audio_ID
stringlengths 17
83
| sentence
stringlengths 5
2.57k
| audio_path
stringlengths 34
100
|
---|---|---|
1690444385919.wav | je ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina B kwa matumizi biashara au matumizi ya chakula naona ni kwa matumizi ya chakula zaidi ambacho ni kitu gani umekipenda labda nimekipenda kwa sababu mvuto wa rangi yake na vilevile naona kwamba ni rangi ambayo inayofaa kula isiyokua na rangi nyingi | generated_audios/1690444385919.wav |
moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594590586.wav | nini unapenda kuhusu aina C.aina C naipendaa kwasababu kwanza ni nzuri hata kwenye kula ni nzuri lakini sasa alafu inaonyesha mazao yake yana kuwa mengi zaidi mh.sawa. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594590586.wav |
moment_3_vegetative_5ab9417b-4989-47f8-8542-34078289b4ea_1718013442598.wav | Ni unachokipenda katika mbegu A?.Aaah uu ustawi wake ndo naupendaÉ. | generated_audios/moment_3_vegetative_5ab9417b-4989-47f8-8542-34078289b4ea_1718013442598.wav |
moment_3_vegetative_20240417_667836fe-11a0-45a8-80c5-87b416c5e9e1_1714029546902.wav | angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendezwi nacho au hupendi kuhusu aina hiyokuhusu aina A kitu sipendi nimeona kwanini yanakuwa njano ndo nimeona tofauti yake ndo hiyoje unaweza ukani ukanielezea au ukanionesha labda mmea ambao umekuwa njano ndiyoembu ni niambie upo kwenye msari wa ngapi, labda ni mmea wa ngapiupo katika mstari wa kwanza mmea wa tano na mstari wa tatu mmea wa wa nne na watano je unadhani kwanini kwenye hiyo mimea ambayo umenitajia imebadilika na kuwa ya njanosijajua labda ni mvua mm, sijajua labda ni mvuaaaa sawa sasa kama umesema hile mimea imebadilika kwajili ya mvua, mbona tukitazama hii aina A mimea mingine ina bado inaukijani wake hila tukiangalia hiyo mimea ya maeneo hayo imebadilika rangi, je unadhani itakuwa sababu ni nini hasanaona sababu inaweza ikawa hii mbegu sio nzuri, au nitofauti na ardhi yangu labda ardhi yangu haiwezi kufanana na hii mbeguhebu endelea kunielezea hapo ulikua unasemakaaah kaaah hapa nilikua nasema hapa hii eneo A inaonekana hapa katikati maji yalipita mtiririko ma maji yalipita hapa ndo ikaleta hadhari ya kuwa njanoaaa kooo unachojaribu kumaanisha ni kwamba hii aina A kukiwa na mafuriko ina ina ita ita itaima maharage yake hayatofanya vizurieee hayata fanya vizuri inamaana maji yatazidi itakuwa njanosawa asante | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_667836fe-11a0-45a8-80c5-87b416c5e9e1_1714029546902.wav |
moment_3_vegetative_20240417_2d8a90fb-fd59-4cef-b579-025481aea23f_1713511661415.wav | Ni nini usichokipenda kuhusu aina A?hakuna nisichokipenda.Anhaa.Mmh. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_2d8a90fb-fd59-4cef-b579-025481aea23f_1713511661415.wav |
moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012326385.wav | ok unaweza kunisaidia kuniambia kwenyeee eneo hili C kitu gani ambacho unakiipenda sana?yaani kwenye eneo Cmmhkwanza nilichokipendammhkwanzia uotaji wake yameota vizuriiimmhpaka sasahivi yanaendelea vizuriiimmhyana ukijani wa kutoshaammhna yana chakula cha kutosha yaani watoto wamejaa vizuriimmhsasa nataka tuangalie hapo kwenye matunda utoaji wa matunda itakuwejesafi sana kinginee?kingineeeulichokipendanilichokipendammhukijani wake yana kijani kinachoridhishasawa haaya. | generated_audios/moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012326385.wav |
moment_3_vegetative_20240417_5796e49c-470f-429a-8ef4-fc7e08927f15_1713618012911.wav | Angalia aina B na eleza chochote unachokipenda kuhusiana na aina B.Kwenye kitalu hiki cha cha Beeekitu ambacho nimekipenda kwanza ni tulivoyapanda yameota vizuri kuliko mengine lakini pia mmea wake umekua na afya yani mmea wakeumekua na afya na majani yake kwa kweli ynaridhisha yameshiba kwa hiyo tunategemea pia kuna uzao ambao tunategemea kutokana na majani jinsi yanavyoonekana.Kingine cha kuongezea.?Kingine cha kuongezea kwenye aina hiyo yani uotaji pia umerudhisha kwa ujumla kama nilivosema lakini pia na afya pia ya mmeaUnaposema afya unazungumzia nini?Chochote kile unachofanya si unaona yani kama ni mmea kuanzia ulivoota unaoonekana ni umekua na afya umekua na majani mazuri umekua na masuke yake mazuri hata ninavyoona hata ume umetoa hata maua kulio mengine kwa hiyo tayari inapnesha kwamba kuna matumani flani kwenye aina hii ya mbegu kwenye kitalu B.Cha kuongezea kilichokuvutia zaidi? Kwenye aina B?Cha kuongezeaAmbachi kimekuvutia apo kwenye kitalu hicho.Yni mimi hapa nianchotamani yani mpaka baada ya wiki moja natamani kwamba nitachuma mboga kwa hiyo kutokana na maharage jinsi yalivyokua na yani majani yake jinsi yanavyomea.Lakini mboga haturuhusu, haifai unajua ukihuma mboga unayanyima ukuaji wa mmea Ahaa basi hata kama sio mboga lakini tunategemea kama tutavuna ili tupate mbegu ya kutosha mwakani.Ahaa nashukuru. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_5796e49c-470f-429a-8ef4-fc7e08927f15_1713618012911.wav |
moment_3_vegetative_20240417_b540a1f8-96a0-457e-97af-5e1006c1ce08_1714459834627.wav | Nini usichokipenda kuhusu aina C?Plot C nisichokipenda ni kuhusu maua maua kidogo hayajakaa vizuri nayanashambuliwa na waduddu alafu pia maua hayo yana njano inatoka ndo kitu nisichokipenda kwenye plot C.Njano inatoka kwenye majani kwenye maua? Njano kwenye majani.Aaa kingine ambacho ukipendi?Ambacho sikipendiii ni uhafifu yani wa ukuaji mmh.Sawa asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_b540a1f8-96a0-457e-97af-5e1006c1ce08_1714459834627.wav |
moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966677999.wav | angalia aina C na eleza chochote unachokiona hupendi kuhusu hiyo?.yani C nimependa kila kitu yani kuanzia kuota kwake yani kuzaa kwake sasaivi ni hali nzuri tu yani C hakuna dosari yeyote kumependeza.asante. | generated_audios/moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966677999.wav |
moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819368543.wav | …. mmh ukiangalia kitalu A.Mmm.Wewe unaweza ukaniii elezea chochote ambacho unakipenda kutoka kwenye aina iii.A eee nakipenda kweli kwasabu kwanza malage yale yanaota vizuli.Mmm.Eeee yanaota vizuli mbbegu yake ni nzuli.Unavosema yanaota vizuli unaenza ukanielezea uwo uzuli wake we umeuona kwenye nini.Nimeona kwasabu kwenye kupanda pale kwenye mistali.Mmm.Kila punje imeota.Mmm.Eeee kwaiyo kila punje imeota kwaiyo A kidogo iko vizuli.Mmm.Eeee.Na kingine labda ambacho unaweza ukaongeza labda kusiana na iyoiyo aina kwenye uzuli uwo ambao umeusemea.Uzuli.Mmm.Uzuli asa sijajua baadae lakini kwenye muonekano tuwaa majani yanaonekana yako vizuli saa sijajua kwenye uupatikanaji wa kiii badae mazao hayo.Aaa saa.…. | generated_audios/moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819368543.wav |
moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020065597.wav | ah angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu ainaa aina A.ambacho sikipendii kwenye A kwenye group A ni kupukutisha majani haraka kitu ambacho kinashinhwa kuiilisha vizuri au kukauka kwa wakati wake.sawa. | generated_audios/moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020065597.wav |
moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966577250.wav | angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho ambacho hupendi kuhusu hioyakuninga mbee khihiiikitu ambacho hupendiyaani ambacho sijakipenda ni uzaaji wake yaan haujazaa vizuri yaani haupo sawa yaani | generated_audios/moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966577250.wav |
moment_3_vegetative_20240417_fd389813-30b5-4398-a079-7bbeff5fe2be_1714546653276.wav | Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho ujakipenda nini ujakipenda kwenye aina C?Haujakua.Haujakua?Eee.Ni kwanini haujakua lab?Mvua.Aaah mvua ndo imesababisha usikue?Eee.Kuna kiingine labda ujakipenda?Ni hicho tu haujakua.Sawa asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_fd389813-30b5-4398-a079-7bbeff5fe2be_1714546653276.wav |
moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599093802.wav | Nini unapenda kuhusu aina B.Aina B na enyewe maharage yanaonekana yako vizuri.Mmmh.Ila kidogo naiyona ni tofauti kidogo na labda kwa vile sijui ina kambaaa eeh ila nabado inaelekea bado ina inazaa.Mmmh.Japokuwa naona kama hii awamu ya kwanza hii imewahi kutoa mauwa kabla ya aina ya pili ukiicheki naona kama iko nyuma kidogo koo kwa kwa sasaizi unaweza tukaipa mda kidogo.Mmmh.Tuangalie labda ni aina ya mbegu kuna inayowahi labda na inayochelewaSawa.Saabu kwa uchanganyaji wa mauwa sio kama aina A .Sawa.Eeeh kwahiyo tuipe mda japo nayo haina madhara saana iko vizuri imeota vizuri labda tuendelee kuipa mda tuangalie kwamba utoaji mauwa nao utakua vipi.Sawa.Mmh. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599093802.wav |
moment_3_vegetative_20240417_5716fdcb-c51b-414d-91f9-2a3a4c06fe54_1714120847005.wav | Nini unachopenda kuhusu aina C?Aina C nimeipenda imeota kwa wakati mzuri na tena imetoa maua kwa wakati. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_5716fdcb-c51b-414d-91f9-2a3a4c06fe54_1714120847005.wav |
1690893975045.wav | ni kitu umekipenda kuhusu aina C kwabiashara au matumizi ya chakula? aina C nimependa kwa sababu inatoa maharage mengi alafu tutapata faida kwenye masoko na matumizi ya mboga
| generated_audios/1690893975045.wav |
1690976252396.wav | je ni kitu gani chochote ambacho ulikipend akuhusu kukuza aina A inawahi kukomaa | generated_audios/1690976252396.wav |
moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474955906.wav | angalia aina C na eleza chochote ambacho haukipendi kuhusu aina C. kumee.kwambaa.hakuna imeota vizurii pasipo kuwa ule uharibifu wa kuku ndio kitu sipendi. kuna chochote ambacho haukipendi kuhusu aina C. akunaa. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474955906.wav |
moment_4_reproductive_8bc48f2d-83f1-4854-b34c-9639f777ce2a_1716890445973.wav | Error. | generated_audios/moment_4_reproductive_8bc48f2d-83f1-4854-b34c-9639f777ce2a_1716890445973.wav |
moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943073790.wav | ndio ndugu mkulima sasa tupo kwenye aina A ya mbegu zetusawa.unatakiwa unagalie chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio A karibu.aina A ya mbegu hii nimeiona ipo vizurindio. haina matatizo imestawi vizuri na imenawiri kwa wakati.sawa.haina shida hii mbegu inaonekana inauhitaji tutaihitaji kwa mara nyinginesawa.kwa ajili ya jaribio lakini haitokua jaribio inakua sasa ni mbegu elekezi kabisasawa.sababu imenawiri kwa muda wakee ndio.na haina changamotoo changamoto ni ndogo sana lakinii kutokana na nyingine hii imetia fora hiisawa.ndio bwana. | generated_audios/moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943073790.wav |
moment_3_vegetative_eed0ff1f-9b23-49ab-a47f-15405c370161_1714827096245.wav | Na ni kitu gani labda ambacho huuja hukipendi kutoka kwenye hiyo aina B yama ya malage.Eeee ainaaa B iii kitu kingine ambacho sikipendi.Mmm.Inashambuliwa na wadudu sana.Mmm.Eeee wadudu ani wanakula sana kuliko ata mbegu izo zingine.Mmm.Eeee. | generated_audios/moment_3_vegetative_eed0ff1f-9b23-49ab-a47f-15405c370161_1714827096245.wav |
moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297941322.wav | nini unapenda kuhusu aina C?aina C ni nzuri ha haina gesi kwa mboga ni mazuri. | generated_audios/moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297941322.wav |
moment_4_reproductive_ef3b9f66-c2ba-4598-bea3-73a7f9d8df37_1716530552374.wav | Nini usichokipenda kuusiana na aina C.Hakuna.…... | generated_audios/moment_4_reproductive_ef3b9f66-c2ba-4598-bea3-73a7f9d8df37_1716530552374.wav |
moment_4_reproductive_2c9e8f61-f429-412f-b8c4-fb2744274310_1716182415774.wav | Nini usichopenda kuhusu aina A?.Ee kuna dosari nimeiona kidogo apo kuna baazi ya mashina mengine yani yanawahiii yani yanawahi kunyauka akati bado yani maharage hayajakomaa vizuri.Sawa hakuna kingine labdaaa unachokichukia nje na sababu hiyo.Aa zaidi ya apo nahisi ntakuwa sina kingine….. | generated_audios/moment_4_reproductive_2c9e8f61-f429-412f-b8c4-fb2744274310_1716182415774.wav |
moment_3_vegetative_20240417_19bd7d50-53bd-4096-b6cb-d2db728ba6c7_1713518982738.wav | Kaka naomba unielezea unachopenda kuhusiana na aina B.Aina B tangia tumepanda imeota vizuri lakini baada ya kufika hatua fulani hatua kidogo ikasogeasogea haikunirizisha eeh majani yake sio nzuri na haujamwaga maua yake vizuri.Anhaa. Sasa nilikuwa nataka kufahamu unachokipenda kuhusiana na hii aina kipi kimekupendeza kuhusiana na hii aina.Kidogo ni majani.Unavyosema majani unamaanisha nini.Majani imenawiri kidogo majani ni mazuri na nimeweka mbolea mbolea ya samadi lakini sasa sijajua ni nini tatizo mpaka leo kidogo ndo nilivyoweka mbolea ya samadi ndio kidogo ikasogeasogea ndio mpaka sahivi ikabadilisha rangi ya majani ikawa mazuri majani ilikuwa imenyongonyea.Kwani rangi ya majani ilikuaje unavyosema rangi ya majani ilikuaje.Ilikuwa njano.Anhaa.Mmh.Naomba jitahidi kunielezea zaidi nataka kuelewa.Nanii majani wakati inaanza kuu ilivyoota iliota vizuri baada ya kufika hatua fulani majani ikabadilisha rangi ikawa ya njano, baaada ya kuona imekuwa ya njano mikaenda kuchukua mbolea ile ya mbuzi nikamwaga kidogo hapo ikanyeshewa na mvua sasa nikaona baada ya kukaa wiki moja nikaona ikabadilisha rangi ikawa ya kijani.Yaani kilichokupendeza kwenye hii aina. Ilivyoweka majani imenipendeza sahivi ndio imeanza kuweka maua kwahiyo sio mbaya tangia nimeweka mbolea ndio inaanza kuweka maua. Kwa sasa sio mbaya inakuja kuja wakati nimetumia kuweka mbolea ya samadi.Anhaa. Nashukuru. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_19bd7d50-53bd-4096-b6cb-d2db728ba6c7_1713518982738.wav |
moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714041236311.wav | angalia aina B na ele na elezea chochote unachokiona ambacho hupeni kuhusu hiyo?hii aina B mimi nimeona kwamba si kwavile sijaona matokeo bado na na narudia jambo la kuona matokeo hila sasa kitu ambacho sikukipenda sana rangi yake ya majani ni tofauti na aina nyengine niliyoona kwahivyo sijui huu mpauko unatokana na nini bado naendelea kujifunza hilo alijanifurahisha sana kwasababu hii rangi naona sio nzuri sana kwasababu inakuwa nyekundu nyekundu, sijui labda inawezekana mazingira ya mwaka huu kwajili ya mvua nyingi inaweza ikasababisha hali hii ikaonekana hivyo kwahiyo hilo tu naona kasoro yake sio vinginevyo na hiyo rangi unayosema rangi ya mpauko inaonekana zaidi kwenye mimea hipi?inaonekana hasa zaidi ni ni yani kwa hii hii B peke yake? ndiyo ndiyoau pamoja na hii mingine ambayo ni B na C ?aaa kwa upande wa aina Bkwa upande wa aina B, unaniuliza kama sababu ni nini?aaa nacho jaribu ku ku kutaka kujua hapa au nachotaka unielezee ni kwamba kwenye hii aina B umesema kwamba kuna mpauko ndiyondiyo nilikua nataka ni ju uni uniam uni uniele unioneshe kwamba huo mpauko hupo sehemu gani, kwenye mistari hipi mimea hipi naona naona hiko mwishoni yani ku kutoka hapa mwanzo mpaka katikati kuna hali nzuri kidogo, kwanzia katikati kwenda mwisho katika mistari hii hii inakuwa sio nzuri sana ndo imeendelea kuwa manjano je unaeza ukani uka uka ukafikiria au ukaniambia labda itaweza ikawa inasababishwa na kitu gani?mimi na amini kwamba ni ardhi, nilivyo angalia sana naona ni ardhi, upande mmoja au kidogo unarutuba na upande mwengine hauna rutuma au pengine kuna madini, wataalamu wanaweza wakanambia pengine ardhi upande huu hauna madini labda kwasababu ni mteremko, inawezekana kwamba kuna mchujo wa madini yaka yame elemea upande wa chini, upande wa juu ukawa na hali duni kidogo. sasa sasandiyoje umeongelea maswala ya madini, unadhani madini ya yanaweza yakawa yanachangia nini kwenye rangi ya mimea kulingana na uwelewa wako uwelewa wangu ni kwamba madini huwa yanachangia kwenye hasa kwenye mizizi, mimi nilivyo zoea kuangalia najua kwamba mimea ikiwekewa majidi kwenye mizizi inakuwa na hali nzuri zaidi kwasabu kuna wakati fulani tulikuwa tumefundishwa habari ya kilimo cha ufugaji, tukafundishwa kwamba kwamfano hapa kwetu harasisi ni kwamba majani yetu ya kulisha mifugo hapa hayana virutubisho vya kutosha kama vile kule tambarare kule bonga, kwahivo ngombe wa kule bonga wanamadini mazuri zaidi na wanatoa maziwa mengi zaidi, basi nikajua kwamba kuchujika kwa madini kunasabisha hata mmea unakuwa dhaifu sawa sawa asante sanahaya vizuri mtaalamu | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714041236311.wav |
moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715690107816.wav | Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.C nayapenda kwa kiasi .ndiyo.kwa sababu chakula chake hata ukipika.mmhyaani ni kinakuwa rangi kinatoa rangi yani hakina radha kama ya haya ila yani unatakiwa ukipika chakula chake ukitumie kwa wakati ule ule.sawa.eee alafu kingine na sokoni bei yake imesh imeshu ni ni hafifu na pia huwa yanarusha kamba wakati mwingine au wakati mwingine yana nanii yana yanii yana yanatoa japo yatazaa sana lakini hayata yani ukiyatunza sana sana lakini hayakuti yale ee hayakuti yale tunapata tu kiasi.sawa kwa undani zaidi unaweza ukanielezea kuwa unayapenda kwa undani zaidi tofauti na sifa hizo ulizo nambia .hapana.sawa. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715690107816.wav |
moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552535092.wav | angalia aina C na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo.aina C mbegu hii nimeipenda kwasababu kuanzia toka nilivyopanda maharage yameota vizuri hayakuleta tatizo mbegu yake imeota vizuri na mpaka hata hivi sasa. yanaonekana mpaka hata majani yake yako vizuri yanavutia yana maana hata unapoyatazama kwa hali hiyo yanaonesha mbegu hii ina ubora katika uzalishaji inaonesha jinsi inavyoonekanani hilo tu la kupendeza hakuna kitu kingine zaidi unachokipenda kuhusiana na aina hii.mimi kwa ujumla niseme nikama vile nilivyoelezea mwanzo kwa hali ninavyoiona kwa mtazamo kwa vile ukuaji wake unavyoenda na mpaka sasahivi maharage yameshanza kutoa maua ,yameanza kuzaa watoto mi nadhani tu kikubwa ninacho kiona mbegu hii itakuwa nzuri inaonekana itatoa hata mazao yatakuwa mazuri kwa nivyoona kwasababu inaonekana kwa muonekanoaya asante | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552535092.wav |
moment_3_vegetative_20240417_c0c4441b-efed-4b3a-82f8-013adc5ca39a_1713605496264.wav | Mama Rashi aingalia tena aina A eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.Kusema kweli maharage hayajaota vizuri alafu pia uotaji wake yamekua na rangi ya njanoeeeKaaah, kwa mfa yani majani yake kama yamejisokota flani hivi.Mmh kingine?Kwa kweli hayajaota vizuir kwa ujumla hayajaota vizuri yani hayaonyeshi vizuri kabisa.AhaaeeeCha kuongezea?Ebu wajaribu kutu kutuuuKuu cha kuongezea kuhusiana na kitu ambacho hukipendi hapo, ongezea kitu ambacho hukipendiMimi sijapenda uotaji wake tu jamani k wa sababu hayajaota vizuri, eeee hayajaota kabisa vizuri.MmmheeeNashukuru.Naam. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_c0c4441b-efed-4b3a-82f8-013adc5ca39a_1713605496264.wav |
moment_4_reproductive_38026046-4ea4-42f1-921e-f300a8e93126_1716444963244.wav | angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo aina?aina A ni nzuri na nimeipenda ina uzazi mzuri na inakua vizuri naa inastahimili vizuri kipindi cha mvua chache na nyingi. | generated_audios/moment_4_reproductive_38026046-4ea4-42f1-921e-f300a8e93126_1716444963244.wav |
moment_3_vegetative_20240417_139bdcea-44ff-4ea8-b9a0-13e68fa401f9_1714132486363.wav | angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.mediakwanza aa napenda sana haiendi mbele haipandi juu, inatoa maua vizuri haina wasiwasi naipenda tu kama kawaida. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_139bdcea-44ff-4ea8-b9a0-13e68fa401f9_1714132486363.wav |
moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819451818.wav | Aaa ukiangalia tuamietu asa tunaamia B ukiangalia kitalu B unaweza ukanielezea au ukaniambia kitu chochote ambacho unakipenda kutoka kwenye aina iyo toka ulivoanza kuudumia.B ni nzuli lakini sio nzuli kwasabu ... uwotaji wake wenyewe kwanza inaota kwa shida ….. Kwaiyo kidogo haileti picha nzuli.Uuu nasema unavosema inaota kwa shida unaaa maanisha nini.Namaanisha kwasabu gani kuna punje zile tumedondosha moja moja lakini unakuta kunaaaa kipande ki space kikubwa hakijaota.Mmm.Eeee.We unaweza ukafikii iyo labda imetokana na nini labda kwanini mbegu nyengine asijaota.Saa sijajua katika uzalishaji kule walivo tengeneza lakini ukipiga maesabu mi nimepanda mbegu tu lakini nimeona icho kitalu B.Aaaa.Ma mafanikio sio mazuli sana.Saaa ….. | generated_audios/moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819451818.wav |
moment_4_reproductive_12e8c350-5df6-4693-a6a9-02bf42ef67aa_1716721748107.wav | Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Aaah hakuna. | generated_audios/moment_4_reproductive_12e8c350-5df6-4693-a6a9-02bf42ef67aa_1716721748107.wav |
moment_3_vegetative_82486127-f244-46fe-8c45-84d9f24067d5_1712816885724.wav | nini unapenda kuhusu aina B?kwenye aina B sina nitakacho kipenda kwasababu hakuna kilichoota hata moja, kwahiyo sioni cha kukifurahia pale.sawa nashukuru. | generated_audios/moment_3_vegetative_82486127-f244-46fe-8c45-84d9f24067d5_1712816885724.wav |
moment_3_vegetative_175cd231-5445-4c55-b69f-2fb2953e55ae_1713418302763.wav | ukiangalia aina C nieleze chochote ambacho we hukukipenda kuhusuaina hio.ah kuna shina mojamoja imeleta mabadiliko mh.ingawaje yanakauka moja moja ndo icho tu ambacho nilikua sipendi.mmh.eeh.icho tuu?eeh. | generated_audios/moment_3_vegetative_175cd231-5445-4c55-b69f-2fb2953e55ae_1713418302763.wav |
moment_3_vegetative_fdb43fda-4ed2-43ee-bf38-1b04ee438a8b_1713336992562.wav | nini ambacho hujapenda kwenda aina C?sijapenda maana nguvu yake naona ya …. sio kama ya yenzake?eh lakini ni mazuri lakini sio kama ya yenzake.ahaa | generated_audios/moment_3_vegetative_fdb43fda-4ed2-43ee-bf38-1b04ee438a8b_1713336992562.wav |
moment_3_vegetative_20240417_9b8eb960-ed89-4c7b-8ec1-612d514abc77_1714572587058.wav | Nini usichokipenda kuhusu aina B.Nisichokipendaaa hukoo nimeangalia matawi yake yanashambuliwa naaa kunaaa aina kunaaa mdudu flani ambae ameshambulia kidogo kwenye matawi kwahiyo amee yamekuwa na rangi fulani ya ya njano kwahiyo hiyos hiyo hali niliyoiyona hapo sijaipenda. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_9b8eb960-ed89-4c7b-8ec1-612d514abc77_1714572587058.wav |
1690277109466.wav | Nasema ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya A elekeza kwenye sifa za kilimo Kitu ambacho sikupenda ni upigaji wa mashimo yani zile kanuni sa za uoteshaji utumiaji wa mashimo ko yalikua karibu karibu sana kiasi kwamba maharage yanapotatuka yani yanakua kama yamesongamana hayapati hewa Okay | generated_audios/1690277109466.wav |
moment_6_postharvest_e7e37525-69d8-419d-aeaa-b2bb352002dd_1719239819317.wav | nini unapond unapenda kuhusu aina A?kitu ninachokipenda kuhusu aina A ni kwamba kinaiva kwa muda. | generated_audios/moment_6_postharvest_e7e37525-69d8-419d-aeaa-b2bb352002dd_1719239819317.wav |
1690456976789.wav | ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya C kwenye sifa za kilimo, ilikusumbua nini aina ya C aina ya C ilinisumbua kwanza kwenye kuota inaota yani ni kuota yani kama umepanda mstari kumi yani apo tuseme zaidi ya nne hazioti kwa hiyo uzalishaji mdogo alafu pia kwenye kukua kuna changamoto ya pili inashambuliwa sana na wadudu kwenye ile alafu pia kwenye kukua kuna changamoto ya pili inashambulia sana na wadudu kwenye ile stage kabla haijatoa maua yani changmomto nyingine inazidiwa na ukame inazidiwa na ukame eee | generated_audios/1690456976789.wav |
moment_6_postharvest_57ce1cc0-a657-46d8-be36-3693f88fe9f7_1719472006923.wav | nini unachokipenda kuhusu aina C?aina C ni mbegu ya kidigitali mbegu ya kisasa kwanza ina pesa nyingi zaidi mmh,eeh ndo maana naipenda zaidi.sawa | generated_audios/moment_6_postharvest_57ce1cc0-a657-46d8-be36-3693f88fe9f7_1719472006923.wav |
moment_3_vegetative_02026786-23a3-4433-9ad9-a4e3eb513498_1718005561637.wav | Nini unapenda kuhusu aina A ?Aina A inastahimili baridi pia hailiwi na ba wadudu pia inazaa majani vizuri. | generated_audios/moment_3_vegetative_02026786-23a3-4433-9ad9-a4e3eb513498_1718005561637.wav |
moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596467332.wav | Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C sijapenda kitu chochote kwa sababu yani haujaota vizuri. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596467332.wav |
1691142427682.wav | je ni kitu gani unach ni kitu gani kuna kitu chochote unafikiri kinaweza kufanya hii aina A kua nzuri kwa biashara au matumizi ya chakula? yaani hii apa tukipata soko, kwasababu matumizi ya chakula haina shida, ila tukipata soko lake itaweza kufanya vizuri kwasababu inazaa mpaka inaanguka inazidiwa yani inazidiwa yani ukifika ata shamba unasema dah ikizaa hivi nitafurah
| generated_audios/1691142427682.wav |
moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591722831.wav | Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo aina B?Sijaipenda kwa sababu uotaji wake ulikua unasumbua. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591722831.wav |
1690628928062.wav | je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina A? hapana | generated_audios/1690628928062.wav |
moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889392804.wav | angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?ee mimi kwa aina A kwa jinsi nilivyoina toka ilivyoanza kukomaa kwanza ninaipenda kwasababu inawahi kukomaa pia inawahi kukauka ee ndio kwa aina A napendea hicho cha kuwahi kukauka kwanza kuwahi kukomaa na halafu kuwahi kukauka kwa maana mpaka hata sasahivi yame yameshakauka yale ila lakini hizi aina zingine enyewe bado mabichi. asante hakuna jambo lingine unalolipenda zaidi hilo kukomaa na kukauka mapema. ni hivi labda jambo lingine ee ninalolipenda kwenye aina A kwasababu naona hata uzaaji wake uko wastani ina maana sio mbaya sana. …aya asante. | generated_audios/moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889392804.wav |
moment_3_vegetative_20240417_36a3c2ab-dfdc-4512-abfa-afe257a8a195_1713963723962.wav | angalia aina B na elezea chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo.mmh sasa hapo nitakwama sasa … hapa hamna .hakuna ambacho hakikupendezi.hamna ambacho hakijanipendeza yani yani kuanzia uotaji wake mpaka sasahivi hapa iko na maua yani imenipendezea vizuri vizuri.aya asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_36a3c2ab-dfdc-4512-abfa-afe257a8a195_1713963723962.wav |
moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943848322.wav | nini unapenda kuhusu aina B?.aina B kinachonifanya niipende ni uotaji wake mzuri.mmmh.pia hata ukuaji wake mzuri na ninavyoona hata u uustahimilivu waa waa waa waa madhara yatokanayo na na na uotaji.….hususani kwa mfano kwa mfano mwaka huu kumekua na mfululizo wa mvua nyingi lakini yenyewe imejitahidi kuu kuota na kutoa maua, athari imekua kwa asilimia ndogo sana. saawa. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943848322.wav |
moment_4_reproductive_983969f6-6dac-42aa-a8f7-f96f990eeab2_1716375257017.wav | Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina C?Aina C kwakweli nili nilichokipenda ni wakati wa kuota imeota vizuri lakini badae ikawa imedumaa sana.Kingine unachokipenda kuhusu aina C?Aina C kwakweli haiki haijanifurahisha. | generated_audios/moment_4_reproductive_983969f6-6dac-42aa-a8f7-f96f990eeab2_1716375257017.wav |
moment_3_vegetative_0f48a4ac-16b1-40a6-a5df-b036b3cd8fa9_1715167826348.wav | nini unapenda kuhusu aina C.aina C kweli nimeipenda kwasababu imestawi vizuri.una sababu nyingine inayo kufanya upende aina C.hakuna sababu nyingine.haya asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_0f48a4ac-16b1-40a6-a5df-b036b3cd8fa9_1715167826348.wav |
moment_3_vegetative_61b2793a-da0b-4d1c-8b3f-bf4ad68ef443_1718008209781.wav | ok mama unaweza ukaelezea kuhusu eneo A kitu gani ambacho umekipenda sorry eneo B kitu gani ambacho umekipenda?nimependa tu piapia nayo mbegu yake nimeipenda hii mbegu ya maharageee ni nzuri sana.eneo B ni kitu kingine ambacho umekipenda zaidi kuliko maeneo mengine?mmh nimependa tu hii mbegu ila kwakweli pale hayakutoka kama hapa.ooh haya. | generated_audios/moment_3_vegetative_61b2793a-da0b-4d1c-8b3f-bf4ad68ef443_1718008209781.wav |
moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044852645.wav | nini usichopenda kuhusu aina C?aina C mbegu yakee kilee ilee mbovu kidogo uzaaji wake mbovu. | generated_audios/moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044852645.wav |
moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713338967027.wav | nini unapenda kuhusu aina A?.vizuri. eeh.yanazidi kukua vizuri.nacho maaanisha namanisha yanaonekana yanipa moyo.unaposema labda yazidi kukua vizuri unamaanisha kitu gani?.ee.yanakupa moyo.ninachokipenda ninachokipenda kwenye mazao yangu yaneonekana yako vizuri.una maelezo menigine labda zaidi kuhusu kitalu A kuhusu nini unachokipenda?.mmh.Mmh.yako vizuri.sawa | generated_audios/moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713338967027.wav |
moment_3_vegetative_b6b890ea-a9db-486e-a8bf-84ea6ab000b5_1715598273241.wav | Error. | generated_audios/moment_3_vegetative_b6b890ea-a9db-486e-a8bf-84ea6ab000b5_1715598273241.wav |
moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715762087200.wav | Nini usichopenda kuhusu aina B?Hapa hakuna kitu ambacho sijakipenda ninapenda.Unaweza ukaelezea zaidi?Hapa naona kwamba napenda kwa sababu maharage yenyewe yamekua mee ingawaje yameharibika lakini hayakuharibika vii sana ila nimefurahi kwaajili yamezaa vizuri kidogo. | generated_audios/moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715762087200.wav |
moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712644112105.wav | angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?aina C kitu nilicho kipenda nikwamba nani, majani yake yamekuwa mapana na inapendeza.ukisema kuhusu majani mapana yani unamaanisha kwamba yani unielezee kidogo kuhusu unavyoelewa kuhusu majani mapana ukiwa unamaanisha kuhusu kusema majani mapana? yani majani yake yame yame stawi vizuri. na unaweza pia kuelezea kitu kingine ambacho unakipenda ambacho unakiona kwenye hii aina C? aina C kitu ninacho kipenda ni kwamba maua pia yamejionyesha vizuri, mapema.sawa nashukuru sana. | generated_audios/moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712644112105.wav |
moment_4_reproductive_918b1f80-8ae4-42ce-bf71-88f0405f8694_1715067632676.wav | nini usicho penda kuhusu aina B.aina B zingine kwa kweli bado zina endelea kukauka zina kuwa za njano kwa hiyo uzao wake hau ridhishi sawa.kuna kingine ambacho una kiona ambacho hau kipendi kuhusu aina B.kwa sasa bado sija kiona.sawa. | generated_audios/moment_4_reproductive_918b1f80-8ae4-42ce-bf71-88f0405f8694_1715067632676.wav |
1691152258015.wav | Je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina ya B elezea kwenye sifa za kilimo Inashambuliwa na wadudu Inashambuliwa na wadudu Haivumilii ukame Sifa ya tatu Haistawi vizuri Sifa ya nne Haina soko Sifa ya tano naona hizo hizo zinatosha | generated_audios/1691152258015.wav |
moment_3_vegetative_435536f1-3c7c-431f-856b-33f73ecaae02_1713423548774.wav | ebu labda nini unachokipenda kulingana na hichi kitalu … kwa jinsi unavyokitazama.aa hichi kitalu kwa kweli maharage yake si mabaya sana.ehe.pamoja na kwamba kuna dalili nimezigundua.…baada haya maharage kuota.mmh.majani yake ni yana kitu kama alama alama za njano.ehekitu ambacho inaashiria kama kusingekua na mvua haya maharage yangekuwa yanapata ugonjwa wa nanii wa manjano… kwahiyo hii mbegu ni nzuri …. Ina soko lakini pia inaonekana inahitaji huduma hasa za dawa kwaajili ya kutumi dawa.ok labda kingine cha ziada kulingana na jinsi unavyoyatazama wewe kwenye unachokipenda wewe kulingana jinsi unavyoitizama wewe ukiachilia tu hapa sokoni kwa uzoefu wako labda kulingana na haya maharage.haya maharage kwa kweli hayana tofauti na maharage mengine hayana tofauti kwa kuwa kuna maharage yasiyo na mikono hizo.ok.na kuna maharage yenye mikono hasa haya yenye mikono haya ambazo ni hizo kamba.…hali ya hewa ikiwa ni nzuri hivi.ndio.haya maharage yana ujazo sana kwasababu yanazaa mpaka sehemu hizi za mikono. za kiuno… unakuta.yamezaa kwahiyo. sawa.ee. | generated_audios/moment_3_vegetative_435536f1-3c7c-431f-856b-33f73ecaae02_1713423548774.wav |
moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438902191.wav | angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.aina B ambacho sipendi mstari mmoja uliota bila uliota kwa kusua sua kwahiyo kwenye upande wa aina B ambacho sijapendezwa nacho ni mstari mmoja tu haujaota vizuri. | generated_audios/moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438902191.wav |
moment_4_reproductive_5c9c760a-aebe-4eb5-bbb7-8ab0c7937f64_1715747415988.wav | mmh na kitu gani pia ambacho hukipendi kutoka aina C?.ni kama vile vile tu Ammh.nilivyokuwa nimeongea kwamba siipendi kwasababu kuna mnyauko fulani.mmh.inahitajiwa kwama ni dawa tupate dawa ya kuweka basi inakuwa ni vizuri zaidina unafikiri iyo dawa labda ni nani anatakiwa akupe iyo dawaiyo dawa inatakiwa itolewe huko huko tu nanii kwa wataalamu.mmhwanaojua kwa nini hapo panakuwa na kunyauka.mmh.ee. | generated_audios/moment_4_reproductive_5c9c760a-aebe-4eb5-bbb7-8ab0c7937f64_1715747415988.wav |
moment_3_vegetative_20240417_19bd7d50-53bd-4096-b6cb-d2db728ba6c7_1713518982738.wav | Kaka naomba unielezea unachopenda kuhusiana na aina B.Aina B tangia tumepanda imeota vizuri lakini baada ya kufika hatua fulani hatua kidogo ikasogeasogea haikunirizisha eeh majani yake sio nzuri na haujamwaga maua yake vizuri.Anhaa. Sasa nilikuwa nataka kufahamu unachokipenda kuhusiana na hii aina kipi kimekupendeza kuhusiana na hii aina.Kidogo ni majani.Unavyosema majani unamaanisha nini.Majani imenawiri kidogo majani ni mazuri na nimeweka mbolea mbolea ya samadi lakini sasa sijajua ni nini tatizo mpaka leo kidogo ndo nilivyoweka mbolea ya samadi ndio kidogo ikasogeasogea ndio mpaka sahivi ikabadilisha rangi ya majani ikawa mazuri majani ilikuwa imenyongonyea.Kwani rangi ya majani ilikuaje unavyosema rangi ya majani ilikuaje.Ilikuwa njano.Anhaa.Mmh.Naomba jitahidi kunielezea zaidi nataka kuelewa.Nanii majani wakati inaanza kuu ilivyoota iliota vizuri baada ya kufika hatua fulani majani ikabadilisha rangi ikawa ya njano, baaada ya kuona imekuwa ya njano mikaenda kuchukua mbolea ile ya mbuzi nikamwaga kidogo hapo ikanyeshewa na mvua sasa nikaona baada ya kukaa wiki moja nikaona ikabadilisha rangi ikawa ya kijani.Yaani kilichokupendeza kwenye hii aina. Ilivyoweka majani imenipendeza sahivi ndio imeanza kuweka maua kwahiyo sio mbaya tangia nimeweka mbolea ndio inaanza kuweka maua. Kwa sasa sio mbaya inakuja kuja wakati nimetumia kuweka mbolea ya samadi.Anhaa. Nashukuru. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_19bd7d50-53bd-4096-b6cb-d2db728ba6c7_1713518982738.wav |
moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467686368.wav | nini usichokipenda kuhusu aina A?nisichokipenda kuhusu aina A kwemye uzao wake pia inapukutisha majani haraka. | generated_audios/moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467686368.wav |
moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140886912.wav | nini usichopenda kuhusu aina C?.ee nisichokipenda katika aina C ni kwamba baadhi ya maharage mengine yameshambuliwa na wadudu na yana mnyauko yani mshina mwingine unakuta vina kauka kauka.jambo lingine ambalo halijakupendeza zaidi.hamna.aya asante. | generated_audios/moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140886912.wav |
1690614873537.wav | ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya C ? Eleza kwemye sifa za kilimo mmh kwanza kwenye mbegu C ni nzuri, lakini changamoto yake kubwa ambacho mimi sikukipenda ,na kama watafiti wanaweza kufanyia utafiti tukapata majibu ingependeza, ni kwamba number of pods au vile vidole vyake ni vichache sana ukilinganisha na aina nyingine kama A na B
| generated_audios/1690614873537.wav |
moment_4_reproductive_efa0935c-8c98-4c5b-88cf-df2d788fd415_1716450613286.wav | Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?C nimeipenda kwa sababu japokua imeliwa majani na digidigi lakini imezaa vizuri nimeipenda kwa kweli. | generated_audios/moment_4_reproductive_efa0935c-8c98-4c5b-88cf-df2d788fd415_1716450613286.wav |
moment_3_vegetative_20240417_b6b19c48-2edc-453c-9ba7-4d09161e8ccd_1713684715893.wav | Angalia aina C aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Sina. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_b6b19c48-2edc-453c-9ba7-4d09161e8ccd_1713684715893.wav |
moment_4_reproductive_f65817a5-f267-4ed1-b573-14c7afee79b8_1716179697002.wav | angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina A nimependa namna ya uzaaji wake imezaa vizuri Hmm. | generated_audios/moment_4_reproductive_f65817a5-f267-4ed1-b573-14c7afee79b8_1716179697002.wav |
moment_3_vegetative_20240417_8dd3763a-a33d-4d58-bbd4-55495f45975c_1715321629705.wav | Nini usichopenda kuusu aina A.Amna nsichokipenda.Aaaah sawa asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_8dd3763a-a33d-4d58-bbd4-55495f45975c_1715321629705.wav |
moment_3_vegetative_20240417_3adcc9d0-7b4a-4173-8d7b-95e99814e14c_1713954409452.wav | Nini usichopenda kuhusu aina B?Kuhusu aina B hamna ambacho sikipendiSawasawa. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_3adcc9d0-7b4a-4173-8d7b-95e99814e14c_1713954409452.wav |
1690533753142.wav | Katika majaribio matatu ipi uliipenda kwa uchacha wake Katika majaribio matatu niliyoipenda kwa uchacha yake ni C | generated_audios/1690533753142.wav |
moment_3_vegetative_20240417_f88b864a-3299-4463-88c7-8c0d2f4b4ddd_1713952746673.wav | Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho haupendi kuhusu hio.Aina C kitu ambacho sipendi ni hizi kambakamba hizi.Pia kuna kingine ambacho unakiona hukipendi kuhusu C.Kinginee, kusema kweli hapa sintaweza kutoa makosa mengi kwasababu uotaji ulisababishwa ulipungua idadi ya uotaji kwasababu kulikuwa na unyevunyevu mwingi sana mvua ziliendelea kwa kipindi cha nyuma upandaji. Sawasawa. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_f88b864a-3299-4463-88c7-8c0d2f4b4ddd_1713952746673.wav |
1690611732868.wav | Ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina B? Aina B mavuno yake ni chache | generated_audios/1690611732868.wav |
moment_4_reproductive_b92c9cdc-8a22-490f-b266-b0d8b11ab088_1716895423231.wav | nini usichopenda kuhusu aina B?ni hicho tu kwamba siii si sio sijaona kama ina umahimu sanammhsindio B hii?eeh ndiyoeehkwao kikubwa umesema ni kambakambakambakamba alafu inachelewa hata kutoa kwake maua ni tofauti na hizisawammh maana nilikuwa naangalia tu mara kwa mara naangalia ni ipi imewahi eeh. | generated_audios/moment_4_reproductive_b92c9cdc-8a22-490f-b266-b0d8b11ab088_1716895423231.wav |
1690277889108.wav | ni kitu gani hukuppenda kuhusu aina A kwa bishara au matumizi ya chakula? hakuna
| generated_audios/1690277889108.wav |
moment_3_vegetative_20240417_7b72d8fe-15d5-4d83-872e-82e2e93fff6a_1713607369889.wav | Nini unapenda kuhusu aina A?.ninaipenda aina A jinzi ya maharage yalivyoota. najinziyanavyokuayalivyokuwaunanivutiasanayananivutiasanamaharageainaeyii.je! Unaeza kunielezea zaa kiundani zaidi?.kiundani zaidi naweza kukuelezea kulingana naa jinzi ninavyolimaga maharage mengine aina yengine nimeonaa kwenye ainaa kwenye maharage haya inavutia maajani yake yani yanavutia sana tofauti na maharage ya aina nyengine haya maharage yanavutia sana tena sana.aaah unaposema hivyo unamaanisha nini?.yaaa ninna maanisha jinzi yaukuaji wake hali yaanii yaukuaji wake iko tofauti sana kwahiyo maharage haya nimeyapenda sana jinzi ya ukuaji wake.ndioo ndio sawasawa.inaonekana yanastawi sana katika sehemu hii niliyoipanda.sawa asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_7b72d8fe-15d5-4d83-872e-82e2e93fff6a_1713607369889.wav |
moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713612937871.wav | Angalia tena aina B eleza chochote ambacho unakiona unakipenda.Kwenye aina B hapa nisichokipenda kwanza maharage yameiota kwa mpangilio hakuna iliyopotea yameota vizuri.Mama D naomba tuendelee kuhusiana na unachokipenda,Ninachokipenda maharage yameota kwa mpangilio na pia majani yake ni ya kijani yani yameota vizuri hakuna yaliyopotea.Kingine kilichokuvutia?Kingine kilichonivutia hii miche yake hii ni ipana yani ina nguvu na maua yake ni mazuri imetoa maua kabisa.Mimi natamani uendelee kunielezea nieendellee kujifunza niendelee kuelewa zaidi.Eee ni kama jinsi nilivyokwambia kwamba maharage haya yameota kwa mpangilio vizuri na majani yake ni ya kijani na yametoa maua kwa wingi.Mmmh asante, bado natamani uendelee kunielezea kama kuna kingine endelea kuongezea cha kuongezea kuhusiana na uanchokipenda.Yani ninachokipenda ni jinsi maharage yameota kwa uwingi hakuna iliyopotea yani yameota vizuri.Kingine.Kingine, yani kingine yani imeota kwenye mpangilio yani yameota vizuri.Aya nashukuru. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713612937871.wav |
moment_3_vegetative_d5797c45-b2ce-4c2d-9836-171995789980_1715087491127.wav | Angalia aina B na elezea chochote unachokiona amacho hupendi kwaa aina hiyo.Aina B naipenda sioni ubaya kwenye aina B. | generated_audios/moment_3_vegetative_d5797c45-b2ce-4c2d-9836-171995789980_1715087491127.wav |
1691053738300.wav | ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina ya B kwa bishara au matumizi ya chakula soko lake ni zuri nyingine , kwa chakula inafaa
| generated_audios/1691053738300.wav |
1690460899738.wav | nini ulipenda kuhusu kukuza aina ya C?elekeza kwenye sifa za kilimo wakati kama shamba lina rutuba ndogo unaweza kupanda alafu na kupata mavuno, sifa ya pili sifa ya pili kama shamba ni lidogo unaweza ukapata mavuno mengi | generated_audios/1690460899738.wav |
moment_3_vegetative_753e0d34-c0a4-4e14-b08e-62392420eeee_1712810420857.wav | angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?mimi haina B naki naipenda kwa sababu haina matawi mengi la maua ni mengi. | generated_audios/moment_3_vegetative_753e0d34-c0a4-4e14-b08e-62392420eeee_1712810420857.wav |
moment_3_vegetative_cf6e61fe-0c9c-423f-8e6c-7f4e8094493e_1716285476335.wav | Error | generated_audios/moment_3_vegetative_cf6e61fe-0c9c-423f-8e6c-7f4e8094493e_1716285476335.wav |
moment_3_vegetative_0ffcf03c-52df-4afa-8dbd-0bc0efc14082_1713505900142.wav | nini usichopenda kuhusu aina B?Nisichopenda kuhusu aina B, kwa sababu huku kwetu haioti. | generated_audios/moment_3_vegetative_0ffcf03c-52df-4afa-8dbd-0bc0efc14082_1713505900142.wav |
1690874432892.wav | hiyo B ndo ulisema umeipenda sana, kitu gani katika kukuza hujakipenda kwenye B, yani ukiachana na mazuri yake kitu gani kibaya kwenye B apo kidogo sawa
| generated_audios/1690874432892.wav |
moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647634447.wav | angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?mmm kiujumla maharage hii ni iko vizuri, ninaona hata haishambuliwi sana na wadudu, majani yake yanajaa sana.ukiwa unasema kwamba majani yanajaa, unamaanisha kwamba yani unaweza ukaelezea zaidi kuhusu unavyosema majani yanajaa sana?ndiyo maana yake majani yake yanatofautiana na maharage mengine ambayo nimeyapanda katika hivi vitalu, ninaona kama vile shina lake moja linazaidi ya majani mengi.pia unaweza ukaelezea kitu kingine ambacho unakiona kwenye hii aina hii C ambacho unakipenda? mmmh kwenye majani C, kwenye kitalu hiki cha cha C mimi ningee, kitu ninachokipenda labda hii mbegu iboreshwe zaidi.sawa sawa. | generated_audios/moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647634447.wav |
moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401945766.wav | Angalia aina C na na eleza chochote ambacho unakipenda.Aina C naona mimea imeenda vizuli na kuna baazi ya mimea mingine imekufa.Imekufa kwanini.Eee ii apa naona ni jua pamo. | generated_audios/moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401945766.wav |
moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516314918.wav | nini unapenda kuhusu aina A?.ainaa A napenda jinsi ya mbegu zilivyoota vizuri sana nimependezwa nazo na dalili ya pale unai …. Kwamba nanii maharage yaliota vizuri sana.yaliota vizuri sana.mmh. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516314918.wav |
moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537780030.wav | Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina C?Kuhusu aina C nisichokipenda pale ni hile kamba mingine ina mchanganyiko wa kamba.Kingine.Hakuna.Tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi ambacho hukipendi?Hakuna. | generated_audios/moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537780030.wav |
moment_3_vegetative_20240417_0ff06128-1c51-41f6-b26c-4c2de0feb9f8_1714025822798.wav | analia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.kwenye uoto kwenye kipengele cha pili ambacho nicha kukataa kitu ambacho sikipendi kwanza uotaji wa maharage ulikua mzuri kwahiyo sasa hivi mvua ililvyozidi maharage yote. yameharibika ambacho ni kitu ambacho sikipendi kwasababu mimi ni kitu ambacho nilikua nasubiri kupata mafanikioje naona umeongelea apo kwenye maharage kuharibika, je unazani changamoto kubwa au kitu kikubwa kilichosababisha haya maharage kuharibika ni kitu gani.yani hii hali ya hewa ambayo mvua zimezidi.je kuna kitu kingine unapenda kuongezea!jambo ambalo pia ningependa kuongezea sio kwa ajili ya kukataa ni kwammba kama si kwa ajili ya hali ya hewa hii ya kuzidi mvua mazao yangekua mazuri.ebu naomba nielezee kiundani kwenye hilo swala zima la hali ya hewa.swala zima la hali ya hewa liko nje ya uwezo wetu kwasababu ni hali ya hewa ambayo Mungu ameileta sisi hatuwezi kuipangia, kwa sababu kama ilikua tunaweza labda kama ilikua kilimo cha bustanin mtu unaweza ukajua unanyeshea kwa kiasi gani maji, lakini kwa sababu ni hali ya hewa ya Mungu ambayo Mungu ameileta siwezi kusema labda naikataa au ningeweza kuikinga singeweza.sawa, asante. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_0ff06128-1c51-41f6-b26c-4c2de0feb9f8_1714025822798.wav |
moment_4_reproductive_d6182628-04ff-4856-aa6b-3b76a4150ff0_1717133604068.wav | Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo.Hii nimeipenda. | generated_audios/moment_4_reproductive_d6182628-04ff-4856-aa6b-3b76a4150ff0_1717133604068.wav |
1690527187226.wav | ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya B kwa biashara au matumizi ya chakula? sipendelei kwa matumizi ya chakula
| generated_audios/1690527187226.wav |
moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038219611.wav | Nini unapenda kuhuusu aina B?Kwenye aina B imeota vizuri na hamna iliyopotea na ina watoto wengi.Kingine kilichokuvutia kwenye aina hii ya maharage?Kama nilivosema uotaji wake ni mzuri na na ime ime imebeba watoto vizuri.Aaaah, cha kuongezea? Kuhusu kitu usicho unachokipenda?EEEEHcha kuongezea? Kuhusu kitu usicho unachokipenda kwenye aina hii ya maharage?Cha kuongezea hapo maarage haya ni mazuri kwa sababu yamebeba vizuri.Ahaa nashukuru. | generated_audios/moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038219611.wav |
moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677462962.wav | mmh kwenye aina hiyo hiyo A nini ambacho hukipendi sasa ?sikipendi aah ila nakipenda kiko vizuri haina shida .mmh.eee yale yale yako vizuri hakina shida .mmmh.mmmh. | generated_audios/moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677462962.wav |
moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974441570.wav | Angalia aina A na eleza chochote unachokiona unakipenda kuhusu hiyo.Aina A nimependa kwa sababu ni nzuri na inaiva vizuri na kwenye uzao pia inajitahidi imeiva vizuri.Pia unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakiona kuhusu aina A ambacho unakipenda?Naam?unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakiona kuhusu aina A ambacho unakipenda?Aina A mimi naona iko vizuri sana kwahivo hata ikitokea fursa ya kuboreshwa basi ingekua ni mbegu ambayo inajitahidi kuzaa vizuri. | generated_audios/moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974441570.wav |
moment_4_reproductive_9a85da1e-e588-47ca-8549-e80e62242911_1717061340090.wav | angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.kwa aina hiyo hamna… sote ninazozipenda ila kwenye magonjwa kulikuwa baridi, ilipata baridi ikawa sijaipiga dawa tatizo ndio hilo.mmh aya asante. | generated_audios/moment_4_reproductive_9a85da1e-e588-47ca-8549-e80e62242911_1717061340090.wav |
1690445697940.wav | kwa hiyo ni aina gani sasa kati ya hizi tatu ambayo hukuipenda sana, ambayo hujaipenda sana kati ya A, B na C ila hii kwa ukame inatoa rangi ya njano mapema sawa, hizi zote umesema umezipenda, ila ambayo hujaipenda sana ukilinganisha kati ya hizi tatu zote nimezipenda bana zote nazikubali kwa hiyo unaweza kupenda vitu vvvyote v itatu kwa wakati mmoja mzee wangu naipenda hii C kuliko hii ya B | generated_audios/1690445697940.wav |
moment_3_vegetative_20240417_09a2443b-bfeb-491a-9db4-8d916da32d75_1713427416479.wav | angalia aina C na eleza chcohote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.aina C ni mbegu ambayo tumeipanda kwenye kishamba chake, kitu ammbacho nakiona na inabidi nikiseme, mbegu imeoota tuseme kwa sailimia themanini lakini mbegu hii majani yake imeonyesha dallili ya kukomaa majani kabla ya mmea haujasogea mbali, hii inaonyesha mbegu hii haina uvumilivu wa kuuu kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi haihitaji ina shida ya kutokupata maji inakomaa mbegu ile majani haraka kuliko aina nyingine ya maharage kwahiyo hichi kishmba kimekuja kuchangamka baada ya mvua kunyesha ndo imeonyesha dalili ya kuja vizuri tofauti na huku mwanzo ilipoota ilifanya kukomaa majani mapema, hata ukiangalia kwenye kishamba hili majani ya mwanzo ya pili ya tatu, ngazi zile za majani kunani majani kuchipua ni tofauti na huku juu sasa huku juu ndo imeonyesha majani ya maharage kua majani malaini baada ya hizi mvua kufufuliza kunyesha lakini inaiinyesha kwa maeneo ambayo yana ukame kidogo hii mbegu itakua si vumilivu sana.nilikua nauliza ulichokipenda.mimi kwenye mbegu hii binafsi mimi, sijapendezewa sioni kivutio kinachonivutia kwenye mbegu hii au kishamba hiki cha bloku C hakivutii kama mbegu zingine hivyo sioni ninachokipenda katika aina hiiahaa nashukuruhaaya | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_09a2443b-bfeb-491a-9db4-8d916da32d75_1713427416479.wav |
moment_4_reproductive_8388270d-485e-47dc-854b-746fb7bd6fcf_1716361932514.wav | angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.Ki ikweli hakuna ambacho sikipendi | generated_audios/moment_4_reproductive_8388270d-485e-47dc-854b-746fb7bd6fcf_1716361932514.wav |
moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474908520.wav | angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho unapenda kuhusu aina C. aina C imeota vizuri na majani yake ni marefu na pia pia aina hai nyauki inaota sawa sawa. kitu kingine unacho kipenda kuhusu aina C. majani yake ya kijani kweli kweli mabichi ayakauu ayanyauki. kuna kingine unacho kipenda kuhusu aina C. aina C matawi yake makubwa na mapana na maua mengi. unaweza kunipa maelezo ya ziada kuusu aina C unacho kipenda. aina C zinginee zinaa chache zina kamba kamba nichache lakini sio nyingi kama zile za aina A. | generated_audios/moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474908520.wav |
Subsets and Splits