Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3310_swa | MBINU ZA KUHIFADHI MISITU.
Msitu ni mahala ambapo pamezingirwa na miti. Misitu inatusaidia kama wanadamu kwa njia mbalimbali kwa mfano miti hutumika katika ujenzi wa nyumba, hurembesha mazingira na ni mahali ambapo mito huanzia. Kwa miaka za hivi karibuni, wanadamu wamekata miti ovyo ovyo hata kupelekea mahali pengine kuwa na jangwa. Kwa sababu ya hayo, kunafaa kuwekwa mbinu za kuhifadhi misitu kwa vizazi vijavyo.
Kwanza kabisa ni kupanda miti pale ambapo hapajawai pandwa. Hii itasaidia kuleta hali nzuri ya anga. Kwenye jangwa, serikali inapaswa kupeleka maji ya kunyunyizia miti wakati ambapo imepandwa. Tukifanya hivyo, tutaleta ile taswira ya kijani kibichi na kutoa ile dhana ya nchi yetu kuwa ya hudhurungi.
Pili ni kuhimiza wakulima kupanda mazao yao pamoja na miti. Kwa mfano, kando ya mashamba kupandwe miti na pia tutilie mkazo ule mradi wa Moi wa kupanda majani na miti kwa pamoja. Hii itasaidia kwa kuongeza miti kwa wingi ambayo huleta mvua.
Kuwaimiza na kuwafunza wananchi umuhimu wa misitu katika mazingira ili wapunguze ukataji wa miti. Kuanzisha kampeni za uhifadhi wa mazingira kupitia mashirika kama vile ‘The Green Belt Movement’ ya Wangari Mathaa ili kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa misitu na athari za ukataji wa miti.
Pia serikali kuonyesha mfano mwema kwa wananchi wake kwa kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti kupitia kwa viongozi kama vile rais. Hii italeta hali ya wananchi kuelewa umuhimu wa upandaji miti. Pia serikali itie mikakati ya dhidi ya wale watakaokata misitu ovyo ovyo bila ya kupewa ruhusa. Mfano, wanaweza kufungwa jela mwaka moja ili kuwatahadharisha wengine.
Njia nyingine ni kuwahimiza wale wanaokata miti kila wanapokata mti mmoja wapande miti ingine kumi. Kisa na maana, akikata miti bila ya kupanda nyingine inaweza kusababisha mmomonyoka wa udongo ambayo itasababisha kiangazi. Tunapaswa kupanda miti kila mara tunapokata.
Pia serikali kuwahimiza wananchi kutumia njia mbadala za nishati katika upishi wao ili kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya upishi. Watu wanaweza kutumia mitungi ya gesi na stovu ambayo itapunguza ukataji wa miti. Kuhimiza watu kutochoma makaa na kutumia mbinu tofauti utachangia katika utunzi wa mazingira.
Serikali kutenga misitu kando ili watu wasiharibu misitu wa kukata ili kutafuta mashamba ya kulima. Serikali inaweza kufanya hivyo kwa kuweka walinda usalama katika misitu na pia kuwekea sengenge ili wanadamu wasiweze kuingia ndani.
Mwisho, wananchi wanapaswa kutii sheria na kanuni zilizowekwa katika utunzi wa misitu. Mikakati hii ikifuatwa, italeta na kufanya mazingira yawe safi na bora ya binadamu kuishi hat kwa vizazi vijavyo. | Wananchi wanapaswa kutii nini | {
"text": [
"Sheria na kanuni"
]
} |
3310_swa | MBINU ZA KUHIFADHI MISITU.
Msitu ni mahala ambapo pamezingirwa na miti. Misitu inatusaidia kama wanadamu kwa njia mbalimbali kwa mfano miti hutumika katika ujenzi wa nyumba, hurembesha mazingira na ni mahali ambapo mito huanzia. Kwa miaka za hivi karibuni, wanadamu wamekata miti ovyo ovyo hata kupelekea mahali pengine kuwa na jangwa. Kwa sababu ya hayo, kunafaa kuwekwa mbinu za kuhifadhi misitu kwa vizazi vijavyo.
Kwanza kabisa ni kupanda miti pale ambapo hapajawai pandwa. Hii itasaidia kuleta hali nzuri ya anga. Kwenye jangwa, serikali inapaswa kupeleka maji ya kunyunyizia miti wakati ambapo imepandwa. Tukifanya hivyo, tutaleta ile taswira ya kijani kibichi na kutoa ile dhana ya nchi yetu kuwa ya hudhurungi.
Pili ni kuhimiza wakulima kupanda mazao yao pamoja na miti. Kwa mfano, kando ya mashamba kupandwe miti na pia tutilie mkazo ule mradi wa Moi wa kupanda majani na miti kwa pamoja. Hii itasaidia kwa kuongeza miti kwa wingi ambayo huleta mvua.
Kuwaimiza na kuwafunza wananchi umuhimu wa misitu katika mazingira ili wapunguze ukataji wa miti. Kuanzisha kampeni za uhifadhi wa mazingira kupitia mashirika kama vile ‘The Green Belt Movement’ ya Wangari Mathaa ili kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa misitu na athari za ukataji wa miti.
Pia serikali kuonyesha mfano mwema kwa wananchi wake kwa kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti kupitia kwa viongozi kama vile rais. Hii italeta hali ya wananchi kuelewa umuhimu wa upandaji miti. Pia serikali itie mikakati ya dhidi ya wale watakaokata misitu ovyo ovyo bila ya kupewa ruhusa. Mfano, wanaweza kufungwa jela mwaka moja ili kuwatahadharisha wengine.
Njia nyingine ni kuwahimiza wale wanaokata miti kila wanapokata mti mmoja wapande miti ingine kumi. Kisa na maana, akikata miti bila ya kupanda nyingine inaweza kusababisha mmomonyoka wa udongo ambayo itasababisha kiangazi. Tunapaswa kupanda miti kila mara tunapokata.
Pia serikali kuwahimiza wananchi kutumia njia mbadala za nishati katika upishi wao ili kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya upishi. Watu wanaweza kutumia mitungi ya gesi na stovu ambayo itapunguza ukataji wa miti. Kuhimiza watu kutochoma makaa na kutumia mbinu tofauti utachangia katika utunzi wa mazingira.
Serikali kutenga misitu kando ili watu wasiharibu misitu wa kukata ili kutafuta mashamba ya kulima. Serikali inaweza kufanya hivyo kwa kuweka walinda usalama katika misitu na pia kuwekea sengenge ili wanadamu wasiweze kuingia ndani.
Mwisho, wananchi wanapaswa kutii sheria na kanuni zilizowekwa katika utunzi wa misitu. Mikakati hii ikifuatwa, italeta na kufanya mazingira yawe safi na bora ya binadamu kuishi hat kwa vizazi vijavyo. | Mbona serikali inafaa kuwahimiza wananchi kutumia njia nyingine za upushi | {
"text": [
"Ili kupunguza ukataji wa miti"
]
} |
3313_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA BABA NA MWANANE KUHUSU JINSI YA KUFUZU KATIKA MASOMO YAKE.
(Baba ameketi sebuleni kisha mwanawe Luke anaingia. Luke ametoka shuleni. Ni mwisho wa muhula)
Luke: Habari baba?
Baba: (Akiketi vizuri) Nzuri mwanangu. Umerejea?
Luke: Nimeleta ripoti ya mitihani tuliofanya muhula huu wa kwanza. (Anamkabidhi baba ripoti yake)
Baba: (Anaangalia kwa makini) Naona malifanya majaribio mawili na inavyoonekana haufanyi vizuri katika masomo ya hisabati na hesabu. Kwani shida iko wapi?
Luke: Baba kusema ukweli sijui jinsi ya kudurusu masomo haya.
Baba: Mwanangu, masomo haya lazima ufanye maswali mengi. Jizoeshe na jinsi watahiniwa hutahini maswali tofauti tofauti. Pitia pia vitabu vingi vya ziada. Vitabu hivi viko maktabani?
Luke: Ndio. Viko maktabani. Ninaweza kuviomba ili kudurusu masomo haya.
Baba: Nina uhakika kuwa walimu wenu ni wenye tajriba ya juu. Iwapo swali limekushind, enda ukaulizie uelezewe vizuri na mwalimu. Hii itakusaidia katika kuelewa. Pia, kuwa na ratiba ambayo masomo haya yana muda mwingi. Itakuwezesha kudurusu kazi yako.
Luke: Nitatengeneza ratiba hiyo leo hii.
Baba: Lazima pia uwe na marafiki ambao wana ari ya masomo na wanafuzu katika masomo haya. Watakusaidia kuelewa hasa somo la kemia.
Luke : Nikona rafiki aliyebobea katika somo la fizikia.
Baba: Pia unatakikana kijitolea mhanga katika masomo yako. Unaweza kuamka mapena au kulala kuchelewa ili kusoma. Jitenge na vikundi ambavyo vinaweza kuzorota nidhamu yako. Nidhamu yako inapozarota, pia masomo yako yanazorota. Wasikia mwanangu?
Luke: Ndio baba, ninasikia.
Baba: Luke, waweza pia kufuzu kwa kufanya kazi zote za ziada unazopewa. Heshima kwa walimu na wanafunzi inahitajika. Hii itatengeneza mazingira mazuri ya kusoma. Waweza kucheza pia, itakusaidia kuchangamsha akili. Fuata maagizo unayopewa na walimu. Unaskia?
Luke: Asante sana baba kwa mawaidha yako. (anasimama)
Baba: Karibu (anampa ripoti yake) Nenda ukamwone mama yako, yuko jikoni.
(Luke anaondoka huku baba akiwasha runinga.) | Nani ameketi sebuleni | {
"text": [
"baba"
]
} |
3313_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA BABA NA MWANANE KUHUSU JINSI YA KUFUZU KATIKA MASOMO YAKE.
(Baba ameketi sebuleni kisha mwanawe Luke anaingia. Luke ametoka shuleni. Ni mwisho wa muhula)
Luke: Habari baba?
Baba: (Akiketi vizuri) Nzuri mwanangu. Umerejea?
Luke: Nimeleta ripoti ya mitihani tuliofanya muhula huu wa kwanza. (Anamkabidhi baba ripoti yake)
Baba: (Anaangalia kwa makini) Naona malifanya majaribio mawili na inavyoonekana haufanyi vizuri katika masomo ya hisabati na hesabu. Kwani shida iko wapi?
Luke: Baba kusema ukweli sijui jinsi ya kudurusu masomo haya.
Baba: Mwanangu, masomo haya lazima ufanye maswali mengi. Jizoeshe na jinsi watahiniwa hutahini maswali tofauti tofauti. Pitia pia vitabu vingi vya ziada. Vitabu hivi viko maktabani?
Luke: Ndio. Viko maktabani. Ninaweza kuviomba ili kudurusu masomo haya.
Baba: Nina uhakika kuwa walimu wenu ni wenye tajriba ya juu. Iwapo swali limekushind, enda ukaulizie uelezewe vizuri na mwalimu. Hii itakusaidia katika kuelewa. Pia, kuwa na ratiba ambayo masomo haya yana muda mwingi. Itakuwezesha kudurusu kazi yako.
Luke: Nitatengeneza ratiba hiyo leo hii.
Baba: Lazima pia uwe na marafiki ambao wana ari ya masomo na wanafuzu katika masomo haya. Watakusaidia kuelewa hasa somo la kemia.
Luke : Nikona rafiki aliyebobea katika somo la fizikia.
Baba: Pia unatakikana kijitolea mhanga katika masomo yako. Unaweza kuamka mapena au kulala kuchelewa ili kusoma. Jitenge na vikundi ambavyo vinaweza kuzorota nidhamu yako. Nidhamu yako inapozarota, pia masomo yako yanazorota. Wasikia mwanangu?
Luke: Ndio baba, ninasikia.
Baba: Luke, waweza pia kufuzu kwa kufanya kazi zote za ziada unazopewa. Heshima kwa walimu na wanafunzi inahitajika. Hii itatengeneza mazingira mazuri ya kusoma. Waweza kucheza pia, itakusaidia kuchangamsha akili. Fuata maagizo unayopewa na walimu. Unaskia?
Luke: Asante sana baba kwa mawaidha yako. (anasimama)
Baba: Karibu (anampa ripoti yake) Nenda ukamwone mama yako, yuko jikoni.
(Luke anaondoka huku baba akiwasha runinga.) | Luke ametoka wapi | {
"text": [
"shuleni"
]
} |
3313_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA BABA NA MWANANE KUHUSU JINSI YA KUFUZU KATIKA MASOMO YAKE.
(Baba ameketi sebuleni kisha mwanawe Luke anaingia. Luke ametoka shuleni. Ni mwisho wa muhula)
Luke: Habari baba?
Baba: (Akiketi vizuri) Nzuri mwanangu. Umerejea?
Luke: Nimeleta ripoti ya mitihani tuliofanya muhula huu wa kwanza. (Anamkabidhi baba ripoti yake)
Baba: (Anaangalia kwa makini) Naona malifanya majaribio mawili na inavyoonekana haufanyi vizuri katika masomo ya hisabati na hesabu. Kwani shida iko wapi?
Luke: Baba kusema ukweli sijui jinsi ya kudurusu masomo haya.
Baba: Mwanangu, masomo haya lazima ufanye maswali mengi. Jizoeshe na jinsi watahiniwa hutahini maswali tofauti tofauti. Pitia pia vitabu vingi vya ziada. Vitabu hivi viko maktabani?
Luke: Ndio. Viko maktabani. Ninaweza kuviomba ili kudurusu masomo haya.
Baba: Nina uhakika kuwa walimu wenu ni wenye tajriba ya juu. Iwapo swali limekushind, enda ukaulizie uelezewe vizuri na mwalimu. Hii itakusaidia katika kuelewa. Pia, kuwa na ratiba ambayo masomo haya yana muda mwingi. Itakuwezesha kudurusu kazi yako.
Luke: Nitatengeneza ratiba hiyo leo hii.
Baba: Lazima pia uwe na marafiki ambao wana ari ya masomo na wanafuzu katika masomo haya. Watakusaidia kuelewa hasa somo la kemia.
Luke : Nikona rafiki aliyebobea katika somo la fizikia.
Baba: Pia unatakikana kijitolea mhanga katika masomo yako. Unaweza kuamka mapena au kulala kuchelewa ili kusoma. Jitenge na vikundi ambavyo vinaweza kuzorota nidhamu yako. Nidhamu yako inapozarota, pia masomo yako yanazorota. Wasikia mwanangu?
Luke: Ndio baba, ninasikia.
Baba: Luke, waweza pia kufuzu kwa kufanya kazi zote za ziada unazopewa. Heshima kwa walimu na wanafunzi inahitajika. Hii itatengeneza mazingira mazuri ya kusoma. Waweza kucheza pia, itakusaidia kuchangamsha akili. Fuata maagizo unayopewa na walimu. Unaskia?
Luke: Asante sana baba kwa mawaidha yako. (anasimama)
Baba: Karibu (anampa ripoti yake) Nenda ukamwone mama yako, yuko jikoni.
(Luke anaondoka huku baba akiwasha runinga.) | Luke anatakiwa kuamka saa ngapi | {
"text": [
"mapema"
]
} |
3313_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA BABA NA MWANANE KUHUSU JINSI YA KUFUZU KATIKA MASOMO YAKE.
(Baba ameketi sebuleni kisha mwanawe Luke anaingia. Luke ametoka shuleni. Ni mwisho wa muhula)
Luke: Habari baba?
Baba: (Akiketi vizuri) Nzuri mwanangu. Umerejea?
Luke: Nimeleta ripoti ya mitihani tuliofanya muhula huu wa kwanza. (Anamkabidhi baba ripoti yake)
Baba: (Anaangalia kwa makini) Naona malifanya majaribio mawili na inavyoonekana haufanyi vizuri katika masomo ya hisabati na hesabu. Kwani shida iko wapi?
Luke: Baba kusema ukweli sijui jinsi ya kudurusu masomo haya.
Baba: Mwanangu, masomo haya lazima ufanye maswali mengi. Jizoeshe na jinsi watahiniwa hutahini maswali tofauti tofauti. Pitia pia vitabu vingi vya ziada. Vitabu hivi viko maktabani?
Luke: Ndio. Viko maktabani. Ninaweza kuviomba ili kudurusu masomo haya.
Baba: Nina uhakika kuwa walimu wenu ni wenye tajriba ya juu. Iwapo swali limekushind, enda ukaulizie uelezewe vizuri na mwalimu. Hii itakusaidia katika kuelewa. Pia, kuwa na ratiba ambayo masomo haya yana muda mwingi. Itakuwezesha kudurusu kazi yako.
Luke: Nitatengeneza ratiba hiyo leo hii.
Baba: Lazima pia uwe na marafiki ambao wana ari ya masomo na wanafuzu katika masomo haya. Watakusaidia kuelewa hasa somo la kemia.
Luke : Nikona rafiki aliyebobea katika somo la fizikia.
Baba: Pia unatakikana kijitolea mhanga katika masomo yako. Unaweza kuamka mapena au kulala kuchelewa ili kusoma. Jitenge na vikundi ambavyo vinaweza kuzorota nidhamu yako. Nidhamu yako inapozarota, pia masomo yako yanazorota. Wasikia mwanangu?
Luke: Ndio baba, ninasikia.
Baba: Luke, waweza pia kufuzu kwa kufanya kazi zote za ziada unazopewa. Heshima kwa walimu na wanafunzi inahitajika. Hii itatengeneza mazingira mazuri ya kusoma. Waweza kucheza pia, itakusaidia kuchangamsha akili. Fuata maagizo unayopewa na walimu. Unaskia?
Luke: Asante sana baba kwa mawaidha yako. (anasimama)
Baba: Karibu (anampa ripoti yake) Nenda ukamwone mama yako, yuko jikoni.
(Luke anaondoka huku baba akiwasha runinga.) | Kucheza husaidiaje | {
"text": [
"kuchangamsha akili"
]
} |
3313_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA BABA NA MWANANE KUHUSU JINSI YA KUFUZU KATIKA MASOMO YAKE.
(Baba ameketi sebuleni kisha mwanawe Luke anaingia. Luke ametoka shuleni. Ni mwisho wa muhula)
Luke: Habari baba?
Baba: (Akiketi vizuri) Nzuri mwanangu. Umerejea?
Luke: Nimeleta ripoti ya mitihani tuliofanya muhula huu wa kwanza. (Anamkabidhi baba ripoti yake)
Baba: (Anaangalia kwa makini) Naona malifanya majaribio mawili na inavyoonekana haufanyi vizuri katika masomo ya hisabati na hesabu. Kwani shida iko wapi?
Luke: Baba kusema ukweli sijui jinsi ya kudurusu masomo haya.
Baba: Mwanangu, masomo haya lazima ufanye maswali mengi. Jizoeshe na jinsi watahiniwa hutahini maswali tofauti tofauti. Pitia pia vitabu vingi vya ziada. Vitabu hivi viko maktabani?
Luke: Ndio. Viko maktabani. Ninaweza kuviomba ili kudurusu masomo haya.
Baba: Nina uhakika kuwa walimu wenu ni wenye tajriba ya juu. Iwapo swali limekushind, enda ukaulizie uelezewe vizuri na mwalimu. Hii itakusaidia katika kuelewa. Pia, kuwa na ratiba ambayo masomo haya yana muda mwingi. Itakuwezesha kudurusu kazi yako.
Luke: Nitatengeneza ratiba hiyo leo hii.
Baba: Lazima pia uwe na marafiki ambao wana ari ya masomo na wanafuzu katika masomo haya. Watakusaidia kuelewa hasa somo la kemia.
Luke : Nikona rafiki aliyebobea katika somo la fizikia.
Baba: Pia unatakikana kijitolea mhanga katika masomo yako. Unaweza kuamka mapena au kulala kuchelewa ili kusoma. Jitenge na vikundi ambavyo vinaweza kuzorota nidhamu yako. Nidhamu yako inapozarota, pia masomo yako yanazorota. Wasikia mwanangu?
Luke: Ndio baba, ninasikia.
Baba: Luke, waweza pia kufuzu kwa kufanya kazi zote za ziada unazopewa. Heshima kwa walimu na wanafunzi inahitajika. Hii itatengeneza mazingira mazuri ya kusoma. Waweza kucheza pia, itakusaidia kuchangamsha akili. Fuata maagizo unayopewa na walimu. Unaskia?
Luke: Asante sana baba kwa mawaidha yako. (anasimama)
Baba: Karibu (anampa ripoti yake) Nenda ukamwone mama yako, yuko jikoni.
(Luke anaondoka huku baba akiwasha runinga.) | Mbona heshima kwa walimu inahitajika | {
"text": [
"ili kutengeneza mazingira mazuri ya kusoma"
]
} |
3314_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA.
(Mgonjwa anaingia ofisini mwa daktari Mwago huku akilalamika kwa maneno yasiyosikika vizuri kisha anaketi )
Mwago: Habari yako mzee?
Mbura : Mbaya bwana daktari nina maumivu sana mwilini bwana daktari.
Mwago: Nieleze ungependa nikusaidiaje?
Mbura : Nimekuwa nikiumwa na mifupa ya miguuni ninapo tembea masafa marefu. Nimekwenda kwa hospitali nyingi ila sipati matibabu yaliyo sahihi. Daktari, kila nipapoona yakua nimepona, baada ya miezi kadhaa ugonjwa ule ungerejea. Pia kichwa changu kinaniuma sana daktari, sijui shida iko wapi.
Mwago: Ningependa kukuuliza maswali kadhaa kuhusu ugonjwa huu.
Mbura : Ndio daktari, hata hapa nilipo kichwa karibu kinalipuka kwa sababu kikomoto ajabu. Mwago : Mifupa yako huwa inauma pando gani sana sana? Mahali ambapo mifupa hukutana kwenye magoti ama kwenye miguu unapotembea?
Mbura: Kwenye magoti bwana daktari na huwa inatokea wakati nimepiga lundi kwa wakati mrefu au sehemu refu.
Mwago: Na usipofanya kazi, wewe pia bado hawa unaumwa?
Mbura: La, nikiwa nimetulia mimi huwa niko sawa lakini nitembeapo tu masafa marefu, huwa nashindwa kutembea.
Mwago : Sawa. Na kichwa chako huuma saa ngapi ama wakati gani haswa?
Mbura: Ninapoinua vita vizito vizito ama kufanya kazi kwa wakati mrefu. Kama hivi sasa, nimeinua mitungi miwili ya maji lakini naskia nikama kichwa changu kitalipuka.
Mwago: Sawa itabidi nikupime magonjwa fulani, itabidi uende ukaketi katika kila kikanda.
(daktari anatoa damu kiasi kutoka kwenye kidolo cha mbura)
Mbura: Sasa daktari, hio damu itakusaidiaje?
Mwogo: Tulia kwanza nifanye utafiti.
Mbura : Sawa bwana daktari, wacha nitulie.
Mwago: Damu yako inaonyesha kuwa una ugonjwa wa mifupa na presha. Sasa itabidi nikudunge sindano kisha, nitakupea dawa.
Mbura: Daktari hakuna njia nyingine kwani? (Mbura anaonekana kuwa ameogopa sindano ile)
Mwago: (Anamdunga sindano kisha anawambia aketi kwenye kiti) Sasa shika dawa hizi na usipitishe hata siku moja bila ya kunywa dawa hizo. Kisha usifanye kazi nyingi kwa kuwa wewe ushazeeka. Tafuta mahali utulie ili uweze kuishi zaidi.
Mbura: Sawa bwana daktari na nisipopona nifanyaje?
Mwago: Rudi papa hapa nitakusaidia vilivyo na pia usiinue vitu vizito, mifupa yako imekuwa nyepesi na haina nguvu.
Mbura: Sawa daktari, uwe na wakati mwema.
Mwago: Nawe pia Kwaheri.
(Mbura anaondoka ofisini kwa daktari na kufunga mlango nyuma yake) | Mbura ana maumivu wapi | {
"text": [
"mwilini"
]
} |
3314_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA.
(Mgonjwa anaingia ofisini mwa daktari Mwago huku akilalamika kwa maneno yasiyosikika vizuri kisha anaketi )
Mwago: Habari yako mzee?
Mbura : Mbaya bwana daktari nina maumivu sana mwilini bwana daktari.
Mwago: Nieleze ungependa nikusaidiaje?
Mbura : Nimekuwa nikiumwa na mifupa ya miguuni ninapo tembea masafa marefu. Nimekwenda kwa hospitali nyingi ila sipati matibabu yaliyo sahihi. Daktari, kila nipapoona yakua nimepona, baada ya miezi kadhaa ugonjwa ule ungerejea. Pia kichwa changu kinaniuma sana daktari, sijui shida iko wapi.
Mwago: Ningependa kukuuliza maswali kadhaa kuhusu ugonjwa huu.
Mbura : Ndio daktari, hata hapa nilipo kichwa karibu kinalipuka kwa sababu kikomoto ajabu. Mwago : Mifupa yako huwa inauma pando gani sana sana? Mahali ambapo mifupa hukutana kwenye magoti ama kwenye miguu unapotembea?
Mbura: Kwenye magoti bwana daktari na huwa inatokea wakati nimepiga lundi kwa wakati mrefu au sehemu refu.
Mwago: Na usipofanya kazi, wewe pia bado hawa unaumwa?
Mbura: La, nikiwa nimetulia mimi huwa niko sawa lakini nitembeapo tu masafa marefu, huwa nashindwa kutembea.
Mwago : Sawa. Na kichwa chako huuma saa ngapi ama wakati gani haswa?
Mbura: Ninapoinua vita vizito vizito ama kufanya kazi kwa wakati mrefu. Kama hivi sasa, nimeinua mitungi miwili ya maji lakini naskia nikama kichwa changu kitalipuka.
Mwago: Sawa itabidi nikupime magonjwa fulani, itabidi uende ukaketi katika kila kikanda.
(daktari anatoa damu kiasi kutoka kwenye kidolo cha mbura)
Mbura: Sasa daktari, hio damu itakusaidiaje?
Mwogo: Tulia kwanza nifanye utafiti.
Mbura : Sawa bwana daktari, wacha nitulie.
Mwago: Damu yako inaonyesha kuwa una ugonjwa wa mifupa na presha. Sasa itabidi nikudunge sindano kisha, nitakupea dawa.
Mbura: Daktari hakuna njia nyingine kwani? (Mbura anaonekana kuwa ameogopa sindano ile)
Mwago: (Anamdunga sindano kisha anawambia aketi kwenye kiti) Sasa shika dawa hizi na usipitishe hata siku moja bila ya kunywa dawa hizo. Kisha usifanye kazi nyingi kwa kuwa wewe ushazeeka. Tafuta mahali utulie ili uweze kuishi zaidi.
Mbura: Sawa bwana daktari na nisipopona nifanyaje?
Mwago: Rudi papa hapa nitakusaidia vilivyo na pia usiinue vitu vizito, mifupa yako imekuwa nyepesi na haina nguvu.
Mbura: Sawa daktari, uwe na wakati mwema.
Mwago: Nawe pia Kwaheri.
(Mbura anaondoka ofisini kwa daktari na kufunga mlango nyuma yake) | Mbura akitulia huwa vipi | {
"text": [
"sawa"
]
} |
3314_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA.
(Mgonjwa anaingia ofisini mwa daktari Mwago huku akilalamika kwa maneno yasiyosikika vizuri kisha anaketi )
Mwago: Habari yako mzee?
Mbura : Mbaya bwana daktari nina maumivu sana mwilini bwana daktari.
Mwago: Nieleze ungependa nikusaidiaje?
Mbura : Nimekuwa nikiumwa na mifupa ya miguuni ninapo tembea masafa marefu. Nimekwenda kwa hospitali nyingi ila sipati matibabu yaliyo sahihi. Daktari, kila nipapoona yakua nimepona, baada ya miezi kadhaa ugonjwa ule ungerejea. Pia kichwa changu kinaniuma sana daktari, sijui shida iko wapi.
Mwago: Ningependa kukuuliza maswali kadhaa kuhusu ugonjwa huu.
Mbura : Ndio daktari, hata hapa nilipo kichwa karibu kinalipuka kwa sababu kikomoto ajabu. Mwago : Mifupa yako huwa inauma pando gani sana sana? Mahali ambapo mifupa hukutana kwenye magoti ama kwenye miguu unapotembea?
Mbura: Kwenye magoti bwana daktari na huwa inatokea wakati nimepiga lundi kwa wakati mrefu au sehemu refu.
Mwago: Na usipofanya kazi, wewe pia bado hawa unaumwa?
Mbura: La, nikiwa nimetulia mimi huwa niko sawa lakini nitembeapo tu masafa marefu, huwa nashindwa kutembea.
Mwago : Sawa. Na kichwa chako huuma saa ngapi ama wakati gani haswa?
Mbura: Ninapoinua vita vizito vizito ama kufanya kazi kwa wakati mrefu. Kama hivi sasa, nimeinua mitungi miwili ya maji lakini naskia nikama kichwa changu kitalipuka.
Mwago: Sawa itabidi nikupime magonjwa fulani, itabidi uende ukaketi katika kila kikanda.
(daktari anatoa damu kiasi kutoka kwenye kidolo cha mbura)
Mbura: Sasa daktari, hio damu itakusaidiaje?
Mwogo: Tulia kwanza nifanye utafiti.
Mbura : Sawa bwana daktari, wacha nitulie.
Mwago: Damu yako inaonyesha kuwa una ugonjwa wa mifupa na presha. Sasa itabidi nikudunge sindano kisha, nitakupea dawa.
Mbura: Daktari hakuna njia nyingine kwani? (Mbura anaonekana kuwa ameogopa sindano ile)
Mwago: (Anamdunga sindano kisha anawambia aketi kwenye kiti) Sasa shika dawa hizi na usipitishe hata siku moja bila ya kunywa dawa hizo. Kisha usifanye kazi nyingi kwa kuwa wewe ushazeeka. Tafuta mahali utulie ili uweze kuishi zaidi.
Mbura: Sawa bwana daktari na nisipopona nifanyaje?
Mwago: Rudi papa hapa nitakusaidia vilivyo na pia usiinue vitu vizito, mifupa yako imekuwa nyepesi na haina nguvu.
Mbura: Sawa daktari, uwe na wakati mwema.
Mwago: Nawe pia Kwaheri.
(Mbura anaondoka ofisini kwa daktari na kufunga mlango nyuma yake) | Mbura ameinua mitungi mingapi ya maji | {
"text": [
"miwili"
]
} |
3314_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA.
(Mgonjwa anaingia ofisini mwa daktari Mwago huku akilalamika kwa maneno yasiyosikika vizuri kisha anaketi )
Mwago: Habari yako mzee?
Mbura : Mbaya bwana daktari nina maumivu sana mwilini bwana daktari.
Mwago: Nieleze ungependa nikusaidiaje?
Mbura : Nimekuwa nikiumwa na mifupa ya miguuni ninapo tembea masafa marefu. Nimekwenda kwa hospitali nyingi ila sipati matibabu yaliyo sahihi. Daktari, kila nipapoona yakua nimepona, baada ya miezi kadhaa ugonjwa ule ungerejea. Pia kichwa changu kinaniuma sana daktari, sijui shida iko wapi.
Mwago: Ningependa kukuuliza maswali kadhaa kuhusu ugonjwa huu.
Mbura : Ndio daktari, hata hapa nilipo kichwa karibu kinalipuka kwa sababu kikomoto ajabu. Mwago : Mifupa yako huwa inauma pando gani sana sana? Mahali ambapo mifupa hukutana kwenye magoti ama kwenye miguu unapotembea?
Mbura: Kwenye magoti bwana daktari na huwa inatokea wakati nimepiga lundi kwa wakati mrefu au sehemu refu.
Mwago: Na usipofanya kazi, wewe pia bado hawa unaumwa?
Mbura: La, nikiwa nimetulia mimi huwa niko sawa lakini nitembeapo tu masafa marefu, huwa nashindwa kutembea.
Mwago : Sawa. Na kichwa chako huuma saa ngapi ama wakati gani haswa?
Mbura: Ninapoinua vita vizito vizito ama kufanya kazi kwa wakati mrefu. Kama hivi sasa, nimeinua mitungi miwili ya maji lakini naskia nikama kichwa changu kitalipuka.
Mwago: Sawa itabidi nikupime magonjwa fulani, itabidi uende ukaketi katika kila kikanda.
(daktari anatoa damu kiasi kutoka kwenye kidolo cha mbura)
Mbura: Sasa daktari, hio damu itakusaidiaje?
Mwogo: Tulia kwanza nifanye utafiti.
Mbura : Sawa bwana daktari, wacha nitulie.
Mwago: Damu yako inaonyesha kuwa una ugonjwa wa mifupa na presha. Sasa itabidi nikudunge sindano kisha, nitakupea dawa.
Mbura: Daktari hakuna njia nyingine kwani? (Mbura anaonekana kuwa ameogopa sindano ile)
Mwago: (Anamdunga sindano kisha anawambia aketi kwenye kiti) Sasa shika dawa hizi na usipitishe hata siku moja bila ya kunywa dawa hizo. Kisha usifanye kazi nyingi kwa kuwa wewe ushazeeka. Tafuta mahali utulie ili uweze kuishi zaidi.
Mbura: Sawa bwana daktari na nisipopona nifanyaje?
Mwago: Rudi papa hapa nitakusaidia vilivyo na pia usiinue vitu vizito, mifupa yako imekuwa nyepesi na haina nguvu.
Mbura: Sawa daktari, uwe na wakati mwema.
Mwago: Nawe pia Kwaheri.
(Mbura anaondoka ofisini kwa daktari na kufunga mlango nyuma yake) | Mbura anaogopa nini | {
"text": [
"sindano"
]
} |
3314_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA.
(Mgonjwa anaingia ofisini mwa daktari Mwago huku akilalamika kwa maneno yasiyosikika vizuri kisha anaketi )
Mwago: Habari yako mzee?
Mbura : Mbaya bwana daktari nina maumivu sana mwilini bwana daktari.
Mwago: Nieleze ungependa nikusaidiaje?
Mbura : Nimekuwa nikiumwa na mifupa ya miguuni ninapo tembea masafa marefu. Nimekwenda kwa hospitali nyingi ila sipati matibabu yaliyo sahihi. Daktari, kila nipapoona yakua nimepona, baada ya miezi kadhaa ugonjwa ule ungerejea. Pia kichwa changu kinaniuma sana daktari, sijui shida iko wapi.
Mwago: Ningependa kukuuliza maswali kadhaa kuhusu ugonjwa huu.
Mbura : Ndio daktari, hata hapa nilipo kichwa karibu kinalipuka kwa sababu kikomoto ajabu. Mwago : Mifupa yako huwa inauma pando gani sana sana? Mahali ambapo mifupa hukutana kwenye magoti ama kwenye miguu unapotembea?
Mbura: Kwenye magoti bwana daktari na huwa inatokea wakati nimepiga lundi kwa wakati mrefu au sehemu refu.
Mwago: Na usipofanya kazi, wewe pia bado hawa unaumwa?
Mbura: La, nikiwa nimetulia mimi huwa niko sawa lakini nitembeapo tu masafa marefu, huwa nashindwa kutembea.
Mwago : Sawa. Na kichwa chako huuma saa ngapi ama wakati gani haswa?
Mbura: Ninapoinua vita vizito vizito ama kufanya kazi kwa wakati mrefu. Kama hivi sasa, nimeinua mitungi miwili ya maji lakini naskia nikama kichwa changu kitalipuka.
Mwago: Sawa itabidi nikupime magonjwa fulani, itabidi uende ukaketi katika kila kikanda.
(daktari anatoa damu kiasi kutoka kwenye kidolo cha mbura)
Mbura: Sasa daktari, hio damu itakusaidiaje?
Mwogo: Tulia kwanza nifanye utafiti.
Mbura : Sawa bwana daktari, wacha nitulie.
Mwago: Damu yako inaonyesha kuwa una ugonjwa wa mifupa na presha. Sasa itabidi nikudunge sindano kisha, nitakupea dawa.
Mbura: Daktari hakuna njia nyingine kwani? (Mbura anaonekana kuwa ameogopa sindano ile)
Mwago: (Anamdunga sindano kisha anawambia aketi kwenye kiti) Sasa shika dawa hizi na usipitishe hata siku moja bila ya kunywa dawa hizo. Kisha usifanye kazi nyingi kwa kuwa wewe ushazeeka. Tafuta mahali utulie ili uweze kuishi zaidi.
Mbura: Sawa bwana daktari na nisipopona nifanyaje?
Mwago: Rudi papa hapa nitakusaidia vilivyo na pia usiinue vitu vizito, mifupa yako imekuwa nyepesi na haina nguvu.
Mbura: Sawa daktari, uwe na wakati mwema.
Mwago: Nawe pia Kwaheri.
(Mbura anaondoka ofisini kwa daktari na kufunga mlango nyuma yake) | Mbona Mbura aliambiwa asifanye kazi nyingi | {
"text": [
"sababu alishazeeka"
]
} |
3317_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA
(Ni katika hospitali ya afya bora ambapo daktari bwana Mabonga anamkaribisha mgonjwa ambaye anaonekana kuwa na hofu)
Mabonga: Hujambo kaka?
Mago: Sijambo sana daktari.
Mabonga: Karibu kiti tafadhali. (Huku akimsogezea kiti ili akaketi)
Mago: Ahsante sana.
Mabonga: Naomba nikusaidie vipi?
Mago: Daktari, nimekuje hospitali ili kupata matibabu kwa ajili ya kumwa na kichwa.
Mabonga: Kuumwa na kichwa?
Mago: Naam daktari
Mabonga: Kwani ulianza kuumwa lini?
Mago: likuwa majuzi baada ya kunyeshewa na mvua kali iliyokuwa ikinyesha pamoja na upepo.
Mabonga: Basi hiyo ndiyo chanzo cha wewe kuwa mgonjwa. Na ulikuwa umevaa nguo nzito angalau kujikinga kutokana na upepo ule kweli?
Mago: La hasha!
Mabonga: Basi inaonekana una malaria mwilini mwako na umeweza kupata matibabu mahali pengine popote au kumeza tembe zozote?
Mago: La hasha! Sijaweza kumeza tembe zozote zile wala kuhudhuria daktari yeyote.
Mabonga: Basi itabidi nikupime kiwango cha joto mwilini mwako ili niweze kujua jinsi ambavyo nitaweza kukusaidia. (anachukua kipimajoto na kuweka kwenye mkono wa Mago)
Mabongo: Inaonekana una malaria kwani kiwango cha joto mwillini mwako kiko juu sana. Kwa hivyo unahitaji matibabu ya haraka.
Mago: Daktari naomba unitibu ili niweze kupata afeni na kuendelea na mipango yangu ya kila siku.
Mabonga: Usijali kwa kuwa na kuhakikishia utakuwa sawa iwapo tu utaweza kufuata maelekezo ambayo nitakupa.
Mago : Nitashukuru sana.
Mabonga: Basi naomba tafadhali uingie kwenye chumba hiki ili niweze kukupimana kujua jinsi nitaweza kukusaidia ili upate afueni haraka. (daktari anamsaidia Mago kuamka kutoka kwenye kitu na kumwelekeza katika chumba cha kuwatibu wagonjwa)
Mabonga: Naomba tafadhali baada ya kutoka hapa uende upumzike na kisha utakapoamka usikose kumeza tembe hizi.
Mago: Daktari nakuahidi kuwa nitafuata maelekezo unayonipa ili niweze kupata afueni haraka iwezekanavyo.
Mabongo: Kwaheri na urudi kesho kwa maelekezo zaidi.
(Mago anaondoka na kuagana na daktari) | Mago alienda wapi Ili kupata matibabu | {
"text": [
"hospitalini"
]
} |
3317_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA
(Ni katika hospitali ya afya bora ambapo daktari bwana Mabonga anamkaribisha mgonjwa ambaye anaonekana kuwa na hofu)
Mabonga: Hujambo kaka?
Mago: Sijambo sana daktari.
Mabonga: Karibu kiti tafadhali. (Huku akimsogezea kiti ili akaketi)
Mago: Ahsante sana.
Mabonga: Naomba nikusaidie vipi?
Mago: Daktari, nimekuje hospitali ili kupata matibabu kwa ajili ya kumwa na kichwa.
Mabonga: Kuumwa na kichwa?
Mago: Naam daktari
Mabonga: Kwani ulianza kuumwa lini?
Mago: likuwa majuzi baada ya kunyeshewa na mvua kali iliyokuwa ikinyesha pamoja na upepo.
Mabonga: Basi hiyo ndiyo chanzo cha wewe kuwa mgonjwa. Na ulikuwa umevaa nguo nzito angalau kujikinga kutokana na upepo ule kweli?
Mago: La hasha!
Mabonga: Basi inaonekana una malaria mwilini mwako na umeweza kupata matibabu mahali pengine popote au kumeza tembe zozote?
Mago: La hasha! Sijaweza kumeza tembe zozote zile wala kuhudhuria daktari yeyote.
Mabonga: Basi itabidi nikupime kiwango cha joto mwilini mwako ili niweze kujua jinsi ambavyo nitaweza kukusaidia. (anachukua kipimajoto na kuweka kwenye mkono wa Mago)
Mabongo: Inaonekana una malaria kwani kiwango cha joto mwillini mwako kiko juu sana. Kwa hivyo unahitaji matibabu ya haraka.
Mago: Daktari naomba unitibu ili niweze kupata afeni na kuendelea na mipango yangu ya kila siku.
Mabonga: Usijali kwa kuwa na kuhakikishia utakuwa sawa iwapo tu utaweza kufuata maelekezo ambayo nitakupa.
Mago : Nitashukuru sana.
Mabonga: Basi naomba tafadhali uingie kwenye chumba hiki ili niweze kukupimana kujua jinsi nitaweza kukusaidia ili upate afueni haraka. (daktari anamsaidia Mago kuamka kutoka kwenye kitu na kumwelekeza katika chumba cha kuwatibu wagonjwa)
Mabonga: Naomba tafadhali baada ya kutoka hapa uende upumzike na kisha utakapoamka usikose kumeza tembe hizi.
Mago: Daktari nakuahidi kuwa nitafuata maelekezo unayonipa ili niweze kupata afueni haraka iwezekanavyo.
Mabongo: Kwaheri na urudi kesho kwa maelekezo zaidi.
(Mago anaondoka na kuagana na daktari) | Mago alianza kuugua baada ya nini | {
"text": [
"kunyeshewa"
]
} |
3317_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA
(Ni katika hospitali ya afya bora ambapo daktari bwana Mabonga anamkaribisha mgonjwa ambaye anaonekana kuwa na hofu)
Mabonga: Hujambo kaka?
Mago: Sijambo sana daktari.
Mabonga: Karibu kiti tafadhali. (Huku akimsogezea kiti ili akaketi)
Mago: Ahsante sana.
Mabonga: Naomba nikusaidie vipi?
Mago: Daktari, nimekuje hospitali ili kupata matibabu kwa ajili ya kumwa na kichwa.
Mabonga: Kuumwa na kichwa?
Mago: Naam daktari
Mabonga: Kwani ulianza kuumwa lini?
Mago: likuwa majuzi baada ya kunyeshewa na mvua kali iliyokuwa ikinyesha pamoja na upepo.
Mabonga: Basi hiyo ndiyo chanzo cha wewe kuwa mgonjwa. Na ulikuwa umevaa nguo nzito angalau kujikinga kutokana na upepo ule kweli?
Mago: La hasha!
Mabonga: Basi inaonekana una malaria mwilini mwako na umeweza kupata matibabu mahali pengine popote au kumeza tembe zozote?
Mago: La hasha! Sijaweza kumeza tembe zozote zile wala kuhudhuria daktari yeyote.
Mabonga: Basi itabidi nikupime kiwango cha joto mwilini mwako ili niweze kujua jinsi ambavyo nitaweza kukusaidia. (anachukua kipimajoto na kuweka kwenye mkono wa Mago)
Mabongo: Inaonekana una malaria kwani kiwango cha joto mwillini mwako kiko juu sana. Kwa hivyo unahitaji matibabu ya haraka.
Mago: Daktari naomba unitibu ili niweze kupata afeni na kuendelea na mipango yangu ya kila siku.
Mabonga: Usijali kwa kuwa na kuhakikishia utakuwa sawa iwapo tu utaweza kufuata maelekezo ambayo nitakupa.
Mago : Nitashukuru sana.
Mabonga: Basi naomba tafadhali uingie kwenye chumba hiki ili niweze kukupimana kujua jinsi nitaweza kukusaidia ili upate afueni haraka. (daktari anamsaidia Mago kuamka kutoka kwenye kitu na kumwelekeza katika chumba cha kuwatibu wagonjwa)
Mabonga: Naomba tafadhali baada ya kutoka hapa uende upumzike na kisha utakapoamka usikose kumeza tembe hizi.
Mago: Daktari nakuahidi kuwa nitafuata maelekezo unayonipa ili niweze kupata afueni haraka iwezekanavyo.
Mabongo: Kwaheri na urudi kesho kwa maelekezo zaidi.
(Mago anaondoka na kuagana na daktari) | Mago alitaka kupata afueni na kuendelea na mipango yake ya lini | {
"text": [
"kila siku"
]
} |
3317_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA
(Ni katika hospitali ya afya bora ambapo daktari bwana Mabonga anamkaribisha mgonjwa ambaye anaonekana kuwa na hofu)
Mabonga: Hujambo kaka?
Mago: Sijambo sana daktari.
Mabonga: Karibu kiti tafadhali. (Huku akimsogezea kiti ili akaketi)
Mago: Ahsante sana.
Mabonga: Naomba nikusaidie vipi?
Mago: Daktari, nimekuje hospitali ili kupata matibabu kwa ajili ya kumwa na kichwa.
Mabonga: Kuumwa na kichwa?
Mago: Naam daktari
Mabonga: Kwani ulianza kuumwa lini?
Mago: likuwa majuzi baada ya kunyeshewa na mvua kali iliyokuwa ikinyesha pamoja na upepo.
Mabonga: Basi hiyo ndiyo chanzo cha wewe kuwa mgonjwa. Na ulikuwa umevaa nguo nzito angalau kujikinga kutokana na upepo ule kweli?
Mago: La hasha!
Mabonga: Basi inaonekana una malaria mwilini mwako na umeweza kupata matibabu mahali pengine popote au kumeza tembe zozote?
Mago: La hasha! Sijaweza kumeza tembe zozote zile wala kuhudhuria daktari yeyote.
Mabonga: Basi itabidi nikupime kiwango cha joto mwilini mwako ili niweze kujua jinsi ambavyo nitaweza kukusaidia. (anachukua kipimajoto na kuweka kwenye mkono wa Mago)
Mabongo: Inaonekana una malaria kwani kiwango cha joto mwillini mwako kiko juu sana. Kwa hivyo unahitaji matibabu ya haraka.
Mago: Daktari naomba unitibu ili niweze kupata afeni na kuendelea na mipango yangu ya kila siku.
Mabonga: Usijali kwa kuwa na kuhakikishia utakuwa sawa iwapo tu utaweza kufuata maelekezo ambayo nitakupa.
Mago : Nitashukuru sana.
Mabonga: Basi naomba tafadhali uingie kwenye chumba hiki ili niweze kukupimana kujua jinsi nitaweza kukusaidia ili upate afueni haraka. (daktari anamsaidia Mago kuamka kutoka kwenye kitu na kumwelekeza katika chumba cha kuwatibu wagonjwa)
Mabonga: Naomba tafadhali baada ya kutoka hapa uende upumzike na kisha utakapoamka usikose kumeza tembe hizi.
Mago: Daktari nakuahidi kuwa nitafuata maelekezo unayonipa ili niweze kupata afueni haraka iwezekanavyo.
Mabongo: Kwaheri na urudi kesho kwa maelekezo zaidi.
(Mago anaondoka na kuagana na daktari) | Daktari alimwelekeza Mago asikose kumeza nini | {
"text": [
"tembe"
]
} |
3317_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA
(Ni katika hospitali ya afya bora ambapo daktari bwana Mabonga anamkaribisha mgonjwa ambaye anaonekana kuwa na hofu)
Mabonga: Hujambo kaka?
Mago: Sijambo sana daktari.
Mabonga: Karibu kiti tafadhali. (Huku akimsogezea kiti ili akaketi)
Mago: Ahsante sana.
Mabonga: Naomba nikusaidie vipi?
Mago: Daktari, nimekuje hospitali ili kupata matibabu kwa ajili ya kumwa na kichwa.
Mabonga: Kuumwa na kichwa?
Mago: Naam daktari
Mabonga: Kwani ulianza kuumwa lini?
Mago: likuwa majuzi baada ya kunyeshewa na mvua kali iliyokuwa ikinyesha pamoja na upepo.
Mabonga: Basi hiyo ndiyo chanzo cha wewe kuwa mgonjwa. Na ulikuwa umevaa nguo nzito angalau kujikinga kutokana na upepo ule kweli?
Mago: La hasha!
Mabonga: Basi inaonekana una malaria mwilini mwako na umeweza kupata matibabu mahali pengine popote au kumeza tembe zozote?
Mago: La hasha! Sijaweza kumeza tembe zozote zile wala kuhudhuria daktari yeyote.
Mabonga: Basi itabidi nikupime kiwango cha joto mwilini mwako ili niweze kujua jinsi ambavyo nitaweza kukusaidia. (anachukua kipimajoto na kuweka kwenye mkono wa Mago)
Mabongo: Inaonekana una malaria kwani kiwango cha joto mwillini mwako kiko juu sana. Kwa hivyo unahitaji matibabu ya haraka.
Mago: Daktari naomba unitibu ili niweze kupata afeni na kuendelea na mipango yangu ya kila siku.
Mabonga: Usijali kwa kuwa na kuhakikishia utakuwa sawa iwapo tu utaweza kufuata maelekezo ambayo nitakupa.
Mago : Nitashukuru sana.
Mabonga: Basi naomba tafadhali uingie kwenye chumba hiki ili niweze kukupimana kujua jinsi nitaweza kukusaidia ili upate afueni haraka. (daktari anamsaidia Mago kuamka kutoka kwenye kitu na kumwelekeza katika chumba cha kuwatibu wagonjwa)
Mabonga: Naomba tafadhali baada ya kutoka hapa uende upumzike na kisha utakapoamka usikose kumeza tembe hizi.
Mago: Daktari nakuahidi kuwa nitafuata maelekezo unayonipa ili niweze kupata afueni haraka iwezekanavyo.
Mabongo: Kwaheri na urudi kesho kwa maelekezo zaidi.
(Mago anaondoka na kuagana na daktari) | Mbona Mago afuate maelekezo aliyopewa | {
"text": [
"ndiposa aweze kupata afueni haraka ipasavyo"
]
} |
3319_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MWANZO MPYA
(Ni saa mbili asubuhi ambapo daktari anawasili kwa hamsini zake kama kawaida. Anampata mgonjwa akiwa amelala kwenye kiti. Daktari anaitwa Teddy na mgonjwa ni Vincent).
Dkt. Teddy: (Huku akifungua mlango wa ofisi na kumtazama mgonjwa aliyekuwa akilala kwenye kiti) U hali gani mgonjwa?
Vincent : Hali yangu si shwari, labda yako.
Dkt. Teddy: Yangu ni shwari namshukuru Mola. Karibu katika hospitali.Nina amini utaweza kupata nafuu.
Vincent : Asanti sana (huku akijikakamua kusimama na kuelekea aliko daktari)
Dkt. Teddy: Mwanzo kabisa, tafadhali eleza majina yako kwa ukamili.
Vincent: Kwa majina naitwa Vincent Vin
Dkt. Teddy: (Huku akinakili chini) Kutoka pande gani hasa?
Vincent : Mimi natoka katika kijiji cha Madongo poromoka.
Dkt. Teddy: Nieleze jinsi unavyougua.
Vincent: Kichwa kinauma, nahisi baridi, tumbo inaguruma, kukohoa kila mara na kuumwa na kifua.
Dkt Teddy: Hali hii ilianza lini?
Vincent : Wiki moja iliyopita.
Dkt Teddy: Je, umewaipata matibabu yeyote kwingine?
Vincent : La, bali niliweza kupewa madawa ya kutuliza maumivu mwilini.
Dkt. Teddy: Je, baada ya kutumia ulisihisi vipi?
Vincent: Mwanzo, niljihisi vyema lakini baada ya masaa machache nilikuwa nikihisi maumivu tena.
Dkt. Teddy: Dawa ipi hiyo?
Vincent: Kaluma, Panadoli
Dkt. Teddy: Kando na hiyo, ugonjwa gani hatari umewahi kuwa nayo?
Vincent: Homa ya mafua.
Dkr. Teddy: Je, uliweza kupata matibabu yoyote?
Vincent: Ndio daktari na nikaweza kupona.
Dkt. Teddy: Huka akielekeaa katika chumba cha kufanya uchunguzi.
Vincent: (Huku akingonja matokeo kutoka kwa daktari akiwa ametulia.)
Dkt.Teddy: (Baada ya muda mchache anawasili huku uso wake ukionyesha ishara ya hatari) Tafadhali Vin songa karibu.
Vincent: (Anamtazama daktari kwa uoga) hali yangu iko vipi?
D.Kt Teddy: Nimewaa kufanya uchunguzi wa damu yako na kupata kuwa homa ya mafua ndio chanzo cha ugonjwa. Nakupa dawa hizi umeze ili upate nafuu.
Vincent: Asanti sana daktari kwa muda wako (anaondoka) | Mazungumzo ni baina ya nani na nani | {
"text": [
"Dkt Teddy na Vincent"
]
} |
3319_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MWANZO MPYA
(Ni saa mbili asubuhi ambapo daktari anawasili kwa hamsini zake kama kawaida. Anampata mgonjwa akiwa amelala kwenye kiti. Daktari anaitwa Teddy na mgonjwa ni Vincent).
Dkt. Teddy: (Huku akifungua mlango wa ofisi na kumtazama mgonjwa aliyekuwa akilala kwenye kiti) U hali gani mgonjwa?
Vincent : Hali yangu si shwari, labda yako.
Dkt. Teddy: Yangu ni shwari namshukuru Mola. Karibu katika hospitali.Nina amini utaweza kupata nafuu.
Vincent : Asanti sana (huku akijikakamua kusimama na kuelekea aliko daktari)
Dkt. Teddy: Mwanzo kabisa, tafadhali eleza majina yako kwa ukamili.
Vincent: Kwa majina naitwa Vincent Vin
Dkt. Teddy: (Huku akinakili chini) Kutoka pande gani hasa?
Vincent : Mimi natoka katika kijiji cha Madongo poromoka.
Dkt. Teddy: Nieleze jinsi unavyougua.
Vincent: Kichwa kinauma, nahisi baridi, tumbo inaguruma, kukohoa kila mara na kuumwa na kifua.
Dkt Teddy: Hali hii ilianza lini?
Vincent : Wiki moja iliyopita.
Dkt Teddy: Je, umewaipata matibabu yeyote kwingine?
Vincent : La, bali niliweza kupewa madawa ya kutuliza maumivu mwilini.
Dkt. Teddy: Je, baada ya kutumia ulisihisi vipi?
Vincent: Mwanzo, niljihisi vyema lakini baada ya masaa machache nilikuwa nikihisi maumivu tena.
Dkt. Teddy: Dawa ipi hiyo?
Vincent: Kaluma, Panadoli
Dkt. Teddy: Kando na hiyo, ugonjwa gani hatari umewahi kuwa nayo?
Vincent: Homa ya mafua.
Dkr. Teddy: Je, uliweza kupata matibabu yoyote?
Vincent: Ndio daktari na nikaweza kupona.
Dkt. Teddy: Huka akielekeaa katika chumba cha kufanya uchunguzi.
Vincent: (Huku akingonja matokeo kutoka kwa daktari akiwa ametulia.)
Dkt.Teddy: (Baada ya muda mchache anawasili huku uso wake ukionyesha ishara ya hatari) Tafadhali Vin songa karibu.
Vincent: (Anamtazama daktari kwa uoga) hali yangu iko vipi?
D.Kt Teddy: Nimewaa kufanya uchunguzi wa damu yako na kupata kuwa homa ya mafua ndio chanzo cha ugonjwa. Nakupa dawa hizi umeze ili upate nafuu.
Vincent: Asanti sana daktari kwa muda wako (anaondoka) | Daktari huhudumu wapi | {
"text": [
"Hospitalini"
]
} |
3319_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MWANZO MPYA
(Ni saa mbili asubuhi ambapo daktari anawasili kwa hamsini zake kama kawaida. Anampata mgonjwa akiwa amelala kwenye kiti. Daktari anaitwa Teddy na mgonjwa ni Vincent).
Dkt. Teddy: (Huku akifungua mlango wa ofisi na kumtazama mgonjwa aliyekuwa akilala kwenye kiti) U hali gani mgonjwa?
Vincent : Hali yangu si shwari, labda yako.
Dkt. Teddy: Yangu ni shwari namshukuru Mola. Karibu katika hospitali.Nina amini utaweza kupata nafuu.
Vincent : Asanti sana (huku akijikakamua kusimama na kuelekea aliko daktari)
Dkt. Teddy: Mwanzo kabisa, tafadhali eleza majina yako kwa ukamili.
Vincent: Kwa majina naitwa Vincent Vin
Dkt. Teddy: (Huku akinakili chini) Kutoka pande gani hasa?
Vincent : Mimi natoka katika kijiji cha Madongo poromoka.
Dkt. Teddy: Nieleze jinsi unavyougua.
Vincent: Kichwa kinauma, nahisi baridi, tumbo inaguruma, kukohoa kila mara na kuumwa na kifua.
Dkt Teddy: Hali hii ilianza lini?
Vincent : Wiki moja iliyopita.
Dkt Teddy: Je, umewaipata matibabu yeyote kwingine?
Vincent : La, bali niliweza kupewa madawa ya kutuliza maumivu mwilini.
Dkt. Teddy: Je, baada ya kutumia ulisihisi vipi?
Vincent: Mwanzo, niljihisi vyema lakini baada ya masaa machache nilikuwa nikihisi maumivu tena.
Dkt. Teddy: Dawa ipi hiyo?
Vincent: Kaluma, Panadoli
Dkt. Teddy: Kando na hiyo, ugonjwa gani hatari umewahi kuwa nayo?
Vincent: Homa ya mafua.
Dkr. Teddy: Je, uliweza kupata matibabu yoyote?
Vincent: Ndio daktari na nikaweza kupona.
Dkt. Teddy: Huka akielekeaa katika chumba cha kufanya uchunguzi.
Vincent: (Huku akingonja matokeo kutoka kwa daktari akiwa ametulia.)
Dkt.Teddy: (Baada ya muda mchache anawasili huku uso wake ukionyesha ishara ya hatari) Tafadhali Vin songa karibu.
Vincent: (Anamtazama daktari kwa uoga) hali yangu iko vipi?
D.Kt Teddy: Nimewaa kufanya uchunguzi wa damu yako na kupata kuwa homa ya mafua ndio chanzo cha ugonjwa. Nakupa dawa hizi umeze ili upate nafuu.
Vincent: Asanti sana daktari kwa muda wako (anaondoka) | Mgonjwa alitoka wapi | {
"text": [
"Madogoporomoka"
]
} |
3319_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MWANZO MPYA
(Ni saa mbili asubuhi ambapo daktari anawasili kwa hamsini zake kama kawaida. Anampata mgonjwa akiwa amelala kwenye kiti. Daktari anaitwa Teddy na mgonjwa ni Vincent).
Dkt. Teddy: (Huku akifungua mlango wa ofisi na kumtazama mgonjwa aliyekuwa akilala kwenye kiti) U hali gani mgonjwa?
Vincent : Hali yangu si shwari, labda yako.
Dkt. Teddy: Yangu ni shwari namshukuru Mola. Karibu katika hospitali.Nina amini utaweza kupata nafuu.
Vincent : Asanti sana (huku akijikakamua kusimama na kuelekea aliko daktari)
Dkt. Teddy: Mwanzo kabisa, tafadhali eleza majina yako kwa ukamili.
Vincent: Kwa majina naitwa Vincent Vin
Dkt. Teddy: (Huku akinakili chini) Kutoka pande gani hasa?
Vincent : Mimi natoka katika kijiji cha Madongo poromoka.
Dkt. Teddy: Nieleze jinsi unavyougua.
Vincent: Kichwa kinauma, nahisi baridi, tumbo inaguruma, kukohoa kila mara na kuumwa na kifua.
Dkt Teddy: Hali hii ilianza lini?
Vincent : Wiki moja iliyopita.
Dkt Teddy: Je, umewaipata matibabu yeyote kwingine?
Vincent : La, bali niliweza kupewa madawa ya kutuliza maumivu mwilini.
Dkt. Teddy: Je, baada ya kutumia ulisihisi vipi?
Vincent: Mwanzo, niljihisi vyema lakini baada ya masaa machache nilikuwa nikihisi maumivu tena.
Dkt. Teddy: Dawa ipi hiyo?
Vincent: Kaluma, Panadoli
Dkt. Teddy: Kando na hiyo, ugonjwa gani hatari umewahi kuwa nayo?
Vincent: Homa ya mafua.
Dkr. Teddy: Je, uliweza kupata matibabu yoyote?
Vincent: Ndio daktari na nikaweza kupona.
Dkt. Teddy: Huka akielekeaa katika chumba cha kufanya uchunguzi.
Vincent: (Huku akingonja matokeo kutoka kwa daktari akiwa ametulia.)
Dkt.Teddy: (Baada ya muda mchache anawasili huku uso wake ukionyesha ishara ya hatari) Tafadhali Vin songa karibu.
Vincent: (Anamtazama daktari kwa uoga) hali yangu iko vipi?
D.Kt Teddy: Nimewaa kufanya uchunguzi wa damu yako na kupata kuwa homa ya mafua ndio chanzo cha ugonjwa. Nakupa dawa hizi umeze ili upate nafuu.
Vincent: Asanti sana daktari kwa muda wako (anaondoka) | Mgonjwa alipewa dawa zipi za kutuliza maumivu | {
"text": [
"Kaluma na panadoli"
]
} |
3319_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MWANZO MPYA
(Ni saa mbili asubuhi ambapo daktari anawasili kwa hamsini zake kama kawaida. Anampata mgonjwa akiwa amelala kwenye kiti. Daktari anaitwa Teddy na mgonjwa ni Vincent).
Dkt. Teddy: (Huku akifungua mlango wa ofisi na kumtazama mgonjwa aliyekuwa akilala kwenye kiti) U hali gani mgonjwa?
Vincent : Hali yangu si shwari, labda yako.
Dkt. Teddy: Yangu ni shwari namshukuru Mola. Karibu katika hospitali.Nina amini utaweza kupata nafuu.
Vincent : Asanti sana (huku akijikakamua kusimama na kuelekea aliko daktari)
Dkt. Teddy: Mwanzo kabisa, tafadhali eleza majina yako kwa ukamili.
Vincent: Kwa majina naitwa Vincent Vin
Dkt. Teddy: (Huku akinakili chini) Kutoka pande gani hasa?
Vincent : Mimi natoka katika kijiji cha Madongo poromoka.
Dkt. Teddy: Nieleze jinsi unavyougua.
Vincent: Kichwa kinauma, nahisi baridi, tumbo inaguruma, kukohoa kila mara na kuumwa na kifua.
Dkt Teddy: Hali hii ilianza lini?
Vincent : Wiki moja iliyopita.
Dkt Teddy: Je, umewaipata matibabu yeyote kwingine?
Vincent : La, bali niliweza kupewa madawa ya kutuliza maumivu mwilini.
Dkt. Teddy: Je, baada ya kutumia ulisihisi vipi?
Vincent: Mwanzo, niljihisi vyema lakini baada ya masaa machache nilikuwa nikihisi maumivu tena.
Dkt. Teddy: Dawa ipi hiyo?
Vincent: Kaluma, Panadoli
Dkt. Teddy: Kando na hiyo, ugonjwa gani hatari umewahi kuwa nayo?
Vincent: Homa ya mafua.
Dkr. Teddy: Je, uliweza kupata matibabu yoyote?
Vincent: Ndio daktari na nikaweza kupona.
Dkt. Teddy: Huka akielekeaa katika chumba cha kufanya uchunguzi.
Vincent: (Huku akingonja matokeo kutoka kwa daktari akiwa ametulia.)
Dkt.Teddy: (Baada ya muda mchache anawasili huku uso wake ukionyesha ishara ya hatari) Tafadhali Vin songa karibu.
Vincent: (Anamtazama daktari kwa uoga) hali yangu iko vipi?
D.Kt Teddy: Nimewaa kufanya uchunguzi wa damu yako na kupata kuwa homa ya mafua ndio chanzo cha ugonjwa. Nakupa dawa hizi umeze ili upate nafuu.
Vincent: Asanti sana daktari kwa muda wako (anaondoka) | Chanzo cha ugonjwa wa Vincent kilikuwa nini | {
"text": [
"Homa ya mafua"
]
} |
3326_swa | KILIMO
Ukulima, ingawa watu wengi hawaoni umuhimu wake na kutaka kazi za ofisi, una faida hasa katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, watu wanaweza kufaidika kwa njia kadha wa kadha na hilo linaboresha nchi kupitia mazao yanayotokana na kilimo.
Kupitia kilimo, wananchi wanapata kazi kwa kuwa wakulima na kwa hivyo kusaidia kupunguza matatizo ya ukosefu kazi nchini. Pia linapunguza idadi ya watu kutoka kijijini kwenda mjini kwa kuwa kilimo inawawezesha wao kutekeleza kazi zao vilivyo kwa kuwa wakulima. Hili hufaidi uchumi kwa sababu kupitia mazao wanazopata, wanasaidia kuboresha jamii kwa kuleta maendeleo.
Uimarishaji wa uchumi pia inajitokeza wakati ambapo wakulima wanalipa ushuru kwa serikali kwa mapato yao. Ushuru unatumika kuendeleza nchi kwa mwenendo unaofaa na pia serikali inafanya jukumu lake la kuboresha nchi. Ushuru huo pia unaweza kutumika kuimarisha teknolojia kwa upande wa kilimo ambapo wanapata machine zinazosaidia kurahisisha kazi ya kilimo.
Pia ukulima umesaidia kuimarisha maisha ya watu binafsi wanapopata kuziuza bidhaa zao kwa watu wengine. Kupitia jambo hilo, kilimo kimewezesha kuwepo kwa chakula katika nchi na hivyo kupunguza maswala ya nchi kutegemea nchi zingine ili kupata vyakula.
Kilimo pia imewezesha utumiaji wa ardhi vizuri. Hii ni kupitia kupanda mimea, aghalau sehemu ya ardhi inatumika kupata fedha zinazotumika kuboresha uchumi wa nchi. Hili limewezesha kutumiwa kwa rasilimali za nchi ipasavyo ili kuboresha nchi.
Pia kilimo imewezesha uhusiano mzuri baina ya nchi tofauti tofauti. Hii ni kupitia nchi yetu ya Kenya kuuzia nchi za nje mapato yetu na kwa hivyo imesaidia kuimarisha uchumi wa nchi na pia kutengeneza uhusiano na nchi zingine kupitia biashara ya kilimo.
Wakulima wameweza kusaidia kutatua swala la ukosetu wa chakula nchini kwa kupata mazao tosha ya kibinafsi pamoja na ya kuuza sokoni. Hili limewezesha serikali kufikisha chakula kwa wananchi wasio na chakula nchini. Pia imewezesha watu kuja pamoja katika sekta ya ukulima na wao kuzungumza jinsi ya kuimarisha kilimo na pia kuwezesha nchi itambulike na nchi zingine kwa kuwa wa kuzoa mazao bora katika ukulima.
Watu hao kujumuika pamoja kunaleta umoja katika kilimo na jambo hili husaidia katika kuimarisha uchumi. Pia ukulima unawezesha wanasayansi kupata mbinu nyingi bora za kuimarisha kilimo kwa kufanya utafiti mbali mbali. Iwapo. watafanikiwa wataweza kutumia mbinu hizi na wao waweze kufaidika kwa mapato bora kwa kazi yao ya utafiti.
| Kilimo huwapa wananchi nini ili waweze kujikimu? | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
3326_swa | KILIMO
Ukulima, ingawa watu wengi hawaoni umuhimu wake na kutaka kazi za ofisi, una faida hasa katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, watu wanaweza kufaidika kwa njia kadha wa kadha na hilo linaboresha nchi kupitia mazao yanayotokana na kilimo.
Kupitia kilimo, wananchi wanapata kazi kwa kuwa wakulima na kwa hivyo kusaidia kupunguza matatizo ya ukosefu kazi nchini. Pia linapunguza idadi ya watu kutoka kijijini kwenda mjini kwa kuwa kilimo inawawezesha wao kutekeleza kazi zao vilivyo kwa kuwa wakulima. Hili hufaidi uchumi kwa sababu kupitia mazao wanazopata, wanasaidia kuboresha jamii kwa kuleta maendeleo.
Uimarishaji wa uchumi pia inajitokeza wakati ambapo wakulima wanalipa ushuru kwa serikali kwa mapato yao. Ushuru unatumika kuendeleza nchi kwa mwenendo unaofaa na pia serikali inafanya jukumu lake la kuboresha nchi. Ushuru huo pia unaweza kutumika kuimarisha teknolojia kwa upande wa kilimo ambapo wanapata machine zinazosaidia kurahisisha kazi ya kilimo.
Pia ukulima umesaidia kuimarisha maisha ya watu binafsi wanapopata kuziuza bidhaa zao kwa watu wengine. Kupitia jambo hilo, kilimo kimewezesha kuwepo kwa chakula katika nchi na hivyo kupunguza maswala ya nchi kutegemea nchi zingine ili kupata vyakula.
Kilimo pia imewezesha utumiaji wa ardhi vizuri. Hii ni kupitia kupanda mimea, aghalau sehemu ya ardhi inatumika kupata fedha zinazotumika kuboresha uchumi wa nchi. Hili limewezesha kutumiwa kwa rasilimali za nchi ipasavyo ili kuboresha nchi.
Pia kilimo imewezesha uhusiano mzuri baina ya nchi tofauti tofauti. Hii ni kupitia nchi yetu ya Kenya kuuzia nchi za nje mapato yetu na kwa hivyo imesaidia kuimarisha uchumi wa nchi na pia kutengeneza uhusiano na nchi zingine kupitia biashara ya kilimo.
Wakulima wameweza kusaidia kutatua swala la ukosetu wa chakula nchini kwa kupata mazao tosha ya kibinafsi pamoja na ya kuuza sokoni. Hili limewezesha serikali kufikisha chakula kwa wananchi wasio na chakula nchini. Pia imewezesha watu kuja pamoja katika sekta ya ukulima na wao kuzungumza jinsi ya kuimarisha kilimo na pia kuwezesha nchi itambulike na nchi zingine kwa kuwa wa kuzoa mazao bora katika ukulima.
Watu hao kujumuika pamoja kunaleta umoja katika kilimo na jambo hili husaidia katika kuimarisha uchumi. Pia ukulima unawezesha wanasayansi kupata mbinu nyingi bora za kuimarisha kilimo kwa kufanya utafiti mbali mbali. Iwapo. watafanikiwa wataweza kutumia mbinu hizi na wao waweze kufaidika kwa mapato bora kwa kazi yao ya utafiti.
| Wakulima hulipa serikali nini? | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
3326_swa | KILIMO
Ukulima, ingawa watu wengi hawaoni umuhimu wake na kutaka kazi za ofisi, una faida hasa katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, watu wanaweza kufaidika kwa njia kadha wa kadha na hilo linaboresha nchi kupitia mazao yanayotokana na kilimo.
Kupitia kilimo, wananchi wanapata kazi kwa kuwa wakulima na kwa hivyo kusaidia kupunguza matatizo ya ukosefu kazi nchini. Pia linapunguza idadi ya watu kutoka kijijini kwenda mjini kwa kuwa kilimo inawawezesha wao kutekeleza kazi zao vilivyo kwa kuwa wakulima. Hili hufaidi uchumi kwa sababu kupitia mazao wanazopata, wanasaidia kuboresha jamii kwa kuleta maendeleo.
Uimarishaji wa uchumi pia inajitokeza wakati ambapo wakulima wanalipa ushuru kwa serikali kwa mapato yao. Ushuru unatumika kuendeleza nchi kwa mwenendo unaofaa na pia serikali inafanya jukumu lake la kuboresha nchi. Ushuru huo pia unaweza kutumika kuimarisha teknolojia kwa upande wa kilimo ambapo wanapata machine zinazosaidia kurahisisha kazi ya kilimo.
Pia ukulima umesaidia kuimarisha maisha ya watu binafsi wanapopata kuziuza bidhaa zao kwa watu wengine. Kupitia jambo hilo, kilimo kimewezesha kuwepo kwa chakula katika nchi na hivyo kupunguza maswala ya nchi kutegemea nchi zingine ili kupata vyakula.
Kilimo pia imewezesha utumiaji wa ardhi vizuri. Hii ni kupitia kupanda mimea, aghalau sehemu ya ardhi inatumika kupata fedha zinazotumika kuboresha uchumi wa nchi. Hili limewezesha kutumiwa kwa rasilimali za nchi ipasavyo ili kuboresha nchi.
Pia kilimo imewezesha uhusiano mzuri baina ya nchi tofauti tofauti. Hii ni kupitia nchi yetu ya Kenya kuuzia nchi za nje mapato yetu na kwa hivyo imesaidia kuimarisha uchumi wa nchi na pia kutengeneza uhusiano na nchi zingine kupitia biashara ya kilimo.
Wakulima wameweza kusaidia kutatua swala la ukosetu wa chakula nchini kwa kupata mazao tosha ya kibinafsi pamoja na ya kuuza sokoni. Hili limewezesha serikali kufikisha chakula kwa wananchi wasio na chakula nchini. Pia imewezesha watu kuja pamoja katika sekta ya ukulima na wao kuzungumza jinsi ya kuimarisha kilimo na pia kuwezesha nchi itambulike na nchi zingine kwa kuwa wa kuzoa mazao bora katika ukulima.
Watu hao kujumuika pamoja kunaleta umoja katika kilimo na jambo hili husaidia katika kuimarisha uchumi. Pia ukulima unawezesha wanasayansi kupata mbinu nyingi bora za kuimarisha kilimo kwa kufanya utafiti mbali mbali. Iwapo. watafanikiwa wataweza kutumia mbinu hizi na wao waweze kufaidika kwa mapato bora kwa kazi yao ya utafiti.
| Watu binafsi hupata pesa wakati wanapofanya nini? | {
"text": [
"Uza bidhaa za kilimo"
]
} |
3326_swa | KILIMO
Ukulima, ingawa watu wengi hawaoni umuhimu wake na kutaka kazi za ofisi, una faida hasa katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, watu wanaweza kufaidika kwa njia kadha wa kadha na hilo linaboresha nchi kupitia mazao yanayotokana na kilimo.
Kupitia kilimo, wananchi wanapata kazi kwa kuwa wakulima na kwa hivyo kusaidia kupunguza matatizo ya ukosefu kazi nchini. Pia linapunguza idadi ya watu kutoka kijijini kwenda mjini kwa kuwa kilimo inawawezesha wao kutekeleza kazi zao vilivyo kwa kuwa wakulima. Hili hufaidi uchumi kwa sababu kupitia mazao wanazopata, wanasaidia kuboresha jamii kwa kuleta maendeleo.
Uimarishaji wa uchumi pia inajitokeza wakati ambapo wakulima wanalipa ushuru kwa serikali kwa mapato yao. Ushuru unatumika kuendeleza nchi kwa mwenendo unaofaa na pia serikali inafanya jukumu lake la kuboresha nchi. Ushuru huo pia unaweza kutumika kuimarisha teknolojia kwa upande wa kilimo ambapo wanapata machine zinazosaidia kurahisisha kazi ya kilimo.
Pia ukulima umesaidia kuimarisha maisha ya watu binafsi wanapopata kuziuza bidhaa zao kwa watu wengine. Kupitia jambo hilo, kilimo kimewezesha kuwepo kwa chakula katika nchi na hivyo kupunguza maswala ya nchi kutegemea nchi zingine ili kupata vyakula.
Kilimo pia imewezesha utumiaji wa ardhi vizuri. Hii ni kupitia kupanda mimea, aghalau sehemu ya ardhi inatumika kupata fedha zinazotumika kuboresha uchumi wa nchi. Hili limewezesha kutumiwa kwa rasilimali za nchi ipasavyo ili kuboresha nchi.
Pia kilimo imewezesha uhusiano mzuri baina ya nchi tofauti tofauti. Hii ni kupitia nchi yetu ya Kenya kuuzia nchi za nje mapato yetu na kwa hivyo imesaidia kuimarisha uchumi wa nchi na pia kutengeneza uhusiano na nchi zingine kupitia biashara ya kilimo.
Wakulima wameweza kusaidia kutatua swala la ukosetu wa chakula nchini kwa kupata mazao tosha ya kibinafsi pamoja na ya kuuza sokoni. Hili limewezesha serikali kufikisha chakula kwa wananchi wasio na chakula nchini. Pia imewezesha watu kuja pamoja katika sekta ya ukulima na wao kuzungumza jinsi ya kuimarisha kilimo na pia kuwezesha nchi itambulike na nchi zingine kwa kuwa wa kuzoa mazao bora katika ukulima.
Watu hao kujumuika pamoja kunaleta umoja katika kilimo na jambo hili husaidia katika kuimarisha uchumi. Pia ukulima unawezesha wanasayansi kupata mbinu nyingi bora za kuimarisha kilimo kwa kufanya utafiti mbali mbali. Iwapo. watafanikiwa wataweza kutumia mbinu hizi na wao waweze kufaidika kwa mapato bora kwa kazi yao ya utafiti.
| Wanaojihusisha na kilimo hujulikana kama nani? | {
"text": [
"Wakulima"
]
} |
3326_swa | KILIMO
Ukulima, ingawa watu wengi hawaoni umuhimu wake na kutaka kazi za ofisi, una faida hasa katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, watu wanaweza kufaidika kwa njia kadha wa kadha na hilo linaboresha nchi kupitia mazao yanayotokana na kilimo.
Kupitia kilimo, wananchi wanapata kazi kwa kuwa wakulima na kwa hivyo kusaidia kupunguza matatizo ya ukosefu kazi nchini. Pia linapunguza idadi ya watu kutoka kijijini kwenda mjini kwa kuwa kilimo inawawezesha wao kutekeleza kazi zao vilivyo kwa kuwa wakulima. Hili hufaidi uchumi kwa sababu kupitia mazao wanazopata, wanasaidia kuboresha jamii kwa kuleta maendeleo.
Uimarishaji wa uchumi pia inajitokeza wakati ambapo wakulima wanalipa ushuru kwa serikali kwa mapato yao. Ushuru unatumika kuendeleza nchi kwa mwenendo unaofaa na pia serikali inafanya jukumu lake la kuboresha nchi. Ushuru huo pia unaweza kutumika kuimarisha teknolojia kwa upande wa kilimo ambapo wanapata machine zinazosaidia kurahisisha kazi ya kilimo.
Pia ukulima umesaidia kuimarisha maisha ya watu binafsi wanapopata kuziuza bidhaa zao kwa watu wengine. Kupitia jambo hilo, kilimo kimewezesha kuwepo kwa chakula katika nchi na hivyo kupunguza maswala ya nchi kutegemea nchi zingine ili kupata vyakula.
Kilimo pia imewezesha utumiaji wa ardhi vizuri. Hii ni kupitia kupanda mimea, aghalau sehemu ya ardhi inatumika kupata fedha zinazotumika kuboresha uchumi wa nchi. Hili limewezesha kutumiwa kwa rasilimali za nchi ipasavyo ili kuboresha nchi.
Pia kilimo imewezesha uhusiano mzuri baina ya nchi tofauti tofauti. Hii ni kupitia nchi yetu ya Kenya kuuzia nchi za nje mapato yetu na kwa hivyo imesaidia kuimarisha uchumi wa nchi na pia kutengeneza uhusiano na nchi zingine kupitia biashara ya kilimo.
Wakulima wameweza kusaidia kutatua swala la ukosetu wa chakula nchini kwa kupata mazao tosha ya kibinafsi pamoja na ya kuuza sokoni. Hili limewezesha serikali kufikisha chakula kwa wananchi wasio na chakula nchini. Pia imewezesha watu kuja pamoja katika sekta ya ukulima na wao kuzungumza jinsi ya kuimarisha kilimo na pia kuwezesha nchi itambulike na nchi zingine kwa kuwa wa kuzoa mazao bora katika ukulima.
Watu hao kujumuika pamoja kunaleta umoja katika kilimo na jambo hili husaidia katika kuimarisha uchumi. Pia ukulima unawezesha wanasayansi kupata mbinu nyingi bora za kuimarisha kilimo kwa kufanya utafiti mbali mbali. Iwapo. watafanikiwa wataweza kutumia mbinu hizi na wao waweze kufaidika kwa mapato bora kwa kazi yao ya utafiti.
| Uuzaji wa bidhaa za kilimo husaidai nini baina ya nchi tofauti? | {
"text": [
"Uimarishaji wa mahusiano"
]
} |
3493_swa | Baraza la Kiswahili nchini litatuchokonoa kuwaenzi wafia lugha
Wiki hii namkumbuka mbunge wa zamani wa Runyenjes, Njeru kathangu. Kwa kizazi kipya cha vijana nchini Kenya huenda hili jina lisiwe na mashiko yoyote. Ni sawa na majina yaliyosahaulika kama vile Naftali Temu, Henry Rono, Ben Jipcho, Elizabeth Onyambu na wanariadha wengine waliotifua vumbi katika mashindano ya riadha ya kimataifa zama zile. Ila Nieru Kathangu hakuwa mwanariadha maarufu kama ninaikumbuka historia yake vizuri. Kathangu ni mwanasiasa ambaye awali alikuwa katika jeshi. Kwa kweli yeye ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kujipa msimbo “Mtumishi" kabla ya kundi wa machale lililovuma kwenye Churchill Live. Almuradi Kathangu alijita Mtumishi Kathangu.
Naye alikuwa mstari wa mbele katika kukitetea Kiswahili katika miaka ya 1990 kabla ya katiba ya Kenya kukitambua rasmi kuwa lugha rasmi sambamba na Kiingereza. Leo, Kathangu ambaye nina hakika bado yu hai, anazikwa angali hai kwenye kaburi la sahau. Nafikiri Kathangu alikeketeka maini wakati wa kuzinduliwa kwa tafsiri ya kanuni za bunge kwa Kiswahili mwisho mwisho wa mwaka uliopita wakati kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale na wengine walipokifanyia dharau Kiswahili.
Siku zote alipokuwa bunge, Kathangu alikuwa akizungumza Kiswahili, japo hakuwa mzawa wa Uswahilini. Kwa mpenzi wa Kiswahili kama Kathangu, ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana kuona wabunge wakikikejeli Kiswahili na kufurahia ukosefu wao wa umilisi wa lugha hii ya taifa na rasmi. Watu wanachekea kitu kinachopaswa kuliza na kuliliwa.
Aidha ilikuwaje kanuni za bunge kutafsiriwa na Watanzania? Hilo linatuleta kwenye suala zima la jukumu la bunge katika kukiendeleza Kiswahili. Bunge lina wajibu wa kuhakikisha serikali kuu inatekeleza majukumu yake yanayohusiana na Kiswahili, lugha yenye hadhi kubwa kuliko zote kikatiba. Wabunge wanapaswa kuuliza serikali kama imetekeleza vipengele vyote vya katiba vinavyohusiana na lugha hii ambayo mbali nakuwa chombo cha mawasiliano nchini, pia ni gundi inayowaunganisha watu wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Aidha wabunge wanapaswa kukisema Kiswahili, hata Kiswahili kibaya bungeni ili kuwaonesha Wakenya wengine kwamba lugha hii ni muhimu katika utambulisho wa kitaifa. Ni dhahiri kwamba wanapotafuta kura wanasiasa hasa wanaowania urais, hawana budi kutumia Kiswahili, kibaya na kizuri, kujipigia debe na kunadi sera.
Isitoshe, wabunge wa Kenya wanapaswa kuhakikisha kwamba wanaunga mkono na kupitisha mswada wa kapendekezwa kuundwa kwa Baraza Kiswahili la Taifa la Kenya (BAKIKI) litakaoshirikiana na Kamisheni Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKMA) na asasi nyinginezo kukiendeleza Kiswahili. Na wajibu wa kuchangia kuundwa baraza la Kiswahili hautoshi ipo haja kwa bunge kupitisha bajeti itakayowezesha baraza hilo kutekeleza majukumu yake kila mwaka wa bajeti ya serikali.
Ipo haja kuchapusha mchakato miongoni mwa wadau wote, wakiwemo wataalamu na waliowajibishwa kusawidi mswada wa kuundwa baraza. Hiyo ni njia ya pekee ya kuwaenzi watetezi wa awali wa Kiswahili kama Mtumishi Njeru kathangu. | Mwandishi alikuwa anamkumbuka mbunge yupi wa Runyenjes? | {
"text": [
"Njeru Kathangu"
]
} |
3493_swa | Baraza la Kiswahili nchini litatuchokonoa kuwaenzi wafia lugha
Wiki hii namkumbuka mbunge wa zamani wa Runyenjes, Njeru kathangu. Kwa kizazi kipya cha vijana nchini Kenya huenda hili jina lisiwe na mashiko yoyote. Ni sawa na majina yaliyosahaulika kama vile Naftali Temu, Henry Rono, Ben Jipcho, Elizabeth Onyambu na wanariadha wengine waliotifua vumbi katika mashindano ya riadha ya kimataifa zama zile. Ila Nieru Kathangu hakuwa mwanariadha maarufu kama ninaikumbuka historia yake vizuri. Kathangu ni mwanasiasa ambaye awali alikuwa katika jeshi. Kwa kweli yeye ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kujipa msimbo “Mtumishi" kabla ya kundi wa machale lililovuma kwenye Churchill Live. Almuradi Kathangu alijita Mtumishi Kathangu.
Naye alikuwa mstari wa mbele katika kukitetea Kiswahili katika miaka ya 1990 kabla ya katiba ya Kenya kukitambua rasmi kuwa lugha rasmi sambamba na Kiingereza. Leo, Kathangu ambaye nina hakika bado yu hai, anazikwa angali hai kwenye kaburi la sahau. Nafikiri Kathangu alikeketeka maini wakati wa kuzinduliwa kwa tafsiri ya kanuni za bunge kwa Kiswahili mwisho mwisho wa mwaka uliopita wakati kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale na wengine walipokifanyia dharau Kiswahili.
Siku zote alipokuwa bunge, Kathangu alikuwa akizungumza Kiswahili, japo hakuwa mzawa wa Uswahilini. Kwa mpenzi wa Kiswahili kama Kathangu, ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana kuona wabunge wakikikejeli Kiswahili na kufurahia ukosefu wao wa umilisi wa lugha hii ya taifa na rasmi. Watu wanachekea kitu kinachopaswa kuliza na kuliliwa.
Aidha ilikuwaje kanuni za bunge kutafsiriwa na Watanzania? Hilo linatuleta kwenye suala zima la jukumu la bunge katika kukiendeleza Kiswahili. Bunge lina wajibu wa kuhakikisha serikali kuu inatekeleza majukumu yake yanayohusiana na Kiswahili, lugha yenye hadhi kubwa kuliko zote kikatiba. Wabunge wanapaswa kuuliza serikali kama imetekeleza vipengele vyote vya katiba vinavyohusiana na lugha hii ambayo mbali nakuwa chombo cha mawasiliano nchini, pia ni gundi inayowaunganisha watu wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Aidha wabunge wanapaswa kukisema Kiswahili, hata Kiswahili kibaya bungeni ili kuwaonesha Wakenya wengine kwamba lugha hii ni muhimu katika utambulisho wa kitaifa. Ni dhahiri kwamba wanapotafuta kura wanasiasa hasa wanaowania urais, hawana budi kutumia Kiswahili, kibaya na kizuri, kujipigia debe na kunadi sera.
Isitoshe, wabunge wa Kenya wanapaswa kuhakikisha kwamba wanaunga mkono na kupitisha mswada wa kapendekezwa kuundwa kwa Baraza Kiswahili la Taifa la Kenya (BAKIKI) litakaoshirikiana na Kamisheni Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKMA) na asasi nyinginezo kukiendeleza Kiswahili. Na wajibu wa kuchangia kuundwa baraza la Kiswahili hautoshi ipo haja kwa bunge kupitisha bajeti itakayowezesha baraza hilo kutekeleza majukumu yake kila mwaka wa bajeti ya serikali.
Ipo haja kuchapusha mchakato miongoni mwa wadau wote, wakiwemo wataalamu na waliowajibishwa kusawidi mswada wa kuundwa baraza. Hiyo ni njia ya pekee ya kuwaenzi watetezi wa awali wa Kiswahili kama Mtumishi Njeru kathangu. | Nini kilitambua Kiswahili kama lugha rasmi, sambamba na Kiingereza? | {
"text": [
"Katiba"
]
} |
3493_swa | Baraza la Kiswahili nchini litatuchokonoa kuwaenzi wafia lugha
Wiki hii namkumbuka mbunge wa zamani wa Runyenjes, Njeru kathangu. Kwa kizazi kipya cha vijana nchini Kenya huenda hili jina lisiwe na mashiko yoyote. Ni sawa na majina yaliyosahaulika kama vile Naftali Temu, Henry Rono, Ben Jipcho, Elizabeth Onyambu na wanariadha wengine waliotifua vumbi katika mashindano ya riadha ya kimataifa zama zile. Ila Nieru Kathangu hakuwa mwanariadha maarufu kama ninaikumbuka historia yake vizuri. Kathangu ni mwanasiasa ambaye awali alikuwa katika jeshi. Kwa kweli yeye ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kujipa msimbo “Mtumishi" kabla ya kundi wa machale lililovuma kwenye Churchill Live. Almuradi Kathangu alijita Mtumishi Kathangu.
Naye alikuwa mstari wa mbele katika kukitetea Kiswahili katika miaka ya 1990 kabla ya katiba ya Kenya kukitambua rasmi kuwa lugha rasmi sambamba na Kiingereza. Leo, Kathangu ambaye nina hakika bado yu hai, anazikwa angali hai kwenye kaburi la sahau. Nafikiri Kathangu alikeketeka maini wakati wa kuzinduliwa kwa tafsiri ya kanuni za bunge kwa Kiswahili mwisho mwisho wa mwaka uliopita wakati kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale na wengine walipokifanyia dharau Kiswahili.
Siku zote alipokuwa bunge, Kathangu alikuwa akizungumza Kiswahili, japo hakuwa mzawa wa Uswahilini. Kwa mpenzi wa Kiswahili kama Kathangu, ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana kuona wabunge wakikikejeli Kiswahili na kufurahia ukosefu wao wa umilisi wa lugha hii ya taifa na rasmi. Watu wanachekea kitu kinachopaswa kuliza na kuliliwa.
Aidha ilikuwaje kanuni za bunge kutafsiriwa na Watanzania? Hilo linatuleta kwenye suala zima la jukumu la bunge katika kukiendeleza Kiswahili. Bunge lina wajibu wa kuhakikisha serikali kuu inatekeleza majukumu yake yanayohusiana na Kiswahili, lugha yenye hadhi kubwa kuliko zote kikatiba. Wabunge wanapaswa kuuliza serikali kama imetekeleza vipengele vyote vya katiba vinavyohusiana na lugha hii ambayo mbali nakuwa chombo cha mawasiliano nchini, pia ni gundi inayowaunganisha watu wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Aidha wabunge wanapaswa kukisema Kiswahili, hata Kiswahili kibaya bungeni ili kuwaonesha Wakenya wengine kwamba lugha hii ni muhimu katika utambulisho wa kitaifa. Ni dhahiri kwamba wanapotafuta kura wanasiasa hasa wanaowania urais, hawana budi kutumia Kiswahili, kibaya na kizuri, kujipigia debe na kunadi sera.
Isitoshe, wabunge wa Kenya wanapaswa kuhakikisha kwamba wanaunga mkono na kupitisha mswada wa kapendekezwa kuundwa kwa Baraza Kiswahili la Taifa la Kenya (BAKIKI) litakaoshirikiana na Kamisheni Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKMA) na asasi nyinginezo kukiendeleza Kiswahili. Na wajibu wa kuchangia kuundwa baraza la Kiswahili hautoshi ipo haja kwa bunge kupitisha bajeti itakayowezesha baraza hilo kutekeleza majukumu yake kila mwaka wa bajeti ya serikali.
Ipo haja kuchapusha mchakato miongoni mwa wadau wote, wakiwemo wataalamu na waliowajibishwa kusawidi mswada wa kuundwa baraza. Hiyo ni njia ya pekee ya kuwaenzi watetezi wa awali wa Kiswahili kama Mtumishi Njeru kathangu. | Kanuni za bunge ipi hutafsiriwa kwa Kiswahili? | {
"text": [
"Tanzania"
]
} |
3493_swa | Baraza la Kiswahili nchini litatuchokonoa kuwaenzi wafia lugha
Wiki hii namkumbuka mbunge wa zamani wa Runyenjes, Njeru kathangu. Kwa kizazi kipya cha vijana nchini Kenya huenda hili jina lisiwe na mashiko yoyote. Ni sawa na majina yaliyosahaulika kama vile Naftali Temu, Henry Rono, Ben Jipcho, Elizabeth Onyambu na wanariadha wengine waliotifua vumbi katika mashindano ya riadha ya kimataifa zama zile. Ila Nieru Kathangu hakuwa mwanariadha maarufu kama ninaikumbuka historia yake vizuri. Kathangu ni mwanasiasa ambaye awali alikuwa katika jeshi. Kwa kweli yeye ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kujipa msimbo “Mtumishi" kabla ya kundi wa machale lililovuma kwenye Churchill Live. Almuradi Kathangu alijita Mtumishi Kathangu.
Naye alikuwa mstari wa mbele katika kukitetea Kiswahili katika miaka ya 1990 kabla ya katiba ya Kenya kukitambua rasmi kuwa lugha rasmi sambamba na Kiingereza. Leo, Kathangu ambaye nina hakika bado yu hai, anazikwa angali hai kwenye kaburi la sahau. Nafikiri Kathangu alikeketeka maini wakati wa kuzinduliwa kwa tafsiri ya kanuni za bunge kwa Kiswahili mwisho mwisho wa mwaka uliopita wakati kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale na wengine walipokifanyia dharau Kiswahili.
Siku zote alipokuwa bunge, Kathangu alikuwa akizungumza Kiswahili, japo hakuwa mzawa wa Uswahilini. Kwa mpenzi wa Kiswahili kama Kathangu, ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana kuona wabunge wakikikejeli Kiswahili na kufurahia ukosefu wao wa umilisi wa lugha hii ya taifa na rasmi. Watu wanachekea kitu kinachopaswa kuliza na kuliliwa.
Aidha ilikuwaje kanuni za bunge kutafsiriwa na Watanzania? Hilo linatuleta kwenye suala zima la jukumu la bunge katika kukiendeleza Kiswahili. Bunge lina wajibu wa kuhakikisha serikali kuu inatekeleza majukumu yake yanayohusiana na Kiswahili, lugha yenye hadhi kubwa kuliko zote kikatiba. Wabunge wanapaswa kuuliza serikali kama imetekeleza vipengele vyote vya katiba vinavyohusiana na lugha hii ambayo mbali nakuwa chombo cha mawasiliano nchini, pia ni gundi inayowaunganisha watu wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Aidha wabunge wanapaswa kukisema Kiswahili, hata Kiswahili kibaya bungeni ili kuwaonesha Wakenya wengine kwamba lugha hii ni muhimu katika utambulisho wa kitaifa. Ni dhahiri kwamba wanapotafuta kura wanasiasa hasa wanaowania urais, hawana budi kutumia Kiswahili, kibaya na kizuri, kujipigia debe na kunadi sera.
Isitoshe, wabunge wa Kenya wanapaswa kuhakikisha kwamba wanaunga mkono na kupitisha mswada wa kapendekezwa kuundwa kwa Baraza Kiswahili la Taifa la Kenya (BAKIKI) litakaoshirikiana na Kamisheni Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKMA) na asasi nyinginezo kukiendeleza Kiswahili. Na wajibu wa kuchangia kuundwa baraza la Kiswahili hautoshi ipo haja kwa bunge kupitisha bajeti itakayowezesha baraza hilo kutekeleza majukumu yake kila mwaka wa bajeti ya serikali.
Ipo haja kuchapusha mchakato miongoni mwa wadau wote, wakiwemo wataalamu na waliowajibishwa kusawidi mswada wa kuundwa baraza. Hiyo ni njia ya pekee ya kuwaenzi watetezi wa awali wa Kiswahili kama Mtumishi Njeru kathangu. | Nini ni gundi inayowauganisha watu wote wa jumuia ya Afrika Mashariki? | {
"text": [
"Lugha ya Kiswahili"
]
} |
3493_swa | Baraza la Kiswahili nchini litatuchokonoa kuwaenzi wafia lugha
Wiki hii namkumbuka mbunge wa zamani wa Runyenjes, Njeru kathangu. Kwa kizazi kipya cha vijana nchini Kenya huenda hili jina lisiwe na mashiko yoyote. Ni sawa na majina yaliyosahaulika kama vile Naftali Temu, Henry Rono, Ben Jipcho, Elizabeth Onyambu na wanariadha wengine waliotifua vumbi katika mashindano ya riadha ya kimataifa zama zile. Ila Nieru Kathangu hakuwa mwanariadha maarufu kama ninaikumbuka historia yake vizuri. Kathangu ni mwanasiasa ambaye awali alikuwa katika jeshi. Kwa kweli yeye ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kujipa msimbo “Mtumishi" kabla ya kundi wa machale lililovuma kwenye Churchill Live. Almuradi Kathangu alijita Mtumishi Kathangu.
Naye alikuwa mstari wa mbele katika kukitetea Kiswahili katika miaka ya 1990 kabla ya katiba ya Kenya kukitambua rasmi kuwa lugha rasmi sambamba na Kiingereza. Leo, Kathangu ambaye nina hakika bado yu hai, anazikwa angali hai kwenye kaburi la sahau. Nafikiri Kathangu alikeketeka maini wakati wa kuzinduliwa kwa tafsiri ya kanuni za bunge kwa Kiswahili mwisho mwisho wa mwaka uliopita wakati kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale na wengine walipokifanyia dharau Kiswahili.
Siku zote alipokuwa bunge, Kathangu alikuwa akizungumza Kiswahili, japo hakuwa mzawa wa Uswahilini. Kwa mpenzi wa Kiswahili kama Kathangu, ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana kuona wabunge wakikikejeli Kiswahili na kufurahia ukosefu wao wa umilisi wa lugha hii ya taifa na rasmi. Watu wanachekea kitu kinachopaswa kuliza na kuliliwa.
Aidha ilikuwaje kanuni za bunge kutafsiriwa na Watanzania? Hilo linatuleta kwenye suala zima la jukumu la bunge katika kukiendeleza Kiswahili. Bunge lina wajibu wa kuhakikisha serikali kuu inatekeleza majukumu yake yanayohusiana na Kiswahili, lugha yenye hadhi kubwa kuliko zote kikatiba. Wabunge wanapaswa kuuliza serikali kama imetekeleza vipengele vyote vya katiba vinavyohusiana na lugha hii ambayo mbali nakuwa chombo cha mawasiliano nchini, pia ni gundi inayowaunganisha watu wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Aidha wabunge wanapaswa kukisema Kiswahili, hata Kiswahili kibaya bungeni ili kuwaonesha Wakenya wengine kwamba lugha hii ni muhimu katika utambulisho wa kitaifa. Ni dhahiri kwamba wanapotafuta kura wanasiasa hasa wanaowania urais, hawana budi kutumia Kiswahili, kibaya na kizuri, kujipigia debe na kunadi sera.
Isitoshe, wabunge wa Kenya wanapaswa kuhakikisha kwamba wanaunga mkono na kupitisha mswada wa kapendekezwa kuundwa kwa Baraza Kiswahili la Taifa la Kenya (BAKIKI) litakaoshirikiana na Kamisheni Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKMA) na asasi nyinginezo kukiendeleza Kiswahili. Na wajibu wa kuchangia kuundwa baraza la Kiswahili hautoshi ipo haja kwa bunge kupitisha bajeti itakayowezesha baraza hilo kutekeleza majukumu yake kila mwaka wa bajeti ya serikali.
Ipo haja kuchapusha mchakato miongoni mwa wadau wote, wakiwemo wataalamu na waliowajibishwa kusawidi mswada wa kuundwa baraza. Hiyo ni njia ya pekee ya kuwaenzi watetezi wa awali wa Kiswahili kama Mtumishi Njeru kathangu. | Nani wanafaa kuunga mkono mswada wa kuundwa kwa baraza la Kiswahili? | {
"text": [
"Wabunge wa Kenya"
]
} |
3494_swa |
Jaribio la KCSE 2020 Kiswahili
1.ANDIKA hotuba utakayowatolea maafisa wa Elimu na walimu wakuu kuhusu umuhimu wa vyuo vya kiufundi nchini
2.Usalama wa mwanafunzi unamtegemea yeyr kadili.
3.Andika kisa kitakavyoafiki maana ya methali ifuatayo:Mchuma janga hulana wa kwao.
4.Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo. Mara tunilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya..
UFAHAMU, UFUPISHO, MATUMIZI YA LUGHA NA ISIMU JAMII
KARATASI YA PILI.
UFAHAMU.(alama 15)
Somo taarifa kisha ujibu maswali.
Aisee umeyasikia haya? Nafahamishwa kuwa mwenzetu huyu hapa mtaani, mwenye kiburi cha tausi.amepata funzo la mwaka.Naambiwa alipa kuwa kiatu hatayafanya aliyoyafanya usiku ule. Kisa na maana ni kuwa Athumani alipata mwaliko wa kwenda kufanya mahojiano kule katika jiji kuu,Nasikia kazi aliyotarajia kupata baada ya mahojiano ilikuwa na donge si haba. Huyo hangekuwa mwenzetu tena angeipata kazi hiyo.
Nafikiri angezidisha madaha maradufu.
Athumani hakutaka mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano. Alipanga mambo yake kisirisiri. Akaamua kuomba idhini ya siku moja kutoka kazini akisingizia kuwa alikuwa na mgonjwa ambaye angempeleka hospitalini siku hiyo. Akapanga kusafiri kwa basi la usiku ili kuwahi jijini asubuhi. Kufanya mahojiano na kurudi jioni yake.
Kama kawaida mabasi ya usiku huondoka hapa kuanzia saa mbili. Madereva nao wanatabia za kuyasimamisha katika eneo fulani njiani ili abiria wenye haja wajisadie na angalau kupata kitu kidogo cha kufunzia tumbo.
Basi liliposimama Athumani alishuka kama abiria,akaenda msalani kisha mkahawani . Alikuwa na uraibu wa maziwa ya mtindi.Akanunua pakiti moja na kuifungua harakaharaka ungedhani anashindana na mtu. Akayagugumia kana kwamba angenyang’anywa . Akatisha na pakiti ya pili.
Baada ya muda abiria wakarudi garini Basi likang’oa nanga Kitambo cha nusu saa hivi. Tumbo likaanza kumchafua Athumani Akahangaika na kuhangaika pale kitini Jasho likaanza kumtoka. Alipoona hayavumiliki tena, alichapuka kitini himahima hadi kwa dereva. Kutokana na mbazo aliokuwa nao, akasahau kutumia lugha ya adabu.
Baada ya kumwasisha dereva husimamisha basi, dereva naye akaongeza inwendo. Alihofia kuwa huenda anayemwamriisha ni mmoja wa majambazi wa barabarani ambao wana mazoea ya kumtuma mmoja wao asafiri pamoja na abiria wengine kama mmoja wao Wenzake huwa katika eneo fulani ambapo jambazi abiria ataomba basi
lisimamishwe ili ajisaidie Dereve akilisimamisha basi pale alipoombwa, majambazi hutoka vichakani na kuwavamia Huwaumiza na kuwafilisi abiria, dereva na utingo
Athumani aliendelea kuhangaika Hatimaye, dereva aliamua na liwe liwalo alipomwona
Athumani amechutama huku jasho likimtiririka Akaliegesha basi kando ya barabara na kumpa Athumani nafasi ya kujisaidia Athumani hakugoja basi lisimame kabisa wala utingo kufungua mlango Aliufungua harakaharaka na kufyatuka nje! kama risasi na kujitoma kichakani. Akavua suruali yake upesiupesi na kutekeleza matilaba bila kufa
hamu kuwa pale alipokuwa anatekelezea shughuli hizi alikuweko kuchakulo: mnyama mdogo ambaye kinga yake anapoingiliwa na adui ni kumrushia maji yenye harufu mbaya karibu Athumani akalie kuchakulo yule bila kujua kutokana na mkazo
kumrushia Athumani maji yale mavazini mwake Athumani hakuyahisi haya.
Athumani alichukua muda pale kichakani hataabiria wakasikika wakilalamika. Aliporudi basini huku amechangamka kwa kulitua zigo lililomlemea, abiria wote walizishika pua zao wakisema mfuuu! Athumani hakujua kulikuwa na nini.
Basi liliendelea na safari huku abiria wakishikilia pua zao. Kila wakijaribu kuziachilia,
ndivyo harufu iliyohanikiza ilivyozidi kuwaathiri.
Wakashindwa kuvumilia uvundo. Wengi walidhani kuwa Athumani alikuwa amejiendea haja nguoni Wakaamrisha atupwe nje au wote washuke warejeshewe nauli zao. Kwa kuwa baridi ina msimamo kwa kondoo mwenye manyoya haba, njia rahisi ilikuwa kumshusha Athumani aliyekuwa peke yake badala ya abiria katika basi zima. Alishushwa katika kitongoji kimojawapo. Athumani aliposhushwa, alichanganyikiwa
asijue la kufanya. Hakujua alikoshushwa wala wakumwendea kumuomba msaada. Alipokuwa akiwaza na kuwazua afanye nini. genge la majambazi lilitokea na kumvamia. Likampora kila kitu: mkoba wake, stakabadhi, pesa na hata kumvua mavazi aliyokuwa nayo. Wakamwacha uchi wa mnyama katika eneo asilojua mtu wa kumwauni. Baridi ya
usiku ikamvamia vilivyo.
Athumani aliokolewa siku iliyofuata na madereva wa magari ambao hapo awali alikuwa
akiwabeza. Wakamtafutia mavazi na kumbeba hadi nyumbani. Hakuweza kufanya yale mahojiano. Alipokumbuka yaliyomfika usiku huo, alikula yamini kuwa katu hatakunywa wala kula chakula chochote akiwa safarini.
Maswali:
(a) Tambua sifa tatu hasi za Athumani (alama 3)
(b) Thibitisha kuwa Athumani ni msiri (alama 1)
(ch) Onesha changamoto za safari za mabasi kulingana na kifungu (alama 3)
d) Jadili mafunzo aliyopata Athumani. alama 2)
le) Kwa nini Athumani alikataa mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano? (alama 1)
(f).Jadili sifa mbili za wa basi dereva patiti ya pili ya maziwa yayo hayo na kuyagugurnia (alarna 2)
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu (alama 3)
(i)gugumia
(ii) ng’oa nanga
(iii) himili
UFUPISHO
(ALAMA 15)
Soma Makala Yafuatayo Kisha Ufupishe Habari Kulingana na Maswali Uliyopewa.
Watu wengi hawawezi kunywa chai au uji bila kutia sukari Wanatumia sukari kwa hamu na ghamu bila kutambua kuwa hiyo ni sumu wanayongezea mwilini.
Ni Ukweli usiopingika kuwa wazee wetu wa jadi waliishi muda mrefu wakiwa na saha njerna kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa waliishi katika kipindi ambacho sukari inayotengeriezwa viwandani haikuweko. Iwapo ilikuweko ilikuwa bidhaa ya wateule waungwana kutengenezea vitu kama keki. mahamri, vitumbua na kadhalika na akina yahe hawangeweza kuigharamia. Watafiti wa masuala ya afya wamegundua kuwa
sukari inayotayarishwa viwandani sasa hivi haina virutubishi vyovyote. Halikadhalika, utaratibu wa viwandani wa kutayarisha sukari ili iwe nyeupe na kuichuia huharibu virutubishi vinavyoweza kuwa muhimu mwilini Umuhimu wa sukari wakau
saza kuwa ni kutia ladha tamu tu Umuhimu huu hauwezi kulinganishwa na madhara yanayoletwa na sukari hii Baada ya kusagika mwilini, sukari hii huacha masalio ya asidi mwilini yenye sumu inayoathiri siha.
Matumizi ya sukari kwa wingi husababisha madhara mbalimbali mwilini. Kwanza, huchangia kuoza na kuharibika kwa meno pamoja na matatizo ya meno kuuma. Pili, sukari nyeupe imehusishwa na ongezeko la maradhi ya kisukari, moyo na hipoglisimia au upungufu wa sukari mwilini.
Matumizi holela ya sukari huleta kipandauso au ugonjwa wa ghafla wa kuumwa upande mmoja wa kichwa unaoambatana na kichefuchefu, kutapika na matatizo ya kuona. Pia, sukari huleta maradhi ya ngozi na figo, pamoja na ongezeko la kemikali
iitwayo kolestroli, ambayo ni ufuta unaonata na ambao unatokana na kutoyeyuka kwa mafuta yote mwilini. Kemikali hii ya kolestroli inaporundikana moyoni, hufanya mishipa inayotoa damu mayoni na kuisambaza mwilini kuwa myembamba na sugu. Moyo hulazimika kusukuma damu kwa nguvu na huenda moyo ukachoka na kukoma
kufanya kazi.
Madhara haya ya sukari ndiyo yanayowafanya watu wengi kukiri kuwa sukari, ingawa ni tamu, ni sumu mwilini.
Wataalamu wa lishe wamependekeza ulaji wa vyakula kama nafaka, matunda, mboga na miwa ambavyo vimejaa sukari asilia.
Fauka ya hayo, sukari inayotoka katika asali ni bora zaidi kwa mwili wa mwanadamu. Asali huwa na sukari asilia, vitamini, madini na amino asidi. Hivi vyote huwa na manufaa mbalimbali mwilini. Mathalani, asali huupa mwili nishati
inayohitajika kuendesha shughuli za viungo. Licha ya hayo, asali huuchangamsha mwili. Asali huwa na kemikali ambazo husaidia watoto kukua vizuri.
kupunguza uwezekano wa watoto kuwa na anemia (upungufu wa damu). Halikadhalika, asali husaidia katika usagaji wa chakula iwapo itatumiwa kabla! ya muda. Matumizi ya kijiko kimoja cha asali kila siku husaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa ya kukohoa. Asali husaidia pia kuondoa harufu mbaya kinywani Asali pia inaweza kutumiwa kujipaka. Inapotumiwa kwa njia hii, hutunza ngozi na kuifanya ing'are, huondoa vipele na ugumu wa ngozi. (pamoja na kutibu kule ngozi ilikokatikakatika.
. (Halikadhalika, asali hutibu vidonda. Viwanda vingi vya vipodozi vilevile hutumia asali kama malighafi umuhimu katika utengenezaji wa bidhaa hizo.
Maswali
(a) Eleza madhara ya sukari (maneno 70)
(alama 9)
(b) Eleza manufaa ya sukari ya asali (kwa maneno 70 )
(alama 6)
Matumizi ya lugha(alama 40
(a)Kwa kutoa mitano onyesha dhima nne za viambishi tamati
(b)Eleza maana ya mofimu sahii (alama2)
(c)Unda kitenzi kutokana na neno tafadhali. (alama1)
(d). Fafanua maana ya tatanishi ni nini?
(alama1)
( e ).Tunga sentensi ukitumia sauti mtuo (alama2)
Onyesha mofimu katika: (alam2
Waliopewa
(g) Tunga sentensi kuonyesha kiambishi cha kukikanushi(alama 2)
(h). Tunga sentensi ukitumia kiunganishi cha kukinza
(alama 1)
i Kanusha
Kuja kwake kulitunufaisha.
(alama 1)
(i). Tumia viambishi viwili kama vielezi vya mahali katika
sentensi moja visivyokuwa vya ngeli ya PA KU MU (alama 2)
(k) Bainisha viwakilishi vinne katika sentensi hii.
Aliwaletea matano
(L.)Tofautisha sentensi zifuatazo kimaana kwa kuongezwa na vivumishi vilivyopigiwa mistari (alama 2)
Mwanafunzi mwenyewe ndiye huyu
Mwenye mwanafunzi ndiye huyu
( m.) Tunga sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha idadi dhahiri katika ngeli ya U-I.
N.Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili ya neno tupa (alama2)
o . Fafanua maana ya kirai, kisha utunge sentensi sahihi, kuonyesha kirai kihisishi
alama2) k.
P. Fafanua maana ya kishazi tegemezi - (alama 1)
q. Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. kiashiria kiradidi) (alama I)
r. Tunga sentensi moja yenye viungo vifuatavyo vya sarufi (alama2)
Kikanushi cha ngeli ya A-WA nafsi ya kwanza Kikanushi cha wakati ujao
Kiwakilishi, nafsi ya pili wingi
Mzizi wa kitenzi cha silabi moja-kunywa
Mnyambuliko wa kitenzi kauli ya kufanyia
S.Tunga sentensi moja ukionyesha sharirisho kipozi, kitondo, ala na chagizo (alama2)
t. Andika sentensi kuonyesha matumizi mawili mawili
ya
a) Kinyota
(alama2)
b) Kibainishi
u. Geuza sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa
(alama2)
Asha: Tafadhali usiuvunje mkono wangu
Fatuma: Ah! Mbona niuvunje?
v] Unaporidhika na jambo unasema hewala unaposhangalia timu yako kupata ushindi unasema.....
unapotaka usikivu unasema............ vake
w) lepesi ni kwa rahisi,ukuta ni kwa.....na njia ni kwa……
x] Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya dua na
y) Mzee Pumu ni mraibu wa vileo. Baada ya muda watoto wake wawili wanakuwa watumizi sugu wa vileo. Andika methali inayoweza kutumiwa kuelezea hali hii. (alal)
2) Tunga sentensi ukitumia kiunganishicha uteuzi (alama1)
ISIMU-JAMII
,(alama 10)
Eleza maana ya lugha
(alama 1)
Jadili sifa mbili bia za lugha
(alama 2)
Tofautisha kati ya lafudhi na lahaja.
(alama 2)
Eleza maana ya viziada lugha.
(alama 1)
Eleza kwa ubainifu sifa nne za lugha ya taifa
(alama 4)
| Nani alikuwa anaenda kufanya mahojiano | {
"text": [
"Athumani"
]
} |
3494_swa |
Jaribio la KCSE 2020 Kiswahili
1.ANDIKA hotuba utakayowatolea maafisa wa Elimu na walimu wakuu kuhusu umuhimu wa vyuo vya kiufundi nchini
2.Usalama wa mwanafunzi unamtegemea yeyr kadili.
3.Andika kisa kitakavyoafiki maana ya methali ifuatayo:Mchuma janga hulana wa kwao.
4.Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo. Mara tunilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya..
UFAHAMU, UFUPISHO, MATUMIZI YA LUGHA NA ISIMU JAMII
KARATASI YA PILI.
UFAHAMU.(alama 15)
Somo taarifa kisha ujibu maswali.
Aisee umeyasikia haya? Nafahamishwa kuwa mwenzetu huyu hapa mtaani, mwenye kiburi cha tausi.amepata funzo la mwaka.Naambiwa alipa kuwa kiatu hatayafanya aliyoyafanya usiku ule. Kisa na maana ni kuwa Athumani alipata mwaliko wa kwenda kufanya mahojiano kule katika jiji kuu,Nasikia kazi aliyotarajia kupata baada ya mahojiano ilikuwa na donge si haba. Huyo hangekuwa mwenzetu tena angeipata kazi hiyo.
Nafikiri angezidisha madaha maradufu.
Athumani hakutaka mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano. Alipanga mambo yake kisirisiri. Akaamua kuomba idhini ya siku moja kutoka kazini akisingizia kuwa alikuwa na mgonjwa ambaye angempeleka hospitalini siku hiyo. Akapanga kusafiri kwa basi la usiku ili kuwahi jijini asubuhi. Kufanya mahojiano na kurudi jioni yake.
Kama kawaida mabasi ya usiku huondoka hapa kuanzia saa mbili. Madereva nao wanatabia za kuyasimamisha katika eneo fulani njiani ili abiria wenye haja wajisadie na angalau kupata kitu kidogo cha kufunzia tumbo.
Basi liliposimama Athumani alishuka kama abiria,akaenda msalani kisha mkahawani . Alikuwa na uraibu wa maziwa ya mtindi.Akanunua pakiti moja na kuifungua harakaharaka ungedhani anashindana na mtu. Akayagugumia kana kwamba angenyang’anywa . Akatisha na pakiti ya pili.
Baada ya muda abiria wakarudi garini Basi likang’oa nanga Kitambo cha nusu saa hivi. Tumbo likaanza kumchafua Athumani Akahangaika na kuhangaika pale kitini Jasho likaanza kumtoka. Alipoona hayavumiliki tena, alichapuka kitini himahima hadi kwa dereva. Kutokana na mbazo aliokuwa nao, akasahau kutumia lugha ya adabu.
Baada ya kumwasisha dereva husimamisha basi, dereva naye akaongeza inwendo. Alihofia kuwa huenda anayemwamriisha ni mmoja wa majambazi wa barabarani ambao wana mazoea ya kumtuma mmoja wao asafiri pamoja na abiria wengine kama mmoja wao Wenzake huwa katika eneo fulani ambapo jambazi abiria ataomba basi
lisimamishwe ili ajisaidie Dereve akilisimamisha basi pale alipoombwa, majambazi hutoka vichakani na kuwavamia Huwaumiza na kuwafilisi abiria, dereva na utingo
Athumani aliendelea kuhangaika Hatimaye, dereva aliamua na liwe liwalo alipomwona
Athumani amechutama huku jasho likimtiririka Akaliegesha basi kando ya barabara na kumpa Athumani nafasi ya kujisaidia Athumani hakugoja basi lisimame kabisa wala utingo kufungua mlango Aliufungua harakaharaka na kufyatuka nje! kama risasi na kujitoma kichakani. Akavua suruali yake upesiupesi na kutekeleza matilaba bila kufa
hamu kuwa pale alipokuwa anatekelezea shughuli hizi alikuweko kuchakulo: mnyama mdogo ambaye kinga yake anapoingiliwa na adui ni kumrushia maji yenye harufu mbaya karibu Athumani akalie kuchakulo yule bila kujua kutokana na mkazo
kumrushia Athumani maji yale mavazini mwake Athumani hakuyahisi haya.
Athumani alichukua muda pale kichakani hataabiria wakasikika wakilalamika. Aliporudi basini huku amechangamka kwa kulitua zigo lililomlemea, abiria wote walizishika pua zao wakisema mfuuu! Athumani hakujua kulikuwa na nini.
Basi liliendelea na safari huku abiria wakishikilia pua zao. Kila wakijaribu kuziachilia,
ndivyo harufu iliyohanikiza ilivyozidi kuwaathiri.
Wakashindwa kuvumilia uvundo. Wengi walidhani kuwa Athumani alikuwa amejiendea haja nguoni Wakaamrisha atupwe nje au wote washuke warejeshewe nauli zao. Kwa kuwa baridi ina msimamo kwa kondoo mwenye manyoya haba, njia rahisi ilikuwa kumshusha Athumani aliyekuwa peke yake badala ya abiria katika basi zima. Alishushwa katika kitongoji kimojawapo. Athumani aliposhushwa, alichanganyikiwa
asijue la kufanya. Hakujua alikoshushwa wala wakumwendea kumuomba msaada. Alipokuwa akiwaza na kuwazua afanye nini. genge la majambazi lilitokea na kumvamia. Likampora kila kitu: mkoba wake, stakabadhi, pesa na hata kumvua mavazi aliyokuwa nayo. Wakamwacha uchi wa mnyama katika eneo asilojua mtu wa kumwauni. Baridi ya
usiku ikamvamia vilivyo.
Athumani aliokolewa siku iliyofuata na madereva wa magari ambao hapo awali alikuwa
akiwabeza. Wakamtafutia mavazi na kumbeba hadi nyumbani. Hakuweza kufanya yale mahojiano. Alipokumbuka yaliyomfika usiku huo, alikula yamini kuwa katu hatakunywa wala kula chakula chochote akiwa safarini.
Maswali:
(a) Tambua sifa tatu hasi za Athumani (alama 3)
(b) Thibitisha kuwa Athumani ni msiri (alama 1)
(ch) Onesha changamoto za safari za mabasi kulingana na kifungu (alama 3)
d) Jadili mafunzo aliyopata Athumani. alama 2)
le) Kwa nini Athumani alikataa mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano? (alama 1)
(f).Jadili sifa mbili za wa basi dereva patiti ya pili ya maziwa yayo hayo na kuyagugurnia (alarna 2)
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu (alama 3)
(i)gugumia
(ii) ng’oa nanga
(iii) himili
UFUPISHO
(ALAMA 15)
Soma Makala Yafuatayo Kisha Ufupishe Habari Kulingana na Maswali Uliyopewa.
Watu wengi hawawezi kunywa chai au uji bila kutia sukari Wanatumia sukari kwa hamu na ghamu bila kutambua kuwa hiyo ni sumu wanayongezea mwilini.
Ni Ukweli usiopingika kuwa wazee wetu wa jadi waliishi muda mrefu wakiwa na saha njerna kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa waliishi katika kipindi ambacho sukari inayotengeriezwa viwandani haikuweko. Iwapo ilikuweko ilikuwa bidhaa ya wateule waungwana kutengenezea vitu kama keki. mahamri, vitumbua na kadhalika na akina yahe hawangeweza kuigharamia. Watafiti wa masuala ya afya wamegundua kuwa
sukari inayotayarishwa viwandani sasa hivi haina virutubishi vyovyote. Halikadhalika, utaratibu wa viwandani wa kutayarisha sukari ili iwe nyeupe na kuichuia huharibu virutubishi vinavyoweza kuwa muhimu mwilini Umuhimu wa sukari wakau
saza kuwa ni kutia ladha tamu tu Umuhimu huu hauwezi kulinganishwa na madhara yanayoletwa na sukari hii Baada ya kusagika mwilini, sukari hii huacha masalio ya asidi mwilini yenye sumu inayoathiri siha.
Matumizi ya sukari kwa wingi husababisha madhara mbalimbali mwilini. Kwanza, huchangia kuoza na kuharibika kwa meno pamoja na matatizo ya meno kuuma. Pili, sukari nyeupe imehusishwa na ongezeko la maradhi ya kisukari, moyo na hipoglisimia au upungufu wa sukari mwilini.
Matumizi holela ya sukari huleta kipandauso au ugonjwa wa ghafla wa kuumwa upande mmoja wa kichwa unaoambatana na kichefuchefu, kutapika na matatizo ya kuona. Pia, sukari huleta maradhi ya ngozi na figo, pamoja na ongezeko la kemikali
iitwayo kolestroli, ambayo ni ufuta unaonata na ambao unatokana na kutoyeyuka kwa mafuta yote mwilini. Kemikali hii ya kolestroli inaporundikana moyoni, hufanya mishipa inayotoa damu mayoni na kuisambaza mwilini kuwa myembamba na sugu. Moyo hulazimika kusukuma damu kwa nguvu na huenda moyo ukachoka na kukoma
kufanya kazi.
Madhara haya ya sukari ndiyo yanayowafanya watu wengi kukiri kuwa sukari, ingawa ni tamu, ni sumu mwilini.
Wataalamu wa lishe wamependekeza ulaji wa vyakula kama nafaka, matunda, mboga na miwa ambavyo vimejaa sukari asilia.
Fauka ya hayo, sukari inayotoka katika asali ni bora zaidi kwa mwili wa mwanadamu. Asali huwa na sukari asilia, vitamini, madini na amino asidi. Hivi vyote huwa na manufaa mbalimbali mwilini. Mathalani, asali huupa mwili nishati
inayohitajika kuendesha shughuli za viungo. Licha ya hayo, asali huuchangamsha mwili. Asali huwa na kemikali ambazo husaidia watoto kukua vizuri.
kupunguza uwezekano wa watoto kuwa na anemia (upungufu wa damu). Halikadhalika, asali husaidia katika usagaji wa chakula iwapo itatumiwa kabla! ya muda. Matumizi ya kijiko kimoja cha asali kila siku husaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa ya kukohoa. Asali husaidia pia kuondoa harufu mbaya kinywani Asali pia inaweza kutumiwa kujipaka. Inapotumiwa kwa njia hii, hutunza ngozi na kuifanya ing'are, huondoa vipele na ugumu wa ngozi. (pamoja na kutibu kule ngozi ilikokatikakatika.
. (Halikadhalika, asali hutibu vidonda. Viwanda vingi vya vipodozi vilevile hutumia asali kama malighafi umuhimu katika utengenezaji wa bidhaa hizo.
Maswali
(a) Eleza madhara ya sukari (maneno 70)
(alama 9)
(b) Eleza manufaa ya sukari ya asali (kwa maneno 70 )
(alama 6)
Matumizi ya lugha(alama 40
(a)Kwa kutoa mitano onyesha dhima nne za viambishi tamati
(b)Eleza maana ya mofimu sahii (alama2)
(c)Unda kitenzi kutokana na neno tafadhali. (alama1)
(d). Fafanua maana ya tatanishi ni nini?
(alama1)
( e ).Tunga sentensi ukitumia sauti mtuo (alama2)
Onyesha mofimu katika: (alam2
Waliopewa
(g) Tunga sentensi kuonyesha kiambishi cha kukikanushi(alama 2)
(h). Tunga sentensi ukitumia kiunganishi cha kukinza
(alama 1)
i Kanusha
Kuja kwake kulitunufaisha.
(alama 1)
(i). Tumia viambishi viwili kama vielezi vya mahali katika
sentensi moja visivyokuwa vya ngeli ya PA KU MU (alama 2)
(k) Bainisha viwakilishi vinne katika sentensi hii.
Aliwaletea matano
(L.)Tofautisha sentensi zifuatazo kimaana kwa kuongezwa na vivumishi vilivyopigiwa mistari (alama 2)
Mwanafunzi mwenyewe ndiye huyu
Mwenye mwanafunzi ndiye huyu
( m.) Tunga sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha idadi dhahiri katika ngeli ya U-I.
N.Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili ya neno tupa (alama2)
o . Fafanua maana ya kirai, kisha utunge sentensi sahihi, kuonyesha kirai kihisishi
alama2) k.
P. Fafanua maana ya kishazi tegemezi - (alama 1)
q. Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. kiashiria kiradidi) (alama I)
r. Tunga sentensi moja yenye viungo vifuatavyo vya sarufi (alama2)
Kikanushi cha ngeli ya A-WA nafsi ya kwanza Kikanushi cha wakati ujao
Kiwakilishi, nafsi ya pili wingi
Mzizi wa kitenzi cha silabi moja-kunywa
Mnyambuliko wa kitenzi kauli ya kufanyia
S.Tunga sentensi moja ukionyesha sharirisho kipozi, kitondo, ala na chagizo (alama2)
t. Andika sentensi kuonyesha matumizi mawili mawili
ya
a) Kinyota
(alama2)
b) Kibainishi
u. Geuza sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa
(alama2)
Asha: Tafadhali usiuvunje mkono wangu
Fatuma: Ah! Mbona niuvunje?
v] Unaporidhika na jambo unasema hewala unaposhangalia timu yako kupata ushindi unasema.....
unapotaka usikivu unasema............ vake
w) lepesi ni kwa rahisi,ukuta ni kwa.....na njia ni kwa……
x] Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya dua na
y) Mzee Pumu ni mraibu wa vileo. Baada ya muda watoto wake wawili wanakuwa watumizi sugu wa vileo. Andika methali inayoweza kutumiwa kuelezea hali hii. (alal)
2) Tunga sentensi ukitumia kiunganishicha uteuzi (alama1)
ISIMU-JAMII
,(alama 10)
Eleza maana ya lugha
(alama 1)
Jadili sifa mbili bia za lugha
(alama 2)
Tofautisha kati ya lafudhi na lahaja.
(alama 2)
Eleza maana ya viziada lugha.
(alama 1)
Eleza kwa ubainifu sifa nne za lugha ya taifa
(alama 4)
| Athumani aliomba idhini ya siku ngapi kutoka kazini | {
"text": [
"Moja"
]
} |
3494_swa |
Jaribio la KCSE 2020 Kiswahili
1.ANDIKA hotuba utakayowatolea maafisa wa Elimu na walimu wakuu kuhusu umuhimu wa vyuo vya kiufundi nchini
2.Usalama wa mwanafunzi unamtegemea yeyr kadili.
3.Andika kisa kitakavyoafiki maana ya methali ifuatayo:Mchuma janga hulana wa kwao.
4.Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo. Mara tunilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya..
UFAHAMU, UFUPISHO, MATUMIZI YA LUGHA NA ISIMU JAMII
KARATASI YA PILI.
UFAHAMU.(alama 15)
Somo taarifa kisha ujibu maswali.
Aisee umeyasikia haya? Nafahamishwa kuwa mwenzetu huyu hapa mtaani, mwenye kiburi cha tausi.amepata funzo la mwaka.Naambiwa alipa kuwa kiatu hatayafanya aliyoyafanya usiku ule. Kisa na maana ni kuwa Athumani alipata mwaliko wa kwenda kufanya mahojiano kule katika jiji kuu,Nasikia kazi aliyotarajia kupata baada ya mahojiano ilikuwa na donge si haba. Huyo hangekuwa mwenzetu tena angeipata kazi hiyo.
Nafikiri angezidisha madaha maradufu.
Athumani hakutaka mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano. Alipanga mambo yake kisirisiri. Akaamua kuomba idhini ya siku moja kutoka kazini akisingizia kuwa alikuwa na mgonjwa ambaye angempeleka hospitalini siku hiyo. Akapanga kusafiri kwa basi la usiku ili kuwahi jijini asubuhi. Kufanya mahojiano na kurudi jioni yake.
Kama kawaida mabasi ya usiku huondoka hapa kuanzia saa mbili. Madereva nao wanatabia za kuyasimamisha katika eneo fulani njiani ili abiria wenye haja wajisadie na angalau kupata kitu kidogo cha kufunzia tumbo.
Basi liliposimama Athumani alishuka kama abiria,akaenda msalani kisha mkahawani . Alikuwa na uraibu wa maziwa ya mtindi.Akanunua pakiti moja na kuifungua harakaharaka ungedhani anashindana na mtu. Akayagugumia kana kwamba angenyang’anywa . Akatisha na pakiti ya pili.
Baada ya muda abiria wakarudi garini Basi likang’oa nanga Kitambo cha nusu saa hivi. Tumbo likaanza kumchafua Athumani Akahangaika na kuhangaika pale kitini Jasho likaanza kumtoka. Alipoona hayavumiliki tena, alichapuka kitini himahima hadi kwa dereva. Kutokana na mbazo aliokuwa nao, akasahau kutumia lugha ya adabu.
Baada ya kumwasisha dereva husimamisha basi, dereva naye akaongeza inwendo. Alihofia kuwa huenda anayemwamriisha ni mmoja wa majambazi wa barabarani ambao wana mazoea ya kumtuma mmoja wao asafiri pamoja na abiria wengine kama mmoja wao Wenzake huwa katika eneo fulani ambapo jambazi abiria ataomba basi
lisimamishwe ili ajisaidie Dereve akilisimamisha basi pale alipoombwa, majambazi hutoka vichakani na kuwavamia Huwaumiza na kuwafilisi abiria, dereva na utingo
Athumani aliendelea kuhangaika Hatimaye, dereva aliamua na liwe liwalo alipomwona
Athumani amechutama huku jasho likimtiririka Akaliegesha basi kando ya barabara na kumpa Athumani nafasi ya kujisaidia Athumani hakugoja basi lisimame kabisa wala utingo kufungua mlango Aliufungua harakaharaka na kufyatuka nje! kama risasi na kujitoma kichakani. Akavua suruali yake upesiupesi na kutekeleza matilaba bila kufa
hamu kuwa pale alipokuwa anatekelezea shughuli hizi alikuweko kuchakulo: mnyama mdogo ambaye kinga yake anapoingiliwa na adui ni kumrushia maji yenye harufu mbaya karibu Athumani akalie kuchakulo yule bila kujua kutokana na mkazo
kumrushia Athumani maji yale mavazini mwake Athumani hakuyahisi haya.
Athumani alichukua muda pale kichakani hataabiria wakasikika wakilalamika. Aliporudi basini huku amechangamka kwa kulitua zigo lililomlemea, abiria wote walizishika pua zao wakisema mfuuu! Athumani hakujua kulikuwa na nini.
Basi liliendelea na safari huku abiria wakishikilia pua zao. Kila wakijaribu kuziachilia,
ndivyo harufu iliyohanikiza ilivyozidi kuwaathiri.
Wakashindwa kuvumilia uvundo. Wengi walidhani kuwa Athumani alikuwa amejiendea haja nguoni Wakaamrisha atupwe nje au wote washuke warejeshewe nauli zao. Kwa kuwa baridi ina msimamo kwa kondoo mwenye manyoya haba, njia rahisi ilikuwa kumshusha Athumani aliyekuwa peke yake badala ya abiria katika basi zima. Alishushwa katika kitongoji kimojawapo. Athumani aliposhushwa, alichanganyikiwa
asijue la kufanya. Hakujua alikoshushwa wala wakumwendea kumuomba msaada. Alipokuwa akiwaza na kuwazua afanye nini. genge la majambazi lilitokea na kumvamia. Likampora kila kitu: mkoba wake, stakabadhi, pesa na hata kumvua mavazi aliyokuwa nayo. Wakamwacha uchi wa mnyama katika eneo asilojua mtu wa kumwauni. Baridi ya
usiku ikamvamia vilivyo.
Athumani aliokolewa siku iliyofuata na madereva wa magari ambao hapo awali alikuwa
akiwabeza. Wakamtafutia mavazi na kumbeba hadi nyumbani. Hakuweza kufanya yale mahojiano. Alipokumbuka yaliyomfika usiku huo, alikula yamini kuwa katu hatakunywa wala kula chakula chochote akiwa safarini.
Maswali:
(a) Tambua sifa tatu hasi za Athumani (alama 3)
(b) Thibitisha kuwa Athumani ni msiri (alama 1)
(ch) Onesha changamoto za safari za mabasi kulingana na kifungu (alama 3)
d) Jadili mafunzo aliyopata Athumani. alama 2)
le) Kwa nini Athumani alikataa mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano? (alama 1)
(f).Jadili sifa mbili za wa basi dereva patiti ya pili ya maziwa yayo hayo na kuyagugurnia (alarna 2)
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu (alama 3)
(i)gugumia
(ii) ng’oa nanga
(iii) himili
UFUPISHO
(ALAMA 15)
Soma Makala Yafuatayo Kisha Ufupishe Habari Kulingana na Maswali Uliyopewa.
Watu wengi hawawezi kunywa chai au uji bila kutia sukari Wanatumia sukari kwa hamu na ghamu bila kutambua kuwa hiyo ni sumu wanayongezea mwilini.
Ni Ukweli usiopingika kuwa wazee wetu wa jadi waliishi muda mrefu wakiwa na saha njerna kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa waliishi katika kipindi ambacho sukari inayotengeriezwa viwandani haikuweko. Iwapo ilikuweko ilikuwa bidhaa ya wateule waungwana kutengenezea vitu kama keki. mahamri, vitumbua na kadhalika na akina yahe hawangeweza kuigharamia. Watafiti wa masuala ya afya wamegundua kuwa
sukari inayotayarishwa viwandani sasa hivi haina virutubishi vyovyote. Halikadhalika, utaratibu wa viwandani wa kutayarisha sukari ili iwe nyeupe na kuichuia huharibu virutubishi vinavyoweza kuwa muhimu mwilini Umuhimu wa sukari wakau
saza kuwa ni kutia ladha tamu tu Umuhimu huu hauwezi kulinganishwa na madhara yanayoletwa na sukari hii Baada ya kusagika mwilini, sukari hii huacha masalio ya asidi mwilini yenye sumu inayoathiri siha.
Matumizi ya sukari kwa wingi husababisha madhara mbalimbali mwilini. Kwanza, huchangia kuoza na kuharibika kwa meno pamoja na matatizo ya meno kuuma. Pili, sukari nyeupe imehusishwa na ongezeko la maradhi ya kisukari, moyo na hipoglisimia au upungufu wa sukari mwilini.
Matumizi holela ya sukari huleta kipandauso au ugonjwa wa ghafla wa kuumwa upande mmoja wa kichwa unaoambatana na kichefuchefu, kutapika na matatizo ya kuona. Pia, sukari huleta maradhi ya ngozi na figo, pamoja na ongezeko la kemikali
iitwayo kolestroli, ambayo ni ufuta unaonata na ambao unatokana na kutoyeyuka kwa mafuta yote mwilini. Kemikali hii ya kolestroli inaporundikana moyoni, hufanya mishipa inayotoa damu mayoni na kuisambaza mwilini kuwa myembamba na sugu. Moyo hulazimika kusukuma damu kwa nguvu na huenda moyo ukachoka na kukoma
kufanya kazi.
Madhara haya ya sukari ndiyo yanayowafanya watu wengi kukiri kuwa sukari, ingawa ni tamu, ni sumu mwilini.
Wataalamu wa lishe wamependekeza ulaji wa vyakula kama nafaka, matunda, mboga na miwa ambavyo vimejaa sukari asilia.
Fauka ya hayo, sukari inayotoka katika asali ni bora zaidi kwa mwili wa mwanadamu. Asali huwa na sukari asilia, vitamini, madini na amino asidi. Hivi vyote huwa na manufaa mbalimbali mwilini. Mathalani, asali huupa mwili nishati
inayohitajika kuendesha shughuli za viungo. Licha ya hayo, asali huuchangamsha mwili. Asali huwa na kemikali ambazo husaidia watoto kukua vizuri.
kupunguza uwezekano wa watoto kuwa na anemia (upungufu wa damu). Halikadhalika, asali husaidia katika usagaji wa chakula iwapo itatumiwa kabla! ya muda. Matumizi ya kijiko kimoja cha asali kila siku husaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa ya kukohoa. Asali husaidia pia kuondoa harufu mbaya kinywani Asali pia inaweza kutumiwa kujipaka. Inapotumiwa kwa njia hii, hutunza ngozi na kuifanya ing'are, huondoa vipele na ugumu wa ngozi. (pamoja na kutibu kule ngozi ilikokatikakatika.
. (Halikadhalika, asali hutibu vidonda. Viwanda vingi vya vipodozi vilevile hutumia asali kama malighafi umuhimu katika utengenezaji wa bidhaa hizo.
Maswali
(a) Eleza madhara ya sukari (maneno 70)
(alama 9)
(b) Eleza manufaa ya sukari ya asali (kwa maneno 70 )
(alama 6)
Matumizi ya lugha(alama 40
(a)Kwa kutoa mitano onyesha dhima nne za viambishi tamati
(b)Eleza maana ya mofimu sahii (alama2)
(c)Unda kitenzi kutokana na neno tafadhali. (alama1)
(d). Fafanua maana ya tatanishi ni nini?
(alama1)
( e ).Tunga sentensi ukitumia sauti mtuo (alama2)
Onyesha mofimu katika: (alam2
Waliopewa
(g) Tunga sentensi kuonyesha kiambishi cha kukikanushi(alama 2)
(h). Tunga sentensi ukitumia kiunganishi cha kukinza
(alama 1)
i Kanusha
Kuja kwake kulitunufaisha.
(alama 1)
(i). Tumia viambishi viwili kama vielezi vya mahali katika
sentensi moja visivyokuwa vya ngeli ya PA KU MU (alama 2)
(k) Bainisha viwakilishi vinne katika sentensi hii.
Aliwaletea matano
(L.)Tofautisha sentensi zifuatazo kimaana kwa kuongezwa na vivumishi vilivyopigiwa mistari (alama 2)
Mwanafunzi mwenyewe ndiye huyu
Mwenye mwanafunzi ndiye huyu
( m.) Tunga sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha idadi dhahiri katika ngeli ya U-I.
N.Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili ya neno tupa (alama2)
o . Fafanua maana ya kirai, kisha utunge sentensi sahihi, kuonyesha kirai kihisishi
alama2) k.
P. Fafanua maana ya kishazi tegemezi - (alama 1)
q. Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. kiashiria kiradidi) (alama I)
r. Tunga sentensi moja yenye viungo vifuatavyo vya sarufi (alama2)
Kikanushi cha ngeli ya A-WA nafsi ya kwanza Kikanushi cha wakati ujao
Kiwakilishi, nafsi ya pili wingi
Mzizi wa kitenzi cha silabi moja-kunywa
Mnyambuliko wa kitenzi kauli ya kufanyia
S.Tunga sentensi moja ukionyesha sharirisho kipozi, kitondo, ala na chagizo (alama2)
t. Andika sentensi kuonyesha matumizi mawili mawili
ya
a) Kinyota
(alama2)
b) Kibainishi
u. Geuza sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa
(alama2)
Asha: Tafadhali usiuvunje mkono wangu
Fatuma: Ah! Mbona niuvunje?
v] Unaporidhika na jambo unasema hewala unaposhangalia timu yako kupata ushindi unasema.....
unapotaka usikivu unasema............ vake
w) lepesi ni kwa rahisi,ukuta ni kwa.....na njia ni kwa……
x] Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya dua na
y) Mzee Pumu ni mraibu wa vileo. Baada ya muda watoto wake wawili wanakuwa watumizi sugu wa vileo. Andika methali inayoweza kutumiwa kuelezea hali hii. (alal)
2) Tunga sentensi ukitumia kiunganishicha uteuzi (alama1)
ISIMU-JAMII
,(alama 10)
Eleza maana ya lugha
(alama 1)
Jadili sifa mbili bia za lugha
(alama 2)
Tofautisha kati ya lafudhi na lahaja.
(alama 2)
Eleza maana ya viziada lugha.
(alama 1)
Eleza kwa ubainifu sifa nne za lugha ya taifa
(alama 4)
| Kuchakulo hurusha nini anapoingiliwa na adui kichakani | {
"text": [
"Maji yenye harufu mbaya"
]
} |
3494_swa |
Jaribio la KCSE 2020 Kiswahili
1.ANDIKA hotuba utakayowatolea maafisa wa Elimu na walimu wakuu kuhusu umuhimu wa vyuo vya kiufundi nchini
2.Usalama wa mwanafunzi unamtegemea yeyr kadili.
3.Andika kisa kitakavyoafiki maana ya methali ifuatayo:Mchuma janga hulana wa kwao.
4.Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo. Mara tunilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya..
UFAHAMU, UFUPISHO, MATUMIZI YA LUGHA NA ISIMU JAMII
KARATASI YA PILI.
UFAHAMU.(alama 15)
Somo taarifa kisha ujibu maswali.
Aisee umeyasikia haya? Nafahamishwa kuwa mwenzetu huyu hapa mtaani, mwenye kiburi cha tausi.amepata funzo la mwaka.Naambiwa alipa kuwa kiatu hatayafanya aliyoyafanya usiku ule. Kisa na maana ni kuwa Athumani alipata mwaliko wa kwenda kufanya mahojiano kule katika jiji kuu,Nasikia kazi aliyotarajia kupata baada ya mahojiano ilikuwa na donge si haba. Huyo hangekuwa mwenzetu tena angeipata kazi hiyo.
Nafikiri angezidisha madaha maradufu.
Athumani hakutaka mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano. Alipanga mambo yake kisirisiri. Akaamua kuomba idhini ya siku moja kutoka kazini akisingizia kuwa alikuwa na mgonjwa ambaye angempeleka hospitalini siku hiyo. Akapanga kusafiri kwa basi la usiku ili kuwahi jijini asubuhi. Kufanya mahojiano na kurudi jioni yake.
Kama kawaida mabasi ya usiku huondoka hapa kuanzia saa mbili. Madereva nao wanatabia za kuyasimamisha katika eneo fulani njiani ili abiria wenye haja wajisadie na angalau kupata kitu kidogo cha kufunzia tumbo.
Basi liliposimama Athumani alishuka kama abiria,akaenda msalani kisha mkahawani . Alikuwa na uraibu wa maziwa ya mtindi.Akanunua pakiti moja na kuifungua harakaharaka ungedhani anashindana na mtu. Akayagugumia kana kwamba angenyang’anywa . Akatisha na pakiti ya pili.
Baada ya muda abiria wakarudi garini Basi likang’oa nanga Kitambo cha nusu saa hivi. Tumbo likaanza kumchafua Athumani Akahangaika na kuhangaika pale kitini Jasho likaanza kumtoka. Alipoona hayavumiliki tena, alichapuka kitini himahima hadi kwa dereva. Kutokana na mbazo aliokuwa nao, akasahau kutumia lugha ya adabu.
Baada ya kumwasisha dereva husimamisha basi, dereva naye akaongeza inwendo. Alihofia kuwa huenda anayemwamriisha ni mmoja wa majambazi wa barabarani ambao wana mazoea ya kumtuma mmoja wao asafiri pamoja na abiria wengine kama mmoja wao Wenzake huwa katika eneo fulani ambapo jambazi abiria ataomba basi
lisimamishwe ili ajisaidie Dereve akilisimamisha basi pale alipoombwa, majambazi hutoka vichakani na kuwavamia Huwaumiza na kuwafilisi abiria, dereva na utingo
Athumani aliendelea kuhangaika Hatimaye, dereva aliamua na liwe liwalo alipomwona
Athumani amechutama huku jasho likimtiririka Akaliegesha basi kando ya barabara na kumpa Athumani nafasi ya kujisaidia Athumani hakugoja basi lisimame kabisa wala utingo kufungua mlango Aliufungua harakaharaka na kufyatuka nje! kama risasi na kujitoma kichakani. Akavua suruali yake upesiupesi na kutekeleza matilaba bila kufa
hamu kuwa pale alipokuwa anatekelezea shughuli hizi alikuweko kuchakulo: mnyama mdogo ambaye kinga yake anapoingiliwa na adui ni kumrushia maji yenye harufu mbaya karibu Athumani akalie kuchakulo yule bila kujua kutokana na mkazo
kumrushia Athumani maji yale mavazini mwake Athumani hakuyahisi haya.
Athumani alichukua muda pale kichakani hataabiria wakasikika wakilalamika. Aliporudi basini huku amechangamka kwa kulitua zigo lililomlemea, abiria wote walizishika pua zao wakisema mfuuu! Athumani hakujua kulikuwa na nini.
Basi liliendelea na safari huku abiria wakishikilia pua zao. Kila wakijaribu kuziachilia,
ndivyo harufu iliyohanikiza ilivyozidi kuwaathiri.
Wakashindwa kuvumilia uvundo. Wengi walidhani kuwa Athumani alikuwa amejiendea haja nguoni Wakaamrisha atupwe nje au wote washuke warejeshewe nauli zao. Kwa kuwa baridi ina msimamo kwa kondoo mwenye manyoya haba, njia rahisi ilikuwa kumshusha Athumani aliyekuwa peke yake badala ya abiria katika basi zima. Alishushwa katika kitongoji kimojawapo. Athumani aliposhushwa, alichanganyikiwa
asijue la kufanya. Hakujua alikoshushwa wala wakumwendea kumuomba msaada. Alipokuwa akiwaza na kuwazua afanye nini. genge la majambazi lilitokea na kumvamia. Likampora kila kitu: mkoba wake, stakabadhi, pesa na hata kumvua mavazi aliyokuwa nayo. Wakamwacha uchi wa mnyama katika eneo asilojua mtu wa kumwauni. Baridi ya
usiku ikamvamia vilivyo.
Athumani aliokolewa siku iliyofuata na madereva wa magari ambao hapo awali alikuwa
akiwabeza. Wakamtafutia mavazi na kumbeba hadi nyumbani. Hakuweza kufanya yale mahojiano. Alipokumbuka yaliyomfika usiku huo, alikula yamini kuwa katu hatakunywa wala kula chakula chochote akiwa safarini.
Maswali:
(a) Tambua sifa tatu hasi za Athumani (alama 3)
(b) Thibitisha kuwa Athumani ni msiri (alama 1)
(ch) Onesha changamoto za safari za mabasi kulingana na kifungu (alama 3)
d) Jadili mafunzo aliyopata Athumani. alama 2)
le) Kwa nini Athumani alikataa mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano? (alama 1)
(f).Jadili sifa mbili za wa basi dereva patiti ya pili ya maziwa yayo hayo na kuyagugurnia (alarna 2)
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu (alama 3)
(i)gugumia
(ii) ng’oa nanga
(iii) himili
UFUPISHO
(ALAMA 15)
Soma Makala Yafuatayo Kisha Ufupishe Habari Kulingana na Maswali Uliyopewa.
Watu wengi hawawezi kunywa chai au uji bila kutia sukari Wanatumia sukari kwa hamu na ghamu bila kutambua kuwa hiyo ni sumu wanayongezea mwilini.
Ni Ukweli usiopingika kuwa wazee wetu wa jadi waliishi muda mrefu wakiwa na saha njerna kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa waliishi katika kipindi ambacho sukari inayotengeriezwa viwandani haikuweko. Iwapo ilikuweko ilikuwa bidhaa ya wateule waungwana kutengenezea vitu kama keki. mahamri, vitumbua na kadhalika na akina yahe hawangeweza kuigharamia. Watafiti wa masuala ya afya wamegundua kuwa
sukari inayotayarishwa viwandani sasa hivi haina virutubishi vyovyote. Halikadhalika, utaratibu wa viwandani wa kutayarisha sukari ili iwe nyeupe na kuichuia huharibu virutubishi vinavyoweza kuwa muhimu mwilini Umuhimu wa sukari wakau
saza kuwa ni kutia ladha tamu tu Umuhimu huu hauwezi kulinganishwa na madhara yanayoletwa na sukari hii Baada ya kusagika mwilini, sukari hii huacha masalio ya asidi mwilini yenye sumu inayoathiri siha.
Matumizi ya sukari kwa wingi husababisha madhara mbalimbali mwilini. Kwanza, huchangia kuoza na kuharibika kwa meno pamoja na matatizo ya meno kuuma. Pili, sukari nyeupe imehusishwa na ongezeko la maradhi ya kisukari, moyo na hipoglisimia au upungufu wa sukari mwilini.
Matumizi holela ya sukari huleta kipandauso au ugonjwa wa ghafla wa kuumwa upande mmoja wa kichwa unaoambatana na kichefuchefu, kutapika na matatizo ya kuona. Pia, sukari huleta maradhi ya ngozi na figo, pamoja na ongezeko la kemikali
iitwayo kolestroli, ambayo ni ufuta unaonata na ambao unatokana na kutoyeyuka kwa mafuta yote mwilini. Kemikali hii ya kolestroli inaporundikana moyoni, hufanya mishipa inayotoa damu mayoni na kuisambaza mwilini kuwa myembamba na sugu. Moyo hulazimika kusukuma damu kwa nguvu na huenda moyo ukachoka na kukoma
kufanya kazi.
Madhara haya ya sukari ndiyo yanayowafanya watu wengi kukiri kuwa sukari, ingawa ni tamu, ni sumu mwilini.
Wataalamu wa lishe wamependekeza ulaji wa vyakula kama nafaka, matunda, mboga na miwa ambavyo vimejaa sukari asilia.
Fauka ya hayo, sukari inayotoka katika asali ni bora zaidi kwa mwili wa mwanadamu. Asali huwa na sukari asilia, vitamini, madini na amino asidi. Hivi vyote huwa na manufaa mbalimbali mwilini. Mathalani, asali huupa mwili nishati
inayohitajika kuendesha shughuli za viungo. Licha ya hayo, asali huuchangamsha mwili. Asali huwa na kemikali ambazo husaidia watoto kukua vizuri.
kupunguza uwezekano wa watoto kuwa na anemia (upungufu wa damu). Halikadhalika, asali husaidia katika usagaji wa chakula iwapo itatumiwa kabla! ya muda. Matumizi ya kijiko kimoja cha asali kila siku husaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa ya kukohoa. Asali husaidia pia kuondoa harufu mbaya kinywani Asali pia inaweza kutumiwa kujipaka. Inapotumiwa kwa njia hii, hutunza ngozi na kuifanya ing'are, huondoa vipele na ugumu wa ngozi. (pamoja na kutibu kule ngozi ilikokatikakatika.
. (Halikadhalika, asali hutibu vidonda. Viwanda vingi vya vipodozi vilevile hutumia asali kama malighafi umuhimu katika utengenezaji wa bidhaa hizo.
Maswali
(a) Eleza madhara ya sukari (maneno 70)
(alama 9)
(b) Eleza manufaa ya sukari ya asali (kwa maneno 70 )
(alama 6)
Matumizi ya lugha(alama 40
(a)Kwa kutoa mitano onyesha dhima nne za viambishi tamati
(b)Eleza maana ya mofimu sahii (alama2)
(c)Unda kitenzi kutokana na neno tafadhali. (alama1)
(d). Fafanua maana ya tatanishi ni nini?
(alama1)
( e ).Tunga sentensi ukitumia sauti mtuo (alama2)
Onyesha mofimu katika: (alam2
Waliopewa
(g) Tunga sentensi kuonyesha kiambishi cha kukikanushi(alama 2)
(h). Tunga sentensi ukitumia kiunganishi cha kukinza
(alama 1)
i Kanusha
Kuja kwake kulitunufaisha.
(alama 1)
(i). Tumia viambishi viwili kama vielezi vya mahali katika
sentensi moja visivyokuwa vya ngeli ya PA KU MU (alama 2)
(k) Bainisha viwakilishi vinne katika sentensi hii.
Aliwaletea matano
(L.)Tofautisha sentensi zifuatazo kimaana kwa kuongezwa na vivumishi vilivyopigiwa mistari (alama 2)
Mwanafunzi mwenyewe ndiye huyu
Mwenye mwanafunzi ndiye huyu
( m.) Tunga sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha idadi dhahiri katika ngeli ya U-I.
N.Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili ya neno tupa (alama2)
o . Fafanua maana ya kirai, kisha utunge sentensi sahihi, kuonyesha kirai kihisishi
alama2) k.
P. Fafanua maana ya kishazi tegemezi - (alama 1)
q. Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. kiashiria kiradidi) (alama I)
r. Tunga sentensi moja yenye viungo vifuatavyo vya sarufi (alama2)
Kikanushi cha ngeli ya A-WA nafsi ya kwanza Kikanushi cha wakati ujao
Kiwakilishi, nafsi ya pili wingi
Mzizi wa kitenzi cha silabi moja-kunywa
Mnyambuliko wa kitenzi kauli ya kufanyia
S.Tunga sentensi moja ukionyesha sharirisho kipozi, kitondo, ala na chagizo (alama2)
t. Andika sentensi kuonyesha matumizi mawili mawili
ya
a) Kinyota
(alama2)
b) Kibainishi
u. Geuza sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa
(alama2)
Asha: Tafadhali usiuvunje mkono wangu
Fatuma: Ah! Mbona niuvunje?
v] Unaporidhika na jambo unasema hewala unaposhangalia timu yako kupata ushindi unasema.....
unapotaka usikivu unasema............ vake
w) lepesi ni kwa rahisi,ukuta ni kwa.....na njia ni kwa……
x] Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya dua na
y) Mzee Pumu ni mraibu wa vileo. Baada ya muda watoto wake wawili wanakuwa watumizi sugu wa vileo. Andika methali inayoweza kutumiwa kuelezea hali hii. (alal)
2) Tunga sentensi ukitumia kiunganishicha uteuzi (alama1)
ISIMU-JAMII
,(alama 10)
Eleza maana ya lugha
(alama 1)
Jadili sifa mbili bia za lugha
(alama 2)
Tofautisha kati ya lafudhi na lahaja.
(alama 2)
Eleza maana ya viziada lugha.
(alama 1)
Eleza kwa ubainifu sifa nne za lugha ya taifa
(alama 4)
| Athumani alikuwa na uraibu wa nini | {
"text": [
"Maziwa ya mtindi"
]
} |
3494_swa |
Jaribio la KCSE 2020 Kiswahili
1.ANDIKA hotuba utakayowatolea maafisa wa Elimu na walimu wakuu kuhusu umuhimu wa vyuo vya kiufundi nchini
2.Usalama wa mwanafunzi unamtegemea yeyr kadili.
3.Andika kisa kitakavyoafiki maana ya methali ifuatayo:Mchuma janga hulana wa kwao.
4.Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo. Mara tunilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya..
UFAHAMU, UFUPISHO, MATUMIZI YA LUGHA NA ISIMU JAMII
KARATASI YA PILI.
UFAHAMU.(alama 15)
Somo taarifa kisha ujibu maswali.
Aisee umeyasikia haya? Nafahamishwa kuwa mwenzetu huyu hapa mtaani, mwenye kiburi cha tausi.amepata funzo la mwaka.Naambiwa alipa kuwa kiatu hatayafanya aliyoyafanya usiku ule. Kisa na maana ni kuwa Athumani alipata mwaliko wa kwenda kufanya mahojiano kule katika jiji kuu,Nasikia kazi aliyotarajia kupata baada ya mahojiano ilikuwa na donge si haba. Huyo hangekuwa mwenzetu tena angeipata kazi hiyo.
Nafikiri angezidisha madaha maradufu.
Athumani hakutaka mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano. Alipanga mambo yake kisirisiri. Akaamua kuomba idhini ya siku moja kutoka kazini akisingizia kuwa alikuwa na mgonjwa ambaye angempeleka hospitalini siku hiyo. Akapanga kusafiri kwa basi la usiku ili kuwahi jijini asubuhi. Kufanya mahojiano na kurudi jioni yake.
Kama kawaida mabasi ya usiku huondoka hapa kuanzia saa mbili. Madereva nao wanatabia za kuyasimamisha katika eneo fulani njiani ili abiria wenye haja wajisadie na angalau kupata kitu kidogo cha kufunzia tumbo.
Basi liliposimama Athumani alishuka kama abiria,akaenda msalani kisha mkahawani . Alikuwa na uraibu wa maziwa ya mtindi.Akanunua pakiti moja na kuifungua harakaharaka ungedhani anashindana na mtu. Akayagugumia kana kwamba angenyang’anywa . Akatisha na pakiti ya pili.
Baada ya muda abiria wakarudi garini Basi likang’oa nanga Kitambo cha nusu saa hivi. Tumbo likaanza kumchafua Athumani Akahangaika na kuhangaika pale kitini Jasho likaanza kumtoka. Alipoona hayavumiliki tena, alichapuka kitini himahima hadi kwa dereva. Kutokana na mbazo aliokuwa nao, akasahau kutumia lugha ya adabu.
Baada ya kumwasisha dereva husimamisha basi, dereva naye akaongeza inwendo. Alihofia kuwa huenda anayemwamriisha ni mmoja wa majambazi wa barabarani ambao wana mazoea ya kumtuma mmoja wao asafiri pamoja na abiria wengine kama mmoja wao Wenzake huwa katika eneo fulani ambapo jambazi abiria ataomba basi
lisimamishwe ili ajisaidie Dereve akilisimamisha basi pale alipoombwa, majambazi hutoka vichakani na kuwavamia Huwaumiza na kuwafilisi abiria, dereva na utingo
Athumani aliendelea kuhangaika Hatimaye, dereva aliamua na liwe liwalo alipomwona
Athumani amechutama huku jasho likimtiririka Akaliegesha basi kando ya barabara na kumpa Athumani nafasi ya kujisaidia Athumani hakugoja basi lisimame kabisa wala utingo kufungua mlango Aliufungua harakaharaka na kufyatuka nje! kama risasi na kujitoma kichakani. Akavua suruali yake upesiupesi na kutekeleza matilaba bila kufa
hamu kuwa pale alipokuwa anatekelezea shughuli hizi alikuweko kuchakulo: mnyama mdogo ambaye kinga yake anapoingiliwa na adui ni kumrushia maji yenye harufu mbaya karibu Athumani akalie kuchakulo yule bila kujua kutokana na mkazo
kumrushia Athumani maji yale mavazini mwake Athumani hakuyahisi haya.
Athumani alichukua muda pale kichakani hataabiria wakasikika wakilalamika. Aliporudi basini huku amechangamka kwa kulitua zigo lililomlemea, abiria wote walizishika pua zao wakisema mfuuu! Athumani hakujua kulikuwa na nini.
Basi liliendelea na safari huku abiria wakishikilia pua zao. Kila wakijaribu kuziachilia,
ndivyo harufu iliyohanikiza ilivyozidi kuwaathiri.
Wakashindwa kuvumilia uvundo. Wengi walidhani kuwa Athumani alikuwa amejiendea haja nguoni Wakaamrisha atupwe nje au wote washuke warejeshewe nauli zao. Kwa kuwa baridi ina msimamo kwa kondoo mwenye manyoya haba, njia rahisi ilikuwa kumshusha Athumani aliyekuwa peke yake badala ya abiria katika basi zima. Alishushwa katika kitongoji kimojawapo. Athumani aliposhushwa, alichanganyikiwa
asijue la kufanya. Hakujua alikoshushwa wala wakumwendea kumuomba msaada. Alipokuwa akiwaza na kuwazua afanye nini. genge la majambazi lilitokea na kumvamia. Likampora kila kitu: mkoba wake, stakabadhi, pesa na hata kumvua mavazi aliyokuwa nayo. Wakamwacha uchi wa mnyama katika eneo asilojua mtu wa kumwauni. Baridi ya
usiku ikamvamia vilivyo.
Athumani aliokolewa siku iliyofuata na madereva wa magari ambao hapo awali alikuwa
akiwabeza. Wakamtafutia mavazi na kumbeba hadi nyumbani. Hakuweza kufanya yale mahojiano. Alipokumbuka yaliyomfika usiku huo, alikula yamini kuwa katu hatakunywa wala kula chakula chochote akiwa safarini.
Maswali:
(a) Tambua sifa tatu hasi za Athumani (alama 3)
(b) Thibitisha kuwa Athumani ni msiri (alama 1)
(ch) Onesha changamoto za safari za mabasi kulingana na kifungu (alama 3)
d) Jadili mafunzo aliyopata Athumani. alama 2)
le) Kwa nini Athumani alikataa mtu yeyote kujua kwamba anaenda kufanya mahojiano? (alama 1)
(f).Jadili sifa mbili za wa basi dereva patiti ya pili ya maziwa yayo hayo na kuyagugurnia (alarna 2)
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu (alama 3)
(i)gugumia
(ii) ng’oa nanga
(iii) himili
UFUPISHO
(ALAMA 15)
Soma Makala Yafuatayo Kisha Ufupishe Habari Kulingana na Maswali Uliyopewa.
Watu wengi hawawezi kunywa chai au uji bila kutia sukari Wanatumia sukari kwa hamu na ghamu bila kutambua kuwa hiyo ni sumu wanayongezea mwilini.
Ni Ukweli usiopingika kuwa wazee wetu wa jadi waliishi muda mrefu wakiwa na saha njerna kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa waliishi katika kipindi ambacho sukari inayotengeriezwa viwandani haikuweko. Iwapo ilikuweko ilikuwa bidhaa ya wateule waungwana kutengenezea vitu kama keki. mahamri, vitumbua na kadhalika na akina yahe hawangeweza kuigharamia. Watafiti wa masuala ya afya wamegundua kuwa
sukari inayotayarishwa viwandani sasa hivi haina virutubishi vyovyote. Halikadhalika, utaratibu wa viwandani wa kutayarisha sukari ili iwe nyeupe na kuichuia huharibu virutubishi vinavyoweza kuwa muhimu mwilini Umuhimu wa sukari wakau
saza kuwa ni kutia ladha tamu tu Umuhimu huu hauwezi kulinganishwa na madhara yanayoletwa na sukari hii Baada ya kusagika mwilini, sukari hii huacha masalio ya asidi mwilini yenye sumu inayoathiri siha.
Matumizi ya sukari kwa wingi husababisha madhara mbalimbali mwilini. Kwanza, huchangia kuoza na kuharibika kwa meno pamoja na matatizo ya meno kuuma. Pili, sukari nyeupe imehusishwa na ongezeko la maradhi ya kisukari, moyo na hipoglisimia au upungufu wa sukari mwilini.
Matumizi holela ya sukari huleta kipandauso au ugonjwa wa ghafla wa kuumwa upande mmoja wa kichwa unaoambatana na kichefuchefu, kutapika na matatizo ya kuona. Pia, sukari huleta maradhi ya ngozi na figo, pamoja na ongezeko la kemikali
iitwayo kolestroli, ambayo ni ufuta unaonata na ambao unatokana na kutoyeyuka kwa mafuta yote mwilini. Kemikali hii ya kolestroli inaporundikana moyoni, hufanya mishipa inayotoa damu mayoni na kuisambaza mwilini kuwa myembamba na sugu. Moyo hulazimika kusukuma damu kwa nguvu na huenda moyo ukachoka na kukoma
kufanya kazi.
Madhara haya ya sukari ndiyo yanayowafanya watu wengi kukiri kuwa sukari, ingawa ni tamu, ni sumu mwilini.
Wataalamu wa lishe wamependekeza ulaji wa vyakula kama nafaka, matunda, mboga na miwa ambavyo vimejaa sukari asilia.
Fauka ya hayo, sukari inayotoka katika asali ni bora zaidi kwa mwili wa mwanadamu. Asali huwa na sukari asilia, vitamini, madini na amino asidi. Hivi vyote huwa na manufaa mbalimbali mwilini. Mathalani, asali huupa mwili nishati
inayohitajika kuendesha shughuli za viungo. Licha ya hayo, asali huuchangamsha mwili. Asali huwa na kemikali ambazo husaidia watoto kukua vizuri.
kupunguza uwezekano wa watoto kuwa na anemia (upungufu wa damu). Halikadhalika, asali husaidia katika usagaji wa chakula iwapo itatumiwa kabla! ya muda. Matumizi ya kijiko kimoja cha asali kila siku husaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa ya kukohoa. Asali husaidia pia kuondoa harufu mbaya kinywani Asali pia inaweza kutumiwa kujipaka. Inapotumiwa kwa njia hii, hutunza ngozi na kuifanya ing'are, huondoa vipele na ugumu wa ngozi. (pamoja na kutibu kule ngozi ilikokatikakatika.
. (Halikadhalika, asali hutibu vidonda. Viwanda vingi vya vipodozi vilevile hutumia asali kama malighafi umuhimu katika utengenezaji wa bidhaa hizo.
Maswali
(a) Eleza madhara ya sukari (maneno 70)
(alama 9)
(b) Eleza manufaa ya sukari ya asali (kwa maneno 70 )
(alama 6)
Matumizi ya lugha(alama 40
(a)Kwa kutoa mitano onyesha dhima nne za viambishi tamati
(b)Eleza maana ya mofimu sahii (alama2)
(c)Unda kitenzi kutokana na neno tafadhali. (alama1)
(d). Fafanua maana ya tatanishi ni nini?
(alama1)
( e ).Tunga sentensi ukitumia sauti mtuo (alama2)
Onyesha mofimu katika: (alam2
Waliopewa
(g) Tunga sentensi kuonyesha kiambishi cha kukikanushi(alama 2)
(h). Tunga sentensi ukitumia kiunganishi cha kukinza
(alama 1)
i Kanusha
Kuja kwake kulitunufaisha.
(alama 1)
(i). Tumia viambishi viwili kama vielezi vya mahali katika
sentensi moja visivyokuwa vya ngeli ya PA KU MU (alama 2)
(k) Bainisha viwakilishi vinne katika sentensi hii.
Aliwaletea matano
(L.)Tofautisha sentensi zifuatazo kimaana kwa kuongezwa na vivumishi vilivyopigiwa mistari (alama 2)
Mwanafunzi mwenyewe ndiye huyu
Mwenye mwanafunzi ndiye huyu
( m.) Tunga sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha idadi dhahiri katika ngeli ya U-I.
N.Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili ya neno tupa (alama2)
o . Fafanua maana ya kirai, kisha utunge sentensi sahihi, kuonyesha kirai kihisishi
alama2) k.
P. Fafanua maana ya kishazi tegemezi - (alama 1)
q. Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. kiashiria kiradidi) (alama I)
r. Tunga sentensi moja yenye viungo vifuatavyo vya sarufi (alama2)
Kikanushi cha ngeli ya A-WA nafsi ya kwanza Kikanushi cha wakati ujao
Kiwakilishi, nafsi ya pili wingi
Mzizi wa kitenzi cha silabi moja-kunywa
Mnyambuliko wa kitenzi kauli ya kufanyia
S.Tunga sentensi moja ukionyesha sharirisho kipozi, kitondo, ala na chagizo (alama2)
t. Andika sentensi kuonyesha matumizi mawili mawili
ya
a) Kinyota
(alama2)
b) Kibainishi
u. Geuza sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa
(alama2)
Asha: Tafadhali usiuvunje mkono wangu
Fatuma: Ah! Mbona niuvunje?
v] Unaporidhika na jambo unasema hewala unaposhangalia timu yako kupata ushindi unasema.....
unapotaka usikivu unasema............ vake
w) lepesi ni kwa rahisi,ukuta ni kwa.....na njia ni kwa……
x] Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya dua na
y) Mzee Pumu ni mraibu wa vileo. Baada ya muda watoto wake wawili wanakuwa watumizi sugu wa vileo. Andika methali inayoweza kutumiwa kuelezea hali hii. (alal)
2) Tunga sentensi ukitumia kiunganishicha uteuzi (alama1)
ISIMU-JAMII
,(alama 10)
Eleza maana ya lugha
(alama 1)
Jadili sifa mbili bia za lugha
(alama 2)
Tofautisha kati ya lafudhi na lahaja.
(alama 2)
Eleza maana ya viziada lugha.
(alama 1)
Eleza kwa ubainifu sifa nne za lugha ya taifa
(alama 4)
| Nani waliomvamia Athumani baada ya kushushwa na basi | {
"text": [
"Genge la majambazi"
]
} |
3495_swa |
Kulikuwa na kizaazaa kwenye kikao kilichoandaliwa hapa kumpatanisha polo na
mkewe, mwanadada alipoanza kumkemea jamaa mbele ya wazee na kutoboa siri zake zote.
Inadaiwa wawili hao walikuwa wametofautiana na kuachana tofauti zilipoibuka katika ndoa yao. Yasemekana wazee waliamua kuchukua hatua kumpatanisha polo na mkewe.
Taarifa zasema mwanadada aliitwa kikaoni ili atoe sababu za kutengana na polo. "Huyu jamaa ni mwanaume sampuli gani? Ana shida nyingi sana," lapusa alianza kwa kusema.
Inadaiwa jamaa alisimama na kumjibu. "Hata wewe una shida nyingi sana. Achana na shida zangu” , jamaa aliwaka.
Waliokuwa kikaoni waliinuka mara moja na kutuliza joto lililokuwa likipanda "Tumekuja hapa kutafuta suluhisho. Wakati wa kulaumiana umeisha," mzee mmoja alisema. Kipusa aliendelea kutoa sababu zake huku kila mtu akimsikiliza kwa makini.
"Huyu jamaa anakula sana. Sijui chakula anachokula huwa kinaenda wapi. Kitandani ni hoe hae tu," kipusa alidai. Kila mtu kikaoni alibaki mdomo wazi
Wazee wote walifungua macho kwa mshangao na kuanza kuangaliana.
Acha ujinga wewe. Chakula ninachokula mimi mwenyewe hukitafuta. Usiku ni wakati wa kulala. Kwani ulitaka nipigane na kunguni,polo alimfokea kipusa.
Wazee walibaki wameduwaa. "Wewe sijui kama utapata mke mwingine wa kuoa. Mimi hapa sirudi. Kama ni mahari yenu mnataka ni Duru zinasema wazee walimhimiza kipusa kuwa mtulivu ili wapate suluhisho.
"Hata tukiwa kwa nyumba, huyu jamaa hunirukia tu kama jogoo arukiavyo kuku jike," mwanadada alidai. Ripoti zinasema polo aligeuka bubu asiseme lolote. Alionekana mwenye aibu nyingi sana. Wazee walijaribu kumtuliza kipusa lakini aliendelea kutoa siri za polo. "Nawaheshimu sana wazee wote walioko hapa. Mimi ningerudiana na kijana wenu lakini . tabia zake zimenishinda," alidai. | Kikao kiliandaliwa kuwapatanisha kina nani | {
"text": [
"Polo na mkewe"
]
} |
3495_swa |
Kulikuwa na kizaazaa kwenye kikao kilichoandaliwa hapa kumpatanisha polo na
mkewe, mwanadada alipoanza kumkemea jamaa mbele ya wazee na kutoboa siri zake zote.
Inadaiwa wawili hao walikuwa wametofautiana na kuachana tofauti zilipoibuka katika ndoa yao. Yasemekana wazee waliamua kuchukua hatua kumpatanisha polo na mkewe.
Taarifa zasema mwanadada aliitwa kikaoni ili atoe sababu za kutengana na polo. "Huyu jamaa ni mwanaume sampuli gani? Ana shida nyingi sana," lapusa alianza kwa kusema.
Inadaiwa jamaa alisimama na kumjibu. "Hata wewe una shida nyingi sana. Achana na shida zangu” , jamaa aliwaka.
Waliokuwa kikaoni waliinuka mara moja na kutuliza joto lililokuwa likipanda "Tumekuja hapa kutafuta suluhisho. Wakati wa kulaumiana umeisha," mzee mmoja alisema. Kipusa aliendelea kutoa sababu zake huku kila mtu akimsikiliza kwa makini.
"Huyu jamaa anakula sana. Sijui chakula anachokula huwa kinaenda wapi. Kitandani ni hoe hae tu," kipusa alidai. Kila mtu kikaoni alibaki mdomo wazi
Wazee wote walifungua macho kwa mshangao na kuanza kuangaliana.
Acha ujinga wewe. Chakula ninachokula mimi mwenyewe hukitafuta. Usiku ni wakati wa kulala. Kwani ulitaka nipigane na kunguni,polo alimfokea kipusa.
Wazee walibaki wameduwaa. "Wewe sijui kama utapata mke mwingine wa kuoa. Mimi hapa sirudi. Kama ni mahari yenu mnataka ni Duru zinasema wazee walimhimiza kipusa kuwa mtulivu ili wapate suluhisho.
"Hata tukiwa kwa nyumba, huyu jamaa hunirukia tu kama jogoo arukiavyo kuku jike," mwanadada alidai. Ripoti zinasema polo aligeuka bubu asiseme lolote. Alionekana mwenye aibu nyingi sana. Wazee walijaribu kumtuliza kipusa lakini aliendelea kutoa siri za polo. "Nawaheshimu sana wazee wote walioko hapa. Mimi ningerudiana na kijana wenu lakini . tabia zake zimenishinda," alidai. | Kipusa(mke wa polo) alidai kuwa polo alikuwa vipi kitandani | {
"text": [
"Hoehae"
]
} |
3495_swa |
Kulikuwa na kizaazaa kwenye kikao kilichoandaliwa hapa kumpatanisha polo na
mkewe, mwanadada alipoanza kumkemea jamaa mbele ya wazee na kutoboa siri zake zote.
Inadaiwa wawili hao walikuwa wametofautiana na kuachana tofauti zilipoibuka katika ndoa yao. Yasemekana wazee waliamua kuchukua hatua kumpatanisha polo na mkewe.
Taarifa zasema mwanadada aliitwa kikaoni ili atoe sababu za kutengana na polo. "Huyu jamaa ni mwanaume sampuli gani? Ana shida nyingi sana," lapusa alianza kwa kusema.
Inadaiwa jamaa alisimama na kumjibu. "Hata wewe una shida nyingi sana. Achana na shida zangu” , jamaa aliwaka.
Waliokuwa kikaoni waliinuka mara moja na kutuliza joto lililokuwa likipanda "Tumekuja hapa kutafuta suluhisho. Wakati wa kulaumiana umeisha," mzee mmoja alisema. Kipusa aliendelea kutoa sababu zake huku kila mtu akimsikiliza kwa makini.
"Huyu jamaa anakula sana. Sijui chakula anachokula huwa kinaenda wapi. Kitandani ni hoe hae tu," kipusa alidai. Kila mtu kikaoni alibaki mdomo wazi
Wazee wote walifungua macho kwa mshangao na kuanza kuangaliana.
Acha ujinga wewe. Chakula ninachokula mimi mwenyewe hukitafuta. Usiku ni wakati wa kulala. Kwani ulitaka nipigane na kunguni,polo alimfokea kipusa.
Wazee walibaki wameduwaa. "Wewe sijui kama utapata mke mwingine wa kuoa. Mimi hapa sirudi. Kama ni mahari yenu mnataka ni Duru zinasema wazee walimhimiza kipusa kuwa mtulivu ili wapate suluhisho.
"Hata tukiwa kwa nyumba, huyu jamaa hunirukia tu kama jogoo arukiavyo kuku jike," mwanadada alidai. Ripoti zinasema polo aligeuka bubu asiseme lolote. Alionekana mwenye aibu nyingi sana. Wazee walijaribu kumtuliza kipusa lakini aliendelea kutoa siri za polo. "Nawaheshimu sana wazee wote walioko hapa. Mimi ningerudiana na kijana wenu lakini . tabia zake zimenishinda," alidai. | Mkewe polo alisema polo humrukia kama nani | {
"text": [
"Jogoo arukiavyo kukujike "
]
} |
3495_swa |
Kulikuwa na kizaazaa kwenye kikao kilichoandaliwa hapa kumpatanisha polo na
mkewe, mwanadada alipoanza kumkemea jamaa mbele ya wazee na kutoboa siri zake zote.
Inadaiwa wawili hao walikuwa wametofautiana na kuachana tofauti zilipoibuka katika ndoa yao. Yasemekana wazee waliamua kuchukua hatua kumpatanisha polo na mkewe.
Taarifa zasema mwanadada aliitwa kikaoni ili atoe sababu za kutengana na polo. "Huyu jamaa ni mwanaume sampuli gani? Ana shida nyingi sana," lapusa alianza kwa kusema.
Inadaiwa jamaa alisimama na kumjibu. "Hata wewe una shida nyingi sana. Achana na shida zangu” , jamaa aliwaka.
Waliokuwa kikaoni waliinuka mara moja na kutuliza joto lililokuwa likipanda "Tumekuja hapa kutafuta suluhisho. Wakati wa kulaumiana umeisha," mzee mmoja alisema. Kipusa aliendelea kutoa sababu zake huku kila mtu akimsikiliza kwa makini.
"Huyu jamaa anakula sana. Sijui chakula anachokula huwa kinaenda wapi. Kitandani ni hoe hae tu," kipusa alidai. Kila mtu kikaoni alibaki mdomo wazi
Wazee wote walifungua macho kwa mshangao na kuanza kuangaliana.
Acha ujinga wewe. Chakula ninachokula mimi mwenyewe hukitafuta. Usiku ni wakati wa kulala. Kwani ulitaka nipigane na kunguni,polo alimfokea kipusa.
Wazee walibaki wameduwaa. "Wewe sijui kama utapata mke mwingine wa kuoa. Mimi hapa sirudi. Kama ni mahari yenu mnataka ni Duru zinasema wazee walimhimiza kipusa kuwa mtulivu ili wapate suluhisho.
"Hata tukiwa kwa nyumba, huyu jamaa hunirukia tu kama jogoo arukiavyo kuku jike," mwanadada alidai. Ripoti zinasema polo aligeuka bubu asiseme lolote. Alionekana mwenye aibu nyingi sana. Wazee walijaribu kumtuliza kipusa lakini aliendelea kutoa siri za polo. "Nawaheshimu sana wazee wote walioko hapa. Mimi ningerudiana na kijana wenu lakini . tabia zake zimenishinda," alidai. | Nani waliyoandaa kikao | {
"text": [
"Wazee"
]
} |
3495_swa |
Kulikuwa na kizaazaa kwenye kikao kilichoandaliwa hapa kumpatanisha polo na
mkewe, mwanadada alipoanza kumkemea jamaa mbele ya wazee na kutoboa siri zake zote.
Inadaiwa wawili hao walikuwa wametofautiana na kuachana tofauti zilipoibuka katika ndoa yao. Yasemekana wazee waliamua kuchukua hatua kumpatanisha polo na mkewe.
Taarifa zasema mwanadada aliitwa kikaoni ili atoe sababu za kutengana na polo. "Huyu jamaa ni mwanaume sampuli gani? Ana shida nyingi sana," lapusa alianza kwa kusema.
Inadaiwa jamaa alisimama na kumjibu. "Hata wewe una shida nyingi sana. Achana na shida zangu” , jamaa aliwaka.
Waliokuwa kikaoni waliinuka mara moja na kutuliza joto lililokuwa likipanda "Tumekuja hapa kutafuta suluhisho. Wakati wa kulaumiana umeisha," mzee mmoja alisema. Kipusa aliendelea kutoa sababu zake huku kila mtu akimsikiliza kwa makini.
"Huyu jamaa anakula sana. Sijui chakula anachokula huwa kinaenda wapi. Kitandani ni hoe hae tu," kipusa alidai. Kila mtu kikaoni alibaki mdomo wazi
Wazee wote walifungua macho kwa mshangao na kuanza kuangaliana.
Acha ujinga wewe. Chakula ninachokula mimi mwenyewe hukitafuta. Usiku ni wakati wa kulala. Kwani ulitaka nipigane na kunguni,polo alimfokea kipusa.
Wazee walibaki wameduwaa. "Wewe sijui kama utapata mke mwingine wa kuoa. Mimi hapa sirudi. Kama ni mahari yenu mnataka ni Duru zinasema wazee walimhimiza kipusa kuwa mtulivu ili wapate suluhisho.
"Hata tukiwa kwa nyumba, huyu jamaa hunirukia tu kama jogoo arukiavyo kuku jike," mwanadada alidai. Ripoti zinasema polo aligeuka bubu asiseme lolote. Alionekana mwenye aibu nyingi sana. Wazee walijaribu kumtuliza kipusa lakini aliendelea kutoa siri za polo. "Nawaheshimu sana wazee wote walioko hapa. Mimi ningerudiana na kijana wenu lakini . tabia zake zimenishinda," alidai. | Nani aliyetoa sababu nyingi za kutengana | {
"text": [
"Mkewe polo"
]
} |
3496_swa | Walimu zaidi ya 115 wameondolewa Kaskazini kwa sababu za kiusalama.Uhamisho wa walimu walemaza masomo
SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu
kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu kuhamisha walimu kufuatia visa vya mashambulizi ya kigaidi. Mwakilishi wa Chama cha Walimu (KNUT) tawi la Wajir, Bw Mohamed Bardad alieleza Taifa Leo kuwa, shule nyingi katika maeneo ya Wajir Kusini,Mashariki na Tarbaj ziliathirika zaidi kutokana na uhamisho huo.
Sasa baadhi ya taasisi hizo ziko kati ka hatari ya kufungwa. Kwa mfano, katika eneo la bunge la Wajir Kusini, walimu 47 walihamishwa. Shule zilizopoteza walimu wengi zaidi ni ile ya msingi na upili ya Dada jabula, za msingi za Biyamadhow, Sarif na Sala Katika eneo la Tarbaj, walimu 45 walihamishwa. Bw Bardad alisema kuwa shule katika wadi za Wargadud, Kutulo na lafaley zinaelekea kufungwa kutokana na ukosefu wa walimu.Kati ya wadi nne za eneo la Tarbaj, ni moja tu- Sarman, ambayo imeorodheshwa kuwa salama kwa walimu.Shule za upili na msingi za Elben, Qa- iyopita.jaja, Dasheq na Mansa pia ni miongoni mwa zile zilizopoteza walimu wengi zaidi,Katika eneo la Wajir Mashariki, walimu 24 walihamishwa, hatua iliyoacha hali ya masomo ikiwa tete.Huko Garissa, walimu ambao wamekuwa wakifanya kazi maeneo ya mpakani mwa Kenya na Somalia tayari wamehamishiwa shule zingine zilizo katika maeneo salama.Hatua hiyo iliathiri shule za kaunti nne ndogo za Fafi, Dadaab, Ijara na Hulugho.Idadi ya walimu ambao wamehamishwa kutoka Kaunti ya Mandera. hata hivyo, haijulikani japo idadi kubwa ya shule zimeachwa bila walimu wa kutosha.Ijumaa iliyopita Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kwamba, vita dhidi ya magaidi wa Al-Shabaab ambao wamekuwa wakitekeleza mashambulizi kiholela katika maeneo ya Kaskazini Mashariki na Pwani, hususan wakati muhula wa kwanza ulipofunguliwa majuma machache yaliyopita. Hata hivyo, Bw Bardad asema hiyo haitakuwa suluhisho kwa matatizo yanayokumba sekta ya elimu eneo hilo. Alisema kinachohitajika ni kutafuta wa mbinu mwafaka itakayoleta mabadiliko ya kudumu. - Mwakilishi huyo wa Knut alitaja pen dekezo la aliyekuwa Waziri wa Elimu Amina Mohammed(sasa Waziri wa Michezo)kwamba, gredi ya wanaotakakusomea ualimu kutoka eneo hilo ipunguzwe. Alipigia upatu kauli hiyo kwamba ingekuwa suluhu bora kwa matatizo hayo ya ukosefu wa walimu wa kutosha eneo, la Kaskazini Mashariki. Pendekezo hilo lilikataliwa na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC)."Ikiwa wanafunzi waliokuwa wameteuliwa kwa mafunzo ya ualimu chini serikali ya mfumo huo hawangetimuliwa chuoi, pengine hatungekuwa na matatizo sugu kiasi hiki," akaeleza. | Nani walihamishwa baada ya mashambulizi ya kigaidi | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
3496_swa | Walimu zaidi ya 115 wameondolewa Kaskazini kwa sababu za kiusalama.Uhamisho wa walimu walemaza masomo
SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu
kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu kuhamisha walimu kufuatia visa vya mashambulizi ya kigaidi. Mwakilishi wa Chama cha Walimu (KNUT) tawi la Wajir, Bw Mohamed Bardad alieleza Taifa Leo kuwa, shule nyingi katika maeneo ya Wajir Kusini,Mashariki na Tarbaj ziliathirika zaidi kutokana na uhamisho huo.
Sasa baadhi ya taasisi hizo ziko kati ka hatari ya kufungwa. Kwa mfano, katika eneo la bunge la Wajir Kusini, walimu 47 walihamishwa. Shule zilizopoteza walimu wengi zaidi ni ile ya msingi na upili ya Dada jabula, za msingi za Biyamadhow, Sarif na Sala Katika eneo la Tarbaj, walimu 45 walihamishwa. Bw Bardad alisema kuwa shule katika wadi za Wargadud, Kutulo na lafaley zinaelekea kufungwa kutokana na ukosefu wa walimu.Kati ya wadi nne za eneo la Tarbaj, ni moja tu- Sarman, ambayo imeorodheshwa kuwa salama kwa walimu.Shule za upili na msingi za Elben, Qa- iyopita.jaja, Dasheq na Mansa pia ni miongoni mwa zile zilizopoteza walimu wengi zaidi,Katika eneo la Wajir Mashariki, walimu 24 walihamishwa, hatua iliyoacha hali ya masomo ikiwa tete.Huko Garissa, walimu ambao wamekuwa wakifanya kazi maeneo ya mpakani mwa Kenya na Somalia tayari wamehamishiwa shule zingine zilizo katika maeneo salama.Hatua hiyo iliathiri shule za kaunti nne ndogo za Fafi, Dadaab, Ijara na Hulugho.Idadi ya walimu ambao wamehamishwa kutoka Kaunti ya Mandera. hata hivyo, haijulikani japo idadi kubwa ya shule zimeachwa bila walimu wa kutosha.Ijumaa iliyopita Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kwamba, vita dhidi ya magaidi wa Al-Shabaab ambao wamekuwa wakitekeleza mashambulizi kiholela katika maeneo ya Kaskazini Mashariki na Pwani, hususan wakati muhula wa kwanza ulipofunguliwa majuma machache yaliyopita. Hata hivyo, Bw Bardad asema hiyo haitakuwa suluhisho kwa matatizo yanayokumba sekta ya elimu eneo hilo. Alisema kinachohitajika ni kutafuta wa mbinu mwafaka itakayoleta mabadiliko ya kudumu. - Mwakilishi huyo wa Knut alitaja pen dekezo la aliyekuwa Waziri wa Elimu Amina Mohammed(sasa Waziri wa Michezo)kwamba, gredi ya wanaotakakusomea ualimu kutoka eneo hilo ipunguzwe. Alipigia upatu kauli hiyo kwamba ingekuwa suluhu bora kwa matatizo hayo ya ukosefu wa walimu wa kutosha eneo, la Kaskazini Mashariki. Pendekezo hilo lilikataliwa na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC)."Ikiwa wanafunzi waliokuwa wameteuliwa kwa mafunzo ya ualimu chini serikali ya mfumo huo hawangetimuliwa chuoi, pengine hatungekuwa na matatizo sugu kiasi hiki," akaeleza. | Eneo bunge la Wajir Kusini walimu wangapi walihamishwa | {
"text": [
"47"
]
} |
3496_swa | Walimu zaidi ya 115 wameondolewa Kaskazini kwa sababu za kiusalama.Uhamisho wa walimu walemaza masomo
SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu
kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu kuhamisha walimu kufuatia visa vya mashambulizi ya kigaidi. Mwakilishi wa Chama cha Walimu (KNUT) tawi la Wajir, Bw Mohamed Bardad alieleza Taifa Leo kuwa, shule nyingi katika maeneo ya Wajir Kusini,Mashariki na Tarbaj ziliathirika zaidi kutokana na uhamisho huo.
Sasa baadhi ya taasisi hizo ziko kati ka hatari ya kufungwa. Kwa mfano, katika eneo la bunge la Wajir Kusini, walimu 47 walihamishwa. Shule zilizopoteza walimu wengi zaidi ni ile ya msingi na upili ya Dada jabula, za msingi za Biyamadhow, Sarif na Sala Katika eneo la Tarbaj, walimu 45 walihamishwa. Bw Bardad alisema kuwa shule katika wadi za Wargadud, Kutulo na lafaley zinaelekea kufungwa kutokana na ukosefu wa walimu.Kati ya wadi nne za eneo la Tarbaj, ni moja tu- Sarman, ambayo imeorodheshwa kuwa salama kwa walimu.Shule za upili na msingi za Elben, Qa- iyopita.jaja, Dasheq na Mansa pia ni miongoni mwa zile zilizopoteza walimu wengi zaidi,Katika eneo la Wajir Mashariki, walimu 24 walihamishwa, hatua iliyoacha hali ya masomo ikiwa tete.Huko Garissa, walimu ambao wamekuwa wakifanya kazi maeneo ya mpakani mwa Kenya na Somalia tayari wamehamishiwa shule zingine zilizo katika maeneo salama.Hatua hiyo iliathiri shule za kaunti nne ndogo za Fafi, Dadaab, Ijara na Hulugho.Idadi ya walimu ambao wamehamishwa kutoka Kaunti ya Mandera. hata hivyo, haijulikani japo idadi kubwa ya shule zimeachwa bila walimu wa kutosha.Ijumaa iliyopita Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kwamba, vita dhidi ya magaidi wa Al-Shabaab ambao wamekuwa wakitekeleza mashambulizi kiholela katika maeneo ya Kaskazini Mashariki na Pwani, hususan wakati muhula wa kwanza ulipofunguliwa majuma machache yaliyopita. Hata hivyo, Bw Bardad asema hiyo haitakuwa suluhisho kwa matatizo yanayokumba sekta ya elimu eneo hilo. Alisema kinachohitajika ni kutafuta wa mbinu mwafaka itakayoleta mabadiliko ya kudumu. - Mwakilishi huyo wa Knut alitaja pen dekezo la aliyekuwa Waziri wa Elimu Amina Mohammed(sasa Waziri wa Michezo)kwamba, gredi ya wanaotakakusomea ualimu kutoka eneo hilo ipunguzwe. Alipigia upatu kauli hiyo kwamba ingekuwa suluhu bora kwa matatizo hayo ya ukosefu wa walimu wa kutosha eneo, la Kaskazini Mashariki. Pendekezo hilo lilikataliwa na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC)."Ikiwa wanafunzi waliokuwa wameteuliwa kwa mafunzo ya ualimu chini serikali ya mfumo huo hawangetimuliwa chuoi, pengine hatungekuwa na matatizo sugu kiasi hiki," akaeleza. | Katika aeneo la Wajir mashariki walimu wangapi walihamishwa | {
"text": [
"24"
]
} |
3496_swa | Walimu zaidi ya 115 wameondolewa Kaskazini kwa sababu za kiusalama.Uhamisho wa walimu walemaza masomo
SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu
kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu kuhamisha walimu kufuatia visa vya mashambulizi ya kigaidi. Mwakilishi wa Chama cha Walimu (KNUT) tawi la Wajir, Bw Mohamed Bardad alieleza Taifa Leo kuwa, shule nyingi katika maeneo ya Wajir Kusini,Mashariki na Tarbaj ziliathirika zaidi kutokana na uhamisho huo.
Sasa baadhi ya taasisi hizo ziko kati ka hatari ya kufungwa. Kwa mfano, katika eneo la bunge la Wajir Kusini, walimu 47 walihamishwa. Shule zilizopoteza walimu wengi zaidi ni ile ya msingi na upili ya Dada jabula, za msingi za Biyamadhow, Sarif na Sala Katika eneo la Tarbaj, walimu 45 walihamishwa. Bw Bardad alisema kuwa shule katika wadi za Wargadud, Kutulo na lafaley zinaelekea kufungwa kutokana na ukosefu wa walimu.Kati ya wadi nne za eneo la Tarbaj, ni moja tu- Sarman, ambayo imeorodheshwa kuwa salama kwa walimu.Shule za upili na msingi za Elben, Qa- iyopita.jaja, Dasheq na Mansa pia ni miongoni mwa zile zilizopoteza walimu wengi zaidi,Katika eneo la Wajir Mashariki, walimu 24 walihamishwa, hatua iliyoacha hali ya masomo ikiwa tete.Huko Garissa, walimu ambao wamekuwa wakifanya kazi maeneo ya mpakani mwa Kenya na Somalia tayari wamehamishiwa shule zingine zilizo katika maeneo salama.Hatua hiyo iliathiri shule za kaunti nne ndogo za Fafi, Dadaab, Ijara na Hulugho.Idadi ya walimu ambao wamehamishwa kutoka Kaunti ya Mandera. hata hivyo, haijulikani japo idadi kubwa ya shule zimeachwa bila walimu wa kutosha.Ijumaa iliyopita Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kwamba, vita dhidi ya magaidi wa Al-Shabaab ambao wamekuwa wakitekeleza mashambulizi kiholela katika maeneo ya Kaskazini Mashariki na Pwani, hususan wakati muhula wa kwanza ulipofunguliwa majuma machache yaliyopita. Hata hivyo, Bw Bardad asema hiyo haitakuwa suluhisho kwa matatizo yanayokumba sekta ya elimu eneo hilo. Alisema kinachohitajika ni kutafuta wa mbinu mwafaka itakayoleta mabadiliko ya kudumu. - Mwakilishi huyo wa Knut alitaja pen dekezo la aliyekuwa Waziri wa Elimu Amina Mohammed(sasa Waziri wa Michezo)kwamba, gredi ya wanaotakakusomea ualimu kutoka eneo hilo ipunguzwe. Alipigia upatu kauli hiyo kwamba ingekuwa suluhu bora kwa matatizo hayo ya ukosefu wa walimu wa kutosha eneo, la Kaskazini Mashariki. Pendekezo hilo lilikataliwa na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC)."Ikiwa wanafunzi waliokuwa wameteuliwa kwa mafunzo ya ualimu chini serikali ya mfumo huo hawangetimuliwa chuoi, pengine hatungekuwa na matatizo sugu kiasi hiki," akaeleza. | Ni raisi gani aliahidi kuimarisha vita dhidi ya maghaidi | {
"text": [
"Uhuru Kenyatta"
]
} |
3496_swa | Walimu zaidi ya 115 wameondolewa Kaskazini kwa sababu za kiusalama.Uhamisho wa walimu walemaza masomo
SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu
kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu kuhamisha walimu kufuatia visa vya mashambulizi ya kigaidi. Mwakilishi wa Chama cha Walimu (KNUT) tawi la Wajir, Bw Mohamed Bardad alieleza Taifa Leo kuwa, shule nyingi katika maeneo ya Wajir Kusini,Mashariki na Tarbaj ziliathirika zaidi kutokana na uhamisho huo.
Sasa baadhi ya taasisi hizo ziko kati ka hatari ya kufungwa. Kwa mfano, katika eneo la bunge la Wajir Kusini, walimu 47 walihamishwa. Shule zilizopoteza walimu wengi zaidi ni ile ya msingi na upili ya Dada jabula, za msingi za Biyamadhow, Sarif na Sala Katika eneo la Tarbaj, walimu 45 walihamishwa. Bw Bardad alisema kuwa shule katika wadi za Wargadud, Kutulo na lafaley zinaelekea kufungwa kutokana na ukosefu wa walimu.Kati ya wadi nne za eneo la Tarbaj, ni moja tu- Sarman, ambayo imeorodheshwa kuwa salama kwa walimu.Shule za upili na msingi za Elben, Qa- iyopita.jaja, Dasheq na Mansa pia ni miongoni mwa zile zilizopoteza walimu wengi zaidi,Katika eneo la Wajir Mashariki, walimu 24 walihamishwa, hatua iliyoacha hali ya masomo ikiwa tete.Huko Garissa, walimu ambao wamekuwa wakifanya kazi maeneo ya mpakani mwa Kenya na Somalia tayari wamehamishiwa shule zingine zilizo katika maeneo salama.Hatua hiyo iliathiri shule za kaunti nne ndogo za Fafi, Dadaab, Ijara na Hulugho.Idadi ya walimu ambao wamehamishwa kutoka Kaunti ya Mandera. hata hivyo, haijulikani japo idadi kubwa ya shule zimeachwa bila walimu wa kutosha.Ijumaa iliyopita Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kwamba, vita dhidi ya magaidi wa Al-Shabaab ambao wamekuwa wakitekeleza mashambulizi kiholela katika maeneo ya Kaskazini Mashariki na Pwani, hususan wakati muhula wa kwanza ulipofunguliwa majuma machache yaliyopita. Hata hivyo, Bw Bardad asema hiyo haitakuwa suluhisho kwa matatizo yanayokumba sekta ya elimu eneo hilo. Alisema kinachohitajika ni kutafuta wa mbinu mwafaka itakayoleta mabadiliko ya kudumu. - Mwakilishi huyo wa Knut alitaja pen dekezo la aliyekuwa Waziri wa Elimu Amina Mohammed(sasa Waziri wa Michezo)kwamba, gredi ya wanaotakakusomea ualimu kutoka eneo hilo ipunguzwe. Alipigia upatu kauli hiyo kwamba ingekuwa suluhu bora kwa matatizo hayo ya ukosefu wa walimu wa kutosha eneo, la Kaskazini Mashariki. Pendekezo hilo lilikataliwa na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC)."Ikiwa wanafunzi waliokuwa wameteuliwa kwa mafunzo ya ualimu chini serikali ya mfumo huo hawangetimuliwa chuoi, pengine hatungekuwa na matatizo sugu kiasi hiki," akaeleza. | Gredi ya wanaotaka kusomea ualimu ianafaa kufanywa nini | {
"text": [
"Kupunguzwa"
]
} |
3497_swa |
Mkulima wa mboga anayefanya zaraa yake mtaa wa kifahari
Eneo la Ngoingwa, Thika linakua kwa kasi mno kutokana na kuwepo karibu na Thika Super Highway nchini yenye njia nne na inayounganisha jiji la Nairobi na Thika.
Ukizuru eneo hilo utalakiwa na mandhari ya hadhi va im taswira inayoletwa na majumba ya kifahari na ya kisasa; jengwa. Hata ingawa mengi ni ya kibinafsi na pia ya kukodi ku kadha ya kupangisha ili kusitiri wenye mapato ya kadri na in madogo. Ni katika eneo hilo barabara kuu ya Thika - Mang’u inayoelekea hadi Fly Over na Naivasha imepitia.
Awali, Ngoingwa ilijulikana kwa kilimo cha kahawa, lakini wamiliki wa mashamba waliing'oa kwa sababu ya mapato duni. Wengi waliwekeza kwenye majumba ya kupangisha, biashara inayowaingizia maelfu ya pesa. Hata hivyo, kuna mashamba kadha, tuseme yanayohesabika ambayo yanakuza zao la kahawa.
Licha ya sifa hizo za kipekee, ni katika eneo hilo la Ngoingwa ambalo ramani inasoma kuwa katika kaunti ya Kiambu, tunakutana na Eric Mutunga, mkulima wa mboga. Kwenye shamba lenye ukubwa wa nusu ekari, kijana Mutunga amezamia mseto wa mboga, za kienyeji kama vile mnavu, almaarufu sucha au managu na vilevile mchicha - terere.
Kwenye shamba hilo la kukodi, Mutunga pia analima mboga aina ya sukuma wiki na spinachi. Hali kadhalika, hutakosa kuona broccoli na zao aina ya egg plant, ingawa anasema mazao hayo yangali kwenye mtihani kuona ikiwa yanafanya vyema katika udongo mweusi wa kufinyanga. .
Kilimo cha mboga anazokuza anakiendesha katika mradi wa mashamba yaliyo takriban kilomita tano, kutoka barabara ya Thika - Mang'u, eneo la Kisiwa, Ngoingwa. Mkulima huyo anasema ekari moja hukodishwa Sh12, 000 kwa mwaka, na ni wachache mno wanaolima mboga.
Mutunga, 27, aliingilia kilimo mwaka 2018, baada ya kujaribu gange mbalimbali.
“Nilikuwa nikifanya kazi ya msimamizi wa makazi ya bwanyenye mmoja humu, na kwa kuwa majukumu huwa mwendo wa asubuhi na jioni, mchana nilikuwa na inuda mwing, ziada. Niliamua kununua punda na kijigari chake, kusam watu mizigo," afafanua,
Hata hivyo, kazi hiyo haikumuendea vizuri kwani ammu
na wakati mgumu kwani
wakulima kacha, na baada ya
no cha mboga, hatua asiyoId Akilimali kwamba ilimgha
kwenye ajali na kijigari cha punda.
"Nilivunjika mguu mmoja. Nilikuwa na wakati mgumu lazima ningetafutia familia yangu lishe na kuitimizia mahitaji mengine," Mutunga ambaye ni baba wa mtoto buka. Alikuwa ametangamana na wakulima kacha, kupata afueni anasema aliingilia kilimo cha mboga, na jutia kamwe kufikia sasa. Anaiambia Akilimali kwamba rimu mtaji wa Sh20,000 kung'oa nanga.
"Niliamua kukuza mboga, hasa za kienyeji baada yg kazi walitaabika kuzipata. Waliziendea mjini Thika, ni rahisi kukuza, gharama nafuu kutunza pamoja na kuchukua muda mfupi kukomaa ili kuanza kuvunwa," aeleza mkulima huyo. Shamba lake pia amelipanda kwa sukuma wiki na spinachi. Aidha, hutumia maji ya Mto Tola, ulio pembezoni mwa shamba lake.
Wakati wa mahojiano, Mutunga alisema siku bora hakosi kutia kibindoni mapato ya Sh1, 500, baada ya kuondoa gharama ya matumizi.
wa kienyeji baada ya kuona wa
ea mjini Thika, Mboga hizo
unwa," aeleza mkulima kwa sukunna wiki na spille Tola, ulio pembezoni mwa
la alisema siku bora hakosi ku
ya kuiondoa gharama ya | Eneo lipi linakua kutokana na kuwepo kwaThika Super Highway | {
"text": [
"Ngoingwa"
]
} |
3497_swa |
Mkulima wa mboga anayefanya zaraa yake mtaa wa kifahari
Eneo la Ngoingwa, Thika linakua kwa kasi mno kutokana na kuwepo karibu na Thika Super Highway nchini yenye njia nne na inayounganisha jiji la Nairobi na Thika.
Ukizuru eneo hilo utalakiwa na mandhari ya hadhi va im taswira inayoletwa na majumba ya kifahari na ya kisasa; jengwa. Hata ingawa mengi ni ya kibinafsi na pia ya kukodi ku kadha ya kupangisha ili kusitiri wenye mapato ya kadri na in madogo. Ni katika eneo hilo barabara kuu ya Thika - Mang’u inayoelekea hadi Fly Over na Naivasha imepitia.
Awali, Ngoingwa ilijulikana kwa kilimo cha kahawa, lakini wamiliki wa mashamba waliing'oa kwa sababu ya mapato duni. Wengi waliwekeza kwenye majumba ya kupangisha, biashara inayowaingizia maelfu ya pesa. Hata hivyo, kuna mashamba kadha, tuseme yanayohesabika ambayo yanakuza zao la kahawa.
Licha ya sifa hizo za kipekee, ni katika eneo hilo la Ngoingwa ambalo ramani inasoma kuwa katika kaunti ya Kiambu, tunakutana na Eric Mutunga, mkulima wa mboga. Kwenye shamba lenye ukubwa wa nusu ekari, kijana Mutunga amezamia mseto wa mboga, za kienyeji kama vile mnavu, almaarufu sucha au managu na vilevile mchicha - terere.
Kwenye shamba hilo la kukodi, Mutunga pia analima mboga aina ya sukuma wiki na spinachi. Hali kadhalika, hutakosa kuona broccoli na zao aina ya egg plant, ingawa anasema mazao hayo yangali kwenye mtihani kuona ikiwa yanafanya vyema katika udongo mweusi wa kufinyanga. .
Kilimo cha mboga anazokuza anakiendesha katika mradi wa mashamba yaliyo takriban kilomita tano, kutoka barabara ya Thika - Mang'u, eneo la Kisiwa, Ngoingwa. Mkulima huyo anasema ekari moja hukodishwa Sh12, 000 kwa mwaka, na ni wachache mno wanaolima mboga.
Mutunga, 27, aliingilia kilimo mwaka 2018, baada ya kujaribu gange mbalimbali.
“Nilikuwa nikifanya kazi ya msimamizi wa makazi ya bwanyenye mmoja humu, na kwa kuwa majukumu huwa mwendo wa asubuhi na jioni, mchana nilikuwa na inuda mwing, ziada. Niliamua kununua punda na kijigari chake, kusam watu mizigo," afafanua,
Hata hivyo, kazi hiyo haikumuendea vizuri kwani ammu
na wakati mgumu kwani
wakulima kacha, na baada ya
no cha mboga, hatua asiyoId Akilimali kwamba ilimgha
kwenye ajali na kijigari cha punda.
"Nilivunjika mguu mmoja. Nilikuwa na wakati mgumu lazima ningetafutia familia yangu lishe na kuitimizia mahitaji mengine," Mutunga ambaye ni baba wa mtoto buka. Alikuwa ametangamana na wakulima kacha, kupata afueni anasema aliingilia kilimo cha mboga, na jutia kamwe kufikia sasa. Anaiambia Akilimali kwamba rimu mtaji wa Sh20,000 kung'oa nanga.
"Niliamua kukuza mboga, hasa za kienyeji baada yg kazi walitaabika kuzipata. Waliziendea mjini Thika, ni rahisi kukuza, gharama nafuu kutunza pamoja na kuchukua muda mfupi kukomaa ili kuanza kuvunwa," aeleza mkulima huyo. Shamba lake pia amelipanda kwa sukuma wiki na spinachi. Aidha, hutumia maji ya Mto Tola, ulio pembezoni mwa shamba lake.
Wakati wa mahojiano, Mutunga alisema siku bora hakosi kutia kibindoni mapato ya Sh1, 500, baada ya kuondoa gharama ya matumizi.
wa kienyeji baada ya kuona wa
ea mjini Thika, Mboga hizo
unwa," aeleza mkulima kwa sukunna wiki na spille Tola, ulio pembezoni mwa
la alisema siku bora hakosi ku
ya kuiondoa gharama ya | Barabara ipi inaunganisha Nairobi na Thika | {
"text": [
"Barabara ya Thika Super Highway"
]
} |
3497_swa |
Mkulima wa mboga anayefanya zaraa yake mtaa wa kifahari
Eneo la Ngoingwa, Thika linakua kwa kasi mno kutokana na kuwepo karibu na Thika Super Highway nchini yenye njia nne na inayounganisha jiji la Nairobi na Thika.
Ukizuru eneo hilo utalakiwa na mandhari ya hadhi va im taswira inayoletwa na majumba ya kifahari na ya kisasa; jengwa. Hata ingawa mengi ni ya kibinafsi na pia ya kukodi ku kadha ya kupangisha ili kusitiri wenye mapato ya kadri na in madogo. Ni katika eneo hilo barabara kuu ya Thika - Mang’u inayoelekea hadi Fly Over na Naivasha imepitia.
Awali, Ngoingwa ilijulikana kwa kilimo cha kahawa, lakini wamiliki wa mashamba waliing'oa kwa sababu ya mapato duni. Wengi waliwekeza kwenye majumba ya kupangisha, biashara inayowaingizia maelfu ya pesa. Hata hivyo, kuna mashamba kadha, tuseme yanayohesabika ambayo yanakuza zao la kahawa.
Licha ya sifa hizo za kipekee, ni katika eneo hilo la Ngoingwa ambalo ramani inasoma kuwa katika kaunti ya Kiambu, tunakutana na Eric Mutunga, mkulima wa mboga. Kwenye shamba lenye ukubwa wa nusu ekari, kijana Mutunga amezamia mseto wa mboga, za kienyeji kama vile mnavu, almaarufu sucha au managu na vilevile mchicha - terere.
Kwenye shamba hilo la kukodi, Mutunga pia analima mboga aina ya sukuma wiki na spinachi. Hali kadhalika, hutakosa kuona broccoli na zao aina ya egg plant, ingawa anasema mazao hayo yangali kwenye mtihani kuona ikiwa yanafanya vyema katika udongo mweusi wa kufinyanga. .
Kilimo cha mboga anazokuza anakiendesha katika mradi wa mashamba yaliyo takriban kilomita tano, kutoka barabara ya Thika - Mang'u, eneo la Kisiwa, Ngoingwa. Mkulima huyo anasema ekari moja hukodishwa Sh12, 000 kwa mwaka, na ni wachache mno wanaolima mboga.
Mutunga, 27, aliingilia kilimo mwaka 2018, baada ya kujaribu gange mbalimbali.
“Nilikuwa nikifanya kazi ya msimamizi wa makazi ya bwanyenye mmoja humu, na kwa kuwa majukumu huwa mwendo wa asubuhi na jioni, mchana nilikuwa na inuda mwing, ziada. Niliamua kununua punda na kijigari chake, kusam watu mizigo," afafanua,
Hata hivyo, kazi hiyo haikumuendea vizuri kwani ammu
na wakati mgumu kwani
wakulima kacha, na baada ya
no cha mboga, hatua asiyoId Akilimali kwamba ilimgha
kwenye ajali na kijigari cha punda.
"Nilivunjika mguu mmoja. Nilikuwa na wakati mgumu lazima ningetafutia familia yangu lishe na kuitimizia mahitaji mengine," Mutunga ambaye ni baba wa mtoto buka. Alikuwa ametangamana na wakulima kacha, kupata afueni anasema aliingilia kilimo cha mboga, na jutia kamwe kufikia sasa. Anaiambia Akilimali kwamba rimu mtaji wa Sh20,000 kung'oa nanga.
"Niliamua kukuza mboga, hasa za kienyeji baada yg kazi walitaabika kuzipata. Waliziendea mjini Thika, ni rahisi kukuza, gharama nafuu kutunza pamoja na kuchukua muda mfupi kukomaa ili kuanza kuvunwa," aeleza mkulima huyo. Shamba lake pia amelipanda kwa sukuma wiki na spinachi. Aidha, hutumia maji ya Mto Tola, ulio pembezoni mwa shamba lake.
Wakati wa mahojiano, Mutunga alisema siku bora hakosi kutia kibindoni mapato ya Sh1, 500, baada ya kuondoa gharama ya matumizi.
wa kienyeji baada ya kuona wa
ea mjini Thika, Mboga hizo
unwa," aeleza mkulima kwa sukunna wiki na spille Tola, ulio pembezoni mwa
la alisema siku bora hakosi ku
ya kuiondoa gharama ya | Ngoingwa awali ilijulikana kwa kilimo cha nini | {
"text": [
"Kahawa"
]
} |
3497_swa |
Mkulima wa mboga anayefanya zaraa yake mtaa wa kifahari
Eneo la Ngoingwa, Thika linakua kwa kasi mno kutokana na kuwepo karibu na Thika Super Highway nchini yenye njia nne na inayounganisha jiji la Nairobi na Thika.
Ukizuru eneo hilo utalakiwa na mandhari ya hadhi va im taswira inayoletwa na majumba ya kifahari na ya kisasa; jengwa. Hata ingawa mengi ni ya kibinafsi na pia ya kukodi ku kadha ya kupangisha ili kusitiri wenye mapato ya kadri na in madogo. Ni katika eneo hilo barabara kuu ya Thika - Mang’u inayoelekea hadi Fly Over na Naivasha imepitia.
Awali, Ngoingwa ilijulikana kwa kilimo cha kahawa, lakini wamiliki wa mashamba waliing'oa kwa sababu ya mapato duni. Wengi waliwekeza kwenye majumba ya kupangisha, biashara inayowaingizia maelfu ya pesa. Hata hivyo, kuna mashamba kadha, tuseme yanayohesabika ambayo yanakuza zao la kahawa.
Licha ya sifa hizo za kipekee, ni katika eneo hilo la Ngoingwa ambalo ramani inasoma kuwa katika kaunti ya Kiambu, tunakutana na Eric Mutunga, mkulima wa mboga. Kwenye shamba lenye ukubwa wa nusu ekari, kijana Mutunga amezamia mseto wa mboga, za kienyeji kama vile mnavu, almaarufu sucha au managu na vilevile mchicha - terere.
Kwenye shamba hilo la kukodi, Mutunga pia analima mboga aina ya sukuma wiki na spinachi. Hali kadhalika, hutakosa kuona broccoli na zao aina ya egg plant, ingawa anasema mazao hayo yangali kwenye mtihani kuona ikiwa yanafanya vyema katika udongo mweusi wa kufinyanga. .
Kilimo cha mboga anazokuza anakiendesha katika mradi wa mashamba yaliyo takriban kilomita tano, kutoka barabara ya Thika - Mang'u, eneo la Kisiwa, Ngoingwa. Mkulima huyo anasema ekari moja hukodishwa Sh12, 000 kwa mwaka, na ni wachache mno wanaolima mboga.
Mutunga, 27, aliingilia kilimo mwaka 2018, baada ya kujaribu gange mbalimbali.
“Nilikuwa nikifanya kazi ya msimamizi wa makazi ya bwanyenye mmoja humu, na kwa kuwa majukumu huwa mwendo wa asubuhi na jioni, mchana nilikuwa na inuda mwing, ziada. Niliamua kununua punda na kijigari chake, kusam watu mizigo," afafanua,
Hata hivyo, kazi hiyo haikumuendea vizuri kwani ammu
na wakati mgumu kwani
wakulima kacha, na baada ya
no cha mboga, hatua asiyoId Akilimali kwamba ilimgha
kwenye ajali na kijigari cha punda.
"Nilivunjika mguu mmoja. Nilikuwa na wakati mgumu lazima ningetafutia familia yangu lishe na kuitimizia mahitaji mengine," Mutunga ambaye ni baba wa mtoto buka. Alikuwa ametangamana na wakulima kacha, kupata afueni anasema aliingilia kilimo cha mboga, na jutia kamwe kufikia sasa. Anaiambia Akilimali kwamba rimu mtaji wa Sh20,000 kung'oa nanga.
"Niliamua kukuza mboga, hasa za kienyeji baada yg kazi walitaabika kuzipata. Waliziendea mjini Thika, ni rahisi kukuza, gharama nafuu kutunza pamoja na kuchukua muda mfupi kukomaa ili kuanza kuvunwa," aeleza mkulima huyo. Shamba lake pia amelipanda kwa sukuma wiki na spinachi. Aidha, hutumia maji ya Mto Tola, ulio pembezoni mwa shamba lake.
Wakati wa mahojiano, Mutunga alisema siku bora hakosi kutia kibindoni mapato ya Sh1, 500, baada ya kuondoa gharama ya matumizi.
wa kienyeji baada ya kuona wa
ea mjini Thika, Mboga hizo
unwa," aeleza mkulima kwa sukunna wiki na spille Tola, ulio pembezoni mwa
la alisema siku bora hakosi ku
ya kuiondoa gharama ya | Eric Mutunga hupanda mboga zipi katika shamba lake | {
"text": [
"Mboga kama vile managu na terere"
]
} |
3497_swa |
Mkulima wa mboga anayefanya zaraa yake mtaa wa kifahari
Eneo la Ngoingwa, Thika linakua kwa kasi mno kutokana na kuwepo karibu na Thika Super Highway nchini yenye njia nne na inayounganisha jiji la Nairobi na Thika.
Ukizuru eneo hilo utalakiwa na mandhari ya hadhi va im taswira inayoletwa na majumba ya kifahari na ya kisasa; jengwa. Hata ingawa mengi ni ya kibinafsi na pia ya kukodi ku kadha ya kupangisha ili kusitiri wenye mapato ya kadri na in madogo. Ni katika eneo hilo barabara kuu ya Thika - Mang’u inayoelekea hadi Fly Over na Naivasha imepitia.
Awali, Ngoingwa ilijulikana kwa kilimo cha kahawa, lakini wamiliki wa mashamba waliing'oa kwa sababu ya mapato duni. Wengi waliwekeza kwenye majumba ya kupangisha, biashara inayowaingizia maelfu ya pesa. Hata hivyo, kuna mashamba kadha, tuseme yanayohesabika ambayo yanakuza zao la kahawa.
Licha ya sifa hizo za kipekee, ni katika eneo hilo la Ngoingwa ambalo ramani inasoma kuwa katika kaunti ya Kiambu, tunakutana na Eric Mutunga, mkulima wa mboga. Kwenye shamba lenye ukubwa wa nusu ekari, kijana Mutunga amezamia mseto wa mboga, za kienyeji kama vile mnavu, almaarufu sucha au managu na vilevile mchicha - terere.
Kwenye shamba hilo la kukodi, Mutunga pia analima mboga aina ya sukuma wiki na spinachi. Hali kadhalika, hutakosa kuona broccoli na zao aina ya egg plant, ingawa anasema mazao hayo yangali kwenye mtihani kuona ikiwa yanafanya vyema katika udongo mweusi wa kufinyanga. .
Kilimo cha mboga anazokuza anakiendesha katika mradi wa mashamba yaliyo takriban kilomita tano, kutoka barabara ya Thika - Mang'u, eneo la Kisiwa, Ngoingwa. Mkulima huyo anasema ekari moja hukodishwa Sh12, 000 kwa mwaka, na ni wachache mno wanaolima mboga.
Mutunga, 27, aliingilia kilimo mwaka 2018, baada ya kujaribu gange mbalimbali.
“Nilikuwa nikifanya kazi ya msimamizi wa makazi ya bwanyenye mmoja humu, na kwa kuwa majukumu huwa mwendo wa asubuhi na jioni, mchana nilikuwa na inuda mwing, ziada. Niliamua kununua punda na kijigari chake, kusam watu mizigo," afafanua,
Hata hivyo, kazi hiyo haikumuendea vizuri kwani ammu
na wakati mgumu kwani
wakulima kacha, na baada ya
no cha mboga, hatua asiyoId Akilimali kwamba ilimgha
kwenye ajali na kijigari cha punda.
"Nilivunjika mguu mmoja. Nilikuwa na wakati mgumu lazima ningetafutia familia yangu lishe na kuitimizia mahitaji mengine," Mutunga ambaye ni baba wa mtoto buka. Alikuwa ametangamana na wakulima kacha, kupata afueni anasema aliingilia kilimo cha mboga, na jutia kamwe kufikia sasa. Anaiambia Akilimali kwamba rimu mtaji wa Sh20,000 kung'oa nanga.
"Niliamua kukuza mboga, hasa za kienyeji baada yg kazi walitaabika kuzipata. Waliziendea mjini Thika, ni rahisi kukuza, gharama nafuu kutunza pamoja na kuchukua muda mfupi kukomaa ili kuanza kuvunwa," aeleza mkulima huyo. Shamba lake pia amelipanda kwa sukuma wiki na spinachi. Aidha, hutumia maji ya Mto Tola, ulio pembezoni mwa shamba lake.
Wakati wa mahojiano, Mutunga alisema siku bora hakosi kutia kibindoni mapato ya Sh1, 500, baada ya kuondoa gharama ya matumizi.
wa kienyeji baada ya kuona wa
ea mjini Thika, Mboga hizo
unwa," aeleza mkulima kwa sukunna wiki na spille Tola, ulio pembezoni mwa
la alisema siku bora hakosi ku
ya kuiondoa gharama ya | Mutunga alianza kilimo mwaka upi | {
"text": [
"Mwaka wa 2018"
]
} |
3499_swa |
Waungama, maembe yana pato la uhakika
Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa wakulima mashinani, hususan wajasiriamali
waliojitosa katika kilimo biashara, wakiwa na lengo la kujipatia riziki kwa kujiongezea kipato.
Utayarishaji wa shamba la kukuza maembe unastahili kuanza mapema, na miche ifanyiwe utafiti wa kutosha kabla ya kuhamishwa shambani kwa ajili ya upanzi wa matunda haya yenye soko pana ulimwenguni. Takriban mikoa yote nchini Kenya inakuza maembe, lakini kaunti ya Makueni inaongoza katika ukuzaji wa maembe almaarufu kama Apple mangoes.
Akilimali ilizuru eneo la Tawa, Kaunti ya Makueni na kupatana na Teresia Wambua kutoka eneo la Kiteta ambaye alianza mradi wa kukuza maembe mnamo 2004.
Kilomita moja hivi kutoka Tawa Market nilimkuta Teresia akien
Waungama, utamu wa embe upo katika pato
delea kuvuna baadhi ya maembe yake ambayo yalikuwa yamekomaa yakisubiri kuhifadhiwa, ambayo anasema pia wakati mwingine yamekuwa yakimsaidia kulisha mifugo ili kuongeza uzito wa maziwa.
Kwa ushirikiano na mumewe Francis Wambua walipanda miche ya maembe katika kipande cha ardhi cha ekari moja, wakiamini kuwa hii ni kama ajira nyingineyo ile muradi mkulima ajivunie jasho lake.
Teresia anasema hii ni miche ambayo ililetwa kutoka Malindi na ikaishia kufanya vyema katika kaunti ya Makueni kushinda eneo la Pwani, ambapo inaaminika kuwa ndio asili ya maembe dodo.
Teresia anasema miche ya kukuza maembe huchukua miaka mitatu tu kukomaa, kabla ya mkulima aanze kupata mavuno yake ya kwanza.
Kwa kuwa maembe mengi kutoka kaunti ya Makueni ni makubwa kiasi cha haja, wakulima wengi kutoa eneo la Makueni huvuna mazao yao mara moja kwa mwaka.
"Wakazi wengi hapa wanategemea zao la maembe kulipia watoto wao karo, kwani ni mmea unaofanya vyema ikilinganishwa na aina nyingine ya mazao kama vile dengu, viazi na mahindi," akaongezea.
Akiwa mkulima mtajika anasema kuwa msimu wa kuvuna maembe mara nyingi katika mkoa wa Mashariki ni baina ya Januari na Februari.
Ambapo Machi ni mwezi wa kukagua miti ya kukuza maembe hatimaye kati ya October na November ndio wakati ambao maua huanza kuchomoza kutoka kweneye mashina ya miti ya maembe,
Alifichulia Akilimali kuwa katika kipande chake cha ardhi cha ekari moja anamiliki zaidi ya mashina 300 ya maembe ambapo kila moja inaweza kuzaa maembe kati ya matunda 200-300.
Wanunuzi wake wengi wakiwa ni wafanyibiashara wenye mitaji midogo, wenye uwezo mkubwa na viwanda kutoka soko la Tawa, Nairobi, Kawangware, mpaka Busia.
Mara nyingi matunda yake hutumika kutengeneza juisi ya maembe miongoni mwa bidhaa nyinginezo kutokana na zao hili, kama vile mchanganyiko wa matunda.
Ingawa wadudu na maradhi ni kero wakati mwingine, inampasa kuchukua tahadhari kwa kutoa ratiba maalum wakati wa kupanda, kupalilia na kuvuna.
Teresia na Francis kwa pamoja wanasema wanapenda kutumia mbolea inayotokana na samadi ili kutoa nafasi ya miche kunawiri na kupatia majani afya.
Pili, wanasema hulazimika kurushia mimea yake dawa kukinga miche yao dhidi ya baridi ambayo mara nyingi hutokea baina ya mwezi wa Novemba na Desemba.
Anasema kuwa zao la Apple mango kinyume na aina nyingine ya matunda kama vile machungwa hayahitaji maji mengi, hivyo basi yanaweza kufanya vyema katika maeneo yenye mazingira magumu yasiyokuwa na myua ya kutosha.
Aliongezea kuwa miale ya jua inahitajika, wakati wa kupatia mazao ya maembe ladha tamu ya kupendeza ambayo hubainisha tofauti ya maembe yanayokuzwa kutoka kaunti ya Makueni ukilinganishwa na maembe kutoka kwingineko.
Teresia alitupatia utaratibu wa kukuza miche ambapo alisema kuwa wakati wa kupanda mkulima atahitaji kuchanganya mchanga na mbolea katika hatua ya kwanza.
"Mimea inapokua na kufikia futi mbili mimi hupandikiza(graft) na tufaha(apple) au tunda la aina yoyoye ambalo mkulima atapenda,” akasema. Hali ya kupandikiza anasema kuwa ni sharti iwiane na hali ya anga ya eneo maalum ikizingatiwa kuwa mkoa wa Mashariki ni mojawapo ya maeneo nchini ambayo hupokea kiwango kidogo cha mvua hivyo basi kiwango cha maji huwa ni haba.
Tatu aliongezea kuwa yeye hupalilia shamba lake angalau mara moja kila mwezi ili kuondoa magugu ambayo yanaweza kufanya mimea kunyauka wakati wa kushindania virutubishi muhimu, kama vile maji na madini kutoka mchangani.
Kwa upande mwingine Francis anaona kuwa itakuwa jambo la kimsingi endapo serikali ya ugatuzi itawekeza pakubwa katika viwanda vya kutengeneza juisi inayotokana na maembe, ili kuwafaidi wakulima wadogo wasiokuwa na soko la kupeleka bidhaa zao.
Ili wakulima wengi wanaokuza maembe wapate soko la uhakika wakati wa kusafirisha maembe yao kwa wanunuzi wanaopatikana mbali na kaunti ya Makueni.
"Wawasaidie wakulima kupata dawa za kukinga matunda yao dhidi ya wadudu wanaoweza kuharibu maembe yao kabla ya kufikishwa sokoni," akasema.
| Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa nani | {
"text": [
"wakulima"
]
} |
3499_swa |
Waungama, maembe yana pato la uhakika
Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa wakulima mashinani, hususan wajasiriamali
waliojitosa katika kilimo biashara, wakiwa na lengo la kujipatia riziki kwa kujiongezea kipato.
Utayarishaji wa shamba la kukuza maembe unastahili kuanza mapema, na miche ifanyiwe utafiti wa kutosha kabla ya kuhamishwa shambani kwa ajili ya upanzi wa matunda haya yenye soko pana ulimwenguni. Takriban mikoa yote nchini Kenya inakuza maembe, lakini kaunti ya Makueni inaongoza katika ukuzaji wa maembe almaarufu kama Apple mangoes.
Akilimali ilizuru eneo la Tawa, Kaunti ya Makueni na kupatana na Teresia Wambua kutoka eneo la Kiteta ambaye alianza mradi wa kukuza maembe mnamo 2004.
Kilomita moja hivi kutoka Tawa Market nilimkuta Teresia akien
Waungama, utamu wa embe upo katika pato
delea kuvuna baadhi ya maembe yake ambayo yalikuwa yamekomaa yakisubiri kuhifadhiwa, ambayo anasema pia wakati mwingine yamekuwa yakimsaidia kulisha mifugo ili kuongeza uzito wa maziwa.
Kwa ushirikiano na mumewe Francis Wambua walipanda miche ya maembe katika kipande cha ardhi cha ekari moja, wakiamini kuwa hii ni kama ajira nyingineyo ile muradi mkulima ajivunie jasho lake.
Teresia anasema hii ni miche ambayo ililetwa kutoka Malindi na ikaishia kufanya vyema katika kaunti ya Makueni kushinda eneo la Pwani, ambapo inaaminika kuwa ndio asili ya maembe dodo.
Teresia anasema miche ya kukuza maembe huchukua miaka mitatu tu kukomaa, kabla ya mkulima aanze kupata mavuno yake ya kwanza.
Kwa kuwa maembe mengi kutoka kaunti ya Makueni ni makubwa kiasi cha haja, wakulima wengi kutoa eneo la Makueni huvuna mazao yao mara moja kwa mwaka.
"Wakazi wengi hapa wanategemea zao la maembe kulipia watoto wao karo, kwani ni mmea unaofanya vyema ikilinganishwa na aina nyingine ya mazao kama vile dengu, viazi na mahindi," akaongezea.
Akiwa mkulima mtajika anasema kuwa msimu wa kuvuna maembe mara nyingi katika mkoa wa Mashariki ni baina ya Januari na Februari.
Ambapo Machi ni mwezi wa kukagua miti ya kukuza maembe hatimaye kati ya October na November ndio wakati ambao maua huanza kuchomoza kutoka kweneye mashina ya miti ya maembe,
Alifichulia Akilimali kuwa katika kipande chake cha ardhi cha ekari moja anamiliki zaidi ya mashina 300 ya maembe ambapo kila moja inaweza kuzaa maembe kati ya matunda 200-300.
Wanunuzi wake wengi wakiwa ni wafanyibiashara wenye mitaji midogo, wenye uwezo mkubwa na viwanda kutoka soko la Tawa, Nairobi, Kawangware, mpaka Busia.
Mara nyingi matunda yake hutumika kutengeneza juisi ya maembe miongoni mwa bidhaa nyinginezo kutokana na zao hili, kama vile mchanganyiko wa matunda.
Ingawa wadudu na maradhi ni kero wakati mwingine, inampasa kuchukua tahadhari kwa kutoa ratiba maalum wakati wa kupanda, kupalilia na kuvuna.
Teresia na Francis kwa pamoja wanasema wanapenda kutumia mbolea inayotokana na samadi ili kutoa nafasi ya miche kunawiri na kupatia majani afya.
Pili, wanasema hulazimika kurushia mimea yake dawa kukinga miche yao dhidi ya baridi ambayo mara nyingi hutokea baina ya mwezi wa Novemba na Desemba.
Anasema kuwa zao la Apple mango kinyume na aina nyingine ya matunda kama vile machungwa hayahitaji maji mengi, hivyo basi yanaweza kufanya vyema katika maeneo yenye mazingira magumu yasiyokuwa na myua ya kutosha.
Aliongezea kuwa miale ya jua inahitajika, wakati wa kupatia mazao ya maembe ladha tamu ya kupendeza ambayo hubainisha tofauti ya maembe yanayokuzwa kutoka kaunti ya Makueni ukilinganishwa na maembe kutoka kwingineko.
Teresia alitupatia utaratibu wa kukuza miche ambapo alisema kuwa wakati wa kupanda mkulima atahitaji kuchanganya mchanga na mbolea katika hatua ya kwanza.
"Mimea inapokua na kufikia futi mbili mimi hupandikiza(graft) na tufaha(apple) au tunda la aina yoyoye ambalo mkulima atapenda,” akasema. Hali ya kupandikiza anasema kuwa ni sharti iwiane na hali ya anga ya eneo maalum ikizingatiwa kuwa mkoa wa Mashariki ni mojawapo ya maeneo nchini ambayo hupokea kiwango kidogo cha mvua hivyo basi kiwango cha maji huwa ni haba.
Tatu aliongezea kuwa yeye hupalilia shamba lake angalau mara moja kila mwezi ili kuondoa magugu ambayo yanaweza kufanya mimea kunyauka wakati wa kushindania virutubishi muhimu, kama vile maji na madini kutoka mchangani.
Kwa upande mwingine Francis anaona kuwa itakuwa jambo la kimsingi endapo serikali ya ugatuzi itawekeza pakubwa katika viwanda vya kutengeneza juisi inayotokana na maembe, ili kuwafaidi wakulima wadogo wasiokuwa na soko la kupeleka bidhaa zao.
Ili wakulima wengi wanaokuza maembe wapate soko la uhakika wakati wa kusafirisha maembe yao kwa wanunuzi wanaopatikana mbali na kaunti ya Makueni.
"Wawasaidie wakulima kupata dawa za kukinga matunda yao dhidi ya wadudu wanaoweza kuharibu maembe yao kabla ya kufikishwa sokoni," akasema.
| Utayarishaji wa shamba la kukuza maembe unastili kuanza lini | {
"text": [
"mapema"
]
} |
3499_swa |
Waungama, maembe yana pato la uhakika
Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa wakulima mashinani, hususan wajasiriamali
waliojitosa katika kilimo biashara, wakiwa na lengo la kujipatia riziki kwa kujiongezea kipato.
Utayarishaji wa shamba la kukuza maembe unastahili kuanza mapema, na miche ifanyiwe utafiti wa kutosha kabla ya kuhamishwa shambani kwa ajili ya upanzi wa matunda haya yenye soko pana ulimwenguni. Takriban mikoa yote nchini Kenya inakuza maembe, lakini kaunti ya Makueni inaongoza katika ukuzaji wa maembe almaarufu kama Apple mangoes.
Akilimali ilizuru eneo la Tawa, Kaunti ya Makueni na kupatana na Teresia Wambua kutoka eneo la Kiteta ambaye alianza mradi wa kukuza maembe mnamo 2004.
Kilomita moja hivi kutoka Tawa Market nilimkuta Teresia akien
Waungama, utamu wa embe upo katika pato
delea kuvuna baadhi ya maembe yake ambayo yalikuwa yamekomaa yakisubiri kuhifadhiwa, ambayo anasema pia wakati mwingine yamekuwa yakimsaidia kulisha mifugo ili kuongeza uzito wa maziwa.
Kwa ushirikiano na mumewe Francis Wambua walipanda miche ya maembe katika kipande cha ardhi cha ekari moja, wakiamini kuwa hii ni kama ajira nyingineyo ile muradi mkulima ajivunie jasho lake.
Teresia anasema hii ni miche ambayo ililetwa kutoka Malindi na ikaishia kufanya vyema katika kaunti ya Makueni kushinda eneo la Pwani, ambapo inaaminika kuwa ndio asili ya maembe dodo.
Teresia anasema miche ya kukuza maembe huchukua miaka mitatu tu kukomaa, kabla ya mkulima aanze kupata mavuno yake ya kwanza.
Kwa kuwa maembe mengi kutoka kaunti ya Makueni ni makubwa kiasi cha haja, wakulima wengi kutoa eneo la Makueni huvuna mazao yao mara moja kwa mwaka.
"Wakazi wengi hapa wanategemea zao la maembe kulipia watoto wao karo, kwani ni mmea unaofanya vyema ikilinganishwa na aina nyingine ya mazao kama vile dengu, viazi na mahindi," akaongezea.
Akiwa mkulima mtajika anasema kuwa msimu wa kuvuna maembe mara nyingi katika mkoa wa Mashariki ni baina ya Januari na Februari.
Ambapo Machi ni mwezi wa kukagua miti ya kukuza maembe hatimaye kati ya October na November ndio wakati ambao maua huanza kuchomoza kutoka kweneye mashina ya miti ya maembe,
Alifichulia Akilimali kuwa katika kipande chake cha ardhi cha ekari moja anamiliki zaidi ya mashina 300 ya maembe ambapo kila moja inaweza kuzaa maembe kati ya matunda 200-300.
Wanunuzi wake wengi wakiwa ni wafanyibiashara wenye mitaji midogo, wenye uwezo mkubwa na viwanda kutoka soko la Tawa, Nairobi, Kawangware, mpaka Busia.
Mara nyingi matunda yake hutumika kutengeneza juisi ya maembe miongoni mwa bidhaa nyinginezo kutokana na zao hili, kama vile mchanganyiko wa matunda.
Ingawa wadudu na maradhi ni kero wakati mwingine, inampasa kuchukua tahadhari kwa kutoa ratiba maalum wakati wa kupanda, kupalilia na kuvuna.
Teresia na Francis kwa pamoja wanasema wanapenda kutumia mbolea inayotokana na samadi ili kutoa nafasi ya miche kunawiri na kupatia majani afya.
Pili, wanasema hulazimika kurushia mimea yake dawa kukinga miche yao dhidi ya baridi ambayo mara nyingi hutokea baina ya mwezi wa Novemba na Desemba.
Anasema kuwa zao la Apple mango kinyume na aina nyingine ya matunda kama vile machungwa hayahitaji maji mengi, hivyo basi yanaweza kufanya vyema katika maeneo yenye mazingira magumu yasiyokuwa na myua ya kutosha.
Aliongezea kuwa miale ya jua inahitajika, wakati wa kupatia mazao ya maembe ladha tamu ya kupendeza ambayo hubainisha tofauti ya maembe yanayokuzwa kutoka kaunti ya Makueni ukilinganishwa na maembe kutoka kwingineko.
Teresia alitupatia utaratibu wa kukuza miche ambapo alisema kuwa wakati wa kupanda mkulima atahitaji kuchanganya mchanga na mbolea katika hatua ya kwanza.
"Mimea inapokua na kufikia futi mbili mimi hupandikiza(graft) na tufaha(apple) au tunda la aina yoyoye ambalo mkulima atapenda,” akasema. Hali ya kupandikiza anasema kuwa ni sharti iwiane na hali ya anga ya eneo maalum ikizingatiwa kuwa mkoa wa Mashariki ni mojawapo ya maeneo nchini ambayo hupokea kiwango kidogo cha mvua hivyo basi kiwango cha maji huwa ni haba.
Tatu aliongezea kuwa yeye hupalilia shamba lake angalau mara moja kila mwezi ili kuondoa magugu ambayo yanaweza kufanya mimea kunyauka wakati wa kushindania virutubishi muhimu, kama vile maji na madini kutoka mchangani.
Kwa upande mwingine Francis anaona kuwa itakuwa jambo la kimsingi endapo serikali ya ugatuzi itawekeza pakubwa katika viwanda vya kutengeneza juisi inayotokana na maembe, ili kuwafaidi wakulima wadogo wasiokuwa na soko la kupeleka bidhaa zao.
Ili wakulima wengi wanaokuza maembe wapate soko la uhakika wakati wa kusafirisha maembe yao kwa wanunuzi wanaopatikana mbali na kaunti ya Makueni.
"Wawasaidie wakulima kupata dawa za kukinga matunda yao dhidi ya wadudu wanaoweza kuharibu maembe yao kabla ya kufikishwa sokoni," akasema.
| Nini ilizuru eneo la Tawa kaunti ya Makueni | {
"text": [
"Akilimali"
]
} |
3499_swa |
Waungama, maembe yana pato la uhakika
Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa wakulima mashinani, hususan wajasiriamali
waliojitosa katika kilimo biashara, wakiwa na lengo la kujipatia riziki kwa kujiongezea kipato.
Utayarishaji wa shamba la kukuza maembe unastahili kuanza mapema, na miche ifanyiwe utafiti wa kutosha kabla ya kuhamishwa shambani kwa ajili ya upanzi wa matunda haya yenye soko pana ulimwenguni. Takriban mikoa yote nchini Kenya inakuza maembe, lakini kaunti ya Makueni inaongoza katika ukuzaji wa maembe almaarufu kama Apple mangoes.
Akilimali ilizuru eneo la Tawa, Kaunti ya Makueni na kupatana na Teresia Wambua kutoka eneo la Kiteta ambaye alianza mradi wa kukuza maembe mnamo 2004.
Kilomita moja hivi kutoka Tawa Market nilimkuta Teresia akien
Waungama, utamu wa embe upo katika pato
delea kuvuna baadhi ya maembe yake ambayo yalikuwa yamekomaa yakisubiri kuhifadhiwa, ambayo anasema pia wakati mwingine yamekuwa yakimsaidia kulisha mifugo ili kuongeza uzito wa maziwa.
Kwa ushirikiano na mumewe Francis Wambua walipanda miche ya maembe katika kipande cha ardhi cha ekari moja, wakiamini kuwa hii ni kama ajira nyingineyo ile muradi mkulima ajivunie jasho lake.
Teresia anasema hii ni miche ambayo ililetwa kutoka Malindi na ikaishia kufanya vyema katika kaunti ya Makueni kushinda eneo la Pwani, ambapo inaaminika kuwa ndio asili ya maembe dodo.
Teresia anasema miche ya kukuza maembe huchukua miaka mitatu tu kukomaa, kabla ya mkulima aanze kupata mavuno yake ya kwanza.
Kwa kuwa maembe mengi kutoka kaunti ya Makueni ni makubwa kiasi cha haja, wakulima wengi kutoa eneo la Makueni huvuna mazao yao mara moja kwa mwaka.
"Wakazi wengi hapa wanategemea zao la maembe kulipia watoto wao karo, kwani ni mmea unaofanya vyema ikilinganishwa na aina nyingine ya mazao kama vile dengu, viazi na mahindi," akaongezea.
Akiwa mkulima mtajika anasema kuwa msimu wa kuvuna maembe mara nyingi katika mkoa wa Mashariki ni baina ya Januari na Februari.
Ambapo Machi ni mwezi wa kukagua miti ya kukuza maembe hatimaye kati ya October na November ndio wakati ambao maua huanza kuchomoza kutoka kweneye mashina ya miti ya maembe,
Alifichulia Akilimali kuwa katika kipande chake cha ardhi cha ekari moja anamiliki zaidi ya mashina 300 ya maembe ambapo kila moja inaweza kuzaa maembe kati ya matunda 200-300.
Wanunuzi wake wengi wakiwa ni wafanyibiashara wenye mitaji midogo, wenye uwezo mkubwa na viwanda kutoka soko la Tawa, Nairobi, Kawangware, mpaka Busia.
Mara nyingi matunda yake hutumika kutengeneza juisi ya maembe miongoni mwa bidhaa nyinginezo kutokana na zao hili, kama vile mchanganyiko wa matunda.
Ingawa wadudu na maradhi ni kero wakati mwingine, inampasa kuchukua tahadhari kwa kutoa ratiba maalum wakati wa kupanda, kupalilia na kuvuna.
Teresia na Francis kwa pamoja wanasema wanapenda kutumia mbolea inayotokana na samadi ili kutoa nafasi ya miche kunawiri na kupatia majani afya.
Pili, wanasema hulazimika kurushia mimea yake dawa kukinga miche yao dhidi ya baridi ambayo mara nyingi hutokea baina ya mwezi wa Novemba na Desemba.
Anasema kuwa zao la Apple mango kinyume na aina nyingine ya matunda kama vile machungwa hayahitaji maji mengi, hivyo basi yanaweza kufanya vyema katika maeneo yenye mazingira magumu yasiyokuwa na myua ya kutosha.
Aliongezea kuwa miale ya jua inahitajika, wakati wa kupatia mazao ya maembe ladha tamu ya kupendeza ambayo hubainisha tofauti ya maembe yanayokuzwa kutoka kaunti ya Makueni ukilinganishwa na maembe kutoka kwingineko.
Teresia alitupatia utaratibu wa kukuza miche ambapo alisema kuwa wakati wa kupanda mkulima atahitaji kuchanganya mchanga na mbolea katika hatua ya kwanza.
"Mimea inapokua na kufikia futi mbili mimi hupandikiza(graft) na tufaha(apple) au tunda la aina yoyoye ambalo mkulima atapenda,” akasema. Hali ya kupandikiza anasema kuwa ni sharti iwiane na hali ya anga ya eneo maalum ikizingatiwa kuwa mkoa wa Mashariki ni mojawapo ya maeneo nchini ambayo hupokea kiwango kidogo cha mvua hivyo basi kiwango cha maji huwa ni haba.
Tatu aliongezea kuwa yeye hupalilia shamba lake angalau mara moja kila mwezi ili kuondoa magugu ambayo yanaweza kufanya mimea kunyauka wakati wa kushindania virutubishi muhimu, kama vile maji na madini kutoka mchangani.
Kwa upande mwingine Francis anaona kuwa itakuwa jambo la kimsingi endapo serikali ya ugatuzi itawekeza pakubwa katika viwanda vya kutengeneza juisi inayotokana na maembe, ili kuwafaidi wakulima wadogo wasiokuwa na soko la kupeleka bidhaa zao.
Ili wakulima wengi wanaokuza maembe wapate soko la uhakika wakati wa kusafirisha maembe yao kwa wanunuzi wanaopatikana mbali na kaunti ya Makueni.
"Wawasaidie wakulima kupata dawa za kukinga matunda yao dhidi ya wadudu wanaoweza kuharibu maembe yao kabla ya kufikishwa sokoni," akasema.
| Teresia alianza mradi wa kuuza maembe lini | {
"text": [
"2004"
]
} |
3499_swa |
Waungama, maembe yana pato la uhakika
Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa wakulima mashinani, hususan wajasiriamali
waliojitosa katika kilimo biashara, wakiwa na lengo la kujipatia riziki kwa kujiongezea kipato.
Utayarishaji wa shamba la kukuza maembe unastahili kuanza mapema, na miche ifanyiwe utafiti wa kutosha kabla ya kuhamishwa shambani kwa ajili ya upanzi wa matunda haya yenye soko pana ulimwenguni. Takriban mikoa yote nchini Kenya inakuza maembe, lakini kaunti ya Makueni inaongoza katika ukuzaji wa maembe almaarufu kama Apple mangoes.
Akilimali ilizuru eneo la Tawa, Kaunti ya Makueni na kupatana na Teresia Wambua kutoka eneo la Kiteta ambaye alianza mradi wa kukuza maembe mnamo 2004.
Kilomita moja hivi kutoka Tawa Market nilimkuta Teresia akien
Waungama, utamu wa embe upo katika pato
delea kuvuna baadhi ya maembe yake ambayo yalikuwa yamekomaa yakisubiri kuhifadhiwa, ambayo anasema pia wakati mwingine yamekuwa yakimsaidia kulisha mifugo ili kuongeza uzito wa maziwa.
Kwa ushirikiano na mumewe Francis Wambua walipanda miche ya maembe katika kipande cha ardhi cha ekari moja, wakiamini kuwa hii ni kama ajira nyingineyo ile muradi mkulima ajivunie jasho lake.
Teresia anasema hii ni miche ambayo ililetwa kutoka Malindi na ikaishia kufanya vyema katika kaunti ya Makueni kushinda eneo la Pwani, ambapo inaaminika kuwa ndio asili ya maembe dodo.
Teresia anasema miche ya kukuza maembe huchukua miaka mitatu tu kukomaa, kabla ya mkulima aanze kupata mavuno yake ya kwanza.
Kwa kuwa maembe mengi kutoka kaunti ya Makueni ni makubwa kiasi cha haja, wakulima wengi kutoa eneo la Makueni huvuna mazao yao mara moja kwa mwaka.
"Wakazi wengi hapa wanategemea zao la maembe kulipia watoto wao karo, kwani ni mmea unaofanya vyema ikilinganishwa na aina nyingine ya mazao kama vile dengu, viazi na mahindi," akaongezea.
Akiwa mkulima mtajika anasema kuwa msimu wa kuvuna maembe mara nyingi katika mkoa wa Mashariki ni baina ya Januari na Februari.
Ambapo Machi ni mwezi wa kukagua miti ya kukuza maembe hatimaye kati ya October na November ndio wakati ambao maua huanza kuchomoza kutoka kweneye mashina ya miti ya maembe,
Alifichulia Akilimali kuwa katika kipande chake cha ardhi cha ekari moja anamiliki zaidi ya mashina 300 ya maembe ambapo kila moja inaweza kuzaa maembe kati ya matunda 200-300.
Wanunuzi wake wengi wakiwa ni wafanyibiashara wenye mitaji midogo, wenye uwezo mkubwa na viwanda kutoka soko la Tawa, Nairobi, Kawangware, mpaka Busia.
Mara nyingi matunda yake hutumika kutengeneza juisi ya maembe miongoni mwa bidhaa nyinginezo kutokana na zao hili, kama vile mchanganyiko wa matunda.
Ingawa wadudu na maradhi ni kero wakati mwingine, inampasa kuchukua tahadhari kwa kutoa ratiba maalum wakati wa kupanda, kupalilia na kuvuna.
Teresia na Francis kwa pamoja wanasema wanapenda kutumia mbolea inayotokana na samadi ili kutoa nafasi ya miche kunawiri na kupatia majani afya.
Pili, wanasema hulazimika kurushia mimea yake dawa kukinga miche yao dhidi ya baridi ambayo mara nyingi hutokea baina ya mwezi wa Novemba na Desemba.
Anasema kuwa zao la Apple mango kinyume na aina nyingine ya matunda kama vile machungwa hayahitaji maji mengi, hivyo basi yanaweza kufanya vyema katika maeneo yenye mazingira magumu yasiyokuwa na myua ya kutosha.
Aliongezea kuwa miale ya jua inahitajika, wakati wa kupatia mazao ya maembe ladha tamu ya kupendeza ambayo hubainisha tofauti ya maembe yanayokuzwa kutoka kaunti ya Makueni ukilinganishwa na maembe kutoka kwingineko.
Teresia alitupatia utaratibu wa kukuza miche ambapo alisema kuwa wakati wa kupanda mkulima atahitaji kuchanganya mchanga na mbolea katika hatua ya kwanza.
"Mimea inapokua na kufikia futi mbili mimi hupandikiza(graft) na tufaha(apple) au tunda la aina yoyoye ambalo mkulima atapenda,” akasema. Hali ya kupandikiza anasema kuwa ni sharti iwiane na hali ya anga ya eneo maalum ikizingatiwa kuwa mkoa wa Mashariki ni mojawapo ya maeneo nchini ambayo hupokea kiwango kidogo cha mvua hivyo basi kiwango cha maji huwa ni haba.
Tatu aliongezea kuwa yeye hupalilia shamba lake angalau mara moja kila mwezi ili kuondoa magugu ambayo yanaweza kufanya mimea kunyauka wakati wa kushindania virutubishi muhimu, kama vile maji na madini kutoka mchangani.
Kwa upande mwingine Francis anaona kuwa itakuwa jambo la kimsingi endapo serikali ya ugatuzi itawekeza pakubwa katika viwanda vya kutengeneza juisi inayotokana na maembe, ili kuwafaidi wakulima wadogo wasiokuwa na soko la kupeleka bidhaa zao.
Ili wakulima wengi wanaokuza maembe wapate soko la uhakika wakati wa kusafirisha maembe yao kwa wanunuzi wanaopatikana mbali na kaunti ya Makueni.
"Wawasaidie wakulima kupata dawa za kukinga matunda yao dhidi ya wadudu wanaoweza kuharibu maembe yao kabla ya kufikishwa sokoni," akasema.
| Maembe yamekuwa yakimsaidia Teresia kulisha nini | {
"text": [
"mifugo"
]
} |
3500_swa | Mwanafasheni abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Watu wengi mno, aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika takataka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za glasi.
Lakini kwa mwanafunzi mmoja wa chuo cha anuwai, takataka hizo huweza kugeuzwa kuwa hela.
Teresa Kiburi, ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha kitaifa cha anuwai cha Nyeri (Nyeri National Polytecnic).
Yeye husomea stashahada katika taaluma ya utengenezaji wa fasheni. Nia yake katika shughuli hii ni kujipa riziki kwa kukusanya chupa za plastiki pa za glasi zilizotupwa na kutapakaa kila mahali, kuzitumia kutengeneza bidhaa kadha wa kadha, ambazo zina thamani katika maskani ya binadamu.
Aidha, Teresa anasema kwamba hii ni mojawapo ya mbinu za kuyahifadhi au kuyasafisha mazingira il yawe safi na ya kufaa kwa watu.
"Mimi hutengeneza maua ya kurembesha nyumba na afisi kwa kutumia chupa za plastiki," adokeza, akongeza kuwa pia, huzitengeneza bidhaa na kuzirembesha maeneo ambayo sherehe mbalimbali huandaliwa.
Pia, yeye huzitumia nyuzi tofauti tofauti kuzitengeneza bidhaa zinazofanana na zulia. Hutumia sindano maalumu na nyuzi kuzitengeneza baadhi ya bidhaa hizo.
Teresa alianza mwezi Machi mwaka uliopita, kwa kuutumia mtaji usiokuwa mwingi. "Nilianza na Sh3,500 nilizopewa na mamangu, Mary Kahaya. Mwalimu wetu wa miradi, Nicholas Mathendu, alinishauri nije na mradi na kuuwasilisha katika maonyesho ya bidhaa katika maonyesho ya tatu ya KATTI na TVET, yaliyoandaliwa katika uwanja wa Tononoka, Mombasa," aeleza Teresa, akiongeza kuwa hushirikiana na Peris Mwangi, ambaye ni mwanafunzi mwenza katika chuo hicho. Anafichua kuwa wao huzitengeneza bidhaa hizo katika siku za wikendi, wakati ambapo hawamo darasani.
Hata hivyo, anasikitika kwa sababu kuna baadhi ya changamoto ambazo huwakabili. "Mojawapo ya changamoto ni kuwa baadhi ya wateja hukosa kulipia baada ya kupelekewa bidhaa.
Mimi huziuza bidhaa hizo mitandaoni, kote nchini," afichua Teresa. Mbali na kuziuza bidhaa zake mitandaoni, huuza pia katika duka la shangazi yake lililoko mjini Nyeri. Anasema kuwa yeye huliuza ua moja kwa bei ya Sh1,200 na kigoda kimoja ambacho hukunjwa, huuzwa kwa bei ya Sh4,000. Pia yeye huzitengeneza sindano za kufumia ambazo huziuza kwa bei ya Sh500 kila moja. Hata hivyo, anadokeza kuwa bei inaweza kupunguzwa ikitegemea uwezo wa kifedha wa mnunuzi. Teresa anafichua kuwa yeye hukusanya chupa za plastiki za maji, na za vinywaji vinginevyo kama vileo katika hafla mbalimbali. Aidha, hupata malighafi nyingine katika karakana ambazo hutengenezewa samani au fanicha.
“Mimi huzinunua nyuzi kwa Sh50 tu kila mmoja," asema. Anafichua kuwa katika siku za usoni, anaazimia kuisajili kampuni yake, na kushirikiana na washiri ka wengine ambao hutengeneza bidhaa na kupakia katika chupa,na ambao wana shida ya kukusanva chupa hizo baada ya kutumiwa.
Hilo, asema Teresa, litasaidia kubuni ajira kwa watoto wanaorandaranda mitaani, kwa kuwapa kazi ya kukusanya chupa hizo na kuwauzia, na hivyo kupata riziki ya kila siku.
| Watu wengi hawaoni thamani ya takataka kama gani | {
"text": [
"chupa za plastiki"
]
} |
3500_swa | Mwanafasheni abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Watu wengi mno, aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika takataka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za glasi.
Lakini kwa mwanafunzi mmoja wa chuo cha anuwai, takataka hizo huweza kugeuzwa kuwa hela.
Teresa Kiburi, ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha kitaifa cha anuwai cha Nyeri (Nyeri National Polytecnic).
Yeye husomea stashahada katika taaluma ya utengenezaji wa fasheni. Nia yake katika shughuli hii ni kujipa riziki kwa kukusanya chupa za plastiki pa za glasi zilizotupwa na kutapakaa kila mahali, kuzitumia kutengeneza bidhaa kadha wa kadha, ambazo zina thamani katika maskani ya binadamu.
Aidha, Teresa anasema kwamba hii ni mojawapo ya mbinu za kuyahifadhi au kuyasafisha mazingira il yawe safi na ya kufaa kwa watu.
"Mimi hutengeneza maua ya kurembesha nyumba na afisi kwa kutumia chupa za plastiki," adokeza, akongeza kuwa pia, huzitengeneza bidhaa na kuzirembesha maeneo ambayo sherehe mbalimbali huandaliwa.
Pia, yeye huzitumia nyuzi tofauti tofauti kuzitengeneza bidhaa zinazofanana na zulia. Hutumia sindano maalumu na nyuzi kuzitengeneza baadhi ya bidhaa hizo.
Teresa alianza mwezi Machi mwaka uliopita, kwa kuutumia mtaji usiokuwa mwingi. "Nilianza na Sh3,500 nilizopewa na mamangu, Mary Kahaya. Mwalimu wetu wa miradi, Nicholas Mathendu, alinishauri nije na mradi na kuuwasilisha katika maonyesho ya bidhaa katika maonyesho ya tatu ya KATTI na TVET, yaliyoandaliwa katika uwanja wa Tononoka, Mombasa," aeleza Teresa, akiongeza kuwa hushirikiana na Peris Mwangi, ambaye ni mwanafunzi mwenza katika chuo hicho. Anafichua kuwa wao huzitengeneza bidhaa hizo katika siku za wikendi, wakati ambapo hawamo darasani.
Hata hivyo, anasikitika kwa sababu kuna baadhi ya changamoto ambazo huwakabili. "Mojawapo ya changamoto ni kuwa baadhi ya wateja hukosa kulipia baada ya kupelekewa bidhaa.
Mimi huziuza bidhaa hizo mitandaoni, kote nchini," afichua Teresa. Mbali na kuziuza bidhaa zake mitandaoni, huuza pia katika duka la shangazi yake lililoko mjini Nyeri. Anasema kuwa yeye huliuza ua moja kwa bei ya Sh1,200 na kigoda kimoja ambacho hukunjwa, huuzwa kwa bei ya Sh4,000. Pia yeye huzitengeneza sindano za kufumia ambazo huziuza kwa bei ya Sh500 kila moja. Hata hivyo, anadokeza kuwa bei inaweza kupunguzwa ikitegemea uwezo wa kifedha wa mnunuzi. Teresa anafichua kuwa yeye hukusanya chupa za plastiki za maji, na za vinywaji vinginevyo kama vileo katika hafla mbalimbali. Aidha, hupata malighafi nyingine katika karakana ambazo hutengenezewa samani au fanicha.
“Mimi huzinunua nyuzi kwa Sh50 tu kila mmoja," asema. Anafichua kuwa katika siku za usoni, anaazimia kuisajili kampuni yake, na kushirikiana na washiri ka wengine ambao hutengeneza bidhaa na kupakia katika chupa,na ambao wana shida ya kukusanva chupa hizo baada ya kutumiwa.
Hilo, asema Teresa, litasaidia kubuni ajira kwa watoto wanaorandaranda mitaani, kwa kuwapa kazi ya kukusanya chupa hizo na kuwauzia, na hivyo kupata riziki ya kila siku.
| Teresa ni mwanafunzi wa chuo gani | {
"text": [
"Nyeri National Polytecnic"
]
} |
3500_swa | Mwanafasheni abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Watu wengi mno, aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika takataka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za glasi.
Lakini kwa mwanafunzi mmoja wa chuo cha anuwai, takataka hizo huweza kugeuzwa kuwa hela.
Teresa Kiburi, ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha kitaifa cha anuwai cha Nyeri (Nyeri National Polytecnic).
Yeye husomea stashahada katika taaluma ya utengenezaji wa fasheni. Nia yake katika shughuli hii ni kujipa riziki kwa kukusanya chupa za plastiki pa za glasi zilizotupwa na kutapakaa kila mahali, kuzitumia kutengeneza bidhaa kadha wa kadha, ambazo zina thamani katika maskani ya binadamu.
Aidha, Teresa anasema kwamba hii ni mojawapo ya mbinu za kuyahifadhi au kuyasafisha mazingira il yawe safi na ya kufaa kwa watu.
"Mimi hutengeneza maua ya kurembesha nyumba na afisi kwa kutumia chupa za plastiki," adokeza, akongeza kuwa pia, huzitengeneza bidhaa na kuzirembesha maeneo ambayo sherehe mbalimbali huandaliwa.
Pia, yeye huzitumia nyuzi tofauti tofauti kuzitengeneza bidhaa zinazofanana na zulia. Hutumia sindano maalumu na nyuzi kuzitengeneza baadhi ya bidhaa hizo.
Teresa alianza mwezi Machi mwaka uliopita, kwa kuutumia mtaji usiokuwa mwingi. "Nilianza na Sh3,500 nilizopewa na mamangu, Mary Kahaya. Mwalimu wetu wa miradi, Nicholas Mathendu, alinishauri nije na mradi na kuuwasilisha katika maonyesho ya bidhaa katika maonyesho ya tatu ya KATTI na TVET, yaliyoandaliwa katika uwanja wa Tononoka, Mombasa," aeleza Teresa, akiongeza kuwa hushirikiana na Peris Mwangi, ambaye ni mwanafunzi mwenza katika chuo hicho. Anafichua kuwa wao huzitengeneza bidhaa hizo katika siku za wikendi, wakati ambapo hawamo darasani.
Hata hivyo, anasikitika kwa sababu kuna baadhi ya changamoto ambazo huwakabili. "Mojawapo ya changamoto ni kuwa baadhi ya wateja hukosa kulipia baada ya kupelekewa bidhaa.
Mimi huziuza bidhaa hizo mitandaoni, kote nchini," afichua Teresa. Mbali na kuziuza bidhaa zake mitandaoni, huuza pia katika duka la shangazi yake lililoko mjini Nyeri. Anasema kuwa yeye huliuza ua moja kwa bei ya Sh1,200 na kigoda kimoja ambacho hukunjwa, huuzwa kwa bei ya Sh4,000. Pia yeye huzitengeneza sindano za kufumia ambazo huziuza kwa bei ya Sh500 kila moja. Hata hivyo, anadokeza kuwa bei inaweza kupunguzwa ikitegemea uwezo wa kifedha wa mnunuzi. Teresa anafichua kuwa yeye hukusanya chupa za plastiki za maji, na za vinywaji vinginevyo kama vileo katika hafla mbalimbali. Aidha, hupata malighafi nyingine katika karakana ambazo hutengenezewa samani au fanicha.
“Mimi huzinunua nyuzi kwa Sh50 tu kila mmoja," asema. Anafichua kuwa katika siku za usoni, anaazimia kuisajili kampuni yake, na kushirikiana na washiri ka wengine ambao hutengeneza bidhaa na kupakia katika chupa,na ambao wana shida ya kukusanva chupa hizo baada ya kutumiwa.
Hilo, asema Teresa, litasaidia kubuni ajira kwa watoto wanaorandaranda mitaani, kwa kuwapa kazi ya kukusanya chupa hizo na kuwauzia, na hivyo kupata riziki ya kila siku.
| Takataka hizo hugeuzwa kuwa nini | {
"text": [
"hela"
]
} |
3500_swa | Mwanafasheni abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Watu wengi mno, aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika takataka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za glasi.
Lakini kwa mwanafunzi mmoja wa chuo cha anuwai, takataka hizo huweza kugeuzwa kuwa hela.
Teresa Kiburi, ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha kitaifa cha anuwai cha Nyeri (Nyeri National Polytecnic).
Yeye husomea stashahada katika taaluma ya utengenezaji wa fasheni. Nia yake katika shughuli hii ni kujipa riziki kwa kukusanya chupa za plastiki pa za glasi zilizotupwa na kutapakaa kila mahali, kuzitumia kutengeneza bidhaa kadha wa kadha, ambazo zina thamani katika maskani ya binadamu.
Aidha, Teresa anasema kwamba hii ni mojawapo ya mbinu za kuyahifadhi au kuyasafisha mazingira il yawe safi na ya kufaa kwa watu.
"Mimi hutengeneza maua ya kurembesha nyumba na afisi kwa kutumia chupa za plastiki," adokeza, akongeza kuwa pia, huzitengeneza bidhaa na kuzirembesha maeneo ambayo sherehe mbalimbali huandaliwa.
Pia, yeye huzitumia nyuzi tofauti tofauti kuzitengeneza bidhaa zinazofanana na zulia. Hutumia sindano maalumu na nyuzi kuzitengeneza baadhi ya bidhaa hizo.
Teresa alianza mwezi Machi mwaka uliopita, kwa kuutumia mtaji usiokuwa mwingi. "Nilianza na Sh3,500 nilizopewa na mamangu, Mary Kahaya. Mwalimu wetu wa miradi, Nicholas Mathendu, alinishauri nije na mradi na kuuwasilisha katika maonyesho ya bidhaa katika maonyesho ya tatu ya KATTI na TVET, yaliyoandaliwa katika uwanja wa Tononoka, Mombasa," aeleza Teresa, akiongeza kuwa hushirikiana na Peris Mwangi, ambaye ni mwanafunzi mwenza katika chuo hicho. Anafichua kuwa wao huzitengeneza bidhaa hizo katika siku za wikendi, wakati ambapo hawamo darasani.
Hata hivyo, anasikitika kwa sababu kuna baadhi ya changamoto ambazo huwakabili. "Mojawapo ya changamoto ni kuwa baadhi ya wateja hukosa kulipia baada ya kupelekewa bidhaa.
Mimi huziuza bidhaa hizo mitandaoni, kote nchini," afichua Teresa. Mbali na kuziuza bidhaa zake mitandaoni, huuza pia katika duka la shangazi yake lililoko mjini Nyeri. Anasema kuwa yeye huliuza ua moja kwa bei ya Sh1,200 na kigoda kimoja ambacho hukunjwa, huuzwa kwa bei ya Sh4,000. Pia yeye huzitengeneza sindano za kufumia ambazo huziuza kwa bei ya Sh500 kila moja. Hata hivyo, anadokeza kuwa bei inaweza kupunguzwa ikitegemea uwezo wa kifedha wa mnunuzi. Teresa anafichua kuwa yeye hukusanya chupa za plastiki za maji, na za vinywaji vinginevyo kama vileo katika hafla mbalimbali. Aidha, hupata malighafi nyingine katika karakana ambazo hutengenezewa samani au fanicha.
“Mimi huzinunua nyuzi kwa Sh50 tu kila mmoja," asema. Anafichua kuwa katika siku za usoni, anaazimia kuisajili kampuni yake, na kushirikiana na washiri ka wengine ambao hutengeneza bidhaa na kupakia katika chupa,na ambao wana shida ya kukusanva chupa hizo baada ya kutumiwa.
Hilo, asema Teresa, litasaidia kubuni ajira kwa watoto wanaorandaranda mitaani, kwa kuwapa kazi ya kukusanya chupa hizo na kuwauzia, na hivyo kupata riziki ya kila siku.
| Nia yake Teresa ni gani | {
"text": [
"kujipa riziki"
]
} |
3500_swa | Mwanafasheni abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Watu wengi mno, aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika takataka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za glasi.
Lakini kwa mwanafunzi mmoja wa chuo cha anuwai, takataka hizo huweza kugeuzwa kuwa hela.
Teresa Kiburi, ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha kitaifa cha anuwai cha Nyeri (Nyeri National Polytecnic).
Yeye husomea stashahada katika taaluma ya utengenezaji wa fasheni. Nia yake katika shughuli hii ni kujipa riziki kwa kukusanya chupa za plastiki pa za glasi zilizotupwa na kutapakaa kila mahali, kuzitumia kutengeneza bidhaa kadha wa kadha, ambazo zina thamani katika maskani ya binadamu.
Aidha, Teresa anasema kwamba hii ni mojawapo ya mbinu za kuyahifadhi au kuyasafisha mazingira il yawe safi na ya kufaa kwa watu.
"Mimi hutengeneza maua ya kurembesha nyumba na afisi kwa kutumia chupa za plastiki," adokeza, akongeza kuwa pia, huzitengeneza bidhaa na kuzirembesha maeneo ambayo sherehe mbalimbali huandaliwa.
Pia, yeye huzitumia nyuzi tofauti tofauti kuzitengeneza bidhaa zinazofanana na zulia. Hutumia sindano maalumu na nyuzi kuzitengeneza baadhi ya bidhaa hizo.
Teresa alianza mwezi Machi mwaka uliopita, kwa kuutumia mtaji usiokuwa mwingi. "Nilianza na Sh3,500 nilizopewa na mamangu, Mary Kahaya. Mwalimu wetu wa miradi, Nicholas Mathendu, alinishauri nije na mradi na kuuwasilisha katika maonyesho ya bidhaa katika maonyesho ya tatu ya KATTI na TVET, yaliyoandaliwa katika uwanja wa Tononoka, Mombasa," aeleza Teresa, akiongeza kuwa hushirikiana na Peris Mwangi, ambaye ni mwanafunzi mwenza katika chuo hicho. Anafichua kuwa wao huzitengeneza bidhaa hizo katika siku za wikendi, wakati ambapo hawamo darasani.
Hata hivyo, anasikitika kwa sababu kuna baadhi ya changamoto ambazo huwakabili. "Mojawapo ya changamoto ni kuwa baadhi ya wateja hukosa kulipia baada ya kupelekewa bidhaa.
Mimi huziuza bidhaa hizo mitandaoni, kote nchini," afichua Teresa. Mbali na kuziuza bidhaa zake mitandaoni, huuza pia katika duka la shangazi yake lililoko mjini Nyeri. Anasema kuwa yeye huliuza ua moja kwa bei ya Sh1,200 na kigoda kimoja ambacho hukunjwa, huuzwa kwa bei ya Sh4,000. Pia yeye huzitengeneza sindano za kufumia ambazo huziuza kwa bei ya Sh500 kila moja. Hata hivyo, anadokeza kuwa bei inaweza kupunguzwa ikitegemea uwezo wa kifedha wa mnunuzi. Teresa anafichua kuwa yeye hukusanya chupa za plastiki za maji, na za vinywaji vinginevyo kama vileo katika hafla mbalimbali. Aidha, hupata malighafi nyingine katika karakana ambazo hutengenezewa samani au fanicha.
“Mimi huzinunua nyuzi kwa Sh50 tu kila mmoja," asema. Anafichua kuwa katika siku za usoni, anaazimia kuisajili kampuni yake, na kushirikiana na washiri ka wengine ambao hutengeneza bidhaa na kupakia katika chupa,na ambao wana shida ya kukusanva chupa hizo baada ya kutumiwa.
Hilo, asema Teresa, litasaidia kubuni ajira kwa watoto wanaorandaranda mitaani, kwa kuwapa kazi ya kukusanya chupa hizo na kuwauzia, na hivyo kupata riziki ya kila siku.
| Teresa hutumia chupa za plastiki kutengeneza nini | {
"text": [
"maua ya kurembesha"
]
} |
3501_swa | UMUHIMU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia ni mtumbo maalum ambayo unatumia ujuza wa Sayansi. Teknolojia ulitambulika katika Sayansi wa kujaribu kufanya kwa kutumia stima - unapaswa kuwa muhimu kwa watu wote watu wanafurahía kutumia Teknolojia ya kisasa.
Tekinolojia inasaidia watu kwa njia mbalimbali kama kupiga simu, kuona televisheni na kuona mbele kutumia kochi. Watafiti wa Sayansi wamegundua jinsi ya kuendelea kutumia teknolojia. Wanafunzi, walimu na wazazi wanatumia stima katika wakati wa Usiku. Mwalimu wa Shule yetu ya ole frema alituambia tutaje baadhi ya teknolojia ambazo tunazifahamu na atakaye taja mingi atakula mandazi kwa maina wakati wa chai. lakini sisi kama wanafunzi tulijikaze kamba na kuwa na bidii kama za mchwa kujibu maswali hayo.
komputa, Opo Simy, stima, ndege, gari na hata vile baiskeli na teknolojia ya kisasa kwa sababu hapo zamani za kale akukuwa na vifaa au chombo kama hizo, hasara ya teknolojia ni kwamba kunazozinaharibika hazitafanya kazi kama ndege, Simu, kompyuta no Opo. Mwalimu wa kiswahili alituambia kuwa yeye anaitwa John Kanyi ni yeye ni mwalimu ambaye amesoma Kiswahili na historia Sana. Ata anapokuja kutunza yeye huja na lekchara anda angalie kama amekosa kufunza Naye Sisi kama wanafunzi tunasema kuwa John Kaayi Thodar Atakuwa mwalimu kama yeye na Onunda pia na Mwalimu mesu wangua Kufunza Jana Natamani sana Mwalimu John kanyi angekuwa mwalimu wa darasa yetur Awe anatufunza Kiswahili Sanifu ilikujua kuongee na watu wengine. | Teknolojia hutumia ujuzi wa nini | {
"text": [
"Sayansi"
]
} |
3501_swa | UMUHIMU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia ni mtumbo maalum ambayo unatumia ujuza wa Sayansi. Teknolojia ulitambulika katika Sayansi wa kujaribu kufanya kwa kutumia stima - unapaswa kuwa muhimu kwa watu wote watu wanafurahía kutumia Teknolojia ya kisasa.
Tekinolojia inasaidia watu kwa njia mbalimbali kama kupiga simu, kuona televisheni na kuona mbele kutumia kochi. Watafiti wa Sayansi wamegundua jinsi ya kuendelea kutumia teknolojia. Wanafunzi, walimu na wazazi wanatumia stima katika wakati wa Usiku. Mwalimu wa Shule yetu ya ole frema alituambia tutaje baadhi ya teknolojia ambazo tunazifahamu na atakaye taja mingi atakula mandazi kwa maina wakati wa chai. lakini sisi kama wanafunzi tulijikaze kamba na kuwa na bidii kama za mchwa kujibu maswali hayo.
komputa, Opo Simy, stima, ndege, gari na hata vile baiskeli na teknolojia ya kisasa kwa sababu hapo zamani za kale akukuwa na vifaa au chombo kama hizo, hasara ya teknolojia ni kwamba kunazozinaharibika hazitafanya kazi kama ndege, Simu, kompyuta no Opo. Mwalimu wa kiswahili alituambia kuwa yeye anaitwa John Kanyi ni yeye ni mwalimu ambaye amesoma Kiswahili na historia Sana. Ata anapokuja kutunza yeye huja na lekchara anda angalie kama amekosa kufunza Naye Sisi kama wanafunzi tunasema kuwa John Kaayi Thodar Atakuwa mwalimu kama yeye na Onunda pia na Mwalimu mesu wangua Kufunza Jana Natamani sana Mwalimu John kanyi angekuwa mwalimu wa darasa yetur Awe anatufunza Kiswahili Sanifu ilikujua kuongee na watu wengine. | Ni yapi manufaa ya teknolojia | {
"text": [
"Kupiga simu na kuona televisheni"
]
} |
3501_swa | UMUHIMU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia ni mtumbo maalum ambayo unatumia ujuza wa Sayansi. Teknolojia ulitambulika katika Sayansi wa kujaribu kufanya kwa kutumia stima - unapaswa kuwa muhimu kwa watu wote watu wanafurahía kutumia Teknolojia ya kisasa.
Tekinolojia inasaidia watu kwa njia mbalimbali kama kupiga simu, kuona televisheni na kuona mbele kutumia kochi. Watafiti wa Sayansi wamegundua jinsi ya kuendelea kutumia teknolojia. Wanafunzi, walimu na wazazi wanatumia stima katika wakati wa Usiku. Mwalimu wa Shule yetu ya ole frema alituambia tutaje baadhi ya teknolojia ambazo tunazifahamu na atakaye taja mingi atakula mandazi kwa maina wakati wa chai. lakini sisi kama wanafunzi tulijikaze kamba na kuwa na bidii kama za mchwa kujibu maswali hayo.
komputa, Opo Simy, stima, ndege, gari na hata vile baiskeli na teknolojia ya kisasa kwa sababu hapo zamani za kale akukuwa na vifaa au chombo kama hizo, hasara ya teknolojia ni kwamba kunazozinaharibika hazitafanya kazi kama ndege, Simu, kompyuta no Opo. Mwalimu wa kiswahili alituambia kuwa yeye anaitwa John Kanyi ni yeye ni mwalimu ambaye amesoma Kiswahili na historia Sana. Ata anapokuja kutunza yeye huja na lekchara anda angalie kama amekosa kufunza Naye Sisi kama wanafunzi tunasema kuwa John Kaayi Thodar Atakuwa mwalimu kama yeye na Onunda pia na Mwalimu mesu wangua Kufunza Jana Natamani sana Mwalimu John kanyi angekuwa mwalimu wa darasa yetur Awe anatufunza Kiswahili Sanifu ilikujua kuongee na watu wengine. | Msimulizi anasoma katika shule ipi | {
"text": [
"Ole frema"
]
} |
3501_swa | UMUHIMU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia ni mtumbo maalum ambayo unatumia ujuza wa Sayansi. Teknolojia ulitambulika katika Sayansi wa kujaribu kufanya kwa kutumia stima - unapaswa kuwa muhimu kwa watu wote watu wanafurahía kutumia Teknolojia ya kisasa.
Tekinolojia inasaidia watu kwa njia mbalimbali kama kupiga simu, kuona televisheni na kuona mbele kutumia kochi. Watafiti wa Sayansi wamegundua jinsi ya kuendelea kutumia teknolojia. Wanafunzi, walimu na wazazi wanatumia stima katika wakati wa Usiku. Mwalimu wa Shule yetu ya ole frema alituambia tutaje baadhi ya teknolojia ambazo tunazifahamu na atakaye taja mingi atakula mandazi kwa maina wakati wa chai. lakini sisi kama wanafunzi tulijikaze kamba na kuwa na bidii kama za mchwa kujibu maswali hayo.
komputa, Opo Simy, stima, ndege, gari na hata vile baiskeli na teknolojia ya kisasa kwa sababu hapo zamani za kale akukuwa na vifaa au chombo kama hizo, hasara ya teknolojia ni kwamba kunazozinaharibika hazitafanya kazi kama ndege, Simu, kompyuta no Opo. Mwalimu wa kiswahili alituambia kuwa yeye anaitwa John Kanyi ni yeye ni mwalimu ambaye amesoma Kiswahili na historia Sana. Ata anapokuja kutunza yeye huja na lekchara anda angalie kama amekosa kufunza Naye Sisi kama wanafunzi tunasema kuwa John Kaayi Thodar Atakuwa mwalimu kama yeye na Onunda pia na Mwalimu mesu wangua Kufunza Jana Natamani sana Mwalimu John kanyi angekuwa mwalimu wa darasa yetur Awe anatufunza Kiswahili Sanifu ilikujua kuongee na watu wengine. | Teknolojia hujumuisha vyombo vipi | {
"text": [
"Kompyuta, simu, stima, ndege na gari"
]
} |
3501_swa | UMUHIMU WA TEKNOLOJIA
Teknolojia ni mtumbo maalum ambayo unatumia ujuza wa Sayansi. Teknolojia ulitambulika katika Sayansi wa kujaribu kufanya kwa kutumia stima - unapaswa kuwa muhimu kwa watu wote watu wanafurahía kutumia Teknolojia ya kisasa.
Tekinolojia inasaidia watu kwa njia mbalimbali kama kupiga simu, kuona televisheni na kuona mbele kutumia kochi. Watafiti wa Sayansi wamegundua jinsi ya kuendelea kutumia teknolojia. Wanafunzi, walimu na wazazi wanatumia stima katika wakati wa Usiku. Mwalimu wa Shule yetu ya ole frema alituambia tutaje baadhi ya teknolojia ambazo tunazifahamu na atakaye taja mingi atakula mandazi kwa maina wakati wa chai. lakini sisi kama wanafunzi tulijikaze kamba na kuwa na bidii kama za mchwa kujibu maswali hayo.
komputa, Opo Simy, stima, ndege, gari na hata vile baiskeli na teknolojia ya kisasa kwa sababu hapo zamani za kale akukuwa na vifaa au chombo kama hizo, hasara ya teknolojia ni kwamba kunazozinaharibika hazitafanya kazi kama ndege, Simu, kompyuta no Opo. Mwalimu wa kiswahili alituambia kuwa yeye anaitwa John Kanyi ni yeye ni mwalimu ambaye amesoma Kiswahili na historia Sana. Ata anapokuja kutunza yeye huja na lekchara anda angalie kama amekosa kufunza Naye Sisi kama wanafunzi tunasema kuwa John Kaayi Thodar Atakuwa mwalimu kama yeye na Onunda pia na Mwalimu mesu wangua Kufunza Jana Natamani sana Mwalimu John kanyi angekuwa mwalimu wa darasa yetur Awe anatufunza Kiswahili Sanifu ilikujua kuongee na watu wengine. | Mwalimu John Kanyi alikuwa mwalimu wa masomo yapi | {
"text": [
"Kiswahili na Historia"
]
} |
3502_swa | Umuhimu wa Teknolojia
Teknolojia ni mashine ambao hutumide kusaidia wananchi na pia watu hutumia teknolojia, wa kisasa imesaidia watu ambao huitegemea. Utapata ya kwamba mtu hutumia aina ya vitu kama simu, kompyuta, tableti na kadhalika. Hii ziusababisha watu Kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Teknolojia wa kisasa imeonyesha njia mingi ya kusaidia watu.
Utapata watu huwa wanatumia aina za vitu vya díjitali kama vile simu, kompyuta, tableti na kadhalika.Hii ziusababisha watu kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Siku hizi watu hutumia televisheni runinga na redio.
Teknolojia watu hupenda Kwa Kutumia Kuelimisha. Kama vile wanafunzi huitumia kompyuta vya kisasa kama kipakatalishi, Utapata Wanafunzi huitumia kwa shule kikuu huwa wanatumia Kwa Kuisoma na kufanya Kazi nyingine kama wanaeka nyimbo au vipindi pia wanatazama aina za dokumentari Teknolojia wa Kisasa watu wanaitegemea na kunao wananchi ambao walioitegeneza kama nchi zilizopatikana Katika asia, kama vile Uchina, japani Korea Kusini na_korea magharibi
Teknolojia imeweza pia kuharibu vijana na wasichana. Utapata ya kwamba katika televisheni au Sinema watu kama wavulana na wasichana huwa wanazingatia kutazama aina za vipindi Vibaya vyenye ukahaba. Hii huwafanya wasichana wavalie aina za mavazi ambayo ni mafupi, hii huleta balaa kubwa. Visana nao huanza kuwa na tabia mbovu au mbaya, Kwa Kweli teknolojia imewaharibu wavulana na wasichana. Teknolojia huleta pia aina za mitandao kwenye Simu kama vile facebook, twitter na kadhalika.rafiki zao. Kwenye mtandao. Hii husaidia watu Kwa urahisi. Teknolojia ya kisasa inasaidia watu kwa njia nyingi.
Mwisho Teknolojia husaidia pia watu kwa kutuma pesa haraka kama vile mtu akitaka kutumia pesa Kwa mtu hutazama nambari kama tuseme mpesa huwa wanatazama kisha wanatumia pesa kwa mtu mingine. Hii pia hutumia dijitali. Teknolojia kwa kweli watu wanaisaidia kwa kutumia katika nchi zoté Teknolojia imesababisha hali nzuri kwa kila nchi.
| Kipi kimerahihisha kutumwa kwa pesa | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3502_swa | Umuhimu wa Teknolojia
Teknolojia ni mashine ambao hutumide kusaidia wananchi na pia watu hutumia teknolojia, wa kisasa imesaidia watu ambao huitegemea. Utapata ya kwamba mtu hutumia aina ya vitu kama simu, kompyuta, tableti na kadhalika. Hii ziusababisha watu Kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Teknolojia wa kisasa imeonyesha njia mingi ya kusaidia watu.
Utapata watu huwa wanatumia aina za vitu vya díjitali kama vile simu, kompyuta, tableti na kadhalika.Hii ziusababisha watu kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Siku hizi watu hutumia televisheni runinga na redio.
Teknolojia watu hupenda Kwa Kutumia Kuelimisha. Kama vile wanafunzi huitumia kompyuta vya kisasa kama kipakatalishi, Utapata Wanafunzi huitumia kwa shule kikuu huwa wanatumia Kwa Kuisoma na kufanya Kazi nyingine kama wanaeka nyimbo au vipindi pia wanatazama aina za dokumentari Teknolojia wa Kisasa watu wanaitegemea na kunao wananchi ambao walioitegeneza kama nchi zilizopatikana Katika asia, kama vile Uchina, japani Korea Kusini na_korea magharibi
Teknolojia imeweza pia kuharibu vijana na wasichana. Utapata ya kwamba katika televisheni au Sinema watu kama wavulana na wasichana huwa wanazingatia kutazama aina za vipindi Vibaya vyenye ukahaba. Hii huwafanya wasichana wavalie aina za mavazi ambayo ni mafupi, hii huleta balaa kubwa. Visana nao huanza kuwa na tabia mbovu au mbaya, Kwa Kweli teknolojia imewaharibu wavulana na wasichana. Teknolojia huleta pia aina za mitandao kwenye Simu kama vile facebook, twitter na kadhalika.rafiki zao. Kwenye mtandao. Hii husaidia watu Kwa urahisi. Teknolojia ya kisasa inasaidia watu kwa njia nyingi.
Mwisho Teknolojia husaidia pia watu kwa kutuma pesa haraka kama vile mtu akitaka kutumia pesa Kwa mtu hutazama nambari kama tuseme mpesa huwa wanatazama kisha wanatumia pesa kwa mtu mingine. Hii pia hutumia dijitali. Teknolojia kwa kweli watu wanaisaidia kwa kutumia katika nchi zoté Teknolojia imesababisha hali nzuri kwa kila nchi.
| Teknolojia hupatikana kwenye nchi zipi za kigeni | {
"text": [
"Uchina, japani na Korea"
]
} |
3502_swa | Umuhimu wa Teknolojia
Teknolojia ni mashine ambao hutumide kusaidia wananchi na pia watu hutumia teknolojia, wa kisasa imesaidia watu ambao huitegemea. Utapata ya kwamba mtu hutumia aina ya vitu kama simu, kompyuta, tableti na kadhalika. Hii ziusababisha watu Kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Teknolojia wa kisasa imeonyesha njia mingi ya kusaidia watu.
Utapata watu huwa wanatumia aina za vitu vya díjitali kama vile simu, kompyuta, tableti na kadhalika.Hii ziusababisha watu kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Siku hizi watu hutumia televisheni runinga na redio.
Teknolojia watu hupenda Kwa Kutumia Kuelimisha. Kama vile wanafunzi huitumia kompyuta vya kisasa kama kipakatalishi, Utapata Wanafunzi huitumia kwa shule kikuu huwa wanatumia Kwa Kuisoma na kufanya Kazi nyingine kama wanaeka nyimbo au vipindi pia wanatazama aina za dokumentari Teknolojia wa Kisasa watu wanaitegemea na kunao wananchi ambao walioitegeneza kama nchi zilizopatikana Katika asia, kama vile Uchina, japani Korea Kusini na_korea magharibi
Teknolojia imeweza pia kuharibu vijana na wasichana. Utapata ya kwamba katika televisheni au Sinema watu kama wavulana na wasichana huwa wanazingatia kutazama aina za vipindi Vibaya vyenye ukahaba. Hii huwafanya wasichana wavalie aina za mavazi ambayo ni mafupi, hii huleta balaa kubwa. Visana nao huanza kuwa na tabia mbovu au mbaya, Kwa Kweli teknolojia imewaharibu wavulana na wasichana. Teknolojia huleta pia aina za mitandao kwenye Simu kama vile facebook, twitter na kadhalika.rafiki zao. Kwenye mtandao. Hii husaidia watu Kwa urahisi. Teknolojia ya kisasa inasaidia watu kwa njia nyingi.
Mwisho Teknolojia husaidia pia watu kwa kutuma pesa haraka kama vile mtu akitaka kutumia pesa Kwa mtu hutazama nambari kama tuseme mpesa huwa wanatazama kisha wanatumia pesa kwa mtu mingine. Hii pia hutumia dijitali. Teknolojia kwa kweli watu wanaisaidia kwa kutumia katika nchi zoté Teknolojia imesababisha hali nzuri kwa kila nchi.
| Wasichana na wavulana wanaweza haribiwa na nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3502_swa | Umuhimu wa Teknolojia
Teknolojia ni mashine ambao hutumide kusaidia wananchi na pia watu hutumia teknolojia, wa kisasa imesaidia watu ambao huitegemea. Utapata ya kwamba mtu hutumia aina ya vitu kama simu, kompyuta, tableti na kadhalika. Hii ziusababisha watu Kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Teknolojia wa kisasa imeonyesha njia mingi ya kusaidia watu.
Utapata watu huwa wanatumia aina za vitu vya díjitali kama vile simu, kompyuta, tableti na kadhalika.Hii ziusababisha watu kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Siku hizi watu hutumia televisheni runinga na redio.
Teknolojia watu hupenda Kwa Kutumia Kuelimisha. Kama vile wanafunzi huitumia kompyuta vya kisasa kama kipakatalishi, Utapata Wanafunzi huitumia kwa shule kikuu huwa wanatumia Kwa Kuisoma na kufanya Kazi nyingine kama wanaeka nyimbo au vipindi pia wanatazama aina za dokumentari Teknolojia wa Kisasa watu wanaitegemea na kunao wananchi ambao walioitegeneza kama nchi zilizopatikana Katika asia, kama vile Uchina, japani Korea Kusini na_korea magharibi
Teknolojia imeweza pia kuharibu vijana na wasichana. Utapata ya kwamba katika televisheni au Sinema watu kama wavulana na wasichana huwa wanazingatia kutazama aina za vipindi Vibaya vyenye ukahaba. Hii huwafanya wasichana wavalie aina za mavazi ambayo ni mafupi, hii huleta balaa kubwa. Visana nao huanza kuwa na tabia mbovu au mbaya, Kwa Kweli teknolojia imewaharibu wavulana na wasichana. Teknolojia huleta pia aina za mitandao kwenye Simu kama vile facebook, twitter na kadhalika.rafiki zao. Kwenye mtandao. Hii husaidia watu Kwa urahisi. Teknolojia ya kisasa inasaidia watu kwa njia nyingi.
Mwisho Teknolojia husaidia pia watu kwa kutuma pesa haraka kama vile mtu akitaka kutumia pesa Kwa mtu hutazama nambari kama tuseme mpesa huwa wanatazama kisha wanatumia pesa kwa mtu mingine. Hii pia hutumia dijitali. Teknolojia kwa kweli watu wanaisaidia kwa kutumia katika nchi zoté Teknolojia imesababisha hali nzuri kwa kila nchi.
| Kipi huchangia wasichana kuvalia mavazi mafupi | {
"text": [
"Vipindi vibaya kwenye televisheni"
]
} |
3502_swa | Umuhimu wa Teknolojia
Teknolojia ni mashine ambao hutumide kusaidia wananchi na pia watu hutumia teknolojia, wa kisasa imesaidia watu ambao huitegemea. Utapata ya kwamba mtu hutumia aina ya vitu kama simu, kompyuta, tableti na kadhalika. Hii ziusababisha watu Kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Teknolojia wa kisasa imeonyesha njia mingi ya kusaidia watu.
Utapata watu huwa wanatumia aina za vitu vya díjitali kama vile simu, kompyuta, tableti na kadhalika.Hii ziusababisha watu kutumia teknolojia katika nchi yoyote. Siku hizi watu hutumia televisheni runinga na redio.
Teknolojia watu hupenda Kwa Kutumia Kuelimisha. Kama vile wanafunzi huitumia kompyuta vya kisasa kama kipakatalishi, Utapata Wanafunzi huitumia kwa shule kikuu huwa wanatumia Kwa Kuisoma na kufanya Kazi nyingine kama wanaeka nyimbo au vipindi pia wanatazama aina za dokumentari Teknolojia wa Kisasa watu wanaitegemea na kunao wananchi ambao walioitegeneza kama nchi zilizopatikana Katika asia, kama vile Uchina, japani Korea Kusini na_korea magharibi
Teknolojia imeweza pia kuharibu vijana na wasichana. Utapata ya kwamba katika televisheni au Sinema watu kama wavulana na wasichana huwa wanazingatia kutazama aina za vipindi Vibaya vyenye ukahaba. Hii huwafanya wasichana wavalie aina za mavazi ambayo ni mafupi, hii huleta balaa kubwa. Visana nao huanza kuwa na tabia mbovu au mbaya, Kwa Kweli teknolojia imewaharibu wavulana na wasichana. Teknolojia huleta pia aina za mitandao kwenye Simu kama vile facebook, twitter na kadhalika.rafiki zao. Kwenye mtandao. Hii husaidia watu Kwa urahisi. Teknolojia ya kisasa inasaidia watu kwa njia nyingi.
Mwisho Teknolojia husaidia pia watu kwa kutuma pesa haraka kama vile mtu akitaka kutumia pesa Kwa mtu hutazama nambari kama tuseme mpesa huwa wanatazama kisha wanatumia pesa kwa mtu mingine. Hii pia hutumia dijitali. Teknolojia kwa kweli watu wanaisaidia kwa kutumia katika nchi zoté Teknolojia imesababisha hali nzuri kwa kila nchi.
| Teknolojia imeleta mitandao ipi | {
"text": [
"Facebook na Twitter"
]
} |
3503_swa | umuhimu wa teknolojia
Babu yangu , Mzee kimani angefufuka leo kisha aone, vile ulimwengu ulivyopiga, hatua kimawasiliano na kiteknolojia angeauka na kuzima angemwomba Maulana amrudisha katika kaburi lake .
Kwanza kabisa ningempeleka kwangu nyumbani huko mjini kwa vile sifugi kuku babu angeshangaa sana na kusema “Nyumba gani hii isiyofungwa jogoo! Ni nani atakaye tuamsha alfajiri kuanza safari yetu? ”
Hapo ndipi ningemcheka kweli kweli Kisha nimpe saa yangu ya kiteknolojia ambayo itegesha majira.
Rununga ndio kwanza ingemzuzua. Huenda angetaka kukesha akitazama ngoma za kitamaduni. Angezunguka kote sebuleni akisakata ngoma aliyopenda ya ndaro. Angewazungumzia wachezaji hao kwenye runinga, lakini wapi wasizungumze naye. Hilo lingemuudhi angeniambia “ We! Kijana kuja hapa hiki kidude chako kinaongea kweli ? ”
Nami ningemjibu “ Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni”
Mara tungefika ofisini, mboni zake za macho zingelakiwa na skrini za kompyuta. Hapo angeruka kwa furaha na aseme “Hayo tengeni meza hizi na viti nicheza ngoma zangu” Hapo ningemcheka nakusema “Babu hiyo ni kompyuta inatumika kuandika barua na kazi zingine.” Ningepiga taipu jina lake na kumfindisha jinsi ya kufanya hivyo na hata kutuma barua pepe. Babu angeshtuka kusikia barua pepe itokayo nchi ya ngambo. Faksi na printa zikifanya kazi yeye alitoroka kwenda kujificha.
Mzee huyu angeona vile uvumbuzi wa mtandao umewezesha ulimwengu kuwa kama kijiji kimoja kidogo na umuhimu wa teknolojia angependezwa sana.
| Babu yangu angefufuka aone vile ulimwengu ulivyopiga hatua kimawasiliano angefanyika nini | {
"text": [
"Angeanguka na kuzima"
]
} |
3503_swa | umuhimu wa teknolojia
Babu yangu , Mzee kimani angefufuka leo kisha aone, vile ulimwengu ulivyopiga, hatua kimawasiliano na kiteknolojia angeauka na kuzima angemwomba Maulana amrudisha katika kaburi lake .
Kwanza kabisa ningempeleka kwangu nyumbani huko mjini kwa vile sifugi kuku babu angeshangaa sana na kusema “Nyumba gani hii isiyofungwa jogoo! Ni nani atakaye tuamsha alfajiri kuanza safari yetu? ”
Hapo ndipi ningemcheka kweli kweli Kisha nimpe saa yangu ya kiteknolojia ambayo itegesha majira.
Rununga ndio kwanza ingemzuzua. Huenda angetaka kukesha akitazama ngoma za kitamaduni. Angezunguka kote sebuleni akisakata ngoma aliyopenda ya ndaro. Angewazungumzia wachezaji hao kwenye runinga, lakini wapi wasizungumze naye. Hilo lingemuudhi angeniambia “ We! Kijana kuja hapa hiki kidude chako kinaongea kweli ? ”
Nami ningemjibu “ Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni”
Mara tungefika ofisini, mboni zake za macho zingelakiwa na skrini za kompyuta. Hapo angeruka kwa furaha na aseme “Hayo tengeni meza hizi na viti nicheza ngoma zangu” Hapo ningemcheka nakusema “Babu hiyo ni kompyuta inatumika kuandika barua na kazi zingine.” Ningepiga taipu jina lake na kumfindisha jinsi ya kufanya hivyo na hata kutuma barua pepe. Babu angeshtuka kusikia barua pepe itokayo nchi ya ngambo. Faksi na printa zikifanya kazi yeye alitoroka kwenda kujificha.
Mzee huyu angeona vile uvumbuzi wa mtandao umewezesha ulimwengu kuwa kama kijiji kimoja kidogo na umuhimu wa teknolojia angependezwa sana.
| Angemwomba nani amrudishe | {
"text": [
"Maulana"
]
} |
3503_swa | umuhimu wa teknolojia
Babu yangu , Mzee kimani angefufuka leo kisha aone, vile ulimwengu ulivyopiga, hatua kimawasiliano na kiteknolojia angeauka na kuzima angemwomba Maulana amrudisha katika kaburi lake .
Kwanza kabisa ningempeleka kwangu nyumbani huko mjini kwa vile sifugi kuku babu angeshangaa sana na kusema “Nyumba gani hii isiyofungwa jogoo! Ni nani atakaye tuamsha alfajiri kuanza safari yetu? ”
Hapo ndipi ningemcheka kweli kweli Kisha nimpe saa yangu ya kiteknolojia ambayo itegesha majira.
Rununga ndio kwanza ingemzuzua. Huenda angetaka kukesha akitazama ngoma za kitamaduni. Angezunguka kote sebuleni akisakata ngoma aliyopenda ya ndaro. Angewazungumzia wachezaji hao kwenye runinga, lakini wapi wasizungumze naye. Hilo lingemuudhi angeniambia “ We! Kijana kuja hapa hiki kidude chako kinaongea kweli ? ”
Nami ningemjibu “ Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni”
Mara tungefika ofisini, mboni zake za macho zingelakiwa na skrini za kompyuta. Hapo angeruka kwa furaha na aseme “Hayo tengeni meza hizi na viti nicheza ngoma zangu” Hapo ningemcheka nakusema “Babu hiyo ni kompyuta inatumika kuandika barua na kazi zingine.” Ningepiga taipu jina lake na kumfindisha jinsi ya kufanya hivyo na hata kutuma barua pepe. Babu angeshtuka kusikia barua pepe itokayo nchi ya ngambo. Faksi na printa zikifanya kazi yeye alitoroka kwenda kujificha.
Mzee huyu angeona vile uvumbuzi wa mtandao umewezesha ulimwengu kuwa kama kijiji kimoja kidogo na umuhimu wa teknolojia angependezwa sana.
| Angemwomba Maulana amrudishe wapi | {
"text": [
"Katika kaburi lake"
]
} |
3503_swa | umuhimu wa teknolojia
Babu yangu , Mzee kimani angefufuka leo kisha aone, vile ulimwengu ulivyopiga, hatua kimawasiliano na kiteknolojia angeauka na kuzima angemwomba Maulana amrudisha katika kaburi lake .
Kwanza kabisa ningempeleka kwangu nyumbani huko mjini kwa vile sifugi kuku babu angeshangaa sana na kusema “Nyumba gani hii isiyofungwa jogoo! Ni nani atakaye tuamsha alfajiri kuanza safari yetu? ”
Hapo ndipi ningemcheka kweli kweli Kisha nimpe saa yangu ya kiteknolojia ambayo itegesha majira.
Rununga ndio kwanza ingemzuzua. Huenda angetaka kukesha akitazama ngoma za kitamaduni. Angezunguka kote sebuleni akisakata ngoma aliyopenda ya ndaro. Angewazungumzia wachezaji hao kwenye runinga, lakini wapi wasizungumze naye. Hilo lingemuudhi angeniambia “ We! Kijana kuja hapa hiki kidude chako kinaongea kweli ? ”
Nami ningemjibu “ Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni”
Mara tungefika ofisini, mboni zake za macho zingelakiwa na skrini za kompyuta. Hapo angeruka kwa furaha na aseme “Hayo tengeni meza hizi na viti nicheza ngoma zangu” Hapo ningemcheka nakusema “Babu hiyo ni kompyuta inatumika kuandika barua na kazi zingine.” Ningepiga taipu jina lake na kumfindisha jinsi ya kufanya hivyo na hata kutuma barua pepe. Babu angeshtuka kusikia barua pepe itokayo nchi ya ngambo. Faksi na printa zikifanya kazi yeye alitoroka kwenda kujificha.
Mzee huyu angeona vile uvumbuzi wa mtandao umewezesha ulimwengu kuwa kama kijiji kimoja kidogo na umuhimu wa teknolojia angependezwa sana.
| Kwanza kabisa ningempeleka wapi | {
"text": [
"Kwangu nyumbani"
]
} |
3503_swa | umuhimu wa teknolojia
Babu yangu , Mzee kimani angefufuka leo kisha aone, vile ulimwengu ulivyopiga, hatua kimawasiliano na kiteknolojia angeauka na kuzima angemwomba Maulana amrudisha katika kaburi lake .
Kwanza kabisa ningempeleka kwangu nyumbani huko mjini kwa vile sifugi kuku babu angeshangaa sana na kusema “Nyumba gani hii isiyofungwa jogoo! Ni nani atakaye tuamsha alfajiri kuanza safari yetu? ”
Hapo ndipi ningemcheka kweli kweli Kisha nimpe saa yangu ya kiteknolojia ambayo itegesha majira.
Rununga ndio kwanza ingemzuzua. Huenda angetaka kukesha akitazama ngoma za kitamaduni. Angezunguka kote sebuleni akisakata ngoma aliyopenda ya ndaro. Angewazungumzia wachezaji hao kwenye runinga, lakini wapi wasizungumze naye. Hilo lingemuudhi angeniambia “ We! Kijana kuja hapa hiki kidude chako kinaongea kweli ? ”
Nami ningemjibu “ Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni”
Mara tungefika ofisini, mboni zake za macho zingelakiwa na skrini za kompyuta. Hapo angeruka kwa furaha na aseme “Hayo tengeni meza hizi na viti nicheza ngoma zangu” Hapo ningemcheka nakusema “Babu hiyo ni kompyuta inatumika kuandika barua na kazi zingine.” Ningepiga taipu jina lake na kumfindisha jinsi ya kufanya hivyo na hata kutuma barua pepe. Babu angeshtuka kusikia barua pepe itokayo nchi ya ngambo. Faksi na printa zikifanya kazi yeye alitoroka kwenda kujificha.
Mzee huyu angeona vile uvumbuzi wa mtandao umewezesha ulimwengu kuwa kama kijiji kimoja kidogo na umuhimu wa teknolojia angependezwa sana.
| Kwa vile sifugi kuku na bata angefanya nini | {
"text": [
"Angeshangaa"
]
} |
3505_swa | Janga la ukimwi
Ilikuwa mwaka wa 1984 ambapo ugonjwa wa Ukimwi Ulianza bila shaka ugonjwa huo ulianza na kuuwa watu mbali mbali. Wakonde, Wanene na weusi ungonjwa huu hukuwa unatambua mtu yeyote. Ugonjwa huu huku wa natiba yoyote kitu ambacho ungefanya ni kula vizuri na kuka pahali pasafi. Ugonjwa huu ulizidi kuenea bila shaka ukauwa watu wengi sana.
Serikali ya Kenya ilijaribu kutafuta dawa lakini wapi hawakupata katika televisheni watangazaji walishi kutangaza janga hilo. Watu walikuwa na uwoga mwingi sana. Siku moja ugonjwa huo Ulipata dawa lakini ilikuwa ya pesa nyingi sana hakuna ambaye aliyeweza kuinunua: Wananchi walishi kusema wapunguziwe bei ya dawa hizo.
Kwa sababu ya uwogo hakuna aliyetaka kukula na mwingine wala kuketi na mtu aliye na ugonjwa huo. Watu waliendelea kuaga dunia bila kupumzika duka la masanduku ya kuzika ilibake bila kitu kwa sababu masanduku yote ya kuzika yamenunuliwa. Uwendapo Langata huko sasa ndiko wote walikuwa wakizikwa wengine wanakondeleana kama ngonda na wengine hata kukosa nguvu mwilini.
Na mwaka wa 2021 kwa rehema yake Mwenyezi Mungu tulipata dawa ya kuwatibu wagonjwa wetu. Lakini baada ya kupata dawa tulikumbwa na ugonjwa mwingine wa Uviko-19 ambao pia hiyo inauwa watu wengine na bado tunamuomba Mwenyezi Mungu tutapata dawa kama hiyo ya ukimwi. | Ukimwi ulianza mwaka gani | {
"text": [
"258"
]
} |
3505_swa | Janga la ukimwi
Ilikuwa mwaka wa 1984 ambapo ugonjwa wa Ukimwi Ulianza bila shaka ugonjwa huo ulianza na kuuwa watu mbali mbali. Wakonde, Wanene na weusi ungonjwa huu hukuwa unatambua mtu yeyote. Ugonjwa huu huku wa natiba yoyote kitu ambacho ungefanya ni kula vizuri na kuka pahali pasafi. Ugonjwa huu ulizidi kuenea bila shaka ukauwa watu wengi sana.
Serikali ya Kenya ilijaribu kutafuta dawa lakini wapi hawakupata katika televisheni watangazaji walishi kutangaza janga hilo. Watu walikuwa na uwoga mwingi sana. Siku moja ugonjwa huo Ulipata dawa lakini ilikuwa ya pesa nyingi sana hakuna ambaye aliyeweza kuinunua: Wananchi walishi kusema wapunguziwe bei ya dawa hizo.
Kwa sababu ya uwogo hakuna aliyetaka kukula na mwingine wala kuketi na mtu aliye na ugonjwa huo. Watu waliendelea kuaga dunia bila kupumzika duka la masanduku ya kuzika ilibake bila kitu kwa sababu masanduku yote ya kuzika yamenunuliwa. Uwendapo Langata huko sasa ndiko wote walikuwa wakizikwa wengine wanakondeleana kama ngonda na wengine hata kukosa nguvu mwilini.
Na mwaka wa 2021 kwa rehema yake Mwenyezi Mungu tulipata dawa ya kuwatibu wagonjwa wetu. Lakini baada ya kupata dawa tulikumbwa na ugonjwa mwingine wa Uviko-19 ambao pia hiyo inauwa watu wengine na bado tunamuomba Mwenyezi Mungu tutapata dawa kama hiyo ya ukimwi. | Ugonjwa huu haukuwa unatambua nani | {
"text": [
"mtu yeyote"
]
} |
3505_swa | Janga la ukimwi
Ilikuwa mwaka wa 1984 ambapo ugonjwa wa Ukimwi Ulianza bila shaka ugonjwa huo ulianza na kuuwa watu mbali mbali. Wakonde, Wanene na weusi ungonjwa huu hukuwa unatambua mtu yeyote. Ugonjwa huu huku wa natiba yoyote kitu ambacho ungefanya ni kula vizuri na kuka pahali pasafi. Ugonjwa huu ulizidi kuenea bila shaka ukauwa watu wengi sana.
Serikali ya Kenya ilijaribu kutafuta dawa lakini wapi hawakupata katika televisheni watangazaji walishi kutangaza janga hilo. Watu walikuwa na uwoga mwingi sana. Siku moja ugonjwa huo Ulipata dawa lakini ilikuwa ya pesa nyingi sana hakuna ambaye aliyeweza kuinunua: Wananchi walishi kusema wapunguziwe bei ya dawa hizo.
Kwa sababu ya uwogo hakuna aliyetaka kukula na mwingine wala kuketi na mtu aliye na ugonjwa huo. Watu waliendelea kuaga dunia bila kupumzika duka la masanduku ya kuzika ilibake bila kitu kwa sababu masanduku yote ya kuzika yamenunuliwa. Uwendapo Langata huko sasa ndiko wote walikuwa wakizikwa wengine wanakondeleana kama ngonda na wengine hata kukosa nguvu mwilini.
Na mwaka wa 2021 kwa rehema yake Mwenyezi Mungu tulipata dawa ya kuwatibu wagonjwa wetu. Lakini baada ya kupata dawa tulikumbwa na ugonjwa mwingine wa Uviko-19 ambao pia hiyo inauwa watu wengine na bado tunamuomba Mwenyezi Mungu tutapata dawa kama hiyo ya ukimwi. | Serikali ya Kenya ilijaribu kutafuta nini | {
"text": [
"dawa"
]
} |
3505_swa | Janga la ukimwi
Ilikuwa mwaka wa 1984 ambapo ugonjwa wa Ukimwi Ulianza bila shaka ugonjwa huo ulianza na kuuwa watu mbali mbali. Wakonde, Wanene na weusi ungonjwa huu hukuwa unatambua mtu yeyote. Ugonjwa huu huku wa natiba yoyote kitu ambacho ungefanya ni kula vizuri na kuka pahali pasafi. Ugonjwa huu ulizidi kuenea bila shaka ukauwa watu wengi sana.
Serikali ya Kenya ilijaribu kutafuta dawa lakini wapi hawakupata katika televisheni watangazaji walishi kutangaza janga hilo. Watu walikuwa na uwoga mwingi sana. Siku moja ugonjwa huo Ulipata dawa lakini ilikuwa ya pesa nyingi sana hakuna ambaye aliyeweza kuinunua: Wananchi walishi kusema wapunguziwe bei ya dawa hizo.
Kwa sababu ya uwogo hakuna aliyetaka kukula na mwingine wala kuketi na mtu aliye na ugonjwa huo. Watu waliendelea kuaga dunia bila kupumzika duka la masanduku ya kuzika ilibake bila kitu kwa sababu masanduku yote ya kuzika yamenunuliwa. Uwendapo Langata huko sasa ndiko wote walikuwa wakizikwa wengine wanakondeleana kama ngonda na wengine hata kukosa nguvu mwilini.
Na mwaka wa 2021 kwa rehema yake Mwenyezi Mungu tulipata dawa ya kuwatibu wagonjwa wetu. Lakini baada ya kupata dawa tulikumbwa na ugonjwa mwingine wa Uviko-19 ambao pia hiyo inauwa watu wengine na bado tunamuomba Mwenyezi Mungu tutapata dawa kama hiyo ya ukimwi. | Tulikumbwa na ugonjwa gani mwingine | {
"text": [
"wa Corona 19"
]
} |
3505_swa | Janga la ukimwi
Ilikuwa mwaka wa 1984 ambapo ugonjwa wa Ukimwi Ulianza bila shaka ugonjwa huo ulianza na kuuwa watu mbali mbali. Wakonde, Wanene na weusi ungonjwa huu hukuwa unatambua mtu yeyote. Ugonjwa huu huku wa natiba yoyote kitu ambacho ungefanya ni kula vizuri na kuka pahali pasafi. Ugonjwa huu ulizidi kuenea bila shaka ukauwa watu wengi sana.
Serikali ya Kenya ilijaribu kutafuta dawa lakini wapi hawakupata katika televisheni watangazaji walishi kutangaza janga hilo. Watu walikuwa na uwoga mwingi sana. Siku moja ugonjwa huo Ulipata dawa lakini ilikuwa ya pesa nyingi sana hakuna ambaye aliyeweza kuinunua: Wananchi walishi kusema wapunguziwe bei ya dawa hizo.
Kwa sababu ya uwogo hakuna aliyetaka kukula na mwingine wala kuketi na mtu aliye na ugonjwa huo. Watu waliendelea kuaga dunia bila kupumzika duka la masanduku ya kuzika ilibake bila kitu kwa sababu masanduku yote ya kuzika yamenunuliwa. Uwendapo Langata huko sasa ndiko wote walikuwa wakizikwa wengine wanakondeleana kama ngonda na wengine hata kukosa nguvu mwilini.
Na mwaka wa 2021 kwa rehema yake Mwenyezi Mungu tulipata dawa ya kuwatibu wagonjwa wetu. Lakini baada ya kupata dawa tulikumbwa na ugonjwa mwingine wa Uviko-19 ambao pia hiyo inauwa watu wengine na bado tunamuomba Mwenyezi Mungu tutapata dawa kama hiyo ya ukimwi. | Mbona tunamwomba Mwenyezi Mungu | {
"text": [
"ili tupate dawa kama hiyo ya Ukimwi"
]
} |
3506_swa | UMUHIMU WA TEKNLOGIA
Teknologia ilivumbuliwa na binadamu: Saa ya kijaluba ni mojawapo ya Saa ambayo unaweza Kuitengesha majira. Hiyo saa humzindua mtu usingizini. Huzindua mziki mwanana ambao mtu hawezi kusita kuamka.
Runinga pia huzindua na kuburudisha.Ukitaka nyimbo uzipendazo kama za ndaro ungezipata. Teknologia inawasaidia watu wengi hasa watoto. Ukitaka mtoto asome kupitia runinga au rununu,anaweza Soma. Pia huwasaidia watoto kwa kuwachangamsha wakiona Vipindi wavipendavyo.Bila kuwasahau watu wazima huwa Saidia kwa nchi ingendelea kupitia taarifa au mtandao wa kijamii.
Rununu pia hutumika kwa mawasiliano. Watu wa Sasa hujigamba wanapo wasiliana na wenzao maana wazazi wa wazazi wao ambao ndio nyanya zao husimulia hadithi Wakieleza kuwa rununu haikuwepo hapo awali. Kwa sasa hivi ukimpa babu au nyanyako Simu apitishe ujumbe kwa mtu mwingine, utamwona amecheka hadi uone uhaba wa meno kinywani mwake. Mtu awe na jambo muhimu au kutaka kumjulia mwenzako hali utatumia simu yako ya mkono.
Kompyuta husaidia kwa kutaipu majina. Hutumika ku ja ya kuchukua jikaratasi iliyoandilawa, kuitia kwa machine, kushika harcade chenye mkra mithili ya panya , halafu unabofya kwa kutumia kidole na mara sauti ya mashine chapisha ingesikika. Utaona mashine hiyo ikitapika karatasi yenye jina au maandisi iliyokuwa kwenye karatasi.
Sio lazima uende posta kutuma barua - Kompyuta huezesha kumsaidia binadamu kwa masaa Kutumia vyema. Inaweza kutuma barua ngambo kama una kadi ambazo zina nambari iliyohitajika Utazichapisha kisha uone kile alichotaka kwenye Skrini Kwa hivyo teknolojia ni muhimu. Umewezesha Ulimwengu kuwa kama kijiji Kimoja. Umeewezesha nyanja za biashara, Siasa, jami, uchumi na mawasiliano kuvuma.
| Binadamu amevumbua nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
3506_swa | UMUHIMU WA TEKNLOGIA
Teknologia ilivumbuliwa na binadamu: Saa ya kijaluba ni mojawapo ya Saa ambayo unaweza Kuitengesha majira. Hiyo saa humzindua mtu usingizini. Huzindua mziki mwanana ambao mtu hawezi kusita kuamka.
Runinga pia huzindua na kuburudisha.Ukitaka nyimbo uzipendazo kama za ndaro ungezipata. Teknologia inawasaidia watu wengi hasa watoto. Ukitaka mtoto asome kupitia runinga au rununu,anaweza Soma. Pia huwasaidia watoto kwa kuwachangamsha wakiona Vipindi wavipendavyo.Bila kuwasahau watu wazima huwa Saidia kwa nchi ingendelea kupitia taarifa au mtandao wa kijamii.
Rununu pia hutumika kwa mawasiliano. Watu wa Sasa hujigamba wanapo wasiliana na wenzao maana wazazi wa wazazi wao ambao ndio nyanya zao husimulia hadithi Wakieleza kuwa rununu haikuwepo hapo awali. Kwa sasa hivi ukimpa babu au nyanyako Simu apitishe ujumbe kwa mtu mwingine, utamwona amecheka hadi uone uhaba wa meno kinywani mwake. Mtu awe na jambo muhimu au kutaka kumjulia mwenzako hali utatumia simu yako ya mkono.
Kompyuta husaidia kwa kutaipu majina. Hutumika ku ja ya kuchukua jikaratasi iliyoandilawa, kuitia kwa machine, kushika harcade chenye mkra mithili ya panya , halafu unabofya kwa kutumia kidole na mara sauti ya mashine chapisha ingesikika. Utaona mashine hiyo ikitapika karatasi yenye jina au maandisi iliyokuwa kwenye karatasi.
Sio lazima uende posta kutuma barua - Kompyuta huezesha kumsaidia binadamu kwa masaa Kutumia vyema. Inaweza kutuma barua ngambo kama una kadi ambazo zina nambari iliyohitajika Utazichapisha kisha uone kile alichotaka kwenye Skrini Kwa hivyo teknolojia ni muhimu. Umewezesha Ulimwengu kuwa kama kijiji Kimoja. Umeewezesha nyanja za biashara, Siasa, jami, uchumi na mawasiliano kuvuma.
| Kundi lipi la watu lililosaidika na teknolojia | {
"text": [
"Watoto"
]
} |
3506_swa | UMUHIMU WA TEKNLOGIA
Teknologia ilivumbuliwa na binadamu: Saa ya kijaluba ni mojawapo ya Saa ambayo unaweza Kuitengesha majira. Hiyo saa humzindua mtu usingizini. Huzindua mziki mwanana ambao mtu hawezi kusita kuamka.
Runinga pia huzindua na kuburudisha.Ukitaka nyimbo uzipendazo kama za ndaro ungezipata. Teknologia inawasaidia watu wengi hasa watoto. Ukitaka mtoto asome kupitia runinga au rununu,anaweza Soma. Pia huwasaidia watoto kwa kuwachangamsha wakiona Vipindi wavipendavyo.Bila kuwasahau watu wazima huwa Saidia kwa nchi ingendelea kupitia taarifa au mtandao wa kijamii.
Rununu pia hutumika kwa mawasiliano. Watu wa Sasa hujigamba wanapo wasiliana na wenzao maana wazazi wa wazazi wao ambao ndio nyanya zao husimulia hadithi Wakieleza kuwa rununu haikuwepo hapo awali. Kwa sasa hivi ukimpa babu au nyanyako Simu apitishe ujumbe kwa mtu mwingine, utamwona amecheka hadi uone uhaba wa meno kinywani mwake. Mtu awe na jambo muhimu au kutaka kumjulia mwenzako hali utatumia simu yako ya mkono.
Kompyuta husaidia kwa kutaipu majina. Hutumika ku ja ya kuchukua jikaratasi iliyoandilawa, kuitia kwa machine, kushika harcade chenye mkra mithili ya panya , halafu unabofya kwa kutumia kidole na mara sauti ya mashine chapisha ingesikika. Utaona mashine hiyo ikitapika karatasi yenye jina au maandisi iliyokuwa kwenye karatasi.
Sio lazima uende posta kutuma barua - Kompyuta huezesha kumsaidia binadamu kwa masaa Kutumia vyema. Inaweza kutuma barua ngambo kama una kadi ambazo zina nambari iliyohitajika Utazichapisha kisha uone kile alichotaka kwenye Skrini Kwa hivyo teknolojia ni muhimu. Umewezesha Ulimwengu kuwa kama kijiji Kimoja. Umeewezesha nyanja za biashara, Siasa, jami, uchumi na mawasiliano kuvuma.
| Chombo kipi hutumika katika mawasiliano | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3506_swa | UMUHIMU WA TEKNLOGIA
Teknologia ilivumbuliwa na binadamu: Saa ya kijaluba ni mojawapo ya Saa ambayo unaweza Kuitengesha majira. Hiyo saa humzindua mtu usingizini. Huzindua mziki mwanana ambao mtu hawezi kusita kuamka.
Runinga pia huzindua na kuburudisha.Ukitaka nyimbo uzipendazo kama za ndaro ungezipata. Teknologia inawasaidia watu wengi hasa watoto. Ukitaka mtoto asome kupitia runinga au rununu,anaweza Soma. Pia huwasaidia watoto kwa kuwachangamsha wakiona Vipindi wavipendavyo.Bila kuwasahau watu wazima huwa Saidia kwa nchi ingendelea kupitia taarifa au mtandao wa kijamii.
Rununu pia hutumika kwa mawasiliano. Watu wa Sasa hujigamba wanapo wasiliana na wenzao maana wazazi wa wazazi wao ambao ndio nyanya zao husimulia hadithi Wakieleza kuwa rununu haikuwepo hapo awali. Kwa sasa hivi ukimpa babu au nyanyako Simu apitishe ujumbe kwa mtu mwingine, utamwona amecheka hadi uone uhaba wa meno kinywani mwake. Mtu awe na jambo muhimu au kutaka kumjulia mwenzako hali utatumia simu yako ya mkono.
Kompyuta husaidia kwa kutaipu majina. Hutumika ku ja ya kuchukua jikaratasi iliyoandilawa, kuitia kwa machine, kushika harcade chenye mkra mithili ya panya , halafu unabofya kwa kutumia kidole na mara sauti ya mashine chapisha ingesikika. Utaona mashine hiyo ikitapika karatasi yenye jina au maandisi iliyokuwa kwenye karatasi.
Sio lazima uende posta kutuma barua - Kompyuta huezesha kumsaidia binadamu kwa masaa Kutumia vyema. Inaweza kutuma barua ngambo kama una kadi ambazo zina nambari iliyohitajika Utazichapisha kisha uone kile alichotaka kwenye Skrini Kwa hivyo teknolojia ni muhimu. Umewezesha Ulimwengu kuwa kama kijiji Kimoja. Umeewezesha nyanja za biashara, Siasa, jami, uchumi na mawasiliano kuvuma.
| Chombo kipi kinaweza kutumika kutuma barua ng'ambo | {
"text": [
"Kompyuta"
]
} |
3506_swa | UMUHIMU WA TEKNLOGIA
Teknologia ilivumbuliwa na binadamu: Saa ya kijaluba ni mojawapo ya Saa ambayo unaweza Kuitengesha majira. Hiyo saa humzindua mtu usingizini. Huzindua mziki mwanana ambao mtu hawezi kusita kuamka.
Runinga pia huzindua na kuburudisha.Ukitaka nyimbo uzipendazo kama za ndaro ungezipata. Teknologia inawasaidia watu wengi hasa watoto. Ukitaka mtoto asome kupitia runinga au rununu,anaweza Soma. Pia huwasaidia watoto kwa kuwachangamsha wakiona Vipindi wavipendavyo.Bila kuwasahau watu wazima huwa Saidia kwa nchi ingendelea kupitia taarifa au mtandao wa kijamii.
Rununu pia hutumika kwa mawasiliano. Watu wa Sasa hujigamba wanapo wasiliana na wenzao maana wazazi wa wazazi wao ambao ndio nyanya zao husimulia hadithi Wakieleza kuwa rununu haikuwepo hapo awali. Kwa sasa hivi ukimpa babu au nyanyako Simu apitishe ujumbe kwa mtu mwingine, utamwona amecheka hadi uone uhaba wa meno kinywani mwake. Mtu awe na jambo muhimu au kutaka kumjulia mwenzako hali utatumia simu yako ya mkono.
Kompyuta husaidia kwa kutaipu majina. Hutumika ku ja ya kuchukua jikaratasi iliyoandilawa, kuitia kwa machine, kushika harcade chenye mkra mithili ya panya , halafu unabofya kwa kutumia kidole na mara sauti ya mashine chapisha ingesikika. Utaona mashine hiyo ikitapika karatasi yenye jina au maandisi iliyokuwa kwenye karatasi.
Sio lazima uende posta kutuma barua - Kompyuta huezesha kumsaidia binadamu kwa masaa Kutumia vyema. Inaweza kutuma barua ngambo kama una kadi ambazo zina nambari iliyohitajika Utazichapisha kisha uone kile alichotaka kwenye Skrini Kwa hivyo teknolojia ni muhimu. Umewezesha Ulimwengu kuwa kama kijiji Kimoja. Umeewezesha nyanja za biashara, Siasa, jami, uchumi na mawasiliano kuvuma.
| Teknolojia imewezesha nyanja zipi kuvuna | {
"text": [
"Biashara, siasa,uchumi na mawasiliano"
]
} |
3507_swa | JANGA LA UKIMWI
ukimwi ni ugonjwa ambao umetatiza Jamii na hata mataifa. Ukimwi hauna dawa lakini unakinga kwani walinena kinga ni bora kuliko tiba. Ugonjwa huu una wengi na una madhara mengi kiuchumi,kimwili na kijamii. Tazama, mkulima anapougua ugonjwa huu huenda chini kwa vile hana nguvu ya kufanya kazi, afya yake inazidi kuzorota anakuwa mzigo kwa jamii ambapo lazima kuwe na mtu wa kumtunza. Kumpikia chakula cha afya na hata kuhakisha amenda hospitali ili aziweze kuambukizwa magonjwa mengine . Kwa sababu mtu akiwa na ukimwi mwili unakuwa hauna kinga dhidi ya magonjwa mengine sugu sugu. Pia kwa sababu mkulima ni mgonjwa ukulima wake unazorota kwa vile pesa anazitumia kununua madawa za kupunguza nguavu ya ugonjwa huu ndizo ambazo angezinunulia mifugo chakula na hata mbolea na kulipa wafanyikazi ambao wanamsaidia kulima shamba lake kubwa. Ama anapoenda shambani analima kiasi kisha anakaa chini kwa uchovu mwingi nakuishiwa na nguvu maendeleo ya ukulima wake unadidimia na baadaye kuumia kwa chakula au kila cha kila siku. Mara nyingine ukimwi humdhuru mtu kwa kutumia pesa nyingi hospitalini ama kwa kununua madawa zinahitajika.Dawa hizi huwa ni bei ghali na huumiza wasio na uwezo wa kuzinunua
Uathiri pia masamo ya watoto kwa pesa za karo kwa kukosekana sababu pesa zote hunanua madawa kwa muuguzi na asipohudumia, inalazimu kwanza anayeshugulikiwa kwa dharura ni muugua si anayesoma shuleni. | Ni ugonjwa gani unatatiza jamii | {
"text": [
"Ukimwi"
]
} |
3507_swa | JANGA LA UKIMWI
ukimwi ni ugonjwa ambao umetatiza Jamii na hata mataifa. Ukimwi hauna dawa lakini unakinga kwani walinena kinga ni bora kuliko tiba. Ugonjwa huu una wengi na una madhara mengi kiuchumi,kimwili na kijamii. Tazama, mkulima anapougua ugonjwa huu huenda chini kwa vile hana nguvu ya kufanya kazi, afya yake inazidi kuzorota anakuwa mzigo kwa jamii ambapo lazima kuwe na mtu wa kumtunza. Kumpikia chakula cha afya na hata kuhakisha amenda hospitali ili aziweze kuambukizwa magonjwa mengine . Kwa sababu mtu akiwa na ukimwi mwili unakuwa hauna kinga dhidi ya magonjwa mengine sugu sugu. Pia kwa sababu mkulima ni mgonjwa ukulima wake unazorota kwa vile pesa anazitumia kununua madawa za kupunguza nguavu ya ugonjwa huu ndizo ambazo angezinunulia mifugo chakula na hata mbolea na kulipa wafanyikazi ambao wanamsaidia kulima shamba lake kubwa. Ama anapoenda shambani analima kiasi kisha anakaa chini kwa uchovu mwingi nakuishiwa na nguvu maendeleo ya ukulima wake unadidimia na baadaye kuumia kwa chakula au kila cha kila siku. Mara nyingine ukimwi humdhuru mtu kwa kutumia pesa nyingi hospitalini ama kwa kununua madawa zinahitajika.Dawa hizi huwa ni bei ghali na huumiza wasio na uwezo wa kuzinunua
Uathiri pia masamo ya watoto kwa pesa za karo kwa kukosekana sababu pesa zote hunanua madawa kwa muuguzi na asipohudumia, inalazimu kwanza anayeshugulikiwa kwa dharura ni muugua si anayesoma shuleni. | Mkulima anatumia pesa kununulia nini | {
"text": [
"Dawa"
]
} |
3507_swa | JANGA LA UKIMWI
ukimwi ni ugonjwa ambao umetatiza Jamii na hata mataifa. Ukimwi hauna dawa lakini unakinga kwani walinena kinga ni bora kuliko tiba. Ugonjwa huu una wengi na una madhara mengi kiuchumi,kimwili na kijamii. Tazama, mkulima anapougua ugonjwa huu huenda chini kwa vile hana nguvu ya kufanya kazi, afya yake inazidi kuzorota anakuwa mzigo kwa jamii ambapo lazima kuwe na mtu wa kumtunza. Kumpikia chakula cha afya na hata kuhakisha amenda hospitali ili aziweze kuambukizwa magonjwa mengine . Kwa sababu mtu akiwa na ukimwi mwili unakuwa hauna kinga dhidi ya magonjwa mengine sugu sugu. Pia kwa sababu mkulima ni mgonjwa ukulima wake unazorota kwa vile pesa anazitumia kununua madawa za kupunguza nguavu ya ugonjwa huu ndizo ambazo angezinunulia mifugo chakula na hata mbolea na kulipa wafanyikazi ambao wanamsaidia kulima shamba lake kubwa. Ama anapoenda shambani analima kiasi kisha anakaa chini kwa uchovu mwingi nakuishiwa na nguvu maendeleo ya ukulima wake unadidimia na baadaye kuumia kwa chakula au kila cha kila siku. Mara nyingine ukimwi humdhuru mtu kwa kutumia pesa nyingi hospitalini ama kwa kununua madawa zinahitajika.Dawa hizi huwa ni bei ghali na huumiza wasio na uwezo wa kuzinunua
Uathiri pia masamo ya watoto kwa pesa za karo kwa kukosekana sababu pesa zote hunanua madawa kwa muuguzi na asipohudumia, inalazimu kwanza anayeshugulikiwa kwa dharura ni muugua si anayesoma shuleni. | Dawa huwa na bei gani | {
"text": [
"Kali"
]
} |
3507_swa | JANGA LA UKIMWI
ukimwi ni ugonjwa ambao umetatiza Jamii na hata mataifa. Ukimwi hauna dawa lakini unakinga kwani walinena kinga ni bora kuliko tiba. Ugonjwa huu una wengi na una madhara mengi kiuchumi,kimwili na kijamii. Tazama, mkulima anapougua ugonjwa huu huenda chini kwa vile hana nguvu ya kufanya kazi, afya yake inazidi kuzorota anakuwa mzigo kwa jamii ambapo lazima kuwe na mtu wa kumtunza. Kumpikia chakula cha afya na hata kuhakisha amenda hospitali ili aziweze kuambukizwa magonjwa mengine . Kwa sababu mtu akiwa na ukimwi mwili unakuwa hauna kinga dhidi ya magonjwa mengine sugu sugu. Pia kwa sababu mkulima ni mgonjwa ukulima wake unazorota kwa vile pesa anazitumia kununua madawa za kupunguza nguavu ya ugonjwa huu ndizo ambazo angezinunulia mifugo chakula na hata mbolea na kulipa wafanyikazi ambao wanamsaidia kulima shamba lake kubwa. Ama anapoenda shambani analima kiasi kisha anakaa chini kwa uchovu mwingi nakuishiwa na nguvu maendeleo ya ukulima wake unadidimia na baadaye kuumia kwa chakula au kila cha kila siku. Mara nyingine ukimwi humdhuru mtu kwa kutumia pesa nyingi hospitalini ama kwa kununua madawa zinahitajika.Dawa hizi huwa ni bei ghali na huumiza wasio na uwezo wa kuzinunua
Uathiri pia masamo ya watoto kwa pesa za karo kwa kukosekana sababu pesa zote hunanua madawa kwa muuguzi na asipohudumia, inalazimu kwanza anayeshugulikiwa kwa dharura ni muugua si anayesoma shuleni. | Ugonjwa wa ukimwi hauna nini | {
"text": [
"Tiba"
]
} |
3507_swa | JANGA LA UKIMWI
ukimwi ni ugonjwa ambao umetatiza Jamii na hata mataifa. Ukimwi hauna dawa lakini unakinga kwani walinena kinga ni bora kuliko tiba. Ugonjwa huu una wengi na una madhara mengi kiuchumi,kimwili na kijamii. Tazama, mkulima anapougua ugonjwa huu huenda chini kwa vile hana nguvu ya kufanya kazi, afya yake inazidi kuzorota anakuwa mzigo kwa jamii ambapo lazima kuwe na mtu wa kumtunza. Kumpikia chakula cha afya na hata kuhakisha amenda hospitali ili aziweze kuambukizwa magonjwa mengine . Kwa sababu mtu akiwa na ukimwi mwili unakuwa hauna kinga dhidi ya magonjwa mengine sugu sugu. Pia kwa sababu mkulima ni mgonjwa ukulima wake unazorota kwa vile pesa anazitumia kununua madawa za kupunguza nguavu ya ugonjwa huu ndizo ambazo angezinunulia mifugo chakula na hata mbolea na kulipa wafanyikazi ambao wanamsaidia kulima shamba lake kubwa. Ama anapoenda shambani analima kiasi kisha anakaa chini kwa uchovu mwingi nakuishiwa na nguvu maendeleo ya ukulima wake unadidimia na baadaye kuumia kwa chakula au kila cha kila siku. Mara nyingine ukimwi humdhuru mtu kwa kutumia pesa nyingi hospitalini ama kwa kununua madawa zinahitajika.Dawa hizi huwa ni bei ghali na huumiza wasio na uwezo wa kuzinunua
Uathiri pia masamo ya watoto kwa pesa za karo kwa kukosekana sababu pesa zote hunanua madawa kwa muuguzi na asipohudumia, inalazimu kwanza anayeshugulikiwa kwa dharura ni muugua si anayesoma shuleni. | Kwa nini karo hukosa | {
"text": [
"Pesa hutumiwa kununua dawa"
]
} |
3508_swa |
JANGA LA UGONJWA WA UKIMWI
ukimwi ni ukosefu au upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka Kwa ugonjwa huu katika bara la Afrika mapema miaka ya themanini, wengi wamefikwa na athari zake. Atheri hizi zimewa andama wao wenyewe na Jamaia zao: Taathira zenyewe Zimekuwa namna kuambukizwa mwenyewe au Kulozimika kubeba mzigo wa kuwa hudumia waliokutwa na makali ya ugonjwa huu .Sio Siri tena kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi
Vifo vinavyotokana na ukimwi vimezua balaa na fadhaa kubwa Jami zimepoteza nguzo za kutegemewa na kusababishiwa ukiwa na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa kwamba jamii za kiuftika hutegemecina, lais mushumbani hutegemea ndugu 100 wa mjini na hivyo basi ugonjena uprap bisha kwa wakazi wa mijini, ulitima hujenga mnyoo mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani,
Isitoshe taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nuo wakikosekan. wajasiria inali na wazalisha mali, uchumi wa taifa hupotoka kima cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukiwa mwingi Sana. Mayatima na wajane huachiwa majonzi yasiyomithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchechefu wa macune hali ambayo huzua kiza cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka ya hayo pesa nyingi hutumika Katika kuwatafutia afueni wagonjwa wa ukimwi, maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa Sababu dawa za kupunguza makali yake hugharimu pesa nyingi. Inga Sasa hivi Serikali kwa ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya Kigeni itinatoa msaada wa dawa hizi; hofu husomeka nyusoni mwa hawa wagonjwa kukiwa na tetesi za kutoweka Kwa udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na fumilia zao nako kumekuwa tatizo jingine. kubwa Baadhi ya raia wasioelewa Sayansi ya virusi huishia, kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahi adhabu hiyo kampeni na mafunzo ya hivi karibuni vimesaidia Suna Jamii hata ingawa wengine wanachukua kame nzimu kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa mintarafu ya kutangamana na wagonjwa
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe, nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria ya kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huchangia kuto kujiamini, hivi wengi wakakosa hata kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii hutu kama umesaidia kuiadilisha. Wenzetu tunaowapoteza, na hutugusa moyoni na kututia hesabu za hatima yetu itakavyokuwa.
| Ukimwi husababishwa na ukosefu wa nini mwilini? | {
"text": [
"Kinga"
]
} |
3508_swa |
JANGA LA UGONJWA WA UKIMWI
ukimwi ni ukosefu au upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka Kwa ugonjwa huu katika bara la Afrika mapema miaka ya themanini, wengi wamefikwa na athari zake. Atheri hizi zimewa andama wao wenyewe na Jamaia zao: Taathira zenyewe Zimekuwa namna kuambukizwa mwenyewe au Kulozimika kubeba mzigo wa kuwa hudumia waliokutwa na makali ya ugonjwa huu .Sio Siri tena kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi
Vifo vinavyotokana na ukimwi vimezua balaa na fadhaa kubwa Jami zimepoteza nguzo za kutegemewa na kusababishiwa ukiwa na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa kwamba jamii za kiuftika hutegemecina, lais mushumbani hutegemea ndugu 100 wa mjini na hivyo basi ugonjena uprap bisha kwa wakazi wa mijini, ulitima hujenga mnyoo mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani,
Isitoshe taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nuo wakikosekan. wajasiria inali na wazalisha mali, uchumi wa taifa hupotoka kima cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukiwa mwingi Sana. Mayatima na wajane huachiwa majonzi yasiyomithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchechefu wa macune hali ambayo huzua kiza cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka ya hayo pesa nyingi hutumika Katika kuwatafutia afueni wagonjwa wa ukimwi, maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa Sababu dawa za kupunguza makali yake hugharimu pesa nyingi. Inga Sasa hivi Serikali kwa ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya Kigeni itinatoa msaada wa dawa hizi; hofu husomeka nyusoni mwa hawa wagonjwa kukiwa na tetesi za kutoweka Kwa udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na fumilia zao nako kumekuwa tatizo jingine. kubwa Baadhi ya raia wasioelewa Sayansi ya virusi huishia, kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahi adhabu hiyo kampeni na mafunzo ya hivi karibuni vimesaidia Suna Jamii hata ingawa wengine wanachukua kame nzimu kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa mintarafu ya kutangamana na wagonjwa
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe, nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria ya kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huchangia kuto kujiamini, hivi wengi wakakosa hata kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii hutu kama umesaidia kuiadilisha. Wenzetu tunaowapoteza, na hutugusa moyoni na kututia hesabu za hatima yetu itakavyokuwa.
| UKIMWI ulizuka barani Afrika miaka ipi? | {
"text": [
"Themanini"
]
} |
3508_swa |
JANGA LA UGONJWA WA UKIMWI
ukimwi ni ukosefu au upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka Kwa ugonjwa huu katika bara la Afrika mapema miaka ya themanini, wengi wamefikwa na athari zake. Atheri hizi zimewa andama wao wenyewe na Jamaia zao: Taathira zenyewe Zimekuwa namna kuambukizwa mwenyewe au Kulozimika kubeba mzigo wa kuwa hudumia waliokutwa na makali ya ugonjwa huu .Sio Siri tena kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi
Vifo vinavyotokana na ukimwi vimezua balaa na fadhaa kubwa Jami zimepoteza nguzo za kutegemewa na kusababishiwa ukiwa na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa kwamba jamii za kiuftika hutegemecina, lais mushumbani hutegemea ndugu 100 wa mjini na hivyo basi ugonjena uprap bisha kwa wakazi wa mijini, ulitima hujenga mnyoo mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani,
Isitoshe taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nuo wakikosekan. wajasiria inali na wazalisha mali, uchumi wa taifa hupotoka kima cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukiwa mwingi Sana. Mayatima na wajane huachiwa majonzi yasiyomithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchechefu wa macune hali ambayo huzua kiza cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka ya hayo pesa nyingi hutumika Katika kuwatafutia afueni wagonjwa wa ukimwi, maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa Sababu dawa za kupunguza makali yake hugharimu pesa nyingi. Inga Sasa hivi Serikali kwa ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya Kigeni itinatoa msaada wa dawa hizi; hofu husomeka nyusoni mwa hawa wagonjwa kukiwa na tetesi za kutoweka Kwa udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na fumilia zao nako kumekuwa tatizo jingine. kubwa Baadhi ya raia wasioelewa Sayansi ya virusi huishia, kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahi adhabu hiyo kampeni na mafunzo ya hivi karibuni vimesaidia Suna Jamii hata ingawa wengine wanachukua kame nzimu kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa mintarafu ya kutangamana na wagonjwa
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe, nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria ya kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huchangia kuto kujiamini, hivi wengi wakakosa hata kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii hutu kama umesaidia kuiadilisha. Wenzetu tunaowapoteza, na hutugusa moyoni na kututia hesabu za hatima yetu itakavyokuwa.
| Ukimwi umeathiri taifa kivipi? | {
"text": [
"Kupoteza watu mashuhuri"
]
} |
3508_swa |
JANGA LA UGONJWA WA UKIMWI
ukimwi ni ukosefu au upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka Kwa ugonjwa huu katika bara la Afrika mapema miaka ya themanini, wengi wamefikwa na athari zake. Atheri hizi zimewa andama wao wenyewe na Jamaia zao: Taathira zenyewe Zimekuwa namna kuambukizwa mwenyewe au Kulozimika kubeba mzigo wa kuwa hudumia waliokutwa na makali ya ugonjwa huu .Sio Siri tena kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi
Vifo vinavyotokana na ukimwi vimezua balaa na fadhaa kubwa Jami zimepoteza nguzo za kutegemewa na kusababishiwa ukiwa na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa kwamba jamii za kiuftika hutegemecina, lais mushumbani hutegemea ndugu 100 wa mjini na hivyo basi ugonjena uprap bisha kwa wakazi wa mijini, ulitima hujenga mnyoo mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani,
Isitoshe taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nuo wakikosekan. wajasiria inali na wazalisha mali, uchumi wa taifa hupotoka kima cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukiwa mwingi Sana. Mayatima na wajane huachiwa majonzi yasiyomithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchechefu wa macune hali ambayo huzua kiza cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka ya hayo pesa nyingi hutumika Katika kuwatafutia afueni wagonjwa wa ukimwi, maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa Sababu dawa za kupunguza makali yake hugharimu pesa nyingi. Inga Sasa hivi Serikali kwa ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya Kigeni itinatoa msaada wa dawa hizi; hofu husomeka nyusoni mwa hawa wagonjwa kukiwa na tetesi za kutoweka Kwa udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na fumilia zao nako kumekuwa tatizo jingine. kubwa Baadhi ya raia wasioelewa Sayansi ya virusi huishia, kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahi adhabu hiyo kampeni na mafunzo ya hivi karibuni vimesaidia Suna Jamii hata ingawa wengine wanachukua kame nzimu kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa mintarafu ya kutangamana na wagonjwa
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe, nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria ya kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huchangia kuto kujiamini, hivi wengi wakakosa hata kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii hutu kama umesaidia kuiadilisha. Wenzetu tunaowapoteza, na hutugusa moyoni na kututia hesabu za hatima yetu itakavyokuwa.
| Vifo vya wazazi kutokana na ukimwi vimesabisha ongezeko la watoto wa aina gani? | {
"text": [
"Mayatima"
]
} |
3508_swa |
JANGA LA UGONJWA WA UKIMWI
ukimwi ni ukosefu au upungufu wa kinga mwilini. Tangu kuzuka Kwa ugonjwa huu katika bara la Afrika mapema miaka ya themanini, wengi wamefikwa na athari zake. Atheri hizi zimewa andama wao wenyewe na Jamaia zao: Taathira zenyewe Zimekuwa namna kuambukizwa mwenyewe au Kulozimika kubeba mzigo wa kuwa hudumia waliokutwa na makali ya ugonjwa huu .Sio Siri tena kwamba kila mtu anauogopa ugonjwa wa ukimwi
Vifo vinavyotokana na ukimwi vimezua balaa na fadhaa kubwa Jami zimepoteza nguzo za kutegemewa na kusababishiwa ukiwa na ulitima mkubwa. Ni wazi kabisa kwamba jamii za kiuftika hutegemecina, lais mushumbani hutegemea ndugu 100 wa mjini na hivyo basi ugonjena uprap bisha kwa wakazi wa mijini, ulitima hujenga mnyoo mkubwa kuanzia mijini hadi mashambani,
Isitoshe taifa hupoteza watu muhimu ambao wangechangia katika ujenzi wa uchumi wa taifa. Kumbuka, amali ya uchumi ni watu nuo wakikosekan. wajasiria inali na wazalisha mali, uchumi wa taifa hupotoka kima cha mkate kununuliwa kwa milioni kumi.
Vifo hivi pia vimesababisha ukiwa mwingi Sana. Mayatima na wajane huachiwa majonzi yasiyomithilika. Haya yakiwabishia watoto hushindwa kuendelea na shughuli za masomo kutokana na uchechefu wa macune hali ambayo huzua kiza cha matumaini kwa maendeleo ya kielimu katika taifa zima.
Fauka ya hayo pesa nyingi hutumika Katika kuwatafutia afueni wagonjwa wa ukimwi, maradhi haya ni ghali sana kuyakabili kwa Sababu dawa za kupunguza makali yake hugharimu pesa nyingi. Inga Sasa hivi Serikali kwa ushirikiano na wafadhili kutoka mashirika ya Kigeni itinatoa msaada wa dawa hizi; hofu husomeka nyusoni mwa hawa wagonjwa kukiwa na tetesi za kutoweka Kwa udhamini huo.
Kutengwa kwa watu na fumilia zao nako kumekuwa tatizo jingine. kubwa Baadhi ya raia wasioelewa Sayansi ya virusi huishia, kuwatenga wagonjwa na wakati mwingine kuwatazama kama waadhibiwa waliostahi adhabu hiyo kampeni na mafunzo ya hivi karibuni vimesaidia Suna Jamii hata ingawa wengine wanachukua kame nzimu kuelewa jambo rahisi kwamba huwezi kuambukizwa mintarafu ya kutangamana na wagonjwa
Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wenyewe, nalo ni tatizo kubwa. Aghalabu wao hujitenga kwa kufikiria ya kwamba jamii inawalaani kutokana na vitendo vyao. Hali hii huchangia kuto kujiamini, hivi wengi wakakosa hata kusonga mbele ya watu.
Kwa muhtasari, ugonjwa wa ukimwi umekuwa na madhara mengi sana kwa jamii hutu kama umesaidia kuiadilisha. Wenzetu tunaowapoteza, na hutugusa moyoni na kututia hesabu za hatima yetu itakavyokuwa.
| Nini ni ya gharama ya juu wakati wa kutibu ukimwi? | {
"text": [
"Dawa za kupunguza makali ya virusi"
]
} |
3510_swa | HISTORIA YA SHULE YA UPILI YA OLEFREMA
Shule ya Upili ya Olefrena ilianzishwa, mnamo mwaka wa 2008 na Mzee Mstaafu Fredrick Waweru na Mkewe Mpendwa Bi Mary Wanjiku
Kujengwa kwa shule hii ni kutokana na hamu na msukumo wa kupenda na kujua umuhimu wa elimu ndiposa watu hawa wawili kutaka kurudisha mkono wa heri katika jamii.
Waliamua kujenga ili kufaidi wanafunzi na Wanajamii wa kijiji cha Kimani Road ili kuweza kusaidia watoto wa hapa kupata mahali pao pa kujipatia angaa elimu.
Shule za hapo ziko mbali sana na imekuwa changamoto kubwa kwa wanafunzi kungangana Kupata elimu, na kwa ajili hii, wangwana hawa wawili wakaamua kujitolea kutoka kwa rasilimali zao kuijenga shule hii. shule hii inapatikana katika kaunti ya Kajiado eneo bunge la Kajiado Kaskazini, kata ya Nkaimurunua katika Kijiji cha Kiman Road. Shule hii iko ambali wa kilomita moja hivi kutoka kwenye barabara kuu ya Mbagathi.
Imejengwa katika kipande cha ardhi ye ekari tatu hivi, ambapo kumejengwa jengo la utawala ambalo linajumuisha ofisi ya Mwalimu Mkuu, ofisi ya Katibu wa shule, chumba maalum cha Walimu, maktaba ya shule, maabara ya shule pamoja na vyoo vya walimu Majengo mengine ni yale ya madarasa ya jumla
na nane, bweni za wasichana na pia za wavulana. Jikoni na chumba maalum cha hifadhi za shule, kisima na tanki ya maji safi..
Shule yenyewe imewafaidi wanakijiji wa Kimani Road na zaidi ya hayo, imekuwa kama baraka Kubwa tangu ilipoanzishwa na kuwawezesha wanafunzi chunguzima Kufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa na hata kijiunga na shule au vyuo vikuu mbalimbali nchini Kenya
Wanafunzi hawa hawawezi kuzisahau baraka na ufadhili mkubwa kutoka kwa Bw.Fredrick na familia yake na hawaku lalia maskio bali walikazana kusoma vilivyo na kufaulu. Hata hivyo hatuwezi Kusahau michango ya Walimu Kwa Kuwapa mawaidha na maarifa nyingi kuhusiana na masomo yao.
Jambo la kutia moyo ni kwamba hawa Wanafunzi wameweza kuziokoa familia zao Kutokana na maisha ya uchochole na taabu.
Mazingira ya shule ni ya kuvutia na hata Kupumbaza macho na hisia kwani yanapendeza ajabu. Kumepandwa miti na mauua ainati Kote na Kuwa rembo kama bibi harusi.
WafanyaKazi hapa ni Wakarimu na wenye heshima tukianzia na mwalimu mkuu mpka wale wa vyeo vya chini kabisa na tusisahau wanafunzi wenyewe
Ni wazo langu kuwa shule ya Olefrema ni mahali pazuri penye baraka tele kwa wanakijiji wa Kiman Road na hata kwingineko.
| Shule ya Ole frema ilianza mwaka gani | {
"text": [
"2008"
]
} |
3510_swa | HISTORIA YA SHULE YA UPILI YA OLEFREMA
Shule ya Upili ya Olefrena ilianzishwa, mnamo mwaka wa 2008 na Mzee Mstaafu Fredrick Waweru na Mkewe Mpendwa Bi Mary Wanjiku
Kujengwa kwa shule hii ni kutokana na hamu na msukumo wa kupenda na kujua umuhimu wa elimu ndiposa watu hawa wawili kutaka kurudisha mkono wa heri katika jamii.
Waliamua kujenga ili kufaidi wanafunzi na Wanajamii wa kijiji cha Kimani Road ili kuweza kusaidia watoto wa hapa kupata mahali pao pa kujipatia angaa elimu.
Shule za hapo ziko mbali sana na imekuwa changamoto kubwa kwa wanafunzi kungangana Kupata elimu, na kwa ajili hii, wangwana hawa wawili wakaamua kujitolea kutoka kwa rasilimali zao kuijenga shule hii. shule hii inapatikana katika kaunti ya Kajiado eneo bunge la Kajiado Kaskazini, kata ya Nkaimurunua katika Kijiji cha Kiman Road. Shule hii iko ambali wa kilomita moja hivi kutoka kwenye barabara kuu ya Mbagathi.
Imejengwa katika kipande cha ardhi ye ekari tatu hivi, ambapo kumejengwa jengo la utawala ambalo linajumuisha ofisi ya Mwalimu Mkuu, ofisi ya Katibu wa shule, chumba maalum cha Walimu, maktaba ya shule, maabara ya shule pamoja na vyoo vya walimu Majengo mengine ni yale ya madarasa ya jumla
na nane, bweni za wasichana na pia za wavulana. Jikoni na chumba maalum cha hifadhi za shule, kisima na tanki ya maji safi..
Shule yenyewe imewafaidi wanakijiji wa Kimani Road na zaidi ya hayo, imekuwa kama baraka Kubwa tangu ilipoanzishwa na kuwawezesha wanafunzi chunguzima Kufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa na hata kijiunga na shule au vyuo vikuu mbalimbali nchini Kenya
Wanafunzi hawa hawawezi kuzisahau baraka na ufadhili mkubwa kutoka kwa Bw.Fredrick na familia yake na hawaku lalia maskio bali walikazana kusoma vilivyo na kufaulu. Hata hivyo hatuwezi Kusahau michango ya Walimu Kwa Kuwapa mawaidha na maarifa nyingi kuhusiana na masomo yao.
Jambo la kutia moyo ni kwamba hawa Wanafunzi wameweza kuziokoa familia zao Kutokana na maisha ya uchochole na taabu.
Mazingira ya shule ni ya kuvutia na hata Kupumbaza macho na hisia kwani yanapendeza ajabu. Kumepandwa miti na mauua ainati Kote na Kuwa rembo kama bibi harusi.
WafanyaKazi hapa ni Wakarimu na wenye heshima tukianzia na mwalimu mkuu mpka wale wa vyeo vya chini kabisa na tusisahau wanafunzi wenyewe
Ni wazo langu kuwa shule ya Olefrema ni mahali pazuri penye baraka tele kwa wanakijiji wa Kiman Road na hata kwingineko.
| Nani walikuwa waanzilishi wa Ole frema | {
"text": [
"Mzee mstaafu Fredrick Waweru na mkewe Bi Mary Wanjiku"
]
} |
3510_swa | HISTORIA YA SHULE YA UPILI YA OLEFREMA
Shule ya Upili ya Olefrena ilianzishwa, mnamo mwaka wa 2008 na Mzee Mstaafu Fredrick Waweru na Mkewe Mpendwa Bi Mary Wanjiku
Kujengwa kwa shule hii ni kutokana na hamu na msukumo wa kupenda na kujua umuhimu wa elimu ndiposa watu hawa wawili kutaka kurudisha mkono wa heri katika jamii.
Waliamua kujenga ili kufaidi wanafunzi na Wanajamii wa kijiji cha Kimani Road ili kuweza kusaidia watoto wa hapa kupata mahali pao pa kujipatia angaa elimu.
Shule za hapo ziko mbali sana na imekuwa changamoto kubwa kwa wanafunzi kungangana Kupata elimu, na kwa ajili hii, wangwana hawa wawili wakaamua kujitolea kutoka kwa rasilimali zao kuijenga shule hii. shule hii inapatikana katika kaunti ya Kajiado eneo bunge la Kajiado Kaskazini, kata ya Nkaimurunua katika Kijiji cha Kiman Road. Shule hii iko ambali wa kilomita moja hivi kutoka kwenye barabara kuu ya Mbagathi.
Imejengwa katika kipande cha ardhi ye ekari tatu hivi, ambapo kumejengwa jengo la utawala ambalo linajumuisha ofisi ya Mwalimu Mkuu, ofisi ya Katibu wa shule, chumba maalum cha Walimu, maktaba ya shule, maabara ya shule pamoja na vyoo vya walimu Majengo mengine ni yale ya madarasa ya jumla
na nane, bweni za wasichana na pia za wavulana. Jikoni na chumba maalum cha hifadhi za shule, kisima na tanki ya maji safi..
Shule yenyewe imewafaidi wanakijiji wa Kimani Road na zaidi ya hayo, imekuwa kama baraka Kubwa tangu ilipoanzishwa na kuwawezesha wanafunzi chunguzima Kufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa na hata kijiunga na shule au vyuo vikuu mbalimbali nchini Kenya
Wanafunzi hawa hawawezi kuzisahau baraka na ufadhili mkubwa kutoka kwa Bw.Fredrick na familia yake na hawaku lalia maskio bali walikazana kusoma vilivyo na kufaulu. Hata hivyo hatuwezi Kusahau michango ya Walimu Kwa Kuwapa mawaidha na maarifa nyingi kuhusiana na masomo yao.
Jambo la kutia moyo ni kwamba hawa Wanafunzi wameweza kuziokoa familia zao Kutokana na maisha ya uchochole na taabu.
Mazingira ya shule ni ya kuvutia na hata Kupumbaza macho na hisia kwani yanapendeza ajabu. Kumepandwa miti na mauua ainati Kote na Kuwa rembo kama bibi harusi.
WafanyaKazi hapa ni Wakarimu na wenye heshima tukianzia na mwalimu mkuu mpka wale wa vyeo vya chini kabisa na tusisahau wanafunzi wenyewe
Ni wazo langu kuwa shule ya Olefrema ni mahali pazuri penye baraka tele kwa wanakijiji wa Kiman Road na hata kwingineko.
| Shule ya Ole frema inapatikana katika eneo bunge lipi | {
"text": [
"Kajiado kaskazini"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.