaidi, ninastahili kuwa mfalme," Tembo alisema.
Tembo aliuchukua mkuki, akaushika kwa mkonga wake. Alikirudisha kichwa chake nyuma kisha akaurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Ah!" Tembo alilia. Mkuki uligonga chini alipofikisha nne. Tembo alikasirika akaanza kufoka. Mfalme Chui alimwambia, "Ulipata nafasi yako." Tembo alilazimika kuondoka.
Baada ya Tembo kuondoka, wanyama walianza kuzungumza miongoni mwao kwa msisimuko. Walisikia tena sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Ngiri alikuja kwa kishindo akisema, "Niondokeeni. Niondokeeni. Nitakuwa mfalme. Nina misuli mikubwa zaidi. Nina nguvu kuliko wote. Lazima niwe mfalme."
Ngiri aliinama, akaukamata mkuki kisha akaurusha angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Ah!" Alipiga kelele. Mkuki ulianguka alipofikisha sita. Alirusha uchafu hewani kwa hasira. Chui alimwambia, "Ngiri, unapata nafasi mara moja tu ya kurusha mkuki. Umeshaipata." Ngiri pia alilazimika kuondoka.
Baadaye, wanyama walianza kutoa maoni yao na kusema, "Mashindano hayo ni magumu! Tembo, ingawa ni mkubwa, hakufaulu. Ngiri, ingawa ana nguvu sana, pia hakufaulu. Hakuna atakayeshinda mashindano haya!" Wakati huo huo, walisikia sauti nyingine kutoka nyuma yao. Walipotazama, hawakuamini macho yao.
Walimwona Sokwe mkubwa akienda mbele. Alikuwa akiimba, "Ninaweza. Najua ninaweza. Ninaweza." Sokwe aliuchukua mkuki akasonga nyuma hatua kadhaa. Aliuvuta mkono wake nyuma, akarudi mbele kisha akaruka hewani na kuurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba! Ah!" Sokwe alilia.
Mkuki uligonga chini alipofikisha nane. Sokwe alikasirika akazungukazunguka akilalamika. Lakini, Mfalme Chui alimwambia, "La, Sokwe, unapata nafasi mara moja tu." Ilimbidi Sokwe pia aondoke.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka kwenda nyumbani. Walipokuwa wakiondoka, walimwona Swara mdogo akija kujaribu bahati yake. Swara alisema, "Subirini! Subirini! Hebu nijaribu. Ninaweza kufaulu. Ninaweza. Nipeni nafasi nijaribu." Wanyama wengine walianza kumcheka Swara.
Mfalme Chui aliwashauri wanyama, "Acheni kumcheka Swara! Ni nani aliyesema kwamba wanyama wadogo hawawezi kufanya kazi ambayo wale wakubwa wanafanya? Lazima Swara apewe nafasi sawa kama wanyama wengine. Rudini nyuma ili Swara atupe mkuki."
Swara alimwinamia mfalme, akauchukua mkuki mdomoni. Akitumia nguvu zote, alikimbia mpaka katikati ya uwanja. Aliruka juu akavuta pumzi kisha akaurusha mkuki huku akisema kwa sauti kubwa, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulitua chini.
Wanyama wote walichanganyikiwa. Mfalme Chui aliwaeleza, "Ndiyo, Swara! Tano na tano ni njia nyingine ya kupata kumi. Kuna zaidi ya njia moja ya kuhesabu mpaka kumi." Mashindano hayakuwa kumpata mnyama mkubwa wala mwenye nguvu. Bali lilikuwa kumpata mnyama mwerevu! Hivyo ndivyo Swara alivyokuwa malkia baada ya chui kufariki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nani atahesabu mpaka kumi? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mfalme alipanga Mashindano ya kazi gani | {
"text": [
"yatakayoamua mrithi wake"
]
} |
2359_swa | Nani atahesabu mpaka kumi?
Hapo zamani, Mfalme Chui alianza kuwaza juu ya maisha ya usoni. Alitafakari, "Ninazeeka, na siku moja, nitakufa. Mfalme nwenye busara, anastahili kumchagua mrithi wake akiwa angali kijana na mwenye afya." Lakini, Mfalme Chui atafanya uchagazi namna gani? Aliwapenda wanyama wote!
Mfalme Chui alipata wazo. Aliwaalika wanyama wote kwenda katika ikulu. Wajumbe walikimbia kila sehemu ya kichaka wakiwaalika wanyama. Alipanga kuwa na sherehe kubwa kisha awatangazie mpango wake.
Usiku wa sherehe, wanyama wote walikuwa katika ikulu. Waliimba, wakacheza wakawa na wakati mzuri. Usiku wa manane, Mfalme Chui alisimama katikati ya ikulu. Wanyama waliacha kuimba na kucheza. Walisikiliza kwa makini mfalme wao alipoanza kuzungumza.
Alisafisha koo akasema, "Nilikuwa nikiwaza na wakati umetimia wa kumchagua mrithi wangu. Kwa sababu ninawapenda nyote, siwezi kuamua nani anayefaa zaidi. Nimepanga mashindano yatakayoamua."
Mfalme Chui alishika mkuki akasema, "Wa kwanza miongoni mwenu atakayerusha mkuki angani kisha ahesabu mpaka kumi kabla ya mkuki huo kutua chini, ndiye atakayekuwa mrithi wangu."
Mfalme Chui alipomaliza kuzungumza, wanyama walisikia sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Walipogeuka, walimwona Tembo akielekea mbele kwa kishindo. "Tokeni njiani. Mimi ni mkubwa zaidi, ninastahili kuwa mfalme," Tembo alisema.
Tembo aliuchukua mkuki, akaushika kwa mkonga wake. Alikirudisha kichwa chake nyuma kisha akaurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Ah!" Tembo alilia. Mkuki uligonga chini alipofikisha nne. Tembo alikasirika akaanza kufoka. Mfalme Chui alimwambia, "Ulipata nafasi yako." Tembo alilazimika kuondoka.
Baada ya Tembo kuondoka, wanyama walianza kuzungumza miongoni mwao kwa msisimuko. Walisikia tena sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Ngiri alikuja kwa kishindo akisema, "Niondokeeni. Niondokeeni. Nitakuwa mfalme. Nina misuli mikubwa zaidi. Nina nguvu kuliko wote. Lazima niwe mfalme."
Ngiri aliinama, akaukamata mkuki kisha akaurusha angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Ah!" Alipiga kelele. Mkuki ulianguka alipofikisha sita. Alirusha uchafu hewani kwa hasira. Chui alimwambia, "Ngiri, unapata nafasi mara moja tu ya kurusha mkuki. Umeshaipata." Ngiri pia alilazimika kuondoka.
Baadaye, wanyama walianza kutoa maoni yao na kusema, "Mashindano hayo ni magumu! Tembo, ingawa ni mkubwa, hakufaulu. Ngiri, ingawa ana nguvu sana, pia hakufaulu. Hakuna atakayeshinda mashindano haya!" Wakati huo huo, walisikia sauti nyingine kutoka nyuma yao. Walipotazama, hawakuamini macho yao.
Walimwona Sokwe mkubwa akienda mbele. Alikuwa akiimba, "Ninaweza. Najua ninaweza. Ninaweza." Sokwe aliuchukua mkuki akasonga nyuma hatua kadhaa. Aliuvuta mkono wake nyuma, akarudi mbele kisha akaruka hewani na kuurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba! Ah!" Sokwe alilia.
Mkuki uligonga chini alipofikisha nane. Sokwe alikasirika akazungukazunguka akilalamika. Lakini, Mfalme Chui alimwambia, "La, Sokwe, unapata nafasi mara moja tu." Ilimbidi Sokwe pia aondoke.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka kwenda nyumbani. Walipokuwa wakiondoka, walimwona Swara mdogo akija kujaribu bahati yake. Swara alisema, "Subirini! Subirini! Hebu nijaribu. Ninaweza kufaulu. Ninaweza. Nipeni nafasi nijaribu." Wanyama wengine walianza kumcheka Swara.
Mfalme Chui aliwashauri wanyama, "Acheni kumcheka Swara! Ni nani aliyesema kwamba wanyama wadogo hawawezi kufanya kazi ambayo wale wakubwa wanafanya? Lazima Swara apewe nafasi sawa kama wanyama wengine. Rudini nyuma ili Swara atupe mkuki."
Swara alimwinamia mfalme, akauchukua mkuki mdomoni. Akitumia nguvu zote, alikimbia mpaka katikati ya uwanja. Aliruka juu akavuta pumzi kisha akaurusha mkuki huku akisema kwa sauti kubwa, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulitua chini.
Wanyama wote walichanganyikiwa. Mfalme Chui aliwaeleza, "Ndiyo, Swara! Tano na tano ni njia nyingine ya kupata kumi. Kuna zaidi ya njia moja ya kuhesabu mpaka kumi." Mashindano hayakuwa kumpata mnyama mkubwa wala mwenye nguvu. Bali lilikuwa kumpata mnyama mwerevu! Hivyo ndivyo Swara alivyokuwa malkia baada ya chui kufariki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nani atahesabu mpaka kumi? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani alikua wa kwanza kurusha mkuki | {
"text": [
"Tembo"
]
} |
2359_swa | Nani atahesabu mpaka kumi?
Hapo zamani, Mfalme Chui alianza kuwaza juu ya maisha ya usoni. Alitafakari, "Ninazeeka, na siku moja, nitakufa. Mfalme nwenye busara, anastahili kumchagua mrithi wake akiwa angali kijana na mwenye afya." Lakini, Mfalme Chui atafanya uchagazi namna gani? Aliwapenda wanyama wote!
Mfalme Chui alipata wazo. Aliwaalika wanyama wote kwenda katika ikulu. Wajumbe walikimbia kila sehemu ya kichaka wakiwaalika wanyama. Alipanga kuwa na sherehe kubwa kisha awatangazie mpango wake.
Usiku wa sherehe, wanyama wote walikuwa katika ikulu. Waliimba, wakacheza wakawa na wakati mzuri. Usiku wa manane, Mfalme Chui alisimama katikati ya ikulu. Wanyama waliacha kuimba na kucheza. Walisikiliza kwa makini mfalme wao alipoanza kuzungumza.
Alisafisha koo akasema, "Nilikuwa nikiwaza na wakati umetimia wa kumchagua mrithi wangu. Kwa sababu ninawapenda nyote, siwezi kuamua nani anayefaa zaidi. Nimepanga mashindano yatakayoamua."
Mfalme Chui alishika mkuki akasema, "Wa kwanza miongoni mwenu atakayerusha mkuki angani kisha ahesabu mpaka kumi kabla ya mkuki huo kutua chini, ndiye atakayekuwa mrithi wangu."
Mfalme Chui alipomaliza kuzungumza, wanyama walisikia sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Walipogeuka, walimwona Tembo akielekea mbele kwa kishindo. "Tokeni njiani. Mimi ni mkubwa zaidi, ninastahili kuwa mfalme," Tembo alisema.
Tembo aliuchukua mkuki, akaushika kwa mkonga wake. Alikirudisha kichwa chake nyuma kisha akaurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Ah!" Tembo alilia. Mkuki uligonga chini alipofikisha nne. Tembo alikasirika akaanza kufoka. Mfalme Chui alimwambia, "Ulipata nafasi yako." Tembo alilazimika kuondoka.
Baada ya Tembo kuondoka, wanyama walianza kuzungumza miongoni mwao kwa msisimuko. Walisikia tena sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Ngiri alikuja kwa kishindo akisema, "Niondokeeni. Niondokeeni. Nitakuwa mfalme. Nina misuli mikubwa zaidi. Nina nguvu kuliko wote. Lazima niwe mfalme."
Ngiri aliinama, akaukamata mkuki kisha akaurusha angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Ah!" Alipiga kelele. Mkuki ulianguka alipofikisha sita. Alirusha uchafu hewani kwa hasira. Chui alimwambia, "Ngiri, unapata nafasi mara moja tu ya kurusha mkuki. Umeshaipata." Ngiri pia alilazimika kuondoka.
Baadaye, wanyama walianza kutoa maoni yao na kusema, "Mashindano hayo ni magumu! Tembo, ingawa ni mkubwa, hakufaulu. Ngiri, ingawa ana nguvu sana, pia hakufaulu. Hakuna atakayeshinda mashindano haya!" Wakati huo huo, walisikia sauti nyingine kutoka nyuma yao. Walipotazama, hawakuamini macho yao.
Walimwona Sokwe mkubwa akienda mbele. Alikuwa akiimba, "Ninaweza. Najua ninaweza. Ninaweza." Sokwe aliuchukua mkuki akasonga nyuma hatua kadhaa. Aliuvuta mkono wake nyuma, akarudi mbele kisha akaruka hewani na kuurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba! Ah!" Sokwe alilia.
Mkuki uligonga chini alipofikisha nane. Sokwe alikasirika akazungukazunguka akilalamika. Lakini, Mfalme Chui alimwambia, "La, Sokwe, unapata nafasi mara moja tu." Ilimbidi Sokwe pia aondoke.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka kwenda nyumbani. Walipokuwa wakiondoka, walimwona Swara mdogo akija kujaribu bahati yake. Swara alisema, "Subirini! Subirini! Hebu nijaribu. Ninaweza kufaulu. Ninaweza. Nipeni nafasi nijaribu." Wanyama wengine walianza kumcheka Swara.
Mfalme Chui aliwashauri wanyama, "Acheni kumcheka Swara! Ni nani aliyesema kwamba wanyama wadogo hawawezi kufanya kazi ambayo wale wakubwa wanafanya? Lazima Swara apewe nafasi sawa kama wanyama wengine. Rudini nyuma ili Swara atupe mkuki."
Swara alimwinamia mfalme, akauchukua mkuki mdomoni. Akitumia nguvu zote, alikimbia mpaka katikati ya uwanja. Aliruka juu akavuta pumzi kisha akaurusha mkuki huku akisema kwa sauti kubwa, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulitua chini.
Wanyama wote walichanganyikiwa. Mfalme Chui aliwaeleza, "Ndiyo, Swara! Tano na tano ni njia nyingine ya kupata kumi. Kuna zaidi ya njia moja ya kuhesabu mpaka kumi." Mashindano hayakuwa kumpata mnyama mkubwa wala mwenye nguvu. Bali lilikuwa kumpata mnyama mwerevu! Hivyo ndivyo Swara alivyokuwa malkia baada ya chui kufariki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nani atahesabu mpaka kumi? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni lini mfalme Chui alisimama katikati ya ikulu kuzungumzia wanyama | {
"text": [
"usiku wa manane/sherehe"
]
} |
2359_swa | Nani atahesabu mpaka kumi?
Hapo zamani, Mfalme Chui alianza kuwaza juu ya maisha ya usoni. Alitafakari, "Ninazeeka, na siku moja, nitakufa. Mfalme nwenye busara, anastahili kumchagua mrithi wake akiwa angali kijana na mwenye afya." Lakini, Mfalme Chui atafanya uchagazi namna gani? Aliwapenda wanyama wote!
Mfalme Chui alipata wazo. Aliwaalika wanyama wote kwenda katika ikulu. Wajumbe walikimbia kila sehemu ya kichaka wakiwaalika wanyama. Alipanga kuwa na sherehe kubwa kisha awatangazie mpango wake.
Usiku wa sherehe, wanyama wote walikuwa katika ikulu. Waliimba, wakacheza wakawa na wakati mzuri. Usiku wa manane, Mfalme Chui alisimama katikati ya ikulu. Wanyama waliacha kuimba na kucheza. Walisikiliza kwa makini mfalme wao alipoanza kuzungumza.
Alisafisha koo akasema, "Nilikuwa nikiwaza na wakati umetimia wa kumchagua mrithi wangu. Kwa sababu ninawapenda nyote, siwezi kuamua nani anayefaa zaidi. Nimepanga mashindano yatakayoamua."
Mfalme Chui alishika mkuki akasema, "Wa kwanza miongoni mwenu atakayerusha mkuki angani kisha ahesabu mpaka kumi kabla ya mkuki huo kutua chini, ndiye atakayekuwa mrithi wangu."
Mfalme Chui alipomaliza kuzungumza, wanyama walisikia sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Walipogeuka, walimwona Tembo akielekea mbele kwa kishindo. "Tokeni njiani. Mimi ni mkubwa zaidi, ninastahili kuwa mfalme," Tembo alisema.
Tembo aliuchukua mkuki, akaushika kwa mkonga wake. Alikirudisha kichwa chake nyuma kisha akaurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Ah!" Tembo alilia. Mkuki uligonga chini alipofikisha nne. Tembo alikasirika akaanza kufoka. Mfalme Chui alimwambia, "Ulipata nafasi yako." Tembo alilazimika kuondoka.
Baada ya Tembo kuondoka, wanyama walianza kuzungumza miongoni mwao kwa msisimuko. Walisikia tena sauti kubwa ikitoka nyuma yao. Ngiri alikuja kwa kishindo akisema, "Niondokeeni. Niondokeeni. Nitakuwa mfalme. Nina misuli mikubwa zaidi. Nina nguvu kuliko wote. Lazima niwe mfalme."
Ngiri aliinama, akaukamata mkuki kisha akaurusha angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Ah!" Alipiga kelele. Mkuki ulianguka alipofikisha sita. Alirusha uchafu hewani kwa hasira. Chui alimwambia, "Ngiri, unapata nafasi mara moja tu ya kurusha mkuki. Umeshaipata." Ngiri pia alilazimika kuondoka.
Baadaye, wanyama walianza kutoa maoni yao na kusema, "Mashindano hayo ni magumu! Tembo, ingawa ni mkubwa, hakufaulu. Ngiri, ingawa ana nguvu sana, pia hakufaulu. Hakuna atakayeshinda mashindano haya!" Wakati huo huo, walisikia sauti nyingine kutoka nyuma yao. Walipotazama, hawakuamini macho yao.
Walimwona Sokwe mkubwa akienda mbele. Alikuwa akiimba, "Ninaweza. Najua ninaweza. Ninaweza." Sokwe aliuchukua mkuki akasonga nyuma hatua kadhaa. Aliuvuta mkono wake nyuma, akarudi mbele kisha akaruka hewani na kuurusha mkuki angani. "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba! Ah!" Sokwe alilia.
Mkuki uligonga chini alipofikisha nane. Sokwe alikasirika akazungukazunguka akilalamika. Lakini, Mfalme Chui alimwambia, "La, Sokwe, unapata nafasi mara moja tu." Ilimbidi Sokwe pia aondoke.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka kwenda nyumbani. Walipokuwa wakiondoka, walimwona Swara mdogo akija kujaribu bahati yake. Swara alisema, "Subirini! Subirini! Hebu nijaribu. Ninaweza kufaulu. Ninaweza. Nipeni nafasi nijaribu." Wanyama wengine walianza kumcheka Swara.
Mfalme Chui aliwashauri wanyama, "Acheni kumcheka Swara! Ni nani aliyesema kwamba wanyama wadogo hawawezi kufanya kazi ambayo wale wakubwa wanafanya? Lazima Swara apewe nafasi sawa kama wanyama wengine. Rudini nyuma ili Swara atupe mkuki."
Swara alimwinamia mfalme, akauchukua mkuki mdomoni. Akitumia nguvu zote, alikimbia mpaka katikati ya uwanja. Aliruka juu akavuta pumzi kisha akaurusha mkuki huku akisema kwa sauti kubwa, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulitua chini.
Wanyama wote walichanganyikiwa. Mfalme Chui aliwaeleza, "Ndiyo, Swara! Tano na tano ni njia nyingine ya kupata kumi. Kuna zaidi ya njia moja ya kuhesabu mpaka kumi." Mashindano hayakuwa kumpata mnyama mkubwa wala mwenye nguvu. Bali lilikuwa kumpata mnyama mwerevu! Hivyo ndivyo Swara alivyokuwa malkia baada ya chui kufariki.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nani atahesabu mpaka kumi? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Brigid Simiyu Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini wanyama wengine walimcheka Swara | {
"text": [
"alikua mdogo na wale wanyama wakubwa walikua wameshindwa "
]
} |
2360_swa | Nausikiliza mwili wangu
Leo ni likizo! Siendi shule.
Leo hakuna umeme. Sitatazama runinga.
Nitafanya nini leo? Nitausikiliza mwili wangu!
Ili niweze kuusikiliza mwili wangu, lazima niwe kimya. Kimya kabisa.
Sasa naweza kuisikia pumzi yangu. Pumua. Toa. Pumua. Toa.
Ninaweza kufanya pumzi yangu isikike kwa sauti ya juu. Zzzzzzzzz! Au isikike kwa sauti ya chini. Mhmhmhmh.
Sasa nausikia moyo wangu ukidunda! Kudukudukudu.
Je, naweza kuufanya moyo wangu kwenda mbio au kudunda kwa sauti ya juu? Ndiyo, nikiruka juu na chini mara nyingi.
Sasa moyo wangu unadunda kwa kasi. Dudududu!
Nikiweka kidole changu mkononi, nitaweza kuusikia mpigo wa moyo wangu!
Ninajisikia nikicheka. Haha haha haaah haaa!
Ninajisikia nikilia. Boohoooohooo!
Ninasikia nikipiga makofi. Pa papa papapa papapapa.
Ninaweza kulisikia tumbo langu likinguruma. Gururuuuuu.
Likisema, nilishe, nilishe.
Na mapua yangu yananusa keki ipikwayo jikoni na mama.
Kuusikiliza mwili wangu, ni jambo la kufurahisha. Sasa nataka kuzisikiliza taya zangu zikitafuna.
Na tumbo langu likifurahia keki tamu zilizookwa na mamangu!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nausikiliza mwili wangu Author - Noni Translation - Ursula Nafula Illustration - Angie & Upesh Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Leo hakuna umeme, sitatazama nini | {
"text": [
"Runinga"
]
} |
2360_swa | Nausikiliza mwili wangu
Leo ni likizo! Siendi shule.
Leo hakuna umeme. Sitatazama runinga.
Nitafanya nini leo? Nitausikiliza mwili wangu!
Ili niweze kuusikiliza mwili wangu, lazima niwe kimya. Kimya kabisa.
Sasa naweza kuisikia pumzi yangu. Pumua. Toa. Pumua. Toa.
Ninaweza kufanya pumzi yangu isikike kwa sauti ya juu. Zzzzzzzzz! Au isikike kwa sauti ya chini. Mhmhmhmh.
Sasa nausikia moyo wangu ukidunda! Kudukudukudu.
Je, naweza kuufanya moyo wangu kwenda mbio au kudunda kwa sauti ya juu? Ndiyo, nikiruka juu na chini mara nyingi.
Sasa moyo wangu unadunda kwa kasi. Dudududu!
Nikiweka kidole changu mkononi, nitaweza kuusikia mpigo wa moyo wangu!
Ninajisikia nikicheka. Haha haha haaah haaa!
Ninajisikia nikilia. Boohoooohooo!
Ninasikia nikipiga makofi. Pa papa papapa papapapa.
Ninaweza kulisikia tumbo langu likinguruma. Gururuuuuu.
Likisema, nilishe, nilishe.
Na mapua yangu yananusa keki ipikwayo jikoni na mama.
Kuusikiliza mwili wangu, ni jambo la kufurahisha. Sasa nataka kuzisikiliza taya zangu zikitafuna.
Na tumbo langu likifurahia keki tamu zilizookwa na mamangu!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nausikiliza mwili wangu Author - Noni Translation - Ursula Nafula Illustration - Angie & Upesh Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Nitafanya nini leo | {
"text": [
"Nitausikiliza mwili wangu"
]
} |
2360_swa | Nausikiliza mwili wangu
Leo ni likizo! Siendi shule.
Leo hakuna umeme. Sitatazama runinga.
Nitafanya nini leo? Nitausikiliza mwili wangu!
Ili niweze kuusikiliza mwili wangu, lazima niwe kimya. Kimya kabisa.
Sasa naweza kuisikia pumzi yangu. Pumua. Toa. Pumua. Toa.
Ninaweza kufanya pumzi yangu isikike kwa sauti ya juu. Zzzzzzzzz! Au isikike kwa sauti ya chini. Mhmhmhmh.
Sasa nausikia moyo wangu ukidunda! Kudukudukudu.
Je, naweza kuufanya moyo wangu kwenda mbio au kudunda kwa sauti ya juu? Ndiyo, nikiruka juu na chini mara nyingi.
Sasa moyo wangu unadunda kwa kasi. Dudududu!
Nikiweka kidole changu mkononi, nitaweza kuusikia mpigo wa moyo wangu!
Ninajisikia nikicheka. Haha haha haaah haaa!
Ninajisikia nikilia. Boohoooohooo!
Ninasikia nikipiga makofi. Pa papa papapa papapapa.
Ninaweza kulisikia tumbo langu likinguruma. Gururuuuuu.
Likisema, nilishe, nilishe.
Na mapua yangu yananusa keki ipikwayo jikoni na mama.
Kuusikiliza mwili wangu, ni jambo la kufurahisha. Sasa nataka kuzisikiliza taya zangu zikitafuna.
Na tumbo langu likifurahia keki tamu zilizookwa na mamangu!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nausikiliza mwili wangu Author - Noni Translation - Ursula Nafula Illustration - Angie & Upesh Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Ninaweza kufanya pumzi yangu ifanye nini | {
"text": [
"Isikike kwa sauti"
]
} |
2360_swa | Nausikiliza mwili wangu
Leo ni likizo! Siendi shule.
Leo hakuna umeme. Sitatazama runinga.
Nitafanya nini leo? Nitausikiliza mwili wangu!
Ili niweze kuusikiliza mwili wangu, lazima niwe kimya. Kimya kabisa.
Sasa naweza kuisikia pumzi yangu. Pumua. Toa. Pumua. Toa.
Ninaweza kufanya pumzi yangu isikike kwa sauti ya juu. Zzzzzzzzz! Au isikike kwa sauti ya chini. Mhmhmhmh.
Sasa nausikia moyo wangu ukidunda! Kudukudukudu.
Je, naweza kuufanya moyo wangu kwenda mbio au kudunda kwa sauti ya juu? Ndiyo, nikiruka juu na chini mara nyingi.
Sasa moyo wangu unadunda kwa kasi. Dudududu!
Nikiweka kidole changu mkononi, nitaweza kuusikia mpigo wa moyo wangu!
Ninajisikia nikicheka. Haha haha haaah haaa!
Ninajisikia nikilia. Boohoooohooo!
Ninasikia nikipiga makofi. Pa papa papapa papapapa.
Ninaweza kulisikia tumbo langu likinguruma. Gururuuuuu.
Likisema, nilishe, nilishe.
Na mapua yangu yananusa keki ipikwayo jikoni na mama.
Kuusikiliza mwili wangu, ni jambo la kufurahisha. Sasa nataka kuzisikiliza taya zangu zikitafuna.
Na tumbo langu likifurahia keki tamu zilizookwa na mamangu!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nausikiliza mwili wangu Author - Noni Translation - Ursula Nafula Illustration - Angie & Upesh Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Ninaweza kulisikia tumbo langu likifanya nini | {
"text": [
"Likinguruma"
]
} |
2360_swa | Nausikiliza mwili wangu
Leo ni likizo! Siendi shule.
Leo hakuna umeme. Sitatazama runinga.
Nitafanya nini leo? Nitausikiliza mwili wangu!
Ili niweze kuusikiliza mwili wangu, lazima niwe kimya. Kimya kabisa.
Sasa naweza kuisikia pumzi yangu. Pumua. Toa. Pumua. Toa.
Ninaweza kufanya pumzi yangu isikike kwa sauti ya juu. Zzzzzzzzz! Au isikike kwa sauti ya chini. Mhmhmhmh.
Sasa nausikia moyo wangu ukidunda! Kudukudukudu.
Je, naweza kuufanya moyo wangu kwenda mbio au kudunda kwa sauti ya juu? Ndiyo, nikiruka juu na chini mara nyingi.
Sasa moyo wangu unadunda kwa kasi. Dudududu!
Nikiweka kidole changu mkononi, nitaweza kuusikia mpigo wa moyo wangu!
Ninajisikia nikicheka. Haha haha haaah haaa!
Ninajisikia nikilia. Boohoooohooo!
Ninasikia nikipiga makofi. Pa papa papapa papapapa.
Ninaweza kulisikia tumbo langu likinguruma. Gururuuuuu.
Likisema, nilishe, nilishe.
Na mapua yangu yananusa keki ipikwayo jikoni na mama.
Kuusikiliza mwili wangu, ni jambo la kufurahisha. Sasa nataka kuzisikiliza taya zangu zikitafuna.
Na tumbo langu likifurahia keki tamu zilizookwa na mamangu!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nausikiliza mwili wangu Author - Noni Translation - Ursula Nafula Illustration - Angie & Upesh Language - Kiswahili Level - First sentences © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Mapua yangu yananusa nini | {
"text": [
"Keki"
]
} |
2361_swa | Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa
Ndalo ana umri wa miaka 10. Yuko katika darasa la 5 katika shule iliyo pale kijijini. Ndalo huibuka wa kwanza darasani kwake. "Ni nini siri yake?" Wenzake wanajiuliza. Ndalo anasoma na kuandika vizuri. "Je, anawezaje kufanya hivi?" Wanashangaa. Ndalo anawaeleza kwamba ni kwa sababu ana vitabu vingi. Wao wanapopoteza muda wao wakikaa bila kazi, yeye huutumia muda wake kusoma.
Wakati mwingine Ndalo hupata Shilingi 80 kama pesa za matumizi. Yeye huzitumia pesa zake nyingi kununua vitabu kutoka duka la vitabu vikuukuu lilioko pale kijijini. Je, Ndalo hupataje pesa za matumizi anazotumia kununua vitabu? Fungua ukurasa ufuatao upate kujua.
Huyu ni Pendo, ng'ombe wa maziwa. Yeye hutoa maziwa lita 20 kwa siku. Babake Ndalo huuza maziwa hayo. Ng'ombe huhitaji chakula na maji. Vilevile, huhitaji kutembea uwanjani. Kwa hivyo, kila siku baada ya kutoka shuleni, Ndalo hufanya kazi hiyo. Babake humpatia pesa za matumizi kwa kazi hiyo. Ni pesa hizo ambazo Ndalo huweka kwa ununuzi wa vitabu kila juma.
Kwanza, Ndalo humpa Pendo karoti 8 kila siku. Kila siku yeye huzichuma karoti kutoka kwenye bustani ya babake. Ukifanya hesabu, utapata kwamba Pendo hula takriban karoti 60 kwa juma. Je, unaweza kupata hasebu kamili?
Baada ya hiyo, Ndalo humpeleka Pendo malishoni. Babake alimwonya achunge ili Pendo asile nyasi kwa zaidi ya robo tatu ya saa. Kawaida, Pendo huanza kula nyasi saa nane na dakika kumi na tano ili Ndalo aweze kumrudisha saa tisa kwenye kibanda cha kukamulia. Wakati wa majira ya baridi, ambapo giza huingia mapema, Ndalo huweza kuanza kula saa saba na nusu.
Baada ya hilo, Ndalo humpa Pendo maji. Bila maji Pendo hawezi kutoa maziwa hata Ndalo akimlisha namna gani. Ndalo husomba maji kwa ndoo kutoka mfereji ulio pale kijijini kwa sababu hakuna mwingine ulio karibu. Hori la Pendo huweza kubeba maji lita 30. Ndoo ya Ndalo hubeba tu lita 5 peke yake. Kwa hivyo ili ajaze hori, Ndalo huenda mara chache. Je, unaweza kufanya hesabu ya jumla ya safari zote?
Halafu, Ndalo humpeleka Pendo ili apate nafaka yake ya kila siku ya kilo 12. Ndalo akihesabu, anapata jumla ya kilo 90 kwa juma. Kila gunia linagharimu Shilingi 39. Ndalo anafanya hesabu ya nafaka ya kila juma. Kwanza anafanya hesabu ya magunia 7 kwa Shilingi 40 kila gunia. Anapata jumla ya Shilingi 280. Kisha anaondoa Shilingi 7 na kubaki na salio la Shilingi 273. "Hiyo ni kama Shilingi 10 000 kwa mwaka!" Ndalo anakadiria. Je, hiyo ni sawa?
Babake Ndalo anamkama Pendo mara mbili kwa siku. Pendo hutoa maziwa lita 24 kwa siku, kwa hivyo hutoa karibu lita 12 kila anapokamuliwa. Wakati mwingine Ndalo husaidia kukamua lakini, si kazi rahisi kama inavyoonekana. "Siku moja, nitakuwa na ng'ombe wangu mwenyewe ambao nitalazimika kukamua mwenyewe," Ndalo anawaza.
Babake anayamwaga maziwa kwenye ndoo ndogo ya lita 2. Vilevile, anayamwaga kwenye chupa za lita 1. Halafu anayauza maziwa hayo kwa Shilingi 8 kwa kila lita. Mara moja kwa juma, babake Ndalo huchanga lita 25 za maziwa kusaidia mpango wa chakula shuleni. Hii ina maana kuwa watoto 100 hupata maziwa siku hiyo.
Kwa kila lita inayouzwa, babake anampa Ndalo senti 50. Hiyo haionekani kuwa nyingi, lakini ikiwa babake anauza lita 24 kwa siku, hizo senti huongezeka na kuwa pesa nyingi. Je, unaweza kufanya hesabu na kujua kiasi kamili? Ndalo anaziweka hela zake hadi Jumamosi wakati anapolitembelea duka la vitabu. Kila kitabu kinagharimu chini ya shilingi 10. Kwa hivyo, anaweza kununua vitabu vingi katika juma moja.
Ndalo pia hupenda kuyanywa maziwa anayotoa Pendo. Babake husema kwamba maziwa husaidia kujenga mifupa na meno na kuipa nguvu. Pia humpa mtu afya nzuri. Kwa kuwa anayanywa maziwa na kuzila mboga nyingi kutoka bustani ya babake, Ndalo ana nguvu na mwenye afya nzuri. Ni nadra yeye augue au ahisi njaa.
Ndalo hasahau kumshukuru Pendo mwishoni mwa siku. Humzawadi kwa kumpatia karoti zaidi au matawi ya mchicha yapatikanayo kwenye bustani. "Asante Pendo, wewe ni rafiki yangu mkubwa! Mimi ni mwenye nguvu, mwenye afya na mwerevu kwa ajili yako. Usingekuwa wewe, nisingeweza kuvinunua vitabu vinavyonisaidia kuibuka wa kwanza darasani."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa Author - Ruth Odondi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative and Molteno Institute, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndalo ana umri gani | {
"text": [
"miaka 10"
]
} |
2361_swa | Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa
Ndalo ana umri wa miaka 10. Yuko katika darasa la 5 katika shule iliyo pale kijijini. Ndalo huibuka wa kwanza darasani kwake. "Ni nini siri yake?" Wenzake wanajiuliza. Ndalo anasoma na kuandika vizuri. "Je, anawezaje kufanya hivi?" Wanashangaa. Ndalo anawaeleza kwamba ni kwa sababu ana vitabu vingi. Wao wanapopoteza muda wao wakikaa bila kazi, yeye huutumia muda wake kusoma.
Wakati mwingine Ndalo hupata Shilingi 80 kama pesa za matumizi. Yeye huzitumia pesa zake nyingi kununua vitabu kutoka duka la vitabu vikuukuu lilioko pale kijijini. Je, Ndalo hupataje pesa za matumizi anazotumia kununua vitabu? Fungua ukurasa ufuatao upate kujua.
Huyu ni Pendo, ng'ombe wa maziwa. Yeye hutoa maziwa lita 20 kwa siku. Babake Ndalo huuza maziwa hayo. Ng'ombe huhitaji chakula na maji. Vilevile, huhitaji kutembea uwanjani. Kwa hivyo, kila siku baada ya kutoka shuleni, Ndalo hufanya kazi hiyo. Babake humpatia pesa za matumizi kwa kazi hiyo. Ni pesa hizo ambazo Ndalo huweka kwa ununuzi wa vitabu kila juma.
Kwanza, Ndalo humpa Pendo karoti 8 kila siku. Kila siku yeye huzichuma karoti kutoka kwenye bustani ya babake. Ukifanya hesabu, utapata kwamba Pendo hula takriban karoti 60 kwa juma. Je, unaweza kupata hasebu kamili?
Baada ya hiyo, Ndalo humpeleka Pendo malishoni. Babake alimwonya achunge ili Pendo asile nyasi kwa zaidi ya robo tatu ya saa. Kawaida, Pendo huanza kula nyasi saa nane na dakika kumi na tano ili Ndalo aweze kumrudisha saa tisa kwenye kibanda cha kukamulia. Wakati wa majira ya baridi, ambapo giza huingia mapema, Ndalo huweza kuanza kula saa saba na nusu.
Baada ya hilo, Ndalo humpa Pendo maji. Bila maji Pendo hawezi kutoa maziwa hata Ndalo akimlisha namna gani. Ndalo husomba maji kwa ndoo kutoka mfereji ulio pale kijijini kwa sababu hakuna mwingine ulio karibu. Hori la Pendo huweza kubeba maji lita 30. Ndoo ya Ndalo hubeba tu lita 5 peke yake. Kwa hivyo ili ajaze hori, Ndalo huenda mara chache. Je, unaweza kufanya hesabu ya jumla ya safari zote?
Halafu, Ndalo humpeleka Pendo ili apate nafaka yake ya kila siku ya kilo 12. Ndalo akihesabu, anapata jumla ya kilo 90 kwa juma. Kila gunia linagharimu Shilingi 39. Ndalo anafanya hesabu ya nafaka ya kila juma. Kwanza anafanya hesabu ya magunia 7 kwa Shilingi 40 kila gunia. Anapata jumla ya Shilingi 280. Kisha anaondoa Shilingi 7 na kubaki na salio la Shilingi 273. "Hiyo ni kama Shilingi 10 000 kwa mwaka!" Ndalo anakadiria. Je, hiyo ni sawa?
Babake Ndalo anamkama Pendo mara mbili kwa siku. Pendo hutoa maziwa lita 24 kwa siku, kwa hivyo hutoa karibu lita 12 kila anapokamuliwa. Wakati mwingine Ndalo husaidia kukamua lakini, si kazi rahisi kama inavyoonekana. "Siku moja, nitakuwa na ng'ombe wangu mwenyewe ambao nitalazimika kukamua mwenyewe," Ndalo anawaza.
Babake anayamwaga maziwa kwenye ndoo ndogo ya lita 2. Vilevile, anayamwaga kwenye chupa za lita 1. Halafu anayauza maziwa hayo kwa Shilingi 8 kwa kila lita. Mara moja kwa juma, babake Ndalo huchanga lita 25 za maziwa kusaidia mpango wa chakula shuleni. Hii ina maana kuwa watoto 100 hupata maziwa siku hiyo.
Kwa kila lita inayouzwa, babake anampa Ndalo senti 50. Hiyo haionekani kuwa nyingi, lakini ikiwa babake anauza lita 24 kwa siku, hizo senti huongezeka na kuwa pesa nyingi. Je, unaweza kufanya hesabu na kujua kiasi kamili? Ndalo anaziweka hela zake hadi Jumamosi wakati anapolitembelea duka la vitabu. Kila kitabu kinagharimu chini ya shilingi 10. Kwa hivyo, anaweza kununua vitabu vingi katika juma moja.
Ndalo pia hupenda kuyanywa maziwa anayotoa Pendo. Babake husema kwamba maziwa husaidia kujenga mifupa na meno na kuipa nguvu. Pia humpa mtu afya nzuri. Kwa kuwa anayanywa maziwa na kuzila mboga nyingi kutoka bustani ya babake, Ndalo ana nguvu na mwenye afya nzuri. Ni nadra yeye augue au ahisi njaa.
Ndalo hasahau kumshukuru Pendo mwishoni mwa siku. Humzawadi kwa kumpatia karoti zaidi au matawi ya mchicha yapatikanayo kwenye bustani. "Asante Pendo, wewe ni rafiki yangu mkubwa! Mimi ni mwenye nguvu, mwenye afya na mwerevu kwa ajili yako. Usingekuwa wewe, nisingeweza kuvinunua vitabu vinavyonisaidia kuibuka wa kwanza darasani."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa Author - Ruth Odondi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative and Molteno Institute, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndalo hutumia muda wake kufanya nini | {
"text": [
"kusoma"
]
} |
2361_swa | Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa
Ndalo ana umri wa miaka 10. Yuko katika darasa la 5 katika shule iliyo pale kijijini. Ndalo huibuka wa kwanza darasani kwake. "Ni nini siri yake?" Wenzake wanajiuliza. Ndalo anasoma na kuandika vizuri. "Je, anawezaje kufanya hivi?" Wanashangaa. Ndalo anawaeleza kwamba ni kwa sababu ana vitabu vingi. Wao wanapopoteza muda wao wakikaa bila kazi, yeye huutumia muda wake kusoma.
Wakati mwingine Ndalo hupata Shilingi 80 kama pesa za matumizi. Yeye huzitumia pesa zake nyingi kununua vitabu kutoka duka la vitabu vikuukuu lilioko pale kijijini. Je, Ndalo hupataje pesa za matumizi anazotumia kununua vitabu? Fungua ukurasa ufuatao upate kujua.
Huyu ni Pendo, ng'ombe wa maziwa. Yeye hutoa maziwa lita 20 kwa siku. Babake Ndalo huuza maziwa hayo. Ng'ombe huhitaji chakula na maji. Vilevile, huhitaji kutembea uwanjani. Kwa hivyo, kila siku baada ya kutoka shuleni, Ndalo hufanya kazi hiyo. Babake humpatia pesa za matumizi kwa kazi hiyo. Ni pesa hizo ambazo Ndalo huweka kwa ununuzi wa vitabu kila juma.
Kwanza, Ndalo humpa Pendo karoti 8 kila siku. Kila siku yeye huzichuma karoti kutoka kwenye bustani ya babake. Ukifanya hesabu, utapata kwamba Pendo hula takriban karoti 60 kwa juma. Je, unaweza kupata hasebu kamili?
Baada ya hiyo, Ndalo humpeleka Pendo malishoni. Babake alimwonya achunge ili Pendo asile nyasi kwa zaidi ya robo tatu ya saa. Kawaida, Pendo huanza kula nyasi saa nane na dakika kumi na tano ili Ndalo aweze kumrudisha saa tisa kwenye kibanda cha kukamulia. Wakati wa majira ya baridi, ambapo giza huingia mapema, Ndalo huweza kuanza kula saa saba na nusu.
Baada ya hilo, Ndalo humpa Pendo maji. Bila maji Pendo hawezi kutoa maziwa hata Ndalo akimlisha namna gani. Ndalo husomba maji kwa ndoo kutoka mfereji ulio pale kijijini kwa sababu hakuna mwingine ulio karibu. Hori la Pendo huweza kubeba maji lita 30. Ndoo ya Ndalo hubeba tu lita 5 peke yake. Kwa hivyo ili ajaze hori, Ndalo huenda mara chache. Je, unaweza kufanya hesabu ya jumla ya safari zote?
Halafu, Ndalo humpeleka Pendo ili apate nafaka yake ya kila siku ya kilo 12. Ndalo akihesabu, anapata jumla ya kilo 90 kwa juma. Kila gunia linagharimu Shilingi 39. Ndalo anafanya hesabu ya nafaka ya kila juma. Kwanza anafanya hesabu ya magunia 7 kwa Shilingi 40 kila gunia. Anapata jumla ya Shilingi 280. Kisha anaondoa Shilingi 7 na kubaki na salio la Shilingi 273. "Hiyo ni kama Shilingi 10 000 kwa mwaka!" Ndalo anakadiria. Je, hiyo ni sawa?
Babake Ndalo anamkama Pendo mara mbili kwa siku. Pendo hutoa maziwa lita 24 kwa siku, kwa hivyo hutoa karibu lita 12 kila anapokamuliwa. Wakati mwingine Ndalo husaidia kukamua lakini, si kazi rahisi kama inavyoonekana. "Siku moja, nitakuwa na ng'ombe wangu mwenyewe ambao nitalazimika kukamua mwenyewe," Ndalo anawaza.
Babake anayamwaga maziwa kwenye ndoo ndogo ya lita 2. Vilevile, anayamwaga kwenye chupa za lita 1. Halafu anayauza maziwa hayo kwa Shilingi 8 kwa kila lita. Mara moja kwa juma, babake Ndalo huchanga lita 25 za maziwa kusaidia mpango wa chakula shuleni. Hii ina maana kuwa watoto 100 hupata maziwa siku hiyo.
Kwa kila lita inayouzwa, babake anampa Ndalo senti 50. Hiyo haionekani kuwa nyingi, lakini ikiwa babake anauza lita 24 kwa siku, hizo senti huongezeka na kuwa pesa nyingi. Je, unaweza kufanya hesabu na kujua kiasi kamili? Ndalo anaziweka hela zake hadi Jumamosi wakati anapolitembelea duka la vitabu. Kila kitabu kinagharimu chini ya shilingi 10. Kwa hivyo, anaweza kununua vitabu vingi katika juma moja.
Ndalo pia hupenda kuyanywa maziwa anayotoa Pendo. Babake husema kwamba maziwa husaidia kujenga mifupa na meno na kuipa nguvu. Pia humpa mtu afya nzuri. Kwa kuwa anayanywa maziwa na kuzila mboga nyingi kutoka bustani ya babake, Ndalo ana nguvu na mwenye afya nzuri. Ni nadra yeye augue au ahisi njaa.
Ndalo hasahau kumshukuru Pendo mwishoni mwa siku. Humzawadi kwa kumpatia karoti zaidi au matawi ya mchicha yapatikanayo kwenye bustani. "Asante Pendo, wewe ni rafiki yangu mkubwa! Mimi ni mwenye nguvu, mwenye afya na mwerevu kwa ajili yako. Usingekuwa wewe, nisingeweza kuvinunua vitabu vinavyonisaidia kuibuka wa kwanza darasani."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa Author - Ruth Odondi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative and Molteno Institute, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Pendo hutoa kiasi gani cha maziwa kila siku | {
"text": [
"lita 20"
]
} |
2361_swa | Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa
Ndalo ana umri wa miaka 10. Yuko katika darasa la 5 katika shule iliyo pale kijijini. Ndalo huibuka wa kwanza darasani kwake. "Ni nini siri yake?" Wenzake wanajiuliza. Ndalo anasoma na kuandika vizuri. "Je, anawezaje kufanya hivi?" Wanashangaa. Ndalo anawaeleza kwamba ni kwa sababu ana vitabu vingi. Wao wanapopoteza muda wao wakikaa bila kazi, yeye huutumia muda wake kusoma.
Wakati mwingine Ndalo hupata Shilingi 80 kama pesa za matumizi. Yeye huzitumia pesa zake nyingi kununua vitabu kutoka duka la vitabu vikuukuu lilioko pale kijijini. Je, Ndalo hupataje pesa za matumizi anazotumia kununua vitabu? Fungua ukurasa ufuatao upate kujua.
Huyu ni Pendo, ng'ombe wa maziwa. Yeye hutoa maziwa lita 20 kwa siku. Babake Ndalo huuza maziwa hayo. Ng'ombe huhitaji chakula na maji. Vilevile, huhitaji kutembea uwanjani. Kwa hivyo, kila siku baada ya kutoka shuleni, Ndalo hufanya kazi hiyo. Babake humpatia pesa za matumizi kwa kazi hiyo. Ni pesa hizo ambazo Ndalo huweka kwa ununuzi wa vitabu kila juma.
Kwanza, Ndalo humpa Pendo karoti 8 kila siku. Kila siku yeye huzichuma karoti kutoka kwenye bustani ya babake. Ukifanya hesabu, utapata kwamba Pendo hula takriban karoti 60 kwa juma. Je, unaweza kupata hasebu kamili?
Baada ya hiyo, Ndalo humpeleka Pendo malishoni. Babake alimwonya achunge ili Pendo asile nyasi kwa zaidi ya robo tatu ya saa. Kawaida, Pendo huanza kula nyasi saa nane na dakika kumi na tano ili Ndalo aweze kumrudisha saa tisa kwenye kibanda cha kukamulia. Wakati wa majira ya baridi, ambapo giza huingia mapema, Ndalo huweza kuanza kula saa saba na nusu.
Baada ya hilo, Ndalo humpa Pendo maji. Bila maji Pendo hawezi kutoa maziwa hata Ndalo akimlisha namna gani. Ndalo husomba maji kwa ndoo kutoka mfereji ulio pale kijijini kwa sababu hakuna mwingine ulio karibu. Hori la Pendo huweza kubeba maji lita 30. Ndoo ya Ndalo hubeba tu lita 5 peke yake. Kwa hivyo ili ajaze hori, Ndalo huenda mara chache. Je, unaweza kufanya hesabu ya jumla ya safari zote?
Halafu, Ndalo humpeleka Pendo ili apate nafaka yake ya kila siku ya kilo 12. Ndalo akihesabu, anapata jumla ya kilo 90 kwa juma. Kila gunia linagharimu Shilingi 39. Ndalo anafanya hesabu ya nafaka ya kila juma. Kwanza anafanya hesabu ya magunia 7 kwa Shilingi 40 kila gunia. Anapata jumla ya Shilingi 280. Kisha anaondoa Shilingi 7 na kubaki na salio la Shilingi 273. "Hiyo ni kama Shilingi 10 000 kwa mwaka!" Ndalo anakadiria. Je, hiyo ni sawa?
Babake Ndalo anamkama Pendo mara mbili kwa siku. Pendo hutoa maziwa lita 24 kwa siku, kwa hivyo hutoa karibu lita 12 kila anapokamuliwa. Wakati mwingine Ndalo husaidia kukamua lakini, si kazi rahisi kama inavyoonekana. "Siku moja, nitakuwa na ng'ombe wangu mwenyewe ambao nitalazimika kukamua mwenyewe," Ndalo anawaza.
Babake anayamwaga maziwa kwenye ndoo ndogo ya lita 2. Vilevile, anayamwaga kwenye chupa za lita 1. Halafu anayauza maziwa hayo kwa Shilingi 8 kwa kila lita. Mara moja kwa juma, babake Ndalo huchanga lita 25 za maziwa kusaidia mpango wa chakula shuleni. Hii ina maana kuwa watoto 100 hupata maziwa siku hiyo.
Kwa kila lita inayouzwa, babake anampa Ndalo senti 50. Hiyo haionekani kuwa nyingi, lakini ikiwa babake anauza lita 24 kwa siku, hizo senti huongezeka na kuwa pesa nyingi. Je, unaweza kufanya hesabu na kujua kiasi kamili? Ndalo anaziweka hela zake hadi Jumamosi wakati anapolitembelea duka la vitabu. Kila kitabu kinagharimu chini ya shilingi 10. Kwa hivyo, anaweza kununua vitabu vingi katika juma moja.
Ndalo pia hupenda kuyanywa maziwa anayotoa Pendo. Babake husema kwamba maziwa husaidia kujenga mifupa na meno na kuipa nguvu. Pia humpa mtu afya nzuri. Kwa kuwa anayanywa maziwa na kuzila mboga nyingi kutoka bustani ya babake, Ndalo ana nguvu na mwenye afya nzuri. Ni nadra yeye augue au ahisi njaa.
Ndalo hasahau kumshukuru Pendo mwishoni mwa siku. Humzawadi kwa kumpatia karoti zaidi au matawi ya mchicha yapatikanayo kwenye bustani. "Asante Pendo, wewe ni rafiki yangu mkubwa! Mimi ni mwenye nguvu, mwenye afya na mwerevu kwa ajili yako. Usingekuwa wewe, nisingeweza kuvinunua vitabu vinavyonisaidia kuibuka wa kwanza darasani."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa Author - Ruth Odondi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative and Molteno Institute, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndalo humrudisha Pendo kwenye kibanda cha kukamulia saa ngapi | {
"text": [
"saa tisa"
]
} |
2361_swa | Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa
Ndalo ana umri wa miaka 10. Yuko katika darasa la 5 katika shule iliyo pale kijijini. Ndalo huibuka wa kwanza darasani kwake. "Ni nini siri yake?" Wenzake wanajiuliza. Ndalo anasoma na kuandika vizuri. "Je, anawezaje kufanya hivi?" Wanashangaa. Ndalo anawaeleza kwamba ni kwa sababu ana vitabu vingi. Wao wanapopoteza muda wao wakikaa bila kazi, yeye huutumia muda wake kusoma.
Wakati mwingine Ndalo hupata Shilingi 80 kama pesa za matumizi. Yeye huzitumia pesa zake nyingi kununua vitabu kutoka duka la vitabu vikuukuu lilioko pale kijijini. Je, Ndalo hupataje pesa za matumizi anazotumia kununua vitabu? Fungua ukurasa ufuatao upate kujua.
Huyu ni Pendo, ng'ombe wa maziwa. Yeye hutoa maziwa lita 20 kwa siku. Babake Ndalo huuza maziwa hayo. Ng'ombe huhitaji chakula na maji. Vilevile, huhitaji kutembea uwanjani. Kwa hivyo, kila siku baada ya kutoka shuleni, Ndalo hufanya kazi hiyo. Babake humpatia pesa za matumizi kwa kazi hiyo. Ni pesa hizo ambazo Ndalo huweka kwa ununuzi wa vitabu kila juma.
Kwanza, Ndalo humpa Pendo karoti 8 kila siku. Kila siku yeye huzichuma karoti kutoka kwenye bustani ya babake. Ukifanya hesabu, utapata kwamba Pendo hula takriban karoti 60 kwa juma. Je, unaweza kupata hasebu kamili?
Baada ya hiyo, Ndalo humpeleka Pendo malishoni. Babake alimwonya achunge ili Pendo asile nyasi kwa zaidi ya robo tatu ya saa. Kawaida, Pendo huanza kula nyasi saa nane na dakika kumi na tano ili Ndalo aweze kumrudisha saa tisa kwenye kibanda cha kukamulia. Wakati wa majira ya baridi, ambapo giza huingia mapema, Ndalo huweza kuanza kula saa saba na nusu.
Baada ya hilo, Ndalo humpa Pendo maji. Bila maji Pendo hawezi kutoa maziwa hata Ndalo akimlisha namna gani. Ndalo husomba maji kwa ndoo kutoka mfereji ulio pale kijijini kwa sababu hakuna mwingine ulio karibu. Hori la Pendo huweza kubeba maji lita 30. Ndoo ya Ndalo hubeba tu lita 5 peke yake. Kwa hivyo ili ajaze hori, Ndalo huenda mara chache. Je, unaweza kufanya hesabu ya jumla ya safari zote?
Halafu, Ndalo humpeleka Pendo ili apate nafaka yake ya kila siku ya kilo 12. Ndalo akihesabu, anapata jumla ya kilo 90 kwa juma. Kila gunia linagharimu Shilingi 39. Ndalo anafanya hesabu ya nafaka ya kila juma. Kwanza anafanya hesabu ya magunia 7 kwa Shilingi 40 kila gunia. Anapata jumla ya Shilingi 280. Kisha anaondoa Shilingi 7 na kubaki na salio la Shilingi 273. "Hiyo ni kama Shilingi 10 000 kwa mwaka!" Ndalo anakadiria. Je, hiyo ni sawa?
Babake Ndalo anamkama Pendo mara mbili kwa siku. Pendo hutoa maziwa lita 24 kwa siku, kwa hivyo hutoa karibu lita 12 kila anapokamuliwa. Wakati mwingine Ndalo husaidia kukamua lakini, si kazi rahisi kama inavyoonekana. "Siku moja, nitakuwa na ng'ombe wangu mwenyewe ambao nitalazimika kukamua mwenyewe," Ndalo anawaza.
Babake anayamwaga maziwa kwenye ndoo ndogo ya lita 2. Vilevile, anayamwaga kwenye chupa za lita 1. Halafu anayauza maziwa hayo kwa Shilingi 8 kwa kila lita. Mara moja kwa juma, babake Ndalo huchanga lita 25 za maziwa kusaidia mpango wa chakula shuleni. Hii ina maana kuwa watoto 100 hupata maziwa siku hiyo.
Kwa kila lita inayouzwa, babake anampa Ndalo senti 50. Hiyo haionekani kuwa nyingi, lakini ikiwa babake anauza lita 24 kwa siku, hizo senti huongezeka na kuwa pesa nyingi. Je, unaweza kufanya hesabu na kujua kiasi kamili? Ndalo anaziweka hela zake hadi Jumamosi wakati anapolitembelea duka la vitabu. Kila kitabu kinagharimu chini ya shilingi 10. Kwa hivyo, anaweza kununua vitabu vingi katika juma moja.
Ndalo pia hupenda kuyanywa maziwa anayotoa Pendo. Babake husema kwamba maziwa husaidia kujenga mifupa na meno na kuipa nguvu. Pia humpa mtu afya nzuri. Kwa kuwa anayanywa maziwa na kuzila mboga nyingi kutoka bustani ya babake, Ndalo ana nguvu na mwenye afya nzuri. Ni nadra yeye augue au ahisi njaa.
Ndalo hasahau kumshukuru Pendo mwishoni mwa siku. Humzawadi kwa kumpatia karoti zaidi au matawi ya mchicha yapatikanayo kwenye bustani. "Asante Pendo, wewe ni rafiki yangu mkubwa! Mimi ni mwenye nguvu, mwenye afya na mwerevu kwa ajili yako. Usingekuwa wewe, nisingeweza kuvinunua vitabu vinavyonisaidia kuibuka wa kwanza darasani."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndalo na Pendo - Marafiki wakubwa Author - Ruth Odondi Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative and Molteno Institute, 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona Ndalo ana nguvu na afya nzuri | {
"text": [
"anayanywa maziwa na kula mboga nyingi"
]
} |
2362_swa | Ndama wa Parna
Parna alikuwa mvulana mwembamba mrefu. Alikuwa katika darasa la tatu. Alipenda kuvaa koti refu la rangi nyeusi. Alipewa koti hilo na Mjombake, Teteyo.
Wakati wa likizo, Parna aliwachunga ng'ombe wa wazazi wake.
Siku moja, Parna alikuwa akiwachunga ng'ombe. Ghafla, mvua ilianza kunyesha.
Wakati huo huo, Cheusi, ng'ombe aliyekuwa kipenzi cha babake, alizaa. Ndama aliyezaliwa alipendeza. Alikuwa mzuri kuliko ndama wote ambao Parna aliwahi kuwaona.
Parna alifurahi kuwahudumia Cheusi na ndama wake. Aliwasahau ng'ombe wale wengine.
Aliwaza, "Babangu aliahidi kunipa ndama ikiwa atakuwa wa kike."
Alipokuwa akiwaza hivyo, alisikia mkono ukimvuta juu kwa nguvu. Parna alimwona Mjomba Teteyo. Alikumbuka na kuuliza, "Mjomba, ng'ombe wako wapi?"
Mjomba Teteyo alimjibu, "Mamako aliwapata ng'ombe wote zizini ila wewe na Cheusi. Aliingiwa na wasiwasi akanituma nije nikuchukue."
Mjomba Teteyo akasema, "Nitambeba ndama huyu. Kisha wewe na Cheusi mnifuate nyuma." Parna alielezea kwa msisimko jinsi Cheusi alivyozaa ndama aliye mzuri zaidi ya wote.
Watu wote walifurahi walipoona kwamba Parna, Cheusi na ndama walikuwa salama.
Parna akamwuliza babake, "Je, utanipa ndama huyu kama ulivyoahidi?"
"Ndiyo, mwanangu, ndama huyu ni wako. Ahadi ni deni."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndama wa Parna Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alikuwa mvulana mwembamba mrefu | {
"text": [
"Parna"
]
} |
2362_swa | Ndama wa Parna
Parna alikuwa mvulana mwembamba mrefu. Alikuwa katika darasa la tatu. Alipenda kuvaa koti refu la rangi nyeusi. Alipewa koti hilo na Mjombake, Teteyo.
Wakati wa likizo, Parna aliwachunga ng'ombe wa wazazi wake.
Siku moja, Parna alikuwa akiwachunga ng'ombe. Ghafla, mvua ilianza kunyesha.
Wakati huo huo, Cheusi, ng'ombe aliyekuwa kipenzi cha babake, alizaa. Ndama aliyezaliwa alipendeza. Alikuwa mzuri kuliko ndama wote ambao Parna aliwahi kuwaona.
Parna alifurahi kuwahudumia Cheusi na ndama wake. Aliwasahau ng'ombe wale wengine.
Aliwaza, "Babangu aliahidi kunipa ndama ikiwa atakuwa wa kike."
Alipokuwa akiwaza hivyo, alisikia mkono ukimvuta juu kwa nguvu. Parna alimwona Mjomba Teteyo. Alikumbuka na kuuliza, "Mjomba, ng'ombe wako wapi?"
Mjomba Teteyo alimjibu, "Mamako aliwapata ng'ombe wote zizini ila wewe na Cheusi. Aliingiwa na wasiwasi akanituma nije nikuchukue."
Mjomba Teteyo akasema, "Nitambeba ndama huyu. Kisha wewe na Cheusi mnifuate nyuma." Parna alielezea kwa msisimko jinsi Cheusi alivyozaa ndama aliye mzuri zaidi ya wote.
Watu wote walifurahi walipoona kwamba Parna, Cheusi na ndama walikuwa salama.
Parna akamwuliza babake, "Je, utanipa ndama huyu kama ulivyoahidi?"
"Ndiyo, mwanangu, ndama huyu ni wako. Ahadi ni deni."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndama wa Parna Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Parna alikuwa akiwachunga nini | {
"text": [
"Ng'ombe"
]
} |
2362_swa | Ndama wa Parna
Parna alikuwa mvulana mwembamba mrefu. Alikuwa katika darasa la tatu. Alipenda kuvaa koti refu la rangi nyeusi. Alipewa koti hilo na Mjombake, Teteyo.
Wakati wa likizo, Parna aliwachunga ng'ombe wa wazazi wake.
Siku moja, Parna alikuwa akiwachunga ng'ombe. Ghafla, mvua ilianza kunyesha.
Wakati huo huo, Cheusi, ng'ombe aliyekuwa kipenzi cha babake, alizaa. Ndama aliyezaliwa alipendeza. Alikuwa mzuri kuliko ndama wote ambao Parna aliwahi kuwaona.
Parna alifurahi kuwahudumia Cheusi na ndama wake. Aliwasahau ng'ombe wale wengine.
Aliwaza, "Babangu aliahidi kunipa ndama ikiwa atakuwa wa kike."
Alipokuwa akiwaza hivyo, alisikia mkono ukimvuta juu kwa nguvu. Parna alimwona Mjomba Teteyo. Alikumbuka na kuuliza, "Mjomba, ng'ombe wako wapi?"
Mjomba Teteyo alimjibu, "Mamako aliwapata ng'ombe wote zizini ila wewe na Cheusi. Aliingiwa na wasiwasi akanituma nije nikuchukue."
Mjomba Teteyo akasema, "Nitambeba ndama huyu. Kisha wewe na Cheusi mnifuate nyuma." Parna alielezea kwa msisimko jinsi Cheusi alivyozaa ndama aliye mzuri zaidi ya wote.
Watu wote walifurahi walipoona kwamba Parna, Cheusi na ndama walikuwa salama.
Parna akamwuliza babake, "Je, utanipa ndama huyu kama ulivyoahidi?"
"Ndiyo, mwanangu, ndama huyu ni wako. Ahadi ni deni."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndama wa Parna Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ng'ombe aliyekuwa kipenzi cha babake anaitwa nani | {
"text": [
"Cheusi"
]
} |
2362_swa | Ndama wa Parna
Parna alikuwa mvulana mwembamba mrefu. Alikuwa katika darasa la tatu. Alipenda kuvaa koti refu la rangi nyeusi. Alipewa koti hilo na Mjombake, Teteyo.
Wakati wa likizo, Parna aliwachunga ng'ombe wa wazazi wake.
Siku moja, Parna alikuwa akiwachunga ng'ombe. Ghafla, mvua ilianza kunyesha.
Wakati huo huo, Cheusi, ng'ombe aliyekuwa kipenzi cha babake, alizaa. Ndama aliyezaliwa alipendeza. Alikuwa mzuri kuliko ndama wote ambao Parna aliwahi kuwaona.
Parna alifurahi kuwahudumia Cheusi na ndama wake. Aliwasahau ng'ombe wale wengine.
Aliwaza, "Babangu aliahidi kunipa ndama ikiwa atakuwa wa kike."
Alipokuwa akiwaza hivyo, alisikia mkono ukimvuta juu kwa nguvu. Parna alimwona Mjomba Teteyo. Alikumbuka na kuuliza, "Mjomba, ng'ombe wako wapi?"
Mjomba Teteyo alimjibu, "Mamako aliwapata ng'ombe wote zizini ila wewe na Cheusi. Aliingiwa na wasiwasi akanituma nije nikuchukue."
Mjomba Teteyo akasema, "Nitambeba ndama huyu. Kisha wewe na Cheusi mnifuate nyuma." Parna alielezea kwa msisimko jinsi Cheusi alivyozaa ndama aliye mzuri zaidi ya wote.
Watu wote walifurahi walipoona kwamba Parna, Cheusi na ndama walikuwa salama.
Parna akamwuliza babake, "Je, utanipa ndama huyu kama ulivyoahidi?"
"Ndiyo, mwanangu, ndama huyu ni wako. Ahadi ni deni."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndama wa Parna Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mjomba wa Parna aliitwa nani | {
"text": [
"Teteyo"
]
} |
2362_swa | Ndama wa Parna
Parna alikuwa mvulana mwembamba mrefu. Alikuwa katika darasa la tatu. Alipenda kuvaa koti refu la rangi nyeusi. Alipewa koti hilo na Mjombake, Teteyo.
Wakati wa likizo, Parna aliwachunga ng'ombe wa wazazi wake.
Siku moja, Parna alikuwa akiwachunga ng'ombe. Ghafla, mvua ilianza kunyesha.
Wakati huo huo, Cheusi, ng'ombe aliyekuwa kipenzi cha babake, alizaa. Ndama aliyezaliwa alipendeza. Alikuwa mzuri kuliko ndama wote ambao Parna aliwahi kuwaona.
Parna alifurahi kuwahudumia Cheusi na ndama wake. Aliwasahau ng'ombe wale wengine.
Aliwaza, "Babangu aliahidi kunipa ndama ikiwa atakuwa wa kike."
Alipokuwa akiwaza hivyo, alisikia mkono ukimvuta juu kwa nguvu. Parna alimwona Mjomba Teteyo. Alikumbuka na kuuliza, "Mjomba, ng'ombe wako wapi?"
Mjomba Teteyo alimjibu, "Mamako aliwapata ng'ombe wote zizini ila wewe na Cheusi. Aliingiwa na wasiwasi akanituma nije nikuchukue."
Mjomba Teteyo akasema, "Nitambeba ndama huyu. Kisha wewe na Cheusi mnifuate nyuma." Parna alielezea kwa msisimko jinsi Cheusi alivyozaa ndama aliye mzuri zaidi ya wote.
Watu wote walifurahi walipoona kwamba Parna, Cheusi na ndama walikuwa salama.
Parna akamwuliza babake, "Je, utanipa ndama huyu kama ulivyoahidi?"
"Ndiyo, mwanangu, ndama huyu ni wako. Ahadi ni deni."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndama wa Parna Author - Soila Murianka Translation - Ursula Nafula Illustration - Jacob Kono Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini watu wote walifurahi | {
"text": [
"Waliona Parna, Cheusi na ndama wako salama"
]
} |
2363_swa | Ndege-Asali alipiza kisasi
Hii ni hadithi ya Ndege-Asali na mvulana mmoja mlafi aliyeitwa Jeuri. Siku moja Jeuri alipokuwa akiwinda, alisikia mwito wa Ndege-Asali amabye huwaongoza watu palipo na asali. Jeuri alianza kudondokwa na mate alipofikiria juu ya asali. Alisikiliza na kutazama vizuri hadi akamwona Ndege-Asali aliyekuwa ametua kwenye matawi. "Chitik-chitik-chitik," Ndege-Asali aliruka na kutua kwenye mti uliokuwa karibu. "Chitik-chitik- chitik," aliita, huku akinyamaza na kuhakikisha kwamba Jeuri alikuwa amemfuata.
Baada ya nusu saa, waliufikia mti wa mtini. Ndege-Asali aliruka kama mwenda wazimu kutoka tawi moja hadi jingine. Jeuri alisimama akamtazama kwa muda mrefu.
Baadaye, Ndege-Asali alitulia kwenye tawi moja, akageuza kichwa chake na kumwangalia Jeuri. Jeuri aliamini kuwa Ndege-Asali alikuwa akisema, "Asali iko hapa! Njoo sasa!" Jeuri hakuweza kuwaona nyuki wowote kutoka chini ya mti kwa vile alimwamini Ndege-Asali.
Jeuri aliuweka mkuki wake chini ya mti. Akakusanya vijiti vilivyokauka kisha akakoka moto mdogo. Moto ulipowaka vizuri, Jeuri alikitia kijiti kirefu kilichoaminika kutoa moshi mwingi. Alianza kukwea mti akiwa amekishika kwa meno.
Baadaye, Jeuri alisikia sauti ya nyuki. Walikuwa wakiingia na kutoka mzingani. Alipoufikia mzinga, alikisukuma ndani kile kijiti kilichokuwa na moto. Nyuki walitoka ndani kwa hasira wakihisi uchungu. Waliruka na kwenda kwa sababu hawakupenda moshi. Hata hivyo, walifanya hivyo tu baada ya kumuuma Jeuri!
Nyuki walipokuwa nje, Jeuri aliingiza mkono wake ndani ya mzinga. Alitoa kipande kikubwa cha asali iliyokuwa ikidondoka. Aliiweka kwa utaratibu ndani ya mkoba aliokuwa nao na kuanza kushuka.
Ndege-Asali alishuhudia kila kitendo alichofanya Jeuri. Alikuwa akisubiri kubakishiwa kiasi kidogo cha asali kama shukurani kwa kumwongoza Jeuri kwenye asali. Aliruka kutoka tawi hadi tawi huku akikaribia chini. Mwishowe Jeuri alifika chini. Ndege-Asali alitua kwenye jiwe karibu na Jeuri akisubiri zawadi yake.
Lakini Jeuri aliuzima moto, akachukua mkuki wake na kuanza safari bila kumjali Ndege-Asali. Ndege-Asali aliita kwa hasira, "USH-ndi! USH-ndi!" Jeuri alisimama, akamkodolea macho kisha akacheka kwa sauti. "Rafiki yangu, unataka asali kidogo? Ha! Mimi ndiye nilifanya kazi yote pamoja na kuumwa na nyuki. Kwa nini nikugawie asali hii tamu?"
Jeuri aliondoka na kwenda zake. Ndege-Asali alikasirika sana! Hivi sivyo ndivyo alistahili kutendewa! Lakini, atalipiza kisasi.
Siku chache baadaye, Jeuri alisikia tena mwito wa Ndege-Asali uliohusu asali. Aliikumbuka asali tamu, na kwa mara nyingine, alimfuata kwa hamu. Baada ya kumwongoza Jeuri kwenye msitu, Ndege-Asali alipumzika chini ya mti wa mwavuli. "Aa, bila shaka mzinga umo ndani ya mti huu," Jeuri aliwaza. Kwa haraka, aliwasha moto wake na kuanza kukwea mti akiwa amebeba kuni iliyotoa moshi. Ndege-Asali alimtazama tu.
Jeuri alipopanda, alishangaa kwa nini hakusikia sauti ya nyuki. "Pengine mzinga umefichika ndani ya mti zaidi," alifikiria. Alipanda tena juu ya tawi jingine. Lakini badala ya mzinga, alijikuta akiwa ana kwa ana na Chui!
Chui alikuwa na hasira sana kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa. Aliiyafanya macho yake yakawa madogo, akaufungua mdomo wake na kuyaonyesha meno yake makubwa makali.
Kabla ya Chui kumvamia, Jeuri alishuka haraka chini. Katika haraka hiyo, aliteleza na kuanguka kwa kishindo akaumia mguu wake. Alirukaruka akienda kwa haraka alivyoweza. Kwa bahati nzuri, Chui alikuwa bado akihisi usingizi, kwa hivyo hakumfukuza. Ndege-Asali alikuwa amelipiza kisasi na Jeuri alikuwa amejifunza funzo lake.
Kwa hivyo, watoto wa Jeuri na watoto wa watoto wao wanamheshimu sana Ndege- Asali wanapoisikia hadithi yake ya kuwaongoza watu kwenye asali. Kila wanapotoa asali, wao huhakikisha kwamba wanamzawadi kwa kiasi kikubwa cha asali!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndege-Asali alipiza kisasi Author - Zulu folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mvulana mlafi aliitwa nani | {
"text": [
"Jeuri"
]
} |
2363_swa | Ndege-Asali alipiza kisasi
Hii ni hadithi ya Ndege-Asali na mvulana mmoja mlafi aliyeitwa Jeuri. Siku moja Jeuri alipokuwa akiwinda, alisikia mwito wa Ndege-Asali amabye huwaongoza watu palipo na asali. Jeuri alianza kudondokwa na mate alipofikiria juu ya asali. Alisikiliza na kutazama vizuri hadi akamwona Ndege-Asali aliyekuwa ametua kwenye matawi. "Chitik-chitik-chitik," Ndege-Asali aliruka na kutua kwenye mti uliokuwa karibu. "Chitik-chitik- chitik," aliita, huku akinyamaza na kuhakikisha kwamba Jeuri alikuwa amemfuata.
Baada ya nusu saa, waliufikia mti wa mtini. Ndege-Asali aliruka kama mwenda wazimu kutoka tawi moja hadi jingine. Jeuri alisimama akamtazama kwa muda mrefu.
Baadaye, Ndege-Asali alitulia kwenye tawi moja, akageuza kichwa chake na kumwangalia Jeuri. Jeuri aliamini kuwa Ndege-Asali alikuwa akisema, "Asali iko hapa! Njoo sasa!" Jeuri hakuweza kuwaona nyuki wowote kutoka chini ya mti kwa vile alimwamini Ndege-Asali.
Jeuri aliuweka mkuki wake chini ya mti. Akakusanya vijiti vilivyokauka kisha akakoka moto mdogo. Moto ulipowaka vizuri, Jeuri alikitia kijiti kirefu kilichoaminika kutoa moshi mwingi. Alianza kukwea mti akiwa amekishika kwa meno.
Baadaye, Jeuri alisikia sauti ya nyuki. Walikuwa wakiingia na kutoka mzingani. Alipoufikia mzinga, alikisukuma ndani kile kijiti kilichokuwa na moto. Nyuki walitoka ndani kwa hasira wakihisi uchungu. Waliruka na kwenda kwa sababu hawakupenda moshi. Hata hivyo, walifanya hivyo tu baada ya kumuuma Jeuri!
Nyuki walipokuwa nje, Jeuri aliingiza mkono wake ndani ya mzinga. Alitoa kipande kikubwa cha asali iliyokuwa ikidondoka. Aliiweka kwa utaratibu ndani ya mkoba aliokuwa nao na kuanza kushuka.
Ndege-Asali alishuhudia kila kitendo alichofanya Jeuri. Alikuwa akisubiri kubakishiwa kiasi kidogo cha asali kama shukurani kwa kumwongoza Jeuri kwenye asali. Aliruka kutoka tawi hadi tawi huku akikaribia chini. Mwishowe Jeuri alifika chini. Ndege-Asali alitua kwenye jiwe karibu na Jeuri akisubiri zawadi yake.
Lakini Jeuri aliuzima moto, akachukua mkuki wake na kuanza safari bila kumjali Ndege-Asali. Ndege-Asali aliita kwa hasira, "USH-ndi! USH-ndi!" Jeuri alisimama, akamkodolea macho kisha akacheka kwa sauti. "Rafiki yangu, unataka asali kidogo? Ha! Mimi ndiye nilifanya kazi yote pamoja na kuumwa na nyuki. Kwa nini nikugawie asali hii tamu?"
Jeuri aliondoka na kwenda zake. Ndege-Asali alikasirika sana! Hivi sivyo ndivyo alistahili kutendewa! Lakini, atalipiza kisasi.
Siku chache baadaye, Jeuri alisikia tena mwito wa Ndege-Asali uliohusu asali. Aliikumbuka asali tamu, na kwa mara nyingine, alimfuata kwa hamu. Baada ya kumwongoza Jeuri kwenye msitu, Ndege-Asali alipumzika chini ya mti wa mwavuli. "Aa, bila shaka mzinga umo ndani ya mti huu," Jeuri aliwaza. Kwa haraka, aliwasha moto wake na kuanza kukwea mti akiwa amebeba kuni iliyotoa moshi. Ndege-Asali alimtazama tu.
Jeuri alipopanda, alishangaa kwa nini hakusikia sauti ya nyuki. "Pengine mzinga umefichika ndani ya mti zaidi," alifikiria. Alipanda tena juu ya tawi jingine. Lakini badala ya mzinga, alijikuta akiwa ana kwa ana na Chui!
Chui alikuwa na hasira sana kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa. Aliiyafanya macho yake yakawa madogo, akaufungua mdomo wake na kuyaonyesha meno yake makubwa makali.
Kabla ya Chui kumvamia, Jeuri alishuka haraka chini. Katika haraka hiyo, aliteleza na kuanguka kwa kishindo akaumia mguu wake. Alirukaruka akienda kwa haraka alivyoweza. Kwa bahati nzuri, Chui alikuwa bado akihisi usingizi, kwa hivyo hakumfukuza. Ndege-Asali alikuwa amelipiza kisasi na Jeuri alikuwa amejifunza funzo lake.
Kwa hivyo, watoto wa Jeuri na watoto wa watoto wao wanamheshimu sana Ndege- Asali wanapoisikia hadithi yake ya kuwaongoza watu kwenye asali. Kila wanapotoa asali, wao huhakikisha kwamba wanamzawadi kwa kiasi kikubwa cha asali!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndege-Asali alipiza kisasi Author - Zulu folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndege-Asali huwaongoza watu wapi | {
"text": [
"palipo na asali"
]
} |
2363_swa | Ndege-Asali alipiza kisasi
Hii ni hadithi ya Ndege-Asali na mvulana mmoja mlafi aliyeitwa Jeuri. Siku moja Jeuri alipokuwa akiwinda, alisikia mwito wa Ndege-Asali amabye huwaongoza watu palipo na asali. Jeuri alianza kudondokwa na mate alipofikiria juu ya asali. Alisikiliza na kutazama vizuri hadi akamwona Ndege-Asali aliyekuwa ametua kwenye matawi. "Chitik-chitik-chitik," Ndege-Asali aliruka na kutua kwenye mti uliokuwa karibu. "Chitik-chitik- chitik," aliita, huku akinyamaza na kuhakikisha kwamba Jeuri alikuwa amemfuata.
Baada ya nusu saa, waliufikia mti wa mtini. Ndege-Asali aliruka kama mwenda wazimu kutoka tawi moja hadi jingine. Jeuri alisimama akamtazama kwa muda mrefu.
Baadaye, Ndege-Asali alitulia kwenye tawi moja, akageuza kichwa chake na kumwangalia Jeuri. Jeuri aliamini kuwa Ndege-Asali alikuwa akisema, "Asali iko hapa! Njoo sasa!" Jeuri hakuweza kuwaona nyuki wowote kutoka chini ya mti kwa vile alimwamini Ndege-Asali.
Jeuri aliuweka mkuki wake chini ya mti. Akakusanya vijiti vilivyokauka kisha akakoka moto mdogo. Moto ulipowaka vizuri, Jeuri alikitia kijiti kirefu kilichoaminika kutoa moshi mwingi. Alianza kukwea mti akiwa amekishika kwa meno.
Baadaye, Jeuri alisikia sauti ya nyuki. Walikuwa wakiingia na kutoka mzingani. Alipoufikia mzinga, alikisukuma ndani kile kijiti kilichokuwa na moto. Nyuki walitoka ndani kwa hasira wakihisi uchungu. Waliruka na kwenda kwa sababu hawakupenda moshi. Hata hivyo, walifanya hivyo tu baada ya kumuuma Jeuri!
Nyuki walipokuwa nje, Jeuri aliingiza mkono wake ndani ya mzinga. Alitoa kipande kikubwa cha asali iliyokuwa ikidondoka. Aliiweka kwa utaratibu ndani ya mkoba aliokuwa nao na kuanza kushuka.
Ndege-Asali alishuhudia kila kitendo alichofanya Jeuri. Alikuwa akisubiri kubakishiwa kiasi kidogo cha asali kama shukurani kwa kumwongoza Jeuri kwenye asali. Aliruka kutoka tawi hadi tawi huku akikaribia chini. Mwishowe Jeuri alifika chini. Ndege-Asali alitua kwenye jiwe karibu na Jeuri akisubiri zawadi yake.
Lakini Jeuri aliuzima moto, akachukua mkuki wake na kuanza safari bila kumjali Ndege-Asali. Ndege-Asali aliita kwa hasira, "USH-ndi! USH-ndi!" Jeuri alisimama, akamkodolea macho kisha akacheka kwa sauti. "Rafiki yangu, unataka asali kidogo? Ha! Mimi ndiye nilifanya kazi yote pamoja na kuumwa na nyuki. Kwa nini nikugawie asali hii tamu?"
Jeuri aliondoka na kwenda zake. Ndege-Asali alikasirika sana! Hivi sivyo ndivyo alistahili kutendewa! Lakini, atalipiza kisasi.
Siku chache baadaye, Jeuri alisikia tena mwito wa Ndege-Asali uliohusu asali. Aliikumbuka asali tamu, na kwa mara nyingine, alimfuata kwa hamu. Baada ya kumwongoza Jeuri kwenye msitu, Ndege-Asali alipumzika chini ya mti wa mwavuli. "Aa, bila shaka mzinga umo ndani ya mti huu," Jeuri aliwaza. Kwa haraka, aliwasha moto wake na kuanza kukwea mti akiwa amebeba kuni iliyotoa moshi. Ndege-Asali alimtazama tu.
Jeuri alipopanda, alishangaa kwa nini hakusikia sauti ya nyuki. "Pengine mzinga umefichika ndani ya mti zaidi," alifikiria. Alipanda tena juu ya tawi jingine. Lakini badala ya mzinga, alijikuta akiwa ana kwa ana na Chui!
Chui alikuwa na hasira sana kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa. Aliiyafanya macho yake yakawa madogo, akaufungua mdomo wake na kuyaonyesha meno yake makubwa makali.
Kabla ya Chui kumvamia, Jeuri alishuka haraka chini. Katika haraka hiyo, aliteleza na kuanguka kwa kishindo akaumia mguu wake. Alirukaruka akienda kwa haraka alivyoweza. Kwa bahati nzuri, Chui alikuwa bado akihisi usingizi, kwa hivyo hakumfukuza. Ndege-Asali alikuwa amelipiza kisasi na Jeuri alikuwa amejifunza funzo lake.
Kwa hivyo, watoto wa Jeuri na watoto wa watoto wao wanamheshimu sana Ndege- Asali wanapoisikia hadithi yake ya kuwaongoza watu kwenye asali. Kila wanapotoa asali, wao huhakikisha kwamba wanamzawadi kwa kiasi kikubwa cha asali!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndege-Asali alipiza kisasi Author - Zulu folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Jeuri alitoa nini ndani ya mzinga | {
"text": [
"kipande kikubwa cha asali"
]
} |
2363_swa | Ndege-Asali alipiza kisasi
Hii ni hadithi ya Ndege-Asali na mvulana mmoja mlafi aliyeitwa Jeuri. Siku moja Jeuri alipokuwa akiwinda, alisikia mwito wa Ndege-Asali amabye huwaongoza watu palipo na asali. Jeuri alianza kudondokwa na mate alipofikiria juu ya asali. Alisikiliza na kutazama vizuri hadi akamwona Ndege-Asali aliyekuwa ametua kwenye matawi. "Chitik-chitik-chitik," Ndege-Asali aliruka na kutua kwenye mti uliokuwa karibu. "Chitik-chitik- chitik," aliita, huku akinyamaza na kuhakikisha kwamba Jeuri alikuwa amemfuata.
Baada ya nusu saa, waliufikia mti wa mtini. Ndege-Asali aliruka kama mwenda wazimu kutoka tawi moja hadi jingine. Jeuri alisimama akamtazama kwa muda mrefu.
Baadaye, Ndege-Asali alitulia kwenye tawi moja, akageuza kichwa chake na kumwangalia Jeuri. Jeuri aliamini kuwa Ndege-Asali alikuwa akisema, "Asali iko hapa! Njoo sasa!" Jeuri hakuweza kuwaona nyuki wowote kutoka chini ya mti kwa vile alimwamini Ndege-Asali.
Jeuri aliuweka mkuki wake chini ya mti. Akakusanya vijiti vilivyokauka kisha akakoka moto mdogo. Moto ulipowaka vizuri, Jeuri alikitia kijiti kirefu kilichoaminika kutoa moshi mwingi. Alianza kukwea mti akiwa amekishika kwa meno.
Baadaye, Jeuri alisikia sauti ya nyuki. Walikuwa wakiingia na kutoka mzingani. Alipoufikia mzinga, alikisukuma ndani kile kijiti kilichokuwa na moto. Nyuki walitoka ndani kwa hasira wakihisi uchungu. Waliruka na kwenda kwa sababu hawakupenda moshi. Hata hivyo, walifanya hivyo tu baada ya kumuuma Jeuri!
Nyuki walipokuwa nje, Jeuri aliingiza mkono wake ndani ya mzinga. Alitoa kipande kikubwa cha asali iliyokuwa ikidondoka. Aliiweka kwa utaratibu ndani ya mkoba aliokuwa nao na kuanza kushuka.
Ndege-Asali alishuhudia kila kitendo alichofanya Jeuri. Alikuwa akisubiri kubakishiwa kiasi kidogo cha asali kama shukurani kwa kumwongoza Jeuri kwenye asali. Aliruka kutoka tawi hadi tawi huku akikaribia chini. Mwishowe Jeuri alifika chini. Ndege-Asali alitua kwenye jiwe karibu na Jeuri akisubiri zawadi yake.
Lakini Jeuri aliuzima moto, akachukua mkuki wake na kuanza safari bila kumjali Ndege-Asali. Ndege-Asali aliita kwa hasira, "USH-ndi! USH-ndi!" Jeuri alisimama, akamkodolea macho kisha akacheka kwa sauti. "Rafiki yangu, unataka asali kidogo? Ha! Mimi ndiye nilifanya kazi yote pamoja na kuumwa na nyuki. Kwa nini nikugawie asali hii tamu?"
Jeuri aliondoka na kwenda zake. Ndege-Asali alikasirika sana! Hivi sivyo ndivyo alistahili kutendewa! Lakini, atalipiza kisasi.
Siku chache baadaye, Jeuri alisikia tena mwito wa Ndege-Asali uliohusu asali. Aliikumbuka asali tamu, na kwa mara nyingine, alimfuata kwa hamu. Baada ya kumwongoza Jeuri kwenye msitu, Ndege-Asali alipumzika chini ya mti wa mwavuli. "Aa, bila shaka mzinga umo ndani ya mti huu," Jeuri aliwaza. Kwa haraka, aliwasha moto wake na kuanza kukwea mti akiwa amebeba kuni iliyotoa moshi. Ndege-Asali alimtazama tu.
Jeuri alipopanda, alishangaa kwa nini hakusikia sauti ya nyuki. "Pengine mzinga umefichika ndani ya mti zaidi," alifikiria. Alipanda tena juu ya tawi jingine. Lakini badala ya mzinga, alijikuta akiwa ana kwa ana na Chui!
Chui alikuwa na hasira sana kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa. Aliiyafanya macho yake yakawa madogo, akaufungua mdomo wake na kuyaonyesha meno yake makubwa makali.
Kabla ya Chui kumvamia, Jeuri alishuka haraka chini. Katika haraka hiyo, aliteleza na kuanguka kwa kishindo akaumia mguu wake. Alirukaruka akienda kwa haraka alivyoweza. Kwa bahati nzuri, Chui alikuwa bado akihisi usingizi, kwa hivyo hakumfukuza. Ndege-Asali alikuwa amelipiza kisasi na Jeuri alikuwa amejifunza funzo lake.
Kwa hivyo, watoto wa Jeuri na watoto wa watoto wao wanamheshimu sana Ndege- Asali wanapoisikia hadithi yake ya kuwaongoza watu kwenye asali. Kila wanapotoa asali, wao huhakikisha kwamba wanamzawadi kwa kiasi kikubwa cha asali!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndege-Asali alipiza kisasi Author - Zulu folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndege- Asali alisubiri nini | {
"text": [
"zawadi yake"
]
} |
2363_swa | Ndege-Asali alipiza kisasi
Hii ni hadithi ya Ndege-Asali na mvulana mmoja mlafi aliyeitwa Jeuri. Siku moja Jeuri alipokuwa akiwinda, alisikia mwito wa Ndege-Asali amabye huwaongoza watu palipo na asali. Jeuri alianza kudondokwa na mate alipofikiria juu ya asali. Alisikiliza na kutazama vizuri hadi akamwona Ndege-Asali aliyekuwa ametua kwenye matawi. "Chitik-chitik-chitik," Ndege-Asali aliruka na kutua kwenye mti uliokuwa karibu. "Chitik-chitik- chitik," aliita, huku akinyamaza na kuhakikisha kwamba Jeuri alikuwa amemfuata.
Baada ya nusu saa, waliufikia mti wa mtini. Ndege-Asali aliruka kama mwenda wazimu kutoka tawi moja hadi jingine. Jeuri alisimama akamtazama kwa muda mrefu.
Baadaye, Ndege-Asali alitulia kwenye tawi moja, akageuza kichwa chake na kumwangalia Jeuri. Jeuri aliamini kuwa Ndege-Asali alikuwa akisema, "Asali iko hapa! Njoo sasa!" Jeuri hakuweza kuwaona nyuki wowote kutoka chini ya mti kwa vile alimwamini Ndege-Asali.
Jeuri aliuweka mkuki wake chini ya mti. Akakusanya vijiti vilivyokauka kisha akakoka moto mdogo. Moto ulipowaka vizuri, Jeuri alikitia kijiti kirefu kilichoaminika kutoa moshi mwingi. Alianza kukwea mti akiwa amekishika kwa meno.
Baadaye, Jeuri alisikia sauti ya nyuki. Walikuwa wakiingia na kutoka mzingani. Alipoufikia mzinga, alikisukuma ndani kile kijiti kilichokuwa na moto. Nyuki walitoka ndani kwa hasira wakihisi uchungu. Waliruka na kwenda kwa sababu hawakupenda moshi. Hata hivyo, walifanya hivyo tu baada ya kumuuma Jeuri!
Nyuki walipokuwa nje, Jeuri aliingiza mkono wake ndani ya mzinga. Alitoa kipande kikubwa cha asali iliyokuwa ikidondoka. Aliiweka kwa utaratibu ndani ya mkoba aliokuwa nao na kuanza kushuka.
Ndege-Asali alishuhudia kila kitendo alichofanya Jeuri. Alikuwa akisubiri kubakishiwa kiasi kidogo cha asali kama shukurani kwa kumwongoza Jeuri kwenye asali. Aliruka kutoka tawi hadi tawi huku akikaribia chini. Mwishowe Jeuri alifika chini. Ndege-Asali alitua kwenye jiwe karibu na Jeuri akisubiri zawadi yake.
Lakini Jeuri aliuzima moto, akachukua mkuki wake na kuanza safari bila kumjali Ndege-Asali. Ndege-Asali aliita kwa hasira, "USH-ndi! USH-ndi!" Jeuri alisimama, akamkodolea macho kisha akacheka kwa sauti. "Rafiki yangu, unataka asali kidogo? Ha! Mimi ndiye nilifanya kazi yote pamoja na kuumwa na nyuki. Kwa nini nikugawie asali hii tamu?"
Jeuri aliondoka na kwenda zake. Ndege-Asali alikasirika sana! Hivi sivyo ndivyo alistahili kutendewa! Lakini, atalipiza kisasi.
Siku chache baadaye, Jeuri alisikia tena mwito wa Ndege-Asali uliohusu asali. Aliikumbuka asali tamu, na kwa mara nyingine, alimfuata kwa hamu. Baada ya kumwongoza Jeuri kwenye msitu, Ndege-Asali alipumzika chini ya mti wa mwavuli. "Aa, bila shaka mzinga umo ndani ya mti huu," Jeuri aliwaza. Kwa haraka, aliwasha moto wake na kuanza kukwea mti akiwa amebeba kuni iliyotoa moshi. Ndege-Asali alimtazama tu.
Jeuri alipopanda, alishangaa kwa nini hakusikia sauti ya nyuki. "Pengine mzinga umefichika ndani ya mti zaidi," alifikiria. Alipanda tena juu ya tawi jingine. Lakini badala ya mzinga, alijikuta akiwa ana kwa ana na Chui!
Chui alikuwa na hasira sana kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa. Aliiyafanya macho yake yakawa madogo, akaufungua mdomo wake na kuyaonyesha meno yake makubwa makali.
Kabla ya Chui kumvamia, Jeuri alishuka haraka chini. Katika haraka hiyo, aliteleza na kuanguka kwa kishindo akaumia mguu wake. Alirukaruka akienda kwa haraka alivyoweza. Kwa bahati nzuri, Chui alikuwa bado akihisi usingizi, kwa hivyo hakumfukuza. Ndege-Asali alikuwa amelipiza kisasi na Jeuri alikuwa amejifunza funzo lake.
Kwa hivyo, watoto wa Jeuri na watoto wa watoto wao wanamheshimu sana Ndege- Asali wanapoisikia hadithi yake ya kuwaongoza watu kwenye asali. Kila wanapotoa asali, wao huhakikisha kwamba wanamzawadi kwa kiasi kikubwa cha asali!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndege-Asali alipiza kisasi Author - Zulu folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini chui alikuwa na hasira | {
"text": [
"kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa"
]
} |
2364_swa | Ndizi za Bibi
Bibi alikuwa na shamba lenye rutuba lililojaa mtama, mawele, mihogo, na zaidi ya yote, ndizi. Ingawa Bibi alikuwa na wajukuu wengi, nilijua alinipenda zaidi. Alinikaribisha nyumbani kwake mara kwa mara na kunifichulia siri zake. Lakini, kulikuwa na siri moja aliyokataa kunifichulia. Hakunifichuliwa alivyoziivisha ndizi zake.
Siku moja, niliona kapu kubwa limeanikwa nje ya nyumba ya Bibi. Nilipomwuliza kapu lilikuwa la nini, alinijibu, "Hili ni kapu langu la ajabu." Kando ya kapu lile, paliwekwa majani ya mgomba. Bibi alikuwa akiyageuzageuza. Nilijawa na shauku nikauliza, "Bibi, majani haya ni ya nini?" Bibi alinjibu, "Ni majani yangu ya ajabu."
Nilifurahia kumtazama bibi, zile ndizi, yale majani ya mgomba na lile kapu kubwa. Bibi alinituma kwa mamangu. "Bibi, tafadhali niruhusu nione unavyotayarisha." "Mwana wee, usiwe mtundu, fanya ninavyokwambia,"Bibi alinifokea. Niliondoka mbio.
Niliporudi, nilimpata bibi amekaa nje. Hapakuwa na kapu wala zile ndizi. "Bibi, li wapi kapu, zi wapi ndizi, na ya wapi..?" "Zipo mahali pangu pa ajabu," Bibi alijibu. Jibu lake lilinivunja moyo.
Siku mbili baadaye, Bibi alinituma nimchukulie mkongojo wake kutoka chumbani. Mara tu nilipoufungua mlango, nilikaribishwa na harufu tamu ya ndizi mbivu. Kapu kubwa la ajabu la Bibi lilikuwa kwenye chumba cha ndani. Lilifunikwa kwa blanketi kuukuu. Nililifunua blanketi na kunukia harufu tamu.
Nilibumburushwa na sauti ya Bibi akiita, "Wafanyaje wewe? Niletee mkongojo haraka." Nilitoka haraka kumpelekea mkongojo. "Tabasamu ni la nini?" Aliniuliza Bibi. Swali lake lilinikumbusha kuwa nilikuwa bado ninatabasamu kwa kupavumbua mahali pake pa ajabu.
Keshoye, Bibi alipokuja kumuamkua mama, nilichapuka na kwenda nyumbani kwake kuziangalia zile ndizi tena. Palikuwa na kichala kimoja cha ndizi zilizoiva. Nilichuna moja na kuificha rindani mwangu. Nililifunika kapu, nikaenda nyuma ya nyumba, nikaila ndizi kwa haraka. Ilikuwa tamu ajabu.
Siku iliyofuata, Bibi alipokuwa kitaluni akichuma mboga, nilipenya haraka nikazichungulia ndizi. Karibu ndizi zote zilikuwa zimeiva. Nikakichukuwa kichala cha ndizi nne. Nilipokuwa nikinyemelea kuelekea mlangoni, nilimsikia Bibi akikohoa. Niliwahi kuzificha rindani na nikampita nikelekea nje.
Siku iliyofuata, ilikuwa siku ya soko. Bibi aliamka alfajiri mapema. Kila mara aliziuza ndizi na mihogo sokoni. Siku hiyo, sikuharakisha kumtembelea. Ingawa hivyo, singeweza kumuepuka kwa muda mrefu.
Siku hiyo jioni, Baba, Mama na Bibi waliinita. Nilijua sababu. Usiku ule nilipokuwa nimelala, nilijua singewahi kuiba tena, si kutoka kwa Bibi, si kutoka kwa wazazi wangu, wala kutoka kwa mtu yeyote.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndizi za Bibi Author - Ursula Nafula Translation - Peter Chege, Alice Karichi, Michael Muriuki and Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alikuwa na shamba lenye rutuba | {
"text": [
"Bibi"
]
} |
2364_swa | Ndizi za Bibi
Bibi alikuwa na shamba lenye rutuba lililojaa mtama, mawele, mihogo, na zaidi ya yote, ndizi. Ingawa Bibi alikuwa na wajukuu wengi, nilijua alinipenda zaidi. Alinikaribisha nyumbani kwake mara kwa mara na kunifichulia siri zake. Lakini, kulikuwa na siri moja aliyokataa kunifichulia. Hakunifichuliwa alivyoziivisha ndizi zake.
Siku moja, niliona kapu kubwa limeanikwa nje ya nyumba ya Bibi. Nilipomwuliza kapu lilikuwa la nini, alinijibu, "Hili ni kapu langu la ajabu." Kando ya kapu lile, paliwekwa majani ya mgomba. Bibi alikuwa akiyageuzageuza. Nilijawa na shauku nikauliza, "Bibi, majani haya ni ya nini?" Bibi alinjibu, "Ni majani yangu ya ajabu."
Nilifurahia kumtazama bibi, zile ndizi, yale majani ya mgomba na lile kapu kubwa. Bibi alinituma kwa mamangu. "Bibi, tafadhali niruhusu nione unavyotayarisha." "Mwana wee, usiwe mtundu, fanya ninavyokwambia,"Bibi alinifokea. Niliondoka mbio.
Niliporudi, nilimpata bibi amekaa nje. Hapakuwa na kapu wala zile ndizi. "Bibi, li wapi kapu, zi wapi ndizi, na ya wapi..?" "Zipo mahali pangu pa ajabu," Bibi alijibu. Jibu lake lilinivunja moyo.
Siku mbili baadaye, Bibi alinituma nimchukulie mkongojo wake kutoka chumbani. Mara tu nilipoufungua mlango, nilikaribishwa na harufu tamu ya ndizi mbivu. Kapu kubwa la ajabu la Bibi lilikuwa kwenye chumba cha ndani. Lilifunikwa kwa blanketi kuukuu. Nililifunua blanketi na kunukia harufu tamu.
Nilibumburushwa na sauti ya Bibi akiita, "Wafanyaje wewe? Niletee mkongojo haraka." Nilitoka haraka kumpelekea mkongojo. "Tabasamu ni la nini?" Aliniuliza Bibi. Swali lake lilinikumbusha kuwa nilikuwa bado ninatabasamu kwa kupavumbua mahali pake pa ajabu.
Keshoye, Bibi alipokuja kumuamkua mama, nilichapuka na kwenda nyumbani kwake kuziangalia zile ndizi tena. Palikuwa na kichala kimoja cha ndizi zilizoiva. Nilichuna moja na kuificha rindani mwangu. Nililifunika kapu, nikaenda nyuma ya nyumba, nikaila ndizi kwa haraka. Ilikuwa tamu ajabu.
Siku iliyofuata, Bibi alipokuwa kitaluni akichuma mboga, nilipenya haraka nikazichungulia ndizi. Karibu ndizi zote zilikuwa zimeiva. Nikakichukuwa kichala cha ndizi nne. Nilipokuwa nikinyemelea kuelekea mlangoni, nilimsikia Bibi akikohoa. Niliwahi kuzificha rindani na nikampita nikelekea nje.
Siku iliyofuata, ilikuwa siku ya soko. Bibi aliamka alfajiri mapema. Kila mara aliziuza ndizi na mihogo sokoni. Siku hiyo, sikuharakisha kumtembelea. Ingawa hivyo, singeweza kumuepuka kwa muda mrefu.
Siku hiyo jioni, Baba, Mama na Bibi waliinita. Nilijua sababu. Usiku ule nilipokuwa nimelala, nilijua singewahi kuiba tena, si kutoka kwa Bibi, si kutoka kwa wazazi wangu, wala kutoka kwa mtu yeyote.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndizi za Bibi Author - Ursula Nafula Translation - Peter Chege, Alice Karichi, Michael Muriuki and Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nini ilikuwa imeanikwa nje ya nyumba ya bibi | {
"text": [
"Kapu"
]
} |
2364_swa | Ndizi za Bibi
Bibi alikuwa na shamba lenye rutuba lililojaa mtama, mawele, mihogo, na zaidi ya yote, ndizi. Ingawa Bibi alikuwa na wajukuu wengi, nilijua alinipenda zaidi. Alinikaribisha nyumbani kwake mara kwa mara na kunifichulia siri zake. Lakini, kulikuwa na siri moja aliyokataa kunifichulia. Hakunifichuliwa alivyoziivisha ndizi zake.
Siku moja, niliona kapu kubwa limeanikwa nje ya nyumba ya Bibi. Nilipomwuliza kapu lilikuwa la nini, alinijibu, "Hili ni kapu langu la ajabu." Kando ya kapu lile, paliwekwa majani ya mgomba. Bibi alikuwa akiyageuzageuza. Nilijawa na shauku nikauliza, "Bibi, majani haya ni ya nini?" Bibi alinjibu, "Ni majani yangu ya ajabu."
Nilifurahia kumtazama bibi, zile ndizi, yale majani ya mgomba na lile kapu kubwa. Bibi alinituma kwa mamangu. "Bibi, tafadhali niruhusu nione unavyotayarisha." "Mwana wee, usiwe mtundu, fanya ninavyokwambia,"Bibi alinifokea. Niliondoka mbio.
Niliporudi, nilimpata bibi amekaa nje. Hapakuwa na kapu wala zile ndizi. "Bibi, li wapi kapu, zi wapi ndizi, na ya wapi..?" "Zipo mahali pangu pa ajabu," Bibi alijibu. Jibu lake lilinivunja moyo.
Siku mbili baadaye, Bibi alinituma nimchukulie mkongojo wake kutoka chumbani. Mara tu nilipoufungua mlango, nilikaribishwa na harufu tamu ya ndizi mbivu. Kapu kubwa la ajabu la Bibi lilikuwa kwenye chumba cha ndani. Lilifunikwa kwa blanketi kuukuu. Nililifunua blanketi na kunukia harufu tamu.
Nilibumburushwa na sauti ya Bibi akiita, "Wafanyaje wewe? Niletee mkongojo haraka." Nilitoka haraka kumpelekea mkongojo. "Tabasamu ni la nini?" Aliniuliza Bibi. Swali lake lilinikumbusha kuwa nilikuwa bado ninatabasamu kwa kupavumbua mahali pake pa ajabu.
Keshoye, Bibi alipokuja kumuamkua mama, nilichapuka na kwenda nyumbani kwake kuziangalia zile ndizi tena. Palikuwa na kichala kimoja cha ndizi zilizoiva. Nilichuna moja na kuificha rindani mwangu. Nililifunika kapu, nikaenda nyuma ya nyumba, nikaila ndizi kwa haraka. Ilikuwa tamu ajabu.
Siku iliyofuata, Bibi alipokuwa kitaluni akichuma mboga, nilipenya haraka nikazichungulia ndizi. Karibu ndizi zote zilikuwa zimeiva. Nikakichukuwa kichala cha ndizi nne. Nilipokuwa nikinyemelea kuelekea mlangoni, nilimsikia Bibi akikohoa. Niliwahi kuzificha rindani na nikampita nikelekea nje.
Siku iliyofuata, ilikuwa siku ya soko. Bibi aliamka alfajiri mapema. Kila mara aliziuza ndizi na mihogo sokoni. Siku hiyo, sikuharakisha kumtembelea. Ingawa hivyo, singeweza kumuepuka kwa muda mrefu.
Siku hiyo jioni, Baba, Mama na Bibi waliinita. Nilijua sababu. Usiku ule nilipokuwa nimelala, nilijua singewahi kuiba tena, si kutoka kwa Bibi, si kutoka kwa wazazi wangu, wala kutoka kwa mtu yeyote.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndizi za Bibi Author - Ursula Nafula Translation - Peter Chege, Alice Karichi, Michael Muriuki and Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Bibi alimtuma achukue nini kutoka chumbani | {
"text": [
"Mkongojo"
]
} |
2364_swa | Ndizi za Bibi
Bibi alikuwa na shamba lenye rutuba lililojaa mtama, mawele, mihogo, na zaidi ya yote, ndizi. Ingawa Bibi alikuwa na wajukuu wengi, nilijua alinipenda zaidi. Alinikaribisha nyumbani kwake mara kwa mara na kunifichulia siri zake. Lakini, kulikuwa na siri moja aliyokataa kunifichulia. Hakunifichuliwa alivyoziivisha ndizi zake.
Siku moja, niliona kapu kubwa limeanikwa nje ya nyumba ya Bibi. Nilipomwuliza kapu lilikuwa la nini, alinijibu, "Hili ni kapu langu la ajabu." Kando ya kapu lile, paliwekwa majani ya mgomba. Bibi alikuwa akiyageuzageuza. Nilijawa na shauku nikauliza, "Bibi, majani haya ni ya nini?" Bibi alinjibu, "Ni majani yangu ya ajabu."
Nilifurahia kumtazama bibi, zile ndizi, yale majani ya mgomba na lile kapu kubwa. Bibi alinituma kwa mamangu. "Bibi, tafadhali niruhusu nione unavyotayarisha." "Mwana wee, usiwe mtundu, fanya ninavyokwambia,"Bibi alinifokea. Niliondoka mbio.
Niliporudi, nilimpata bibi amekaa nje. Hapakuwa na kapu wala zile ndizi. "Bibi, li wapi kapu, zi wapi ndizi, na ya wapi..?" "Zipo mahali pangu pa ajabu," Bibi alijibu. Jibu lake lilinivunja moyo.
Siku mbili baadaye, Bibi alinituma nimchukulie mkongojo wake kutoka chumbani. Mara tu nilipoufungua mlango, nilikaribishwa na harufu tamu ya ndizi mbivu. Kapu kubwa la ajabu la Bibi lilikuwa kwenye chumba cha ndani. Lilifunikwa kwa blanketi kuukuu. Nililifunua blanketi na kunukia harufu tamu.
Nilibumburushwa na sauti ya Bibi akiita, "Wafanyaje wewe? Niletee mkongojo haraka." Nilitoka haraka kumpelekea mkongojo. "Tabasamu ni la nini?" Aliniuliza Bibi. Swali lake lilinikumbusha kuwa nilikuwa bado ninatabasamu kwa kupavumbua mahali pake pa ajabu.
Keshoye, Bibi alipokuja kumuamkua mama, nilichapuka na kwenda nyumbani kwake kuziangalia zile ndizi tena. Palikuwa na kichala kimoja cha ndizi zilizoiva. Nilichuna moja na kuificha rindani mwangu. Nililifunika kapu, nikaenda nyuma ya nyumba, nikaila ndizi kwa haraka. Ilikuwa tamu ajabu.
Siku iliyofuata, Bibi alipokuwa kitaluni akichuma mboga, nilipenya haraka nikazichungulia ndizi. Karibu ndizi zote zilikuwa zimeiva. Nikakichukuwa kichala cha ndizi nne. Nilipokuwa nikinyemelea kuelekea mlangoni, nilimsikia Bibi akikohoa. Niliwahi kuzificha rindani na nikampita nikelekea nje.
Siku iliyofuata, ilikuwa siku ya soko. Bibi aliamka alfajiri mapema. Kila mara aliziuza ndizi na mihogo sokoni. Siku hiyo, sikuharakisha kumtembelea. Ingawa hivyo, singeweza kumuepuka kwa muda mrefu.
Siku hiyo jioni, Baba, Mama na Bibi waliinita. Nilijua sababu. Usiku ule nilipokuwa nimelala, nilijua singewahi kuiba tena, si kutoka kwa Bibi, si kutoka kwa wazazi wangu, wala kutoka kwa mtu yeyote.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndizi za Bibi Author - Ursula Nafula Translation - Peter Chege, Alice Karichi, Michael Muriuki and Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kulikuwa na kichala kimoja cha nini kilichoiva | {
"text": [
"Ndizi"
]
} |
2364_swa | Ndizi za Bibi
Bibi alikuwa na shamba lenye rutuba lililojaa mtama, mawele, mihogo, na zaidi ya yote, ndizi. Ingawa Bibi alikuwa na wajukuu wengi, nilijua alinipenda zaidi. Alinikaribisha nyumbani kwake mara kwa mara na kunifichulia siri zake. Lakini, kulikuwa na siri moja aliyokataa kunifichulia. Hakunifichuliwa alivyoziivisha ndizi zake.
Siku moja, niliona kapu kubwa limeanikwa nje ya nyumba ya Bibi. Nilipomwuliza kapu lilikuwa la nini, alinijibu, "Hili ni kapu langu la ajabu." Kando ya kapu lile, paliwekwa majani ya mgomba. Bibi alikuwa akiyageuzageuza. Nilijawa na shauku nikauliza, "Bibi, majani haya ni ya nini?" Bibi alinjibu, "Ni majani yangu ya ajabu."
Nilifurahia kumtazama bibi, zile ndizi, yale majani ya mgomba na lile kapu kubwa. Bibi alinituma kwa mamangu. "Bibi, tafadhali niruhusu nione unavyotayarisha." "Mwana wee, usiwe mtundu, fanya ninavyokwambia,"Bibi alinifokea. Niliondoka mbio.
Niliporudi, nilimpata bibi amekaa nje. Hapakuwa na kapu wala zile ndizi. "Bibi, li wapi kapu, zi wapi ndizi, na ya wapi..?" "Zipo mahali pangu pa ajabu," Bibi alijibu. Jibu lake lilinivunja moyo.
Siku mbili baadaye, Bibi alinituma nimchukulie mkongojo wake kutoka chumbani. Mara tu nilipoufungua mlango, nilikaribishwa na harufu tamu ya ndizi mbivu. Kapu kubwa la ajabu la Bibi lilikuwa kwenye chumba cha ndani. Lilifunikwa kwa blanketi kuukuu. Nililifunua blanketi na kunukia harufu tamu.
Nilibumburushwa na sauti ya Bibi akiita, "Wafanyaje wewe? Niletee mkongojo haraka." Nilitoka haraka kumpelekea mkongojo. "Tabasamu ni la nini?" Aliniuliza Bibi. Swali lake lilinikumbusha kuwa nilikuwa bado ninatabasamu kwa kupavumbua mahali pake pa ajabu.
Keshoye, Bibi alipokuja kumuamkua mama, nilichapuka na kwenda nyumbani kwake kuziangalia zile ndizi tena. Palikuwa na kichala kimoja cha ndizi zilizoiva. Nilichuna moja na kuificha rindani mwangu. Nililifunika kapu, nikaenda nyuma ya nyumba, nikaila ndizi kwa haraka. Ilikuwa tamu ajabu.
Siku iliyofuata, Bibi alipokuwa kitaluni akichuma mboga, nilipenya haraka nikazichungulia ndizi. Karibu ndizi zote zilikuwa zimeiva. Nikakichukuwa kichala cha ndizi nne. Nilipokuwa nikinyemelea kuelekea mlangoni, nilimsikia Bibi akikohoa. Niliwahi kuzificha rindani na nikampita nikelekea nje.
Siku iliyofuata, ilikuwa siku ya soko. Bibi aliamka alfajiri mapema. Kila mara aliziuza ndizi na mihogo sokoni. Siku hiyo, sikuharakisha kumtembelea. Ingawa hivyo, singeweza kumuepuka kwa muda mrefu.
Siku hiyo jioni, Baba, Mama na Bibi waliinita. Nilijua sababu. Usiku ule nilipokuwa nimelala, nilijua singewahi kuiba tena, si kutoka kwa Bibi, si kutoka kwa wazazi wangu, wala kutoka kwa mtu yeyote.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndizi za Bibi Author - Ursula Nafula Translation - Peter Chege, Alice Karichi, Michael Muriuki and Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini alificha ndizi rindani | {
"text": [
"Kwa vile alimsikia bibi akikohoa"
]
} |
2365_swa | Ndogo sana, Kubwa sana
Nelima aliita, "Mama! Njoo uone. Nguo hizi zote ni ndogo kwangu!" "Hebu nizione," Mama alisema.
"Iangalie hii sketi yangu. Ni ndogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubali. "Lakini, Sela anaweza kuitumia sketi yako."
"Tazama suruali yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Kweli, suruali hii ni ndogo sana." Mama alijibu. "Sela anaweza kuitumia suruali yako pia."
"Mama, angalia fulana yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubaliana naye. "Sela anaweza kuichukua fulana yako."
"Angalia sweta yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ndiyo, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuichukua sweta yako."
"Angalia koti langu la mvua. Ni dogo sana," Nelima alisema. "Kweli, ni dogo," Mama alisema. "Sela anaweza kulichukua koti lako la mvua."
"Angalia soksi zangu. Ni ndogo sana," Nelima akasema. "Kweli, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuzichukua soksi zako."
"Angalia viatu vyangu. Ni vidogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama akajibu. "Sela anaweza kuvichukua viatu vyako."
"Sasa umepata nguo nyingi, sana," Nelima akamwambia Sela. "La! Hasha!" Sela akajibu. "Hizi nguo zote ni kubwa sana kwangu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndogo sana, Kubwa sana Author - Media Matters Translation - Brigid Simiyu Illustration - Sandy Lightly Language - Kiswahili Level - First sentences © African Reading Matters 2003 Creative Commons: Attribution-Non Commercial 3.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.read.org.za | Ni nani aliyemwita mama aje akaone nguo | {
"text": [
"Nelima"
]
} |
2365_swa | Ndogo sana, Kubwa sana
Nelima aliita, "Mama! Njoo uone. Nguo hizi zote ni ndogo kwangu!" "Hebu nizione," Mama alisema.
"Iangalie hii sketi yangu. Ni ndogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubali. "Lakini, Sela anaweza kuitumia sketi yako."
"Tazama suruali yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Kweli, suruali hii ni ndogo sana." Mama alijibu. "Sela anaweza kuitumia suruali yako pia."
"Mama, angalia fulana yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubaliana naye. "Sela anaweza kuichukua fulana yako."
"Angalia sweta yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ndiyo, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuichukua sweta yako."
"Angalia koti langu la mvua. Ni dogo sana," Nelima alisema. "Kweli, ni dogo," Mama alisema. "Sela anaweza kulichukua koti lako la mvua."
"Angalia soksi zangu. Ni ndogo sana," Nelima akasema. "Kweli, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuzichukua soksi zako."
"Angalia viatu vyangu. Ni vidogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama akajibu. "Sela anaweza kuvichukua viatu vyako."
"Sasa umepata nguo nyingi, sana," Nelima akamwambia Sela. "La! Hasha!" Sela akajibu. "Hizi nguo zote ni kubwa sana kwangu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndogo sana, Kubwa sana Author - Media Matters Translation - Brigid Simiyu Illustration - Sandy Lightly Language - Kiswahili Level - First sentences © African Reading Matters 2003 Creative Commons: Attribution-Non Commercial 3.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.read.org.za | Ni nani aliyeweza kuitumia sketi iliyokuwa ndogo kwa Nelima | {
"text": [
"Sela"
]
} |
2365_swa | Ndogo sana, Kubwa sana
Nelima aliita, "Mama! Njoo uone. Nguo hizi zote ni ndogo kwangu!" "Hebu nizione," Mama alisema.
"Iangalie hii sketi yangu. Ni ndogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubali. "Lakini, Sela anaweza kuitumia sketi yako."
"Tazama suruali yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Kweli, suruali hii ni ndogo sana." Mama alijibu. "Sela anaweza kuitumia suruali yako pia."
"Mama, angalia fulana yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubaliana naye. "Sela anaweza kuichukua fulana yako."
"Angalia sweta yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ndiyo, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuichukua sweta yako."
"Angalia koti langu la mvua. Ni dogo sana," Nelima alisema. "Kweli, ni dogo," Mama alisema. "Sela anaweza kulichukua koti lako la mvua."
"Angalia soksi zangu. Ni ndogo sana," Nelima akasema. "Kweli, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuzichukua soksi zako."
"Angalia viatu vyangu. Ni vidogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama akajibu. "Sela anaweza kuvichukua viatu vyako."
"Sasa umepata nguo nyingi, sana," Nelima akamwambia Sela. "La! Hasha!" Sela akajibu. "Hizi nguo zote ni kubwa sana kwangu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndogo sana, Kubwa sana Author - Media Matters Translation - Brigid Simiyu Illustration - Sandy Lightly Language - Kiswahili Level - First sentences © African Reading Matters 2003 Creative Commons: Attribution-Non Commercial 3.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.read.org.za | Ni mavazi yapi ya miguuni aliyopewa Sela na Nelima | {
"text": [
"Soksi na viatu"
]
} |
2365_swa | Ndogo sana, Kubwa sana
Nelima aliita, "Mama! Njoo uone. Nguo hizi zote ni ndogo kwangu!" "Hebu nizione," Mama alisema.
"Iangalie hii sketi yangu. Ni ndogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubali. "Lakini, Sela anaweza kuitumia sketi yako."
"Tazama suruali yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Kweli, suruali hii ni ndogo sana." Mama alijibu. "Sela anaweza kuitumia suruali yako pia."
"Mama, angalia fulana yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubaliana naye. "Sela anaweza kuichukua fulana yako."
"Angalia sweta yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ndiyo, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuichukua sweta yako."
"Angalia koti langu la mvua. Ni dogo sana," Nelima alisema. "Kweli, ni dogo," Mama alisema. "Sela anaweza kulichukua koti lako la mvua."
"Angalia soksi zangu. Ni ndogo sana," Nelima akasema. "Kweli, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuzichukua soksi zako."
"Angalia viatu vyangu. Ni vidogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama akajibu. "Sela anaweza kuvichukua viatu vyako."
"Sasa umepata nguo nyingi, sana," Nelima akamwambia Sela. "La! Hasha!" Sela akajibu. "Hizi nguo zote ni kubwa sana kwangu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndogo sana, Kubwa sana Author - Media Matters Translation - Brigid Simiyu Illustration - Sandy Lightly Language - Kiswahili Level - First sentences © African Reading Matters 2003 Creative Commons: Attribution-Non Commercial 3.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.read.org.za | Koti alilopewa Sela lilikuwa la kumkinga kutokana na nini | {
"text": [
"Mvua"
]
} |
2365_swa | Ndogo sana, Kubwa sana
Nelima aliita, "Mama! Njoo uone. Nguo hizi zote ni ndogo kwangu!" "Hebu nizione," Mama alisema.
"Iangalie hii sketi yangu. Ni ndogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubali. "Lakini, Sela anaweza kuitumia sketi yako."
"Tazama suruali yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Kweli, suruali hii ni ndogo sana." Mama alijibu. "Sela anaweza kuitumia suruali yako pia."
"Mama, angalia fulana yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama alikubaliana naye. "Sela anaweza kuichukua fulana yako."
"Angalia sweta yangu. Ni ndogo sana," Nelima alisema. "Ndiyo, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuichukua sweta yako."
"Angalia koti langu la mvua. Ni dogo sana," Nelima alisema. "Kweli, ni dogo," Mama alisema. "Sela anaweza kulichukua koti lako la mvua."
"Angalia soksi zangu. Ni ndogo sana," Nelima akasema. "Kweli, ni ndogo," Mama alijibu. "Sela anaweza kuzichukua soksi zako."
"Angalia viatu vyangu. Ni vidogo mno," Nelima alisema. "Ni kweli," Mama akajibu. "Sela anaweza kuvichukua viatu vyako."
"Sasa umepata nguo nyingi, sana," Nelima akamwambia Sela. "La! Hasha!" Sela akajibu. "Hizi nguo zote ni kubwa sana kwangu!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndogo sana, Kubwa sana Author - Media Matters Translation - Brigid Simiyu Illustration - Sandy Lightly Language - Kiswahili Level - First sentences © African Reading Matters 2003 Creative Commons: Attribution-Non Commercial 3.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.read.org.za | Kwa nini mavazi aliyopewa Sela hayakumtosha | {
"text": [
"Mavazi yalikuwa makubwa kwake"
]
} |
2367_swa | Ndugu mwerevu
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mtu aliyekuwa na watoto wa kiume watatu. Mtoto wa mwisho aliitwa Bosko. Alikuwa mwerevu zaidi kuliko wote na babake alimpenda zaidi. Mtu huyo aligundua kwamba wanawe wawili walimwonea wivu yule ndugu yao mdogo.
Siku moja kaka wakubwa walimwambia Bosko, "Tutamchinja fahali wako." Kwa vile Bosko alikuwa mdogo, alisema, "Ikiwa ni lazima mfanye hivyo, siwezi kuwazuia. Lakini, tafadhali, nipeni ngozi ya fahali wangu." Kaka hao walimpomchinja fahali, walimpatia Bosko ngozi. Baada ya kuikausha, aliibeba akapanda nayo mtini.
Giza lilipoingia, wafanya biashara walienda kulala chini ya mti ule. Usiku wa manane Bosko aliipiga ngozi ile kwa fimbo. Kelele kubwa iliyotokea iliwaogofya wale wafanya biashara. Walikimbia wakaacha bidhaa zao chini ya mti ule.
Bosko alizichukua bidhaa zile na kuzipeleka nyumbani kwa kaka zake wakubwa. Walimwuliza, "Ulipata wapi bidhaa hizi zote?" Bosko alisema, "Siku hizi bei ya ngozi ni ghali sana. Nimevipata vitu hivi vyote kwa kuuza ngozi moja tu."
Kaka wale waliwachinja haraka ng'ombe wao wote kisha wakaenda sokoni wakiita, "Tunauza ngozi! Tunauza ngozi!" Watu walisema, "Hatutaki ngozi zenu!" Kaka wale walikasirika wakamwambia Bosko, "Kwa vile ulitudanganya, tutakiteketeza chumba chako."
Bosko aliwaza upesi, akasema, "Siwezi kuwazuia lakini, tafadhali, nipeni jivu." Walikiteketeza chumba chake. Bosko aliliweka jivu mfukoni akaenda nalo kwa tajiri mmoja. Tajiri alimruhusu kulala nyumbani kwake. Alipoenda kupata chakula, alimwambia tajiri, "Tafadhali nilindie mfuko huu. Kunamo vitu vingi vya thamani."
Asubuhi, Bosko alipiga mayowe akisema, "Watu wameiba bidhaa zangu zote za thamani na badala yake wameujaza mfuko na jivu." Tajiri hakutaka kupata sifa mbaya kwa hivyo alisema, "Nitaujaza mfuko wako kwa chochote ukitakacho." Aliujaza mfuko kwa nafaka tofauti.
Bosko alirudi nyumbani akasema, "Tazameni! Jivu limekuwa na bei ghali mno siku hizi. Hivi ndivyo vitu nilivyoweza kununua." Kaka wakubwa waliviteketeza vyumba vyao kisha wakalipeleka jivu sokoni wakisema, "Tunauza jivu! Tunauza jivu!" Watu waliwajibu, "Ninyi ni wapumbavu! Nani anaweza kununua jivu?"
Kaka wakubwa walikasirika wakaamua kumwua Bosko. Walimtia kikapuni ili wamtupe chini kutoka kwenye jabali. Walipokuwa wakimbeba, mzee mmoja aliwakaribia akasema, "Ng'ombe wangu wametoroka. Tafadhali, watafuteni mnirudishie." Walikiweka kikapu chini wakaenda zao kuwatafuta ng'ombe.
Bosko alimwita mzee kutoka kikapuni. Mzee alimwuliza, "Je, una shida gani?" Bosko alisema, "Ndugu zangu wanataka niwe mfalme lakini miye sitaki kuwa mfalme." Mzee akamwuliza tena, "Nikijitia ndani ya kikapu, nitakuwa mfalme?" Bosko alimjibu, "Bila shaka, utakuwa!"
Mzee alimtoa Bosko kikapuni naye akaingia ndani. Kaka wakubwa waliporudi na ng'ombe walikichukua kikapu na kukitosa chini ya jabali. Bosko aliwachukua ng'ombe wote akarudi nao nyumbani kwake. Kaka zake wakubwa walimwuliza, "Uliwapataje ng'ombe hawa wote?"
Bosko akawajibu, "Kuna ng'ombe wengi chini ya jabali. Ninyi pia mkitoswa kule chini mkiwa vikapuni, vilevile mtawapata ng'ombe." Kaka wakubwa walijitia vikapuni. Bosko alivitosa vikapu hivyo chini ya jabali. Yeye alibaki akaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndugu mwerevu Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini Bosko alipendwa zaidi | {
"text": [
"Kwa sababu alikuwa mwerevu "
]
} |
2367_swa | Ndugu mwerevu
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mtu aliyekuwa na watoto wa kiume watatu. Mtoto wa mwisho aliitwa Bosko. Alikuwa mwerevu zaidi kuliko wote na babake alimpenda zaidi. Mtu huyo aligundua kwamba wanawe wawili walimwonea wivu yule ndugu yao mdogo.
Siku moja kaka wakubwa walimwambia Bosko, "Tutamchinja fahali wako." Kwa vile Bosko alikuwa mdogo, alisema, "Ikiwa ni lazima mfanye hivyo, siwezi kuwazuia. Lakini, tafadhali, nipeni ngozi ya fahali wangu." Kaka hao walimpomchinja fahali, walimpatia Bosko ngozi. Baada ya kuikausha, aliibeba akapanda nayo mtini.
Giza lilipoingia, wafanya biashara walienda kulala chini ya mti ule. Usiku wa manane Bosko aliipiga ngozi ile kwa fimbo. Kelele kubwa iliyotokea iliwaogofya wale wafanya biashara. Walikimbia wakaacha bidhaa zao chini ya mti ule.
Bosko alizichukua bidhaa zile na kuzipeleka nyumbani kwa kaka zake wakubwa. Walimwuliza, "Ulipata wapi bidhaa hizi zote?" Bosko alisema, "Siku hizi bei ya ngozi ni ghali sana. Nimevipata vitu hivi vyote kwa kuuza ngozi moja tu."
Kaka wale waliwachinja haraka ng'ombe wao wote kisha wakaenda sokoni wakiita, "Tunauza ngozi! Tunauza ngozi!" Watu walisema, "Hatutaki ngozi zenu!" Kaka wale walikasirika wakamwambia Bosko, "Kwa vile ulitudanganya, tutakiteketeza chumba chako."
Bosko aliwaza upesi, akasema, "Siwezi kuwazuia lakini, tafadhali, nipeni jivu." Walikiteketeza chumba chake. Bosko aliliweka jivu mfukoni akaenda nalo kwa tajiri mmoja. Tajiri alimruhusu kulala nyumbani kwake. Alipoenda kupata chakula, alimwambia tajiri, "Tafadhali nilindie mfuko huu. Kunamo vitu vingi vya thamani."
Asubuhi, Bosko alipiga mayowe akisema, "Watu wameiba bidhaa zangu zote za thamani na badala yake wameujaza mfuko na jivu." Tajiri hakutaka kupata sifa mbaya kwa hivyo alisema, "Nitaujaza mfuko wako kwa chochote ukitakacho." Aliujaza mfuko kwa nafaka tofauti.
Bosko alirudi nyumbani akasema, "Tazameni! Jivu limekuwa na bei ghali mno siku hizi. Hivi ndivyo vitu nilivyoweza kununua." Kaka wakubwa waliviteketeza vyumba vyao kisha wakalipeleka jivu sokoni wakisema, "Tunauza jivu! Tunauza jivu!" Watu waliwajibu, "Ninyi ni wapumbavu! Nani anaweza kununua jivu?"
Kaka wakubwa walikasirika wakaamua kumwua Bosko. Walimtia kikapuni ili wamtupe chini kutoka kwenye jabali. Walipokuwa wakimbeba, mzee mmoja aliwakaribia akasema, "Ng'ombe wangu wametoroka. Tafadhali, watafuteni mnirudishie." Walikiweka kikapu chini wakaenda zao kuwatafuta ng'ombe.
Bosko alimwita mzee kutoka kikapuni. Mzee alimwuliza, "Je, una shida gani?" Bosko alisema, "Ndugu zangu wanataka niwe mfalme lakini miye sitaki kuwa mfalme." Mzee akamwuliza tena, "Nikijitia ndani ya kikapu, nitakuwa mfalme?" Bosko alimjibu, "Bila shaka, utakuwa!"
Mzee alimtoa Bosko kikapuni naye akaingia ndani. Kaka wakubwa waliporudi na ng'ombe walikichukua kikapu na kukitosa chini ya jabali. Bosko aliwachukua ng'ombe wote akarudi nao nyumbani kwake. Kaka zake wakubwa walimwuliza, "Uliwapataje ng'ombe hawa wote?"
Bosko akawajibu, "Kuna ng'ombe wengi chini ya jabali. Ninyi pia mkitoswa kule chini mkiwa vikapuni, vilevile mtawapata ng'ombe." Kaka wakubwa walijitia vikapuni. Bosko alivitosa vikapu hivyo chini ya jabali. Yeye alibaki akaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndugu mwerevu Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Kwa nini ndugu zake Bosko waliteketeza chumba chake | {
"text": [
"Kwa sababu alikuwa amewadanganya"
]
} |
2367_swa | Ndugu mwerevu
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mtu aliyekuwa na watoto wa kiume watatu. Mtoto wa mwisho aliitwa Bosko. Alikuwa mwerevu zaidi kuliko wote na babake alimpenda zaidi. Mtu huyo aligundua kwamba wanawe wawili walimwonea wivu yule ndugu yao mdogo.
Siku moja kaka wakubwa walimwambia Bosko, "Tutamchinja fahali wako." Kwa vile Bosko alikuwa mdogo, alisema, "Ikiwa ni lazima mfanye hivyo, siwezi kuwazuia. Lakini, tafadhali, nipeni ngozi ya fahali wangu." Kaka hao walimpomchinja fahali, walimpatia Bosko ngozi. Baada ya kuikausha, aliibeba akapanda nayo mtini.
Giza lilipoingia, wafanya biashara walienda kulala chini ya mti ule. Usiku wa manane Bosko aliipiga ngozi ile kwa fimbo. Kelele kubwa iliyotokea iliwaogofya wale wafanya biashara. Walikimbia wakaacha bidhaa zao chini ya mti ule.
Bosko alizichukua bidhaa zile na kuzipeleka nyumbani kwa kaka zake wakubwa. Walimwuliza, "Ulipata wapi bidhaa hizi zote?" Bosko alisema, "Siku hizi bei ya ngozi ni ghali sana. Nimevipata vitu hivi vyote kwa kuuza ngozi moja tu."
Kaka wale waliwachinja haraka ng'ombe wao wote kisha wakaenda sokoni wakiita, "Tunauza ngozi! Tunauza ngozi!" Watu walisema, "Hatutaki ngozi zenu!" Kaka wale walikasirika wakamwambia Bosko, "Kwa vile ulitudanganya, tutakiteketeza chumba chako."
Bosko aliwaza upesi, akasema, "Siwezi kuwazuia lakini, tafadhali, nipeni jivu." Walikiteketeza chumba chake. Bosko aliliweka jivu mfukoni akaenda nalo kwa tajiri mmoja. Tajiri alimruhusu kulala nyumbani kwake. Alipoenda kupata chakula, alimwambia tajiri, "Tafadhali nilindie mfuko huu. Kunamo vitu vingi vya thamani."
Asubuhi, Bosko alipiga mayowe akisema, "Watu wameiba bidhaa zangu zote za thamani na badala yake wameujaza mfuko na jivu." Tajiri hakutaka kupata sifa mbaya kwa hivyo alisema, "Nitaujaza mfuko wako kwa chochote ukitakacho." Aliujaza mfuko kwa nafaka tofauti.
Bosko alirudi nyumbani akasema, "Tazameni! Jivu limekuwa na bei ghali mno siku hizi. Hivi ndivyo vitu nilivyoweza kununua." Kaka wakubwa waliviteketeza vyumba vyao kisha wakalipeleka jivu sokoni wakisema, "Tunauza jivu! Tunauza jivu!" Watu waliwajibu, "Ninyi ni wapumbavu! Nani anaweza kununua jivu?"
Kaka wakubwa walikasirika wakaamua kumwua Bosko. Walimtia kikapuni ili wamtupe chini kutoka kwenye jabali. Walipokuwa wakimbeba, mzee mmoja aliwakaribia akasema, "Ng'ombe wangu wametoroka. Tafadhali, watafuteni mnirudishie." Walikiweka kikapu chini wakaenda zao kuwatafuta ng'ombe.
Bosko alimwita mzee kutoka kikapuni. Mzee alimwuliza, "Je, una shida gani?" Bosko alisema, "Ndugu zangu wanataka niwe mfalme lakini miye sitaki kuwa mfalme." Mzee akamwuliza tena, "Nikijitia ndani ya kikapu, nitakuwa mfalme?" Bosko alimjibu, "Bila shaka, utakuwa!"
Mzee alimtoa Bosko kikapuni naye akaingia ndani. Kaka wakubwa waliporudi na ng'ombe walikichukua kikapu na kukitosa chini ya jabali. Bosko aliwachukua ng'ombe wote akarudi nao nyumbani kwake. Kaka zake wakubwa walimwuliza, "Uliwapataje ng'ombe hawa wote?"
Bosko akawajibu, "Kuna ng'ombe wengi chini ya jabali. Ninyi pia mkitoswa kule chini mkiwa vikapuni, vilevile mtawapata ng'ombe." Kaka wakubwa walijitia vikapuni. Bosko alivitosa vikapu hivyo chini ya jabali. Yeye alibaki akaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndugu mwerevu Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Bosko aliwaomba nini ndugu zake baada ya chumba chake kuteketezwa | {
"text": [
"Jivu"
]
} |
2367_swa | Ndugu mwerevu
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mtu aliyekuwa na watoto wa kiume watatu. Mtoto wa mwisho aliitwa Bosko. Alikuwa mwerevu zaidi kuliko wote na babake alimpenda zaidi. Mtu huyo aligundua kwamba wanawe wawili walimwonea wivu yule ndugu yao mdogo.
Siku moja kaka wakubwa walimwambia Bosko, "Tutamchinja fahali wako." Kwa vile Bosko alikuwa mdogo, alisema, "Ikiwa ni lazima mfanye hivyo, siwezi kuwazuia. Lakini, tafadhali, nipeni ngozi ya fahali wangu." Kaka hao walimpomchinja fahali, walimpatia Bosko ngozi. Baada ya kuikausha, aliibeba akapanda nayo mtini.
Giza lilipoingia, wafanya biashara walienda kulala chini ya mti ule. Usiku wa manane Bosko aliipiga ngozi ile kwa fimbo. Kelele kubwa iliyotokea iliwaogofya wale wafanya biashara. Walikimbia wakaacha bidhaa zao chini ya mti ule.
Bosko alizichukua bidhaa zile na kuzipeleka nyumbani kwa kaka zake wakubwa. Walimwuliza, "Ulipata wapi bidhaa hizi zote?" Bosko alisema, "Siku hizi bei ya ngozi ni ghali sana. Nimevipata vitu hivi vyote kwa kuuza ngozi moja tu."
Kaka wale waliwachinja haraka ng'ombe wao wote kisha wakaenda sokoni wakiita, "Tunauza ngozi! Tunauza ngozi!" Watu walisema, "Hatutaki ngozi zenu!" Kaka wale walikasirika wakamwambia Bosko, "Kwa vile ulitudanganya, tutakiteketeza chumba chako."
Bosko aliwaza upesi, akasema, "Siwezi kuwazuia lakini, tafadhali, nipeni jivu." Walikiteketeza chumba chake. Bosko aliliweka jivu mfukoni akaenda nalo kwa tajiri mmoja. Tajiri alimruhusu kulala nyumbani kwake. Alipoenda kupata chakula, alimwambia tajiri, "Tafadhali nilindie mfuko huu. Kunamo vitu vingi vya thamani."
Asubuhi, Bosko alipiga mayowe akisema, "Watu wameiba bidhaa zangu zote za thamani na badala yake wameujaza mfuko na jivu." Tajiri hakutaka kupata sifa mbaya kwa hivyo alisema, "Nitaujaza mfuko wako kwa chochote ukitakacho." Aliujaza mfuko kwa nafaka tofauti.
Bosko alirudi nyumbani akasema, "Tazameni! Jivu limekuwa na bei ghali mno siku hizi. Hivi ndivyo vitu nilivyoweza kununua." Kaka wakubwa waliviteketeza vyumba vyao kisha wakalipeleka jivu sokoni wakisema, "Tunauza jivu! Tunauza jivu!" Watu waliwajibu, "Ninyi ni wapumbavu! Nani anaweza kununua jivu?"
Kaka wakubwa walikasirika wakaamua kumwua Bosko. Walimtia kikapuni ili wamtupe chini kutoka kwenye jabali. Walipokuwa wakimbeba, mzee mmoja aliwakaribia akasema, "Ng'ombe wangu wametoroka. Tafadhali, watafuteni mnirudishie." Walikiweka kikapu chini wakaenda zao kuwatafuta ng'ombe.
Bosko alimwita mzee kutoka kikapuni. Mzee alimwuliza, "Je, una shida gani?" Bosko alisema, "Ndugu zangu wanataka niwe mfalme lakini miye sitaki kuwa mfalme." Mzee akamwuliza tena, "Nikijitia ndani ya kikapu, nitakuwa mfalme?" Bosko alimjibu, "Bila shaka, utakuwa!"
Mzee alimtoa Bosko kikapuni naye akaingia ndani. Kaka wakubwa waliporudi na ng'ombe walikichukua kikapu na kukitosa chini ya jabali. Bosko aliwachukua ng'ombe wote akarudi nao nyumbani kwake. Kaka zake wakubwa walimwuliza, "Uliwapataje ng'ombe hawa wote?"
Bosko akawajibu, "Kuna ng'ombe wengi chini ya jabali. Ninyi pia mkitoswa kule chini mkiwa vikapuni, vilevile mtawapata ng'ombe." Kaka wakubwa walijitia vikapuni. Bosko alivitosa vikapu hivyo chini ya jabali. Yeye alibaki akaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndugu mwerevu Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Ni nani aliyemnusuru Bosko kutupwa chini kwenye jabali | {
"text": [
"Mzee mmoja aliyekuwa akiwatafuta ng'ombe"
]
} |
2367_swa | Ndugu mwerevu
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mtu aliyekuwa na watoto wa kiume watatu. Mtoto wa mwisho aliitwa Bosko. Alikuwa mwerevu zaidi kuliko wote na babake alimpenda zaidi. Mtu huyo aligundua kwamba wanawe wawili walimwonea wivu yule ndugu yao mdogo.
Siku moja kaka wakubwa walimwambia Bosko, "Tutamchinja fahali wako." Kwa vile Bosko alikuwa mdogo, alisema, "Ikiwa ni lazima mfanye hivyo, siwezi kuwazuia. Lakini, tafadhali, nipeni ngozi ya fahali wangu." Kaka hao walimpomchinja fahali, walimpatia Bosko ngozi. Baada ya kuikausha, aliibeba akapanda nayo mtini.
Giza lilipoingia, wafanya biashara walienda kulala chini ya mti ule. Usiku wa manane Bosko aliipiga ngozi ile kwa fimbo. Kelele kubwa iliyotokea iliwaogofya wale wafanya biashara. Walikimbia wakaacha bidhaa zao chini ya mti ule.
Bosko alizichukua bidhaa zile na kuzipeleka nyumbani kwa kaka zake wakubwa. Walimwuliza, "Ulipata wapi bidhaa hizi zote?" Bosko alisema, "Siku hizi bei ya ngozi ni ghali sana. Nimevipata vitu hivi vyote kwa kuuza ngozi moja tu."
Kaka wale waliwachinja haraka ng'ombe wao wote kisha wakaenda sokoni wakiita, "Tunauza ngozi! Tunauza ngozi!" Watu walisema, "Hatutaki ngozi zenu!" Kaka wale walikasirika wakamwambia Bosko, "Kwa vile ulitudanganya, tutakiteketeza chumba chako."
Bosko aliwaza upesi, akasema, "Siwezi kuwazuia lakini, tafadhali, nipeni jivu." Walikiteketeza chumba chake. Bosko aliliweka jivu mfukoni akaenda nalo kwa tajiri mmoja. Tajiri alimruhusu kulala nyumbani kwake. Alipoenda kupata chakula, alimwambia tajiri, "Tafadhali nilindie mfuko huu. Kunamo vitu vingi vya thamani."
Asubuhi, Bosko alipiga mayowe akisema, "Watu wameiba bidhaa zangu zote za thamani na badala yake wameujaza mfuko na jivu." Tajiri hakutaka kupata sifa mbaya kwa hivyo alisema, "Nitaujaza mfuko wako kwa chochote ukitakacho." Aliujaza mfuko kwa nafaka tofauti.
Bosko alirudi nyumbani akasema, "Tazameni! Jivu limekuwa na bei ghali mno siku hizi. Hivi ndivyo vitu nilivyoweza kununua." Kaka wakubwa waliviteketeza vyumba vyao kisha wakalipeleka jivu sokoni wakisema, "Tunauza jivu! Tunauza jivu!" Watu waliwajibu, "Ninyi ni wapumbavu! Nani anaweza kununua jivu?"
Kaka wakubwa walikasirika wakaamua kumwua Bosko. Walimtia kikapuni ili wamtupe chini kutoka kwenye jabali. Walipokuwa wakimbeba, mzee mmoja aliwakaribia akasema, "Ng'ombe wangu wametoroka. Tafadhali, watafuteni mnirudishie." Walikiweka kikapu chini wakaenda zao kuwatafuta ng'ombe.
Bosko alimwita mzee kutoka kikapuni. Mzee alimwuliza, "Je, una shida gani?" Bosko alisema, "Ndugu zangu wanataka niwe mfalme lakini miye sitaki kuwa mfalme." Mzee akamwuliza tena, "Nikijitia ndani ya kikapu, nitakuwa mfalme?" Bosko alimjibu, "Bila shaka, utakuwa!"
Mzee alimtoa Bosko kikapuni naye akaingia ndani. Kaka wakubwa waliporudi na ng'ombe walikichukua kikapu na kukitosa chini ya jabali. Bosko aliwachukua ng'ombe wote akarudi nao nyumbani kwake. Kaka zake wakubwa walimwuliza, "Uliwapataje ng'ombe hawa wote?"
Bosko akawajibu, "Kuna ng'ombe wengi chini ya jabali. Ninyi pia mkitoswa kule chini mkiwa vikapuni, vilevile mtawapata ng'ombe." Kaka wakubwa walijitia vikapuni. Bosko alivitosa vikapu hivyo chini ya jabali. Yeye alibaki akaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ndugu mwerevu Author - Merga Debelo and Elizabeth Laird Translation - Susan Kavaya Illustration - Tadesse Teshome Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | Hapo zamani, Mtu alikuwa na watoto wangapi | {
"text": [
"Watatu wa kiume"
]
} |
2368_swa | Neema ananunua uzi
Huyu ni Neema. Neema anashona. Neema anashona sketi.
Neema anatumia uzi kushona. Uzi umekwisha. Neema anahitaji kununua uzi zaidi. Neema anahitaji pesa za kununua uzi. Je, atazipata pesa hizo wapi?
Neema anaona mti karibu. Mti huo una matunda mabivu. Matunda hayo ni mapapai.
Neema anatafuta kijiti. Anatumia kijiti hicho kuangusha mapapai.
Neema anawasili sokoni. Neema amebeba mapapai kwenye uteo. Anataka kuuza mapapai hayo.
Mwanamume ananunua papai. Anampatia Neema pesa. Neema anauza mapapai mengi. Pesa atakazopata atatumia kununua uzi.
Anaona ndizi sokoni. Lakini, hanunui ndizi.
Anaona nyanya sokoni. Lakini, hanunui nyanya.
Anaona kichujio sokoni. Lakini, hanunui kichujio.
Anaona mkate sokoni. Lakini, hanunui mkate.
Kisha Neema anamwona mwanamume. Mwanamume huyo anauza uzi. Neema ananunua uzi.
Neema amepata uzi aliotaka! Amefurahi sana. Atamaliza kushona sketi yake kutumia uzi huo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Neema ananunua uzi Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Mirjam Gyger Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source © 2016 Mercy Air/JOCUM | Neema anashona nini | {
"text": [
"Sketi"
]
} |
2368_swa | Neema ananunua uzi
Huyu ni Neema. Neema anashona. Neema anashona sketi.
Neema anatumia uzi kushona. Uzi umekwisha. Neema anahitaji kununua uzi zaidi. Neema anahitaji pesa za kununua uzi. Je, atazipata pesa hizo wapi?
Neema anaona mti karibu. Mti huo una matunda mabivu. Matunda hayo ni mapapai.
Neema anatafuta kijiti. Anatumia kijiti hicho kuangusha mapapai.
Neema anawasili sokoni. Neema amebeba mapapai kwenye uteo. Anataka kuuza mapapai hayo.
Mwanamume ananunua papai. Anampatia Neema pesa. Neema anauza mapapai mengi. Pesa atakazopata atatumia kununua uzi.
Anaona ndizi sokoni. Lakini, hanunui ndizi.
Anaona nyanya sokoni. Lakini, hanunui nyanya.
Anaona kichujio sokoni. Lakini, hanunui kichujio.
Anaona mkate sokoni. Lakini, hanunui mkate.
Kisha Neema anamwona mwanamume. Mwanamume huyo anauza uzi. Neema ananunua uzi.
Neema amepata uzi aliotaka! Amefurahi sana. Atamaliza kushona sketi yake kutumia uzi huo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Neema ananunua uzi Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Mirjam Gyger Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source © 2016 Mercy Air/JOCUM | Neema anatumia nini kushona | {
"text": [
"Uzi"
]
} |
2368_swa | Neema ananunua uzi
Huyu ni Neema. Neema anashona. Neema anashona sketi.
Neema anatumia uzi kushona. Uzi umekwisha. Neema anahitaji kununua uzi zaidi. Neema anahitaji pesa za kununua uzi. Je, atazipata pesa hizo wapi?
Neema anaona mti karibu. Mti huo una matunda mabivu. Matunda hayo ni mapapai.
Neema anatafuta kijiti. Anatumia kijiti hicho kuangusha mapapai.
Neema anawasili sokoni. Neema amebeba mapapai kwenye uteo. Anataka kuuza mapapai hayo.
Mwanamume ananunua papai. Anampatia Neema pesa. Neema anauza mapapai mengi. Pesa atakazopata atatumia kununua uzi.
Anaona ndizi sokoni. Lakini, hanunui ndizi.
Anaona nyanya sokoni. Lakini, hanunui nyanya.
Anaona kichujio sokoni. Lakini, hanunui kichujio.
Anaona mkate sokoni. Lakini, hanunui mkate.
Kisha Neema anamwona mwanamume. Mwanamume huyo anauza uzi. Neema ananunua uzi.
Neema amepata uzi aliotaka! Amefurahi sana. Atamaliza kushona sketi yake kutumia uzi huo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Neema ananunua uzi Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Mirjam Gyger Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source © 2016 Mercy Air/JOCUM | Neema anawasili sokoni huku amebeba nini | {
"text": [
"Mapapai"
]
} |
2368_swa | Neema ananunua uzi
Huyu ni Neema. Neema anashona. Neema anashona sketi.
Neema anatumia uzi kushona. Uzi umekwisha. Neema anahitaji kununua uzi zaidi. Neema anahitaji pesa za kununua uzi. Je, atazipata pesa hizo wapi?
Neema anaona mti karibu. Mti huo una matunda mabivu. Matunda hayo ni mapapai.
Neema anatafuta kijiti. Anatumia kijiti hicho kuangusha mapapai.
Neema anawasili sokoni. Neema amebeba mapapai kwenye uteo. Anataka kuuza mapapai hayo.
Mwanamume ananunua papai. Anampatia Neema pesa. Neema anauza mapapai mengi. Pesa atakazopata atatumia kununua uzi.
Anaona ndizi sokoni. Lakini, hanunui ndizi.
Anaona nyanya sokoni. Lakini, hanunui nyanya.
Anaona kichujio sokoni. Lakini, hanunui kichujio.
Anaona mkate sokoni. Lakini, hanunui mkate.
Kisha Neema anamwona mwanamume. Mwanamume huyo anauza uzi. Neema ananunua uzi.
Neema amepata uzi aliotaka! Amefurahi sana. Atamaliza kushona sketi yake kutumia uzi huo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Neema ananunua uzi Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Mirjam Gyger Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source © 2016 Mercy Air/JOCUM | Ni nani alikuwa anauza uzi | {
"text": [
"Mwanamume"
]
} |
2368_swa | Neema ananunua uzi
Huyu ni Neema. Neema anashona. Neema anashona sketi.
Neema anatumia uzi kushona. Uzi umekwisha. Neema anahitaji kununua uzi zaidi. Neema anahitaji pesa za kununua uzi. Je, atazipata pesa hizo wapi?
Neema anaona mti karibu. Mti huo una matunda mabivu. Matunda hayo ni mapapai.
Neema anatafuta kijiti. Anatumia kijiti hicho kuangusha mapapai.
Neema anawasili sokoni. Neema amebeba mapapai kwenye uteo. Anataka kuuza mapapai hayo.
Mwanamume ananunua papai. Anampatia Neema pesa. Neema anauza mapapai mengi. Pesa atakazopata atatumia kununua uzi.
Anaona ndizi sokoni. Lakini, hanunui ndizi.
Anaona nyanya sokoni. Lakini, hanunui nyanya.
Anaona kichujio sokoni. Lakini, hanunui kichujio.
Anaona mkate sokoni. Lakini, hanunui mkate.
Kisha Neema anamwona mwanamume. Mwanamume huyo anauza uzi. Neema ananunua uzi.
Neema amepata uzi aliotaka! Amefurahi sana. Atamaliza kushona sketi yake kutumia uzi huo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Neema ananunua uzi Author - Little Zebra Books Translation - Ursula Nafula Illustration - Mirjam Gyger Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source © 2016 Mercy Air/JOCUM | Kwa nini Neema alikataa kununua nyanya | {
"text": [
"Alitaka kununua uzi"
]
} |
2369_swa | Nelima atajirika
Hapo zamani za kale, kulikuwa na yatima wawili, Nelima na Nambuya. Waliishi katika shamba lisilokuwa na rutuba. Kwa muda mrefu hakukunyesha na hawakuwa na chakula. Walilazimika kwenda mbali kutafuta chakula.
Nelima alikuwa mnyamavu, mnyenyekevu na alipenda kusaidia. Dadake Nambuye, alikuwa mwenye kiburi na hakumsikiza yeyote. Hakuwajali watu wengine.
Siku moja, Nelima na Nambuye walipoamka, walitambua kwamba hawakuwa na chochote cha kula. Walilazimika kutafuta chakula. Kila mmoja alikwenda kutafuta upande tofauti.
Wakati huo huo, aliishi Bi Kizee mmoja aliyeitwa Netasile. Netasile alikuwa na ugonjwa wa ukoma na mwili wake ulijaa vidonda. Watu wa kijiji chake walikuwa na imani kuwa Netasile angeweza kumpa mtu utajiri.
Alipokwenda kutafuta chakula, Nambuye alikutana na Bi Kizee Netasile. Netasile akamwita, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nambuye alijibu maswali yote kwa dharau. Netasile hakusita, akasema, "Nibebe unipeleke nyumbani kwangu nami nitakwambia la kufanya."
Nambuye akasema kwa kiburi, "Heri nife kuliko kuvigusa hivyo vidonda vyako." Bi Kizee alipuuza maneno hayo akamtakia safari njema.
Nambuye aliendelea kutembea. Alifika mahali palipokuwa na majongoo, nyoka, mabuu na wadudu wengine. Alikuwa amechoka na kudhoofika kwa kukosa chakula. Alipoketi chini kupumzika, wadudu walianza kumuuma.
Nelima naye alikutana na Netasile. Alifurahi kwani Netasile alikuwa binadamu wa kwanza aliyekutana naye tangu aanze safari yake. Netasile akamwita na kumuuliza, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nelima alijibu kwa upole. Netasile akasema, "Nipeleke nyumbani nami nitakwambia la kufanya." Nelima alimpeleka. Netasile akasema, "Umenitendea lile wengi wemeshindwa kufanya." Alimpa Nelima kijiti ambacho kingemsaidia kupata vyote alivyotaka.
Nelima alimshukuru Bi Kizee na kuelekea nyumbani. Alipofika nyumbani, alipata nyumba mpya iliyojaa vitu aina aina na chakula kingi. Tangu siku hiyo, Nelima akawa tajiri.
Nelima hakufurahia kumpoteza dadake lakini alisema, "Asiyesikia ushauri huishia ndani ya kinywa cha ndovu."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nelima atajirika Author - Salaama Wanale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kulikuwa na yatima wangapi | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
2369_swa | Nelima atajirika
Hapo zamani za kale, kulikuwa na yatima wawili, Nelima na Nambuya. Waliishi katika shamba lisilokuwa na rutuba. Kwa muda mrefu hakukunyesha na hawakuwa na chakula. Walilazimika kwenda mbali kutafuta chakula.
Nelima alikuwa mnyamavu, mnyenyekevu na alipenda kusaidia. Dadake Nambuye, alikuwa mwenye kiburi na hakumsikiza yeyote. Hakuwajali watu wengine.
Siku moja, Nelima na Nambuye walipoamka, walitambua kwamba hawakuwa na chochote cha kula. Walilazimika kutafuta chakula. Kila mmoja alikwenda kutafuta upande tofauti.
Wakati huo huo, aliishi Bi Kizee mmoja aliyeitwa Netasile. Netasile alikuwa na ugonjwa wa ukoma na mwili wake ulijaa vidonda. Watu wa kijiji chake walikuwa na imani kuwa Netasile angeweza kumpa mtu utajiri.
Alipokwenda kutafuta chakula, Nambuye alikutana na Bi Kizee Netasile. Netasile akamwita, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nambuye alijibu maswali yote kwa dharau. Netasile hakusita, akasema, "Nibebe unipeleke nyumbani kwangu nami nitakwambia la kufanya."
Nambuye akasema kwa kiburi, "Heri nife kuliko kuvigusa hivyo vidonda vyako." Bi Kizee alipuuza maneno hayo akamtakia safari njema.
Nambuye aliendelea kutembea. Alifika mahali palipokuwa na majongoo, nyoka, mabuu na wadudu wengine. Alikuwa amechoka na kudhoofika kwa kukosa chakula. Alipoketi chini kupumzika, wadudu walianza kumuuma.
Nelima naye alikutana na Netasile. Alifurahi kwani Netasile alikuwa binadamu wa kwanza aliyekutana naye tangu aanze safari yake. Netasile akamwita na kumuuliza, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nelima alijibu kwa upole. Netasile akasema, "Nipeleke nyumbani nami nitakwambia la kufanya." Nelima alimpeleka. Netasile akasema, "Umenitendea lile wengi wemeshindwa kufanya." Alimpa Nelima kijiti ambacho kingemsaidia kupata vyote alivyotaka.
Nelima alimshukuru Bi Kizee na kuelekea nyumbani. Alipofika nyumbani, alipata nyumba mpya iliyojaa vitu aina aina na chakula kingi. Tangu siku hiyo, Nelima akawa tajiri.
Nelima hakufurahia kumpoteza dadake lakini alisema, "Asiyesikia ushauri huishia ndani ya kinywa cha ndovu."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nelima atajirika Author - Salaama Wanale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nelima na Nambuya waliishi katika shamba gani | {
"text": [
"lisilokuwa na rutuba"
]
} |
2369_swa | Nelima atajirika
Hapo zamani za kale, kulikuwa na yatima wawili, Nelima na Nambuya. Waliishi katika shamba lisilokuwa na rutuba. Kwa muda mrefu hakukunyesha na hawakuwa na chakula. Walilazimika kwenda mbali kutafuta chakula.
Nelima alikuwa mnyamavu, mnyenyekevu na alipenda kusaidia. Dadake Nambuye, alikuwa mwenye kiburi na hakumsikiza yeyote. Hakuwajali watu wengine.
Siku moja, Nelima na Nambuye walipoamka, walitambua kwamba hawakuwa na chochote cha kula. Walilazimika kutafuta chakula. Kila mmoja alikwenda kutafuta upande tofauti.
Wakati huo huo, aliishi Bi Kizee mmoja aliyeitwa Netasile. Netasile alikuwa na ugonjwa wa ukoma na mwili wake ulijaa vidonda. Watu wa kijiji chake walikuwa na imani kuwa Netasile angeweza kumpa mtu utajiri.
Alipokwenda kutafuta chakula, Nambuye alikutana na Bi Kizee Netasile. Netasile akamwita, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nambuye alijibu maswali yote kwa dharau. Netasile hakusita, akasema, "Nibebe unipeleke nyumbani kwangu nami nitakwambia la kufanya."
Nambuye akasema kwa kiburi, "Heri nife kuliko kuvigusa hivyo vidonda vyako." Bi Kizee alipuuza maneno hayo akamtakia safari njema.
Nambuye aliendelea kutembea. Alifika mahali palipokuwa na majongoo, nyoka, mabuu na wadudu wengine. Alikuwa amechoka na kudhoofika kwa kukosa chakula. Alipoketi chini kupumzika, wadudu walianza kumuuma.
Nelima naye alikutana na Netasile. Alifurahi kwani Netasile alikuwa binadamu wa kwanza aliyekutana naye tangu aanze safari yake. Netasile akamwita na kumuuliza, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nelima alijibu kwa upole. Netasile akasema, "Nipeleke nyumbani nami nitakwambia la kufanya." Nelima alimpeleka. Netasile akasema, "Umenitendea lile wengi wemeshindwa kufanya." Alimpa Nelima kijiti ambacho kingemsaidia kupata vyote alivyotaka.
Nelima alimshukuru Bi Kizee na kuelekea nyumbani. Alipofika nyumbani, alipata nyumba mpya iliyojaa vitu aina aina na chakula kingi. Tangu siku hiyo, Nelima akawa tajiri.
Nelima hakufurahia kumpoteza dadake lakini alisema, "Asiyesikia ushauri huishia ndani ya kinywa cha ndovu."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nelima atajirika Author - Salaama Wanale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alikuwa mnyamavu | {
"text": [
"Nelima"
]
} |
2369_swa | Nelima atajirika
Hapo zamani za kale, kulikuwa na yatima wawili, Nelima na Nambuya. Waliishi katika shamba lisilokuwa na rutuba. Kwa muda mrefu hakukunyesha na hawakuwa na chakula. Walilazimika kwenda mbali kutafuta chakula.
Nelima alikuwa mnyamavu, mnyenyekevu na alipenda kusaidia. Dadake Nambuye, alikuwa mwenye kiburi na hakumsikiza yeyote. Hakuwajali watu wengine.
Siku moja, Nelima na Nambuye walipoamka, walitambua kwamba hawakuwa na chochote cha kula. Walilazimika kutafuta chakula. Kila mmoja alikwenda kutafuta upande tofauti.
Wakati huo huo, aliishi Bi Kizee mmoja aliyeitwa Netasile. Netasile alikuwa na ugonjwa wa ukoma na mwili wake ulijaa vidonda. Watu wa kijiji chake walikuwa na imani kuwa Netasile angeweza kumpa mtu utajiri.
Alipokwenda kutafuta chakula, Nambuye alikutana na Bi Kizee Netasile. Netasile akamwita, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nambuye alijibu maswali yote kwa dharau. Netasile hakusita, akasema, "Nibebe unipeleke nyumbani kwangu nami nitakwambia la kufanya."
Nambuye akasema kwa kiburi, "Heri nife kuliko kuvigusa hivyo vidonda vyako." Bi Kizee alipuuza maneno hayo akamtakia safari njema.
Nambuye aliendelea kutembea. Alifika mahali palipokuwa na majongoo, nyoka, mabuu na wadudu wengine. Alikuwa amechoka na kudhoofika kwa kukosa chakula. Alipoketi chini kupumzika, wadudu walianza kumuuma.
Nelima naye alikutana na Netasile. Alifurahi kwani Netasile alikuwa binadamu wa kwanza aliyekutana naye tangu aanze safari yake. Netasile akamwita na kumuuliza, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nelima alijibu kwa upole. Netasile akasema, "Nipeleke nyumbani nami nitakwambia la kufanya." Nelima alimpeleka. Netasile akasema, "Umenitendea lile wengi wemeshindwa kufanya." Alimpa Nelima kijiti ambacho kingemsaidia kupata vyote alivyotaka.
Nelima alimshukuru Bi Kizee na kuelekea nyumbani. Alipofika nyumbani, alipata nyumba mpya iliyojaa vitu aina aina na chakula kingi. Tangu siku hiyo, Nelima akawa tajiri.
Nelima hakufurahia kumpoteza dadake lakini alisema, "Asiyesikia ushauri huishia ndani ya kinywa cha ndovu."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nelima atajirika Author - Salaama Wanale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alikuwa mwenye kiburi | {
"text": [
"Dadake Nambuye"
]
} |
2369_swa | Nelima atajirika
Hapo zamani za kale, kulikuwa na yatima wawili, Nelima na Nambuya. Waliishi katika shamba lisilokuwa na rutuba. Kwa muda mrefu hakukunyesha na hawakuwa na chakula. Walilazimika kwenda mbali kutafuta chakula.
Nelima alikuwa mnyamavu, mnyenyekevu na alipenda kusaidia. Dadake Nambuye, alikuwa mwenye kiburi na hakumsikiza yeyote. Hakuwajali watu wengine.
Siku moja, Nelima na Nambuye walipoamka, walitambua kwamba hawakuwa na chochote cha kula. Walilazimika kutafuta chakula. Kila mmoja alikwenda kutafuta upande tofauti.
Wakati huo huo, aliishi Bi Kizee mmoja aliyeitwa Netasile. Netasile alikuwa na ugonjwa wa ukoma na mwili wake ulijaa vidonda. Watu wa kijiji chake walikuwa na imani kuwa Netasile angeweza kumpa mtu utajiri.
Alipokwenda kutafuta chakula, Nambuye alikutana na Bi Kizee Netasile. Netasile akamwita, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nambuye alijibu maswali yote kwa dharau. Netasile hakusita, akasema, "Nibebe unipeleke nyumbani kwangu nami nitakwambia la kufanya."
Nambuye akasema kwa kiburi, "Heri nife kuliko kuvigusa hivyo vidonda vyako." Bi Kizee alipuuza maneno hayo akamtakia safari njema.
Nambuye aliendelea kutembea. Alifika mahali palipokuwa na majongoo, nyoka, mabuu na wadudu wengine. Alikuwa amechoka na kudhoofika kwa kukosa chakula. Alipoketi chini kupumzika, wadudu walianza kumuuma.
Nelima naye alikutana na Netasile. Alifurahi kwani Netasile alikuwa binadamu wa kwanza aliyekutana naye tangu aanze safari yake. Netasile akamwita na kumuuliza, "Mwanangu, u hali gani? Unatoka wapi? Unakwenda wapi?"
Nelima alijibu kwa upole. Netasile akasema, "Nipeleke nyumbani nami nitakwambia la kufanya." Nelima alimpeleka. Netasile akasema, "Umenitendea lile wengi wemeshindwa kufanya." Alimpa Nelima kijiti ambacho kingemsaidia kupata vyote alivyotaka.
Nelima alimshukuru Bi Kizee na kuelekea nyumbani. Alipofika nyumbani, alipata nyumba mpya iliyojaa vitu aina aina na chakula kingi. Tangu siku hiyo, Nelima akawa tajiri.
Nelima hakufurahia kumpoteza dadake lakini alisema, "Asiyesikia ushauri huishia ndani ya kinywa cha ndovu."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nelima atajirika Author - Salaama Wanale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Mango Tree Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Nambuye alikuwa amechoka na kudhoofika | {
"text": [
"kwa sababu alikosa chakula"
]
} |
2370_swa | Ng'ombe wa Sokoni
Watu kijijini walijua kwamba Mama Schola alipenda kupiga kelele mno.
Siku hiyo, alifanya hivyo kuhusiana na ng'ombe waliokuwa sokoni. "Wafukuze waende mbali hawa ng'ombe wajinga. Wanakula mboga zangu," alisema.
"Hei we pale! Wafukuze hawa ng'ombe wajinga watoke hapa," alisisitiza. "Wanakula nguo zangu."
"Wapi mwenye ng'ombe hawa wajinga?" alipiga kelele. "Wanakula nafaka yangu."
Kutoka mafichoni, Sorimpan, mchungaji, alichuchumaa kwa kumuogopa Mama Schola. Alikuwa ameenda kunywa maji wakati ng'ombe wake waliranda na kwenda sokoni.
"Sasa tazama walichofanya hawa ng'mbe wajinga!" Aliendelea kupiga kelele. "Wamevivunja vyungu vyangu."
Baadaye kidogo, Mama Schola alisema, "Aah! Sio tena! Nitashtaki jambo hili kwa polisi. Hawa ng'ombe wajinga wamekiangusha kibanda changu cha matunda."
Sorimpan, fimbo mkononi, alihepa kati ya umati akfaulu kuwaona ng'ombe wake. Ng'ombe wa Sorimpan walimjua vyema. Waligeuka na kumwangalia mara tu alipotokea!
Wakati huo, palikuwa na umati mkubwa wa watazamaji: wanaume, wanawake na hata watoto. Wote walisimama wakiangalia ng'ombe ambao walimtii Sorimapn pekee.
Ghafla, ng'ombe walikivunja kimya chao! Wakaanza kuwakosoa watu! Watu walishangaa na kupiga hatua nyuma wakiwaogopa ng'ombe.
Kisha ng'ombe waliacha kuzungumza na kuuangalia umati kwa mshangao! Mama Schola alisikika akisema, "Tangu lini ng'ombe wakaingilia shughuli zetu za sokoni?"
Sasa ilikuwa zamu ya Mama Schola kukosolewa na ng'ombe. Wanawake wote waliokuwa wakiuza, walisonga na kujiunga na Mama Schola kwa ajili ya woga.
Ng'ombe waliwakosoa wanawake. Waliongea kuhusu hali ya mboga zao wakisema, "Hizi ni mboga za aina gani? Zitazame jinsi zimeanza kunyauka!"
Ng'ombe waligeuka na kuangalia kibanda cha nguo kisha wakasema, "Mnadai kwamba tunakula nguo zenu! Nguo gani? Hivi viraka vikuu kuu ndivyo nguo! Nani atavinunua?"
Ng'ombe sasa walisongea kibanda kilichofuata. Watu wote waliwafuata. "Nafaka yenu imejaa wadudu. Nani anataka kuila hiyo! Tulikuwa tuanaonja tu!" Ng'ombe walisema.
Waliendelea, "Nawe Mama Schola, acha kupiga kelele. Vyungu hivi havina thamani yoyote. Vinavunjika upesi. Usitulaumu." Kisha ng'ombe waliondoka wakifuatwa na Sorimpan.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ng'ombe wa Sokoni Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alipenda kupiga kelele? | {
"text": [
"Mama Schola"
]
} |
2370_swa | Ng'ombe wa Sokoni
Watu kijijini walijua kwamba Mama Schola alipenda kupiga kelele mno.
Siku hiyo, alifanya hivyo kuhusiana na ng'ombe waliokuwa sokoni. "Wafukuze waende mbali hawa ng'ombe wajinga. Wanakula mboga zangu," alisema.
"Hei we pale! Wafukuze hawa ng'ombe wajinga watoke hapa," alisisitiza. "Wanakula nguo zangu."
"Wapi mwenye ng'ombe hawa wajinga?" alipiga kelele. "Wanakula nafaka yangu."
Kutoka mafichoni, Sorimpan, mchungaji, alichuchumaa kwa kumuogopa Mama Schola. Alikuwa ameenda kunywa maji wakati ng'ombe wake waliranda na kwenda sokoni.
"Sasa tazama walichofanya hawa ng'mbe wajinga!" Aliendelea kupiga kelele. "Wamevivunja vyungu vyangu."
Baadaye kidogo, Mama Schola alisema, "Aah! Sio tena! Nitashtaki jambo hili kwa polisi. Hawa ng'ombe wajinga wamekiangusha kibanda changu cha matunda."
Sorimpan, fimbo mkononi, alihepa kati ya umati akfaulu kuwaona ng'ombe wake. Ng'ombe wa Sorimpan walimjua vyema. Waligeuka na kumwangalia mara tu alipotokea!
Wakati huo, palikuwa na umati mkubwa wa watazamaji: wanaume, wanawake na hata watoto. Wote walisimama wakiangalia ng'ombe ambao walimtii Sorimapn pekee.
Ghafla, ng'ombe walikivunja kimya chao! Wakaanza kuwakosoa watu! Watu walishangaa na kupiga hatua nyuma wakiwaogopa ng'ombe.
Kisha ng'ombe waliacha kuzungumza na kuuangalia umati kwa mshangao! Mama Schola alisikika akisema, "Tangu lini ng'ombe wakaingilia shughuli zetu za sokoni?"
Sasa ilikuwa zamu ya Mama Schola kukosolewa na ng'ombe. Wanawake wote waliokuwa wakiuza, walisonga na kujiunga na Mama Schola kwa ajili ya woga.
Ng'ombe waliwakosoa wanawake. Waliongea kuhusu hali ya mboga zao wakisema, "Hizi ni mboga za aina gani? Zitazame jinsi zimeanza kunyauka!"
Ng'ombe waligeuka na kuangalia kibanda cha nguo kisha wakasema, "Mnadai kwamba tunakula nguo zenu! Nguo gani? Hivi viraka vikuu kuu ndivyo nguo! Nani atavinunua?"
Ng'ombe sasa walisongea kibanda kilichofuata. Watu wote waliwafuata. "Nafaka yenu imejaa wadudu. Nani anataka kuila hiyo! Tulikuwa tuanaonja tu!" Ng'ombe walisema.
Waliendelea, "Nawe Mama Schola, acha kupiga kelele. Vyungu hivi havina thamani yoyote. Vinavunjika upesi. Usitulaumu." Kisha ng'ombe waliondoka wakifuatwa na Sorimpan.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ng'ombe wa Sokoni Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini mama Schola alipiga kelele sokoni? | {
"text": [
"Ng'ombe walikula mboga zake"
]
} |
2370_swa | Ng'ombe wa Sokoni
Watu kijijini walijua kwamba Mama Schola alipenda kupiga kelele mno.
Siku hiyo, alifanya hivyo kuhusiana na ng'ombe waliokuwa sokoni. "Wafukuze waende mbali hawa ng'ombe wajinga. Wanakula mboga zangu," alisema.
"Hei we pale! Wafukuze hawa ng'ombe wajinga watoke hapa," alisisitiza. "Wanakula nguo zangu."
"Wapi mwenye ng'ombe hawa wajinga?" alipiga kelele. "Wanakula nafaka yangu."
Kutoka mafichoni, Sorimpan, mchungaji, alichuchumaa kwa kumuogopa Mama Schola. Alikuwa ameenda kunywa maji wakati ng'ombe wake waliranda na kwenda sokoni.
"Sasa tazama walichofanya hawa ng'mbe wajinga!" Aliendelea kupiga kelele. "Wamevivunja vyungu vyangu."
Baadaye kidogo, Mama Schola alisema, "Aah! Sio tena! Nitashtaki jambo hili kwa polisi. Hawa ng'ombe wajinga wamekiangusha kibanda changu cha matunda."
Sorimpan, fimbo mkononi, alihepa kati ya umati akfaulu kuwaona ng'ombe wake. Ng'ombe wa Sorimpan walimjua vyema. Waligeuka na kumwangalia mara tu alipotokea!
Wakati huo, palikuwa na umati mkubwa wa watazamaji: wanaume, wanawake na hata watoto. Wote walisimama wakiangalia ng'ombe ambao walimtii Sorimapn pekee.
Ghafla, ng'ombe walikivunja kimya chao! Wakaanza kuwakosoa watu! Watu walishangaa na kupiga hatua nyuma wakiwaogopa ng'ombe.
Kisha ng'ombe waliacha kuzungumza na kuuangalia umati kwa mshangao! Mama Schola alisikika akisema, "Tangu lini ng'ombe wakaingilia shughuli zetu za sokoni?"
Sasa ilikuwa zamu ya Mama Schola kukosolewa na ng'ombe. Wanawake wote waliokuwa wakiuza, walisonga na kujiunga na Mama Schola kwa ajili ya woga.
Ng'ombe waliwakosoa wanawake. Waliongea kuhusu hali ya mboga zao wakisema, "Hizi ni mboga za aina gani? Zitazame jinsi zimeanza kunyauka!"
Ng'ombe waligeuka na kuangalia kibanda cha nguo kisha wakasema, "Mnadai kwamba tunakula nguo zenu! Nguo gani? Hivi viraka vikuu kuu ndivyo nguo! Nani atavinunua?"
Ng'ombe sasa walisongea kibanda kilichofuata. Watu wote waliwafuata. "Nafaka yenu imejaa wadudu. Nani anataka kuila hiyo! Tulikuwa tuanaonja tu!" Ng'ombe walisema.
Waliendelea, "Nawe Mama Schola, acha kupiga kelele. Vyungu hivi havina thamani yoyote. Vinavunjika upesi. Usitulaumu." Kisha ng'ombe waliondoka wakifuatwa na Sorimpan.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ng'ombe wa Sokoni Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mama Schola aliamua kufanya nini? | {
"text": [
"Kushtaki jambo hilo kwa polisi"
]
} |
2370_swa | Ng'ombe wa Sokoni
Watu kijijini walijua kwamba Mama Schola alipenda kupiga kelele mno.
Siku hiyo, alifanya hivyo kuhusiana na ng'ombe waliokuwa sokoni. "Wafukuze waende mbali hawa ng'ombe wajinga. Wanakula mboga zangu," alisema.
"Hei we pale! Wafukuze hawa ng'ombe wajinga watoke hapa," alisisitiza. "Wanakula nguo zangu."
"Wapi mwenye ng'ombe hawa wajinga?" alipiga kelele. "Wanakula nafaka yangu."
Kutoka mafichoni, Sorimpan, mchungaji, alichuchumaa kwa kumuogopa Mama Schola. Alikuwa ameenda kunywa maji wakati ng'ombe wake waliranda na kwenda sokoni.
"Sasa tazama walichofanya hawa ng'mbe wajinga!" Aliendelea kupiga kelele. "Wamevivunja vyungu vyangu."
Baadaye kidogo, Mama Schola alisema, "Aah! Sio tena! Nitashtaki jambo hili kwa polisi. Hawa ng'ombe wajinga wamekiangusha kibanda changu cha matunda."
Sorimpan, fimbo mkononi, alihepa kati ya umati akfaulu kuwaona ng'ombe wake. Ng'ombe wa Sorimpan walimjua vyema. Waligeuka na kumwangalia mara tu alipotokea!
Wakati huo, palikuwa na umati mkubwa wa watazamaji: wanaume, wanawake na hata watoto. Wote walisimama wakiangalia ng'ombe ambao walimtii Sorimapn pekee.
Ghafla, ng'ombe walikivunja kimya chao! Wakaanza kuwakosoa watu! Watu walishangaa na kupiga hatua nyuma wakiwaogopa ng'ombe.
Kisha ng'ombe waliacha kuzungumza na kuuangalia umati kwa mshangao! Mama Schola alisikika akisema, "Tangu lini ng'ombe wakaingilia shughuli zetu za sokoni?"
Sasa ilikuwa zamu ya Mama Schola kukosolewa na ng'ombe. Wanawake wote waliokuwa wakiuza, walisonga na kujiunga na Mama Schola kwa ajili ya woga.
Ng'ombe waliwakosoa wanawake. Waliongea kuhusu hali ya mboga zao wakisema, "Hizi ni mboga za aina gani? Zitazame jinsi zimeanza kunyauka!"
Ng'ombe waligeuka na kuangalia kibanda cha nguo kisha wakasema, "Mnadai kwamba tunakula nguo zenu! Nguo gani? Hivi viraka vikuu kuu ndivyo nguo! Nani atavinunua?"
Ng'ombe sasa walisongea kibanda kilichofuata. Watu wote waliwafuata. "Nafaka yenu imejaa wadudu. Nani anataka kuila hiyo! Tulikuwa tuanaonja tu!" Ng'ombe walisema.
Waliendelea, "Nawe Mama Schola, acha kupiga kelele. Vyungu hivi havina thamani yoyote. Vinavunjika upesi. Usitulaumu." Kisha ng'ombe waliondoka wakifuatwa na Sorimpan.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ng'ombe wa Sokoni Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mchungaji wa ng'ombe alikuwa ameenda wapi? | {
"text": [
"Kunywa maji"
]
} |
2370_swa | Ng'ombe wa Sokoni
Watu kijijini walijua kwamba Mama Schola alipenda kupiga kelele mno.
Siku hiyo, alifanya hivyo kuhusiana na ng'ombe waliokuwa sokoni. "Wafukuze waende mbali hawa ng'ombe wajinga. Wanakula mboga zangu," alisema.
"Hei we pale! Wafukuze hawa ng'ombe wajinga watoke hapa," alisisitiza. "Wanakula nguo zangu."
"Wapi mwenye ng'ombe hawa wajinga?" alipiga kelele. "Wanakula nafaka yangu."
Kutoka mafichoni, Sorimpan, mchungaji, alichuchumaa kwa kumuogopa Mama Schola. Alikuwa ameenda kunywa maji wakati ng'ombe wake waliranda na kwenda sokoni.
"Sasa tazama walichofanya hawa ng'mbe wajinga!" Aliendelea kupiga kelele. "Wamevivunja vyungu vyangu."
Baadaye kidogo, Mama Schola alisema, "Aah! Sio tena! Nitashtaki jambo hili kwa polisi. Hawa ng'ombe wajinga wamekiangusha kibanda changu cha matunda."
Sorimpan, fimbo mkononi, alihepa kati ya umati akfaulu kuwaona ng'ombe wake. Ng'ombe wa Sorimpan walimjua vyema. Waligeuka na kumwangalia mara tu alipotokea!
Wakati huo, palikuwa na umati mkubwa wa watazamaji: wanaume, wanawake na hata watoto. Wote walisimama wakiangalia ng'ombe ambao walimtii Sorimapn pekee.
Ghafla, ng'ombe walikivunja kimya chao! Wakaanza kuwakosoa watu! Watu walishangaa na kupiga hatua nyuma wakiwaogopa ng'ombe.
Kisha ng'ombe waliacha kuzungumza na kuuangalia umati kwa mshangao! Mama Schola alisikika akisema, "Tangu lini ng'ombe wakaingilia shughuli zetu za sokoni?"
Sasa ilikuwa zamu ya Mama Schola kukosolewa na ng'ombe. Wanawake wote waliokuwa wakiuza, walisonga na kujiunga na Mama Schola kwa ajili ya woga.
Ng'ombe waliwakosoa wanawake. Waliongea kuhusu hali ya mboga zao wakisema, "Hizi ni mboga za aina gani? Zitazame jinsi zimeanza kunyauka!"
Ng'ombe waligeuka na kuangalia kibanda cha nguo kisha wakasema, "Mnadai kwamba tunakula nguo zenu! Nguo gani? Hivi viraka vikuu kuu ndivyo nguo! Nani atavinunua?"
Ng'ombe sasa walisongea kibanda kilichofuata. Watu wote waliwafuata. "Nafaka yenu imejaa wadudu. Nani anataka kuila hiyo! Tulikuwa tuanaonja tu!" Ng'ombe walisema.
Waliendelea, "Nawe Mama Schola, acha kupiga kelele. Vyungu hivi havina thamani yoyote. Vinavunjika upesi. Usitulaumu." Kisha ng'ombe waliondoka wakifuatwa na Sorimpan.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ng'ombe wa Sokoni Author - Ursula Nafula Translation - Ursula Nafula Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona mama Schola aliendelea kupiga kelele? | {
"text": [
"Ng'ombe walivunja viungo vyake"
]
} |
2372_swa | Ngoma
Ngoma imekuwa ala muhimu ya muziki katika jamii mbalimbali. Tunazipenda ngoma! Tuna ngoma za vimo tofauti: kubwa, wastani na ndogo.
Tunazicheza ngoma kwa kutumia kijiti, au kwa kutumia vidole vyetu. Tunazicheza kwa sababu tofauti. Tunazicheza kwa nyimbo na densi, wakati wa sherehe na wakati wa majonzi.
Ngoma huongezea nyimbo ladha na kuwafanya watu watake kucheza. Ngoma hufanya sherehe kuwa maridadi. Tunazicheza wakati wa harusi na tunapomtaja mtoto jina. Tunacheza kusherehekea mavuno au kuzaliwa kwa mapacha.
Ngoma hulia kutangaza majonzi na kuwaita watu kunapotokea kifo.
Ngoma hulia kuwaita watu kusafisha kisima, barabara, au kumjengea mtu mkongwe nyumba. Ngoma hutuita ng'ombe wetu wanapokuwa wameibwa.
Ngoma hulia kuwaita watu wakutane kwa chifu wetu.
Ngoma huwaita watu kwenda kanisani kwa maombi siku ya Jumapili, na kwenye siku zingine za maombi. Pia, ngoma huchezwa kutia ladha wimbo unapoimbwa kanisani.
Ngoma kubwa husikika, "An a bul mba, an a bul mba, an a bul mba-mba- mba-mba bul." Nayo ndogo hutoa sauti ya juu, "Tindiri, tindiri tindiri ti." Pamoja zote huitikia, "Tindiri mba, tindiri mba, tindiri mba-mba-mba- mba, tindiri ti!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngoma Author - Athieno Gertrude Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nini imekuwa ala muhimu | {
"text": [
"ngoma"
]
} |
2372_swa | Ngoma
Ngoma imekuwa ala muhimu ya muziki katika jamii mbalimbali. Tunazipenda ngoma! Tuna ngoma za vimo tofauti: kubwa, wastani na ndogo.
Tunazicheza ngoma kwa kutumia kijiti, au kwa kutumia vidole vyetu. Tunazicheza kwa sababu tofauti. Tunazicheza kwa nyimbo na densi, wakati wa sherehe na wakati wa majonzi.
Ngoma huongezea nyimbo ladha na kuwafanya watu watake kucheza. Ngoma hufanya sherehe kuwa maridadi. Tunazicheza wakati wa harusi na tunapomtaja mtoto jina. Tunacheza kusherehekea mavuno au kuzaliwa kwa mapacha.
Ngoma hulia kutangaza majonzi na kuwaita watu kunapotokea kifo.
Ngoma hulia kuwaita watu kusafisha kisima, barabara, au kumjengea mtu mkongwe nyumba. Ngoma hutuita ng'ombe wetu wanapokuwa wameibwa.
Ngoma hulia kuwaita watu wakutane kwa chifu wetu.
Ngoma huwaita watu kwenda kanisani kwa maombi siku ya Jumapili, na kwenye siku zingine za maombi. Pia, ngoma huchezwa kutia ladha wimbo unapoimbwa kanisani.
Ngoma kubwa husikika, "An a bul mba, an a bul mba, an a bul mba-mba- mba-mba bul." Nayo ndogo hutoa sauti ya juu, "Tindiri, tindiri tindiri ti." Pamoja zote huitikia, "Tindiri mba, tindiri mba, tindiri mba-mba-mba- mba, tindiri ti!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngoma Author - Athieno Gertrude Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ngoma hufanya sherehe kuwa vipi | {
"text": [
"maridadi"
]
} |
2372_swa | Ngoma
Ngoma imekuwa ala muhimu ya muziki katika jamii mbalimbali. Tunazipenda ngoma! Tuna ngoma za vimo tofauti: kubwa, wastani na ndogo.
Tunazicheza ngoma kwa kutumia kijiti, au kwa kutumia vidole vyetu. Tunazicheza kwa sababu tofauti. Tunazicheza kwa nyimbo na densi, wakati wa sherehe na wakati wa majonzi.
Ngoma huongezea nyimbo ladha na kuwafanya watu watake kucheza. Ngoma hufanya sherehe kuwa maridadi. Tunazicheza wakati wa harusi na tunapomtaja mtoto jina. Tunacheza kusherehekea mavuno au kuzaliwa kwa mapacha.
Ngoma hulia kutangaza majonzi na kuwaita watu kunapotokea kifo.
Ngoma hulia kuwaita watu kusafisha kisima, barabara, au kumjengea mtu mkongwe nyumba. Ngoma hutuita ng'ombe wetu wanapokuwa wameibwa.
Ngoma hulia kuwaita watu wakutane kwa chifu wetu.
Ngoma huwaita watu kwenda kanisani kwa maombi siku ya Jumapili, na kwenye siku zingine za maombi. Pia, ngoma huchezwa kutia ladha wimbo unapoimbwa kanisani.
Ngoma kubwa husikika, "An a bul mba, an a bul mba, an a bul mba-mba- mba-mba bul." Nayo ndogo hutoa sauti ya juu, "Tindiri, tindiri tindiri ti." Pamoja zote huitikia, "Tindiri mba, tindiri mba, tindiri mba-mba-mba- mba, tindiri ti!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngoma Author - Athieno Gertrude Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Tunazicheza tunapotaja nani jina | {
"text": [
"mtoto"
]
} |
2372_swa | Ngoma
Ngoma imekuwa ala muhimu ya muziki katika jamii mbalimbali. Tunazipenda ngoma! Tuna ngoma za vimo tofauti: kubwa, wastani na ndogo.
Tunazicheza ngoma kwa kutumia kijiti, au kwa kutumia vidole vyetu. Tunazicheza kwa sababu tofauti. Tunazicheza kwa nyimbo na densi, wakati wa sherehe na wakati wa majonzi.
Ngoma huongezea nyimbo ladha na kuwafanya watu watake kucheza. Ngoma hufanya sherehe kuwa maridadi. Tunazicheza wakati wa harusi na tunapomtaja mtoto jina. Tunacheza kusherehekea mavuno au kuzaliwa kwa mapacha.
Ngoma hulia kutangaza majonzi na kuwaita watu kunapotokea kifo.
Ngoma hulia kuwaita watu kusafisha kisima, barabara, au kumjengea mtu mkongwe nyumba. Ngoma hutuita ng'ombe wetu wanapokuwa wameibwa.
Ngoma hulia kuwaita watu wakutane kwa chifu wetu.
Ngoma huwaita watu kwenda kanisani kwa maombi siku ya Jumapili, na kwenye siku zingine za maombi. Pia, ngoma huchezwa kutia ladha wimbo unapoimbwa kanisani.
Ngoma kubwa husikika, "An a bul mba, an a bul mba, an a bul mba-mba- mba-mba bul." Nayo ndogo hutoa sauti ya juu, "Tindiri, tindiri tindiri ti." Pamoja zote huitikia, "Tindiri mba, tindiri mba, tindiri mba-mba-mba- mba, tindiri ti!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngoma Author - Athieno Gertrude Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ngoma huita watu kwenda wapi | {
"text": [
"kanisani"
]
} |
2372_swa | Ngoma
Ngoma imekuwa ala muhimu ya muziki katika jamii mbalimbali. Tunazipenda ngoma! Tuna ngoma za vimo tofauti: kubwa, wastani na ndogo.
Tunazicheza ngoma kwa kutumia kijiti, au kwa kutumia vidole vyetu. Tunazicheza kwa sababu tofauti. Tunazicheza kwa nyimbo na densi, wakati wa sherehe na wakati wa majonzi.
Ngoma huongezea nyimbo ladha na kuwafanya watu watake kucheza. Ngoma hufanya sherehe kuwa maridadi. Tunazicheza wakati wa harusi na tunapomtaja mtoto jina. Tunacheza kusherehekea mavuno au kuzaliwa kwa mapacha.
Ngoma hulia kutangaza majonzi na kuwaita watu kunapotokea kifo.
Ngoma hulia kuwaita watu kusafisha kisima, barabara, au kumjengea mtu mkongwe nyumba. Ngoma hutuita ng'ombe wetu wanapokuwa wameibwa.
Ngoma hulia kuwaita watu wakutane kwa chifu wetu.
Ngoma huwaita watu kwenda kanisani kwa maombi siku ya Jumapili, na kwenye siku zingine za maombi. Pia, ngoma huchezwa kutia ladha wimbo unapoimbwa kanisani.
Ngoma kubwa husikika, "An a bul mba, an a bul mba, an a bul mba-mba- mba-mba bul." Nayo ndogo hutoa sauti ya juu, "Tindiri, tindiri tindiri ti." Pamoja zote huitikia, "Tindiri mba, tindiri mba, tindiri mba-mba-mba- mba, tindiri ti!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngoma Author - Athieno Gertrude Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ngoma hufanyaje watu watake kucheza | {
"text": [
"huongezea nyimbo ladha"
]
} |
2375_swa | Ngurumo na Radi
Hapo zamani, Ngurumo na Radi waliishi duniani miongoni mwa watu.
Ngurumo alikuwa mamake Radi.
Radi alikuwa mwenye hasira kali. Mara nyingi alibishana na mamake.
Radi alipokasirika, aliteketeza nyumba na kung'oa miti. Alitoa sauti ya kutisha, "Pia-la-la-la, pia- la-la-la!" Aliyaharibu mashamba na hata kuwaua watu.
Radi alipofanya vitendo hivi, mamake alimwita kwa sauti ya juu, "Bum- rambo-la-la-la, la-bum!" Alijaribu kumzuia asisababishe uharibifu.
Radi hakutia maanani aliyosema mamake. Badala yake angesababishia kila mmoja fujo alipokuwa na hasira.
Hatimaye, watu walipeleka malalamishi yao kwa mfalme.
Mfalme aliamrisha Ngurumo na mwanawe wahame kutoka kijijini. Aliwafukuza waende kuishi mbali na makao ya watu.
Hili halikusaidia sana. Radi alizidi kuteketeza misitu alipokasirika, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Wakati mwingine, ndimi za moto zilisambaa na kuunguza mashamba.
Kwa mara nyingine, watu Walienda kwa mfalme kumlalamikia.
Mara hii, mfalme aliwaambia Radi na Ngurumo kwamba hawangeendelea kuishi duniani. Aliwafukuza waende kuishi angani wasikoweza kusababisha uharibifu mwingi.
Tangu wakati huo, Radi anapokasirika, huweza kuteketeza na kuharibu, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Nasi bado tunamsikia Ngurumo, mamake Radi, akimkemea, "Bum-rambo- la-la-la, la-bum!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngurumo na Radi Author - Ogot Owino Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ngurumo na Radi waliishi wapi | {
"text": [
"Duniani"
]
} |
2375_swa | Ngurumo na Radi
Hapo zamani, Ngurumo na Radi waliishi duniani miongoni mwa watu.
Ngurumo alikuwa mamake Radi.
Radi alikuwa mwenye hasira kali. Mara nyingi alibishana na mamake.
Radi alipokasirika, aliteketeza nyumba na kung'oa miti. Alitoa sauti ya kutisha, "Pia-la-la-la, pia- la-la-la!" Aliyaharibu mashamba na hata kuwaua watu.
Radi alipofanya vitendo hivi, mamake alimwita kwa sauti ya juu, "Bum- rambo-la-la-la, la-bum!" Alijaribu kumzuia asisababishe uharibifu.
Radi hakutia maanani aliyosema mamake. Badala yake angesababishia kila mmoja fujo alipokuwa na hasira.
Hatimaye, watu walipeleka malalamishi yao kwa mfalme.
Mfalme aliamrisha Ngurumo na mwanawe wahame kutoka kijijini. Aliwafukuza waende kuishi mbali na makao ya watu.
Hili halikusaidia sana. Radi alizidi kuteketeza misitu alipokasirika, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Wakati mwingine, ndimi za moto zilisambaa na kuunguza mashamba.
Kwa mara nyingine, watu Walienda kwa mfalme kumlalamikia.
Mara hii, mfalme aliwaambia Radi na Ngurumo kwamba hawangeendelea kuishi duniani. Aliwafukuza waende kuishi angani wasikoweza kusababisha uharibifu mwingi.
Tangu wakati huo, Radi anapokasirika, huweza kuteketeza na kuharibu, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Nasi bado tunamsikia Ngurumo, mamake Radi, akimkemea, "Bum-rambo- la-la-la, la-bum!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngurumo na Radi Author - Ogot Owino Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ngurumo alikuwa nani | {
"text": [
"Mamake Radi"
]
} |
2375_swa | Ngurumo na Radi
Hapo zamani, Ngurumo na Radi waliishi duniani miongoni mwa watu.
Ngurumo alikuwa mamake Radi.
Radi alikuwa mwenye hasira kali. Mara nyingi alibishana na mamake.
Radi alipokasirika, aliteketeza nyumba na kung'oa miti. Alitoa sauti ya kutisha, "Pia-la-la-la, pia- la-la-la!" Aliyaharibu mashamba na hata kuwaua watu.
Radi alipofanya vitendo hivi, mamake alimwita kwa sauti ya juu, "Bum- rambo-la-la-la, la-bum!" Alijaribu kumzuia asisababishe uharibifu.
Radi hakutia maanani aliyosema mamake. Badala yake angesababishia kila mmoja fujo alipokuwa na hasira.
Hatimaye, watu walipeleka malalamishi yao kwa mfalme.
Mfalme aliamrisha Ngurumo na mwanawe wahame kutoka kijijini. Aliwafukuza waende kuishi mbali na makao ya watu.
Hili halikusaidia sana. Radi alizidi kuteketeza misitu alipokasirika, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Wakati mwingine, ndimi za moto zilisambaa na kuunguza mashamba.
Kwa mara nyingine, watu Walienda kwa mfalme kumlalamikia.
Mara hii, mfalme aliwaambia Radi na Ngurumo kwamba hawangeendelea kuishi duniani. Aliwafukuza waende kuishi angani wasikoweza kusababisha uharibifu mwingi.
Tangu wakati huo, Radi anapokasirika, huweza kuteketeza na kuharibu, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Nasi bado tunamsikia Ngurumo, mamake Radi, akimkemea, "Bum-rambo- la-la-la, la-bum!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngurumo na Radi Author - Ogot Owino Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Radi alipokasirika, aliteketeza nini | {
"text": [
"Nyumba"
]
} |
2375_swa | Ngurumo na Radi
Hapo zamani, Ngurumo na Radi waliishi duniani miongoni mwa watu.
Ngurumo alikuwa mamake Radi.
Radi alikuwa mwenye hasira kali. Mara nyingi alibishana na mamake.
Radi alipokasirika, aliteketeza nyumba na kung'oa miti. Alitoa sauti ya kutisha, "Pia-la-la-la, pia- la-la-la!" Aliyaharibu mashamba na hata kuwaua watu.
Radi alipofanya vitendo hivi, mamake alimwita kwa sauti ya juu, "Bum- rambo-la-la-la, la-bum!" Alijaribu kumzuia asisababishe uharibifu.
Radi hakutia maanani aliyosema mamake. Badala yake angesababishia kila mmoja fujo alipokuwa na hasira.
Hatimaye, watu walipeleka malalamishi yao kwa mfalme.
Mfalme aliamrisha Ngurumo na mwanawe wahame kutoka kijijini. Aliwafukuza waende kuishi mbali na makao ya watu.
Hili halikusaidia sana. Radi alizidi kuteketeza misitu alipokasirika, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Wakati mwingine, ndimi za moto zilisambaa na kuunguza mashamba.
Kwa mara nyingine, watu Walienda kwa mfalme kumlalamikia.
Mara hii, mfalme aliwaambia Radi na Ngurumo kwamba hawangeendelea kuishi duniani. Aliwafukuza waende kuishi angani wasikoweza kusababisha uharibifu mwingi.
Tangu wakati huo, Radi anapokasirika, huweza kuteketeza na kuharibu, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Nasi bado tunamsikia Ngurumo, mamake Radi, akimkemea, "Bum-rambo- la-la-la, la-bum!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngurumo na Radi Author - Ogot Owino Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliamrisha Ngurumo na mwanawe wahame kutoka kijijini | {
"text": [
"Mfalme"
]
} |
2375_swa | Ngurumo na Radi
Hapo zamani, Ngurumo na Radi waliishi duniani miongoni mwa watu.
Ngurumo alikuwa mamake Radi.
Radi alikuwa mwenye hasira kali. Mara nyingi alibishana na mamake.
Radi alipokasirika, aliteketeza nyumba na kung'oa miti. Alitoa sauti ya kutisha, "Pia-la-la-la, pia- la-la-la!" Aliyaharibu mashamba na hata kuwaua watu.
Radi alipofanya vitendo hivi, mamake alimwita kwa sauti ya juu, "Bum- rambo-la-la-la, la-bum!" Alijaribu kumzuia asisababishe uharibifu.
Radi hakutia maanani aliyosema mamake. Badala yake angesababishia kila mmoja fujo alipokuwa na hasira.
Hatimaye, watu walipeleka malalamishi yao kwa mfalme.
Mfalme aliamrisha Ngurumo na mwanawe wahame kutoka kijijini. Aliwafukuza waende kuishi mbali na makao ya watu.
Hili halikusaidia sana. Radi alizidi kuteketeza misitu alipokasirika, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Wakati mwingine, ndimi za moto zilisambaa na kuunguza mashamba.
Kwa mara nyingine, watu Walienda kwa mfalme kumlalamikia.
Mara hii, mfalme aliwaambia Radi na Ngurumo kwamba hawangeendelea kuishi duniani. Aliwafukuza waende kuishi angani wasikoweza kusababisha uharibifu mwingi.
Tangu wakati huo, Radi anapokasirika, huweza kuteketeza na kuharibu, "Pia-la-la-la, pia-la-la-la!" Nasi bado tunamsikia Ngurumo, mamake Radi, akimkemea, "Bum-rambo- la-la-la, la-bum!"
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ngurumo na Radi Author - Ogot Owino Translation - Ursula Nafula Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mfalme aliwafukuza waende kuishi angani wasikoweza kufanya nini | {
"text": [
"Kusababisha uharibifu mwingi"
]
} |
2376_swa | Nguruwe hawaruhusiwi
Miaka mingi iliyopita, jamii ya wanyama wenye pembe iliamua kuandaa karamu kubwa milimani. Wanyama wote wenye pembe walialikwa.
Nguruwe aliposikia kuhusu karamu hiyo, aliwaza, "Mimi sina pembe. Je, nitafanyaje ili nihudhurie karamu hiyo?"
Nguruwe aliamua lazima angeshiriki katika ile karamu. Alisonga pembe kwa kutumia nta na kuzipachika kichwani mwake!
Nguruwe alifaulu na akakubaliwa kuhudhuria karamu hiyo. Karamu iliandaliwa juu milimani karibu na jua.
Karamu ilipokuwa ikiendelea, joto lilizidi na nta ikaanza kuyeyuka. Mara pembe za nguruwe zikaanguka chini pu! Wanyama walipomwona nguruwe bila pembe walishangaa na kuulizana, "Ni nani yule asiye na pembe? Kwa nini alialikwa?"
Mfalme wa wanyama aliamuru nguruwe ainuliwe juu na kisha aangushwe. Walimnyanyua nguruwe na kumtupa chini kwenye bonde kubwa.
Maskini nguruwe, aliangukia pua lake. Papo hapo, pua lake likabadilika na kuwa refu kama linavyoonekana hadi sasa.
Usishangae unapoliona pua la nguruwe jinsi lilivyo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nguruwe hawaruhusiwi Author - Basilio Gimo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://littlezebrabooks.com | Jamii ya wanyama wenye pembe iliamua kuandaa nini | {
"text": [
"Karamu"
]
} |
2376_swa | Nguruwe hawaruhusiwi
Miaka mingi iliyopita, jamii ya wanyama wenye pembe iliamua kuandaa karamu kubwa milimani. Wanyama wote wenye pembe walialikwa.
Nguruwe aliposikia kuhusu karamu hiyo, aliwaza, "Mimi sina pembe. Je, nitafanyaje ili nihudhurie karamu hiyo?"
Nguruwe aliamua lazima angeshiriki katika ile karamu. Alisonga pembe kwa kutumia nta na kuzipachika kichwani mwake!
Nguruwe alifaulu na akakubaliwa kuhudhuria karamu hiyo. Karamu iliandaliwa juu milimani karibu na jua.
Karamu ilipokuwa ikiendelea, joto lilizidi na nta ikaanza kuyeyuka. Mara pembe za nguruwe zikaanguka chini pu! Wanyama walipomwona nguruwe bila pembe walishangaa na kuulizana, "Ni nani yule asiye na pembe? Kwa nini alialikwa?"
Mfalme wa wanyama aliamuru nguruwe ainuliwe juu na kisha aangushwe. Walimnyanyua nguruwe na kumtupa chini kwenye bonde kubwa.
Maskini nguruwe, aliangukia pua lake. Papo hapo, pua lake likabadilika na kuwa refu kama linavyoonekana hadi sasa.
Usishangae unapoliona pua la nguruwe jinsi lilivyo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nguruwe hawaruhusiwi Author - Basilio Gimo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://littlezebrabooks.com | Nguruwe alisonga pembe kwa kutumia nini | {
"text": [
"Nta"
]
} |
2376_swa | Nguruwe hawaruhusiwi
Miaka mingi iliyopita, jamii ya wanyama wenye pembe iliamua kuandaa karamu kubwa milimani. Wanyama wote wenye pembe walialikwa.
Nguruwe aliposikia kuhusu karamu hiyo, aliwaza, "Mimi sina pembe. Je, nitafanyaje ili nihudhurie karamu hiyo?"
Nguruwe aliamua lazima angeshiriki katika ile karamu. Alisonga pembe kwa kutumia nta na kuzipachika kichwani mwake!
Nguruwe alifaulu na akakubaliwa kuhudhuria karamu hiyo. Karamu iliandaliwa juu milimani karibu na jua.
Karamu ilipokuwa ikiendelea, joto lilizidi na nta ikaanza kuyeyuka. Mara pembe za nguruwe zikaanguka chini pu! Wanyama walipomwona nguruwe bila pembe walishangaa na kuulizana, "Ni nani yule asiye na pembe? Kwa nini alialikwa?"
Mfalme wa wanyama aliamuru nguruwe ainuliwe juu na kisha aangushwe. Walimnyanyua nguruwe na kumtupa chini kwenye bonde kubwa.
Maskini nguruwe, aliangukia pua lake. Papo hapo, pua lake likabadilika na kuwa refu kama linavyoonekana hadi sasa.
Usishangae unapoliona pua la nguruwe jinsi lilivyo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nguruwe hawaruhusiwi Author - Basilio Gimo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://littlezebrabooks.com | Karamu iliandaliwa wapi | {
"text": [
"Juu mlimani"
]
} |
2376_swa | Nguruwe hawaruhusiwi
Miaka mingi iliyopita, jamii ya wanyama wenye pembe iliamua kuandaa karamu kubwa milimani. Wanyama wote wenye pembe walialikwa.
Nguruwe aliposikia kuhusu karamu hiyo, aliwaza, "Mimi sina pembe. Je, nitafanyaje ili nihudhurie karamu hiyo?"
Nguruwe aliamua lazima angeshiriki katika ile karamu. Alisonga pembe kwa kutumia nta na kuzipachika kichwani mwake!
Nguruwe alifaulu na akakubaliwa kuhudhuria karamu hiyo. Karamu iliandaliwa juu milimani karibu na jua.
Karamu ilipokuwa ikiendelea, joto lilizidi na nta ikaanza kuyeyuka. Mara pembe za nguruwe zikaanguka chini pu! Wanyama walipomwona nguruwe bila pembe walishangaa na kuulizana, "Ni nani yule asiye na pembe? Kwa nini alialikwa?"
Mfalme wa wanyama aliamuru nguruwe ainuliwe juu na kisha aangushwe. Walimnyanyua nguruwe na kumtupa chini kwenye bonde kubwa.
Maskini nguruwe, aliangukia pua lake. Papo hapo, pua lake likabadilika na kuwa refu kama linavyoonekana hadi sasa.
Usishangae unapoliona pua la nguruwe jinsi lilivyo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nguruwe hawaruhusiwi Author - Basilio Gimo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://littlezebrabooks.com | Nani aliamuru nguruwe ainuliwe juu na kisha aangushwe | {
"text": [
"Mfalme wa wanyama"
]
} |
2376_swa | Nguruwe hawaruhusiwi
Miaka mingi iliyopita, jamii ya wanyama wenye pembe iliamua kuandaa karamu kubwa milimani. Wanyama wote wenye pembe walialikwa.
Nguruwe aliposikia kuhusu karamu hiyo, aliwaza, "Mimi sina pembe. Je, nitafanyaje ili nihudhurie karamu hiyo?"
Nguruwe aliamua lazima angeshiriki katika ile karamu. Alisonga pembe kwa kutumia nta na kuzipachika kichwani mwake!
Nguruwe alifaulu na akakubaliwa kuhudhuria karamu hiyo. Karamu iliandaliwa juu milimani karibu na jua.
Karamu ilipokuwa ikiendelea, joto lilizidi na nta ikaanza kuyeyuka. Mara pembe za nguruwe zikaanguka chini pu! Wanyama walipomwona nguruwe bila pembe walishangaa na kuulizana, "Ni nani yule asiye na pembe? Kwa nini alialikwa?"
Mfalme wa wanyama aliamuru nguruwe ainuliwe juu na kisha aangushwe. Walimnyanyua nguruwe na kumtupa chini kwenye bonde kubwa.
Maskini nguruwe, aliangukia pua lake. Papo hapo, pua lake likabadilika na kuwa refu kama linavyoonekana hadi sasa.
Usishangae unapoliona pua la nguruwe jinsi lilivyo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nguruwe hawaruhusiwi Author - Basilio Gimo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://littlezebrabooks.com | Mbona pua la nguruwe lilibadilika na kuwa refu kama linavyoonekana hadi sasa | {
"text": [
"Kwa sababu nguruwe aliangukia pua lake"
]
} |
2378_swa | Ni nani atakuwa mfalme?
Mfalme Chui aliendelea kuwa mzee. Je, atamchagua mrithi wake namna gani?
Mfalme Chui aliwaita wanyama kwa sherehe. Atawatangazia mpango wake.
Baada ya sherehe, Mfalme Chui alizungumza. Wanyama walimsikiliza.
Alisema, "Mashindano yataamua atakayekuwa mfalme."
Atakayehesabu hadi kumi kabla ya mkuki kuanguka, atakuwa mfalme.
Tembo aliwasukuma wengine, "Mimi ni mkubwa. Ninastahili kuwa mfalme."
Tembo alihesabu hadi nne pekee. Mkuki ulianguka.
Ngiri aliwasukuma wenzake akisema, "Nina nguvu zaidi. Nitakuwa mfalme."
Ngiri alihesabu hadi sita kisha mkuki ulianguka. Aliondoka.
Wanyama walisema, "Tembo mkubwa na Ngiri wameshindwa. Nani atashinda?"
Sokwe alihesabu, "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba!" Alilia.
Mfalme Chui alisema, "Sokwe, unapate nafasi moja tu." Sokwe aliondoka.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka. Swara Mdogo alisema, "Hebu nijaribu."
Mfalme Chui aliwakemea, "Mpeni Swara nafasi. Mwache ajaribu."
Swara alisema, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulianguka chini.
Mashindano yalionyesha mnyama mwerevu. Swara alikuwa malkia baada ya chui.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ni nani atakuwa mfalme? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyechukua uongozi baada ya chui | {
"text": [
"Swara"
]
} |
2378_swa | Ni nani atakuwa mfalme?
Mfalme Chui aliendelea kuwa mzee. Je, atamchagua mrithi wake namna gani?
Mfalme Chui aliwaita wanyama kwa sherehe. Atawatangazia mpango wake.
Baada ya sherehe, Mfalme Chui alizungumza. Wanyama walimsikiliza.
Alisema, "Mashindano yataamua atakayekuwa mfalme."
Atakayehesabu hadi kumi kabla ya mkuki kuanguka, atakuwa mfalme.
Tembo aliwasukuma wengine, "Mimi ni mkubwa. Ninastahili kuwa mfalme."
Tembo alihesabu hadi nne pekee. Mkuki ulianguka.
Ngiri aliwasukuma wenzake akisema, "Nina nguvu zaidi. Nitakuwa mfalme."
Ngiri alihesabu hadi sita kisha mkuki ulianguka. Aliondoka.
Wanyama walisema, "Tembo mkubwa na Ngiri wameshindwa. Nani atashinda?"
Sokwe alihesabu, "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba!" Alilia.
Mfalme Chui alisema, "Sokwe, unapate nafasi moja tu." Sokwe aliondoka.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka. Swara Mdogo alisema, "Hebu nijaribu."
Mfalme Chui aliwakemea, "Mpeni Swara nafasi. Mwache ajaribu."
Swara alisema, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulianguka chini.
Mashindano yalionyesha mnyama mwerevu. Swara alikuwa malkia baada ya chui.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ni nani atakuwa mfalme? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Chui alikuwa anamtafuta mnyama yupi | {
"text": [
"Mwerevu "
]
} |
2378_swa | Ni nani atakuwa mfalme?
Mfalme Chui aliendelea kuwa mzee. Je, atamchagua mrithi wake namna gani?
Mfalme Chui aliwaita wanyama kwa sherehe. Atawatangazia mpango wake.
Baada ya sherehe, Mfalme Chui alizungumza. Wanyama walimsikiliza.
Alisema, "Mashindano yataamua atakayekuwa mfalme."
Atakayehesabu hadi kumi kabla ya mkuki kuanguka, atakuwa mfalme.
Tembo aliwasukuma wengine, "Mimi ni mkubwa. Ninastahili kuwa mfalme."
Tembo alihesabu hadi nne pekee. Mkuki ulianguka.
Ngiri aliwasukuma wenzake akisema, "Nina nguvu zaidi. Nitakuwa mfalme."
Ngiri alihesabu hadi sita kisha mkuki ulianguka. Aliondoka.
Wanyama walisema, "Tembo mkubwa na Ngiri wameshindwa. Nani atashinda?"
Sokwe alihesabu, "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba!" Alilia.
Mfalme Chui alisema, "Sokwe, unapate nafasi moja tu." Sokwe aliondoka.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka. Swara Mdogo alisema, "Hebu nijaribu."
Mfalme Chui aliwakemea, "Mpeni Swara nafasi. Mwache ajaribu."
Swara alisema, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulianguka chini.
Mashindano yalionyesha mnyama mwerevu. Swara alikuwa malkia baada ya chui.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ni nani atakuwa mfalme? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Katika mashindano sokwe alihesabu hadi ngapi | {
"text": [
"Kuanzia moja hadi saba"
]
} |
2378_swa | Ni nani atakuwa mfalme?
Mfalme Chui aliendelea kuwa mzee. Je, atamchagua mrithi wake namna gani?
Mfalme Chui aliwaita wanyama kwa sherehe. Atawatangazia mpango wake.
Baada ya sherehe, Mfalme Chui alizungumza. Wanyama walimsikiliza.
Alisema, "Mashindano yataamua atakayekuwa mfalme."
Atakayehesabu hadi kumi kabla ya mkuki kuanguka, atakuwa mfalme.
Tembo aliwasukuma wengine, "Mimi ni mkubwa. Ninastahili kuwa mfalme."
Tembo alihesabu hadi nne pekee. Mkuki ulianguka.
Ngiri aliwasukuma wenzake akisema, "Nina nguvu zaidi. Nitakuwa mfalme."
Ngiri alihesabu hadi sita kisha mkuki ulianguka. Aliondoka.
Wanyama walisema, "Tembo mkubwa na Ngiri wameshindwa. Nani atashinda?"
Sokwe alihesabu, "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba!" Alilia.
Mfalme Chui alisema, "Sokwe, unapate nafasi moja tu." Sokwe aliondoka.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka. Swara Mdogo alisema, "Hebu nijaribu."
Mfalme Chui aliwakemea, "Mpeni Swara nafasi. Mwache ajaribu."
Swara alisema, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulianguka chini.
Mashindano yalionyesha mnyama mwerevu. Swara alikuwa malkia baada ya chui.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ni nani atakuwa mfalme? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni katika hafla ipi chui aliwatangazia wanyama mpango wake | {
"text": [
"Shereheni"
]
} |
2378_swa | Ni nani atakuwa mfalme?
Mfalme Chui aliendelea kuwa mzee. Je, atamchagua mrithi wake namna gani?
Mfalme Chui aliwaita wanyama kwa sherehe. Atawatangazia mpango wake.
Baada ya sherehe, Mfalme Chui alizungumza. Wanyama walimsikiliza.
Alisema, "Mashindano yataamua atakayekuwa mfalme."
Atakayehesabu hadi kumi kabla ya mkuki kuanguka, atakuwa mfalme.
Tembo aliwasukuma wengine, "Mimi ni mkubwa. Ninastahili kuwa mfalme."
Tembo alihesabu hadi nne pekee. Mkuki ulianguka.
Ngiri aliwasukuma wenzake akisema, "Nina nguvu zaidi. Nitakuwa mfalme."
Ngiri alihesabu hadi sita kisha mkuki ulianguka. Aliondoka.
Wanyama walisema, "Tembo mkubwa na Ngiri wameshindwa. Nani atashinda?"
Sokwe alihesabu, "Moja! Mbili! Tatu! Nne! Tano! Sita! Saba!" Alilia.
Mfalme Chui alisema, "Sokwe, unapate nafasi moja tu." Sokwe aliondoka.
Baadhi ya wanyama walianza kuondoka. Swara Mdogo alisema, "Hebu nijaribu."
Mfalme Chui aliwakemea, "Mpeni Swara nafasi. Mwache ajaribu."
Swara alisema, "Tano na tano ni kumi." Mkuki ulianguka chini.
Mashindano yalionyesha mnyama mwerevu. Swara alikuwa malkia baada ya chui.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ni nani atakuwa mfalme? Author - Athieno Gertrude and Owino Ogot Translation - Ursula Nafula Illustration - Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Tembo na ngiri walihesabu hadi ngapi mtawalia | {
"text": [
"Nne na sita"
]
} |
2389_swa | Nkanu aambukizwa kipindupindu
Hii ni Shule ya Nakivale. Ilitokea kwamba mwanafunzi mmoja aliyeitwa Nkanu, aliambukizwa ugonjwa wa kipindupindu. Ilisemekana kwamba maambukizi hayo yalisababishwa na uchafu. Wakati wa kwenda nyumbani ulipofika, wanafunzi walianza kwenda. Nkanu aliruka kwa furaha kwa sababu wakati alioupenda ulikuwa umefika. Nkanu alikuwa ameweka vitu vyake kwenye begi ndogo aliyoibeba kila siku. Alipofika nyumbani, Nkanu hakutulia hata kidogo. Alikwenda kuchezea udongo mchafu. Baadaye, mvua ilianza kunyesha. Nkanu hakujikinga na mvua hiyo. Aliendelea kucheza bila kujali kwamba alikuwa akilowa. Nkanu alipofika nyumbani, hakunawa mikono yake. Wakati wa kula ulipofika, alienda kula hivyo hivyo kwa mikono michafu. Nkanu alipomaliza kula, alienda barabarani kutembea. Alimwona mtu aliyekuwa na ndizi. Nkanu alimwomba yule mtu ndizi. Alipoipokea ile ndizi, aliila hivyo hivyo kwa mikono michafu. Hiyo ndiyo iliyokuwa tabia ya Nkanu ya kila siku. Baada ya siku chache, Nkanu alianza kuhisi maumivu. Kumbe alikuwa ameambukizwa kipindupindu. Nkanu alitapika na kuendesha. Alitamani achezee tope tena lakini hakuwa hata na nguvu ya kuweza kusimama. Alikuwa mnyonge kweli kweli. Nkanu alikumbuka makosa aliyoyafanya. Alitaka kujua ni lini hasa alipoambukizwa viini vya kipindupindu. Alisema moyoni, "Heri ningejua, ningenawa mikono yangu kabla ya kula."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nkanu aambukizwa kipindupindu Author - gabriel dibwe Illustration - Gabriel Dibwe Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Hii ni shule gani | {
"text": [
"Ya Nakivale"
]
} |
2389_swa | Nkanu aambukizwa kipindupindu
Hii ni Shule ya Nakivale. Ilitokea kwamba mwanafunzi mmoja aliyeitwa Nkanu, aliambukizwa ugonjwa wa kipindupindu. Ilisemekana kwamba maambukizi hayo yalisababishwa na uchafu. Wakati wa kwenda nyumbani ulipofika, wanafunzi walianza kwenda. Nkanu aliruka kwa furaha kwa sababu wakati alioupenda ulikuwa umefika. Nkanu alikuwa ameweka vitu vyake kwenye begi ndogo aliyoibeba kila siku. Alipofika nyumbani, Nkanu hakutulia hata kidogo. Alikwenda kuchezea udongo mchafu. Baadaye, mvua ilianza kunyesha. Nkanu hakujikinga na mvua hiyo. Aliendelea kucheza bila kujali kwamba alikuwa akilowa. Nkanu alipofika nyumbani, hakunawa mikono yake. Wakati wa kula ulipofika, alienda kula hivyo hivyo kwa mikono michafu. Nkanu alipomaliza kula, alienda barabarani kutembea. Alimwona mtu aliyekuwa na ndizi. Nkanu alimwomba yule mtu ndizi. Alipoipokea ile ndizi, aliila hivyo hivyo kwa mikono michafu. Hiyo ndiyo iliyokuwa tabia ya Nkanu ya kila siku. Baada ya siku chache, Nkanu alianza kuhisi maumivu. Kumbe alikuwa ameambukizwa kipindupindu. Nkanu alitapika na kuendesha. Alitamani achezee tope tena lakini hakuwa hata na nguvu ya kuweza kusimama. Alikuwa mnyonge kweli kweli. Nkanu alikumbuka makosa aliyoyafanya. Alitaka kujua ni lini hasa alipoambukizwa viini vya kipindupindu. Alisema moyoni, "Heri ningejua, ningenawa mikono yangu kabla ya kula."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nkanu aambukizwa kipindupindu Author - gabriel dibwe Illustration - Gabriel Dibwe Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliambukizwa ugonjwa wa kipindupindu | {
"text": [
"Nkanu"
]
} |
2389_swa | Nkanu aambukizwa kipindupindu
Hii ni Shule ya Nakivale. Ilitokea kwamba mwanafunzi mmoja aliyeitwa Nkanu, aliambukizwa ugonjwa wa kipindupindu. Ilisemekana kwamba maambukizi hayo yalisababishwa na uchafu. Wakati wa kwenda nyumbani ulipofika, wanafunzi walianza kwenda. Nkanu aliruka kwa furaha kwa sababu wakati alioupenda ulikuwa umefika. Nkanu alikuwa ameweka vitu vyake kwenye begi ndogo aliyoibeba kila siku. Alipofika nyumbani, Nkanu hakutulia hata kidogo. Alikwenda kuchezea udongo mchafu. Baadaye, mvua ilianza kunyesha. Nkanu hakujikinga na mvua hiyo. Aliendelea kucheza bila kujali kwamba alikuwa akilowa. Nkanu alipofika nyumbani, hakunawa mikono yake. Wakati wa kula ulipofika, alienda kula hivyo hivyo kwa mikono michafu. Nkanu alipomaliza kula, alienda barabarani kutembea. Alimwona mtu aliyekuwa na ndizi. Nkanu alimwomba yule mtu ndizi. Alipoipokea ile ndizi, aliila hivyo hivyo kwa mikono michafu. Hiyo ndiyo iliyokuwa tabia ya Nkanu ya kila siku. Baada ya siku chache, Nkanu alianza kuhisi maumivu. Kumbe alikuwa ameambukizwa kipindupindu. Nkanu alitapika na kuendesha. Alitamani achezee tope tena lakini hakuwa hata na nguvu ya kuweza kusimama. Alikuwa mnyonge kweli kweli. Nkanu alikumbuka makosa aliyoyafanya. Alitaka kujua ni lini hasa alipoambukizwa viini vya kipindupindu. Alisema moyoni, "Heri ningejua, ningenawa mikono yangu kabla ya kula."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nkanu aambukizwa kipindupindu Author - gabriel dibwe Illustration - Gabriel Dibwe Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Baada ya siku chache Nkanu alianza kuhisi nini | {
"text": [
"Maumivu"
]
} |
2389_swa | Nkanu aambukizwa kipindupindu
Hii ni Shule ya Nakivale. Ilitokea kwamba mwanafunzi mmoja aliyeitwa Nkanu, aliambukizwa ugonjwa wa kipindupindu. Ilisemekana kwamba maambukizi hayo yalisababishwa na uchafu. Wakati wa kwenda nyumbani ulipofika, wanafunzi walianza kwenda. Nkanu aliruka kwa furaha kwa sababu wakati alioupenda ulikuwa umefika. Nkanu alikuwa ameweka vitu vyake kwenye begi ndogo aliyoibeba kila siku. Alipofika nyumbani, Nkanu hakutulia hata kidogo. Alikwenda kuchezea udongo mchafu. Baadaye, mvua ilianza kunyesha. Nkanu hakujikinga na mvua hiyo. Aliendelea kucheza bila kujali kwamba alikuwa akilowa. Nkanu alipofika nyumbani, hakunawa mikono yake. Wakati wa kula ulipofika, alienda kula hivyo hivyo kwa mikono michafu. Nkanu alipomaliza kula, alienda barabarani kutembea. Alimwona mtu aliyekuwa na ndizi. Nkanu alimwomba yule mtu ndizi. Alipoipokea ile ndizi, aliila hivyo hivyo kwa mikono michafu. Hiyo ndiyo iliyokuwa tabia ya Nkanu ya kila siku. Baada ya siku chache, Nkanu alianza kuhisi maumivu. Kumbe alikuwa ameambukizwa kipindupindu. Nkanu alitapika na kuendesha. Alitamani achezee tope tena lakini hakuwa hata na nguvu ya kuweza kusimama. Alikuwa mnyonge kweli kweli. Nkanu alikumbuka makosa aliyoyafanya. Alitaka kujua ni lini hasa alipoambukizwa viini vya kipindupindu. Alisema moyoni, "Heri ningejua, ningenawa mikono yangu kabla ya kula."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nkanu aambukizwa kipindupindu Author - gabriel dibwe Illustration - Gabriel Dibwe Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nkanu alipomaliza kula alienda wapi | {
"text": [
"Barabarani kutembea"
]
} |
2389_swa | Nkanu aambukizwa kipindupindu
Hii ni Shule ya Nakivale. Ilitokea kwamba mwanafunzi mmoja aliyeitwa Nkanu, aliambukizwa ugonjwa wa kipindupindu. Ilisemekana kwamba maambukizi hayo yalisababishwa na uchafu. Wakati wa kwenda nyumbani ulipofika, wanafunzi walianza kwenda. Nkanu aliruka kwa furaha kwa sababu wakati alioupenda ulikuwa umefika. Nkanu alikuwa ameweka vitu vyake kwenye begi ndogo aliyoibeba kila siku. Alipofika nyumbani, Nkanu hakutulia hata kidogo. Alikwenda kuchezea udongo mchafu. Baadaye, mvua ilianza kunyesha. Nkanu hakujikinga na mvua hiyo. Aliendelea kucheza bila kujali kwamba alikuwa akilowa. Nkanu alipofika nyumbani, hakunawa mikono yake. Wakati wa kula ulipofika, alienda kula hivyo hivyo kwa mikono michafu. Nkanu alipomaliza kula, alienda barabarani kutembea. Alimwona mtu aliyekuwa na ndizi. Nkanu alimwomba yule mtu ndizi. Alipoipokea ile ndizi, aliila hivyo hivyo kwa mikono michafu. Hiyo ndiyo iliyokuwa tabia ya Nkanu ya kila siku. Baada ya siku chache, Nkanu alianza kuhisi maumivu. Kumbe alikuwa ameambukizwa kipindupindu. Nkanu alitapika na kuendesha. Alitamani achezee tope tena lakini hakuwa hata na nguvu ya kuweza kusimama. Alikuwa mnyonge kweli kweli. Nkanu alikumbuka makosa aliyoyafanya. Alitaka kujua ni lini hasa alipoambukizwa viini vya kipindupindu. Alisema moyoni, "Heri ningejua, ningenawa mikono yangu kabla ya kula."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nkanu aambukizwa kipindupindu Author - gabriel dibwe Illustration - Gabriel Dibwe Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Nkanu aliruka kwa furaha | {
"text": [
"Kwa sababu wakati alioupenda ulikuwa umefika"
]
} |
2390_swa | Nonkungu na Imbulu
Hapo kale kuliishi mtu maskini na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja aliyeitwa Nonkungu. Nonkungu alikuwa mrembo na mkarimu. Wazazi wake walimpenda sana.
Siku moja, wazazi wa Nonkungu waliamua aende kuishi kwa mjombake tajiri aliyeitwa Mtonyama. Mama alimshonea Nonkungu rinda akalirembesha kwa shanga. Pia, alimtengenezea mkufu wa shanga.
Nonkungu alisafiri hadi akaufikia mto. Akavuka kwa kukanyaga mawe. Alipofika upande ule mwingine wa mto, alikutana na msichana aliyekuwa amevaa matambara.
"Unaenda wapi?" yule msichana mdogo alimwuliza. "Ninaenda kuishi kwa mjombangu Mtonyama," Nonkungu alisema. "Ala! Mtonyama ni mjombangu pia. Nami ninaenda kumtembelea," yule msichana akajibu. Nonkungu na yule msichana walitembea pamoja.
Baada ya muda, yule msichana akasema, "Rinda lako ni zuri na mkufu wako pia unapendeza. Tafadhali, nipe nivae nione vile mavazi hayo yatakavyonikaa." Nonkungu akavua mkufu wake na rinda lake akampa yule msichana mdogo.
Msichana huyo alipovua matambara yake na kuvaa nguo za Nonkungu, Nonkungu aligundua kwamba huyo msichana alikuwa na mkia! Sasa alifahamu kuwa yule hakuwa msichana bali alikuwa jitu.
Walipotembea kwa muda, Nonkungu alimwambia, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Imbulu alijibu, "Acha niendelee kuvaa hadi tuufikie ule mti."
Walipofika kwenye mti, Nonkungu alimwambia Imbulu, "Tafadhali, nirudishie rinda na mkufu wangu." "Acha nivae hadi pale kwenye ule mto." Nonkungu alikubali kwa woga.
Hatimaye, waliufikia mto. Kwa mara nyingine, Nonkungu alimwambia imbulu, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Hata hivyo Imbulu alimjibu, "Niruhusu nivae hadi tuufikie ule mji."
Walipoufikia mji, Imbulu alimsukuma Nonkungu nyuma akawaambia wanawake waliokuwa nje, "Mtazameni msichana huyu aliyevaa matambara. Amekuwa akinifuata siku nzima. Nataka aniondokee." Nonkungu aliaibika akakimbia na kujificha.
Imbulu alienda nyumbani kwa Mtonyama akasema, "Mimi ndiye mpwa wako, Nonkungu. Ulivyokuwa umepanga na wazazi, wamenituma nije niishi hapa kwako." Mtonyama alimkaribisha na familia ikamfurahia sana bila kujua ni imbulu. Maskini Nonkungu alilala nje akila chakula cha mbwa.
Wakati wa mchana Nonkungu alitembea huku akiimba: Matatizo, matatizo! Wazazi walinituma, Kwa mjomba Mtonyama, Kakutana na imbulu, Nguo zangu kachukua, Matatizo, matatizo!
Siku moja, ndugu yake Mtonyama alipokuwa akipita, alisikia wimbo mtamu kiimbwa. Hakujua aliyekuwa akiimba. Aliporudi nyumbani, alimweleza Mtonyama kuhusu wimbo aliousikia. Mara moja, Mtonyama alikwenda naye akausikiliza wimbo kwa makini. Akatafuta mpaka akamwona Nonkungu.
Nonkungu alimweleza kwamba Imbulu alichukua nguo zake maridadi akambadilishia na matambara. Mtonyama alimchukua akampeleka nyumbani akamficha. Mtonyama alijua jinsi angefanya kumwadhibu imbulu.
Mtonyama alikuwa amesikia kwamba mkia wa imbulu ulipenda maziwa sana. Hangeyapita maziwa bila mkia kunywa kidogo. Kwa hivyo, aliwaambia wafanyakazi wake walichimbe shimo refu na kulijaza na maziwa lala. Kisha aliwaita wasichana wote wa kijijini kwa mashindano ya kuliruka lile shimo.
Imbulu aliogopa. Hakutaka kuliruka lile shimo. Alijua mkia wake ungetamani maziwa lala. Alijificha, akaufunga mkia wake, akiukazia kwenye mwili wake kabisa. Baadaye alijiunga na wasichana wengine kuliruka shimo.
Wasichana waliliiruka shimo mmoja baada ya mwingine. Ilipokuwa zamu ya Imbulu, alijaribu kuruka juu ya shimo lakini mkia wake ulifunguka ukamvuta chini, chini, chini kwenye shimo la maziwa lala.
Wakati imbulu alipokuwa akitapatapa ndani ya maziwa lala, walikimbia na kuliliziba lile shimo kwa udongo. Na huo ndio uliokuwa mwisho wa imbulu. Naye Nonkungu aliishi na mjombake Mtonyama kwa furaha na starehe kwa miaka mingi. Na huo ndio mwisho wa hadithi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nonkungu na Imbulu Author - Alan Kenyon and Viv Kenyon Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mtu maskini na mkewe walikuwa na mtoto aliyeitwa nani? | {
"text": [
"Nonkungu"
]
} |
2390_swa | Nonkungu na Imbulu
Hapo kale kuliishi mtu maskini na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja aliyeitwa Nonkungu. Nonkungu alikuwa mrembo na mkarimu. Wazazi wake walimpenda sana.
Siku moja, wazazi wa Nonkungu waliamua aende kuishi kwa mjombake tajiri aliyeitwa Mtonyama. Mama alimshonea Nonkungu rinda akalirembesha kwa shanga. Pia, alimtengenezea mkufu wa shanga.
Nonkungu alisafiri hadi akaufikia mto. Akavuka kwa kukanyaga mawe. Alipofika upande ule mwingine wa mto, alikutana na msichana aliyekuwa amevaa matambara.
"Unaenda wapi?" yule msichana mdogo alimwuliza. "Ninaenda kuishi kwa mjombangu Mtonyama," Nonkungu alisema. "Ala! Mtonyama ni mjombangu pia. Nami ninaenda kumtembelea," yule msichana akajibu. Nonkungu na yule msichana walitembea pamoja.
Baada ya muda, yule msichana akasema, "Rinda lako ni zuri na mkufu wako pia unapendeza. Tafadhali, nipe nivae nione vile mavazi hayo yatakavyonikaa." Nonkungu akavua mkufu wake na rinda lake akampa yule msichana mdogo.
Msichana huyo alipovua matambara yake na kuvaa nguo za Nonkungu, Nonkungu aligundua kwamba huyo msichana alikuwa na mkia! Sasa alifahamu kuwa yule hakuwa msichana bali alikuwa jitu.
Walipotembea kwa muda, Nonkungu alimwambia, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Imbulu alijibu, "Acha niendelee kuvaa hadi tuufikie ule mti."
Walipofika kwenye mti, Nonkungu alimwambia Imbulu, "Tafadhali, nirudishie rinda na mkufu wangu." "Acha nivae hadi pale kwenye ule mto." Nonkungu alikubali kwa woga.
Hatimaye, waliufikia mto. Kwa mara nyingine, Nonkungu alimwambia imbulu, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Hata hivyo Imbulu alimjibu, "Niruhusu nivae hadi tuufikie ule mji."
Walipoufikia mji, Imbulu alimsukuma Nonkungu nyuma akawaambia wanawake waliokuwa nje, "Mtazameni msichana huyu aliyevaa matambara. Amekuwa akinifuata siku nzima. Nataka aniondokee." Nonkungu aliaibika akakimbia na kujificha.
Imbulu alienda nyumbani kwa Mtonyama akasema, "Mimi ndiye mpwa wako, Nonkungu. Ulivyokuwa umepanga na wazazi, wamenituma nije niishi hapa kwako." Mtonyama alimkaribisha na familia ikamfurahia sana bila kujua ni imbulu. Maskini Nonkungu alilala nje akila chakula cha mbwa.
Wakati wa mchana Nonkungu alitembea huku akiimba: Matatizo, matatizo! Wazazi walinituma, Kwa mjomba Mtonyama, Kakutana na imbulu, Nguo zangu kachukua, Matatizo, matatizo!
Siku moja, ndugu yake Mtonyama alipokuwa akipita, alisikia wimbo mtamu kiimbwa. Hakujua aliyekuwa akiimba. Aliporudi nyumbani, alimweleza Mtonyama kuhusu wimbo aliousikia. Mara moja, Mtonyama alikwenda naye akausikiliza wimbo kwa makini. Akatafuta mpaka akamwona Nonkungu.
Nonkungu alimweleza kwamba Imbulu alichukua nguo zake maridadi akambadilishia na matambara. Mtonyama alimchukua akampeleka nyumbani akamficha. Mtonyama alijua jinsi angefanya kumwadhibu imbulu.
Mtonyama alikuwa amesikia kwamba mkia wa imbulu ulipenda maziwa sana. Hangeyapita maziwa bila mkia kunywa kidogo. Kwa hivyo, aliwaambia wafanyakazi wake walichimbe shimo refu na kulijaza na maziwa lala. Kisha aliwaita wasichana wote wa kijijini kwa mashindano ya kuliruka lile shimo.
Imbulu aliogopa. Hakutaka kuliruka lile shimo. Alijua mkia wake ungetamani maziwa lala. Alijificha, akaufunga mkia wake, akiukazia kwenye mwili wake kabisa. Baadaye alijiunga na wasichana wengine kuliruka shimo.
Wasichana waliliiruka shimo mmoja baada ya mwingine. Ilipokuwa zamu ya Imbulu, alijaribu kuruka juu ya shimo lakini mkia wake ulifunguka ukamvuta chini, chini, chini kwenye shimo la maziwa lala.
Wakati imbulu alipokuwa akitapatapa ndani ya maziwa lala, walikimbia na kuliliziba lile shimo kwa udongo. Na huo ndio uliokuwa mwisho wa imbulu. Naye Nonkungu aliishi na mjombake Mtonyama kwa furaha na starehe kwa miaka mingi. Na huo ndio mwisho wa hadithi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nonkungu na Imbulu Author - Alan Kenyon and Viv Kenyon Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mjombake Nonkungu aliitwaje? | {
"text": [
"Mtonyama"
]
} |
2390_swa | Nonkungu na Imbulu
Hapo kale kuliishi mtu maskini na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja aliyeitwa Nonkungu. Nonkungu alikuwa mrembo na mkarimu. Wazazi wake walimpenda sana.
Siku moja, wazazi wa Nonkungu waliamua aende kuishi kwa mjombake tajiri aliyeitwa Mtonyama. Mama alimshonea Nonkungu rinda akalirembesha kwa shanga. Pia, alimtengenezea mkufu wa shanga.
Nonkungu alisafiri hadi akaufikia mto. Akavuka kwa kukanyaga mawe. Alipofika upande ule mwingine wa mto, alikutana na msichana aliyekuwa amevaa matambara.
"Unaenda wapi?" yule msichana mdogo alimwuliza. "Ninaenda kuishi kwa mjombangu Mtonyama," Nonkungu alisema. "Ala! Mtonyama ni mjombangu pia. Nami ninaenda kumtembelea," yule msichana akajibu. Nonkungu na yule msichana walitembea pamoja.
Baada ya muda, yule msichana akasema, "Rinda lako ni zuri na mkufu wako pia unapendeza. Tafadhali, nipe nivae nione vile mavazi hayo yatakavyonikaa." Nonkungu akavua mkufu wake na rinda lake akampa yule msichana mdogo.
Msichana huyo alipovua matambara yake na kuvaa nguo za Nonkungu, Nonkungu aligundua kwamba huyo msichana alikuwa na mkia! Sasa alifahamu kuwa yule hakuwa msichana bali alikuwa jitu.
Walipotembea kwa muda, Nonkungu alimwambia, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Imbulu alijibu, "Acha niendelee kuvaa hadi tuufikie ule mti."
Walipofika kwenye mti, Nonkungu alimwambia Imbulu, "Tafadhali, nirudishie rinda na mkufu wangu." "Acha nivae hadi pale kwenye ule mto." Nonkungu alikubali kwa woga.
Hatimaye, waliufikia mto. Kwa mara nyingine, Nonkungu alimwambia imbulu, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Hata hivyo Imbulu alimjibu, "Niruhusu nivae hadi tuufikie ule mji."
Walipoufikia mji, Imbulu alimsukuma Nonkungu nyuma akawaambia wanawake waliokuwa nje, "Mtazameni msichana huyu aliyevaa matambara. Amekuwa akinifuata siku nzima. Nataka aniondokee." Nonkungu aliaibika akakimbia na kujificha.
Imbulu alienda nyumbani kwa Mtonyama akasema, "Mimi ndiye mpwa wako, Nonkungu. Ulivyokuwa umepanga na wazazi, wamenituma nije niishi hapa kwako." Mtonyama alimkaribisha na familia ikamfurahia sana bila kujua ni imbulu. Maskini Nonkungu alilala nje akila chakula cha mbwa.
Wakati wa mchana Nonkungu alitembea huku akiimba: Matatizo, matatizo! Wazazi walinituma, Kwa mjomba Mtonyama, Kakutana na imbulu, Nguo zangu kachukua, Matatizo, matatizo!
Siku moja, ndugu yake Mtonyama alipokuwa akipita, alisikia wimbo mtamu kiimbwa. Hakujua aliyekuwa akiimba. Aliporudi nyumbani, alimweleza Mtonyama kuhusu wimbo aliousikia. Mara moja, Mtonyama alikwenda naye akausikiliza wimbo kwa makini. Akatafuta mpaka akamwona Nonkungu.
Nonkungu alimweleza kwamba Imbulu alichukua nguo zake maridadi akambadilishia na matambara. Mtonyama alimchukua akampeleka nyumbani akamficha. Mtonyama alijua jinsi angefanya kumwadhibu imbulu.
Mtonyama alikuwa amesikia kwamba mkia wa imbulu ulipenda maziwa sana. Hangeyapita maziwa bila mkia kunywa kidogo. Kwa hivyo, aliwaambia wafanyakazi wake walichimbe shimo refu na kulijaza na maziwa lala. Kisha aliwaita wasichana wote wa kijijini kwa mashindano ya kuliruka lile shimo.
Imbulu aliogopa. Hakutaka kuliruka lile shimo. Alijua mkia wake ungetamani maziwa lala. Alijificha, akaufunga mkia wake, akiukazia kwenye mwili wake kabisa. Baadaye alijiunga na wasichana wengine kuliruka shimo.
Wasichana waliliiruka shimo mmoja baada ya mwingine. Ilipokuwa zamu ya Imbulu, alijaribu kuruka juu ya shimo lakini mkia wake ulifunguka ukamvuta chini, chini, chini kwenye shimo la maziwa lala.
Wakati imbulu alipokuwa akitapatapa ndani ya maziwa lala, walikimbia na kuliliziba lile shimo kwa udongo. Na huo ndio uliokuwa mwisho wa imbulu. Naye Nonkungu aliishi na mjombake Mtonyama kwa furaha na starehe kwa miaka mingi. Na huo ndio mwisho wa hadithi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nonkungu na Imbulu Author - Alan Kenyon and Viv Kenyon Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mamake Nonkungu alimtengenezea nini? | {
"text": [
"Rinda na Mkufu"
]
} |
2390_swa | Nonkungu na Imbulu
Hapo kale kuliishi mtu maskini na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja aliyeitwa Nonkungu. Nonkungu alikuwa mrembo na mkarimu. Wazazi wake walimpenda sana.
Siku moja, wazazi wa Nonkungu waliamua aende kuishi kwa mjombake tajiri aliyeitwa Mtonyama. Mama alimshonea Nonkungu rinda akalirembesha kwa shanga. Pia, alimtengenezea mkufu wa shanga.
Nonkungu alisafiri hadi akaufikia mto. Akavuka kwa kukanyaga mawe. Alipofika upande ule mwingine wa mto, alikutana na msichana aliyekuwa amevaa matambara.
"Unaenda wapi?" yule msichana mdogo alimwuliza. "Ninaenda kuishi kwa mjombangu Mtonyama," Nonkungu alisema. "Ala! Mtonyama ni mjombangu pia. Nami ninaenda kumtembelea," yule msichana akajibu. Nonkungu na yule msichana walitembea pamoja.
Baada ya muda, yule msichana akasema, "Rinda lako ni zuri na mkufu wako pia unapendeza. Tafadhali, nipe nivae nione vile mavazi hayo yatakavyonikaa." Nonkungu akavua mkufu wake na rinda lake akampa yule msichana mdogo.
Msichana huyo alipovua matambara yake na kuvaa nguo za Nonkungu, Nonkungu aligundua kwamba huyo msichana alikuwa na mkia! Sasa alifahamu kuwa yule hakuwa msichana bali alikuwa jitu.
Walipotembea kwa muda, Nonkungu alimwambia, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Imbulu alijibu, "Acha niendelee kuvaa hadi tuufikie ule mti."
Walipofika kwenye mti, Nonkungu alimwambia Imbulu, "Tafadhali, nirudishie rinda na mkufu wangu." "Acha nivae hadi pale kwenye ule mto." Nonkungu alikubali kwa woga.
Hatimaye, waliufikia mto. Kwa mara nyingine, Nonkungu alimwambia imbulu, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Hata hivyo Imbulu alimjibu, "Niruhusu nivae hadi tuufikie ule mji."
Walipoufikia mji, Imbulu alimsukuma Nonkungu nyuma akawaambia wanawake waliokuwa nje, "Mtazameni msichana huyu aliyevaa matambara. Amekuwa akinifuata siku nzima. Nataka aniondokee." Nonkungu aliaibika akakimbia na kujificha.
Imbulu alienda nyumbani kwa Mtonyama akasema, "Mimi ndiye mpwa wako, Nonkungu. Ulivyokuwa umepanga na wazazi, wamenituma nije niishi hapa kwako." Mtonyama alimkaribisha na familia ikamfurahia sana bila kujua ni imbulu. Maskini Nonkungu alilala nje akila chakula cha mbwa.
Wakati wa mchana Nonkungu alitembea huku akiimba: Matatizo, matatizo! Wazazi walinituma, Kwa mjomba Mtonyama, Kakutana na imbulu, Nguo zangu kachukua, Matatizo, matatizo!
Siku moja, ndugu yake Mtonyama alipokuwa akipita, alisikia wimbo mtamu kiimbwa. Hakujua aliyekuwa akiimba. Aliporudi nyumbani, alimweleza Mtonyama kuhusu wimbo aliousikia. Mara moja, Mtonyama alikwenda naye akausikiliza wimbo kwa makini. Akatafuta mpaka akamwona Nonkungu.
Nonkungu alimweleza kwamba Imbulu alichukua nguo zake maridadi akambadilishia na matambara. Mtonyama alimchukua akampeleka nyumbani akamficha. Mtonyama alijua jinsi angefanya kumwadhibu imbulu.
Mtonyama alikuwa amesikia kwamba mkia wa imbulu ulipenda maziwa sana. Hangeyapita maziwa bila mkia kunywa kidogo. Kwa hivyo, aliwaambia wafanyakazi wake walichimbe shimo refu na kulijaza na maziwa lala. Kisha aliwaita wasichana wote wa kijijini kwa mashindano ya kuliruka lile shimo.
Imbulu aliogopa. Hakutaka kuliruka lile shimo. Alijua mkia wake ungetamani maziwa lala. Alijificha, akaufunga mkia wake, akiukazia kwenye mwili wake kabisa. Baadaye alijiunga na wasichana wengine kuliruka shimo.
Wasichana waliliiruka shimo mmoja baada ya mwingine. Ilipokuwa zamu ya Imbulu, alijaribu kuruka juu ya shimo lakini mkia wake ulifunguka ukamvuta chini, chini, chini kwenye shimo la maziwa lala.
Wakati imbulu alipokuwa akitapatapa ndani ya maziwa lala, walikimbia na kuliliziba lile shimo kwa udongo. Na huo ndio uliokuwa mwisho wa imbulu. Naye Nonkungu aliishi na mjombake Mtonyama kwa furaha na starehe kwa miaka mingi. Na huo ndio mwisho wa hadithi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nonkungu na Imbulu Author - Alan Kenyon and Viv Kenyon Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wazazi wa Nonkungu waliamua aende kuishi wapi? | {
"text": [
"Kwa mjombake"
]
} |
2390_swa | Nonkungu na Imbulu
Hapo kale kuliishi mtu maskini na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja aliyeitwa Nonkungu. Nonkungu alikuwa mrembo na mkarimu. Wazazi wake walimpenda sana.
Siku moja, wazazi wa Nonkungu waliamua aende kuishi kwa mjombake tajiri aliyeitwa Mtonyama. Mama alimshonea Nonkungu rinda akalirembesha kwa shanga. Pia, alimtengenezea mkufu wa shanga.
Nonkungu alisafiri hadi akaufikia mto. Akavuka kwa kukanyaga mawe. Alipofika upande ule mwingine wa mto, alikutana na msichana aliyekuwa amevaa matambara.
"Unaenda wapi?" yule msichana mdogo alimwuliza. "Ninaenda kuishi kwa mjombangu Mtonyama," Nonkungu alisema. "Ala! Mtonyama ni mjombangu pia. Nami ninaenda kumtembelea," yule msichana akajibu. Nonkungu na yule msichana walitembea pamoja.
Baada ya muda, yule msichana akasema, "Rinda lako ni zuri na mkufu wako pia unapendeza. Tafadhali, nipe nivae nione vile mavazi hayo yatakavyonikaa." Nonkungu akavua mkufu wake na rinda lake akampa yule msichana mdogo.
Msichana huyo alipovua matambara yake na kuvaa nguo za Nonkungu, Nonkungu aligundua kwamba huyo msichana alikuwa na mkia! Sasa alifahamu kuwa yule hakuwa msichana bali alikuwa jitu.
Walipotembea kwa muda, Nonkungu alimwambia, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Imbulu alijibu, "Acha niendelee kuvaa hadi tuufikie ule mti."
Walipofika kwenye mti, Nonkungu alimwambia Imbulu, "Tafadhali, nirudishie rinda na mkufu wangu." "Acha nivae hadi pale kwenye ule mto." Nonkungu alikubali kwa woga.
Hatimaye, waliufikia mto. Kwa mara nyingine, Nonkungu alimwambia imbulu, "Tafadhali, nirudishie mkufu na rinda langu." Hata hivyo Imbulu alimjibu, "Niruhusu nivae hadi tuufikie ule mji."
Walipoufikia mji, Imbulu alimsukuma Nonkungu nyuma akawaambia wanawake waliokuwa nje, "Mtazameni msichana huyu aliyevaa matambara. Amekuwa akinifuata siku nzima. Nataka aniondokee." Nonkungu aliaibika akakimbia na kujificha.
Imbulu alienda nyumbani kwa Mtonyama akasema, "Mimi ndiye mpwa wako, Nonkungu. Ulivyokuwa umepanga na wazazi, wamenituma nije niishi hapa kwako." Mtonyama alimkaribisha na familia ikamfurahia sana bila kujua ni imbulu. Maskini Nonkungu alilala nje akila chakula cha mbwa.
Wakati wa mchana Nonkungu alitembea huku akiimba: Matatizo, matatizo! Wazazi walinituma, Kwa mjomba Mtonyama, Kakutana na imbulu, Nguo zangu kachukua, Matatizo, matatizo!
Siku moja, ndugu yake Mtonyama alipokuwa akipita, alisikia wimbo mtamu kiimbwa. Hakujua aliyekuwa akiimba. Aliporudi nyumbani, alimweleza Mtonyama kuhusu wimbo aliousikia. Mara moja, Mtonyama alikwenda naye akausikiliza wimbo kwa makini. Akatafuta mpaka akamwona Nonkungu.
Nonkungu alimweleza kwamba Imbulu alichukua nguo zake maridadi akambadilishia na matambara. Mtonyama alimchukua akampeleka nyumbani akamficha. Mtonyama alijua jinsi angefanya kumwadhibu imbulu.
Mtonyama alikuwa amesikia kwamba mkia wa imbulu ulipenda maziwa sana. Hangeyapita maziwa bila mkia kunywa kidogo. Kwa hivyo, aliwaambia wafanyakazi wake walichimbe shimo refu na kulijaza na maziwa lala. Kisha aliwaita wasichana wote wa kijijini kwa mashindano ya kuliruka lile shimo.
Imbulu aliogopa. Hakutaka kuliruka lile shimo. Alijua mkia wake ungetamani maziwa lala. Alijificha, akaufunga mkia wake, akiukazia kwenye mwili wake kabisa. Baadaye alijiunga na wasichana wengine kuliruka shimo.
Wasichana waliliiruka shimo mmoja baada ya mwingine. Ilipokuwa zamu ya Imbulu, alijaribu kuruka juu ya shimo lakini mkia wake ulifunguka ukamvuta chini, chini, chini kwenye shimo la maziwa lala.
Wakati imbulu alipokuwa akitapatapa ndani ya maziwa lala, walikimbia na kuliliziba lile shimo kwa udongo. Na huo ndio uliokuwa mwisho wa imbulu. Naye Nonkungu aliishi na mjombake Mtonyama kwa furaha na starehe kwa miaka mingi. Na huo ndio mwisho wa hadithi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nonkungu na Imbulu Author - Alan Kenyon and Viv Kenyon Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nonkungu alisafiri hadi akafikia nini? | {
"text": [
"Mto"
]
} |
2391_swa | Nozibele na Nywele Tatu
Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kutafuta kuni.
Ilikuwa siku yenye joto kwa hivyo walienda mtoni kuogelea. Walicheza wakirushiania maji na kuogelea.
Ghafla, waligundua kuwa saa zilikuwa zimeenda. Walifanya haraka kurudi kijijini.
Walipokuwa karibu nyumbani, Nozibele aliweka mkono wake shingoni. Alikuwa amesahau mkufu wake! "Tafadhali rudini nami!" aliwasihi marafiki zake. Lakini, marafiki zake walisema kwamba saa zilikuwa zimeenda sana.
Kwa hivyo Nozibele alirudi mtoni peke yake. Aliupata mkufu wake na kuanza kurudi nyumbani kwa haraka. Kwa bahati mbaya, alipotea gizani.
Kwa umbali aliona mwangaza ukitokezea chumbani. Alikikaribia chumba hicho na kubisha hodi mlangoni.
Alishangaa mbwa alipoufungua mlango na kumwuliza, "Unataka nini?" "Nimepotea, nahitaji mahali pa kulala," Nozibele alisema. "Ingia ndani, au nikuume!" mbwa akajibu. Nozibele aliingia.
Kisha mbwa akasema, "Nipikie chakula!" "Lakini sijawahi kumpikia mbwa chakula," Nozibele aljibu. "Pika, au nikuume!" mbwa akasema. Nozibele alimpikia mbwa chakula.
Tena mbwa akasema, "Nitayarishie kitanda." Nozibele akajibu, "Sijawahi kumtayarishia mbwa kitanda." "Tayarisha au nikuume!" mbwa alisema. Nozibele alitayarisha kitanda.
Alitakiwa kumpikia, kumfagilia na kumwoshea mbwa kila siku. Siku moja mbwa alisema, "Nozibele, nimelazimika kuwatembelea marafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na uoshe vitu vyangu kabla sijarudi."
Mbwa alipoenda tu, Nozibele alichukua nywele tatu kutoka kichwani kwake. Aliweka mmoja mvunguni mwa kitanda, mwingine nyuma ya mlango, na mwingine kwenye zizi la ng'ombe. Kisha alikimbia kwenda nyumbani haraka alivyoweza.
Mbwa aliporudi, alimwita Nozibele kwa sauti, "Uko wapi?" "Niko mvunguni mwa kitanda," unywele wa kwanza ulisema. "Niko nyuma ya mlango," unywele wa pili ukasema. "Niko kwenye zizi la ng'ombe," ukasema unywele wa tatu.
Papo hapo mbwa alifahamu kuwa Nozibele alikuwa amemdanganya. Kwa hivyo, alikimbia moja kwa moja hadi kijijini. Lakini, ndugu zake Nozibele walikuwa wamemsubiri kwa fimbo kubwa. Mbwa aligeuka na kukimbia na hadi leo, hajawahi kuonekana tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nozibele na Nywele Tatu Author - Tessa Welch Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wasichana wangapi walienda kutafuta kuni | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
2391_swa | Nozibele na Nywele Tatu
Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kutafuta kuni.
Ilikuwa siku yenye joto kwa hivyo walienda mtoni kuogelea. Walicheza wakirushiania maji na kuogelea.
Ghafla, waligundua kuwa saa zilikuwa zimeenda. Walifanya haraka kurudi kijijini.
Walipokuwa karibu nyumbani, Nozibele aliweka mkono wake shingoni. Alikuwa amesahau mkufu wake! "Tafadhali rudini nami!" aliwasihi marafiki zake. Lakini, marafiki zake walisema kwamba saa zilikuwa zimeenda sana.
Kwa hivyo Nozibele alirudi mtoni peke yake. Aliupata mkufu wake na kuanza kurudi nyumbani kwa haraka. Kwa bahati mbaya, alipotea gizani.
Kwa umbali aliona mwangaza ukitokezea chumbani. Alikikaribia chumba hicho na kubisha hodi mlangoni.
Alishangaa mbwa alipoufungua mlango na kumwuliza, "Unataka nini?" "Nimepotea, nahitaji mahali pa kulala," Nozibele alisema. "Ingia ndani, au nikuume!" mbwa akajibu. Nozibele aliingia.
Kisha mbwa akasema, "Nipikie chakula!" "Lakini sijawahi kumpikia mbwa chakula," Nozibele aljibu. "Pika, au nikuume!" mbwa akasema. Nozibele alimpikia mbwa chakula.
Tena mbwa akasema, "Nitayarishie kitanda." Nozibele akajibu, "Sijawahi kumtayarishia mbwa kitanda." "Tayarisha au nikuume!" mbwa alisema. Nozibele alitayarisha kitanda.
Alitakiwa kumpikia, kumfagilia na kumwoshea mbwa kila siku. Siku moja mbwa alisema, "Nozibele, nimelazimika kuwatembelea marafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na uoshe vitu vyangu kabla sijarudi."
Mbwa alipoenda tu, Nozibele alichukua nywele tatu kutoka kichwani kwake. Aliweka mmoja mvunguni mwa kitanda, mwingine nyuma ya mlango, na mwingine kwenye zizi la ng'ombe. Kisha alikimbia kwenda nyumbani haraka alivyoweza.
Mbwa aliporudi, alimwita Nozibele kwa sauti, "Uko wapi?" "Niko mvunguni mwa kitanda," unywele wa kwanza ulisema. "Niko nyuma ya mlango," unywele wa pili ukasema. "Niko kwenye zizi la ng'ombe," ukasema unywele wa tatu.
Papo hapo mbwa alifahamu kuwa Nozibele alikuwa amemdanganya. Kwa hivyo, alikimbia moja kwa moja hadi kijijini. Lakini, ndugu zake Nozibele walikuwa wamemsubiri kwa fimbo kubwa. Mbwa aligeuka na kukimbia na hadi leo, hajawahi kuonekana tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nozibele na Nywele Tatu Author - Tessa Welch Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alisahahu mkufu wake | {
"text": [
"Nozibele"
]
} |
2391_swa | Nozibele na Nywele Tatu
Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kutafuta kuni.
Ilikuwa siku yenye joto kwa hivyo walienda mtoni kuogelea. Walicheza wakirushiania maji na kuogelea.
Ghafla, waligundua kuwa saa zilikuwa zimeenda. Walifanya haraka kurudi kijijini.
Walipokuwa karibu nyumbani, Nozibele aliweka mkono wake shingoni. Alikuwa amesahau mkufu wake! "Tafadhali rudini nami!" aliwasihi marafiki zake. Lakini, marafiki zake walisema kwamba saa zilikuwa zimeenda sana.
Kwa hivyo Nozibele alirudi mtoni peke yake. Aliupata mkufu wake na kuanza kurudi nyumbani kwa haraka. Kwa bahati mbaya, alipotea gizani.
Kwa umbali aliona mwangaza ukitokezea chumbani. Alikikaribia chumba hicho na kubisha hodi mlangoni.
Alishangaa mbwa alipoufungua mlango na kumwuliza, "Unataka nini?" "Nimepotea, nahitaji mahali pa kulala," Nozibele alisema. "Ingia ndani, au nikuume!" mbwa akajibu. Nozibele aliingia.
Kisha mbwa akasema, "Nipikie chakula!" "Lakini sijawahi kumpikia mbwa chakula," Nozibele aljibu. "Pika, au nikuume!" mbwa akasema. Nozibele alimpikia mbwa chakula.
Tena mbwa akasema, "Nitayarishie kitanda." Nozibele akajibu, "Sijawahi kumtayarishia mbwa kitanda." "Tayarisha au nikuume!" mbwa alisema. Nozibele alitayarisha kitanda.
Alitakiwa kumpikia, kumfagilia na kumwoshea mbwa kila siku. Siku moja mbwa alisema, "Nozibele, nimelazimika kuwatembelea marafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na uoshe vitu vyangu kabla sijarudi."
Mbwa alipoenda tu, Nozibele alichukua nywele tatu kutoka kichwani kwake. Aliweka mmoja mvunguni mwa kitanda, mwingine nyuma ya mlango, na mwingine kwenye zizi la ng'ombe. Kisha alikimbia kwenda nyumbani haraka alivyoweza.
Mbwa aliporudi, alimwita Nozibele kwa sauti, "Uko wapi?" "Niko mvunguni mwa kitanda," unywele wa kwanza ulisema. "Niko nyuma ya mlango," unywele wa pili ukasema. "Niko kwenye zizi la ng'ombe," ukasema unywele wa tatu.
Papo hapo mbwa alifahamu kuwa Nozibele alikuwa amemdanganya. Kwa hivyo, alikimbia moja kwa moja hadi kijijini. Lakini, ndugu zake Nozibele walikuwa wamemsubiri kwa fimbo kubwa. Mbwa aligeuka na kukimbia na hadi leo, hajawahi kuonekana tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nozibele na Nywele Tatu Author - Tessa Welch Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nozibele aliona ni ni ukitokezea chumbani | {
"text": [
"Mwangaza"
]
} |
2391_swa | Nozibele na Nywele Tatu
Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kutafuta kuni.
Ilikuwa siku yenye joto kwa hivyo walienda mtoni kuogelea. Walicheza wakirushiania maji na kuogelea.
Ghafla, waligundua kuwa saa zilikuwa zimeenda. Walifanya haraka kurudi kijijini.
Walipokuwa karibu nyumbani, Nozibele aliweka mkono wake shingoni. Alikuwa amesahau mkufu wake! "Tafadhali rudini nami!" aliwasihi marafiki zake. Lakini, marafiki zake walisema kwamba saa zilikuwa zimeenda sana.
Kwa hivyo Nozibele alirudi mtoni peke yake. Aliupata mkufu wake na kuanza kurudi nyumbani kwa haraka. Kwa bahati mbaya, alipotea gizani.
Kwa umbali aliona mwangaza ukitokezea chumbani. Alikikaribia chumba hicho na kubisha hodi mlangoni.
Alishangaa mbwa alipoufungua mlango na kumwuliza, "Unataka nini?" "Nimepotea, nahitaji mahali pa kulala," Nozibele alisema. "Ingia ndani, au nikuume!" mbwa akajibu. Nozibele aliingia.
Kisha mbwa akasema, "Nipikie chakula!" "Lakini sijawahi kumpikia mbwa chakula," Nozibele aljibu. "Pika, au nikuume!" mbwa akasema. Nozibele alimpikia mbwa chakula.
Tena mbwa akasema, "Nitayarishie kitanda." Nozibele akajibu, "Sijawahi kumtayarishia mbwa kitanda." "Tayarisha au nikuume!" mbwa alisema. Nozibele alitayarisha kitanda.
Alitakiwa kumpikia, kumfagilia na kumwoshea mbwa kila siku. Siku moja mbwa alisema, "Nozibele, nimelazimika kuwatembelea marafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na uoshe vitu vyangu kabla sijarudi."
Mbwa alipoenda tu, Nozibele alichukua nywele tatu kutoka kichwani kwake. Aliweka mmoja mvunguni mwa kitanda, mwingine nyuma ya mlango, na mwingine kwenye zizi la ng'ombe. Kisha alikimbia kwenda nyumbani haraka alivyoweza.
Mbwa aliporudi, alimwita Nozibele kwa sauti, "Uko wapi?" "Niko mvunguni mwa kitanda," unywele wa kwanza ulisema. "Niko nyuma ya mlango," unywele wa pili ukasema. "Niko kwenye zizi la ng'ombe," ukasema unywele wa tatu.
Papo hapo mbwa alifahamu kuwa Nozibele alikuwa amemdanganya. Kwa hivyo, alikimbia moja kwa moja hadi kijijini. Lakini, ndugu zake Nozibele walikuwa wamemsubiri kwa fimbo kubwa. Mbwa aligeuka na kukimbia na hadi leo, hajawahi kuonekana tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nozibele na Nywele Tatu Author - Tessa Welch Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alisema hajawahi kumpikia mbwa | {
"text": [
"Nozibele"
]
} |
2391_swa | Nozibele na Nywele Tatu
Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kutafuta kuni.
Ilikuwa siku yenye joto kwa hivyo walienda mtoni kuogelea. Walicheza wakirushiania maji na kuogelea.
Ghafla, waligundua kuwa saa zilikuwa zimeenda. Walifanya haraka kurudi kijijini.
Walipokuwa karibu nyumbani, Nozibele aliweka mkono wake shingoni. Alikuwa amesahau mkufu wake! "Tafadhali rudini nami!" aliwasihi marafiki zake. Lakini, marafiki zake walisema kwamba saa zilikuwa zimeenda sana.
Kwa hivyo Nozibele alirudi mtoni peke yake. Aliupata mkufu wake na kuanza kurudi nyumbani kwa haraka. Kwa bahati mbaya, alipotea gizani.
Kwa umbali aliona mwangaza ukitokezea chumbani. Alikikaribia chumba hicho na kubisha hodi mlangoni.
Alishangaa mbwa alipoufungua mlango na kumwuliza, "Unataka nini?" "Nimepotea, nahitaji mahali pa kulala," Nozibele alisema. "Ingia ndani, au nikuume!" mbwa akajibu. Nozibele aliingia.
Kisha mbwa akasema, "Nipikie chakula!" "Lakini sijawahi kumpikia mbwa chakula," Nozibele aljibu. "Pika, au nikuume!" mbwa akasema. Nozibele alimpikia mbwa chakula.
Tena mbwa akasema, "Nitayarishie kitanda." Nozibele akajibu, "Sijawahi kumtayarishia mbwa kitanda." "Tayarisha au nikuume!" mbwa alisema. Nozibele alitayarisha kitanda.
Alitakiwa kumpikia, kumfagilia na kumwoshea mbwa kila siku. Siku moja mbwa alisema, "Nozibele, nimelazimika kuwatembelea marafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na uoshe vitu vyangu kabla sijarudi."
Mbwa alipoenda tu, Nozibele alichukua nywele tatu kutoka kichwani kwake. Aliweka mmoja mvunguni mwa kitanda, mwingine nyuma ya mlango, na mwingine kwenye zizi la ng'ombe. Kisha alikimbia kwenda nyumbani haraka alivyoweza.
Mbwa aliporudi, alimwita Nozibele kwa sauti, "Uko wapi?" "Niko mvunguni mwa kitanda," unywele wa kwanza ulisema. "Niko nyuma ya mlango," unywele wa pili ukasema. "Niko kwenye zizi la ng'ombe," ukasema unywele wa tatu.
Papo hapo mbwa alifahamu kuwa Nozibele alikuwa amemdanganya. Kwa hivyo, alikimbia moja kwa moja hadi kijijini. Lakini, ndugu zake Nozibele walikuwa wamemsubiri kwa fimbo kubwa. Mbwa aligeuka na kukimbia na hadi leo, hajawahi kuonekana tena.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nozibele na Nywele Tatu Author - Tessa Welch Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Nozibele alimdanganya mbwa | {
"text": [
"Kwa sababu mbwa angemla"
]
} |
2393_swa | Nyani walioenda huku na huko
Watu wa kijiji cha Udongo walikumbwa na matatizo mengi. Walihuzunika kwa sababu wanyama pori waliyahatarisha maisha yao.
Wanyama hao waliila mimea yao yote na kuwaiba watoto. Mahali hapo hapakuwa pazuri pa kuishi tena. Lakini, wangehamia wapi?
Watu wa familia moja walihamia milimani. Waliamini kuwa wangepata chakula huko.
Milimani, kulikuwa na vichaka, mapango na miti mingi. Walikula sungura na ndege.
Familia zingine ziliona jinsi familia ya milimani ilivyoishi vizuri. Mtu mmoja aliwashawishi, "Maisha ya milimani ni mazuri. Nanyi hamieni huku."
Familia zingine zilihamia milimani. Ziliishi mapangoni kulikokuwa na joto na usalama.
Watoto wa familia za milimani walizoe kupanda miti kutafuta matunda. Walining'inia kwenye matawi kama vile kima hufanya.
Kadri muda ulivyopita, ndivyo familia za milimani zilivyobadilika kimaumbile. Watoto wao walipunguza maongezi yao wakawa wanakoroma zaidi. Mapua ya watu wazima yalianza kuwa makubwa na waliota nywele zaidi kwenye miili yao.
Kila walipotazamana, waliona kwamba meno yao yaliendelea kuwa marefu. Walianza kutembea kwa miguu minne.
Waligeuka wakawa viumbe wapya wasiokuwa wameonekana pahali pale mbeleni. Wakaitwa nyani.
Mwanzoni, nyani hao waliishi kwa furaha. Badala ya kula sungura, walianza kuyala mabuu.
Walisahau jinsi ya kutembea wima kama ilivyokuwa awali. Wakavua nguo zao kwa sababu miili yao sasa ilikuwa imefunikwa kwa manyoya meusi.
Hata hivyo, walikumbuka kwamba walikuwa watu mbeleni. Walipoyaona mapua yao makubwa, walichekana.
Baadaye, walianza kukasirishwa na tabia zao wenyewe. Walipochekana, waliruka juu na chini kwa hasira. Vita vilizuka baina ya nyani hao wakalazimika kutawanyika.
Hiyo ndiyo sababu hata leo, nyani huishi katika makundi madogo na wala hawaishi kama taifa la nyani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyani walioenda huku na huko Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kulikuwa na nini milimani | {
"text": [
"Miti, vichaka na mapango"
]
} |
2393_swa | Nyani walioenda huku na huko
Watu wa kijiji cha Udongo walikumbwa na matatizo mengi. Walihuzunika kwa sababu wanyama pori waliyahatarisha maisha yao.
Wanyama hao waliila mimea yao yote na kuwaiba watoto. Mahali hapo hapakuwa pazuri pa kuishi tena. Lakini, wangehamia wapi?
Watu wa familia moja walihamia milimani. Waliamini kuwa wangepata chakula huko.
Milimani, kulikuwa na vichaka, mapango na miti mingi. Walikula sungura na ndege.
Familia zingine ziliona jinsi familia ya milimani ilivyoishi vizuri. Mtu mmoja aliwashawishi, "Maisha ya milimani ni mazuri. Nanyi hamieni huku."
Familia zingine zilihamia milimani. Ziliishi mapangoni kulikokuwa na joto na usalama.
Watoto wa familia za milimani walizoe kupanda miti kutafuta matunda. Walining'inia kwenye matawi kama vile kima hufanya.
Kadri muda ulivyopita, ndivyo familia za milimani zilivyobadilika kimaumbile. Watoto wao walipunguza maongezi yao wakawa wanakoroma zaidi. Mapua ya watu wazima yalianza kuwa makubwa na waliota nywele zaidi kwenye miili yao.
Kila walipotazamana, waliona kwamba meno yao yaliendelea kuwa marefu. Walianza kutembea kwa miguu minne.
Waligeuka wakawa viumbe wapya wasiokuwa wameonekana pahali pale mbeleni. Wakaitwa nyani.
Mwanzoni, nyani hao waliishi kwa furaha. Badala ya kula sungura, walianza kuyala mabuu.
Walisahau jinsi ya kutembea wima kama ilivyokuwa awali. Wakavua nguo zao kwa sababu miili yao sasa ilikuwa imefunikwa kwa manyoya meusi.
Hata hivyo, walikumbuka kwamba walikuwa watu mbeleni. Walipoyaona mapua yao makubwa, walichekana.
Baadaye, walianza kukasirishwa na tabia zao wenyewe. Walipochekana, waliruka juu na chini kwa hasira. Vita vilizuka baina ya nyani hao wakalazimika kutawanyika.
Hiyo ndiyo sababu hata leo, nyani huishi katika makundi madogo na wala hawaishi kama taifa la nyani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyani walioenda huku na huko Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini nyani huishi katika makundi madogomadogo | {
"text": [
"Kwa sababu ya vita vilivyozuka baina yao wenyewe hapo awali"
]
} |
2393_swa | Nyani walioenda huku na huko
Watu wa kijiji cha Udongo walikumbwa na matatizo mengi. Walihuzunika kwa sababu wanyama pori waliyahatarisha maisha yao.
Wanyama hao waliila mimea yao yote na kuwaiba watoto. Mahali hapo hapakuwa pazuri pa kuishi tena. Lakini, wangehamia wapi?
Watu wa familia moja walihamia milimani. Waliamini kuwa wangepata chakula huko.
Milimani, kulikuwa na vichaka, mapango na miti mingi. Walikula sungura na ndege.
Familia zingine ziliona jinsi familia ya milimani ilivyoishi vizuri. Mtu mmoja aliwashawishi, "Maisha ya milimani ni mazuri. Nanyi hamieni huku."
Familia zingine zilihamia milimani. Ziliishi mapangoni kulikokuwa na joto na usalama.
Watoto wa familia za milimani walizoe kupanda miti kutafuta matunda. Walining'inia kwenye matawi kama vile kima hufanya.
Kadri muda ulivyopita, ndivyo familia za milimani zilivyobadilika kimaumbile. Watoto wao walipunguza maongezi yao wakawa wanakoroma zaidi. Mapua ya watu wazima yalianza kuwa makubwa na waliota nywele zaidi kwenye miili yao.
Kila walipotazamana, waliona kwamba meno yao yaliendelea kuwa marefu. Walianza kutembea kwa miguu minne.
Waligeuka wakawa viumbe wapya wasiokuwa wameonekana pahali pale mbeleni. Wakaitwa nyani.
Mwanzoni, nyani hao waliishi kwa furaha. Badala ya kula sungura, walianza kuyala mabuu.
Walisahau jinsi ya kutembea wima kama ilivyokuwa awali. Wakavua nguo zao kwa sababu miili yao sasa ilikuwa imefunikwa kwa manyoya meusi.
Hata hivyo, walikumbuka kwamba walikuwa watu mbeleni. Walipoyaona mapua yao makubwa, walichekana.
Baadaye, walianza kukasirishwa na tabia zao wenyewe. Walipochekana, waliruka juu na chini kwa hasira. Vita vilizuka baina ya nyani hao wakalazimika kutawanyika.
Hiyo ndiyo sababu hata leo, nyani huishi katika makundi madogo na wala hawaishi kama taifa la nyani.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Nyani walioenda huku na huko Author - Southern African Folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Benjamin Mitchley Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Taja mabadiliko yaliyotokea kimaumbile katika familia zilizoishi milimani | {
"text": [
"Pua kuwa kubwa na nywele kuota kwenye miili yao"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.