Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
2249_swa | Jumamosi Alasiri
Ilikuwa Jumamosi yenye joto jingi. Kila mtu alikuwa amenuna. "Betty, Mercy na Larry, nendeni nje mcheze! Siwataki hapa," mama aliwaambia watoto.
"Twendeni mtoni. Kuna upepo mzuri huko." Larry alisema. "Mama alitukataza kuogelea mtoni," Betty alijibu. "Tutachezea tu karibu na maji," Larry alisema.
Walipofika, kwanza walivua viatu vyao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Wakavua nguo zao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto.
Waliiweka miguu yao majini kuifanya iwe baridi. Walirushiana maji. Punde kidogo walikuwa wameloa maji.
"Aa, njoo! Hebu tuogelee. Mama hatajua," Mercy alisema. Waliogelea kwa muda mrefu wakasahau kuwa muda ulikuwa unapita.
Jua lilipoanza kutua, walihisi baridi. Lakini je, nguo zao zilikuwa wapi?
Walitazama chini ya miti. Wakatazama juu ya vichaka. Walitazama kila mahali. Hawakuona dalili ya nguo zao popote.
Ng'ombe walikuwa wakila nyasi karibu na mto. Betty alisema, "Mwone yule ng'ombe! Ni nini hicho anachokula?" "Anakula ua jekundu," Larry alisema.
"Sio ua jekundu. Ni shati lako." Mercy alipiga kelele. Walimwona ng'ombe mwingine akila kitu cha kisamwati. "Hiyo ni sketi yangu!" Betty alipiga kelele kwa hofu.
Walirudi nyumbani wakiwa wamevaa suruali tu. "Ng'ombe walikula nguo zetu," walilia. Punde kidogo makalio yao yalikuwa na joto sana kwa kuadhibiwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi Alasiri Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mnyama yupi alikula nguo za watoto? | {
"text": [
"Ng'ombe"
]
} |
2249_swa | Jumamosi Alasiri
Ilikuwa Jumamosi yenye joto jingi. Kila mtu alikuwa amenuna. "Betty, Mercy na Larry, nendeni nje mcheze! Siwataki hapa," mama aliwaambia watoto.
"Twendeni mtoni. Kuna upepo mzuri huko." Larry alisema. "Mama alitukataza kuogelea mtoni," Betty alijibu. "Tutachezea tu karibu na maji," Larry alisema.
Walipofika, kwanza walivua viatu vyao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto. Wakavua nguo zao. Lakini walikuwa bado wanahisi joto.
Waliiweka miguu yao majini kuifanya iwe baridi. Walirushiana maji. Punde kidogo walikuwa wameloa maji.
"Aa, njoo! Hebu tuogelee. Mama hatajua," Mercy alisema. Waliogelea kwa muda mrefu wakasahau kuwa muda ulikuwa unapita.
Jua lilipoanza kutua, walihisi baridi. Lakini je, nguo zao zilikuwa wapi?
Walitazama chini ya miti. Wakatazama juu ya vichaka. Walitazama kila mahali. Hawakuona dalili ya nguo zao popote.
Ng'ombe walikuwa wakila nyasi karibu na mto. Betty alisema, "Mwone yule ng'ombe! Ni nini hicho anachokula?" "Anakula ua jekundu," Larry alisema.
"Sio ua jekundu. Ni shati lako." Mercy alipiga kelele. Walimwona ng'ombe mwingine akila kitu cha kisamwati. "Hiyo ni sketi yangu!" Betty alipiga kelele kwa hofu.
Walirudi nyumbani wakiwa wamevaa suruali tu. "Ng'ombe walikula nguo zetu," walilia. Punde kidogo makalio yao yalikuwa na joto sana kwa kuadhibiwa.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi Alasiri Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ukimwagia nguo maji inasemekana imafanya nini? | {
"text": [
"Imeloa maji"
]
} |
2250_swa | Jumamosi moja
Jumamosi moja, mama alisema, "Brenda, Maria na Lona, nendeni mcheze!" Waliondoka mbio pamoja.
Lona alisema, "Twendeni mtoni tukaogelee." Brenda alijibu, "Mama alitukataza kuogelea mtoni."
Walifika mtoni wakavua viatu na nguo. Wakacheza majini kwa muda.
Walicheka na kushangilia. Walifurahia maji baridi.
Baadaye, Maria alisema, "Tuogelee zaidi. Mama hatajua." Lona na Brenda walikubali wakaendelea kuogelea.
Walipomaliza, hawa nguo zao popote. Walianza kuhisi baridi.
Hawakuzipata nguo zao popote. "Tutamwambia mama nini?" Waliulizana.
Brenda alisema, "Lo! Ng'ombe anakula shati la Lona." Lona alianza kulia.
"Mwingine anakula sketi yangu!" Maria pia alilia.
Walisema, "Mama, ng'ombe walikula nguo zetu." Hawakusahau adhabu aliyowapa.
Maswali: 1.Taja majina ya watoto wote watatu tunaokutana nao katika hadithi hii. 2. Kwa mujibu wa Brenda, Mama aliwakataza watoto kufanya nini? 3. Watoto walihisije walipomaliza kuogelea? 4. Unafikiri watoto hawa walikuwa wamewahi kuogelea katika mto huo? Toa sababu kwa jibu lako. 5. Unafikiri watoto hawa walipewa adhabu gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi moja Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliambia Brenda, Maria na Lona waende wacheze | {
"text": [
"Mama"
]
} |
2250_swa | Jumamosi moja
Jumamosi moja, mama alisema, "Brenda, Maria na Lona, nendeni mcheze!" Waliondoka mbio pamoja.
Lona alisema, "Twendeni mtoni tukaogelee." Brenda alijibu, "Mama alitukataza kuogelea mtoni."
Walifika mtoni wakavua viatu na nguo. Wakacheza majini kwa muda.
Walicheka na kushangilia. Walifurahia maji baridi.
Baadaye, Maria alisema, "Tuogelee zaidi. Mama hatajua." Lona na Brenda walikubali wakaendelea kuogelea.
Walipomaliza, hawa nguo zao popote. Walianza kuhisi baridi.
Hawakuzipata nguo zao popote. "Tutamwambia mama nini?" Waliulizana.
Brenda alisema, "Lo! Ng'ombe anakula shati la Lona." Lona alianza kulia.
"Mwingine anakula sketi yangu!" Maria pia alilia.
Walisema, "Mama, ng'ombe walikula nguo zetu." Hawakusahau adhabu aliyowapa.
Maswali: 1.Taja majina ya watoto wote watatu tunaokutana nao katika hadithi hii. 2. Kwa mujibu wa Brenda, Mama aliwakataza watoto kufanya nini? 3. Watoto walihisije walipomaliza kuogelea? 4. Unafikiri watoto hawa walikuwa wamewahi kuogelea katika mto huo? Toa sababu kwa jibu lako. 5. Unafikiri watoto hawa walipewa adhabu gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi moja Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alisema mama aliwakataza kuogelea mtoni | {
"text": [
"Brenda"
]
} |
2250_swa | Jumamosi moja
Jumamosi moja, mama alisema, "Brenda, Maria na Lona, nendeni mcheze!" Waliondoka mbio pamoja.
Lona alisema, "Twendeni mtoni tukaogelee." Brenda alijibu, "Mama alitukataza kuogelea mtoni."
Walifika mtoni wakavua viatu na nguo. Wakacheza majini kwa muda.
Walicheka na kushangilia. Walifurahia maji baridi.
Baadaye, Maria alisema, "Tuogelee zaidi. Mama hatajua." Lona na Brenda walikubali wakaendelea kuogelea.
Walipomaliza, hawa nguo zao popote. Walianza kuhisi baridi.
Hawakuzipata nguo zao popote. "Tutamwambia mama nini?" Waliulizana.
Brenda alisema, "Lo! Ng'ombe anakula shati la Lona." Lona alianza kulia.
"Mwingine anakula sketi yangu!" Maria pia alilia.
Walisema, "Mama, ng'ombe walikula nguo zetu." Hawakusahau adhabu aliyowapa.
Maswali: 1.Taja majina ya watoto wote watatu tunaokutana nao katika hadithi hii. 2. Kwa mujibu wa Brenda, Mama aliwakataza watoto kufanya nini? 3. Watoto walihisije walipomaliza kuogelea? 4. Unafikiri watoto hawa walikuwa wamewahi kuogelea katika mto huo? Toa sababu kwa jibu lako. 5. Unafikiri watoto hawa walipewa adhabu gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi moja Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Brenda, Maria na Lona hawakuzipata nini popote | {
"text": [
"Nguo"
]
} |
2250_swa | Jumamosi moja
Jumamosi moja, mama alisema, "Brenda, Maria na Lona, nendeni mcheze!" Waliondoka mbio pamoja.
Lona alisema, "Twendeni mtoni tukaogelee." Brenda alijibu, "Mama alitukataza kuogelea mtoni."
Walifika mtoni wakavua viatu na nguo. Wakacheza majini kwa muda.
Walicheka na kushangilia. Walifurahia maji baridi.
Baadaye, Maria alisema, "Tuogelee zaidi. Mama hatajua." Lona na Brenda walikubali wakaendelea kuogelea.
Walipomaliza, hawa nguo zao popote. Walianza kuhisi baridi.
Hawakuzipata nguo zao popote. "Tutamwambia mama nini?" Waliulizana.
Brenda alisema, "Lo! Ng'ombe anakula shati la Lona." Lona alianza kulia.
"Mwingine anakula sketi yangu!" Maria pia alilia.
Walisema, "Mama, ng'ombe walikula nguo zetu." Hawakusahau adhabu aliyowapa.
Maswali: 1.Taja majina ya watoto wote watatu tunaokutana nao katika hadithi hii. 2. Kwa mujibu wa Brenda, Mama aliwakataza watoto kufanya nini? 3. Watoto walihisije walipomaliza kuogelea? 4. Unafikiri watoto hawa walikuwa wamewahi kuogelea katika mto huo? Toa sababu kwa jibu lako. 5. Unafikiri watoto hawa walipewa adhabu gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi moja Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Maria alilia kuwa mwengine anakula nini yake | {
"text": [
"Sketi"
]
} |
2250_swa | Jumamosi moja
Jumamosi moja, mama alisema, "Brenda, Maria na Lona, nendeni mcheze!" Waliondoka mbio pamoja.
Lona alisema, "Twendeni mtoni tukaogelee." Brenda alijibu, "Mama alitukataza kuogelea mtoni."
Walifika mtoni wakavua viatu na nguo. Wakacheza majini kwa muda.
Walicheka na kushangilia. Walifurahia maji baridi.
Baadaye, Maria alisema, "Tuogelee zaidi. Mama hatajua." Lona na Brenda walikubali wakaendelea kuogelea.
Walipomaliza, hawa nguo zao popote. Walianza kuhisi baridi.
Hawakuzipata nguo zao popote. "Tutamwambia mama nini?" Waliulizana.
Brenda alisema, "Lo! Ng'ombe anakula shati la Lona." Lona alianza kulia.
"Mwingine anakula sketi yangu!" Maria pia alilia.
Walisema, "Mama, ng'ombe walikula nguo zetu." Hawakusahau adhabu aliyowapa.
Maswali: 1.Taja majina ya watoto wote watatu tunaokutana nao katika hadithi hii. 2. Kwa mujibu wa Brenda, Mama aliwakataza watoto kufanya nini? 3. Watoto walihisije walipomaliza kuogelea? 4. Unafikiri watoto hawa walikuwa wamewahi kuogelea katika mto huo? Toa sababu kwa jibu lako. 5. Unafikiri watoto hawa walipewa adhabu gani?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Jumamosi moja Author - Nombulelo Thabane and Tessa Welch Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative, 2014 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Brenda, Maria na Lona hawakusahau adhabu waliyopewa kwa nini | {
"text": [
"Waliambia mama kuwa ng'ombe walikuwa nguo zao"
]
} |
2252_swa | Kadogo na nduguze
Hapo zamani za kale, mtu na mkewe walikuwa na watoto wa kiume saba wajinga. Watoto hao waliipoteza mifugo, walivunja jembe, na kila mtu aliwadanganya walipokuwa sokoni.
Mama yao aliomba, "Ee Mungu, mbona watoto wangu wote ni wajinga? Tafadhali, nipe angaa mtoto mmoja mwenye hekima."
Mwanamke huyo alijifungua mtoto mvulana. Mtoto huyo alikuwa mdogo mno. "Tutamwita Kadogo," mama akasema.
Kadogo hakukua kimo bali aliongezeka umri. Alikuwa mwerevu sana. Wazazi wake walimpenda lakini, nduguze walimwonea wivu. "Mbona wazazi wetu wanakupenda wewe zaidi yetu sisi?" Walimwuliza Kadogo. "Hebu jitazame! Wewe ni mdogo kama panya."
Kulikuwa na adui aliyeishi karibu na familia ya Kadogo. Siku moja, nduguze Kadogo waliwaza, "Adui yetu ana ng'ombe wengi wanono. Usiku wa leo twendeni tukawaibe fahali wawili. Tutamtumia punda wa baba kubeba nyama zote." Hawakumwona Kadogo kwa sababu alikuwa nyuma ya kigoda cha baba yao.
Usiku huo, nduguze Kadogo walimchukua punda wakaenda kwa adui yao. Kadogo aliwafuata mbio ila hawakumwona.
Walipofika kwa adui, lango lilikuwa limefungwa. Ndugu hao hawakuweza kuingia ndani. Mmoja wao akasema, "Heri tusingemuacha Kadogo nyumbani. Yeye ni mwerevu na angeweza kuingia ndani." Hawakuwa wamemwona Kadogo kwa sababu alikuwa amejificha.
Kadogo alijitambulisha, "Ndugu zangu, sikubaki nyumbani. Nisubirini hapa nami nitaingia ndani niufungue mlango. Nitawaelekeza fahali wote kwenu." Ndugu wa tatu aliuliza, "Utaingiaje ilhali lango limefungwa?"
Kadogo alicheka akasema, "Tazama, kuna mlango unaonitosha mimi." Nduguze walipotazama, waliona nafasi ndogo karibu na lango. Ni nafasi iliyotosha paka pekee, lakini Kadogo aliweza kupita.
Kadogo alipenya kwenye nafais hiyo. Alipanda juu ya lango na kulifungua. Aliwaongoza fahali kutoka nje bila tatizo. Alisema, "Nendeni, fahali wangu wazuri! Nendeni nje!"
Mmoja wa nduguze adui alikuwa amelala katika chumba chake. Mbwa waliokuwa macho walianza kubweka walipomsikia Kadogo. Bwana wao aliamka na kuuliza, "Kunaendelea nini hapa?"
Kadogo alipomwona, alijifanya kuwa mmoja wa wafanyakazi. "Usiwe na wasiwasi, bwana mkubwa. Fahali wetu wawili walikuwa wamepotea. Sasa ninawarejesha," alisema. Bwana yule alikasirika akasema, "Wacha kupiga kelele. Tunataka kulala." Alirudi chumbani kwake, akaufunga mlango.
Kadogo aliwaongoza wale fahali wawili nje. Nduguze walifurahi sana. "Tazama fahali hawa ni wanono! Hebu tuwachinje tule nyama sasa," walisema. Kadogo alijibu, "Adui wetu akituskika atatoka nje tena. Lazima tuvuke mto tuwapeleke mbali."
Kadogo na nduguze waliwapeleka fahali mbali na nyumba ya adui. Walipofika kwenye mto, wale ndugu saba walitazama maji kisha wakatikisa vichwa vyao. "Hatuwezi kuuvuka mto huu. Maji haya ni mengi na hatujui kuogelea. Kadogo yuko wapi? Yeye ndiye atakayejua jinsi ya kuvuka ng'ambo."
Kadogo alikuwa ameketi juu ya pembe za fahali. Alisema, "Niko hapa, ndugu zangu. Ninajua la kufanya. Nipeni ukambaa." Ndugu zake walimpatia ukambaa. Kadogo aliufunga ukambaa upande mmoja wa mti. Kisha akwaambia nduguze, "Ushikeni ukambaa huu mvuke mto. Mtakuwa salama."
Mmoja baada ya mwingine, ndugu wale waliushika ukambaa wakavuka mto. Fahali waliogelea mbele yao. "Sasa tuko mbali na adui wetu. Tunaweza kuwachinja fahali," Kadogo alisema. Wale ndugu waliwachinja fahali wakazigawa nyama mafungu saba kila mmoja na lake.
Kadogo aliwauliza, "Li wapi fungu langu?" Nduguze walicheka wakasema, "Fungu lako? Wewe ni mdogo sana. Huwezi kula nyama hii. Kadogo, wewe huna nyama." Kadogo alikasirika mno akawaza, "Nitawaadhibu kwa kunitendea hivi." Aliwaambia, "Ikiwa hamtanipa nyama, nipeni kibofu cha fahali mmoja."
Ndugu hao walimtupia Kadogo kibofu na wakaondoka. Kadogo alikichukua kile kibofu, akakimbia mbele ya nduguze. Alipanda mti uliokuwa karibu na njia waliyopitia. Kadogo aliufunga upande mmoja wa kibofu kisha akakipuliza hadi kikawa kama mpira. Akakichukua kijiti akaanza kukipiga kile kibofu.
Alipokuwa akikipiga kile kibofu, Kadogo alisema, "Tafadhali bwana, sikuwaiba fahali wako. Ni ndugu zangu waliowaiba. Wamewaua fahali wako na kuzigawanya nyama!" Nduguze Kadogo walilia, "Adui wetu ametufuata. Atatuadhibu!" Kisha wakatoroka.
Kadogo alishuka kutoka mtini huku akitabasamu. "Nyama yote itakuwa yangu sasa," alisema.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kadogo na nduguze Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | mtu na mke walikuwa na watoto wangapi | {
"text": [
"saba"
]
} |
2252_swa | Kadogo na nduguze
Hapo zamani za kale, mtu na mkewe walikuwa na watoto wa kiume saba wajinga. Watoto hao waliipoteza mifugo, walivunja jembe, na kila mtu aliwadanganya walipokuwa sokoni.
Mama yao aliomba, "Ee Mungu, mbona watoto wangu wote ni wajinga? Tafadhali, nipe angaa mtoto mmoja mwenye hekima."
Mwanamke huyo alijifungua mtoto mvulana. Mtoto huyo alikuwa mdogo mno. "Tutamwita Kadogo," mama akasema.
Kadogo hakukua kimo bali aliongezeka umri. Alikuwa mwerevu sana. Wazazi wake walimpenda lakini, nduguze walimwonea wivu. "Mbona wazazi wetu wanakupenda wewe zaidi yetu sisi?" Walimwuliza Kadogo. "Hebu jitazame! Wewe ni mdogo kama panya."
Kulikuwa na adui aliyeishi karibu na familia ya Kadogo. Siku moja, nduguze Kadogo waliwaza, "Adui yetu ana ng'ombe wengi wanono. Usiku wa leo twendeni tukawaibe fahali wawili. Tutamtumia punda wa baba kubeba nyama zote." Hawakumwona Kadogo kwa sababu alikuwa nyuma ya kigoda cha baba yao.
Usiku huo, nduguze Kadogo walimchukua punda wakaenda kwa adui yao. Kadogo aliwafuata mbio ila hawakumwona.
Walipofika kwa adui, lango lilikuwa limefungwa. Ndugu hao hawakuweza kuingia ndani. Mmoja wao akasema, "Heri tusingemuacha Kadogo nyumbani. Yeye ni mwerevu na angeweza kuingia ndani." Hawakuwa wamemwona Kadogo kwa sababu alikuwa amejificha.
Kadogo alijitambulisha, "Ndugu zangu, sikubaki nyumbani. Nisubirini hapa nami nitaingia ndani niufungue mlango. Nitawaelekeza fahali wote kwenu." Ndugu wa tatu aliuliza, "Utaingiaje ilhali lango limefungwa?"
Kadogo alicheka akasema, "Tazama, kuna mlango unaonitosha mimi." Nduguze walipotazama, waliona nafasi ndogo karibu na lango. Ni nafasi iliyotosha paka pekee, lakini Kadogo aliweza kupita.
Kadogo alipenya kwenye nafais hiyo. Alipanda juu ya lango na kulifungua. Aliwaongoza fahali kutoka nje bila tatizo. Alisema, "Nendeni, fahali wangu wazuri! Nendeni nje!"
Mmoja wa nduguze adui alikuwa amelala katika chumba chake. Mbwa waliokuwa macho walianza kubweka walipomsikia Kadogo. Bwana wao aliamka na kuuliza, "Kunaendelea nini hapa?"
Kadogo alipomwona, alijifanya kuwa mmoja wa wafanyakazi. "Usiwe na wasiwasi, bwana mkubwa. Fahali wetu wawili walikuwa wamepotea. Sasa ninawarejesha," alisema. Bwana yule alikasirika akasema, "Wacha kupiga kelele. Tunataka kulala." Alirudi chumbani kwake, akaufunga mlango.
Kadogo aliwaongoza wale fahali wawili nje. Nduguze walifurahi sana. "Tazama fahali hawa ni wanono! Hebu tuwachinje tule nyama sasa," walisema. Kadogo alijibu, "Adui wetu akituskika atatoka nje tena. Lazima tuvuke mto tuwapeleke mbali."
Kadogo na nduguze waliwapeleka fahali mbali na nyumba ya adui. Walipofika kwenye mto, wale ndugu saba walitazama maji kisha wakatikisa vichwa vyao. "Hatuwezi kuuvuka mto huu. Maji haya ni mengi na hatujui kuogelea. Kadogo yuko wapi? Yeye ndiye atakayejua jinsi ya kuvuka ng'ambo."
Kadogo alikuwa ameketi juu ya pembe za fahali. Alisema, "Niko hapa, ndugu zangu. Ninajua la kufanya. Nipeni ukambaa." Ndugu zake walimpatia ukambaa. Kadogo aliufunga ukambaa upande mmoja wa mti. Kisha akwaambia nduguze, "Ushikeni ukambaa huu mvuke mto. Mtakuwa salama."
Mmoja baada ya mwingine, ndugu wale waliushika ukambaa wakavuka mto. Fahali waliogelea mbele yao. "Sasa tuko mbali na adui wetu. Tunaweza kuwachinja fahali," Kadogo alisema. Wale ndugu waliwachinja fahali wakazigawa nyama mafungu saba kila mmoja na lake.
Kadogo aliwauliza, "Li wapi fungu langu?" Nduguze walicheka wakasema, "Fungu lako? Wewe ni mdogo sana. Huwezi kula nyama hii. Kadogo, wewe huna nyama." Kadogo alikasirika mno akawaza, "Nitawaadhibu kwa kunitendea hivi." Aliwaambia, "Ikiwa hamtanipa nyama, nipeni kibofu cha fahali mmoja."
Ndugu hao walimtupia Kadogo kibofu na wakaondoka. Kadogo alikichukua kile kibofu, akakimbia mbele ya nduguze. Alipanda mti uliokuwa karibu na njia waliyopitia. Kadogo aliufunga upande mmoja wa kibofu kisha akakipuliza hadi kikawa kama mpira. Akakichukua kijiti akaanza kukipiga kile kibofu.
Alipokuwa akikipiga kile kibofu, Kadogo alisema, "Tafadhali bwana, sikuwaiba fahali wako. Ni ndugu zangu waliowaiba. Wamewaua fahali wako na kuzigawanya nyama!" Nduguze Kadogo walilia, "Adui wetu ametufuata. Atatuadhibu!" Kisha wakatoroka.
Kadogo alishuka kutoka mtini huku akitabasamu. "Nyama yote itakuwa yangu sasa," alisema.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kadogo na nduguze Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | nani alikuwa mwerevu sana | {
"text": [
"kadogo"
]
} |
2252_swa | Kadogo na nduguze
Hapo zamani za kale, mtu na mkewe walikuwa na watoto wa kiume saba wajinga. Watoto hao waliipoteza mifugo, walivunja jembe, na kila mtu aliwadanganya walipokuwa sokoni.
Mama yao aliomba, "Ee Mungu, mbona watoto wangu wote ni wajinga? Tafadhali, nipe angaa mtoto mmoja mwenye hekima."
Mwanamke huyo alijifungua mtoto mvulana. Mtoto huyo alikuwa mdogo mno. "Tutamwita Kadogo," mama akasema.
Kadogo hakukua kimo bali aliongezeka umri. Alikuwa mwerevu sana. Wazazi wake walimpenda lakini, nduguze walimwonea wivu. "Mbona wazazi wetu wanakupenda wewe zaidi yetu sisi?" Walimwuliza Kadogo. "Hebu jitazame! Wewe ni mdogo kama panya."
Kulikuwa na adui aliyeishi karibu na familia ya Kadogo. Siku moja, nduguze Kadogo waliwaza, "Adui yetu ana ng'ombe wengi wanono. Usiku wa leo twendeni tukawaibe fahali wawili. Tutamtumia punda wa baba kubeba nyama zote." Hawakumwona Kadogo kwa sababu alikuwa nyuma ya kigoda cha baba yao.
Usiku huo, nduguze Kadogo walimchukua punda wakaenda kwa adui yao. Kadogo aliwafuata mbio ila hawakumwona.
Walipofika kwa adui, lango lilikuwa limefungwa. Ndugu hao hawakuweza kuingia ndani. Mmoja wao akasema, "Heri tusingemuacha Kadogo nyumbani. Yeye ni mwerevu na angeweza kuingia ndani." Hawakuwa wamemwona Kadogo kwa sababu alikuwa amejificha.
Kadogo alijitambulisha, "Ndugu zangu, sikubaki nyumbani. Nisubirini hapa nami nitaingia ndani niufungue mlango. Nitawaelekeza fahali wote kwenu." Ndugu wa tatu aliuliza, "Utaingiaje ilhali lango limefungwa?"
Kadogo alicheka akasema, "Tazama, kuna mlango unaonitosha mimi." Nduguze walipotazama, waliona nafasi ndogo karibu na lango. Ni nafasi iliyotosha paka pekee, lakini Kadogo aliweza kupita.
Kadogo alipenya kwenye nafais hiyo. Alipanda juu ya lango na kulifungua. Aliwaongoza fahali kutoka nje bila tatizo. Alisema, "Nendeni, fahali wangu wazuri! Nendeni nje!"
Mmoja wa nduguze adui alikuwa amelala katika chumba chake. Mbwa waliokuwa macho walianza kubweka walipomsikia Kadogo. Bwana wao aliamka na kuuliza, "Kunaendelea nini hapa?"
Kadogo alipomwona, alijifanya kuwa mmoja wa wafanyakazi. "Usiwe na wasiwasi, bwana mkubwa. Fahali wetu wawili walikuwa wamepotea. Sasa ninawarejesha," alisema. Bwana yule alikasirika akasema, "Wacha kupiga kelele. Tunataka kulala." Alirudi chumbani kwake, akaufunga mlango.
Kadogo aliwaongoza wale fahali wawili nje. Nduguze walifurahi sana. "Tazama fahali hawa ni wanono! Hebu tuwachinje tule nyama sasa," walisema. Kadogo alijibu, "Adui wetu akituskika atatoka nje tena. Lazima tuvuke mto tuwapeleke mbali."
Kadogo na nduguze waliwapeleka fahali mbali na nyumba ya adui. Walipofika kwenye mto, wale ndugu saba walitazama maji kisha wakatikisa vichwa vyao. "Hatuwezi kuuvuka mto huu. Maji haya ni mengi na hatujui kuogelea. Kadogo yuko wapi? Yeye ndiye atakayejua jinsi ya kuvuka ng'ambo."
Kadogo alikuwa ameketi juu ya pembe za fahali. Alisema, "Niko hapa, ndugu zangu. Ninajua la kufanya. Nipeni ukambaa." Ndugu zake walimpatia ukambaa. Kadogo aliufunga ukambaa upande mmoja wa mti. Kisha akwaambia nduguze, "Ushikeni ukambaa huu mvuke mto. Mtakuwa salama."
Mmoja baada ya mwingine, ndugu wale waliushika ukambaa wakavuka mto. Fahali waliogelea mbele yao. "Sasa tuko mbali na adui wetu. Tunaweza kuwachinja fahali," Kadogo alisema. Wale ndugu waliwachinja fahali wakazigawa nyama mafungu saba kila mmoja na lake.
Kadogo aliwauliza, "Li wapi fungu langu?" Nduguze walicheka wakasema, "Fungu lako? Wewe ni mdogo sana. Huwezi kula nyama hii. Kadogo, wewe huna nyama." Kadogo alikasirika mno akawaza, "Nitawaadhibu kwa kunitendea hivi." Aliwaambia, "Ikiwa hamtanipa nyama, nipeni kibofu cha fahali mmoja."
Ndugu hao walimtupia Kadogo kibofu na wakaondoka. Kadogo alikichukua kile kibofu, akakimbia mbele ya nduguze. Alipanda mti uliokuwa karibu na njia waliyopitia. Kadogo aliufunga upande mmoja wa kibofu kisha akakipuliza hadi kikawa kama mpira. Akakichukua kijiti akaanza kukipiga kile kibofu.
Alipokuwa akikipiga kile kibofu, Kadogo alisema, "Tafadhali bwana, sikuwaiba fahali wako. Ni ndugu zangu waliowaiba. Wamewaua fahali wako na kuzigawanya nyama!" Nduguze Kadogo walilia, "Adui wetu ametufuata. Atatuadhibu!" Kisha wakatoroka.
Kadogo alishuka kutoka mtini huku akitabasamu. "Nyama yote itakuwa yangu sasa," alisema.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kadogo na nduguze Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | mbona hawakumwona kadogo | {
"text": [
"kwa sababu alikuwa nyuma ya kigoda cha baba yao"
]
} |
2252_swa | Kadogo na nduguze
Hapo zamani za kale, mtu na mkewe walikuwa na watoto wa kiume saba wajinga. Watoto hao waliipoteza mifugo, walivunja jembe, na kila mtu aliwadanganya walipokuwa sokoni.
Mama yao aliomba, "Ee Mungu, mbona watoto wangu wote ni wajinga? Tafadhali, nipe angaa mtoto mmoja mwenye hekima."
Mwanamke huyo alijifungua mtoto mvulana. Mtoto huyo alikuwa mdogo mno. "Tutamwita Kadogo," mama akasema.
Kadogo hakukua kimo bali aliongezeka umri. Alikuwa mwerevu sana. Wazazi wake walimpenda lakini, nduguze walimwonea wivu. "Mbona wazazi wetu wanakupenda wewe zaidi yetu sisi?" Walimwuliza Kadogo. "Hebu jitazame! Wewe ni mdogo kama panya."
Kulikuwa na adui aliyeishi karibu na familia ya Kadogo. Siku moja, nduguze Kadogo waliwaza, "Adui yetu ana ng'ombe wengi wanono. Usiku wa leo twendeni tukawaibe fahali wawili. Tutamtumia punda wa baba kubeba nyama zote." Hawakumwona Kadogo kwa sababu alikuwa nyuma ya kigoda cha baba yao.
Usiku huo, nduguze Kadogo walimchukua punda wakaenda kwa adui yao. Kadogo aliwafuata mbio ila hawakumwona.
Walipofika kwa adui, lango lilikuwa limefungwa. Ndugu hao hawakuweza kuingia ndani. Mmoja wao akasema, "Heri tusingemuacha Kadogo nyumbani. Yeye ni mwerevu na angeweza kuingia ndani." Hawakuwa wamemwona Kadogo kwa sababu alikuwa amejificha.
Kadogo alijitambulisha, "Ndugu zangu, sikubaki nyumbani. Nisubirini hapa nami nitaingia ndani niufungue mlango. Nitawaelekeza fahali wote kwenu." Ndugu wa tatu aliuliza, "Utaingiaje ilhali lango limefungwa?"
Kadogo alicheka akasema, "Tazama, kuna mlango unaonitosha mimi." Nduguze walipotazama, waliona nafasi ndogo karibu na lango. Ni nafasi iliyotosha paka pekee, lakini Kadogo aliweza kupita.
Kadogo alipenya kwenye nafais hiyo. Alipanda juu ya lango na kulifungua. Aliwaongoza fahali kutoka nje bila tatizo. Alisema, "Nendeni, fahali wangu wazuri! Nendeni nje!"
Mmoja wa nduguze adui alikuwa amelala katika chumba chake. Mbwa waliokuwa macho walianza kubweka walipomsikia Kadogo. Bwana wao aliamka na kuuliza, "Kunaendelea nini hapa?"
Kadogo alipomwona, alijifanya kuwa mmoja wa wafanyakazi. "Usiwe na wasiwasi, bwana mkubwa. Fahali wetu wawili walikuwa wamepotea. Sasa ninawarejesha," alisema. Bwana yule alikasirika akasema, "Wacha kupiga kelele. Tunataka kulala." Alirudi chumbani kwake, akaufunga mlango.
Kadogo aliwaongoza wale fahali wawili nje. Nduguze walifurahi sana. "Tazama fahali hawa ni wanono! Hebu tuwachinje tule nyama sasa," walisema. Kadogo alijibu, "Adui wetu akituskika atatoka nje tena. Lazima tuvuke mto tuwapeleke mbali."
Kadogo na nduguze waliwapeleka fahali mbali na nyumba ya adui. Walipofika kwenye mto, wale ndugu saba walitazama maji kisha wakatikisa vichwa vyao. "Hatuwezi kuuvuka mto huu. Maji haya ni mengi na hatujui kuogelea. Kadogo yuko wapi? Yeye ndiye atakayejua jinsi ya kuvuka ng'ambo."
Kadogo alikuwa ameketi juu ya pembe za fahali. Alisema, "Niko hapa, ndugu zangu. Ninajua la kufanya. Nipeni ukambaa." Ndugu zake walimpatia ukambaa. Kadogo aliufunga ukambaa upande mmoja wa mti. Kisha akwaambia nduguze, "Ushikeni ukambaa huu mvuke mto. Mtakuwa salama."
Mmoja baada ya mwingine, ndugu wale waliushika ukambaa wakavuka mto. Fahali waliogelea mbele yao. "Sasa tuko mbali na adui wetu. Tunaweza kuwachinja fahali," Kadogo alisema. Wale ndugu waliwachinja fahali wakazigawa nyama mafungu saba kila mmoja na lake.
Kadogo aliwauliza, "Li wapi fungu langu?" Nduguze walicheka wakasema, "Fungu lako? Wewe ni mdogo sana. Huwezi kula nyama hii. Kadogo, wewe huna nyama." Kadogo alikasirika mno akawaza, "Nitawaadhibu kwa kunitendea hivi." Aliwaambia, "Ikiwa hamtanipa nyama, nipeni kibofu cha fahali mmoja."
Ndugu hao walimtupia Kadogo kibofu na wakaondoka. Kadogo alikichukua kile kibofu, akakimbia mbele ya nduguze. Alipanda mti uliokuwa karibu na njia waliyopitia. Kadogo aliufunga upande mmoja wa kibofu kisha akakipuliza hadi kikawa kama mpira. Akakichukua kijiti akaanza kukipiga kile kibofu.
Alipokuwa akikipiga kile kibofu, Kadogo alisema, "Tafadhali bwana, sikuwaiba fahali wako. Ni ndugu zangu waliowaiba. Wamewaua fahali wako na kuzigawanya nyama!" Nduguze Kadogo walilia, "Adui wetu ametufuata. Atatuadhibu!" Kisha wakatoroka.
Kadogo alishuka kutoka mtini huku akitabasamu. "Nyama yote itakuwa yangu sasa," alisema.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kadogo na nduguze Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | ndugu waligawa nyama mafungu mangapi | {
"text": [
"saba"
]
} |
2252_swa | Kadogo na nduguze
Hapo zamani za kale, mtu na mkewe walikuwa na watoto wa kiume saba wajinga. Watoto hao waliipoteza mifugo, walivunja jembe, na kila mtu aliwadanganya walipokuwa sokoni.
Mama yao aliomba, "Ee Mungu, mbona watoto wangu wote ni wajinga? Tafadhali, nipe angaa mtoto mmoja mwenye hekima."
Mwanamke huyo alijifungua mtoto mvulana. Mtoto huyo alikuwa mdogo mno. "Tutamwita Kadogo," mama akasema.
Kadogo hakukua kimo bali aliongezeka umri. Alikuwa mwerevu sana. Wazazi wake walimpenda lakini, nduguze walimwonea wivu. "Mbona wazazi wetu wanakupenda wewe zaidi yetu sisi?" Walimwuliza Kadogo. "Hebu jitazame! Wewe ni mdogo kama panya."
Kulikuwa na adui aliyeishi karibu na familia ya Kadogo. Siku moja, nduguze Kadogo waliwaza, "Adui yetu ana ng'ombe wengi wanono. Usiku wa leo twendeni tukawaibe fahali wawili. Tutamtumia punda wa baba kubeba nyama zote." Hawakumwona Kadogo kwa sababu alikuwa nyuma ya kigoda cha baba yao.
Usiku huo, nduguze Kadogo walimchukua punda wakaenda kwa adui yao. Kadogo aliwafuata mbio ila hawakumwona.
Walipofika kwa adui, lango lilikuwa limefungwa. Ndugu hao hawakuweza kuingia ndani. Mmoja wao akasema, "Heri tusingemuacha Kadogo nyumbani. Yeye ni mwerevu na angeweza kuingia ndani." Hawakuwa wamemwona Kadogo kwa sababu alikuwa amejificha.
Kadogo alijitambulisha, "Ndugu zangu, sikubaki nyumbani. Nisubirini hapa nami nitaingia ndani niufungue mlango. Nitawaelekeza fahali wote kwenu." Ndugu wa tatu aliuliza, "Utaingiaje ilhali lango limefungwa?"
Kadogo alicheka akasema, "Tazama, kuna mlango unaonitosha mimi." Nduguze walipotazama, waliona nafasi ndogo karibu na lango. Ni nafasi iliyotosha paka pekee, lakini Kadogo aliweza kupita.
Kadogo alipenya kwenye nafais hiyo. Alipanda juu ya lango na kulifungua. Aliwaongoza fahali kutoka nje bila tatizo. Alisema, "Nendeni, fahali wangu wazuri! Nendeni nje!"
Mmoja wa nduguze adui alikuwa amelala katika chumba chake. Mbwa waliokuwa macho walianza kubweka walipomsikia Kadogo. Bwana wao aliamka na kuuliza, "Kunaendelea nini hapa?"
Kadogo alipomwona, alijifanya kuwa mmoja wa wafanyakazi. "Usiwe na wasiwasi, bwana mkubwa. Fahali wetu wawili walikuwa wamepotea. Sasa ninawarejesha," alisema. Bwana yule alikasirika akasema, "Wacha kupiga kelele. Tunataka kulala." Alirudi chumbani kwake, akaufunga mlango.
Kadogo aliwaongoza wale fahali wawili nje. Nduguze walifurahi sana. "Tazama fahali hawa ni wanono! Hebu tuwachinje tule nyama sasa," walisema. Kadogo alijibu, "Adui wetu akituskika atatoka nje tena. Lazima tuvuke mto tuwapeleke mbali."
Kadogo na nduguze waliwapeleka fahali mbali na nyumba ya adui. Walipofika kwenye mto, wale ndugu saba walitazama maji kisha wakatikisa vichwa vyao. "Hatuwezi kuuvuka mto huu. Maji haya ni mengi na hatujui kuogelea. Kadogo yuko wapi? Yeye ndiye atakayejua jinsi ya kuvuka ng'ambo."
Kadogo alikuwa ameketi juu ya pembe za fahali. Alisema, "Niko hapa, ndugu zangu. Ninajua la kufanya. Nipeni ukambaa." Ndugu zake walimpatia ukambaa. Kadogo aliufunga ukambaa upande mmoja wa mti. Kisha akwaambia nduguze, "Ushikeni ukambaa huu mvuke mto. Mtakuwa salama."
Mmoja baada ya mwingine, ndugu wale waliushika ukambaa wakavuka mto. Fahali waliogelea mbele yao. "Sasa tuko mbali na adui wetu. Tunaweza kuwachinja fahali," Kadogo alisema. Wale ndugu waliwachinja fahali wakazigawa nyama mafungu saba kila mmoja na lake.
Kadogo aliwauliza, "Li wapi fungu langu?" Nduguze walicheka wakasema, "Fungu lako? Wewe ni mdogo sana. Huwezi kula nyama hii. Kadogo, wewe huna nyama." Kadogo alikasirika mno akawaza, "Nitawaadhibu kwa kunitendea hivi." Aliwaambia, "Ikiwa hamtanipa nyama, nipeni kibofu cha fahali mmoja."
Ndugu hao walimtupia Kadogo kibofu na wakaondoka. Kadogo alikichukua kile kibofu, akakimbia mbele ya nduguze. Alipanda mti uliokuwa karibu na njia waliyopitia. Kadogo aliufunga upande mmoja wa kibofu kisha akakipuliza hadi kikawa kama mpira. Akakichukua kijiti akaanza kukipiga kile kibofu.
Alipokuwa akikipiga kile kibofu, Kadogo alisema, "Tafadhali bwana, sikuwaiba fahali wako. Ni ndugu zangu waliowaiba. Wamewaua fahali wako na kuzigawanya nyama!" Nduguze Kadogo walilia, "Adui wetu ametufuata. Atatuadhibu!" Kisha wakatoroka.
Kadogo alishuka kutoka mtini huku akitabasamu. "Nyama yote itakuwa yangu sasa," alisema.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kadogo na nduguze Author - Magabi Eynew Gessesse and Elizabeth Laird Translation - Brigid Simiyu Illustration - Vusi Malindi Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.ethiopianfolktales.com | mbwa waliokuwa macho walifanya nini | {
"text": [
"walianza kubweka"
]
} |
2253_swa | Kalabushe na Fisi
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Kalabushe. Alipenda kuongea sana.
Siku moja, shangazi yake alikuwa mgonjwa. Aliishi peke yake.
Mama aliporudi jioni alisema, "Kalabushe, mpelekee shangazi yako chakula."
Kalabushe alikutana na fisi. Alikuwa amebadilika kuwa mtu.
Fisi alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nyama, mayai na maziwa."
Fisi alitamani nyama. Alilamba midomo yake. Alipanga jinsi ya kuipata.
Fisi alikimbia mbele ya Kalabushe. Aliingia kwa shangazi akajificha.
Alimmeza shangazi kisha akajifunika blanketi lake. Akamsubiri Kalabushe.
Kalabuse alipofika, aliita, "Shangazi, uko wapi?" Shangazi hakumjibu.
Kalabushe alimwona mtu aliyejifunika blanketi. Alitaka kujua.
Aliuliza, "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa?" "Ili nikusikie."
Aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa?" "Ili nikuone."
"Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa?" Papo hapo, Fisi alimmeza.
Kalabushe aliendelea kuuliza maswali akiwa mle tumboni.
Fisi alichoshwa na maswali ya Kalabushe. Alimtema nje.
Kalabushe na shangazi waliokolewa na wanakijiji. Kalabushe alipata funzo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe na Fisi Author - Gaspah Juma Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kalabushe alipenda kufanya nini sana? | {
"text": [
"Kuongea"
]
} |
2253_swa | Kalabushe na Fisi
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Kalabushe. Alipenda kuongea sana.
Siku moja, shangazi yake alikuwa mgonjwa. Aliishi peke yake.
Mama aliporudi jioni alisema, "Kalabushe, mpelekee shangazi yako chakula."
Kalabushe alikutana na fisi. Alikuwa amebadilika kuwa mtu.
Fisi alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nyama, mayai na maziwa."
Fisi alitamani nyama. Alilamba midomo yake. Alipanga jinsi ya kuipata.
Fisi alikimbia mbele ya Kalabushe. Aliingia kwa shangazi akajificha.
Alimmeza shangazi kisha akajifunika blanketi lake. Akamsubiri Kalabushe.
Kalabuse alipofika, aliita, "Shangazi, uko wapi?" Shangazi hakumjibu.
Kalabushe alimwona mtu aliyejifunika blanketi. Alitaka kujua.
Aliuliza, "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa?" "Ili nikusikie."
Aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa?" "Ili nikuone."
"Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa?" Papo hapo, Fisi alimmeza.
Kalabushe aliendelea kuuliza maswali akiwa mle tumboni.
Fisi alichoshwa na maswali ya Kalabushe. Alimtema nje.
Kalabushe na shangazi waliokolewa na wanakijiji. Kalabushe alipata funzo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe na Fisi Author - Gaspah Juma Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Shangazi yake Kalabushe aliishi na kina nani? | {
"text": [
"Pekee"
]
} |
2253_swa | Kalabushe na Fisi
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Kalabushe. Alipenda kuongea sana.
Siku moja, shangazi yake alikuwa mgonjwa. Aliishi peke yake.
Mama aliporudi jioni alisema, "Kalabushe, mpelekee shangazi yako chakula."
Kalabushe alikutana na fisi. Alikuwa amebadilika kuwa mtu.
Fisi alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nyama, mayai na maziwa."
Fisi alitamani nyama. Alilamba midomo yake. Alipanga jinsi ya kuipata.
Fisi alikimbia mbele ya Kalabushe. Aliingia kwa shangazi akajificha.
Alimmeza shangazi kisha akajifunika blanketi lake. Akamsubiri Kalabushe.
Kalabuse alipofika, aliita, "Shangazi, uko wapi?" Shangazi hakumjibu.
Kalabushe alimwona mtu aliyejifunika blanketi. Alitaka kujua.
Aliuliza, "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa?" "Ili nikusikie."
Aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa?" "Ili nikuone."
"Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa?" Papo hapo, Fisi alimmeza.
Kalabushe aliendelea kuuliza maswali akiwa mle tumboni.
Fisi alichoshwa na maswali ya Kalabushe. Alimtema nje.
Kalabushe na shangazi waliokolewa na wanakijiji. Kalabushe alipata funzo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe na Fisi Author - Gaspah Juma Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kalabushe alipatana na nani njiani? | {
"text": [
"Fisi"
]
} |
2253_swa | Kalabushe na Fisi
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Kalabushe. Alipenda kuongea sana.
Siku moja, shangazi yake alikuwa mgonjwa. Aliishi peke yake.
Mama aliporudi jioni alisema, "Kalabushe, mpelekee shangazi yako chakula."
Kalabushe alikutana na fisi. Alikuwa amebadilika kuwa mtu.
Fisi alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nyama, mayai na maziwa."
Fisi alitamani nyama. Alilamba midomo yake. Alipanga jinsi ya kuipata.
Fisi alikimbia mbele ya Kalabushe. Aliingia kwa shangazi akajificha.
Alimmeza shangazi kisha akajifunika blanketi lake. Akamsubiri Kalabushe.
Kalabuse alipofika, aliita, "Shangazi, uko wapi?" Shangazi hakumjibu.
Kalabushe alimwona mtu aliyejifunika blanketi. Alitaka kujua.
Aliuliza, "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa?" "Ili nikusikie."
Aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa?" "Ili nikuone."
"Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa?" Papo hapo, Fisi alimmeza.
Kalabushe aliendelea kuuliza maswali akiwa mle tumboni.
Fisi alichoshwa na maswali ya Kalabushe. Alimtema nje.
Kalabushe na shangazi waliokolewa na wanakijiji. Kalabushe alipata funzo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe na Fisi Author - Gaspah Juma Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Fisi alitamani nini alichokibeba Kalabushe? | {
"text": [
"Nyama"
]
} |
2253_swa | Kalabushe na Fisi
Kulikuwa na msichana aliyeitwa Kalabushe. Alipenda kuongea sana.
Siku moja, shangazi yake alikuwa mgonjwa. Aliishi peke yake.
Mama aliporudi jioni alisema, "Kalabushe, mpelekee shangazi yako chakula."
Kalabushe alikutana na fisi. Alikuwa amebadilika kuwa mtu.
Fisi alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nyama, mayai na maziwa."
Fisi alitamani nyama. Alilamba midomo yake. Alipanga jinsi ya kuipata.
Fisi alikimbia mbele ya Kalabushe. Aliingia kwa shangazi akajificha.
Alimmeza shangazi kisha akajifunika blanketi lake. Akamsubiri Kalabushe.
Kalabuse alipofika, aliita, "Shangazi, uko wapi?" Shangazi hakumjibu.
Kalabushe alimwona mtu aliyejifunika blanketi. Alitaka kujua.
Aliuliza, "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa?" "Ili nikusikie."
Aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa?" "Ili nikuone."
"Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa?" Papo hapo, Fisi alimmeza.
Kalabushe aliendelea kuuliza maswali akiwa mle tumboni.
Fisi alichoshwa na maswali ya Kalabushe. Alimtema nje.
Kalabushe na shangazi waliokolewa na wanakijiji. Kalabushe alipata funzo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe na Fisi Author - Gaspah Juma Translation - Brigid Simiyu Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First words © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Fisi alimmeza nani kisha akajifunika blanketi? | {
"text": [
"Shangaziye"
]
} |
2254_swa | Kato Mwakili, na Shida Kubwa
Kulikuwa na mti mkubwa katika bustani ndogo jijini. Wanyama wengi waliishi pamoja juu ya mti huo. Paliishi pia jamii ya vichakuro. Viki alikuwa mmoja wao na alipenda kuongea mambo makubwa. Binamuye, Kato kutoka Msitu wa Mbali, alikuwa amekuja kumtembelea.
Jioni moja, wanyama wote walioishi katika ile bustani ndogo walienda kulala. Mara walisikia sauti kubwa ikitoka kwenye uwanja uliokuwa karibu.
Kato na vichakuro wengine waliona mashine kubwa ya manjano. Waliona pia wanaume waliovalia kofia ngumu za manjano. Walikuwa wakionyesha kwa vidole ile bustani ndogo na nyumba zilizokuwa upande mwingine wa barabara. Walinuia kuzivunja vunja zote kisha wajenge uwanja wa kuegesha magari.
Watu walioishi pale wangehamia nyumba zingine. Lakini hakuna aliyefikiria juu ya wanyama, ndege na wadudu walioishi katika ile bustani ndogo.
Walioziona mashine hiyo kwanza walikuwa familia ya fugo, hasa Bwana Popules, mkubwa kwa umri. Naye alimwelezea Bwana Mopules, ambaye alimwelezea mdogo wao, Pipules Mdogo.
Walipokuwa wachanga, waliitwa Pop, Mop na Pip.
Kulikiwa na vurumai, kukimbia kwingi, kuruka huku na huko bila yeyote kujua la kufanya. Wapi kwa kwenda? Watoto wa vipepeo walisema, "Hebu tutafute majani." Vipepeo wakasema, "Tunataka maua." Panya wadogo walitaka mashimo. Fugo walitaka kujilimia mashimo yao.
Vichakuro, ndege na wadudu walitaka miti, vichaka na nyasi. "Tutapata wapi hii yote? Bila shaka tutakufa," walisema kisha wakalia kwa uchungu."
Mjombake Kato na shangaziye walikuwa kimya sana na vichakuro wote wadogo walisonga karibu na mamao. Kato alisafisha koo na kuanza kuongea huku akiona haya, "Naishi katika Msitu wa Mbali, labda tunaweza kwenda sote huko." Kulikuwa na sauti za mchangamko na mmoja akasema, "Vipi?"
Kato alikuna kichwa na kuwaza sana, "Sawa, 'Kichakuro ya Moja kwa Moja', inaweza kuwapeleka vichakuro na vipepeo, buibui, watoto wa vipepeo na wadudu wote. Ndege wanaweza kuruka au waje nasi. Fugo nao pamoja na panya wadogo na nyoka wanaweza kutumia 'Fugo ya Moja kwa Moja' ipitiayo chini kwa chini. Kila mmoja alifikiria kuwa hilo lilikuwa wazo zuri kabisa."
Bwana Popules aliharakisha kumwuliza dereva wa treni ya moja kwa moja ya chini kwa chini ikiwa angeweza kuwabeba wote hadi Msitu wa Mbali. Dereva alibabaika, akagugumia kabla ya kusema, "Sawa." Sasa ilikuwa zamu ya Bwana Popules kuwa mwungwana. "Marafiki, hamna haja ya kuwa na wasiwasi."
Kwa hivyo, wakati wa saa za asubuhi, 'Kichakuro Moja kwa Moja' na treni aina ya 'Fugo ya chini kwa chini' pamoja na abiria wote, iliendesha safari yake ya kuelekea Msitu wa Mbali ulio na miti, maua, vidimbwi na ardhi nyororo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kato Mwakili, na Shida Kubwa Author - Herminder Ohri Translation - Brigid Simiyu Illustration - Herminder Ohri Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Kulikuwa na nini katika bustani ndogo jijini | {
"text": [
"mti mkubwa"
]
} |
2254_swa | Kato Mwakili, na Shida Kubwa
Kulikuwa na mti mkubwa katika bustani ndogo jijini. Wanyama wengi waliishi pamoja juu ya mti huo. Paliishi pia jamii ya vichakuro. Viki alikuwa mmoja wao na alipenda kuongea mambo makubwa. Binamuye, Kato kutoka Msitu wa Mbali, alikuwa amekuja kumtembelea.
Jioni moja, wanyama wote walioishi katika ile bustani ndogo walienda kulala. Mara walisikia sauti kubwa ikitoka kwenye uwanja uliokuwa karibu.
Kato na vichakuro wengine waliona mashine kubwa ya manjano. Waliona pia wanaume waliovalia kofia ngumu za manjano. Walikuwa wakionyesha kwa vidole ile bustani ndogo na nyumba zilizokuwa upande mwingine wa barabara. Walinuia kuzivunja vunja zote kisha wajenge uwanja wa kuegesha magari.
Watu walioishi pale wangehamia nyumba zingine. Lakini hakuna aliyefikiria juu ya wanyama, ndege na wadudu walioishi katika ile bustani ndogo.
Walioziona mashine hiyo kwanza walikuwa familia ya fugo, hasa Bwana Popules, mkubwa kwa umri. Naye alimwelezea Bwana Mopules, ambaye alimwelezea mdogo wao, Pipules Mdogo.
Walipokuwa wachanga, waliitwa Pop, Mop na Pip.
Kulikiwa na vurumai, kukimbia kwingi, kuruka huku na huko bila yeyote kujua la kufanya. Wapi kwa kwenda? Watoto wa vipepeo walisema, "Hebu tutafute majani." Vipepeo wakasema, "Tunataka maua." Panya wadogo walitaka mashimo. Fugo walitaka kujilimia mashimo yao.
Vichakuro, ndege na wadudu walitaka miti, vichaka na nyasi. "Tutapata wapi hii yote? Bila shaka tutakufa," walisema kisha wakalia kwa uchungu."
Mjombake Kato na shangaziye walikuwa kimya sana na vichakuro wote wadogo walisonga karibu na mamao. Kato alisafisha koo na kuanza kuongea huku akiona haya, "Naishi katika Msitu wa Mbali, labda tunaweza kwenda sote huko." Kulikuwa na sauti za mchangamko na mmoja akasema, "Vipi?"
Kato alikuna kichwa na kuwaza sana, "Sawa, 'Kichakuro ya Moja kwa Moja', inaweza kuwapeleka vichakuro na vipepeo, buibui, watoto wa vipepeo na wadudu wote. Ndege wanaweza kuruka au waje nasi. Fugo nao pamoja na panya wadogo na nyoka wanaweza kutumia 'Fugo ya Moja kwa Moja' ipitiayo chini kwa chini. Kila mmoja alifikiria kuwa hilo lilikuwa wazo zuri kabisa."
Bwana Popules aliharakisha kumwuliza dereva wa treni ya moja kwa moja ya chini kwa chini ikiwa angeweza kuwabeba wote hadi Msitu wa Mbali. Dereva alibabaika, akagugumia kabla ya kusema, "Sawa." Sasa ilikuwa zamu ya Bwana Popules kuwa mwungwana. "Marafiki, hamna haja ya kuwa na wasiwasi."
Kwa hivyo, wakati wa saa za asubuhi, 'Kichakuro Moja kwa Moja' na treni aina ya 'Fugo ya chini kwa chini' pamoja na abiria wote, iliendesha safari yake ya kuelekea Msitu wa Mbali ulio na miti, maua, vidimbwi na ardhi nyororo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kato Mwakili, na Shida Kubwa Author - Herminder Ohri Translation - Brigid Simiyu Illustration - Herminder Ohri Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Nani alikuja kumtembelea Viki | {
"text": [
"Binamuye Kato"
]
} |
2254_swa | Kato Mwakili, na Shida Kubwa
Kulikuwa na mti mkubwa katika bustani ndogo jijini. Wanyama wengi waliishi pamoja juu ya mti huo. Paliishi pia jamii ya vichakuro. Viki alikuwa mmoja wao na alipenda kuongea mambo makubwa. Binamuye, Kato kutoka Msitu wa Mbali, alikuwa amekuja kumtembelea.
Jioni moja, wanyama wote walioishi katika ile bustani ndogo walienda kulala. Mara walisikia sauti kubwa ikitoka kwenye uwanja uliokuwa karibu.
Kato na vichakuro wengine waliona mashine kubwa ya manjano. Waliona pia wanaume waliovalia kofia ngumu za manjano. Walikuwa wakionyesha kwa vidole ile bustani ndogo na nyumba zilizokuwa upande mwingine wa barabara. Walinuia kuzivunja vunja zote kisha wajenge uwanja wa kuegesha magari.
Watu walioishi pale wangehamia nyumba zingine. Lakini hakuna aliyefikiria juu ya wanyama, ndege na wadudu walioishi katika ile bustani ndogo.
Walioziona mashine hiyo kwanza walikuwa familia ya fugo, hasa Bwana Popules, mkubwa kwa umri. Naye alimwelezea Bwana Mopules, ambaye alimwelezea mdogo wao, Pipules Mdogo.
Walipokuwa wachanga, waliitwa Pop, Mop na Pip.
Kulikiwa na vurumai, kukimbia kwingi, kuruka huku na huko bila yeyote kujua la kufanya. Wapi kwa kwenda? Watoto wa vipepeo walisema, "Hebu tutafute majani." Vipepeo wakasema, "Tunataka maua." Panya wadogo walitaka mashimo. Fugo walitaka kujilimia mashimo yao.
Vichakuro, ndege na wadudu walitaka miti, vichaka na nyasi. "Tutapata wapi hii yote? Bila shaka tutakufa," walisema kisha wakalia kwa uchungu."
Mjombake Kato na shangaziye walikuwa kimya sana na vichakuro wote wadogo walisonga karibu na mamao. Kato alisafisha koo na kuanza kuongea huku akiona haya, "Naishi katika Msitu wa Mbali, labda tunaweza kwenda sote huko." Kulikuwa na sauti za mchangamko na mmoja akasema, "Vipi?"
Kato alikuna kichwa na kuwaza sana, "Sawa, 'Kichakuro ya Moja kwa Moja', inaweza kuwapeleka vichakuro na vipepeo, buibui, watoto wa vipepeo na wadudu wote. Ndege wanaweza kuruka au waje nasi. Fugo nao pamoja na panya wadogo na nyoka wanaweza kutumia 'Fugo ya Moja kwa Moja' ipitiayo chini kwa chini. Kila mmoja alifikiria kuwa hilo lilikuwa wazo zuri kabisa."
Bwana Popules aliharakisha kumwuliza dereva wa treni ya moja kwa moja ya chini kwa chini ikiwa angeweza kuwabeba wote hadi Msitu wa Mbali. Dereva alibabaika, akagugumia kabla ya kusema, "Sawa." Sasa ilikuwa zamu ya Bwana Popules kuwa mwungwana. "Marafiki, hamna haja ya kuwa na wasiwasi."
Kwa hivyo, wakati wa saa za asubuhi, 'Kichakuro Moja kwa Moja' na treni aina ya 'Fugo ya chini kwa chini' pamoja na abiria wote, iliendesha safari yake ya kuelekea Msitu wa Mbali ulio na miti, maua, vidimbwi na ardhi nyororo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kato Mwakili, na Shida Kubwa Author - Herminder Ohri Translation - Brigid Simiyu Illustration - Herminder Ohri Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Wanyama wote walisikia nini | {
"text": [
"sauti kubwa"
]
} |
2254_swa | Kato Mwakili, na Shida Kubwa
Kulikuwa na mti mkubwa katika bustani ndogo jijini. Wanyama wengi waliishi pamoja juu ya mti huo. Paliishi pia jamii ya vichakuro. Viki alikuwa mmoja wao na alipenda kuongea mambo makubwa. Binamuye, Kato kutoka Msitu wa Mbali, alikuwa amekuja kumtembelea.
Jioni moja, wanyama wote walioishi katika ile bustani ndogo walienda kulala. Mara walisikia sauti kubwa ikitoka kwenye uwanja uliokuwa karibu.
Kato na vichakuro wengine waliona mashine kubwa ya manjano. Waliona pia wanaume waliovalia kofia ngumu za manjano. Walikuwa wakionyesha kwa vidole ile bustani ndogo na nyumba zilizokuwa upande mwingine wa barabara. Walinuia kuzivunja vunja zote kisha wajenge uwanja wa kuegesha magari.
Watu walioishi pale wangehamia nyumba zingine. Lakini hakuna aliyefikiria juu ya wanyama, ndege na wadudu walioishi katika ile bustani ndogo.
Walioziona mashine hiyo kwanza walikuwa familia ya fugo, hasa Bwana Popules, mkubwa kwa umri. Naye alimwelezea Bwana Mopules, ambaye alimwelezea mdogo wao, Pipules Mdogo.
Walipokuwa wachanga, waliitwa Pop, Mop na Pip.
Kulikiwa na vurumai, kukimbia kwingi, kuruka huku na huko bila yeyote kujua la kufanya. Wapi kwa kwenda? Watoto wa vipepeo walisema, "Hebu tutafute majani." Vipepeo wakasema, "Tunataka maua." Panya wadogo walitaka mashimo. Fugo walitaka kujilimia mashimo yao.
Vichakuro, ndege na wadudu walitaka miti, vichaka na nyasi. "Tutapata wapi hii yote? Bila shaka tutakufa," walisema kisha wakalia kwa uchungu."
Mjombake Kato na shangaziye walikuwa kimya sana na vichakuro wote wadogo walisonga karibu na mamao. Kato alisafisha koo na kuanza kuongea huku akiona haya, "Naishi katika Msitu wa Mbali, labda tunaweza kwenda sote huko." Kulikuwa na sauti za mchangamko na mmoja akasema, "Vipi?"
Kato alikuna kichwa na kuwaza sana, "Sawa, 'Kichakuro ya Moja kwa Moja', inaweza kuwapeleka vichakuro na vipepeo, buibui, watoto wa vipepeo na wadudu wote. Ndege wanaweza kuruka au waje nasi. Fugo nao pamoja na panya wadogo na nyoka wanaweza kutumia 'Fugo ya Moja kwa Moja' ipitiayo chini kwa chini. Kila mmoja alifikiria kuwa hilo lilikuwa wazo zuri kabisa."
Bwana Popules aliharakisha kumwuliza dereva wa treni ya moja kwa moja ya chini kwa chini ikiwa angeweza kuwabeba wote hadi Msitu wa Mbali. Dereva alibabaika, akagugumia kabla ya kusema, "Sawa." Sasa ilikuwa zamu ya Bwana Popules kuwa mwungwana. "Marafiki, hamna haja ya kuwa na wasiwasi."
Kwa hivyo, wakati wa saa za asubuhi, 'Kichakuro Moja kwa Moja' na treni aina ya 'Fugo ya chini kwa chini' pamoja na abiria wote, iliendesha safari yake ya kuelekea Msitu wa Mbali ulio na miti, maua, vidimbwi na ardhi nyororo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kato Mwakili, na Shida Kubwa Author - Herminder Ohri Translation - Brigid Simiyu Illustration - Herminder Ohri Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Wanaume waliovalia kofia ngumu walinuia kujenga nini | {
"text": [
"uwanja wa kuegesha magari"
]
} |
2254_swa | Kato Mwakili, na Shida Kubwa
Kulikuwa na mti mkubwa katika bustani ndogo jijini. Wanyama wengi waliishi pamoja juu ya mti huo. Paliishi pia jamii ya vichakuro. Viki alikuwa mmoja wao na alipenda kuongea mambo makubwa. Binamuye, Kato kutoka Msitu wa Mbali, alikuwa amekuja kumtembelea.
Jioni moja, wanyama wote walioishi katika ile bustani ndogo walienda kulala. Mara walisikia sauti kubwa ikitoka kwenye uwanja uliokuwa karibu.
Kato na vichakuro wengine waliona mashine kubwa ya manjano. Waliona pia wanaume waliovalia kofia ngumu za manjano. Walikuwa wakionyesha kwa vidole ile bustani ndogo na nyumba zilizokuwa upande mwingine wa barabara. Walinuia kuzivunja vunja zote kisha wajenge uwanja wa kuegesha magari.
Watu walioishi pale wangehamia nyumba zingine. Lakini hakuna aliyefikiria juu ya wanyama, ndege na wadudu walioishi katika ile bustani ndogo.
Walioziona mashine hiyo kwanza walikuwa familia ya fugo, hasa Bwana Popules, mkubwa kwa umri. Naye alimwelezea Bwana Mopules, ambaye alimwelezea mdogo wao, Pipules Mdogo.
Walipokuwa wachanga, waliitwa Pop, Mop na Pip.
Kulikiwa na vurumai, kukimbia kwingi, kuruka huku na huko bila yeyote kujua la kufanya. Wapi kwa kwenda? Watoto wa vipepeo walisema, "Hebu tutafute majani." Vipepeo wakasema, "Tunataka maua." Panya wadogo walitaka mashimo. Fugo walitaka kujilimia mashimo yao.
Vichakuro, ndege na wadudu walitaka miti, vichaka na nyasi. "Tutapata wapi hii yote? Bila shaka tutakufa," walisema kisha wakalia kwa uchungu."
Mjombake Kato na shangaziye walikuwa kimya sana na vichakuro wote wadogo walisonga karibu na mamao. Kato alisafisha koo na kuanza kuongea huku akiona haya, "Naishi katika Msitu wa Mbali, labda tunaweza kwenda sote huko." Kulikuwa na sauti za mchangamko na mmoja akasema, "Vipi?"
Kato alikuna kichwa na kuwaza sana, "Sawa, 'Kichakuro ya Moja kwa Moja', inaweza kuwapeleka vichakuro na vipepeo, buibui, watoto wa vipepeo na wadudu wote. Ndege wanaweza kuruka au waje nasi. Fugo nao pamoja na panya wadogo na nyoka wanaweza kutumia 'Fugo ya Moja kwa Moja' ipitiayo chini kwa chini. Kila mmoja alifikiria kuwa hilo lilikuwa wazo zuri kabisa."
Bwana Popules aliharakisha kumwuliza dereva wa treni ya moja kwa moja ya chini kwa chini ikiwa angeweza kuwabeba wote hadi Msitu wa Mbali. Dereva alibabaika, akagugumia kabla ya kusema, "Sawa." Sasa ilikuwa zamu ya Bwana Popules kuwa mwungwana. "Marafiki, hamna haja ya kuwa na wasiwasi."
Kwa hivyo, wakati wa saa za asubuhi, 'Kichakuro Moja kwa Moja' na treni aina ya 'Fugo ya chini kwa chini' pamoja na abiria wote, iliendesha safari yake ya kuelekea Msitu wa Mbali ulio na miti, maua, vidimbwi na ardhi nyororo.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kato Mwakili, na Shida Kubwa Author - Herminder Ohri Translation - Brigid Simiyu Illustration - Herminder Ohri Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Pratham Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source www.prathambooks.org | Mbona Kato alikuna kichwa | {
"text": [
"aliwaza sana"
]
} |
2255_swa | Khayanga na kibuyu chake
Khayanga aliishi na wazazi wake kwa furaha. Alipokuwa na umri wa miaka kumi, walifariki.
Khayanga alitunzwa na Rosa, mmoja wa jamaa zake. Rosa alikuwa mkarimu lakini alikuwa mkongwe.
Khayanga aliyatembelea makaburi ya wazazi wake. Aliwaeleza matatizo yake.
Siku moja alipokuwa makaburini, alipokea zawadi ya kibuyu. Aliamini kuwa kilitoka kwa wazazi wake.
Khayanga aliusikia wimbo mtamu wa kuliwaza kutoka katika kibuyu. Uliimbwa hivi:
Khayanga, ee, Khayanga! Mtoto wetu, mpendwa! Kibebe kibuyu hiki, mpendwa! Kikuliwaze, mpendwa! Khayanga alifahamu sauti hiyo kuwa ya mamake.
Khayanga alikibeba kibuyu chake wakati wote. Aliamini kwamba wazazi wake walimlinda.
Siku moja, kibuyu hicho kilivunjika. Khayanga alivunjika moyo vilevile.
Alivishika vigae hivyo mikononi akaimba: Babangu, mamangu! Kibuyu changu kimevunjika! Nifanyeje? Nipe ishara nyingine! Nijue mko nami!
Sauti ilisema: Khayanga mtoto wetu! Viokote vigae hivyo! Vitumie kuchota maji! Ioshe miguu yako! Yafumbe macho! Khayanga alitii.
Khayanga alikibeba kibuyu chake kila mahali. Waliomwona, walijiuliza, "Hiki ni kibuyu cha aina gani?" Kibuyu hicho kilimsaidia kupata mahitaji yake.
Khayanga aliamini kuwa wazazi wake walikuwa naye wakati wote. Hakuna lolote baya lingeweza kutendeka kwake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khayanga na kibuyu chake Author - Ursula Nafula Translation - Mitugi Kamundi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliishi na wazazi wake | {
"text": [
"Khayanga"
]
} |
2255_swa | Khayanga na kibuyu chake
Khayanga aliishi na wazazi wake kwa furaha. Alipokuwa na umri wa miaka kumi, walifariki.
Khayanga alitunzwa na Rosa, mmoja wa jamaa zake. Rosa alikuwa mkarimu lakini alikuwa mkongwe.
Khayanga aliyatembelea makaburi ya wazazi wake. Aliwaeleza matatizo yake.
Siku moja alipokuwa makaburini, alipokea zawadi ya kibuyu. Aliamini kuwa kilitoka kwa wazazi wake.
Khayanga aliusikia wimbo mtamu wa kuliwaza kutoka katika kibuyu. Uliimbwa hivi:
Khayanga, ee, Khayanga! Mtoto wetu, mpendwa! Kibebe kibuyu hiki, mpendwa! Kikuliwaze, mpendwa! Khayanga alifahamu sauti hiyo kuwa ya mamake.
Khayanga alikibeba kibuyu chake wakati wote. Aliamini kwamba wazazi wake walimlinda.
Siku moja, kibuyu hicho kilivunjika. Khayanga alivunjika moyo vilevile.
Alivishika vigae hivyo mikononi akaimba: Babangu, mamangu! Kibuyu changu kimevunjika! Nifanyeje? Nipe ishara nyingine! Nijue mko nami!
Sauti ilisema: Khayanga mtoto wetu! Viokote vigae hivyo! Vitumie kuchota maji! Ioshe miguu yako! Yafumbe macho! Khayanga alitii.
Khayanga alikibeba kibuyu chake kila mahali. Waliomwona, walijiuliza, "Hiki ni kibuyu cha aina gani?" Kibuyu hicho kilimsaidia kupata mahitaji yake.
Khayanga aliamini kuwa wazazi wake walikuwa naye wakati wote. Hakuna lolote baya lingeweza kutendeka kwake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khayanga na kibuyu chake Author - Ursula Nafula Translation - Mitugi Kamundi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Alipokuwa makaburini alipokea zawadi gani | {
"text": [
"kibuyu"
]
} |
2255_swa | Khayanga na kibuyu chake
Khayanga aliishi na wazazi wake kwa furaha. Alipokuwa na umri wa miaka kumi, walifariki.
Khayanga alitunzwa na Rosa, mmoja wa jamaa zake. Rosa alikuwa mkarimu lakini alikuwa mkongwe.
Khayanga aliyatembelea makaburi ya wazazi wake. Aliwaeleza matatizo yake.
Siku moja alipokuwa makaburini, alipokea zawadi ya kibuyu. Aliamini kuwa kilitoka kwa wazazi wake.
Khayanga aliusikia wimbo mtamu wa kuliwaza kutoka katika kibuyu. Uliimbwa hivi:
Khayanga, ee, Khayanga! Mtoto wetu, mpendwa! Kibebe kibuyu hiki, mpendwa! Kikuliwaze, mpendwa! Khayanga alifahamu sauti hiyo kuwa ya mamake.
Khayanga alikibeba kibuyu chake wakati wote. Aliamini kwamba wazazi wake walimlinda.
Siku moja, kibuyu hicho kilivunjika. Khayanga alivunjika moyo vilevile.
Alivishika vigae hivyo mikononi akaimba: Babangu, mamangu! Kibuyu changu kimevunjika! Nifanyeje? Nipe ishara nyingine! Nijue mko nami!
Sauti ilisema: Khayanga mtoto wetu! Viokote vigae hivyo! Vitumie kuchota maji! Ioshe miguu yako! Yafumbe macho! Khayanga alitii.
Khayanga alikibeba kibuyu chake kila mahali. Waliomwona, walijiuliza, "Hiki ni kibuyu cha aina gani?" Kibuyu hicho kilimsaidia kupata mahitaji yake.
Khayanga aliamini kuwa wazazi wake walikuwa naye wakati wote. Hakuna lolote baya lingeweza kutendeka kwake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khayanga na kibuyu chake Author - Ursula Nafula Translation - Mitugi Kamundi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Siku moja kibuyu hicho kilifanyika nini | {
"text": [
"Kilivunjika"
]
} |
2255_swa | Khayanga na kibuyu chake
Khayanga aliishi na wazazi wake kwa furaha. Alipokuwa na umri wa miaka kumi, walifariki.
Khayanga alitunzwa na Rosa, mmoja wa jamaa zake. Rosa alikuwa mkarimu lakini alikuwa mkongwe.
Khayanga aliyatembelea makaburi ya wazazi wake. Aliwaeleza matatizo yake.
Siku moja alipokuwa makaburini, alipokea zawadi ya kibuyu. Aliamini kuwa kilitoka kwa wazazi wake.
Khayanga aliusikia wimbo mtamu wa kuliwaza kutoka katika kibuyu. Uliimbwa hivi:
Khayanga, ee, Khayanga! Mtoto wetu, mpendwa! Kibebe kibuyu hiki, mpendwa! Kikuliwaze, mpendwa! Khayanga alifahamu sauti hiyo kuwa ya mamake.
Khayanga alikibeba kibuyu chake wakati wote. Aliamini kwamba wazazi wake walimlinda.
Siku moja, kibuyu hicho kilivunjika. Khayanga alivunjika moyo vilevile.
Alivishika vigae hivyo mikononi akaimba: Babangu, mamangu! Kibuyu changu kimevunjika! Nifanyeje? Nipe ishara nyingine! Nijue mko nami!
Sauti ilisema: Khayanga mtoto wetu! Viokote vigae hivyo! Vitumie kuchota maji! Ioshe miguu yako! Yafumbe macho! Khayanga alitii.
Khayanga alikibeba kibuyu chake kila mahali. Waliomwona, walijiuliza, "Hiki ni kibuyu cha aina gani?" Kibuyu hicho kilimsaidia kupata mahitaji yake.
Khayanga aliamini kuwa wazazi wake walikuwa naye wakati wote. Hakuna lolote baya lingeweza kutendeka kwake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khayanga na kibuyu chake Author - Ursula Nafula Translation - Mitugi Kamundi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kibuyu kilimsaidia kupata nini | {
"text": [
"Mahitaji yake"
]
} |
2255_swa | Khayanga na kibuyu chake
Khayanga aliishi na wazazi wake kwa furaha. Alipokuwa na umri wa miaka kumi, walifariki.
Khayanga alitunzwa na Rosa, mmoja wa jamaa zake. Rosa alikuwa mkarimu lakini alikuwa mkongwe.
Khayanga aliyatembelea makaburi ya wazazi wake. Aliwaeleza matatizo yake.
Siku moja alipokuwa makaburini, alipokea zawadi ya kibuyu. Aliamini kuwa kilitoka kwa wazazi wake.
Khayanga aliusikia wimbo mtamu wa kuliwaza kutoka katika kibuyu. Uliimbwa hivi:
Khayanga, ee, Khayanga! Mtoto wetu, mpendwa! Kibebe kibuyu hiki, mpendwa! Kikuliwaze, mpendwa! Khayanga alifahamu sauti hiyo kuwa ya mamake.
Khayanga alikibeba kibuyu chake wakati wote. Aliamini kwamba wazazi wake walimlinda.
Siku moja, kibuyu hicho kilivunjika. Khayanga alivunjika moyo vilevile.
Alivishika vigae hivyo mikononi akaimba: Babangu, mamangu! Kibuyu changu kimevunjika! Nifanyeje? Nipe ishara nyingine! Nijue mko nami!
Sauti ilisema: Khayanga mtoto wetu! Viokote vigae hivyo! Vitumie kuchota maji! Ioshe miguu yako! Yafumbe macho! Khayanga alitii.
Khayanga alikibeba kibuyu chake kila mahali. Waliomwona, walijiuliza, "Hiki ni kibuyu cha aina gani?" Kibuyu hicho kilimsaidia kupata mahitaji yake.
Khayanga aliamini kuwa wazazi wake walikuwa naye wakati wote. Hakuna lolote baya lingeweza kutendeka kwake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khayanga na kibuyu chake Author - Ursula Nafula Translation - Mitugi Kamundi Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini hakuna lolote baya lingeweza kutendeka kwake | {
"text": [
"kwa sababu aliamini kuwa wazazi wake walikuwa naye wakati wote"
]
} |
2256_swa | Kiangazi na Mto wenye Baraka
Katika mwaka mmoja, kipindi cha ukame kilikuwa kirefu sana. Kiangazi kikawaathiri wanyama wote. Mito yote ikakauka ila Mto wenye Baraka. Wanyama wakahisi kiu kikubwa wakaamua kukutana ili watafute suluhu.
Ngamia alikuwa wa kwanza kuzungumza, "Kama mnavyojua, tuna kiu kikubwa na mito yote imekauka ila Mto wenye Baraka. Lakini mto huo uko mbali sana. Je, tufanyaje?"
Farasi alitoa pendekezo, "Baadhi yetu tunaweza kwenda kwenye Mto huo wenye Baraka. Tutaweza kuyanywa maji na kisha tuwaletee wengine." Ng'ombe alijibu, "Ni mbali sana. Tutakaporudi, wale tutakaokuwa tumewaacha nyuma, watakuwa wamefariki."
Mbuzi aliruka juu kisha akasema, "Meee, meee! Mimi pia nitaenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi naye akasema, "Koor, kor kor kor! Pia mimi nitaenda kwenye Mto wenye Baraka."
Haikuwa rahisi kwenda huko. Aliyekuwa nyuma ya wote, alikuwa Kanga. Baada ya kutembea kwa muda mrefu, Kanga alisema, "Rafiki zanguni, siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi akammeza Kanga.
Waliendelea na safari tena. Muda mfupi baadaye, Jimbi akasema, "Tafadhali, nimechoka. Siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Kondoo akammeza Jimbi.
Safari ilipoendelea, Kondoo alichoka kisha akasema, "Nimechoka. Sitaki tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Mbuzi akammeza Kondoo.
Punde tu, Mbuzi naye alichoka na hakutaka kuendelea kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka. Farasi aligeuka na kummeza Mbuzi. Farasi alipochoka, Ng'ombe alimmeza.
Sasa walikuwa wamebaki Ng'ombe na Ngamia peke yao. Waliendelea na safari hadi Ng'ombe alipochoka. Ilimbidi Ngamia ageuke na kummeza Ng'ombe.
Ngamia alipobaki peke yake, alijitahidi ili aufikie Mto wenye Baraka. Ni yeye tu ndiye angeweza kuwaokoa wengine. Alikuwa amechoka mno.
Hatimaye, Ngamia aliwasili kwenye Mto wenye Baraka na kulala chini. Kisha akamtapika Ng'ombe. Ng'ombe akamtapika Farasi. Farasi akamtapika Mbuzi. Mbuzi akamtapika Kondoo. Kondoo akamtapika Jimbi naye Jimbi akamtapika Kanga.
Na hivyo ndivyo wanyama wote walivyofaulu kuyanywa maji kutoka Mto wenye Baraka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiangazi na Mto wenye Baraka Author - Also Mohammed Sale Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani aliyemmeza kanga wakiwa safarini | {
"text": [
"Jimbi"
]
} |
2256_swa | Kiangazi na Mto wenye Baraka
Katika mwaka mmoja, kipindi cha ukame kilikuwa kirefu sana. Kiangazi kikawaathiri wanyama wote. Mito yote ikakauka ila Mto wenye Baraka. Wanyama wakahisi kiu kikubwa wakaamua kukutana ili watafute suluhu.
Ngamia alikuwa wa kwanza kuzungumza, "Kama mnavyojua, tuna kiu kikubwa na mito yote imekauka ila Mto wenye Baraka. Lakini mto huo uko mbali sana. Je, tufanyaje?"
Farasi alitoa pendekezo, "Baadhi yetu tunaweza kwenda kwenye Mto huo wenye Baraka. Tutaweza kuyanywa maji na kisha tuwaletee wengine." Ng'ombe alijibu, "Ni mbali sana. Tutakaporudi, wale tutakaokuwa tumewaacha nyuma, watakuwa wamefariki."
Mbuzi aliruka juu kisha akasema, "Meee, meee! Mimi pia nitaenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi naye akasema, "Koor, kor kor kor! Pia mimi nitaenda kwenye Mto wenye Baraka."
Haikuwa rahisi kwenda huko. Aliyekuwa nyuma ya wote, alikuwa Kanga. Baada ya kutembea kwa muda mrefu, Kanga alisema, "Rafiki zanguni, siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi akammeza Kanga.
Waliendelea na safari tena. Muda mfupi baadaye, Jimbi akasema, "Tafadhali, nimechoka. Siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Kondoo akammeza Jimbi.
Safari ilipoendelea, Kondoo alichoka kisha akasema, "Nimechoka. Sitaki tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Mbuzi akammeza Kondoo.
Punde tu, Mbuzi naye alichoka na hakutaka kuendelea kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka. Farasi aligeuka na kummeza Mbuzi. Farasi alipochoka, Ng'ombe alimmeza.
Sasa walikuwa wamebaki Ng'ombe na Ngamia peke yao. Waliendelea na safari hadi Ng'ombe alipochoka. Ilimbidi Ngamia ageuke na kummeza Ng'ombe.
Ngamia alipobaki peke yake, alijitahidi ili aufikie Mto wenye Baraka. Ni yeye tu ndiye angeweza kuwaokoa wengine. Alikuwa amechoka mno.
Hatimaye, Ngamia aliwasili kwenye Mto wenye Baraka na kulala chini. Kisha akamtapika Ng'ombe. Ng'ombe akamtapika Farasi. Farasi akamtapika Mbuzi. Mbuzi akamtapika Kondoo. Kondoo akamtapika Jimbi naye Jimbi akamtapika Kanga.
Na hivyo ndivyo wanyama wote walivyofaulu kuyanywa maji kutoka Mto wenye Baraka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiangazi na Mto wenye Baraka Author - Also Mohammed Sale Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni mnyama yupi alijitahidi kufika kwenye mto wa Baraka bila kumezwa | {
"text": [
"Ngamia"
]
} |
2256_swa | Kiangazi na Mto wenye Baraka
Katika mwaka mmoja, kipindi cha ukame kilikuwa kirefu sana. Kiangazi kikawaathiri wanyama wote. Mito yote ikakauka ila Mto wenye Baraka. Wanyama wakahisi kiu kikubwa wakaamua kukutana ili watafute suluhu.
Ngamia alikuwa wa kwanza kuzungumza, "Kama mnavyojua, tuna kiu kikubwa na mito yote imekauka ila Mto wenye Baraka. Lakini mto huo uko mbali sana. Je, tufanyaje?"
Farasi alitoa pendekezo, "Baadhi yetu tunaweza kwenda kwenye Mto huo wenye Baraka. Tutaweza kuyanywa maji na kisha tuwaletee wengine." Ng'ombe alijibu, "Ni mbali sana. Tutakaporudi, wale tutakaokuwa tumewaacha nyuma, watakuwa wamefariki."
Mbuzi aliruka juu kisha akasema, "Meee, meee! Mimi pia nitaenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi naye akasema, "Koor, kor kor kor! Pia mimi nitaenda kwenye Mto wenye Baraka."
Haikuwa rahisi kwenda huko. Aliyekuwa nyuma ya wote, alikuwa Kanga. Baada ya kutembea kwa muda mrefu, Kanga alisema, "Rafiki zanguni, siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi akammeza Kanga.
Waliendelea na safari tena. Muda mfupi baadaye, Jimbi akasema, "Tafadhali, nimechoka. Siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Kondoo akammeza Jimbi.
Safari ilipoendelea, Kondoo alichoka kisha akasema, "Nimechoka. Sitaki tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Mbuzi akammeza Kondoo.
Punde tu, Mbuzi naye alichoka na hakutaka kuendelea kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka. Farasi aligeuka na kummeza Mbuzi. Farasi alipochoka, Ng'ombe alimmeza.
Sasa walikuwa wamebaki Ng'ombe na Ngamia peke yao. Waliendelea na safari hadi Ng'ombe alipochoka. Ilimbidi Ngamia ageuke na kummeza Ng'ombe.
Ngamia alipobaki peke yake, alijitahidi ili aufikie Mto wenye Baraka. Ni yeye tu ndiye angeweza kuwaokoa wengine. Alikuwa amechoka mno.
Hatimaye, Ngamia aliwasili kwenye Mto wenye Baraka na kulala chini. Kisha akamtapika Ng'ombe. Ng'ombe akamtapika Farasi. Farasi akamtapika Mbuzi. Mbuzi akamtapika Kondoo. Kondoo akamtapika Jimbi naye Jimbi akamtapika Kanga.
Na hivyo ndivyo wanyama wote walivyofaulu kuyanywa maji kutoka Mto wenye Baraka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiangazi na Mto wenye Baraka Author - Also Mohammed Sale Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mto upi ulikosa kukauka msimu wa kiangazi | {
"text": [
" Mto wenye Baraka"
]
} |
2256_swa | Kiangazi na Mto wenye Baraka
Katika mwaka mmoja, kipindi cha ukame kilikuwa kirefu sana. Kiangazi kikawaathiri wanyama wote. Mito yote ikakauka ila Mto wenye Baraka. Wanyama wakahisi kiu kikubwa wakaamua kukutana ili watafute suluhu.
Ngamia alikuwa wa kwanza kuzungumza, "Kama mnavyojua, tuna kiu kikubwa na mito yote imekauka ila Mto wenye Baraka. Lakini mto huo uko mbali sana. Je, tufanyaje?"
Farasi alitoa pendekezo, "Baadhi yetu tunaweza kwenda kwenye Mto huo wenye Baraka. Tutaweza kuyanywa maji na kisha tuwaletee wengine." Ng'ombe alijibu, "Ni mbali sana. Tutakaporudi, wale tutakaokuwa tumewaacha nyuma, watakuwa wamefariki."
Mbuzi aliruka juu kisha akasema, "Meee, meee! Mimi pia nitaenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi naye akasema, "Koor, kor kor kor! Pia mimi nitaenda kwenye Mto wenye Baraka."
Haikuwa rahisi kwenda huko. Aliyekuwa nyuma ya wote, alikuwa Kanga. Baada ya kutembea kwa muda mrefu, Kanga alisema, "Rafiki zanguni, siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi akammeza Kanga.
Waliendelea na safari tena. Muda mfupi baadaye, Jimbi akasema, "Tafadhali, nimechoka. Siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Kondoo akammeza Jimbi.
Safari ilipoendelea, Kondoo alichoka kisha akasema, "Nimechoka. Sitaki tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Mbuzi akammeza Kondoo.
Punde tu, Mbuzi naye alichoka na hakutaka kuendelea kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka. Farasi aligeuka na kummeza Mbuzi. Farasi alipochoka, Ng'ombe alimmeza.
Sasa walikuwa wamebaki Ng'ombe na Ngamia peke yao. Waliendelea na safari hadi Ng'ombe alipochoka. Ilimbidi Ngamia ageuke na kummeza Ng'ombe.
Ngamia alipobaki peke yake, alijitahidi ili aufikie Mto wenye Baraka. Ni yeye tu ndiye angeweza kuwaokoa wengine. Alikuwa amechoka mno.
Hatimaye, Ngamia aliwasili kwenye Mto wenye Baraka na kulala chini. Kisha akamtapika Ng'ombe. Ng'ombe akamtapika Farasi. Farasi akamtapika Mbuzi. Mbuzi akamtapika Kondoo. Kondoo akamtapika Jimbi naye Jimbi akamtapika Kanga.
Na hivyo ndivyo wanyama wote walivyofaulu kuyanywa maji kutoka Mto wenye Baraka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiangazi na Mto wenye Baraka Author - Also Mohammed Sale Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni wanyama wangapi waliyanywa maji kutoka mto wenye Baraka | {
"text": [
"Watano"
]
} |
2256_swa | Kiangazi na Mto wenye Baraka
Katika mwaka mmoja, kipindi cha ukame kilikuwa kirefu sana. Kiangazi kikawaathiri wanyama wote. Mito yote ikakauka ila Mto wenye Baraka. Wanyama wakahisi kiu kikubwa wakaamua kukutana ili watafute suluhu.
Ngamia alikuwa wa kwanza kuzungumza, "Kama mnavyojua, tuna kiu kikubwa na mito yote imekauka ila Mto wenye Baraka. Lakini mto huo uko mbali sana. Je, tufanyaje?"
Farasi alitoa pendekezo, "Baadhi yetu tunaweza kwenda kwenye Mto huo wenye Baraka. Tutaweza kuyanywa maji na kisha tuwaletee wengine." Ng'ombe alijibu, "Ni mbali sana. Tutakaporudi, wale tutakaokuwa tumewaacha nyuma, watakuwa wamefariki."
Mbuzi aliruka juu kisha akasema, "Meee, meee! Mimi pia nitaenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi naye akasema, "Koor, kor kor kor! Pia mimi nitaenda kwenye Mto wenye Baraka."
Haikuwa rahisi kwenda huko. Aliyekuwa nyuma ya wote, alikuwa Kanga. Baada ya kutembea kwa muda mrefu, Kanga alisema, "Rafiki zanguni, siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Jimbi akammeza Kanga.
Waliendelea na safari tena. Muda mfupi baadaye, Jimbi akasema, "Tafadhali, nimechoka. Siwezi tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Kondoo akammeza Jimbi.
Safari ilipoendelea, Kondoo alichoka kisha akasema, "Nimechoka. Sitaki tena kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka." Mbuzi akammeza Kondoo.
Punde tu, Mbuzi naye alichoka na hakutaka kuendelea kuendelea kwenda kwenye Mto wenye Baraka. Farasi aligeuka na kummeza Mbuzi. Farasi alipochoka, Ng'ombe alimmeza.
Sasa walikuwa wamebaki Ng'ombe na Ngamia peke yao. Waliendelea na safari hadi Ng'ombe alipochoka. Ilimbidi Ngamia ageuke na kummeza Ng'ombe.
Ngamia alipobaki peke yake, alijitahidi ili aufikie Mto wenye Baraka. Ni yeye tu ndiye angeweza kuwaokoa wengine. Alikuwa amechoka mno.
Hatimaye, Ngamia aliwasili kwenye Mto wenye Baraka na kulala chini. Kisha akamtapika Ng'ombe. Ng'ombe akamtapika Farasi. Farasi akamtapika Mbuzi. Mbuzi akamtapika Kondoo. Kondoo akamtapika Jimbi naye Jimbi akamtapika Kanga.
Na hivyo ndivyo wanyama wote walivyofaulu kuyanywa maji kutoka Mto wenye Baraka.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kiangazi na Mto wenye Baraka Author - Also Mohammed Sale Translation - Ursula Nafula Illustration - Awwalu Sakiwa Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ndege wangapi walifanikiwa kuyanywa maji ya mto wenye Baraka | {
"text": [
"Wawili"
]
} |
2257_swa | Konokono
Nilinunua masanduku ya mbao na kuyaweka kando ya nyumba yangu. Nikamwaga mchanga wenye rutuba ndani yake. Nikapanda mbegu tofauti: za sukuma wiki, kabeji, mchicha, dania na stroberi. Kila asubuhi niliamka alfajiri na mapema kunyunyizia maji kwa mfereji. Baada ya wiki moja nilipiga tabasamu kubwa nilipoona mimea ilikuwa imechipuka. Baada ya wiki mbili nilipigwa na mshangao nilipoenda kunyunyizia maji. Niliona mimea ikiwa na mashimo makubwa kwenye majani yake. Nilijua kuna adui aliyekuwa akila mimea yangu. Je, ni kiwavi au ni konokono? Usiku mmoja nilitoka nje na kurunzi yangu na kuangaliaangalia karibu na mimea. Niliona konokono na koa uchi chungu nzima. Wengine walikuwa juu ya mimea yangu niliyoidhamini. Nilijaribu tembe za rangi ya kijani ambazo bwana google alinieleza zitawafukuza konokono. Lakini wapi! Konokono waliendelea kuangamiza mimea yangu. Nikajaribu maganda ya mayai. Lakini wapi! Niliendelea kupoteza mimea yangu. Niliamua kuwawinda konokono mimi mwenyewe. Nilitoka nje usiku mmoja kama nimejihami kwa kurunzi, mkebe na glovu mkononi. Nikaangalia juu ya mimea, kando yake na chini yake. Kila nilipomwona konokono nilimweka ndani ya mfuko. Baada ya kuzunguka nilipata kama kilo moja ya konokono. Nifanye nini nao? Niwachemshe wawe kitoweo au niwatupe pipani? Kila usiku nilitoka kwenda kuwinda konokono na baada ya wiki mbili niliona mimea yangu inanawiri tena. Kumbe kuwasaka konokono kulisaidia!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Konokono Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Aliyaweka masanduku wapi | {
"text": [
"kando ya nyumba yake"
]
} |
2257_swa | Konokono
Nilinunua masanduku ya mbao na kuyaweka kando ya nyumba yangu. Nikamwaga mchanga wenye rutuba ndani yake. Nikapanda mbegu tofauti: za sukuma wiki, kabeji, mchicha, dania na stroberi. Kila asubuhi niliamka alfajiri na mapema kunyunyizia maji kwa mfereji. Baada ya wiki moja nilipiga tabasamu kubwa nilipoona mimea ilikuwa imechipuka. Baada ya wiki mbili nilipigwa na mshangao nilipoenda kunyunyizia maji. Niliona mimea ikiwa na mashimo makubwa kwenye majani yake. Nilijua kuna adui aliyekuwa akila mimea yangu. Je, ni kiwavi au ni konokono? Usiku mmoja nilitoka nje na kurunzi yangu na kuangaliaangalia karibu na mimea. Niliona konokono na koa uchi chungu nzima. Wengine walikuwa juu ya mimea yangu niliyoidhamini. Nilijaribu tembe za rangi ya kijani ambazo bwana google alinieleza zitawafukuza konokono. Lakini wapi! Konokono waliendelea kuangamiza mimea yangu. Nikajaribu maganda ya mayai. Lakini wapi! Niliendelea kupoteza mimea yangu. Niliamua kuwawinda konokono mimi mwenyewe. Nilitoka nje usiku mmoja kama nimejihami kwa kurunzi, mkebe na glovu mkononi. Nikaangalia juu ya mimea, kando yake na chini yake. Kila nilipomwona konokono nilimweka ndani ya mfuko. Baada ya kuzunguka nilipata kama kilo moja ya konokono. Nifanye nini nao? Niwachemshe wawe kitoweo au niwatupe pipani? Kila usiku nilitoka kwenda kuwinda konokono na baada ya wiki mbili niliona mimea yangu inanawiri tena. Kumbe kuwasaka konokono kulisaidia!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Konokono Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Alipanda nini | {
"text": [
"mbegu tofauti"
]
} |
2257_swa | Konokono
Nilinunua masanduku ya mbao na kuyaweka kando ya nyumba yangu. Nikamwaga mchanga wenye rutuba ndani yake. Nikapanda mbegu tofauti: za sukuma wiki, kabeji, mchicha, dania na stroberi. Kila asubuhi niliamka alfajiri na mapema kunyunyizia maji kwa mfereji. Baada ya wiki moja nilipiga tabasamu kubwa nilipoona mimea ilikuwa imechipuka. Baada ya wiki mbili nilipigwa na mshangao nilipoenda kunyunyizia maji. Niliona mimea ikiwa na mashimo makubwa kwenye majani yake. Nilijua kuna adui aliyekuwa akila mimea yangu. Je, ni kiwavi au ni konokono? Usiku mmoja nilitoka nje na kurunzi yangu na kuangaliaangalia karibu na mimea. Niliona konokono na koa uchi chungu nzima. Wengine walikuwa juu ya mimea yangu niliyoidhamini. Nilijaribu tembe za rangi ya kijani ambazo bwana google alinieleza zitawafukuza konokono. Lakini wapi! Konokono waliendelea kuangamiza mimea yangu. Nikajaribu maganda ya mayai. Lakini wapi! Niliendelea kupoteza mimea yangu. Niliamua kuwawinda konokono mimi mwenyewe. Nilitoka nje usiku mmoja kama nimejihami kwa kurunzi, mkebe na glovu mkononi. Nikaangalia juu ya mimea, kando yake na chini yake. Kila nilipomwona konokono nilimweka ndani ya mfuko. Baada ya kuzunguka nilipata kama kilo moja ya konokono. Nifanye nini nao? Niwachemshe wawe kitoweo au niwatupe pipani? Kila usiku nilitoka kwenda kuwinda konokono na baada ya wiki mbili niliona mimea yangu inanawiri tena. Kumbe kuwasaka konokono kulisaidia!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Konokono Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Aliamka saa ngapi kunyunyizia maji | {
"text": [
"alfajiri na mapema"
]
} |
2257_swa | Konokono
Nilinunua masanduku ya mbao na kuyaweka kando ya nyumba yangu. Nikamwaga mchanga wenye rutuba ndani yake. Nikapanda mbegu tofauti: za sukuma wiki, kabeji, mchicha, dania na stroberi. Kila asubuhi niliamka alfajiri na mapema kunyunyizia maji kwa mfereji. Baada ya wiki moja nilipiga tabasamu kubwa nilipoona mimea ilikuwa imechipuka. Baada ya wiki mbili nilipigwa na mshangao nilipoenda kunyunyizia maji. Niliona mimea ikiwa na mashimo makubwa kwenye majani yake. Nilijua kuna adui aliyekuwa akila mimea yangu. Je, ni kiwavi au ni konokono? Usiku mmoja nilitoka nje na kurunzi yangu na kuangaliaangalia karibu na mimea. Niliona konokono na koa uchi chungu nzima. Wengine walikuwa juu ya mimea yangu niliyoidhamini. Nilijaribu tembe za rangi ya kijani ambazo bwana google alinieleza zitawafukuza konokono. Lakini wapi! Konokono waliendelea kuangamiza mimea yangu. Nikajaribu maganda ya mayai. Lakini wapi! Niliendelea kupoteza mimea yangu. Niliamua kuwawinda konokono mimi mwenyewe. Nilitoka nje usiku mmoja kama nimejihami kwa kurunzi, mkebe na glovu mkononi. Nikaangalia juu ya mimea, kando yake na chini yake. Kila nilipomwona konokono nilimweka ndani ya mfuko. Baada ya kuzunguka nilipata kama kilo moja ya konokono. Nifanye nini nao? Niwachemshe wawe kitoweo au niwatupe pipani? Kila usiku nilitoka kwenda kuwinda konokono na baada ya wiki mbili niliona mimea yangu inanawiri tena. Kumbe kuwasaka konokono kulisaidia!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Konokono Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Aliwaweka wapi konokono aliowaona | {
"text": [
"ndani ya mfuko"
]
} |
2257_swa | Konokono
Nilinunua masanduku ya mbao na kuyaweka kando ya nyumba yangu. Nikamwaga mchanga wenye rutuba ndani yake. Nikapanda mbegu tofauti: za sukuma wiki, kabeji, mchicha, dania na stroberi. Kila asubuhi niliamka alfajiri na mapema kunyunyizia maji kwa mfereji. Baada ya wiki moja nilipiga tabasamu kubwa nilipoona mimea ilikuwa imechipuka. Baada ya wiki mbili nilipigwa na mshangao nilipoenda kunyunyizia maji. Niliona mimea ikiwa na mashimo makubwa kwenye majani yake. Nilijua kuna adui aliyekuwa akila mimea yangu. Je, ni kiwavi au ni konokono? Usiku mmoja nilitoka nje na kurunzi yangu na kuangaliaangalia karibu na mimea. Niliona konokono na koa uchi chungu nzima. Wengine walikuwa juu ya mimea yangu niliyoidhamini. Nilijaribu tembe za rangi ya kijani ambazo bwana google alinieleza zitawafukuza konokono. Lakini wapi! Konokono waliendelea kuangamiza mimea yangu. Nikajaribu maganda ya mayai. Lakini wapi! Niliendelea kupoteza mimea yangu. Niliamua kuwawinda konokono mimi mwenyewe. Nilitoka nje usiku mmoja kama nimejihami kwa kurunzi, mkebe na glovu mkononi. Nikaangalia juu ya mimea, kando yake na chini yake. Kila nilipomwona konokono nilimweka ndani ya mfuko. Baada ya kuzunguka nilipata kama kilo moja ya konokono. Nifanye nini nao? Niwachemshe wawe kitoweo au niwatupe pipani? Kila usiku nilitoka kwenda kuwinda konokono na baada ya wiki mbili niliona mimea yangu inanawiri tena. Kumbe kuwasaka konokono kulisaidia!
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Konokono Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona alipigwa na mshangao | {
"text": [
"mimea ilikuwa na mashimo makubwa"
]
} |
2258_swa | Kuzuru Ziwa la Victoria
Mara hii familia yangu iliamua kuzuru mji wa Kisumu na kuliona ziwa la Victoria. Kutoka mji mkuu wa Nairobi mpaka Kisumu ni kama kilomita 425 kwa gari. Ziwa hili linamilikiwa na nchi tatu; Kenya, Uganda na Tanzania. Ziwa limezingirwa na bonde kuu la ufa. Kuna samaki wengi kwa hivyo tuliweza kuwaona wanawake na wanaume wakitega samaki. Wanawake waliingia majini na kutega kwa mitego midogo. Wanawake walitumia mitego kama hii na kuwashika samaki wengi wadogo. Walipika samaki hao na kulisha jamii zao. Wanaume walitumia mashua kutega. Kwa hivyo waliweza kutega samaki wakubwa kuliko kina mama. Tuliwaona wavuvi wakiwaleta samaki katika nchi kavu. Samaki mkubwa ambaye hupatikana katika ziwa hili ni mbuta. Tuliyemwona alikuwa na uzito wa kilo 140 na urefu wa mita 1.8. Pia tuliweza kupata wanyama kama mamba na kiboko. Hawa wanyama wawili ni hatari sana kwa maisha ya watu. Watu kiasi hupoteza maisha yao wanaposhambuliwa. Hivi haribuni ziwa limepatikana na janga la gugu linaloenea na kufunika maji. Wataalamu wanajaribu kutatua. Ziwa hili ni muhimu kwa nchi nyingi kwani ndio mwanzo wa mto mrefu zaidi duniani. Mto wa Nile umeanza katika ziwa hili na kwenda mpaka Misri. Niliweza kwenda mahali mto unapoanzia. Baadaye tuliwauza wenyeji watuelekeze pahali pazuri pa kupata lishe. Tuliekezwa kwenye hoteli Kiboko iliyokuwa ukingoni mwa ziwa. Tulikula samaki wa kukaangwa, ugali, sukuma wiki, kachumbari na biriani. Tamu sana! Hata kama nilihuzunika kuona ziwa lilivyoharibiwa na gugu, nilifurahia safari yangu.
Zoezi
1. Kutoka Nairobi mpaka ziwa la Victoria ni kilomita ngapi? 2. Ziwa la Victoria linamilikiwa na nchi tatu------------ --------- na---------. 3.Ni samaki gani mkubwa anayepatikana katika ziwa hili? 4. Ni mto gani maarufu duniani unaoanza kutoka hapa? 5. Ni Wanyama gani hatari wanaopatikana hapa?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuzuru Ziwa la Victoria Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kisumu kunapatikana ziwa lipi? | {
"text": [
"Viktoria"
]
} |
2258_swa | Kuzuru Ziwa la Victoria
Mara hii familia yangu iliamua kuzuru mji wa Kisumu na kuliona ziwa la Victoria. Kutoka mji mkuu wa Nairobi mpaka Kisumu ni kama kilomita 425 kwa gari. Ziwa hili linamilikiwa na nchi tatu; Kenya, Uganda na Tanzania. Ziwa limezingirwa na bonde kuu la ufa. Kuna samaki wengi kwa hivyo tuliweza kuwaona wanawake na wanaume wakitega samaki. Wanawake waliingia majini na kutega kwa mitego midogo. Wanawake walitumia mitego kama hii na kuwashika samaki wengi wadogo. Walipika samaki hao na kulisha jamii zao. Wanaume walitumia mashua kutega. Kwa hivyo waliweza kutega samaki wakubwa kuliko kina mama. Tuliwaona wavuvi wakiwaleta samaki katika nchi kavu. Samaki mkubwa ambaye hupatikana katika ziwa hili ni mbuta. Tuliyemwona alikuwa na uzito wa kilo 140 na urefu wa mita 1.8. Pia tuliweza kupata wanyama kama mamba na kiboko. Hawa wanyama wawili ni hatari sana kwa maisha ya watu. Watu kiasi hupoteza maisha yao wanaposhambuliwa. Hivi haribuni ziwa limepatikana na janga la gugu linaloenea na kufunika maji. Wataalamu wanajaribu kutatua. Ziwa hili ni muhimu kwa nchi nyingi kwani ndio mwanzo wa mto mrefu zaidi duniani. Mto wa Nile umeanza katika ziwa hili na kwenda mpaka Misri. Niliweza kwenda mahali mto unapoanzia. Baadaye tuliwauza wenyeji watuelekeze pahali pazuri pa kupata lishe. Tuliekezwa kwenye hoteli Kiboko iliyokuwa ukingoni mwa ziwa. Tulikula samaki wa kukaangwa, ugali, sukuma wiki, kachumbari na biriani. Tamu sana! Hata kama nilihuzunika kuona ziwa lilivyoharibiwa na gugu, nilifurahia safari yangu.
Zoezi
1. Kutoka Nairobi mpaka ziwa la Victoria ni kilomita ngapi? 2. Ziwa la Victoria linamilikiwa na nchi tatu------------ --------- na---------. 3.Ni samaki gani mkubwa anayepatikana katika ziwa hili? 4. Ni mto gani maarufu duniani unaoanza kutoka hapa? 5. Ni Wanyama gani hatari wanaopatikana hapa?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuzuru Ziwa la Victoria Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kutoka Nairobi hadi Kisumu ni kama kilomita ngapi? | {
"text": [
"425"
]
} |
2258_swa | Kuzuru Ziwa la Victoria
Mara hii familia yangu iliamua kuzuru mji wa Kisumu na kuliona ziwa la Victoria. Kutoka mji mkuu wa Nairobi mpaka Kisumu ni kama kilomita 425 kwa gari. Ziwa hili linamilikiwa na nchi tatu; Kenya, Uganda na Tanzania. Ziwa limezingirwa na bonde kuu la ufa. Kuna samaki wengi kwa hivyo tuliweza kuwaona wanawake na wanaume wakitega samaki. Wanawake waliingia majini na kutega kwa mitego midogo. Wanawake walitumia mitego kama hii na kuwashika samaki wengi wadogo. Walipika samaki hao na kulisha jamii zao. Wanaume walitumia mashua kutega. Kwa hivyo waliweza kutega samaki wakubwa kuliko kina mama. Tuliwaona wavuvi wakiwaleta samaki katika nchi kavu. Samaki mkubwa ambaye hupatikana katika ziwa hili ni mbuta. Tuliyemwona alikuwa na uzito wa kilo 140 na urefu wa mita 1.8. Pia tuliweza kupata wanyama kama mamba na kiboko. Hawa wanyama wawili ni hatari sana kwa maisha ya watu. Watu kiasi hupoteza maisha yao wanaposhambuliwa. Hivi haribuni ziwa limepatikana na janga la gugu linaloenea na kufunika maji. Wataalamu wanajaribu kutatua. Ziwa hili ni muhimu kwa nchi nyingi kwani ndio mwanzo wa mto mrefu zaidi duniani. Mto wa Nile umeanza katika ziwa hili na kwenda mpaka Misri. Niliweza kwenda mahali mto unapoanzia. Baadaye tuliwauza wenyeji watuelekeze pahali pazuri pa kupata lishe. Tuliekezwa kwenye hoteli Kiboko iliyokuwa ukingoni mwa ziwa. Tulikula samaki wa kukaangwa, ugali, sukuma wiki, kachumbari na biriani. Tamu sana! Hata kama nilihuzunika kuona ziwa lilivyoharibiwa na gugu, nilifurahia safari yangu.
Zoezi
1. Kutoka Nairobi mpaka ziwa la Victoria ni kilomita ngapi? 2. Ziwa la Victoria linamilikiwa na nchi tatu------------ --------- na---------. 3.Ni samaki gani mkubwa anayepatikana katika ziwa hili? 4. Ni mto gani maarufu duniani unaoanza kutoka hapa? 5. Ni Wanyama gani hatari wanaopatikana hapa?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuzuru Ziwa la Victoria Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nchi ipi lingine linamiliki ziwa Viktoria? | {
"text": [
"Uganda"
]
} |
2258_swa | Kuzuru Ziwa la Victoria
Mara hii familia yangu iliamua kuzuru mji wa Kisumu na kuliona ziwa la Victoria. Kutoka mji mkuu wa Nairobi mpaka Kisumu ni kama kilomita 425 kwa gari. Ziwa hili linamilikiwa na nchi tatu; Kenya, Uganda na Tanzania. Ziwa limezingirwa na bonde kuu la ufa. Kuna samaki wengi kwa hivyo tuliweza kuwaona wanawake na wanaume wakitega samaki. Wanawake waliingia majini na kutega kwa mitego midogo. Wanawake walitumia mitego kama hii na kuwashika samaki wengi wadogo. Walipika samaki hao na kulisha jamii zao. Wanaume walitumia mashua kutega. Kwa hivyo waliweza kutega samaki wakubwa kuliko kina mama. Tuliwaona wavuvi wakiwaleta samaki katika nchi kavu. Samaki mkubwa ambaye hupatikana katika ziwa hili ni mbuta. Tuliyemwona alikuwa na uzito wa kilo 140 na urefu wa mita 1.8. Pia tuliweza kupata wanyama kama mamba na kiboko. Hawa wanyama wawili ni hatari sana kwa maisha ya watu. Watu kiasi hupoteza maisha yao wanaposhambuliwa. Hivi haribuni ziwa limepatikana na janga la gugu linaloenea na kufunika maji. Wataalamu wanajaribu kutatua. Ziwa hili ni muhimu kwa nchi nyingi kwani ndio mwanzo wa mto mrefu zaidi duniani. Mto wa Nile umeanza katika ziwa hili na kwenda mpaka Misri. Niliweza kwenda mahali mto unapoanzia. Baadaye tuliwauza wenyeji watuelekeze pahali pazuri pa kupata lishe. Tuliekezwa kwenye hoteli Kiboko iliyokuwa ukingoni mwa ziwa. Tulikula samaki wa kukaangwa, ugali, sukuma wiki, kachumbari na biriani. Tamu sana! Hata kama nilihuzunika kuona ziwa lilivyoharibiwa na gugu, nilifurahia safari yangu.
Zoezi
1. Kutoka Nairobi mpaka ziwa la Victoria ni kilomita ngapi? 2. Ziwa la Victoria linamilikiwa na nchi tatu------------ --------- na---------. 3.Ni samaki gani mkubwa anayepatikana katika ziwa hili? 4. Ni mto gani maarufu duniani unaoanza kutoka hapa? 5. Ni Wanyama gani hatari wanaopatikana hapa?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuzuru Ziwa la Victoria Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Samaki mkubwa anayepatikana katika ziwa Viktoria ni yupi? | {
"text": [
"Mbuta"
]
} |
2258_swa | Kuzuru Ziwa la Victoria
Mara hii familia yangu iliamua kuzuru mji wa Kisumu na kuliona ziwa la Victoria. Kutoka mji mkuu wa Nairobi mpaka Kisumu ni kama kilomita 425 kwa gari. Ziwa hili linamilikiwa na nchi tatu; Kenya, Uganda na Tanzania. Ziwa limezingirwa na bonde kuu la ufa. Kuna samaki wengi kwa hivyo tuliweza kuwaona wanawake na wanaume wakitega samaki. Wanawake waliingia majini na kutega kwa mitego midogo. Wanawake walitumia mitego kama hii na kuwashika samaki wengi wadogo. Walipika samaki hao na kulisha jamii zao. Wanaume walitumia mashua kutega. Kwa hivyo waliweza kutega samaki wakubwa kuliko kina mama. Tuliwaona wavuvi wakiwaleta samaki katika nchi kavu. Samaki mkubwa ambaye hupatikana katika ziwa hili ni mbuta. Tuliyemwona alikuwa na uzito wa kilo 140 na urefu wa mita 1.8. Pia tuliweza kupata wanyama kama mamba na kiboko. Hawa wanyama wawili ni hatari sana kwa maisha ya watu. Watu kiasi hupoteza maisha yao wanaposhambuliwa. Hivi haribuni ziwa limepatikana na janga la gugu linaloenea na kufunika maji. Wataalamu wanajaribu kutatua. Ziwa hili ni muhimu kwa nchi nyingi kwani ndio mwanzo wa mto mrefu zaidi duniani. Mto wa Nile umeanza katika ziwa hili na kwenda mpaka Misri. Niliweza kwenda mahali mto unapoanzia. Baadaye tuliwauza wenyeji watuelekeze pahali pazuri pa kupata lishe. Tuliekezwa kwenye hoteli Kiboko iliyokuwa ukingoni mwa ziwa. Tulikula samaki wa kukaangwa, ugali, sukuma wiki, kachumbari na biriani. Tamu sana! Hata kama nilihuzunika kuona ziwa lilivyoharibiwa na gugu, nilifurahia safari yangu.
Zoezi
1. Kutoka Nairobi mpaka ziwa la Victoria ni kilomita ngapi? 2. Ziwa la Victoria linamilikiwa na nchi tatu------------ --------- na---------. 3.Ni samaki gani mkubwa anayepatikana katika ziwa hili? 4. Ni mto gani maarufu duniani unaoanza kutoka hapa? 5. Ni Wanyama gani hatari wanaopatikana hapa?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kuzuru Ziwa la Victoria Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mnyama yupi pia anaishi kwenye ziwa Viktoria? | {
"text": [
"Kiboko"
]
} |
2259_swa | Madola mjanja
Kulikuwa na tajiri mmoja mjanja aliyeitwa Madola. Aliwaajiri watu waliofanya kazi kwa bidii, lakini walipomaliza, hakuwalipa ada zao.
Dande alikuwa mvulana mdogo aliyeishi na bibi yake. Alikwenda kwa Madola kuajiriwa ili aweze kumnunulia bibi dawa. Alipata kazi ya kuwachunga mifugo wa Madola.
Mwisho wa mwezi, Dande alikwenda ili apate malipo yake. Madola alifanya ujanja akamwambia, "Nenda nyumbani kisha urudi kesho nikulipe."
Keshoye, Dande alifika kwa Madola mapema akitarajia kulipwa. Madola alifanya ujeuri tena akamwambia, "Hala! Kwani wewe ni mwanafunzi? Kwa nini umefika hapa mapema hivi? Kwani hii ni shule?"
Madola alimpeleka Dande mbali na wafanyakazi wengine akamwambia, "Nitakulipa, lakini, kwanza niletee kibuyu cha asali tamu."
Dande alifikiria, "Ni muhimu sana kuzipata zile hela ili nimnunulie bibi dawa." Alivibeba vibuyu viwili akakimbia msituni kuitafuta asali. Alipouna mzinga, aliviweka vibuyu karibu akasubiri vijae.
Dande aliwaza jinsi ya kumwadhibu Madola. Hakumwona nyoka mdogo mweusi mwenye sumu akiingia katika kibuyu kimoja. Dande aliviziba vile vibuyu ili asali isidondoke kisha akaondoka.
Dande alimpelekea Madola kibuyu cha asali akitarajia kulipwa. Madola aliionja asali, akasema, "Niletee kibuyu cha pili cha asali kama hii ndipo nikulipe." Dande alikimbia kukileta kibuyu cha pili bila kujua ndicho kilichoingiwa yule nyoka.
Dande alimpatia Madola kibuyu cha pili akisema, "Ndicho hiki kibuyu cha asali tamu kama ile ya kwanza. Naomba unilipe sasa."
Madola alikipokea kibuyu lakini kwa mara nyingine, alimwambia Dande kwa ujanja, "Sikulipi leo. Subiri mwisho wa mwaka." Dande alimtazama Madola kwa hasira kisha akageuka karudi nyumbani.
Madola alitaka kuila ile asali kwa pupa. Alipokitia kidole ndani ya kibuyu, aliumwa. Alitoka nje akilia, "Nimeumwa! Nisaidieni jamani!" Nyoka aliyemuuma alitoroka bila kuonwa na yeyote.
Wafanyakazi wote walikimbia wasijue kilichotendeka kwa mwajiri wao. Baadaye, ambulansi ilifika na kumpeleka Madola hospitali.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Madola mjanja Author - Mariam Yusuf Translation - African Storybook Illustration - Brian Juma Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Tajiri aliyekataa kuwalipa watu walionfanyia kazi aliitwaje? | {
"text": [
"Madola"
]
} |
2259_swa | Madola mjanja
Kulikuwa na tajiri mmoja mjanja aliyeitwa Madola. Aliwaajiri watu waliofanya kazi kwa bidii, lakini walipomaliza, hakuwalipa ada zao.
Dande alikuwa mvulana mdogo aliyeishi na bibi yake. Alikwenda kwa Madola kuajiriwa ili aweze kumnunulia bibi dawa. Alipata kazi ya kuwachunga mifugo wa Madola.
Mwisho wa mwezi, Dande alikwenda ili apate malipo yake. Madola alifanya ujanja akamwambia, "Nenda nyumbani kisha urudi kesho nikulipe."
Keshoye, Dande alifika kwa Madola mapema akitarajia kulipwa. Madola alifanya ujeuri tena akamwambia, "Hala! Kwani wewe ni mwanafunzi? Kwa nini umefika hapa mapema hivi? Kwani hii ni shule?"
Madola alimpeleka Dande mbali na wafanyakazi wengine akamwambia, "Nitakulipa, lakini, kwanza niletee kibuyu cha asali tamu."
Dande alifikiria, "Ni muhimu sana kuzipata zile hela ili nimnunulie bibi dawa." Alivibeba vibuyu viwili akakimbia msituni kuitafuta asali. Alipouna mzinga, aliviweka vibuyu karibu akasubiri vijae.
Dande aliwaza jinsi ya kumwadhibu Madola. Hakumwona nyoka mdogo mweusi mwenye sumu akiingia katika kibuyu kimoja. Dande aliviziba vile vibuyu ili asali isidondoke kisha akaondoka.
Dande alimpelekea Madola kibuyu cha asali akitarajia kulipwa. Madola aliionja asali, akasema, "Niletee kibuyu cha pili cha asali kama hii ndipo nikulipe." Dande alikimbia kukileta kibuyu cha pili bila kujua ndicho kilichoingiwa yule nyoka.
Dande alimpatia Madola kibuyu cha pili akisema, "Ndicho hiki kibuyu cha asali tamu kama ile ya kwanza. Naomba unilipe sasa."
Madola alikipokea kibuyu lakini kwa mara nyingine, alimwambia Dande kwa ujanja, "Sikulipi leo. Subiri mwisho wa mwaka." Dande alimtazama Madola kwa hasira kisha akageuka karudi nyumbani.
Madola alitaka kuila ile asali kwa pupa. Alipokitia kidole ndani ya kibuyu, aliumwa. Alitoka nje akilia, "Nimeumwa! Nisaidieni jamani!" Nyoka aliyemuuma alitoroka bila kuonwa na yeyote.
Wafanyakazi wote walikimbia wasijue kilichotendeka kwa mwajiri wao. Baadaye, ambulansi ilifika na kumpeleka Madola hospitali.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Madola mjanja Author - Mariam Yusuf Translation - African Storybook Illustration - Brian Juma Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kijana aliyeenda kwa tajiri Madola alitaka kununua nini? | {
"text": [
"Dawa"
]
} |
2259_swa | Madola mjanja
Kulikuwa na tajiri mmoja mjanja aliyeitwa Madola. Aliwaajiri watu waliofanya kazi kwa bidii, lakini walipomaliza, hakuwalipa ada zao.
Dande alikuwa mvulana mdogo aliyeishi na bibi yake. Alikwenda kwa Madola kuajiriwa ili aweze kumnunulia bibi dawa. Alipata kazi ya kuwachunga mifugo wa Madola.
Mwisho wa mwezi, Dande alikwenda ili apate malipo yake. Madola alifanya ujanja akamwambia, "Nenda nyumbani kisha urudi kesho nikulipe."
Keshoye, Dande alifika kwa Madola mapema akitarajia kulipwa. Madola alifanya ujeuri tena akamwambia, "Hala! Kwani wewe ni mwanafunzi? Kwa nini umefika hapa mapema hivi? Kwani hii ni shule?"
Madola alimpeleka Dande mbali na wafanyakazi wengine akamwambia, "Nitakulipa, lakini, kwanza niletee kibuyu cha asali tamu."
Dande alifikiria, "Ni muhimu sana kuzipata zile hela ili nimnunulie bibi dawa." Alivibeba vibuyu viwili akakimbia msituni kuitafuta asali. Alipouna mzinga, aliviweka vibuyu karibu akasubiri vijae.
Dande aliwaza jinsi ya kumwadhibu Madola. Hakumwona nyoka mdogo mweusi mwenye sumu akiingia katika kibuyu kimoja. Dande aliviziba vile vibuyu ili asali isidondoke kisha akaondoka.
Dande alimpelekea Madola kibuyu cha asali akitarajia kulipwa. Madola aliionja asali, akasema, "Niletee kibuyu cha pili cha asali kama hii ndipo nikulipe." Dande alikimbia kukileta kibuyu cha pili bila kujua ndicho kilichoingiwa yule nyoka.
Dande alimpatia Madola kibuyu cha pili akisema, "Ndicho hiki kibuyu cha asali tamu kama ile ya kwanza. Naomba unilipe sasa."
Madola alikipokea kibuyu lakini kwa mara nyingine, alimwambia Dande kwa ujanja, "Sikulipi leo. Subiri mwisho wa mwaka." Dande alimtazama Madola kwa hasira kisha akageuka karudi nyumbani.
Madola alitaka kuila ile asali kwa pupa. Alipokitia kidole ndani ya kibuyu, aliumwa. Alitoka nje akilia, "Nimeumwa! Nisaidieni jamani!" Nyoka aliyemuuma alitoroka bila kuonwa na yeyote.
Wafanyakazi wote walikimbia wasijue kilichotendeka kwa mwajiri wao. Baadaye, ambulansi ilifika na kumpeleka Madola hospitali.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Madola mjanja Author - Mariam Yusuf Translation - African Storybook Illustration - Brian Juma Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mnyama yupi aliingia kwenye kibuyu cha asali? | {
"text": [
"Nyoka"
]
} |
2259_swa | Madola mjanja
Kulikuwa na tajiri mmoja mjanja aliyeitwa Madola. Aliwaajiri watu waliofanya kazi kwa bidii, lakini walipomaliza, hakuwalipa ada zao.
Dande alikuwa mvulana mdogo aliyeishi na bibi yake. Alikwenda kwa Madola kuajiriwa ili aweze kumnunulia bibi dawa. Alipata kazi ya kuwachunga mifugo wa Madola.
Mwisho wa mwezi, Dande alikwenda ili apate malipo yake. Madola alifanya ujanja akamwambia, "Nenda nyumbani kisha urudi kesho nikulipe."
Keshoye, Dande alifika kwa Madola mapema akitarajia kulipwa. Madola alifanya ujeuri tena akamwambia, "Hala! Kwani wewe ni mwanafunzi? Kwa nini umefika hapa mapema hivi? Kwani hii ni shule?"
Madola alimpeleka Dande mbali na wafanyakazi wengine akamwambia, "Nitakulipa, lakini, kwanza niletee kibuyu cha asali tamu."
Dande alifikiria, "Ni muhimu sana kuzipata zile hela ili nimnunulie bibi dawa." Alivibeba vibuyu viwili akakimbia msituni kuitafuta asali. Alipouna mzinga, aliviweka vibuyu karibu akasubiri vijae.
Dande aliwaza jinsi ya kumwadhibu Madola. Hakumwona nyoka mdogo mweusi mwenye sumu akiingia katika kibuyu kimoja. Dande aliviziba vile vibuyu ili asali isidondoke kisha akaondoka.
Dande alimpelekea Madola kibuyu cha asali akitarajia kulipwa. Madola aliionja asali, akasema, "Niletee kibuyu cha pili cha asali kama hii ndipo nikulipe." Dande alikimbia kukileta kibuyu cha pili bila kujua ndicho kilichoingiwa yule nyoka.
Dande alimpatia Madola kibuyu cha pili akisema, "Ndicho hiki kibuyu cha asali tamu kama ile ya kwanza. Naomba unilipe sasa."
Madola alikipokea kibuyu lakini kwa mara nyingine, alimwambia Dande kwa ujanja, "Sikulipi leo. Subiri mwisho wa mwaka." Dande alimtazama Madola kwa hasira kisha akageuka karudi nyumbani.
Madola alitaka kuila ile asali kwa pupa. Alipokitia kidole ndani ya kibuyu, aliumwa. Alitoka nje akilia, "Nimeumwa! Nisaidieni jamani!" Nyoka aliyemuuma alitoroka bila kuonwa na yeyote.
Wafanyakazi wote walikimbia wasijue kilichotendeka kwa mwajiri wao. Baadaye, ambulansi ilifika na kumpeleka Madola hospitali.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Madola mjanja Author - Mariam Yusuf Translation - African Storybook Illustration - Brian Juma Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nini kilimfanyikia tajiri Madola baada ya kuonja asali katika kibuyu cha pili? | {
"text": [
"Aliumwa na nyoka"
]
} |
2259_swa | Madola mjanja
Kulikuwa na tajiri mmoja mjanja aliyeitwa Madola. Aliwaajiri watu waliofanya kazi kwa bidii, lakini walipomaliza, hakuwalipa ada zao.
Dande alikuwa mvulana mdogo aliyeishi na bibi yake. Alikwenda kwa Madola kuajiriwa ili aweze kumnunulia bibi dawa. Alipata kazi ya kuwachunga mifugo wa Madola.
Mwisho wa mwezi, Dande alikwenda ili apate malipo yake. Madola alifanya ujanja akamwambia, "Nenda nyumbani kisha urudi kesho nikulipe."
Keshoye, Dande alifika kwa Madola mapema akitarajia kulipwa. Madola alifanya ujeuri tena akamwambia, "Hala! Kwani wewe ni mwanafunzi? Kwa nini umefika hapa mapema hivi? Kwani hii ni shule?"
Madola alimpeleka Dande mbali na wafanyakazi wengine akamwambia, "Nitakulipa, lakini, kwanza niletee kibuyu cha asali tamu."
Dande alifikiria, "Ni muhimu sana kuzipata zile hela ili nimnunulie bibi dawa." Alivibeba vibuyu viwili akakimbia msituni kuitafuta asali. Alipouna mzinga, aliviweka vibuyu karibu akasubiri vijae.
Dande aliwaza jinsi ya kumwadhibu Madola. Hakumwona nyoka mdogo mweusi mwenye sumu akiingia katika kibuyu kimoja. Dande aliviziba vile vibuyu ili asali isidondoke kisha akaondoka.
Dande alimpelekea Madola kibuyu cha asali akitarajia kulipwa. Madola aliionja asali, akasema, "Niletee kibuyu cha pili cha asali kama hii ndipo nikulipe." Dande alikimbia kukileta kibuyu cha pili bila kujua ndicho kilichoingiwa yule nyoka.
Dande alimpatia Madola kibuyu cha pili akisema, "Ndicho hiki kibuyu cha asali tamu kama ile ya kwanza. Naomba unilipe sasa."
Madola alikipokea kibuyu lakini kwa mara nyingine, alimwambia Dande kwa ujanja, "Sikulipi leo. Subiri mwisho wa mwaka." Dande alimtazama Madola kwa hasira kisha akageuka karudi nyumbani.
Madola alitaka kuila ile asali kwa pupa. Alipokitia kidole ndani ya kibuyu, aliumwa. Alitoka nje akilia, "Nimeumwa! Nisaidieni jamani!" Nyoka aliyemuuma alitoroka bila kuonwa na yeyote.
Wafanyakazi wote walikimbia wasijue kilichotendeka kwa mwajiri wao. Baadaye, ambulansi ilifika na kumpeleka Madola hospitali.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Madola mjanja Author - Mariam Yusuf Translation - African Storybook Illustration - Brian Juma Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alimletea tajiri Madola vibuyu vya asali? | {
"text": [
"Dande"
]
} |
2260_swa | Magezi na Kasiira
Magezi na Kasiira waliishi pamoja. Walishiriki chakula pamoja.
Magezi alisema, "Tulime pamoja jinsi tunavyokula pamoja."
Magezi alimwambia Kasiira, "Wewe lima mimi nitapanda."
Magezi pia alimwambia Kasiira, "Wewe panda mimi nitapalilia."
Mtama ulikomaa. Kasiira alimwambia Magezi avune.
Magezi alijibu, "Wewe vuna. Mimi nitahifadhi."
Magezi alikuwa mvivu. Kasiira alimpatia kifungu kimoja tu cha mtama.
Magezi alikutana na Kuku.
Kuku alikula ule mtama. Alimpatia Magezi yai.
Magezi aliwakuta watoto wekicheza. Walilivunja lile yai.
Watoto walimpatia Magezi embe.
Magezi alimkuta Kasuku. Kasuku alilikula embe kisha akampatia unyoya.
Ziwa liliuchukua unyoya. Likampatia Magezi maji.
Magezi aliyatumia maji kuzima moto wa wachoma makaa.
Wachoma makaa walimpatia Magezi shoka.
Magezi aliwakuta wachinjaji. Waliivunja shoka.
Magezi alipatiwa kichwa na mkia wa fahali. Ona alichofanya Magezi!
Alipiga mayowe, "Fahali wa mfalme amekwama matopeni!" Ulikuwa ujanja tu.
Watu walikuja kumsaidia. Magezi aliwaambia, "Vuteni mkia na kichwa."
Magezi aliwaambia watu, "Nipeni ng'ombe wenu nimpelekee mfalme."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magezi na Kasiira Author - Cornelius Gulere Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Magezi na Kasiira waliishi vipi | {
"text": [
"Pamoja"
]
} |
2260_swa | Magezi na Kasiira
Magezi na Kasiira waliishi pamoja. Walishiriki chakula pamoja.
Magezi alisema, "Tulime pamoja jinsi tunavyokula pamoja."
Magezi alimwambia Kasiira, "Wewe lima mimi nitapanda."
Magezi pia alimwambia Kasiira, "Wewe panda mimi nitapalilia."
Mtama ulikomaa. Kasiira alimwambia Magezi avune.
Magezi alijibu, "Wewe vuna. Mimi nitahifadhi."
Magezi alikuwa mvivu. Kasiira alimpatia kifungu kimoja tu cha mtama.
Magezi alikutana na Kuku.
Kuku alikula ule mtama. Alimpatia Magezi yai.
Magezi aliwakuta watoto wekicheza. Walilivunja lile yai.
Watoto walimpatia Magezi embe.
Magezi alimkuta Kasuku. Kasuku alilikula embe kisha akampatia unyoya.
Ziwa liliuchukua unyoya. Likampatia Magezi maji.
Magezi aliyatumia maji kuzima moto wa wachoma makaa.
Wachoma makaa walimpatia Magezi shoka.
Magezi aliwakuta wachinjaji. Waliivunja shoka.
Magezi alipatiwa kichwa na mkia wa fahali. Ona alichofanya Magezi!
Alipiga mayowe, "Fahali wa mfalme amekwama matopeni!" Ulikuwa ujanja tu.
Watu walikuja kumsaidia. Magezi aliwaambia, "Vuteni mkia na kichwa."
Magezi aliwaambia watu, "Nipeni ng'ombe wenu nimpelekee mfalme."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magezi na Kasiira Author - Cornelius Gulere Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Magezi alimwambia nani alime na yeye apande | {
"text": [
"Kasiira"
]
} |
2260_swa | Magezi na Kasiira
Magezi na Kasiira waliishi pamoja. Walishiriki chakula pamoja.
Magezi alisema, "Tulime pamoja jinsi tunavyokula pamoja."
Magezi alimwambia Kasiira, "Wewe lima mimi nitapanda."
Magezi pia alimwambia Kasiira, "Wewe panda mimi nitapalilia."
Mtama ulikomaa. Kasiira alimwambia Magezi avune.
Magezi alijibu, "Wewe vuna. Mimi nitahifadhi."
Magezi alikuwa mvivu. Kasiira alimpatia kifungu kimoja tu cha mtama.
Magezi alikutana na Kuku.
Kuku alikula ule mtama. Alimpatia Magezi yai.
Magezi aliwakuta watoto wekicheza. Walilivunja lile yai.
Watoto walimpatia Magezi embe.
Magezi alimkuta Kasuku. Kasuku alilikula embe kisha akampatia unyoya.
Ziwa liliuchukua unyoya. Likampatia Magezi maji.
Magezi aliyatumia maji kuzima moto wa wachoma makaa.
Wachoma makaa walimpatia Magezi shoka.
Magezi aliwakuta wachinjaji. Waliivunja shoka.
Magezi alipatiwa kichwa na mkia wa fahali. Ona alichofanya Magezi!
Alipiga mayowe, "Fahali wa mfalme amekwama matopeni!" Ulikuwa ujanja tu.
Watu walikuja kumsaidia. Magezi aliwaambia, "Vuteni mkia na kichwa."
Magezi aliwaambia watu, "Nipeni ng'ombe wenu nimpelekee mfalme."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magezi na Kasiira Author - Cornelius Gulere Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Mtama ulipokomaa Kasiira alimwambia Magezi afanye nini | {
"text": [
"Avune"
]
} |
2260_swa | Magezi na Kasiira
Magezi na Kasiira waliishi pamoja. Walishiriki chakula pamoja.
Magezi alisema, "Tulime pamoja jinsi tunavyokula pamoja."
Magezi alimwambia Kasiira, "Wewe lima mimi nitapanda."
Magezi pia alimwambia Kasiira, "Wewe panda mimi nitapalilia."
Mtama ulikomaa. Kasiira alimwambia Magezi avune.
Magezi alijibu, "Wewe vuna. Mimi nitahifadhi."
Magezi alikuwa mvivu. Kasiira alimpatia kifungu kimoja tu cha mtama.
Magezi alikutana na Kuku.
Kuku alikula ule mtama. Alimpatia Magezi yai.
Magezi aliwakuta watoto wekicheza. Walilivunja lile yai.
Watoto walimpatia Magezi embe.
Magezi alimkuta Kasuku. Kasuku alilikula embe kisha akampatia unyoya.
Ziwa liliuchukua unyoya. Likampatia Magezi maji.
Magezi aliyatumia maji kuzima moto wa wachoma makaa.
Wachoma makaa walimpatia Magezi shoka.
Magezi aliwakuta wachinjaji. Waliivunja shoka.
Magezi alipatiwa kichwa na mkia wa fahali. Ona alichofanya Magezi!
Alipiga mayowe, "Fahali wa mfalme amekwama matopeni!" Ulikuwa ujanja tu.
Watu walikuja kumsaidia. Magezi aliwaambia, "Vuteni mkia na kichwa."
Magezi aliwaambia watu, "Nipeni ng'ombe wenu nimpelekee mfalme."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magezi na Kasiira Author - Cornelius Gulere Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Kasiira alimpatia vifungu vingapi vya mtama | {
"text": [
"Kimoja"
]
} |
2260_swa | Magezi na Kasiira
Magezi na Kasiira waliishi pamoja. Walishiriki chakula pamoja.
Magezi alisema, "Tulime pamoja jinsi tunavyokula pamoja."
Magezi alimwambia Kasiira, "Wewe lima mimi nitapanda."
Magezi pia alimwambia Kasiira, "Wewe panda mimi nitapalilia."
Mtama ulikomaa. Kasiira alimwambia Magezi avune.
Magezi alijibu, "Wewe vuna. Mimi nitahifadhi."
Magezi alikuwa mvivu. Kasiira alimpatia kifungu kimoja tu cha mtama.
Magezi alikutana na Kuku.
Kuku alikula ule mtama. Alimpatia Magezi yai.
Magezi aliwakuta watoto wekicheza. Walilivunja lile yai.
Watoto walimpatia Magezi embe.
Magezi alimkuta Kasuku. Kasuku alilikula embe kisha akampatia unyoya.
Ziwa liliuchukua unyoya. Likampatia Magezi maji.
Magezi aliyatumia maji kuzima moto wa wachoma makaa.
Wachoma makaa walimpatia Magezi shoka.
Magezi aliwakuta wachinjaji. Waliivunja shoka.
Magezi alipatiwa kichwa na mkia wa fahali. Ona alichofanya Magezi!
Alipiga mayowe, "Fahali wa mfalme amekwama matopeni!" Ulikuwa ujanja tu.
Watu walikuja kumsaidia. Magezi aliwaambia, "Vuteni mkia na kichwa."
Magezi aliwaambia watu, "Nipeni ng'ombe wenu nimpelekee mfalme."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magezi na Kasiira Author - Cornelius Gulere Translation - Brigid Simiyu Illustration - Brian Wambi Language - Kiswahili Level - First words © Text: Uganda Community Libraries Association (Ugcla) Artwork: African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://ugcla.org | Magezi alifanya ujanja upi | {
"text": [
"Alipiga mayoe kuwa fahali amekwama matopeni"
]
} |
2261_swa | Magozwe
Katika jiji moja, kuliishi wavulana wa kurandaranda mtaani. Asubuhi moja walikuwa wakikoka moto kutumia karatasi walizookota. Miongoni mwao alikuwepo Magozwe, aliyekuwa mdogo kuliko wote.
Wazazi wa Magozwe walifariki akiwa na umri wa miaka mitano tu. Magozwe alienda kuishi na mjombake ambaye hakumjali. Alifanya kazi nzito bila kupewa chakula.
Magozwe alipolalamika, mjombake alimpiga. Alipotaka kwenda shule, mjombake alisema, "Usinisumbue. Wewe ni mjinga. Hata huwezi kujifunza chochote." Baada ya kuteswa kwa miaka mitatu, Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha ya mtaani yalikuwa magumu. Walikosa chakula. Walikamatwa na polisi. Walichapwa na wananchi na pia walikuwa wagonjwa. Mara kwa mara, kulikuwa na vita baina yao na makundi mengine. Wavulana hao walitegemea kuombaomba. Pia waliuza plastiki, vyuma, chupa na magazeti makuukuu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi. Alikikukuta vumbi na kukiweka ndani ya gunia lake. Kisha alizitazama picha kwani hakujua kusoma maneno.
Kitabu kilikuwa na picha za mvulana aliyekuwa rubani wa ndege. Magozwe alitamani sana kuwa rubani. Ndoto yake ilikuwa awe rubani bora zaidi ulimwenguni. Mara nyingi aliyafumba macho na kuwaza kuwa alikuwa akiendesha ndege kubwa kuliko zote!
Ulikuwa msimu wa baridi. Magozwe aliombaomba barabarani. Mwanamume mmoja alimsalimu na kujitambulisha kwake, "Hujambo? Ninaitwa Tomaso. Ninapajua mahali unapoweza kupata chakula." Tomaso alimwonyesha nyumba yenye paa la bluu. Magozwe alimtazama Tomaso, akaitazama ile nyumba kisha akasema, "Labda." Akaondoka na kwenda zake.
Miezi iliyofuata, wavulana wa mtaani walikuwa wamezoea kumwona Tomaso. Tomaso alipenda kuzungumza na watu walioishi mtaani. Aliwasikiliza wakizungumzia maisha yao. Tomaso alikuwa na nia nzuri, mvumilivu na mwenye heshima. Baadhi ya wavulana walianza kwenda katika nyumba ya paa la bluu. Wakati wa mchana walipata supu na mkate.
Magozwe alipokuwa akikitazama kitabu alichokiokota, Tomaso alimwuliza, "Hadithi hiyo inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Nadhani inamhusu mvulana aliyekuwa rubani." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza. Magozwe alijibu kwa sauti ya chini, "Sijui. Siwezi kusoma."
Baadaye, Magozwe alimweleza Tomaso sababu iliyomfanya atoroke kwa mjombake. Tomaso alimsikiliza ila hakumfanyia uamuzi.
Magozwe aliposherehekea miaka kumi ya kuzaliwa kwake, Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi. Kilimhusu mvulana mchezaji kandanda maarufu. Tomaso alimsomea Magozwe hadithi hiyo kila mara. Siku moja alisema, "Wakati wa kwenda shule umefika. Utaweza kujisomea. Unaonaje?" Tomaso alimwonyesa mahali watoto waliposaidiwa kwenda shule.
Magozwe alianza kufikiria kuhusu mahali hapo na kuhusu kwenda shule. "Labda mjombangu alisema ukweli kwamba mimi ni mjinga na siwezi kujifunza chochote? Na je, nikipigwa huko nitafanyaje? Labda ni heri kubaki mtaani." Magozwe aliyafikiria mambo hayo kwa hofu.
Magozwe alimwelezea Tomaso mawazo yake na hofu aliyokuwa nayo. Muda ulipopita, Tomaso alimshawishi Magozwe. Alimwambia kuwa maisha yake yangekuwa bora iwapo ataenda shule.
Magozwe alihamia katika chumba kimoja kwenye jumba kubwa. Alikitumia chumba hicho pamoja na wavulana wengine wawili. Jumla, walikuwepo watoto kumi walioishi katika jumba lile. Waliishi na Shangazi Cissy na mumewe, mbwa watatu, paka na mbuzi mmoja.
Magozwe alipoanza kwenda shule, haikuwa rahisi. Mara nyingi alitaka kukata tamaa. Lakini, alipokumbuka rubani na mchezaji kandanda maarfu aliowasoma katika vitabu vya hadithi, alivumilia.
Siku moja Magozwe alipokuwa akisoma kitabu, Tomaso alimwuliza, "Hadithi unayoisoma inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Inamhusu mvulana aliyekuwa mwalimu." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza tena. "Anaitwa Magozwe." Magozwe alisema kwa tabasamu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe Author - Lesley Koyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani alikua mdogo kwa vijana wote | {
"text": [
"Magozwe"
]
} |
2261_swa | Magozwe
Katika jiji moja, kuliishi wavulana wa kurandaranda mtaani. Asubuhi moja walikuwa wakikoka moto kutumia karatasi walizookota. Miongoni mwao alikuwepo Magozwe, aliyekuwa mdogo kuliko wote.
Wazazi wa Magozwe walifariki akiwa na umri wa miaka mitano tu. Magozwe alienda kuishi na mjombake ambaye hakumjali. Alifanya kazi nzito bila kupewa chakula.
Magozwe alipolalamika, mjombake alimpiga. Alipotaka kwenda shule, mjombake alisema, "Usinisumbue. Wewe ni mjinga. Hata huwezi kujifunza chochote." Baada ya kuteswa kwa miaka mitatu, Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha ya mtaani yalikuwa magumu. Walikosa chakula. Walikamatwa na polisi. Walichapwa na wananchi na pia walikuwa wagonjwa. Mara kwa mara, kulikuwa na vita baina yao na makundi mengine. Wavulana hao walitegemea kuombaomba. Pia waliuza plastiki, vyuma, chupa na magazeti makuukuu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi. Alikikukuta vumbi na kukiweka ndani ya gunia lake. Kisha alizitazama picha kwani hakujua kusoma maneno.
Kitabu kilikuwa na picha za mvulana aliyekuwa rubani wa ndege. Magozwe alitamani sana kuwa rubani. Ndoto yake ilikuwa awe rubani bora zaidi ulimwenguni. Mara nyingi aliyafumba macho na kuwaza kuwa alikuwa akiendesha ndege kubwa kuliko zote!
Ulikuwa msimu wa baridi. Magozwe aliombaomba barabarani. Mwanamume mmoja alimsalimu na kujitambulisha kwake, "Hujambo? Ninaitwa Tomaso. Ninapajua mahali unapoweza kupata chakula." Tomaso alimwonyesha nyumba yenye paa la bluu. Magozwe alimtazama Tomaso, akaitazama ile nyumba kisha akasema, "Labda." Akaondoka na kwenda zake.
Miezi iliyofuata, wavulana wa mtaani walikuwa wamezoea kumwona Tomaso. Tomaso alipenda kuzungumza na watu walioishi mtaani. Aliwasikiliza wakizungumzia maisha yao. Tomaso alikuwa na nia nzuri, mvumilivu na mwenye heshima. Baadhi ya wavulana walianza kwenda katika nyumba ya paa la bluu. Wakati wa mchana walipata supu na mkate.
Magozwe alipokuwa akikitazama kitabu alichokiokota, Tomaso alimwuliza, "Hadithi hiyo inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Nadhani inamhusu mvulana aliyekuwa rubani." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza. Magozwe alijibu kwa sauti ya chini, "Sijui. Siwezi kusoma."
Baadaye, Magozwe alimweleza Tomaso sababu iliyomfanya atoroke kwa mjombake. Tomaso alimsikiliza ila hakumfanyia uamuzi.
Magozwe aliposherehekea miaka kumi ya kuzaliwa kwake, Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi. Kilimhusu mvulana mchezaji kandanda maarufu. Tomaso alimsomea Magozwe hadithi hiyo kila mara. Siku moja alisema, "Wakati wa kwenda shule umefika. Utaweza kujisomea. Unaonaje?" Tomaso alimwonyesa mahali watoto waliposaidiwa kwenda shule.
Magozwe alianza kufikiria kuhusu mahali hapo na kuhusu kwenda shule. "Labda mjombangu alisema ukweli kwamba mimi ni mjinga na siwezi kujifunza chochote? Na je, nikipigwa huko nitafanyaje? Labda ni heri kubaki mtaani." Magozwe aliyafikiria mambo hayo kwa hofu.
Magozwe alimwelezea Tomaso mawazo yake na hofu aliyokuwa nayo. Muda ulipopita, Tomaso alimshawishi Magozwe. Alimwambia kuwa maisha yake yangekuwa bora iwapo ataenda shule.
Magozwe alihamia katika chumba kimoja kwenye jumba kubwa. Alikitumia chumba hicho pamoja na wavulana wengine wawili. Jumla, walikuwepo watoto kumi walioishi katika jumba lile. Waliishi na Shangazi Cissy na mumewe, mbwa watatu, paka na mbuzi mmoja.
Magozwe alipoanza kwenda shule, haikuwa rahisi. Mara nyingi alitaka kukata tamaa. Lakini, alipokumbuka rubani na mchezaji kandanda maarfu aliowasoma katika vitabu vya hadithi, alivumilia.
Siku moja Magozwe alipokuwa akisoma kitabu, Tomaso alimwuliza, "Hadithi unayoisoma inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Inamhusu mvulana aliyekuwa mwalimu." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza tena. "Anaitwa Magozwe." Magozwe alisema kwa tabasamu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe Author - Lesley Koyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Magozwe alitamani sana kuwa nani | {
"text": [
"rubani"
]
} |
2261_swa | Magozwe
Katika jiji moja, kuliishi wavulana wa kurandaranda mtaani. Asubuhi moja walikuwa wakikoka moto kutumia karatasi walizookota. Miongoni mwao alikuwepo Magozwe, aliyekuwa mdogo kuliko wote.
Wazazi wa Magozwe walifariki akiwa na umri wa miaka mitano tu. Magozwe alienda kuishi na mjombake ambaye hakumjali. Alifanya kazi nzito bila kupewa chakula.
Magozwe alipolalamika, mjombake alimpiga. Alipotaka kwenda shule, mjombake alisema, "Usinisumbue. Wewe ni mjinga. Hata huwezi kujifunza chochote." Baada ya kuteswa kwa miaka mitatu, Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha ya mtaani yalikuwa magumu. Walikosa chakula. Walikamatwa na polisi. Walichapwa na wananchi na pia walikuwa wagonjwa. Mara kwa mara, kulikuwa na vita baina yao na makundi mengine. Wavulana hao walitegemea kuombaomba. Pia waliuza plastiki, vyuma, chupa na magazeti makuukuu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi. Alikikukuta vumbi na kukiweka ndani ya gunia lake. Kisha alizitazama picha kwani hakujua kusoma maneno.
Kitabu kilikuwa na picha za mvulana aliyekuwa rubani wa ndege. Magozwe alitamani sana kuwa rubani. Ndoto yake ilikuwa awe rubani bora zaidi ulimwenguni. Mara nyingi aliyafumba macho na kuwaza kuwa alikuwa akiendesha ndege kubwa kuliko zote!
Ulikuwa msimu wa baridi. Magozwe aliombaomba barabarani. Mwanamume mmoja alimsalimu na kujitambulisha kwake, "Hujambo? Ninaitwa Tomaso. Ninapajua mahali unapoweza kupata chakula." Tomaso alimwonyesha nyumba yenye paa la bluu. Magozwe alimtazama Tomaso, akaitazama ile nyumba kisha akasema, "Labda." Akaondoka na kwenda zake.
Miezi iliyofuata, wavulana wa mtaani walikuwa wamezoea kumwona Tomaso. Tomaso alipenda kuzungumza na watu walioishi mtaani. Aliwasikiliza wakizungumzia maisha yao. Tomaso alikuwa na nia nzuri, mvumilivu na mwenye heshima. Baadhi ya wavulana walianza kwenda katika nyumba ya paa la bluu. Wakati wa mchana walipata supu na mkate.
Magozwe alipokuwa akikitazama kitabu alichokiokota, Tomaso alimwuliza, "Hadithi hiyo inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Nadhani inamhusu mvulana aliyekuwa rubani." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza. Magozwe alijibu kwa sauti ya chini, "Sijui. Siwezi kusoma."
Baadaye, Magozwe alimweleza Tomaso sababu iliyomfanya atoroke kwa mjombake. Tomaso alimsikiliza ila hakumfanyia uamuzi.
Magozwe aliposherehekea miaka kumi ya kuzaliwa kwake, Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi. Kilimhusu mvulana mchezaji kandanda maarufu. Tomaso alimsomea Magozwe hadithi hiyo kila mara. Siku moja alisema, "Wakati wa kwenda shule umefika. Utaweza kujisomea. Unaonaje?" Tomaso alimwonyesa mahali watoto waliposaidiwa kwenda shule.
Magozwe alianza kufikiria kuhusu mahali hapo na kuhusu kwenda shule. "Labda mjombangu alisema ukweli kwamba mimi ni mjinga na siwezi kujifunza chochote? Na je, nikipigwa huko nitafanyaje? Labda ni heri kubaki mtaani." Magozwe aliyafikiria mambo hayo kwa hofu.
Magozwe alimwelezea Tomaso mawazo yake na hofu aliyokuwa nayo. Muda ulipopita, Tomaso alimshawishi Magozwe. Alimwambia kuwa maisha yake yangekuwa bora iwapo ataenda shule.
Magozwe alihamia katika chumba kimoja kwenye jumba kubwa. Alikitumia chumba hicho pamoja na wavulana wengine wawili. Jumla, walikuwepo watoto kumi walioishi katika jumba lile. Waliishi na Shangazi Cissy na mumewe, mbwa watatu, paka na mbuzi mmoja.
Magozwe alipoanza kwenda shule, haikuwa rahisi. Mara nyingi alitaka kukata tamaa. Lakini, alipokumbuka rubani na mchezaji kandanda maarfu aliowasoma katika vitabu vya hadithi, alivumilia.
Siku moja Magozwe alipokuwa akisoma kitabu, Tomaso alimwuliza, "Hadithi unayoisoma inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Inamhusu mvulana aliyekuwa mwalimu." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza tena. "Anaitwa Magozwe." Magozwe alisema kwa tabasamu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe Author - Lesley Koyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nani alijitambulisha kwake Magozwe | {
"text": [
"Tomaso"
]
} |
2261_swa | Magozwe
Katika jiji moja, kuliishi wavulana wa kurandaranda mtaani. Asubuhi moja walikuwa wakikoka moto kutumia karatasi walizookota. Miongoni mwao alikuwepo Magozwe, aliyekuwa mdogo kuliko wote.
Wazazi wa Magozwe walifariki akiwa na umri wa miaka mitano tu. Magozwe alienda kuishi na mjombake ambaye hakumjali. Alifanya kazi nzito bila kupewa chakula.
Magozwe alipolalamika, mjombake alimpiga. Alipotaka kwenda shule, mjombake alisema, "Usinisumbue. Wewe ni mjinga. Hata huwezi kujifunza chochote." Baada ya kuteswa kwa miaka mitatu, Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha ya mtaani yalikuwa magumu. Walikosa chakula. Walikamatwa na polisi. Walichapwa na wananchi na pia walikuwa wagonjwa. Mara kwa mara, kulikuwa na vita baina yao na makundi mengine. Wavulana hao walitegemea kuombaomba. Pia waliuza plastiki, vyuma, chupa na magazeti makuukuu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi. Alikikukuta vumbi na kukiweka ndani ya gunia lake. Kisha alizitazama picha kwani hakujua kusoma maneno.
Kitabu kilikuwa na picha za mvulana aliyekuwa rubani wa ndege. Magozwe alitamani sana kuwa rubani. Ndoto yake ilikuwa awe rubani bora zaidi ulimwenguni. Mara nyingi aliyafumba macho na kuwaza kuwa alikuwa akiendesha ndege kubwa kuliko zote!
Ulikuwa msimu wa baridi. Magozwe aliombaomba barabarani. Mwanamume mmoja alimsalimu na kujitambulisha kwake, "Hujambo? Ninaitwa Tomaso. Ninapajua mahali unapoweza kupata chakula." Tomaso alimwonyesha nyumba yenye paa la bluu. Magozwe alimtazama Tomaso, akaitazama ile nyumba kisha akasema, "Labda." Akaondoka na kwenda zake.
Miezi iliyofuata, wavulana wa mtaani walikuwa wamezoea kumwona Tomaso. Tomaso alipenda kuzungumza na watu walioishi mtaani. Aliwasikiliza wakizungumzia maisha yao. Tomaso alikuwa na nia nzuri, mvumilivu na mwenye heshima. Baadhi ya wavulana walianza kwenda katika nyumba ya paa la bluu. Wakati wa mchana walipata supu na mkate.
Magozwe alipokuwa akikitazama kitabu alichokiokota, Tomaso alimwuliza, "Hadithi hiyo inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Nadhani inamhusu mvulana aliyekuwa rubani." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza. Magozwe alijibu kwa sauti ya chini, "Sijui. Siwezi kusoma."
Baadaye, Magozwe alimweleza Tomaso sababu iliyomfanya atoroke kwa mjombake. Tomaso alimsikiliza ila hakumfanyia uamuzi.
Magozwe aliposherehekea miaka kumi ya kuzaliwa kwake, Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi. Kilimhusu mvulana mchezaji kandanda maarufu. Tomaso alimsomea Magozwe hadithi hiyo kila mara. Siku moja alisema, "Wakati wa kwenda shule umefika. Utaweza kujisomea. Unaonaje?" Tomaso alimwonyesa mahali watoto waliposaidiwa kwenda shule.
Magozwe alianza kufikiria kuhusu mahali hapo na kuhusu kwenda shule. "Labda mjombangu alisema ukweli kwamba mimi ni mjinga na siwezi kujifunza chochote? Na je, nikipigwa huko nitafanyaje? Labda ni heri kubaki mtaani." Magozwe aliyafikiria mambo hayo kwa hofu.
Magozwe alimwelezea Tomaso mawazo yake na hofu aliyokuwa nayo. Muda ulipopita, Tomaso alimshawishi Magozwe. Alimwambia kuwa maisha yake yangekuwa bora iwapo ataenda shule.
Magozwe alihamia katika chumba kimoja kwenye jumba kubwa. Alikitumia chumba hicho pamoja na wavulana wengine wawili. Jumla, walikuwepo watoto kumi walioishi katika jumba lile. Waliishi na Shangazi Cissy na mumewe, mbwa watatu, paka na mbuzi mmoja.
Magozwe alipoanza kwenda shule, haikuwa rahisi. Mara nyingi alitaka kukata tamaa. Lakini, alipokumbuka rubani na mchezaji kandanda maarfu aliowasoma katika vitabu vya hadithi, alivumilia.
Siku moja Magozwe alipokuwa akisoma kitabu, Tomaso alimwuliza, "Hadithi unayoisoma inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Inamhusu mvulana aliyekuwa mwalimu." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza tena. "Anaitwa Magozwe." Magozwe alisema kwa tabasamu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe Author - Lesley Koyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wazazi wa Magozwe walifariki lini | {
"text": [
"akiwa miaka mitano"
]
} |
2261_swa | Magozwe
Katika jiji moja, kuliishi wavulana wa kurandaranda mtaani. Asubuhi moja walikuwa wakikoka moto kutumia karatasi walizookota. Miongoni mwao alikuwepo Magozwe, aliyekuwa mdogo kuliko wote.
Wazazi wa Magozwe walifariki akiwa na umri wa miaka mitano tu. Magozwe alienda kuishi na mjombake ambaye hakumjali. Alifanya kazi nzito bila kupewa chakula.
Magozwe alipolalamika, mjombake alimpiga. Alipotaka kwenda shule, mjombake alisema, "Usinisumbue. Wewe ni mjinga. Hata huwezi kujifunza chochote." Baada ya kuteswa kwa miaka mitatu, Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha ya mtaani yalikuwa magumu. Walikosa chakula. Walikamatwa na polisi. Walichapwa na wananchi na pia walikuwa wagonjwa. Mara kwa mara, kulikuwa na vita baina yao na makundi mengine. Wavulana hao walitegemea kuombaomba. Pia waliuza plastiki, vyuma, chupa na magazeti makuukuu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi. Alikikukuta vumbi na kukiweka ndani ya gunia lake. Kisha alizitazama picha kwani hakujua kusoma maneno.
Kitabu kilikuwa na picha za mvulana aliyekuwa rubani wa ndege. Magozwe alitamani sana kuwa rubani. Ndoto yake ilikuwa awe rubani bora zaidi ulimwenguni. Mara nyingi aliyafumba macho na kuwaza kuwa alikuwa akiendesha ndege kubwa kuliko zote!
Ulikuwa msimu wa baridi. Magozwe aliombaomba barabarani. Mwanamume mmoja alimsalimu na kujitambulisha kwake, "Hujambo? Ninaitwa Tomaso. Ninapajua mahali unapoweza kupata chakula." Tomaso alimwonyesha nyumba yenye paa la bluu. Magozwe alimtazama Tomaso, akaitazama ile nyumba kisha akasema, "Labda." Akaondoka na kwenda zake.
Miezi iliyofuata, wavulana wa mtaani walikuwa wamezoea kumwona Tomaso. Tomaso alipenda kuzungumza na watu walioishi mtaani. Aliwasikiliza wakizungumzia maisha yao. Tomaso alikuwa na nia nzuri, mvumilivu na mwenye heshima. Baadhi ya wavulana walianza kwenda katika nyumba ya paa la bluu. Wakati wa mchana walipata supu na mkate.
Magozwe alipokuwa akikitazama kitabu alichokiokota, Tomaso alimwuliza, "Hadithi hiyo inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Nadhani inamhusu mvulana aliyekuwa rubani." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza. Magozwe alijibu kwa sauti ya chini, "Sijui. Siwezi kusoma."
Baadaye, Magozwe alimweleza Tomaso sababu iliyomfanya atoroke kwa mjombake. Tomaso alimsikiliza ila hakumfanyia uamuzi.
Magozwe aliposherehekea miaka kumi ya kuzaliwa kwake, Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi. Kilimhusu mvulana mchezaji kandanda maarufu. Tomaso alimsomea Magozwe hadithi hiyo kila mara. Siku moja alisema, "Wakati wa kwenda shule umefika. Utaweza kujisomea. Unaonaje?" Tomaso alimwonyesa mahali watoto waliposaidiwa kwenda shule.
Magozwe alianza kufikiria kuhusu mahali hapo na kuhusu kwenda shule. "Labda mjombangu alisema ukweli kwamba mimi ni mjinga na siwezi kujifunza chochote? Na je, nikipigwa huko nitafanyaje? Labda ni heri kubaki mtaani." Magozwe aliyafikiria mambo hayo kwa hofu.
Magozwe alimwelezea Tomaso mawazo yake na hofu aliyokuwa nayo. Muda ulipopita, Tomaso alimshawishi Magozwe. Alimwambia kuwa maisha yake yangekuwa bora iwapo ataenda shule.
Magozwe alihamia katika chumba kimoja kwenye jumba kubwa. Alikitumia chumba hicho pamoja na wavulana wengine wawili. Jumla, walikuwepo watoto kumi walioishi katika jumba lile. Waliishi na Shangazi Cissy na mumewe, mbwa watatu, paka na mbuzi mmoja.
Magozwe alipoanza kwenda shule, haikuwa rahisi. Mara nyingi alitaka kukata tamaa. Lakini, alipokumbuka rubani na mchezaji kandanda maarfu aliowasoma katika vitabu vya hadithi, alivumilia.
Siku moja Magozwe alipokuwa akisoma kitabu, Tomaso alimwuliza, "Hadithi unayoisoma inahusu nini?" Magozwe alimjibu, "Inamhusu mvulana aliyekuwa mwalimu." "Anaitwaje?" Tomaso alimwuliza tena. "Anaitwa Magozwe." Magozwe alisema kwa tabasamu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe Author - Lesley Koyi Translation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Magozwe alifikiria mambo ya kuenda shule kwa hofu | {
"text": [
"alifikiria labda mjombake alikua akisema ukweli kwamba yeye ni mjinga"
]
} |
2262_swa | Magozwe apata makao mapya
Kulikuwa na wavulana wa kurandaranda mtaani. Mdogo wao aliitwa Magozwe.
Alipokuwa na umri wa miaka mitano, wazazi wake walikufa. Magozwe alienda kuishi na Mjomba Bunu.
Mjomba Bunu alikuwa mtu mbaya. Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha mtaani yalikuwa magumu. Magozwe na wenzake waliomba kutoka kwa watu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi kwenye pipa.
Kitabu kilikuwa na picha za rubani. Magozwe alitamani kuwa rubani mashuhuri.
Wakati mmoja, Magozwe alikutana na Tomaso.
Tomaso alimpeleka Magozwe na wenzake pahali pa kupata chakula.
Tomaso alimwuliza Magozwe asome kile kitabu. Magozwe alimjibu, "Sijui kusoma."
Magozwe pia alimweleza Tomaso, "Nilitoroka nyumbani kwa Mjomba Bunu. Yeye alikuwa mtu mbaya."
"Ungependa kujua kusoma?" Tomaso alimwuliza Magozwe. Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi.
Magozwe alifikiria juu ya kwenda shule. Mjomba Bunu aliwahi kumwambia, "Wewe ni mjinga. Hujui chochote."
Magozwe alipokumbuka maneno ya mjombake, aliogopa. Tomaso alimwambia, "Usiogope. Wewe si mjinga."
Tomaso alimpeleka Magozwe na wavulana wengine katika makao ya watoto. Walifurahi sana.
Magozwe alianza kwenda shuleni. Alipenda kuwa shuleni. Alisoma kwa bidii.
Siku moja, Magozwe alimweleza Tomaso, "Nitakuwa rubani maarufu kuliko wote."
MASWALI: 1. Kwa nini Magozwe aliishi mtaani? 2. Nini ilimhamasisha Mazogwe kuwa rubani wa ndege? 3. Vitendo vipi vya Tomaso vilionyesha upendo wake kwa watoto? 4. Unafikiri Magozwe atatimiza ndoto yake ya kuwa rubani maarufu? Toa sababu tatu kwa jibu lako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe apata makao mapya Author - Lesley Koyi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mdogo wa vijana aliitwa nani | {
"text": [
"Magozwe"
]
} |
2262_swa | Magozwe apata makao mapya
Kulikuwa na wavulana wa kurandaranda mtaani. Mdogo wao aliitwa Magozwe.
Alipokuwa na umri wa miaka mitano, wazazi wake walikufa. Magozwe alienda kuishi na Mjomba Bunu.
Mjomba Bunu alikuwa mtu mbaya. Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha mtaani yalikuwa magumu. Magozwe na wenzake waliomba kutoka kwa watu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi kwenye pipa.
Kitabu kilikuwa na picha za rubani. Magozwe alitamani kuwa rubani mashuhuri.
Wakati mmoja, Magozwe alikutana na Tomaso.
Tomaso alimpeleka Magozwe na wenzake pahali pa kupata chakula.
Tomaso alimwuliza Magozwe asome kile kitabu. Magozwe alimjibu, "Sijui kusoma."
Magozwe pia alimweleza Tomaso, "Nilitoroka nyumbani kwa Mjomba Bunu. Yeye alikuwa mtu mbaya."
"Ungependa kujua kusoma?" Tomaso alimwuliza Magozwe. Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi.
Magozwe alifikiria juu ya kwenda shule. Mjomba Bunu aliwahi kumwambia, "Wewe ni mjinga. Hujui chochote."
Magozwe alipokumbuka maneno ya mjombake, aliogopa. Tomaso alimwambia, "Usiogope. Wewe si mjinga."
Tomaso alimpeleka Magozwe na wavulana wengine katika makao ya watoto. Walifurahi sana.
Magozwe alianza kwenda shuleni. Alipenda kuwa shuleni. Alisoma kwa bidii.
Siku moja, Magozwe alimweleza Tomaso, "Nitakuwa rubani maarufu kuliko wote."
MASWALI: 1. Kwa nini Magozwe aliishi mtaani? 2. Nini ilimhamasisha Mazogwe kuwa rubani wa ndege? 3. Vitendo vipi vya Tomaso vilionyesha upendo wake kwa watoto? 4. Unafikiri Magozwe atatimiza ndoto yake ya kuwa rubani maarufu? Toa sababu tatu kwa jibu lako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe apata makao mapya Author - Lesley Koyi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wazazi wa magozwe walikufaakiwa na miaka mingapi | {
"text": [
"mitano"
]
} |
2262_swa | Magozwe apata makao mapya
Kulikuwa na wavulana wa kurandaranda mtaani. Mdogo wao aliitwa Magozwe.
Alipokuwa na umri wa miaka mitano, wazazi wake walikufa. Magozwe alienda kuishi na Mjomba Bunu.
Mjomba Bunu alikuwa mtu mbaya. Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha mtaani yalikuwa magumu. Magozwe na wenzake waliomba kutoka kwa watu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi kwenye pipa.
Kitabu kilikuwa na picha za rubani. Magozwe alitamani kuwa rubani mashuhuri.
Wakati mmoja, Magozwe alikutana na Tomaso.
Tomaso alimpeleka Magozwe na wenzake pahali pa kupata chakula.
Tomaso alimwuliza Magozwe asome kile kitabu. Magozwe alimjibu, "Sijui kusoma."
Magozwe pia alimweleza Tomaso, "Nilitoroka nyumbani kwa Mjomba Bunu. Yeye alikuwa mtu mbaya."
"Ungependa kujua kusoma?" Tomaso alimwuliza Magozwe. Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi.
Magozwe alifikiria juu ya kwenda shule. Mjomba Bunu aliwahi kumwambia, "Wewe ni mjinga. Hujui chochote."
Magozwe alipokumbuka maneno ya mjombake, aliogopa. Tomaso alimwambia, "Usiogope. Wewe si mjinga."
Tomaso alimpeleka Magozwe na wavulana wengine katika makao ya watoto. Walifurahi sana.
Magozwe alianza kwenda shuleni. Alipenda kuwa shuleni. Alisoma kwa bidii.
Siku moja, Magozwe alimweleza Tomaso, "Nitakuwa rubani maarufu kuliko wote."
MASWALI: 1. Kwa nini Magozwe aliishi mtaani? 2. Nini ilimhamasisha Mazogwe kuwa rubani wa ndege? 3. Vitendo vipi vya Tomaso vilionyesha upendo wake kwa watoto? 4. Unafikiri Magozwe atatimiza ndoto yake ya kuwa rubani maarufu? Toa sababu tatu kwa jibu lako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe apata makao mapya Author - Lesley Koyi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Magozwe alienda kuishi na nani | {
"text": [
"Mjomba"
]
} |
2262_swa | Magozwe apata makao mapya
Kulikuwa na wavulana wa kurandaranda mtaani. Mdogo wao aliitwa Magozwe.
Alipokuwa na umri wa miaka mitano, wazazi wake walikufa. Magozwe alienda kuishi na Mjomba Bunu.
Mjomba Bunu alikuwa mtu mbaya. Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha mtaani yalikuwa magumu. Magozwe na wenzake waliomba kutoka kwa watu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi kwenye pipa.
Kitabu kilikuwa na picha za rubani. Magozwe alitamani kuwa rubani mashuhuri.
Wakati mmoja, Magozwe alikutana na Tomaso.
Tomaso alimpeleka Magozwe na wenzake pahali pa kupata chakula.
Tomaso alimwuliza Magozwe asome kile kitabu. Magozwe alimjibu, "Sijui kusoma."
Magozwe pia alimweleza Tomaso, "Nilitoroka nyumbani kwa Mjomba Bunu. Yeye alikuwa mtu mbaya."
"Ungependa kujua kusoma?" Tomaso alimwuliza Magozwe. Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi.
Magozwe alifikiria juu ya kwenda shule. Mjomba Bunu aliwahi kumwambia, "Wewe ni mjinga. Hujui chochote."
Magozwe alipokumbuka maneno ya mjombake, aliogopa. Tomaso alimwambia, "Usiogope. Wewe si mjinga."
Tomaso alimpeleka Magozwe na wavulana wengine katika makao ya watoto. Walifurahi sana.
Magozwe alianza kwenda shuleni. Alipenda kuwa shuleni. Alisoma kwa bidii.
Siku moja, Magozwe alimweleza Tomaso, "Nitakuwa rubani maarufu kuliko wote."
MASWALI: 1. Kwa nini Magozwe aliishi mtaani? 2. Nini ilimhamasisha Mazogwe kuwa rubani wa ndege? 3. Vitendo vipi vya Tomaso vilionyesha upendo wake kwa watoto? 4. Unafikiri Magozwe atatimiza ndoto yake ya kuwa rubani maarufu? Toa sababu tatu kwa jibu lako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe apata makao mapya Author - Lesley Koyi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Magozwe aliokota nini kutoka kwa pipa | {
"text": [
"Kitabu"
]
} |
2262_swa | Magozwe apata makao mapya
Kulikuwa na wavulana wa kurandaranda mtaani. Mdogo wao aliitwa Magozwe.
Alipokuwa na umri wa miaka mitano, wazazi wake walikufa. Magozwe alienda kuishi na Mjomba Bunu.
Mjomba Bunu alikuwa mtu mbaya. Magozwe alitoroka akaanza kuishi mtaani.
Maisha mtaani yalikuwa magumu. Magozwe na wenzake waliomba kutoka kwa watu.
Siku moja, Magozwe aliokota kitabu cha hadithi kwenye pipa.
Kitabu kilikuwa na picha za rubani. Magozwe alitamani kuwa rubani mashuhuri.
Wakati mmoja, Magozwe alikutana na Tomaso.
Tomaso alimpeleka Magozwe na wenzake pahali pa kupata chakula.
Tomaso alimwuliza Magozwe asome kile kitabu. Magozwe alimjibu, "Sijui kusoma."
Magozwe pia alimweleza Tomaso, "Nilitoroka nyumbani kwa Mjomba Bunu. Yeye alikuwa mtu mbaya."
"Ungependa kujua kusoma?" Tomaso alimwuliza Magozwe. Tomaso alimpatia kitabu kipya cha hadithi.
Magozwe alifikiria juu ya kwenda shule. Mjomba Bunu aliwahi kumwambia, "Wewe ni mjinga. Hujui chochote."
Magozwe alipokumbuka maneno ya mjombake, aliogopa. Tomaso alimwambia, "Usiogope. Wewe si mjinga."
Tomaso alimpeleka Magozwe na wavulana wengine katika makao ya watoto. Walifurahi sana.
Magozwe alianza kwenda shuleni. Alipenda kuwa shuleni. Alisoma kwa bidii.
Siku moja, Magozwe alimweleza Tomaso, "Nitakuwa rubani maarufu kuliko wote."
MASWALI: 1. Kwa nini Magozwe aliishi mtaani? 2. Nini ilimhamasisha Mazogwe kuwa rubani wa ndege? 3. Vitendo vipi vya Tomaso vilionyesha upendo wake kwa watoto? 4. Unafikiri Magozwe atatimiza ndoto yake ya kuwa rubani maarufu? Toa sababu tatu kwa jibu lako.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Magozwe apata makao mapya Author - Lesley Koyi Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Magriet Brink and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni nini ilifurahisha magozwe | {
"text": [
"Alipelekwa katika makao ya watoto"
]
} |
2263_swa | Maguru apatiana miguu
Hapo zamani, wanyama hawakuwa na miguu. Wote walitambaa.
Watu pekee ndio waliotembea. Walikuwa wamepatiwa miguu na Maguru.
Siku moja, Maguru aliamua kuwapatia pia wanyama miguu. Alitaka watembee kama vile binadamu. Kwa hivyo aliwatangazia!
Wanyama walifurahi. Sasa wangeweza kutembea na kukimbia. Waliimba na kucheza.
Ilikuwa vigumu kutambaa. Tumbo zao zilikwaruzwa. Wangepata miguu wangeweza pia kusimama na kuona mbali.
Siku ilipofika, wanyama wengi walitambaa kwenda kwa Maguru.
Kila mnyama alipata miguu minne. Kila ndege alipata miguu miwili.
Walifanana tofauti waliposimama. Baadhi yao walianguka waliposimama.
Walizunguka kijijini wakiwaambia watu, "Hatutatambaa tena."
Wa mwisho kwenda kwa Maguru alikuwa Jongoo. Maguru alimwuliza, "Kuna mwingine nyuma yako?" Jongoo alijibu, "La! Mimi ndiye wa mwisho."
Maguru aliwaza, "Ikiwa yeye ndiye wa mwisho, nitaifanyia nini miguu itakayobaki?" Maguru aliamua kumpatia Jongoo miguu yote iliyokuwa imebaki.
Jongoo aliondoka kwa furaha akiwa na miguu mingi. Aliwaza, "Nitaweza kwenda kwa kasi kuwaliko wote."
Baada ya Jongoo kuondoka, Nyoka alifika. "Tafadhali, nipatie nami miguu," alimsihi Maguru.
"Nimepatiana migu yote kwa waliotangulia. Wewe ulikuwa wapi?" Maguru alimwuliza. Nyoka alimjibu, "Nililala kupita kiasi."
Maguru alitafuta kila mahali lakini hakupata miguu yoyote ya kumpatia Nyoka.
Maguru alimwambia, "Hakuna miguu iliyobaki." Nyoka alitambaa akarudi bila miguu. Hiyo ndiyo sababu nyoka huwa hawalali. Wanasubiri kupata miguu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maguru apatiana miguu Author - Mutugi Kamundi Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Hapo zamani wanyama wote hawakuwa na nini | {
"text": [
"Miguu"
]
} |
2263_swa | Maguru apatiana miguu
Hapo zamani, wanyama hawakuwa na miguu. Wote walitambaa.
Watu pekee ndio waliotembea. Walikuwa wamepatiwa miguu na Maguru.
Siku moja, Maguru aliamua kuwapatia pia wanyama miguu. Alitaka watembee kama vile binadamu. Kwa hivyo aliwatangazia!
Wanyama walifurahi. Sasa wangeweza kutembea na kukimbia. Waliimba na kucheza.
Ilikuwa vigumu kutambaa. Tumbo zao zilikwaruzwa. Wangepata miguu wangeweza pia kusimama na kuona mbali.
Siku ilipofika, wanyama wengi walitambaa kwenda kwa Maguru.
Kila mnyama alipata miguu minne. Kila ndege alipata miguu miwili.
Walifanana tofauti waliposimama. Baadhi yao walianguka waliposimama.
Walizunguka kijijini wakiwaambia watu, "Hatutatambaa tena."
Wa mwisho kwenda kwa Maguru alikuwa Jongoo. Maguru alimwuliza, "Kuna mwingine nyuma yako?" Jongoo alijibu, "La! Mimi ndiye wa mwisho."
Maguru aliwaza, "Ikiwa yeye ndiye wa mwisho, nitaifanyia nini miguu itakayobaki?" Maguru aliamua kumpatia Jongoo miguu yote iliyokuwa imebaki.
Jongoo aliondoka kwa furaha akiwa na miguu mingi. Aliwaza, "Nitaweza kwenda kwa kasi kuwaliko wote."
Baada ya Jongoo kuondoka, Nyoka alifika. "Tafadhali, nipatie nami miguu," alimsihi Maguru.
"Nimepatiana migu yote kwa waliotangulia. Wewe ulikuwa wapi?" Maguru alimwuliza. Nyoka alimjibu, "Nililala kupita kiasi."
Maguru alitafuta kila mahali lakini hakupata miguu yoyote ya kumpatia Nyoka.
Maguru alimwambia, "Hakuna miguu iliyobaki." Nyoka alitambaa akarudi bila miguu. Hiyo ndiyo sababu nyoka huwa hawalali. Wanasubiri kupata miguu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maguru apatiana miguu Author - Mutugi Kamundi Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani aliamua kuwapatia wanyama miguu | {
"text": [
"Maguru"
]
} |
2263_swa | Maguru apatiana miguu
Hapo zamani, wanyama hawakuwa na miguu. Wote walitambaa.
Watu pekee ndio waliotembea. Walikuwa wamepatiwa miguu na Maguru.
Siku moja, Maguru aliamua kuwapatia pia wanyama miguu. Alitaka watembee kama vile binadamu. Kwa hivyo aliwatangazia!
Wanyama walifurahi. Sasa wangeweza kutembea na kukimbia. Waliimba na kucheza.
Ilikuwa vigumu kutambaa. Tumbo zao zilikwaruzwa. Wangepata miguu wangeweza pia kusimama na kuona mbali.
Siku ilipofika, wanyama wengi walitambaa kwenda kwa Maguru.
Kila mnyama alipata miguu minne. Kila ndege alipata miguu miwili.
Walifanana tofauti waliposimama. Baadhi yao walianguka waliposimama.
Walizunguka kijijini wakiwaambia watu, "Hatutatambaa tena."
Wa mwisho kwenda kwa Maguru alikuwa Jongoo. Maguru alimwuliza, "Kuna mwingine nyuma yako?" Jongoo alijibu, "La! Mimi ndiye wa mwisho."
Maguru aliwaza, "Ikiwa yeye ndiye wa mwisho, nitaifanyia nini miguu itakayobaki?" Maguru aliamua kumpatia Jongoo miguu yote iliyokuwa imebaki.
Jongoo aliondoka kwa furaha akiwa na miguu mingi. Aliwaza, "Nitaweza kwenda kwa kasi kuwaliko wote."
Baada ya Jongoo kuondoka, Nyoka alifika. "Tafadhali, nipatie nami miguu," alimsihi Maguru.
"Nimepatiana migu yote kwa waliotangulia. Wewe ulikuwa wapi?" Maguru alimwuliza. Nyoka alimjibu, "Nililala kupita kiasi."
Maguru alitafuta kila mahali lakini hakupata miguu yoyote ya kumpatia Nyoka.
Maguru alimwambia, "Hakuna miguu iliyobaki." Nyoka alitambaa akarudi bila miguu. Hiyo ndiyo sababu nyoka huwa hawalali. Wanasubiri kupata miguu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maguru apatiana miguu Author - Mutugi Kamundi Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kila mnyama alipata miguu mingapi | {
"text": [
"Miine"
]
} |
2263_swa | Maguru apatiana miguu
Hapo zamani, wanyama hawakuwa na miguu. Wote walitambaa.
Watu pekee ndio waliotembea. Walikuwa wamepatiwa miguu na Maguru.
Siku moja, Maguru aliamua kuwapatia pia wanyama miguu. Alitaka watembee kama vile binadamu. Kwa hivyo aliwatangazia!
Wanyama walifurahi. Sasa wangeweza kutembea na kukimbia. Waliimba na kucheza.
Ilikuwa vigumu kutambaa. Tumbo zao zilikwaruzwa. Wangepata miguu wangeweza pia kusimama na kuona mbali.
Siku ilipofika, wanyama wengi walitambaa kwenda kwa Maguru.
Kila mnyama alipata miguu minne. Kila ndege alipata miguu miwili.
Walifanana tofauti waliposimama. Baadhi yao walianguka waliposimama.
Walizunguka kijijini wakiwaambia watu, "Hatutatambaa tena."
Wa mwisho kwenda kwa Maguru alikuwa Jongoo. Maguru alimwuliza, "Kuna mwingine nyuma yako?" Jongoo alijibu, "La! Mimi ndiye wa mwisho."
Maguru aliwaza, "Ikiwa yeye ndiye wa mwisho, nitaifanyia nini miguu itakayobaki?" Maguru aliamua kumpatia Jongoo miguu yote iliyokuwa imebaki.
Jongoo aliondoka kwa furaha akiwa na miguu mingi. Aliwaza, "Nitaweza kwenda kwa kasi kuwaliko wote."
Baada ya Jongoo kuondoka, Nyoka alifika. "Tafadhali, nipatie nami miguu," alimsihi Maguru.
"Nimepatiana migu yote kwa waliotangulia. Wewe ulikuwa wapi?" Maguru alimwuliza. Nyoka alimjibu, "Nililala kupita kiasi."
Maguru alitafuta kila mahali lakini hakupata miguu yoyote ya kumpatia Nyoka.
Maguru alimwambia, "Hakuna miguu iliyobaki." Nyoka alitambaa akarudi bila miguu. Hiyo ndiyo sababu nyoka huwa hawalali. Wanasubiri kupata miguu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maguru apatiana miguu Author - Mutugi Kamundi Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Baada ya jongoo kuondoka nani alifika | {
"text": [
"Nyoka"
]
} |
2263_swa | Maguru apatiana miguu
Hapo zamani, wanyama hawakuwa na miguu. Wote walitambaa.
Watu pekee ndio waliotembea. Walikuwa wamepatiwa miguu na Maguru.
Siku moja, Maguru aliamua kuwapatia pia wanyama miguu. Alitaka watembee kama vile binadamu. Kwa hivyo aliwatangazia!
Wanyama walifurahi. Sasa wangeweza kutembea na kukimbia. Waliimba na kucheza.
Ilikuwa vigumu kutambaa. Tumbo zao zilikwaruzwa. Wangepata miguu wangeweza pia kusimama na kuona mbali.
Siku ilipofika, wanyama wengi walitambaa kwenda kwa Maguru.
Kila mnyama alipata miguu minne. Kila ndege alipata miguu miwili.
Walifanana tofauti waliposimama. Baadhi yao walianguka waliposimama.
Walizunguka kijijini wakiwaambia watu, "Hatutatambaa tena."
Wa mwisho kwenda kwa Maguru alikuwa Jongoo. Maguru alimwuliza, "Kuna mwingine nyuma yako?" Jongoo alijibu, "La! Mimi ndiye wa mwisho."
Maguru aliwaza, "Ikiwa yeye ndiye wa mwisho, nitaifanyia nini miguu itakayobaki?" Maguru aliamua kumpatia Jongoo miguu yote iliyokuwa imebaki.
Jongoo aliondoka kwa furaha akiwa na miguu mingi. Aliwaza, "Nitaweza kwenda kwa kasi kuwaliko wote."
Baada ya Jongoo kuondoka, Nyoka alifika. "Tafadhali, nipatie nami miguu," alimsihi Maguru.
"Nimepatiana migu yote kwa waliotangulia. Wewe ulikuwa wapi?" Maguru alimwuliza. Nyoka alimjibu, "Nililala kupita kiasi."
Maguru alitafuta kila mahali lakini hakupata miguu yoyote ya kumpatia Nyoka.
Maguru alimwambia, "Hakuna miguu iliyobaki." Nyoka alitambaa akarudi bila miguu. Hiyo ndiyo sababu nyoka huwa hawalali. Wanasubiri kupata miguu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maguru apatiana miguu Author - Mutugi Kamundi Translation - Ursula Nafula Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini nyoka alitambaa | {
"text": [
"Hakuna miguu iliyokuwa imebaki"
]
} |
2270_swa | Mamba aliye mwilini mwangu
Ninaitwa Molly. Mimi ni msichana kama wasichana wangine, isipokuwa, nina mamba mwilini mwangu. Wewe huwezi kumwona, lakini ninajua yupo. Jina lake ni Ukosefu-Kinga-Mwilini. Anajificha ndani ya mwili wangu na hawezi kuwaumiza marafiki zangu.
Mamba huyu hawezi kuondoka mwilini mwangu na kuingia mwilini mwako. Hata ukikaa karibu nami au ukiushika mkono wangu.
Hawezi kuuacha mwili wangu na kuruka ndani ya wako ukila nami chakula cha mchana. Au, hata ukilala karibu nami sakafuni.
Mamba huyu, Ukosefu-Kinga-Mwilini, amekuwa nami tangu nizaliwe. Anapenda kuwala majeshi wote wa mwilini ambao wangepigana na viini na kunizuia kuwa mgonjwa. Anapowala majeshi wangu kwa wingi, ninaugua sana. Siwezi kwenda shule wala kucheza na marafiki zangu.
Ninalazimika kumeza dawa zangu kila siku wakati unaopendekezwa. Nisipofanya hivyo, mamba huyu anaamka kwa hasira na kuwala majeshi wangu tena. Mimi sitaki afanye hivyo. Ndiyo sababu ninamkumbusha bibi kunipa dawa zangu wakati unaofaa.
Nikila mboga na matunda, majeshi walio mwilini mwangu wanapata nguvu. Mamba huyu hawezi kuwashika. Anapolala kwa muda, mimi huwa na nguvu. Hufurahi na kucheza na marafiki zangu tena.
Bibi alinipeleka kituo cha afya muda mfupi uliopita. Alipewa dawa na daktari ya kumfanya mamba huyu alale asiweze kuwala majeshi wangu. Mimi huweza kukimbia, kupanda juu na kucheza kama watoto wengine.
Ninampenda bibi sana. Ni mzuri na mwenye huruma. Ananilisha chakula kizuri na kuhakikisha ninapata vitamini zaidi ili majeshi wangu wawe na nguvu. Nikiugua, ananipeleka kituo cha afya mara moja ili nipate matibabu na kupata nafuu. Ninafurahi anaponisomea hadithi kabla mimi kwenda kulala. Kabla sijalala, mimi huwaza juu ya kusomea katika shule kubwa.
Nitaendelea kuzitumia dawa za kumfanya mamba wangu alale. Ningependa kumsaidia bibi na kumsomea hadithi atakapozeeka na kutoweza kuona vizuri. Nikiwa mtu mzima, ningependa kusoma na kuchangia kutafuta dawa zitakazowafanya mamba wote walio katika miili ya watu, walale milele daima.
Nitajifunza kuishi na mamba wangu na kufanya alale zaidi nitakavyoweza. Nitakuwa na marafiki wengi na kufurahi kila siku iwezekanavyo.
Bibi, shangazi, wajomba, na marafiki, wananipenda, ingawa nina mamba mwilini mwangu anayeitwa Ukosefu-Kinga-Mwilini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba aliye mwilini mwangu Author - Val Morris Translation - Ursula Nafula Illustration - Felicity Bell Language - Kiswahili Level - Read aloud © Books In Homes 2013 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Molly ana nini mwilini | {
"text": [
"Mamba"
]
} |
2270_swa | Mamba aliye mwilini mwangu
Ninaitwa Molly. Mimi ni msichana kama wasichana wangine, isipokuwa, nina mamba mwilini mwangu. Wewe huwezi kumwona, lakini ninajua yupo. Jina lake ni Ukosefu-Kinga-Mwilini. Anajificha ndani ya mwili wangu na hawezi kuwaumiza marafiki zangu.
Mamba huyu hawezi kuondoka mwilini mwangu na kuingia mwilini mwako. Hata ukikaa karibu nami au ukiushika mkono wangu.
Hawezi kuuacha mwili wangu na kuruka ndani ya wako ukila nami chakula cha mchana. Au, hata ukilala karibu nami sakafuni.
Mamba huyu, Ukosefu-Kinga-Mwilini, amekuwa nami tangu nizaliwe. Anapenda kuwala majeshi wote wa mwilini ambao wangepigana na viini na kunizuia kuwa mgonjwa. Anapowala majeshi wangu kwa wingi, ninaugua sana. Siwezi kwenda shule wala kucheza na marafiki zangu.
Ninalazimika kumeza dawa zangu kila siku wakati unaopendekezwa. Nisipofanya hivyo, mamba huyu anaamka kwa hasira na kuwala majeshi wangu tena. Mimi sitaki afanye hivyo. Ndiyo sababu ninamkumbusha bibi kunipa dawa zangu wakati unaofaa.
Nikila mboga na matunda, majeshi walio mwilini mwangu wanapata nguvu. Mamba huyu hawezi kuwashika. Anapolala kwa muda, mimi huwa na nguvu. Hufurahi na kucheza na marafiki zangu tena.
Bibi alinipeleka kituo cha afya muda mfupi uliopita. Alipewa dawa na daktari ya kumfanya mamba huyu alale asiweze kuwala majeshi wangu. Mimi huweza kukimbia, kupanda juu na kucheza kama watoto wengine.
Ninampenda bibi sana. Ni mzuri na mwenye huruma. Ananilisha chakula kizuri na kuhakikisha ninapata vitamini zaidi ili majeshi wangu wawe na nguvu. Nikiugua, ananipeleka kituo cha afya mara moja ili nipate matibabu na kupata nafuu. Ninafurahi anaponisomea hadithi kabla mimi kwenda kulala. Kabla sijalala, mimi huwaza juu ya kusomea katika shule kubwa.
Nitaendelea kuzitumia dawa za kumfanya mamba wangu alale. Ningependa kumsaidia bibi na kumsomea hadithi atakapozeeka na kutoweza kuona vizuri. Nikiwa mtu mzima, ningependa kusoma na kuchangia kutafuta dawa zitakazowafanya mamba wote walio katika miili ya watu, walale milele daima.
Nitajifunza kuishi na mamba wangu na kufanya alale zaidi nitakavyoweza. Nitakuwa na marafiki wengi na kufurahi kila siku iwezekanavyo.
Bibi, shangazi, wajomba, na marafiki, wananipenda, ingawa nina mamba mwilini mwangu anayeitwa Ukosefu-Kinga-Mwilini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba aliye mwilini mwangu Author - Val Morris Translation - Ursula Nafula Illustration - Felicity Bell Language - Kiswahili Level - Read aloud © Books In Homes 2013 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mamba anayezungumziwa hula nini mwilini | {
"text": [
"Majeshi wa kupigana na viini"
]
} |
2270_swa | Mamba aliye mwilini mwangu
Ninaitwa Molly. Mimi ni msichana kama wasichana wangine, isipokuwa, nina mamba mwilini mwangu. Wewe huwezi kumwona, lakini ninajua yupo. Jina lake ni Ukosefu-Kinga-Mwilini. Anajificha ndani ya mwili wangu na hawezi kuwaumiza marafiki zangu.
Mamba huyu hawezi kuondoka mwilini mwangu na kuingia mwilini mwako. Hata ukikaa karibu nami au ukiushika mkono wangu.
Hawezi kuuacha mwili wangu na kuruka ndani ya wako ukila nami chakula cha mchana. Au, hata ukilala karibu nami sakafuni.
Mamba huyu, Ukosefu-Kinga-Mwilini, amekuwa nami tangu nizaliwe. Anapenda kuwala majeshi wote wa mwilini ambao wangepigana na viini na kunizuia kuwa mgonjwa. Anapowala majeshi wangu kwa wingi, ninaugua sana. Siwezi kwenda shule wala kucheza na marafiki zangu.
Ninalazimika kumeza dawa zangu kila siku wakati unaopendekezwa. Nisipofanya hivyo, mamba huyu anaamka kwa hasira na kuwala majeshi wangu tena. Mimi sitaki afanye hivyo. Ndiyo sababu ninamkumbusha bibi kunipa dawa zangu wakati unaofaa.
Nikila mboga na matunda, majeshi walio mwilini mwangu wanapata nguvu. Mamba huyu hawezi kuwashika. Anapolala kwa muda, mimi huwa na nguvu. Hufurahi na kucheza na marafiki zangu tena.
Bibi alinipeleka kituo cha afya muda mfupi uliopita. Alipewa dawa na daktari ya kumfanya mamba huyu alale asiweze kuwala majeshi wangu. Mimi huweza kukimbia, kupanda juu na kucheza kama watoto wengine.
Ninampenda bibi sana. Ni mzuri na mwenye huruma. Ananilisha chakula kizuri na kuhakikisha ninapata vitamini zaidi ili majeshi wangu wawe na nguvu. Nikiugua, ananipeleka kituo cha afya mara moja ili nipate matibabu na kupata nafuu. Ninafurahi anaponisomea hadithi kabla mimi kwenda kulala. Kabla sijalala, mimi huwaza juu ya kusomea katika shule kubwa.
Nitaendelea kuzitumia dawa za kumfanya mamba wangu alale. Ningependa kumsaidia bibi na kumsomea hadithi atakapozeeka na kutoweza kuona vizuri. Nikiwa mtu mzima, ningependa kusoma na kuchangia kutafuta dawa zitakazowafanya mamba wote walio katika miili ya watu, walale milele daima.
Nitajifunza kuishi na mamba wangu na kufanya alale zaidi nitakavyoweza. Nitakuwa na marafiki wengi na kufurahi kila siku iwezekanavyo.
Bibi, shangazi, wajomba, na marafiki, wananipenda, ingawa nina mamba mwilini mwangu anayeitwa Ukosefu-Kinga-Mwilini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba aliye mwilini mwangu Author - Val Morris Translation - Ursula Nafula Illustration - Felicity Bell Language - Kiswahili Level - Read aloud © Books In Homes 2013 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Taja jina la mamba anayezungumziwa | {
"text": [
"Ukosefu-Kinga-Mwilini"
]
} |
2270_swa | Mamba aliye mwilini mwangu
Ninaitwa Molly. Mimi ni msichana kama wasichana wangine, isipokuwa, nina mamba mwilini mwangu. Wewe huwezi kumwona, lakini ninajua yupo. Jina lake ni Ukosefu-Kinga-Mwilini. Anajificha ndani ya mwili wangu na hawezi kuwaumiza marafiki zangu.
Mamba huyu hawezi kuondoka mwilini mwangu na kuingia mwilini mwako. Hata ukikaa karibu nami au ukiushika mkono wangu.
Hawezi kuuacha mwili wangu na kuruka ndani ya wako ukila nami chakula cha mchana. Au, hata ukilala karibu nami sakafuni.
Mamba huyu, Ukosefu-Kinga-Mwilini, amekuwa nami tangu nizaliwe. Anapenda kuwala majeshi wote wa mwilini ambao wangepigana na viini na kunizuia kuwa mgonjwa. Anapowala majeshi wangu kwa wingi, ninaugua sana. Siwezi kwenda shule wala kucheza na marafiki zangu.
Ninalazimika kumeza dawa zangu kila siku wakati unaopendekezwa. Nisipofanya hivyo, mamba huyu anaamka kwa hasira na kuwala majeshi wangu tena. Mimi sitaki afanye hivyo. Ndiyo sababu ninamkumbusha bibi kunipa dawa zangu wakati unaofaa.
Nikila mboga na matunda, majeshi walio mwilini mwangu wanapata nguvu. Mamba huyu hawezi kuwashika. Anapolala kwa muda, mimi huwa na nguvu. Hufurahi na kucheza na marafiki zangu tena.
Bibi alinipeleka kituo cha afya muda mfupi uliopita. Alipewa dawa na daktari ya kumfanya mamba huyu alale asiweze kuwala majeshi wangu. Mimi huweza kukimbia, kupanda juu na kucheza kama watoto wengine.
Ninampenda bibi sana. Ni mzuri na mwenye huruma. Ananilisha chakula kizuri na kuhakikisha ninapata vitamini zaidi ili majeshi wangu wawe na nguvu. Nikiugua, ananipeleka kituo cha afya mara moja ili nipate matibabu na kupata nafuu. Ninafurahi anaponisomea hadithi kabla mimi kwenda kulala. Kabla sijalala, mimi huwaza juu ya kusomea katika shule kubwa.
Nitaendelea kuzitumia dawa za kumfanya mamba wangu alale. Ningependa kumsaidia bibi na kumsomea hadithi atakapozeeka na kutoweza kuona vizuri. Nikiwa mtu mzima, ningependa kusoma na kuchangia kutafuta dawa zitakazowafanya mamba wote walio katika miili ya watu, walale milele daima.
Nitajifunza kuishi na mamba wangu na kufanya alale zaidi nitakavyoweza. Nitakuwa na marafiki wengi na kufurahi kila siku iwezekanavyo.
Bibi, shangazi, wajomba, na marafiki, wananipenda, ingawa nina mamba mwilini mwangu anayeitwa Ukosefu-Kinga-Mwilini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba aliye mwilini mwangu Author - Val Morris Translation - Ursula Nafula Illustration - Felicity Bell Language - Kiswahili Level - Read aloud © Books In Homes 2013 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Molly hula nini ili majeshi waliomwilini kupata nguvu | {
"text": [
"Mboga na matunda"
]
} |
2270_swa | Mamba aliye mwilini mwangu
Ninaitwa Molly. Mimi ni msichana kama wasichana wangine, isipokuwa, nina mamba mwilini mwangu. Wewe huwezi kumwona, lakini ninajua yupo. Jina lake ni Ukosefu-Kinga-Mwilini. Anajificha ndani ya mwili wangu na hawezi kuwaumiza marafiki zangu.
Mamba huyu hawezi kuondoka mwilini mwangu na kuingia mwilini mwako. Hata ukikaa karibu nami au ukiushika mkono wangu.
Hawezi kuuacha mwili wangu na kuruka ndani ya wako ukila nami chakula cha mchana. Au, hata ukilala karibu nami sakafuni.
Mamba huyu, Ukosefu-Kinga-Mwilini, amekuwa nami tangu nizaliwe. Anapenda kuwala majeshi wote wa mwilini ambao wangepigana na viini na kunizuia kuwa mgonjwa. Anapowala majeshi wangu kwa wingi, ninaugua sana. Siwezi kwenda shule wala kucheza na marafiki zangu.
Ninalazimika kumeza dawa zangu kila siku wakati unaopendekezwa. Nisipofanya hivyo, mamba huyu anaamka kwa hasira na kuwala majeshi wangu tena. Mimi sitaki afanye hivyo. Ndiyo sababu ninamkumbusha bibi kunipa dawa zangu wakati unaofaa.
Nikila mboga na matunda, majeshi walio mwilini mwangu wanapata nguvu. Mamba huyu hawezi kuwashika. Anapolala kwa muda, mimi huwa na nguvu. Hufurahi na kucheza na marafiki zangu tena.
Bibi alinipeleka kituo cha afya muda mfupi uliopita. Alipewa dawa na daktari ya kumfanya mamba huyu alale asiweze kuwala majeshi wangu. Mimi huweza kukimbia, kupanda juu na kucheza kama watoto wengine.
Ninampenda bibi sana. Ni mzuri na mwenye huruma. Ananilisha chakula kizuri na kuhakikisha ninapata vitamini zaidi ili majeshi wangu wawe na nguvu. Nikiugua, ananipeleka kituo cha afya mara moja ili nipate matibabu na kupata nafuu. Ninafurahi anaponisomea hadithi kabla mimi kwenda kulala. Kabla sijalala, mimi huwaza juu ya kusomea katika shule kubwa.
Nitaendelea kuzitumia dawa za kumfanya mamba wangu alale. Ningependa kumsaidia bibi na kumsomea hadithi atakapozeeka na kutoweza kuona vizuri. Nikiwa mtu mzima, ningependa kusoma na kuchangia kutafuta dawa zitakazowafanya mamba wote walio katika miili ya watu, walale milele daima.
Nitajifunza kuishi na mamba wangu na kufanya alale zaidi nitakavyoweza. Nitakuwa na marafiki wengi na kufurahi kila siku iwezekanavyo.
Bibi, shangazi, wajomba, na marafiki, wananipenda, ingawa nina mamba mwilini mwangu anayeitwa Ukosefu-Kinga-Mwilini.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba aliye mwilini mwangu Author - Val Morris Translation - Ursula Nafula Illustration - Felicity Bell Language - Kiswahili Level - Read aloud © Books In Homes 2013 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Ni kina nani wanampenda Molly | {
"text": [
"Bibi, shangazi, wajomba na marafiki"
]
} |
2274_swa | Mamba na Nyani
Nyani na Mamba walikuwa marafiki wa dhati. Walicheza pamoja. Walikula pamoja. Walifanya kila kitu pamoja.
Siku moja, Mamba alikuwa mgonjwa mahututi. Alikuwa karibu kufa. Mamba alienda kwa mkanga. "Kama unataka kupata nafuu, itakubidi ule nyama ya Nyani," mkanga akamwambia.
Aliposikia haya, Mamba alilia. Kama angetaka kupata nafuu, hakuwa na jingine ila kumla rafikiye, Nyani.
Nyani alipoenda kumwona rafiki yake Mamba, aliupanda mgongo wake. Mamba alimpeleka Nyani mtoni kwenye maji mengi.
"Ni nini kinachokutatiza, rafiki yangu?" Nyani aliuliza. Mamba alisema, ''Mkanga aliniambia kuwa kama ninataka kupata nafuu lazima nikule wewe, rafiki yangu."
Nyani akajibu, "La hasha! Huwezi kunila. Mimi ni mdogo mno! Subiri nimwite babu yangu. Ni mkubwa kuniliko mimi. Ukimla yeye utashiba."
Mamba akauliza, "Yu wapi huyu babu yako?" Nyani akajibu, "Yuko mtini kule kisiwani." Mamba akasema, "Nenda ukamlete ili nimle."
Nyani aliruka na kukimbia moja kwa moja hadi mtini. Mamba akangoja na kungoja lakini Nyani hakurudi. Na huo ndio ukawa mwisho wa urafiki wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba na Nyani Author - Basilio Gimo Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jeremiah Dube and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com | Ni nani alikua karibu kufa | {
"text": [
"Mamba"
]
} |
2274_swa | Mamba na Nyani
Nyani na Mamba walikuwa marafiki wa dhati. Walicheza pamoja. Walikula pamoja. Walifanya kila kitu pamoja.
Siku moja, Mamba alikuwa mgonjwa mahututi. Alikuwa karibu kufa. Mamba alienda kwa mkanga. "Kama unataka kupata nafuu, itakubidi ule nyama ya Nyani," mkanga akamwambia.
Aliposikia haya, Mamba alilia. Kama angetaka kupata nafuu, hakuwa na jingine ila kumla rafikiye, Nyani.
Nyani alipoenda kumwona rafiki yake Mamba, aliupanda mgongo wake. Mamba alimpeleka Nyani mtoni kwenye maji mengi.
"Ni nini kinachokutatiza, rafiki yangu?" Nyani aliuliza. Mamba alisema, ''Mkanga aliniambia kuwa kama ninataka kupata nafuu lazima nikule wewe, rafiki yangu."
Nyani akajibu, "La hasha! Huwezi kunila. Mimi ni mdogo mno! Subiri nimwite babu yangu. Ni mkubwa kuniliko mimi. Ukimla yeye utashiba."
Mamba akauliza, "Yu wapi huyu babu yako?" Nyani akajibu, "Yuko mtini kule kisiwani." Mamba akasema, "Nenda ukamlete ili nimle."
Nyani aliruka na kukimbia moja kwa moja hadi mtini. Mamba akangoja na kungoja lakini Nyani hakurudi. Na huo ndio ukawa mwisho wa urafiki wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba na Nyani Author - Basilio Gimo Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jeremiah Dube and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com | Nani alimwambia Mamba anafaa ale nyama ya Nyani | {
"text": [
"Mkanga"
]
} |
2274_swa | Mamba na Nyani
Nyani na Mamba walikuwa marafiki wa dhati. Walicheza pamoja. Walikula pamoja. Walifanya kila kitu pamoja.
Siku moja, Mamba alikuwa mgonjwa mahututi. Alikuwa karibu kufa. Mamba alienda kwa mkanga. "Kama unataka kupata nafuu, itakubidi ule nyama ya Nyani," mkanga akamwambia.
Aliposikia haya, Mamba alilia. Kama angetaka kupata nafuu, hakuwa na jingine ila kumla rafikiye, Nyani.
Nyani alipoenda kumwona rafiki yake Mamba, aliupanda mgongo wake. Mamba alimpeleka Nyani mtoni kwenye maji mengi.
"Ni nini kinachokutatiza, rafiki yangu?" Nyani aliuliza. Mamba alisema, ''Mkanga aliniambia kuwa kama ninataka kupata nafuu lazima nikule wewe, rafiki yangu."
Nyani akajibu, "La hasha! Huwezi kunila. Mimi ni mdogo mno! Subiri nimwite babu yangu. Ni mkubwa kuniliko mimi. Ukimla yeye utashiba."
Mamba akauliza, "Yu wapi huyu babu yako?" Nyani akajibu, "Yuko mtini kule kisiwani." Mamba akasema, "Nenda ukamlete ili nimle."
Nyani aliruka na kukimbia moja kwa moja hadi mtini. Mamba akangoja na kungoja lakini Nyani hakurudi. Na huo ndio ukawa mwisho wa urafiki wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba na Nyani Author - Basilio Gimo Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jeremiah Dube and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com | Nyani alimwambia Mamba amsubiri amwitie nani ili amle | {
"text": [
"babu yake Nyani"
]
} |
2274_swa | Mamba na Nyani
Nyani na Mamba walikuwa marafiki wa dhati. Walicheza pamoja. Walikula pamoja. Walifanya kila kitu pamoja.
Siku moja, Mamba alikuwa mgonjwa mahututi. Alikuwa karibu kufa. Mamba alienda kwa mkanga. "Kama unataka kupata nafuu, itakubidi ule nyama ya Nyani," mkanga akamwambia.
Aliposikia haya, Mamba alilia. Kama angetaka kupata nafuu, hakuwa na jingine ila kumla rafikiye, Nyani.
Nyani alipoenda kumwona rafiki yake Mamba, aliupanda mgongo wake. Mamba alimpeleka Nyani mtoni kwenye maji mengi.
"Ni nini kinachokutatiza, rafiki yangu?" Nyani aliuliza. Mamba alisema, ''Mkanga aliniambia kuwa kama ninataka kupata nafuu lazima nikule wewe, rafiki yangu."
Nyani akajibu, "La hasha! Huwezi kunila. Mimi ni mdogo mno! Subiri nimwite babu yangu. Ni mkubwa kuniliko mimi. Ukimla yeye utashiba."
Mamba akauliza, "Yu wapi huyu babu yako?" Nyani akajibu, "Yuko mtini kule kisiwani." Mamba akasema, "Nenda ukamlete ili nimle."
Nyani aliruka na kukimbia moja kwa moja hadi mtini. Mamba akangoja na kungoja lakini Nyani hakurudi. Na huo ndio ukawa mwisho wa urafiki wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba na Nyani Author - Basilio Gimo Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jeremiah Dube and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com | Mamba alimweleza Nyani anafaa kumla lini | {
"text": [
"alipokuwa amembeba mgongoni"
]
} |
2274_swa | Mamba na Nyani
Nyani na Mamba walikuwa marafiki wa dhati. Walicheza pamoja. Walikula pamoja. Walifanya kila kitu pamoja.
Siku moja, Mamba alikuwa mgonjwa mahututi. Alikuwa karibu kufa. Mamba alienda kwa mkanga. "Kama unataka kupata nafuu, itakubidi ule nyama ya Nyani," mkanga akamwambia.
Aliposikia haya, Mamba alilia. Kama angetaka kupata nafuu, hakuwa na jingine ila kumla rafikiye, Nyani.
Nyani alipoenda kumwona rafiki yake Mamba, aliupanda mgongo wake. Mamba alimpeleka Nyani mtoni kwenye maji mengi.
"Ni nini kinachokutatiza, rafiki yangu?" Nyani aliuliza. Mamba alisema, ''Mkanga aliniambia kuwa kama ninataka kupata nafuu lazima nikule wewe, rafiki yangu."
Nyani akajibu, "La hasha! Huwezi kunila. Mimi ni mdogo mno! Subiri nimwite babu yangu. Ni mkubwa kuniliko mimi. Ukimla yeye utashiba."
Mamba akauliza, "Yu wapi huyu babu yako?" Nyani akajibu, "Yuko mtini kule kisiwani." Mamba akasema, "Nenda ukamlete ili nimle."
Nyani aliruka na kukimbia moja kwa moja hadi mtini. Mamba akangoja na kungoja lakini Nyani hakurudi. Na huo ndio ukawa mwisho wa urafiki wao.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Mamba na Nyani Author - Basilio Gimo Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jeremiah Dube and Little Zebra Books Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Little Zebra Books 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source http://www.littlezebrabooks.com | Nyani aliweza kumtoroka aje Mamba ili asiliwe | {
"text": [
"aliruka na kukimbia moja kwa moja hadi mtini"
]
} |
2276_swa | Maporomoko ya Maji ya Nyahururu
Familia yangu iliamua kuona Maporomoko ya Maji ya Nyahururu ambayo ni maarufu. Yanapatikana kwenye Mto Ewaso Nyiro karibu na mji wa Nyahururu.
Kutoka Nairobi hadi Nyahururu ni kilomita 192.4. Tulitumia muda wa masaa manne kusafiri kwa gari.
Maji haya yanaporomoka mita 72.
Wakati mwingine, unaweza kuona rangi za upinde karibu na Mapromoko: nyekundu, rangi ya chungwa, manjano, kijani, samawati, nili na zambarau.
Tuliweza kwenda hadi chini ya Maporomoko. Ilitubidi tujihadhari kwani kuna mvuke unaolowesha mawe na kuyafanya yateleze.
Wakati wa kuteremka tuliweza kuwaona wanyama na wadudu tofauti. Tuliwaona nyani na kinyonga.
Kuna miamba, miti mikubwa na mimea ya aina tofauti. Nilifurahia sana kupanda juu ya miamba niliyoiona.
Ukifika chini ya Maporomoko, utaona maji yakipiga miamba. Ni pahali pa kupendeza. Tulipiga picha maridadi. Lakini, tahadhari ni lazima.
Baada ya kushuka na kupanda, tulipata pahali palipozungushwa vyuma vya kuweka usalama. Tulipigwa picha zaidi na kujiburudisha kwa vinyawaji vya soda au maji.
Pia, kuna watu waliovalia kama jamii ya zamani ya Kikuyu. Tuliowapiga picha na pia tukapigwa picha nao.
Kuna hoteli maridadi pale inayoitwa Thomsons Falls Lodge. Ilijengwa mwaka wa 1931. Tuliingia pale na kula chakula cha mchana. Baadaye, tuliendelea na ziara zetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maporomoko ya Maji ya Nyahururu Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Maporomoko ya maji ya Nyahururu yanapatikana kwenye mto upi | {
"text": [
"Ewaso Nyiro"
]
} |
2276_swa | Maporomoko ya Maji ya Nyahururu
Familia yangu iliamua kuona Maporomoko ya Maji ya Nyahururu ambayo ni maarufu. Yanapatikana kwenye Mto Ewaso Nyiro karibu na mji wa Nyahururu.
Kutoka Nairobi hadi Nyahururu ni kilomita 192.4. Tulitumia muda wa masaa manne kusafiri kwa gari.
Maji haya yanaporomoka mita 72.
Wakati mwingine, unaweza kuona rangi za upinde karibu na Mapromoko: nyekundu, rangi ya chungwa, manjano, kijani, samawati, nili na zambarau.
Tuliweza kwenda hadi chini ya Maporomoko. Ilitubidi tujihadhari kwani kuna mvuke unaolowesha mawe na kuyafanya yateleze.
Wakati wa kuteremka tuliweza kuwaona wanyama na wadudu tofauti. Tuliwaona nyani na kinyonga.
Kuna miamba, miti mikubwa na mimea ya aina tofauti. Nilifurahia sana kupanda juu ya miamba niliyoiona.
Ukifika chini ya Maporomoko, utaona maji yakipiga miamba. Ni pahali pa kupendeza. Tulipiga picha maridadi. Lakini, tahadhari ni lazima.
Baada ya kushuka na kupanda, tulipata pahali palipozungushwa vyuma vya kuweka usalama. Tulipigwa picha zaidi na kujiburudisha kwa vinyawaji vya soda au maji.
Pia, kuna watu waliovalia kama jamii ya zamani ya Kikuyu. Tuliowapiga picha na pia tukapigwa picha nao.
Kuna hoteli maridadi pale inayoitwa Thomsons Falls Lodge. Ilijengwa mwaka wa 1931. Tuliingia pale na kula chakula cha mchana. Baadaye, tuliendelea na ziara zetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maporomoko ya Maji ya Nyahururu Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kutoka Nairobi hadi Nyahururu ni kilomita ngapi? | {
"text": [
"192.4"
]
} |
2276_swa | Maporomoko ya Maji ya Nyahururu
Familia yangu iliamua kuona Maporomoko ya Maji ya Nyahururu ambayo ni maarufu. Yanapatikana kwenye Mto Ewaso Nyiro karibu na mji wa Nyahururu.
Kutoka Nairobi hadi Nyahururu ni kilomita 192.4. Tulitumia muda wa masaa manne kusafiri kwa gari.
Maji haya yanaporomoka mita 72.
Wakati mwingine, unaweza kuona rangi za upinde karibu na Mapromoko: nyekundu, rangi ya chungwa, manjano, kijani, samawati, nili na zambarau.
Tuliweza kwenda hadi chini ya Maporomoko. Ilitubidi tujihadhari kwani kuna mvuke unaolowesha mawe na kuyafanya yateleze.
Wakati wa kuteremka tuliweza kuwaona wanyama na wadudu tofauti. Tuliwaona nyani na kinyonga.
Kuna miamba, miti mikubwa na mimea ya aina tofauti. Nilifurahia sana kupanda juu ya miamba niliyoiona.
Ukifika chini ya Maporomoko, utaona maji yakipiga miamba. Ni pahali pa kupendeza. Tulipiga picha maridadi. Lakini, tahadhari ni lazima.
Baada ya kushuka na kupanda, tulipata pahali palipozungushwa vyuma vya kuweka usalama. Tulipigwa picha zaidi na kujiburudisha kwa vinyawaji vya soda au maji.
Pia, kuna watu waliovalia kama jamii ya zamani ya Kikuyu. Tuliowapiga picha na pia tukapigwa picha nao.
Kuna hoteli maridadi pale inayoitwa Thomsons Falls Lodge. Ilijengwa mwaka wa 1931. Tuliingia pale na kula chakula cha mchana. Baadaye, tuliendelea na ziara zetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maporomoko ya Maji ya Nyahururu Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Thomsons Falls lodge ilijengwa lini | {
"text": [
"mwaka wa 1931"
]
} |
2276_swa | Maporomoko ya Maji ya Nyahururu
Familia yangu iliamua kuona Maporomoko ya Maji ya Nyahururu ambayo ni maarufu. Yanapatikana kwenye Mto Ewaso Nyiro karibu na mji wa Nyahururu.
Kutoka Nairobi hadi Nyahururu ni kilomita 192.4. Tulitumia muda wa masaa manne kusafiri kwa gari.
Maji haya yanaporomoka mita 72.
Wakati mwingine, unaweza kuona rangi za upinde karibu na Mapromoko: nyekundu, rangi ya chungwa, manjano, kijani, samawati, nili na zambarau.
Tuliweza kwenda hadi chini ya Maporomoko. Ilitubidi tujihadhari kwani kuna mvuke unaolowesha mawe na kuyafanya yateleze.
Wakati wa kuteremka tuliweza kuwaona wanyama na wadudu tofauti. Tuliwaona nyani na kinyonga.
Kuna miamba, miti mikubwa na mimea ya aina tofauti. Nilifurahia sana kupanda juu ya miamba niliyoiona.
Ukifika chini ya Maporomoko, utaona maji yakipiga miamba. Ni pahali pa kupendeza. Tulipiga picha maridadi. Lakini, tahadhari ni lazima.
Baada ya kushuka na kupanda, tulipata pahali palipozungushwa vyuma vya kuweka usalama. Tulipigwa picha zaidi na kujiburudisha kwa vinyawaji vya soda au maji.
Pia, kuna watu waliovalia kama jamii ya zamani ya Kikuyu. Tuliowapiga picha na pia tukapigwa picha nao.
Kuna hoteli maridadi pale inayoitwa Thomsons Falls Lodge. Ilijengwa mwaka wa 1931. Tuliingia pale na kula chakula cha mchana. Baadaye, tuliendelea na ziara zetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maporomoko ya Maji ya Nyahururu Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Waliingia Thomsons Falls Lodge kufanya nini | {
"text": [
"kula chakula cha mchana"
]
} |
2276_swa | Maporomoko ya Maji ya Nyahururu
Familia yangu iliamua kuona Maporomoko ya Maji ya Nyahururu ambayo ni maarufu. Yanapatikana kwenye Mto Ewaso Nyiro karibu na mji wa Nyahururu.
Kutoka Nairobi hadi Nyahururu ni kilomita 192.4. Tulitumia muda wa masaa manne kusafiri kwa gari.
Maji haya yanaporomoka mita 72.
Wakati mwingine, unaweza kuona rangi za upinde karibu na Mapromoko: nyekundu, rangi ya chungwa, manjano, kijani, samawati, nili na zambarau.
Tuliweza kwenda hadi chini ya Maporomoko. Ilitubidi tujihadhari kwani kuna mvuke unaolowesha mawe na kuyafanya yateleze.
Wakati wa kuteremka tuliweza kuwaona wanyama na wadudu tofauti. Tuliwaona nyani na kinyonga.
Kuna miamba, miti mikubwa na mimea ya aina tofauti. Nilifurahia sana kupanda juu ya miamba niliyoiona.
Ukifika chini ya Maporomoko, utaona maji yakipiga miamba. Ni pahali pa kupendeza. Tulipiga picha maridadi. Lakini, tahadhari ni lazima.
Baada ya kushuka na kupanda, tulipata pahali palipozungushwa vyuma vya kuweka usalama. Tulipigwa picha zaidi na kujiburudisha kwa vinyawaji vya soda au maji.
Pia, kuna watu waliovalia kama jamii ya zamani ya Kikuyu. Tuliowapiga picha na pia tukapigwa picha nao.
Kuna hoteli maridadi pale inayoitwa Thomsons Falls Lodge. Ilijengwa mwaka wa 1931. Tuliingia pale na kula chakula cha mchana. Baadaye, tuliendelea na ziara zetu.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maporomoko ya Maji ya Nyahururu Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona iliwabidi wajihadhari | {
"text": [
"kuna mvuke unaolowesha mawe na kuyafanya yateleze"
]
} |
2278_swa | Marafiki wawili wadogo
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbuzi Mdogo na Chui Mdogo. Walikuwa marafiki.
Siku moja walienda kucheza pamoja uwanjani.
Walirudi nyumbani jioni sana.
Mbuzi Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Ana madoadoa maridadi. Nimefurahi sana. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake Mbuzi Mdogo alijibu, "Mwanangu, nimefurahi umerudi salama. Huyo si rafiki yetu. Sitakuruhusu ukutane naye tena."
Wakati huo huo, Chui Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Anapenda kucheza sana. Nimefurahi. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake alijibu, "Aa, maskini mwanangu. Huyo alikuwa mbuzi mdogo mrembo. Nasikitika hukumla. Utakapokutana naye kesho, muue na umle. Usiogope."
Siku iliyofuata, Chui Mdogo alienda katika kijiji cha Mbuzi Mdogo.
Hakumwona Mbuzi Mdogo pale nje. Alikuwa amejificha nyumbani kwa mamake.
Chui Mdogo alipaza sauti, "Twende uwanjani tukacheze."
Mbuzi Mdogo alijibu, "Sisi si marafiki tena. Leo siji. Nimemsikiza mamangu. Mtoto mzuri humsikiza mamake."
Chui Mdogo alihuzunika. Alirudi kwa mamake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Marafiki wawili wadogo Author - Belainesh Woubishet Translation - Susan Kavaya Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbuzi mdogo na Chui mdogo walienda kucheza wapi | {
"text": [
"uwanjani"
]
} |
2278_swa | Marafiki wawili wadogo
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbuzi Mdogo na Chui Mdogo. Walikuwa marafiki.
Siku moja walienda kucheza pamoja uwanjani.
Walirudi nyumbani jioni sana.
Mbuzi Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Ana madoadoa maridadi. Nimefurahi sana. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake Mbuzi Mdogo alijibu, "Mwanangu, nimefurahi umerudi salama. Huyo si rafiki yetu. Sitakuruhusu ukutane naye tena."
Wakati huo huo, Chui Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Anapenda kucheza sana. Nimefurahi. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake alijibu, "Aa, maskini mwanangu. Huyo alikuwa mbuzi mdogo mrembo. Nasikitika hukumla. Utakapokutana naye kesho, muue na umle. Usiogope."
Siku iliyofuata, Chui Mdogo alienda katika kijiji cha Mbuzi Mdogo.
Hakumwona Mbuzi Mdogo pale nje. Alikuwa amejificha nyumbani kwa mamake.
Chui Mdogo alipaza sauti, "Twende uwanjani tukacheze."
Mbuzi Mdogo alijibu, "Sisi si marafiki tena. Leo siji. Nimemsikiza mamangu. Mtoto mzuri humsikiza mamake."
Chui Mdogo alihuzunika. Alirudi kwa mamake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Marafiki wawili wadogo Author - Belainesh Woubishet Translation - Susan Kavaya Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Walirudi nyumbani saa ngapi | {
"text": [
"jioni sana"
]
} |
2278_swa | Marafiki wawili wadogo
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbuzi Mdogo na Chui Mdogo. Walikuwa marafiki.
Siku moja walienda kucheza pamoja uwanjani.
Walirudi nyumbani jioni sana.
Mbuzi Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Ana madoadoa maridadi. Nimefurahi sana. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake Mbuzi Mdogo alijibu, "Mwanangu, nimefurahi umerudi salama. Huyo si rafiki yetu. Sitakuruhusu ukutane naye tena."
Wakati huo huo, Chui Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Anapenda kucheza sana. Nimefurahi. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake alijibu, "Aa, maskini mwanangu. Huyo alikuwa mbuzi mdogo mrembo. Nasikitika hukumla. Utakapokutana naye kesho, muue na umle. Usiogope."
Siku iliyofuata, Chui Mdogo alienda katika kijiji cha Mbuzi Mdogo.
Hakumwona Mbuzi Mdogo pale nje. Alikuwa amejificha nyumbani kwa mamake.
Chui Mdogo alipaza sauti, "Twende uwanjani tukacheze."
Mbuzi Mdogo alijibu, "Sisi si marafiki tena. Leo siji. Nimemsikiza mamangu. Mtoto mzuri humsikiza mamake."
Chui Mdogo alihuzunika. Alirudi kwa mamake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Marafiki wawili wadogo Author - Belainesh Woubishet Translation - Susan Kavaya Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Siku iliyofuata chui mdogo alienda wapi | {
"text": [
"katika kijiji cha mbuzi mdogo"
]
} |
2278_swa | Marafiki wawili wadogo
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbuzi Mdogo na Chui Mdogo. Walikuwa marafiki.
Siku moja walienda kucheza pamoja uwanjani.
Walirudi nyumbani jioni sana.
Mbuzi Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Ana madoadoa maridadi. Nimefurahi sana. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake Mbuzi Mdogo alijibu, "Mwanangu, nimefurahi umerudi salama. Huyo si rafiki yetu. Sitakuruhusu ukutane naye tena."
Wakati huo huo, Chui Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Anapenda kucheza sana. Nimefurahi. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake alijibu, "Aa, maskini mwanangu. Huyo alikuwa mbuzi mdogo mrembo. Nasikitika hukumla. Utakapokutana naye kesho, muue na umle. Usiogope."
Siku iliyofuata, Chui Mdogo alienda katika kijiji cha Mbuzi Mdogo.
Hakumwona Mbuzi Mdogo pale nje. Alikuwa amejificha nyumbani kwa mamake.
Chui Mdogo alipaza sauti, "Twende uwanjani tukacheze."
Mbuzi Mdogo alijibu, "Sisi si marafiki tena. Leo siji. Nimemsikiza mamangu. Mtoto mzuri humsikiza mamake."
Chui Mdogo alihuzunika. Alirudi kwa mamake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Marafiki wawili wadogo Author - Belainesh Woubishet Translation - Susan Kavaya Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mtoto mzuri hufanya nini | {
"text": [
"humsikiza mamake"
]
} |
2278_swa | Marafiki wawili wadogo
Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mbuzi Mdogo na Chui Mdogo. Walikuwa marafiki.
Siku moja walienda kucheza pamoja uwanjani.
Walirudi nyumbani jioni sana.
Mbuzi Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Ana madoadoa maridadi. Nimefurahi sana. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake Mbuzi Mdogo alijibu, "Mwanangu, nimefurahi umerudi salama. Huyo si rafiki yetu. Sitakuruhusu ukutane naye tena."
Wakati huo huo, Chui Mdogo alimwambia mamake, "Nilikutana na rafiki mrembo. Anapenda kucheza sana. Nimefurahi. Nitakutana naye tena kesho."
Mamake alijibu, "Aa, maskini mwanangu. Huyo alikuwa mbuzi mdogo mrembo. Nasikitika hukumla. Utakapokutana naye kesho, muue na umle. Usiogope."
Siku iliyofuata, Chui Mdogo alienda katika kijiji cha Mbuzi Mdogo.
Hakumwona Mbuzi Mdogo pale nje. Alikuwa amejificha nyumbani kwa mamake.
Chui Mdogo alipaza sauti, "Twende uwanjani tukacheze."
Mbuzi Mdogo alijibu, "Sisi si marafiki tena. Leo siji. Nimemsikiza mamangu. Mtoto mzuri humsikiza mamake."
Chui Mdogo alihuzunika. Alirudi kwa mamake.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Marafiki wawili wadogo Author - Belainesh Woubishet Translation - Susan Kavaya Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Mbona chui mdogo hakumwona mbuzi mdogo pale nje | {
"text": [
"alikuwa amejificha"
]
} |
2280_swa | Masanduku matatu yenye mali
Kulikuwa na mzee mmoja aliyeitwa Hagos. Aliishi na wanawe watatu. Hagos alitaka wanawe wawe na mali baada ya kifo chake. Alitayarisha masanduku matatu.
Hagos alikwenda kwa Haile, jirani yake, na kumwambia, "Ninataka wanangu wawe na mali. Nimeyatayarisha masanduku matatu. Ningependa uwapatie masanduku hayo baada ya kifo changu."
Baada ya Hagos kufariki, Haile aliwaita pamoja wale ndugu watatu akawaeleza, "Kabla baba yenu kufariki, alinipatia haya masanduku matatu. Kila sanduku lina jina. Naomba kila mmoja alichukue sanduku lililo na jina lake."
Ndugu wale walichukua kila mmoja sanduku lake kisha wakayafungua. Sanduku la kwanza lilikuwa na dhahabu. La pili, lilikuwa na udongo. Nalo la tatu lilikuwa na samadi.
Aliyepata dhahabu alifurahi sana. Waliopata udongo na samadi, hawakufurahi. Walianza kugombana na yule aliyepata dhahabu.
Haile aliwaambia, "Ninyi ni ndugu na hamstahili kugombana. Hebu niwapeleke kwa mzee mwenye busara awashauri."
Haile aliwapeleka ndugu wale watatu kwa mzee mwenye busara. "Habari za asubuhi. Tumekuja kwako kutafuta ushauri kuhusu urithi," Haile alimweleza yule mzee.
Haile alimwambia yule mzee mwenye busara kuhusu yale masanduku matatu ambayo Hagos aliwaachia wanawe. "Sasa hawa wawili, wanagombana na yule aliyepata sanduku lililokuwa na dhahabu," Haile alieleza.
Yule mzee mwenye busara alisizitiza, "Baba yenu alikuwa na sababu ya kuwapatia sanduku ambalo kila mmoja wenu alipata."
Aliendelea kuwaeleza, "Wewe ulipata dhahabu kwa sababu babako alitaka uwe mfanya biashara. Nawe ulipata udongo kwa sababu babako alitaka uwe mkulima."
"Wewe ulipata samadi kwa sababu babako alitaka uwe mchungaji. Baba yenu alitaka mfanye kazi yenu kulingana na vipaji vyenu," mzee mwenye busara alikamilisha maelezo yake.
Baada ya kusikiliza ushauri wa yule mzee mwenye busara, wale ndugu watatu walikubaliana naye. Kila mmoja wao aliifanya kazi yake tofauti na wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Masanduku matatu yenye mali Author - Ursula Nafula and Adonay Gebru Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Jirani wake Hagos aliitwa nani | {
"text": [
"Haile"
]
} |
2280_swa | Masanduku matatu yenye mali
Kulikuwa na mzee mmoja aliyeitwa Hagos. Aliishi na wanawe watatu. Hagos alitaka wanawe wawe na mali baada ya kifo chake. Alitayarisha masanduku matatu.
Hagos alikwenda kwa Haile, jirani yake, na kumwambia, "Ninataka wanangu wawe na mali. Nimeyatayarisha masanduku matatu. Ningependa uwapatie masanduku hayo baada ya kifo changu."
Baada ya Hagos kufariki, Haile aliwaita pamoja wale ndugu watatu akawaeleza, "Kabla baba yenu kufariki, alinipatia haya masanduku matatu. Kila sanduku lina jina. Naomba kila mmoja alichukue sanduku lililo na jina lake."
Ndugu wale walichukua kila mmoja sanduku lake kisha wakayafungua. Sanduku la kwanza lilikuwa na dhahabu. La pili, lilikuwa na udongo. Nalo la tatu lilikuwa na samadi.
Aliyepata dhahabu alifurahi sana. Waliopata udongo na samadi, hawakufurahi. Walianza kugombana na yule aliyepata dhahabu.
Haile aliwaambia, "Ninyi ni ndugu na hamstahili kugombana. Hebu niwapeleke kwa mzee mwenye busara awashauri."
Haile aliwapeleka ndugu wale watatu kwa mzee mwenye busara. "Habari za asubuhi. Tumekuja kwako kutafuta ushauri kuhusu urithi," Haile alimweleza yule mzee.
Haile alimwambia yule mzee mwenye busara kuhusu yale masanduku matatu ambayo Hagos aliwaachia wanawe. "Sasa hawa wawili, wanagombana na yule aliyepata sanduku lililokuwa na dhahabu," Haile alieleza.
Yule mzee mwenye busara alisizitiza, "Baba yenu alikuwa na sababu ya kuwapatia sanduku ambalo kila mmoja wenu alipata."
Aliendelea kuwaeleza, "Wewe ulipata dhahabu kwa sababu babako alitaka uwe mfanya biashara. Nawe ulipata udongo kwa sababu babako alitaka uwe mkulima."
"Wewe ulipata samadi kwa sababu babako alitaka uwe mchungaji. Baba yenu alitaka mfanye kazi yenu kulingana na vipaji vyenu," mzee mwenye busara alikamilisha maelezo yake.
Baada ya kusikiliza ushauri wa yule mzee mwenye busara, wale ndugu watatu walikubaliana naye. Kila mmoja wao aliifanya kazi yake tofauti na wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Masanduku matatu yenye mali Author - Ursula Nafula and Adonay Gebru Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Hagos alitaka wanawe wapewe nini baada ya kifo chake | {
"text": [
"masanduku matatu"
]
} |
2280_swa | Masanduku matatu yenye mali
Kulikuwa na mzee mmoja aliyeitwa Hagos. Aliishi na wanawe watatu. Hagos alitaka wanawe wawe na mali baada ya kifo chake. Alitayarisha masanduku matatu.
Hagos alikwenda kwa Haile, jirani yake, na kumwambia, "Ninataka wanangu wawe na mali. Nimeyatayarisha masanduku matatu. Ningependa uwapatie masanduku hayo baada ya kifo changu."
Baada ya Hagos kufariki, Haile aliwaita pamoja wale ndugu watatu akawaeleza, "Kabla baba yenu kufariki, alinipatia haya masanduku matatu. Kila sanduku lina jina. Naomba kila mmoja alichukue sanduku lililo na jina lake."
Ndugu wale walichukua kila mmoja sanduku lake kisha wakayafungua. Sanduku la kwanza lilikuwa na dhahabu. La pili, lilikuwa na udongo. Nalo la tatu lilikuwa na samadi.
Aliyepata dhahabu alifurahi sana. Waliopata udongo na samadi, hawakufurahi. Walianza kugombana na yule aliyepata dhahabu.
Haile aliwaambia, "Ninyi ni ndugu na hamstahili kugombana. Hebu niwapeleke kwa mzee mwenye busara awashauri."
Haile aliwapeleka ndugu wale watatu kwa mzee mwenye busara. "Habari za asubuhi. Tumekuja kwako kutafuta ushauri kuhusu urithi," Haile alimweleza yule mzee.
Haile alimwambia yule mzee mwenye busara kuhusu yale masanduku matatu ambayo Hagos aliwaachia wanawe. "Sasa hawa wawili, wanagombana na yule aliyepata sanduku lililokuwa na dhahabu," Haile alieleza.
Yule mzee mwenye busara alisizitiza, "Baba yenu alikuwa na sababu ya kuwapatia sanduku ambalo kila mmoja wenu alipata."
Aliendelea kuwaeleza, "Wewe ulipata dhahabu kwa sababu babako alitaka uwe mfanya biashara. Nawe ulipata udongo kwa sababu babako alitaka uwe mkulima."
"Wewe ulipata samadi kwa sababu babako alitaka uwe mchungaji. Baba yenu alitaka mfanye kazi yenu kulingana na vipaji vyenu," mzee mwenye busara alikamilisha maelezo yake.
Baada ya kusikiliza ushauri wa yule mzee mwenye busara, wale ndugu watatu walikubaliana naye. Kila mmoja wao aliifanya kazi yake tofauti na wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Masanduku matatu yenye mali Author - Ursula Nafula and Adonay Gebru Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Sanduku la kwanza lilikua na nini | {
"text": [
"Dhahabu"
]
} |
2280_swa | Masanduku matatu yenye mali
Kulikuwa na mzee mmoja aliyeitwa Hagos. Aliishi na wanawe watatu. Hagos alitaka wanawe wawe na mali baada ya kifo chake. Alitayarisha masanduku matatu.
Hagos alikwenda kwa Haile, jirani yake, na kumwambia, "Ninataka wanangu wawe na mali. Nimeyatayarisha masanduku matatu. Ningependa uwapatie masanduku hayo baada ya kifo changu."
Baada ya Hagos kufariki, Haile aliwaita pamoja wale ndugu watatu akawaeleza, "Kabla baba yenu kufariki, alinipatia haya masanduku matatu. Kila sanduku lina jina. Naomba kila mmoja alichukue sanduku lililo na jina lake."
Ndugu wale walichukua kila mmoja sanduku lake kisha wakayafungua. Sanduku la kwanza lilikuwa na dhahabu. La pili, lilikuwa na udongo. Nalo la tatu lilikuwa na samadi.
Aliyepata dhahabu alifurahi sana. Waliopata udongo na samadi, hawakufurahi. Walianza kugombana na yule aliyepata dhahabu.
Haile aliwaambia, "Ninyi ni ndugu na hamstahili kugombana. Hebu niwapeleke kwa mzee mwenye busara awashauri."
Haile aliwapeleka ndugu wale watatu kwa mzee mwenye busara. "Habari za asubuhi. Tumekuja kwako kutafuta ushauri kuhusu urithi," Haile alimweleza yule mzee.
Haile alimwambia yule mzee mwenye busara kuhusu yale masanduku matatu ambayo Hagos aliwaachia wanawe. "Sasa hawa wawili, wanagombana na yule aliyepata sanduku lililokuwa na dhahabu," Haile alieleza.
Yule mzee mwenye busara alisizitiza, "Baba yenu alikuwa na sababu ya kuwapatia sanduku ambalo kila mmoja wenu alipata."
Aliendelea kuwaeleza, "Wewe ulipata dhahabu kwa sababu babako alitaka uwe mfanya biashara. Nawe ulipata udongo kwa sababu babako alitaka uwe mkulima."
"Wewe ulipata samadi kwa sababu babako alitaka uwe mchungaji. Baba yenu alitaka mfanye kazi yenu kulingana na vipaji vyenu," mzee mwenye busara alikamilisha maelezo yake.
Baada ya kusikiliza ushauri wa yule mzee mwenye busara, wale ndugu watatu walikubaliana naye. Kila mmoja wao aliifanya kazi yake tofauti na wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Masanduku matatu yenye mali Author - Ursula Nafula and Adonay Gebru Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Wanawe Hagos waliitwa pamoja na Haile na kupewa masanduku lini | {
"text": [
"Hagos alipokwisha kufariki"
]
} |
2280_swa | Masanduku matatu yenye mali
Kulikuwa na mzee mmoja aliyeitwa Hagos. Aliishi na wanawe watatu. Hagos alitaka wanawe wawe na mali baada ya kifo chake. Alitayarisha masanduku matatu.
Hagos alikwenda kwa Haile, jirani yake, na kumwambia, "Ninataka wanangu wawe na mali. Nimeyatayarisha masanduku matatu. Ningependa uwapatie masanduku hayo baada ya kifo changu."
Baada ya Hagos kufariki, Haile aliwaita pamoja wale ndugu watatu akawaeleza, "Kabla baba yenu kufariki, alinipatia haya masanduku matatu. Kila sanduku lina jina. Naomba kila mmoja alichukue sanduku lililo na jina lake."
Ndugu wale walichukua kila mmoja sanduku lake kisha wakayafungua. Sanduku la kwanza lilikuwa na dhahabu. La pili, lilikuwa na udongo. Nalo la tatu lilikuwa na samadi.
Aliyepata dhahabu alifurahi sana. Waliopata udongo na samadi, hawakufurahi. Walianza kugombana na yule aliyepata dhahabu.
Haile aliwaambia, "Ninyi ni ndugu na hamstahili kugombana. Hebu niwapeleke kwa mzee mwenye busara awashauri."
Haile aliwapeleka ndugu wale watatu kwa mzee mwenye busara. "Habari za asubuhi. Tumekuja kwako kutafuta ushauri kuhusu urithi," Haile alimweleza yule mzee.
Haile alimwambia yule mzee mwenye busara kuhusu yale masanduku matatu ambayo Hagos aliwaachia wanawe. "Sasa hawa wawili, wanagombana na yule aliyepata sanduku lililokuwa na dhahabu," Haile alieleza.
Yule mzee mwenye busara alisizitiza, "Baba yenu alikuwa na sababu ya kuwapatia sanduku ambalo kila mmoja wenu alipata."
Aliendelea kuwaeleza, "Wewe ulipata dhahabu kwa sababu babako alitaka uwe mfanya biashara. Nawe ulipata udongo kwa sababu babako alitaka uwe mkulima."
"Wewe ulipata samadi kwa sababu babako alitaka uwe mchungaji. Baba yenu alitaka mfanye kazi yenu kulingana na vipaji vyenu," mzee mwenye busara alikamilisha maelezo yake.
Baada ya kusikiliza ushauri wa yule mzee mwenye busara, wale ndugu watatu walikubaliana naye. Kila mmoja wao aliifanya kazi yake tofauti na wakaishi kwa furaha.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Masanduku matatu yenye mali Author - Ursula Nafula and Adonay Gebru Translation - Ursula Nafula Illustration - Adonay Gebru Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini Haile aliwapeleka kwa mzee mwenye busara | {
"text": [
"ili aweze kuwashauri waache kugombana na aliyepewa sanduku la Dhahabu"
]
} |
2281_swa | Maswali aliyouliza Kariza
Kariza alipenda kuuliza maswali. Aliyapata mazoea haya kutoka kwa wazazi wake waliokuwa wakimwambia, "Usipouliza maswali ukiwa mdogo, utakapokua mtu mzima, utakuwa mjinga!"
Siku moja, Kariza alimwuliza mwalimu wake, "Kwa nini wazazi wetu wanatueleza kila wakati tuwe tukinawa mikono yetu kabla ya kula, hata kama mikono yetu huonekana kuwa misafi?" Wenzake darasani walilipenda swali lake. Wao pia hawakupenda kuambiwa kunawa mikono yao.
Mwalimu alijibu, "Hilo ni swali nzuri, Kariza. Mikono yetu hata inapoonekana kuwa misafi, inaweza kuwa na viini." Mwalimu aliwaeleza, "Viini husababisha maradhi. Hatuwezi kuviona viini hivyo kwa macho yetu. Tunahitaji kifaa kilicho na nguvu zaidi ili tuvione."
Mwalimu aliichukua darubini kutoka kabatini. "Darubini ni kifaa tunachotumia kuviona vitu vilivyo vidogo sana ambavyo hatuwezi kuviona kwa macho yetu," alisema. Kwa utaratibu, mwalimu aliifuta mikono ya Kariza kwa kijiti. Halafu, akakifutia kile kijiti kwenye kioo cha darubini.
Mwalimu alikiweka kile kioo juu ya darubini. Hiki ndicho walichoona walipotazama. Hata kama mikono ya Kariza haikuonekana kuwa michafu, ilikuwa na viini chungu nzima juu yake.
"Kuna viini kila mahali. Vinapatikana kwenye vitu tunavyogusa, darasani kwetu, uwanjani na hata nyumbani. Viini hivi vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa," mwalimu aliwaonya.
Mwalimu aliendelea, "Ili kuviangamiza viini hivi, lazima tuioshe mikono yetu kwa maji safi na sabuni, hasa kabla ya kula. Pia, tunapokuwa wagonjwa, lazima tuioshe ili tusivieneze viini."
Kariza alipofika nyumbani, alimkuta babake akiwa anatengeneza kiti cha aina ya pekee. Akamwuliza, "Baba, unatengeneza nini?" Babake alimjibu, "Hiki kinaitwa 'chukua hatua unawe'. Unakitumia kunawa mikono yako baada ya kutumia choo na kabla ya kula."
Kariza alishangaa akasema, "Ndiyo! Mwalimu wetu ametuambia kuhusu kifaa hiki, lakini wengi wetu hatujui jinsi ya kukitumia. Kinatumikaje?" Babake alicheka halafu akamwambia, "Hebu njoo binti yangu nikuonyesha."
"Kwanza kabisa, kikanyage kipande hiki cha mti kilichoko sakafuni," baba akasema.
"Unapofanya hivyo, mtungi wa maji utainama na kuyamwaga maji mikononi kwako. Kumbuka kuitumia sabuni kunawa," baba akamwambia Kariza.
Kariza alifurahi akasema, "Ningejuaje jambo hili nisingeuliza maswali? Ni kweli kwamba maswali humwelekeza mtu kupata maarifa."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maswali aliyouliza Kariza Author - Jean de Dieu Bavugempore Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kariza alipenda kuuliza nini | {
"text": [
"maswali"
]
} |
2281_swa | Maswali aliyouliza Kariza
Kariza alipenda kuuliza maswali. Aliyapata mazoea haya kutoka kwa wazazi wake waliokuwa wakimwambia, "Usipouliza maswali ukiwa mdogo, utakapokua mtu mzima, utakuwa mjinga!"
Siku moja, Kariza alimwuliza mwalimu wake, "Kwa nini wazazi wetu wanatueleza kila wakati tuwe tukinawa mikono yetu kabla ya kula, hata kama mikono yetu huonekana kuwa misafi?" Wenzake darasani walilipenda swali lake. Wao pia hawakupenda kuambiwa kunawa mikono yao.
Mwalimu alijibu, "Hilo ni swali nzuri, Kariza. Mikono yetu hata inapoonekana kuwa misafi, inaweza kuwa na viini." Mwalimu aliwaeleza, "Viini husababisha maradhi. Hatuwezi kuviona viini hivyo kwa macho yetu. Tunahitaji kifaa kilicho na nguvu zaidi ili tuvione."
Mwalimu aliichukua darubini kutoka kabatini. "Darubini ni kifaa tunachotumia kuviona vitu vilivyo vidogo sana ambavyo hatuwezi kuviona kwa macho yetu," alisema. Kwa utaratibu, mwalimu aliifuta mikono ya Kariza kwa kijiti. Halafu, akakifutia kile kijiti kwenye kioo cha darubini.
Mwalimu alikiweka kile kioo juu ya darubini. Hiki ndicho walichoona walipotazama. Hata kama mikono ya Kariza haikuonekana kuwa michafu, ilikuwa na viini chungu nzima juu yake.
"Kuna viini kila mahali. Vinapatikana kwenye vitu tunavyogusa, darasani kwetu, uwanjani na hata nyumbani. Viini hivi vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa," mwalimu aliwaonya.
Mwalimu aliendelea, "Ili kuviangamiza viini hivi, lazima tuioshe mikono yetu kwa maji safi na sabuni, hasa kabla ya kula. Pia, tunapokuwa wagonjwa, lazima tuioshe ili tusivieneze viini."
Kariza alipofika nyumbani, alimkuta babake akiwa anatengeneza kiti cha aina ya pekee. Akamwuliza, "Baba, unatengeneza nini?" Babake alimjibu, "Hiki kinaitwa 'chukua hatua unawe'. Unakitumia kunawa mikono yako baada ya kutumia choo na kabla ya kula."
Kariza alishangaa akasema, "Ndiyo! Mwalimu wetu ametuambia kuhusu kifaa hiki, lakini wengi wetu hatujui jinsi ya kukitumia. Kinatumikaje?" Babake alicheka halafu akamwambia, "Hebu njoo binti yangu nikuonyesha."
"Kwanza kabisa, kikanyage kipande hiki cha mti kilichoko sakafuni," baba akasema.
"Unapofanya hivyo, mtungi wa maji utainama na kuyamwaga maji mikononi kwako. Kumbuka kuitumia sabuni kunawa," baba akamwambia Kariza.
Kariza alifurahi akasema, "Ningejuaje jambo hili nisingeuliza maswali? Ni kweli kwamba maswali humwelekeza mtu kupata maarifa."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maswali aliyouliza Kariza Author - Jean de Dieu Bavugempore Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Aliyapata mazoea haya kutoka kwa nani | {
"text": [
"wazazi wake"
]
} |
2281_swa | Maswali aliyouliza Kariza
Kariza alipenda kuuliza maswali. Aliyapata mazoea haya kutoka kwa wazazi wake waliokuwa wakimwambia, "Usipouliza maswali ukiwa mdogo, utakapokua mtu mzima, utakuwa mjinga!"
Siku moja, Kariza alimwuliza mwalimu wake, "Kwa nini wazazi wetu wanatueleza kila wakati tuwe tukinawa mikono yetu kabla ya kula, hata kama mikono yetu huonekana kuwa misafi?" Wenzake darasani walilipenda swali lake. Wao pia hawakupenda kuambiwa kunawa mikono yao.
Mwalimu alijibu, "Hilo ni swali nzuri, Kariza. Mikono yetu hata inapoonekana kuwa misafi, inaweza kuwa na viini." Mwalimu aliwaeleza, "Viini husababisha maradhi. Hatuwezi kuviona viini hivyo kwa macho yetu. Tunahitaji kifaa kilicho na nguvu zaidi ili tuvione."
Mwalimu aliichukua darubini kutoka kabatini. "Darubini ni kifaa tunachotumia kuviona vitu vilivyo vidogo sana ambavyo hatuwezi kuviona kwa macho yetu," alisema. Kwa utaratibu, mwalimu aliifuta mikono ya Kariza kwa kijiti. Halafu, akakifutia kile kijiti kwenye kioo cha darubini.
Mwalimu alikiweka kile kioo juu ya darubini. Hiki ndicho walichoona walipotazama. Hata kama mikono ya Kariza haikuonekana kuwa michafu, ilikuwa na viini chungu nzima juu yake.
"Kuna viini kila mahali. Vinapatikana kwenye vitu tunavyogusa, darasani kwetu, uwanjani na hata nyumbani. Viini hivi vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa," mwalimu aliwaonya.
Mwalimu aliendelea, "Ili kuviangamiza viini hivi, lazima tuioshe mikono yetu kwa maji safi na sabuni, hasa kabla ya kula. Pia, tunapokuwa wagonjwa, lazima tuioshe ili tusivieneze viini."
Kariza alipofika nyumbani, alimkuta babake akiwa anatengeneza kiti cha aina ya pekee. Akamwuliza, "Baba, unatengeneza nini?" Babake alimjibu, "Hiki kinaitwa 'chukua hatua unawe'. Unakitumia kunawa mikono yako baada ya kutumia choo na kabla ya kula."
Kariza alishangaa akasema, "Ndiyo! Mwalimu wetu ametuambia kuhusu kifaa hiki, lakini wengi wetu hatujui jinsi ya kukitumia. Kinatumikaje?" Babake alicheka halafu akamwambia, "Hebu njoo binti yangu nikuonyesha."
"Kwanza kabisa, kikanyage kipande hiki cha mti kilichoko sakafuni," baba akasema.
"Unapofanya hivyo, mtungi wa maji utainama na kuyamwaga maji mikononi kwako. Kumbuka kuitumia sabuni kunawa," baba akamwambia Kariza.
Kariza alifurahi akasema, "Ningejuaje jambo hili nisingeuliza maswali? Ni kweli kwamba maswali humwelekeza mtu kupata maarifa."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maswali aliyouliza Kariza Author - Jean de Dieu Bavugempore Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Viini husababisha nini | {
"text": [
"Maradhi"
]
} |
2281_swa | Maswali aliyouliza Kariza
Kariza alipenda kuuliza maswali. Aliyapata mazoea haya kutoka kwa wazazi wake waliokuwa wakimwambia, "Usipouliza maswali ukiwa mdogo, utakapokua mtu mzima, utakuwa mjinga!"
Siku moja, Kariza alimwuliza mwalimu wake, "Kwa nini wazazi wetu wanatueleza kila wakati tuwe tukinawa mikono yetu kabla ya kula, hata kama mikono yetu huonekana kuwa misafi?" Wenzake darasani walilipenda swali lake. Wao pia hawakupenda kuambiwa kunawa mikono yao.
Mwalimu alijibu, "Hilo ni swali nzuri, Kariza. Mikono yetu hata inapoonekana kuwa misafi, inaweza kuwa na viini." Mwalimu aliwaeleza, "Viini husababisha maradhi. Hatuwezi kuviona viini hivyo kwa macho yetu. Tunahitaji kifaa kilicho na nguvu zaidi ili tuvione."
Mwalimu aliichukua darubini kutoka kabatini. "Darubini ni kifaa tunachotumia kuviona vitu vilivyo vidogo sana ambavyo hatuwezi kuviona kwa macho yetu," alisema. Kwa utaratibu, mwalimu aliifuta mikono ya Kariza kwa kijiti. Halafu, akakifutia kile kijiti kwenye kioo cha darubini.
Mwalimu alikiweka kile kioo juu ya darubini. Hiki ndicho walichoona walipotazama. Hata kama mikono ya Kariza haikuonekana kuwa michafu, ilikuwa na viini chungu nzima juu yake.
"Kuna viini kila mahali. Vinapatikana kwenye vitu tunavyogusa, darasani kwetu, uwanjani na hata nyumbani. Viini hivi vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa," mwalimu aliwaonya.
Mwalimu aliendelea, "Ili kuviangamiza viini hivi, lazima tuioshe mikono yetu kwa maji safi na sabuni, hasa kabla ya kula. Pia, tunapokuwa wagonjwa, lazima tuioshe ili tusivieneze viini."
Kariza alipofika nyumbani, alimkuta babake akiwa anatengeneza kiti cha aina ya pekee. Akamwuliza, "Baba, unatengeneza nini?" Babake alimjibu, "Hiki kinaitwa 'chukua hatua unawe'. Unakitumia kunawa mikono yako baada ya kutumia choo na kabla ya kula."
Kariza alishangaa akasema, "Ndiyo! Mwalimu wetu ametuambia kuhusu kifaa hiki, lakini wengi wetu hatujui jinsi ya kukitumia. Kinatumikaje?" Babake alicheka halafu akamwambia, "Hebu njoo binti yangu nikuonyesha."
"Kwanza kabisa, kikanyage kipande hiki cha mti kilichoko sakafuni," baba akasema.
"Unapofanya hivyo, mtungi wa maji utainama na kuyamwaga maji mikononi kwako. Kumbuka kuitumia sabuni kunawa," baba akamwambia Kariza.
Kariza alifurahi akasema, "Ningejuaje jambo hili nisingeuliza maswali? Ni kweli kwamba maswali humwelekeza mtu kupata maarifa."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maswali aliyouliza Kariza Author - Jean de Dieu Bavugempore Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Nani alifurahi | {
"text": [
"Kariza"
]
} |
2281_swa | Maswali aliyouliza Kariza
Kariza alipenda kuuliza maswali. Aliyapata mazoea haya kutoka kwa wazazi wake waliokuwa wakimwambia, "Usipouliza maswali ukiwa mdogo, utakapokua mtu mzima, utakuwa mjinga!"
Siku moja, Kariza alimwuliza mwalimu wake, "Kwa nini wazazi wetu wanatueleza kila wakati tuwe tukinawa mikono yetu kabla ya kula, hata kama mikono yetu huonekana kuwa misafi?" Wenzake darasani walilipenda swali lake. Wao pia hawakupenda kuambiwa kunawa mikono yao.
Mwalimu alijibu, "Hilo ni swali nzuri, Kariza. Mikono yetu hata inapoonekana kuwa misafi, inaweza kuwa na viini." Mwalimu aliwaeleza, "Viini husababisha maradhi. Hatuwezi kuviona viini hivyo kwa macho yetu. Tunahitaji kifaa kilicho na nguvu zaidi ili tuvione."
Mwalimu aliichukua darubini kutoka kabatini. "Darubini ni kifaa tunachotumia kuviona vitu vilivyo vidogo sana ambavyo hatuwezi kuviona kwa macho yetu," alisema. Kwa utaratibu, mwalimu aliifuta mikono ya Kariza kwa kijiti. Halafu, akakifutia kile kijiti kwenye kioo cha darubini.
Mwalimu alikiweka kile kioo juu ya darubini. Hiki ndicho walichoona walipotazama. Hata kama mikono ya Kariza haikuonekana kuwa michafu, ilikuwa na viini chungu nzima juu yake.
"Kuna viini kila mahali. Vinapatikana kwenye vitu tunavyogusa, darasani kwetu, uwanjani na hata nyumbani. Viini hivi vinaweza kutufanya tuwe wagonjwa," mwalimu aliwaonya.
Mwalimu aliendelea, "Ili kuviangamiza viini hivi, lazima tuioshe mikono yetu kwa maji safi na sabuni, hasa kabla ya kula. Pia, tunapokuwa wagonjwa, lazima tuioshe ili tusivieneze viini."
Kariza alipofika nyumbani, alimkuta babake akiwa anatengeneza kiti cha aina ya pekee. Akamwuliza, "Baba, unatengeneza nini?" Babake alimjibu, "Hiki kinaitwa 'chukua hatua unawe'. Unakitumia kunawa mikono yako baada ya kutumia choo na kabla ya kula."
Kariza alishangaa akasema, "Ndiyo! Mwalimu wetu ametuambia kuhusu kifaa hiki, lakini wengi wetu hatujui jinsi ya kukitumia. Kinatumikaje?" Babake alicheka halafu akamwambia, "Hebu njoo binti yangu nikuonyesha."
"Kwanza kabisa, kikanyage kipande hiki cha mti kilichoko sakafuni," baba akasema.
"Unapofanya hivyo, mtungi wa maji utainama na kuyamwaga maji mikononi kwako. Kumbuka kuitumia sabuni kunawa," baba akamwambia Kariza.
Kariza alifurahi akasema, "Ningejuaje jambo hili nisingeuliza maswali? Ni kweli kwamba maswali humwelekeza mtu kupata maarifa."
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Maswali aliyouliza Kariza Author - Jean de Dieu Bavugempore Translation - Ursula Nafula Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Kwa nini wenzake darasani walilipenda swali lake | {
"text": [
"kwa sababu wao pia hawakupenda kuambiwa kunawa mikono yao"
]
} |
2282_swa | Matunda
Hapo zamani, familia moja ilikuwa na mti wa matunda matamu yaliyowavutia wengi kutaka kuyaonja. Familia hiyo pia ilikuwa na binti mzuri mrembo. Urembo wake na tabia zake nzuri vilisifiwa na watu wengi.
Alipokua mtu mzima, wanaume, vijana kwa wazee, walienda kwao wakiwa na nia ya kumposa. Wazazi wa yule msichana walifanya uamuzi. Mwanamume ambaye angeketi pale nyumbani siku nzima bila kula tunda lolote, angeozwa binti wao.
Habari hiyo ilisambaa kijiji kizima. Mtu wa kwanza kufika alikuwa kiongozi wa wakulima wote kijijini. Alikuwa tajiri mwenye sura nzuri tena alikuwa angali kijana. Alikaribishwa akaandaliwa matunda. Lakini, kabla ya muda kupita, aliyala matunda kisha akaagwa akaenda zake.
Aliyefuata alikuwa kiongozi wa wafugaji. Yeye pia alikuwa tajiri mwenye sura nzuri na alikuwa angali kijana. Msichana alipendezwa naye. Lakini alipoandaliwa matunda, aliyala mara moja. Yeye pia aliagwa akaenda zake.
Wa tatu alikuwa na mashamba mengi, lakini, jeuri na mwenye sura mbaya. Msichana aliomba Mungu yule mtu ale matunda upesi ili aweze kwenda zake. Alipoandaliwa matunda, alikataa kula. Wakati ulipopita, msichana alimwomba ale. Ilipofika saa kumi, alizidiwa na njaa akala. Yeye pia aliagwa akaenda zake.
Aliyefuata, alikuwa mzee mwenye sura mbaya, mlaji rushwa asiyekuwa na adabu. Hakupendwa na yeyote kijijini. Msichana alitumaini angekula moja kwa moja na kwenda zake. Alipoandaliwa matunda alikataa kula. Ilipofika saa kumi na mbili ya jioni, aliomba kwenda haja. Aliporudi, alinukia matunda huku midomo yake ikiwa na rangi nyekundu! Msichana alifarijika mzee alipoagwa na kwenda zake.
Siku chache zilipita kisha mwana wa mfalme, aliyekuwa kijana, tajiri na mwenye sura ya kupendeza, alifika. Msichana alimtazama akapendezwa naye mno. Msichana alimpeleka faraghani akamwomba asile matunda. Alimwandalia matunda machache kuliko waliyoandaliwa waliomtangulia. Ilipofika adhuhuri, alikuwa amekwisha kula akaagwa. Msichana masikini alilia machozi ya hasira na hasara.
Siku iliyofuata, mkulima masikini na mvivu alifika pale. Alikuwa mwenye sifa ya kubobea maneno ambayo yaliwafurahisha watu. Akafika akiwa na nia madhubuti kushinda. Msichana naye alimwandalia matunda mengi akamwomba ale aende zake. Alikataa kula. Msichana alisubiri kwa hofu. Saa sita alikuwa hajala. Ilipofika saa kumi, aliomba maji.
Msichana alimwomba Mungu ale, lakini hilo halikutendeka.
Wazazi wa yule msichana hawakuwa na budi ila kumkubali "yule mvivu." Msichana naye alitamani kunusurika na mtu yule, lakini wazazi hawakuweza kumsaidia. Walipokuwa njiani kwenda kwao nyumbani, mkulima alipiga makofi akiimba wimbo mzuri ambao uliwavutia watu waliokuwa barabarani.
Miongoni mwa watu wale walikuwa watumishi wa mwana mfalme. Walimwita mkulima wakamhonga kwa pesa pamoja na ng'ombe mradi akubali kumwacha msichana. Bila kusita, akakubali pesa pamoja na ng'ombe akaenda zake peke yake.
Watumishi wale walimvisha msichana libasi murua mno wakampeleka mpaka jumba kubwa la mfalme. Muda si mrefu, wazazi wake waliitwa na harusi ikaandaliwa. Niliwaacha wakisherehekea nami nikaja kuwahadithieni ninyi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Matunda Author - Shakira Bodio Translation - Translators without Borders Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Hapo zamani Familia moja ilikuwa nati wa nini | {
"text": [
"Matunda"
]
} |
2282_swa | Matunda
Hapo zamani, familia moja ilikuwa na mti wa matunda matamu yaliyowavutia wengi kutaka kuyaonja. Familia hiyo pia ilikuwa na binti mzuri mrembo. Urembo wake na tabia zake nzuri vilisifiwa na watu wengi.
Alipokua mtu mzima, wanaume, vijana kwa wazee, walienda kwao wakiwa na nia ya kumposa. Wazazi wa yule msichana walifanya uamuzi. Mwanamume ambaye angeketi pale nyumbani siku nzima bila kula tunda lolote, angeozwa binti wao.
Habari hiyo ilisambaa kijiji kizima. Mtu wa kwanza kufika alikuwa kiongozi wa wakulima wote kijijini. Alikuwa tajiri mwenye sura nzuri tena alikuwa angali kijana. Alikaribishwa akaandaliwa matunda. Lakini, kabla ya muda kupita, aliyala matunda kisha akaagwa akaenda zake.
Aliyefuata alikuwa kiongozi wa wafugaji. Yeye pia alikuwa tajiri mwenye sura nzuri na alikuwa angali kijana. Msichana alipendezwa naye. Lakini alipoandaliwa matunda, aliyala mara moja. Yeye pia aliagwa akaenda zake.
Wa tatu alikuwa na mashamba mengi, lakini, jeuri na mwenye sura mbaya. Msichana aliomba Mungu yule mtu ale matunda upesi ili aweze kwenda zake. Alipoandaliwa matunda, alikataa kula. Wakati ulipopita, msichana alimwomba ale. Ilipofika saa kumi, alizidiwa na njaa akala. Yeye pia aliagwa akaenda zake.
Aliyefuata, alikuwa mzee mwenye sura mbaya, mlaji rushwa asiyekuwa na adabu. Hakupendwa na yeyote kijijini. Msichana alitumaini angekula moja kwa moja na kwenda zake. Alipoandaliwa matunda alikataa kula. Ilipofika saa kumi na mbili ya jioni, aliomba kwenda haja. Aliporudi, alinukia matunda huku midomo yake ikiwa na rangi nyekundu! Msichana alifarijika mzee alipoagwa na kwenda zake.
Siku chache zilipita kisha mwana wa mfalme, aliyekuwa kijana, tajiri na mwenye sura ya kupendeza, alifika. Msichana alimtazama akapendezwa naye mno. Msichana alimpeleka faraghani akamwomba asile matunda. Alimwandalia matunda machache kuliko waliyoandaliwa waliomtangulia. Ilipofika adhuhuri, alikuwa amekwisha kula akaagwa. Msichana masikini alilia machozi ya hasira na hasara.
Siku iliyofuata, mkulima masikini na mvivu alifika pale. Alikuwa mwenye sifa ya kubobea maneno ambayo yaliwafurahisha watu. Akafika akiwa na nia madhubuti kushinda. Msichana naye alimwandalia matunda mengi akamwomba ale aende zake. Alikataa kula. Msichana alisubiri kwa hofu. Saa sita alikuwa hajala. Ilipofika saa kumi, aliomba maji.
Msichana alimwomba Mungu ale, lakini hilo halikutendeka.
Wazazi wa yule msichana hawakuwa na budi ila kumkubali "yule mvivu." Msichana naye alitamani kunusurika na mtu yule, lakini wazazi hawakuweza kumsaidia. Walipokuwa njiani kwenda kwao nyumbani, mkulima alipiga makofi akiimba wimbo mzuri ambao uliwavutia watu waliokuwa barabarani.
Miongoni mwa watu wale walikuwa watumishi wa mwana mfalme. Walimwita mkulima wakamhonga kwa pesa pamoja na ng'ombe mradi akubali kumwacha msichana. Bila kusita, akakubali pesa pamoja na ng'ombe akaenda zake peke yake.
Watumishi wale walimvisha msichana libasi murua mno wakampeleka mpaka jumba kubwa la mfalme. Muda si mrefu, wazazi wake waliitwa na harusi ikaandaliwa. Niliwaacha wakisherehekea nami nikaja kuwahadithieni ninyi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Matunda Author - Shakira Bodio Translation - Translators without Borders Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Binti W Familia hii alikuwa na nini | {
"text": [
"Urembo na tabia nzuri"
]
} |
2282_swa | Matunda
Hapo zamani, familia moja ilikuwa na mti wa matunda matamu yaliyowavutia wengi kutaka kuyaonja. Familia hiyo pia ilikuwa na binti mzuri mrembo. Urembo wake na tabia zake nzuri vilisifiwa na watu wengi.
Alipokua mtu mzima, wanaume, vijana kwa wazee, walienda kwao wakiwa na nia ya kumposa. Wazazi wa yule msichana walifanya uamuzi. Mwanamume ambaye angeketi pale nyumbani siku nzima bila kula tunda lolote, angeozwa binti wao.
Habari hiyo ilisambaa kijiji kizima. Mtu wa kwanza kufika alikuwa kiongozi wa wakulima wote kijijini. Alikuwa tajiri mwenye sura nzuri tena alikuwa angali kijana. Alikaribishwa akaandaliwa matunda. Lakini, kabla ya muda kupita, aliyala matunda kisha akaagwa akaenda zake.
Aliyefuata alikuwa kiongozi wa wafugaji. Yeye pia alikuwa tajiri mwenye sura nzuri na alikuwa angali kijana. Msichana alipendezwa naye. Lakini alipoandaliwa matunda, aliyala mara moja. Yeye pia aliagwa akaenda zake.
Wa tatu alikuwa na mashamba mengi, lakini, jeuri na mwenye sura mbaya. Msichana aliomba Mungu yule mtu ale matunda upesi ili aweze kwenda zake. Alipoandaliwa matunda, alikataa kula. Wakati ulipopita, msichana alimwomba ale. Ilipofika saa kumi, alizidiwa na njaa akala. Yeye pia aliagwa akaenda zake.
Aliyefuata, alikuwa mzee mwenye sura mbaya, mlaji rushwa asiyekuwa na adabu. Hakupendwa na yeyote kijijini. Msichana alitumaini angekula moja kwa moja na kwenda zake. Alipoandaliwa matunda alikataa kula. Ilipofika saa kumi na mbili ya jioni, aliomba kwenda haja. Aliporudi, alinukia matunda huku midomo yake ikiwa na rangi nyekundu! Msichana alifarijika mzee alipoagwa na kwenda zake.
Siku chache zilipita kisha mwana wa mfalme, aliyekuwa kijana, tajiri na mwenye sura ya kupendeza, alifika. Msichana alimtazama akapendezwa naye mno. Msichana alimpeleka faraghani akamwomba asile matunda. Alimwandalia matunda machache kuliko waliyoandaliwa waliomtangulia. Ilipofika adhuhuri, alikuwa amekwisha kula akaagwa. Msichana masikini alilia machozi ya hasira na hasara.
Siku iliyofuata, mkulima masikini na mvivu alifika pale. Alikuwa mwenye sifa ya kubobea maneno ambayo yaliwafurahisha watu. Akafika akiwa na nia madhubuti kushinda. Msichana naye alimwandalia matunda mengi akamwomba ale aende zake. Alikataa kula. Msichana alisubiri kwa hofu. Saa sita alikuwa hajala. Ilipofika saa kumi, aliomba maji.
Msichana alimwomba Mungu ale, lakini hilo halikutendeka.
Wazazi wa yule msichana hawakuwa na budi ila kumkubali "yule mvivu." Msichana naye alitamani kunusurika na mtu yule, lakini wazazi hawakuweza kumsaidia. Walipokuwa njiani kwenda kwao nyumbani, mkulima alipiga makofi akiimba wimbo mzuri ambao uliwavutia watu waliokuwa barabarani.
Miongoni mwa watu wale walikuwa watumishi wa mwana mfalme. Walimwita mkulima wakamhonga kwa pesa pamoja na ng'ombe mradi akubali kumwacha msichana. Bila kusita, akakubali pesa pamoja na ng'ombe akaenda zake peke yake.
Watumishi wale walimvisha msichana libasi murua mno wakampeleka mpaka jumba kubwa la mfalme. Muda si mrefu, wazazi wake waliitwa na harusi ikaandaliwa. Niliwaacha wakisherehekea nami nikaja kuwahadithieni ninyi.
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Matunda Author - Shakira Bodio Translation - Translators without Borders Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org | Watu walienda kwa famia hii kwa nia gani | {
"text": [
"Kumposa"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.