Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
0179_swa | MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni masomo yanayotumia mikono, nguvu na akili ya mtu. Ni uhodari au ufarisi wa kutenda jambo fulani. Elimu yoyote ile ina umuhimu wake katika maisha ya wanadamu. Maisha ni kama msumeno usipoukata utakukata wewe. Wengi hupuuza masomo ya kiufundi na huwa na sababu zao kun;
Kwanza kabisa jamii ya Kenya hutilia mkazo katika masomo ya kiakademia kwa sababu hufikiri kuwa masomo ya kiufundi huwa na mapato duni. Mzazi hataka kushuhudia kuwa mwanawe akiwa amepepea angani kuliko kumuona akifanya kazi ya kujengea mahuluki nyumba.
Pili, masomo ya kiufundi hayatimizwi katika shule nyingi. Hii ni kutokana na ukosefu wa walimu waliohitimu katika taaluma hizi na ukosefu wa vifaa. Pia wanagenzi huishia kuvunjika mioyo yao pale tu wanaposikia kuwa shule nyingi kutokuwa na masomo haya na ndio maana walimu ni haba.
Tatu, wanajamii wana mtazamo hasi juu ya baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile Sayansi kimu, useremala, uhunzi, kilimo na ujenzi. Huona kama ni upotezaji wa nguvu na wakati ilhali malipo yake ni kidogo mno. Hapo ndipo mtu huonekana asome masomo ya kiakademia ili aje awe daktari, rubani au hata nahodha. Hawajui umuhimu wake na asiyekijua hakithamini.
Fauka ya hayo, kulazimishwa na wazazi kuchukua masomo mengine yasiyo ya kiufundi. Kuna wazazi wengine ambao hawakusoma na wao huamini kuwa masomo ya kiufundi hayana ajira. Endapo mwanagenzi atamaliza kidato cha nne atahitaji mtaji ili kuanzisha biashara juu ya ubunifu wake wengine wana imani kuwa masomo ya kiakademia kama vile Biolojia, Fizikia Jiografia, Historia na mengineo yatampa mtahiniwa kazi kwa urahisi bila kuhangaika.
Juu ya hayo, utamaduni wa jamii, taasubi ya kiume huona wanawake hawawezi kufanya kazi za kiume. Wanawake hujidharau na kujiona kuwa hawafai au hawawezi kufanya kitu katika jamii. Asichofanya mwanamume mwanamke huweza kukifanya zaidi.
Licha ya hayo, masomo ya kiufundi yana umuhimu wake katika nchi kwanza, hupunguza visa vya uhalifu kwani vijana hupata vibarua vidogo ambavyo ana ujuzi navyo ili ajikimu
kimaisha. Pale kijana anapokosa mkono wa kwenda kinwani na huku ana familia inayomgojea, basi hapo huishia kuingia katika genge za uhalifu au kutekeleza ujambazi kama vile kuiba, kuua au hata kutesa wanajamii nyakati za usiku.
Pili, masomo haya huimarisha maendeleo ya kiuchumi ya kijamii katika nchi. Ufundi huleta vyombo na vifaa maridhawa kutoka nje ambavyo hutumika kukuza nchi kifedha kama vile trekta itumikayo katika kurahisisha kazi.
Tatu, huimarisha ubunifu. Mtu akiwa na maarifa fulani juu ya kitu na akakibuni vizuri, mtu yule huzidi kujua mambo mengi kuhusu. lle kazi aifanyayo huzidi kuwa mbunifu na huweza hata kutengeneza vitu vya hali ya juu zaidi na yenye mapato makubwa. Juu ya hayo, hukuza vipawa vya vijana. Masomo ya kiufundi huzidi kuikuza talanta ya mwanafunzi kama vile mtu akiwa ana talanta ya uchoraji, akajiunga na somo la sanaa na muundo huzidi kunufaika kwani tayari ana maarifa juu ya kile kitu.
Msimamo wangu ni kuwa ikiwa masomo ya kiufundi yatanawiri lazima basi nchi yetu itaimarika kiuchumi kifulusi na kitaaluma. Talanta ya vijana zitazidi kuimarika na kupata ajira bila kubaguliwa. Wakuu wa kidini na mkurugenzi wa elimu watie fora katika kusomeshwa kwa masomo haya ya kiufundi katika shule na vyuo vikuu. Wanafunzi wenye alama cha waruhusiwe kwenda vyuo vikuu na serikali iongeze ufadhili. Tuwe na mfano bayana utakayoweka wazi umuhimu wa masomo ya Kiufundi.
| Masomo huimarisha endeleo yapi? | {
"text": [
"Kiuchumi"
]
} |
0179_swa | MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni masomo yanayotumia mikono, nguvu na akili ya mtu. Ni uhodari au ufarisi wa kutenda jambo fulani. Elimu yoyote ile ina umuhimu wake katika maisha ya wanadamu. Maisha ni kama msumeno usipoukata utakukata wewe. Wengi hupuuza masomo ya kiufundi na huwa na sababu zao kun;
Kwanza kabisa jamii ya Kenya hutilia mkazo katika masomo ya kiakademia kwa sababu hufikiri kuwa masomo ya kiufundi huwa na mapato duni. Mzazi hataka kushuhudia kuwa mwanawe akiwa amepepea angani kuliko kumuona akifanya kazi ya kujengea mahuluki nyumba.
Pili, masomo ya kiufundi hayatimizwi katika shule nyingi. Hii ni kutokana na ukosefu wa walimu waliohitimu katika taaluma hizi na ukosefu wa vifaa. Pia wanagenzi huishia kuvunjika mioyo yao pale tu wanaposikia kuwa shule nyingi kutokuwa na masomo haya na ndio maana walimu ni haba.
Tatu, wanajamii wana mtazamo hasi juu ya baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile Sayansi kimu, useremala, uhunzi, kilimo na ujenzi. Huona kama ni upotezaji wa nguvu na wakati ilhali malipo yake ni kidogo mno. Hapo ndipo mtu huonekana asome masomo ya kiakademia ili aje awe daktari, rubani au hata nahodha. Hawajui umuhimu wake na asiyekijua hakithamini.
Fauka ya hayo, kulazimishwa na wazazi kuchukua masomo mengine yasiyo ya kiufundi. Kuna wazazi wengine ambao hawakusoma na wao huamini kuwa masomo ya kiufundi hayana ajira. Endapo mwanagenzi atamaliza kidato cha nne atahitaji mtaji ili kuanzisha biashara juu ya ubunifu wake wengine wana imani kuwa masomo ya kiakademia kama vile Biolojia, Fizikia Jiografia, Historia na mengineo yatampa mtahiniwa kazi kwa urahisi bila kuhangaika.
Juu ya hayo, utamaduni wa jamii, taasubi ya kiume huona wanawake hawawezi kufanya kazi za kiume. Wanawake hujidharau na kujiona kuwa hawafai au hawawezi kufanya kitu katika jamii. Asichofanya mwanamume mwanamke huweza kukifanya zaidi.
Licha ya hayo, masomo ya kiufundi yana umuhimu wake katika nchi kwanza, hupunguza visa vya uhalifu kwani vijana hupata vibarua vidogo ambavyo ana ujuzi navyo ili ajikimu
kimaisha. Pale kijana anapokosa mkono wa kwenda kinwani na huku ana familia inayomgojea, basi hapo huishia kuingia katika genge za uhalifu au kutekeleza ujambazi kama vile kuiba, kuua au hata kutesa wanajamii nyakati za usiku.
Pili, masomo haya huimarisha maendeleo ya kiuchumi ya kijamii katika nchi. Ufundi huleta vyombo na vifaa maridhawa kutoka nje ambavyo hutumika kukuza nchi kifedha kama vile trekta itumikayo katika kurahisisha kazi.
Tatu, huimarisha ubunifu. Mtu akiwa na maarifa fulani juu ya kitu na akakibuni vizuri, mtu yule huzidi kujua mambo mengi kuhusu. lle kazi aifanyayo huzidi kuwa mbunifu na huweza hata kutengeneza vitu vya hali ya juu zaidi na yenye mapato makubwa. Juu ya hayo, hukuza vipawa vya vijana. Masomo ya kiufundi huzidi kuikuza talanta ya mwanafunzi kama vile mtu akiwa ana talanta ya uchoraji, akajiunga na somo la sanaa na muundo huzidi kunufaika kwani tayari ana maarifa juu ya kile kitu.
Msimamo wangu ni kuwa ikiwa masomo ya kiufundi yatanawiri lazima basi nchi yetu itaimarika kiuchumi kifulusi na kitaaluma. Talanta ya vijana zitazidi kuimarika na kupata ajira bila kubaguliwa. Wakuu wa kidini na mkurugenzi wa elimu watie fora katika kusomeshwa kwa masomo haya ya kiufundi katika shule na vyuo vikuu. Wanafunzi wenye alama cha waruhusiwe kwenda vyuo vikuu na serikali iongeze ufadhili. Tuwe na mfano bayana utakayoweka wazi umuhimu wa masomo ya Kiufundi.
| Wanajamii wanamtazamo hasi kuhusu masomo yapi? | {
"text": [
"Masomo ya ufundi kama vile ya sayansikimu na uhunzu"
]
} |
0180_swa | JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED
JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE
SHULE UPILI AL-FARSY
PWANI 86209 MOMBASA
0702880134
BARUA PEPE [email protected]
FORM 1N ADM NO: 2081
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi
kumchagua kiongozi atakayeleta maendeleo katika maisha yake na kuikuza nchi kiuchumi, ajira,
kujenga mtangamano wa masoko ya kifedha, kuongeza mzunguko wa watu, uimarishaji wa
ushirikiano katika bidhaa za umma, ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa uchumi wa nchi na
kuboresha hali ya mapato. Hata hivyo, siasa ni kama moto unatumika kupikia na unaweza
kutuchoma. Kwa vile siasa ina uzuri na ubaya wake, nitazingatia yote.
Kwanza, ahadi za uongo kutoka kwa wanasiasa. Watu huahidiwa vitu mbalimbali kama vile
kutengenezwa kwa mifereji itakayotoa maziwa, kupewa kwa maziwa ya kuku kwa kila
mwananchi na kujengewa kivukio kitakacho muezesha mtu kufika angani. Wanafunzi kuahidiwa
vipakatalishi na hata kujengewa visima vya kuogelea shuleni.
Pili, Ufisadi. Siasa pia huchangia sana katika ufisadi. Viongozi hufanya biashara haramu kufuja
mali ya umma kwa ajili ya kufanya kampeni. Maafisa wa ngazi ya juu kupokea rushwa kutoka
kwa wanasiasa. Wanasiasa wengine kuwahonga watu fulusi ili wampe kura zao. Hata maafisa
wengine wanasimamia uchaguzi. Pia huhongwa na kuiba kura za viongozi wanaopaswa kushinda
na kumpa yule aliyewahonga.
Tatu, watu hujeruhiana na kuuana kwa siasa. Hii hutokea sana katika siku za kupiga kura.
Wananchi kuandamana barabarani huku wakichoma magurudumu, wengine kurushiana mawe,
kutoleana mapanga na hata kuharibu mali za wengine. Kila mtu anataka kuonyesha ubabe wake.
Hapo ndipo hutokea vurugu ya mwananchi kwa askari. Hali hii hupelekea kwa watu kwenda
jahanamu.
Nne, katika mikutano na maandamano ya kisiasa, wanasiasa hurushiana cheche za matusi na
kuitana majina ya kukejeliana. Wanasiasa hung’ang’ania mikrofoni na wengine hata kuzua
magombano mikutanoni. Hii hupelekea kwa wananchi kutowaheshimu na kuwasikiliza viongozi
Tano, watu kupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa. Mahuluki wengi hufunga maduka,
wengine kuacha kazi zao maalum ili waende kumsikiliza mwanasiasa fulani. Mwanafunzi pia
hutoroka shuleni kwa sababu ya kwenda kuona na kusikiliza gavana au mbunge fulani huku
akiwa ameacha masomo yake shuleni yatakayomletea ufanisi huko mbeleni katika maisha yake
yajayo.
Sita, kudorora kwa uchumi wa nchi. Nakisi ya urari wa biashara ya nje inaleta madhara kwa
ukuaji wa uchumi kwa kipindi kirefu. Mawasiliano na uchukuzi huharibika. Uchumi unapokuwa
chini basi dola nayo hushuka.
Saba, shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya ugonjwa wa Corona. Wanasiasa wanapokuwa
katika shughuli hizo, hawafuati taratibu sahihi za kiafya. Kuvaa barakoa, kuosha mikono kwa
maji yanayotiririka na sabuni na kukaa umbali wa mita moja na nusu kutoka kwa mwenza ili
kuepuka ongezeko la ugonjwa huu. Uviko 19 unaweza kupeleka w?tu ahera. Marathi haya
hayajali wakembe au wakongwe. Huu ni wakati wa kuhepa mikutano ya kisiasa ili kulinda afya
za wengine.
Siasa ina uchawi na utabibu wake. Hebu tuangazie utabibu wake. Kwanza, ujengaji wa hospitali,
barabara na shule. Hivi vyote binadamu hufaidika kwani angalau anapougua, anapahali
pakwenda kutibiwa. Kusaidika kwa usafiri na watoto kwenda kupata elimu shuleni. Hali ya
usafiri kutoka mahali fulani hunyanyuka.
Pili, watu kupata ajira hasa mafundi wa nguo yaani washonaji nguo hujipatia riziki zao kutoka
kwa wanasiasa wanapotaka washoneshewe fulana yenye makundi fulani ya kisiasa. Wengine
hupewa kazi ya kusafisha na kuboresha kwa kuokota takataka na hata uchoraji wa picha
barabarani zinazo wavutia watalii wanapozuru nchi yetu.
Tatu, katika makundi ya kisiasa, wanasiasa hutoa pesa za misaada kwa wakongwe wasiojiweza,
wanafunzi wasio na uwezo wa kulipa karo ya shule na familia maskini wasio na mbele wala
nyuma.Mayatima pia husaidika kutokana na fedha hizo.
Mathalan, shughuli za kisiasa husaidia katika kupiga jeki kwa matumizi ya mihadarati kama vile
bangi, pombe, miraa na heroin. Dawa hizi huathiri sana afya ya adinasi. Wateja huishia
kuathirika au hata kwenda jongomeo. Wanasiasa huwapa vijana hawa ajira kama ya kuchukua
taka kutoka kwa kila nyumba ili wajipatie riziki yao ya siku. Wanasiasa walafi hununua dawa
hizo na kuziuza na hapo ndipo wanapopata hela haramu. Yakini, wakenya tumekuwa na siasa
tangu zamani. Watu wameanza kung'ang’ania ubunge, udiwani, ugavana na useneti.
Wanasiasa wameshaanza kampeni ya mwaka elfu mbili ishirini na mbili ambapo tutakuwa na
uchaguzi mkubwa humu nchini. Kila mwanasiasa anadhamiria kutwaa taji.
Katika kumalizia ninawaomba wanasiasa kudumisha amani hasa huu wakati mgumu wa
uchaguzi· Askari wakae macho muda wote. Pia haki itendeke na sio kudhulumu wengine.
Wananchi hao lazima wawe watulivu wapige kura kwa amani kisha wasubirie matokeo na sio
kuleta vurugu. Watu wakikosa kuwa watulivu basi polisi wafanye kazi yao. Amani haiji ila kwa
ncha ya upanga. Lazima kura ya mwaka ujao liwe zoezi la amani kabisa.
| Nani huchagua kiongozi | {
"text": [
"mwananchi"
]
} |
0180_swa | JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED
JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE
SHULE UPILI AL-FARSY
PWANI 86209 MOMBASA
0702880134
BARUA PEPE [email protected]
FORM 1N ADM NO: 2081
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi
kumchagua kiongozi atakayeleta maendeleo katika maisha yake na kuikuza nchi kiuchumi, ajira,
kujenga mtangamano wa masoko ya kifedha, kuongeza mzunguko wa watu, uimarishaji wa
ushirikiano katika bidhaa za umma, ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa uchumi wa nchi na
kuboresha hali ya mapato. Hata hivyo, siasa ni kama moto unatumika kupikia na unaweza
kutuchoma. Kwa vile siasa ina uzuri na ubaya wake, nitazingatia yote.
Kwanza, ahadi za uongo kutoka kwa wanasiasa. Watu huahidiwa vitu mbalimbali kama vile
kutengenezwa kwa mifereji itakayotoa maziwa, kupewa kwa maziwa ya kuku kwa kila
mwananchi na kujengewa kivukio kitakacho muezesha mtu kufika angani. Wanafunzi kuahidiwa
vipakatalishi na hata kujengewa visima vya kuogelea shuleni.
Pili, Ufisadi. Siasa pia huchangia sana katika ufisadi. Viongozi hufanya biashara haramu kufuja
mali ya umma kwa ajili ya kufanya kampeni. Maafisa wa ngazi ya juu kupokea rushwa kutoka
kwa wanasiasa. Wanasiasa wengine kuwahonga watu fulusi ili wampe kura zao. Hata maafisa
wengine wanasimamia uchaguzi. Pia huhongwa na kuiba kura za viongozi wanaopaswa kushinda
na kumpa yule aliyewahonga.
Tatu, watu hujeruhiana na kuuana kwa siasa. Hii hutokea sana katika siku za kupiga kura.
Wananchi kuandamana barabarani huku wakichoma magurudumu, wengine kurushiana mawe,
kutoleana mapanga na hata kuharibu mali za wengine. Kila mtu anataka kuonyesha ubabe wake.
Hapo ndipo hutokea vurugu ya mwananchi kwa askari. Hali hii hupelekea kwa watu kwenda
jahanamu.
Nne, katika mikutano na maandamano ya kisiasa, wanasiasa hurushiana cheche za matusi na
kuitana majina ya kukejeliana. Wanasiasa hung’ang’ania mikrofoni na wengine hata kuzua
magombano mikutanoni. Hii hupelekea kwa wananchi kutowaheshimu na kuwasikiliza viongozi
Tano, watu kupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa. Mahuluki wengi hufunga maduka,
wengine kuacha kazi zao maalum ili waende kumsikiliza mwanasiasa fulani. Mwanafunzi pia
hutoroka shuleni kwa sababu ya kwenda kuona na kusikiliza gavana au mbunge fulani huku
akiwa ameacha masomo yake shuleni yatakayomletea ufanisi huko mbeleni katika maisha yake
yajayo.
Sita, kudorora kwa uchumi wa nchi. Nakisi ya urari wa biashara ya nje inaleta madhara kwa
ukuaji wa uchumi kwa kipindi kirefu. Mawasiliano na uchukuzi huharibika. Uchumi unapokuwa
chini basi dola nayo hushuka.
Saba, shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya ugonjwa wa Corona. Wanasiasa wanapokuwa
katika shughuli hizo, hawafuati taratibu sahihi za kiafya. Kuvaa barakoa, kuosha mikono kwa
maji yanayotiririka na sabuni na kukaa umbali wa mita moja na nusu kutoka kwa mwenza ili
kuepuka ongezeko la ugonjwa huu. Uviko 19 unaweza kupeleka w?tu ahera. Marathi haya
hayajali wakembe au wakongwe. Huu ni wakati wa kuhepa mikutano ya kisiasa ili kulinda afya
za wengine.
Siasa ina uchawi na utabibu wake. Hebu tuangazie utabibu wake. Kwanza, ujengaji wa hospitali,
barabara na shule. Hivi vyote binadamu hufaidika kwani angalau anapougua, anapahali
pakwenda kutibiwa. Kusaidika kwa usafiri na watoto kwenda kupata elimu shuleni. Hali ya
usafiri kutoka mahali fulani hunyanyuka.
Pili, watu kupata ajira hasa mafundi wa nguo yaani washonaji nguo hujipatia riziki zao kutoka
kwa wanasiasa wanapotaka washoneshewe fulana yenye makundi fulani ya kisiasa. Wengine
hupewa kazi ya kusafisha na kuboresha kwa kuokota takataka na hata uchoraji wa picha
barabarani zinazo wavutia watalii wanapozuru nchi yetu.
Tatu, katika makundi ya kisiasa, wanasiasa hutoa pesa za misaada kwa wakongwe wasiojiweza,
wanafunzi wasio na uwezo wa kulipa karo ya shule na familia maskini wasio na mbele wala
nyuma.Mayatima pia husaidika kutokana na fedha hizo.
Mathalan, shughuli za kisiasa husaidia katika kupiga jeki kwa matumizi ya mihadarati kama vile
bangi, pombe, miraa na heroin. Dawa hizi huathiri sana afya ya adinasi. Wateja huishia
kuathirika au hata kwenda jongomeo. Wanasiasa huwapa vijana hawa ajira kama ya kuchukua
taka kutoka kwa kila nyumba ili wajipatie riziki yao ya siku. Wanasiasa walafi hununua dawa
hizo na kuziuza na hapo ndipo wanapopata hela haramu. Yakini, wakenya tumekuwa na siasa
tangu zamani. Watu wameanza kung'ang’ania ubunge, udiwani, ugavana na useneti.
Wanasiasa wameshaanza kampeni ya mwaka elfu mbili ishirini na mbili ambapo tutakuwa na
uchaguzi mkubwa humu nchini. Kila mwanasiasa anadhamiria kutwaa taji.
Katika kumalizia ninawaomba wanasiasa kudumisha amani hasa huu wakati mgumu wa
uchaguzi· Askari wakae macho muda wote. Pia haki itendeke na sio kudhulumu wengine.
Wananchi hao lazima wawe watulivu wapige kura kwa amani kisha wasubirie matokeo na sio
kuleta vurugu. Watu wakikosa kuwa watulivu basi polisi wafanye kazi yao. Amani haiji ila kwa
ncha ya upanga. Lazima kura ya mwaka ujao liwe zoezi la amani kabisa.
| Shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya corona vipi | {
"text": [
"wanasiasa wanapokuwa katika shughuli hawafuati taratibu sahihi za kiafya"
]
} |
0180_swa | JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED
JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE
SHULE UPILI AL-FARSY
PWANI 86209 MOMBASA
0702880134
BARUA PEPE [email protected]
FORM 1N ADM NO: 2081
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi
kumchagua kiongozi atakayeleta maendeleo katika maisha yake na kuikuza nchi kiuchumi, ajira,
kujenga mtangamano wa masoko ya kifedha, kuongeza mzunguko wa watu, uimarishaji wa
ushirikiano katika bidhaa za umma, ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa uchumi wa nchi na
kuboresha hali ya mapato. Hata hivyo, siasa ni kama moto unatumika kupikia na unaweza
kutuchoma. Kwa vile siasa ina uzuri na ubaya wake, nitazingatia yote.
Kwanza, ahadi za uongo kutoka kwa wanasiasa. Watu huahidiwa vitu mbalimbali kama vile
kutengenezwa kwa mifereji itakayotoa maziwa, kupewa kwa maziwa ya kuku kwa kila
mwananchi na kujengewa kivukio kitakacho muezesha mtu kufika angani. Wanafunzi kuahidiwa
vipakatalishi na hata kujengewa visima vya kuogelea shuleni.
Pili, Ufisadi. Siasa pia huchangia sana katika ufisadi. Viongozi hufanya biashara haramu kufuja
mali ya umma kwa ajili ya kufanya kampeni. Maafisa wa ngazi ya juu kupokea rushwa kutoka
kwa wanasiasa. Wanasiasa wengine kuwahonga watu fulusi ili wampe kura zao. Hata maafisa
wengine wanasimamia uchaguzi. Pia huhongwa na kuiba kura za viongozi wanaopaswa kushinda
na kumpa yule aliyewahonga.
Tatu, watu hujeruhiana na kuuana kwa siasa. Hii hutokea sana katika siku za kupiga kura.
Wananchi kuandamana barabarani huku wakichoma magurudumu, wengine kurushiana mawe,
kutoleana mapanga na hata kuharibu mali za wengine. Kila mtu anataka kuonyesha ubabe wake.
Hapo ndipo hutokea vurugu ya mwananchi kwa askari. Hali hii hupelekea kwa watu kwenda
jahanamu.
Nne, katika mikutano na maandamano ya kisiasa, wanasiasa hurushiana cheche za matusi na
kuitana majina ya kukejeliana. Wanasiasa hung’ang’ania mikrofoni na wengine hata kuzua
magombano mikutanoni. Hii hupelekea kwa wananchi kutowaheshimu na kuwasikiliza viongozi
Tano, watu kupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa. Mahuluki wengi hufunga maduka,
wengine kuacha kazi zao maalum ili waende kumsikiliza mwanasiasa fulani. Mwanafunzi pia
hutoroka shuleni kwa sababu ya kwenda kuona na kusikiliza gavana au mbunge fulani huku
akiwa ameacha masomo yake shuleni yatakayomletea ufanisi huko mbeleni katika maisha yake
yajayo.
Sita, kudorora kwa uchumi wa nchi. Nakisi ya urari wa biashara ya nje inaleta madhara kwa
ukuaji wa uchumi kwa kipindi kirefu. Mawasiliano na uchukuzi huharibika. Uchumi unapokuwa
chini basi dola nayo hushuka.
Saba, shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya ugonjwa wa Corona. Wanasiasa wanapokuwa
katika shughuli hizo, hawafuati taratibu sahihi za kiafya. Kuvaa barakoa, kuosha mikono kwa
maji yanayotiririka na sabuni na kukaa umbali wa mita moja na nusu kutoka kwa mwenza ili
kuepuka ongezeko la ugonjwa huu. Uviko 19 unaweza kupeleka w?tu ahera. Marathi haya
hayajali wakembe au wakongwe. Huu ni wakati wa kuhepa mikutano ya kisiasa ili kulinda afya
za wengine.
Siasa ina uchawi na utabibu wake. Hebu tuangazie utabibu wake. Kwanza, ujengaji wa hospitali,
barabara na shule. Hivi vyote binadamu hufaidika kwani angalau anapougua, anapahali
pakwenda kutibiwa. Kusaidika kwa usafiri na watoto kwenda kupata elimu shuleni. Hali ya
usafiri kutoka mahali fulani hunyanyuka.
Pili, watu kupata ajira hasa mafundi wa nguo yaani washonaji nguo hujipatia riziki zao kutoka
kwa wanasiasa wanapotaka washoneshewe fulana yenye makundi fulani ya kisiasa. Wengine
hupewa kazi ya kusafisha na kuboresha kwa kuokota takataka na hata uchoraji wa picha
barabarani zinazo wavutia watalii wanapozuru nchi yetu.
Tatu, katika makundi ya kisiasa, wanasiasa hutoa pesa za misaada kwa wakongwe wasiojiweza,
wanafunzi wasio na uwezo wa kulipa karo ya shule na familia maskini wasio na mbele wala
nyuma.Mayatima pia husaidika kutokana na fedha hizo.
Mathalan, shughuli za kisiasa husaidia katika kupiga jeki kwa matumizi ya mihadarati kama vile
bangi, pombe, miraa na heroin. Dawa hizi huathiri sana afya ya adinasi. Wateja huishia
kuathirika au hata kwenda jongomeo. Wanasiasa huwapa vijana hawa ajira kama ya kuchukua
taka kutoka kwa kila nyumba ili wajipatie riziki yao ya siku. Wanasiasa walafi hununua dawa
hizo na kuziuza na hapo ndipo wanapopata hela haramu. Yakini, wakenya tumekuwa na siasa
tangu zamani. Watu wameanza kung'ang’ania ubunge, udiwani, ugavana na useneti.
Wanasiasa wameshaanza kampeni ya mwaka elfu mbili ishirini na mbili ambapo tutakuwa na
uchaguzi mkubwa humu nchini. Kila mwanasiasa anadhamiria kutwaa taji.
Katika kumalizia ninawaomba wanasiasa kudumisha amani hasa huu wakati mgumu wa
uchaguzi· Askari wakae macho muda wote. Pia haki itendeke na sio kudhulumu wengine.
Wananchi hao lazima wawe watulivu wapige kura kwa amani kisha wasubirie matokeo na sio
kuleta vurugu. Watu wakikosa kuwa watulivu basi polisi wafanye kazi yao. Amani haiji ila kwa
ncha ya upanga. Lazima kura ya mwaka ujao liwe zoezi la amani kabisa.
| ni lini tutakuwa na uchaguzi mkubwa humu nchini | {
"text": [
"mwaka elfi mbili ishirini na mbili"
]
} |
0180_swa | JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED
JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE
SHULE UPILI AL-FARSY
PWANI 86209 MOMBASA
0702880134
BARUA PEPE [email protected]
FORM 1N ADM NO: 2081
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi
kumchagua kiongozi atakayeleta maendeleo katika maisha yake na kuikuza nchi kiuchumi, ajira,
kujenga mtangamano wa masoko ya kifedha, kuongeza mzunguko wa watu, uimarishaji wa
ushirikiano katika bidhaa za umma, ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa uchumi wa nchi na
kuboresha hali ya mapato. Hata hivyo, siasa ni kama moto unatumika kupikia na unaweza
kutuchoma. Kwa vile siasa ina uzuri na ubaya wake, nitazingatia yote.
Kwanza, ahadi za uongo kutoka kwa wanasiasa. Watu huahidiwa vitu mbalimbali kama vile
kutengenezwa kwa mifereji itakayotoa maziwa, kupewa kwa maziwa ya kuku kwa kila
mwananchi na kujengewa kivukio kitakacho muezesha mtu kufika angani. Wanafunzi kuahidiwa
vipakatalishi na hata kujengewa visima vya kuogelea shuleni.
Pili, Ufisadi. Siasa pia huchangia sana katika ufisadi. Viongozi hufanya biashara haramu kufuja
mali ya umma kwa ajili ya kufanya kampeni. Maafisa wa ngazi ya juu kupokea rushwa kutoka
kwa wanasiasa. Wanasiasa wengine kuwahonga watu fulusi ili wampe kura zao. Hata maafisa
wengine wanasimamia uchaguzi. Pia huhongwa na kuiba kura za viongozi wanaopaswa kushinda
na kumpa yule aliyewahonga.
Tatu, watu hujeruhiana na kuuana kwa siasa. Hii hutokea sana katika siku za kupiga kura.
Wananchi kuandamana barabarani huku wakichoma magurudumu, wengine kurushiana mawe,
kutoleana mapanga na hata kuharibu mali za wengine. Kila mtu anataka kuonyesha ubabe wake.
Hapo ndipo hutokea vurugu ya mwananchi kwa askari. Hali hii hupelekea kwa watu kwenda
jahanamu.
Nne, katika mikutano na maandamano ya kisiasa, wanasiasa hurushiana cheche za matusi na
kuitana majina ya kukejeliana. Wanasiasa hung’ang’ania mikrofoni na wengine hata kuzua
magombano mikutanoni. Hii hupelekea kwa wananchi kutowaheshimu na kuwasikiliza viongozi
Tano, watu kupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa. Mahuluki wengi hufunga maduka,
wengine kuacha kazi zao maalum ili waende kumsikiliza mwanasiasa fulani. Mwanafunzi pia
hutoroka shuleni kwa sababu ya kwenda kuona na kusikiliza gavana au mbunge fulani huku
akiwa ameacha masomo yake shuleni yatakayomletea ufanisi huko mbeleni katika maisha yake
yajayo.
Sita, kudorora kwa uchumi wa nchi. Nakisi ya urari wa biashara ya nje inaleta madhara kwa
ukuaji wa uchumi kwa kipindi kirefu. Mawasiliano na uchukuzi huharibika. Uchumi unapokuwa
chini basi dola nayo hushuka.
Saba, shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya ugonjwa wa Corona. Wanasiasa wanapokuwa
katika shughuli hizo, hawafuati taratibu sahihi za kiafya. Kuvaa barakoa, kuosha mikono kwa
maji yanayotiririka na sabuni na kukaa umbali wa mita moja na nusu kutoka kwa mwenza ili
kuepuka ongezeko la ugonjwa huu. Uviko 19 unaweza kupeleka w?tu ahera. Marathi haya
hayajali wakembe au wakongwe. Huu ni wakati wa kuhepa mikutano ya kisiasa ili kulinda afya
za wengine.
Siasa ina uchawi na utabibu wake. Hebu tuangazie utabibu wake. Kwanza, ujengaji wa hospitali,
barabara na shule. Hivi vyote binadamu hufaidika kwani angalau anapougua, anapahali
pakwenda kutibiwa. Kusaidika kwa usafiri na watoto kwenda kupata elimu shuleni. Hali ya
usafiri kutoka mahali fulani hunyanyuka.
Pili, watu kupata ajira hasa mafundi wa nguo yaani washonaji nguo hujipatia riziki zao kutoka
kwa wanasiasa wanapotaka washoneshewe fulana yenye makundi fulani ya kisiasa. Wengine
hupewa kazi ya kusafisha na kuboresha kwa kuokota takataka na hata uchoraji wa picha
barabarani zinazo wavutia watalii wanapozuru nchi yetu.
Tatu, katika makundi ya kisiasa, wanasiasa hutoa pesa za misaada kwa wakongwe wasiojiweza,
wanafunzi wasio na uwezo wa kulipa karo ya shule na familia maskini wasio na mbele wala
nyuma.Mayatima pia husaidika kutokana na fedha hizo.
Mathalan, shughuli za kisiasa husaidia katika kupiga jeki kwa matumizi ya mihadarati kama vile
bangi, pombe, miraa na heroin. Dawa hizi huathiri sana afya ya adinasi. Wateja huishia
kuathirika au hata kwenda jongomeo. Wanasiasa huwapa vijana hawa ajira kama ya kuchukua
taka kutoka kwa kila nyumba ili wajipatie riziki yao ya siku. Wanasiasa walafi hununua dawa
hizo na kuziuza na hapo ndipo wanapopata hela haramu. Yakini, wakenya tumekuwa na siasa
tangu zamani. Watu wameanza kung'ang’ania ubunge, udiwani, ugavana na useneti.
Wanasiasa wameshaanza kampeni ya mwaka elfu mbili ishirini na mbili ambapo tutakuwa na
uchaguzi mkubwa humu nchini. Kila mwanasiasa anadhamiria kutwaa taji.
Katika kumalizia ninawaomba wanasiasa kudumisha amani hasa huu wakati mgumu wa
uchaguzi· Askari wakae macho muda wote. Pia haki itendeke na sio kudhulumu wengine.
Wananchi hao lazima wawe watulivu wapige kura kwa amani kisha wasubirie matokeo na sio
kuleta vurugu. Watu wakikosa kuwa watulivu basi polisi wafanye kazi yao. Amani haiji ila kwa
ncha ya upanga. Lazima kura ya mwaka ujao liwe zoezi la amani kabisa.
| wananchi wanaombwa wapige kura vipi | {
"text": [
"kwa amani"
]
} |
0180_swa | JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED
JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE
SHULE UPILI AL-FARSY
PWANI 86209 MOMBASA
0702880134
BARUA PEPE [email protected]
FORM 1N ADM NO: 2081
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi
kumchagua kiongozi atakayeleta maendeleo katika maisha yake na kuikuza nchi kiuchumi, ajira,
kujenga mtangamano wa masoko ya kifedha, kuongeza mzunguko wa watu, uimarishaji wa
ushirikiano katika bidhaa za umma, ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa uchumi wa nchi na
kuboresha hali ya mapato. Hata hivyo, siasa ni kama moto unatumika kupikia na unaweza
kutuchoma. Kwa vile siasa ina uzuri na ubaya wake, nitazingatia yote.
Kwanza, ahadi za uongo kutoka kwa wanasiasa. Watu huahidiwa vitu mbalimbali kama vile
kutengenezwa kwa mifereji itakayotoa maziwa, kupewa kwa maziwa ya kuku kwa kila
mwananchi na kujengewa kivukio kitakacho muezesha mtu kufika angani. Wanafunzi kuahidiwa
vipakatalishi na hata kujengewa visima vya kuogelea shuleni.
Pili, Ufisadi. Siasa pia huchangia sana katika ufisadi. Viongozi hufanya biashara haramu kufuja
mali ya umma kwa ajili ya kufanya kampeni. Maafisa wa ngazi ya juu kupokea rushwa kutoka
kwa wanasiasa. Wanasiasa wengine kuwahonga watu fulusi ili wampe kura zao. Hata maafisa
wengine wanasimamia uchaguzi. Pia huhongwa na kuiba kura za viongozi wanaopaswa kushinda
na kumpa yule aliyewahonga.
Tatu, watu hujeruhiana na kuuana kwa siasa. Hii hutokea sana katika siku za kupiga kura.
Wananchi kuandamana barabarani huku wakichoma magurudumu, wengine kurushiana mawe,
kutoleana mapanga na hata kuharibu mali za wengine. Kila mtu anataka kuonyesha ubabe wake.
Hapo ndipo hutokea vurugu ya mwananchi kwa askari. Hali hii hupelekea kwa watu kwenda
jahanamu.
Nne, katika mikutano na maandamano ya kisiasa, wanasiasa hurushiana cheche za matusi na
kuitana majina ya kukejeliana. Wanasiasa hung’ang’ania mikrofoni na wengine hata kuzua
magombano mikutanoni. Hii hupelekea kwa wananchi kutowaheshimu na kuwasikiliza viongozi
Tano, watu kupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa. Mahuluki wengi hufunga maduka,
wengine kuacha kazi zao maalum ili waende kumsikiliza mwanasiasa fulani. Mwanafunzi pia
hutoroka shuleni kwa sababu ya kwenda kuona na kusikiliza gavana au mbunge fulani huku
akiwa ameacha masomo yake shuleni yatakayomletea ufanisi huko mbeleni katika maisha yake
yajayo.
Sita, kudorora kwa uchumi wa nchi. Nakisi ya urari wa biashara ya nje inaleta madhara kwa
ukuaji wa uchumi kwa kipindi kirefu. Mawasiliano na uchukuzi huharibika. Uchumi unapokuwa
chini basi dola nayo hushuka.
Saba, shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya ugonjwa wa Corona. Wanasiasa wanapokuwa
katika shughuli hizo, hawafuati taratibu sahihi za kiafya. Kuvaa barakoa, kuosha mikono kwa
maji yanayotiririka na sabuni na kukaa umbali wa mita moja na nusu kutoka kwa mwenza ili
kuepuka ongezeko la ugonjwa huu. Uviko 19 unaweza kupeleka w?tu ahera. Marathi haya
hayajali wakembe au wakongwe. Huu ni wakati wa kuhepa mikutano ya kisiasa ili kulinda afya
za wengine.
Siasa ina uchawi na utabibu wake. Hebu tuangazie utabibu wake. Kwanza, ujengaji wa hospitali,
barabara na shule. Hivi vyote binadamu hufaidika kwani angalau anapougua, anapahali
pakwenda kutibiwa. Kusaidika kwa usafiri na watoto kwenda kupata elimu shuleni. Hali ya
usafiri kutoka mahali fulani hunyanyuka.
Pili, watu kupata ajira hasa mafundi wa nguo yaani washonaji nguo hujipatia riziki zao kutoka
kwa wanasiasa wanapotaka washoneshewe fulana yenye makundi fulani ya kisiasa. Wengine
hupewa kazi ya kusafisha na kuboresha kwa kuokota takataka na hata uchoraji wa picha
barabarani zinazo wavutia watalii wanapozuru nchi yetu.
Tatu, katika makundi ya kisiasa, wanasiasa hutoa pesa za misaada kwa wakongwe wasiojiweza,
wanafunzi wasio na uwezo wa kulipa karo ya shule na familia maskini wasio na mbele wala
nyuma.Mayatima pia husaidika kutokana na fedha hizo.
Mathalan, shughuli za kisiasa husaidia katika kupiga jeki kwa matumizi ya mihadarati kama vile
bangi, pombe, miraa na heroin. Dawa hizi huathiri sana afya ya adinasi. Wateja huishia
kuathirika au hata kwenda jongomeo. Wanasiasa huwapa vijana hawa ajira kama ya kuchukua
taka kutoka kwa kila nyumba ili wajipatie riziki yao ya siku. Wanasiasa walafi hununua dawa
hizo na kuziuza na hapo ndipo wanapopata hela haramu. Yakini, wakenya tumekuwa na siasa
tangu zamani. Watu wameanza kung'ang’ania ubunge, udiwani, ugavana na useneti.
Wanasiasa wameshaanza kampeni ya mwaka elfu mbili ishirini na mbili ambapo tutakuwa na
uchaguzi mkubwa humu nchini. Kila mwanasiasa anadhamiria kutwaa taji.
Katika kumalizia ninawaomba wanasiasa kudumisha amani hasa huu wakati mgumu wa
uchaguzi· Askari wakae macho muda wote. Pia haki itendeke na sio kudhulumu wengine.
Wananchi hao lazima wawe watulivu wapige kura kwa amani kisha wasubirie matokeo na sio
kuleta vurugu. Watu wakikosa kuwa watulivu basi polisi wafanye kazi yao. Amani haiji ila kwa
ncha ya upanga. Lazima kura ya mwaka ujao liwe zoezi la amani kabisa.
| amani haiji ila kwa ncha ya nini | {
"text": [
"upanga"
]
} |
0181_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo ambavyo wanasiasa hupigania. Baadhi yake ni udiwani, useneta, ubunge, ugavana na urais. Shughuli za kisiasa ni kama kisu chenye makali, leo utakitumia kukatia nyama lakini kesho kitakukata. Siasa ina umalaika na ushetani kwani hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Umalaika wake ni:
Kwanza kabisa shughuli za kisiasa huleta maendeleo nchini. Kwa yakini kila mbwa hubweka kwao. Wanasiasa wanapokuwa katika harakati za kutafuta kura, wao huwatembelea wananchi na hapo ndipo baraste hufagiliwa, hunyunyuziwa maji na kukarabatiwa. Mbali na baraste kukarabatiwa shule na zahanati hujengwa katika kaunti mbalimbali kama vile Lamu na Marsabit. Pia wanasiasa hutoa ghawazi zinazotumiwa kujenga hospitali za umma.
Pili, vijana hupata ajira. Wanasiasa wanapotafuta kura kwa wananchi, vijana huajiriwa kama walinzi wanaolinda wanasiasa wanapowatembelea wananchi. Pia wakati wa kuhesabu kura, vijana huajiriwa kuhesabu kura kama walivyofanya Matungu katika kaunti ya Kakamega na Kabuchai katika kaunti ya Bungoma. Vijana hawa hupata fedha zinazowahifadhi aushini mwao.
Tatu, katika kipindi cha siasa, wanasiasa hutoa misaada tofauti tofauti kwa mayatima, wanagenzi na wananchi. Wao huwapa wanagenzi vitabu vya viada na ziada. Pia, mayatima hupewa fedha, hununuliwa nguo, vyakula na bidhaa muhimu mathalani unga wa sima na ngano, chumvi ,sukari, maharagwe na mchele· Maji hupelekwa kwa malori sehemu kame kama vile Turkana.
Mbali na misaada kupatikana, siasa pia hukuza uchumi. Wanasiasa wengi katika harakati za kutafuta kura hutaka kujionyesha na hapo ndipo adinasi hupata fursa ya kuuza maji ya kukata kiu, barakoa, barafu na sharubati. Wanasiasa pia huinua kampuni tofauti tofauti kwa mfano, wanapopeana unga wa taifa kwa raia, kampuni inayotengeneza unga huo hupata faida kubwa. Vilevile shughuli za kisiasa huchangia mikahawa hela chungu nzima. Katika harakati za kisiasa, wanasiasa huhitaji pahali pa kula, kulala, kupumzika na kuhutubia wanahabari. Nao huenda katika mikahawa mbalimbali kama vile Whitesands katika kaunti ya Mombasa. Mikahawa hii hupata faida inapokuwa mwenyeji wa warsha midahalo na kongamano za kisiasa.
Pia, wanahabari hupata taarifa ya kuzungumzia katika habari. Katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanahabari hupata fursa ya kuwauliza maswali hasa yanayohusiana na mipango yao ya kufanya maendeleo nchini. Kupitia njia hii, wananchi hujua mipango ya viongozi hawa kupitia taarifa za habari katika matangazo ya Citizen, NTV na KTN.
Kwa yakini, kila chombo kwa vimbile. Kama nilivyosema hapo awali shughuli za kisiasa inaweza kumithilishwa na mvua kubwa, yaani ni tamu hurutubisha makonde na inaweza kusomba kila kitu na kukipeleka baharini. Ningependa kuzungumzia upande wake wa el-nino. Kwanza kabisa ufisadi huenea nchini. Wanasiasa wengi hutoa mrungura kwa wapiga kura, huwapa nguo au leso na bidhaa muhimu mathalani mchele, unga na chumvi. Wanaohesabu kura pia hupigwa konde la nyuma kwa hela. Badala ya viongozi hawa kumaliza ufisadi nchini, wao huendeleza ufisadi nchini.
Pili, wanajamii huahidiwa ahera na kupelekwa jehanamu. Si baraste, si shule, si hospitali zote huahadiwa wanajamii katika mikutano ya kisiasa. Wazee kwa vijana hushangilia kwa vifujo na nderemo huku wakisubiri falau mgonjwa anavyosubiri kupona huku wakijua afikaye kisimani mbele hunywa maji maenge.
Tatu, mikutano ya kisiasa husababisha chuki ya kikabila kidini na hata kiukoo. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko nchini. Kuna sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya vigogo wawili wasiotajika kwa muktadha huo. Baadhi ya waja walienda jongomeo, wengine walijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini na wengine walilemazwa.
Waja wengi huamini kuwa amani haiji ila kwa nchi ya panga. Katika mikutano ya kisiasa adinasi hujeruhiana kwa mawe na mapanga kwa sababu ya kutoelewana kwa makundi mawili ya kisiasa. Kwa mfano, mwezi wa nne huko Matunqu, kulikuwa na fujo kwa sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya makundi mawili yenye mirengo ya kisiasa. Wanasiasa na wafuasi wao walipigana na kujeruhiana na baadhi yao walitiwa mbaroni. Maafa yao huleta taharuki. Adinasi hukosa amani na kuhofia kuvamiwa na kuuliwa.
Tupilia mbali kujeruhiana ikiwa sababu ya kisiasa, kuna upotezaji wa wakati. Adinasi wanapoandamana na wanasiasa katika mikutano kama nzige, huwa kama bendera inayofuata upepo. Wakati huu ungetumiwa na waja kujikuza kimaendeleo kwa kufanya biashara tofauti tofauti za kuwanyanyua kimaendeleo. Je, ni wakulima wangapi waliopoteza wakati kwa vigelegele badala ya kung'oa magugu madeni mwao?
Vilevile shughuli za kisiasa huleta uharibifu wa mali na mazingira. Kwa yakin,i adui wa mtu ni mtu. Katika harakati za majumba ya watu, maduka makuu, makampuni na vibanda hubomolewa na kuchomwa. Matendo hayo huleta udororaji wa iktisadi nchini. Mazingira pia huharibiwa kwa mfano, miti hukatwa na kuchomwa.
Pia wanasiasa wanapokutana mazishini au katika mikutano ya kisiasa, wao hueneza ugonjwa wa uviko-19. Kwa mfano katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanasiasa na wafuasi wao husongamana kwa maeneo madogo. Msongamano huo ni kitovu cha uviko-19.
Mbali na ugonjwa wa uviko-19 kusambaa kwa sababu ya mikutano ya kisiasa katika shughuli za kisiasa, wanasiasa hutumia mikutano yao kudai kuun wameibiwa kura zao. Nao hujitangaza washindi hadharani na huwaomba wapinzani wao wayapinge matokeo ya
uchaguzi. Wanasiasa hawa wanaodai kuibiwa kura huandamana na wafuasi wao falau nzige na kuvamia bunge la seneti na kuharibu shughuli zao.
Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependa kusema kuwa ijapokuwa siasa zina athari hasi duniani. Ina athari chanya nyingi kama vile maendeleo nchini, ajira kwa vijana, misaada kwa mayatima na wanagenzi, ukuzaji wa fedha na uchumi kwa wafanyabiashara mikahawani. Aidha wanahabari hupata shughuli au mambo za kutangaza katika habari kuhusu shughuli za kisiasa. Chambilecho wahenga wa kuandika kwa hakika, barabara ndefu lazima ijipinde. | Shughuli za kisasa huleta nini nchini | {
"text": [
"Maendeleo "
]
} |
0181_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo ambavyo wanasiasa hupigania. Baadhi yake ni udiwani, useneta, ubunge, ugavana na urais. Shughuli za kisiasa ni kama kisu chenye makali, leo utakitumia kukatia nyama lakini kesho kitakukata. Siasa ina umalaika na ushetani kwani hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Umalaika wake ni:
Kwanza kabisa shughuli za kisiasa huleta maendeleo nchini. Kwa yakini kila mbwa hubweka kwao. Wanasiasa wanapokuwa katika harakati za kutafuta kura, wao huwatembelea wananchi na hapo ndipo baraste hufagiliwa, hunyunyuziwa maji na kukarabatiwa. Mbali na baraste kukarabatiwa shule na zahanati hujengwa katika kaunti mbalimbali kama vile Lamu na Marsabit. Pia wanasiasa hutoa ghawazi zinazotumiwa kujenga hospitali za umma.
Pili, vijana hupata ajira. Wanasiasa wanapotafuta kura kwa wananchi, vijana huajiriwa kama walinzi wanaolinda wanasiasa wanapowatembelea wananchi. Pia wakati wa kuhesabu kura, vijana huajiriwa kuhesabu kura kama walivyofanya Matungu katika kaunti ya Kakamega na Kabuchai katika kaunti ya Bungoma. Vijana hawa hupata fedha zinazowahifadhi aushini mwao.
Tatu, katika kipindi cha siasa, wanasiasa hutoa misaada tofauti tofauti kwa mayatima, wanagenzi na wananchi. Wao huwapa wanagenzi vitabu vya viada na ziada. Pia, mayatima hupewa fedha, hununuliwa nguo, vyakula na bidhaa muhimu mathalani unga wa sima na ngano, chumvi ,sukari, maharagwe na mchele· Maji hupelekwa kwa malori sehemu kame kama vile Turkana.
Mbali na misaada kupatikana, siasa pia hukuza uchumi. Wanasiasa wengi katika harakati za kutafuta kura hutaka kujionyesha na hapo ndipo adinasi hupata fursa ya kuuza maji ya kukata kiu, barakoa, barafu na sharubati. Wanasiasa pia huinua kampuni tofauti tofauti kwa mfano, wanapopeana unga wa taifa kwa raia, kampuni inayotengeneza unga huo hupata faida kubwa. Vilevile shughuli za kisiasa huchangia mikahawa hela chungu nzima. Katika harakati za kisiasa, wanasiasa huhitaji pahali pa kula, kulala, kupumzika na kuhutubia wanahabari. Nao huenda katika mikahawa mbalimbali kama vile Whitesands katika kaunti ya Mombasa. Mikahawa hii hupata faida inapokuwa mwenyeji wa warsha midahalo na kongamano za kisiasa.
Pia, wanahabari hupata taarifa ya kuzungumzia katika habari. Katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanahabari hupata fursa ya kuwauliza maswali hasa yanayohusiana na mipango yao ya kufanya maendeleo nchini. Kupitia njia hii, wananchi hujua mipango ya viongozi hawa kupitia taarifa za habari katika matangazo ya Citizen, NTV na KTN.
Kwa yakini, kila chombo kwa vimbile. Kama nilivyosema hapo awali shughuli za kisiasa inaweza kumithilishwa na mvua kubwa, yaani ni tamu hurutubisha makonde na inaweza kusomba kila kitu na kukipeleka baharini. Ningependa kuzungumzia upande wake wa el-nino. Kwanza kabisa ufisadi huenea nchini. Wanasiasa wengi hutoa mrungura kwa wapiga kura, huwapa nguo au leso na bidhaa muhimu mathalani mchele, unga na chumvi. Wanaohesabu kura pia hupigwa konde la nyuma kwa hela. Badala ya viongozi hawa kumaliza ufisadi nchini, wao huendeleza ufisadi nchini.
Pili, wanajamii huahidiwa ahera na kupelekwa jehanamu. Si baraste, si shule, si hospitali zote huahadiwa wanajamii katika mikutano ya kisiasa. Wazee kwa vijana hushangilia kwa vifujo na nderemo huku wakisubiri falau mgonjwa anavyosubiri kupona huku wakijua afikaye kisimani mbele hunywa maji maenge.
Tatu, mikutano ya kisiasa husababisha chuki ya kikabila kidini na hata kiukoo. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko nchini. Kuna sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya vigogo wawili wasiotajika kwa muktadha huo. Baadhi ya waja walienda jongomeo, wengine walijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini na wengine walilemazwa.
Waja wengi huamini kuwa amani haiji ila kwa nchi ya panga. Katika mikutano ya kisiasa adinasi hujeruhiana kwa mawe na mapanga kwa sababu ya kutoelewana kwa makundi mawili ya kisiasa. Kwa mfano, mwezi wa nne huko Matunqu, kulikuwa na fujo kwa sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya makundi mawili yenye mirengo ya kisiasa. Wanasiasa na wafuasi wao walipigana na kujeruhiana na baadhi yao walitiwa mbaroni. Maafa yao huleta taharuki. Adinasi hukosa amani na kuhofia kuvamiwa na kuuliwa.
Tupilia mbali kujeruhiana ikiwa sababu ya kisiasa, kuna upotezaji wa wakati. Adinasi wanapoandamana na wanasiasa katika mikutano kama nzige, huwa kama bendera inayofuata upepo. Wakati huu ungetumiwa na waja kujikuza kimaendeleo kwa kufanya biashara tofauti tofauti za kuwanyanyua kimaendeleo. Je, ni wakulima wangapi waliopoteza wakati kwa vigelegele badala ya kung'oa magugu madeni mwao?
Vilevile shughuli za kisiasa huleta uharibifu wa mali na mazingira. Kwa yakin,i adui wa mtu ni mtu. Katika harakati za majumba ya watu, maduka makuu, makampuni na vibanda hubomolewa na kuchomwa. Matendo hayo huleta udororaji wa iktisadi nchini. Mazingira pia huharibiwa kwa mfano, miti hukatwa na kuchomwa.
Pia wanasiasa wanapokutana mazishini au katika mikutano ya kisiasa, wao hueneza ugonjwa wa uviko-19. Kwa mfano katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanasiasa na wafuasi wao husongamana kwa maeneo madogo. Msongamano huo ni kitovu cha uviko-19.
Mbali na ugonjwa wa uviko-19 kusambaa kwa sababu ya mikutano ya kisiasa katika shughuli za kisiasa, wanasiasa hutumia mikutano yao kudai kuun wameibiwa kura zao. Nao hujitangaza washindi hadharani na huwaomba wapinzani wao wayapinge matokeo ya
uchaguzi. Wanasiasa hawa wanaodai kuibiwa kura huandamana na wafuasi wao falau nzige na kuvamia bunge la seneti na kuharibu shughuli zao.
Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependa kusema kuwa ijapokuwa siasa zina athari hasi duniani. Ina athari chanya nyingi kama vile maendeleo nchini, ajira kwa vijana, misaada kwa mayatima na wanagenzi, ukuzaji wa fedha na uchumi kwa wafanyabiashara mikahawani. Aidha wanahabari hupata shughuli au mambo za kutangaza katika habari kuhusu shughuli za kisiasa. Chambilecho wahenga wa kuandika kwa hakika, barabara ndefu lazima ijipinde. | Vijana wanaajiriwa kama nani | {
"text": [
"Walinzi"
]
} |
0181_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo ambavyo wanasiasa hupigania. Baadhi yake ni udiwani, useneta, ubunge, ugavana na urais. Shughuli za kisiasa ni kama kisu chenye makali, leo utakitumia kukatia nyama lakini kesho kitakukata. Siasa ina umalaika na ushetani kwani hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Umalaika wake ni:
Kwanza kabisa shughuli za kisiasa huleta maendeleo nchini. Kwa yakini kila mbwa hubweka kwao. Wanasiasa wanapokuwa katika harakati za kutafuta kura, wao huwatembelea wananchi na hapo ndipo baraste hufagiliwa, hunyunyuziwa maji na kukarabatiwa. Mbali na baraste kukarabatiwa shule na zahanati hujengwa katika kaunti mbalimbali kama vile Lamu na Marsabit. Pia wanasiasa hutoa ghawazi zinazotumiwa kujenga hospitali za umma.
Pili, vijana hupata ajira. Wanasiasa wanapotafuta kura kwa wananchi, vijana huajiriwa kama walinzi wanaolinda wanasiasa wanapowatembelea wananchi. Pia wakati wa kuhesabu kura, vijana huajiriwa kuhesabu kura kama walivyofanya Matungu katika kaunti ya Kakamega na Kabuchai katika kaunti ya Bungoma. Vijana hawa hupata fedha zinazowahifadhi aushini mwao.
Tatu, katika kipindi cha siasa, wanasiasa hutoa misaada tofauti tofauti kwa mayatima, wanagenzi na wananchi. Wao huwapa wanagenzi vitabu vya viada na ziada. Pia, mayatima hupewa fedha, hununuliwa nguo, vyakula na bidhaa muhimu mathalani unga wa sima na ngano, chumvi ,sukari, maharagwe na mchele· Maji hupelekwa kwa malori sehemu kame kama vile Turkana.
Mbali na misaada kupatikana, siasa pia hukuza uchumi. Wanasiasa wengi katika harakati za kutafuta kura hutaka kujionyesha na hapo ndipo adinasi hupata fursa ya kuuza maji ya kukata kiu, barakoa, barafu na sharubati. Wanasiasa pia huinua kampuni tofauti tofauti kwa mfano, wanapopeana unga wa taifa kwa raia, kampuni inayotengeneza unga huo hupata faida kubwa. Vilevile shughuli za kisiasa huchangia mikahawa hela chungu nzima. Katika harakati za kisiasa, wanasiasa huhitaji pahali pa kula, kulala, kupumzika na kuhutubia wanahabari. Nao huenda katika mikahawa mbalimbali kama vile Whitesands katika kaunti ya Mombasa. Mikahawa hii hupata faida inapokuwa mwenyeji wa warsha midahalo na kongamano za kisiasa.
Pia, wanahabari hupata taarifa ya kuzungumzia katika habari. Katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanahabari hupata fursa ya kuwauliza maswali hasa yanayohusiana na mipango yao ya kufanya maendeleo nchini. Kupitia njia hii, wananchi hujua mipango ya viongozi hawa kupitia taarifa za habari katika matangazo ya Citizen, NTV na KTN.
Kwa yakini, kila chombo kwa vimbile. Kama nilivyosema hapo awali shughuli za kisiasa inaweza kumithilishwa na mvua kubwa, yaani ni tamu hurutubisha makonde na inaweza kusomba kila kitu na kukipeleka baharini. Ningependa kuzungumzia upande wake wa el-nino. Kwanza kabisa ufisadi huenea nchini. Wanasiasa wengi hutoa mrungura kwa wapiga kura, huwapa nguo au leso na bidhaa muhimu mathalani mchele, unga na chumvi. Wanaohesabu kura pia hupigwa konde la nyuma kwa hela. Badala ya viongozi hawa kumaliza ufisadi nchini, wao huendeleza ufisadi nchini.
Pili, wanajamii huahidiwa ahera na kupelekwa jehanamu. Si baraste, si shule, si hospitali zote huahadiwa wanajamii katika mikutano ya kisiasa. Wazee kwa vijana hushangilia kwa vifujo na nderemo huku wakisubiri falau mgonjwa anavyosubiri kupona huku wakijua afikaye kisimani mbele hunywa maji maenge.
Tatu, mikutano ya kisiasa husababisha chuki ya kikabila kidini na hata kiukoo. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko nchini. Kuna sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya vigogo wawili wasiotajika kwa muktadha huo. Baadhi ya waja walienda jongomeo, wengine walijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini na wengine walilemazwa.
Waja wengi huamini kuwa amani haiji ila kwa nchi ya panga. Katika mikutano ya kisiasa adinasi hujeruhiana kwa mawe na mapanga kwa sababu ya kutoelewana kwa makundi mawili ya kisiasa. Kwa mfano, mwezi wa nne huko Matunqu, kulikuwa na fujo kwa sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya makundi mawili yenye mirengo ya kisiasa. Wanasiasa na wafuasi wao walipigana na kujeruhiana na baadhi yao walitiwa mbaroni. Maafa yao huleta taharuki. Adinasi hukosa amani na kuhofia kuvamiwa na kuuliwa.
Tupilia mbali kujeruhiana ikiwa sababu ya kisiasa, kuna upotezaji wa wakati. Adinasi wanapoandamana na wanasiasa katika mikutano kama nzige, huwa kama bendera inayofuata upepo. Wakati huu ungetumiwa na waja kujikuza kimaendeleo kwa kufanya biashara tofauti tofauti za kuwanyanyua kimaendeleo. Je, ni wakulima wangapi waliopoteza wakati kwa vigelegele badala ya kung'oa magugu madeni mwao?
Vilevile shughuli za kisiasa huleta uharibifu wa mali na mazingira. Kwa yakin,i adui wa mtu ni mtu. Katika harakati za majumba ya watu, maduka makuu, makampuni na vibanda hubomolewa na kuchomwa. Matendo hayo huleta udororaji wa iktisadi nchini. Mazingira pia huharibiwa kwa mfano, miti hukatwa na kuchomwa.
Pia wanasiasa wanapokutana mazishini au katika mikutano ya kisiasa, wao hueneza ugonjwa wa uviko-19. Kwa mfano katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanasiasa na wafuasi wao husongamana kwa maeneo madogo. Msongamano huo ni kitovu cha uviko-19.
Mbali na ugonjwa wa uviko-19 kusambaa kwa sababu ya mikutano ya kisiasa katika shughuli za kisiasa, wanasiasa hutumia mikutano yao kudai kuun wameibiwa kura zao. Nao hujitangaza washindi hadharani na huwaomba wapinzani wao wayapinge matokeo ya
uchaguzi. Wanasiasa hawa wanaodai kuibiwa kura huandamana na wafuasi wao falau nzige na kuvamia bunge la seneti na kuharibu shughuli zao.
Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependa kusema kuwa ijapokuwa siasa zina athari hasi duniani. Ina athari chanya nyingi kama vile maendeleo nchini, ajira kwa vijana, misaada kwa mayatima na wanagenzi, ukuzaji wa fedha na uchumi kwa wafanyabiashara mikahawani. Aidha wanahabari hupata shughuli au mambo za kutangaza katika habari kuhusu shughuli za kisiasa. Chambilecho wahenga wa kuandika kwa hakika, barabara ndefu lazima ijipinde. | Utaratibu unatumika kuletea maendeleo unaitwaje | {
"text": [
"Siasa"
]
} |
0181_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo ambavyo wanasiasa hupigania. Baadhi yake ni udiwani, useneta, ubunge, ugavana na urais. Shughuli za kisiasa ni kama kisu chenye makali, leo utakitumia kukatia nyama lakini kesho kitakukata. Siasa ina umalaika na ushetani kwani hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Umalaika wake ni:
Kwanza kabisa shughuli za kisiasa huleta maendeleo nchini. Kwa yakini kila mbwa hubweka kwao. Wanasiasa wanapokuwa katika harakati za kutafuta kura, wao huwatembelea wananchi na hapo ndipo baraste hufagiliwa, hunyunyuziwa maji na kukarabatiwa. Mbali na baraste kukarabatiwa shule na zahanati hujengwa katika kaunti mbalimbali kama vile Lamu na Marsabit. Pia wanasiasa hutoa ghawazi zinazotumiwa kujenga hospitali za umma.
Pili, vijana hupata ajira. Wanasiasa wanapotafuta kura kwa wananchi, vijana huajiriwa kama walinzi wanaolinda wanasiasa wanapowatembelea wananchi. Pia wakati wa kuhesabu kura, vijana huajiriwa kuhesabu kura kama walivyofanya Matungu katika kaunti ya Kakamega na Kabuchai katika kaunti ya Bungoma. Vijana hawa hupata fedha zinazowahifadhi aushini mwao.
Tatu, katika kipindi cha siasa, wanasiasa hutoa misaada tofauti tofauti kwa mayatima, wanagenzi na wananchi. Wao huwapa wanagenzi vitabu vya viada na ziada. Pia, mayatima hupewa fedha, hununuliwa nguo, vyakula na bidhaa muhimu mathalani unga wa sima na ngano, chumvi ,sukari, maharagwe na mchele· Maji hupelekwa kwa malori sehemu kame kama vile Turkana.
Mbali na misaada kupatikana, siasa pia hukuza uchumi. Wanasiasa wengi katika harakati za kutafuta kura hutaka kujionyesha na hapo ndipo adinasi hupata fursa ya kuuza maji ya kukata kiu, barakoa, barafu na sharubati. Wanasiasa pia huinua kampuni tofauti tofauti kwa mfano, wanapopeana unga wa taifa kwa raia, kampuni inayotengeneza unga huo hupata faida kubwa. Vilevile shughuli za kisiasa huchangia mikahawa hela chungu nzima. Katika harakati za kisiasa, wanasiasa huhitaji pahali pa kula, kulala, kupumzika na kuhutubia wanahabari. Nao huenda katika mikahawa mbalimbali kama vile Whitesands katika kaunti ya Mombasa. Mikahawa hii hupata faida inapokuwa mwenyeji wa warsha midahalo na kongamano za kisiasa.
Pia, wanahabari hupata taarifa ya kuzungumzia katika habari. Katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanahabari hupata fursa ya kuwauliza maswali hasa yanayohusiana na mipango yao ya kufanya maendeleo nchini. Kupitia njia hii, wananchi hujua mipango ya viongozi hawa kupitia taarifa za habari katika matangazo ya Citizen, NTV na KTN.
Kwa yakini, kila chombo kwa vimbile. Kama nilivyosema hapo awali shughuli za kisiasa inaweza kumithilishwa na mvua kubwa, yaani ni tamu hurutubisha makonde na inaweza kusomba kila kitu na kukipeleka baharini. Ningependa kuzungumzia upande wake wa el-nino. Kwanza kabisa ufisadi huenea nchini. Wanasiasa wengi hutoa mrungura kwa wapiga kura, huwapa nguo au leso na bidhaa muhimu mathalani mchele, unga na chumvi. Wanaohesabu kura pia hupigwa konde la nyuma kwa hela. Badala ya viongozi hawa kumaliza ufisadi nchini, wao huendeleza ufisadi nchini.
Pili, wanajamii huahidiwa ahera na kupelekwa jehanamu. Si baraste, si shule, si hospitali zote huahadiwa wanajamii katika mikutano ya kisiasa. Wazee kwa vijana hushangilia kwa vifujo na nderemo huku wakisubiri falau mgonjwa anavyosubiri kupona huku wakijua afikaye kisimani mbele hunywa maji maenge.
Tatu, mikutano ya kisiasa husababisha chuki ya kikabila kidini na hata kiukoo. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko nchini. Kuna sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya vigogo wawili wasiotajika kwa muktadha huo. Baadhi ya waja walienda jongomeo, wengine walijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini na wengine walilemazwa.
Waja wengi huamini kuwa amani haiji ila kwa nchi ya panga. Katika mikutano ya kisiasa adinasi hujeruhiana kwa mawe na mapanga kwa sababu ya kutoelewana kwa makundi mawili ya kisiasa. Kwa mfano, mwezi wa nne huko Matunqu, kulikuwa na fujo kwa sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya makundi mawili yenye mirengo ya kisiasa. Wanasiasa na wafuasi wao walipigana na kujeruhiana na baadhi yao walitiwa mbaroni. Maafa yao huleta taharuki. Adinasi hukosa amani na kuhofia kuvamiwa na kuuliwa.
Tupilia mbali kujeruhiana ikiwa sababu ya kisiasa, kuna upotezaji wa wakati. Adinasi wanapoandamana na wanasiasa katika mikutano kama nzige, huwa kama bendera inayofuata upepo. Wakati huu ungetumiwa na waja kujikuza kimaendeleo kwa kufanya biashara tofauti tofauti za kuwanyanyua kimaendeleo. Je, ni wakulima wangapi waliopoteza wakati kwa vigelegele badala ya kung'oa magugu madeni mwao?
Vilevile shughuli za kisiasa huleta uharibifu wa mali na mazingira. Kwa yakin,i adui wa mtu ni mtu. Katika harakati za majumba ya watu, maduka makuu, makampuni na vibanda hubomolewa na kuchomwa. Matendo hayo huleta udororaji wa iktisadi nchini. Mazingira pia huharibiwa kwa mfano, miti hukatwa na kuchomwa.
Pia wanasiasa wanapokutana mazishini au katika mikutano ya kisiasa, wao hueneza ugonjwa wa uviko-19. Kwa mfano katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanasiasa na wafuasi wao husongamana kwa maeneo madogo. Msongamano huo ni kitovu cha uviko-19.
Mbali na ugonjwa wa uviko-19 kusambaa kwa sababu ya mikutano ya kisiasa katika shughuli za kisiasa, wanasiasa hutumia mikutano yao kudai kuun wameibiwa kura zao. Nao hujitangaza washindi hadharani na huwaomba wapinzani wao wayapinge matokeo ya
uchaguzi. Wanasiasa hawa wanaodai kuibiwa kura huandamana na wafuasi wao falau nzige na kuvamia bunge la seneti na kuharibu shughuli zao.
Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependa kusema kuwa ijapokuwa siasa zina athari hasi duniani. Ina athari chanya nyingi kama vile maendeleo nchini, ajira kwa vijana, misaada kwa mayatima na wanagenzi, ukuzaji wa fedha na uchumi kwa wafanyabiashara mikahawani. Aidha wanahabari hupata shughuli au mambo za kutangaza katika habari kuhusu shughuli za kisiasa. Chambilecho wahenga wa kuandika kwa hakika, barabara ndefu lazima ijipinde. | Wanasiasa hushirikiana na nani | {
"text": [
"Raia"
]
} |
0181_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo ambavyo wanasiasa hupigania. Baadhi yake ni udiwani, useneta, ubunge, ugavana na urais. Shughuli za kisiasa ni kama kisu chenye makali, leo utakitumia kukatia nyama lakini kesho kitakukata. Siasa ina umalaika na ushetani kwani hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Umalaika wake ni:
Kwanza kabisa shughuli za kisiasa huleta maendeleo nchini. Kwa yakini kila mbwa hubweka kwao. Wanasiasa wanapokuwa katika harakati za kutafuta kura, wao huwatembelea wananchi na hapo ndipo baraste hufagiliwa, hunyunyuziwa maji na kukarabatiwa. Mbali na baraste kukarabatiwa shule na zahanati hujengwa katika kaunti mbalimbali kama vile Lamu na Marsabit. Pia wanasiasa hutoa ghawazi zinazotumiwa kujenga hospitali za umma.
Pili, vijana hupata ajira. Wanasiasa wanapotafuta kura kwa wananchi, vijana huajiriwa kama walinzi wanaolinda wanasiasa wanapowatembelea wananchi. Pia wakati wa kuhesabu kura, vijana huajiriwa kuhesabu kura kama walivyofanya Matungu katika kaunti ya Kakamega na Kabuchai katika kaunti ya Bungoma. Vijana hawa hupata fedha zinazowahifadhi aushini mwao.
Tatu, katika kipindi cha siasa, wanasiasa hutoa misaada tofauti tofauti kwa mayatima, wanagenzi na wananchi. Wao huwapa wanagenzi vitabu vya viada na ziada. Pia, mayatima hupewa fedha, hununuliwa nguo, vyakula na bidhaa muhimu mathalani unga wa sima na ngano, chumvi ,sukari, maharagwe na mchele· Maji hupelekwa kwa malori sehemu kame kama vile Turkana.
Mbali na misaada kupatikana, siasa pia hukuza uchumi. Wanasiasa wengi katika harakati za kutafuta kura hutaka kujionyesha na hapo ndipo adinasi hupata fursa ya kuuza maji ya kukata kiu, barakoa, barafu na sharubati. Wanasiasa pia huinua kampuni tofauti tofauti kwa mfano, wanapopeana unga wa taifa kwa raia, kampuni inayotengeneza unga huo hupata faida kubwa. Vilevile shughuli za kisiasa huchangia mikahawa hela chungu nzima. Katika harakati za kisiasa, wanasiasa huhitaji pahali pa kula, kulala, kupumzika na kuhutubia wanahabari. Nao huenda katika mikahawa mbalimbali kama vile Whitesands katika kaunti ya Mombasa. Mikahawa hii hupata faida inapokuwa mwenyeji wa warsha midahalo na kongamano za kisiasa.
Pia, wanahabari hupata taarifa ya kuzungumzia katika habari. Katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanahabari hupata fursa ya kuwauliza maswali hasa yanayohusiana na mipango yao ya kufanya maendeleo nchini. Kupitia njia hii, wananchi hujua mipango ya viongozi hawa kupitia taarifa za habari katika matangazo ya Citizen, NTV na KTN.
Kwa yakini, kila chombo kwa vimbile. Kama nilivyosema hapo awali shughuli za kisiasa inaweza kumithilishwa na mvua kubwa, yaani ni tamu hurutubisha makonde na inaweza kusomba kila kitu na kukipeleka baharini. Ningependa kuzungumzia upande wake wa el-nino. Kwanza kabisa ufisadi huenea nchini. Wanasiasa wengi hutoa mrungura kwa wapiga kura, huwapa nguo au leso na bidhaa muhimu mathalani mchele, unga na chumvi. Wanaohesabu kura pia hupigwa konde la nyuma kwa hela. Badala ya viongozi hawa kumaliza ufisadi nchini, wao huendeleza ufisadi nchini.
Pili, wanajamii huahidiwa ahera na kupelekwa jehanamu. Si baraste, si shule, si hospitali zote huahadiwa wanajamii katika mikutano ya kisiasa. Wazee kwa vijana hushangilia kwa vifujo na nderemo huku wakisubiri falau mgonjwa anavyosubiri kupona huku wakijua afikaye kisimani mbele hunywa maji maenge.
Tatu, mikutano ya kisiasa husababisha chuki ya kikabila kidini na hata kiukoo. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko nchini. Kuna sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya vigogo wawili wasiotajika kwa muktadha huo. Baadhi ya waja walienda jongomeo, wengine walijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini na wengine walilemazwa.
Waja wengi huamini kuwa amani haiji ila kwa nchi ya panga. Katika mikutano ya kisiasa adinasi hujeruhiana kwa mawe na mapanga kwa sababu ya kutoelewana kwa makundi mawili ya kisiasa. Kwa mfano, mwezi wa nne huko Matunqu, kulikuwa na fujo kwa sababu ya mikutano ya kisiasa baina ya makundi mawili yenye mirengo ya kisiasa. Wanasiasa na wafuasi wao walipigana na kujeruhiana na baadhi yao walitiwa mbaroni. Maafa yao huleta taharuki. Adinasi hukosa amani na kuhofia kuvamiwa na kuuliwa.
Tupilia mbali kujeruhiana ikiwa sababu ya kisiasa, kuna upotezaji wa wakati. Adinasi wanapoandamana na wanasiasa katika mikutano kama nzige, huwa kama bendera inayofuata upepo. Wakati huu ungetumiwa na waja kujikuza kimaendeleo kwa kufanya biashara tofauti tofauti za kuwanyanyua kimaendeleo. Je, ni wakulima wangapi waliopoteza wakati kwa vigelegele badala ya kung'oa magugu madeni mwao?
Vilevile shughuli za kisiasa huleta uharibifu wa mali na mazingira. Kwa yakin,i adui wa mtu ni mtu. Katika harakati za majumba ya watu, maduka makuu, makampuni na vibanda hubomolewa na kuchomwa. Matendo hayo huleta udororaji wa iktisadi nchini. Mazingira pia huharibiwa kwa mfano, miti hukatwa na kuchomwa.
Pia wanasiasa wanapokutana mazishini au katika mikutano ya kisiasa, wao hueneza ugonjwa wa uviko-19. Kwa mfano katika mikutano ya kisiasa ambapo wanasiasa wananuia kugeuza baadhi ya vifungu vya katiba, wanasiasa na wafuasi wao husongamana kwa maeneo madogo. Msongamano huo ni kitovu cha uviko-19.
Mbali na ugonjwa wa uviko-19 kusambaa kwa sababu ya mikutano ya kisiasa katika shughuli za kisiasa, wanasiasa hutumia mikutano yao kudai kuun wameibiwa kura zao. Nao hujitangaza washindi hadharani na huwaomba wapinzani wao wayapinge matokeo ya
uchaguzi. Wanasiasa hawa wanaodai kuibiwa kura huandamana na wafuasi wao falau nzige na kuvamia bunge la seneti na kuharibu shughuli zao.
Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependa kusema kuwa ijapokuwa siasa zina athari hasi duniani. Ina athari chanya nyingi kama vile maendeleo nchini, ajira kwa vijana, misaada kwa mayatima na wanagenzi, ukuzaji wa fedha na uchumi kwa wafanyabiashara mikahawani. Aidha wanahabari hupata shughuli au mambo za kutangaza katika habari kuhusu shughuli za kisiasa. Chambilecho wahenga wa kuandika kwa hakika, barabara ndefu lazima ijipinde. | Kampuni hufaidika vipi kutoka kwa wanasisa | {
"text": [
"Kampuni inayotengeneza unga hupata faida raia wanapopewa unga"
]
} |
0182_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na utekelezaji wa majukumu. Siasa ni asali kwa upande mmoja na misumari ya nyuki kwa upande mwingine. Wakenya tumekuwa na siasa tangu zamani ambapo watu hung’ang’ania udiwani ubunge, useneta, ugavana na pia urais. Shughuli za kisiasa hutoka katika mikutano ya hadhara, mikutano ya vyama vya kisiasa na mikutano ya kugeuza katiba iliyotokana kwa kupatana kwa vigogo wa siasa. Siasa zimeleta athari hasi na chanya kama vile:
Kwanza kabisa wanasiasa hutumia mikutano hii kueneza ahadi za uongo. Wanajamii wamekuwa wakiahidiwa na wanasiasa masuala nyeti kama vile: ujenzi wa shule, kuchimba visima, kujengewa zahanati na ukarabati wa barabara. Wote hushangilia ahadi hizi zitolewapo kwa mikutano ya kisiasa. Kinaya ni kuwa wahudhuriao mikutano hupiga makofi na vigelegele bila kujua ni uongo. Adinasi hao husubiri kama mjamzito anayesubiria kujifungua baada ya miezi tisa. Ingawa mvumilivu hula mbivu, matumaini yao huambulia patupu kwani wanasiasa hujifanya sintofahamu wanapochaguliwa kuwa viongozi.
Pili, mikutano ya kisiasa imeleta taharuki, hofu na wasiwasi wa kukaa mahali. Watu huhofia kukaa mahali kwani viongozi ambao hawakuchaguliwa huamrisha ghasia dhidi ya wananchi ambao hawakuwachagua . Nani asiyejua yaliyo fanyika Molo na Olengumone mwaka wa elfu mbili na kumi na saba?
Tatu, ni kudorora kwa uchumi. Taharuki, vita, tandabelua na rabsha hutia papatiko kwa wamiliki wa biashara ainati na kupelekea kutungwa kwa biashara nyingi. Biashara kama za kuuza vyombo, nguo na hata chakula sokoni hufungwa. Hoteli kama vile Barke iliyokuwa Mombasa ilifungwa wakati wa uchaguzi baada ya wamiliki kuhofia mashambulizi. Huu ni wahidi tosha wa kuonyesha kuwa siasa inaweza kumgeuza mtalahoi kuwa mlalahoi.
Nikiongezea, hivi karibuni kulikuwa na fujo katika maeneo ya Nakuru, Matungu, Kubuchai mwezi wa machi wakati makund. mawili yenye miengo tofauti ya kisiasa yalipokutana yakapigana na kujeruhiana baadhi ya wanasiasa walitiwa mbaroni kwa tuhuma hizi.
Zaidi ya hayo, kuna uharibifu wa maliasili. Misitu na mashamba huvurugwa. Haya huharibu mazingira kwani matawi hukatwa wakati wa maandamano. Reli hung'olewa, nyumba huchomwa na pia vibanda huporwa.
Ama kwa kweli hasira hasara. Muua hupungua, makuu ya watu hupotea na mwishowe kupelekea mahaluku kuwa matapeli, wachomozi na wengine wezi wa kutumia mabavu. Baadhi yao ni wezi wa magari, simu na hata fedha.
Minghairi ya hayo, shughuli za kisiasa huleta ufisadi nchini. Wanasiasa kwa ugumu na ubahili wao hutia vyakula ghushi kama mchele, pojo, maharagwe na vingine vingi. Vyakula hivi havina vitamini ila madhara. Tutafanyaje na hili ndilo lililobaki. Wanasiasa huwapatia hata bangi, unga na heroini kwa wanaozitumia ili wafanikiwe na kusahau kuwa mkataa pema pabaya pana muita.
Pia wanasiasa hutusiana kupeana majina wasioyapenda mathalani farasi, punda na tukutuku.
Haya huleta chuki na hasama baina ya watu. Mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko makubwa nchini kwa sababu ya mikutano ya kisiasa. Vyama mbalimbali viliwafanya mahaluki wagawanyike kikabila, kiukoo na hata kidini.
Mbali na hayo, shughuli za kisiasa zikiwemo mikutanoni, huenezana uele wa uviko-19 kwani hawavai barakoa na mamilioni kwa mamilioni ya watu huhudhuria mikutano. Hivi majuzi, raisi wetu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwani inaeneza uviko-19. Hii huweka nchi katika balaa bin belua kwani tukiendelea hivi kutakuwa na matatizo juu ya shida. Isitoshe, ni kuwa watu hupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa na pia wanaposimamisha magari na kuyaegesha kando ya barabara, shughuli zote husimama. Shule nisomayo ya Al-Farsy iko karibu na uwanja wa Tononoka.
Wanasiasa kila wafanyapo mikutano, hatusomi vizuri kwa sababu akili huwa iko kwa muziki, na vipaza sauti, shangwe na vigelegele.
Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependelea kumalizia kuwa japokuwa siasa inasababisha athari nyingi chini, ina faida aina ainati kama vile, vibarua mbalimbali hupatikana kama kuhesabu kura, kuajiriwa kuwa walinzi wa wanasiasa, kung'arisha mandhari ya mikutano na pia hoteli hupata faida. Misaada shuleni vituoni mwa mayatima na pia kwa walalahoi. Hata hivyo, baniani mbaya kiatu chake dawa. Tutafikia kilele cha maendeleo shughuli za kisiasa zikitumiwa kama maendeleo ya nchi.
| Maisha ya binadamu yana ncha ngapi | {
"text": [
"Tatu"
]
} |
0182_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na utekelezaji wa majukumu. Siasa ni asali kwa upande mmoja na misumari ya nyuki kwa upande mwingine. Wakenya tumekuwa na siasa tangu zamani ambapo watu hung’ang’ania udiwani ubunge, useneta, ugavana na pia urais. Shughuli za kisiasa hutoka katika mikutano ya hadhara, mikutano ya vyama vya kisiasa na mikutano ya kugeuza katiba iliyotokana kwa kupatana kwa vigogo wa siasa. Siasa zimeleta athari hasi na chanya kama vile:
Kwanza kabisa wanasiasa hutumia mikutano hii kueneza ahadi za uongo. Wanajamii wamekuwa wakiahidiwa na wanasiasa masuala nyeti kama vile: ujenzi wa shule, kuchimba visima, kujengewa zahanati na ukarabati wa barabara. Wote hushangilia ahadi hizi zitolewapo kwa mikutano ya kisiasa. Kinaya ni kuwa wahudhuriao mikutano hupiga makofi na vigelegele bila kujua ni uongo. Adinasi hao husubiri kama mjamzito anayesubiria kujifungua baada ya miezi tisa. Ingawa mvumilivu hula mbivu, matumaini yao huambulia patupu kwani wanasiasa hujifanya sintofahamu wanapochaguliwa kuwa viongozi.
Pili, mikutano ya kisiasa imeleta taharuki, hofu na wasiwasi wa kukaa mahali. Watu huhofia kukaa mahali kwani viongozi ambao hawakuchaguliwa huamrisha ghasia dhidi ya wananchi ambao hawakuwachagua . Nani asiyejua yaliyo fanyika Molo na Olengumone mwaka wa elfu mbili na kumi na saba?
Tatu, ni kudorora kwa uchumi. Taharuki, vita, tandabelua na rabsha hutia papatiko kwa wamiliki wa biashara ainati na kupelekea kutungwa kwa biashara nyingi. Biashara kama za kuuza vyombo, nguo na hata chakula sokoni hufungwa. Hoteli kama vile Barke iliyokuwa Mombasa ilifungwa wakati wa uchaguzi baada ya wamiliki kuhofia mashambulizi. Huu ni wahidi tosha wa kuonyesha kuwa siasa inaweza kumgeuza mtalahoi kuwa mlalahoi.
Nikiongezea, hivi karibuni kulikuwa na fujo katika maeneo ya Nakuru, Matungu, Kubuchai mwezi wa machi wakati makund. mawili yenye miengo tofauti ya kisiasa yalipokutana yakapigana na kujeruhiana baadhi ya wanasiasa walitiwa mbaroni kwa tuhuma hizi.
Zaidi ya hayo, kuna uharibifu wa maliasili. Misitu na mashamba huvurugwa. Haya huharibu mazingira kwani matawi hukatwa wakati wa maandamano. Reli hung'olewa, nyumba huchomwa na pia vibanda huporwa.
Ama kwa kweli hasira hasara. Muua hupungua, makuu ya watu hupotea na mwishowe kupelekea mahaluku kuwa matapeli, wachomozi na wengine wezi wa kutumia mabavu. Baadhi yao ni wezi wa magari, simu na hata fedha.
Minghairi ya hayo, shughuli za kisiasa huleta ufisadi nchini. Wanasiasa kwa ugumu na ubahili wao hutia vyakula ghushi kama mchele, pojo, maharagwe na vingine vingi. Vyakula hivi havina vitamini ila madhara. Tutafanyaje na hili ndilo lililobaki. Wanasiasa huwapatia hata bangi, unga na heroini kwa wanaozitumia ili wafanikiwe na kusahau kuwa mkataa pema pabaya pana muita.
Pia wanasiasa hutusiana kupeana majina wasioyapenda mathalani farasi, punda na tukutuku.
Haya huleta chuki na hasama baina ya watu. Mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko makubwa nchini kwa sababu ya mikutano ya kisiasa. Vyama mbalimbali viliwafanya mahaluki wagawanyike kikabila, kiukoo na hata kidini.
Mbali na hayo, shughuli za kisiasa zikiwemo mikutanoni, huenezana uele wa uviko-19 kwani hawavai barakoa na mamilioni kwa mamilioni ya watu huhudhuria mikutano. Hivi majuzi, raisi wetu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwani inaeneza uviko-19. Hii huweka nchi katika balaa bin belua kwani tukiendelea hivi kutakuwa na matatizo juu ya shida. Isitoshe, ni kuwa watu hupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa na pia wanaposimamisha magari na kuyaegesha kando ya barabara, shughuli zote husimama. Shule nisomayo ya Al-Farsy iko karibu na uwanja wa Tononoka.
Wanasiasa kila wafanyapo mikutano, hatusomi vizuri kwa sababu akili huwa iko kwa muziki, na vipaza sauti, shangwe na vigelegele.
Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependelea kumalizia kuwa japokuwa siasa inasababisha athari nyingi chini, ina faida aina ainati kama vile, vibarua mbalimbali hupatikana kama kuhesabu kura, kuajiriwa kuwa walinzi wa wanasiasa, kung'arisha mandhari ya mikutano na pia hoteli hupata faida. Misaada shuleni vituoni mwa mayatima na pia kwa walalahoi. Hata hivyo, baniani mbaya kiatu chake dawa. Tutafikia kilele cha maendeleo shughuli za kisiasa zikitumiwa kama maendeleo ya nchi.
| Ni ncha ipi ya maisha ya binadamu yenye umuhimu zaidi | {
"text": [
"Ncha ya kisiasa"
]
} |
0182_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na utekelezaji wa majukumu. Siasa ni asali kwa upande mmoja na misumari ya nyuki kwa upande mwingine. Wakenya tumekuwa na siasa tangu zamani ambapo watu hung’ang’ania udiwani ubunge, useneta, ugavana na pia urais. Shughuli za kisiasa hutoka katika mikutano ya hadhara, mikutano ya vyama vya kisiasa na mikutano ya kugeuza katiba iliyotokana kwa kupatana kwa vigogo wa siasa. Siasa zimeleta athari hasi na chanya kama vile:
Kwanza kabisa wanasiasa hutumia mikutano hii kueneza ahadi za uongo. Wanajamii wamekuwa wakiahidiwa na wanasiasa masuala nyeti kama vile: ujenzi wa shule, kuchimba visima, kujengewa zahanati na ukarabati wa barabara. Wote hushangilia ahadi hizi zitolewapo kwa mikutano ya kisiasa. Kinaya ni kuwa wahudhuriao mikutano hupiga makofi na vigelegele bila kujua ni uongo. Adinasi hao husubiri kama mjamzito anayesubiria kujifungua baada ya miezi tisa. Ingawa mvumilivu hula mbivu, matumaini yao huambulia patupu kwani wanasiasa hujifanya sintofahamu wanapochaguliwa kuwa viongozi.
Pili, mikutano ya kisiasa imeleta taharuki, hofu na wasiwasi wa kukaa mahali. Watu huhofia kukaa mahali kwani viongozi ambao hawakuchaguliwa huamrisha ghasia dhidi ya wananchi ambao hawakuwachagua . Nani asiyejua yaliyo fanyika Molo na Olengumone mwaka wa elfu mbili na kumi na saba?
Tatu, ni kudorora kwa uchumi. Taharuki, vita, tandabelua na rabsha hutia papatiko kwa wamiliki wa biashara ainati na kupelekea kutungwa kwa biashara nyingi. Biashara kama za kuuza vyombo, nguo na hata chakula sokoni hufungwa. Hoteli kama vile Barke iliyokuwa Mombasa ilifungwa wakati wa uchaguzi baada ya wamiliki kuhofia mashambulizi. Huu ni wahidi tosha wa kuonyesha kuwa siasa inaweza kumgeuza mtalahoi kuwa mlalahoi.
Nikiongezea, hivi karibuni kulikuwa na fujo katika maeneo ya Nakuru, Matungu, Kubuchai mwezi wa machi wakati makund. mawili yenye miengo tofauti ya kisiasa yalipokutana yakapigana na kujeruhiana baadhi ya wanasiasa walitiwa mbaroni kwa tuhuma hizi.
Zaidi ya hayo, kuna uharibifu wa maliasili. Misitu na mashamba huvurugwa. Haya huharibu mazingira kwani matawi hukatwa wakati wa maandamano. Reli hung'olewa, nyumba huchomwa na pia vibanda huporwa.
Ama kwa kweli hasira hasara. Muua hupungua, makuu ya watu hupotea na mwishowe kupelekea mahaluku kuwa matapeli, wachomozi na wengine wezi wa kutumia mabavu. Baadhi yao ni wezi wa magari, simu na hata fedha.
Minghairi ya hayo, shughuli za kisiasa huleta ufisadi nchini. Wanasiasa kwa ugumu na ubahili wao hutia vyakula ghushi kama mchele, pojo, maharagwe na vingine vingi. Vyakula hivi havina vitamini ila madhara. Tutafanyaje na hili ndilo lililobaki. Wanasiasa huwapatia hata bangi, unga na heroini kwa wanaozitumia ili wafanikiwe na kusahau kuwa mkataa pema pabaya pana muita.
Pia wanasiasa hutusiana kupeana majina wasioyapenda mathalani farasi, punda na tukutuku.
Haya huleta chuki na hasama baina ya watu. Mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko makubwa nchini kwa sababu ya mikutano ya kisiasa. Vyama mbalimbali viliwafanya mahaluki wagawanyike kikabila, kiukoo na hata kidini.
Mbali na hayo, shughuli za kisiasa zikiwemo mikutanoni, huenezana uele wa uviko-19 kwani hawavai barakoa na mamilioni kwa mamilioni ya watu huhudhuria mikutano. Hivi majuzi, raisi wetu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwani inaeneza uviko-19. Hii huweka nchi katika balaa bin belua kwani tukiendelea hivi kutakuwa na matatizo juu ya shida. Isitoshe, ni kuwa watu hupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa na pia wanaposimamisha magari na kuyaegesha kando ya barabara, shughuli zote husimama. Shule nisomayo ya Al-Farsy iko karibu na uwanja wa Tononoka.
Wanasiasa kila wafanyapo mikutano, hatusomi vizuri kwa sababu akili huwa iko kwa muziki, na vipaza sauti, shangwe na vigelegele.
Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependelea kumalizia kuwa japokuwa siasa inasababisha athari nyingi chini, ina faida aina ainati kama vile, vibarua mbalimbali hupatikana kama kuhesabu kura, kuajiriwa kuwa walinzi wa wanasiasa, kung'arisha mandhari ya mikutano na pia hoteli hupata faida. Misaada shuleni vituoni mwa mayatima na pia kwa walalahoi. Hata hivyo, baniani mbaya kiatu chake dawa. Tutafikia kilele cha maendeleo shughuli za kisiasa zikitumiwa kama maendeleo ya nchi.
| Athari hasi na chanya zimeletwa na nini | {
"text": [
"Siasa"
]
} |
0182_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na utekelezaji wa majukumu. Siasa ni asali kwa upande mmoja na misumari ya nyuki kwa upande mwingine. Wakenya tumekuwa na siasa tangu zamani ambapo watu hung’ang’ania udiwani ubunge, useneta, ugavana na pia urais. Shughuli za kisiasa hutoka katika mikutano ya hadhara, mikutano ya vyama vya kisiasa na mikutano ya kugeuza katiba iliyotokana kwa kupatana kwa vigogo wa siasa. Siasa zimeleta athari hasi na chanya kama vile:
Kwanza kabisa wanasiasa hutumia mikutano hii kueneza ahadi za uongo. Wanajamii wamekuwa wakiahidiwa na wanasiasa masuala nyeti kama vile: ujenzi wa shule, kuchimba visima, kujengewa zahanati na ukarabati wa barabara. Wote hushangilia ahadi hizi zitolewapo kwa mikutano ya kisiasa. Kinaya ni kuwa wahudhuriao mikutano hupiga makofi na vigelegele bila kujua ni uongo. Adinasi hao husubiri kama mjamzito anayesubiria kujifungua baada ya miezi tisa. Ingawa mvumilivu hula mbivu, matumaini yao huambulia patupu kwani wanasiasa hujifanya sintofahamu wanapochaguliwa kuwa viongozi.
Pili, mikutano ya kisiasa imeleta taharuki, hofu na wasiwasi wa kukaa mahali. Watu huhofia kukaa mahali kwani viongozi ambao hawakuchaguliwa huamrisha ghasia dhidi ya wananchi ambao hawakuwachagua . Nani asiyejua yaliyo fanyika Molo na Olengumone mwaka wa elfu mbili na kumi na saba?
Tatu, ni kudorora kwa uchumi. Taharuki, vita, tandabelua na rabsha hutia papatiko kwa wamiliki wa biashara ainati na kupelekea kutungwa kwa biashara nyingi. Biashara kama za kuuza vyombo, nguo na hata chakula sokoni hufungwa. Hoteli kama vile Barke iliyokuwa Mombasa ilifungwa wakati wa uchaguzi baada ya wamiliki kuhofia mashambulizi. Huu ni wahidi tosha wa kuonyesha kuwa siasa inaweza kumgeuza mtalahoi kuwa mlalahoi.
Nikiongezea, hivi karibuni kulikuwa na fujo katika maeneo ya Nakuru, Matungu, Kubuchai mwezi wa machi wakati makund. mawili yenye miengo tofauti ya kisiasa yalipokutana yakapigana na kujeruhiana baadhi ya wanasiasa walitiwa mbaroni kwa tuhuma hizi.
Zaidi ya hayo, kuna uharibifu wa maliasili. Misitu na mashamba huvurugwa. Haya huharibu mazingira kwani matawi hukatwa wakati wa maandamano. Reli hung'olewa, nyumba huchomwa na pia vibanda huporwa.
Ama kwa kweli hasira hasara. Muua hupungua, makuu ya watu hupotea na mwishowe kupelekea mahaluku kuwa matapeli, wachomozi na wengine wezi wa kutumia mabavu. Baadhi yao ni wezi wa magari, simu na hata fedha.
Minghairi ya hayo, shughuli za kisiasa huleta ufisadi nchini. Wanasiasa kwa ugumu na ubahili wao hutia vyakula ghushi kama mchele, pojo, maharagwe na vingine vingi. Vyakula hivi havina vitamini ila madhara. Tutafanyaje na hili ndilo lililobaki. Wanasiasa huwapatia hata bangi, unga na heroini kwa wanaozitumia ili wafanikiwe na kusahau kuwa mkataa pema pabaya pana muita.
Pia wanasiasa hutusiana kupeana majina wasioyapenda mathalani farasi, punda na tukutuku.
Haya huleta chuki na hasama baina ya watu. Mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko makubwa nchini kwa sababu ya mikutano ya kisiasa. Vyama mbalimbali viliwafanya mahaluki wagawanyike kikabila, kiukoo na hata kidini.
Mbali na hayo, shughuli za kisiasa zikiwemo mikutanoni, huenezana uele wa uviko-19 kwani hawavai barakoa na mamilioni kwa mamilioni ya watu huhudhuria mikutano. Hivi majuzi, raisi wetu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwani inaeneza uviko-19. Hii huweka nchi katika balaa bin belua kwani tukiendelea hivi kutakuwa na matatizo juu ya shida. Isitoshe, ni kuwa watu hupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa na pia wanaposimamisha magari na kuyaegesha kando ya barabara, shughuli zote husimama. Shule nisomayo ya Al-Farsy iko karibu na uwanja wa Tononoka.
Wanasiasa kila wafanyapo mikutano, hatusomi vizuri kwa sababu akili huwa iko kwa muziki, na vipaza sauti, shangwe na vigelegele.
Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependelea kumalizia kuwa japokuwa siasa inasababisha athari nyingi chini, ina faida aina ainati kama vile, vibarua mbalimbali hupatikana kama kuhesabu kura, kuajiriwa kuwa walinzi wa wanasiasa, kung'arisha mandhari ya mikutano na pia hoteli hupata faida. Misaada shuleni vituoni mwa mayatima na pia kwa walalahoi. Hata hivyo, baniani mbaya kiatu chake dawa. Tutafikia kilele cha maendeleo shughuli za kisiasa zikitumiwa kama maendeleo ya nchi.
| Mchele, pojo na maharagwe ni vyakula ghushi vilivyotolewa na nani | {
"text": [
"Wanasiasa"
]
} |
0182_swa | MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI
Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na utekelezaji wa majukumu. Siasa ni asali kwa upande mmoja na misumari ya nyuki kwa upande mwingine. Wakenya tumekuwa na siasa tangu zamani ambapo watu hung’ang’ania udiwani ubunge, useneta, ugavana na pia urais. Shughuli za kisiasa hutoka katika mikutano ya hadhara, mikutano ya vyama vya kisiasa na mikutano ya kugeuza katiba iliyotokana kwa kupatana kwa vigogo wa siasa. Siasa zimeleta athari hasi na chanya kama vile:
Kwanza kabisa wanasiasa hutumia mikutano hii kueneza ahadi za uongo. Wanajamii wamekuwa wakiahidiwa na wanasiasa masuala nyeti kama vile: ujenzi wa shule, kuchimba visima, kujengewa zahanati na ukarabati wa barabara. Wote hushangilia ahadi hizi zitolewapo kwa mikutano ya kisiasa. Kinaya ni kuwa wahudhuriao mikutano hupiga makofi na vigelegele bila kujua ni uongo. Adinasi hao husubiri kama mjamzito anayesubiria kujifungua baada ya miezi tisa. Ingawa mvumilivu hula mbivu, matumaini yao huambulia patupu kwani wanasiasa hujifanya sintofahamu wanapochaguliwa kuwa viongozi.
Pili, mikutano ya kisiasa imeleta taharuki, hofu na wasiwasi wa kukaa mahali. Watu huhofia kukaa mahali kwani viongozi ambao hawakuchaguliwa huamrisha ghasia dhidi ya wananchi ambao hawakuwachagua . Nani asiyejua yaliyo fanyika Molo na Olengumone mwaka wa elfu mbili na kumi na saba?
Tatu, ni kudorora kwa uchumi. Taharuki, vita, tandabelua na rabsha hutia papatiko kwa wamiliki wa biashara ainati na kupelekea kutungwa kwa biashara nyingi. Biashara kama za kuuza vyombo, nguo na hata chakula sokoni hufungwa. Hoteli kama vile Barke iliyokuwa Mombasa ilifungwa wakati wa uchaguzi baada ya wamiliki kuhofia mashambulizi. Huu ni wahidi tosha wa kuonyesha kuwa siasa inaweza kumgeuza mtalahoi kuwa mlalahoi.
Nikiongezea, hivi karibuni kulikuwa na fujo katika maeneo ya Nakuru, Matungu, Kubuchai mwezi wa machi wakati makund. mawili yenye miengo tofauti ya kisiasa yalipokutana yakapigana na kujeruhiana baadhi ya wanasiasa walitiwa mbaroni kwa tuhuma hizi.
Zaidi ya hayo, kuna uharibifu wa maliasili. Misitu na mashamba huvurugwa. Haya huharibu mazingira kwani matawi hukatwa wakati wa maandamano. Reli hung'olewa, nyumba huchomwa na pia vibanda huporwa.
Ama kwa kweli hasira hasara. Muua hupungua, makuu ya watu hupotea na mwishowe kupelekea mahaluku kuwa matapeli, wachomozi na wengine wezi wa kutumia mabavu. Baadhi yao ni wezi wa magari, simu na hata fedha.
Minghairi ya hayo, shughuli za kisiasa huleta ufisadi nchini. Wanasiasa kwa ugumu na ubahili wao hutia vyakula ghushi kama mchele, pojo, maharagwe na vingine vingi. Vyakula hivi havina vitamini ila madhara. Tutafanyaje na hili ndilo lililobaki. Wanasiasa huwapatia hata bangi, unga na heroini kwa wanaozitumia ili wafanikiwe na kusahau kuwa mkataa pema pabaya pana muita.
Pia wanasiasa hutusiana kupeana majina wasioyapenda mathalani farasi, punda na tukutuku.
Haya huleta chuki na hasama baina ya watu. Mwaka wa elfu mbili na saba kulitokea machafuko makubwa nchini kwa sababu ya mikutano ya kisiasa. Vyama mbalimbali viliwafanya mahaluki wagawanyike kikabila, kiukoo na hata kidini.
Mbali na hayo, shughuli za kisiasa zikiwemo mikutanoni, huenezana uele wa uviko-19 kwani hawavai barakoa na mamilioni kwa mamilioni ya watu huhudhuria mikutano. Hivi majuzi, raisi wetu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwani inaeneza uviko-19. Hii huweka nchi katika balaa bin belua kwani tukiendelea hivi kutakuwa na matatizo juu ya shida. Isitoshe, ni kuwa watu hupoteza wakati wao kuwasikiliza wanasiasa na pia wanaposimamisha magari na kuyaegesha kando ya barabara, shughuli zote husimama. Shule nisomayo ya Al-Farsy iko karibu na uwanja wa Tononoka.
Wanasiasa kila wafanyapo mikutano, hatusomi vizuri kwa sababu akili huwa iko kwa muziki, na vipaza sauti, shangwe na vigelegele.
Nikivunja jamvi la mjadala huu, ningependelea kumalizia kuwa japokuwa siasa inasababisha athari nyingi chini, ina faida aina ainati kama vile, vibarua mbalimbali hupatikana kama kuhesabu kura, kuajiriwa kuwa walinzi wa wanasiasa, kung'arisha mandhari ya mikutano na pia hoteli hupata faida. Misaada shuleni vituoni mwa mayatima na pia kwa walalahoi. Hata hivyo, baniani mbaya kiatu chake dawa. Tutafikia kilele cha maendeleo shughuli za kisiasa zikitumiwa kama maendeleo ya nchi.
| Shughuli za kisiasa hususan mikutano ilieneza uwele upi | {
"text": [
"Uviko -19"
]
} |
0183_swa | ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII
Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika kwa jina uviko-19 yaani ugonjwa wa virusi vya korona vilivyo anza mwaka elfu mbili na kumi na tisa. Ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka. Ugonjwa huu umeathiri pakubwa kwa jamii yetu. Kuja kwa ugonjwa huu kumeleta faida na vile vile hasara. Zifuatazo ni faida zake:
Kwanza, vijana wameweza kukuza vipaji vyao kwa njia mbalimbali na tena watu wameweza kutambua vipaji vyao. Baada ya kuzuka kwa ugonjwa huu uliotoa uhai wa watu wengi, vijana walitunga mashairi na kuighani. Mashairi hayo yalielimisha jamii kuhusu athari za korona na kuwakanya dhibi ya mapuuza waliokuwa nayo. Vijana mashuhuri kama Koffi Olomide alitoa nyimbo iitwayo 'Waah! iliowavutia watu. Halikadhalika, vijana wameweza kujitahidi katika ushonaji wa barakoa, vitambara vilivyotumika kufunika pua na mdomo ili kuzuia uambukizaji wa virusi vya korona moja kwa moja, vijana walitengeneza barakoa aina ainati.
Pili, kuimarika kwa uhusiano baina ya mataifa na nchi tofauti tofauti sababu ya muamala baina yao katika uchunguzaji wa kiini cha maradhi ya korona. Na vilevile dawa ya kutibu uwele huo. Mabara yaliungana pamoja katika kusimama imara na kusaidiana katika changamoto hiyo ya uwele ulioikumba karibu dunia nzima.
Isitoshe, kilicho na wema hakikosi dosari. Ugonjwa huu umeleta hasara. Kwanza kusambaa kwa virusi vya korona kumeleta vifo vya insi wengi duniani na ongezeko la vifo kila kuchapo. Karibu dunia nzima, imekuwa mabilioni ya watu wamekufa. Hii ni shida kwa sababu watu wamepoteza wazazi au watu wao wa karibu. Wazazi wawa hawa wangewalipia watoto wao karo za shule na ingezuia watoto hao kuacha shule kwa umri mdogo na kuanza ajira za watoto.
Athari nyingine ya janga la korona ni kuwa imefanya sekta ya elimu kuzorota kwani wanafunzi wakati huo wameregeshwa nyumbani ili kuzuia mlipuko wa usambazaji wa virusi vya korona shuleni. Athari hii imesababisha kuathiri wasomi kisaikolojia kwa kukosa kuwa shuleni na kukosa kusoma takriban miezi saba. Wanafunzi hao wamebadilisha tabia na mienendo yao kwa kujihusisha kimapenzi na wengine kujihusisha katika uhalifu. Hali hii imesababisha kwa wasichana kujitoa uhai ili kuepukana na aibu za ujauzito nje ya ndoa.
Vile vile, korona imechangia katika ongezeko kubwa la ufisadi. Viongozi wa serikalini waliopewa fedha kutoka serikali ili wahudumie wananchi wananyakua nao barakoa za serikalini wanaziuza kwa bei ya juu zaidi na zenyewe ni mbaya sana. Wafisadi hawa wanapaswa wakomeshwe ili kuzuia wananchi kuteseka. Pia mafisadi waliiba pojo ambazo gavana Joho alzitoa. Isitoshe, korona imefanya sekta ya utalii uzorote. Watalii huleta pesa katika nchi yetu. Kupungua kwa mipaka za nchi zimefanya watalii kuingia nchini mwetu wa Kenya. Watalii saa hizi wakija kuzuru nchini Kenya watakuja na masharti. Wanavaa barakoa na hata kuogopa kusalimiana. Wanasalimiana kwa miguu. Kusalimiana kwa miguu ina maanisha hakuna uaminifu baina ya watu. Jambo hili imeleta kuzorota kwa uchumi. Uchumi wa nchi unazidi kuhofia na baadaye kuharibika.
Halikadhalika, korona imewafanya watu wasiwe wa kumcha Mungu. Imani ya watu imezorota. Watu hawaendi kuswali kwa pamoja. Kwa mfano, msikiti watu wanaepuka msongamano. Kila mtu anabeba mswala wake na anaswali peke yake. Hekalu pia zimefungwa. Jambo hili limefanya watu wengi wasiende msikitini na kuona ni bora kuswali nyumbani kuliko msikitini. Korona imeharibu sheria za kidini. Imewachezea wacha mungu shere na kuzidi kuwapotosha.
La mwisho ni kuwa korona imewatesa watu kisaikolojia. Watu wa korona walitengwa na kuwekwa karantini. Walipata shida kama kuthamini kukaa na wazazi wao. Pia wakati serikali lilitoa amri ya kutotembea watu walichapwa kama majambazi walio iba mamilioni ya pesa katika benki kuu la Afrika. Hii imeathiri watu kisaikolojia. Kwa kumalizia ningependa kuwahimiza watu wafuate sheria za korona na kanuni zilizowekwa ili tupunguze visa vya korona kwani kinga ni bora kuliko tiba, na taifa likiimarika hunufaika.
| Korona huenezwa kwa njia ipi? | {
"text": [
"Virusi"
]
} |
0183_swa | ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII
Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika kwa jina uviko-19 yaani ugonjwa wa virusi vya korona vilivyo anza mwaka elfu mbili na kumi na tisa. Ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka. Ugonjwa huu umeathiri pakubwa kwa jamii yetu. Kuja kwa ugonjwa huu kumeleta faida na vile vile hasara. Zifuatazo ni faida zake:
Kwanza, vijana wameweza kukuza vipaji vyao kwa njia mbalimbali na tena watu wameweza kutambua vipaji vyao. Baada ya kuzuka kwa ugonjwa huu uliotoa uhai wa watu wengi, vijana walitunga mashairi na kuighani. Mashairi hayo yalielimisha jamii kuhusu athari za korona na kuwakanya dhibi ya mapuuza waliokuwa nayo. Vijana mashuhuri kama Koffi Olomide alitoa nyimbo iitwayo 'Waah! iliowavutia watu. Halikadhalika, vijana wameweza kujitahidi katika ushonaji wa barakoa, vitambara vilivyotumika kufunika pua na mdomo ili kuzuia uambukizaji wa virusi vya korona moja kwa moja, vijana walitengeneza barakoa aina ainati.
Pili, kuimarika kwa uhusiano baina ya mataifa na nchi tofauti tofauti sababu ya muamala baina yao katika uchunguzaji wa kiini cha maradhi ya korona. Na vilevile dawa ya kutibu uwele huo. Mabara yaliungana pamoja katika kusimama imara na kusaidiana katika changamoto hiyo ya uwele ulioikumba karibu dunia nzima.
Isitoshe, kilicho na wema hakikosi dosari. Ugonjwa huu umeleta hasara. Kwanza kusambaa kwa virusi vya korona kumeleta vifo vya insi wengi duniani na ongezeko la vifo kila kuchapo. Karibu dunia nzima, imekuwa mabilioni ya watu wamekufa. Hii ni shida kwa sababu watu wamepoteza wazazi au watu wao wa karibu. Wazazi wawa hawa wangewalipia watoto wao karo za shule na ingezuia watoto hao kuacha shule kwa umri mdogo na kuanza ajira za watoto.
Athari nyingine ya janga la korona ni kuwa imefanya sekta ya elimu kuzorota kwani wanafunzi wakati huo wameregeshwa nyumbani ili kuzuia mlipuko wa usambazaji wa virusi vya korona shuleni. Athari hii imesababisha kuathiri wasomi kisaikolojia kwa kukosa kuwa shuleni na kukosa kusoma takriban miezi saba. Wanafunzi hao wamebadilisha tabia na mienendo yao kwa kujihusisha kimapenzi na wengine kujihusisha katika uhalifu. Hali hii imesababisha kwa wasichana kujitoa uhai ili kuepukana na aibu za ujauzito nje ya ndoa.
Vile vile, korona imechangia katika ongezeko kubwa la ufisadi. Viongozi wa serikalini waliopewa fedha kutoka serikali ili wahudumie wananchi wananyakua nao barakoa za serikalini wanaziuza kwa bei ya juu zaidi na zenyewe ni mbaya sana. Wafisadi hawa wanapaswa wakomeshwe ili kuzuia wananchi kuteseka. Pia mafisadi waliiba pojo ambazo gavana Joho alzitoa. Isitoshe, korona imefanya sekta ya utalii uzorote. Watalii huleta pesa katika nchi yetu. Kupungua kwa mipaka za nchi zimefanya watalii kuingia nchini mwetu wa Kenya. Watalii saa hizi wakija kuzuru nchini Kenya watakuja na masharti. Wanavaa barakoa na hata kuogopa kusalimiana. Wanasalimiana kwa miguu. Kusalimiana kwa miguu ina maanisha hakuna uaminifu baina ya watu. Jambo hili imeleta kuzorota kwa uchumi. Uchumi wa nchi unazidi kuhofia na baadaye kuharibika.
Halikadhalika, korona imewafanya watu wasiwe wa kumcha Mungu. Imani ya watu imezorota. Watu hawaendi kuswali kwa pamoja. Kwa mfano, msikiti watu wanaepuka msongamano. Kila mtu anabeba mswala wake na anaswali peke yake. Hekalu pia zimefungwa. Jambo hili limefanya watu wengi wasiende msikitini na kuona ni bora kuswali nyumbani kuliko msikitini. Korona imeharibu sheria za kidini. Imewachezea wacha mungu shere na kuzidi kuwapotosha.
La mwisho ni kuwa korona imewatesa watu kisaikolojia. Watu wa korona walitengwa na kuwekwa karantini. Walipata shida kama kuthamini kukaa na wazazi wao. Pia wakati serikali lilitoa amri ya kutotembea watu walichapwa kama majambazi walio iba mamilioni ya pesa katika benki kuu la Afrika. Hii imeathiri watu kisaikolojia. Kwa kumalizia ningependa kuwahimiza watu wafuate sheria za korona na kanuni zilizowekwa ili tupunguze visa vya korona kwani kinga ni bora kuliko tiba, na taifa likiimarika hunufaika.
| Korona iliibuka wapi mwanzo? | {
"text": [
"Wahun"
]
} |
0183_swa | ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII
Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika kwa jina uviko-19 yaani ugonjwa wa virusi vya korona vilivyo anza mwaka elfu mbili na kumi na tisa. Ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka. Ugonjwa huu umeathiri pakubwa kwa jamii yetu. Kuja kwa ugonjwa huu kumeleta faida na vile vile hasara. Zifuatazo ni faida zake:
Kwanza, vijana wameweza kukuza vipaji vyao kwa njia mbalimbali na tena watu wameweza kutambua vipaji vyao. Baada ya kuzuka kwa ugonjwa huu uliotoa uhai wa watu wengi, vijana walitunga mashairi na kuighani. Mashairi hayo yalielimisha jamii kuhusu athari za korona na kuwakanya dhibi ya mapuuza waliokuwa nayo. Vijana mashuhuri kama Koffi Olomide alitoa nyimbo iitwayo 'Waah! iliowavutia watu. Halikadhalika, vijana wameweza kujitahidi katika ushonaji wa barakoa, vitambara vilivyotumika kufunika pua na mdomo ili kuzuia uambukizaji wa virusi vya korona moja kwa moja, vijana walitengeneza barakoa aina ainati.
Pili, kuimarika kwa uhusiano baina ya mataifa na nchi tofauti tofauti sababu ya muamala baina yao katika uchunguzaji wa kiini cha maradhi ya korona. Na vilevile dawa ya kutibu uwele huo. Mabara yaliungana pamoja katika kusimama imara na kusaidiana katika changamoto hiyo ya uwele ulioikumba karibu dunia nzima.
Isitoshe, kilicho na wema hakikosi dosari. Ugonjwa huu umeleta hasara. Kwanza kusambaa kwa virusi vya korona kumeleta vifo vya insi wengi duniani na ongezeko la vifo kila kuchapo. Karibu dunia nzima, imekuwa mabilioni ya watu wamekufa. Hii ni shida kwa sababu watu wamepoteza wazazi au watu wao wa karibu. Wazazi wawa hawa wangewalipia watoto wao karo za shule na ingezuia watoto hao kuacha shule kwa umri mdogo na kuanza ajira za watoto.
Athari nyingine ya janga la korona ni kuwa imefanya sekta ya elimu kuzorota kwani wanafunzi wakati huo wameregeshwa nyumbani ili kuzuia mlipuko wa usambazaji wa virusi vya korona shuleni. Athari hii imesababisha kuathiri wasomi kisaikolojia kwa kukosa kuwa shuleni na kukosa kusoma takriban miezi saba. Wanafunzi hao wamebadilisha tabia na mienendo yao kwa kujihusisha kimapenzi na wengine kujihusisha katika uhalifu. Hali hii imesababisha kwa wasichana kujitoa uhai ili kuepukana na aibu za ujauzito nje ya ndoa.
Vile vile, korona imechangia katika ongezeko kubwa la ufisadi. Viongozi wa serikalini waliopewa fedha kutoka serikali ili wahudumie wananchi wananyakua nao barakoa za serikalini wanaziuza kwa bei ya juu zaidi na zenyewe ni mbaya sana. Wafisadi hawa wanapaswa wakomeshwe ili kuzuia wananchi kuteseka. Pia mafisadi waliiba pojo ambazo gavana Joho alzitoa. Isitoshe, korona imefanya sekta ya utalii uzorote. Watalii huleta pesa katika nchi yetu. Kupungua kwa mipaka za nchi zimefanya watalii kuingia nchini mwetu wa Kenya. Watalii saa hizi wakija kuzuru nchini Kenya watakuja na masharti. Wanavaa barakoa na hata kuogopa kusalimiana. Wanasalimiana kwa miguu. Kusalimiana kwa miguu ina maanisha hakuna uaminifu baina ya watu. Jambo hili imeleta kuzorota kwa uchumi. Uchumi wa nchi unazidi kuhofia na baadaye kuharibika.
Halikadhalika, korona imewafanya watu wasiwe wa kumcha Mungu. Imani ya watu imezorota. Watu hawaendi kuswali kwa pamoja. Kwa mfano, msikiti watu wanaepuka msongamano. Kila mtu anabeba mswala wake na anaswali peke yake. Hekalu pia zimefungwa. Jambo hili limefanya watu wengi wasiende msikitini na kuona ni bora kuswali nyumbani kuliko msikitini. Korona imeharibu sheria za kidini. Imewachezea wacha mungu shere na kuzidi kuwapotosha.
La mwisho ni kuwa korona imewatesa watu kisaikolojia. Watu wa korona walitengwa na kuwekwa karantini. Walipata shida kama kuthamini kukaa na wazazi wao. Pia wakati serikali lilitoa amri ya kutotembea watu walichapwa kama majambazi walio iba mamilioni ya pesa katika benki kuu la Afrika. Hii imeathiri watu kisaikolojia. Kwa kumalizia ningependa kuwahimiza watu wafuate sheria za korona na kanuni zilizowekwa ili tupunguze visa vya korona kwani kinga ni bora kuliko tiba, na taifa likiimarika hunufaika.
| Korona hutambulika kwa jina lipi? | {
"text": [
"Uviko-19"
]
} |
0183_swa | ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII
Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika kwa jina uviko-19 yaani ugonjwa wa virusi vya korona vilivyo anza mwaka elfu mbili na kumi na tisa. Ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka. Ugonjwa huu umeathiri pakubwa kwa jamii yetu. Kuja kwa ugonjwa huu kumeleta faida na vile vile hasara. Zifuatazo ni faida zake:
Kwanza, vijana wameweza kukuza vipaji vyao kwa njia mbalimbali na tena watu wameweza kutambua vipaji vyao. Baada ya kuzuka kwa ugonjwa huu uliotoa uhai wa watu wengi, vijana walitunga mashairi na kuighani. Mashairi hayo yalielimisha jamii kuhusu athari za korona na kuwakanya dhibi ya mapuuza waliokuwa nayo. Vijana mashuhuri kama Koffi Olomide alitoa nyimbo iitwayo 'Waah! iliowavutia watu. Halikadhalika, vijana wameweza kujitahidi katika ushonaji wa barakoa, vitambara vilivyotumika kufunika pua na mdomo ili kuzuia uambukizaji wa virusi vya korona moja kwa moja, vijana walitengeneza barakoa aina ainati.
Pili, kuimarika kwa uhusiano baina ya mataifa na nchi tofauti tofauti sababu ya muamala baina yao katika uchunguzaji wa kiini cha maradhi ya korona. Na vilevile dawa ya kutibu uwele huo. Mabara yaliungana pamoja katika kusimama imara na kusaidiana katika changamoto hiyo ya uwele ulioikumba karibu dunia nzima.
Isitoshe, kilicho na wema hakikosi dosari. Ugonjwa huu umeleta hasara. Kwanza kusambaa kwa virusi vya korona kumeleta vifo vya insi wengi duniani na ongezeko la vifo kila kuchapo. Karibu dunia nzima, imekuwa mabilioni ya watu wamekufa. Hii ni shida kwa sababu watu wamepoteza wazazi au watu wao wa karibu. Wazazi wawa hawa wangewalipia watoto wao karo za shule na ingezuia watoto hao kuacha shule kwa umri mdogo na kuanza ajira za watoto.
Athari nyingine ya janga la korona ni kuwa imefanya sekta ya elimu kuzorota kwani wanafunzi wakati huo wameregeshwa nyumbani ili kuzuia mlipuko wa usambazaji wa virusi vya korona shuleni. Athari hii imesababisha kuathiri wasomi kisaikolojia kwa kukosa kuwa shuleni na kukosa kusoma takriban miezi saba. Wanafunzi hao wamebadilisha tabia na mienendo yao kwa kujihusisha kimapenzi na wengine kujihusisha katika uhalifu. Hali hii imesababisha kwa wasichana kujitoa uhai ili kuepukana na aibu za ujauzito nje ya ndoa.
Vile vile, korona imechangia katika ongezeko kubwa la ufisadi. Viongozi wa serikalini waliopewa fedha kutoka serikali ili wahudumie wananchi wananyakua nao barakoa za serikalini wanaziuza kwa bei ya juu zaidi na zenyewe ni mbaya sana. Wafisadi hawa wanapaswa wakomeshwe ili kuzuia wananchi kuteseka. Pia mafisadi waliiba pojo ambazo gavana Joho alzitoa. Isitoshe, korona imefanya sekta ya utalii uzorote. Watalii huleta pesa katika nchi yetu. Kupungua kwa mipaka za nchi zimefanya watalii kuingia nchini mwetu wa Kenya. Watalii saa hizi wakija kuzuru nchini Kenya watakuja na masharti. Wanavaa barakoa na hata kuogopa kusalimiana. Wanasalimiana kwa miguu. Kusalimiana kwa miguu ina maanisha hakuna uaminifu baina ya watu. Jambo hili imeleta kuzorota kwa uchumi. Uchumi wa nchi unazidi kuhofia na baadaye kuharibika.
Halikadhalika, korona imewafanya watu wasiwe wa kumcha Mungu. Imani ya watu imezorota. Watu hawaendi kuswali kwa pamoja. Kwa mfano, msikiti watu wanaepuka msongamano. Kila mtu anabeba mswala wake na anaswali peke yake. Hekalu pia zimefungwa. Jambo hili limefanya watu wengi wasiende msikitini na kuona ni bora kuswali nyumbani kuliko msikitini. Korona imeharibu sheria za kidini. Imewachezea wacha mungu shere na kuzidi kuwapotosha.
La mwisho ni kuwa korona imewatesa watu kisaikolojia. Watu wa korona walitengwa na kuwekwa karantini. Walipata shida kama kuthamini kukaa na wazazi wao. Pia wakati serikali lilitoa amri ya kutotembea watu walichapwa kama majambazi walio iba mamilioni ya pesa katika benki kuu la Afrika. Hii imeathiri watu kisaikolojia. Kwa kumalizia ningependa kuwahimiza watu wafuate sheria za korona na kanuni zilizowekwa ili tupunguze visa vya korona kwani kinga ni bora kuliko tiba, na taifa likiimarika hunufaika.
| Kilicho na wema hakikosi nini? | {
"text": [
"Dosari"
]
} |
0183_swa | ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII
Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika kwa jina uviko-19 yaani ugonjwa wa virusi vya korona vilivyo anza mwaka elfu mbili na kumi na tisa. Ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa haraka. Ugonjwa huu umeathiri pakubwa kwa jamii yetu. Kuja kwa ugonjwa huu kumeleta faida na vile vile hasara. Zifuatazo ni faida zake:
Kwanza, vijana wameweza kukuza vipaji vyao kwa njia mbalimbali na tena watu wameweza kutambua vipaji vyao. Baada ya kuzuka kwa ugonjwa huu uliotoa uhai wa watu wengi, vijana walitunga mashairi na kuighani. Mashairi hayo yalielimisha jamii kuhusu athari za korona na kuwakanya dhibi ya mapuuza waliokuwa nayo. Vijana mashuhuri kama Koffi Olomide alitoa nyimbo iitwayo 'Waah! iliowavutia watu. Halikadhalika, vijana wameweza kujitahidi katika ushonaji wa barakoa, vitambara vilivyotumika kufunika pua na mdomo ili kuzuia uambukizaji wa virusi vya korona moja kwa moja, vijana walitengeneza barakoa aina ainati.
Pili, kuimarika kwa uhusiano baina ya mataifa na nchi tofauti tofauti sababu ya muamala baina yao katika uchunguzaji wa kiini cha maradhi ya korona. Na vilevile dawa ya kutibu uwele huo. Mabara yaliungana pamoja katika kusimama imara na kusaidiana katika changamoto hiyo ya uwele ulioikumba karibu dunia nzima.
Isitoshe, kilicho na wema hakikosi dosari. Ugonjwa huu umeleta hasara. Kwanza kusambaa kwa virusi vya korona kumeleta vifo vya insi wengi duniani na ongezeko la vifo kila kuchapo. Karibu dunia nzima, imekuwa mabilioni ya watu wamekufa. Hii ni shida kwa sababu watu wamepoteza wazazi au watu wao wa karibu. Wazazi wawa hawa wangewalipia watoto wao karo za shule na ingezuia watoto hao kuacha shule kwa umri mdogo na kuanza ajira za watoto.
Athari nyingine ya janga la korona ni kuwa imefanya sekta ya elimu kuzorota kwani wanafunzi wakati huo wameregeshwa nyumbani ili kuzuia mlipuko wa usambazaji wa virusi vya korona shuleni. Athari hii imesababisha kuathiri wasomi kisaikolojia kwa kukosa kuwa shuleni na kukosa kusoma takriban miezi saba. Wanafunzi hao wamebadilisha tabia na mienendo yao kwa kujihusisha kimapenzi na wengine kujihusisha katika uhalifu. Hali hii imesababisha kwa wasichana kujitoa uhai ili kuepukana na aibu za ujauzito nje ya ndoa.
Vile vile, korona imechangia katika ongezeko kubwa la ufisadi. Viongozi wa serikalini waliopewa fedha kutoka serikali ili wahudumie wananchi wananyakua nao barakoa za serikalini wanaziuza kwa bei ya juu zaidi na zenyewe ni mbaya sana. Wafisadi hawa wanapaswa wakomeshwe ili kuzuia wananchi kuteseka. Pia mafisadi waliiba pojo ambazo gavana Joho alzitoa. Isitoshe, korona imefanya sekta ya utalii uzorote. Watalii huleta pesa katika nchi yetu. Kupungua kwa mipaka za nchi zimefanya watalii kuingia nchini mwetu wa Kenya. Watalii saa hizi wakija kuzuru nchini Kenya watakuja na masharti. Wanavaa barakoa na hata kuogopa kusalimiana. Wanasalimiana kwa miguu. Kusalimiana kwa miguu ina maanisha hakuna uaminifu baina ya watu. Jambo hili imeleta kuzorota kwa uchumi. Uchumi wa nchi unazidi kuhofia na baadaye kuharibika.
Halikadhalika, korona imewafanya watu wasiwe wa kumcha Mungu. Imani ya watu imezorota. Watu hawaendi kuswali kwa pamoja. Kwa mfano, msikiti watu wanaepuka msongamano. Kila mtu anabeba mswala wake na anaswali peke yake. Hekalu pia zimefungwa. Jambo hili limefanya watu wengi wasiende msikitini na kuona ni bora kuswali nyumbani kuliko msikitini. Korona imeharibu sheria za kidini. Imewachezea wacha mungu shere na kuzidi kuwapotosha.
La mwisho ni kuwa korona imewatesa watu kisaikolojia. Watu wa korona walitengwa na kuwekwa karantini. Walipata shida kama kuthamini kukaa na wazazi wao. Pia wakati serikali lilitoa amri ya kutotembea watu walichapwa kama majambazi walio iba mamilioni ya pesa katika benki kuu la Afrika. Hii imeathiri watu kisaikolojia. Kwa kumalizia ningependa kuwahimiza watu wafuate sheria za korona na kanuni zilizowekwa ili tupunguze visa vya korona kwani kinga ni bora kuliko tiba, na taifa likiimarika hunufaika.
| Korona imechangia ongezeko la nini? | {
"text": [
"Ufisadi miongoni mwa viongozi serikalini"
]
} |
0184_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima.
Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea na kadhalika. Kwa njia hiyo ukulima utaimarika na mazao mengi yatapatikana. Wakulima watapata faida chungu nzima na pia kukuza nchi kwa jumla.
Pili , bei ya mbolea, mbegu, jembe kushuka ili wakulima wasitumie pesa zote walizopata kununua bidhaa hizo ili wasipate hasara badala ya faida. Wakulima wakinunua la bidhaa zao ghali, basi mazao yao yatauzwa kwa bei ya juu ambayo itafanya watu wasinunue bidhaa hizo kwa sababu ya bei yake.
Tatu, kuwasaidia wakulima, kuuza mazao. Wakulima wengine hulima bila ya kujua mahali pa kuuza au kuuza bali hazinunuliwi vyema. Hivyo basi, serikali au kampuni yoyote ya kilimo isaidie wakulima kuuza mazao ili iweze kumsaidia mkulima mwenyewe na hata wananchi kwa jumla. Pesa hizo huweza kutumiwa na serikali kupeana huduma kwa watu wote.
Nne, wakulima kufunzwa mbinu za kisasa za ukulima ambazo hutoa mazao mazuri na yenye afya. Mbinu za kisasa kama vile kutumia tingatinga , kuhifadhi chakula kwenye maghala ambayo huweza kukaa kwa wakati mwingi na hata wadudu si rahisi kuingia. Mazao kutolewa wakati unao takikana.
Tano, wakulima wapewe mikopo ya kununua vifaa vya kisasa kama vile tingatinga. Kwa njia hiyo watapata mazao mazuri yatakayoleta faida kwa wingi. Mikopo hiyo humsaidia mkulima kununua vifaa vya kisasa na hata mambo mengine anayohitaji kutumia katika ukulima. Vile vile, mradi wa unyunyizaji maji uanzishwe maeneo ambayo ni kame ili ikuze mazao. Unyunyuzaji maji huezesha maeneo ya ukame kulima ambao hukuza mimea ya kila aina. Mazao hayo yanaweza uzwa na kutumiwa na wenyeji wa hapo kujiendeleza kimaisha. | nini huletea serikali pesa kadhalika | {
"text": [
"ukulima"
]
} |
0184_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima.
Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea na kadhalika. Kwa njia hiyo ukulima utaimarika na mazao mengi yatapatikana. Wakulima watapata faida chungu nzima na pia kukuza nchi kwa jumla.
Pili , bei ya mbolea, mbegu, jembe kushuka ili wakulima wasitumie pesa zote walizopata kununua bidhaa hizo ili wasipate hasara badala ya faida. Wakulima wakinunua la bidhaa zao ghali, basi mazao yao yatauzwa kwa bei ya juu ambayo itafanya watu wasinunue bidhaa hizo kwa sababu ya bei yake.
Tatu, kuwasaidia wakulima, kuuza mazao. Wakulima wengine hulima bila ya kujua mahali pa kuuza au kuuza bali hazinunuliwi vyema. Hivyo basi, serikali au kampuni yoyote ya kilimo isaidie wakulima kuuza mazao ili iweze kumsaidia mkulima mwenyewe na hata wananchi kwa jumla. Pesa hizo huweza kutumiwa na serikali kupeana huduma kwa watu wote.
Nne, wakulima kufunzwa mbinu za kisasa za ukulima ambazo hutoa mazao mazuri na yenye afya. Mbinu za kisasa kama vile kutumia tingatinga , kuhifadhi chakula kwenye maghala ambayo huweza kukaa kwa wakati mwingi na hata wadudu si rahisi kuingia. Mazao kutolewa wakati unao takikana.
Tano, wakulima wapewe mikopo ya kununua vifaa vya kisasa kama vile tingatinga. Kwa njia hiyo watapata mazao mazuri yatakayoleta faida kwa wingi. Mikopo hiyo humsaidia mkulima kununua vifaa vya kisasa na hata mambo mengine anayohitaji kutumia katika ukulima. Vile vile, mradi wa unyunyizaji maji uanzishwe maeneo ambayo ni kame ili ikuze mazao. Unyunyuzaji maji huezesha maeneo ya ukame kulima ambao hukuza mimea ya kila aina. Mazao hayo yanaweza uzwa na kutumiwa na wenyeji wa hapo kujiendeleza kimaisha. | nani anapaswa kusaidia wakulima kuuza mazao | {
"text": [
"serikali/kampuni ya ulimaji"
]
} |
0184_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima.
Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea na kadhalika. Kwa njia hiyo ukulima utaimarika na mazao mengi yatapatikana. Wakulima watapata faida chungu nzima na pia kukuza nchi kwa jumla.
Pili , bei ya mbolea, mbegu, jembe kushuka ili wakulima wasitumie pesa zote walizopata kununua bidhaa hizo ili wasipate hasara badala ya faida. Wakulima wakinunua la bidhaa zao ghali, basi mazao yao yatauzwa kwa bei ya juu ambayo itafanya watu wasinunue bidhaa hizo kwa sababu ya bei yake.
Tatu, kuwasaidia wakulima, kuuza mazao. Wakulima wengine hulima bila ya kujua mahali pa kuuza au kuuza bali hazinunuliwi vyema. Hivyo basi, serikali au kampuni yoyote ya kilimo isaidie wakulima kuuza mazao ili iweze kumsaidia mkulima mwenyewe na hata wananchi kwa jumla. Pesa hizo huweza kutumiwa na serikali kupeana huduma kwa watu wote.
Nne, wakulima kufunzwa mbinu za kisasa za ukulima ambazo hutoa mazao mazuri na yenye afya. Mbinu za kisasa kama vile kutumia tingatinga , kuhifadhi chakula kwenye maghala ambayo huweza kukaa kwa wakati mwingi na hata wadudu si rahisi kuingia. Mazao kutolewa wakati unao takikana.
Tano, wakulima wapewe mikopo ya kununua vifaa vya kisasa kama vile tingatinga. Kwa njia hiyo watapata mazao mazuri yatakayoleta faida kwa wingi. Mikopo hiyo humsaidia mkulima kununua vifaa vya kisasa na hata mambo mengine anayohitaji kutumia katika ukulima. Vile vile, mradi wa unyunyizaji maji uanzishwe maeneo ambayo ni kame ili ikuze mazao. Unyunyuzaji maji huezesha maeneo ya ukame kulima ambao hukuza mimea ya kila aina. Mazao hayo yanaweza uzwa na kutumiwa na wenyeji wa hapo kujiendeleza kimaisha. | mbinu za kisasa ni kama gani | {
"text": [
"kutumia tingatinga"
]
} |
0184_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima.
Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea na kadhalika. Kwa njia hiyo ukulima utaimarika na mazao mengi yatapatikana. Wakulima watapata faida chungu nzima na pia kukuza nchi kwa jumla.
Pili , bei ya mbolea, mbegu, jembe kushuka ili wakulima wasitumie pesa zote walizopata kununua bidhaa hizo ili wasipate hasara badala ya faida. Wakulima wakinunua la bidhaa zao ghali, basi mazao yao yatauzwa kwa bei ya juu ambayo itafanya watu wasinunue bidhaa hizo kwa sababu ya bei yake.
Tatu, kuwasaidia wakulima, kuuza mazao. Wakulima wengine hulima bila ya kujua mahali pa kuuza au kuuza bali hazinunuliwi vyema. Hivyo basi, serikali au kampuni yoyote ya kilimo isaidie wakulima kuuza mazao ili iweze kumsaidia mkulima mwenyewe na hata wananchi kwa jumla. Pesa hizo huweza kutumiwa na serikali kupeana huduma kwa watu wote.
Nne, wakulima kufunzwa mbinu za kisasa za ukulima ambazo hutoa mazao mazuri na yenye afya. Mbinu za kisasa kama vile kutumia tingatinga , kuhifadhi chakula kwenye maghala ambayo huweza kukaa kwa wakati mwingi na hata wadudu si rahisi kuingia. Mazao kutolewa wakati unao takikana.
Tano, wakulima wapewe mikopo ya kununua vifaa vya kisasa kama vile tingatinga. Kwa njia hiyo watapata mazao mazuri yatakayoleta faida kwa wingi. Mikopo hiyo humsaidia mkulima kununua vifaa vya kisasa na hata mambo mengine anayohitaji kutumia katika ukulima. Vile vile, mradi wa unyunyizaji maji uanzishwe maeneo ambayo ni kame ili ikuze mazao. Unyunyuzaji maji huezesha maeneo ya ukame kulima ambao hukuza mimea ya kila aina. Mazao hayo yanaweza uzwa na kutumiwa na wenyeji wa hapo kujiendeleza kimaisha. | ni wakati gani wa kuanzisha mradi wa unyunyuziaji maji | {
"text": [
"wakati wa ukame"
]
} |
0184_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima.
Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea na kadhalika. Kwa njia hiyo ukulima utaimarika na mazao mengi yatapatikana. Wakulima watapata faida chungu nzima na pia kukuza nchi kwa jumla.
Pili , bei ya mbolea, mbegu, jembe kushuka ili wakulima wasitumie pesa zote walizopata kununua bidhaa hizo ili wasipate hasara badala ya faida. Wakulima wakinunua la bidhaa zao ghali, basi mazao yao yatauzwa kwa bei ya juu ambayo itafanya watu wasinunue bidhaa hizo kwa sababu ya bei yake.
Tatu, kuwasaidia wakulima, kuuza mazao. Wakulima wengine hulima bila ya kujua mahali pa kuuza au kuuza bali hazinunuliwi vyema. Hivyo basi, serikali au kampuni yoyote ya kilimo isaidie wakulima kuuza mazao ili iweze kumsaidia mkulima mwenyewe na hata wananchi kwa jumla. Pesa hizo huweza kutumiwa na serikali kupeana huduma kwa watu wote.
Nne, wakulima kufunzwa mbinu za kisasa za ukulima ambazo hutoa mazao mazuri na yenye afya. Mbinu za kisasa kama vile kutumia tingatinga , kuhifadhi chakula kwenye maghala ambayo huweza kukaa kwa wakati mwingi na hata wadudu si rahisi kuingia. Mazao kutolewa wakati unao takikana.
Tano, wakulima wapewe mikopo ya kununua vifaa vya kisasa kama vile tingatinga. Kwa njia hiyo watapata mazao mazuri yatakayoleta faida kwa wingi. Mikopo hiyo humsaidia mkulima kununua vifaa vya kisasa na hata mambo mengine anayohitaji kutumia katika ukulima. Vile vile, mradi wa unyunyizaji maji uanzishwe maeneo ambayo ni kame ili ikuze mazao. Unyunyuzaji maji huezesha maeneo ya ukame kulima ambao hukuza mimea ya kila aina. Mazao hayo yanaweza uzwa na kutumiwa na wenyeji wa hapo kujiendeleza kimaisha. | mkulima anaweza kupata hasara vipi | {
"text": [
"wakinunua bidhaa za ukulima ghali na kuuza ghali kwa wananchi"
]
} |
0185_swa | NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa linalokumba bara la Afrika kiujumla. Imebainika bayana kuwa chanzo kikuu cha kuzorota kwa sekta ya kilimo nchini Kenya ni kasumba za kuwa; kilimo ni taaluma ya kimapokezi, hivyo hakuna haja ya kufadhili kisomo cha wakulima kuhusiana na mbinu za kisasa za ukulima. La kustaajabisha ni kwamba iwapo kilimo ni taluma ya kimapokeza iweje hadi wa leo mojawapo ya mambo yanayozuia ufanisi wa nchi uwe umaskini ambao asilimia kubwa ya wathiriwa wa janga hili hulalamikia baa la njaa? Hivyo, ni muhali tutilie manani uimarishaji wa sekta ya kilimo kupitia kwa ufadhili wa elimu kwa wakulima kuhusiana na umuhimu wa matumizi ya mbinu za kisasa kama vile kupewa pembejeo za kilimo kama vile mbegu, mbolea ambazo angalau huongeza rutuba mchangani ili iweze kukwea mbegu zitakazopelekea ongezeko la chakula nchini.
Isitoshe, ni muhimu ikumbukwe kuwa ni jukumu letu kuwauni wakulima katika uuzaji wa mazao aghalabu kupanua soko na kupata fulusi, ambazo zitachangia pakubwa katika kuiendeleza sekta ya kilimo nchini si kwa kununua mbolea ainati kama vile samadi, si kudhibiti uwekaji wa mabanda vitula na hata kununua zana za kilimo kama vile fyekeo, sepatu na plau ambazo zingerahisisha kazi ya ukulima. Imebainika kwamba iwapo wakulima watajaribu kupanda matunda ya musimu kama vile matunda ya zambarau basi, amini usiamini ongezeko la mauzo ya matunda haya yatazidi.
Maghala ni jambo ambalo iwapo litatiliwa maanani basi amini usiamini kilimo kitaimarika nchini maana vyakula kama ngano, mahindi na maharagwe ni vyakula ambavyo vimebainika kuwa huliokoa jahazi. Pindi kutokeapo baa la njaa, hivyo ni muhali kuongeza maghala na buhari ambazo zitahifadhi mbegu hizi ili zitumike katika nyakati za kiangazi. Maana, namaizi ya wahenga kuwa akiba haiozi katu.
Kando na hayo, serikali ihamasishwe kupanga mipango ya kufanywa maonyesho ya kilimo aghalabu yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani ili wakulima wapelekwe kwenye warsha ambako wangejieleza kinagaubaga kuhusiana na changamoto wanazopitia kama uvamizi wa vidudu vya mimea kama vile nzige. Athari ya uvamizi wa vidudu kama kupe kwenye mazao ya wanyama kama vile maziwa hupungua. Changamoto nyingine ni athari ya upepo mkali kama vile kimbunga kwenye mimea yenye vitagaa na mashina yaliyodhoofu. Aghalabu wakulima pia hukabiliana na changamoto ya mtetemko wa ardhi ambao umesalia kuwai kitisho kwa wakulima hao. Hivyo basi, kuwepo kwa maanyesho hayo kutachangia pakubwa katika kusambaratika kuwa mawazo ya kila namna ya kukuza sekta ya kilimo hivyo kupelekea uimarishaji wake. Fauka ya hayo, lingine linalonikera na kunikereketa maini ni kutopewa fursa kwa vijana wenye vipawa katika sekta ya kilimo aghalabu kutuonyesha ubabe wao katika miradi na mikakati ya kuimarisha kilimo nchini suluhisho mbadala la tubizo hili ni; kufanya somo la kilimo kuwa la lazima kama ibada katika mtaala wa shule aghalabu wote wenye hamu na ari katika ukulima waweze kujituma katika kuinasua nchi kutokamana na hatari ya baa la njaa inayotishia kuiathiri nchi. Iwapo hili litafunikishwa, ni hakika kama mauti kuwa kilimo kitaimarika pasi na wasiwasi wowote.
Minghairi ya hao, napendekeza mradi wa unyunyizaji maji maeneo Kame angalau kusiwe na kisingizio cha kuwa sehemu zingine kuwa na maji na zingine kuwa kavu. Mfano mwema ni maeneo ya Mwea. na Pakera yaliyoshamiri rutuba nzuri mno hudi ukuaji wa mchele na hata vitunguu kushika hatamu na kunoof sokoni. Iwapo tutaka ribisha amuzi la unyunyizaji aji maeneo kame basi kile bila shaka kilimo kitaimarika nchini.
Hatimaye kwa hayo machache niliyotaja, nina matumauni kwamba iwapo serikali itayapitisha mapendekezo haya kulingana na hoja nilizoorodhesha na kushirikiana bega kwa bega na wakulima basi Suala la kuzorota kwa sekta ya ukulima nchini Kenya itazikwa katika kaburi la sahau. | Kilimo huhusisha upanzi wa nini? | {
"text": [
"Mimea"
]
} |
0185_swa | NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa linalokumba bara la Afrika kiujumla. Imebainika bayana kuwa chanzo kikuu cha kuzorota kwa sekta ya kilimo nchini Kenya ni kasumba za kuwa; kilimo ni taaluma ya kimapokezi, hivyo hakuna haja ya kufadhili kisomo cha wakulima kuhusiana na mbinu za kisasa za ukulima. La kustaajabisha ni kwamba iwapo kilimo ni taluma ya kimapokeza iweje hadi wa leo mojawapo ya mambo yanayozuia ufanisi wa nchi uwe umaskini ambao asilimia kubwa ya wathiriwa wa janga hili hulalamikia baa la njaa? Hivyo, ni muhali tutilie manani uimarishaji wa sekta ya kilimo kupitia kwa ufadhili wa elimu kwa wakulima kuhusiana na umuhimu wa matumizi ya mbinu za kisasa kama vile kupewa pembejeo za kilimo kama vile mbegu, mbolea ambazo angalau huongeza rutuba mchangani ili iweze kukwea mbegu zitakazopelekea ongezeko la chakula nchini.
Isitoshe, ni muhimu ikumbukwe kuwa ni jukumu letu kuwauni wakulima katika uuzaji wa mazao aghalabu kupanua soko na kupata fulusi, ambazo zitachangia pakubwa katika kuiendeleza sekta ya kilimo nchini si kwa kununua mbolea ainati kama vile samadi, si kudhibiti uwekaji wa mabanda vitula na hata kununua zana za kilimo kama vile fyekeo, sepatu na plau ambazo zingerahisisha kazi ya ukulima. Imebainika kwamba iwapo wakulima watajaribu kupanda matunda ya musimu kama vile matunda ya zambarau basi, amini usiamini ongezeko la mauzo ya matunda haya yatazidi.
Maghala ni jambo ambalo iwapo litatiliwa maanani basi amini usiamini kilimo kitaimarika nchini maana vyakula kama ngano, mahindi na maharagwe ni vyakula ambavyo vimebainika kuwa huliokoa jahazi. Pindi kutokeapo baa la njaa, hivyo ni muhali kuongeza maghala na buhari ambazo zitahifadhi mbegu hizi ili zitumike katika nyakati za kiangazi. Maana, namaizi ya wahenga kuwa akiba haiozi katu.
Kando na hayo, serikali ihamasishwe kupanga mipango ya kufanywa maonyesho ya kilimo aghalabu yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani ili wakulima wapelekwe kwenye warsha ambako wangejieleza kinagaubaga kuhusiana na changamoto wanazopitia kama uvamizi wa vidudu vya mimea kama vile nzige. Athari ya uvamizi wa vidudu kama kupe kwenye mazao ya wanyama kama vile maziwa hupungua. Changamoto nyingine ni athari ya upepo mkali kama vile kimbunga kwenye mimea yenye vitagaa na mashina yaliyodhoofu. Aghalabu wakulima pia hukabiliana na changamoto ya mtetemko wa ardhi ambao umesalia kuwai kitisho kwa wakulima hao. Hivyo basi, kuwepo kwa maanyesho hayo kutachangia pakubwa katika kusambaratika kuwa mawazo ya kila namna ya kukuza sekta ya kilimo hivyo kupelekea uimarishaji wake. Fauka ya hayo, lingine linalonikera na kunikereketa maini ni kutopewa fursa kwa vijana wenye vipawa katika sekta ya kilimo aghalabu kutuonyesha ubabe wao katika miradi na mikakati ya kuimarisha kilimo nchini suluhisho mbadala la tubizo hili ni; kufanya somo la kilimo kuwa la lazima kama ibada katika mtaala wa shule aghalabu wote wenye hamu na ari katika ukulima waweze kujituma katika kuinasua nchi kutokamana na hatari ya baa la njaa inayotishia kuiathiri nchi. Iwapo hili litafunikishwa, ni hakika kama mauti kuwa kilimo kitaimarika pasi na wasiwasi wowote.
Minghairi ya hao, napendekeza mradi wa unyunyizaji maji maeneo Kame angalau kusiwe na kisingizio cha kuwa sehemu zingine kuwa na maji na zingine kuwa kavu. Mfano mwema ni maeneo ya Mwea. na Pakera yaliyoshamiri rutuba nzuri mno hudi ukuaji wa mchele na hata vitunguu kushika hatamu na kunoof sokoni. Iwapo tutaka ribisha amuzi la unyunyizaji aji maeneo kame basi kile bila shaka kilimo kitaimarika nchini.
Hatimaye kwa hayo machache niliyotaja, nina matumauni kwamba iwapo serikali itayapitisha mapendekezo haya kulingana na hoja nilizoorodhesha na kushirikiana bega kwa bega na wakulima basi Suala la kuzorota kwa sekta ya ukulima nchini Kenya itazikwa katika kaburi la sahau. | Nini huzuia ufanisi wa nchi? | {
"text": [
"Umaskini"
]
} |
0185_swa | NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa linalokumba bara la Afrika kiujumla. Imebainika bayana kuwa chanzo kikuu cha kuzorota kwa sekta ya kilimo nchini Kenya ni kasumba za kuwa; kilimo ni taaluma ya kimapokezi, hivyo hakuna haja ya kufadhili kisomo cha wakulima kuhusiana na mbinu za kisasa za ukulima. La kustaajabisha ni kwamba iwapo kilimo ni taluma ya kimapokeza iweje hadi wa leo mojawapo ya mambo yanayozuia ufanisi wa nchi uwe umaskini ambao asilimia kubwa ya wathiriwa wa janga hili hulalamikia baa la njaa? Hivyo, ni muhali tutilie manani uimarishaji wa sekta ya kilimo kupitia kwa ufadhili wa elimu kwa wakulima kuhusiana na umuhimu wa matumizi ya mbinu za kisasa kama vile kupewa pembejeo za kilimo kama vile mbegu, mbolea ambazo angalau huongeza rutuba mchangani ili iweze kukwea mbegu zitakazopelekea ongezeko la chakula nchini.
Isitoshe, ni muhimu ikumbukwe kuwa ni jukumu letu kuwauni wakulima katika uuzaji wa mazao aghalabu kupanua soko na kupata fulusi, ambazo zitachangia pakubwa katika kuiendeleza sekta ya kilimo nchini si kwa kununua mbolea ainati kama vile samadi, si kudhibiti uwekaji wa mabanda vitula na hata kununua zana za kilimo kama vile fyekeo, sepatu na plau ambazo zingerahisisha kazi ya ukulima. Imebainika kwamba iwapo wakulima watajaribu kupanda matunda ya musimu kama vile matunda ya zambarau basi, amini usiamini ongezeko la mauzo ya matunda haya yatazidi.
Maghala ni jambo ambalo iwapo litatiliwa maanani basi amini usiamini kilimo kitaimarika nchini maana vyakula kama ngano, mahindi na maharagwe ni vyakula ambavyo vimebainika kuwa huliokoa jahazi. Pindi kutokeapo baa la njaa, hivyo ni muhali kuongeza maghala na buhari ambazo zitahifadhi mbegu hizi ili zitumike katika nyakati za kiangazi. Maana, namaizi ya wahenga kuwa akiba haiozi katu.
Kando na hayo, serikali ihamasishwe kupanga mipango ya kufanywa maonyesho ya kilimo aghalabu yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani ili wakulima wapelekwe kwenye warsha ambako wangejieleza kinagaubaga kuhusiana na changamoto wanazopitia kama uvamizi wa vidudu vya mimea kama vile nzige. Athari ya uvamizi wa vidudu kama kupe kwenye mazao ya wanyama kama vile maziwa hupungua. Changamoto nyingine ni athari ya upepo mkali kama vile kimbunga kwenye mimea yenye vitagaa na mashina yaliyodhoofu. Aghalabu wakulima pia hukabiliana na changamoto ya mtetemko wa ardhi ambao umesalia kuwai kitisho kwa wakulima hao. Hivyo basi, kuwepo kwa maanyesho hayo kutachangia pakubwa katika kusambaratika kuwa mawazo ya kila namna ya kukuza sekta ya kilimo hivyo kupelekea uimarishaji wake. Fauka ya hayo, lingine linalonikera na kunikereketa maini ni kutopewa fursa kwa vijana wenye vipawa katika sekta ya kilimo aghalabu kutuonyesha ubabe wao katika miradi na mikakati ya kuimarisha kilimo nchini suluhisho mbadala la tubizo hili ni; kufanya somo la kilimo kuwa la lazima kama ibada katika mtaala wa shule aghalabu wote wenye hamu na ari katika ukulima waweze kujituma katika kuinasua nchi kutokamana na hatari ya baa la njaa inayotishia kuiathiri nchi. Iwapo hili litafunikishwa, ni hakika kama mauti kuwa kilimo kitaimarika pasi na wasiwasi wowote.
Minghairi ya hao, napendekeza mradi wa unyunyizaji maji maeneo Kame angalau kusiwe na kisingizio cha kuwa sehemu zingine kuwa na maji na zingine kuwa kavu. Mfano mwema ni maeneo ya Mwea. na Pakera yaliyoshamiri rutuba nzuri mno hudi ukuaji wa mchele na hata vitunguu kushika hatamu na kunoof sokoni. Iwapo tutaka ribisha amuzi la unyunyizaji aji maeneo kame basi kile bila shaka kilimo kitaimarika nchini.
Hatimaye kwa hayo machache niliyotaja, nina matumauni kwamba iwapo serikali itayapitisha mapendekezo haya kulingana na hoja nilizoorodhesha na kushirikiana bega kwa bega na wakulima basi Suala la kuzorota kwa sekta ya ukulima nchini Kenya itazikwa katika kaburi la sahau. | Vidudu vipi huvamia mimea? | {
"text": [
"Nzige"
]
} |
0185_swa | NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa linalokumba bara la Afrika kiujumla. Imebainika bayana kuwa chanzo kikuu cha kuzorota kwa sekta ya kilimo nchini Kenya ni kasumba za kuwa; kilimo ni taaluma ya kimapokezi, hivyo hakuna haja ya kufadhili kisomo cha wakulima kuhusiana na mbinu za kisasa za ukulima. La kustaajabisha ni kwamba iwapo kilimo ni taluma ya kimapokeza iweje hadi wa leo mojawapo ya mambo yanayozuia ufanisi wa nchi uwe umaskini ambao asilimia kubwa ya wathiriwa wa janga hili hulalamikia baa la njaa? Hivyo, ni muhali tutilie manani uimarishaji wa sekta ya kilimo kupitia kwa ufadhili wa elimu kwa wakulima kuhusiana na umuhimu wa matumizi ya mbinu za kisasa kama vile kupewa pembejeo za kilimo kama vile mbegu, mbolea ambazo angalau huongeza rutuba mchangani ili iweze kukwea mbegu zitakazopelekea ongezeko la chakula nchini.
Isitoshe, ni muhimu ikumbukwe kuwa ni jukumu letu kuwauni wakulima katika uuzaji wa mazao aghalabu kupanua soko na kupata fulusi, ambazo zitachangia pakubwa katika kuiendeleza sekta ya kilimo nchini si kwa kununua mbolea ainati kama vile samadi, si kudhibiti uwekaji wa mabanda vitula na hata kununua zana za kilimo kama vile fyekeo, sepatu na plau ambazo zingerahisisha kazi ya ukulima. Imebainika kwamba iwapo wakulima watajaribu kupanda matunda ya musimu kama vile matunda ya zambarau basi, amini usiamini ongezeko la mauzo ya matunda haya yatazidi.
Maghala ni jambo ambalo iwapo litatiliwa maanani basi amini usiamini kilimo kitaimarika nchini maana vyakula kama ngano, mahindi na maharagwe ni vyakula ambavyo vimebainika kuwa huliokoa jahazi. Pindi kutokeapo baa la njaa, hivyo ni muhali kuongeza maghala na buhari ambazo zitahifadhi mbegu hizi ili zitumike katika nyakati za kiangazi. Maana, namaizi ya wahenga kuwa akiba haiozi katu.
Kando na hayo, serikali ihamasishwe kupanga mipango ya kufanywa maonyesho ya kilimo aghalabu yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani ili wakulima wapelekwe kwenye warsha ambako wangejieleza kinagaubaga kuhusiana na changamoto wanazopitia kama uvamizi wa vidudu vya mimea kama vile nzige. Athari ya uvamizi wa vidudu kama kupe kwenye mazao ya wanyama kama vile maziwa hupungua. Changamoto nyingine ni athari ya upepo mkali kama vile kimbunga kwenye mimea yenye vitagaa na mashina yaliyodhoofu. Aghalabu wakulima pia hukabiliana na changamoto ya mtetemko wa ardhi ambao umesalia kuwai kitisho kwa wakulima hao. Hivyo basi, kuwepo kwa maanyesho hayo kutachangia pakubwa katika kusambaratika kuwa mawazo ya kila namna ya kukuza sekta ya kilimo hivyo kupelekea uimarishaji wake. Fauka ya hayo, lingine linalonikera na kunikereketa maini ni kutopewa fursa kwa vijana wenye vipawa katika sekta ya kilimo aghalabu kutuonyesha ubabe wao katika miradi na mikakati ya kuimarisha kilimo nchini suluhisho mbadala la tubizo hili ni; kufanya somo la kilimo kuwa la lazima kama ibada katika mtaala wa shule aghalabu wote wenye hamu na ari katika ukulima waweze kujituma katika kuinasua nchi kutokamana na hatari ya baa la njaa inayotishia kuiathiri nchi. Iwapo hili litafunikishwa, ni hakika kama mauti kuwa kilimo kitaimarika pasi na wasiwasi wowote.
Minghairi ya hao, napendekeza mradi wa unyunyizaji maji maeneo Kame angalau kusiwe na kisingizio cha kuwa sehemu zingine kuwa na maji na zingine kuwa kavu. Mfano mwema ni maeneo ya Mwea. na Pakera yaliyoshamiri rutuba nzuri mno hudi ukuaji wa mchele na hata vitunguu kushika hatamu na kunoof sokoni. Iwapo tutaka ribisha amuzi la unyunyizaji aji maeneo kame basi kile bila shaka kilimo kitaimarika nchini.
Hatimaye kwa hayo machache niliyotaja, nina matumauni kwamba iwapo serikali itayapitisha mapendekezo haya kulingana na hoja nilizoorodhesha na kushirikiana bega kwa bega na wakulima basi Suala la kuzorota kwa sekta ya ukulima nchini Kenya itazikwa katika kaburi la sahau. | Mimea huhitaji nini? | {
"text": [
"Maji"
]
} |
0185_swa | NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa linalokumba bara la Afrika kiujumla. Imebainika bayana kuwa chanzo kikuu cha kuzorota kwa sekta ya kilimo nchini Kenya ni kasumba za kuwa; kilimo ni taaluma ya kimapokezi, hivyo hakuna haja ya kufadhili kisomo cha wakulima kuhusiana na mbinu za kisasa za ukulima. La kustaajabisha ni kwamba iwapo kilimo ni taluma ya kimapokeza iweje hadi wa leo mojawapo ya mambo yanayozuia ufanisi wa nchi uwe umaskini ambao asilimia kubwa ya wathiriwa wa janga hili hulalamikia baa la njaa? Hivyo, ni muhali tutilie manani uimarishaji wa sekta ya kilimo kupitia kwa ufadhili wa elimu kwa wakulima kuhusiana na umuhimu wa matumizi ya mbinu za kisasa kama vile kupewa pembejeo za kilimo kama vile mbegu, mbolea ambazo angalau huongeza rutuba mchangani ili iweze kukwea mbegu zitakazopelekea ongezeko la chakula nchini.
Isitoshe, ni muhimu ikumbukwe kuwa ni jukumu letu kuwauni wakulima katika uuzaji wa mazao aghalabu kupanua soko na kupata fulusi, ambazo zitachangia pakubwa katika kuiendeleza sekta ya kilimo nchini si kwa kununua mbolea ainati kama vile samadi, si kudhibiti uwekaji wa mabanda vitula na hata kununua zana za kilimo kama vile fyekeo, sepatu na plau ambazo zingerahisisha kazi ya ukulima. Imebainika kwamba iwapo wakulima watajaribu kupanda matunda ya musimu kama vile matunda ya zambarau basi, amini usiamini ongezeko la mauzo ya matunda haya yatazidi.
Maghala ni jambo ambalo iwapo litatiliwa maanani basi amini usiamini kilimo kitaimarika nchini maana vyakula kama ngano, mahindi na maharagwe ni vyakula ambavyo vimebainika kuwa huliokoa jahazi. Pindi kutokeapo baa la njaa, hivyo ni muhali kuongeza maghala na buhari ambazo zitahifadhi mbegu hizi ili zitumike katika nyakati za kiangazi. Maana, namaizi ya wahenga kuwa akiba haiozi katu.
Kando na hayo, serikali ihamasishwe kupanga mipango ya kufanywa maonyesho ya kilimo aghalabu yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani ili wakulima wapelekwe kwenye warsha ambako wangejieleza kinagaubaga kuhusiana na changamoto wanazopitia kama uvamizi wa vidudu vya mimea kama vile nzige. Athari ya uvamizi wa vidudu kama kupe kwenye mazao ya wanyama kama vile maziwa hupungua. Changamoto nyingine ni athari ya upepo mkali kama vile kimbunga kwenye mimea yenye vitagaa na mashina yaliyodhoofu. Aghalabu wakulima pia hukabiliana na changamoto ya mtetemko wa ardhi ambao umesalia kuwai kitisho kwa wakulima hao. Hivyo basi, kuwepo kwa maanyesho hayo kutachangia pakubwa katika kusambaratika kuwa mawazo ya kila namna ya kukuza sekta ya kilimo hivyo kupelekea uimarishaji wake. Fauka ya hayo, lingine linalonikera na kunikereketa maini ni kutopewa fursa kwa vijana wenye vipawa katika sekta ya kilimo aghalabu kutuonyesha ubabe wao katika miradi na mikakati ya kuimarisha kilimo nchini suluhisho mbadala la tubizo hili ni; kufanya somo la kilimo kuwa la lazima kama ibada katika mtaala wa shule aghalabu wote wenye hamu na ari katika ukulima waweze kujituma katika kuinasua nchi kutokamana na hatari ya baa la njaa inayotishia kuiathiri nchi. Iwapo hili litafunikishwa, ni hakika kama mauti kuwa kilimo kitaimarika pasi na wasiwasi wowote.
Minghairi ya hao, napendekeza mradi wa unyunyizaji maji maeneo Kame angalau kusiwe na kisingizio cha kuwa sehemu zingine kuwa na maji na zingine kuwa kavu. Mfano mwema ni maeneo ya Mwea. na Pakera yaliyoshamiri rutuba nzuri mno hudi ukuaji wa mchele na hata vitunguu kushika hatamu na kunoof sokoni. Iwapo tutaka ribisha amuzi la unyunyizaji aji maeneo kame basi kile bila shaka kilimo kitaimarika nchini.
Hatimaye kwa hayo machache niliyotaja, nina matumauni kwamba iwapo serikali itayapitisha mapendekezo haya kulingana na hoja nilizoorodhesha na kushirikiana bega kwa bega na wakulima basi Suala la kuzorota kwa sekta ya ukulima nchini Kenya itazikwa katika kaburi la sahau. | Zaraa hupokezwa kwa njia ipi? | {
"text": [
"Kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya makabila ya kibantu"
]
} |
0186_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha na kuboresha kilimo nchini.
Njia ya kwanza, ni kuchagua wakati mwafaka wa kupanda mbegu. Haiwezekani kupanda mmea au mimea wakati wa kiangazi ambapo jua huwa kali sana wala masika kwani mimea itasombwa na maji ya mafuriko. Wakati mwafaka wa kupanda ni wakati wa vuli ambapo ni majira ya mvua ndogo ndogo kuanza ndiposa mimea huweza kukua bila ya kukauka. Ni muhimu pia kuzingatia rotuba ya mchanga iwapo inaweza kumeesha mimea au la.
Mbegu za kisasa za mchanganyiko ndizo bora kwa mchanga uliyo na rutuba ya juu kwani zinzweza kukupa mazao bora na yenye afya. Serikali pia iwasaidie wakulima wa mashamba madogo kwa kuwapa mbolea za bure au kuwapunguzia bei ya mbolea hizo ili kuweza kukuza kilimo. Wakulima wa hali ya chini kabisa wafadhiliwe kwa kupewa pembejeo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea jembe na kadhalika.
Pili, mazao bora hayategemei mbolea tu bali pia maji ya kumeesha. Mitaro ijengwe ili kuweza kupitisha maji kwa haraka mashambani na kuinyunyizia mimea yote. Njia na namna za kuzuia mafuriko kuharibu zifunzwe kwa wakulima ili waweze kuzuia hasara itakayo tokana na mafuriko. Maeneo ya chini yatumie vizuizi bora ilikuepuka mmomonyoko wa ardhi ambao unaweza kuharibu mimea. Mapipa ya maji kuongezwa ili kuhifadhi maji ya mvua inapokunya yanayoweza kutumikia kwenye unyunyiziaji wa mimea. Pia, utumiaji wa mbolea uzidishwe kwa kadri vile rutuba ya mchanga inavyozidi kushuka. Serikali ihakikishe inaagizia mbolea nauri hata kutoka nchi geni ili kuinua kilimo. Kati ya mbolea nzuri ni Falcon Fertilizer. Vile vile njia mwafaka za kulima na kupanda zitumike kwa mfano, utumiaji wa tingatinga ambazo husaidia katika kupanda mbegu.
Njia bora ya kuongeza mazao ni kuzuru mashamba kwa miguu. Kwa kufanya hivi ndipo unaweza kujua au kutambua rutuba ya mchanga inashuka, wastani au iko sawa na iwapo itakuwa inashuka, unaweza pia kuona njia ya kutia mbolea ili kuweza kuuridisha sawa. Unaweza pia kuona kama kuna mimea isiyotakikana inayomea na kupitia hivyo. unaweza kuitata kwa upesi ili isiathiri mimea yako, isitoshe unaweza pia kuangalia afya ya mimea. Ikiwa imevamiwa na wadudu ni rahisi kutumia dawa ya kuwauwa kwani lishe bora ni afya bora.
Benki Kuu za Kenya iimarishe kilimo kwa kutoa mikopo kwa wakulima ili waweze kununua vifaa bora, mbegu bora na pia mbolea aina ainati za kukuza mimea bila shida yoyote. Pesa kama hizi huzitumia kwa njia nzuri nao watakaponunua vifaa bora basi watapata mazao mazuri watakapoyauza wanaweza kurudisha pesa walizozikopa kwenye benki na wao pia kupata faida.
Kusisitiza na kuhimiza upanzi wa vyakula vya kiasili ni muhimu. Magonjwa kama vile ya saratani
yameingia sasa kwa kutumia vyakula tayari ambavyo vimejazwa kemikali na ambayo pindi tu viingiapo ndani ya mwili huathiri viini vya mwili. Hivyo basi upanzi wa vyakula kama vile mtama, mahindi, maharagwe, viazi tamu, kunde, pojo na kadhalika ni muhimu kwani ndivyo ambavyo hutoa afya bora.
Ili kuwaezesha wakulima kukuza na kuweza kuuza mazao yao nchini na hata nchi mbalimbali ni muhimu na jukumu la serikali kuimarisha njia za usafiri ili zisiweze kuwasumbua wakati wa kusafirisha mazao. Itaweza kuinua uchumi wa nchi na pia kwa wakulima kwani wataweza kusafirisha kwa haraka na mazao kuuzikia mengi. Isitoshe, vyakula vihifadhiwe kwa kutumia mbinu za kisasa kama vile maghala. Uhifadhi wa vyakula kwenye maghala unasaidia kuhifadhi chakula kutokamana na wadudu na ndege ambao hula mazao. Vile vile somo la kilimo lifungwe shuleni kama masomo mengine ili iwapo kama kuna mwanafunzi yeyote anayependa ukulima aanze kufunzwa na mapema ili asipate shida yoyote kwa ambao hawakusoma shule vyuo vya kufunga namna za kuimarisha na njia mpya mpya za kukuza mazao vifunguliwe ili waweze kujisaidia. Wafunzwe namna za kutumia mbolea mbali mbali na namna ya kuzuia wadudu kula mimea. Kwa kuwafunza wakulima tunaweza kuimarisha kilimo nchini. Kama tunavyojua nchi yetu asilimia kubwa inategemea kilimo ilikukidhi mahitaji. Kwa hiyo, ni vizuri ikiwa watu watahama ardhi iliyo na rotuba nzuri ili waweze kuachia wakulima waipalilie na wavune mazao ibora ili kueneza uchumi wa nchi. Serikali pia iwapatie vijana wanao randa randa kazi katika mashamba na kuwalipa mishahara mzuri kwani mazao yataleta faida na achanikaye kwa mpini hafi njaa. Kwa kufuatilia ncha za njia hizi, Kilimo kinaweza kuimarika na hata kuinua zaidi uchumi wa nchi. | Ni nini sayansi ya kulima | {
"text": [
"kilimo"
]
} |
0186_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha na kuboresha kilimo nchini.
Njia ya kwanza, ni kuchagua wakati mwafaka wa kupanda mbegu. Haiwezekani kupanda mmea au mimea wakati wa kiangazi ambapo jua huwa kali sana wala masika kwani mimea itasombwa na maji ya mafuriko. Wakati mwafaka wa kupanda ni wakati wa vuli ambapo ni majira ya mvua ndogo ndogo kuanza ndiposa mimea huweza kukua bila ya kukauka. Ni muhimu pia kuzingatia rotuba ya mchanga iwapo inaweza kumeesha mimea au la.
Mbegu za kisasa za mchanganyiko ndizo bora kwa mchanga uliyo na rutuba ya juu kwani zinzweza kukupa mazao bora na yenye afya. Serikali pia iwasaidie wakulima wa mashamba madogo kwa kuwapa mbolea za bure au kuwapunguzia bei ya mbolea hizo ili kuweza kukuza kilimo. Wakulima wa hali ya chini kabisa wafadhiliwe kwa kupewa pembejeo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea jembe na kadhalika.
Pili, mazao bora hayategemei mbolea tu bali pia maji ya kumeesha. Mitaro ijengwe ili kuweza kupitisha maji kwa haraka mashambani na kuinyunyizia mimea yote. Njia na namna za kuzuia mafuriko kuharibu zifunzwe kwa wakulima ili waweze kuzuia hasara itakayo tokana na mafuriko. Maeneo ya chini yatumie vizuizi bora ilikuepuka mmomonyoko wa ardhi ambao unaweza kuharibu mimea. Mapipa ya maji kuongezwa ili kuhifadhi maji ya mvua inapokunya yanayoweza kutumikia kwenye unyunyiziaji wa mimea. Pia, utumiaji wa mbolea uzidishwe kwa kadri vile rutuba ya mchanga inavyozidi kushuka. Serikali ihakikishe inaagizia mbolea nauri hata kutoka nchi geni ili kuinua kilimo. Kati ya mbolea nzuri ni Falcon Fertilizer. Vile vile njia mwafaka za kulima na kupanda zitumike kwa mfano, utumiaji wa tingatinga ambazo husaidia katika kupanda mbegu.
Njia bora ya kuongeza mazao ni kuzuru mashamba kwa miguu. Kwa kufanya hivi ndipo unaweza kujua au kutambua rutuba ya mchanga inashuka, wastani au iko sawa na iwapo itakuwa inashuka, unaweza pia kuona njia ya kutia mbolea ili kuweza kuuridisha sawa. Unaweza pia kuona kama kuna mimea isiyotakikana inayomea na kupitia hivyo. unaweza kuitata kwa upesi ili isiathiri mimea yako, isitoshe unaweza pia kuangalia afya ya mimea. Ikiwa imevamiwa na wadudu ni rahisi kutumia dawa ya kuwauwa kwani lishe bora ni afya bora.
Benki Kuu za Kenya iimarishe kilimo kwa kutoa mikopo kwa wakulima ili waweze kununua vifaa bora, mbegu bora na pia mbolea aina ainati za kukuza mimea bila shida yoyote. Pesa kama hizi huzitumia kwa njia nzuri nao watakaponunua vifaa bora basi watapata mazao mazuri watakapoyauza wanaweza kurudisha pesa walizozikopa kwenye benki na wao pia kupata faida.
Kusisitiza na kuhimiza upanzi wa vyakula vya kiasili ni muhimu. Magonjwa kama vile ya saratani
yameingia sasa kwa kutumia vyakula tayari ambavyo vimejazwa kemikali na ambayo pindi tu viingiapo ndani ya mwili huathiri viini vya mwili. Hivyo basi upanzi wa vyakula kama vile mtama, mahindi, maharagwe, viazi tamu, kunde, pojo na kadhalika ni muhimu kwani ndivyo ambavyo hutoa afya bora.
Ili kuwaezesha wakulima kukuza na kuweza kuuza mazao yao nchini na hata nchi mbalimbali ni muhimu na jukumu la serikali kuimarisha njia za usafiri ili zisiweze kuwasumbua wakati wa kusafirisha mazao. Itaweza kuinua uchumi wa nchi na pia kwa wakulima kwani wataweza kusafirisha kwa haraka na mazao kuuzikia mengi. Isitoshe, vyakula vihifadhiwe kwa kutumia mbinu za kisasa kama vile maghala. Uhifadhi wa vyakula kwenye maghala unasaidia kuhifadhi chakula kutokamana na wadudu na ndege ambao hula mazao. Vile vile somo la kilimo lifungwe shuleni kama masomo mengine ili iwapo kama kuna mwanafunzi yeyote anayependa ukulima aanze kufunzwa na mapema ili asipate shida yoyote kwa ambao hawakusoma shule vyuo vya kufunga namna za kuimarisha na njia mpya mpya za kukuza mazao vifunguliwe ili waweze kujisaidia. Wafunzwe namna za kutumia mbolea mbali mbali na namna ya kuzuia wadudu kula mimea. Kwa kuwafunza wakulima tunaweza kuimarisha kilimo nchini. Kama tunavyojua nchi yetu asilimia kubwa inategemea kilimo ilikukidhi mahitaji. Kwa hiyo, ni vizuri ikiwa watu watahama ardhi iliyo na rotuba nzuri ili waweze kuachia wakulima waipalilie na wavune mazao ibora ili kueneza uchumi wa nchi. Serikali pia iwapatie vijana wanao randa randa kazi katika mashamba na kuwalipa mishahara mzuri kwani mazao yataleta faida na achanikaye kwa mpini hafi njaa. Kwa kufuatilia ncha za njia hizi, Kilimo kinaweza kuimarika na hata kuinua zaidi uchumi wa nchi. | Ni nini mtu huchagua wakati wa kupanda | {
"text": [
"Mbegu"
]
} |
0186_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha na kuboresha kilimo nchini.
Njia ya kwanza, ni kuchagua wakati mwafaka wa kupanda mbegu. Haiwezekani kupanda mmea au mimea wakati wa kiangazi ambapo jua huwa kali sana wala masika kwani mimea itasombwa na maji ya mafuriko. Wakati mwafaka wa kupanda ni wakati wa vuli ambapo ni majira ya mvua ndogo ndogo kuanza ndiposa mimea huweza kukua bila ya kukauka. Ni muhimu pia kuzingatia rotuba ya mchanga iwapo inaweza kumeesha mimea au la.
Mbegu za kisasa za mchanganyiko ndizo bora kwa mchanga uliyo na rutuba ya juu kwani zinzweza kukupa mazao bora na yenye afya. Serikali pia iwasaidie wakulima wa mashamba madogo kwa kuwapa mbolea za bure au kuwapunguzia bei ya mbolea hizo ili kuweza kukuza kilimo. Wakulima wa hali ya chini kabisa wafadhiliwe kwa kupewa pembejeo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea jembe na kadhalika.
Pili, mazao bora hayategemei mbolea tu bali pia maji ya kumeesha. Mitaro ijengwe ili kuweza kupitisha maji kwa haraka mashambani na kuinyunyizia mimea yote. Njia na namna za kuzuia mafuriko kuharibu zifunzwe kwa wakulima ili waweze kuzuia hasara itakayo tokana na mafuriko. Maeneo ya chini yatumie vizuizi bora ilikuepuka mmomonyoko wa ardhi ambao unaweza kuharibu mimea. Mapipa ya maji kuongezwa ili kuhifadhi maji ya mvua inapokunya yanayoweza kutumikia kwenye unyunyiziaji wa mimea. Pia, utumiaji wa mbolea uzidishwe kwa kadri vile rutuba ya mchanga inavyozidi kushuka. Serikali ihakikishe inaagizia mbolea nauri hata kutoka nchi geni ili kuinua kilimo. Kati ya mbolea nzuri ni Falcon Fertilizer. Vile vile njia mwafaka za kulima na kupanda zitumike kwa mfano, utumiaji wa tingatinga ambazo husaidia katika kupanda mbegu.
Njia bora ya kuongeza mazao ni kuzuru mashamba kwa miguu. Kwa kufanya hivi ndipo unaweza kujua au kutambua rutuba ya mchanga inashuka, wastani au iko sawa na iwapo itakuwa inashuka, unaweza pia kuona njia ya kutia mbolea ili kuweza kuuridisha sawa. Unaweza pia kuona kama kuna mimea isiyotakikana inayomea na kupitia hivyo. unaweza kuitata kwa upesi ili isiathiri mimea yako, isitoshe unaweza pia kuangalia afya ya mimea. Ikiwa imevamiwa na wadudu ni rahisi kutumia dawa ya kuwauwa kwani lishe bora ni afya bora.
Benki Kuu za Kenya iimarishe kilimo kwa kutoa mikopo kwa wakulima ili waweze kununua vifaa bora, mbegu bora na pia mbolea aina ainati za kukuza mimea bila shida yoyote. Pesa kama hizi huzitumia kwa njia nzuri nao watakaponunua vifaa bora basi watapata mazao mazuri watakapoyauza wanaweza kurudisha pesa walizozikopa kwenye benki na wao pia kupata faida.
Kusisitiza na kuhimiza upanzi wa vyakula vya kiasili ni muhimu. Magonjwa kama vile ya saratani
yameingia sasa kwa kutumia vyakula tayari ambavyo vimejazwa kemikali na ambayo pindi tu viingiapo ndani ya mwili huathiri viini vya mwili. Hivyo basi upanzi wa vyakula kama vile mtama, mahindi, maharagwe, viazi tamu, kunde, pojo na kadhalika ni muhimu kwani ndivyo ambavyo hutoa afya bora.
Ili kuwaezesha wakulima kukuza na kuweza kuuza mazao yao nchini na hata nchi mbalimbali ni muhimu na jukumu la serikali kuimarisha njia za usafiri ili zisiweze kuwasumbua wakati wa kusafirisha mazao. Itaweza kuinua uchumi wa nchi na pia kwa wakulima kwani wataweza kusafirisha kwa haraka na mazao kuuzikia mengi. Isitoshe, vyakula vihifadhiwe kwa kutumia mbinu za kisasa kama vile maghala. Uhifadhi wa vyakula kwenye maghala unasaidia kuhifadhi chakula kutokamana na wadudu na ndege ambao hula mazao. Vile vile somo la kilimo lifungwe shuleni kama masomo mengine ili iwapo kama kuna mwanafunzi yeyote anayependa ukulima aanze kufunzwa na mapema ili asipate shida yoyote kwa ambao hawakusoma shule vyuo vya kufunga namna za kuimarisha na njia mpya mpya za kukuza mazao vifunguliwe ili waweze kujisaidia. Wafunzwe namna za kutumia mbolea mbali mbali na namna ya kuzuia wadudu kula mimea. Kwa kuwafunza wakulima tunaweza kuimarisha kilimo nchini. Kama tunavyojua nchi yetu asilimia kubwa inategemea kilimo ilikukidhi mahitaji. Kwa hiyo, ni vizuri ikiwa watu watahama ardhi iliyo na rotuba nzuri ili waweze kuachia wakulima waipalilie na wavune mazao ibora ili kueneza uchumi wa nchi. Serikali pia iwapatie vijana wanao randa randa kazi katika mashamba na kuwalipa mishahara mzuri kwani mazao yataleta faida na achanikaye kwa mpini hafi njaa. Kwa kufuatilia ncha za njia hizi, Kilimo kinaweza kuimarika na hata kuinua zaidi uchumi wa nchi. | Ni mbegu zipi zilizo bora | {
"text": [
"Za kisasa"
]
} |
0186_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha na kuboresha kilimo nchini.
Njia ya kwanza, ni kuchagua wakati mwafaka wa kupanda mbegu. Haiwezekani kupanda mmea au mimea wakati wa kiangazi ambapo jua huwa kali sana wala masika kwani mimea itasombwa na maji ya mafuriko. Wakati mwafaka wa kupanda ni wakati wa vuli ambapo ni majira ya mvua ndogo ndogo kuanza ndiposa mimea huweza kukua bila ya kukauka. Ni muhimu pia kuzingatia rotuba ya mchanga iwapo inaweza kumeesha mimea au la.
Mbegu za kisasa za mchanganyiko ndizo bora kwa mchanga uliyo na rutuba ya juu kwani zinzweza kukupa mazao bora na yenye afya. Serikali pia iwasaidie wakulima wa mashamba madogo kwa kuwapa mbolea za bure au kuwapunguzia bei ya mbolea hizo ili kuweza kukuza kilimo. Wakulima wa hali ya chini kabisa wafadhiliwe kwa kupewa pembejeo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea jembe na kadhalika.
Pili, mazao bora hayategemei mbolea tu bali pia maji ya kumeesha. Mitaro ijengwe ili kuweza kupitisha maji kwa haraka mashambani na kuinyunyizia mimea yote. Njia na namna za kuzuia mafuriko kuharibu zifunzwe kwa wakulima ili waweze kuzuia hasara itakayo tokana na mafuriko. Maeneo ya chini yatumie vizuizi bora ilikuepuka mmomonyoko wa ardhi ambao unaweza kuharibu mimea. Mapipa ya maji kuongezwa ili kuhifadhi maji ya mvua inapokunya yanayoweza kutumikia kwenye unyunyiziaji wa mimea. Pia, utumiaji wa mbolea uzidishwe kwa kadri vile rutuba ya mchanga inavyozidi kushuka. Serikali ihakikishe inaagizia mbolea nauri hata kutoka nchi geni ili kuinua kilimo. Kati ya mbolea nzuri ni Falcon Fertilizer. Vile vile njia mwafaka za kulima na kupanda zitumike kwa mfano, utumiaji wa tingatinga ambazo husaidia katika kupanda mbegu.
Njia bora ya kuongeza mazao ni kuzuru mashamba kwa miguu. Kwa kufanya hivi ndipo unaweza kujua au kutambua rutuba ya mchanga inashuka, wastani au iko sawa na iwapo itakuwa inashuka, unaweza pia kuona njia ya kutia mbolea ili kuweza kuuridisha sawa. Unaweza pia kuona kama kuna mimea isiyotakikana inayomea na kupitia hivyo. unaweza kuitata kwa upesi ili isiathiri mimea yako, isitoshe unaweza pia kuangalia afya ya mimea. Ikiwa imevamiwa na wadudu ni rahisi kutumia dawa ya kuwauwa kwani lishe bora ni afya bora.
Benki Kuu za Kenya iimarishe kilimo kwa kutoa mikopo kwa wakulima ili waweze kununua vifaa bora, mbegu bora na pia mbolea aina ainati za kukuza mimea bila shida yoyote. Pesa kama hizi huzitumia kwa njia nzuri nao watakaponunua vifaa bora basi watapata mazao mazuri watakapoyauza wanaweza kurudisha pesa walizozikopa kwenye benki na wao pia kupata faida.
Kusisitiza na kuhimiza upanzi wa vyakula vya kiasili ni muhimu. Magonjwa kama vile ya saratani
yameingia sasa kwa kutumia vyakula tayari ambavyo vimejazwa kemikali na ambayo pindi tu viingiapo ndani ya mwili huathiri viini vya mwili. Hivyo basi upanzi wa vyakula kama vile mtama, mahindi, maharagwe, viazi tamu, kunde, pojo na kadhalika ni muhimu kwani ndivyo ambavyo hutoa afya bora.
Ili kuwaezesha wakulima kukuza na kuweza kuuza mazao yao nchini na hata nchi mbalimbali ni muhimu na jukumu la serikali kuimarisha njia za usafiri ili zisiweze kuwasumbua wakati wa kusafirisha mazao. Itaweza kuinua uchumi wa nchi na pia kwa wakulima kwani wataweza kusafirisha kwa haraka na mazao kuuzikia mengi. Isitoshe, vyakula vihifadhiwe kwa kutumia mbinu za kisasa kama vile maghala. Uhifadhi wa vyakula kwenye maghala unasaidia kuhifadhi chakula kutokamana na wadudu na ndege ambao hula mazao. Vile vile somo la kilimo lifungwe shuleni kama masomo mengine ili iwapo kama kuna mwanafunzi yeyote anayependa ukulima aanze kufunzwa na mapema ili asipate shida yoyote kwa ambao hawakusoma shule vyuo vya kufunga namna za kuimarisha na njia mpya mpya za kukuza mazao vifunguliwe ili waweze kujisaidia. Wafunzwe namna za kutumia mbolea mbali mbali na namna ya kuzuia wadudu kula mimea. Kwa kuwafunza wakulima tunaweza kuimarisha kilimo nchini. Kama tunavyojua nchi yetu asilimia kubwa inategemea kilimo ilikukidhi mahitaji. Kwa hiyo, ni vizuri ikiwa watu watahama ardhi iliyo na rotuba nzuri ili waweze kuachia wakulima waipalilie na wavune mazao ibora ili kueneza uchumi wa nchi. Serikali pia iwapatie vijana wanao randa randa kazi katika mashamba na kuwalipa mishahara mzuri kwani mazao yataleta faida na achanikaye kwa mpini hafi njaa. Kwa kufuatilia ncha za njia hizi, Kilimo kinaweza kuimarika na hata kuinua zaidi uchumi wa nchi. | Ni nini itajengwa kupitisha maji | {
"text": [
"Mtaro"
]
} |
0186_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha na kuboresha kilimo nchini.
Njia ya kwanza, ni kuchagua wakati mwafaka wa kupanda mbegu. Haiwezekani kupanda mmea au mimea wakati wa kiangazi ambapo jua huwa kali sana wala masika kwani mimea itasombwa na maji ya mafuriko. Wakati mwafaka wa kupanda ni wakati wa vuli ambapo ni majira ya mvua ndogo ndogo kuanza ndiposa mimea huweza kukua bila ya kukauka. Ni muhimu pia kuzingatia rotuba ya mchanga iwapo inaweza kumeesha mimea au la.
Mbegu za kisasa za mchanganyiko ndizo bora kwa mchanga uliyo na rutuba ya juu kwani zinzweza kukupa mazao bora na yenye afya. Serikali pia iwasaidie wakulima wa mashamba madogo kwa kuwapa mbolea za bure au kuwapunguzia bei ya mbolea hizo ili kuweza kukuza kilimo. Wakulima wa hali ya chini kabisa wafadhiliwe kwa kupewa pembejeo za kilimo kama vile, mbegu, mbolea jembe na kadhalika.
Pili, mazao bora hayategemei mbolea tu bali pia maji ya kumeesha. Mitaro ijengwe ili kuweza kupitisha maji kwa haraka mashambani na kuinyunyizia mimea yote. Njia na namna za kuzuia mafuriko kuharibu zifunzwe kwa wakulima ili waweze kuzuia hasara itakayo tokana na mafuriko. Maeneo ya chini yatumie vizuizi bora ilikuepuka mmomonyoko wa ardhi ambao unaweza kuharibu mimea. Mapipa ya maji kuongezwa ili kuhifadhi maji ya mvua inapokunya yanayoweza kutumikia kwenye unyunyiziaji wa mimea. Pia, utumiaji wa mbolea uzidishwe kwa kadri vile rutuba ya mchanga inavyozidi kushuka. Serikali ihakikishe inaagizia mbolea nauri hata kutoka nchi geni ili kuinua kilimo. Kati ya mbolea nzuri ni Falcon Fertilizer. Vile vile njia mwafaka za kulima na kupanda zitumike kwa mfano, utumiaji wa tingatinga ambazo husaidia katika kupanda mbegu.
Njia bora ya kuongeza mazao ni kuzuru mashamba kwa miguu. Kwa kufanya hivi ndipo unaweza kujua au kutambua rutuba ya mchanga inashuka, wastani au iko sawa na iwapo itakuwa inashuka, unaweza pia kuona njia ya kutia mbolea ili kuweza kuuridisha sawa. Unaweza pia kuona kama kuna mimea isiyotakikana inayomea na kupitia hivyo. unaweza kuitata kwa upesi ili isiathiri mimea yako, isitoshe unaweza pia kuangalia afya ya mimea. Ikiwa imevamiwa na wadudu ni rahisi kutumia dawa ya kuwauwa kwani lishe bora ni afya bora.
Benki Kuu za Kenya iimarishe kilimo kwa kutoa mikopo kwa wakulima ili waweze kununua vifaa bora, mbegu bora na pia mbolea aina ainati za kukuza mimea bila shida yoyote. Pesa kama hizi huzitumia kwa njia nzuri nao watakaponunua vifaa bora basi watapata mazao mazuri watakapoyauza wanaweza kurudisha pesa walizozikopa kwenye benki na wao pia kupata faida.
Kusisitiza na kuhimiza upanzi wa vyakula vya kiasili ni muhimu. Magonjwa kama vile ya saratani
yameingia sasa kwa kutumia vyakula tayari ambavyo vimejazwa kemikali na ambayo pindi tu viingiapo ndani ya mwili huathiri viini vya mwili. Hivyo basi upanzi wa vyakula kama vile mtama, mahindi, maharagwe, viazi tamu, kunde, pojo na kadhalika ni muhimu kwani ndivyo ambavyo hutoa afya bora.
Ili kuwaezesha wakulima kukuza na kuweza kuuza mazao yao nchini na hata nchi mbalimbali ni muhimu na jukumu la serikali kuimarisha njia za usafiri ili zisiweze kuwasumbua wakati wa kusafirisha mazao. Itaweza kuinua uchumi wa nchi na pia kwa wakulima kwani wataweza kusafirisha kwa haraka na mazao kuuzikia mengi. Isitoshe, vyakula vihifadhiwe kwa kutumia mbinu za kisasa kama vile maghala. Uhifadhi wa vyakula kwenye maghala unasaidia kuhifadhi chakula kutokamana na wadudu na ndege ambao hula mazao. Vile vile somo la kilimo lifungwe shuleni kama masomo mengine ili iwapo kama kuna mwanafunzi yeyote anayependa ukulima aanze kufunzwa na mapema ili asipate shida yoyote kwa ambao hawakusoma shule vyuo vya kufunga namna za kuimarisha na njia mpya mpya za kukuza mazao vifunguliwe ili waweze kujisaidia. Wafunzwe namna za kutumia mbolea mbali mbali na namna ya kuzuia wadudu kula mimea. Kwa kuwafunza wakulima tunaweza kuimarisha kilimo nchini. Kama tunavyojua nchi yetu asilimia kubwa inategemea kilimo ilikukidhi mahitaji. Kwa hiyo, ni vizuri ikiwa watu watahama ardhi iliyo na rotuba nzuri ili waweze kuachia wakulima waipalilie na wavune mazao ibora ili kueneza uchumi wa nchi. Serikali pia iwapatie vijana wanao randa randa kazi katika mashamba na kuwalipa mishahara mzuri kwani mazao yataleta faida na achanikaye kwa mpini hafi njaa. Kwa kufuatilia ncha za njia hizi, Kilimo kinaweza kuimarika na hata kuinua zaidi uchumi wa nchi. | Kwa nini tupande vyakula asili | {
"text": [
"Kuzuia magonjwa"
]
} |
0187_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matatizo kadha wa kadha katika sekta ya kilimo. Zifuatazo ni njia za kuimarisha kilimo nchini.
Mwanzo, wakulima wafadhiliwe na wapewe pembejeo za kilimo kwa mfano mbegu mbolea na kadhalika. Kutokana na maelimisho hayo wakulima elimu kuhusu Jinsi ya kupanda mimea ipasavyo Jinsi ya kuzuia uvamizi wa Wadudu wanaoharibu mimea. Baadhi ya Wakulima hawana ujuzi kuhusu vifaa bora Vinavyoweza kutumika ili kurahisisha kilimo. Hivyo basi ufadhili huo utawaimarisha zaidi. Hali kadhalika, uanzishaji wa mradi wa unyunyuziaji maji katika maeneo yenye ukame.
Serikali yetu inaweza saidia pakubwa kwa kuwapatia wakulima matenki ya maji ili Wakati misimu ya mvua utakapofika waweze kuhifadhi maji. Maji hayo yatatumika wakati msimu wa ukame ili kusaidia mimea.
Unaweza pata mkulima amevuna mazao mengi kutoka shambani kwake ila anapata taabu ya kuuza mazao hayo. Serikali inafaa kutafuta Mawasiliano baina ya nchi za nje ili wakulima waweze kuuza mazao yao. Kwa kuongezea wakulima waweze kuhimizwa kupanda vyakula vinavyoweza kustahimili kiangazi na ukame. Baadhi ya mifano ya mimea hio ni nazi mihogo viazi vitamu na pia mahindi.
Upanzi wa mimea ya kustahimili ukame itawawezesha wananchi wa eneo hilo kupata mazao ya kutosha. Hivyo basi kilimo kitaimarika nchini mwetu. Njia nyingineo ya kuimarisha kilimo ni kwa kuwahimiza wakulima kutumia haswa mbolea tofauti tofauti kutokana na mimea wanayotaka kupanda. Swala hili haswa huchangia kwa uharibifu wa mimea, kutokana na utumiaji wa virutubishi visivyo vya mimea fulani kwa mmea mwingine. Mbolea husaidia mchanga kupata rotuba na mimea kukua kwa haraka. Kwa kuongeza madini kwenye mchanga mimea huchipuka vizuri hivyo kilimo kinaimarika.
Nne ni kwa kuifanya somo la kilimo kuwa la lazima katika shule ya upili. Kwa kuzingatia hili itafahamika kuwa Wanafunzi wataweza Kurutubisha vyema. Tatu, ni vifaa vya ukulima huwa ni ghali mno hasaa zile za kiteknolojia. Hivyo basi bei ya vifaa hivyo viweze kupunguzwa ili wakulima Waweze kununua na kuzitumia katika kilimo. Kutokana na utumiaji wa vifaa hivyo upanzi wa mimea utaongezeka maradufuu na kilimo litaimarika nchini. Kwa Swala la utumiaji trekta wakulima wataweza kupata mazao mengi ikiwa wana mashamba makubwa kwa 2 muda mfupi.
Aidha katika nyakati zetu hizi upanzi ina Vyakula vya kiasili imekuwa nadra Sana Hii hutokana na utambulishaji wa mimea ya kisasa ambayo huchukua muda mfupi ili matunda yake kuchipuka. Hivyo basi Serikali inaweza Wahimiza wakulima kuregea katika upanzi wa vyakula vya kiasili ili ziweze kurutubisha ardhi. Mbali na haya wananchi wengi wanataka vyakula vya kiasili ambayo ni nadra sana kupatikana. Vilevile, katika swala hili la uimarishaji wa Kilimo, Serikali inaweza kuchangia kwa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao ya kilimo. Janga hili la ukosefu wa soko limekuwa mojawapo ya chanzo cha wakulima kususia kilimo. Wakati mwengine inatokea kuwa mazao huwa mengi kulingana na msimu fulani,wakati mazao hayo ni mengi mengine hutumika na mengine huharibikia, hivyo basi kutokana na ukosefu wa mahali pa kuhifadhia chakula vyakula hivyo.
Baadhi ya mbinu ya kisasa kuhusu jinsi ya kuhifadhi chakula ni ujenzi wa maghala ya kutosha. Hili litasaidia ili wakati uhaba wa chakula utatokea vyakula vilayyohifadhiwa ndivyo vitasaidia wakati huo. Kwa kuhitimisha serikali inafaa kufanya mipango ili maonyesho kuhusu Kilimo yapewe kipaumbele na yafikiwe mashinani. Kutokana na maonyesho hayo wakulima wanapata kuongezewa maarifa kuhusu ukulima na Jinsi ya kuimarisha kilimo. Hususan, mashinani itakuwa na manufaa tele kwa kuwa wataweza kuelezewa kuhusu mbinu gani za ukulima zinafaa za kisasa za ukulima na mengineo. Natumai kuwa iwapo sote tutaungana katika kutimiza hoja hizi kilimo itaimarika nchini.
| Kilimo ni nini nchini | {
"text": [
"Biashara"
]
} |
0187_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matatizo kadha wa kadha katika sekta ya kilimo. Zifuatazo ni njia za kuimarisha kilimo nchini.
Mwanzo, wakulima wafadhiliwe na wapewe pembejeo za kilimo kwa mfano mbegu mbolea na kadhalika. Kutokana na maelimisho hayo wakulima elimu kuhusu Jinsi ya kupanda mimea ipasavyo Jinsi ya kuzuia uvamizi wa Wadudu wanaoharibu mimea. Baadhi ya Wakulima hawana ujuzi kuhusu vifaa bora Vinavyoweza kutumika ili kurahisisha kilimo. Hivyo basi ufadhili huo utawaimarisha zaidi. Hali kadhalika, uanzishaji wa mradi wa unyunyuziaji maji katika maeneo yenye ukame.
Serikali yetu inaweza saidia pakubwa kwa kuwapatia wakulima matenki ya maji ili Wakati misimu ya mvua utakapofika waweze kuhifadhi maji. Maji hayo yatatumika wakati msimu wa ukame ili kusaidia mimea.
Unaweza pata mkulima amevuna mazao mengi kutoka shambani kwake ila anapata taabu ya kuuza mazao hayo. Serikali inafaa kutafuta Mawasiliano baina ya nchi za nje ili wakulima waweze kuuza mazao yao. Kwa kuongezea wakulima waweze kuhimizwa kupanda vyakula vinavyoweza kustahimili kiangazi na ukame. Baadhi ya mifano ya mimea hio ni nazi mihogo viazi vitamu na pia mahindi.
Upanzi wa mimea ya kustahimili ukame itawawezesha wananchi wa eneo hilo kupata mazao ya kutosha. Hivyo basi kilimo kitaimarika nchini mwetu. Njia nyingineo ya kuimarisha kilimo ni kwa kuwahimiza wakulima kutumia haswa mbolea tofauti tofauti kutokana na mimea wanayotaka kupanda. Swala hili haswa huchangia kwa uharibifu wa mimea, kutokana na utumiaji wa virutubishi visivyo vya mimea fulani kwa mmea mwingine. Mbolea husaidia mchanga kupata rotuba na mimea kukua kwa haraka. Kwa kuongeza madini kwenye mchanga mimea huchipuka vizuri hivyo kilimo kinaimarika.
Nne ni kwa kuifanya somo la kilimo kuwa la lazima katika shule ya upili. Kwa kuzingatia hili itafahamika kuwa Wanafunzi wataweza Kurutubisha vyema. Tatu, ni vifaa vya ukulima huwa ni ghali mno hasaa zile za kiteknolojia. Hivyo basi bei ya vifaa hivyo viweze kupunguzwa ili wakulima Waweze kununua na kuzitumia katika kilimo. Kutokana na utumiaji wa vifaa hivyo upanzi wa mimea utaongezeka maradufuu na kilimo litaimarika nchini. Kwa Swala la utumiaji trekta wakulima wataweza kupata mazao mengi ikiwa wana mashamba makubwa kwa 2 muda mfupi.
Aidha katika nyakati zetu hizi upanzi ina Vyakula vya kiasili imekuwa nadra Sana Hii hutokana na utambulishaji wa mimea ya kisasa ambayo huchukua muda mfupi ili matunda yake kuchipuka. Hivyo basi Serikali inaweza Wahimiza wakulima kuregea katika upanzi wa vyakula vya kiasili ili ziweze kurutubisha ardhi. Mbali na haya wananchi wengi wanataka vyakula vya kiasili ambayo ni nadra sana kupatikana. Vilevile, katika swala hili la uimarishaji wa Kilimo, Serikali inaweza kuchangia kwa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao ya kilimo. Janga hili la ukosefu wa soko limekuwa mojawapo ya chanzo cha wakulima kususia kilimo. Wakati mwengine inatokea kuwa mazao huwa mengi kulingana na msimu fulani,wakati mazao hayo ni mengi mengine hutumika na mengine huharibikia, hivyo basi kutokana na ukosefu wa mahali pa kuhifadhia chakula vyakula hivyo.
Baadhi ya mbinu ya kisasa kuhusu jinsi ya kuhifadhi chakula ni ujenzi wa maghala ya kutosha. Hili litasaidia ili wakati uhaba wa chakula utatokea vyakula vilayyohifadhiwa ndivyo vitasaidia wakati huo. Kwa kuhitimisha serikali inafaa kufanya mipango ili maonyesho kuhusu Kilimo yapewe kipaumbele na yafikiwe mashinani. Kutokana na maonyesho hayo wakulima wanapata kuongezewa maarifa kuhusu ukulima na Jinsi ya kuimarisha kilimo. Hususan, mashinani itakuwa na manufaa tele kwa kuwa wataweza kuelezewa kuhusu mbinu gani za ukulima zinafaa za kisasa za ukulima na mengineo. Natumai kuwa iwapo sote tutaungana katika kutimiza hoja hizi kilimo itaimarika nchini.
| Ni vipi kilimo kinaweza endelezwa katika sehemu kame | {
"text": [
"Kupitia unyunyuziaji wa mimea maji"
]
} |
0187_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matatizo kadha wa kadha katika sekta ya kilimo. Zifuatazo ni njia za kuimarisha kilimo nchini.
Mwanzo, wakulima wafadhiliwe na wapewe pembejeo za kilimo kwa mfano mbegu mbolea na kadhalika. Kutokana na maelimisho hayo wakulima elimu kuhusu Jinsi ya kupanda mimea ipasavyo Jinsi ya kuzuia uvamizi wa Wadudu wanaoharibu mimea. Baadhi ya Wakulima hawana ujuzi kuhusu vifaa bora Vinavyoweza kutumika ili kurahisisha kilimo. Hivyo basi ufadhili huo utawaimarisha zaidi. Hali kadhalika, uanzishaji wa mradi wa unyunyuziaji maji katika maeneo yenye ukame.
Serikali yetu inaweza saidia pakubwa kwa kuwapatia wakulima matenki ya maji ili Wakati misimu ya mvua utakapofika waweze kuhifadhi maji. Maji hayo yatatumika wakati msimu wa ukame ili kusaidia mimea.
Unaweza pata mkulima amevuna mazao mengi kutoka shambani kwake ila anapata taabu ya kuuza mazao hayo. Serikali inafaa kutafuta Mawasiliano baina ya nchi za nje ili wakulima waweze kuuza mazao yao. Kwa kuongezea wakulima waweze kuhimizwa kupanda vyakula vinavyoweza kustahimili kiangazi na ukame. Baadhi ya mifano ya mimea hio ni nazi mihogo viazi vitamu na pia mahindi.
Upanzi wa mimea ya kustahimili ukame itawawezesha wananchi wa eneo hilo kupata mazao ya kutosha. Hivyo basi kilimo kitaimarika nchini mwetu. Njia nyingineo ya kuimarisha kilimo ni kwa kuwahimiza wakulima kutumia haswa mbolea tofauti tofauti kutokana na mimea wanayotaka kupanda. Swala hili haswa huchangia kwa uharibifu wa mimea, kutokana na utumiaji wa virutubishi visivyo vya mimea fulani kwa mmea mwingine. Mbolea husaidia mchanga kupata rotuba na mimea kukua kwa haraka. Kwa kuongeza madini kwenye mchanga mimea huchipuka vizuri hivyo kilimo kinaimarika.
Nne ni kwa kuifanya somo la kilimo kuwa la lazima katika shule ya upili. Kwa kuzingatia hili itafahamika kuwa Wanafunzi wataweza Kurutubisha vyema. Tatu, ni vifaa vya ukulima huwa ni ghali mno hasaa zile za kiteknolojia. Hivyo basi bei ya vifaa hivyo viweze kupunguzwa ili wakulima Waweze kununua na kuzitumia katika kilimo. Kutokana na utumiaji wa vifaa hivyo upanzi wa mimea utaongezeka maradufuu na kilimo litaimarika nchini. Kwa Swala la utumiaji trekta wakulima wataweza kupata mazao mengi ikiwa wana mashamba makubwa kwa 2 muda mfupi.
Aidha katika nyakati zetu hizi upanzi ina Vyakula vya kiasili imekuwa nadra Sana Hii hutokana na utambulishaji wa mimea ya kisasa ambayo huchukua muda mfupi ili matunda yake kuchipuka. Hivyo basi Serikali inaweza Wahimiza wakulima kuregea katika upanzi wa vyakula vya kiasili ili ziweze kurutubisha ardhi. Mbali na haya wananchi wengi wanataka vyakula vya kiasili ambayo ni nadra sana kupatikana. Vilevile, katika swala hili la uimarishaji wa Kilimo, Serikali inaweza kuchangia kwa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao ya kilimo. Janga hili la ukosefu wa soko limekuwa mojawapo ya chanzo cha wakulima kususia kilimo. Wakati mwengine inatokea kuwa mazao huwa mengi kulingana na msimu fulani,wakati mazao hayo ni mengi mengine hutumika na mengine huharibikia, hivyo basi kutokana na ukosefu wa mahali pa kuhifadhia chakula vyakula hivyo.
Baadhi ya mbinu ya kisasa kuhusu jinsi ya kuhifadhi chakula ni ujenzi wa maghala ya kutosha. Hili litasaidia ili wakati uhaba wa chakula utatokea vyakula vilayyohifadhiwa ndivyo vitasaidia wakati huo. Kwa kuhitimisha serikali inafaa kufanya mipango ili maonyesho kuhusu Kilimo yapewe kipaumbele na yafikiwe mashinani. Kutokana na maonyesho hayo wakulima wanapata kuongezewa maarifa kuhusu ukulima na Jinsi ya kuimarisha kilimo. Hususan, mashinani itakuwa na manufaa tele kwa kuwa wataweza kuelezewa kuhusu mbinu gani za ukulima zinafaa za kisasa za ukulima na mengineo. Natumai kuwa iwapo sote tutaungana katika kutimiza hoja hizi kilimo itaimarika nchini.
| Ni pembejeo zipi wakulima wanafaa kufadhiliwa nazo | {
"text": [
"Mbegu na mbolea"
]
} |
0187_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matatizo kadha wa kadha katika sekta ya kilimo. Zifuatazo ni njia za kuimarisha kilimo nchini.
Mwanzo, wakulima wafadhiliwe na wapewe pembejeo za kilimo kwa mfano mbegu mbolea na kadhalika. Kutokana na maelimisho hayo wakulima elimu kuhusu Jinsi ya kupanda mimea ipasavyo Jinsi ya kuzuia uvamizi wa Wadudu wanaoharibu mimea. Baadhi ya Wakulima hawana ujuzi kuhusu vifaa bora Vinavyoweza kutumika ili kurahisisha kilimo. Hivyo basi ufadhili huo utawaimarisha zaidi. Hali kadhalika, uanzishaji wa mradi wa unyunyuziaji maji katika maeneo yenye ukame.
Serikali yetu inaweza saidia pakubwa kwa kuwapatia wakulima matenki ya maji ili Wakati misimu ya mvua utakapofika waweze kuhifadhi maji. Maji hayo yatatumika wakati msimu wa ukame ili kusaidia mimea.
Unaweza pata mkulima amevuna mazao mengi kutoka shambani kwake ila anapata taabu ya kuuza mazao hayo. Serikali inafaa kutafuta Mawasiliano baina ya nchi za nje ili wakulima waweze kuuza mazao yao. Kwa kuongezea wakulima waweze kuhimizwa kupanda vyakula vinavyoweza kustahimili kiangazi na ukame. Baadhi ya mifano ya mimea hio ni nazi mihogo viazi vitamu na pia mahindi.
Upanzi wa mimea ya kustahimili ukame itawawezesha wananchi wa eneo hilo kupata mazao ya kutosha. Hivyo basi kilimo kitaimarika nchini mwetu. Njia nyingineo ya kuimarisha kilimo ni kwa kuwahimiza wakulima kutumia haswa mbolea tofauti tofauti kutokana na mimea wanayotaka kupanda. Swala hili haswa huchangia kwa uharibifu wa mimea, kutokana na utumiaji wa virutubishi visivyo vya mimea fulani kwa mmea mwingine. Mbolea husaidia mchanga kupata rotuba na mimea kukua kwa haraka. Kwa kuongeza madini kwenye mchanga mimea huchipuka vizuri hivyo kilimo kinaimarika.
Nne ni kwa kuifanya somo la kilimo kuwa la lazima katika shule ya upili. Kwa kuzingatia hili itafahamika kuwa Wanafunzi wataweza Kurutubisha vyema. Tatu, ni vifaa vya ukulima huwa ni ghali mno hasaa zile za kiteknolojia. Hivyo basi bei ya vifaa hivyo viweze kupunguzwa ili wakulima Waweze kununua na kuzitumia katika kilimo. Kutokana na utumiaji wa vifaa hivyo upanzi wa mimea utaongezeka maradufuu na kilimo litaimarika nchini. Kwa Swala la utumiaji trekta wakulima wataweza kupata mazao mengi ikiwa wana mashamba makubwa kwa 2 muda mfupi.
Aidha katika nyakati zetu hizi upanzi ina Vyakula vya kiasili imekuwa nadra Sana Hii hutokana na utambulishaji wa mimea ya kisasa ambayo huchukua muda mfupi ili matunda yake kuchipuka. Hivyo basi Serikali inaweza Wahimiza wakulima kuregea katika upanzi wa vyakula vya kiasili ili ziweze kurutubisha ardhi. Mbali na haya wananchi wengi wanataka vyakula vya kiasili ambayo ni nadra sana kupatikana. Vilevile, katika swala hili la uimarishaji wa Kilimo, Serikali inaweza kuchangia kwa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao ya kilimo. Janga hili la ukosefu wa soko limekuwa mojawapo ya chanzo cha wakulima kususia kilimo. Wakati mwengine inatokea kuwa mazao huwa mengi kulingana na msimu fulani,wakati mazao hayo ni mengi mengine hutumika na mengine huharibikia, hivyo basi kutokana na ukosefu wa mahali pa kuhifadhia chakula vyakula hivyo.
Baadhi ya mbinu ya kisasa kuhusu jinsi ya kuhifadhi chakula ni ujenzi wa maghala ya kutosha. Hili litasaidia ili wakati uhaba wa chakula utatokea vyakula vilayyohifadhiwa ndivyo vitasaidia wakati huo. Kwa kuhitimisha serikali inafaa kufanya mipango ili maonyesho kuhusu Kilimo yapewe kipaumbele na yafikiwe mashinani. Kutokana na maonyesho hayo wakulima wanapata kuongezewa maarifa kuhusu ukulima na Jinsi ya kuimarisha kilimo. Hususan, mashinani itakuwa na manufaa tele kwa kuwa wataweza kuelezewa kuhusu mbinu gani za ukulima zinafaa za kisasa za ukulima na mengineo. Natumai kuwa iwapo sote tutaungana katika kutimiza hoja hizi kilimo itaimarika nchini.
| Ni mimea ipi inawezastahimili ukame na kiangazi | {
"text": [
"Nazi, mihogo, viazi vitamu na mahindi ya katumani"
]
} |
0187_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matatizo kadha wa kadha katika sekta ya kilimo. Zifuatazo ni njia za kuimarisha kilimo nchini.
Mwanzo, wakulima wafadhiliwe na wapewe pembejeo za kilimo kwa mfano mbegu mbolea na kadhalika. Kutokana na maelimisho hayo wakulima elimu kuhusu Jinsi ya kupanda mimea ipasavyo Jinsi ya kuzuia uvamizi wa Wadudu wanaoharibu mimea. Baadhi ya Wakulima hawana ujuzi kuhusu vifaa bora Vinavyoweza kutumika ili kurahisisha kilimo. Hivyo basi ufadhili huo utawaimarisha zaidi. Hali kadhalika, uanzishaji wa mradi wa unyunyuziaji maji katika maeneo yenye ukame.
Serikali yetu inaweza saidia pakubwa kwa kuwapatia wakulima matenki ya maji ili Wakati misimu ya mvua utakapofika waweze kuhifadhi maji. Maji hayo yatatumika wakati msimu wa ukame ili kusaidia mimea.
Unaweza pata mkulima amevuna mazao mengi kutoka shambani kwake ila anapata taabu ya kuuza mazao hayo. Serikali inafaa kutafuta Mawasiliano baina ya nchi za nje ili wakulima waweze kuuza mazao yao. Kwa kuongezea wakulima waweze kuhimizwa kupanda vyakula vinavyoweza kustahimili kiangazi na ukame. Baadhi ya mifano ya mimea hio ni nazi mihogo viazi vitamu na pia mahindi.
Upanzi wa mimea ya kustahimili ukame itawawezesha wananchi wa eneo hilo kupata mazao ya kutosha. Hivyo basi kilimo kitaimarika nchini mwetu. Njia nyingineo ya kuimarisha kilimo ni kwa kuwahimiza wakulima kutumia haswa mbolea tofauti tofauti kutokana na mimea wanayotaka kupanda. Swala hili haswa huchangia kwa uharibifu wa mimea, kutokana na utumiaji wa virutubishi visivyo vya mimea fulani kwa mmea mwingine. Mbolea husaidia mchanga kupata rotuba na mimea kukua kwa haraka. Kwa kuongeza madini kwenye mchanga mimea huchipuka vizuri hivyo kilimo kinaimarika.
Nne ni kwa kuifanya somo la kilimo kuwa la lazima katika shule ya upili. Kwa kuzingatia hili itafahamika kuwa Wanafunzi wataweza Kurutubisha vyema. Tatu, ni vifaa vya ukulima huwa ni ghali mno hasaa zile za kiteknolojia. Hivyo basi bei ya vifaa hivyo viweze kupunguzwa ili wakulima Waweze kununua na kuzitumia katika kilimo. Kutokana na utumiaji wa vifaa hivyo upanzi wa mimea utaongezeka maradufuu na kilimo litaimarika nchini. Kwa Swala la utumiaji trekta wakulima wataweza kupata mazao mengi ikiwa wana mashamba makubwa kwa 2 muda mfupi.
Aidha katika nyakati zetu hizi upanzi ina Vyakula vya kiasili imekuwa nadra Sana Hii hutokana na utambulishaji wa mimea ya kisasa ambayo huchukua muda mfupi ili matunda yake kuchipuka. Hivyo basi Serikali inaweza Wahimiza wakulima kuregea katika upanzi wa vyakula vya kiasili ili ziweze kurutubisha ardhi. Mbali na haya wananchi wengi wanataka vyakula vya kiasili ambayo ni nadra sana kupatikana. Vilevile, katika swala hili la uimarishaji wa Kilimo, Serikali inaweza kuchangia kwa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao ya kilimo. Janga hili la ukosefu wa soko limekuwa mojawapo ya chanzo cha wakulima kususia kilimo. Wakati mwengine inatokea kuwa mazao huwa mengi kulingana na msimu fulani,wakati mazao hayo ni mengi mengine hutumika na mengine huharibikia, hivyo basi kutokana na ukosefu wa mahali pa kuhifadhia chakula vyakula hivyo.
Baadhi ya mbinu ya kisasa kuhusu jinsi ya kuhifadhi chakula ni ujenzi wa maghala ya kutosha. Hili litasaidia ili wakati uhaba wa chakula utatokea vyakula vilayyohifadhiwa ndivyo vitasaidia wakati huo. Kwa kuhitimisha serikali inafaa kufanya mipango ili maonyesho kuhusu Kilimo yapewe kipaumbele na yafikiwe mashinani. Kutokana na maonyesho hayo wakulima wanapata kuongezewa maarifa kuhusu ukulima na Jinsi ya kuimarisha kilimo. Hususan, mashinani itakuwa na manufaa tele kwa kuwa wataweza kuelezewa kuhusu mbinu gani za ukulima zinafaa za kisasa za ukulima na mengineo. Natumai kuwa iwapo sote tutaungana katika kutimiza hoja hizi kilimo itaimarika nchini.
| Ni mbinu gani ya kisasa ya kuhifadhi vyakula vilivyobakia | {
"text": [
"Ujenzi wa maghala"
]
} |
0188_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini.
Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahitaji kufanywa. Kwanza, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao. Mazao mengine Kama vile matunda huoza haraka na hiyo basi hufaa Kuuzwa pindi tu, zinapotolewa mashambani. Isitoshe, serikali itakapouzia nchi zingine mazao yetu, pesa zitakazolipwa zitasaidia kuboresha sekta zingine.
Pili, wakulima wanastahili kukumbatiwa ili kufunzwa mbinu za kisasa za kilimo na kuzika mbinu za jadi kama vile kutumia jembe katika kaburi la Sahau. Mbinu za kale zinafanya mazao kuwa kidogo. na mwishowe, sekta ya Kilimo kurudi nyuma . Wakulima watafunzwa mbinu nyingi kama kutumia trekta ili kupalilia mashamba yao, kutumia mbolea ili kuongeza rotuba ardhini na kadhalika.
Aidha, mradi wa unyunyuziaji maji unafaa kuanzishwa katika maeneo yanayosifika kuwa na ukame na hii itakuwa njia mwafaka ya kufukuza baa la njaa nchini. Mazao yatakuwa mengi mradi huu unapoekezwa .Unyunyuziaji wa maji utasaidia mimea kustawi na kutoa mazao bora zaidi yenye manufaa . Vilevile, wakulima wakipewa mikopo ya kununua vifaa vya kilimo, itawaendeleza. Vifaa hivyo vitafanya ukulima ufanyike haraka zaidi bila changamoto au mshikamano wowote.
Wakulima hususan wanaotoka mashinani hawana uwezo wakufadhili ukulima wao.Hali kadhalika, mipango ifanywe ili maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani. Maonyesho haya yatawafunza na kuwafanya watu wawe na azma ya kuingia katika kilimo biashara. Hii itawapa fursa ya kuepuka na magonjwa kama vile maumivu ya mifupa yanayotokana na kazi za kiofisi. Wakulima watafunzwa njia mbalimbali za kuboresha ukulima wao.
Jambo lingine ni kuwa somo la kilimo lifanywe kuwa la lazima ili hata wanafunzi waweze kuwa wakulima bora watakaoendeleza taifa siku za usoni. Aghalabu, wanafunzi wengi nchini hawalipendi somo hili na hulikataa ilhali ni bora zaidi kuliko masomo mengine kama hisabati na historia.
Isitoshe, wakulima wahimizwe kupanda vyakula vinavyoweza kuhimili kiangazi shambani. Vyakula hivyo navyo ni kama vile mihogo, viazi, miwa na mengineo mengi. Vinahitaji maji kidogo tu ili viweze kukuwa, Wakifanya hivyo kutakuwa na faida nyingi zikiwemo wanafunzi kuenda shuleni bila shida yeyote, uchumi wa Kenya utaendelea, kupunguza uchochole nchini na lishe bora kwa watu wote .Mazao sanasana huharibika yasipohifadhiwa vizuri Kwa sababu yanaweza kuvamiwa na wadudu kama vile viwavi. Hivyo bavi, mbinu za kisasa za Kuhifadhi mazao zinastahili kutumiwa na wakulima, kwa mfano, Kuweka katika maghala , Mazao yanayohitaji kuhifadhiwa pahali palipo na baridi yatawekwa katika jokofu. Serikali pia ikipunguza ushuru, watu wengi watakuwa na motisha ya kufanya ukulima kwa sababu gharama itakuwa chini.Huko mashinani, baraste zinahitaji kutengenezwa ili usafirishaji wa mazao uwe rahisi zaidi. Vyakula vinayoharibika haraka vitapelekwa sokoni na kutumika kabla kuharibika. Kutakuwa hakuna hasara yoyote ile na wakulima Iwatapata faida chungu nzima. Mambo niliyoyataja yataleta maendeleo nchini pindi zina poekezwa. Umaskini utafukuzwa na watu hawatateseka katika nchi yetu ya Kenya. | Ni nini uti wa mgongo wa taifa letu | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
0188_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini.
Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahitaji kufanywa. Kwanza, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao. Mazao mengine Kama vile matunda huoza haraka na hiyo basi hufaa Kuuzwa pindi tu, zinapotolewa mashambani. Isitoshe, serikali itakapouzia nchi zingine mazao yetu, pesa zitakazolipwa zitasaidia kuboresha sekta zingine.
Pili, wakulima wanastahili kukumbatiwa ili kufunzwa mbinu za kisasa za kilimo na kuzika mbinu za jadi kama vile kutumia jembe katika kaburi la Sahau. Mbinu za kale zinafanya mazao kuwa kidogo. na mwishowe, sekta ya Kilimo kurudi nyuma . Wakulima watafunzwa mbinu nyingi kama kutumia trekta ili kupalilia mashamba yao, kutumia mbolea ili kuongeza rotuba ardhini na kadhalika.
Aidha, mradi wa unyunyuziaji maji unafaa kuanzishwa katika maeneo yanayosifika kuwa na ukame na hii itakuwa njia mwafaka ya kufukuza baa la njaa nchini. Mazao yatakuwa mengi mradi huu unapoekezwa .Unyunyuziaji wa maji utasaidia mimea kustawi na kutoa mazao bora zaidi yenye manufaa . Vilevile, wakulima wakipewa mikopo ya kununua vifaa vya kilimo, itawaendeleza. Vifaa hivyo vitafanya ukulima ufanyike haraka zaidi bila changamoto au mshikamano wowote.
Wakulima hususan wanaotoka mashinani hawana uwezo wakufadhili ukulima wao.Hali kadhalika, mipango ifanywe ili maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani. Maonyesho haya yatawafunza na kuwafanya watu wawe na azma ya kuingia katika kilimo biashara. Hii itawapa fursa ya kuepuka na magonjwa kama vile maumivu ya mifupa yanayotokana na kazi za kiofisi. Wakulima watafunzwa njia mbalimbali za kuboresha ukulima wao.
Jambo lingine ni kuwa somo la kilimo lifanywe kuwa la lazima ili hata wanafunzi waweze kuwa wakulima bora watakaoendeleza taifa siku za usoni. Aghalabu, wanafunzi wengi nchini hawalipendi somo hili na hulikataa ilhali ni bora zaidi kuliko masomo mengine kama hisabati na historia.
Isitoshe, wakulima wahimizwe kupanda vyakula vinavyoweza kuhimili kiangazi shambani. Vyakula hivyo navyo ni kama vile mihogo, viazi, miwa na mengineo mengi. Vinahitaji maji kidogo tu ili viweze kukuwa, Wakifanya hivyo kutakuwa na faida nyingi zikiwemo wanafunzi kuenda shuleni bila shida yeyote, uchumi wa Kenya utaendelea, kupunguza uchochole nchini na lishe bora kwa watu wote .Mazao sanasana huharibika yasipohifadhiwa vizuri Kwa sababu yanaweza kuvamiwa na wadudu kama vile viwavi. Hivyo bavi, mbinu za kisasa za Kuhifadhi mazao zinastahili kutumiwa na wakulima, kwa mfano, Kuweka katika maghala , Mazao yanayohitaji kuhifadhiwa pahali palipo na baridi yatawekwa katika jokofu. Serikali pia ikipunguza ushuru, watu wengi watakuwa na motisha ya kufanya ukulima kwa sababu gharama itakuwa chini.Huko mashinani, baraste zinahitaji kutengenezwa ili usafirishaji wa mazao uwe rahisi zaidi. Vyakula vinayoharibika haraka vitapelekwa sokoni na kutumika kabla kuharibika. Kutakuwa hakuna hasara yoyote ile na wakulima Iwatapata faida chungu nzima. Mambo niliyoyataja yataleta maendeleo nchini pindi zina poekezwa. Umaskini utafukuzwa na watu hawatateseka katika nchi yetu ya Kenya. | Nini kitafanya vijana kupata kazi | {
"text": [
"Serikali kuimarisha kilimo"
]
} |
0188_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini.
Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahitaji kufanywa. Kwanza, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao. Mazao mengine Kama vile matunda huoza haraka na hiyo basi hufaa Kuuzwa pindi tu, zinapotolewa mashambani. Isitoshe, serikali itakapouzia nchi zingine mazao yetu, pesa zitakazolipwa zitasaidia kuboresha sekta zingine.
Pili, wakulima wanastahili kukumbatiwa ili kufunzwa mbinu za kisasa za kilimo na kuzika mbinu za jadi kama vile kutumia jembe katika kaburi la Sahau. Mbinu za kale zinafanya mazao kuwa kidogo. na mwishowe, sekta ya Kilimo kurudi nyuma . Wakulima watafunzwa mbinu nyingi kama kutumia trekta ili kupalilia mashamba yao, kutumia mbolea ili kuongeza rotuba ardhini na kadhalika.
Aidha, mradi wa unyunyuziaji maji unafaa kuanzishwa katika maeneo yanayosifika kuwa na ukame na hii itakuwa njia mwafaka ya kufukuza baa la njaa nchini. Mazao yatakuwa mengi mradi huu unapoekezwa .Unyunyuziaji wa maji utasaidia mimea kustawi na kutoa mazao bora zaidi yenye manufaa . Vilevile, wakulima wakipewa mikopo ya kununua vifaa vya kilimo, itawaendeleza. Vifaa hivyo vitafanya ukulima ufanyike haraka zaidi bila changamoto au mshikamano wowote.
Wakulima hususan wanaotoka mashinani hawana uwezo wakufadhili ukulima wao.Hali kadhalika, mipango ifanywe ili maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani. Maonyesho haya yatawafunza na kuwafanya watu wawe na azma ya kuingia katika kilimo biashara. Hii itawapa fursa ya kuepuka na magonjwa kama vile maumivu ya mifupa yanayotokana na kazi za kiofisi. Wakulima watafunzwa njia mbalimbali za kuboresha ukulima wao.
Jambo lingine ni kuwa somo la kilimo lifanywe kuwa la lazima ili hata wanafunzi waweze kuwa wakulima bora watakaoendeleza taifa siku za usoni. Aghalabu, wanafunzi wengi nchini hawalipendi somo hili na hulikataa ilhali ni bora zaidi kuliko masomo mengine kama hisabati na historia.
Isitoshe, wakulima wahimizwe kupanda vyakula vinavyoweza kuhimili kiangazi shambani. Vyakula hivyo navyo ni kama vile mihogo, viazi, miwa na mengineo mengi. Vinahitaji maji kidogo tu ili viweze kukuwa, Wakifanya hivyo kutakuwa na faida nyingi zikiwemo wanafunzi kuenda shuleni bila shida yeyote, uchumi wa Kenya utaendelea, kupunguza uchochole nchini na lishe bora kwa watu wote .Mazao sanasana huharibika yasipohifadhiwa vizuri Kwa sababu yanaweza kuvamiwa na wadudu kama vile viwavi. Hivyo bavi, mbinu za kisasa za Kuhifadhi mazao zinastahili kutumiwa na wakulima, kwa mfano, Kuweka katika maghala , Mazao yanayohitaji kuhifadhiwa pahali palipo na baridi yatawekwa katika jokofu. Serikali pia ikipunguza ushuru, watu wengi watakuwa na motisha ya kufanya ukulima kwa sababu gharama itakuwa chini.Huko mashinani, baraste zinahitaji kutengenezwa ili usafirishaji wa mazao uwe rahisi zaidi. Vyakula vinayoharibika haraka vitapelekwa sokoni na kutumika kabla kuharibika. Kutakuwa hakuna hasara yoyote ile na wakulima Iwatapata faida chungu nzima. Mambo niliyoyataja yataleta maendeleo nchini pindi zina poekezwa. Umaskini utafukuzwa na watu hawatateseka katika nchi yetu ya Kenya. | Nini huongeza rotuba ardhini | {
"text": [
"Kutumia mbolea"
]
} |
0188_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini.
Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahitaji kufanywa. Kwanza, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao. Mazao mengine Kama vile matunda huoza haraka na hiyo basi hufaa Kuuzwa pindi tu, zinapotolewa mashambani. Isitoshe, serikali itakapouzia nchi zingine mazao yetu, pesa zitakazolipwa zitasaidia kuboresha sekta zingine.
Pili, wakulima wanastahili kukumbatiwa ili kufunzwa mbinu za kisasa za kilimo na kuzika mbinu za jadi kama vile kutumia jembe katika kaburi la Sahau. Mbinu za kale zinafanya mazao kuwa kidogo. na mwishowe, sekta ya Kilimo kurudi nyuma . Wakulima watafunzwa mbinu nyingi kama kutumia trekta ili kupalilia mashamba yao, kutumia mbolea ili kuongeza rotuba ardhini na kadhalika.
Aidha, mradi wa unyunyuziaji maji unafaa kuanzishwa katika maeneo yanayosifika kuwa na ukame na hii itakuwa njia mwafaka ya kufukuza baa la njaa nchini. Mazao yatakuwa mengi mradi huu unapoekezwa .Unyunyuziaji wa maji utasaidia mimea kustawi na kutoa mazao bora zaidi yenye manufaa . Vilevile, wakulima wakipewa mikopo ya kununua vifaa vya kilimo, itawaendeleza. Vifaa hivyo vitafanya ukulima ufanyike haraka zaidi bila changamoto au mshikamano wowote.
Wakulima hususan wanaotoka mashinani hawana uwezo wakufadhili ukulima wao.Hali kadhalika, mipango ifanywe ili maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani. Maonyesho haya yatawafunza na kuwafanya watu wawe na azma ya kuingia katika kilimo biashara. Hii itawapa fursa ya kuepuka na magonjwa kama vile maumivu ya mifupa yanayotokana na kazi za kiofisi. Wakulima watafunzwa njia mbalimbali za kuboresha ukulima wao.
Jambo lingine ni kuwa somo la kilimo lifanywe kuwa la lazima ili hata wanafunzi waweze kuwa wakulima bora watakaoendeleza taifa siku za usoni. Aghalabu, wanafunzi wengi nchini hawalipendi somo hili na hulikataa ilhali ni bora zaidi kuliko masomo mengine kama hisabati na historia.
Isitoshe, wakulima wahimizwe kupanda vyakula vinavyoweza kuhimili kiangazi shambani. Vyakula hivyo navyo ni kama vile mihogo, viazi, miwa na mengineo mengi. Vinahitaji maji kidogo tu ili viweze kukuwa, Wakifanya hivyo kutakuwa na faida nyingi zikiwemo wanafunzi kuenda shuleni bila shida yeyote, uchumi wa Kenya utaendelea, kupunguza uchochole nchini na lishe bora kwa watu wote .Mazao sanasana huharibika yasipohifadhiwa vizuri Kwa sababu yanaweza kuvamiwa na wadudu kama vile viwavi. Hivyo bavi, mbinu za kisasa za Kuhifadhi mazao zinastahili kutumiwa na wakulima, kwa mfano, Kuweka katika maghala , Mazao yanayohitaji kuhifadhiwa pahali palipo na baridi yatawekwa katika jokofu. Serikali pia ikipunguza ushuru, watu wengi watakuwa na motisha ya kufanya ukulima kwa sababu gharama itakuwa chini.Huko mashinani, baraste zinahitaji kutengenezwa ili usafirishaji wa mazao uwe rahisi zaidi. Vyakula vinayoharibika haraka vitapelekwa sokoni na kutumika kabla kuharibika. Kutakuwa hakuna hasara yoyote ile na wakulima Iwatapata faida chungu nzima. Mambo niliyoyataja yataleta maendeleo nchini pindi zina poekezwa. Umaskini utafukuzwa na watu hawatateseka katika nchi yetu ya Kenya. | Ni wakati gani mwafaka wa kutumia mradi wa unyunyuziaji maji | {
"text": [
"wakati kuna ukame"
]
} |
0188_swa | NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini.
Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahitaji kufanywa. Kwanza, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao. Mazao mengine Kama vile matunda huoza haraka na hiyo basi hufaa Kuuzwa pindi tu, zinapotolewa mashambani. Isitoshe, serikali itakapouzia nchi zingine mazao yetu, pesa zitakazolipwa zitasaidia kuboresha sekta zingine.
Pili, wakulima wanastahili kukumbatiwa ili kufunzwa mbinu za kisasa za kilimo na kuzika mbinu za jadi kama vile kutumia jembe katika kaburi la Sahau. Mbinu za kale zinafanya mazao kuwa kidogo. na mwishowe, sekta ya Kilimo kurudi nyuma . Wakulima watafunzwa mbinu nyingi kama kutumia trekta ili kupalilia mashamba yao, kutumia mbolea ili kuongeza rotuba ardhini na kadhalika.
Aidha, mradi wa unyunyuziaji maji unafaa kuanzishwa katika maeneo yanayosifika kuwa na ukame na hii itakuwa njia mwafaka ya kufukuza baa la njaa nchini. Mazao yatakuwa mengi mradi huu unapoekezwa .Unyunyuziaji wa maji utasaidia mimea kustawi na kutoa mazao bora zaidi yenye manufaa . Vilevile, wakulima wakipewa mikopo ya kununua vifaa vya kilimo, itawaendeleza. Vifaa hivyo vitafanya ukulima ufanyike haraka zaidi bila changamoto au mshikamano wowote.
Wakulima hususan wanaotoka mashinani hawana uwezo wakufadhili ukulima wao.Hali kadhalika, mipango ifanywe ili maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele na kufikishwa mashinani. Maonyesho haya yatawafunza na kuwafanya watu wawe na azma ya kuingia katika kilimo biashara. Hii itawapa fursa ya kuepuka na magonjwa kama vile maumivu ya mifupa yanayotokana na kazi za kiofisi. Wakulima watafunzwa njia mbalimbali za kuboresha ukulima wao.
Jambo lingine ni kuwa somo la kilimo lifanywe kuwa la lazima ili hata wanafunzi waweze kuwa wakulima bora watakaoendeleza taifa siku za usoni. Aghalabu, wanafunzi wengi nchini hawalipendi somo hili na hulikataa ilhali ni bora zaidi kuliko masomo mengine kama hisabati na historia.
Isitoshe, wakulima wahimizwe kupanda vyakula vinavyoweza kuhimili kiangazi shambani. Vyakula hivyo navyo ni kama vile mihogo, viazi, miwa na mengineo mengi. Vinahitaji maji kidogo tu ili viweze kukuwa, Wakifanya hivyo kutakuwa na faida nyingi zikiwemo wanafunzi kuenda shuleni bila shida yeyote, uchumi wa Kenya utaendelea, kupunguza uchochole nchini na lishe bora kwa watu wote .Mazao sanasana huharibika yasipohifadhiwa vizuri Kwa sababu yanaweza kuvamiwa na wadudu kama vile viwavi. Hivyo bavi, mbinu za kisasa za Kuhifadhi mazao zinastahili kutumiwa na wakulima, kwa mfano, Kuweka katika maghala , Mazao yanayohitaji kuhifadhiwa pahali palipo na baridi yatawekwa katika jokofu. Serikali pia ikipunguza ushuru, watu wengi watakuwa na motisha ya kufanya ukulima kwa sababu gharama itakuwa chini.Huko mashinani, baraste zinahitaji kutengenezwa ili usafirishaji wa mazao uwe rahisi zaidi. Vyakula vinayoharibika haraka vitapelekwa sokoni na kutumika kabla kuharibika. Kutakuwa hakuna hasara yoyote ile na wakulima Iwatapata faida chungu nzima. Mambo niliyoyataja yataleta maendeleo nchini pindi zina poekezwa. Umaskini utafukuzwa na watu hawatateseka katika nchi yetu ya Kenya. | Ni kwanini maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele kufikishwa mashinani | {
"text": [
"maonyesho haya yatawafanya watu kuingia katika kilimo biashara"
]
} |
0190_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la njaa na kulizika katika kaburi la sahau. Ala kali hali hatuna budi kulivia njuga Swala zima la kuimarisha kilimo kwa kutumia njia anwai
Mradi wa unyunyuziaji maji uwanzishwa maeneo ambayo ni kame kama vile Garissa. Huku kutawafanya wakulima wa maeneo hayo kutia bidii zaidi. Kuna maeneo mengine, ambako mradi huu tayari umeanzishwa. Lakini kukatishwa ghafla kwa sababu ya wiza na uvujaji wa pesa za serikali na maafisa wafisadi ambao badala kita ya kuondolea mradi huu. wanazitumia pesa za mradi kwa mambo yao ya kistarehe. Serikali inafaa kuwapiga kalamu maafisa hao na kuwaajiri maafisa watendakazi.
Somo la kilimo lifanywe la lazima katika shule za upili. Tukifanya hivyo tutaweza kukuzaa vizazi vijavyo kutoka kwa jinamizi hili la baa la njaa. Kuna baadhi ya wanafunzi si wazuri katika masomo yaani hawafanyi vyema katika masomo kama vile hisabati, kemia lakini huenda wakawa wazuri katika somo la Kilimo. Kwa namna hii wanafunzi watapata kufahamu umuhimu wa kilimo.
Isitoshe, wakulima wafunzwe mbinu za kisasa za kilimo. Kila kata maafisa wa kilimo waajiriwe ili kuwafunza wakulima njia zitakazowafanya wavune mazao mazuri, kama vile utumiaji wa mbolea mwafaka, wakati muafaka wa kuweka mbele hizo na utumiaji wa kibanda kitatu.
Maafisa hao wanafaa kuzuru mashamba ya wakulima hao na kuangalia shida zinazowakumba pamoja na suluhu kwa matatizo hayo.
Minghairi ya hayo, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao katika nchi za nje. Serikali ikifanya hivyo wakulima watapata faida na pia serikali itapata peså za kigeni. Kutokana na pesa hivo wataweza kuongeza mbegu na pia kuzitumia pesa hizo kununua vifaa kama vile tinga tinga, ambayo itawawezesha wakulima kulima kipande kikubwa cha ardhi kwa wakati kidogo.
Bila kuacha bei ya mbolea mbege, jembe kushushwa, hii itawafanya wakulima kuweza kupanda mbegu nyingi na pia mazao kocha kocho kwa kutumia mbolea Katika mimea yao. Jembe zikishushwa wakulima wa kutoka Vijijini wataweza kununua Nikiongezea, wakulima wahimizwa kupanda vya kula vinavyohimili kiangazi. Kuna baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kustahimili kiama kiangazi kama vile viazi tamu mihogo na kadhalika, wakulima wakipanda vyakula hivyo vitawapa soko hata siku za ukame.
Nikigonga msumari wa mwisho wakenya wanafaa kugeuza mawazo yao hasi waliyonayo na kuyageuza kuwa mawazo chanya ya kilimo na watafanya uchumi wa nchi kupaa. Hakika, tukishikilia kiki mambo haya nchi yetu itaimarika, kustawi, kuheshimika na tutaishi kwa raha, furaha na baraha. | Nini mti wa mgongo wa Kenya | {
"text": [
"kilimo"
]
} |
0190_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la njaa na kulizika katika kaburi la sahau. Ala kali hali hatuna budi kulivia njuga Swala zima la kuimarisha kilimo kwa kutumia njia anwai
Mradi wa unyunyuziaji maji uwanzishwa maeneo ambayo ni kame kama vile Garissa. Huku kutawafanya wakulima wa maeneo hayo kutia bidii zaidi. Kuna maeneo mengine, ambako mradi huu tayari umeanzishwa. Lakini kukatishwa ghafla kwa sababu ya wiza na uvujaji wa pesa za serikali na maafisa wafisadi ambao badala kita ya kuondolea mradi huu. wanazitumia pesa za mradi kwa mambo yao ya kistarehe. Serikali inafaa kuwapiga kalamu maafisa hao na kuwaajiri maafisa watendakazi.
Somo la kilimo lifanywe la lazima katika shule za upili. Tukifanya hivyo tutaweza kukuzaa vizazi vijavyo kutoka kwa jinamizi hili la baa la njaa. Kuna baadhi ya wanafunzi si wazuri katika masomo yaani hawafanyi vyema katika masomo kama vile hisabati, kemia lakini huenda wakawa wazuri katika somo la Kilimo. Kwa namna hii wanafunzi watapata kufahamu umuhimu wa kilimo.
Isitoshe, wakulima wafunzwe mbinu za kisasa za kilimo. Kila kata maafisa wa kilimo waajiriwe ili kuwafunza wakulima njia zitakazowafanya wavune mazao mazuri, kama vile utumiaji wa mbolea mwafaka, wakati muafaka wa kuweka mbele hizo na utumiaji wa kibanda kitatu.
Maafisa hao wanafaa kuzuru mashamba ya wakulima hao na kuangalia shida zinazowakumba pamoja na suluhu kwa matatizo hayo.
Minghairi ya hayo, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao katika nchi za nje. Serikali ikifanya hivyo wakulima watapata faida na pia serikali itapata peså za kigeni. Kutokana na pesa hivo wataweza kuongeza mbegu na pia kuzitumia pesa hizo kununua vifaa kama vile tinga tinga, ambayo itawawezesha wakulima kulima kipande kikubwa cha ardhi kwa wakati kidogo.
Bila kuacha bei ya mbolea mbege, jembe kushushwa, hii itawafanya wakulima kuweza kupanda mbegu nyingi na pia mazao kocha kocho kwa kutumia mbolea Katika mimea yao. Jembe zikishushwa wakulima wa kutoka Vijijini wataweza kununua Nikiongezea, wakulima wahimizwa kupanda vya kula vinavyohimili kiangazi. Kuna baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kustahimili kiama kiangazi kama vile viazi tamu mihogo na kadhalika, wakulima wakipanda vyakula hivyo vitawapa soko hata siku za ukame.
Nikigonga msumari wa mwisho wakenya wanafaa kugeuza mawazo yao hasi waliyonayo na kuyageuza kuwa mawazo chanya ya kilimo na watafanya uchumi wa nchi kupaa. Hakika, tukishikilia kiki mambo haya nchi yetu itaimarika, kustawi, kuheshimika na tutaishi kwa raha, furaha na baraha. | Somo gani lifanywe la lazima | {
"text": [
"la kilimo"
]
} |
0190_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la njaa na kulizika katika kaburi la sahau. Ala kali hali hatuna budi kulivia njuga Swala zima la kuimarisha kilimo kwa kutumia njia anwai
Mradi wa unyunyuziaji maji uwanzishwa maeneo ambayo ni kame kama vile Garissa. Huku kutawafanya wakulima wa maeneo hayo kutia bidii zaidi. Kuna maeneo mengine, ambako mradi huu tayari umeanzishwa. Lakini kukatishwa ghafla kwa sababu ya wiza na uvujaji wa pesa za serikali na maafisa wafisadi ambao badala kita ya kuondolea mradi huu. wanazitumia pesa za mradi kwa mambo yao ya kistarehe. Serikali inafaa kuwapiga kalamu maafisa hao na kuwaajiri maafisa watendakazi.
Somo la kilimo lifanywe la lazima katika shule za upili. Tukifanya hivyo tutaweza kukuzaa vizazi vijavyo kutoka kwa jinamizi hili la baa la njaa. Kuna baadhi ya wanafunzi si wazuri katika masomo yaani hawafanyi vyema katika masomo kama vile hisabati, kemia lakini huenda wakawa wazuri katika somo la Kilimo. Kwa namna hii wanafunzi watapata kufahamu umuhimu wa kilimo.
Isitoshe, wakulima wafunzwe mbinu za kisasa za kilimo. Kila kata maafisa wa kilimo waajiriwe ili kuwafunza wakulima njia zitakazowafanya wavune mazao mazuri, kama vile utumiaji wa mbolea mwafaka, wakati muafaka wa kuweka mbele hizo na utumiaji wa kibanda kitatu.
Maafisa hao wanafaa kuzuru mashamba ya wakulima hao na kuangalia shida zinazowakumba pamoja na suluhu kwa matatizo hayo.
Minghairi ya hayo, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao katika nchi za nje. Serikali ikifanya hivyo wakulima watapata faida na pia serikali itapata peså za kigeni. Kutokana na pesa hivo wataweza kuongeza mbegu na pia kuzitumia pesa hizo kununua vifaa kama vile tinga tinga, ambayo itawawezesha wakulima kulima kipande kikubwa cha ardhi kwa wakati kidogo.
Bila kuacha bei ya mbolea mbege, jembe kushushwa, hii itawafanya wakulima kuweza kupanda mbegu nyingi na pia mazao kocha kocho kwa kutumia mbolea Katika mimea yao. Jembe zikishushwa wakulima wa kutoka Vijijini wataweza kununua Nikiongezea, wakulima wahimizwa kupanda vya kula vinavyohimili kiangazi. Kuna baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kustahimili kiama kiangazi kama vile viazi tamu mihogo na kadhalika, wakulima wakipanda vyakula hivyo vitawapa soko hata siku za ukame.
Nikigonga msumari wa mwisho wakenya wanafaa kugeuza mawazo yao hasi waliyonayo na kuyageuza kuwa mawazo chanya ya kilimo na watafanya uchumi wa nchi kupaa. Hakika, tukishikilia kiki mambo haya nchi yetu itaimarika, kustawi, kuheshimika na tutaishi kwa raha, furaha na baraha. | Kina nani waajiriwe katika kila kata | {
"text": [
"maafisa wa kilimo"
]
} |
0190_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la njaa na kulizika katika kaburi la sahau. Ala kali hali hatuna budi kulivia njuga Swala zima la kuimarisha kilimo kwa kutumia njia anwai
Mradi wa unyunyuziaji maji uwanzishwa maeneo ambayo ni kame kama vile Garissa. Huku kutawafanya wakulima wa maeneo hayo kutia bidii zaidi. Kuna maeneo mengine, ambako mradi huu tayari umeanzishwa. Lakini kukatishwa ghafla kwa sababu ya wiza na uvujaji wa pesa za serikali na maafisa wafisadi ambao badala kita ya kuondolea mradi huu. wanazitumia pesa za mradi kwa mambo yao ya kistarehe. Serikali inafaa kuwapiga kalamu maafisa hao na kuwaajiri maafisa watendakazi.
Somo la kilimo lifanywe la lazima katika shule za upili. Tukifanya hivyo tutaweza kukuzaa vizazi vijavyo kutoka kwa jinamizi hili la baa la njaa. Kuna baadhi ya wanafunzi si wazuri katika masomo yaani hawafanyi vyema katika masomo kama vile hisabati, kemia lakini huenda wakawa wazuri katika somo la Kilimo. Kwa namna hii wanafunzi watapata kufahamu umuhimu wa kilimo.
Isitoshe, wakulima wafunzwe mbinu za kisasa za kilimo. Kila kata maafisa wa kilimo waajiriwe ili kuwafunza wakulima njia zitakazowafanya wavune mazao mazuri, kama vile utumiaji wa mbolea mwafaka, wakati muafaka wa kuweka mbele hizo na utumiaji wa kibanda kitatu.
Maafisa hao wanafaa kuzuru mashamba ya wakulima hao na kuangalia shida zinazowakumba pamoja na suluhu kwa matatizo hayo.
Minghairi ya hayo, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao katika nchi za nje. Serikali ikifanya hivyo wakulima watapata faida na pia serikali itapata peså za kigeni. Kutokana na pesa hivo wataweza kuongeza mbegu na pia kuzitumia pesa hizo kununua vifaa kama vile tinga tinga, ambayo itawawezesha wakulima kulima kipande kikubwa cha ardhi kwa wakati kidogo.
Bila kuacha bei ya mbolea mbege, jembe kushushwa, hii itawafanya wakulima kuweza kupanda mbegu nyingi na pia mazao kocha kocho kwa kutumia mbolea Katika mimea yao. Jembe zikishushwa wakulima wa kutoka Vijijini wataweza kununua Nikiongezea, wakulima wahimizwa kupanda vya kula vinavyohimili kiangazi. Kuna baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kustahimili kiama kiangazi kama vile viazi tamu mihogo na kadhalika, wakulima wakipanda vyakula hivyo vitawapa soko hata siku za ukame.
Nikigonga msumari wa mwisho wakenya wanafaa kugeuza mawazo yao hasi waliyonayo na kuyageuza kuwa mawazo chanya ya kilimo na watafanya uchumi wa nchi kupaa. Hakika, tukishikilia kiki mambo haya nchi yetu itaimarika, kustawi, kuheshimika na tutaishi kwa raha, furaha na baraha. | Wakulima wasaidiwe kuuza mazao yao wapi | {
"text": [
"nchi za nje"
]
} |
0190_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la njaa na kulizika katika kaburi la sahau. Ala kali hali hatuna budi kulivia njuga Swala zima la kuimarisha kilimo kwa kutumia njia anwai
Mradi wa unyunyuziaji maji uwanzishwa maeneo ambayo ni kame kama vile Garissa. Huku kutawafanya wakulima wa maeneo hayo kutia bidii zaidi. Kuna maeneo mengine, ambako mradi huu tayari umeanzishwa. Lakini kukatishwa ghafla kwa sababu ya wiza na uvujaji wa pesa za serikali na maafisa wafisadi ambao badala kita ya kuondolea mradi huu. wanazitumia pesa za mradi kwa mambo yao ya kistarehe. Serikali inafaa kuwapiga kalamu maafisa hao na kuwaajiri maafisa watendakazi.
Somo la kilimo lifanywe la lazima katika shule za upili. Tukifanya hivyo tutaweza kukuzaa vizazi vijavyo kutoka kwa jinamizi hili la baa la njaa. Kuna baadhi ya wanafunzi si wazuri katika masomo yaani hawafanyi vyema katika masomo kama vile hisabati, kemia lakini huenda wakawa wazuri katika somo la Kilimo. Kwa namna hii wanafunzi watapata kufahamu umuhimu wa kilimo.
Isitoshe, wakulima wafunzwe mbinu za kisasa za kilimo. Kila kata maafisa wa kilimo waajiriwe ili kuwafunza wakulima njia zitakazowafanya wavune mazao mazuri, kama vile utumiaji wa mbolea mwafaka, wakati muafaka wa kuweka mbele hizo na utumiaji wa kibanda kitatu.
Maafisa hao wanafaa kuzuru mashamba ya wakulima hao na kuangalia shida zinazowakumba pamoja na suluhu kwa matatizo hayo.
Minghairi ya hayo, serikali inafaa kuwasaidia wakulima kuuza mazao yao katika nchi za nje. Serikali ikifanya hivyo wakulima watapata faida na pia serikali itapata peså za kigeni. Kutokana na pesa hivo wataweza kuongeza mbegu na pia kuzitumia pesa hizo kununua vifaa kama vile tinga tinga, ambayo itawawezesha wakulima kulima kipande kikubwa cha ardhi kwa wakati kidogo.
Bila kuacha bei ya mbolea mbege, jembe kushushwa, hii itawafanya wakulima kuweza kupanda mbegu nyingi na pia mazao kocha kocho kwa kutumia mbolea Katika mimea yao. Jembe zikishushwa wakulima wa kutoka Vijijini wataweza kununua Nikiongezea, wakulima wahimizwa kupanda vya kula vinavyohimili kiangazi. Kuna baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kustahimili kiama kiangazi kama vile viazi tamu mihogo na kadhalika, wakulima wakipanda vyakula hivyo vitawapa soko hata siku za ukame.
Nikigonga msumari wa mwisho wakenya wanafaa kugeuza mawazo yao hasi waliyonayo na kuyageuza kuwa mawazo chanya ya kilimo na watafanya uchumi wa nchi kupaa. Hakika, tukishikilia kiki mambo haya nchi yetu itaimarika, kustawi, kuheshimika na tutaishi kwa raha, furaha na baraha. | Mbona mradi wa unyunyiziaji maji uanzishwe? | {
"text": [
"kuwafanya wakulima kutia bidii zaidi"
]
} |
0192_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi, misharaha mdogo na kutaka kuonekena ako na uwezo wa kubuni serikali ya kumpendelea yeye. Miongoni mwa namna ya kukabili ufisadi ni kama zifuatazo:
Kwanza watumishi wa umma kuhitajika kutangaza utajiri wao. Hii itaweza kutoa dorasi litakalo jitokeza kwani endapo insi mmoja anapokea mshahara duni na upande wa pili yeye anamiliki nyumba ya kifahari na madhumuni ya watu itaonekana kuwa yeye anashiriki katika ufisadi. Kwa hivyo, yeyote anayedai kumiliki kiwango cha juu cha mali basi ajulishe serikali kabla mambo kwenda mrama. Chambilecho, mgala muuwe na haki yake mpe. Chanda chema huvikwa pete.
Wanahabari wanao hatarisha maisha yao ili kutujuza sisi wananchi kuhusu ufisadi ungelikua na kutendeka maisha yao bure mikononi. Hivyo basi serikali inapaswa kuyalinda maisha yao ili wale watendao ufisadi wasiweze kutaka kamba. Nafasi pana itolewe kwa hao wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Pia hizo ripoti au video wanazozipata zinatakiwa kulindwa ili kuyaweka mambo wazi pasi na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Viongozi watakao washauri wema kuhusu namna za ufisadi, madhara na sababu ili wao kama wanafunzi waweze kuepukana na ufisadi katika umri mdogo kwani wapo hawataambiwa na kutunzwa basi wao pia watashiriki katika aushi yale madogo na pia wazazi mbeleni .Tena uzalendo udumishwe miongoni mwa watu kwani mtu akiwa mzalendo basi kamwe hatotaka kufanya jambo ambalo litamdhuru binafsi na pia nchi yake lakini iwapo hatokuwa na uzalendo basi atakuwa akifanya vitu ili kujifaidisha yeye binafsi na kutotaka kujua kuwa jambo hilo ni muhimu katika jamii.
Vile vile, kuanzishwa kwa ofisi ya Mchunguzi Maalum wa kusikiliza malalamiko ya umma ambapo wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi.Ofisi hiyo iwe ni ya kupambana na ufisadi na watakaofanya kazi humo wawe wazalendo.
Nikimalizia, mambo niliyo yanakili yatiliwe mkazo ili ufisadi uangumizwe kila pembe. Ufisadi ukiangamizwa basi nchi itastawi. Tusikate tamaa bali tujizatiti na kuwa na uvimilivu kuwa ufisadi utaisha kwani subira huvuta heri. Nikiongezea, serikali inapaswa kuimarisha taasisi za uongozi, haki sheria na utangamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Katika uongozi viongozi wa nchi wachaguliwe kutoka kabila zote za jamuhuri, hii itapunguza nafasi ya kufanya ufisadi. Sheria na haki miongoni mwa nchi hii hujitokeza pale ambapo binadamu ana hukumiwa na basi sheria kuamua. Kushtakiwa kwa ufisadi mkubwa na mdogo ni jambo la kutia moyo. Nordin Hajji, Mkurugenzi wa kuchunguza uhalifu nchini kustaki waziri wa Fedha, Henry Rotich, na katibu wake Kamau Thugge sababu ya ufisadi wa pesa za mabwawa ya Arror na Kimwerer itakuwa sawa, ambapo wananchi wa kenya walipora bilioni kumi na tisa kuna ushahidi zaidi ya kesi mingi zinazoendelea kushughulikiwa.
Minghairi ya hayo vyombo vya mawasiliano hutumiwa kuhamasisha umma na pia kampeni zilizofadhiliwa na serikali zote zikiwa dhidi ya ufisadi kupitia vyombo vya habari, mabango mitaani, na pia barabarani na pia mtandaoni ili kuwajuza waliosoma na wasiosoma kuhusu madhara ya ufisadi na sababu za ufisadi nchini. Hii itaweza kupunguza ufisadi miongoni mwa watu na pia ufisadi utazikwa katika kaburi la suhau. Samaki mkunje angali mbichi. Wanafunzi shuleni waviunde shuleni vikundi vya kupambana na ufisadi na pia waweze kuletewa watu mbalimbali kuhusu madhara ya ufisadi.
| Ni kitendo kipi ambacho hakistahili kutendwa katika jamii | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
0192_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi, misharaha mdogo na kutaka kuonekena ako na uwezo wa kubuni serikali ya kumpendelea yeye. Miongoni mwa namna ya kukabili ufisadi ni kama zifuatazo:
Kwanza watumishi wa umma kuhitajika kutangaza utajiri wao. Hii itaweza kutoa dorasi litakalo jitokeza kwani endapo insi mmoja anapokea mshahara duni na upande wa pili yeye anamiliki nyumba ya kifahari na madhumuni ya watu itaonekana kuwa yeye anashiriki katika ufisadi. Kwa hivyo, yeyote anayedai kumiliki kiwango cha juu cha mali basi ajulishe serikali kabla mambo kwenda mrama. Chambilecho, mgala muuwe na haki yake mpe. Chanda chema huvikwa pete.
Wanahabari wanao hatarisha maisha yao ili kutujuza sisi wananchi kuhusu ufisadi ungelikua na kutendeka maisha yao bure mikononi. Hivyo basi serikali inapaswa kuyalinda maisha yao ili wale watendao ufisadi wasiweze kutaka kamba. Nafasi pana itolewe kwa hao wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Pia hizo ripoti au video wanazozipata zinatakiwa kulindwa ili kuyaweka mambo wazi pasi na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Viongozi watakao washauri wema kuhusu namna za ufisadi, madhara na sababu ili wao kama wanafunzi waweze kuepukana na ufisadi katika umri mdogo kwani wapo hawataambiwa na kutunzwa basi wao pia watashiriki katika aushi yale madogo na pia wazazi mbeleni .Tena uzalendo udumishwe miongoni mwa watu kwani mtu akiwa mzalendo basi kamwe hatotaka kufanya jambo ambalo litamdhuru binafsi na pia nchi yake lakini iwapo hatokuwa na uzalendo basi atakuwa akifanya vitu ili kujifaidisha yeye binafsi na kutotaka kujua kuwa jambo hilo ni muhimu katika jamii.
Vile vile, kuanzishwa kwa ofisi ya Mchunguzi Maalum wa kusikiliza malalamiko ya umma ambapo wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi.Ofisi hiyo iwe ni ya kupambana na ufisadi na watakaofanya kazi humo wawe wazalendo.
Nikimalizia, mambo niliyo yanakili yatiliwe mkazo ili ufisadi uangumizwe kila pembe. Ufisadi ukiangamizwa basi nchi itastawi. Tusikate tamaa bali tujizatiti na kuwa na uvimilivu kuwa ufisadi utaisha kwani subira huvuta heri. Nikiongezea, serikali inapaswa kuimarisha taasisi za uongozi, haki sheria na utangamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Katika uongozi viongozi wa nchi wachaguliwe kutoka kabila zote za jamuhuri, hii itapunguza nafasi ya kufanya ufisadi. Sheria na haki miongoni mwa nchi hii hujitokeza pale ambapo binadamu ana hukumiwa na basi sheria kuamua. Kushtakiwa kwa ufisadi mkubwa na mdogo ni jambo la kutia moyo. Nordin Hajji, Mkurugenzi wa kuchunguza uhalifu nchini kustaki waziri wa Fedha, Henry Rotich, na katibu wake Kamau Thugge sababu ya ufisadi wa pesa za mabwawa ya Arror na Kimwerer itakuwa sawa, ambapo wananchi wa kenya walipora bilioni kumi na tisa kuna ushahidi zaidi ya kesi mingi zinazoendelea kushughulikiwa.
Minghairi ya hayo vyombo vya mawasiliano hutumiwa kuhamasisha umma na pia kampeni zilizofadhiliwa na serikali zote zikiwa dhidi ya ufisadi kupitia vyombo vya habari, mabango mitaani, na pia barabarani na pia mtandaoni ili kuwajuza waliosoma na wasiosoma kuhusu madhara ya ufisadi na sababu za ufisadi nchini. Hii itaweza kupunguza ufisadi miongoni mwa watu na pia ufisadi utazikwa katika kaburi la suhau. Samaki mkunje angali mbichi. Wanafunzi shuleni waviunde shuleni vikundi vya kupambana na ufisadi na pia waweze kuletewa watu mbalimbali kuhusu madhara ya ufisadi.
| Ufisadi huleta nini katika maisha yetu | {
"text": [
"Shida"
]
} |
0192_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi, misharaha mdogo na kutaka kuonekena ako na uwezo wa kubuni serikali ya kumpendelea yeye. Miongoni mwa namna ya kukabili ufisadi ni kama zifuatazo:
Kwanza watumishi wa umma kuhitajika kutangaza utajiri wao. Hii itaweza kutoa dorasi litakalo jitokeza kwani endapo insi mmoja anapokea mshahara duni na upande wa pili yeye anamiliki nyumba ya kifahari na madhumuni ya watu itaonekana kuwa yeye anashiriki katika ufisadi. Kwa hivyo, yeyote anayedai kumiliki kiwango cha juu cha mali basi ajulishe serikali kabla mambo kwenda mrama. Chambilecho, mgala muuwe na haki yake mpe. Chanda chema huvikwa pete.
Wanahabari wanao hatarisha maisha yao ili kutujuza sisi wananchi kuhusu ufisadi ungelikua na kutendeka maisha yao bure mikononi. Hivyo basi serikali inapaswa kuyalinda maisha yao ili wale watendao ufisadi wasiweze kutaka kamba. Nafasi pana itolewe kwa hao wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Pia hizo ripoti au video wanazozipata zinatakiwa kulindwa ili kuyaweka mambo wazi pasi na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Viongozi watakao washauri wema kuhusu namna za ufisadi, madhara na sababu ili wao kama wanafunzi waweze kuepukana na ufisadi katika umri mdogo kwani wapo hawataambiwa na kutunzwa basi wao pia watashiriki katika aushi yale madogo na pia wazazi mbeleni .Tena uzalendo udumishwe miongoni mwa watu kwani mtu akiwa mzalendo basi kamwe hatotaka kufanya jambo ambalo litamdhuru binafsi na pia nchi yake lakini iwapo hatokuwa na uzalendo basi atakuwa akifanya vitu ili kujifaidisha yeye binafsi na kutotaka kujua kuwa jambo hilo ni muhimu katika jamii.
Vile vile, kuanzishwa kwa ofisi ya Mchunguzi Maalum wa kusikiliza malalamiko ya umma ambapo wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi.Ofisi hiyo iwe ni ya kupambana na ufisadi na watakaofanya kazi humo wawe wazalendo.
Nikimalizia, mambo niliyo yanakili yatiliwe mkazo ili ufisadi uangumizwe kila pembe. Ufisadi ukiangamizwa basi nchi itastawi. Tusikate tamaa bali tujizatiti na kuwa na uvimilivu kuwa ufisadi utaisha kwani subira huvuta heri. Nikiongezea, serikali inapaswa kuimarisha taasisi za uongozi, haki sheria na utangamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Katika uongozi viongozi wa nchi wachaguliwe kutoka kabila zote za jamuhuri, hii itapunguza nafasi ya kufanya ufisadi. Sheria na haki miongoni mwa nchi hii hujitokeza pale ambapo binadamu ana hukumiwa na basi sheria kuamua. Kushtakiwa kwa ufisadi mkubwa na mdogo ni jambo la kutia moyo. Nordin Hajji, Mkurugenzi wa kuchunguza uhalifu nchini kustaki waziri wa Fedha, Henry Rotich, na katibu wake Kamau Thugge sababu ya ufisadi wa pesa za mabwawa ya Arror na Kimwerer itakuwa sawa, ambapo wananchi wa kenya walipora bilioni kumi na tisa kuna ushahidi zaidi ya kesi mingi zinazoendelea kushughulikiwa.
Minghairi ya hayo vyombo vya mawasiliano hutumiwa kuhamasisha umma na pia kampeni zilizofadhiliwa na serikali zote zikiwa dhidi ya ufisadi kupitia vyombo vya habari, mabango mitaani, na pia barabarani na pia mtandaoni ili kuwajuza waliosoma na wasiosoma kuhusu madhara ya ufisadi na sababu za ufisadi nchini. Hii itaweza kupunguza ufisadi miongoni mwa watu na pia ufisadi utazikwa katika kaburi la suhau. Samaki mkunje angali mbichi. Wanafunzi shuleni waviunde shuleni vikundi vya kupambana na ufisadi na pia waweze kuletewa watu mbalimbali kuhusu madhara ya ufisadi.
| Mgala muue na umpe nini | {
"text": [
"Haki yake"
]
} |
0192_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi, misharaha mdogo na kutaka kuonekena ako na uwezo wa kubuni serikali ya kumpendelea yeye. Miongoni mwa namna ya kukabili ufisadi ni kama zifuatazo:
Kwanza watumishi wa umma kuhitajika kutangaza utajiri wao. Hii itaweza kutoa dorasi litakalo jitokeza kwani endapo insi mmoja anapokea mshahara duni na upande wa pili yeye anamiliki nyumba ya kifahari na madhumuni ya watu itaonekana kuwa yeye anashiriki katika ufisadi. Kwa hivyo, yeyote anayedai kumiliki kiwango cha juu cha mali basi ajulishe serikali kabla mambo kwenda mrama. Chambilecho, mgala muuwe na haki yake mpe. Chanda chema huvikwa pete.
Wanahabari wanao hatarisha maisha yao ili kutujuza sisi wananchi kuhusu ufisadi ungelikua na kutendeka maisha yao bure mikononi. Hivyo basi serikali inapaswa kuyalinda maisha yao ili wale watendao ufisadi wasiweze kutaka kamba. Nafasi pana itolewe kwa hao wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Pia hizo ripoti au video wanazozipata zinatakiwa kulindwa ili kuyaweka mambo wazi pasi na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Viongozi watakao washauri wema kuhusu namna za ufisadi, madhara na sababu ili wao kama wanafunzi waweze kuepukana na ufisadi katika umri mdogo kwani wapo hawataambiwa na kutunzwa basi wao pia watashiriki katika aushi yale madogo na pia wazazi mbeleni .Tena uzalendo udumishwe miongoni mwa watu kwani mtu akiwa mzalendo basi kamwe hatotaka kufanya jambo ambalo litamdhuru binafsi na pia nchi yake lakini iwapo hatokuwa na uzalendo basi atakuwa akifanya vitu ili kujifaidisha yeye binafsi na kutotaka kujua kuwa jambo hilo ni muhimu katika jamii.
Vile vile, kuanzishwa kwa ofisi ya Mchunguzi Maalum wa kusikiliza malalamiko ya umma ambapo wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi.Ofisi hiyo iwe ni ya kupambana na ufisadi na watakaofanya kazi humo wawe wazalendo.
Nikimalizia, mambo niliyo yanakili yatiliwe mkazo ili ufisadi uangumizwe kila pembe. Ufisadi ukiangamizwa basi nchi itastawi. Tusikate tamaa bali tujizatiti na kuwa na uvimilivu kuwa ufisadi utaisha kwani subira huvuta heri. Nikiongezea, serikali inapaswa kuimarisha taasisi za uongozi, haki sheria na utangamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Katika uongozi viongozi wa nchi wachaguliwe kutoka kabila zote za jamuhuri, hii itapunguza nafasi ya kufanya ufisadi. Sheria na haki miongoni mwa nchi hii hujitokeza pale ambapo binadamu ana hukumiwa na basi sheria kuamua. Kushtakiwa kwa ufisadi mkubwa na mdogo ni jambo la kutia moyo. Nordin Hajji, Mkurugenzi wa kuchunguza uhalifu nchini kustaki waziri wa Fedha, Henry Rotich, na katibu wake Kamau Thugge sababu ya ufisadi wa pesa za mabwawa ya Arror na Kimwerer itakuwa sawa, ambapo wananchi wa kenya walipora bilioni kumi na tisa kuna ushahidi zaidi ya kesi mingi zinazoendelea kushughulikiwa.
Minghairi ya hayo vyombo vya mawasiliano hutumiwa kuhamasisha umma na pia kampeni zilizofadhiliwa na serikali zote zikiwa dhidi ya ufisadi kupitia vyombo vya habari, mabango mitaani, na pia barabarani na pia mtandaoni ili kuwajuza waliosoma na wasiosoma kuhusu madhara ya ufisadi na sababu za ufisadi nchini. Hii itaweza kupunguza ufisadi miongoni mwa watu na pia ufisadi utazikwa katika kaburi la suhau. Samaki mkunje angali mbichi. Wanafunzi shuleni waviunde shuleni vikundi vya kupambana na ufisadi na pia waweze kuletewa watu mbalimbali kuhusu madhara ya ufisadi.
| Chanda chema huvikwa nini | {
"text": [
"Pete"
]
} |
0192_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi, misharaha mdogo na kutaka kuonekena ako na uwezo wa kubuni serikali ya kumpendelea yeye. Miongoni mwa namna ya kukabili ufisadi ni kama zifuatazo:
Kwanza watumishi wa umma kuhitajika kutangaza utajiri wao. Hii itaweza kutoa dorasi litakalo jitokeza kwani endapo insi mmoja anapokea mshahara duni na upande wa pili yeye anamiliki nyumba ya kifahari na madhumuni ya watu itaonekana kuwa yeye anashiriki katika ufisadi. Kwa hivyo, yeyote anayedai kumiliki kiwango cha juu cha mali basi ajulishe serikali kabla mambo kwenda mrama. Chambilecho, mgala muuwe na haki yake mpe. Chanda chema huvikwa pete.
Wanahabari wanao hatarisha maisha yao ili kutujuza sisi wananchi kuhusu ufisadi ungelikua na kutendeka maisha yao bure mikononi. Hivyo basi serikali inapaswa kuyalinda maisha yao ili wale watendao ufisadi wasiweze kutaka kamba. Nafasi pana itolewe kwa hao wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Pia hizo ripoti au video wanazozipata zinatakiwa kulindwa ili kuyaweka mambo wazi pasi na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Viongozi watakao washauri wema kuhusu namna za ufisadi, madhara na sababu ili wao kama wanafunzi waweze kuepukana na ufisadi katika umri mdogo kwani wapo hawataambiwa na kutunzwa basi wao pia watashiriki katika aushi yale madogo na pia wazazi mbeleni .Tena uzalendo udumishwe miongoni mwa watu kwani mtu akiwa mzalendo basi kamwe hatotaka kufanya jambo ambalo litamdhuru binafsi na pia nchi yake lakini iwapo hatokuwa na uzalendo basi atakuwa akifanya vitu ili kujifaidisha yeye binafsi na kutotaka kujua kuwa jambo hilo ni muhimu katika jamii.
Vile vile, kuanzishwa kwa ofisi ya Mchunguzi Maalum wa kusikiliza malalamiko ya umma ambapo wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi.Ofisi hiyo iwe ni ya kupambana na ufisadi na watakaofanya kazi humo wawe wazalendo.
Nikimalizia, mambo niliyo yanakili yatiliwe mkazo ili ufisadi uangumizwe kila pembe. Ufisadi ukiangamizwa basi nchi itastawi. Tusikate tamaa bali tujizatiti na kuwa na uvimilivu kuwa ufisadi utaisha kwani subira huvuta heri. Nikiongezea, serikali inapaswa kuimarisha taasisi za uongozi, haki sheria na utangamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Katika uongozi viongozi wa nchi wachaguliwe kutoka kabila zote za jamuhuri, hii itapunguza nafasi ya kufanya ufisadi. Sheria na haki miongoni mwa nchi hii hujitokeza pale ambapo binadamu ana hukumiwa na basi sheria kuamua. Kushtakiwa kwa ufisadi mkubwa na mdogo ni jambo la kutia moyo. Nordin Hajji, Mkurugenzi wa kuchunguza uhalifu nchini kustaki waziri wa Fedha, Henry Rotich, na katibu wake Kamau Thugge sababu ya ufisadi wa pesa za mabwawa ya Arror na Kimwerer itakuwa sawa, ambapo wananchi wa kenya walipora bilioni kumi na tisa kuna ushahidi zaidi ya kesi mingi zinazoendelea kushughulikiwa.
Minghairi ya hayo vyombo vya mawasiliano hutumiwa kuhamasisha umma na pia kampeni zilizofadhiliwa na serikali zote zikiwa dhidi ya ufisadi kupitia vyombo vya habari, mabango mitaani, na pia barabarani na pia mtandaoni ili kuwajuza waliosoma na wasiosoma kuhusu madhara ya ufisadi na sababu za ufisadi nchini. Hii itaweza kupunguza ufisadi miongoni mwa watu na pia ufisadi utazikwa katika kaburi la suhau. Samaki mkunje angali mbichi. Wanafunzi shuleni waviunde shuleni vikundi vya kupambana na ufisadi na pia waweze kuletewa watu mbalimbali kuhusu madhara ya ufisadi.
| Kwa nini mtu hujiingiza katika ufisadi | {
"text": [
"Kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi"
]
} |
0193_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo:
Kwanza, serikali lazima ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi. Kampeni hizo zitaweza kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi Kwa mfano kuiba mali ya uma na mengineyo. Serikali itakapo chukua hatua hii ufisadi unaweza Kudunishwa na kukomeshwa nchini mwetu.. Pili, wafisadi kuchukuliwa hatua. Baada ya kuchunguza na kupata ushahidi kuhusu watu wanaofanya ufisadi, wafisadi hao wapelekwe kwa DPP ambaye ndiye mkurugenzi wa mashtaka na DCI ambaye ni mwendesha mashtaka mkuu. Maafisa wa umma wanaohusishwa na ufisadi waafutwe kazi na kufikishwa mahakamani, Wafisadi watakaposhtakiwa waweze kuekwa kizimbani kwa kifungo cha miaka mingi.
Namna nyingine ni kuanzisha halmashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi. Jambo hili limeweza kujumuisha makundi ya kidini yatakayoelimisha watu kuhusu namna za kukabili ufisadi mfano, katika Biblia Takatifu Musa anapinga kuhusu ufisadi. Sasa tunaombwa na sisi pia tupinge na kukataa kufanya ufisadi Nchini kama vile ilivyoandikwa katika Bibilia.
Aidha, tume za kisheria za kuchunguza kashfa za ufisadi kutumiwa mara kwa mara. Tume ya EACC ni tume mojawapo ya maadili na kupambana na ufisadi nchini. Tuma hii huweza kushtaki watu wanao pambana na ufisadi baada ya wafisadi hao kuchunguzwa wanapofanya ufisadi. Tume ya Samwel Bosire iliweza kuchunguza kashfa yo Goldenberg ile ya Hotel (ye: Grand Regency na kadhalika.
Vilevile, wananchi waelimishwe kwamba si vizuri kama kiongozi aliye na nyadhifa kazini kupokea rushwa au kutoa rushwa wanapofanya hivi huwaumiza sana wananchi. Licha ya kuelimishwa, kama wanafunzi na hawazingatii na kayatilia maanani, wanaohusika wapewe adhabu kali kama kufungwa. wanaweza kuelimishwa kupitia redioni na vyombo vingine vya kutangaza ndipo watu kote nchini wajue si vizuri kutumia rushwa ndipo mtu apate kazio
Aina nyingine ya ufisadi ni ukabila. Ukabila ni ufisadi una leta taabu nyingi nchini. Ninasema hivi nikiwa na hamaiki kama mwananchi wa nchi hii ya Kenya · Utakuta mtu baada ya kujaribu jinsi ya kufaulu maishani wanaingiza Ukabila Katika shughuli zake. Misaada inayotolewa Kutoka nchi zingine na kuletwa nchini hapa, inatakikana kupewa kwa wananchi wote. Badala ya kufanya hivyo, mtu hushughulikia kabila lake bila kujali makabila mengine. Ufisadi huu wa ukabila utatupiliwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja kwani wahenga hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Namna nyingine ni kwamba Serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamiko ya uma ambapo uma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Jambo hili litawasaidia sana wananchi kwa sababu watakiwa huru kutoa malalamiko yao kuhusu watu wanaofanya ufisadi na kupewa adhabu kali kama kufungwa ili iwe mfano kwa wengine.
Ufisadi mwingine ni wa ubaguzi wa rangi. Wanadamu wengi hupoteza maisha yao kila siku kwa minajili ya ubaguzi wa rangi. Ubaguzi wowote hauhitajiki humu nchini . Ukifanya hivyo, hata vita vikitokea kati ya nchi hii na nchi jirani hautakuwa na shida yoyote ila watu wataungana pamoja na kupigana nao na kuwashinda kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu .Mwisho, natumai hoja nilizozitoa zitaweza kufuatiliwa ili tuweze kukabili ufisadi. Watu wote wakifuata na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya Salama Salim ini. Watu wote katika Jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yaliyosemwa, hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini. Tuweze kuyaweka katika vichwa vyetu na kufikiriwa daima dawama:
| Serikali ibuni taasisiya kampeni dhidi ya nini | {
"text": [
"ufisadi"
]
} |
0193_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo:
Kwanza, serikali lazima ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi. Kampeni hizo zitaweza kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi Kwa mfano kuiba mali ya uma na mengineyo. Serikali itakapo chukua hatua hii ufisadi unaweza Kudunishwa na kukomeshwa nchini mwetu.. Pili, wafisadi kuchukuliwa hatua. Baada ya kuchunguza na kupata ushahidi kuhusu watu wanaofanya ufisadi, wafisadi hao wapelekwe kwa DPP ambaye ndiye mkurugenzi wa mashtaka na DCI ambaye ni mwendesha mashtaka mkuu. Maafisa wa umma wanaohusishwa na ufisadi waafutwe kazi na kufikishwa mahakamani, Wafisadi watakaposhtakiwa waweze kuekwa kizimbani kwa kifungo cha miaka mingi.
Namna nyingine ni kuanzisha halmashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi. Jambo hili limeweza kujumuisha makundi ya kidini yatakayoelimisha watu kuhusu namna za kukabili ufisadi mfano, katika Biblia Takatifu Musa anapinga kuhusu ufisadi. Sasa tunaombwa na sisi pia tupinge na kukataa kufanya ufisadi Nchini kama vile ilivyoandikwa katika Bibilia.
Aidha, tume za kisheria za kuchunguza kashfa za ufisadi kutumiwa mara kwa mara. Tume ya EACC ni tume mojawapo ya maadili na kupambana na ufisadi nchini. Tuma hii huweza kushtaki watu wanao pambana na ufisadi baada ya wafisadi hao kuchunguzwa wanapofanya ufisadi. Tume ya Samwel Bosire iliweza kuchunguza kashfa yo Goldenberg ile ya Hotel (ye: Grand Regency na kadhalika.
Vilevile, wananchi waelimishwe kwamba si vizuri kama kiongozi aliye na nyadhifa kazini kupokea rushwa au kutoa rushwa wanapofanya hivi huwaumiza sana wananchi. Licha ya kuelimishwa, kama wanafunzi na hawazingatii na kayatilia maanani, wanaohusika wapewe adhabu kali kama kufungwa. wanaweza kuelimishwa kupitia redioni na vyombo vingine vya kutangaza ndipo watu kote nchini wajue si vizuri kutumia rushwa ndipo mtu apate kazio
Aina nyingine ya ufisadi ni ukabila. Ukabila ni ufisadi una leta taabu nyingi nchini. Ninasema hivi nikiwa na hamaiki kama mwananchi wa nchi hii ya Kenya · Utakuta mtu baada ya kujaribu jinsi ya kufaulu maishani wanaingiza Ukabila Katika shughuli zake. Misaada inayotolewa Kutoka nchi zingine na kuletwa nchini hapa, inatakikana kupewa kwa wananchi wote. Badala ya kufanya hivyo, mtu hushughulikia kabila lake bila kujali makabila mengine. Ufisadi huu wa ukabila utatupiliwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja kwani wahenga hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Namna nyingine ni kwamba Serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamiko ya uma ambapo uma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Jambo hili litawasaidia sana wananchi kwa sababu watakiwa huru kutoa malalamiko yao kuhusu watu wanaofanya ufisadi na kupewa adhabu kali kama kufungwa ili iwe mfano kwa wengine.
Ufisadi mwingine ni wa ubaguzi wa rangi. Wanadamu wengi hupoteza maisha yao kila siku kwa minajili ya ubaguzi wa rangi. Ubaguzi wowote hauhitajiki humu nchini . Ukifanya hivyo, hata vita vikitokea kati ya nchi hii na nchi jirani hautakuwa na shida yoyote ila watu wataungana pamoja na kupigana nao na kuwashinda kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu .Mwisho, natumai hoja nilizozitoa zitaweza kufuatiliwa ili tuweze kukabili ufisadi. Watu wote wakifuata na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya Salama Salim ini. Watu wote katika Jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yaliyosemwa, hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini. Tuweze kuyaweka katika vichwa vyetu na kufikiriwa daima dawama:
| Maafisa wa umma wenye ufisadi wafanyiwe nini | {
"text": [
"wafutwe kazi"
]
} |
0193_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo:
Kwanza, serikali lazima ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi. Kampeni hizo zitaweza kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi Kwa mfano kuiba mali ya uma na mengineyo. Serikali itakapo chukua hatua hii ufisadi unaweza Kudunishwa na kukomeshwa nchini mwetu.. Pili, wafisadi kuchukuliwa hatua. Baada ya kuchunguza na kupata ushahidi kuhusu watu wanaofanya ufisadi, wafisadi hao wapelekwe kwa DPP ambaye ndiye mkurugenzi wa mashtaka na DCI ambaye ni mwendesha mashtaka mkuu. Maafisa wa umma wanaohusishwa na ufisadi waafutwe kazi na kufikishwa mahakamani, Wafisadi watakaposhtakiwa waweze kuekwa kizimbani kwa kifungo cha miaka mingi.
Namna nyingine ni kuanzisha halmashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi. Jambo hili limeweza kujumuisha makundi ya kidini yatakayoelimisha watu kuhusu namna za kukabili ufisadi mfano, katika Biblia Takatifu Musa anapinga kuhusu ufisadi. Sasa tunaombwa na sisi pia tupinge na kukataa kufanya ufisadi Nchini kama vile ilivyoandikwa katika Bibilia.
Aidha, tume za kisheria za kuchunguza kashfa za ufisadi kutumiwa mara kwa mara. Tume ya EACC ni tume mojawapo ya maadili na kupambana na ufisadi nchini. Tuma hii huweza kushtaki watu wanao pambana na ufisadi baada ya wafisadi hao kuchunguzwa wanapofanya ufisadi. Tume ya Samwel Bosire iliweza kuchunguza kashfa yo Goldenberg ile ya Hotel (ye: Grand Regency na kadhalika.
Vilevile, wananchi waelimishwe kwamba si vizuri kama kiongozi aliye na nyadhifa kazini kupokea rushwa au kutoa rushwa wanapofanya hivi huwaumiza sana wananchi. Licha ya kuelimishwa, kama wanafunzi na hawazingatii na kayatilia maanani, wanaohusika wapewe adhabu kali kama kufungwa. wanaweza kuelimishwa kupitia redioni na vyombo vingine vya kutangaza ndipo watu kote nchini wajue si vizuri kutumia rushwa ndipo mtu apate kazio
Aina nyingine ya ufisadi ni ukabila. Ukabila ni ufisadi una leta taabu nyingi nchini. Ninasema hivi nikiwa na hamaiki kama mwananchi wa nchi hii ya Kenya · Utakuta mtu baada ya kujaribu jinsi ya kufaulu maishani wanaingiza Ukabila Katika shughuli zake. Misaada inayotolewa Kutoka nchi zingine na kuletwa nchini hapa, inatakikana kupewa kwa wananchi wote. Badala ya kufanya hivyo, mtu hushughulikia kabila lake bila kujali makabila mengine. Ufisadi huu wa ukabila utatupiliwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja kwani wahenga hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Namna nyingine ni kwamba Serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamiko ya uma ambapo uma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Jambo hili litawasaidia sana wananchi kwa sababu watakiwa huru kutoa malalamiko yao kuhusu watu wanaofanya ufisadi na kupewa adhabu kali kama kufungwa ili iwe mfano kwa wengine.
Ufisadi mwingine ni wa ubaguzi wa rangi. Wanadamu wengi hupoteza maisha yao kila siku kwa minajili ya ubaguzi wa rangi. Ubaguzi wowote hauhitajiki humu nchini . Ukifanya hivyo, hata vita vikitokea kati ya nchi hii na nchi jirani hautakuwa na shida yoyote ila watu wataungana pamoja na kupigana nao na kuwashinda kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu .Mwisho, natumai hoja nilizozitoa zitaweza kufuatiliwa ili tuweze kukabili ufisadi. Watu wote wakifuata na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya Salama Salim ini. Watu wote katika Jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yaliyosemwa, hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini. Tuweze kuyaweka katika vichwa vyetu na kufikiriwa daima dawama:
| Wafisadi watakaposhtakiwa wawekwe wapi | {
"text": [
"kizimbani"
]
} |
0193_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo:
Kwanza, serikali lazima ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi. Kampeni hizo zitaweza kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi Kwa mfano kuiba mali ya uma na mengineyo. Serikali itakapo chukua hatua hii ufisadi unaweza Kudunishwa na kukomeshwa nchini mwetu.. Pili, wafisadi kuchukuliwa hatua. Baada ya kuchunguza na kupata ushahidi kuhusu watu wanaofanya ufisadi, wafisadi hao wapelekwe kwa DPP ambaye ndiye mkurugenzi wa mashtaka na DCI ambaye ni mwendesha mashtaka mkuu. Maafisa wa umma wanaohusishwa na ufisadi waafutwe kazi na kufikishwa mahakamani, Wafisadi watakaposhtakiwa waweze kuekwa kizimbani kwa kifungo cha miaka mingi.
Namna nyingine ni kuanzisha halmashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi. Jambo hili limeweza kujumuisha makundi ya kidini yatakayoelimisha watu kuhusu namna za kukabili ufisadi mfano, katika Biblia Takatifu Musa anapinga kuhusu ufisadi. Sasa tunaombwa na sisi pia tupinge na kukataa kufanya ufisadi Nchini kama vile ilivyoandikwa katika Bibilia.
Aidha, tume za kisheria za kuchunguza kashfa za ufisadi kutumiwa mara kwa mara. Tume ya EACC ni tume mojawapo ya maadili na kupambana na ufisadi nchini. Tuma hii huweza kushtaki watu wanao pambana na ufisadi baada ya wafisadi hao kuchunguzwa wanapofanya ufisadi. Tume ya Samwel Bosire iliweza kuchunguza kashfa yo Goldenberg ile ya Hotel (ye: Grand Regency na kadhalika.
Vilevile, wananchi waelimishwe kwamba si vizuri kama kiongozi aliye na nyadhifa kazini kupokea rushwa au kutoa rushwa wanapofanya hivi huwaumiza sana wananchi. Licha ya kuelimishwa, kama wanafunzi na hawazingatii na kayatilia maanani, wanaohusika wapewe adhabu kali kama kufungwa. wanaweza kuelimishwa kupitia redioni na vyombo vingine vya kutangaza ndipo watu kote nchini wajue si vizuri kutumia rushwa ndipo mtu apate kazio
Aina nyingine ya ufisadi ni ukabila. Ukabila ni ufisadi una leta taabu nyingi nchini. Ninasema hivi nikiwa na hamaiki kama mwananchi wa nchi hii ya Kenya · Utakuta mtu baada ya kujaribu jinsi ya kufaulu maishani wanaingiza Ukabila Katika shughuli zake. Misaada inayotolewa Kutoka nchi zingine na kuletwa nchini hapa, inatakikana kupewa kwa wananchi wote. Badala ya kufanya hivyo, mtu hushughulikia kabila lake bila kujali makabila mengine. Ufisadi huu wa ukabila utatupiliwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja kwani wahenga hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Namna nyingine ni kwamba Serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamiko ya uma ambapo uma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Jambo hili litawasaidia sana wananchi kwa sababu watakiwa huru kutoa malalamiko yao kuhusu watu wanaofanya ufisadi na kupewa adhabu kali kama kufungwa ili iwe mfano kwa wengine.
Ufisadi mwingine ni wa ubaguzi wa rangi. Wanadamu wengi hupoteza maisha yao kila siku kwa minajili ya ubaguzi wa rangi. Ubaguzi wowote hauhitajiki humu nchini . Ukifanya hivyo, hata vita vikitokea kati ya nchi hii na nchi jirani hautakuwa na shida yoyote ila watu wataungana pamoja na kupigana nao na kuwashinda kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu .Mwisho, natumai hoja nilizozitoa zitaweza kufuatiliwa ili tuweze kukabili ufisadi. Watu wote wakifuata na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya Salama Salim ini. Watu wote katika Jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yaliyosemwa, hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini. Tuweze kuyaweka katika vichwa vyetu na kufikiriwa daima dawama:
| Katika Bibilia nani anapinga ufisadi | {
"text": [
"Musa"
]
} |
0193_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo:
Kwanza, serikali lazima ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi. Kampeni hizo zitaweza kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi Kwa mfano kuiba mali ya uma na mengineyo. Serikali itakapo chukua hatua hii ufisadi unaweza Kudunishwa na kukomeshwa nchini mwetu.. Pili, wafisadi kuchukuliwa hatua. Baada ya kuchunguza na kupata ushahidi kuhusu watu wanaofanya ufisadi, wafisadi hao wapelekwe kwa DPP ambaye ndiye mkurugenzi wa mashtaka na DCI ambaye ni mwendesha mashtaka mkuu. Maafisa wa umma wanaohusishwa na ufisadi waafutwe kazi na kufikishwa mahakamani, Wafisadi watakaposhtakiwa waweze kuekwa kizimbani kwa kifungo cha miaka mingi.
Namna nyingine ni kuanzisha halmashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi. Jambo hili limeweza kujumuisha makundi ya kidini yatakayoelimisha watu kuhusu namna za kukabili ufisadi mfano, katika Biblia Takatifu Musa anapinga kuhusu ufisadi. Sasa tunaombwa na sisi pia tupinge na kukataa kufanya ufisadi Nchini kama vile ilivyoandikwa katika Bibilia.
Aidha, tume za kisheria za kuchunguza kashfa za ufisadi kutumiwa mara kwa mara. Tume ya EACC ni tume mojawapo ya maadili na kupambana na ufisadi nchini. Tuma hii huweza kushtaki watu wanao pambana na ufisadi baada ya wafisadi hao kuchunguzwa wanapofanya ufisadi. Tume ya Samwel Bosire iliweza kuchunguza kashfa yo Goldenberg ile ya Hotel (ye: Grand Regency na kadhalika.
Vilevile, wananchi waelimishwe kwamba si vizuri kama kiongozi aliye na nyadhifa kazini kupokea rushwa au kutoa rushwa wanapofanya hivi huwaumiza sana wananchi. Licha ya kuelimishwa, kama wanafunzi na hawazingatii na kayatilia maanani, wanaohusika wapewe adhabu kali kama kufungwa. wanaweza kuelimishwa kupitia redioni na vyombo vingine vya kutangaza ndipo watu kote nchini wajue si vizuri kutumia rushwa ndipo mtu apate kazio
Aina nyingine ya ufisadi ni ukabila. Ukabila ni ufisadi una leta taabu nyingi nchini. Ninasema hivi nikiwa na hamaiki kama mwananchi wa nchi hii ya Kenya · Utakuta mtu baada ya kujaribu jinsi ya kufaulu maishani wanaingiza Ukabila Katika shughuli zake. Misaada inayotolewa Kutoka nchi zingine na kuletwa nchini hapa, inatakikana kupewa kwa wananchi wote. Badala ya kufanya hivyo, mtu hushughulikia kabila lake bila kujali makabila mengine. Ufisadi huu wa ukabila utatupiliwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja kwani wahenga hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Namna nyingine ni kwamba Serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamiko ya uma ambapo uma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Jambo hili litawasaidia sana wananchi kwa sababu watakiwa huru kutoa malalamiko yao kuhusu watu wanaofanya ufisadi na kupewa adhabu kali kama kufungwa ili iwe mfano kwa wengine.
Ufisadi mwingine ni wa ubaguzi wa rangi. Wanadamu wengi hupoteza maisha yao kila siku kwa minajili ya ubaguzi wa rangi. Ubaguzi wowote hauhitajiki humu nchini . Ukifanya hivyo, hata vita vikitokea kati ya nchi hii na nchi jirani hautakuwa na shida yoyote ila watu wataungana pamoja na kupigana nao na kuwashinda kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu .Mwisho, natumai hoja nilizozitoa zitaweza kufuatiliwa ili tuweze kukabili ufisadi. Watu wote wakifuata na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya Salama Salim ini. Watu wote katika Jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yaliyosemwa, hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini. Tuweze kuyaweka katika vichwa vyetu na kufikiriwa daima dawama:
| Mbona si vizuri viongozi kupokea rushwa | {
"text": [
"hivi huwaumiza sana wananchi"
]
} |
0194_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI
Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sasa. Wanafunzi si wanajamii si wazee waweze kushirikiana na kutokomeza ufisadi katika kaburi la sahau. Aina za ufisadi zinazotendeka nchini ni kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzungukwa mbuyu , kuzembea majukumu, ubaguzi wa rangi na hata ukabila. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, tukiungana mikono tunaweza kutokomeza kwa namna zifuatazo .Kwanza kabisa ili kuweza kutokomeza ufisadi huu nchini serikali inapaswa kuchukua hatua ya haraka kabla ya maji haujazidi unga · serikali ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi Ibuni vikundi maalum vitakavyotengwa mbali hususan kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi huu. Vikundi kama vile Tume ya kupambana na ufisadi viweze kuwa na moto wa kuutokomeza ufisadi. Vikundi hivyi viweze kujadiliana na kutoa ushauri dhidi ya ufisadi .Pili, kushtakiwa kwa viongozi .Viongozi walio na nyadhifa kazini kuelimishwa kwamba si vizuri kupokea rushwa au kutoa rushwa na endapo yoyote atajihusisha hivyo basi wanaohusika wawape adhabu kali kama kufungwa ili wawe mfano kwa wengine. Si wadogo si wakubwa wote waweze kushtakiwa kama alivyo fanya bwana Noordin Hajj kwa kuchukua hatua ya haraka · Yeye kama mkurugenzi wa mashtaka ameweza kutimiza jukumu lake kwa kuweza kumshtaki waziri wa fedha Bwana Henrich Rotich na naibu wake Kamau Truge Wawili hawa waliweza kushtakiwa dhidi ya ufisadi ,pesa za bwawa Arror na kimwerer. Tukijiunga mkono kwa kweli tunaweza kupeleka ufisadi jahanamu. Vilevile vyombo vya mawasiliano vitumiwe kuhamasisha umma. Vyombo vya mawasiliano kama vile vya kijadi vikiwemo redio, magazeti , mabango vitumiwe kwa kupitishia ujumbe wa kukomesha ufisadi vi ofisini si makazini ujumbe huu uwafikie na watu waweze kujirekebisha dhidi ya ufisadi. Wananchi waelimishwe kwamba si vyema kupokea rushwa ili kupata kazi yoyote nchini .Hata hivyo, mashirika ya kijamii ya fadhili uongozi kwa kuunda mashirika ya kijamii ambapo itatilia mbolea kwa haki za kijamii. Vikundi kama vile muhuri ambayo ni mojawapo ya makundi ya waislamu kinachotoa haki za watu wote .Tunahitaji vikundi vingi kwani kidole kimoja hakivunji chawa na jiwe moja haliinjiki jiko. Serikali iliyo mamlakani ishughulikie mfumo wa vikundi hivi kwa haraka ipasavyo . Kwa kawaida wanahabari wapewe nafasi pana kuwaripotia umma kuhusu ufisadi wanahabari wapewe ulinzi wanaostahili kutoka kwa serikali ili umma uweze kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa wanahabari hawa na kutochukuliwa kama maadui katika jamii woga wote uwatoke wanahabari na waweze kupitisha ujumbe . Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini iweze kuwajulisha wanahabari kuhusu utafiti wao na wanahabari waweke kwa hadhira kuhusu maendeo ya ufisadi nchini.
Aidha, kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum watu Kusikiliza malalamiko ya umma ambapo umma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Malalamiko ya umma yaweze kupewa kipaumbele na kushughulikiwa ipasavyo. Baadhi ya malalamiko haya kushughulikiwa kwa haki utolewe ili kuleta amani na umoja katika jamii. na kutokomeza ufisadi. Wananchi wakiweza kutekeleza mambo haya basi kwa hakika wananchi wataishi maisha ya salama salimini: Hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini.
Hata hivyo, watumishi wa umma huhitajika kutangaza utajira wao. Watumishi hawa wanastahili kutangaza kama walivyo fanya shirika la Transparency International -
hivi karibuni na kusema kuwa nchi ya Jumuia ya Afrika mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi : Rwanda kuchukuwa nambari : 55, Tanzania 119, uganda 142 nayo Kenya kuchukua 1145 na burundi 159:
Nikimalizia, kwa kweli mgala muuwe na haki umpe. Zawadi zitolewe kwa wale wote watakao jihusisha na kukomesha ufisadi: Ni lazima tuungane ili tukomeshe ufisadi, basi tukifanya hivi tutaweza kuishi kwa salama salimini.
| Ufisadi ni utoaji na upokeaji wa nini | {
"text": [
"Hongo"
]
} |
0194_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI
Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sasa. Wanafunzi si wanajamii si wazee waweze kushirikiana na kutokomeza ufisadi katika kaburi la sahau. Aina za ufisadi zinazotendeka nchini ni kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzungukwa mbuyu , kuzembea majukumu, ubaguzi wa rangi na hata ukabila. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, tukiungana mikono tunaweza kutokomeza kwa namna zifuatazo .Kwanza kabisa ili kuweza kutokomeza ufisadi huu nchini serikali inapaswa kuchukua hatua ya haraka kabla ya maji haujazidi unga · serikali ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi Ibuni vikundi maalum vitakavyotengwa mbali hususan kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi huu. Vikundi kama vile Tume ya kupambana na ufisadi viweze kuwa na moto wa kuutokomeza ufisadi. Vikundi hivyi viweze kujadiliana na kutoa ushauri dhidi ya ufisadi .Pili, kushtakiwa kwa viongozi .Viongozi walio na nyadhifa kazini kuelimishwa kwamba si vizuri kupokea rushwa au kutoa rushwa na endapo yoyote atajihusisha hivyo basi wanaohusika wawape adhabu kali kama kufungwa ili wawe mfano kwa wengine. Si wadogo si wakubwa wote waweze kushtakiwa kama alivyo fanya bwana Noordin Hajj kwa kuchukua hatua ya haraka · Yeye kama mkurugenzi wa mashtaka ameweza kutimiza jukumu lake kwa kuweza kumshtaki waziri wa fedha Bwana Henrich Rotich na naibu wake Kamau Truge Wawili hawa waliweza kushtakiwa dhidi ya ufisadi ,pesa za bwawa Arror na kimwerer. Tukijiunga mkono kwa kweli tunaweza kupeleka ufisadi jahanamu. Vilevile vyombo vya mawasiliano vitumiwe kuhamasisha umma. Vyombo vya mawasiliano kama vile vya kijadi vikiwemo redio, magazeti , mabango vitumiwe kwa kupitishia ujumbe wa kukomesha ufisadi vi ofisini si makazini ujumbe huu uwafikie na watu waweze kujirekebisha dhidi ya ufisadi. Wananchi waelimishwe kwamba si vyema kupokea rushwa ili kupata kazi yoyote nchini .Hata hivyo, mashirika ya kijamii ya fadhili uongozi kwa kuunda mashirika ya kijamii ambapo itatilia mbolea kwa haki za kijamii. Vikundi kama vile muhuri ambayo ni mojawapo ya makundi ya waislamu kinachotoa haki za watu wote .Tunahitaji vikundi vingi kwani kidole kimoja hakivunji chawa na jiwe moja haliinjiki jiko. Serikali iliyo mamlakani ishughulikie mfumo wa vikundi hivi kwa haraka ipasavyo . Kwa kawaida wanahabari wapewe nafasi pana kuwaripotia umma kuhusu ufisadi wanahabari wapewe ulinzi wanaostahili kutoka kwa serikali ili umma uweze kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa wanahabari hawa na kutochukuliwa kama maadui katika jamii woga wote uwatoke wanahabari na waweze kupitisha ujumbe . Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini iweze kuwajulisha wanahabari kuhusu utafiti wao na wanahabari waweke kwa hadhira kuhusu maendeo ya ufisadi nchini.
Aidha, kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum watu Kusikiliza malalamiko ya umma ambapo umma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Malalamiko ya umma yaweze kupewa kipaumbele na kushughulikiwa ipasavyo. Baadhi ya malalamiko haya kushughulikiwa kwa haki utolewe ili kuleta amani na umoja katika jamii. na kutokomeza ufisadi. Wananchi wakiweza kutekeleza mambo haya basi kwa hakika wananchi wataishi maisha ya salama salimini: Hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini.
Hata hivyo, watumishi wa umma huhitajika kutangaza utajira wao. Watumishi hawa wanastahili kutangaza kama walivyo fanya shirika la Transparency International -
hivi karibuni na kusema kuwa nchi ya Jumuia ya Afrika mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi : Rwanda kuchukuwa nambari : 55, Tanzania 119, uganda 142 nayo Kenya kuchukua 1145 na burundi 159:
Nikimalizia, kwa kweli mgala muuwe na haki umpe. Zawadi zitolewe kwa wale wote watakao jihusisha na kukomesha ufisadi: Ni lazima tuungane ili tukomeshe ufisadi, basi tukifanya hivi tutaweza kuishi kwa salama salimini.
| Ufisadi umeleta nini | {
"text": [
"Balaa na beluwa"
]
} |
0194_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI
Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sasa. Wanafunzi si wanajamii si wazee waweze kushirikiana na kutokomeza ufisadi katika kaburi la sahau. Aina za ufisadi zinazotendeka nchini ni kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzungukwa mbuyu , kuzembea majukumu, ubaguzi wa rangi na hata ukabila. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, tukiungana mikono tunaweza kutokomeza kwa namna zifuatazo .Kwanza kabisa ili kuweza kutokomeza ufisadi huu nchini serikali inapaswa kuchukua hatua ya haraka kabla ya maji haujazidi unga · serikali ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi Ibuni vikundi maalum vitakavyotengwa mbali hususan kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi huu. Vikundi kama vile Tume ya kupambana na ufisadi viweze kuwa na moto wa kuutokomeza ufisadi. Vikundi hivyi viweze kujadiliana na kutoa ushauri dhidi ya ufisadi .Pili, kushtakiwa kwa viongozi .Viongozi walio na nyadhifa kazini kuelimishwa kwamba si vizuri kupokea rushwa au kutoa rushwa na endapo yoyote atajihusisha hivyo basi wanaohusika wawape adhabu kali kama kufungwa ili wawe mfano kwa wengine. Si wadogo si wakubwa wote waweze kushtakiwa kama alivyo fanya bwana Noordin Hajj kwa kuchukua hatua ya haraka · Yeye kama mkurugenzi wa mashtaka ameweza kutimiza jukumu lake kwa kuweza kumshtaki waziri wa fedha Bwana Henrich Rotich na naibu wake Kamau Truge Wawili hawa waliweza kushtakiwa dhidi ya ufisadi ,pesa za bwawa Arror na kimwerer. Tukijiunga mkono kwa kweli tunaweza kupeleka ufisadi jahanamu. Vilevile vyombo vya mawasiliano vitumiwe kuhamasisha umma. Vyombo vya mawasiliano kama vile vya kijadi vikiwemo redio, magazeti , mabango vitumiwe kwa kupitishia ujumbe wa kukomesha ufisadi vi ofisini si makazini ujumbe huu uwafikie na watu waweze kujirekebisha dhidi ya ufisadi. Wananchi waelimishwe kwamba si vyema kupokea rushwa ili kupata kazi yoyote nchini .Hata hivyo, mashirika ya kijamii ya fadhili uongozi kwa kuunda mashirika ya kijamii ambapo itatilia mbolea kwa haki za kijamii. Vikundi kama vile muhuri ambayo ni mojawapo ya makundi ya waislamu kinachotoa haki za watu wote .Tunahitaji vikundi vingi kwani kidole kimoja hakivunji chawa na jiwe moja haliinjiki jiko. Serikali iliyo mamlakani ishughulikie mfumo wa vikundi hivi kwa haraka ipasavyo . Kwa kawaida wanahabari wapewe nafasi pana kuwaripotia umma kuhusu ufisadi wanahabari wapewe ulinzi wanaostahili kutoka kwa serikali ili umma uweze kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa wanahabari hawa na kutochukuliwa kama maadui katika jamii woga wote uwatoke wanahabari na waweze kupitisha ujumbe . Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini iweze kuwajulisha wanahabari kuhusu utafiti wao na wanahabari waweke kwa hadhira kuhusu maendeo ya ufisadi nchini.
Aidha, kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum watu Kusikiliza malalamiko ya umma ambapo umma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Malalamiko ya umma yaweze kupewa kipaumbele na kushughulikiwa ipasavyo. Baadhi ya malalamiko haya kushughulikiwa kwa haki utolewe ili kuleta amani na umoja katika jamii. na kutokomeza ufisadi. Wananchi wakiweza kutekeleza mambo haya basi kwa hakika wananchi wataishi maisha ya salama salimini: Hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini.
Hata hivyo, watumishi wa umma huhitajika kutangaza utajira wao. Watumishi hawa wanastahili kutangaza kama walivyo fanya shirika la Transparency International -
hivi karibuni na kusema kuwa nchi ya Jumuia ya Afrika mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi : Rwanda kuchukuwa nambari : 55, Tanzania 119, uganda 142 nayo Kenya kuchukua 1145 na burundi 159:
Nikimalizia, kwa kweli mgala muuwe na haki umpe. Zawadi zitolewe kwa wale wote watakao jihusisha na kukomesha ufisadi: Ni lazima tuungane ili tukomeshe ufisadi, basi tukifanya hivi tutaweza kuishi kwa salama salimini.
| Umoja ni nguvu utengano ni nini | {
"text": [
"Udhaifu"
]
} |
0194_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI
Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sasa. Wanafunzi si wanajamii si wazee waweze kushirikiana na kutokomeza ufisadi katika kaburi la sahau. Aina za ufisadi zinazotendeka nchini ni kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzungukwa mbuyu , kuzembea majukumu, ubaguzi wa rangi na hata ukabila. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, tukiungana mikono tunaweza kutokomeza kwa namna zifuatazo .Kwanza kabisa ili kuweza kutokomeza ufisadi huu nchini serikali inapaswa kuchukua hatua ya haraka kabla ya maji haujazidi unga · serikali ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi Ibuni vikundi maalum vitakavyotengwa mbali hususan kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi huu. Vikundi kama vile Tume ya kupambana na ufisadi viweze kuwa na moto wa kuutokomeza ufisadi. Vikundi hivyi viweze kujadiliana na kutoa ushauri dhidi ya ufisadi .Pili, kushtakiwa kwa viongozi .Viongozi walio na nyadhifa kazini kuelimishwa kwamba si vizuri kupokea rushwa au kutoa rushwa na endapo yoyote atajihusisha hivyo basi wanaohusika wawape adhabu kali kama kufungwa ili wawe mfano kwa wengine. Si wadogo si wakubwa wote waweze kushtakiwa kama alivyo fanya bwana Noordin Hajj kwa kuchukua hatua ya haraka · Yeye kama mkurugenzi wa mashtaka ameweza kutimiza jukumu lake kwa kuweza kumshtaki waziri wa fedha Bwana Henrich Rotich na naibu wake Kamau Truge Wawili hawa waliweza kushtakiwa dhidi ya ufisadi ,pesa za bwawa Arror na kimwerer. Tukijiunga mkono kwa kweli tunaweza kupeleka ufisadi jahanamu. Vilevile vyombo vya mawasiliano vitumiwe kuhamasisha umma. Vyombo vya mawasiliano kama vile vya kijadi vikiwemo redio, magazeti , mabango vitumiwe kwa kupitishia ujumbe wa kukomesha ufisadi vi ofisini si makazini ujumbe huu uwafikie na watu waweze kujirekebisha dhidi ya ufisadi. Wananchi waelimishwe kwamba si vyema kupokea rushwa ili kupata kazi yoyote nchini .Hata hivyo, mashirika ya kijamii ya fadhili uongozi kwa kuunda mashirika ya kijamii ambapo itatilia mbolea kwa haki za kijamii. Vikundi kama vile muhuri ambayo ni mojawapo ya makundi ya waislamu kinachotoa haki za watu wote .Tunahitaji vikundi vingi kwani kidole kimoja hakivunji chawa na jiwe moja haliinjiki jiko. Serikali iliyo mamlakani ishughulikie mfumo wa vikundi hivi kwa haraka ipasavyo . Kwa kawaida wanahabari wapewe nafasi pana kuwaripotia umma kuhusu ufisadi wanahabari wapewe ulinzi wanaostahili kutoka kwa serikali ili umma uweze kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa wanahabari hawa na kutochukuliwa kama maadui katika jamii woga wote uwatoke wanahabari na waweze kupitisha ujumbe . Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini iweze kuwajulisha wanahabari kuhusu utafiti wao na wanahabari waweke kwa hadhira kuhusu maendeo ya ufisadi nchini.
Aidha, kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum watu Kusikiliza malalamiko ya umma ambapo umma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Malalamiko ya umma yaweze kupewa kipaumbele na kushughulikiwa ipasavyo. Baadhi ya malalamiko haya kushughulikiwa kwa haki utolewe ili kuleta amani na umoja katika jamii. na kutokomeza ufisadi. Wananchi wakiweza kutekeleza mambo haya basi kwa hakika wananchi wataishi maisha ya salama salimini: Hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini.
Hata hivyo, watumishi wa umma huhitajika kutangaza utajira wao. Watumishi hawa wanastahili kutangaza kama walivyo fanya shirika la Transparency International -
hivi karibuni na kusema kuwa nchi ya Jumuia ya Afrika mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi : Rwanda kuchukuwa nambari : 55, Tanzania 119, uganda 142 nayo Kenya kuchukua 1145 na burundi 159:
Nikimalizia, kwa kweli mgala muuwe na haki umpe. Zawadi zitolewe kwa wale wote watakao jihusisha na kukomesha ufisadi: Ni lazima tuungane ili tukomeshe ufisadi, basi tukifanya hivi tutaweza kuishi kwa salama salimini.
| Serikali inapaswa kuchukua nini | {
"text": [
"Hatua ya haraka"
]
} |
0194_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI
Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sasa. Wanafunzi si wanajamii si wazee waweze kushirikiana na kutokomeza ufisadi katika kaburi la sahau. Aina za ufisadi zinazotendeka nchini ni kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzungukwa mbuyu , kuzembea majukumu, ubaguzi wa rangi na hata ukabila. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, tukiungana mikono tunaweza kutokomeza kwa namna zifuatazo .Kwanza kabisa ili kuweza kutokomeza ufisadi huu nchini serikali inapaswa kuchukua hatua ya haraka kabla ya maji haujazidi unga · serikali ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni dhidi ya ufisadi Ibuni vikundi maalum vitakavyotengwa mbali hususan kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya ufisadi huu. Vikundi kama vile Tume ya kupambana na ufisadi viweze kuwa na moto wa kuutokomeza ufisadi. Vikundi hivyi viweze kujadiliana na kutoa ushauri dhidi ya ufisadi .Pili, kushtakiwa kwa viongozi .Viongozi walio na nyadhifa kazini kuelimishwa kwamba si vizuri kupokea rushwa au kutoa rushwa na endapo yoyote atajihusisha hivyo basi wanaohusika wawape adhabu kali kama kufungwa ili wawe mfano kwa wengine. Si wadogo si wakubwa wote waweze kushtakiwa kama alivyo fanya bwana Noordin Hajj kwa kuchukua hatua ya haraka · Yeye kama mkurugenzi wa mashtaka ameweza kutimiza jukumu lake kwa kuweza kumshtaki waziri wa fedha Bwana Henrich Rotich na naibu wake Kamau Truge Wawili hawa waliweza kushtakiwa dhidi ya ufisadi ,pesa za bwawa Arror na kimwerer. Tukijiunga mkono kwa kweli tunaweza kupeleka ufisadi jahanamu. Vilevile vyombo vya mawasiliano vitumiwe kuhamasisha umma. Vyombo vya mawasiliano kama vile vya kijadi vikiwemo redio, magazeti , mabango vitumiwe kwa kupitishia ujumbe wa kukomesha ufisadi vi ofisini si makazini ujumbe huu uwafikie na watu waweze kujirekebisha dhidi ya ufisadi. Wananchi waelimishwe kwamba si vyema kupokea rushwa ili kupata kazi yoyote nchini .Hata hivyo, mashirika ya kijamii ya fadhili uongozi kwa kuunda mashirika ya kijamii ambapo itatilia mbolea kwa haki za kijamii. Vikundi kama vile muhuri ambayo ni mojawapo ya makundi ya waislamu kinachotoa haki za watu wote .Tunahitaji vikundi vingi kwani kidole kimoja hakivunji chawa na jiwe moja haliinjiki jiko. Serikali iliyo mamlakani ishughulikie mfumo wa vikundi hivi kwa haraka ipasavyo . Kwa kawaida wanahabari wapewe nafasi pana kuwaripotia umma kuhusu ufisadi wanahabari wapewe ulinzi wanaostahili kutoka kwa serikali ili umma uweze kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa wanahabari hawa na kutochukuliwa kama maadui katika jamii woga wote uwatoke wanahabari na waweze kupitisha ujumbe . Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini iweze kuwajulisha wanahabari kuhusu utafiti wao na wanahabari waweke kwa hadhira kuhusu maendeo ya ufisadi nchini.
Aidha, kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum watu Kusikiliza malalamiko ya umma ambapo umma unaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Malalamiko ya umma yaweze kupewa kipaumbele na kushughulikiwa ipasavyo. Baadhi ya malalamiko haya kushughulikiwa kwa haki utolewe ili kuleta amani na umoja katika jamii. na kutokomeza ufisadi. Wananchi wakiweza kutekeleza mambo haya basi kwa hakika wananchi wataishi maisha ya salama salimini: Hakutakuwa na shida wala taabu hapa nchini.
Hata hivyo, watumishi wa umma huhitajika kutangaza utajira wao. Watumishi hawa wanastahili kutangaza kama walivyo fanya shirika la Transparency International -
hivi karibuni na kusema kuwa nchi ya Jumuia ya Afrika mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi : Rwanda kuchukuwa nambari : 55, Tanzania 119, uganda 142 nayo Kenya kuchukua 1145 na burundi 159:
Nikimalizia, kwa kweli mgala muuwe na haki umpe. Zawadi zitolewe kwa wale wote watakao jihusisha na kukomesha ufisadi: Ni lazima tuungane ili tukomeshe ufisadi, basi tukifanya hivi tutaweza kuishi kwa salama salimini.
| Kwa nini ushari utolewe | {
"text": [
"Ili kuleta amani na umoja katika jamii"
]
} |
0195_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Serikali ya Kenya kupitia rais Uhuru Kenyatta imepiga hatua mbele katika kupigana na kukabiliana na ufisadi Hizi hapa ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kukabili ufisadi nchini
kwanza, kuhamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu ufisadi na athari zake kupitia kwa vyombo vya mawasiliano Mitandao ya kijamii, runinga, magazeti na hata redio zinaweza kutumika katika kupitisha ujumbe kuhusiana na suala zima la ufisadi. Vijana wanaweza kuunda vikundi mbalimbali mitandaoni na kutoa mafunzo kuhusu ufisadi na hata kukampeni mitandaoni iwapo watashuhudia tendo la ufisadi likifanyika
Pili, nafasi pana kutolewa kwa wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari hao waripoti bila Kushinikizwa na yeyote na haki zao kupewa, hivi kwamba, mambo na usalama vitumike katika kuwalinda kutokana na viongozi walio na nia mbaya, mathalani wanaotaka kuwadhuru
tatu, serikali kuwakamata wahusika, kuwafikisha mahakamani na kuwashtaki. Endapo mhusika wa ufisadi atafungwa kifungo cha miaka isiyopungua ishirini bila kuachiliwa kwa dhamana, huenda likawa funzo kwake na kwa yule aliyekuwa na mipango ya kutaka kujihusisha na ufisadi, hivyo basi, kupunguza kiwango cha ufisadi nchini.
Hata hivyo, kuwafuta na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa umma wanaohusika na ufisadi kwa sababu endapo wataendelea wananchi ndio watakaoumia, kwa sababu wa fisadi hao watazidi kufuja mali ya umma huku wakifahamu fika kuwa hakuna kitakachowafikia
Vile vile, pia wanafaa kuwasiliana na serikali na kutoa ripoti kuhusu wanaohusika na ufisadi kupitia kwa nambari za simu zinazotolewa kwenye runinga na magazeti. Kwa mfano, endapo polisi wa trafiki watapatikana wakipokea rushwa kutoka kwa madereva waliokiuka kanuni na Sheria za barabarani, basi mwananchi yeyote aweze kuwasiliana na serikali kupitia nambari hizo na tukapunguze ufisadi. Si wazees si nvijana, si wake si waume, ni jukumu letu sisi sote kupambana na ufisadi.
Fauka ya hayo, Kuwahamisha wafanyikazi wa umma kutoka eneo moja hadi lingine kwa wanaotuhumiwa kuhusika na Ufisadi ili kuweza Kuziba mwanya ambao kwamba walikuwa wakitumia kujinufaisha na iwapo tuhuma hizi zitachunguzwa na kupatikana kuwa si ya kweli, basi itakuwa moja wapo ya njia ambazo kwamba wanaweza kutumia ili kusafisha majina yao kutokana na tuhuma hizo
tume ya Kuwachunguza, kuwahoji na kutafuta ukweli kuhusu wanaokisiwa kuwa na vitendo vya kifisadi kubunina, kama vile, Goldenbag na Angoleasing, ambapo wahusika katika sakata ya ufisadi watapelekwa na kuhojiwa na maafisa waliobobea katika kazi hiyo. Na iwapo watapatikana wamehusika na tendo lolote la kifisadi basi wazuiliwe mpaka watakapopelekwa mahakamani ...
Hata hivyo, tume ya maadili ya kupambana na ufisadi nchini iweze kupata ulinzi kutoka kwa serikali, ili kwamba, maafisa wanaofanya kazi katika wizara hizo waweze na kila mshukiwa wa Ufisadi. Hata iwe afisa wa ngazi za juu Katika serikali endapo watapatikana na kashfa yoyote ya ufisadi, basi waweze kuwafungulia mashtaka Hata hivyo, serikali Kutaifisha mali na mashamba yaliyonyakuliwa na kufanyiwa mali ya umma Viongozi wa ngazi za juu katika serikali walioiba mashamba ya wananchi walipokuwa madarakani waweze kupokonywa na kuridishiwa wananchi. Juu ya hayo, afisa yeyote katika wizara yoyote serekalini iwapo atapatikana amejihusisha na ufisadi; basi achunguzwe mali alizomiliki na endapo utapatikana na ufisadi wa aina yoyote basi mali hiyo kuuzwa na pesa Kurudishiwa wananchi.
Isitoshe, ushirikiano baina ya tume ya maadili na kupambana na ufisadi, idara ya upelelezi na mkurugenzi wa mashtaka ya umma katika juhudi zao za kupambana na ufisadi nchini kama tunavyo fahamu umoja ni nguvu, iwapo ushirikiano huu Tutaendelea, na wafisadi kutiwa mbaroni, basi huenda ufisadi ukamalizika nchini
Bila kusahau, ripoti ya pesa za umma zinafaa kuwekwa wazi ili wakenya waweze kufahamu kinaga ubaga kuhusiana na matumizi ya serikali na bajeti wanazozipanga. Wananchi pia waweze kuelewa pesa za umma zimetumika vipi na zinaenda wapi katika wizara gani Njia hii itakapotumika itakuwa ngumu kwa wafisadi kujaribu kufuja mali ya umma, kwani macho yote yatakuwa yameelekezwa kwao. Viongozi wa dini pia wanaweza kutoa mafunzo, misikitini, Kanisani, na shuleni au hata madrassa kwa kuwaonya
Mwisho ni kuwa, wafanyakazi wa umma wawe wakitangaza utajiri wao na iwe ikilinganishwa na kiasi cha mishahara wanachopata Na endapo kiasi cha mali ni nyingi Kupita mishahara wanaopata, basi waweze Kushtakiwa na Kuchunguzwa
Naam, uchunguzi uliofanywa na shirika la Transparency International, hivi karibuni imesema kuwa jumuiya za Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi, Rwanda ikiwa nambasi hamsini na tano, Tanzania ikichukua nafasi ya mia moja kumi na tisa, Uganda ikiwa nafasi ya mia moja arobaini na mbili, Kenya ikiwa nambari a mia moja arobaini na tano huku Burundi ikichukua nafasi at ya mia moja ambaini na tisa. Haya yote yamonyesha kwamba yaliyo na mwanzo yana mwisho pia, iwapo niliyoyajadili yatatiliwa of mkazo na kufuatwa huenda ufisadi ukamalizika kabisa nchini
Scanned with CamScanner | Ufisadi ni upokeaji wa nini | {
"text": [
"Hongo"
]
} |
0195_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Serikali ya Kenya kupitia rais Uhuru Kenyatta imepiga hatua mbele katika kupigana na kukabiliana na ufisadi Hizi hapa ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kukabili ufisadi nchini
kwanza, kuhamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu ufisadi na athari zake kupitia kwa vyombo vya mawasiliano Mitandao ya kijamii, runinga, magazeti na hata redio zinaweza kutumika katika kupitisha ujumbe kuhusiana na suala zima la ufisadi. Vijana wanaweza kuunda vikundi mbalimbali mitandaoni na kutoa mafunzo kuhusu ufisadi na hata kukampeni mitandaoni iwapo watashuhudia tendo la ufisadi likifanyika
Pili, nafasi pana kutolewa kwa wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari hao waripoti bila Kushinikizwa na yeyote na haki zao kupewa, hivi kwamba, mambo na usalama vitumike katika kuwalinda kutokana na viongozi walio na nia mbaya, mathalani wanaotaka kuwadhuru
tatu, serikali kuwakamata wahusika, kuwafikisha mahakamani na kuwashtaki. Endapo mhusika wa ufisadi atafungwa kifungo cha miaka isiyopungua ishirini bila kuachiliwa kwa dhamana, huenda likawa funzo kwake na kwa yule aliyekuwa na mipango ya kutaka kujihusisha na ufisadi, hivyo basi, kupunguza kiwango cha ufisadi nchini.
Hata hivyo, kuwafuta na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa umma wanaohusika na ufisadi kwa sababu endapo wataendelea wananchi ndio watakaoumia, kwa sababu wa fisadi hao watazidi kufuja mali ya umma huku wakifahamu fika kuwa hakuna kitakachowafikia
Vile vile, pia wanafaa kuwasiliana na serikali na kutoa ripoti kuhusu wanaohusika na ufisadi kupitia kwa nambari za simu zinazotolewa kwenye runinga na magazeti. Kwa mfano, endapo polisi wa trafiki watapatikana wakipokea rushwa kutoka kwa madereva waliokiuka kanuni na Sheria za barabarani, basi mwananchi yeyote aweze kuwasiliana na serikali kupitia nambari hizo na tukapunguze ufisadi. Si wazees si nvijana, si wake si waume, ni jukumu letu sisi sote kupambana na ufisadi.
Fauka ya hayo, Kuwahamisha wafanyikazi wa umma kutoka eneo moja hadi lingine kwa wanaotuhumiwa kuhusika na Ufisadi ili kuweza Kuziba mwanya ambao kwamba walikuwa wakitumia kujinufaisha na iwapo tuhuma hizi zitachunguzwa na kupatikana kuwa si ya kweli, basi itakuwa moja wapo ya njia ambazo kwamba wanaweza kutumia ili kusafisha majina yao kutokana na tuhuma hizo
tume ya Kuwachunguza, kuwahoji na kutafuta ukweli kuhusu wanaokisiwa kuwa na vitendo vya kifisadi kubunina, kama vile, Goldenbag na Angoleasing, ambapo wahusika katika sakata ya ufisadi watapelekwa na kuhojiwa na maafisa waliobobea katika kazi hiyo. Na iwapo watapatikana wamehusika na tendo lolote la kifisadi basi wazuiliwe mpaka watakapopelekwa mahakamani ...
Hata hivyo, tume ya maadili ya kupambana na ufisadi nchini iweze kupata ulinzi kutoka kwa serikali, ili kwamba, maafisa wanaofanya kazi katika wizara hizo waweze na kila mshukiwa wa Ufisadi. Hata iwe afisa wa ngazi za juu Katika serikali endapo watapatikana na kashfa yoyote ya ufisadi, basi waweze kuwafungulia mashtaka Hata hivyo, serikali Kutaifisha mali na mashamba yaliyonyakuliwa na kufanyiwa mali ya umma Viongozi wa ngazi za juu katika serikali walioiba mashamba ya wananchi walipokuwa madarakani waweze kupokonywa na kuridishiwa wananchi. Juu ya hayo, afisa yeyote katika wizara yoyote serekalini iwapo atapatikana amejihusisha na ufisadi; basi achunguzwe mali alizomiliki na endapo utapatikana na ufisadi wa aina yoyote basi mali hiyo kuuzwa na pesa Kurudishiwa wananchi.
Isitoshe, ushirikiano baina ya tume ya maadili na kupambana na ufisadi, idara ya upelelezi na mkurugenzi wa mashtaka ya umma katika juhudi zao za kupambana na ufisadi nchini kama tunavyo fahamu umoja ni nguvu, iwapo ushirikiano huu Tutaendelea, na wafisadi kutiwa mbaroni, basi huenda ufisadi ukamalizika nchini
Bila kusahau, ripoti ya pesa za umma zinafaa kuwekwa wazi ili wakenya waweze kufahamu kinaga ubaga kuhusiana na matumizi ya serikali na bajeti wanazozipanga. Wananchi pia waweze kuelewa pesa za umma zimetumika vipi na zinaenda wapi katika wizara gani Njia hii itakapotumika itakuwa ngumu kwa wafisadi kujaribu kufuja mali ya umma, kwani macho yote yatakuwa yameelekezwa kwao. Viongozi wa dini pia wanaweza kutoa mafunzo, misikitini, Kanisani, na shuleni au hata madrassa kwa kuwaonya
Mwisho ni kuwa, wafanyakazi wa umma wawe wakitangaza utajiri wao na iwe ikilinganishwa na kiasi cha mishahara wanachopata Na endapo kiasi cha mali ni nyingi Kupita mishahara wanaopata, basi waweze Kushtakiwa na Kuchunguzwa
Naam, uchunguzi uliofanywa na shirika la Transparency International, hivi karibuni imesema kuwa jumuiya za Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi, Rwanda ikiwa nambasi hamsini na tano, Tanzania ikichukua nafasi ya mia moja kumi na tisa, Uganda ikiwa nafasi ya mia moja arobaini na mbili, Kenya ikiwa nambari a mia moja arobaini na tano huku Burundi ikichukua nafasi at ya mia moja ambaini na tisa. Haya yote yamonyesha kwamba yaliyo na mwanzo yana mwisho pia, iwapo niliyoyajadili yatatiliwa of mkazo na kufuatwa huenda ufisadi ukamalizika kabisa nchini
Scanned with CamScanner | Vijana wataunda vikundi wapi | {
"text": [
"Mtandaoni"
]
} |
0195_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Serikali ya Kenya kupitia rais Uhuru Kenyatta imepiga hatua mbele katika kupigana na kukabiliana na ufisadi Hizi hapa ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kukabili ufisadi nchini
kwanza, kuhamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu ufisadi na athari zake kupitia kwa vyombo vya mawasiliano Mitandao ya kijamii, runinga, magazeti na hata redio zinaweza kutumika katika kupitisha ujumbe kuhusiana na suala zima la ufisadi. Vijana wanaweza kuunda vikundi mbalimbali mitandaoni na kutoa mafunzo kuhusu ufisadi na hata kukampeni mitandaoni iwapo watashuhudia tendo la ufisadi likifanyika
Pili, nafasi pana kutolewa kwa wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari hao waripoti bila Kushinikizwa na yeyote na haki zao kupewa, hivi kwamba, mambo na usalama vitumike katika kuwalinda kutokana na viongozi walio na nia mbaya, mathalani wanaotaka kuwadhuru
tatu, serikali kuwakamata wahusika, kuwafikisha mahakamani na kuwashtaki. Endapo mhusika wa ufisadi atafungwa kifungo cha miaka isiyopungua ishirini bila kuachiliwa kwa dhamana, huenda likawa funzo kwake na kwa yule aliyekuwa na mipango ya kutaka kujihusisha na ufisadi, hivyo basi, kupunguza kiwango cha ufisadi nchini.
Hata hivyo, kuwafuta na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa umma wanaohusika na ufisadi kwa sababu endapo wataendelea wananchi ndio watakaoumia, kwa sababu wa fisadi hao watazidi kufuja mali ya umma huku wakifahamu fika kuwa hakuna kitakachowafikia
Vile vile, pia wanafaa kuwasiliana na serikali na kutoa ripoti kuhusu wanaohusika na ufisadi kupitia kwa nambari za simu zinazotolewa kwenye runinga na magazeti. Kwa mfano, endapo polisi wa trafiki watapatikana wakipokea rushwa kutoka kwa madereva waliokiuka kanuni na Sheria za barabarani, basi mwananchi yeyote aweze kuwasiliana na serikali kupitia nambari hizo na tukapunguze ufisadi. Si wazees si nvijana, si wake si waume, ni jukumu letu sisi sote kupambana na ufisadi.
Fauka ya hayo, Kuwahamisha wafanyikazi wa umma kutoka eneo moja hadi lingine kwa wanaotuhumiwa kuhusika na Ufisadi ili kuweza Kuziba mwanya ambao kwamba walikuwa wakitumia kujinufaisha na iwapo tuhuma hizi zitachunguzwa na kupatikana kuwa si ya kweli, basi itakuwa moja wapo ya njia ambazo kwamba wanaweza kutumia ili kusafisha majina yao kutokana na tuhuma hizo
tume ya Kuwachunguza, kuwahoji na kutafuta ukweli kuhusu wanaokisiwa kuwa na vitendo vya kifisadi kubunina, kama vile, Goldenbag na Angoleasing, ambapo wahusika katika sakata ya ufisadi watapelekwa na kuhojiwa na maafisa waliobobea katika kazi hiyo. Na iwapo watapatikana wamehusika na tendo lolote la kifisadi basi wazuiliwe mpaka watakapopelekwa mahakamani ...
Hata hivyo, tume ya maadili ya kupambana na ufisadi nchini iweze kupata ulinzi kutoka kwa serikali, ili kwamba, maafisa wanaofanya kazi katika wizara hizo waweze na kila mshukiwa wa Ufisadi. Hata iwe afisa wa ngazi za juu Katika serikali endapo watapatikana na kashfa yoyote ya ufisadi, basi waweze kuwafungulia mashtaka Hata hivyo, serikali Kutaifisha mali na mashamba yaliyonyakuliwa na kufanyiwa mali ya umma Viongozi wa ngazi za juu katika serikali walioiba mashamba ya wananchi walipokuwa madarakani waweze kupokonywa na kuridishiwa wananchi. Juu ya hayo, afisa yeyote katika wizara yoyote serekalini iwapo atapatikana amejihusisha na ufisadi; basi achunguzwe mali alizomiliki na endapo utapatikana na ufisadi wa aina yoyote basi mali hiyo kuuzwa na pesa Kurudishiwa wananchi.
Isitoshe, ushirikiano baina ya tume ya maadili na kupambana na ufisadi, idara ya upelelezi na mkurugenzi wa mashtaka ya umma katika juhudi zao za kupambana na ufisadi nchini kama tunavyo fahamu umoja ni nguvu, iwapo ushirikiano huu Tutaendelea, na wafisadi kutiwa mbaroni, basi huenda ufisadi ukamalizika nchini
Bila kusahau, ripoti ya pesa za umma zinafaa kuwekwa wazi ili wakenya waweze kufahamu kinaga ubaga kuhusiana na matumizi ya serikali na bajeti wanazozipanga. Wananchi pia waweze kuelewa pesa za umma zimetumika vipi na zinaenda wapi katika wizara gani Njia hii itakapotumika itakuwa ngumu kwa wafisadi kujaribu kufuja mali ya umma, kwani macho yote yatakuwa yameelekezwa kwao. Viongozi wa dini pia wanaweza kutoa mafunzo, misikitini, Kanisani, na shuleni au hata madrassa kwa kuwaonya
Mwisho ni kuwa, wafanyakazi wa umma wawe wakitangaza utajiri wao na iwe ikilinganishwa na kiasi cha mishahara wanachopata Na endapo kiasi cha mali ni nyingi Kupita mishahara wanaopata, basi waweze Kushtakiwa na Kuchunguzwa
Naam, uchunguzi uliofanywa na shirika la Transparency International, hivi karibuni imesema kuwa jumuiya za Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi, Rwanda ikiwa nambasi hamsini na tano, Tanzania ikichukua nafasi ya mia moja kumi na tisa, Uganda ikiwa nafasi ya mia moja arobaini na mbili, Kenya ikiwa nambari a mia moja arobaini na tano huku Burundi ikichukua nafasi at ya mia moja ambaini na tisa. Haya yote yamonyesha kwamba yaliyo na mwanzo yana mwisho pia, iwapo niliyoyajadili yatatiliwa of mkazo na kufuatwa huenda ufisadi ukamalizika kabisa nchini
Scanned with CamScanner | Nafasi itolewe Kwa wanahabari kuripoti nini | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
0195_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Serikali ya Kenya kupitia rais Uhuru Kenyatta imepiga hatua mbele katika kupigana na kukabiliana na ufisadi Hizi hapa ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kukabili ufisadi nchini
kwanza, kuhamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu ufisadi na athari zake kupitia kwa vyombo vya mawasiliano Mitandao ya kijamii, runinga, magazeti na hata redio zinaweza kutumika katika kupitisha ujumbe kuhusiana na suala zima la ufisadi. Vijana wanaweza kuunda vikundi mbalimbali mitandaoni na kutoa mafunzo kuhusu ufisadi na hata kukampeni mitandaoni iwapo watashuhudia tendo la ufisadi likifanyika
Pili, nafasi pana kutolewa kwa wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari hao waripoti bila Kushinikizwa na yeyote na haki zao kupewa, hivi kwamba, mambo na usalama vitumike katika kuwalinda kutokana na viongozi walio na nia mbaya, mathalani wanaotaka kuwadhuru
tatu, serikali kuwakamata wahusika, kuwafikisha mahakamani na kuwashtaki. Endapo mhusika wa ufisadi atafungwa kifungo cha miaka isiyopungua ishirini bila kuachiliwa kwa dhamana, huenda likawa funzo kwake na kwa yule aliyekuwa na mipango ya kutaka kujihusisha na ufisadi, hivyo basi, kupunguza kiwango cha ufisadi nchini.
Hata hivyo, kuwafuta na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa umma wanaohusika na ufisadi kwa sababu endapo wataendelea wananchi ndio watakaoumia, kwa sababu wa fisadi hao watazidi kufuja mali ya umma huku wakifahamu fika kuwa hakuna kitakachowafikia
Vile vile, pia wanafaa kuwasiliana na serikali na kutoa ripoti kuhusu wanaohusika na ufisadi kupitia kwa nambari za simu zinazotolewa kwenye runinga na magazeti. Kwa mfano, endapo polisi wa trafiki watapatikana wakipokea rushwa kutoka kwa madereva waliokiuka kanuni na Sheria za barabarani, basi mwananchi yeyote aweze kuwasiliana na serikali kupitia nambari hizo na tukapunguze ufisadi. Si wazees si nvijana, si wake si waume, ni jukumu letu sisi sote kupambana na ufisadi.
Fauka ya hayo, Kuwahamisha wafanyikazi wa umma kutoka eneo moja hadi lingine kwa wanaotuhumiwa kuhusika na Ufisadi ili kuweza Kuziba mwanya ambao kwamba walikuwa wakitumia kujinufaisha na iwapo tuhuma hizi zitachunguzwa na kupatikana kuwa si ya kweli, basi itakuwa moja wapo ya njia ambazo kwamba wanaweza kutumia ili kusafisha majina yao kutokana na tuhuma hizo
tume ya Kuwachunguza, kuwahoji na kutafuta ukweli kuhusu wanaokisiwa kuwa na vitendo vya kifisadi kubunina, kama vile, Goldenbag na Angoleasing, ambapo wahusika katika sakata ya ufisadi watapelekwa na kuhojiwa na maafisa waliobobea katika kazi hiyo. Na iwapo watapatikana wamehusika na tendo lolote la kifisadi basi wazuiliwe mpaka watakapopelekwa mahakamani ...
Hata hivyo, tume ya maadili ya kupambana na ufisadi nchini iweze kupata ulinzi kutoka kwa serikali, ili kwamba, maafisa wanaofanya kazi katika wizara hizo waweze na kila mshukiwa wa Ufisadi. Hata iwe afisa wa ngazi za juu Katika serikali endapo watapatikana na kashfa yoyote ya ufisadi, basi waweze kuwafungulia mashtaka Hata hivyo, serikali Kutaifisha mali na mashamba yaliyonyakuliwa na kufanyiwa mali ya umma Viongozi wa ngazi za juu katika serikali walioiba mashamba ya wananchi walipokuwa madarakani waweze kupokonywa na kuridishiwa wananchi. Juu ya hayo, afisa yeyote katika wizara yoyote serekalini iwapo atapatikana amejihusisha na ufisadi; basi achunguzwe mali alizomiliki na endapo utapatikana na ufisadi wa aina yoyote basi mali hiyo kuuzwa na pesa Kurudishiwa wananchi.
Isitoshe, ushirikiano baina ya tume ya maadili na kupambana na ufisadi, idara ya upelelezi na mkurugenzi wa mashtaka ya umma katika juhudi zao za kupambana na ufisadi nchini kama tunavyo fahamu umoja ni nguvu, iwapo ushirikiano huu Tutaendelea, na wafisadi kutiwa mbaroni, basi huenda ufisadi ukamalizika nchini
Bila kusahau, ripoti ya pesa za umma zinafaa kuwekwa wazi ili wakenya waweze kufahamu kinaga ubaga kuhusiana na matumizi ya serikali na bajeti wanazozipanga. Wananchi pia waweze kuelewa pesa za umma zimetumika vipi na zinaenda wapi katika wizara gani Njia hii itakapotumika itakuwa ngumu kwa wafisadi kujaribu kufuja mali ya umma, kwani macho yote yatakuwa yameelekezwa kwao. Viongozi wa dini pia wanaweza kutoa mafunzo, misikitini, Kanisani, na shuleni au hata madrassa kwa kuwaonya
Mwisho ni kuwa, wafanyakazi wa umma wawe wakitangaza utajiri wao na iwe ikilinganishwa na kiasi cha mishahara wanachopata Na endapo kiasi cha mali ni nyingi Kupita mishahara wanaopata, basi waweze Kushtakiwa na Kuchunguzwa
Naam, uchunguzi uliofanywa na shirika la Transparency International, hivi karibuni imesema kuwa jumuiya za Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi, Rwanda ikiwa nambasi hamsini na tano, Tanzania ikichukua nafasi ya mia moja kumi na tisa, Uganda ikiwa nafasi ya mia moja arobaini na mbili, Kenya ikiwa nambari a mia moja arobaini na tano huku Burundi ikichukua nafasi at ya mia moja ambaini na tisa. Haya yote yamonyesha kwamba yaliyo na mwanzo yana mwisho pia, iwapo niliyoyajadili yatatiliwa of mkazo na kufuatwa huenda ufisadi ukamalizika kabisa nchini
Scanned with CamScanner | Serikali inafaa kuifanya ya nani mali iliyotaifishwa | {
"text": [
"Umma"
]
} |
0195_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI
Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Serikali ya Kenya kupitia rais Uhuru Kenyatta imepiga hatua mbele katika kupigana na kukabiliana na ufisadi Hizi hapa ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kukabili ufisadi nchini
kwanza, kuhamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu ufisadi na athari zake kupitia kwa vyombo vya mawasiliano Mitandao ya kijamii, runinga, magazeti na hata redio zinaweza kutumika katika kupitisha ujumbe kuhusiana na suala zima la ufisadi. Vijana wanaweza kuunda vikundi mbalimbali mitandaoni na kutoa mafunzo kuhusu ufisadi na hata kukampeni mitandaoni iwapo watashuhudia tendo la ufisadi likifanyika
Pili, nafasi pana kutolewa kwa wanahabari wa umma kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari hao waripoti bila Kushinikizwa na yeyote na haki zao kupewa, hivi kwamba, mambo na usalama vitumike katika kuwalinda kutokana na viongozi walio na nia mbaya, mathalani wanaotaka kuwadhuru
tatu, serikali kuwakamata wahusika, kuwafikisha mahakamani na kuwashtaki. Endapo mhusika wa ufisadi atafungwa kifungo cha miaka isiyopungua ishirini bila kuachiliwa kwa dhamana, huenda likawa funzo kwake na kwa yule aliyekuwa na mipango ya kutaka kujihusisha na ufisadi, hivyo basi, kupunguza kiwango cha ufisadi nchini.
Hata hivyo, kuwafuta na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa umma wanaohusika na ufisadi kwa sababu endapo wataendelea wananchi ndio watakaoumia, kwa sababu wa fisadi hao watazidi kufuja mali ya umma huku wakifahamu fika kuwa hakuna kitakachowafikia
Vile vile, pia wanafaa kuwasiliana na serikali na kutoa ripoti kuhusu wanaohusika na ufisadi kupitia kwa nambari za simu zinazotolewa kwenye runinga na magazeti. Kwa mfano, endapo polisi wa trafiki watapatikana wakipokea rushwa kutoka kwa madereva waliokiuka kanuni na Sheria za barabarani, basi mwananchi yeyote aweze kuwasiliana na serikali kupitia nambari hizo na tukapunguze ufisadi. Si wazees si nvijana, si wake si waume, ni jukumu letu sisi sote kupambana na ufisadi.
Fauka ya hayo, Kuwahamisha wafanyikazi wa umma kutoka eneo moja hadi lingine kwa wanaotuhumiwa kuhusika na Ufisadi ili kuweza Kuziba mwanya ambao kwamba walikuwa wakitumia kujinufaisha na iwapo tuhuma hizi zitachunguzwa na kupatikana kuwa si ya kweli, basi itakuwa moja wapo ya njia ambazo kwamba wanaweza kutumia ili kusafisha majina yao kutokana na tuhuma hizo
tume ya Kuwachunguza, kuwahoji na kutafuta ukweli kuhusu wanaokisiwa kuwa na vitendo vya kifisadi kubunina, kama vile, Goldenbag na Angoleasing, ambapo wahusika katika sakata ya ufisadi watapelekwa na kuhojiwa na maafisa waliobobea katika kazi hiyo. Na iwapo watapatikana wamehusika na tendo lolote la kifisadi basi wazuiliwe mpaka watakapopelekwa mahakamani ...
Hata hivyo, tume ya maadili ya kupambana na ufisadi nchini iweze kupata ulinzi kutoka kwa serikali, ili kwamba, maafisa wanaofanya kazi katika wizara hizo waweze na kila mshukiwa wa Ufisadi. Hata iwe afisa wa ngazi za juu Katika serikali endapo watapatikana na kashfa yoyote ya ufisadi, basi waweze kuwafungulia mashtaka Hata hivyo, serikali Kutaifisha mali na mashamba yaliyonyakuliwa na kufanyiwa mali ya umma Viongozi wa ngazi za juu katika serikali walioiba mashamba ya wananchi walipokuwa madarakani waweze kupokonywa na kuridishiwa wananchi. Juu ya hayo, afisa yeyote katika wizara yoyote serekalini iwapo atapatikana amejihusisha na ufisadi; basi achunguzwe mali alizomiliki na endapo utapatikana na ufisadi wa aina yoyote basi mali hiyo kuuzwa na pesa Kurudishiwa wananchi.
Isitoshe, ushirikiano baina ya tume ya maadili na kupambana na ufisadi, idara ya upelelezi na mkurugenzi wa mashtaka ya umma katika juhudi zao za kupambana na ufisadi nchini kama tunavyo fahamu umoja ni nguvu, iwapo ushirikiano huu Tutaendelea, na wafisadi kutiwa mbaroni, basi huenda ufisadi ukamalizika nchini
Bila kusahau, ripoti ya pesa za umma zinafaa kuwekwa wazi ili wakenya waweze kufahamu kinaga ubaga kuhusiana na matumizi ya serikali na bajeti wanazozipanga. Wananchi pia waweze kuelewa pesa za umma zimetumika vipi na zinaenda wapi katika wizara gani Njia hii itakapotumika itakuwa ngumu kwa wafisadi kujaribu kufuja mali ya umma, kwani macho yote yatakuwa yameelekezwa kwao. Viongozi wa dini pia wanaweza kutoa mafunzo, misikitini, Kanisani, na shuleni au hata madrassa kwa kuwaonya
Mwisho ni kuwa, wafanyakazi wa umma wawe wakitangaza utajiri wao na iwe ikilinganishwa na kiasi cha mishahara wanachopata Na endapo kiasi cha mali ni nyingi Kupita mishahara wanaopata, basi waweze Kushtakiwa na Kuchunguzwa
Naam, uchunguzi uliofanywa na shirika la Transparency International, hivi karibuni imesema kuwa jumuiya za Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi, Rwanda ikiwa nambasi hamsini na tano, Tanzania ikichukua nafasi ya mia moja kumi na tisa, Uganda ikiwa nafasi ya mia moja arobaini na mbili, Kenya ikiwa nambari a mia moja arobaini na tano huku Burundi ikichukua nafasi at ya mia moja ambaini na tisa. Haya yote yamonyesha kwamba yaliyo na mwanzo yana mwisho pia, iwapo niliyoyajadili yatatiliwa of mkazo na kufuatwa huenda ufisadi ukamalizika kabisa nchini
Scanned with CamScanner | Kwa nini wafanyikazi wa umma watangaze mali yao | {
"text": [
"Kuzuia ufisadi"
]
} |
0196_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI
Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha uchumi kwa kula mali ya umma ambapo ingetumika kuimarisha uchumi wa nchi. Kuna aina nyingi za ufisadi nazo ni: kuzungaku mbuyu, kuzungukwa mbuyu ,kufuja mali ya umma na ukabilia Haya yote inawatumbkiza wananchi kwa balaa kubwa. Ufisadi unaweza Kuwekwa katika kaburi la Suhau, lwapo Serikali, wananchi wanajamii, wataungana mikono nu kuchukua hatua zifuatazo
Serikali lazima kama ibada ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni kupambana na ufisadi. Taasisi hiyo jukumu lake kuu ni kuchunguza na kutoa mapendekezo na namna ya kupambana na ufisadi . Serikali lazima ifanye mkono wa paka katika suala hili. Ni wajibu wake kushirikisha watu wa kanisani na pia wa misikitini. Ushirikiano huu linaweza Kutoa shauri mbalimbali na uliyobeba uzito kwani walienga wahinena kidole kimoja hakivunji Chawa
Pili mahakama inapasa kuweka sheria kali kwa yule yeyote atakaye fanya ufisadi nchini Sheria hizo ni kama kifo and maisha gerazani. Sheria hii itawaogopesha yeyote anayejaribu kufanya kitendo kama hiki litapunguza idadi ya wafisadi nchini. Wenye mikono mirefu kama paka zitapungua. Kama watu wote watashtakiwa kama walivyoshikwa waziri fedha ambaye ni Henrich Rotichi na naibu wake kamau Thuge,
Aidha vyombo vya mawasiliano au kijadi na kisasa zime tumike Kuelimisha watu kuhusu ufisade Vyombo kama vile, Redio Mabango, Majanda ni vyombo vya kijadi ambapo mpaka muda huu unatumika kwa mfano redio itumike kutunga za aina za ufisadi na pia wafunzwe kuwa si vizuri kutumia rushwa ili mtu apate kazi. Waama, achinikaye kwa mpini hafi njaa. Vile vile vyombo vya mawasiliano vya kisasa kama vile runinga zitumike kuanika wale ambao hufanya ufisadi. Hivyo basi inaweza kupunguza mikono mirefu barabarani, hosipitalini hali kadhalika. Serikali ianzishe. halmashauri ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi ambayo itawahusisha makundi ya kidini, vyama ya wataalamu sekta ya kibinafsi na ile ya wafanyikazi ufisadi huu unaweza kupungua kama makundi hayo yote yatajizatiti kama mchwa anayejenga kichuguu kwa mate.
Ningependekeza kuimarishwa kwa taasisi za uongozi haki, sheria na utengamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Makundi haya au mashirika haya yanaweza kuwa bora zaidi na kuwafaa wananchi hivyo basi ufisadi utapungua kiasi kikubwa.
Pia, wanahabari wapate ulinzi kamili kwa serikali kwani wanaogepea maisha yao ilhali wameacha familia inayowategemea kuleta mikate kila siku. Hio imeathiri sana wanahabari kwani wafisadi wanaotoa pesa na kuwapa watu ili wauwe wanahabari hao wanavyofanya hadharani. Badala wanasiasa waonekana wabaya na wanahabari ndiyo wanaonekana wabaya. Na kazi yao au makosa yao eti wana anika wafisadi wa nchi. Hivyo basi ulinzi uamarishwe ili wafisadi wajulikane.
Vilevile, ningependekeza serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamishi ya umma ambapo umma unaweza kuripoti Mradi huu utawezesha watu waliokuwa mbali na ofisi kuu au kupambana na mafisadi.
Waama Mgala muuwe na haki yake mpe, zawadi zitolewe kwa wale ambao wanao anika machisuda kama wanahabari na pia kwa aile kaunti ambazo hazing ufisadi, hii stiuapa motisha watu wajikinge au waji eke mbali na unidade.
Nikitamatimisha Ningependekeza watumishi wa umma kutangaza utajiri wao , hii itajulisha bayana ninami lanafanya whirudi kwa sababa watu wengi huandikwa Kasi duni ambazo unataraji kuwa mshahara utakuwa mdogo. Njia hii tutajua mienendo ya watu kupata utajiri.
Nikikunja Jamvi hii nina matumaini kwamba katika mapendekezo serikali wanajamii wote kwa jumla watachukulia uzito mambo haya Chambilecho wahenga Umoja ni nishati vingine ni udhaifu.
| Serikali inapaswa kushirikisha nani katika swala la ufisadi | {
"text": [
"watu wa kanisani/msikitini"
]
} |
0196_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI
Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha uchumi kwa kula mali ya umma ambapo ingetumika kuimarisha uchumi wa nchi. Kuna aina nyingi za ufisadi nazo ni: kuzungaku mbuyu, kuzungukwa mbuyu ,kufuja mali ya umma na ukabilia Haya yote inawatumbkiza wananchi kwa balaa kubwa. Ufisadi unaweza Kuwekwa katika kaburi la Suhau, lwapo Serikali, wananchi wanajamii, wataungana mikono nu kuchukua hatua zifuatazo
Serikali lazima kama ibada ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni kupambana na ufisadi. Taasisi hiyo jukumu lake kuu ni kuchunguza na kutoa mapendekezo na namna ya kupambana na ufisadi . Serikali lazima ifanye mkono wa paka katika suala hili. Ni wajibu wake kushirikisha watu wa kanisani na pia wa misikitini. Ushirikiano huu linaweza Kutoa shauri mbalimbali na uliyobeba uzito kwani walienga wahinena kidole kimoja hakivunji Chawa
Pili mahakama inapasa kuweka sheria kali kwa yule yeyote atakaye fanya ufisadi nchini Sheria hizo ni kama kifo and maisha gerazani. Sheria hii itawaogopesha yeyote anayejaribu kufanya kitendo kama hiki litapunguza idadi ya wafisadi nchini. Wenye mikono mirefu kama paka zitapungua. Kama watu wote watashtakiwa kama walivyoshikwa waziri fedha ambaye ni Henrich Rotichi na naibu wake kamau Thuge,
Aidha vyombo vya mawasiliano au kijadi na kisasa zime tumike Kuelimisha watu kuhusu ufisade Vyombo kama vile, Redio Mabango, Majanda ni vyombo vya kijadi ambapo mpaka muda huu unatumika kwa mfano redio itumike kutunga za aina za ufisadi na pia wafunzwe kuwa si vizuri kutumia rushwa ili mtu apate kazi. Waama, achinikaye kwa mpini hafi njaa. Vile vile vyombo vya mawasiliano vya kisasa kama vile runinga zitumike kuanika wale ambao hufanya ufisadi. Hivyo basi inaweza kupunguza mikono mirefu barabarani, hosipitalini hali kadhalika. Serikali ianzishe. halmashauri ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi ambayo itawahusisha makundi ya kidini, vyama ya wataalamu sekta ya kibinafsi na ile ya wafanyikazi ufisadi huu unaweza kupungua kama makundi hayo yote yatajizatiti kama mchwa anayejenga kichuguu kwa mate.
Ningependekeza kuimarishwa kwa taasisi za uongozi haki, sheria na utengamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Makundi haya au mashirika haya yanaweza kuwa bora zaidi na kuwafaa wananchi hivyo basi ufisadi utapungua kiasi kikubwa.
Pia, wanahabari wapate ulinzi kamili kwa serikali kwani wanaogepea maisha yao ilhali wameacha familia inayowategemea kuleta mikate kila siku. Hio imeathiri sana wanahabari kwani wafisadi wanaotoa pesa na kuwapa watu ili wauwe wanahabari hao wanavyofanya hadharani. Badala wanasiasa waonekana wabaya na wanahabari ndiyo wanaonekana wabaya. Na kazi yao au makosa yao eti wana anika wafisadi wa nchi. Hivyo basi ulinzi uamarishwe ili wafisadi wajulikane.
Vilevile, ningependekeza serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamishi ya umma ambapo umma unaweza kuripoti Mradi huu utawezesha watu waliokuwa mbali na ofisi kuu au kupambana na mafisadi.
Waama Mgala muuwe na haki yake mpe, zawadi zitolewe kwa wale ambao wanao anika machisuda kama wanahabari na pia kwa aile kaunti ambazo hazing ufisadi, hii stiuapa motisha watu wajikinge au waji eke mbali na unidade.
Nikitamatimisha Ningependekeza watumishi wa umma kutangaza utajiri wao , hii itajulisha bayana ninami lanafanya whirudi kwa sababa watu wengi huandikwa Kasi duni ambazo unataraji kuwa mshahara utakuwa mdogo. Njia hii tutajua mienendo ya watu kupata utajiri.
Nikikunja Jamvi hii nina matumaini kwamba katika mapendekezo serikali wanajamii wote kwa jumla watachukulia uzito mambo haya Chambilecho wahenga Umoja ni nishati vingine ni udhaifu.
| Ni sheria gani mahakama inapaswa kuweka kwa wafisadi | {
"text": [
"kifo/maisha gerezani"
]
} |
0196_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI
Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha uchumi kwa kula mali ya umma ambapo ingetumika kuimarisha uchumi wa nchi. Kuna aina nyingi za ufisadi nazo ni: kuzungaku mbuyu, kuzungukwa mbuyu ,kufuja mali ya umma na ukabilia Haya yote inawatumbkiza wananchi kwa balaa kubwa. Ufisadi unaweza Kuwekwa katika kaburi la Suhau, lwapo Serikali, wananchi wanajamii, wataungana mikono nu kuchukua hatua zifuatazo
Serikali lazima kama ibada ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni kupambana na ufisadi. Taasisi hiyo jukumu lake kuu ni kuchunguza na kutoa mapendekezo na namna ya kupambana na ufisadi . Serikali lazima ifanye mkono wa paka katika suala hili. Ni wajibu wake kushirikisha watu wa kanisani na pia wa misikitini. Ushirikiano huu linaweza Kutoa shauri mbalimbali na uliyobeba uzito kwani walienga wahinena kidole kimoja hakivunji Chawa
Pili mahakama inapasa kuweka sheria kali kwa yule yeyote atakaye fanya ufisadi nchini Sheria hizo ni kama kifo and maisha gerazani. Sheria hii itawaogopesha yeyote anayejaribu kufanya kitendo kama hiki litapunguza idadi ya wafisadi nchini. Wenye mikono mirefu kama paka zitapungua. Kama watu wote watashtakiwa kama walivyoshikwa waziri fedha ambaye ni Henrich Rotichi na naibu wake kamau Thuge,
Aidha vyombo vya mawasiliano au kijadi na kisasa zime tumike Kuelimisha watu kuhusu ufisade Vyombo kama vile, Redio Mabango, Majanda ni vyombo vya kijadi ambapo mpaka muda huu unatumika kwa mfano redio itumike kutunga za aina za ufisadi na pia wafunzwe kuwa si vizuri kutumia rushwa ili mtu apate kazi. Waama, achinikaye kwa mpini hafi njaa. Vile vile vyombo vya mawasiliano vya kisasa kama vile runinga zitumike kuanika wale ambao hufanya ufisadi. Hivyo basi inaweza kupunguza mikono mirefu barabarani, hosipitalini hali kadhalika. Serikali ianzishe. halmashauri ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi ambayo itawahusisha makundi ya kidini, vyama ya wataalamu sekta ya kibinafsi na ile ya wafanyikazi ufisadi huu unaweza kupungua kama makundi hayo yote yatajizatiti kama mchwa anayejenga kichuguu kwa mate.
Ningependekeza kuimarishwa kwa taasisi za uongozi haki, sheria na utengamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Makundi haya au mashirika haya yanaweza kuwa bora zaidi na kuwafaa wananchi hivyo basi ufisadi utapungua kiasi kikubwa.
Pia, wanahabari wapate ulinzi kamili kwa serikali kwani wanaogepea maisha yao ilhali wameacha familia inayowategemea kuleta mikate kila siku. Hio imeathiri sana wanahabari kwani wafisadi wanaotoa pesa na kuwapa watu ili wauwe wanahabari hao wanavyofanya hadharani. Badala wanasiasa waonekana wabaya na wanahabari ndiyo wanaonekana wabaya. Na kazi yao au makosa yao eti wana anika wafisadi wa nchi. Hivyo basi ulinzi uamarishwe ili wafisadi wajulikane.
Vilevile, ningependekeza serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamishi ya umma ambapo umma unaweza kuripoti Mradi huu utawezesha watu waliokuwa mbali na ofisi kuu au kupambana na mafisadi.
Waama Mgala muuwe na haki yake mpe, zawadi zitolewe kwa wale ambao wanao anika machisuda kama wanahabari na pia kwa aile kaunti ambazo hazing ufisadi, hii stiuapa motisha watu wajikinge au waji eke mbali na unidade.
Nikitamatimisha Ningependekeza watumishi wa umma kutangaza utajiri wao , hii itajulisha bayana ninami lanafanya whirudi kwa sababa watu wengi huandikwa Kasi duni ambazo unataraji kuwa mshahara utakuwa mdogo. Njia hii tutajua mienendo ya watu kupata utajiri.
Nikikunja Jamvi hii nina matumaini kwamba katika mapendekezo serikali wanajamii wote kwa jumla watachukulia uzito mambo haya Chambilecho wahenga Umoja ni nishati vingine ni udhaifu.
| Ni nani hutoa pesa ili wanahabari wauawe | {
"text": [
"wafisadi"
]
} |
0196_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI
Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha uchumi kwa kula mali ya umma ambapo ingetumika kuimarisha uchumi wa nchi. Kuna aina nyingi za ufisadi nazo ni: kuzungaku mbuyu, kuzungukwa mbuyu ,kufuja mali ya umma na ukabilia Haya yote inawatumbkiza wananchi kwa balaa kubwa. Ufisadi unaweza Kuwekwa katika kaburi la Suhau, lwapo Serikali, wananchi wanajamii, wataungana mikono nu kuchukua hatua zifuatazo
Serikali lazima kama ibada ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni kupambana na ufisadi. Taasisi hiyo jukumu lake kuu ni kuchunguza na kutoa mapendekezo na namna ya kupambana na ufisadi . Serikali lazima ifanye mkono wa paka katika suala hili. Ni wajibu wake kushirikisha watu wa kanisani na pia wa misikitini. Ushirikiano huu linaweza Kutoa shauri mbalimbali na uliyobeba uzito kwani walienga wahinena kidole kimoja hakivunji Chawa
Pili mahakama inapasa kuweka sheria kali kwa yule yeyote atakaye fanya ufisadi nchini Sheria hizo ni kama kifo and maisha gerazani. Sheria hii itawaogopesha yeyote anayejaribu kufanya kitendo kama hiki litapunguza idadi ya wafisadi nchini. Wenye mikono mirefu kama paka zitapungua. Kama watu wote watashtakiwa kama walivyoshikwa waziri fedha ambaye ni Henrich Rotichi na naibu wake kamau Thuge,
Aidha vyombo vya mawasiliano au kijadi na kisasa zime tumike Kuelimisha watu kuhusu ufisade Vyombo kama vile, Redio Mabango, Majanda ni vyombo vya kijadi ambapo mpaka muda huu unatumika kwa mfano redio itumike kutunga za aina za ufisadi na pia wafunzwe kuwa si vizuri kutumia rushwa ili mtu apate kazi. Waama, achinikaye kwa mpini hafi njaa. Vile vile vyombo vya mawasiliano vya kisasa kama vile runinga zitumike kuanika wale ambao hufanya ufisadi. Hivyo basi inaweza kupunguza mikono mirefu barabarani, hosipitalini hali kadhalika. Serikali ianzishe. halmashauri ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi ambayo itawahusisha makundi ya kidini, vyama ya wataalamu sekta ya kibinafsi na ile ya wafanyikazi ufisadi huu unaweza kupungua kama makundi hayo yote yatajizatiti kama mchwa anayejenga kichuguu kwa mate.
Ningependekeza kuimarishwa kwa taasisi za uongozi haki, sheria na utengamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Makundi haya au mashirika haya yanaweza kuwa bora zaidi na kuwafaa wananchi hivyo basi ufisadi utapungua kiasi kikubwa.
Pia, wanahabari wapate ulinzi kamili kwa serikali kwani wanaogepea maisha yao ilhali wameacha familia inayowategemea kuleta mikate kila siku. Hio imeathiri sana wanahabari kwani wafisadi wanaotoa pesa na kuwapa watu ili wauwe wanahabari hao wanavyofanya hadharani. Badala wanasiasa waonekana wabaya na wanahabari ndiyo wanaonekana wabaya. Na kazi yao au makosa yao eti wana anika wafisadi wa nchi. Hivyo basi ulinzi uamarishwe ili wafisadi wajulikane.
Vilevile, ningependekeza serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamishi ya umma ambapo umma unaweza kuripoti Mradi huu utawezesha watu waliokuwa mbali na ofisi kuu au kupambana na mafisadi.
Waama Mgala muuwe na haki yake mpe, zawadi zitolewe kwa wale ambao wanao anika machisuda kama wanahabari na pia kwa aile kaunti ambazo hazing ufisadi, hii stiuapa motisha watu wajikinge au waji eke mbali na unidade.
Nikitamatimisha Ningependekeza watumishi wa umma kutangaza utajiri wao , hii itajulisha bayana ninami lanafanya whirudi kwa sababa watu wengi huandikwa Kasi duni ambazo unataraji kuwa mshahara utakuwa mdogo. Njia hii tutajua mienendo ya watu kupata utajiri.
Nikikunja Jamvi hii nina matumaini kwamba katika mapendekezo serikali wanajamii wote kwa jumla watachukulia uzito mambo haya Chambilecho wahenga Umoja ni nishati vingine ni udhaifu.
| Ni wakati gani mtu atajulikana kuwa anafanya ufisadi | {
"text": [
"anapotangaza utajiri wake"
]
} |
0196_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI
Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha uchumi kwa kula mali ya umma ambapo ingetumika kuimarisha uchumi wa nchi. Kuna aina nyingi za ufisadi nazo ni: kuzungaku mbuyu, kuzungukwa mbuyu ,kufuja mali ya umma na ukabilia Haya yote inawatumbkiza wananchi kwa balaa kubwa. Ufisadi unaweza Kuwekwa katika kaburi la Suhau, lwapo Serikali, wananchi wanajamii, wataungana mikono nu kuchukua hatua zifuatazo
Serikali lazima kama ibada ibuni taasisi tekelezi ya kitaifa ya kampeni kupambana na ufisadi. Taasisi hiyo jukumu lake kuu ni kuchunguza na kutoa mapendekezo na namna ya kupambana na ufisadi . Serikali lazima ifanye mkono wa paka katika suala hili. Ni wajibu wake kushirikisha watu wa kanisani na pia wa misikitini. Ushirikiano huu linaweza Kutoa shauri mbalimbali na uliyobeba uzito kwani walienga wahinena kidole kimoja hakivunji Chawa
Pili mahakama inapasa kuweka sheria kali kwa yule yeyote atakaye fanya ufisadi nchini Sheria hizo ni kama kifo and maisha gerazani. Sheria hii itawaogopesha yeyote anayejaribu kufanya kitendo kama hiki litapunguza idadi ya wafisadi nchini. Wenye mikono mirefu kama paka zitapungua. Kama watu wote watashtakiwa kama walivyoshikwa waziri fedha ambaye ni Henrich Rotichi na naibu wake kamau Thuge,
Aidha vyombo vya mawasiliano au kijadi na kisasa zime tumike Kuelimisha watu kuhusu ufisade Vyombo kama vile, Redio Mabango, Majanda ni vyombo vya kijadi ambapo mpaka muda huu unatumika kwa mfano redio itumike kutunga za aina za ufisadi na pia wafunzwe kuwa si vizuri kutumia rushwa ili mtu apate kazi. Waama, achinikaye kwa mpini hafi njaa. Vile vile vyombo vya mawasiliano vya kisasa kama vile runinga zitumike kuanika wale ambao hufanya ufisadi. Hivyo basi inaweza kupunguza mikono mirefu barabarani, hosipitalini hali kadhalika. Serikali ianzishe. halmashauri ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi ambayo itawahusisha makundi ya kidini, vyama ya wataalamu sekta ya kibinafsi na ile ya wafanyikazi ufisadi huu unaweza kupungua kama makundi hayo yote yatajizatiti kama mchwa anayejenga kichuguu kwa mate.
Ningependekeza kuimarishwa kwa taasisi za uongozi haki, sheria na utengamano kupitia kwa mpango wa ufadhili wa makundi au mashirika ya kijamii. Makundi haya au mashirika haya yanaweza kuwa bora zaidi na kuwafaa wananchi hivyo basi ufisadi utapungua kiasi kikubwa.
Pia, wanahabari wapate ulinzi kamili kwa serikali kwani wanaogepea maisha yao ilhali wameacha familia inayowategemea kuleta mikate kila siku. Hio imeathiri sana wanahabari kwani wafisadi wanaotoa pesa na kuwapa watu ili wauwe wanahabari hao wanavyofanya hadharani. Badala wanasiasa waonekana wabaya na wanahabari ndiyo wanaonekana wabaya. Na kazi yao au makosa yao eti wana anika wafisadi wa nchi. Hivyo basi ulinzi uamarishwe ili wafisadi wajulikane.
Vilevile, ningependekeza serikali ianzishe ofisi ya mchunguzi maalum wa kusikiliza malalamishi ya umma ambapo umma unaweza kuripoti Mradi huu utawezesha watu waliokuwa mbali na ofisi kuu au kupambana na mafisadi.
Waama Mgala muuwe na haki yake mpe, zawadi zitolewe kwa wale ambao wanao anika machisuda kama wanahabari na pia kwa aile kaunti ambazo hazing ufisadi, hii stiuapa motisha watu wajikinge au waji eke mbali na unidade.
Nikitamatimisha Ningependekeza watumishi wa umma kutangaza utajiri wao , hii itajulisha bayana ninami lanafanya whirudi kwa sababa watu wengi huandikwa Kasi duni ambazo unataraji kuwa mshahara utakuwa mdogo. Njia hii tutajua mienendo ya watu kupata utajiri.
Nikikunja Jamvi hii nina matumaini kwamba katika mapendekezo serikali wanajamii wote kwa jumla watachukulia uzito mambo haya Chambilecho wahenga Umoja ni nishati vingine ni udhaifu.
| Mbona wanahabari wapate ulinzi kwa serikali | {
"text": [
"wanaogopea maisha yao kwa kuwa wafisadi hutoa pesa wauawe"
]
} |
0198_swa |
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI
Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni sharti tushikane na kuungana ili kumwangamiza nduli huyu ufisadi kabla hajaangamiza nchi na jamii nzima.
Si ajabu hivi sasa mara kwa mara kusikia katika. vyombo vya habari kuwa mali ya umma imefisidiwa , kwa mfano, Sakata ya bwawa la Arrør, kimwarer na huduma kwa vijana ambako mabillioni yaliporwa na viongozi wa nchi yetu Kutia kikomo ufisadi huu ni sharti sheria itumike kuwakamata majangili hawa na kuwatia korokoroni bila ya kujali vyeo vyao. Watakapo patikana na hatia mali yao yote itaifishwe na regeshwe kwa maslahi ya umma.
Aidha, kampeni mufti zifadhiliwe na Serikali kupitia vyombo : vya habari, redio na mtandao:Ili kuhamasisha umma dhidi ya athari za ufisadi. Jambo hili litawezesha umma kushirikiana na afisi za ..kiserekali zinazowajibika kuupiga teke ufisadi kama vile tume ya kukabiliana na ufisadi, mashirika ya kibinafsi yanayopigania haki za kibinadamu na Serikali za mitaani: Hatuna budi kujumuisha wanafunzi katika kampeni hizi kwani "udongo upatilizé uli maji."
Simuhali, Serikali kupiga darubini. mapato na utajiri wa kila mfanyakazi wa umma ili kuangamiza ufisadi Akaunti za benki za wafanyikazi hao na familia yao ni sharti ziekwe bayana na ikipatikana kuwa kuna kipato kisicho eleweka hana budi kusimamishwa ili ajieleze. Isitoshe, katika ofisi za umma ni muhimu kueka kamera ili kunasa ufisadi unaoendelea katika afisi za serikali. Jambo hili huenda likawatia hofu. kuchukua mlungurd ili kutoa huduma kwa wananchi. Nikiongezea, ofisi za serikali ziwe katika mazingira ya wazi ili kila mfanyikazi come kite mwenzake anachofanya nd kuzungumza kuwaweka parawanja huenda kukawaogopesha kuzunguka mbuyu. Majasusi pia ni muhimu watumwe katika afisi za umma mara kwa mara wachunguze tabia na utowaji huduma wa wafanyikazi wa umma ni muhimu Juu ya hayo, tume ya almashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi iundwe kwa kujumuisha makundi ya kidini, vyama vya wataalumu za kibinafsi na ile ya wafanyikazi Tüme hii iwe. kipaza sauti cha kuzindud ufisadi uliokoi nchini'. Ala kuli hali, ushirikiano wao na wanajamii utusaidia pakubwa katika kuangamiza ufisadi kwani kidole kimoja hakivunji chawa : Kupitia juhudi zote hizi.
Mchezea kwao hutuzwa, wananchi na mashirika yanayopambana na ufisadi hayana budi kutiwa motisha ili kuwapa moyo kuendeled kupambana na ufisadi. Mirtirafu ya hayo, wanapaswa kutambuliwa kama mashujaa wa kitaifa na wazalendo halisi ambao wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao wala si kama wale wafisadi wa badhirifu na waamba ngoma ambao yao. Ingawa kuna mahakama za kupambana Lakini zinapatikana Mairobi tu. Serikali mahakama zingine mashinani ni visa vikabiliwe ipasavyo. Mdharau biu hubiuka , tukidharau na kupuuza ufisadi utame a meno na kututafuna mmoja mmoja na hatimaye kutumaliza. Juhudi hizi si mtu mmoja ba ni za jamii nzima.Tuangarnize ufisadi:
| Ni nani wanapora mali ya umma | {
"text": [
"Viongozi wa nchi"
]
} |
0198_swa |
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI
Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni sharti tushikane na kuungana ili kumwangamiza nduli huyu ufisadi kabla hajaangamiza nchi na jamii nzima.
Si ajabu hivi sasa mara kwa mara kusikia katika. vyombo vya habari kuwa mali ya umma imefisidiwa , kwa mfano, Sakata ya bwawa la Arrør, kimwarer na huduma kwa vijana ambako mabillioni yaliporwa na viongozi wa nchi yetu Kutia kikomo ufisadi huu ni sharti sheria itumike kuwakamata majangili hawa na kuwatia korokoroni bila ya kujali vyeo vyao. Watakapo patikana na hatia mali yao yote itaifishwe na regeshwe kwa maslahi ya umma.
Aidha, kampeni mufti zifadhiliwe na Serikali kupitia vyombo : vya habari, redio na mtandao:Ili kuhamasisha umma dhidi ya athari za ufisadi. Jambo hili litawezesha umma kushirikiana na afisi za ..kiserekali zinazowajibika kuupiga teke ufisadi kama vile tume ya kukabiliana na ufisadi, mashirika ya kibinafsi yanayopigania haki za kibinadamu na Serikali za mitaani: Hatuna budi kujumuisha wanafunzi katika kampeni hizi kwani "udongo upatilizé uli maji."
Simuhali, Serikali kupiga darubini. mapato na utajiri wa kila mfanyakazi wa umma ili kuangamiza ufisadi Akaunti za benki za wafanyikazi hao na familia yao ni sharti ziekwe bayana na ikipatikana kuwa kuna kipato kisicho eleweka hana budi kusimamishwa ili ajieleze. Isitoshe, katika ofisi za umma ni muhimu kueka kamera ili kunasa ufisadi unaoendelea katika afisi za serikali. Jambo hili huenda likawatia hofu. kuchukua mlungurd ili kutoa huduma kwa wananchi. Nikiongezea, ofisi za serikali ziwe katika mazingira ya wazi ili kila mfanyikazi come kite mwenzake anachofanya nd kuzungumza kuwaweka parawanja huenda kukawaogopesha kuzunguka mbuyu. Majasusi pia ni muhimu watumwe katika afisi za umma mara kwa mara wachunguze tabia na utowaji huduma wa wafanyikazi wa umma ni muhimu Juu ya hayo, tume ya almashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi iundwe kwa kujumuisha makundi ya kidini, vyama vya wataalumu za kibinafsi na ile ya wafanyikazi Tüme hii iwe. kipaza sauti cha kuzindud ufisadi uliokoi nchini'. Ala kuli hali, ushirikiano wao na wanajamii utusaidia pakubwa katika kuangamiza ufisadi kwani kidole kimoja hakivunji chawa : Kupitia juhudi zote hizi.
Mchezea kwao hutuzwa, wananchi na mashirika yanayopambana na ufisadi hayana budi kutiwa motisha ili kuwapa moyo kuendeled kupambana na ufisadi. Mirtirafu ya hayo, wanapaswa kutambuliwa kama mashujaa wa kitaifa na wazalendo halisi ambao wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao wala si kama wale wafisadi wa badhirifu na waamba ngoma ambao yao. Ingawa kuna mahakama za kupambana Lakini zinapatikana Mairobi tu. Serikali mahakama zingine mashinani ni visa vikabiliwe ipasavyo. Mdharau biu hubiuka , tukidharau na kupuuza ufisadi utame a meno na kututafuna mmoja mmoja na hatimaye kutumaliza. Juhudi hizi si mtu mmoja ba ni za jamii nzima.Tuangarnize ufisadi:
| Ni nini inapaswa kufanyikia wafisadi wakipatikana | {
"text": [
"kuwakamata"
]
} |
0198_swa |
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI
Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni sharti tushikane na kuungana ili kumwangamiza nduli huyu ufisadi kabla hajaangamiza nchi na jamii nzima.
Si ajabu hivi sasa mara kwa mara kusikia katika. vyombo vya habari kuwa mali ya umma imefisidiwa , kwa mfano, Sakata ya bwawa la Arrør, kimwarer na huduma kwa vijana ambako mabillioni yaliporwa na viongozi wa nchi yetu Kutia kikomo ufisadi huu ni sharti sheria itumike kuwakamata majangili hawa na kuwatia korokoroni bila ya kujali vyeo vyao. Watakapo patikana na hatia mali yao yote itaifishwe na regeshwe kwa maslahi ya umma.
Aidha, kampeni mufti zifadhiliwe na Serikali kupitia vyombo : vya habari, redio na mtandao:Ili kuhamasisha umma dhidi ya athari za ufisadi. Jambo hili litawezesha umma kushirikiana na afisi za ..kiserekali zinazowajibika kuupiga teke ufisadi kama vile tume ya kukabiliana na ufisadi, mashirika ya kibinafsi yanayopigania haki za kibinadamu na Serikali za mitaani: Hatuna budi kujumuisha wanafunzi katika kampeni hizi kwani "udongo upatilizé uli maji."
Simuhali, Serikali kupiga darubini. mapato na utajiri wa kila mfanyakazi wa umma ili kuangamiza ufisadi Akaunti za benki za wafanyikazi hao na familia yao ni sharti ziekwe bayana na ikipatikana kuwa kuna kipato kisicho eleweka hana budi kusimamishwa ili ajieleze. Isitoshe, katika ofisi za umma ni muhimu kueka kamera ili kunasa ufisadi unaoendelea katika afisi za serikali. Jambo hili huenda likawatia hofu. kuchukua mlungurd ili kutoa huduma kwa wananchi. Nikiongezea, ofisi za serikali ziwe katika mazingira ya wazi ili kila mfanyikazi come kite mwenzake anachofanya nd kuzungumza kuwaweka parawanja huenda kukawaogopesha kuzunguka mbuyu. Majasusi pia ni muhimu watumwe katika afisi za umma mara kwa mara wachunguze tabia na utowaji huduma wa wafanyikazi wa umma ni muhimu Juu ya hayo, tume ya almashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi iundwe kwa kujumuisha makundi ya kidini, vyama vya wataalumu za kibinafsi na ile ya wafanyikazi Tüme hii iwe. kipaza sauti cha kuzindud ufisadi uliokoi nchini'. Ala kuli hali, ushirikiano wao na wanajamii utusaidia pakubwa katika kuangamiza ufisadi kwani kidole kimoja hakivunji chawa : Kupitia juhudi zote hizi.
Mchezea kwao hutuzwa, wananchi na mashirika yanayopambana na ufisadi hayana budi kutiwa motisha ili kuwapa moyo kuendeled kupambana na ufisadi. Mirtirafu ya hayo, wanapaswa kutambuliwa kama mashujaa wa kitaifa na wazalendo halisi ambao wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao wala si kama wale wafisadi wa badhirifu na waamba ngoma ambao yao. Ingawa kuna mahakama za kupambana Lakini zinapatikana Mairobi tu. Serikali mahakama zingine mashinani ni visa vikabiliwe ipasavyo. Mdharau biu hubiuka , tukidharau na kupuuza ufisadi utame a meno na kututafuna mmoja mmoja na hatimaye kutumaliza. Juhudi hizi si mtu mmoja ba ni za jamii nzima.Tuangarnize ufisadi:
| Nani anafaa kujumuishwa katika kampeni hizi za ufisadi | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
0198_swa |
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI
Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni sharti tushikane na kuungana ili kumwangamiza nduli huyu ufisadi kabla hajaangamiza nchi na jamii nzima.
Si ajabu hivi sasa mara kwa mara kusikia katika. vyombo vya habari kuwa mali ya umma imefisidiwa , kwa mfano, Sakata ya bwawa la Arrør, kimwarer na huduma kwa vijana ambako mabillioni yaliporwa na viongozi wa nchi yetu Kutia kikomo ufisadi huu ni sharti sheria itumike kuwakamata majangili hawa na kuwatia korokoroni bila ya kujali vyeo vyao. Watakapo patikana na hatia mali yao yote itaifishwe na regeshwe kwa maslahi ya umma.
Aidha, kampeni mufti zifadhiliwe na Serikali kupitia vyombo : vya habari, redio na mtandao:Ili kuhamasisha umma dhidi ya athari za ufisadi. Jambo hili litawezesha umma kushirikiana na afisi za ..kiserekali zinazowajibika kuupiga teke ufisadi kama vile tume ya kukabiliana na ufisadi, mashirika ya kibinafsi yanayopigania haki za kibinadamu na Serikali za mitaani: Hatuna budi kujumuisha wanafunzi katika kampeni hizi kwani "udongo upatilizé uli maji."
Simuhali, Serikali kupiga darubini. mapato na utajiri wa kila mfanyakazi wa umma ili kuangamiza ufisadi Akaunti za benki za wafanyikazi hao na familia yao ni sharti ziekwe bayana na ikipatikana kuwa kuna kipato kisicho eleweka hana budi kusimamishwa ili ajieleze. Isitoshe, katika ofisi za umma ni muhimu kueka kamera ili kunasa ufisadi unaoendelea katika afisi za serikali. Jambo hili huenda likawatia hofu. kuchukua mlungurd ili kutoa huduma kwa wananchi. Nikiongezea, ofisi za serikali ziwe katika mazingira ya wazi ili kila mfanyikazi come kite mwenzake anachofanya nd kuzungumza kuwaweka parawanja huenda kukawaogopesha kuzunguka mbuyu. Majasusi pia ni muhimu watumwe katika afisi za umma mara kwa mara wachunguze tabia na utowaji huduma wa wafanyikazi wa umma ni muhimu Juu ya hayo, tume ya almashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi iundwe kwa kujumuisha makundi ya kidini, vyama vya wataalumu za kibinafsi na ile ya wafanyikazi Tüme hii iwe. kipaza sauti cha kuzindud ufisadi uliokoi nchini'. Ala kuli hali, ushirikiano wao na wanajamii utusaidia pakubwa katika kuangamiza ufisadi kwani kidole kimoja hakivunji chawa : Kupitia juhudi zote hizi.
Mchezea kwao hutuzwa, wananchi na mashirika yanayopambana na ufisadi hayana budi kutiwa motisha ili kuwapa moyo kuendeled kupambana na ufisadi. Mirtirafu ya hayo, wanapaswa kutambuliwa kama mashujaa wa kitaifa na wazalendo halisi ambao wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao wala si kama wale wafisadi wa badhirifu na waamba ngoma ambao yao. Ingawa kuna mahakama za kupambana Lakini zinapatikana Mairobi tu. Serikali mahakama zingine mashinani ni visa vikabiliwe ipasavyo. Mdharau biu hubiuka , tukidharau na kupuuza ufisadi utame a meno na kututafuna mmoja mmoja na hatimaye kutumaliza. Juhudi hizi si mtu mmoja ba ni za jamii nzima.Tuangarnize ufisadi:
| Ni lini mtu anaweza shtakiwa na kupelekwa mahakamani | {
"text": [
"asipoeleza utajiri wake"
]
} |
0198_swa |
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI
Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni sharti tushikane na kuungana ili kumwangamiza nduli huyu ufisadi kabla hajaangamiza nchi na jamii nzima.
Si ajabu hivi sasa mara kwa mara kusikia katika. vyombo vya habari kuwa mali ya umma imefisidiwa , kwa mfano, Sakata ya bwawa la Arrør, kimwarer na huduma kwa vijana ambako mabillioni yaliporwa na viongozi wa nchi yetu Kutia kikomo ufisadi huu ni sharti sheria itumike kuwakamata majangili hawa na kuwatia korokoroni bila ya kujali vyeo vyao. Watakapo patikana na hatia mali yao yote itaifishwe na regeshwe kwa maslahi ya umma.
Aidha, kampeni mufti zifadhiliwe na Serikali kupitia vyombo : vya habari, redio na mtandao:Ili kuhamasisha umma dhidi ya athari za ufisadi. Jambo hili litawezesha umma kushirikiana na afisi za ..kiserekali zinazowajibika kuupiga teke ufisadi kama vile tume ya kukabiliana na ufisadi, mashirika ya kibinafsi yanayopigania haki za kibinadamu na Serikali za mitaani: Hatuna budi kujumuisha wanafunzi katika kampeni hizi kwani "udongo upatilizé uli maji."
Simuhali, Serikali kupiga darubini. mapato na utajiri wa kila mfanyakazi wa umma ili kuangamiza ufisadi Akaunti za benki za wafanyikazi hao na familia yao ni sharti ziekwe bayana na ikipatikana kuwa kuna kipato kisicho eleweka hana budi kusimamishwa ili ajieleze. Isitoshe, katika ofisi za umma ni muhimu kueka kamera ili kunasa ufisadi unaoendelea katika afisi za serikali. Jambo hili huenda likawatia hofu. kuchukua mlungurd ili kutoa huduma kwa wananchi. Nikiongezea, ofisi za serikali ziwe katika mazingira ya wazi ili kila mfanyikazi come kite mwenzake anachofanya nd kuzungumza kuwaweka parawanja huenda kukawaogopesha kuzunguka mbuyu. Majasusi pia ni muhimu watumwe katika afisi za umma mara kwa mara wachunguze tabia na utowaji huduma wa wafanyikazi wa umma ni muhimu Juu ya hayo, tume ya almashauri ya kitaifa ya kutoa ushauri kwa tume ya kupambana na ufisadi iundwe kwa kujumuisha makundi ya kidini, vyama vya wataalumu za kibinafsi na ile ya wafanyikazi Tüme hii iwe. kipaza sauti cha kuzindud ufisadi uliokoi nchini'. Ala kuli hali, ushirikiano wao na wanajamii utusaidia pakubwa katika kuangamiza ufisadi kwani kidole kimoja hakivunji chawa : Kupitia juhudi zote hizi.
Mchezea kwao hutuzwa, wananchi na mashirika yanayopambana na ufisadi hayana budi kutiwa motisha ili kuwapa moyo kuendeled kupambana na ufisadi. Mirtirafu ya hayo, wanapaswa kutambuliwa kama mashujaa wa kitaifa na wazalendo halisi ambao wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao wala si kama wale wafisadi wa badhirifu na waamba ngoma ambao yao. Ingawa kuna mahakama za kupambana Lakini zinapatikana Mairobi tu. Serikali mahakama zingine mashinani ni visa vikabiliwe ipasavyo. Mdharau biu hubiuka , tukidharau na kupuuza ufisadi utame a meno na kututafuna mmoja mmoja na hatimaye kutumaliza. Juhudi hizi si mtu mmoja ba ni za jamii nzima.Tuangarnize ufisadi:
| Mbona ni muhimu kuweka kamera katika ofisi za umma | {
"text": [
"ili kunasa ufisadi unaoendelea katika ofisi za serikali"
]
} |
0199_swa |
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI
Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu yeyote anayeishi. Kwani maisha bila adha hawa malegevu. Basi yafuatayo ni baadhi ya mapingamizi yanayo yafuata wanafunzi wa sekondari nchini
Aula, kuadimika kwa walimu waliohitimu. Uhaba wa walimu waliohitimu ni hanga kuw linalowakumba wanafunzi wa sekondari humu nchini kwani hawafunzwi ipasavyo na wakufunzi hao hupata machache ti yanayojulikana ha wakurugenzi wao kwani mbinu hufuata mwendo Kwa haya wanaweza hata kutofaulu mtihani wao na hata kusababisha kutokufanikiwa katika maisha ya wanafunzi hao kwa ukosefu wa kufunzwa mtaala kiundani Pili, udhaifu wa miundomsingi nchini Miundomsingi irodhabiti si chargint ya nchi tu, bali huathiri masomo ya wanafunzi katika shule za upili nchini Mundemsing: ikiwemo barabara, shule hospitali na nyinginezo huweza kusithin Iwanafunzi ikiwa ni duni. Barabara mbovu hueza kusababisha maelhara kwa masomo ikiwemo ajali zinazosababisha ulemavu na hata vifo japokuwa ajali haina kinga barabara zinapaswa kutengenezwa kwa bidhaa dhamiti ili zimuch. Shule pia ziwe na maabara na maktaba Tili wanafunzi wawe na wakati mzuri shuleni Nilevile, mishana duni kwa walimu pia ni tatiko kuu linakumba wara pune Inchini kwa sababu walimu wanakataa kata kata kuwafunza wanafunzi wao bila malipo. Walimu huvumilia kwa serikali kutowalipa mishahara yao kwa wakati ila azidiye zaidi huzidiwa hivyo basi hukita mizizi kwa maamuzi yao ya kutowafundisha wanafunzi na hivi huathiri wanafunzi na kuwaachs wasijue wanachokifanya kwani hakuna nguzo ya kuwaongoza Pia utendakazi duni kwa serikali pia huchangia matatizo yanayowakumba wanafunzi wa shule za upili nchini. Kwani serikali hutoa sheria ambazo hueza kuathiri masomo ya wanafunzi kama shena iliyotole majuzi na waziri wa usalama wa ndani Daktan Fred Matiangi ya kuwa wanafunzi wote waende shuleni saa mbili asubuhi na kutoka au bisa jioni - Hivi wanafunzi hukosa wakati wakuezo, kujisomea na hata kujadiliana kimakundi. Wanafunzi wengine hufaulu wa kazi za makundi wanaojadili na kusaidiana na wenziwao, kwani furioja ni nguvu Bila kusahau ya kuwa mitaala iliyopitwa na wakati kufunzwa shuleni huathiri wanafunzi katika shule za upili nchini. Wanafunzi huibua fikra potofu . dhidi ya somo linalozungumzia mambo na visa vya kale, basi hivi wanafunzi wengi hawafaulu maishani mwao kwa kuchukia masomo pasi na kuijua ya kuwa ya zamani ni vya thamani Isitoshe, shinikizo la marika huathin wanafunzi katika shule za upili kwa kiasi kikubwa kama tujuavyo, shuleni ni mahali ambamo watu kutuka mazingira tofauti kukusanyika basi watu hao hueza Awa na hulka tofauti na wengine kuwa wapotofu watakaopotosha wenziwao shuleni. Hivi huathin wanafunzi kwa kubadilisha tabia zake na kuwa mbovu awe o wakusikia mwachini wala ita micka maji msikitini
na kuweza kusababisha kuforora kwa tabia na hata kuharibikiwa maishani kurmfanya Kirumunye aliyeharibikia ukubwani.Wanafunzi huathiriwa pia kwa kuongezeka kwa maradhi ya ukimwi wakiwachwa mayahna wasijijue wasitambue. Hivi huwaacha wanafunzi wawe wapweke na hata kutokuwa na hamu ti kusum. Ikwa fikra zinazo wazonga Huondoa hamu na shauku ya kutia bida kwa wanafunzi wengine .Kuwepo kwa wanafunzi kwa idadi kubwa kuliko walimu. Hivi walimu Thushindwa kuwakabili na kuwamiliki wanafunzi kwa sababu ya idadi yao kulingana na walimu. Walimu hupata tabu sana katika kuwaelimisha wanafunzi hao. Hivi wanafunzi huenda kuelewa Jau kutoelewa wanachofunzwa na walimu hao-hasa sehemu Iza mjini walimu hupata tabu kwa wanafunzi wengi na kwa Imahali penye wanafunzi kidogo walimu pia huteseka kwa sababu Mutumia nguvu kuwafundisha wanafunzi wachache Wazazi pia huweza kuchangia katika matitizo yanayowakumba
wanafunzi nchini kwa kuwa baadhi ya wazazi kuwafuga wangu na kutowaamini. Wanajali kupindukia mpaka wanawahofia hata kwenda shule. Hivi huwafanya wanafunzi wawe na wasiwasi na hata kuchapa Kuenda Struleni cin kungapa kutumia wakato wao shuleni
Afya ya wanafunzi ndiyo kini cha matatizo ya wanafunzi Wengi katika shule ya upili humu nchini. Wanafunzi wengi huwa na maradhi ainati na wengine wana maradhi, yanayosababishwa na kubadilika kwa hali. Kama vile wanafunzi hizo hupata tabu wakiwa shuleni huweza kusitisha masomo yao kwa matibabu ya maradhi hayo. Hivi pia wanaweza kupotoke kimaadili kwani teknolojia inaweza kutumiwa kwa njia isiyo Isina basi kuwaharibu wanafunzi wengi kimaadili. Yote kwa yote ,wanafunzi washinkiane na walimu ili kuweza kutatua matatizo yanayowakumba wanafunzi hago.. Waweza kufuata kanuni na sheria vilivyo kwa kuzizingatia ili tuwe na uendeleaji mzuri wa wanafunzi na tubeze kuwasaidia katika mafanikio yao | Mbinu hufuata nini? | {
"text": [
"Mwendo"
]
} |
0199_swa |
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI
Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu yeyote anayeishi. Kwani maisha bila adha hawa malegevu. Basi yafuatayo ni baadhi ya mapingamizi yanayo yafuata wanafunzi wa sekondari nchini
Aula, kuadimika kwa walimu waliohitimu. Uhaba wa walimu waliohitimu ni hanga kuw linalowakumba wanafunzi wa sekondari humu nchini kwani hawafunzwi ipasavyo na wakufunzi hao hupata machache ti yanayojulikana ha wakurugenzi wao kwani mbinu hufuata mwendo Kwa haya wanaweza hata kutofaulu mtihani wao na hata kusababisha kutokufanikiwa katika maisha ya wanafunzi hao kwa ukosefu wa kufunzwa mtaala kiundani Pili, udhaifu wa miundomsingi nchini Miundomsingi irodhabiti si chargint ya nchi tu, bali huathiri masomo ya wanafunzi katika shule za upili nchini Mundemsing: ikiwemo barabara, shule hospitali na nyinginezo huweza kusithin Iwanafunzi ikiwa ni duni. Barabara mbovu hueza kusababisha maelhara kwa masomo ikiwemo ajali zinazosababisha ulemavu na hata vifo japokuwa ajali haina kinga barabara zinapaswa kutengenezwa kwa bidhaa dhamiti ili zimuch. Shule pia ziwe na maabara na maktaba Tili wanafunzi wawe na wakati mzuri shuleni Nilevile, mishana duni kwa walimu pia ni tatiko kuu linakumba wara pune Inchini kwa sababu walimu wanakataa kata kata kuwafunza wanafunzi wao bila malipo. Walimu huvumilia kwa serikali kutowalipa mishahara yao kwa wakati ila azidiye zaidi huzidiwa hivyo basi hukita mizizi kwa maamuzi yao ya kutowafundisha wanafunzi na hivi huathiri wanafunzi na kuwaachs wasijue wanachokifanya kwani hakuna nguzo ya kuwaongoza Pia utendakazi duni kwa serikali pia huchangia matatizo yanayowakumba wanafunzi wa shule za upili nchini. Kwani serikali hutoa sheria ambazo hueza kuathiri masomo ya wanafunzi kama shena iliyotole majuzi na waziri wa usalama wa ndani Daktan Fred Matiangi ya kuwa wanafunzi wote waende shuleni saa mbili asubuhi na kutoka au bisa jioni - Hivi wanafunzi hukosa wakati wakuezo, kujisomea na hata kujadiliana kimakundi. Wanafunzi wengine hufaulu wa kazi za makundi wanaojadili na kusaidiana na wenziwao, kwani furioja ni nguvu Bila kusahau ya kuwa mitaala iliyopitwa na wakati kufunzwa shuleni huathiri wanafunzi katika shule za upili nchini. Wanafunzi huibua fikra potofu . dhidi ya somo linalozungumzia mambo na visa vya kale, basi hivi wanafunzi wengi hawafaulu maishani mwao kwa kuchukia masomo pasi na kuijua ya kuwa ya zamani ni vya thamani Isitoshe, shinikizo la marika huathin wanafunzi katika shule za upili kwa kiasi kikubwa kama tujuavyo, shuleni ni mahali ambamo watu kutuka mazingira tofauti kukusanyika basi watu hao hueza Awa na hulka tofauti na wengine kuwa wapotofu watakaopotosha wenziwao shuleni. Hivi huathin wanafunzi kwa kubadilisha tabia zake na kuwa mbovu awe o wakusikia mwachini wala ita micka maji msikitini
na kuweza kusababisha kuforora kwa tabia na hata kuharibikiwa maishani kurmfanya Kirumunye aliyeharibikia ukubwani.Wanafunzi huathiriwa pia kwa kuongezeka kwa maradhi ya ukimwi wakiwachwa mayahna wasijijue wasitambue. Hivi huwaacha wanafunzi wawe wapweke na hata kutokuwa na hamu ti kusum. Ikwa fikra zinazo wazonga Huondoa hamu na shauku ya kutia bida kwa wanafunzi wengine .Kuwepo kwa wanafunzi kwa idadi kubwa kuliko walimu. Hivi walimu Thushindwa kuwakabili na kuwamiliki wanafunzi kwa sababu ya idadi yao kulingana na walimu. Walimu hupata tabu sana katika kuwaelimisha wanafunzi hao. Hivi wanafunzi huenda kuelewa Jau kutoelewa wanachofunzwa na walimu hao-hasa sehemu Iza mjini walimu hupata tabu kwa wanafunzi wengi na kwa Imahali penye wanafunzi kidogo walimu pia huteseka kwa sababu Mutumia nguvu kuwafundisha wanafunzi wachache Wazazi pia huweza kuchangia katika matitizo yanayowakumba
wanafunzi nchini kwa kuwa baadhi ya wazazi kuwafuga wangu na kutowaamini. Wanajali kupindukia mpaka wanawahofia hata kwenda shule. Hivi huwafanya wanafunzi wawe na wasiwasi na hata kuchapa Kuenda Struleni cin kungapa kutumia wakato wao shuleni
Afya ya wanafunzi ndiyo kini cha matatizo ya wanafunzi Wengi katika shule ya upili humu nchini. Wanafunzi wengi huwa na maradhi ainati na wengine wana maradhi, yanayosababishwa na kubadilika kwa hali. Kama vile wanafunzi hizo hupata tabu wakiwa shuleni huweza kusitisha masomo yao kwa matibabu ya maradhi hayo. Hivi pia wanaweza kupotoke kimaadili kwani teknolojia inaweza kutumiwa kwa njia isiyo Isina basi kuwaharibu wanafunzi wengi kimaadili. Yote kwa yote ,wanafunzi washinkiane na walimu ili kuweza kutatua matatizo yanayowakumba wanafunzi hago.. Waweza kufuata kanuni na sheria vilivyo kwa kuzizingatia ili tuwe na uendeleaji mzuri wa wanafunzi na tubeze kuwasaidia katika mafanikio yao | Barabara mbovu husababisha nini? | {
"text": [
"Ajali"
]
} |
0199_swa |
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI
Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu yeyote anayeishi. Kwani maisha bila adha hawa malegevu. Basi yafuatayo ni baadhi ya mapingamizi yanayo yafuata wanafunzi wa sekondari nchini
Aula, kuadimika kwa walimu waliohitimu. Uhaba wa walimu waliohitimu ni hanga kuw linalowakumba wanafunzi wa sekondari humu nchini kwani hawafunzwi ipasavyo na wakufunzi hao hupata machache ti yanayojulikana ha wakurugenzi wao kwani mbinu hufuata mwendo Kwa haya wanaweza hata kutofaulu mtihani wao na hata kusababisha kutokufanikiwa katika maisha ya wanafunzi hao kwa ukosefu wa kufunzwa mtaala kiundani Pili, udhaifu wa miundomsingi nchini Miundomsingi irodhabiti si chargint ya nchi tu, bali huathiri masomo ya wanafunzi katika shule za upili nchini Mundemsing: ikiwemo barabara, shule hospitali na nyinginezo huweza kusithin Iwanafunzi ikiwa ni duni. Barabara mbovu hueza kusababisha maelhara kwa masomo ikiwemo ajali zinazosababisha ulemavu na hata vifo japokuwa ajali haina kinga barabara zinapaswa kutengenezwa kwa bidhaa dhamiti ili zimuch. Shule pia ziwe na maabara na maktaba Tili wanafunzi wawe na wakati mzuri shuleni Nilevile, mishana duni kwa walimu pia ni tatiko kuu linakumba wara pune Inchini kwa sababu walimu wanakataa kata kata kuwafunza wanafunzi wao bila malipo. Walimu huvumilia kwa serikali kutowalipa mishahara yao kwa wakati ila azidiye zaidi huzidiwa hivyo basi hukita mizizi kwa maamuzi yao ya kutowafundisha wanafunzi na hivi huathiri wanafunzi na kuwaachs wasijue wanachokifanya kwani hakuna nguzo ya kuwaongoza Pia utendakazi duni kwa serikali pia huchangia matatizo yanayowakumba wanafunzi wa shule za upili nchini. Kwani serikali hutoa sheria ambazo hueza kuathiri masomo ya wanafunzi kama shena iliyotole majuzi na waziri wa usalama wa ndani Daktan Fred Matiangi ya kuwa wanafunzi wote waende shuleni saa mbili asubuhi na kutoka au bisa jioni - Hivi wanafunzi hukosa wakati wakuezo, kujisomea na hata kujadiliana kimakundi. Wanafunzi wengine hufaulu wa kazi za makundi wanaojadili na kusaidiana na wenziwao, kwani furioja ni nguvu Bila kusahau ya kuwa mitaala iliyopitwa na wakati kufunzwa shuleni huathiri wanafunzi katika shule za upili nchini. Wanafunzi huibua fikra potofu . dhidi ya somo linalozungumzia mambo na visa vya kale, basi hivi wanafunzi wengi hawafaulu maishani mwao kwa kuchukia masomo pasi na kuijua ya kuwa ya zamani ni vya thamani Isitoshe, shinikizo la marika huathin wanafunzi katika shule za upili kwa kiasi kikubwa kama tujuavyo, shuleni ni mahali ambamo watu kutuka mazingira tofauti kukusanyika basi watu hao hueza Awa na hulka tofauti na wengine kuwa wapotofu watakaopotosha wenziwao shuleni. Hivi huathin wanafunzi kwa kubadilisha tabia zake na kuwa mbovu awe o wakusikia mwachini wala ita micka maji msikitini
na kuweza kusababisha kuforora kwa tabia na hata kuharibikiwa maishani kurmfanya Kirumunye aliyeharibikia ukubwani.Wanafunzi huathiriwa pia kwa kuongezeka kwa maradhi ya ukimwi wakiwachwa mayahna wasijijue wasitambue. Hivi huwaacha wanafunzi wawe wapweke na hata kutokuwa na hamu ti kusum. Ikwa fikra zinazo wazonga Huondoa hamu na shauku ya kutia bida kwa wanafunzi wengine .Kuwepo kwa wanafunzi kwa idadi kubwa kuliko walimu. Hivi walimu Thushindwa kuwakabili na kuwamiliki wanafunzi kwa sababu ya idadi yao kulingana na walimu. Walimu hupata tabu sana katika kuwaelimisha wanafunzi hao. Hivi wanafunzi huenda kuelewa Jau kutoelewa wanachofunzwa na walimu hao-hasa sehemu Iza mjini walimu hupata tabu kwa wanafunzi wengi na kwa Imahali penye wanafunzi kidogo walimu pia huteseka kwa sababu Mutumia nguvu kuwafundisha wanafunzi wachache Wazazi pia huweza kuchangia katika matitizo yanayowakumba
wanafunzi nchini kwa kuwa baadhi ya wazazi kuwafuga wangu na kutowaamini. Wanajali kupindukia mpaka wanawahofia hata kwenda shule. Hivi huwafanya wanafunzi wawe na wasiwasi na hata kuchapa Kuenda Struleni cin kungapa kutumia wakato wao shuleni
Afya ya wanafunzi ndiyo kini cha matatizo ya wanafunzi Wengi katika shule ya upili humu nchini. Wanafunzi wengi huwa na maradhi ainati na wengine wana maradhi, yanayosababishwa na kubadilika kwa hali. Kama vile wanafunzi hizo hupata tabu wakiwa shuleni huweza kusitisha masomo yao kwa matibabu ya maradhi hayo. Hivi pia wanaweza kupotoke kimaadili kwani teknolojia inaweza kutumiwa kwa njia isiyo Isina basi kuwaharibu wanafunzi wengi kimaadili. Yote kwa yote ,wanafunzi washinkiane na walimu ili kuweza kutatua matatizo yanayowakumba wanafunzi hago.. Waweza kufuata kanuni na sheria vilivyo kwa kuzizingatia ili tuwe na uendeleaji mzuri wa wanafunzi na tubeze kuwasaidia katika mafanikio yao | Azidiye zaidi hufanya nini? | {
"text": [
"Huzidiwa"
]
} |
0199_swa |
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI
Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu yeyote anayeishi. Kwani maisha bila adha hawa malegevu. Basi yafuatayo ni baadhi ya mapingamizi yanayo yafuata wanafunzi wa sekondari nchini
Aula, kuadimika kwa walimu waliohitimu. Uhaba wa walimu waliohitimu ni hanga kuw linalowakumba wanafunzi wa sekondari humu nchini kwani hawafunzwi ipasavyo na wakufunzi hao hupata machache ti yanayojulikana ha wakurugenzi wao kwani mbinu hufuata mwendo Kwa haya wanaweza hata kutofaulu mtihani wao na hata kusababisha kutokufanikiwa katika maisha ya wanafunzi hao kwa ukosefu wa kufunzwa mtaala kiundani Pili, udhaifu wa miundomsingi nchini Miundomsingi irodhabiti si chargint ya nchi tu, bali huathiri masomo ya wanafunzi katika shule za upili nchini Mundemsing: ikiwemo barabara, shule hospitali na nyinginezo huweza kusithin Iwanafunzi ikiwa ni duni. Barabara mbovu hueza kusababisha maelhara kwa masomo ikiwemo ajali zinazosababisha ulemavu na hata vifo japokuwa ajali haina kinga barabara zinapaswa kutengenezwa kwa bidhaa dhamiti ili zimuch. Shule pia ziwe na maabara na maktaba Tili wanafunzi wawe na wakati mzuri shuleni Nilevile, mishana duni kwa walimu pia ni tatiko kuu linakumba wara pune Inchini kwa sababu walimu wanakataa kata kata kuwafunza wanafunzi wao bila malipo. Walimu huvumilia kwa serikali kutowalipa mishahara yao kwa wakati ila azidiye zaidi huzidiwa hivyo basi hukita mizizi kwa maamuzi yao ya kutowafundisha wanafunzi na hivi huathiri wanafunzi na kuwaachs wasijue wanachokifanya kwani hakuna nguzo ya kuwaongoza Pia utendakazi duni kwa serikali pia huchangia matatizo yanayowakumba wanafunzi wa shule za upili nchini. Kwani serikali hutoa sheria ambazo hueza kuathiri masomo ya wanafunzi kama shena iliyotole majuzi na waziri wa usalama wa ndani Daktan Fred Matiangi ya kuwa wanafunzi wote waende shuleni saa mbili asubuhi na kutoka au bisa jioni - Hivi wanafunzi hukosa wakati wakuezo, kujisomea na hata kujadiliana kimakundi. Wanafunzi wengine hufaulu wa kazi za makundi wanaojadili na kusaidiana na wenziwao, kwani furioja ni nguvu Bila kusahau ya kuwa mitaala iliyopitwa na wakati kufunzwa shuleni huathiri wanafunzi katika shule za upili nchini. Wanafunzi huibua fikra potofu . dhidi ya somo linalozungumzia mambo na visa vya kale, basi hivi wanafunzi wengi hawafaulu maishani mwao kwa kuchukia masomo pasi na kuijua ya kuwa ya zamani ni vya thamani Isitoshe, shinikizo la marika huathin wanafunzi katika shule za upili kwa kiasi kikubwa kama tujuavyo, shuleni ni mahali ambamo watu kutuka mazingira tofauti kukusanyika basi watu hao hueza Awa na hulka tofauti na wengine kuwa wapotofu watakaopotosha wenziwao shuleni. Hivi huathin wanafunzi kwa kubadilisha tabia zake na kuwa mbovu awe o wakusikia mwachini wala ita micka maji msikitini
na kuweza kusababisha kuforora kwa tabia na hata kuharibikiwa maishani kurmfanya Kirumunye aliyeharibikia ukubwani.Wanafunzi huathiriwa pia kwa kuongezeka kwa maradhi ya ukimwi wakiwachwa mayahna wasijijue wasitambue. Hivi huwaacha wanafunzi wawe wapweke na hata kutokuwa na hamu ti kusum. Ikwa fikra zinazo wazonga Huondoa hamu na shauku ya kutia bida kwa wanafunzi wengine .Kuwepo kwa wanafunzi kwa idadi kubwa kuliko walimu. Hivi walimu Thushindwa kuwakabili na kuwamiliki wanafunzi kwa sababu ya idadi yao kulingana na walimu. Walimu hupata tabu sana katika kuwaelimisha wanafunzi hao. Hivi wanafunzi huenda kuelewa Jau kutoelewa wanachofunzwa na walimu hao-hasa sehemu Iza mjini walimu hupata tabu kwa wanafunzi wengi na kwa Imahali penye wanafunzi kidogo walimu pia huteseka kwa sababu Mutumia nguvu kuwafundisha wanafunzi wachache Wazazi pia huweza kuchangia katika matitizo yanayowakumba
wanafunzi nchini kwa kuwa baadhi ya wazazi kuwafuga wangu na kutowaamini. Wanajali kupindukia mpaka wanawahofia hata kwenda shule. Hivi huwafanya wanafunzi wawe na wasiwasi na hata kuchapa Kuenda Struleni cin kungapa kutumia wakato wao shuleni
Afya ya wanafunzi ndiyo kini cha matatizo ya wanafunzi Wengi katika shule ya upili humu nchini. Wanafunzi wengi huwa na maradhi ainati na wengine wana maradhi, yanayosababishwa na kubadilika kwa hali. Kama vile wanafunzi hizo hupata tabu wakiwa shuleni huweza kusitisha masomo yao kwa matibabu ya maradhi hayo. Hivi pia wanaweza kupotoke kimaadili kwani teknolojia inaweza kutumiwa kwa njia isiyo Isina basi kuwaharibu wanafunzi wengi kimaadili. Yote kwa yote ,wanafunzi washinkiane na walimu ili kuweza kutatua matatizo yanayowakumba wanafunzi hago.. Waweza kufuata kanuni na sheria vilivyo kwa kuzizingatia ili tuwe na uendeleaji mzuri wa wanafunzi na tubeze kuwasaidia katika mafanikio yao | Nani waziri wa elimu nchini Kenya? | {
"text": [
"Matiang'i"
]
} |
0199_swa |
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI
Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu yeyote anayeishi. Kwani maisha bila adha hawa malegevu. Basi yafuatayo ni baadhi ya mapingamizi yanayo yafuata wanafunzi wa sekondari nchini
Aula, kuadimika kwa walimu waliohitimu. Uhaba wa walimu waliohitimu ni hanga kuw linalowakumba wanafunzi wa sekondari humu nchini kwani hawafunzwi ipasavyo na wakufunzi hao hupata machache ti yanayojulikana ha wakurugenzi wao kwani mbinu hufuata mwendo Kwa haya wanaweza hata kutofaulu mtihani wao na hata kusababisha kutokufanikiwa katika maisha ya wanafunzi hao kwa ukosefu wa kufunzwa mtaala kiundani Pili, udhaifu wa miundomsingi nchini Miundomsingi irodhabiti si chargint ya nchi tu, bali huathiri masomo ya wanafunzi katika shule za upili nchini Mundemsing: ikiwemo barabara, shule hospitali na nyinginezo huweza kusithin Iwanafunzi ikiwa ni duni. Barabara mbovu hueza kusababisha maelhara kwa masomo ikiwemo ajali zinazosababisha ulemavu na hata vifo japokuwa ajali haina kinga barabara zinapaswa kutengenezwa kwa bidhaa dhamiti ili zimuch. Shule pia ziwe na maabara na maktaba Tili wanafunzi wawe na wakati mzuri shuleni Nilevile, mishana duni kwa walimu pia ni tatiko kuu linakumba wara pune Inchini kwa sababu walimu wanakataa kata kata kuwafunza wanafunzi wao bila malipo. Walimu huvumilia kwa serikali kutowalipa mishahara yao kwa wakati ila azidiye zaidi huzidiwa hivyo basi hukita mizizi kwa maamuzi yao ya kutowafundisha wanafunzi na hivi huathiri wanafunzi na kuwaachs wasijue wanachokifanya kwani hakuna nguzo ya kuwaongoza Pia utendakazi duni kwa serikali pia huchangia matatizo yanayowakumba wanafunzi wa shule za upili nchini. Kwani serikali hutoa sheria ambazo hueza kuathiri masomo ya wanafunzi kama shena iliyotole majuzi na waziri wa usalama wa ndani Daktan Fred Matiangi ya kuwa wanafunzi wote waende shuleni saa mbili asubuhi na kutoka au bisa jioni - Hivi wanafunzi hukosa wakati wakuezo, kujisomea na hata kujadiliana kimakundi. Wanafunzi wengine hufaulu wa kazi za makundi wanaojadili na kusaidiana na wenziwao, kwani furioja ni nguvu Bila kusahau ya kuwa mitaala iliyopitwa na wakati kufunzwa shuleni huathiri wanafunzi katika shule za upili nchini. Wanafunzi huibua fikra potofu . dhidi ya somo linalozungumzia mambo na visa vya kale, basi hivi wanafunzi wengi hawafaulu maishani mwao kwa kuchukia masomo pasi na kuijua ya kuwa ya zamani ni vya thamani Isitoshe, shinikizo la marika huathin wanafunzi katika shule za upili kwa kiasi kikubwa kama tujuavyo, shuleni ni mahali ambamo watu kutuka mazingira tofauti kukusanyika basi watu hao hueza Awa na hulka tofauti na wengine kuwa wapotofu watakaopotosha wenziwao shuleni. Hivi huathin wanafunzi kwa kubadilisha tabia zake na kuwa mbovu awe o wakusikia mwachini wala ita micka maji msikitini
na kuweza kusababisha kuforora kwa tabia na hata kuharibikiwa maishani kurmfanya Kirumunye aliyeharibikia ukubwani.Wanafunzi huathiriwa pia kwa kuongezeka kwa maradhi ya ukimwi wakiwachwa mayahna wasijijue wasitambue. Hivi huwaacha wanafunzi wawe wapweke na hata kutokuwa na hamu ti kusum. Ikwa fikra zinazo wazonga Huondoa hamu na shauku ya kutia bida kwa wanafunzi wengine .Kuwepo kwa wanafunzi kwa idadi kubwa kuliko walimu. Hivi walimu Thushindwa kuwakabili na kuwamiliki wanafunzi kwa sababu ya idadi yao kulingana na walimu. Walimu hupata tabu sana katika kuwaelimisha wanafunzi hao. Hivi wanafunzi huenda kuelewa Jau kutoelewa wanachofunzwa na walimu hao-hasa sehemu Iza mjini walimu hupata tabu kwa wanafunzi wengi na kwa Imahali penye wanafunzi kidogo walimu pia huteseka kwa sababu Mutumia nguvu kuwafundisha wanafunzi wachache Wazazi pia huweza kuchangia katika matitizo yanayowakumba
wanafunzi nchini kwa kuwa baadhi ya wazazi kuwafuga wangu na kutowaamini. Wanajali kupindukia mpaka wanawahofia hata kwenda shule. Hivi huwafanya wanafunzi wawe na wasiwasi na hata kuchapa Kuenda Struleni cin kungapa kutumia wakato wao shuleni
Afya ya wanafunzi ndiyo kini cha matatizo ya wanafunzi Wengi katika shule ya upili humu nchini. Wanafunzi wengi huwa na maradhi ainati na wengine wana maradhi, yanayosababishwa na kubadilika kwa hali. Kama vile wanafunzi hizo hupata tabu wakiwa shuleni huweza kusitisha masomo yao kwa matibabu ya maradhi hayo. Hivi pia wanaweza kupotoke kimaadili kwani teknolojia inaweza kutumiwa kwa njia isiyo Isina basi kuwaharibu wanafunzi wengi kimaadili. Yote kwa yote ,wanafunzi washinkiane na walimu ili kuweza kutatua matatizo yanayowakumba wanafunzi hago.. Waweza kufuata kanuni na sheria vilivyo kwa kuzizingatia ili tuwe na uendeleaji mzuri wa wanafunzi na tubeze kuwasaidia katika mafanikio yao | Nani hufunza wanafunzi? | {
"text": [
"Walimu waliohitimu katika lugha"
]
} |
0201_swa | TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI
Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaibu haya ili kumpa mwanafunzi wakati rahisi katika masomo. Naam, haya hapa, ni baadhi ya mapendekezo yangu juu ya masaibu haya na suluhisho ili kumpa wakati mzuri mwanafunzi
Kwanza kabisa ni umaskini . Hali ya maisha inaweza kuchangia pakubwa katika maisha. Wenzetu akina yakhe ambao hawana mbele wala nyuma hukosa sare za shule, daftari, karo na vifaa vingine. Wau huona haina maana wasome Kurani hata wakisoma wataendje bila ufaid weite.Hii hayuko changamoto kuro kuri uparce italia. Kwa hiyo, ningependelea kama serikali ingesaidia akina yakhe na uteky wa bure the huleni, uresaidiwe karo pia hata sare ili waweze kusoma ita Kuendeleza qilizao mbeleni. Pilini shinikizo la manika Shida au tatizo hili limekuwa sugu kwani vijana hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo Wao huijona wakubwa Kuwcphirek.wizazi wao au walimu na yoyote yule - Haingekuwa vyema kama wazazi wetu maalum ambao wangetuaria Kulala na watoto wao ili kuwapa ficusaha kuhusu madhara na man ya kufuata marka wasionufaisha maisha yao na walimu shuleni wajitahidi kuweka vikao upa, ncuatia mara kwa mara. Tatu ni miundo msingi duni. Miundo Msingi hii ni kima , macarda ya kunned, Maabara ya kufanyia uchunguzi zaidi, maktaba slukni na mingine hringineyo. Wanafunzi wanahitaji miundo nyingi hii nakuwa na matokeo bora Vitabu vya kufuzu zaidi katika masomo yao na kudhalika. Endapo serikali ingesaidia hili ili kuipa nchi yetu sifa nzuri
Nne ni uongozi mbaya shuleni. Aidha kwa wakuu wa shule yaani walimu au wanafunzi' wengine ambao ni viongozi lakini hususan kwa viongozi wanafunzi ambao hunyanyasa wanafunzi wenzao na hata kufanya maisha yao shuleni kuwa mtihani: Ki vipi?, kwa kuwapri adhabu bila kosa ikiwa wenzi wao, wanasoma kuwatuma mda wowote ule hasa wakiwa wanajisomea : kadhalika: Hii ni hali ya dhuluma kwa wenziwe kwa hivyo ingekuwa vyema endapo walimu wangemchagua mtu ambaye wanamuamini na pia wanafunzi wanamkubali ili kuepuka kesi kama hizo.
Minghairi ya hayo ni mahusiano ya kimapenzi ambayo hayafai uita Yanceweza kuwa mahusiano katika shule za kalecida na hususan shule za meto. Pia wanaweza kuwa ya jinsia moja ambayo si halali na hii hupeleked mwanafunzi kupoteza muda mwingi akifiking mahusiano haya ambayo hayana manufaa badala ya kwenda kuongeza bidii na kufuzu. Tatizo hili ambalo humainbu vijana ambao ni tegemeo la nchimberleri i litgepukika endapo shule za mseto zitapigia mintfiku na kila.zile zu kaunica, kunci wale walio na mihusiano gaiviu moja; usagaji au ushoga, waadhibiwe ipasavyo ili wawe Katika njia imara. Fauka ya hayo ni adhabu kali kutoka kwa walimu . Hakuna asiyekosea Kwani kukosea ni kati ya sifa. kuu za adinasi. Lakini, endapo mtu akikosea basi muadhibu, ipasavyo na sio kupitiliza. Baadhi ya adhabu zinakiuka haki za binadamu. Unapomwadhibu sana moto kinyume na vile hawataki, unamfanya achukie shule na si jambo jema.Walimu wengi huadhibu mtoto kama hayawani Kiasi cha Kumpatia jeraha. Serikali inapaswa ichukue hatua kali kwa walimu amabao walifanya unyama kuna huu kuua kwapoza faini au kthankyo gereza Licha ya hayo, wazazi kuwa na matarajio makubwa kutokea kwa watoto wao, kila mzazi ana hamu kuwa mtoto wake atafaulu lakini ni lazima wazingatie uwezo wa mtoto yule . Mola ameumba watu wote na uwezo tofauti tofauti na huwezi kumlazimisha mtu awe hodari na yeye ni duni Wazazi wetu warriedusaidia mino enlupo wangekubaliana na hali halisi ya uurzowa na tuto ili kumpa moyo na mambo ni kangaja huenda yakajana hata kufaulu - takimi waswahimize mambo ambayo ni výe ya uwezo wao kwani wanauruumbua na kuzikoroga cikili hivyo basi wao kuachia nakuchukia pia shule wakijiona duni kuliko wenzao.
Aidha, changamoto nyingine ni matumizi ya dawa za kulevya Dawa hizo kwa mfano Shisha, imekuwa inatumika sana miongoni mwa vijana. Mabanti hawa huonekana hawawezi kutumia dance hizi za kulevya na hang zote Kucceshukiai mainjali, lakini mabinti più wanavuta perline hates kuwoulinda manjali Dawa hizo huwa kizuizi. Katika Matteo bora kwani huwapotezeci muda na bila manufaa bikini michael kwa wingi kama saratani ya mapaka na kadhalika . Licha ya hayo, kirvid Wanaweza Kupata tatizo li mimbei za mapeiri ambazo zita sababisha ndoa za mapema na kuachishwa shule kuch weiteili. Kuangalia mahitaji na wao ni wanathinzi. Yote hij ingletong mahusiano stulehi fusuan shule za mseto-Hii ni kwa sababu waheto hauce wançkosa mwelekeo mwafaka meishan. Wanwahay, yaliyo wapekeka shuleni . Kufuta yale ambayo hayana manufaa Katu. Wazazi wetu Pamoja ha walimu ndio tegemeo katika kusaidia swala hili . | Duru yangu ya habari imeniharifu kuhusu nini | {
"text": [
"Masaibu yanayowakumba wanagenzi"
]
} |
0201_swa | TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI
Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaibu haya ili kumpa mwanafunzi wakati rahisi katika masomo. Naam, haya hapa, ni baadhi ya mapendekezo yangu juu ya masaibu haya na suluhisho ili kumpa wakati mzuri mwanafunzi
Kwanza kabisa ni umaskini . Hali ya maisha inaweza kuchangia pakubwa katika maisha. Wenzetu akina yakhe ambao hawana mbele wala nyuma hukosa sare za shule, daftari, karo na vifaa vingine. Wau huona haina maana wasome Kurani hata wakisoma wataendje bila ufaid weite.Hii hayuko changamoto kuro kuri uparce italia. Kwa hiyo, ningependelea kama serikali ingesaidia akina yakhe na uteky wa bure the huleni, uresaidiwe karo pia hata sare ili waweze kusoma ita Kuendeleza qilizao mbeleni. Pilini shinikizo la manika Shida au tatizo hili limekuwa sugu kwani vijana hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo Wao huijona wakubwa Kuwcphirek.wizazi wao au walimu na yoyote yule - Haingekuwa vyema kama wazazi wetu maalum ambao wangetuaria Kulala na watoto wao ili kuwapa ficusaha kuhusu madhara na man ya kufuata marka wasionufaisha maisha yao na walimu shuleni wajitahidi kuweka vikao upa, ncuatia mara kwa mara. Tatu ni miundo msingi duni. Miundo Msingi hii ni kima , macarda ya kunned, Maabara ya kufanyia uchunguzi zaidi, maktaba slukni na mingine hringineyo. Wanafunzi wanahitaji miundo nyingi hii nakuwa na matokeo bora Vitabu vya kufuzu zaidi katika masomo yao na kudhalika. Endapo serikali ingesaidia hili ili kuipa nchi yetu sifa nzuri
Nne ni uongozi mbaya shuleni. Aidha kwa wakuu wa shule yaani walimu au wanafunzi' wengine ambao ni viongozi lakini hususan kwa viongozi wanafunzi ambao hunyanyasa wanafunzi wenzao na hata kufanya maisha yao shuleni kuwa mtihani: Ki vipi?, kwa kuwapri adhabu bila kosa ikiwa wenzi wao, wanasoma kuwatuma mda wowote ule hasa wakiwa wanajisomea : kadhalika: Hii ni hali ya dhuluma kwa wenziwe kwa hivyo ingekuwa vyema endapo walimu wangemchagua mtu ambaye wanamuamini na pia wanafunzi wanamkubali ili kuepuka kesi kama hizo.
Minghairi ya hayo ni mahusiano ya kimapenzi ambayo hayafai uita Yanceweza kuwa mahusiano katika shule za kalecida na hususan shule za meto. Pia wanaweza kuwa ya jinsia moja ambayo si halali na hii hupeleked mwanafunzi kupoteza muda mwingi akifiking mahusiano haya ambayo hayana manufaa badala ya kwenda kuongeza bidii na kufuzu. Tatizo hili ambalo humainbu vijana ambao ni tegemeo la nchimberleri i litgepukika endapo shule za mseto zitapigia mintfiku na kila.zile zu kaunica, kunci wale walio na mihusiano gaiviu moja; usagaji au ushoga, waadhibiwe ipasavyo ili wawe Katika njia imara. Fauka ya hayo ni adhabu kali kutoka kwa walimu . Hakuna asiyekosea Kwani kukosea ni kati ya sifa. kuu za adinasi. Lakini, endapo mtu akikosea basi muadhibu, ipasavyo na sio kupitiliza. Baadhi ya adhabu zinakiuka haki za binadamu. Unapomwadhibu sana moto kinyume na vile hawataki, unamfanya achukie shule na si jambo jema.Walimu wengi huadhibu mtoto kama hayawani Kiasi cha Kumpatia jeraha. Serikali inapaswa ichukue hatua kali kwa walimu amabao walifanya unyama kuna huu kuua kwapoza faini au kthankyo gereza Licha ya hayo, wazazi kuwa na matarajio makubwa kutokea kwa watoto wao, kila mzazi ana hamu kuwa mtoto wake atafaulu lakini ni lazima wazingatie uwezo wa mtoto yule . Mola ameumba watu wote na uwezo tofauti tofauti na huwezi kumlazimisha mtu awe hodari na yeye ni duni Wazazi wetu warriedusaidia mino enlupo wangekubaliana na hali halisi ya uurzowa na tuto ili kumpa moyo na mambo ni kangaja huenda yakajana hata kufaulu - takimi waswahimize mambo ambayo ni výe ya uwezo wao kwani wanauruumbua na kuzikoroga cikili hivyo basi wao kuachia nakuchukia pia shule wakijiona duni kuliko wenzao.
Aidha, changamoto nyingine ni matumizi ya dawa za kulevya Dawa hizo kwa mfano Shisha, imekuwa inatumika sana miongoni mwa vijana. Mabanti hawa huonekana hawawezi kutumia dance hizi za kulevya na hang zote Kucceshukiai mainjali, lakini mabinti più wanavuta perline hates kuwoulinda manjali Dawa hizo huwa kizuizi. Katika Matteo bora kwani huwapotezeci muda na bila manufaa bikini michael kwa wingi kama saratani ya mapaka na kadhalika . Licha ya hayo, kirvid Wanaweza Kupata tatizo li mimbei za mapeiri ambazo zita sababisha ndoa za mapema na kuachishwa shule kuch weiteili. Kuangalia mahitaji na wao ni wanathinzi. Yote hij ingletong mahusiano stulehi fusuan shule za mseto-Hii ni kwa sababu waheto hauce wançkosa mwelekeo mwafaka meishan. Wanwahay, yaliyo wapekeka shuleni . Kufuta yale ambayo hayana manufaa Katu. Wazazi wetu Pamoja ha walimu ndio tegemeo katika kusaidia swala hili . | Ni dhahiri kuwa kuna haja ya nini | {
"text": [
"Kuyasuluhisha masaibu haya"
]
} |
0201_swa | TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI
Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaibu haya ili kumpa mwanafunzi wakati rahisi katika masomo. Naam, haya hapa, ni baadhi ya mapendekezo yangu juu ya masaibu haya na suluhisho ili kumpa wakati mzuri mwanafunzi
Kwanza kabisa ni umaskini . Hali ya maisha inaweza kuchangia pakubwa katika maisha. Wenzetu akina yakhe ambao hawana mbele wala nyuma hukosa sare za shule, daftari, karo na vifaa vingine. Wau huona haina maana wasome Kurani hata wakisoma wataendje bila ufaid weite.Hii hayuko changamoto kuro kuri uparce italia. Kwa hiyo, ningependelea kama serikali ingesaidia akina yakhe na uteky wa bure the huleni, uresaidiwe karo pia hata sare ili waweze kusoma ita Kuendeleza qilizao mbeleni. Pilini shinikizo la manika Shida au tatizo hili limekuwa sugu kwani vijana hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo Wao huijona wakubwa Kuwcphirek.wizazi wao au walimu na yoyote yule - Haingekuwa vyema kama wazazi wetu maalum ambao wangetuaria Kulala na watoto wao ili kuwapa ficusaha kuhusu madhara na man ya kufuata marka wasionufaisha maisha yao na walimu shuleni wajitahidi kuweka vikao upa, ncuatia mara kwa mara. Tatu ni miundo msingi duni. Miundo Msingi hii ni kima , macarda ya kunned, Maabara ya kufanyia uchunguzi zaidi, maktaba slukni na mingine hringineyo. Wanafunzi wanahitaji miundo nyingi hii nakuwa na matokeo bora Vitabu vya kufuzu zaidi katika masomo yao na kudhalika. Endapo serikali ingesaidia hili ili kuipa nchi yetu sifa nzuri
Nne ni uongozi mbaya shuleni. Aidha kwa wakuu wa shule yaani walimu au wanafunzi' wengine ambao ni viongozi lakini hususan kwa viongozi wanafunzi ambao hunyanyasa wanafunzi wenzao na hata kufanya maisha yao shuleni kuwa mtihani: Ki vipi?, kwa kuwapri adhabu bila kosa ikiwa wenzi wao, wanasoma kuwatuma mda wowote ule hasa wakiwa wanajisomea : kadhalika: Hii ni hali ya dhuluma kwa wenziwe kwa hivyo ingekuwa vyema endapo walimu wangemchagua mtu ambaye wanamuamini na pia wanafunzi wanamkubali ili kuepuka kesi kama hizo.
Minghairi ya hayo ni mahusiano ya kimapenzi ambayo hayafai uita Yanceweza kuwa mahusiano katika shule za kalecida na hususan shule za meto. Pia wanaweza kuwa ya jinsia moja ambayo si halali na hii hupeleked mwanafunzi kupoteza muda mwingi akifiking mahusiano haya ambayo hayana manufaa badala ya kwenda kuongeza bidii na kufuzu. Tatizo hili ambalo humainbu vijana ambao ni tegemeo la nchimberleri i litgepukika endapo shule za mseto zitapigia mintfiku na kila.zile zu kaunica, kunci wale walio na mihusiano gaiviu moja; usagaji au ushoga, waadhibiwe ipasavyo ili wawe Katika njia imara. Fauka ya hayo ni adhabu kali kutoka kwa walimu . Hakuna asiyekosea Kwani kukosea ni kati ya sifa. kuu za adinasi. Lakini, endapo mtu akikosea basi muadhibu, ipasavyo na sio kupitiliza. Baadhi ya adhabu zinakiuka haki za binadamu. Unapomwadhibu sana moto kinyume na vile hawataki, unamfanya achukie shule na si jambo jema.Walimu wengi huadhibu mtoto kama hayawani Kiasi cha Kumpatia jeraha. Serikali inapaswa ichukue hatua kali kwa walimu amabao walifanya unyama kuna huu kuua kwapoza faini au kthankyo gereza Licha ya hayo, wazazi kuwa na matarajio makubwa kutokea kwa watoto wao, kila mzazi ana hamu kuwa mtoto wake atafaulu lakini ni lazima wazingatie uwezo wa mtoto yule . Mola ameumba watu wote na uwezo tofauti tofauti na huwezi kumlazimisha mtu awe hodari na yeye ni duni Wazazi wetu warriedusaidia mino enlupo wangekubaliana na hali halisi ya uurzowa na tuto ili kumpa moyo na mambo ni kangaja huenda yakajana hata kufaulu - takimi waswahimize mambo ambayo ni výe ya uwezo wao kwani wanauruumbua na kuzikoroga cikili hivyo basi wao kuachia nakuchukia pia shule wakijiona duni kuliko wenzao.
Aidha, changamoto nyingine ni matumizi ya dawa za kulevya Dawa hizo kwa mfano Shisha, imekuwa inatumika sana miongoni mwa vijana. Mabanti hawa huonekana hawawezi kutumia dance hizi za kulevya na hang zote Kucceshukiai mainjali, lakini mabinti più wanavuta perline hates kuwoulinda manjali Dawa hizo huwa kizuizi. Katika Matteo bora kwani huwapotezeci muda na bila manufaa bikini michael kwa wingi kama saratani ya mapaka na kadhalika . Licha ya hayo, kirvid Wanaweza Kupata tatizo li mimbei za mapeiri ambazo zita sababisha ndoa za mapema na kuachishwa shule kuch weiteili. Kuangalia mahitaji na wao ni wanathinzi. Yote hij ingletong mahusiano stulehi fusuan shule za mseto-Hii ni kwa sababu waheto hauce wançkosa mwelekeo mwafaka meishan. Wanwahay, yaliyo wapekeka shuleni . Kufuta yale ambayo hayana manufaa Katu. Wazazi wetu Pamoja ha walimu ndio tegemeo katika kusaidia swala hili . | Hali ya masomo inaweza kuchangia pakubwa katika nini | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
0201_swa | TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI
Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaibu haya ili kumpa mwanafunzi wakati rahisi katika masomo. Naam, haya hapa, ni baadhi ya mapendekezo yangu juu ya masaibu haya na suluhisho ili kumpa wakati mzuri mwanafunzi
Kwanza kabisa ni umaskini . Hali ya maisha inaweza kuchangia pakubwa katika maisha. Wenzetu akina yakhe ambao hawana mbele wala nyuma hukosa sare za shule, daftari, karo na vifaa vingine. Wau huona haina maana wasome Kurani hata wakisoma wataendje bila ufaid weite.Hii hayuko changamoto kuro kuri uparce italia. Kwa hiyo, ningependelea kama serikali ingesaidia akina yakhe na uteky wa bure the huleni, uresaidiwe karo pia hata sare ili waweze kusoma ita Kuendeleza qilizao mbeleni. Pilini shinikizo la manika Shida au tatizo hili limekuwa sugu kwani vijana hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo Wao huijona wakubwa Kuwcphirek.wizazi wao au walimu na yoyote yule - Haingekuwa vyema kama wazazi wetu maalum ambao wangetuaria Kulala na watoto wao ili kuwapa ficusaha kuhusu madhara na man ya kufuata marka wasionufaisha maisha yao na walimu shuleni wajitahidi kuweka vikao upa, ncuatia mara kwa mara. Tatu ni miundo msingi duni. Miundo Msingi hii ni kima , macarda ya kunned, Maabara ya kufanyia uchunguzi zaidi, maktaba slukni na mingine hringineyo. Wanafunzi wanahitaji miundo nyingi hii nakuwa na matokeo bora Vitabu vya kufuzu zaidi katika masomo yao na kudhalika. Endapo serikali ingesaidia hili ili kuipa nchi yetu sifa nzuri
Nne ni uongozi mbaya shuleni. Aidha kwa wakuu wa shule yaani walimu au wanafunzi' wengine ambao ni viongozi lakini hususan kwa viongozi wanafunzi ambao hunyanyasa wanafunzi wenzao na hata kufanya maisha yao shuleni kuwa mtihani: Ki vipi?, kwa kuwapri adhabu bila kosa ikiwa wenzi wao, wanasoma kuwatuma mda wowote ule hasa wakiwa wanajisomea : kadhalika: Hii ni hali ya dhuluma kwa wenziwe kwa hivyo ingekuwa vyema endapo walimu wangemchagua mtu ambaye wanamuamini na pia wanafunzi wanamkubali ili kuepuka kesi kama hizo.
Minghairi ya hayo ni mahusiano ya kimapenzi ambayo hayafai uita Yanceweza kuwa mahusiano katika shule za kalecida na hususan shule za meto. Pia wanaweza kuwa ya jinsia moja ambayo si halali na hii hupeleked mwanafunzi kupoteza muda mwingi akifiking mahusiano haya ambayo hayana manufaa badala ya kwenda kuongeza bidii na kufuzu. Tatizo hili ambalo humainbu vijana ambao ni tegemeo la nchimberleri i litgepukika endapo shule za mseto zitapigia mintfiku na kila.zile zu kaunica, kunci wale walio na mihusiano gaiviu moja; usagaji au ushoga, waadhibiwe ipasavyo ili wawe Katika njia imara. Fauka ya hayo ni adhabu kali kutoka kwa walimu . Hakuna asiyekosea Kwani kukosea ni kati ya sifa. kuu za adinasi. Lakini, endapo mtu akikosea basi muadhibu, ipasavyo na sio kupitiliza. Baadhi ya adhabu zinakiuka haki za binadamu. Unapomwadhibu sana moto kinyume na vile hawataki, unamfanya achukie shule na si jambo jema.Walimu wengi huadhibu mtoto kama hayawani Kiasi cha Kumpatia jeraha. Serikali inapaswa ichukue hatua kali kwa walimu amabao walifanya unyama kuna huu kuua kwapoza faini au kthankyo gereza Licha ya hayo, wazazi kuwa na matarajio makubwa kutokea kwa watoto wao, kila mzazi ana hamu kuwa mtoto wake atafaulu lakini ni lazima wazingatie uwezo wa mtoto yule . Mola ameumba watu wote na uwezo tofauti tofauti na huwezi kumlazimisha mtu awe hodari na yeye ni duni Wazazi wetu warriedusaidia mino enlupo wangekubaliana na hali halisi ya uurzowa na tuto ili kumpa moyo na mambo ni kangaja huenda yakajana hata kufaulu - takimi waswahimize mambo ambayo ni výe ya uwezo wao kwani wanauruumbua na kuzikoroga cikili hivyo basi wao kuachia nakuchukia pia shule wakijiona duni kuliko wenzao.
Aidha, changamoto nyingine ni matumizi ya dawa za kulevya Dawa hizo kwa mfano Shisha, imekuwa inatumika sana miongoni mwa vijana. Mabanti hawa huonekana hawawezi kutumia dance hizi za kulevya na hang zote Kucceshukiai mainjali, lakini mabinti più wanavuta perline hates kuwoulinda manjali Dawa hizo huwa kizuizi. Katika Matteo bora kwani huwapotezeci muda na bila manufaa bikini michael kwa wingi kama saratani ya mapaka na kadhalika . Licha ya hayo, kirvid Wanaweza Kupata tatizo li mimbei za mapeiri ambazo zita sababisha ndoa za mapema na kuachishwa shule kuch weiteili. Kuangalia mahitaji na wao ni wanathinzi. Yote hij ingletong mahusiano stulehi fusuan shule za mseto-Hii ni kwa sababu waheto hauce wançkosa mwelekeo mwafaka meishan. Wanwahay, yaliyo wapekeka shuleni . Kufuta yale ambayo hayana manufaa Katu. Wazazi wetu Pamoja ha walimu ndio tegemeo katika kusaidia swala hili . | Nani hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
0201_swa | TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI
Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaibu haya ili kumpa mwanafunzi wakati rahisi katika masomo. Naam, haya hapa, ni baadhi ya mapendekezo yangu juu ya masaibu haya na suluhisho ili kumpa wakati mzuri mwanafunzi
Kwanza kabisa ni umaskini . Hali ya maisha inaweza kuchangia pakubwa katika maisha. Wenzetu akina yakhe ambao hawana mbele wala nyuma hukosa sare za shule, daftari, karo na vifaa vingine. Wau huona haina maana wasome Kurani hata wakisoma wataendje bila ufaid weite.Hii hayuko changamoto kuro kuri uparce italia. Kwa hiyo, ningependelea kama serikali ingesaidia akina yakhe na uteky wa bure the huleni, uresaidiwe karo pia hata sare ili waweze kusoma ita Kuendeleza qilizao mbeleni. Pilini shinikizo la manika Shida au tatizo hili limekuwa sugu kwani vijana hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo Wao huijona wakubwa Kuwcphirek.wizazi wao au walimu na yoyote yule - Haingekuwa vyema kama wazazi wetu maalum ambao wangetuaria Kulala na watoto wao ili kuwapa ficusaha kuhusu madhara na man ya kufuata marka wasionufaisha maisha yao na walimu shuleni wajitahidi kuweka vikao upa, ncuatia mara kwa mara. Tatu ni miundo msingi duni. Miundo Msingi hii ni kima , macarda ya kunned, Maabara ya kufanyia uchunguzi zaidi, maktaba slukni na mingine hringineyo. Wanafunzi wanahitaji miundo nyingi hii nakuwa na matokeo bora Vitabu vya kufuzu zaidi katika masomo yao na kudhalika. Endapo serikali ingesaidia hili ili kuipa nchi yetu sifa nzuri
Nne ni uongozi mbaya shuleni. Aidha kwa wakuu wa shule yaani walimu au wanafunzi' wengine ambao ni viongozi lakini hususan kwa viongozi wanafunzi ambao hunyanyasa wanafunzi wenzao na hata kufanya maisha yao shuleni kuwa mtihani: Ki vipi?, kwa kuwapri adhabu bila kosa ikiwa wenzi wao, wanasoma kuwatuma mda wowote ule hasa wakiwa wanajisomea : kadhalika: Hii ni hali ya dhuluma kwa wenziwe kwa hivyo ingekuwa vyema endapo walimu wangemchagua mtu ambaye wanamuamini na pia wanafunzi wanamkubali ili kuepuka kesi kama hizo.
Minghairi ya hayo ni mahusiano ya kimapenzi ambayo hayafai uita Yanceweza kuwa mahusiano katika shule za kalecida na hususan shule za meto. Pia wanaweza kuwa ya jinsia moja ambayo si halali na hii hupeleked mwanafunzi kupoteza muda mwingi akifiking mahusiano haya ambayo hayana manufaa badala ya kwenda kuongeza bidii na kufuzu. Tatizo hili ambalo humainbu vijana ambao ni tegemeo la nchimberleri i litgepukika endapo shule za mseto zitapigia mintfiku na kila.zile zu kaunica, kunci wale walio na mihusiano gaiviu moja; usagaji au ushoga, waadhibiwe ipasavyo ili wawe Katika njia imara. Fauka ya hayo ni adhabu kali kutoka kwa walimu . Hakuna asiyekosea Kwani kukosea ni kati ya sifa. kuu za adinasi. Lakini, endapo mtu akikosea basi muadhibu, ipasavyo na sio kupitiliza. Baadhi ya adhabu zinakiuka haki za binadamu. Unapomwadhibu sana moto kinyume na vile hawataki, unamfanya achukie shule na si jambo jema.Walimu wengi huadhibu mtoto kama hayawani Kiasi cha Kumpatia jeraha. Serikali inapaswa ichukue hatua kali kwa walimu amabao walifanya unyama kuna huu kuua kwapoza faini au kthankyo gereza Licha ya hayo, wazazi kuwa na matarajio makubwa kutokea kwa watoto wao, kila mzazi ana hamu kuwa mtoto wake atafaulu lakini ni lazima wazingatie uwezo wa mtoto yule . Mola ameumba watu wote na uwezo tofauti tofauti na huwezi kumlazimisha mtu awe hodari na yeye ni duni Wazazi wetu warriedusaidia mino enlupo wangekubaliana na hali halisi ya uurzowa na tuto ili kumpa moyo na mambo ni kangaja huenda yakajana hata kufaulu - takimi waswahimize mambo ambayo ni výe ya uwezo wao kwani wanauruumbua na kuzikoroga cikili hivyo basi wao kuachia nakuchukia pia shule wakijiona duni kuliko wenzao.
Aidha, changamoto nyingine ni matumizi ya dawa za kulevya Dawa hizo kwa mfano Shisha, imekuwa inatumika sana miongoni mwa vijana. Mabanti hawa huonekana hawawezi kutumia dance hizi za kulevya na hang zote Kucceshukiai mainjali, lakini mabinti più wanavuta perline hates kuwoulinda manjali Dawa hizo huwa kizuizi. Katika Matteo bora kwani huwapotezeci muda na bila manufaa bikini michael kwa wingi kama saratani ya mapaka na kadhalika . Licha ya hayo, kirvid Wanaweza Kupata tatizo li mimbei za mapeiri ambazo zita sababisha ndoa za mapema na kuachishwa shule kuch weiteili. Kuangalia mahitaji na wao ni wanathinzi. Yote hij ingletong mahusiano stulehi fusuan shule za mseto-Hii ni kwa sababu waheto hauce wançkosa mwelekeo mwafaka meishan. Wanwahay, yaliyo wapekeka shuleni . Kufuta yale ambayo hayana manufaa Katu. Wazazi wetu Pamoja ha walimu ndio tegemeo katika kusaidia swala hili . | Kwa nini kuna haja ya kuyasuluhisha masaibu haya | {
"text": [
"Ili kumpa mwanafunzi wakati murua katika masomo"
]
} |
0202_swa | MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII
Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huruma na hata kuwa, ng busara lakini siku hizi maadili hayo yote yameweza kuzorota kwa njia tofauti tofauti kama vile malezi mabaya, utumiaji wa mihadarati na, kadhalika. kwanza maadili katika jamii nyingi huzorota kua kuweza kupata malezi mabaya. Wazazi wengi hawana wakati wa kukaa na wanao na kutaka kujua maendeleo yao na hata yanayowakumba watoto wao, na kama tujugvyo mwanzo wa ngoma ni lele kwa hivyo wazazi na hata walezi ni jukumu lao kuwafunza maadili watoto hawa toka bado thi wadogo ili wapate kuygendeleza maadili hayo na_kuwa waadilifu katika maisha ya usoni, na kuna hakika mtoto Jakibebwa haachi kutazama kisogo cha mamaye. Pili vijana na hata wazee katika jamii yetu ya sasa wanazorotesha maadili haya kwa kujiunga na utumiaji wa mihadarati kama vile kuvuta bangi na hata kunywa pombe · Utumiaji wa mihadarati haya huwafanya wao kutenda mambo kama vile kuiba kuuwa na hata kuabudu mashetani. Wao hutenda. yote hayo ili kuwa na lengo ya kupata pesa na. kuweza kununua mihadarati hayo yanayouzwa kwa bei ya ghali.
Isitoshe, kuiga utamaduni wa ughaibuni · Baadhi ya maadili tunayazorotesha sisi wenyewe kama vile mavazi. Tungiga mavazi tofauti tofauti kutoka jamii mbali mbali ambapo baadhi ya mavazi hayo ni mavazi yaliyokosha heshima . Watu wengi hufanya haya kwa kutaka kuonekana kuwa wameendelea kielimu na hata kuwa na ujuzi bila kujua kuwa wao huchukisha hadhi yao Katika jamii. Wengine huendelea na kufikia hadi uigizaji wa vyakula hujifanya wazungu na kubadilisha hata aina ya vyakula wanavyokula Baadhi ya watu hubadilisha lugha na kuanza kuchanganya ndimi na kusahau kuwa mwacha mila ni mtumwa.
Aidha, Filamu zinazoonyeshwa katika vyombo vya habari kama vile televisheni ni filamu chafu ambazo muwafanya wanajamii kukosa maadili na hata kutenda maovu katika jamii kama vile kuuwa kwa sababu watu hawa huiga.matendo hayo kutoka kwa filamu za sasa za kizungu na kusahau kuwa watu wa zamani hawakutenda yote hayo na ndipo wakawa ng Imagdili ya hali ya juu: simu nazo hupotosha watu kwa sababu watu wengi hawazitumii simu hizi kwa mawasiliano tu bali hufika hadi kuangalia mambo machafu ambayo huzorotesha maadili yao.Vile vile, utamga wa ulajiri watu wanghamu ya kuwa matajiri kwa hivyo wao hujiunga na vikundi kama vile Kuabudu mashetani ili waweze kupata hela ya haraka na hata kursahau ya kuwa vita havina macho. Watu wengine hufikia hadi kwa wenzao kwa Jegybabu ya ulafi uliowajaa Wao ni walafi kama fisi na ndo hivyo kwa fulani uliowajaa wao hukosa maadili mema · Fikira zao ni jinsi ya kupata hela na kusahau athari zitokanazo kumk Ina ndipo wahenga hawakuko sea waliponena Maji yakijaa hupwa
Aidha, ukosefu wa ajira umechukua asilimia kubwa sana... katika uzorotaji wa maadili. Mtu akiwa ameajiriwa yeye hufuata shughuli alizo nazo huko kazini na kusahau Imambe yote yate kama vile kuiba , ubakaji na hata ukahaba ungomwezesha kupata kipato, kwani yeye hujijua kuwa Anatolea jasho kipato chake. Mtu aliye na kazi yake huwa ng maadili kama vile heshima, neema na hata busara. Isitoshe watu hawa wana uhuru wa kutenda lolote watakalo kwa sababu hela ndizo zinazoongea katika Inchi yetu sasa .kwa kawaida, ukosefu wa Maadili ya kidini. Dini zote zinawalazimisha watu kuwa na maadili mema , si waisilamu,si wakristo na hata wahindi: Dini ndiyo nguzo ya mambo yote na ukiwa mwanadini basi huwezi kujishughulisha na mambo kama vile uibaji, ukuhaba hata udanganyifu. Wenye dini ni watu walio na busara , hekima, na ni watu waaminifu mno. Watu hukosa magdili za kidini kwa kukosa watu watakaowaongoza katika maisha za, mbeleni, ni lazima udongo tuupatize lungali maji, kwa hivyo ni lazima wanadini ze kuwafunza watu wa jamii maadili mema.
Hali kadhalika, shinikizo la marika Watu hulazimishana kutenda maovu kama vile kuiba, Hao hujihusisha katika Juibaji kwa sababy marafiki zao wana iba . Katika jamii mmoja akioza wote huoza. Katika maji, watoto huweza kujihusisha katika urafiki wa kutumia manadarati mbali mbali kama vile kuvuta unga ambao huwafanya kuwa na maadili mabaya na hata kubaka wasichana wadogo na yote hayo hutendwa kwa kukosa maadili kua kumsaidia mwenzake yeye atenda akiwa na lengo ya kuonekana libinafsi unafanya maadili kuzorota, watu wengi wanafanya matendo ambayo huwasaidia Lugo kua wao bila kushughulisha watu wengine na hata kuwadharau wenzao , hivyo basi ubinafsi wao huwafanya kukosa maadili mbali mbali kama vile ushujaa na hata ujasiri .
Kwa kumalizia, hakika penge nia pana njia na baada ya dhiki faraja Ni lazima watu wate keleze utamaduni tha ndipo maadili hayataweza kuzorota kwa vyovyote Ivila. Serikali nayo inapaswa kuchukua sheria kali katika kuhakikisha kuwa wahalifu wote wana adhibiwa. Ipasavyo bila kuwaonea huruma. Watu WOLU:e na matumaini kuwa wanaweza kutekeleza maadili na kutokuwa kama tiara ambayo inapepereshwa na maovu
| Yakisha mwagika hufanya nini | {
"text": [
"Hayazoleki"
]
} |
0202_swa | MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII
Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huruma na hata kuwa, ng busara lakini siku hizi maadili hayo yote yameweza kuzorota kwa njia tofauti tofauti kama vile malezi mabaya, utumiaji wa mihadarati na, kadhalika. kwanza maadili katika jamii nyingi huzorota kua kuweza kupata malezi mabaya. Wazazi wengi hawana wakati wa kukaa na wanao na kutaka kujua maendeleo yao na hata yanayowakumba watoto wao, na kama tujugvyo mwanzo wa ngoma ni lele kwa hivyo wazazi na hata walezi ni jukumu lao kuwafunza maadili watoto hawa toka bado thi wadogo ili wapate kuygendeleza maadili hayo na_kuwa waadilifu katika maisha ya usoni, na kuna hakika mtoto Jakibebwa haachi kutazama kisogo cha mamaye. Pili vijana na hata wazee katika jamii yetu ya sasa wanazorotesha maadili haya kwa kujiunga na utumiaji wa mihadarati kama vile kuvuta bangi na hata kunywa pombe · Utumiaji wa mihadarati haya huwafanya wao kutenda mambo kama vile kuiba kuuwa na hata kuabudu mashetani. Wao hutenda. yote hayo ili kuwa na lengo ya kupata pesa na. kuweza kununua mihadarati hayo yanayouzwa kwa bei ya ghali.
Isitoshe, kuiga utamaduni wa ughaibuni · Baadhi ya maadili tunayazorotesha sisi wenyewe kama vile mavazi. Tungiga mavazi tofauti tofauti kutoka jamii mbali mbali ambapo baadhi ya mavazi hayo ni mavazi yaliyokosha heshima . Watu wengi hufanya haya kwa kutaka kuonekana kuwa wameendelea kielimu na hata kuwa na ujuzi bila kujua kuwa wao huchukisha hadhi yao Katika jamii. Wengine huendelea na kufikia hadi uigizaji wa vyakula hujifanya wazungu na kubadilisha hata aina ya vyakula wanavyokula Baadhi ya watu hubadilisha lugha na kuanza kuchanganya ndimi na kusahau kuwa mwacha mila ni mtumwa.
Aidha, Filamu zinazoonyeshwa katika vyombo vya habari kama vile televisheni ni filamu chafu ambazo muwafanya wanajamii kukosa maadili na hata kutenda maovu katika jamii kama vile kuuwa kwa sababu watu hawa huiga.matendo hayo kutoka kwa filamu za sasa za kizungu na kusahau kuwa watu wa zamani hawakutenda yote hayo na ndipo wakawa ng Imagdili ya hali ya juu: simu nazo hupotosha watu kwa sababu watu wengi hawazitumii simu hizi kwa mawasiliano tu bali hufika hadi kuangalia mambo machafu ambayo huzorotesha maadili yao.Vile vile, utamga wa ulajiri watu wanghamu ya kuwa matajiri kwa hivyo wao hujiunga na vikundi kama vile Kuabudu mashetani ili waweze kupata hela ya haraka na hata kursahau ya kuwa vita havina macho. Watu wengine hufikia hadi kwa wenzao kwa Jegybabu ya ulafi uliowajaa Wao ni walafi kama fisi na ndo hivyo kwa fulani uliowajaa wao hukosa maadili mema · Fikira zao ni jinsi ya kupata hela na kusahau athari zitokanazo kumk Ina ndipo wahenga hawakuko sea waliponena Maji yakijaa hupwa
Aidha, ukosefu wa ajira umechukua asilimia kubwa sana... katika uzorotaji wa maadili. Mtu akiwa ameajiriwa yeye hufuata shughuli alizo nazo huko kazini na kusahau Imambe yote yate kama vile kuiba , ubakaji na hata ukahaba ungomwezesha kupata kipato, kwani yeye hujijua kuwa Anatolea jasho kipato chake. Mtu aliye na kazi yake huwa ng maadili kama vile heshima, neema na hata busara. Isitoshe watu hawa wana uhuru wa kutenda lolote watakalo kwa sababu hela ndizo zinazoongea katika Inchi yetu sasa .kwa kawaida, ukosefu wa Maadili ya kidini. Dini zote zinawalazimisha watu kuwa na maadili mema , si waisilamu,si wakristo na hata wahindi: Dini ndiyo nguzo ya mambo yote na ukiwa mwanadini basi huwezi kujishughulisha na mambo kama vile uibaji, ukuhaba hata udanganyifu. Wenye dini ni watu walio na busara , hekima, na ni watu waaminifu mno. Watu hukosa magdili za kidini kwa kukosa watu watakaowaongoza katika maisha za, mbeleni, ni lazima udongo tuupatize lungali maji, kwa hivyo ni lazima wanadini ze kuwafunza watu wa jamii maadili mema.
Hali kadhalika, shinikizo la marika Watu hulazimishana kutenda maovu kama vile kuiba, Hao hujihusisha katika Juibaji kwa sababy marafiki zao wana iba . Katika jamii mmoja akioza wote huoza. Katika maji, watoto huweza kujihusisha katika urafiki wa kutumia manadarati mbali mbali kama vile kuvuta unga ambao huwafanya kuwa na maadili mabaya na hata kubaka wasichana wadogo na yote hayo hutendwa kwa kukosa maadili kua kumsaidia mwenzake yeye atenda akiwa na lengo ya kuonekana libinafsi unafanya maadili kuzorota, watu wengi wanafanya matendo ambayo huwasaidia Lugo kua wao bila kushughulisha watu wengine na hata kuwadharau wenzao , hivyo basi ubinafsi wao huwafanya kukosa maadili mbali mbali kama vile ushujaa na hata ujasiri .
Kwa kumalizia, hakika penge nia pana njia na baada ya dhiki faraja Ni lazima watu wate keleze utamaduni tha ndipo maadili hayataweza kuzorota kwa vyovyote Ivila. Serikali nayo inapaswa kuchukua sheria kali katika kuhakikisha kuwa wahalifu wote wana adhibiwa. Ipasavyo bila kuwaonea huruma. Watu WOLU:e na matumaini kuwa wanaweza kutekeleza maadili na kutokuwa kama tiara ambayo inapepereshwa na maovu
| Chombo kipi ambacho hupotosha watu | {
"text": [
"Simu"
]
} |
0202_swa | MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII
Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huruma na hata kuwa, ng busara lakini siku hizi maadili hayo yote yameweza kuzorota kwa njia tofauti tofauti kama vile malezi mabaya, utumiaji wa mihadarati na, kadhalika. kwanza maadili katika jamii nyingi huzorota kua kuweza kupata malezi mabaya. Wazazi wengi hawana wakati wa kukaa na wanao na kutaka kujua maendeleo yao na hata yanayowakumba watoto wao, na kama tujugvyo mwanzo wa ngoma ni lele kwa hivyo wazazi na hata walezi ni jukumu lao kuwafunza maadili watoto hawa toka bado thi wadogo ili wapate kuygendeleza maadili hayo na_kuwa waadilifu katika maisha ya usoni, na kuna hakika mtoto Jakibebwa haachi kutazama kisogo cha mamaye. Pili vijana na hata wazee katika jamii yetu ya sasa wanazorotesha maadili haya kwa kujiunga na utumiaji wa mihadarati kama vile kuvuta bangi na hata kunywa pombe · Utumiaji wa mihadarati haya huwafanya wao kutenda mambo kama vile kuiba kuuwa na hata kuabudu mashetani. Wao hutenda. yote hayo ili kuwa na lengo ya kupata pesa na. kuweza kununua mihadarati hayo yanayouzwa kwa bei ya ghali.
Isitoshe, kuiga utamaduni wa ughaibuni · Baadhi ya maadili tunayazorotesha sisi wenyewe kama vile mavazi. Tungiga mavazi tofauti tofauti kutoka jamii mbali mbali ambapo baadhi ya mavazi hayo ni mavazi yaliyokosha heshima . Watu wengi hufanya haya kwa kutaka kuonekana kuwa wameendelea kielimu na hata kuwa na ujuzi bila kujua kuwa wao huchukisha hadhi yao Katika jamii. Wengine huendelea na kufikia hadi uigizaji wa vyakula hujifanya wazungu na kubadilisha hata aina ya vyakula wanavyokula Baadhi ya watu hubadilisha lugha na kuanza kuchanganya ndimi na kusahau kuwa mwacha mila ni mtumwa.
Aidha, Filamu zinazoonyeshwa katika vyombo vya habari kama vile televisheni ni filamu chafu ambazo muwafanya wanajamii kukosa maadili na hata kutenda maovu katika jamii kama vile kuuwa kwa sababu watu hawa huiga.matendo hayo kutoka kwa filamu za sasa za kizungu na kusahau kuwa watu wa zamani hawakutenda yote hayo na ndipo wakawa ng Imagdili ya hali ya juu: simu nazo hupotosha watu kwa sababu watu wengi hawazitumii simu hizi kwa mawasiliano tu bali hufika hadi kuangalia mambo machafu ambayo huzorotesha maadili yao.Vile vile, utamga wa ulajiri watu wanghamu ya kuwa matajiri kwa hivyo wao hujiunga na vikundi kama vile Kuabudu mashetani ili waweze kupata hela ya haraka na hata kursahau ya kuwa vita havina macho. Watu wengine hufikia hadi kwa wenzao kwa Jegybabu ya ulafi uliowajaa Wao ni walafi kama fisi na ndo hivyo kwa fulani uliowajaa wao hukosa maadili mema · Fikira zao ni jinsi ya kupata hela na kusahau athari zitokanazo kumk Ina ndipo wahenga hawakuko sea waliponena Maji yakijaa hupwa
Aidha, ukosefu wa ajira umechukua asilimia kubwa sana... katika uzorotaji wa maadili. Mtu akiwa ameajiriwa yeye hufuata shughuli alizo nazo huko kazini na kusahau Imambe yote yate kama vile kuiba , ubakaji na hata ukahaba ungomwezesha kupata kipato, kwani yeye hujijua kuwa Anatolea jasho kipato chake. Mtu aliye na kazi yake huwa ng maadili kama vile heshima, neema na hata busara. Isitoshe watu hawa wana uhuru wa kutenda lolote watakalo kwa sababu hela ndizo zinazoongea katika Inchi yetu sasa .kwa kawaida, ukosefu wa Maadili ya kidini. Dini zote zinawalazimisha watu kuwa na maadili mema , si waisilamu,si wakristo na hata wahindi: Dini ndiyo nguzo ya mambo yote na ukiwa mwanadini basi huwezi kujishughulisha na mambo kama vile uibaji, ukuhaba hata udanganyifu. Wenye dini ni watu walio na busara , hekima, na ni watu waaminifu mno. Watu hukosa magdili za kidini kwa kukosa watu watakaowaongoza katika maisha za, mbeleni, ni lazima udongo tuupatize lungali maji, kwa hivyo ni lazima wanadini ze kuwafunza watu wa jamii maadili mema.
Hali kadhalika, shinikizo la marika Watu hulazimishana kutenda maovu kama vile kuiba, Hao hujihusisha katika Juibaji kwa sababy marafiki zao wana iba . Katika jamii mmoja akioza wote huoza. Katika maji, watoto huweza kujihusisha katika urafiki wa kutumia manadarati mbali mbali kama vile kuvuta unga ambao huwafanya kuwa na maadili mabaya na hata kubaka wasichana wadogo na yote hayo hutendwa kwa kukosa maadili kua kumsaidia mwenzake yeye atenda akiwa na lengo ya kuonekana libinafsi unafanya maadili kuzorota, watu wengi wanafanya matendo ambayo huwasaidia Lugo kua wao bila kushughulisha watu wengine na hata kuwadharau wenzao , hivyo basi ubinafsi wao huwafanya kukosa maadili mbali mbali kama vile ushujaa na hata ujasiri .
Kwa kumalizia, hakika penge nia pana njia na baada ya dhiki faraja Ni lazima watu wate keleze utamaduni tha ndipo maadili hayataweza kuzorota kwa vyovyote Ivila. Serikali nayo inapaswa kuchukua sheria kali katika kuhakikisha kuwa wahalifu wote wana adhibiwa. Ipasavyo bila kuwaonea huruma. Watu WOLU:e na matumaini kuwa wanaweza kutekeleza maadili na kutokuwa kama tiara ambayo inapepereshwa na maovu
| Taja mfano mmoja wa maadili | {
"text": [
"Heshima"
]
} |
0202_swa | MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII
Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huruma na hata kuwa, ng busara lakini siku hizi maadili hayo yote yameweza kuzorota kwa njia tofauti tofauti kama vile malezi mabaya, utumiaji wa mihadarati na, kadhalika. kwanza maadili katika jamii nyingi huzorota kua kuweza kupata malezi mabaya. Wazazi wengi hawana wakati wa kukaa na wanao na kutaka kujua maendeleo yao na hata yanayowakumba watoto wao, na kama tujugvyo mwanzo wa ngoma ni lele kwa hivyo wazazi na hata walezi ni jukumu lao kuwafunza maadili watoto hawa toka bado thi wadogo ili wapate kuygendeleza maadili hayo na_kuwa waadilifu katika maisha ya usoni, na kuna hakika mtoto Jakibebwa haachi kutazama kisogo cha mamaye. Pili vijana na hata wazee katika jamii yetu ya sasa wanazorotesha maadili haya kwa kujiunga na utumiaji wa mihadarati kama vile kuvuta bangi na hata kunywa pombe · Utumiaji wa mihadarati haya huwafanya wao kutenda mambo kama vile kuiba kuuwa na hata kuabudu mashetani. Wao hutenda. yote hayo ili kuwa na lengo ya kupata pesa na. kuweza kununua mihadarati hayo yanayouzwa kwa bei ya ghali.
Isitoshe, kuiga utamaduni wa ughaibuni · Baadhi ya maadili tunayazorotesha sisi wenyewe kama vile mavazi. Tungiga mavazi tofauti tofauti kutoka jamii mbali mbali ambapo baadhi ya mavazi hayo ni mavazi yaliyokosha heshima . Watu wengi hufanya haya kwa kutaka kuonekana kuwa wameendelea kielimu na hata kuwa na ujuzi bila kujua kuwa wao huchukisha hadhi yao Katika jamii. Wengine huendelea na kufikia hadi uigizaji wa vyakula hujifanya wazungu na kubadilisha hata aina ya vyakula wanavyokula Baadhi ya watu hubadilisha lugha na kuanza kuchanganya ndimi na kusahau kuwa mwacha mila ni mtumwa.
Aidha, Filamu zinazoonyeshwa katika vyombo vya habari kama vile televisheni ni filamu chafu ambazo muwafanya wanajamii kukosa maadili na hata kutenda maovu katika jamii kama vile kuuwa kwa sababu watu hawa huiga.matendo hayo kutoka kwa filamu za sasa za kizungu na kusahau kuwa watu wa zamani hawakutenda yote hayo na ndipo wakawa ng Imagdili ya hali ya juu: simu nazo hupotosha watu kwa sababu watu wengi hawazitumii simu hizi kwa mawasiliano tu bali hufika hadi kuangalia mambo machafu ambayo huzorotesha maadili yao.Vile vile, utamga wa ulajiri watu wanghamu ya kuwa matajiri kwa hivyo wao hujiunga na vikundi kama vile Kuabudu mashetani ili waweze kupata hela ya haraka na hata kursahau ya kuwa vita havina macho. Watu wengine hufikia hadi kwa wenzao kwa Jegybabu ya ulafi uliowajaa Wao ni walafi kama fisi na ndo hivyo kwa fulani uliowajaa wao hukosa maadili mema · Fikira zao ni jinsi ya kupata hela na kusahau athari zitokanazo kumk Ina ndipo wahenga hawakuko sea waliponena Maji yakijaa hupwa
Aidha, ukosefu wa ajira umechukua asilimia kubwa sana... katika uzorotaji wa maadili. Mtu akiwa ameajiriwa yeye hufuata shughuli alizo nazo huko kazini na kusahau Imambe yote yate kama vile kuiba , ubakaji na hata ukahaba ungomwezesha kupata kipato, kwani yeye hujijua kuwa Anatolea jasho kipato chake. Mtu aliye na kazi yake huwa ng maadili kama vile heshima, neema na hata busara. Isitoshe watu hawa wana uhuru wa kutenda lolote watakalo kwa sababu hela ndizo zinazoongea katika Inchi yetu sasa .kwa kawaida, ukosefu wa Maadili ya kidini. Dini zote zinawalazimisha watu kuwa na maadili mema , si waisilamu,si wakristo na hata wahindi: Dini ndiyo nguzo ya mambo yote na ukiwa mwanadini basi huwezi kujishughulisha na mambo kama vile uibaji, ukuhaba hata udanganyifu. Wenye dini ni watu walio na busara , hekima, na ni watu waaminifu mno. Watu hukosa magdili za kidini kwa kukosa watu watakaowaongoza katika maisha za, mbeleni, ni lazima udongo tuupatize lungali maji, kwa hivyo ni lazima wanadini ze kuwafunza watu wa jamii maadili mema.
Hali kadhalika, shinikizo la marika Watu hulazimishana kutenda maovu kama vile kuiba, Hao hujihusisha katika Juibaji kwa sababy marafiki zao wana iba . Katika jamii mmoja akioza wote huoza. Katika maji, watoto huweza kujihusisha katika urafiki wa kutumia manadarati mbali mbali kama vile kuvuta unga ambao huwafanya kuwa na maadili mabaya na hata kubaka wasichana wadogo na yote hayo hutendwa kwa kukosa maadili kua kumsaidia mwenzake yeye atenda akiwa na lengo ya kuonekana libinafsi unafanya maadili kuzorota, watu wengi wanafanya matendo ambayo huwasaidia Lugo kua wao bila kushughulisha watu wengine na hata kuwadharau wenzao , hivyo basi ubinafsi wao huwafanya kukosa maadili mbali mbali kama vile ushujaa na hata ujasiri .
Kwa kumalizia, hakika penge nia pana njia na baada ya dhiki faraja Ni lazima watu wate keleze utamaduni tha ndipo maadili hayataweza kuzorota kwa vyovyote Ivila. Serikali nayo inapaswa kuchukua sheria kali katika kuhakikisha kuwa wahalifu wote wana adhibiwa. Ipasavyo bila kuwaonea huruma. Watu WOLU:e na matumaini kuwa wanaweza kutekeleza maadili na kutokuwa kama tiara ambayo inapepereshwa na maovu
| Filamu gani ambyao hukosesha wanajamiimaadili | {
"text": [
"Televisheni"
]
} |
0202_swa | MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII
Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huruma na hata kuwa, ng busara lakini siku hizi maadili hayo yote yameweza kuzorota kwa njia tofauti tofauti kama vile malezi mabaya, utumiaji wa mihadarati na, kadhalika. kwanza maadili katika jamii nyingi huzorota kua kuweza kupata malezi mabaya. Wazazi wengi hawana wakati wa kukaa na wanao na kutaka kujua maendeleo yao na hata yanayowakumba watoto wao, na kama tujugvyo mwanzo wa ngoma ni lele kwa hivyo wazazi na hata walezi ni jukumu lao kuwafunza maadili watoto hawa toka bado thi wadogo ili wapate kuygendeleza maadili hayo na_kuwa waadilifu katika maisha ya usoni, na kuna hakika mtoto Jakibebwa haachi kutazama kisogo cha mamaye. Pili vijana na hata wazee katika jamii yetu ya sasa wanazorotesha maadili haya kwa kujiunga na utumiaji wa mihadarati kama vile kuvuta bangi na hata kunywa pombe · Utumiaji wa mihadarati haya huwafanya wao kutenda mambo kama vile kuiba kuuwa na hata kuabudu mashetani. Wao hutenda. yote hayo ili kuwa na lengo ya kupata pesa na. kuweza kununua mihadarati hayo yanayouzwa kwa bei ya ghali.
Isitoshe, kuiga utamaduni wa ughaibuni · Baadhi ya maadili tunayazorotesha sisi wenyewe kama vile mavazi. Tungiga mavazi tofauti tofauti kutoka jamii mbali mbali ambapo baadhi ya mavazi hayo ni mavazi yaliyokosha heshima . Watu wengi hufanya haya kwa kutaka kuonekana kuwa wameendelea kielimu na hata kuwa na ujuzi bila kujua kuwa wao huchukisha hadhi yao Katika jamii. Wengine huendelea na kufikia hadi uigizaji wa vyakula hujifanya wazungu na kubadilisha hata aina ya vyakula wanavyokula Baadhi ya watu hubadilisha lugha na kuanza kuchanganya ndimi na kusahau kuwa mwacha mila ni mtumwa.
Aidha, Filamu zinazoonyeshwa katika vyombo vya habari kama vile televisheni ni filamu chafu ambazo muwafanya wanajamii kukosa maadili na hata kutenda maovu katika jamii kama vile kuuwa kwa sababu watu hawa huiga.matendo hayo kutoka kwa filamu za sasa za kizungu na kusahau kuwa watu wa zamani hawakutenda yote hayo na ndipo wakawa ng Imagdili ya hali ya juu: simu nazo hupotosha watu kwa sababu watu wengi hawazitumii simu hizi kwa mawasiliano tu bali hufika hadi kuangalia mambo machafu ambayo huzorotesha maadili yao.Vile vile, utamga wa ulajiri watu wanghamu ya kuwa matajiri kwa hivyo wao hujiunga na vikundi kama vile Kuabudu mashetani ili waweze kupata hela ya haraka na hata kursahau ya kuwa vita havina macho. Watu wengine hufikia hadi kwa wenzao kwa Jegybabu ya ulafi uliowajaa Wao ni walafi kama fisi na ndo hivyo kwa fulani uliowajaa wao hukosa maadili mema · Fikira zao ni jinsi ya kupata hela na kusahau athari zitokanazo kumk Ina ndipo wahenga hawakuko sea waliponena Maji yakijaa hupwa
Aidha, ukosefu wa ajira umechukua asilimia kubwa sana... katika uzorotaji wa maadili. Mtu akiwa ameajiriwa yeye hufuata shughuli alizo nazo huko kazini na kusahau Imambe yote yate kama vile kuiba , ubakaji na hata ukahaba ungomwezesha kupata kipato, kwani yeye hujijua kuwa Anatolea jasho kipato chake. Mtu aliye na kazi yake huwa ng maadili kama vile heshima, neema na hata busara. Isitoshe watu hawa wana uhuru wa kutenda lolote watakalo kwa sababu hela ndizo zinazoongea katika Inchi yetu sasa .kwa kawaida, ukosefu wa Maadili ya kidini. Dini zote zinawalazimisha watu kuwa na maadili mema , si waisilamu,si wakristo na hata wahindi: Dini ndiyo nguzo ya mambo yote na ukiwa mwanadini basi huwezi kujishughulisha na mambo kama vile uibaji, ukuhaba hata udanganyifu. Wenye dini ni watu walio na busara , hekima, na ni watu waaminifu mno. Watu hukosa magdili za kidini kwa kukosa watu watakaowaongoza katika maisha za, mbeleni, ni lazima udongo tuupatize lungali maji, kwa hivyo ni lazima wanadini ze kuwafunza watu wa jamii maadili mema.
Hali kadhalika, shinikizo la marika Watu hulazimishana kutenda maovu kama vile kuiba, Hao hujihusisha katika Juibaji kwa sababy marafiki zao wana iba . Katika jamii mmoja akioza wote huoza. Katika maji, watoto huweza kujihusisha katika urafiki wa kutumia manadarati mbali mbali kama vile kuvuta unga ambao huwafanya kuwa na maadili mabaya na hata kubaka wasichana wadogo na yote hayo hutendwa kwa kukosa maadili kua kumsaidia mwenzake yeye atenda akiwa na lengo ya kuonekana libinafsi unafanya maadili kuzorota, watu wengi wanafanya matendo ambayo huwasaidia Lugo kua wao bila kushughulisha watu wengine na hata kuwadharau wenzao , hivyo basi ubinafsi wao huwafanya kukosa maadili mbali mbali kama vile ushujaa na hata ujasiri .
Kwa kumalizia, hakika penge nia pana njia na baada ya dhiki faraja Ni lazima watu wate keleze utamaduni tha ndipo maadili hayataweza kuzorota kwa vyovyote Ivila. Serikali nayo inapaswa kuchukua sheria kali katika kuhakikisha kuwa wahalifu wote wana adhibiwa. Ipasavyo bila kuwaonea huruma. Watu WOLU:e na matumaini kuwa wanaweza kutekeleza maadili na kutokuwa kama tiara ambayo inapepereshwa na maovu
| Siku hizi maadili yamezorata kwa nini | {
"text": [
"Wazazi wengi Hawa a wakati wa kukaa na mwana wao"
]
} |
0203_swa |
MAELEZO KUHUSU NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA UCHUKUZI NCHINI
Uchukuzi ni hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma mbalimbali Kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kila nchi, yenye kuendelea au iliyo endelea inahitaji uchukuzi ili kusonga mbele kimaendeleo. Hii ni kwa sababu, kupitia uchukuzi tunaweza kupata bidhaa ambazo hazizalishwi sehemu fulani hivyo kuimarisha biashara pamoja na usafiri wa abiria Kuelekea sehemu mbalimbali. Ustinishini wa huduma pia ni mojawapo ya mambo ambayo hutokea endapo nchi incl uchukuzi imara Ni hizi hapa ni baadhi ya njia za kuimarisha uchukuzi nchini Mosi, kuboresha miundo msingi Miundo Msingi hii nayo ni kama reli, barabara, nyanja za ndege na nyingine nyingi. Tunapo boresha miundo msingi Kama bara bara basi tutafanya kazi ya kurdfirisha bidhaa.rahisi mno. Tukifahamu fika kuwa kila mwanabiashara anapoendeleza bidhaa zake basi hufikina akilini pist af ni vipi bidhaa zake zitasafirishwog. Na sasa endapo hatuna barabara nzuri bidhaa hizo haziwezi kusafirishwa na hinyo basi kuturudisha nyuma kimaendeleo - Muundo Msingi kama reli Thusafirisha vitu vizito na Usalama wurke pia unahakikühwa. Mano mzun ni ule wa (SGR)ambayo ni reli ya kisasa inayojenqwa_nchini lenya Hi ni hatua kubwa ya Kimaendeleo katika nchi ya Kenya kwani itarahisisha usafirishaji wa bidhaa na abiria
Pili kuondoa ufisadi . Ufisadi ni denda suku ambalo nchi nyingi za bara la Afrika zimeathinka nallo. Na tutaimarika kama nchi endapo tutapiga ufisadi .Ufisadi huletwa katika uchukuzi pale maafisa wa trafiki wanapopata hongo kwa kuwaachia wenye Mokosa waende zao Madereva wanaó Kiuka sheria za barabarani Kuachiwa huu. Wengi. wao ni walevi wanghatanisha maisha ya watu kwa kwenda kerind kujaza magan kupita kiasi lakini makthisa hawachukui hatua yoyote le Bora wao wapahte kitu kidogo kumawananya kita wenyewe lakini hawajali lolote. Serikali ichukue hatua Kalmno hiq mccafisa hawe ili Jepunguze islatdi ya ajali nchini na kuimanka Kimaendeleo
Tita, Serikali ihakikishe kuwa magari yote yamewekewa vidhibiti muendo. Vidhibiti mwendo vitasaidia madereva kuendesha magari kwa kasi iliye sawa hivyo kuzuia gali nyincji barabarani - Vidhibihi mwendo vitaimarský usafinisheni wci bjelhad zeli pamoja na huduma zetu zote. Pia, watu watawasili salama salmini.
Nne ni kuhakikisha magari yote yamewekwa mikanda ya usalama. Mikanda hii ni kwa usalama waalina bali si mtu mwingine hier Wengi hudharau na kuondoa labda wanapoteza muda wao kwa kujifungua hikayda hii lakini yakiwafika makuu wao huit huvutia majuto ni mjukuu huja baadaye - Hivyo basi ni jukumu ya dereva pamoja nautingo wake kuhakikisha kuwa kila anaye abin marwana ameyaa kujifunga mkanda wake. Hii itawatolea lawama pia kwani muda mwingi wao hulaumiwa na kuonekana kama wenye makosa. Ni jukumu lao na letu binafsi kulinda usalama wetu kwani udanganyifu unaanza na wewe mwenyewe kujipenda Licha ya hayo, Maganya watin ya umma yopakwe kutofautisha baiutiralo na mtu ambaye anatuinbu kuendesha gan lihali si dereva au utingo. Hij itasaidia kutofautisha na kuzuia uwizi wa watoto ambao umepando kasi siku hizi. Kwaninirahùi kwa serikali. kujua kuwa aliyechukua watoto hasa wa shule ni gari ya kibinafsi. Hivyo kuwezesha kuwakamata wahallifu ambao wanahanbe nchi na kuifanya nchi ikose amani.Pia itakuwa weng Kyjuq qan lipya lililoingia nchini hivyo kulichunguza, kwa king kuwa lina ugalumai Indhen dy shan Suluhisho hili fality imanisha uchukuzi tu bali pia litajminiha amani na maendeleo nchini. Kesi za kutekwa nyara kwa watoto pamoja na kubwa kwa bidhaa zina zitapungua kwa kiwango cha juu mbali na kuimarisha uchukuzi nchini.
Minhghairi ya hayo, serikali itoe mafunzo imara kwg wahudumu wa sekta ya usafi? Nuhanoq si wengine bali ni madereva wetu : Mafunzo haya yahakikishiwe kuwa yatawasaidia wao pamoja na abina codo. Na wahitimu na kupelog vieti ndio waingie barabarani na kuanza Kuz Welkekishe wanajua istóra zote za barabarani na kuzijua. Jó hoja, bali vazifugle na kuzitumia hila uchao. Ni madereva wengi wanao sababisha ajali kwa sababu hawaiad. Mafunzo kamili na ya kutosha- Si madereva hawq.thep na wale wa baharini nao wapate matunzo imara ili luqweze kuuciokoq wakiendapo Kutatokea au kwani ajali haina inaweza kutokea popote na kwa yote.
Pamoja na hayo, ni kwa serikali kubuni sheria kama vile mabasi kutonihoice kusatini usiku. Tunafahamu kuwa ajili nyingi bara wakati wa mwisho wa mwaka hutokea usiku pale watu wanaporudima kwao kwenda kujiunga Ina gila zao au wengine wakielekea katika fungale kwenda u Kujiman: Ni wema iwapo Usatin wa usiku utdritihwa ima iwapo shena thibado itakuwepo, basi wque madereva wawili ili wasaidiane. Dereva ni adinasi ay ini kama yoyote yule na anchezakupitiwa na windzi muda wowote na ajali kutokea Yakini uxakiwa wawili ni vigumu kwa ajali kutoa labda apende Mauling. Kwani watakapokuwa wawili, cuchapoke fzana na kuzuia ajali nyingi : Baada ya hayo ni madereva qu excitly kuchukua bima. Bima hizi zitasima - mígHatan yoyote ile glali. Hivyo bima zihwihwe katika usafi i, watu walipwe ile hajarg waliopata - Bima zizi hizi hazipo mfardi dtrend na watu wake H. bali pia zikifaidi sen kalli- Kluani itapata whuna na hivyo kuendeleza miundombinu tofauti tofauti. Pia whunu filo citaturze sha kulipa madeni ambayo fundalua ne nchi nyingine. Hii ni bainifu kuwa bima hizi zitafaídli zole pande mbili hivyo basi ni vyema madereva insi wazichukue kwa wakima wao. Serikali iweke maafisa wa trafiki wa kutosha. Wafanye inili maafisa hawa waweze kuweka njia hivyo basi kuimarisha uchukuzi : Wakiwa wengi ni rahisi kuzuia msongamano wa magan ambalo muda mwingine husababishwa na visababu vidogo sariq, Na pia endapo wataongeza maafira, ni vema serikali iwaongeze mshahara ili waschuhe horiqo. Wanapokuwa wengi na mishahara yao kuongezwa, Hatawaondolea Mishawishi vya kuchukuchango na hivyo wataji efusha na kuridhika walicho Macho. Hii itasaidia kutika kuitumisha uchukuzi.chini na hata pia kusambaratisha ufisadi Fayka ya hayo ni kuweka kamera zasini barabarani ili kurasa vitu vyote vitkediyo. Hii itasaidia sana kuxni madereva wengi watahofia kushikwa Ina makosa endapo wanaua fika kuwa kamera za siri pia zinasaidia mno katika kupunguza ajali barabarani kwani zibkeypt Hi rahisi kuong kilichotokea na kuchukua hatua kali kuzuia ajali. Ni rahisi mno kwa kuwa zitaraa madereva wasio na leseni ry wale ambao Futumia mihadarati na kuendesa magan bingo kuhatarisha maisha ya wale Endapo Senkali itafanug_hinh, ban Mayaond_mendi sane na si Yaya ya ajali tu bali_hata ya wizi wa bidhad. na kadhalika . Pia, Serikali ingefanya vet vyema kama ingetoa pizo kwa madereva bora zaidi - Hi takuwa kama mahinduino nd Yule atakaye ficha stena Zaidi na kuepukang ng gali_kwa_kuwa makini, apewe gan lake mwenyewe binafsi. Hii itawapa changamoto wengi ambao watatuka kuwa bora zaidi ya wengine na hivyo kuzuid aiali na madhara mengine yalokeayo baresterty: Wengi wao watakubali mashindano haya kwani pengine wao ndio Tegerneo katika aila 200 au wana Lichochol. Watafanya bidii ili wawe bora na kuboresha aila 290 pamoja ng Kujiendeleza kimaisha - Hi, itzua balaa nyinap barabarani na pia Kuongeza gmani na upendo nchini Fauka ya hayo yote ni kutumia teknolojia ya kisawe katika kutekeleza baadhi ya shughuli Shughuli hizi ni kama Rulipa mtandaoni kama mh. akitaka ku safini. Hii ni kwa sclbaby weroi wao wanakuwa na kazi nyingi na hivyo kukosa nafasi ya kusafiri kallika mabaui makubwa au hata ndege oziti zielekeazo nje ya ndi - Teknolojia katika macan hino kuweza kumwezesha mtu kujdq kuwa mbele yake kung aan Jendine au hakuna- Hi itazuiagali nyingi sana Teknolojia katika ndege hivyo kuzuia ajali na hata kwenye majambapo waweze kujua au kuarifiwa Kuna kizuizi. mbeleni. Serikali ikitumia teknolojig katika shughuli aina ainati. itaimarisha uchumi na pia sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya uchukuzi. Nina imani kali kuwa niliyoyapendekeza endapo yatazingatiwa. tutaweza kuboresha sekta ya uchukuzi. Nchi itaimarka ng hitaendelea Kijumla · Uchumi wetu utakuwa juu na hata adinasi kutoka nje ya nchi wataizuri nchi yetu na hivyo basi kutuongezea ush?nunchi na Kupitia uhuru huo nchi itazidi kukuwana kupata ufanisi zaidi. | Hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma huitwaje | {
"text": [
"Uchukuzi"
]
} |
0203_swa |
MAELEZO KUHUSU NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA UCHUKUZI NCHINI
Uchukuzi ni hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma mbalimbali Kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kila nchi, yenye kuendelea au iliyo endelea inahitaji uchukuzi ili kusonga mbele kimaendeleo. Hii ni kwa sababu, kupitia uchukuzi tunaweza kupata bidhaa ambazo hazizalishwi sehemu fulani hivyo kuimarisha biashara pamoja na usafiri wa abiria Kuelekea sehemu mbalimbali. Ustinishini wa huduma pia ni mojawapo ya mambo ambayo hutokea endapo nchi incl uchukuzi imara Ni hizi hapa ni baadhi ya njia za kuimarisha uchukuzi nchini Mosi, kuboresha miundo msingi Miundo Msingi hii nayo ni kama reli, barabara, nyanja za ndege na nyingine nyingi. Tunapo boresha miundo msingi Kama bara bara basi tutafanya kazi ya kurdfirisha bidhaa.rahisi mno. Tukifahamu fika kuwa kila mwanabiashara anapoendeleza bidhaa zake basi hufikina akilini pist af ni vipi bidhaa zake zitasafirishwog. Na sasa endapo hatuna barabara nzuri bidhaa hizo haziwezi kusafirishwa na hinyo basi kuturudisha nyuma kimaendeleo - Muundo Msingi kama reli Thusafirisha vitu vizito na Usalama wurke pia unahakikühwa. Mano mzun ni ule wa (SGR)ambayo ni reli ya kisasa inayojenqwa_nchini lenya Hi ni hatua kubwa ya Kimaendeleo katika nchi ya Kenya kwani itarahisisha usafirishaji wa bidhaa na abiria
Pili kuondoa ufisadi . Ufisadi ni denda suku ambalo nchi nyingi za bara la Afrika zimeathinka nallo. Na tutaimarika kama nchi endapo tutapiga ufisadi .Ufisadi huletwa katika uchukuzi pale maafisa wa trafiki wanapopata hongo kwa kuwaachia wenye Mokosa waende zao Madereva wanaó Kiuka sheria za barabarani Kuachiwa huu. Wengi. wao ni walevi wanghatanisha maisha ya watu kwa kwenda kerind kujaza magan kupita kiasi lakini makthisa hawachukui hatua yoyote le Bora wao wapahte kitu kidogo kumawananya kita wenyewe lakini hawajali lolote. Serikali ichukue hatua Kalmno hiq mccafisa hawe ili Jepunguze islatdi ya ajali nchini na kuimanka Kimaendeleo
Tita, Serikali ihakikishe kuwa magari yote yamewekewa vidhibiti muendo. Vidhibiti mwendo vitasaidia madereva kuendesha magari kwa kasi iliye sawa hivyo kuzuia gali nyincji barabarani - Vidhibihi mwendo vitaimarský usafinisheni wci bjelhad zeli pamoja na huduma zetu zote. Pia, watu watawasili salama salmini.
Nne ni kuhakikisha magari yote yamewekwa mikanda ya usalama. Mikanda hii ni kwa usalama waalina bali si mtu mwingine hier Wengi hudharau na kuondoa labda wanapoteza muda wao kwa kujifungua hikayda hii lakini yakiwafika makuu wao huit huvutia majuto ni mjukuu huja baadaye - Hivyo basi ni jukumu ya dereva pamoja nautingo wake kuhakikisha kuwa kila anaye abin marwana ameyaa kujifunga mkanda wake. Hii itawatolea lawama pia kwani muda mwingi wao hulaumiwa na kuonekana kama wenye makosa. Ni jukumu lao na letu binafsi kulinda usalama wetu kwani udanganyifu unaanza na wewe mwenyewe kujipenda Licha ya hayo, Maganya watin ya umma yopakwe kutofautisha baiutiralo na mtu ambaye anatuinbu kuendesha gan lihali si dereva au utingo. Hij itasaidia kutofautisha na kuzuia uwizi wa watoto ambao umepando kasi siku hizi. Kwaninirahùi kwa serikali. kujua kuwa aliyechukua watoto hasa wa shule ni gari ya kibinafsi. Hivyo kuwezesha kuwakamata wahallifu ambao wanahanbe nchi na kuifanya nchi ikose amani.Pia itakuwa weng Kyjuq qan lipya lililoingia nchini hivyo kulichunguza, kwa king kuwa lina ugalumai Indhen dy shan Suluhisho hili fality imanisha uchukuzi tu bali pia litajminiha amani na maendeleo nchini. Kesi za kutekwa nyara kwa watoto pamoja na kubwa kwa bidhaa zina zitapungua kwa kiwango cha juu mbali na kuimarisha uchukuzi nchini.
Minhghairi ya hayo, serikali itoe mafunzo imara kwg wahudumu wa sekta ya usafi? Nuhanoq si wengine bali ni madereva wetu : Mafunzo haya yahakikishiwe kuwa yatawasaidia wao pamoja na abina codo. Na wahitimu na kupelog vieti ndio waingie barabarani na kuanza Kuz Welkekishe wanajua istóra zote za barabarani na kuzijua. Jó hoja, bali vazifugle na kuzitumia hila uchao. Ni madereva wengi wanao sababisha ajali kwa sababu hawaiad. Mafunzo kamili na ya kutosha- Si madereva hawq.thep na wale wa baharini nao wapate matunzo imara ili luqweze kuuciokoq wakiendapo Kutatokea au kwani ajali haina inaweza kutokea popote na kwa yote.
Pamoja na hayo, ni kwa serikali kubuni sheria kama vile mabasi kutonihoice kusatini usiku. Tunafahamu kuwa ajili nyingi bara wakati wa mwisho wa mwaka hutokea usiku pale watu wanaporudima kwao kwenda kujiunga Ina gila zao au wengine wakielekea katika fungale kwenda u Kujiman: Ni wema iwapo Usatin wa usiku utdritihwa ima iwapo shena thibado itakuwepo, basi wque madereva wawili ili wasaidiane. Dereva ni adinasi ay ini kama yoyote yule na anchezakupitiwa na windzi muda wowote na ajali kutokea Yakini uxakiwa wawili ni vigumu kwa ajali kutoa labda apende Mauling. Kwani watakapokuwa wawili, cuchapoke fzana na kuzuia ajali nyingi : Baada ya hayo ni madereva qu excitly kuchukua bima. Bima hizi zitasima - mígHatan yoyote ile glali. Hivyo bima zihwihwe katika usafi i, watu walipwe ile hajarg waliopata - Bima zizi hizi hazipo mfardi dtrend na watu wake H. bali pia zikifaidi sen kalli- Kluani itapata whuna na hivyo kuendeleza miundombinu tofauti tofauti. Pia whunu filo citaturze sha kulipa madeni ambayo fundalua ne nchi nyingine. Hii ni bainifu kuwa bima hizi zitafaídli zole pande mbili hivyo basi ni vyema madereva insi wazichukue kwa wakima wao. Serikali iweke maafisa wa trafiki wa kutosha. Wafanye inili maafisa hawa waweze kuweka njia hivyo basi kuimarisha uchukuzi : Wakiwa wengi ni rahisi kuzuia msongamano wa magan ambalo muda mwingine husababishwa na visababu vidogo sariq, Na pia endapo wataongeza maafira, ni vema serikali iwaongeze mshahara ili waschuhe horiqo. Wanapokuwa wengi na mishahara yao kuongezwa, Hatawaondolea Mishawishi vya kuchukuchango na hivyo wataji efusha na kuridhika walicho Macho. Hii itasaidia kutika kuitumisha uchukuzi.chini na hata pia kusambaratisha ufisadi Fayka ya hayo ni kuweka kamera zasini barabarani ili kurasa vitu vyote vitkediyo. Hii itasaidia sana kuxni madereva wengi watahofia kushikwa Ina makosa endapo wanaua fika kuwa kamera za siri pia zinasaidia mno katika kupunguza ajali barabarani kwani zibkeypt Hi rahisi kuong kilichotokea na kuchukua hatua kali kuzuia ajali. Ni rahisi mno kwa kuwa zitaraa madereva wasio na leseni ry wale ambao Futumia mihadarati na kuendesa magan bingo kuhatarisha maisha ya wale Endapo Senkali itafanug_hinh, ban Mayaond_mendi sane na si Yaya ya ajali tu bali_hata ya wizi wa bidhad. na kadhalika . Pia, Serikali ingefanya vet vyema kama ingetoa pizo kwa madereva bora zaidi - Hi takuwa kama mahinduino nd Yule atakaye ficha stena Zaidi na kuepukang ng gali_kwa_kuwa makini, apewe gan lake mwenyewe binafsi. Hii itawapa changamoto wengi ambao watatuka kuwa bora zaidi ya wengine na hivyo kuzuid aiali na madhara mengine yalokeayo baresterty: Wengi wao watakubali mashindano haya kwani pengine wao ndio Tegerneo katika aila 200 au wana Lichochol. Watafanya bidii ili wawe bora na kuboresha aila 290 pamoja ng Kujiendeleza kimaisha - Hi, itzua balaa nyinap barabarani na pia Kuongeza gmani na upendo nchini Fauka ya hayo yote ni kutumia teknolojia ya kisawe katika kutekeleza baadhi ya shughuli Shughuli hizi ni kama Rulipa mtandaoni kama mh. akitaka ku safini. Hii ni kwa sclbaby weroi wao wanakuwa na kazi nyingi na hivyo kukosa nafasi ya kusafiri kallika mabaui makubwa au hata ndege oziti zielekeazo nje ya ndi - Teknolojia katika macan hino kuweza kumwezesha mtu kujdq kuwa mbele yake kung aan Jendine au hakuna- Hi itazuiagali nyingi sana Teknolojia katika ndege hivyo kuzuia ajali na hata kwenye majambapo waweze kujua au kuarifiwa Kuna kizuizi. mbeleni. Serikali ikitumia teknolojig katika shughuli aina ainati. itaimarisha uchumi na pia sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya uchukuzi. Nina imani kali kuwa niliyoyapendekeza endapo yatazingatiwa. tutaweza kuboresha sekta ya uchukuzi. Nchi itaimarka ng hitaendelea Kijumla · Uchumi wetu utakuwa juu na hata adinasi kutoka nje ya nchi wataizuri nchi yetu na hivyo basi kutuongezea ush?nunchi na Kupitia uhuru huo nchi itazidi kukuwana kupata ufanisi zaidi. | Nini husafirisha vitu vizito | {
"text": [
"Reli"
]
} |
0203_swa |
MAELEZO KUHUSU NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA UCHUKUZI NCHINI
Uchukuzi ni hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma mbalimbali Kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kila nchi, yenye kuendelea au iliyo endelea inahitaji uchukuzi ili kusonga mbele kimaendeleo. Hii ni kwa sababu, kupitia uchukuzi tunaweza kupata bidhaa ambazo hazizalishwi sehemu fulani hivyo kuimarisha biashara pamoja na usafiri wa abiria Kuelekea sehemu mbalimbali. Ustinishini wa huduma pia ni mojawapo ya mambo ambayo hutokea endapo nchi incl uchukuzi imara Ni hizi hapa ni baadhi ya njia za kuimarisha uchukuzi nchini Mosi, kuboresha miundo msingi Miundo Msingi hii nayo ni kama reli, barabara, nyanja za ndege na nyingine nyingi. Tunapo boresha miundo msingi Kama bara bara basi tutafanya kazi ya kurdfirisha bidhaa.rahisi mno. Tukifahamu fika kuwa kila mwanabiashara anapoendeleza bidhaa zake basi hufikina akilini pist af ni vipi bidhaa zake zitasafirishwog. Na sasa endapo hatuna barabara nzuri bidhaa hizo haziwezi kusafirishwa na hinyo basi kuturudisha nyuma kimaendeleo - Muundo Msingi kama reli Thusafirisha vitu vizito na Usalama wurke pia unahakikühwa. Mano mzun ni ule wa (SGR)ambayo ni reli ya kisasa inayojenqwa_nchini lenya Hi ni hatua kubwa ya Kimaendeleo katika nchi ya Kenya kwani itarahisisha usafirishaji wa bidhaa na abiria
Pili kuondoa ufisadi . Ufisadi ni denda suku ambalo nchi nyingi za bara la Afrika zimeathinka nallo. Na tutaimarika kama nchi endapo tutapiga ufisadi .Ufisadi huletwa katika uchukuzi pale maafisa wa trafiki wanapopata hongo kwa kuwaachia wenye Mokosa waende zao Madereva wanaó Kiuka sheria za barabarani Kuachiwa huu. Wengi. wao ni walevi wanghatanisha maisha ya watu kwa kwenda kerind kujaza magan kupita kiasi lakini makthisa hawachukui hatua yoyote le Bora wao wapahte kitu kidogo kumawananya kita wenyewe lakini hawajali lolote. Serikali ichukue hatua Kalmno hiq mccafisa hawe ili Jepunguze islatdi ya ajali nchini na kuimanka Kimaendeleo
Tita, Serikali ihakikishe kuwa magari yote yamewekewa vidhibiti muendo. Vidhibiti mwendo vitasaidia madereva kuendesha magari kwa kasi iliye sawa hivyo kuzuia gali nyincji barabarani - Vidhibihi mwendo vitaimarský usafinisheni wci bjelhad zeli pamoja na huduma zetu zote. Pia, watu watawasili salama salmini.
Nne ni kuhakikisha magari yote yamewekwa mikanda ya usalama. Mikanda hii ni kwa usalama waalina bali si mtu mwingine hier Wengi hudharau na kuondoa labda wanapoteza muda wao kwa kujifungua hikayda hii lakini yakiwafika makuu wao huit huvutia majuto ni mjukuu huja baadaye - Hivyo basi ni jukumu ya dereva pamoja nautingo wake kuhakikisha kuwa kila anaye abin marwana ameyaa kujifunga mkanda wake. Hii itawatolea lawama pia kwani muda mwingi wao hulaumiwa na kuonekana kama wenye makosa. Ni jukumu lao na letu binafsi kulinda usalama wetu kwani udanganyifu unaanza na wewe mwenyewe kujipenda Licha ya hayo, Maganya watin ya umma yopakwe kutofautisha baiutiralo na mtu ambaye anatuinbu kuendesha gan lihali si dereva au utingo. Hij itasaidia kutofautisha na kuzuia uwizi wa watoto ambao umepando kasi siku hizi. Kwaninirahùi kwa serikali. kujua kuwa aliyechukua watoto hasa wa shule ni gari ya kibinafsi. Hivyo kuwezesha kuwakamata wahallifu ambao wanahanbe nchi na kuifanya nchi ikose amani.Pia itakuwa weng Kyjuq qan lipya lililoingia nchini hivyo kulichunguza, kwa king kuwa lina ugalumai Indhen dy shan Suluhisho hili fality imanisha uchukuzi tu bali pia litajminiha amani na maendeleo nchini. Kesi za kutekwa nyara kwa watoto pamoja na kubwa kwa bidhaa zina zitapungua kwa kiwango cha juu mbali na kuimarisha uchukuzi nchini.
Minhghairi ya hayo, serikali itoe mafunzo imara kwg wahudumu wa sekta ya usafi? Nuhanoq si wengine bali ni madereva wetu : Mafunzo haya yahakikishiwe kuwa yatawasaidia wao pamoja na abina codo. Na wahitimu na kupelog vieti ndio waingie barabarani na kuanza Kuz Welkekishe wanajua istóra zote za barabarani na kuzijua. Jó hoja, bali vazifugle na kuzitumia hila uchao. Ni madereva wengi wanao sababisha ajali kwa sababu hawaiad. Mafunzo kamili na ya kutosha- Si madereva hawq.thep na wale wa baharini nao wapate matunzo imara ili luqweze kuuciokoq wakiendapo Kutatokea au kwani ajali haina inaweza kutokea popote na kwa yote.
Pamoja na hayo, ni kwa serikali kubuni sheria kama vile mabasi kutonihoice kusatini usiku. Tunafahamu kuwa ajili nyingi bara wakati wa mwisho wa mwaka hutokea usiku pale watu wanaporudima kwao kwenda kujiunga Ina gila zao au wengine wakielekea katika fungale kwenda u Kujiman: Ni wema iwapo Usatin wa usiku utdritihwa ima iwapo shena thibado itakuwepo, basi wque madereva wawili ili wasaidiane. Dereva ni adinasi ay ini kama yoyote yule na anchezakupitiwa na windzi muda wowote na ajali kutokea Yakini uxakiwa wawili ni vigumu kwa ajali kutoa labda apende Mauling. Kwani watakapokuwa wawili, cuchapoke fzana na kuzuia ajali nyingi : Baada ya hayo ni madereva qu excitly kuchukua bima. Bima hizi zitasima - mígHatan yoyote ile glali. Hivyo bima zihwihwe katika usafi i, watu walipwe ile hajarg waliopata - Bima zizi hizi hazipo mfardi dtrend na watu wake H. bali pia zikifaidi sen kalli- Kluani itapata whuna na hivyo kuendeleza miundombinu tofauti tofauti. Pia whunu filo citaturze sha kulipa madeni ambayo fundalua ne nchi nyingine. Hii ni bainifu kuwa bima hizi zitafaídli zole pande mbili hivyo basi ni vyema madereva insi wazichukue kwa wakima wao. Serikali iweke maafisa wa trafiki wa kutosha. Wafanye inili maafisa hawa waweze kuweka njia hivyo basi kuimarisha uchukuzi : Wakiwa wengi ni rahisi kuzuia msongamano wa magan ambalo muda mwingine husababishwa na visababu vidogo sariq, Na pia endapo wataongeza maafira, ni vema serikali iwaongeze mshahara ili waschuhe horiqo. Wanapokuwa wengi na mishahara yao kuongezwa, Hatawaondolea Mishawishi vya kuchukuchango na hivyo wataji efusha na kuridhika walicho Macho. Hii itasaidia kutika kuitumisha uchukuzi.chini na hata pia kusambaratisha ufisadi Fayka ya hayo ni kuweka kamera zasini barabarani ili kurasa vitu vyote vitkediyo. Hii itasaidia sana kuxni madereva wengi watahofia kushikwa Ina makosa endapo wanaua fika kuwa kamera za siri pia zinasaidia mno katika kupunguza ajali barabarani kwani zibkeypt Hi rahisi kuong kilichotokea na kuchukua hatua kali kuzuia ajali. Ni rahisi mno kwa kuwa zitaraa madereva wasio na leseni ry wale ambao Futumia mihadarati na kuendesa magan bingo kuhatarisha maisha ya wale Endapo Senkali itafanug_hinh, ban Mayaond_mendi sane na si Yaya ya ajali tu bali_hata ya wizi wa bidhad. na kadhalika . Pia, Serikali ingefanya vet vyema kama ingetoa pizo kwa madereva bora zaidi - Hi takuwa kama mahinduino nd Yule atakaye ficha stena Zaidi na kuepukang ng gali_kwa_kuwa makini, apewe gan lake mwenyewe binafsi. Hii itawapa changamoto wengi ambao watatuka kuwa bora zaidi ya wengine na hivyo kuzuid aiali na madhara mengine yalokeayo baresterty: Wengi wao watakubali mashindano haya kwani pengine wao ndio Tegerneo katika aila 200 au wana Lichochol. Watafanya bidii ili wawe bora na kuboresha aila 290 pamoja ng Kujiendeleza kimaisha - Hi, itzua balaa nyinap barabarani na pia Kuongeza gmani na upendo nchini Fauka ya hayo yote ni kutumia teknolojia ya kisawe katika kutekeleza baadhi ya shughuli Shughuli hizi ni kama Rulipa mtandaoni kama mh. akitaka ku safini. Hii ni kwa sclbaby weroi wao wanakuwa na kazi nyingi na hivyo kukosa nafasi ya kusafiri kallika mabaui makubwa au hata ndege oziti zielekeazo nje ya ndi - Teknolojia katika macan hino kuweza kumwezesha mtu kujdq kuwa mbele yake kung aan Jendine au hakuna- Hi itazuiagali nyingi sana Teknolojia katika ndege hivyo kuzuia ajali na hata kwenye majambapo waweze kujua au kuarifiwa Kuna kizuizi. mbeleni. Serikali ikitumia teknolojig katika shughuli aina ainati. itaimarisha uchumi na pia sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya uchukuzi. Nina imani kali kuwa niliyoyapendekeza endapo yatazingatiwa. tutaweza kuboresha sekta ya uchukuzi. Nchi itaimarka ng hitaendelea Kijumla · Uchumi wetu utakuwa juu na hata adinasi kutoka nje ya nchi wataizuri nchi yetu na hivyo basi kutuongezea ush?nunchi na Kupitia uhuru huo nchi itazidi kukuwana kupata ufanisi zaidi. | Nchi za afrka zimeathiriwa na nin | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
Subsets and Splits